Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.21
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Aidani wa Lindisfarne
0
2852
1234762
1186741
2022-07-23T13:25:38Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Aidan Mtakatifu]] hadi [[Aidani wa Lindisfarne]]: kutofautisha watu
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Saint Aidan.jpg|thumb|right|Aidan Mtakatifu.]]
'''Aidan wa Lindisfarne''' (pia huitwa ''[[Mtume]] wa [[Northumbria]]'', alikofariki [[tarehe]] [[31 Agosti]] [[651]]) alianzisha kituo cha [[utawa]] na kuwa [[askofu]] wake wa kwanza kwenye [[kisiwa]] cha [[Lindisfarne]] kule [[Uingereza]]. Alikuwa ametokea [[Ireland]], na kabla hajafika Northumbria alikuwa mtawa katika kituo cha utawa kwenye kisiwa cha [[Iona]] katika nchi ya [[Scotland]].
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]] kwa kufufua [[Ukristo]] katika eneo la Northumbria.
[[Sikukuu]] yake ni tarehe [[31 Agosti]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Maisha==
Wakati wa enzi ya [[Warumi]], Ukristo ulikuwa umeenea mpaka [[Uingereza]], lakini kwa sababu ya kushindwa kwa Warumi, [[Upagani]] ukaanza kurudi upande wa [[kaskazini]] wa Uingereza.
[[Oswald wa Northumbria|Oswald]], [[mfalme]] wa Northumbria, [[mwaka]] [[616]] alilazimishwa kwenda uhamishoni katika kisiwa cha Iona ambako akabadilika kuwa Mkristo na [[ubatizo|kubatizwa]].
Mwaka [[634]] Oswald alirudishiwa ufalme wa Northumbria akaamua kuwaingiza katika Ukristo wananchi wake ambao wengi wao walikuwa Wapagani. Ili kutekeleza lengo hilo aliwaomba watawa wa Iona wamtumie [[mmisionari|wamisionari]], naye Aidan akafika mwaka [[635]].
Aidan alichagua kisiwa cha [[Lindisfarne]] kiwe [[makao makuu]] ya [[dayosisi]] yake kwa vile kilikuwa karibu na [[ngome]] ya kifalme kule [[Bamburgh]].
Mwanzoni alikuwa mfalme Oswald mwenyewe aliyewatafsiria Aidan na watawa wake kwa vile walikuwa hawajajifunza [[lugha]] ya kale ya Kiingereza. Baada ya [[kifo]] cha Oswald mwaka [[642]], Aidan alisaidiwa na mfalme [[Oswine wa Deira]], nao wakawa [[Rafiki|marafiki]] wa karibu sana.
Aidan alikuwa huwatembelea [[watu]] [[kijiji]] hadi kijiji, na kuongea nao kwa [[adabu]] na kujaribu katika maongezi hayo wavutwe na Ukristo.
Kufuatana na [[hadithi]] moja, mfalme alimpa Aidan [[farasi]] ili asihitaji kutembea kwa [[miguu]] lakini Aidan akatoa farasi kama [[zawadi]] kwa mtu [[maskini]].
Aidan aliweza kuongea na watu na hivyo alifaulu kuwasaidia wananchi wengi wa Northumbria wawe Wakristo. Pia katika kituo chake cha utawa aliwafundisha [[wavulana]] kumi na wawili, wenyeji wa Northumbria, ili kuhakikisha kwamba [[Kanisa]] la Uingereza liongozwe na Waingereza wenyewe.
Aidan alifuata [[tawi]] la [[Ukristo wa Kiselti|Kiselti la Ukristo]], si [[mapokeo ya Kiroma]]. Hata hivyo [[tabia]] yake na [[bidii]] katika [[umisionari]] zilisababisha [[Papa Honorius I]] amheshimu.
Kituo cha utawa cha Lindisfarne kiliendelea kukua na kuanzisha makanisa na vituo vingine. Pia kilikuwa kama [[hazina]] ya [[ujuzi]] wa kitaalamu.
Baadaye, [[Beda Mhashamu]] aliandika [[wasifu]] wa [[maisha]] yake Aidan pamoja na [[miujiza]] yake yote.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
*Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
*[[Maurice Powicke|Powicke, F. Maurice]] and E. B. Fryde ''Handbook of British Chronology'' 2nd. ed. London:Royal Historical Society 1961
==Viungo vya nje==
{{Commons category}}
*[http://www.irelandseye.com/irish/people/saints/aidan.shtm Irelandseye.com wasifu ya maisha yake Aidan Mtakatifu]
*[http://www.lindisfarne.org.uk/general/aidan.htm ''Saint Aidan of Lindisfarne''] ilivyoandikwa na Mch. Kate Tristram
*[http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html Britannia wasifu ya maisha yake Aidan Mtakatifu] {{Wayback|url=http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html |date=20060610041732 }}
*[http://www.netacc.net/~mafg/book/v2c3s3.htm Historia ya Kanisa] (katika nyakati za Aidan) ilivyoandikwa na Philip Hughes
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Aidan}}
[[Category:Waliofariki 651]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uingereza]]
2kqtopelg6zjn293awvdsz25ozr8twx
1234764
1234762
2022-07-23T13:30:11Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Saint Aidan.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]]
'''Aidani wa Lindisfarne''' (pia huitwa ''[[Mtume]] wa [[Northumbria]]'', alikofariki [[tarehe]] [[31 Agosti]] [[651]]) alianzisha kituo cha [[utawa]] na kuwa [[askofu]] wake wa kwanza kwenye [[kisiwa]] cha [[Lindisfarne]] kule [[Uingereza]]. Alikuwa ametokea [[Ireland]], na kabla hajafika Northumbria alikuwa mtawa katika kituo cha utawa kwenye kisiwa cha [[Iona]] katika nchi ya [[Uskoti]].
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]] kwa kufufua [[Ukristo]] katika eneo la Northumbria.
[[Sikukuu]] yake ni tarehe [[31 Agosti]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Maisha==
Wakati wa enzi ya [[Warumi]], Ukristo ulikuwa umeenea mpaka [[Uingereza]], lakini kwa sababu ya kushindwa kwa Warumi, [[Upagani]] ukaanza kurudi upande wa [[kaskazini]] wa Uingereza.
[[Oswald wa Northumbria|Oswald]], [[mfalme]] wa Northumbria, [[mwaka]] [[616]] alilazimishwa kwenda uhamishoni katika kisiwa cha Iona ambako akabadilika kuwa Mkristo na [[ubatizo|kubatizwa]].
Mwaka [[634]] Oswald alirudishiwa ufalme wa Northumbria akaamua kuwaingiza katika Ukristo wananchi wake ambao wengi wao walikuwa Wapagani. Ili kutekeleza lengo hilo aliwaomba watawa wa Iona wamtumie [[mmisionari|wamisionari]], naye Aidani akafika mwaka [[635]].
Aidani alichagua kisiwa cha [[Lindisfarne]] kiwe [[makao makuu]] ya [[dayosisi]] yake kwa vile kilikuwa karibu na [[ngome]] ya kifalme kule [[Bamburgh]].
Mwanzoni alikuwa mfalme Oswald mwenyewe aliyewatafsiria Aidan na watawa wake kwa vile walikuwa hawajajifunza [[lugha]] ya kale ya Kiingereza. Baada ya [[kifo]] cha Oswald mwaka [[642]], Aidan alisaidiwa na mfalme [[Oswine wa Deira]], nao wakawa [[Rafiki|marafiki]] wa karibu sana.
Aidani alikuwa huwatembelea [[watu]] [[kijiji]] hadi kijiji, na kuongea nao kwa [[adabu]] na kujaribu katika maongezi hayo wavutwe na Ukristo.
Kufuatana na [[hadithi]] moja, mfalme alimpa Aidani [[farasi]] ili asihitaji kutembea kwa [[miguu]] lakini Aidan akatoa farasi kama [[zawadi]] kwa mtu [[maskini]].
Aidani aliweza kuongea na watu na hivyo alifaulu kuwasaidia wananchi wengi wa Northumbria wawe Wakristo. Pia katika kituo chake cha utawa aliwafundisha [[wavulana]] kumi na wawili, wenyeji wa Northumbria, ili kuhakikisha kwamba [[Kanisa]] la Uingereza liongozwe na Waingereza wenyewe.
Aidani alifuata [[tawi]] la [[Ukristo wa Kiselti|Kiselti la Ukristo]], si [[mapokeo ya Kiroma]]. Hata hivyo [[tabia]] yake na [[bidii]] katika [[umisionari]] zilisababisha [[Papa Honorius I]] amheshimu.
Kituo cha utawa cha Lindisfarne kiliendelea kukua na kuanzisha makanisa na vituo vingine. Pia kilikuwa kama [[hazina]] ya [[ujuzi]] wa kitaalamu.
Baadaye, [[Beda Mhashamu]] aliandika [[wasifu]] wa [[maisha]] yake Aidanipamoja na [[miujiza]] yake yote.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
*Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
*[[Maurice Powicke|Powicke, F. Maurice]] and E. B. Fryde ''Handbook of British Chronology'' 2nd. ed. London:Royal Historical Society 1961
==Viungo vya nje==
{{Commons category}}
*[http://www.irelandseye.com/irish/people/saints/aidan.shtm Irelandseye.com wasifu ya maisha yake Aidan Mtakatifu]
*[http://www.lindisfarne.org.uk/general/aidan.htm ''Saint Aidan of Lindisfarne''] ilivyoandikwa na Mch. Kate Tristram
*[http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html Britannia wasifu wa maisha yake Aidan Mtakatifu] {{Wayback|url=http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html |date=20060610041732 }}
*[http://www.netacc.net/~mafg/book/v2c3s3.htm Historia ya Kanisa] (nyakati za Aidan) ilivyoandikwa na Philip Hughes
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 590]]
[[Category:Waliofariki 651]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uingereza]]
54fcu9vm7fabvgitixvtu3dg4nv1hsg
1234766
1234764
2022-07-23T13:36:50Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Saint Aidan.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]]
'''Aidani wa Lindisfarne''' ([[Ireland]], [[950]] hivi - [[Northumberland]], [[Uingereza]], [[31 Agosti]] [[651]]) ndiye aliyeanzisha kituo cha [[utawa]] na kuwa [[askofu]] wake wa kwanza kwenye [[kisiwa]] cha [[Lindisfarne]]. Kabla hajafika Northumbria alikuwa mtawa katika kituo cha utawa kwenye kisiwa cha [[Iona]] katika nchi ya [[Uskoti]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waanglikana]] kama [[mtakatifu]] kwa kufufua [[Ukristo]] katika eneo la Northumbria hata akaitwa ''Mtume wa Northumbria''.
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[31 Agosti]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Maisha==
Wakati wa enzi ya [[Warumi]], Ukristo ulikuwa umeenea mpaka [[Uingereza]], lakini kwa sababu ya kushindwa kwa Warumi, [[Upagani]] ukaanza kurudi upande wa [[kaskazini]] wa Uingereza.
[[Oswald wa Northumbria|Oswald]], [[mfalme]] wa Northumbria, [[mwaka]] [[616]] alilazimishwa kwenda uhamishoni katika kisiwa cha Iona ambako akabadilika kuwa Mkristo na [[ubatizo|kubatizwa]].
Mwaka [[634]] Oswald alirudishiwa ufalme wa Northumbria akaamua kuwaingiza katika Ukristo wananchi wake ambao wengi wao walikuwa Wapagani. Ili kutekeleza lengo hilo aliwaomba watawa wa Iona wamtumie [[mmisionari|wamisionari]], naye Aidani akafika mwaka [[635]].
Aidani alichagua kisiwa cha [[Lindisfarne]] kiwe [[makao makuu]] ya [[dayosisi]] yake kwa vile kilikuwa karibu na [[ngome]] ya kifalme kule [[Bamburgh]].
Mwanzoni alikuwa mfalme Oswald mwenyewe aliyewatafsiria Aidan na watawa wake kwa vile walikuwa hawajajifunza [[lugha]] ya kale ya Kiingereza. Baada ya [[kifo]] cha Oswald mwaka [[642]], Aidan alisaidiwa na mfalme [[Oswine wa Deira]], nao wakawa [[Rafiki|marafiki]] wa karibu sana.
Aidani alikuwa huwatembelea [[watu]] [[kijiji]] hadi kijiji, na kuongea nao kwa [[adabu]] na kujaribu katika maongezi hayo wavutwe na Ukristo.
Kufuatana na [[hadithi]] moja, mfalme alimpa Aidani [[farasi]] ili asihitaji kutembea kwa [[miguu]] lakini Aidan akatoa farasi kama [[zawadi]] kwa mtu [[maskini]].
Aidani aliweza kuongea na watu na hivyo alifaulu kuwasaidia wananchi wengi wa Northumbria wawe Wakristo. Pia katika kituo chake cha utawa aliwafundisha [[wavulana]] kumi na wawili, wenyeji wa Northumbria, ili kuhakikisha kwamba [[Kanisa]] la Uingereza liongozwe na Waingereza wenyewe.
Aidani alifuata [[tawi]] la [[Ukristo wa Kiselti|Kiselti la Ukristo]], si [[mapokeo ya Kiroma]]. Hata hivyo [[tabia]] yake na [[bidii]] katika [[umisionari]] zilisababisha [[Papa Honorius I]] amheshimu.
Kituo cha utawa cha Lindisfarne kiliendelea kukua na kuanzisha makanisa na vituo vingine. Pia kilikuwa kama [[hazina]] ya [[ujuzi]] wa kitaalamu.
Baadaye, [[Beda Mhashamu]] aliandika [[wasifu]] wa [[maisha]] yake Aidanipamoja na [[miujiza]] yake yote.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
*Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
*[[Maurice Powicke|Powicke, F. Maurice]] and E. B. Fryde ''Handbook of British Chronology'' 2nd. ed. London:Royal Historical Society 1961
==Viungo vya nje==
{{Commons category}}
*[http://www.irelandseye.com/irish/people/saints/aidan.shtm Irelandseye.com wasifu ya maisha yake Aidan Mtakatifu]
*[http://www.lindisfarne.org.uk/general/aidan.htm ''Saint Aidan of Lindisfarne''] ilivyoandikwa na Mch. Kate Tristram
*[http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html Britannia wasifu wa maisha yake Aidan Mtakatifu] {{Wayback|url=http://www.britannia.com/bios/saints/aidan.html |date=20060610041732 }}
*[http://www.netacc.net/~mafg/book/v2c3s3.htm Historia ya Kanisa] (nyakati za Aidan) ilivyoandikwa na Philip Hughes
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 590]]
[[Category:Waliofariki 651]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uingereza]]
rad3bjo4gzvmlzjy5stpo3pa6zpb0al
Mtakatifu Aidan
0
2853
1234806
9918
2022-07-24T00:41:39Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Aidani wa Lindisfarne]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Aidani wa Lindisfarne]]
kyycaqdax5ohqude98ao1lmyik1ku0j
Aidan wa Lindisfarne
0
2855
1234803
9920
2022-07-24T00:41:24Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Aidani wa Lindisfarne]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Aidani wa Lindisfarne]]
kyycaqdax5ohqude98ao1lmyik1ku0j
Kiafrikaans
0
3469
1234781
1135869
2022-07-23T16:58:26Z
Kipala
107
nyongeza, video
wikitext
text/x-wiki
{{DISPLAYTITLE:Kiafrikana}}
[[Picha:Kiafrikaans wasemaji Afr Kus.gif|thumbnail|300px|right|[[Afrika Kusini#Majimbo ya Afrika Kusini|Majimbo ya Afrika Kusini]] yenye wasemaji wengi au wengi kidogo wa Kiafrikana kama lugha ya kwanza]]
'''Kiafrikana''' ('''Afrikaans''') ni [[lugha]] ya [[Afrika Kusini]] iliyotokea katika [[karne]] nne zilizopita kwenye [[msingi]] wa [[Kiholanzi]] pamoja na athari za lugha mbalimbali. Hata kama ni lugha iliyozaliwa [[Afrika]] na kujadiliwa hapa, kitaalamu ni kati ya [[lugha za Kigermanik]].
Imekuwa [[lugha rasmi]] katika Afrika Kusini tangu [[mwaka]] [[1925]] badala ya Kiholanzi. Hadi sasa ni lugha rasmi mojawapo Afrika Kusini pamoja na lugha 9 nyingine. Ni pia kati ya [[lugha ya taifa|lugha za taifa]] huko [[Namibia]].
[[Faili:Colin speaks Afrikaans.webm|thumb|Colins kutoka Cape Town anaongea Kiafrikaans]]
Kiafrikaans kina wasemaji wa [[lugha ya kwanza]] [[milioni]] [[saba]] ambao ni sawa na 13.5% za raia wa Afrika Kusini, ambako ni lugha ya tatu wenye wasemaji wengi baada ya [[Kizulu]] na [[Kixhosa]].<ref name="cib11">{{cite book|url=http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|title=Census 2011: Census in brief|publisher=Statistics South Africa|year=2012|isbn=9780621413885|location=Pretoria|page=27|archive-url=https://web.archive.org/web/20150513171240/http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|archive-date=13 May 2015|url-status=live}}</ref> Wasemaji wote hukadiriwa kuwa kati ya milioni 15 hadi 23.
Ni lugha kuu kwenye nusu ya magharibi ya Afrika Kusini yaani kwnye majimbo ya [[Rasi Kaskazini|Rasi ya Kaskazini]] na [[Rasi ya Magharibi]]. Kufuatana na sensa ya 2011 wasemaji wa Afrikaans ni [[Machotara wa Afrika Kusini]] milioni 4.8, [[Wazungu wa Afrika Kusini]] milioni 2.7, Waafrika Weusi 600,000 na [[Wahindi wa Afrika Kusini]] 58,000.
Kiasili kilianzisha kutokana na [[Kiholanzi]] cha [[makaburu]] wa kwanza kikapokea asilimia 5-10 za [[msamiati]] kutoka lugha za [[Khoikhoi]], [[Wareno]], [[Wabantu]], Wajerumani, Wafaransa na Waingereza. ya Afrika Kusini lakini imekuwa pia lugha ya wakazi [[chotara]] katika [[jimbo]] la [[Rasi Magharibi]] ("Cape Coloureds"). Leo hii wasemaji wa asili ya [[Ulaya]] ni chini ya [[nusu]] ya wasemaji wote wa Kiafrikana.
Inatumika pia [[Botswana]], [[Eswatini]] na [[Zimbabwe]].
== Viungo vya nje ==
*[http://www.language-archives.org/language/afr makala za OLAC kuhusu Kiafrikana]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/afri1274 lugha ya Kiafrikana katika Glottolog]
* '''(en)''' [[ethnologue:afr|Muhtasari kuhusu Kiafrikana kwenye ''Ethnologue'']]
{{African Union languages}}
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Afrikaans}}
[[Jamii:Kiafrikaans| Kiafrikana]]
[[Jamii:Lugha za Kigermanik]]
[[Jamii:Lugha za Afrika Kusini]]
[[Jamii:Lugha za Botswana]]
[[Jamii:Lugha za Eswatini]]
[[Jamii:Lugha za Namibia]]
[[Jamii:Lugha za Zimbabwe]]
bdwow2nselawzh7b7pyv8i69fpp2ljd
1234782
1234781
2022-07-23T17:00:34Z
Kipala
107
Kurudisha tahajia Kiafrikaans badala ya "Kiafrikana"
wikitext
text/x-wiki
{{DISPLAYTITLE:Kiafrikana}}
[[Picha:Kiafrikaans wasemaji Afr Kus.gif|thumbnail|300px|right|[[Afrika Kusini#Majimbo ya Afrika Kusini|Majimbo ya Afrika Kusini]] yenye wasemaji wengi au wengi kidogo wa Kiafrikaans kama lugha ya kwanza]]
'''Kiafrikaans''' ('''Afrikaans''') ni [[lugha]] ya [[Afrika Kusini]] iliyotokea katika [[karne]] nne zilizopita kwenye [[msingi]] wa [[Kiholanzi]] pamoja na athari za lugha mbalimbali. Hata kama ni lugha iliyozaliwa [[Afrika]] na kujadiliwa hapa, kitaalamu ni kati ya [[lugha za Kigermanik]].
Imekuwa [[lugha rasmi]] katika Afrika Kusini tangu [[mwaka]] [[1925]] badala ya Kiholanzi. Hadi sasa ni lugha rasmi mojawapo Afrika Kusini pamoja na lugha 9 nyingine. Ni pia kati ya [[lugha ya taifa|lugha za taifa]] huko [[Namibia]].
[[Faili:Colin speaks Afrikaans.webm|thumb|Colins kutoka Cape Town anaongea Kiafrikaans]]
Kiafrikaans kina wasemaji wa [[lugha ya kwanza]] [[milioni]] [[saba]] ambao ni sawa na 13.5% za raia wa Afrika Kusini, ambako ni lugha ya tatu wenye wasemaji wengi baada ya [[Kizulu]] na [[Kixhosa]].<ref name="cib11">{{cite book|url=http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|title=Census 2011: Census in brief|publisher=Statistics South Africa|year=2012|isbn=9780621413885|location=Pretoria|page=27|archive-url=https://web.archive.org/web/20150513171240/http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|archive-date=13 May 2015|url-status=live}}</ref> Wasemaji wote hukadiriwa kuwa kati ya milioni 15 hadi 23.
Ni lugha kuu kwenye nusu ya magharibi ya Afrika Kusini yaani kwnye majimbo ya [[Rasi Kaskazini|Rasi ya Kaskazini]] na [[Rasi ya Magharibi]]. Kufuatana na sensa ya 2011 wasemaji wa Kiafrikaans ni [[Machotara wa Afrika Kusini]] milioni 4.8, [[Wazungu wa Afrika Kusini]] milioni 2.7, Waafrika Weusi 600,000 na [[Wahindi wa Afrika Kusini]] 58,000.
Kiasili kilianzisha kutokana na [[Kiholanzi]] cha [[makaburu]] wa kwanza kikapokea asilimia 5-10 za [[msamiati]] kutoka lugha za [[Khoikhoi]], [[Wareno]], [[Wabantu]], Wajerumani, Wafaransa na Waingereza. ya Afrika Kusini lakini imekuwa pia lugha ya wakazi [[chotara]] katika [[jimbo]] la [[Rasi Magharibi]] ("Cape Coloureds"). Leo hii wasemaji wa asili ya [[Ulaya]] ni chini ya [[nusu]] ya wasemaji wote wa Kiafrikaans.
Inatumika pia [[Botswana]], [[Eswatini]] na [[Zimbabwe]].
== Viungo vya nje ==
*[http://www.language-archives.org/language/afr makala za OLAC kuhusu Kiafrikaans]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/afri1274 lugha ya Kiafrikaans katika Glottolog]
* '''(en)''' [[ethnologue:afr|Muhtasari kuhusu Kiafrikaans kwenye ''Ethnologue'']]
{{African Union languages}}
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Afrikaans}}
[[Jamii:Kiafrikaans| Kiafrikana]]
[[Jamii:Lugha za Kigermanik]]
[[Jamii:Lugha za Afrika Kusini]]
[[Jamii:Lugha za Botswana]]
[[Jamii:Lugha za Eswatini]]
[[Jamii:Lugha za Namibia]]
[[Jamii:Lugha za Zimbabwe]]
j8h61fcdc0vswa76u70f96sqr6g3wbt
1234783
1234782
2022-07-23T17:01:13Z
Kipala
107
Protected "[[Kiafrikaans]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
wikitext
text/x-wiki
{{DISPLAYTITLE:Kiafrikana}}
[[Picha:Kiafrikaans wasemaji Afr Kus.gif|thumbnail|300px|right|[[Afrika Kusini#Majimbo ya Afrika Kusini|Majimbo ya Afrika Kusini]] yenye wasemaji wengi au wengi kidogo wa Kiafrikaans kama lugha ya kwanza]]
'''Kiafrikaans''' ('''Afrikaans''') ni [[lugha]] ya [[Afrika Kusini]] iliyotokea katika [[karne]] nne zilizopita kwenye [[msingi]] wa [[Kiholanzi]] pamoja na athari za lugha mbalimbali. Hata kama ni lugha iliyozaliwa [[Afrika]] na kujadiliwa hapa, kitaalamu ni kati ya [[lugha za Kigermanik]].
Imekuwa [[lugha rasmi]] katika Afrika Kusini tangu [[mwaka]] [[1925]] badala ya Kiholanzi. Hadi sasa ni lugha rasmi mojawapo Afrika Kusini pamoja na lugha 9 nyingine. Ni pia kati ya [[lugha ya taifa|lugha za taifa]] huko [[Namibia]].
[[Faili:Colin speaks Afrikaans.webm|thumb|Colins kutoka Cape Town anaongea Kiafrikaans]]
Kiafrikaans kina wasemaji wa [[lugha ya kwanza]] [[milioni]] [[saba]] ambao ni sawa na 13.5% za raia wa Afrika Kusini, ambako ni lugha ya tatu wenye wasemaji wengi baada ya [[Kizulu]] na [[Kixhosa]].<ref name="cib11">{{cite book|url=http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|title=Census 2011: Census in brief|publisher=Statistics South Africa|year=2012|isbn=9780621413885|location=Pretoria|page=27|archive-url=https://web.archive.org/web/20150513171240/http://www.statssa.gov.za/census/census_2011/census_products/Census_2011_Census_in_brief.pdf|archive-date=13 May 2015|url-status=live}}</ref> Wasemaji wote hukadiriwa kuwa kati ya milioni 15 hadi 23.
Ni lugha kuu kwenye nusu ya magharibi ya Afrika Kusini yaani kwnye majimbo ya [[Rasi Kaskazini|Rasi ya Kaskazini]] na [[Rasi ya Magharibi]]. Kufuatana na sensa ya 2011 wasemaji wa Kiafrikaans ni [[Machotara wa Afrika Kusini]] milioni 4.8, [[Wazungu wa Afrika Kusini]] milioni 2.7, Waafrika Weusi 600,000 na [[Wahindi wa Afrika Kusini]] 58,000.
Kiasili kilianzisha kutokana na [[Kiholanzi]] cha [[makaburu]] wa kwanza kikapokea asilimia 5-10 za [[msamiati]] kutoka lugha za [[Khoikhoi]], [[Wareno]], [[Wabantu]], Wajerumani, Wafaransa na Waingereza. ya Afrika Kusini lakini imekuwa pia lugha ya wakazi [[chotara]] katika [[jimbo]] la [[Rasi Magharibi]] ("Cape Coloureds"). Leo hii wasemaji wa asili ya [[Ulaya]] ni chini ya [[nusu]] ya wasemaji wote wa Kiafrikaans.
Inatumika pia [[Botswana]], [[Eswatini]] na [[Zimbabwe]].
== Viungo vya nje ==
*[http://www.language-archives.org/language/afr makala za OLAC kuhusu Kiafrikaans]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/afri1274 lugha ya Kiafrikaans katika Glottolog]
* '''(en)''' [[ethnologue:afr|Muhtasari kuhusu Kiafrikaans kwenye ''Ethnologue'']]
{{African Union languages}}
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Afrikaans}}
[[Jamii:Kiafrikaans| Kiafrikana]]
[[Jamii:Lugha za Kigermanik]]
[[Jamii:Lugha za Afrika Kusini]]
[[Jamii:Lugha za Botswana]]
[[Jamii:Lugha za Eswatini]]
[[Jamii:Lugha za Namibia]]
[[Jamii:Lugha za Zimbabwe]]
j8h61fcdc0vswa76u70f96sqr6g3wbt
31 Januari
0
4652
1234761
1138562
2022-07-23T13:24:09Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Januari}}
Tarehe '''31 Januari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na moja]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 334 (335 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1673]] - [[Mtakatifu]] [[Alois Maria wa Montfort]], [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1797]] - [[Franz Schubert]], [[mtunzi]] wa [[opera]] kutoka [[Austria]]
* [[1868]] - [[Theodore William Richards]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1914]]
* [[1881]] - [[Irving Langmuir]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1932]]
* [[1923]] - [[Norman Mailer]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[1929]] - [[Rudolf Moessbauer]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1961]]
* [[1935]] - [[Kenzaburo Oe]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1994]]
* [[1956]] - [[John Lydon]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Uingereza]]
* [[1981]] - [[Justin Timberlake]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1885]] - [[Yusufu Lagamala]], [[Mark Kakumba]] na [[Noah Seruwanga]], [[Waanglikana]] [[wafiadini]] wa kwanza wa [[Uganda]]
* [[1888]] - [[Mtakatifu]] [[John Bosco]], [[padri]] na [[mlezi]] kutoka [[Italia]]
* [[1933]] - [[John Galsworthy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1932]]
* [[1955]] - [[John Mott]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1946]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Yohane Bosco]], [[Vitorino, Vikta na wenzao]], [[Metras]], [[Siro na Yohane]], [[Jiminyano wa Modena]], [[Abrahamu wa Arbela]], [[Julius wa Novara]], [[Marsela wa Roma]], [[Aidani]], [[Valdo wa Euvreux]], [[Eusebi wa Viktorsberg]], [[Fransisko Saveri Maria Bianchi]], [[Augustino Pak Chongwon|Augustino Pak Chongwon na wenzake]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|January 31|31 Januari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/31 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Januari 31}}
[[Jamii:Januari]]
slaixf7sir78yu5hin67atlb1wq14nz
1234765
1234761
2022-07-23T13:32:55Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Januari}}
Tarehe '''31 Januari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na moja]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 334 (335 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1673]] - [[Mtakatifu]] [[Alois Maria wa Montfort]], [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1797]] - [[Franz Schubert]], [[mtunzi]] wa [[opera]] kutoka [[Austria]]
* [[1868]] - [[Theodore William Richards]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1914]]
* [[1881]] - [[Irving Langmuir]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1932]]
* [[1923]] - [[Norman Mailer]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[1929]] - [[Rudolf Moessbauer]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1961]]
* [[1935]] - [[Kenzaburo Oe]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1994]]
* [[1956]] - [[John Lydon]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Uingereza]]
* [[1981]] - [[Justin Timberlake]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1885]] - [[Yusufu Lagamala]], [[Mark Kakumba]] na [[Noah Seruwanga]], [[Waanglikana]] [[wafiadini]] wa kwanza wa [[Uganda]]
* [[1888]] - [[Mtakatifu]] [[John Bosco]], [[padri]] na [[mlezi]] kutoka [[Italia]]
* [[1933]] - [[John Galsworthy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1932]]
* [[1955]] - [[John Mott]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1946]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Yohane Bosco]], [[Vitorino, Vikta na wenzao]], [[Metras]], [[Siro na Yohane]], [[Jiminyano wa Modena]], [[Abrahamu wa Arbela]], [[Julius wa Novara]], [[Marsela wa Roma]], [[Aidani wa Ferns]], [[Valdo wa Euvreux]], [[Eusebi wa Viktorsberg]], [[Fransisko Saveri Maria Bianchi]], [[Augustino Pak Chongwon|Augustino Pak Chongwon na wenzake]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|January 31|31 Januari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/31 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Januari 31}}
[[Jamii:Januari]]
nmpwo4yceeqyjuas6ehqnozrws54ljw
1234771
1234765
2022-07-23T13:59:29Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Januari}}
Tarehe '''31 Januari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na moja]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 334 (335 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1673]] - [[Mtakatifu]] [[Alois Maria wa Montfort]], [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1797]] - [[Franz Schubert]], [[mtunzi]] wa [[opera]] kutoka [[Austria]]
* [[1868]] - [[Theodore William Richards]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1914]]
* [[1881]] - [[Irving Langmuir]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1932]]
* [[1923]] - [[Norman Mailer]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[1929]] - [[Rudolf Moessbauer]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1961]]
* [[1935]] - [[Kenzaburo Oe]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1994]]
* [[1956]] - [[John Lydon]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Uingereza]]
* [[1981]] - [[Justin Timberlake]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1885]] - [[Yusufu Lagamala]], [[Mark Kakumba]] na [[Noah Seruwanga]], [[Waanglikana]] [[wafiadini]] wa kwanza wa [[Uganda]]
* [[1888]] - [[Mtakatifu]] [[John Bosco]], [[padri]] na [[mlezi]] kutoka [[Italia]]
* [[1933]] - [[John Galsworthy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1932]]
* [[1955]] - [[John Mott]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1946]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Yohane Bosco]], [[Vitorino, Vikta na wenzao]], [[Metras]], [[Siro na Yohane]], [[Jiminyano wa Modena]], [[Abrahamu wa Arbela]], [[Julius wa Novara]], [[Marsela wa Roma]], [[Aidani wa Ferns]], [[Valdo wa Evreux]], [[Eusebi wa Viktorsberg]], [[Fransisko Saveri Maria Bianchi]], [[Augustino Pak Chongwon|Augustino Pak Chongwon na wenzake]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|January 31|31 Januari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/january/31 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Januari 31}}
[[Jamii:Januari]]
mmczm043o0hv7o0h8l1zp5kyi0fwq5v
Thomas Mapfumo
0
8157
1234892
1234382
2022-07-24T10:31:11Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:ThomasMapfumo2011.jpg|thumb|Thomas Mapfumo (2011)]]
'''Thomas Tafirenyika Mapfumo''' ni [[mwanamuziki]] wa [[Zimbabwe]]. Alizaliwa mnamo mwaka [[1945]] huko Marondera, [[Zimbabwe]]. Anajulikana pia kama "Simba wa Zimbabwe" kutokana na mchango wake kisiasa nchini [[Zimbabwe]]. Nyimbo zake zilipinga [[ubaguzi wa rangi]] kabla ya [[uhuru]] na siasa za [[serikali]] ya [[Robert Mugabe]] baadaye. Alipaswa kuondoka Zimbabwe akiishi [[Marekani]] sasa.
Anapiga muziki aina ya chimurenga.
==Diskografia==
* ''Shumba'' (1990, Earthworks)
===Thomas Mapfumo and the Acid Band===
*''Hokoyo!'' (1978, Chimurenga Music)
===Thomas Mapfumo & The Blacks Unlimited===
*''Gwindingwi Rine Shumba'' (1981, Chimurenga Music)
*''Mabasa'' (1983, Chimurenga Music, Gramma Records)
*''Ndangariro'' (1983, Afro Soul)
*''Chimurenga For Justice'' (1985, Rough Trade)
*''Mr Music (Africa)'' (1985, Afro Soul)
*''Zimbabwe Mozambique'' (1988, Chimurenga Music)
*''Chamunorwa'' (1989, Chimurenga Music)
*''Varombo Kuvarombo'' (1989, Chimurenga Music)
*''Corruption'' (1989, Mango)
*''Chimurenga Masterpiece'' (1990, Chimurenga Music)
*''Hondo'' (1991, Chimurenga Music)
*''Chimurenga International'' (1993, Chimurenga Music)
*''Roots Chimurenga'' (1996, Chimurenga Music)
*''Sweet Chimurenga'' (1996, Chimurenga Music)
*''Afro Chimurenga'' (1996, Chimurenga Music)
*''Chimurenga '98'' (1998, Anonymous Web Productions)
*''Live at El Rey'' (1999, Anonymous Web Productions)
*''Chimurenga Explosion'' (2000, Anonymous Web Productions)
*Chimurenga Rebel (2002, Anonymous Web Productions)
*''Rise Up'' (2006, Real World Records)
*Exile (2010, Sheer Sound)
*Danger Zone (2015, Chimurenga Music Company)
*''Live @ The Sanctuary for Independent Media'' (2016, Chimurenga Music)
==Viungo vya nje==
*[http://www.anonymousweb.com/thomas_mapfumo.html Tovuti yake rasmi]
*[http://www.ne.jp/asahi/fbeat/africa/07-disco/07381.html Orodha ya albamu zake] {{Wayback|url=http://www.ne.jp/asahi/fbeat/africa/07-disco/07381.html |date=20070806123532 }}
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki-Afrika}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
1huo7nrj88341tbe82fonx5int9fary
Apartheid
0
8318
1234779
1106069
2022-07-23T16:56:59Z
Kipala
107
/* Vikundi vya kimbari */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Apartheid_Durban_beach.PNG|thumb|right|250px|Tangazo la Apartheid mjini [[Durban]] mwaka 1989: Bahari hii inaogelesha watu weupe tu!]]
'''Apartheid''' ni [[neno]] la [[Kiafrikaans]] linalomaanisha "kuwa pekee" au "utengano". Kwa kawaida hutaja [[siasa]] ya [[ubaguzi wa rangi]] wa [[Sheria|kisheria]] nchini [[Afrika Kusini]] kati ya [[mwaka]] [[1948]] na [[1994]].
Siasa hiyo ilikuwa na utaratibu wa sheria nyingi zilizolenga kutenganisha watu wa [[rangi]] au mbari mbalimbali. Kusudi lake lilikuwa kimsingi kutunza kipaumbele cha [[makaburu]] na kuhakikisha [[Waafrika]] Weusi wasianze kushindana nao kwenye [[soko]] la [[kazi]] na nafasi za kijamii.
== Utaratibu wa Apartheid ==
=== Vikundi vya kimbari ===
Sheria za Apartheid ziligawa wakazi wa Afrika Kusini katika vikundi vifuatavyo:
* Watu weupe
* Watu weusi
* [[Machotara wa Afrika Kusini|Machotara]] (wa asili ya mchanganyiko)
* Baadaye kundi la nne lilitengwa ni [[Waasia]].
Kila mtu alitakiwa kujiandikisha.
=== Kutenganisha mbari ===
Katika ngazi za kwanza watu wa rangi mbalimbali walikataliwa [[Ndoa|kuoana]] au kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Baadaye walitenganishwa [[Jiografia|kijiografia]]. Maeneo yalitengwa na kutangazwa kuwa eneo la watu weupe pekee au la wasio weupe. Waafrika waliruhusiwa kuingia au kukaa katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya watu weupe kwa kibali maalum tu. Kwa mfano kama walikuwa na [[ajira]] sehemu hizo zilizotengwa kwa ajili ya weupe.
[[Picha:SeparationZA1.gif|thumb|250px|Tangazo la vyoo vya pekee kwa ajili ya watu weupe na wengine.]]
=== Huduma za pekee ===
Hatua ya ziada ilikuwa sheria juu ya utengano wa [[huduma]] (Separate Amenities Act of 1953) iliyoweka masharti kwa ajili ya viwanja vya [[michezo]], [[Basi|mabasi]], [[hospitali]], [[shule]], [[vyuo vikuu]], nafasi za kupumzika na hata [[vyoo]] vya pekee kwa ajili ya watu weupe na wasio weupe.
Kwa kawaida huduma kwa ajili ya watu wasio weupe zilipewa [[pesa]] kidogo kuliko [[vifaa]] kwa ajili ya weupe zikawa za sifa hafifu.
=== Kuondoa haki za kisiasa ===
Kabla ya mwaka 1948 machotara na Waafrika kadhaa wenye [[elimu]] walikuwa na [[haki ya kupiga kura]] katika [[jimbo la Rasi]]. Haki hiyo ilifutwa. Machotara na Waasia walipewa [[bunge]] la pekee lisilokuwa na [[mamlaka]] ya maana. Waafrika weusi waliambiwa kupiga [[kura]] kwao katika maeneo ya kikabila.
=== Kuondoa uraia ===
Hasa Waafrika weusi waliondolewa [[uraia]] wa Afrika Kusini kwa kuundiwa [[bantustan]] au "homelands". Bantustan hizo zilikuwa maeneo ya kikabila yaliyobaki chini ya [[Chifu|machifu]]. Bantustan hizo zilitangazwa kuwa [[mataifa]] ya pekee na kila Mwafrika mweusi alitangazwa kuwa raia wa bantustan fulani. Azimio hilo lililenga kuondoa maswali yote kuhusu haki za Waafrika za kushiriki katika siasa ya Afrika Kusini yenyewe.
[[Picha:Soweto Riots.jpg|thumb|250px|Kijana wa Soweto abeba maiti ya mtoto Hector Pieterson aliyepigwa risasi na polisi mwaka 1976.]]
== Upinzani ==
Sheria hizo zilikuwa na [[upinzani]] nyingi nchini na kimataifa. Awali [[serikali]] mwaka [[1948]] ilipita kwa kura chache tu kushinda wapinzani wake. Lakini [[Chama cha NP]] kilifaulu kuunganisha sehemu kubwa ya Makaburu waliokuwa kundi kubwa kati ya raia weupe wa Afrika Kusini. [[Utawala]] wa NP uliendelea hadi 1994.
Upinzani kwa upande wa watu weupe ulitokea hasa kati ya wasemaji wa [[Kiingereza]] na wengine. Upande wa Waafrika chama cha [[ANC]] kilikuwa mbele hadi ilipopigwa marufuku.
Wapinzani kama ANC na wengine walijaribu kuendesha [[vita]] ya [[Msitu|msituni]] dhidi ya serikali ya [[Pretoria]] lakini kwa jumla hawakufaulu kijeshi. Lakini upinzani usiokuwa wa kijeshi ulitokea kama mwendo wa [[watoto]] wa shule tangu mwaka [[1976]] [[Soweto]]. [[Maandamano]] ya wanafunzi yalikandamizwa vikali na [[polisi]]. Baada ya watoto kuuawa maandamano yaliendelea kupanua yakafaulu kurudisha suala la Apartheid kwenye ajenda ya kimataifa.
Hatimaye matatizo ya kiuchumi (kuporomoka kwa [[bei]] ya [[dhahabu]]), [[gharama]] kubwa ya ukandamizaji wa upinzani, shinikizo la kimataifa na mwishowe [[mageuzi]] makubwa baada ya anguko la [[Ukomunisti]] yalilazimisha viongozi wa Afrika Kusini kukubali mabadiliko.
[[Rais]] [[Frederik Willem de Klerk]] alikuwa na [[busara]] ya kuanzisha mazungumzo na [[kiongozi]] wa ANC [[Nelson Mandela]] aliyekaa [[gereza|gerezani]] katika [[kisiwa cha Robben]]. Baada ya kuachishwa kwa Mandela kutoka gereza sheria za Apartheid zikafutwa haraka. [[Uchaguzi]] huru wa kwanza kwa ajili ya raia wote ulimaliza Apartheid kama utaratibu wa kisheria.
==Viungo vya nje==
{{Commons|Category:Apartheid}}
{{mbegu-siasa}}
{{DEFAULTSORT:Apartheid}}
[[Jamii:Afrika Kusini]]
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Ubaguzi]]
p88levo0dp2iozliwx2nl6nb49rcbhf
1234780
1234779
2022-07-23T16:57:44Z
Kipala
107
/* Vikundi vya kimbari */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Apartheid_Durban_beach.PNG|thumb|right|250px|Tangazo la Apartheid mjini [[Durban]] mwaka 1989: Bahari hii inaogelesha watu weupe tu!]]
'''Apartheid''' ni [[neno]] la [[Kiafrikaans]] linalomaanisha "kuwa pekee" au "utengano". Kwa kawaida hutaja [[siasa]] ya [[ubaguzi wa rangi]] wa [[Sheria|kisheria]] nchini [[Afrika Kusini]] kati ya [[mwaka]] [[1948]] na [[1994]].
Siasa hiyo ilikuwa na utaratibu wa sheria nyingi zilizolenga kutenganisha watu wa [[rangi]] au mbari mbalimbali. Kusudi lake lilikuwa kimsingi kutunza kipaumbele cha [[makaburu]] na kuhakikisha [[Waafrika]] Weusi wasianze kushindana nao kwenye [[soko]] la [[kazi]] na nafasi za kijamii.
== Utaratibu wa Apartheid ==
=== Vikundi vya kimbari ===
Sheria za Apartheid ziligawa wakazi wa Afrika Kusini katika vikundi vifuatavyo:
* Watu weupe
* Watu weusi
* [[Machotara wa Afrika Kusini|Machotara]] (wa asili ya mchanganyiko)
* Baadaye kundi la nne lilitengwa ni [[Waasia]].
Kila mtu alitakiwa kujiandikisha kulingana na mbari wake.
=== Kutenganisha mbari ===
Katika ngazi za kwanza watu wa rangi mbalimbali walikataliwa [[Ndoa|kuoana]] au kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Baadaye walitenganishwa [[Jiografia|kijiografia]]. Maeneo yalitengwa na kutangazwa kuwa eneo la watu weupe pekee au la wasio weupe. Waafrika waliruhusiwa kuingia au kukaa katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya watu weupe kwa kibali maalum tu. Kwa mfano kama walikuwa na [[ajira]] sehemu hizo zilizotengwa kwa ajili ya weupe.
[[Picha:SeparationZA1.gif|thumb|250px|Tangazo la vyoo vya pekee kwa ajili ya watu weupe na wengine.]]
=== Huduma za pekee ===
Hatua ya ziada ilikuwa sheria juu ya utengano wa [[huduma]] (Separate Amenities Act of 1953) iliyoweka masharti kwa ajili ya viwanja vya [[michezo]], [[Basi|mabasi]], [[hospitali]], [[shule]], [[vyuo vikuu]], nafasi za kupumzika na hata [[vyoo]] vya pekee kwa ajili ya watu weupe na wasio weupe.
Kwa kawaida huduma kwa ajili ya watu wasio weupe zilipewa [[pesa]] kidogo kuliko [[vifaa]] kwa ajili ya weupe zikawa za sifa hafifu.
=== Kuondoa haki za kisiasa ===
Kabla ya mwaka 1948 machotara na Waafrika kadhaa wenye [[elimu]] walikuwa na [[haki ya kupiga kura]] katika [[jimbo la Rasi]]. Haki hiyo ilifutwa. Machotara na Waasia walipewa [[bunge]] la pekee lisilokuwa na [[mamlaka]] ya maana. Waafrika weusi waliambiwa kupiga [[kura]] kwao katika maeneo ya kikabila.
=== Kuondoa uraia ===
Hasa Waafrika weusi waliondolewa [[uraia]] wa Afrika Kusini kwa kuundiwa [[bantustan]] au "homelands". Bantustan hizo zilikuwa maeneo ya kikabila yaliyobaki chini ya [[Chifu|machifu]]. Bantustan hizo zilitangazwa kuwa [[mataifa]] ya pekee na kila Mwafrika mweusi alitangazwa kuwa raia wa bantustan fulani. Azimio hilo lililenga kuondoa maswali yote kuhusu haki za Waafrika za kushiriki katika siasa ya Afrika Kusini yenyewe.
[[Picha:Soweto Riots.jpg|thumb|250px|Kijana wa Soweto abeba maiti ya mtoto Hector Pieterson aliyepigwa risasi na polisi mwaka 1976.]]
== Upinzani ==
Sheria hizo zilikuwa na [[upinzani]] nyingi nchini na kimataifa. Awali [[serikali]] mwaka [[1948]] ilipita kwa kura chache tu kushinda wapinzani wake. Lakini [[Chama cha NP]] kilifaulu kuunganisha sehemu kubwa ya Makaburu waliokuwa kundi kubwa kati ya raia weupe wa Afrika Kusini. [[Utawala]] wa NP uliendelea hadi 1994.
Upinzani kwa upande wa watu weupe ulitokea hasa kati ya wasemaji wa [[Kiingereza]] na wengine. Upande wa Waafrika chama cha [[ANC]] kilikuwa mbele hadi ilipopigwa marufuku.
Wapinzani kama ANC na wengine walijaribu kuendesha [[vita]] ya [[Msitu|msituni]] dhidi ya serikali ya [[Pretoria]] lakini kwa jumla hawakufaulu kijeshi. Lakini upinzani usiokuwa wa kijeshi ulitokea kama mwendo wa [[watoto]] wa shule tangu mwaka [[1976]] [[Soweto]]. [[Maandamano]] ya wanafunzi yalikandamizwa vikali na [[polisi]]. Baada ya watoto kuuawa maandamano yaliendelea kupanua yakafaulu kurudisha suala la Apartheid kwenye ajenda ya kimataifa.
Hatimaye matatizo ya kiuchumi (kuporomoka kwa [[bei]] ya [[dhahabu]]), [[gharama]] kubwa ya ukandamizaji wa upinzani, shinikizo la kimataifa na mwishowe [[mageuzi]] makubwa baada ya anguko la [[Ukomunisti]] yalilazimisha viongozi wa Afrika Kusini kukubali mabadiliko.
[[Rais]] [[Frederik Willem de Klerk]] alikuwa na [[busara]] ya kuanzisha mazungumzo na [[kiongozi]] wa ANC [[Nelson Mandela]] aliyekaa [[gereza|gerezani]] katika [[kisiwa cha Robben]]. Baada ya kuachishwa kwa Mandela kutoka gereza sheria za Apartheid zikafutwa haraka. [[Uchaguzi]] huru wa kwanza kwa ajili ya raia wote ulimaliza Apartheid kama utaratibu wa kisheria.
==Viungo vya nje==
{{Commons|Category:Apartheid}}
{{mbegu-siasa}}
{{DEFAULTSORT:Apartheid}}
[[Jamii:Afrika Kusini]]
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Ubaguzi]]
p9krlzgghznioemvwgvxpi6e7vo91yp
Filamu za Western
0
13992
1234805
82535
2022-07-24T00:41:34Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Western]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Western]]
p7ivjoxf749n03uuelwixzhz5frj5vb
Pugi
0
17258
1234790
1135390
2022-07-23T22:29:21Z
CommonsDelinker
234
Replacing Partridge_pigeon.jpg with [[File:Geophaps_smithii_smithii,_Yellow_Waters,_Kakadu_National_Park,_Australia_DSC_6132.jpg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: matching name & # in set).
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Pugi
| picha = Blue spotted wood dove.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Pugi-wanda]]
| himaya = [[Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Chordate|Chordata]] (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
| ngeli = [[Ndege|Aves]] (Ndege)
| oda = [[Columbiformes]] (Ndege kama [[njiwa]])
| familia = [[Columbidae]] (Ndege walio na mnasaba na [[njiwa]])
| bingwa_wa_familia = [[William Elford Leach|Leach]], 1820
| nusufamilia = [[Columbinae]] (Ndege wanaofanana na njiwa)
| bingwa_wa_nusufamilia = Leach, 1820
| subdivision = '''Jenasi 9; spishi 25, 7 katika Afrika:'''
* ''[[Chalcophaps]]'' <small>[[John Gould|Gould]], 1843</small><br>
** ''[[Chalcophaps indica|C. indica]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small>
** ''[[Chalcophaps longirostris|C. longirostris]]'' <small>Gould, 1848</small>
** ''[[Chalcophaps stephani|C. stephani]]'' <small>[[Jacques Pucheran|Pucheran]], 1853</small>
* ''[[Geopelia]]'' <small>[[William Swainson|Swainson]], 1837</small>
** ''[[Geopelia cuneata|G. cuneata]]'' <small>([[John Latham|Latham]], 1802)</small>
** ''[[Geopelia humeralis|G. humeralis]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1821)</small>
** ''[[Geopelia maugeus|G. maugeus]]'' <small>(Temminck, 1809)</small>
** ''[[Geopelia placida|G. placida]]'' <small>Gould, 1844</small>
** ''[[Geopelia striata|G. striata]]'' <small>(Linnaeus, 1766)</small>
* ''[[Geophaps]]'' <small>[[George Robert Gray|G.R. Gray]], 1842</small>
** ''[[Geophaps plumifera|G. plumifera]]'' <small>Gould, 1842</small>
** ''[[Geophaps scripta|G. scripta]]'' <small>(Temminck, 1821)</small>
** ''[[Geophaps smithii|G. smithii]]'' <small>([[William Jardine|Jardine]] & [[Prideaux John Selby|Selby]], 1830)</small>
* ''[[Henicophaps]]'' <small>[[George Robert Gray|G.R. Gray]], 1862</small>
** ''[[Henicophaps albifrons|H. albifrons]]'' <small>G.R. Gray, 1862</small>
** ''[[Henicophaps foersteri|H. foersteri]]'' <small>[[Lionel Walter Rothschild|Rothschild]] & [[Ernst Hartert|Hartert]], 1906</small>
* ''[[Ocyphaps]]'' <small>[[George Robert Gray|G.R. Gray]], 1842</small>
** ''[[Ocyphaps lophotes|O. lophotes]]'' <small>(Temminck, 1822)</small>
* ''[[Oena]]'' <small>[[William Swainson|Swainson]], 1837</small>
** ''[[Oena capensis|O. capensis]]'' <small>(Linnaeus, 1766)</small>
* ''[[Petrophassa]]'' <small>[[John Gould|Gould]], 1841</small>
** ''[[Petrophassa albipennis|P. albipennis]]'' <small>Gould, 1841</small>
** ''[[Petrophassa rufipennis|P. rufipennis]]'' <small>[[Robert Collett|Collet]], 1898</small>
* ''[[Phaps]]'' <small>Selby, 1835</small>
** ''[[Phaps chalcoptera|P. chalcoptera]]'' <small>(Latham, 1790)</small>
** ''[[Phaps elegans|P. elegans]]'' <small>(Temminck, 1809)</small>
** ''[[Phaps histrionica|P. histrionica]]'' <small>(Gould, 1841)</small>
* ''[[Turtur]]'' <small>[[Pieter Boddaert|Boddaert]], 1783</small>
** ''[[Turtur abyssinicus|T. abyssinicus]]'' <small>([[Richard Bowdler Sharpe|Sharpe]], 1902)</small>
** ''[[Turtur afer|T. afer]]'' <small>(Linnaeus, 1766)</small>
** ''[[Turtur brehmeri|T. brehmeri]]'' <small>([[Gustav Hartlaub|Hartlaub]], 1865)</small>
** ''[[Turtur chalcospilos|T. chalcospilos]]'' <small>([[Johann Georg Wagler|Wagler]], 1827)</small>
** ''[[Turtur tympanistria|T. tympanistria]]'' <small>(Temminck, 1809)</small>
}}
'''Pugi''' au '''huji''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wa [[jenasi]] mbalimbali katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Columbidae]]. Mgongo wao una rangi ya jivu au kahawa na kidari na tumbo zina rangi ya pinki na/au nyeupe. Mabawa ya spishi nyingi, pamoja na spishi za [[Afrika]], yana mabaka kwa rangi ing'aayo. Spishi za zinatokea Afrika chini ya [[Sahara]]. Hutafuta chakula chini na hula [[mbegu]] hasa lakini [[tunda|matunda]], [[mdudu|wadudu]] na [[koa|makoa]] pia. Hujenga tago lao mitini au vichakani na jike hutaga mayai mawili.
==Spishi za Afrika==
* ''Geopelia striata'', [[Pugi milia]] ([[w:Zebra Dove|Zebra Dove]]) - '''imewasilishwa''' ([[Shelisheli]], [[Réunion]])
* ''Oena capensis'', [[Tutu]], Pugi-kombamwiko au Huji Mirunda ([[w:Namaqua Dove|Namaqua Dove]])
* ''Turtur abyssinicus'', [[Pugi domo-jeusi]] ([[w:Black-billed Wood Dove|Black-billed Wood Dove]])
* ''Turtur afer'', [[Pugi-wanda]] ([[w:Blue-spotted Wood Dove|Blue-spotted Wood Dove]])
* ''Turtur brehmeri'', [[Pugi kichwa-buluu]] ([[w:Blue-headed Wood Dove| Blue-headed Wood Dove]])
* ''Turtur chalcospilos'', [[Pugi-kituku]] ([[w:Emerald-spotted Wood Dove|Emerald-spotted Wood Dove]])
* ''Turtur tympanistria'', [[Pugi-kikombe]] ([[w:Tambourine Dove|Tambourine Dove]])
==Spishi za mabara mengine==
* ''Chalcophaps indica'' ([[w:Common Emerald Dove|Common Emerald Dove]])
* ''Chalcophaps longirostris'' ([[w:Pacific Emerald Dove|Pacific Emerald Dove]])
* ''Chalcophaps stephani'' ([[w:Stephan's Emerald Dove|Stephan's Emerald Dove]])
* ''Geopelia cuneata'' ([[w:Diamond Dove|Diamond Dove]])
* ''Geopelia humeralis'' ([[w:Bar-shouldered Dove|Bar-shouldered Dove]])
* ''Geopelia maugeus'' ([[w:Barred Dove|Barred Dove]]) - pengine inaainishwa kama spishi ndogo ya ''G. striata''
* ''Geopelia placida'' ([[w:Peaceful Dove|Peaceful Dove]]) - pengine inaainishwa kama spishi ndogo ya ''G. striata''
* ''Geophaps plumifera'' ([[w:Spinifex Pigeon|Spinifex Pigeon]])
* ''Geophaps scripta'' ([[w:Squatter Pigeon|Squatter Pigeon]])
* ''Geophaps smithii'' ([[w:Partridge Pigeon|Partridge Pigeon]])
* ''Henicophaps albifrons'' ([[w:New Guinea Bronzewing|New Guinea Bronzewing]])
* ''Henicophaps foersteri'' ([[w:New Britain Bronzewing|New Britain Bronzewing]])
* ''Ocyphaps lophotes'' ([[w:Crested Pigeon|Crested Pigeon]])
* ''Petrophassa albipennis'' ([[w:White-quilled Rock Pigeon|White-quilled Rock Pigeon]])
* ''Petrophassa rufipennis'' ([[w:Chestnut-quilled Rock Pigeon|Chestnut-quilled Rock Pigeon]])
* ''Phaps chalcoptera'' ([[w:Common Bronzewing|Common Bronzewing]])
* ''Phaps elegans'' ([[w:Brush Bronzewing|Brush Bronzewing]])
* ''Phaps histrionica'' ([[w:Flock Bronzewing|Flock Bronzewing]])
==Picha==
<gallery>
Geopelia-striata-Réunion.jpg|Pugi milia
Namaqua dove male.jpg|Tutu
Blackbilledwooddove.jpg|Pugi domo-jeusi
Stavenn Turtur brehmeri 00.jpg|Pugi kichwa-buluu
Emerald-spotted wood dove.jpg|Pugi-kituku
Turtur tympanistria -near Hluhluwe, KwaZulu-Natal, South Africa-8.jpg|Pugi-kikombe
</gallery>
<gallery>
Chalcophaps indica1.JPG|Emerald dove
Cairns Emerald Dove-1 (11971205005).jpg|Pacific emerald dove
Geopelia cuneata Schönbrunn 2007a.jpg|Diamond dove
Geopelia Humeralis - Adelaide Zoo.JPG|Bar-shouldered dove
Barred Dove (8333065982).jpg|Barred dove
Peaceful Dove - melbourne zoo.jpg|Peaceful dove
Geophaps plumifera1.jpg|Spinifex pigeon
Squatter Pigeons Cement Mills.JPG|Squatter pigeons
Geophaps smithii smithii, Yellow Waters, Kakadu National Park, Australia DSC 6132.jpg|Partridge pigeon
Ocyphaps lophotes.jpg|Crested pigeon
Phaps chalcoptera.jpg|Common bronzewing
Bronze wing444 edit.jpg|Brush bronzewing
Flock Bronzewing 6154.jpg|Flock bronzewing
</gallery>
[[Jamii:Njiwa na jamaa]]
bcjiqqid53kf3d5qvl3ylsybcx5xj9o
Waanglikana
0
22837
1234757
1203895
2022-07-23T13:10:00Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Altar.stmaryredcliffe.arp.jpg|thumb|250px|[[Altare]] ya St Mary Redcliffe, [[Bristol]].]]
{{Ukristo}}
'''Waanglikana''' ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] yenye asili ya [[Uingereza]].
Katika [[karne ya 16]] [[mfalme]] [[Henry VIII]] alitenga [[Kanisa]] la nchi hiyo na [[Kanisa Katoliki]].
Baada ya [[farakano]] hilo, yalifanyika mabadiliko mbalimbali upande wa [[imani]], [[ibada]] na [[sheria]] kuelekea [[Uprotestanti]]. Hata hivyo mwelekeo wa Kikatoliki uliendelea kuwepo, na bado una nguvu, hasa katika baadhi ya [[dayosisi]]. Hasa miaka hii ya mwisho mvutano kati ya pande hizo mbili umeongezeka hata kusababisha umoja kulegea.
Katika karne zilizofuata, kutokana na uenezi wa himaya ya Uingereza duniani, Anglikana ilienea sehemu nchi, na leo ina wafuasi wengi hasa [[Afrika]] ([[Nigeria]], [[Uganda]] n.k.). Kwa jumla wanazidi [[milioni]] 85 katika nchi 165.
Majimbo yake 38 yanajitegemea, lakini yanaunda [[ushirika]] mmoja. Maaskofu wake wote wanakutana [[Lambeth]] kila baada ya miaka 10 chini ya [[Askofu mkuu]] wa [[Canterbury]].
==Historia==
Mfalme Henri VIII alitawala Uingereza miaka [[1509]]-[[1547]], wakati wa [[Martin Luther]].
Alikuwa Mkatoliki aliyependa [[Kanisa]] lake. Lakini alikuwa na matatizo mawili juu ya [[Papa]] wa [[Roma]].
Kwanza kabisa Uingereza ulikuwa na [[wajibu]] wa kumlipa Papa kila [[mwaka]] [[kodi]] ya pekee, tofauti na ma[[taifa]] mengine ya [[Ulaya]].
Pili, huyo mfalme alikuwa na tatizo la binafsi: alishindwa kuzaliana na [[mke]] wake [[mtoto]] [[Mwanaume|wa kiume]] atakayerithi [[ufalme]]. Basi, akamwomba Papa apate [[Ndoa|kumwoa]] mwingine, lakini Papa alikataa kutokana na [[sheria za Kanisa]].
Henri, aliyekuwa mtu wa [[hasira]], aliitisha [[Bunge la Uingereza]] akawalazimisha [[wabunge]] kutangaza kwamba mfalme ndiye mkuu wa kanisa nchini. Halafu [[bunge]] lilikubali [[talaka]] yake.
[[Azimio]] lingine lilikuwa kutolipia tena kodi kule Roma, hivyo ikaingia katika [[mfuko]] wa Mfalme mwenyewe. Lakini Henri hakupenda mabadiliko katika mafundisho ya [[imani]] na [[desturi]] za [[ibada]].
Baada ya [[kifo]] chake viongozi wa taifa waliamua kutengeneza kanisa kwa jumla. Hasa [[nyumba]] za [[watawa]] zilifungwa na [[mali]] zao zikachukuliwa na mfalme.
[[Askofu Mkuu]] Cranmer akachukua mafundisho mengi ya Luther na [[Calvin]], lakini katika desturi za nje alibadilisha taratibu chache tu.
Hivyo Kanisa la Uingereza likajitokeza kuwa na hali mbili. Wale wanaokaza sana urithi wa kale pamoja na [[liturujia]] (mavazi ya wachungaji, kupiga ma[[goti]], kufanya [[alama]] ya [[msalaba]] kwa [[mkono]] wakati wa [[sala]], kutunza kumbukumbu ya [[watakatifu]]) wanaitwa "High Church (Kanisa la juu)". Waanglikana wengine, waliovutwa zaidi na [[matengenezo ya Kiprotestanti]] na kutojali sana urithi wa kale wanaitwa "Low Church (Kanisa la chini)".
Kwa mambo ya nje wale wa "juu" wanafanana na Wakatoliki, na wale wa "chini" wanafanana zaidi na Wareformati. Lakini Waanglikana hujisikia kuwa na [[umoja]]; kwa kweli walifaulu kuliko madhehebu mengine kuunganisha pande zote mbili na kuepuka hatari ya kufarakana kama ilivyotokea mahali pengine.
Waanglikana wako katika nchi zote zilizokuwa chini ya [[ukoloni]] wa Kiingereza, kwani huko [[wamisionari]] wao waliweza kufanya kazi kwa urahisi.
"Majimbo" ya Waanglikana (Jimbo la [[Tanzania]], Jimbo la [[Kenya]], Jimbo la [[Uganda]] n.k., kila jimbo likiwa na ma[[dayosisi]] mbalimbali) hujitegemea, pamoja na kumkubali Askofu wa [[Canterbury]] (Uingereza) kuwa kiongozi wa kiroho kama [[mwenyekiti]] wa maaskofu wa Kianglikana lakini hana [[utawala]].
Siku hizi Waanglikana wa [[Marekani]] wamekuwa wa kwanza kumbariki [[askofu wa kike]] (ni [[Mnegro]]) na askofu [[shoga]], lakini katika suala la kupokea [[wanawake]] katika [[ukasisi]] na [[uaskofu]] na vilevile katika suala la ushoga majimbo yao yametofautiana kiasi cha kuelekea [[farakano]].
Kwa sababu hizo, mnamo Januari [[2016]], Jimbo la Marekani lilisimamishwa kwa miaka 3.
[[Bara]]ni [[Afrika]] tunasikia hasa jina la [[Desmond Tutu]], Askofu Mwanglikana aliyetetea [[haki]] za Waafrika dhidi ya [[ubaguzi wa rangi]] [[Afrika Kusini]].
== Viungo vya nje ==
*[http://www.cofe.anglican.org/ Church of England, official site] {{Wayback|url=http://www.cofe.anglican.org/ |date=20071231102356 }}
*[http://www.allsouls.org/ascm/allsouls/static/index.html All Souls' Church, London, Evangelical] {{Wayback|url=http://www.allsouls.org/ascm/allsouls/static/index.html |date=20070225133126 }}.
{{mbegu-Ukristo}}
[[Category:Ukristo]]
[[Jamii:Waanglikana]]
8tohsp5e8lvnpz9tryjun80j5rcqhxb
Awilo Longomba
0
34515
1234863
1227032
2022-07-24T07:24:27Z
Muddyb
379
Jina la kuzaliwa
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Awilo Longomba
| image =
| image_upright =
| image_size =
| landscape = <!-- yes, if wide image, otherwise leave blank -->
|background = solo_singer
| alt =
| caption =
| jina la kuzaliwa = '''A'''lbert '''Wi'''lliam '''L'''ouis Longomba
| pak =
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1962|05|05|df=y}}
| birth_place =
| anatokea = Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
| kazi yake = Mwimbaji, drama
| aina = Soukous, Techno-soukous
| ameshirikiana na = [[Viva la Musica]], [[Loketo]], [[Dindo Yogo]], Luciana Demingongo
| tovuti = https://awilolongomba.skyrock.com
}}
'''Awilo Longomba''' ni [[mwanamuziki]] wa [[Kongo]] ambaye alikuwa mpiga [[ngoma]] katika [[bendi]] za [[Viva la Musica]], [[Stukas]], [[Nouvelle Generation]] na [[Loketo]].
Mwaka wa [[1995]], hatimaye aliacha kupiga ngoma na kuamua kuimba na alitoa [[albamu]] yake ya kwanza, Moto Pamba, baada ya kupata msaada kutoka [[Shimita]], [[Ballou Canta]], [[Dindo Yogo]], [[Dally Kimoko]], [[Sam Mangwana]], [[Syran Mbenza]] na [[Rigo Star]].
[[CD]] yake ya pili, ''Coupe Bibamba'' (mwaka wa [[1998]]) ilimfanya ajulikane kote barani [[Afrika]], pia [[Ulaya]] na [[Amerika]]. Hii ilifuatiwa na ''Kafou Kafou'' (mwaka wa [[2001]]) na ''Mondongo'' (mwaka wa [[2004]]), ambayo inawashirikisha [[Japponais]], [[Dally Kimoko]], [[Caen Madoka]], [[Djudjuchet]], [[Josky]] na [[Simaro Lutumba]]. Pia alishirikishwa kama atalaku (mtu wa kutumbuiza) katika baadhi ya rekodi za [[soukous]].
Mnamo [[2008]] Awilo Longomba alitoa albamu mpya, Super-Man, ambayo ilikuwa fanikio lingine kubwa. Awilo aliendelea na umaarufu wake nchini Marekani / Kanada huku akiwa katika ziara pamoja na Nabtry International Cultural Dancers (kundi la kitamaduni la kimataifa la kusakata au kucheza ngoma) kundi ya Kiafrika ya kucheza ngoma iliyoanzishwa mwaka wa 2007 na Grace Haukwa. Ziara ya Super-Man ilikuwa yenye mafanikio makuu miaka za 2008 na 2009. Kutokana na kura za umaarufu na ushindi wa kihistoria katika Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu huku nchi zaidi ya 120 zikipiga kura, albamu mpya ya Awilo, Super-Man, ilishinda tuzo la mtumbuizaji bora wa Soukous wa mwaka 2009.
Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa Nabtry Grace Haukwa ambaye anamwakilisha Awilo nchini [[USA]] alikuwepo kupokea tuzo hilo kwa niaba ya Awilo katika sherehe ya Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu.
Awilo kwa sasa anaishi nchini [[Ufaransa]] na ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki [[Barbara Kanam]].
Jamaa ya Awilo katika sekta ya muziki ni pamoja na baba yake Victor Longomba mwanachama mwanzilishi wa [[TP OK Jazz]] na vilevile Longombas ambalo ni kundi maarufu la Afro-fusion lenye makao nchini [[Kenya]].
==Viungo vya nje==
* http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html {{Wayback|url=http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html |date=20061109045153 }}
* http://www.africanmusica.com/awilo-longomba.htm
* http://www.sternsmusic.com/discography/436 {{Wayback|url=http://www.sternsmusic.com/discography/436 |date=20100512030056 }}
* http://www.africasounds.com/awilo.htm {{Wayback|url=http://www.africasounds.com/awilo.htm |date=20080101094243 }}
*http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html {{Wayback|url=http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html |date=20110714042528 }}
*http://nabtry.skyrock.com
*http://awilolongombaofficiel.hi5.com
*http://myspace.com/awilolongombaofficiel
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Category:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
5lvtxpeszxw99p9r6xxwjipm62olr2l
1234864
1234863
2022-07-24T07:36:49Z
Muddyb
379
Boresho!
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Awilo Longomba
| image =
| image_upright =
| image_size =
| landscape = <!-- yes, if wide image, otherwise leave blank -->
|background = solo_singer
| alt =
| caption =
| jina la kuzaliwa = '''A'''lbert '''Wi'''lliam '''L'''ouis Longomba
| pak =
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1962|05|05|df=y}}
| birth_place =
| anatokea = Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
| kazi yake = Mwimbaji, drama
| aina = Soukous, Techno-soukous
| ameshirikiana na = [[Viva la Musica]], [[Loketo]], [[Dindo Yogo]], [[Luciana Demingongo]]
| tovuti = https://awilolongomba.skyrock.com
}}
'''Awilo Longomba''' ([[5 Mei]], [[1962]]) ni [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] ambaye alikuwa mpiga dramzi katika [[bendi]] mbalimbali tangu miaka ya 1980. Bendi alizofanya nazo kazi ni pamoja na [[Viva la Musica]], [[Stukas]], [[Nouvelle Generation]] na [[Loketo]].
Mwaka wa [[1995]], hatimaye aliacha kupiga dramzi na kuamua kuimba. Akatoa [[albamu]] yake ya kwanza, [[Moto Pamba]]. Ni baada ya kupata msaada kutoka kwa [[Shimita]], [[Ballou Canta]], [[Dindo Yogo]], [[Dally Kimoko]], [[Sam Mangwana]], [[Syran Mbenza]] na [[Rigo Star]].
[[CD]] yake ya pili, ''Coupe Bibamba'' (mwaka wa [[1998]]) ilimfanya ajulikane kote barani [[Afrika]], pia [[Ulaya]] na [[Amerika]]. Hii ilifuatiwa na ''Kafou Kafou'' (mwaka wa [[2001]]) na ''Mondongo'' (mwaka wa [[2004]]), ambayo inawashirikisha [[Japponais]], [[Dally Kimoko]], [[Caen Madoka]], [[Djudjuchet]], [[Josky]] na [[Simaro Lutumba]]. Pia alishirikishwa kama atalaku (mtu wa kutumbuiza) katika baadhi ya rekodi za [[soukous]].
Mnamo [[2008]] Awilo Longomba alitoa albamu mpya, Super-Man, ambayo ilikuwa fanikio lingine kubwa. Awilo aliendelea na umaarufu wake nchini Marekani / Kanada huku akiwa katika ziara pamoja na Nabtry International Cultural Dancers (kundi la kitamaduni la kimataifa la kusakata au kucheza ngoma) kundi la Kiafrika ya kucheza ngoma iliyoanzishwa mwaka wa 2007 na Grace Haukwa. Ziara ya Super-Man ilikuwa yenye mafanikio makuu miaka za 2008 na 2009. Kutokana na kura za umaarufu na ushindi wa kihistoria katika Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu huku nchi zaidi ya 120 zikipiga kura, albamu mpya ya Awilo, Super-Man, ilishinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Soukous wa mwaka 2009.
Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa Nabtry Grace Haukwa ambaye anamwakilisha Awilo nchini [[USA]] alikuwepo kupokea tuzo hilo kwa niaba ya Awilo katika sherehe ya Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu.
Awilo kwa sasa anaishi nchini Uingereza katika jiji la London, Uingereza. Amemwoa Paradis Kacharelle ana wana mtoto wa kiume aitwaye Lovy Believe Church Awilo Longomba.
Ndugu wa Awilo katika tasnia ya muziki ni pamoja na baba yake Victor Longomba aliyekuwa mwanachama mwanzilishi wa [[TP OK Jazz]] na vilevile Longombas ambalo ni kundi maarufu la Afro-fusion lenye makao nchini [[Kenya]].
==Viungo vya nje==
* http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html {{Wayback|url=http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html |date=20061109045153 }}
* http://www.africanmusica.com/awilo-longomba.htm
* http://www.sternsmusic.com/discography/436 {{Wayback|url=http://www.sternsmusic.com/discography/436 |date=20100512030056 }}
* http://www.africasounds.com/awilo.htm {{Wayback|url=http://www.africasounds.com/awilo.htm |date=20080101094243 }}
*http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html {{Wayback|url=http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html |date=20110714042528 }}
*http://nabtry.skyrock.com
*http://awilolongombaofficiel.hi5.com
*http://myspace.com/awilolongombaofficiel
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Category:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
sunxws40kb6mf4tleqv4yyshwmfcejv
1234865
1234864
2022-07-24T07:37:36Z
Muddyb
379
kigezo BD
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Awilo Longomba
| image =
| image_upright =
| image_size =
| landscape = <!-- yes, if wide image, otherwise leave blank -->
|background = solo_singer
| alt =
| caption =
| jina la kuzaliwa = '''A'''lbert '''Wi'''lliam '''L'''ouis Longomba
| pak =
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1962|05|05|df=y}}
| birth_place =
| anatokea = Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
| kazi yake = Mwimbaji, drama
| aina = Soukous, Techno-soukous
| ameshirikiana na = [[Viva la Musica]], [[Loketo]], [[Dindo Yogo]], [[Luciana Demingongo]]
| tovuti = https://awilolongomba.skyrock.com
}}
'''Awilo Longomba''' ([[5 Mei]], [[1962]]) ni [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] ambaye alikuwa mpiga dramzi katika [[bendi]] mbalimbali tangu miaka ya 1980. Bendi alizofanya nazo kazi ni pamoja na [[Viva la Musica]], [[Stukas]], [[Nouvelle Generation]] na [[Loketo]].
Mwaka wa [[1995]], hatimaye aliacha kupiga dramzi na kuamua kuimba. Akatoa [[albamu]] yake ya kwanza, [[Moto Pamba]]. Ni baada ya kupata msaada kutoka kwa [[Shimita]], [[Ballou Canta]], [[Dindo Yogo]], [[Dally Kimoko]], [[Sam Mangwana]], [[Syran Mbenza]] na [[Rigo Star]].
[[CD]] yake ya pili, ''Coupe Bibamba'' (mwaka wa [[1998]]) ilimfanya ajulikane kote barani [[Afrika]], pia [[Ulaya]] na [[Amerika]]. Hii ilifuatiwa na ''Kafou Kafou'' (mwaka wa [[2001]]) na ''Mondongo'' (mwaka wa [[2004]]), ambayo inawashirikisha [[Japponais]], [[Dally Kimoko]], [[Caen Madoka]], [[Djudjuchet]], [[Josky]] na [[Simaro Lutumba]]. Pia alishirikishwa kama atalaku (mtu wa kutumbuiza) katika baadhi ya rekodi za [[soukous]].
Mnamo [[2008]] Awilo Longomba alitoa albamu mpya, Super-Man, ambayo ilikuwa fanikio lingine kubwa. Awilo aliendelea na umaarufu wake nchini Marekani / Kanada huku akiwa katika ziara pamoja na Nabtry International Cultural Dancers (kundi la kitamaduni la kimataifa la kusakata au kucheza ngoma) kundi la Kiafrika ya kucheza ngoma iliyoanzishwa mwaka wa 2007 na Grace Haukwa. Ziara ya Super-Man ilikuwa yenye mafanikio makuu miaka za 2008 na 2009. Kutokana na kura za umaarufu na ushindi wa kihistoria katika Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu huku nchi zaidi ya 120 zikipiga kura, albamu mpya ya Awilo, Super-Man, ilishinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Soukous wa mwaka 2009.
Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa Nabtry Grace Haukwa ambaye anamwakilisha Awilo nchini [[USA]] alikuwepo kupokea tuzo hilo kwa niaba ya Awilo katika sherehe ya Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu.
Awilo kwa sasa anaishi nchini Uingereza katika jiji la London, Uingereza. Amemwoa Paradis Kacharelle ana wana mtoto wa kiume aitwaye Lovy Believe Church Awilo Longomba.
Ndugu wa Awilo katika tasnia ya muziki ni pamoja na baba yake Victor Longomba aliyekuwa mwanachama mwanzilishi wa [[TP OK Jazz]] na vilevile Longombas ambalo ni kundi maarufu la Afro-fusion lenye makao nchini [[Kenya]].
==Viungo vya nje==
* http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html {{Wayback|url=http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html |date=20061109045153 }}
* http://www.africanmusica.com/awilo-longomba.htm
* http://www.sternsmusic.com/discography/436 {{Wayback|url=http://www.sternsmusic.com/discography/436 |date=20100512030056 }}
* http://www.africasounds.com/awilo.htm {{Wayback|url=http://www.africasounds.com/awilo.htm |date=20080101094243 }}
*http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html {{Wayback|url=http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html |date=20110714042528 }}
*http://nabtry.skyrock.com
*http://awilolongombaofficiel.hi5.com
*http://myspace.com/awilolongombaofficiel
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|162}}
[[Category:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
srsn3isslsxe8b0arpm25n2j7ud3v3l
1234866
1234865
2022-07-24T07:38:07Z
Muddyb
379
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Awilo Longomba
| image =
| image_upright =
| image_size =
| landscape = <!-- yes, if wide image, otherwise leave blank -->
|background = solo_singer
| alt =
| caption =
| jina la kuzaliwa = '''A'''lbert '''Wi'''lliam '''L'''ouis Longomba
| pak =
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1962|05|05|df=y}}
| birth_place =
| anatokea = Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
| kazi yake = Mwimbaji, drama
| aina = Soukous, Techno-soukous
| ameshirikiana na = [[Viva la Musica]], [[Loketo]], [[Dindo Yogo]], [[Luciana Demingongo]]
| tovuti = https://awilolongomba.skyrock.com
}}
'''Awilo Longomba''' ([[5 Mei]], [[1962]]) ni [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] ambaye alikuwa mpiga dramzi katika [[bendi]] mbalimbali tangu miaka ya 1980. Bendi alizofanya nazo kazi ni pamoja na [[Viva la Musica]], [[Stukas]], [[Nouvelle Generation]] na [[Loketo]].
Mwaka wa [[1995]], hatimaye aliacha kupiga dramzi na kuamua kuimba. Akatoa [[albamu]] yake ya kwanza, [[Moto Pamba]]. Ni baada ya kupata msaada kutoka kwa [[Shimita]], [[Ballou Canta]], [[Dindo Yogo]], [[Dally Kimoko]], [[Sam Mangwana]], [[Syran Mbenza]] na [[Rigo Star]].
[[CD]] yake ya pili, ''Coupe Bibamba'' (mwaka wa [[1998]]) ilimfanya ajulikane kote barani [[Afrika]], pia [[Ulaya]] na [[Amerika]]. Hii ilifuatiwa na ''Kafou Kafou'' (mwaka wa [[2001]]) na ''Mondongo'' (mwaka wa [[2004]]), ambayo inawashirikisha [[Japponais]], [[Dally Kimoko]], [[Caen Madoka]], [[Djudjuchet]], [[Josky]] na [[Simaro Lutumba]]. Pia alishirikishwa kama atalaku (mtu wa kutumbuiza) katika baadhi ya rekodi za [[soukous]].
Mnamo [[2008]] Awilo Longomba alitoa albamu mpya, Super-Man, ambayo ilikuwa fanikio lingine kubwa. Awilo aliendelea na umaarufu wake nchini Marekani / Kanada huku akiwa katika ziara pamoja na Nabtry International Cultural Dancers (kundi la kitamaduni la kimataifa la kusakata au kucheza ngoma) kundi la Kiafrika ya kucheza ngoma iliyoanzishwa mwaka wa 2007 na Grace Haukwa. Ziara ya Super-Man ilikuwa yenye mafanikio makuu miaka za 2008 na 2009. Kutokana na kura za umaarufu na ushindi wa kihistoria katika Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu huku nchi zaidi ya 120 zikipiga kura, albamu mpya ya Awilo, Super-Man, ilishinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Soukous wa mwaka 2009.
Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa Nabtry Grace Haukwa ambaye anamwakilisha Awilo nchini [[USA]] alikuwepo kupokea tuzo hilo kwa niaba ya Awilo katika sherehe ya Tuzo za Reggae ya Kimataifa na Muziki wa ulimwengu.
Awilo kwa sasa anaishi nchini Uingereza katika jiji la London, Uingereza. Amemwoa Paradis Kacharelle ana wana mtoto wa kiume aitwaye Lovy Believe Church Awilo Longomba.
Ndugu wa Awilo katika tasnia ya muziki ni pamoja na baba yake Victor Longomba aliyekuwa mwanachama mwanzilishi wa [[TP OK Jazz]] na vilevile Longombas ambalo ni kundi maarufu la Afro-fusion lenye makao nchini [[Kenya]].
==Viungo vya nje==
* http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html {{Wayback|url=http://www.afrodicia.com/artist/awilo/index.html |date=20061109045153 }}
* http://www.africanmusica.com/awilo-longomba.htm
* http://www.sternsmusic.com/discography/436 {{Wayback|url=http://www.sternsmusic.com/discography/436 |date=20100512030056 }}
* http://www.africasounds.com/awilo.htm {{Wayback|url=http://www.africasounds.com/awilo.htm |date=20080101094243 }}
*http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html {{Wayback|url=http://www.martinsinterculture.com/irawma-winners.html |date=20110714042528 }}
*http://nabtry.skyrock.com
*http://awilolongombaofficiel.hi5.com
*http://myspace.com/awilolongombaofficiel
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|1962}}
[[Category:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
n5qw2p0tywtcfx25hmo4qp94f3fhaif
Jean Bosco Mwenda
0
35560
1234798
1222529
2022-07-23T23:43:31Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Jean Bosco Mwenda,''' aliyejulikana pia kama '''Mwenda wa Bayeke''' ([[1930]] - [[1990]]) alikuwa ni mwanzilishi wa mtindo wa [[Gitaa|kupiga gitaa kwa vidole]] nchini [[Kongo]]. Yeye pia alikuwa maarufu katika nchi nyingine za [[Afrika]], hususan [[Afrika Mashariki]], na katika miaka ya 1950 na mwanzo wa miaka ya 1960, alikuwa kwa ufupi mjini [[Nairobi]], ambako alikuwa mtangazaji wa kawaida katika redio na akawashawishi wapiga [[Gitaa kavu|gitaa]] wa kizazi kipya nchini [[Kenya]].
Pamoja na rafiki yake na wakati mwingine mpenzi Losta Abelo, na binamu yake Edouard Masengo, '''Bosco''' alitafsiri upya mtindo wa [[Gitaa kavu|gitaa]] nchini [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]]. Wimbo wake "Masanga" ulikuwa hasa na ushawishi mkubwa, kutokana na mtindo wake wakupiga [[Gitaa kavu|gitaa]] kipekee. Mtindo wake uliwavutia wanamuziki wengi kutoka [[Zambia]] ,[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] na [[Afrika ya Mashariki]] na hata makundi kama Trio Matamoros na cowboy movies kutoka nchini [[Kuba|Cuba]]<ref>https://www.jstor.org/discover/10.2307/30249533?sid=21105288718611&uid=2&uid=4&uid=3738032</ref><ref>https://www.pastemagazine.com/articles/2010/01/jean-bosco-mwenda-masanga23.html</ref>.
'''Bosco''' alizaliwa mwaka wa 1930 kijiji cha Bunkeya, karibu na [[Likasi]], Mkoa wa [[Haut-Katanga]] katika nchi ya [[Kongo ya Kibelgiji|Ubelgiji Kongo]], lakini aliishi maisha yake sana katika [[Lubumbashi]], ambapo kwa kuongeza katika kucheza muziki alikuwa na kazi katika [[benki]] na pamoja na kampuni ya madini ya mitaa, na kusimamiwa na bendi nyingine, na hoteli iliyoimilikiwa kando ya mpaka na [[Zambia]]. Septemba Aikufa katika ajali ya gari nchini [[Zambia]] mwaka wa 1990.
Rekodi ya video ya 1982 na Gerhard Kubik ipo katika mkusanyo wa wasanii wa [[Gitaa kavu|gitaa]] wenye ushawishi mkubwa wenye jina Native African Guitar.
CD ya 1982 yenye kijitabu (maandishi ya Gerhard Kubik, pia katika Kiingereza, pamoja na maandishi ya nyimbo za Kiswahili), inapatikana kutoka Makumbusho für Völkerkunde, [[Berlin]].
Rekodi hizo ni pamoja na tamasha kamili alilotoa '''Bosco''' mnamo Juni 30, 1982, katika Jumba la Makumbusho la für Völkerkunde, [[Berlin]]. Mnamo 1988, kampuni ya Mountain Records yenye makao yake mjini [[Cape Town]] ilirekodi albamu ya muziki ya Mwenda na kuitoa mwaka wa 1994. Albamu hiyo inaitwa Mwenda wa Bayeke - nguli wa [[Gitaa kavu|gitaa]] wa [[Kiafrikaans|Kiafrika]].<ref>https://www.discogs.com/Jean-Bosco-Mwenda-Mwenda-Wa-Bayeke/release/1415116</ref>
==Viungo vya nje==
*http://www.gatewayofafrica.com/artists/biography/41.html
*http://www.elijahwald.com/congocds.html, includes photographs and an interview with Jean-Bosco Mwenda, along with other material.
*http://www.smithsonianglobalsound.org/feature_01A.aspx {{Wayback|url=http://www.smithsonianglobalsound.org/feature_01A.aspx |date=20060720162936 }}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
rquvib48dkkmokly80sonkzooqh1m5a
Kigezo:Infobox United Nations
10
61128
1234774
683720
2022-07-23T15:43:46Z
Kwamikagami
2602
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox
|bodyclass=vcard
|bodystyle=font-size: 88%; width: 22em; text-align: left; line-height: 1.5em;
|above=[[File:Small Flag of the United Nations ZP.svg|60px|link=|alt=]]<br/>{{{name}}}
|abovestyle=background-color: #009edb; color: white; width: 100%; text-align: center; vertical-align: middle; padding: 10px;
|image={{#if:{{{image|}}}|[[File:{{{image}}}|{{#if:{{{image size|}}}|{{{image size}}}|239px}}]]}}
|caption={{{caption|}}}
|label1=Org type
|data1={{{type|}}}
|label2=Acronyms
|data2={{{acronyms|}}}
|label3=Head
|data3={{{head|}}}
|label4=Status
|data4={{{status|}}}
|label5=Established
|data5={{{established|}}}
|label6=Headquarters
|data6={{{headquarters|}}}
|label7=Website
|data7={{{website|}}}
|label8=Parent org
|data8={{{parent|}}}
|label9=Subsidiary org(s)
|data9={{{subsidiaries|}}}
|image2={{#if:{{{map|}}}|[[File:{{{map}}}|{{#if:{{{image size|}}}|{{{image size}}}|239px}}]]}}
|data11={{{map_caption|}}}
|label10=<div colspan=2 style="font-size: smaller">{{{footnotes|}}}</div>
|data10={{#if:{{{footnotes|}}}|<!-- dummy comment to force display of the footnotes -->}}
}}<noinclude>{{Documentation}}<!-- Please add any category and interwiki links on the /doc page, not here - thanks! --></noinclude>
6urbomc5e5m8ijl7h0thy6riphj3fgl
Chotara
0
78012
1234777
1196303
2022-07-23T16:55:45Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[File:Coloured-family.jpg|right|thumb|370px|[[Familia]] pana ya kichotara ya [[Afrika Kusini]] ikionyesha tofauti katika [[rangi]] ya [[ngozi]] na nyinginezo.]]
[[File:Official portrait of Barack Obama.jpg|thumb|right|[[Barack Obama]], [[rais]] wa [[Marekani]] ([[2008]]-[[2016]]) ni chotara, kwa sababu baba yake alikuwa [[Wajaluo|Mjaluo]] wa [[Kenya]] na mama alikuwa [[Marekani|Mmarekani]] mwenye [[asili]] ya [[Ulaya]].]]
'''Chotara''' (kutoka [[Kihindi]]; pia: '''suriama''' kutoka [[Kiarabu]] na '''shombe''') ni [[kiumbe hai]] ambacho kimetokana na [[Kabila|makabila]] zaidi ya moja ya [[spishi]] yake. Kwa mfano, [[binadamu]] ambaye alizaliwa na [[baba]] [[Mzungu]] na [[mama]] [[Mwafrika]] anaitwa hivyo.<ref>"Not surprisingly, chemomedical scientists are divided in their opinions about race. Some characterize it as 'biologically meaningless' or 'not based on scientific evidence', whereas others advocate the use of race in making decisions about medical treatment or the design of research studies." {{cite journal
|url=http://www.nature.com/ng/journal/v36/n11s/full/ng1435.html
|title=Genetic variation, classification and 'race'
|author1=Lynn B. Jorde
|journal=Nature Genetics
|author2=Stephen P. Wooding
|publisher=
|volume=36
|issue=11 Suppl
|pages=S28–S33
|year=2004
|pmid=15508000
|doi=10.1038/ng1435}} citing {{Cite book
|url=http://www2.webmatic.it/workO/s/113/pr-436-file_it-Proceedings%20of%20the%20National%20Academy%20of%20Sciences%20USA%2094.pdf
|title=An apportionment of human DNA diversity
|author1=Guido Barbujani
|author3=Eric Minch
|author4=L. Luca Cavalli=Sforza
|journal=Proceedings of the National Academy of Sciences USA
|volume=94
|pages=4516–4519
|date=April 1997
|author2=Arianna Magagni
}}.</ref>
Katika [[lugha]] mbalimbali kuna majina maalumu kwa aina za machotara: kwa mfano katika [[Kihispania]] kuna ''Mulato'', ''zambo'' na ''mestizo''; katika [[Kireno]] kuna ''mulato'', ''caboclo'', ''cafuzo'', ''ainoko'' na ''mestiço''.
Pengine [[sensa]] zinauliza [[asili]] ya [[wakazi]], zikiacha nafasi ya kutaja asili zaidi ya [[moja]].
Kundi la pekee ni [[Machotara wa Afrika Kusini]] waliotokana na mchanganyiko wa Wazungu, Waafrika na [[Wamalay]] na kutengwa chini ya sheria ya apartheid nchini [[Kusini kwa Sahara|Afrika Kusini]].
==Tanbihi==
{{Reflist|30em}}
==Marejeo==
{{Refbegin}}
* {{Cite web|url=http://aacap.org/page.ww?name=Multiracial+Children§ion=Facts+for+Families|title=Multiracial Children|date=October 1999|publisher=American Academy of Child and Adolescent Psychiatry|accessdate=2008-07-14}}
* {{Cite book|last=Freyre|first=Gilberto|author2=Putnam, Samuel|title=The Masters and the Slaves: A Study in the Development of Brazilian Civilization|url=https://archive.org/details/in.ernet.dli.2015.176407|publisher=Alfred A. Knopf|location=New York|year=1946|accessdate=2008-07-14|oclc=7001196|isbn=0-520-05665-5}}
* {{Cite journal|last=Joyner|first=Kara|author2=Kao, Grace|date=August 2005|title=Interracial Relationships and the Transition to Adulthood|journal=American Sociological Review|publisher=American Sociological Association|volume=70|issue=4|pages=563–81|url=http://www.ingentaconnect.com/content/asoca/asr/2005/00000070/00000004/art00002|accessdate=2008-07-14|doi=10.1177/000312240507000402}}
{{Refend}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.multiracial.com The Multiracial Activist], an online activist publication registered with the Library of Congress, focused on multiracial individuals and interracial families since 1997
* [http://www.projectrace.com ProjectRACE], an organization leading the movement for a multiracial classification
;Asasi za kutetea haki za chotara
* [http://www.ameasite.org Association of MultiEthnic Americans, Inc.] {{Wayback|url=http://www.ameasite.org/ |date=20060813110446 }}, US
* [http://www.blendedpeopleamerica.com Blended People of America] {{Wayback|url=http://www.blendedpeopleamerica.com/ |date=20100204100412 }}, US-based nonprofit organization representing the interests of the mixed-race community
* [http://www.nacaomestica.org Brazilian Multiracial Movement], Brazilian mixed-race organization
* [http://www.hafujapanese.org The Hafu Project], a study of half-Japanese people, London-, Munich-, Tokyo-based nonprofit organisation
* [http://www.mavinfoundation.org MAVIN Foundation], an organization advocating for mixed heritage people and families
* [http://www.mixedraceuk.com Mixed Race UK] {{Wayback|url=http://www.mixedraceuk.com/ |date=20200617065712 }}, UK-based nonprofit organization representing the interests of the mixed-race community
* [http://www.mosaicequalities.org.uk Mosiac UK] {{Wayback|url=http://www.mosaicequalities.org.uk/ |date=20081006084015 }}, a UK-based organisation for mixed race families
* [http://www.pih.org.uk People in Harmony UK]
* [http://www.swirlinc.org Swirl], US-based mixed community
{{mbegu-utamaduni}}
[[Category:Watu]]
9x0kj15l2rqq5v2n7yer6bwp8ii7ibf
1234778
1234777
2022-07-23T16:56:16Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[File:Coloured-family.jpg|right|thumb|370px|[[Familia]] pana ya kichotara ya [[Afrika Kusini]] ikionyesha tofauti katika [[rangi]] ya [[ngozi]] na nyinginezo.]]
[[File:Official portrait of Barack Obama.jpg|thumb|right|[[Barack Obama]], [[rais]] wa [[Marekani]] ([[2008]]-[[2016]]) ni chotara, kwa sababu baba yake alikuwa [[Wajaluo|Mjaluo]] wa [[Kenya]] na mama alikuwa [[Marekani|Mmarekani]] mwenye [[asili]] ya [[Ulaya]].]]
'''Chotara''' (kutoka [[Kihindi]]; pia: '''suriama''' kutoka [[Kiarabu]] na '''shombe''') ni [[kiumbe hai]] ambacho kimetokana na [[Kabila|makabila]] zaidi ya moja ya [[spishi]] yake. Kwa mfano, [[binadamu]] ambaye alizaliwa na [[baba]] [[Mzungu]] na [[mama]] [[Mwafrika]] anaitwa hivyo.<ref>"Not surprisingly, chemomedical scientists are divided in their opinions about race. Some characterize it as 'biologically meaningless' or 'not based on scientific evidence', whereas others advocate the use of race in making decisions about medical treatment or the design of research studies." {{cite journal
|url=http://www.nature.com/ng/journal/v36/n11s/full/ng1435.html
|title=Genetic variation, classification and 'race'
|author1=Lynn B. Jorde
|journal=Nature Genetics
|author2=Stephen P. Wooding
|publisher=
|volume=36
|issue=11 Suppl
|pages=S28–S33
|year=2004
|pmid=15508000
|doi=10.1038/ng1435}} citing {{Cite book
|url=http://www2.webmatic.it/workO/s/113/pr-436-file_it-Proceedings%20of%20the%20National%20Academy%20of%20Sciences%20USA%2094.pdf
|title=An apportionment of human DNA diversity
|author1=Guido Barbujani
|author3=Eric Minch
|author4=L. Luca Cavalli=Sforza
|journal=Proceedings of the National Academy of Sciences USA
|volume=94
|pages=4516–4519
|date=April 1997
|author2=Arianna Magagni
}}.</ref>
Katika [[lugha]] mbalimbali kuna majina maalumu kwa aina za machotara: kwa mfano katika [[Kihispania]] kuna ''Mulato'', ''zambo'' na ''mestizo''; katika [[Kireno]] kuna ''mulato'', ''caboclo'', ''cafuzo'', ''ainoko'' na ''mestiço''.
Pengine [[sensa]] zinauliza [[asili]] ya [[wakazi]], zikiacha nafasi ya kutaja asili zaidi ya [[moja]].
Kundi la pekee ni [[Machotara wa Afrika Kusini]] waliotokana na mchanganyiko wa Wazungu, Waafrika na [[Wamalay]] na kutengwa chini ya [[Apartheid|sheria ya apartheid]] nchini [[Kusini kwa Sahara|Afrika Kusini]].
==Tanbihi==
{{Reflist|30em}}
==Marejeo==
{{Refbegin}}
* {{Cite web|url=http://aacap.org/page.ww?name=Multiracial+Children§ion=Facts+for+Families|title=Multiracial Children|date=October 1999|publisher=American Academy of Child and Adolescent Psychiatry|accessdate=2008-07-14}}
* {{Cite book|last=Freyre|first=Gilberto|author2=Putnam, Samuel|title=The Masters and the Slaves: A Study in the Development of Brazilian Civilization|url=https://archive.org/details/in.ernet.dli.2015.176407|publisher=Alfred A. Knopf|location=New York|year=1946|accessdate=2008-07-14|oclc=7001196|isbn=0-520-05665-5}}
* {{Cite journal|last=Joyner|first=Kara|author2=Kao, Grace|date=August 2005|title=Interracial Relationships and the Transition to Adulthood|journal=American Sociological Review|publisher=American Sociological Association|volume=70|issue=4|pages=563–81|url=http://www.ingentaconnect.com/content/asoca/asr/2005/00000070/00000004/art00002|accessdate=2008-07-14|doi=10.1177/000312240507000402}}
{{Refend}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.multiracial.com The Multiracial Activist], an online activist publication registered with the Library of Congress, focused on multiracial individuals and interracial families since 1997
* [http://www.projectrace.com ProjectRACE], an organization leading the movement for a multiracial classification
;Asasi za kutetea haki za chotara
* [http://www.ameasite.org Association of MultiEthnic Americans, Inc.] {{Wayback|url=http://www.ameasite.org/ |date=20060813110446 }}, US
* [http://www.blendedpeopleamerica.com Blended People of America] {{Wayback|url=http://www.blendedpeopleamerica.com/ |date=20100204100412 }}, US-based nonprofit organization representing the interests of the mixed-race community
* [http://www.nacaomestica.org Brazilian Multiracial Movement], Brazilian mixed-race organization
* [http://www.hafujapanese.org The Hafu Project], a study of half-Japanese people, London-, Munich-, Tokyo-based nonprofit organisation
* [http://www.mavinfoundation.org MAVIN Foundation], an organization advocating for mixed heritage people and families
* [http://www.mixedraceuk.com Mixed Race UK] {{Wayback|url=http://www.mixedraceuk.com/ |date=20200617065712 }}, UK-based nonprofit organization representing the interests of the mixed-race community
* [http://www.mosaicequalities.org.uk Mosiac UK] {{Wayback|url=http://www.mosaicequalities.org.uk/ |date=20081006084015 }}, a UK-based organisation for mixed race families
* [http://www.pih.org.uk People in Harmony UK]
* [http://www.swirlinc.org Swirl], US-based mixed community
{{mbegu-utamaduni}}
[[Category:Watu]]
lnhnwvyjvlsgrhm6cq805xi4mc4dghk
Natoli
0
80941
1234788
1023126
2022-07-23T22:01:17Z
151.21.151.19
wikitext
text/x-wiki
'''Natoli''' ni jina la [[familia]] kadhaa zenye [[asili]] tofauti leo, lakini awali linatokana na [[Kifaransa]] ''de Nanteuil'' (kwa [[Kilatini]]: ''de Nantolio''), [[tawi]] la DuPont, mabwana wa [[ngome]] de [[Nantouillet]] [[Mji|mjini]] [[Paris]].
Watu maarufu wa ukoo huo ni:
* [[Gioacchino Natoli]] (1940), Italia hakimu;
* [[San Antonio Natoli]] (1552-1618), Italia kidini
* [[Aldo Natoli]] (1906-1971), [[mfanyabiashara]] na [[mwanasiasa]] nchini [[Italia]];
* [[Amedeo Natoli]] (1888-1963)
* [[Cav. Antonino Natoli]] (1857-1919), [[mfadhili]] na mfanyabiashara wa Kifaransa-Kiitaliano;
* [[Francesco Natoli]], [[ofisa]] wa Italia;
* [[Guido Natoli]] (1893-1966), [[mwanabenki]] wa Italia;
* [[Giacomo Natoli]] (1846-1896), mwanabenki na mwanasiasa wa Italia ;
* [[Giovanni Natoli]], Italia mtukufu wa XVII;
* [[Giuseppe Natoli]] (1815-1867), [[waziri]] wa Italia;
* [[Luigi Natoli (mwandishi) | Luigi Natoli]] (1857-1941), [[mwandishi]] wa Italia;
* [[Vincenzo Natoli]] (1690-1770), [[hakimu]] nchini Italia.
[[Jamii:Watu]]
elcfnlhlqfpixcmfsv8nprlzdpd4eo8
1234789
1234788
2022-07-23T22:08:15Z
151.21.151.19
wikitext
text/x-wiki
'''Natoli''' ni jina la [[familia]] kadhaa zenye [[asili]] tofauti leo, lakini awali linatokana na [[Kifaransa]] ''de Nanteuil'' (kwa [[Kilatini]]: ''de Nantolio''), [[tawi]] la DuPont, mabwana wa [[ngome]] de [[Nantouillet]] [[Mji|mjini]] [[Paris]].
Watu maarufu wa ukoo huo ni:
* [[Gioacchino Natoli]] (1940), Italia hakimu;
* [[San Antonio Natoli]] (1552-1618), Italia kidini
* [[Aldo Natoli]] (1906-1971), [[mfanyabiashara]] na [[mwanasiasa]] nchini [[Italia]];
* [[Amedeo Natoli]] (1888-1963), Tajiri wa Kiitaliano-Ufaransa
* [[Cav. Antonino Natoli]] (1857-1919), [[mfadhili]] na mfanyabiashara wa Kifaransa-Kiitaliano;
* [[Francesco Natoli]], [[ofisa]] wa Italia;
* [[Guido Natoli]] (1893-1966), [[mwanabenki]] wa Italia;
* [[Giacomo Natoli]] (1846-1896), mwanabenki na mwanasiasa wa Italia ;
* [[Giovanni Natoli]], Italia mtukufu wa XVII;
* [[Giuseppe Natoli]] (1815-1867), [[waziri]] wa Italia;
* [[Luigi Natoli (mwandishi) | Luigi Natoli]] (1857-1941), [[mwandishi]] wa Italia;
* [[Vincenzo Natoli]] (1690-1770), [[hakimu]] nchini Italia.
[[Jamii:Watu]]
clwu27yubuv0h684g38yfrsaey3e0hu
Aurlus Mabele
0
80948
1234851
1223027
2022-07-24T06:26:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Aurlus Mabélé''' ([[24 Oktoba]] [[1953]] — [[19 Machi]] [[2020]]) alikuwa [[mtunzi]] na [[mwimbaji]] kutoka [[Jamhuri ya Kongo]].
Mabele alizaliwa katika [[mji]] wa [[Brazzaville]], wilayani Poto-Poto nchini [[Jamhuri ya Kongo]]. [[Jina]] lake halisi lilikuwa ''Aurélien Miatsonama''. Alianzisha kundi liitwalo "Ndimbola Lokole".
Baada ya kushiriki sana barani [[Ulaya]], mwaka [[1986]] yeye na Diblo Dibala na Mav Cacharel, wakaanzisha kundi la Loketo. Kwa pamoja wakatengeneza muziki maarufu wa [[soukous]] ambapo baadaye akatajwa kama mfalme, hivyo basi ikapelekea msemo wa kuwa "Aurlus Mabele ndiye mfalme wa [[soukous]]".
Katika miaka 25 ya kazi zake ameuza zaidi ya nakala milioni 10 za albamu dunia nzima na alisaidia kwa kiasi kikubwa katika kuitambulisha na kuisukuma vilivyo muziki wa soukous nje ya mipaka ya bara la [[Afrika]]. Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza kwa miaka mitano, lakini aliweza kujipanga ili kufanya matamasha na kundi zima la Loketo huko [[Ulaya]] kati ya mwezi Mei na [[Juni]], [[2009]].
Kwa kushirikiana na wapiga [[Gitaa kavu|gitaa]] maarufu na wenye vipaji, ametengeneza dansi ya [[Kiafrikaans|Kiafrika]] yenye ladha yake ya kipekee ya [[soukous]] kwa kutunga nyimbo kama vile Mousso Africa, Ivorian woman, Embargo, Betty De Asta, Evelyne, Loketo na kadhalika.
Tarehe [[19 Machi]] [[2020]] taarifa kutoka [[Paris, Ufaransa|Paris Ufaransa]], zilitolewa kwamba [[Aurlus Mabele]] amefariki kwa ugonjwa wa [[Virusi vya Corona]]. <ref>{{Cite web|title=Legendary soukous star Aurlus Mabele dead|url=https://www.sde.co.ke/article/2001364939/legendary-soukous-star-aurlus-mabele-dead|work=Standard Digital News|accessdate=2020-03-20|author=William Osoro|archivedate=2020-03-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200320073045/https://www.sde.co.ke/article/2001364939/legendary-soukous-star-aurlus-mabele-dead}}</ref>
==Diskografia==
Baadhi ya albamu zake:
* Dossiwer X 2000 (JPS Production)
* Compil two 1999 (DEBS Music)
* Compil one 1999 (DEBS Music)
* Tour de contrôle 1998 (JPS Production)
* Best of Aurlus Mabele 1997 (Mélodie) CD 41044 2
* Album 1997 1997 (Mélodie)
* Album 1996 1996 (Mélodie) CD 41041 2
* Génération-Wachiwa encaisse tout 1994 (JIP) CD 41032 2
* [[Stop Arretez]] ! 1992 (JIP) CD 41021 2
* Embargo 1990 (Mélodie)
* Soukouss la terreur 1989 (Mélodie) CD 41007-2
* Sebene
* Africa Mousso (Femme D'Afrique)
* La Femme ivoirienne
* Maracas d'or 1988
* Loketo : réconciliation/cicatrice
* Loketo:Confirmation
==Tazama pia==
*[[Orodha ya wanamuziki wa Soukous]]
*[[Orodha ya wanamuziki wa Afrika]]
==Viungo vya Nje==
*http://www.pariscampus.fr/article/vie-etudiante/sorties/soukouss-ndombolo-coupe-decale-la-danse-la-sape-et-lambiance {{Wayback|url=http://www.pariscampus.fr/article/vie-etudiante/sorties/soukouss-ndombolo-coupe-decale-la-danse-la-sape-et-lambiance |date=20080208101850 }}
*http://www.congopage.com/phpBB/viewtopic.php?p=78614&sid=51cd75ca474d75e9f1b68f6f7b0af34d{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
*http://alapage.pointscommuns.com/aurlus-mabele-commentaire-musique-63711.html{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
*http://www.answers.com/topic/aurlus-mabele?cat=entertainment&nr=1
*http://www.afropop.org/explore/style_info/ID/16/Congo%20music/ {{Wayback|url=http://www.afropop.org/explore/style_info/ID/16/Congo%20music/ |date=20120204040149 }}
{{BD|1953|2020}}
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kongo]]
m9vang3o2ps1ovzz8i9d3qdmsnwcvud
Washkaji Wenye Vipaji
0
91514
1234845
1006985
2022-07-24T05:59:00Z
Muddyb
379
Deiwaka.
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox album
| Jina = Washkaji Wenye Vipaji
| Type = [[Compilation album]]
| Msanii = Wasanii Mbalimbali
| Cover = Washkaji Wenye Vipaji.jpeg
| Imetolewa = 2002
| Aina = [[Bongo Flava]]
| Urefu =
| Studio = MJ Records<br>Maasai Entertainment
| Mtayarishaji = Bernard Oduor<br>Sebastian Maganga
| Review =
| Albamu iliyopita =
| Albamu ya sasa =
| Albamu ijayo =
}}
'''''Washkaji Wenye Vipaji''''' ni jina la kutaja albamu ya [[Bongo Flava|muziki wa kizazi kipya]] yenye nyimbo mchanganyiko kutoka kwa wasanii mbalimbali wa [[Tanzania]]. Wasanii hao ni pamoja na Da Jo, Bad Spack, Neck Breakerz, Manyema Family, [[Gangwe Mobb]], [[XPlasterz]], [[Nigger II Public]], Jack Warriors, Mr. Shin, [[Stara Thomas]], JC (69) na [[Q Chief]].
Albamu hii ya nyimbo mchanganyiko ulikuwa usimamizi wake Sebastian Maganga na Bernard Oduor. Seba ni miongoni mwa watangazaji waliokuwa wanasimamia kwa jicho la karibu sana uanzishwaji na uendelezi wa muziki wa kizazi kipya kwa mwanzoni mwa miaka ya 2000. Kulikuwa na kipindi kabisa katika Redio Uhuru kuhusu chati za muziki wa kizazi kipya kilichotwa Deiwaka.
Kila wiki wanatoka na kuingia wasanii wapya katika chati hizo. Seba pia aliwahi kuwasimamia [[Gangwe Mobb]] wakati wa albamu yao ya kwanza "Simulizi la Ufasaha" na hadi kipindi kinaondoka hakuna aliyewahi kupita nafasi za juu katika chati zaidi ya [[Dully Sykes]] wimbo wa "Julieta" na [[Inspector Haroun]] "Mtoto wa Geti Kali".
==Orodha ya nyimbo==
Orodha ya nyimbo pamoja na watunzi wake. Katika muziki wa Afrika, mara nyingi njia ya usambazaji wa muziki ilikuwa [[kanda]] au tepu hivyo jambo la upande A na B ni la kawaida sana.
{| class="wikitable sortable"
|-
! Upande !! Jina la Wimbo !! Jina la msanii
|-
| A1 || Ulileta Nyodo || Da Jo akiwa na Bad Spack
|-
| A2 || Mlijaribu Hamkuweza || Neck Breakerz
|-
| A3 || Amri Kumi Za Mungu || Manyema Family
|-
| A4 || Heka Heka || Gangwe Mobb
|-
| A5 || Haleluya || [[XPlasterz]]
|-
| B1 || Na Bado || Nigger II Public
|-
| B2 || Chuchuchu || Jack Warriors
|-
| B3 || Nakupenda || Mr. Shin akiwa Stara
|-
| B4 || Fani Katika Maisha || JC (69) akiwa Q Chief
|}
==Kikosi kazi==
Nyimbo zote zimetayarishwa na MJ Records chini ya watayarishaji mbalimbali wa katika studio hiyo. Upande wa kava la albamu hii ni usanifu wake [[Thomas Gesthuizen]] au maarufu kama DJ J4.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.discogs.com/Various-Washkaji-Wenye-Vipaji/release/8703864 {{PAGENAME}}] katika wavuti ya Discogs
[[Jamii:Albamu za 2002]]
[[Jamii:Muziki wa Tanzania]]
6jymh55i4ctrte2b7x5mcjiwvibndrx
1234862
1234845
2022-07-24T07:07:58Z
Muddyb
379
mkali wa rhymes
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox album
| Jina = Washkaji Wenye Vipaji
| Type = [[Compilation album]]
| Msanii = Wasanii Mbalimbali
| Cover = Washkaji Wenye Vipaji.jpeg
| Imetolewa = 2002
| Aina = [[Bongo Flava]]
| Urefu =
| Studio = MJ Records<br>Maasai Entertainment
| Mtayarishaji = Bernard Oduor<br>Sebastian Maganga
| Review =
| Albamu iliyopita =
| Albamu ya sasa =
| Albamu ijayo =
}}
'''''Washkaji Wenye Vipaji''''' ni jina la kutaja albamu ya [[Bongo Flava|muziki wa kizazi kipya]] yenye nyimbo mchanganyiko kutoka kwa wasanii mbalimbali wa [[Tanzania]]. Wasanii hao ni pamoja na Da Jo, Bad Spack, Neck Breakerz, Manyema Family, [[Gangwe Mobb]], [[XPlasterz]], [[Nigger II Public]], Jack Warriors, Mr. Shin, [[Stara Thomas]], JC (69) na [[Q Chief]].
Albamu hii ya nyimbo mchanganyiko ulikuwa usimamizi wake Sebastian Maganga na Bernard Oduor. Seba ni miongoni mwa watangazaji waliokuwa wanasimamia kwa jicho la karibu sana uanzishwaji na uendelezi wa muziki wa kizazi kipya kwa mwanzoni mwa miaka ya 2000. Kulikuwa na kipindi kabisa katika Redio Uhuru kuhusu chati za muziki wa kizazi kipya kilichotwa Deiwaka. Kipindi kilikuwa Jumatatu hadi Ijumaa. Kilitumia jina la Deiwaka hadi 2004 kikaitwa Party Up, Hurry Up na muda ukabadilika kutoka saa nane mchana hadi saa kumi, kwenda saa moja usiku hadi saa tatu. Redio pia ilibadilishwa jina kutoka Redio Uhuru hadi Uhuru FM. Kilikuwa kipindi ambacho kilitokea Mkali wa Rhymes.
Kila wiki wanatoka na kuingia wasanii wapya katika chati hizo. Seba pia aliwahi kuwasimamia [[Gangwe Mobb]] wakati wa albamu yao ya kwanza "Simulizi la Ufasaha" na hadi kipindi kinaondoka hakuna aliyewahi kupita nafasi za juu katika chati zaidi ya [[Dully Sykes]] wimbo wa "Julieta" na [[Inspector Haroun]] "Mtoto wa Geti Kali".
==Orodha ya nyimbo==
Orodha ya nyimbo pamoja na watunzi wake. Katika muziki wa Afrika, mara nyingi njia ya usambazaji wa muziki ilikuwa [[kanda]] au tepu hivyo jambo la upande A na B ni la kawaida sana.
{| class="wikitable sortable"
|-
! Upande !! Jina la Wimbo !! Jina la msanii
|-
| A1 || Ulileta Nyodo || Da Jo akiwa na Bad Spack
|-
| A2 || Mlijaribu Hamkuweza || Neck Breakerz
|-
| A3 || Amri Kumi Za Mungu || Manyema Family
|-
| A4 || Heka Heka || Gangwe Mobb
|-
| A5 || Haleluya || [[XPlasterz]]
|-
| B1 || Na Bado || Nigger II Public
|-
| B2 || Chuchuchu || Jack Warriors
|-
| B3 || Nakupenda || Mr. Shin akiwa Stara
|-
| B4 || Fani Katika Maisha || JC (69) akiwa Q Chief
|}
==Kikosi kazi==
Nyimbo zote zimetayarishwa na MJ Records chini ya watayarishaji mbalimbali wa katika studio hiyo. Upande wa kava la albamu hii ni usanifu wake [[Thomas Gesthuizen]] au maarufu kama DJ J4.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.discogs.com/Various-Washkaji-Wenye-Vipaji/release/8703864 {{PAGENAME}}] katika wavuti ya Discogs
[[Jamii:Albamu za 2002]]
[[Jamii:Muziki wa Tanzania]]
dmu0w0gujfn07ms7yw0m0o6m4z2nol3
Ziwa la Como
0
91696
1234775
1178966
2022-07-23T16:27:41Z
151.21.151.19
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Lake Como 1999.jpg|thumb|'''Ziwa la Como''']]
[[Picha:Como mappa rete tranviaria.svg|thumb|ramani ya ziwa como]]
'''Ziwa la Como''' (kwa [[Kiitalia]]: ''Lago di Como'') liko [[Italia kaskazini]], katika [[mkoa]] wa [[Lombardia]]. Ndilo ziwa kubwa la tatu nchini [[Italia]].
Hapo zamani, watu matajiri na wenye nguvu, watu wa juu walinunua nyumba na majengo ya kifahari kwenye vilima vya Ziwa Como tu, kama Pliny alivyofanya na Villa Commedia, ili wasipoteze macho yao na kuzuia mafuriko. Maskini walikwenda ufukweni kuruhusu maji kulamba miguu yao..<ref>[https://amp.ilgiornale.it/news/c-hollywood-sul-lago-como.html Il Giornale, Giorgia Gandola, "In passato i ricchi compravano le case e le ville solo sulle colline del Lago di Como, come fece Plinio con villa Commedia, per non perdersi la vista e per non avere allagamenti. In riva a farsi lambire i piedi dall'acqua ci andavano i poveri." 7 march 2008]</ref>
{{mbegu-jio}}
{{DEFAULTSORT:Como, Ziwa la}}
[[Jamii:Lombardia]]
[[Jamii:Maziwa ya Italia]]
0asqpdgztb2ph2cm5bhdky3bkhjzzd9
Sarafu ya Ethereum
0
104552
1234776
1178589
2022-07-23T16:55:05Z
Freezetime
55063
Fix Dead Link
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Ethereum-icon-purple.svg|thumb|Ethereumn]]
'''Sarafu ya Ethereum''' (kwa [[Kiingereza]]ː ''Ethereum'') ni mfumo huria wa [[malipo]] ya [[Dijiti|kidijiti]] yasiyo na [[usimamizi]] wa [[taasisi]] yoyote ya [[Serikali|kiserikali]] kama vile [[Benki Kuu]].
[[Sarafu]] hii ni ya pili kwa ukubwa miongoni mwa [[sarafu za kidijiti]] baada ya [[Sarafu ya Bit]]. <ref>[https://www.forbes.com/sites/jeffkauflin/2018/07/25/why-major-cryptocurrency-investors-are-betting-heavily-against-ethereum/ Why Major Cryptocurrency Investors are Betting Heavily Against Ethereum]</ref>
==Historia==
Wazo la kuunda mfumo wa Ethereum lilitolea mwaka [[2013]] na [[Vitalik Buterin]], [[mtafiti]] wa masuala ya sarafu za kidijiti.
Ethereum ilianza kutumika rasmi [[tarehe]] [[30 Julai]] [[2015]] ambapo sarafu [[milioni]] 11.9 "zilichimbwa". <ref>[https://www.etherchain.org/account/0x5abfec25f74cd88437631a7731906932776356f9 Accounts — etherchain.org - The ethereum blockchain explorer"]</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
*[https://www.ethereum.org/ Tovuti rasmi ya Ethereum]
*[https://www.independent.co.uk/life-style/gadgets-and-tech/news/what-is-ethereum-bitcoin-rival-most-valuable-cryptocurrency-a8325856.html What is Ethereum]
*[https://playonbit.com/blog/what-is-blockchain/ What is Blockchain]
{{Mbegu-uchumi}}
[[Jamii:Uchumi]]
[[Jamii:Pesa]]
[[Jamii:Kompyuta]]
g3xmid6mehak81gvofsug774v6r7nnv
Wateso
0
109427
1234888
1091021
2022-07-24T10:16:55Z
Ji-Elle
184
+pict
wikitext
text/x-wiki
[[File:Iteso Homestead.jpg|thumb|Uganda]]
'''Wateso''' ni [[kabila]] kubwa la [[watu]] (4,000,000 hivi) wa [[jamii]] ya [[Waniloti]] wanaoishi [[mashariki]] mwa [[Uganda]] na [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Lugha]] yao ni [[Kiteso]], mojawapo kati ya [[lugha za Kiniloti]].
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{Makabila ya Kenya}}
{{Makabila ya Uganda}}
{{mbegu-utamaduni-KE}}
[[Jamii:Makabila ya Uganda]]
[[Jamii:Makabila ya Kenya]]
qd7xlacxhsykux3ypf4n2hyb0x4tica
Ziwa Bunyonyi
0
109887
1234874
1058066
2022-07-24T09:19:38Z
Ji-Elle
184
+pict
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|[[Mito]] na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza [[ramani]].]]
[[Picha:Deepest lake in uganda.jpg|thumb|left|Ziwa Bunyonyi]]
'''Ziwa Bunyonyi''' (yaani '''Mahali pa vindege wengi''') ni [[ziwa]] dogo la [[Uganda]] [[kusini]] kwa [[Ikweta]], [[wilaya ya Kabale]], karibu na mpaka wa [[Rwanda]].
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{maziwa ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Maziwa ya Uganda]]
[[Jamii:Wilaya ya Kabale]]
f818ey8zskmc82f8b77d23lyt5dkv2m
1234876
1234874
2022-07-24T09:38:36Z
Kipala
107
vyanzo
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|[[Mito]] na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza [[ramani]].]]
[[Picha:Deepest lake in uganda.jpg|thumb|left|Ziwa Bunyonyi]]
'''Ziwa Bunyonyi''' (yaani '''Mahali pa vindege wengi''') ni [[ziwa]] dogo la [[Uganda]] lililopo kwenye kwenye [[kusini]] ya nchi hiyo, [[wilaya ya Kabale]], karibu na mpaka wa [[Rwanda]].<ref>{{Cite book|title=Social and economic use of wetland resources : a case study from Lake Bunyonyi, Uganda|last=Maclean, Ilya.|date=2003|publisher=Centre for Social and Economic Research on the Global Environment|oclc=1064481271}}</ref>
Ziwa lina urefu wa kilomita 25 na upana wa kilomita 7. Eneo lake ni [[hektari]] 6100. Kuna visiwa 29.
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Kujisomea ==
{{refbegin|33em}}
* {{citation|last1=UNEMA|title=Uganda: Atlas of our Changing Environment|date=2009|url=https://na.unep.net/atlas/uganda/downloads/uganda-atlas-2009.pdf|page=94|publisher=Uganda National Environment Management Authority}}
* {{citation|last1=Visser|first1=S.A.|title=Chemical Investigations into a System of Lakes, Rivers and Swamps in S.W. Kigezi, Uganda|date=1962|journal=East African Agricultural and Forestry Journal|volume=28|issue=2|pages=81–86|doi=10.1080/00128325.1962.11661848}}
{{refend}}
== Viungo vya Nje ==
{{Commons category}}
* https://www.youtube.com/watch?v=459-IrnCR5Y - a beautiful video about lake Bunyonyi
* http://www.bunyonyi.org - A guide To Lake Bunyonyi
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{maziwa ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Maziwa ya Uganda]]
[[Jamii:Wilaya ya Kabale]]
b3yh7twg7bjyzgytmpwhouxoxl7bsgp
Marioo
0
118253
1234787
1233175
2022-07-23T20:50:56Z
148.253.21.37
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Marioo.jpg|thumb|Marioo katika mahali pa kurekodi video ya muziki wake 'Aya' jijini Dar es Salaam, Tanzania 2019.]]
'''Marioo''' (jina lake halisi ni '''Omary Mwanga'''; alizaliwa [[Kibiti]], [[Mkoa wa Pwani]], [[Tanzania]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Bongo Flava]], pia [[mtunzi]] na [[mtayarishaji]] wa [[nyimbo]] anayetokea katika [[kabila]] la [[Wandengereko]].
Marioo alianza safari yake ya muziki kama mtunzi wa nyimbo akitunga nyimbo kama "Wasikudanganye" iliyoimbwa na mwanamuziki wa Tanzania anayeitwa [[Nandy]] ¨The African Princess¨.
Pia aliandika wimbo wa "Unaniweza" ulioimbwa na [[Jux]] na ni mmiliki wa hit song "beer tam" iliyoshinda tuzo za TMA kama wimbo bora wa mwaka 2021/2022.
Wimbo wake wa kwanza ni "Dar Kugumu" mwaka [[2017]]. Kabla ya kuendelea kutengeneza jina lake kwa kutoa nyimbo nyingine kama Inatosha, Unanionea, AYA, Raha, Chibonge, Mama Aminah na Beer Tamu.
Pia amefanikiwa kufanya kolabo na wasanii wa nchi mbalimbali ikiwemo [[Afrika Kusini]].
{{mbegu-mwanamuziki-TZ|SSS=Marioo}}
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]]
aw57m5mhfbon4anrtbmuhcgu70my0mg
Luciana Demingongo
0
126052
1234889
1112807
2022-07-24T10:20:39Z
Muddyb
379
Kuboresha makala!
wikitext
text/x-wiki
'''Luciana Demingongo''' (alizaliwa [[28 Februari]] [[1960]]) ni [[mwanamuziki]] kutoka [[Mji|mjini]] [[Kinshasa]]-[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Alifahamika sana [[miaka ya 1990]] akiwa na [[kundi]] lake Nouvelle Generation lililovuma na [[albamu]] ya Vigilancy iliyotoka [[1992]].
==Muziki na maisha==
Alizaliwa kama mtoto pekee kwa jina la Luciana Litemo Demingongo mnao Februari 28, 1960 huko mjini Kisangani katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kwa ushupavu wake, Luciana ameoa na kupata watoto sita.
Ikiwa kama sehemu ya kutangaza kazi yake ya muziki, ilimlazimu kuishi kati ya Paris na Brussels.
Mwaka wa 1977, wakati huo akiwa na umri wa miaka 17 pekee, kufuatia kuvunjika kwa kundi la muziki la MAQUIS EXPRESS SASA-BATA, ambapo wakati huo lilikuwa bora la tatu kwa mjini Kisangani, kundi jipya likazaliwa . Kundi hilo liliitwa SASA-MUSICA huku ndani kukiwa na bwana Luciana.
Kundi lilianza kwa kasi ya kimbunga huku Luciana akitumika kama kivutio kwa kuwa ni ingizo jipya. Ikawavuruga wale wanamuziki wa waliotangulia katika tasnia ya muziki wa dansi nchini Kongo.
Ndani ya mwaka mmoja, yakatokea mapunduzi makubwa katika muziki. Nyimbo zao zilipigwa katika redio ya taifa. Kundi likawa bora mjini Kisangani huku mwaka 1978 Luciana akichukua kama mtunzi bora kwa kibao chao cha Horizon. Pia amepata kushinda kuwa kama nyota bora wa Kisangani.
Mwaka wa 1979, akapasua kiwango cha kitaifa na kutua jijini Kinshasa akiwa na rafikize wawili Pépé Lusambo na Dicky Dikala. Lengo likiwa kuwavuta karibu wakazi wa Kinshasa kusikiliza kazi yake. Akiwa hapa, akaunda kundi lililodhaminiwa na Father Buffalo na José Makutu lakini mazingira ya mjini yalikuwa magumu mno licha ya kupata mialiko kadhaa huko Cabaret Liyoto, mji mdogo katikati ya jiji la Kinshasa.
Mwaka wa 1980, makundi kadhaa walimwita kwa minajili ya kurekodi naye. Makundi hayo ni pamoja Green Helmets akiwa na Pépé Felly Manuaku kwa ajili ya albamu zao. Boketshu akatumia fursa kwa ajili ya wimbo wake wa Ambochila (cfr.Volume 1 katika albamu ya vibao vikali ya Papa Wemba na Viva la musica). Kila Jumamosi, huwa zamu ya Papa Wemba na kundi lake la Viva la musica, Luciana alitumbuiza na kundi lake la CHIC CHIC MATONGE.
Lakini kwa sababu ya kiafya, mnamo mwaka wa 1981, alilazimika kurudi mjini Kisangani kujiunga na makundi mazito na kongwe ya mjini Kisangani. Kundi hilo ni SINGA MUAMBE la Bwana Gracia NDONGALA. Akapita zake hadi katika kundi la Guvano VANGU (zamani iliitwa Afrisa of Tabu Ley Rochereau) kisha Rubens (zamani iliitwa Vévé de Kiamuangana Mateta na of T.P.O.K.JAZZ ya Franco Luambo Makiadi).
Kupitia hao wazee, akajifunza muziki mpya wenye kueleweka. Mwaka huohuo wa 1981, akachaguliwa kama Mwimbaji Bora wa Muziki wa Zaire.
Wakati huo huko mjini Kinshasa, katika moja ya kundi maarufu jijini humo, mambo yanaliendea kombo kundi la Viva la Musica; King Kester Emeneya, Bipoli na Fulu na wengine wanaachana na Papa Wemba na kuanzisha kundi lao la Victoria Eleison.
Papa Wemba analazimika kujipanga upya kwa dutu mpya lakini muda huo Luciana hayupo tena mjini Kinshasa. Papa Wemba anamwomba mke wa Amazon, ambaye wakati huo alikuwa akitembelea mjini Kisangani akiwa na mdogo wake wa kike. Alimtaka afanye afanye ahakikishe anarudi Kinshasa akiwa na Le Rossignol Luciana.
Akiwa na Reddy Amisi, Maray Maray na Lidjo Kwempa, akafanya kazi yake ya kwanza iliyotukuka ndani ya Viva la Musica. Huku sauti yake ikiwakumbusha Wazaire sauti ya Gina wa Gina, binamu yake kutoka Cavacha zama za Zaïko Langa Langa. Jambo likalipuka na watu wa Kinshasa wakampenda.
Kwa zaidi ya miaka kumi alikuwa karibu sana Papa Wemba. Tangu 1987 alikuwa akiishi kati ya Ulaya na Afrika, pia Brussels na Paris.
Ili kusonga mbele zaidi, mnamo 13 Oktoba, 1992, akiwa na baadhi ya rafikize hasa Fafa Maestro (Fafa de Molokai), Awilo Longomba, Djena Mandako, Fataki ya José, Lodjo Kwempa, Boss Matuta, Zola Collégien, na mpiga gitaa Bojack Bongo Wende, walitoka Viva la Musica na kuunda kundi la "THE NEW GENERATION" au kwa Kifaransa liliitwa "Nouvelle Generation."
Akatoa albamu yake ya kwanza akiwa kama msanii wa kujitegemea kwa mtindo wa Zimpompa-pompa. Kundi likatumbuiza Ulaya yote. Kwa hakika walileta ladha mpya ya muziki kwa wapenda muziki. Waliendelea kufanya hivyo hadi pale kidudu mtu alipoingia kwa dhamira ya kuwaangamiza.
== Albamu alizotoa kati ya 1992-2009 ==
1. Luciana Et Nouvelle Generation De La Republique Democratique Du Congo - 1994
2. Sang Bleu "Aziza" - 1996
3. Beauté Ya Mt - 1998
4. Feza - 1999
5. Pool Malebo - 2002
6. Rumba Lolango - 2004
7. Zanzibar - 2009
==Viungo vya Nje==
*[http://luciana2000.chez-alice.fr/Carriere%20musicale.html Bomoi ya Joly Mubiala na universrumba]
*[https://www.facebook.com/Luciana-Demingongo-Officiel-370072846533503/ Facebook ya Luciana Demingongo ]
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|1960}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
6ikue4spgxcvx61zsaat3mrzrjqrbh4
Mtumiaji:Dr Mambosasa Asante/1
2
139095
1234880
1176729
2022-07-24T09:52:48Z
197.250.197.229
Kuongeza maelezo
wikitext
text/x-wiki
'''Mhoja Mambosasa''' alizaliwa '''''04 Disemba mwaka 1963''''' katika kijiji cha Kabita Kata ya Kabita,Tarafa ya NASA wilaya ya Magu Mwanza Tanzania ,Na kufariki Tarehe 1 octoba 2019,Kwa ajali ya Gari, Mambosasa ametumikia Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa muda wa Miaka Zaidi ya 30 kama Mhandisi wa manispaa na mbunifu wa majengo na kazi zingine alizooangiwa kufanya. Mhandisi Mambosasa atakumbukwa kwa mchango wako katika manispaa ya shinyanga kama mbunifu wa majengo yote na kupanga mji wa manispaa.
fj5pf6cnhm0lxqwiowshjwpu2omlwk5
Kani nje
0
145128
1234881
1203297
2022-07-24T09:54:48Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
م'''Kani nje''' ''(kwa [[Kiingereza]]: centrifugal force)'' ni [[kani]] inayotokea katika mfumo wa [[mzunguko]] na kuelekea nje. Inasababishwa na [[inesha]] ya [[masi]] ya [[kitu]] kilichopo katika mwendo wa mzunguko. Katika mzunguko mfululizo ni sawa na kani kitovu.
Katika maisha ya kila siku tunasikia kani nje tukitumia usafiri. Tukisimama katika basi inayopiga kona tunasikia jinsi gani mwili wetu unasukumwa upande wa nje. Kama gari linapita kona kwa kasi kidogo, vitu au mizigo inaweza kuanguka.
Kwa mfano: [[sayari]] inayozunguka [[Jua]] huwa na [[obiti]] thabiti kama kani nje ya mwendo wake ni sawa na kani ya [[graviti]] inayoivuta kuelekea [[Jua]]. [[Satelaiti]] inayopelekwa kwenye obiti ya [[Dunia]] inahitaji kurekebisha kasi yake hadi kufikia kani nje inayolingana na graviti ya Dunia.
{{mbegu-fizikia}}
[[Jamii:Fizikia]]
rjlgmrkpr5ucyg8ck581m110d4bzkw4
Filamu ya western
0
145517
1234804
1206632
2022-07-24T00:41:29Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Western]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Western]]
p7ivjoxf749n03uuelwixzhz5frj5vb
Abdul Hamid
0
148266
1234947
1217506
2022-07-24T11:30:22Z
Mashkawat.ahsan
35133
picha imeongezwa #WPWP
wikitext
text/x-wiki
[[File:President of People’s Republic of Bangladesh, Mr. Md. Abdul Hamid, at Hyderabad House, in New Delhi on May 31, 2019.jpg|right|200px]]
'''Abdul Hamid''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Bangladesh]] ambaye kwa sasa anahudumu kama [[rais]] wa nchi. Alichaguliwa kwa muhula wake wa kwanza Aprili 2013, na kuchaguliwa tena kwa muhula wake wa pili wa sasa mwaka wa 2018. Hapo awali alihudumu kama [[spika]] wa [[Bunge]] la Kitaifa kuanzia Januari 2009 hadi Aprili 2013.
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Marais wa Bangladesh]]
7kfnfdm09kg5qrc2p9olefhv8wy23e9
Chartwell Dutiro
0
148854
1234871
1222084
2022-07-24T08:14:43Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Chartwell Shorayi Dutiro''' ([[1957]] - [[2019]]) alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Zimbabwe]], ambaye alianza kucheza mbira alipokuwa na umri wa miaka minne katika kijiji kilicholindwa, Kagande; kama saa mbili kwa gari kutoka [[Harare]], ambapo familia yake ilihamishwa na wamisionari wa Jeshi la uokoaji wakati wa Chimurenga. Ingawa wamishonari walikuwa wamepiga marufuku muziki wa kitamaduni, alijifunza kucheza kutoka kwa kaka yake na wazee wengine wa kijiji. Mama yake pia alimtia moyo kupitia uimbaji wake wa nyimbo za kitamaduni.
Chartwell akiwa kijana alihamia mji mkuu, Harare, na kuwa mpiga saksafoni katika bendi ya jeshi la uokoaji. Baadaye kidogo, mwaka wa 1986, alijiunga na bendi maarufu duniani ya [[Thomas Mapfumo]] & the Blacks Unlimited. Akitembelea ulimwengu kwa miaka minane na bendi hiyo, alikuwa kiongozi wao wa kupanga wao, mpiga mbira na mpiga saksafoni. Kuanzia 1994 hadi kifo chake mwaka wa 2019, Chartwell aliishi Uingereza ambako aliendelea kufundisha na kucheza mbira. <ref name=":0">"Spirit Talk Mbira". ''The Bath Chronicle''. 10 March 2010. Retrieved 29 July 2010.</ref>
Chartwell alikuwa na sifa za kitaaluma katika muziki, ikiwa ni pamoja na shahada ya Ethnomusicology kutoka SOAS huko London ambako pia alifundisha kwa miaka mingi.
Albamu ya pekee ya Chartwell, iliyotolewa [[mwaka]] [[2000]], inaitwa Voices of Ancestors. Pia ana rekodi kadhaa kwenye CD ambayo anacheza na bendi ya Spirit Talk Mbira: Ndonga Mahwe (1997), Nhimbe ([[1999]]), Dzoro ([[2000]]), na Taanerimwe ([[2002]]). Chartwell pia alifanya kazi na Serenoa String Quartet ili kuchanganya mtindo wa quartet wa nyuzi na muziki wa kitamaduni wa Kiafrika.
Kuanzia [[2016]] hadi [[2019]] alikuwa sehemu ya bendi ya Kusanganiswa, ushirikiano na Leandro Maia (gitaa), Chris Blanden (gita la besi) na Nick Sorensen (saxophone). Walirekodi albamu ya moja kwa moja.
Mnamo [[2019]] Chartwell alirekodi albamu ya Musumo - Calling Ancestors, pamoja na mpenzi wake Jori Buchel.
Chartwell Dutiro aliaga dunia huko Devon, Uingereza akiwa amezungukwa na wapendwa wake mnamo [[22 Septemba]] [[2019]]. Wiki moja kabla ya kifo chake alitunukiwa PhD ya Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Bath Spa. Tasnifu yake iliitwa 'The Power of the Voices of the Ancestors: Mbira Muziki wa Zimbabwe'.<ref name=":0" />
== Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
aajgakwyi4tywg1vf72bgf46q2z60qs
1234897
1234871
2022-07-24T10:42:33Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Chartwell Shorayi Dutiro''' ([[1957]] - [[2019]]) alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Zimbabwe]], ambaye alianza kucheza mbira alipokuwa na umri wa miaka minne katika kijiji kilicholindwa, Kagande; kama saa mbili kwa gari kutoka [[Harare]], ambapo familia yake ilihamishwa na wamisionari wa Jeshi la uokoaji wakati wa Chimurenga. Ingawa wamishonari walikuwa wamepiga marufuku muziki wa kitamaduni, alijifunza kucheza kutoka kwa kaka yake na wazee wengine wa kijiji. Mama yake pia alimtia moyo kupitia uimbaji wake wa nyimbo za kitamaduni.
==Wasifu==
Chartwell akiwa kijana alihamia mji mkuu, Harare, na kuwa mpiga saksafoni katika bendi ya jeshi la uokoaji. Baadaye kidogo, mwaka wa 1986, alijiunga na bendi maarufu duniani ya [[Thomas Mapfumo]] & the Blacks Unlimited. Akitembelea ulimwengu kwa miaka minane na bendi hiyo, alikuwa kiongozi wao wa kupanga wao, mpiga mbira na mpiga saksafoni. Kuanzia 1994 hadi kifo chake mwaka wa 2019, Chartwell aliishi Uingereza ambako aliendelea kufundisha na kucheza mbira. <ref name=":0">"Spirit Talk Mbira". ''The Bath Chronicle''. 10 March 2010. Retrieved 29 July 2010.</ref>
Chartwell alikuwa na sifa za kitaaluma katika muziki, ikiwa ni pamoja na shahada ya Ethnomusicology kutoka SOAS huko London ambako pia alifundisha kwa miaka mingi.
Albamu ya pekee ya Chartwell, iliyotolewa [[mwaka]] [[2000]], inaitwa Voices of Ancestors. Pia ana rekodi kadhaa kwenye CD ambayo anacheza na bendi ya Spirit Talk Mbira: Ndonga Mahwe (1997), Nhimbe ([[1999]]), Dzoro ([[2000]]), na Taanerimwe ([[2002]]). Chartwell pia alifanya kazi na Serenoa String Quartet ili kuchanganya mtindo wa quartet wa nyuzi na muziki wa kitamaduni wa Kiafrika.
Kuanzia [[2016]] hadi [[2019]] alikuwa sehemu ya bendi ya Kusanganiswa, ushirikiano na Leandro Maia (gitaa), Chris Blanden (gita la besi) na Nick Sorensen (saxophone). Walirekodi albamu ya moja kwa moja.
Mnamo [[2019]] Chartwell alirekodi albamu ya Musumo - Calling Ancestors, pamoja na mpenzi wake Jori Buchel.
Chartwell Dutiro aliaga dunia huko Devon, Uingereza akiwa amezungukwa na wapendwa wake mnamo [[22 Septemba]] [[2019]]. Wiki moja kabla ya kifo chake alitunukiwa PhD ya Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Bath Spa. Tasnifu yake iliitwa 'The Power of the Voices of the Ancestors: Mbira Muziki wa Zimbabwe'.
== Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
tg99xua5gjrt2ra9k5ygpe1lbbjnwcf
BAMUTA
0
148880
1234758
1234630
2022-07-23T13:14:50Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Baraza la Muziki la Taifa''' ([[kifupi]]: '''BAMUTA'''), lililoanzishwana [[serikali]] ya [[Tanzania]] [[mwaka]] [[1974]], kusudi lake ni kudhibiti biashara ya muziki katika nchi, katika muktadha mpana zaidi ya programu iliyokusudia kutengeneza utambulisho imara wa Taifa.<ref>https://ntz.info/gen/n00765.html</ref> Hii, kwa upande mwingine, ilikua kipengele muhimu cha [[Ujamaa]], Rais [[Julius Nyerere]] ni toleo la [[Ujamaa wa Afrika]]. Taasisi zinazofanana zilianzishwa kutawala katika Nyanja ya utamaduni wa taifa, ikijumusha kupitishwa kwa lugha ya Kiswahili taifa zima (kukuzwa kwa [[Baraza la Kiswahili la Taifa]]) na maendeleo ya sanaa ya Mtanzania ([[Baraza la Sanaa Tanzania]]: [[BASATA]]). Wazo la jumla lilikua kutengeneza utamaduni mpya maarufu kwa wafanyakazi na wakulima wa nchi, huru kutoka kwa urithi wa [[ukoloni]] na utamaduni wa [[ubepari]].
BAMUTA ilikua ikiwajibika kwa uanzishwaji wa [[sera]] za muziki za [[taifa]], ambayo ilitafuta kudhibiti uagizaji wa muziki na ilitoa leseni za disco na klabu. BAMUTA ilitaka [[serikali]] iweke mipango madhubuti pamoja na udhibiti wa muziki maarufu wa Tanzania. Kwa mfano, kuagiza muziki wa kigeni kwa ujumla ilipigwa marufuku isipokua muziki kutoka [[Zaire]].
Chini ya kizuizi kama hicho, na kwa sababu ya serikali kukuza ubunifu wa muziki, bendi nyingi ziliundwa na mitindo mipya ya muziki wa kiafrika iliibuka, hasa ndani ya biashara ya [[muziki wa dansi]] (dance music).
Mwaka 1984, BAMUTA iliunganishwa kwenye BASATA.<ref>https://www.basata.go.tz/</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu}}
[[Jamii:Muziki wa Tanzania]]
[[Jamii:kifupi]]
[[Jamii:Mashirika ya serikali ya Tanzania]]
0xu77rk6lnceki87uisl4r1ew315clw
Blakk Rasta
0
148897
1234867
1234566
2022-07-24T07:49:11Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Blakk Rasta.jpg|thumb|'''ni msanii wa reggae wa [[Ghana]]
/ Kuchoko, Dub Poet na mtangazaji wa redio ya Zylofon FM''']]
'''Blakk Rasta''', Jina Rasmi ''Abubakar Ahmed'' (alizaliwa [[2 Septemba]] [[1974]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[reggae]] / msanii wa Kuchoko, Dub Poet na mtangazaji wa redio. Zylofon FM.<ref>{{Cite web|title = MPs must have a big heart and forgive Blakk Rasta – Baako|url = http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/NewsArchive/MPs-must-have-a-big-heart-and-forgive-Blakk-Rasta-Baako-365015|website = www.ghanaweb.com|accessdate = 2015-06-29|archivedate = 2015-07-22|archiveurl = https://web.archive.org/web/20150722134537/http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/NewsArchive/MPs-must-have-a-big-heart-and-forgive-Blakk-Rasta-Baako-365015}}</ref><ref>{{Cite web|title = About Me {{!}} Blakk Rasta: Official Website|url = http://www.blakkrasta.com/page/about-me|website = www.blakkrasta.com|accessdate = 2015-06-29|archive-url = https://web.archive.org/web/20150810123822/http://blakkrasta.com/page/about-me|archive-date = 10 August 2015|url-status = dead|df = dmy-all|archivedate = 2015-08-10|archiveurl = https://web.archive.org/web/20150810123822/http://blakkrasta.com/page/about-me}}</ref><ref>{{Cite web|title = Nsawan prison inmates thrilled by Blakk Rasta's concert|url = http://www.stormfmonline.com/index.php/news/entertainment/32-nsawan-prison-inmates-thrilled-by-blakk-rasta-s-concert|website = www.stormfmonline.com|accessdate = 2015-06-29|url-status = dead|archiveurl = https://web.archive.org/web/20131207201619/http://stormfmonline.com/index.php/news/entertainment/32-nsawan-prison-inmates-thrilled-by-blakk-rasta-s-concert|archivedate = 7 December 2013|df = dmy-all}}</ref><ref>{{cite web|last1=|title=Blakk Rasta Goes To Zylofon FM|url=http://peacefmonline.com/pages/showbiz/radiotv/201709/329638.php|website=peacefmonline.com|publisher=Peacefmonoline |accessdate=17 March 2018}}</ref><ref>{{Cite web|title=Blakk Rasta (Ghana)- Music Time in Africa {{!}} Voice of America - English|url=https://www.voanews.com/episode/blakk-rasta-ghana-music-time-africa-4044986|access-date=2020-10-01|website=www.voanews.com|language=en}}</ref> Anafahamika zaidi kwa [[wimbo]] wake wa 'Barack Obama' ulioimbwa kwa heshima ya [[Barack Obama|Rais wa 44 wa Marekani]]. Alitunukiwa katika mlo maalum wa jioni na [[Barack Obama|Rais Obama]] tarehe [[11 Julai]] [[2010]] baada ya.
== Mtindo wa muziki ==
''Blakk Rasta'' anaimba "Kuchoko" ambao kwa kiasi kikubwa ni muziki wa [[Reggae]] uliochanganyikana na midundo na nguvu za Kiafrika ukitoa mashairi yanayohusu Upendo, Haki Sawa na Haki, Weusi, Rasta na upendo wa kiroho na kadhalika. Mashabiki wakubwa wa muziki wa Blakk Rasta kila mara humpongeza kwa ufahamu wake usiobadilika na hali ya kiroho ya kutia moyo.
Ubunifu wa sasa wa sauti ya "Kuchoko" wa Blakk Rasta ulikuja baada ya muda mrefu wa utafiti kuhusu sauti mpya ambayo itaendana na muziki wa Reggae na kuanzisha sauti ambayo itavutia watu asilia wa Kiafrika, sauti na hali ya kiroho na kukubalika ulimwenguni kote katika nyakati hizi zinazobadilika kwa kasi. ya ladha na mapendeleo ya muziki.
Ala za kiasili za Kiafrika kama vile Xylophone,Ngoma ya Kuzungumza (Dondo),Kette, Flutes, Kolgo, Kora iliyochanganya sauti za wanyama, sauti za msituni, sauti za sokoni n.k. sasa zinaweza kusikika katika [[Reggae]].
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
bh3cwgycutahu98ei6hjntmrcfttmsi
Carole Nyakudya
0
148899
1234869
1222060
2022-07-24T07:56:00Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Carole Nyakudya''' ni [[Mwimbaji]] maarufu wa [[nyimbo]] za [[injili]] wa nchini [[Zimbabwe]], [[Mjasiriamali]],<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-1</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-2</ref> mwanachama mwanzilishi wa kwaya ya Zimpraise na ni mtangazaji wa [[televisheni]] maarufu ya [[mtandao|mtandaoni]], Zimbolive TV.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-3</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-4</ref>
== Wasifu ==
Alizaliwa Zimbabwe [[1978]],Nyakudya alikulia kwenye jiji la Bulawayo,kisha 1997 alihamia uingereza kama mtaalamu wa afya ya akili NHS.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-5</ref>Nyakudya ana stashahada ya afya ya akili ambayo aliipata chuo kikuu cha Birmingham. Shahada ya mafunzo ya afya katika chuo kikuu cha Wolverhampton na Shahada ya Uzamili ya afya ya umma na maendeleo aliyosomea chuo kikuu cha Birmingham<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-6</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-7</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-8</ref>
Carole Nyakudya alijulikana zaidi [[mwaka]] [[2005]] alipotoa [[albamu]] ya kwanza ''hii ni sasa'' ambayo iliteuliwa kama albamu bora ya mwaka katika tuzo za kitaifa mwaka 2005. Nyakundya ni mwanachama mwanzilishi wa kikundi cha nyimbo za injili cha Zimpraise<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-9</ref> kwaya kilichoanzishwa 2006.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Carole_Nyakudya#cite_note-10</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
a6vk9r6epc8tmg70vnf9fedm00w6lg5
Charity Zisengwe
0
148901
1234870
1222875
2022-07-24T08:04:10Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Charity Zisengwe''' ni mwombezi wa [[Zimbabwe|Zimbabwe,]] mzungumzaji wa kutia [[moyo]], [[mwalimu]] wa [[Biblia ya Kikristo|Biblia]], [[msanii]] wa kisasa wa kurekodi [[Muziki wa Kikristo|muziki wa Kikristo,]] [[kiongozi]] wa ibada na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]].
Mnamo mwaka [[2006]] alianzisha Wizara ya Glory Fields, Muziki wake unahisia za ki[[Utamaduni|tamaduni]] na mchanganyiko wa kisasa katika [[Muziki wa Kikristo|muziki wa kikristo]] na ulimwengu.
== Wasifu ==
Charity Zisengwe alizaliwa Mutoko,[[Zimbabwe]] na kukulia katika malezi ya [[Ukristo|kikristo]] nyumbani, ambaye wazazi wake walikua viongozi wa Kanisa la Muungano wa Methodisti. Yeye ni wa saba kati ya ndugu tisa.
Charty ana [[kaka]] watatu na dada wanne. Kaka yake mkubwa alikufa mnamo [[1996]]. Mama yake alikufa mnamo [[2003]] na [[baba]] yake mnamo [[2005]].
Charity alikua [[Ukristo|Mkristo]] katika mwaka wake wa kwanza katika Shule ya Upili ya Murewa nchini [[Zimbabwe|Zimbabwe.]] Aikiwa mwanafunzi wa [[Elimu ya sekondari|shule ya upili]] ya Murewa,Charity alianzisha kikundi cha watu watatu na wenzake wawili wa bwenini, ambayo baadaye ilikua [[kwaya]] kubwa ya wanafunzi zaidi ya 50.
Baada ya [[shule ya upili]] Charity alihamia [[New Jersey]] kuhudhuria chuo kikuu. Alihitimu kutoka [[Chuo Kikuu]] cha Jimbo la [[Montclair, New Jersey|Montclair]]<ref>https://www.montclair.edu/</ref> (NJ) na digrii ya BSc katika Biashara akibobea katika uuzaji. Mwaka uliofuata alipata [[Stashahada|Diploma]] yake ya [[Uzamili]] katika Masoko kutoka Chartered Institute of Marketing<ref>https://www.cim.co.uk/</ref> huko [[London]], [[Uingereza|Uingereza.]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
819q3mknf7kxx2en9tg9sqogvrcgpad
1234896
1234870
2022-07-24T10:40:15Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Charity Zisengwe''' ni mwombezi wa [[Zimbabwe|Zimbabwe,]] mzungumzaji wa kutia [[moyo]], [[mwalimu]] wa [[Biblia ya Kikristo|Biblia]], [[msanii]] wa kisasa wa kurekodi [[Muziki wa Kikristo|muziki wa Kikristo,]] [[kiongozi]] wa ibada na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]].
Mnamo mwaka [[2006]] alianzisha Wizara ya Glory Fields, Muziki wake unahisia za ki[[Utamaduni|tamaduni]] na mchanganyiko wa kisasa katika [[Muziki wa Kikristo|muziki wa kikristo]] na ulimwengu.
== Wasifu ==
Charity Zisengwe alizaliwa Mutoko,[[Zimbabwe]] na kukulia katika malezi ya [[Ukristo|kikristo]] nyumbani, ambaye wazazi wake walikua viongozi wa Kanisa la Muungano wa Methodisti. Yeye ni wa saba kati ya ndugu tisa.
Charty ana [[kaka]] watatu na dada wanne. Kaka yake mkubwa alikufa mnamo [[1996]]. Mama yake alikufa mnamo [[2003]] na [[baba]] yake mnamo [[2005]].
Charity alikua [[Ukristo|Mkristo]] katika mwaka wake wa kwanza katika Shule ya Upili ya Murewa nchini [[Zimbabwe|Zimbabwe.]] Aikiwa mwanafunzi wa [[Elimu ya sekondari|shule ya upili]] ya Murewa,Charity alianzisha kikundi cha watu watatu na wenzake wawili wa bwenini, ambayo baadaye ilikua [[kwaya]] kubwa ya wanafunzi zaidi ya 50.
Baada ya [[shule ya upili]] Charity alihamia [[New Jersey]] kuhudhuria chuo kikuu. Alihitimu kutoka [[Chuo Kikuu]] cha Jimbo la [[Montclair, New Jersey|Montclair]]<ref>https://www.montclair.edu/</ref> (NJ) na digrii ya BSc katika Biashara akibobea katika uuzaji. Mwaka uliofuata alipata [[Stashahada|Diploma]] yake ya [[Uzamili]] katika Masoko kutoka Chartered Institute of Marketing<ref>https://www.cim.co.uk/</ref> huko [[London]], [[Uingereza|Uingereza.]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
tuwwamyosi4kyko1u0x3jny22iza5o3
Biggie Tembo Jr
0
148904
1234868
1234118
2022-07-24T07:52:31Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Biggie Tembo Jr''' (alizaliwa [[8 Aprili]] [[1988]]) ni [[mwanamuziki]] wa Jit wa nchini [[Zimbabwe]] ambaye alirekodi kwa Gramma Records <ref>https://archive.ph/20130421212158/http://www.zimpapers.co.zw/index.php?option=com_content&view=article&id=4001:going-gets-tough-for-tembo-jnr&catid=43:entertainment&Itemid=135</ref> ambaye alitoa [[albamu]] yake ya kwanza, Rwendo, mwaka wa [[2010]]. Yeye ni mtoto wa mwimbaji wa Bhundu Boys Biggie Tembo. <ref>https://allafrica.com/stories/201009060272.html</ref>
Mnamo [[2012]] alichumbiwa na Alick Macheso ili kufungua maonyesho yake. <ref>https://www.newsday.co.zw/2012/03/2012-03-08-macheso-engages-biggie-tembo-son/</ref>
== Orodha ya nyimbo za Rwendo. ==
# Mucherechedzo
# Mari
# Kamukana
# Simbimbino
# Usipo
# Rwemdo
# Nguva.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
3bgjxve2lph94mxqqzf2ru0xmb4qd5u
Fancy Gadam
0
148952
1234802
1226854
2022-07-24T00:38:18Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Ahmed Mujahid Bello.jpg|thumb|267x267px|'''ni msanii wa muziki wa afropop wa Ghana, dancehall na reggae.''']]
''' Mujahid Ahmed Bello''' (alizaliwa [[16 Agosti]], [[1988]]) anayejulikana kwa [[jina]] lake la kisanii '''Fancy Gadam''', ni msanii wa muziki wa afropop wa [[Ghana]], dancehall na reggae. Mnamo 2017 alishinda Tuzo za Muziki za [[Ghana]] za Msanii Bora Mpya na mwaka wa 2020 alitajwa kuwa Mtumbuizaji Bora wa Afrobeat katika Tuzo za Kimataifa za Reggae na Ulimwenguni.
==Maisha ya awali na kazi ya muziki==
'''Fancy Gadam''' alizaliwa katika ''Hausa Zongo'', kitongoji cha [[Tamale, Ghana|Tamale]], mji mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ([[Ghana]]). Alimaliza elimu yake ya msingi katika Shule ya Msingi ya Police Barracks huko [[Tamale, Ghana|Tamale]]. '''Fancy Gadam''' alianza kazi yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 12 kama mwigizaji katika shule na hafla za umma.<ref name="auto">{{cite web|title=Fancy Gadam|url=https://profileability.com/fancy- gadam/|last1=Uwezo wa Wasifu|website=Uwezo wa Wasifu|publisher=Uwezo wa Wasifu|accessdate=30 Desemba 2017}}</ref>
===Maonyesho mashuhuri===
Mnamo tarehe 1 Disemba 2017, '''Fancy Gadam''' alikuwa mmoja wa wasanii wakuu katika ''S Concert wakati'' alitumbuiza hadi Jumamosi tarehe 2 Disemba 2017.<ref name="enewsgh.com">{{cite web|last1=Ghana Web|title=Mashabiki watabaki kutazama Fancy Gadam katika Tamasha la 2017 S!|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Fans-stay-to-watch-Fancy-Gadam-at-2017- S-Concert-606603|website=Ghana Web|publisher=Ghana Web|accessdate=7 Desemba 2017}}</ref>
Uzinduzi wa Albamu yake ya Dream na tamasha, tarehe 5 Oktoba 2019 ilivutia zaidi ya mashabiki 20,000 kwenye Tamale stadium (Sasa '''Aliu Mahama stadium''').<ref>{{Cite web|title=Massive waliojitokeza kwenye tamasha la 'Dream' la Fancy Gadam|url=https://www.graphic.com.gh/showbiz/ghana-music/massive-turnout-at-fancy-gadam-s-dream-concert.html|website=Graphic Showbiz Online|language=en-gb|access-date=2020-05-01|accessdate=2022-04-23|archivedate=2021-01-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210120032711/https://www.graphic.com.gh/showbiz/ghana-music/massive-turnout-at-fancy-gadam-s-dream-concert.html}}</ref>
Fancy Gadam pia alitumbuiza katika uwanja wa ndondi wa Bukom tarehe 8 Machi 2020 kama sehemu ya ziara yake ya albamu ya ''Dream''. Inasemekana alitembelea Yeji, Nyong, Offinso, [[Koforidua]], [[Wa, Ghana|Wa]].<ref>{{Cite web|title=Fancy Gadam's Dream ziara ya albamu yatua Accra {{!}} Habari Ghana|url=https://newsghana.com.gh/fancy-gadams-dream-album-tour-lands-in-accra/|last=Agency|first=Ghana News |date=|website=newsghana.com.gh|language=en-US|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=2020-05-01}}</ref> Yendi, Kumbungu na [https://ghana.places-in-the-world.com/2302023-place-dalung.html Dallung]
Alishiriki katika matoleo ya 2017 na 2018 ya [[Ghana]] hukutana na [[Nigeria|Naija]], Tamasha ya kila mwaka ya muziki iliyoandaliwa nchini [[Ghana]] ili kukuza umoja kati ya wasanii wa [[Ghana]] na [[Nigeria]]. Tamasha hili pia linalenga kutoa fursa kwa wapenzi wa muziki kutangamana na kupiga picha na wasanii wanaowapenda kutoka nchi zote mbili.<ref>{{Cite web|title=Wizkid, Fancy Gadam, wengine tayari kwa tamasha la Ghana Meets Naija|url=https ://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Wizkid-Fancy-Gadam-others-ready-for-Ghana-Meets-Naija-concert-655850|website=www.ghanaweb.com|language=en|access-date =2020-05-01}}</ref><ref>{{Cite web|title=2019 toleo la 'Ghana Meets Naija' linalotarajiwa kufanyika Juni|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/ Toleo-la-Ghana-Meets-Naija-2019-linalopangwa-Juni-734954|website=www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2020-05-01}}</ref>
==Marejeleo==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii: Waliozaliwa 1988]]
giiuoutbqvit97zouepb549wacq853l
Fadela & Sahrawi
0
148966
1234792
1222110
2022-07-23T23:04:02Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Fadela na Sahraoui''' walikuwa wanasauti wawili wa [[Algeria]] raï, wakijumuisha Cheb Sahraoui (aliyezaliwa Mohammed Sahraoui, [[Tlemcen]], [[Algeria]], [[1 Aprili]] [[1961]]) na Chaba Fadela (aliyezaliwa Fadela Zalmat, [[Oran]], [[Algeria]], [[5 Februari]] [[1962]]).
Walifunga [[ndoa]] mnamo [[1983]]. Rekodi yao ya kwanza wakiwa pamoja, "N'sel Fik", ikawa maarufu kimataifa, na kufuatiwa na mafanikio zaidi na ziara, ikiwa ni pamoja na ziara za [[Marekani]] mwaka [[1990]] na [[1993]]. Wakiwa [[New York]] walirekodi albamu. "Walli" akiwa na mtayarishaji na mpiga vyombo vingi Bill Laswell. Walihama kutoka [[Algeria]] hadi [[Ufaransa]] mnamo mwaka [[1994]], lakini walitengana mwishoni mwa miaka ya [[1990]]. Wote wawili wameendelea kufanya kazi kama wasanii wa solo.<ref>[{{Allmusic|class=artist|id=p33588|pure_url=yes}} AMG entry]</ref>
==Marejeleo==
{{Reflist}}
{{DEFAULTSORT:Fadela na Sahrawi}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Algeria]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
dhvyezj4icsoglofrz37hd2rjdhsacw
Gravity Omutujju
0
148981
1234784
1224908
2022-07-23T18:26:22Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Gravity Omutujju''' ni [[rapa]] wa [[Uganda]].<ref name=newvision>{{cite web|title=Mind those you meet on your way up-Gravity Omutujju|url=http://www.newvision.co.ug/news/645145-mind-those-you-meet-on-your-way-up-gravity-omutujju.html|access-date=27 December 2014|accessdate=2022-04-23|archivedate=2015-01-12|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150112035433/http://www.newvision.co.ug/news/645145-mind-those-you-meet-on-your-way-up-gravity-omutujju.html}}</ref><ref name=redpepper>{{cite web|title=Gravity Omutujju Hooks TV Presenter|url=http://www.redpepper.co.ug/gravity-omutujju-hooks-tv-presenter/|access-date=27 December 2014}}</ref> Ni mmoja wa wasanii wa juu wa Luga flow wanaorap nchini Luganda.<ref name=evibe>{{cite web|title=Rapper, Gravity Omutuju Arrested|url=http://evibe.ug/rapper-gravity-omutuju-arrested/|access-date=27 December 2014|accessdate=2022-04-23|archivedate=2014-08-08|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140808012418/http://evibe.ug/rapper-gravity-omutuju-arrested/}}</ref>
==Maisha ya awali na elimu==
Gravity Omutujju jina halisi Gereson Wabuyi alizaliwa [[1993]] huko Nakulabye..<ref name=":0">{{Cite web|last=Uganda|first=Flash|date=2020-08-24|title=Gravity Omutujju: Biography, Wife, House, Music, Age and Family of Gereson Wabuyi|url=https://flashugnews.com/gravity-omutujju-biography-wife-house-family-of-gereson-wabuyi/|access-date=2022-02-19|website=Flash Uganda Media|language=English}}</ref> Alizaliwa na Micheal Gesa (baba) na Jane Kajoina (mama). Alisoma Shule ya Nankulabye Junior kwa elimu yake ya msingi na Old [[Kampala]] sekondari [[shule]] kwa kiwango chake cha kawaida cha sekondari [[elimu]].
== Kazi ==
Gravity alianza kuimba akiwa Old [[Kampala]]Shule ya Sekondari ambapo hatimaye aliamua kupata jina la kisanii la Gravity Omutujju. Akiwa na umri wa miaka 17 akiwa likizoni Senior four, aliunganishwa na watayarishaji wa muziki Peterson wa studio za Redemption na Ruff x na Peterson walirekodi wimbo wake wa kwanza uitwao Joanita.
Baadaye alijiunga na mtayarishaji Didi katika kikundi cha Makindye kilichoitwa Born fire ambapo aliungana na [[muziki]] [[wasanii]].<ref name=":0" />
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
jg0clq4ccq7up2ycz5l1m11ltw0fbqz
Bouteldja Belkacem
0
148983
1234791
1224658
2022-07-23T22:58:58Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Bouteldja Belkacem''' ([[5 Aprili]] [[1947]] – [[1 Septemba]] [[2015]], [[Oran]]) alikuwa [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] nchini [[Algeria]].<ref>{{Cite web|url=https://www.lefigaro.fr/flash-actu/2015/09/02/97001-20150902FILWWW00382-deces-d-un-pere-de-la-musique-rai-moderne.php|title=Décès d'un père de la musique raï moderne|date=2 September 2015|website=Le Figaro|accessdate=25 September 2020}}</ref>
==Wasifu==
[[Bouteldja Belkacem]] alikulia katika kitongoji cha El Hamri cha [[Oran]] nchini [[Algeria]].<ref>{{Cite web|url=http://www.elwatan.com/archives/article.php?id=113322|title=El Watan 2009-01-06|accessdate=25 September 2020}}</ref> Anachukuliwa kuwa nguzo ya raï ya kisasa. Mmoja wa wale waliofanya raï kuwa ya kisasa na [[Messaoud Bellemou]], katika miaka ya [[1960]], alianza kutumia kodiani badala ya zamr, ambayo iliruhusu mwimbaji wa rai kucheza na kuimba kwa wakati mmoja. wakati. Lakini kwa vile kodiani haikuweza kucheza robo toni, Bouteldja aliibadilisha kwa kubadilisha urefu wa vipande vya chuma vya ndani, na kuifanya iendane na mfumo wa sauti wa kitamaduni wa [[Algeria]].<ref name="Music2013">{{cite book|author=Garland Encyclopedia of World Music|title=The Concise Garland Encyclopedia of World Music|url=https://books.google.com/books?id=hzIt6ZL5lY0C&pg=PA805|date=1 February 2013|publisher=Routledge|isbn=978-1-136-09602-0|page=805}}</ref>
Tarehe [[9 Desemba]] [[1965]], alirekodi katika Brahim El Feth, kanda yake ya kwanza ikifuatiwa na diski yenye vibao viwili. Mnamo mwaka [[1968]], mhariri wake aliondoka kwenda [[Paris]], na Belkacem Bouteldja kuheshimu mkataba wake alikuwa na jukumu la kwenda na kurudi kurekodi rekodi tatu. Mwishoni mwa mwaka [[1969]] kukutana kwake na [[Messaoud Bellemou]] kulivuruga raï ya jadi, rekodi yao ya mwaka [[1974]] iliashiria kuzaliwa kwa ufanisi kwa pop-raï.<ref name="DrewettCloonan2013">{{cite book|author1=Dr Michael Drewett|author2=Professor Martin Cloonan|title=Popular Music Censorship in Africa|url=https://books.google.com/books?id=9cmhAgAAQBAJ&pg=PA206|date=28 January 2013|publisher=Ashgate Publishing, Ltd.|isbn=978-1-4094-9358-7|page=206}}</ref> Ushirikiano wao ulidumu hadi mwisho wa mwaka [[1979]]. Bouteldja alijiondoa kwa muda akirejea, mwaka wa [[1985]], kwa Tamasha la Rai lililofanyika kwa mara ya kwanza huko [[Oran]], na wawakilishi wa wimbi jipya kama vile Cheb Khaled, Hamid na wengineo wengi.
Mnamo mwaka [[1993]], akitoa muhtasari wa historia ya rai, Belkacem Bouteldja angesema, "Maisha ni hivyo. Kwa kila mmoja na wakati wake: Cheikh Hamada katika miaka ya 30, [[Cheikha Rimitti|Rimitti]] katika miaka ya 50. Bouteldja katika miaka ya 60, [[Messaoud Bellemou|Bellemou]] katika miaka ya 70, [[Khaled (mwanamuziki)|Khaled]] katika miaka ya 80, Hasni na Nasro katika miaka ya 90."
==Diskografia==
*Gatlek Zizia (????, 1965)
*Hadi França / Li Bik Bia (Chandor, 1967)
*Milouda / Serbili baoui (Chandor, 1966) (Casaphone, 1970)
==Nyimbo==
*''Milouda''<ref>{{YouTube|XnveWlgnZ1c}}</ref>
*''Gatlek Zizia'' (Cheikha El Wachma cover)<ref>{{YouTube|pJfTioQ6J4c}}</ref>
*''Serbili baoui''<ref>{{YouTube|-qEEcgcBzDk}}</ref>
*''Ya Rayi''<ref>{{YouTube|ViFiECnmSHY}}</ref>
*''Hiya Hiya Wahrania''<ref>{{YouTube|7IYhuA-nozU}}</ref>
*''Sidi el Hakem''<ref>{{YouTube|ULNq1IHInFk}}</ref>
*''Taliya Rabi Bik Blani''
==Viungo vya njee==
*[https://web.archive.org/web/20160322022841/http://www.blednet.com/article-26501925.html 2009 interview on El Watan]
==Marejeleo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waliofariki 2015]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Algeria]]
[[Jamii:Waimbaji wa Algeria]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
l8g3iuy7fb6gj2chzkpavxndkknjtqk
Jay Q
0
149001
1234801
1222533
2022-07-24T00:25:09Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Jay Q in Studio.jpg|thumb|Jay Q akiwa Studio]]
'''Jeff Tennyson Quaye''' (alizaliwa [[24 Desemba]], [[1977]] huko Osu),<ref>https://www.allghanadata.com/?id=111-198-5&t=jay-q,-new-vision,-new-ideas</ref> anayejulikana kitaalamu kwa jina lake la kisanii [[Jay Q]], ni mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa rekodi, mtendaji mkuu, mhandisi wa [[sauti]], mtunzi wa [[nyimbo]] na mpiga [[kinanda]]. <ref>https://web.archive.org/web/20120705034956/http://tv3.com.gh/tv3siteV2.0/programmes/spotlight/index.asp?intdetail=124</ref> Yeye ndiye mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa sasa wa Q-Lex Entertainment na Jay-Qlex Recording Studio. Ametayarisha albamu na kusimamia kazi za wanamuziki wengi, ikiwa ni pamoja na [[Buk Bak]], VIP, Castro, <ref>https://web.archive.org/web/20140806221914/http://www.ghanamusic.com/bloggers/guest-bloggers/jay-q-writes-a-letter-to-missing-castro/index.html</ref>Mzbel, Obrafour, Daddy Lumba, Nana Acheampong, Ofori Amponsah, Akosua Agyapong, Obuoba J. A. Adofo, Wulomei, na wengine. Kama mtayarishaji [[Jay Q]] anatajwa kuwa mhusika mkuu katika umaarufu wa Hiplife, Highlife na kwaya. Alianzisha Jama (kpanlogo) kwenye Hiplife, ambayo ilikuja kusifiwa na kukubalika nchini [[Ghana]], [[Afrika]] na [[Ulimwengu|Ulimwenguni]] kote. Mnamo 2003, [[Jay Q]] alishinda tuzo ya Mhandisi Bora wa Sauti nchini [[Ghana|Ghana.]] [4][5]
== Maisha ya awali. ==
[[Jay Q]] alizaliwa na kukulia [[Accra]], [[Ghana]], na Jeff Tennyson Quaye (snr) na Miss Comfort Adjin-Tettey. [[Kanisa]] lake, Emmanuel Assemblies Of God, lilifadhili masomo yake ya [[kinanda]] katika Shule ya muziki Oriental (Adabraka, [[Accra]]). Baadaye alijiunga na nguvu ya ukombozi na huduma ya mkate ulio hai na kukutana na Fred Kyei Mensah (Fredyma Studio), ambaye alimfundisha programu za muziki na kumtambulisha kurekodi.
== Kazi ==
katikati hadi mwishoni mwa miaka ya 1990, uzalishaji wake ulianza kupata muda wa maongezi kwenye redio.
Mwishoni mwa miaka ya 90, alifanya kazi na wasanii wengi na aina tofauti za muziki kutoka Hi-life (Paapa Yaw Johnson, Alhaji K. Frimpong, George Jahraa, Obuoba J. A. Adofo, Sibo Brothers, Kaakieku, Pat Thomas, n.k., ),Kwaya (Suzzy na Matt, Jane na Dan, Osuani Afrifa, Andy Frimpong, Mr/Bibi Collins Nyantakyi, kwaya, n.k.), Bendi ya Utamaduni na bendi ya moja kwa moja (Wulomei, Saneko, Adams family, nk.), hiplife (Bukbak , Vip, Exdoe, Oman Hene Pozo, etc.)... Prodyuza zote hizi za [[Jay Q]] miaka ya '90 zilikuwa Analojia na zilirekodiwa na kutayarishwa ndani ya Combined House Of Music (CHM), [[Accra]]. Mnamo mwaka wa 2000, [[Teknolojia]] ilikuwa ikibadilika kwa kasi sana hivi kwamba rekodi za [[dijiti]] zilianza kuwa maarufu na kurudisha nyuma rekodi ya analogi kwa hivyo [[Jay Q]] alihama kutoka CHM (Studio ya Analogi) ambapo alitumia Cubase na Notator kwenye kompyuta ya Atari hadi Virtual sound Lab (ya Dijitali kamili). studio ya kurekodi) na akapendana na zana za kisasa kwenye apple mac (na hiyo ndiyo anayotumia kwa sasa).
Ilikuwa ni Virtual Studio ambapo [[Jay Q]] alifanya majaribio ya kile ambacho kimemfanya kuwa uzushi wa dunia, Jama/Kpanlogo alioutambulisha kwa hiplife na wimbo wa Bukbak "I'm going to come" ambao ulikabiliwa na upinzani mkubwa kwani wakati huo hiplife wengi walikuwa wa nyonga. -ruka na kutofafanuliwa. Vuguvugu hili lilikuja kuwa maarufu na lisiloweza kudhibitiwa (kama vile watayarishaji na wahandisi wengine pia walivyoanzishwa ndani yake, na polepole, watangazaji wa muziki na waandishi wa habari waliona kama ufafanuzi wa kweli wa hi-life. Msingi wa mdundo wa Jama/Kpanlogo ni muunganisho wa ala za kiasili kama hizi. kama vile conga, kengele ya ng'ombe, maracas, kupiga makofi, [[filimbi]], shaba na [[Gitaa kavu|gitaa]], jembe, gome, nk.
== Nje ya nchi. ==
Mnamo 2003, aliimba na BukBak kwenye tamasha la muziki la ulimwengu huko [[Göteborg|Gothenburg]] (Uswidi), na walirekodi nyimbo kadhaa huko. Hivi karibuni, wanamuziki wa [[Ghana]] walio nje ya nchi walianza kuomba huduma zake na mwaka 2006 hadi 2007, alijitokeza mara kadhaa nchini [[Uingereza]] na kurekodi wasanii wengi wa [[Ghana]] walioishi huko, wakiwemo Yoggi Doggi, Deeba Mama B, Howls of Lords n.k. [[Wa, Ghana|Waghana]] nchini [[Marekani]] walisikia habari zake. safari za kwenda [[Uingereza]] na katika msimu wa joto wa 2007, alifunga safari yake ya kwanza kwenda [[Amerika]] kurekodi wanamuziki. Baadaye akawa mhandisi mkazi katika studio za Kingdom ([[Chicago]]), ambazo zilimilikiwa na Chama cha Muziki cha [[Ghana]] cha rais wa [[Chicago]] Dan Boadi. Wanamuziki walisafiri kutoka sehemu zote za majimbo hadi [[Chicago]] na kurekodi na [[Jay Q]]. Chama cha wanamuziki cha [[Ghana]] cha [[Chicago]] (Ghamachi) kilimtunuku [[Jay Q]] na mwanachama wa heshima wa chama. Mnamo 2011, yeye na rafiki yake Kay Rockks walifungua kampuni ya burudani iitwayo ''Jay Q Entertainment'' huko [[Atlanta, Georgia|Atlanta Georgia]] ([[Marekani]]) ambayo inalenga kulea wasanii katika majimbo na kukuza vipaji vyao. [[Jay Q]] baada ya kukaa [[Amerika]] kwa muda alirudi nyumbani na kununua studio ya hush hush na pamoja na vifaa alivyonunua kutoka majimbo, anafanya kazi katika studio yake ya Q-Lex huko [[Accra]].
== Orodha ya nyimbo alizotoa. ==
* Oluman Boogie - FBS ft. Tinny
* Ahomka Womu - VIP
* Sikletele - 4x4
* Odo Fitaa - 4x4
* Nshornaa - 4x4
* Odo Electric - VIP
* Toffee - Castro
* Boneshaker - Castro ft. Shilo & Skrewface
* Sradinam (Remix) - Castro Ft. Triple M
* African Woman - Kokoveli Ft. Skrewface
* 16 Years - Mzbel ft. Castro
* Yopoo - Mzbel
* I'm in Love - Mzbel ft. Castro
* Obaano - Okumfour Kwaadee ft. Pope Skinny
* Juliana - K2 ft. Bright
* Monkey Chop Banana - Nkasei ft. Bright
* Sanbra - Madfishh Ft. K.K Fosu
* Klublofo (I'm Going to Come) - Buk Bak
* Kakatsofa - Buk Bak
* Bonwire Kente - Ofori Amponsah
* Kwame Ko - Ofori Amponsah
* Agenda - Daddy Lumba
* Angel - Daddy Lumba
* P.O.P - Daddy Lumba
* Okukuseku Nipa Hu Yehu - Daddy Lumba
* Akukor Perming - FBS
* Shine Your Eyes - Obour Ft. Papa Shanti
* Jacket - Praye
* Adwoa - Obour ft. A.B. Crentsil
* Esi - Kontihene Ft. Kwabena Kwabena
* African Woman - Kokoveli Ft. Skrewface
* Jama Oo Jama - Castro, Dr. Poh, Chakua, Kwaku Abebrebe
* Koti - Triple M
* Osei Yei (Ghana 08 Africa Cup Of Nation Theme Song) - Ft Ofori Amponsah, Obrafuor & Samini & Tinny & Obour & Chicago
* Gonja Barracks - Bukbak
* You 4 know - Bukbak
* Komi Ke Kena - Bukba
* Broni - Bukbak
* Yaa Asantewa - Bukbak
* Agyeii – Bukbak Ft. Nkasei
* Na Who Cause Am – Dr. Poh Ft. 2Tee
* Mini - Bukbak
* Wone Me Baby (Remix) - Madfish Ft. Kofi Nti
§
== Maisha binafsi. ==
Kufikia 2019, Jay Q hana mtoto. Yeye ni Mkristo anayefanya mazoezi. Vitu anavyopenda ni pamoja na gofu na kutazama sinema.
== Marejeleo. ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
swdxtvfkiqww93e243m8k9gxcqd8sk6
Koo Nimo
0
149053
1234844
1222740
2022-07-24T05:55:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Agya Koo Nimo.jpg|thumb|251x251px|Picha ya Koo Nimo]]
'''Koo Nimo''' (alizaliwa '''Kwabena Boa-Amponsem''' tarehe [[3 Oktoba]] [[1934]]),alibatizwa '''Daniel Amponsah''' ni mwanamuziki mashuhuri wa [[muziki]] wa ''Palm wine'' au [[muziki]] wa ''Highlife'' kutoka [[Ghana]].
==Wasifu==
Alizaliwa katika kijiji cha Foase, katika Wilaya ya Atwima ya [[Mkoa wa Ashanti]] nchini Ghana, [[Afrika Magharibi]], alifanya kazi mbalimbali za sayansi na fani zinazohusiana na matibabu huku akidumisha shauku yake katika. [[muziki]]. Mnamo 1957, wakati koloni la zamani la [[Uingereza]] la [[Gold Coast]] lilipokuwa nchi huru ya [[Ghana]], Koo Nimo alipata sifa ya kitaifa kwa mara ya kwanza kupitia kuundwa kwa kikundi cha Addadam Agofomma. Nyimbo zake nyingi husimulia hadithi za kitamaduni na huimbwa katika lugha ya ''Twi''. Pamoja na ''gitaa'' moja au mbili na sauti, kundi la jadi la Ashanti palmwine lina ala za kitamaduni za [[Afrika Magharibi]], zikiwemo ''apentemma'' na ''donno'', ''frikyiwa'' (chuma castaneti), ''prempensua'' (sanduku la rhumba), ''ntorwa'' (kitango chenye mashimo kinasikika kwa shanga au mbegu zilizosokotwa kwenye wavu), na ''nnawuta'' (inayojumuisha kengele mbili za chuma ambazo hutoa muundo muhimu wa sauti) au ''dawuro'' (kengele yenye umbo la ndizi. )
Mnamo mwaka wa 1990, [[nyimbo]] nane za Koo zilitolewa kama diski ngumu yenye jina ''Osabarima''. Hii ilikuwa kazi ya kwanza ya [[msanii]] wa [[Ghana]] ''kuwekwa kwenye CD''.<ref>''High Fidelity Magazine'', Septemba 1990, 103.</ref> Mnamo Januari 1992, katika [[Chuo Kikuu cha Columbia]], [[New York]], [[Marekani]], ''Andrew L. Kaye'' aliwasilisha tasnifu yake yenye kichwa "Koo Nimo na mzunguko wake: [[Mwanamuziki]] wa [[Ghana]] katika Mtazamo wa ''Ethnomusicological''" na alitunukiwa ''shahada ya Udaktari wa [[Falsafa]]'' kwa kazi yake.
Mnamo 1998, aliajiriwa kama Profesa wa ''Ethnomusicology(masomo ya muziki wa tamaduni mbalimbali hasa zisizo za kimagharibi)'' katika Chuo Kikuu cha [[Washington]] huko [[Seattle]], [[Marekani]], kwa miaka miwili, kabla ya kuchukua nafasi kama hiyo katika Chuo Kikuu cha [[Michigan]] katika [[Ann Arbor]].<ref>{{cite web |title=Kozi katika RC Humanities |url=https://www.lsa.umich.edu/saa/publications/courseguide/fall/archive/fall00cg/ 865.html?f00 |website=Chuo Kikuu cha Michigan |access-date=19 Januari 2022}}</ref>
Mnamo 2006, Koo Nimo alihamia tena [[Ghana]], katika jiji la [[Kumasi]]. Alionekana katika kipindi cha Januari 2007 cha onyesho la usafiri la [[Marekani]] ''Anthony Bourdain: No Reservations'', ambapo anaonyeshwa akicheza [[muziki]], akijadili [[muziki]] wake, na kufurahia chakula cha mchana cha kitoweo ''greater cane rat'' pamoja na mwenyeji Anthony Bourdain.<ref>Joseph Teye-Kofi, [https://vimeo.com/83905110 Anthony Bourdain: Hakuna Rizavu: Ghana], Vimeo, 8 Januari 2007.</ref>
==Tuzo, heshima na uanachama==
Mnamo 1979, kwa kutambua huduma zake kwa [[muziki]] wa [[Ghana]] kama [[mwigizaji]], [[mwalimu]] na msimamizi, Koo Nimo alichaguliwa kuwa Rais wa MUSIGA (Muungano wa [[Wanamuziki]] wa [[Ghana]]). Wananchi wake walithamini sio [[muziki]] wake tu, bali upendo na heshima yake kwa mila. Mnamo 1985, Koo Nimo aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa COSGA, Jumuiya ya Hakimiliki ya [[Ghana]]. Hivi majuzi zaidi amefanywa kuwa mshiriki wa maisha ya heshima wa Chama cha Kimataifa cha Utafiti wa [[Muziki]] Maarufu, pamoja na majina mashuhuri kama vile ''Profesa J. H. K. Nketia'' na John Collins.
Mnamo Februari 1991, kwa kutambua huduma zake kwa [[muziki]] na kwa nchi yake, Koo alipokea tuzo ya heshima ya Asanteman kutoka kwa ''Asantehene''. Mnamo Machi, alipokea Tuzo ya Flagstar kutoka ECRAG (Chama cha Wakosoaji wa Burudani na Wakaguzi wa [[Ghana]]). Mnamo 1991, alialikwa kuhudumu katika Bodi ya Wadhamini ya Kitaifa ya ''Folklore''.
Mnamo Machi 1997, serikali ya [[Ghana]] ilisherehekea kumbukumbu ya miaka 40 ya uhuru kwa kuwatunuku nishani za [[dhahabu]] raia wake arobaini mashuhuri, mmoja wao akiwa Koo Nimo. Hii ilikuwa ni kwa kutambua juhudi zake za kuhifadhi utamaduni wa jadi. Mwezi uliofuata alipokea Tuzo ya ''Konkoma'' kwa mchango wake katika [[Muziki]] wa Highlife wa [[Ghana]].
==Diskografia==
;Albamu
* ''Ashanti Ballads'' (1968)
*'Osabarima'' (1990, ilitolewa tena 2000)
* ''Tete Wobi Ka'' (2000)
* ''Uamsho wa Mizizi ya Juu'' (2012, Rekodi za Riverboat)
;Msanii anayechangia
* Wimbo "Se Wo Nom Me (Tsetse Fly You Suck My Blood)" kwenye ''The Rough Guide to Acoustic Africa'' (2013, World Music Network)
* Wimbo uleule kwenye ''The Rough Guide to Highlife (2012)''
* "Adowa Palm-Wine Set" kwenye ''Mwongozo Mbaya wa [[Muziki]] wa [[Afrika ya Magharibi|Afrika Magharibi]]''
==Marejeo==
{{reflist|30em}}
==Viungo vya nje==
*{{cite web|title=Ghana Inazungumza (IV): … na Koo Nimo anapiga gitaa na kuimba|url=http://www.radioopensource.org/ghana-speaks-iv-and-koo-nimo-plays-guitar -na-kuimba/|author=Christopher Lydon|author2=Koo Nimo |tarehe=11 Februari 2010}}
*{{YouTube|Yaac0ZxbeqY|Koo Nimo}} - kutoka kwa filamu ya hali ya juu ya ''Sauti kutoka Ghana'' ya Sublime World Productions
{{DEFAULTSORT:Nimo, Koo}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7ft5vt6prqvk149jyrrne8dqn8ol9tw
Nxwrth
0
149056
1234861
1226862
2022-07-24T07:06:47Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Nxwrth.jpg|thumb|ni mtayarishaji wa rekodi kutoka Ghana, mwanamuziki na DJ]]
'''Ahmed Froko''' anayejulikana kama '''Nxwrth''' (inatamkwa North) ni mtayarishaji wa rekodi kutoka [[Ghana]], mwanamuziki na DJ. Yeye ni mmoja wa watayarishaji wachanga zaidi kwenye [[tasnia ya muziki]] ya [[Ghana]]na aliwahi kuwa mwanachama wa kikundi cha muziki wa trap "La Meme Gang".
== Maisha ya awali na kazi ==
Nxwrth anatoka [[Wa, Ghana|Wa]] katika Mkoa wa Juu [[Ghana|Magharibi mwa Ghana]]. Alizaliwa [[Cape Coast]] na kukulia katika jiji la [[Accra]] ambapo alianza kutengeneza na kupata ujuzi wa kuchanganya besi, mashine za ngoma na synths katika hip hop, trap na sauti za afro-pop akiwa na umri mkubwa. 16.<ref>{{Cite web|url=https://beatznation.com/profile/nxwrth/|title=Nxwrth|website=Beatz Nation|language=en-US|access- tarehe=2019-10-10}}</ref>
Mnamo 2016, Nxwrth alishiriki katika pambano la mpigo lililoandaliwa na Accra Dot Alt Radio na kutangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo. Pia ametayarisha nyimbo za kundi nyingi na matoleo ya pekee katika kipindi cha miaka 3 iliyopita hali iliyowawezesha kuteuliwa mara 4 kwenye Vodafone Ghana Music Awards.<ref>{{Cite web|url=https://imullar .com/2019/07/11/nxwrth-recruits-spacely-darkovibes-kiddblack-on-sundress/|title=Nxwrth inaajiri Spacely, Darkovibes & Kiddblack kwenye Sundress. {{!}} iMullar|last=Maxwell|date=2019-07-11|language=en-US|access-date=2019-10-10}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Cite web|url= https://yen.com.gh/124512-full-list-2019-vgma-nominees.html|title=Orodha kamili ya walioteuliwa katika VGMA 2019 iliyotolewa|last=Effah|first=K.|date=2019-03-16 |website=Yen.com.gh - Ghana news.|language=en|access-date=2019-10-10}}</ref> Kazi zake nyingine kuu ni pamoja na utengenezaji wa rapper wa Ghana [[Joey B]] ''Darryl'' EP na pia wimbo muhimu wa [[Kwesi Arthur]] "Niombee" mwaka wa 2019.<ref>{{Cite web|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment /Ranger-Joey-B-ft-Darkovibes-547656|title=Ranger – Joey B ft. Darkovibes|website=www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2019-10-10}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.hitz360.com/kwesi-arthur-pray-for-me-prod-by-nxwrth/|title=Kwesi Arthur – Niombee (Prod. By Nxwrth )|last=Michael|first=Kobby|date=2019-04-26|website=Hitz360.com|language=en-US|access-date=2019-10-10}}</ref>
Nxwrth alikubali ushawishi wa wasanii kadhaa wa trap wakiwemo [[Travis Scott]], Wongadurl na Mike Dean katika kazi yake. Katika mahojiano na tovuti ya ''Ghana Music'' alisema muziki wake ulichochewa na 'space' na 'extraterrestrial'.<ref>{{Cite web|url=https://www.ghanamusic.com/interviews/ 1-on-1/2018/04/27/1-on-1-im-inspired-by-space-the-extraterrestrial-nxwrth/|title=1 Mnamo 1: Ninavutiwa na nafasi & ulimwengu wa nje - Nxwrth {{!}} Muziki wa Ghana {{!}} 1 Tarehe 1|website=Ghana Music|language=en-GB|access-date=2019-10-10}}</ref>
Kando na washiriki wengine wa genge lake la zamani la Kiddblack, RJZ, [[$pacely]] na Kwaku BS, Nxwrth aliangaziwa katika filamu ya Boiler Room kwenye [[YouTube|YouTube]] iliyoangazia historia tajiri ya utamaduni wa [[Ghana]] na kuwaeleza kuwa hawakuogopa kujieleza kupitia muziki wao.<ref>{{Cite web|url=https://thenativemag.com/communities/boiler-room-first-show-ghana-23rd -march|title=Boiler Room x Ballantine's True Music Africa wana onyesho lao la kwanza nchini Ghana|tarehe=2019-03-18|website=The Native|language=en-US|access-date=2019-10-10}} </ ref>
== Diskografia ==
=== Wapenzi ===
*''"Mama"'' (feat. Rjz & [[Darkovibes]]) na Nxwrth<ref>{{Citation|title=Mama (feat. Rjz & Darkovibes) by Nxwrth|url=https://music.apple .com/gh/album/mama-feat-rjz-darkovibes-single/1333083215?i=1333083219|language=en-gb|access-date=2019-10-10}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
*''"Placebo"'' (DarkoVibes & KiddBlack)<ref>{{Citation|title=Placebo by KiddBlack & DarkoVibes|url=https://music.apple.com/gh/album/placebo-single/1246119398? i=1246119593|language=en-gb|access-date=2019-10-10}}</ref>
*''"Yaa Baby"'' (feat. [[$pacely]] & KwakuBs)<ref>{{Citation|title=Yaa Baby (feat. $pacely & KwakuBs) by La Même Gang|url=https:/ /music.apple.com/gh/album/la-meme-tape-feat-rjz-darkovibes-%24pacely-kiddblack/1413140665?i=1413141001|language=en-gb|access-date=2019-10-10} }</ref>
*''"Sundress"'' (akimshirikisha Nxwrth, [[$pacely]], Darkovibes & Kiddblack)<ref>{{Citation|title=sundress (inayoshirikiana na $pacely, darkovibes, kiddblack )|url=https:// soundcloud.com/nxwrth/sundress|language=en|access-date=2019-10-10}}</ref>
*''"Godzilla"'' (akiwa na [[Darkovibes]] na Kiddblack) na Nxwrth<ref>{{Cite web|url=https://www.blissgh.com/la-meme-gang-godzilla-ft- darkovibes-kiddblack/|title=La Même Gang - Godzilla ft. Darkovibes & Kiddblack|last=BlissGh|date=2018-10-21|website=BlissGh|language=en-US|access-date=2019-10-10} }</ref>
*''"Cupid"'' (akiwa na Darkovibes) na Nxwrth <ref>{{Cite web|url=https://www.ghanamusic.com/video/music-videos/2018/10/08/video-cupid- by-nxwrth-feat-darkovibes/|title=Video: Cupid by Nxwrth feat. Darkovibes {{!}} Muziki wa Ghana {{!}} Video za Muziki|website=Ghana Music|language=en-GB|access-date=2019-10-10}}</ref>
*''"Above Average"'' (feat. Sky Kuu & [[Kwesi Arthur]]) by Nxwrth<ref>{{Cite web|url=https://www.ghanamusic.com/audio/singles-audio/ 2018/05/04/sauti-juu-ya-wastani-by-nxwrth-feat-sky-kuu-kwesi-arthur/|title=Sauti: Juu ya Wastani by Nxwrth feat. Sky Kuu & Kwesi Arthur {{!}} Ghana Music {{!}} Singles|website=Ghana Music|language=en-GB|access-date=2019-10-10}}< /rejea>
=== Vipengele ===
==== EP ====
* ''Darryl'' EP (2017) ya [[Joey B]]<nowiki><ref></nowiki>{{Cite news|url=https://ghkings.com/joey-b-ep-darryl-tracklist-cover-arts/|title=Joey B Afichua EP Mpya yenye kichwa|date=2017-05-27|work=GhKings|access-date=2018-03-12|language=en-US}}</ref>
==== Albamu ====
* ''La Meme Tape'' (2017) na La Meme Gang <ref>{{Cite news|url=http://culturecustodian.com/la-meme-gang-shares-debut-tape/|title=Mghana Mpya Pamoja, La Même Gang Inashiriki Tape ya Kwanza.|date=2017-09-13|work=The Culture Custodian (Est. 2014)|access-date=2018-03-12|language=en-US}}</ref>
* ''La Meme Tape 2 (Linksters)'' (2018) na La Meme Gang
* ''NASA: Asante Kwa Kusafiri kwa Ndege'' (2020) <ref>{{Cite web|url=https://kuulpeeps.com/2020/04/nxwrth-has-relead-his-much-anticipated-albamu-nasa -thanks-for-flying/|title=Nxwrth Ametoa Albamu Yake Inayotarajiwa Zaidi "NASA: Thanks For Flying" - Kuulpeeps - Tovuti ya Habari na Mtindo wa Maisha ya Chuo cha Ghana na Wanafunzi|last=Ababio|first=Jesse|language=en-US| access-date=2020-04-11}}</ref>
==Video==
{|class="wikitable"
!Mwaka
!Kichwa
!Mkurugenzi
!Kumb
|-
|2018
|Cupid Feat Darko Vibes
|Bzdrko
|
|-
|2019
|Above Average Feat Sky Kuu & Kwesi Arthur
|Bzdrko
|
|-
|}
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
==Viungo vya nje==
*{{Official website|www.nxwrth.com}}
{{DEFAULTSORT:Nxwrth}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
sgyjwpxhtc4iyrmbuidgfvre231m62z
Fistaz Mixwell
0
149109
1234786
1222104
2022-07-23T19:11:01Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Phestus Mokgwetsi Victor Matshediso''',<ref>{{cite web|url=https://www.sampra.org.za/sampra-performer-members/|title=Phestus Matshediso|website=sampra}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.allmusic.com/artist/phestus-matshediso-mn0003677707|title=Phestus Matshediso (Fistaz Mixwell)|website=allmusic|access-date=1 November 2020}}</ref> anayejulikana kwa jina lake la kisanii kama '''Fistaz Mixwell''' (alizaliwa tarehe [[22 Aprili]] [[1976]]) ni [[raia]] wa [[Afrika Kusini]] DJ na mtayarishaji wa muziki.<ref>{{Cite web|url=https://itunes.apple.com/br/app/fistaz-mixwell/id370343298?mt=8|title=Fistaz Mixwell na App Store|website=App Store|language=pt|access-date=2018-01-09}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.entertainmentafrica.com/index.php?section=command%7Crelease%7C%7Csubcommand%7Crelease%7C%7Crelease_type_id%7C2%7C%7Crelease_format_id%7C2%7C%7Cforthcoming%7C0%7C%7Crelease_id%7C4699|title=ひとには聞けないVライン事情…自宅で処理するならこれが正解!|website=www.entertainmentafrica.com|language=ja|access-date=2018-01-09}}</ref>
==Maisha ya awali==
Alizaliwa tarehe 22 Aprili 1976 huko [[Mafikeng]], mji mdogo katika Mkoa wa [[Kaskazini-Magharibi (jimbo la Afrika Kusini)|Kaskazini Magharibi]] [[Afrika Kusini]], kwa Jowie na Edward Matshediso.Fistaz Mixwell alihudhuria Shule ya Msingi ya JD Mosiah huko [[Rustenburg]] na mnamo 1988 alianza darasa la 7 katika Shule ya Upili ya Mmabatho huko Mafikeng.Mnamo 1993 Fistaz Mixwell alimaliza darasa lake na kuhudhuria mihadhara kama mwanafunzi wa Uhandisi wa Kiraia katika Chuo Kikuu cha [[Johannesburg]] mnamo 1994.
==Career==
Mnamo 1997 Fistaz Mixwell alijiunga na kituo cha redio cha Channel T kama mchezeshaji muziki, DJ wa disko la rununu. Hapa ndipo alipokutana na watu mashuhuri kama Iggy Smallz Oskido, Dj SBu na majina mengi ya wachezeshaji muziki, Dj nchini [[Afrika Kusini]] leo. Ingawa aliendelea kufeli masomo yake na hakumaliza shahada yake, alijijengea jina kama mmoja wa ma-DJ wachanga bora zaidi wa [[Johannesburg]].
Mnamo 1999 Fistaz Mixwell alitoa albamu yake ya kwanza iliyoitwa 'It's Time' ilifikia hadhi ya dhahabu nchini Afrika Kusini kwa mauzo 25,000. <ref>{{cite web|url=https://books.google.com/books?id=bhEEAAAAMBAJ&q=Carmine+Meo+emma+2+million&pg=PA55|publisher=Billboard|first=Maria|last=Paravantes|title=Gold and Platinum: Song For A Cause |date=13 October 2001|accessdate=10 January 2019}}</ref>). Iliangazia nyimbo asili alizotunga yeye mwenyewe, Skizo na Bruce Dope Sebitlo wote kutoka Kalawa Jazmee Record Company.<ref>{{cite web|title=A bad boy 'n his toys - Fistaz is playing his dreams|url=http://www.sundayworld.co.za/Home/Article.aspx?id=1148873|publisher=Sunday World|accessdate=3 January 2011|archive-url=https://web.archive.org/web/20110728100931/http://www.sundayworld.co.za/Home/Article.aspx?id=1148873|archive-date=28 July 2011|url-status=dead|archivedate=2011-07-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110728100931/http://www.sundayworld.co.za/Home/Article.aspx?id=1148873}}</ref>
Fistaz Mixwell ametumbuiza katika vilabu bora vya usiku huko [[London]], [[New York City]], [[Miami]], [[Kuala Lumpur]], [[Hong Kong]], [[Malaysia]], [[ Afrika Kusini]], [[Afrika]], [[Ufaransa]], Ireland, [[Zurich]], [[Lausanne]], [[Geneva]] na miji mingi zaidi duniani kote.Mnamo 2004, Fistaz Mixwell alijiunga na Kituo kikuu cha Redio cha Mjini [[Afrika Kusini]] chenye wasikilizaji Milioni 5.5 kama meneja wa Muziki.Mnamo 2006, Metro FM ilifikia idadi ya wasikilizaji wa rekodi ya milioni 6 na alisifiwa sana kwa mkakati wa muziki alioomba baada ya kujiunga na kituo. Kwa sasa ni Mkuu wa Vyombo Vipya vya Habari na Teknolojia katika METRO FM. Fistaz Mixwell pia anaendesha Kampuni yake ya ubunifu wa kidijitali, Creativ FM na pia ni mshirika wa TOUCHMIXWELL.COM, kampuni aliyounda pamoja na Tbo Touch. Wameunda nguvu kubwa katika burudani na maslahi yao ya kibiashara yanatofautiana kutoka kwa kipindi cha redio, vipindi vya televisheni, matukio na uanzishaji wa klabu.
Mnamo 2011, Fistaz Mixwell aliacha kazi yake katika METRO FM akiwa ameongoza nyadhifa mbili [2] kama Meneja wa Muziki na baadaye mkuu wa New Media. Alijiunga na ZAR Empire kama Mkurugenzi Mtendaji na mwenye jukumu la kubadilisha Chapa ya ZAR. Akiwa madarakani alizindua [http://www.zaronline.co.za zaronline] {{Wayback|url=http://www.zaronline.co.za/ |date=20201101090903 }} website, [http://zaronline.co.za/zarfest/ ZARFEST] {{Wayback|url=http://zaronline.co.za/zarfest/ |date=20110809102113 }}, na pia alihusika na biashara ya klabu na pia kipindi cha televisheni cha So What kilichorushwa hewani e.tv.
Castle Lite, bia ya kwanza ya Afrika Kusini inayotengenezwa na kusambazwa na SABMiller ilizindua [https://www.youtube.com/watch?v=sN7YB_kdqEM Enter the State of Cool] shindano ambapo Fistaz Mixwell alikuwa balozi wa chapa na Bingwa wa Chapa. Matangazo ya redio yaliwasukuma wasikilizaji kwenye Ukurasa wa Facebook wa Castle Lite na tovuti iliyoundwa mahususi kwa ajili ya shindano hilo. Mshindi alijishindia safari iliyolipiwa kwa gharama zote pamoja na marafiki zao 3 na Fistaz Mixwell kwenda Marekani ili kutembelea na kuona Ice Bar.
==References==
{{reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
gtm930wr40b0iyt2xk3ozdkk7jnokg3
Caroline Sampson
0
149142
1234873
1222749
2022-07-24T09:13:01Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Caroline sampson.jpg|thumb|Caroline Sampson ni mtangazaji wa Redio na TV nchini Ghana na anajulikana kwa baadhi ya kazi zake na vituo vya Redio na Tv ambavyo amefanya navyo kazi nchini Ghana.]]
'''Caroline Sampson''' (alizaliwa [[2 Agosti]] [[1984]]) ni [[raia]] wa [[Ghana]] mtangazaji wa [[redio]], mtangazaji wa kipindi cha [[televisheni]], anayetambulisha watu katika matamasha na msanii wa sauti anayejulikana zaidi kwa matangazo yake ya televisheni na redio. Alianza uchezaji wake katika vyombo vya habari mwaka [[2005]] alipoishia kuwa mshiriki wa fainali katika toleo la tatu la shindano la Tv la uhalisia ya Miss Malaika [[Ghana]].
Zaidi na utangazaji wa TV na redio, Sampson ameandaa vipindi vya uhalisia vya TV, matukio ya kampuni, maonyesho ya kwanza ya filamu na uzinduzi wa [[albamu]]. Alikuwa [[Mwafrika]] na [[Mghana]] wa kwanza kushinda tuzo ya Mtangazaji bora katika tamasha na shindano la Stars Integration of Culture of Africa lililofanyika [[Benin]]<ref><nowiki>https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Female-Ghanaian-celebrities-that-came-out-of-Beauty-Pageants-374975</nowiki></ref><ref><nowiki>http://nanabkay.blogspot.com/2015/11/my-hero-caroline-sampson-tells-her.html</nowiki></ref>.
== Maisha ya awali ==
Caroline Sampson alizaliwa huko [[Tema]] katika Hospitali ya Valco mnamo Agosti 2, 1984, na kukulia katika Jumuiya ya Tema 7. Ni mtoto wa pekee wa mama yake Madam Mary Araba Quarshie na babake Bw Jacob Maxwell Apraku Sampson. Caroline alisoma katika Shule ya Maandalizi ya Watayarishi huko Tema ambako alisoma shule ya msingi na elimu ya shule ya upili. Kisha akaendelea na masomo ya sanaa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mfantsiman.
Akiwa huko, Caroline alipenda kucheza dansi na alishiriki katika shughuli nyingi, akicheza na kukaribisha maonyesho ndani na nje ya chuo. Pia alikuwa mtendaji wa Klabu ya Waandishi, drama na mdahalo (WDDC) na GUNSA kwa mwaka wa masomo wa 2002. Alipata elimu yake ya juu katika Chuo cha Mawasiliano cha Chuo Kikuu cha Afrika (AUCC).
== Kazi ==
'''Uonyeshaji mitindo'''
Kazi ya Sampson ilianza kama mshiriki katika toleo la tatu la kipindi cha uhalisia cha TV, Miss Malaika Ghana, mwaka wa 2005. Alikua miongoni mwa washiriki 16 wa mwisho.<ref><nowiki>https://www.pulse.com.gh/bi/lifestyle/ghanaian-female-celebrities-who-were-in-beauty-pageant-id5319279.html</nowiki></ref><ref><nowiki>http://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201511/260345.php</nowiki></ref>
'''Televisheni'''
Mnamo [[2005]], Sampson alipata mapumziko yake ya kwanza kwenye televisheni alipoandaa kipindi cha mchezo, U-Win Game, kilichopeperushwa kwenye GTV (Mtangazaji wa Kitaifa wa [[Ghana]]). Baadaye, aliandaa Hitz Video, programu ya kila wiki ya video ya muziki ambayo ilionyeshwa kwenye mtandao wa TV3 [[Ghana]].
Mnamo [[2009]], Sampson alijiunga na Global Media Alliance, kampuni mama ya ETV na YFM Ghana; na akaandaa E kwenye E, kipindi cha burudani cha kila siku kwenye ETV [[Ghana]] <ref><nowiki>https://ameyawdebrah.com/caroline-sampson-bring-ladies-together-girlfriends-saturday/</nowiki></ref><ref><nowiki>https://www.graphic.com.gh/entertainment/celebrity/caroline-marks-10-years-in-radio.html</nowiki></ref>
Mnamo [[2017]], alihamia Kwese Sport kama mtangazaji wa kipindi cha kifungua kinywa cha kituo hicho, Head Start na baadaye akawa mwenyeji wa kipindi cha michezo, Sports Arena katika kituo hicho.
'''Redioaa'''
Mwaka 2015 alipokuwa akifanya kazi na GTV, Sampson pia alianza kufanya kazi katika redio kwenye kituo cha redio cha Atlantis huko [[Accra]]. Aliandaa maonyesho mawili ya kila siku ya kuendesha gari.
== Balozi wa bidhaa ==
Mnamo mwaka 2017 Sampson na rapa kutoka Ghana, Kofi Kinaata, walikuwa mabalozi wa kampuni ya vinywaji Guinness Ghana<ref><nowiki>https://www.yfmghana.com/2017/03/27/kofi-kinaata-and-caroline-sampson-announced-as-guinness-osagyefo-ambassadors/</nowiki></ref><ref><nowiki>http://kasapafmonline.com/2017/03/20/jay-foley-kofi-kinaata-caroline-sampson-now-brand-influencers-guinness/</nowiki></ref>. Pia alikuwa balozi wa chapa ya Woodin (kampuni ya kitambaa),<ref><nowiki>https://ameyawdebrah.com/woodin-unveils-ama-k-abebrese-caroline-sampson-m-anifest-and-dj-black-as-ambassadors/</nowiki></ref><ref><nowiki>https://www.ghanacelebrities.com/2012/09/30/photos-ama-k-abebrese-dj-black-manifest-caroline-sampson-named-as-brand-ambassadors-as-woodin-re-launched-in-accra/</nowiki></ref> na pia alikuwa uso wa kampuni ya vinywaji Castle Milk Stout mwaka wa 2014<ref><nowiki>https://www.newsghana.com.gh/castle-milk-stout-makes-caroline-sampson-as-its-new-face/</nowiki></ref><ref><nowiki>http://peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201412/224583.php</nowiki></ref> Caroline pia ni mshawishi wa mitandao ya kijamii na ameidhinisha chapa kama vile Zeepay, Huawei na World Remit, miongoni mwa zingine
== Tuzo ==
Caroline Sampson alishinda Mtangazaji Bora mwaka 2009 kwenye Nyota ya Ujumuishaji wa Utamaduni wa Afrika iliyofanyika Cotonou, [[Benin]]. Mnamo 2019, alishinda Mtu Bora wa Redio wa Kike katika toleo la 3 la Tuzo za Burudani za Ghana USA. Pia alipokea Tuzo ya 4 ya XWAC-Afrika ya Heshima kwa Ubora wa Vyombo vya Habari katika mwaka huo huo<ref><nowiki>https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/blog.article.php?blog=1603&ID=1000004805</nowiki></ref><ref><nowiki>https://www.yfmghana.com/2017/03/20/yfms-caroline-sampson-and-dj-mic-smith-nominated-for-ghana-naija-showbiz-awards/</nowiki></ref>
== Majereo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
ptww8v43oegk1k402zj9slyeey4xi05
Sizwe Mpofu-Walsh
0
149189
1234902
1223588
2022-07-24T10:51:54Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Sizwe Mpofu-Walsh.jpg|thumb|ni mwandishi wa Afrika Kusini, mwanamuziki na mwanaharakati]]
'''Sizwe Mpofu-Walsh''' (alizaliwa [[4 Januari]] [[1989]]<ref>https://inspired4writers.wordpress.com/2013/09/25/exclusive-interview-with-sizwe-mpofu-walsh/</ref>) ni mwandishi, mwanamuziki na mwanaharakati wa [[Afrika Kusini]]. Mpofu-Walsh alikuwa rais wa Baraza la Mwakilishi wa Wanafunzi wa [[Chuo Kikuu cha Cape Town]] mwaka wa 2010<ref>http://www.uct.ac.za/mondaypaper/?id=7708</ref>. Ana DPhil katika Uhusiano wa Kimataifa kutoka [[Chuo Kikuu cha Oxford]].<ref>http://www.timeslive.co.za/politics/2015/07/30/EFFs-Mpofu-a-%E2%80%98proud-dad%E2%80%99-as-son-graduates-from-Oxford</ref> Mnamo Septemba 2017, Mpofu-Walsh alichapisha kitabu chake cha kwanza, Demokrasia na Udanganyifu: Hadithi 10 katika Siasa z[[Afrika Kusini|a Afrika Kusin]]<nowiki/>i<ref>https://mg.co.za/article/2017-08-18-00-literary-bent-to-hip-hops-democracy-delusion</ref>. Pamoja na kitabu hicho, alitoa albamu yake ya kwanza ya rap, pia iliyoitwa Democracy and Delusion.<ref>http://www.news24.com/SouthAfrica/News/debunking-sas-myths-20160910</ref>
== Maisha ya awali ==
Mpofu-Walsh alizaliwa [[Johannesburg|Johannesburg,]] mtoto wa baba mweusi na mama mzungu. Wazazi wake walikuwa wakishiriki siasa katika mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi. Baba yake ni Dali Mpofu wakili maarufu, Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa SABC na Mwenyekiti wa chama cha siasa cha Economic Freedom Fighters. Alihudhuria Chuo cha Sacred Heart na Chuo cha St John. Alikuwa sehemu ya kundi la hip-hop la Entity, pamoja na rapa AKA na Nhlanhla Makenna. Alichezea Chuo cha Vijana cha Orlando Pirates kati ya umri wa miaka 13 na 16 [nukuu inahitajika]. Mpofu-Walsh alikaa kwa mwaka mmoja akiishi katika kijiji cha Qugqwala, Mashariki mwa Cape, kabla ya kuanzishwa kwa desturi ya [[Kixhosa]] mwaka 2007.
Mpofu-Walsh alihudhuria [[Chuo Kikuu cha Cape Town]], na kupata shahada ya Heshima katika Falsafa ya Siasa na Uchumi mwaka wa 2012. Alikuwa Rais wa SRC mwaka 2010, ambapo SRC yake ilikuwa ya kwanza kufanikiwa kupinga nyongeza ya ada iliyopendekezwa na chuo kikuu, na kupunguza kutoka 12% hadi 8%. Akiwa UCT, alianzisha InkuluFreeHeid, shirika la kiraia linaloongozwa na vijana. Alipata Udhamini wa Weidenfeld ili kufuata shahada ya uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Oxford, ambayo alipata mwaka wa 2015 kwa ubora. Alimaliza udaktari wake katika uhusiano wa kimataifa mnamo 2020 huko Oxford, na tasnifu juu ya siasa za maeneo yasiyo na [[Bomu la nyuklia|silaha za nyuklia.]]
== Uandishi na kazi ya umma ==
Mpofu-Walsh alitoa wimbo unaoitwa "Mr President", akimkosoa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma kwa ufisadi mwaka wa 2013. Wimbo huo ulitolewa kwenye jarida la Wall Street Journal. Mwaka huo, gazeti la Mail na Guardian lilimtaja kama mmoja wa vijana 200 bora wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]]
Ameandika kuhusu masuala ya ubaguzi wa rangi na rushwa katika gazeti la City Press la Afrika Kusini. Mwaka wa 2014, makala yake iitwayo "SA's Three-Way Split" ilitabiri kuwa siasa za [[Afrika Kusini]] zingegawanyika katika nguzo tatu.
Mpofu-Walsh amekuwa akiunga mkono sana elimu bila malipo nchini Afrika Kusini. Alichapisha sura kuhusu modeli inayowezekana ya elimu bila malipo katika kitabu Fees Must Fall: Student Revolt, Decolonization and Governance, kilichochapishwa na Wits University Press.
Mpofu-Walsh pia alikuwa sehemu ya kampeni ya Rhodes Must Fall in [[Oxford]], ambayo ililenga kuangazia madai ya [[Ubaguzi wa rangi|ubaguzi wa rang]]<nowiki/>i wa kitaasisi huko [[Oxford]] na kutaka sanamu ya [[Cecil Rhodes]] iliyoko kwenye Barabara kuu ya Oxford kuhamishwa.Mpofu-Walsh alinukuliwa akisema:
"Kuna kitu kibaya sana kwa jinsi Oxford inavyojidhihirisha, kwa jinsi ilivyo na upendeleo dhidi ya watu na tunaibua hilo na kwa mara ya kwanza tunalazimisha chuo kikuu kukabiliana na shida hiyo na labda kufanya kazi bora kuliko kizazi chochote hapo awali. sisi."
Kampeni hiyo haikufaulu wakati huo, na ilipingwa na wasomi wa vyuo vikuu na wanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi ikiwa ni pamoja na Nigel Biggar, Mary Beard na Denis Goldberg. Iliungwa mkono na msomi mashuhuri Noam Chomsky.
Mpofu-Walsh alishinda Tuzo la City Press-Tafelberg kwa kuahidi hadithi zisizo za uwongo kwa kitabu chake Democracy and Delusion: 10 Myths in [[Afrika Kusini|South African Politics,]] kilichochapishwa mnamo Septemba, 2017.
Kitabu cha pili cha Mpofu-Walsh, The New [[Apartheid]], kilichapishwa Julai 2021. Ndani yake anahoji kuwa "Apartheid haikufa; ilibinafsishwa".
== Kazi ya uandishi ==
* Demokrasia na Udanganyifu: Hadithi 10 katika Siasa za Afrika Kusini (2017)
* Apartheid Mpya (2021)
* Demokrasia na Udanganyifu (2017)
== Marejeleo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
squbwxaujyrxnlt4ajraqtbbrshmkrt
Boeremusiek
0
149308
1234760
1234729
2022-07-23T13:18:42Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
'''Boeremusiek''' (yaani [[Muziki]] wa [[Makaburu|Kikaburu]]) ni aina ya [[muziki]] wa kitamaduni wa ala za [[Afrika Kusini]]. Nia yake ya awali ilikuwa ni kuambatana na [[dansi]] za kijamii kwenye karamu na [[sherehe]].
==Historia==
Boeremusiek [[asili]] yake ni [[Mzungu]], lakini ilipoletwa [[Afrika Kusini]] na [[Namibia]], asili yake ilibadilika polepole.
==Mtindo==
Tamasha ni sawa na accordion na ndicho chombo kinachoongoza katika bendi nyingi za Boeremusiek. Kuna aina nyingi tofauti za concertina, ndiyo maana Boeremusiek ina sauti na mitindo mingi ya kipekee, na ujenzi wa tamasha ndio hutengeneza sauti tofauti katika bendi ya Boeremusiek; inategemea mahali nafasi na mashimo yamewekwa hufanya tofauti kwenye sauti ambayo tamasha hufanya.
Bendi ya Boeremusiek inaweza kujumuisha accordion ya piano, harmonicas ya vitufe, accordion, kinanda, harmoniums na [[gitaa]], na wakati mwingine, sollo au gitaa la besi linaweza kuonekana.
Sauti ya bendi ya Boeremusiek inaweza kutegemea eneo ambalo bendi hiyo inatoka (kwa mfano, Boeremusiek katika [[Potchefstroom]] inaweza kutofautiana na zile za [[Stellenbosch]]), kwa kuwa dhamira ya Boermusiek ni kuwa muziki wa [[dansi]] usio rasmi, wa ala.
Leo, kuna bendi nyingi za Boeremusiek zilizofanikiwa ambazo zimerekodi albamu. Baadhi ya bendi maarufu na wasanii binafsi leo ni pamoja na Klipwerf Boereorkes, Danie Grey, Nico Carstens, Taffie Kikkilus, Brian Nieuwoudt, Samuel Petzer, Worsie Visser na Die Ghitaar Man.
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:muziki wa Afrika]]
65t73m6p1o304sl555af2qnzf708e3b
Mohamed Rouicha
0
149365
1234872
1221851
2022-07-24T08:42:31Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
{{Mtu
|rangi =nyeupe
|jina = Mohamed Rouicha
|picha = Rouichamoh.JPG
|maelezo_ya_picha = Mohamed Rouicha
|jina la kuzaliwa = Mohamed Rouicha
|alizaliwa = 1950,Khenifra Moroko
|alikufa = 2012 Khenifra Moroko
|nchi = Moroko
|kazi yake = Mwanamuziki
|ndoa =
|wazazi =
|watoto =
|tovuti rasmi =
}}
'''Mohamed Rouicha''' (Kiarabu: محمد رويشة; [[1950]] - 17 [[Januari]] [[2012]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Moroko|Morocco.]]<ref>{{Cite web|title=Video: Hamza Namira Sings Moroccan Rouicha's Inas Inas|url=https://www.moroccoworldnews.com/2016/04/184428/video-hamza-namira-sings-moroccan-rouichas-inas-inas|work=https://www.moroccoworldnews.com/|accessdate=2022-04-30|language=en|author=Staff Writer-Morocco World News}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Festival Fès 2004|url=https://web.archive.org/web/20041024160504/http://mondomix.com/event/fes2004/j1/edito1.htm|work=web.archive.org|accessdate=2022-04-30}}</ref>Nyimbo zake mara nyingi huwa na mada kama vile [[mapenzi]] na [[maisha]] nchini [[Moroko]]. <ref>{{Cite web|title=Le chanteur amazigh Mohamed Rouicha est mort {{!}} Demain|url=https://web.archive.org/web/20120119220047/http://www.demainonline.com/2012/01/17/le-chanteur-amazigh-mohamed-rouicha-est-mort/|work=web.archive.org|accessdate=2022-04-30}}</ref> Nyimbo zake maarufu zaidi ni Ya lehbiba, bini w'binek darou lehdouden na Inas inas.<ref>{{Citation|title=Mohamed Rouicha|date=2022-02-28|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Mohamed_Rouicha&oldid=1074573874|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-04-30}}</ref>
Alikuwa [[msanii]] maarufu wa Amazigh, [[mshairi]], mwimbaji, [[mtunzi]] na [[mwanamuziki]].Rouicha" lilikuwa jina la utani ambalo lilimaanisha "tuchanganyie kitu" kwa ki [[Tamazight]], ambao ulikuwa ni msemo marafiki zake walikuwa wakiusema wanapotaka ajiunge na kucheza wimbo mpya papo hapo. Alijua chombo cha "loutar".
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
gvtysoi7i17bopln9uph136knve4dx2
George Darko
0
149434
1234893
1222063
2022-07-24T10:33:42Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''George Darko''' (alizaliwa 12 [[Januari]] [[1951]] huko [[Akropong]], [[Ghana]])<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Guinness_Publishing</ref> ni mwanamuziki kutoka [[Ghana]], mpiga gitaa, mwimbaji, mtunzi na mtunzi wa nyimbo, ambaye amekuwa kwenye tasnia ya muziki tangu mwishoni mwa miaka ya [[1960]]. Mtindo wake wa muziki huhesabiwa kati ya burger-highlife.
Darko alikuwa maarufu katika miaka ya [[1970]], [[1980]] na [[1990]]<ref name=":0" />, na nyimbo zake ni baadhi ya nyimbo za juu zisizo na wakati na za kudumu katika duru za muziki za [[Ghana]]. Baadhi ya watu wa zama zake ni pamoja na Ben Brako, C.K. Mann, Daddy Lumba, Ernest Nana Acheampong, Nana Kwame Ampadu, Pat Thomas, miongoni mwa wengine.
Darko anachukuliwa sana kuwa mmoja wa waanzilishi wa burger-highlife kwa hit yake ya kwanza "Ako Te Brofo" ("The Parrots Speak/Understands English") ambayo ilitolewa mwaka wa [[1983]].<ref name=":0" /> Wimbo huu unasalia kuwa maarufu miongoni mwa Waghana nyumbani na nje ya nchi., na bado huchezwa kwenye mazishi na karamu.<ref>https://web.archive.org/web/20090226172935/http://www.goethe.de/INS/gh/prj/bhi/bhm/ent/enindex.htm</ref><ref>http://www.ghanacelebrities.com/2012/05/31/celebration-of-burger-highlife-with-george-darko/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20170116131830/http://www.ghana-news.adomonline.com/entertainment/2015/january-16th/george-darko-plotting-to-kill-me-lee-dodou-asserts.php</ref>
Mwana wa [[chifu]] mkuu, George Darko alisoma katika Shule ya Presbyterian huko Akropong. Baada ya kuigiza bendi ya jeshi iliyoburudisha askari huko Mashariki ya Kati, Darko alirudi Ghana na kuunda Bendi iliyoitwa Golden Stool Band. Mwishoni mwa miaka ya [[1970]] bendi ilihamia [[Ujerumani]], ambapo Darko aliendelea peke yake na kuanzisha bendi iliyoitwa Bus Stop mwaka wa [[1982]].<ref name=":0" />
Aliporejea Akropong mwaka wa [[1988 KK|1988]], alifanywa Tufuhene wa Akropong-Akuapim mwaka wa [[1991]] kwa kigoda (kiti cha enzi) jina la Nana Yaw Ampem. Darko. Mnamo Januari 2010, alidai na kupokea msamaha kutoka kwa gazeti ambalo lilikuwa limeripoti madai ya [[ngono]] kuhusiana naye.<ref>https://www.modernghana.com/news/260536/apology-to-nana-george-darko.html</ref>
== Diskografia ==
Albamu za studio
* Friends ama (Marafiki) ([[1983]], Taretone)
* Highlife Time (1983, Sacodisc Kimataifa)
* Moni Palava (1986,Rekodi za A&B )
* Soronko (1988, muziki)
* Highlife in the Air (1994, Boulevard )
* Come to Afrika ([[2006]], Rekodi za Okoman ) <ref>https://www.discogs.com/artist/1851195-George-Darko</ref>
Msanii anayechangia
* Mwongozo Mbaya kwa Highlife (2003, Mtandao wa Muziki Ulimwenguni)
== Tuzo ==
* Tuzo Maisha ya VGMA kwa Mchango Bora kwa Hilife (2020).<ref>https://www.youtube.com/watch?v=_-1410rG8bw</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Ghana]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
mmwdkw47nuidrr529oiu2hm177pooks
Comfort Omoge
0
149436
1234785
1234721
2022-07-23T18:34:01Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Comfort Omoge''' alikuwa [[mwanamuziki]] wa nchini [[Nigeria]] anayejulikana kama [[malkia]] na mtangazaji mkuu wa [[muziki]] wa Asiko, muziki wa kitamaduni wa [[Afrika|Kiafrika]] wa watu wa Ikale katika Jimbo la [[Magharibi]] la [[Nigeria]].<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Comfort_Omoge#cite_note-:0-1</ref>
Aliolewa na mtawala wa jadi wa Igbodigo ambaye pia alihimiza shauku yake ya muziki; alitumbuiza na bendi yake ya wanachama 15-17, iliyoitwa Aboba Asiko, ambaye alitumia zaidi ala za asili za midundo, huku akiimba tafsiri ya kisasa ya nyimbo za asili za watu wake. Mnamo mwaka [[1976]], alitoa albamu yake ya kwanza Orogen rogen.<ref>https://thenet.ng/celebrating-comfort-omoge-wife-king-took-traditional-ikale-music-global/</ref> Mnamo mwaka [[1980]], akiwa amesainiwa na Afrodisia/Decca Records, alitoa albamu, Irore re yi ran, ambapo aliingiza mafundisho ya [[Ukristo|Kikristo]] katika muziki wake wa kitamaduni.<ref>https://www.naijatimes.ng/the-great-highlife-series-comfort-omoge-the-queen-of-asiko/
Alikufa mnamo mwaka [[1999]].<ref name=":0" />
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
[[Jamii:Nigeria]]
qebnk7fb4939e6urqsg8ljojitorzqf
George Kinyonga
0
149437
1234894
1222065
2022-07-24T10:35:03Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''George Peter Kinyonga''' ([[Desemba 24]], [[1992]]) alikuwa [[mwanamuziki]] mashuhuri nchini [[Kenya]].
Peter Kinyonga kazaliwa nchini [[Tanzania]], Yeye na [[kaka]] yake mkubwa aitwae [[Wilson Kinyonga]] ndiyo waanzilishi wa bendi ya rumba [[Simba Wanyika]] ambayo baadaye ikazaa bendi kama [[Les Wanyika]], Super Wanyika Stars na nyingine.
George na Wilson Kinyonga walianza [[muziki]] katika [[mji]] wao wa nyumbani [[Tanga (mji)|Tanga]] nchini Tanzania, ambapo ndipo walipojiunga kwenye bendi ya Jamhuri Jazz mwaka [[1966]]. Wao walihamia [[Arusha (mji)|Arusha]] mwaka [[1970]] na wakaanzisha bendi ya Arusha Jazz pamoja na kaka yao William Kinyonga. Mwaka 1970 walihamia nchini Kenya na kuanzisha Simba Wanyika, ambayo ikaja kuwa moja kati ya bendi mashuhuri kwenye historia ya muziki wa [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]].
== Viungo vya Nje ==
https://www.bbc.co.uk/radio1/johnpeel/sessions/1990s/1990/Jul24simbawanyika/
https://web.archive.org/web/20060502153442/http://www.afropop.org/explore/band_info/ID/9/Simba%20Wanyika/
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
6yr0574wg0tgd8jjo8pqu23a6yva0f2
Fernando Quejas
0
149441
1234895
1222069
2022-07-24T10:37:27Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Aguilar Quejas''' ([[Aprili]] 30, [[1922]] mjini [[Praia]], [[Cabo Verde|Cape Verde]] – 28 Oktoba [[2005]] huko [[Lisbon]], [[Ureno]]) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Cabo Verde|Cape Verde]].
== Wasifu ==
Quejas aliondoka nyumbani kwake huko Cape Verde na kuelekea Ureno mwaka wa [[1947]]. Katika miaka ya [[1950]], alichapisha chini ya Lebo ya Kireno "Alvorada" yenye albamu 22. Katika miaka ya [[1960]] na [[1970]], alifanya maonyesho mengi ulimwenguni. Alikuwa mwimbaji mashuhuri zaidi wa melancholic morna katika mtindo wa blues wa Cape Verde
Mnamo [[1945]], aliendesha kituo cha kwanza cha redio cha Cape Verde kilichoitwa "Radio Clube de Cabo Verde (Radio Praia)".
Alirudi kuimba katika kisiwa chake cha asili mwaka wa [[1990]] kwa mwaliko wa [[bunge]] lake.
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
t2jmw19s27p1jqcmz87wrwiwfpb4uiq
Bendi ya Soto Koto
0
149476
1234793
1222342
2022-07-23T23:07:44Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Bendi ya Soto Koto''' ni bendi ya [[muziki]] wa [[jazz]] ya [[Afrika|Kiafrika]]. Muziki wao kimsingi umeathiriwa na muziki wa [[Gambia]]. Kundi kubwa, bendi hutumbuiza kwenye [[Ala ya muziki|ala]] za upepo, ala za nyuzi, na midundo.
Albamu iliyojiita, [[Bendi ya Soto Koto]], ilitolewa mwaka wa [[1993]]. Mojawapo ya nyimbo zake, "Korajulo", ilijumuishwa kwenye mkusanyiko wa albamu iliyotolewa na kampuni ya [[Asili|asilia]] wakati huo huo.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:wanamuziki wa Gambia]]
t40shxxf7tqc8t4ckfqlcq5d6otq9zs
Souad Massi
0
149478
1234794
1222228
2022-07-23T23:13:31Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Souad Massi TFF 01.JPG|thumb|180px|Souad Massi]]
'''Souad Massi''' (سعاد ماسي), (alizaliwa [[Agosti 23]], [[1972]]), ni [[mwimbaji]] wa [[Waberberi|Berber]] wa nchini [[Algeria]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] na mpiga [[gitaa]]. Alianza [[kazi]] yake ya [[muziki]] katika bendi ya ''rock band Atakor'', kabla ya kuondoka nchini kufuatia vitisho vya kuuawa . Mnamo [[1999]], Massi alitumbuiza kwenye tamasha la Femmes d'Algérie huko [[Paris]], ambalo lilisababisha kupata [[mkataba]] wa kurekodi na Island Records .
==Maisha ya awali==
Massi alizaliwa [[Algiers]], [[Algeria]] katika [[familia]] maskini ya [[watoto]] sita. Alikulia katika [[mtaa]] wa wafanyakazi wa daraja la Bab El Oued huko [[Algiers]] na alianza kuimba na kupiga [[Gitaa kavu|gitaa]] tangu akiwa mdogo.
<ref name="AllMusic">[{{Allmusic|class=artist|id=p482596|pure_url=yes}} "Biography"]. ''[[Allmusic]]''. Retrieved January 1, 2007.</ref> Kwa kutiwa moyo na kaka yake mkubwa, alianza kusoma muziki katika umri mdogo, kuimba na kupiga [[Gitaa kavu|gitaa]]. <ref name="AllMusic" /> Alipokuwa akikua, alijiingiza katika muziki wa [[Muziki wa country|nchi]] ya [[Marekani]], mitindo ya muziki ambayo baadaye ingeathiri sana utunzi wake wa nyimbo. <ref>[http://news.bbc.co.uk/2/hi/entertainment/4628089.stm "Africa's shining music stars"]. ''[[BBC News]]''. Retrieved January 1, 2007.</ref> Akiwa na [[umri]] wa miaka 17, alijiunga na bendi ya [[flamenco]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
10ei1rowbtkd5mf8lz3j3xb5qoucjd9
Rachid Taha
0
149480
1234795
1222240
2022-07-23T23:16:43Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Rachid Taha.jpg|thumb|180px|Rachid Taha]]
'''Rachid Taha''' ( [[18 Septemba]], [[1958]] - [[12 Septemba]], [[2018]]) alikuwa [[mwimbaji]] na [[mwanaharakati]] wa nchini [[Algeria]].
== Maisha ya awali ==
Taha alizaliwa mnamo 1958 <ref name="twsD18">{{Cite news|title=Africa's shining music stars: Rashed TAHA|quote=Born in 1958 in Algeria, Rashed Taha, grew up in France in the poverty-stricken, working-class immigrant community around Lyon...|date=4 June 2011|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/entertainment/4628089.stm}}</ref> <ref name="twsD12" /> huko Sig, [[Wilaya ya Mascara|Mkoa wa Mascara]], [[Algeria]], <ref name="twsD18" /> ingawa chanzo cha pili kinapendekeza kwamba alizaliwa katika [[mji]] wa [[Oran]] ulio [[pwani]] ya [[Algeria]]. <ref name="twsD12">{{Cite news|title=HIGH NOTES: Rashed Taha|date=12 September 2001|url=http://search.japantimes.co.jp/cgi-bin/fm20010912a2.html}}</ref> Mji huu ulikuwa "mahali ulipozaliwa muziki wa raï", na [[1958]] ulikuwa mwaka muhimu katika mapambano ya [[uhuru]] wa [[Algeria]] dhidi ya mamlaka ya [[Ufaransa]]. <ref name="twsD12" /> Alianza kusikiliza muziki wa [[Algeria]] katika miaka ya [[1960]], <ref name="twsD13">{{Cite news|title=Nuclear fusion: Rashed Taha mixes rock and techno with Algerian street music – and the results are so good, he's already been banned from French radio|date=28 May 2001|url=https://www.theguardian.com/culture/2001/may/28/artsfeatures1}}</ref> ikiwa ni pamoja na muziki wa mtindo wa mitaani unaoitwa [[chaabi]] . <ref name="twsD13" /> Zaidi ya hayo, muziki kutoka eneo la [[Maghrib|Maghreb]] ulikuwa sehemu ya malezi yake.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
s0n2gdkedssq77gy4nfphb51yjr1696
Papa Noel Nedule
0
149545
1234796
1223434
2022-07-23T23:22:09Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Papa Noel Nedule''' ni msanii wa kurekodi muziki wa soukous na mpiga gitaa katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] ([[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|DRC]]).
Alizaliwa kama Antoine Nedule Monswet mnamo Disemba 25, 1940.<ref name=":0">https://web.archive.org/web/20191023193423/http://www.africanmusiciansprofiles.com:80/papanoel.htm</ref>
Kwa sababu alizaliwa siku ya Krismasi, alijulikana kama "Papa Noel," na mara nyingi anajulikana chini ya jina hilo (bila "Nedule").<ref name=":0" />
Aliwahi kuwa mwanachama wa bendi ya soukous TPOK Jazz, iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|François Luambo Makiadi]], ambayo ilitawala sana muziki wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya 1950 hadi 1980.<ref>http://kenyapage.net/franco/70s2.html</ref>
Alikuwa mwanachama asilia na kiongozi wa bendi ya Kékélé ilipoanzishwa mwaka wa 2000, ingawa ugonjwa ulimzuia kujiunga na bendi hiyo katika baadhi ya vipindi vyake vya kurekodi baadaye na ziara zake.<ref>{{Cite web |url=http://www.musiques-afrique.com/frames/art_kekele.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-03 |archivedate=2019-03-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20190303214938/http://www.musiques-afrique.com/frames/art_kekele.html }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
kdxo3gfamtnp9nduunkpfs3kbinafq7
Alan Namoko
0
149546
1234800
1222531
2022-07-23T23:55:30Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Alan Nomoko Namoko''' ([[1956]]-[[1995]]) <ref name=":0">https://books.google.com/books?id=r3EqAQAAIAAJ</ref> alikuwa mwanamuziki kipofu wa [[blues]] na [[jazz]] kutoka [[Malawi]].<ref>https://archive.org/details/roughguidetoworl00simo/page/533</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Alan_Namoko#cite_ref-3</ref>
Namoko alicheza banjo na kuimba kwa lugha za Lomwe, Chewa na Nyanja. Alikua mtu mashuhuri katika tasnia ya muziki ya [[Malawi]] katika miaka ya 1970 na 1980. Katika miaka ya baadaye, alizuru duniani kote. Mara nyingi aliimba na bendi ya Chimvu Jazz. '''Namoko''' alikufa mnamo Novemba 1995<ref name=":0" />
== Diskografia ==
* "A Chilenga (Mr.Chilenga)"
* "A Namoko Akulira (Namoko Mourns)"
* "Achilekwa (Mr.Chilekwa)"
* "Ana osiidwa (Yatima)", Alan Namoko na Chimvu Jazz, 1992
* "Gitala Kulira Ngati Chitsulo (Kucheza Gitaa Kama Kengele ya Kupigia)"
* "Kakhiwa Miyene (Na Nitakapokufa)"
* "Lameki (Lameck)"
* "Mwalimba Mtima ("Unaweza Kukosa Moyo Sana)
* "Mwandilanga (Umeniadhibu)"
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
hz3vt95q57x4qlyserppiabvibdy9ec
Ahmed Janka Nabay
0
149547
1234797
1222528
2022-07-23T23:30:32Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ahmed Janka Nabay''' ([[5 Januari]], [[1964]] – [[2 Aprili]], [[2018]]) <ref name=":0">https://archive.today/20180404051111/https://www.nytimes.com/2018/04/03/obituaries/janka-nabay-54-dies-carried-an-african-dance-music-worldwide.html</ref> alikuwa mwanamuziki wa [[Sierra Leone]] na mtu mashuhuri katika Muziki wa Bubu, muziki wa kitamaduni wa Temne ambao huchezwa na hadi wanamuziki 20 wanaopuliza kwenye mabomba ya mianzi ya ukubwa tofauti <ref>https://www.bbc.co.uk/africabeyond/africaonyourstreet/hosts/rita/17927.shtml</ref>. Alipata umakini wa kwanza baada ya kuigiza kwa ukaguzi wa SuperSound.<ref>https://www.spin.com/2018/04/janka-nabay-obituary/</ref>
Alirekodi albamu yake katika Studio za Forensic mjini [[Freetown]] wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya [[Sierra Leone]]. Tangu kuhamia [[Washington, D.C.|Washington, D.C]]. mnamo 2003, aliendelea kucheza muziki wa bubu, pamoja na onyesho katika Marathon ya Muziki ya Chuo cha CMJ huko [[New York]] mnamo 2009 na 2010.
Mnamo Juni 2010, aliunda bendi kamili, Janka Nabay na Genge la Bubu, na washiriki wa vikundi vinne vya mwamba vya Brooklyn Skeletons, Gang Gang Dance, na Starring.<ref>https://www.nytimes.com/2009/10/26/arts/music/26cmj.html?scp=1&sq=janka%20nabay&st=cse</ref>
Mnamo 2012, bendi yake ilitangaza kuwa wametia saini mkataba wa rekodi ya albamu tatu na lebo ya rekodi ya [[David Byrne]], Luaka Bop.
== Maisha binafsi ==
'''Janka Nabay''' alikuwa wa asili ya Mandingo na Temne, wawili wa makabila ndani ya [[Sierra Leone]].
Iliripotiwa mnamo Aprili 2, 2018 kwamba '''Janka Nabay''' alikufa kwa ugonjwa wa tumbo. Alikuwa na umri wa miaka 54.<ref>http://www.okayafrica.com/janka-nabay-sierra-leone-passed-away/</ref><ref>https://pitchfork.com/news/janka-nabay-dead-at-54/amp</ref><ref name=":0" />
Mchezaji mwenzake wa bendi ya Nabay, '''Michael Gallope''' aliandika kuhusu mchakato wa ubunifu wa bendi na uzoefu wa '''Nabay''' "mara nyingi unaodhoofisha utu" kama uhamisho akijaribu kujipatia riziki kutokana na muziki.<ref>https://www.cambridge.org/core/journals/twentieth-century-music/article/abs/world-music-without-profit/1CD61B5BF8E39E35BB8D69B258AEB4ED#article</ref>
== Kazi ==
Disarm, Iliyorekodiwa katika Island Studio Freetown,
Upande A 1) Dis-Arm, 2) Dance to the Bu-Bu 3) Lek You Culture 4) Some Body.
Upande B 1) Yay Su Tan Tan, 2) On the Bu-Bu 3) Dance to the Bu-Bu, 4) Dis-Arm
Bubu King, True Panther Sounds, 2010.<ref>http://www.dustedmagazine.com/reviews/5596</ref>
An Letah, True Panther Sounds/Luaka Bop, 2012.
En Yay Sah, Luaka Bop, 2012 <ref>http://pitchfork.com/reviews/albums/16911-en-yay-sah/</ref>
Build Music, Luaka Bop, 2017 <ref>https://www.theguardian.com/music/2017/mar/23/janka-nabay-bubu-gang-build-music-review-luaka-bop</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
lynidmutsggn2lrdwbbu0mvfub2sffg
King of Accra
0
149549
1234799
1222676
2022-07-23T23:51:05Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:King of Accra.png|alt=King of Accra|thumb|216x216px|Mfalme wa Accra ni Mghana]]
'''Nii Kommetey Comme''' (anajulikana kama [[Mfalme]] wa [[Accra]]) ni mtayarishaji wa rekodi, [[mhandisi]] wa [[sauti]] na [[mwimbaji]] wa rapa wa [[Ghana]]. Kazi yake kwenye wimbo wa Bra bɛ whɛ wa Sarkodie ambao anamshirikisha Guru na yeye mwenyewe ilimvutia katika duru za muziki za [[Ghana]]. Toleo la Nii Kommetey linajumuisha "You already know" kutoka kwa albamu ya Sarkology ya Sarkodie na Daabi na This Game ambayo ni nyimbo maarufu za Sarkodie kati ya 2009 na 2015 mtawalia. Nyimbo zake nyingine ni "Pressure Girl" na Solo Artist by [[Samani|Samini]], na "Bakaji" na DJ Mensah.
== Maisha ya awali ==
Mfalme wa [[Accra]] alizaliwa [[Accra]] huko Kaneshie Kaskazini. Alizunguka [[Ghana]] akiwa mvulana mdogo kutokana na kazi ya babaake kama Mhudumu wa [[Ukristo|Kikristo]]. Aliishi na kukulia Mempeasem huko mashariki ya Legon ambako alisoma Shule ya Elican kutoka Chekechea hadi Shule ya Upili ya Junior kuanzia [[1990]] hadi 2001. [[Accra Academy]] na kukamilika mwaka wa 2005. Alijiandikisha katika Chuo Kikuu cha [[Ghana]] mwaka wa 2008 ambako alisomea [[Falsafa]], [[Saikolojia]] na Muziki.
== Kazi ==
Mnamo Aprili 2019 alizindua tovuti ya kingfaccra.com kama tovuti ya wanamuziki ambao tayari wameanzishwa au wajao kupata midundo wanayohitaji ili kuunda muziki. Mwaka mmoja baadaye mwaka wa 2020 alitoa wimbo wa Lonely in the Garden kwenye iTunes ambao ulijitayarisha na kuanza kufanya kazi katika mfululizo wa miradi iliyopelekea albamu yake ya kwanza iliyoitwa Adulthood iliyotolewa mnamo Novemba 2020. Adulthood ni albamu ya nyimbo 19 iliyotayarishwa na mfalme wa [[Accra]] inayoshirikisha wasanii kama Magnom.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
s99ef6bxy44xk1gq6yeo6ihhj7u0iu4
Mohamed Demsiri
0
149554
1234810
1222548
2022-07-24T00:49:47Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mohamed Demsiri''' (jina kamili: : al-hajj Muhamad ibn Lahsen ad-Damsiri; 1936 – 11 Novemba 1989),Akijulikana zaidi kama '''Mohamed Demsiri''' au '''Muḥmmad Albensir.'''
Alikuwa mwimbaji-mshairi na mchezaji wa rebab wa [[Morocco]] . <ref>https://www.hespress.com/tamazight/411711.html</ref>Aliimba katika Shilha.Anachukuliwa kuwa mwakilishi wa mwimbaji wa kisasa zaidi wa amarg ajdid "kizazi kipya cha waimbaji"<ref name=":0">https://journals.openedition.org/encyclopedieberbere/2371</ref><ref name=":1">http://journals.openedition.org/encyclopedieberbere/2371</ref>
== Wasifu ==
Alizaliwa mwaka wa 1936 huko Tamsoult katika eneo la Demsira, lakini aliishi zaidi ya maisha yake huko [[Casablanca]]. Baba yake alikuwa mchinjaji. Jina lake la mwisho lilikuwa Ajahud.
Kwa hivyo, jina lake la kisanii '''Demsiri''' ambalo linamaanisha "kutoka kwa Demsira". Hata hivyo, jina lake halisi ni ''Muḥammad Ajaḥud''. Alisoma katika shule ya Kurani ili aweze kufundisha [[Qur'an]] kwa zamu, lakini hakufanya hivyo. Alianza kuwa maarufu mnamo 1963.<ref name=":0" />
Mnamo 1965, alisafiri mfululizo hadi [[Ujerumani]], [[Uswizi]], [[Ufaransa]], [[Ubelgiji]] na [[Uholanzi]] na Cirque Amar, ambayo yote yana jamii kubwa za [[Moroko|Morocco]]. Baada ya safari yake ya kwenda [[Ulaya]], alienda [[Algeria]]. Baada ya 1978, aliunda okestra yake ya wanamuziki 9, kati yao alikuwa mtoto wake wa kuasili, Hassan Aglaou.<ref name=":0" />
Kwa sababu ya nyimbo zake za kisiasa, alikamatwa mwaka wa 1981 baada ya kuandika wimbo "Aɡg°rn" (maana yake unga katika Shilha berber) ambao ulikuwa ukikosoa hali ya kijamii na kiuchumi nchini [[Moroko|Morocco]] wakati huo.<ref name=":1" /><ref name=":0" />
== Urithi ==
Mohamed Demsiri aliandika zaidi ya nyimbo na mashairi 566 yanayoshughulikia mada kadhaa za kijamii, kitamaduni na kisiasa. Baadhi ya mashairi na nyimbo zake maarufu ni:
* Unga wa Aggurn
* Rwaḥ darneɣ (Njoo Nasi)
* Ad daɣ nalla f rbbi
* Koullo Dwa Youjad Issaht
* Ah Ayatbire
* Ah Ayan Youi Wassif
* Aya Hbib Izougn
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
qernmqx2fmn9s84dsd328madf6jigsu
Ahmed Adaweyah
0
149555
1234809
1222547
2022-07-24T00:42:58Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ahmed Adaweyah''', ni [[mwigizaji]] na [[mwimbaji]] maarufu wa [[muziki]] wa ''Sha'abi'' wa nchini [[Misri]]. Pia aliigiza katika [[filamu]] 27 za [[Misri]].
== Wasifu ==
'''Adaweyah''' alizaliwa mnamo [[1945]] katika [[Mkoa wa Minya]], [[Misri]], kwa mfanyabiashara wa mifugo, alikua na ndugu 14, <ref name="sasapost">{{Cite web|url=https://www.sasapost.com/ahmed-adaweyah/|title=عدوية.. تاريخ الشارع المصري في أغاني شعبية "رغم أنف المثقفين"|work=sasapost.com|language=Arabic|date=9 December 2016}}</ref> Baadae alihamia [[Cairo]] na kuanza kufanya [[kazi]] kama mhudumu wa mgahawa, huku pia akiimba [[nyimbo]] huko [[Kairo|Cairo]] mwaka [[1969]]. Rekodi zake ziliuzwa sana na zilisambazwa kupitia kaseti ya sauti mitaani.
== Maisha binafsi ==
'''Adaweyah''' alioa mnamo [[1976]], ana binti mmoja, Warda, na mtoto wa kiume, Mohammed, ambaye pia ni mwimbaji. <ref>{{Cite web|url=https://www.elfann.com/news/show/1242757/%D9%82%D8%B5%D8%A9-%D8%A3%D8%AD%D9%85%D8%AF-%D8%B9%D8%AF%D9%88%D9%8A%D8%A9-%D8%AA%D8%B9%D9%88%D8%AF-%D9%84%D9%84%D8%A3%D8%B6%D9%88%D8%A7%D8%A1-%D8%BA%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%A3%D9%85%D9%8A%D8%B1-%D9%83%D9%88%D9%8A%D8%AA%D9%8A-%D9%88%D9%87%D9%8A%D8%B1%D9%88%D9%8A|title=قصة أحمد عدوية تعود للأضواء: غيرة أمير كويتي وهيروين وإخصاء وزوجة تؤكد على رجولته|work=elfann.com|language=Arabic|date=19 May 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nj5z4q7mafubc89s765u5qrbptnogly
ZeeZee Adel
0
149556
1234898
1224527
2022-07-24T10:44:35Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''ZeeZee Adel''' (pia hutamkwa kama '''Zizi''' na '''Zeze''', alizaliwa [[26 Oktoba]], [[1987]], [[Kuwait]] <ref name="jarida">{{Cite news|url=http://www.aljarida.com/news/index/170057/|date=11 July 2007|language=ar}}</ref> ) ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Misri]]. <ref name="alrai">{{Cite news|url=http://www.alrai.com/pages.php?news_id=256256|title=Zizi Adel — Album and clip of the (promised high)|date=8 November 2009|language=ar}}</ref> Adel alikuja kujulikana kwa mara ya kwanza alipoingia katika msimu wa pili wa mashindano ya ''Star Academy'' mwaka [[2005]], <ref>{{Cite news|url=http://www.alriyadh.com/2005/01/24/article10940.html|date=24 January 2005|language=ar}}</ref> na kuishika nafasi ya tatu baada ya Hisham Abdulrahman na Amani Swissi kwenye nusu fainali. <ref>{{Cite news|url=http://www.elaph.com/Music/2005/4/54423.htm|date=11 April 2005|language=ar}}</ref>
== Baada ya Star Academy ==
Baada ya ''Star Academy'', Zizi Adel alitia saini ya mkataba na Rotana mwaka [[2007]]. <ref>{{Cite news|url=http://www.alwatanvoice.com/arabic/news/2007/01/17/71223.html|date=17 January 2007|work=Alwatan Voice|language=ar}}</ref> [[Albamu]] yake ya kwanza, ''Wahad Tayib Kbeeeeeer Awi'' ( ''One Good Package'' ), <ref>{{Cite news|url=http://www.alriyadh.com/2007/01/28/article220293.print|date=28 January 2007|work=Al Riyadh|language=ar|title=Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2022-05-03|archivedate=2011-07-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110717074507/http://www.alriyadh.com/2007/01/28/article220293.print}}</ref> iliyotolewa mwaka 2007, ilikua na nyimbo nane zikiwemo nyimbo kama ''Hobbo Eja Alayah'' ( ''Uaccounted Premature Fire'' ) na ''Wahad Tani''.
Zizi Adel alishinda [[tuzo]] ya ''ART'' kama msanii bora mpya na albamu bora ya mwaka 2007. Alisoma katika [[:en:Institute_of_Arabic_Music|I]]''nstitute of Arabic Music''.
Albamu ya pili ya Adel, iliyotolewa mwaka [[2009]], ''Waed Alia'' ( ''Promised High'' ), iliyokua na nyimbo 10.
== Orodha ya kazi za muziki ==
=== Albamu ===
* 2007: ''Wahda Tayiba''
* 2009: ''Waed Alia''
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
lf7lsjy9p94gollrf5ievymi4fpzjw6
Batile Alake
0
149558
1234811
1222558
2022-07-24T01:01:30Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Batile''' au '''Batili Alake''' (alifariki [[2013]]) alikuwa [[mwimbaji]] maarufu wa nchini [[Nigeria]] . <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=4AKV1PK8bxcC&pg=PA181|title=The notion of "religion" in comparative research: selected proceedings of|last=Bianchi|first=Ugo|publisher=L'ERMA di BRETSCHNEIDER|year=1994|isbn=88-7062-852-3|pages=181|author-link=}}</ref> <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xjLaAAAAMAAJ|title=Continuum encyclopedia of popular music of the world, Volumes 3-7|last=Shepherd|first=John|last2=Dave Laing|publisher=Continuum|year=1994|isbn=0-8264-7436-5|pages=165|author-link=}}</ref>
== Maisha binafsi ==
'''Batile''' Alake alizaliwa Ijebu Igbo, katika [[Jimbo la Ogun]] . [[Alhaji]] '''Batile''' Alake alifariki mwaka 2013, akiwa ana kadiriwa kua na [[umri]] wa miaka 78. Umri wake sahihi haukujulikana. <ref>Abiodun Onafuye/Abeokuta, [http://www.pmnewsnigeria.com/2013/08/10/waka-creator-batili-alake-dies/ "Waka Creator, Batili Alake, Dies"] ''PM News Nigeria'' (August 10, 2013).</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
65jqipdn8itm3ctsw1sjovzv8xabz3i
Alberta (mwimbaji)
0
149559
1234812
1222561
2022-07-24T01:06:22Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Alberta''' (jina la kuzaliwa '''Alberta Sheriff''' ) <ref name="British Hit Singles & Albums">{{Cite book|title=British Hit Singles & Albums|last=Roberts|first=David|publisher=Guinness World Records Limited|year=2006|isbn=1-904994-10-5|edition=19th|location=London|page=18}}</ref> ni [[mwimbaji]] kutoka [[Sierra Leone]], ambaye alishiriki mara mbili katika uteuzi wa awali wa shindano la wimbo wa Eurovision la [[Ufalme wa Muungano|Uingereza]] ( ''United Kingdom's Eurovision Song Contest'') na shindano la nyimbo bora la [[Uingereza]] (''The Great British Song Contest)'', na kumaliza katika nafasi ya pili katika mashindano yote mawili.
[[Wimbo]] wake wa mwaka [[1998]], "Yoyo Boy", ulifikia kilele cha 48 katika [[UK Singles Chart]] mnamo [[Desemba]] mwaka huo.
== Viungo vya nje ==
* http://londonboy79.blogspot.com/
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
hzoqpufpi1q2l4ziij7rgpmfijtk0wi
Nonso Amadi
0
149560
1234813
1222563
2022-07-24T01:10:11Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Nonso Amadi''' (alizaliwa [[Septemba 1]], [[1995]]) ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Nigeria]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] na [[Mtayarishaji wa Muziki|mtayarishaji wa muziki]]. <ref name="guardian.ng">{{Cite web|author=Ekemezie|first=Henry|url=https://guardian.ng/saturday-magazine/singer-nonso-amadi-drops-video-for-no-crime/|title=Singer, Nonso Amadi drops video for No Crime | The Guardian Nigeria News - Nigeria and World NewsSaturday Magazine — The Guardian Nigeria News – Nigeria and World News|publisher=Guardian.ng|date=|accessdate=2019-05-25}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Nonso Amadi alizaliwa Septemba 1, 1995, kwa wazazi wake nchini [[Nigeria]]. Ni wa tatu kati ya familia ya watu saba na alikulia [[Nigeria]] kabla ya kuhamia [[Ufalme wa Muungano|Uingereza]] .
== Elimu ==
Alisomea katika chuo cha Chrisland Idimu, [[Lagos]] na kuhitimu mwaka [[2009]]. Alisomea [[uhandisi]] wa [[kemikali]] katika [[Chuo Kikuu]] cha Covenant, na mnamo [[2014]] aliendelea na masomo yake katika Chuo Kikuu cha [[Swansea]] [[Uingereza]]. Ana [[shahada ya uzamili]] kutoka Chuo Kikuu cha McMaster, [[Kanada]] . <ref name="pulse.ng">{{Cite web|url=https://www.pulse.ng/entertainment/celebrities/mancrushmonday-the-new-promising-voice-of-alternative-music-nonso-amadi/4f1xcqx|title=The new promising voice of alternative music, Nonso Amadi|date=30 April 2018|work=www.pulse.ng}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
a964taq22suve71bshitts28x0gev9c
Constance Amiot
0
149561
1234814
1222565
2022-07-24T01:12:52Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Constance Amiot''' (alizaliwa [[1978]]) ni [[Mtunzi|mtunzi,]][[mwandishi]] wa [[nyimbo]] katika [[lugha]] ya [[Kifaransa]] na [[Kiingereza]] katika [[mtindo]] wa ''acoustic pop-folk''.
Alizaliwa na wazazi [[raia]] wa [[Ufaransa]] huko [[Abidjan]] huko [[Cote d'Ivoire|Ivory Coast]], alikulia [[Kamerun]] na [[Marekani]], na akaishi [[Paris]] mwaka [[2000]]. <ref name="RFI">"[http://www.rfimusique.com/musiquefr/articles/089/article_16855.asp Le conte de fée de Constance Amiot]", ''[[Radio France Internationale|RFI]]'', 16 May 2007, Retrieved 2011-05-29</ref> Alianza kazi yake ya muziki kama mpiga [[kinanda]] katika kikundi cha rock kilichoitwa ''Virus'' ambacho kiliimba matoleo ya awali ya nyimbo za Guns N' Roses, wakati wote akisoma masomo yake ya [[sheria]], fasihi na uhandisi wa sauti. Alichukua [[Gitaa kavu|gitaa]] kama chombo chake cha upendeleo, alivutiwa na wasanii kama [[Tracy Chapman]] .
== Orodha ya kazi zake za muziki ==
* ''Whisperwood'' ([[2005]])
* Hadithi ([[2007]]), ''Tôt'' ou tard/Warner
* ''Mara'' Mbili ([[2011]]), Tôt Ou Tard / Warner
* ''Blue Green Tomorrows'' EP ([[2012]]), Believe Digital
* ''12ème Parallèle'' ([[2014]]), Believe Digital
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
reeovagl1o5cfgxrg46vyv2hazni00k
Hatim Ammor
0
149562
1234815
1222568
2022-07-24T01:17:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Hatim Ammor discusses perseverance حاتم عمور يتحدث عن المثابرة Hatim Ammor prône la persévérance.jpg|thumb|Hatim Ammor]]
'''Hatim Ammor''' (alizaliwa [[29 Agosti]], [[1981]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Morocco]]. <ref>{{Cite web|title=Objet de moqueries sur les réseaux sociaux, Hatim Ammor s'explique (VIDEOS)|url=https://www.lesiteinfo.com/maroc/objet-de-moqueries-sur-les-reseaux-sociaux-hatim-ammor-sexplique-videos/|accessdate=2021-10-10|work=Le Site Info|language=fr-FR}}</ref> Alifanya maonyesho kwenye ''Expo [[2020]]'' . <ref>{{Cite web|title="Expo Dubaï 2020": Concert haut en couleurs de Hatim Ammor|url=https://fr.hespress.com/227191-expo-dubai-2020-concert-haut-en-couleurs-de-hatim-ammor.html|accessdate=2021-10-10|work=Hespress Français|language=fr-FR}}</ref>
'''Ammor''' alizaliwa mwaka 1981 huko Hay Mohammadi . <ref>{{Cite web|date=November 17, 2016|title=Moroccan Singer Hatim Ammor Shoots in New York|url=https://www.moroccoworldnews.com/2016/11/201600/moroccan-singer-hatim-ammor-shoots-in-new-york|accessdate=2021-10-10|work=Morocco World News|language=en}}</ref> Mkewe, Hind Tazi, alipatikana na [[saratani]] mnamo [[2019]]. <ref>{{Cite web|author=Hatim|first=Yahia|date=September 11, 2019|title=Celebrities Show Support for Wife of Moroccan Singer Hatim Ammor After Cancer Diagnosis|url=https://www.moroccoworldnews.com/2019/09/282398/celebrities-support-wife-moroccan-singer-hatim-ammor-cancer-diagnosis|accessdate=2021-10-10|work=Morocco World News|language=en}}</ref> Ammor ni [[balozi]] wa [[kampuni]] ya Oppo . <ref>{{Cite web|date=March 2, 2021|title=Hatim Ammor offre sa notoriété à Oppo|url=https://aujourdhui.ma/culture/hatim-ammor-offre-sa-notoriete-a-oppo|accessdate=2021-10-10|work=Aujourd'hui le Maroc|language=fr-FR}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
o67ev4626mzln5q91m02ov7caspxuqo
Comfort Annor
0
149564
1234816
1222900
2022-07-24T01:20:51Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Comfort Annon''' ([[1949]] – [[22 Februari]], [[2015]]) alikuwa [[mwanamuziki]] wa nchini [[Ghana]] aliyejulikana kwa sauti yake ya kipekee ya uimbaji. <ref>{{Cite web|url=http://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201502/232840.php|title=Veteran Gospel Musician Comfort Annor Cries For Help!...Kidney And Liver Almost Gone|author=Online|first=Peace FM|accessdate=2016-08-08}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.myjoyonline.com/entertainment/2015/february-22nd/veteran-gospel-musician-comfort-annor-is-dead.php|title=Ghana News - Veteran gospel musician Comfort Annor has died|author=Myjoyonline.com|work=www.myjoyonline.com|accessdate=2016-08-08|archivedate=2019-07-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190724090741/http://www.myjoyonline.com/entertainment/2015/february-22nd/veteran-gospel-musician-comfort-annor-is-dead.php}}</ref>
== Wasifu ==
'''Comfort Annon''' pia alijulikana kama ''Ama Otu Bea'' alikuwa [[Shemasi]] wa [[kanisa]] la [[Pentekoste]] na alikua anatokea Kasoa Bawjiase katika [[Mkoa wa Kati, Ghana|Mkoa wa Kati]] wa [[Ghana]] ..'''Comfort''' alikuwa na [[watoto]] saba. <ref>{{Cite web|url=http://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201504/238039.php|title=Comfort Annor To Be Buried On May 30|author=Online|first=Peace FM|accessdate=2016-08-08}}</ref>
Alifariki manmo 22 Februari 2015 katika eneo la Okomfo Anokye akiwa na [[umri]] wa miaka 66. <ref>{{Cite web|url=http://www.ghana-news.adomonline.com/entertainment/2015/february-22nd/veteran-musician-comfort-annor-is-dead.php|title=Ghana News - Veteran musician Comfort Annor is dead|author=adomonline.com|work=www.ghana-news.adomonline.com|accessdate=2016-08-08|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160917175301/http://www.ghana-news.adomonline.com/entertainment/2015/february-22nd/veteran-musician-comfort-annor-is-dead.php|archivedate=2016-09-17}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://enewsgh.com/2015/02/22/obituary-gospel-musician-comfort-annor-dead/|title=OBITUARY: Gospel musician Comfort Annor DEAD{{!}} ENewsGh|work=Proudly Ghanaian! {{!}} ENewsGh|accessdate=2016-08-08}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201504/238039.php|title=Comfort Annor To Be Buried On May 30|author=Online|first=Peace FM|accessdate=2016-08-08}}</ref> Ingawa chanzo cha [[kifo]] chake hakijajulikana, inasemekana alikuwa akisumbuliwa na [[maradhi]] ya [[ini]] na [[figo]] tangu [[Oktoba]] [[2014]] alipougua. <ref>{{Cite web|url=http://www.africanseer.com/news/400120-ghanaian-gospel-musician-comfort-annor-has-died.html|title=Ghanaian Gospel Musician Comfort Annor Has Died|work=AfricanSeer.com|accessdate=2016-08-08|archivedate=2016-08-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160809104503/http://www.africanseer.com/news/400120-ghanaian-gospel-musician-comfort-annor-has-died.html}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
[[Jamii:Waliofariki 2015]]
pnil9klzfnrzg1i9sv87grt0tim23d6
Mike Ejeagha
0
149565
1234817
1222573
2022-07-24T01:24:47Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mike Ejeagha''' (alizaliwa [[Agosti]], [[1932]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa ngano wa nchini [[Nigeria]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]], na [[mwanamuziki]] kutoka [[Jimbo la Enugu]]. '''Ejeagha''' alianza [[kazi]] yake ya [[muziki]] katikati ya [[karne]] ya 20. Pia anajulikana kama ''Mabwana'', Ejeagha amekuwa na ushawishi mkubwa katika mageuzi ya [[muziki]] katika [[lugha]] ya [[Igbo]] kwa zaidi ya [[miongo]] 6. Wimbo wake wa kwanza ulikuwa mwaka [[1960]] - mwaka wa [[Historia ya Nigeria|uhuru wa Nigeria]] .
'''Ejeagha''' amechangia zaidi ya rekodi mia tatu kwenye Hifadhi ya Kitaifa ya [[Nigeria]] iliyotayarishwa wakati wa kazi yake ya kuchunguza [[muziki]] wa ngano wa [[Igbo]]. <ref name="oti">{{Cite book|title=Highlife Music in West Africa|last=Sonny Oti|publisher=Malthouse Press|year=2009|isbn=978-978-8422-08-2|pages=53}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
2bedva86xyeowtzcw8i3ulyuston1dq
Dauda Epo-Akara
0
149566
1234818
1222575
2022-07-24T01:26:12Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Dauda Akanmu Epo-Akara''' ([[23 Juni]], [[1943]] – [[Agosti]], [[2005]]), [[mwanamuziki]] wa [[Wayoruba|Kiyoruba]] kutoka [[mji]] wa kihistoria wa [[Ibadan]], alikuwa ndiye chanzo kikuu cha [[Utanzu|aina]] ya [[muziki]] ya [[Kiyoruba]] uitwao ''were music''
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 2005]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
* [http://www.modernghana.com/movie/2740/3/tribute-to-awurebe-king-epo-akara.html Biography of Dauda Epo-Akara]
d2vllbtb1fyvtemmdak3vpi056t39hl
Mayaula Mayoni
0
149568
1234820
1222584
2022-07-24T01:35:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mayaula Mayoni''' ([[1945]] - [[2010]]) alikuwa msanii wa kurekodi [[muziki]] wa [[soukous]], mtunzi na mwimbaji, katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)]]. Aliwahi kuwa mwanachama wa bendi ya [[soukous]] [[Jazz|TPOK Jazz]], iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|François Luambo Makiadi]], ambayo ilitawala sana tasnia ya [[muziki]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya 1950 hadi 1980<ref>http://www.muzikifan.com/congo.html</ref>. Moja ya nyimbo bora za marehemu '''Mayaula''' '''Mayoni''' ni ''Cherie Bondowe''
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
ivdc6bnk1lxqar9xf6z9q5igl931s1k
Fati Niger
0
149570
1234819
1222582
2022-07-24T01:30:44Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Binta Labaran''' ([[jina]] la [[sanaa]] anajulikana kama '''Fati Niger''' ) ni [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] wa [[Niger]] ambaye amepewa jina la ''"Gimbiyar Mawakan Hausa"''.
[[Fati Niger]] ametoa [[albamu]] 4 zenye zaidi ya [[nyimbo]] 500. Anatoka katika [[kabila]] la [[Wahausa|Hausa]] . <ref>{{Citation|last=|first=|title=Why I’m still single – Fati Niger|url=https://www.blueprint.ng/why-im-still-single-fati-niger/|page=|year=2016|publication-place=|publisher=Blueprint|access-date=2021-05-18}}</ref> <ref>{{Citation|last=|first=|title=Fati Niger: An Exotic Songbird From Niger Rep.|url=https://dailytrust.com/fati-niger-an-exotic-songbird-from-niger-rep|page=|year=2011|publication-place=|publisher=Daily Trust|access-date=2021-05-18}}</ref> <ref>{{Citation|last=|first=|title=5 Kannywood Divas That Are Not Nigerians|url=https://dailytrust.com/5-kannywood-divas-that-are-not-nigerians|page=|year=2021|publication-place=|publisher=Daily Trust|access-date=2021-05-17}}</ref>
== Maisha ya awali na kazi ==
[[Fati Niger]] alizaliwa na kununuliwa huko ''Maradi'', [[Niger|Jamhuri ya Niger]] . Alipokuwa akikua, amekuwa na shauku ya kuimba hasa [[nyimbo]] za kitamaduni za [[kihausa]] ambazo huimbwa zaidi usiku wa mwezi mzima miongoni mwa vijana katika Vijiji vya [[Kihausa|Hausa]].
Baada ya kumtembelea dada yake mwaka [[2004]] nchini [[Nigeria]], aligundua [[tasnia ya muziki]] inayostawi katika jiji la [[Kano]] . Huko, aliomba ushauri na ridhaa ya dada yake kabla ya kurekodi [[wimbo]] wake wa kwanza katika studio ya ''Ali Baba'' katika jiji la [[Kano]] . <ref>{{Citation|last=|first=|title=History of Kannywood female singer, Fati Niger and her Net worth|url=https://www.hausatoday.com/history-of-kannywood-female-singer-fati-niger-and-her-networth/|page=|year=2017|publication-place=|publisher=Hausa Today|access-date=2021-05-18}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cz6wbd9s7zkfld6uk1tkr3pm64glelu
Joe Mensah
0
149571
1234821
1222586
2022-07-24T01:42:24Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Joe Mensah''' (alifariki [[2003]]) alikuwa [[mwimbaji]] na [[mwanamuziki]] wa [[Ghana]]. <ref>http://www.discogs.com/artist/352300-Joe-Mensah</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_ref-mirror_2-0</ref><ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-mjo-3</ref>Akifafanuliwa kama icon ya [[muziki]] wa [[Ghana]], ni mmoja wa waanzilishi wa aina ya [[muziki]] wa hali ya juu na<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-ghanadot-4</ref> miongoni mwa [[wanamuziki]] mashuhuri zaidi wa miaka ya 1950 na 1960<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-davies-5</ref>. Nyimbo zake maarufu ni pamoja na "Bonsue" na "Rokpokpo"<ref name=":0" />kutoka kwa albamu yake ya 1977 The Afrikan Hustle.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-hustle-6</ref>
'''Mensah''' alicheza jukumu muhimu katika uundaji wa Muungano wa [[Wanamuziki]] wa [[Ghana]] na aliwahi kuwa raisi wake wa kwanza<ref name=":0" />. Akiwa [[Marekani]] alisomea [[muziki]] katika Shule ya Juilliard <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-er-7</ref>na kuanzisha kipindi cha redio kwenye WKCR katika [[Chuo Kikuu cha Columbia]] kikishirikisha [[muziki]] wa [[Kiafrikaans|Kiafrika]], kinachoendelea leo.<ref name=":0" /><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Joe_Mensah#cite_note-columbia-8</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
nzwoxdof1bmc216o5vf0zmiuabojwef
Obi Mhondera
0
149573
1234823
1224233
2022-07-24T01:53:16Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Obi Mhondera''' (alizaliwa [[Mei 21]], [[1980]] huko Mutare, [[Zimbabwe]]) ni mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji na mchanganyaji tena anayewajibika kwa matoleo mengi kuu [[Ulimwengu|ulimwenguni]] kote, haswa nchini [[Uingereza]], [[Ulaya]] na [[Asia]].
== Historia ==
Alizaliwa na kukulia [[Zimbabwe]] kabla ya kuhamia [[Uingereza]]. Rekodi yake ya kwanza ya kujulikana ilikuwa "Flip Reverse" ambayo ilifikia nambari. 2 katika Chati ya Wasio na Wapenzi wa [[Uingereza]]. Tangu wakati huo amefanya kazi na Sugababes, Blue, RBD, Boa, Dream, Jeremy Greene, Tata Young, Blazin' Squad, Billie Piper, Mutya Buena, Monrose, Room 2012, Queensberry, Cinema Bizarre, Jimi Blue na Jeanette Bierderman.
== Madeleine McCann ==
'''Mhondera''' aliufanyia upya wimbo wa "Missing (Uko Wapi?)", wimbo wa kusaidia Watu Waliopotea katika kumkumbuka ''Madeleine McCann''.<ref>http://www.littlehamptongazette.co.uk/leisure?articleid=3027556</ref><ref>http://www.theargus.co.uk/news/1454160.musicians_record_song_for_madeleine/</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
tc0hdlxlfzk6u5ki3kzssxqasvplw7p
Phatiah
0
149574
1234826
1222602
2022-07-24T02:06:53Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Fatiah Kaninsoura Ojediran''' (alizaliwa [[26 Agosti]], [[2008]]) ni [[mwimbaji]] na [[mwandishi]] wa nchini [[Nigeria]] na anajulikana kama ''Phatiah''.<ref>{{Cite web|url=http://newsexplorersng.com/unveiled-phatiah-kanyinsola-nigerias-new-face-of-music/|title=Unveiled!!! Phatiah Kayinsola, Nigerians new face of music|website=newsexplorersng.com|language=en-US|access-date=2020-05-16}}</ref>
== Elimu ==
Alizaliwa 26 Agosti 2008 katika [[jimbo la Lagos]], [[Nigeria]]. Alijiunga na [[shule]] ya Starfield huko [[Lagos]] kwaajili ya kusoma [[elimu]] yake ya msingi na Sekondari na baadae alisoma katika shule ya Ifako International Schools kuendelea na elimu yake ya sekondari.<ref>{{Cite web|url=https://leadership.ng/phatiah-set-to-release-new-album-leader-of-tomorrow/|title=Phatiah set to release new album, leader of tomorrow|website=leadership.ng|language=en-US|access-date=2020-04-13}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.independent.ng/phatiah-makes-plea-for-children-with-new-single-leaders-of-tomorrow/|title=Phatiah makes plea for children with new single, leaders of tomorrow|website=independent.ng|language=en-US|access-date=2020-02-15}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
8kzjafgcfhecgxz8j1ssqj47zv6as4j
Verckys Kiamuangana Mateta
0
149575
1234824
1222596
2022-07-24T02:01:52Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Verckys Kiamuangana Mateta''' (amezaliwa 19 Mei 1944, [[Kinshasa]], [[Zaire (mkoa)|Zaire]]) <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Verckys_Kiamuangana_Mateta#cite_note-LarkinGE-1</ref>ni [[mwanamuziki]] (hasa mpiga ''saksafoni''), mtunzi, kiongozi wa bendi, mtayarishaji wa rekodi, na kiongozi wa biashara ya [[muziki]] katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC]]).<ref name=":0">http://www.muzikifan.com/veve.html</ref>
== Wasifu ==
Alizaliwa kama ''Georges Kiamuangana''. Alitoka katika familia tajiri; baba yake alikuwa mfanyabiashara huko ''Leopoldville'' (sasa ni [[Kinshasa]]). Alijifunza [[muziki]] [[Kanisa|kanisani]]. Kama mpiga ''saksafoni'', alichukua jina la Verckys kulingana na mpiga ''saksafoni'' wa [[Marekani|Kimarekani]] King Curtis, akisikia jina "Curtis" kama "Verckys."<ref name=":0" />
Alikuwa kwenye kikundi cha bendi ya [[soukous]] TPOS jazz,Iliyo ongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|François Luambo Makiadi]], ambaye alitawala tasnia ya [[muziki]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kong]] miaka ya 1950 hadi 1980.<ref>https://web.archive.org/web/20140226191119/http://www.muzikifan.com/congo.html</ref>
Mnamo 1969, Verckys Kiamuangana alihama TPOK Jazz na kuanzisha bendi yake, Orchester Vévé.
Verkys <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Verckys_Kiamuangana_Mateta#cite_note-4</ref>pia alisimamia bendi zingine mbili, alizokuwa akimiliki: Orchester Kiam na Orchester Lipua Lipua. Miongoni mwa [[wanamuziki]] waliowahi kuichezea Verkys miaka ya 1970 ni Nyboma Mwandido na [[Pepe-Kalle|Pepe Kalle]]. Katika miaka ya mapema ya 1980 Verckys aliacha uchezaji wa muziki, ili kufuata mambo mengine.<ref>https://kenyapage.net/franco/60s.html</ref>
Mnamo 2015, Sterns Music ilitolewa katika muundo wa MP3 sehemu kubwa ya lebo ya rekodi ya Verckys's Éditions Vévé (chapisho la [[blogu]] linalotangaza hili linajumuisha wasifu wa Verckys).
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
05c903aotu2gexq6rmc7mws2xvr701y
Paulo Flores
0
149576
1234822
1222594
2022-07-24T01:47:40Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Paulo Flores''' (alizaliwa [[1972]]) ni [[mwanamuziki]] kutoka [[Angola]] . Alizaliwa [[Luanda]] na alitumia baadhi ya utoto wake huko [[Lisbon]]. [[Muziki]] wake mara nyingi huandika kwa [[lugha]] ya [[Kireno]] ingawa baadhi ni katika lugha ya [[Kimbundu]] . [[Muziki]] wake mara nyingi ni wa kisiasa wenye maudhui kama ugumu wa maisha ya [[Angola|Waangola]], na [[ufisadi]].
Mtindo wake wa [[muziki]] wa [[Angola]] unajulikana kama ''Semba'' . Baadhi ya nyimbo zake zilionyeshwa katika [[filamu]] ya [[Kifaransa]] ya ''La Grande Ourse'' . Mnamo [[Aprili]] [[2007]] alitumbuiza kwenye ukumbi wa kwanza wa Trienale de Luanda na mnamo [[4 Julai]] [[2008]] [[Paulo Flores]] alitumbuiza kwenye tamasha katika uwanja wa ''Coqueiros'' na watu wapatao 25.000. Mwishoni mwa Julai [[2009]] alitumbuiza katika ufunguzi wa Tamasha la Kimataifa la [[Jazz]] la [[Luanda]] . <ref>{{Cite web|url=http://www.allaboutjazz.com/php/news.php?id=39600|title=Luanda International Jazz Festival|publisher=All About Jazz.com|accessdate=9 March 2012}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
qi5ad4juftx0e7rfrfsi6bqqadf6bef
Vee Mampeezy
0
149577
1234829
1222608
2022-07-24T02:25:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Vee Mampeezy''' maarufu kama ''Vee'', '''Vee Mampeezy''',(amezaliwa 1983<ref>https://tswalebs.com/top-of-the/odirile-vee-mampeezy-sento/vee-mampeezy-biography-age-cars-albums-awards-wife-business?content</ref> uko [[Hukuntsi]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[Botswana]] na kiongozi na mtunzi wa nyimbo za Lamalanga na Black Money Makers records. Ameolewa na Kagiso Sento, na kwa pamoja wana watoto wawili.
== Kazi ==
'''Vee Mampeezy''' amekuwa kwenye [[tasnia ya muziki]] kwa miaka ishirini ya mafanikio. Alishinda tuzo kadhaa katika [[tasnia ya muziki]].
[[Albamu]] yake ya kwanza ilitolewa chini ya studio ya Black Money Makers, na baadaye ikahamia Eric Ramco records<ref>http://rudeboynecta.blogspot.com/2009/05/odirile-sento-aka-vee.html</ref>. Mnamo 2005, Sento alifanya kazi na mmoja wa watayarishaji maarufu nchini [[Afrika Kusini]] anayeitwa Godfrey 'Guffy' Pilane kwenye mradi ambao haukufanikiwa uitwao Ntja mme. Wawili hao walitengana na akaanzisha lebo yake ya kurekodi iitwayo Black Money Makers.
Mnamo mwaka [[2019]], video ya [[muziki]] ya [[Vee Mampeezy]] Dumalana (Iliyopigwa na Kuongozwa na Jack Bohloko) ikawa video ya muziki iliyotazamwa zaidi nchini [[Botswana]], ikiwa na maoni zaidi ya milioni 10 kwenye [[YouTube]]. Amefunga ndoa na Kagiso Ruth Sento na kuwa na watoto wawili. <ref>https://tswalebs.com/top-of-the/odirile-vee-mampeezy-sento/vee-mampeezy-biography-age-cars-albums-awards-wife-business?content</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
lc8e3y1fx96mktzj93cgh8571u2hs7j
Baba Fryo
0
149578
1234825
1222601
2022-07-24T02:04:39Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Baba Fryo''' ([[jina]] la kuzaliwa '''Friday Igwe''') ni [[mwimbaji]] mkongwe wa [[Nigeria]] kutoka Ajegunle . [[Wimbo]] wake maarufu nchini [[Nigeria]] uliitwa "Dem go dey pose" alioutoa mwishoni mwa miaka ya [[1990]]. <ref>{{Cite web|url=https://punchng.com/i-need-help-baba-fryo-cries-out/|accessdate=October 3, 2020|first=Chijekwu|author=Michael|title=I need help Baba Fryo cries out}}</ref>
== Maisha binafsi ==
'''Baba Fryo''' alisema [[mwaka]] [[2017]] kwamba alitamani kuoa [[mwanamke]] ambaye pia anafanya [[biashara]] ya showbiz.
Alilalamika kwamba kama angeowa mtu mashuhuri kama yeye, kazi yake isingeshuka kama ilivyokuwa kwa sababu mke angeinua kazi yake pia. Hata hivyo alisema bidii nyingi zimemsaidia sana. <ref>{{Cite web|title=BABA FRYO LAMENTS!‘I wish I married a wife in the showbiz business’|url=https://www.vanguardngr.com/2017/08/baba-fryo-lamentsi-wish-married-wife-showbiz-business/|accessdate=2021-03-04|work=Vanguard News|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nse4pj8eeh85771q41rud4f9mp9gt2q
Steve Makoni
0
149579
1234827
1222603
2022-07-24T02:11:24Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Steve Makoni''' ni mcheshi, mtunzi wa nyimbo na mpiga [[Gitaa kavu|gitaa]] la solo kutoka [[Zimbabwe]]
== Historia ==
'''Makoni''' labda anafahamika zaidi kwa kibao chake cha "''Sabhuku Nedhongi''". Baada ya muda wa kutofanya kazi alicheza tena mnamo Desemba, 2009.<ref>https://www.pindula.co.zw/Steve_Makoni</ref>
Pia aliandika na kuimba [[wimbo]] wa kuwawezesha [[mwanamke]] "Handiende" kuhusu [[mke]] kumwambia mumewe kwamba hatakwenda kama mume anataka kuolewa tena bali afadhali abaki kwa ajili ya watoto wake.
[[Wimbo]] mwingine anaojulikana nao ni "''Zvachonyana''" ambao ni wimbo unaohusu hali halisi na utiaji chumvi wa [[mapenzi]], kwa mfano, kana usipo, handidye, apedza hupfu ndiyani? - ambayo inatafsiriwa kama haupo [[Mapenzi|mpenzi]] wangu, sitakula, lakini basi ni nani anayemaliza chakula kwenye kabati. Mtazamo wake wa katuni kuhusu masuala ya kweli ulimfanya kuwa maarufu.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
tq6kyqu75norbejz4yfat7m405huzjv
Robert Fumulani
0
149581
1234828
1226345
2022-07-24T02:19:09Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Fumulani''' ([[1948]] – [[1998]]) alikuwa [[mwanamuziki]], na [[mfanyabiashara]] wa nchini [[Malawi]] .
== Wasifu ==
'''Fumulani''' ameelezewa kama "mmoja wa waongozaji wa bendi maarufu zaidi [[Malawi]], mwishoni mwa miaka ya [[1980]] na [[1990]]", <ref>{{Cite web|first=Matthew|author=LaVoie|url=http://blogs.voanews.com/music-time-in-africa/2008/02/26/musical-sunshine-from-malawi/|title=Musical Sunshine from Malawi|date=February 26, 2008|accessdate=January 5, 2016}}</ref> na kama "msanii wa [[muziki]] wa kitaifa aliyebarikiwa ". <ref>William Kamkwamba and Bryan Mealer, ''The Boy Who Harnessed the Wind'' (HarperCollins, 2009), p. 29.</ref> Alikuwa sehemu ya kizazi cha waimbaji wa kiume ambao maudhui yao yalikuwa kuhusu maisha, lakini hayana [[maudhui]] ya kisiasa. <ref name="Dictionary">{{Cite book|title=Historical Dictionary of Malawi|url=https://archive.org/details/historicaldictio00tenn|last=Kalinga|first=Owen J. M.|publisher=Scarecrow Press|year=2012|isbn=0810859610|page=[https://archive.org/details/historicaldictio00tenn/page/n369 329]|author-link=Owen J. M. Kalinga}}</ref> Katika miaka ya 1980 alikuwa mshindi mara tatu wa [[tuzo]] ya [[Malawi]] ya "Entertainer of the Year".
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 1998]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
du2gi7xzzug4htpv7gxxxsw4y5zjzv4
Jean-Marc Luisada
0
149583
1234840
1222666
2022-07-24T05:09:37Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Jean-Marc Luisada''' (amezaliwa 3 Juni 1958) ni mpiga [[kinanda]] [[Mfaransa]] aliyezaliwa huko Bizerte, [[Tunisia]]. Alianza kutumia [[kinanda]] akiwa na umri wa miaka sita, "umri wa kawaida".<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Jean-Marc_Luisada#cite_note-Straits1-1</ref>
== Wasifu ==
Akiwa na umri wa miaka 16 alianza masomo katika Conservatoire de Paris chini ya Dominique Merlet na Marcel Ciampi (piano) na Geneviève Joy-Dutilleux ([[muziki]] wa chumbani). Pia amesoma na Nikita Magaloff na Paul Badura-Skoda.
Mnamo 1985 alishinda [[tuzo]] ya 5 kwenye Shindano la XI la Kimataifa la Chopin Piano huko Warsaw.
Akiwa na umri wa miaka 29 alikuwa ameigiza [[Ulaya]], [[Marekani]], na [[Asia]]<ref name=":0" /> na alijulikana kama mwigizaji mwenye "kipaji bora".<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Jean-Marc_Luisada#cite_note-Straits2-2</ref>
Alitia saini makubaliano ya kipekee na RCA Red Seal mwaka wa 1998.<ref name=":1">https://en.wikipedia.org/wiki/Jean-Marc_Luisada#cite_note-ClassicsAbroad-3</ref> Miongoni mwa rekodi zake ni waltzes na mazurkas ya Chopin<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Jean-Marc_Luisada#cite_note-4</ref> na toleo la chumba lisilosikika mara kwa mara la tamasha la kwanza la [[kinanda]] la Chopin, lililorekodiwa na Talich Quartet.
Yeye yuko katika kitivo cha École Normale de Musique de Paris-Alfred Cortot<ref name=":1" />. Luisada anajiita binadamu wa karne ya 19 na mara nyingi anataja mapenzi yake kwa siku za nyuma na historia katika [[muziki]] wake<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Jean-Marc_Luisada#cite_note-5</ref>.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
60xns3s65qgt1ko50t3artizeab70oj
Empompo Loway
0
149584
1234839
1224824
2022-07-24T05:01:45Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Empompo "Deyesse" Loway''' , alikuwa [[msanii]] wa kurekodi [[muziki]] wa [[soukous]], mtunzi na mpiga saksafoni, katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC). Alikuwa mwanachama wa bendi ya [[soukous]] TPOK Jazz, iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|Franco Luambo]], ambayo ilitawala sana [[tasnia ya muziki]] ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya 1950 hadi 1980.<ref>{{Cite web |url=https://www.muzikifan.com/congo.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-04 |archivedate=2014-02-26 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20140226191119/http://www.muzikifan.com/congo.html }}</ref>
== Kazi ==
Alimsaidia mwimbaji wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] ''M'Pongo Love'' mapema katika kazi yake kwa kupanga [[muziki]] wake na kuajiri mlinzi tajiri kufadhili kazi yake.<ref>https://web.archive.org/web/20120408110026/http://www.coldrunbooks.com/mpongo.html</ref>
Aliachana na ''M'Pongo'' katikati ya mwaka wa 1980 na akajikita katika kuendeleza [[mwimbaji]] mwingine mchanga wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]], ''Vonga Ndayimba'', anayejulikana kama ''Vonga Aye'' na bendi inayomuunga mkono inayojulikana kama Elo Music.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-Stewart,_p._295-3</ref>
Mapema mwaka wa 1981 alirekodi nyimbo kadhaa nchini [[Benin]] na mpiga [[gitaa]] ''Dk Nico Kasanda''. ''Nico'' alipoondoka kwenye Orchester Afrika International ya Tabu Ley katikati ya 1981, '''Empompo''' alimwomba ''Nico'' kushirikiana katika baadhi ya miradi yake. '''Empompo''' pamoja na ''Vonga Aye'', ''Nico'' na [[wanamuziki]] wengine 3 kutoka Elo Music walitumia mwezi mmoja huko <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-4</ref>[[Paris]] kurekodi mwishoni mwa 1981.
Kulingana na '''Empompo''', walirekodi nyenzo za kutosha kwa [[Albamu|albam]] sita, lakini ni mbili tu zilitolewa, zote zikiwa chini ya jina la ''Vonga Aye''.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-4</ref>
Mnamo 1983, huko [[Kinshasa]], '''Empompo''' na rafiki yake kutoka TPOK Jazz, ''Sam Mangwana'', pamoja na [[mwimbaji]] ''Ndombe Opertun,'' ambaye alikuwa ameondoka hivi karibuni TPOK Jazz, walianzisha bendi ya Tiers Monde Coopération. Bendi ilibadilishwa miaka michache baadaye kama Tiers Monde Revolution.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-5</ref>
Alifariki tarehe 21 Januari 1990.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-6</ref> Ken Braun, mkuu wa Sterns Music's nchini [[Marekani]], alieleza '''Empompo''' '''Loway''' pamoja na Modero Mekanisi kama "wapiga saxofoni bora zaidi wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] wa karne ya [20]"<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Empompo_Loway#cite_note-braun-natgeo-8</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
11a0l42vcxa8mx56auy70nc16n7eii0
Aime Kiwakana
0
149589
1234838
1234595
2022-07-24T04:46:27Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Aime Kiwakana Kiala''' ''Emmanuel Kiala'' (aliyefariki [[1992]]), alikuwa [[msanii]] wa kurekodi [[muziki]] wa [[soukous]], mtunzi na [[mwimbaji]], katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya [[Kongo]] (DRC). Aliwahi kuwa mshiriki wa bendi ya [[soukous]] TPOK Jazz, iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|Franco Luambo]], ambayo ilitawala [[tasnia ya muziki]] ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya [[1950]] hadi [[1980]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Aime_Kiwakana#cite_note-1</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
mqtj1ya4ntqo21b3yf5qaa4z0rdmder
Ntesa Dalienst
0
149590
1234837
1226585
2022-07-24T04:42:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Daniel Ntesa Zitani,''' ambaye mara nyingi hujulikana kama '''Ntesa Dalienst''' alikuwa [[msanii]] wa kurekodi [[muziki]] wa [[Kiafrikaans|Kiafrika]], mtunzi na [[mwimbaji]], katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC). Aliwahi kuwa mwanachama wa bendi ya [[soukous]] TPOK Jazz, iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|François Luambo Makiadi]], ambayo ilitawala sana [[tasnia ya muziki]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya 1950 hadi 1980.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
9q4ksg083tbegvfp2wlk8hk1cern7p2
Thierry Olemba
0
149593
1234836
1222657
2022-07-24T04:38:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Thierry Olemba at First Friday.jpg|thumb|180px|right|Thierry Olemba]]
'''Thierry Olemba''' (alizaliwa [[13 Julai]] [[1982]] [[Douala]]) ni [[mwanamuziki]] wa nchini [[Kamerun|Kameruni]]. [[Muziki]] wake unajumuisha vipengele vya muziki wa Makossa, [[reggae]] na [[Muziki wa hip hop|hip-hop]] na yeye anajulikana kwa kucheza [[ boxing|mchezo wa boxing]] Pamoja na Bantu Pô Si, Koppo na Krotal, '''Olemba''' ni mmoja wa [[wasanii]] ambao wametengeneza [[mtindo]] wa [[rap]] kutoka [[Kamerun]].<ref>{{cite book | editor1=Simon Broughton | editor2=Mark Ellingham | editor3=Jon Lusk | editor4=Duncan Antony Clark | title=The Rough Guide to World Music: Africa & Middle East | publisher=Rough Guides | year=2006 | page=58 }}</ref>
Alijiunga na kundi la rap liitwalo New Black Power mwaka [[1990]] kama mwanachama mdogo kabisa na tangu wakati huo alishirikiana na wasanii wengine.
Alisaini mkataba wa kufanya rekodi na [[kampuni]] ya Farwell Records mnamo [[2007]] na [[albamu]] yake ya kwanza ikafuata nyingine iliyoitwa The Human BeatBox. Single yake ya kwanza ni Ma Grand mere joue au Billard, maana yake "[[Bibi]] yangu anacheza kama Billard".
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kamerun]]
60lqbulijzxkik8hv41niayh37lv3tu
Funsho Ogundipe
0
149594
1234835
1222655
2022-07-24T04:30:22Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Funsho Ogundipe''' ni [[ piano|mpiga piano]], [[mkurugenzi]] wa [[muziki]] na [[mtunzi]] wa nchini [[Nigeria]]. Ogundipe anajulikana kwa kazi yake na bendi ya afrobeat ya ayetoro. Kama [[mkurugenzi]] wa [[muziki]] wa Ayetoro, yeye ni mmoja wa [[wasanii]] wa [[muziki]] wa [[sauti]].<ref>{{cite web|url=http://www.allaboutjazz.com/php/article.php?id=23938|title=allaboutjazz.com}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.bbc.co.uk/africabeyond/africaonyourstreet/hosts/rita/17818.shtml|title=BBC's "Africa On Your Street"}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
lkvptgqe58h11evn9b0wocd0hocunk7
Serifatu Oladunni Oduguwa
0
149595
1234834
1222654
2022-07-24T04:26:15Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Serifatu Oladunni Oduguwa''', maarufu kwa [[jina]] lake la kisanii kama ''Queen Oladunni Decency au Queen Mummy Juju'', <ref>{{cite book|title=New Breed|url=https://books.google.com/books?id=2Bw_AQAAIAAJ|year=1978}}</ref> alikuwa [[mwimbaji]] na mpiga [[gitaa]] wa nchini [[Nigeria]] ambaye alijikita katika tanzu ya [[muziki]] ya Jùjú. <ref>{{cite book|title=Bulletin of the International Committee on Urgent Anthropological and Ethnological Research|url=https://books.google.com/books?id=93iBAAAAIAAJ|year=1989|publisher=International Committee on Urgent Anthropological and Ethnological Research.}}</ref> Aliaminika kama mpiga [[Gitaa kavu|gitaa]] wa kwanza wa kike nchini [[Nigeria]], akawa mwanzilishi na kiongozi wa bendi ya muziki ya Jùjú inayoitwa ''Her Majesty Queen Oladunni Decency na Her Unity Orchestra''.<ref name="Studies1970">{{cite book|author=Georgia State University. Dept. of African-American Studies|title=Drum: A Magazine of Africa for Africa|url=https://books.google.com/books?id=T3w6AQAAIAAJ|year=1970|publisher=African Drum Publications}}</ref> Alirekodi [[nyimbo]] nyingi hadi [[kifo]] chake akiwa na [[umri]] wa miaka 28.<ref>{{cite web|url=http://naijanet.com/news/source/2003/oct/20/71.html|title=African Songs UK revives the good ol' times|website=naijanet.com|author=Segun Fajemisin|date=20 October 2003|accessdate=25 September 2016}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
55wi56gck7qr2a7gw9ulkz8fox1xttc
Stewart Nyamayaro
0
149596
1234832
1222652
2022-07-24T04:10:19Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Stewart Nyamayaro''' ni mwanasosholaiti maarufu wa [[Zimbabwe]] na mkuzaji wa [[muziki]]<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-1</ref>i. Alipata umaarufu kutokana na mchango wake katika ukuaji wa [[muziki]] aina ya Zimdancehall.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-2</ref>
'''Nyamayaro''' alizaliwa tarehe 20 Aprili 2000 mjini [[Harare]], alianza kukuza [[muziki]] mtandaoni hasa kupitia [[YouTube]] na ndiye anayefuatiliwa zaidi katika chaneli ya [[YouTube]] nchini [[Zimbabwe]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-3</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-4</ref>2017 akawa meneja wa [[wasanii]] wa [[muziki]] na ameweza kusimamia [[wasanii]] kadhaa walioshinda tuzo nchini [[Zimbabwe]] akiwemo ''Fungisai'', ''Soul''. ''Jah Love'', ''Enzo Ishall'', Holy Ten<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-5</ref> na ''Socialite Passion Java''.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-6</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-7</ref>
Mnamo mwaka wa 2019 na kwa kutambua mchango wake katika ukuaji wa aina ya Zimdancehall nchini [[Zimbabwe]] na watayarishaji, ala ya riddim ilitolewa kwa jina lake iliyopewa jina la [[Stewart Nyamayaro]] Riddim na wasanii 63 walirekodi rasmi kwenye<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-8</ref> italong na wengine kadhaa. Mnamo 2020 '''Stewart Nyamayaro''' alishinda media bora mkondoni kwenye tuzo za 2020 za Zimdancehall<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-9</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-10</ref>
== Utata ==
Mnamo Machi 2019, '''Stewart Nyamayaro''' alihusika katika mzozo wa hakimiliki na Sly Media, kampuni ya maudhui ya kidijitali na chaneli yake ilifungwa kwa muda kwenye [[YouTube]] kwa muda wa siku 14.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Stewart_Nyamayaro#cite_note-11</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
5da3fivggoh8f27mtypc006n0z6hnwn
Obesere
0
149597
1234833
1222651
2022-07-24T04:21:12Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Abass Akande Obesere''' anajulikana kama ''Omo Rapala'', ni [[Mwanamuziki]] maarufu wa Fuji wa nchini [[Nigeria]]. Kufuatia njia za [[Muziki|wanamuziki]] wengine waliofanikiwa kama vile ''Sikiru Ayinde Barrister'', ''Obesere'' pia amechukuwa chapa yake ya [[muziki]] wa Fuji [[Dunia|duniani]] kote. Awali alisainiwa na [[kampuni]] ya '''Sony Music''' lakini akahamia kwenye lebo nyingine baada ya migogoro ya malipo.<ref>{{cite news|last1=In|title=https://www.vanguardngr.com/2017/10/obesere-signs-multi-million-dollars-deal-us-record-label-freeworld-music/|url=https://www.vanguardngr.com/2017/10/obesere-signs-multi-million-dollars-deal-us-record-label-freeworld-music/|accessdate=October 27, 2017|agency=Vanguardngr|publisher=Vanguard news paper}}</ref>
Kwa sasa amesajiliwa na ''Mameya Ville Entertainment'' katika kampuni ya usimamizi wa [[wasanii]],Maxgolan Entertainment Group [[kampuni]] ya kurekodi [[muziki]] iliyoko [[jimbo la Lagos|mjini Lagos]], [[Nigeria]].<ref>https://naijagists.com/obesere-fights-wasiu-ayinde-k1-dont-be-rude-respect-your-elders/</ref>
'''Alhaji Obesere''' alinusurika [[ajali]] ya [[gari]] ghastly katika [[Ijebu-Ode]] katika gari lake aina ya Lexus jelx470 akielekea [[Lagos]]. Ajali hiyo ilitokea [[Jumapili]] [[Aprili]] 8, [[2012]] saa 7:30 jioni. Taarifa zilisema kwamba msanii na abiria wengine 2 walipata majeraha tu na kupelekwa katika [[Hospitali]] ya Orisunbare, Jakande [[Isiolo]], [[Lagos]].<ref>{{cite news|last1=Showtimes|first1=People|title=https://www.vanguardngr.com/2012/04/obesere-survives-auto-crash/|url=https://www.vanguardngr.com/2012/04/obesere-survives-auto-crash/|accessdate=April 14, 2012|agency=Vanguardngr.com|publisher=Vanguard newspaper}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
i2hm68nvwtt0wsoiytkz9fp7l5f405q
Ayinla Kollington
0
149598
1234831
1222650
2022-07-24T03:56:51Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ayinla Kollington''' (amezaliwa Agosti 20 1953) ni [[mwanamuziki]] wa Fuji wa [[Nigeria]] kutoka Ilota, kijiji kilicho nje kidogo ya Ilorin, [[Jimbo la Kwara]], [[Nigeria]]. Pia anaitwa Baba Alatika, Kebe-n-Kwara, Baba Alagbado.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-1</ref>
== Maisha ==
'''Ayinla''' anaorodheshwa pamoja na rafiki yake na mshindani wake ''Ayinde Barrister'' kama [[wasanii]] wawili muhimu zaidi kutawala [[muziki]] wa Fuji tangu kuanzishwa kwake miaka ya 1970 hadi 1990 wakati ambapo ilikuwa imekua na kuwa moja ya aina maarufu zaidi za dansi nchini [[Nigeria]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-2</ref>
Kati ya miaka ya kati ya 70 na mwishoni mwa miaka ya 80, ''Kollington'' aliorodheshwa na ''Barrister'' kama nyota anayeongoza [[muziki]] wa fuji wa [[Nigeria]] - kama vile apala na waka, uhusiano wa [[Kiislamu]] wa juju, akihifadhi viungo vya sauti na midundo ya mtindo huo lakini akaacha matumizi yake ya [[Gitaa kavu|gitaa]] za umeme ili kupata sauti ya kitamaduni zaidi. Alianza kurekodi kwa EMI ya [[Nigeria|Naijeria]] mwaka wa 1974, na mwaka wa 1978 alipata uongozi wakuteuliwa, lakini wa muda, juu ya ''Barrister'' wakati utangulizi wake wa ngoma ya bata yenye nguvu (hadi wakati huo fuji ilitegemea karibu tu kuzungumza, au 'kubana', ngoma) mawazo ya wanunuzi wa rekodi. Mnamo 1982, wakati fuji ilipoanza kushindana na juju kama muziki maarufu wa kisasa wa [[Nigeria]], alianzisha lebo yake, '''Kollington''' Records, ambayo alitoa [[albamu]] zisizopungua 30 katika kipindi cha miaka mitano iliyofuata.
Umaarufu wa fuji ulipokua, na soko likawa kubwa vya kutosha kusaidia [[wasanii]] wote wawili, uadui wa '''Kollington''' na ''Barrister'' ulipungua.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-3</ref>
Kufikia 1983, wanaume wote wawili waliweza kusimama bega kwa bega kama waombolezaji kwenye mazishi ya nyota ya apala Haruna Ishola. Ushindani mpya na sawa wa umma uliibuka katikati ya miaka ya 80, wakati huu na nyota wa waka Malkia ''Salawah Abeni'', ambaye alitupiana matusi machungu ya kibinafsi na '''Kollington''' kuhusu msururu wa utolewaji wa [[albamu]] na matoleo ya kupinga. Cha kusikitisha ni kwamba kwa wasemaji wasio [[Wayoruba]], matamshi yao yalikua bado hayaeleweki, ingawa ngoma nzito, [[muziki]] wa kumbeleza ulivutia watu wote.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-4</ref>
Mwanzoni mwa miaka ya 1980 '''Ayinla''' alianzisha kampuni yake ya kurekodi na bado anabaki kuwa msanii mahiri sana, akiwa amerekodi zaidi ya [[albamu]] 50, ambazo nyingi hazijawahi kutolewa nje ya [[Nigeria]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-5</ref>
Mnamo mwaka wa 2019, '''Ayinla''' alifichua kwamba aliachana na [[muziki]]<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ayinla_Kollington#cite_note-6</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
4y84v78p3poyzpxc8dszc971ggx9ao4
Mpundi Decca
0
149600
1234830
1226590
2022-07-24T02:28:18Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mpudi Decca''' alikuwa [[msanii]] wa kurekodi [[muziki]] na mpiga [[Gitaa kavu|gitaa]] katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC). Aliwahi kuwa mwanachama wa bendi ya [[muziki]] ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] TPOK Jazz, iliyoongozwa na [[Franco Luambo Makiadi|François Luambo Makiadi]], ambayo ilitawala sana [[tasnia ya muziki]] ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] kuanzia miaka ya 1950 hadi 1980.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Mpundi_Decca#cite_note-1</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
e751tzcvpbxygpn6bqb2kg5ns366zox
Diblo Dibala
0
149601
1234841
1222667
2022-07-24T05:16:35Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Diblo Dibala''' (aliyezaliwa 9 Agosti 1954), mara nyingi anajulikana kama Diblo, ni [[mwanamuziki]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo]] wa [[soukous]]<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Diblo_Dibala#cite_note-1</ref>, anayejulikana kama "Machine Gun" kwa kasi na ustadi wake kwenye [[Gitaa kavu|gitaa]].
Alizaliwa mwaka 1954 huko [[Kisangani]]. Alihamia [[Kinshasa]] akiwa mtoto, na akiwa na umri wa miaka 15 alishinda shindano la vipaji ambalo lilimpelekea kucheza [[Gitaa kavu|gitaa]] katika bendi ya TPOK ya [[Franco Luambo Makiadi|Franco]]. Dibala alidumu kundini kwa kipindi kifupi tu, akienda kucheza na Vox Africa, Orchestra Bella Mambo na Bella Bella, bendi ambayo alitamba nayo kwa mara ya kwanza akiwa na [[Kanda Bongo Man]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Diblo_Dibala#cite_note-2</ref>
Mwaka 1979, alihamia Brussels, na mnamo 1981 alijiunga na bendi ya [[Kanda Bongo Man]] huko [[Paris]]. [[Albamu]] yao ya kwanza, Iyole (1981), ilifanikiwa. Diblo alikua mpiga [[gitaa]] anayetafutwa sana, akifanya kazi na [[Pepe-Kalle|Pepe Kalle]] na [[wanamuziki]] wengine wengi wa [[soukous]].
Katikati ya miaka ya 1980, alianzisha bendi yake, Loketo (ikimaanisha 'hipsi'), akiwa na [[waimbaji]] [[Aurlus Mabele]] na ''Mav Cacharel''. Miaka michache baadaye, bendi hiyo ilivunjika, na mnamo 1990 akaanzisha kikundi kipya, Matchatcha, ambacho bado kinafanya kazi baada ya mabadiliko kadhaa ya wafanyikazi.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
f6ru63iydb3krbenqa29d4gtso49yx7
Yemane Ghebremichael
0
149603
1234842
1222673
2022-07-24T05:21:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Yemane Ghebremichael''' (alizaliwa [[Januari 21]], [[1949]] - [[Novemba 5]], [[1997]]), pia alijulikana sana kama '''Yemane Baria''' au '''Yemane Barya''' ) alikuwa [[mtunzi]], na [[mwimbaji]] mashuhuri wa [[Eritrea]] . Alikua mmoja wa [[wasanii]] mashuhuri wa [[Eritrea]] <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=f0R7iHoaykoC&pg=PA254|title=Eritrea|last=Ph.D|first=Mussie Tesfagiorgis G.|publisher=ABC-CLIO|isbn=9781598842326|language=en}}</ref>
== Wasifu ==
Utunzi wa nyimbo wa Yemane ulijitahidi kuakisi maudhui ya kile alichoona wakati wa Vita vya Uhuru wa [[Eritrea]] . Pia [[nyimbo]] zake zilikuwa na [[hadithi]] za [[mapenzi]], [[safari]], matumaini, [[uhamiaji]] na [[ukombozi]]. Mnamo [[1975]], alifungwa kwa tafsiri ya masuala kisiasa katika moja ya [[nyimbo]] zake. <ref>{{Cite book|title=Eritrea (Africa in Focus)|last=Mussie Tesfagiorgis G|first=|publisher=ABC Clio|year=2011|isbn=1-59884-231-5|page=255}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 1997]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
6kbv7no289xv2qj8w9802zgzmwx8s5e
Laila Ghofran
0
149607
1234843
1222686
2022-07-24T05:25:30Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Jamila Omar Bouamout ,''' anajulikana zaidi kama '''Laila Ghofran''', alizaliwa mnamo [[Machi 19]], [[1961]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Waarabu|Kiarabu]] . Anatoka nchini [[Moroko|Morocco]] <ref name="pop1">(31 July 2011). [http://english.alarabiya.net/articles/2011/07/31/160230.html Laila Ghufran films clip for Ramadan], ''Al Arabiya''</ref> lakini ana [[uraia]] wa [[Misri]].
== Kazi ==
Taaluma ya Ghofran ilianza katika miaka ya [[1980]] lakini iliongezeka sana kati ya [[1988]] na [[1998]], na kumpandisha hadhi ya kuwa diva wa [[Kiarabu]] kutokana na kazi ya mumewe na meneja Ibrahim Aakad. <ref>{{Cite web|url=http://www.hibamusic.com/Maroc/laila-ghofran/laila-ghofran-168.htm|title=Laila Ghofran|year=2011|publisher=Hiba Music|accessdate=2011-10-26}}</ref> Alitoa [[albamu]] yake ya kwanza "Oyounak Amari" mwaka [[1989]].
== Maisha binafsi ==
Ghofran ameolewa mara sita na ni mama wa mabinti wawili.
Binti yake, Hiba, aliuawa mwaka [[2008]] pamoja na rafiki yake. Mnamo [[Juni]] [[2010]], Mahmoud Essawy alihukumiwa [[kifo]] kwa kesi ya mauaji ya watu hao wawili. <ref name="murder1">(16 June 2010). [http://www.almasryalyoum.com/en/node/49738 Esawy re-sentenced to death for girls' murders], ''Al-masry Al-youm''</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
=== ''Albamu'' ===
# Oyounak Amary ([[1989]])
# Ya Farha Helly ([[1990]])
# Ana Asfa ([[1991]])
# Esaalo El Zorouf ([[1992]])
# Kol Shea Momken ([[1993]])
# Haza Ekhtiary ([[1994]])
# Jabar ([[1996]])
# Malameh ([[1997]])
# Saat Al Zaman ([[1999]])
# Ahow Da El Kalam ([[2003]])
# Aktar Min Ay Waqt ([[2005]])
# El Garh Men Naseebi ([[2009]])
# Ahlamy ([[2013]])
=== ''Nyimbo zisizo za albamu'' ===
# El Youm El Awel ([[1982]])
# Raseef Omory ''(tarehe haijulikani)''
# Ya Beladi ([[1994]])
# El Helm El Arabi ([[1996]])
# Ya Rab ([[2000]])
# Ya Hager ([[2001]])
# Min Hena Wa Rayeh ([[2006]])
# Heya Di Masr ([[2009]])
# Qades Arwahom ([[2011]])
# El Shabab Da (2011)
# Berahmetak Aweny (2011)
# Tahet El Hakayek ([[2013]])
# Bilad El Aman ([[2015]])
# Enta Maykhtlefsh Aleek Etneen ([[2016]])
# Aiz Te'ol Haga ([[2016]])
# Jabni El Gharam ([[2018]])
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
1mz4rnwaimyl8burg8ym72x472tnupd
Reggie Tsiboe
0
149653
1234847
1224212
2022-07-24T06:02:59Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Reggie Tsiboe''' (alizaliwa [[7 Septemba]], [[1964]]), ni [[Mghana]]-[[Mwingereza]] mburudishaji , dansi na mmoja wa [[waimbaji]] wa kikundi cha disko Boney M. kati ya mwaka 1982 na 1986 na baadaye kati ya mwaka 1989 na mwaka 1990<ref>https://boneym.es/bio-reggie-tsiboe/</ref>.
Mwaka [[1982]], Tsiboe alichukua nafasi ya mchezaji densi [[Bobby Farrell]], lakini mnamo [[1984]] Farrell alijiunga tena na kikundi na wakawa wanadensi kwa pamoja<ref>https://books.google.com/books?id=IwkKAQAAMAAJ&q=Reggie+Tsiboe</ref>. Mwaka 1986, bendi ya asili iligawanyika baada ya miaka 10 ya mafanikio, lakini mwaka wa 1989, Liz Mitchell na Reggie waliunda toleo jipya rasmi la Boney M. na mwaka wa 1990 walitoa nyimbo kwa msaada wa mtayarishaji Frank Farian "Hadithi", lakini miezi michache baadaye wote wawili walienda njia zao tofauti.
Tsiboe alionekana kwenye albamu tatu za mwisho za Boney M.: ''Ten Thousand Lightyears'' (1984), ''Kalimba de Luna'' - ''16 Happy Songs'' (1984) na ''Eye Dance'' (1985) na pia alirekodi nyimbo za Krismasi na kikundi, ambazo zilitolewa kimataifa baada ya mgawanyiko wa bendi kwenye [[albamu]] mpya ya Boney M. Christmas, Nyimbo 20 kubwa za [[krismasi]] mwaka wa 1986. Reggie aliimba sauti kuu za nyimbo kadhaa za Boney M, zikiwemo "''Kalimba de Luna''", "''Happy Song''", "''Going Back West''", "''My Chérie Amour''", "''Young, Free and single''", "''Dreadlock Holiday''" na "''Barbarella Fortuneteller.''
Tarehe 21 Septemba 2006, Tsiboe na [[waimbaji]] wengine wawili wakuu wa Boney M., '''Liz Mitchell''' na '''Marcia Barrett''', walikuwa wageni maalum huko [[London]] kwenye onyesho la kwanza la [[muziki]] la '''Daddy Cool''', ambalo lilitokana na [[muziki]] wa kikundi hicho maarufu.
Kabla ya kujiunga na kundi hilo alikuwa mwigizaji wa filamu nchini [[Ghana]]. Moja ya filamu iliyompa umaarufu ni filamu ya ''Love Brewed in an African Pot''. Kufuatia kipindi chake cha Boney M Tsiboe alirejea katika [[uigizaji]], Pia ameigiza katika filamu chache za TV za [[Uingereza]] Akiwemo ''Dr who''.
Tsiboe sasa anaishi [[Marlborough, Massachusetts|Marlborough]], Wiltshire nchini [[Uingereza|Uingereza.]]
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
ldxsasm6gw58hftmzuzv7krt7yzuzc9
Kefee
0
149654
1234848
1234593
2022-07-24T06:11:57Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Kefee Obareki Don Momoh''' (Februari 5, [[1980]] - Juni 12, [[2014]]), ambaye pia alijulikana kwa jina lake la [[muziki]] Kefee, alikuwa [[mwanamke]] [[mwimbaji]] wa [[Injili]] na mtunzi kutoka [[Nigeria]] .
== Maisha ya awali ==
Alizaliwa huko Sapele, Delta mnamo Februari 5, 1980 <ref>http://www.premiumtimesng.com/arts-entertainment/164358-kefee-to-be-buried-july-11.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20150707171116/http://www.nigeriafilms.com/news/31413/46/kefee-comes-alive-today-at-her-first-memorial-birt.html</ref>katika familia ya Andrew Obareki ambao wakati huo walikuwa [[Mashemasi]] katika [[kanisa]] lililoanzishwa na wazazi wa mume wake wa zamani Alec Godwin.
Kefee alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha [[Benin]] na shahada ya Utawala wa [[Biashara]]. Alipokuwa kijana, alijishughulisha kikamilifu na shughuli za [[kanisa]] hasa katika kuimba [[kwaya]].<ref name=":0">https://web.archive.org/web/20150909110208/http://sunnewsonline.com/new/music-star-kefee-died</ref>
== Kazi ==
Mapenzi yake ya muziki yalipozidi kukua, alianza kuandika na kutunga nyimbo. Mwaka wa [[2000]] alitoa [[albamu]] iliyoitwa "Trip" na ambayo ilimwezesha kuingia kwenye anga ya muziki ya [[Nigeria]] kama msanii wa [[Injili]]. Mnamo [[2003]], alisainiwa na Alec's Entertainment, lebo iliyoanzishwa na mkurugenzi wake wa zamani wa [[kwaya]] na alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ya studio Branama muda mfupi baada ya hapo.
Albamu ya Branama ilimpa mwangaza kama msanii wa [[Injili]] aliyekamilika na mauzo ya kitaifa na kimataifa. Branama iliuza kaseti elfu tisa katika wiki tatu na zaidi ya CD/VCD milioni mbili kwa mwezi.<ref>http://afrobios.com/-Kefee</ref>
Ilifanya kama sehemu ya mwanzo ya kazi yake ya mafanikio kama msanii wa [[Injili]] wa [[Nigeria]]. Vibao maarufu vya mwimbaji marehemu ni "Branama" na "Kokoroko"<ref name=":0" />
== Tuzo ==
Alitunukiwa Tuzo ya Balozi mdogo wa Kimataifa wa Amani mwaka wa 2009.<ref>{{Cite web |url=http://www.nigeriafilms.com/content.asp?contentid=4197&ContentTypeID=3 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-05 |archivedate=2016-04-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160416200400/http://www.nigeriafilms.com/content.asp?contentid=4197&ContentTypeID=3 }}</ref> Kefee alishinda Tuzo za Headies za 2010 ya Ushirikiano Bora na Timaya kwa "Kokoroko"
== Maisha binafsi ==
Kefee aliolewa mara mbili. Aliolewa na Alec Godwin kwa miaka mitatu hadi 2008. <ref>https://web.archive.org/web/20160729200613/http://thenet.ng/2012/01/kefees-ex-husband-alec-godwin-remarries/</ref>Aliolewa na mtangazaji wa redio Teddy Esosa Don-Momoh tarehe 3 Machi 2013 huko Sapele, jimbo la Delta.<ref>https://web.archive.org/web/20160623212429/http://thenet.ng/2012/03/shocking-kefee-weds-star-fms-teddy-esosa/</ref><ref>{{Cite web |url=http://thenet.ng/2014/06/kefees-husband-confirms-singer-is-in-coma/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-05 |archivedate=2014-06-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20140610005544/http://thenet.ng/2014/06/kefees-husband-confirms-singer-is-in-coma/ }}</ref>
Ingawa chanzo cha kifo kilisemekana kuwa ''priklampsia'', Kefee Obareki Don Momoh alikufa kutokana na kushindwa kwa mapafu katika hospitali ya [[Los Angeles]], [[California]] mnamo Juni 12, 2014.<ref>http://m.bbc.com/news/world-africa-27840948</ref><ref>http://www.thenigerianvoice.com/news/149521/1/gospel-singer-kefee-is-dead.html</ref> <ref>https://web.archive.org/web/20160305082250/http://thenet.ng/2014/06/kefee-dies-after-15-days-in-coma/</ref>Alikuwa katika hali ya kukosa fahamu kwa siku kumi na tano.
Alizikwa Ijumaa Julai 11, 2014 katika mji aliozaliwa ''Okpara Inland'', Eneo la Serikali ya Mitaa ya Ethiope Mashariki katika Jimbo la Delta, [[Nigeria]].<ref>http://bellanaija.com/2014/07/12/adieu-kefee-emotional-photos-as-gospel-singer-is-laid-to-rest-in-sapele</ref>
== Kazi ya muziki ==
; Albumu za Studio
* Branama (2003)
* Branama 2 (2005)
* A Piece Of Me (2008)
* A Chorus Leader (2012)
; EPs
* Dan Maliyo (2012)
; Albumu za Posthumous
* Beautiful (2015)
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|1980|2014}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]]
na1awa4lxulazige4pycc7fyd45g5m1
Cherifa Kersit
0
149657
1234849
1222883
2022-07-24T06:15:31Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Cherifa Kersit''' (alizaliwa [[1 Januari]], [[1967]]) ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Moroko|Morocco]]
== Wasifu ==
'''Cherifa''' alizaliwa huko ''Tazrout M'oukhbou'', katika eneo la Khenifra kwenye milima ya Atlasi ya Kati nchini [[Moroko|Morocco]], katika [[familia]] ya watoto 16. Tangu akiwa msichana mdogo, hakuwahi kwenda shule na badala yake alifanya shughuli za kila siku mashambani, ambako alijifunza uimbaji wa kitamaduni.<ref>{{Cite web|url=http://www.bladi.net/cherifa-kersit.html|title=Chérifa Kersit , la diva amazighe|publisher=Bladi.net|date=|accessdate=2017-06-28}}</ref> Mnamo [[1999]], Cherifa alifanya ziara yake ya kwanza nchini [[Ufaransa]] ambapo alishiriki katika onyesho la "Ngoma na [[wimbo]] wa Mwanamke wa [[Moroko]], kutoka alfajiri hadi jioni".<ref>{{Cite web|url=http://www.music-berbere.com/artiste-cherifa-kersit-ia-421.html|title=Cherifa Kersit : biographie. Musique tamazight|publisher=Music-berbere.com|date=|accessdate=2017-06-28}}</ref> Mnamo [[2002]], alitoa [[albamu]] yake ya kwanza iliyoitwa ''Berber Blues''
== Orodha ya kazi zake za muziki ==
=== ''2002'' ===
==== ''Albamu ya Berber Blues'' ====
* Idhrdh Umalu Z Iâari
* Maysh Yiwin May Tshawrth?
* Ndda S Adbib Nnani
* Ma Gn Tufit Amazir?
* Isul Isul Umarg Nsh Awadigi
* Tahidust: Wllah Ar Thagh Lafiyt G Ul Usmun
<ref>{{Citation|last=Hungama|title=Berber Blues|url=https://www.hungama.com/album/berber-blues/50680262/|language=en|access-date=2020-10-02}}</ref> <ref>{{Citation|title=Berber Blues - Cherifa {{!}} Songs, Reviews, Credits {{!}} AllMusic|url=https://www.allmusic.com/album/berber-blues-mw0000116925|language=en-us|access-date=2020-10-02}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Cherifa* - Berber Blues - Maroc / Morocco|url=https://www.discogs.com/Cherifa-Berber-Blues-Maroc-Morocco/release/7784342|accessdate=2020-10-02|work=Discogs|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
00uv86fgum1plqtdd7bl34est2q2ruq
Zama Khumalo
0
149659
1234850
1222918
2022-07-24T06:18:54Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Zama Adelaide Khumalo''' (alizaliwa [[2002]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Afrika Kusini]]. Anafahamika zaidi kwa kushinda msimu wa kumi na sita wa shindano la Idols la [[Afrika Kusini]] [[mwaka]] [[2020]]. <ref name="Channel" /> Mzaliwa wa Witbank, <ref name="Channel">{{Cite news|title=Idols SA winner Zama Khumalo: 'This is the biggest achievement of my life' {{!}} Channel|url=https://www.news24.com/amp/channel/tv/idols/idols-sa-winner-zama-khumalo-this-is-the-biggest-achievement-of-my-life-20201214|date=2021-12-15|first=Leandra|last=Engelbrecht|publisher=Channel}}</ref> Zama alisaini mkataba na rekodi lebo ya Kalawa Jazmee, <ref>{{Cite web|title=Kalawa Jazmee signs all top five finalists from 2020 Idols|url=https://www.iol.co.za/amp/the-star/news/kalawa-jazmee-signs-all-top-five-finalists-from-2020-idols-2c2f6d1f-50cc-43d6-bde1-5f2d3222aa5a|first=Mpiletso|author=Motumi|date=2021-03-23|accessdate=2021-11-19|publisher=Independent Online}}</ref> alitoa [[albamu]] ya kwanza ya studio iliyojulikana kama ''In The Beginning'' ([[2021]]). <ref>{{Cite web|title=Zama Khumalo releases her debut album - Midrand Reporter|url=https://midrandreporter.co.za/295434/zama-khumalo-releases-her-debut-album/?pwa-amp&|first=Ofentse|author=Ditlopo|date=2021-11-19|accessdate=2019-11-19|publisher=Midrand Reporter}}</ref>
== Kazi ==
Muda mfupi baada ya kushinda shindano hilo, Zama alianza kuifanyia [[kazi]] [[albamu]] yake ya kwanza ya ''In The Beginning'' iliyotolewa baadae mnamo [[Novemba]] 2021. <ref>{{Cite web|title=Former Idols SA winner Zama Khumalo finally drops debut album|url=https://www.sowetanlive.co.za/amp/s-mag/2021-11-12-former-idols-sa-winner-zama-khumalo-finally-drops-debut-album/|publisher=Sowetan LIVE|first=Masego|author=Seemela|accessdate=2021-11-18|date=2021-11-12}}</ref> Mnamo [[Oktoba 29]], [[wimbo]] wake "Is'thunzi" ulitolewa kama [[wimbo]] bora katika [[albamu]] . <ref>{{Cite web|title=Idols SA winner Zama Khumalo finally drops first single off long-awaited debut album {{!}} Celebs Now|url=https://celebsnow.co.za/zama-khumal/?amp|work=Celebs Now|author=Recky M|date=October 29, 2021|accessdate=November 20, 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 2002]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
463qaxo5qthvdygbjcr5n1zjp64b5kv
Tuzo za Muziki za Kisima
0
149689
1234878
1224151
2022-07-24T09:45:11Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo za Muziki za Kisima''' ni [[programu]] ya kila mwaka ya [[tuzo]] inayotambua vipaji vya [[muziki]] katika [[Afrika Mashariki]].Licha ya kuwa na msingi wa [[Kenya]], mpango huu huwatunuku [[wasanii]] kutoka nchi mbalimbali, hasa [[Kenya]], [[Uganda]] na [[Tanzania]], na hushirikisha aina mbalimbali za muziki.<ref>{{Cite web |url=http://www.yardflex.com/archives/000586.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-07 |archivedate=2016-07-06 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160706200951/http://www.yardflex.com/archives/000586.html }}</ref>
== Historia ==
Tuzo za Kisima zilizopewa jina la [[Kiswahili]] la "vizuri" zilianzishwa na Pete Odera na [[Tedd Josiah]] mnamo [[1994]]. Mpango huu hapo awali ulilenga kutambua mafanikio bora katika sanaa ya uigizaji na nyanja zinazohusiana kama vile elimu na biashara, na ulifanyika [[kenya]] katika ukumbi wa michezo [[Nairobi|wa Braeburn wa Nairobi]]. Mchakato huu uliendelea kila mwaka huku tuzo zikifanyika katika Mkahawa wa Carnivore, hata hivyo mwaka wa [[1997]] mpango huo ulikomeshwa.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
1bzvmsk2jgchndrhte39xxiz4io7kmx
Tuzo za Digital Impact Afrika
0
149705
1234852
1234669
2022-07-24T06:28:56Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo za Digital Impact Afrika''' (DIAA), ni jukwaa linalokuza masuala ya kidijitali, masuala ya kifedha na usalama wa mitandao chini ya mada ya kuongeza gawio la digitali . [[Tuzo]] hizi zinalenga kutambua na kuthamini [[shirika|mashirika]] tofauti ambayo yanaongoza matumizi ya [[vyombo vya habari]] vya kidijitali.
Tuzo hizi zilianzishwa na HiPipo
==Ustahiki wa tuzo==
Ili kuweza kushiriki, washiriki lazima wawe wamechangia kwa kiasi kikubwa katika nafasi za masuala ya kidigitali barani [[Afrika]]. Walioteuliwa wanaweza kuwa kutoka katika makampuni (SME), mashirika yasiyo ya faida, programu za kidijitali, miradi, mifumo na matangazo. Upeo wa mashirika wanaostahiki haujumuishi media.<ref>{{Cite web |url=https://www.digital-impact-awards.com/about/faqs/ |title=FAQs |publisher=Hipipo |access-date=2019-03-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160304065151/https://www.digital-impact-awards.com/about/faqs/ |archive-date=2016-03-04 |url-status=dead }}</ref> Mradi huu unashughulikia nyanja kuu 3, ambazo ni masuala ya kidijiti, masuala ya kifedha na usalama wa mitandao. Umoja wa kimataifa wa mawasiliano (ITU), wakala maalumu wa Umoja wa Mataifa wa [[Teknolojia]] ya [[Habari]] na [[Mawasiliano]]- ICTs; iliorodhesha Tuzo za Digital Impact [[Afrika]] miongoni mwa miradi na matukio ya ICT ambayo yaliadhimisha Uorodheshaji wa ITU wa Maadhimisho ya miaka 150 tangu kuanzishwa kwa ITU.<ref>{{Cite web |url=http://itu150.org/uganda_32/ |title=Digital Impact Awards Africa |publisher=ITU2015 |access-date=2019-03-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20151003212414/http://itu150.org/uganda_32/ |archive-date=2015-10-03 |url-status=dead }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Tuzo za muziki wa Afrika]]
jv6bp9qag8m9djzacxmmlxiws3ayaqp
Muunganiko wa muziki Botswana
0
149720
1234853
1224018
2022-07-24T06:34:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Muungano wa Tuzo za Muziki za Botswana''' (mara nyingi kwa urahisi BOMU) ni tasnia ya kurekodi ya [[tuzo]] za [[tasnia ya muziki]] ya [[Botswana]], iliyoanzishwa mwaka wa [[2011]]. <ref>https://en.m.wikipedia.org/wiki/Botswana_Television</ref>
Sherehe hiyo hufanyika kila mwaka kusherehekea wasanii bora nchini [[Botswana]].
Uteuzi hufanyika na kwa kawaida mshindi hutangazwa kulingana na uamuzi wa baraza la waamuzi au kulingana na idadi ya SMS zilizotumwa kwani upigaji kura hufanywa kupitia simu ya mkononi.
Kipindi hiki mara nyingi kimefanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha [[Gaborone]] (GICC) [[Gaborone]], [[Botswana]] isipokuwa miaka sita, na kurushwa moja kwa moja kwenye kituo cha utangazaji cha kitaifa, televisheni ya Botswana.
Sherehe huangazia maonyesho ya moja kwa moja kama ushirikiano wa mara moja na uteuzi wa walioteuliwa.
BOMU kwa kawaida hufadhiliwa na MYSC Botswana na mpango wa ruzuku wa kila mwaka kufanya mradi huo.<ref>https://www.musicinafrica.net/directory/botswana-musicians-union</ref>
== Makundi ya Bomu ==
# Albamu bora ya disco
# Albamu bora ya Mosakaso
# Albamu bora ya Polka /Folklore
# Albamu bora ya Rnb
# Albamu bora ya Afro pop
# Albamu bora ya [[Jazz]]
# Albamu bora ya injili ya kitamaduni
# Albamu bora ya kisasa ya Injili
# Muziki bora wa nyumbani
# Albamu bora ya muziki wa kitamaduni
# Albamu bora ya Kwaito
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Tuzo za muziki wa Afrika]]
db18j25yq4c40tmnqunegsfhkymm5ld
The Headies 2013
0
149737
1234854
1223157
2022-07-24T06:35:56Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''The Headies 2013''' lilikuwa toleo la nane la ''The Headies.'' Lilifanyika tarehe [[26 Desemba]] [[2013]], katika [[hoteli]] ya Oriental mjini [[Lagos]]. Kipindi hicho kiliendeshwa na [[Tiwa Savage]] na Dr SID. Olamide ndiye aliyeshinda [[tuzo]] nyingi zaidi za usiku huo, akishinda tuzo tatu kutoka kwa uteuzi saba. Phyno alishinda kitengo cha Best Rap Single kwa wimbo wake "Man of the Year". D'Tunes, Praiz, na Blackmagic zote zilishinda kwa mara ya kwanza. Sean Tizzle alishinda kitengo cha Next Rated na baadaye akatunukiwa Hyundai Tucson.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
0kru21nmg26xfjo7f5p7jlbxzdljk8a
Tuzo za Headies kwa mwimbaji bora wa R&B
0
149749
1234855
1226196
2022-07-24T06:37:33Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo za Hedies kwa mwimbaji bora wa R&B''', ni [[tuzo]] inayotolewa na The Headies, ilianzishwa mnamo [[mwaka]] [[2006]] na ilijulikana kama tuzo ya Dunia ya [[Muziki wa hip hop|Hip Hop]]. Ilitolewa kwa mara ya kwanza kwa Banky W. mnamo [[2010]].<ref>{{cite web |title=The Headies Awards releases Nominees List for 12th Edition |url=https://www.bellanaija.com/2018/04/12th-headies-full-list-nominees/ |publisher=BellaNaija |accessdate=24 March 2019 |date=13 April 2018}}</ref> <ref>{{cite web |title=Winners - The Headies 2010 |url=http://theheadies.com/winners/?years=2010 |publisher=Hip Hop World Magazine |accessdate=24 March 2019 |archivedate=2019-03-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20190328042928/http://theheadies.com/winners/?years=2010 }}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Tuzo za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
56frjk9phumcizi5wvhcgdanrq2z800
The Headies 2016
0
149751
1234856
1223191
2022-07-24T06:44:17Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''The Headies 2016''' ilikuwa toleo la 11 . Ilifanyika Desemba 22, [[2016]], katika Kituo cha EKO Convention katika Victoria Island, [[Jimbo la Lagos|Lagos]]<ref>https://punchng.com/headies-2016-winners/</ref>. Mada ilikua "Fikiria, kuunda, kurejesha", tukio hilo lilishirikiwa na Adeso Etomi na Falz. Wateule walitangazwa na waandaaji wa tuzo mnamo Novemba 2016.<ref>https://ynaija.com/full-list-of-nominees-for-the-2016-headies-awards/</ref> Tekno alichaguliwa kwa tuzo iliyopimwa ijayo, lakini aliishia kuwa halali kutokana na kukataa kwake kuheshimu kikundi na kusaidia kampeni.<ref>https://www.pulse.ng/tekno-singer-disqualified-from-the-headies-next-rated-award-category/69pf2lg</ref> Jazzman Olofin na Adewale Ayuba kwa pamoja alifanya wimbo "kuinua paa". Aramide alifanya wimbo wake "Funmi Lowo" kwa msaada kutoka Ras Kimono.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/The_Headies_2016#cite_note-4</ref> Sherehe pia ilionyesha maonyesho ya ziada kutoka kwa Falz, 2baba, Seyi Shay na ladha.
Olamide alitajwa katika teuzi nane na alishinda jumla ya nne, ikiwa ni pamoja na moja ya rap moja kwa moja "Eyan Mayweather". Mr Ezi alishinda kikundi kilichopimwa na kilipewa SUV katika tarehe ya baadaye. Mayorkon alipiga picha za kete na koker kwa tuzo ya Rookie ya mwaka.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/The_Headies_2016#cite_note-5</ref> Laolu Akins aliheshimiwa na Halmashauri ya Fame, wakati ladha ilipokea tuzo maalum ya utambuzi.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/The_Headies_2016#cite_note-6</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za wanamuziki wa Afrika]]
4cn50m6fdh5bz5j073zokjdq2p6u6li
The Headies Award for Best Rap Single
0
149753
1234857
1226189
2022-07-24T06:51:16Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo ya Headies kwa Mtu Mmoja Bora wa Rap''' ni tuzo iliyotolewa katika The Headies, sherehe ambayo ilianzishwa mwaka wa [[2006]] na iliitwa Tuzo za Dunia za Hip Hop. <ref>{{Cite web|title=The Headies Awards releases Nominees List for 12th Edition|url=https://www.bellanaija.com/2018/04/12th-headies-full-list-nominees/|publisher=BellaNaija|accessdate=24 March 2019|date=13 April 2018}}</ref> Iliwasilishwa kwa Modi 9 kwa mara ya kwanza mwaka wa 2006. <ref>{{Cite web|author=Ben Bassey|title=Davido, Wizkid, Simi lead nominees list|url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/headies-2018-davido-wizkid-simi-lead-nominees-list/v8vsdt3|publisher=Pulse Nigeria|accessdate=16 March 2019|date=13 April 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Winners - The Headies 2006|url=http://theheadies.com/winners/?years=2006|publisher=Hip Hop World Magazine|accessdate=24 March 2019|archivedate=2019-03-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190309171224/http://theheadies.com/winners/?years=2006}}</ref>
== Wapokeaji ==
{| class="wikitable" style="text-align:center; width:40%;"
! colspan="3" |Rap Bora
|-
!Mwaka
!Wanaogombea
!Matokeo
|-
| rowspan="5" |[[:en:The_Headies_2020|2020]]<ref>{{Cite web|title=Headies 2020: All the nominees|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/headies-2020-all-nominees|website=Music In Africa|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|date=2021-02-21|title=Here is the complete list of winners at the 14th Headies|url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/here-is-the-complete-list-of-winners-at-the-14th-headies-featuring-burna-boy-fireboy/7e1j2gz|website=Pulse Nigeria|language=en-US}}</ref>
!"Bop daddy" – [[:en:Falz|Falz]]<span style="font-size:85%;">(featuring [[:en:Ms_Banks|Ms Banks]])</span>
|{{Alishinda}}
|-
|"OGB4IG" – [[:en:Reminisce_(rapper)|Reminisce]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Shut Up" – [[:en:Blaqbonez|Blaqbonez]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Country" – [[:en:Illbliss|Illbliss]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Get the Info" – [[:en:Phyno|Phyno]]<span style="font-size:85%;">(featuring [[:en:Falz|Falz]],Phenom)</span>
|{{Alishinda}}
|-
|
|
|
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
h8lfx1o3afxdry24ncvfsggqtmtmj0l
1234858
1234857
2022-07-24T06:52:17Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo ya Headies kwa Mtu Mmoja Bora wa Rap''' ni tuzo iliyotolewa katika The Headies, sherehe ambayo ilianzishwa mwaka wa [[2006]] na iliitwa Tuzo za Dunia za Hip Hop. <ref>{{Cite web|title=The Headies Awards releases Nominees List for 12th Edition|url=https://www.bellanaija.com/2018/04/12th-headies-full-list-nominees/|publisher=BellaNaija|accessdate=24 March 2019|date=13 April 2018}}</ref> Iliwasilishwa kwa Modi 9 kwa mara ya kwanza mwaka wa 2006. <ref>{{Cite web|author=Ben Bassey|title=Davido, Wizkid, Simi lead nominees list|url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/headies-2018-davido-wizkid-simi-lead-nominees-list/v8vsdt3|publisher=Pulse Nigeria|accessdate=16 March 2019|date=13 April 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Winners - The Headies 2006|url=http://theheadies.com/winners/?years=2006|publisher=Hip Hop World Magazine|accessdate=24 March 2019|archivedate=2019-03-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190309171224/http://theheadies.com/winners/?years=2006}}</ref>
== Wapokeaji ==
{| class="wikitable" style="text-align:center; width:40%;"
! colspan="3" |Rap Bora
|-
!Mwaka
!Wanaogombea
!Matokeo
|-
| rowspan="5" |[[:en:The_Headies_2020|2020]]<ref>{{Cite web|title=Headies 2020: All the nominees|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/headies-2020-all-nominees|website=Music In Africa|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Here is the complete list of winners at the 14th Headies|url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/here-is-the-complete-list-of-winners-at-the-14th-headies-featuring-burna-boy-fireboy/7e1j2gz|website=Pulse Nigeria|language=en-US}}</ref>
!"Bop daddy" – [[:en:Falz|Falz]]<span style="font-size:85%;">(featuring [[:en:Ms_Banks|Ms Banks]])</span>
|{{Alishinda}}
|-
|"OGB4IG" – [[:en:Reminisce_(rapper)|Reminisce]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Shut Up" – [[:en:Blaqbonez|Blaqbonez]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Country" – [[:en:Illbliss|Illbliss]]
|Hakuchaguliwa
|-
|"Get the Info" – [[:en:Phyno|Phyno]]<span style="font-size:85%;">(featuring [[:en:Falz|Falz]],Phenom)</span>
|{{Alishinda}}
|-
|
|
|
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
hxrq5wxx2v0uk3qq8vsftpikcd8cwup
The Headies 2009
0
149783
1234859
1223481
2022-07-24T06:54:05Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''The headies 2009''', Toleo la nne la Tuzo za Dunia zaHip Hop liliandaliwa na Banky W. na Kemi Adetiba. Ilifanyika Mei 16, 2009, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa huko [[Abuja]], Toleo la nne la Tuzo za Dunia za Hip Hop liliandaliwa na Banky W. na Kemi Adetiba.Ilifanyika Mei 16, 2009, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa huko [[Abuja]], [[Nigeria]]. Tuzo hizo ziliandaliwa nje ya [[Jimbo la Lagos|Lagos]] kwa mara ya kwanza. 9ice alishinda jumla ya tuzo tatu kutoka kwa uteuzi sita. [[Tuzo]] hizo ziliandaliwa nje ya [[Lagos]] kwa mara ya kwanza. 9ice alishinda jumla ya tuzo [[tatu]] kutoka kwa uteuzi wa [[sita]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Tuzo za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
rgdj26wncmy9trfxc9yifx3nutwepx1
Arise, O Compatriots
0
149805
1234899
1223270
2022-07-24T10:46:28Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Arise, O Compatriots''', ni wimbo wa [[Taifa]] wa [[Nigeria]] Ilianzishwa mwishoni mwa miaka ya [[1970]] na pia Ni wimbo wa Taifa wa pili
== Historia ==
Wimbo ulianzishwa mnamo mwaka [[1978]] kutumika mbadala wa wimbo uliopita. Sauti yake Ni mchanganyiko wa maneno na beti kutoka malango matano ya mashindano ndani ya nchi. [[Maneno]] yaliwekwa na bendi ya police wa Nigeria chini ya usimamizi wa Benedit P Ofiase (1934-20 13) maneno ya wimbo wa Taifa yaliwekwa na jumla ya watu watano P.O Aderibigbe, John A. Ilechukwu, Dr. Sota Omoigui, Eme tim Akpan and B.A. Ogunnaike
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Nyimbo za Taifa za Afrika]]
[[Jamii:Wimbo wa Taifa]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
4ml3gpji4cu93v67eg8bahs3vepo6a2
L'Aube nouvelle
0
149806
1234860
1223266
2022-07-24T06:58:09Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''{{Lang|fr|L'Aube Nouvelle}}''' ("The Dawn of a New Day") ni [[wimbo]] wa [[taifa]] wa [[Benin]] . Ulioandikwa na kutungwa na ''Padre Gilbert Jean Dagnon'', ulipitishwa kuwa [[Wimbo wa Taifa|wimbo wa taifa]] baada ya [[uhuru]] wa [[Jamhuri]] ya [[Dahomey]] kutoka kwa [[Wafaransa]] mnamo [[mwaka]] [[1960]]. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=kskkBgAAQBAJ&q=benin+Gilbert+Jean+Dagnon&pg=PT402|title=The World Factbook|last=Agency|first=Central Intelligence|publisher=Masterlab|isbn=9788379912131|pages=402|language=en}}</ref>
Baada ya [[Dahomey]] kuwa Jamhuri ya watu wa [[Benin]] mnamo [[1975]], wimbo huo ulihifadhiwa, lakini maneno kama {{Lang|fr|Dahomey}} na ''{{Lang|fr|Dahoméen}}'' yailibadilishwa kuwa {{Lang|fr|Bénin}} na {{Lang|fr|Béninois}} . <ref name="presidence">{{Cite web|title=L'Hymne National du Bénin|url=https://presidence.bj/home/le-benin/les-symboles/hymne-national/|accessdate=2021-12-31|work=Présidence de la République du Bénin|language=fr}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Nyimbo za Taifa za Afrika]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
13hqcxlxuqsvzhu0kha8u4n11ummxum
Kwame Yeboah (mwanamuziki)
0
149888
1234900
1234754
2022-07-24T10:47:52Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Kwame Yeboah''' (alizaliwa [[17 Novemba]], [[1977]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[Ghana]], mpiga gitaa, mpiga kinanda, mtayarishaji, mhandisi wa kurekodi na mpiga vyombo vingi. Asili yake kutoka kijiji kimoja huko Magharibi [[Ghana]], mapenzi yake kwa muziki yalimfanya duniani kote kufanya kazi na wasanii wa kimataifa na kurudi nchini mwake ambako aliendesha studio yake ya kurekodi, Mixstation hadi mapema 2017 na anajizolea umaarufu mkubwa na bendi chini ya jina na usimamizi wake kama bendi yake Ohia b3y3 ya.
== Tuzo na Uteuzi ==
Mwanamuziki aliyetuzwa sana nchini [[Ghana]], akishinda Tuzo za Muziki za [[Ghana]] za 2010 la Mpiga [[Ala ya muziki|Ala]] Bora.<ref><nowiki>http://deadlineentertainment.com/oforione/index.php?option=com_content&view=article&id=134:sarkodie&catid=42:rokstories&Itemid=117</nowiki></ref>
Mnamo Mei 2021, alitunukiwa tuzo ya 'Mpiga Ala wa Mwaka' katika Tuzo za Kimataifa za Reggae na Muziki wa Dunia (IRAWMA)<ref><nowiki>https://www.myjoyonline.com/sarkodie-shatta-wale-kwame-yeboah-dj-switch-win-awards-at-2021-irawma/</nowiki></ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
gepv6yeyskh8tuvpcnz1euwgjfioupq
Tuzo la Headies kwa Msanii Bora wa Mwaka
0
149944
1234808
1223494
2022-07-24T00:41:49Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Tuzo za Headies]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Tuzo za Headies]]
rp0p6ot0yfqgbsp8rfumg3vd5rwkkse
Adrian Logan
0
149958
1234901
1223587
2022-07-24T10:49:43Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Adrian Logan ('''alizaliwa [[1 Agosti]], [[1995]] huko Dungannon)<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Adrian_Logan#cite_note-web.archive.org-1</ref> ni mtangazaji na mwandishi wa habari wa [[Ufalme wa Muungano|Ireland Kaskazini.]]
== Kazi ya Utangazaji ==
Ni mtoto wa mwandishi wa habari wa Dungannon na mwanaspoti PJ "Packie" Logan, Adrian alijiunga na Ulster Television mwaka wa [[1985]] kama mwandishi wa habari za michezo na mtangazaji, baadaye akawa Mhariri wa Michezo wa kituo hicho. Tarehe 24 Aprili [[2009]], Logan alitangaza kuwa amejiuzulu kutoka UTV, akidai kutendewa vibaya na wasimamizi wa kituo hicho.
== Maisha binafsi ==
Logan ni mwanzilishi wa Ulster GAA kikundi cha Waandishi mnamo [[1988]]<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Adrian_Logan#cite_note-3</ref>.Logan ameoa na anawatoto watatu<ref name=":0" />. Pia ni miongoni mwa Waandishi wa Mpira Ireland Kaskazini. Hivi karibuni amefanya kazi na BBC Sport radio akitangaza GAA Championship na Irish Premiership.
Amefanya kazi na kampuni kadhaa zinazoongoza za Ireland kuandaa biashara na hafla za michezo zinazojumuisha majina yote ya juu ya michezo ya ndani na ya kimataifa.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Waandishi]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
cks50jsu021adaew4g657kmu0rl3ziy
Brommtopp
0
149968
1234905
1223614
2022-07-24T10:53:56Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Brommtopp''', ni kifaaa cha [[muziki]] inayojumuisha [[Ngoma (muziki)|ngoma]] kubwa iliyofunikwa na ngozi, na mjeledi wa nywele za farasi ambao unasuguliwa na nta ili kutoa sauti ya kungurumo. <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Brommtopp#cite_note-1</ref>
[[Ala ya muziki|Chombo]] hicho kwa kawaida kinatumiwa na [[waimbaji]] wa Mennonite kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya, wanaume ambao mara nyingi walivalia kama wanawake na kuandamana mjini wakichezesha ala badala ya pombe, dessert au zawadi nyinginezo.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Brommtopp#cite_note-2</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Brommtopp#cite_note-3</ref> Ilitumika sana katika Hifadhi ya Magharibi ya Manitoba kuanzia miaka ya [[1870]] hadi miaka ya [[1950]], na inafanywa mara kwa mara leo.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Ala za muziki]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
9il00lwm5p1s26rrzpqh93dgjvqbbv0
EyeHarp
0
149969
1234903
1223613
2022-07-24T10:53:14Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''EyeHarp''' ni [[ala ya muziki]] ya [[Elektroniki|kielektroniki]] inayodhibitiwa kwa kusogeza [[Jicho|macho]] au [[kichwa]] cha mchezaji. <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/EyeHarp#cite_note-upu.edu-1</ref><ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/EyeHarp#cite_note-upu.edu-1</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/EyeHarp#cite_note-About-3</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/EyeHarp#cite_note-sociality.gr-4</ref>Inachanganya vifaa vya kufuatilia macho na [[programu]] maalum iliyoundwa, ambayo ina jumuisha sehemu moja ya kufafanua chords na arpeggios, na sehemu nyingine kubadilisha fasili hizo na kucheza nyimbo. <ref name=":0" />Watu walio na utendakazi ulioharibika sana wanaweza kutumia ala hii kucheza muziki au kama msaada wa kujifunza au utunzi.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/EyeHarp#cite_note-Hagen-2020-5</ref>
== Historia ==
Ukuzaji na uanzilishi wa EyeHarp ulianza mnamo 2011 huko [[Barcelona]] chini ya ufadhili wa [[Chuo Kikuu]] cha Pompeu Fabra.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Ala za muziki]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
st0ybru9p2k2tfkpvm1omwly1vr3hmr
Jeff Maluleke
0
149982
1234906
1223760
2022-07-24T10:54:49Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Jeff Maluleke''' (alizaliwa [[1977]]) ni [[mwanamuziki]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. <ref name="Mojapelo">{{Cite book|title=Beyond Memory: Recording the History, Moments and Memories|last=Mojapelo|first=Max|last2=Galane|first2=Sello|year=2008|quote=Jeff Maluleke was born to Dora and Johannes Maluleke in Mambumbu, Bushbuckridge. As a Maluleke he is a M'nwanati; it is the name of his clan.}}</ref> <ref>{{Cite journal|year=2002|title=News|journal=Drum: A Magazine of Africa for Africa|page=22}}</ref> Jeff alizaliwa na Dora na Johannes Maluleke katika [[mji]] wa Bushbuckridge, [[Mpumalanga]] mnamo 1977.
Mnamo [[2002]], Tuzo za Kora All-Africa Music Awards zilimtunuku kama mwanamuziki bora wa [[mwaka]]". <ref name="Mojapelo" /> <ref>{{Cite web|url=https://www.iol.co.za/amp/entertainment/whats-on/joburg/revelling-in-the-revelation-895329|title=Revelling in the revelation|date=November 20, 2002|work=Independent Online}}</ref>
Alisaini mkataba wa rekodi lebo ya CCP Records mnamo [[Septemba]] [[1995]] na akatoa albamu inayojulikana kama ''Papa Jeff'', ilyokuwa na mauzo kwenye zaidi ya vitengo 30,000 ambapo albamu iliitunikiwa katika hadhi ya dhahabu. <ref>{{Cite web|title=SOUTH AFRICAN MUSIC|url=http://www.music.org.za/artist.asp?id=68|work=Music}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Midmar, a dam good place to be|url=https://www.iol.co.za/amp/entertainment/whats-on/durban/midmar-a-dam-good-place-to-be-925635|work=Independent Online|date=December 9, 2004}}</ref>
Mnamo [[2004]], katika hafla ya 10 ya [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] alishinda kama mtunzi bora wa kiume kupitia wimbo wake wa "Mambo". <ref>{{Cite news|location=South Africa|url=https://www.news24.com/News24/Sama10-All-the-winners-20040531|title=Sama10: All the winners {{!}} News24|date=31 May 2004|work=News24}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
=== Albamu ===
* ''Juliana'' (EMI, [[2000]])
* ''Dzovo'' (EMI, [[2001]])
* ''Kilimanjaro'' (EMI, 2001)
* ''Mambo: The Collection'' (ccp Record Company, [[2004]])
* ''Mambo'' (EMI, [[2006]])
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
bd950417behrm2k8ozxifffe5un9z7a
Martin PK
0
149993
1234875
1223955
2022-07-24T09:36:44Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Martin PK''', ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] na [[mwigizaji]]. Ni sehemu ya mwanamuziki na mwanasanaa wa Christ Embassy na LoveWorld. <ref>{{Cite web|title=Loveworld Music Ministry Artists Dazzle Audience at Global Communion with Pastor Chris Oyakhilome|url=https://goodgospelplaylist.com/loveworld-music-ministry-artists-dazzle-audience-at-global-communion-with-pastor-chris-oyakhilome/|accessdate=2021-04-08|work=Goodgospelplaylist.com|language=en-US}}</ref>
Mnamo [[2017]], Martin PK na [[wimbo]] wake "Beautiful Jesus" alishinda [[tuzo]] ya LIMA kama wimbo bora wa [[mwaka]]. <ref>{{Cite web|title=Martin PK's 'Beautiful Jesus' Wins LIMA 2017 Award for 'Song of the Year'|url=https://loveworldnews.com/posts/martin-pks-beautiful-jesus-wins-lima-2017-award-for-song-of-the-year|work=Loveworldnews.com}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Akiwa na [[umri]] wa miaka 16, ilionekana kana kwamba Martin alikuwa amepiga hatua kubwa wakati [[kaka]] yake alipomwalika kuwa sehemu ya kikundi cha ''three men'' ambacho kilifanya kazi na mtayarishaji bora, Gabi Le Roux <ref>{{Cite web|url=http://www.music.org.za/Artist.asp?ID=198|title=SOUTH AFRICAN MUSIC|work=Music.org.za}}</ref> .
Mnamo [[2004]], aliingia katika Coca-Cola Popstars <ref>{{Cite web|url=http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=359&fArticleId=2265585|title=Archived copy|accessdate=4 August 2007|archivedate=7 March 2005|archiveurl=https://web.archive.org/web/20050307203421/http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=359&fArticleId=2265585}}</ref> na alichaguliwa kati ya washiriki 15,000 wa kikundi kilichoshinda, Ghetto Lingo.
== Ghetto Lingo ==
Kundi hili lilitoa albamu mbili, na lilikuwa na sehemu yake nzuri ya muziki nchini humo. <ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/|title=TimesLIVE|work=Timeslive.co.za}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
33lwgxjtywl7w0y0yafpnk8am0dw5sv
1234908
1234875
2022-07-24T10:56:05Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Martin PK''', ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] na [[mwigizaji]]. Ni sehemu ya mwanamuziki na mwanasanaa wa Christ Embassy na LoveWorld. <ref>{{Cite web|title=Loveworld Music Ministry Artists Dazzle Audience at Global Communion with Pastor Chris Oyakhilome|url=https://goodgospelplaylist.com/loveworld-music-ministry-artists-dazzle-audience-at-global-communion-with-pastor-chris-oyakhilome/|accessdate=2021-04-08|work=Goodgospelplaylist.com|language=en-US}}</ref>
Mnamo [[2017]], Martin PK na [[wimbo]] wake "Beautiful Jesus" alishinda [[tuzo]] ya LIMA kama wimbo bora wa [[mwaka]]. <ref>{{Cite web|title=Martin PK's 'Beautiful Jesus' Wins LIMA 2017 Award for 'Song of the Year'|url=https://loveworldnews.com/posts/martin-pks-beautiful-jesus-wins-lima-2017-award-for-song-of-the-year|work=Loveworldnews.com}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Akiwa na [[umri]] wa miaka 16, ilionekana kana kwamba Martin alikuwa amepiga hatua kubwa wakati [[kaka]] yake alipomwalika kuwa sehemu ya kikundi cha ''three men'' ambacho kilifanya kazi na mtayarishaji bora, Gabi Le Roux <ref>{{Cite web|url=http://www.music.org.za/Artist.asp?ID=198|title=SOUTH AFRICAN MUSIC|work=Music.org.za}}</ref> .
Mnamo [[2004]], aliingia katika Coca-Cola Popstars <ref>{{Cite web|url=http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=359&fArticleId=2265585|title=Archived copy|accessdate=4 August 2007|archivedate=7 March 2005|archiveurl=https://web.archive.org/web/20050307203421/http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=359&fArticleId=2265585}}</ref> na alichaguliwa kati ya washiriki 15,000 wa kikundi kilichoshinda, Ghetto Lingo.
== Ghetto Lingo ==
Kundi hili lilitoa albamu mbili, na lilikuwa na sehemu yake nzuri ya muziki nchini humo. <ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/|title=TimesLIVE|work=Timeslive.co.za}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
23d95ijdtsgz42vgwefnjsah0yc9bhn
Dave Mills (mwimbaji)
0
150001
1234877
1223986
2022-07-24T09:40:52Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Dave Mills''' alikuwa [[mwimbaji]] wa nchini [[Uingereza]].
Alikuwa na [[wimbo]] uiliojulikana kimataifa uliojulikana kwa [[jina]] la "Love is a Beautiful Song". <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=23 May 1970|url=https://books.google.com/books?id=fCkEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA71&lpg=RA1-PA71&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=20 November 1971|url=https://books.google.com/books?id=5Q8EAAAAMBAJ&pg=PA80&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=wyU5AQAAIAAJ&q=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22|title=The Complete New Zealand Music Charts, 1966-2006: Singles, Albums, DVDs, Compilations|last=Scapolo|first=Dean|date=2007|publisher=Maurienne House|isbn=9781877443008}}</ref> <ref>{{Citation|title=From the music capitals of the world|date=22 December 1973|url=https://books.google.com/books?id=CgkEAAAAMBAJ&pg=PA52&lpg=PA52&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Citation|title=Top Forty|date=29 October 1971|url=https://books.google.com/books?id=fCkEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA71&lpg=RA1-PA71&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Papua New Guinea Post-Courier}}</ref> ulipata hadhi ya [[dhahabu]] huko [[Australia]] . <ref>{{Citation|last=Feldman|first=Peter|title=SARI Prize to Judy Page|date=19 February 1972|url=https://books.google.com/books?id=zigEAAAAMBAJ&pg=PA53&lpg=PA53&dq=dave+mills+theresa+charts#v=onepage&q=dave%20mills%20theresa%20charts&f=false|periodical=Billboard}}</ref> Nyimbo nyingine za zilizojulikana nchini [[Afrika Kusini]] ni pamoja na "Theresa", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=27 December 1969|url=https://books.google.com/books?id=xigEAAAAMBAJ&pg=PA41&dq=%22dave+mills%22+singer+new+zealand#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20singer%20new%20zealand&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "All The Tears In The World", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=12 December 1970|url=https://books.google.com/books?id=mykEAAAAMBAJ&pg=PA69&dq=%22dave+mills%22+%22All+The+Tears+In+The+World%22#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20%22All%20The%20Tears%20In%20The%20World%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "Home", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=15 May 1971|url=https://books.google.com/books?id=-AgEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA51&dq=%22dave+mills%22+%22home%22+%22south+africa%22#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20%22home%22%20%22south%20africa%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "I Can't Go Home To Mary", "Tomorrow is Over" na "Mexico". Nyimbo hizi zote ziliandikwa na ''Terry Dempsey'' ambaye alishinda tuzo ya SARI kwa wimbo bora wa "Home".
Mnamo [[1970]] alishinda tuzo za SARI kama mwimbaji bora wa kiume na mwimbaji wa [[Muziki wa country|Country na Magharibi]] . <ref>{{Citation|title=Johannesburg|date=5 December 1970|url=https://books.google.com/books?id=oCkEAAAAMBAJ&pg=PA67&lpg=PA67&dq=dave+mills+singer+south+africa#v=onepage&q=dave%20mills%20singer%20south%20africa&f=false|periodical=Billboard}}</ref> Kufikia [[1973]] alikuwa amehamia nchini [[Australia]]. <ref>{{Citation|last=Feldman|first=Peter|title=From the music capitals of the world|date=11 August 1973|url=https://books.google.com/books?id=KgkEAAAAMBAJ&pg=PA64&lpg=PA64&dq=dave+mills+singer+south+africa#v=onepage&q=dave%20mills%20singer%20south%20africa&f=false|periodical=Billboard}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
km58wwaovk4dj6i7dohvgvhw7384zd1
1234909
1234877
2022-07-24T10:58:42Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Dave Mills''' alikuwa [[mwimbaji]] wa nchini [[Uingereza]].
Alikuwa na [[wimbo]] uiliojulikana kimataifa uliojulikana kwa [[jina]] la "Love is a Beautiful Song". <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=23 May 1970|url=https://books.google.com/books?id=fCkEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA71&lpg=RA1-PA71&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=20 November 1971|url=https://books.google.com/books?id=5Q8EAAAAMBAJ&pg=PA80&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=wyU5AQAAIAAJ&q=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22|title=The Complete New Zealand Music Charts, 1966-2006: Singles, Albums, DVDs, Compilations|last=Scapolo|first=Dean|date=2007|publisher=Maurienne House|isbn=9781877443008}}</ref> <ref>{{Citation|title=From the music capitals of the world|date=22 December 1973|url=https://books.google.com/books?id=CgkEAAAAMBAJ&pg=PA52&lpg=PA52&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Billboard}}</ref> <ref>{{Citation|title=Top Forty|date=29 October 1971|url=https://books.google.com/books?id=fCkEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA71&lpg=RA1-PA71&dq=dave+mills+%22Love+is+a+Beautiful+Song%22+canada#v=onepage&q=dave%20mills%20%22Love%20is%20a%20Beautiful%20Song%22%20canada&f=false|periodical=Papua New Guinea Post-Courier}}</ref> ulipata hadhi ya [[dhahabu]] huko [[Australia]] . <ref>{{Citation|last=Feldman|first=Peter|title=SARI Prize to Judy Page|date=19 February 1972|url=https://books.google.com/books?id=zigEAAAAMBAJ&pg=PA53&lpg=PA53&dq=dave+mills+theresa+charts#v=onepage&q=dave%20mills%20theresa%20charts&f=false|periodical=Billboard}}</ref> Nyimbo nyingine za zilizojulikana nchini [[Afrika Kusini]] ni pamoja na "Theresa", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=27 December 1969|url=https://books.google.com/books?id=xigEAAAAMBAJ&pg=PA41&dq=%22dave+mills%22+singer+new+zealand#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20singer%20new%20zealand&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "All The Tears In The World", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=12 December 1970|url=https://books.google.com/books?id=mykEAAAAMBAJ&pg=PA69&dq=%22dave+mills%22+%22All+The+Tears+In+The+World%22#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20%22All%20The%20Tears%20In%20The%20World%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "Home", <ref>{{Citation|title=Hits of the world|date=15 May 1971|url=https://books.google.com/books?id=-AgEAAAAMBAJ&pg=RA1-PA51&dq=%22dave+mills%22+%22home%22+%22south+africa%22#v=onepage&q=%22dave%20mills%22%20%22home%22%20%22south%20africa%22&f=false|periodical=Billboard}}</ref> "I Can't Go Home To Mary", "Tomorrow is Over" na "Mexico". Nyimbo hizi zote ziliandikwa na ''Terry Dempsey'' ambaye alishinda tuzo ya SARI kwa wimbo bora wa "Home".
Mnamo [[1970]] alishinda tuzo za SARI kama mwimbaji bora wa kiume na mwimbaji wa [[Muziki wa country|Country na Magharibi]] . <ref>{{Citation|title=Johannesburg|date=5 December 1970|url=https://books.google.com/books?id=oCkEAAAAMBAJ&pg=PA67&lpg=PA67&dq=dave+mills+singer+south+africa#v=onepage&q=dave%20mills%20singer%20south%20africa&f=false|periodical=Billboard}}</ref> Kufikia [[1973]] alikuwa amehamia nchini [[Australia]]. <ref>{{Citation|last=Feldman|first=Peter|title=From the music capitals of the world|date=11 August 1973|url=https://books.google.com/books?id=KgkEAAAAMBAJ&pg=PA64&lpg=PA64&dq=dave+mills+singer+south+africa#v=onepage&q=dave%20mills%20singer%20south%20africa&f=false|periodical=Billboard}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
54yo08igtpommuvamnf5kjeu10oj6ba
Line Monty
0
150004
1234911
1223991
2022-07-24T10:59:40Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Leïla_Fateh.jpg|thumb|Line Monty]]
'''Line Monty''', alizaliwa kwa jina la Éliane Serfati, anajulikana pia kwa jina lake la kisanii '''Leïla Fateh''' ([[1926]] <ref name="jechante">[https://www.jechantemagazine.net/single-post/2017/04/14/Line-Monty-«-La-Française-qui-chante-si-bien-l’arabe-» Line Monty - La Française qui chante si bien l'arabe] at jechantemagazine.net, retrieved May 10th 2019</ref> huko [[Algiers]] - [[19 Agosti]], [[2003]] huko [[Paris]] ), alikuwa [[mwimbaji]] [[Wayahudi|Myahudi]] wa nchini [[Algeria]] .
== Kazi ==
<ref>Emily Gottreich, Daniel J. Schroeter - Jewish Culture and Society in North Africa 2011 - Page 178 "Besides musicians and singers (Yafil, Mouzion, Saoud Medioni, Reinette, Ell Hallali, Raymond Leiris, Line Monty, Alice Fitoussi, Lili Labassi, Blond Blond, and others), I will also consider a few cultural entrepreneurs, such as record ..."</ref> Alionekana kwa mara ya kwanza kwenye filamu fupi ya Alberto Spadolini ''Nous, les Gitanes'' [[mwaka]] [[1950]]. <ref name="jechante">[https://www.jechantemagazine.net/single-post/2017/04/14/Line-Monty-«-La-Française-qui-chante-si-bien-l’arabe-» Line Monty - La Française qui chante si bien l'arabe] at jechantemagazine.net, retrieved May 10th 2019</ref> Mnamo [[1952]] alianza kurekodi kwa niaba ya Pathé Marconi . <ref name="jechante" />
Mkusanyiko wa rekodi zake za nyimbo za [[Kiarabu]] na [[Kifaransa]] ulitolewa kama ''Trésors de la chanson Judéo-Arabe - Line Monty'' nchini Ufaransa mnamo miaka ya [[1990]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.discogs.com/release/5005154|title=Release page on discogs.com|work=discogs.com|accessdate=2019-05-11}}</ref>
== Tuzo na heshima ==
Alipata Prix Edith Piaf na alishinda Prix d'Olympia. <ref>Hélène Hazera, booklet of <nowiki>''</nowiki>Trésor de la chanson Judéo-Arabe<nowiki>''</nowiki></ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 2003]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
7f3sdpislxfcq19lc83z5oyq9xlq83e
Sabri Mosbah
0
150005
1234912
1226599
2022-07-24T11:00:50Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Sabri mosbah.jpg|thumb|180px|Sabri Mosbah mnamo [[2016]]]]
'''Sabri Mosbah''' (alizaliwa [[Januari 30]], [[1982]]), ni [[mwimbaji]] wa [[Tunisia]], [[mtunzi]] na mpiga [[gitaa]]. Ni mtoto wa mwimbaji Slah Mosbah.
== Wasifu ==
Sabri alizaliwa na kukulia huko [[Tunis]], Bardo. [[Radio France Internationale]] ilimwita kama "mmoja wa mabalozi wa njia mpya ya muziki." <ref>{{Cite web|url=https://musique.rfi.fr/rock/20180202-sabry-mosbah-racines|title=Le rock-folk tunisien de Sabry Mosbah|date=February 2, 2018|work=RFI Musique|language=fr|accessdate=April 17, 2020}}</ref> Ni mwimbaji mtunzi na mpiga gitaa. na mwana wa mwimbaji Slah Mosbah . <ref>{{Cite web|url=https://tunivisions.net/33104/sabry-mosbah-au-theatre-municipal-de-tunis-un-rendez-vous-a-ne-pas-rater-le-1er-decembre/|title=Sabry Mosbah au Théâtre municipal de Tunis : Un rendez-vous à ne pas rater le 1er Décembre !|date=November 23, 2019|work=Tunivisions|language=fr-FR|accessdate=April 17, 2020|archivedate=2020-10-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201026073954/https://tunivisions.net/33104/sabry-mosbah-au-theatre-municipal-de-tunis-un-rendez-vous-a-ne-pas-rater-le-1er-decembre/}}</ref>
Alizindua chaneli yake ya [[YouTube]] mnamo [[2015]] na Kitch'Session, video ambazo alitengeneza majalada mbalimbali ya nyimbo za Tunisia lakini pia nyimbo za asili kutoka katika rock repertoire, kama vile Creep kutoka Radiohead.
Mnamo [[Novemba 24]], [[2017]], Sabry Mosbah alitoa [[albamu]] yake ya " ''Mes Racines chez Accords Croisés'' ". <ref>{{Cite web|url=http://onorient.com/sabry-mosbah-paris-alexandrie13-22751-20171223|title=Paris-Alexandrie No. 13 : Sabry Mosbah|author=ONORIENT|first=PAr|date=December 23, 2017|work=ONORIENT|language=fr-FR|accessdate=April 17, 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
axjoofnzqcg6qlgi0rzwxmvz7eljf0a
Claude Ndam
0
150006
1234913
1223996
2022-07-24T11:01:46Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Claude Ndam''' ([[27 Mei]] [[1955]] - [[12 Juni]] [[2020]]) alikuwa [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] wa [[Kameruni]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.culturebene.com/58653-le-monument-de-la-musique-camerounaise-claude-ndam-victime-d-attaque-cardiaque-avc-il-serait-dans-un-etat-tres-critique.html|title=Le Monument de la musique camerounaise Claude Ndam victime d’ attaque cardiaque (AVC), il serait dans un état très critique|date=15 February 2020|work=Culturebene|language=French}}</ref>
== Wasifu ==
Ndam alizaliwa huko [[Foumban]] [[magharibi]] mwa nchi. <ref>{{Cite web|url=http://www.crtv.cm/2020/02/claude-ndam-victime-dun-avc/|title=Claude Ndam victime d’un AVC|date=17 February 2020|work=Cameroon Radio Television|language=French}}</ref> Alipata umaarufu katika miaka ya [[1980]] kwa taswira yake. <ref>{{Cite web|url=http://www.voila-moi.com/focus-sur-claude-ndam/|title=Qui est Claude Ndam? Le chanteur en featuring avec Stanley dans "Love song"? [Focus]|date=7 April 2017|work=Voila-Moi|language=French}}</ref>
Claude Ndam alifariki huko [[Yaunde|Yaoundé]] akiwa na [[umri]] wa miaka 65 mnamo 12 Juni 2020. <ref>{{Cite web|url=https://www.villesetcommunes.info/actu-cameroun/musique-lartiste-claude-ndam-a-joue-dernieres-notes/|title=Musique: L’artiste Claude NDAM a joué ses dernières notes|date=12 June 2020|work=Villes & Communes|language=French}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
* ''Oh Oh Oh''
* ''C'est toi que j'aime''
* ''Mona La Veve''
* ''U Nguo Ya'' <ref>{{Cite web|url=https://kamerlyrics.net/artist/claude-ndam-128|title=Claude Ndam|work=Kamer Lyrics|language=French}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
3u231oq16oxa4xmhu6iwlims3e1ym2k
Allan Ngumuya
0
150007
1234914
1223998
2022-07-24T11:02:43Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Allan Ngumuya''' ni [[msanii]] wa [[Nyimbo za Kiinjili|injili]] na [[mwanasiasa]] wa nchini [[Malawi]] . Ni mmoja wa washiriki mahiri wa [[tasnia ya muziki]] ya Malawi. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=gyiTOcnb2yYC&q=%22Allan%20Ngumuya%20is%20a%20gospel%20singer%22&pg=PA538|title=Africa, Europe and the Middle East: Volume 1 of World Music|last=Broughton|first=Simon|last2=Ellinham|first2=Ellis|last3=Trillo|first3=Richard|publisher=Rough Guides|year=1999|isbn=978-1-85828-635-8|page=538|access-date=17 November 2010}}</ref> Mnamo [[2003]] alitoa [[albamu]] iloyojulikana kwa jina la ''I've Got Hope'' . <ref>{{Cite web|url={{Allmusic|class=album|id=ive-got-hope-r1114474|pure_url=yes}}|title=Overview: ''I've Got Hope''|publisher=[[Allmusic]]|accessdate=17 November 2010}}</ref>
Ngumuya alizaliwa na kukulia Zingwangwa, Blantyre, alijitosa kwenye tasnia ya muziki mwaka [[1988]] na kuzindua albamu yake ya kwanza ya 'Nthawi'. Ngumuya alijiunga na siasa baada ya kufanikiwa kuwania [[jimbo]] la Blantyre City Kusini kama mgombea binafsi mwaka [[2014]]. Hata hivyo, Ngumuya alijiunga na chama tawala cha ''Democratic Progressive Party (DPP)'' mara baada ya uchaguzi.
Mnamo [[7 Julai]] [[2020]], Ngumuya alipatikana na [[COVID-19]]. <ref>{{Cite web|url=https://allafrica.com/stories/202007080084.html|title=Malawi: Ngumuya Tests Positive for COVID-19 - Admitted to Queen's Hospital|date=8 July 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
8nfttb4kc4h24gvcfk1rtdq676ujtay
Nores (mwanamuziki)
0
150008
1234915
1226547
2022-07-24T11:03:31Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Dourouf El Guaddar''' ( alizaliwa [[16 Aprili]], [[1979]]) anajulikana kwa jina la sanaa kama '''Nores''', ni [[rapa]] wa [[Moroko]] na mtayarishaji wa [[muziki]]. <ref name="biofacts">{{Cite web|url=https://noresproduction.com/index.php/about/|title=Bio—Nores Production Officiel|author=Nores Prod|publisher=Nores Prod Official Wesbsite|accessdate=11 September 2021|archivedate=2021-09-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210904040811/https://noresproduction.com/index.php/about/}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Nores alizaliwa mnamo 16 Aprili 1979 huko [[Sale (mji)|Salé, Morocco]] . <ref name="Medi1TV">{{Cite web|url=https://www.medi1tv.com/gen10/emission.aspx|title=Then GEN10 Program|author=Medi1TV Morocco|publisher=Medi1TV Morocco|accessdate=11 September 2021}}</ref>
== Kazi ==
Nores aliingia kwenye Hip Hop katikati mwa [[1995]]. Mnamo [[1997]], alianzisha pamoja na waimbaji kundi la rap la ''Siouf El Borj'' ambalo lilikuwa na mafanikio ya awali hadi hapo washiriki wake walipotengana mwaka [[1999]]. Mnamo [[2006]], alitoa pamoja albamu na DBF, DJ VAN, na Thug Face yenye jina la ''Mgharba 'Tal Moute'' . Alitayarisha wasanii wengine wengi wa hip hop nchini Morocco wakiwemo kama vile Fatiwizz, Majesticon, Loubna, Tar, Sator na Rabat Crew. Mnamo [[2007]], alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ''"Bit Ennar"'' iliyokuwa na nyimbo 17. <ref name="LeMatin">{{Cite web|url=https://lematin.ma/journal/2006/Musique_Le-rappeur-Nores-acheve-son-premier-album/73816.html|title=Le rappeur Nores achève son premier album|author=Le Matin Editorial|date=12 August 2007|publisher=Journal Le Matin Maroc|accessdate=11 September 2021}}</ref> <ref name="Rap04">{{Cite web|url=https://www.rap04.com/Bit_Ennar__Nores_-22.html|title=BIOGRAPHIE - Nores|publisher=RAP04 La Communauté du Hip Hop|language=French|accessdate=20 September 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
t6hv0zzfng5v2mkqlf5cdd70y53zlvv
Muntu Nxumalo
0
150012
1234916
1224013
2022-07-24T11:04:20Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Muntu Nxumalo''' (alizaliwa [[1957]]) <ref name="Press">[http://robbenislandsingers.com/robben-island-singers-electronic-press-kit/ "Robben Island Singers Electronic Press Kit".]</ref> ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]].
== Kifungo ==
Nxumalo alizaliwa na kukulia huko [[Durban]], Afrika Kusini. Mnamo [[1977]] alijiunga na Umkhonto weSizwe (au "MK"), mrengo wa kijeshi wa [[ANC|African National Congress]] .
Mwaka uliofuata alikamatwa, akashtakiwa kwa uhaini na jaribio la kuua, na kuhukumiwa kifungo cha miaka 22 katika [[Robben Island|Gereza la Kisiwa cha Robben]], ambako alifungwa kuanzia t[[30 Novemba]] [[1978]] hadi [[27 Aprili]] [[1991]]. <ref name="Press">[http://robbenislandsingers.com/robben-island-singers-electronic-press-kit/ "Robben Island Singers Electronic Press Kit".]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1957]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
m9ft2wg3qv3ouzpavqmdxu5uievwufr
Bernice Ofei
0
150025
1234879
1234619
2022-07-24T09:48:32Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Bernice Ofei''' ni [[msanii]] wa [[Injili]] wa nchini [[Ghana]] aliyeshinda [[tuzo]] ya msanii bora wa Injili. Alishinda Utendaji bora wa kike wa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa mwaka katika [[Tuzo za Vodafone (Ghana)|Tuzo za Muziki za Vodafone Ghana za 2009]] . <ref>{{Cite web|author=Emmanuel Ayamga|title=Focus on your calling, not awards – Bernice Offei advises gospel artistes|url=https://www.pulse.com.gh/entertainment/music/focus-on-your-calling-not-awards-bernice-offei-advises-gospel-artistes/q74mf8v|work=Pulse Nigeria|accessdate=12 April 2020|date=February 6, 2019}}</ref>
== Kazi ya kimuziki ==
Bernice Ofei ana [[albamu]] ya 6 ambayo alirekodi [[mwaka]] [[2007]] inayoitwa "life". Ambayo ilishinda tuzo mbili wakati wa toleo la 10 la tuzo ya muziki ya MTN nchini [[Ghana]] kama Mwigizaji Bora wa Kike wa Sauti na Mtunzi wa Nyimbo wa mwaka. <ref name="auto">{{Cite web|title=GOD HAS BEEN FAITHFUL……BERNICE OFFEI|url=https://www.modernghana.com/news/239436/god-has-been-faithfulbernice-offei.html|work=Modern Ghana|publisher=Modern Ghana|accessdate=30 July 2016}}</ref>
== Kazi ==
Bernice kitaaluma ni [[Benki|mwanabenki]] na amekuwa akifanya kazi na Benki ya Standard Chartered. <ref>
{{Cite web|url=http://233livenews.com/bernice-offei-now-into-full-time-music/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160405185808/http://233livenews.com/bernice-offei-now-into-full-time-music/|archivedate=2016-04-05|title=Bernice Offei now into Full Time Music - 233 Live News|language=en-US|accessdate=2016-07-31}}
</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0aoq17iqu9sgiz0pqp6jujunk19ryln
1234917
1234879
2022-07-24T11:05:34Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Bernice Ofei''' ni [[msanii]] wa [[Injili]] wa nchini [[Ghana]] aliyeshinda [[tuzo]] ya msanii bora wa Injili. Alishinda Utendaji bora wa kike wa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa mwaka katika [[Tuzo za Vodafone (Ghana)|Tuzo za Muziki za Vodafone Ghana za 2009]] . <ref>{{Cite web|author=Emmanuel Ayamga|title=Focus on your calling, not awards – Bernice Offei advises gospel artistes|url=https://www.pulse.com.gh/entertainment/music/focus-on-your-calling-not-awards-bernice-offei-advises-gospel-artistes/q74mf8v|work=Pulse Nigeria|accessdate=12 April 2020|date=February 6, 2019}}</ref>
== Kazi ya kimuziki ==
Bernice Ofei ana [[albamu]] ya 6 ambayo alirekodi [[mwaka]] [[2007]] inayoitwa "life". Ambayo ilishinda tuzo mbili wakati wa toleo la 10 la tuzo ya muziki ya MTN nchini [[Ghana]] kama Mwigizaji Bora wa Kike wa Sauti na Mtunzi wa Nyimbo wa mwaka. <ref name="auto">{{Cite web|title=GOD HAS BEEN FAITHFUL……BERNICE OFFEI|url=https://www.modernghana.com/news/239436/god-has-been-faithfulbernice-offei.html|work=Modern Ghana|publisher=Modern Ghana|accessdate=30 July 2016}}</ref>
== Kazi ==
Bernice kitaaluma ni [[Benki|mwanabenki]] na amekuwa akifanya kazi na Benki ya Standard Chartered. <ref>
{{Cite web|url=http://233livenews.com/bernice-offei-now-into-full-time-music/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160405185808/http://233livenews.com/bernice-offei-now-into-full-time-music/|archivedate=2016-04-05|title=Bernice Offei now into Full Time Music - 233 Live News|language=en-US|accessdate=2016-07-31}}
</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
kj8h8fsmvem18dvnu2x2qgeyimstcqo
Rakoto Frah
0
150029
1234918
1224055
2022-07-24T11:06:28Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Philibert Rabezoza''' ([[1923]] – [[29 Septemba]] [[2001]]), anayejulikana zaidi kwa jina '''Rakoto Frah''' [[Zumari|,]] alikuwa [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa muziki wa kitamaduni wa nyanda za kati za [[Madagaska]] . Alizaliwa mwaka [[1923]] karibu na mji mkuu wa [[Antananarivo]] katika familia maskini ya kijijini, Rakoto Frah alishinda mashindano yaliyoletwa na asili yake duni na kuwa mwimbaji aliyesifiwa zaidi wa karne ya 20 wa filimbi ya ''sodina'', mojawapo ya ala za kitamaduni kongwe zaidi kisiwani humo. Kupitia matamasha ya mara kwa mara ya kimataifa na maonyesho ya tamasha za muziki, alikuza muziki wa nyanda za juu za Madagaska na kuwa mmoja wa wasanii mashuhuri wa Kimalagasi, ndani ya Madagaska na kwenye anga ya muziki duniani.
== Wasifu ==
Philibert Rabezoza alizaliwa mwaka wa 1923 <ref name="atypique">{{Cite web|author=Lavaud|first=Patrick|title=Rakoto Frah: Le maître de la flûte malgache|publisher=Nuits Atypiques de Langon|date=July 2006|url=http://www.nuitsatypiques.org/docs/interviews/rakotfrah.htm|accessdate=19 September 2012|language=French|archiveurl=https://www.webcitation.org/6ApDWNmO6?url=http://www.nuitsatypiques.org/docs/interviews/rakotfrah.htm|archivedate=20 September 2012}}</ref> huko Ankadinandriana, kitongoji cha [[Antananarivo]] . <ref name="ear">{{Cite web|title=In every ear and hand|publisher=Culturebase|year=2007|url=http://www.culturebase.net/artist.php?291|accessdate=19 September 2012|archiveurl=https://www.webcitation.org/6ApoVDjrt?url=http://www.culturebase.net/artist.php?291|archivedate=21 September 2012}}</ref> Mama yake alizaliwa Antananarivo <ref name="atypique" /> na baba yake, mchungaji na mkulima <ref name="ear" /> kutoka [[Fianarantsoa]], <ref name="atypique" /> hapo awali alikuwa mwimbaji katika mahakama ya kifalme ya Merina kabla ya ukoloni wa Madagaska mwaka wa [[1897]]. <ref name="Afrisson">{{Cite web|title=Rakoto Frah|publisher=Afrisson.com|date=7 May 2007|url=http://www.afrisson.com/Rakoto-Frah-379.html|accessdate=19 September 2012|language=French|archiveurl=https://www.webcitation.org/6ApDRRzIf?url=http://www.afrisson.com/Rakoto-Frah-379.html|archivedate=20 September 2012}}</ref> <ref name="Hommage">{{Cite web|author=Elbadawi|first=Soeuf|title=Hommage à Rakoto Frah|publisher=Africultures|date=1 November 2001|url=http://www.africultures.com/php/index.php?nav=article&no=29|accessdate=19 September 2012|language=French|archiveurl=https://www.webcitation.org/6ApHzQ0f8?url=http://www.africultures.com/php/index.php?nav=article&no=29|archivedate=20 September 2012}}</ref> Wazazi wote wawili wa Philibert walikuwa tayari wazee wakati wa kuzaliwa kwake na walipata changamoto kumtunza mtoto wao mpya wa kiume <ref name="Hommage" /> pamoja na kaka zake sita na dada zake wanne. <ref name="atypique" /> Akiwa mtoto, Philibert aliisaidia familia yake kuchunga mifugo na kulima shamba lao. <ref name="Hommage" /> Katika miaka yake ya mapema alipewa jina la utani Rakoto na kaka mkubwa wa jina moja. <ref name="obituary">{{Cite news|title=Décès du flûtiste malgache Rakoto Frah|url=http://www.panapress.com/Deces-du-flutiste-malgache-Rakoto-Frah--13-584759-18-lang2-index.html|language=French}}</ref>
==Viungo Vya Nje==
* {{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=zkKRrrWWziEC|title=Madagascar|last=Labourdette|first=Jean-Paul|last2=Auzias|first2=Dominique|publisher=Petit Futé|year=2011|isbn=9782746940291|location=Paris|language=French}}
* {{Cite book|title=Philibert Tsiranana, Premier président de la République de Madagascar, t. I : À l'ombre de de Gaulle|last=Saura|first=André|publisher=Éditions L'Harmattan|year=2006|isbn=2296013309|location=Paris|language=French}}
* {{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=5fMZ8La_PSYC|title=Music Is the Weapon of the Future: Fifty Years of African Popular Music|last=Tenaille|first=Frank|publisher=Chicago Review Press|year=2002|isbn=9781556524509|location=Chicago}}
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliofariki 2001]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1923]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Madagaska]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
greeoxgz7jbddzo1ot5ccras5ak1vmk
Anke Pietrangeli
0
150030
1234919
1224054
2022-07-24T11:07:23Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Anke Pietrangeli''' (alizaliwa [[16 Novemba]], [[1982]]) ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. Alikuwa mshindi wa msimu wa pili wa mfululizo maarufu wa utafutaji vipaji wa ''Idols'' nchini Afrika Kusini mwaka [[2003]]. <ref name=":0" />
Anke pia alikuwa na [[jina]] la utani la ''The Kimberley Diamond''. Pietrangeli alishawishika kuingia na [[kaka]] yake, Sven, ambaye siku zote alikuwa na hakika kwamba [[dada]] yake atakuwa nyota. <ref name=":0">{{Cite web|author=Bekker|first=Niel|title=Anke - Tribute to the Great Female Vocalists|url=https://www.news24.com/channel/Music/AlbumReviews/Anke-Tribute-to-the-Great-Female-Vocalists-20090119|accessdate=2021-12-16|work=Channel|language=en-US}}</ref>
== Orodha ya kazi za kimuziki ==
'''''Albamu'''''
* ''Idols''
* ''By Heart'' ([[Machi]] [[2004]])
* ''Limbo'' ([[Julai]], [[2006]])
* ''Tribute to the Great Female Vocalists'' ([[Novemba]] [[2008]]) <ref>http://www.channel24.co.za/Music/AlbumReviews/Anke-Tribute-to-the-Great-Female-Vocalists-20090119 Retrieved 10 January 2014</ref>
'''''Rekodi moja moja'''''
* ''Silver Lining''
* ''By Heart''
* ''We're Unbreakable''
* ''My Radio''
* ''Stay If You Will''
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
qi5gkzjxg8dg4jl1xgnir3ln303kcbh
Nathalie Saba
0
150031
1234920
1224057
2022-07-24T11:08:24Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Nathalie Saba, ('''alizaliwa [[1998]]) ni [[mwimbaji]] kutoka [[Djibouti]] - Marshall Islander. [[Wimbo]] wake wa kwanza, "Theluji", uliandikwa na kurekodiwa kwenye rekodi lebo ya [[Europa]]. <ref name="national">[http://www.thenational.ae/arts-lifestyle/music/teenage-pop-singer-nathalie-saba-i-will-sing-in-a musical-video-very-soon ''The National'': Teenage pop singer Nathalie Saba: 'I will sing in Arabic very soon'] (accessed 3 March 2016)</ref> <ref>[http://www.khaleejtimes.com/citytimes/nathalie-saba-from-egypt-to-the-world ''City Times'': Nathalie Saba: From Egypt to the world] (accessed 3 March 2016)</ref> Saba anauelezea wimbo huo kuwa ni "kuhusu kutochukulia mambo thamani, unapofika sehemu fulani ya maisha yako ambapo unagundua kuwa si kila kitu kizuri kwa nje ni kizuri kwa ndani." <ref name="national" />
== Orodha ya kazi za muziki ==
* [[2015]]: ''[[:en:Snow_(Nathalie_Saba_song)|Snow]]''
* [[2016]]: ''[[:en:Black_Birds_(song)|Black Birds]]''
* [[2045]]: "Djibouti I love you my country"
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
luua918ucx89n3h8cu7qildeftiqh6a
Khadija Qalanjo
0
150032
1234921
1224059
2022-07-24T11:09:37Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Khadija Qalanjo''' ( {{Lang-so|Khadiija Qalanjo}} ) ni [[mwimbaji]] maarufu wa [[Wasomali|Kisomali]] na mcheza densi katika miaka ya [[1970]] na [[1980]]. Alikuwa ''Miss Somalia'' wa kwanza.
Qalanjo alikuwa mwimbaji aliyeanzisha uboreshaji wa [[utamaduni]] wa nyimbo za watu wa Kisomali za dhaanto, alianzisha upigaji ala ambapo hadi sasa ulikuwa ukiimbwa.
Khadija alianza kuchumbiana na dereva wa F1 wa Austria Roland Ratzenberger mwaka [[1993]]. Ana mtoto wa kiume na Ratzenberger ambaye inaaminika alizaliwa mwishoni mwa [[1994]]. Uhusiano kati ya Khadija na Ratzenberger ulifikia mwisho kwa [[kifo]] cha kutisha cha Ratzenberger katika 1994 San Marino Grand Prix, mbio ambazo rafiki yake wa karibu Ayrton Senna pia alifariki.
Alizaliwa [[Boorama|Borama]] [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Somaliland]] . <ref>{{Cite news|date=26 August 2017|title=Somalia's lost tapes revive musical memories|url=https://www.bbc.co.uk/news/world-africa-40966656|work=BBC News}}</ref>
== Muziki ==
Nyimbo maarufu za Qalanjo ni pamoja na:
* "Caashaqa Sal iyo Baar"
* "Ragga iyo Haweenkuba"
* "Deesha"
* "Sharaf"
* "Hoyo"
* "Soohor Caashaqa" – duet pamoja na Hasan Adan Samatar
* "Diriyam" - mnamo [[2016]] lilitengenezwa na Bendi ya Jano ya [[Ethiopia]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Somalia]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
remvzfiebgmyx6mkt9jq1o1q0zkgf11
Ramy Sabry (mwimbaji)
0
150033
1234923
1224061
2022-07-24T11:10:28Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Ramy Sabry''' ( pia huandikwa '''Rami Sabry''' ; alizaliwa [[15 Machi]], [[1978]]) ni [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] wa nchini [[Misri]]. <ref>{{Cite web|title=Listen: four new nasheeds to celebrate Ramadan|url=https://www.thenational.ae/arts-culture/music/listen-four-new-nasheeds-to-celebrate-ramadan-1.735611|work=The National|date=31 May 2018|publisher=The National|accessdate=23 October 2018}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Ramy Sabry to perform in El Alamein City|url=http://www.egypttoday.com/Article/4/53925/Ramy-Sabry-to-perform-in-El-Alamein-City|work=Egypt Today|date=13 July 2018|publisher=Egypt Today|accessdate=23 October 2018}}</ref>
== Kazi na Maisha ya binafsi ==
Baada ya kuhitimu kutoka [[chuo]] cha [[muziki]] nchini Misri, tayari alikuwa ameanza kazi yake ya muziki kwa kuwatungia waimbaji wachache mashuhuri. Video tatu zilipigwa, mbili kati yake ziliongozwa na Tarek Alarian na moja na Moussa Eissa. Baada ya [[albamu]] Iliyozinduliwa, Ramy Sabry aliendelea kushiriki katika matukio mengi ya muziki kama vile: tamasha za moja kwa moja (''live concerts''), prom za [[shule]] na [[sherehe]] za chuo kikuu. Hatimaye, Ramy alifanikiwa na sasa amekuwa mwimbaji maarufu nchini Misri.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
asllg4bbcvdpkk6q0bc2p6776k5e7op
Fanta Sacko
0
150034
1234924
1224063
2022-07-24T11:11:12Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Fanta Sacko''' ni [[mwanamuziki]] wa nchini [[Mali]], ambaye mwanzo aliyejiita ''LP'' alizindua aina ya [[muziki]] wa [[bajourou]].
Amesaidia kuanzisha [[utamaduni]] wa uimbaji wa kike nchini Mali, ambao unaifanya nchi hiyo kuwa ya kipekee katika [[Afrika Magharibi]], ambapo wanamuziki maarufu wa kike kwa ujumla hawajaidhinishwa. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=gyiTOcnb2yYC&dq=%22Fanta+Sacko%22+-inpublisher%3Aicon&pg=PA550|title=Africa, Europe and the Middle East|date=November 1999|publisher=Rough Guides|isbn=1-85828-635-2|editor-last=Mark Ellingham|series=World music|volume=1|location=London|pages=550|editor-last2=Orla Duane|editor-last3=Vanessa Dowell}}</ref> <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=M73RUGbFsCYC&dq=west+africa+female+musicians+-inpublisher%3Aicon&pg=PA575|title=Encyclopedia of African literature|last=Gikandi|first=Simon|publisher=Taylor & Francis|year=2003|isbn=0-415-23019-5|editor-last=Gikandi, Simon|pages=575|access-date=2010-04-14}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Mali]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
r8y5jj3cqupognls7u84ho3p1qvc00r
Chamsia Sagaf
0
150035
1234882
1224678
2022-07-24T09:55:28Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Chamsia Sagaf''' (alizaliwa [[1955]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Komori|Comoro]] ambaye anaimba huko [[Shikomor|Shingazidja]] . <ref name="com">[http://www.abidjan.net/qui/profil.asp?id=581 Chamsia Sagaf]</ref>
== Maisha ==
Sagaf alizaliwa katika visiwa vya Comoro na anajulikana kwa kuimba kuhusu [[wanawake]] na [[watoto]]. Aliimba kwa mara ya kwanza katika vyama vya wanawake katika miaka ya [[1970]] na ametengeneza albamu tatu. <ref name="com">[http://www.abidjan.net/qui/profil.asp?id=581 Chamsia Sagaf], Abidjan.net, Retrieved 10 February 2016</ref> Ameishi Ufaransa tangu [[1975]]. Ameolewa na ana watoto watano.
Mnamo [[2003]], aliteuliwa kuwania taji la mwimbaji bora [[Afrika Mashariki]]. <ref name="bit">{{Cite web|title=Chamsia SAGAF|url=https://www.comores-online.com/mwezinet/musique/sagaf.htm|accessdate=2020-06-10|work=www.comores-online.com}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="true">[https://www.comores-online.com/mwezinet/musique/sagaf.htm "Chamsia SAGAF"]. ''www.comores-online.com''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2020-06-10</span></span>.</cite></ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
lcpgmhjbu7lmtsm4fylr42gdthuyhtd
1234883
1234882
2022-07-24T09:57:53Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Chamsia Sagaf''' (alizaliwa [[1955]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Komori|Comoro]] ambaye anaimba huko [[Shikomor|Shingazidja]] .
== Maisha ==
Sagaf alizaliwa katika visiwa vya Comoro na anajulikana kwa kuimba kuhusu [[wanawake]] na [[watoto]]. Aliimba kwa mara ya kwanza katika vyama vya wanawake katika miaka ya [[1970]] na ametengeneza albamu tatu. <ref name="com">[http://www.abidjan.net/qui/profil.asp?id=581 Chamsia Sagaf], Abidjan.net, Retrieved 10 February 2016</ref> Ameishi Ufaransa tangu [[1975]]. Ameolewa na ana watoto watano.
Mnamo [[2003]], aliteuliwa kuwania taji la mwimbaji bora [[Afrika Mashariki]]. <ref name="bit">{{Cite web|title=Chamsia SAGAF|url=https://www.comores-online.com/mwezinet/musique/sagaf.htm|accessdate=2020-06-10|work=www.comores-online.com}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="true">[https://www.comores-online.com/mwezinet/musique/sagaf.htm "Chamsia SAGAF"]. ''www.comores-online.com''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2020-06-10</span></span>.</cite></ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
1rbxkthk2vdxjn5cnaq76u3q79q1tg0
Pat Thomas (mwanamuziki wa Ghana)
0
150070
1234884
1224384
2022-07-24T10:02:02Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:PatThomas2.jpg|thumb|180px|Pat Thomas, mnamo [[Mei]] [[2016]] huko [[Ljubljana]], [[Slovenia]]]]
'''Pat Thomas''' ([[jina]] la kuzaliwa '''Nana Kwabena Amo Mensah''' <ref>{{Cite web|title=First international release for Ghanaian legend Pat Thomas|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/first-international-release-ghanaian-legend-pat-thomas|work=Music In Africa|language=en|accessdate=2020-05-26}}</ref>; alizaliwa [[Agosti 14]], [[1946]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] kutoka nchini [[Ghana]]. Anajulikana sana kwa kazi yake katika bendi za highlife za Ebo Taylor . <ref>{{Cite web|url=https://www.musicinafrica.net/directory/pat-thomas-and-kwashibu-area-band|title=Pat Thomas and Kwashibu Area Band|work=Music In Africa|language=en|accessdate=2020-01-30}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Pat Thomas alizaliwa huko [[Mkoa wa Ashanti|Ashanti]] nchini Ghana. [[Baba]] yake alikuwa [[mwalimu]] wa [[nadharia]] ya [[muziki]] na [[mama]] yake [[kiongozi]] wa bendi.
== Kazi ==
Alianza [[kazi]] yake ya muziki katika miaka ya [[1960]] ambapo alishirikiana na Ebo Taylor . <ref>{{Cite web|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=236|title=Patrick Thomas, Highlife Artist|work=www.ghanaweb.com|language=en|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180322015440/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=236#|archivedate=2018-03-22|accessdate=2018-04-23}}</ref> Mnamo [[1974]], aliunda bendi ya "Sweet Beans", alirekodi [[albamu]] yake ya kwanza ya ''False lover'' . Alirekodi albamu yake ya pili ya " ''Pat Thomas Introduces Marijata"'' akiwa na bendi ya Marijata. <ref>{{Cite web|url=https://patthomasstrut.bandcamp.com/|title=Pat Thomas homepage|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161220175000/https://patthomasstrut.bandcamp.com/#|archivedate=2016-12-20|accessdate=10 Dec 2016}}</ref> Baada ya [[Thaura|mapinduzi]] ya Ghana mwaka [[1979]], alihamia [[Berlin]] na baadae kuishi [[Kanada]]. Sasa anazunguka ulimwenguni kote na bendi yake ya Kwashibu Area. Mnamo [[Juni]] [[2015]] walitoa albamu ya ''Pat Thomas and Kwashibu Area Band'' <ref>{{Cite web|url=http://www.strut-records.com/pat-thomas-kwashibu-area-band/|title=Pat Thomas & Kwashibu Area Band|date=12 Mar 2015|publisher=Strut records|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161220123839/http://www.strut-records.com/pat-thomas-kwashibu-area-band/#|archivedate=2016-12-20|accessdate=10 Dec 2016}}</ref> kuadhimisha miaka 50 ya kazi yake ya muziki. <ref>{{Cite web|url=http://www.shambalafestival.org/act2016/pat-thomas-kwashibu-area-band/|title=Pat Thomas & Kwashibu Area Band|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161220111402/http://www.shambalafestival.org/act2016/pat-thomas-kwashibu-area-band/|archivedate=20 December 2016|accessdate=10 Dec 2016}}</ref> Thomas anajulikana kama "The Golden Voice Of Africa".
== Tuzo ==
Mnamo [[mwaka]] [[2015]], albamu yake ya ''Pat Thomas and Kwashibu Area Band'' iliorodheshwa na [[Allmusic|AllMusic]] kama mojawapo ya "Albamu za [[Kilatini]] Zinazopendwa na [[Ulimwengu|Ulimwenguni]]". <ref>{{Cite web|url=https://www.allmusic.com/artist/pat-thomas-mn0001009626/awards|title=Pat Thomas {{!}} Awards|work=AllMusic|language=en-us|accessdate=2020-01-30}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
o9wt5ihr3rxllir8gq71vieh7fvv8d8
Nana Tuffour
0
150073
1234926
1226545
2022-07-24T11:14:36Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Nana Tuffour''' ( né '''James Kwaku Tuffour''', [[14 Februari]] [[1954]] - [[15 Juni]] [[2020]]), pia anajulikana kama '''9-9-2-4''', alikuwa [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] za Highlife wa [[Ghana]]. <ref>{{Cite web|url=https://3news.com/highlife-veteran-nana-tuffuor-dead/|title=Highlife veteran Nana Tuffuor dead|date=June 15, 2020}}</ref> Anajulikana kwa nyimbo maarufu za highlife kama vile ''Aketekyiwa'', ''Abeiku'' na ''Owuo sei fie'' na alikuwa na [[albamu]] 15. <ref>{{Cite web|url=https://citinewsroom.com/2020/06/highlife-artiste-nana-tuffour-dies/|title=Highlife artiste Nana Tuffour dies|date=June 15, 2020}}</ref> <ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.myjoyonline.com/entertainment/music/highlife-great-nana-tuffour-has-died/|title=Highlife great Nana Tuffour has died|date=June 15, 2020|accessdate=2022-05-11|archivedate=2020-10-31|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201031162650/https://www.myjoyonline.com/entertainment/music/highlife-great-nana-tuffour-has-died/}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Nana Tuffour alianza [[kazi]] yake ya [[muziki]] pamoja na mpiga [[kinanda]] [[Alex Konadu]], na kujiunga na Bendi ya ''Wanto Wazuri'' kama mpiga kinanda, baadae akawa mwimbaji mkuu wa Bendi ya Waza Africo, na pia akatoa albamu yake ya kwanza ya ''Highlife Romance'' mwaka [[1979]]. <ref name=":1">{{Cite web|title=Veteran Highlife musician Nana Tuffour passes on|url=https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/veteran-highlife-musician-nana-tuffour-passes-on.html|accessdate=2020-06-15|work=Graphic Online|language=en-gb}}</ref> Nana alisafiri hadi [[Nigeria]], na kufanya kazi na [[King Sunny Adé|Mfalme Sunny Adé]] kama mpiga kinanda wake.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1954]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
rcb093kvx8ez9rqzeyi670a41e4ba7m
Herbert von Karajan Prize
0
150085
1234928
1224283
2022-07-24T11:15:11Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Tuzo ya Herbert von Karajan''' iliundwa na Eliette von Karajan mnamo [[2015]] na ilitolewa kwa mara ya kwanza mnamo [[2017]] ndani ya fremu ya Tamasha la [[Pasaka]] la [[Salzburg]]<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-press-1</ref>. Zawadi hiyo imeandaliwa ya [[Euro]] €50,000 na hutolewa na Eliette von Karajan kila mwaka.<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-Trifonov-2</ref>
== Wapokeaji ==
* [[2017]] Daniil Trifonov<ref name=":0" /><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-3</ref>
* [[2018]] Sol Gabetta<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-4</ref><ref name=":0" />
* [[2019]] Mariss Jansons<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-Jansons-5</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Herbert_von_Karajan_Prize#cite_note-Oster-6</ref>
* [[2021]] Hilary Hahn
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
bd4mvj49ahdj9l6ygtxs4vt3317mm67
Roger Whittaker
0
150092
1234930
1224301
2022-07-24T11:16:29Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist <!-- See Wikipedia:WikiProject Musicians -->
|Jina la kuzaliwa=Roger Henry Brough Whittaker|Img=Roger-Whittaker-live.jpg|Tovuti={{URL|www.rogerwhittaker.com}}|Background=Mwanamuziki|Jina=Roger Whittaker}}
'''Roger Henry Brough Whittaker''' (alizaliwa [[22 Machi]] [[1936]]) ni [[mwimbaji]], [[mtunzi]] na [[mwanamuziki]] wa [[Uingereza]], ambaye alizaliwa Nairobi na wazazi wa Kiingereza. <ref name="CMT">{{Cite web|author=Whittaker|first=Roger|title=About Roger Whittaker|url=http://www.cmt.com/artists/roger-whittaker/biography/|work=Cmt.com|accessdate=23 December 2013}}</ref> Muziki wake ni mchanganyiko wa kipekee wa muziki wa kitamaduni na nyimbo maarufu pamoja . Anajulikana zaidi kwa sauti yake ya kuimba na chapa ya biashara ya kupiga mluzi na pia ujuzi wake wa gitaa.
Anajulikana sana kwa toleo lake la " Wind Beneath My Wings " ([[1982]]), na vile vile nyimbo zake mwenyewe " Durham Town (The Leavin') " ([[1969]]) na " Siamini Ikiwa Tena " (1970) . Watazamaji wa Marekani wanaufahamu zaidi wimbo wake wa [[1970]] wa " New World in the Morning " na wimbo wake wa [[1975]] " The Last Farewell ", ambao ni wimbo wake pekee kuwekwa ''[[Billboard]]'' Hot 100 (ulioingia kwenye Top 20) na pia kushika No. 1 kwenye chati ya Kisasa ya Watu Wazima. Anajulikana pia kwa matoleo yake ya " Ding! Dong! Heri ya Juu " na " Siku Kumi na Mbili za Krismasi ." Wimbo wake wa mwisho wa chati bora ulikuwa "Albany", ambao ulifunga nambari 3 huko Ujerumani Magharibi mnamo 1982. <ref>{{Cite web|url=https://itunes.apple.com/gb/artist/roger-whittaker/id252978|title=iTunes – Music – Roger Whittaker|work=Itunes.apple.com|accessdate=7 September 2015}}</ref>
== Viungo vya nje ==
* {{Official|http://www.rogerwhittaker.com/}}
* Roger Whittaker at IMDb
* Roger Whittaker discography at Discogs
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-muziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1936]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
h6aibho70lcv039dy7o5phyk9qz9t44
VH1 Big in '05 Awards
0
150093
1234929
1224284
2022-07-24T11:15:53Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''VH1's Big in '05''' kilikuwa kipindi cha [[tuzo]] ambacho kilionyeshwa kwenye VH1 mnamo [[Desemba]] 4, [[2005]] nchini [[Marekani]]. Ni [[Tuzo]] za kila mwaka za VH1 Fall Out Boy alikuwa mmoja wa wasanii.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/VH1_Big_in_%2705_Awards#cite_note-1</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
3uwjt7lqwb13gg2zci2vhplxcmdzry2
Sanaipei Tande
0
150094
1234886
1226117
2022-07-24T10:12:10Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Natasha Sanaipei Tande''' (alizaliwa [[22 Machi]] [[1985]]), <ref>{{Cite web|date=10 August 2010|author=Magazinos|url=http://www.kenyanmagazines.com/sanaipei-tande-single-and-not-ready-to-mingle-passion-august-2010/|title=Sanaipei Tande – Single and not ready to mingle – Passion August 2010|accessdate=5 February 2016|work=Kenyan Magazine|archivedate=2018-09-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180903115008/http://www.kenyanmagazines.com/sanaipei-tande-single-and-not-ready-to-mingle-passion-august-2010/}}</ref> maarufu kama '''Sana''', ni [[mwimbaji]] wa [[Kenya]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]], [[mwigizaji]], mtangazaji wa karaoke, mwimbaji wa redio na mburudishaji.
== Kazi ==
Mnamo [[2004]], akiwa na umri wa miaka 19, Sanaipei alijiunga na ''Utafutaji Vipaji wa Coca-Cola Popstars ([[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]])'' baada ya kubembelezwa na familia yake. <ref>{{Cite web|author=Cynthia Misiki|url=https://kiss100.co.ke/5-best-love-songs-from-the-sassy-sanaipei-tande/|title=5 best hit songs from sassy Sanaipei Tande|accessdate=5 February 2016|work=Kiss 100|archivedate=2016-03-15|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160315034118/https://kiss100.co.ke/5-best-love-songs-from-the-sassy-sanaipei-tande/}}</ref> Baada ya mafanikio, aliahirisha masomo yake ya chuo kikuu. Alishinda shindano hilo pamoja na washiriki wenzake wawili, Kevin Waweru na Pam Waithaka. Kwa pamoja, walianzisha bendi ya Sema na kushinda dili la rekodi na Homeboyz Records. Mnamo [[2005]], watatu hao walitoa [[albamu]] ya kwanza ya nyimbo kumi na saba kama ''Leta Wimbo, Sakalakata,'' na jina moja la ''Mwewe'', zikiwavutia zaidi. <ref>{{Cite web|title=During the so-called 'golden age' of Kenya's urban music|url=https://www.k24tv.co.ke/entertainment/during-the-so-called-golden-age-of-kenyas-urban-music-4524/|accessdate=2021-02-17|work=K24 TV|language=en-US}}</ref> Baadaye katika mwaka huo huo, bendi iligawanyika.
== Tuzo ==
Mnamo 2021 aliteuliwa kuwa Mwigizaji Bora wa Kike katika tuzo za KALASHA. <ref>{{Cite web|title=Kalasha Awards 2021: Crime and Justice up for Best TV Drama and more|url=https://stories.showmax.com/kalasha-awards-2021-crime-and-justice-up-for-best-tv-drama-and-more/|accessdate=2021-11-23|work=Showmax Stories|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Watu kutoka Mombasa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
i4ld004si9j5ja5d1eqwltomdgyzaga
Stella Mwangi
0
150096
1234885
1226614
2022-07-24T10:07:21Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
|Jina la kuzaliwa=Stella Nyambura Mwangi|Asili yake=[[Nairobi]], Kenya|Img=Stella Mwangi (STL).JPG|Jina=Stella Mwangi|Tovuti={{url|http://stellamwangi.com/}}}}
'''Stella Nyambura Mwangi''' (alizaliwa [[1 Septemba]] [[1986]]) <ref>[http://w2.brreg.no/enhet/sok/detalj.jsp?orgnr=991711554 STL MUSIC Stella Nyambura Mwangi]. Brønnøysund Register Centre</ref> ni mwimbaji kutoka [[Kenya]]-Norwe, rapa na mtunzi wa nyimbo. <ref>{{Cite web|url=http://www.nrk.no/nyheter/distrikt/ostlandssendingen/1.4889806|title=Den beste rapperen jeg har hørt – NRK – Østlandssendingen|publisher=Nrk.no|date=21 February 2008|accessdate=13 April 2014}}</ref> Muziki wake unahusu hali ya nchi yake ya [[Kenya]], na ubaguzi ambao familia yake ililazimika kuvumilia baada ya kuhamia [[Norwei|Norway]] mwaka wa [[1991]]. <ref name="museke.com">{{Cite web|url=http://www.museke.com/en/STL|title=Home of the African Music Fan|publisher=Museke|accessdate=13 April 2014|archivedate=2013-10-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20131028014859/http://www.museke.com/en/STL}}</ref> Kazi yake imetumika katika [[filamu]] kama vile ''American Pie Presents: The Naked Mile'' na ''Save the Last Dance 2'', na pia katika mfululizo wa TV kama vile ''CSI: NY'' na ''Scrubs'' . <ref>{{Cite web|url=http://www.sweetslyrics.com/bio-Stella%20Mwangi.html|title=Sweetslyrics - Stella Mwangi biography|accessdate=5 February 2011|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110417063344/http://www.sweetslyrics.com/bio-Stella%20Mwangi.html|archivedate=17 April 2011}}</ref> Huko Norway, alishinda Melodi Grand Prix [[2011]], na katika mwaka huo huo aliiwakilisha Norway
== Viungo vya nje ==
* [https://web.archive.org/web/20151122054432/http://stellamwangi.com/ Tovuti rasmi]
* [http://ourmusiq.com/kenya-s-stella-mwangi-aka-stl-on-african-women-s-week-2010/1185/m.aspx Stella Mwangi almaarufu STL kwenye Wiki ya Wanawake Afrika 2010]ei|Norway]] kwenye Shindano la Wimbo wa Eurovision 2011 huko [[Düsseldorf|Düsseldorf, Ujerumani]] .
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
062k9eatfj7montzwkp6ahru3p54agz
Dalia (mwimbaji)
0
150098
1234931
1226365
2022-07-24T11:17:05Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Dalia''' (kwa [[Kiarabu]] :داليا) ni [[mwimbaji]] wa Kimisri aliyezaliwa Al Mansoura, [[Misri]] . <ref name="profile">{{Cite web|title=Dalia profile|url=http://musicismylife.com/artists/d5370997b19ef36a24b45628326c5735/biography|accessdate=14 March 2018}}</ref>
Baada ya kugunduliwa na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] wa Misri [[Gamal Salama|Jamal Salameh]], alimshirikisha kwenye nyimbo kadhaa kwenye [[albamu]] yake ya ''Hameed Al-Shaeri'' manamo [[1994]], ambayo ilisaidia kuzindua kazi yake ya muziki wa solo. <ref>[http://www.discogs.com/%D8%AD%D9%85%D9%8A%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%B4%D8%A7%D8%B9%D8%B1%D9%8A-%D9%87%D8%AF%D9%88%D8%A1-%D9%85%D8%A4%D9%82%D8%AA-Hodoa-Moakat/release/4042712 Hodoa Moakat album credits], discogs.com; accessed 6 March 2018.</ref>
Nyimbo zake pamoja na Al-Shaeri, Ehab Tawfeeq, na mwigizaji na mwimbaji wa Kuwait Ahmad Johar zilifuata baada ya kushiriki kwenye albamu hiyo. Dalia aliimba katika muziki wa Misri wa ''El-Qods Ha Tergaa Lena'' . Albamu yake ya kwanza mnamo [[1998]] ilipokelewa vyema, lakini albamu ya pili mnamo [[1999]] ilishindwa kusukuma kazi ya muziki wa solo. <ref>{{Cite web|url=http://www.arabyfan.com/artist/Dalia/images|title=Resources and Information|work=arabyfan.com|accessdate=14 March 2018|archivedate=2016-10-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161016153003/http://www.arabyfan.com/artist/Dalia/images}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
'''''Albums'''''
* Bahebak enta 1998 ( بحبك انت ) <ref name="Albums">{{Cite web|title=Dalia (داليا) - Discogs profile|url=http://www.discogs.com/artist/3017544-%D8%AF%D8%A7%D9%84%D9%8A%D8%A7|accessdate=4 September 2014}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Bahebak enta 1998 (I love you) album|url=http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1896|accessdate=4 September 2014|archivedate=2018-05-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180504053118/http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1896}}</ref>
* Mograma 1999 (مغرمة) <ref name="Albums" /> <ref>{{Cite web|title=Mograma 1999 (Fond) album|url=http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1897|accessdate=4 September 2014|archivedate=2018-05-12|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180512213621/http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1897}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
g6j6thcjo7hfh28gcc390uwbuq0f390
1234932
1234931
2022-07-24T11:17:53Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Dalia''' (kwa [[Kiarabu]] :داليا) ni [[mwimbaji]] wa Kimisri aliyezaliwa Al Mansoura, [[Misri]] . <ref name="profile">{{Cite web|title=Dalia profile|url=http://musicismylife.com/artists/d5370997b19ef36a24b45628326c5735/biography|accessdate=14 March 2018}}</ref>
Baada ya kugunduliwa na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] wa Misri [[Gamal Salama|Jamal Salameh]], alimshirikisha kwenye nyimbo kadhaa kwenye [[albamu]] yake ya ''Hameed Al-Shaeri'' manamo [[1994]], ambayo ilisaidia kuzindua kazi yake ya muziki wa solo. <ref>[http://www.discogs.com/%D8%AD%D9%85%D9%8A%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%B4%D8%A7%D8%B9%D8%B1%D9%8A-%D9%87%D8%AF%D9%88%D8%A1-%D9%85%D8%A4%D9%82%D8%AA-Hodoa-Moakat/release/4042712 Hodoa Moakat album credits], discogs.com; accessed 6 March 2018.</ref>
Nyimbo zake pamoja na Al-Shaeri, Ehab Tawfeeq, na mwigizaji na mwimbaji wa Kuwait Ahmad Johar zilifuata baada ya kushiriki kwenye albamu hiyo. Dalia aliimba katika muziki wa Misri wa ''El-Qods Ha Tergaa Lena'' . Albamu yake ya kwanza mnamo [[1998]] ilipokelewa vyema, lakini albamu ya pili mnamo [[1999]] ilishindwa kusukuma kazi ya muziki wa solo. <ref>{{Cite web|url=http://www.arabyfan.com/artist/Dalia/images|title=Resources and Information|work=arabyfan.com|accessdate=14 March 2018|archivedate=2016-10-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161016153003/http://www.arabyfan.com/artist/Dalia/images}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
'''''Albums'''''
* Bahebak enta 1998 ( بحبك انت ) <ref name="Albums">{{Cite web|title=Dalia (داليا) - Discogs profile|url=http://www.discogs.com/artist/3017544-%D8%AF%D8%A7%D9%84%D9%8A%D8%A7|accessdate=4 September 2014}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Bahebak enta 1998 (I love you) album|url=http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1896|accessdate=4 September 2014|archivedate=2018-05-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180504053118/http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1896}}</ref>
* Mograma 1999 (مغرمة) <ref name="Albums" /> <ref>{{Cite web|title=Mograma 1999 (Fond) album|url=http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1897|accessdate=4 September 2014|archivedate=2018-05-12|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180512213621/http://www.mawaly.com/music/Dalia/album/1897}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
0uarzuh6nhn8zd7xaoseqg390nysnsn
Fanta Damba
0
150100
1234887
1224342
2022-07-24T10:16:32Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Flag_of_Mali.svg|alt=|thumb| [[Bendera]] ya [[nchi]] ya Mali]]
'''Fanta Damba''' (alizaliwa [[1938]] huko [[Mkoa wa Segou|Ségou]] ) ni djemusoso ([[mwimbaji]] wa kike wa [[Wabambara|Kibambara]], Griot) wa nchini [[Mali]] alijulikana kwa mashabiki wake kama ''La Grande Vedette Malienne'' . Damba alikuwa [[mwanamuziki]] mzuri wa Mali aliyezaliwa katika [[familia]] ya Jeli, ambayo mara nyingi huitwa Griots. <ref name=":1">{{Cite book|title=Ngaraya: Women and musical mastery in Mali|last=Duran|first=Lucy|year=2007|location=United kingdom|pages=571}}</ref> Alianza kuimba akiwa mtoto huku akiwa amezungukwa na familia iliyojaa wanamuziki.
Damba alianza kurekodi akiwa na miaka ishirini na moja na radio Mali . Fanta alikuwa mmoja wa wanawake maarufu zaidi wa Mali kutoka [[1960]]-[[1970]]. <ref name=":0">{{Cite book|title=Jelimusow: the superwoman of Malian music|last=Duran|first=Lucy|pages=202, 203, 204}}</ref> Mnamo [[1975]], alikua djemusoso wa kwanza kwenda [[Ulaya]] peke yake na pia alijulikana kwa kutumbuiza katika tamasha la kitaifa la Mali la Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Kiafrika lililofanyika [[Lagos]] mnamo [[1977]]. <ref name=":0" />
Alituzwa kwa kipaji chake kwa kutajwa kuwa ni Ngara, ambapo kwa kawaida humtambua kuwa mwanamuziki mahiri. <ref name=":0" /> Wanamuziki wengi wanatamani kuwa Ngara, lakini ni wachache sana waliokuwa na cheo hicho. <ref name=":0" /> Ili Griot atambulike kuwa ni Ngara, ni lazima mtu ahesabiwe kuwa ana ujasiri mkubwa, ana ujuzi, uzoefu, nidhamu na ni mwanamuziki aliyefanikiwa kwa kawaida zaidi ya miaka arobaini. Inachukuliwa kuwa zawadi ambayo wanamuziki wengi wanatambuliwa kuwa nayo katika umri mdogo.
Ngara pia huwa na sauti kali, sauti ya kati ambayo inaweza kudhibiti umati kwa hisia. <ref name=":1" /> Wanawake wa Mali kama vile Fanta walijulikana kwa uimbaji wao wa sifa na hawakupiga ala mbalimbali tofauti na wanaume. <ref name=":0" /> Aliwatia moyo wanamuziki wengine maarufu wa Mali kama vile Yousou NDour. <ref name=":1" /> Wanamuziki wa kike wa Mali kwa kawaida walipokea uangalifu zaidi na zawadi kama vile magari, nyumba, vito na dhahabu kuliko wanamuziki wa kiume wa Mali. Waliwakilishwa kupitia [[vyombo vya habari]], matamasha, masoko, na walionekana kuwa nyota. <ref name=":0" /> Fanta alistaafu kama mwigizaji mwaka [[1985]]. <ref>{{Cite web|url={{AllMusic|class=artist|id=p28542/biography|pure_url=yes}}|title=Biography: Fanta Damba|author=Huey|first=Steve|accessdate=9 May 2010}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
* ''Première anthologie de la Musique malienne, gombo la 6.'' ''La jadi epique'' ([[1971]]), Bärenreiter-Musicaphon - LP
* ''La grande vedette malienne'' ([[1975]]), Songhoï Records - LP avec Batourou Sekou Kouyaté
* ''Hamet'' (1975), Songhoï Records - LP avec Batourou Sekou Kouyaté
* ''Ousmane Camara'' (1975), Songhoï Records - LP avec Batourou Sekou Kouyaté
* ''Sékou Semega'' ([[1977]]), Songhoï Records - LP avec Batourou Sekou Kouyaté
* ''Bahamadou Simogo'' (1980), Celluloid - LP
* ''Fanta Damba'' ([[1981]]), Sonodisc - LP
* ''Fanta Damba'' ([[1982]]), Sako Production - LP
* ''Fanta Damba'' ([[1983]]), Sako Production - LP
* ''Fanta Damba'' ([[1985]]), Disques Esperance - LP
* ''Fanta Damba du Mali Vol. 1'' ([[2002]]), Bolibana - CD
* ''Fanta Damba du Mali Vol. 2'' (2002), Bolibana - CD
* ''Fanta Damba du Mali Vol. 3'' (2002), Bolibana - CD
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1938]]
g2is9j5tq37hibyj2e2u19x1k9owjol
Amal Maher
0
150154
1234944
1227001
2022-07-24T11:27:40Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Amal Maher''' alizaliwa [[19 Februari]] [[1985]]) <ref>{{Cite web|url=http://ar.hibamusic.com/Egypt/amal-maher/amal-maher-1374.htm|title=أمال ماهر|work=ar.hibamusic.com|language=ar|accessdate=2018-03-19}}</ref> ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Misri]] . Ameshawishiwa sana na [[Umm Kulthum]] . Alianza kuimba akiwa mtoto na aligunduliwa na umma akiwa na umri wa miaka kumi na tano kwa kuimba nyimbo za Umm Kulthum. Aliacha shule ya kitamaduni, Maher alijiandikisha katika Conservatory ya muziki wa Kiarabu ili kuanza taaluma ya uimbaji.
Alikutana na mtunzi Mohamed Diae, ambaye hatimaye alimuoa na kupata naye mtoto wa kiume. Diae alimsaidia Amal Maher kuachilia wimbo ya video ya ''Ely Binak W Binah'' . Wimbo huo ulikuwa maarufu kwenye redio na televisheni ya muziki. Maher alirekodi wimbo wake wa kwanza mwaka wa [[2006]] kwa usaidizi wa [[Ammar El Sherei]], ambaye anamchukulia kama babake wa kiroho kwa sababu amekuwa mfuasi mwaminifu na mshauri katika kazi zake zote. Mnamo [[2004]], alitoa albamu yake ya kwanza, ''Isa 'Ini Ana'' yenye nyimbo nyingi kama vile ''Eini Aliki Ta Tiba'', ''Makanak'', ''Alo El Malayka'', ''Ana El Basha Ghona'', ''Ana Baadak'' na ''Ya Marsr'' .
== Maisha binafsi ==
Maher ana mtoto mmoja wa kiume "Omar" kutoka ndoa yake ya kwanza na mtunzi Mohamed Diaa. <ref>{{Cite web|title=صورة- آمال ماهر تحتفل بعيد ميلاد ابنها|url=https://www.filfan.com/news/details/65151|accessdate=2020-06-12|work=www.filfan.com}}</ref> Aliwasilisha talaka baada ya mwaka mmoja wa ndoa Baadaye aliripotiwa kuolewa na Turki Al-Sheikh wa Saudi [[2017]]. <ref>{{Cite web|url=https://algulf.net/2021/06/03/egyptian-singer-amal-maher-announces-her-retirement-does-turki-al-sheikh-have-anything-to-do-with-this-decision/|title=Egyptian singer Amal Maher announces her retirement. Does Turki Al-Sheikh have anything to do with this decision?|work=algulf.net|date=3 June 2020|accessdate=2022-05-13|archivedate=2021-06-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210604122542/https://algulf.net/2021/06/03/egyptian-singer-amal-maher-announces-her-retirement-does-turki-al-sheikh-have-anything-to-do-with-this-decision/}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://primetimezone.com/world/gulf-news/amal-maher-exasperated-turki-al-sheikh-with-this-news-which-surprised-everyone-a-nation-is-tweeting-out-of-tune/|title=Amal Maher exasperated Turki Al-Sheikh with this news, which surprised everyone! – A nation is tweeting out of tune|work=primetimezone.com|date=13 April 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
ik00zj7jyef5n4mdk03hdzrmz2pn58r
1234945
1234944
2022-07-24T11:28:52Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Amal Maher''' alizaliwa [[19 Februari]] [[1985]]) <ref>{{Cite web|url=http://ar.hibamusic.com/Egypt/amal-maher/amal-maher-1374.htm|title=أمال ماهر|work=ar.hibamusic.com|language=ar|accessdate=2018-03-19}}</ref> ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Misri]] . Ameshawishiwa sana na [[Umm Kulthum]] . Alianza kuimba akiwa mtoto na aligunduliwa na umma akiwa na umri wa miaka kumi na tano kwa kuimba nyimbo za Umm Kulthum. Aliacha shule ya kitamaduni, Maher alijiandikisha katika Conservatory ya muziki wa Kiarabu ili kuanza taaluma ya uimbaji.
Alikutana na mtunzi Mohamed Diae, ambaye hatimaye alimuoa na kupata naye mtoto wa kiume. Diae alimsaidia Amal Maher kuachilia wimbo ya video ya ''Ely Binak W Binah'' . Wimbo huo ulikuwa maarufu kwenye redio na televisheni ya muziki. Maher alirekodi wimbo wake wa kwanza mwaka wa [[2006]] kwa usaidizi wa [[Ammar El Sherei]], ambaye anamchukulia kama babake wa kiroho kwa sababu amekuwa mfuasi mwaminifu na mshauri katika kazi zake zote. Mnamo [[2004]], alitoa albamu yake ya kwanza, ''Isa 'Ini Ana'' yenye nyimbo nyingi kama vile ''Eini Aliki Ta Tiba'', ''Makanak'', ''Alo El Malayka'', ''Ana El Basha Ghona'', ''Ana Baadak'' na ''Ya Marsr'' .
== Maisha binafsi ==
Maher ana mtoto mmoja wa kiume "Omar" kutoka ndoa yake ya kwanza na mtunzi Mohamed Diaa. <ref>{{Cite web|title=صورة- آمال ماهر تحتفل بعيد ميلاد ابنها|url=https://www.filfan.com/news/details/65151|accessdate=2020-06-12|work=www.filfan.com}}</ref> Aliwasilisha talaka baada ya mwaka mmoja wa ndoa Baadaye aliripotiwa kuolewa na Turki Al-Sheikh wa Saudi [[2017]]. <ref>{{Cite web|url=https://algulf.net/2021/06/03/egyptian-singer-amal-maher-announces-her-retirement-does-turki-al-sheikh-have-anything-to-do-with-this-decision/|title=Egyptian singer Amal Maher announces her retirement. Does Turki Al-Sheikh have anything to do with this decision?|work=algulf.net|date=3 June 2020|accessdate=2022-05-13|archivedate=2021-06-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210604122542/https://algulf.net/2021/06/03/egyptian-singer-amal-maher-announces-her-retirement-does-turki-al-sheikh-have-anything-to-do-with-this-decision/}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://primetimezone.com/world/gulf-news/amal-maher-exasperated-turki-al-sheikh-with-this-news-which-surprised-everyone-a-nation-is-tweeting-out-of-tune/|title=Amal Maher exasperated Turki Al-Sheikh with this news, which surprised everyone! – A nation is tweeting out of tune|work=primetimezone.com|date=13 April 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
4zhb5sqbpfx3yuz3u0mt1ox5kl6x67z
Yinka Kudaisi
0
150162
1234933
1226246
2022-07-24T11:18:43Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Yinka Kudaisi''' (alizaliwa [[25 Agosti]] [[1975]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye amecheza kama [[beki]] kwenye [[klabu]] ya [[wanawake]] ya Stars Pelican na [[timu ya taifa]] ya Nigeria katika michuano ya [[Michezo ya Olimpiki|Olimpiki]] mnamo mwaka [[2004]].<ref>{{cite news| url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/athens2004/teams/team=1882893/index.html| archive-url=https://web.archive.org/web/20130128051118/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/athens2004/teams/team=1882893/index.html| url-status=dead| archive-date=28 January 2013| title=Olympic Women's Football Tournaments Athens 2004 – Squad List: Nigeria (NGR)| publisher=[[FIFA]]| access-date=2 October 2015| accessdate=2022-05-13| archivedate=2015-09-07| archiveurl=https://web.archive.org/web/20150907181945/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/athens2004/teams/team=1882893/index.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1975]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
hgctebrvjddyvyauccjzfurmbh70s53
Lydia Koyonda
0
150163
1234934
1225316
2022-07-24T11:19:19Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Lydia Koyonda''' (alizaliwa [[29 Mei]] [[1974]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye alicheza kama [[golikipa]] wa [[timu ya taifa]] ya Nigeria na alishiriki na timu yake ya Taifa katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] mwaka [[1991]].<ref>{{Cite web|url=http://www.fifa.com/mm/document/afdeveloping/technicaldevp/50/08/19/wwc_91_tr_part2_260.pdf|archive-url=https://web.archive.org/web/20111227003624/http://www.fifa.com/mm/document/afdeveloping/technicaldevp/50/08/19/wwc%5f91%5ftr%5fpart2%5f260.pdf|url-status=dead|archive-date=27 December 2011|title=FIFA Women's World Cup China 1991 - Technical Report|accessdate=20 October 2016|publisher=[[FIFA]]|year=1991|work=FIFA Women's World Cup China 1991|format=PDF|archivedate=2016-03-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160305074556/http://www.fifa.com/mm/document/afdeveloping/technicaldevp/50/08/19/wwc_91_tr_part2_260.pdf}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
3piu7tkyg89tyt8t4nx5hpqwdvot6di
Bunmi Kayode
0
150164
1234941
1224933
2022-07-24T11:24:02Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Bunmi Kayode''' (alizaliwa [[13 Aprili]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye alicheza kama [[beki]] kwenye [[timu ya taifa]] ya wanawake nchini Nigeria. Alishiriki na timu yake ya taifa kwenye michuano ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] mwaka [[2003]].<ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/affederation/technicaldevp/50/08/02/fwwcusa2003-technicalreport_neu_081010.pdf|archive-url=https://web.archive.org/web/20111226232356/http://www.fifa.com/mm/document/affederation/technicaldevp/50/08/02/fwwcusa2003-technicalreport%5fneu%5f081010.pdf|title=FIFA Women's World Cup USA 2003 - Technical Report|access-date=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2003|work=FIFA Women's World Cup United States 2003|accessdate=2022-05-13|archivedate=2011-12-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111226232356/http://www.fifa.com/mm/document/affederation/technicaldevp/50/08/02/fwwcusa2003-technicalreport%5fneu%5f081010.pdf}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
93sri8ajr3owshxdv3tele9nrv9yaxr
Uchenna Kanu
0
150165
1234950
1224732
2022-07-24T11:32:28Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:IK Uppsala - Linköpings FC - 2020-09-27 Uchenna Grace Kanu 3.jpg|thumb|180px|right|Uchenna Grace Kanu]]
'''Uchenna Grace Kanu''' (alizaliwa [[20 Juni]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] kwenye klabu ya MX Femenil na klabu ya Tigres UANL na [[timu ya taifa]] ya Nigeria.<ref>{{Cite web|url=https://ligafemenil.mx/cancha/jugador/156082/uchenna-grace-kanu|title=Uchenna Grace Kanu|website=Liga MX Femenil|language=Spanish|accessdate=11 January 2022}}</ref><ref>{{Cite web |url=https://fire.seu.edu/roster.aspx?rp_id=1807 |title=Uchenna Kanu – 2018 Women's Soccer – Southeastern University |publisher=Southeastern University Athletics}}</ref>
==Kazi==
Kanu aliiwakilisha Nigeria katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] chini ya [[umri]] wa miaka 17 mwaka [[2014]] na Kombe la Dunia la Wanawake la [[FIFA]] chini ya umri wa miaka 20. Alicheza mechi yake ya kwanza ya kirafiki tarehe [[8 Aprili]] [[2019]] dhidi ya Canada na kufungwa mabao 2-1.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
n3a66uxgi2jn66f1ctfly4p717kgbm1
Ndidi Kanu
0
150166
1234935
1225996
2022-07-24T11:19:59Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Ndidi Kanu''' (alizaliwa [[26 Agosti]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye alicheza katika klabu ya wanawake ya Odense Q.<ref>{{Cite web |url=http://www.fyens.dk/article/4447:Sport--OB-ser-paa-nye-nigerianere |title=OB ser på nye nigerianere - fyens.dk - Sport - Fyens Stiftstidende |access-date=6 February 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160321030012/http://www.fyens.dk/article/4447:Sport--OB-ser-paa-nye-nigerianere}}</ref><ref>[http://sasvariway.com/PressReleases2005.asp Sasvari to coordinate Girls teams for top local club!] {{Wayback|url=http://sasvariway.com/PressReleases2005.asp |date=20160123181617 }}}}</ref>
==Maisha ya Awali==
Kanu alizaliwa katika mji wa [[Abuja]] mwaka [[1986]]. Kanu alicheza katika klabu ya Queens na kuhamia klabu ya Odense BK nchini [[Denmark]] mwaka [[2006]] kwa mkataba wa miezi sita. <ref>{{Cite web |url=http://ob.dk/forum/thread/19047.aspx |title=Ny nigerianer i OB |accessdate=2022-05-13 |archivedate=2007-02-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070216135037/http://ob.dk/forum/thread/19047.aspx }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Argentina]]
ndl55q639xf9xy2p8by79m5vj4kqayx
Dina El Wedidi
0
150167
1234890
1224706
2022-07-24T10:28:20Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
|Jina=Dina El Wedidi|Img=Dina El Wedidi 2015.jpg|Asili yake=Giza, Egypt|Tovuti={{URL|dinaelwedidi.com}}|Jina la kuzaliwa=Dina El Wedidi}}
'''Dina El Wedidi''' ni [[mwimbaji]] wa [[Wamisri|Kimisri]], mtunzi, mpiga [[gitaa]], mtayarishaji wa muziki, na msimulizi wa [[hadithi]]. <ref name="egyptindependent">{{Cite web|url=http://www.egyptindependent.com/news/bands-watch-dina-el-wedidi|title=Bands to Watch: Dina El Wedidi|publisher=Egypt Independent|accessdate=2013-10-25}}</ref> Dina amejulikana kama wanamuziki ambao wametumbuiza sana katika miaka 2 iliyopita, wakichanganya mitindo ya muziki ya [[Misri]] na na Mataifa mengine.
== Maisha ==
Wedidi alizaliwa na kukulia huko [[Giza (Misri)|Giza]], [[Misri]] . Alisomea [[Fasihi|Fasihi ya Mashariki]] katika Chuo Kikuu cha Cairo, ambako alihitimu mwaka [[2008]], <ref name="english.ahram">{{Cite web|url=http://english.ahram.org.eg/NewsContent/5/33/44550/Arts--Culture/Music/Egypts-Dina-ElWedidi-joins-legendary-Brazilian-art.aspx|title=Egypt's Dina El-Wedidi joins legendary Brazilian artist Gilberto Gil - Music - Arts & Culture - Ahram Online|publisher=English.ahram.org.eg|accessdate=2013-10-25}}</ref> kisha akatumia muda fulani kufanya kazi kama [[Tafsiri|mfasiri]] na mwongozo wa watalii nchini Misri. <ref name="english.ahram" />
Wedidi aligundua mapenzi yake ya muziki baada ya kujiunga na Kikundi cha Theatre cha El Warsha mnamo 2008, <ref name="english.ahram2">{{Cite web|url=http://english.ahram.org.eg/NewsContent/5/33/44550/Arts--Culture/Music/Egypts-Dina-ElWedidi-joins-legendary-Brazilian-art.aspx|title=Egypt's Dina El-Wedidi joins legendary Brazilian artist Gilberto Gil - Music - Arts & Culture - Ahram Online|publisher=English.ahram.org.eg|accessdate=2013-10-25}}</ref> ambapo alijifunza kuimba aina mbalimbali za muziki wa kitamaduni kwa usaidizi wa mwalimu wake Maged Soliman. Kisha aliamua kuondoka El Warsha na kuanza kuchunguza uwezo kamili wa sauti yake. Pia alishiriki katika warsha nyingi za wanamuziki wa kujitegemea nchini Misri na kwingineko, akiwemo mwanamuziki wa Misri aliyeshinda tuzo ya [[Grammy Awards|Grammy]] [[Fathy Salama]] na mwimbaji-mtunzi wa nyimbo Kamilya Jubran. <ref name="egyptindependent2">{{Cite web|url=http://www.egyptindependent.com/news/bands-watch-dina-el-wedidi|title=Bands to Watch: Dina El Wedidi|publisher=Egypt Independent|accessdate=2013-10-25}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Misri]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
9olu1sun1fon3klpe0nh4isktaux9nh
Rebecca Kalu
0
150168
1234936
1226097
2022-07-24T11:20:31Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Rebecca Kalu''' (alizaliwa [[12 Juni]] [[1990]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambae amecheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] katika [[kombe la Dunia la FIFA]] chini ya umri wa miaka 20 mnamo mwaka 2010 na alikuwa katika kikosi cha timu ya Nigeria katika michuano ya kombe la FIFA la Wanawake mwaka [[2011]]. Rebecca alicheza katika klabu ya Pitea IF mwaka [[2009]] huko [[Sweden]].<ref name=FIFA>{{cite web| url= https://www.fifa.com/fifa-tournaments/players-coaches/people=298769/index.html| archive-url= https://web.archive.org/web/20150924185110/http://www.fifa.com/fifa-tournaments/players-coaches/people=298769/index.html| url-status= dead| archive-date= 24 September 2015| title= Rebecca KALU| publisher= [[FIFA]]| accessdate= 2 February 2017| archivedate= 2017-06-22| archiveurl= https://web.archive.org/web/20170622023527/http://www.fifa.com/fifa-tournaments/players-coaches/people=298769/index.html}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/womensworldcup/teams/team=1882893/squadlist.html|title=Official squad list 2011 FIFA Women's World Cup|date=17 June 2011|work=[[FIFA]]|accessdate=17 June 2011| archiveurl= https://web.archive.org/web/20110712210639/http://www.fifa.com/womensworldcup/teams/team=1882893/squadlist.html| archivedate= 12 July 2011 | url-status= dead}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.womensoccer.de/2011/06/14/nigeria-ohne-uwak-zur-wm/|title=Nigeria ohne Uwak zur WM|date=14 June 2011|work=womensoccer.de|accessdate=14 June 2011| archiveurl= https://web.archive.org/web/20110719021328/http://www.womensoccer.de/2011/06/14/nigeria-ohne-uwak-zur-wm/| archivedate= 19 July 2011 | url-status= live}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
g9zgcbf4ezja26bzhmgr4k6io5sizau
Hisham Abbas
0
150169
1234891
1227166
2022-07-24T10:29:44Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mohammad Hisham (Mohammad Abbas)''' ( Arabic ; alizaliwa [[Septemba 13]], [[1963]]), anayejulikana kama '''Hisham Abbas''' [heˈʃæːm ʕæbˈbæːs], ni mwimbaji wa pop wa [[Wamisri|Misri]] anayejulikana zaidi kwa wimbo wake wa hit " Habibi Dah (Nari Narain) " na wimbo wake wa kidini " Asmaa Allah al-husna ".
== Wasifu ==
Hisham Abbas alizaliwa huko [[Kairo|Cairo]], Misri. Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Dar El Tefl. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Marekani huko Cairo na kuhitimu na shahada ya uhandisi wa mitambo.
Kazi ya Abbas ilichanua baada ya kutoa nyimbo kadhaa. Alipata umaarufu mwanzoni mwa miaka ya [[1990]] kwa vibao vilivyofaulu kama vile "Wana Wana Wana", "Eineha El Sood", "Ta'ala", "Ya Leila", "Shoofi" na kibao chake kilichofaulu zaidi, " Habibi Dah (Nari Narain) " akishirikiana na mwimbaji wa Kihindi Jayashri . Kwa sasa ana Albamu 10 za studio kwa mkopo wake. Alipokea tuzo kadhaa, maarufu zaidi ikiwa ni Tuzo la Wimbo wa Kiarabu la Orbit mnamo 1997. <ref>{{Cite web |url=http://www.dailystaregypt.com/article.aspx?ArticleID=9047 |title=Daily Star Egypt |accessdate=2022-05-13 |archivedate=2012-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120225111220/http://www.dailystaregypt.com/article.aspx?ArticleID=9047 }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Misri]]
ci8m4yqzmpv1xvjlvo5rvz6kqi6hv1b
Alaba Jonathan
0
150170
1234937
1224699
2022-07-24T11:21:11Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Alaba Jonathan 2010 (cropped).jpg|thumb|180px|right|Alaba Jonathan akiwa golini ]]
'''Alaba Jonathan''' (alizaliwa [[1 Juni]] [[1992]] [[Calabar]], Nigeria) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]]. Jonathan ni mchezaji wa [[timu ya taifa]] ya Nigeria na amecheza mara moja katika timu hiyo. Jonathan aliiwakilisha nchi yake kama [[golikipa]] wa tatu katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] la [[2011]] nchini [[Ujerumani]]. Hapo awali mwaka [[2010]] alishiriki katika Kombe la Dunia la chini ya [[umri]] wa miaka 20.<ref>{{cite web|url=http://futbalgalore.blogspot.com/2013/08/pelican-stars-upset-form-books-to.html|title=Futball Galore Media: Pelican Stars upset form books to qualify at the expense of Delta Queens|first=|last=Unknown|date=2 August 2013|publisher=}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
fx03zr8y9njxqrwjs9xlj7dr4djvaqf
Ulunma Jerome
0
150171
1234938
1224696
2022-07-24T11:21:50Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Ulunma Jerome''' (alizaliwa [[11 Aprili]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye anacheza kama [[beki]] katika klabu ya Pitea ya [[Uswidi]] katika ligi ya Damallsvenskan. Jerome pia amecheza katika [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Nigeria. Mechi yake ya kwanza alicheza akiwa na klabu ya Pitea dhidi ya Linköping tarehe [[13 Aprili]] [[2011]] katika ligi ya Damallsvenskan.<ref>{{cite news |title=Falcons Dismiss Banyana |url=http://allafrica.com/stories/201011050699.html |work=Vanguard |date=4 November 2010 |access-date=13 April 2011 }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
2nahg57o1a7gkbrtx7ro9ii4wlziwws
Joy Jegede
0
150172
1234939
1224700
2022-07-24T11:22:43Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Joy Jegede''' (alizaliwa [[16 Desemba]] [[1991]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye anacheza kama [[beki]] wa [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Nigeria. Alishiriki na timu yake ya taifa katika Mashindano ya Wanawake ya Afrika mwaka [[2012]]. Joy ni nahodha wa timu ya wanawake ya Delta Queens yenye makao yake nchini Nigeria hapo awali alicheza katika timu ya bobruichanka huko nchini [[Belarus]].<ref>{{cite web|last1=Bassey|first1=Ubong|title=Delta Queens nick win against Bayelsa Queens|url=http://ladiesmarch.com/index.php/2016/02/25/delta-queens-nick-win-against-bayelsa-queens/|publisher=Ladies March|accessdate=27 November 2016|date=25 February 2016}}</ref><ref>{{cite web|title=10 Breakout Players of 2010|url=http://www.allwhitekit.com/?p=4791|publisher=All White Kit|accessdate=27 November 2016}}</ref><ref>{{cite web|title=USA Falls to Nigeria in Penalty Kicks During Quarterfinal of 2010 FIFA Under-20 Women's World Cup|url=http://www.ussoccer.com/stories/2014/03/17/12/24/usa-falls-to-nigeria-in-penalty-kicks-during-quarterfinal-of-2010-fifa-under-20-womens-world-cup|publisher=U.S. Soccer|accessdate=27 November 2016|date=25 July 2010}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1991]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
5hb6wkbyey6gaeicbqky9n4y4l7tvxz
Florence Iweta
0
150173
1234940
1224848
2022-07-24T11:23:21Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Florence Iweta''' (alizaliwa [[29 Machi]] [[1983]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye alicheza kama [[beki]] wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria. Aliwakilisha Nigeria katika michezo ya [[Michezo ya Olimpiki|Olimpiki]] ya mwaka [[2000]].<ref>{{cite web|title=USA 1999: Nigeria|url=http://www.soccertimes.com/worldcup/1999/capsules/nigeria.htm|publisher=Soccer Times|access-date=20 March 2017|accessdate=2022-05-13|archivedate=2016-03-14|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160314093830/http://www.soccertimes.com/worldcup/1999/capsules/nigeria.htm}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/sydney2000/teams/team=1882893/index.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20130126145056/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/sydney2000/teams/team=1882893/index.html|url-status=dead|archive-date=26 January 2013|title=Olympic Football Tournaments Sydney 2000 - Women - Nigeria - Overview - FIFA.com|last=FIFA.com|publisher=|accessdate=2022-05-13|archivedate=2020-01-27|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200127023334/https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/sydney2000/teams/team%3D1882893/index.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
so4b5abpmkf73sjhdajgg6gpwebqovw
Tawa Ishola
0
150174
1234943
1226180
2022-07-24T11:27:08Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Tawa Ishola''' (alizaliwa [[23 Desemba]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye alicheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa [[timu ya taifa]] ya Nigeria katika michuano ya [[Olimpiki]] Summer mnamo mwaka [[2008]]. <ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20160305104816/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html|title=Women's Olympic Football Tournament Beijing – Nigeria Squad List|accessdate=22 October 2012|publisher=[[FIFA]]|archivedate=2016-03-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160305104816/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
0st2nyq4hl7pckz4fw9k1adbberjc2i
Glory Iroka
0
150175
1234942
1224892
2022-07-24T11:24:42Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Glory Iroka''' (alizaliwa [[3 Januari]] [[1990]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa klabu ya Wanawake ya Nigeria Rivers Angels na [[timu ya taifa]] ya Nigeria.<ref name="FIFA 2011">{{cite news |url=http://www.fifadata.com/document/FWWC/2011/pdf/FWWC_2011_SquadLists.pdf |title=List of Players – 2011 FIFA Women's World Cup |work=[[FIFA|Fédération Internationale de Football Association]] |accessdate=11 July 2015 |archivedate=2019-06-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20190608204503/https://www.fifadata.com/document/FWWC/2011/pdf/FWWC_2011_SquadLists.pdf }}</ref>
==Kazi ==
Alishiriki akiwa na timu ya taifa ya Nigeria katika michuano ya Wanawake ya [[Afrika]] ya [[2012]] na [[2014]].<ref>{{cite web|url=https://www.thenff.com/2015/05/okon-picks-oshoala-nwabuoku-21-others-for-world-cup/|title=Okon picks Oshoala, Nwabuoku, 21 others for World Cup|publisher=Nigeria Football Federation|date=27 May 2015|accessdate=1 September 2019}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
o7drdb2f8pg5kdutmh2xtd4we7km456
Chi-Chi Igbo
0
150177
1234946
1227067
2022-07-24T11:30:06Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Chi-Chi Igbo''' (alizaliwa [[1 Mei]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Denmark]].<ref>[http://www.uefa.com/womenschampionsleague/season=2013/clubs/player=69786/index.html UEFA Women's Champions League - Chichi Igbo – UEFA.com]</ref> Chi-Chi ni mchezaji wa zamani wa [[timu ya taifa]] ya Nigeria mwenye [[umri]] wa miaka 30 Chichi Igbo anaishi nchini [[Denmark]]. <ref>{{Cite web|last=admin|date=2016-06-17|title=Chichi Igbo: Meet Nigeria's lesbian Female Footballer Known For Her Boyish Looks|url=http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html|access-date=2021-04-26|website=Nigerian Footballer|language=en-US|accessdate=2022-05-13|archivedate=2021-04-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210429084004/http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html}}</ref><ref>{{Cite web|last=admin|date=2016-06-17|title=Chichi Igbo: Meet Nigeria's lesbian Female Footballer Known For Her Boyish Looks|url=http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html|access-date=2021-04-26|website=Nigerian Footballer|language=en-US|accessdate=2022-05-13|archivedate=2021-04-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210429084004/http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html}}</ref><ref>{{Cite web|last=admin|date=2016-06-17|title=Chichi Igbo: Meet Nigeria's lesbian Female Footballer Known For Her Boyish Looks|url=http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html|access-date=2021-04-26|website=Nigerian Footballer|language=en-US|accessdate=2022-05-13|archivedate=2021-04-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210429084004/http://nigerianfootballer.com/2016/06/meet-nigerias-lesbian-female-footballer.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
m4fewnykln9tvx9b99uqmlrua3xh5od
John Blaq
0
150178
1234948
1227177
2022-07-24T11:31:05Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:John Blaq in the studio.jpg|thumb|180px|John Blaq akiwa [[Studio ya kurekodia|studio]]]]
'''John Kasadha''' (anajulikana sana kama '''John Blaq''' [[16 Julai]] [[1996]]) ni [[Mwanamuziki|msanii wa muziki]] wa [[Uganda]], [[mwanamuziki]] na mburudishaji. Mtindo wake wa muziki ni [[dancehall]] na afrobeat . <ref>{{Cite web|url=https://open.spotify.com/artist/4IbZQdYTpGIrF4EvUJcAEl|title=John Blaq|work=Spotify}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://pulse.mtn.co.ug/featured-pulser-new-kid-on-the-block-john-blaq|title=Featured Pulser: New kid on the Block "John Blaq"|date=August 16, 2018|work=MTN Pulse}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://lifestyleug.com/who-is-john-blaq-biography-profile-and-life-story-of-kashada-john/|title=Who is John Blaq: Biography, Profile and Life Story of Kashada John|date=21 March 2019|accessdate=21 January 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191215085556/https://bigeye.ug/photos-john-blaq-shines-in-maiden-concert/|archivedate=15 December 2019}}</ref> <ref name="auto">{{Cite web|url=https://chano8.com/new-kid-on-the-block-john-blaq-seals-multi-million-deal-with-pepsi/|title=New Kid On The Block John Blaq Seals Multi-million Deal With Pepsi – Chano8}}</ref>
== Historia ==
=== Maisha ya awali na elimu ===
Kasadha alisoma [[shule ya msingi]] ya Lwanda na shule ya msingi ya Hasan Tourabi ambapo alifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi. <ref>{{Cite web|author=Ndijjo|first=Martin|url=https://www.bukedde.co.ug/bukedde/sanyuka%20ne%20wikendi/1500470/ebikwata-ku-muyimbi-john-blaq-aliko-mu-nsiike-yokuyimba|title=Bukedde Online - By'obadde tomanyi ku muyimbi John Blaq aliko akaco kano|publisher=Bukedde.co.ug|date=2019-05-17|accessdate=2020-01-27|archivedate=2020-06-13|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200613211505/https://www.bukedde.co.ug/bukedde/sanyuka%20ne%20wikendi/1500470/ebikwata-ku-muyimbi-john-blaq-aliko-mu-nsiike-yokuyimba}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://observer.ug/lifestyle/60148-meet-new-kid-on-the-block-john-blaq|title=Meet new kid on the block, John Blaq|publisher=Observer.ug|date=|accessdate=2020-01-27}}</ref> Kati ya mwaka [[2010]]-[[12]], alijiunga na shule ya sekondari ya Bweyogerere, ambapo alipata cheti cha UCE na UACE mnamo [[2016]] na [[2018]]. <ref>{{Cite web|url=https://observer.ug/lifestyle/62784-i-am-a-very-good-rapper-too-blaq|title=I am a very good rapper too – Blaq|date=29 November 2019|accessdate=21 January 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191129185232/https://observer.ug/lifestyle/62784-i-am-a-very-good-rapper-too-blaq|archivedate=29 November 2019}}</ref>
=== Kazi ya muziki ===
Kasadha mnamo [[mwaka]] [[2018]] alianza na [[wimbo]] wake wa "Tukwatagane". <ref>{{Cite web|url=https://www.youtube.com/watch?v=TXQ4IDtLU64|title=TUKWATAGANE – JOHN BLAQ (Official Music Video)|date=19 September 2018}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.ugandaonline.net/2019313_fast_rising_star_john_blaq_acquires_a_new_ride|title=Fast rising star John Blaq acquires a new ride|date=31 March 2019|accessdate=21 January 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190506010534/https://www.ugandaonline.net/2019313_fast_rising_star_john_blaq_acquires_a_new_ride|archivedate=6 May 2019}}</ref> Wimbo wa "Sweet Love" ilikuwa ni kolabo yake ya kwanza na Vinka, na ulitolewa mnamo [[Desemba]], 2018. <ref>{{Cite web|url=https://mbu.ug/2019/09/11/john-blaq-and-vinkas-sweet-love-notches-a-million-views/|title=John Blaq and Vinka's 'Sweet Love' notches a million views|date=11 September 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.hot100.ug/index.php/2019/11/30/john-blaq-shuts-down-freedom-city-in-his-first-concert-dubbed-ayabas/|title=John Blaq Shuts Down Freedom City in His First Concert Dubbed AyaBas!|date=30 November 2019}}</ref> Tamasha yake ya kwanza ilifanyika Freedom City, [[Kampala]] [[tarehe]] [[29 Novemba]] [[2019]]. <ref>{{Cite web|url=https://mbu.ug/2019/11/30/john-blaq-sends-freedom-city-into-rupture-in-ayabas-concert|title=John Blaq sends Freedom City into rupture in 'AyaBas' concert/|date=30 November 2019|accessdate=21 January 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191223064952/https://mbu.ug/2019/11/30/john-blaq-sends-freedom-city-into-rupture-in-ayabas-concert/|archivedate=23 December 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://nextradio.co.ug/2019/08/19/john-blaq-apologizes-for-disappointing-fans/|title=John Blaq apologizes for disappointing fans – Nxt Radio}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
[[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]]
9kz3lta8dn2s2i5cm01eg9naqjxf5e5
Anam Imo
0
150180
1234904
1224839
2022-07-24T10:53:49Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Anam Imo''' (alizaliwa [[30 Novemba]] [[2000]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]] ambaye sasa anacheza katika [[klabu]] ya Pitea IF katika ligi ya Damallsvenskan. Pia anacheza katika [[timu ya taifa]] ya Nigeria kwa wenye [[umri]] chini ya miaka 20.<ref name="FIFA">{{cite web|url=https://tournament.fifadata.com/documents/FWWC/2019/pdf/FWWC_2019_SQUADLISTS.PDF|title=FIFA Women's World Cup France 2019: List of Players – Nigeria|website=FIFA.com|page=17|date=27 May 2019|access-date=27 May 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190606143649/https://tournament.fifadata.com/documents/FWWC/2019/pdf/FWWC_2019_SQUADLISTS.PDF|archive-date=6 June 2019|accessdate=2022-05-13|archivedate=2019-06-06|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190606143649/https://tournament.fifadata.com/documents/FWWC/2019/pdf/FWWC_2019_SQUADLISTS.PDF}}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.goal.com/en-ng/news/12072/nigeria-women/2016/03/03/20937652/nigeria-u17-women-defeat-nasarawa-amazons-in-friendly |title=Nigeria U17 women defeat Nasarawa Amazons in friendly |last=Ahmadu |first=Samuel |website=Goal.com |access-date=11 May 2018}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2000]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
3k8ijmcdk8mqlc8hzq37uruqjer6s0p
Christie George
0
150181
1234949
1224976
2022-07-24T11:31:53Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Christie George''' (alizaliwa [[10 Mei]] [[1984]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]]. Alikuwa sehemu ya [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Nigeria katika michezo ya Olimpiki ya mwaka [[2008]]. <ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20160305104816/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html|title=Olympic Football Tournaments Beijing 2008 – Women / Nigeria|accessdate=25 August 2019|publisher=[[FIFA]]|archivedate=2016-03-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160305104816/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensolympic/beijing2008/teams/team=1882893/squadlist.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
4miz0gfjo93diaqe0joa66c8j5pcark
Felicia Eze
0
150183
1234951
1224739
2022-07-24T11:33:08Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Felicia Eze''' ([[27 Septemba]] [[1974]] - [[31 Januari]] [[2012]]) alikuwa ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Nigeria]]. Alishiriki na [[timu]] ya wanawake ya Nigeria katika [[michezo ya Olimpiki]] ya mwaka [[2004]]. Eze alifariki tarehe 31 Januari 2012 katika Jimbo la Anambra akiwa na [[umri]] wa miaka 37.<ref name="death">{{cite web |url=http://www.kickoff.com/news/26850/the-nff-sends-condolences-to-the-family-of-the-late-felicia-eze.php |title=NFF mourns Eze, condoles Egyptian FA |accessdate=7 February 2012 |work=kickoff.com}}</ref><ref name="vanguardngr">{{cite web |url=http://www.vanguardngr.com/2012/02/super-falcons-star-dies/ |title=Super Falcons Star Dies |accessdate=7 February 2012 |work=vanguardngr.com}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Waliofariki 2012]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
mcs1r8tt946ndkde6xw8rdxzayzr55l
Vincent Bones
0
150184
1234907
1224738
2022-07-24T10:55:26Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Vincent Bones''' ni [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alishinda msimu wa kumi wa mashindano ya Idols Afrika Kusini mwaka [[2014]]. <ref>[http://citizen.co.za/280334/vincent-bones-scoops-idols-sa-title/ Citizen reporter, "Vincent Bones scoops the Idols SA title"], ''TheCitizen'', 24 November 2014.</ref> <ref>[http://ewn.co.za/2014/11/24/Vincent-Bones-is-SAs-newest-Idol "VINCENT BONES IS SA'S NEWEST IDOL"], EWN, November 2014.</ref>
Baada ya [[takwimu]] za upigaji kura kutolewaa Bones alishinda karibu kila [[kura]] isipokuwa kura 4 ambapo Bongi Silinda alimpita na kupata kura nyingi zaidi. <ref>{{Cite web|url=http://www.tvsa.co.za/user/blogs/viewblogpost.aspx?blogpostid=30779|title=Voting results for Idols 10 revealed | Idols 10 | TVSA}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
aoxi0tw7nwcklmgj1pu31zc9fyskq92
Buchi Atuonwu
0
150191
1234952
1224752
2022-07-24T11:33:43Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Buchi Atuonwu''', maarufu kama '''Buchi''', ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[injili]] kutoka nchini [[Nigeria]]. Alianza kama [[Dj]] katika vilabu vya usiku.
Buchi ni sehemu wa [[taasisi]] ya LoveWorld Music and Arts Ministry wa Christ Embassy . <ref>{{Cite web|author=inscmag|date=2018-11-02|title=LoveWorld Incorporated: The Best Sublime Stars of Good Gospel Playlist|url=https://theinscribermag.com/loveworld-incorporated-the-best-sublime-stars-of-good-gospel-playlist/|accessdate=2021-04-08|work=INSCMagazine|language=en-US}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Buchi alizaliwa [[Kaduna]] mwaka [[1964]]. <ref name="modern1">{{Cite web|author=Modernghana|title="I Live on My Seeds"— Buchi Atuonwu, top Nigeria Reggae Gospel Artiste|url=https://www.modernghana.com/movie/5233/3/i-live-on-my-seeds-buchi-atuonwu-top-nigeria-regga.html|work=modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate=21 October 2016}}</ref> Ameishi zaidi huko [[Lagos]] .
== Albamu ==
Buchi ametoa [[albamu]] 8 za studio. Moja ya albamu zake ni kama zifuatavyo:
* [[1999]] - These Days
* [[2002]] - So Beatutiful
* [[2005]] - What A Life
* [[2008]] - Sounds Of Life
* [[2011]] - Judah
* [[2014]] - I See
* [[2017]] - Red, Gold & Green
* [[2020]] - 11:59
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
1gzsc8bivfmuheg9eutslfk7ymoin2c
Fatma Boussaha
0
150195
1234953
1224759
2022-07-24T11:34:18Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Fatmabousaha.jpg|thumb|180px|Fatmabousaha]]
'''Fatma Boussaha''', (alizaliwa [[Januari 22]] ,[[1942]] huko [[Zaghouan]] - alifariki [[Oktoba 27]], [[2015]]) alikuwa [[mwimbaji]] wanchini [[Tunisia]] .
== Wasifu ==
[[Faili:Fatma_Boussaha_Tomb_in_the_Djellaz_cemetery_02.jpg|thumb| [[Kaburi]] la Fatma Bousaha katika makaburi ya Djellaz]]
Fatma Boussaha alikuwa na majina mengi kama vile Ya ami echiffour na Ya karhebt Kamel. Alijulikana kwa wimbo wake Achchibani wa ''wassa'' mnamo [[1999]]. Jina lake la mwisho, Trabek ghali ya Touness, lilianzia kutumika mnamo [[2012]]. Kuna wakati, alipigwa marufuku kutangaza kwenye runinga nchini Tunisia kama walivyokuwa wasanii wengine wa mezoued. <ref>{{Cite web|url=http://kapitalis.com/tunisie/2015/10/27/deces-de-chanteuse-populaire-fatma-boussaha/|title=Décès de la chanteuse populaire Fatma Boussaha|author=Min|first=Yassine Rabhi 27 Octobre 2015 at 11 H. 32|date=2015-10-27|work=Kapitalis|language=fr-FR|accessdate=2020-04-18}}</ref> Boussaha alifariki [[Jumanne]] Oktoba 27, 2015 nyumbani kwake. <ref>{{Cite web|url=https://directinfo.webmanagercenter.com/2015/10/27/qui-est-fatma-boussaha-2/|title=Qui est Fatma Boussaha ?|author=Maalaoui|first=Rym|work=Directinfo|language=fr-FR|accessdate=2020-04-18}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliofariki 2015]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
0ldhb7m3gucncgtauzrhn2eewfnbu1q
Louise Carver (mwimbaji wa Afrika Kusini)
0
150200
1234954
1225351
2022-07-24T11:34:51Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Louise Carver''' (alizaliwa [[10 Januari]] [[1979]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] za [[rock]] na mpiga [[kinanda]] wa nchini [[Afrika Kusini]].
Carver alizaliwa [[Cape Town]], na ana uraia wa nchi mbili nchini Afrika Kusini na [[Uingereza]]. Alianza kupiga [[piano]] akiwa na [[umri]] wa miaka 11, na alipokea kandarasi yake ya kwanza ya kurekodi akiwa na umri wa miaka 15. Alifuzu katika shule ya wasichana ya Rustenburg, mwaka [[1996]]. Alipata [[shahada]] ya heshima katika [[siasa]], [[falsafa]] na [[uchumi]] kutoka [[Chuo Kikuu cha Cape Town]] mnamo [[2002]].
== Muziki ==
Carver alitoa wimbo wake wa kwanza, ''It Don't Matter'' ([[1996]]) alipokuwa na umri wa miaka 17. Wimbo huo uliongoza kwenye Chati za kampasi ya Kitaifa ya Afrika Kusini. Ilitumia wiki 11 kwenye chati bora ya nyimbo za Afrika Kusini, ambapo ilishika nafasi ya tatu. Akiwa na umri wa miaka 18 alifuatisha nyimbo kadhaa na [[albamu]] yake ya kwanza, ''Mirrors na Windows'' ([[1998]]). <ref name="WhosWho">"Louise Carver," ''Who's Who Southern Africa''. Found at [http://www.whoswhosa.co.za/Pages/profilefull.aspx?IndID=6219 ''Who's Who SA'']. Accessed 29 September 2010.</ref>
=== Albamu za studio ===
* ''Mirrors and Windows'' ([[1998]])
* ''Looking Around'' ([[2002]])
* ''Silent Scream'' ([[2005]])
* ''Saved by the Moonlight'' ([[2007]])
* ''Look to the Edge'' ([[2010]])
* ''Say It to My Face'' ([[2013]])
* ''Hanging in the Void'' ([[2016]])
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Uingereza]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
mlh4iuos85vnu9b9xy1zinserijmdef
Wunmi
0
150201
1234955
1224770
2022-07-24T11:35:22Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Wunmi''', [[jina]] halisi '''Ibiwunmi Omotayo Olufunke Felicity Olaiya''', ni [[mwimbaji]], mchezaji dansi na mbunifu wa [[mitindo]]. <ref>[http://www.eyeweekly.com/eye/issue/issue_02.01.01/thebeat/extended.php Dancing queen] ''Eye Weekly '' (Toronto) 1 February 2001; Retrieved 15 September 2007</ref> <ref name="Africabeyond">[https://www.bbc.co.uk/africabeyond/africaonyourstreet/features/18979.shtml Africa on your street] bbc.co.uk; Retrieved 15 September 2007</ref> Alizaliwa nchini [[Uingereza]], kwa wazazi [[raia]] wa [[Nigeria]], lakini alitumia muda mwingi wa utoto wake huko [[Lagos]], Nigeria. <ref name="Africabeyond" />
Alifanya kazi na bendi ya Soul II Soul, alionekana kama dansi kwenye [[Muziki wa video|video]] ya "Back To Life" ([[1989]]). <ref name="Africabeyond">[https://www.bbc.co.uk/africabeyond/africaonyourstreet/features/18979.shtml Africa on your street] bbc.co.uk; Retrieved 15 September 2007</ref> Wimbo wake wa kwanza, wa "What a See ( A Guy Called Gerald Mix)" ulitolewa mwaka [[1998]], na [[albamu]] yake ya kwanza ya ''ALA'' (Africans Living Abroad) ilitoka akiwa kwenye rekodi lebo ya Documented mwaka [[2006]]. <ref name="Africabeyond" />
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
acji62k89nm94wx1gwbz0aom5fst0o9
Angel Wanjiru
0
150205
1234910
1227009
2022-07-24T10:58:47Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Angel Wanjiru Ngugi''' (alizaliwa [[2003]]) ni [[mwanamuziki]] wa nchini [[Kenya]]<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.bbc.com/news/av/world-africa-45864928/kenyan-schoolgirl-angel-overcomes-bullies-to-pursue-dream-of-music-career|title=Accept yourself just as you are|work=BBC News|language=en|accessdate=2019-12-21}}</ref>. Mnamo [[16 Desemba]] [[2019]], alipokea tuzo ya MTM nchini [[Uingereza]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.the-star.co.ke/sasa/word-is/2019-12-17-anne-ngugis-daughter-wins-prestigious-award-in-uk/|title=Anne Ngugi's daughter wins prestigious award in UK|author=Nyota|first=Caren|date=17 December 2019|work=The Star|language=en-KE|archiveurl=|archivedate=|accessdate=2019-12-21}}</ref>
== Wasifu ==
Wanjiru alizaliwa akiwa na ugonjwa wa kuzaliwa unaoitwa hydrocephalus. [[Mama]] yake ni Anne Ngugi, mtangazaji wa [[BBC]] nchini Kenya.
Kutokana na hali yake hiyo, ana kichwa kikubwa kuliko watu wengine. Hali yake inamuweka kwenye uonevu mwingi, kejeli na matatizo ya kiafya. Hata hivyo, alitoa wimbo wake wa kwanza uitwao ''Nataka Jua,'' (ukimaanisha, ''nataka kujua'' ) mwaka [[2016]] na akatoa [[albamu]] yake ya kwanza akiwa na [[umri]] wa miaka 14. <ref name=":1">{{Cite web|url=https://www.sde.co.ke/article/2001299529/anne-ngugi-s-daughter-in-new-collabo-featured-in-niko-sawa|title=Anne Ngugi's daughter in new collabo, featured in 'Niko sawa'|author=Muli|first=Davis|work=Standard Digital News|accessdate=2019-12-21}}</ref> <ref name=":2">{{Cite web|url=https://businesstoday.co.ke/anne-ngugis-daughter-wows-internet-bbc-interview/|title=TV anchor's daughter wows internet with BBC interview|work=Business Today Kenya|language=en-US|accessdate=2019-12-21}}</ref> <ref name=":3">{{Cite web|url=https://www.lightworkers.com/young-girls-faith-rare-condition-inspires-others/|title='Never Give up': Young Girl's Faith with Rare Condition Inspires Others|work=LightWorkers|language=en-US|accessdate=2019-12-21|archivedate=2019-12-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191221084702/https://www.lightworkers.com/young-girls-faith-rare-condition-inspires-others/}}</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
* ''Nataka Jua'' ([[2016]])
* ''Story of My Life'' ([[2019]])
== Tuzo ==
* [[2019]] - Alishinda tuzo katika kitengo cha Voice Achievers Award <ref>{{Cite web|url=https://www.kenyans.co.ke/news/43307-ex-ktn-anchor-ann-ngugis-daughter-moves-audience-powerful-speech|title=Ex-KTN Anchor Ann Ngugi's Daughter Moves Audience With Powerful Speech|author=|first=|date=|work=Kenyans|archiveurl=|archivedate=|accessdate=2019-12-21}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.thevoicenewsmagazine.com/press-release-the-voice-achievers-award-releases-names-of-awardees-for-2019/|title=PRESS RELEASE: The Voice Achievers Award Releases names of Awardees for 2019|work=The Voice|language=en-US|accessdate=2019-12-21}}</ref>
* 2019 - Alipokea tuzo ya wanzilishi katika tuzo za Chaguo la MTM nchini [[Ufalme wa Muungano|Uingereza]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 2003]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
loc1dhtbntbkkc2p35b4nbtb0h48yp6
Belgacem Bouguenna
0
150208
1234956
1224915
2022-07-24T11:35:59Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Belgacem Bouguenna''', ni [[mwimbaji]] na [[mwalimu]] wa nchini [[Tunisia]], <ref>{{Cite news|url=http://www.alwaqt.com/art.php?aid=114201|accessdate=7 November 2010|date=18 May 2008|language=Arabic|title=Nakala iliyohifadhiwa|archivedate=2011-07-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110707122249/http://www.alwaqt.com/art.php?aid=114201}}</ref> alizaliwa huko Douz ( Kebili ). <ref>{{Cite news|url=http://www.webmanagercenter.com/culture/article.php?aid=597|accessdate=7 November 2010|date=12 August 2009|language=French|title=Nakala iliyohifadhiwa|archivedate=2012-03-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20120307123235/http://www.webmanagercenter.com/culture/article.php?aid=597}}</ref>{{,}}
== Orodha ya kazi za muziki ==
* ''El Walda'' ( Mothe
* ''El Ghorba'' (Exile.)
* ''Fatma'' (His lover's name.)
* ''Wras 3youni'' (I swear on my eyes.))
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
9i4btntd6uy51oqtd50xi647kdngu1j
Bella Bellow
0
150209
1234957
1224787
2022-07-24T11:36:36Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Georgette Adjoavi Bellow''' ([[1 Januari]] [[1945]] – [[10 Desemba]] [[1973]]) anajulikana zaidi kama '''Bella Bellow''' alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Togo]], ambaye alitengeneza taaluma yake kimataifa na kurekodi [[albamu]] kadhaa. Alifariki akiwa na [[umri]] wa miaka 28 katika [[ajali]] ya [[gari]] huko Togo.
Alizaliwa Tsévié, Togo, kwa [[baba]] [[raia]] wa Togo mwenye [[asili]] ya [[Nigeria]] na [[mama]] mwenye asili ya [[Ghana]]. <ref name="Discogs">{{Cite web|url=http://www.discogs.com/artist/Bella%20Bellow|title=Bella Bellow|publisher=discogs}}</ref> Onyesho la kwanza la kimataifa la Bellow lilikuwa mwaka [[1966]], alipowakilisha Togo kwenye tamasha la kwanza la Dunia la sanaa za watu weusi huko [[Dakar|Dakar, Senegal]] . [[Albamu]] yake ya kwanza, iliyoitwa ''Rockya'', ilitoka mwaka [[1969]]. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=39JMAgAAQBAJ|title=Dictionary of African Biography|last=Jr|first=Professor Henry Louis Gates|last2=Akyeampong|first2=Professor Emmanuel|last3=Niven|first3=Mr Steven J.|date=2 February 2012|publisher=OUP USA|isbn=9780195382075|language=en}}</ref>
Aliimba katika Olympia ya Paris na kurekodi na Manu Dibango . [[Angelique Kidjo|Angélique Kidjo]] <ref name="Discogs">{{Cite web|url=http://www.discogs.com/artist/Bella%20Bellow|title=Bella Bellow|publisher=discogs}}</ref> na Afia Mala wameshawishiwa na Bella Bellow.
== Orodha ya kazi za muziki ==
=== ''Albamu'' ===
* [[1968]]: ''Rockia'' live in Paris
* [[1977]]: A compilation album of memories on Sonafric label, specializingin African music. <ref>{{Cite web|url=https://www.discogs.com/fr/Bella-Bellow-Album-Souvenir/release/5905934|author=|title=Bella Bellow - Album Souvenir|work=www.discogs.com|accessdate=3 August 2021}}</ref>
=== Nyimbo ===
* 1968: "Zelié"
* 1968: "Bléwu" (Patience)
* 1968: "Nye dzi" (My Heart)
* 1968: "O senye" ((My destiny)"
* [[1969]]: "Rockia"
* 1969: "Bouyélé"
* 1969: "Bem bem"
* 1977: "Lafoulou"
* 1977: "Denyigban" (Motherland)
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliofariki 1973]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
mj7bpoylgnrgsdx793s9ok02p99nmue
Soum Bill
0
150210
1234958
1224789
2022-07-24T11:37:56Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Soum Bill''' ([[jina]] la kuzaliwa '''Soumahoro Ben Mamadou''' alizaliwa huko [[Tarafa ya Aboisso|Aboisso]], [[Cote d'Ivoire|Côte d'Ivoire]] ) ni [[mwimbaji]] maarufu wa nchini [[Ivory Coast]].
Wimbo wake wa "Gneze" ni wimbo rasmi wa [[Kombe la Dunia la FIFA]] la [[2006]] kwa [[timu]] ya taifa ya Côte d'Ivoire. <ref>{{Cite web|url=http://calabash.typepad.com/world_music_advocate/2006/06/world_cup_2006_.html|title=World Cup 2006 Music: The Beautiful Game's Beautiful Music|work=Microfundo :: Music Crowdfunding|accessdate=2018-04-23}}</ref> Bill ni [[kabila]] mchanganyiko, [[mama]] yake ni Agni, kutoka Aboisso, wakati [[baba]] yake ni Dioula, kutoka Seguela. <ref>{{Cite web|url=http://worldmusic.nationalgeographic.com/worldmusic/view/page.basic/artist/content.artist/soum_bill_35099|title=Archived copy|accessdate=2006-12-31|archiveurl=https://web.archive.org/web/20061117140716/http://worldmusic.nationalgeographic.com/worldmusic/view/page.basic/artist/content.artist/soum_bill_35099|archivedate=2006-11-17}}</ref>
Alijiunga na kikundi cha ''Mini Choc'' mnamo [[1989]] na akabadilisha [[jina]] lake kuwa Soum Bill. Baada ya kuacha Mini Choc, alikuwa katika bendi iitwayo Les Garagistes na sasa yuko Les Salopards (tafsiri ya [[Kiingereza]] "The Bastards").
== Orodha ya kazi za muziki ==
* ''Terres des homes''
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
8e1ev77jnudtpa1fkfbfj54zh1vwi4z
Hamada Ben Amor
0
150211
1234959
1224793
2022-07-24T11:38:34Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Hameda Ben Amor''' <ref name="time">[https://web.archive.org/web/20110219131332/http://www.time.com/time/world/article/0,8599,2049456,00.html Vivienne Walt in ''Time'': El Général and the Rap Anthem of the Mideast Revolution]
</ref> <ref>[http://www.magharebia.com/cocoon/awi/xhtml1/fr/features/awi/features/2011/02/08/feature-03 Monia Ghanmi in Magharebia.com: Retour sur scène pour les rappeurs tunisiens interdits] (in French)</ref>, anajulikana zaidi kwa [[jina]] la [[sanaa]] [[Muziki wa hip hop|rap]] kutoka nchini [[Tunisia]] . Wimbo wake wa " Rais Lebled ", uliotolewa mnamo [[Novemba]] [[2010]], umeelezewa kama ni "wimbo wa mapinduzi ya Jasmine ". <ref name="time" />
== Kazi ==
Ben Amor amekuwa akitengeneza nyimbo za kurap tangu [[2007]]. Nyimbo hizo hapo awali ziliwekwa chini ya usiri kwa udhibiti mkali wa utawala wa rais wa Tunisia Zine El Abidine Ben Ali. Mnamo [[24 Desemba]] 2010, siku mbili baada ya wimbo wake wa pili maarufu wa "Tunisia Our Country" kutolewa kwenye [[YouTube]] na [[Facebook]] na wiki moja baada ya maandamano nchini [[Tunisia]] kuanza, alikamatwa na [[polisi]] wa Tunisia. Siku tatu baadae, Ben Amor aliachiliwa, baada ya kulazimishwa kusaini taarifa ya kutotengeneza tena nyimbo zozote za kisiasa. <ref name="time">[https://web.archive.org/web/20110219131332/http://www.time.com/time/world/article/0,8599,2049456,00.html Vivienne Walt in ''Time'': El Général and the Rap Anthem of the Mideast Revolution]
</ref>
== Orodha ya kazi za muziki ==
; '''''Albamu'''''
* "Malesh?"
* "Sidi Rais"
* "Rais Lebled"
* "Tounes bledna"
* Hor
* Yhebbou Ylezzouni
* 3ammel 3al 3ali
* Mechia w Tzid
* Tfol Sghir
* Mise saa
* Solo
* Ma Nsina
* Tayari
* Hwemna
* Donia
* Tsunami
* Waadi
* Fannen & Ensen
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]]
birafiu36jh110zcsl559ui569dyi4i
Mkhululi Bhebhe
0
150213
1234922
1227326
2022-07-24T11:09:48Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mkhululi Bhebhe''' (alizaliwa [[5 Aprili]], [[1984]] huko [[Bulawayo|Bulawayo, Zimbabwe]] ) <ref>[http://www.thezimbabwean.co/2012/06/bhebhes-new-lease-of-life/ Bhebhe’s new lease of life]. ''The Zimbabwean'', June 2016.</ref> ni [[mwimbaji]] wa kisasa wa [[Nyimbo za Kiinjili|muziki wa Injili]] kutoka nchini [[Zimbabwe]] . <ref>[https://www.newsday.co.zw/2015/08/13/byo-has-abundant-gospel-talent-bhebhe/ "Byo has abundant gospel talent — Bhebhe"]. ''NewsDay'', August 13, 2015</ref>
== Kazi ==
Mnamo [[2008]], Bhebhe aliingia katika onyesho la mashindano ya Idols la [[mashariki]] na [[kusini]] mwa [[Afrika]] lililofanyika [[Nairobi|Nairobi, Kenya]], na kushika nafasi ya sita. <ref>[http://www.dailynews.co.zw/articles/2013/12/30/joyous-celebration-star-wows-byo "Joyous Celebration star wows Byo"] {{Wayback|url=http://www.dailynews.co.zw/articles/2013/12/30/joyous-celebration-star-wows-byo|date=20181028050752}}. ''Daily News'', Nyasha Chingono . 30 December 2013</ref>
Mnamo [[2009]], Bhebhe alianza kuimba na [[kwaya]] ya Injili ya [[Afrika Kusini]] inayojulikana kama ''Joyous Celebration''. <ref>[http://www.iol.co.za/the-star/a-joyous-concert-at-carnival-city-1.1678349 "A Joyous concert at Carnival City"]. ''Independent Online'', April 21, 2014 By MPILETSO MOTUMI</ref> <ref>[http://www.herald.co.zw/mkhululi-bhebhe-breaks-new-ground/ "Mkhululi Bhebhe breaks new ground"]. ''The Herald''</ref> Ameimba nyimbo za asili za injili za Zimbabwe katika maonyesho ya kimataifa, nyimbo zake zikiwemo kama vile Tambira Jehovah, Ichokwadi, ''Namata'' <ref>[http://www.chronicle.co.zw/another-mkhululi-bhebhe-scorcher-rocks-airwaves/ "Another Bhebhe scorcher hist the airwaves"]. ''The Chronicle'', Feb 8, 2014</ref> na Wasara Wasara.
Bhebhe alijiunga na kundi la ''Joyous Celebration'' mwaka 2010. <ref>{{Cite web|title=Vocal Ex to launch DVD album|url=https://www.thestandard.co.zw/2016/05/24/vocal-ex-launch-dvd-album/|accessdate=9 October 2016|date=24 May 2016}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.africanseer.com/news/178241-mkhululi-bhebhe-rise-to-joyous-celebration.html|title=Mkhululi Bhebhe Rise to Joyous Celebration|work=AfricanSeer.com|accessdate=7 July 2014|archiveurl=https://archive.today/20140831142223/http://www.africanseer.com/news/178241-mkhululi-bhebhe-rise-to-joyous-celebration.html|archivedate=31 August 2014}}</ref>
Mnamo [[Desemba]] [[2012]], Bhebhe alitoa [[albamu]], ''iChokwadi'' yenye nyimbo kumi na tatu, zikiwemo nyimbo kama "Thelumoya" na "Tambira Jehovah". <ref>{{Cite web|title=Mkhululi Bhebhe to lead in worship at HICC|url=http://bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-lifestyle-byo-30689.html|work=Bulawayo24 News|accessdate=9 October 2016}}</ref> <ref>[http://www.zimdiaspora.com/index.php?option=com_content&view=article&id=11148:mkhululi-bhebhe-to-perfom-in-latin-america&catid=42:enteratinment2&Itemid=295 " Mkhululi Bhebhe to perform in Latin America"] {{Wayback|url=http://www.zimdiaspora.com/index.php?option=com_content&view=article&id=11148:mkhululi-bhebhe-to-perfom-in-latin-america&catid=42:enteratinment2&Itemid=295 |date=20171013120637 }}. ''Zim Diaspora'', 9 March 2013.</ref>
Kufikia mwaka [[2015]] wimbo wa Bhebhe maarufu zaidi akiwa na Joyous Celebration unaitwa "Tambira Yehova". <ref>{{Cite web|author=Nchewnang-Ngassa|title=Cameroon: South African Gospel Group Thrills Douala, Yaounde Audiences|url=http://allafrica.com/stories/201406240949.html|accessdate=9 October 2016|date=24 June 2014}}</ref>
Mnamo [[2016]] Bhebhe aliongoza tukio la injili la Celestial Praiz 2016. <ref>[http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Celestial-Praiz-2016-eulogises-Danny-Nettey-457061 "Celestial Praiz 2016 eulogises Danny Nettey"]. ''Daily Guiude Ghana'', via ghanaweb.com. 21 July 2016</ref> <ref>{{Cite web|author=Afanyi-Dadzie|first=Ebenezer|title=2016 Celestial Praiz to feature Mkhululi Bhebhe on July 17|url=http://citifmonline.com/2016/07/14/2016-celestial-praiz-to-feature-mkhululi-bhebhe-on-july-17/|accessdate=9 October 2016|date=14 July 2016}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
240f9deku085c9a8aziiyb96lhth6uv
Gladys Amfobea
0
150268
1234960
1225055
2022-07-24T11:39:24Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Gladys Amfobea''' (alizaliwa [[1 Julai]] [[1998]]) ni [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa kimataifa wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[beki]] kwenye [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake ya Ghana.Aliichezea timu ya Ghana kwenye [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] kwa [[Wanawake]] mnamo mwaka [[2018]] na kufunga bao moja katika [[mechi]] tatu alizocheza<ref name="Soccerway">{{cite web|title=G. Amfobea|url=https://women.soccerway.com/players/gladys-amfobea/268230/|website=Soccerway|publisher=Perform Group|accessdate=16 June 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Ghana]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ghana]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
c7kj8xxdo61y7onm006rqyg1gun6rtv
Nadine Angerer
0
150285
1234961
1225219
2022-07-24T11:40:10Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Nadine Marejke Angerer''' (alizaliwa [[10 Novemba]] [[1978]]) ni mkufunzi wa [[Mpira wa miguu|mpira wa]] [[Mpira wa miguu|miguu]] wa [[Ujerumani]] na ambaye ni mkufunzi wa mchezaji Portland Thorns wa ligi ya [[soka]] ya wanawake (NWSL). <ref name="gk_replace">{{Cite news|title=Eckerstrom, Thorns cause nightmares for Courage in NWSL Challenge Cup victory|url=https://www.timbers.com/post/2020/07/17/eckerstrom-thorns-cause-nightmares-courage-nwsl-challenge-cup-victory|publisher=Portland Timbers}}</ref>
== Kazi ==
Angerer alizaliwa huko Lohr am Main, karibu na [[Frankfurt am Main|Frankfurt]] . [[Kazi]] yake ya soka alianza na klabu ya ''ASV Hofstetten'', ambapo alicheza kama [[mshambuliaji]]. <ref name="uefa">{{Cite web|title=Nadine Angerer|url=http://en.archive.dr.infra.uefa.com/competitions/woco/players/Player=34047/index.html|publisher=[[UEFA]]|accessdate=27 June 2015|date=11 September 2009|archiveurl=https://archive.today/20160104223235/http://en.archive.dr.infra.uefa.com/competitions/woco/players/Player=34047/index.html|archivedate=4 January 2016}}</ref> Alipochukua nafasi ya kipa aliyejeruhiwa wakati wa mchezo wa skauti ya vijana, aligunduliwa kuwa ana kipaji cha ukipa. Mnamo [[1995]], alihamia 1. FC Nürnberg na mwaka mmoja baadae akahamia klabu ya FC Wacker München . Akiwa Wacker, alikataa nafasi ya kuchezea timu ya soka ya [[Chuo Kikuu|chuo kikuu]] cha [[Marekani]]. <ref>{{Cite web|title=Career|url=http://www.angerer-nadine.de/English/career.html|work=Angerer-Nadine.de|accessdate=27 June 2015|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150629235646/http://www.angerer-nadine.de/English/career.html|archivedate=29 June 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
stt9e3rd9dvjwrpaxse8jo7e49ke0b7
Candace Chapman
0
150288
1234962
1225222
2022-07-24T11:40:50Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Candace Marie Margaret Chapman''' (alizaliwa [[2 Aprili]], [[1983]]) ni mzaliwa wa [[Trinidad na Tobago]], [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] mstaafu wa nchini [[Kanada]] . Alipokua [[Ajax, Ontario|Ajax]], Ontario, alicheza kama [[beki]] na alikuwa mchezaji wa [[timu ya taifa]] ya Kanada . Kwa sasa ni [[kocha]] wa timu ya taifa ya vijana. <ref>{{Cite web|url=http://www.cic.gc.ca/english/multiculturalism/black/photo-sports.asp|title=Photo Gallery: Black Canadians and Sports|publisher=Citizenship and Immigration Canada|date=28 January 2015|accessdate=26 April 2015|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150311010844/http://www.cic.gc.ca/english/multiculturalism/black/photo-sports.asp|archivedate=11 March 2015}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Chapman alizaliwa katika [[Port of Spain|Bandari ya Uhispania]], [[Trinidad na Tobago]] ..Ni mhitimu wa [[Chuo Kikuu]] cha Notre Dame akiwa na [[diploma]] katika [[sosholojia]] na matumizi ya [[kompyuta]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
5se67fuo5nzjcul0hgiefpa1rbs0zif
Tine Cederkvist
0
150289
1234925
1225224
2022-07-24T11:12:38Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tine Cederkvist Viskær''' (alizaliwa [[21 Machi]], [[1979]]) ni [[Golikipa|goli kipa]] wa [[kandanda]] wa [[Denmark]] ambaye anachezea [[timu ya taifa]] ya kandanda ya wanawake wa Denmark .
Katika ngazi ya klabu amecheza kwenye mashindano ya ''Damallsvenskan'' na ligi ya ''W-League'' nchini [[Australia]]. akiwa na klabu ya ''LdB Malmö''. Hapo awali alitumia miaka saba katika klabu ya ''Brøndby IF'' katika mashindano ya ''Elitedivisionen'', na kucheza jumla ya [[mechi]] 216 katika mashindano yote. <ref>{{Cite web|url=http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|title=Kampstatistik på spillere|publisher=Brøndby IF|language=Danish|accessdate=2012-10-10|archiveurl=https://web.archive.org/web/20141204125351/http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|archivedate=2014-12-04}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
lv9x38va1lwemb2h9y5rof98ulav1be
Simone Carmichael
0
150291
1234963
1225249
2022-07-24T11:41:38Z
Justine Msechu
45962
wikitext
text/x-wiki
'''Simone Carmichael''' (née '''Ferrara''' ) (alizaliwa [[7 Juni]], [[1977]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] ambaye aliwakilisha [[New Zealand]] katika ngazi ya kimataifa. <ref name="candg">{{Cite web|url=http://www.ultimatenzsoccer.com/FootballFerns/id38.htm|title=Caps 'n' Goals, New Zealand Women's national representatives|author=|publisher=The Ultimate New Zealand Soccer Website|date=|accessdate=11 June 2009}}</ref>
== Kazi ==
Carmichael alicheza mechi yake ya kwanza akiwa na [[timu ya taifa]] ya New Zealand na kushindwa kwa mabao 1-2 na [[Kanada]] mnamo [[31 Mei]] [[2000]], na aliwakilisha New Zealand kwenye fainali za [[Kombe la Dunia la FIFA]] mwaka [[2007]] nchini [[China]], <ref name="wwc2007">{{Cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/squadlist.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080713192919/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/squadlist.html|archivedate=13 July 2008|title=New Zealand Squad List, 2007 Women's World Cup|author=|publisher=FIFA|date=|accessdate=2008-09-22}}</ref> ambapo walipoteza dhidi ya [[Brazil]] 0-5, [[Denmark]] (0– 2) na China (0-2). <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/statistics.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080713192924/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/statistics.html|archivedate=13 July 2008|title=Tournament Statistics - New Zealand|author=|publisher=FIFA|date=|accessdate=2008-09-24}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Carmichael aliolewa manamo [[10 Aprili]] 2004. Walakini, alivalia jina lake la ujana Ferrara kwenye jezi yake kwenye Kombe la Dunia la 2007.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
587ekjsexqmk3m0ebnilst53twgplkk
Joanne Burgess
0
150292
1234927
1225225
2022-07-24T11:15:00Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Joanne''' " '''Joey''' " '''Rebecca Burgess''' (alizaliwa [[23 Septemba]], [[1979]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kimataifa wa [[Australia]], ambaye anachezea klabu ya ''Western Sydney Wanderers'' katika ligi ya ''W-League'' nchini Australia.
== Kazi ==
Burgess alilelewa Campbelltown na alianza kazi yake ya soka katika ligi ya ''National Soccer League'' wakati wa msimu wa [[1999]]-[[2000]] ambapo alichezea klabu ya ''NSW Sapphires''. <ref>{{Cite web|title=Joanne Burgess|url=https://www.wswanderersfc.com.au/news/joanne-burgess|accessdate=2020-08-10|work=Western Sydney Wanderers FC|language=en}}</ref>
Burgess alijiunga na Sydney FC katika msimu wa kwanza wa W-League. Kufuatia kipindi hicho cha mwaka mmoja, Burgess alijiunga na Brisbane Roar FC kwa miaka 5, ambapo alicheza kama [[winga]]..<ref>{{Cite web|title=Quiet achiever Burgess says farewell|url=https://www.myfootball.com.au/news/quiet-achiever-burgess-says-farewell|accessdate=2020-08-10|work=MyFootball|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
povc5sdeb4e7iurizghqb2n992m00ej
Mto Euphrates
0
153260
1234807
1234052
2022-07-24T00:41:44Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Frati]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Frati]]
pyzy7whxqrq2japy5g6y3ybnx38pcbz
Dragoni-matope
0
153264
1234846
1234063
2022-07-24T06:01:03Z
ChriKo
35
Sahihisho
wikitext
text/x-wiki
{{uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Dragoni-matope
| picha = Echinoderes hwiizaa.jpg
| upana_wa_picha = 200px
| maelezo ya picha = Dragoni-matope (''Echinoderes hwiizaa'')
| himaya = [[Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| kundi_bila_tabaka = [[Bilateria]]
| kundi2_bila_tabaka = [[Prostomia]]
| faila_ya_juu = [[Ecdysozoa]]
| faila = [[Kinorhyncha]]
| bingwa_wa_faila = [[W. Reinhard|Reinhard]], 1881
| subdivision = '''Ngeli 2, oda 3'''<br>
* [[Cyclorhagida]] <small>[[Max Theodor E. Rauther|Zelinka]], 1896</small>
** [[Echinorhagata]] <small>Sørensen et al., 2015</small>
** [[Kentrorhagata]] <small>Sørensen et al., 2015</small>
** [[Xenosomata]] <small>Zelinka, 1907</small>
* [[Allomalorhagida]] <small>Sørensen et al., 2015</small>
}}
'''Dragoni-matope''' (kutoka kwa [[kiing.]] [[w:Kinorhyncha|mud dragon]]) ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[bahari]] wa [[faila]] [[Kinorhyncha]] walioenea sana kwenye [[matope]] na [[mchanga]] kwa [[kina|vina]] vyote miongoni mwa wanyama wadogo wa [[sakafu ya bahari|sakafu]]. [[Spishi]] za kisasa ni [[mm]] 1 au chini, lakini zamani za kale walikuwa hadi [[sm]] 4<ref>[https://www.theguardian.com/science/2019/mar/21/mindblowing-haul-of-fossils-over-500m-years-old-unearthed-in-china 'Mindblowing' haul of fossils over 500m years old unearthed in China | Science | The Guardian]</ref>.
[[File:Comparative-myoanatomy-of-Echinoderes-(Kinorhyncha)-a-comprehensive-investigation-by-CLSM-and-3D-1742-9994-11-31-S3.ogv|thumb|left|Kiolezo cha ''Echinoderes'' akionyesha jinsi ya kusogea na kurudisha kichwa ndani.]]
Dragoni-matope ni wanyama wenye [[pingili]] wasio na [[mguu|miguu]] na huwa [[mwili]] unaojumuisha [[kichwa]], [[shingo]] na [[kiwiliwili]] cha pingili kumi na moja. Tofauti na [[invertebrata]] sawa hawana [[silio]] ya nje, lakini badala yao wana idadi ya [[mwiba|miiba]] kando ya mwili pamoja na [[duara]] hadi saba za miiba kuzunguka kichwa<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books/about/Invertebrates.html?id=lSggPQAACAAJ|title=Invertebrates|isbn=978-0-87893-097-5|last1=Brusca|first1=Richard C|last2=Brusca|first2=Gary J|date=2003}} page 347</ref>. Miiba hii hutumika kwa kusogea wakisukuma kichwa mbele na kisha kushika uso wa chini kwa miiba na kuvuta mwili.
Dragoni-matope hula [[diatoma]] au dutu ya kioganiki zinazopatikana kwenye matope kulingana na spishi. [[Mdomo]] uko katika muundo wa [[koni]] kwenye ncha ya kichwa na hujifungua kwenye [[koromeo]] na kisha [[umio]], yote mbili zilizofunikwa kwa [[kutikulo]]. Jozi mbili za [[tezi]] za [[mate]] na jozi moja au zaidi ya "tezi za [[kongosho]]" huunganisha kwenye umio na zinaonekana kutoa [[kimeng'enya|vimeng'enya]] vya kumeng'enya [[chakula]]. Mbele ya umio kuna aina ya [[tumbo]] pana linalochanganya kazi za tumbo na [[utumbo]] na kunyonya [[kirutubisho|virutubisho]]. Utumbo mfupi wa nyuma umefunikwa na kutikulo na kumwaga kupitia [[mkundu]] kwenye ncha ya nyuma ya kiwiliwili.<ref>{{cite book |author= Barnes, Robert D. |year=1982 |title= Invertebrate Zoology |publisher= Holt-Saunders International |location= Philadelphia, PA|pages= 286–288|isbn= 978-0-03-056747-6}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Dragoni-matope]]
7qrslj5w6zsqy00zj2ovrrv43cssgvj
Majadiliano ya mtumiaji:Deborah Zablon Osima
3
153280
1234759
2022-07-23T13:15:50Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{Karibu}}~~~~''
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:15, 23 Julai 2022 (UTC)'
22cg7lb6m00j223fig4v1jy40ywurgn
Aidan Mtakatifu
0
153281
1234763
2022-07-23T13:25:39Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Aidan Mtakatifu]] hadi [[Aidani wa Lindisfarne]]: kutofautisha watu
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Aidani wa Lindisfarne]]
kyycaqdax5ohqude98ao1lmyik1ku0j
Aidani wa Ferns
0
153282
1234767
2022-07-23T13:47:15Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:Wexford Church of the Assumption South Aisle Window Harry Clarke The Madonna with Sts Aidan and Adrian Detail Saint Aidan 2010 09 29.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]] '''Aidani wa Lindisfarne''' (pia: '''Aedan, Aeddan, Aidanus, Edanus, Mo Aodh Og; Maedoc, Mogue'''<ref name=sabi>Baring-Gould, Sabine & al. [https://archive.org/stream/livesofbritishsa01bariuoft#page/122/mode/2up ''The Lives of the Britis...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Wexford Church of the Assumption South Aisle Window Harry Clarke The Madonna with Sts Aidan and Adrian Detail Saint Aidan 2010 09 29.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]]
'''Aidani wa Lindisfarne''' (pia: '''Aedan, Aeddan, Aidanus, Edanus, Mo Aodh Og; Maedoc, Mogue'''<ref name=sabi>Baring-Gould, Sabine & al. [https://archive.org/stream/livesofbritishsa01bariuoft#page/122/mode/2up ''The Lives of the British Saints: The Saints of Wales and Cornwall and Such Irish Saints as Have Dedications in Britain'', Vol. I, pp. 122 ff]. Chas. Clark (London), 1908. Hosted at Archive.org. Accessed 18 Nov 2014.</ref>; [[Ziwa Templeport]]<ref name=toke>[http://www.newadvent.org/cathen/09520a.htm Toke, Leslie. "St. Maedoc." The Catholic Encyclopedia. Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 22 Jan. 2014]</ref> , [[Ireland]], [[558]] hivi - [[Ferns]], [[Ireland]], [[31 Januari]] [[632]]) alikuwa [[askofu]] wa Ferns na kuanzisha huko [[monasteri]], akishika maisha magumu sana.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waanglikana]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[31 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* {{cite IrishBio|wstitle=Aedan, Saint}}
* ''Templeport'': Rev. Daniel Gallogy (1979)
* ''Bawnboy and Templeport'': Chris Maguire (1999)
* Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. {{ISBN|0-14-051312-4}}.
* McFall, T. H. C. "An Account of the History of Ferns Cathedral Church". Dublin: APCK, 1954 (Reprinted 1999 and 2000)
==Marejeo mengine==
* {{cite encyclopedia |first=Charles |last=Doherty |title=The Transmission of the Cult of St Máedhog |editor=P. Ní Chatháin and M. Richter |encyclopedia=Ireland and Europe in the Early Middle Ages: Texts and Transmission |place=Dublin |year=2002 |pages=}}
* Doherty, Charles. "[http://www.oxforddnb.com/view/article/51009 Leinster, saints of (act. ''c''.550–''c''.800)]". ''Oxford Dictionary of National Biography''. Oxford University Press, 2004. Accessed: 9 February 2009.
* Gillespie, Raymond. ''A sixteenth century saint’s life: the second life of St Maedoc'', in Breifne Journal, Vol. X, No. 40 (2004), pp. 147–155.
* Gillespie, Raymond. ''Saints and Manuscripts in sixteenth century Breifne'', in Breifne Journal, Vol. XI, No. 44 (2008), pp. 533–557.
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Saint Aidán}}
*[https://archive.org/stream/livesofthecambro00reesuoft#page/n587/mode/2up ''Lives of the Cambro British Saints''] 11th century Latin Life
*[https://archive.org/stream/bethada02plumuoft#page/176/mode/2up ''Bethada Náem nErenn = Lives of Irish Saints''] 12th century Irish Life
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 558]]
[[Category:Waliofariki 632]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
al30hsxyv5blffxad996s6rnuohzikm
1234768
1234767
2022-07-23T13:48:15Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Wexford Church of the Assumption South Aisle Window Harry Clarke The Madonna with Sts Aidan and Adrian Detail Saint Aidan 2010 09 29.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]]
'''Aidani wa Lindisfarne''' (pia: '''Aedan, Aeddan, Aidanus, Edanus, Mo Aodh Og; Maedoc, Mogue'''<ref name=sabi>Baring-Gould, Sabine & al. [https://archive.org/stream/livesofbritishsa01bariuoft#page/122/mode/2up ''The Lives of the British Saints: The Saints of Wales and Cornwall and Such Irish Saints as Have Dedications in Britain'', Vol. I, pp. 122 ff]. Chas. Clark (London), 1908. Hosted at Archive.org. Accessed 18 Nov 2014.</ref>; [[Ziwa Templeport]]<ref name=toke>[http://www.newadvent.org/cathen/09520a.htm Toke, Leslie. "St. Maedoc." The Catholic Encyclopedia. Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 22 Jan. 2014]</ref> , [[Ireland]], [[558]] hivi - [[Ferns]], [[Ireland]], [[31 Januari]] [[632]]) alikuwa [[askofu]] wa Ferns na kuanzisha huko [[monasteri]], akishika maisha magumu sana.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waanglikana]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[31 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* ''Templeport'': Rev. Daniel Gallogy (1979)
* ''Bawnboy and Templeport'': Chris Maguire (1999)
* Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4
* McFall, T. H. C. "An Account of the History of Ferns Cathedral Church". Dublin: APCK, 1954 (Reprinted 1999 and 2000)
==Marejeo mengine==
* {{cite encyclopedia |first=Charles |last=Doherty |title=The Transmission of the Cult of St Máedhog |editor=P. Ní Chatháin and M. Richter |encyclopedia=Ireland and Europe in the Early Middle Ages: Texts and Transmission |place=Dublin |year=2002 |pages=}}
* Doherty, Charles. "[http://www.oxforddnb.com/view/article/51009 Leinster, saints of (act. ''c''.550–''c''.800)]". ''Oxford Dictionary of National Biography''. Oxford University Press, 2004. Accessed: 9 February 2009.
* Gillespie, Raymond. ''A sixteenth century saint’s life: the second life of St Maedoc'', in Breifne Journal, Vol. X, No. 40 (2004), pp. 147–155.
* Gillespie, Raymond. ''Saints and Manuscripts in sixteenth century Breifne'', in Breifne Journal, Vol. XI, No. 44 (2008), pp. 533–557.
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Saint Aidán}}
*[https://archive.org/stream/livesofthecambro00reesuoft#page/n587/mode/2up ''Lives of the Cambro British Saints''] 11th century Latin Life
*[https://archive.org/stream/bethada02plumuoft#page/176/mode/2up ''Bethada Náem nErenn = Lives of Irish Saints''] 12th century Irish Life
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 558]]
[[Category:Waliofariki 632]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
1m4pqul09ze3vxmgp9kc7iwyvpa6e22
1234770
1234768
2022-07-23T13:49:36Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Wexford Church of the Assumption South Aisle Window Harry Clarke The Madonna with Sts Aidan and Adrian Detail Saint Aidan 2010 09 29.jpg|thumb|right|Mtakatifu Aidani katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]].]]
'''Aidani wa Ferns''' (pia: '''Aedan, Aeddan, Aidanus, Edanus, Mo Aodh Og; Maedoc, Mogue'''<ref name=sabi>Baring-Gould, Sabine & al. [https://archive.org/stream/livesofbritishsa01bariuoft#page/122/mode/2up ''The Lives of the British Saints: The Saints of Wales and Cornwall and Such Irish Saints as Have Dedications in Britain'', Vol. I, pp. 122 ff]. Chas. Clark (London), 1908. Hosted at Archive.org. Accessed 18 Nov 2014.</ref>; [[Ziwa Templeport]]<ref name=toke>[http://www.newadvent.org/cathen/09520a.htm Toke, Leslie. "St. Maedoc." The Catholic Encyclopedia. Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 22 Jan. 2014]</ref> , [[Ireland]], [[558]] hivi - [[Ferns]], [[Ireland]], [[31 Januari]] [[632]]) alikuwa [[askofu]] wa Ferns na kuanzisha huko [[monasteri]], akishika maisha magumu sana.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waanglikana]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[31 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* ''Templeport'': Rev. Daniel Gallogy (1979)
* ''Bawnboy and Templeport'': Chris Maguire (1999)
* Attwater, Donald and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4
* McFall, T. H. C. "An Account of the History of Ferns Cathedral Church". Dublin: APCK, 1954 (Reprinted 1999 and 2000)
==Marejeo mengine==
* {{cite encyclopedia |first=Charles |last=Doherty |title=The Transmission of the Cult of St Máedhog |editor=P. Ní Chatháin and M. Richter |encyclopedia=Ireland and Europe in the Early Middle Ages: Texts and Transmission |place=Dublin |year=2002 |pages=}}
* Doherty, Charles. "[http://www.oxforddnb.com/view/article/51009 Leinster, saints of (act. ''c''.550–''c''.800)]". ''Oxford Dictionary of National Biography''. Oxford University Press, 2004. Accessed: 9 February 2009.
* Gillespie, Raymond. ''A sixteenth century saint’s life: the second life of St Maedoc'', in Breifne Journal, Vol. X, No. 40 (2004), pp. 147–155.
* Gillespie, Raymond. ''Saints and Manuscripts in sixteenth century Breifne'', in Breifne Journal, Vol. XI, No. 44 (2008), pp. 533–557.
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Saint Aidán}}
*[https://archive.org/stream/livesofthecambro00reesuoft#page/n587/mode/2up ''Lives of the Cambro British Saints''] 11th century Latin Life
*[https://archive.org/stream/bethada02plumuoft#page/176/mode/2up ''Bethada Náem nErenn = Lives of Irish Saints''] 12th century Irish Life
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 558]]
[[Category:Waliofariki 632]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ireland]]
6ib1kzwftashlo82wti81xiu7upeq0a
Jamii:Waliozaliwa 558
14
153283
1234769
2022-07-23T13:48:41Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 6]] [[Jamii:558]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 6]]
[[Jamii:558]]
2tdzb959l05au9jonbl1otlq8sjz55x
Valdo wa Evreux
0
153284
1234772
2022-07-23T14:05:59Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:Église Saint-Pair de Saint-Pair-sur-Mer - Gisant de Saint Gaud.JPG|thumb|right|[[Kaburi]] lake.]] '''Valdo wa Evreux''' (pia: '''Gaud'''; [[400]] hivi - [[491]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa pili wa [[Évreux|Evreux]], leo nchini [[Ufaransa]] miaka [[440]]-[[480]], akijitahidi kufufua [[Ukristo]] katika eneo lake. Miaka yake ya mwisho aliishi kama [[mkaapweke]] [[msitu|msituni]]. Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na Waorth...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Église Saint-Pair de Saint-Pair-sur-Mer - Gisant de Saint Gaud.JPG|thumb|right|[[Kaburi]] lake.]]
'''Valdo wa Evreux''' (pia: '''Gaud'''; [[400]] hivi - [[491]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa pili wa [[Évreux|Evreux]], leo nchini [[Ufaransa]] miaka [[440]]-[[480]], akijitahidi kufufua [[Ukristo]] katika eneo lake. Miaka yake ya mwisho aliishi kama [[mkaapweke]] [[msitu|msituni]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[31 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* Hippolyte Gancel, Les saints qui guérissent en Normandie, 2006
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 400]]
[[Category:Waliofariki 491]]
[[Jamii:Wakaapweke]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Watakatifu wa Ufaransa]]
p0i9zdko0dh5gz25d9bsx6dgofjful9
Jamii:Waliofariki 491
14
153285
1234773
2022-07-23T14:07:08Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:waliofariki karne ya 5]] [[Jamii:491]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:waliofariki karne ya 5]]
[[Jamii:491]]
sk8j7vihc5uy0wv0yi805wt3ivfrmj1
Maisha ya Weusi ni muhimu
0
153286
1234964
2022-07-24T11:43:55Z
Why-Fi26
52551
sdfh
wikitext
text/x-wiki
Black Lives Matter (kifupi BLM) ni vuguvugu la kisiasa na kijamii lililogatuliwa ambalo linalenga kuangazia ubaguzi wa rangi, ubaguzi, na ukosefu wa usawa wa rangi unaowapata watu weusi.
dw04nzuxq5ses1eo44bmbkd8ncuhqtd
1234965
1234964
2022-07-24T11:52:24Z
Why-Fi26
52551
test
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:BLM-ICON.png|thumb|Nembo mara nyingi hutumika katika harakati za Black Lives Matter]]
Black Lives Matter (kifupi BLM) ni vuguvugu la kisiasa na kijamii lililogatuliwa ambalo linalenga kuangazia ubaguzi wa rangi, ubaguzi, na ukosefu wa usawa wa rangi unaowapata watu weusi.<ref>{{Citation|title=What is Black Lives Matter and what are the aims?|date=2021-06-12|url=https://www.bbc.com/news/explainers-53337780|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-07-24}}</ref><ref>{{Cite web|title=How to Distinguish Between Antifa, White Supremacists, and Black Lives Matter|url=https://www.theatlantic.com/politics/archive/2017/08/drawing-distinctions-antifa-the-alt-right-and-black-lives-matter/538320/|work=The Atlantic|date=2017-08-31|accessdate=2022-07-24|language=en|author=Conor Friedersdorf}}</ref><ref>{{Cite web|title=Black Lives Matter news & latest pictures from Newsweek.com|url=https://www.newsweek.com/topic/black-lives-matter|work=Newsweek|accessdate=2022-07-24|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Watu]]
[[Jamii:USLW Iringa]]
3zlahohmftayq7ctpma98lcqjww8azr