Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.39.0-wmf.21 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Gadget Gadget talk Gadget definition Gadget definition talk Wikipedia:Makala kwa ufutaji 4 2104 1233936 1233807 2022-07-20T18:54:21Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) c78gre1czc5c5cxru9b7vd5ao6oprcd 1233948 1233936 2022-07-21T07:12:26Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]]== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) hggy5g6me4at7wl1ak0kock8r62abf3 1233949 1233948 2022-07-21T07:13:10Z Kipala 107 /* Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022 */ wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]]== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) nz4ik7n2z2wq8vtroig8580sg04g6zt 1233953 1233949 2022-07-21T07:28:39Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]]== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]== Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC) bae69i64fkk7u1x8n8mulcqlyxyeg86 1233965 1233953 2022-07-21T08:15:17Z Kipala 107 /* Siku ya kilimo na maendeleo vijijini */ wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]]== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]== Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Wanawake wa Tanzania]]== Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC) 30yjhbk208ojqyypmb94nqi39whefdc 1233970 1233965 2022-07-21T08:27:25Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Chikanda]]== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Namibian cuisine]]== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Koeksister]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Samp]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Kube Cake]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]]== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]== Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Wanawake wa Tanzania]]== Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Kundi la Algoa]]== Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kioo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC) jq2vq96x09s164yq13hm9rxr72757l9 Hezbollah 0 3977 1233875 1181334 2022-07-20T13:03:24Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[picha:Hizbollah_posters_2006.jpg|thumbnail|right|200px|Bango la Hezbollal 2006]] '''Hezbollah''' (kwa Kiarabu: حزب الله , ikimaanisha Chama cha Allah [Mungu]) ni chama cha [[Waislamu]] wa dhehebu la [[Shi'a]] nchini [[Lebanoni]]. Chama hiki kina tawi la masuala ya kiraia na pia tawi la kijeshi. Chama hiki kilianzishwa 16 Februari 1985 na [[Sheikh Ibrahim al-Amin]]. Kuanzishwa huku rasmi kulifuatia kutangazwa kwa manifesho ya Hezbollah. Moja ya matamko ndani ya manifesto hii ni tamko la vita dhidi ya [[Israeli]] kwa kuivamia na kuikalia nchi ya Lebanoni. Kutokana na uvamizi huo, Hezbollah iliingia katika kipindi cha mapambano na Israeli hadi mwaka 2000 ambapo Israeli iliondoka katika maeneo iliyokuwa imeyakalia katika upande wa kusini mwa Lebanoni. Kiongozi wa chama hiki hivi sasa ni Katibu wake mkuu, [[Sayyed Hassan Nasrallah]]. == Viungo vya nje == * [http://www.alghaliboun.net/english/ Tovuti ya Hezbollah ] {{Wayback|url=http://www.alghaliboun.net/english/ |date=20060719222515 }} * [http://www.manartv.com./NewsSite/News.aspx?language=en/ Luninga ya Hezbollah: Al-Manar TV] {{Wayback|url=http://www.manartv.com./NewsSite/News.aspx?language=en%2F |date=20070928020808 }} * [http://www.al-nour.net/ Redio ya Hezbollah: Al-Nour radio] * [http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/4314423.stm Hezbollah ni akina nani?] {{mbegu-siasa}} [[Jamii:Siasa ya Lebanoni]] [[Jamii:Uislamu]] 5ogjx68k7or9c2us8y4utvbmboxiq8g 1985 0 4477 1233955 1005304 2022-07-21T07:29:30Z 196.249.96.221 wikitext text/x-wiki {{Mwaka|1980}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1980 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == * '''1985''' - [[Shirika la Bidhaa Pepe Huru]] lilianzishwa na [[Richard Stallman]] kutoka nchi ya [[Marekani]] == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} *[[2 Februari]] - [[Dennis Oliech]], [[mchezaji wa mpira]] kutoka [[Kenya]] * [[5 Februari]] - [[Cristiano Ronaldo]], mchezaji wa mpira kutoka [[Ureno]] *[[7 Februari]] - [[Tegan Moss]], [[mwigizaji]] kutoka [[Kanada]] *[[9 Februari]] - [[Emmanuel Adebayor]], mchezaji wa mpira kutoka [[Togo]] *[[17 Februari]] - [[Anne Curtis]], mwigizaji [[filamu]] kutoka [[Ufilipino]] na [[Australia]] *[[31 Machi]] - [[Mr Puaz]], mwanamuziki wa [[Tanzania]] *[[6 Mei]] - [[Faraja Kotta]], [[mrembo]] wa [[Tanzania]] [[mwaka]] wa [[2004]] *[[4 Agosti]] - [[Antonio Valencia]], mchezaji mpira kutoka [[Ekwador]] *[[22 Agosti]] - [[Jimmy Needham]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] *[[31 Agosti]] - [[Eddie Anaclet]], mchezaji wa mpira kutoka [[Tanzania]] *[[30 Septemba]] - [[T-Pain]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] * [[28 Oktoba]] - [[Wayne Rooney]], mchezaji wa mpira kutoka [[Uingereza]] *[[14 Novemba]] - [[Thomas Vermaelen]], mchezaji mpira wa [[Ubelgiji]] * [[16 Novemba]] - [[Aminata Niaria]], mwanamitindo kutoka [[Senegal]] *[[29 Desemba]] - [[Kassim Bizimana]], mchezaji mpira kutoka [[Burundi]] == Waliofariki == *[[28 Februari]] - [[Ferdinand Alquié]], [[mwanafalsafa]] wa [[Ufaransa]] * [[17 Mei]] - [[Abe Burrows]], mwandishi kutoka [[Marekani]] *[[16 Julai]] - [[Heinrich Boll]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1972]] *[[31 Agosti]] - [[Frank Burnet]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1960]] *[[6 Septemba]] - [[Rodney Porter]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1972]] *[[8 Septemba]] - [[John Enders]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1954]] *[[9 Septemba]] - [[Paul Flory]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1974]] *[[1 Oktoba]] – [[Elwyn Brooks White]], [[mwandishi]] wa [[Marekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]], mwaka wa [[1978]] *[[10 Oktoba]] - [[Yul Brynner]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]] ==Viungo vya nje== {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 20]] 2ym2yijn3ht7y1qnf4hbusfpu3h1zuu 1233974 1233955 2022-07-21T10:29:20Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/196.249.96.221|196.249.96.221]] ([[User talk:196.249.96.221|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] wikitext text/x-wiki {{Mwaka|1985}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1985 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == * '''1985''' - [[Shirika la Bidhaa Pepe Huru]] lilianzishwa na [[Richard Stallman]] kutoka nchi ya [[Marekani]] == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} *[[2 Februari]] - [[Dennis Oliech]], [[mchezaji wa mpira]] kutoka [[Kenya]] * [[5 Februari]] - [[Cristiano Ronaldo]], mchezaji wa mpira kutoka [[Ureno]] *[[7 Februari]] - [[Tegan Moss]], [[mwigizaji]] kutoka [[Kanada]] *[[9 Februari]] - [[Emmanuel Adebayor]], mchezaji wa mpira kutoka [[Togo]] *[[17 Februari]] - [[Anne Curtis]], mwigizaji [[filamu]] kutoka [[Ufilipino]] na [[Australia]] *[[31 Machi]] - [[Mr Puaz]], mwanamuziki wa [[Tanzania]] *[[6 Mei]] - [[Faraja Kotta]], [[mrembo]] wa [[Tanzania]] [[mwaka]] wa [[2004]] *[[4 Agosti]] - [[Antonio Valencia]], mchezaji mpira kutoka [[Ekwador]] *[[22 Agosti]] - [[Jimmy Needham]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] *[[31 Agosti]] - [[Eddie Anaclet]], mchezaji wa mpira kutoka [[Tanzania]] *[[30 Septemba]] - [[T-Pain]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] * [[28 Oktoba]] - [[Wayne Rooney]], mchezaji wa mpira kutoka [[Uingereza]] *[[14 Novemba]] - [[Thomas Vermaelen]], mchezaji mpira wa [[Ubelgiji]] * [[16 Novemba]] - [[Aminata Niaria]], mwanamitindo kutoka [[Senegal]] *[[29 Desemba]] - [[Kassim Bizimana]], mchezaji mpira kutoka [[Burundi]] == Waliofariki == *[[28 Februari]] - [[Ferdinand Alquié]], [[mwanafalsafa]] wa [[Ufaransa]] * [[17 Mei]] - [[Abe Burrows]], mwandishi kutoka [[Marekani]] *[[16 Julai]] - [[Heinrich Boll]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1972]] *[[31 Agosti]] - [[Frank Burnet]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1960]] *[[6 Septemba]] - [[Rodney Porter]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1972]] *[[8 Septemba]] - [[John Enders]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1954]] *[[9 Septemba]] - [[Paul Flory]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1974]] *[[1 Oktoba]] – [[Elwyn Brooks White]], [[mwandishi]] wa [[Marekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]], mwaka wa [[1978]] *[[10 Oktoba]] - [[Yul Brynner]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]] ==Viungo vya nje== {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 20]] kyk592win8nsjowy7o7lqzkhsaq5l84 26 Januari 0 4647 1233910 1226748 2022-07-20T14:03:35Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Januari}} Tarehe '''26 Januari''' ni [[siku]] ya [[ishirini na sita]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 339 (340 katika miaka mirefu). == Matukio == * [[1500]] – [[Vicente Yáñez Pinzón]] ni [[Mzungu]] wa kwanza kufika [[Brazil]] == Waliozaliwa == * [[1497]] - [[Go-Nara]], [[mfalme mkuu]] wa [[Japani]] ([[1526]]-[[1557]]) * [[1852]] - [[Pierre Brazza]], [[mpelelezi]] kutoka [[Italia]] na [[Ufaransa]] * [[1911]] - [[Polykarp Kusch]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1955]] * [[1925]] - [[Paul Newman]] [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka nchini [[Marekani]] * [[1958]] ** [[Ellen DeGeneres]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]] ** [[Elluz Peraza]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Venezuela]] * [[1961]] - [[Wayne Gretzky]] * [[1983]] - [[Gorilla Zoe]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] * [[1987]] - [[Sebastian Giovinco]], [[mchezaji mpira]] kutoka [[Italia]] * [[1991]] - [[Conrad George Rutangantevyi]], mwanamuziki kutoka [[Tanzania]] == Waliofariki == * [[1979]] - [[Nelson Rockefeller]], Kaimu Rais wa [[Marekani]] * [[2020]] - [[Kobe Bryant]] ==Sikukuu== [[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Timotheo]] na [[Tito]], [[Theogene]], [[Paula wa Roma]], Senofonte, Maria na wanao, Alberiko wa Citeaux, Augustino Erlandsson n.k. ==Viungo vya nje== {{commons|January 26|26 Januari}} * [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/26 BBC: On This Day] {{mbegu-historia}} {{DEFAULTSORT:Januari 26}} [[Jamii:Januari]] f0ytl4mqhfxtw8odlkxk2vf3najhmam 1233911 1233910 2022-07-20T14:04:10Z Riccardo Riccioni 452 /* Sikukuu */ wikitext text/x-wiki {{Januari}} Tarehe '''26 Januari''' ni [[siku]] ya [[ishirini na sita]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 339 (340 katika miaka mirefu). == Matukio == * [[1500]] – [[Vicente Yáñez Pinzón]] ni [[Mzungu]] wa kwanza kufika [[Brazil]] == Waliozaliwa == * [[1497]] - [[Go-Nara]], [[mfalme mkuu]] wa [[Japani]] ([[1526]]-[[1557]]) * [[1852]] - [[Pierre Brazza]], [[mpelelezi]] kutoka [[Italia]] na [[Ufaransa]] * [[1911]] - [[Polykarp Kusch]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1955]] * [[1925]] - [[Paul Newman]] [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka nchini [[Marekani]] * [[1958]] ** [[Ellen DeGeneres]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]] ** [[Elluz Peraza]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Venezuela]] * [[1961]] - [[Wayne Gretzky]] * [[1983]] - [[Gorilla Zoe]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] * [[1987]] - [[Sebastian Giovinco]], [[mchezaji mpira]] kutoka [[Italia]] * [[1991]] - [[Conrad George Rutangantevyi]], mwanamuziki kutoka [[Tanzania]] == Waliofariki == * [[1979]] - [[Nelson Rockefeller]], Kaimu Rais wa [[Marekani]] * [[2020]] - [[Kobe Bryant]] ==Sikukuu== [[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Timotheo]] na [[Tito]], [[Theogene]], [[Paula wa Roma]], [[Senofonte, Maria na wanao]], [[Alberiko wa Citeaux]], [[Augustino Erlandsson]] n.k. ==Viungo vya nje== {{commons|January 26|26 Januari}} * [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/26 BBC: On This Day] {{mbegu-historia}} {{DEFAULTSORT:Januari 26}} [[Jamii:Januari]] 67g98hmj3d26zonk1lqs1ioc9ha2epi 27 Januari 0 4648 1233927 1226508 2022-07-20T14:46:42Z Riccardo Riccioni 452 /* Sikukuu */ wikitext text/x-wiki {{Januari}} Tarehe '''27 Januari''' ni [[siku]] ya [[ishirini na saba]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 338 (339 katika miaka mirefu). == Matukio == * [[98]] - [[Kaizari Traian|Trajanus]] anakuwa [[Kaisari]] wa [[Dola la Roma]] ambalo chini yake litafikia kilele cha uenezi wake * [[1695]] - [[Mustafa II]] anachukua nafasi ya [[Sultani]] wa [[Milki ya Osmani]] badala ya [[Ahmad II]] aliyefariki * [[1945]] - ukombozi wa [[Kambi ya Auschwitz]] na askari wa [[Jeshi Jekundu]] == Waliozaliwa == * [[1756]] - [[Wolfgang Amadeus Mozart]], [[mtunzi]] wa [[muziki]] [[Austria|Mwaustria]] * [[1903]] - [[John Eccles]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1963]] * [[1936]] - [[Samuel Ting]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1976]] * [[1960]] - [[Samia Suluhu]], [[makamu rais]] wa [[Tanzania]] (tangu [[2015]]) == Waliofariki == * [[98]] - [[Nerva]], [[Kaisari]] wa [[Dola la Roma]] (tangu [[96]]) * [[672]] - [[Papa Vitalian]] * [[1540]] - [[Mtakatifu]] [[Angela Merichi]], [[bikira]] [[Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko|Mfransisko]] wa [[Italia]] * [[1887]] - Mtakatifu [[Yohane Maria Muzei]], [[mfiadini]] kutoka [[Tanzania]] ya leo * [[1901]] - [[Giuseppe Verdi]], [[mtunzi]] wa [[opera]] kutoka [[Italia]] * [[2009]] - [[John Updike]], mwandishi kutoka [[Marekani]] ==Sikukuu== [[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Anjela Merici]], [[Juliani wa Sora]], [[Juliani wa Le Mans]], [[Devota wa Biguglia]], [[Mario wa Bodon]], [[Papa Vitalian|Papa Vitaliani]], [[Theodoriko wa Orleans]], [[Gilduino]], [[Yohane Maria Muzei]], [[Enriko wa Osso]], [[Maria wa Yesu Santocanale]] n.k. *[[Kumbukizi ya Kimataifa ya Maangamizi ya Wayahudi]], kufuatana na azimio la [[Mkutano Mkuu wa UM]] la mwaka [[2005]] ==Viungo vya nje== {{commons|January 27|27 Januari}} * [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/27 BBC: On This Day] * [http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Jan&day=27 On This Day in Canada] {{Webarchive|url=https://archive.is/20121208150851/http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Jan&day=27 |date=2012-12-08 }} {{mbegu-historia}} {{DEFAULTSORT:Januari 27}} [[Jamii:Januari]] cndm6pbim9mphian7qua29e7g9upq5k Moshi (mji) 0 6844 1233864 1228358 2022-07-20T12:44:28Z 102.64.69.21 /* Utawala */ wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Jiji la Moshi |picha_ya_satelite = Kilimanjaro Moshi.jpg |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Moshi katika Tanzania |settlement_type = Jiji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[:Jamii:Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Moshi Mjini|Moshi Mjini]] |wakazi_kwa_ujumla = |latd=3 |latm=20 |lats=24 |latNS=S |longd=37 |longm=20 |longs=24 |longEW=E |website = }} [[Image:Moshi_view_kilimanjaro.jpg|right|350px|[[Mlima Kilimanjaro]] unavyoonekana kutoka Moshi mjini|thumb]] [[Image:Moshi_mosque.jpg|right|350px|[[Msikiti]] Mkuu wa Moshi|thumb]] '''Moshi''' ni [[makao makuu]] ya [[Mkoa wa Kilimanjaro]] nchini [[Tanzania]]. ==Wakazi== Kwa mujibu wa [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]], mji huo una wakazi wapatao 184,292. [[Kabila]] linaloongoza kwa [[idadi]] ya wakazi wa mji wa Moshi ni [[Wachagga]] wakifuatiwa na [[Wapare]] na makabila mengine yaliyohamia kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania kama [[Wasambaa]], [[Warangi]] n.k. Wachagga wanapenda [[Chakula|vyakula]] vinavyopikwa kwa kutumia [[ndizi]] kama vile [[mtori]], [[kitawa]], na [[machalari]]. Wakazi wengi wa Moshi ni wakulima, wafugaji na wafanyabiashara. Watu wengi wanakwenda Moshi kufanya kazi na kurudi nyumbani jioni. Ukuaji wa mji wa Moshi hauendani na mipango halisi ya 'Mipango Miji'. Hii inatokana na kutokufuatiliwa kwa sheria mbalimbali zinazohusu uendelezaji wa miji. ==Hali ya Hewa== Moshi ni mji wenye [[Halijoto|baridi]] katika miezi ya [[Juni]] mpaka [[Agosti]] na [[joto]] katika miezi ya [[Oktoba]] hadi katikati ya [[Januari]]. ==Utalii== Mji wa Moshi una mandhari nzuri ya kuvutia watalii. Watalii hupenda sana mji wa Moshi kwa sababu ya [[mlima Kilimanjaro]] na huduma muhimu kama mahoteli na usafiri. Kampuni nyingi za utalii zimekuwa zikiendesha shughuli zake miaka na miaka. Shughuli kuu za utalii zikiwa ni kupanda mlima Kilimanjaro na kwenda mbuga za wanyama kama vile [[Hifadhi ya Serengeti|Serengeti]], [[Hifadhi ya Ngorongoro|Ngorongoro]], [[hifadhi ya Tarangire|Tarangire]] na [[Hifadhi ya Ziwa Manyara|Ziwa Manyara]]. ==Elimu== Mji wa Moshi una [[Chuo Kikuu|vyuo vikuu]] vinne: *'''MUCCoBS''' (Moshi University College Of Cooperative and Business Studies) ambacho ni chuo kikuu kishiriki cha [[Sokoine University of Agriculture]] (SUA) [[Morogoro]] *'''MWUCE''' (Mwenge University College Of Education) ambacho ni chuo kikuu kishiriki cha SAUT (St. Augustine University - [[Mwanza]]) *'''KCMC Medical School''' chini ya [[Chuo Kikuu cha Tumaini]] *'''O.U.T'''(The Open University of Tanzania) ambacho ni tawi la chuo chenye jina hilohilo chenye makao yake makuu jijini Dar es salaam.-- ==Utawala== Kiutawala mji wa Moshi ni wilaya ya Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani yake kuna kata 15 ambazo ni [[Bondeni (Moshi mjini)|Bondeni]], [[Kaloleni (Moshi mjini)|Kaloleni]], [[Karanga (Moshi mjini)|Karanga]], [[Kiboroloni]], [[Kiusa]], [[Korongoni]], [[Longuo]], [[Majengo (Moshi mjini)|Majengo]], [[Mawenzi]], [[Mji Mpya]], [[Msaranga]], [[Njoro]], [[Pasua]], [[Rau]] na [[Kilimanjaro (Moshi mjini)|Kilimanjaro]]. {{Wide image|Moshi panorama edit1.jpg|1000px|Mandhari ya Moshi Mjini}} ==Marejeo== <references/> {{Kigezo:Kata za Wilaya ya Moshi mjini}} {{mbegu-jio-kilimanjaro}} [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]] [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro|M]] [[Jamii:Wilaya ya Moshi Mjini]] km9zn53ng3uvb8mww5aa96t0ewpnuk4 1233869 1233864 2022-07-20T12:54:26Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Jiji la Moshi |picha_ya_satelite = Kilimanjaro Moshi.jpg |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Moshi katika Tanzania |settlement_type = Jiji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[:Jamii:Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Moshi Mjini|Moshi Mjini]] |wakazi_kwa_ujumla = |latd=3 |latm=20 |lats=24 |latNS=S |longd=37 |longm=20 |longs=24 |longEW=E |website = }} [[Image:Moshi_view_kilimanjaro.jpg|right|350px|[[Mlima Kilimanjaro]] unavyoonekana kutoka Moshi mjini|thumb]] [[Image:Moshi_mosque.jpg|right|350px|[[Msikiti]] Mkuu wa Moshi|thumb]] '''Moshi''' ni [[makao makuu]] ya [[Mkoa wa Kilimanjaro]] nchini [[Tanzania]]. ==Wakazi== Kwa mujibu wa [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]], mji huo una wakazi wapatao 184,292. [[Kabila]] linaloongoza kwa [[idadi]] ya wakazi wa mji wa Moshi ni [[Wachagga]] wakifuatiwa na [[Wapare]] na makabila mengine yaliyohamia kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania kama [[Wasambaa]], [[Warangi]] n.k. Wachagga wanapenda [[Chakula|vyakula]] vinavyopikwa kwa kutumia [[ndizi]] kama vile [[mtori]], [[kitawa]], na [[machalari]]. Wakazi wengi wa Moshi ni wakulima, wafugaji na wafanyabiashara. Watu wengi wanakwenda Moshi kufanya kazi na kurudi nyumbani jioni. Ukuaji wa mji wa Moshi hauendani na mipango halisi ya 'Mipango Miji'. Hii inatokana na kutokufuatiliwa kwa sheria mbalimbali zinazohusu uendelezaji wa miji. ==Hali ya hewa== Moshi ni mji wenye [[Halijoto|baridi]] katika miezi ya [[Juni]] mpaka [[Agosti]] na [[joto]] katika miezi ya [[Oktoba]] hadi katikati ya [[Januari]]. ==Utalii== Mji wa Moshi una mandhari nzuri ya kuvutia watalii. Watalii hupenda sana mji wa Moshi kwa sababu ya [[mlima Kilimanjaro]] na huduma muhimu kama mahoteli na usafiri. Kampuni nyingi za utalii zimekuwa zikiendesha shughuli zake miaka na miaka. Shughuli kuu za utalii zikiwa ni kupanda mlima Kilimanjaro na kwenda mbuga za wanyama kama vile [[Hifadhi ya Serengeti|Serengeti]], [[Hifadhi ya Ngorongoro|Ngorongoro]], [[hifadhi ya Tarangire|Tarangire]] na [[Hifadhi ya Ziwa Manyara|Ziwa Manyara]]. ==Elimu== Mji wa Moshi una [[Chuo Kikuu|vyuo vikuu]] vinne: *'''MUCCoBS''' (Moshi University College Of Cooperative and Business Studies) ambacho ni chuo kikuu kishiriki cha [[Sokoine University of Agriculture]] (SUA) ya [[Morogoro]] *'''MWUCE''' (Mwenge University College Of Education) ambacho ni chuo kikuu kishiriki cha SAUT (St. Augustine University - [[Mwanza]]) *'''KCMC Medical School''' chini ya [[Chuo Kikuu cha Tumaini]] *'''OUT''' (The Open University of Tanzania) ambacho ni tawi la chuo chenye jina hilohilo chenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam ==Utawala== Kiutawala mji wa Moshi ni wilaya ya Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani yake kuna [[kata]] 15 ambazo ni [[Bondeni (Moshi mjini)|Bondeni]], [[Kaloleni (Moshi mjini)|Kaloleni]], [[Karanga (Moshi mjini)|Karanga]], [[Kiboroloni]], [[Kiusa]], [[Korongoni]], [[Longuo]], [[Majengo (Moshi mjini)|Majengo]], [[Mawenzi]], [[Mji Mpya]], [[Msaranga]], [[Njoro]], [[Pasua]], [[Rau]] na [[Kilimanjaro (Moshi mjini)|Kilimanjaro]]. {{Wide image|Moshi panorama edit1.jpg|1000px|Mandhari ya Moshi Mjini}} ==Marejeo== <references/> {{Kigezo:Kata za Wilaya ya Moshi mjini}} {{mbegu-jio-kilimanjaro}} [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]] [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro|M]] [[Jamii:Wilaya ya Moshi Mjini]] 4mwqiho6i8mqqg8t041owjonwo6leb2 Kisiwa cha Norfolk 0 10009 1233857 976122 2022-07-20T12:33:41Z CommonsDelinker 234 Replacing Coat_of_Arms_of_Norfolk_Island.svg with [[File:Coat_of_arms_of_Norfolk_Island.svg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: [[:c:COM:FR#FR3|Criterion 3]] (obvious error)). wikitext text/x-wiki {{Infobox Country |native_name = Norfolk Island |conventional_long_name = Territory of Norfolk Island |common_name = Norfolk Island |image_flag = Flag of Norfolk Island.svg|125px |image_coat =Coat of arms of Norfolk Island.svg|110px |image_map = LocationNorfolkIsland.png|290px |national_motto = "Inasmuch" |national_anthem = Advance Australia Fair (Sogea mbele Australia nzuri) |official_languages = [[Kiingereza]] |capital = [[Kingston (Kisiwa cha Norfolk)|Kingston]] |latd= |latm= |latNS= |longd= |longm= |longEW= |largest_city = [[Burnt Pine]] |government_type = Eneo la ng'ambo la [[Australia]] |leader_titles = Mkuu wa Dola<br />Afisa Mtendaji<br />Waziri wa kwanza |leader_names = [[Elizabeth II wa Uingereza]]<br />[[Grant Tambling]]<br />[[David Buffett]] |area_rank = ya 226 |area_magnitude = 1 E8 |area = 34.6 |areami² = 13.3 |percent_water = 0 |population_estimate = 1,841 <!--UN WPP--> |population_estimate_rank = ya 232 |population_estimate_year = 2004 |population_census = |population_census_year = |population_density = 53.2 |population_densitymi² = ? |population_density_rank = ya 191 |GDP_PPP = |GDP_PPP_rank = |GDP_PPP_year = |GDP_PPP_per_capita = |GDP_PPP_per_capita_rank = |sovereignty_type = Madaraka ya kujitawala |established_events = Sheria ya Norfolk |established_dates = <br />1979 |HDI = |HDI_rank = |HDI_year = |HDI_category = |currency = [[Dollar ya Australia]] |currency_code = AUD |country_code = |time_zone = NFT (Norfolk Island Time) |utc_offset =+11:30 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.nf]] |calling_code = 6723 }} [[Picha:Norfolk Island-CIA WFB Map.png|thumb|left|Mahali pa Norfolk]] '''Kisiwa cha Norfolk''' ni eneo la ng'ambo la [[Australia]] katika Pasifiki ya Kusini kati ya Australia, [[New Zealand]] na [[Kaledonia Mpya]]. == Jiografia == Kisiwa kipo takriban 1500 km upande wa mashariki ya Australia. Pamoja na visiwa vidogo jirani vya Nepean na Phillip ni ya asili ya kivolkeno hivyo kuna ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo. == Historia == Kisiwa kiliwahi kukaliwa na Wa[[polynesia]] jinsi inavyoonekana kwa mabaki ya kijiji kilichogunduliwa na wa[[akiolojia]] na kuwepo kwa [[panja]] na [[ndizi]] ambazo zilisambazwa na Wapolynesia kwenye visiwa vya Pasifiki. Lakini wakati wa kufika kwa nahodha Mwingereza [[James Cook]] mwaka 1774 kisiwa kilikuwa bila watu. Cook alikipa jina la [[Norfolk]] kwa heshima ya kabaila Mwingereza fulani aliyeitwa hivyo. Kuanzia 1788 kisiwa kikakaliwa na wafungwa kutoka magereza ya Uingereza na Australia. Lakini majaribio haya yameachwa tena na makambi ya wafungwa kuhamishwa penginepo. Mwaka 1856 mababu wa kwanza wa wakazi wa leo walifika kutoka [[Pitcairn]]. Idadi ya wajukuu wa waasi wa Bounty ilikuwa imeongezeka mno kwa kisiwa kidogo na serikali ya Uingereza iliwahamisha watu 194 kwenda Norfolk. Leo hii theluthi moja ya wakazi wa Norfolk ni wa asili ya Pitcairn. Wengine wamekuja kutoka Australia au kutoka Polynesia. {{mbegu-jio}} {{Pasifiki}} {{DEFAULTSORT:Norfolk}} [[Jamii:Visiwa vya Pasifiki]] [[Jamii:Australia]] jbk10qqu23keqgcgx8aouiq3fo4c2ui Western 0 13961 1233960 947846 2022-07-21T07:44:54Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki '''Western''' (kutoka [[kiing.]] "West" - ''magharibi'') ni aina ya [[fasihi]], hadithi na [[filamu]] yenye asili katika [[Marekani]]. Western husimulia hadithi za watu walioishi wakati wa [[karne ya 19]] hadi mwanzo wa [[karne ya 20]] Marekani ilipoenea katika sehemu za magharibi ya [[Amerika ya Kaskazini]]. Filamu kuhusu kipindi hiki zilianza kupatikana tangu mwanzo wa [[karne ya 20]]. Kazi muhimu ya hadithi hizo ilikuwa kuwapa watu wa Marekani picha kuhusu historia yao na kuhusu tabia nzuri ya mababu walioanzisha na kueneza taifa lao. Ukweli wa kihistoria jinsi ilivyo katika hadithi za kitaifa haukuzingatiwa mara nyingi. Filamu za Western zilitengenezwa baadaye pia huko [[Ulaya]] hasa [[Spaghetti Western]] na mara nyingi zilicheza na aina za wahusika jinsi zilivyokuwa kawaida katika filamu za Marekani. == Mazingira ya kihistoria ya filamu hizi == Katika nyakati zile Marekani ilitawala sehemu za mashariki za Amerika ya Kaskazini tu na kupanua polepole kuelekea magharibi hadi kufikia [[Pasifiki]] na baadaye pia kutawala maeneo ya katikati. Palikuwa na eneo la "mpakani" (''frontier'') ambako wakulima walowezi na wafugaji kutoka Marekani waliingia katika nchi ya wakazi asilia au [[Maindio]] na kuanzisha makazi yao huko. Mashamba na miji yale yalikuwa nje ya eneo la Marekani yenyewe. Kwa hiyo maisha yalikuwa kwa muda bila sheria wala serikali. Hata kama maeneo mapya yaliingizwa katika [[Maungano ya Madola ya Amerika]] taasisi za serikali zilikuwa mbali kwa muda na kazi ya kuratibu maisha ilibaki mkononi wa watu wenyewe katika eneo fulani. [[Picha:Buffalo Bill's Wild West Show.jpg|thumb|300px|Macowboy kazini]] == Wahusika katika hadithi za Western == Hadithi zinazosimuliwa katika filamu za western mara nyingi huwa na watu wafuatao: * '''Cowboy''' au mchunga ng'ombe - anayeonyeshwa mara nyingi kama mtu mwenye kazi ngumu asiye na elimu lakini ni hodari. Kwa kawaida ni mtu mwema. * '''Sheriff''' au mpolisi - anayepigana na waovu; huishi na kulala ofisini mwake anapoangalia pia wafungwa. Kazi yake ni pamoja na kutetea wafungwa wale kama watu wa mji wanataka kuwanyonga mara moja. Kwa kawaida ana uwezo wa kutumia bunduki yake haraka sana. Huwa ni mtu mwema. * '''Rancher''' au mwenye shamba la mifugo - yeye ni mwajiri wa macowboy. Ama ni mtajiri sana au yeye ni maskini anayeanza kujenga maisha yake na kupambana na matatizo ya kila aina. Mara nyingi ni mtu mwema lakini hutokea pia kama mbaya anayetaka kujitajirisha hata akimwua jirani * '''Watu wa mjini''' - ama mwenye duka au mwenye kilabu. Anahofia waovu wanaopita mjini na kupora pesa zake. Kwa kawaida huwa mwoga asiye tayari kumsaidia sheriff. ** '''Undertaker''' au mzishi ni mtu wa mjini wa pekee anayefurahia kila maiti inayoongeza mapato yake. Kwa hiyo hana neno na waovu na kwa kawaidi hawana neno naye. Asipokuwa na nafasi ya pembeni kabisa katika hadithi yeye huwa ni mwanafalsafa wa filamu mwenye hekima nyingi kuhusu maisha na mauti. * '''Mwanamke''' - aina yake ilikuwa haba huko magahribi ya kale kwa hiyo hakuna nafasi nyingi kwa waigizaji wa kike katika filamu za Western. Mwanamke hupatikana kwa namna mbili. ** Ama yeye ni mke wa rancher au wa mtu wa mjini. Huonyeshwa kama mcha Mungu na hodari akishika bunduki. ** Au yeye ni mwimbaji katiba kilabu anayedharauliwa na watu wa kawaida lakini macowboy humpenda; mara nyingi ni rafiki wa siri wa sheriff au mwovu mkuu anayeweza kumsaidia; hali halisi yeye ni mkahaba lakini filamu za Western za kawaida hawaonyeshi upande huu wa kazi yake waziwazi isipokuwa tangu kupatikana kwa [[Spaghetti Western]] upande huu wa maisha umeonyeshwa pia kiasi. ** Mwanamke wa pekee ni '''binti wa rancher''' anayerudi kutoka masomoni. Alipoondoka alikuwa msichana mdogo lakini akirudi ni mrembo anayesababisha mvurugo kati ya wanaume wa eneo mara moja. Huingzwa hasa katika filamu pasipo na haja ya damu nyingi. ** Kazi muhimu ya mwanamke katika filamu hizi ni kuwapa wanaume sababu ya kupigana juu yao ama kwa mikono -hasa kilabuni wanapovunja viti vingi pamoja na kioo kikubwa kilichopo katikati ya rafu ya vyupa- au kwa bunduki. Hii ni sababu ya kwamba undertaker huwaheshimu wakinamama hata asipopata nafasi nyingi ya kuwazika. * '''Mwovu mkuu na wenzake''' ni pilipili na sukari ya filamu za Western. Wanafika kutoka nje na kuleta kifo mpaka wameuawa wenyewe. ** Mara wanashambulia benki mara wanafuata mipango ya kulipiza kisasi kwa sababu sheriff wa mji aliwahi kumwua kaka wa mwovu mkuu miaka 23 iliyopita. Wengine wameajiriwa na rancher mbaya kumfukuza jirani wake mwema kwa sababu chemchemi ya pekee iko ndani ya eneo lake. ** Wakati mwingine mwovu huonyeshwa kuwa na tabia nzuri kwa sababu ameshakata shauri kuacha maovu lakini kwa bahati mbaya tangazo lenye picha yake linaloahidi kiasi cha pesa kwa yeyote anayemkamata au kumwua liko katika ofisi ya sheriff. Kwa hiyo sheriff anapaswa kumwinda. Kama sheriff angependelea kutomwona au kumsahau kuna mwovu wa aina nyingine ni headhunter au mwindaji wa waovu wanotafutwa anayetaka kichwa chake kwa sababu ya pesa. [[Picha:The searchers Ford Trailer screenshot (25).jpg|thumb|300px|Macowboy na Maindio (bado hai)]] * '''Mmeksiko''' ni mtu mdogo asiyeongea Kiingereza sanifu ni mtu anayestahili kupigwa na kudharauliwa na macowboy. Kosa lake ni ya kwamba miaka kadhaa iliyopita alishindwa na Waamerika na kubaki kwenye nchi iliyovamiwa na Marekani. Katika mawestern za baadaye mara chache anapata nafasi ya kumwua mwovu pia. * '''Indio''' au mwenyeji asilia wa Amerika ni hatari. Anaiba mifugo na kushambulia ovyo wazungu wazuri Wamarekani. Kama mkurugenzi wa filamu ana pesa ya kuajiri waigizaji wa kutosha maindio wengi sana hushambulia nyumba ya rancher au hata mji wote wakikaribia kushinda lakini kwa bahati nzuri '''cavallery''' (jeshi la farasi) hufika na kuwafukuza. Katika Western za baadaye inaweza kutokea ya kwamba sababu za Waindio zaelezwa kwa nini wanashambulia kwa mfano kwa sababu Wamarekani walitwaa ardhi yao au kuua watoto wao. Lakini hii si lazima kwa sababu marafiki wa filamu za Western hupenda kuona maajabu ya Western hawapendi kutafakari mno. == Maajabu ya Western == Tabia ya ajabu ya watu katika filamu hizi ni wakifika mjini baada ya kusafiri njia ndefu kwa farasi kwenye jua kali huingia mara moja kilabuni. Hapa hawanywi maji au angalau bia lakini mara moja pombe kali ya whiskey wakiagiza chupa kimoja ([[lita]] 0.7). Tabia nyingine ya ajabu ni ya kwamba wakipigwa risasi hufa mara moja bila kulia. Huanguka tu na kuwa kimya. Hakuna wajeruhiwa wanaoendelea kulia kwa masaa mengi usiku wote. Wengine hawaagi dunia mara moja lakini huwa na hotuba kabla ya kufa. Kuna pia aina nyingine wakipigwa risasi wanakata tu kipande cha shati na kufunika jeraha na kuendelea na mapigano bila matatizo. {{DEFAULTSORT:Western}} [[Jamii:Filamu]] [[Jamii:Filamu za Marekani]] [[Jamii:Filamu za Western]] sgwu9vfquldzg3px60woonvxjuq75h6 1233961 1233960 2022-07-21T07:45:12Z Kipala 107 Kipala moved page [[Filamu za western]] to [[Western]] over redirect wikitext text/x-wiki '''Western''' (kutoka [[kiing.]] "West" - ''magharibi'') ni aina ya [[fasihi]], hadithi na [[filamu]] yenye asili katika [[Marekani]]. Western husimulia hadithi za watu walioishi wakati wa [[karne ya 19]] hadi mwanzo wa [[karne ya 20]] Marekani ilipoenea katika sehemu za magharibi ya [[Amerika ya Kaskazini]]. Filamu kuhusu kipindi hiki zilianza kupatikana tangu mwanzo wa [[karne ya 20]]. Kazi muhimu ya hadithi hizo ilikuwa kuwapa watu wa Marekani picha kuhusu historia yao na kuhusu tabia nzuri ya mababu walioanzisha na kueneza taifa lao. Ukweli wa kihistoria jinsi ilivyo katika hadithi za kitaifa haukuzingatiwa mara nyingi. Filamu za Western zilitengenezwa baadaye pia huko [[Ulaya]] hasa [[Spaghetti Western]] na mara nyingi zilicheza na aina za wahusika jinsi zilivyokuwa kawaida katika filamu za Marekani. == Mazingira ya kihistoria ya filamu hizi == Katika nyakati zile Marekani ilitawala sehemu za mashariki za Amerika ya Kaskazini tu na kupanua polepole kuelekea magharibi hadi kufikia [[Pasifiki]] na baadaye pia kutawala maeneo ya katikati. Palikuwa na eneo la "mpakani" (''frontier'') ambako wakulima walowezi na wafugaji kutoka Marekani waliingia katika nchi ya wakazi asilia au [[Maindio]] na kuanzisha makazi yao huko. Mashamba na miji yale yalikuwa nje ya eneo la Marekani yenyewe. Kwa hiyo maisha yalikuwa kwa muda bila sheria wala serikali. Hata kama maeneo mapya yaliingizwa katika [[Maungano ya Madola ya Amerika]] taasisi za serikali zilikuwa mbali kwa muda na kazi ya kuratibu maisha ilibaki mkononi wa watu wenyewe katika eneo fulani. [[Picha:Buffalo Bill's Wild West Show.jpg|thumb|300px|Macowboy kazini]] == Wahusika katika hadithi za Western == Hadithi zinazosimuliwa katika filamu za western mara nyingi huwa na watu wafuatao: * '''Cowboy''' au mchunga ng'ombe - anayeonyeshwa mara nyingi kama mtu mwenye kazi ngumu asiye na elimu lakini ni hodari. Kwa kawaida ni mtu mwema. * '''Sheriff''' au mpolisi - anayepigana na waovu; huishi na kulala ofisini mwake anapoangalia pia wafungwa. Kazi yake ni pamoja na kutetea wafungwa wale kama watu wa mji wanataka kuwanyonga mara moja. Kwa kawaida ana uwezo wa kutumia bunduki yake haraka sana. Huwa ni mtu mwema. * '''Rancher''' au mwenye shamba la mifugo - yeye ni mwajiri wa macowboy. Ama ni mtajiri sana au yeye ni maskini anayeanza kujenga maisha yake na kupambana na matatizo ya kila aina. Mara nyingi ni mtu mwema lakini hutokea pia kama mbaya anayetaka kujitajirisha hata akimwua jirani * '''Watu wa mjini''' - ama mwenye duka au mwenye kilabu. Anahofia waovu wanaopita mjini na kupora pesa zake. Kwa kawaida huwa mwoga asiye tayari kumsaidia sheriff. ** '''Undertaker''' au mzishi ni mtu wa mjini wa pekee anayefurahia kila maiti inayoongeza mapato yake. Kwa hiyo hana neno na waovu na kwa kawaidi hawana neno naye. Asipokuwa na nafasi ya pembeni kabisa katika hadithi yeye huwa ni mwanafalsafa wa filamu mwenye hekima nyingi kuhusu maisha na mauti. * '''Mwanamke''' - aina yake ilikuwa haba huko magahribi ya kale kwa hiyo hakuna nafasi nyingi kwa waigizaji wa kike katika filamu za Western. Mwanamke hupatikana kwa namna mbili. ** Ama yeye ni mke wa rancher au wa mtu wa mjini. Huonyeshwa kama mcha Mungu na hodari akishika bunduki. ** Au yeye ni mwimbaji katiba kilabu anayedharauliwa na watu wa kawaida lakini macowboy humpenda; mara nyingi ni rafiki wa siri wa sheriff au mwovu mkuu anayeweza kumsaidia; hali halisi yeye ni mkahaba lakini filamu za Western za kawaida hawaonyeshi upande huu wa kazi yake waziwazi isipokuwa tangu kupatikana kwa [[Spaghetti Western]] upande huu wa maisha umeonyeshwa pia kiasi. ** Mwanamke wa pekee ni '''binti wa rancher''' anayerudi kutoka masomoni. Alipoondoka alikuwa msichana mdogo lakini akirudi ni mrembo anayesababisha mvurugo kati ya wanaume wa eneo mara moja. Huingzwa hasa katika filamu pasipo na haja ya damu nyingi. ** Kazi muhimu ya mwanamke katika filamu hizi ni kuwapa wanaume sababu ya kupigana juu yao ama kwa mikono -hasa kilabuni wanapovunja viti vingi pamoja na kioo kikubwa kilichopo katikati ya rafu ya vyupa- au kwa bunduki. Hii ni sababu ya kwamba undertaker huwaheshimu wakinamama hata asipopata nafasi nyingi ya kuwazika. * '''Mwovu mkuu na wenzake''' ni pilipili na sukari ya filamu za Western. Wanafika kutoka nje na kuleta kifo mpaka wameuawa wenyewe. ** Mara wanashambulia benki mara wanafuata mipango ya kulipiza kisasi kwa sababu sheriff wa mji aliwahi kumwua kaka wa mwovu mkuu miaka 23 iliyopita. Wengine wameajiriwa na rancher mbaya kumfukuza jirani wake mwema kwa sababu chemchemi ya pekee iko ndani ya eneo lake. ** Wakati mwingine mwovu huonyeshwa kuwa na tabia nzuri kwa sababu ameshakata shauri kuacha maovu lakini kwa bahati mbaya tangazo lenye picha yake linaloahidi kiasi cha pesa kwa yeyote anayemkamata au kumwua liko katika ofisi ya sheriff. Kwa hiyo sheriff anapaswa kumwinda. Kama sheriff angependelea kutomwona au kumsahau kuna mwovu wa aina nyingine ni headhunter au mwindaji wa waovu wanotafutwa anayetaka kichwa chake kwa sababu ya pesa. [[Picha:The searchers Ford Trailer screenshot (25).jpg|thumb|300px|Macowboy na Maindio (bado hai)]] * '''Mmeksiko''' ni mtu mdogo asiyeongea Kiingereza sanifu ni mtu anayestahili kupigwa na kudharauliwa na macowboy. Kosa lake ni ya kwamba miaka kadhaa iliyopita alishindwa na Waamerika na kubaki kwenye nchi iliyovamiwa na Marekani. Katika mawestern za baadaye mara chache anapata nafasi ya kumwua mwovu pia. * '''Indio''' au mwenyeji asilia wa Amerika ni hatari. Anaiba mifugo na kushambulia ovyo wazungu wazuri Wamarekani. Kama mkurugenzi wa filamu ana pesa ya kuajiri waigizaji wa kutosha maindio wengi sana hushambulia nyumba ya rancher au hata mji wote wakikaribia kushinda lakini kwa bahati nzuri '''cavallery''' (jeshi la farasi) hufika na kuwafukuza. Katika Western za baadaye inaweza kutokea ya kwamba sababu za Waindio zaelezwa kwa nini wanashambulia kwa mfano kwa sababu Wamarekani walitwaa ardhi yao au kuua watoto wao. Lakini hii si lazima kwa sababu marafiki wa filamu za Western hupenda kuona maajabu ya Western hawapendi kutafakari mno. == Maajabu ya Western == Tabia ya ajabu ya watu katika filamu hizi ni wakifika mjini baada ya kusafiri njia ndefu kwa farasi kwenye jua kali huingia mara moja kilabuni. Hapa hawanywi maji au angalau bia lakini mara moja pombe kali ya whiskey wakiagiza chupa kimoja ([[lita]] 0.7). Tabia nyingine ya ajabu ni ya kwamba wakipigwa risasi hufa mara moja bila kulia. Huanguka tu na kuwa kimya. Hakuna wajeruhiwa wanaoendelea kulia kwa masaa mengi usiku wote. Wengine hawaagi dunia mara moja lakini huwa na hotuba kabla ya kufa. Kuna pia aina nyingine wakipigwa risasi wanakata tu kipande cha shati na kufunika jeraha na kuendelea na mapigano bila matatizo. {{DEFAULTSORT:Western}} [[Jamii:Filamu]] [[Jamii:Filamu za Marekani]] [[Jamii:Filamu za Western]] sgwu9vfquldzg3px60woonvxjuq75h6 Shirika la Utangazaji Tanzania 0 15050 1233856 1233714 2022-07-20T12:32:39Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{rediotv|jina=Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)|picha=TBC-Tanzania.jpg|maelezo_ya_picha=Nembo ya TBC|mji=[[Dar es salaam]]|nchi=Tanzania|eneo=Kote duniani|mwenyewe=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|tovuti=tbc.go.tz|chanzo=2000|programu=}} '''Shirika la Utangazaji Tanzania''' (zamani: '''Televisheni ya Taifa ya Tanzania''') pia huitwa kwa Kiingereza: Tanzania Broadcasting Corporation ambapo mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TBC,''' ni chombo cha habari kinachomilikiwa na [[Tanzania|Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]. Huwa inatangaza habari kwa lugha ya [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]]. Shirika hili lilianza tarehe [[10 Machi]] [[mwaka]] [[2000]]. Makao yake makuu yapo [[Kijitonyama]] jijini [[Dar es Salaam]]. Zamani ilikuwa ikipatikana kwa [[Tanzania]] tu, lakini kwa sasa imepanua huduma yake ya urushaji wa matangazo na inapatikani karibuni [[Afrika]] nzima. == Historia == === Kabla ya Uhuru === Ikilinganishwa na maeneo mengine yaliyokuwa chini ya utawala wa [[Uingereza]] barani [[Afrika]], kama vile [[Kenya]], [[Zambia]], na [[Nigeria]], utangazaji wa redio na televisheni ulichelewa kufika [[Tanganyika]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books/about/Mass_Communication_in_Africa.html?id=O5JiAAAAMAAJ&redir_esc=y|title=Mass Communication in Africa|last=Mytton|first=Graham|date=1983|publisher=E. Arnold|year=January 1, 1955|isbn=0713181400|pages=78|language=en}}</ref> Mwaka wa 1950, utawala wa Tanganyika ulimkabidhi W. H. Thorneycroft, mhandisi kutoka [[BBC|British Broadcasting Corporation]] (BBC) jukumu la kufanya uchunguzi juu ya uwezekano wa kuanzisha kituo cha redio kwa eneo hilo. Uchunguzi huo uliojulikana kama "''Thorneycroft Plan''". Juni 1950, Thorneycroft alipendekeza kuanzisha kituo cha majaribio ili kutoa uzoefu katika utayarishaji wa programu za ndani zinazolenga Waafrika. Serikali ya kikoloni iliweka dola 30,000 na kituo cha "Sauti ya Dar es Salaam" kikaanzishwa.<ref>{{Cite book|url=https://www.hup.harvard.edu/catalog.php?isbn=9780674494152|title=Broadcasting in the Third World|last=Katz|first=Elihu|last2=Wedell|first2=George|date=1978|publisher=Harvard University Press|year=01/25/1978|isbn=9780674494152|pages=247 - 250|language=en}}</ref> Matangazo ya redio yalianza rasmi tarehe 1 Julai 1951.<ref>{{Cite web|title=Advent of Radio & Broadcasting in Tanganyika: The African Archers|url=https://www.britishempire.co.uk/article/africanarchers.htm|work=www.britishempire.co.uk|accessdate=2022-06-27|author=Stephen Luscombe}}</ref> Wakati wa ziara yake mwishoni mwa mwaka wa 1951, Grenfell Williams aliona ilikuwa na wasikilizaji wachache na vifaa vya muda; na ukosefu wa Waafrika wenye elimu ilionyesha hitaji la msaada na mafunzo kutoka kwa BBC. BBC ilimtuma Mhandisi Mkuu, A. C. Rothney, ambaye alibadilishwa mnamo 1954 na A. B. Shone.<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=387|language=en}}</ref> Mara ya kwanza ilitoa programu ya saa moja tu ya Kiswahili kila wiki, ambayo ilirudiwa mara mbili zaidi baadaye katika wiki na kwa sababu vifaa vyake havikuwa vya kisasa, ilikuwa vigumu kusikika nje ya [[Dar es Salaam]].<ref>{{Cite book|url=https://www.amazon.com/Inside-Africa-John-Gunther/dp/B00005W6XZ|title=Inside Africa|last=Gunther|first=John|date=1955-1-1|publisher=Harper & Brothers|year=January 1, 1955|language=en|asin=B00005W6XZ}}</ref> [[Picha:Sauti ya Dar es Salaam.jpg|thumb|250px|Wasanii wakiwa studio za Sauti ya Dar es Salaam miaka ya 1950.]] Mnamo Februari 1952, transimita ya mawimbi ya kati ya Marconi 1¼ iliongezwa kwenye vifaa vinavyotumika, na baadaye, muda wa maongezi uliongezwa hadi saa moja kwa kila siku ambayo ilitangazwa jioni. <ref name="Ends">{{cite book|title=The role of the mass media in nation-building in Tanzania|author=Mytton|first=Graham|publisher=[Great Britain] : University of Manchester, 1976|year=1976|isbn=|pages=171|oclc=1065292903|access-date=29 June 2022}}</ref>{{rp|171}}Mwaka wa 1953, programu iliongezwa hadi saa tatu kila siku, saa mbili kwa Kiswahili na moja kwa Kiingereza. Matangazo ya redio ya asubuhi kwa ajili ya shule yalianzishwa kwa hatua ya majaribio. Katika kukabali changamoto hizo mpya, afisa kutoka Idara ya Elimu alihamishiwa "Sauti ya Dar es Salaam". Zaidi ya hayo, [[Mwafrika]] mmoja na [[Mzungu|wazungu]] wawili wafanyakazi wa shirika hilo la utangazaji walirejea kutoka kozi za mafunzo zilizotolewa na BBC mjini [[London]]. Tatizo zaidi lilikuwa hali ya kifedha: hadi mwisho wa 1953, jumla ya ruzuku Pauni 66,000 zilikuwa zimetolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Kikoloni na Ustawi kwa ajili ya matumizi ya mradi huo. Kuanzia Machi 1 hadi Aprili 30, 1954, matangazo ya kwanza ya vipindi vya kielimu yalianza kurushwa kusambaza elimu kwa shule za kati, shule za sekondari, na vituo vya mafunzo ya ualimu.<ref name="Ends2">{{cite book|url=https://www.routledge.com/Routledge-Revivals-Language-in-Tanzania-1980/Polome-Hill/p/book/9781138307582|title=Routledge Revivals: Language in Tanzania (1980)|author=Polomé|first=Edgar C.|last2=Hill|first2=C. P.|publisher=Routledge|year=May 31, 2018|isbn=9781138307582|pages=|oclc=|access-date=29 June 2022}}</ref> Jumla ya muda wa matangazo ya elimu ulikuwa saa tano kwa wiki, ambao ulitumiwa na programu ya matangazo ya shule (dakika 200), programu ya kufundisha Kiingereza "Sema Kiingereza" (dak. 60), na "Swahili by Radio" (dak. 40). Katika kipindi hicho, mapokeo tayari yalikuwa mazuri katika miji ya pwani, kama vile [[Tanga (mji)|Tanga]], [[Lindi (mji)|Lindi]], [[Mtwara (mji)|Mtwara]], na [[Mombasa]] nchini [[Kenya]], pamoja na [[Arusha (mji)|Arusha]], [[Kongwa]], [[Nachingwea]], na [[Mbeya (mji)|Mbeya]]. Mwezi Machi 1955, Sauti ya Dar es Salaam ilibadilishwa hadhi na kuwa idara kamili ya serikali iliyopewa jina la Tanganyika Broadcasting Services (TBS). Kwa pesa za ufadhili utangazaji ulipanuliwa kufikia maeneo mengi ya nchi na [[makao makuu]] mapya yalianzishwa baadaye Pugu Road, Dar es Salaam (Sasa inajulikana kama [[Barabara ya Julius K. Nyerere]]).<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=387|language=en}}</ref> TBS ilipatiwa ofisi chache, studio mbili, chumba cha uongozaji, maktaba ndogo ya rekodi, na kifaa cha kurekodi simu. Ilitumia transimita ya mawimbi mafupi ya Marconi kW 20, ambacho kilikuwa na nguvu zaidi katika [[Afrika ya Mashariki]] wakati huo, TBS ilisikika karibu eneo lote la nchi, pia ilisikika nchi mbali kama [[Japani]], [[Ufini]], na [[Nyuzilandi]]. <ref name="Ends42">{{cite book|title=Tanganyika Under United Kingdom Administration: Report by Her Majesty's Government in the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland to the General Assembly of the United Nations for the Year|author=Colonial (Great Britain. Colonial Office)|first=|publisher=Colonial Office|year=1957|isbn=|pages=43|oclc=|access-date=3 July 2022}}</ref> Matangazo ya TBS yalikuwa hewani kwa saa nane. Wakati wa mihula ya shule, vipindi vya elimu vilitangazwa kutoka saa mbili unusu hadi saa nne unusu asubuhi. [[Picha:TBC 1959.jpg|thumb|left|Ian Macleod alipotembelea Shirika la Utangazaji la Tanganyika, wakati wa ziara yake jijini Dar es Salaam, Desemba 1959.]] Mnamo Februari 1956, mwanachama wa Huduma za Jamii aliwasilisha kwenye Baraza la Kutunga Sheria mswada wa [[shirika]] kuchukua madaraka ya huduma ya utangazaji. Alisisitiza kuwa itakuwa huru na haitaonekana kama chombo au mdomo wa Serikali. Katika mjadala uliofuata mjumbe mmoja aliuliza kama inaweza kuhamishiwa [[Dodoma]] katika ya nchi na mwingine alisisitiza haja ya kudhibiti uhariri sahihi na tahadhari juu ya kuanzishwa kwa utangazaji wa kibiashara.<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=388|language=en}}</ref> Tarehe 1 Julai, 1956, TBS ilibadishwa na kuwa Tanganyika Broadcasting Corporation (TBC).<ref name="Ends22">{{cite book|title=Mass Media in Sub-Saharan Africa|url=https://archive.org/details/massmediainsubsa0000bour|author=Bourgault|first=Louise M.|publisher=Indiana University Press|year=June 22, 1995|isbn=978-0253209382|pages=[https://archive.org/details/massmediainsubsa0000bour/page/66 66] - 67|access-date=29 June 2022}}</ref> TBC ilikuwa shirika la umma kwa kufuata mtindo wa [[BBC]]. Hata hivyo uhuru wa kujiendesha na kujitawala ulibinywa kwa sababu ililazimika kufanya kazi na kufuatiliwa kwa karibu sana na serikali ya [[Kikoloni|Kikiloni]] na kufanya kazi kama msemaji wa Serikali ya Kikoloni.<ref>{{Cite web|title=Tanzanian Broadcasting Corporation|url=http://tanzania.mom-gmr.org/en/owners/companies/detail/company/company/show/tanzanian-broadcasting-corporation-1/|work=tanzania.mom-gmr.org|accessdate=2022-06-26|language=en}}</ref> Mnamo 1957, ruzuku ya Pauni 20,000 kutoka Mfuko wa Maendeleo na Ustawi wa Kikoloni na Ustawi (''Colonial Development and Welfare Fund'') ilipitishwa kwa ajili ya kupata transimita ya pili ya mawimbi mafupi (kw 10) na transimita nyingine ya mawimbi ya wastani (kw1¼). Kiasi cha Pauni 5,000 kinachohitajika kununua vifaa vipya kilitolewa na utawala. Jumla ya muda wa kurusha matangazo uliongezwa kutoka saa 27 hadi 37 kwa wiki. Takriban 70% ya vipindi vilitangazwa kwa Kiswahili. TBC ilitoa habari za ulimwengu kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC yenye makao yake jijini [[London]] ambayo ilikuwa imezinduliwa tarehe [[27 Juni]] [[1957]]. Habari za kila siku za ndani kwa lugha ya Kiingereza zilipatikana kutoka gazeti la [[Tanganyika Standard]]. [[Picha:Iain Macleod -TBC.jpg|thumb|Iain Macleod akiwa ameketi mbele ya kipaza sauti cha Shirika la Utangazaji la Tanganyika - Machi 1961.]] Mnamo Mei 1958, Thomas W. Chalmers, afisa wa BBC, aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa kwanza wa utangazaji. Chalmers, hapo awali alihusika kuendeleza Shirika la Utangazaji la Nigeria (NBC), akawa mtendaji mkuu wa bodi.<ref name="Ends4">{{cite book|title=Tanganyika Under United Kingdom Administration: Report by Her Majesty's Government in the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland to the General Assembly of the United Nations for the Year|author=Colonial (Great Britain. Colonial Office)|first=|publisher=Colonial Office|year=1959|isbn=|pages=96|oclc=|access-date=1 July 2022}}</ref>Tangu mwanzo, mkurugenzi alijitahidi kuhakikisha uhuru wa kisiasa wa TBC kwa kujaribu kuvutia matangazo ya biashara. Ingawa matangazo ya biashara yalianza kukubaliwa mwaka wa 1955, kituo bado kiliendeshwa kwa ruzuku ya serikali. Awali, shirika lilikuwa makini kufikia uwiano wa maoni wakati mada zenye utata zikijadiliwa. Lakini sera hii ilikuja kuwa chini ya shinikizo la serikali ili mijadala ya umma iendelee kwenye redio masuala fulani yakawa na ukomo zaidi. Mwaka wa 1959, vifaa vya ziada, transimita ya mawimbi mafupi ya kW 10 na transimita ya mawimbi ya kati cha 1 ¼ kW, ziliongezwa. Kama matokeo ya uboreshaji huo, TBC iliweza kutangaza idhaa mbili kwa wakati mmoja - Idhaa cha Taifa kwa Kiswahili na idhaa ya pili kwa wasikilizaji wanaozungumza Kiingereza. Idhaa ya kwanza ilikuwa hewani asubuhi kutoka saa kumi na mbili na robo hadi saa mbili, mchana kutoka saa sita kamili hadi saa saba unusu, na jioni kutoka saa kumi unusu hadi saa nne na robo usiku. Idhaa ya pili, ambayo hasa ilitegemea kanda zilizorekodiwa na vyanzo vya nje kuhusu habari za Kitanzania, ilirusha matangazo yake kuanzia saa kumi na mbili kamili hadi saa mbili kamili asubuhi na kutoka saa moja jioni hadi saa nne na robo usiku. Zaidi ya hayo, kituo kilitangaza programu za kila siku kwa ajili ya wasikilizaji wa Kiasia kutoka saa kumi na mbili unusu mpaka saa moja jioni, matangazo hayo yalikuwa kwa lugha ya [[Hindustani]] na [[Gujerati]].<ref name="Ends32">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=82 - 83|access-date=1 July 2022}}</ref> Tarehe 1 Julai 1960, TBC ilianzisha huduma yake ya habari, na Tanganyika Standard haikusambaza tena matangazo kwa kituo hicho ingawa TBC iliendelea kununua habari kutoka gazeti hilo kwa misingi ya uwakala. Kwa ripoti za kimataifa, TBC iliendelea kutegemea vipindi vya BBC katika lugha ya Kiingereza na Kiswahili. Hadi kufikia uhuru, matangazo ya redio katika nchi ya Tanganyika yalikuwa tayari yana matokeo ya kushangaza. Kwanza, visambaza sauti vitatu vya mawimbi mafupi ziliwezesha matangazo kupatikana karibu nchi nzima, na visambaza sauti viwili vya mawimbi ya kati zilihudumia Dar es Salaam na maeneo yake ya jirani. Pili, watu 94 kati ya 123 walioajiriwa na kituo walikuwa Waafrika waliofunzwa vyema na wenye uzoefu wa uendeshaji wa mfumo wa utangazaji. === Baada ya Uhuru === Januari 1962, Mikidodi B. Mboe alimrithi Thomas Chalmers kama mkurugenzi wa utangazaji. Miongoni mwa matukio maarufu wakati wa Mboe ni kuanzishwa kwa Idhaa ya External Service na Idhaa ya tatu. Idhaa ya External Service iliyokuwa inarushwa na Radio Tanzania Dar es Salaam ilianzishwa mahususi kusaidia harakati za kupigania uhuru katika [[Rhodesia]] (sasa [[Zambia]] na [[Zimbabwe]]) na Nyasaland (sasa [[Malawi]]). Programu hii ilikuwa hewani kila siku kuanzia saa mbili kamili usiku hadi nne kamili usiku. Mwezi Machi 1964, matangazo ya Rhodesia na Nyasaland yalibadilishwa na programu ya ukombozi wa [[Afrika Kusini]] na Afrika Kusini Magharibi (sasa [[Namibia]]).<ref name="Ends322">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=112|access-date=1 July 2022}}</ref> Ili kuongeza ufikiaji, iliongezwa transimita ya 100 kW kutoka [[China]]. Viongozi wa wapigania uhuru katika nchi hizo waliishi na kuratibu harakati za ukombozi katika nchi zao kutokea Tanzania ambapo walirusha matangazo ya redio ya kuhamasisha wananchi wao kushiriki katika mapambano hayo kupitia idhaa hiyo ya External Service. Mnamo Januari 1968, harakati nane za ukombozi, ikiwa ni pamoja na FRELIMO na SWAPO, walikuwa wakichangia urushaji wa matangazo ya redio katika lugha za [[Kiafrikaans]], Kiingereza, [[Herero]], [[Ndebele]], Nyanja, [[Ovambo]], [[Kireno]], na [[Shona]].<ref name="Ends3222">{{cite book|title=Broadcasting in Tanzania: Case Study of a Broadcasting System.|author=MWAFFISI|first=M. S.|publisher=MA-Thesis, University of Washington|year=1985|pages=91|access-date=1 July 2022}}</ref> Baada ya nchi za Kusini mwa Afrika kupata uhuru, Idhaa ya External Service haikuendelea kurusha matangazo yake. Idhaa ya tatu pia ilianza shughuli zake mnamo 1962 na ililenga kuelimisha hadhira kwa kutangaza vipindi vya kielimu zaidi. Utangazaji wake ulikuwa hewani siku za wiki kutoka saa kumi na moja kamili hadi saa moja kamili jioni. {| class="wikitable" |+ Orodha ya wakurugenzi wa shirika la utangazaji tangu mwaka 1958 hadi 1996.<ref name="Ends3232">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=82 - 83|access-date=1 July 2022}}</ref> |- !Jina !!Mwaka |- |Thomas W. Chalmers|| 1958 - 1962 |- |Mikidodi B. Mboe || 1962 - 1965 |- |Yona Kazibure || 1965 - 1967 |- |Martin Kiama|| 1967 - 1972 |- |Paul Sozigwa|| 1972 - 1979 |- |David Wakati || 1979 - 1991 |- |Nkwabi Ng’wanakilala || 1991 - 1994 |- |Abdallah Ngororo || 1994 - 1996 |- |Abdul Ngarawa|| 1996 |} Mwaka 1965 Serikali ya kizalendo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipeleka Bungeni mswada wa kuvunjwa kwa Tanganyika Broadcasting Corporation (TBC) na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) ilianzishwa kama idara ya Wizara ya Habari, Utangazaji na Utalii. Baada ya matangazo ya redio kuenea kulikuwa na shinikizo la kuongeza matangazo ya redio katika baadhi ya lugha za [[makabila]], lakini Nyerere alikataa. Badala yake, RTD ilitumika kama njia ya kueneza Kiswahili kote nchini. Matangazo ya lugha ya Kiingereza yalifutwa mwaka 1970, Tanzania ikawa nchi pekee ya Kiafrika inayotumia lugha moja tu katika redio yake (Kiingereza bado kinatumika katika stesheni ya TBC International).<ref>{{Cite web|title=Radio in Tanzania|url=http://www.pateplumaradio.com/genbroad/tanzania.html|work=www.pateplumaradio.com|accessdate=2022-06-27}}</ref> Muda wa matangazo ya kila siku uliongezeka hadi Saa 6 ¼ mnamo Septemba 26, 1970. [[Picha:RTD-Tanzania.jpg|thumb|250px|Bango la Radio Tanzania Dar es Salaam.]] Serikali iliona redio kama njia yao bora ya kuunganisha vijiji na serikali na kuwahamasisha watu kujivunia nchi yao na kujaribu kuifanya kuwa bora zaidi. Uingizaji wa [[televisheni]] ulipigwa marufuku na sheria ya mwaka wa 1974, [[baraza la Mawaziri|baraza la mawaziri]] la serikali ya [[Julius Kambarage Nyerere]] lilipinga kuanzishwa kwa televisheni, likisisitiza kuwa televisheni hiyo ilikuwa ghali sana na kwamba utangazaji wa redio Tanzania bado haujakamilika. Hadi mwaka 1994, hapakuwa na matangazo yoyote ya televisheni yanayofanya kazi Tanzania Bara. Kituo pekee kilikuwa [[Televisheni ya Zanzibar]] (TVZ). TVZ ilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 1970 baada ya [[Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar]] kuingia mkataba na kampuni ya Uingereza kuanzisha kituo kisiwani humo. [[Picha:Watangazaji RTD.jpg|thumb|left|Waandishi na wanahabari wa Redio Tanzania Dar es Salaam walipokwenda kumuaga Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Ikulu Dar es Salaam alipotangaza kustaafu mwaka 1985.]] Mipango ya kuzindua kituo cha televisheni Tanzania bara ilifufuliwa mwaka wa 1985 wakati serikali ilipounda Kikosi Kazi cha Televisheni ambacho kilikuwa chini ya uenyekiti wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TPTC), F. C. Kasambala. Ripoti ya mwisho ya kikosi kazi iliyowasilishwa mnamo Oktoba 1989 ilisema mazingira yanaruhusu kuanzisha kituo cha televisheni na hivyo, ufungaji wa teknolojia hiyo unapaswa kuendelea haraka. Lakini kamati hiyo ilipoanza kuulizia gharama kutoka kwa taasisi za kimataifa ilionyesha ni ghali sana, kwa mfano, makadirio ya kwanza ya teknolojia ya upitishaji wa satelaiti yalifikia [[Dolar ya Marekani|dola za Marekani]] bilioni moja. Tarehe 13 Oktoba 1989, gazeti la Business Times lilichapisha makala iliyodai: “Kwa Dola za Marekani milioni 7 tu ... Tanzania inaweza kuwa na TV.“ Siku chache tu baada ya makala ya Business Times kuchapishwa, mnamo Novemba 6, 1989, wakati huo Waziri wa Habari na Utangazaji, [[Hassan Diria]], aliteua Kamati ya Ushauri ya Kiufundi ya Televisheni ambayo iliongozwa na [[Ambrose Ottaru]]. Baadaye, tarehe 12 Aprili 1990, kamati ilikabidhi ripoti yake kwa Diria. Ripoti hii ilipelekea kuwekwa kwa mikakati ya kukamilisha uanzishwaji wa kituo cha televisheni ifikapo mwaka 2000.<ref name="Ends3">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=203 - 204|access-date=23 June 2022}}</ref> [[Faili:TVT-TBC.gif|thumb|left|250x250px|Nembo ya TVT mwaka 2000 hadi 2007|border]] Serikali ilianza kufanya majaribio ya huduma za matangazo ya Televisheni ya Taifa (TVT) tarehe 16 Oktoba 1999 na matangazo rasmi yakaanza terehe 15 Machi 2000. Tarehe 1 Julai, 2007 Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Televisheni ya Taifa (TVT) ziliunganishwa na kuwa Tanzania Broadcasting Corporation (TBC). === 2010 - Sasa === Mwaka 2010, kampuni ya Star Media (T) Ltd yenye chapa ya [[StarTimes]] iliingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kurusha matangazo ya televisheni kidijitali.<ref>{{Cite web|title=Star Africa Media in regional expansion drive|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/43923|work=The New Times {{!}} Rwanda|date=2009-07-24|accessdate=2022-06-30|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chinese media company contributes to Tanzania's digital migration - China.org.cn|url=http://www.china.org.cn/world/Off_the_Wire/2016-12/03/content_39842912.htm|work=www.china.org.cn|accessdate=2022-06-30}}</ref> StarTimes ni kampuni ya teknolojia ambayo ilianzishwa mwaka 1988, makao yake makuu yapo [[Beijing]], [[Jamhuri ya Watu wa China|China]].<ref>{{Cite web|title=China-based StarTimes makes big march in Africa - CCTV News - CCTV.com English|url=https://english.cctv.com/2016/12/01/ARTI2G7ww26IwPV4lIFFDof4161201.shtml|work=english.cctv.com|accessdate=2022-06-30}}</ref>Baada ya kuibuka kwa hoja mbalimbali za kutilia mashaka mkataba huo,<ref>{{Cite web|title=Magufuli Atilia Mashaka Mkataba wa TBC na Startimes|url=https://www.ippmedia.com/sw/habari/magufuli-atilia-mashaka-mkataba-wa-tbc-na-startimes|work=https://www.ippmedia.com|accessdate=2022-06-30}}</ref> wakati huo Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. [[Harrison Mwakyembe]] aliunda Kamati ya kuchunguza ubia wa Kampuni ya StarTimes na TBC<ref>{{Cite web|title=Dkt Mwakyembe aunda kamati kufuatilia utekelezaji mkataba wa TBC na Star Times|url=https://bongo5.com/dkt-mwakyembe-aunda-kamati-kufuatilia-utekelezaji-mkataba-wa-tbc-na-star-times-07-2017/|work=Bongo5.com|date=2017-07-15|accessdate=2022-06-30|language=en-US}}</ref>. Aprili 13, 2018 mkataba mpya ulisainia ili kunufaisha kampuni zote mbili.<ref>{{Cite web|title=Kampuni ya Star Media yaingia mkataba na TBC|url=http://www.muungwana.co.tz/2018/04/kampuni-ya-star-media-yaingia-mkataba.html|work=Muungwana BLOG|accessdate=2022-06-30}}</ref> Kupitia [[Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote]] (UCSAF), serikali ilianzisha mpango wa kupanua usikivu maeneo yote nchini ambapo usikivu uliongezeka kutoka wilaya 87 mwaka 2017 sawa na asilimia 54 ambapo hadi Machi 2019 wilaya 102 zilifikiwa na matangazo ya redio ambayo ni sawa na asilimia 63.<ref>{{Cite web|title=External Service ya RTD ilisaidia nchi za kusini mwa Afrika kupata uhuru|url=https://issamichuzi.blogspot.com/2019/11/external-service-ya-rtd-ilisaidia-nchi.html|work=MICHUZI BLOG|accessdate=2022-07-03|author=Michuzi Blog}}</ref> Julai 26, 2021, UCSAF kwa kushirikiana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) ilizindua kituo cha kurushia matangazo ya TBC Taifa na TBC FM mkoani [[Dodoma]],<ref>{{Cite web|title=TBC yazindua redio kwa mikoa kanda kati|url=https://dodomacc.go.tz/new/tbc-yazindua-redio-kwa-mikoa-kanda-kati|work=dodomacc.go.tz|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> kituo kama hicho kimejengwa pia katika [[mkoa]] wa [[Arusha]] na [[Morogoro]] kuboresha usikivu wa redio katika maeneo mbalimbali nchini.<ref>{{Cite web|title=UCSAF {{!}} Serikali yadhamiria kumaliza tatizo la usikivu wa radio ifikapo 2025|url=https://www.ucsaf.go.tz/news/serikali-yadhamiria-kumaliza-tatizo-la-usikivu-wa-radio-ifikapo-2025|work=www.ucsaf.go.tz|accessdate=2022-06-29}}</ref> Agosti 3, 2021, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) liliingia mkataba wa miaka 10 na [[Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania]] (TFF) wa haki za kurusha matangazo ya redio ya mechi za [[Ligi Kuu Tanzania Bara]] kuanzia msimu wa 2021/2022.<ref>{{Cite web|title=TBC, TFF zaingia mkataba wa haki ya matangazo|url=https://www.mwanaspoti.co.tz/ms/soka/tbc-tff-zaingia-mkataba-wa-haki-ya-matangazo-3497516|work=Mwanaspoti|date=2021-08-03|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> Mkataba huo wenye thamani ya shilingi Bilioni 3.54 unaipa TBC haki ya kurusha matangazo kwa sauti<ref>{{Cite web|title=TFF seals 3bn/- Premier League radio broadcasting rights|url=https://www.ippmedia.com/en/sport/tff-seals-3bn-premier-league-radio-broadcasting-rights%C2%A0%C2%A0|work=IPP Media|date=2021-08-04|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> lakini hauvifungi vyombo vingine vya habari kurusha matangazo ya ligi kuu isipokuwa kwa makubaliano rasmi kati yao na TBC na TFF.<ref>{{Cite web|title=TBC na TFF Waingia Mkataba Matangazo ya Redio – TFF|url=https://tff.or.tz/tbc-na-tff-waingia-mkataba-matangazo-ya-redio/|accessdate=2022-06-29|language=en-US}}</ref> Aprili 14, 2022, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, [[Kassim Majaliwa]] alizindua vituo vinne vya kuongeza usikivu wa redio za TBC Taifa na TBC FM vilivyopo [[Ruangwa]] ([[Lindi]]), [[Ludewa]] ([[Mkoa wa Njombe|Njombe]]), [[Mlimba]] ([[Morogoro]]) na [[Ngara]] ([[Kagera]]), tukio la uzinduzi limefanyika Ruangwa mkoani Lindi.<ref>{{Cite web|title=WMTH {{!}} Habari|url=https://www.mawasiliano.go.tz/news/majaliwa-azindua-vituo-vinne-vya-kurusha-matangazo-ya-redio-ya-tbc-taifa-na-tbc-fm|work=www.mawasiliano.go.tz|accessdate=2022-07-02}}</ref>Vituo hivyo vilijengwa kwa ushirikiano na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF). == Programu == TBC inarusha vipindi mbalimbali vinavyoakisi misimamo, mitazamo, maoni, mawazo, maadili, na ubunifu unaonyesha vipaji vya Kitanzania katika vipindi vya elimu na burudani, kutoa habari za aina mbalimbali, taarifa na uchambuzi kwa mtazamo wa Kitanzania na kuendeleza maslahi ya taifa na ya [[umma]].<ref>{{Cite web|title=Tanzanian Broadcasting Corporation|url=http://tanzania.mom-gmr.org/en/owners/companies/detail/company/company/show/tanzanian-broadcasting-corporation-1/|work=tanzania.mom-gmr.org|accessdate=2022-06-26|language=en}}</ref> == Vituo == TBC inaendesha matangazo ya redio na televisheni kwa umma. Matangazo ya televisheni yana chaneli tatu ambazo ni TBC1, TBC2 na chaneli mpya ya [[Tanzania Safari Channel|Tanzania Safari Chanel]] (Chaneli ya kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania)<ref>{{Cite web|title=Premier launches Tanzania Safari Channel {{!}} Embassy of Tanzania in Tel Aviv, Israel|url=https://il.tzembassy.go.tz/resources/view/premier-launches-tanzania-safari-channel|work=il.tzembassy.go.tz|accessdate=2022-06-26}}</ref>, hali ya kuwa matangazo ya [[redio]] yana chaneli tatu ambazo ni TBC Taifa, TBC FM na TBC International. TBC inapatikana pia kupitia [[satelaiti]] na mtandaoni. == Tazama pia == *[[Tanzania Safari Channel]] *[[Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.tbc.go.tz/ Tovuti rasmi ya TBC] [[Jamii:Televisheni za Tanzania]] [[Jamii:Dar es Salaam]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] 3jce2ta2i55e0w84jnpfeipnzzo73wv 1233860 1233856 2022-07-20T12:37:32Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{rediotv|jina=Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)|picha=TBC-Tanzania.jpg|maelezo_ya_picha=Nembo ya TBC|mji=[[Dar es salaam]]|nchi=Tanzania|eneo=Kote duniani|mwenyewe=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|tovuti=tbc.go.tz|chanzo=2000|programu=}} '''Shirika la Utangazaji Tanzania''' (zamani: '''Televisheni ya Taifa ya Tanzania''') pia huitwa kwa Kiingereza: Tanzania Broadcasting Corporation ambapo mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TBC,''' ni chombo cha habari kinachomilikiwa na [[Tanzania|Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]. Huwa inatangaza habari kwa lugha ya [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]]. Shirika hili lilianza tarehe [[10 Machi]] [[mwaka]] [[2000]]. Makao yake makuu yapo [[Kijitonyama]] jijini [[Dar es Salaam]]. Zamani ilikuwa ikipatikana kwa [[Tanzania]] tu, lakini kwa sasa imepanua huduma yake ya urushaji wa matangazo na inapatikani karibuni [[Afrika]] nzima. == Historia == === Kabla ya Uhuru === Ikilinganishwa na maeneo mengine yaliyokuwa chini ya utawala wa [[Uingereza]] barani [[Afrika]], kama vile [[Kenya]], [[Zambia]], na [[Nigeria]], utangazaji wa redio na televisheni ulichelewa kufika [[Tanganyika]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books/about/Mass_Communication_in_Africa.html?id=O5JiAAAAMAAJ&redir_esc=y|title=Mass Communication in Africa|last=Mytton|first=Graham|date=1983|publisher=E. Arnold|year=January 1, 1955|isbn=0713181400|pages=78|language=en}}</ref> Mwaka wa 1950, utawala wa Tanganyika ulimkabidhi W. H. Thorneycroft, mhandisi kutoka [[BBC|British Broadcasting Corporation]] (BBC) jukumu la kufanya uchunguzi juu ya uwezekano wa kuanzisha kituo cha redio kwa eneo hilo. Uchunguzi huo uliojulikana kama "''Thorneycroft Plan''". Juni 1950, Thorneycroft alipendekeza kuanzisha kituo cha majaribio ili kutoa uzoefu katika utayarishaji wa programu za ndani zinazolenga Waafrika. Serikali ya kikoloni iliweka dola 30,000 na kituo cha "Sauti ya Dar es Salaam" kikaanzishwa.<ref>{{Cite book|url=https://www.hup.harvard.edu/catalog.php?isbn=9780674494152|title=Broadcasting in the Third World|last=Katz|first=Elihu|last2=Wedell|first2=George|date=1978|publisher=Harvard University Press|year=01/25/1978|isbn=9780674494152|pages=247 - 250|language=en}}</ref> Matangazo ya redio yalianza rasmi tarehe 1 Julai 1951.<ref>{{Cite web|title=Advent of Radio & Broadcasting in Tanganyika: The African Archers|url=https://www.britishempire.co.uk/article/africanarchers.htm|work=www.britishempire.co.uk|accessdate=2022-06-27|author=Stephen Luscombe}}</ref> Wakati wa ziara yake mwishoni mwa mwaka wa 1951, Grenfell Williams aliona ilikuwa na wasikilizaji wachache na vifaa vya muda; na ukosefu wa Waafrika wenye elimu ilionyesha hitaji la msaada na mafunzo kutoka kwa BBC. BBC ilimtuma Mhandisi Mkuu, A. C. Rothney, ambaye alibadilishwa mnamo 1954 na A. B. Shone.<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=387|language=en}}</ref> Mara ya kwanza ilitoa programu ya saa moja tu ya Kiswahili kila wiki, ambayo ilirudiwa mara mbili zaidi baadaye katika wiki na kwa sababu vifaa vyake havikuwa vya kisasa, ilikuwa vigumu kusikika nje ya [[Dar es Salaam]].<ref>{{Cite book|url=https://www.amazon.com/Inside-Africa-John-Gunther/dp/B00005W6XZ|title=Inside Africa|last=Gunther|first=John|date=1955-1-1|publisher=Harper & Brothers|year=January 1, 1955|language=en|asin=B00005W6XZ}}</ref> [[Picha:Sauti ya Dar es Salaam.jpg|thumb|250px|Wasanii wakiwa studio za Sauti ya Dar es Salaam miaka ya 1950.]] Mnamo Februari 1952, transimita ya mawimbi ya kati ya Marconi 1¼ iliongezwa kwenye vifaa vinavyotumika, na baadaye, muda wa maongezi uliongezwa hadi saa moja kwa kila siku ambayo ilitangazwa jioni. <ref name="Ends">{{cite book|title=The role of the mass media in nation-building in Tanzania|author=Mytton|first=Graham|publisher=[Great Britain] : University of Manchester, 1976|year=1976|isbn=|pages=171|oclc=1065292903|access-date=29 June 2022}}</ref>{{rp|171}}Mwaka wa 1953, programu iliongezwa hadi saa tatu kila siku, saa mbili kwa Kiswahili na moja kwa Kiingereza. Matangazo ya redio ya asubuhi kwa ajili ya shule yalianzishwa kwa hatua ya majaribio. Katika kukabali changamoto hizo mpya, afisa kutoka Idara ya Elimu alihamishiwa "Sauti ya Dar es Salaam". Zaidi ya hayo, [[Mwafrika]] mmoja na [[Mzungu|wazungu]] wawili wafanyakazi wa shirika hilo la utangazaji walirejea kutoka kozi za mafunzo zilizotolewa na BBC mjini [[London]]. Tatizo zaidi lilikuwa hali ya kifedha: hadi mwisho wa 1953, jumla ya ruzuku Pauni 66,000 zilikuwa zimetolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Kikoloni na Ustawi kwa ajili ya matumizi ya mradi huo. Kuanzia Machi 1 hadi Aprili 30, 1954, matangazo ya kwanza ya vipindi vya kielimu yalianza kurushwa kusambaza elimu kwa shule za kati, shule za sekondari, na vituo vya mafunzo ya ualimu.<ref name="Ends2">{{cite book|url=https://www.routledge.com/Routledge-Revivals-Language-in-Tanzania-1980/Polome-Hill/p/book/9781138307582|title=Routledge Revivals: Language in Tanzania (1980)|author=Polomé|first=Edgar C.|last2=Hill|first2=C. P.|publisher=Routledge|year=May 31, 2018|isbn=9781138307582|pages=|oclc=|access-date=29 June 2022}}</ref> Jumla ya muda wa matangazo ya elimu ulikuwa saa tano kwa wiki, ambao ulitumiwa na programu ya matangazo ya shule (dakika 200), programu ya kufundisha Kiingereza "Sema Kiingereza" (dak. 60), na "Swahili by Radio" (dak. 40). Katika kipindi hicho, mapokeo tayari yalikuwa mazuri katika miji ya pwani, kama vile [[Tanga (mji)|Tanga]], [[Lindi (mji)|Lindi]], [[Mtwara (mji)|Mtwara]], na [[Mombasa]] nchini [[Kenya]], pamoja na [[Arusha (mji)|Arusha]], [[Kongwa]], [[Nachingwea]], na [[Mbeya (mji)|Mbeya]]. Mwezi Machi 1955, Sauti ya Dar es Salaam ilibadilishwa hadhi na kuwa idara kamili ya serikali iliyopewa jina la Tanganyika Broadcasting Services (TBS). Kwa pesa za ufadhili utangazaji ulipanuliwa kufikia maeneo mengi ya nchi na [[makao makuu]] mapya yalianzishwa baadaye Pugu Road, Dar es Salaam (Sasa inajulikana kama [[Barabara ya Julius K. Nyerere]]).<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=387|language=en}}</ref> TBS ilipatiwa ofisi chache, studio mbili, chumba cha uongozaji, maktaba ndogo ya rekodi, na kifaa cha kurekodi simu. Ilitumia transimita ya mawimbi mafupi ya Marconi kW 20, ambacho kilikuwa na nguvu zaidi katika [[Afrika ya Mashariki]] wakati huo, TBS ilisikika karibu eneo lote la nchi, pia ilisikika nchi mbali kama [[Japani]], [[Ufini]], na [[Nyuzilandi]]. <ref name="Ends42">{{cite book|title=Tanganyika Under United Kingdom Administration: Report by Her Majesty's Government in the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland to the General Assembly of the United Nations for the Year|author=Colonial (Great Britain. Colonial Office)|first=|publisher=Colonial Office|year=1957|isbn=|pages=43|oclc=|access-date=3 July 2022}}</ref> Matangazo ya TBS yalikuwa hewani kwa saa nane. Wakati wa mihula ya shule, vipindi vya elimu vilitangazwa kutoka saa mbili unusu hadi saa nne unusu asubuhi. [[Picha:TBC 1959.jpg|thumb|left|Ian Macleod alipotembelea Shirika la Utangazaji la Tanganyika, wakati wa ziara yake jijini Dar es Salaam, Desemba 1959.]] Mnamo Februari 1956, mwanachama wa Huduma za Jamii aliwasilisha kwenye Baraza la Kutunga Sheria mswada wa [[shirika]] kuchukua madaraka ya huduma ya utangazaji. Alisisitiza kuwa itakuwa huru na haitaonekana kama chombo au mdomo wa Serikali. Katika mjadala uliofuata mjumbe mmoja aliuliza kama inaweza kuhamishiwa [[Dodoma]] katika ya nchi na mwingine alisisitiza haja ya kudhibiti uhariri sahihi na tahadhari juu ya kuanzishwa kwa utangazaji wa kibiashara.<ref>{{Cite book|url=https://www.jstor.org/stable/722353|title=The BBC and the Development of Broadcasting in British Colonial Africa 1946-1956|last=Armour|first=Charles|date=|publisher=Oxford University Press on behalf of The Royal African Society|year=July, 1984|isbn=|pages=388|language=en}}</ref> Tarehe 1 Julai, 1956, TBS ilibadishwa na kuwa Tanganyika Broadcasting Corporation (TBC).<ref name="Ends22">{{cite book|title=Mass Media in Sub-Saharan Africa|url=https://archive.org/details/massmediainsubsa0000bour|author=Bourgault|first=Louise M.|publisher=Indiana University Press|year=June 22, 1995|isbn=978-0253209382|pages=[https://archive.org/details/massmediainsubsa0000bour/page/66 66] - 67|access-date=29 June 2022}}</ref> TBC ilikuwa shirika la umma kwa kufuata mtindo wa [[BBC]]. Hata hivyo uhuru wa kujiendesha na kujitawala ulibinywa kwa sababu ililazimika kufanya kazi na kufuatiliwa kwa karibu sana na serikali ya [[Kikoloni|Kikiloni]] na kufanya kazi kama msemaji wa Serikali ya Kikoloni.<ref>{{Cite web|title=Tanzanian Broadcasting Corporation|url=http://tanzania.mom-gmr.org/en/owners/companies/detail/company/company/show/tanzanian-broadcasting-corporation-1/|work=tanzania.mom-gmr.org|accessdate=2022-06-26|language=en}}</ref> Mnamo 1957, ruzuku ya Pauni 20,000 kutoka Mfuko wa Maendeleo na Ustawi wa Kikoloni na Ustawi (''Colonial Development and Welfare Fund'') ilipitishwa kwa ajili ya kupata transimita ya pili ya mawimbi mafupi (kw 10) na transimita nyingine ya mawimbi ya wastani (kw1¼). Kiasi cha Pauni 5,000 kinachohitajika kununua vifaa vipya kilitolewa na utawala. Jumla ya muda wa kurusha matangazo uliongezwa kutoka saa 27 hadi 37 kwa wiki. Takriban 70% ya vipindi vilitangazwa kwa Kiswahili. TBC ilitoa habari za ulimwengu kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC yenye makao yake jijini [[London]] ambayo ilikuwa imezinduliwa tarehe [[27 Juni]] [[1957]]. Habari za kila siku za ndani kwa lugha ya Kiingereza zilipatikana kutoka gazeti la [[Tanganyika Standard]]. [[Picha:Iain Macleod -TBC.jpg|thumb|Iain Macleod akiwa ameketi mbele ya kipaza sauti cha Shirika la Utangazaji la Tanganyika - Machi 1961.]] Mnamo Mei 1958, Thomas W. Chalmers, afisa wa BBC, aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa kwanza wa utangazaji. Chalmers, hapo awali alihusika kuendeleza Shirika la Utangazaji la Nigeria (NBC), akawa mtendaji mkuu wa bodi.<ref name="Ends4">{{cite book|title=Tanganyika Under United Kingdom Administration: Report by Her Majesty's Government in the United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland to the General Assembly of the United Nations for the Year|author=Colonial (Great Britain. Colonial Office)|first=|publisher=Colonial Office|year=1959|isbn=|pages=96|oclc=|access-date=1 July 2022}}</ref>Tangu mwanzo, mkurugenzi alijitahidi kuhakikisha uhuru wa kisiasa wa TBC kwa kujaribu kuvutia matangazo ya biashara. Ingawa matangazo ya biashara yalianza kukubaliwa mwaka wa 1955, kituo bado kiliendeshwa kwa ruzuku ya serikali. Awali, shirika lilikuwa makini kufikia uwiano wa maoni wakati mada zenye utata zikijadiliwa. Lakini sera hii ilikuja kuwa chini ya shinikizo la serikali ili mijadala ya umma iendelee kwenye redio masuala fulani yakawa na ukomo zaidi. Mwaka wa 1959, vifaa vya ziada, transimita ya mawimbi mafupi ya kW 10 na transimita ya mawimbi ya kati cha 1 ¼ kW, ziliongezwa. Kama matokeo ya uboreshaji huo, TBC iliweza kutangaza idhaa mbili kwa wakati mmoja - Idhaa cha Taifa kwa Kiswahili na idhaa ya pili kwa wasikilizaji wanaozungumza Kiingereza. Idhaa ya kwanza ilikuwa hewani asubuhi kutoka saa kumi na mbili na robo hadi saa mbili, mchana kutoka saa sita kamili hadi saa saba unusu, na jioni kutoka saa kumi unusu hadi saa nne na robo usiku. Idhaa ya pili, ambayo hasa ilitegemea kanda zilizorekodiwa na vyanzo vya nje kuhusu habari za Kitanzania, ilirusha matangazo yake kuanzia saa kumi na mbili kamili hadi saa mbili kamili asubuhi na kutoka saa moja jioni hadi saa nne na robo usiku. Zaidi ya hayo, kituo kilitangaza programu za kila siku kwa ajili ya wasikilizaji wa Kiasia kutoka saa kumi na mbili unusu mpaka saa moja jioni, matangazo hayo yalikuwa kwa lugha ya [[Hindustani]] na [[Gujerati]].<ref name="Ends32">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=82 - 83|access-date=1 July 2022}}</ref> Tarehe 1 Julai 1960, TBC ilianzisha huduma yake ya habari, na Tanganyika Standard haikusambaza tena matangazo kwa kituo hicho ingawa TBC iliendelea kununua habari kutoka gazeti hilo kwa misingi ya uwakala. Kwa ripoti za kimataifa, TBC iliendelea kutegemea vipindi vya BBC katika lugha ya Kiingereza na Kiswahili. Hadi kufikia uhuru, matangazo ya redio katika nchi ya Tanganyika yalikuwa tayari yana matokeo ya kushangaza. Kwanza, visambaza sauti vitatu vya mawimbi mafupi ziliwezesha matangazo kupatikana karibu nchi nzima, na visambaza sauti viwili vya mawimbi ya kati zilihudumia Dar es Salaam na maeneo yake ya jirani. Pili, watu 94 kati ya 123 walioajiriwa na kituo walikuwa Waafrika waliofunzwa vyema na wenye uzoefu wa uendeshaji wa mfumo wa utangazaji. === Baada ya Uhuru === Januari 1962, Mikidodi B. Mboe alimrithi Thomas Chalmers kama mkurugenzi wa utangazaji. Miongoni mwa matukio maarufu wakati wa Mboe ni kuanzishwa kwa Idhaa ya External Service na Idhaa ya tatu. Idhaa ya External Service iliyokuwa inarushwa na Radio Tanzania Dar es Salaam ilianzishwa mahususi kusaidia harakati za kupigania uhuru katika [[Rhodesia]] (sasa [[Zambia]] na [[Zimbabwe]]) na Nyasaland (sasa [[Malawi]]). Programu hii ilikuwa hewani kila siku kuanzia saa mbili kamili usiku hadi nne kamili usiku. Mwezi Machi 1964, matangazo ya Rhodesia na Nyasaland yalibadilishwa na programu ya ukombozi wa [[Afrika Kusini]] na Afrika Kusini Magharibi (sasa [[Namibia]]).<ref name="Ends322">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=112|access-date=1 July 2022}}</ref> Ili kuongeza ufikiaji, iliongezwa transimita ya 100 kW kutoka [[China]]. Viongozi wa wapigania uhuru katika nchi hizo waliishi na kuratibu harakati za ukombozi katika nchi zao kutokea Tanzania ambapo walirusha matangazo ya redio ya kuhamasisha wananchi wao kushiriki katika mapambano hayo kupitia idhaa hiyo ya External Service. Mnamo Januari 1968, harakati nane za ukombozi, ikiwa ni pamoja na FRELIMO na SWAPO, walikuwa wakichangia urushaji wa matangazo ya redio katika lugha za [[Kiafrikaans]], Kiingereza, [[Herero]], [[Ndebele]], Nyanja, [[Ovambo]], [[Kireno]], na [[Shona]].<ref name="Ends3222">{{cite book|title=Broadcasting in Tanzania: Case Study of a Broadcasting System.|author=MWAFFISI|first=M. S.|publisher=MA-Thesis, University of Washington|year=1985|pages=91|access-date=1 July 2022}}</ref> Baada ya nchi za Kusini mwa Afrika kupata uhuru, Idhaa ya External Service haikuendelea kurusha matangazo yake. Idhaa ya tatu pia ilianza shughuli zake mnamo 1962 na ililenga kuelimisha hadhira kwa kutangaza vipindi vya kielimu zaidi. Utangazaji wake ulikuwa hewani siku za wiki kutoka saa kumi na moja kamili hadi saa moja kamili jioni. {| class="wikitable" |+ Orodha ya wakurugenzi wa shirika la utangazaji tangu mwaka 1958 hadi 1996.<ref name="Ends3232">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=82 - 83|access-date=1 July 2022}}</ref> |- !Jina !!Mwaka |- |Thomas W. Chalmers|| 1958 - 1962 |- |Mikidodi B. Mboe || 1962 - 1965 |- |Yona Kazibure || 1965 - 1967 |- |Martin Kiama|| 1967 - 1972 |- |Paul Sozigwa|| 1972 - 1979 |- |David Wakati || 1979 - 1991 |- |Nkwabi Ng’wanakilala || 1991 - 1994 |- |Abdallah Ngororo || 1994 - 1996 |- |Abdul Ngarawa|| 1996 |} Mwaka 1965 Serikali ya kizalendo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipeleka Bungeni mswada wa kuvunjwa kwa Tanganyika Broadcasting Corporation (TBC) na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) ilianzishwa kama idara ya Wizara ya Habari, Utangazaji na Utalii. Baada ya matangazo ya redio kuenea kulikuwa na shinikizo la kuongeza matangazo ya redio katika baadhi ya lugha za [[makabila]], lakini Nyerere alikataa. Badala yake, RTD ilitumika kama njia ya kueneza Kiswahili kote nchini. Matangazo ya lugha ya Kiingereza yalifutwa mwaka 1970, Tanzania ikawa nchi pekee ya Kiafrika inayotumia lugha moja tu katika redio yake (Kiingereza bado kinatumika katika stesheni ya TBC International).<ref>{{Cite web|title=Radio in Tanzania|url=http://www.pateplumaradio.com/genbroad/tanzania.html|work=www.pateplumaradio.com|accessdate=2022-06-27}}</ref> Muda wa matangazo ya kila siku uliongezeka hadi Saa 6 ¼ mnamo Septemba 26, 1970. [[Picha:RTD-Tanzania.jpg|thumb|250px|Bango la Radio Tanzania Dar es Salaam.]] Serikali iliona redio kama njia yao bora ya kuunganisha vijiji na serikali na kuwahamasisha watu kujivunia nchi yao na kujaribu kuifanya kuwa bora zaidi. Uingizaji wa [[televisheni]] ulipigwa marufuku na sheria ya mwaka wa 1974, [[baraza la Mawaziri|baraza la mawaziri]] la serikali ya [[Julius Kambarage Nyerere]] lilipinga kuanzishwa kwa televisheni, likisisitiza kuwa televisheni hiyo ilikuwa ghali sana na kwamba utangazaji wa redio Tanzania bado haujakamilika. Hadi mwaka 1994, hapakuwa na matangazo yoyote ya televisheni yanayofanya kazi Tanzania Bara. Kituo pekee kilikuwa [[Televisheni ya Zanzibar]] (TVZ). TVZ ilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 1970 baada ya [[Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar]] kuingia mkataba na kampuni ya Uingereza kuanzisha kituo kisiwani humo. [[Picha:Watangazaji RTD.jpg|thumb|left|Waandishi na wanahabari wa Redio Tanzania Dar es Salaam walipokwenda kumuaga Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Ikulu Dar es Salaam alipotangaza kustaafu mwaka 1985.]] Mipango ya kuzindua kituo cha televisheni Tanzania bara ilifufuliwa mwaka wa 1985 wakati serikali ilipounda Kikosi Kazi cha Televisheni ambacho kilikuwa chini ya uenyekiti wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TPTC), F. C. Kasambala. Ripoti ya mwisho ya kikosi kazi iliyowasilishwa mnamo Oktoba 1989 ilisema mazingira yanaruhusu kuanzisha kituo cha televisheni na hivyo, ufungaji wa teknolojia hiyo unapaswa kuendelea haraka. Lakini kamati hiyo ilipoanza kuulizia gharama kutoka kwa taasisi za kimataifa ilionyesha ni ghali sana, kwa mfano, makadirio ya kwanza ya teknolojia ya upitishaji wa satelaiti yalifikia [[Dolar ya Marekani|dola za Marekani]] bilioni moja. Tarehe 13 Oktoba 1989, gazeti la Business Times lilichapisha makala iliyodai: “Kwa Dola za Marekani milioni 7 tu ... Tanzania inaweza kuwa na TV.“ Siku chache tu baada ya makala ya Business Times kuchapishwa, mnamo Novemba 6, 1989, wakati huo Waziri wa Habari na Utangazaji, [[Hassan Diria]], aliteua Kamati ya Ushauri ya Kiufundi ya Televisheni ambayo iliongozwa na [[Ambrose Ottaru]]. Baadaye, tarehe 12 Aprili 1990, kamati ilikabidhi ripoti yake kwa Diria. Ripoti hii ilipelekea kuwekwa kwa mikakati ya kukamilisha uanzishwaji wa kituo cha televisheni ifikapo mwaka 2000.<ref name="Ends3">{{cite book|title=The Media History of Tanzania|author=Sturmer|first=Martin|publisher=Ndanda Mission Press, 1998|year=1998|isbn=9789976635928|pages=203 - 204|access-date=23 June 2022}}</ref> [[Faili:TVT-TBC.gif|thumb|Nembo ya TVT mwaka 2000 hadi 2007]] Serikali ilianza kufanya majaribio ya huduma za matangazo ya Televisheni ya Taifa (TVT) tarehe 16 Oktoba 1999 na matangazo rasmi yakaanza terehe 15 Machi 2000. Tarehe 1 Julai, 2007 Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na Televisheni ya Taifa (TVT) ziliunganishwa na kuwa Tanzania Broadcasting Corporation (TBC). === 2010 - Sasa === Mwaka 2010, kampuni ya Star Media (T) Ltd yenye chapa ya [[StarTimes]] iliingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kurusha matangazo ya televisheni kidijitali.<ref>{{Cite web|title=Star Africa Media in regional expansion drive|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/43923|work=The New Times {{!}} Rwanda|date=2009-07-24|accessdate=2022-06-30|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chinese media company contributes to Tanzania's digital migration - China.org.cn|url=http://www.china.org.cn/world/Off_the_Wire/2016-12/03/content_39842912.htm|work=www.china.org.cn|accessdate=2022-06-30}}</ref> StarTimes ni kampuni ya teknolojia ambayo ilianzishwa mwaka 1988, makao yake makuu yapo [[Beijing]], [[Jamhuri ya Watu wa China|China]].<ref>{{Cite web|title=China-based StarTimes makes big march in Africa - CCTV News - CCTV.com English|url=https://english.cctv.com/2016/12/01/ARTI2G7ww26IwPV4lIFFDof4161201.shtml|work=english.cctv.com|accessdate=2022-06-30}}</ref>Baada ya kuibuka kwa hoja mbalimbali za kutilia mashaka mkataba huo,<ref>{{Cite web|title=Magufuli Atilia Mashaka Mkataba wa TBC na Startimes|url=https://www.ippmedia.com/sw/habari/magufuli-atilia-mashaka-mkataba-wa-tbc-na-startimes|work=https://www.ippmedia.com|accessdate=2022-06-30}}</ref> wakati huo Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. [[Harrison Mwakyembe]] aliunda Kamati ya kuchunguza ubia wa Kampuni ya StarTimes na TBC<ref>{{Cite web|title=Dkt Mwakyembe aunda kamati kufuatilia utekelezaji mkataba wa TBC na Star Times|url=https://bongo5.com/dkt-mwakyembe-aunda-kamati-kufuatilia-utekelezaji-mkataba-wa-tbc-na-star-times-07-2017/|work=Bongo5.com|date=2017-07-15|accessdate=2022-06-30|language=en-US}}</ref>. Aprili 13, 2018 mkataba mpya ulisainia ili kunufaisha kampuni zote mbili.<ref>{{Cite web|title=Kampuni ya Star Media yaingia mkataba na TBC|url=http://www.muungwana.co.tz/2018/04/kampuni-ya-star-media-yaingia-mkataba.html|work=Muungwana BLOG|accessdate=2022-06-30}}</ref> Kupitia [[Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote]] (UCSAF), serikali ilianzisha mpango wa kupanua usikivu maeneo yote nchini ambapo usikivu uliongezeka kutoka wilaya 87 mwaka 2017 sawa na asilimia 54 ambapo hadi Machi 2019 wilaya 102 zilifikiwa na matangazo ya redio ambayo ni sawa na asilimia 63.<ref>{{Cite web|title=External Service ya RTD ilisaidia nchi za kusini mwa Afrika kupata uhuru|url=https://issamichuzi.blogspot.com/2019/11/external-service-ya-rtd-ilisaidia-nchi.html|work=MICHUZI BLOG|accessdate=2022-07-03|author=Michuzi Blog}}</ref> Julai 26, 2021, UCSAF kwa kushirikiana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) ilizindua kituo cha kurushia matangazo ya TBC Taifa na TBC FM mkoani [[Dodoma]],<ref>{{Cite web|title=TBC yazindua redio kwa mikoa kanda kati|url=https://dodomacc.go.tz/new/tbc-yazindua-redio-kwa-mikoa-kanda-kati|work=dodomacc.go.tz|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> kituo kama hicho kimejengwa pia katika [[mkoa]] wa [[Arusha]] na [[Morogoro]] kuboresha usikivu wa redio katika maeneo mbalimbali nchini.<ref>{{Cite web|title=UCSAF {{!}} Serikali yadhamiria kumaliza tatizo la usikivu wa radio ifikapo 2025|url=https://www.ucsaf.go.tz/news/serikali-yadhamiria-kumaliza-tatizo-la-usikivu-wa-radio-ifikapo-2025|work=www.ucsaf.go.tz|accessdate=2022-06-29}}</ref> Agosti 3, 2021, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) liliingia mkataba wa miaka 10 na [[Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania]] (TFF) wa haki za kurusha matangazo ya redio ya mechi za [[Ligi Kuu Tanzania Bara]] kuanzia msimu wa 2021/2022.<ref>{{Cite web|title=TBC, TFF zaingia mkataba wa haki ya matangazo|url=https://www.mwanaspoti.co.tz/ms/soka/tbc-tff-zaingia-mkataba-wa-haki-ya-matangazo-3497516|work=Mwanaspoti|date=2021-08-03|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> Mkataba huo wenye thamani ya shilingi Bilioni 3.54 unaipa TBC haki ya kurusha matangazo kwa sauti<ref>{{Cite web|title=TFF seals 3bn/- Premier League radio broadcasting rights|url=https://www.ippmedia.com/en/sport/tff-seals-3bn-premier-league-radio-broadcasting-rights%C2%A0%C2%A0|work=IPP Media|date=2021-08-04|accessdate=2022-06-29|language=en}}</ref> lakini hauvifungi vyombo vingine vya habari kurusha matangazo ya ligi kuu isipokuwa kwa makubaliano rasmi kati yao na TBC na TFF.<ref>{{Cite web|title=TBC na TFF Waingia Mkataba Matangazo ya Redio – TFF|url=https://tff.or.tz/tbc-na-tff-waingia-mkataba-matangazo-ya-redio/|accessdate=2022-06-29|language=en-US}}</ref> Aprili 14, 2022, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, [[Kassim Majaliwa]] alizindua vituo vinne vya kuongeza usikivu wa redio za TBC Taifa na TBC FM vilivyopo [[Ruangwa]] ([[Lindi]]), [[Ludewa]] ([[Mkoa wa Njombe|Njombe]]), [[Mlimba]] ([[Morogoro]]) na [[Ngara]] ([[Kagera]]), tukio la uzinduzi limefanyika Ruangwa mkoani Lindi.<ref>{{Cite web|title=WMTH {{!}} Habari|url=https://www.mawasiliano.go.tz/news/majaliwa-azindua-vituo-vinne-vya-kurusha-matangazo-ya-redio-ya-tbc-taifa-na-tbc-fm|work=www.mawasiliano.go.tz|accessdate=2022-07-02}}</ref>Vituo hivyo vilijengwa kwa ushirikiano na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF). == Programu == TBC inarusha vipindi mbalimbali vinavyoakisi misimamo, mitazamo, maoni, mawazo, maadili, na ubunifu unaonyesha vipaji vya Kitanzania katika vipindi vya elimu na burudani, kutoa habari za aina mbalimbali, taarifa na uchambuzi kwa mtazamo wa Kitanzania na kuendeleza maslahi ya taifa na ya [[umma]].<ref>{{Cite web|title=Tanzanian Broadcasting Corporation|url=http://tanzania.mom-gmr.org/en/owners/companies/detail/company/company/show/tanzanian-broadcasting-corporation-1/|work=tanzania.mom-gmr.org|accessdate=2022-06-26|language=en}}</ref> == Vituo == TBC inaendesha matangazo ya redio na televisheni kwa umma. Matangazo ya televisheni yana chaneli tatu ambazo ni TBC1, TBC2 na chaneli mpya ya [[Tanzania Safari Channel|Tanzania Safari Chanel]] (Chaneli ya kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania)<ref>{{Cite web|title=Premier launches Tanzania Safari Channel {{!}} Embassy of Tanzania in Tel Aviv, Israel|url=https://il.tzembassy.go.tz/resources/view/premier-launches-tanzania-safari-channel|work=il.tzembassy.go.tz|accessdate=2022-06-26}}</ref>, hali ya kuwa matangazo ya [[redio]] yana chaneli tatu ambazo ni TBC Taifa, TBC FM na TBC International. TBC inapatikana pia kupitia [[satelaiti]] na mtandaoni. == Tazama pia == *[[Tanzania Safari Channel]] *[[Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.tbc.go.tz/ Tovuti rasmi ya TBC] [[Jamii:Televisheni za Tanzania]] [[Jamii:Dar es Salaam]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] 853t8ic9glq38xdh093mnwbs2ohddxv Wilaya za Uturuki 0 30147 1233897 1154931 2022-07-20T13:30:52Z Riccardo Riccioni 452 /* Tazama pia */ wikitext text/x-wiki [[Picha:Map of the administrative divisions of Turkey.svg|thumb|left|275px|Wilaya za Uturuki]] [[Mikoa ya Uturuki|Mikoa 81]] ya [[Uturuki]] imegawanyika katika wilaya takriban 957 (''ilçeler''; sing. ''ilçe''). == [[Kanda ya Aegean|Kanda ya Aegean (Ege Bölgesi)]] == === [[Mkoa wa İzmir]] === [[Picha:İzmir districts.png|thumb|right|350px|Wilaya za İzmir]] * Jumla: 3.795.978 ** '''[[İzmir]]''': 3.330.878 ** [[Karabağlar]]: 443.159 (wilaya kuu) ** [[Konak (District), İzmir|Konak]]: 411.112 (wilaya kuu) ** [[Buca]]: 407.526 (wilaya kuu) ** [[Bornova]]: 399.023 (wilaya kuu) ** [[Bayraklı]]: 303.816 (wilaya kuu) ** [[Karşıyaka]]: 296.031 (wilaya kuu) ** [[Çiğli]]: 153.508 (wilaya kuu) ** [[Ödemiş]]: 128.797 ** [[Menemen]]: 125.478 (wilaya kuu) ** [[Torbalı]]: 121.963 (wilaya kuu) ** [[Gaziemir]]: 112.149 (wilaya kuu) ** [[Bergama]]: 100.671 ** [[Kemalpaşa]]: 87.147 (wilaya kuu) ** [[Tire, Turkey|Tire]]: 77.015 ** [[Balçova]]: 76.219 (wilaya kuu) ** [[Menderes, İzmir|Menderes]]: 68.029 (wilaya kuu) ** [[Aliağa]]: 62.258 (wilaya kuu) ** [[Narlıdere]]: 59.161 (wilaya kuu) ** [[Urla]]: 49.774 (wilaya kuu) ** [[Kiraz]]: 44.830 ** [[Bayındır]]: 41.965 (wilaya kuu) ** [[Selçuk]]: 34.459 (wilaya kuu) ** [[Çeşme]]: 31.968 ** [[Dikili]]: 30.863 ** [[Foça]]: 29.018 (wilaya kuu) ** [[Kınık]]: 28.337 ** [[Seferihisar]]: 26.945 (wilaya kuu) ** [[Güzelbahçe]]: 22.138 (wilaya kuu) ** [[Beydağ]]: 13.395 ** [[Karaburun]]: 9.224 === [[Manisa Province]] === [[Picha:Manisa districts.png|thumb|right|250px|Districts of Manisa]] * Jumla: 1.316.750 ** '''[[Manisa]]''': 329.675 (wilaya kuu) ** [[Akhisar]]: 158.455 ** [[Salihli]]: 156.689 ** [[Turgutlu]]: 139.897 ** [[Soma, Manisa|Soma]]: 100.240 ** [[Alaşehir]]: 98.543 ** [[Saruhanlı]]: 58.149 ** [[Demirci]]: 50.539 ** [[Kula, Manisa|Kula]]: 48.009 ** [[Kırkağaç]]: 41.964 ** [[Sarıgöl]]: 35.983 ** [[Gördes]]: 32.500 ** [[Selendi]]: 23.896 ** [[Ahmetli]]: 16.166 ** [[Gölmarmara]]: 16.014 ** [[Köprübaşı, Manisa|Köprübaşı]]: 10.031 === [[Aydın Province]] === [[Picha:Aydın districts.png|thumb|right|250px|Districts of Aydın]] * Jumla: 965.500 ** '''[[Aydın]]''': 235.376 (wilaya kuu) ** [[Nazilli]]: 143.627 ** [[Söke]]: 115.490 ** [[Kuşadası]]: 78.793 ** [[Çine]]: 53.694 ** [[Didim]]: 50.941 ** [[Germencik]]: 43.524 ** [[İncirliova]]: 42.293 ** [[Bozdoğan]]: 36.445 ** [[Kuyucak]]: 29.891 ** [[Köşk]]: 27.168 ** [[Koçarlı]]: 27.071 ** [[Karacasu]]: 21.089 ** [[Sultanhisar]]: 21.077 ** [[Yenipazar]]: 13.615 ** [[Buharkent]]: 12.705 ** [[Karpuzlu]]: 12.701 === [[Denizli Province]] === [[Picha:Denizli districts.png|thumb|right|250px|Districts of Denizli]] * Jumla: 917.836 ** '''[[Denizli]]''': 508.870 (wilaya kuu) ** [[Çivril]]: 61.601 ** [[Acıpayam]]: 58.560 ** [[Tavas]]: 51.891 ** [[Sarayköy]]: 30.310 ** [[Honaz]]: 29.146 ** [[Buldan]]: 27.194 ** [[Çal]]: 23.339 ** [[Kale, Denizli|Kale]]: 22.006 ** [[Çameli]]: 20.424 ** [[Serinhisar]]: 15.464 ** [[Güney]]: 11.889 ** [[Bozkurt (district), Denizli|Bozkurt]]: 11.747 ** [[Çardak]]: 9.637 ** [[Bekilli]]: 8.322 ** [[Babadağ, Denizli|Babadağ]]: 7.844 ** [[Beyağaç]]: 7.304 ** [[Baklan]]: 6.679 ** [[Akköy]]: 5.609 === [[Muğla Province]] === [[Picha:Muğla districts.png|thumb|right|250px|Districts of Muğla]] * Jumla: 791.424 ** [[Fethiye]]: 181.415 ** [[Milas]]: 123.501 ** [[Bodrum]]: 114.498 ** '''[[Muğla]]''': 92.328 (wilaya kuu) ** [[Marmaris]]: 76.820 ** [[Yatağan District|Yatağan]]: 46.103 ** [[Ortaca]]: 40.649 ** [[Dalaman]]: 32.367 ** [[Köyceğiz]]: 32.347 ** [[Ula, Muğla|Ula]]: 24.219 ** [[Datça]]: 16.008 ** [[Kavaklıdere, Muğla|Kavaklıdere]]: 11.169 === [[Afyonkarahisar Province]] === [[Picha:Afyonkarahisar districts.png|thumb|right|250px|Districts of Afyonkarahisar]] * Jumla: 697.365 ** '''[[Afyonkarahisar]]''': 238.408 (wilaya kuu) ** [[Sandıklı]]: 61.422 ** [[Dinar (District), Afyonkarahisar|Dinar]]: 49.575 ** [[Bolvadin]]: 45.751 ** [[Emirdağ]]: 43.706 ** [[Sinanpaşa]]: 43.236 ** [[Şuhut]]: 40.072 ** [[Çay]]: 34.943 ** [[İhsaniye]]: 30.055 ** [[İscehisar]]: 23.804 ** [[Sultandağı]]: 19.007 ** [[Çobanlar]]: 13.389 ** [[Hocalar]]: 11.409 ** [[Dazkırı]]: 11.113 ** [[Başmakçı]]: 11.033 ** [[Bayat, Afyonkarahisar|Bayat]]: 8.599 ** [[Evciler]]: 8.483 ** [[Kızılören]]: 3.360 === [[Kütahya Province]] === [[Picha:Kutahya districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kütahya]] * Jumla: 565.884 ** '''[[Kütahya]]''': 226.931 (wilaya kuu) ** [[Tavşanlı]]: 99.592 ** [[Simav]]: 73.182 ** [[Gediz]]: 52.834 ** [[Emet]]: 23.892 ** [[Altıntaş]]: 19.491 ** [[Domaniç]]: 17.429 ** [[Hisarcık]]: 14.840 ** [[Aslanapa]]: 11.648 ** [[Çavdarhisar]]: 8.661 ** [[Şaphane]]: 7.554 ** [[Pazarlar]]: 6.529 ** [[Dumlupınar]]: 3.301 === [[Uşak Province]] === [[Picha:Uşak districts.png|thumb|right|250px|Districts of Uşak]] * Jumla: 334.111 ** '''[[Uşak]]''': 209.912 (wilaya kuu) ** [[Banaz]]: 38.393 ** [[Eşme]]: 36.370 ** [[Sivaslı]]: 21.658 ** [[Ulubey (district), Uşak|Ulubey]]: 15.276 ** [[Karahallı]]: 12.502 == [[Black Sea Region|Black Sea Region (Karadeniz Bölgesi)]] == === [[Samsun Province]] === [[Picha:Samsun districts.png|thumb|right|250px|Districts of Samsun]] * Jumla: 1.233.677 ** '''[[Samsun]]''': 546.940 ** [[İlkadım]]: 303.202 (wilaya kuu) ** [[Bafra]]: 144.483 ** [[Çarşamba]]: 138.290 ** [[Atakum]]: 107.953 (wilaya kuu) ** [[Vezirköprü]]: 106.580 ** [[Canik]]: 86.290 (wilaya kuu) ** [[Terme]]: 77.517 ** [[Tekkeköy]]: 49.495 ** [[strict|Havza]]: 47.398 ** [[Alaçam]]: 31.066 ** [[Ayvacık]]: 25.867 ** [[Ondokuzmayıs|Ondokuz Mayıs]]: 24.808 ** [[Kavak]]: 22.303 ** [[Salıpazarı]]: 21.350 ** [[Asarcık]]: 18.942 ** [[Ladik]]: 18.438 ** [[Yakakent]]: 9.695 === [[Trabzon Province]] === [[Picha:Trabzon districts.png|thumb|right|250px|Districts of Trabzon]] * Jumla: 748.982 ** '''[[Trabzon]]''': 283.509 (wilaya kuu) ** [[Akçaabat]]: 108.151 ** [[Araklı]]: 50.539 ** [[Of (District), Trabzon|Of]]: 42.324 ** [[Yomra]]: 31.338 ** [[Arsin, Turkey|Arsin]]: 29.704 ** [[Sürmene]]: 29.191 ** [[Maçka]]: 26.984 ** [[Vakfıkebir]]: 26.670 ** [[Beşikdüzü]]: 21.517 ** [[Tonya]]: 16.766 ** [[Düzköy]]: 16.335 ** [[Çarşıbaşı]]: 16.301 ** [[Çaykara]]: 16.268 ** [[Şalpazarı]]: 12.745 ** [[Hayrat]]: 10.944 ** [[Köprübaşı (District), Trabzon|Köprübaşı]]: 5.899 ** [[Dernekpazarı]]: 3.797 === [[Ordu Province]] === [[Picha:Ordu districts.png|thumb|right|250px|Districts of Ordu]] * Jumla: 719.278 ** '''[[Ordu]]''': 168.765 (wilaya kuu) ** [[Ünye]]: 113.122 ** [[Fatsa]]: 97.124 ** [[Gölköy]]: 36.576 ** [[Perşembe]]: 34.052 ** [[Korgan]]: 33.798 ** [[Kumru, Ordu|Kumru]]: 32.914 ** [[Akkuş]]: 32.178 ** [[Aybastı]]: 25.824 ** [[Ulubey, Ordu|Ulubey]]: 20.325 ** [[İkizce]]: 19.114 ** [[Gürgentepe]]: 18.147 ** [[Çatalpınar]]: 16.403 ** [[Çaybaşı]]: 15.089 ** [[Kabataş, Ordu|Kabataş]]: 13.659 ** [[Mesudiye, Ordu|Mesudiye]]: 13.501 ** [[Çamaş]]: 11.654 ** [[Kabadüz]]: 8.562 ** [[Gülyalı]]: 8.471 === [[Zonguldak Province]] === [[Picha:Zonguldak districts.png|thumb|right|250px|Districts of Zonguldak]] * Jumla: 619.151 ** '''[[Zonguldak]]''': 213.992 (wilaya kuu) ** [[Ereğli]]: 174.283 ** [[Çaycuma]]: 97.528 ** [[Devrek]]: 61.897 ** [[Alaplı]]: 47.339 ** [[Gökçebey]]: 24.112 === [[Tokat Province]] === [[Picha:Tokat districts.png|thumb|right|250px|Districts of Tokat]] * Jumla: 617.158 ** '''[[Tokat]]''': 176.564 (wilaya kuu) ** [[Erbaa]]: 96.059 ** [[Turhal]]: 87.826 ** [[Zile]]: 67.224 ** [[Niksar]]: 64.076 ** [[Reşadiye]]: 42.952 ** [[Almus]]: 29.136 ** [[Pazar, Tokat|Pazar]]: 15.261 ** [[Yeşilyurt, Tokat|Yeşilyurt]]: 11.817 ** [[Artova]]: 10.770 ** [[Sulusaray]]: 9.863 ** [[Başçiftlik]]: 5.610 === [[Çorum Province]] === [[Picha:Çorum districts.png|thumb|right|250px|Districts of Çorum]] * Jumla: 545.444 ** '''[[Çorum]]''': 248.109 (wilaya kuu) ** [[Sungurlu]]: 62.939 ** [[Osmancık]]: 45.052 ** [[İskilip]]: 40.916 ** [[Alaca]]: 39.738 ** [[Bayat, Çorum|Bayat]]: 25.485 ** [[Mecitözü]]: 20.199 ** [[Kargı]]: 16.583 ** [[Ortaköy, Çorum|Ortaköy]]: 10.725 ** [[Uğurludağ]]: 8.343 ** [[Dodurga]]: 7.909 ** [[Oğuzlar]]: 7.733 ** [[Laçin]]: 6.371 ** [[Boğazkale]]: 5.342 === [[Giresun Province]] === [[Picha:Giresun districts.png|thumb|right|250px|Districts of Giresun]] * Jumla: 421.766 ** '''[[Giresun]]''': 116.310 (wilaya kuu) ** [[Bulancak]]: 59.857 ** [[Espiye]]: 31.262 ** [[Görele]]: 30.232 ** [[Tirebolu]]: 29.439 ** [[Şebinkarahisar]]: 22.335 ** [[Dereli]]: 22.124 ** [[Keşap]]: 20.847 ** [[Yağlıdere]]: 19.281 ** [[Piraziz]]: 14.834 ** [[Eynesil]]: 14.739 ** [[Alucra]]: 9.032 ** [[Güce]]: 8.839 ** [[Çamoluk]]: 7.822 ** [[Çanakçı]]: 7.763 ** [[Doğankent]]: 7.050 === [[Kastamonu Province]] === [[Picha:Kastamonu districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kastamonu]] * Jumla: 360.424 ** '''[[Kastamonu]]''': 115.871 (wilaya kuu) ** [[Taşköprü]]: 40.939 ** [[Tosya]]: 40.930 ** [[İnebolu]]: 24.144 ** [[Araç]]: 20.598 ** [[Cide]]: 20.589 ** [[Devrekani]]: 13.786 ** [[Daday]]: 10.240 ** [[Bozkurt, Kastamonu|Bozkurt]]: 9.082 ** [[Doğanyurt]]: 8.613 ** [[Azdavay]]: 7.787 ** [[Küre, Kastamonu|Küre]]: 7.517 ** [[Çatalzeytin]]: 7.379 ** [[İhsangazi]]: 6.181 ** [[Şenpazar]]: 5.571 ** [[Pınarbaşı (district), Kastamonu|Pınarbaşı]]: 5.263 ** [[Seydiler]]: 4.365 ** [[Hanönü]]: 4.342 ** [[Abana, Kastamonu|Abana]]: 3.900 ** [[Ağlı]]: 3.327 === [[Düzce Province]] === [[Picha:Düzce districts.png|thumb|right|250px|Districts of Düzce]] * Jumla: 328.611 ** '''[[Düzce]]''': 186.567 (wilaya kuu) ** [[Akçakoca]]: 38.451 ** [[Kaynaşlı]]: 20.713 ** [[Gölyaka]]: 20.230 ** [[Yığılca]]: 18.478 ** [[Çilimli]]: 16.378 ** [[Gümüşova]]: 14.884 ** [[Cumayeri]]: 12.910 === [[Amasya Province]] === [[Picha:Amasya districts.png|thumb|right|250px|Districts of Amasya]] * Jumla: 323.675 ** '''[[Amasya]]''': 128.703 (wilaya kuu) ** [[Merzifon]]: 69.035 ** [[Suluova]]: 47.955 ** [[Taşova]]: 34.427 ** [[Gümüşhacıköy]]: 25.823 ** [[Göynücek]]: 13.062 ** [[Hamamözü]]: 4.670 === [[Rize Province]] === [[Picha:Rize districts.png|thumb|right|250px|Districts of Rize]] * Jumla: 319.410 ** '''[[Rize]]''': 132.123 (wilaya kuu) ** [[Çayeli]]: 42.282 ** [[Ardeşen]]: 39.001 ** [[Pazar]]: 30.203 ** [[Fındıklı]]: 15.801 ** [[Güneysu]]: 13.585 ** [[Kalkandere]]: 13.086 ** [[İyidere]]: 8.944 ** [[Derepazarı]]: 8.660 ** [[Çamlıhemşin]]: 6.747 ** [[İkizdere]]: 6.504 ** [[Hemşin]]: 2.474 === [[Bolu Province]] === [[Picha:Bolu districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bolu]] * Jumla: 268.882 ** '''[[Bolu]]''': 156.100 (wilaya kuu) ** [[Gerede]]: 34.077 ** [[Mudurnu]]: 21.000 ** [[Göynük]]: 16.425 ** [[Mengen, Turkey|Mengen]]: 15.315 ** [[Yeniçağa]]: 8.162 ** [[Dörtdivan]]: 7.100 ** [[Seben]]: 6.663 ** [[Kıbrıscık]]: 4.040 === [[Karabük Province]] === [[Picha:Karabük districts.png|thumb|right|250px|Districts of Karabük]] * Jumla: 216.248 ** '''[[Karabük]]''': 116.671 (wilaya kuu) ** [[Safranbolu]]: 48.814 ** [[Yenice]]: 23.744 ** [[Eskipazar]]: 13.011 ** [[Eflani]]: 10.187 ** [[Ovacık]]: 3.821 === [[Sinop Province]] === [[Picha:Sinop districts.png|thumb|right|250px|Districts of Sinop]] * Jumla: 200.791 ** '''[[Sinop, Turkey|Sinop]]''': 53.584 (wilaya kuu) ** [[Boyabat]]: 42.978 ** [[Ayancık]]: 22.845 ** [[Durağan]]: 22.508 ** [[Gerze]]: 20.187 ** [[Türkeli]]: 14.686 ** [[Erfelek]]: 12.027 ** [[Dikmen]]: 6.811 ** [[Saraydüzü]]: 5.165 === [[Bartın Province]] === [[Picha:Bartın districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bartın]] * Jumla: 185.368 ** '''[[Bartın]]''': 137.612 (wilaya kuu) ** [[Ulus, Bartın|Ulus]]: 24.458 ** [[Amasra]]: 15.641 ** [[Kurucaşile]]: 7.657 === [[Artvin Province]] === [[Picha:Artvin districts.png|thumb|right|250px|Districts of Artvin]] * Jumla: 166.584 ** '''[[Artvin]]''': 32.272 (wilaya kuu) ** [[Hopa]]: 31.728 ** [[Borçka]]: 24.768 ** [[Yusufeli]]: 22.220 ** [[Arhavi]]: 19.189 ** [[Şavşat]]: 18.240 ** [[Ardanuç]]: 11.844 ** [[Murgul]]: 6.323 === [[Gümüşhane Province]] === [[Picha:Gümüşhane districts.png|thumb|right|250px|Districts of Gümüşhane]] * Jumla: 131.367 ** [[Kelkit]]: 41.523 ** '''[[Gümüşhane]]''': 37.856 (wilaya kuu) ** [[Şiran]]: 18.237 ** [[Torul]]: 13.829 ** [[Kürtün]]: 12.702 ** [[Köse]]: 7.220 === [[Bayburt Province]] === [[Picha:Bayburt districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bayburt]] * Jumla: 75.675 ** '''[[Bayburt]]''': 59.611 (wilaya kuu) ** [[Demirözü]]: 9.030 ** [[Aydıntepe]]: 7.034 == [[Central Anatolia Region|Central Anatolia Region (İç Anadolu Bölgesi)]] == Population: 11.459.292 === [[Ankara Province]] === [[Picha:Ankara districts.png|thumb|right|250px|Districts of Ankara]] * Jumla: 4.548.939 ** '''[[Ankara]]''': 4.233.618 ** [[Çankaya, Ankara|Çankaya]]: 785.330 (wilaya kuu) ** [[Keçiören]]: 779.905 (wilaya kuu) ** [[Yenimahalle, Ankara|Yenimahalle]]: 609.887 (wilaya kuu) ** [[Mamak, Ankara|Mamak]]: 520.446 (wilaya kuu) ** [[Sincan, Ankara|Sincan]]: 434.064 (wilaya kuu) ** [[Altındağ, Ankara|Altındağ]]: 367.812 (wilaya kuu) ** [[Etimesgut]]: 313.770 (wilaya kuu) ** [[Polatlı]]: 110.990 ** [[Pursaklar]]: 91.742 (wilaya kuu) ** [[Gölbaşı, Ankara|Gölbaşı]]: 85.499 (wilaya kuu) ** [[Çubuk, Ankara|Çubuk]]: 80.123 (wilaya kuu) ** [[Beypazarı, Ankara|Beypazarı]]: 46.768 ** [[Elmadağ, Ankara|Elmadağ]]: 42.511 (wilaya kuu) ** [[Haymana, Ankara|Haymana]]: 40.537 ** [[Kazan, Ankara|Kazan]]: 38.731 (wilaya kuu) ** [[Şereflikoçhisar]]: 35.353 ** [[Nallıhan]]: 31.323 ** [[Bala, Ankara|Bala]]: 29.239 (wilaya kuu) ** [[Kızılcahamam]]: 25.900 ** [[Akyurt, Ankara|Akyurt]]: 24.986 (wilaya kuu) ** [[Kalecik, Ankara|Kalecik]]: 16.071 (wilaya kuu) ** [[Ayaş, Ankara|Ayaş]]: 13.502 (wilaya kuu) ** [[Güdül]]: 10.075 ** [[Çamlıdere, Ankara|Çamlıdere]]: 9.862 ** [[Evren, Ankara|Evren]]: 4.513 === [[Konya Province]] === [[Picha:Konya districts.png|thumb|right|350px|Districts of Konya]] * Jumla: 1.969.868 ** '''[[Konya]]''': 1.030.751 ** [[Selçuklu]]: 472.436 (wilaya kuu) ** [[Meram]]: 304.570 (wilaya kuu) ** [[Karatay, Konya|Karatay]]: 253.745 (wilaya kuu) ** [[Ereğli, Konya|Ereğli]]: 135.161 ** [[Akşehir]]: 96.180 ** [[Beyşehir]]: 70.317 ** [[Çumra]]: 64.786 ** [[Seydişehir]]: 64.143 ** [[Cihanbeyli]]: 64.070 ** [[Ilgın]]: 61.840 ** [[Karapınar]]: 48.411 ** [[Kulu, Konya|Kulu]]: 47.833 ** [[Kadınhanı]]: 37.275 ** [[Bozkır]]: 31.601 ** [[Sarayönü]]: 28.719 ** [[Yunak]]: 28.629 ** [[Doğanhisar]]: 22.095 ** [[Hüyük, Konya|Hüyük]]: 20.700 ** [[Altınekin]]: 15.698 ** [[Hadim]]: 15.505 ** [[Çeltik]]: 11.549 ** [[Güneysınır]]: 10.788 ** [[Derebucak]]: 10.470 ** [[Emirgazi]]: 10.246 ** [[Taşkent]]: 8.297 ** [[Tuzlukçu]]: 8.185 ** [[Akören]]: 7.519 ** [[Ahırlı]]: 5.876 ** [[Derbent, Konya|Derbent]]: 5.796 ** [[Halkapınar]]: 5.559 ** [[Yeniceoba]]: 7.855 ** [[Yalıhüyük]]: 1.869 === [[Kayseri Province]] === [[Picha:Kayseri districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kayseri]] * Jumla: 1.184.386 ** '''[[Kayseri]]''': 915.688 ** [[Melikgazi]]: 434.980 (wilaya kuu) ** [[Kocasinan]]: 365.153 (wilaya kuu) ** [[Talas, Turkey|Talas]]: 81.399 (wilaya kuu) ** [[Develi]]: 65.452 ** [[Yahyalı]]: 38.198 ** [[Bünyan]]: 34.819 ** [[Pınarbaşı, Kayseri|Pınarbaşı]]: 31.099 ** [[Tomarza]]: 28.652 ** [[İncesu]]: 21.433 (wilaya kuu) ** [[Sarıoğlan]]: 18.844 ** [[Yeşilhisar]]: 17.471 ** [[Hacılar]]: 12.723 (wilaya kuu) ** [[Sarız]]: 12.697 ** [[Akkışla]]: 9.128 ** [[Felahiye]]: 6.971 ** [[Özvatan]]: 5.367 === [[Eskişehir Province]] === [[Picha:Eskişehir districts.png|thumb|right|250px|Districts of Eskişehir]] * Jumla: 741.739 ** '''[[Eskişehir]]''': 614.247 ** [[Odunpazarı]]: 342.515 (wilaya kuu) ** [[Tepebaşı]]: 271.732 (wilaya kuu) ** [[Sivrihisar]]: 24.877 ** [[Seyitgazi]]: 17.219 ** [[Çifteler]]: 16.840 ** [[Alpu]]: 13.884 ** [[Mihalıççık]]: 11.158 ** [[Mahmudiye]]: 9.202 ** [[Günyüzü]]: 7.678 ** [[İnönü, Eskişehir|İnönü]]: 7.547 ** [[Beylikova]]: 7.136 ** [[Sarıcakaya]]: 5.511 ** [[Mihalgazi]]: 3.952 ** [[Han, Eskişehir|Han]]: 2.488 === [[Sivas Province]] === [[Picha:Sivas districts.png|thumb|right|250px|Districts of Sivas]] * Jumla: 631.112 ** '''[[Sivas]]''': 329.011 (wilaya kuu) ** [[Yıldızeli]]: 51.031 ** [[Şarkışla]]: 41.843 ** [[Gemerek]]: 28.671 ** [[Kangal]]: 27.251 ** [[Suşehri]]: 26.941 ** [[Zara (Turkish district)|Zara]]: 22.559 ** [[Gürün]]: 21.573 ** [[Divriği]]: 17.476 ** [[Koyulhisar]]: 13.550 ** [[Ulaş]]: 11.294 ** [[Altınyayla, Sivas|Altınyayla]]: 10.521 ** [[Hafik]]: 9.045 ** [[İmranlı]]: 8.113 ** [[Akıncılar]]: 5.649 ** [[Gölova]]: 3.344 ** [[Doğanşar]]: 3.240 === [[Yozgat Province]] === [[Picha:Yozgat districts.png|thumb|right|250px|Districts of Yozgat]] * Jumla: 484.206 ** '''[[Yozgat]]''': 94.972 (wilaya kuu) ** [[Sorgun]]: 85.831 ** [[Akdağmadeni]]: 53.789 ** [[Sarıkaya]]: 43.739 ** [[Yerköy]]: 40.733 ** [[Boğazlıyan]]: 35.653 ** [[Çekerek]]: 28.799 ** [[Çayıralan]]: 20.318 ** [[Şefaatli]]: 19.121 ** [[Saraykent]]: 18.705 ** [[Kadışehri]]: 16.914 ** [[Aydıncık, Yozgat|Aydıncık]]: 12.558 ** [[Yenifakılı]]: 6.971 ** [[Çandır]]: 6.103 === [[Aksaray Province]] === [[Picha:Aksaray districts.png|thumb|right|250px|Districts of Aksaray]] * Jumla: 370.598 ** '''[[Aksaray]]''': 251.628 (wilaya kuu) ** [[Ortaköy, Aksaray|Ortaköy]]: 39.699 ** [[Eskil]]: 25.517 ** [[Gülağaç]]: 21.691 ** [[Güzelyurt]]: 14.259 ** [[Ağaçören]]: 11.284 ** [[Sarıyahşi]]: 6.520 === [[Niğde Province]] === [[Picha:Niğde districts.png|thumb|right|250px|Districts of Niğde]] * Jumla: 338.447 ** '''[[Niğde]]''': 193.373 (wilaya kuu) ** [[Bor, Turkey|Bor]]: 59.139 ** [[Çiftlik]]: 29.637 ** [[Ulukışla]]: 24.133 ** [[Çamardı]]: 16.417 ** [[Altunhisar]]: 15.748 === [[Nevşehir Province]] === [[Picha:Nevşehir districts.png|thumb|right|250px|Districts of Nevşehir]] * Jumla: 281.699 ** '''[[Nevşehir]]''': 114.691 (wilaya kuu) ** [[Avanos]]: 35.230 ** [[Ürgüp]]: 33.909 ** [[Gülşehir]]: 25.654 ** [[Derinkuyu]]: 22.118 ** [[Acıgöl]]: 21.475 ** [[Kozaklı]]: 16.090 ** [[Hacıbektaş]]: 12.532 === [[Kırıkkale Province]] === [[Picha:Kırıkkale districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kırıkkale]] * Jumla: 279.325 ** '''[[Kırıkkale]]''': 201.578 (wilaya kuu) ** [[Keskin]]: 21.532 ** [[Yahşihan]]: 13.322 ** [[Delice]]: 11.723 ** [[Sulakyurt]]: 9.093 ** [[Balışeyh]]: 8.851 ** [[Bahşili]]: 7.070 ** [[Karakeçili]]: 3.920 ** [[Çelebi]]: 2.236 === [[Karaman Province]] === [[Picha:Karaman districts.png|thumb|right|250px|Districts of Karaman]] * Jumla: 230.145 ** '''[[Karaman]]''': 164.207 (wilaya kuu) ** [[Ermenek]]: 31.341 ** [[Sarıveliler]]: 14.527 ** [[Ayrancı]]: 10.199 ** [[Başyayla]]: 5.087 ** [[Kazımkarabekir]]: 4.784 === [[Kırşehir Province]] === [[Picha:Kırşehir districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kırşehir]] * Jumla: 222.735 ** '''[[Kırşehir]]''': 118.412 (wilaya kuu) ** [[Kaman (District), Kırşehir|Kaman]]: 44.617 ** [[Mucur]]: 19.474 ** [[Çiçekdağı, Kırşehir|Çiçekdağı]]: 17.745 ** [[Akpınar, Kırşehir|Akpınar]]: 10.222 ** [[Boztepe, Kırşehir|Boztepe]]: 6.417 ** [[Akçakent]]: 5.848 === [[Çankırı Province]] === [[Picha:Çankırı districts.png|thumb|right|250px|Districts of Çankırı]] * Jumla: 176.093 ** '''[[Çankırı]]''': 79.511 (wilaya kuu) ** [[Çerkeş]]: 14.456 ** [[Orta]]: 13.780 ** [[Ilgaz]]: 13.625 ** [[Yapraklı]]: 11.226 ** [[Şabanözü]]: 9.150 ** [[Kızılırmak, Çankırı|Kızılırmak]]: 8.914 ** [[Kurşunlu]]: 8.322 ** [[Eldivan]]: 6.055 ** [[Atkaracalar]]: 4.822 ** [[Korgun]]: 3.723 ** [[Bayramören]]: 2.509 == [[Kanda ya Anatolia ya Mashariki|Kanda ya Anatolia ya Mashariki(Doğu Anadolu Bölgesi)]] == Population: 5.744.243 === [[Van Province]] === [[Picha:Van districts.png|thumb|right|250px|Districts of Van]] * Jumla: 1.004.369 ** '''[[Van, Turkey|Van]]''': 428.511 (wilaya kuu) ** [[Erciş]]: 154.499 ** [[Özalp (District), Van|Özalp]]: 74.088 ** [[Çaldıran (District), Van|Çaldıran]]: 65.663 ** [[Başkale]]: 63.665 ** [[Muradiye (District), Van|Muradiye]]: 51.894 ** [[Gürpınar (District), Van|Gürpınar]]: 44.096 ** [[Gevaş]]: 29.951 ** [[Çatak (District), Van|Çatak]]: 25.716 ** [[Edremit (District), Van|Edremit]]: 24.463 ** [[Saray (District), Van|Saray]]: 24.008 ** [[Bahçesaray (District), Van|Bahçesaray]]: 17.815 === [[Erzurum Province]] === [[Picha:Erzurum districts.png|thumb|right|250px|Districts of Erzurum]] * Jumla: 774.967 ** '''[[Erzurum]]''': 373.739 ** [[Yakutiye]]: 170.698 (wilaya kuu) ** [[Palandöken]]: 150.638 (wilaya kuu) ** [[Aziziye]]: 52.403 (wilaya kuu) ** [[Horasan]]: 44.588 ** [[Karayazı]]: 33.623 ** [[Pasinler District|Pasinler]]: 33.267 ** [[Oltu]]: 32.218 ** [[Hınıs]]: 31.479 ** [[Tekman]]: 31.190 ** [[Karaçoban]]: 25.755 ** [[Aşkale]]: 25.027 ** [[Tortum]]: 23.435 ** [[Şenkaya]]: 22.520 ** [[Çat]]: 20.756 ** [[Köprüköy]]: 18.700 ** [[Narman]]: 18.231 ** [[İspir]]: 17.622 ** [[Uzundere]]: 9.209 ** [[Olur]]: 8.327 ** [[Pazaryolu]]: 5.281 === [[Malatya Province]] === [[Picha:Malatya districts.png|thumb|right|250px|Districts of Malatya]] * Jumla: 733.789 ** '''[[Malatya]]''': 449.333 (wilaya kuu) ** [[Doğanşehir]]: 43.856 ** [[Darende]]: 35.341 ** [[Yeşilyurt, Malatya|Yeşilyurt]]: 35.229 ** [[Akçadağ]]: 33.431 ** [[Battalgazi]]: 29.509 ** [[Hekimhan]]: 25.479 ** [[Pütürge]]: 22.201 ** [[Yazıhan]]: 17.806 ** [[Arapgir]]: 11.311 ** [[Kuluncak]]: 9.457 ** [[Arguvan]]: 8.711 ** [[Kale, Malatya|Kale]]: 6.874 ** [[Doğanyol]]: 5.251 === [[Elazığ Province]] === [[Picha:Elazığ districts.png|thumb|right|250px|Districts of Elazığ]] * Jumla: 547.562 ** '''[[Elazığ]]''': 375.534 (wilaya kuu) ** [[Kovancılar]]: 37.965 ** [[Karakoçan]]: 30.338 ** [[Palu District, Turkey|Palu]]: 22.729 ** [[Baskil]]: 18.221 ** [[Arıcak]]: 16.937 ** [[Maden]]: 16.447 ** [[Sivrice]]: 10.420 ** [[Alacakaya]]: 8.412 ** [[Keban]]: 7.581 ** [[Ağın]]: 2.978 === [[Ağrı Province]] === [[Picha:Ağrı districts.png|thumb|right|250px|Districts of Ağrı]] * Jumla: 532.180 ** '''[[Ağrı]]''': 131.104 (wilaya kuu) ** [[Patnos]]: 122.231 ** [[Doğubayazıt]]: 113.048 ** [[Diyadin]]: 46.137 ** [[Eleşkirt]]: 39.532 ** [[Tutak, Turkey|Tutak]]: 33.832 ** [[Taşlıçay]]: 23.421 ** [[Hamur]]: 22.875 === [[Muş Province]] === [[Picha:Muş districts.png|thumb|right|250px|Districts of Muş]] * Jumla: 404.309 ** '''[[Muş]]''': 168.817 (wilaya kuu) ** [[Bulanık]]: 84.430 ** [[Malazgirt]]: 60.086 ** [[Varto]]: 33.986 ** [[Hasköy]]: 30.134 ** [[Korkut]]: 26.856 === [[Bitlis Province]] === [[Picha:Bitlis districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bitlis]] * Jumla: 326.897 ** [[Tatvan]]: 76.723 ** '''[[Bitlis]]''': 60.996 (wilaya kuu) ** [[Güroymak]]: 42.683 ** [[Hizan]]: 40.697 ** [[Mutki]]: 35.288 ** [[Adilcevaz]]: 35.274 ** [[Ahlat]]: 35.236 === [[Kars Province]] === [[Picha:Kars districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kars]] * Jumla: 312.128 ** '''[[Kars, Turkey|Kars]]''': 110.283 (wilaya kuu) ** [[Sarıkamış]]: 53.517 ** [[Kağızman]]: 49.902 ** [[Digor, Kars|Digor]]: 26.615 ** [[Selim, Kars|Selim]]: 25.216 ** [[Arpaçay]]: 20.962 ** [[Susuz]]: 13.160 ** [[Akyaka]]: 12.473 === [[Hakkâri Province]] === [[Picha:Hakkari districts.png|thumb|right|250px|Districts of Hakkâri]] * Jumla: 258.590 ** [[Yüksekova]]: 107.882 ** '''[[Hakkâri]]''': 83.423 (wilaya kuu) ** [[Şemdinli]]: 52.779 ** [[Çukurca]]: 14.506 === [[Bingöl Province]] === [[Picha:Bingöl districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bingöl]] * Jumla: 256.091 ** '''[[Bingöl]]''': 131.666 (wilaya kuu) ** [[Genç]]: 37.565 ** [[Solhan]]: 32.975 ** [[Karlıova]]: 32.569 ** [[Adaklı]]: 10.603 ** [[Kiğı]]: 5.672 ** [[Yedisu]]: 3.188 ** [[Yayladere]]: 1.853 === [[Erzincan Province]] === [[Picha:Erzincan districts.png|thumb|right|250px|Districts of Erzincan]] * Jumla: 210.645 ** '''[[Erzincan]]''': 135.511 (wilaya kuu) ** [[Tercan]]: 18.646 ** [[Üzümlü]]: 13.467 ** [[Refahiye]]: 11.051 ** [[Çayırlı]]: 10.440 ** [[Kemah, Turkey|Kemah]]: 6.951 ** [[İliç]]: 6.347 ** [[Kemaliye]]: 5.487 ** [[Otlukbeli]]: 2.745 === [[Iğdır Province]] === [[Picha:Iğdır districts.png|thumb|right|250px|Districts of Iğdır]] * Jumla: 184.025 ** '''[[Iğdır]]''': 121.848 (wilaya kuu) ** [[Tuzluca]]: 25.739 ** [[Aralık]]: 22.165 ** [[Karakoyunlu]]: 14.273 === [[Ardahan Province]] === [[Picha:Ardahan districts.png|thumb|right|250px|Districts of Ardahan]] * Jumla: 112.242 ** '''[[Ardahan]]''': 40.875 (wilaya kuu) ** [[Göle]]: 32.578 ** [[Çıldır]]: 11.800 ** [[Hanak]]: 10.666 ** [[Posof]]: 9.215 ** [[Damal]]: 7.108 === [[Tunceli Province]] === [[Picha:Tunceli districts.png|thumb|right|250px|Districts of Tunceli]] * Jumla: 86.449 ** '''[[Tunceli]]''': 33.316 (wilaya kuu) ** [[Pertek]]: 13.079 ** [[Mazgirt]]: 9.408 ** [[Çemişgezek]]: 8.572 ** [[Hozat]]: 8.349 ** [[Ovacık]]: 6.644 ** [[Nazımiye]]: 3.624 ** [[Pülümür]]: 3.457 == [[Marmara Region|Marmara Region (Marmara Bölgesi)]] == Population: 21.044.783 === [[İstanbul Province]] === [[Picha:Istanbul districts.png|thumb|right|350px|Districts of İstanbul]] * Jumla: 12.697.164 (all of the districts are "wilaya kuu") ** [[Bagcilar|Bağcılar]]: 720.819 ( wilaya kuu ) ** [[Küçükçekmece]]: 669.081 ( wilaya kuu ) ** [[Bahçelievler]]: 571.683 ( wilaya kuu ) ** [[Ümraniye]]: 553.935 ( wilaya kuu ) ** [[Pendik]]: 541.619 ( wilaya kuu ) ** [[Kadiköy|Kadıköy]]: 533.452 ( wilaya kuu ) ** [[Üsküdar]]: 524.889 ( wilaya kuu ) ** [[Esenler]]: 464.557 ( wilaya kuu ) ** [[Gaziosmanpasa|Gaziosmanpaşa]]: 460.675 ( wilaya kuu ) ** [[Sultangazi]]: 444.295 ( wilaya kuu ) ** [[Fatih]]: 443.955 ( wilaya kuu ) ** [[Kartal]]: 426.748 ( wilaya kuu ) ** [[Maltepe, Istanbul|Maltepe]]: 417.605 ( wilaya kuu ) ** [[Kagithane|Kağıthane]]: 415.130 ( wilaya kuu ) ** [[Esenyurt]]: 373.017 ( wilaya kuu ) ** [[Ataşehir]]: 351.046 ( wilaya kuu ) ** [[Avcilar|Avcılar]]: 333.944 ( wilaya kuu ) ** [[Eyüp]]: 323.038 ( wilaya kuu ) ** [[Güngören]]: 314.271 ( wilaya kuu ) ** [[Şişli]]: 312.666 ( wilaya kuu ) ** [[Zeytinburnu]]: 288.058 ( wilaya kuu ) ** [[Sultanbeyli]]: 282.026 ( wilaya kuu ) ** [[Sarıyer]]: 277.372 ( wilaya kuu ) ** [[Bayrampasa|Bayrampaşa]]: 268.276 ( wilaya kuu ) ** [[Beyoğlu]]: 245.064 ( wilaya kuu ) ** [[Beykoz]]: 243.454 ( wilaya kuu ) ** [[Sancaktepe]]: 229.093 ( wilaya kuu ) ** [[Bakirköy|Bakırköy]]: 214.810 ( wilaya kuu ) ** [[Başakşehir]]: 207.542 ( wilaya kuu ) ** [[Beylikdüzü]]: 185.633 ( wilaya kuu ) ** [[Beşiktaş]]: 185.373 ( wilaya kuu ) ** [[Tuzla (district)|Tuzla]]: 170.453 ( wilaya kuu ) ** [[Arnavutköy]]: 163.510 ( wilaya kuu ) ** [[Büyükçekmece]]: 163.140 ( wilaya kuu ) ** [[Çekmeköy]]: 147.352 ( wilaya kuu ) ** [[Silivri]]: 124.601 ( wilaya kuu ) ** [[Çatalca]]: 62.339 ( wilaya kuu ) ** [[Sile|Şile]]: 28.571 (wilaya kuu ) ** [[Adalar]]: 14.072 (wilaya kuu ) === [[Bursa Province]] === [[Picha:Bursa districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bursa]] * Jumla: 2.507.963 ** '''[[Bursa]]''': 1.881.899 ** [[Osmangazi, Bursa|Osmangazi]]: 753.217 (wilaya kuu) ** [[Yıldırım, Bursa|Yıldırım]]: 593.768 (wilaya kuu) ** [[Nilüfer, Bursa|Nilüfer]]: 270.502 (wilaya kuu) ** [[İnegöl]]: 213.100 ** [[Mustafakemalpaşa]]: 102.171 ** [[Gemlik]]: 98.770 (wilaya kuu) ** [[Karacabey]]: 79.224 ** [[Orhangazi]]: 74.120 ** [[Mudanya]]: 65.899 (wilaya kuu) ** [[Gürsu]]: 52.948 (wilaya kuu) ** [[Yenişehir]]: 51.687 ** [[Kestel]]: 46.795 (wilaya kuu) ** [[İznik]]: 44.524 ** [[Orhaneli]]: 24.072 ** [[Keles]]: 15.468 ** [[Büyükorhan]]: 13.542 ** [[Harmancık]]: 8.156 === [[Kocaeli Province]] === [[Picha:Kocaeli districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kocaeli]] * Jumla: 1.490.358 (all of the districts are "wilaya kuu") ** [[İzmit]]: 306.515 ( wilaya kuu ) ** [[Gebze]]: 288.569 ( wilaya kuu ) ** [[Gölcük]]: 136.513 ( wilaya kuu ) ** [[Darıca]]: 135.966 ( wilaya kuu ) ** [[Körfez, Kocaeli|Körfez]]: 129.110 ( wilaya kuu ) ** [[Derince]]: 121.504 ( wilaya kuu ) ** [[Kartepe]]: 87.896 ( wilaya kuu ) ** [[Çayırova]]: 78.430 ( wilaya kuu ) ** [[Başiskele]]: 65.121 ( wilaya kuu ) ** [[Karamürsel]]: 49.719 ( wilaya kuu ) ** [[Kandıra]]: 47.041 ( wilaya kuu) ** [[Dilovası]]: 43.974 ( wilaya kuu ) === [[Balıkesir Province]] === [[Picha:Balikesir_districts.png|thumb|right|250px|Districts of Balıkesir]] * Jumla: 1.130.276 ** '''[[Balıkesir]]''': 317.839 (wilaya kuu) ** [[Bandırma]]: 130.474 ** [[Edremit (District), Balıkesir|Edremit]]: 113.453 ** [[Gönen]]: 73.005 ** [[Ayvalık]]: 61.730 ** [[Burhaniye]]: 49.380 ** [[Bigadiç]]: 49.261 ** [[Dursunbey]]: 45.780 ** [[Susurluk]]: 42.528 ** [[Sındırgı]]: 40.648 ** [[İvrindi]]: 38.072 ** [[Erdek]]: 34.704 ** [[Havran, Balıkesir|Havran]]: 28.158 ** [[Kepsut]]: 25.170 ** [[Manyas]]: 22.997 ** [[Savaştepe]]: 20.627 ** [[Balya]]: 15.961 ** [[Gömeç]]: 11.581 ** [[Marmara (District), Balıkesir|Marmara]]: 8.908 === [[Sakarya Province]] === [[Picha:Sakarya districts.png|thumb|right|250px|Districts of Sakarya]] * Jumla: 851.292 ** '''[[Sakarya]]''': 422.772 ** [[Adapazarı]]: 237.259 (wilaya kuu) ** [[Akyazı]]: 83.747 ** [[Serdivan]]: 75.602 (wilaya kuu) ** [[Hendek]]: 74.607 ** [[Erenler]]: 72.621 (wilaya kuu) ** [[Karasu]]: 53.275 ** [[Geyve]]: 46.629 ** [[Arifiye]]: 37.290 (wilaya kuu) ** [[Sapanca]]: 36.916 ** [[Pamukova]]: 26.757 ** [[Kocaali]]: 24.622 ** [[Ferizli]]: 24.157 ** [[Kaynarca]]: 23.376 ** [[Söğütlü]]: 14.193 ** [[Karapürçek]]: 12.548 ** [[Taraklı]]: 7.693 === [[Tekirdağ Province]] === [[Picha:Tekirdağ districts.png|thumb|right|250px|Districts of Tekirdağ]] * Jumla: 770.772 ** [[Çorlu]]: 236.682 ** '''[[Tekirdağ]]''': 166.313 (wilaya kuu) ** [[Çerkezköy]]: 147.239 ** [[Malkara]]: 56.308 ** [[Saray, Tekirdağ|Saray]]: 45.639 ** [[Hayrabolu]]: 37.422 ** [[Şarköy]]: 29.933 ** [[Muratlı]]: 26.175 ** [[Marmaraereğlisi]]: 25.061 === [[Çanakkale Province]] === [[Picha:Çanakkale districts.png|thumb|right|250px|Districts of Çanakkale]] * Jumla: 474.791 ** '''[[Çanakkale]]''': 119.207 (wilaya kuu) ** [[Biga, Çanakkale|Biga]]: 81.363 ** [[Çan]]: 51.428 ** [[Gelibolu]]: 44.623 ** [[Yenice]]: 37.110 ** [[Ezine, Çanakkale|Ezine]]: 32.833 ** [[Bayramiç]]: 31.024 ** [[Ayvacık]]: 30.409 ** [[Lapseki]]: 27.149 ** [[Eceabat]]: 9.559 ** [[Gökçeada]]: 7.475 ** [[Bozcaada]]: 2.611 === [[Edirne Province]] === [[Picha:Edirne districts.png|thumb|right|250px|Districts of Edirne]] * Jumla: 394.644 ** '''[[Edirne]]''': 153.199 (wilaya kuu) ** [[Keşan]]: 77.044 ** [[Uzunköprü]]: 69.478 ** [[İpsala]]: 30.655 ** [[Havsa]]: 21.556 ** [[Meriç]]: 16.504 ** [[Enez]]: 10.723 ** [[Lalapaşa]]: 7.997 ** [[Süloğlu]]: 7.488 === [[Kırklareli Province]] === [[Picha:Kırklareli districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kırklareli]] * Jumla: 336.942 ** [[Lüleburgaz]]: 132.912 ** '''[[Kırklareli]]''': 84.868 (wilaya kuu) ** [[Babaeski]]: 51.780 ** [[Vize]]: 30.086 ** [[Pınarhisar]]: 20.456 ** [[Demirköy]]: 9.054 ** [[Pehlivanköy]]: 4.823 ** [[Kofçaz]]: 2.963 === [[Yalova Province]] === [[Picha:Yalova districts.png|thumb|right|250px|Districts of Yalova]] * Jumla: 197.412 ** '''[[Yalova]]''': 107.609 (wilaya kuu) ** [[Çınarcık]]: 27.682 ** [[Çiftlikköy]]: 25.630 ** [[Altınova]]: 23.563 ** [[Armutlu, Yalova|Armutlu]]: 7.821 ** [[Termal]]: 5.107 === [[Bilecik Province]] === [[Picha:Bilecik districts.png|thumb|right|250px|Districts of Bilecik]] * Jumla: 193.169 ** [[Bozüyük]]: 65.369 ** '''[[Bilecik]]''': 56.583 (wilaya kuu) ** [[Osmaneli]]: 21.094 ** [[Söğüt]]: 19.277 ** [[Gölpazarı]]: 11.809 ** [[Pazaryeri]]: 11.722 ** [[Yenipazar, Bilecik|Yenipazar]]: 3.812 ** [[İnhisar]]: 3.503 == [[Mediterranean Region, Turkey|Mediterranean Region (Akdeniz Bölgesi)]] == Population: 9.050.691 === [[Adana Province]] === [[Picha:Adana districts.png|thumb|right|250px|Districts of Adana]] * Jumla: 2.026.319 ** '''[[Adana]]''': 1.572.583 ** [[Seyhan]]: 752.308 (wilaya kuu) ** [[Yüreğir]]: 416.160 (wilaya kuu) ** [[Çukurova]]: 271.344 (wilaya kuu) ** [[Ceyhan]]: 158.833 ** [[Kozan, Adana|Kozan]]: 124.669 ** [[Sarıçam]]: 109.290 (wilaya kuu) ** [[İmamoğlu]]: 31.257 ** [[Karaisalı]]: 23.481 (wilaya kuu) ** [[Karataş]]: 22.472 ** [[Pozantı]]: 21.963 ** [[Feke]]: 19.952 ** [[Yumurtalik]]: 19.625 ** [[Tufanbeyli]]: 19.045 ** [[Aladağ]]: 18.249 ** [[Saimbeyli]]: 17.671 === [[Antalya Province]] === [[Picha:Antalya districts.png|thumb|right|250px|Districts of Antalya]] * Jumla: 1.859.275 ** '''[[Antalya]]''': 955.596 ** [[Kepez]]: 387.904 (wilaya kuu) ** [[Muratpaşa]]: 377.857 (wilaya kuu) ** [[Alanya]]: 233.919 ** [[Manavgat]]: 179.311 ** [[Serik]]: 101.961 ** [[Konyaaltı]]: 92.126 (wilaya kuu) ** [[Kumluca]]: 65.109 ** [[Aksu]]: 57.072 (wilaya kuu) ** [[Kaş]]: 50.786 ** [[Korkuteli]]: 49.553 ** [[Gazipaşa]]: 48.675 ** [[Finike]]: 46.520 ** [[Döşemealtı]]: 40.637 (wilaya kuu) ** [[Elmalı]]: 38.077 ** [[Kemer]]: 35.639 ** [[Demre]]: 25.076 ** [[Akseki]]: 15.828 ** [[Gündoğmuş]]: 9.246 ** [[İbradı]]: 3.979 === [[Mersin Province]] === [[Picha:Mersin districts.png|thumb|right|250px|Districts of Mersin]] * Jumla: 1.602.908 ** '''[[Mersin]]''': 855.258 ** [[Tarsus (city)|Tarsus]]: 303.661 ** [[Akdeniz]]: 283.011 (wilaya kuu) ** [[Toroslar]]: 267.427 (wilaya kuu) ** [[Yenişehir]]: 182.246 (wilaya kuu) ** [[Erdemli]]: 125.081 ** [[Mezitli]]: 122.574 (wilaya kuu) ** [[Silifke]]: 112.465 ** [[Mut (District), Mersin|Mut]]: 64.602 ** [[Anamur]]: 63.011 ** [[Gülnar]]: 30.304 ** [[Bozyazı]]: 26.336 ** [[Aydıncık, Mersin|Aydıncık]]: 11.632 ** [[Çamlıyayla]]: 10.558 === [[Hatay Province]] === [[Picha:Hatay districts.png|thumb|right|250px|Districts of Hatay]] * Jumla: 1.413.287 ** '''[[Antakya]]''': 427.451 (wilaya kuu) ** [[İskenderun]]: 304.891 ** [[Dörtyol]]: 143.914 ** [[Samandağ]]: 129.011 ** [[Kırıkhan]]: 102.424 ** [[Reyhanlı]]: 84.831 ** [[Altınözü]]: 63.117 ** [[Hassa, Turkey|Hassa]]: 54.630 ** [[Erzin]]: 39.279 ** [[Belen, Hatay|Belen]]: 27.928 ** [[Yayladağı]]: 22.085 ** [[Kumlu]]: 13.726 === [[Kahramanmaraş Province]] === [[Picha:Kahramanmaraş districts.png|thumb|right|250px|Districts of Kahramanmaraş]] * Jumla: 1.029.298 ** '''[[Kahramanmaraş]]''': 511.887 (wilaya kuu) ** [[Elbistan]]: 131.948 ** [[Afşin]]: 86.926 ** [[Pazarcık]]: 77.371 ** [[Türkoğlu]]: 64.980 ** [[Göksun]]: 56.668 ** [[Andırın]]: 41.371 ** [[Çağlayancerit]]: 27.051 ** [[Ekinözü]]: 15.635 ** [[Nurhak]]: 15.461 === [[Osmaniye Province]] === [[Picha:Osmaniye districts.png|thumb|right|250px|Districts of Osmaniye]] * Jumla: 464.704 ** '''[[Osmaniye]]''': 219.411 (wilaya kuu) ** [[Kadirli]]: 113.236 ** [[Düziçi]]: 76.273 ** [[Bahçe]]: 21.212 ** [[Sumbas]]: 15.911 ** [[Toprakkale, Osmaniye|Toprakkale]]: 13.582 ** [[Hasanbeyli]]: 5.079 === [[Isparta Province]] === [[Picha:Isparta districts.png|thumb|right|250px|Districts of Isparta]] * Jumla: 407.463 ** '''[[Isparta]]''': 197.169 (wilaya kuu) ** [[Yalvaç]]: 56.563 ** [[Eğirdir]]: 35.684 ** [[Şarkikaraağaç]]: 28.992 ** [[Gelendost]]: 17.334 ** [[Keçiborlu]]: 15.804 ** [[Senirkent]]: 13.088 ** [[Sütçüler]]: 12.594 ** [[Gönen, Isparta|Gönen]]: 8.703 ** [[Uluborlu]]: 7.598 ** [[Atabey]]: 6.022 ** [[Aksu, Isparta|Aksu]]: 5.374 ** [[Yenişarbademli]]: 2.538 === [[Burdur Province]] === [[Picha:Burdur districts.png|thumb|right|250px|Districts of Burdur]] * Jumla: 247.437 ** '''[[Burdur]]''': 91.086 (wilaya kuu) ** [[Bucak, Burdur|Bucak]]: 59.902 ** [[Gölhisar]]: 20.901 ** [[Yeşilova]]: 17.987 ** [[Çavdır]]: 13.246 ** [[Tefenni]]: 10.478 ** [[Ağlasun]]: 9.575 ** [[Karamanlı]]: 7.909 ** [[Çeltikçi]]: 6.501 ** [[Altınyayla, Burdur|Altınyayla]]: 5.664 ** [[Kemer, Burdur|Kemer]]: 4.188 == [[Kanda ya Kusinimashariki ya Anatolia|Kanda ya Kusinimashari mwa Anatolia(Güneydoğu Anadolu Bölgesi)]] == Idadi ya wakazi: 7.350.752 === [[Mkoa wa Gaziantep]] === [[Picha:Gaziantep districts.png|thumb|right|250px|Districts of Gaziantep]] * Jumla: 1.612.223 ** '''[[Gaziantep]]''': 1.312.351 ** [[Şahinbey]]: 700.056 (wilaya kuu) ** [[Şehitkamil]]: 581.734 (wilaya kuu) ** [[Nizip]]: 132.018 ** [[İslahiye]]: 65.218 ** [[Nurdağı]]: 37.878 ** [[Araban]]: 31.770 ** [[Oğuzeli]]: 30.561 (wilaya kuu) ** [[Yavuzeli]]: 21.128 ** [[Karkamış]]: 11.860 === [[Mkoa wa Şanlıurfa]] === [[Picha:Şanlıurfa districts.png|thumb|right|250px|Districts of Şanlıurfa]] * Jumla: 1.574.224 ** '''[[Şanlıurfa]]''': 674.515 (wilaya kuu) ** [[Siverek]]: 204.638 ** [[Viranşehir]]: 154.423 ** [[Suruç]]: 102.109 ** [[Birecik]]: 85.921 ** [[Akçakale]]: 79.728 ** [[Ceylanpınar]]: 71.272 ** [[Harran]]: 61.520 ** [[Bozova]]: 58.575 ** [[Hilvan]]: 40.776 ** [[Halfeti]]: 40.747 === [[Mkoa wa Diyarbakır]] === [[Picha:Diyarbakır districts.png|thumb|right|250px|Districts of Diyarbakır]] * Jumla: 1.492.828 ** '''[[Diyarbakır]]''': 851.902 ** [[Bağlar]]: 334.954 (wilaya kuu) ** [[Kayapınar]]: 194.601 (wilaya kuu) ** [[Yenişehir]]: 186.901 (wilaya kuu) ** [[Sur]]: 135.446 (wilaya kuu) ** [[Ergani]]: 111.921 ** [[Bismil]]: 109.359 ** [[Silvan, Turkey|Silvan]]: 86.256 ** [[Çınar]]: 65.964 ** [[Çermik]]: 50.961 ** [[Dicle]]: 44.265 ** [[Kulp, Turkey|Kulp]]: 36.588 ** [[Hani, Turkey|Hani]]: 32.320 ** [[Lice, Turkey|Lice]]: 31.251 ** [[Eğil]]: 23.688 ** [[Hazro]]: 18.798 ** [[Kocaköy]]: 15.718 ** [[Çüngüş]]: 13.837 === [[Mkoa wa Mardin]] === [[Picha:Mardin districts.png|thumb|right|250px|Districts of Mardin]] * Jumla: 750.697 ** [[Kızıltepe]]: 201.755 ** '''[[Mardin]]''': 130.024 (wilaya kuu) ** [[Midyat]]: 113.960 ** [[Nusaybin]]: 113.007 ** [[Derik]]: 57.237 ** [[Savur]]: 35.186 ** [[Mazıdağı]]: 33.576 ** [[Dargeçit]]: 30.906 ** [[Yeşilli]]: 19.279 ** [[Ömerli, Mardin|Ömerli]]: 15.767 === [[Mkoa wa Adıyaman]] === [[Picha:Adıyaman districts.png|thumb|right|250px|Districts of Adıyaman]] * Jumla: 585.067 ** '''[[Adıyaman]]''': 256.247 (wilaya kuu) ** [[Kahta]]: 116.049 ** [[Besni]]: 80.651 ** [[Gölbaşı, Adıyaman|Gölbaşı]]: 47.599 ** [[Gerger]]: 25.769 ** [[Sincik]]: 21.131 ** [[Çelikhan]]: 15.540 ** [[Tut, Turkey|Tut]]: 11.482 ** [[Samsat, Turkey|Samsat]]: 10.599 === [[Mkoa wa Batman]] === [[Picha:Batman districts.png|thumb|right|250px|Districts of Batman]] * Jumla: 485.616 ** '''[[Batman]]''': 324.402 (wilaya kuu) ** [[Kozluk]]: 62.114 ** [[Sason]]: 33.295 ** [[Beşiri]]: 32.282 ** [[Gercüş]]: 26.111 ** [[Hasankeyf]]: 7.412 === [[Mkoa wa Şırnak]] === [[Picha:Şırnak districts.png|thumb|right|250px|Districts of Şırnak]] * Jumla: 429.287 ** [[Cizre]]: 110.267 ** [[Silopi]]: 100.505 ** '''[[Şırnak]]''': 82.863 (wilaya kuu) ** [[İdil]]: 67.854 ** [[Uludere]]: 38.511 ** [[Beytüşşebap]]: 19.462 ** [[Güçlükonak]]: 9.825 === [[Mkoa wa Siirt]] === [[Picha:Siirt districts.png|thumb|right|250px|Districts of Siirt]] * Jumla: 299.819 ** '''[[Siirt]]''': 132.789 (wilaya kuu) ** [[Kurtalan]]: 56.282 ** [[Pervari]]: 33.401 ** [[Baykan]]: 29.149 ** [[Şirvan]]: 24.389 ** [[Eruh]]: 19.775 ** [[Aydınlar]]: 4.034 === [[Mkoa wa Kilis]] === * Jumla: 120.991 ** '''[[Kilis]]''': 93.719 (wilaya kuu) ** [[Musabeyli]]: 14.561 ** [[Elbeyli]]: 7.146 ** [[Polateli]]: 5.565 == Tazama pia == * [[Mikoa ya Uturuki]] * [[Kanda za Uturuki]] {{mbegu-jio-Uturuki}} [[Jamii:Wilaya za Uturuki]] i2naza8ei7caav8n9ii71l7djfdkhyx Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kotoka 0 34236 1233873 1151136 2022-07-20T13:01:26Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox airport | name = Kotoka International Airport | nativename = Accra Air Force Station | nativename-a = | nativename-r = Kotoka International Airport | image = KotokaInternationalAirportGate.jpg | caption = Kotoka International Airport | IATA = ACC | ICAO = DGAA | type = Military/Public | owner = | operator = Ghana Airports Company Limited | city-served = [[Accra]], [[Ghana]] | location = | elevation-f = 205 | elevation-m = 62 | coordinates = {{Coord|05|36|18|N|00|10|00|W|type:airport}} | website = | metric-elev = | metric-rwy = | r1-number = 03/21 | r1-length-f = 11,165 | r1-length-m = 3,403 | r1-surface = [[Asphalt]] | stat-year = | stat1-header = | stat1-data = | stat2-header = | stat2-data = | footnotes = }} '''Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kotoka''' uko {{Airport codes|ACC|DGAA}} mjini [[Accra, Ghana]] ni uwanja zaidi hewandege za kimataifa na ina uwezo mkubwa wa ndege kama vile aina ya [[Airbus A380.]] Shughuli za Uwanja huu wa ndege zinaendelezwa na Shirika la Ghana la uwanja za ndege .Kwa kimombo linajulikana kama (GACL) ambalo lilianzishwa kama matokeo ya kuvunjwa kwa wa Shirikala Mamlaka ya Urobani Ghana ,linalojulikana kama (GCAA) kulingana na mwenendo wa kisasa katika sekta ya anga. Kampuni hii ya uwanja wa ndege ilisajiliwa Januari 2006 na kuanza biashara tarehe 1 Januari 2007 kwa kuwa na wajibu wa kupanga, kuendeleza, kusimamia na kudumisha viwanja vya ndege na viwanja vidogo vya ndege nchini Ghana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka (KIA) na viwanja vya ndege vya kikanda yaani Kumasi, Tamale, Sunyani vilevile airstrips. Uwanja wa Ndege wa Kotoka au ACC inatumika kama kitovu cha kanda ya Magharibi ya Afrika na ina vifaa vya hewa vya usafiri na huduma kwaongezeko la thamani ya wadau. Mwaka wa 2006, uwanja huu wa ndege ulihudumia abiria 1,083,431 na takwimu hii itapanda hivi karibuni kwa kuwa kuna marekebisho na vifaa na utendajiwa kisasa unaoendelea . Kama sehemu ya madhumuni ya uwanja wa ndege, KIA inafanya kazi na jamii, sekta ya viwanda na watunga sera ili kuhakikisha renare mbinguni na kupunguza athari zozote za anga juu ya mazingira. Mwaka wa 2007, usimamizi pia uliweka wazi lengo la kutumia teknolojia ya kubadili uendeshaji wa operesheni za uwanja wa ndege na kuwa shirika lisilokuwa na makaratasi kwa msaada wa Hourglass Consulting (http://www.hourglass-group.com {{Wayback|url=http://www.hourglass-group.com/ |date=20161021162839 }}), KIA - kama sehemu ya nyanja nne zinazoendeshwa na GACL - inaweza kujivunia kuwa wuwanja wa kwanza Afrika kutumia mfumo wa Cloud Computing. Mwaka wa 2008 - hal ya mawasiliano ya uwanja huu uliweza kusalia katika tuzo la Tovuti bora za huduma ya ndege - kigezo muhimu katika kiwanda na Uuwanja wa kwanza wa Afrika kutumia kigezo hiki. Se http://www.flightglobal.com/awards Mnamo Februari 2008, Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kotoka ulitumika kama kitovu kwa ajili ya kupeleka wanajeshi wa Marekani kutoka 621 Contingency Response Wing, McGuire AFB, New Jersey, miongoni mwa vikundi vingine, wakati wa ziara ya Rais Bush na nchi katika Afrika. == Kampuni za Ndege na Sehemu za Usafiri == {{Airport-dest-list |[[Aero Contractors (Nigeria)|Aero Contractors]]|Lagos |[[Afriqiyah Airways]]|Tripoli |[[Air Burkina]]|Ouagadougou, Abidjan |[[Air Ivoire]]|Abidjan |[[Air Namibia]]|Johannesburg, Windhoek<ref>http://www.ghananewsagency.org/s_economics/r_9863/</ref> |[[Alitalia]]|Rome-Fiumicino |[[Antrak Air]]|Kumasi, Tamale, Ouagadougou, Cotonou |[[Arik Air]]|Abuja, Banjul, Dakar, Lagos |[[Bellview Airlines]]|Abidjan, Lagos, Monrovia |[[British Airways]]|London-Heathrow |[[CTK - CiTylinK]]|Kumasi, Sunyani |[[Delta Air Lines]]|Atlanta [begins 2 Juni]<ref>http://news.delta.com/index.php?DB=mr4enh_delta&s=11</ref>, New York-JFK |[[EgyptAir]]|Cairo |[[Emirates Airline|Emirates]]|Abidjan, Dubai |[[Ethiopian Airlines]]|Abidjan, Addis Ababa, Conakry |[[Ghana International Airlines]]|Düsseldorf, London Gatwick |[[Kenya Airways]]|Nairobi, Freetown, Monrovia |[[KLM]]|Amsterdam |[[Lufthansa]]|Frankfurt |[[Middle East Airlines]]|Beirut |[[Nigerian Eagle Airlines]]|Dakar, Lagos, Monrovia |[[Royal Air Maroc]]|Casablanca |[[South African Airways]]|Johannesburg <!--SAA do not have traffic rights from Accra to Lagos; do not add Lagos as an SA destination here --> |[[United Airlines]]|Washington-Dulles [begins 3 Mei]<ref>http://www.united.com/press/detail/0,7056,61241,00.html</ref><!-- UA will not have traffic rights from Accra to Lagos; do add Lagos as a destination. --> }} === Ndege za mizigo === * [[Aerogem Cargo]] * [[Air France]] * [[Avient Aviation]] (Sharjah) * [[Cargolux]] == Marejeo == {{Marejeo}} == Viungo vya nje == * [http://www.gcaa.com.gh/ Tovuti Rasmi ya Shirika la Mamlaka ya Urobani Ghana .] {{Wayback|url=http://www.gcaa.com.gh/ |date=20091227172816 }} * {{WAD|DGAA}} {{Airports in Ghana}} [[Jamii:Viwanja vya ndege nchini Ghana]] [[Jamii:Accra]] dtl73dsfx93zehoikgil7b3czfktqx1 Kit Mikayi 0 34334 1233870 1142293 2022-07-20T12:59:01Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[File:Kit-Mikayi.JPG|thumb|250px|right|Kit-Mikayi mwaka 2002]] '''Kit-Mikayi''' (pia hutajwa kama '''Kit Mikayi''', '''Kitmikayi''' na '''Kitmikaye''') ni [[Mwamba (jiolojia)|mwamba]] mkubwa uliyoko kwenye [[barabara]] ya [[Kisumu-Bondo]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]], karibu [[Kilomita|kilometa]] 29 magharibi mwa [[Kisumu]]. Kit-mikayi inamaanisha "Mawe ya mke wa kwanza" katika [[Dholuo]], [[lugha]] ya [[Waluo]]. ==Historia== Hadithi inayoelezea kuhusu Kit Mikayi ni kwamba: Wakati mrefu uliopita, kulikuwa na mzee aliyeitwa Ngeso aliyekuwa amelipenda sana jiwe hilo. Kila siku, angeamka asubuhi, aende pale penye jiwe na ashinde hapo siku nzima na hili lingemlazimisha mkewe ampelekee kiamsha-kinya na chakula cha mchana kila siku. Mzee huyu alilipenda sana jiwe hili kiasi kwamba watu walipomuuliza mkewe alipokuwa, mkewe aliwajibu kuwa alikuwa ameenda kwa mkewe wa kwanza (Mikayi). Hili lilisababisha jiwe liitwe Kit Mikayi (Jiwe la Mke wa kwanza). Maelezeo zaidi yanaelezea kuwa kulingana na muundo wake, jiwe hili liliwakilisha familia ya kitamaduni ya kiluo ya mabibi wengi, iliyokuwa na nyumba ya bibi wa kwanza (Mikayi) ilijengwa katikati mwa boma, nyumba ya bibi wa pili (Nyachira) ilijengwa katika upande wa kulia na nyumba ya bibi wa tatu (Reru) ilijenga katika upande wa kushoto. Jiwe hili linaweza pia kuwakilisha familia ndogo ambapo, Baba (Ngeso) ndiye jiwe la kati akifuatwa Bibi wa kwanza (Mikayi), Bibi wa pili (Nyachira) halafu Bibi wa tatu (Reru) na mbele kabisa, walikuwa na mtoto aliyewakilisha Simba (nyumba ya kifungua-mimba wa kiume wa boma) ==Maelezeo na mahali== Kit-Mikayi ni muundo wa mawe - jiwe la mita 70 - karibu na barabara ya Kisumu-Bondo takriban kilometa 29 magharibi mwa Kisumu (kuelekea soko la Kombewa na kabla ya kufikia daraja la [[mto Nyamgun]]) katika kitongoji cha Kakelo. ==Umuhimu== Wenyeji wanaoishi karibu na mwamba huo wanajulikana kama jamii ya Wajaluo-Kakello. Eneo hili limehusishwa na dhabihu na hadithi nyingi kutoka nyakati za kabla ya ukristo, hasa hadithi kueleza maana ya jina lake. Kit-Mikayi ni kituo kikuu cha kuonea, hasa kati ya makabila ya jirani ya Waluo. Pia imekuwa pahali pa kuombea kwa wafuasi wa injili ya [[Legio Maria]] ambao huja kuomba na kufunga kwa wiki kadhaa. ==Marejeo== {{reflist}} {{Kenya-geo-stub}} [[Jamii:Vivutio vya Kenya]] g7kszt619qcmxxc5reax7nxwvf49krb Gulf News 0 34651 1233879 1140408 2022-07-20T13:07:12Z Riccardo Riccioni 452 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki {{Infobox Gazeti | jina = Gulf News | picha = [[Picha:Gulf News 26 Sep 07-1-.JPG|200px]] | maandishi ya picha = Ukurasa wa mbele wa toleo la 26 Septemba 2007 wa <br />''Gulf News'' | aina = Gazeti la Kila Siku | muundi = [[Kijikaratasi Pana]] | ilianzishwa = 1978 | mmiliki = [[Al Nisr Publishing]] | mhariri = [[Abdulhamid Ahmad]] | uenezeshaji = 115,366 Kila Siku | makao makuu = [[Makao Makuu ya Gulf News]]<br />[[Barabara ya Sheikh Zayed]]<br />[[Dubai]], [[UAE]] | tovuti = [http://www.gulfnews.com/ gulfnews.com] }} '''''Gulf News'' ''' ni gazeti la kila siku ya lugha ya Kiingereza inayochapishwa kutoka [[Dubai]], katika [[Falme za Kiarabu]] lililo na wasomaji zaidi ya 115.000 kulingana na takwimu zilizokusanywa na BPA mwaka 2008. <sup>[http://www.gulfnews.com/aboutus/gulfnews/information/10217915.html ] {{Wayback|url=http://www.gulfnews.com/aboutus/gulfnews/information/10217915.html |date=20091004192305 }}</sup> Gazeti hili lilishinda tuzo la Asia - Pacific la uzalishaji bora zaidi wa gazetti mwezi Julai 1990. == Historia ya awali == Gulf News ilizinduliwa mara ya kwanza katika muundo wa tabloid tarehe 30 Septemba 1978 na mfanyabiashara maarufu wa UAE, Abdul Wahab Galadari; ofisi zake zilikuwa kwenye barabara ya Airport Road, Dubai. Mnamo Novemba 1984, wafanyabiashara watatu mashuhuri wa UAE, waliinunua kampuni na wakaunda kampuni ya Al Nisr Publishing. Wamiliki wapya wa jarida walikuwa [[Obaid Humaid Al Tayer]], [[Abdullah Al Rostamani]] na [[Juma Al Majid]]. Kufuatia kifo cha Abdullah Al Rostamani mwaka 2006, nafasi yake katika bodi inashikiliwa na mchaguliwa wa familia yake wakati wakurugenzi wengine walibaki. Chini ya umiliki mpya, Gulf News ilizinduliwa upya tarehe 10 Desemba 1985 na ilikuwa bure kwa umma. Kuanzia Februari 1986, umma ulilipishwa [[Dirham]] moja (dola senti 27) kwa paketi ya Gulf News ambayo ilikuwa na gazeti lenyewe na sehemu ndogo ya burudani iitwayo Tabloid, ambayo ilikuwa pia na matangazo. Baada ya kuhamia makao mapya mwaka 1986, Gulf News ilianza kusambazwa katika nchi zingine za [[GCC]]: [[Bahrain]] kuanzia Septemba 1987; [[Oman]] kuanzia Aprili 1989; [[Saudi Arabia]] Machi 1989; na [[Qatar]] kuanzia Aprili 1989. Pia ikawa inapatikana nchini [[Pakistan]] kuanzia Agosti 1988. Mnamo Novemba 1995 upana wa majikaratasi ya jarida ulipunguzwa kwa sentimita nne, ili kuipa upana mpya wa kimataifa wa sentimita 38. [[Al Nisr Publishing]] ilikuwa [[Kampuni yenye Madeni yenye vikwazo]] ikiwa na dhamani ya milioni Dh15 tarehe 26 Mei 1997. == Ofisi za Kigeni == Ili kutoa huduma bora kwa wasomaji wake, Gulf News ilifungua ofisi mbalimbali kote [[United Arab Emirates]], [[GCC]] na bara-ngogo yake. Ofisi ya Abu Dhabi ilifunguliwa mwaka 1982; ofisi ya Bahrain mwezi Januari 1988; ofisi ya Oman mwaka 1989; ofisi ya Manila mwezi Agosti 1990; ofisi ya Al Ain mwaka 1994; ofisi ya Sharjah mwezi Mei 1995; na ofisi ya New Delhi mwezi Novemba 1995. Toleo la kwanza la Gulf News kwenye tovuti lilizinduliwa tarehe 1 Septemba 1996. Gulf News walihamia kwenye makao yao makuu ya sasa katika [[Barabara ya Sheikh Zayed]] tarehe Aprili 2000. Makao makuu ya sasa yako na vifaa vya kisasa kila mahali, pamoja na mtandao wa fiber-optic na moja ya vituo vya uchapishaji vyenye teknolojia ya hali ya juu kabisa katika Mashariki ya Kati. == Udhamini &amp; Uendelezaji == Gulf News ilikuwa gazeti la kwanza katika kanda kuendeleza sanaa, utamaduni, muziki na michezo kupitia udhamini wa matukio. Mnamo Machi 1989 Gulf News ilianza Ghuba Business Awards kwa kushirikiana na DHL kwa CEO bora zaidi na mfanyibiashara. Mradi huu ulikomeshwa mwaka 1996. Tukio maarufu la News Fun Drive ulianza Machi 1986. Tukio la Fun Drive la 26 lilifanyika mwezi Desemba 2006 na uliona magari 750 na zaidi ya washiriki 2800. Tukio lingine kubwa ni Mashindano ya kombe la Dunia ya Farasiya dola milioni 6, ambalo hujumuisha mashindano saba bora na hujumuisha shindano la farasi wa Waarabu 'Purebred'. Gulf News linadhamini shindano la dola milioni 2 la Dubai Golden Shaheen, mbio za kikundi cha kwanza ambalo ni vutio kuu, katika mkutano. Gulf News pia hudhamini shindano nzima la jioni la farasi huko Nad Al Sheba, na kila mbio hupewa jina baada ya gazeti yao moja. Jarida pia hudhamini idadi ya matukio ya michezo nyingine kubwa katika UAE, vilevile semina na mikutano. Maarufu kati ya haya ni Mkutano wa Mikakati ya Kiarabu, ambapo viongozi katika sekta ya siasa hukusanyika kujadili matukio yanayoathiri kanda. == Jukumu katika Kupigwa marufuku kwa Orkut == Tarehe 3 Julai 2007, Gulf News walirejerea suala la "shughuli zisizo na maadili" za jamii za [[Orkut]], makichapisha malalamiko kutoka kwa wanachama wa jumuiya ya umma dhidi ya jamii za Orkut kama "Dubai Sex", na kuleta malalamiko rasmi kwa shirika la mtandao la [[Etisalat]] <ref>[2] ^ [http://archive.gulfnews.com/articles/07/07/03/10136441.html Orkut.com 'yatumiwa kwa shughuli zisizo na maadili'] {{Wayback|url=http://archive.gulfnews.com/articles/07/07/03/10136441.html |date=20090502162101 }} Gulf News 3 Julai 2007</ref>. Hofu ya maadili iliyofuata ilifanya kupigwa marufuku upya ka tovuti hiyo na Etisalat tarehe 4 Julai 2007 <ref>[3] ^ [http://archive.gulfnews.com/articles/07/07/04/10136890.html Orkut.com kupigwa marufuku katika UAE] {{Wayback|url=http://archive.gulfnews.com/articles/07/07/04/10136890.html |date=20090228214510 }} Gulf News 4 Julai 2007</ref> == Makanushi ya Holocaust == Tarehe 4 Januari 2009, makala iliyochapishwa na Dr Muhammad Abdullah Al Mutawa, wa [[sosholojia]] katika [[Chuo Kikuu cha Al Ain UAE]] ambayo ilisema kwamba Nazi [["Holocaust]] ilikuwa uwongo tu uliokuwa uumebuniwa na Zionists ili kusaliti ubinadamu." Iliendelea "Ni dhahiri kwamba ilikuwa ni njama iliyopangwa na Zionists na Nazis, na watu wengi wasio na hatia walitoa maisha yao kutokana na njama hii ya unyama." Wahariri baadaye walisema ilikuwa utafsiri mbaya kutoka Kiarabu. == Marejeo == {{Marejeo}} == Viungo vya nje == * [http://www.gulfnews.com/home/index.html Gulf News] {{Wayback|url=http://www.gulfnews.com/home/index.html |date=20090904204116 }} * [http://www.gulfnews.com/images/07/09/30/gnfirstfrontpage.pdf Ukurasa wa Kwanza] {{Wayback|url=http://www.gulfnews.com/images/07/09/30/gnfirstfrontpage.pdf |date=20090320140704 }} kutoka Gulf News 'toleo la kwanza tarehe 30 Septemba 1978 * [http://www.xpress4me.com XPRESS] [[Jamii:Magazeti ya Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Magazeti ya Kiingereza]] srvt8qbta4tg6w6t8w6k8p1xsxo79bz Kipkalya Kones 0 34760 1233891 1142185 2022-07-20T13:23:04Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Kipkalya Kiprono Kones''' (22 Februari [[1952]] - 10 Juni [[2008]]) <ref name="Two"> "Waziri wawili wafariki nchini Kenya", Sapa-AFP (IOL), 10 Juni 2008.</ref> alikuwa [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Kenya]] ambaye aliwahi kuhudumu kama [[waziri]] katika [[miaka ya 1990]] na alikuwa Waziri wa Barabara kwa muda mfupi mwaka wa 2008. Alikuwa mwanachama wa [[Bunge la Kenya]] kuanzia mwaka wa 1988 hadi mwaka wa 2008. Alijaribu kwanza kushinda kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka wa 1983, lakini alishindwa na [[Isaac Kipkorir Salat]]. Kufuatia kifo cha Salat mwaka wa 1988, Kones alishinda kiti cha eneo bunge la [[Bomet]] katika uchaguzi mdogo kama sehemu ya [[Kenya African National Union]] (KANU) mwaka wa 1988 na kisha aliteuliwa kama Naibu Waziri wa Kilimo na Rais [[Daniel Arap Moi]]. Alichaguliwa tena katika [[uchaguzi]] na mwaka wa [[1992]] na aliteuliwa na Moi kama Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais. Katika uchaguzi wa mwaka wa [[1997]] alichaguliwa tena kama mbunge na Moi alimteua kama Waziri wa Ujenzi wa umma na Makazi; hatimaye alihamishwa kwa nyadifa za Waziri wa Utafiti, Sayansi na Teknolojia na Waziri wa Mafunzo ya Ufundi. Kabla ya uchaguzi wa mwaka wa 2002, alikosana na rais Moi na akapiga moyo konde kujiunga na harakati ya Muungano wa Mageuzi wakiongozwa na [[James Orengo]]. Katika uchaguzi wa mwaka wa 2002, Kones alibadilisha chama na kujiunga na chama cha [[Ford-People]] lakini alipoteza kiti hicho cha ubunge kwa [[Nick Salat]], mwana wa aliyekuwa mbunge wa eneo bunge hilo,Isaka Kipkorir Salat ambaye alikuwa anaiwakilisha KANU, chama ambacho Kones alikuwa amekiondoka hivi karibuni. Hata hivyo, aliteuliwa na chama cha [[Forum for the Restauration of Democracy]] na hivyo basi akakihifadhi kiti hicho cha Mbunge. Pia aliteuliwa kama waziri msaidizi wa kazi za umma. Alipinga mpango wa uzazi miongoni mwa makabila madogo kwa kusema kuwa makabila hayo yanapaswa kukua kwa idadi ndiposa ziwe sawa makabila kubwa. Kama mwanachama wa [[Orange Democratic Movement]] (ODM), kwa mara nyingine tena alikishinda kiti cha eneo bunge la Bomet katika uchaguzi wa bunge mnamo Desemba 2007. Kones aliteuliwa kama Waziri wa Barabara katika muungano uliokuwa unatawala wa baraza la mawaziri, ambalo lilitajwa mnamo tarehe 13 Aprili 2008 na lilijumuisha chama zote mbili za ODM na [[Party of National Unity]] (PNU);<ref>Patrick Wachira, [http://www.eastandard.net/news/?id=1143984813 "Kibaki majina mwezi Cabinet",] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/news/?id=1143984813 |date=20080415144844 }} ''The Standard'' (Kenya), 14 Aprili 2008.</ref> baraza la mawaziri lililapwa tarehe 17 Aprili. Aliuawa pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nyumbani [[Lorna Laboso]] katika ajali la ndege tarehe 10 Juni 2008. Ndege liliigonga jengo katika soko la Kajong karibu na Nairagie Enkare katika sehemu ya Enoosupukia, Wilaya ya Narok, karibu [[Narok]] na [[Hifadhi ya wanyama ya Masai Mara]]. Ndege lililokuwa likiwabeba Kones na Laboso, ndege nyepesi ya[[Cessna]] , lilikuwa limeondoka kutoka [[Uwanja wa ndege wa Wilson]] katika mji mkuu wa [[Nairobi]];<ref name="Two" /><ref name="BBC" /><ref name="Nation" /> walikuwa wanaelekea mjini [[Kericho]] katika mkoa wa [[Bonde la Ufa]] kusaidia katika uandalizi wa vifaa kwa mgombea wa ODM [[Benjamin Langat]] katika uchaguzi mdogo ambayo ilikuwa imepangwa kufanyika katika eneo bunge la [[Ainamoi]] mnamo tarehe 11 Juni. Kwa kuongezea Kones na Laboso, Rubani na Mlinzi wa usalama pia waliuawa.<ref name="BBC" /><ref name="Nation" /> Rais [[Mwai Kibaki]] alimtuma rambirambi na kuamuru bendera kupeperushwa nusu mlingoti, kwa kusema kuwa Kenya ilikuwa "imewapoteza viongozi walioyokithiri wenye uwezo katika umri wao wa makamo na wenye siku za baadaye zilizoahidi." Waziri Mkuu [[Raila Odinga]], kiongozi wa ODM, alisema kwamba huo ulikuwa "wakati wa kusikitisha sana"; kwa kuamini kwamba muda ulikuwa umepita sana kuchelewesha uchaguzi mdogo ambao ulikuwa umepangwa, aliwahimiza wafuasi wa ODM kutumia uchaguzi huo mdogo kama njia ya kuonyesha heshima kwa Kones na Laboso kwa kujitokeza kupigia kura wagombea wa ODM.<ref name="Nation" /> "Orodha ya wahusika waliodaiwa" wa ghasia za baada ya uchaguzi za 2007/2008 ya Tume ya Haki za Binadamu ya taifa ya Kenya hata hivyo inamuorodhesha miongoni mwa watuhumiwa katika sehemu ya 4 (ukurasa 180 s.) na inamshtaki kwa "kupanga, uchochezi, na kutoa fedha kwa ajili ya vurugu ". Kufuatia kifo cha Kones, uchaguzi mdogo katika eneo bunge la Bomet lilifanyika mnamo tarehe 25 Septemba 2008. Kiti hicho kilishindwa na [[Beatrice Cherono Kones]] wa ODM na mjane wa Kipkalya Kones. ==Marejeo== {{Marejeo}} {{start box}} {{s-off}} {{Incumbent succession box | title = Minister of Roads | before = ? | start = 2008 }} {{s-start}} {{succession box | before = ? | title = Member of the National Assembly of Kenya for [[Bomet Constituency|Bomet]] | years = 1988 - 2008 | after = [[Beatrice Kones]] }} {{end}} {{end box}} {{DEFAULTSORT:Kones, Kipkalya}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2008]] [[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]] [[Jamii:Wajumbe wa Orange Democratic Movement (Kenya)]] p3s8j5bwult75d7v70oiu42v2gpt9dt 1233892 1233891 2022-07-20T13:24:46Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Kipkalya Kiprono Kones''' (22 Februari [[1952]] - 10 Juni [[2008]]) <ref name="Two"> "Waziri wawili wafariki nchini Kenya", Sapa-AFP (IOL), 10 Juni 2008.</ref> alikuwa [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Kenya]] ambaye aliwahi kuhudumu kama [[waziri]] katika [[miaka ya 1990]] na alikuwa Waziri wa Barabara kwa muda mfupi mwaka wa 2008. Alikuwa mwanachama wa [[Bunge la Kenya]] kuanzia mwaka wa 1988 hadi mwaka wa 2008. Alijaribu kwanza kushinda kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka wa 1983, lakini alishindwa na [[Isaac Kipkorir Salat]]. Kufuatia kifo cha Salat mwaka wa 1988, Kones alishinda kiti cha eneo bunge la [[Bomet]] katika uchaguzi mdogo kama sehemu ya [[Kenya African National Union]] (KANU) mwaka wa 1988 na kisha aliteuliwa kama Naibu Waziri wa Kilimo na Rais [[Daniel Arap Moi]]. Alichaguliwa tena katika [[uchaguzi]] na mwaka wa [[1992]] na aliteuliwa na Moi kama Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais. Katika uchaguzi wa mwaka wa [[1997]] alichaguliwa tena kama mbunge na Moi alimteua kama Waziri wa Ujenzi wa umma na Makazi; hatimaye alihamishwa kwa nyadifa za Waziri wa Utafiti, Sayansi na Teknolojia na Waziri wa Mafunzo ya Ufundi. Kabla ya uchaguzi wa mwaka wa 2002, alikosana na rais Moi na akapiga moyo konde kujiunga na harakati ya Muungano wa Mageuzi wakiongozwa na [[James Orengo]]. Katika uchaguzi wa mwaka wa 2002, Kones alibadilisha chama na kujiunga na chama cha [[Ford-People]] lakini alipoteza kiti hicho cha ubunge kwa [[Nick Salat]], mwana wa aliyekuwa mbunge wa eneo bunge hilo,Isaka Kipkorir Salat ambaye alikuwa anaiwakilisha KANU, chama ambacho Kones alikuwa amekiondoka hivi karibuni. Hata hivyo, aliteuliwa na chama cha [[Forum for the Restauration of Democracy]] na hivyo basi akakihifadhi kiti hicho cha Mbunge. Pia aliteuliwa kama waziri msaidizi wa kazi za umma. Alipinga mpango wa uzazi miongoni mwa makabila madogo kwa kusema kuwa makabila hayo yanapaswa kukua kwa idadi ndiposa ziwe sawa makabila kubwa. Kama mwanachama wa [[Orange Democratic Movement]] (ODM), kwa mara nyingine tena alikishinda kiti cha eneo bunge la Bomet katika uchaguzi wa bunge mnamo Desemba 2007. Kones aliteuliwa kama Waziri wa Barabara katika muungano uliokuwa unatawala wa baraza la mawaziri, ambalo lilitajwa mnamo tarehe 13 Aprili 2008 na lilijumuisha chama zote mbili za ODM na [[Party of National Unity]] (PNU);<ref>Patrick Wachira, [http://www.eastandard.net/news/?id=1143984813 "Kibaki majina mwezi Cabinet",] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/news/?id=1143984813 |date=20080415144844 }} ''The Standard'' (Kenya), 14 Aprili 2008.</ref> baraza la mawaziri lililapwa tarehe 17 Aprili. Aliuawa pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nyumbani [[Lorna Laboso]] katika ajali la ndege tarehe 10 Juni 2008. Ndege liliigonga jengo katika soko la Kajong karibu na Nairagie Enkare katika sehemu ya Enoosupukia, Wilaya ya Narok, karibu [[Narok]] na [[Hifadhi ya wanyama ya Masai Mara]]. Ndege lililokuwa likiwabeba Kones na Laboso, ndege nyepesi ya[[Cessna]] , lilikuwa limeondoka kutoka [[Uwanja wa ndege wa Wilson]] katika mji mkuu wa [[Nairobi]];<ref name="Two" /><ref name="BBC" /><ref name="Nation" /> walikuwa wanaelekea mjini [[Kericho]] katika mkoa wa [[Bonde la Ufa]] kusaidia katika uandalizi wa vifaa kwa mgombea wa ODM [[Benjamin Langat]] katika uchaguzi mdogo ambayo ilikuwa imepangwa kufanyika katika eneo bunge la [[Ainamoi]] mnamo tarehe 11 Juni. Kwa kuongezea Kones na Laboso, Rubani na Mlinzi wa usalama pia waliuawa.<ref name="BBC" /><ref name="Nation" /> Rais [[Mwai Kibaki]] alimtuma rambirambi na kuamuru bendera kupeperushwa nusu mlingoti, kwa kusema kuwa Kenya ilikuwa "imewapoteza viongozi walioyokithiri wenye uwezo katika umri wao wa makamo na wenye siku za baadaye zilizoahidi." Waziri Mkuu [[Raila Odinga]], kiongozi wa ODM, alisema kwamba huo ulikuwa "wakati wa kusikitisha sana"; kwa kuamini kwamba muda ulikuwa umepita sana kuchelewesha uchaguzi mdogo ambao ulikuwa umepangwa, aliwahimiza wafuasi wa ODM kutumia uchaguzi huo mdogo kama njia ya kuonyesha heshima kwa Kones na Laboso kwa kujitokeza kupigia kura wagombea wa ODM.<ref name="Nation" /> "Orodha ya wahusika waliodaiwa" wa ghasia za baada ya uchaguzi za 2007/2008 ya Tume ya Haki za Binadamu ya taifa ya Kenya hata hivyo inamuorodhesha miongoni mwa watuhumiwa katika sehemu ya 4 (ukurasa 180 s.) na inamshtaki kwa "kupanga, uchochezi, na kutoa fedha kwa ajili ya vurugu ". Kufuatia kifo cha Kones, uchaguzi mdogo katika eneo bunge la Bomet lilifanyika mnamo tarehe 25 Septemba 2008. Kiti hicho kilishindwa na [[Beatrice Cherono Kones]] wa ODM na mjane wa Kipkalya Kones. ==Marejeo== {{Marejeo}} {{start box}} {{s-off}} {{s-start}} {{succession box | before = ? | title = Member of the National Assembly of Kenya for [[Bomet Constituency|Bomet]] | years = 1988 - 2008 | after = [[Beatrice Kones]] }} {{end}} {{end box}} {{DEFAULTSORT:Kones, Kipkalya}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2008]] [[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]] [[Jamii:Wajumbe wa Orange Democratic Movement (Kenya)]] eflxapvd2cukcmk2x0aa50wstjtyaar Cumberland County, Nova Scotia 0 35111 1233907 1188088 2022-07-20T13:51:20Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox settlement |jina rasmi = Kata ya Cumberland |other_name = |native_name = |nickname = |settlement_type = [[County]] |motto = |image_skyline = |imagesize = |image_caption = |image_flag = Cumberland county ns flag.gif |flag_size = 260px |image_seal = |seal_size = |image_shield = |shield_size = |city_logo = |citylogo_size = |image = CumberlandCounty.png |mapsize = 275px |map_caption = '''Location of Cumberland County, Nova Scotia''' |image_map1 = |mapsize1 = |map_caption1 = |subdivision_type = Country |subdivision_name = {{CAN}} |subdivision_type1 = Province |subdivision_name1 = {{NS}} |subdivision_type2 = Towns |subdivision_name2 = [[Amherst, Nova Scotia|Amherst]] / [[Oxford, Nova Scotia|Oxford]] / [[Parrsboro, Nova Scotia|Parrsboro]] / [[Springhill, Nova Scotia|Springhill]] |subdivision_type3 = |subdivision_name3 = |subdivision_type4 = |subdivision_name4 = |seat_type =Electoral&nbsp;Districts&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;<br>[[List of Canadian federal electoral districts|Federal]] |seat =<br>[[Cumberland—Colchester—Musquodoboit Valley]] |parts_type =[[List of Nova Scotia provincial electoral districts|Provincial]] |parts =[[Cumberland North]] / [[Cumberland South]] |government_footnotes = |government_type =Cumberland County Municipal Council |leader_title =Warden |leader_name =Keith Hunter |leader_title1 = |leader_name1 = |leader_title2 = |leader_name2 = |leader_title3 = |leader_name3 = |leader_title4 = |leader_name4 = |established_title = Incorporated&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; |established_date = 17 Aprili 1879 |established_title2 = <!-- Incorporated (town) --> |established_date2 = |established_title3 = <!-- Incorporated (city) --> |established_date3 = |area_magnitude = |unit_pref = |area_footnotes =<ref name="SC2006">[http://www12.statcan.gc.ca/census-recensement/2006/dp-pd/prof/92-591/details/page.cfm?Lang=E&Geo1=CD&Code1=1211&Geo2=PR&Code2=13&Data=Count&SearchText=Cumberland&SearchType=Begins&SearchPR=01&B1=Custom&Custom=1000,7000,8000 2006 Statistics Canada Community Profile: Cumberland County, Nova Scotia]</ref> |area_total_km2 = |area_land_km2 = 4271.14 |area_water_km2 = |area_total_sq_mi = |area_land_sq_mi = |area_water_sq_mi = |area_water_percent = |area_urban_km2 = |area_urban_sq_mi = |area_metro_km2 = |area_metro_sq_mi = |population_as_of = 2006 |population_footnotes =<ref name="SC2006"/><ref>[http://www12.statcan.ca/english/census06/data/popdwell/Table.cfm?T=301&SR=1001&S=1&O=A&RPP=100&PR=0&CMA=0/ Statistics Canada] Population and dwelling counts, for Canada and census subdivisions (municipalities), 2006 and 2001 censuses - 100% data</ref> |population_note = |population_total = 32,046 |population_density_km2 = 7.5 |population_density_sq_mi = |population_metro = |population_density_metro_km2 = |population_density_metro_sq_mi = |population_urban = |population_density_urban_km2 = |population_density_urban_sq_mi = |population_blank1_title = Change&nbsp;<small>2001-06</small> |population_blank1 = {{loss}}1.7% |population_blank2_title = [[Census]]&nbsp;Rankings <br> &nbsp;- ''Census&nbsp;divisions'' <br> &nbsp;Subdivision A <br> &nbsp;Subdivision B <br> &nbsp;Subdivision C <br> &nbsp;Subdivision D <br> &nbsp;- ''Towns'' <br> &nbsp;[[Amherst, Nova Scotia|Amherst]] <br> &nbsp;[[Oxford, Nova Scotia|Oxford]] <br> &nbsp;[[Parrsboro, Nova Scotia|Parrsboro]] <br> &nbsp;[[Springhill, Nova Scotia|Springhill]] |population_blank2 = <br><br> 2,261 (1,224 of 5,008) <br> 3,781 (850 of 5,008) <br> 5,525 (634 of 5,008) <br> 4,454 (737 of 5,008) <br><br> 9,505 (401 of 5,008) <br> 1,178 (1,852 of 5,008) <br> 1,401 (1,679 of 5,008) <br> 3,941 (819 of 5,008) |timezone = [[Atlantic Standard Time Zone|AST]] |utc_offset = -4 |timezone_DST = [[Atlantic Standard Time Zone|ADT]] |utc_offset_DST = -3 |latd= |latm= |lats= |latNS=N |longd= |longm= |longs= |longEW=W |elevation_footnotes = |elevation_m = |elevation_ft = |postal_code_type = |postal_code = |area_code = [[Area code 902|902]] |blank_name =Dwellings |blank_info =18,153 |blank1_name =Median Income* |blank1_info =$38,433 [[Canadian dollar|CDN]] |website = [http://www.cumberlandcounty.ns.ca/ www.cumberlandcounty.ns.ca] |footnotes =*Median household income, 2005 (all households) }} '''Kaunti ya Cumberland ''' ni [[kata]] katika [[jimbo]] la [[Nova Scotia]], [[Kanada]]. ==Historia== Kata hili lilikaliwa na Maindio wa kabila la [[Mi'kmaq]] wakati kwa kufika Wazungu Wafaransa katika sehemu hizi za Kanada. Wafaransa walijenga boma lililoitwa Beausejour (makao mazuri). Wakati wa [[vita ya miaka 7]] boma hilililitwaliwa na Waingereza mnamo 18 Juni 1855. Kwa heshima ya mtoto wa mfalme wa [[Uingereza]] aliyekuwa na cheo cha mtemi wa Cumberland jina hili liliteuliwa kwa mahali pale. Kata ya Cumberland ilianzishwa mnamo 17 Agosti 1759. Wakati jiji la Parrsboro liligawanywa katika mwaka wa 1840, sehemu moja ikawa kata ya Cumberland na sehemu nyingine ikawa [[Colchester]]. Mpaka wa kugawanya Cumberland na Colchester ulianzishwa mwaka 1840. Mwaka wa 1897, sehemu ya mpaka kati ya kata za Colchester na Cumberland ulitambulika . ==Jiografia== Kata hii ina eneo la 4,271.23 km ² (1,649.1 maili mraba). Kata ya Cumberland County ni tajiri katika maliasili na misitu mingi ionayotumiwa na viwanda vya mbao na makandarasi ya karatasi. Ina rasilimali nyingi za madini, pamoja na eneo 2 za chumvi. Hadi miaka ya 1970 piailikuwa na migodi ya makaa ya mawe kadhaa ambayo yalikuwa na makaa ya mawe kutoka seams yaliyotoka [[Mto Joggins]] na [[Hebert]] na kwenye [[Athol]] na [[Springhill.]] Kilimo kinazingatia uvunaji wa matunda ya [[Blueberry]] katika [[Vilima vya Cobequid ]], vilevile mashamba ya kuchanganya katika mkoa wa [[Tantramar Marshes]] , [[pwani ya Northumberland]] , na [[bonde la Wentworth .]] Kaskazini magharibi ya kata ya Cumberland huwa sehemu ya [[Isthmus ya Chignecto]], draja ya ardhi inayounganisha [[Scotia Peninsula]] na [[Amerika ya Kaskazini.]] Kama vile, kata hii huwa na njia za usafirishaji muhimu , pamoja na [[Barabara kuu ya 104]] (y[[Barabara kuu ya Trans-Kanada]] na [[Reli za CN]] reli ya Halifax-Montreal . Miji hii minne iko katika kata ya Cumberland: [[Amherst, Springhill, Parrsboro]], na [[Oxford.]] ==Demografia== {{col-begin|width=60%}} {{col-2}} '''Mwenendo wa Idadi ya Watu ''' <ref>[3] ^ Takwimu Kanada: [[Sensa za 1996, 2001, 2006]] </ref> {| class="wikitable" |- ! Sensa ! Idadi ya Watu ! Mabadiliko (%) |- | 2006 | 32.046 | {{loss}} 1,7% |- | 2001 | 32.605 | {{loss}} 3,5% |- | (1996). | 33.804 | {{loss}} 1,4% |- | 1991 | 34.284 | N / A |} {{col-2}} '''Lugha mama (2006)''' <ref name="SC2006"></ref> {| class="wikitable" |- ! Lugha ! Idadi ya Watu ! Pct (%) |- | Kiingereza tu | 30.230 | 96.97% |- | Lugha nyingine | 630 | 2.02% |- | Kifaransa tu | 285 | 0.91% |- | Zote Kiingereza na Kifaransa | [45] | 0.10% |} {{col-2}} '''Makabila (2006)''' <ref name="SC2006"></ref> {| class="wikitable" |- ! Rangi ! Idadi ya Watu ! asilimia(%) |- | Nyeupe | 30.640 | 98.28% |- | Nyeusi | 315 | 1.01% |- | Arab | 105 | 0.34% |- | Asia | 85 | 0.27% |} {{col-end}} ==Barabara== Barabara kuu na njia zinazopitia katika kata hii, pamoja na njia za nje ambazo huanza au kumaliza katika mipaka ya kata hii: <ref>[12] ^ Ramani ya Kanada ya Atalantiki ISBN 978-1-55368-618-7 Makala 50-52, 65-68</ref> {{col-begin}} {{col-4}} * '''Barabara Kuu''' ** {{jct|state=NS|TCH|104}} {{col-4}} * '''Njia za Magari Kubwa''' ** {{jct|state=NS|Trunk|2}} ** {{jct|state=NS|Trunk|4}} ** {{jct|state=NS|Trunk|6}} {{col-4}} * '''Njia za Ushuru:''' ** {{jct|state=NS|Route|204}} ** {{jct|state=NS|Route|209}} ** {{jct|state=NS|Route|242}} ** {{jct|state=NS|Route|246}} ** {{jct|state=NS|Route|301}} ** {{jct|state=NS|Route|302}} ** {{jct|state=NS|Route|321}} ** {{jct|state=NS|Route|366}} ** {{jct|state=NS|Route|368}} {{col-4}} * '''Njia za nje:''' ** [[Brunswick Mpya Njia ya 2]] ** [[File:NB 970.png|20px]] {1 Brunswick Mpya Njia970{/1} {{col-end}} ==Angalia pia== * [[Orodha ya jamii katika Nova Scotia]] * [[Shirika la Utalii Katika Nova]] - Utalii Association representerar Cumberland County. * [[Monaki katika Nova Scotia]] ==Marejeo== {{Marejeo}} ==Viungo vya nje== {{Commons category}} * [http://www.cumberlandcounty.ns.ca/ Tovuti rasmi Cumberland ] * [http://ns1763.ca/cumberco/cumberlandwar.html Picha za Vita katika kata ya Cumberland , Amherst] * [http://ns1763.ca/cumberco/cumbercondx.html Picha za makaburi ya kihistoria katika kata ya Cumberland ] {{Wayback|url=http://ns1763.ca/cumberco/cumbercondx.html |date=20100915183641 }} <br> {{Geographic Location (8-way) | Centre = Cumberland County | North = {{NB}} <br>([[Westmorland County, New Brunswick|Westmorland County]]) | Northeast = | East = ''[[Northumberland Strait]]'' | Southeast = | South = [[Colchester County, Nova Scotia|Colchester County]] | Southwest = ''[[Minas Basin]]'' | West = ''[[Chignecto Bay]]'' | Northwest = }} <br> [[Category:Nova Scotia]] 4shdh46j62adcqyanouvy7ub9x4hqw5 Dennis Mitchell 0 35500 1233906 1204312 2022-07-20T13:49:19Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{MedalTableTop| |150px}} {{MedalSport | Riadha ya Wanaume}} {{MedalCountry | {{Flag icon|USA}}[[Marekani]] }} {{MedalCompetition|Michezo ya Olympiki}} {{MedalGold | 1992,[[Barcelona]] | 4 x 100m}} {{MedalSilver | 1996,[[Atlanta]] | 4 x 100m}} {{MedalBronze | 1992 Barcelona | 100m}} {{MedalCompetition|Mashindano ya Mabingwa wa Dunia }} {{MedalGold|1991 ,[[Tokyo]]|4 x 100m}} {{MedalGold|1993 ,[[Stuttgart]]|4 x 100m}} {{MedalBronze|1991, Tokyo|100 m}} {{MedalBronze|1993 [[Stuttgart]]|100 m}} {{MedalBottom}} '''Allen Dennis Mitchell''' (alizaliwa [[20 Februari]] [[1966]]) ni mwanamichezo wa zamani wa [[Marekani]], mshindi wa medali ya dhahabu katika mbio ya x 100 m katika Olimpiki ya 1992. ==Wasifu== Alizaliwa [[Havelock]], [[Carolina Kaskazini]], kocha wake Dennis Mitchell katika [[Chuo Kikuu cha Florida]] alikuwa Joe Walker(ambaye sasa yuko Ole Miss). Mitchell alichukua nafasi ya nne katika mbio ya 100m katika Olimpiki ya 1988 na akakosa kushinda medali katika mbio ya 4 x 100m kwa sababu timu ya [[Marekani]] ilitolewa katika mbio za mchujo.Timu yao ilitolewa baada ya Calvin Smith na Lee McNeill kubadilishana kijiti maalum wakiwa nje ya eneo maalum ya kubadilishana. Katika mwaka wa 1989, Mitchell alishinda mbio ya mabingwa ya NCAA ya 200 m. Mwaka wa 1991, mwezi mmoja tu kabla ya Mashindano ya Mabingwa wa Dunia, Mitchell alikimbia rekodi yake ya kwanza ya ulimwengu katika mbio ya 4 x 100 m kwa muda wa 37.67 jijini [[Zürich]]. Katika {0}Mashindano ya Mabingwa wa Dunia,{/0}Mitchell alikuwa katika timu ya Marekani ya mbio 4 x 100m iliyoweka rekodi mpya ya dunia katika muda wa 37.50 katika fainali. Licha ya hayo,akashinda pia medali ya shaba katika mbio ya 100m. Mwaka wa 1992, Mitchell alishinda taji lake la kwanza la Mashindano ya Kitaifa ya Mabingwa wa Marekani katika mbio ya 100m(alishinda taji hili tena katika miaka ya 1994 na 1996). Katika Olimpiki ya [[Barcelona]], Mitchell alikimbia rekodi yake ya tatu ya dunia katika mbio ya 4 x 100m kwa muda wa 37.40 na kushinda medali ya [[shaba]] katika mbio ya 100m. Katika Mashindano ya Mabingwa wa Dunia ya 1993,Mitchell alishinda medali ya shaba katika mbio ya 100m katika mashindano ya kimataifa.Alishinda ,pia,medali ya dhahabu ya tatu katika mbio ya 4 x 100m wakikimbia na muda sawa na rekodi yao ya 37.40s Mitchell alishinda medali ya dhahabu katika mbio ya 100 m katika michezo ya Goodwill ya 1994 lakini akjiumiza katika mbio za mchujo za 100m katika Mashindano ya Mabingwa wa Dunia ya 1995. Katika Olimpiki ya 1996, Mitchell alichukua nafasi ya nne katika mbio ya 100 na akashinda medali ya fedha kama mwanachama wa timu ya 4 x 100. ==Historia ya kutumia dawa haramu== Mwaka wa 1998, Mitchell alikuwa amepigwa marufuku na IAAF kwa miaka miwili baada ya mtihani alionyesha viwango vya testosterone vilikuwa juu sana. Utetezi wake wa "chupa ya bia tano na kujamiiana na mke wake angalau mara nne ... ilikuwa sherehe yake ya siku ya kuzaliwa, mwanamke alihitaji kufurahishwa." ilikubaliwa na kamati ya Marekani ya Riadha lakini haikukubaliwa na IAAF. Dennis Mitchell alishiriki katika mashindano yake ya mwisho ya kimataifa katika Mashindano ya Mabingwa wa Dunia ya 2001,walipokuwa nambari ya kwanza lakini hawakutuzwa kwa sababu ya kashfa ya BALCO ya mmoja wao. Tarehe 1 Mei 2008, ilitangazwa na serikali ya Marekani, katika kesi dhidi ya [[Trevor Graham]], Bw. Mitchell na ,vilevile, Antonio Pettigrew kama mashahidi.Mitchell alikuwa anafaa kutoa ushuhuda dhidi ya Graham kuwa alijaribu kumdunga sindano ya homoni ya ukuaji haraka wa tishu. ==Marejeo== {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.mastersathletics.net/fileadmin/html/Rankings/All_Time/100metresmen.htm Masters T&F 100 metres Dash All-Time Rankings] 10.11 (2001) * [http://www.mastersathletics.net/fileadmin/html/Rankings/All_Time/200metresmen.htm Masters T&F 200 metres Dash All-Time Rankings] 20.45 (2001) {{start box}} {{s-ach|aw}} {{succession box|title=Tuzo ya ESPY ya Riadha|before={{Flag icon|USA}} [[Michael Johnson (athlete)|Michael Johnson]]|after={{Flag icon|USA}} [[Michael Johnson (athlete)|Michael Johnson]]|years=1995}} {{end box}} {{DEFAULTSORT:Mitchell, Dennis}} [[Jamii:Waliozaliwa 1966]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha wa Marekani]] [[Jamii:Wanariadha wa Olimpiki ya 1988]] [[Jamii:Wanariadha wa Olimpiki ya 1992]] [[Jamii:Wanariadha wa Olimpiki ya 1996]] [[Jamii:Wanariadha wa Olimpiki wa Marekani]] qnbjcnavbxk2gpe71gfhwjddmohd09q VP Records 0 35581 1233898 1148383 2022-07-20T13:39:02Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox record label |jina = {{PAGENAME}} |picha = [[Image:Vp-logo-BW 300x300.png]] |image_bg = |parent = |imeanzishwa = 1979 |mwanzilishi = [[Vincent "Randy" Chin|'''V'''incent "Randy" Chin]]<br />'''P'''atricia Chin |distributor = |aina = [[Reggae]]<br />[[Dancehall]]<br />[[Soca music|Soca]] |nchi = [[United States]] |mahala = [[Queens, New York]] |tovuti = [http://www.vprecords.com/ Official website] }} '''VP Records''' ni jina la studio ya kurekodi muziki wa [[Reggae]] inayojisimamia ambayo inapatikana mjini [[Queens, New York]]. Inajulikana sana kwa kuwatayarishia muziki waimbaji wengi wa [[Caribbean|Kikaribi]]. ==Mradi== VP Records ni lebo iliyoanzishwa mnamo 1979 na marehemu [[Vincent "Randy" Chin]] na mkewe Patricia Chin, [[Jamaica|Wajamaica]] wenye asili ya [[China|Kichina]] ambao walikuwa wakimiliki lebo ya [[Randy's Records]] Mjini [[Kingston, Jamaica]] (inavyoonekana katika filamu ya ‘’[[Rockers (filamu)|Rockers]]’’) na pia [[Randy's Recording Studio|Studio 17]]. Katika ti ya miaka ya 1970s wawili hawa walihamia Jiji la [[New york]], huku wakianzisha duka la kuuza rekodi mjini [[Brooklyn]] liitwalo ''VP Records'' mnamo 1975, mahali ambapo waliuza na kusambaza rekodi kutoka huko. Mnamo 1979 walihamisha makao ya gala hilo la muziki kwenda [[Queens, Jamaica]]. Mnamo 1993, lebo ya rekodi ilianzishwa baada ya duka la rekodi kunawili. Jina la lebo limetokana na nukta za kwanza za majina ya waanzilishi. ==Muziki== Lebo hii ilijiimarisha kuwa moja kati ya lebo huru kubwa zaidi kwa muzikiwa mienendo ya Reggae na dancehall. Kwa umaarufu wa sauti ya [[riddim]] kutoka mapema mwaka wa 2000, lebo hii ilileta ufanisi mkuu kwa wasanii wengi katika dunia nzima kama vile [[Sean Paul]] kupitia kwa mikataba ya lebo na lebo ya [[Virgin Records|Virgin Music]] [[Canada]] na [[Atlantic Records]] inayomilikiwa na Warner Music. Lebo hii maranyingi huhusishwa na umaarufu mkubwa wa [[Elephant Man]] ambaye pia anajilikana kama ‘’Energy God’’ au ‘’Ele’’ kupitia kazi yake na [[Bad Boy Records]]. Nembo ya VP Records ni “Maili mbele katika muziki wa Reggae”. Kando na reggae, VP pia inajulikana kwa mwenendo wa [[dancehall]] na [[Muziki wa Soca|Soca]]. VP pia ilitoa mshururu wa albamu ambazo zinajikitha katika sauti za ‘’Riddims’’, ambazo zinashirikisha wasanii mbalimbali. VP imewahi kushindatuzo la Billboard kama lebo huru bora zaidi (Best Independent Label) kwa miaka miwili ma pia imepokea tuzo la Lebo bora zaidi ya Reggae kwa miaka mitatu mtawalia. Pia ilifuzu kwa tuzo la ‘’Best Independent Reggae Label’’ la 2003 la Billboard Hip-Hop and R&B, na pia ilikuwa imetajwa na kushirikishwa katika machapisho kama ''[[Vibe (magazine)|Vibe]]'' magazine, ''[[New York Times]]'', ''[[Los Angeles Times]]'', ''[[Billboard (magazine)|Billboard]]'', na ''[[Time (magazine)|Time]]'' magazine. Lebo hiyo sasa inasimamiwa na wana wa Bw.Chin, Randy na Christopher huku Bi Patrici Chin akiendelea kutoa usaidizi wa kuendelea kuitunza kampuni hii ya marehemu mumewe. ==Utata== Wengi wa wasanii wa lebo hii wamehusika katika utata kutokana na maneno ya nyimbo zao ambayo huchochea vurugu (ukiwemo uuaji) dhidi wale wanaojihusisha kimapenzi kati ya jinsia moja. ==Wasanii== * [[Alaine]] * [[Alborosie]] * [[Althea Hewitt]] * [[Assassin (deejay)|Assassin]] * [[Baby Stoosh]] * [[Beenie Man]] * [[Beres Hammond]] * [[Bounty Killer]] * [[Buju Banton]] * [[Bunji Garlin]] * [[Capleton]] * [[Cocoa Tea]] * [[Elephant Man]] * [[Etana (mwanamuziki)|Etana]] * [[Freddie McGregor]] * [[Gyptian]] * [[I Wayne]] * [[Jah Cure]] * [[Jamelody]] * [[K-Salaam]] * [[Lady Saw]] * [[Luciano (mwimbaji)|Luciano]] * [[Mad Cobra]] * [[Marcia Griffiths]] * [[Mavado (mwimbaji)|Mavado]] * [[Busy Signal]] * [[Mikey Spice]] * [[Morgan Heritage]] * [[Mr. Vegas]] * [[Richie Spice]] * [[Sanchez (reggae)|Sanchez]] * [[Sean Paul]] * [[Shaggy (msanii)|Shaggy]] * [[T.O.K.]] * [[Tanto Metro & Devonte]] * [[Tanya Stephens]] * [[Tony Matterhorn]] * [[Voice Mail (band)|Voice Mail]] * [[Wayne Wonder]] ==Wasanii wa awali== * [[Dennis Brown]] * [[Garnet Silk]] * [[Machel Montano]] * [[Shabba Ranks]] * [[Super Cat]] * [[Yellowman]] ==Viungo vya Nje== * [http://www.vprecords.com Official site] * [http://www.17northparade.com/ 17 North Parade website] * [http://www.audiotube.com/vprecords/ VP Records Music Videos] {{Wayback|url=http://www.audiotube.com/vprecords/ |date=20090131062051 }} [[Category:Studio za Marekani]] 25xn2ulgs0fvovy3csibj834fsf2pva Okwawu United 0 35624 1233899 1144871 2022-07-20T13:40:41Z Riccardo Riccioni 452 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki [[Picha:Okwawu United FC.gif|thumb|130px|right|Nembo ya klabu ya Okwawu United]] '''Okwawu Stores United Nkawkaw''' ni klabu ya kandanda ya [[Ghana]] liliokuwa na makao yao [[Nkawkaw]]. Klabu hiyo inashiriki katika Ligi Kuu ya Telecom ya Ghana. Uwanja wao wa kinyumbani ni Nkawkaw Park. == Historia == Okwawu katika tarehe 11 Aprili 2007,ilishushwa hadi ligi ya daraja la tatu,kutozwa faini ya cedi milioni 50 na wachezaji kumi na mmoja na maafisa wa timu watano walikatazwa kushiriki katika kandanda kwa mwaka mmoja.Hii ni kwa sababu walishiriki katika mechi iliyopangwa dhidi ya [[Nania F.C.]] katika Ligi ya Taifa ya Eneo la Tatu iliyochezwa. Okwawu walipoteza mechi hiyo 0-31.Mechi hiyo ilikuwa imepangwa Okwawu ili ipoteze mechi. Katibu wa Bodi aliiambia GNA Sports baada ya uamuzi kuwa: "Ingawa ninakubali kuwa tulikuwa na kesi ya haki, bado napata uamuzi kama ulikuwa kali sana. "Sheria ni sheria na ni kwa sababu hii kwamba mimi ninahisi tunapaswa kushushwa hadi ligi ya daraja la pili badala ya kushushwa hadi daraja la tatu. "Mimi ninahisi pia DC angefuata mfano wa ligi ya Kiitalia ambapo [[Juventus]] ilishushwa hatua moja tu chini baada ya kashfa ya udanganyifu katika ligi yao ya Serie A. "Kututoza faini ya cedi milioni 50 ni uamuzi mbovu!." Klabu na maafisa wa klabu hiyo walikuwa na saa 72 ya kukataa rufaa dhidi ya uamuzi. Nyarko alisema usimamizi wake utaamua kama watakata rufaa au la. Wachezaji kumi na mmoja na maafisa watano walipigwa marufuku ,pia, kutoka kushiriki katika mechi yoyote iliyoandaliwa na ama imekubaliwa na GFA(shirika la soka la Ghana-hasa ''Ghana Football Association'') kwa mwaka mmoja.Huu ulifuatia sheria kulingana na Kifungu 35(5) na pia Kifungu 39(3) na (4) vya GFA.Hukumu hiyo ulifanyika baada ya mwisho wa msimu huo..Hivi sasa makocha,wataalamu wa klabu na wachezaji ni: == Kikosi cha Sasa == {{col-begin}} {{col-break}} * {{Flag icon|Ghana}}David Mensah * {{Flag icon|Ghana}}Daniel Akuoko * {{Flag icon|Ghana}}Kwame Antwi * {{Flag icon|Ghana}}Richard Mireku * {{Flag icon|Ghana}}Frank Turkson * {{Flag icon|Ghana}}Francis Kumi * {{Flag icon|Ghana}}Bismak Agyiri * {{Flag icon|Ghana}}Francis Cudjoe * {{Flag icon|Ghana}}Emmanuel Odoi {{col-break}} * {{Flag icon|Ghana}}Kofi Owusu * {{Flag icon|Ghana}}Godspower Igbah * {{Flag icon|Ghana}}Thomas Ackah * {{Flag icon|Ghana}}Adolf Gyimah * {{Flag icon|Ghana}}Fatawu Alhassan * {{Flag icon|Ghana}}Awudu Adama * {{Flag icon|Ghana}}Joseph Aryeetey * {{Flag icon|Ghana}}Kwame Antwi * {{Flag icon|Ghana}}Peter Aryinator * {{Flag icon|Ghana}}Akwasi Boakye {{col-end}} == Wafanyikazi == * Mwenyekiti: Alhaji Sulley * Meneja wa Jumla: John Amponsah * Mkurugenzi wa Michezo: Atta Kakra * Mpishi wa Timu: Nii Welbeck * Kocha Mkuu: Adolf Adu Botwe * Kocha msaidizi: John Labah == Wachezaji maarufu == * Wisdom Abbey * Faruk Adamu * Charles Akonnor * Charles Amoah * Oscar Amoabeng * Kwame Antwi * Thomas Avegbordor * Aminu Ayuba * Osei Bonsu * Abdul Fatawu Dauda * Bismark Ekye * Nasiru Gani * Issaka Ibrahim * Isaka Kuffour * Azuma Nelson * Obed Owusu * Nii Welbeck * Anthony Yeboah * Abubarkar Yusuf == Utendaji katika mashindano ya CAF == * Kombe la CAF la Washindi:Wameshiriki mara mbili **1987: Walitoka katika raundi ya pili **1972: Ilijitoa katika raundi ya kwanza. == Wakufunzi wa Zamani == * Sam Arday * Emmanuel A. Afranie * Francis Oti Akenteng * Nii Adu Sackey * Herbert Addo * Nana Kwaku Agyemang == Marejeo == # http://www.ghanafa.org/divisiononeleague/200704/1861.asp {{Wayback|url=http://www.ghanafa.org/divisiononeleague/200704/1861.asp |date=20071201011952 }} # http://en.wikipedia.org/wiki/Okwawu_United#cite_ref-0 # [http://www.bari91.com/soccer_clubs/Okwawu_United Takwimu za timu ya Okwawu] ==Viungo vya nje== * [http://www.facebook.com/pages/OKWAWU-UNITED/171882637333 Okwawu United katika tovuti ya Facebook] * [http://www.amazines.com/Okwawu_United_related.html Makala kuhusu Okwawu United] [[Category:Vilabu vya mpira Ghana]] b42ne0g4di175njt1sl22vwk4dhb3v1 Die Welt 0 35934 1233881 1139787 2022-07-20T13:09:20Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = Die Welt | jina la gazeti = Die Welt | picha = [[File:Die Welt Logo 2015.png|200px]] | aina = Gazeti la kila siku | lilianzishwa = [[2 Aprili]] [[1946]] | eneo = *.[[Berlin]]<br>*.[[Hamburg]]<br> *.[[Bremen]] | mwanzilishi = majeshi ya [[Uingereza]] | nchi = [[Ujerumani]] | mhariri = Thomas Schmid | mmiliki = Axel Springer AG | makaomakuu = [[Berlin]] | mchapishaji = | usambazaji = | lilikwisha = | machapisho =*. ''Welt am Sonntag'' <small>(jarida la Jumapili)<small><br>*. ''Welt Kompakt'' | tovuti = http://www.welt.de }} '''Die Welt''' ni [[gazeti]] la kila siku la [[Ujerumani]]. Gazeti hili huchapishwa na kampuni ya Axel Springer AG. ==Historia== Lilianzishwa katika mji wa [[Hamburg]] katika mwaka wa [[1946]] na majeshi ya [[Uingereza]] yaliyokuwa huko. Walitaka kuchapisha gazeti la hali ya juu linalofanana na lile la ''The Times'' la Uingereza. Hapo mwanzoni, lilichapisha habari kutokana maoni ya Uingereza lakini kutoka mwaka wa 1947 lilianza kuwa na sera ya kuchapisha makala mawili kuhusu masuala muhimu , moja la maoni ya Kiingereza na moja la maoni ya Kijerumani. Katika upeo wake, gazeti hilo lilikuwa na usambazaji wa nakala takriban milioni moja. Jarida hili, hivi sasa, huchukua mfumo wa "gazeti huria la jiji" katika uhariri wake lakini ''Die Welt'' husemekana na wengi kuwa gazeti la kihafidhina. Usambazaji wa wastani wa gazeti la ''Die Welt'' ni nakala 209,000 na gazeti hili hupatikana katika nchi 130. Matoleo ya kila siku ya maeneo mbalimbali hupatikana [[Berlin]] na Hamburg. Katika mwaka wa 2002, gazeti hili lilijaribu kuchapisha toleo la Kibavaria. Toleo dogo la kila siku hupatikana katika mji wa [[Bremen]]. Ofisi kuu za uhariri zinapatikana jijini Berlin, zikiwa pamoja na za '' Berliner Morgenpost.'' ''Die welt'' ndilo gazeti maarufu kabisa katika magazeti ya kundi la Axel Springer la uchapishaji. Magazeti shindani yake ni ''Frankfurter Allgemeine Zeitung, Süddeutsche Zeitung'' na ''Frankfurter Rundschau'' Katika sekta ya kifedha , limekuwa likileta hasara kwa miaka mingi lakini bado huchapishwa. ''Die Welt'' ni mojawapo wa waanzilishi wa European Dallies Alliance na huwa na uhusiano mzuri na magazeti ya kuchapishwa kila siku ya nchi nyingine kama magazeti ya ''Daily Telegraph'' ([[Uingereza]]), ''Le Figaro'' ([[Ufaransa]]) na ''ABC'' ([[Uhispania]]). Hivi sasa gazeti hili huchapisha toleo dogo la gazeti hili linaloitwa ''Welt Kompakt'', toleo la kurasa 32 lililofupisha gazeti lenyewe. ''Welt Kompakt'' huchapishwa kwa mitindo mipya inayolenga kuvutia vijana. Gazeti hili halichapishwi Jumapili lakini jarida jingine la ''Welt am Sonntag'' huchapishwa siku hiyo. ==Marejeo== # ^ Patricia Meehan, [http://en.wikipedia.org/wiki/Die_Welt#cite_ref-0 A Strange Enemy People: Germans under the British 1945–50.] London: Peter Owen, 2001, pp.&nbsp;176–9. ISBN 0720611156. ==Viungo vya nje== * [http://suche.welt.de/woa/index.html Makala ya kitambo] {{Webarchive|url=https://wayback.archive-it.org/all/20091211201903/http://suche.welt.de/woa/index.html |date=2009-12-11 }} ya '''Die Welt''' {{DEFAULTSORT:Welt}} [[Jamii:Hamburg]] [[Jamii:Magazeti ya Ujerumani]] 9hdppg0gp00tw92u3qfb0tdbymv1mgu Liverpool Echo 0 35939 1233882 1147112 2022-07-20T13:11:58Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = Liverpool Echo | jina la gazeti = Liverpool Echo | picha = | aina = *.Gazeti la Jumatatu - Jumamosi<br><small>isipokuwa Siku ya [[Krismasi]]<small><br>*. Gazeti la jioni | lilianzishwa = [[1879]] | eneo = Merseyside | mwanzilishi = | nchi = [[Uingereza]] | mhariri = Alistair Machray | mmiliki = [[Trinity Mirror]] | makaomakuu =Post & Echo Building<br> Old Hall Street<br> [[Liverpool]] | mchapishaji = | usambazaji = 110,000 - Jumatatu hadi Jumamosi<small>Mwaka wa [[2007]]<small> | lilikwisha = | machapisho =*. Gazeti dada:''Liverpool Daily Post'' | tovuti = http://www.liverpoolecho.co.uk/ }} ==Kuhusu== '''''Liverpool Echo''''' ni gazeti linalochapishwa na kampuni ya Trinity Mirror katika eneo la Merseyside,[[Uingereza]]. Linachapishwa katika siku za Jumatatu mpaka Jumamosi, na ni gazeti la jioni la [[Liverpool]] na gazeti dada lake , ''Liverpool Daily Post'' ni gazeti la asubuhi. Katika nusu ya mwaka wa kwanza wa mwaka wa 2007, ''Liverpool Echo'' lilikuwa na usambazaji (wa Jumatatu hadi Jumamosi) wa nakala takriban 110,000. Hapo awali, gazeti hili lilichapishwa na kampuni ya Liverpool Daily Post & Echo. Mhariri ni Alistair Machray, aliyekuwa mhariri wa hapo awali wa gazeti la ''Welsh Daily Post''. Katika mwaka wa 1879, ''Liverpool Echo'' lilianza kuchapishwa kama gazeti dada kwa lile la ''Liverpool Daily Post''. Kutoka kuanzishwa kwake hadi mwaka wa 1917, gazeti hilo liliuzwa kwa bei la nusu peni. Hivi sasa bei yake ni 47p. Kampuni hiyo ilianza kupanuliwa katika mipango ya kuenea kimataifa. Katika mwaka wa 1985, iliendeleza na kuboresha muundo wake na ikaitwa Trinity Holdings Plc. Magazeti haya yalianzishwa tena yakichapishwa katika mitindo ya magazeti ya porojo. Yaliangazia nyakati ngumu za uhaba mkubwa wa ajira na shida za kijamii jijini Liverpool katika mwanzoni wa miaka ya 1980. Katika mwaka wa 1999, kampuni ya Trinity ilijiunga na kundi la Mirror Group Newspapers na kuwa Trinity Mirror. Kampuni hii ikawa kampuni kubwa kabisa ya uchapishaji wa magazeti nchini. Mnamo Juni 2007, ilitangazwa kuwa gazeti la ''Liverpool Echo'' lilikuwa limeshinda haki za kuupa jina uwanja mpya katika eneo la Albert Dock. Hivyo basi, walichagua jina na uwanja huo unajulikana,hivi sasa, kama Liverpool Echo Arena. ==Marejeo== {{reflist}} ==Viungo vya nje== # [http://icliverpool.icnetwork.co.uk/capitalofculture/news/tm_headline=it--8217-s-the-echo-arena&method=full&objectid=19231013&siteid=50061-name_page.html Details of arena's branding]*[http://icliverpool.icnetwork.co.uk/ournewspapers/liverpoolecho/tm_objectid=11472306%26method=full%26siteid=50061%26page=1%26headline=history%2dof%2dthe%2dliverpool%2ddaily%2dpost%2d%2d%2decho%2dltd-name_page.html Historia ya magazeti ya Liverpool] *[http://icliverpool.icnetwork.co.uk/ icLiverpool news homepage, carries stories from the ''Daily Post'' and ''Echo''] *[http://www.liverpoolecho.co.uk/ Tovuti Rasmi ya Liverpool Echo] {{UK regional daily newspapers}} [[Category:Magazeti ya Uingereza]] 8h3d6cgvwr71u6p2jmgmtqoqb5nfaxr Velocity (gazeti) 0 35944 1233877 908341 2022-07-20T13:05:27Z Riccardo Riccioni 452 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = Velocity | jina la gazeti = Velocity | picha = [[Picha:Velocitycover.jpg|thumb|250px|Toleo la kwanza la Velocity 3 Desemba 2003.]] | aina = *. Gazeti la kila wiki <br>*. Gazeti la bure | lilianzishwa = [[3 Desemba]] [[2003]] | eneo = *. [[Kentucky]]<br> *. [[Indiana]] Kusini | mwanzilishi = | nchi = {{Flag icon|USA}} [[Marekani]] | mhariri = | mmiliki = Kampuni ya [[Gannett]] | makaomakuu = [[Louisville]], [[Kentucky]]. | mchapishaji = | usambazaji = | lilikwisha = | machapisho = | tovuti = [http://www.velocityweekly.com Tovuti rasmi ya ''Velocity Weekly''] }} ==Historia== '''''Velocity''''' ni gazeti la bure la kuchapishwa kila wiki. Lilichapishwa kwa mara ya kwanza mnamo tarehe 3 Desemba 2003 na jarida la ''The Courier Journal'' ya [[Louisville]], [[Kentucky]]. Gazeti hili huchapishwa katika rangi zote na sio nyeusi na nyeupe tu. Linasambazwa katika maeneo 1,800 katika makata 13 ya Kentucky na [[Indiana|Indiana Kusini]] ''Velocity'' linaonekana na wengi kuwa jaribio la gazeti la ''Courier Journal'' na kampuni yake ya uzazi ya Gannett la kupata kipande cha soko liliodhibitiwa na gazeti la ''Louisville Eccentric Observer''. Gazeti la ''Louisville Eccentric Observer'' ni gazeti badala linalochapishwa kila wiki huko Louisville. ''Velocity'' hulenga watu wa umri wa miaka 25 hadi umri wa miaka 34 kama wasomaji wa gazeti lao. Gazeti hilo lina uangalifu mkali ili lisihusike katika siasa ingawa limechapisha makala kuhusu masuala kadhaa ya ubishi kama yale ya Vita ya [[Iraq]] na upigaji marufuku wa uvutaji sigara katika maeneo ya umma katika [[Louisville]]. Makala ya kila wiki ni kama ''The Bar Hopper'', baa ya mtaa inachunguzwa na maoni kutolewa kuihusu; ''Rock This Town'', makala yanayozungumza kuhusu bendi au mwanamuziki wa mtaa huo; ''The Party Crasher'', hadithi ya ki-picha ya matamasha yaliyofanyika huko; na ''All I'm Saying Is'', makala yaliyoandikwa na msomaji. Gazeti hili linajumuisha sehemu ya filamu inayoitwa ''The Big Screen'' inayoangazia filamu zinazoonyeshwa kwenye sinema za mitaa. Maoni kuhusu filamu hizo huandikwa katika aya moja kwa njia inayochekesha. ==Viungo vya nje== *[http://www.velocityweekly.com Tovuti rasmi ya ''Velocity Weekly''] [[Jamii:Louisville, Kentucky]] [[Jamii:Magazeti ya Marekani]] 4e37l9nqzu5fur440x73yw2yc0bldye Evening Times 0 35947 1233880 1204402 2022-07-20T13:08:27Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = Evening Times | jina la gazeti = Evening Times | picha = [[Picha:Eveningtimes.jpg]] | aina = * Gazeti la kila siku<br> * Toleo la ''Late News Edition<br> * Toleo la ''Late News Extra'' | lilianzishwa = [[1876]] | eneo = | mwanzilishi = | nchi = [[Scotland]] | mhariri = Donald Windsor Martin | mmiliki = [[Newsquest]] | makaomakuu =200 Renfield Street<br>[[Glasgow]] | mchapishaji = | usambazaji = 68,422 | lilikwisha = | machapisho =* ''[[The Herald]]'' | tovuti = http://www.eveningtimes.co.uk }} ==Historia== '''The Evening Times''' ni gazeti linalochapishwa kutoka Jumatatu hadi Jumamosi jijini [[Glasgow]], [[Scotland]]. Jarida hili, gazeti dada la ''[[Herald (Glasgow)|The Herald]]'', lilianza kuchapishwa katika mwaka wa 1876. Kaulimbiu yake ni ''"Nobody knows Glasgow better"'' ("Hakuna mtu anayejua Glasgow zaidi"). Uchapishaji wa ''Evening Times''(na gazeti dada lake) ulihamia jengo la Charles Rennie Mackintosh katika barabara ya Mitchell Street katika mwaka wa 1868. Jengo hili ,hivi sasa, linaitwa ''The Lighthouse'' na ni Kituo cha Scotland cha Uchoraji wa Majengo na Ubunifu wa mitindo ya kujenga majumba ya jiji. Katika mwaka wa 1964, kampuni ya uchapishaji ya George Outram ilinunuliwa na Sir Hugh Fraser. Ulipofika mwaka wa 1979, umiliki ulichukuliwa na kampuni ya Lonrho ya Tiny Rowland. Tarehe 19 Julai 1980, jarida hili lilihamia ofisi katika barabara ya 195 Albion Street, jumba lenyewe lilikuwa na pande ya mbele iliyokuwa rangi nyeusi hasa likifuata mtindo wa jengo la ''Black Lubyanka'' la gazeti la ''Daily Express'' lililokuwa katika barabara ya [[London]] ya Fleet Street. Jengo hilo la Albion Street lilikuwa limetumika kama jumba la shirika la wafanyikazi wa gazeti la Scotland la ''Daily News'' tangu Mei hadi Novemba 1975. Usimamizi ulinunuliwa mnamo Mei 1992 na Caledonian Newspapers ikaundwa, kampuni hii ilinunuliwa baadaye na stesheni ya televisheni ya Scotland Television katika mwaka wa 1996. Baada ya ununuzi huu, kundi hilo la televisheni lilijiita Kundi la "Scottish Media Group", jina hili lilifupishwa kuwa SMG na na hapo mwaka wa 2008 likaitwa STV Group plc. Magazeti ya ''The Evening Times'' na ''The Herald'' yanamilikiwa na Newsquest (sehemu ya kampuni ya Gannett),iliyonunua sekta ya uchapishaji ya SMG katika mwaka wa 2003 kwa bei ya £ milioni 216. Bei hiyo iliyoleta uzushi sana. Gazeti hili huuzwa katika maduka yake maalum karibu na Glasgow City Centre, wauzaji wakinena kaulimbiu inayojulikana ya '''Times!''''''Evening Times!''' kila dakika chache. Aidha, husambazwa hadi kwa milango ya nyumba za watu na wavulana na wasichana wanaofanya kazi hiyo na ,pia, huuzwa katika maduka mengi ya Glasgow. ''The Evening Times'' linapatia jina lake chapisho dogo la kila mwaka la kandanda ya Scotland linaloitwa ''Wee Red Book''. Chapisho hili huorodhesha michuano ya timu inayofanyika mwaka huo katika ligi zote za Scotland na huorodhesha washindi wa hapo awali katika ligi na mashindano ya kombe nchini Scotland,[[Uingereza]] na [[Uropa]]. ==Angalia Pia== *''[[Herald (Glasgow)]]'' ==Marejeo== {{reflist}} {{UK regional daily newspapers}} [[Category:Glasgow]] [[Category:Magazeti ya Uskoti]] eieeck34pnzi4r12yhalyly50gv16qr HMS Antelope (H36) 0 36015 1233889 1087369 2022-07-20T13:18:56Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{vyanzo}} {| {{Infobox Ship Begin}} {{Infobox Ship Image |Ship image=[[Image:HMS Antelope (H36).jpg|300px]] |Ship caption= }} {{Infobox Ship Career |Hide header= |Ship country=UK |Ship flag=[[Image:Naval Ensign of the United Kingdom.svg|60px|RN Ensign]] |Ship name=HMS ''Antelope'' (H36) |Ship operator=[[Royal Navy]] |Ship ordered= |Ship awarded= |Ship builder=[[Hawthorn Leslie and Company|Hawthorne Leslie]] |Ship original cost= |Ship yard number= |Ship way number= |Ship laid down= 11 Julai 1928 |Ship launched=27 Julai 1929 |Ship sponsor= |Ship christened= |Ship completed= |Ship acquired= |Ship commissioned= 20 Machi 1930 |Ship recommissioned= |Ship decommissioned= |Ship maiden voyage |Ship in service= |Ship out of service= |Ship renamed= |Ship reclassified= |Ship refit= |Ship struck= |Ship reinstated= |Ship homeport= |Ship motto= |Ship nickname= |Ship honours= |Ship fate=Scrapped 1946 |Ship notes= |Ship badge= }} {{Infobox Ship Characteristics |Hide header= |Header caption= |Ship class=[[A class destroyer]] |Ship displacement=1,350 tons standard |Ship length={{Convert|323|ft|m|0}} |Ship beam={{Convert|32|ft|m|0}} |Ship height= |Ship draught={{Convert|12.2|ft|m|0}} |Ship decks= |Ship deck clearance= |Ship power= |Ship propulsion=3 x Admiralty 3-drum boilers steam turbines, 2 shafts, 34,000 shp |Ship speed=35 knots |Ship range= 4,800 nm at 15 knots |Ship endurance= |Ship boats= |Ship capacity= |Ship complement= 138 |Ship armament=(As designed)<br> 4 × 4.7 in (119 mm) guns Mark IX on mountings CP Mk.XIII<br>2 × [[QF 2 pounder naval gun|2 pdr]] Mk.II anti-aircraft<br>2 × 4 tubes for 21 in torpedoes Mk.IX |Ship armour= |Ship notes= }} |} '''HMS ''Antelope'' ''' ilikuwa chombo cha uangamizi cha Uingereza [[cha darasa la A.]] Kilikamilika 20 Machi 1930 na kupewa kundi la nyumbani la [[Uangamizi wa 18 Flotilla]]. Katika 5 Februari 1940, ''Antelope'' ilizamisha [[U-41]] katika [[Mikabalaya Magharibi Kusini.]] [[Mashau-U]] ilikuwa imshambulia kundi la nje tarehe 5 Februari na kuzamisha''Beaverburn.'' Ilikuwa mashau-U pekee katika baharini wakati huo katika eneo hilo na ilikuwa ya kwanza kuzamishwa na [[Mwangamizi]] moja. Afisa mkuu wa ''Antelope'', Luteni Cdr. RT White RN (baadaye Kapteni RT White DSO **, mwana wa pili wa Bwana [[Archibald Vivian White]], Bt. wa [[Wallingwells]] alipatiwa DSO tarehe 11 Julai 1940 wa kundi hili. White alikuwa kamanda wa ''Antelope'' kuanzia 24 Septemba 1938 hadi 26 Februari 1941. Katika Aprili 1940, Mwangamizi huyu alizindikisha meli ya Kifaransa [[Emile Bertin|''Emile Bertin'']], [[Derrien]], hadi [[Scapa]] baada ya kuharibiwa katika mbali na [[Namsos]], Norway. Tarehe 13 Juni 1940, ''Antelope'' iligongana na ''Electra'' [[Trondheim]], [[Norwei]], na ilibidi k kurudi katika [[Tyne]] ilikukarabatiwa. Kisha ilirudi katika makao yake [[Harwich]]. Katika Agosti 1940, ''Antelope'' ilisafiri kushiriki katika [[operesheni]], mashambulizi katika [[Dakar]], lakini mara baada [[HMS Fiji|HMS ''Fiji'' ]] iliharibiwa tarehe 1 Septemba 1940, iliizindikisha hadi [[Clyde]], Uskoti. Tarehe 31 Oktoba 1940, ''Antelope'' ilizamisha [[U-31]] kaskazini magharibi ya [[Ireland]]. ilinusuru 43 walionusurika na kuwarejesha kwao katika Clyde. Luteni Cdr. White ilipatiwa ngazi yake ya kwanza ya DSO yake baada ya kuzama huko. Mwezi Mei 1941, katika ukimbizaji wa meli ya vita ya Kijerumani [[Bismarck|''Bismarck'' ]] baada ya vita ya Mlango wa [[Denmark]], ''Antelope'' ilitafuta wanusirika kutoka [[HMS]] iliyozama na baadaye kusindikiza hadi Washindi wa [[HMS]]. Mwezi Agosti 1941, ''Antelope'' walishiriki katika [[operesheni Gauntlet]], oparesheni iliyofanikiwa katika kuangamiza vifaa makaa ya mawe katika [[Spitsbergen]], hivyo kukazia makaa ya mawe kwa adui. Mwaka 1942 na 1943, ''Antelope'' ilishiriki katika shughuli mbalimbali za kusambaza [[Malta]], ikiwemo [[Operation Pedestal]] katika Agosti 1942. Katika Machi 1943, ilizindikiza ''[[Empress wa Kanada]]'', lakini meli hiyo ilizamishwa tarehe 13 Machi. Mwaka wa 1944, ilifanya doria mbalimbali na kupambana na meli. Agosti 1945, ilirudi [[Uingereza]]. Mwaka wa 1946, iliuzwa na kuvunjwa na [[Hughes]], [[Bolkow]]. {{DEFAULTSORT:Antelope (H36)}} [[Category:Meli]] [[Category:Vita Vikuu vya Pili]] 1pxbg3xmvkneuvn8xteu4uvr94gm80i Herald (Glasgow) 0 36140 1233876 892696 2022-07-20T13:04:59Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = The Herald | jina la gazeti = The Herald | picha = [[Picha:Herald frontpage (new).png]] | aina = *. Gazeti la Jumatatu hadi Jumamosi | lilianzishwa = [[1783]] | eneo = Nchini [[Scotland]] | mwanzilishi = | nchi = [[Scotland]] | mhariri = Charles McGhee | mmiliki = Newsquest | makaomakuu =*. 200 Renfield Street<br>*. [[Glasgow]] | mchapishaji = | usambazaji = *. 55,707<br><small>Takwimu za Julai 2009<small> | lilikwisha = | machapisho = | tovuti = [http://www.heraldscotland.com/ Tovuti Rasmi] }} [[Picha:Wfm mackintosh lighthouse.jpg|thumb|300px|right|Jumba la Charles Mackintosh,''Glasgow Herald Building'', hivi sasa ni ''"The Lighthouse"'']] '''''The Herald''''' ni [[gazeti]] linalochapishwa Jumatatu hadi Jumamosi jijini [[Glasgow]], na hupatikana kote nchini [[Scotland]]. Takwimu za Julai 2009, usambazaji wake ulikuwa nakala 55,707, takwimu hii inaonyesha kuwa gazeti hili linashinda gazeti lile jingine la taifa la ''The Scotsman'' katika mauzo. ==Muhtasari== Jarida hili ni mojawapo wa magazeti kongwe ya lugha ya [[Kiingereza]] duniani kote. Lilichapishwa kwa mara ya kwanza katika mwaka wa 1783 kama gazeti la ''Glasgow Advertiser'' huko [[Duncan's Land]],[[Gibson Wynd's]], Glasgow. Mhariri wake wa kwanza alikuwa John Mennons. Katika mwaka wa 1802 likawa gazeti la ''Herald and Advertiser'', likibadilika kuwa ''Glasgow Herald'' katika mwaka wa 1805. Lilianza kuchapishwa kila siku katika mwaka wa 1859. Katika mwaka wa 1895, chapisho hilo lilihamia jengo la Charles Rennie Mackintosh katika barabara ya Mitchell Street. Jengo hili sasa ni ''[[The Lighthouse]]'', jumba la usanifu na michoro ya majengo. Katika mwaka wa 1964, kampuni ya uchapishaji ya George Outram ilinunuliwa na Sir [[Hugh Fraser]]. Umiliki ,kisha,ulinunuliwa na [[Lonrho]] ya [[Tiny Rowland]] katika mwaka wa 1979. Mnamo 19 Julai 1980, jarida hili lihamisha ofisi zake katika barabara ya Albion Street, zilizofanana na jengo la ''[[Black Lubyanka]]'' ya gazeti la ''Daily Express'' lililokuwa katika barabara ya Fleet Street jijini [[London]]. Jarida hili liliitwa jina la ''The Herald'' katika tarehe 3 Februari 1992. Usimamizi wake ulinunuliwa katika mwezi wa Mei 1992 na [[Kampuni ya Magazeti ya Caledonian]], kampuni hii ikanunuliwa,hapo baadaye na [[Scottish Television]] katika mwaka wa 1996. Baada ya ununuzi huu, kundi hilo la Scottish TV lilijiita jina jipya "Scottish Media Group" (hili lilifupishwa kuwa SMG na katika mwaka wa 2008 likaitwa STV Group plc.). Kichwa cha gazeti hilo lilichorwa kwa mtindo mpya na gazeti la ''"New Era"'' likaanzishwa upya katika mwezi wa 11 Mei 1998. Gazeti shirika la Jumapili , ''Sunday Herald'', lilianzishwa katika mwaka wa 1999. ''The Herald'' inamilikiwa na [[Newsquest]] ( kitengo cha kampuni ya [[Gannett]]) , iliyonunua kitengo cha uchapishaji cha SMG katika mwaka wa 2006. Ilinunua SMG kwa bei ya £216m katika ununuzi ulioleta migogoro na ubishi. Waandishi maarufu wa makala ya gazeti hili ni kama: Alison Rowat, Collete Douglas-Hume, Ruth Wishart, Anne Johnstone, Ian Bell, Ron Ferguson, [[Iain Macwhirter]], na Alf Young. Donald Martin ndiyo mhariri akichukua nafasi ya Charles McGhee katika mwezi wa Desemba 2008. Alianzisha mpango wa kupunguza pesa zilizotumika na kampuni, mpango huo ulipingwa na kuungwa mkono na Bunge la Scotland. ==Wahariri== {{col-begin}} {{col-break}} * 1782: John Mennons * James McNayr * 1803: Samuel Hunter * Frances Weir * 1837: George Outram * 1856: James Pagan * 1870: William Jack * 1875: James Hastie Stoddart * Charles Gilchrist Russell * William Wallace * FH Kitchin * Robert Bruce {{col-break}} * William Robieson * James Holburn * 1964: George MacDonald Fraser * 1965: Alastair Warren * 1974: Iain Lindsay-Smith * 1978: Alan Jenkins * 1981: Arnold Kemp * 1994: George McKechnie * 1997: Harry Reid * 2000: Mark Douglas-Home * 2006: Charles McGhee * 2008: Donald Martin {{col-end}} == Viungo vya nje == * [http://www.heraldscotland.com/ Tovuti Rasmi] == Marejeo == * Phillips, Alastair, (1983). ''Glasgow's Herald: Two Hundred Years of a Newspaper 1783 - 1983''. Glasgow: Richard Drew Publishing. ISBN 0-86267-008-X {{DEFAULTSORT:Herald, The}} [[Jamii:Magazeti ya uSKOTI]] [[Jamii:Glasgow]] [[Jamii:Makampuni ya Ufalme wa Muungano]] h3vrjfd70apr57zq00fztpefbpegz7o Portland Tribune 0 36164 1233878 1202543 2022-07-20T13:06:15Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox gazo | jina = Portland Tribune | jina la gazeti = Portland Tribune | picha = [[Picha:Port trib.JPG]] | aina = | lilianzishwa = [[2001]] | eneo = | mwanzilishi = | nchi = {{Flag icon|USA}} [[Marekani]] | mhariri = Mark Garber | mmiliki = Kundi la Pamplin Media | makaomakuu =6605 S.E. Lake Road<br>[[Portland]], [[Oregon]] 97222-2161 | mchapishaji = Steve Clark | usambazaji = 120,000 | lilikwisha = | machapisho = | tovuti = [http://portlandtribune.com/ Tovuti Rasmi ya ''Portland Tribune''] }} '''''Portland Tribune''''' ni gazeti la kuchapishwa kila wiki linalochapishwa kila Alhamisi katika eneo la [[Portland]],[[Oregon]],[[Marekani]]. ''Portland Tribune'' ni kipande cha Kundi la Pamplin Media, linalochapisha magazeti kadhaa ya kijamii katika eneo la Portland na ,pia, humiliki na huendesha stesheni ya redio ya majadiliano ya KPAM pamoja na stesheni zingine za redio katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Pacific. ==Historia== Mfaniyibiashara wa Portland, [[Robert B. Pamplin Jr.]] alitangaza nia yake ya kuanzisha gazeti hilo katika mwaka wa 2000. Toleo la kwanza la gazeti hili lililoanza kwa kuchapishwa mara mbili kwa wiki (Jumanne na Ijumaa) lilichapishwa 9 Februari 2001.Likiingia katika soko lililokuwa na magazeti kama ''The Oregonian'' (gazeti pekee la habari za jumla) na magazeti ya kila wiki: ''Willamette Week'' na ''The Portland Mercury''. Wakati huo, ulikuwa mfano nadra sana wa upanuzi katika biashara ya magazeti kwa sababu kampuni nyingi za magazeti zilikuwa zikifungwa ama zikiungana. Uzinduzi wake ulitangulia kuteremka kwa matangazo katika magazeti. Hili likawa tatizo katika kuanzisha uchapishaji wa gazeti hili. Miezi kumi na moja baada ya uzinduzi,''Portland Tribune'' lilipunguza shughuli zake za kuwasilisha magazeti hadi nyumbani za watu. Gazeti hili liliripotiwa kuleta hasara zaidi kuliko ilivyotarajiwa. Ulipofika mwisho wa mwaka wa 2006, wafanyikazi wa chumba cha habari cha gazeti hili walipunguzwa hadi wakawa 27. Mnamo 5 Mei 2008, jarida hili lilitangaza kuwa litaanzisha kuchapishwa mara moja kwa wiki, matoleo ya Alhamisi, huku likiambatana na kuandika habari kila siku katika tovuti yake rasmi. Mnamo Julai 2009, "shida za kiuchumi" zilisababisha kufutwa kazi kwa waandishi wawili wa habari na kujiuzulu kwa mhariri msimamizi, na wafanyikazi wa chumba cha habari cha gazeti hili walipunguzwa wakawa 14. ==Vipengele== Jarida hili hujihusisha sana na masuala ya Portland na jimbo la Orego. Jarida hili linajulikana kwa kuandika habari za shule za upili za eneo hilo, timu za michezo hasa za [[NBA]], Pac-10, Mkutano wa mchezo wa Big Sky na Mkutano wa mchezo wa Pwani Magharibi. ''Portland Tribune'' huwa mdhamini wa Shindano la Portland Regional Spelling Bee la wanafunzi wa shule ya daraja la katikati. Mshindi wa shindano hili hushiriki katika Shindano la Scripps National Spelling Bee jijini [[Washington]], [[D.C]]. ==Marejeo== {{Col-begin}} {{Col-break}} * ^ Rogoway, Mike (9 Februari 2001). [http://en.wikipedia.org/wiki/Portland_Tribune#cite_ref-0 "Tribune hits porches, newsstands today".] ''The Columbian.'' * ^ Redden, Jim (7 Februari 2006). [http://portlandtribune.com/news/story.php?story_id=33790 "Tribune marks five years serving Portland".] ''Portland Tribune.'' . * ^ a b Fost, Dan (1 Agosti 2001). [http://en.wikipedia.org/wiki/Portland_Tribune#cite_ref-chron_2-1 "Twice-weekly Tribune making a run at Portland news market - Wealthy owner may be guarantee of staying power".]''The San Francisco Chronicle''. * ^ Jaquiss, Nigel (9 Januari 2002). [http://wweek.com/editorial/2810/2345/ "The Incredible Shrinking Tribune".] {{Wayback|url=http://wweek.com/editorial/2810/2345/ |date=20080520045946 }} Willamette Week. . {{Col-break}} * ^ Jaquiss, Nigel (30 Januari 2002). [http://wweek.com/story.php?story=2417 "The incredible shrinking empire of Bob Pamplin: The struggling Portland Tribune is the least of his problems".] {{Wayback|url=http://wweek.com/story.php?story=2417 |date=20080520050001 }} ''Willamette Week.'' * ^ [http://www.portlandtribune.com/news/story.php?story_id=120967583866666000 "Tribune enters next phase with daily newspaper on the Web".] {{Wayback|url=http://www.portlandtribune.com/news/story.php?story_id=120967583866666000 |date=20090130132643 }} ''Portland Tribune''. 5 Mei 2008. . * ^ [http://portland.bizjournals.com/portland/stories/2009/07/20/daily20.html Portland Tribune makes more cuts], a 21 Julai 2009 article from the ''Portland Business Journal'' * ^ Geddes, Ryan (29 Mei 2007). [http://portlandtribune.com/news/story.php?story_id=118048177483153000 "Tigard teen goes out during semifinals of national spelling bee".] {{Wayback|url=http://portlandtribune.com/news/story.php?story_id=118048177483153000 |date=20110929182642 }} ''The Portland Tribune'' {{Col-end}} ==Viungo vya nje== * [http://portlandtribune.com/ Tovuti Rasmi ya ''Portland Tribune''] [[Jamii:Magazeti ya kila wiki ya Marekani]] [[Jamii:Portland, Oregon]] 3vaxxvaopu4iyh9ikmduc7t4d289ae1 Wichita Eagle 0 36175 1233883 1148492 2022-07-20T13:12:53Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:WichitaEagle.png|thumb|200px|Nembo ya ''Wichita Eagle'']] {{Infobox gazo | jina = Wichita Eagle | jina la gazeti = Wichita Eagle | picha = [[Picha:The Wichita Eagle front page.jpg|thumb|300px|Ukurasa wa kwanza wa ''Wichita Eagle'' ya 27 Julai [[2005]]]] | aina = Gazeti la kila siku | lilianzishwa = [[1872]] | eneo = [[Wichita]], [[Kansas]] | mwanzilishi = Marshall Murdock | nchi = {{Flag icon|USA}} [[Marekani]] | mhariri = Sherry Chisenhall | mmiliki = Kampuni ya McClatchy | makaomakuu = 825 E. Douglas<br>[[Wichita]], [[Kansas]] 67201 | mchapishaji = Pam Siddall | usambazaji = *. 90,648 - Kila siku<br>*. 149,230 - Jumapili [http://www.mcclatchy.com/146/story/366.html] | lilikwisha = | machapisho = | tovuti = [http://www.kansas.com/ www.kansas.com] }} '''''The Wichita Eagle''''' ni gazeti la kila siku linalochapishwa katika eneo la [[Wichita]], [[Kansas]], [[Marekani]]. Linamilikiwa na [[Kampuni ya McClatchy]], kampuni hii huchapisha magazeti mengine 31 kama lile la ''The Kansas City Star''. Hili ndilo gazeti kubwa kabisa katika Wichita , Kansas na maeneo yanayozunguka eneo hilo. ==Historia== Gazeti la ''Eagle'' lilianzishwa na lilihaririwa na [[Marshall Murdock]] katika mwaka wa 1852. Gazeti shindani lake kuu,''Beacon'', lilizinduliwa katika Oktoba ya mwaka huo. Majarida haya mawili yalishindana kwa miaka 88 mpaka mwaka wa 1960 ndipo ''Eagle'' lilinunua gazeti la ''Beacon''. Magazeti yote yaliendelea kuchapishwa , ''Eagle'' lilichapishwa asubuhi na ''Beacon'' lilichapishwa jioni. Katika mwaka wa 1973, kampuni ya uchapishaji ya Ridder Publications ilinunua magazeti yote mawili. Kampuni za magazeti za Ridder na Knight Newspapers ziliungana na kuunda Knight Ridder katika mwaka wa 1974, kampuni hii ikaunganisha magazeti hayo mawili kuwa ''The Wichita Eagle-Beacon'' katika mwaka wa 1980. Katika mwaka wa 1989, neno ''Beacon'' likatolewa na jina la gazeti likawa ''The Wichita Eagle''. Gazeti hili lilijijengea jina katika taifa zima chini ya uhariri wa W. Davis "Buzz" Merritt Jr..Buzz alikuwa mmojawapo wa wanachama wa ''Civic Journalism'' au ''Public Journalism'' (Uandishi wa Uraia/Umma) waliotetea maadili ya muungano huu. Muungano huu haswa ulisema kuwa waandishi wa habari na wasomaji si watazamaji katika michakato ya kisiasa na kijamii bali ni washiriki pia.Unaendelea na kuagiza wanahabari hawafai kuripoti habari tu ni kama hawana msimamo bali washiriki na watoe maoni yao. Harakati za ''Civic Journalism'' zilihusisha kuwataka wasomaji na wanajamii wawe washiriki. Muungano huu umekua polepole na bali na kuwa itikadi tu, Uandishi kwa Umma umekuwa ukitendeka katika magazeti. ''The Wichita Eagle'' lilionekana kama ndilo lililokuwa kwenye mstari wa mbele wa harakati hizi. Kwa mfano, katika uchaguzi wa 1990, jarida hili liliandaa kura ya maoni kwa wakazi 500 ili kujua matakwa yao katika jimbo yalkuwa gani. Kisha, uchaguzi ulipokuwa ukiendelea, wanahabari wa gazeti hili walijaribu kuwauliza wagombea kuhusu hisia zao kuhusu masuala haya. Walichapisha toleo kila wiki likiorodhesha masuala na misimamo ya wagombea. Mgombea alipokataa kuchukua msimamo aliripotiwa pia. Njia hii ilikuwa tofauti sana na utaratibu wa zamani wa kuripoti kuhusu ukweli uliokuwa katika hotuba za wagombea. Kama matokeo ya hayo, watu waliopiga kura katika eneo msingi la usambazaji wa ''Eagle'' walikuwa wengi sana hasa asili mia 43.3 kuliko asilimia 31 katika maeneo mengine ya jimbo hilo. Gazeti la ''Eagle'' likawa sehemu ya Kampuni ya McClatchy, Knight Ridder iliponunuliwa na McClatchy katika mwaka wa 2006. ==Marejeo== *H. Craig Miner, ''Wichita: The Early Years, 1865-80'' (University of Nebraska Press, 1 Oktoba 1982) (Out of Print) ISBN 0-8032-3077-X *W. Davis Merritt, ''Knightfall: Knight Ridder and How the Erosion of Newspaper Journalism is Putting Democracy at Risk'' (Amacom Books, 30 Machi 2005) ISBN 0-8144-0854-0 *Michael Hoyt, (Julai 1992) "The Wichita Experiment", (Columbia Journalism Review) *The McClatchy Company, [http://www.mcclatchy.com/146/story/366.html Newspaper Profiles: The Wichita Eagle] {{Wayback|url=http://www.mcclatchy.com/146/story/366.html |date=20091012041629 }}. ==Viungo vya nje== *[http://www.kansas.com/ Tovuti rasmi ya ''Wichita Eagle''] [[Jamii:Magazeti ya Marekani]] [[Jamii:Wichita, Kansas]] p1ixk1iqahxdy305kf8jqelvpo1ddy2 Williams Holdings 0 36204 1233908 1203951 2022-07-20T13:53:15Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox kampu | jina = Williams Holdings | jina la kampuni = Williams Holdings | picha = [[Picha:Williamslogo.png]] | ilianzishwa = [[1982]] | mwanzilishi = | huduma = Uendeshaji wa kampuni zingine | makaomakuu = [[Derby]] | bidhaa = | aina = | mmiliki = *. Sir Nigel Rudd (Mwenyekiti)<br>*. Roger Carr (Mkurugenzi) | nchi = [[Uingereza]] | ilikwisha = 2000 | tovuti = }} '''Williams Holdings''' lilikuwa kundi kubwa la biashara la [[Uingereza]]. Lilikuwa limeorodheshwa katika Soko la Hisa la [[London]] na pia katika orodha ya FTSE 100. ==Historia== Kampuni hii ilianzishwa na Nigel Rudd na Brian McGowan katika eneo la [[Derby]] nchini [[Uingereza]] katika mwaka wa 1982. Lengo lao lilikuwa kununua biashara zozote zilizokuwa zikifeli. Kampuni ya kwanza ,iliyokuwa kubwa, iliyonunuliwa na Williams Holdings iliikuwa biashara ya ''J & HB Jackson''. Biashara hii ilinunuliwa na Williams katika mwaka wa 1985. ''J & HB Jackson'' ilikuwa na makao yake katika [[Coventry]] na iliendesha biashara ya vyuma. Williams iliendelea kunawiri na ikanunua kampuni ya ''Crown Berger'' iliyokuwa katika biashara ya rangi. ''Crown Berger'' ilinunuliwa katika mwaka wa 1987. Hapo baadaye katika mwaka wa 1988, Williams ilinunua biashara ya ''Pilgrim House'' (wamiliki wa Kidde) ya Marekani kwa bei ya £331m.Biashara ya ''Yale & Valor'' ya kufuli na gesi ilinunuliwa katika mwaka wa 1991. Kampuni ya Williams ikaanza kuzingatia biashara za usalama katika miaka ya 1990 na ikauza biashara yake ya rangi kwa Akzo Nobel katika mwaka wa 1990. Ilipofika mwaka wa 1997, kampuni hii ilinunua kampuni ya usalama na ulinzi ya Chubb Security kwa bei ya $ milioni 2.1. Ikabadilisha jina lake kuwa ''Williams plc'' katika mwaka wa 1998 na ikauza Kampuni ya Yale Lock Company kwa Assa Abloy katika mwaka wa 2000. ==Kifo cha biashara== Kampuni hii iligawanyika kuwa kampuni mbili, haswa: Chubb na Kidde katika mwaka wa 2000. ==Marejeo== # Nigel Rudd, [http://www.managementtoday.co.uk/search/article/408401/uk-best-deal-nigel-rudd-chairman-williams-holdings/ My best deal] {{Webarchive|url=https://archive.today/20120908195206/http://www.managementtoday.co.uk/search/article/408401/uk-best-deal-nigel-rudd-chairman-williams-holdings/ |date=2012-09-08 }} ''Management Today'', 1 Aprili 1991 # [http://www.flintgrp.com/group_com/significant_dates/sort_company.php Flint Group: Significant dates] {{Wayback|url=http://www.flintgrp.com/group_com/significant_dates/sort_company.php |date=20101001224036 }} # [http://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9E04E7D8123FF936A25751C0A961958260 Williams of Britain to buy Chubb Security] ''New York Times'', 15 Februari 1997 # [http://articles.latimes.com/2000/mar/08/business/fi-6504 Swedish firm to buy Williams's Yale Lock Unit] ''Los Angeles Times'', 8 Machi 2000 # [http://www.independent.co.uk/news/business/news/williams-plunges-14-as-margins-shrink-708333.html Williams plunges 14% as margins shrink] {{Wayback|url=http://www.independent.co.uk/news/business/news/williams-plunges-14-as-margins-shrink-708333.html |date=20110113134919 }} ''Independent'', 19 Julai 2000 [[Category:Kampuni za Marekani]] b1xf35mwi8q8jwaw35pkf56uc1xoy07 Wilaya ya Bahi 0 40482 1233863 1233846 2022-07-20T12:42:53Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Wilaya ya Bahi''' ni moja kati ya [[Wilaya za Tanzania|wilaya]] za [[Mkoa wa Dodoma]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''413'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>. Makao ya halmashauri ya wilaya yapo [[Bahi]] mjini. Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]], [[idadi]] ya wakazi wa Wilaya ya Bahi ilihesabiwa kuwa 221,645 <ref>http://www.nbs.go.tz/sensa/popu2.php {{Wayback|url=http://www.nbs.go.tz/sensa/popu2.php |date=20140413063741 }} DODOMA REGION, BAHI DISTRICT/COUNCIL POPULATION</ref> ==Marejeo== <references/> {{Kigezo:Kata za Wilaya ya Bahi}} {{mbegu-jio-dodoma}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dodoma]] a3865b0i4ma1bkeuthq6qtpy0zhuefz Miaka ya 1980 0 44160 1233954 897375 2022-07-21T07:28:54Z 196.249.96.221 wikitext text/x-wiki {{MuongoMakala|199}} Makala hii inahusu [[mwaka|miaka]] [[1980]] - [[1980]]. == Matukio == === Afrika === === Amerika ya Kaskazini === === Amerika ya Kusini === === Asia === === Australia na Pasifiki === === Ulaya === == Utamaduni == === Filamu === === Muziki === == Sayansi == == Watu == === Tuzo === == Viungo vya nje == {{Commonscat|1980s}} tgq71glrgl80gxmlmueg990facdx2nf 1233973 1233954 2022-07-21T10:29:05Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/196.249.96.221|196.249.96.221]] ([[User talk:196.249.96.221|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Legobot|Legobot]] wikitext text/x-wiki {{MuongoMakala|199}} Makala hii inahusu [[mwaka|miaka]] [[1980]] - [[1989]]. == Matukio == === Afrika === === Amerika ya Kaskazini === === Amerika ya Kusini === === Asia === === Australia na Pasifiki === === Ulaya === == Utamaduni == === Filamu === === Muziki === == Sayansi == == Watu == === Tuzo === == Viungo vya nje == {{Commonscat|1980s}} arppmurjlzoum0gghqo3r431rkq7iep Kiwango-hisi cha gluteni 0 55746 1233904 1205623 2022-07-20T13:46:49Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Kiwango-hisi cha gluteni''' (GS) kinajumuisha hali mbalimbali za kiafya ambapo [[gluteni]] ina athari mbaya. Kwa watu wenye maradhi ya utumbo unaoathiri gluteni, kuondolewa kwa gluteni kwa ujumla husababisha kurejeshwa kwa usanifu wa vidole<ref name="pmid4426981">{{cite journal | author = Thompson H | title = Necropsy studies on adult coeliac disease | url = https://archive.org/details/sim_journal-of-clinical-pathology_1974-09_27_9/page/710 | journal = J. Clin. Pathol. | volume = 27 | issue = 9 | pages = 710–21 | year = 1974 | pmid = 4426981 | doi =10.1136/jcp.27.9.710 | pmc = 475446 }}</ref> au uzito wa chini zaidi wa limfosaiti kwenye utumbo.<ref name="pmid6693043">{{cite journal | author = Corazza GR, Frazzoni M, Gasbarrini G | title = Jejunal intraepithelial lymphocytes in celiac disease: are they increased or decreased? | journal = Gut | volume = 25 | issue = 2 | pages = 158–62 | year = 1984 | pmid = 6693043 | doi =10.1136/gut.25.2.158 | pmc = 1432248 }}</ref> Katika baadhi ya viwango vya hisi, kustawi kwa hali ya neva kunaweza kudhihirika, lakini matokeo ya kiafya huenda yasiwe wazi.<ref name="pmid12351994">{{cite journal | author = Wills AJ, Unsworth DJ | title = The neurology of gluten sensitivity: separating the wheat from the chaff | journal = Curr. Opin. Neurol. | volume = 15 | issue = 5 | pages = 519–23 | year = 2002 | pmid = 12351994 | doi =10.1097/00019052-200210000-00001 }}</ref><ref name="pmid1908173">{{cite journal | author = Ventura A, Bouquet F, Sartorelli C, Barbi E, Torre G, Tommasini G | title = Coeliac disease, folic acid deficiency and epilepsy with cerebral calcifications | journal = Acta paediatrica Scandinavica | volume = 80 | issue = 5 | pages = 559–62 | year = 1991 | pmid = 1908173 | doi =10.1111/j.1651-2227.1991.tb11906.x }}</ref> GS pia inaweza kuathiri kemia ya damu,<ref name="pmid8675082">{{cite journal | author = Valdimarsson T, Löfman O, Toss G, Ström M | title = Reversal of osteopenia with diet in adult coeliac disease | url = https://archive.org/details/sim_gut_1996-03_38_3/page/322 | journal = Gut | volume = 38 | issue = 3 | pages = 322–7 | year = 1996 | pmid = 8675082 | doi =10.1136/gut.38.3.322 | pmc = 1383058 }}</ref> uwezo wa kutibu baadhi ya magonjwa kingamwilinafsi,<ref name="pmid773406">{{cite journal | author = Heading RC, Paterson WD, McClelland DB, Barnetson RS, Murray MS | title = Clinical response of dermatitis herpetiformis skin lesions to a gluten-free diet | journal = Br. J. Dermatol. | volume = 94 | issue = 5 | pages = 509–14 | year = 1976 | pmid = 773406 | doi =10.1111/j.1365-2133.1976.tb05138.x }}</ref> na / au kuboresha bila kutibiwa kwa hali za kingamwilinafsi.<ref name="pmid16458087">{{cite journal | author = Volta U, De Giorgio R, Granito A, ''et al.'' | title = Anti-ganglioside antibodies in coeliac disease with neurological disorders | journal = Digestive and liver disease: official journal of the Italian Society of Gastroenterology and the Italian Association for the Study of the Liver | volume = 38 | issue = 3 | pages = 183–7 | year = 2006 | pmid = 16458087 | doi = 10.1016/j.dld.2005.11.013}}</ref><ref name="pmid12087007">{{cite journal | author = Amin R, Murphy N, Edge J, Ahmed ML, Acerini CL, Dunger DB | title = A longitudinal study of the effects of a gluten-free diet on glycemic control and weight gain in subjects with type 1 diabetes and celiac disease | journal = Diabetes Care | volume = 25 | issue = 7 | pages = 1117–22 | year = 2002 | pmid = 12087007 | doi =10.2337/diacare.25.7.1117 }}</ref><ref name="pmid11910339">{{cite journal | author = Kaukinen K, Halme L, Collin P, ''et al.'' | title = Celiac disease in patients with severe liver disease: gluten-free diet may reverse hepatic failure | url = https://archive.org/details/sim_gastroenterology_2002-04_122_4/page/881 | journal = Gastroenterology | volume = 122 | issue = 4 | pages = 881–8 | year = 2002 | pmid = 11910339 | doi =10.1053/gast.2002.32416 }}</ref> Gluteni imeundwa kwa [[protini]] za kuhifadhi na zinazonata zinazopatikana katika [[Ngano|ngano.]] Ugonjwa wa enteropathia unaoathiri gluteni '''(GSE)''' unaweza kujitokeza kwa viwango mbalimbali kutoka uvimbe mdogo wa mukosa wa chango hadi ugonjwa mkali wa siliaki. Istilahi unyeti wa gluteni inatumika wakati ambapo utambuzi unaokisiwa wa GSE ulio na misingi katika hali kama vile chunusi sugu yenye mwasho. Hata hivyo, GS inaweza kutumika katika hali ya utata wakati ambapo hali zingine zinawezekana. Kwa mfano, mzio wa ngano kwa gluteni unaweza kusababisha anafilaksisi huku zingine huenda zikawa ni vigumu kutambua kutokana na baadhi ya sifa fichifu za kuvimba za protini za ngano. Istilahi 'unyeti wa gluteni' hutumika kwa kawaida wakati ambapo upimaji kwa ajili ya utambuzi haujafanywa kutokana na mlo usio na gluteni unaoliwa kwa muda mrefu na / au ukataaji wa changamoto ya gluten kabla ya bayopsi. Uteuzi wa jina la unyeti wa gluteni huenda usifae katika matukio yote, kwa kuwa mizio ya ngano mara nyingi huelekezwa kwa albumini au globulini za ngano, au mtu anaweza kuathirika kirahisi na protini ambazo kwa kawaida hupatikana kwenye bidhaa za ngano (k.m. amilesi ya ukungu au hamira ya mkate). Kwa hiyo, vigezo vya utambuzi vinapendelewa zaidi. Uhusiano kati ya gluteni na viwango mbalimbali vya hisi ni tata. Kwa ugonjwa wa enteropathia ya gluteni, uathirikaji wa kiini T unapatikana tu katika spishi/ glutelini za prolamini ndani ya kabila, la majani la ''Triticeae'' na hasa α-gliadini ya ngano.<ref name="pmid16634791">{{cite journal | author = Srinivasan U, Jones E, Carolan J, Feighery C | title = Immunohistochemical analysis of coeliac mucosa following ingestion of oats | journal = Clin. Exp. Immunol. | volume = 144 | issue = 2 | pages = 197–203 | year = 2006 | pmid = 16634791 | doi = 10.1111/j.1365-2249.2006.03052.x | pmc = 1809658}}</ref><ref name="pmid674547">{{cite journal | author = Anand BS, Piris J, Truelove SC | title = The role of various cereals in coeliac disease | journal = Q. J. Med. | volume = 47 | issue = 185 | pages = 101–110 | year = 1978 | pmid = 674547 | doi = }}</ref> Kwa idadi ndogo ya GSE, mwitiko wa kuvimba unaweza kuhusisha pia [[Oti|shayiri]].<ref name="pmid17376046">{{cite journal | author = Silano M, Dessì M, De Vincenzi M, Cornell H | title = In vitro tests indicate that certain varieties of oats may be harmful to patients with coeliac disease | journal = J. Gastroenterol. Hepatol. | volume = 22 | issue = 4 | pages = 528–31 | year = 2007 | pmid = 17376046 | doi = 10.1111/j.1440-1746.2006.04512.x}}</ref> Mzio wa gluteni unaweza kuhusisha aina mbalimbali za taksa au unaweza kuwa maalum kwa aina maalum za protini za ngano na mzio unaweza kuhusisha shayiri. [[File:Gluten Sources.png|thumb|350px|right|Aina 4 mbalimbali za miundo ya kibiashara ya Tritikea cultivars. Kwa mzunguko wa akrabu kutoka juu: unga wa ngano wa gluteni, Spelti ya Ulaya, mbegu ya bali, rai zilizovingirishwa]] Kiwango-hisi cha gluteni kinapaswa kuwa na sababu iliyofafanuliwa, ingawa si wazi daima katika upimaji wa kwanza, watu walioathirika wanafaa hatimaye kuwekwa katika kategoria ya mzio wa GSE au ngano. Ni nadra kupata kuwa kiwango-hisi cha gluteni ina asili isiyojulikana. Kiwango-hisi cha gluteni chenye asili isiyojulikana '''(IGS)''' hujitokeza "kwa hiari au kutokana na sababu isiyoeleweka au isiyojulikana" na inaweza kuhusisha nyuropathia, miopathia, ya ngozi, au hali ya matumbo isiyo ya kawaida. Kingamwili dhidi ya gliadini ndizo viungo msingi kati ya gluteni na hisi ya ugonjwa wenye asili isiyojulikana ''ambapo enteropathia au mzio hazihusiki kiwazi.'' <ref name="pmid12566288">{{cite journal | author = Hadjivassiliou M, Grünewald R, Sharrack B, ''et al.'' | title = Gluten ataxia in perspective: epidemiology, genetic susceptibility and clinical characteristics | url = https://archive.org/details/sim_brain_2003-03_126_3/page/685 | journal = Brain | volume = 126 | issue = Pt 3 | pages = 685–91 | year = 2003 | pmid = 12566288 | doi =10.1093/brain/awg050 }}</ref> Aina hii ya hisi ya gluteni ina utata kwa sasa. ==Dalili== Hisi ya gluteni ni mkusanyiko wa magonjwa ambapo prolamini na glutelini za ngano ndizo vipengele vya hisi. Kwa hivyo, dalili zinategemea patholojia maalum. Katika matukio mengi, hisi ya gluteni haionyeshi dalili au dalili mara nyingi hujitokeza wakati wa kufuatilia matukio ya magonjwa mengine yenye asili isiyojulikana (k.m. nyuropathia ya pembeni, ugonjwa wa kingamwilinafsi) na masharti haya mengine yanaweza kutofautiana sana (ugonjwa wa siliaki umeitwa 'kiigaji kikubwa', tazama ugonjwa wa siliaki - ishara na dalili). Katika tukio la majibu ya mzio, dalili huweza kuonekana kama uvimbe ngozi lakini pia zinaweza kujitokeza kama matatizo ya kupumua wakati wa mazoezi. Katika hali zote mbili, dalili za matatizo ya utumbo huweza kutokea. Katika hali ya hisi ya gluteni yenye asili isiyojulikana, dalili zote zinazojulikana zina uhusiano na mfumo wa neva. ==Etiolojia == Hisi inaweza kuanza katika awamu yoyote ya maisha, na dalili za ugonjwa zinaweza kuonekana miaka mingi baada ya ugonjwa kuanza. Wakati ambapo enteropathia inajitokeza mapema utotoni, ugonjwa wenye dalili ni dhahiri kwa haraka zaidi. Uchunguzi wa jeriatriki nchini Finland ulionyesha kwamba matukio ya ugonjwa yalikuwa juu zaidi kuliko idadi ya watu kwa jumla. Ugonjwa wa mzio unaweza kuongezeka au kupunguka kulingana na umri. Hata hivyo, ushahidi fulani unaashiria kuwa kuongeza au matumizi ya kila siku ya vipengele vya kuzuia uvimbe na visivyo vya steroidi (aspirini, ibuprofeni) kama sababu zinazoongeza hatari ya kupata urtikaria au anafilaksi, na kipimo cha hisi kinaweza kuhusisha kiwango cha chini cha tiba ya aspirin yanayotumika kutibu maradhi ya moyo. Ugonjwa wenye asili isiyojulikana mara nyingi hujitokeza uzeeni. Ugonjwa wa enteropathia unaoathiri gluteni hutokana na sababu za kijenetiki na kimazingira. Bali na kuhusika kwa isofomu fulani za HLA-DQ (antijeni zinazotoa protini kwa mwili wa binadamu) na protini kadhaa za ngano, hakuna uwazi kuhusu kuhusishwa kwa jeni zingine au sababu zingine za kimazingira (tazama vivumishi vya hatari). Sababu thabiti za kimaumbile kama inavyodhihirika katika GSE havijadhihirika katika mzio wa gluteni, na katika hisi ya gluteni wenye asili isiyojulikana, mahusiano ya HLA-DQ ni dhaifu. ==Chanzo cha kiwango-hisi cha gluteni== {| style="margin-left:2em;border:1px #ccffdd solid;background:#ebffef" align="right" |- | {| style="text-align:left;margin-left:0em;background:#ebffef" |- align="center" | <div style="font-size:medium;line-height:120%">'''Hali za kimsingi''' </div> |- | '''Utumbo wa kawaida''' |- | width="350px"|[[File:Normal Villus Illustration.png|thumb|right|Mchoro wa mpaka wa utando brashi wa vili za chango]] Protini za ngano huingiliana na mfumo wa kinga kupitia kifo kilichopangwa na kusimamiwa cha seli za DQ2 (apoptosisi) ya matumbo kwa watu wenye hisi. Utafiti mpya umetambua kuwa matumbo ya siliaki huenda yakawa ni yenye kuvutika kwa hisi pale ambapo kuna ukosefu wa vipengele vya kijenetiki vya HLA. <br> |- | '''Namna ambavyo protini za vyakula hufikia damu''' |- | width="350px"| [[File:Protein digestion.PNG|thumb|left|Hatima ya protini zinazoweza kumeng'enywa katika chango]] Katika matumbo ya kawaida, protini humeng'enywa na kuwa peptidi kupitia pepsini (tumbo), traipsini na kaimotripsini (inayotokana na kongosho na kuamilishwa kwenye tumbo). Peptidi humeng'enywa zaidi wakati zinapoingia kwenye vili, ambapo peptidesi zinazopakana nayo huvunja protini na kuunda asidi ya amino. Katika sehemu kubwa ya utumbo, ni vimumunyishwaji vidogo, kwa mfano maji, vinavyoweza kupenyeza miungano midogo. Hata hivyo, baadhi ya sehemu za peptidi za utumbo zenye ukubwa wa hadi daltoni 500 (mabaki manne ya asidi ya amino kwa yanaweza kupenyeza). <br> |- | '''Utumbo yenye kiwango cha juu cha hisi kwa gluteni''' |- | width="350px"| [[File:Gluten digestion.PNG|thumb|right|hatima ya gluteni katika ugonjwa wa siliaki au EIA]] Ushahidi unaongezeka unaoonyesha kwamba utumbo wenye kiwango cha juu cha hisi kwa gluteni hutofautiana na utumbo wa kawaida. Baadhi ya peptidi za gluteni zinaweza kupenyeza eneo lililo nyuma ya seli zinazofunika chango. "33mer" ya gliadini α-2 kina ukubwa zaidi ya kiwango kikubwa kabisa kinachokubalika na kizuizi kinachoizingira seli, mianya midogo. Peptidi za gliadini za omega-5 zimepatikana katika mkondo wa damu wa watu wenye anafilaksisi inayosababishwa na mazoezi, na kusaidiwa na salisaileti. Na "25mer" ya asili ina uwezo wa kufikia seli za mononuklea katika siliaki ya utumbo, lakini katika utumbo wa kawaida huvunjwa na peptidesi za mipakamswaki. Huenda ikawa ni kiwango cha chini cha shughuli za peptidesi ndicho kinaeleza kuwepo kwa peptidesi hizi nyuma ya utando wa mipakamswaki. Hivi karibuni, ilitambuliwa kuwa peptidi ya giadini α-9 ilikuwa na uwezo wa kushikanisha kipokezi cha "CXCR3", na hivyo kuongeza uzalishaji wa zonulini na kudhoofisha mianya midogo. Jambo hili linaweza kueleza namna ambavyo, kwa ujumla, peptidi kubwa zinaweza kuingia kwenye utumbo nyeti wa gluteni.<br> |} |} ===''Tritikea'' na uwezekano wa jukumu la mageuko chaguzi katika gluteni nyeti=== Sehemu za mimea zinazotoa matunda zina jeni pamoja na akiba ya madini zinazoruhusu miche kukua. Kiwango cha juu cha virutubisho huwa ni kivutio kwa wanyama walanyama na walamajani. Kwa nyasi zinazotoa mbegu kwa muda mfupi kila mwaka kuna haja ya kulinda mbegu wakati wa upevukaji kutokana na wadudu au wanyama, ambayo yanaweza kuweka mbegu kwa matumizi ya mwaka mzima. Katika ngano, alfa-gliadini ni protini za kuhifadhi mbegu, na pia ni kizuizi cha shughuli za alfa-amilesi za wanyama wengine, hasa wadudu.<ref name="pmid16628930">{{cite journal |author=Bandani AR |title=Effect of plant a-amylase inhibitors on sunn pest, Eurygaster integriceps Puton (Hemiptera: Scutelleridae), alpha-amylase activity |journal=Commun. Agric. Appl. Biol. Sci. |volume=70 |issue=4 |pages=869–73 |year=2005 |pmid=16628930 |doi= |url=}}</ref> Pia inajulikana kwamba gliadini ya ngano huleta ugonjwa wa utumbo ukilishwa kwa wanyama wadogo wagugunaji.<ref name="pmid12500003">{{cite journal |author=Stepánková R, Kofronová O, Tucková L, Kozáková H, Cebra JJ, Tlaskalová- Hogenová H |title=Experimentally induced gluten enteropathy and protective effect of epidermal growth factor in artificially fed neonatal rats |journal=J. Pediatr. Gastroenterol. Nutr. |volume=36 |issue=1 |pages=96–104 |year=2003 |month=Januari |pmid=12500003 |doi=10.1097/00005176-200301000-00018 |url=http://meta.wkhealth.com/pt/pt-core/template-journal/lwwgateway/media/landingpage.htm?issn=0277-2116&volume=36&issue=1&spage=96 |access-date=2010-11-30 |archive-date=2012-04-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120428192625/http://meta.wkhealth.com/pt/pt-core/template-journal/lwwgateway/media/landingpage.htm?issn=0277-2116&volume=36&issue=1&spage=96 |dead-url=yes }}</ref> Uchapishaji wa hivi karibuni unaibua swali 'je, ni salama kwa mtu yeyote kuula ngano?'.<ref name="pmid17519496">{{cite journal | author = Bernardo D, Garrote JA, Fernández-Salazar L, Riestra S, Arranz E | title = Is gliadin really safe for non-coeliac individuals? Production of interleukin 15 in biopsy culture from non-coeliac individuals challenged with gliadin peptides | url = https://archive.org/details/sim_gut_2007-06_56_6/page/889 | journal = Gut | volume = 56 | issue = 6 | pages = 889–90 | year = 2007 | pmid = 17519496 | doi = 10.1136/gut.2006.118265 | pmc = 1954879}}</ref> Kwa kina, patholojia katika wadudu au wanyama wagugunaji wanaolishwa na binadamu haionyeshi chanzo cha ugonjwa katika binadamu, lakini la kuvutia ni kwamba madhara ya kitoksikolojia ya ngano yenye uwezo wa kusababisha patholojia katika binadamu yanaendelea kutambuliwa. Tokeo moja muhimu ya tafiti hizi ni kwamba huenda kuna unyeti wa ujumla wa gluteni ambao huwa yamefichika chini ya maonyesho mbalimbali ya kipatholojia, kama vile ugonjwa wa siliaki, urtikaria na unyeti wenye asili isiyojulikana. Kupanda kwa kiwango-hisi cha gluteni (hasa kwa watu wazima) unaweza kuonyesha mwingiliano wa vipengele vingi. Kikundi cha watu wanaozeeka, hatari za kijenetiki zinazohusiana na uigaji wa tamaduni wa kimagharibi, kiawango cha ziada cha kalori katika mlo, kemikali za kuhamasisha (kwa mfano, MSG, NSAID), na kuongeza kemikali zinazoongeza mzio kwenye vyakula (kwa mfano uondoaji amino kutoka kwenye gluteni kwa kutumia vimeng'enya) vinaweza kufanya kazi kwa kushirikiana na vikolezo vya asili vinavyozuia katika vyakula na kuvuka kizingiti kati ya hali ya kawaida na patholojia. [[File:Gliadin-immuno-innate.png|thumb|left|Mchoro wa alfa gliadini 2 unaoonyesha maeneo mawili yaliyo sugu kiproteolitiki, Juu inaonyesha maeneo 6 ya seli T katika 33mer, na chini inaonyesha peptidi asili za kinga na maeneo mawili ya ushikanishaji ya CXCR3]] ===Usumishaji wa gluteni=== Ongezeko la idadi tafiti kuhusu gliadini linaonyesha kuwa gluteni ina athari ya moja kwa moja na kubadilisha seli za chango. Tafiti mbili tofauti zimeonyesha kwamba gliadini tofauti zinaweza kuongeza upenyezaji wa seli za epithelimu (seli za nje kabisa za vidole) na kuruhusu protini za chakula kuingia. Utafiti mmoja ulichunguza athari za gliadini za ω-5, sababu ya msingi ya anafilaksisi inayosababishwa na mazoezi / aspirini, na ukatambua upenyezaji ulioongezeka wa seli za utumbo unaosababishwa na gliadini hii na albumini nyingine ya ngano.<ref name="pmid17477542">{{cite journal |author=Bodinier M, Legoux MA, Pineau F, ''et al.'' |title=Intestinal translocation capabilities of wheat allergens using the Caco-2 cell line |journal=J. Agric. Food Chem. |volume=55 |issue=11 |pages=4576–83 |year=2007 |month=Mei |pmid=17477542 |doi=10.1021/jf070187e |url=}}</ref> Mkondo mwingine wa utafiti unaonyesha kuwa gliadini huunganisha kipokezi cha [[wikt:chemoattractant|kuvutia kemikali]] na kuongeza kipengele kinachoharibu mianya midogo.<ref name="pmid16456012">{{cite journal |author=Thomas KE, Sapone A, Fasano A, Vogel SN |title=Gliadin stimulation of murine macrophage inflammatory gene expression and intestinal permeability are MyD88-dependent: role of the innate immune response in Celiac disease |journal=J. Immunol. |volume=176 |issue=4 |pages=2512–21 |year=2006 |month=Februari |pmid=16456012 |doi= |url=http://www.jimmunol.org/cgi/pmidlookup?view=long&pmid=16456012}}</ref> Mianya hii huzuia kuvuja kwenye seli zinazozingira chango, vinavyosababisha mvujo wa protini za chakula kuingia ndani ya mwili.<ref name="pmid18485912">{{cite journal |author=Lammers KM, Lu R, Brownley J, ''et al.'' |title=Gliadin Induces an Increase in Intestinal Permeability and Zonulin Release by Binding to the Chemokine Receptor CXCR3 |journal=Gastroenterology |volume= 135|issue= 1|pages= 194–204.e3|year=2008 |month=Machi |pmid=18485912 |doi=10.1053/j.gastro.2008.03.023 |url=https://archive.org/details/sim_gastroenterology_2008-07_135_1/page/194|pmc=2653457}}</ref> Sumu hizi za gluteni ambazo si sehemu ya majibu ya mfumo wa kinga wa kuzoea unaweza kuwa ndio uhusiano kati ya ngano na kiwango cha hisi cha gluten, na wakati mwingine ugonjwa wa kisukari wa aina ya kwanza. ===Kemia ya mfumo wa kinga wa gluteni=== Gluteni za ''Tritikea'' ni vipengele muhimu katika maradhi kadhaa zinazosababisha uvimbe. Kemia ya mfumo wa kinga inaweza kugawa katika majibu ya asili (usisimuaji wa moja kwa moja wa mfumo wa kinga), daraja ya pili la upatanisho (HLA DQ), daraja ya kwanza ya usisimuaji uliopatanishwa wa seli zinazoua, na kutambua zindiko. Majibu kwa [[protini]] za gluteni na meneo yenye polipeptidi hutofautiana kulingana na aina ya hisi ya gluteni. Majibu pia hutegemea maumbile ya kijenetiki ya jeni za antijeni za lukosaiti ya binadamu. Katika enteropathia, kuna angalau aina 3 za utambuzi, kinga ya asili (aina ya utayarishaji wa kinga za seli), HLA-DQ na kutambua zindiko za gliadini na transglutaminesi.<ref name="pmid16766754">{{cite journal |author=van Heel DA, West J |title=Recent advances in coeliac disease |journal=Gut |volume=55 |issue=7 |pages=1037–46 |year=2006 |month=Julai |pmid=16766754 |doi=10.1136/gut.2005.075119 |url=https://archive.org/details/sim_gut_2006-07_55_7/page/1037|pmc=1856316}}</ref> Mifuatano mitatu kuu inayoleta mmenyuko imetambuliwa.<ref> http://www.livescience.com/health/celiac-disease-gluten-peptides-100721.html</ref><ref name="pmid20650871">{{cite journal |author = Tye-Din JA, Stewart JA, Dromey JA, Beissbarth T, van Heel DA, Tatham A, Henderson K, Mannering SI, Gianfrani C, Jewell DP, Hill AV, McCluskey J, Rossjohn J, Anderson RP |title = Comprehensive, quantitative mapping of T cell epitopes in gluten in celiac disease.|journal=Sci Transl Med |volume = 2 |issue = 41 |pages = 41ra51 |year = 2010 |pmid = 20650871|doi=10.1126/scitranslmed.3001012}}</ref> Kwa magonjwa yenye asili isiyojulikana, ni utambuaji wa zindiko kwa gliadini pekee ndio umetatuliwa. Katika mzio wa ngano, inaonekana kuwa kuna vipengele vya asili na njia za majibu zinapatanishwa IgE dhidi ya gliadini na protini zingine za ngano.<ref name="pmid18036646">{{cite journal |author=Bittner C, Grassau B, Frenzel K, Baur X |title=Identification of wheat gliadins as an allergen family related to baker's asthma |journal=J. Allergy Clin. Immunol. |volume=121 |issue=3 |pages=744–9 |year=2008 |month=Machi |pmid=18036646 |doi=10.1016/j.jaci.2007.09.051 |url=https://archive.org/details/sim_journal-of-allergy-and-clinical-immunology_2008-03_121_3/page/744}}</ref><ref name="pmid18186814">{{cite journal |author=Matsuo H, Dahlström J, Tanaka A, ''et al.'' |title=Sensitivity and specificity of recombinant omega-5 gliadin-specific IgE measurement for the diagnosis of wheat-dependent exercise-induced anaphylaxis |journal=Allergy |volume=63 |issue=2 |pages=233–6 |year=2008 |month=Februari |pmid=18186814 |doi=10.1111/j.1398-9995.2007.01504.x |url= |doi_brokendate=2010-01-01}}</ref><ref name="pmid17655322">{{cite journal |author=Akagawa M, Handoyo T, Ishii T, Kumazawa S, Morita N, Suyama K |title=Proteomic analysis of wheat flour allergens |journal=J. Agric. Food Chem. |volume=55 |issue=17 |pages=6863–70 |year=2007 |month=Agosti |pmid=17655322 |doi=10.1021/jf070843a |url=}}</ref> ==Kutenganisha aina za kiwango-hisi cha gluteni== Ni nadra sana kwa hisi ya gluteni kujitokeza bila sababu. Kwa ujumla, kiwango cha hisi kinaweza kugawanywa kati ya enteropathia ya unyeti wa gluteni na mzio wa ngano. Kwa kuwa watu wenye GSE wanaweza pia kuwa na mzio wa ngano, kupatikana kwa mzio wa ngano hakuondoi uwezekano wa enteropathia. Watu wanaoshukiwa kuwa na enteropathia ya kiwango cha juu cha hisi cha gluteni wanaweza kupimwa kwa kingamwili zinazopambana na transglutaminesi ikifuatiwa na bayopsi ya mbuti, ambayo huthibitisha au kupigana na ugonjwa hai wa siliaki.<ref name="pmid17383983">{{cite journal |author=Hopper AD, Cross SS, Hurlstone DP, ''et al.'' |title=Pre-endoscopy serological testing for coeliac disease: evaluation of a clinical decision tool |journal=BMJ |volume=334 |issue=7596 |pages=729 |year=2007 |month=Aprili |pmid=17383983 |pmc=1847864 |doi=10.1136/bmj.39133.668681.BE |url=}}</ref> Utafiti unaopendekeza jambo hili, hata hivyo, una idadi kadhaa ya watu wenye ATA/wasio na bayopsi, na jambo hili linaweza kuwa limesababishwa na uvimbe kwenye viungo au tishu au patholojia isiyo na dalili za kliniki.<ref name="pmid18058655">{{cite journal |author=Hopper AD, Cross SS, Sanders DS |title=Patchy villous atrophy in adult patients with suspected gluten-sensitive enteropathy: is a multiple duodenal biopsy strategy appropriate? |journal=Endoscopy |volume=40 |issue=3 |pages=219–24 |year=2008 |month=Machi |pmid=18058655 |doi=10.1055/s-2007-995361 |url=}}</ref><ref name="pmid16036509">{{cite journal |author=Kaukinen K, Peräaho M, Collin P, ''et al.'' |title=Small-bowel mucosal transglutaminase 2-specific IgA deposits in coeliac disease without villous atrophy: a prospective and randomized clinical study |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=40 |issue=5 |pages=564–72 |year=2005 |month=Mei |pmid=16036509 |doi=10.1080/00365520510023422 |url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2005-05_40_5/page/564}}</ref> Utafiti mmoja wa sasa umependekeza kwa sampuli za bayopsi zilizo distali na mbuti ili kuepuka hatari ya bandia hasi. Kuondoa uwezekano wa GSE kunaweza kufanywa kwa ujumla kwa kuongeza uanishaji wa HLA-DQ, ambapo DQ2 na DQ8 zinapatikana katika enteropathia kwa 98% ya matukio kati ya watu wenye asili ya Kihindi-Kizungu, DQ7.5 ya 1.6% iliyobakia na 0.4% ambayo haikupatikana kwa yoyote kati ya hizi 3. Bila ATA au uchanya wa HLA-DQ2 / 8, GSE ina uwezekano mdogo sana wa kuwa ndio chanzo cha unyeti. Katika matukio yote mawili, mbinu zingine za utambuaji, kama vile kupima mzio zinapatikana. <ref name="pmid11063153">{{cite journal |author=Kaukinen K, Turjanmaa K, Mäki M, ''et al.'' |title=Intolerance to cereals is not specific for coeliac disease |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=35 |issue=9 |pages=942–6 |year=2000 |month=Septemba |pmid=11063153 |doi= 10.1080/003655200750022995|url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2000-09_35_9/page/942}}</ref> Mara nadra unyeti wa gluteni unaweza kuwa na asili isiyojulikana, uwezekano kuwa protini za ngano huchangia kwa magonjwa mengine, katika matukio hayo DQ1 inaweza kuhusishwa na unyeti, lakini kwa matatizo ya neva, lishe lisilo na gluteni halijaonyeshwa kuwa na athari chanya kwa matokeo ya wagonjwa kama ilivyo katika enteropathia au mzio. == Enteropathia unaoathiri kiwango-hisi cha gluteni == [[File:Coeliac Disease.png|left|thumb|300px|Mchoro wa Uainishaji wa Marsh wa patholojia ya juu ya jejuni katika ugonjwa wa siliaki]] Ugonjwa wa siliaki ni unyeti wa gluteni uliofafanuliwa kirasmi na ugonjwa wa chunusi sugu yenye mwasho uliongezewa katika ufafanuzi unaopanuka wa unyeti wa gluteni. Utambuaji wa "kiwango cha dhahabu" cha ugonjwa wa siliaki kama vile uvombe wa viungo au tishu unaotambvuliwa katika bayopsi za mbuti. Hata hivyo, kwa sasa inatambulika kuwa uvimbe wa tishu ya epitheliali ya chango unatangulia atrofia. Katika awamu ya kwanza ya ugonjwa huo, gluteni hutoa kitambua limfu ya T ya haidroliseti za gluteni (polipeptidi za gluteni) na peptidi za gluteni ambazo huungana na transglutaminesi (tTG) ya tishu za mamalia. Mwingiliano wa pili huleta matokeo katika uzalishaji wa "kingamwili" binafsi kwa tTG. Hii inaongeza limfu ndani ya epithelia ya chango (Marsh daraja la 1 na 2) na changamano za zindiko za tTG huonekana kama mashapo. Hii huendelea na kuwa ugonjwa wa siliaki (Marsh daraja la 3 na 4). Chanzo kuu cha mlisho cha GSE sio gluteni ya ngano pekee. 'Gluteni' kutoka kwa kila aina ya mimea yote inayolika ya ''Tritikea'' zinaweza kusababisha GSE kati ya watu walio na uwezekano wa kuambukizwa (taz: Kemia ya kinga ya gluteni). {{Main|Coeliac disease|l1=Coeliac disease (CD)}} {| class="wikitable" align="right" |+ Marudio ya fenotaipu katika ugonjwa wa Siliaki, Wamarekani wa kawaida, uwiano wa uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa | | colspan="5"| Ainahaplo za DQ-Ugonjwa wa siliaki |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.0 | Zingine |- | '''2.5''' | 34 | 22 | 4.0 | 2.0 | 22 |- | '''2.2''' | | 1.1 | 4.0 | 1.1 | 2.9 |- | '''7.5''' | | | 0.3 | 0.0 | 1.3 |- | '''8.1''' | | | | 2.9 | 2.0 |- | '''nyingine''' | | | | | 0.4 |- | | colspan="5"| haplotaipu za DQ -Idadi ya kawaida |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.1 | Zingine |- | '''2.5''' | 1.7 | 2.9 | 2.9 | 1.8 | 15.1 |- | '''2.2''' | | 1.2 | 2.4% | 1.6 | 12.8 |- | '''7.5''' | | | 1.2 | 1.5 | 1.3 |- | '''8.1''' | | | | 0.5 | 8.0 |- | '''nyingine''' | | | | | 33.4 |- | | colspan="5"| Uwiano wa uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.1 | Zingine |- align="center" | '''2.5''' | 20:01 <sup>1</sup> | 8:01 <sup>2</sup> | 1.4:1 <sup>6</sup> | 1.1:1 | 1.5:1 <sup>5</sup> |- align="center" | '''2.2''' | | 1:1.1 | 1.6:1 <sup>4</sup> | 1:1.3 | 1:05 |- align="center" | '''7.5''' | | | 1:04 | 0 | 1:10 |- align="center" | '''8.1''' | | | | 6:01 <sup>3</sup> | 1:04 |- align="center" | '''nyingine''' | | | | | 1:100 |} Kuna idadi kubwa ya magonjwa yanayotokana na GSE ambayo yanaweza kutokea kabla ya kustawi kwa ugonjwa wa siliaki na huenda ikawa na na inaweza kuwa na majibu ya gluteni. Ingawa kiwango cha uvimbe wa viungo na tishu katika baadhi ya matukio ya GSE huenda yasifikie kiwango cha kutambulika cha ugonjwa wa siliaki, kupanda kwa kiwango cha kinga kwenye seli kuna uwezo wa kusababisha matatizo yanayohusiana mara kwa mara na ugonjwa wa siliaki. Hali za baadaye za GSE ni vigezo muhimu vya utambuaji wa kiwango-hisi cha gluteni wakati ambapo huenda kukawa hakuna matatizo yoyote dhahiri ya chango. Kujitokeza kwa GSE mara nyingi hutokana na utambuzi wa awali wa hali ya baadaye ambayo katika upimaji wa kufuatilia (upimaji wa ATA, upimaji wa AGA, Uainishaji wa HLA-DQ, na / au bayopsi) hutambua hali ya msingi. Hali za baadaye zinazohusishwa na GSE huwa na mwegemeo wa kufanya kujitokeza baadaye kwa ugonjwa wa Siliaki kuwa jambo linalofuata utaratibu. == Unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana == Magonjwa '''yenye asili isiyojulikana''' yanapendekezwa kama upanuzi wa unyeti wa gluteni. Asili ya magonjwa haya huwa hayajulikani. Miaka mia moja iliyopita, kabla ya gluteni kutambuliwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa siliaki, ugonjwa wa siliaki kati ya watu wazima uliitwa steatoria ya watu wazima wenye asili isiyojulikana, ugonjwa wa sprue wa hari, na majina mengine mengi. Mjadala kuhusu kategoria hii ndogo unatokana na hali ambapo utambulishaji wa daraja zote za GSE na mzio hazitumii mtazamo mmoja. Matukio zaidi ya awali ya GSE huwa hayatambuliki, hasa kabla ya mwaka wa 2005. Inaonekana kuwa kuna idadi ndogo ya watu wasio na unyeti wa gluten ya GSE wasioonyesha yoyote kati ya mizio ya gluteni lakini wana kiwango cha juu kuwa nyanyuliwa kinza-gliadini IgA au IgG. Dalili za kawaida ni niuropathia za pembeni na ataksia ya ubongo. Ndani ya seti ya GSE, matokeo haya yanaweza kuelezwa kupitia ukalisishaji wa mipito ya ubongo na ukosefu wa vitamini. Ndani ya makundi yaliyobakia ya 'DQ2 na bila DQ8'. Kwa kuwa kundi hili la GS lina asili lisilojulikana, jukumu la mzio, dutu zingine zenye hisi (km aspirini), au vipengele vingine katika IGS pia bado hazijatatuliwa. '''Ugonjwa wa kimya.''' Ikitegemea upimaji, kati ya 3% na 15% ya watu wa kawaida wana kingamwili dhidi ya gliadin (AGA). Utafiti unaotumia kingamwili dhidi ya gliadini (AGA) umeonyesha kwamba kati ya watu ambao hawajatambuliwa kuwa na ugonjwa au watu wenye AGA ambao hawajatibiwa wana hatari zaidi ya kupata saratani za limfu na uwezekano wa chini zaid wa kupata magonjwa mengine yanayohusishwa na utajiri.<ref name="pmid17206762">{{cite journal | author = Anderson LA, McMillan SA, Watson RG, ''et al.'' | title = Malignancy and mortality in a population-based cohort of patients with coeliac disease or "gluten sensitivity" | journal = World J. Gastroenterol. | volume = 13 | issue = 1 | pages = 146–51 | year = 2007 | pmid = 17206762 | doi = }}</ref> Hata hivyo haijulikani ni asilimia ngapi walio katika awamu ya kwanza ya GSE. ===Niuropathia === ===Hali nyingine === Kingamwili za gliadin ya α zimeongezeka kwa kiasi kikubwa kati ya watu wasiougua ugonjwa wa siliaki lakini wana vidonda vya mdomo.<ref name="pmid1753350">{{cite journal | author = O'Farrelly C, O'Mahony C, Graeme-Cook F, Feighery C, McCartan BE, Weir DG | title = Gliadin antibodies identify gluten-sensitive oral ulceration in the absence of villous atrophy | journal = J. Oral Pathol. Med. | volume = 20 | issue = 10 | pages = 476–8 | year = 1991 | pmid = 1753350 | doi =10.1111/j.1600-0714.1991.tb00407.x }}</ref> Kingamwili dhidi ya kingamwili za gliadin α hupatikana mara nyingi katika ugonjwa wa siliaki (CD), na kwa kiwango kidogo zaidi katika matukio [[wikt:subclinical|yasiyo na dalili za kliniki]], lakini pia hupatikana kati ya makundi madogo yasiyo na ugonjwa huo. Marejeo ya 1991 yanatokana na kipindi ambapo upimaji wa CD isiyo na dalili za kliniki ulikuwa haujastawi ipasavyo. Kati ya watu wenye ugonjwa bandia wa ubambuaji, 25% walionyesha kuongezeka kwa viwango vya kinza-gliadini IgA.<ref name="pmid7656149">{{cite journal | author = Ringvold A, Overgaard RG | title = Increased IgA antibodies to gluten and gliadin in serum of persons with ocular pseudo-exfoliation | journal = Acta ophthalmologica Scandinavica | volume = 73 | issue = 2 | pages = 171–2 | year = 1995 | pmid = 7656149 | doi =10.1111/j.1600-0420.1995.tb00662.x }}</ref> Robo ya watu wenye ugonjwa wa Sjögren walikuwa majibu kwa gluteni, kati ya 5 waliokuwa na mwitikio chanya kwa gluteni, ni mmoja tu angeweza kudhibitishwa kama CD na mwingine alikuwa uwezekano wa kuwa na GSE, watatu waliosalia wanaonekana kuwa na kiwango cha juu cha hisi cha gluteni. Wote walikuwa na HLA-DQ2 na / au DQ8.<ref name="pmid17613926">{{cite journal | author = Lidén M, Kristjánsson G, Valtýsdóttir S, Hällgren R | title = Gluten sensitivity in patients with primary Sjögren's syndrome | url = https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2007-08_42_8/page/962 | journal = Scand. J. Gastroenterol. | volume = 42 | issue = 8 | pages = 962–7 | year = 2007 | pmid = 17613926 | doi = 10.1080/00365520701195345}}</ref> Matibabu ya kutibu dalili za ugonjwa wa Crohns (CrD) kupitia mlo wa kubagua ulionyesha kuwa vyakula kuu zaidi zilizosababisha dalili vilikuwa no ngano na maziwa.<ref name="pmid6526690">{{cite journal | author = Workman EM, Alun Jones V, Wilson AJ, Hunter JO | title = Diet in the management of Crohn's disease | journal = Human nutrition. Applied nutrition | volume = 38 | issue = 6 | pages = 469–73 | year = 1984 | pmid = 6526690 | doi = }}</ref> Uchunguzi wa baadaye ulionyesha mwitiko mdogo wa kupatanishwa wa IgE, isipokuwa wa maziwa,<ref name="pmid2321808">{{cite journal | author = Frieri M, Claus M, Boris M, Zitt M, Scalise D, Harris N | title = Preliminary investigation on humoral and cellular immune responses to selected food proteins in patients with Crohn's disease | journal = Annals of allergy | volume = 64 | issue = 4 | pages = 345–51 | year = 1990 | pmid = 2321808 | doi = }}</ref> huku utafiti mwingine ukionyesha ukosefu wa uhusiano muhimu wa IgE dhidi ya chakula.<ref name="pmid9430498">{{cite journal | author = Huber A, Genser D, Spitzauer S, Scheiner O, Jensen-Jarolim E | title = IgE/anti-IgE immune complexes in sera from patients with Crohn's disease do not contain food-specific IgE | journal = Int. Arch. Allergy Immunol. | volume = 115 | issue = 1 | pages = 67–72 | year = 1998 | pmid = 9430498 | doi =10.1159/000023832 }}</ref> Ugonjwa wa Crohn (CrD) unaweza kuwa na uhusiano na ngano usiotegemea gluteni. CrD inaonekana kuhusishwa na kiwanngo cha juu cha kingamwili dhidi ya chachu mwiliini (ASCA - antijeni za chachu hupatikana kwenye mkate na bidhaa zingine zinazotokana na nafaka) na watu walioathirika hawana protini za lektini zinazounganisha na hivyo basi manini kwenye chachu, kingamwili zinazoziunganisha na huongeza kolitisi inayosababisha uvimbe. Jambo la kufadhaisha kuhusu utafiti huu ni kujitokeza kwa waalamishaji wengi wa enteropathia ya unyeti wa gluteni, na mtu anapaswa kujiuliza namna ambavyo hali hizi zipo ikiwa uchunguzi wa makini wa GSE bado haujafanywa. == Viwango mbalimbali vya hisi vyenye uhusiano na mzio wa gluteni == '''Ni kwa nini [[mzio]] wa gluteni unapaswa kutibiwa kama unyeti?''' katika miaka 10 iliyopita, imedhihirika ya kuwa mzio kwa dutu fulani hazijitokezi kwa njia zinazoweza kutabirika. Mfano mmoja wazi wa jambo hili ulihusisha anafilaksisi na pumu. WDEIA (Anafilaksisi unaotegemea Ngano na kusababihwa na mazoezi) sasa inaaminika kuwa inatokana na gluteni iliyomezwa na kufikia mfumo wa damu. Njia hii kwa sasa inaaminika kuwa ndicho chanzo cha aina fulani za ukurutu. Tafiti za karibuni kuhusu vizio zinaonyesha kuwa zinamiliki uwezo wa kupita kizuizi cha matumbo/damu. Kati ya hizi mbili, iliyo hai zaidi ni gliadini ω-5 ambayo ni sehemu ya gluteni iliyo kizio dhabiti na husababisha WD_EIA. Upimaji wa mzio hueda usitambue mizio yote kwa gluteni kwa kuwa vizio ambavyo havijagawanywa 'vimefichwa' kutokana na upimaji huo, na vipimo vinavyopatikana vya hivi karibuni haviwezi kutambua vizio hivi vipya. Hatimaye, mizio kwa kawaida huhusisha IgE, lakini baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa kuna kategoria kadhaa za majibu, kwa mfano IgG1, IgG2, IgG4 ambazo zinahusishwa na IgE.<ref name="pmid1693911">{{cite journal | author = Pfeil T, Schwabl U, Ulmer WT, König W | title = Western blot analysis of water-soluble wheat flour (Triticum vulgaris) allergens | journal = Int. Arch. Allergy Appl. Immunol. | volume = 91 | issue = 3 | pages = 224–31 | year = 1990 | pmid = 1693911 | doi =10.1159/000235121 }}</ref> Mzio wa gluteni unaweza kuwa ni chanzo cha baadhi ya unyeti wa gluten wenye asili isiyojulikana na mzio wa gluteni unaweza kuwa matokeo ya pili ya enteropathia ya unyeti wa gluteni. == Ulinganishaji wa pathofisiolojia == <div align="center"> {| class="wikitable" style="text-align: left; font-size:90%" |+ Ulinganishaji wa aina tofauti za | hisi ya gluteni -! ! | Enteropathia ya unyeti wa gluteni !! | | Mzio wa ngano! | Niuropathia ya unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana | - | Dalili za kawaida | | stiatoria (kiwango cha juu cha mafuta kwenye kinyesi), utapiamlo, kuhara, kutostahimili laktosi, mzio kwa chakula | | ukurutu, pumu | | ataksia, niuropathia za pembeni | - | Malengo ya msingi ya tishu | | epithelia ya chango | | (ngozi ya nje) ngozi ya ndani, vikoromeo, matumbo | | CNS, neva za pembeni | - | Patholojia zisizo za kawaida | | wengine magonjwa mengine ya kingamwilinafsi,uyabisi sugu wa tumbo, niuropathia, kansa (ya limfu) | | ugonjwa wa baridi yabisi, vipandauso, anafilaksisi (ya mazoezi au inayosababishwa na aspirini) | | zisizojulikana | - | Malengo ya pili (ya kawaida) | | damu (Kemia), utumbo, mfumo wa neva, antijeni za kiotomatiki | | tishu unganifu, CNS, za utomvu | | | - | Isotipu ya Imunoglubulini | | IgA, IgG | | IgE, <small>IgG, IgA</small> | | IgG, <small>IgA</small> | - | Utambuaji wa kingamwili | | gliadini α / β, y (AGA), transglutaminesi (ATA) | | albumini, globulini, prolamini(gliadini-ω) (AGA), glutelini (LMW) (AGA) | | gliadini α / β | - | Mahusiano HLA | DQ2.5 |, DQ8, DQ2.2 / DQ7.5 | | zisizofahamika | | DQ2, DQ8?, DQ1? | - | Kinga ya seli | | Viini T, Esinofili, Monositi | | seli za masti, Esinofili | | zisizofahamika | - | Majibu ya asili | | (gliadini α) kinga, kuongezeka kwa upenyezaji | | (gliadini ω-5) - kuongezeka kwa upenyezaji | | zisizofahamika | - | Historia na marejeo | | Ugonjwa wa siliaki, Hali za GSEA | | Mzio wa ngano | | Niuropathia za IGS |)</div><small>Vidokezo kuhusu jedwali. </small><small>Vipengele vya niuropathia vyenye asili isiyojulikana vinadhani kwamba vikundi vyote vya GSE vimeondolewa, na kuwa kuna unyeti wa gluteni, lakini hakuna uwezekano wa kukuwa kwa GSE. </small><small>Kingamwili dhidi ya gliadini zinahusisha isotipu zoe za imunoglobulini na isofomu zote za gliadini. </small><small>Kiini T, Kiini kinachoua, na vitambuaji vingine vya gluteni vimejumishwa katika imunokemia ya gluten.</small> |} ==Vyanzo vya gluteni== {| style="margin-left:2em;border:1px #ccffdd solid;background:#ebffef" align="right" |- | {| style="text-align:left;margin-left:0em;background:#ebffef" |- align="center" | <div style="font-size:medium;line-height:120%">'''Siasa za dutu zisizo na gluteni na shayiri''' </div> |- | '''Miongozo ya sasa''' |- | width="350px"|Kutokana na hali ilivyo, kiwago cha sasa cha kimataifa kuhusu maelezo ya dutu "zisizo na gluteni", kilichoandikwa mwaka wa 1981 na kukubaliwa juu ya mwaka wa 1983<ref>[82] ^ p.47, MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO WA VIWANGO VYA CHAKULA TUME YA CODEX ALIMENTARIUS Kikao cha 15 cha Roma, 4-15 Julai 1983 TAARIFA YA KIKAO CHA 13 CHA [http://www.codexalimentarius.net/download/report/241/al83_26e.pdf KAMATI YA CODEX KUHUSU VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM YA LISHE] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/241/al83_26e.pdf |date=20110604193235 }} Bonn-Bad Godesberg, 20-24 Septemba 1982</ref> kulingana na Codex Alimentarius (CA), inasema:<blockquote>''Kwa madhumuni ya kiwango hiki, gluteni inafafanuliwa kama protini ambazo, kwa kawaida hupatikana katika ngano, tritikali, aina tofauti za shayiri ambazo watu wengine hawawezi kustahimili.'' <ref>[83] ^ ''"Codex standard kwa" GLUTEN-za vyakula ", [http://www.codexalimentarius.net/download/standards/291/CXS_118e.pdf Codex Stan 118-19811] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/standards/291/CXS_118e.pdf |date=20111221074901 }} .'' Codex ''alimentaris, Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa''</ref></blockquote>Mwongozo wa huduma ya Lishe la Shirika la Marekani la Chakula ''umetoa msimamo ufuatao kuhusu utumiaji wa shayiri katika hali ya matibabu inayohitaji chakula kisicho na gluteni:'' <blockquote>'''' </blockquote>'''' Hata hivyo, shayiri zinazopatikana sokoni nchini Marekani huenda zimeongezewa kiasi fulani cha ngano au shayiri. Kwa sababu hiyo, ikiwa umetambuliwa kuwa una ugonjwa wa siliaki, haupaswi kukula. Mara tu utumbo wako unapopona, unaweza kujadiliana na mtaalamu wako wa chakula a daktari yako kuhusu matumizi ya shayiri.''<ref name="ADA_Oats"></ref> Hii inaonyesha haja ya kuwepo kwa kiwango tofauti cha uhalisi kwa watu walio na unyeti wa gluten.'' <br>'''' |- | '''Viwango vipya vinavyojitokeza''' |- | width="350px"| ''Codex Alimentarius'' inarekebishwa na kiwango kilichorekebishwa kitawasilishwa katika mkutano wa Tume ya Codex Alimentarius mwishoni mwa Juni 2008.<ref>[85] ^ "TUME LA CODEX ALIMENTARIUS - Kikao cha Thelathini na moja - Geneva, Uswisi, 30 Juni - 5 Julai 2008". Kutoka ukurasa wa juu. Kamati kuhusu lishe na vyakula kwa Matumizi Maalum ya mlo. MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO KUHUSU KIWANGO CHA CHAKULA TUME LA CODEX ALIMENTARIUS. Kikao cha thelathini na moja Geneva, Uswisi, 30 Juni-4 Julai 2008, Tume ya Codex Alimentarius [http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf TAARIFA YA MKUTANO wa 29 WA KAMATI KUHUSU LISHE NA VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM KATIKA MLO] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf |date=20110511134650 }}</ref> Kiwango kinachopendekezwa kinaweka kimomo kwa kiasi cha dutu kinachoongezwa kwa bidhaa fulani kitakachoifanya bidhaa hiyo kuhihitimu kuitwa bidhaa isiyo na gluteni <blockquote>''Vyakula visivyao na gluteni ni vyakula vya ugunga a) vinavyojumuisha au vilivyoundwa kwa kiungo moja au zaidi ambazo hazina ngano (yaani, kila aina ya spishi ya Tritikamu, kama vile ngano ya durumu, spelti na kamuti), shayiri <sup>1</sup> au aina tofauti zilizochnganywa, na kiwango cha gluteni kisichozidi miligramu 20 / kilogramu kwa jumla, kulingana na chakula kama inavyouzwa au kusambazwa kwa mtumiaji, na / au b) ikijumuisha kiungo moja au zaidi kutoka kwa ngano (yaani, aina zote za Tritikamu kama vile durumu, ngano, spelti na kamuti), shayiri <sup>1</sup> au aina zilizochanganywa, na ambazo zimepitia mchakato wa kuondoa gluteni, na kiwango cha gluteni hakizidishi miligramu 20 / kilogramu kwa jumla, kulingana na chakula ilivyouzwa au kusambazwa kwa mtumiaji.'' <ref name="CAC_GF">[86] ^ ''"Rasimu ya kiwango kilichorekebishwa cha Vyakula kwa matumizi ya lishe maalum kwa Watu wasio na uastahimilivu Gluteni (kwa Hatua ya 8)".'' ukurasa 50-51. Kamati ya Lishe na vyakula kwa Matumizi Maalum ya lishe. MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO WA VIWANGO VYA CHAKULA TUME YA CODEX ALIMENTARIUS KIKAO CHA thelathini na moja Geneva, Uswisi, 30 Juni-4 Julai 2008, Tume ya Codex Alimentarius [http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf TAARIFA YA MKUTANO WA 29 WA KAMATI YA CODEX KUHUSU LISHE NA VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM KATIKA MLO] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf |date=20110511134650 }}</ref></blockquote><blockquote><sup>''1'' </sup> Kamati ilikubali kubainisha kuwa posho za shayiri ambazo hazijachanganywa na ngano, au aina zingine za shayiri katika vyakula vilivyojumuishwa chini ya kiwango hiki vinaweza kubainishwa katika ngazi ya kitaifa.''"<ref name="CAC_GF"></ref>'' </blockquote>Kwa kutambua faida ya shayiri zima katika chakula kishicho na gluteni, Shirika la Siliaki la Kanada lilijitolea kuhakikisha kuwa shayiri na bidhaa za shayiri zinatimiza viwango vya vyakula visivyo na gluteni vilivyowekwa na Shirika la Ukaguzi wa Chakula na Afya la Kanada:<blockquote>Kwa kushirikiana na Shirika la Afya la Kanada, Shirika la Kilimo na vyakula vinavyopandwa la Kanada na Shirika la Ukaguzi wa Chakula la Kanada, limeorodhesha mambo yanayohitajika kwa upanzi, uchakataji, na upimaji wa uhalisi na ualamishaji wa shayiri ''halisi.<ref name="pmid17948135">{{cite journal |author=Rashid M, Butzner D, Burrows V, ''et al.'' |title=Consumption of pure oats by individuals with celiac disease: a position statement by the Canadian Celiac Association |journal=Can. J. Gastroenterol. |volume=21 |issue=10 |pages=649–51 |year=2007 |month=Oktoba |pmid=17948135 |doi= |url= |pmc=2658132}}</ref>'' </blockquote> |} Kutokana na mtazamo wa unyeti wa gluteni hakuna ufafanuzi wowote mmoja wa gluteni unaoeleza kikamilifu aina zote za gluteni ambazo zina uwezekano wa kusababisha magonjwa. Kwa mizio ya ngano, kunaweza kuwa na spishi nyingi ambazo huenda zikazindua mizio katika protini sawa. Protini za omega-gliadini zina protini sawa na zile zinazopatikana kwa kiwango cha juu katika shayiri, lakini mzio wa omega-gliadini hauwezi kutabiri mzio wa ukosefu wa ustahimilivu kwa shayari.<ref name="pmid6154431">{{cite journal | author = Baldo BA, Krilis S, Wrigley CW | title = Hypersensitivity to inhaled flour allergens. Comparison between cereals | journal = Allergy | volume = 35 | issue = 1 | pages = 45–56 | year = 1980 | pmid = 6154431 | doi =10.1111/j.1398-9995.1980.tb01716.x }}</ref> Mtu anaweza kuwa na mzio kwa ngano, lakini asiwe na mzio kwa shayari.<ref name="pmid16025333">{{cite journal | author = Karatay S, Erdem T, Kiziltunc A, ''et al.'' | title = General or personal diet: the individualized model for diet challenges in patients with rheumatoid arthritis | journal = Rheumatol. Int. | volume = 26 | issue = 6 | pages = 556–60 | year = 2006 | pmid = 16025333 | doi = 10.1007/s00296-005-0018-y}}</ref> Glutelini hazijaainishwa katika taksonomia pana. Katika unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana, kingamwili zinazohusianan na ugonjwa ni kingamwili dhidi ya gliadini. Haijulikani ikiwa kingamwili hizi zinaweza kusababisha magonjwa au ni viashiria tu vya gliadini inayozunguka mwilini. Kwa enteropathia ya unyeti wa gluten, gliadini na protini za umbo sawa kutoka kwa shayiri huleta ugonjwa. Epitopi za kiini T zinaohusishwa na ugonjwa zimepatikana katika jeni za protini za kunata katika aina zote za spishi zilizoorodheshwa ndani ya kabila la ''Tritikea'' .<ref name="Kupper">{{cite journal | author = Kupper C | title = Dietary guidelines and implementation for celiac disease | journal = Gastroenterology | volume = 128 | issue = 4 Suppl 1 | pages = S121–7 | year = 2005 | pmid=15825119 | doi = 10.1053/j.gastro.2005.02.024}}</ref> Pia, kwa kuwa shayiri ina uhusiano wa mbali na ngano, lakini inabeba epitopi, inaweza kudhaniwa kuwa mimea yote ya kategoria ya ''Tritikea'' inapaswa kuwa na seli za T zenye uwezo wa kuendeleza ugonjwa (tazama pia Jenetiki ya Tritikea). Ingawa mara nyingi haieezwi katika baadhi ya viwango, gluteni za ugonjwa zinazopatikana katika ngano pia hupatikana katika Spelti na Kamuti (zote ni aina za ngano), Tritikale (aina ndogo ya mchangnyiko wa Tritikea). [[File:Haverkorrels Avena sativa.jpg|left|thumb|Nafaka za shayiri katika katika maganda yao]] ===Mabishano kuhusu shayari=== [[Oti|Shayari]] ni spishi katika kabila la majani la ''Avenea,'' ambalo liko katika jamii ndogo ya Pooidea pamoja na Tritikea (iliyo na ngano, shayari na jenera zingine nyingi). Shayiri ndizo spishi zenye uhusiano wa karibu zaidi sana na nafaka za ''Tritikea'' . Shayiri ziaweza kuwa na protini zinazosababisha ugonjwa na ambazo huendeleza ugonjwa wa unyeti wa gluteni. Vinginevyo, mbegu za shayiri huonekana kufanana na mbegu za ngano na shayiri na uchanganyikaji kati ya nafaka hizi ni mgumu kutatua. ====Asili ya ubishi==== Baada ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia|Vita Kuu vya II vya Dunia]], ngano ilituhumiwa kuwa ndiyo chanzo chz ugonjwa wa siliaki, na gluteni kutoka kwa ngano ilitambuliwa baadaye kama mojawapo ya sababu. Wakati huo, bayopsi ya mbuti-kiwango cha sasa cha "dhahabu" katika utambuzi-ilikuwa bado haijatengenezwa,<ref name="pmid13571252">{{cite journal |author=SMITH RB, SPRINZ H, CROSBY WH, SULLIVAN BH |title=Peroral small bowel mucosal biopsy |journal=Am. J. Med. |volume=25 |issue=3 |pages=391–4 |year=1958 |month=Septemba |pmid=13571252 |doi= 10.1016/0002-9343(58)90077-9|url=http://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/0002-9343(58)90077-9}}</ref> na vipimo vya ugonjwa visivyo vya vilitumika. Katika tafiti mbili, watoto watatu walipewa gramu 75 hadi 150 ya shayiri kwa siku na dalili zilijitokeza. Katika tafiti tatu zilizofanywa kwa wakati mmoja, watoto 10 na watu wawili wazima waliruhusiwa kula gramu 28 hadi 60 ya shayiri na hakuna dalili zozote zilizojitokeza.<ref name="pmid17327936">{{cite journal |author=Garsed K, Scott BB |title=Can oats be taken in a gluten-free diet? A systematic review |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=42 |issue=2 |pages=171–8 |year=2007 |month=Februari |pmid=17327936 |doi=10.1080/00365520600863944 |url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2007-02_42_2/page/171}}</ref> Kwa kuwa ngano, bali na wakati mwingine rai ni dutu ambazo kwa kawaida huongezwa katika shayiri,<ref name="ADA_Oats">[101] ^ Shirika la Lishe la Marekani. Mwongozo wa huduma za lishe: Ugonjwa wa siliaki. Inapatikana: http://www.nutritioncaremanual.org. Ilifikiwa 15 Desemba 2004.</ref><ref name="pmid15525734">{{cite journal |author=Thompson T |title=Gluten contamination of commercial oat products in the United States |journal=N. Engl. J. Med. |volume=351 |issue=19 |pages=2021–2 |year=2004 |month=Novemba |pmid=15525734 |doi=10.1056/NEJM200411043511924 |url=}}</ref> hadi pale ambapojambo hili lilichunguzwa, shayiri iliaminika kuwa ni sumu kwa siliaki. ====Matokeo ya sasa==== Ingawa tatizo la ukolezi limejulikana kwa miaka kadhaa, utafiti uliochapishwa mnamo Juni 2008 ilionyesha kuwa kati ya vyanzo 109 vya shayiri vilivyochinguzwa, 85 vilikuwa na viwango visivyokubalika vya gluteni kutoka kwa ngano, bali au rai.<ref name="pmid18467914">{{cite journal |author=Hernando A, Mujico JR, Mena MC, Lombardía M, Méndez E |title=Measurement of wheat gluten and barley hordeins in contaminated oats from Europe, the United States and Canada by Sandwich R5 ELISA |journal=Eur J Gastroenterol Hepatol |volume=20 |issue=6 |pages=545–54 |year=2008 |month=Juni |pmid=18467914 |doi=10.1097/MEG.0b013e3282f46597 |url=}}</ref> Shayiri zilizochafuliwa na ''tritikea'' katika utafiti zilitoka nchi nyingi na hivyo kuonyesha kwamba vyanzo vingi vya shayiri havikubaliki kwa GS kulingana na ukolezi. ===Viwango vinavyostahimilika vya gluteni=== Kwa muhtasari wa maendeleo ya hivi karibuni, shayiri inaweza kustahimilika katika lishe lisilo na gluteni, lakini bidhaa za shayiri zinafaa kudhibitiwa kutokana na ukolezi wa gluteni inayotokana na ''Tritikea'' na 20 PPM (miligramu 20 kwa kilo). Marekani ina uhuru wa kukataa kiwango cha lebo ya GF kwa bidhaa za shayiri, kama imeidhinishwa (tazama Siasa za Kutokuwa kwa gluteni na shayiri). ===Upimaji wa kutokuwa kwa gluteni=== ELISA mpya yenye unyeti kwa bali iitwayo sandwichi changanuzi ya R5 haitambui gluteni katika yoyote kati ya aina 25 asili za shayiri, lakini inatambua bali, ngano na rai.<ref name="pmid18467914"></ref> Shughuli za kilimo zinazozingatia magonjwa, upimaji wa kingamwili na upimaji maaalum wa kijenetiki unaozingatia spishi zina uwezo wa kuzalisha shayiri asili.<ref name="pmid18467914"></ref> Nchini Marekani, chapa 3 za humo nchini za GF zinapatikana na chapa moja iliyotoka Ayalandi 'anadai' kutengenezwa kwa 99.95% ya shayiri pekee.<ref name="GFO_C/I_P">[109] ^ [http://www.glutenfreeoats.com/cleaning.aspx ''Mchakato wa Usafishaji / Ukaguzi'' Shayiri zisizo na gluteni] {{Wayback|url=http://www.glutenfreeoats.com/cleaning.aspx |date=20101123010043 }}</ref><ref>[110] ^ ''"Je, bidhaa za Shayiri za McCann hazina gluteni"?.'' URL: [http://www.mccanns.ie/faq.html FAQ - Maswali ya mara kwa mara] {{Wayback|url=http://www.mccanns.ie/faq.html |date=20100702152825 }}</ref> Chapa mbili nchini Marekani hutumia upimaji wa kingamwili wa R5 na unadai kuwa na kiwango fafanuzi cha gluteni kilicho chini ya 20 PPM.<ref name="GFO_C/I_P"></ref><ref>[112] ^ [http://www.bobsredmill.com/catalog/index.php?action=showdetails&amp;product_ID=680 ''Shayiri zilizozunhgushwa zisizo na gluteni'' Vyakula vya kiasili vya Bob's Red Mill]</ref> ===Mlo=== '''Shayiri zisizo na gluteni katika mlo usio na gluteni.''' Shayiri zisizo na gluteni zinaweza kwa chanzo muhimu cha thamani cha unyuzi, vitamini B, chuma, zinki na wanga changamano.<ref name="pmid12844381">{{cite journal |author=Størsrud S, Hulthén LR, Lenner RA |title=Beneficial effects of oats in the gluten-free diet of adults with special reference to nutrient status, symptoms and subjective experiences |journal=Br. J. Nutr. |volume=90 |issue=1 |pages=101–7 |year=2003 |month=Julai |pmid=12844381 |doi= 10.1079/BJN2003872|url=https://archive.org/details/sim_british-journal-of-nutrition_2003-07_90_1/page/101}}</ref> Tafiti za karibuni zinaonyesha kuwa watu wenye unyeti wa gluteni wanaokula chakula kishicho na gluteni mara nyingi hupata kiwango kikubwa cha stachi (wanga), kiasi kidogo cha unyuzi na vitamini B. Kwa sasa miongozo mingi haijumuishi shayiri katika mlo usio na gluteni. Igawa kuna uwezekano kuwa jambo hili litabadilika, shayiri hazipendekezwi kablay ya kupita kwa mwaka mmoja baada ya utambuzi kutokana na hatari ya enteropathia ya unyeti kwa shayiri (ASE), kutaka kujenga misingi ya kiafya na utata wa swala la ukolezi. Ulaji wa shayiri wakati kingamwili dhidi ya gliadini ziko unaongeza kingamwili dhidi ya avenini, na unaweza kukuza ASE. Bayopsi ya mbuti unaweza kupendekezwa baada ya kuanzishwa kwa ulaji wa shayiri. Fenotaipu ya DQ ya watu wote 3 wenye ASE waliochunguzwa ulionyesha hadi hapo kuwa hadi sasa unahitajika homozaigoti za DQ2 zina hatari ya kupata ASE. Ni bora zaidi ikiwa wagonjwa wa siliaki waliotoka kutambuliwa wangetafuta msaada kutoka kwa mtaalamu wa vyakula. Hata hivyo, miongozo inapatikana pia kwa ajili ya kuanzishwa kwa shayiri safi, ambazo hazijachanganywa katika mlo usio na gluteni.<ref>{{cite web | title=Guidelines for Consumption of Pure and Uncontaminated Oats by Individuals with Celiac Disease | last=Rashid | first=Mohsin | date=2007-06-08 | url=http://www.celiac.ca/Articles/PABoatsguidelines2007June.html | publisher=Professional Advisory Board of Canadian Celiac Association | accessdate=2008-08-14 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080417232410/http://www.celiac.ca/Articles/PABoatsguidelines2007June.html | archivedate=2008-04-17 }}</ref> == Marejeo == {{Marejeo|2}} [[Category:Magonjwa]] [[Category:Vyakula]] s2urk56lz29sa7k7v3bho4hsckdhe52 1233905 1233904 2022-07-20T13:47:15Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Kiwango-hisi cha gluteni''' (GS) kinajumuisha hali mbalimbali za kiafya ambapo [[gluteni]] ina athari mbaya. Kwa watu wenye maradhi ya utumbo unaoathiri gluteni, kuondolewa kwa gluteni kwa ujumla husababisha kurejeshwa kwa usanifu wa vidole<ref name="pmid4426981">{{cite journal | author = Thompson H | title = Necropsy studies on adult coeliac disease | url = https://archive.org/details/sim_journal-of-clinical-pathology_1974-09_27_9/page/710 | journal = J. Clin. Pathol. | volume = 27 | issue = 9 | pages = 710–21 | year = 1974 | pmid = 4426981 | doi =10.1136/jcp.27.9.710 | pmc = 475446 }}</ref> au uzito wa chini zaidi wa limfosaiti kwenye utumbo.<ref name="pmid6693043">{{cite journal | author = Corazza GR, Frazzoni M, Gasbarrini G | title = Jejunal intraepithelial lymphocytes in celiac disease: are they increased or decreased? | journal = Gut | volume = 25 | issue = 2 | pages = 158–62 | year = 1984 | pmid = 6693043 | doi =10.1136/gut.25.2.158 | pmc = 1432248 }}</ref> Katika baadhi ya viwango vya hisi, kustawi kwa hali ya neva kunaweza kudhihirika, lakini matokeo ya kiafya huenda yasiwe wazi.<ref name="pmid12351994">{{cite journal | author = Wills AJ, Unsworth DJ | title = The neurology of gluten sensitivity: separating the wheat from the chaff | journal = Curr. Opin. Neurol. | volume = 15 | issue = 5 | pages = 519–23 | year = 2002 | pmid = 12351994 | doi =10.1097/00019052-200210000-00001 }}</ref><ref name="pmid1908173">{{cite journal | author = Ventura A, Bouquet F, Sartorelli C, Barbi E, Torre G, Tommasini G | title = Coeliac disease, folic acid deficiency and epilepsy with cerebral calcifications | journal = Acta paediatrica Scandinavica | volume = 80 | issue = 5 | pages = 559–62 | year = 1991 | pmid = 1908173 | doi =10.1111/j.1651-2227.1991.tb11906.x }}</ref> GS pia inaweza kuathiri kemia ya damu,<ref name="pmid8675082">{{cite journal | author = Valdimarsson T, Löfman O, Toss G, Ström M | title = Reversal of osteopenia with diet in adult coeliac disease | url = https://archive.org/details/sim_gut_1996-03_38_3/page/322 | journal = Gut | volume = 38 | issue = 3 | pages = 322–7 | year = 1996 | pmid = 8675082 | doi =10.1136/gut.38.3.322 | pmc = 1383058 }}</ref> uwezo wa kutibu baadhi ya magonjwa kingamwilinafsi,<ref name="pmid773406">{{cite journal | author = Heading RC, Paterson WD, McClelland DB, Barnetson RS, Murray MS | title = Clinical response of dermatitis herpetiformis skin lesions to a gluten-free diet | journal = Br. J. Dermatol. | volume = 94 | issue = 5 | pages = 509–14 | year = 1976 | pmid = 773406 | doi =10.1111/j.1365-2133.1976.tb05138.x }}</ref> na / au kuboresha bila kutibiwa kwa hali za kingamwilinafsi.<ref name="pmid16458087">{{cite journal | author = Volta U, De Giorgio R, Granito A, ''et al.'' | title = Anti-ganglioside antibodies in coeliac disease with neurological disorders | journal = Digestive and liver disease: official journal of the Italian Society of Gastroenterology and the Italian Association for the Study of the Liver | volume = 38 | issue = 3 | pages = 183–7 | year = 2006 | pmid = 16458087 | doi = 10.1016/j.dld.2005.11.013}}</ref><ref name="pmid12087007">{{cite journal | author = Amin R, Murphy N, Edge J, Ahmed ML, Acerini CL, Dunger DB | title = A longitudinal study of the effects of a gluten-free diet on glycemic control and weight gain in subjects with type 1 diabetes and celiac disease | journal = Diabetes Care | volume = 25 | issue = 7 | pages = 1117–22 | year = 2002 | pmid = 12087007 | doi =10.2337/diacare.25.7.1117 }}</ref><ref name="pmid11910339">{{cite journal | author = Kaukinen K, Halme L, Collin P, ''et al.'' | title = Celiac disease in patients with severe liver disease: gluten-free diet may reverse hepatic failure | url = https://archive.org/details/sim_gastroenterology_2002-04_122_4/page/881 | journal = Gastroenterology | volume = 122 | issue = 4 | pages = 881–8 | year = 2002 | pmid = 11910339 | doi =10.1053/gast.2002.32416 }}</ref> Gluteni imeundwa kwa [[protini]] za kuhifadhi na zinazonata zinazopatikana katika [[Ngano|ngano.]] Ugonjwa wa enteropathia unaoathiri gluteni '''(GSE)''' unaweza kujitokeza kwa viwango mbalimbali kutoka uvimbe mdogo wa mukosa wa chango hadi ugonjwa mkali wa siliaki. Istilahi unyeti wa gluteni inatumika wakati ambapo utambuzi unaokisiwa wa GSE ulio na misingi katika hali kama vile chunusi sugu yenye mwasho. Hata hivyo, GS inaweza kutumika katika hali ya utata wakati ambapo hali zingine zinawezekana. Kwa mfano, mzio wa ngano kwa gluteni unaweza kusababisha anafilaksisi huku zingine huenda zikawa ni vigumu kutambua kutokana na baadhi ya sifa fichifu za kuvimba za protini za ngano. Istilahi 'unyeti wa gluteni' hutumika kwa kawaida wakati ambapo upimaji kwa ajili ya utambuzi haujafanywa kutokana na mlo usio na gluteni unaoliwa kwa muda mrefu na / au ukataaji wa changamoto ya gluten kabla ya bayopsi. Uteuzi wa jina la unyeti wa gluteni huenda usifae katika matukio yote, kwa kuwa mizio ya ngano mara nyingi huelekezwa kwa albumini au globulini za ngano, au mtu anaweza kuathirika kirahisi na protini ambazo kwa kawaida hupatikana kwenye bidhaa za ngano (k.m. amilesi ya ukungu au hamira ya mkate). Kwa hiyo, vigezo vya utambuzi vinapendelewa zaidi. Uhusiano kati ya gluteni na viwango mbalimbali vya hisi ni tata. Kwa ugonjwa wa enteropathia ya gluteni, uathirikaji wa kiini T unapatikana tu katika spishi/ glutelini za prolamini ndani ya kabila, la majani la ''Triticeae'' na hasa α-gliadini ya ngano.<ref name="pmid16634791">{{cite journal | author = Srinivasan U, Jones E, Carolan J, Feighery C | title = Immunohistochemical analysis of coeliac mucosa following ingestion of oats | journal = Clin. Exp. Immunol. | volume = 144 | issue = 2 | pages = 197–203 | year = 2006 | pmid = 16634791 | doi = 10.1111/j.1365-2249.2006.03052.x | pmc = 1809658}}</ref><ref name="pmid674547">{{cite journal | author = Anand BS, Piris J, Truelove SC | title = The role of various cereals in coeliac disease | journal = Q. J. Med. | volume = 47 | issue = 185 | pages = 101–110 | year = 1978 | pmid = 674547 | doi = }}</ref> Kwa idadi ndogo ya GSE, mwitiko wa kuvimba unaweza kuhusisha pia [[Oti|shayiri]].<ref name="pmid17376046">{{cite journal | author = Silano M, Dessì M, De Vincenzi M, Cornell H | title = In vitro tests indicate that certain varieties of oats may be harmful to patients with coeliac disease | journal = J. Gastroenterol. Hepatol. | volume = 22 | issue = 4 | pages = 528–31 | year = 2007 | pmid = 17376046 | doi = 10.1111/j.1440-1746.2006.04512.x}}</ref> Mzio wa gluteni unaweza kuhusisha aina mbalimbali za taksa au unaweza kuwa maalum kwa aina maalum za protini za ngano na mzio unaweza kuhusisha shayiri. [[File:Gluten Sources.png|thumb|350px|right|Aina 4 mbalimbali za miundo ya kibiashara ya Tritikea cultivars. Kwa mzunguko wa akrabu kutoka juu: unga wa ngano wa gluteni, Spelti ya Ulaya, mbegu ya bali, rai zilizovingirishwa]] Kiwango-hisi cha gluteni kinapaswa kuwa na sababu iliyofafanuliwa, ingawa si wazi daima katika upimaji wa kwanza, watu walioathirika wanafaa hatimaye kuwekwa katika kategoria ya mzio wa GSE au ngano. Ni nadra kupata kuwa kiwango-hisi cha gluteni ina asili isiyojulikana. Kiwango-hisi cha gluteni chenye asili isiyojulikana '''(IGS)''' hujitokeza "kwa hiari au kutokana na sababu isiyoeleweka au isiyojulikana" na inaweza kuhusisha nyuropathia, miopathia, ya ngozi, au hali ya matumbo isiyo ya kawaida. Kingamwili dhidi ya gliadini ndizo viungo msingi kati ya gluteni na hisi ya ugonjwa wenye asili isiyojulikana ''ambapo enteropathia au mzio hazihusiki kiwazi.'' <ref name="pmid12566288">{{cite journal | author = Hadjivassiliou M, Grünewald R, Sharrack B, ''et al.'' | title = Gluten ataxia in perspective: epidemiology, genetic susceptibility and clinical characteristics | url = https://archive.org/details/sim_brain_2003-03_126_3/page/685 | journal = Brain | volume = 126 | issue = Pt 3 | pages = 685–91 | year = 2003 | pmid = 12566288 | doi =10.1093/brain/awg050 }}</ref> Aina hii ya hisi ya gluteni ina utata kwa sasa. ==Dalili== Hisi ya gluteni ni mkusanyiko wa magonjwa ambapo prolamini na glutelini za ngano ndizo vipengele vya hisi. Kwa hivyo, dalili zinategemea patholojia maalum. Katika matukio mengi, hisi ya gluteni haionyeshi dalili au dalili mara nyingi hujitokeza wakati wa kufuatilia matukio ya magonjwa mengine yenye asili isiyojulikana (k.m. nyuropathia ya pembeni, ugonjwa wa kingamwilinafsi) na masharti haya mengine yanaweza kutofautiana sana (ugonjwa wa siliaki umeitwa 'kiigaji kikubwa', tazama ugonjwa wa siliaki - ishara na dalili). Katika tukio la majibu ya mzio, dalili huweza kuonekana kama uvimbe ngozi lakini pia zinaweza kujitokeza kama matatizo ya kupumua wakati wa mazoezi. Katika hali zote mbili, dalili za matatizo ya utumbo huweza kutokea. Katika hali ya hisi ya gluteni yenye asili isiyojulikana, dalili zote zinazojulikana zina uhusiano na mfumo wa neva. ==Etiolojia == Hisi inaweza kuanza katika awamu yoyote ya maisha, na dalili za ugonjwa zinaweza kuonekana miaka mingi baada ya ugonjwa kuanza. Wakati ambapo enteropathia inajitokeza mapema utotoni, ugonjwa wenye dalili ni dhahiri kwa haraka zaidi. Uchunguzi wa jeriatriki nchini Finland ulionyesha kwamba matukio ya ugonjwa yalikuwa juu zaidi kuliko idadi ya watu kwa jumla. Ugonjwa wa mzio unaweza kuongezeka au kupunguka kulingana na umri. Hata hivyo, ushahidi fulani unaashiria kuwa kuongeza au matumizi ya kila siku ya vipengele vya kuzuia uvimbe na visivyo vya steroidi (aspirini, ibuprofeni) kama sababu zinazoongeza hatari ya kupata urtikaria au anafilaksi, na kipimo cha hisi kinaweza kuhusisha kiwango cha chini cha tiba ya aspirin yanayotumika kutibu maradhi ya moyo. Ugonjwa wenye asili isiyojulikana mara nyingi hujitokeza uzeeni. Ugonjwa wa enteropathia unaoathiri gluteni hutokana na sababu za kijenetiki na kimazingira. Bali na kuhusika kwa isofomu fulani za HLA-DQ (antijeni zinazotoa protini kwa mwili wa binadamu) na protini kadhaa za ngano, hakuna uwazi kuhusu kuhusishwa kwa jeni zingine au sababu zingine za kimazingira (tazama vivumishi vya hatari). Sababu thabiti za kimaumbile kama inavyodhihirika katika GSE havijadhihirika katika mzio wa gluteni, na katika hisi ya gluteni wenye asili isiyojulikana, mahusiano ya HLA-DQ ni dhaifu. ==Chanzo cha kiwango-hisi cha gluteni== {| style="margin-left:2em;border:1px #ccffdd solid;background:#ebffef" align="right" |- | {| style="text-align:left;margin-left:0em;background:#ebffef" |- align="center" | <div style="font-size:medium;line-height:120%">'''Hali za kimsingi''' </div> |- | '''Utumbo wa kawaida''' |- | width="350px"|[[File:Normal Villus Illustration.png|thumb|right|Mchoro wa mpaka wa utando brashi wa vili za chango]] Protini za ngano huingiliana na mfumo wa kinga kupitia kifo kilichopangwa na kusimamiwa cha seli za DQ2 (apoptosisi) ya matumbo kwa watu wenye hisi. Utafiti mpya umetambua kuwa matumbo ya siliaki huenda yakawa ni yenye kuvutika kwa hisi pale ambapo kuna ukosefu wa vipengele vya kijenetiki vya HLA. <br> |- | '''Namna ambavyo protini za vyakula hufikia damu''' |- | width="350px"| [[File:Protein digestion.PNG|thumb|left|Hatima ya protini zinazoweza kumeng'enywa katika chango]] Katika matumbo ya kawaida, protini humeng'enywa na kuwa peptidi kupitia pepsini (tumbo), traipsini na kaimotripsini (inayotokana na kongosho na kuamilishwa kwenye tumbo). Peptidi humeng'enywa zaidi wakati zinapoingia kwenye vili, ambapo peptidesi zinazopakana nayo huvunja protini na kuunda asidi ya amino. Katika sehemu kubwa ya utumbo, ni vimumunyishwaji vidogo, kwa mfano maji, vinavyoweza kupenyeza miungano midogo. Hata hivyo, baadhi ya sehemu za peptidi za utumbo zenye ukubwa wa hadi daltoni 500 (mabaki manne ya asidi ya amino kwa yanaweza kupenyeza). <br> |- | '''Utumbo yenye kiwango cha juu cha hisi kwa gluteni''' |- | width="350px"| [[File:Gluten digestion.PNG|thumb|right|hatima ya gluteni katika ugonjwa wa siliaki au EIA]] Ushahidi unaongezeka unaoonyesha kwamba utumbo wenye kiwango cha juu cha hisi kwa gluteni hutofautiana na utumbo wa kawaida. Baadhi ya peptidi za gluteni zinaweza kupenyeza eneo lililo nyuma ya seli zinazofunika chango. "33mer" ya gliadini α-2 kina ukubwa zaidi ya kiwango kikubwa kabisa kinachokubalika na kizuizi kinachoizingira seli, mianya midogo. Peptidi za gliadini za omega-5 zimepatikana katika mkondo wa damu wa watu wenye anafilaksisi inayosababishwa na mazoezi, na kusaidiwa na salisaileti. Na "25mer" ya asili ina uwezo wa kufikia seli za mononuklea katika siliaki ya utumbo, lakini katika utumbo wa kawaida huvunjwa na peptidesi za mipakamswaki. Huenda ikawa ni kiwango cha chini cha shughuli za peptidesi ndicho kinaeleza kuwepo kwa peptidesi hizi nyuma ya utando wa mipakamswaki. Hivi karibuni, ilitambuliwa kuwa peptidi ya giadini α-9 ilikuwa na uwezo wa kushikanisha kipokezi cha "CXCR3", na hivyo kuongeza uzalishaji wa zonulini na kudhoofisha mianya midogo. Jambo hili linaweza kueleza namna ambavyo, kwa ujumla, peptidi kubwa zinaweza kuingia kwenye utumbo nyeti wa gluteni.<br> |} |} ===''Tritikea'' na uwezekano wa jukumu la mageuko chaguzi katika gluteni nyeti=== Sehemu za mimea zinazotoa matunda zina jeni pamoja na akiba ya madini zinazoruhusu miche kukua. Kiwango cha juu cha virutubisho huwa ni kivutio kwa wanyama walanyama na walamajani. Kwa nyasi zinazotoa mbegu kwa muda mfupi kila mwaka kuna haja ya kulinda mbegu wakati wa upevukaji kutokana na wadudu au wanyama, ambayo yanaweza kuweka mbegu kwa matumizi ya mwaka mzima. Katika ngano, alfa-gliadini ni protini za kuhifadhi mbegu, na pia ni kizuizi cha shughuli za alfa-amilesi za wanyama wengine, hasa wadudu.<ref name="pmid16628930">{{cite journal |author=Bandani AR |title=Effect of plant a-amylase inhibitors on sunn pest, Eurygaster integriceps Puton (Hemiptera: Scutelleridae), alpha-amylase activity |journal=Commun. Agric. Appl. Biol. Sci. |volume=70 |issue=4 |pages=869–73 |year=2005 |pmid=16628930 |doi= |url=}}</ref> Pia inajulikana kwamba gliadini ya ngano huleta ugonjwa wa utumbo ukilishwa kwa wanyama wadogo wagugunaji.<ref name="pmid12500003">{{cite journal |author=Stepánková R, Kofronová O, Tucková L, Kozáková H, Cebra JJ, Tlaskalová- Hogenová H |title=Experimentally induced gluten enteropathy and protective effect of epidermal growth factor in artificially fed neonatal rats |journal=J. Pediatr. Gastroenterol. Nutr. |volume=36 |issue=1 |pages=96–104 |year=2003 |month=Januari |pmid=12500003 |doi=10.1097/00005176-200301000-00018 |url=http://meta.wkhealth.com/pt/pt-core/template-journal/lwwgateway/media/landingpage.htm?issn=0277-2116&volume=36&issue=1&spage=96 |access-date=2010-11-30 |archive-date=2012-04-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120428192625/http://meta.wkhealth.com/pt/pt-core/template-journal/lwwgateway/media/landingpage.htm?issn=0277-2116&volume=36&issue=1&spage=96 |dead-url=yes }}</ref> Uchapishaji wa hivi karibuni unaibua swali 'je, ni salama kwa mtu yeyote kuula ngano?'.<ref name="pmid17519496">{{cite journal | author = Bernardo D, Garrote JA, Fernández-Salazar L, Riestra S, Arranz E | title = Is gliadin really safe for non-coeliac individuals? Production of interleukin 15 in biopsy culture from non-coeliac individuals challenged with gliadin peptides | url = https://archive.org/details/sim_gut_2007-06_56_6/page/889 | journal = Gut | volume = 56 | issue = 6 | pages = 889–90 | year = 2007 | pmid = 17519496 | doi = 10.1136/gut.2006.118265 | pmc = 1954879}}</ref> Kwa kina, patholojia katika wadudu au wanyama wagugunaji wanaolishwa na binadamu haionyeshi chanzo cha ugonjwa katika binadamu, lakini la kuvutia ni kwamba madhara ya kitoksikolojia ya ngano yenye uwezo wa kusababisha patholojia katika binadamu yanaendelea kutambuliwa. Tokeo moja muhimu ya tafiti hizi ni kwamba huenda kuna unyeti wa ujumla wa gluteni ambao huwa yamefichika chini ya maonyesho mbalimbali ya kipatholojia, kama vile ugonjwa wa siliaki, urtikaria na unyeti wenye asili isiyojulikana. Kupanda kwa kiwango-hisi cha gluteni (hasa kwa watu wazima) unaweza kuonyesha mwingiliano wa vipengele vingi. Kikundi cha watu wanaozeeka, hatari za kijenetiki zinazohusiana na uigaji wa tamaduni wa kimagharibi, kiawango cha ziada cha kalori katika mlo, kemikali za kuhamasisha (kwa mfano, MSG, NSAID), na kuongeza kemikali zinazoongeza mzio kwenye vyakula (kwa mfano uondoaji amino kutoka kwenye gluteni kwa kutumia vimeng'enya) vinaweza kufanya kazi kwa kushirikiana na vikolezo vya asili vinavyozuia katika vyakula na kuvuka kizingiti kati ya hali ya kawaida na patholojia. [[File:Gliadin-immuno-innate.png|thumb|left|Mchoro wa alfa gliadini 2 unaoonyesha maeneo mawili yaliyo sugu kiproteolitiki, Juu inaonyesha maeneo 6 ya seli T katika 33mer, na chini inaonyesha peptidi asili za kinga na maeneo mawili ya ushikanishaji ya CXCR3]] ===Usumishaji wa gluteni=== Ongezeko la idadi tafiti kuhusu gliadini linaonyesha kuwa gluteni ina athari ya moja kwa moja na kubadilisha seli za chango. Tafiti mbili tofauti zimeonyesha kwamba gliadini tofauti zinaweza kuongeza upenyezaji wa seli za epithelimu (seli za nje kabisa za vidole) na kuruhusu protini za chakula kuingia. Utafiti mmoja ulichunguza athari za gliadini za ω-5, sababu ya msingi ya anafilaksisi inayosababishwa na mazoezi / aspirini, na ukatambua upenyezaji ulioongezeka wa seli za utumbo unaosababishwa na gliadini hii na albumini nyingine ya ngano.<ref name="pmid17477542">{{cite journal |author=Bodinier M, Legoux MA, Pineau F, ''et al.'' |title=Intestinal translocation capabilities of wheat allergens using the Caco-2 cell line |journal=J. Agric. Food Chem. |volume=55 |issue=11 |pages=4576–83 |year=2007 |month=Mei |pmid=17477542 |doi=10.1021/jf070187e |url=}}</ref> Mkondo mwingine wa utafiti unaonyesha kuwa gliadini huunganisha kipokezi cha [[wikt:chemoattractant|kuvutia kemikali]] na kuongeza kipengele kinachoharibu mianya midogo.<ref name="pmid16456012">{{cite journal |author=Thomas KE, Sapone A, Fasano A, Vogel SN |title=Gliadin stimulation of murine macrophage inflammatory gene expression and intestinal permeability are MyD88-dependent: role of the innate immune response in Celiac disease |journal=J. Immunol. |volume=176 |issue=4 |pages=2512–21 |year=2006 |month=Februari |pmid=16456012 |doi= |url=http://www.jimmunol.org/cgi/pmidlookup?view=long&pmid=16456012}}</ref> Mianya hii huzuia kuvuja kwenye seli zinazozingira chango, vinavyosababisha mvujo wa protini za chakula kuingia ndani ya mwili.<ref name="pmid18485912">{{cite journal |author=Lammers KM, Lu R, Brownley J, ''et al.'' |title=Gliadin Induces an Increase in Intestinal Permeability and Zonulin Release by Binding to the Chemokine Receptor CXCR3 |journal=Gastroenterology |volume= 135|issue= 1|pages= 194–204.e3|year=2008 |month=Machi |pmid=18485912 |doi=10.1053/j.gastro.2008.03.023 |url=https://archive.org/details/sim_gastroenterology_2008-07_135_1/page/194|pmc=2653457}}</ref> Sumu hizi za gluteni ambazo si sehemu ya majibu ya mfumo wa kinga wa kuzoea unaweza kuwa ndio uhusiano kati ya ngano na kiwango cha hisi cha gluten, na wakati mwingine ugonjwa wa kisukari wa aina ya kwanza. ===Kemia ya mfumo wa kinga wa gluteni=== Gluteni za ''Tritikea'' ni vipengele muhimu katika maradhi kadhaa zinazosababisha uvimbe. Kemia ya mfumo wa kinga inaweza kugawa katika majibu ya asili (usisimuaji wa moja kwa moja wa mfumo wa kinga), daraja ya pili la upatanisho (HLA DQ), daraja ya kwanza ya usisimuaji uliopatanishwa wa seli zinazoua, na kutambua zindiko. Majibu kwa [[protini]] za gluteni na meneo yenye polipeptidi hutofautiana kulingana na aina ya hisi ya gluteni. Majibu pia hutegemea maumbile ya kijenetiki ya jeni za antijeni za lukosaiti ya binadamu. Katika enteropathia, kuna angalau aina 3 za utambuzi, kinga ya asili (aina ya utayarishaji wa kinga za seli), HLA-DQ na kutambua zindiko za gliadini na transglutaminesi.<ref name="pmid16766754">{{cite journal |author=van Heel DA, West J |title=Recent advances in coeliac disease |journal=Gut |volume=55 |issue=7 |pages=1037–46 |year=2006 |month=Julai |pmid=16766754 |doi=10.1136/gut.2005.075119 |url=https://archive.org/details/sim_gut_2006-07_55_7/page/1037|pmc=1856316}}</ref> Mifuatano mitatu kuu inayoleta mmenyuko imetambuliwa.<ref> http://www.livescience.com/health/celiac-disease-gluten-peptides-100721.html</ref><ref name="pmid20650871">{{cite journal |author = Tye-Din JA, Stewart JA, Dromey JA, Beissbarth T, van Heel DA, Tatham A, Henderson K, Mannering SI, Gianfrani C, Jewell DP, Hill AV, McCluskey J, Rossjohn J, Anderson RP |title = Comprehensive, quantitative mapping of T cell epitopes in gluten in celiac disease.|journal=Sci Transl Med |volume = 2 |issue = 41 |pages = 41ra51 |year = 2010 |pmid = 20650871|doi=10.1126/scitranslmed.3001012}}</ref> Kwa magonjwa yenye asili isiyojulikana, ni utambuaji wa zindiko kwa gliadini pekee ndio umetatuliwa. Katika mzio wa ngano, inaonekana kuwa kuna vipengele vya asili na njia za majibu zinapatanishwa IgE dhidi ya gliadini na protini zingine za ngano.<ref name="pmid18036646">{{cite journal |author=Bittner C, Grassau B, Frenzel K, Baur X |title=Identification of wheat gliadins as an allergen family related to baker's asthma |journal=J. Allergy Clin. Immunol. |volume=121 |issue=3 |pages=744–9 |year=2008 |month=Machi |pmid=18036646 |doi=10.1016/j.jaci.2007.09.051 |url=https://archive.org/details/sim_journal-of-allergy-and-clinical-immunology_2008-03_121_3/page/744}}</ref><ref name="pmid18186814">{{cite journal |author=Matsuo H, Dahlström J, Tanaka A, ''et al.'' |title=Sensitivity and specificity of recombinant omega-5 gliadin-specific IgE measurement for the diagnosis of wheat-dependent exercise-induced anaphylaxis |journal=Allergy |volume=63 |issue=2 |pages=233–6 |year=2008 |month=Februari |pmid=18186814 |doi=10.1111/j.1398-9995.2007.01504.x |url= |doi_brokendate=2010-01-01}}</ref><ref name="pmid17655322">{{cite journal |author=Akagawa M, Handoyo T, Ishii T, Kumazawa S, Morita N, Suyama K |title=Proteomic analysis of wheat flour allergens |journal=J. Agric. Food Chem. |volume=55 |issue=17 |pages=6863–70 |year=2007 |month=Agosti |pmid=17655322 |doi=10.1021/jf070843a |url=}}</ref> ==Kutenganisha aina za kiwango-hisi cha gluteni== Ni nadra sana kwa hisi ya gluteni kujitokeza bila sababu. Kwa ujumla, kiwango cha hisi kinaweza kugawanywa kati ya enteropathia ya unyeti wa gluteni na mzio wa ngano. Kwa kuwa watu wenye GSE wanaweza pia kuwa na mzio wa ngano, kupatikana kwa mzio wa ngano hakuondoi uwezekano wa enteropathia. Watu wanaoshukiwa kuwa na enteropathia ya kiwango cha juu cha hisi cha gluteni wanaweza kupimwa kwa kingamwili zinazopambana na transglutaminesi ikifuatiwa na bayopsi ya mbuti, ambayo huthibitisha au kupigana na ugonjwa hai wa siliaki.<ref name="pmid17383983">{{cite journal |author=Hopper AD, Cross SS, Hurlstone DP, ''et al.'' |title=Pre-endoscopy serological testing for coeliac disease: evaluation of a clinical decision tool |journal=BMJ |volume=334 |issue=7596 |pages=729 |year=2007 |month=Aprili |pmid=17383983 |pmc=1847864 |doi=10.1136/bmj.39133.668681.BE |url=}}</ref> Utafiti unaopendekeza jambo hili, hata hivyo, una idadi kadhaa ya watu wenye ATA/wasio na bayopsi, na jambo hili linaweza kuwa limesababishwa na uvimbe kwenye viungo au tishu au patholojia isiyo na dalili za kliniki.<ref name="pmid18058655">{{cite journal |author=Hopper AD, Cross SS, Sanders DS |title=Patchy villous atrophy in adult patients with suspected gluten-sensitive enteropathy: is a multiple duodenal biopsy strategy appropriate? |journal=Endoscopy |volume=40 |issue=3 |pages=219–24 |year=2008 |month=Machi |pmid=18058655 |doi=10.1055/s-2007-995361 |url=}}</ref><ref name="pmid16036509">{{cite journal |author=Kaukinen K, Peräaho M, Collin P, ''et al.'' |title=Small-bowel mucosal transglutaminase 2-specific IgA deposits in coeliac disease without villous atrophy: a prospective and randomized clinical study |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=40 |issue=5 |pages=564–72 |year=2005 |month=Mei |pmid=16036509 |doi=10.1080/00365520510023422 |url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2005-05_40_5/page/564}}</ref> Utafiti mmoja wa sasa umependekeza kwa sampuli za bayopsi zilizo distali na mbuti ili kuepuka hatari ya bandia hasi. Kuondoa uwezekano wa GSE kunaweza kufanywa kwa ujumla kwa kuongeza uanishaji wa HLA-DQ, ambapo DQ2 na DQ8 zinapatikana katika enteropathia kwa 98% ya matukio kati ya watu wenye asili ya Kihindi-Kizungu, DQ7.5 ya 1.6% iliyobakia na 0.4% ambayo haikupatikana kwa yoyote kati ya hizi 3. Bila ATA au uchanya wa HLA-DQ2 / 8, GSE ina uwezekano mdogo sana wa kuwa ndio chanzo cha unyeti. Katika matukio yote mawili, mbinu zingine za utambuaji, kama vile kupima mzio zinapatikana. <ref name="pmid11063153">{{cite journal |author=Kaukinen K, Turjanmaa K, Mäki M, ''et al.'' |title=Intolerance to cereals is not specific for coeliac disease |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=35 |issue=9 |pages=942–6 |year=2000 |month=Septemba |pmid=11063153 |doi= 10.1080/003655200750022995|url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2000-09_35_9/page/942}}</ref> Mara nadra unyeti wa gluteni unaweza kuwa na asili isiyojulikana, uwezekano kuwa protini za ngano huchangia kwa magonjwa mengine, katika matukio hayo DQ1 inaweza kuhusishwa na unyeti, lakini kwa matatizo ya neva, lishe lisilo na gluteni halijaonyeshwa kuwa na athari chanya kwa matokeo ya wagonjwa kama ilivyo katika enteropathia au mzio. == Enteropathia unaoathiri kiwango-hisi cha gluteni == [[File:Coeliac Disease.png|left|thumb|300px|Mchoro wa Uainishaji wa Marsh wa patholojia ya juu ya jejuni katika ugonjwa wa siliaki]] Ugonjwa wa siliaki ni unyeti wa gluteni uliofafanuliwa kirasmi na ugonjwa wa chunusi sugu yenye mwasho uliongezewa katika ufafanuzi unaopanuka wa unyeti wa gluteni. Utambuaji wa "kiwango cha dhahabu" cha ugonjwa wa siliaki kama vile uvombe wa viungo au tishu unaotambvuliwa katika bayopsi za mbuti. Hata hivyo, kwa sasa inatambulika kuwa uvimbe wa tishu ya epitheliali ya chango unatangulia atrofia. Katika awamu ya kwanza ya ugonjwa huo, gluteni hutoa kitambua limfu ya T ya haidroliseti za gluteni (polipeptidi za gluteni) na peptidi za gluteni ambazo huungana na transglutaminesi (tTG) ya tishu za mamalia. Mwingiliano wa pili huleta matokeo katika uzalishaji wa "kingamwili" binafsi kwa tTG. Hii inaongeza limfu ndani ya epithelia ya chango (Marsh daraja la 1 na 2) na changamano za zindiko za tTG huonekana kama mashapo. Hii huendelea na kuwa ugonjwa wa siliaki (Marsh daraja la 3 na 4). Chanzo kuu cha mlisho cha GSE sio gluteni ya ngano pekee. 'Gluteni' kutoka kwa kila aina ya mimea yote inayolika ya ''Tritikea'' zinaweza kusababisha GSE kati ya watu walio na uwezekano wa kuambukizwa (taz: Kemia ya kinga ya gluteni). {{Main|Coeliac disease|l1=Coeliac disease (CD)}} {| class="wikitable" align="right" |+ Marudio ya fenotaipu katika ugonjwa wa Siliaki, Wamarekani wa kawaida, uwiano wa uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa | | colspan="5"| Ainahaplo za DQ-Ugonjwa wa siliaki |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.0 | Zingine |- | '''2.5''' | 34 | 22 | 4.0 | 2.0 | 22 |- | '''2.2''' | | 1.1 | 4.0 | 1.1 | 2.9 |- | '''7.5''' | | | 0.3 | 0.0 | 1.3 |- | '''8.1''' | | | | 2.9 | 2.0 |- | '''nyingine''' | | | | | 0.4 |- | | colspan="5"| haplotaipu za DQ -Idadi ya kawaida |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.1 | Zingine |- | '''2.5''' | 1.7 | 2.9 | 2.9 | 1.8 | 15.1 |- | '''2.2''' | | 1.2 | 2.4% | 1.6 | 12.8 |- | '''7.5''' | | | 1.2 | 1.5 | 1.3 |- | '''8.1''' | | | | 0.5 | 8.0 |- | '''nyingine''' | | | | | 33.4 |- | | colspan="5"| Uwiano wa uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa |- | 2.5 | 2.2 | 7.5 | 8.1 | Zingine |- align="center" | '''2.5''' | 20:01 <sup>1</sup> | 8:01 <sup>2</sup> | 1.4:1 <sup>6</sup> | 1.1:1 | 1.5:1 <sup>5</sup> |- align="center" | '''2.2''' | | 1:1.1 | 1.6:1 <sup>4</sup> | 1:1.3 | 1:05 |- align="center" | '''7.5''' | | | 1:04 | 0 | 1:10 |- align="center" | '''8.1''' | | | | 6:01 <sup>3</sup> | 1:04 |- align="center" | '''nyingine''' | | | | | 1:100 |} Kuna idadi kubwa ya magonjwa yanayotokana na GSE ambayo yanaweza kutokea kabla ya kustawi kwa ugonjwa wa siliaki na huenda ikawa na na inaweza kuwa na majibu ya gluteni. Ingawa kiwango cha uvimbe wa viungo na tishu katika baadhi ya matukio ya GSE huenda yasifikie kiwango cha kutambulika cha ugonjwa wa siliaki, kupanda kwa kiwango cha kinga kwenye seli kuna uwezo wa kusababisha matatizo yanayohusiana mara kwa mara na ugonjwa wa siliaki. Hali za baadaye za GSE ni vigezo muhimu vya utambuaji wa kiwango-hisi cha gluteni wakati ambapo huenda kukawa hakuna matatizo yoyote dhahiri ya chango. Kujitokeza kwa GSE mara nyingi hutokana na utambuzi wa awali wa hali ya baadaye ambayo katika upimaji wa kufuatilia (upimaji wa ATA, upimaji wa AGA, Uainishaji wa HLA-DQ, na / au bayopsi) hutambua hali ya msingi. Hali za baadaye zinazohusishwa na GSE huwa na mwegemeo wa kufanya kujitokeza baadaye kwa ugonjwa wa Siliaki kuwa jambo linalofuata utaratibu. == Unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana == Magonjwa '''yenye asili isiyojulikana''' yanapendekezwa kama upanuzi wa unyeti wa gluteni. Asili ya magonjwa haya huwa hayajulikani. Miaka mia moja iliyopita, kabla ya gluteni kutambuliwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa siliaki, ugonjwa wa siliaki kati ya watu wazima uliitwa steatoria ya watu wazima wenye asili isiyojulikana, ugonjwa wa sprue wa hari, na majina mengine mengi. Mjadala kuhusu kategoria hii ndogo unatokana na hali ambapo utambulishaji wa daraja zote za GSE na mzio hazitumii mtazamo mmoja. Matukio zaidi ya awali ya GSE huwa hayatambuliki, hasa kabla ya mwaka wa 2005. Inaonekana kuwa kuna idadi ndogo ya watu wasio na unyeti wa gluten ya GSE wasioonyesha yoyote kati ya mizio ya gluteni lakini wana kiwango cha juu kuwa nyanyuliwa kinza-gliadini IgA au IgG. Dalili za kawaida ni niuropathia za pembeni na ataksia ya ubongo. Ndani ya seti ya GSE, matokeo haya yanaweza kuelezwa kupitia ukalisishaji wa mipito ya ubongo na ukosefu wa vitamini. Ndani ya makundi yaliyobakia ya 'DQ2 na bila DQ8'. Kwa kuwa kundi hili la GS lina asili lisilojulikana, jukumu la mzio, dutu zingine zenye hisi (km aspirini), au vipengele vingine katika IGS pia bado hazijatatuliwa. '''Ugonjwa wa kimya.''' Ikitegemea upimaji, kati ya 3% na 15% ya watu wa kawaida wana kingamwili dhidi ya gliadin (AGA). Utafiti unaotumia kingamwili dhidi ya gliadini (AGA) umeonyesha kwamba kati ya watu ambao hawajatambuliwa kuwa na ugonjwa au watu wenye AGA ambao hawajatibiwa wana hatari zaidi ya kupata saratani za limfu na uwezekano wa chini zaid wa kupata magonjwa mengine yanayohusishwa na utajiri.<ref name="pmid17206762">{{cite journal | author = Anderson LA, McMillan SA, Watson RG, ''et al.'' | title = Malignancy and mortality in a population-based cohort of patients with coeliac disease or "gluten sensitivity" | journal = World J. Gastroenterol. | volume = 13 | issue = 1 | pages = 146–51 | year = 2007 | pmid = 17206762 | doi = }}</ref> Hata hivyo haijulikani ni asilimia ngapi walio katika awamu ya kwanza ya GSE. ===Niuropathia === ===Hali nyingine === Kingamwili za gliadin ya α zimeongezeka kwa kiasi kikubwa kati ya watu wasiougua ugonjwa wa siliaki lakini wana vidonda vya mdomo.<ref name="pmid1753350">{{cite journal | author = O'Farrelly C, O'Mahony C, Graeme-Cook F, Feighery C, McCartan BE, Weir DG | title = Gliadin antibodies identify gluten-sensitive oral ulceration in the absence of villous atrophy | journal = J. Oral Pathol. Med. | volume = 20 | issue = 10 | pages = 476–8 | year = 1991 | pmid = 1753350 | doi =10.1111/j.1600-0714.1991.tb00407.x }}</ref> Kingamwili dhidi ya kingamwili za gliadin α hupatikana mara nyingi katika ugonjwa wa siliaki (CD), na kwa kiwango kidogo zaidi katika matukio [[wikt:subclinical|yasiyo na dalili za kliniki]], lakini pia hupatikana kati ya makundi madogo yasiyo na ugonjwa huo. Marejeo ya 1991 yanatokana na kipindi ambapo upimaji wa CD isiyo na dalili za kliniki ulikuwa haujastawi ipasavyo. Kati ya watu wenye ugonjwa bandia wa ubambuaji, 25% walionyesha kuongezeka kwa viwango vya kinza-gliadini IgA.<ref name="pmid7656149">{{cite journal | author = Ringvold A, Overgaard RG | title = Increased IgA antibodies to gluten and gliadin in serum of persons with ocular pseudo-exfoliation | journal = Acta ophthalmologica Scandinavica | volume = 73 | issue = 2 | pages = 171–2 | year = 1995 | pmid = 7656149 | doi =10.1111/j.1600-0420.1995.tb00662.x }}</ref> Robo ya watu wenye ugonjwa wa Sjögren walikuwa majibu kwa gluteni, kati ya 5 waliokuwa na mwitikio chanya kwa gluteni, ni mmoja tu angeweza kudhibitishwa kama CD na mwingine alikuwa uwezekano wa kuwa na GSE, watatu waliosalia wanaonekana kuwa na kiwango cha juu cha hisi cha gluteni. Wote walikuwa na HLA-DQ2 na / au DQ8.<ref name="pmid17613926">{{cite journal | author = Lidén M, Kristjánsson G, Valtýsdóttir S, Hällgren R | title = Gluten sensitivity in patients with primary Sjögren's syndrome | url = https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2007-08_42_8/page/962 | journal = Scand. J. Gastroenterol. | volume = 42 | issue = 8 | pages = 962–7 | year = 2007 | pmid = 17613926 | doi = 10.1080/00365520701195345}}</ref> Matibabu ya kutibu dalili za ugonjwa wa Crohns (CrD) kupitia mlo wa kubagua ulionyesha kuwa vyakula kuu zaidi zilizosababisha dalili vilikuwa no ngano na maziwa.<ref name="pmid6526690">{{cite journal | author = Workman EM, Alun Jones V, Wilson AJ, Hunter JO | title = Diet in the management of Crohn's disease | journal = Human nutrition. Applied nutrition | volume = 38 | issue = 6 | pages = 469–73 | year = 1984 | pmid = 6526690 | doi = }}</ref> Uchunguzi wa baadaye ulionyesha mwitiko mdogo wa kupatanishwa wa IgE, isipokuwa wa maziwa,<ref name="pmid2321808">{{cite journal | author = Frieri M, Claus M, Boris M, Zitt M, Scalise D, Harris N | title = Preliminary investigation on humoral and cellular immune responses to selected food proteins in patients with Crohn's disease | journal = Annals of allergy | volume = 64 | issue = 4 | pages = 345–51 | year = 1990 | pmid = 2321808 | doi = }}</ref> huku utafiti mwingine ukionyesha ukosefu wa uhusiano muhimu wa IgE dhidi ya chakula.<ref name="pmid9430498">{{cite journal | author = Huber A, Genser D, Spitzauer S, Scheiner O, Jensen-Jarolim E | title = IgE/anti-IgE immune complexes in sera from patients with Crohn's disease do not contain food-specific IgE | journal = Int. Arch. Allergy Immunol. | volume = 115 | issue = 1 | pages = 67–72 | year = 1998 | pmid = 9430498 | doi =10.1159/000023832 }}</ref> Ugonjwa wa Crohn (CrD) unaweza kuwa na uhusiano na ngano usiotegemea gluteni. CrD inaonekana kuhusishwa na kiwanngo cha juu cha kingamwili dhidi ya chachu mwiliini (ASCA - antijeni za chachu hupatikana kwenye mkate na bidhaa zingine zinazotokana na nafaka) na watu walioathirika hawana protini za lektini zinazounganisha na hivyo basi manini kwenye chachu, kingamwili zinazoziunganisha na huongeza kolitisi inayosababisha uvimbe. Jambo la kufadhaisha kuhusu utafiti huu ni kujitokeza kwa waalamishaji wengi wa enteropathia ya unyeti wa gluteni, na mtu anapaswa kujiuliza namna ambavyo hali hizi zipo ikiwa uchunguzi wa makini wa GSE bado haujafanywa. == Viwango mbalimbali vya hisi vyenye uhusiano na mzio wa gluteni == '''Ni kwa nini [[mzio]] wa gluteni unapaswa kutibiwa kama unyeti?''' katika miaka 10 iliyopita, imedhihirika ya kuwa mzio kwa dutu fulani hazijitokezi kwa njia zinazoweza kutabirika. Mfano mmoja wazi wa jambo hili ulihusisha anafilaksisi na pumu. WDEIA (Anafilaksisi unaotegemea Ngano na kusababihwa na mazoezi) sasa inaaminika kuwa inatokana na gluteni iliyomezwa na kufikia mfumo wa damu. Njia hii kwa sasa inaaminika kuwa ndicho chanzo cha aina fulani za ukurutu. Tafiti za karibuni kuhusu vizio zinaonyesha kuwa zinamiliki uwezo wa kupita kizuizi cha matumbo/damu. Kati ya hizi mbili, iliyo hai zaidi ni gliadini ω-5 ambayo ni sehemu ya gluteni iliyo kizio dhabiti na husababisha WD_EIA. Upimaji wa mzio hueda usitambue mizio yote kwa gluteni kwa kuwa vizio ambavyo havijagawanywa 'vimefichwa' kutokana na upimaji huo, na vipimo vinavyopatikana vya hivi karibuni haviwezi kutambua vizio hivi vipya. Hatimaye, mizio kwa kawaida huhusisha IgE, lakini baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa kuna kategoria kadhaa za majibu, kwa mfano IgG1, IgG2, IgG4 ambazo zinahusishwa na IgE.<ref name="pmid1693911">{{cite journal | author = Pfeil T, Schwabl U, Ulmer WT, König W | title = Western blot analysis of water-soluble wheat flour (Triticum vulgaris) allergens | journal = Int. Arch. Allergy Appl. Immunol. | volume = 91 | issue = 3 | pages = 224–31 | year = 1990 | pmid = 1693911 | doi =10.1159/000235121 }}</ref> Mzio wa gluteni unaweza kuwa ni chanzo cha baadhi ya unyeti wa gluten wenye asili isiyojulikana na mzio wa gluteni unaweza kuwa matokeo ya pili ya enteropathia ya unyeti wa gluteni. == Ulinganishaji wa pathofisiolojia == <div align="center"> {| class="wikitable" style="text-align: left; font-size:90%" |+ Ulinganishaji wa aina tofauti za | hisi ya gluteni -! ! | Enteropathia ya unyeti wa gluteni !! | | Mzio wa ngano! | Niuropathia ya unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana | - | Dalili za kawaida | | stiatoria (kiwango cha juu cha mafuta kwenye kinyesi), utapiamlo, kuhara, kutostahimili laktosi, mzio kwa chakula | | ukurutu, pumu | | ataksia, niuropathia za pembeni | - | Malengo ya msingi ya tishu | | epithelia ya chango | | (ngozi ya nje) ngozi ya ndani, vikoromeo, matumbo | | CNS, neva za pembeni | - | Patholojia zisizo za kawaida | | wengine magonjwa mengine ya kingamwilinafsi,uyabisi sugu wa tumbo, niuropathia, kansa (ya limfu) | | ugonjwa wa baridi yabisi, vipandauso, anafilaksisi (ya mazoezi au inayosababishwa na aspirini) | | zisizojulikana | - | Malengo ya pili (ya kawaida) | | damu (Kemia), utumbo, mfumo wa neva, antijeni za kiotomatiki | | tishu unganifu, CNS, za utomvu | | | - | Isotipu ya Imunoglubulini | | IgA, IgG | | IgE, <small>IgG, IgA</small> | | IgG, <small>IgA</small> | - | Utambuaji wa kingamwili | | gliadini α / β, y (AGA), transglutaminesi (ATA) | | albumini, globulini, prolamini(gliadini-ω) (AGA), glutelini (LMW) (AGA) | | gliadini α / β | - | Mahusiano HLA | DQ2.5 |, DQ8, DQ2.2 / DQ7.5 | | zisizofahamika | | DQ2, DQ8?, DQ1? | - | Kinga ya seli | | Viini T, Esinofili, Monositi | | seli za masti, Esinofili | | zisizofahamika | - | Majibu ya asili | | (gliadini α) kinga, kuongezeka kwa upenyezaji | | (gliadini ω-5) - kuongezeka kwa upenyezaji | | zisizofahamika | - | Historia na marejeo | | Ugonjwa wa siliaki, Hali za GSEA | | Mzio wa ngano | | Niuropathia za IGS |)</div><small>Vidokezo kuhusu jedwali. </small><small>Vipengele vya niuropathia vyenye asili isiyojulikana vinadhani kwamba vikundi vyote vya GSE vimeondolewa, na kuwa kuna unyeti wa gluteni, lakini hakuna uwezekano wa kukuwa kwa GSE. </small><small>Kingamwili dhidi ya gliadini zinahusisha isotipu zoe za imunoglobulini na isofomu zote za gliadini. </small><small>Kiini T, Kiini kinachoua, na vitambuaji vingine vya gluteni vimejumishwa katika imunokemia ya gluten.</small> |} ==Vyanzo vya gluteni== {| style="margin-left:2em;border:1px #ccffdd solid;background:#ebffef" align="right" |- | {| style="text-align:left;margin-left:0em;background:#ebffef" |- align="center" | <div style="font-size:medium;line-height:120%">'''Siasa za dutu zisizo na gluteni na shayiri''' </div> |- | '''Miongozo ya sasa''' |- | width="350px"|Kutokana na hali ilivyo, kiwago cha sasa cha kimataifa kuhusu maelezo ya dutu "zisizo na gluteni", kilichoandikwa mwaka wa 1981 na kukubaliwa juu ya mwaka wa 1983<ref>[82] ^ p.47, MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO WA VIWANGO VYA CHAKULA TUME YA CODEX ALIMENTARIUS Kikao cha 15 cha Roma, 4-15 Julai 1983 TAARIFA YA KIKAO CHA 13 CHA [http://www.codexalimentarius.net/download/report/241/al83_26e.pdf KAMATI YA CODEX KUHUSU VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM YA LISHE] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/241/al83_26e.pdf |date=20110604193235 }} Bonn-Bad Godesberg, 20-24 Septemba 1982</ref> kulingana na Codex Alimentarius (CA), inasema:<blockquote>''Kwa madhumuni ya kiwango hiki, gluteni inafafanuliwa kama protini ambazo, kwa kawaida hupatikana katika ngano, tritikali, aina tofauti za shayiri ambazo watu wengine hawawezi kustahimili.'' <ref>[83] ^ ''"Codex standard kwa" GLUTEN-za vyakula ", [http://www.codexalimentarius.net/download/standards/291/CXS_118e.pdf Codex Stan 118-19811] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/standards/291/CXS_118e.pdf |date=20111221074901 }} .'' Codex ''alimentaris, Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa''</ref></blockquote>Mwongozo wa huduma ya Lishe la Shirika la Marekani la Chakula ''umetoa msimamo ufuatao kuhusu utumiaji wa shayiri katika hali ya matibabu inayohitaji chakula kisicho na gluteni:'' <blockquote>'''' </blockquote>'''' Hata hivyo, shayiri zinazopatikana sokoni nchini Marekani huenda zimeongezewa kiasi fulani cha ngano au shayiri. Kwa sababu hiyo, ikiwa umetambuliwa kuwa una ugonjwa wa siliaki, haupaswi kukula. Mara tu utumbo wako unapopona, unaweza kujadiliana na mtaalamu wako wa chakula a daktari yako kuhusu matumizi ya shayiri.''<ref name="ADA_Oats"></ref> Hii inaonyesha haja ya kuwepo kwa kiwango tofauti cha uhalisi kwa watu walio na unyeti wa gluten.'' <br>'''' |- | '''Viwango vipya vinavyojitokeza''' |- | width="350px"| ''Codex Alimentarius'' inarekebishwa na kiwango kilichorekebishwa kitawasilishwa katika mkutano wa Tume ya Codex Alimentarius mwishoni mwa Juni 2008.<ref>[85] ^ "TUME LA CODEX ALIMENTARIUS - Kikao cha Thelathini na moja - Geneva, Uswisi, 30 Juni - 5 Julai 2008". Kutoka ukurasa wa juu. Kamati kuhusu lishe na vyakula kwa Matumizi Maalum ya mlo. MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO KUHUSU KIWANGO CHA CHAKULA TUME LA CODEX ALIMENTARIUS. Kikao cha thelathini na moja Geneva, Uswisi, 30 Juni-4 Julai 2008, Tume ya Codex Alimentarius [http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf TAARIFA YA MKUTANO wa 29 WA KAMATI KUHUSU LISHE NA VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM KATIKA MLO] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf |date=20110511134650 }}</ref> Kiwango kinachopendekezwa kinaweka kimomo kwa kiasi cha dutu kinachoongezwa kwa bidhaa fulani kitakachoifanya bidhaa hiyo kuhihitimu kuitwa bidhaa isiyo na gluteni <blockquote>''Vyakula visivyao na gluteni ni vyakula vya ugunga a) vinavyojumuisha au vilivyoundwa kwa kiungo moja au zaidi ambazo hazina ngano (yaani, kila aina ya spishi ya Tritikamu, kama vile ngano ya durumu, spelti na kamuti), shayiri <sup>1</sup> au aina tofauti zilizochnganywa, na kiwango cha gluteni kisichozidi miligramu 20 / kilogramu kwa jumla, kulingana na chakula kama inavyouzwa au kusambazwa kwa mtumiaji, na / au b) ikijumuisha kiungo moja au zaidi kutoka kwa ngano (yaani, aina zote za Tritikamu kama vile durumu, ngano, spelti na kamuti), shayiri <sup>1</sup> au aina zilizochanganywa, na ambazo zimepitia mchakato wa kuondoa gluteni, na kiwango cha gluteni hakizidishi miligramu 20 / kilogramu kwa jumla, kulingana na chakula ilivyouzwa au kusambazwa kwa mtumiaji.'' <ref name="CAC_GF">[86] ^ ''"Rasimu ya kiwango kilichorekebishwa cha Vyakula kwa matumizi ya lishe maalum kwa Watu wasio na uastahimilivu Gluteni (kwa Hatua ya 8)".'' ukurasa 50-51. Kamati ya Lishe na vyakula kwa Matumizi Maalum ya lishe. MRADI WA PAMOJA WA FAO / WHO WA VIWANGO VYA CHAKULA TUME YA CODEX ALIMENTARIUS KIKAO CHA thelathini na moja Geneva, Uswisi, 30 Juni-4 Julai 2008, Tume ya Codex Alimentarius [http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf TAARIFA YA MKUTANO WA 29 WA KAMATI YA CODEX KUHUSU LISHE NA VYAKULA KWA MATUMIZI MAALUM KATIKA MLO] {{Wayback|url=http://www.codexalimentarius.net/download/report/687/al08_26e.pdf |date=20110511134650 }}</ref></blockquote><blockquote><sup>''1'' </sup> Kamati ilikubali kubainisha kuwa posho za shayiri ambazo hazijachanganywa na ngano, au aina zingine za shayiri katika vyakula vilivyojumuishwa chini ya kiwango hiki vinaweza kubainishwa katika ngazi ya kitaifa.''"<ref name="CAC_GF"></ref>'' </blockquote>Kwa kutambua faida ya shayiri zima katika chakula kishicho na gluteni, Shirika la Siliaki la Kanada lilijitolea kuhakikisha kuwa shayiri na bidhaa za shayiri zinatimiza viwango vya vyakula visivyo na gluteni vilivyowekwa na Shirika la Ukaguzi wa Chakula na Afya la Kanada:<blockquote>Kwa kushirikiana na Shirika la Afya la Kanada, Shirika la Kilimo na vyakula vinavyopandwa la Kanada na Shirika la Ukaguzi wa Chakula la Kanada, limeorodhesha mambo yanayohitajika kwa upanzi, uchakataji, na upimaji wa uhalisi na ualamishaji wa shayiri ''halisi.<ref name="pmid17948135">{{cite journal |author=Rashid M, Butzner D, Burrows V, ''et al.'' |title=Consumption of pure oats by individuals with celiac disease: a position statement by the Canadian Celiac Association |journal=Can. J. Gastroenterol. |volume=21 |issue=10 |pages=649–51 |year=2007 |month=Oktoba |pmid=17948135 |doi= |url= |pmc=2658132}}</ref>'' </blockquote> |} Kutokana na mtazamo wa unyeti wa gluteni hakuna ufafanuzi wowote mmoja wa gluteni unaoeleza kikamilifu aina zote za gluteni ambazo zina uwezekano wa kusababisha magonjwa. Kwa mizio ya ngano, kunaweza kuwa na spishi nyingi ambazo huenda zikazindua mizio katika protini sawa. Protini za omega-gliadini zina protini sawa na zile zinazopatikana kwa kiwango cha juu katika shayiri, lakini mzio wa omega-gliadini hauwezi kutabiri mzio wa ukosefu wa ustahimilivu kwa shayari.<ref name="pmid6154431">{{cite journal | author = Baldo BA, Krilis S, Wrigley CW | title = Hypersensitivity to inhaled flour allergens. Comparison between cereals | journal = Allergy | volume = 35 | issue = 1 | pages = 45–56 | year = 1980 | pmid = 6154431 | doi =10.1111/j.1398-9995.1980.tb01716.x }}</ref> Mtu anaweza kuwa na mzio kwa ngano, lakini asiwe na mzio kwa shayari.<ref name="pmid16025333">{{cite journal | author = Karatay S, Erdem T, Kiziltunc A, ''et al.'' | title = General or personal diet: the individualized model for diet challenges in patients with rheumatoid arthritis | journal = Rheumatol. Int. | volume = 26 | issue = 6 | pages = 556–60 | year = 2006 | pmid = 16025333 | doi = 10.1007/s00296-005-0018-y}}</ref> Glutelini hazijaainishwa katika taksonomia pana. Katika unyeti wa gluteni wenye asili isiyojulikana, kingamwili zinazohusianan na ugonjwa ni kingamwili dhidi ya gliadini. Haijulikani ikiwa kingamwili hizi zinaweza kusababisha magonjwa au ni viashiria tu vya gliadini inayozunguka mwilini. Kwa enteropathia ya unyeti wa gluten, gliadini na protini za umbo sawa kutoka kwa shayiri huleta ugonjwa. Epitopi za kiini T zinaohusishwa na ugonjwa zimepatikana katika jeni za protini za kunata katika aina zote za spishi zilizoorodheshwa ndani ya kabila la ''Tritikea'' .<ref name="Kupper">{{cite journal | author = Kupper C | title = Dietary guidelines and implementation for celiac disease | journal = Gastroenterology | volume = 128 | issue = 4 Suppl 1 | pages = S121–7 | year = 2005 | pmid=15825119 | doi = 10.1053/j.gastro.2005.02.024}}</ref> Pia, kwa kuwa shayiri ina uhusiano wa mbali na ngano, lakini inabeba epitopi, inaweza kudhaniwa kuwa mimea yote ya kategoria ya ''Tritikea'' inapaswa kuwa na seli za T zenye uwezo wa kuendeleza ugonjwa (tazama pia Jenetiki ya Tritikea). Ingawa mara nyingi haieezwi katika baadhi ya viwango, gluteni za ugonjwa zinazopatikana katika ngano pia hupatikana katika Spelti na Kamuti (zote ni aina za ngano), Tritikale (aina ndogo ya mchangnyiko wa Tritikea). [[File:Haverkorrels Avena sativa.jpg|left|thumb|Nafaka za shayiri katika katika maganda yao]] ===Mabishano kuhusu shayari=== [[Oti|Shayari]] ni spishi katika kabila la majani la ''Avenea,'' ambalo liko katika jamii ndogo ya Pooidea pamoja na Tritikea (iliyo na ngano, shayari na jenera zingine nyingi). Shayiri ndizo spishi zenye uhusiano wa karibu zaidi sana na nafaka za ''Tritikea'' . Shayiri ziaweza kuwa na protini zinazosababisha ugonjwa na ambazo huendeleza ugonjwa wa unyeti wa gluteni. Vinginevyo, mbegu za shayiri huonekana kufanana na mbegu za ngano na shayiri na uchanganyikaji kati ya nafaka hizi ni mgumu kutatua. ====Asili ya ubishi==== Baada ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia|Vita Kuu vya II vya Dunia]], ngano ilituhumiwa kuwa ndiyo chanzo chz ugonjwa wa siliaki, na gluteni kutoka kwa ngano ilitambuliwa baadaye kama mojawapo ya sababu. Wakati huo, bayopsi ya mbuti-kiwango cha sasa cha "dhahabu" katika utambuzi-ilikuwa bado haijatengenezwa,<ref name="pmid13571252">{{cite journal |author=SMITH RB, SPRINZ H, CROSBY WH, SULLIVAN BH |title=Peroral small bowel mucosal biopsy |journal=Am. J. Med. |volume=25 |issue=3 |pages=391–4 |year=1958 |month=Septemba |pmid=13571252 |doi= 10.1016/0002-9343(58)90077-9|url=http://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/0002-9343(58)90077-9}}</ref> na vipimo vya ugonjwa visivyo vya vilitumika. Katika tafiti mbili, watoto watatu walipewa gramu 75 hadi 150 ya shayiri kwa siku na dalili zilijitokeza. Katika tafiti tatu zilizofanywa kwa wakati mmoja, watoto 10 na watu wawili wazima waliruhusiwa kula gramu 28 hadi 60 ya shayiri na hakuna dalili zozote zilizojitokeza.<ref name="pmid17327936">{{cite journal |author=Garsed K, Scott BB |title=Can oats be taken in a gluten-free diet? A systematic review |journal=Scand. J. Gastroenterol. |volume=42 |issue=2 |pages=171–8 |year=2007 |month=Februari |pmid=17327936 |doi=10.1080/00365520600863944 |url=https://archive.org/details/sim_scandinavian-journal-of-gastroenterology_2007-02_42_2/page/171}}</ref> Kwa kuwa ngano, bali na wakati mwingine rai ni dutu ambazo kwa kawaida huongezwa katika shayiri,<ref name="ADA_Oats">[101] ^ Shirika la Lishe la Marekani. Mwongozo wa huduma za lishe: Ugonjwa wa siliaki. Inapatikana: http://www.nutritioncaremanual.org. Ilifikiwa 15 Desemba 2004.</ref><ref name="pmid15525734">{{cite journal |author=Thompson T |title=Gluten contamination of commercial oat products in the United States |journal=N. Engl. J. Med. |volume=351 |issue=19 |pages=2021–2 |year=2004 |month=Novemba |pmid=15525734 |doi=10.1056/NEJM200411043511924 |url=}}</ref> hadi pale ambapojambo hili lilichunguzwa, shayiri iliaminika kuwa ni sumu kwa siliaki. ====Matokeo ya sasa==== Ingawa tatizo la ukolezi limejulikana kwa miaka kadhaa, utafiti uliochapishwa mnamo Juni 2008 ilionyesha kuwa kati ya vyanzo 109 vya shayiri vilivyochinguzwa, 85 vilikuwa na viwango visivyokubalika vya gluteni kutoka kwa ngano, bali au rai.<ref name="pmid18467914">{{cite journal |author=Hernando A, Mujico JR, Mena MC, Lombardía M, Méndez E |title=Measurement of wheat gluten and barley hordeins in contaminated oats from Europe, the United States and Canada by Sandwich R5 ELISA |journal=Eur J Gastroenterol Hepatol |volume=20 |issue=6 |pages=545–54 |year=2008 |month=Juni |pmid=18467914 |doi=10.1097/MEG.0b013e3282f46597 |url=}}</ref> Shayiri zilizochafuliwa na ''tritikea'' katika utafiti zilitoka nchi nyingi na hivyo kuonyesha kwamba vyanzo vingi vya shayiri havikubaliki kwa GS kulingana na ukolezi. ===Viwango vinavyostahimilika vya gluteni=== Kwa muhtasari wa maendeleo ya hivi karibuni, shayiri inaweza kustahimilika katika lishe lisilo na gluteni, lakini bidhaa za shayiri zinafaa kudhibitiwa kutokana na ukolezi wa gluteni inayotokana na ''Tritikea'' na 20 PPM (miligramu 20 kwa kilo). Marekani ina uhuru wa kukataa kiwango cha lebo ya GF kwa bidhaa za shayiri, kama imeidhinishwa (tazama Siasa za Kutokuwa kwa gluteni na shayiri). ===Upimaji wa kutokuwa kwa gluteni=== ELISA mpya yenye unyeti kwa bali iitwayo sandwichi changanuzi ya R5 haitambui gluteni katika yoyote kati ya aina 25 asili za shayiri, lakini inatambua bali, ngano na rai.<ref name="pmid18467914"></ref> Shughuli za kilimo zinazozingatia magonjwa, upimaji wa kingamwili na upimaji maaalum wa kijenetiki unaozingatia spishi zina uwezo wa kuzalisha shayiri asili.<ref name="pmid18467914"></ref> Nchini Marekani, chapa 3 za humo nchini za GF zinapatikana na chapa moja iliyotoka Ayalandi 'anadai' kutengenezwa kwa 99.95% ya shayiri pekee.<ref name="GFO_C/I_P">[109] ^ [http://www.glutenfreeoats.com/cleaning.aspx ''Mchakato wa Usafishaji / Ukaguzi'' Shayiri zisizo na gluteni] {{Wayback|url=http://www.glutenfreeoats.com/cleaning.aspx |date=20101123010043 }}</ref><ref>[110] ^ ''"Je, bidhaa za Shayiri za McCann hazina gluteni"?.'' URL: [http://www.mccanns.ie/faq.html FAQ - Maswali ya mara kwa mara] {{Wayback|url=http://www.mccanns.ie/faq.html |date=20100702152825 }}</ref> Chapa mbili nchini Marekani hutumia upimaji wa kingamwili wa R5 na unadai kuwa na kiwango fafanuzi cha gluteni kilicho chini ya 20 PPM.<ref name="GFO_C/I_P"></ref><ref>[112] ^ [http://www.bobsredmill.com/catalog/index.php?action=showdetails&amp;product_ID=680 ''Shayiri zilizozunhgushwa zisizo na gluteni'' Vyakula vya kiasili vya Bob's Red Mill]</ref> ===Mlo=== '''Shayiri zisizo na gluteni katika mlo usio na gluteni.''' Shayiri zisizo na gluteni zinaweza kwa chanzo muhimu cha thamani cha unyuzi, vitamini B, chuma, zinki na wanga changamano.<ref name="pmid12844381">{{cite journal |author=Størsrud S, Hulthén LR, Lenner RA |title=Beneficial effects of oats in the gluten-free diet of adults with special reference to nutrient status, symptoms and subjective experiences |journal=Br. J. Nutr. |volume=90 |issue=1 |pages=101–7 |year=2003 |month=Julai |pmid=12844381 |doi= 10.1079/BJN2003872|url=https://archive.org/details/sim_british-journal-of-nutrition_2003-07_90_1/page/101}}</ref> Tafiti za karibuni zinaonyesha kuwa watu wenye unyeti wa gluteni wanaokula chakula kishicho na gluteni mara nyingi hupata kiwango kikubwa cha stachi (wanga), kiasi kidogo cha unyuzi na vitamini B. Kwa sasa miongozo mingi haijumuishi shayiri katika mlo usio na gluteni. Igawa kuna uwezekano kuwa jambo hili litabadilika, shayiri hazipendekezwi kablay ya kupita kwa mwaka mmoja baada ya utambuzi kutokana na hatari ya enteropathia ya unyeti kwa shayiri (ASE), kutaka kujenga misingi ya kiafya na utata wa swala la ukolezi. Ulaji wa shayiri wakati kingamwili dhidi ya gliadini ziko unaongeza kingamwili dhidi ya avenini, na unaweza kukuza ASE. Bayopsi ya mbuti unaweza kupendekezwa baada ya kuanzishwa kwa ulaji wa shayiri. Fenotaipu ya DQ ya watu wote 3 wenye ASE waliochunguzwa ulionyesha hadi hapo kuwa hadi sasa unahitajika homozaigoti za DQ2 zina hatari ya kupata ASE. Ni bora zaidi ikiwa wagonjwa wa siliaki waliotoka kutambuliwa wangetafuta msaada kutoka kwa mtaalamu wa vyakula. Hata hivyo, miongozo inapatikana pia kwa ajili ya kuanzishwa kwa shayiri safi, ambazo hazijachanganywa katika mlo usio na gluteni.<ref>{{cite web | title=Guidelines for Consumption of Pure and Uncontaminated Oats by Individuals with Celiac Disease | last=Rashid | first=Mohsin | date=2007-06-08 | url=http://www.celiac.ca/Articles/PABoatsguidelines2007June.html | publisher=Professional Advisory Board of Canadian Celiac Association | accessdate=2008-08-14 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080417232410/http://www.celiac.ca/Articles/PABoatsguidelines2007June.html | archivedate=2008-04-17 }}</ref> == Marejeo == {{Marejeo|2}} [[Category:Magonjwa]] [[Category:Chakula]] euq6lufyshvn9xrd2kqekx4ucxnf9a2 Chelsea F.C. 0 57315 1233900 1233328 2022-07-20T13:43:09Z Riccardo Riccioni 452 /* Tanbihi */ wikitext text/x-wiki {{Infobox football club | jinalaklabu = Chelsea | image = [[Picha:Chelsea FC.svg|200px]] | jinakamili = Chelsea Football Club | jinalautani = ''The Pensioners'', ''The Blues'' | imeanzishwa = {{Start date and age|1905|3|10|df=y}} | uwanja = [[Stamford Bridge (stadium)|Stamford Bridge]] | uwezo = 41,841 | mwenyekiti = [[Bruce Buck]] | mmiliki = [[Todd Boehly]] | meneja = [[Thomas Tuchel]] | ligi = [[Premier League]] | msimu = [[2017-18 Premier League|2021-22]] | nafasi = Premier League, 3th | sasa = 2013-14 msimu wa Chelsea F.C. | website = http://www.chelseafc.com/ | pattern_la1 = _cfc1920h | pattern_b1 = _cfc1920h | pattern_ra1 = _cfc1920h | pattern_sh1 = _cfc201920h | pattern_so1 = _cfc1920hlong | leftarm1 = 0000FF | body1 = 0000FF | rightarm1 = 0000FF | shorts1 = 0000FF | socks1 = FFFFFF | pattern_la2 = _chelsea1920a | pattern_b2 = _chelsea1920a | pattern_ra2 = _chelsea1920a | pattern_sh2 = _usa18h | pattern_so2 = _cfc1920along | leftarm2 = FFFFFF | body2 = FFFFFF | rightarm2 = FFFFFF | shorts2 = FFFFFF | socks2 = 0000FF | pattern_la3 = | pattern_b3 = | pattern_ra3 = | pattern_sh3 = | pattern_so3 = | leftarm3 = | body3 = | rightarm3 = | shorts3 = | socks3 = }} '''Chelsea Football Club'''<ref>{{Cite web|title=Chelsea news and transfers LIVE: Todd Boehly takeover hint, Abramovich fear|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-news-transfers-live-lukaku-23846011|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Danyal Khan, Jake Stokes}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea could look to reunite Lautaro Martinez and Romelu Lukaku in the summer|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-romelu-lukaku-tuchel-transfer-23849808|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Bobby Vincent}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Glen Johnson urges Chelsea to offer Jorginho a new contract amid transfer links|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/defender-urges-chelsea-jorginho-contract-23861027|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea bidder Lord Coe warns club to find quick takeover solution|url=https://www.football.london/chelsea-fc/news/chelsea-bidder-warning-takeover-claim-23857906|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref>ni [[klabu]] ya [[mpira wa miguu]] ya nchini [[Uingereza]] iliyo na maskani yake [[Fulham]], [[London]]. Klabu hii ilianzishwa mwaka [[1905]], na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki [[ligi kuu ya Uingereza]]. Uwanja wao wa nyumbani ni [[Stamford Bridge]] ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa. Chelsea, kwa mara ya kwanza ilipata mafanikio makubwa mwaka [[1955]], ambapo walipata ubingwa wa ligi, na walishinda mataji kadhaa katika miaka ya 1960, 1970, 1990 na 2000. Klabu hii imefurahia zaidi mafanikio katika [[miongo]] miwili ilopita, kwa kushinda mataji makubwa 15 tangu mwaka 1997. Nyumbani, Chelsea imeshinda ubingwa wa ligi mara nne, [[kombe la FA]] mara saba, [[kombe la ligi]] mara nne, pamoja na [[ngao za jamii]] mara nne. Na kimataifa Chelsea imeshashinda [[UEFA Cup Winners' Cups]] mara mbili, [[UEFA Super Cup]] moja, [[UEFA Europa League]] moja na [[UEFA Champions League]] moja. Chelsea ndio klabu pekee kutoka London kushinda UEFA Champions League, na ni moja kati ya klabu nne kutoka Uingereza, kuchukua makombe yote makubwa matatu ya Ulaya. Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. Tangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, [[Roman Abramovich]]. ==Wachezaji == [[File:Chelsea players returning to their half.jpg|thumb|Wachezaji wa Chelsea]] {{updated|7 January 2018.}}<ref>{{cite web |title=First Team Squad List |url=http://www.chelseafc.com/first-team |publisher=Chelsea F.C |accessdate=7 August 2018 }}</ref> {{Fs start}} {{Fs player|no=1|nat=ESP|pos=GK|name=[[Kepa Arrizabalaga]]}} {{Fs player|no=2|nat=GER|pos=DF|name=[[Antonio Rüdiger]]}} {{Fs player|no=6|nat=DEN|pos=DF=name=[[Andreas Christensen]]}} {{Fs player|no=3|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marcos Alonso]]}} {{Fs player|no=30|nat=BRA|pos=DF|name=[[David Luiz]]}} {{Fs player|no=7|nat=FRA|pos=MF|name=[[N'golo kantè]]|}} {{Fs player|no=8|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ross Barkley]]}} {{Fs player|no=29|nat=ESP|pos=FW|name=[[Alvaro morata]]}} {{Fs player|no=11|nat=ESP|pos=MF|name=[[Pedro (footballer born 1991)]]}} {{Fs player|no=10|nat=BEL|pos=MF|name=[[Eden Hazard]]}} {{Fs mid}} {{Fs player|no=18|nat=FRA|pos=FW|name=[[O. Giroud]]}} {{Fs player|no=5|nat=ITA|pos=MF|name=[[Jorginho]]}} {{Fs player|no=22|nat=BRA|pos=MF|name=[[Willian Borges da Silva|Willian]]}} {{Fs player|no=23|nat=AUS|pos=GK|name=[[Mark Schwarzer]]}} {{Fs player|no=24|nat=ENG|pos=DF|name=[[Gary Cahill]]}} {{Fs player|no=26|nat=ENG|pos=DF|name=[[John Terry]]|other=[[Captain (association football)|captain]]}} {{Fs player|no=27|nat=NED|pos=DF|name=[[Nathan Aké]]}} {{Fs player|no=28|nat=ESP|pos=DF|name=[[César Azpilicueta]]}} {{Fs player|no=31|nat=TAN|pos=FW|name=[[Ariri Charles]]}} {{Fs player|no=33|nat=CZE|pos=DF|name=[[Tomáš Kalas]]}} {{Fs player|no=40|nat=POR|pos=GK|name=[[Henrique Hilário]]}} {{Fs player|no=46|nat=ENG|pos=GK|name=Jamal Blackman}} {{Fs end}} == Tuzo == * Ligi Kuu (6) 1954-1955, 2004-2005, 2005-2006, 2009-2010, 2011-2012, 2016-2017 * FA Cup (7) 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010, 2018 * Kombe la Ligi (4) 1965, 1998, 2005, 2007; * Ngao ya Jamii (4) 1955, 2000,2005, 2009 * UEFA Cup Winners' Cup (2) 1971, 1998 * UEFA Super Cup (1) 1998, 1999, 2003 * Full Members Cup (2) 1986, 1990 * FA Youth-cup (3) 1960, 1961, 2010 ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Chelsea Football Club]] [[Jamii:Vilabu Mpira vya Uingereza]] qtpw3jiw0ea5uqkkihuoyybjlyvr332 Raymond Aaron 0 62874 1233888 1198755 2022-07-20T13:16:18Z Riccardo Riccioni 452 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki [[File:Raymond Aron (1966) by Erling Mandelmann.jpg|thumb]] '''Raymond-Claude-Ferdinand Aron''' ([[14 Machi]] [[1905]] – [[17 Oktoba]] [[1983]]) alikuwa [[mwanafalsafa]], [[mwanasosholojia]], [[mwandishi wa habari]] na mtaalamu wa masuala ya [[siasa]] kutoka nchini [[Ufaransa]]. Anafahamika pia kutokana na uhusiano wake wa muda mrefu wa kirafiki na wakati mwingine wa kiuhasama na [[Jean-Paul Sartre]].<ref>''Memoirs: fifty years of political reflection'', By Raymond Aron (1990)</ref>. Pia anafahamika zaidi kutokana na kitabu chake kilichotoka mwaka 1995, kilichofahamika kwa jina la ''The Opium of the Intellectuals''. Aron pia aliandika kwa undani kuhusu mada nyingine nyingi katika sosholojia, habari na filosofia. Akizungumzia kuhusu undani na ubora wa kazi za Aron, mwandishi na mwanahistoria James R. Garlan <ref name="Garland">Garland, James R. "Raymond Aron and the Intellectuals: Arguments supportive of Libertarianism." ''[[Journal of Libertarian Studies]]'', Vol. 21, No. 3 (Fall 2007).</ref> ameandika kuwa, ijapokuwa anaweza kufahamika zaidi nchini [[Marekani]], lakini Raymond Aron, anatajwa kuwa ni mtu maarufu sana miongoni wa wasomi wa nchini [[Ufaransa]] wa karne ya ishirini. == Maisha na kazi== Aron alizaliwa katika jiji la [[Paris]], mzazi wake mmoja akiwa ni [[Mwanasheria]], alisoma katika shule ya [[École Normale Supérieure]], ambapo hapo alikutana na [[Jean-Paul Sartre]], ambaye alikuja kuwa rafiki yake wa maisha na mpinzani wake mkubwa katika maswala ya elimu .<ref name="Garland"/>. Aron alishika nafasi ya kwanza katika mtihani wa [[Filosofia]] mnamo mwaka 1928, mtihani ambao rafiki yake wa karibu Sartre alishindwa kufaulu. na hatimaye mwaka 1930, alifanikiwa kutunukiwa shahada ya udaktari katika [[Historia ya Filosofia]] kutoka katika chuo cha [[École Normale Supérieure]]. Amekuwa akifundisha katika shule ya [[Social philosophy]] katika chuo kikuu cha Touloese, majuma machache kabla ya [[Vita vya Pili ya Dunia]] kuanza, halafu akaamia [[Armée de l'Air]]. Wakati nchi ya [[Ufaransa]] iliposhindwa katika vita hivyo, aliamua kuondoka nchini humo na kwenda [[London]] na kujiunga na vikosi vya [[Free French]] na baadae kuwa mhariri katika gazeti la ''[[France Libre]]'' (Free France). Baada ya vita kumalizika, Aron alirejea [[Paris]] kwa ajili ya kufundisha [[Sosholojia]] katika chuo cha [[École Nationale d'Administration]] na baadae [[Paris Institute of Political Studies]]. Hii ikiwa ni kati ya mwaka 1955 hadi 1968. Baadaye alienda kufundisha katika chuo kilichofahamika kama [[University of Paris|Sorbonne]], na ilipofikia mwaka 1970, alihamia katika [[Collège de France]]. Alichaguliwa kuwa mwanachama mwenye hadhi ya juu katika taasisi ya [[American Academy of Arts and Sciences]] hii ikiwa ni mwaka 1960.<ref name=AAAS>{{cite web|title=Book of Members, 1780-2010: Chapter A|url=http://www.amacad.org/publications/BookofMembers/ChapterA.pdf|publisher=American Academy of Arts and Sciences|accessdate=25 Aprili 2011}}</ref> . Aron alifariki dunia katika jiji la Paris tarehe 17 Oktoba 1983 kwa shinikizo la moyo. == Kazi== * ''La Sociologie allemande contemporaine'', Paris: Alcan, 1935; ''German Sociology'', London: Heinemann, 1957 * ''Introduction à la philosophie de l'histoire. Essai sur les limites de l'objectivité historique'', Paris: Gallimard, 1938; ''Introduction to the Philosophy of History: An Essay on the Limits of Historical Objectivity'', London: Weidenfeld & Nicolson, 1948 * ''Essai sur la théorie de l'histoire dans l'Allemagne contemporaine. La philosophie critique de l'histoire'', Paris: Vrin, 1938 * ''L'Homme contre les tyrans'', New York, Editions de la Maison française, 1944 * ''De l'armistice à l'insurrection nationale'', Paris: Gallimard, 1945 * ''L'Âge des empires et l'Avenir de la France'', Paris: Défense de la France, 1945 * ''Le Grand Schisme'', Paris: Gallimard, 1948 * ''Les Guerres en chaîne'', Paris: Gallimard, 1951 * ''La Coexistence pacifique. Essai d'analyse'', Paris: Editions Monde nouveau, 1953 (under the pseudonym François Houtisse, with Boris Souvarine) * ''[[The Opium of the Intellectuals|L'Opium des intellectuels]]'', Paris: Calmann-Lévy, 1955; ''The Opium of the Intellectuals'', London: Secker & Warburg, 1957 * ''Polémiques'', Paris: Gallimard, 1955 * ''La Tragédie algérienne'', Paris: [[Plon (publisher)|Plon]], 1957 * ''Espoir et peur du siècle. Essais non partisans'', Paris: Calmann-Lévy, 1957 * ''L'Algérie et la République'', Paris: Plon, 1958 * ''La Société industrielle et la Guerre'', suivi d'un ''Tableau de la diplomatie mondiale en 1958'', Paris: Plon, 1959 * ''Immuable et changeante. De la IVe à la Ve République'', Paris: Calmann-Lévy, 1959 * ''Introduction. Classes et conflits de classes dans la société industrielle (Ralph Dahrendorf), Paris: Mouton Éditeur, 1959 * ''Dimensions de la conscience historique'', Paris: Plon, 1961 * ''Paix et guerre entre les nations'', Paris: Calmann-Lévy, 1962; ''Peace and War'', London: Weidenfeld & Nicolson, 1966 * ''Le Grand Débat. Initiation à la stratégie atomique'', Paris: Calmann-Lévy, 1963 * ''Dix-huit leçons sur la société industrielle'', Paris: Gallimard, 1963; ''Eighteen Lectures on Industrial Society'', London: Weidenfeld & Nicolson, 1967 * ''La Lutte des classes'', Paris: Gallimard, 1964 * ''Essai sur les libertés'', Paris: Calmann-Lévy, 1965 * ''Démocratie et totalitarisme'', 1965 * ''Trois essais sur l'âge industriel'', Paris: Plon, 1966 * ''Les Étapes de la pensée sociologique'', Paris: Gallimard, 1967; ''Main Currents in Sociological Thought'', London: Weidenfeld & Nicolson, 1965 * ''[[De Gaulle, Israel and the Jews|De Gaulle, Israël et les Juifs]]'', Paris: [[Plon]], 1968 * ''La Révolution introuvable. Réflexions sur les événements de mai'', Paris: Fayard, 1968 * ''Les Désillusions du progrès'', Paris: Calmann-Lévy, 1969; ''Progress and Disillusion: The Dialectics of Modern Society'', Pall Mall Press, 1968 * ''D'une sainte famille à l'autre. Essai sur le marxisme imaginaire'', Paris: Gallimard, 1969 * ''De la condition historique du sociologue'', Paris: Gallimard, 1971 * ''Études politiques'', Paris: Gallimard, 1972 * ''République impériale. Les États-unis dans le monde (1945–1972)'', Paris: Calmann-Lévy, 1973; ''The Imperial Republic: The United States and the World 1945-1973'', Little Brown & Company 1974 * ''Histoire et dialectique de la violence'', Paris: Gallimard, 1973; ''History and the Dialectic of Violence: Analysis of Sartre's'' Critique de la raison dialectique, Oxford: Blackwell, 1979 * ''Penser la guerre, Clausewitz'', Paris: Gallimard, 1976; ''Clausewitz: Philosopher of War'', London: Routledge, 1983 * ''Plaidoyer pour l'Europe décadente'', Paris: Laffont, 1977; ''In Defense of Decadent Europe'', South Bend IN: Regnery, 1977 * with Andre Glucksman and Benny Levy. “Sartre's Errors: A Discussion”. [[TELOS (journal)|''TELOS'']] 44 (Summer 1980). New York: [http://www.telospress.com Telos Press] * ''Le Spectateur engagé'', Paris: Julliard, 1981 (interviews) * ''Mémoires'', Paris: Julliard, 1983 * ''Les dernières années du siècle'', Paris: Julliard, 1984 * ''Ueber Deutschland und den Nationalsozialismus. Fruehe politische Schriften 1930-1939, Joachim Stark, ed. and pref., Opladen: Leske & Budrich, 1993 * ''Le Marxisme de Marx'', Paris: Éditions de Fallois, 2002 * ''De Giscard à Mitterrand: 1977-1983'' (editorials from ''L'Express''), with preface by Jean-Claude Casanova, Paris: Éditions de Fallois, 2005 ===Kazi nyingine=== * ''Raymond Aron, spectateur engagé''. Entretiens avec Raymond Aron. (Duration: 160 mins.), DVD, Éditions Montparnasse, 2005 ==Bibliografia== * Anderson, Brian C., ''Raymond Aron: The Recovery of the Political'', Rowman & Littlefield, 1998 * Davis, Reed M. ''A Politics of Understanding: The International Thought of Raymond Aron''. Baton Rouge LA.:[[Louisiana State University Press]], 2009 ISBN 978-0-8071-3517-4 * Gagliano, Giuseppe ''La nuova sinistra americana e il movimento del maggio francese nelle interpretazioni di Raymon Aron e Herbert Marcuse''. [[Uniservice]], 2011 ISBN 9788617886608 * Launay, Stephen, ''La Pensée politique de Raymond Aron'', Paris: Presses Universitaires de France, 1995 * Mahoney, Daniel and Bryan-Paul Frost (eds.), ''Political Reason in the Age of Ideology: Essays in Honor of Raymond Aron'', New Brunswick/London: Transaction Publishers, 2006 * Stark, Joachim, Das unvollendete Abenteuer. Geschichte, Gesellschaft und Politik im Werk Raymond Arons, Wuerzburg: Koenigshausen und Neumann, 1986 * Stark, Joachim, Raymond Aron (1905-1983), in Dirk Kaesler, Klassiker der Soziologie, Vol.II: Von Talcott Parsons bis Anthony Giddens, Munich: Beck, 5th ed., 2007, 105-129 * [[Riccardo Bavaj|Bavaj, Riccardo]] Ideologierausch und Realitaetsblindheit. Raymond Arons Kritik am Intellektuellen ''franzoesischen Typs'', Zeithistorische Forschungen/Studies in Contemporary History 5 (2008), No. 2, 332-338, URL: www.zeithistorische-forschungen.de/16126041-Bavaj-2-2008 * Oppermann, Matthias, Raymond Aron und Deutschland. Die Verteidigung der Freiheit und das Problem des Totalitarismus, Ostfildern: Thorbecke Verlag 2008. * Oppermann, Matthias (Ed.), Im Kampf gegen die modernen Tyranneien. Ein Raymond-Aron-Brevier, Zurich: NZZ Libro 2011. * Stark, Joachim, Das unvollendete Abenteuer. Geschichte, Gesellschaft und Politik im Werk Raymond Arons, Wuerzburg: Koenigshausen und Neumann, 1986 * Stark, Joachim, Raymond Aron (1905–1983), in Dirk Kaesler, Klassiker der Soziologie, Vol.II: Von Talcott Parsons bis Anthony Giddens, Munich: Beck, 5th ed., 2007, 105-129 == Marejeo == {{Marejeo}} == Viungo vya nje == *[http://www.findagrave.com/cgi-bin/fg.cgi?page=gr&GRid=7363 Profile page for Raymond Aron] on the [[Find-A-Grave]] web site {{Persondata | name = Aron, Raymond | alternative names = | short description = | date of birth = 14 Machi 1905 | place of birth = | date of death = 17 Oktoba 1983 | place of death = }} {{DEFAULTSORT:Aron, Raymond}} [[Jamii:Waliozaliwa 1905]] [[Jamii:Waliofariki 1983]] [[Jamii:Waandishi wa Ufaransa]] [[Jamii:Wanafalsafa wa Ufaransa]] lwrt6implrcg9svyvuudwwrx5eecwm3 Wilaya ya Chamwino 0 68905 1233848 1233847 2022-07-20T11:59:24Z Hussein m mmbaga 52054 wikitext text/x-wiki <sup>Kwa maana mengine ya jina hilo angalia [[Chamwino (maana)]]</sup> '''Chamwino''' ni jina la [[wilaya]] mpya katika [[mkoa]] wa [[Dodoma]] [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''41400'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref> , ambayo ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2007. Idadi ya wakazi wa wilaya hii ilikuwa watu wapatao 19175 wakati wa sensa ya mwaka [[2012]]. <ref>[http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Dodoma- Chamwino]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Makao makuu ya wilaya yako [[Chamwino mjini]]. ==Marejeo== <references/> ==Viungo vya Nje== * [http://chamwinodc.go.tz Tovuti rasmi ya Wilaya ya Chamwino], iliangaliwa Oktoba 2020 {{Kigezo:Kata za Wilaya ya Chamwino}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dodoma]] 705hw9nv60m1ubckarv5ef945sr21at 1233865 1233848 2022-07-20T12:45:26Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki <sup>Kwa maana nyingine ya jina hilo angalia [[Chamwino (maana)]]</sup> '''Chamwino''' ni [[jina]] la [[wilaya]] mpya katika [[mkoa]] wa [[Dodoma]] [[Tanzania]], ambayo ilianzishwa rasmi mnamo [[mwaka]] [[2007]]. Ina [[postikodi]] [[namba]] '''41400'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>. [[Idadi]] ya wakazi wa wilaya hii ilikuwa watu wapatao 19,175 wakati wa [[sensa]] ya mwaka [[2012]]. [[Makao makuu]] ya wilaya yako [[Chamwino mjini]]. ==Marejeo== <references/> ==Viungo vya Nje== * [http://chamwinodc.go.tz Tovuti rasmi ya Wilaya ya Chamwino], iliangaliwa Oktoba 2020 {{Kigezo:Kata za Wilaya ya Chamwino}} {{mbegu-jio-dodoma}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dodoma]] tcx5hokggam5f1b23l77496btcy720t Alliance for Democratic Change 0 76132 1233874 952270 2022-07-20T13:02:31Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Alliance for Democratic Change (ADC)''' ni [[chama cha kisiasa]] nchini [[Tanzania]]. Chama kimesajiliwa rasmi mnamo mwaka wa [[2012]]. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya [[utu]], [[uchaji wa Mungu]] na [[demokrasia]] ya [[haki]]. Ni chama ambacho kinalenga kuwajenga viongozi waadilifu kwa manufaa ya [[taifa]] kwa vizazi vyote. Tofauti na vyama vingine nchini, ADC kinatambua na kuheshimu uwepo wa [[Mwenyezi Mungu]]. Huu ni mmoja ya misingi mikuu ya [[uongozi]] ndani ya ADC. ADC inaamini kiongozi wenye kumcha [[Mungu]] atakuwa [[mwadilifu]] na mwenye kutenda haki kwa wananchi. <ref>{{cite news |last= |first= |date=27 March 2012 |title=Alliance for Democratic Change party gets temporary registration |url=http://www.ippmedia.com/frontend/?l=39914 |newspaper= -|location= |publisher=[[IPP Media]] |accessdate=2014-07-21 }}</ref> ==Marejeo== {{Reflist}} {{Tanzania political parties}} {{mbegu-siasa}} {{DEFAULTSORT:Alliance for Democratic Change}} [[Jamii:Vyama vya kisiasa nchini Tanzania]] [[Jamii:Siasa ya Tanzania]] 197fpswpasx2lg5noa57aw47s8pd0om Sabah 0 79583 1233956 1122461 2022-07-21T07:35:27Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki [[Picha: Pengalat-Besar_Sabah_Pengalat-Railway-Tunnel-05.jpg|thumbnail|right|280px|Sehemu ya Jimbo la Sabah]] '''Sabah''' ni [[jimbo]] mojawapo kati ya 13 yanayounda [[shirikisho]] la [[Malaysia]]; liko [[kaskazini]] mwa [[kisiwa]] cha [[Borneo]] pamoja na jimbo la [[Sarawak]], wakati majimbo mengine yote yako [[Asia]] [[bara]]. Mji mkuu ni [[Kota Kinabalu]]. Hakuna [[kabila]] kubwa lenye watu zaidi ya [[asilimia]] 50 katika eneo lote. Upande wa [[dini]], [[serikali]] imechangia sana uenezi wa [[Uislamu]] hata ukatangazwa [[dini rasmi]]. ==Viungo vya nje== {{Commons category|Sabah}} [[Jamii:Sabah]] [[Jamii:Borneo]] sli9n903hx6xzkmbl1brv56ec93xyii Erasto B. Mpemba 0 82431 1233853 1232982 2022-07-20T12:18:22Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Erasto Bartholomeo Mpemba''' (* [[1950]] - [[2020]]<ref>[https://www.quantamagazine.org/does-hot-water-freeze-faster-than-cold-physicists-keep-asking-20220629/ Controversy Continues Over Whether Hot Water Freezes Faster Than Cold], Quantamagazine June 29, 2022</ref>) ni [[mwanasayansi]] kutoka nchi ya [[Tanzania]] aliyegundua upya [[tabia]] ya pekee ya [[maji]] inayojulikana leo kwa [[jina]] la [[athari ya Mpemba]] (kwa [[Kiingereza]] ''[https://en.wikipedia.org/wiki/Mpemba_effect Mpemba effect]''). Jina hili linaeleza tabia ya maji ambayo kwa hali fulani yanaganda haraka zaidi kama ni ya [[moto]] kuliko maji ya [[baridi]]. ==Jinsi alivyogundua athari ya Mpemba== Mnamo mwaka [[1963]] Mpemba alikuwa [[mwanafunzi]] wa kidato cha tatu kwenye [[shule]] ya [[sekondari]] ya [[Magamba]] ([[Tanga]])<ref>Habari zifuatazo zinarejea taarifa ya Mpemba hapa: [http://www.rsc.org/images/Cool-Mpemba-Osborne1969_tcm18-222099.pdf Cool? A paper by Erasto Mpemba and Denis Osborne, 1969] </ref>. [[Vijana]] walikuwa na kawaida ya kutengeneza [[aiskrimu]] yao wenyewe [[jiko|jikoni]] mwa shule. Kwa kawaida walichemsha [[maziwa]] wakakoroga [[sukari]] ndani yake, wakaiacha kupoa halafu kuiweka kwenye [[friza]]... [[Siku]] [[moja]] Mpemba alichelewa kazi hii akaogopa ya kwamba mwanafunzi mwingine angechukua chombo cha mwisho kilichopatikana kwa aiskrimu kwa hiyo alimwaga maziwa ya moto katika chombo kile cha mwisho na kuiweka vile kwenye friza pamoja na chombo cha mwenzake aliyewahi kuchemsha na kupoza maziwa tayari. Alipofungua [[friji]] baada ya [[saa]] moja na [[nusu]] alikuta aiskrimu yake ilikuwa tayari ilhali ile ya mwenzake (aliyeweka maziwa iliyopoa) haikuganda bado ilikuwa katika hali ya ujiuji. Siku iliyofuata akamwuliza [[mwalimu]] wa [[fizikia]] kwa nini maziwa ya moto iliganda haraka kuliko ile ya kupoa. Mwalimu akajibu hii haiwezekani lazima alikosa. Katika [[likizo]] zilizofuata Mpemba alikutana na [[rafiki]] aliyefanya kazi ya [[upishi]] [[Mji|mjini]] Tanga akitengeneza aiskrimu. Huyu rafiki alimweleza ya kwamba hata yeye na [[wapishi]] wengine wa aiskrimu huko Tanga waliweka mchanganyiko wa aiskrimu kwenye friza ilhali ni moto kwa sababu inaganda haraka zaidi. Habari hii ilimkumbusha kuhusa maarifa yake shuleni. Baada ya kumaliza Kidato cha Nne Mpemba aliendelea kusoma A-level kwenye [[Mkwawa High School]] huko [[Iringa]]. Hapa alifundishwa kuhusu [[sheria ya kupoza ya Newton]]. Akamwuliza tena mwalimu wa fizikia kuhusu siri ya maziwa ya moto kuganda haraka kuliko maziwa ya kupoa. Hata mwalimu huyo alikataa akasema haiwezekani na hii ni "fizikia ya Mpemba si fizikia ya kawaida". Tangu siku hiyo [[utani]] wa "fizikia ya Mpemba" uliendelea shuleni. Mpemba aliamua siku moja kurudia jaribio la kuweka vyombo viwili vya maji ya moto na maji baridi ndani ya friza akaona matokeo ni yaleyale. Siku moja shule ilitembelewa na [[profesa]] [[Denis Osborne]] wa [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]]. Mpemba alishika [[moyo]] akasimama na kumwuliza Dr Osborne kwa nini maji ya moto yanaganda haraka kuliko maji baridi. Osborne alishtuka kidogo lakini aliona ni muhimu kuwahamasisha wanafunzi, kwa hiyo hakutaka kumkatisha tamaa, hivyo akajibu kwa [[upole]] kuwa hajasikia habari kama hii, pia hailingani na fizikia jinsi anavyoijua, lakini labda inaweza kutokana na athari isiyojulikana alimwahidi kurudia [[jaribio]] akifika tena [[Dar es Salaam]]. [[Wiki]] iliyofuata Osborn alifanya jaribio na matokeo yalikuwa yaleyale. <ref>{{cite web |author=Monwhea Jeng |date=November 1998 |title=Can hot water freeze faster than cold water? |url=http://math.ucr.edu/home/baez/physics/General/hot_water.html |publisher=[[University of California]] |accessdate=2010-09-15}}</ref> Baadaye, wakati Mpemba aliposoma kwenye [[Chuo cha utawala wanyama pori]] huko [[Moshi]] alitunga muswada pamoja na Dr Osborne walipoeleza pamoja majaribio yao wakijaribu kutoa maelezo ya athari.<ref>{{Cite journal| last = Mpemba | first = Erasto B. | last2 = Osborne | first2 = Denis G. | title = Cool? | journal = Physics Education | publisher = Institute of Physics | year = 1969 | volume = 4 | pages = 172–175 | doi = 10.1088/0031-9120/4/3/312}} republished as {{Cite journal| title = The Mpemba effect | journal = Physics Education | publisher = Institute of Physics | year = 1979 | volume = 14 | pages =410–412 | url = http://www.iop.org/EJ/article/0031-9120/14/7/312/pev14i7p410.pdf | doi = 10.1088/0031-9120/14/7/312 | author = Mpemba, E B | last2 = Osborne | first2 = D G}}</ref> Katika [[maisha]] ya baadaye Mpemba alikuwa [[mtumishi]] kwenye [[Wizara ya Maliasili na Utalii|wizara ya maliasili]] hadi kustaafu.<ref>{{Cite web |url=http://tedxdar.tumblr.com/post/13200426765/tedxdar-speaker-erasto-b-mpemba-in-1963 |title=Speaker Erasto B Mpemba in 1963 |accessdate=2016-03-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141026030355/http://tedxdar.tumblr.com/post/13200426765/tedxdar-speaker-erasto-b-mpemba-in-1963 |archivedate=2014-10-26 }}</ref> Mpemba hakuwa mtu wa kwanza wa kugundua athari hii, lakini alikuwa mtu aliyefaulu kuitambulisha mara ya kwanza katika [[jamii]] ya [[wanasayansi]]. Anastahili sifa kwa [[ujasiri]] wake wa kutetea [[hoja]] yake mbele ya walimu na wanafunzi waliomcheka. Vilevile utambuzi wake uliweza kuzaa [[Tunda|matunda]] baada ya kukutana na mwanasayansi Dr Osborne aliyekuwa tayari kusikia hoja ya ajabu na baadaye kumpa sifa mwanafunzi badala ya kutangaza athari kama kazi yake mwenyewe tu. == Marejeo == <references/> {{DEFAULTSORT:Mpemba, Erasto}} {{BD|1950|}} [[Jamii:Wanafizikia wa Tanzania]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] g3vznnqkuc7d3c4689oamu7s82g0zph 1233868 1233853 2022-07-20T12:50:49Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Erasto Bartholomeo Mpemba''' ([[1950]] - [[2020]]<ref>[https://www.quantamagazine.org/does-hot-water-freeze-faster-than-cold-physicists-keep-asking-20220629/ Controversy Continues Over Whether Hot Water Freezes Faster Than Cold], Quantamagazine June 29, 2022</ref>) alikuwa [[mwanasayansi]] kutoka nchi ya [[Tanzania]] aliyegundua upya [[tabia]] ya pekee ya [[maji]] inayojulikana leo kwa [[jina]] la [[athari ya Mpemba]] (kwa [[Kiingereza]] ''[https://en.wikipedia.org/wiki/Mpemba_effect Mpemba effect]''). Jina hili linaeleza tabia ya maji ambayo kwa hali fulani yanaganda haraka zaidi kama ni ya [[moto]] kuliko maji ya [[baridi]]. ==Jinsi alivyogundua athari ya Mpemba== Mnamo mwaka [[1963]] Mpemba alikuwa [[mwanafunzi]] wa kidato cha tatu kwenye [[shule]] ya [[sekondari]] ya [[Magamba]] ([[Tanga]])<ref>Habari zifuatazo zinarejea taarifa ya Mpemba hapa: [http://www.rsc.org/images/Cool-Mpemba-Osborne1969_tcm18-222099.pdf Cool? A paper by Erasto Mpemba and Denis Osborne, 1969] </ref>. [[Vijana]] walikuwa na kawaida ya kutengeneza [[aiskrimu]] yao wenyewe [[jiko|jikoni]] mwa shule. Kwa kawaida walichemsha [[maziwa]] wakakoroga [[sukari]] ndani yake, wakaiacha kupoa halafu kuiweka kwenye [[friza]]... [[Siku]] [[moja]] Mpemba alichelewa kazi hii akaogopa ya kwamba mwanafunzi mwingine angechukua chombo cha mwisho kilichopatikana kwa aiskrimu kwa hiyo alimwaga maziwa ya moto katika chombo kile cha mwisho na kuiweka vile kwenye friza pamoja na chombo cha mwenzake aliyewahi kuchemsha na kupoza maziwa tayari. Alipofungua [[friji]] baada ya [[saa]] moja na [[nusu]] alikuta aiskrimu yake ilikuwa tayari ilhali ile ya mwenzake (aliyeweka maziwa iliyopoa) haikuganda bado ilikuwa katika hali ya ujiuji. Siku iliyofuata akamwuliza [[mwalimu]] wa [[fizikia]] kwa nini maziwa ya moto iliganda haraka kuliko ile ya kupoa. Mwalimu akajibu hii haiwezekani lazima alikosa. Katika [[likizo]] zilizofuata Mpemba alikutana na [[rafiki]] aliyefanya kazi ya [[upishi]] [[Mji|mjini]] Tanga akitengeneza aiskrimu. Huyu rafiki alimweleza ya kwamba hata yeye na [[wapishi]] wengine wa aiskrimu huko Tanga waliweka mchanganyiko wa aiskrimu kwenye friza ilhali ni moto kwa sababu inaganda haraka zaidi. Habari hii ilimkumbusha kuhusa maarifa yake shuleni. Baada ya kumaliza Kidato cha Nne Mpemba aliendelea kusoma A-level kwenye [[Mkwawa High School]] huko [[Iringa]]. Hapa alifundishwa kuhusu [[sheria ya kupoza ya Newton]]. Akamwuliza tena mwalimu wa fizikia kuhusu siri ya maziwa ya moto kuganda haraka kuliko maziwa ya kupoa. Hata mwalimu huyo alikataa akasema haiwezekani na hii ni "fizikia ya Mpemba si fizikia ya kawaida". Tangu siku hiyo [[utani]] wa "fizikia ya Mpemba" uliendelea shuleni. Mpemba aliamua siku moja kurudia jaribio la kuweka vyombo viwili vya maji ya moto na maji baridi ndani ya friza akaona matokeo ni yaleyale. Siku moja shule ilitembelewa na [[profesa]] [[Denis Osborne]] wa [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]]. Mpemba alishika [[moyo]] akasimama na kumwuliza Dr Osborne kwa nini maji ya moto yanaganda haraka kuliko maji baridi. Osborne alishtuka kidogo lakini aliona ni muhimu kuwahamasisha wanafunzi, kwa hiyo hakutaka kumkatisha tamaa, hivyo akajibu kwa [[upole]] kuwa hajasikia habari kama hii, pia hailingani na fizikia jinsi anavyoijua, lakini labda inaweza kutokana na athari isiyojulikana alimwahidi kurudia [[jaribio]] akifika tena [[Dar es Salaam]]. [[Wiki]] iliyofuata Osborn alifanya jaribio na matokeo yalikuwa yaleyale. <ref>{{cite web |author=Monwhea Jeng |date=November 1998 |title=Can hot water freeze faster than cold water? |url=http://math.ucr.edu/home/baez/physics/General/hot_water.html |publisher=[[University of California]] |accessdate=2010-09-15}}</ref> Baadaye, wakati Mpemba aliposoma kwenye [[Chuo cha utawala wanyama pori]] huko [[Moshi]] alitunga muswada pamoja na Dr Osborne walipoeleza pamoja majaribio yao wakijaribu kutoa maelezo ya athari.<ref>{{Cite journal| last = Mpemba | first = Erasto B. | last2 = Osborne | first2 = Denis G. | title = Cool? | journal = Physics Education | publisher = Institute of Physics | year = 1969 | volume = 4 | pages = 172–175 | doi = 10.1088/0031-9120/4/3/312}} republished as {{Cite journal| title = The Mpemba effect | journal = Physics Education | publisher = Institute of Physics | year = 1979 | volume = 14 | pages =410–412 | url = http://www.iop.org/EJ/article/0031-9120/14/7/312/pev14i7p410.pdf | doi = 10.1088/0031-9120/14/7/312 | author = Mpemba, E B | last2 = Osborne | first2 = D G}}</ref> Katika [[maisha]] ya baadaye Mpemba alikuwa [[mtumishi]] kwenye [[Wizara ya Maliasili na Utalii|wizara ya maliasili]] hadi kustaafu.<ref>{{Cite web |url=http://tedxdar.tumblr.com/post/13200426765/tedxdar-speaker-erasto-b-mpemba-in-1963 |title=Speaker Erasto B Mpemba in 1963 |accessdate=2016-03-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141026030355/http://tedxdar.tumblr.com/post/13200426765/tedxdar-speaker-erasto-b-mpemba-in-1963 |archivedate=2014-10-26 }}</ref> Mpemba hakuwa mtu wa kwanza wa kugundua athari hii, lakini alikuwa mtu aliyefaulu kuitambulisha mara ya kwanza katika [[jamii]] ya [[wanasayansi]]. Anastahili sifa kwa [[ujasiri]] wake wa kutetea [[hoja]] yake mbele ya walimu na wanafunzi waliomcheka. Vilevile utambuzi wake uliweza kuzaa [[Tunda|matunda]] baada ya kukutana na mwanasayansi Dr Osborne aliyekuwa tayari kusikia hoja ya ajabu na baadaye kumpa sifa mwanafunzi badala ya kutangaza athari kama kazi yake mwenyewe tu. == Marejeo == <references/> {{DEFAULTSORT:Mpemba, Erasto}} {{BD|1950|2020}} [[Jamii:Wanafizikia wa Tanzania]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] 0slnd7s2f8khzw4wefmydzt6gz74ih6 Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa 0 85248 1233929 1178449 2022-07-20T18:31:01Z 41.212.106.47 Uzalendo wikitext text/x-wiki [[Picha:Bezoek president Nyerere van Tanzania president uNyerere spreekt in de Eerste Ka, Bestanddeelnr 933-2627.jpg |thumb|Mwalimu Julius K. Nyerere akiongea.]] '''Malengo ya kufanya Kiswahili kiwe lugha ya taifa''' nchini [[Tanzania]] yalielezwa na [[mwalimu]] [[Julius Kambarage Nyerere]] kama ifuatavyo: *1.Kuwaunganisha watu wote waliopo ndani ya Tanzania. *2.Kuongeza na kusaidia ufanisi wa [[kazi]] mbalimbali katika [[jamii]]. *3.Ni [[ishara]] kuwa huru kama [[taifa]]. *4.Ni ishara ya kuonyesha [[uzalendo]] katika taifa letu. *5.Kuongeza [[ajira]] kwa kupata [[wataalamu]] watakaofundisha wageni. *6.Kuwapata wakalimani mbalimbali wa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. *7.Kusaidia kupata [[vijana]] wazalendo wa taifa letu. *8.Kuondoa [[tabaka|matabaka]] miongoni mwetu kwa kutumia lugha moja tutakayoelewana. *9.Ili kutoa [[elimu]] ya ufanano nchini Tanzania. *10.Kupata nguvu ya pamoja kama taifa ili kupigania [[haki]] zetu. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Kiswahili]] [[Jamii:Tanzania]] t863g5d66pb61k8bqwhev0ckt1yja4r 1233932 1233929 2022-07-20T18:49:51Z Kipala 107 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/41.212.106.47|41.212.106.47]] ([[User talk:41.212.106.47|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki [[Picha:Bezoek president Nyerere van Tanzania president Nyerere spreekt in de Eerste Ka, Bestanddeelnr 933-2627.jpg |thumb|Mwalimu Julius K. Nyerere akiongea.]] '''Malengo ya kufanya Kiswahili kiwe lugha ya taifa''' nchini [[Tanzania]] yalielezwa na [[mwalimu]] [[Julius Kambarage Nyerere]] kama ifuatavyo: *1.Kuwaunganisha watu wote waliopo ndani ya Tanzania. *2.Kuongeza na kusaidia ufanisi wa [[kazi]] mbalimbali katika [[jamii]]. *3.Ni [[ishara]] kuwa huru kama [[taifa]]. *4.Ni ishara ya kuonyesha [[uzalendo]] katika taifa letu. *5.Kuongeza [[ajira]] kwa kupata [[wataalamu]] watakaofundisha wageni. *6.Kuwapata wakalimani mbalimbali wa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. *7.Kusaidia kupata [[vijana]] wazalendo wa taifa letu. *8.Kuondoa [[tabaka|matabaka]] miongoni mwetu kwa kutumia lugha moja tutakayoelewana. *9.Ili kutoa [[elimu]] ya ufanano nchini Tanzania. *10.Kupata nguvu ya pamoja kama taifa ili kupigania [[haki]] zetu. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Kiswahili]] [[Jamii:Tanzania]] exdh7y6b1ss1d5s7w9yibwjyudymo8y 1233933 1233932 2022-07-20T18:50:06Z Kipala 107 Protected "[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) wikitext text/x-wiki [[Picha:Bezoek president Nyerere van Tanzania president Nyerere spreekt in de Eerste Ka, Bestanddeelnr 933-2627.jpg |thumb|Mwalimu Julius K. Nyerere akiongea.]] '''Malengo ya kufanya Kiswahili kiwe lugha ya taifa''' nchini [[Tanzania]] yalielezwa na [[mwalimu]] [[Julius Kambarage Nyerere]] kama ifuatavyo: *1.Kuwaunganisha watu wote waliopo ndani ya Tanzania. *2.Kuongeza na kusaidia ufanisi wa [[kazi]] mbalimbali katika [[jamii]]. *3.Ni [[ishara]] kuwa huru kama [[taifa]]. *4.Ni ishara ya kuonyesha [[uzalendo]] katika taifa letu. *5.Kuongeza [[ajira]] kwa kupata [[wataalamu]] watakaofundisha wageni. *6.Kuwapata wakalimani mbalimbali wa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. *7.Kusaidia kupata [[vijana]] wazalendo wa taifa letu. *8.Kuondoa [[tabaka|matabaka]] miongoni mwetu kwa kutumia lugha moja tutakayoelewana. *9.Ili kutoa [[elimu]] ya ufanano nchini Tanzania. *10.Kupata nguvu ya pamoja kama taifa ili kupigania [[haki]] zetu. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Kiswahili]] [[Jamii:Tanzania]] exdh7y6b1ss1d5s7w9yibwjyudymo8y 1233934 1233933 2022-07-20T18:51:50Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki {{Futa}}[[Picha:Bezoek president Nyerere van Tanzania president Nyerere spreekt in de Eerste Ka, Bestanddeelnr 933-2627.jpg |thumb|Mwalimu Julius K. Nyerere akiongea.]] '''Malengo ya kufanya Kiswahili kiwe lugha ya taifa''' nchini [[Tanzania]] yalielezwa na [[mwalimu]] [[Julius Kambarage Nyerere]] kama ifuatavyo: *1.Kuwaunganisha watu wote waliopo ndani ya Tanzania. *2.Kuongeza na kusaidia ufanisi wa [[kazi]] mbalimbali katika [[jamii]]. *3.Ni [[ishara]] kuwa huru kama [[taifa]]. *4.Ni ishara ya kuonyesha [[uzalendo]] katika taifa letu. *5.Kuongeza [[ajira]] kwa kupata [[wataalamu]] watakaofundisha wageni. *6.Kuwapata wakalimani mbalimbali wa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. *7.Kusaidia kupata [[vijana]] wazalendo wa taifa letu. *8.Kuondoa [[tabaka|matabaka]] miongoni mwetu kwa kutumia lugha moja tutakayoelewana. *9.Ili kutoa [[elimu]] ya ufanano nchini Tanzania. *10.Kupata nguvu ya pamoja kama taifa ili kupigania [[haki]] zetu. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Kiswahili]] [[Jamii:Tanzania]] 6lxj6b7qn88366pi8fp5e4guxjg8eg3 Alberiko wa Citeaux 0 90847 1233918 1138742 2022-07-20T14:16:15Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Alberiko]] hadi [[Alberiko wa Citeaux]]: kutofautisha watu wikitext text/x-wiki [[image:Alberic receives habit.jpg|thumb|200px|[[Bikira Maria]] akimpa Alberiko [[kanzu]] ya Wasitoo.]] '''Alberiko wa Cîteaux, [[O.Cist.]]''' (pia '''Aubrey'''; alifariki [[Citeaux]], [[26 Januari]] [[1109]]) alikuwa [[mkaapweke]], [[mmonaki]], halafu (1100) [[abati]] nchini [[Ufaransa]]. Ni kati ya [[waanzilishi]] wa [[urekebisho]] wa Citeaux wa [[shirika]] la [[Benedikto wa Nursia]]. Ndiye aliyepata kutoka kwa [[Papa Paskali II]] hati ''Desiderium quod'' iliyoupatia urekebisho huo uhalali wake. Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[26 Januari]] pamoja na wenzake [[Roberto wa Molesme]] na [[Stefano Harding]]. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Marejeo== *Attwater, Donald and John, Catherine Rachel John, 1993:''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books. ISBN|0-14-051312-4 ==Viungo vya nje== {{Commonscat|Saint Alberic of Citeaux}} *[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe Saint of the Day, January 26: ''Alberic of Cîteaux''] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe |date=20110123035856 }} at ''SaintPatrickDC.org'' *[http://www.newadvent.org/cathen/03780c.htm History of the Cistercians] in the Catholic Encyclopedia *{{worldcat id|lccn-n88-74106}} {{mbegu-Mkristo}} {{DEFAULTSORT:Alberiko}} [[Category:Waliozaliwa karne ya 11]] [[Category:Waliofariki 1109]] [[Jamii:Wakaapweke]] [[Category:Wabenedikto]] [[Category:Wasitoo]] [[Category:Watawa waanzilishi]] [[Category:Watakatifu wa Ufaransa]] p8aqnxhwqqzv1l3natg2ncwhw1ox2iz 1233921 1233918 2022-07-20T14:20:57Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[image:Alberic receives habit.jpg|thumb|200px|[[Bikira Maria]] akimpa Alberiko [[kanzu]] ya Wasitoo.]] '''Alberiko wa Cîteaux, [[O.Cist.]]''' (pia '''Aubrey'''; alifariki [[Citeaux]], [[26 Januari]] [[1109]]) alikuwa [[mkaapweke]], [[mmonaki]], halafu (1100) [[abati]] wa Neumünster nchini [[Ufaransa]], akiongoza [[monasteri]] hiyo kwa [[juhudi]] zote pamoja na kulea wanajumuia kadiri ya [[upendo]] na [[kanuni]]. Ni kati ya [[waanzilishi]] wa [[urekebisho]] wa Citeaux wa [[shirika]] la [[Benedikto wa Nursia]]. Ndiye aliyepata kutoka kwa [[Papa Paskali II]] hati ''Desiderium quod'' iliyoupatia urekebisho huo uhalali wake. \ Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[26 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>, pengine pamoja na wenzake [[Roberto wa Molesme]] na [[Stefano Harding]]. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== *Attwater, Donald and John, Catherine Rachel John, 1993:''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books. ISBN|0-14-051312-4 ==Viungo vya nje== {{Commonscat|Saint Alberic of Citeaux}} *[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe Saint of the Day, January 26: ''Alberic of Cîteaux''] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe |date=20110123035856 }} at ''SaintPatrickDC.org'' *[http://www.newadvent.org/cathen/03780c.htm History of the Cistercians] in the Catholic Encyclopedia *{{worldcat id|lccn-n88-74106}} {{mbegu-Mkristo}} {{DEFAULTSORT:Alberiko}} [[Category:Waliozaliwa karne ya 11]] [[Category:Waliofariki 1109]] [[Jamii:Wakaapweke]] [[Jamii:wamonaki]] [[Category:Wabenedikto]] [[Category:Wasitoo]] [[Jamii:mapadri]] [[Category:Watawa waanzilishi]] [[Category:Watakatifu wa Ufaransa]] j860mbhfi9g4bkusgq0ipfe863gsp6j 1233922 1233921 2022-07-20T14:21:52Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[image:Alberic receives habit.jpg|thumb|200px|[[Bikira Maria]] akimpa Alberiko [[kanzu]] ya Wasitoo.]] '''Alberiko wa Cîteaux, [[O.Cist.]]''' (pia '''Aubrey'''; alifariki [[Citeaux]], [[26 Januari]] [[1109]]) alikuwa [[mkaapweke]], [[mmonaki]], halafu (1100) [[abati]] wa Neumünster nchini [[Ufaransa]], akiongoza [[monasteri]] hiyo kwa [[juhudi]] zote pamoja na kulea wanajumuia kadiri ya [[upendo]] na [[kanuni]]. Ni kati ya [[waanzilishi]] wa [[urekebisho]] wa Citeaux wa [[shirika]] la [[Benedikto wa Nursia]]. Ndiye aliyepata kutoka kwa [[Papa Paskali II]] hati ''Desiderium quod'' iliyoupatia urekebisho huo uhalali wake. Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[26 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>, pengine pamoja na wenzake [[Roberto wa Molesme]] na [[Stefano Harding]]. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== *Attwater, Donald and John, Catherine Rachel John, 1993:''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books. ISBN|0-14-051312-4 ==Viungo vya nje== {{Commonscat|Saint Alberic of Citeaux}} *[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe Saint of the Day, January 26: ''Alberic of Cîteaux''] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0126.shtml#albe |date=20110123035856 }} at ''SaintPatrickDC.org'' *[http://www.newadvent.org/cathen/03780c.htm History of the Cistercians] in the Catholic Encyclopedia *{{worldcat id|lccn-n88-74106}} {{mbegu-Mkristo}} {{DEFAULTSORT:Alberiko}} [[Category:Waliozaliwa karne ya 11]] [[Category:Waliofariki 1109]] [[Jamii:Wakaapweke]] [[Jamii:wamonaki]] [[Category:Wabenedikto]] [[Category:Wasitoo]] [[Jamii:mapadri]] [[Category:Watawa waanzilishi]] [[Category:Watakatifu wa Ufaransa]] a2zydwvfkvoivonstuv41v4d6vr5qic Majadiliano ya mtumiaji:Johnny langat 3 96539 1233938 1201280 2022-07-20T19:30:02Z 196.102.249.124 wikitext text/x-wiki Johnny Lang'at is professional electronics mechanic based in Londiani and Molo. He was born in the year 2002, on 29th of September.In a small village in londiani.... (Kapkondoo) Johnny attended nursery school in a local church for a year, later he was transferd to Furaha Primary School where he joined class 1...... His life was different from others since he interested in electronics and machines... When he was seven year of age.. He had learn to drive car both manual and automatic... As the young man grow he didn't associate with fellow age mates and makes friendship with adults whom they introduce him to work which help Johnny to grow both physically and mentally mature... As years goes by Johnny was awarded as ICT expert by Mr. Peter Minai who was his class teacher and also his mentor.. Johnny is naturally whom he help the school in typing, being a DJ during special occasions.. He is a electronics enthusiast since he was young and has learned to work with and repair phones. He is currently pursuing a KCSE certification at Londiani Boys High school. ebx9pg8kcjsd3kxjkeo6t8pwjuaksrp Viza 0 97767 1233902 1233660 2022-07-20T13:44:17Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:Visa usa.jpg|300px|thumb|Viza ya [[Marekani]].]] '''Viza''' (kutoka [[Kiingereza]] "visa") ni [[kibali]] cha kumruhusu mwenye [[pasipoti]] kuingia na kukaa katika nchi geni kwa [[muda]] maalum. ==Jina== [[Asili]] ya [[neno]] iko katika [[lugha]] ya [[Kilatini]] ambapo "visum" inamaanisha "imeangaliwa" kwa maana ya kwamba [[afisa]] wa [[serikali]] ya nchi geni aliona [[kitambulisho]] cha mtu na amekubali [[safari]] yake. Kiingereza "visa" ni [[umbo]] tofauti la Kilatini hiki. ==Umbo la viza== Kwa kawaida viza ni [[mhuri]] maalum uliogongwa katika [[pasipoti]]. Siku hizi nchi mbalimbali hutumia [[karatasi]] za kubandikia katika pasipoti kwa [[gundi]] zikilenga kuepukana na mihuri bandia. Nchi chache hutumia viza [[elektroniki]] ambako kibali kipo kwenye [[kompyuta]] tu, hakionekani tena katika pasipoti. Viza hutolewa na [[ubalozi]] wa nchi kwa kawaida pamoja na [[malipo]] ya [[ada]]. Inataja aina ya [[ziara]] kama ni ya [[Utalii|kitalii]], ya [[Biashara|kibiashara]] au kwa madhumuni maalum pamoja na muda. Nchi nyingi hutoa vibali kwa miezi mitatu. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:mahusiano ya kimataifa]] [[Category:Usafiri]] [[Jamii:sheria]] bp4a5zt1q45uw4xo9p27itid8hev3pv Pasipoti 0 97773 1233901 1027685 2022-07-20T13:43:58Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Pasipoti''' (kwa [[Kiingereza]] ''passport'') ni [[hati]] rasmi ambayo kwa kawaida inatolewa na [[serikali]] ya nchi na kumtambulisha [[mtu]] kama [[raia]] anayeruhusiwa kutoka na kurudi nchini. Ni hati muhimu kwa watu wanaovuka mipaka ya nchi. Pasipoti ni [[mali]] ya nchi inayoitoa. Huwa na [[picha]], [[jina]] na [[sahihi]] ya mtu aliyetolewa, pamoja na [[tarehe]] na mahali pa kuzaliwa kwake. Kuna nchi zinazoingiza pia habari za kimaumbile zinazofichwa [[Elektroniki|kielektroniki]]. Kati ya aina mbalimbali za pasipoti kuna *pasipoti ya kawaida *pasipoti ya [[Diplomasia|kidiplomasia]], inayotolewa hasa kwa [[watumishi]] waliopo kwenye [[balozi]] za nchi *pasipoti rasmi inayotolewa kwa watu wengine waliotumwa na serikali au kwa niaba ya serikali ya nchi yao bila ya kuwa na hali ya kidiplomasia. [[Jamii:mahusiano ya kimataifa]] [[jamii:Sheria]] nka1ykx9cf5dyhwkkem20rirfu36ne9 TTCL 0 97920 1233887 1232051 2022-07-20T13:16:15Z Benix Mby 36425 Infobox kampuni wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | operating_income = | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|mapato={{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref>|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] '''TTCL (Tanzania Telecommunication Company Limited)''' ni [[kampuni]] ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] ya [[zamani]] iliyo kubwa zaidi nchini [[Tanzania]]. Kampuni hiyo inatoka katika [[Shirika la Mawasiliano]] la [[Tanzania]] [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. TTCL inasimamiwa na [[Sheria ya Mawasiliano ya Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. [[Kampuni]] hiyo ni yenye [[leseni]] ya [[huduma]] za msingi za [[simu]] nchini [[Tanzania bara]] na [[Zanzibar]] na hivyo inamiliki na inafanya [[kazi]] ya [[mtandao]] wa [[simu]] za [[umma]] [[Tanzania bara]] na [[Zanzibar]]. Kabla ya kuja kwa [[waendeshaji]] wa simu mwishoni mwa [[mwaka]] [[1994]], [[kampuni]] hiyo ilifurahia kukutana na [[Tanzania Mainland na duopoly]] [[Tanzania Zanzibar]], ambapo [[Zanzibar Telecoms Limited]] ([[Zantel]]) ilikuwa ya [[pili]] ya [[leseni]] ya msingi ya [[simu]]. {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] sxafgkbi1ho2yn89clb8dkxb9cv8lqg 1233909 1233887 2022-07-20T13:55:09Z Benix Mby 36425 Maelezo zaidi wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | operating_income = | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|mapato={{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref>|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} '''Tanzania Telecommunications Corporation ('''zamani: '''Tanzania Telecommunications Company Limited''') mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TTCL''', ni kampuni kongwe na kubwa zaidi ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] nchini [[Tanzania]]. Kampuni ilianza kufanya kazi kufuatia mgawanyiko wa lililokuwa shirika la serikali linalojulikana kama Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TP&TC) [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] TTCL inasimamiwa na [[Sheria ya Mawasiliano ya Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. [[Kampuni]] hiyo ni yenye [[leseni]] ya [[huduma]] za msingi za [[simu]] nchini [[Tanzania bara]] na [[Zanzibar]] na hivyo inamiliki na inafanya [[kazi]] ya [[mtandao]] wa [[simu]] za [[umma]] [[Tanzania bara]] na [[Zanzibar]]. Kabla ya kuja kwa [[waendeshaji]] wa simu mwishoni mwa [[mwaka]] [[1994]], [[kampuni]] hiyo ilifurahia kukutana na [[Tanzania Mainland na duopoly]] [[Tanzania Zanzibar]], ambapo [[Zanzibar Telecoms Limited]] ([[Zantel]]) ilikuwa ya [[pili]] ya [[leseni]] ya msingi ya [[simu]]. {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] 0lnj11d0hcdaopitp4eqshvi3inri65 1233914 1233909 2022-07-20T14:11:14Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | operating_income = | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|mapato={{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref>|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} '''Tanzania Telecommunications Corporation ('''zamani: '''Tanzania Telecommunications Company Limited''') mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TTCL''', ni kampuni kongwe na kubwa zaidi ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] nchini [[Tanzania]]. Kampuni ilianza kufanya kazi kufuatia mgawanyiko wa lililokuwa shirika la serikali linalojulikana kama Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TP&TC) [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] TTCL inaongozwa kwa mujibu wa [[Sheria ya Mawasiliano Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. Kampuni hii ina leseni ya huduma za msingi za simu kwa [[Tanzania Bara]] na [[Zanzibar (maana)|Zanzibar]] na hivyo inamiliki na kuendesha mtandao wa simu Tanzania Bara na Zanzibar. Kabla ya ujio wa kampuni za simu mwishoni mwa 1994, kampuni ilikuwa ikifurahia ukiritimba Tanzania Bara na Zanzibar, ambapo Zanzibar Telecoms Limited ([[Zantel]]) ilikuwa kampuni ya pili yenye leseni ya msingi ya mawasiliano ya simu. Kampuni imekuwa katika menejimenti kadhaa za pamoja kutokana na kuyumba kwake kifedha hapo awali na imepitia awamu kadhaa za urekebishaji. Imekuwa ikifanya kazi na [[Huawei Technologies Co. Ltd]] kama mchuuzi wa miundombinu ya kampuni na [[Ericsson]] kama msambazaji wa kimkakati wa muda mrefu wa kampuni. {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] m2d5oi5miq5xpbdpeb8ef21uo82paqz 1233915 1233914 2022-07-20T14:12:15Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | operating_income = | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|mapato={{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref>|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} '''Tanzania Telecommunications Corporation ('''zamani: '''Tanzania Telecommunications Company Limited''') mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TTCL''', ni kampuni kongwe na kubwa zaidi ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] nchini [[Tanzania]]. Kampuni ilianza kufanya kazi kufuatia mgawanyiko wa lililokuwa shirika la serikali linalojulikana kama Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TP&TC) [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] TTCL inaongozwa kwa mujibu wa [[Sheria ya Mawasiliano Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. Kampuni hii ina leseni ya huduma za msingi za simu kwa [[Tanzania Bara]] na [[Zanzibar (maana)|Zanzibar]] na hivyo inamiliki na kuendesha mtandao wa simu Tanzania Bara na Zanzibar. Kabla ya ujio wa kampuni za simu mwishoni mwa 1994, kampuni ilikuwa ikifurahia ukiritimba Tanzania Bara na Zanzibar, ambapo Zanzibar Telecoms Limited ([[Zantel]]) ilikuwa kampuni ya pili yenye leseni ya msingi ya mawasiliano ya simu. Kampuni imekuwa katika menejimenti kadhaa za pamoja kutokana na kuyumba kwake kifedha hapo awali na imepitia awamu kadhaa za urekebishaji. . {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] g00xlyfc14f67uiinthkt2ye1l70pt6 1233916 1233915 2022-07-20T14:14:10Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} '''Tanzania Telecommunications Corporation ('''zamani: '''Tanzania Telecommunications Company Limited''') mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TTCL''', ni kampuni kongwe na kubwa zaidi ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] nchini [[Tanzania]]. Kampuni ilianza kufanya kazi kufuatia mgawanyiko wa lililokuwa shirika la serikali linalojulikana kama Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TP&TC) [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] TTCL inaongozwa kwa mujibu wa [[Sheria ya Mawasiliano Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. Kampuni hii ina leseni ya huduma za msingi za simu kwa [[Tanzania Bara]] na [[Zanzibar (maana)|Zanzibar]] na hivyo inamiliki na kuendesha mtandao wa simu Tanzania Bara na Zanzibar. Kabla ya ujio wa kampuni za simu mwishoni mwa 1994, kampuni ilikuwa ikifurahia ukiritimba Tanzania Bara na Zanzibar, ambapo Zanzibar Telecoms Limited ([[Zantel]]) ilikuwa kampuni ya pili yenye leseni ya msingi ya mawasiliano ya simu. Kampuni imekuwa katika menejimenti kadhaa za pamoja kutokana na kuyumba kwake kifedha hapo awali na imepitia awamu kadhaa za urekebishaji. . {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] kg3w5hlfjy024huirn4smt4lbxvrn0c 1233920 1233916 2022-07-20T14:18:33Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox Kampuni | revenue = {{increase}} [[Tanzanian shilling|TSh.]]93&nbsp;billion/= <small>(2013)</small><ref name="fin2013">{{cite news|last1=Majaliwa|title=Govt Reclaims 100 Percent Shares in TTCL Ownership|url=http://allafrica.com/stories/201502020130.html|accessdate=7 September 2016|agency=AllAfrica}}</ref> | homepage = {{URL|http://www.ttcl.co.tz/|Tovuti ya TTCL}} |jina=Tanzania Telecommunications<br>Corporation|nembo=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|nembo_ya_kampuni=Tanzania_Telecommunications_Company_Limited_generation_T_logo.png|ilipoanzishwa=1993 (ilianza kazi tarehe 1 Januari 1994)|watu wakuu=Waziri Kindamba, [[Mkurugenzi]]|nchi=[[Tanzania]]|mahali=|mji=Extelecoms House, Samora Avenue, Kisutu, [[Dar es Salaam]]|wafanyakazi=1,600 <small>(Feb 2016)</small>|bidhaa=TTCL [[Broad band]], TTCL [[Mobile phone|Mobile]], [[IP VPN]], Prepaid Services, Postpaid Services, Rafiki Public Phone, [[Leased line|Leased Circuits]], Internet [[Bandwidth (computing)|Bandwidth]], Broadband and Wholesale Administrator|mmiliki=[[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]]|eneo linalohudumiwa=[[Tanzania]]|jina_la_kampuni=TTCL|hudma=[[Mawasiliano|Huduma za Mawasiliano]]}} '''Tanzania Telecommunications Corporation ('''zamani: '''Tanzania Telecommunications Company Limited''') mara nyingi huitwa kwa kifupi '''TTCL''', ni kampuni kongwe na kubwa zaidi ya [[mawasiliano]] ya [[simu]] nchini [[Tanzania]]. Kampuni ilianza kufanya kazi kufuatia mgawanyiko wa lililokuwa shirika la serikali lililojulikana kama Shirika la Posta na Mawasiliano Tanzania (TP&TC) [[mwaka]] [[1993]]. TTCL ilikuwa inamilikiwa kabisa na [[Serikali]] ya [[Tanzania]] mpaka [[ubinafsishaji]] wa kampuni ulipofanyika [[tarehe]] [[23 Februari]] [[2001]]. [[File:OFC splicing.jpg|thumb|Mhandisi akiwa kazini kwenye matengenezo katika kituo cha mitambo cha TTCL, Mtwara Tanzania]] TTCL inaongozwa kwa mujibu wa [[Sheria ya Mawasiliano Tanzania]] ya mwaka [[1993]]. Kampuni hii ina leseni ya huduma za msingi za simu kwa [[Tanzania Bara]] na [[Zanzibar (maana)|Zanzibar]] na hivyo inamiliki na kuendesha mtandao wa simu Tanzania Bara na Zanzibar. Kabla ya ujio wa kampuni za simu mwishoni mwa 1994, kampuni ilikuwa ikifurahia ukiritimba Tanzania Bara na Zanzibar, ambapo Zanzibar Telecoms Limited ([[Zantel]]) ilikuwa kampuni ya pili yenye leseni ya msingi ya mawasiliano ya simu. Kampuni imekuwa katika menejimenti kadhaa za pamoja kutokana na kuyumba kwake kifedha hapo awali na imepitia awamu kadhaa za urekebishaji. . {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]] [[Jamii:Makampuni ya Tanzania]] [[Jamii:Simu]] 9lwrq48ovi5bafshyn3gca0d8hvsrvc Jamii:Wanafizikia wa Tanzania 14 99062 1233867 1030847 2022-07-20T12:49:30Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Wanafizikia]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] g7sngefywst1jm0h3hbn002epww684c Fausta Shakwe Mosha 0 101052 1233885 1140110 2022-07-20T13:15:27Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[File:Dr. Fausta Shakiwa Mosha.jpg|thumb|'''Dk. Fausta Mosha'''-''Mwandamizi wa juu wa Maabara'']] '''Fausta Shakiwa Mosha''' (alizaliwa 14 April [[1976]]) ni [[Mtanzania]] anaefanya kazi ya uandamizi wa [[maabara]] kwenye shirika ya USAPH [[United State Association of Public Health]] Laboratoties ya Afrika Mashariki katika ukanda wa [[Afrika Kusini]]. Amekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uhakiki na Mafunzo ya Ubora wa Maabara ya Taifa ya Wizara tangu mnamo mwaka 2011. ==Historia yake na Elimu== Alizaliwa [[Mkoa wa Tanga]], Akakulia Moshi huku akipata Elimu yake ya msingi Mkoa Tanga katika shule inayo itwa Tanga International school ambapo hapo baadae alihamia katika shule iitwayo Azimio Primary school kati ya mwaka 1982 mpaka mwaka 1988. Baada ha hapo kati ya mwaka 1989 hadi mwaka 1995 Alijiunga na shule za KIlakala na Loleza hadi apo alipo hitimu elimu yake ya Sekondari. Alifanikiwa kupata shahada yake ya [[Daktari wa dawa|Udaktari wa dawa]] yaani [[doctor of mrdicine]] (MD) katika chuo kikuu cha Afya cha Muhimbili She obtained her MD from [[Muhimbili]] Na alipada Shahada ya uzamivu mwaka 2014 kutoka katika chuo kikuu cha [[KULeuven|Catholic University of Leuven]], Ubeligiji. ==Wadhifa== ===Wizara ya Afya=== Alipewa wadhifa wa ukurugenzi wa Kituo cha Taifa cha Uhakikisho wa Ubora na Mafunzo ya Afya ya Taifa (NHLQATC) ndani ya Wizara ya Afya MoH, Tanzania mwaka 2010 na mwaka huo huo, alishinda mradi wa kimataifa wa nchi 9 za Kiafrika na nchi 11 katika kanda ya Caribbean.<ref>http://slmta.org/about-us/board/fausta-mosha</ref> ===NHL/QATC=== Fausta alishawahi fanya kazi katika kusimamia na kuboresha huduma na utoaji wa NHLQATC. Alishiriki kutunga na kuandika makala kadhaa na majarida ya matibabu na kuongoza ushirikiano kati ya CDC na Maabara ya Taifa ya Afya nchini Tanzania.<ref>https://www.cdc.gov/globalhealth/security/materials/pdf/day3/independent-assessments.pdf</ref> ===Miradi mingine=== Fausta Amekua akisimamia na anaendelea kusimamia miradi ya kitaifa na kimataifa ikiwemo miradi ifuatayo: Alikuwa Mchunguzi Mkuu (Principal Investigator) wa mradi wa "Uhakiki wa Ufanisi wa Vipimo vya haraka vya VVU, Usalama wa Biolojia wa Baraza la Mawaziri na Baraza la Usimamizi wa Ubora wa Maabara na uimarishaji Tanzania, Uganda, Sierra leone, Cameroon, Angola, Lesotho, Ethiopia, Swaziland, Kenya na Nchi 11 katika ukanda wa Caribbean, mradi ulio na lengo la kuimarisha uwezo wa maabara 9 za Afrika na 11 za Caribbean ili kusaidia kuweka Sura nzuri ya Matibabu<ref>https://slmta.org/about-us/board/fausta-mosha</ref> Na Alisha wahi kuwa [[Mwalimu|Mkufunzi]] wa [[Chuo kikuu cha Muhimbili]] cha [[Tanzania]]. ==Marejeo== [[Jamii:Wikipedia Editathon 2018]] [[Jamii:Waliozaliwa 1976]] [[Jamii:Wanawakw wa Tanzania]] gwnyyuw98t2z2v5s99utkbpy4tv276l 1233886 1233885 2022-07-20T13:15:40Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki [[File:Dr. Fausta Shakiwa Mosha.jpg|thumb|'''Dk. Fausta Mosha'''-''Mwandamizi wa juu wa Maabara'']] '''Fausta Shakiwa Mosha''' (alizaliwa 14 April [[1976]]) ni [[Mtanzania]] anaefanya kazi ya uandamizi wa [[maabara]] kwenye shirika ya USAPH [[United State Association of Public Health]] Laboratoties ya Afrika Mashariki katika ukanda wa [[Afrika Kusini]]. Amekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uhakiki na Mafunzo ya Ubora wa Maabara ya Taifa ya Wizara tangu mnamo mwaka 2011. ==Historia yake na Elimu== Alizaliwa [[Mkoa wa Tanga]], Akakulia Moshi huku akipata Elimu yake ya msingi Mkoa Tanga katika shule inayo itwa Tanga International school ambapo hapo baadae alihamia katika shule iitwayo Azimio Primary school kati ya mwaka 1982 mpaka mwaka 1988. Baada ha hapo kati ya mwaka 1989 hadi mwaka 1995 Alijiunga na shule za KIlakala na Loleza hadi apo alipo hitimu elimu yake ya Sekondari. Alifanikiwa kupata shahada yake ya [[Daktari wa dawa|Udaktari wa dawa]] yaani [[doctor of mrdicine]] (MD) katika chuo kikuu cha Afya cha Muhimbili She obtained her MD from [[Muhimbili]] Na alipada Shahada ya uzamivu mwaka 2014 kutoka katika chuo kikuu cha [[KULeuven|Catholic University of Leuven]], Ubeligiji. ==Wadhifa== ===Wizara ya Afya=== Alipewa wadhifa wa ukurugenzi wa Kituo cha Taifa cha Uhakikisho wa Ubora na Mafunzo ya Afya ya Taifa (NHLQATC) ndani ya Wizara ya Afya MoH, Tanzania mwaka 2010 na mwaka huo huo, alishinda mradi wa kimataifa wa nchi 9 za Kiafrika na nchi 11 katika kanda ya Caribbean.<ref>http://slmta.org/about-us/board/fausta-mosha</ref> ===NHL/QATC=== Fausta alishawahi fanya kazi katika kusimamia na kuboresha huduma na utoaji wa NHLQATC. Alishiriki kutunga na kuandika makala kadhaa na majarida ya matibabu na kuongoza ushirikiano kati ya CDC na Maabara ya Taifa ya Afya nchini Tanzania.<ref>https://www.cdc.gov/globalhealth/security/materials/pdf/day3/independent-assessments.pdf</ref> ===Miradi mingine=== Fausta Amekua akisimamia na anaendelea kusimamia miradi ya kitaifa na kimataifa ikiwemo miradi ifuatayo: Alikuwa Mchunguzi Mkuu (Principal Investigator) wa mradi wa "Uhakiki wa Ufanisi wa Vipimo vya haraka vya VVU, Usalama wa Biolojia wa Baraza la Mawaziri na Baraza la Usimamizi wa Ubora wa Maabara na uimarishaji Tanzania, Uganda, Sierra leone, Cameroon, Angola, Lesotho, Ethiopia, Swaziland, Kenya na Nchi 11 katika ukanda wa Caribbean, mradi ulio na lengo la kuimarisha uwezo wa maabara 9 za Afrika na 11 za Caribbean ili kusaidia kuweka Sura nzuri ya Matibabu<ref>https://slmta.org/about-us/board/fausta-mosha</ref> Na Alisha wahi kuwa [[Mwalimu|Mkufunzi]] wa [[Chuo kikuu cha Muhimbili]] cha [[Tanzania]]. ==Marejeo== [[Jamii:Wikipedia Editathon 2018]] [[Jamii:Waliozaliwa 1976]] [[Jamii:Wanawake wa Tanzania]] pvtqpdh1q19qwhpveod2xdstgzy8s3g Mwele Ntuli Malecela 0 101058 1233851 1209918 2022-07-20T12:14:40Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */Nimeongeza jamii wikitext text/x-wiki {{mwanasiasa | jina = Mwele Ntuli Malecela | nchi = Tanzania | picha = | maelezo_ya_picha = | cheo 1 = | bunge la = | jimbo la uchaguzi = | chama = [[CCM]] | tar. ya kuingia bunge = | alirudishwa mwaka = | aliondoka = | cheo 2 = | kuingia 2 = | kutoka 2 = | akitanguliwa na 2 = | akifuatwa na 2= | tarehe ya kuzaliwa = 26 Machi 1963 | mahali pa kuzaliwa = | kifo = 10 Februari 2022 | dini = | elimu = | digrii =Shahada ya uzamivu | kazi =Mkurugenzi wa Taasisi ya tafiti za kiafya (NIMRI) | tovuti= |mengine= | }} '''Mwele Ntuli Malecela''' ([[26 Machi]] [[1963]] - [[10 Februari]] [[2022]]) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania ([[NIMRI]])<ref>{{cite web|title=Mwele Malecela on Tanzania, IANPHI-Africa, and being a woman leader in Public Health|url=http://www.ianphi.org/news/2014/mwelemalecela.php|publisher=ianphi.org|accessdate=2018-06-20|archivedate=2015-09-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150924032216/http://www.ianphi.org/news/2014/mwelemalecela.php}}</ref>. Aliwania nafasi ya mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ([[CCM]]) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.<ref>{{cite web|title=Meet the staff Mwelecele Ntuli|url=http://www.nimr.or.tz/mwelecele-ntuli/|publisher=nimr.or.tz|accessdate=2018-06-20|archivedate=2017-11-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171107030131/http://www.nimr.or.tz/mwelecele-ntuli/}}</ref><ref>{{cite web|title=News events East africa July 2013|url=http://www.lshtm.ac.uk/newsevents/features/2013/east_africa_july_2013.pdf|publisher=lshtm.ac.uk|accessdate=2018-06-20|archivedate=2016-03-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304113245/http://www.lshtm.ac.uk/newsevents/features/2013/east_africa_july_2013.pdf}}</ref> Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela alikuwa akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani ([[WHO]]) upande wa [[Afrika]] kama msimamizi wa masuala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia. ==Maisha ya awali na kazi== Baada ya kuhitimu shahada ya kwanza katika masuala ya wanyama katika [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]]<ref>{{cite web|title=Director general of the National Institute for Medical Research in Tanzania and is the first woman to hold this position. |url=http://www.ianphi.org/whoweare/leadership/bio/mwele.html|publisher=ianphi.org}}</ref> alijiunga na taasisi ya tafiti za kiafya (NIMRI) mnamo mwaka 1987. Katika kipindi hicho Mwele alifafanya tafiti za ugonjwa wa homa ya matende katika kituo cha Amani. Baada ya hapo aliendelea na elimu ya juu katika chuo kiitwacho London School of Hygiene and Tropical Medicine ambako alitunukiwa shahada yake ya pili mwaka 1990 na shahada ya uzamivu mwaka 1995. Aliendelea na tafiti zake katika taasisi ya NIMRI mpaka kufikia mwaka 1998 ambapo alipewa cheo cha mkurugenzi wa tafiti. Mwaka 2000 Mwele alikua kiongozi wa program ya homa ya matende, ambayo imekua ikifanya kazi katika wilaya takribani 53. ==Maisha ya kisiasa== Malecela alijiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) mnamo mwaka 1981 alipokuwa [[Kilakala]]. Kwa wakati huo alihitajika kupata mafunzo maalumu kwanza kabla ya kujiunga na chama. Dokta Malecela alifanya mafunzo hayo mwezi Aprili 1981<ref>{{cite web|title=Presidential hopefuls on CCM ticket broadens democracy|url=http://www.dailynews.co.tz/index.php/features/46105-presidential-hopefuls-on-ccm-ticket-broadens-democracy|publisher=dailynews.co.tz}}</ref> na baada ya hapo amekuwa mwanachama wa kudumu hadi kufikia sasa. ==Marejeo== {{reflist}} [[Jamii:waliozaliwa 1963]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] [[Jamii:Wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)]] [[Jamii:Wikipedia Editathon 2018]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] it7qkdh2ztwlw0lbmfc4l17jdyo65z3 Mawasiliano ya simu nchini Tanzania 0 109539 1233859 1206564 2022-07-20T12:35:12Z Benix Mby 36425 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki '''Mawasiliano ya simu nichini Tanzania''' yanahusisha pamoja [[redio]], [[televisheni]], [[simu]] za [[meza|mezani]] na [[simu za mkononi]], na [[intaneti]] jinsi yanavyopatikana [[Tanzania]] Bara na [[Zanzibar|Visiwani]]. == Kanuni na leseni == Mwaka wa elfu mbili na tano, Bara ya Tanzania, lakini si Zanzibar, lilibadilisha mfumo wake wa kutoa [[leseni]] kwa ajili ya [[mawasiliano]] ya [[umeme]], ambayo yaliifanya mfano wa mbinu za [[upelelezi]] wa mafanikio nchini [[Malaysia]] mwishoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini ambapo leseni za "wima" za jadi (haki ya kutumia telecom au utangazaji mtandao, na haki ya kutoa huduma kwenye mtandao huo) inabadilishwa na leseni "za usawa" (haki ya kutumia mitandao ya simu na utangazaji, na leseni tofauti inayotakiwa kutoa huduma kwenye kila mtandao). Inaitwa "mfumo wa leseni (CLF)", marekebisho haya yalikuwa ya kwanza ya aina yake kutekeleza katika bara la Afrika na inaruhusuwawekezaji kuzingatia eneo lao la utaalamu (yaani kituo cha mtandao, huduma za mtandao, huduma za maombi) katika sekta tofauti (yaani mawasiliano ya simu, utangazaji, mtandao). Mageuzi haya lazima, kati ya mambo mengine, kuwezesha huduma za simu juu ya mitandao ya televisheni ya cable, huduma za televisheni juu ya mitandao ya mawasiliano ya simu, na huduma za mtandao juu ya aina zote za mitandao.<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A0-1|[1]]]</sup> Chini ya mfumo wa leseni kuna makundi manne ya leseni zinazopatikanaː<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A0-1|[1]]]</sup> * Kituo cha mtandao, utoaji wa kipengele chochote au mchanganyiko wa miundombinu ya kimwili inayotumiwa hasa, au kuhusiana na, utoaji wa huduma na matumizimengine, lakini sio pamoja na vifaa vya majengo ya wateja; * Huduma ya mtandao, huduma ambayo hutoa habari kwa namna ya hotuba au sauti, data, maandishi au picha, ama moja kwa moja au kwa usahihi, lakini si huduma ya wateja mtandaoni; * Huduma ya maombi, kuuza tena huduma za mawasiliano ya umeme kwa watumiaji wa mwisho; na * Huduma ya ubora, huduma zinazotolewa kwa sauti, maandishi au picha ikiwa hazihamishi au kusonga isipokuwa zinazotumiwa katika mawasiliano ya kibinafsi. Katika mwaka elfu mbili kumi na tatu kulikuwa na:<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A13-2|[2]]]</sup> * Waendeshaji wa ishirini na moja wa kituo cha mtandao: nane kimataifa na kitaifa, kumi na moja kitaifa, na mbili kikanda; * Waendeshaji wa kumi na saba wa huduma cha mtandao: nane kimataifa na kitaifa, sita kitaifa, na tatu kikanda; * Waendeshaji wa tisini na moja wa huduma cha maombi: moja kimataifa, kumi na tano kimataifa na kitaifa, hamsini na mbili kitaifa, kumi na moja kikanda, na mbili wilaya; * Waendeshaji wa themanini na tano wa huduma ya redio: sita kitaifa na biashara, kumi kikanda na kibiashara, saba kikanda na yasiyo ya kibiashara, thelathini wilaya na kibiashara, na wilaya ishirini na tisa na yasiyo ya kibiashara; * Waendeshaji wa thelathini wa huduma ya televisheni: tano kitaifa na kibiashara, nne kanda na ya kibiashara, moja kanda na isiyo ya kibiashara, sita wilaya na ya biashara, na kumi na saba wilaya na isiyo ya biashara. Orodha kamili ya leseni na makandarasi inapatikana kutoka kwenye tovuti ya mamlaka ya mawasiliano ya udhibiti Tanzania.<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A13-2|[2]]]</sup> == Redio na televisheni == * Kituo cha redio cha kitaifa na vituo vya redio binafsi vya zaidi ya arobani vinatumiwa (mwaka wa elfu mbili na saba).<ref name=":2">{{Cite web|url=https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html|title=Africa :: Tanzania — The World Factbook - Central Intelligence Agency|website=www.cia.gov|access-date=2019-03-04|accessdate=2019-03-04|archivedate=2020-11-27|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201127225447/https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html}}</ref> * Kituo cha televisheni cha kitaifa na vituo vingi vya televisheni binafsi vinatumiwa (mwaka wa elfu mbili na saba). <ref name=":2" /> * Matangazo ya watangazaji kadhaa wa kimataifa (mwaka wa elfu mbili na saba).<ref name=":2" /> Kuna vikwazo vya serikali kwenye utangazaji katika lugha za kikabila.<ref name=":34">{{Cite web|url=https://www.state.gov/j/drl/rls/hrrpt/2012humanrightsreport/index.htm?year=2012&dlid=204176|title=Country Reports on Human Rights Practices for 2012|website=www.state.gov|access-date=2019-03-04}}</ref> Serikali ya utawala wa Zanzibari ina matangazo ya redio na faragha ya umma na binafsi katika visiwa vyake. Hata kwa eneo la televisheni ya serikali kutoka bara, kulikuwa na ucheleweshaji katika idhini, na kuruhusu wachunguzi wa Zanzibari kuingilia kati. Hata hivyo, vituo vya redio vya Zanzibar hufanya kazi kwa kujitegemea, mara kwa mara kusoma masomo yaliyomo katika habari za kitaifa, ikiwa ni pamoja na makala muhimu za serikali ya Zanzibar. <sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A34-4|[4]]]</sup> == Angalia pia == * [[:en:Tanzania_Communications_Regulatory_Authority|Mamlaka ya Kudhibiti Mawasiliano ya Tanzania]] * [[:en:Tanzania_Internet_eXchange|Kubadilishana internet ya Tanzania]] * [[:en:List_of_terrestrial_fibre_optic_cable_projects_in_Africa|Miradi ya duniani ya fibre optic cable nchini Tanzania]] * [[:en:Media_of_Tanzania|Vyombo vya habari vya Tanzania]] * [[:en:List_of_newspapers_in_Tanzania|Orodha ya magazeti nchini Tanzania]] == Marejeo == * Makala hii inashirikisha [[:en:Copyright_status_of_works_by_the_federal_government_of_the_United_States|nyenzo za kikoa cha umma]] kutoka [[:en:The_World_Factbook|CIA World Factbook]] document [https://www.cia.gov/library/publications/download/download-2014/index.html "2014 edition"] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/download/download-2014/index.html |date=20190214171559 }}. * Makala hii inashirikisha [[:en:Copyright_status_of_works_by_the_federal_government_of_the_United_States|nyenzo za kikoa cha umma]] kutoka kwenye tovuti au nyaraka za [[:en:United_States_Department_of_State|Idara ya Serikali ya Nchi za Umoja.]] <references /> == Kusoma zaidi == * {{Cite book|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf|title=Rural Access: Options and Challenges for Connectivity and Energy in Tanzania|last=Suhail Sheriff|date=July 2007|publisher=Sharing With Other People Network (SWOPnet)/[[International Institute for Communication and Development]] (IICD)|pages=40|access-date=2019-03-04|archive-date=2013-05-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20130511162806/http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf|dead-url=yes}} {{Wayback|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf |date=20130511162806 }} * {{Cite book|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf|title=Rural connectivity in Tanzania: Options and challenges|last=Suhail Sheriff|date=March 2007|publisher=[[International Institute for Communication and Development]] (IICD)|pages=16|access-date=2019-03-04|archive-date=2013-05-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20130511162833/http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf|dead-url=yes}} {{Wayback|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf |date=20130511162833 }} == Viungo vya nje == * [[:en:Tanzania_Communications_Regulatory_Authority|Tanzania Communications Regulatory Authority]] * [./https://en.wikipedia.org/wiki/The_Electronic_and_Postal_Communications_(Online_Content)_Regulations,_2018 The Electronic and Postal Communications (Online Content) Regulations, 2018] * [[:en:TzNIC|tzNIC]], registry for the .tz domain {{Clear}} [[Jamii:Mawasiliano]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] me5lwqnh1cysrbx0qkavv86ljowa2ti 1233861 1233859 2022-07-20T12:39:32Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Mawasiliano ya simu nichini Tanzania''' yanahusisha pamoja [[redio]], [[televisheni]], [[simu]] za [[meza|mezani]] na [[simu za mkononi]], na [[intaneti]] jinsi yanavyopatikana [[Tanzania]] Bara na [[Zanzibar|Visiwani]]. == Kanuni na leseni == Mwaka wa elfu mbili na tano, Bara ya Tanzania, lakini si Zanzibar, lilibadilisha mfumo wake wa kutoa [[leseni]] kwa ajili ya [[mawasiliano]] ya [[umeme]], ambayo yaliifanya mfano wa mbinu za [[upelelezi]] wa mafanikio nchini [[Malaysia]] mwishoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini ambapo leseni za "wima" za jadi (haki ya kutumia telecom au utangazaji mtandao, na haki ya kutoa huduma kwenye mtandao huo) inabadilishwa na leseni "za usawa" (haki ya kutumia mitandao ya simu na utangazaji, na leseni tofauti inayotakiwa kutoa huduma kwenye kila mtandao). Inaitwa "mfumo wa leseni (CLF)", marekebisho haya yalikuwa ya kwanza ya aina yake kutekeleza katika bara la Afrika na inaruhusuwawekezaji kuzingatia eneo lao la utaalamu (yaani kituo cha mtandao, huduma za mtandao, huduma za maombi) katika sekta tofauti (yaani mawasiliano ya simu, utangazaji, mtandao). Mageuzi haya lazima, kati ya mambo mengine, kuwezesha huduma za simu juu ya mitandao ya televisheni ya cable, huduma za televisheni juu ya mitandao ya mawasiliano ya simu, na huduma za mtandao juu ya aina zote za mitandao.<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A0-1|[1]]]</sup> Chini ya mfumo wa leseni kuna makundi manne ya leseni zinazopatikanaː<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A0-1|[1]]]</sup> * Kituo cha mtandao, utoaji wa kipengele chochote au mchanganyiko wa miundombinu ya kimwili inayotumiwa hasa, au kuhusiana na, utoaji wa huduma na matumizimengine, lakini sio pamoja na vifaa vya majengo ya wateja; * Huduma ya mtandao, huduma ambayo hutoa habari kwa namna ya hotuba au sauti, data, maandishi au picha, ama moja kwa moja au kwa usahihi, lakini si huduma ya wateja mtandaoni; * Huduma ya maombi, kuuza tena huduma za mawasiliano ya umeme kwa watumiaji wa mwisho; na * Huduma ya ubora, huduma zinazotolewa kwa sauti, maandishi au picha ikiwa hazihamishi au kusonga isipokuwa zinazotumiwa katika mawasiliano ya kibinafsi. Katika mwaka elfu mbili kumi na tatu kulikuwa na:<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A13-2|[2]]]</sup> * Waendeshaji wa ishirini na moja wa kituo cha mtandao: nane kimataifa na kitaifa, kumi na moja kitaifa, na mbili kikanda; * Waendeshaji wa kumi na saba wa huduma cha mtandao: nane kimataifa na kitaifa, sita kitaifa, na tatu kikanda; * Waendeshaji wa tisini na moja wa huduma cha maombi: moja kimataifa, kumi na tano kimataifa na kitaifa, hamsini na mbili kitaifa, kumi na moja kikanda, na mbili wilaya; * Waendeshaji wa themanini na tano wa huduma ya redio: sita kitaifa na biashara, kumi kikanda na kibiashara, saba kikanda na yasiyo ya kibiashara, thelathini wilaya na kibiashara, na wilaya ishirini na tisa na yasiyo ya kibiashara; * Waendeshaji wa thelathini wa huduma ya televisheni: tano kitaifa na kibiashara, nne kanda na ya kibiashara, moja kanda na isiyo ya kibiashara, sita wilaya na ya biashara, na kumi na saba wilaya na isiyo ya biashara. Orodha kamili ya leseni na makandarasi inapatikana kutoka kwenye tovuti ya mamlaka ya mawasiliano ya udhibiti Tanzania.<sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A13-2|[2]]]</sup> == Redio na televisheni == * Kituo cha redio cha kitaifa na vituo vya redio binafsi vya zaidi ya arobani vinatumiwa (mwaka wa elfu mbili na saba).<ref name=":2">{{Cite web|url=https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html|title=Africa :: Tanzania — The World Factbook - Central Intelligence Agency|website=www.cia.gov|access-date=2019-03-04|accessdate=2019-03-04|archivedate=2020-11-27|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201127225447/https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html}}</ref> * Kituo cha televisheni cha kitaifa na vituo vingi vya televisheni binafsi vinatumiwa (mwaka wa elfu mbili na saba). <ref name=":2" /> * Matangazo ya watangazaji kadhaa wa kimataifa (mwaka wa elfu mbili na saba).<ref name=":2" /> Kuna vikwazo vya serikali kwenye utangazaji katika lugha za kikabila.<ref name=":34">{{Cite web|url=https://www.state.gov/j/drl/rls/hrrpt/2012humanrightsreport/index.htm?year=2012&dlid=204176|title=Country Reports on Human Rights Practices for 2012|website=www.state.gov|access-date=2019-03-04}}</ref> Serikali ya utawala wa Zanzibari ina matangazo ya redio na faragha ya umma na binafsi katika visiwa vyake. Hata kwa eneo la televisheni ya serikali kutoka bara, kulikuwa na ucheleweshaji katika idhini, na kuruhusu wachunguzi wa Zanzibari kuingilia kati. Hata hivyo, vituo vya redio vya Zanzibar hufanya kazi kwa kujitegemea, mara kwa mara kusoma masomo yaliyomo katika habari za kitaifa, ikiwa ni pamoja na makala muhimu za serikali ya Zanzibar. <sup>[[Mawasiliano ya simu nchini Tanzania#cite%20note-%3A34-4|[4]]]</sup> == Angalia pia == * [[:en:Tanzania_Communications_Regulatory_Authority|Mamlaka ya Kudhibiti Mawasiliano ya Tanzania]] * [[:en:Tanzania_Internet_eXchange|Kubadilishana internet ya Tanzania]] * [[:en:List_of_terrestrial_fibre_optic_cable_projects_in_Africa|Miradi ya duniani ya fibre optic cable nchini Tanzania]] * [[:en:Media_of_Tanzania|Vyombo vya habari vya Tanzania]] * [[:en:List_of_newspapers_in_Tanzania|Orodha ya magazeti nchini Tanzania]] == Marejeo == * Makala hii inashirikisha [[:en:Copyright_status_of_works_by_the_federal_government_of_the_United_States|nyenzo za kikoa cha umma]] kutoka [[:en:The_World_Factbook|CIA World Factbook]] document [https://www.cia.gov/library/publications/download/download-2014/index.html "2014 edition"] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/download/download-2014/index.html |date=20190214171559 }}. * Makala hii inashirikisha [[:en:Copyright_status_of_works_by_the_federal_government_of_the_United_States|nyenzo za kikoa cha umma]] kutoka kwenye tovuti au nyaraka za [[:en:United_States_Department_of_State|Idara ya Serikali ya Nchi za Umoja.]] ==Tanbihi== {{reflist}} == Kusoma zaidi == * {{Cite book|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf|title=Rural Access: Options and Challenges for Connectivity and Energy in Tanzania|last=Suhail Sheriff|date=July 2007|publisher=Sharing With Other People Network (SWOPnet)/[[International Institute for Communication and Development]] (IICD)|pages=40|access-date=2019-03-04|archive-date=2013-05-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20130511162806/http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf|dead-url=yes}} {{Wayback|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2007-Suhail-Sheriff.pdf |date=20130511162806 }} * {{Cite book|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf|title=Rural connectivity in Tanzania: Options and challenges|last=Suhail Sheriff|date=March 2007|publisher=[[International Institute for Communication and Development]] (IICD)|pages=16|access-date=2019-03-04|archive-date=2013-05-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20130511162833/http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf|dead-url=yes}} {{Wayback|url=http://www.iicd.org/files/Rural-Connectivity-Tz-2006.pdf |date=20130511162833 }} == Viungo vya nje == * [[:en:Tanzania_Communications_Regulatory_Authority|Tanzania Communications Regulatory Authority]] * [./https://en.wikipedia.org/wiki/The_Electronic_and_Postal_Communications_(Online_Content)_Regulations,_2018 The Electronic and Postal Communications (Online Content) Regulations, 2018] * [[:en:TzNIC|tzNIC]], registry for the .tz domain {{Clear}} [[Jamii:Mawasiliano]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] m7rdbfj7glttr9rpuzwzx8nxhp4p6ul DStv 0 112270 1233903 1096670 2022-07-20T13:44:47Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:DStv logo 2012.jpg|thumb|DStv.]] '''DStv''' ([[kifupi]] cha: '''Digital Satellite Television''') ni [[kampuni]] ya kutangaza huduma za [[satelaiti]] inayomilikiwa na [[MultiChoice]]. Huduma hiyo ilizinduliwa [[mwaka]] [[1995]] na hutoa huduma nyingi kwa wanachama wao, ambao kwa sasa ni [[idadi]] ya karibu [[milioni]] 11.9. Wengi wa wanachama wako [[Afrika Kusini]], [[Nigeria]], [[Kenya]], [[Ghana]], [[Angola]], [[Zimbabwe]], [[Zambia]], [[Uganda]], [[Mauritius]], [[Msumbiji]], [[Tanzania]], [[Lesotho]], [[Ethiopia]], [[Jamhuri ya Kongo]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Gabon]], [[Swaziland]] na [[Botswana]] ambayo pia inahudumiwa na kampuni hiyo. {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Makampuni ya Afrika Kusini]] [[Jamii:Kifupi]] pnev1kmrxh9u0bgwig3ebn7861le94m Barakoa 0 115267 1233937 1116809 2022-07-20T18:56:10Z 154.74.127.121 wikitext text/x-wiki Barakoa, ni neno ambalo maana sawa na Mpini ==Aina== Kuna barakoa za kiutamaduni na [[barakoa za kinga]]. Mfano mmoja wa barakoa za kiutamaduni ni [[Sirige|Barakoa ya Sirige]] ya [[Wadogon]] wa [[Mali]]. Pia ni [[nguo]] ya [[wanawake]] wa [[Kiislamu]] ambayo wanaivaa kwenye [[paji la uso|mapaji ya nyuso]] zao pamoja na [[buibui]], ijulikanayo kama "burqa". [[Barakoa za kinga]] zinavaliwa kwa shughuli mbalimbali, zikilenga kuzuia au kupunguza athira hatari za [[vumbi]], [[gesi]], [[hewa chafu]] au [[viini vya ugonjwa]]. Tangu kutokea kwa [[Virusi vya Corona|ugonjwa wa corona]] matumizi yake yameongezeka sana katika nchi nyingi za [[Dunia]]. {{mbegu-utamaduni}} [[Jamii:Mavazi]] [[Jamii:Uislamu]] [[Jamii:Afya]] aezm4a0b2wrsffr9uu73wctj4sbnxcz 1233946 1233937 2022-07-21T07:07:21Z Kipala 107 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/154.74.127.121|154.74.127.121]] ([[User talk:154.74.127.121|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki [[Picha:African native mask (28132375682).jpg|thumb|Barakoa ya Kiafrika.]] '''Barakoa''' (pia: '''barkoa''') ni [[kitambaa]] au [[kinyago]] kinachovaliwa [[Uso|usoni]] au [[Kichwa|kichwani]] chenye [[tundu]] kwenye [[macho]], [[pua]] na [[mdomo]] linalotumiwa kukinga uso. ==Aina== Kuna barakoa za kiutamaduni na [[barakoa za kinga]]. Mfano mmoja wa barakoa za kiutamaduni ni [[Sirige|Barakoa ya Sirige]] ya [[Wadogon]] wa [[Mali]]. Pia ni [[nguo]] ya [[wanawake]] wa [[Kiislamu]] ambayo wanaivaa kwenye [[paji la uso|mapaji ya nyuso]] zao pamoja na [[buibui]], ijulikanayo kama "burqa". [[Barakoa za kinga]] zinavaliwa kwa shughuli mbalimbali, zikilenga kuzuia au kupunguza athira hatari za [[vumbi]], [[gesi]], [[hewa chafu]] au [[viini vya ugonjwa]]. Tangu kutokea kwa [[Virusi vya Corona|ugonjwa wa corona]] matumizi yake yameongezeka sana katika nchi nyingi za [[Dunia]]. {{mbegu-utamaduni}} [[Jamii:Mavazi]] [[Jamii:Uislamu]] [[Jamii:Afya]] roggma1bp71e24gohvmtkg3pl0m6ber Iddy Nado 0 119366 1233858 1093659 2022-07-20T12:34:35Z 41.222.180.171 wikitext text/x-wiki '''Iddy Nado''' (alizaliwa [[3 Novemba]] [[1995]])Mkoa wa Dodoma wilaya ya KONDOA ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Tanzania]] ambaye anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa [[klabu]] ya [[Azam F.C.]] iiliyopo katika Ligi Kuu ya [[Tanzania]]. {{mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:waliozaliwa 1995]] [[Jamii:watu walio hai]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Tanzania]] 2s6o8btd9bvwfahdg0dcog7t2gcul39 Mlipuko wa virusi vya corona 2019-20 0 121175 1233912 1233569 2022-07-20T14:05:07Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 4 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki [[Picha:COVID-19-outbreak-timeline.gif|alt=|thumb|450px|Mlipuko wa Virusi vya Korona duniani.]] [[File:Stop the Spread of Germs updated (Swahili).pdf|thumb|Ukomeshaji uenezi wa viini.]] '''Mlipuko wa Virusi vya Korona''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Coronavirus'') ulibainika rasmi [[tarehe]] za katikati za mwezi Desemba [[mwaka]] [[2019]] katika [[mji]] wa [[Wuhan]] huko China ya kati. Ulikuwa kikundi cha watu wenye [[nimonia]] bila chanzo kinachoeleweka. Ulibanika baadaye kama aina mpya ya [[Virusi vya corona|virusi vya korona]].<ref name="Hui14Jan2020">{{Cite journal|last=Hui|first=David S.|last2=Azhar|first2=Esam EI|last3=Madani|first3=Tariq A.|last4=Ntoumi|first4=Francine|last5=Kock|first5=Richard|last6=Dar|first6=Osman|last7=Ippolito|first7=Giuseppe|last8=Mchugh|first8=Timothy D.|last9=Memish|first9=Ziad A.|last10=Drosten|first10=Christian|last11=Zumla|first11=Alimuddin|date=14 January 2020|title=The continuing epidemic threat of novel coronaviruses to global health – the latest novel coronavirus outbreak in Wuhan, China|url=https://www.ijidonline.com/article/S1201-9712(20)30011-4/pdf |journal=International Journal of Infectious Diseases|language=English|volume=91|issue=|pages=264–266|doi=10.1016/j.ijid.2020.01.009|issn=1201-9712|via=}}</ref><ref name="promedmail">{{cite web|title=Undiagnosed pneumonia - China (HU) (01): wildlife sales, market closed, RFI Archive Number: 20200102.6866757|url=https://promedmail.org/promed-post/?id=6866757|website=Pro-MED-mail|publisher=International Society for Infectious Diseases|accessdate=13 January 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20200122124653/https://promedmail.org/promed-post/?id=6866757|archive-date=22 January 2020|url-status=live}}</ref><ref name="Cohen17Jan2020">{{Cite journal|last=Cohen|first=Jon|last2=Normile|first2=Dennis|date=17 January 2020|title=New SARS-like virus in China triggers alarm|url=https://science.sciencemag.org/content/367/6475/234|journal=Science|language=en|volume=367|issue=6475|pages=234–235|doi=10.1126/science.367.6475.234|issn=0036-8075|pmid=31949058|via=|url-access=subscription|access-date=17 January 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20200117100226/https://science.sciencemag.org/content/367/6475/234|archive-date=17 January 2020|url-status=live}}</ref><ref name="Parry20Jan2020">{{Cite journal|last=Parry|first=Jane|date=20 January 2020|title=China coronavirus: cases surge as official admits human to human transmission|url=https://www.bmj.com/content/368/bmj.m236|journal=British Medical Journal|volume=368|pages=|doi=10.1136/bmj.m236|issn=1756-1833|via=|url-access=subscription}}</ref> [[Tarehe]] [[20 Januari]] [[2020]] [[Waziri Mkuu]] wa [[Uchina]] [[Li Keqiang]] alitoa wito wa kutia [[juhudi]] katika kukomesha na kudhibiti [[janga]] la nimonia lililosababishwa na virusi vya korona.<ref name="Premier urged">{{Cite web|url=https://www.chinadaily.com.cn/a/202001/21/WS5e26556ca31012821727269c.html|title=Chinese premier stresses curbing viral pneumonia epidemic|location=[[Beijing]]|website=[[China Daily]]|publisher=[[Xinhua News Agency]]|date=21 January 2020|access-date=22 January 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20200122124640/https://www.chinadaily.com.cn/a/202001/21/WS5e26556ca31012821727269c.html|archive-date=22 January 2020|url-status=live}}</ref> Kufikia tarehe 23 Machi, 2020, kesi 337,000 zimethibitishwa,<ref>{{Cite web|title=Hali ilivyo kuhusu Corona duniani {{!}} DW {{!}} 23.03.2020|url=https://www.dw.com/sw/hali-ilivyo-kuhusu-corona-duniani/a-52885838|work=DW.COM|accessdate=2020-03-23|language=sw-TZ|author=Deutsche Welle (www.dw.com)}}</ref> Kufikia tarehe 5 Februari 2020, vifo 493 vilitokana na virusi hivyo tangu kifo cha kwanza kilichothibitishwa Januari 9, na watu 990 waliopona. <ref name="QinNYT11Jan20202">{{Cite news |url=https://www.nytimes.com/2020/01/10/world/asia/china-virus-wuhan-death.html |title=China Reports First Death From New Virus |last=Qin |first=Amy |date=10 January 2020 |work=[[The New York Times]] |access-date=11 January 2020 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20200111020017/https://www.nytimes.com/2020/01/10/world/asia/china-virus-wuhan-death.html |archive-date=11 January 2020 |last2=Hernández |first2=Javier C. |issn=0362-4331}}</ref> Kifo cha kwanza nje ya Uchina kiliripotiwa tarehe 1 Februari nchini [[Ufilipino]], kilikuwa ni kifo cha mwanamume wa Kichina mwenye [[umri]] wa miaka 44. Kumekuwa na majaribio ambayo yameonyesha kesi zaidi ya 6000 zilizothibitishwa nchini Uchina, ambazo baadhi zao ni za [[wafanyakazi]] wa [[huduma ya afya]].<ref name="Field22Jan2020">{{Cite news|url=https://www.washingtonpost.com/world/asia_pacific/nine-dead-as-chinese-coronavirus-spreads-despite-efforts-to-contain-it/2020/01/22/1eaade72-3c6d-11ea-afe2-090eb37b60b1_story.html|title=Nine dead as Chinese coronavirus spreads, despite efforts to contain it|last=Field|first=Field|date=22 January 2020|work=The Washington Post|access-date=22 January 2020|url-status=live}}</ref> Katikati ya Februari 2020 maswali mengi kuhusu virusi hivi vilibaki bila jibu, lakini [[Shirika la Afya Duniani]] lilitoa tathmini kuwa<ref>[https://edition.cnn.com/2020/02/17/health/novel-coronavirus-surfaces-study/index.html Here's how long coronaviruses may linger on contaminated surfaces, according to science], tovuti ya CNN, tar 18-02-2020</ref> * zaidi ya asilimia 80 za wagonjwa huonekana kuwa na ugonjwa mwepesi, wanapona * kati ya asilimia za wagonjwa kuna maambukizi mazito yanayosababisha matatizo ya kupumua, hata [[nimonia]], na asilimia 15 kudai walazwe hospitalini * takriban asilimia 5 huwa na magonjwa hatari * mnamo asilimia 2 hufa; hatari ya kifo inapatikana hasa kwa wazee, kuna mfano michache ya watoto. Baadaye imeonekana kwamba [[kiwango cha vifo]] si kubwa vile, labda kati ya % 0.5 hadi 1 lakini si rahisi kutaja kiwango kwa uhakika kwa sababu wengi walioambukizwa hawajulikani. * utafiti wa ziada bado unahitajika * kuna dalili kwamba virusi vya [[Covid-19]] vinaweza kudumu hadi siku 8 kwenye uso wa kitu kilichoguswa na mgonjwa na bado kusababisha maambukizi Kufikia tarehe 11 Julai 2020, zaidi ya watu milioni 12.5 walithibitishwa kupatwa na COVID‑19 katika nchi na maeneo 188 duniani kote. Kati yao waliofariki ni zaidi ya 560,000 na waliopona ni zaidi ya milioni 6.89. Kufikia tarehe 15 Aprili [[2022]], WHO ilitangaza kuwa walitohibitishwa kuambukizwa ni 500.186.525, na kati yao 6.190.349 wamefariki, Marekani ikiwa nchi iliyoathiriwa zaidi (79.71 milioni walioambukizwa na 979.321 waliofariki, karibu 16% ya jumla ya dunia nzima), ikifuatwa na India (zaidi ya maambukizi milioni 43, na vifo 521.737) na Brazil (zaidi ya maambukizi milioni 30, na vifo 661.493). == Historia == Kuna nadharia kadhaa kuhusu kesi ya kwanza ilitoka lini. Kwa mujibu ya ripoti ya serikali ya Uchina isiyochapishwa, kesi ya kwanza inaweza kufuatiliwa mnamo 17 Novemba 2019; mtu huyo alikuwa raia wa jimbo la Hubei wenye miaka 55. Kulikuwa na wanaume wanne na wanawake watano walioripotiwa kuambukizwa mwezi Novemba, lakini wao wote si kesi ya kwanza. Kuanzia mwezi Desemba, idadi ya kesi huko Hubei iliongezeka pole pole, kufikia 60 mnamo 20 Desemba na angalau 266 mnamo 31 Desemba. Kwa mujibu ya vyanzo rasmi vya Kichina, nyingi za kesi hazikuunganishwa na soko la samaki, lililouza wanyama hai. Mwezi Mei 2020, George Gao, Mkurugenzi wa kituo cha Kichina kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia magonjwa (CDC), alisema sampuli za wanyama zilizokusanyika sokoni humo zilipima hasi kwa virusi hivyo, kuonyesha kwamba ingawa soko lilikuwa chanzo cha kesi nyingi, halikuwa chanzo cha mlipuko wa kwanza. <ref>{{Cite web|title=Who is 'patient zero' in the coronavirus outbreak?|url=https://www.bbc.com/future/article/20200221-coronavirus-the-harmful-hunt-for-covid-19s-patient-zero|work=www.bbc.com|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Fernando Duarte}}</ref> <ref>{{Cite web|title=China’s first confirmed Covid-19 case traced back to November 17|url=https://www.scmp.com/news/china/society/article/3074991/coronavirus-chinas-first-confirmed-covid-19-case-traced-back|work=South China Morning Post|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> <ref>{{Citation|last=Areddy|first=James T.|title=China Rules Out Animal Market and Lab as Coronavirus Origin|date=2020-05-26|url=https://www.wsj.com/articles/china-rules-out-animal-market-and-lab-as-coronavirus-origin-11590517508|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-11}}</ref> Mnamo 24 Desemba, hospitali kuu ya Wuhan ilitumia maabara ya Vision sampuli. Tarehe 27 na 28 Desemba, Vision ilitoa taarifa hospitali hiyo na CDC ya kichina, ikionyesha virusi vipya. Kundi la nimonia yenye sababu isiyojulikana liliangaliwa tarehe 26 Desemba na kutibiwa na daktari Zhang Jixian katika hospitali Hubei Provincial, na aliambia Wuhan CDC tarehe 27 Desemba juu ya kundi hilo. Tarehe 30 Desemba, ripoti ya kupima iliyotumia hospitali ya Wuhan kutoka maabara CapitalBio Medlab iliripoti matokeo ya chanya kwa SARS, lakini hayo hayakuwa sahihi, iligunduliwa baadaye.<ref>{{Cite web|title=404_财新网|url=https://other.caixin.com/404/|work=other.caixin.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Cite web|title=24h精彩新闻_新闻中心_中华网|url=https://news.china.com/paihang/?404|work=news.china.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> Ripoti hiyo ilisababisha kundi la madaktari katika hospitali ya Wuhan Central kutoa tahadhari kwa wenzao na mamlaka ya hospitali juu ya matokeo. Jioni hiyo, Tume ya afya ya Wuhan ilitoa taarifa taasisi mbalimbali za afya juu ya "matibabu ya nimonia yenye sababu isiyojulikana". Manane wa madaktari hao, wakiwemo Li Wenliang, baadaye walionywa na polisi kwa kueneza “uvumi wa uongo,” na mwengine, Ai Fen, alikemewa na wakuu wake kwa kupiga king’ora .Serikali ya Uchina iliwaadhibu Ai Fen, Li Wengliang, na madaktari wengine ambao walijaribu kuonya umma mwezi Desemba kuhusu virusi hivyo. Li Wengliang alikufa kutokana na COVID-19 tarehe 7 Februari. Hospitali zote nchini ziliweka chini ya utawala wa chama cha kikomunist mwaka 2018 <ref>{{Citation|last=Yu|first=Verna|title='Hero who told the truth': Chinese rage over coronavirus death of whistleblower doctor|date=2020-02-07|url=https://www.theguardian.com/global-development/2020/feb/07/coronavirus-chinese-rage-death-whistleblower-doctor-li-wenliang|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Citation|last=Kuo|first=Lily|title=Coronavirus: Wuhan doctor speaks out against authorities|date=2020-03-11|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/11/coronavirus-wuhan-doctor-ai-fen-speaks-out-against-authorities|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> Tume ya afya ya Wuhan ilitangaza habari za ugonjwa wa mapafu wenye sababu isiyojulikana tarehe 31 Desemba, na kuthibitisha kesi 27 — kutosha ili kuanzisha uchunguzi. <ref>{{Citation|title=Mystery pneumonia virus probed in China|date=2020-01-03|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-china-50984025|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Wakati wa awamu za mapema za mlipuko, idadi ya kesi iliongezeka mara mbili kila siku saba na nusu. <ref>{{Cite journal|last=Li|first=Qun|last2=Guan|first2=Xuhua|last3=Wu|first3=Peng|last4=Wang|first4=Xiaoye|last5=Zhou|first5=Lei|last6=Tong|first6=Yeqing|last7=Ren|first7=Ruiqi|last8=Leung|first8=Kathy S.M.|last9=Lau|first9=Eric H.Y.|date=2020-03-26|title=Early Transmission Dynamics in Wuhan, China, of Novel Coronavirus–Infected Pneumonia|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7121484/|journal=The New England Journal of Medicine|volume=382|issue=13|pages=1199–1207|doi=10.1056/NEJMoa2001316|issn=0028-4793|pmc=7121484|pmid=31995857}}</ref>Mnamo mwanzo na katikati ya Januari 2020, virusi vilienea hadi mikoa mingine ya Kichina, kusaidiwa na uhamiaji kuhusu siku kuu ya mwaka mpya ya kichina kwa sababu Wuhan ni kitovu kikubwa cha usafiri. <ref>{{Citation|title=COVID-19 pandemic|date=2020-09-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=COVID-19_pandemic&oldid=977891670|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref>Tarehe 20 Januari, Uchina iliripoti kesi mpya karibu na 140 kwa siku moja, zikiwemo watu wawili mjini Beijing na mmoja huko Shenzhen.<ref>{{Cite web|title=China confirms sharp rise in cases of SARS-like virus across the country|url=https://www.france24.com/en/20200120-china-confirms-sharp-rise-in-cases-of-sars-like-virus-across-the-country|work=France 24|date=2020-01-20|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Baadaye takwimu rasmi zilionyesha watu 6,174 tayari wameshakuwa na dalili, na watu zaidi huenda waliambukizwa.<ref>{{Cite journal|last=Team|first=The Novel Coronavirus Pneumonia Emergency Response Epidemiology|date=2020-02-01|title=The Epidemiological Characteristics of an Outbreak of 2019 Novel Coronavirus Diseases (COVID-19) — China, 2020|url=http://weekly.chinacdc.cn/en/article/doi/10.46234/ccdcw2020.032|journal=China CDC Weekly|language=en|volume=2|issue=8|pages=113–122|doi=10.46234/ccdcw2020.032|issn=2096-7071}}</ref> Ripoti ya Lancet tarehe 24 Januari iliashiria maambukizo miongoni mwa binadamu, ilipendekeza sana vifaa vya kinga binafsi kwa wafanyakazi wa afya, na kusema kupima kwa virusi kulikuwa muhimu kutokana na "uwezekano wa janga".<ref>https://www.thelancet.com/action/showPdf?pii=S0140-6736%2820%2930183-5</ref> Tarehe 30 Januari, shirika la WHO lilitangaza Coronavirus vilikuwa dharura ya afya ya kimataifa. <ref>{{Citation|title=Flattery and foot dragging: China’s influence over the WHO under scrutiny|url=https://www.theglobeandmail.com/world/article-flattery-and-foot-dragging-chinas-influence-over-the-who-under/|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 31 Januari 2020, Italia ilikuwa na kesi zake za kwanza zilizothibitishwa, watalii wawili waliotoka Uchina. Kuanzia tarehe 13 Machi 2020, shirika la WHO lilizingatia Ulaya kama katikati ya janga.<ref>{{Cite web|title=WHO says Europe is new epicenter of coronavirus pandemic|url=https://nypost.com/2020/03/13/who-says-europe-is-new-epicenter-of-coronavirus-pandemic/|work=New York Post|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Bob Fredericks}}</ref> Tarehe 19 Machi 2020, Italia ilipitisha Uchina kama nchi yenye vifo vingi zaidi. Tarehe 26 Machi, Marekani ilipitisha Uchina na Italia kama nchi yenye idadi kubwa zaidi ya kesi zilizothibitishwa duniani.<ref>{{Citation|last=Jr|first=Donald G. McNeil|title=The U.S. Now Leads the World in Confirmed Coronavirus Cases|date=2020-03-26|url=https://www.nytimes.com/2020/03/26/health/usa-coronavirus-cases.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref> Utafiti unaonyesha kesi nyingi zaidi mjini [[Janga la Covid-19 Jiji la New York|New York]] zilitoka wasafiri wanaotoka Ulaya, badala ya kutoka Uchina au nchi nyingine za Asia.<ref>{{Citation|title=Studies Show N.Y. Outbreak Originated in Europe|date=2020-04-08|url=https://www.nytimes.com/2020/04/08/us/coronavirus-live-updates.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref> Upimaji upya wa sampuli zilizokusanyika mapema uligundua mtu mmoja nchini Ufaransa ambaye alikuwa na virusi tarehe 27 Desemba 2019 na mtu mmoja huko Marekani ambaye alikufa kutokana na COVID-19 tarehe 6 Februari 2020. <ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=After retesting samples, French hospital discovers COVID-19 case from December|date=2020-05-04|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-france-idUSKBN22G20L|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Cite web|title=2 died with coronavirus weeks before 1st U.S. virus death|url=https://www.pbs.org/newshour/nation/2-died-with-coronavirus-weeks-before-1st-u-s-virus-death|work=PBS NewsHour|date=2020-04-22|accessdate=2020-09-11|language=en-us}}</ref> Zaidi ya nchi 120 zimeunga mkono uchunguzi wa asili ya mlipuko wa COVID-19. Mwanzoni Uchina ilipambana na juhudi zao na ilitisha kulipiza kisasi cha kiuchumi kwa nchi zilizotoa mwito huu. Lakini mnamo Mei Uchina hatimaye ilikubali kushirikiana na uchunguzi huo. <ref name=":1">"The Great Wall of Silence," ''The Australian'', 8 May 2020.</ref> Mnamo 11 Septemba 2020, zaidi ya kesi milioni 28.2 zimeripotiwa kote duniani; zaidi ya watu 910,000 wamekufa na zaidi ya watu milioni 19 wamepona.<ref name=":0">{{Cite web|title=ArcGIS Dashboards|url=https://www.arcgis.com/apps/opsdashboard/index.html#/bda7594740fd40299423467b48e9ecf6|work=www.arcgis.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> ==Uenezi wa Covid-19 nje ya China== [[Picha:COVID-19 Outbreak World Map.svg|350px|thumb|Uenezi wa virusi vya SARS-Covid-19 duniani (ramani inasahihishwa kila siku)</br>Idadi ya watu waliothibitishwa kuwa na maambukizi</br> {{legend|#510000| zaidi ya 10,000}} {{legend|#900000| 1,000–9,999}} {{legend|#c80200| 100–999}} {{legend|#ee7070| 10–99}} {{legend|#ffC0C0| 1–9}} <small>(Tarehe 16 Machi mtu wa kwanza alipatikana nchini Tanzania)</small>]] [[Picha:COVID-19-outbreak-timeline.gif|alt=|thumb|350px|Mlipuko wa Virusi vya Corona duniani hadi 2 Machi 2020.]] Hadi mwisho wa Januari 2020 takriban watu 10,000 waliambukizwa, idadi ya vifo ilikuwa mnamo 200. Virusi vilienea hadi nchi nyingine kwa njia ya [[abiria]] wa [[Ndege (uanahewa)|ndege]] za kimataifa. Wakazi wa Wuhan na miji mingine ya China yenye wagonjwa wamekataliwa kuondoka kwao baada ya hali ya [[karantini]] kutangazwa.<ref>[https://www.pulselive.co.ke/bi/politics/5-million-people-left-wuhan-before-china-quarantined-the-city-to-contain-the/l5hye6y 5 million people left Wuhan before China quarantined the city to contain the coronavirus outbreak], taarifa ya gazeti Business Insider USA, kupitia www.pulselive.co.ke, tarehe 27-01-2020</ref>. [[Maambukizi]] ya kwanza ya ndani ya virusi hivi nje ya Uchina yalitokea [[Vietnam]] kati ya [[wanafamilia]],<ref name=scmp3048017>{{Cite web |url=https://www.scmp.com/week-asia/economics/article/3048017/china-coronavirus-vietnam-flags-likely-human-transmission-case |title=China coronavirus: 'family cluster' in Vietnam fuels concerns over human transmission |date=29 January 2020 |website=South China Morning Post |access-date=29 January 2020}}</ref> wakati maambukizi ya kwanza ya ndani ambayo hayakuhusisha [[familia]] yalitokea [[Ujerumani]], tarehe 22 Januari, wakati [[mwanamume]] mmoja wa Kijerumani alipata ugonjwa huo kutoka kwa mgeni wa [[China]] kwenye kikao cha [[biashara]].<ref name=dw52169007>{{Cite web |url=https://www.dw.com/en/germany-confirms-human-transmission-of-coronavirus/a-52169007 |title=Germany confirms human transmission of coronavirus |date=28 January 2020 |publisher=Deutsche Welle |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20200128220039/https://www.dw.com/en/germany-confirms-human-transmission-of-coronavirus/a-52169007 |archive-date=28 January 2020 |access-date=29 January 2020}}</ref> Kesi nyingine zilizothibitishwa mapema ziliripotiwa huko [[Thailand]], [[Korea Kusini]], [[Japani]], [[Taiwani]], [[Makau]], [[Hong Kong]], [[Marekani]] ([[Everett]], [[Washington]] na [[Chicago]]),<ref name=Field22Jan2020/> [[Singapore]], <ref name="ST23Jan">{{cite web |last1=Goh |first1=Timothy |last2=Toh |first2=Ting Wei |title=Singapore confirms first case of Wuhan virus; second case likely |url=https://www.straitstimes.com/singapore/health/singapore-confirms-first-case-of-wuhan-virus |website=The Straits Times |accessdate=23 January 2020 |date=23 January 2020}}</ref> Vietnam, [[Ufaransa]]<ref>{{Cite web|url=https://www.independent.co.uk/news/world/europe/coronavirus-france-china-wuhan-virus-symptoms-outbreak-latest-a9301106.html|title=France confirms two cases of deadly coronavirus|date=2020-01-24|website=The Independent|language=en|access-date=2020-01-24}}</ref>, [[Italia]] na [[Nepali]]. Katika Februari 2019 virusi viliendelea kuenea nje ya China, kupitia watu waliosafiri baina ya China na nchi nyingine. Tabia ya virusi kutosababisha ugonjwa mkali kwa wengi ilikuwa msingi kwa uenezaji usiotambuliwa mwanzoni hadi kufikia watu waliogonjeka vibaya. Milipuko ya kwanza ilionekana katika [[Iran]]<ref>[https://www.theguardian.com/world/2020/feb/23/turkey-and-pakistan-close-borders-with-iran-over-coronavirus-deaths Turkey and Pakistan close borders with Iran ove Coronavirus deaths], gazeti la Guardian (UK) ya 23 Feb 2020</ref>, [[Korea Kusini]]<ref>[https://www.theguardian.com/world/2020/feb/25/coronavirus-south-korea-to-test-200000-sect-members-as-pandemic-fears-hit-markets Coronavirus: South Korea to test 200,000 sect members as pandemic fears hit markets], gazeti la Guardian (UK) ya 25 Feb 2020 </ref> na [[Italia]]<ref>[https://www.bbc.com/news/uk-51625733 Coronavirus: Britons returning from northern Italy told to self-isolate],BBC ya 25 Feb 2020 </ref> ambako serikali zilitangaza hali ya karantini kwa maeneo kadhaa. Kufikia mwisho wa mwezi huo, wagonjwa wa nchi nyingine kwa pamoja walikuwa wamezidi wale wa China. Katika Machi 2020 idadi ya maambukizi mapya ilipungua nchini China na Korea Kusini lakini iliongezeka Ulaya na kuanza kusambaa [[Marekani]]. Katika Ulaya Italia ilikuwa nchi iliyoathiriwa vibaya zaidi; serikali ilifunga shule zote pamoja na maduka yasiyo ya chakulas na dawa na kupiga marufuku mikusanyiko yote, ikiwemo ile ya ibada. Hatua kama hizo zilichukuliwa pia katika nchi nyingine. Katika [[Asia ya Magharibi]] nchi iliyoathiriwa vibaya zaidi ni Iran. Kwa jumla si rahisi kupata picha kamili ya uenezi halisi wa virusi hivi. Ilhali dalili za ugonjwa zinafanana na mafua ya kawaida na kifua kikuu, inawezekana mara nyingi maambukizi hayakutambuliwa. Kwa sababu hiyo makadirio ya asilimia ya watu wanaokufa yanatofautiana kati ya nchi na nchi. Tarehe 11 Machi 2020 Shirika la Afya Duniani ilitamka uenezi wa virusi umefikia ngazi ya [[pandemia]], yaani [[epidemia]] (mlipuko) katika nchi nyingi za dunia<ref>[https://www.who.int/emergencies/diseases/novel-coronavirus-2019/events-as-they-happen WHO characterizes COVID-19 as a pandemic], tovuti ya WHO, iliangaliwa 12 Machi 2020</ref>. Katikati ya mwezi Machi 2020 idadi ya wagonjwa iliongezeka sana katika nchi za Ulaya. Marekani ilizuia wasafiri kutoka Ulaya kuingia. Nchi mbalimbali, pamoja na Ujerumani, zilianza kufunga shule na kukataza mikutano yote yaliyolenga zaidi ya watu 100-500, kwa hiyo kufunga mechi za mpira wa miguu au michezo mingine, pamoja na hoteli na sinema. Kampuni mbalimbali ziliamuru wafanyakazi kukaa nyumbani na kutekeleza shughuli kupitia kompyuta pekee. Tarehe 14 Machi Denmark na Poland zilifunga mipaka kwa wote wasio raia wao, kwa kuamuru raia waliorudi wapaswe kukaa karantini wiki 2. Kwa jumla serikali zilitangaza kwamba asilimia kubwa ya wananchi wataambukizwa zikiona changamoto kuchelewesha mchakato wa maambukizi ili wale wataokuwa wagonjwa sana wasijitokeze mara moja lakini polepole ili waweze kuhudumiwa hospitalini. Kufikia tarehe 19 Machi nchi 170 zilikuwa na mgonjwa walau mmoja. Tarehe 21 Machi Italia ilikuwa imezidi China kwa wingi wa vifo, kwa kuwa siku hiyo walifariki huko watu 793, kuliko siku yoyote ya China. Kufikia tarehe 23 Machi jumla ya waliothibitishwa kupatwa na virusi ilifikia 339,645 na vifo 14,717 kati nchi zaidi ya 40. Takwimu za tarehe 27 Machi zinaonyesha waliopatwa kwa hakika ni walau 536,000 na kati yao walau 24,100 wamekufa kwa ugonjwa huo. Idadi kubwa ya walioambukizwa nchi kwa nchi imekuwa ile ya [[Marekani]]. Kufikia tarehe 13 Aprili walioambukizwa walifikia 1,850,000 na waliofariki dunia 114,000. Kufikia tarehe 2 Juni walioambukizwa walifikia 6,325,303 na waliofariki dunia 377,469. Hadi tarehe 11 Juni walioambukizwa walifikia kuwa zaidi ya 7,360,000 na waliofariki dunia 416,000. ===Afrika=== Mwanzoni mwa Machi 2020 hakukuwa na taarifa ya maambukizi mengi ndani ya Afrika. Wataalamu walijadiliana kama hilo ni jambo linalotokana na kukosa vifaa vya kupima na kutambua ugonjwa, au kama kuna sababu ya ugonjwa kutoenea katika Afrika. Wagonjwa wengi waliotambuliwa [[kusini kwa Sahara]] ni wasafiri waliofika kutoka nchi za nje. Hadi 12 Machi wagonjwa walithibitishwa hasa katika [[Afrika Kaskazini]]: [[Misri]] wagonjwa 67 (1 alifariki), [[Algeria]] 20 (0), [[Moroko]] 6 (1) na [[Tunisia]] 7 (0). Upande wa kusini wa Sahara taarifa zilipatikana hasa kutoka [[Afrika Kusini]] walipotambulia wagonjwa 17 (0), wengi wao watu waliorudi kutoka safari za Italia. [[Togo]] ilikuwa na mgonjwa 1 (0) aliyethibitishwa, [[Senegal]] 4 (0), [[Nigeria]] 2 (0), [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] 1 (0), [[Kamerun]] 2 (0), [[Burkina Faso]] 2 (0)<ref>[https://www.worldometers.info/coronavirus/#countries Confirmed Cases and Deaths by Country, Territory, or Conveyance], tovuti ya worldometers.com ya tar. 12.042020</ref> Tarehe 15 Machi jioni mtu wa kwanza alithibitishwa Tanzania ameambukizwa; msafiri aliyeleta [[virusi]] vya [[ugonjwa]] [[Virusi vya Corona|huo]] ni mwananchi aliyefika [[Arusha]] kutoka [[Ubelgiji]] na ambaye baadaye alipona. Hadi tarehe 30 idadi rasmi ilifikia waambukizwa 19.<ref>[https://www.thecitizen.co.tz/news/1840340-5496816-agy428/index.html Coronavirus cases in Tanzania rises to Six]</ref> Wengi waliambukizwa nje ya nchi wakagundulika baada ya kufika Tanzania. Tarehe [[31 Machi]] 2020 Mtanzania wa kwanza alifariki huko [[Dar es Salaam]]. Waliobaki na virusi ni watu 17 kwa mujibu wa Waziri wa Afya<ref>https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Ndugu-wa-Mtanzania-aliyekufa-kwa-corona-azungumza/1597296-5509666-cpgxwl/index.html</ref>. Kenya kulikuwa na maambukizi 31 na kifo cha kwanza. Hadi tarehe 13 Aprili katika Afrika Bara nchi pekee isiyothibitisha maambukizi ilikuwa Lesotho, mbali ya Sahara Magharibi na visiwa mbalimbali, kama Komoro. Kufikia tarehe 2 Juni walioambukizwa walifikia 152,442 na waliofariki dunia 4,344 katika nchi 54. == Majibu ya kitaifa == Jumla ya nchi na maeneo 188 yamekuwa na angalau kesi moja ya COVID-19 hadi sasa. Kutokana na janga la Ulaya, nchi nyingi katika eneo la Schengen zimezuia harakati huru na kuweka udhibiti wa mipaka. Majibu ya kitaifa yamejumuisha maagizo ya kukaa nyumbani au ufungaji. <ref>{{Cite web|title=Schengen Area Crisis: EU States Close Borders as Coronavirus Outbreak Grips Bloc|url=https://www.schengenvisainfo.com/news/schengen-area-crisis-eu-states-close-borders-as-coronavirus-outbreak-grips-bloc/|work=SchengenVisaInfo.com|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> <ref name=":0" /> Hadi 26 Machi, watu 1,700,000,000 duniani kote walikuwa chini ya aina ya ufungaji, idadi ambayo iliongezeka hadi watu 3,900,000,000 mnamo wiki ya kwanza ya mwezi Aprili-zaidi ya nusu ya idadi ya watu duniani. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus: Half of humanity on lockdown in 90 countries|url=https://www.euronews.com/2020/04/02/coronavirus-in-europe-spain-s-death-toll-hits-10-000-after-record-950-new-deaths-in-24-hou|work=euronews|date=2020-04-02|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Alasdair Sandford}}</ref> Kufikia mwisho wa mwezi Aprili, watu takriban 300,000,000 walikuwa chini ya maagizo hayo katika mataifa ya Ulaya, zikiwemo Italia, Uhispania, Ufaransa, na Uingereza, wakati watu wapatao 200,000,000 walikuwa chini ya ufungaji katika Amerika Kusini. Watu takriban 300,000,000, au asilimia 90 ya idadi ya watu, walikuwa chini ya aina fulani ya ufungaji katika Marekani, watu 100,000,000 huko Ufilipino, watu 59,000,000 nchini Afrika Kusini, na watu 1,300,000,000 wamekuwa chini ya ufungaji nchini India. Mnamo 21 Mei maambukizo 100,000 mapya yalitokea duniani kote, na tangu mwanzo wa janga hilo. Mnamo Augosti kumekuwa na zaidi ya kesi 26,000,000 duniani. <ref>{{Cite web|title=Infographic: What Share of the World Population Is Already on COVID-19 Lockdown?|url=https://www.statista.com/chart/21240/enforced-covid-19-lockdowns-by-people-affected-per-country/|work=Statista Infographics|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2020/05/21/coronavirus-update-us/</ref> === Asia === Tarehe 19 Mei 2020, kesi zimeripotiwa nchini kote kwa Asia isipokuwa Turkmenistan na Korea Kaskazini, ingawa pengine nchi hizi zina kesi pia. <ref>{{Citation|last=Abdurasulov|first=Abdujalil|title=Why has this country reported no virus cases?|date=2020-04-07|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-52186521|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Citation|last=Tan|first=Yvette|title=Scepticism over N Korea's claim to be virus free|date=2020-04-03|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-52146989|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref>Licha kuwa eneo la kwanza duniani lililoathiriwa na mlipuko huo, itikio ya mapema ya baadhi ya mataifa ya Asia, hasa Korea Kusini, Taiwan, na Vietnam, imeziruhusu kufanya vizuri kuliko nchi nyingine. <ref>{{Cite journal|last=Erkhembayar|first=Ryenchindorj|last2=Dickinson|first2=Emma|last3=Badarch|first3=Darmaa|last4=Narula|first4=Indermohan|last5=Warburton|first5=David|last6=Thomas|first6=Graham Neil|last7=Ochir|first7=Chimedsuren|last8=Manaseki-Holland|first8=Semira|date=2020-09-01|title=Early policy actions and emergency response to the COVID-19 pandemic in Mongolia: experiences and challenges|url=https://www.thelancet.com/journals/langlo/article/PIIS2214-109X(20)30295-3/abstract|journal=The Lancet Global Health|language=English|volume=8|issue=9|pages=e1234–e1241|doi=10.1016/S2214-109X(20)30295-3|issn=2214-109X|pmid=32711684}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus cases have dropped sharply in South Korea. What’s the secret to its success?|url=https://www.sciencemag.org/news/2020/03/coronavirus-cases-have-dropped-sharply-south-korea-whats-secret-its-success|work=Science {{!}} AAAS|date=2020-03-17|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Dennis NormileMar. 17, 2020, 8:00 Am}}</ref><ref>{{Citation|last=Chan|first=Wilfred|title=The WHO Ignores Taiwan. The World Pays the Price.|date=2020-04-03|url=https://www.thenation.com/article/world/taiwan-who-coronavirus-china/|language=en-US|issn=0027-8378|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Vietnam’s response to coronavirus crisis earns praise from WHO|url=https://7news.com.au/lifestyle/health-wellbeing/vietnam-praised-for-no-coronavirus-deaths-c-973119|work=7NEWS.com.au|date=2020-04-13|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> ==== Uchina ==== Inawezekana kupata asili ya kesi ya kwanza iliyothibitishwa ya COVID19 mnamo 1 Desemba 2019 mjini Wuhan; Ripoti moja isiyothibitishwa inaonyesha kesi ya mapema ilionekana tarehe 17 Novemba.<ref>{{Cite web|title=Wuhan seafood market may not be source of novel virus spreading globally|url=https://www.sciencemag.org/news/2020/01/wuhan-seafood-market-may-not-be-source-novel-virus-spreading-globally|work=Science {{!}} AAAS|date=2020-01-26|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Jon CohenJan. 26, 2020, 11:25 Pm}}</ref> Daktari Zhang Jixian aliona kundi la ugonjwa wa mapafu wenye sababu isiyojulikana tarehe 26 Desemba, ambapo hospitali yake ilitoa taarifa Jianghan CDC tarehe 27 Desemba. Upimaji wa awali wa kijenetiki wa sampuli za wagonjwa tarehe 27 Desemba 2019 walionyesha uwepo wa Coronavirus kama SARS. Ilani ya umma ilitolewa na Tume ya afya ya Wuhan, tarehe 31 Desemba, kuthibitisha kesi 27 na kupendekeza kuvaa barakoa. Shirika la WHO liliambiwa siku hiyo hiyo. Kama taarifa hizi zilitokea, madaktari katika Wuhan walionywa na polisi juu ya "kueneza uvumi" kuhusu mlipuko. Tume ya afya ya Taifa ya Uchina ilisema hakukuwa na "ushahidi wazi" wa usambazaji wa binadamu ingawa madaktari mengi wamaangalia usambazaji huo ulikuwa ukifanyika. Katika mkutano siri tarehe 14 Januari, maafisa wa Uchina walisema kwa faragha kwamba maambukizo ya binadamu kwa binadamu yaliwezekana, na maandalizi ya janga yalihitajika. Katika taarifa iliyotolewa mnamo 14 – 15 Januari, Kamisheni ya afya ya Wuhan ilisema uwezekano wa maambukizo ya binadamu kwa binadamu haukuweza kupuuza. <ref>{{Cite web|title=How early signs of the coronavirus were spotted, spread and throttled in China|url=https://www.straitstimes.com/asia/east-asia/how-early-signs-of-the-coronavirus-were-spotted-spread-and-throttled-in-china|work=The Straits Times|date=2020-02-28|accessdate=2020-09-11|language=en|author=hermesauto}}</ref> <ref>{{Cite web|title=China knew the coronavirus could become a pandemic in mid-January but for 6 days claimed publicly that there was no evidence it could spread among humans|url=https://www.businessinsider.com/coronavirus-china-hid-pandemic-news-six-days-2020-4|work=Business Insider|accessdate=2020-09-11|author=Bill Bostock}}</ref> Tarehe 20 Januari, Tume ya afya ya Taifa ya Uchina ilithibitisha maambukizo ya binadamu kwa binadamu. <ref>{{Citation|last=Kuo|first=Lily|title=China confirms human-to-human transmission of coronavirus|date=2020-01-21|url=https://www.theguardian.com/world/2020/jan/20/coronavirus-spreads-to-beijing-as-china-confirms-new-cases|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref>Siku hiyo hiyo, Katibu Mkuu wa chama cha kikomunisti Xi Jinping na Mkuu wa Baraza la serikali, Li Keqiang, walitoa taarifa zao za kwanza kuhusu virusi, wakisema kwamba wale walioishi maeneo hayo wajitenge, kudumisha ubali wa kijamii, na kuepuka kusafiri.<ref>{{Cite web|title=How China Delayed Warnings to Public During 6 Key Days in January {{!}} RealClearPolitics|url=https://www.realclearpolitics.com/articles/2020/04/15/how_china_delayed_warnings_to_public_during_6_key_days_in_january_142952.html|work=www.realclearpolitics.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> Wakati wa kipindi cha kusafiri kuhusu mwaka mpya wa kichina, mamlaka za nchi ziliagiza ufungaji wa mji wa Wuhan. <ref>{{Cite web|title=Bloomberg - Are you a robot?|url=https://www.bloomberg.com/tosv2.html?vid=&uuid=0c816be0-f454-11ea-bbe5-07ed345a350b&url=L25ld3MvYXJ0aWNsZXMvMjAyMC0wMS0yMi9jaGluYS1zLWx1bmFyLW5ldy15ZWFyLW5pZ2h0bWFyZS0zLWJpbGxpb24tdHJpcHMtYW5kLWEtdmlydXM=|work=www.bloomberg.com|accessdate=2020-09-11}}</ref>Tarehe 10 Februari serikali ya Uchina ilizindua kampeni kali sana iliyoelezwa na kiongozi mkuu na Katibu Mkuu wa chama cha kikomunisti Xi kama "vita vya watu" ili nchi hiyo idhibiti virusi.<ref>{{Cite web|title=Xi stresses winning people's war against novel coronavirus - Xinhua {{!}} English.news.cn|url=http://www.xinhuanet.com/english/2020-02/10/c_138771533.htm|work=www.xinhuanet.com|accessdate=2020-09-11|archivedate=2020-02-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200228213901/http://www.xinhuanet.com/english/2020-02/10/c_138771533.htm}}</ref> Katika "karantini kubwa zaidi katika historia ya binadamu", tarehe 23 Januari usafiri wote kuingia na kuondoka mjini Wuhan ulisimamishwa na baadaye marufuku hizo zilipanuliwa kwa miji kumi na mitano jimboni Hubei kuathiri watu 57,000,000. <ref>{{Citation|title=COVID-19 pandemic|date=2020-09-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=COVID-19_pandemic&oldid=977891670|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref>Matumizi ya gari binafsi yalipigiwa marufuku jijini. Sherehe za mwaka mpya (tarehe 25 Januari) pia zilifutwa. Mamlaka ilitangaza ujenzi wa hospitali ya muda, Huoshenshan, iliyokamilika katika siku kumi. Baadaye Hospitali ya Leishenshan<ref>{{Citation|title=COVID-19 pandemic|date=2020-09-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=COVID-19_pandemic&oldid=977891670|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> ilijengwa kuwalaza wagonjwa wengine. Uchina pia iligeuka vituo vingine katika Wuhan, kama vile vituo vya maktaba na viwanja, katika hospitali za muda. <ref>{{Cite web|title=China halts flights and trains out of Wuhan as WHO extends talks|url=https://www.channelnewsasia.com/news/asia/wuhan-virus-quarantine-city-flights-trains-china-12306684|work=CNA|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>{{Citation|title=China seeks to signal coronavirus under control|date=2020-03-10|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-china-51813876|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 26 Januari, serikali ilianzisha hatua zaidi za kudhibiti coronavirus, zikiwemo kutoa maazimio ya afya kwa wasafiri na kupanua sikukuu ya tamasha la spring.<ref>{{Cite web|title=China's State Council extends Spring Festival holiday|url=https://www.chinadaily.com.cn/a/202001/27/WS5e2e0f0ea31012821727356b.html|work=www.chinadaily.com.cn|accessdate=2020-09-11|author=李雪晴}}</ref> Vyuo vikuu na shule nchini kote pia zilifungwa. Mikoa ya Hong Kong na Macau ilianzisha hatua kadhaa, hasa kuhusu shule na vyuo vikuu.<ref>{{Citation|title=COVID-19 pandemic|date=2020-09-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=COVID-19_pandemic&oldid=977891670|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Cite web|title=湖北这些学校推迟开学 北大等暂停参观|url=http://www.bjnews.com.cn/news/2020/01/24/678863.html|work=www.bjnews.com.cn|accessdate=2020-09-11|author=www.bjnews.com.cn}}</ref>Hatua za kazi za mbali ziliwekwa katika mikoa kadhaa. Vizuizi vya usafiri vilitekelezwa kuingia na kuondoka jimboni Hubei. Usafiri wa umma ulibadilishwa, na makumbusho kote nchini yalifungwa kwa muda. Udhibiti wa harakati za umma ulifanyika katika miji mingi, na inakadiriwa kuwa watu 760,000,000 (zaidi ya nusu ya watu nchini) walikabiliwa na aina fulani ya kizuizi cha kwenda nje.<ref>{{Citation|last=Zhong|first=Raymond|title=To Tame Coronavirus, Mao-Style Social Control Blankets China|date=2020-02-15|url=https://www.nytimes.com/2020/02/15/business/china-coronavirus-lockdown.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Mozur|first2=Paul}}</ref> Mnamo Januari na Februari 2020, wakati wa kilele cha mlipuko katika Wuhan, watu karibu na 5,000,000 walipoteza kazi zao.<ref>{{Citation|title=COVID-19 pandemic|date=2020-09-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=COVID-19_pandemic&oldid=977891670|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> Wengi wa wafanyakazi wahamiaji takriban 300,000,000 wamekuwa walikwama nyumbani mikoani mbalimbali au jimboni Hubei. Baada ya mlipuko huo kufikia awamu yake ya kimataifa mwezi Machi, viongozi wa Uchina walichukua hatua kali za kuzuia virusi visingie tena nchini Uchina kutoka nchi nyingine. Kwa mfano, mji wa Beijing iliweka karantini ya siku 14 kwa wasafiri wote wa kimataifa wanaoingia mjini.<ref>{{Cite web|title=China deploys measures to curb imported COVID-19 cases, rebound in indigenous cases {{!}} english.scio.gov.cn|url=http://english.scio.gov.cn/m/topnews/2020-03/24/content_75852078.htm|work=english.scio.gov.cn|accessdate=2020-09-11}}</ref> Wakati huo huo, chuki dhidi ya wageni, hasa waAfrika, iliibuka, na wageni walitendwa vibaya na wananchi na walilazimishwa kuondoka nyumba na hoteli. <ref>{{Citation|last=Akinwotu|first=Jason Burke Emmanuel|title=China fails to stop racism against Africans over Covid-19|date=2020-04-27|url=https://www.theguardian.com/world/2020/apr/27/china-fails-to-stop-racism-against-africans-over-covid-19|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11|last2=Beijing|first2=and Lily Kuo in}}</ref> Tarehe 24 Machi, Mkuu wa Baraza Li Keqiang aliripoti kwamba kuenea kwa kesi za ndani kumezuiliwa na mlipuko huo umedhibitiwa nchini Uchina. Siku hiyo hiyo vizuizi vya kusafiri vilipunguzwa huko Hubei, isipokuwa mjini Wuhan, miezi miwili baada ya ufungaji ulianza. Wizara ya mambo ya nje ya Uchina ilitangaza tarehe 26 Machi kwamba viza za kuingia au kuishi zilisimimishwa kuanzia tarehe 28 Machi na kuendelea, bila maelezo maalum kuhusu sera hii itakapomalizika. Wale wanaotaka kuingia Uchina lazima waombe viza katika ubalozi wa Uchina au konsulat. Serikali ya Uchina ilitia moyo biashara na viwanda kufunguliwa tena tarehe 30 Machi, na kutoa msaada ya kiuchumi kwa makampuni. <ref>{{Cite web|title=China deploys measures to curb imported COVID-19 cases, rebound in indigenous cases {{!}} english.scio.gov.cn|url=http://english.scio.gov.cn/m/topnews/2020-03/24/content_75852078.htm|work=english.scio.gov.cn|accessdate=2020-09-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Wang|first=Vivian|title=China to Ease Coronavirus Lockdown on Hubei 2 Months After Imposing It|date=2020-03-24|url=https://www.nytimes.com/2020/03/24/world/asia/china-coronavirus-lockdown-hubei.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Wee|first2=Sui-Lee}}</ref><ref>{{Cite web|title=As coronavirus cases spike worldwide, China is closing itself off|url=https://www.cnn.com/2020/03/27/asia/china-coronavirus-foreigners-intl-hnk/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=James Griffiths CNN}}</ref> Baraza la Taifa lilitangaza siku ya maombolezo ya kitaifa kuanza na dakika tatu za kimya tarehe 4 Aprili, ikiunganishwa na tamasha la Qingming, ingawa serikali kuu iliziomba familia kuonyesha heshima mtandaoni ili kuzuia mlipuko mwingine. Tarehe 25 Aprili wagonjwa wa mwisho waliruhusiwa kuondoka hospitalini mjini Wuhan. Mnamo 13 Mei mji wa Jilin uliwekwa kwenye ufungaji, jambo lililochochea hofu ya wimbi la pili la maambukizo.<ref>{{Cite web|title=China to stage day of mourning for the thousands lost to Covid-19|url=https://www.scmp.com/news/china/politics/article/3078271/coronavirus-china-stage-day-mourning-saturday-thousands-killed|work=South China Morning Post|date=2020-04-03|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Wachambuzi wengi wakiwemo wale wanaotoka shirika la Bill Gates wamekosoa Uchina kwa sababu majibu yake yalichelewa. Shirika la Gates limekadiria kwamba kama Uchina imetenda wiki moja mapema zaidi, idadi ya kesi ingepunguka asilimia 66; wiki mbili mapema zaidi, asilimia 86, na wiki tatu mapema zaidi—ambapo mamlaka nchini China iligundua kwamba virusi hivyo vinaweza kuenea binadamu kwa binadamu—idadi ya kesi ingepunguka asilimia 95. <ref name=":2" /> ==== Irani ==== Iran iliripoti kesi zake za kwanza zilizothibitishwa za COVID-19 tarehe 19 Februari mjini Qom, ambapo, kwa mujibu ya Wizara ya afya na elimu ya matibabu, watu wawili wamekuwa walifariki siku hiyo. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus Arrives in Iran: Two People Test Positive in Qom|url=http://irangov.ir/detail/334964|work=irangov.ir|accessdate=2020-09-11}}</ref>Hatua za mapema zilizotangazwa na serikali zikiwemo kufutwa kwa matamasha na matukio mengine ya kitamaduni, matukio ya michezo, maombi ya Ijumaa, na kufungwa kwa vyuo vikuu, taasisi za elimu ya juu, na shule.<ref>{{Cite web|title=Iranian Doctors Call For 'Long Holiday' To Contain Coronavirus, As Sixth Victim Dies|url=https://en.radiofarda.com/a/iranian-doctors-call-for-long-holiday-to-contain-coronavirus-outbreak/30449047.html|work=RFE/RL|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Iran Announces Closure Of Universities, Schools As Coronavirus Death Toll Rises|url=https://en.radiofarda.com/a/iran-announces-closure-of-universities-schools-to-fight-coronavirus/30449711.html|work=RFE/RL|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Iran zilitenga pesa 5,000,000,000,000 (sawa na US $120000000) kupambana na virusi.<ref>{{Cite web|title=اختصاص 530 میلیارد تومان به وزارت بهداشت برای مقابله با کرونا|url=https://www.jamaran.news/بخش-%D9%BE%D8%B1%D9%88%D9%81%D8%A7%DB%8C%D9%84-182/1363201-%D8%A7%D8%AE%D8%AA%D8%B5%D8%A7%D8%B5-%D9%85%DB%8C%D9%84%DB%8C%D8%A7%D8%B1%D8%AF-%D8%AA%D9%88%D9%85%D8%A7%D9%86-%D8%A8%D9%87-%D9%88%D8%B2%D8%A7%D8%B1%D8%AA-%D8%A8%D9%87%D8%AF%D8%A7%D8%B4%D8%AA-%D8%A8%D8%B1%D8%A7%DB%8C-%D9%85%D9%82%D8%A7%D8%A8%D9%84%D9%87-%D8%A8%D8%A7-%DA%A9%D8%B1%D9%88%D9%86%D8%A7|work=پایگاه خبری جماران|accessdate=2020-09-11|language=fa}}</ref> Rais Hassan Rouhani alisema tarehe 26 Februari hakukuwa na mipango kutumia karantini katika maeneo yaliyoathiriwa na mlipuko huo, na watu tu wangejitenga.<ref>{{Citation|title=Coronavirus: Iran has no plans to quarantine cities, Rouhani says|date=2020-02-26|url=https://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-51651454|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Mipango ya kupunguza usafiri kati ya miji ilitangazwa mwezi Machi, ingawa trafiki kubwa kati ya miji kuhusu mwaka mpya wa Kiajemi iliendelea.<ref>{{Citation|last=Wintour|first=Sam Jones Patrick|title=Coronavirus cases pass 100,000 globally as Iran threatens force to restrict travel|date=2020-03-06|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/06/chinese-schools-reopen-as-coronavirus-cases-in-europe-continue-to-rise|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> Makaburi wa Shia huko Qom yalibaki kufungua hadi tarehe 16 Machi. <ref>{{Cite web|title=Iran was already struggling with one crisis. Now it has the worst coronavirus outbreak in the Middle East|url=https://www.cnn.com/2020/02/26/middleeast/iran-coronavirus-intl/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Ramin Mostaghim, Mostafa Salem and Tamara Qiblawi CNN}}</ref> Irani ilikuwa kituo cha usambazaji wa virusi baada ya Uchina mwezi wa Februari.<ref>{{Citation|last=Kirkpatrick|first=David D.|title=‘Recipe for a Massive Viral Outbreak’: Iran Emerges as a Worldwide Threat|date=2020-02-24|url=https://www.nytimes.com/2020/02/24/world/middleeast/coronavirus-iran.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Fassihi|first2=Farnaz|last3=Mashal|first3=Mujib}}</ref> Zaidi ya nchi kumi zilikuwa zimepata asili ya kesi zao huko Iran mnamo 28 Februari, ikionyesha mlipuko huo ulikuwa mkali zaidi kuliko kesi 388 zilizorepotiwa na serikali ya Irani hadi siku hiyo.<ref>{{Cite web|title=How Iran Became a New Epicenter of the Coronavirus Outbreak|url=https://www.newyorker.com/news/our-columnists/how-iran-became-a-new-epicenter-of-the-coronavirus-outbreak|work=The New Yorker|accessdate=2020-09-11|language=en-us|author=Robin Wright}}</ref> Bunge la Iran lilifungwa, na wajumbe 23 wa 290 walipima chanya tarehe 3 Machi.<ref>{{Cite web|title=8% of Iran's parliament has the coronavirus, and it released 54,000 prisoners as the country descends into chaos|url=https://www.businessinsider.com/8-percent-iran-parliament-has-coronavirus-it-released-54000-prisoners-2020-3|work=Business Insider|accessdate=2020-09-11|author=John Haltiwanger}}</ref> Tarehe 15 Machi, serikali ya Irani iliripoti vifo mia katika siku moja, ambayo ilikuwa kesi nyingi zaidi iliyorekodiwa nchini tangu mlipuko ulipoanza.<ref>{{Cite web|title=Iran reports biggest single-day jump of coronavirus deaths as president rules out quarantine|url=https://www.foxnews.com/world/iran-coronavirus-deaths-jump|work=Fox News|date=2020-03-15|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Stephen Sorace}}</ref> Angalau wanasiasa na maofisa wa serikali kumi na wawili wa sasa au wa zamani walifariki kutokana na ugonjwa huo mnamo 17 Machi. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus pandemic 'could kill millions' in Iran|url=https://www.aljazeera.com/news/2020/03/coronavirus-pandemic-kill-millions-iran-200317135500255.html|work=www.aljazeera.com|accessdate=2020-09-11}}</ref>Kufikia 23 Machi, Iran ilikuwa na kesi 50 mpya kila saa na kifo kimoja kipya kila dakika kumi. <ref>{{Cite web|title=How serious is the coronavirus crisis in Iran?|url=https://news.yahoo.com/serious-coronavirus-crisis-iran-131530378.html|work=news.yahoo.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref>Kwa mujibu ya ofisa wa WHO, inawezekana kuwa Iran ina kesi mara tano zaidi ya zile zilizoripotiwa. Pia imependekezwa kwamba vikwazo vya Marekani katika Irani viliathiri uwezo wa kifedha wa nchi kukabili mlipuko wa virusi. Shirika la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu limeitisha vikwazo vya kiuchumi vipunguze kwa mataifa yanayoathiriwa zaidi na janga hilo, yakiwemo Irani.<ref>{{Citation|last=Cunningham|first=Erin|title=As coronavirus cases explode in Iran, U.S. sanctions hinder its access to drugs and medical equipment|url=https://www.washingtonpost.com/world/middle_east/as-coronavirus-cases-explode-in-iran-us-sanctions-hinder-its-access-to-drugs-and-medical-equipment/2020/03/28/0656a196-6aba-11ea-b199-3a9799c54512_story.html|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 20 Aprili iliripotiwa kwamba Irani imefunguliwa maduka makubwa na maeneo mengine ya ununuzi nchini kote, ingawa kuna hofu ya wimbi la pili la maambukizo kutokana na hatua hizi. Mwezi Machi, na tena mwezi Aprili, kulikuwa na taarifa kwamba Irani haikuripoti kesi zote zilizothibitishwa nchini.<ref>{{Cite web|title=Iran opens up as economic woes trump virus infection fears|url=https://news.yahoo.com/iran-opens-economic-woes-trump-080329918.html|work=news.yahoo.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> ==== Korea Kusini ==== Kunenea kwa coronavirus hadi Korea Kusini kutoka Uchina kulithibitishwa tarehe 20 Januari 2020. Shirika la afya la Taifa liliripoti ongezeko kubwa la kesi zilizothibitishwa tarehe 20 Februari,<ref>{{Citation|last=Cha|first=Hyonhee Shin, Sangmi|title='Like a zombie apocalypse': Residents on edge as coronavirus cases surge in South Korea|date=2020-02-20|url=https://www.reuters.com/article/us-china-health-southkorea-cases-idUSKBN20E04F|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> kwa kiasi kikubwa kuhusisha mkutano wa Kanisa la Shincheonji wa Yesu mjini Daegu. <ref>{{Cite web|title=42 Shincheonji followers came to S. Korea from virus-hit Wuhan over 8 months: gov't|url=https://en.yna.co.kr/view/AEN20200229004000315|work=Yonhap News Agency|date=2020-02-29|accessdate=2020-09-11|language=en|author=김수연}}</ref>Wale waliotembelea Shincheonji kutoka Wuhan walituhumiwa kuwa chanzo cha mlipuko. Mnamo 22 Februari, kati ya wafuasi 9,336 wa Kanisa, watu 1,261 au asilimia 13 waliripoti dalili. Korea Kusini ilitangaza kiwango cha juu zaidi cha tahadhari tarehe 23 Februari 2020. Tarehe 28 Februari, zaidi ya kesi 2,000 zilizothibitishwa ziliripotiwa, kuongeza hadi 3,150 tarehe 29 Februari. Vituo vyote vya kijeshi vya Korea Kusini viliwekwa karantini baada ya vipimo vilagundua wanajeshi watatu wenye virusi. Ratiba za ndege pia zilibadilishwa. <ref>{{Citation|title=S Korea declares highest alert over coronavirus|date=2020-02-23|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-51603251|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Airlines to suspend more flights over coronavirus|url=http://www.koreaherald.com/view.php?ud=20200221000249|work=www.koreaherald.com|date=2020-02-21|accessdate=2020-09-11|language=en|author=The Korea Herald}}</ref> Korea Kusini ilianzisha ile iliyofikiriwa kuwa programu kubwa zaidi na kupangwa bora duniani ili ipime idadi kwa virusi, kujitenga watu walioambukizwa, na kuwaweka katika karantini wale wanaowasiliana nao.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus cases have dropped sharply in South Korea. What’s the secret to its success?|url=https://www.sciencemag.org/news/2020/03/coronavirus-cases-have-dropped-sharply-south-korea-whats-secret-its-success|work=Science {{!}} AAAS|date=2020-03-17|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Dennis NormileMar. 17, 2020, 8:00 Am}}</ref> <ref>{{Citation|last=Bicker|first=Laura|title=Is S Korea's rapid testing the key to coronavirus?|date=2020-03-12|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-51836898|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref>Mbinu za uchunguzi zilijumuisha kujitoa taarifa za lazima za dalili na wasafiri wa kimataifa kutumia simu, kupima kwenye gari na matokeo yanayopatikana siku ijayo, na kuongeza uwezo wa kupima ili watu 20,000 wapimwe kila siku. Mpango wa Korea Kusini unafikiriwa kuwa mafanikio kudhibiti mlipuko bila ufungaji wa miji yote. <ref>{{Cite web|title=This is how South Korea flattened its coronavirus curve|url=https://www.nbcnews.com/news/world/how-south-korea-flattened-its-coronavirus-curve-n1167376|work=NBC News|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Mwanzoni wananchi wa Korea Kusini waligawanyika kuhusu maoni ya majibu ya Rais Moon Jae-in kukabili mgogoro huo, na watu wengi walitia saini ama kusifa serikali hiyo au kutoa wito wa kuiondoa. <ref>{{Cite web|title=How South Korea Lost Control of Its Coronavirus Outbreak|url=https://www.newyorker.com/news/news-desk/how-south-korea-lost-control-of-its-coronavirus-outbreak|work=The New Yorker|accessdate=2020-09-11|language=en-us|author=Suki Kim}}</ref>Tarehe 23 Machi, iliripotiwa kwamba Korea Kusini ilikuwa na idadi ya kesi ndogo zaidi kwa siku moja mnamo wiki nne.<ref>{{Citation|title=South Korea reports lowest number of new cases|date=2020-03-23|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-52001837|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 29 Machi iliripotiwa kwamba kuanzia tarehe 1 Aprili wale wote waliofika kutoka nchi nyingine wangelazimishwa kukaa karatini kwa wiki mbili. <ref>{{Cite web|title=South Korea to impose mandatory coronavirus quarantine on all arrivals|url=https://news.yahoo.com/south-korea-reports-105-coronavirus-013830705.html|work=news.yahoo.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref>Kwa mujibu ya ripoti za vyombo vya habari tarehe 1 Aprili, Korea Kusini imepokea maombi ya msaada ya kupima virusi kutoka nchi 121 tofauti. <ref>https://www.usnews.com/news/world/articles/2020-04-01/over-100-countries-ask-south-korea-for-coronavirus-testing-help-official</ref>Tarehe 15 Mei iliripotiwa kwamba biashara 2000 ziliambiwa kufunga tena ambapo kundi la watu mia moja walioambukizwa liligunduliwa; uchunguzi wa mawasiliano unafanywa kwa watu 11,000. <ref>{{Citation|title=South Korea confirms second wave of coronavirus|date=2020-06-22|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-53135626|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> === Ulaya === Kufikia tarehe 13 Machi 2020, idadi ya kesi mpya ilipokuwa kubwa kuliko zile huko Uchina, Shirika la (WHO) walianza kuzingatia Ulaya kama kituo hai cha janga hilo. Kesi kwa nchi kote Ulaya zimeongeza mara mbili kila siku tatu au nne, na baadhi ya nchi zilionyesha ongezeko hilo kila siku mbili. <ref>{{Cite web|title=WHO says Europe is new epicenter of coronavirus pandemic|url=https://nypost.com/2020/03/13/who-says-europe-is-new-epicenter-of-coronavirus-pandemic/|work=New York Post|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Bob Fredericks}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Roser|first=Max|last2=Ritchie|first2=Hannah|last3=Ortiz-Ospina|first3=Esteban|last4=Hasell|first4=Joe|date=2020-03-04|title=Coronavirus Pandemic (COVID-19)|url=https://ourworldindata.org/coronavirus|journal=Our World in Data}}</ref> Mnamo 17 Machi, nchi zote za Ulaya zimethibitisha kesi ya COVID-19, na Montenegro kuwa nchi ya mwisho ya Ulaya kutoa taarifa ya angalau kesi moja. Angalau kifo kimoja kimeripotiwa katika nchi zote za Ulaya, isipokuwa mjini Vatican. <ref>{{Cite web|title=https://twitter.com/megovernment/status/1239992049350447104|url=https://twitter.com/megovernment/status/1239992049350447104|work=Twitter|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Kuanzia tarehe 18 Machi, zaidi ya watu 250,000,000 walikuwepo ufungaji huko Ulaya. <ref>{{Citation|last=Henley|first=Jon|title=Italy records its deadliest day of coronavirus outbreak with 475 deaths|date=2020-03-18|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/18/coronavirus-lockdown-eu-belgium-germany-adopt-measures|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11|last2=Oltermann|first2=Philip}}</ref> Mnamo 24 Mei, siku 68 tangu kesi yake ya kwanza iliripotiwa, Montenegro ilikuwa nchi ya kwanza bila COVID-19 katika Ulaya. <ref>{{Cite web|title=https://twitter.com/megovernment/status/1264598489318776832|url=https://twitter.com/megovernment/status/1264598489318776832|work=Twitter|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Tarehe 21 Augosti iliripotiwa kwamba idadi ya kesi za COVID-19 iliongezeka miongoni mwa vijana huko Ulaya.<ref>{{Citation|last=Beachum|first=Lateshia|title=Pence claims Biden’s handling of coronavirus would be worse than Trump’s|url=https://www.washingtonpost.com/nation/2020/08/21/coronavirus-covid-live-updates-us/|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-11|last2=Hawkins|first2=Derek|last3=Bellware|first3=Kim|last4=O'Grady|first4=Siobhán|last5=Shaban|first5=Hamza|last6=Kornfield|first6=Meryl|last7=Firozi|first7=Paulina}}</ref> ==== Italia ==== Ilithibitishwa kwamba mlipuko huo umeenea hadi Italia tarehe 31 Januari, watalii wawili wa Kichina walipopima chanya kwa SARS-CoV-2 mjini Roma.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus, primi due casi in Italia: sono due turisti cinesi|url=https://www.corriere.it/cronache/20_gennaio_30/coronavirus-italia-corona-9d6dc436-4343-11ea-bdc8-faf1f56f19b7.shtml|work=Corriere della Sera|date=2020-01-30|accessdate=2020-09-11|language=it|author=Chiara Severgnini e Redazione Online}}</ref> Kesi zilianza kuongezeka kwa kasi, na serikali ya Italia ilisimamisha safari zote kwenda na kutoka nchini Uchina na kutangaza hali ya dharura.<ref name=":2">"The Great Wall of Silence," ''The Australian'', 8 May 2020.</ref> Kundi lingine liligunduliwa baadaye, kuanzia na kesi 16 zilizothibitishwa huko Lombardia tarehe 21 Februari. <ref>{{Citation|last=Amante|first=Elisa Anzolin, Angelo|title=First Italian dies of coronavirus as outbreak flares in north|date=2020-02-21|url=https://www.reuters.com/article/us-china-health-italy-idUSKBN20F0UI|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 22 Februari, Baraza la mawaziri lilitangaza amri mpya ya sheria ili idhibiti mlipuko huo, ikiwemo karantini zaidi ya watu 50,000 kutoka mijini kaskazini ya Italia. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus, in dieci comuni lombardi: 50 mila persone costrette a restare in casa. Quarantena all'ospedale milanese di Baggio|url=https://milano.repubblica.it/cronaca/2020/02/21/news/coronavirus_codogno_castiglione_d_adda_contagiati_misure_sicurezza-249154447/|work=la Repubblica|date=2020-02-21|accessdate=2020-09-11|language=it}}</ref>Waziri Mkuu Giuseppe Conte alisema, "Katika maeneo ya mlipuko huo, kuingia na kuondoka hakutaruhusiwa. Kusimamishwa kwa shughuli za kazi na matukio ya michezo tayari kumeshaagizwa katika maeneo hayo." <ref>{{Cite web|title=Coronavirus, decreto del governo: nei comuni focolaio stop ad ingressi ed uscite. Conte: "Non trasformeremo l'Italia in un lazzaretto"|url=https://www.repubblica.it/cronaca/2020/02/22/news/decreto_governo_contro_coronavirus-249308355/|work=la Repubblica|date=2020-02-22|accessdate=2020-09-11|language=it}}</ref> Tarehe 4 Machi, serikali ya Italia iliagiza kufungwa kikamilifu shule zote na vyuo vikuu nchini kote Italia ilipofikia vifo mia moja.<ref>{{Citation|last=Palermo|first=Angela Giuffrida Lorenzo Tondo in|title=Italy orders closure of all schools and universities due to coronavirus|date=2020-03-04|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/04/italy-orders-closure-of-schools-and-universities-due-to-coronavirus|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11|last2=Beaumont|first2=Peter}}</ref> Matukio yote makubwa ya michezo yalifanyika bila watazamaji hadi mwezi Aprili, lakini tarehe 9 Machi yote yalisitishwa kabisa kwa angalau mwezi mmoja.<ref>{{Citation|title=All sport in Italy suspended|url=https://www.bbc.co.uk/sport/51808683|work=BBC Sport|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 11 Machi, Waziri Mkuu wa serikali, aliagiza shughuli za biashara zisimamishwe isipokuwa maduka ya chakula na dawa. <ref>{{Citation|last=Rome|first=Eric Sylvers in Milan and Giovanni Legorano in|title=Italy Hardens Nationwide Quarantine|date=2020-03-12|url=https://www.wsj.com/articles/italy-hardens-nationwide-quarantine-11583962093|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 6 Machi, Chuo kikuu cha Italia cha matibabu maalum ilichapisha mapendekezo ya maadili ya matibabu kuhusu jinsi ya kuamua wagonjwa wapi wapate kipaumbele. <ref>{{Cite web|title=Italian doctors on coronavirus frontline face tough calls on whom to save|url=https://www.politico.eu/article/coronavirus-italy-doctors-tough-calls-survival/|work=POLITICO|date=2020-03-09|accessdate=2020-09-11|author=Greta Privitera}}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.siaarti.it/SiteAssets/News/COVID19%20-%20documenti%20SIAARTI/SIAARTI%20-%20Covid19%20-%20Raccomandazioni%20di%20etica%20clinica.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2020-09-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200312202813/http://www.siaarti.it/SiteAssets/News/COVID19%20-%20documenti%20SIAARTI/SIAARTI%20-%20Covid19%20-%20Raccomandazioni%20di%20etica%20clinica.pdf |archivedate=2020-03-12 }}</ref>Tarehe 19 Machi, Italia ilipitisha Uchina kama nchi yenye vifo zaidi kutokana na COVID-19 duniani baada ya kutoa taarifa ya vifo 3,405.<ref>{{Cite web|title=Italy coronavirus death toll overtakes China|url=https://www.independent.co.uk/news/world/europe/coronavirus-italy-death-toll-how-many-people-cases-map-china-a9412156.html|work=The Independent|date=2020-03-19|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Tarehe 22 Machi, iliripotiwa kwamba Urusi iliitumia Italia ndege za kijeshi tisa zenye vifaa vya matibabu. <ref>{{Cite web|title='From Russia with Love': Putin sends aid to Italy to fight virus|url=https://www.euractiv.com/section/global-europe/news/from-russia-with-love-putin-sends-aid-to-italy-to-fight-virus/|work=www.euractiv.com|date=2020-03-23|accessdate=2020-09-11|language=en-GB|author=Casaubon says}}</ref>Mnamo 9 Mei, kulikuwa na kesi 217,185 zilizothibitishwa, vifo 30,201, na watu 99,023 waliopona nchini Italia, na nyingi za kesi hizo zilitokea mkoani Lombardia. Ripoti ya CNN ilionyesha kwamba mchanganyiko wa idadi kubwa ya wazee na ukosefu wa kupima vilichangia kiwango cha juu cha kifo.<ref>{{Cite web|title=Italy's coronavirus death toll passes 10,000. Many are asking why the fatality rate is so high|url=https://www.cnn.com/2020/03/28/europe/italy-coronavirus-cases-surpass-china-intl/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Valentina Di Donato, Sheena McKenzie and Livia Borghese CNN}}</ref> Tarehe 19 Aprili, iliripotiwa kwamba nchi hiyo ilikuwa na vifo vichache zaidi vya 433 kwa wiki moja na baadhi ya biashara ziliomba vizuizi vipunguzwe baada ya wiki sita za ufungaji. <ref>{{Cite web|title=Italy sees fewest coronavirus deaths in a week|url=https://thehill.com/policy/international/europe/493586-italy-sees-fewest-coronavirus-deaths-in-a-week|work=TheHill|date=2020-04-19|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Justine Coleman}}</ref> ==== Uhispania ==== Usambazaji wa janga hilo uilithibitishwa hadi Uhispania tarehe 31 Januari 2020, mtalii wa Kijerumani alipopima chanya kwa SARS-CoV-2 huko La Gomera, Visiwa vya Canary. <ref>{{Citation|last=Linde|first=Pablo|title=Sanidad confirma en La Gomera el primer caso de coronavirus en España|date=2020-02-01|url=https://elpais.com/sociedad/2020/01/31/actualidad/1580509404_469734.html|work=El País|language=es|issn=1134-6582|access-date=2020-09-11}}</ref>Uchunguzi baada ya muda umeonyesha kwamba angalau aina 15 za virusi zilikuwa zimetambuliwa, na maambukizo ya jamii yalianza mnamo katikati ya mwezi Februari. Mnamo 13 Machi, kesi zilikuwa zimethibitishwa katika majimbo yote 50 nchini. <ref>{{Cite web|title=El análisis genético sugiere que el coronavirus ya circulaba por España a mediados de febrero|url=https://elpais.com/ciencia/2020-04-22/el-analisis-genetico-sugiere-que-el-coronavirus-ya-circulaba-por-espana-a-mediados-de-febrero.html|work=EL PAÍS|date=2020-04-22|accessdate=2020-09-11|language=es|author=Manuel Ansede}}</ref> Ufungaji uliagizwa tarehe 14 Machi 2020. Tarehe 29 Machi ilitangazwa kwamba, kuanzia siku iliyofuata, wafanyakazi wote wasio muhimu waliamriwa wabaki nyumbani kwa siku 14 zijazo. <ref>{{Cite web|title=Spain poised to tighten coronavirus lockdown after record daily toll|url=https://www.msn.com/en-nz/news/world/spain-poised-to-tighten-coronavirus-lockdown-after-record-daily-toll/ar-BB11S9Gj|work=www.msn.com|accessdate=2020-09-11}}</ref>Mwishoni mwezi Machi, Jumuiya ya Madrid imerekodi kesi na vifo vingi zaidi nchini. Wataalamu wa matibabu na wale wanaoishi nyumbani kwa kustaafu wamekuwa walikuwa na viwango vya juu sana vya maambukizo.<ref>{{Cite web|title=‘Top of the curve’? Spain hopes Covid-19 peak reached as deaths pass 4,000|url=https://www.irishtimes.com/news/world/europe/top-of-the-curve-spain-hopes-covid-19-peak-reached-as-deaths-pass-4-000-1.4213184|work=The Irish Times|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Guy Hedgecoe in Madrid}}</ref> Mnamo 25 Machi, idadi ya vifo nchini Hispania ilipitisha vifo nchini Uchina, na Italia tu ilikuwa na vifo zaidi. <ref>{{Cite web|title=Britain’s Prince Charles tests positive for Covid-19|url=https://www.scmp.com/news/world/europe/article/3076802/coronavirus-latest-italys-virus-toll-shoots-back-doctors-see-hope|work=South China Morning Post|date=2020-03-25|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref>Tarehe 2 Aprili, watu 950 walifariki kutokana na virusi katika kipindi cha masaa 24—wakati huo kulikuwa na zaidi ya vifo katika siku moja kuliko duniani.<ref>{{Cite web|title=Spain recorded 950 coronavirus deaths in a day, the highest single-day toll of any country|url=https://www.businessinsider.com/coronavirus-spain-950-deaths-one-day-most-of-any-country-2020-4|work=Business Insider|accessdate=2020-09-11|author=Ashley Collman}}</ref> Mnamo 25 Mei 2020 idadi ya vifo kwa siku iliyotangazwa na serikali ya Kihispania imekuwa chini ya 100 kwa mara ya kwanza katika miezi miwili. <ref>{{Cite web|title=White House: CDC 'let country down' on testing - COVID-19 updates|url=https://www.aljazeera.com/news/2020/05/brazil-surpasses-spain-coronavirus-cases-live-updates-200516231547355.html|work=www.aljazeera.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> Idadi halisi ya kesi ilifikiriwa kuwa juu zaidi, kwa sababu watu wengi wenye dalili sio kali au wasio na dalili pengine hawakupimwa.<ref>{{Cite web|title=Lack of testing hampering Spain’s efforts to slow coronavirus outbreak|url=https://english.elpais.com/society/2020-03-18/lack-of-testing-hampering-spains-efforts-to-slow-coronavirus-outbreak.html|work=EL PAÍS|date=2020-03-18|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Oriol Güell, Elena Sevillano, Pablo Linde}}</ref> Tarehe 13 Mei, matokeo ya wimbi la kwanza la utafiti wa serikali ya Kihispania yalionyesha kuwa asilimia tano ya watu pengine waliambukizwa, au watu takriban 2,000,000, takwimu mara kumi ya idadi ya kesi zilizothibitishwa muda huo. Kulingana na utafiti huu uliohusisha sampuli za zaidi ya watu 63,000, Madrid na Castilla – La Mancha ilikuwa mikoa iliyoathirika zaidi duniani yenye asilimia ya zaidi ya kumi ya maambukizo. Idadi ya vifo halisi pia inaaminika kuwa juu zaidi kutokana na ukosefu wa kupima na kuripoti, labda kwa kesi 12,000 kulingana na Wizara ya Afya ya Kihispania.<ref>{{Cite web|title=Estudio de seroprevalencia: sólo el 5% de los españoles tiene anticuerpos frente al coronavirus|url=https://www.elmundo.es/ciencia-y-salud/salud/2020/05/13/5ebc25ae21efa09e608b45f5.html|work=ELMUNDO|date=2020-05-13|accessdate=2020-09-11|language=es}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus.- El 5% de la población española ha superado el Covid-19|url=https://www.europapress.es/castilla-lamancha/noticia-coronavirus-poblacion-espanola-superado-covid-19-20200513192225.html|work=www.europapress.es|date=2020-05-13|accessdate=2020-09-11|author=Europa Press}}</ref> ==== Uingereza ==== Kabla ya tarehe 18 Machi 2020, serikali ya Uingereza haikuagiza aina yoyote ya kujitenga kwa kijamii au karantini kwa raia wake. Kwa sababu hiyo serikali ilipokea ukosoaji kwa majibu yake pole pole. <ref>{{Cite web|title=The U.K. is aiming for deliberate 'herd immunity'|url=https://fortune.com/2020/03/14/coronavirus-uk-cases-herd-immunity-covid-19/|work=Fortune|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>{{Citation|title=Scottish health secretary criticises virus messaging|url=https://www.bbc.com/news/av/uk-scotland-51897773|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe Machi 16, Waziri Mkuu Boris Johnson alitangaza kushauri dhidi ya usafiri usio muhimu na mawasiliano ya kijamii, na alipendekeza watu wafanye kazi nyumbani inapowezekana na kuepuka mahali kama vile baa, migahawa, na sinema. <ref>{{Citation|title=Coronavirus: What next in the UK coronavirus fight?|date=2020-03-23|url=https://www.bbc.com/news/explainers-51632801|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Citation|last=editor|first=Sarah Boseley Health|title=New data, new policy: why UK's coronavirus strategy changed|date=2020-03-16|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/16/new-data-new-policy-why-uks-coronavirus-strategy-has-changed|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref>Tarehe 20 Machi, serikali ilitangaza kwamba vituo vyote vya burudani kama vile baa na gym vifungwe karibu iwezekanavyo, na serikali aliahidi kulipa hadi asilimia 80 ya mishahara ya wafanyakazi au hadi £2,500 kwa mwezi kuzuia ukosefu wa ajira wakati wa mgogoro. <ref>{{Cite web|title=UK PM Boris Johnson announces nationwide lockdown measures, telling cafes, pubs and restaurants to close|url=https://www.cnbc.com/2020/03/20/coronavirus-uk-pm-announces-lockdown-measures-in-london.html|work=CNBC|date=2020-03-20|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Sam Meredith}}</ref><ref>{{Citation|title=UK to pay wages for workers facing job losses|date=2020-03-20|url=https://www.bbc.com/news/business-51982005|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 23 Machi, Waziri Mkuu alitangaza hatua kali zaidi za kujitenga kwa kijamii, kupiga marufuku za mikusanyiko ya zaidi ya watu wawili na kuzuia kusafiri nje nyumbani kwa sababu sio muhimu sana. Tofauti na hatua zilizopita, polisi waliruhusiwa kutoa faini na kueneza mikusanyiko ili watekeleze vizuizi hivyo. Biashara nyingi ziliagizwa kufunga, isipokuwa biashara muhimu sana, kama vile maduka ya chakula na dawa, benki, maduka ya vifaa, vituo vya mafuta, na gereji. <ref>{{Citation|title=Strict new curbs on life in UK announced by PM|date=2020-03-24|url=https://www.bbc.com/news/uk-52012432|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 24 Aprili iliripotiwa kwamba majaribio ya chanjo yaliyotia chumvi yameanza nchini Uingereza; Serikali imeahidi zaidi ya paundi 50,000,000 kuunga mkono utafiti huo. <ref>{{Cite web|title=Large-scale human trial of potential COVID-19 vaccine kicks off at Oxford|url=https://www.cbsnews.com/news/coronavirus-vaccine-covid-19-human-clinical-trial-oxford-england/|work=www.cbsnews.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> Ili kuhakikisha huduma za afya za Uingereza zilikuwa na uwezo wa kutosha wa kuwatiba watu wenye COVID-19, hospitali za huduma muhimu za muda zilijengwa. <ref>{{Cite web|title=More temporary hospitals announced ready for coronavirus peak|url=https://www.nursingtimes.net/news/coronavirus/more-temporary-hospitals-announced-ready-for-coronavirus-peak-30-03-2020/|work=Nursing Times|date=2020-03-30|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Rebecca Gilroy}}</ref>Hospitali ya kwanza iliyofunguliwa ilikuwa hospitali ya Nightingale mjini London yenye kitanda 4,000, iliyojengwa ndani ya kituo cha mikutano mikubwa ExCel katika siku tisa.<ref>{{Citation|last=Davies|first=Caroline|title=Prince Charles to open NHS Nightingale to treat Covid-19 patients|date=2020-04-03|url=https://www.theguardian.com/world/2020/apr/03/prince-charles-to-open-nhs-nightingale-to-treat-covid-19-patients|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> Mnamo 4 Mei, ilitangazwa kuwa hospitali hiyo ingefungwa kwa muda kwa sababu wagonjwa 51 tu walitibwa pale wakati wa wiki tatu za kwanza. <ref>{{Citation|title=Nightingale Hospital in London placed on standby|date=2020-05-04|url=https://www.bbc.com/news/health-52531845|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> <ref>{{Citation|title=Coronavirus: London's NHS Nightingale 'treated 51 patients'|date=2020-04-27|url=https://www.bbc.co.uk/news/uk-england-london-52448982|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref>Mnamo 5 Mei, takwimu rasmi zilionyesha kwamba Uingereza ilikuwa na kiwango cha kifo kibaya zaidi huko Ulaya, ikianzisha wito wa uchunguzi wa jinsi serikali ilivyosimamia janga hilo. Idadi ya vifo nchini Uingereza ilikuwa karibu 29,427 kwa wale waliopima chanya kwa virusi. Baadaye, ilihesabu kama 32,313, baada ya kujumuisha takwimu rasmi kutoka Scotland na Ireland Kaskazini. Tarehe 16 Aprili iliripotiwa kwamba Uingereza ingekuwa nchi ya kwanza kupata chanjo ya Oxford, kutokana na mkataba wa awali; kama majaribio yangefanikiwa, chanjo 30,000,000 ingepatikana nchini. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus updates: Texas reports single highest daily rate increase of infections|url=https://www.msn.com/en-us/news/us/coronavirus-updates-texas-reports-single-highest-daily-rate-increase-of-infections/ar-BB14cpOY?ocid=spartan-dhp-feeds|work=www.msn.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> ==== Ufaransa ==== Ingawa ilifikiriwa mwanzo wa janga hilo lilifikia Ufaransa tarehe 24 Januari 2020, wakati huo kesi ya kwanza ya Ulaya ilithibitishwa mjini Bordeaux, baadaye iligunduliwa kwamba mtu karibu na Paris alipima chanya kwa virusi tarehe 27 Desemba 2019 baada ya sampuli za zamani zilipimwa tena.<ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=After retesting samples, French hospital discovers COVID-19 case from December|date=2020-05-04|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-france-idUSKBN22G20L|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Deslandes|first=A.|last2=Berti|first2=V.|last3=Tandjaoui-Lambotte|first3=Y.|last4=Alloui|first4=Chakib|last5=Carbonnelle|first5=E.|last6=Zahar|first6=J.R.|last7=Brichler|first7=S.|last8=Cohen|first8=Yves|date=2020-6|title=SARS-CoV-2 was already spreading in France in late December 2019|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7196402/|journal=International Journal of Antimicrobial Agents|volume=55|issue=6|pages=106006|doi=10.1016/j.ijantimicag.2020.106006|issn=0924-8579|pmc=7196402|pmid=32371096}}</ref> Tukio muhimu katika kuenea kwa ugonjwa huo nchini lilikuwa mkutano wa kila mwaka wa Kanisa la Chrisitan Open Door kati ya 17 na 24 Februari mjini Mulhouse, ambao ulihudhuriwa na watu 2,500, angalau nusu ya wale wanaaminika kuambukizwa na virusi hivyo. <ref>{{Cite web|title=ENQUETE FRANCEINFO. "La majorité des personnes étaient contaminées" : de la Corse à l'outre-mer, comment le rassemblement évangélique de Mulhouse a diffusé le coronavirus dans toute la France|url=https://www.francetvinfo.fr/sante/maladie/coronavirus/video-coronavirus-le-nombre-de-contaminations-lors-du-rassemblement-evangelique-de-mulhouse-a-ete-largement-sous-evalue_3889133.html|work=Franceinfo|date=2020-03-28|accessdate=2020-09-11|language=fr}}</ref> Tarehe 13 Machi, Waziri Mkuu Édouard Philippe aliagiza mahali pa umma pasio muhimu pafungwe, na tarehe 16 Machi, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alitangaza watu wote wakae nyumbani, sera ambayo ilipanuliwa angalau hadi 11 Mei.<ref>{{Cite web|title=France imposes 15-day lockdown and mobilises 100,000 police to enforce coronavirus restrictions|url=https://www.independent.co.uk/news/world/europe/coronavirus-france-lockdown-cases-update-covid-19-macron-a9405136.html|work=The Independent|date=2020-03-16|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Mnamo 23 Aprili, Ufaransa imeripoti zaidi ya kesi 120,804 zilizothibitishwa, vifo 21,856, na watu 42,088 waliopona, cheo cha nne katika idadi ya kesi zilizothibitishwa. <ref>{{Cite web|title=etalab-covid19-dashboard|url=https://dashboard.covid19.data.gouv.fr/|work=etalab-covid19-dashboard|accessdate=2020-09-11}}</ref>Mwezi Aprili, kulikuwa na ghasia katika sehemu nyingine za Paris.<ref>{{Citation|last=McAuley|first=James|title=Violent protests in Paris suburbs reflect tensions under lockdown|url=https://www.washingtonpost.com/world/europe/paris-suburbs-protests-villeneuve-la-garenne/2020/04/25/55f5a40c-85a1-11ea-81a3-9690c9881111_story.html|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 18 Mei iliripotiwa kwamba shule nchini Ufaransa zilibidi zifunge tena baada ya kufunguliwa upya, kutokana na mlipuko mwingine. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus flare-ups force France to re-close some schools|url=https://www.cbsnews.com/news/coronavirus-france-close-some-reopened-schools-covid-cases-flare-up-today-2020-05-18/|work=www.cbsnews.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> ==== Swideni ==== Swideni ni tofauti kuliko nchi nyingine za Ulaya kwa sababu ilibaki wazi kwa jumla.<ref>{{Citation|last=Leatherby|first=Lauren|title=Sweden Stayed Open. A Deadly Month Shows the Risks.|date=2020-05-15|url=https://www.nytimes.com/interactive/2020/05/15/world/europe/sweden-coronavirus-deaths.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=McCann|first2=Allison}}</ref> Kwa mujibu ya katiba ya Kiswidi, Shirika la afya ya umma la Uswidi lina uhuru na hali hiyo inazuia uingiliaji wa kisiasa, na sera ya shirika hilo halikupendelea ufungaji ili nchi ifikie kinga ya umma. Gazeti la New York Times lilisema kwamba, mnamo Mei 2020, mlipuko nchini Swideni umesababisha vifo vingi zaidi lakini haukuathiri uchumi sana kuliko nchi nyingine kwa sababu waSwideni wameendelea kufanya kazi na shughuli. Mnamo 19 Mei, iliripotiwa kwamba nchi hiyo ilikuwa na vifo vingi zaidi kwa idadi ya nchi wakati wa wiki ya tarehe 12 – 19 kuliko Ulaya, vifo 6.25 kwa watu wamilioni moja kwa siku. <ref>{{Cite web|title=Architect of Sweden’s no-lockdown strategy insists it will pay off|url=https://www.ft.com/content/a2b4c18c-a5e8-4edc-8047-ade4a82a548d|work=www.ft.com|date=2020-05-08|accessdate=2020-09-11|language=en-GB|author=Richard Milne}}</ref><ref>{{Citation|last=Leatherby|first=Lauren|title=Sweden Stayed Open. A Deadly Month Shows the Risks.|date=2020-05-15|url=https://www.nytimes.com/interactive/2020/05/15/world/europe/sweden-coronavirus-deaths.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=McCann|first2=Allison}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus: Sweden records highest weekly deaths per capita in Europe|url=https://www.yahoo.com/lifestyle/coronavirus-sweden-highest-death-rate-europe-162855274.html|work=www.yahoo.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> === Amerika Kaskazini === Kesi ya kwanza katika Amerika Kaskazini iliripotiwa huko Marekani mwezi Januari 2020. Kesi ziliripotiwa katika nchi zote za Amerika Kaskazini baada ya Saint Kitts na Nevis ilithibitisha kesi tarehe 25 Machi, na katika maeneo yote ya Amerika Kaskazini baada ya Bonai ilithibitisha kesi tarehe 16 Aprili. <ref>{{Cite web|title=Update on Coronavirus (COVID-19) by Bonaire's Lt. Governor|url=https://www.infobonaire.com/update-on-coronavirus-covid-19-by-bonaires-lt-governor/|work=InfoBonaire|date=2020-04-16|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Susan Davis for The Bonaire Insider}}</ref> Tarehe 26 Machi 2020, Marekani ilikuwa nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya maambukizo, yenye zaidi ya kesi 82,000. Tarehe 11 Aprili 2020, Marekani ilikuwa nchi yenye idadi kubwa ya vifo kutokana na virusi hivyo, vifo 20,000. Mnamo 15 Mei 2020 kulikuwa na kesi 1,571,908 na vifo 95,764 kwa jumla. <ref>{{Citation|last=Trotta|first=Maria Caspani, Daniel|title=As of Thursday, U.S. had most coronavirus cases in world|date=2020-03-27|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-usa-idUSKBN21D1ZR|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Shumaker|first=Lisa|title=U.S. coronavirus deaths top 20,000, highest in world exceeding Italy: Reuters tally|date=2020-04-11|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-usa-casualties-idUSKCN21T0NA|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> Kanada iliripoti kesi 60,616 na vifo 3,842 tarehe 4 Mei, wakati Mexico iliripoti kesi 23,471 na vifo 2,154. Jamhuri ya Dominika, Haiti na Cuba ni nchi pekee za nchi za Caribbean ambazo zimeripoti zaidi ya kesi 1,000 (16,908, 2,124 na 2,025, kwa mtiririko huo), wakati Panama na Honduras ziliongoza Amerika ya kati na kesi 7,197 na 1,055, kwa mtiririko huo. <ref>{{Cite web|title=CSSEGISandData/COVID-19|url=https://github.com/CSSEGISandData/COVID-19|work=GitHub|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> ==== Marekani ==== Tarehe 20 Januari 2020, kesi ya kwanza inayojulikana ya coronavirus ilithibitishwa jimbo la Washington kuhusu mtu aliyerudi kutoka mjini Wuhan tarehe 15 Januari. Tarehe 31 Januari, utawala wa Rais Trump ulitangaza dharura ya afya ya umma, na kuzuia wasafiri kutoka Uchina wasiingie nchi kama hawakuwa raia. <ref>{{Cite journal|last=Holshue|first=Michelle L.|last2=DeBolt|first2=Chas|last3=Lindquist|first3=Scott|last4=Lofy|first4=Kathy H.|last5=Wiesman|first5=John|last6=Bruce|first6=Hollianne|last7=Spitters|first7=Christopher|last8=Ericson|first8=Keith|last9=Wilkerson|first9=Sara|date=2020-03-05|title=First Case of 2019 Novel Coronavirus in the United States|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7092802/|journal=The New England Journal of Medicine|volume=382|issue=10|pages=929–936|doi=10.1056/NEJMoa2001191|issn=0028-4793|pmc=7092802|pmid=32004427}}</ref><ref name=":3">{{Cite web|title=Trump Declares Coronavirus A Public Health Emergency And Restricts Travel From China|url=https://www.npr.org/sections/health-shots/2020/01/31/801686524/trump-declares-coronavirus-a-public-health-emergency-and-restricts-travel-from-c|work=NPR.org|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Tarehe 28 Januari, shirika la Vituo Vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) lilitangaza kuwa walitengeneza vifaa vyao vya kupima wenyewe.<ref>{{Cite web|title=PolitiFact - Biden falsely says Trump administration rejected WHO coronavirus test kits (that were never offered)|url=https://www.politifact.com/factchecks/2020/mar/16/joe-biden/biden-falsely-says-trump-administration-rejected-w/|work=@politifact|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=District of Columbia 1100 Connecticut Ave NW Suite 1300B Washington, Dc 20036}}</ref> Lakini Marekani ilianza kupima pole pole, na hali hiyo ilificha kiwango cha mlipuko.<ref>{{Citation|last=Whoriskey|first=Peter|title=How U.S. coronavirus testing stalled: Flawed tests, red tape and resistance to using the millions of tests produced by the WHO|url=https://www.washingtonpost.com/business/2020/03/16/cdc-who-coronavirus-tests/|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-11|last2=Satija|first2=Neena}}</ref> Upimaji uliharibiwa na vifaa vya kupima kasoro vilivyozalishwa na serikali mwezi Februari, ukosefu wa kibali cha serikali kutumia vipimo havikuzalishwi na serikali, na vigezo vikali mno vilivyowazuia watu wengi wasipimwe.<ref>{{Cite web|title=How the CDC’s Restrictive Testing Guidelines Hid the Coronavirus Epid…|url=http://archive.li/tp9HA|work=archive.li|date=2020-03-22|accessdate=2020-09-11|archivedate=2020-03-22|archiveurl=https://archive.today/20200322161141/https://www.wsj.com/articles/how-the-cdcs-restrictive-testing-guidelines-hid-the-coronavirus-epidemic-11584882001}}</ref> Mnamo 2 Machi kulikuwa na kesi 80 zilithibitishwa, na nusu ya kesi ilikuwepo jimbo la California. Majimbo ya Florida na New York yalitangaza kesi mbili zao za kwanza na jimbo la Washington liliripoti kesi nyingi zilizotuhumiwa na kifo cha kwanza. Makamu wa Rais Pence alisisitiza kuwa tishio la virusi kusambaa kote nchini Marekani lilikuwa dogo. <ref>{{Cite web|title=Washington governor declares state of emergency over virus|url=https://abcnews.go.com/US/wireStory/coronavirus-cases-unknown-origin-found-west-coast-69301250|work=ABC News|accessdate=2020-09-11|language=en|author=A. B. C. News}}</ref> Tarehe 6 Machi, Rais Trump alisaini sheria ya maandalizi na mwitikio ya Coronavirus, ambayo ilitoa fedha za dharura $8,300,000,000 ili mashirika ya serikali yajibu mlipuko huo. Makampuni yaliwahamasisha wafanyakazi wao kufanya kazi kutoka nyumbani. Matukio ya michezo yalifutwa. <ref>{{Citation|last=Pilkington|first=Ed|title=How science finally caught up with Trump's playbook – with millions of lives at stake|date=2020-04-04|url=https://www.theguardian.com/us-news/2020/apr/04/trump-coronavirus-science-analysis|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Trump signs emergency coronavirus package, injecting $8.3 billion into efforts to fight the outbreak {{!}} Markets Insider|url=https://www.businessinsider.com/trump-signs-billion-emergency-funding-package-fight-coronavirus-legislation-covid19-020-3|work=markets.businessinsider.com|accessdate=2020-09-11|language=en-us|author=finanzen net GmbH}}</ref> Tarehe 13 Machi, Trump alitangaza hali ya dharura ya kitaifa, ambayo ilifanya fedha za serikali ziliozopatikana kukabili mgogoro huo. <ref>{{Cite web|title=Here's what Trump's coronavirus emergency declaration does|url=https://www.cnn.com/2020/03/13/politics/states-coronavirus-fema/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Priscilla Alvarez CNN}}</ref>Kuanzia tarehe 15 Machi, biashara na shule nyingi zilifungwa. Mnamo 17 Machi, janga hilo lilikuwa limethibitishwa katika majimbo yote 50 na katika wilaya ya Columbia.<ref>{{Cite web|title=These stores are closing or changing hours due to coronavirus|url=https://www.sfgate.com/news/article/retail-chainsclosing-hours-coronavirus-15132524.php|work=SFGate|date=2020-03-15|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Katie Dowd SFGATE}}</ref> <ref>{{Cite web|title=After coronavirus school closings, will states need to hold kids back, institute summer school?|url=https://www.usatoday.com/story/news/education/2020/03/18/coronavirus-school-closings-online-school-summer-school/2862873001/|work=USA TODAY|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Lily Altavena, Max Londberg and Justin Murphy}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus Maps: How Severe Is Your State's Outbreak?|url=https://www.npr.org/sections/health-shots/2020/09/01/816707182/map-tracking-the-spread-of-the-coronavirus-in-the-u-s|work=NPR.org|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref>Mnamo 26 Machi, Marekani ilikuwa na kesi zilizothibitishwa zaidi kuliko nchi nyingine yoyote. <ref>{{Citation|last=Jr|first=Donald G. McNeil|title=The U.S. Now Leads the World in Confirmed Coronavirus Cases|date=2020-03-26|url=https://www.nytimes.com/2020/03/26/health/usa-coronavirus-cases.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref>Wakaguzi wa afya wa serikali walichunguza hospitali 323 mwishoni mwezi Machi; walitoa taarifa za "upungufu mkubwa sana" wa vifaa vya kupima, "upungufu mkubwa" wa vifaa vya kinga (PPE), na rasilimali nyingine mbaya kutokana na wagonjwa wakikaa hospitali kwa muda mrefu wakati wa kusubiri matokeo ya vipimo. <ref>{{Cite web|title=The HHS Inspector General Report|url=https://www.factcheck.org/2020/04/the-hhs-inspector-general-report/|work=FactCheck.org|date=2020-04-07|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Lori Robertson}}</ref> Tarehe 22 Aprili iliripotiwa kwamba waCalifornia wawili walifariki kutokana na virusi vya COVID-19 tarehe 6 na 17 Februari, wiki tatu kabla ya kifo rasmi cha kwanza nchini kilikiriwa. <ref>{{Cite web|title=2 died with coronavirus weeks before 1st U.S. virus death|url=https://www.pbs.org/newshour/nation/2-died-with-coronavirus-weeks-before-1st-u-s-virus-death|work=PBS NewsHour|date=2020-04-22|accessdate=2020-09-11|language=en-us}}</ref>Mnamo 24 Aprili, kesi 889,309 zilikuwa zimethibitishwa na watu 50,256 walikuwa wamefariki.<ref>{{Cite web|title=Global COVID-19 Tracker & Interactive Charts {{!}} Real Time Updates & Digestable Information for Everyone {{!}} 1Point3Acres|url=https://coronavirus.1point3acres.com/|work=coronavirus.1point3acres.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> Mnamo 17 Mei, kwa mujibu ya takwimu za New York Times, zaidi ya watu 1,474,600 walikuwa wameambukizwa na angalau 88,600 walikufa nchini Marekani. Gazeti hilo lilieleza kwamba, kabla ya tarehe 29 Aprili, vifo vilivyothibitishwa kupitia upimaji tu viliripotiwa, lakini vigezo vipya vilijumuisha kesi na vifo vilivyowezekana. Mnamo 17 Mei, Marekani, ambaye ina asilimia 4.25 ya idadi ya watu duniani, ilikuwa na asilimia ya 29 ya vifo kutokana na Coronavirus. <ref>{{Citation|last=Times|first=The New York|title=Covid in the U.S.: Latest Map and Case Count|date=2020-07-20|url=https://www.nytimes.com/interactive/2020/us/coronavirus-us-cases.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref> Ikulu imekuwa ilikosolewa kwa kupunguza tisho na kudhibiti habari kwa kuagiza maafisa wa afya na wanasayansi kuratibu taarifa za umma na machapisho yanayohusu virusi pamoja na ofisi ya Makamu wa Rais Mike Pence. Mnamo 14 Aprili, Rais Trump alifuta fedha kwa shirika la afya duniani (WHO), akisema wamekuwa walisimamia vibaya janga hilo. Pia alisema Marekani haingeshiriki katika jitihada za kimataifa pamoja na WHO kuendeleza chanjo na madawa kupambana na virusi. <ref>{{Citation|last=Shear|first=Michael D.|title=Pence Will Control All Coronavirus Messaging From Health Officials|date=2020-02-27|url=https://www.nytimes.com/2020/02/27/us/politics/us-coronavirus-pence.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Haberman|first2=Maggie}}</ref><ref>{{Cite web|title=Trump calls for halt to US funding for World Health Organization amid coronavirus outbreak|url=https://www.msn.com/en-us/money/markets/trump-calls-for-halt-to-us-funding-for-world-health-organization-amid-coronavirus-outbreak/ar-BB12D4Vp?ocid=spartandhp|work=www.msn.com|accessdate=2020-09-11}}</ref> Mnamo katikati ya mwezi Mei ripoti za kesi mpya zilianza kukaa sawa na majimbo mengi yalianza kufungua migahawa na mahali pengine pa biashara, kuweka mipaka ya idadi ya watu walioruhusiwa ndani wakati huo huo. Mkuu wa shirika la magonjwa ya maambukizo (NIAID), Dk Anthony Fauci, alionya kwamba kama tahadhari haikutumika kiwango cha maambukizo kingeongezeka tena na alikuwa na wasiwasi hasa kuhusu kufungua shule kwa mwaka mpya wa shule. Mnam kati kati ya mwezi Juni, idadi ya kesi ilianza kuongezeka tena hasa majimbo ya Texas, California, Florida, na Arizona. <ref>{{Cite web|title=Trump Criticizes Fauci’s Warning Against Opening Schools Too Soon In Latest Public Disagreement|url=https://khn.org/morning-breakout/trump-criticizes-faucis-warning-against-opening-schools-too-soon-in-latest-public-disagreement/|work=Kaiser Health News|date=2020-05-14|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Record spikes in U.S. coronavirus cases push up hospitalization rates in 16 states|url=https://www.cnbc.com/2020/06/25/record-spikes-in-us-coronavirus-cases-push-up-hospitalization-rates-in-16-states.html|work=CNBC|date=2020-06-25|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Jasmine Kim}}</ref> Tarehe 16 Julai Marekani ilikuwa na kesi zaidi kwa siku moja (kesi 75,000) tangu mwanzo wa mlipuko. <ref>{{Cite web|title=US sets daily COVID-19 record: 75,000 new cases|url=https://www.cidrap.umn.edu/news-perspective/2020/07/us-sets-daily-covid-19-record-75000-new-cases|work=CIDRAP|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Stephanie Soucheray {{!}} News Reporter {{!}} CIDRAP News {{!}} Jul 17, 2020}}</ref> === Amerika Kusini === Janga hilo lilithibitishwa kuwa kufika Amerika Kusini tarehe 26 Februari Brazil ilipothibitisha kesi mjini São Paulo. Mnamo 3 Aprili, nchi zote za maeneo ya Amerika Kusini zilikuwa zimeandikisha angalau kesi moja. <ref>{{Cite web|title=The Coronavirus in Latin America|url=https://www.as-coa.org/articles/coronavirus-latin-america|work=AS/COA|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Luisa Horwitz, Paola Nagovitch, Holly K. Sonnel, Carin Zissis}}</ref><ref>{{Cite web|title=Uncollected bodies lie for days in the streets of Ecuador: The emerging epicenter of the coronavirus in Latin America|url=https://www.stuff.co.nz/national/health/coronavirus/120818001/uncollected-bodies-lie-for-days-in-the-streets-of-ecuador-the-emerging-epicenter-of-the-coronavirus-in-latin-america|work=Stuff|date=2020-04-03|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Mnamo Aprili 17, idadi kubwa zaidi ya wagonjwa na vifo viliandikishwa nchini Brazili, ikifuatiliwa na Peru na Chile katika idadi ya kesi zilizothibitishwa. <ref>{{Cite web|title=Superan AL y el Caribe más de 400 mil casos de coronavirus - Mundo - La Jornada|url=https://www.jornada.com.mx/ultimas/mundo/2020/05/13/superan-al-y-el-caribe-mas-de-400-mil-casos-de-coronavirus-883.html|work=www.jornada.com.mx|date=2020-05-13|accessdate=2020-09-11|language=es|author=Afp}}</ref> Tarehe 13 Mei, iliripotiwa kwamba Amerika Kusini na eneo la Caribbean ziliripoti zaidi ya kesi 400,000 na vifo 23,091. Tarehe 22 Mei, likitaja hasa ongezeko la maambukizo la haraka nchini Brazil, shirika la WHO lilitangaza kwamba Amerika Kusini sasa ni kati ya janga la Coronavirus. Mnamo 25 Mei, eneo hilo lilikuwa na zaidi ya kesi 636,000 na zaidi ya vifo 31,000. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa kupima na vifaa vya matibabu inaaminika kwamba mlipuko huo ni mkubwa zaidi kuliko takwimu rasmi zinaonyesha. <ref>{{Cite web|title=How South America became a coronavirus epicenter|url=https://www.vox.com/2020/5/26/21270376/south-america-covid-19-coronavirus-brazil-peru-chile|work=Vox|date=2020-05-26|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Alex Ward}}</ref> ==== Brazili ==== Tarehe 20 Aprili iliripotiwa kwamba Brazil ilikuwa na rekodi ya vifo 1,179 kwa siku moja, kwa jumla ya karibu 18,000. Kukiwa na idadi ya kesi takriban 272,000, Brazil ikawa nchi yenye idadi kubwa ya tatu ya kesi, kufuata Urusi na Marekani. Mnamo 25 Mei, Brazil ilizidi idadi ya kesi nchini Urusi iliporipoti kwamba kesi mpya 11,687 zilikuwa zimethibitishwa katika masaa 24 yaliyopita, na kufikia zaidi ya kesi 374,800, na zaidi ya vifo 23,400. Rais Jair Bolsonaro amechochea utata mkubwa akitaja virusi hivyo kama "homa ndogo" na mara nyingi kukosoa hatua za ufungaji na karantini. <ref>{{Citation|last=Fonseca|first=Pedro|title=Brazil suffers record coronavirus deaths, Trump mulls travel ban|date=2020-05-20|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-brazil-idUSKBN22V374|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Brazil faces a dark week as Covid-19 toll soars|url=https://www.cnn.com/2020/05/25/americas/brazil-bolsonaro-grim-week-may-25-intl/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Shasta Darlington, Flora Charner, Taylor Barnes and Seán Federico-O'Murchú CNN}}</ref> === Afrika === Kwa mujibu ya Michael Yao, ambaye ni mkuu wa operesheni za dharura barani Afrika kwa WHO, kugundua mapema ni muhimu kwa sababu mifumo ya afya ya bara "tayari imeshindwa na milipuko mingi ya ugonjwa unaoendelea". <ref>{{Citation|title=Coronavirus: Could African countries cope with an outbreak?|date=2020-03-12|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-51403865|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Washauri wanasema kwamba mkakati wenye msingi wa kupima ungeruhusu nchi za Afrika kupunguza ufungaji ambao unaosababisha ugumu mkubwa kwa wale wanaotegemea mapato siku kwa siku ili waweze kuwalisha wenyewe na familia zao. Hata katika hali bora zaidi, shirika la Umoja wa Mataifa linasema kuwa vifaa 74,000,000 vya kupima na vifaa 30,000 vinavyosaadia kupumua vitahitajika na wananchi 1,300,000,000 wa bara mwaka 2020.<ref>{{Cite web|title=‘It's just beginning here’: Africa turns to testing as pandemic grips the continent|url=http://www.theguardian.com/world/2020/apr/26/its-just-beginning-here-africa-turns-to-testing-as-pandemic-grips-the-continent|work=the Guardian|date=2020-04-26|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Kesi nyingi zilizoripotiwa zinatoka nchi sita: Afrika Kusini, Nigeria, Ghana, Morocco, Misri na Algeria, lakini inaaminika kwamba kuna uwezekano mkubwa kuna kesi nyingi zaidi ambazo hazijaripotiwa huko nchi nyingine za Afrika zenye mifumo maskini ya huduma za afya.<ref>{{Citation|last=correspondent|first=Jason Burke Africa|title=Total confirmed coronavirus cases in Africa pass 1 million|date=2020-08-06|url=https://www.theguardian.com/world/2020/aug/06/total-confirmed-coronavirus-cases-in-africa-pass-1-million|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> Kesi zimethibitishwa katika nchi zote za Afrika, na Lesotho ilikuwa nchi ya mwisho kuripoti kesi yake ya kwanza tarehe 13 Mei 2020. Hajakuwa na kesi zilizoripotiwa katika maeneo ya nje ya Uingereza ya Saint Helena, Ascension, na Tristan da Cunha.<ref>{{Cite web|title=The last places on earth without coronavirus|url=https://graphics.reuters.com/HEALTH-CORONAVIRUS/TRANSMISSION-STATUS/azgpombyxpd/|work=Reuters|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Gurman Bhatia, Manas Sharma}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lesotho records first coronavirus case a week after lifting lockdown|url=http://www.theguardian.com/world/2020/may/13/lesotho-records-first-coronavirus-case-a-week-after-lifting-lockdown|work=the Guardian|date=2020-05-13|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Silence Charumbira in Maseru}}</ref> === Oceania === Janga hilo lilithibitishwa kufikia Oceania tarehe 25 Januari 2020 kesi ya kwanza iliyothibitishwa iliporipotiwa mjini Melbourne, Australia. Tangu wakati huo, virusi hivyo vimeenea mahali pengine katika eneo hilo, ingawa mataifa mengi madogo ya Pasifiki hadi sasa yameepuka mlipuko huo kwa kufunga mipaka yao ya kimataifa. Mnamo 13 Agosti 2020, Mataifa ya Oceania rasmi bado hayajaripoti kesi. <ref>{{Cite web|title=First confirmed case of novel coronavirus in Australia|url=https://www.health.gov.au/ministers/the-hon-greg-hunt-mp/media/first-confirmed-case-of-novel-coronavirus-in-australia|work=Australian Government Department of Health|date=2020-01-25|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Australian Government Department of Health}}</ref><ref>{{Cite web|title=WHO Coronavirus Disease (COVID-19) Dashboard|url=https://covid19.who.int/|work=covid19.who.int|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Tarehe 19 Mei 2020, Australia ilifungua hoja katika Umoja wa Mataifa kudai uchunguzi wa asili ya virusi na miitikio wa Umoja wa Mataifa na serikali mbalimbali. Zaidi ya nchi 100 ziliunga mkono hoja hii, na ilipitishwa mara moja. <ref>{{Cite web|title=U.S. stands with Australia after China threatens economic retribution over coronavirus origins inquiry, Pompeo says|url=https://www.newsweek.com/us-stands-australia-after-china-threatens-economic-retribution-over-coronavirus-origins-inquiry-1505491|work=Newsweek|date=2020-05-20|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Meghan Roos On 5/20/20 at 1:52 PM EDT}}</ref><ref>{{Cite web|title=China signs on to World Health Assembly inquiry resolution|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/coronavirus-inquiry-resolution-adopted-at-world-health-assembly-as-china-signs-on-20200519-p54ukn.html|work=The Sydney Morning Herald|date=2020-05-19|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Anthony Galloway, Eryk Bagshaw}}</ref> == Miitikio ya kimataifa == === Vizuizi vya usafiri === Kutokana na janga hilo, nchi nyingi na maeneo mengi yaliweka karantini, marufuku za kuingia, au vikwazo vingine, ama kwa raia, wasafiri waliosafiri hivi karibuni maeneo yaliyoathirika, au wasafiri wote. Pamoja na upungufu wa hamu la kusafiri, sekta ya usafiri imeathirika vibaya. Kuna wasiwasi kuhusu ufanisi wa vikwazo vya kusafiri ili kuzuia virusi visisambae. Utafiti katika gazeti la Sayansi uligundua kwamba vizuizi vya usafiri vilikuwa na athari ndogo tu kuchelewa usambaji wa awali, isipokuwa vilipojumuisha na hatua nyingine za kuzuia na kudhibiti maambukizo. Watafiti walihitimisha kuwa "vikwazo vya kusafiri ni muhimu zaidi katika awamu za mapema na mwisho za janga" na "vikwazo vya kusafiri kutoka Wuhan kwa bahati mbaya vilifanywa kuchelewa sana". <ref>{{Citation|last=Salcedo|first=Andrea|title=Coronavirus Travel Restrictions, Across the Globe|date=2020-07-16|url=https://www.nytimes.com/article/coronavirus-travel-restrictions.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Yar|first2=Sanam|last3=Cherelus|first3=Gina}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus spikes outside China show travel bans aren’t working|url=https://www.nationalgeographic.com/science/2020/02/why-travel-restrictions-are-not-stopping-coronavirus-covid-19/|work=Science|date=2020-02-24|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus spikes outside China show travel bans aren’t working|url=https://www.nationalgeographic.com/science/2020/02/why-travel-restrictions-are-not-stopping-coronavirus-covid-19/|work=Science|date=2020-02-24|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Umoja wa Ulaya ilikataa wazo la kusitisha eneo la usafiri la bure la Schengen na kuanzisha udhibiti wa mpaka na Italia, uamuzi ambao umekosolewa na wanasiasa wengine wa Ulaya.<ref>{{Citation|last=Stevis-Gridneff|first=Matina|title=Coronavirus Nightmare Could Be the End for Europe’s Borderless Dream|date=2020-02-26|url=https://www.nytimes.com/2020/02/26/world/europe/coronavirus-european-union.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref> === Uhamishaji wa raia wa kigeni === Kutokana na karantini ufanisi wa usafiri wa umma huko Wuhan na Hubei, nchi kadhaa ziliwahamisha raia wao na wafanyakazi wa kidiplomasia kutoka eneo hilo, hasa kwa ndege maalum, na mamlaka ya Uchina kutoa kibali. Kanada, Marekani, Japani, India, Sri Lanka, Australia, Ufaransa, Argentina, Ujerumani, na Thailand zilikuwa miongoni mwa kwanza kupanga uhamishaji wa raia wao. Brazil na New Zealand pia zilihamisha raia wao wenyewe na baadhi ya watu wengine.<ref>{{Cite web|title=Countries Evaluate Evacuation of Citizens Amid Wuhan Coronavirus Panic|url=https://thediplomat.com/2020/01/countries-evaluate-evacuation-of-citizens-amid-wuhan-coronavirus-panic/|work=thediplomat.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Associated Press}}</ref> Tarehe 14 Machi, Afrika Kusini iliwahamisha Waafrika Kusini 112 ambao walipima hasi kwa virusi kutoka Wuhan, wakati watu wanne ambao walionyesha dalili waliachwa nyuma ili ipunguze hatari.<ref>{{Cite web|title=Repatriated citizens to be reunited with families|url=https://www.sanews.gov.za/south-africa/repatriated-citizens-be-reunited-families|work=SAnews|date=2020-03-29|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Pakistani ilisema isingewahamisha raia kutoka Uchina.<ref>{{Cite web|title=Pakistan cancels flights to China as fears of coronavirus spread|url=https://www.dialoguepakistan.com/pakistan-cancels-flights-to-china-as-fears-of-coronavirus-spread/|work=Dialogue Pakistan|date=2020-01-31|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> Tarehe 15 Februari, Marekani ilitangaza ingewahamisha Wamarekani kutoka meli ya Diamond Princess,<ref>{{Citation|last=Wang|first=Vivian|title=Shifting Ground in Coronavirus Fight: U.S. Will Evacuate Americans From Cruise Ship|date=2020-02-15|url=https://www.nytimes.com/2020/02/15/world/asia/japan-cruise-ship-coronavirus.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11|last2=Rich|first2=Motoko|last3=Bradsher|first3=Keith}}</ref> na tarehe 21 Februari, Kanada iliwahamisha abiria wa kiKanada 129 kwenye meli hiyo. Mwanzo wa mwezi Machi, serikali ya India ilianza kuwazuia raia wake wasitoke Irani.<ref>{{Citation|title=4th batch of 53 Indians evacuated from Iran: S Jaishankar|url=https://economictimes.indiatimes.com/news/politics-and-nation/4th-batch-of-53-indians-evacuated-from-iran-s-jaishankar/articleshow/74647353.cms|work=The Economic Times|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 20 Machi, Marekani ilianza kuwaondoa wanajeshi wake kutoka Iraki kutokana na janga hilo.<ref>{{Cite web|title=US-led coalition in Iraq drawing down over coronavirus concerns|url=https://thehill.com/policy/defense/488618-us-led-coalition-in-iraq-drawing-down-over-coronavirus-concerns|work=TheHill|date=2020-03-20|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Rebecca Kheel}}</ref> === Misaada ya kimataifa === ==== Msaada kwa Uchina ==== Baadhi ya wanafunzi wa Kichina huko vyuo vikuu Marekani walituma msaada, ukiwemo barakoa N95 50,000 tarehe 30 Januari.<ref>{{Cite web|title=Students mobilize aid for Hubei province in China following coronavirus outbreak|url=https://tuftsdaily.com/news/2020/02/05/students-mobilize-aid-hubei-province-china-following-coronavirus-outbreak/|work=The Tufts Daily|date=2020-02-05|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Shirika la msaada wa kibinadamu moja kwa moja liliotumia hospitali ya Wuhan barakoa 200,000 na vifaa vingine vya kujilinda binafsi siku hiyo hiyo. <ref>{{Cite web|title=Direct Relief Rushes Facial Masks to China to Fight Coronavirus Spread|url=https://www.directrelief.org/2020/01/direct-relief-rushes-facial-masks-to-china-to-fight-coronavirus-spread/|work=Direct Relief|date=2020-01-28|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Staff}}</ref>Tarehe 5 Februari, Wizara ya mambo ya nje ya Uchina ilisema nchi 21 (zikiwemo Belarus, Pakistan, Trinidad na Tobago, Misri, na Iran) zilikuwa zimetumia Uchina msaada, na Bill na Melinda Gates walitangaza mchango wa $100,000,000 kwa WHO kufadhili utafiti wa chanjo na matibabu na kulinda "watu wenye hatari katika Afrika na Asia Kusini.”<ref>{{Cite web|title=Bill And Melinda Gates Donate $100 Million To Coronavirus Vaccine Research And Treatment|url=https://www.forbes.com/sites/lisettevoytko/2020/02/05/bill-and-melinda-gates-donate-100-million-to-coronavirus-vaccine-research/|work=Forbes|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Lisette Voytko}}</ref><ref>https://armenpress.am/eng/news/1003716/</ref> Interaksyon ilisema serikali ya Uchina ilichangia Ufilipino barakoa 200,000 tarehe 6 Februari baada ya Seneta wa Ufilipino Richard Gordon alitumia Wuhan barakoa 3,160,000. Tarehe 19 Februari, Shirika la Msalaba Mwekundu la Singapore lilitangaza lingetumia Uchina msaada wenye thamani $2,260,000.<ref>{{Cite web|title=Should we thank China for face mask donation when Filipinos donated first?|url=https://interaksyon.philstar.com/politics-issues/2020/02/06/161505/donations-face-mask-philippines-china-novel-coronavirus/|work=Interaksyon|date=2020-02-06|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Catalina Ricci S. Madarang}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus: Singapore Red Cross to send $2.3m worth of aid to China, steps up local outreach to seniors|url=https://www.straitstimes.com/singapore/singapore-red-cross-to-send-23m-worth-of-aid-to-china-steps-up-local-outreach-to-seniors|work=The Straits Times|date=2020-02-19|accessdate=2020-09-21|language=en|author=hermesauto}}</ref> Nchi kadhaa walichangia Uchina barakoa, vifaa vya matibabu au fedha, zikiwemo Japan, Uturuki, Russia, Malaysia, Ujerumani, na Kanada. <ref>{{Cite web|title=21 countries donate medical supplies to China: spokesperson - Xinhua {{!}} English.news.cn|url=http://www.xinhuanet.com/english/2020-02/06/c_138758854.htm|work=www.xinhuanet.com|accessdate=2020-09-21|archivedate=2020-02-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200209120817/http://www.xinhuanet.com/english/2020-02/06/c_138758854.htm}}</ref>Wizara ya Mambo ya Nje Marekani ilisema tarehe 7 Februari imekuwa iliwezesha usafirishaji wa tani karibu 17.8 za za vifaa vya matibabu kwa Uchina. <ref>{{Cite web|title=The United States Announces Assistance To Combat the Novel Coronavirus|url=https://www.state.gov/the-united-states-announces-assistance-to-combat-the-novel-coronavirus/|work=United States Department of State|accessdate=2020-09-21|language=en-US}}</ref>Siku hiyo hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje Marekani Pompeo alitangaza ahadi ya $100,000,000 kwa Uchina na nchi nyingine kusaidia mapambano yao dhidi ya virusi. Makampuni kadhaa pia yamechangia Uchina fedha au vifaa vya matibabu.<ref>{{Cite web|title=US pledges $100 million to help fight coronavirus in China|url=https://thehill.com/changing-america/well-being/prevention-cures/482096-us-pledges-100-million-to-help-fight-coronavirus|work=TheHill|date=2020-02-07|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Joseph Guzman}}</ref><ref>{{Cite web|title=U.S. Companies Donate Nearly $27 Million in Medical Products to Aid in COVID-19 Outbreak in China|url=https://www.medtechintelligence.com/news_article/u-s-companies-donate-nearly-27-million-in-medical-products-to-aid-in-covid-19-outbreak-in-china/|work=MedTech Intelligence|date=2020-02-26|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=MedTech Intelligence Staff}}</ref> ==== Msaada kwa dunia ==== Baada ya kesi nchini Uchina zimetulia, nchi hiyo ilianza kupelekea mataifa mengine msaada.<ref>{{Cite web|title=As the U.S. Blames China for the Coronavirus Pandemic, the Rest of the World Asks China for Help|url=https://theintercept.com/2020/03/18/coronavirus-china-world-power/|work=The Intercept|date=2020-03-18|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Joe Penney}}</ref> Mwezi Machi, Uchina ilitumia Italia vifaa vya matibabu na wataalamu kusaidia kukabiliana na mlipuko wake Coronavirus; Uchina zilitumia Italia timu tatu za matibabu na kuchangia zaidi ya tani 40 za vifaa vya matibabu. <ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=China sends medical supplies, experts to help Italy battle coronavirus|date=2020-03-13|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-italy-respirators-idUSKBN2101IM|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref>Mfanyabiashara Jack Ma alitumia Ethiopia vifaa vya kupima 1,100,000, barakoa 6,000,000, na suti za kinga 60,000 kwa Umoja wa Afrika. Yeye baadaye alitumia Panama vifaa vya kupima 5,000, barakoa 100,000, na mashini za kupumua tano.<ref>{{Cite web|title=Jack Ma Foundation donates masks, testing kits to Africa for coronavirus control|url=https://www.monitor.co.ughttps//www.monitor.co.ug/uganda/news/world/jack-ma-foundation-donates-masks-testing-kits-to-africa-for-coronavirus-control-1880964|work=Daily Monitor|accessdate=2020-09-21|language=en}}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Uholanzi, Uhispania, Uturuki, Georgia, na Jamhuri ya Czech zilitaja wasiwasi juu ya barakoa na vifaa vya kichina. Kwa mfano, Uhispania iliondoa vifaa vya kupima vya kichina 58,000 vyenye kiwango cha usahihi cha asilimia 30, na Uholanzi ilirudisha barakoa 600,000 zilizotuhumiwa kasoro, lakini Uchina ilisema hii ilitokana na matumizi mabaya. Ubelgiji iliondoa barakoa 100,000 ambazo hazikutumika zilizofikiriwa kutoka nchini Uchina lakini kwa kweli kutoka nchini Colombia. Ufilipino imesimamisha kutumia vifaa vya kupima vilivyotolewa na Uchina kutokana na usahihi wao wa asilimia 40. Serikali ya Uchina ilisema maagizo ya bidhaa pengine hayakufuatiliwa, na kwamba baadhi ya bidhaa hazikununuliwa moja kwa moja kutoka makampuni yanayothibitishwa. Msaada wa Kichina ulipokelewa vizuri katika sehemu za Amerika Kusini na Afrika. Tarehe 2 Aprili, Benki ya Dunia ilianzisha shughuli za msaada wa dharura kwa nchi zinazoendelea. Kwa mujibu ya taarifa ya Wizara ya mambo ya nje, Uturuki inatoa kiasi kikubwa cha msaada ya kibinadamu duniani huku ina cheo cha tatu duniani kutoa msaada ya matibabu.<ref>{{Citation|title=Coronavirus: Countries reject Chinese-made equipment|date=2020-03-30|url=https://www.bbc.com/news/world-europe-52092395|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=Africans Worry About Quality of Donated Chinese COVID-19 Aid Following Reports of Defective Masks in Europe|url=https://chinaafricaproject.com/2020/04/01/africans-worry-about-quality-of-donated-chinese-covid-19-aid-following-reports-of-defective-masks-in-europe/|work=The China Africa Project|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Eric Ol, er}}</ref><ref>{{Cite web|title=China denies it donated defective COVID-19 kits|url=https://www.msn.com/en-sg/news/world/china-denies-it-donated-defective-covid-19-kits/ar-BB11STma|work=www.msn.com|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=China’s ‘Mask Diplomacy’ Is Faltering. But the U.S. Isn’t Doing Any Better|url=https://time.com/5814940/china-mask-diplomacy-falters/|work=Time|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=Bloomberg - Are you a robot?|url=https://www.bloomberg.com/tosv2.html?vid=&uuid=7619a160-fc17-11ea-ae06-1f7320c1ad35&url=L25ld3MvYXJ0aWNsZXMvMjAyMC0wNC0wMS9mYXVsdHktdmlydXMtdGVzdHMtY2xvdWQtY2hpbmEtcy1ldXJvcGVhbi1vdXRyZWFjaC1vdmVyLWNvdmlkLTE5|work=www.bloomberg.com|accessdate=2020-09-21}}</ref> === Hatua za majibu za WHO === Taiwan ilijulisha WHO kuhusu virusi vipya tarehe 31 Desemba 2019. <ref>{{Cite web|title=Here's What Taiwan Told the WHO at the Start of the Virus Outbreak|url=https://time.com/5826025/taiwan-who-trump-coronavirus-covid19/|work=Time|accessdate=2020-09-11}}</ref>WHO limeisifu mamlaka za Kichina kwa kutoa "habari mara kwa mara", kuliko mlipuko wa SARS mnamo 2002-2004 Uchina iliposhtakiwa ya usiri.<ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=Wuhan lockdown 'unprecedented', shows commitment to contain virus: WHO representative in China|date=2020-01-23|url=https://www.reuters.com/article/us-china-health-who-idUSKBN1ZM1G9|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-11}}</ref> WHO lilieleza tarehe 5 Januari kwamba kesi za ugonjwa wa mapafu wenye sababu isiyojulikana zilikuwa zimeripotiwa, <ref>{{Cite web|title=WHO {{!}} Pneumonia of unknown cause – China|url=http://www.who.int/csr/don/05-january-2020-pneumonia-of-unkown-cause-china/en/|work=WHO|accessdate=2020-09-11}}</ref>na shirika hilo lilitoa taarifa za kiufundi tarehe 10 na 11 Januari pamoja na onyo ya hatari ya maambukizo ya binadamu na kushauri tahadhari kwa sababu hali hiyo ilifanana na mizuko ya awali ya SARS na MERS.<ref>{{Citation|last=Washington|first=Peter Beaumont Julian Borger in|title=WHO warned of transmission risk in January, despite Trump claims|date=2020-04-09|url=https://www.theguardian.com/world/2020/apr/09/who-cited-human-transmission-risk-in-january-despite-trump-claims|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref> Ingawa katika matangazo ya umma lilisema "Hakuna ushahidi wazi wa maambukizo miongoni mwa binadamu" mnamo 14 January.<ref>{{Cite web|title=WHO {{!}} Novel Coronavirus – Thailand (ex-China)|url=http://www.who.int/csr/don/14-january-2020-novel-coronavirus-thailand-ex-china/en/|work=WHO|accessdate=2020-09-11}}</ref> Tarehe 20 Januari, shirika la WHO lilisema kwamba ilikuwa "sasa ni wazi kabisa" maambukizo miongoni mwa binadamu ya Coronavirus yamekuwa yalitokea, kwa sababu wafanyakazi wa afya walikuwa wameambukizwa.<ref>https://www.washingtonpost.com/politics/2020/04/17/trumps-false-claim-that-who-said-coronavirus-was-not-communicable/</ref> Tarehe 27 Januari, WHO lilisema hatari ya mlipuko ilikuwa "juu katika ngazi ya kimataifa".<ref>{{Cite web|title=WHO says global risk of China virus is 'high' {{!}} The Star|url=https://www.thestar.com.my/news/world/2020/01/27/who-says-global-risk-of-china-virus-is-039high039|work=www.thestar.com.my|accessdate=2020-09-11}}</ref> Tarehe 30 Januari, WHO lilitangaza mlipuko huo kama dharura ya afya ya umma ya wasiwasi wa kimataifa (PHEIC), likionya "nchi zote zinapaswa kujitayarisha kuchukua hatua za kudhibiti, zikiwemo uangalizi, kugundua mapema, kutenga na kusimamia kwa kesi, kuchunguza mawasiliano na kuzuia usambazaji zaidi,” kufuatia ongozeka la kesi nje ya Uchina.<ref>{{Cite web|title=Statement on the second meeting of the International Health Regulations (2005) Emergency Committee regarding the outbreak of novel coronavirus (2019-nCoV)|url=https://www.who.int/news-room/detail/30-01-2020-statement-on-the-second-meeting-of-the-international-health-regulations-(2005)-emergency-committee-regarding-the-outbreak-of-novel-coronavirus-(2019-ncov)|work=www.who.int|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Hiyo ilikuwa PHEIC ya sita daima tangu sera hiyo ilianzishwa mwaka 2009 wakati wa janga la mafua ya nguruwe. Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom alisema PHEIC inatokana na "hatari ya kuenea kwa kimataifa, hasa kwa nchi zenye kipato cha chini au cha kati bila ya mifumo nguvu ya afya" lakini WHO halikupendekeza “kupunguza biashara na harakati".<ref>{{Citation|title=Coronavirus declared global health emergency|date=2020-01-31|url=https://www.bbc.com/news/world-51318246|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 11 Februari, WHO lilianzisha jina la COVID-19, na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alikubali kutoa "nguvu ya mfumo mzima wa Umoja wa Mataifa kwa majibu". Timu ya usimamizi wa migogoro ya Umoja wa Mataifa ilianzishwa, kuruhusu uratibu wa Umoja wa Mataifa, ambayo WHO lilisema ingewaruhusu "kuzingatia usaidizi wa afya wakati wa mashirika mengine kufanya kazi kuhusu athari za kiuchumi, kijamii, na manendeleo za mlipuko huo ". <ref>{{Cite web|title=WHO Director-General's remarks at the media briefing on 2019-nCoV on 11 February 2020|url=https://www.who.int/dg/speeches/detail/who-director-general-s-remarks-at-the-media-briefing-on-2019-ncov-on-11-february-2020|work=www.who.int|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref>Tarehe 25 Februari, WHO lilitangaza "ulimwengu unapaswa ufanye zaidi kujiandaa kwa uwezekano wa janga la COVID-19," na kusema kwamba ingawa ilikuwa mapema mno kuita janga, ilikuwa lazima nchi zifanye “awamu ya maandalizi".<ref>{{Citation|title=World must prepare for pandemic, says WHO|date=2020-02-25|url=https://www.bbc.com/news/world-51611422|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Tarehe 28 Februari, maafisa wa WHO walisema madadirio ya tishio ya kimataifa la Coronavirus yangeongeza kutoka “juu” hadi “juu sana,” kiwango chake cha juu ya tahadhari. <ref>{{Cite web|title=WHO raises coronavirus threat assessment to its highest level: 'Wake up. Get ready. This virus may be on its way'|url=https://www.cnbc.com/2020/02/28/who-raises-risk-assessment-of-coronavirus-to-very-high-at-global-level.html|work=CNBC|date=2020-02-28|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Berkeley Lovelace Jr}}</ref>Tarehe 11 Machi, WHO lilitangaza mlipuko wa Coronavirus ulikuwa janga. Mkurugenzi Mkuu alisema WHO "linajihusisha sana na viwango vya kutisha vya kuenea na ukali, na pia viwango vya kutisha vya kutotenda". <ref>{{Cite web|title=WHO Director-General's opening remarks at the media briefing on COVID-19 - 11 March 2020|url=https://www.who.int/dg/speeches/detail/who-director-general-s-opening-remarks-at-the-media-briefing-on-covid-19---11-march-2020|work=www.who.int|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref>Wakosoaji wamesema WHO lilijibu janga hilo vibaya na tangazo la dharura la afya ya umma lilichelewa.<ref>{{Cite web|title=China and the WHO's chief: Hold them both accountable for pandemic|url=https://thehill.com/opinion/international/487851-china-and-the-whos-chief-hold-them-both-accountable-for-pandemic|work=TheHill|date=2020-03-17|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Sandy Tolliver}}</ref> == Athari == === Uchumi === Mlipuko huo ni tishio kubwa kwa uchumi wa dunia. Agathe Demarais kutoka Economist Intelligence Unit anatarajia kwamba masoko ya fedha yataendelea kutetemeka hadi kuna uwazi zaidi kuhusu matokea yanayowezekana. Makadirio moja ya mtaalamu huko Chuo Kikuu cha Washington mjini St. Louis yalitoa athari ya dola bilioni 300 + kwenye biashara ya kimataifa ambayo ingedumu miaka miwili.<ref>{{Cite web|title=WashU Expert: Coronavirus far greater threat than SARS to global supply chain {{!}} The Source {{!}} Washington University in St. Louis|url=https://source.wustl.edu/2020/02/washu-expert-coronavirus-far-greater-threat-than-sars-to-global-supply-chain/|work=The Source|date=2020-02-07|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref> Masoko ya hisa duniani yalianguka tarehe 24 Februari kutokana na ongezeko kubwa la idadi ya kesi nje ya Uchina. <ref>{{Cite web|title=Dow plunges 1,000 points, posting its worst day in two years as coronavirus fears spike|url=https://www.cnn.com/2020/02/23/business/stock-futures-coronavirus/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Rob McLean, Laura He and Anneken Tappe, CNN Business}}</ref>Tarehe 27 Februari, kutokana na wasiwasi kuhusu mlipuko wa Coronavirus, soko la hisa la Marekani lilianguka zaidi tangu mwaka 2008, na DOW lilianguka pointi 1,191 (thamani kubwa zaidi katika siku moja tangu mgogoro wa fedha mnamo 2007 – 08) na masoko yote matatu yalimaliza wiki hiyo chini ya asilimia 10. <ref>{{Cite web|title=Dow falls 1,191 points -- the most in history|url=https://www.cnn.com/2020/02/27/investing/dow-stock-market-selloff/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Anneken Tappe, CNN Business}}</ref><ref>{{Cite web|title=Stocks record worst week since financial crisis as coronavirus concerns heat up|url=https://www.marketwatch.com/story/stocks-record-worst-week-since-financial-crisis-as-coronavirus-concerns-heat-up-2020-02-28|work=MarketWatch|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Sunny Oh}}</ref> Masoko ya hisa yalishuka tena kutokana na hofu ya Coronavirus, kuanguka kubwa zaidi tarehe 16 Machi. Wengi wanadhani kushuka kubwa kwa uchumi kutafanyika.<ref>{{Cite web|title=Scope Ratings GmbH|url=https://scoperatings.com/#!search/research/detail/162598EN|work=Scope Ratings|accessdate=2020-09-11}}</ref> Benki ya Lloyd ya London inakadiria kuwa sekta ya bima ya kimataifa itakuwa na hasara ya US $204 bilioni, hasara zaidi kuliko majira ya kimbunga cha Atlantiki mwaka 2017 na mashambulio ya kigaidi ya 9/11 mwaka 2001, kuashiria uwezekano wa janga la COVID-19 litakuwa janga baya katika historia ya binadamu.<ref>{{Cite web|title=Global insurers face losses of $204 billion from Coronavirus, more than 9/11 and 2017 hurricanes, says Lloyd’s of London|url=https://www.marketwatch.com/story/global-insurers-face-losses-of-204-billion-from-coronavirus-more-than-911-and-2017-hurricanes-says-lloyds-of-london-2020-05-14|work=MarketWatch|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Callum Keown}}</ref> Utalii ni sekta moja inayoathiriwa vibaya zaidi kutokana na marufuku za usafiri, ufungaji mahali pa umma kama vile vivutio vya kusafiri, na ushauri wa serikali dhidi ya kusafiri. Makampuni ya ndege mbalimbali yamefuta safari, na makampuni madogo ya ndege yameshindwa. Sekta ya meli iliathirika vibaya pia, na vituo vya meli vimefungwa. Posta ya kimataifa kati ya nchi nyingine imesimama au kuchelewa kutokana na kupungua kwa usafiri baina yao au kusimamishwa kwa huduma za ndani.<ref>{{Citation|title=Collapsed Flybe: 'Do not travel to the airport'|date=2020-03-05|url=https://www.bbc.com/news/business-51746564|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title='Most significant crisis in the history of travel': where to now for tourism?|url=https://www.smh.com.au/business/the-economy/most-significant-crisis-in-the-history-of-travel-where-to-now-for-tourism-20200227-p5450j.html|work=The Sydney Morning Herald|date=2020-04-03|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Brook Turner}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus scare: Complete list of airlines suspending flights|url=https://www.indiatoday.in/lifestyle/travel/story/coronavirus-scare-complete-list-of-airlines-suspending-flights-1650574-2020-02-27|work=India Today|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Reuters New DelhiFebruary 27, 2020UPDATED: February 28, 2020 18:58 Ist}}</ref><ref>{{Citation|last=Kong|first=Mike Cherney in Sydney and Lucy Craymer in Hong|title=You’ve Got Mail...Finally: The Pandemic Is Jamming Up the World’s Post|date=2020-05-05|url=https://www.wsj.com/articles/another-coronavirus-business-problem-skyrocketing-cost-of-air-cargo-11588687216|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-11}}</ref> Sekta ya rejareja imeathiriwa duniani kote, na maduka mengi yamefunga kwa muda au yamepunguza masaa ya biashara. Ziara za wateja katika Ulaya na Amerika Kusini zilianguka kwa asilimia 40. Huko Amerika Kaskazini na Mashariki ya kati wauzaji waliona kushuka kwa asilimia 50-60. Hii pia ilisababisha kushuka kwa trafiki ya miguu kwa asilimia 33-43 vituoni kwa ununuzi mwezi Machi ikilinganishwa na mwezi Februari. Wakurugenzi wa maduka ya biashara duniani kote waliweka hatua za ziada, kama vile kuongezeka kwa usafi, ufungaji wa scanners ili kuangalia joto la wanunuzi, na kufuta matukio.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus Resources for Retailers|url=https://nrf.com/resources/retail-safety-and-security-tools/coronavirus-resources-retailers|work=NRF|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=How Retailers Globally are Responding to Coronavirus|url=https://www.aislelabs.com/blog/2020/04/02/how-retailers-globally-are-responding-to-coronavirus-updated-frequently/|work=Aislelabs|date=2020-04-02|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=How Shopping Centres Globally are Responding to Coronavirus (Updated Frequently)|url=https://www.aislelabs.com/blog/2020/03/23/how-shopping-centres-responding-coronavirus/|work=Aislelabs|date=2020-03-23|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Danny Santos}}</ref> Mamia ya mamilioni ya kazi yamepotezwa duniani kote. Zaidi ya Wamarekani 40,000,000 walipoteza kazi zao na kufanya madai ya bima ya ukosefu wa ajira.<ref>{{Cite web|title=Half the world's workers face losing their jobs, says ILO|url=https://www.aljazeera.com/ajimpact/world-workers-face-losing-jobs-ilo-200427171840169.html|work=www.aljazeera.com|accessdate=2020-09-11|author=James Brownsell}}</ref><ref>{{Citation|last=Romm|first=Tony|title=Americans have filed more than 40 million jobless claims in past 10 weeks, as another 2.1 million filed for benefits last week|url=https://www.washingtonpost.com/business/2020/05/28/unemployment-claims-coronavirus/|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-11}}</ref> Kwa mujibu ya makadirio ya Tume ya uchumi ya Umoja wa Mataifa ya Amerika Kusini, kushuka kwa uchumi kutokana na janga kungewalazimisha watu milioni 14-22 katika umaskini kuliko idadi bila janga hilo.<ref>{{Cite web|title=La pandemia amenaza con dejar entre 14 y 22 millones de personas más en pobreza extrema en Latinoamérica|url=https://elpais.com/economia/2020-04-03/la-pandemia-amenaza-con-dejar-entre-14-y-22-millones-de-personas-mas-en-pobreza-extrema-en-america-latina.html|work=EL PAÍS|date=2020-04-03|accessdate=2020-09-11|language=es|author=Ignacio Fariza}}</ref><ref>{{Cite web|title=Updated estimates of the impact of COVID-19 on global poverty|url=https://blogs.worldbank.org/opendata/updated-estimates-impact-covid-19-global-poverty|work=blogs.worldbank.org|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Uchumi wa nchi zinazoendelea umeharibu sana hasa nchi za Afrika ambazo zimeshakuwa na deni kubwa sana. Zaidi ya deni ni kiChina na sasa kuna shinikizo kubwa juu ya Uchina kufuta deni hiyo. Shirika la IMF na Benki ya Duniani na nchi za G-20, zikiwemo Uchina, vimekubali kuchelewesha kulipa deni hiyo. Lakini kuna waswasi huko Afrika kwamba Uchina itauliza kulipwa hivi karibuni kwa sababu uchumi wa kiChina pia una matatizo. Wachambuzi wengi wanaamini kwamba pengine Uchina itajaribu kufaidika hali hiyo kwa kuchukua miundo mbinu kwa mfano bandari kama nchi za Afrika hazitaweza kulipa deni. <ref>{{Cite web|title=ISS TODAY: Is Covid-19 enabling debt-trap diplomacy?|url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2020-05-01-is-covid-19-enabling-debt-trap-diplomacy/|work=Daily Maverick|date=2020-04-30|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Peter Fabricius for ISS TODAY}}</ref><ref>{{Cite web|title=Africa: China-Africa Blanket Debt Forgiveness Not in the Cards|url=https://allafrica.com/stories/202006030219.html|work=allAfrica.com|date=2020-06-03|accessdate=2020-09-11|language=en|author=Salem Solomon}}</ref><ref>{{Cite web|title=Pandemic reveals rifts in China-Africa relations|url=https://www.efe.com/efe/english/destacada/pandemic-reveals-rifts-in-china-africa-relations/50000261-4280104|work=www.efe.com|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> ==== Ukosefu wa bidhaa ==== Mlipuko huo umelaumuliwa kwa uhaba wa ugavi, kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya vifaa vinavyohitajika kupambana na virusi hivyo, kununua bidhaa zaidi zinazohitajika kutokana na hofu, na kuvuruga operesheni za kiwanda na utaritibu wa ugavi. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus fears empty store shelves of toilet paper, bottled water, masks as shoppers stock up|url=https://www.usatoday.com/story/money/2020/02/28/coronavirus-2020-preparation-more-supply-shortages-expected/4903322002/|work=USA TODAY|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Kelly Tyko, Jessica Guynn and Mike Snider}}</ref>Kuenea kwa kununua kutokana na hofu kumesababishwa na watu wanoamini kwamba kutakuwa na uhaba au tishio fulani, hofu ya mustakubali, au sababu kisaikolojia na kijamii (kwa mfano, ushawishi wa kijamii na uaminifu).<ref>{{Cite journal|last=Yuen|first=Kum Fai|last2=Wang|first2=Xueqin|last3=Ma|first3=Fei|last4=Li|first4=Kevin X.|date=2020-5|title=The Psychological Causes of Panic Buying Following a Health Crisis|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7277661/|journal=International Journal of Environmental Research and Public Health|volume=17|issue=10|doi=10.3390/ijerph17103513|issn=1661-7827|pmc=7277661|pmid=32443427}}</ref> Sekta ya teknolojia, hasa, imeonya juu ya ucheleweshaji wa shehena ya bidhaa za elektroniki.<ref>{{Citation|last=Strumpf|first=Dan|title=Tech Sector Fears Supply Delays as Effects of Virus Ripple Through China|date=2020-01-31|url=https://www.wsj.com/articles/tech-sector-fears-supply-delays-as-effects-of-virus-ripple-through-china-11580484181|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-11}}</ref> Kwa mujibu ya Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom, mahitaji ya vifaa vya kujilinda binafsi yamefufuka mara mia, na kusababisha bei mara ishirini kuliko bei za kawaida na pia kuchelewa kwa ugavi wa vitu vya matibabu kwa miezi minne hadi sita.<ref>{{Cite web|title=WHO warns of global shortage of face masks and protective suits|url=http://www.theguardian.com/world/2020/feb/07/who-warns-global-shortage-face-masks-protective-suits-coronavirus|work=the Guardian|date=2020-02-07|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Pia imesababisha uhaba wa vifaa vya kinga binafsi duniani kote, na WHO limeonya kwamba hali hiyo itahatarisha wafanyakazi wa afya.<ref>{{Cite web|title=Shortage of personal protective equipment endangering health workers worldwide|url=https://www.who.int/news-room/detail/03-03-2020-shortage-of-personal-protective-equipment-endangering-health-workers-worldwide|work=www.who.int|accessdate=2020-09-11|language=en}}</ref> Athari ya mlipuko Coronavirus ilikuwa duniani kote. Virusi vilisababisha uhaba wa kemikali zinazotumika katika kutengenza dawa za fentanyl na methamphetamine. Kundi la Yuancheng, liko Wuhan, Uchina, ni moja ya makampuni yanayosambaza kemikali hizo.<ref>{{Cite web|title=Corona snijdt ook in het vlees van de drugsmaffia|url=https://www.standaard.be/cnt/dmf20200410_04920099|work=De Standaard|accessdate=2020-09-11|language=nl-BE}}</ref> Kuongezeka kwa bei na upungufu wa dawa hizi haramu vimeangaliwa mitaani huko Uingereza. Polisi wa Marekani pia waliambia gazeti la New York Post kwamba makundi ya madawa ya kulevya ya kiMexico yanakuwa na changamoto kupata kemikali hizo.<ref>{{Citation|last=correspondent|first=Jamie Grierson Home affairs|title=Coronavirus triggers UK shortage of illicit drugs|date=2020-04-12|url=https://www.theguardian.com/society/2020/apr/12/coronavirus-triggers-uk-shortage-of-illicit-drugs|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus pandemic drives up price of heroin, meth and fentanyl|url=https://nypost.com/2020/03/28/coronavirus-pandemic-drives-up-price-of-heroin-meth-and-fentanyl/|work=New York Post|date=2020-03-28|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Isabel Vincent}}</ref> Janga hilo limevuruga ugavi wa chakula cha kimataifa na kutishia kusababisha matatizo lipya la chakula. David Beasley, mkuu wa Shirika la chakula duniani (WFP), alisema "Tungekabiliwa na njaa nyingi mnamo miezi michache ijayo."<ref>{{Cite web|title=How to Stop a Looming Food Crisis|url=https://foreignpolicy.com/2020/04/14/how-to-stop-food-crisis-coronavirus-economy-trade/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Maximo Torero}}</ref><ref>{{Citation|title=World risks 'biblical' famines due to pandemic - UN|date=2020-04-21|url=https://www.bbc.com/news/world-52373888|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> Maafisa wa Umoja wa Mataifa walikadiria mwezi Aprili 2020 kwamba watu wa ziada 130,000,000 wangekufa kutokana na njaa, kwa jumla ya watu 265,000,000 mwishoni 2020.<ref>{{Cite web|title=Senior Officials Sound Alarm over Food Insecurity, Warning of Potentially ‘Biblical’ Famine, in Briefings to Security Council {{!}} Meetings Coverage and Press Releases|url=https://www.un.org/press/en/2020/sc14164.doc.htm|work=www.un.org|accessdate=2020-09-11}}</ref> ==== Mafuta na masoko ya nishati ==== Mwanzo wa Februari 2020, Shirika la nchi za mafuta (OPEC) lilichochoea baada ya kupungua kwa bei ya mafuta kutokana na mahitaji ya chini kutoka Uchina. Tarehe 20 Aprili, bei ya hisa za West Texas Intermediate (WTI) alianguka chini ya sifuri hadi rekodi ya chini (- $37.63) kutokana na wanaomili hisa wakiziuza. Mwezi Juni bei zilikuweko chini lakini bora, na pipa la WTI liliuzwa $20.<ref>{{Citation|last=Reed|first=Stanley|title=OPEC Scrambles to React to Falling Oil Demand From China|date=2020-02-03|url=https://www.nytimes.com/2020/02/03/business/energy-environment/china-oil-opec.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Citation|title=US oil prices turn negative as demand dries up|date=2020-04-21|url=https://www.bbc.com/news/business-52350082|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref> === Utamaduni === Sekta za sanaa na urithi wa utamaduni zimeathiriwa sana na janga hilo, ambalo limeathiri operesheni za mashirika pamoja na watu — wote walioajiriwa na waliojitegemea — duniani kote. Mashirika ya utamaduni yalijaribu kulinda malengo (mara nyingi inayofadhiliwa kwa umma) ya kutoa huduma za kitamaduni kwa jamii, kulinda usalama wa waajiriwa wao na pia umma, na kuwasaidia wasanii kama iwezekanavyo. Mnamo Machi 2020, kote ulimwenguni, makumbusho, maktaba, na taasisi nyingine za kitamaduni zilikuwa zimefungwa na maonyesho na matukio yao yalifutwa au kuahirishwa. Kulikuwa na juhudi kubwa kutoa huduma mbadala mtandaoni.<ref>{{Cite web|title=Here are the museums that have closed (so far) due to coronavirus|url=http://www.theartnewspaper.com/news/here-are-the-museums-that-have-closed-due-to-coronavirus|work=www.theartnewspaper.com|accessdate=2020-09-11|archivedate=2020-03-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200329062120/https://www.theartnewspaper.com/news/here-are-the-museums-that-have-closed-due-to-coronavirus}}</ref><ref>{{Cite web|title=What churches, mosques and temples are doing to fight the spread of coronavirus|url=https://www.cnn.com/2020/03/14/world/churches-mosques-temples-coronavirus-spread/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Daniel Burke, CNN Religion Editor}}</ref><ref>{{Cite web|title=Here are the latest major events that have been canceled or postponed because of the coronavirus outbreak, including the 2020 Tokyo Olympics, Burning Man, and the 74th Annual Tony Awards|url=https://www.businessinsider.com/major-events-cancelled-or-postponed-due-to-the-coronavirus-2020|work=Business Insider|accessdate=2020-09-11|author=Joey Hadden, Laura Casado}}</ref> Matukio ya wiki ya Pasaka mjini Roma yalifutwa. Viongozi wengi wamependekeza Wakristo wazee wakae nyumbani badala ya kuhudhuria mikutano ya kidini; mingi yalipatikana kupitia kwa redio, mtandaoni na televisheni, ingawa baadhi ya kanisa imefanya mikutano kwenye magari. Pamoja na Vatican na makanisa ya kikatoliki, makundi ya kidini mengine pia yalifuta mikutano ya umma katika makanisa, misikiti, masinagogi, mahekalu na gurdwaras. Wizara ya afya ya Irani ilitangaza kwamba sala za Ijumaa zilifutwa katika maeneo yaliyoathiriwa na mlipuko na baadaye makaburi yalifungwa pia, na Saudi Arabia ilipiga marufuku wasafiri wa kigeni pamoja na wakazi wake kuingia maeneo matakatifu ya Makka na Medina.<ref>{{Cite web|title=What churches, mosques and temples are doing to fight the spread of coronavirus|url=https://www.cnn.com/2020/03/14/world/churches-mosques-temples-coronavirus-spread/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Daniel Burke, CNN Religion Editor}}</ref><ref>{{Cite web |url=https://www.washingtonpost.com/world/middle_east/saudi-arabia-halts-travel-to-islams-holiest-site-over-virus%2f2020%2f02%2f26%2fc86ec712-5918-11ea-8efd-0f904bdd8057_story.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2020-09-21 |archivedate=2020-02-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200227215249/https://www.washingtonpost.com/world/middle_east/saudi-arabia-halts-travel-to-islams-holiest-site-over-virus/2020/02/26/c86ec712-5918-11ea-8efd-0f904bdd8057_story.html |=https://web.archive.org/web/20200227215249/https://www.washingtonpost.com/world/middle_east/saudi-arabia-halts-travel-to-islams-holiest-site-over-virus/2020/02/26/c86ec712-5918-11ea-8efd-0f904bdd8057_story.html }}</ref><ref>{{Cite web|title='Unprecedented' Hajj begins -- with 1,000 pilgrims, rather than the usual 2 million|url=https://www.cnn.com/travel/article/hajj-2020-coronavirus-intl/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|language=en|author=By Jomana Karadsheh and Tamara Qiblawi CNN}}</ref> Janga hilo limesababisha usumbufu mkubwa zaidi kwa kalenda ya michezo duniani kote tangu vita vya dunia ya pili. Matukio makubwa yamekatwa au kuahirishwa, yakiwemo Ligi ya Mabingwa ya UEFA 2019-20, Ligi Kuu 2019-20, UEFA Euro 2020, msimu wa NBA 2019-20, na msimu wa NHL 2019- 20. Mlipuko huo ulivurugu michezo ya Olimpiki ya 2020, ambayo ilikuwa imepangwa kuanza mwishoni mwezi Julai; Kamati ya Olimpiki ya kimataifa ilitangaza tarehe 24 Machi kwamba michezo hiyo "itafanyika tarehe mpya baada ya mwaka 2020 lakini si baada ya majira ya joto 2021".<ref>{{Citation|title=Tokyo 2020 Olympics postponed until 2021|url=https://www.bbc.co.uk/sport/olympics/52020134|work=BBC Sport|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=NHL statement on coronavirus|url=https://www.nhl.com/news/nhl-coronavirus-status/c-316155530|work=NHL.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=NBA suspends season after Jazz center Rudy Gobert tests positive for coronavirus|url=https://www.cnn.com/2020/03/11/us/nba-season-suspended-spt-trnd/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=David Close, Amanda Jackson and Jason Hanna CNN}}</ref><ref>{{Cite web|title=Premier League coronavirus announcement: 2019/20 season suspended after cases at Chelsea, Arsenal & others|url=https://www.squawka.com/en/premier-league-suspended-coronavirus-liverpool-title/|work=Squawka|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-11|language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web|title=All of this week's UEFA matches postponed {{!}} Inside UEFA|url=https://www.uefa.com/insideuefa/about-uefa/news/025b-0f8e76ab25ae-3c76085ee109-1000--all-of-this-week-s-uefa-matches-postponed/|work=UEFA.com|date=2020-03-15|accessdate=2020-09-11|language=en|author=UEFA.com}}</ref> Sekta ya burudani pia imekuwa iliathiriwa, na makundi mengi ya muziki yamesitisha au kufuta ziara ya tamasha. Mashindano ya wimbo wa Eurovision, ambayo yalipangwa kufanyika nchini Uholanzi mwezi Mei, yaliahirishwa hadi mwaka 2021. Thamthilia kubwa kama vile Broadway pia zilisitisha maonyesho yote. Wasanii wengine wametafuta njia mabadala kuendelea kuzalisha na kushiriki kazi yao mtandaoni, kama vile matamasha na sherehe. Pia kuna mizaha mingi na ucheshi kuhusu virusi vya COVID-10 mtandaoni, kama watu wengi watafuta njia za kuvumilia ukosefu wa uhakika.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus brings entertainment world to a standstill|url=https://apnews.com/31817b854e28b48fe64844478a3f1889|work=AP NEWS|date=2020-03-12|accessdate=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Broadway theaters to suspend all performances because of coronavirus|url=https://www.cnn.com/2020/03/12/health/broadway-coronavirus-update/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-11|author=Taylor Romine, Eric Levenson and Javi Morgado CNN}}</ref><ref>{{Citation|last=Savage|first=Mark|title=Eurovision Song Contest cancelled over coronavirus|date=2020-03-18|url=https://www.bbc.com/news/entertainment-arts-51870325|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=The Social Distancing Festival Is Live Online|url=https://www.austinchronicle.com/daily/arts/2020-03-15/the-social-distancing-festival-is-live-online/|work=www.austinchronicle.com|accessdate=2020-09-11|language=en-US|author=Wayne Alan Brenner, 5:30PM, Sun Mar. 15, 2020}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus memes are spreading as the disease travels across the world — here's what they look like and why creators say they're important|url=https://www.insider.com/coronavirus-memes-people-joking-about-covid-19-to-reduce-stress-2020-3|work=Insider|accessdate=2020-09-11|author=Margot Harris}}</ref> === Siasa === Janga hilo limeathiriwa mifumo ya kisiasa ya nchi nyingi, kuvuruga shughuli za kisheria. Wanasiasa wengi wameambukizwa na kujitenga na wengine wamekufa. Ratiba ya uchaguzi kadhaa imebadilishwa kutokana na hofu ya virusi.<ref>{{Cite web|title=Federal government announces aggressive measures to battle COVID-19 as parliament suspended until April|url=https://nationalpost.com/news/canada/canadian-parliament-suspended-until-april-due-to-coronavirus-crisis|work=National Post|accessdate=2020-09-21|language=en-CA}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus in the Corridors of Power|url=https://foreignpolicy.com/2020/03/18/coronavirus-corridors-power-which-world-leaders-have-covid-19/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Darcy Palder, Amy Mackinnon}}</ref><ref>{{Citation|last=Corasaniti|first=Nick|title=16 States Have Postponed Primaries During the Pandemic. Here’s a List.|date=2020-08-10|url=https://www.nytimes.com/article/2020-campaign-primary-calendar-coronavirus.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21|last2=Saul|first2=Stephanie}}</ref> ==== Uchina ==== Serikali ya Uchina imekosolewa na serikali ya Marekani, Waziri wa ofisi ya Baraza la mawaziri wa Uingereza Michael Gove, na wengine kutokana na utunzaji wao wa janga hilo.<ref>{{Citation|last=Proctor|first=Kate|title=Michael Gove appears to blame China over lack of UK coronavirus testing|date=2020-03-29|url=https://www.theguardian.com/politics/2020/mar/29/michael-gove-appears-to-blame-china-over-lack-of-uk-coronavirus-testing|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21}}</ref> <ref>{{Cite web|title=U.S. and China Turn Coronavirus Into a Geopolitical Football|url=https://foreignpolicy.com/2020/03/11/coronavirus-geopolitics-china-united-states-trump-administration-competing-global-health-response/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Colum Lynch, Robbie Gramer}}</ref>Baadhi ya wasimamizi wa ngazi za majimbo wa chama cha kikomunisti wa Uchina walifukuzwa kwa sababu jinsi walivyosimamia juhudi za karantini huko Uchina ya kati, ishara ya kutoridhika kwa majibu yao ya mlipuko. <ref>{{Cite web|title=China sacked a brace of top officials in Hubei province, likely in a move to protect Xi Jinping from people's anger over the coronavirus outbreak|url=https://www.businessinsider.com/analysis-china-hubei-officials-sacked-xi-jinping-protected-2020-2|work=Business Insider|accessdate=2020-09-21|author=Bill Bostock}}</ref>Baadhi ya wachambuzi waliamini hatua hizi zilikusudiwa kumlinda Waziri Mkuu wa Kichina, Xi Jinping kutoka utata huo. Jumuiya ya upelelezi ya Marekani inasema kwamba serikali ya Uchina haikuripoti idadi sahihi ya kesi za coronavirus kwa maksudi.<ref>{{Citation|last=Barnes|first=Julian E.|title=C.I.A. Hunts for Authentic Virus Totals in China, Dismissing Government Tallies|date=2020-04-16|url=https://www.nytimes.com/2020/04/02/us/politics/cia-coronavirus-china.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21}}</ref> ==== Marekani ==== Mlipuko huo ulisababisha wito kwa Marekani kuunga sera za kijamii sawa ya nchi nyingine tajiri, zikiwemo huduma za afya kwa kila raia, huduma za watoto wote, msaada wa wagonjwa, na viwango vya juu vya fedha za umma za afya.<ref>{{Citation|last=Miller|first=Claire Cain|title=Could the Pandemic Wind Up Fixing What’s Broken About Work in America?|date=2020-04-11|url=https://www.nytimes.com/2020/04/10/upshot/coronavirus-future-work-america.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Five ways the coronavirus could change American politics|url=https://thehill.com/homenews/campaign/495761-five-ways-the-coronavirus-could-change-american-politics|work=TheHill|date=2020-05-02|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Ian Swanson}}</ref>Wachambuzi wa kisiasa walitarajia kwamba hali hiyo pengine ingepunguza nafasi ya Donald Trump kushinda uchaguzi mpya mwezi Novemba.<ref>{{Citation|last=Haberman|first=Maggie|title=Trump’s Re-election Chances Suddenly Look Shakier|date=2020-03-12|url=https://www.nytimes.com/2020/03/12/us/politics/trump-vs-biden.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21|last2=Martin|first2=Jonathan}}</ref> Kuanzia kati ya Aprili 2020, kulikuwa na maandamano katika majimbo kadhaa ya Marekani dhidi ya ufungaji wa biashara ulioagizwa na serikali na vikwazo vya kusafiri na mawasailiano.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus: Anti-lockdown protests grow across US - BBC News|url=https://web.archive.org/web/20200417172715/https://www.bbc.com/news/world-us-canada-52330531|work=web.archive.org|date=2020-04-17|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== Nchi nyingine ==== Mazoezi ya kijeshi ya NATO ya 2020 yanaohusisha Ujerumani, Poland, na nchi za Baltic, mazoezi makubwa zaidi tangu mwishoni kwa vita baridi, yatafanyika kwa kiwango kidogo zaidi.<ref>{{Cite web|url=https://www.spectator.co.uk/article/how-coronavirus-derailed-the-largest-nato-exercise-in-25-years|work=www.spectator.co.uk|accessdate=2020-09-21}}</ref> Serikali ya Irani imeathiriwa sana na virusi, na wabunge takriban ishirini na nne na wanasiasa wa sasa au zamani kumi na tano waliambukizwa.<ref>{{Citation|last=Cunningham|first=Erin|title=Coronavirus pummels Iran leadership as data show spread is far worse than reported|url=https://www.washingtonpost.com/world/middle_east/coronavirus-pummels-iran-leadership-as-data-show-spread-is-far-worse-than-reported/2020/03/04/7b1196ae-5c9f-11ea-ac50-18701e14e06d_story.html|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-21|last2=Bennett|first2=Dalton}}</ref> Rais wa Irani Hassan Rouhani aliwaandikia viongozi wa dunia barua ya umma akiomba msaada tarehe 14 Machi 2020, akisema walikuwa na changamoto kupambana na mlipuko huo kutokana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Irani.<ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=U.S. sanctions 'severely hamper' Iran coronavirus fight, Rouhani says|date=2020-03-14|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-iran-idUSKBN2110HL|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref> Saudi Arabia, ambayo ilianza kuingilia kwa kijeshi nchini Yemeni mwezi Machi 2015, ilitangaza kukoma kwa vita.<ref>{{Cite web|title=Coronavirus Pandemic Forces a Cease-Fire in Yemen|url=https://foreignpolicy.com/2020/04/09/coronavirus-pandemic-forces-cease-fire-yemen-humanitarian-crisis-saudi-arabia-houthis/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Robbie Gramer, Jack Detsch, Dan Haverty}}</ref> Mahusiano ya kidiplomasia baina ya Japan na Korea Kusini yaliharibika kutokana na janga.<ref>{{Cite web|title=Japan and Korea Won't Let A Pandemic Stop Them Fighting|url=https://foreignpolicy.com/2020/03/12/japan-and-korea-wont-let-a-pandemic-stop-them-fighting/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=William Sposato}}</ref> Korea Kusini iliikosoa Japan kwa sababu "juhudi zao karantini mbaya" baada ya Japani ilitangaza wale wote waliofika kutoka Korea Kusini lazimia waende karantini kwa wiki mbili mahali panapochaguliwa na serikali.<ref>{{Citation|last=Farrer|first=Justin McCurry Martin|title=Coronavirus quarantine plans ignite row between South Korea and Japan|date=2020-03-06|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/06/coronavirus-quarantine-plans-ignite-row-between-south-korea-and-japan|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21}}</ref> Mwanzoni wananchi wa Korea Kusini waligawanyika kuhusu majibu ya Rais Moon Jae-in; wengi walipiga saini ama iliyomsifa na pia ama iliyosema aondolewe.<ref>{{Cite web|title=How South Korea Lost Control of Its Coronavirus Outbreak|url=https://www.newyorker.com/news/news-desk/how-south-korea-lost-control-of-its-coronavirus-outbreak|work=The New Yorker|accessdate=2020-09-21|language=en-us|author=Suki Kim}}</ref> Nchi nyingine zimepitisha sheria ya dharura kujibu janga hilo. Baadhi ya wachambuzi wameonyesha wasiwasi kwamba ingeruhusu serikali kuimarisha madaraka yao.<ref>{{Citation|last=Walker|first=Shaun|title=Authoritarian leaders may use Covid-19 crisis to tighten their grip|date=2020-03-31|url=https://www.theguardian.com/world/2020/mar/31/coronavirus-is-a-chance-for-authoritarian-leaders-to-tighten-their-grip|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21}}</ref> Nchini Ufilipino, wabunge walimpa Rais Rodrigo Duterte madaraka za dharura wakati wa janga hilo. Nchini Hungary, wabunge walipiga kura kumruhusu Waziri Mkuu, Viktor Orbán, kutawala kwa kutoa amri kwa muda usiojulikana, kusimamisha bunge pamoja na uchaguzi, na kuwaadhibu wale wanaotuhumiwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu virusi na sera za serikali. <ref>{{Cite web|title=Some leaders use pandemic to sharpen tools against critics|url=https://abcnews.go.com/International/wireStory/coronavirus-crisis-excuses-curbs-free-speech-70177977|work=ABC News|accessdate=2020-09-21|language=en|author=A. B. C. News}}</ref>Katika baadhi ya nchi, kama vile Misri, Uturuki, na Thailand, wanaharakati wa upinzani na wakosoaji wa serikali wamekamatwa kwa kutuhumiwa kueneza habari ambazo serikali hizo zinadai ni bandia kuhusu janga hilo.<ref>{{Cite web|title=Asia cracks down on coronavirus 'fake news'|url=https://www.straitstimes.com/asia/coronavirus-asia-cracks-down-on-virus-fake-news|work=The Straits Times|date=2020-04-10|accessdate=2020-09-21|language=en|author=hermesauto}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Coronavirus Has Started a Censorship Pandemic|url=https://foreignpolicy.com/2020/04/01/coronavirus-censorship-pandemic-disinformation-fake-news-speech-freedom/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Jacob Mchangama, Sarah McLaughlin}}</ref> === Elimu === Janga la coronavirus limeathiri mifumo ya elimu duniani kote, kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu.<ref>{{Cite web|title=Education: From disruption to recovery|url=https://en.unesco.org/covid19/educationresponse|work=UNESCO|date=2020-03-04|accessdate=2020-09-21|language=en|author=https://plus.google.com/+UNESCO}}</ref> Serikali nyingi duniani kote zimefunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo 24 Mei 2020, wanafunzi takriban 1,725,000,000 waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Kwa mujibu ya shirika la UNICEF, nchi 153 zimetekeleza ufungaji wa nchi nzima na 24 kutekeleza ufungaji wa wenyeji, kuathiri asilimia 98.6 ya idadi ya wanafunzi duniani. Shule za nchi 10 kwa sasa ziko wazi.<ref>{{Cite web|title=Education: From disruption to recovery|url=https://en.unesco.org/covid19/educationresponse|work=UNESCO|date=2020-03-04|accessdate=2020-09-21|language=en|author=https://plus.google.com/+UNESCO}}</ref><ref>{{Cite web|title=Education: From disruption to recovery|url=https://en.unesco.org/covid19/educationresponse|work=UNESCO|date=2020-03-04|accessdate=2020-09-21|language=en|author=https://plus.google.com/+UNESCO}}</ref> Tarehe 23 Machi 2020, mitihani ya kimataifa ya Cambridge (CIE) ilitangaza kufutwa mitihani yake. Mitihani ya kimataifa ya Baccalaureate pia imefutwa. Pia mitihani ya AP, SAT, na ACT nchini Marekani imehamisha mtandaoni au kufutwa.<ref>{{Cite web|title=May 2020 examinations will no longer be held|url=https://www.ibo.org/news/news-about-the-ib/may-2020-examinations-will-no-longer-be-held/|work=International Baccalaureate®|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Kufungwa kwa shule kunaathiri sio wanafunzi tu, lakini pia walimu, na familia. Kuna matokeo makubwa ya kiuchumi na kijamii. Hali hiyo imevutia macho masuala mengi, kwa mfano, madeni ya wanafunzi,<ref>{{Citation|last=Jamerson|first=Josh Mitchell and Joshua|title=Student-Loan Debt Relief Offers Support to an Economy Battered by Coronavirus|date=2020-03-20|url=https://www.wsj.com/articles/student-loan-debt-relief-offers-support-to-an-economy-battered-by-coronavirus-11584735842|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-21}}</ref> mafunzo ya dijitali,<ref>{{Cite web|title='Clear as mud': schools ask for online learning help as coronavirus policy confusion persists|url=http://www.theguardian.com/australia-news/2020/mar/24/clear-as-mud-schools-ask-for-online-learning-help-as-coronavirus-policy-confusion-persists|work=the Guardian|date=2020-03-23|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> ukosefu wa chakula,<ref>{{Cite web|title=Schools Race To Feed Students Amid Coronavirus Closures|url=https://www.npr.org/2020/03/20/818300504/schools-race-to-feed-students-amid-coronavirus-closures|work=NPR.org|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> na kukosa makazi,<ref>{{Cite web|title=Homeless students during the coronavirus pandemic: 'We have to make sure they're not forgotten'|url=https://statesville.com/news/education/homeless-students-during-the-coronavirus-pandemic-we-have-to-make-sure-theyre-not-forgotten/article_4b41ed40-43f2-5215-97ce-6040b54de755.html|work=Statesville.com|accessdate=2020-09-21|language=en|author=BEN SESSOMS bsessoms@statesville.com}}</ref> pamoja na utunzaji wa watoto,<ref>{{Cite web|title=Coronavirus Forces Families to Make Painful Childcare Decisions|url=https://time.com/5804176/coronavirus-childcare-nannies/|work=Time|accessdate=2020-09-21}}</ref> huduma za afya, nyumba, mtandao, na huduma za ulemavu. Athari hiyo ilikuwa kali zaidi kwa watoto wasio na mahitaji na familia zao, kuvuruga kujifunza, lishe ya watoto, matatizo ya kiuchumi kwa familia bila ajira.<ref>{{Cite journal|last=Bao|first=Xue|last2=Qu|first2=Hang|last3=Zhang|first3=Ruixiong|last4=Hogan|first4=Tiffany P.|date=2020/1|title=Modeling Reading Ability Gain in Kindergarten Children during COVID-19 School Closures|url=https://www.mdpi.com/1660-4601/17/17/6371|journal=International Journal of Environmental Research and Public Health|language=en|volume=17|issue=17|pages=6371|doi=10.3390/ijerph17176371}}</ref><ref>{{Cite web|title=Adverse consequences of school closures|url=https://en.unesco.org/covid19/educationresponse/consequences|work=UNESCO|date=2020-03-10|accessdate=2020-09-21|language=en|author=https://plus.google.com/+UNESCO}}</ref><ref>{{Cite web|title=School closures are starting, and they’ll have far-reaching economic impacts|url=https://www.fastcompany.com/90476445/school-closures-are-starting-and-theyll-have-far-reaching-economic-impacts|work=Fast Company|date=2020-03-12|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Jared Lindzon}}</ref> Kujibu kwa kufungwa kwa shule, shirika la UNESCO lilipendekeza matumizi ya mipango ya kujifunza mbali kama mtandaoni na kufungua majukwaa ya elimu ambayo shule na waalimu wanaweza kutumia ili wapunguze usumbufu wa elimu. === Masuala mengine ya afya === Janga hilo limekuwa na athari nyingi za afya duniani zaidi ya zile zinazosababishwa na coronavirus. Limesababisha upungufu wa ziara hospitalini kwa sababu zingine. Kumekuwa na upungufu wa asilimia 38 wa ziara za hospitalini kwa ajili ya dalili za matatizo ya moyo nchini Marekani na asilimia 40 nchini Hispania.<ref>{{Cite journal|last=Garcia|first=Santiago|last2=Albaghdadi|first2=Mazen S.|last3=Meraj|first3=Perwaiz M.|last4=Schmidt|first4=Christian|last5=Garberich|first5=Ross|last6=Jaffer|first6=Farouc A.|last7=Dixon|first7=Simon|last8=Rade|first8=Jeffrey J.|last9=Tannenbaum|first9=Mark|date=2020-06-09|title=Reduction in ST-Segment Elevation Cardiac Catheterization Laboratory Activations in the United States During COVID-19 Pandemic|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7151384/|journal=Journal of the American College of Cardiology|language=en|volume=75|issue=22|pages=2871|doi=10.1016/j.jacc.2020.04.011|pmid=32283124}}</ref> Mtaalamu wa moyo huko Chuo Kikuu cha Arizona alisema, "Nina wasiwasi kwamba watu wengi wanakufa nyumbani kwa sababu wana ogopa sana kwenda hospitalini."<ref>{{Cite web|title=Covid phobia keeping people with heart symptoms away from ERs|url=https://www.statnews.com/2020/04/23/coronavirus-phobia-keeping-heart-patients-away-from-er/|work=STAT|date=2020-04-23|accessdate=2020-09-21|language=en-US}}</ref> Pia kuna wasiwasi kwamba watu wenye matatizo ya afya mengine hawachelewi kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa vya matibabu umeathiri watu wenye magonjwa mbalimbali.<ref>{{Cite web|title=Medication Shortages Are the Next Crisis|url=https://www.theatlantic.com/ideas/archive/2020/04/medication-shortages-are-next-crisis/610798/|work=The Atlantic|date=2020-04-28|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Jeremy Samuel Faust}}</ref> Katika nchi kadhaa kumekuwa na upungufu wa magonjwa ya maambukizo ya zinaa, kama vile HIV, kutokana na sera za karantini na kujitenga na mapendekezo ya kutofanya ngono ya kawaida. <ref>{{Cite web|title=U.K. Lockdown Has ‘Broken HIV Chain’ With Huge Reduction In New STI Cases|url=https://www.forbes.com/sites/jamiewareham/2020/05/01/uk-lockdown-has-broken-hiv-chain-with-huge-reduction-in-new-sti-cases/|work=Forbes|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Jamie Wareham}}</ref>Vile vile, katika baadhi ya maeneo, viwango vya maambukizo ya mafua na virusi vingine vimeanguka kwa kiwango kikubwa wakati wa janga hilo. Janga pia limeathiri vibaya afya ya akili duniani kote.<ref>{{Cite web|title=Australia sees huge decrease in flu cases due to coronavirus measures|url=https://www.newscientist.com/article/2242113-australia-sees-huge-decrease-in-flu-cases-due-to-coronavirus-measures/|work=New Scientist|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Alice Klein}}</ref><ref>{{Cite web|title=Weekly U.S. Influenza Surveillance Report {{!}} CDC|url=https://www.cdc.gov/flu/weekly/index.htm|work=www.cdc.gov|date=2020-09-18|accessdate=2020-09-21|language=en-us}}</ref> === Ubaguzi wa rangi === Tangu mwanzo wa mlipuko huo, kuchochea chuki, ubaguzi, na ubaguzi wa rangi vimeripotiwa duniani kote dhidi ya watu wa Kichina na Asia Mashiriki.<ref>{{Cite web|title=The coronavirus exposes the history of racism and "cleanliness"|url=https://www.vox.com/2020/2/7/21126758/coronavirus-xenophobia-racism-china-asians|work=Vox|date=2020-02-07|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Nylah Burton}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Fears of coronavirus trigger anti-China sentiment worldwide|url=http://www.koreatimes.co.kr/www/world/2020/09/683_282767.html|work=koreatimes|date=2020-02-02|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref>Taarifa mnamo Februari (kesi nyingi zaidi zilipokuweko Uchina) zilionyesha hisia za ubaguzi kuhusu watu wa Kichina, na ongezeko la wazo la wachina walistahili kupata virusi. <ref>{{Citation|last=Smith|first=Nicola|title=Anti-Chinese racism spikes as virus spreads globally|date=2020-02-01|url=https://www.telegraph.co.uk/news/2020/02/01/anti-chinese-racism-spikes-virus-spreads-globally/|work=The Telegraph|language=en-GB|issn=0307-1235|access-date=2020-09-21|last2=Torre|first2=Giovanni}}</ref> <ref>{{Citation|last=Gorce|first=Tammy La|title=Chinese-Americans, Facing Abuse, Unite to Aid Hospitals in Coronavirus Battle|date=2020-04-10|url=https://www.nytimes.com/2020/04/05/nyregion/coronavirus-chinese-americans-supplies.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21}}</ref>Raia za nchi kadhaa zikiwemo Malaysia, New Zealand, Singapore, Japani, Vietnam, na Korea Kusini walishinikiza serikali zao kupiga marufuku watu wa kichina kuingia nchi zao. Watu wa Kichina na Waasia wengine nchini Uingereza na Marekani wameripoti ongezeko la viwango vya unyanyasaji wa rangi na mashambulizi.<ref>{{Citation|last=Tavernise|first=Sabrina|title=Spit On, Yelled At, Attacked: Chinese-Americans Fear for Their Safety|date=2020-06-02|url=https://www.nytimes.com/2020/03/23/us/chinese-coronavirus-racist-attacks.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21|last2=Jr|first2=Richard A. Oppel}}</ref><ref>{{Cite web|title=Hunt for racist coronavirus attackers: Police release CCTV after assault|url=https://www.itv.com/news/london/2020-03-04/hunt-for-racist-coronavirus-attackers-police-release-cctv-after-oxford-street-assault|work=ITV News|date=2020-03-04|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Kufuatia usambazaji hadi nchi nyingine, watu wanaotoka Italia (nchi ya kwanza huko Ulaya yenye mlipuko mkubwa) walikabiliwa na ubaguzi, na pia watu wanaotoka nchi nyingine zenye kesi nyingi.<ref>{{Citation|last=Nadeau|first=Barbie Latza|title=Italy Shows Just How Crazy Coronavirus Panic Can Get|date=2020-02-29|url=https://www.thedailybeast.com/italy-shows-just-how-crazy-coronavirus-panic-can-get|work=The Daily Beast|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref> Ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini India uliongezeka baada ya mamlaka ya afya ya umma ilitambua mkusanyiko wa umisionari wa kiislamu mjini New Delhi mwezi Machi 2020 kama chanzo cha kuenea.<ref>{{Cite web|title=Indian Muslims Are Being Scapegoated for the Coronavirus|url=https://slate.com/news-and-politics/2020/04/tablighi-jamaat-india-muslims-coronavirus.html|work=Slate Magazine|date=2020-04-09|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Namrata Kolachalam}}</ref> Paris imekuwa na ghasia kuhusu jinsi polisi walivyowatendea watu wenye rangi wakati wa ufungaji.<ref>{{Cite web|title=Violence flares in tense Paris suburbs as heavy-handed lockdown stirs ‘explosive cocktail’|url=https://www.france24.com/en/20200421-violence-flares-in-tense-paris-suburbs-as-heavy-handed-lockdown-stirs-explosive-cocktail|work=France 24|date=2020-04-21|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wanaotoka Asia Kusini na Asia Kusini Mashiriki uliongezeka katika mataifa ya Kiarabu. Jamii ya LGBTQ ya Korea Kusini iliwalaumuliwa na watu wengine kwa kuenea virusi hivyo mjini Seoul.<ref>{{Cite web|title=Covid-19 Fueling Anti-Asian Racism and Xenophobia Worldwide|url=https://www.hrw.org/news/2020/05/12/covid-19-fueling-anti-asian-racism-and-xenophobia-worldwide|work=Human Rights Watch|date=2020-05-12|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Covid-19 Backlash Targets LGBT People in South Korea|url=https://www.hrw.org/news/2020/05/13/covid-19-backlash-targets-lgbt-people-south-korea|work=Human Rights Watch|date=2020-05-13|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Nchini Uchina, ubaguzi wa rangi dhidi ya wakazi wasio Kichina umechochewa na janga hilo, na wageni waliitwa "takataka za kigeni" na walilengwa kwa "utupaji". <ref>{{Cite web|title=After enduring months of lockdown, Africans in China are being targeted and evicted from apartments|url=https://qz.com/africa/1836510/africans-in-china-being-evicted-from-homes-after-lockdown-ends/|work=Quartz Africa|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Kwasi Gyamfi Asiedu}}</ref>Baadhi ya watu weusi walifukuzwa na polisi kutoka nyumbani kwao na kuambiwa kuondoka Uchina kabla ya masaa 24, kutokana na taarifa za uongo za wageni wakieneza virusi. Ubaguzi wa rangi huko ulikosolewa na serikali za kigeni na kundi la kidiplomasia, hasa serikali za nchi za Afrika, na Uchina iliomba samehe, lakini pia serikali ya Uchina imedai kwamba vyombo vya habari vya kigeni vimetia chumvi matukio hayo ili vionyeshe picha mbaya ya Uchina. Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu waAfrika umeendelea. WaAfrika wameondolewa migahawani, madukani, na mahali pengine nchini Uchina.<ref>{{Cite web|title=Beijing faces a diplomatic crisis after reports of mistreatment of Africans in China causes outrage|url=https://www.cnn.com/2020/04/13/asia/china-guangzhou-african-blacklash-hnk-intl/index.html|work=CNN|accessdate=2020-09-21|author=Jenni Marsh CNN}}</ref><ref>{{Citation|last=Akinwotu|first=Jason Burke Emmanuel|title=China fails to stop racism against Africans over Covid-19|date=2020-04-27|url=https://www.theguardian.com/world/2020/apr/27/china-fails-to-stop-racism-against-africans-over-covid-19|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21|last2=Beijing|first2=and Lily Kuo in}}</ref><ref>{{Cite web|title=China’s African traders try to move on from Covid-19 racism and business ruin|url=https://www.scmp.com/news/china/diplomacy/article/3090772/chinas-african-traders-try-move-covid-19-racism-and-business|work=South China Morning Post|date=2020-06-26|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> === Usambazaji wa habari === Magazeti mengi yameruhusu kusoma makala zote kuhusu virusi hivyo kwa bure mtandaoni, wakati wachapishaji wa kisayansi walifanya upatikanaji karatasi za kisayansi kuhusu mlipuko huo wazi. Baadhi ya wanasayansi walichagua kugawa matokeo yao haraka zaidi kwenye seva za kuchapisha kama vile bioRxiv.<ref>{{Cite web|title=Major Publishers Take Down Paywalls for Coronavirus Coverage|url=https://www.adweek.com/digital/major-publishers-take-down-paywalls-for-coronavirus-coverage/|accessdate=2020-09-21|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus (COVID-19): sharing research data {{!}} Wellcome|url=https://wellcome.org/coronavirus-covid-19/open-data|work=wellcome.org|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Citation|title=Coronavirus Research Is Moving at Top Speed—With a Catch|url=https://www.wired.com/story/coronavirus-research-preprint-servers/|work=Wired|language=en-us|issn=1059-1028|access-date=2020-09-21}}</ref> ==== Taarifa potofu ==== Janga hilo limesababisha taarifa potofu na taarifa na nadharia za janja kuhusu virusi kama vile asili, kuzuia, utambuzi, na matibabu ya ugonjwa huo.<ref>{{Citation|last=Monitoring|first=B. B. C.|title=China coronavirus: Misinformation spreads online|date=2020-01-30|url=https://www.bbc.com/news/blogs-trending-51271037|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=Disinformation and coronavirus|url=https://www.lowyinstitute.org/the-interpreter/disinformation-and-coronavirus|work=www.lowyinstitute.org|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Habari za uongo, zikiwemo taarifa kama hizo zilizosambazwa kwa makusudi, zimeenezwa kutumia mtandao ya kijamii, ujumbe, na vyombo vya habari vya serekali za nchi zikiwemo Uchina, Urusi, Irani, na Turkmenistan.<ref>{{Cite web|title=Social Media Posts Spread Bogus Coronavirus Conspiracy Theory|url=https://www.factcheck.org/2020/01/social-media-posts-spread-bogus-coronavirus-conspiracy-theory/|work=FactCheck.org|date=2020-01-24|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Jessica McDonald}}</ref> <ref>{{Cite web|title=As the Coronavirus Spreads, Conspiracy Theories Are Going Viral Too|url=https://foreignpolicy.com/2020/04/14/as-the-coronavirus-spreads-conspiracy-theories-are-going-viral-too/|work=Foreign Policy|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Elise Thomas}}</ref> <ref>{{Cite web|title='American coronavirus': China pushes propaganda casting doubt on virus origin|url=http://www.theguardian.com/world/2020/mar/12/conspiracy-theory-that-coronavirus-originated-in-us-gaining-traction-in-china|work=the Guardian|date=2020-03-13|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> <ref>{{Citation|last=Stubbs|first=Raphael Satter, Robin Emmott, Jack|title=China pressured EU to drop COVID disinformation criticism: sources|date=2020-04-25|url=https://www.reuters.com/article/us-health-coronavirus-eu-china-idUSKCN227030|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref>Pia habari hizo zimekuwa kueneza kwa operesheni za siri za serikali ili zizalishe hofu nchini nyingine. Katika nchi nyingine, kama vile India, Bangladesh, na Ethiopia, waandishi wa habari wamekamatwa kwa tuhuma za kueneza habari bandia kuhusu janga hilo.<ref>{{Cite web|title=Controls to manage fake news in Africa are affecting freedom of expression|url=http://theconversation.com/controls-to-manage-fake-news-in-africa-are-affecting-freedom-of-expression-137808|work=The Conversation|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Ashwanee Budoo}}</ref> Taarifa potofu zimeenezwa na watu maarufu na wanasiasa.<ref>https://www.theguardian.com/media/2020/apr/08/influencers-being-key-distributors-of-coronavirus-fake-news</ref> Wabiashara wa kudanganya wamedai kuuza vipimo vinavyoweza kutumiwa nyumbani, kinga, na matibabu ya "muujiza". <ref>https://www.theguardian.com/world/2020/mar/31/coronavirus-covid-19-fake-tests-cures</ref>Makundi kadhaa ya kidini yamedai imani yao itawalinda dhidi ya virusi. <ref>https://www.theguardian.com/world/2020/apr/16/as-coronavirus-spreads-around-the-world-so-too-do-the-quack-cures</ref>Baadhi ya watu wamedai virusi ni silaha ya kibiolojiki iliyoruhusu kutolewa maabarani kwa ajali au kwa makusudi, mpango wa udhibiti wa idadi ya watu, matokeo ya operesheni ya kijasusi, au matokeo ya jumla ya uboreshaji wa 5G kwenye mitandao ya simu.<ref>https://www.independent.co.uk/news/world/middle-east/iran-coronavirus-us-target-country-special-version-covid19-a9417206.html</ref><ref>https://www.bbc.com/news/technology-51646309</ref> Shirika la afya duniani limetangaza "janga la habari potofu" kuhusu virusi, ambalo linasababisha hatari kwa afya ya kimataifa.<ref>https://www.lowyinstitute.org/the-interpreter/disinformation-and-coronavirus</ref> == Mfululizo wa matukio ya janga la COVID-19 == Makala hii inahusu mfululizo na historia ya SARS-CoV-2, virusi vinavyosababisha COVID-19 vyenye wajibu wa janga la sasa. Kesi za kwanza zilizohusisha binadamu zilitambuliwa mjini Wuhan, Uchina mwezi Desemba 2019.<ref name=":4">{{Cite web|title=From fish market to global pandemic: Key dates in the coronavirus outbreak|url=https://www.abc.net.au/news/2020-01-29/coronavirus-timeline-from-wuhan-china-to-global-crisis/11903298|work=ABC News|date=2020-01-29|accessdate=2020-09-21|language=en-AU|author=Erin H, ley, wires}}</ref> === Historia ya Janga === Kuanzia mwezi Januari 2020 utafiti wa timu tofauti ulieleza hali ya matibabu na pia kuchambua maendeleo ya virusi hivyo.<ref name=":5">{{Cite web|title=Who is 'patient zero' in the coronavirus outbreak? - BBC Future|url=https://web.archive.org/web/20200226004038/http://www.bbc.com/future/article/20200221-coronavirus-the-harmful-hunt-for-covid-19s-patient-zero|work=web.archive.org|date=2020-02-26|accessdate=2020-09-21}}</ref> Kesi za mapema zilizotambuliwa na maabara ziligunduliwa baadaye. <ref>{{Cite journal|last=Huang|first=Chaolin|last2=Wang|first2=Yeming|last3=Li|first3=Xingwang|last4=Ren|first4=Lili|last5=Zhao|first5=Jianping|last6=Hu|first6=Yi|last7=Zhang|first7=Li|last8=Fan|first8=Guohui|last9=Xu|first9=Jiuyang|date=2020|title=Clinical features of patients infected with 2019 novel coronavirus in Wuhan, China|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7159299/|journal=Lancet (London, England)|volume=395|issue=10223|pages=497–506|doi=10.1016/S0140-6736(20)30183-5|issn=0140-6736|pmc=7159299|pmid=31986264}}</ref> Kwa ajili ya utafiti mapema, chanzo cha virusi hivyo pengine kiliendeleza mnamo 22-24 Novemba 2019 . Mnamo May 2020 nadharia hiyo ilithibitishwa na takwimu zaidi na mwanzo wa virusi COVID-19 ilitambuliwa mnamo 6 Octoba 2019 hadi 11 Desemba 2019. Pia ushahidi nguvu unaashiria kwamba virusi vilianza katika popo lakini vilienea binadamu kupitisha aina nyingine ya mnyama kutoka popo hadi binadamu. Inawezekana uwezo wa kuenea miongoni kwa binadamu uliendeleza baadaye. <ref>{{Cite web|title=Q&A on coronaviruses (COVID-19)|url=https://www.who.int/news-room/q-a-detail/q-a-coronaviruses|work=www.who.int|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Coronavirus disease (COVID-19) – World Health Organization|url=https://www.who.int/emergencies/diseases/novel-coronavirus-2019|work=www.who.int|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Li|first=Xingguang|last2=Zai|first2=Junjie|last3=Zhao|first3=Qiang|last4=Nie|first4=Qing|last5=Li|first5=Yi|last6=Foley|first6=Brian T.|last7=Chaillon|first7=Antoine|date=2020-03-11|title=Evolutionary history, potential intermediate animal host, and cross‐species analyses of SARS‐CoV‐2|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7228310/|journal=Journal of Medical Virology|doi=10.1002/jmv.25731|issn=0146-6615|pmc=7228310|pmid=32104911}}</ref> ==== 17 Novemba 2019 ==== Kwa ajili ya utafiti uliofanywa baadaye, mgonjwa wa kwanza aliambukizwa na COVID-19, ingawa ugonjwa huo umekuwa haujatambulishwa.  Aliishi jimbo la Hubei, Uchina.<ref name=":5" /> ==== 1 Desemba ==== Utafiti unaonyesha kwamba dalili za “Mgonjwa Sifuri” au mgonjwa wa kwanza zilianza tarehe 1 Desemba. Yeye alikuwa mwanamume na hakuenda Soko la Samaki mjini Wuhan na familia yake haikuathiriwa na hakuwa na uhusiano baina yake na kesi nyingine. Baadaye ilithibitishwa kwamba alikuwa na miaka sabini, alikuwa na ugonjwa wa Alzheimer na aliishi mbali kutoka sokoni na kwa kawaida hakuondoka nyumbani.<ref>{{Cite journal|last=Huang|first=Chaolin|last2=Wang|first2=Yeming|last3=Li|first3=Xingwang|last4=Ren|first4=Lili|last5=Zhao|first5=Jianping|last6=Hu|first6=Yi|last7=Zhang|first7=Li|last8=Fan|first8=Guohui|last9=Xu|first9=Jiuyang|date=2020|title=Clinical features of patients infected with 2019 novel coronavirus in Wuhan, China|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7159299/|journal=Lancet (London, England)|volume=395|issue=10223|pages=497–506|doi=10.1016/S0140-6736(20)30183-5|issn=0140-6736|pmc=7159299|pmid=31986264}}</ref><ref>{{Cite web|title=Who is 'patient zero' in the coronavirus outbreak? - BBC Future|url=https://web.archive.org/web/20200226004038/http://www.bbc.com/future/article/20200221-coronavirus-the-harmful-hunt-for-covid-19s-patient-zero|work=web.archive.org|date=2020-02-26|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== 16 Desemba ==== Watu wa kwanza wenye virusi hivyo walilazwa hospitalini tarehe 16 Desemba. Wazee wawili wenye homa na kohoa walienda hospitalini Hubei Provincial. Mkuu wa matibatu ya kupumua Dk Zhang Jixian aliyewatiba alitambua ugonjwa wao kama pengine mafua au nimonia.<ref>{{Cite journal|last=Huang|first=Chaolin|last2=Wang|first2=Yeming|last3=Li|first3=Xingwang|last4=Ren|first4=Lili|last5=Zhao|first5=Jianping|last6=Hu|first6=Yi|last7=Zhang|first7=Li|last8=Fan|first8=Guohui|last9=Xu|first9=Jiuyang|date=2020|title=Clinical features of patients infected with 2019 novel coronavirus in Wuhan, China|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7159299/|journal=Lancet (London, England)|volume=395|issue=10223|pages=497–506|doi=10.1016/S0140-6736(20)30183-5|issn=0140-6736|pmc=7159299|pmid=31986264}}</ref><ref>{{Cite web|title=Xinhua Headlines: Chinese doctor recalls first encounter with mysterious virus - Xinhua {{!}} English.news.cn|url=http://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm|work=www.xinhuanet.com|accessdate=2020-09-21|archivedate=2020-04-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200423140325/https://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm}}</ref> ==== 24 Desemba ==== Sampuli ya mate ya kifua ilitumia maabara Vision Medicals kutoka Hospitali Wuhan Central kwa uchambuzi wa kijenetiki. <ref>{{Cite web|title=独家{{!}}新冠病毒基因测序溯源:警报是何时拉响的_政经频道_财新网|url=https://web.archive.org/web/20200227094018/http://china.caixin.com/2020-02-26/101520972.html|work=web.archive.org|date=2020-02-27|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== 27 Desemba ==== Baada ya kuangalia picha za CT za wazee hazikuwa kwaida, Dk Jixian alimwuliza mvulana wa wazee hao kupata CT na matokeo yalikuwa sawa. Jixian alifanya kazi kuhusu janga la SARS na alituhuma kulikuwa na mlipuko mengine wa maambukizo hayo. Mgonjwa mwengine, mfanyabiashara katika soko la samaki mjini Wuhan, alifikia hospitalini siku hiyo hiyo mwenye dalili sawa. Damu za wagonjwa wote zilipimwa na matokeo yanaonyesha walikuwa na aina ya virusi lakini sio mafua. Dk Jixian aliwaripotia wakuu wake na aliweka sehemu ya karantini. <ref>{{Cite web|title=Ringing the alarm - Global Times|url=https://www.globaltimes.cn/content/1178756.shtml|work=www.globaltimes.cn|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=Xinhua Headlines: Chinese doctor recalls first encounter with mysterious virus - Xinhua {{!}} English.news.cn|url=http://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm|work=www.xinhuanet.com|accessdate=2020-09-21|archivedate=2020-04-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200423140325/https://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm}}</ref> Hospitali ya Wuhan Central alipata ujumbe kutoka maabara Vision Medicals ukisema kwamba sampuli tarehe 24 Desemba ilikuwa na aina mpya ya coronavirus.  Mgonjwa huyo aliwekwa karantini. Pia huko hospitali ya Wuhan Central, sampuli nyingine ilikusanyika kutoka mgonjwa mwengine mwenye ugonjwa usiojulikana na sampuli hiyo ilitumia maabara CapitalBio Medlab mjini Beijing. <ref>{{Citation|title=Timeline of the COVID-19 pandemic in 2019|date=2020-09-21|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Timeline_of_the_COVID-19_pandemic_in_2019&oldid=979575742|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=独家{{!}}新冠病毒基因测序溯源:警报是何时拉响的_政经频道_财新网|url=https://web.archive.org/web/20200227094018/http://china.caixin.com/2020-02-26/101520972.html|work=web.archive.org|date=2020-02-27|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== 29 Desemba ==== Siku hiyo na jana kesi tatu zilifikia hospitalini Hubei Provincial, zote zilizohusiana na soko la samaki. Mamlaka ya afya ilikuwa imejulishwa na wataalamu wa magonjwa ya maambukizo walikuja kutoka hospitali Wuhan Central ili wawahamishe wagonjwa sita wa saba. Dk Jixian aliamua kuwaruhusu wafanyakazi wa matibabu katika idara yake kuvaa barakoa na aliagiza makoti ya kinga. <ref>{{Cite web|title=Xinhua Headlines: Chinese doctor recalls first encounter with mysterious virus - Xinhua {{!}} English.news.cn|url=http://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm|work=www.xinhuanet.com|accessdate=2020-09-21|archivedate=2020-04-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200423140325/https://www.xinhuanet.com/english/2020-04/16/c_138982435.htm}}</ref> Wakuu wa hospitali ya Hubei Provincial walikutana na jupo la madaktari ambao walimaliza kwamba kesi hizo hazikuwa kawaida na kuhitajika mwangalizi maalum na pia, kwa sababu walikuwa wamejifunza juu ya kesi mbili nyingine mjini, waliamua kuripoti hitimisho zao mamlaka ya afya ya mji na jimbo. <ref>{{Citation|title=Timeline of the COVID-19 pandemic in 2019|date=2020-09-21|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Timeline_of_the_COVID-19_pandemic_in_2019&oldid=979575742|work=Wikipedia|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=她最早发现新冠肺炎疫情苗头 第一时间上报可疑病例-中工民生-中工网|url=http://society.workercn.cn/32851/202002/08/200208073540988.shtml|work=society.workercn.cn|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== 30 Desemba ==== Hospitali ya Wuhan Central ilipokea ripoti kutoka maabara ya CapitalBio Medlab iliyodai kesi ya SARS. Kwa mujibu ya mtandao ya kijamii, matokeo hayo yaligunduliwa si kweli baadaye. Madaktari kadhaa wakiwemo Dk Ai Fen waliweka matokeo ya kipimo mtandaoni kwa kijamii kwa wenzao, wakiwemo Dk Li Wenliang. <ref>{{Cite web|title=独家{{!}}新冠病毒基因测序溯源:警报是何时拉响的_政经频道_财新网|url=https://web.archive.org/web/20200227094018/http://china.caixin.com/2020-02-26/101520972.html|work=web.archive.org|date=2020-02-27|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=独家{{!}}新冠病毒基因测序溯源:警报是何时拉响的_政经频道_财新网|url=https://web.archive.org/web/20200227094018/http://china.caixin.com/2020-02-26/101520972.html|work=web.archive.org|date=2020-02-27|accessdate=2020-09-21}}</ref> ===== Ujumbe rasmi wa kwanza ===== Tume ya afya ya mji wa Wuhan ilitumia taasisi zake ujumbe: <ref>{{Cite web|title=Promed Post – ProMED-mail|url=https://promedmail.org/promed-post/|accessdate=2020-09-21|language=en-US}}</ref> Madaktari wanaosimamia watekeleze udhibiti na kuanzisha timu maalum. Wafanyakazi wote wakae macho, hasa kuangalia wagonjwa wenye dalili kama zile za numonia inayoambukiza. Ni lazima takwimu zikusanyike kwa kawaida na kutumia tume ya afya ya Wuhan na jimbo la Hubei. Takwimu za wiki iliyopita, kuhusu wagonjwa wenye dalili za numonia inayoambukiza, zitumie tume ya afya ya Wuhan kabla ya saa kumi jioni siku hiyo hiyo. Bila ruhusu kutoka mamlaka hakuna mtu ye yote anayeruhusiwa kueneza habari juu ya matibabu.  ==== 31 Desemba ==== ===== Ujumbe wa umma wa kwanza ===== Tume ya afya ya Wuhan ilijulisha jamii juu ya ishara mapema za mlipuko wa numonia. Ujumbe huo unatoa picha ya tahadhari; ulijumuisha maagizo ya siku iliyopita kwa hospitali za mji; ulitia mkazo utafiti ulioendelea na kutafuta matibabu ambapo kulikuwa na dalili za numonia; na ulishauri umma kuvaa barakoa na kuepuka mahali ndani pa umma penye watu wengi. <ref>{{Cite web|title=武汉市卫生健康委员会|url=https://web.archive.org/web/20200109215413/http://wjw.wuhan.gov.cn/front/web/showDetail/2019123108989|work=web.archive.org|date=2020-01-09|accessdate=2020-09-21}}</ref> Mnamo siku hiyo, kulikuwa na kesi 266 huko jimbo la Hubei. <ref>{{Cite web|title=27 cases of viral pneumonia reported in central China's Wuhan City|url=https://news.cgtn.com/news/2019-12-31/Authorities-begin-testing-after-pneumonia-cases-in-central-China-MRPvtFbCve/index.html|work=news.cgtn.com|accessdate=2020-09-21|language=en|archivedate=2020-03-10|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200310153851/https://news.cgtn.com/news/2019-12-31/Authorities-begin-testing-after-pneumonia-cases-in-central-China-MRPvtFbCve/index.html}}</ref> Qu Shiqan, mwuzaji sokoni kwa samaki, alisema kwamba maofisa ya serikali walisafisha mahali hapo terehe 31 Desemba na waliwaambia wauzaji wavae barakoa. Qu alisema kwamba alijifunza juu ya mlipuko wa numonia kutoka ripoti za vyombo vya habari tu. “Awali nilifikiri kwamba walikuwa na mafua,” alisema. “Si kali sana. Sisi tunauza samaki. Tunaweza kuambukizwa vipi?” Wachambuzi wengi walisema baadaye kwamba kusafisha sokoni kuliharibu ushahidi muhimu uliohitajika kugundua asili ya COVID-19.<ref>{{Cite web|title=Hong Kong takes emergency steps as mystery ‘pneumonia’ infects 27 in Wuhan|url=https://www.scmp.com/news/china/politics/article/3044050/mystery-illness-hits-chinas-wuhan-city-nearly-30-hospitalised|work=South China Morning Post|date=2019-12-31|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Dk Li Wenliang aliyesimamia idara ya dharura ya hospitali Wuhan Central alikabiliwa na maofisa ya usalama mjini Wuhan kwa sababu alichapisha habari za ugonjwa mtandaoni kwa kijamii. Walimwonya akome “kueneza uongo.” <ref>{{Cite web|title=独家{{!}}新冠病毒基因测序溯源:警报是何时拉响的_政经频道_财新网|url=https://web.archive.org/web/20200227094018/http://china.caixin.com/2020-02-26/101520972.html|work=web.archive.org|date=2020-02-27|accessdate=2020-09-21}}</ref> Kwa mujibu ya kituo cha afya cha serikali ya Hong Kong, hatua mbalimbali kuangalia na kudhibiti mipaka zilianza, zikiwemo uangalizi wa joto. <ref>{{Cite web|title=CHP closely monitors cluster of pneumonia cases on Mainland|url=https://www.info.gov.hk/gia/general/201912/31/P2019123100667.htm|work=www.info.gov.hk|accessdate=2020-09-21}}</ref> Tume ya afya ya Wuhan ilitumia taasisi zake ujumbe kwenye karatasi wenye mwongozo wa kukabiliana na mlipuko wa numonia unaowezekana. Siku hiyo hiyo nakala mbili pia ziliwekwa mtandaoni kwa kijamii Weibo.  <ref>{{Cite web|title=[新闻直播间]湖北武汉发现不明原因肺炎 国家卫健委专家组已抵达武汉_CCTV节目官网-CCTV-13_央视网(cctv.com)|url=http://tv.cctv.com/2019/12/31/VIDE9N8qRty36PkLirFVxMW6191231.shtml|work=tv.cctv.com|accessdate=2020-09-21}}</ref><ref>{{Cite web|title=Promed Post – ProMED-mail|url=https://promedmail.org/promed-post/|accessdate=2020-09-21|language=en-US}}</ref> Ofisi ya shirika la WHO mjini Beijing ilijulishwa juu ya “aina ya numonia yenye sababu isiyojulikana” ambayo iligunduliwa mjini Wuhan. <ref>{{Citation|last=Borger|first=Julian|title=Caught in a superpower struggle: the inside story of the WHO's response to coronavirus|date=2020-04-18|url=https://www.theguardian.com/world/2020/apr/18/caught-in-a-superpower-struggle-the-inside-story-of-the-whos-response-to-coronavirus|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21}}</ref> Vyombo vya habari vya kimataifa Reuters na Deutsche Welle vilipata habari hiyo na pia gazeti la South China Morning Post huko Hong Kong: Hong Kong ichukua hatua za dharura kama numonia ya fumbo iwaambukiza watu 27 Wuhan <ref>{{Cite web|title=Hong Kong takes emergency steps as mystery ‘pneumonia’ infects 27 in Wuhan|url=https://www.scmp.com/news/china/politics/article/3044050/mystery-illness-hits-chinas-wuhan-city-nearly-30-hospitalised|work=South China Morning Post|date=2019-12-31|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> Uchina ichunguza virusi kama SARS kama wagonjwa wengi waathiri <ref>{{Cite web|title=China investigates SARS-like virus as dozens struck by pneumonia {{!}} DW {{!}} 31.12.2019|url=https://www.dw.com/en/china-investigates-sars-like-virus-as-dozens-struck-by-pneumonia/a-51843861|work=DW.COM|accessdate=2020-09-21|language=en-GB|author=Deutsche Welle (www.dw.com)}}</ref> Maofisa wa Uchina wachunguza mlipuko wa numonia Wuhan <ref>{{Citation|last=Staff|first=Reuters|title=Chinese officials investigate cause of pneumonia outbreak in Wuhan|date=2019-12-31|url=https://www.reuters.com/article/us-china-health-pneumonia-idUSKBN1YZ0GP|work=Reuters|language=en|access-date=2020-09-21}}</ref> ==== 1 Januari 2020 ==== Dk Ai alionywa na wakuu wake kwa sababu aliwaambia wenzake juu ya virusi vipya.  <ref name=":1" /> ==== 3 Januari ==== Uchina iliambia rasmi Marekani juu ya virusi hivyo na ilianza kulipa shirika la WHO habari kila siku. <ref>{{Citation|last=Shear|first=Michael D.|title=The Lost Month: How a Failure to Test Blinded the U.S. to Covid-19|date=2020-04-01|url=https://www.nytimes.com/2020/03/28/us/testing-coronavirus-pandemic.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21|last2=Goodnough|first2=Abby|last3=Kaplan|first3=Sheila|last4=Fink|first4=Sheri|last5=Thomas|first5=Katie|last6=Weiland|first6=Noah}}</ref> <ref>{{Citation|last=Harris|first=Shane|title=U.S. intelligence reports from January and February warned about a likely pandemic|url=https://www.washingtonpost.com/national-security/us-intelligence-reports-from-january-and-february-warned-about-a-likely-pandemic/2020/03/20/299d8cda-6ad5-11ea-b5f1-a5a804158597_story.html|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2020-09-21|last2=Miller|first2=Greg|last3=Dawsey|first3=Josh|last4=Nakashima|first4=Ellen}}</ref> Tume ya afya ya kitaifa ya Uchina iliagiza taasisi mjini Wuhan zisichapishe habari zo zote kuhusu virusi hivyo na ziangamize sampuli za ugonjwa huo.<ref name=":1" /> Dk Li alionywa na polisi kukoma kueneza habari kuhusu virusi hivyo.  <ref>{{Citation|last=Hegarty|first=Stephanie|title=The Chinese doctor who tried to warn about coronavirus|date=2020-02-06|url=https://www.bbc.com/news/world-asia-china-51364382|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2020-09-21}}</ref> ==== 6 Januari ==== Serikali ya Marekani ilitolea Uchina timu ya wataalamu wazuri wa magonjwa ya maambukizo ili wasaidie.  Uchina ilikataa. <ref name=":1" /> ==== 9 Januari ==== Uchina ilitangaza kwamba wanasayansi wa kiChina wamemaliza uchambuzi wa kijenetiki wa COVID-19. <ref>{{Cite web|title=Chinese scientists identify the 'Wuhan Virus'. Screening continues on Thai-bound flights.|url=https://thethaiger.com/hot-news/tourism/chinese-scientists-identify-the-wuhan-virus-screening-continues-on-thai-bound-flights|work=The Thaiger|date=2020-01-09|accessdate=2020-09-21|language=en-TH|author=The Thaiger}}</ref><ref>{{Cite web|title=China releases genetic data on new coronavirus, now deadly|url=https://www.cidrap.umn.edu/news-perspective/2020/01/china-releases-genetic-data-new-coronavirus-now-deadly|work=CIDRAP|accessdate=2020-09-21|language=en|author=Lisa Schnirring {{!}} News Editor {{!}} CIDRAP News {{!}} Jan 11, 2020}}</ref> ==== 14 Januari ==== Katika mkutano siri wa maofisa wa Uchina, mkuu wa tume ya afya kitaifa alisema kwamba hali hiyo ilikuwa “changamoto kali zaidi tangu SARS.”<ref>{{Cite web|title=China didn't warn public of likely pandemic for 6 key days|url=https://apnews.com/68a9e1b91de4ffc166acd6012d82c2f9|work=AP NEWS|date=2020-04-15|accessdate=2020-09-21}}</ref> Shirika la WHO lilirudia habari kutoka Uchina kwamba virusi hivyo havienei miongoni mwa binadamu.  <ref name=":4" /> ==== 20 Januari ==== Mkuu wa Uchina Xi Jinping alijadili virusi hivyo kwa umma kwa mara ya kwanza.  <ref>{{Cite web|title=Chinese premier stresses curbing viral pneumonia epidemic|url=https://www.chinadaily.com.cn/a/202001/21/WS5e26556ca31012821727269c.html|work=www.chinadaily.com.cn|accessdate=2020-09-21|author=郭凯}}</ref> Katika hoja na vyombo vya habari vya serikali, Dk Zhong Nanshan alithibitisha virusi hivyo vinaweza kuenea miongoni mwa binadamu. <ref>{{Citation|last=Kuo|first=Lily|title=China confirms human-to-human transmission of coronavirus|date=2020-01-21|url=https://www.theguardian.com/world/2020/jan/20/coronavirus-spreads-to-beijing-as-china-confirms-new-cases|work=The Guardian|language=en-GB|issn=0261-3077|access-date=2020-09-21}}</ref> Korea Kusini na Marekani zilithibitisha kesi zao za kwanza. <ref>{{Cite web|title=S. Korea reports 1st confirmed case of China coronavirus|url=https://en.yna.co.kr/view/AEN20200120004500320|work=Yonhap News Agency|date=2020-01-20|accessdate=2020-09-21|language=en|author=박상수}}</ref><ref>{{Citation|last=Shear|first=Michael D.|title=The Lost Month: How a Failure to Test Blinded the U.S. to Covid-19|date=2020-04-01|url=https://www.nytimes.com/2020/03/28/us/testing-coronavirus-pandemic.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2020-09-21|last2=Goodnough|first2=Abby|last3=Kaplan|first3=Sheila|last4=Fink|first4=Sheri|last5=Thomas|first5=Katie|last6=Weiland|first6=Noah}}</ref> ==== 23 Januari ==== Mji yote ya Wuhan iliwekwa ufungaji au karantini kwa siku 72. Siku ijayo serikali ya Uchina ilipiga marufuku za usafiri kuingia na kuondoka jimbo la Hubei. <ref name=":6">{{Cite journal|last=Chinazzi|first=Matteo|last2=Davis|first2=Jessica T.|last3=Ajelli|first3=Marco|last4=Gioannini|first4=Corrado|last5=Litvinova|first5=Maria|last6=Merler|first6=Stefano|last7=Piontti|first7=Ana Pastore y|last8=Mu|first8=Kunpeng|last9=Rossi|first9=Luca|date=2020-04-24|title=The effect of travel restrictions on the spread of the 2019 novel coronavirus (COVID-19) outbreak|url=https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7164386/|journal=Science (New York, N.y.)|language=en|volume=368|issue=6489|pages=395|doi=10.1126/science.aba9757|pmid=32144116}}</ref> ==== 24 Januari ==== Ufaransa ilithibitisha kesi yake ya kwanza, lakini baadaye iligunduliwa kwamba kulikuwa na kesi nyingine tarehe 27 Desemba 2019 nchini Ufaransa. <ref>{{Cite web|title=France declares first two confirmed cases of coronavirus|url=https://news.trust.org/item/20200124190017-e8ycd/|work=news.trust.org|accessdate=2020-09-21|author=Thomson Reuters Foundation}}</ref> ==== 27 Januari ==== Serikali ya Uchina ilipiga marufuku za usafiri wa makundi ya watu kwenda nchi nyingine. <ref name=":6" /> Meya wa Wuhan alisema kwamba hakuweza kutoa taarifa juu ya hali halisi mapema zaidi kutokana na mfumo wa kisiasa wa Uchina.  “Serikali ya kienyeji hairuhusiwi kufanya hivyo bila ruhusu kutoka serikali ya kitaifa,” alisema. <ref>{{Citation|last=Chin|first=Josh|title=Wuhan Mayor Says Beijing Rules Partially Responsible for Lack of Transparency|date=2020-01-28|url=https://www.wsj.com/articles/chinas-premier-tours-virus-epicenter-as-anger-bubbles-at-crisis-response-11580109098|work=Wall Street Journal|language=en-US|issn=0099-9660|access-date=2020-09-21}}</ref> ==== 30 Januari ==== Shirika la WHO lilitangaza Coronavirus vilikuwa dharura ya afya ya kimataifa.<ref>{{Cite web|title=Statement on the second meeting of the International Health Regulations (2005) Emergency Committee regarding the outbreak of novel coronavirus (2019-nCoV)|url=https://www.who.int/news-room/detail/30-01-2020-statement-on-the-second-meeting-of-the-international-health-regulations-(2005)-emergency-committee-regarding-the-outbreak-of-novel-coronavirus-(2019-ncov)|work=www.who.int|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> ==== 31 Januari ==== Rais Trump wa Marekani alipiga marufuku za usafiri kutoka Uchina isipokuwa Wamarekani.  <ref name=":3" /> Uingereza na Urusi zilithibitisha kesi zao za kwanza za COVID-19. <ref>{{Cite web|title=Federal quarantine order issued for 195 Americans who returned from China|url=https://www.usatoday.com/story/news/world/2020/01/31/coronavirus-symptoms-britain-russia-who-wuhan-emergency/4620574002/|work=USA TODAY|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Doug Stanglin}}</ref> ==== 6 February ==== Mtu wa kwanza nchini Marekani alikufa kutokana na COVID-19. <ref>{{Cite web|title=First known U.S. coronavirus death occurred on Feb. 6 in Santa Clara County|url=https://www.sfchronicle.com/health/article/First-known-U-S-coronavirus-death-occurred-on-15217316.php|work=SFChronicle.com|date=2020-04-22|accessdate=2020-09-21|language=en-US|author=Matt Kawahara}}</ref> ==== 7 Februari ==== Dk Li alikufa kutokana na COVID-19. <ref name=":1" /> ==== 19 Februari ==== Irani ilithibitisha vifo vyake ya kwanza kutokana na COVID-19.<ref>{{Cite web|title=Two die of coronavirus in Iran, first fatalities in Middle East|url=https://www.aljazeera.com/news/2020/02/die-coronavirus-iran-fatalities-middle-east-200219171007605.html|work=www.aljazeera.com|accessdate=2020-09-21}}</ref> ==== 13 Machi ==== Rais Trump wa Marekani alitangaza hali ya dharura ya kitaifa. <ref name=":3" /> ==== 19 Machi ==== Italia ilikuwa nchi yenye vifo vingi zaidi duniani kutokana na COVID-19. ==== 26 Machi ==== Marekani ilikuwa nchi yenye kesi zilisothibitishwa nyingi zaidi duniani. <ref>{{Cite web|title=Coronavirus: Number of COVID-19 deaths in Italy surpasses China as total reaches 3,405|url=https://news.sky.com/story/coronavirus-number-of-covid-19-deaths-in-italy-surpasses-china-as-total-reaches-3-405-11960412|work=Sky News|accessdate=2020-09-21|language=en}}</ref> ==== 17 Aprili ==== Serikali ya Uchina ilikiri kwamba kulikuwa na vifo vingi zaidi mjini Wuhan kuliko hivyo vilivyoripotiwa.  Serikali iliongeza idadi ya vifo kwa 50%. <ref name=":1" /> ==== 19 Aprili ==== Serikali ya Australia ilidai uchunguzi huru wa asili ya janga hilo. Baadaye zaidi ya nchi 100 ziliunga mkono hatua hiyo.  <ref name=":1" /> ==== 17 Aprili ==== Uchina iliita hatua hiyo ni “hatari” na ilitisha kulipiza kisasi cha kiuchumi kwa nchi zilizounga mkono. Lakini baadaye Uchina ilikubali kushirikiana na uchunguzi huo. <ref name=":1" /> === Ufupisho === Utafiti wa kihistoria unaamini kwamba SARS-CoV-2 viliendeleza mwezi Novemba. Ufahamu wa kisayansi wa aina mpya ya SARS coronavirus ulifanyika maabarani Vision Medicals jimbo la Guangzhou mnamo 24-27 Desemba 2019.  Ufahamu wa kikliniki wa janga linalokuja lilianza hospitalini Hubei Provincial karibu na wakati huo huo mnamo 27-29 Desemba. Tarehe 31 Desemba mamlaka ya afya ya Wuhan ilitoa takwimu ya kesi.  Wachambuzi wengi nchini nyingi wamedai Uchina kwa kuchelewa habari za virusi hivyo na kujaribu kuficha ukali wa virusi hivyo baada ya ilikuwa wazi kwamba kulikuwa na aina mpya ya virusi vilivyosambaa kwa rahisi.  <ref name=":1" /><ref name=":4" /> == Picha == <gallery> File:COVID-19 vaccination Seychelles.jpg File:Covid-19 vaccination Seychelles.jpg File:COVID Vaccine (50745583447).jpg File:Victoria_mask_dummies_jeh.jpg File:2020-06-27-Deep-East-Oakland-BLM-Rally1,123_(50052378806).jpg File:DSC 0958 (50284109072).jpg File:Fphar-11-00937-g001.jpg File:Infektionsschutzzentrum im Rautenstrauch-Joest-Museum, Köln-6313 (cropped).jpg File:MTA Deploys ‘Temperature Brigade,' Testing Heroic Frontline Employees (49754126983).jpg </gallery> ==Tazama pia== * [[Ugonjwa wa corona Kenya 2020]] * [[Ugonjwa wa corona Tanzania 2020]] * [[Athari ya pandemia ya Korona 2019-20 kwa mazingira]] == Marejeo == {{Reflist|3}} ==Viungo vya nje== {{commonscat|COVID-19 pandemic}} * [https://www.arcgis.com/apps/opsdashboard/index.html#/bda7594740fd40299423467b48e9ecf6 Casos globales por Coronavirus COVID-19] {{en}}, kutoka Kituo cha Sayansi na Uhandisi wa Mifumo katika [[Chuo Kikuu cha Johns Hopkins]]. *[https://www.ncbi.nlm.nih.gov/sars-cov-2/ ] *[https://pubmed.ncbi.nlm.nih.gov/?term=covid-19 COVI-19 Pubmed] (Nakala 118,301 kufikia Machi 31, 2021) *[https://www.covid19treatmentguidelines.nih.gov/whats-new/ Habari katika matibabu] *[https://www.covid19treatmentguidelines.nih.gov/therapeutic-management/ Usimamizi wa matibabu ya watu wazima walio na COVID-19] * [https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7958099/ Ratiba ya ufahamu wa kinga] [[Jamii:2020]] [[Jamii:Virusi]] [[Jamii:1Lib1Ref2020 Tanzania]] [[Jamii:COVID-19]] l35fdmye0xs13rb1jb7g00gwuk480n5 Amelia Kajumulo Kivaisi 0 124263 1233852 1213533 2022-07-20T12:16:48Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki {{Infobox person |jina = Amelia Kajumumulo Kivaisi |majina mengine = [[Amelia Kajumulo Kivaisi| Profesa Amelia]] |picha= |caption = Amelia Kajumulo Kivaisi |mahali pa kuzaliwa = |tarehe ya kuzaliwa = |utaifa = [[Tanzania|Mtanzania]] |kazi yake = Mkufunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, Mjasiliamali, Mtafiti |miaka ya kazi = |mwenza = | mhitimu = | wavuti = }} '''Amelia Kajumulo Kivaisi''' ni [[profesa]] mstaafu wa [[mikrobiolojia]] tumizi. Alikuwa mwanachama [[mwanzilishi]] na mkuu wa kwanza wa Idara ya [[biolojia ya molekuli]] (MBB) katika [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] (UDSM) ambapo amekua profesa kwa takriban miaka 15. Kwa sasa anafanya [[kazi]] kwa [[mkataba]] katika idara hiyohiyo.<ref>https://www.udsm.ac.tz/web/index.php/staff/name/Amelia%20/165</ref>. Hivi karibuni ametunukiwa cheo cha profesa "emerita", akiwa kwenye jopo la kwanza la wanataaluma na mwanamke wa kwanza kutunukiwa cheo hicho kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam <ref>https://www.udsm.ac.tz/web/index.php/offices/aca/professors-emeriti</ref>. ==Elimu== Amelia ni msomi ambaye ana [[elimu]] za [[Uzamili|shahada ya pili]] (MSc) na shahada ya [[uzamivu]] (PhD) ya [[sayansi]] ya mikrobiolojia na alijikita katika mmeng'enyo anaerobia wa mabaki ya kilimo ya lignicellulosic. ==Kazi== Amelia amekuwa mtafiti kwa miaka mingi, [[utafiti]] wake ulilenga ubadilishaji wa kibiolojia wa taka ngumu za kikaboni kuwa [[gesi]] ya asilia, [[uyoga]] na viuatilifu vya kibilojia. Amesimamia na kushauri [[wanafunzi]] wengi wa [[Uzamili|shahada ya pili]] (MSc) na shahada ya [[uzamivu]] (PhD) na kuongoza miradi kadhaa ya kitaifa na ya kimataifa ya utafiti. Kwa kushirikiana na washirika wa viwandani, kwa sasa anahusika katika kukuza daraja la biashara-viuatilifu vya kibilojia akiwa kama [[mhariri mkuu]] wa Jarida la Sayansi la Tanzania na amechapisha katika majarida kadhaa. Alisambaza zaidi matokeo ya utafiti kupitia ushiriki wa dhati katika mikutano mingi ya kisayansi. ==Tafiti== Hii ni orodha ya baadhi ya tafiti na [[kazi]] mbalimbali zilizofanywa na Prof. Amelia * Matumizi ya taka za viwandani za [[kilimo]] <ref>https://mafiadoc.com/sustainable-utilization-of-agro-industrial-wastes-_5a13c66b1723ddbb81384c79.html</ref> * Usalama wa chakula na ujasiliamali <ref>Food for thought: Food security and entrepreneurship</ref> * Mapinduzi yasiyo ya kijani <ref>http://www.mondofungo.it/Non_Green_Revolution.html</ref> * Udongo wa kupandia [[uyoga]] <ref>https://www.yumpu.com/xx/document/read/11387414/nitapata-wapi-udongo-wa-kupandia-uyoga-uyoga-tanzanian-</ref> * Sekta ya Mkonge ya Tanzania: Uchunguzi na tabia baada ya mavuno ya mkonge kama uchenjuaji wa kibaiolojia <ref>http://connection.ebscohost.com/c/articles/87992048/tanzania-sisal-industry-auditing-characterization-sisal-post-harvest-wastes-as-bio-resource-bio-refining</ref> * Uzalishaji wa kimeng'enya cha [[Oxidative na Hydrolytic ]]kwa njia ya [[Coprinus cinereus]] (Schaeff). Majivu kutoka katika masalia ya [[mkonge]] yaliyochanganywa na [[Kinyesi]] cha [[ng'ombe]]<ref>https://europepmc.org/article/MED/26664748?singleResult=true</ref> Pia amehusika na kutoa marejeo na hariri katika tafiti nyingine zilizofanyika nje ya Tanzania. <ref>https://scholar.google.com/citations?user=Rrl9cxwAAAAJ&hl=cs</ref> ==Marejeo== <references/> {{mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Tanzania]] [[Jamii:Wanabiolojia wa Tanzania]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] [[Jamii:WikiGap 2020 Tanzania]] j59hayn85esklx848rvyw36ier3sr68 Jamii:Wanabiolojia wa Tanzania 14 124272 1233866 1193615 2022-07-20T12:48:15Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] [[Jamii:Wanabiolojia nchi kwa nchi|Tanzania]] 3skgh8v2h7tftf5h2flmkk3nj8neidl Mary Sadler 0 134515 1233895 1159511 2022-07-20T13:28:19Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} {{vyanzo}} '''Mary Sadler''' (alizaliwa nchini [[Uholanzi]] [[2 Mei]] [[1941]]) na kuhama pamoja na wazazi wake kwenda [[Afrika Kusini]] akiwa bado [[mtoto]]. Alikulia Upington katika Mto Orange (Gariep), mpangilio wa [[riwaya]] yake ya kihistoria, "Mchanga". Hivi sasa anafanya kazi kwenye safu ya Kiafrikana Magharibi na mtalii anayeitwa Lang Henning kama mhusika mkuu ==Viungo vya nje== *[https://web.archive.org/web/20110718163746/http://www.southerncape.co.za/sand/ Official SAND website] ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waandishi wa Afrika Kusini]] mrl206qsqyqyujavrkj5spevb5x5yxu Uwanja wa michezo wa Bahir Dar 0 137723 1233871 1227499 2022-07-20T12:59:45Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Uwanja wa michezo wa Kimataifa wa Bahir Dar'''(lang-am | ባሕር ዳር ዓለም አቀፍ ስታዲየም) ni uwanja wa [[michezo]] ambao haujakamilika na ni uwanja wenye malengo mengi huko Bahir Dar nchini [[Ethiopia]]. Unatumika zaidi kwa mechi za mpira wa miguu (soka) | mpira wa miguu ingawa pia ina vifaa vya mchezo wa riadha Uwanja huo una uwezo wa kuchukua watu 60,000.<ref name="allafrica1">{{cite web|last=Tolesa |first=Dawit |url=http://allafrica.com/stories/201503022121.html |title=Tanzania/Ethiopia: Football Showdown in Bahir Dar Stadium - Dedebit Vs Cote d'Or and St. George Vs MC El Eulma |publisher=Allafrica.com |date=2015-02-28 |accessdate=2015-06-18}}</ref> Hivi sasa, uwanja huo ndio mkubwa zaidi nchini kwa uwezo, lakini kwa sasa hauna viti, toa, au vifaa vyovyote, zaidi ya vifaa vya saruji za muundo. == Historia == Ujenzi wa Uwanja wa Bahir Dar ulianzishwa mnamo mwaka 2008 na MIDROC Ethiopia. <ref>{{cite web |url=http://nazret.com/blog/index.php/2008/11/27/midroc_ethiopia_to_build_stadium_in_bahi |title=MIDROC Ethiopia to build stadium in Bahir Dar City |publisher=Nazret.com |date= |accessdate=2015-06-18 |archivedate=2016-03-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304053218/http://nazret.com/blog/index.php/2008/11/27/midroc_ethiopia_to_build_stadium_in_bahi }}</ref> Mnamo mwaka wa 2015, uwanja huo uliweza kutambuliwa kutoka kwenyhe Shirikisho la Soka la Afrika | CAF na FIFA na uliandaa mechi zake za kwanza za kimataifa.<ref name="allafrica1"/> Mnamo Machi mwaka2015, uwanja huo ulitumika kuliandaa mechi ya Kombe la Shirikisho la CAF kati ya Dedebit F.C. na Cote d'or ya Seychelles. Mnamo Juni 14 mwaka 2015, Uwanja wa Bahir Dar uliandaa shirikisho la kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Timu ya kitaifa ya Ethiopia | Ethiopia na Lesotho.<ref>{{cite web|author= |url=http://allafrica.com/stories/201506160233.html |title=Lesotho/Ethiopia: Ethiopia Start Campaign With Victory Over Lesotho Featured |publisher=Allafrica.com |date= |accessdate=2015-06-18}}</ref> Mchezo huo ulihudhuriwa na watazamaji zaidi ya 70,000 ambao ulikuwa zaidi ya uwezo wa uwanja. <ref>{{cite web|url=http://www.espnfc.com/african-nations-cup-qualifying/story/2491306/african-nations-cup-ghana-ease-past-mauritius |title=African Nations Cup - Ghana ease past Mauritius |publisher=Espfc.com |date= |accessdate=2015-06-18}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-michezo}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[Jamii:Viwanja vya michezo Ethiopia]] idfdoth5k3ntwoz7zjeyr0kvbep1hfq Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo 3 138410 1233966 1217639 2022-07-21T08:20:14Z Kipala 107 /* Zuio ? */ Najiuliza kama ninapaswa kukuzuia tena. Baada ya kukagua makala za [[Frank Chester Robertson]], [[Kundi la Algoa]], naona bado unatumia google translate ukisahihisha kidogo tu. Lakini unaacha matini isiyoeleweka. Tena naona una tabia kuanzisha makala ambazo humalizi, ukiacha makala mafupi bila maudhui halisi baada ya kutafsiri mistari michache tu bila kujali makala inmasema nini. Ona [[Uuaji wa Abdirahman Abdi]] ambayo ni bure kabisa jinsi ilivyo. wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 09:18, 19 Juni 2021 (UTC) :Ndugu, asante na pongezi kwa kutunga makala nyingi, ila kabla hujaendelea soma vizuri maelekezo ya hapa juu. Kwanza kabisa usikubali tafsiri ya kompyuta bila kuipitia kwa makini ili kuhakikisha inaeleweka kweli. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:21, 25 Juni 2021 (UTC) ==Vyanzo== Salamu, tazama katika makala ya https://sw.wikipedia.org/wiki/Almami , uliweka vyanzo vinavyotokana na link za Wikipedia ya Kiingereza, vyanzo vya aina hiyo havikubaliki katika Wikipedia ya Kiswahili, tafuta vyanzo ambavyo havitokani na link za Wikipedia ya Kiingereza, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' ==Kukuzuia== Kwa kuwa hujali maelekezo yetu, nakuzuia kwa wiki moja. Pole! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:19, 4 Agosti 2021 (UTC) :Ndugu, kama hujaelewa kwa nini nimekuzuia kwa muda mfupi ni kwamba mimi na Iddi tumekupa maelekezo usiyafuate. Matokeo ni kwamba makala zako hazistahili katika Wikipedia, hasa kwa sababu ya tafsiri mbovu mno. Ila usikate tamaa, bali uwe tayari kupata masahihisho na maonyo. Sisi sote tumejifunza hivyo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 6 Agosti 2021 (UTC) Habari ndugu Riccardo Riccioni natumai muda wa adhabu ulionipa umeisha kwa sasa na kiukweli nimejifunzaa naaidi kua makini katika ufanyaji kazi wangu hivyo naomba unifungulie niendelee na kazi. Asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 08:34, 12 Agosti 2021 (UTC) :Sawasawa, ila naona makala yako mpya kuhusu Amerika ya Kusini ina matatizo tayari. Uirekebishe kwa kufuata fomati inayotakiwa. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:03, 12 Agosti 2021 (UTC) ::Sawah lakini najitaidi sana kuto kufwata google translator ningependa kujuaa pia kuna makosa gani katika nakala iyo ya Amerika ya kusini uwenda kuna kitu sijakielewa vizuri '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:12, 12 Agosti 2021 (UTC) ::: Kwanza hakuna utangulizi unaohusika moja kwa moja na kichwa. Pili vyanzo kutoka Wikipedia ya Kiingereza havikubaliki. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:15, 12 Agosti 2021 (UTC) Nimeifanyia marekebisho naomba kujua kama kuna makosa tenaa '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:42, 12 Agosti 2021 (UTC) ==Usahihishe makala zako kabla ya kuendelea!== Ndugu nimepitilia makala zako kadhaa. Leo umeanzisha [[VVU/KIMWI huko Armenia]] (ulikosea kuandika Ukimwi, uliandika "kimwi" tu). Yote ni tafsiri ya google (100%) lakini umejitahidi kusahihisha sehemu kubwa ya kasoro. Ila sentensi ya mwisho imetoka vibaya. Siwezi kukuzuia kufuata google translate lakini naweza kuchukua hatua nikiona hutaki au huwezi kuisahihisha iwe Kiswahili. -- Labda hujatambua bado lakini huwezi kufuata google kama sentensi za Kiingereza ni ndefu, matokeo yake kamwe ni Kiswahili (kama katika makala hiyo). Programu zina kasoro mbili A) zinachanganya maneno, ambayo ni rahisi kuona; B) zinapanga sentensi au maelezo kwa namna isiyolingana na lugha ya pili na kuzifanya hazieleweki. Hapo LAZIMA UTAFAKARI, washa bongo na andika sentensi inayoeleweka kwa bibi yako au mtoto wa miaka 6. Kata habari ya Kiingereza kwa sentensi 2 au tatu, usitumie tu maneno kwa tafsiri lakini tunga maelezo badala yake. Kama sentensi ya Kiingereza ina kitenzi mwishoni baada ya mfululizo wa maelezo lazima uiweke kwenye mwanzo. Naona pia hujarudi kuangalia makala ulizowahi kutunga, mfano [[VVU/UKIMWI nchini Guinea]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika Kaskazini]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika ya Kusini]]. ''' Ninakuonya sasa. Ilhali sasa umejitahidi, sikuzui sasa. Lakini naomba uniambie karibuni jinsi gani na lini unataka kushughulika kasoro katika makala zako za awali. Maana usiendelea kutunga mapya kabla ya kufanya usafi.''' Kwa jumla makala zako zote zina kasoro katika muundo. 1) Huweki [[Msaada:Interwiki|interwiki]], wala 2) kichwa cha Marejeo / Tanbihi (ona [[Wikipedia:Mwongozo_(Kutaja_vyanzo)]]. Pia hufuati taratibu wa kuonyesha maneno ya kwanza = [[lemma]] ya makala kwa herufi koze. 3) [[Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)|Viungo vya ndani]] unatumia mara chache mno. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:47, 12 Agosti 2021 (UTC) ==Pitia Mkala== Salamu, katika makala hii hapa ( https://sw.wikipedia.org/wiki/Mgomo_wa_watumishi_wa_umma_wa_Afrika_Kusini_mwaka_2007 ) kwanza makala imekuwa na kiswahili ambacho ni kigumu kueleweka hali ambayo inaweza kusababishwa kuwekewa alama ya tafsiri ya Kompyuta, pia makala haina interwiki hivyo, hivyo kuwa na ugumu zaidi wa kuweza kuipata makala katika lugha nyingine na kushindwa kuifanyia marekebisho, hebu pitia kwanza makala zako kabla ya kuendelea kuandika makala nyingine,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:47, 24 Agosti 2021 (UTC) {{zuia tafsiri}} ona [[Mgomo wa watumishi wa umma wa Afrika Kusini mwaka 2007]]. Nimewahi kukuonya. Hujajibu. Wala hukujali. Basi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:55, 24 Agosti 2021 (UTC) :habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa yakujirudia rudia. naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwez wa kumi na moja . Nimejifunza mambo mengi mapya na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo nipate msaada kwa wakati . natumai ombi langu litafanyiwa kazi asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:13, 30 Novemba 2021 (UTC) :habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa ya kujirudia rudia. Naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwezi wa kumi na moja. Nimejifunza mambo mengi mapya kupitia event hiyo na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo niweze kupata msaada kwa wakati. natumai ombi langu litafanyiwa kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:43, 2 Desemba 2021 (UTC) ::Asante naomba uwezeshe mawasiliano kwa email kwa kufuata maelezo hapo : [[Wikipedia:Email]]''' <br/>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:22, 2 Desemba 2021 (UTC) :::Bado makala zako zina matatizo mbalimbali. Uwe makini zaidi! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:01, 25 Februari 2022 (UTC) ::::sawa asante kwa taarifa . ningependa kujua seem ambazo bado ninakosea ili niweze kujirekebisha asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 20:09, 25 Februari 2022 (UTC) ::::Siwezi kukueleza makosa yote. Angalia mwenyewe nilivyorekebisha kwa kufungua ukurasa "Mabadiliko ya karibuni" na kutazama "tofauti" kati ya ukurasa ulivyotungwa na wewe na nilivyohariri mimi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 26 Februari 2022 (UTC) ==Vyanzo vya Kiingereza== Salamu, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Loubna_Abidar , kumbuka kwamba vyazo vya kiingerza katika makala ya Wikipedia ya Kiswahili havitakiwi, Zingatia hilo, pitia na urekebishe makala yako. '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 12:20, 28 Februari 2022 (UTC) ==Onyo la Mwisho== Salamu Ndugu Awadhi, mara ya mwisho nilikutumia ujumbe katika ukurasa wako wa majadiliano hapo juu kuhusu kutumia vyanzo vinavyotokana na Makala za Kiingereza, lakini bado umekuwa ukiendelea kuleta makala za aina hiyo, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Latifa_Jbabdi , ni bora sasa kuacha kuweka vyanzo vya aina hiyo maana havina maana yeyote na pia inaonyesha kuwa haufuati utaratibu mzuri wa kuanza kaundika makala zako,REKEBISHA kabla ya Kuendelea,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 08:59, 1 Machi 2022 (UTC) :salamu ndugu Idd Ninga katika kutumia vyanzo vya kiingereza katika makala ya Loubna Abidar nimebadilisha kwa kutafuta vyanzo tofauti vinavoendana na makala husika '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:21, 1 Machi 2022 (UTC) ::Asante kwa masahihisho sasa nimegundua nilipokua nakosea pia kama kuna kosa lolote nahitaji kujua ili niweze lifanyia marekebisho '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:23, 1 Machi 2022 (UTC) == Interwiki == Habari! Kwa makala ambazo zina lugha zaidi ya moja, ni vizuri kuweka kiungo cha lugha nyingine (interwiki). Kujifunza zaidi soma [https://en.wikipedia.org/wiki/Help:Interwiki%20linking hapa]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:30, 3 Machi 2022 (UTC) :asante ndugu Czeus25 Masele nitalifanyia kazi kwa kuongea na uongozi wangu vizuri ili nipate msaada katika mafunzo ya kuongeza lugha '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:07, 4 Machi 2022 (UTC) :Kweli, jitahidi kuweka kiungo kwenda makala kama za kwako katika lugha nyingine. Pia angalia nilivyorekebisha ulivyoandika ili uzidi kupunguza makosa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:30, 5 Machi 2022 (UTC) ==Maboresho== Jaribu kutumia muda mwingine kupitia makala zako za nyuma kuona maboresho yaliyofanyika ili uwezo kuyatumia katika makala zako mpya utakazo kuwa unaandika, Kumbuka kuweka alama ya Mbegu,katika makala zako,Ukipitia maboresho ya nyuma utaona jinsi makala zinavyoonekana tofauti na ulivyozianzisha, Amani Sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:38, 21 Machi 2022 (UTC) :asante kwa maelezo lakini ningeomba kuona tofauti ya makala nnazo hariri mimi na mnazo zilekebisha nizijue kwa majina angalau makala tano ili niweze kujifunza zaidi katika hilo asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:05, 21 Machi 2022 (UTC) ::alama ya mbegu inawekwa kama jamii inayojitegemea? '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:10, 21 Machi 2022 (UTC) :::Angalia walau kurasa mbili za mwisho ulizozitunga. Kuhusu mbegu, itajitokeza yenyewe katika jamii ukiandika vizuri, kwa mfano: <nowiki>{{mbegu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-mtu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-cheza-mpira}}</nowiki> au <nowiki>{{mbegu-igiza-filamu}}</nowiki>. Hivyo, usiandike: <nowiki>[[Jamii:Mbegu]]</nowiki> n.k. Pia usizidishe jamii bure. Kwa kawaida, ukiandika <nowiki>Jamii:Wanawake wa Tanzania</nowiki>, hakuna haja ya kuandika pia: <nowiki>Jamii:Wanawake</nowiki> na <nowiki>Jamii:Watu wa Tanzania</nowiki>. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:57, 22 Machi 2022 (UTC) ::::asante kwa mafunzo mapya naahidi kulifanyia kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:46, 22 Machi 2022 (UTC) :::::ndugu Riccardo nimeweza kuhariri makala zifuatazo kwa kufuata utaratibu niliojifunza hapo juu hivyo naomba upitie makala hizi na kunisahihisha "https://sw.wikipedia.org/wiki/Halima_Rafat","https://sw.wikipedia.org/wiki/Rangina_Hamidi","https://sw.wikipedia.org/wiki/Massouda_Jalal". asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 06:41, 23 Machi 2022 (UTC) ::::::Habari!, naona bado unatumia [[Jamii:Mbegu]], tafadhali soma vizuri maelekezo uliyopewa hapo juu utafanya vizuri. Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:10, 23 Machi 2022 (UTC) ==Zuio ?== Najiuliza kama ninapaswa kukuzuia tena. Baada ya kukagua makala za [[Frank Chester Robertson]], [[Kundi la Algoa]], naona bado unatumia google translate ukisahihisha kidogo tu. Lakini unaacha matini isiyoeleweka. Tena naona una tabia kuanzisha makala ambazo humalizi, ukiacha makala mafupi bila maudhui halisi baada ya kutafsiri mistari michache tu bila kujali makala inmasema nini. Ona [[Uuaji wa Abdirahman Abdi]] ambayo ni bure kabisa jinsi ilivyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:19, 21 Julai 2022 (UTC) 2kzvznvjvmeh4so3crz5z6o0trgjkyl Mtumiaji:Pabbie 2 138435 1233884 1173461 2022-07-20T13:13:30Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki == CHUO KIKUU CHA IRINGA == '''Chuo kikuu cha Iringa''' ni [[chuo kikuu]] binafsi kinachopatikana [[Mkoa|mkoani]] [[Iringa]], [[Tanzania]].<ref>https://www.tcu.go.tz/sites/default/files/LIST%20OF%20%20UNIVERSITY%20INSTITUTIONS%20IN%20TZ%20AS%20OF%2031.8.2019.pdf</ref> == Historia == Mwaka [[1995]] chuo kikuu cha Iringa kilianza, kikiwa kama [[chuo kikuu kishiriki]] chini ya [[Chuo Kikuu cha Tumaini|chuo kikuu cha Tumaini]]<ref>{{Cite web|title=Historia ya chuo kikuu Iringa|url=http://www.uoi.ac.tz/index.php/about/our-history|work=www.uoi.ac.tz|accessdate=2019-11-08|language=en-gb}}</ref>. Mwaka [[1997]] kikaanza kutoa [[astashahada]], [[stashahada]] pamoja na [[shahada]]. [[Tarehe]] [[25 Oktoba]] [[2013]], chuo kikuu cha Iringa kikapewa rasmi hadhi ya chuo kikuu kutoka chuo kikuu kishiriki. == Taaluma. == Chuo kikuu cha Iringa kina vitivo sita, ambavyo ni: * Kitivo cha [[Sheria]] * Kitivo cha [[Teolojia]] * Kitivo cha [[Saikolojia]] * Kitivo cha [[Sayansi]] na [[Elimu]] * Kitivo cha Sanaa na [[Sayansi ya Jamii]] * Kitivo cha [[Biashara]] na [[Uchumi]] Vitivo hivyo vinavyotoa [[elimu]] katika [[fani]] mbalimbali kwa ngazi za: * Astashahada * Stashahada * Shahada * Shahada ya Uzamili <ref>{{Cite web|title=Wayback Machine|url=https://web.archive.org/web/20150924113511/http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf|work=web.archive.org|date=2015-09-24|accessdate=2021-06-19}}</ref> == Marejeo == <nowiki>[[Jamii:Vyuo vikuu vya tanzania]]</nowiki> 8jc6oljxomhll9s7r89vjsvwb06oitj Kipimo cha haraka cha antijeni 0 140903 1233896 1186483 2022-07-20T13:30:01Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} '''Kipimo cha haraka cha antijeni''' (''rapid antigen test RAT''), au mtihani wa haraka, ni mtihani wa haraka wa utambuzi unaofaa kwa upimaji wa utunzaji ambao hugundua moja kwa moja uwepo au kutokuwepo kwa antijeni. Inatumiwa kawaida kugundua SARS-CoV-2, virusi vinavyosababisha COVID-19. Vipimo vya haraka ni aina ya vipimo vya mtiririko wa baadaye ambavyo hugundua protini, ikitofautisha na vipimo vingine vya kitabibu ambavyo hugundua kingamwili (vipimo vya kingamwili) au asidi ya kiini (vipimo vya asidi ya kiini), ya maabara au aina za huduma. Vipimo vya haraka kwa ujumla hutoa matokeo katika dakika 5 hadi 30, zinahitaji mafunzo kidogo au miundombinu, na zina faida kubwa za gharama. == Matumizi == Mifano ya kawaida ya RAT au RADTs ni pamoja na: * Vipimo vya haraka vinavyohusiana na kupima COVID-19 * Vipimo vya haraka vya strep (kwa antijeni za streptococcal) * Vipimo vya uchunguzi wa mafua ya haraka (RIDTs) (kwa antijeni ya virusi vya mafua) * Vipimo vya kugundua antijeni ya Malaria (kwa antijeni ya Plasmodium) === COVID-19 vipimo vya antijeni haraka === Vipimo vya haraka vya antigen kwa COVID-19 ni moja wapo ya matumizi muhimu zaidi ya vipimo hivi. Mara nyingi huitwa vipimo vya mtiririko wa baadaye, wamepatia serikali za ulimwengu faida kadhaa. Wao ni haraka kutekeleza na mafunzo madogo, kutoa faida kubwa za gharama, kugharimu sehemu ndogo ya aina zilizopo za upimaji wa PCR na kuwapa watumiaji matokeo ndani ya dakika 5-30. Vipimo vya haraka vya antijeni vimepata matumizi yao bora kama sehemu ya upimaji wa wingi au njia za uchunguzi wa idadi ya watu. Wanafanikiwa katika njia hizi kwa sababu pamoja na faida zilizotajwa hapo juu, hutambua watu ambao ni wa kuambukiza zaidi na wanaoweza kueneza virusi kwa idadi kubwa ya watu wengine.<ref>{{cite journal|vauthors=Guglielmi G|date=September 2020|title=Fast coronavirus tests: what they can and can't do|journal=Nature|volume=585|issue=7826|pages=496–498|bibcode=2020Natur.585..496G|doi=10.1038/d41586-020-02661-2|pmid=32939084|doi-access=free}}</ref> Hii inatofautiana kidogo na aina zingine za COVID-19 kama vile PCR ambazo kwa ujumla zinaonekana kuwa mtihani muhimu kwa watu binafsi. == Msingi wa kisayansi na msingi wa biolojia == Vipimo vya antigen na vipimo vya kingamwili mara nyingi ni immunoassays (IAs) ya aina moja au nyingine, kama vile dipstick IAs au fluorescence immunoassays, hata hivyo RAT ni kipimo cha immunochromatographic ambacho kinatoa matokeo ya kuona ambayo yanaweza kuonekana kwa macho ya uchi. Inachukuliwa kuwa ya ubora lakini mtu aliye na uzoefu katika upimaji wa RDT anaweza kupima matokeo kwa urahisi. Kuwa mtihani wa uchunguzi, ikiwa unyeti na upekee ni duni kwa jaribio basi matokeo yanapaswa kutathminiwa kwa msingi wa vipimo vya uthibitisho kama upimaji wa PCR au blot ya magharibi. Faida moja asili ya jaribio la antigen juu ya jaribio la kingamwili (kama vile uchunguzi wa kingamwili-uchunguzi wa haraka wa VVU) ni kwamba inaweza kuchukua muda kwa mfumo wa kinga kukuza kingamwili baada ya maambukizo kuanza, lakini antijeni ya kigeni iko mara moja. Ingawa jaribio lolote la utambuzi linaweza kuwa na ubaya wa uwongo, kipindi hiki cha latency kinaweza kufungua njia pana kabisa ya hasi za uwongo katika vipimo vya kingamwili, ingawa maelezo hutegemea ni ugonjwa gani na ni jaribio lipi linalohusika. Majaribio ya haraka ya antigen kawaida hugharimu karibu dola 5.00 za Amerika kutengeneza. == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:tiba]] nfnqcrbttryfoodgt0yn3gbll21nwhd Latifa Jbabdi 0 146951 1233967 1218416 2022-07-21T08:21:02Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki '''Latifa Jbabdi ('''amezaliwa 1995''')''' [[mwanaharakati]] na mwandishi wa [[Moroko]]. Anajulikana kwa kazi za kusaidia na kuboresha haki za [[wanawake]] kupitia taasisi ya mada''wa'' [[Moroko]] inayojiusisha na kanuni za kifamilia za kuongoza maisha katika familia. Pia aliwahi kua mjumbe wa baraza la [[Wawakilishi wenye kura|wawakilishi]] kuanzia 2007 hadi 2011. == MAisha ya awali , Elimu, Harakati za vijana. == Latifa Jbabdi [[1995]] katika mji wa [[Tintiz]] uliopo [[Moroko]] ya kusini<ref>{{Cite web|title=Mrs. Latifa Jbabdi {{!}} Conseil National des Droits de l'Homme|url=http://www.cndh.org.ma/an/advisory-coucil-human-rights-members/mrs-latifa-jbabdi|work=www.cndh.org.ma|accessdate=2022-03-01}}</ref><ref>{{Cite web|title=Latifa Jbabdi, icône du féminisme engagé|url=https://medias24.com/2019/03/11/latifa-jbabdi-icone-du-feminisme-engage/|work=Medias24|date=2019-03-11|accessdate=2022-03-01|language=fr-FR}}</ref>. Alimaliza elimu yake katika mji wa nyumbani(aliko zaliwa) na kuendelea katika mji wa [[Agadir]]<ref>{{Cite web|title=Latifa Jbabdi (1955 – ) ou un chapitre du féminisme au Maroc {{!}} Études marocaines, Osire Glacier|url=https://etudesmarocaines.com/latifa-jbabdi-1955-ou-un-chapitre-du-feminisme-au-maroc/|accessdate=2022-03-01|language=fr-FR|author=Osire Glacier, PhD}}</ref>.<ref>{{Cite web|title=Latifa Jbabdi|url=https://ifit-transitions.org/experts/latifa-jbabdi/|work=IFIT|accessdate=2022-03-01|language=en-GB}}</ref>Akiwa kama mwanafunzi alijihusisha na vuguvugu la wanaharakati wa vijana kwa kipindi hicho. == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] [[Jamii:Wanawake]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika]] [[Jamii:Wanawake wa Moroko]] [[Jamii:Wanaharakati]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] <references /> [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:FFD22]] 5apbbovyein0n9zvs7jyutsf8118dar Uwanja wa Uhuru 0 147742 1233872 1215472 2022-07-20T13:00:46Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Uwanja wa Uhuru''' upo karibu na uwanja wa taifa wa Tanzania jijini [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==Historia== Sherehe za uhuru wa Tanganyika ziliadhimishwa katika uwanja huu tarehe 9 Desemba 1961. Maadhimisho ya uhuru yamekuwa yakiadhimishwa katika uwanja huo kila mwaka tangu wakati huo.Pia pamekuwa mahali pa kuhutubia marais wote waliopita. Ibada ya mazishi ya [[Julius Nyerere]], rais wa kwanza wa Tanzania, ilifanyika uwanjani hapo tarehe 21 Oktoba 1999. Muda mfupi baada ya kifo chake ofisini, rais John Magufuli alilazwa katika uwanja wa michezo tarehe 20 Machi 2021. Watu 45 waliuawa katika mkanyagano katika uwanja huo mnamo Machi 21, 2021. ==Marejeo== {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://escholarship.org/uc/item/4z08x0ns Uwanja Mpya wa Taifa wa Tanzania na Riwaya za Maendeleo] na Steve Sortijas {{mbegu}} [[Jamii:Viwanja vya Michezo Tanzania]] [[Jamii:Dar es Salaam]] [[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]] fn6qf7yug2liodhv0t5t2x8i5x9ihrw Wanawake wa Tanzania 0 148552 1233963 1219316 2022-07-21T08:08:40Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki {{futa}} '''Wanawake wa Tanzania''' wanazidi kupata nafasi katika [[maisha]] ya [[jamii]], kama ilivyothibitishwa na uwepo wa [[rais]] [[Samia Suluhu Hassan]]. Pia usalama wa [[wanawake]] nchini [[Tanzania]] umeimarika kwa kiasi kikubwa tangu [[karne ya 20]], hata hivyo [[taifa]] linasalia kuwa jamii yenye [[mfumo dume]] ambapo wanawake wanakabiliwa na viwango vya juu vya [[ukatili wa kijinsia]] <ref>https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC6238293</ref><ref>https://www.reuters.com/article/us-foundation-tanzania-women-idUSKCN0HX1PF20141008</ref><ref>http://hdr.undp.org/en/data</ref><ref>https://wef.ch/2QJxNA0</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu}} [[Jamii:Jinsia]] [[Jamii:Wanawake]] [[Jamii:Wanawake wa Tanzania]] d504i78wxugac879r4m1ccett9rbu0w Don't Shoot Portland 0 148646 1233894 1219732 2022-07-20T13:26:37Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Usishambulie Portland''', pia huitwa '''usishambulie PDX''', ni kikundi cha uwajibikaji cha Oregon kilichoundwa na maisha ya Black Lives Supporter Teressa Raiford kuchunguza vitendo vya Ofisi ya Polisi ya [[Portland]]. <ref>{{Cite web|title=Don't Shoot Portland: Keep 'excessive force' away from Feb. 20 event|url=https://www.oregonlive.com/portland/2017/02/post_582.html|work=oregonlive|date=2017-02-11|accessdate=2022-04-16|language=en|author=Allan Brettman {{!}} The Oregonian/OregonLive}}</ref><ref>{{Cite web|title=Don't Shoot Portland's Teressa Raiford Wants to be Sheriff|url=https://www.portlandmercury.com/blogtown/2016/10/24/18650795/dont-shoot-portlands-teressa-raiford-wants-to-be-sheriff|work=Portland Mercury|accessdate=2022-04-16|language=en|author=Dirk V, erHart • Oct 24, 2016 at 9:10 Am}}</ref> == Historia == Usishambulie Portland ulifanyika  tarehe 7  Machi hadi Julai 2016 kufuatia mauaji ya polisi ya watu wawili mweusi: Alton Sterling huko Louisiana na Philando Castile huko Minnesota. <ref>{{Cite web|title=Footage Shows Counter-Protester Pulling Gun on Portland's Black Lives Matter March|url=https://www.wweek.com/news/2016/07/08/footage-shows-counter-protester-pulling-gun-on-portlands-black-lives-matter-march/|work=Willamette Week|accessdate=2022-04-16|language=en}}</ref> Katika mwezi Machi, Michael Strickland kutoka blogger ya kihafidhina  alivuta bunduki na akasema kwa waandamanaji. <ref>{{Cite web|title=Dozens gather for #BlackLivesMatter protest in Portland|url=https://katu.com/news/local/dozens-gather-for-blacklivesmatter-protest-in-portland|work=KATU|date=2016-07-07|accessdate=2022-04-16|language=en|author=KATU com Staff}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:USLW Iringa]] [[Jamii:Wanaharakati wa Marekani]] 319jb6hhlap3qaljgg7wwe7c4dhng4f Siku ya kilimo na maendeleo vijijini 0 149711 1233951 1223169 2022-07-21T07:25:49Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki {{futa}} kati ya [[mwaka]] [[2009]] na [[2012]] '''siku ya kilimo na maendeleo vijijini''' ni tukio la mwaka lililo andaliwa kwa ushirikiano wa [[Consultative Group on International Agricultural Research]] (CGIAR), Earth System Science Partnership (ESSP), Food and Agriculture Organization (FAO), Global Forum on Agricultural Research (GFAR), International Federation of Agricultural Producers (IFAP), na International Food Policy Research Institute (IFPRI). == Historia == Maadhimisho matatu ya awali ya [[kilimo]] na maendeleo vijijini ya mkutano wa umoja wa [[Taifa|mataifa]] juu ya mabadiliko ya tabia ya nchi uliofanyika mwaka 2009,2010 na 2011 huko [[Kopenhagen|Copenhagen]], [[Denmark]],<ref>{{Cite web|title=Agriculture and Rural Development Day 2009 Website|url=https://web.archive.org/web/20161116090114/http://agricultureday.org/ARDDay2009//|work=web.archive.org|date=2016-11-16|accessdate=2022-05-07}}</ref> [[Cancún, Quintana Roo|Cancún]], [[Mexiko|Mexico]], na [[Durban]], [[Afrika Kusini|Afrika kusini]] kwa mfuatano. zaidi ya watu 500 walihudhuria mwaka 2011 ambapo mwana baiolijia John Beddington aliwasilisha mambo muhimu ya kuzuia athari zinazoweza kusababisha ukosefu wa [[chakula]] hapo baadae. == Marejeo == [[Jamii:Mazingira]] [[Jamii:Biolojia]] [[Jamii:Ekolojia]] [[Jamii:Umoja wa Mataifa]] sibao0nnphappkbsn7yatbo33n0hd8n 1233972 1233951 2022-07-21T10:28:38Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{futa}} '''Siku ya kilimo na maendeleo vijijini''' ilikuwa tukio la mwaka lililoandaliwa kati ya [[mwaka]] [[2009]] na [[2012]] kwa ushirikiano wa [[Consultative Group on International Agricultural Research]] (CGIAR), Earth System Science Partnership (ESSP), Food and Agriculture Organization (FAO), Global Forum on Agricultural Research (GFAR), International Federation of Agricultural Producers (IFAP), na International Food Policy Research Institute (IFPRI). == Historia == Maadhimisho matatu ya awali ya [[kilimo]] na maendeleo vijijini ya mkutano wa [[Umoja wa Mataifa]] juu ya mabadiliko ya tabianchi uliofanyika mwaka 2009, 2010 na 2011 huko [[Kopenhagen|Copenhagen]], [[Denmark]],<ref>{{Cite web|title=Agriculture and Rural Development Day 2009 Website|url=https://web.archive.org/web/20161116090114/http://agricultureday.org/ARDDay2009//|work=web.archive.org|date=2016-11-16|accessdate=2022-05-07}}</ref> [[Cancún, Quintana Roo|Cancún]], [[Mexiko|Mexico]], na [[Durban]], [[Afrika Kusini|Afrika kusini]] kwa mfuatano. zaidi ya watu 500 walihudhuria mwaka 2011 ambapo mwana baiolijia John Beddington aliwasilisha mambo muhimu ya kuzuia athari zinazoweza kusababisha ukosefu wa [[chakula]] hapo baadae. == Marejeo == [[Jamii:Ekolojia]] [[Jamii:Umoja wa Mataifa]] ocdkbcyt98qngz59fo39u1q1nnm3mzq Sheria ya Uhifadhi Wanyamapori ya 1997 (Jimbo la Sabah) 0 150756 1233958 1226497 2022-07-21T07:36:30Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki Sheria ya Uhifadhi Wanyamapori ya 1997 (Kimalay: ''Enakmen Pemeliharaan Hidupan Liar 1997'') ni [[sheria]] ya kikanda inayotekelezwa katika [[jimbo]] la [[Sabah]] katika fukwe za [[Borneo]] huko [[Malaysia]]<ref>{{Cite web|title=In Malaysian Borneo’s rainforests, powerful state governments set their own rules|url=https://news.mongabay.com/2021/02/in-malaysian-borneos-rainforests-powerful-state-government-set-their-own-rules/|work=Mongabay Environmental News|date=2021-02-18|accessdate=2022-05-18|language=en-US}}</ref>. Malengo yake ni kulinda viumbe(spishi) walio katika hatari ya kupotea ambao ni mimea pamoja na wanyama <ref>{{Cite web|title=Endangered Animals in Borneo You Need to See Before It’s Too Late|url=https://www.amazingborneo.com/travel/endangered-animals-in-borneo-you-need-to-see-before-its-too-late|work=www.amazingborneo.com|accessdate=2022-05-18|language=en|author=ABT Creative Team}}</ref>katika eneo hili pamoja na kudhibiti biashara ya kimataifa ya spishi hizi.Pia inaelezea adhabu maalum kwa wale wanaovunja sheria na kanuni zilizowekwa katika sheria. == Marejeo == [[Jamii:Mazingira]] [[jamii:Sabah]] 5gw40nuccyw6uz0i6uc4zqxldt3dtkp 1233959 1233958 2022-07-21T07:37:17Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki '''Sheria ya Uhifadhi Wanyamapori ya 1997''' (Kimalay: ''Enakmen Pemeliharaan Hidupan Liar 1997'') ni [[sheria]] ya kikanda inayotekelezwa katika [[jimbo]] la [[Sabah]] katika fukwe za [[Borneo]] huko [[Malaysia]]<ref>{{Cite web|title=In Malaysian Borneo’s rainforests, powerful state governments set their own rules|url=https://news.mongabay.com/2021/02/in-malaysian-borneos-rainforests-powerful-state-government-set-their-own-rules/|work=Mongabay Environmental News|date=2021-02-18|accessdate=2022-05-18|language=en-US}}</ref>. Malengo yake ni kulinda viumbe(spishi) walio katika hatari ya kupotea ambao ni mimea pamoja na wanyama <ref>{{Cite web|title=Endangered Animals in Borneo You Need to See Before It’s Too Late|url=https://www.amazingborneo.com/travel/endangered-animals-in-borneo-you-need-to-see-before-its-too-late|work=www.amazingborneo.com|accessdate=2022-05-18|language=en|author=ABT Creative Team}}</ref>katika eneo hili pamoja na kudhibiti biashara ya kimataifa ya spishi hizi.Pia inaelezea adhabu maalum kwa wale wanaovunja sheria na kanuni zilizowekwa katika sheria. == Marejeo == [[Jamii:Mazingira]] [[jamii:Sabah]] 4ya42kf03sr043ifj0zz2dnmtufob3i Jamii:Mawasiliano Tanzania 14 152817 1233849 1232890 2022-07-20T12:00:26Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mawasiliano]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] 8b38b7f7p8tijjx9js5xrs6sli044l5 Majadiliano ya mtumiaji:Tech Mtaa 3 152921 1233950 1232788 2022-07-21T07:15:18Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 7 Julai 2022 (UTC) ::Habari, makala uliyotunga haiwezi kubaki, ona [[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] na majadiliano yake. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:15, 21 Julai 2022 (UTC) prehljmrxkich69dpnrqh5pspgn40df Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania 14 153220 1233850 2022-07-20T12:05:21Z Benix Mby 36425 Sayansi na teknolojia nchini Tanzania wikitext text/x-wiki {{Commons category|Science and technology in Tanzania}} [[Jamii:Uchumi wa Tanzania]] 6wbftteinnodwnl6y0w6lv23688drv1 Jamii:Wanasayansi wa Tanzania 14 153221 1233854 2022-07-20T12:22:15Z Benix Mby 36425 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' [[Jamii:Watu wa Kitanzania kwa kazi|Mwanasayansi]] [[Jamii:Wanasayansi kwa utaifa|Tanzania]] [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] [[Jamii:Wanasayansi wa Kiafrika kwa utaifa]]' wikitext text/x-wiki [[Jamii:Watu wa Kitanzania kwa kazi|Mwanasayansi]] [[Jamii:Wanasayansi kwa utaifa|Tanzania]] [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] [[Jamii:Wanasayansi wa Kiafrika kwa utaifa]] ix5t6ojiw497udeboq0l14yoihoq2df 1233855 1233854 2022-07-20T12:22:37Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Sayansi na teknolojia nchini Tanzania]] gs88ddkk7nzqxn5crhk0nf1qpfdmr6o Majadiliano ya mtumiaji:Goodluck Elinsarie Maimu 3 153222 1233862 2022-07-20T12:40:30Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~' wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 20 Julai 2022 (UTC) dj8398a4wsqo42bgsj78wqp25uy1y1f Jamii:Wabazili 14 153223 1233890 2022-07-20T13:19:34Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mashirika ya kitawa]]' wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mashirika ya kitawa]] nsxn26gvvqpgvxtpgrk6k6oko2el7ho Jamii:Waanunsyata 14 153224 1233893 2022-07-20T13:25:11Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mashirika ya kitawa]]' wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mashirika ya kitawa]] nsxn26gvvqpgvxtpgrk6k6oko2el7ho Senofonte, Maria na wanao 0 153225 1233913 2022-07-20T14:09:01Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Senofonte, Maria na wanao''' Yohane na Arkadi ([[karne ya 5]]) walikuwa [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Konstantinopoli]] ambao, kisha kujinyima hadhi ya [[Senati|kiseneta]] na [[mali]] nyingi, walishika maisha ya [[Mmonaki|umonaki]] [[mji|mjini]] [[Yerusalemu]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/38720</ref>.' wikitext text/x-wiki '''Senofonte, Maria na wanao''' Yohane na Arkadi ([[karne ya 5]]) walikuwa [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Konstantinopoli]] ambao, kisha kujinyima hadhi ya [[Senati|kiseneta]] na [[mali]] nyingi, walishika maisha ya [[Mmonaki|umonaki]] [[mji|mjini]] [[Yerusalemu]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/38720</ref>. r49hlmkqjdwameomc9kd1r8h35wsosl 1233917 1233913 2022-07-20T14:15:10Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Senofonte, Maria na wanao''' Yohane na Arkadi (walifariki [[karne ya 5]] au [[karne ya 6|6]]) walikuwa [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Konstantinopoli]] ambao, kisha kujinyima hadhi ya [[Senati|kiseneta]] na [[mali]] nyingi, walishika maisha ya [[Mmonaki|umonaki]] [[mji|mjini]] [[Yerusalemu]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/38720</ref><ref>Great Synaxaristes: {{el}} ''[http://www.synaxarion.gr/gr/sid/1899/sxsaintinfo.aspx Ὁ Ὅσιος Ξενοφῶν μετὰ τῆς συμβίου του Μαρίας καὶ τῶν τέκνων Ἀρκαδίου καὶ Ἰωάννου].'' 26 Ιανουαρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.</ref><ref>''[http://oca.org/saints/lives/2013/01/26/100314-venerable-xenophon-of-constantinople Venerable Xenophon of Constantinople].'' OCA - Lives of the Saints.</ref><ref name=ECCLESIA>{{el}} Συναξαριστής. ''[http://www.ecclesia.gr/greek/synaxaire/synaxari.asp?minas=1&id=146 26 Ιανουαρίου].'' ECCLESIA.GR. (H ΕΚΚΛΗΣΙΑ ΤΗΣ ΕΛΛΑΔΟΣ).</ref> Tangu kale wanaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[watakatifu]]. [[Sikukuu]] yao huadhimishwa [[tarehe]] [[26 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Waliozaliwa karne ya 5]] [[Jamii:Wamonaki]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Watakatifu wa Palestina]] 6cx9mf53u9f2urk1h0trvzycocy2epx Alberiko 0 153226 1233919 2022-07-20T14:16:15Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Alberiko]] hadi [[Alberiko wa Citeaux]]: kutofautisha watu wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Alberiko wa Citeaux]] qz4kpbn1pl9xk27t9nyu1o5cf8x3rhs Augustino Erlandsson 0 153227 1233923 2022-07-20T14:34:19Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:StEystein erkebispegården.jpg|thumb|[[Sanamu]] yake.]] '''Agostino Erlandssön''' (kwa [[Kinorwei]] ''Øystein Erlendsson''; kwa [[Kilatini]] ''Augustinus Nidrosiensis''; [[Verdal]], [[Nord-Trøndelag]], [[1120]] hivi - [[Trondheim]], [[Norwei]], [[1188]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] huo kuanzia [[mwaka]] [[1161]]; alitetea kwa [[bidii]] [[Kanisa]] lake dhidi ya [[watawala]] wa nchi, akalistawisha kwa [[juhudi]] kubwa<ref>[http://www.snl.no/.nbl...' wikitext text/x-wiki [[Picha:StEystein erkebispegården.jpg|thumb|[[Sanamu]] yake.]] '''Agostino Erlandssön''' (kwa [[Kinorwei]] ''Øystein Erlendsson''; kwa [[Kilatini]] ''Augustinus Nidrosiensis''; [[Verdal]], [[Nord-Trøndelag]], [[1120]] hivi - [[Trondheim]], [[Norwei]], [[1188]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] huo kuanzia [[mwaka]] [[1161]]; alitetea kwa [[bidii]] [[Kanisa]] lake dhidi ya [[watawala]] wa nchi, akalistawisha kwa [[juhudi]] kubwa<ref>[http://www.snl.no/.nbl_biografi/%C3%98ystein_Erlendsson/utdypning ''Øystein Erlendsson – utdypning'' (Store norske leksikon)]</ref>. Kwa ajili hiyo alipelekwa uhamishoni [[Uingereza]], lakini baadaye aliweza kurudi [[Dayosisi|jimboni]]. ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Marejeo== * Gunnes, Erik ''Erkebiskop Øystein, statsmann og kirkebygger'' (Oslo: 1996) {{ISBN|82-03-22144-0}} * Vandvik, Eirik ''Erkebiskop Eystein som politikar'' (Trondheim: 1961) * Bagge, Sverre ''Mennesket i middelalderens Norge'' (forlaget Aschehoug, Oslo: 2005) {{ISBN|82-03-23282-5}} ==Viungo vya nje== * [http://www.katolsk.no/biografi/eystein Den hellige Eystein Erlendson av Nidaros] {{mbegu-Mkristo}} {{BD|1120|1188}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Watakatifu wa Norwei]] 3nyv3sxfww3bnsniz4rcexdsn240cf4 1233924 1233923 2022-07-20T14:36:27Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:StEystein erkebispegården.jpg|thumb|[[Sanamu]] yake.]] '''Agostino Erlandssön''' (kwa [[Kinorwei]] ''Øystein Erlendsson''; kwa [[Kilatini]] ''Augustinus Nidrosiensis''; [[Verdal]], [[Nord-Trøndelag]], [[1120]] hivi - [[Trondheim]], [[Norwei]], [[26 Januari]] [[1188]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] huo kuanzia [[mwaka]] [[1161]]; alitetea kwa [[bidii]] [[Kanisa]] lake dhidi ya [[watawala]] wa nchi, akalistawisha kwa [[juhudi]] kubwa<ref>[http://www.snl.no/.nbl_biografi/%C3%98ystein_Erlendsson/utdypning ''Øystein Erlendsson – utdypning'' (Store norske leksikon)]</ref>. Kwa ajili hiyo alipelekwa uhamishoni [[Uingereza]], lakini baadaye aliweza kurudi [[Dayosisi|jimboni]]. Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] kama [[watakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[26 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Marejeo== * Gunnes, Erik ''Erkebiskop Øystein, statsmann og kirkebygger'' (Oslo: 1996) ISBN|82-03-22144-0 * Vandvik, Eirik ''Erkebiskop Eystein som politikar'' (Trondheim: 1961) * Bagge, Sverre ''Mennesket i middelalderens Norge'' (forlaget Aschehoug, Oslo: 2005) ISBN|82-03-23282-5 ==Viungo vya nje== * [http://www.katolsk.no/biografi/eystein Den hellige Eystein Erlendson av Nidaros] {{mbegu-Mkristo}} {{BD|1120|1188}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Watakatifu wa Norwei]] f6aadr5eb44d6h2cacbr2gl6cwcy7s4 1233926 1233924 2022-07-20T14:37:49Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:StEystein erkebispegården.jpg|thumb|[[Sanamu]] yake.]] '''Augustino Erlandssön''' (kwa [[Kinorwei]] ''Øystein Erlendsson''; kwa [[Kilatini]] ''Augustinus Nidrosiensis''; [[Verdal]], [[Nord-Trøndelag]], [[1120]] hivi - [[Trondheim]], [[Norwei]], [[26 Januari]] [[1188]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] huo kuanzia [[mwaka]] [[1161]]; alitetea kwa [[bidii]] [[Kanisa]] lake dhidi ya [[watawala]] wa nchi, akalistawisha kwa [[juhudi]] kubwa<ref>[http://www.snl.no/.nbl_biografi/%C3%98ystein_Erlendsson/utdypning ''Øystein Erlendsson – utdypning'' (Store norske leksikon)]</ref>. Kwa ajili hiyo alipelekwa uhamishoni [[Uingereza]], lakini baadaye aliweza kurudi [[Dayosisi|jimboni]]. Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[26 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Marejeo== * Gunnes, Erik ''Erkebiskop Øystein, statsmann og kirkebygger'' (Oslo: 1996) ISBN|82-03-22144-0 * Vandvik, Eirik ''Erkebiskop Eystein som politikar'' (Trondheim: 1961) * Bagge, Sverre ''Mennesket i middelalderens Norge'' (forlaget Aschehoug, Oslo: 2005) ISBN|82-03-23282-5 ==Viungo vya nje== * [http://www.katolsk.no/biografi/eystein Den hellige Eystein Erlendson av Nidaros] {{mbegu-Mkristo}} {{BD|1120|1188}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Watakatifu wa Norwei]] r1wtch3fcmnquhzlv1nscol5sbvamyu Jamii:Waliofariki 1188 14 153228 1233925 2022-07-20T14:37:00Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Waliofariki karne ya 12]] [[Jamii:1188]]' wikitext text/x-wiki [[Jamii:Waliofariki karne ya 12]] [[Jamii:1188]] ntlyvlpt45g9zj21i2k6s95s29ubxlr Majadiliano ya mtumiaji:Marco Chali (Mr Winko) 3 153229 1233930 2022-07-20T18:49:21Z Kipala 107 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~' wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 20 Julai 2022 (UTC) knv071xvx19eb9lzgvy0aabqwknxmqk Majadiliano ya mtumiaji:Asande0812 3 153230 1233931 2022-07-20T18:49:23Z Kipala 107 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~' wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 20 Julai 2022 (UTC) knv071xvx19eb9lzgvy0aabqwknxmqk Majadiliano:Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa 1 153231 1233935 2022-07-20T18:53:37Z Kipala 107 /* Futa */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == Futa == Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:53, 20 Julai 2022 (UTC) q8ru9i24oftjheocwdtfaw48man32b6 Los Cascos Esco–AgroPlan 0 153232 1233939 2022-07-20T20:21:09Z Awadhi Awampo 48284 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''Los Cascos Esco–AgroPlan''' ni timu ya waendesha baiskeli ya UCI Continental ya Argentina iliyoanzishwa mnamo mwaka 2013. <ref>{{Cite web|title=Buenos Aires Provincia 2013 {{!}} ProCyclingStats|url=https://web.archive.org/web/20140224051030/http://www.procyclingstats.com/team/Buenos_Aires_Provincia_2013|work=web.archive.org|date=2014-02-24|accessdate=2022-07-20}}</ref> Timu ilisambaratika mwishoni mwa msimu wa 2017. <ref>{{Cite web|title=CQ Ranking - Los Cascos Esco - Agroplan - 2017|url=https://cqranking.com/men/asp/gen/team.asp?year=2017&teamcode=CEA|work=cqranking.com|accessdate=2022-07-20}}</ref> == marejeo == [[Jamii:Wanamichezo]] rgbvln4vsirwqcmjtnf2boarau2v38j Daa-mboo 0 153233 1233940 2022-07-20T20:44:03Z ChriKo 35 Ukurasa mpya wikitext text/x-wiki {{Uainishaji | rangi = #D3D3A4 | jina = Daa-mboo | picha = Priapulus caudatus 20150625.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = Daa-mboo (''Priapulus caudatus'') | himaya = [[Animalia]] | nusuhimaya = [[Eumetazoa]] | himaya_bila_tabaka = [[Protostomia]] | faila_ya_juu = [[Ecdysozoa]] | faila = [[Priapulida]] | bingwa_wa_faila = [[Johan Hjalmar Théel|Théel]], 1906 | subdivision = '''Ngeli 4:''' * †[[Archaeopriapulida]] <small></small> * [[Halicryptomorpha]] <small></small> * [[Priapulimorpha]] <small></small> * [[Seticoronaria]] <small></small> }} '''Daa-mboo''' (kutoka kwa [[Kiing.]] [[w:Priapulida|penis worm]]) ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[bahari]] wa [[faila]] [[Priapulida]] wanaofanana na [[daa]] wa kawaida. Jina la ki[[sayansi]] linatoka kwa Πριάπος – Priapos, [[mungu]] wa uzalishaji wa [[Kiyunani|Wayunani]], kwa sababu umbo wa daa hao ni kama [[mboo]] wa [[binadamu|mtu]]. Huishi katika [[matope]] ya [[sakafu ya bahari]] mpaka [[kina]] cha [[m]] 90<ref name = Shipley>Shipley, Arthur Everett (1911). "Priapuloidea". In Chisholm, Hugh (ed.). Encyclopædia Britannica. Vol. 22 (11th ed.). Cambridge University Press</ref>. [[Spishi]] fulani zina uvumilivu wa ajabu kwa [[sulfidi ya hidrojeni]] na kwa uhaba wa [[oksijeni]]<ref>{{Cite journal | doi = 10.1007/BF00017494| title = Histological studies on Halicryptus spinulosus (Priapulida) with regard to environmental hydrogen sulfide resistance| journal = Hydrobiologia| volume = 222| pages = 1–12| date = September 1991| last1 = Oeschger | first1 = R. | last2 = Janssen | first2 = H. H. | s2cid = 31342308}}</ref>. Wanaweza kuwa wengi sana katika baadhi ya maeneo. Katika [[Ghuba ya Alaska]] wapevu kama 85 wa ''Priapulus caudatus'' kwa [[mita ya mraba]] wamerekodiwa, huku idadi ya [[lava]] wake ikiweza kuwa hadi 58,000 kwa m<sup>2</sup><ref>{{cite book| url = https://books.google.com/books?id=9IWaqAOGyt4C&dq=85+adults+per+square+meter&pg=PA286| title = Kingdoms and Domains: An Illustrated Guide to the Phyla of Life on Earth| isbn = 9780080920146| last1 = Margulis| first1 = Lynn| last2 = Chapman| first2 = Michael J.| date = 19 March 2009}}</ref>. Wanyama hao wanaofanana na [[mnyoo|minyoo]] wana umbo la [[mcheduara]] na urefu wa [[sm]] 0.2-0.3<ref>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=MKUab3WegL0C&q=Tubiluchus+mm&pg=PA29 |title=Multicellular Animals: Order in Nature – System Made by Man|isbn=978-3-540-00146-1|last1=Ax|first1=Peter|date=2003-04-08}}</ref> hadi 39<ref>{{cite journal|jstor=3227009|title= Halicryptus higginsi n.sp. (Priapulida): A Giant New Species from Barrow, Alaska |journal= Invertebrate Biology | volume=118 |issue= 4 | pages=404–413|last1= Shirley |first1= Thomas C. |last2= Storch |first2= Volker |year= 1999 |doi= 10.2307/3227009 }}</ref>. Wana [[mdomo]] kwenye ncha ya mbele usio na [[silaha]] yoyote au [[mnyiri|minyiri]]. [[Mwili]] umegawanywa katika [[kiwiliwili]] kikuu na sehemu ya [[mkonga]] iliyovimba kidogo na kupambwa kwa vituta vinavyopita kutoka mbele hadi nyuma. Mwili una [[mviringo|miviringo]] na mara nyingi huwa na duara za [[mwiba|miiba]] ambazo zinaendelea kwenye [[koromeo]] inayoweza kujitokeza kidogo. [[Spishi]] fulani zinaweza pia kuwa na [[mkia]] au jozi ya viambatisho kwenye ncha ya nyuma. Mwili una [[kutikulo]] ya [[khitini]] inayobambuliwa mnyama akikua<ref name=IZ>{{cite book | author = Barnes, R. D. | year = 1982 | title = Invertebrate Zoology | publisher = Holt-Saunders International | location = Philadelphia, PA | pages = 873–877 | isbn = 978-0-03-056747-6 }}</ref>. ==picha== <gallery> Halicryptus spinulosus 1.JPEG|Halicryptus spinulosus </gallery> ==Marejeo== {{reflist}} [[Jamii:Daa-mboo]] c23efffriuozaywgoujgfpnza353do8 Jamii:Daa-mboo 14 153234 1233941 2022-07-20T20:44:39Z ChriKo 35 Jamii mpya wikitext text/x-wiki [[Jamii:Wanyama]] 854ms27hcsntdk56fl0jjk95ft2vnc7 Priapulida 0 153235 1233942 2022-07-20T20:45:34Z ChriKo 35 Redirect mpya wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Daa-mboo]] [[Jamii:Priapulida]] lxgz6wf5bkjbsqk22k6dga6wtopmu79 Kundi la Algoa 0 153236 1233943 2022-07-20T21:01:25Z Awadhi Awampo 48284 Makala mpya wikitext text/x-wiki '''Kundi la Algoa''' ni mojawapo ya makundi matano ya [[kijiolojia]] ambayo yanajumuisha hifadhi za kijiolojia za [[pwani]] ya [[kusini]] [[Cenozoic]] nchini [[Afrika Kusini]]. Kundi la Algoa lina mifumo sita ambayo huanzia kati ya [[Eocene]] hadi Mwishoni mwa [[Holocene]] kwa miaka (~41Ma - 100Ka).<ref>{{Cite journal|last=Le|first=Roux F. G.|date=1990-07-01|title=Palaeontological correlation of Cenozoic marine deposits of the southeastern, southern and western coasts, Cape Province|url=https://journals.co.za/doi/10.10520/AJA10120750_855|journal=South African Journal of Geology|volume=93|issue=3|pages=514–518|doi=10.10520/AJA10120750_855}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mazingira]] 5n4zjrs411e73ab9o9ihhpjev99lgle 1233968 1233943 2022-07-21T08:25:39Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki {{futa}} '''Kundi la Algoa''' ni mojawapo ya makundi matano ya [[kijiolojia]] ambayo yanajumuisha hifadhi za kijiolojia za [[pwani]] ya [[kusini]] [[Cenozoic]] nchini [[Afrika Kusini]]. Kundi la Algoa lina mifumo sita ambayo huanzia kati ya [[Eocene]] hadi Mwishoni mwa [[Holocene]] kwa miaka (~41Ma - 100Ka).<ref>{{Cite journal|last=Le|first=Roux F. G.|date=1990-07-01|title=Palaeontological correlation of Cenozoic marine deposits of the southeastern, southern and western coasts, Cape Province|url=https://journals.co.za/doi/10.10520/AJA10120750_855|journal=South African Journal of Geology|volume=93|issue=3|pages=514–518|doi=10.10520/AJA10120750_855}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mazingira]] f3snk91u7iugrw3xohwzjc20bjyzqi2 Majadiliano:Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022 1 153238 1233947 2022-07-21T07:11:49Z Kipala 107 /* Futa */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == Futa == Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:11, 21 Julai 2022 (UTC) jvvksya3spt53sxjipmturp3xbms2sr Majadiliano:Siku ya kilimo na maendeleo vijijini 1 153239 1233952 2022-07-21T07:27:27Z Kipala 107 /* Futa */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == Futa == Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:27, 21 Julai 2022 (UTC) tvdiod46qhgzwtk83or11xiu8e447l6 Jamii:Sabah 14 153240 1233957 2022-07-21T07:35:55Z Kipala 107 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Malaysia]] [[jamii:Borneo]]' wikitext text/x-wiki [[Jamii:Malaysia]] [[jamii:Borneo]] ctpevt5gee6q6wnzvzc3orsubdoqzci Filamu za western 0 153241 1233962 2022-07-21T07:45:12Z Kipala 107 Kipala moved page [[Filamu za western]] to [[Western]] over redirect wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Western]] p7ivjoxf749n03uuelwixzhz5frj5vb Majadiliano:Wanawake wa Tanzania 1 153242 1233964 2022-07-21T08:11:20Z Kipala 107 /* Futa */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == Futa == Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:11, 21 Julai 2022 (UTC) 4yhldqh5uhpuqwi683x5tts9smleyhe Majadiliano:Kundi la Algoa 1 153243 1233969 2022-07-21T08:26:20Z Kipala 107 /* Futa */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == Futa == Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa vibaya akini bado haieleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:26, 21 Julai 2022 (UTC) ehl0ykmn9el0l7mgeucgaz7lr1jluan Majadiliano ya mtumiaji:JONAH JUMBA 3 153244 1233971 2022-07-21T10:25:54Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~' wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:25, 21 Julai 2022 (UTC) slqyg02j4ushaeifc74of6h4ixh55l5