Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.39.0-wmf.21 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Gadget Gadget talk Gadget definition Gadget definition talk Angola 0 2580 1235032 1228476 2022-07-24T22:50:17Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki {{Infobox country | native_name = ''República de Angola'' | conventional_long_name = Jamhuri ya Angola | common_name = Angola | image_flag = Flag of Angola.svg | image_coat =Emblem of Angola.svg | national_motto = ''Virtus Unita Fortior'', kumaanisha "Kuunganisha maadili kunaongeza nguvu" | image_map = LocationAngola.png | national_anthem = [[Angola Avante]]!<br /><small>([[Lugha ya Kireno|Kireno]]: [[Angola Avante|Angola songa mbele!]]) | official_languages = [[Kireno]] | capital = [[Luanda]] | latd=8|latm=50|latNS=S|longd=13|longm=20|longEW=E| government_type = [[Vyama vingi]] [[demokrasia]] | leader_titles = [[Rais wa Angola|Kiongozi wa Nchi]] <br /> [[Waziri mkuu wa Angola|Kiongozi wa Serikali]]| leader_names = [[João Lourenço]] <br /> [[Bornito de Sousa]]| largest_city = [[Luanda]] | area = 1,246,700 | areami² = 481,354 | <!--Do not remove --> area_rank = 23nd | area_magnitude = 1 E12 | percent_water = - | population_estimate = | population_estimate_year = | population_estimate_rank = 71st | population_census = 25,789,024 | population_census_year = 2014 | population_density = 20.7 | population_densitymi² = 50.6 | <!--Do not remove --> population_density_rank = 199 | Ethnic_groups = | Ethnic_groups_year = | GDP_PPP_year = 2003 | GDP_PPP = 31,364<sup>1</sup> | GDP_PPP_rank = 83 | GDP_PPP_per_capita = 2,319 | GDP_PPP_per_capita_rank = 120 | HDI_year = 2003 | HDI = 0.445 | HDI_rank = 160th | HDI_category = <font color="#E0584E">low</font> | sovereignty_type = [[Uhuru]] | established_events = Kutoka [[Ureno]] | established_dates = [[11 Novemba]] [[1975]] | currency = [[Kwanza]] | currency_code = AOA | time_zone = [[Central European Time|CET]] | utc_offset = +1 | time_zone_DST = - | utc_offset_DST = +1 | cctld = [[.ao]] | calling_code = 244 | footnotes = <!-- --> }} [[Picha:Angola map.png|thumbnail|300px|Ramani ya Angola]] [[Picha:LuandaJuin2005-1-br.jpg|thumbnail|230px|[[Luanda]], [[mji mkuu]] wa Angola]] '''Angola''' ni nchi kubwa iliyopo upande wa [[kusini]] [[magharibi]] wa [[bara]] la [[Afrika]] ikipakana na [[Namibia]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] na [[Zambia]]. Upande wa magharibi kuna [[pwani]] ndefu ya [[Bahari Atlantiki]]. [[Mkoa]] wa [[Kabinda]] umetenganika na sehemu nyingine za nchi na unapakana na [[Jamhuri ya Kongo]] pia. Angola ni nchi [[tajiri]] kwa [[mafuta]] na [[madini]]: [[almasi]] ndiyo muhimu zaidi. Lakini nchi ni [[maskini]] kutokana na [[vita]] vya miaka 29; kwanza vita vya kupigania [[uhuru]] dhidi ya [[Ureno]] iliyofuatwa na [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]] hadi mwaka [[2002]]. Nchi yenyewe hasa ni ya ki[[demokrasia]] na inajulikana kama '''Jamhuri ya Angola''' (kwa [[Lugha ya Kireno|Kireno]]: ''República de Angola'', kwa matamshi ya [[IPA]]: /{{IPA|ʁɛ.'pu.βli.kɐ dɨ ɐ̃.'ɣɔ.lɐ}}/; kwa lugha za wenyeji: '''Repubilika ya Ngola'''). == Asili na historia ya jina 'Angola' == [[Jina]] '''Angola''' linatokana na [[neno]] la [[lugha]] ya [[Kibantu]] "N’gola", ambalo lilikuwa jina la [[kiongozi]] wa [[ufalme wa Kwimbundo]] [[karne ya 16]], ambapo [[Wareno]] walianza [[ukoloni]] katika eneo hili. == Jiografia == {{Main|Jiografia ya Angola}} == Maeneo ya Angola == [[Picha:Angola Provinces numbered 300px.png|right|200px|Ramani ya Angola na Mikoa iliohesabiwa]] {{Main|Mikoa ya Angola|Wilaya za Angola}} Angola imegawiwa katika mikoa 18 (''províncias''), [[wilaya]] 162 (''municípios'') na [[kata]] 559. <br /> [[Mikoa ya Angola|Mikoa]] ni: {| border=0 |- valign="top" | * <small>1</small> [[Bengo (mkoa)|Bengo]] * <small>2</small> [[Mkoa wa Benguela|Benguela]] * <small>3</small> [[Bié (mkoa)|Bié]] * <small>4</small> [[Kabinda]] * <small>5</small> [[Cuando Cubango]] * <small>6</small> [[Cuanza Norte]] | * <small>7</small> [[Cuanza Sul]] * <small>8</small> [[Cunene (mkoa)|Cunene]] * <small>9</small> [[Mkoa wa Huambo|Huambo]] * <small>10</small> [[Mkoa wa Huila|Huila]] * <small>11</small> [[Mko wa Luanda|Luanda]] * <small>12</small> [[Lunda Norte]] | * <small>13</small> [[Lunda Sul]] * <small>14</small> [[Mkoa wa Malanje|Malanje]] * <small>15</small> [[Moxico (mkoa)|Moxico]] * <small>16</small> [[Mkoa wa Namibe|Namibe]] * <small>17</small> [[Mkoa wa Uige|Uige]] * <small>18</small> [[Mkoa wa Zaire|Zaire]] |} == Historia == {{main|Historia ya Angola}} Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] kutoka [[kaskazini]] walifika [[wahamiaji]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Dola la Kongo lilikuwa [[ufalme]] ulioenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na cheo cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "Mwokozi Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] ya sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kandoni kwa [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kandoni kwa [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada toka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nicaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. ==Watu== [[File:Angola Ethnic map 1970.svg|thumb|right|Makabila ya Angola mwaka 1970.]] [[File:Angolan woman with children outside health clinic (5686703351).jpg|thumb|[[Mwanamke]] wa Angola pamoja na [[watoto]] nje ya [[kliniki]].]] [[Sensa]] ya mwaka [[2014]] ilihesabu watu 24,383,301 na kufikia mwaka [[2016]] walikuwa 25,789,024. Wakazi wengi ni Waafrika, hasa wa ma[[kabila]] ya [[Waovimbundu]] (37[[%]]), [[Waambundu]] (23%) na [[Wakongo]] (13%). Ma[[chotara]] ni 2%, [[Wachina]] 1,6% na [[Wazungu]] 1%. Ingawa [[lugha za Kibantu]] zinaongoza, na 6 kati yake zina hadhi ya [[lugha ya taifa]], [[lugha rasmi]] ni [[Kireno]]. Upande wa [[dini]], inakadiriwa kuwa zaidi ya [[nusu]] ni [[Wakatoliki]] na [[robo]] ni [[Waprotestanti]] wa [[madhehebu]] mia tofauti. ==Tazama pia== * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] * [[Orodha ya lugha za Angola]] * [[Wanawake wa Angola]] == Tanbihi == {{reflist}} == Viungo vya nje == {{Commons}} === Serikali === * [http://www.angola.org/ Republic of Angola] {{Wayback|url=http://www.angola.org/ |date=20210310142705 }}lango rasmi la serikali * [http://www.parlamento.ao/ National Assembly of Angola] {{Wayback|url=http://www.parlamento.ao/ |date=20180214160018 }} makala rasmi(kwa kireno) * [http://www.angola.org/] {{Wayback|url=http://www.angola.org/ |date=20210310142705 }}Ubalozi wa angola Washington DC === Habari === * [http://allafrica.com/angola/ allAfrica - Angola] - viungo via habari * [http://www.angolapress-angop.ao/ Angola Press] {{Wayback|url=http://www.angolapress-angop.ao/ |date=20080807051506 }} -idara ya Taarifa na habari ya Angola (kwa kireno, kifaransa na kingereza) * [http://www.angonoticias.com/ Angonoticias] {{Wayback|url=http://www.angonoticias.com/ |date=20060426190310 }} (kwa kireno) -lango la habari lenye sifa Angola * [http://mangole.hypermart.net Mangole] (kwa kireno) - ya habari nchini Angola na pia maelekezo ya makala kwa kompyuta. * [http://www.jornaldeangola.com/ Jornal de Angola] (kwa kireno) - Gazeti lenye sifa Angola === Maoni === * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1063073.stm BBC - Country profile: ''Angola''] * [http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/ao.html CIA World Factbook - ''Angola''] {{Wayback|url=http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/ao.html |date=20050120125050 }} * [http://www.state.gov/p/af/ci/ao/ US State Department - ''Angola''] includes Background Notes, Country Study and major reports === Radio na Muziki === * [http://www.Kizomba.ORG/ Site Official de Kizomba] * [http://www.CanalAngola.NET/ Radio Canal Angola ONLINE] {{Wayback|url=http://www.canalangola.net/ |date=20061112191030 }} === Maelekezo === * [http://www.columbia.edu/cu/lweb/indiv/africa/cuvl/Angola.html Columbia University Libraries - ''Angola''] directory category of the WWW-VL * [http://dmoz.org/Regional/Africa/Angola/ Open Directory Project - ''Angola''] {{Wayback|url=http://dmoz.org/Regional/Africa/Angola/ |date=20060613210453 }} Angola kwenye Open Directory Project * [http://www-sul.stanford.edu/depts/ssrg/africa/angola.html Stanford University - Africa South of the Sahara: ''Angola''] Tovuti mbalimbali kuhusu Angola === Utalii === * {{wikivoyage}} {{en}} === Mambo mengine === * [http://www.flashpoints.info/countries-conflicts/Angola-web/angola_briefing.html Angola Conflict Briefing] {{Wayback|url=http://www.flashpoints.info/countries-conflicts/Angola-web/angola_briefing.html |date=20060514200232 }} {{Afrika}} {{CPLP}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Nchi zinazotumia Kireno]] fni4hyjrzod3bi8u6iixyo7ey1b700l Fiji 0 9828 1235037 1197338 2022-07-25T01:54:13Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki {{Infobox Country |native_name = ''Matanitu Tu-Vaka-i-koya ko Viti''<br /> फ़िजी गणराज्य <br /> فِجی رپبلک |conventional_long_name = Jamhuri ya Visiwa vya Fiji |common_name = Fiji |image_flag = Flag of Fiji.svg |image_coat = Coat of arms of Fiji.png |image_map = LocationFiji.png |national_motto = ''"Rerevaka na Kalou ka Doka na Tui"''<small><br />"Umwogope Mungu na umheshimu malkia"</small> |national_anthem = ''[[God Bless Fiji]]'' |official_languages = Kiingereza, [[Kifiji]] na [[Kihindustani]] (Hindi/Urdu) |capital = [[Suva]] |latd=18 |latm=10 |latNS=S |longd=178 |longm=27 |longEW=E |largest_city = Suva |government_type = [[Jamhuri]] chini ya kamati ya kijeshi |leader_titles = [[Rais]]<br /> [[Waziri Mkuu]] <br /> Mwenyekiti wa Halmashauri ya Machifu<br /> |leader_names = [[Ratu]] [[Epeli Nailatikau]]<br /> [[Frank Bainimarama]]<br /> [[Ovini Bokini|Ratu Ovini Bokini]]<br /> |area_rank = ya 155 |area_magnitude = 1 E10 |area = 18,274 |areami² = 7,056 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]--> |percent_water = -- |population_estimate = 905,949 |population_estimate_rank = ya 156 |population_estimate_year = Julai 2006 |population_census = |population_census_year = |population_density = 46 |population_densitymi² = 119 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]--> |population_density_rank = ya 148 |GDP_PPP = $5.447 billioni |GDP_PPP_rank = ya 149 |GDP_PPP_year = 2005 |GDP_PPP_per_capita = $6,375 |GDP_PPP_per_capita_rank = ya 93 |sovereignty_type = Uhuru |sovereignty_note = kutoka [[Uingereza]] |established_events = Tarehe |established_dates = [[10 Oktoba]] [[1970]] |HDI = + 0.758 |HDI_rank = ya 90 |HDI_year = 2004 |HDI_category = <font color=#FFCC00>medium</font> |currency = [[Fijian dollar]] |currency_code = FJD |country_code = |time_zone = |utc_offset = +12 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.fj]] |calling_code = 679 |footnote1 = Recognised by the [[Great Council of Chiefs]]. }} [[Picha:Fijian mountain warrior, Kai Colo.jpg|thumbnail|right|260px|Shujaa wa Mlimani kutokea Fiji]] '''Fiji''' ([[Kifiji]]: '''Matanitu ko Viti'''; [[Kihindustani]]: '''फ़िजी, فِجی''') ni [[nchi ya visiwani]] ndogo ya [[Melanesia]] katika [[Pasifiki]] yenye visiwa 322 na wakazi 844,330. Fiji iko mashariki kwa [[Vanuatu]], magharibi kwa [[Tonga]] na kusini kwa [[Tuvalu]]. Kati ya visiwa vingi kuna 106 vyenye wakazi. Visiwa vikuu ni [[Vanua Levu]] na [[Viti Levu]] wanapokaa asilimia 87 za wakazi wote. [[Mji mkuu]] ni [[Suva]]. [[Lugha rasmi]] visiwani ni [[Kifiji]], [[Kiingereza]] na [[Kihindustani]] kinachofanana na [[Kihindi]] na [[Kiurdu]]. Pia kuna [[lugha]] nyingine saba za asili (angalia [[orodha ya lugha za Fiji]]). == Jiografia == [[Picha:Fiji_map.png|thumb|left|200px|Ramani ya Fiji]] Fiji ni [[funguvisiwa]] iliyoko mbali na visiwa vigine vya Pasifiki. Iko takriban 2.100 km kaskazini kwa [[Auckland]] ([[New Zealand]]). Visiwa vyake 330 vina eneo la [[ardhi]] kavu la 18.270 km². Fiji ina ukubwa wa [[kilomita za mraba]] 194,000, ambapo asilimia kumi tu ya eneo lote hilo ni ardhi, lingine likiwa [[maji]] ya bahari ya pasifiki. Fiji inapatikana katika [[latitudo]] 176’ 53” kusini na 178’12” magharibi, lakini pia [[mstari wa kimataifa wa tarehe]] unaipa Fiji masaa sawa katika visiwa vyake vyote. Pia Fiji inajumuisha visiwa vikubwa 322, ambavyo 106 kati ya hivyo vimevamiwa na wakazi ambao si wazaliwa wa eneo hilo, na pia kuna visiwa vingine vidogovidogo zaidi ya mia tano ambavyo pia hujumuishwa katika eneo la Fiji. Lakini kati ya visiwa hivyo ni visiwa viwili ambavyo vimeonekana kuchukua idadi kubwa ya watu ambavyo ni Viti Levu na Vanua levu.ambapo katika visiwa hivi hadi robo tatu ya wakazi wote wa Fiji hupatikana, na ndipo mji mkuun wa Fiji, Suva upo. Maeneo mengine katika Fiji ni [[Nandi]] ambapo kuna [[uwanja wa ndege]] wa kimataifa, na [[Lautoka]] ambako kuna viwanda na [[shughuli]] nyingi za [[uzalishaji]] hufanyika hapo. Visiwa hivi vimesheheni milima, kiasi cha kufikia hadi [[mita]] 1300 kwa [[urefu]], milima ambayo imetandwa na misitu. ==Historia== Fiji ilijipatia [[uhuru]] wake kutoka katika [[utawala]] wa ki[[koloni]] wa [[Uingereza]] tarehe [[10 Oktoba]] [[1970]]. Fiji hutawaliwa na [[Raisi]] akifutiwa na [[waziri mkuu]], na baada ya hapo hufuatia [[Mwenyekitit wa Halmashauri ya Machifu]]. Wakazi katika visiwa vya Fiji huzungumza lugha za Kiingereza na lugha ya Hindustani, lugha ambayo hufanana na [[Kihindi]] na [[Kiurdu]]. [[Historia]] ya Fiji, inaonesha kuwa shughuli za [[ufinyanzi]] zimekuwepo katika visiwa hivyo kwa muda mrefu, hali inayoashiria kuwepo na [[ushahidi]] kuwa Fiji imekuwa ikikaliwa na watu tangu miaka 3500 hadi 1000 [[kabla ya Kristo]]. Japokuwa [[jamii]] ya [[kabila]] la Lapita ndio wanaoaminika kuwa wa kwanza kuishi katika visiwa vya Fiji, lakini hali hii inatiliwa [[shaka]] kutokana na jamii ya kabila la [[Wamelanesia]] kuwepo kwa wingi sana katika visiwa hivyo, hali inayoashiria kuwa pengine kabila hilo pia limekuwepo tangu kale, ==Uchumi== Wakazi wa visiwa vya Fiji, wanaaminika kuwa walitokana na [[Wavivu]] wa [[masafa marefu]] ambao walifika katika visiwa hivyo zaidi ya miaka 3500 iliyopita. Shughuli za ufinyanzi katika jamii ya watu wa kabila la Lapita zimeonekana kutawala maeneo mengi sana katika visiwa vya Fiji. [[Utamaduni]] katika visiwa vya Fiji umekuwa ukifanana sana na ule wa jamii ya Wamelanesia ambao hupatikana magharibi mwa bahari ya Pasifiki, lakini utamaduni huu umekuwa ukifananishwa sana na ule wa jamii za [[Samoa]] na [[Tonga]]. Shughuli za [[biashara]] katika mataifa haya matatu yalianza muda mrefu kabla ya kuja kwa watawala wa [[Ulaya]] ambao kwa kiasi kikubwa wanaaminika kufika katika visiwa hivyo kwa [[usafiri]] wa [[boti ndogo]] ndogo maarufu kama [[kanuu]] ambazo zinaaminika kuwa zilitengenezwa na wakazi wa visiwa hivyo. [[Zana]] mbalimbali za kufinyangwa zimekuwa zikipatikana katika visiwa vya Samoa na hata katika visiwa vya [[Marquesas]] zaidi ya kilometa elfu moja kutoka katika makao makuu ya Fiji. Fiji inajulikana kama visiwa vya lugha nyingi, kwani lugha tofautitofauti zimekuwa zikipatikana katika visiwa hivyo, hali kadhalika historia ya visiwa hivyo inaonesha kuwepo kwa makabila ambayo yamekuwa yakihamahama kutoka kisiwa kimoja kwenda kingine. Kwa muda wa [[karne]] moja hivi iliyopita, katika visiwa vya Fiji kumekuwa kukiibuka tamaduni tofautitofauti, hali iliyooashiria [[ubaguzi wa kikabila]] kuwepo, lakini imekuwa tofauti hii leo, ambapo, wakazi wa Fiji wamekuwa wakiishi kwa [[amani]] na wamekuwa wakikielezea kipindi hicho kama kipindi cha “na gauna ni tevoro” yaani "wakati wa [[shetani]]". [[Mpelelezi]] wa kutoka [[Uholanzi]] aliyejulikana kama [[Abel Tasman]], aliitembelea Fiji katika miaka ya [[1643]], akiwa anatafuta [[bara]] la [[Afrika kusini]] lililojulikana kama “the great Southern continent”. Baada ya uhuru wa Fiji (1970) kutoka kwa Waingereza, yalifuata [[mapinduzi ya kijeshi]] yaliyotokea mwaka [[1987]], hali iliyosababishwa na wakazi wa Fiji kulaumu serikali yao kutawaliwa na watu wa kabila la [[Indofijian]] au Wahindi. Mwaka [[1990]], [[katiba]] mpya katika utawala wa Fiji iliundwa ambayo ilichukua nafasi ya ile ya awali ambayo ilikuwa ikiegamia upande wa makabila kwa kiasi kikubwa. ==Siasa== [[Siasa]] ya Fiji hufanyika kwa mtindo wa kuchagua wawakilishi [[bunge]]ni, ambapo waziri mkuu ndiye mkuu wa serikali husika, na rais ndiye mkuu wa visiwa vyote vya Fiji. Halikadhalika [[uchaguzi]] katika Fiji huhusisha vyama vingi ambapo serikali ya Fiji hutawala maamuzi yote ya nchini humo, lakini chini ya [[demokrasia]] na [[utawala wa sheria]]. Tangu uhuru katika visiwa vya Fiji kumekuwepo na mapinduzi ya kijeshi mara nne: mara mbili mwaka [[1987]], mara moja mwaka [[2000]], na mara moja mwaka [[2006]], lakini kwa ujumla, [[jeshi]] nchini humo limekuwa likishikilia madaraka ya moja kwa moja au kupitia kwa serikali iliyopo madarakani tangu mwaka 1987. Tarehe [[10 Aprili]] [[2009]], Rais Iloilo, aliifuta katiba ya nchi hiyo na kufutilia mbali mamlaka ya [[mahakama]] akajitangaza kuwa rais wa visiwa hivyo, lakini baadaye alianzisha tena utawala wa kikatiba hali iliyopelekea mwenyewe kutolewa madarakani kwa kubainika alikuwa madarakani kinyume cha katiba. Tarehe [[13 Julai]] 2009, Fiji ilitolewa katika mkutano wa visiwa vinavopatikana katika bahari ya Pasifiki kutokana na kushindwa kwake kuendesha uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia. Hatimaye tarehe [[17 Septemba]] [[2014]] uchaguzi huru ulifanyika na kukipa ushindi chama cha FijiFirst (59.2%). ==Wakazi== Idadi kubwa ya wakazi wa Fiji inajumuisha wazaliwa halisi wa Fiji ambapo watu wa kabila la Melanesia huchukua asilimia 54.3 ya wakazi wote wa Fiji, wakati wale wanaojulikana kama Indo-Fijiana huweza kufikia asilimia 38.1, na wengine ni wahamiaji kutoka katika ma[[taifa]] ya Ulaya waliohamia nchini humo kwa wingi hususani katika [[karne ya 19]]. Lakini kwa ujumla kiasi cha watu wa Kihindi kimekuwa kikipungua siku hadi hadi siku kutokana na wengi kuhama katika visiwa hivyo kwa sababu tofautitofauti, lakini vilevile kumekuwa na kiasi kidogo cha watu kutoka katika [[visiwa vya Solomoni]] ambao wengi wao walikuja visiwani hapo kama [[wafanyakazi]]. ==Imani za dini== [[Dini]] ni moja ya mambo ambayo hutofautisha jamii mbalimbali katika visiwa vya Fiji, hususani baina ya makabila ya Wafiji wenyewe na Wahindi waishio Fiji, ambapo asilimia kubwa ya wenyeji ni [[Wakristo]], wakati watu kutoka [[India]] ni [[Wahindu]] (70%) na halikadhalika [[Waislamu]] (17.9%). Kwa ujumla dini katika visiwa vya Fiji imetawaliwa na Wakristo ambao ndio wamechukua asilimia kubwa ya idadi ya watu (64,5%), japokuwa Wakristo hawa wanajumuisha [[madhehebu]] tofautitofauti kama vile [[Wamethodisti]], [[Wakatoliki]], [[Wapentekoste]], [[Wasabato]] na [[Waanglikana]]. Wakazi wa visiwa vya Fiji hujishughulisha na shughuli mbalimbali kama vile [[uchimbaji wa madini]], [[uvuvi]], [[uvunaji]] wa [[mafuta]], na biashara. ==Utamaduni== Utamaduni katika visiwa hivi hujumuisha tamaduni kutoka makabila tofautitofauti yakiwemo ya Wafiji wenyewe, Wahindi, [[Wachina]] na [[Wazungu]] ambao kwa ujumla huwa na tamaduni tofatitofauti. [[Chakula]] wanachokula wakazi wa visiwa hivi hujumuisha chakula kitokanacho na mazao ya [[bahari]] maarufu kama sea foods, vile vile kuna shughuli tofautitofauti za kitamaduni kama [[sanaa]], [[uchongaji]], [[muziki]] na [[michezo]] mbalimbali. Kwa hakika utamaduni wa asili unapewa [[kipaumbele]] kama sehemu ya maisha ya kila siku kati wa wakazi wengi, lakini hivi karibuni kumekuwako na mwingiliano wa tamaduni kutoka nchi mbalimbali. Kwa upande wa [[sikukuu]] Fiji husherehekea sikukuu mbalimbali kama vile [[Mwaka mpya]], [[Maulid]], [[Ijumaa kuu]], [[Pasaka]], [[Siku ya Fiji]], [[Krismasi]] n.k. Katika visiwa hivi [[mchezo]] mkuu ni [[Rugby]] ambapo wachezaji kutoka Fiji wameshiriki mashindano mbalimbali kimataifa. Kwa ujumla visiwa vya Fiji vimekuwa vivutio kwa watu kutoka maeneo mbalimbali duniani kwenda kwa ajili ya mengi, lakini zaidi ma[[pumziko]], hii ni kutokana na hali tulivu iliyopo visiwani hapo, maji maangavu na pia [[ukarimu]] wa wakazi wa Fiji. ==Tazama pia== * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] ==Viungo vya nje== ; Serikali * [http://www.fiji.gov.fj/ Official Website of the Government of Fiji] * [https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-f/fiji.html Chief of State and Cabinet Members] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-f/fiji.html |date=20100324192626 }} * [http://www.statsfiji.gov.fj/ Fiji Bureau of Statistics] ; Taarifa za jumla * {{CIA_World_Factbook_link|fj|Fiji}} * [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/fiji.htm Fiji] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/fiji.htm |date=20080607084833 }} at ''UCB Libraries GovPubs'' * {{dmoz|Regional/Oceania/Fiji}} * [http://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-14919067 Fiji profile] from the [[BBC News]] * {{wikiatlas|Fiji}} * [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=FJ Key Development Forecasts for Fiji] from [[International Futures]] ; Safari * [http://www.bulafiji.com/ Bulafiji.com] {{Wayback|url=http://www.bulafiji.com/ |date=20070407002537 }} Official Fiji Visitors Bureau website * [http://www.fijitimes.com The Fiji Times] News, Sport and Weather from Fiji's leading newspaper * [http://www.seacology.org/projects/polynesia_projects.htm#fiji Fiji Projects] {{Wayback|url=http://www.seacology.org/projects/polynesia_projects.htm#fiji |date=20071012185749 }} at [[Seacology]] {{Pasifiki}} {{mbegu-jio}} [[Jamii:Nchi za visiwa]] [[Jamii:Nchi za Australia na Pasifiki]] [[Jamii:Visiwa vya Pasifiki]] [[Jamii:Fiji]] [[Jamii:Jumuiya ya Madola]] 6l9wucwbv6gye9et4j8q6ajpkndmq5e NATO 0 16409 1235038 1224998 2022-07-25T02:27:28Z Kwamikagami 2602 wikitext text/x-wiki [[file:Flag of NATO.svg|thumb|]] [[File:Location NATO 2017 blue.svg|300px|thumb|right|Nchi wanachama wa NATO mwaka 2020 kwa [[rangi]] ya [[buluu]].]] [[File:Map of NATO chronological.gif|300px|right|thumb|Uenezi wa NATO hadi mwaka 2020.]] '''Shirika la Mkataba wa Atlantiki ya Kaskazini''' (kwa [[Kiingereza]]: '''North Atlantic Treaty Organization, NATO;''' kwa [[Kifaransa]]: '''Organization du Traité de l'Atlantique Nord, NATO''') ni ushirikiano wa kujihami ya kambi ya [[magharibi]]. Inaunganisha nchi 28 za [[Ulaya]] pamoja na [[Marekani]] na [[Kanada]]. Nchi wanachama zimeahidi kuteteana kama moja inashambuliwa na nchi ya nje. [[Makao makuu]] yapo [[Brussels]]. ==Historia== NATO ilianzishwa [[mwaka]] [[1949]] wakati wa [[vita baridi]] kama maungano ya nchi za Ulaya ya magharibi pamoja na Marekani dhidi ya [[Umoja wa Kisovyeti]] na nchi shiriki zake katika [[Mapatano ya Warshawa]]. Nchi wanachama wa kwanza walikuwa [[Marekani]], [[Ubelgiji]], [[Uholanzi]], [[Luxemburg]], [[Ufaransa]], [[Uingereza]], [[Kanada]], [[Ureno]], [[Italia]], [[Norwei]], [[Denmark]] na [[Iceland]]. 1952 [[Ugiriki]] na [[Uturuki]] zilijiunga pia zikafuatwa na [[Ujerumani ya Magharibi]]. Baada ya mwisho wa vita baridi nchi zilizokuwa chini ya Umoja wa Kisoveti kama sehemu ya kambi ya kikomunisti zilijiunga na NATO kuanzia mwaka [[1999]]. Ndizo [[Hungaria]], [[Ucheki]], [[Poland]] (1999), halafu [[Estonia]], [[Latvia]], [[Lithuania]], [[Slovenia]], [[Slovakia]], [[Bulgaria]], [[Romania]] ([[2004]]), [[Kroatia]], [[Albania]] ([[2009]]), [[Montenegro]] ([[2017]]), [[Masedonia Kaskazini]] ([[2020]]). == Viungo vya Nje == {{commons|North Atlantic Treaty Organisation|NATO}} * [http://www.nato.int/ NATO Official Website] * [http://www.direct.gov.uk/Gtgl1/GuideToGovernment/InternationalBodies/InternationalBodiesArticles/fs/en?CONTENT_ID=4003090&chk=6WCZhB History of NATO – the Atlantic Alliance] - UK Government site * [http://www.nato.int/docu/basics.htm Basic NATO Documents] * [http://www.globalresearch.ca/index.php?context=viewArticle&code=NAZ20070517&articleId=5677 The Globalization of Military Power: NATO Expansion] ''(CRG)'' * [http://www.guardian.co.uk/international/story/0,,1211214,00.html 'NATO force 'feeds Kosovo sex trade'] ''(The Guardian)'' * [http://www.namsa.nato.int/ NATO Maintenance and Supply Agency (NAMSA) Official Website] * [http://www.nc3a.nato.int/ NATO Consultation, Command and Control Agency (NC3A) Official Website] {{Wayback|url=http://www.nc3a.nato.int/ |date=20090114065809 }} * [http://www.jwc.nato.int/ Joint Warfare Centre] * [http://www.army-technology.com/contractors/missiles/nato.html NATO Response Force Article] {{Wayback|url=http://www.army-technology.com/contractors/missiles/nato.html |date=20030620195203 }} * [http://news.bbc.co.uk/2/hi/europe/4232381.stm NATO searches for defining role] * [https://web.archive.org/web/20040320104129/http://www.nato.int/issues/nrf/index.html Official Article on NATO Response Force] * [http://digital.library.unt.edu/govdocs/crs/search.tkl?q=nato&search_crit=subject&search=Search&date1=Anytime&date2=Anytime&type=form Congressional Research Service (CRS) Reports regarding NATO] {{Wayback|url=http://digital.library.unt.edu/govdocs/crs/search.tkl?q=nato&search_crit=subject&search=Search&date1=Anytime&date2=Anytime&type=form |date=20080512100737 }} * [https://www.webcitation.org/query?id=1256546280169299&url=www.geocities.com/b_antinato/ Balkan Anti NATO Center, Greece] * [http://www.ndc.nato.int/ NATO Defense College] * [http://www.acus.org Atlantic Council of the United States] {{Wayback|url=http://www.acus.org/ |date=20031222013234 }} * [http://archives.cbc.ca/IDD-1-71-1538/conflict_war/nato/ CBC Digital Archives - One for all: The North Atlantic Treaty Organisation] * [http://www.usip.org/pubs/specialreports/sr990322.html NATO at Fifty: New Challenges, Future Uncertainties] {{Wayback|url=http://www.usip.org/pubs/specialreports/sr990322.html |date=20080514032025 }} U.S. Institute of Peace Report, Machi 1999 * [http://www.cnn.com/SPECIALS/1999/nato/ NATO at 50] {{Wayback|url=http://www.cnn.com/SPECIALS/1999/nato/ |date=20080502152503 }} * [http://www.afsouth.nato.int/operations/denyflight/DenyFlightFactSheet.htm Operation Deny Flight fact sheet] {{Wayback|url=http://www.afsouth.nato.int/operations/denyflight/DenyFlightFactSheet.htm |date=20060821091136 }} * [http://dept.kent.edu/cicp/natoconference/ National Model NATO] {{Wayback|url=http://dept.kent.edu/cicp/natoconference/ |date=20080626121235 }} * [http://www.fpif.org/fpiftxt/4303 The Impact of NATO forces in Afghanistan] {{Wayback|url=http://www.fpif.org/fpiftxt/4303 |date=20080514012128 }} An analysis of the effects of the U.S. led occupation on the political and social climate of Afghanistan. * [http://paginas.pavconhecimento.pt/pessoais/dw/Mario%5FZanatti ESDI evolution in NATO: The presentation of the Eurocorps-Foreign Legion concept and its Single European Regiment at the European Parliament in June 2003] {{Wayback|url=http://paginas.pavconhecimento.pt/pessoais/dw/Mario%5FZanatti |date=20060927143725 }} [[Jamii:Mashirika ya kimataifa]] [[Jamii:Brussels]] [[Jamii:Kifupi]] idttjdbgpx3sb1djyay3ucu3tvvyvbd Biirabo 0 21603 1235022 1197268 2022-07-24T20:41:27Z 41.222.181.41 Kanywangonge by Joseni abeli wikitext text/x-wiki '''Biirabo''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Muleba]] katika [[Mkoa wa Kagera]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''35521''' <ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2018-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180805072810/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |archivedate=2018-08-05 }}</ref>. Wakati wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,900 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Muleba-District-Council]</ref> Ni kata ambayo inajishughulisha na [[kilimo]] hasa cha [[kahawa]] kama [[zao]] kuu. Kuna [[vijiji]] kama Kanywangonge, Katobago, Bugarama, Kihumulo, Biirabo na Kabare. Pia kuna [[Shule ya msingi|shule za msingi]] saba kama Kanywangonge, Katobago, Bugarama, Kihumulo, Biirabo pamoja na Kabare A na B. [[Shule]] za [[sekondari]] ni pamoja na Kihumulo na Biirabo. [[kituo cha afya|Vituo vya afya]] ni Kabare A na B pamoja na Kanywangonge. KANYWANGONGE, hiki ni kijiji kinachopatikana wilaya ya Muleba kata ya biirabo ambacho kina vitongoji vitano ambavyo ni Kanywangonge, nyamiramba, kibera, kamushenge na rwakaziba, shuguli kubwa ndani ha hiki kijiji ni kilimo cha mazao ya mboga mboga, edted by, (Joseni abeli) ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Muleba}} {{mbegu-jio-kagera}} [[Jamii:Mkoa wa Kagera]] [[Jamii:Wilaya ya Muleba]] aetqhrdczxhxu55if69bioc421qmknx Orodha ya miji ya Urusi 0 28895 1235033 979444 2022-07-24T23:07:43Z CommonsDelinker 234 Replacing A01_7185.JPG with [[File:Cathedral_of_the_Dormition_and_belltower,_Ryazan_Kremlin,_Russia.jpg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: [[:c:COM:FR#FR2|Criterion 2]] (meaningless or ambiguous name)). wikitext text/x-wiki [[Picha:Rs-map.png|thumb|right|220px|Ramani ya Urusi]] Hii ni '''orodha ya miji ya [[Urusi]]''' yenye angalau idadi ya wakazi 50,000. [[Picha:Lubyanka CDM view from Panoramic view point 05-2015 img06.jpg|thumb|right|220px|[[Moscow]] ]] [[Picha:Spb Views from Isaac Cathedral May2012 05.jpg|thumb|right|220px|[[Sankt Peterburg]] ]] [[Picha:Novosibirsk view.jpg|thumb|right|220px|[[Novosibirsk]] ]] [[Picha:Center of Ekaterinburg.jpg|thumb|right|220px|[[Yekaterinburg]] ]] [[Picha:Nizhny Novgorod View 2.jpg|thumb|right|220px|[[Nizhniy Novgorod]] ]] [[Picha:Theater samara.jpg|thumb|right|220px|[[Samara]] ]] [[Picha:Omsk Military School.jpg|thumb|right|220px|[[Omsk]] ]] [[Picha:Kazan State University from the 2 Korpus.jpg|thumb|right|220px|[[Kazan]] ]] [[Picha:Opera-House-Chelyabinsk.JPG|thumb|right|220px|[[Chelyabinsk]] ]] [[Picha:Rostov meria.JPG|thumb|right|220px|[[Rostov-on-Don]] ]] [[Picha:Ufa prokudin.jpg|thumb|right|220px|[[Ufa]] ]] [[Picha:Perm Opera and Ballet Theatre, 2007.jpg|thumb|right|220px|[[Perm]] ]] [[Picha:Ru200007270004.jpg|thumb|right|220px|[[Krasnojarsk]] ]] [[Picha:Саратов Утоли моя печали.jpg|thumb|right|220px|[[Saratov]] ]] [[Picha:Главное здание управления ЮВЖД.jpg|thumb|right|220px|[[Voronezh]] ]] [[Picha:Komsomolsky district, Tolyatti, Russia.JPG|thumb|right|220px|[[Tolyatti]] ]] [[Picha:YJlb9HoBCK 1.JPG|thumb|right|220px|[[Ulyanovsk]] ]] [[Picha:Church-Izhevsk.jpg|thumb|right|220px|[[Izhevsk]] ]] [[Picha:Tolga monastery 776.jpg|thumb|right|220px|[[Yaroslavl]] ]] [[Picha:Barnaul Skyline 2007.jpg|thumb|right|220px|[[Barnaul]] ]] [[Picha:Vladivostok harbor.jpg|thumb|right|220px|[[Vladivostock]] ]] [[Picha:Irkutsk-Passagirsky.jpg|thumb|right|220px|[[Irkutsk]] ]] [[Picha:Khabarovsk Cathedral 1.jpg|thumb|right|220px|[[Habarovsk]] ]] [[Picha:Novokuzn17.jpg|thumb|right|220px|[[Novokuznetsk]] ]] [[Picha:Bridge in Orenburg.jpg|thumb|right|220px|[[Orenburg]] ]] [[Picha:Cathedral of the Dormition and belltower, Ryazan Kremlin, Russia.jpg|thumb|right|220px|[[Ryazan]] ]] [[Picha:800px-Здание Правительства Пензенской Области.jpg|thumb|right|220px|[[Penza]] ]] [[Picha:Tyumen-elmarreich03.jpg|thumb|right|220px|[[Tyumen]] ]] [[Picha:Tomsk Lenin square 7.jpg|thumb|right|220px|[[Tomsk]] ]] [[Picha:Kemerovo Soviet ave.jpg|thumb|right|220px|[[Kemerovo]] ]] [[Picha:Uspensky-convent-cathedral-tula.jpg|thumb|right|220px|[[Tula, Russia|Tula]] ]] [[Picha:Dagestan market.jpg|thumb|right|220px|[[Makhachkala]] ]] [[Picha:Cheboksary Artificial Bay in downtown.jpg|thumb|right|220px|[[Cheboksary]] ]] {| class="wikitable sortable" !#!!Mji!![[Kirusi]]!!Mkoa!!Wakazi [[:en:Russian Census (2002)|(sensa ya 2002)]] |- |align="right"|1||[[Moscow]]||Москва||[[Moscow]]||align="right"|10,382,754 |- |align="right"|2||[[Sankt Peterburg]]||Санкт-Петербург||[[Sankt Peterburg]]||align="right"|4,661,219 |- |align="right"|3||[[Novosibirsk]]||Новосибирск||[[Novosibirsk Oblast]]||align="right"|1,425,508 |- |align="right"|4||[[Nizhniy Novgorod]]||Нижний Новгород||[[Nizhniy Novgorod Oblast]]||align="right"|1,311,252 |- |align="right"|5||[[Yekaterinburg]]||Екатеринбург||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|1,293,537 |- |align="right"|6||[[Samara]]||Самара||[[Samara Oblast]]||align="right"|1,157,880 |- |align="right"|7||[[Omsk]]||Омск||[[Omsk Oblast]]||align="right"|1,134,016 |- |align="right"|8||[[Kazan]]||Казань||[[Tatarstan]]||align="right"|1,105,289 |- |align="right"|9||[[Chelyabinsk]]||Челябинск||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|1,077,174 |- |align="right"|10||[[Rostov juu ya Don]] (Rostov-na-Donu)||Ростов-на-Дону||[[Rostov Oblast]]||align="right"|1,068,267 |- |align="right"|11||[[Ufa]]||Уфа||[[Bashkortostan]]||align="right"|1,042,437 |- |align="right"|12||[[Volgograd]]||Волгоград||[[Volgograd Oblast]]||align="right"|1,011,417 |- |align="right"|13||[[Perm]]||Пермь||[[Perm Krai]]||align="right"|1,001,653 |- |align="right"|14||[[Krasnoyarsk]]||Красноярск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|909,341 |- |align="right"|15||[[Saratov]]||Саратов||[[Saratov Oblast]]||align="right"|873,055 |- |align="right"|16||[[Voronezh]]||Воронеж||[[Voronezh Oblast]]||align="right"|848,752 |- |align="right"|17||[[Tolyatti]]||Тольятти||[[Samara Oblast]]||align="right"|702,879 |- |align="right"|18||[[Krasnodar]]||Краснодар||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|646,175 |- |align="right"|19||[[Ulyanovsk]]||Ульяновск||[[Ulyanovsk Oblast]]||align="right"|635,947 |- |align="right"|20||[[Izhevsk]]||Ижевск||[[Udmurtia]]||align="right"|632,140 |- |align="right"|21||[[Yaroslavl]]||Ярославль||[[Yaroslavl Oblast]]||align="right"|613,088 |- |align="right"|22||[[Barnaul]]||Барнаул||[[Altai Krai]]||align="right"|600,749 |- |align="right"|23||[[Vladivostok]]||Владивосток||[[Primorsky Krai]]||align="right"|594,701 |- |align="right"|24||[[Irkutsk]]||Иркутск||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|593,604 |- |align="right"|25||[[Habarovsk]]||Хабаровск||[[Habarovsk Krai]]||align="right"|583,072 |- |align="right"|26||[[Novokuznetsk]]||Новокузнецк||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|549,870 |- |align="right"|27||[[Orenburg]]||Оренбург||[[Orenburg Oblast]]||align="right"|549,361 |- |align="right"|28||[[Ryazan]]||Рязань||[[Ryazan Oblast]]||align="right"|521,560 |- |align="right"|29||[[Penza]]||Пенза||[[Penza Oblast]]||align="right"|518,025 |- |align="right"|30||[[Tyumen]]||Тюмень||[[Tyumen Oblast]]||align="right"|510,719 |- |align="right"|31||[[Naberezhnye Chelny]]||Набережные Челны||[[Tatarstan]]||align="right"|509,870 |- |align="right"|32||[[Lipetsk]]||Липецк||[[Lipetsk Oblast]]||align="right"|506,114 |- |align="right"|33||[[Astrahan]]||Астрахань||[[Astrahan Oblast]]||align="right"|504,501 |- |align="right"|34||[[Tomsk]]||Томск||[[Tomsk Oblast]]||align="right"|487,838 |- |align="right"|35||[[Kemerovo]]||Кемерово||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|484,754 |- |align="right"|36||[[Tula, Russia|Tula]]||Тула||[[Tula Oblast]]||align="right"|481,216 |- |align="right"|37||[[Mahachkala]]||Махачкала||[[Dagestan]]||align="right"|462,412 |- |align="right"|38||[[Kirov, Kirov Oblast|Kirov]]||Киров||[[Kirov Oblast]]||align="right"|457,578 |- |align="right"|39||[[Cheboksary]]||Чебоксары||[[Chuvashia]]||align="right"|440,621 |- |align="right"|40||[[Ivanovo]]||Иваново||[[Ivanovo Oblast]]||align="right"|431,721 |- |align="right"|41||[[Bryansk]]||Брянск||[[Bryansk Oblast]]||align="right"|431,526 |- |align="right"|42||[[Kaliningrad]]||Калининград||[[Kaliningrad Oblast]]||align="right"|430,003 |- |align="right"|43||[[Magnitogorsk]]||Магнитогорск||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|418,545 |- |align="right"|44||[[Kursk]]||Курск||[[Kursk Oblast]]||align="right"|412,442 |- |align="right"|45||[[Tver]]||Тверь||[[Tver Oblast]]||align="right"|408,903 |- |align="right"|46||[[Nizhniy Tagil]]||Нижний Тагил||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|390,498 |- |align="right"|47||[[Ulan-Ude]]||Улан-Удэ||[[Buryatia]]||align="right"|359,391 |- |align="right"|48||[[Arhangelsk]]||Архангельск||[[Arhangelsk Oblast]]||align="right"|356,051 |- |align="right"|49||[[Stavropol]]||Ставрополь||[[Stavropol Krai]]||align="right"|354,867 |- |align="right"|50||[[Kurgan, Kurgan Oblast|Kurgan]]||Курган||[[Kurgan Oblast]]||align="right"|345,515 |- |align="right"|51||[[Belgorod]]||Белгород||[[Belgorod Oblast]]||align="right"|337,030 |- |align="right"|52||[[Murmansk]]||Мурманск||[[Murmansk Oblast]]||align="right"|336,137 |- |align="right"|53||[[Kaluga]]||Калуга||[[Kaluga Oblast]]||align="right"|334,751 |- |align="right"|54||[[Oryol]]||Орёл||[[Oryol Oblast]]||align="right"|333,310 |- |align="right"|55||[[Sochi]]||Сочи||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|328,809 |- |align="right"|56||[[Smolensk]]||Смоленск||[[Smolensk Oblast]]||align="right"|325,137 |- |align="right"|57||[[Chita, Zabaykalskiy Krai|Chita]]||Чита||[[Zabaykalskiy Krai]]||align="right"|316,643 |- |align="right"|58||[[Vladimir]]||Владимир||[[Vladimir Oblast]]||align="right"|315,954 |- |align="right"|59||[[Vladikavkaz]]||Владикавказ||[[Kaskazi Ossetia-Alania]]||align="right"|315,608 |- |align="right"|60||[[Volzhskiy]]||Волжский||[[Volgograd Oblast]]||align="right"|313,169 |- |align="right"|61||[[Cherepovets]]||Череповец||[[Vologda Oblast]]||align="right"|311,869 |- |align="right"|62||[[Saransk]]||Саранск||[[Mordovia]]||align="right"|304,866 |- |align="right"|63||[[Tambov]]||Тамбов||[[Tambov Oblast]]||align="right"|293,658 |- |align="right"|64||[[Vologda]]||Вологда||[[Vologda Oblast]]||align="right"|293,046 |- |align="right"|65||[[Surgut]]||Сургут||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|285,027 |- |align="right"|66||[[Taganrog]]||Таганрог||[[Rostov Oblast]]||align="right"|281,947 |- |align="right"|67||[[Komsomolsk-na-Amure]]||Комсомольск-на-Амуре||[[Habarovsk Krai]]||align="right"|281,035 |- |align="right"|68||[[Kostroma]]||Кострома||[[Kostroma Oblast]]||align="right"|278,750 |- |align="right"|69||[[Nalchik]]||Нальчик||[[Kabardino-Balkaria]]||align="right"|274,974 |- |align="right"|70||[[Petrozavodsk]]||Петрозаводск||[[Karelia]]||align="right"|266,160 |- |align="right"|71||[[Sterlitamak]]||Стерлитамак||[[Bashkortostan]]||align="right"|264,362 |- |align="right"|72||[[Dzerzhinsk, Russia|Dzerzhinsk]]||Дзержинск||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|261,334 |- |align="right"|73||[[Bratsk]]||Братск||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|259,335 |- |align="right"|74||[[Yoshkar-Ola]]||Йошкар-Ола||[[Mari El]]||align="right"|256,719 |- |align="right"|75||[[Orsk]]||Орск||[[Orenburg Oblast]]||align="right"|250,963 |- |align="right"|76||[[Angarsk]]||Ангарск||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|247,118 |- |align="right"|77||[[Nizhnevartovsk]]||Нижневартовск||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|239,044 |- |align="right"|78||[[Novorossiysk]]||Новороссийск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|232,079 |- |align="right"|79||[[Syktyvkar]]||Сыктывкар||[[Komi Jamhuri]]||align="right"|230,011 |- |align="right"|80||[[Nizhnekamsk]]||Нижнекамск||[[Tatarstan]]||align="right"|225,399 |- |align="right"|81||[[Prokopyevsk]]||Прокопьевск||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|224,597 |- |align="right"|82||[[Rybinsk]]||Рыбинск||[[Yaroslavl Oblast]]||align="right"|222,653 |- |align="right"|83||[[Shakhty]]||Шахты||[[Rostov Oblast]]||align="right"|222,592 |- |align="right"|84||[[Blagoveshchensk]]||Благовещенск||[[Amur Oblast]]||align="right"|219,221 |- |align="right"|85||[[Biysk]]||Бийск||[[Altai Krai]]||align="right"|218,562 |- |align="right"|86||[[Velikiy Novgorod]]||Великий Новгород||[[Novgorod Oblast]]||align="right"|216,856 |- |align="right"|87||[[Stary Oskol]]||Старый Оскол||[[Belgorod Oblast]]||align="right"|215,898 |- |align="right"|88||[[Grozniy]]||Грозный||[[Chechnya]]||align="right"|210,720 |- |align="right"|89||[[Yakutsk]]||Якутск||[[Yakutia]]||align="right"|210,642 |- |align="right"|90||[[Pskov]]||Псков||[[Pskov Oblast]]||align="right"|202,780 |- |align="right"|91||[[Severodvinsk]]||Северодвинск||[[Arhangelsk Oblast]]||align="right"|201,551 |- |align="right"|92||[[Balakovo]]||Балаково||[[Saratov Oblast]]||align="right"|200,470 |- |align="right"|93||[[Petropavlovsk-Kamchatskiy]]||Петропавловск-Камчатский||[[Kamchatka Krai]]||align="right"|198,028 |- |align="right"|94||[[Zlatoust]]||Златоуст||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|194,551 |- |align="right"|95||[[Engels (city)|Engels]]||Энгельс||[[Saratov Oblast]]||align="right"|193,984 |- |align="right"|96||[[Armavir, Russia|Armavir]]||Армавир||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|193,964 |- |align="right"|97||[[Syzran]]||Сызрань||[[Samara Oblast]]||align="right"|188,107 |- |align="right"|98||[[Kamensk-Uralsky]]||Каменск-Уральский||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|186,153 |- |align="right"|99||[[Podolsk]]||Подольск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|180,963 |- |align="right"|100||[[Yuzhno-Sahalinsk]]||Южно-Сахалинск||[[Sahalin Oblast]]||align="right"|175,085 |- |align="right"|101||[[Berezniki]]||Березники||[[Perm Krai]]||align="right"|173,077 |- |align="right"|102||[[Novocherkassk]]||Новочеркасск||[[Rostov Oblast]]||align="right"|170,822 |- |align="right"|103||[[Volgodonsk]]||Волгодонск||[[Rostov Oblast]]||align="right"|165,994 |- |align="right"|104||[[Abakan]]||Абакан||[[Hakasia]]||align="right"|165,197 |- |align="right"|105||[[Rubtsovsk]]||Рубцовск||[[Altai Krai]]||align="right"|163,063 |- |align="right"|106||[[Mytishchi]]||Мытищи||[[Moscow Oblast]]||align="right"|159,900 |- |align="right"|107||[[Salavat, Russia|Salavat]]||Салават||[[Bashkortostan]]||align="right"|158,600 |- |align="right"|108||[[Miass]]||Миасс||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|158,420 |- |align="right"|109||[[Ussuriysk]]||Уссурийск||[[Primorsky Krai]]||align="right"|157,759 |- |align="right"|110||[[Maykop]]||Майкоп||[[Adygea]]||align="right"|156,931 |- |align="right"|111||[[Lyubertsy]]||Люберцы||[[Moscow Oblast]]||align="right"|156,691 |- |align="right"|112||[[Kovrov]]||Ковров||[[Vladimir Oblast]]||align="right"|155,499 |- |align="right"|113||[[Kolomna]]||Коломна||[[Moscow Oblast]]||align="right"|150,129 |- |align="right"|114||[[Nahodka]]||Находка||[[Primorsky Krai]]||align="right"|148,826 |- |align="right"|115||[[Balashikha]]||Балашиха||[[Moscow Oblast]]||align="right"|147,909 |- |align="right"|116||[[Elektrostal]]||Электросталь||[[Moscow Oblast]]||align="right"|146,294 |- |align="right"|117||[[Korolyov (city)|Korolyov]]||Королёв||[[Moscow Oblast]]||align="right"|142,568 |- |align="right"|118||[[Himki]]||Химки||[[Moscow Oblast]]||align="right"|141,000 |- |align="right"|119||[[Pyatigorsk]]||Пятигорск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|140,559 |- |align="right"|120||[[Almetyevsk]]||Альметьевск||[[Tatarstan]]||align="right"|140,437 |- |align="right"|121||[[Odintsovo]]||Одинцово||[[Moscow Oblast]]||align="right"|134,844 |- |align="right"|122||[[Norilsk]]||Норильск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|134,832 |- |align="right"|123||[[Novomoskovsk, Russia|Novomoskovsk]]||Новомосковск||[[Tula Oblast]]||align="right"|134,081 |- |align="right"|124||[[Pervouralsk]]||Первоуральск||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|132,277 |- |align="right"|125||[[Nevinnomyssk]]||Невинномысск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|132,141 |- |align="right"|126||[[Serpukhov]]||Серпухов||[[Moscow Oblast]]||align="right"|131,097 |- |align="right"|127||[[Dimitrovgrad, Russia|Dimitrovgrad]]||Димитровград||[[Ulyanovsk Oblast]]||align="right"|130,871 |- |align="right"|128||[[Kislovodsk]]||Кисловодск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|129,788 |- |align="right"|129||[[Kamyshin]]||Камышин||[[Volgograd Oblast]]||align="right"|127,891 |- |align="right"|130||[[Murom]]||Муром||[[Vladimir Oblast]]||align="right"|126,901 |- |align="right"|131||[[Novocheboksarsk]]||Новочебоксарск||[[Chuvashia]]||align="right"|125,857 |- |align="right"|132||[[Nazran]]||Назрань||[[Ingushetia]]||align="right"|125,066 |- |align="right"|133||[[Neftekamsk]]||Нефтекамск||[[Bashkortostan]]||align="right"|122,290 |- |align="right"|134||[[Orekhovo-Zuyevo]]||Орехово-Зуево||[[Moscow Oblast]]||align="right"|122,248 |- |align="right"|135||[[Hasavyurt]]||Хасавюрт||[[Dagestan]]||align="right"|121,817 |- |align="right"|136||[[Achinsk]]||Ачинск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|118,744 |- |align="right"|137||[[Noginsk]]||Ногинск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|117,555 |- |align="right"|138||[[Yelets]]||Елец||[[Lipetsk Oblast]]||align="right"|116,726 |- |align="right"|139||[[Cherkessk]]||Черкесск||[[Karachaevo-Cherkessia]]||align="right"|116,244 |- |align="right"|140||[[Sergiyev Posad]]||Сергиев Посад||[[Moscow Oblast]]||align="right"|113,581 |- |align="right"|141||[[Novokuybyshevsk]]||Новокуйбышевск||[[Samara Oblast]]||align="right"|112,973 |- |align="right"|142||[[Shchyolkovo]]||Щёлково||[[Moscow Oblast]]||align="right"|112,865 |- |align="right"|143||[[Leninsk-Kuznetsky]]||Ленинск-Кузнецкий||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|112,253 |- |align="right"|144||[[Arzamas]]||Арзамас||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|109,432 |- |align="right"|145||[[Seversk]]||Северск||[[Tomsk Oblast]]||align="right"|109,106 |- |align="right"|146||[[Oktyabrsky, Bashkortostan|Oktyabrsky]]||Октябрьский||[[Bashkortostan]]||align="right"|108,647 |- |align="right"|147||[[Nefteyugansk]]||Нефтеюганск||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|107,830 |- |align="right"|148||[[Bataysk]]||Батайск||[[Rostov Oblast]]||align="right"|107,438 |- |align="right"|149||[[Kiselevsk]]||Киселевск||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|106,341 |- |align="right"|150||[[Novotroitsk]]||Новотроицк||[[Orenburg Oblast]]||align="right"|106,315 |- |align="right"|151||[[Obninsk]]||Обнинск||[[Kaluga Oblast]]||align="right"|105,706 |- |align="right"|152||[[Velikiye Luki]]||Великие Луки||[[Pskov Oblast]]||align="right"|104,979 |- |align="right"|153||[[Elista]]||Элиста||[[Kalmykia]]||align="right"|104,254 |- |align="right"|154||[[Kyzyl]]||Кызыл||[[Tuva]]||align="right"|104,105 |- |align="right"|155||[[Zheleznodorozhny, Moscow Oblast|Zheleznodorozhny]]||Железнодорожный||[[Moscow Oblast]]||align="right"|103,931 |- |align="right"|156||[[Uhta]]||Ухта||[[Komi Jamhuri]]||align="right"|103,340 |- |align="right"|157||[[Sarapul]]||Сарапул||[[Udmurtia]]||align="right"|103,141 |- |align="right"|158||[[Kansk]]||Канск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|103,000 |- |align="right"|159||[[Solikamsk]]||Соликамск||[[Perm Krai]]||align="right"|102,531 |- |align="right"|160||[[Mezhdurechensk, Kemerovo Oblast|Mezhdurechensk]]||Междуреченск||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|101,987 |- |align="right"|161||[[Zhukovskiy (city)|Zhukovskiy]]||Жуковский||[[Moscow Oblast]]||align="right"|101,328 |- |align="right"|162||[[Novoshakhtinsk]]||Новошахтинск||[[Rostov Oblast]]||align="right"|101,131 |- |align="right"|163||[[Derbent]]||Дербент||[[Dagestan]]||align="right"|101,031 |- |align="right"|164||[[Glazov]]||Глазов||[[Udmurtia]]||align="right"|100,894 |- |align="right"|165||[[Ust-Ilimsk]]||Усть-Илимск||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|100,592 |- |align="right"|166||[[Zelenodolsk, Russia|Zelenodolsk]]||Зеленодольск||[[Tatarstan]]||align="right"|100,139 |- |align="right"|167||[[Serov (town)|Serov]]||Серов||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|99,804 |- |align="right"|168||[[Votkinsk]]||Воткинск||[[Udmurtia]]||align="right"|99,441 |- |align="right"|169||[[Magadan]]||Магадан||[[Magadan Oblast]]||align="right"|99,399 |- |align="right"|170||[[Balashov]]||Балашов||[[Saratov Oblast]]||align="right"|98,330 |- |align="right"|171||[[Noyabrsk]]||Ноябрьск||[[Mkoa Huru wa Yamalo-Nenets]]||align="right"|96,440 |- |align="right"|172||[[Michurinsk]]||Мичуринск||[[Tambov Oblast]]||align="right"|96,093 |- |align="right"|173||[[Zheleznogorsk, Kursk Oblast|Zheleznogorsk]]||Железногорск||[[Kursk Oblast]]||align="right"|95,528 |- |align="right"|174||[[Novouralsk]]||Новоуральск||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|95,414 |- |align="right"|175||[[Kineshma]]||Кинешма||[[Ivanovo Oblast]]||align="right"|95,233 |- |align="right"|176||[[Noviy Urengoy]]||Новый Уренгой||[[Mkoa Huru wa Yamalo-Nenets]]||align="right"|94,456 |- |align="right"|177||[[Zheleznogorsk, Krasnoyarsk Krai|Zheleznogorsk]]||Железногорск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|93,875 |- |align="right"|178||[[Bugulma]]||Бугульма||[[Tatarstan]]||align="right"|93,014 |- |align="right"|179||[[Tobolsk]]||Тобольск||[[Tyumen Oblast]]||align="right"|92,880 |- |align="right"|180||[[Krasnogorsk, Moscow Oblast|Krasnogorsk]]||Красногорск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|92,545 |- |align="right"|181||[[Kuznetsk]]||Кузнецк||[[Penza Oblast]]||align="right"|92,050 |- |align="right"|182||[[Ozyorsk, Chelyabinsk Oblast|Ozyorsk]]||Озёрск||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|91,760 |- |align="right"|183||[[Kirovo-Chepetsk]]||Кирово-Чепецк||[[Kirov Oblast]]||align="right"|90,303 |- |align="right"|184||[[Usolye-Sibirskoye]]||Усолье-Сибирское||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|90,161 |- |align="right"|185||[[Berdsk]]||Бердск||[[Novosibirsk Oblast]]||align="right"|88,445 |- |align="right"|186||[[Gatchina]]||Гатчина||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|88,420 |- |align="right"|187||[[Sarov]]||Саров||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|87,652 |- |align="right"|188||[[Buzuluk]]||Бузулук||[[Orenburg Oblast]]||align="right"|87,286 |- |align="right"|189||[[Chaykovsky, Perm Krai|Chaykovsky]]||Чайковский||[[Perm Krai]]||align="right"|86,714 |- |align="right"|190||[[Anzhero-Sudzhensk]]||Анжеро-Судженск||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|86,480 |- |align="right"|191||[[Yeysk]]||Ейск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|86,349 |- |align="right"|192||[[Gubkin]]||Губкин||[[Belgorod Oblast]]||align="right"|86,083 |- |align="right"|193||[[Yurga]]||Юрга||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|85,555 |- |align="right"|194||[[Vorkuta]]||Воркута||[[Komi Jamhuri]]||align="right"|84,917 |- |align="right"|195||[[Troitsk, Chelyabinsk Oblast|Troitsk]]||Троицк||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|83,862 |- |align="right"|196||[[Klin]]||Клин||[[Moscow Oblast]]||align="right"|83,178 |- |align="right"|197||[[Belovo, Russia|Belovo]]||Белово||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|82,425 |- |align="right"|198||[[Azov]]||Азов||[[Rostov Oblast]]||align="right"|82,090 |- |align="right"|199||[[Ramenskoye]]||Раменское||[[Moscow Oblast]]||align="right"|82,074 |- |align="right"|200||[[Yessentuki]]||Ессентуки||[[Stavropol Krai]]||align="right"|81,758 |- |align="right"|201||[[Shadrinsk]]||Шадринск||[[Kurgan Oblast]]||align="right"|80,865 |- |align="right"|202||[[Vyborg]]||Выборг||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|79,224 |- |align="right"|203||[[Kropotkin, Krasnodar Krai|Kropotkin]]||Кропоткин||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|79,185 |- |align="right"|204||[[Voskresensk]]||Воскресенск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|77,871 |- |align="right"|205||[[Kaspiysk]]||Каспийск||[[Dagestan]]||align="right"|77,650 |- |align="right"|206||[[Birobidzhan]]||Биробиджан||[[Oblast huru ya Kiyahudi]]||align="right"|77,250 |- |align="right"|207||[[Reutov]]||Реутов||[[Moscow Oblast]]||align="right"|76,805 |- |align="right"|208||[[Asbest]]||Асбест||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|76,328 |- |align="right"|209||[[Mineralnye Vody]]||Минеральные Воды||[[Stavropol Krai]]||align="right"|75,644 |- |align="right"|210||[[Kamensk-Shakhtinsky]]||Каменск-Шахтинский||[[Rostov Oblast]]||align="right"|75,632 |- |align="right"|211||[[Chapayevsk]]||Чапаевск||[[Samara Oblast]]||align="right"|73,912 |- |align="right"|212||[[Kopeysk]]||Копейск||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|73,342 |- |align="right"|213||[[Chernogorsk]]||Черногорск||[[Hakasia]]||align="right"|73,077 |- |align="right"|214||[[Chehov, Moscow Oblast|Chehov]]||Чехов||[[Moscow Oblast]]||align="right"|72,917 |- |align="right"|215||[[Minusinsk]]||Минусинск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|72,561 |- |align="right"|216||[[Pushkino, Moscow Oblast|Pushkino]]||Пушкино||[[Moscow Oblast]]||align="right"|72,425 |- |align="right"|217||[[Lysva]]||Лысьва||[[Perm Krai]]||align="right"|71,148 |- |align="right"|218||[[Volsk]]||Вольск||[[Saratov Oblast]]||align="right"|71,124 |- |align="right"|219||[[Beloretsk]]||Белорецк||[[Bashkortostan]]||align="right"|71,093 |- |align="right"|220||[[Georgiyevsk]]||Георгиевск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|70,575 |- |align="right"|221||[[Naro-Fominsk]]||Наро-Фоминск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|70,475 |- |align="right"|222||[[Ishimbay]]||Ишимбай||[[Bashkortostan]]||align="right"|70,195 |- |align="right"|223||[[Borisoglebsk]]||Борисоглебск||[[Voronezh Oblast]]||align="right"|69,392 |- |align="right"|224||[[Zelenogorsk, Krasnoyarsk Krai|Zelenogorsk]]||Зеленогорск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|69,355 |- |align="right"|225||[[Kungur]]||Кунгур||[[Perm Krai]]||align="right"|68,943 |- |align="right"|226||[[Dolgoprudny]]||Долгопрудный||[[Moscow Oblast]]||align="right"|68,792 |- |align="right"|227||[[Yelabuga]]||Елабуга||[[Tatarstan]]||align="right"|68,663 |- |align="right"|228||[[Yegoryevsk]]||Егорьевск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|68,303 |- |align="right"|229||[[Aleksin]]||Алексин||[[Tula Oblast]]||align="right"|68,156 |- |align="right"|230||[[Ishim]]||Ишим||[[Tyumen Oblast]]||align="right"|67,757 |- |align="right"|231||[[Belogorsk, Amur Oblast|Belogorsk]]||Белогорск||[[Amur Oblast]]||align="right"|67,422 |- |align="right"|232||[[Klintsy]]||Клинцы||[[Bryansk Oblast]]||align="right"|67,325 |- |align="right"|233||[[Gus-Khrustalny]]||Гусь-Хрустальный||[[Vladimir Oblast]]||align="right"|67,121 |- |align="right"|234||[[Kstovo]]||Кстово||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|66,944 |- |align="right"|235||[[Polevskoy]]||Полевской||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|66,761 |- |align="right"|236||[[Tuymazy]]||Туймазы||[[Bashkortostan]]||align="right"|66,687 |- |align="right"|237||[[Gukovo]]||Гуково||[[Rostov Oblast]]||align="right"|66,648 |- |align="right"|238||[[Neryungri]]||Нерюнгри||[[Yakutia]]||align="right"|66,269 |- |align="right"|239||[[Sosnoviy Bor, Leningrad Oblast|Sosnoviy Bor]]||Сосновый Бор||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|66,132 |- |align="right"|240||[[Budyonnovsk]]||Будённовск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|65,687 |- |align="right"|241||[[Leninogorsk, Russia|Leninogorsk]]||Лениногорск||[[Tatarstan]]||align="right"|65,592 |- |align="right"|242||[[Lesosibirsk]]||Лесосибирск||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|65,374 |- |align="right"|243||[[Tihoretsk]]||Тихорецк||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|65,005 |- |align="right"|244||[[Kumertau]]||Кумертау||[[Bashkortostan]]||align="right"|65,003 |- |align="right"|245||[[Krasnoturyinsk]]||Краснотурьинск||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|64,878 |- |align="right"|246||[[Alexandrov (town)|Alexandrov]]||Александров||[[Vladimir Oblast]]||align="right"|64,824 |- |align="right"|247||[[Pavlovo, Nizhny Novgorod Oblast|Pavlovo]]||Павлово||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|64,814 |- |align="right"|248||[[Apatity]]||Апатиты||[[Murmansk Oblast]]||align="right"|64,405 |- |align="right"|249||[[Tuapse]]||Туапсе||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|64,238 |- |align="right"|250||[[Artyom]]||Артём||[[Primorsky Krai]]||align="right"|64,145 |- |align="right"|251||[[Slavyansk-na-Kubani]]||Славянск-на-Кубани||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|64,136 |- |align="right"|252||[[Svobodny, Amur Oblast|Svobodny]]||Свободный||[[Amur Oblast]]||align="right"|63,889 |- |align="right"|253||[[Rzhev]]||Ржев||[[Tver Oblast]]||align="right"|63,729 |- |align="right"|254||[[Tikhvin]]||Тихвин||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|63,338 |- |align="right"|255||[[Stupino]]||Ступино||[[Moscow Oblast]]||align="right"|63,124 |- |align="right"|256||[[Chistopol]]||Чистополь||[[Tatarstan]]||align="right"|63,029 |- |align="right"|257||[[Zarechniy, Penza Oblast|Zarechniy]]||Заречный||[[Penza Oblast]]||align="right"|62,970 |- |align="right"|258||[[Meleuz]]||Мелеуз||[[Bashkortostan]]||align="right"|62,949 |- |align="right"|259||[[Rossosh]]||Россошь||[[Voronezh Oblast]]||align="right"|62,923 |- |align="right"|260||[[Arsenyev]]||Арсеньев||[[Primorsky Krai]]||align="right"|62,896 |- |align="right"|261||[[Iskitim]]||Искитим||[[Novosibirsk Oblast]]||align="right"|62,756 |- |align="right"|262||[[Revda, Sverdlovsk Oblast|Revda]]||Ревда||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|62,667 |- |align="right"|263||[[Shuya]]||Шуя||[[Ivanovo Oblast]]||align="right"|62,449 |- |align="right"|264||[[Dmitrov]]||Дмитров||[[Moscow Oblast]]||align="right"|62,219 |- |align="right"|265||[[Pavlovskiy Posad]]||Павловский Посад||[[Moscow Oblast]]||align="right"|61,982 |- |align="right"|266||[[Salsk]]||Сальск||[[Rostov Oblast]]||align="right"|61,775 |- |align="right"|267||[[Prokhladniy]]||Прохладный||[[Kabardino-Balkaria]]||align="right"|61,772 |- |align="right"|268||[[Vyksa]]||Выкса||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|61,657 |- |align="right"|269||[[Shchyokino]]||Щёкино||[[Tula Oblast]]||align="right"|61,588 |- |align="right"|270||[[Lobnya]]||Лобня||[[Moscow Oblast]]||align="right"|61,567 |- |align="right"|271||[[Bor, Nizhny Novgorod Oblast|Bor]]||Бор||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|61,525 |- |align="right"|272||[[Labinsk]]||Лабинск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|61,446 |- |align="right"|273||[[Buynaksk]]||Буйнакск||[[Dagestan]]||align="right"|61,437 |- |align="right"|274||[[Dubna]]||Дубна||[[Moscow Oblast]]||align="right"|60,951 |- |align="right"|275||[[Belebey]]||Белебей||[[Bashkortostan]]||align="right"|60,928 |- |align="right"|276||[[Kotlas]]||Котлас||[[Arhangelsk Oblast]]||align="right"|60,647 |- |align="right"|277||[[Cheremkhovo]]||Черемхово||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|60,107 |- |align="right"|278||[[Mikhaylovka, Volgograd Oblast|Mikhaylovka]]||Михайловка||[[Volgograd Oblast]]||align="right"|60,034 |- |align="right"|279||[[Novoaltaysk]]||Новоалтайск||[[Altai Krai]]||align="right"|60,015 |- |align="right"|280||[[Uzlovaya]]||Узловая||[[Tula Oblast]]||align="right"|59,763 |- |align="right"|281||[[Sibay]]||Сибай||[[Bashkortostan]]||align="right"|59,082 |- |align="right"|282||[[Volzhsk]]||Волжск||[[Mari El]]||align="right"|58,967 |- |align="right"|283||[[Talnah]]||Талнах||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|58,654 |- |align="right"|284||[[Solnechnogorsk]]||Солнечногорск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|58,374 |- |align="right"|285||[[Mikhaylovsk, Stavropol Krai|Mikhaylovsk]]||Михайловск||[[Stavropol Krai]]||align="right"|58,153 |- |align="right"|286||[[Verkhnyaya Pyshma]]||Верхняя Пышма||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|58,016 |- |align="right"|287||[[Borovichi]]||Боровичи||[[Novgorod Oblast]]||align="right"|57,755 |- |align="right"|288||[[Roslavl]]||Рославль||[[Smolensk Oblast]]||align="right"|57,701 |- |align="right"|289||[[Vyazma]]||Вязьма||[[Smolensk Oblast]]||align="right"|57,545 |- |align="right"|290||[[Balakhna]]||Балахна||[[Nizhny Novgorod Oblast]]||align="right"|57,338 |- |align="right"|291||[[Krymsk]]||Крымск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|56,623 |- |align="right"|292||[[Nazarovo, Krasnoyarsk Krai|Nazarovo]]||Назарово||[[Krasnoyarsk Krai]]||align="right"|56,539 |- |align="right"|293||[[Vyshniy Volochyok]]||Вышний Волочёк||[[Tver Oblast]]||align="right"|56,405 |- |align="right"|294||[[Krasnokamensk, Zabaykalsky Krai|Krasnokamensk]]||Краснокаменск||[[Zabaykalsky Krai]]||align="right"|55,920 |- |align="right"|295||[[Liski]]||Лиски||[[Voronezh Oblast]]||align="right"|55,893 |- |align="right"|296||[[Klimovsk]]||Климовск||[[Moscow Oblast]]||align="right"|55,644 |- |align="right"|297||[[Kirishi]]||Кириши||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|55,634 |- |align="right"|298||[[Kogalym]]||Когалым||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|55,367 |- |align="right"|299||[[Severomorsk]]||Североморск||[[Murmansk Oblast]]||align="right"|55,102 |- |align="right"|300||[[Timashyovsk]]||Тимашёвск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|54,116 |- |align="right"|301||[[Domodedovo (town)|Domodedovo]]||Домодедово||[[Moscow Oblast]]||align="right"|54,080 |- |align="right"|302||[[Belorechensk, Krasnodar Krai|Belorechensk]]||Белореченск||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|54,028 |- |align="right"|303||[[Hanty-Mansiysk]]||Ханты-Мансийск||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|53,953 |- |align="right"|304||[[Buguruslan]]||Бугуруслан||[[Orenburg Oblast]]||align="right"|53,893 |- |align="right"|305||[[Krasnokamsk]]||Краснокамск||[[Perm Krai]]||align="right"|53,724 |- |align="right"|306||[[Kimry]]||Кимры||[[Tver Oblast]]||align="right"|53,650 |- |align="right"|307||[[Gorno-Altaysk]]||Горно-Алтайск||[[Altai Jamhuri]]||align="right"|53,538 |- |align="right"|308||[[Anapa]]||Анапа||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|53,493 |- |align="right"|309||[[Lesnoy, Sverdlovsk Oblast|Lesnoy]]||Лесной||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|53,195 |- |align="right"|310||[[Livny]]||Ливны||[[Oryol Oblast]]||align="right"|52,841 |- |align="right"|311||[[Yartsevo]]||Ярцево||[[Smolensk Oblast]]||align="right"|52,617 |- |align="right"|312||[[Nyagan]]||Нягань||[[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]]||align="right"|52,610 |- |align="right"|313||[[Fryazino]]||Фрязино||[[Moscow Oblast]]||align="right"|52,436 |- |align="right"|314||[[Monchegorsk]]||Мончегорск||[[Murmansk Oblast]]||align="right"|52,242 |- |align="right"|315||[[Vidnoye]]||Видное||[[Moscow Oblast]]||align="right"|52,198 |- |align="right"|316||[[Tulun]]||Тулун||[[Irkutsk Oblast]]||align="right"|51,848 |- |align="right"|317||[[Spassk-Dalny]]||Спасск-Дальний||[[Primorsky Krai]]||align="right"|51,691 |- |align="right"|318||[[Chusovoy]]||Чусовой||[[Perm Krai]]||align="right"|51,615 |- |align="right"|319||[[Ivanteyevka]]||Ивантеевка||[[Moscow Oblast]]||align="right"|51,454 |- |align="right"|320||[[Verkhnyaya Salda]]||Верхняя Салда||[[Sverdlovsk Oblast]]||align="right"|51,195 |- |align="right"|321||[[Osinniki]]||Осинники||[[Kemerovo Oblast]]||align="right"|51,057 |- |align="right"|322||[[Lytkarino]]||Лыткарино||[[Moscow Oblast]]||align="right"|50,798 |- |align="right"|323||[[Kanash]]||Канаш||[[Chuvashia]]||align="right"|50,593 |- |align="right"|324||[[Snezhinsk]]||Снежинск||[[Chelyabinsk Oblast]]||align="right"|50,451 |- |align="right"|325||[[Zarinsk]]||Заринск||[[Altai Krai]]||align="right"|50,368 |- |align="right"|326||[[Kingisepp]]||Кингисепп||[[Leningrad Oblast]]||align="right"|50,295 |- |align="right"|327||[[Sayanogorsk]]||Саяногорск||[[Hakasia]]||align="right"|50,255 |- |align="right"|328||[[Otradniy, Samara Oblast|Otradniy]]||Отрадный||[[Samara Oblast]]||align="right"|50,048 |- |align="right"|329||[[Gelendzhik]]||Геленджик||[[Krasnodar Krai]]||align="right"|50,012 |} {{Mji wa Urusi}} {{Urusi}} {{Europe topic|Orodha ya miji ya}} [[Jamii:Urusi]] [[Jamii:Miji ya Urusi| ]] [[Jamii:Orodha za miji nchi kwa nchi|Urusi]] 5o12bdm0xe6ao2pfr0y17fo0iz4491j Kabila la Lawi 0 69522 1235056 1109327 2022-07-25T09:49:31Z 41.222.181.130 wikitext text/x-wiki '''Kabila la Lawi''' ni mojawapo kati ya [[makabila ya Israeli]] ambayo kwa jumla ni 12, kutokana na watoto wa kiume 12 wa [[Yakobo Israeli]]. Ndilo [[kabila]] la pekee kwa sababu [[Musa]], ambaye kati ya [[watu]] maarufu zaidi wa kabila hilo, alilipatia [[ukuhani]] badala ya eneo lolote nchini. {{mbegu-Biblia}} [[Jamii:Watu wa Biblia]] Kwa Nini Musa alilipa ukuhani kabila la lawi na sio kabila lingine lolote? 2qc2gdxd51afou7j0ecql249chjdd6e 1235058 1235056 2022-07-25T09:55:15Z Kipala 107 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/41.222.181.130|41.222.181.130]] ([[User talk:41.222.181.130|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki '''Kabila la Lawi''' ni mojawapo kati ya [[makabila ya Israeli]] ambayo kwa jumla ni 12, kutokana na watoto wa kiume 12 wa [[Yakobo Israeli]]. Ndilo [[kabila]] la pekee kwa sababu [[Musa]], ambaye kati ya [[watu]] maarufu zaidi wa kabila hilo, alilipatia [[ukuhani]] badala ya eneo lolote nchini. {{mbegu-Biblia}} [[Jamii:Watu wa Biblia]] jzec0emo9b18hz21g7ttpizoz4zz8lg 1235061 1235058 2022-07-25T10:20:38Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki '''Kabila la Lawi''' ni mojawapo kati ya [[makabila ya Israeli]] ambayo kwa jumla ni 12, kutokana na watoto wa kiume 12 wa [[Yakobo Israeli]]. Kabila hili hutazamiwa kama ukoo wa [[Latvia|Lawi]]. Musa alizaliwa katika kabila hilo.<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/2.htm#0<nowiki> Kutoka 2,1]</nowiki></ref> Ndilo [[kabila]] la pekee lililoteuliwa na [[Musa]] kwa kazi ya ukuhani. Kufuatana na taarifa katika Kitabu cha Kutoka, Musa alifanya azimio hilo baada ya kuona juhudi ya kabila lake wakati wa kuwaondoa wafuasi wa [[Musa#Ndama_ya_dhahabu]]. Wakati wa kuingia katika nchi ya ahadi, Walawi hawakupokea eneo maalum bali walipewa haki ya kupokea , ambaye kati ya [[watu]] maarufu zaidi wa kabila hilo, alilipatia [[ukuhani]] badala ya eneo lolote nchini. == Marejeo == {{Marejeo}}{{mbegu-Biblia}} [[Jamii:Watu wa Biblia]] e1orutai9xpunw2kfwyi9ws6h6hmbeq 1235062 1235061 2022-07-25T10:40:51Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki '''Kabila la Lawi''' ([[Kiing.]] Levi) ni mojawapo kati ya [[makabila ya Israeli]] ambayo kwa jumla ni 12, kutokana na watoto wa kiume 12 wa [[Yakobo Israeli]]. Kabila hili hutazamiwa kama ukoo wa [[Latvia|Lawi]]. Musa alizaliwa katika kabila hilo.<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/2.htm#0 Kutoka 2,1]</ref> Ndilo [[kabila]] la pekee lililoteuliwa na [[Musa]] kwa kazi ya ukuhani<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/04/1.htm Hesabu 1, 49f]</ref>. Kufuatana na taarifa katika Kitabu cha Kutoka, Musa alifanya azimio hilo baada ya kuona juhudi ya kabila lake wakati wa kuwaondoa wafuasi wa [[Musa#Ndama_ya_dhahabu|ndama ya dhahabu]]<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/32.htm#0 Kutoka 32, 26-29]</ref>. Wakati wa kuingia katika nchi ya ahadi, Walawi hawakupokea eneo maalum bali walipewa haki ya kupokea sehemu za sadaka. Makuhani wa Israeli walikuwa sehemu ya kabila la Lawi. Hadi leo jina la Lawi kwa umbo la Kizungu "Levi" ni jina linalopatikana kati ya Wayahudi. == Marejeo == {{Marejeo}} {{mbegu-Biblia}} [[Jamii:Watu wa Biblia]] qufllchwoien1w0nl91sjiolx6uiy5x Ikuza 0 72291 1235020 1140766 2022-07-24T20:24:36Z Joseni abeli 55083 Transport in ikuza island through kiswahili language wikitext text/x-wiki '''Ikuza''' ni [[jina]] la [[kisiwa]] katika [[Ziwa Viktoria]] na [[kata]] ya [[Wilaya ya Muleba]] katika [[Mkoa wa Kagera]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''35540''' <ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2018-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180805072810/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |archivedate=2018-08-05 }}</ref>. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,978 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Muleba-District-Council]</ref> Ikuza ni [[kata]] inayoundwa na vijiji vya Ikuza na Kasenyi ikiwa katika [[kisiwa]] chenye [[jina]] hilo kinachopatikana katika [[Ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa. USAFILI UNAOTUMIKA KISIWA CHA IKUZA kisiwa cha ikuza kinatumia usafili wa majini kama vilivyo visiwa vingine ambapo hutumia maboti pamoja na mitungi kuweza kusafili kufika maeneo mbali mbali, kisiwa cha ikuza kinategemea sana wasafiri wanaotoka nchi kavu kama vile Muleba na Chato kupitia magarini ambapo Saiz usafili umeimarishwa kwa kuongeza idadi ya boti za kusafiria, ambazo hua na vituo mbali mbali vya kuingilia kisiwa cha ikuza, kama vile chakazimbwe, rwazi, Nyarugusu, pamoja na KASENYI ambayo inaonekana kua senta kubwa ndani ya hiki kisiwa. ==Historia== Kwa asili wakazi wa kisiwa hiki ni [[Wahaya]] na [[Wazinza]], ambao wamehamia huko wakitokea [[kisiwa cha Rubondo]] na wengine wakitokea ng`ambo ya [[Kimwani]]. [[Miaka ya 1970]] hadi [[2000]], Ikuza ilikuwa [[kisiwa]] chenye [[kijiji]] kimoja tu ambacho kilikuwa na vitongoji vya Msenyi-Lwazi, Nyamahanzu, Kazilantemwa-Ibanga na Mlwoga. Kisiwa kilihudumiwa na [[shule]] [[moja]] iliyoitwa [[Shule ya Msingi]] Ikuza. Kutokana na mahitaji ya wananchi wa kisiwa hicho, [[serikali]] iligawa vitongoji kuwa vijiji kama ilivyo hadi leo ambapo kisiwa hicho kina [[hadhi]] ya kata. sawa na [[Kataya]] kisiwa cha [[Mazinga]], kata ya [[Kimwani]], kata ya [[Bumbile]] na kata nyingine zinazounda [[wilaya ya Muleba]] katika [[mkoa wa Kagera]]. ==Uchumi== Wakazi wa kisiwa hiki walijishughulisha na [[kilimo]] cha ma[[zao]] ya [[migomba]] na [[mihogo]] pamoja na [[mibuni]]. Kisha [[miaka ya 2000]] wakagundua [[uvuvi]] wa [[samaki]] na [[dagaa]] ambao umeweza kupandisha unafuu wa maisha ya wakazi wa kisiwa hiki. Kutokana na [[sera]] nzuri za nchi, Watanzania wengi wamekijua kisiwa hiki na umaarufu wa uvuvi unadhihirika pale unapotembelea ma[[kambi]] ya [[Kasenyi]], Kazilantemwa, [[Nyarugusu]] na [[Lwazi]] pamoja na eneo la Nyamahanzu. Uvuvi wa dagaa nao ukatangaza kisiwa hiki nje ya mipaka ya nchi, wanunuzi wa [[bidhaa]] hiyo kutoka [[Rwanda]], [[Congo-Zaire]] na nchi zinazozunguka [[ziwa Victoria]] wakaingia kupata bidhaa hiyo. Si miaka mingi kisiwa hiki kimeinuka ki[[uchumi]] na kinazidi kukua. [[Usafiri]] kuingia na kutoka kisiwa hiki ni ma[[boti]] ya [[mbao]] ambayo yanahudumia kila [[kona]] ya kisiwa hiki kwa [[utaratibu]] na [[ustaarabu]], ma[[baharia]] wakitumia [[ujuzi]] na [[ukarimu]] kuvutia [[biashara]] yao isipungue wateja. Ili kuingia kisiwa hicho vituo vikuu ni Katunguru kwenda Ikuza, Mganza mpaka Ikuza, Kimwani Magarini kuingia na kutoka. ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Kata za Wilaya ya Muleba}} {{mbegu-jio-kagera}} [[Jamii:Visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:Wilaya ya Muleba| ]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] 2hm3yoqyph6kyrnjh783woopp2t5l4u Ryazan 0 82826 1235034 970977 2022-07-24T23:09:21Z CommonsDelinker 234 Replacing A01_7185.JPG with [[File:Cathedral_of_the_Dormition_and_belltower,_Ryazan_Kremlin,_Russia.jpg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: [[:c:COM:FR#FR2|Criterion 2]] (meaningless or ambiguous name)). wikitext text/x-wiki [[Picha:Cathedral of the Dormition and belltower, Ryazan Kremlin, Russia.jpg|thumb|Ryazan]] '''Ryazan''' ([[Kirusi]]: '''Рязань''') ni [[mji]] wa [[Urusi]]. Ina wakazi 521.560. Iko katika mkoa wa [[Ryazan Oblast]]. == Tazama pia == * [[Orodha ya miji ya Urusi]] {{mbegu-jio-Urusi}} {{Miji ya Urusi}} [[Jamii:Miji ya Urusi]] g6ummukerc3qxmzxvkodtfbujq0q388 Vita vya Kagera 0 99321 1235046 1212180 2022-07-25T07:11:03Z 41.59.202.64 /* Historia */ wikitext text/x-wiki [[picha:Ford_A9584_NLGRF_photo_contact_sheet_(1976-04-26)(Gerald_Ford_Library)_(cropped)a.jpg|thumbnail|right|200px|Mwalimu Julius Nyerere,1977]] {{History of Tanzania}} '''Vita vya Kagera''' (kwa [[Kiingereza]]: kwa [[Kiingereza]]: Uganda-Tanzania War<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Uganda%E2%80%93Tanzania_War</ref>) ni [[vita]] vilivyopigwa kati ya [[Uganda]] na [[Tanzania]] kuanzia [[tarehe]] [[30 Oktoba]] [[1978]] hadi [[11 Aprili]] [[1979]]. Vita hivyo vilihusu kugombania ardhi ya [[mkoa wa Kagera]] kati ya nchi ya Tanzania na Uganda. Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na [[rais]] [[Julius Nyerere]] iliibuka kidedea kwa kuwapiga vema [[jeshi|majeshi]] ya [[gaidi]] [[Idd Amini]] Dadah yaliyoungwa [[mkono]] wa [[Libya]] ya [[Muammar al-Gaddafi]] na pia [[Palestina]] ya [[Yasser Arafat]]. Vita hivyo viliua watu karibu 5,000 na wengine kuachwa [[yatima]]. ==Historia== [[Mwanzilishi]] wa vita hivyo alikuwa Iddi Amini Dadah aliyetaka kupewa na mwl. Nyerere ardhi ya Kagera, tena kwa shuruti ya kivita. Nyerere aliwaongoza vema wanajeshi 100,000 wa Tanzania akisema, "mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza; uwezo wa kumpiga tunao, sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo, hivyo tumeamua kupambana naye". Aliungwa mkono na [[Msumbiji]] na [[wanaharakati]] wa Uganda, akiwemo [[Yoweri Museveni]]. Katika vita hiyo Iddi Amini Dadah, baada ya kushambuliwa, alikimbilia nchini Libya, halafu [[Saudi Arabia]] hadi [[mauti]] yalipompata miaka ya baadaye. huu ni uongo mtupu ==Matokeo== Nchini Uganda ikawa ndiyo mwanzo wa [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]]. Tanzania, iliyolaumiwa na [[Organization of African Unity]] kama kwamba ndiyo mvamizi, ililazimika kugharimia peke yake vita na hali ya [[usalama]] nchini Uganda baada ya [[ushindi]]. Jambo hilo lilizidi kudidimiza nchi katika [[ufukara]] na kufelisha mipango yake ya [[maendeleo]]. Tanzania ilimaliza kutoka katika hali hiyo mwaka [[2007]] tu, Uganda ilipolipa [[Deni|madeni]] yake. ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== *{{cite web|last1 = Mambo|first1 = Andrew|last2 = Julian|first2 = Schofield|date = 2007|url = http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498|title = Military Diversion in the 1978 Uganda-Tanzania War|journal = Journal of Political and Military Sociology|archive-url = https://web.archive.org/web/20111108065938/http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498/|archive-date = 8 November 2011|deadurl = yes|df = dmy-all}} {{Tanzania topics}} {{Hoja Kuhusu Uganda}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Vita]] [[Jamii:Mkoa wa Kagera]] [[Jamii:Historia ya Tanzania]] [[Jamii:Historia ya Uganda]] [[Jamii:1978]] [[Jamii:1979]] r6vq5iylmh82lawzriu0yq34ajlu81w 1235047 1235046 2022-07-25T07:11:35Z 41.59.202.64 /* Historia */ wikitext text/x-wiki [[picha:Ford_A9584_NLGRF_photo_contact_sheet_(1976-04-26)(Gerald_Ford_Library)_(cropped)a.jpg|thumbnail|right|200px|Mwalimu Julius Nyerere,1977]] {{History of Tanzania}} '''Vita vya Kagera''' (kwa [[Kiingereza]]: kwa [[Kiingereza]]: Uganda-Tanzania War<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Uganda%E2%80%93Tanzania_War</ref>) ni [[vita]] vilivyopigwa kati ya [[Uganda]] na [[Tanzania]] kuanzia [[tarehe]] [[30 Oktoba]] [[1978]] hadi [[11 Aprili]] [[1979]]. Vita hivyo vilihusu kugombania ardhi ya [[mkoa wa Kagera]] kati ya nchi ya Tanzania na Uganda. Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na [[rais]] [[Julius Nyerere]] iliibuka kidedea kwa kuwapiga vema [[jeshi|majeshi]] ya [[gaidi]] [[Idd Amini]] Dadah yaliyoungwa [[mkono]] wa [[Libya]] ya [[Muammar al-Gaddafi]] na pia [[Palestina]] ya [[Yasser Arafat]]. Vita hivyo viliua watu karibu 5,000 na wengine kuachwa [[yatima]]. ==Historia== [[Mwanzilishi]] wa vita hivyo alikuwa Iddi Amini Dadah aliyetaka kupewa na mwl. Nyerere ardhi ya Kagera, tena kwa shuruti ya kivita. Nyerere aliwaongoza vema wanajeshi 100,000 wa Tanzania akisema, "mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza; uwezo wa kumpiga tunao, sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo, hivyo tumeamua kupambana naye". Aliungwa mkono na [[Msumbiji]] na [[wanaharakati]] wa Uganda, akiwemo [[Yoweri Museveni]]. Katika vita hiyo Iddi Amini Dadah, baada ya kushambuliwa, alikimbilia nchini Libya, halafu [[Saudi Arabia]] hadi [[mauti]] yalipompata miaka ya baadae ==Matokeo== Nchini Uganda ikawa ndiyo mwanzo wa [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]]. Tanzania, iliyolaumiwa na [[Organization of African Unity]] kama kwamba ndiyo mvamizi, ililazimika kugharimia peke yake vita na hali ya [[usalama]] nchini Uganda baada ya [[ushindi]]. Jambo hilo lilizidi kudidimiza nchi katika [[ufukara]] na kufelisha mipango yake ya [[maendeleo]]. Tanzania ilimaliza kutoka katika hali hiyo mwaka [[2007]] tu, Uganda ilipolipa [[Deni|madeni]] yake. ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== *{{cite web|last1 = Mambo|first1 = Andrew|last2 = Julian|first2 = Schofield|date = 2007|url = http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498|title = Military Diversion in the 1978 Uganda-Tanzania War|journal = Journal of Political and Military Sociology|archive-url = https://web.archive.org/web/20111108065938/http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498/|archive-date = 8 November 2011|deadurl = yes|df = dmy-all}} {{Tanzania topics}} {{Hoja Kuhusu Uganda}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Vita]] [[Jamii:Mkoa wa Kagera]] [[Jamii:Historia ya Tanzania]] [[Jamii:Historia ya Uganda]] [[Jamii:1978]] [[Jamii:1979]] qrjcf5qtwgr1ajcoz485bkba3g5zfyt Majadiliano:Tendo la ndoa 1 108197 1235030 1195105 2022-07-24T21:55:57Z 197.186.3.33 /* What kind of foods and drinks can be used and immediatery give the result of staying for long in doing sex */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki Katika jamii yetu kumekuwa na mahusiyano ya kimapenzi yanayovunjika kila siku na kwa tafiti zangu inaonesha kwamba chanjo cha mahusiano mengi kuvunjika ni wanaume. Je, unadhani ni kitu gani ama ni kwanini wanaume ndio wanaokuwa chanzo cha kuvnjika kwa mahusiano mengi na je, nini ushauri wako kwa dad zetu wanaokumbana na tatizo hili? ==Lemma== Lemma au jina "Tendo la ndoa" ni istilahi ya kikanisa. Nikipitilia kamusi naona "ngono, mtombo; mtombano, mlalano". Naona ingekuwa afadhali kutumia neno lisilotegemea uzoefu wa jamii fulani. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:31, 15 Oktoba 2021 (UTC) :Naona si istilahi ya kikanisa tu. Ni namna ya kawaida ya kuzungumzia jambo nyeti. Mbele ya watu wengi na wa heshima kutamka neno ngono kunaleta ukakasi. Zaidi tena mtombano n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:37, 15 Oktoba 2021 (UTC) ::Mlalano vipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 15 Oktoba 2021 (UTC) :::Umelipata wapi? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:49, 15 Oktoba 2021 (UTC) == What kind of foods and drinks can be used and immediatery give the result of staying for long in doing sex == Kind of foods and drinks [[Maalum:Michango/197.186.3.33|197.186.3.33]] 21:55, 24 Julai 2022 (UTC) tp3c6s6xywmdos72j0ajhdq7bs2uk3m Mto Sezibwa 0 110221 1234966 1073279 2022-07-24T12:51:40Z Ji-Elle 184 +pict wikitext text/x-wiki [[File:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|right|340px|Mito na maziwa ya Uganda.]] [[File:River Ssezibwa 01.jpg|thumb|left|Mto Sezibwa]] '''Mto Sezibwa''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]] ([[wilaya ya Buikwe]], [[wilaya ya Mukono]] na [[wilaya ya Kayunga]]). Unamwaga [[maji]] yake katika [[ziwa Kyoga]] baada ya kutiririka kwa [[kilomita]] 150 hivi. Kwa njia hiyo unachangia [[mto Nile]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Buikwe]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kayunga]] * [[Orodha ya mito ya Uganda]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Viungo vya nje== *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{Mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Category:Mito ya Uganda]] [[Category:Wilaya ya Buikwe]] [[Jamii:Wilaya ya Mukono]] [[Jamii:Wilaya ya Kayunga]] [[Jamii:ziwa Kyoga]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] hkr3cbqarop43c8d0z5izn9ngvwo8bv Dizasta Vina 0 111827 1235048 1232241 2022-07-25T07:26:36Z Benix Mby 36425 Utambulisho na viungo wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano kama haya yalimjenga kisanaa, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Wimbo ulitayarishwa na Rahil Paps. Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" uliofanywa na mtayarishaji Laizer X na "[[Siku Nikifa]]" uliotayarishwa na Abby Mp. Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]", baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]". Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] r58s0thq7gl4ooqt4uqh509ykz9ujdh 1235049 1235048 2022-07-25T07:34:31Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano kama haya yalimjenga kisanaa, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Wimbo ulitayarishwa na Rahil Paps. Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]". Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] t4bissbgmu1cv46dgleotw1nbo99cpl 1235050 1235049 2022-07-25T07:35:48Z Benix Mby 36425 Viungo wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano kama haya yalimjenga kisanaa, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Wimbo ulitayarishwa na Rahil Paps. Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]". Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] tu4zvrl4o1006l8s0vkxjxwacv50390 1235051 1235050 2022-07-25T07:48:43Z Benix Mby 36425 Elimu wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano kama haya yalimjenga kisanaa, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Wimbo ulitayarishwa na Rahil Paps. Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]". Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali na elimu == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] 4q6bfqnz8mg8zb5k7wdw9pm4l9w79i3 1235052 1235051 2022-07-25T07:56:07Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano kama haya yalimjenga kisanaa, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]". Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali na elimu == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] 4ws7pwhtt30bnz7u8wzql5c75sjux68 1235054 1235052 2022-07-25T09:21:27Z Benix Mby 36425 Sasisho wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano haya yalijenga msingi wa Dizasta kwenye tasnia ya muziki, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo "Harder" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]". Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali na elimu == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] cf5mk9ybj3w26n0537a6ihtlazlkwrl 1235055 1235054 2022-07-25T09:23:47Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |background=solo_singer |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] |tarehe ya kufa = |mahali alipofia= | Kazi yake = [[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mtayarishaji wa rekodi]]<br> [[Mshairi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Duke Touchez]] *Ringle Beats|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye mtindo wake wa muziki unajumuisha matumizi ya [[ushairi]] kusimulia visa na matukio ya maisha halisi ya raia wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Muziki wake unajulikana kwa kubeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na ''[[SM Straight Music Freestyle Battle]]'' mwaka 2010. Mashindano haya yalijenga msingi wa Dizasta kwenye tasnia ya muziki, baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia mashindano ya utafutaji wa vipaji ambapo alitoa nyimbo tano mfululizo. Mnamo mwaka wa 2012, alitoa wimbo wa "[[Harder]]" ambao ulimpeleka kwenye mafanikio ya kisanaa.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu kwenye [[muziki wa hip hop]] nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa "[[Kijogoo]]" na "[[Siku Nikifa]]". Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy]]". Baada ya kuachia nyimbo kadhaa alifanikiwa kutoa albamu ya kwanza mwaka wa 2018 "[[JESUSta]]", na mwaka wa 2020 alitoa albamu ya "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-25|language=en}}</ref> Albamu zote zimebeba hadithi zinazogusa nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu na zimetazamia tamaduni, mitazamo na imani ya vikundi mbalimbali vya watu wa jamii aliyotokea. == Maisha ya awali na elimu == Dizasta vina alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] ya mwaka wa [[1993]], katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kiasili, ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] wa [[Mbeya]]. Ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanamume pekee akiwa na dada zake wawili. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya Kimanga iliyopo [[Wilaya ya Ilala]] [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2001. Mwaka wa 2007 alijiunga na [[elimu ya sekondari]] katika shule binafsi ya White Lake High School iliyopo eneo la Changanyikeni [[Jiji|jijini]] [[Dar es Salaam]] kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya Southern Highlands Secondary School iliyopo Soweto [[Jiji|jijini]] [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya Kigoma High School, [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia katika shule ya Mbeya High School na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) mwaka 2013. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]". Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] . Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]]. Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]]. Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe. Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref> ===2018–2020: ''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]]. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>. Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |- |} == Viungo vya nje == * [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]] * [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni] == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] kua3cz93qowpgwdnoiixqm1y0arte6q George Clooney 0 125799 1235029 1177763 2022-07-24T21:55:18Z Ahti-Saku 54767 wikitext text/x-wiki [[Picha: George_Clooney_2016.jpg|thumb| George Clooney (2016)]] '''George Timothy Clooney''' (amezaliwa [[6 Mei]] [[1961]]) ni [[muigizaji]], [[mtayarishaji]], na [[mkurugenzi]] wa [[filamu]] na [[televisheni]] ya [[Marekani]]. Alishinda [[tuzo]] mbili za Chuo cha Tuzo na Tatu za Duniani za Duniani. {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1961|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] mtc4q7vcnby6l05r3k7hbb6uyui5ll8 Hun Sen 0 128057 1235023 1125295 2022-07-24T20:56:52Z 94.73.49.5 wikitext text/x-wiki [[Picha:Hun Sen (2018) cropped (2).jpg|thumb]] '''Hun Sen''' (kwa [[Kikhmer]]: ហ៊ុន សែន; amezaliwa [[5 Agosti]] [[1952]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Cambodia]] ambaye amekuwa [[Waziri Mkuu]] wa [[Kamboja]] tangu [[mwaka]] [[1985]]<ref>https://www.britannica.com/biography/Hun-Sen</ref>. Serikali yake ilikuwa na sifa ya udhalimu kamili na alijiweka madarakani kupitia vurugu za maneno na vitisho vya kifo. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Kamboja]] 8vwzmq5fpd8y736l8bxlicxvtz9mkou 1235024 1235023 2022-07-24T20:58:47Z 94.73.49.5 wikitext text/x-wiki [[Picha:Hun Sen (2018) cropped (2).jpg|thumb]] '''Hun Sen''' (kwa [[Kikhmer]]: ហ៊ុន សែន; amezaliwa [[5 Agosti]] [[1952]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Cambodia]] ambaye amekuwa [[Waziri Mkuu]] wa [[Kamboja]] tangu [[mwaka]] [[1985]]<ref>https://www.britannica.com/biography/Hun-Sen</ref>. Serikali yake ilikuwa na sifa ya kamili na alijiweka madarakani kupitia vurugu za maneno na vitisho vya kifo. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Kamboja]] ht84o4hwdi9340i5bazvj5o7agnos3f Ariel Wayz 0 148913 1235011 1225260 2022-07-24T14:15:34Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki [[Ariel Wayz]] alizaliwa Rubavu, [[Jimbo]] la [[Magharibi]], ni msanii wa [[Rwanda]] na [[mtoto]] wa tano katika [[familia]] ya watoto wanane. Kwa kweli amerithi kuwa mwanamuziki kwa sababu [[mama]] yake alikuwa akiimba katika orchester Inngeri miaka ya 90. ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanamuziki wa Rwanda]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] idpibmgxir51jwgibh8tka58ojiyla9 Fancy Gadam 0 148952 1235035 1234802 2022-07-25T01:39:04Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki [[Picha:Ahmed Mujahid Bello.jpg|thumb|267x267px|'''ni msanii wa muziki wa afropop wa Ghana, dancehall na reggae.''']] ''' Mujahid Ahmed Bello''' (alizaliwa [[16 Agosti]], [[1988]]) anayejulikana kwa [[jina]] lake la kisanii '''Fancy Gadam''', ni msanii wa muziki wa afropop wa [[Ghana]], dancehall na reggae. Mnamo 2017 alishinda Tuzo za Muziki za [[Ghana]] za Msanii Bora Mpya na mwaka wa 2020 alitajwa kuwa Mtumbuizaji Bora wa Afrobeat katika Tuzo za Kimataifa za Reggae na Ulimwenguni. ==Maisha ya awali na kazi ya muziki== '''Fancy Gadam''' alizaliwa katika ''Hausa Zongo'', kitongoji cha [[Tamale, Ghana|Tamale]], mji mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ([[Ghana]]). Alimaliza elimu yake ya msingi katika Shule ya Msingi ya Police Barracks huko [[Tamale, Ghana|Tamale]]. '''Fancy Gadam''' alianza kazi yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 12 kama mwigizaji katika shule na hafla za umma.<ref name="auto">{{cite web|title=Fancy Gadam|url=https://profileability.com/fancy- gadam/|last1=Uwezo wa Wasifu|website=Uwezo wa Wasifu|publisher=Uwezo wa Wasifu|accessdate=30 Desemba 2017}}</ref> ===Maonyesho mashuhuri=== Mnamo tarehe 1 Disemba 2017, '''Fancy Gadam''' alikuwa mmoja wa wasanii wakuu katika ''S Concert wakati'' alitumbuiza hadi Jumamosi tarehe 2 Disemba 2017.<ref name="enewsgh.com">{{cite web|last1=Ghana Web|title=Mashabiki watabaki kutazama Fancy Gadam katika Tamasha la 2017 S!|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Fans-stay-to-watch-Fancy-Gadam-at-2017- S-Concert-606603|website=Ghana Web|publisher=Ghana Web|accessdate=7 Desemba 2017}}{{Dead link|date=July 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Uzinduzi wa Albamu yake ya Dream na tamasha, tarehe 5 Oktoba 2019 ilivutia zaidi ya mashabiki 20,000 kwenye Tamale stadium (Sasa '''Aliu Mahama stadium''').<ref>{{Cite web|title=Massive waliojitokeza kwenye tamasha la 'Dream' la Fancy Gadam|url=https://www.graphic.com.gh/showbiz/ghana-music/massive-turnout-at-fancy-gadam-s-dream-concert.html|website=Graphic Showbiz Online|language=en-gb|access-date=2020-05-01|accessdate=2022-04-23|archivedate=2021-01-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210120032711/https://www.graphic.com.gh/showbiz/ghana-music/massive-turnout-at-fancy-gadam-s-dream-concert.html}}</ref> Fancy Gadam pia alitumbuiza katika uwanja wa ndondi wa Bukom tarehe 8 Machi 2020 kama sehemu ya ziara yake ya albamu ya ''Dream''. Inasemekana alitembelea Yeji, Nyong, Offinso, [[Koforidua]], [[Wa, Ghana|Wa]].<ref>{{Cite web|title=Fancy Gadam's Dream ziara ya albamu yatua Accra {{!}} Habari Ghana|url=https://newsghana.com.gh/fancy-gadams-dream-album-tour-lands-in-accra/|last=Agency|first=Ghana News |date=|website=newsghana.com.gh|language=en-US|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=2020-05-01}}</ref> Yendi, Kumbungu na [https://ghana.places-in-the-world.com/2302023-place-dalung.html Dallung] Alishiriki katika matoleo ya 2017 na 2018 ya [[Ghana]] hukutana na [[Nigeria|Naija]], Tamasha ya kila mwaka ya muziki iliyoandaliwa nchini [[Ghana]] ili kukuza umoja kati ya wasanii wa [[Ghana]] na [[Nigeria]]. Tamasha hili pia linalenga kutoa fursa kwa wapenzi wa muziki kutangamana na kupiga picha na wasanii wanaowapenda kutoka nchi zote mbili.<ref>{{Cite web|title=Wizkid, Fancy Gadam, wengine tayari kwa tamasha la Ghana Meets Naija|url=https ://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Wizkid-Fancy-Gadam-others-ready-for-Ghana-Meets-Naija-concert-655850|website=www.ghanaweb.com|language=en|access-date =2020-05-01}}</ref><ref>{{Cite web|title=2019 toleo la 'Ghana Meets Naija' linalotarajiwa kufanyika Juni|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/ Toleo-la-Ghana-Meets-Naija-2019-linalopangwa-Juni-734954|website=www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2020-05-01}}</ref> ==Marejeleo== {{Reflist}} {{mbegu-muziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii: Waliozaliwa 1988]] hr6ne55v3r6va1g16oqhbxztoa3b88q Abab 0 149781 1235008 1234081 2022-07-24T14:13:12Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Abab''', ulikuwa [[Wimbo wa Taifa]] wa [[Ogaden|Ogadenia]], nchi iliyopendekezwa na [[ONLF]] . Uliimbwa kwa [[Kisomali]] . Wimbo wa sasa wa taifa wa [[Ogaden|Ogadenia]] ni [[Qaran]] . == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Nyimbo za taifa za Afrika]] [[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]] 193yvihyu8izv113fyvwmdq7tmza0iv Angola Avante 0 149813 1235010 1225257 2022-07-24T14:14:55Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Angola Avante'''([[Kiingereza]]:" OneWorld Angola ", lit).ni wimbo wa [[taifa]] wa [[Angola]]. Rui Alberto Vieira Dias Mingas ndiye aliyetunga [[wimbo]] huo, huku [[mashairi]] yakitungwa na Manuel Rui Alves Monteiro. Ulipitishwa kama wimbo wa taifa mnamo mwezi [[Novemba]] [[1975]], wakati [[nchi]] ilipopata [[uhuru]] wake kutoka kwa [[Ureno]]. Maneno hayo yanarejelea matukio kadhaa muhimu ya [[Chama]] cha People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA), ambacho kimekuwa madarakani tangu uhuru na kilikuwa chama pekee nchini Angola hadi mwaka [[1992]]. ==Historia== "Angola Avante" ilitungwa na Rui Alberto Vieira Dias Mingas [pt].<ref name=CIA>{{cite web|title=Angola|url=https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/angola/|access-date=August 16, 2014|work=The World Factbook|publisher=CIA}}</ref><ref>{{cite web|title= Rui Alberto Vieira Dias Mingas|url=http://www.naxos.com/person/Rui_Alberto_Vieira_Dias_Mingas/18640.htm|access-date=August 16, 2014|work=Naxos.com|publisher=Naxos Records}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} [[Jamii: Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii: Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii: Nyimbo za Taifa za Afrika]] [[Jamii: Wimbo wa Taifa]] [[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]] dcv6oxpn9t60wqeg6zkbi4loav1ice8 Akothee 0 150040 1235009 1226995 2022-07-24T14:14:20Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Esther Akoth''' (alizaliwa [[8 Aprili]] [[1983]] <ref>{{Cite web|author=Taji|first=Pauline|date=21 August 2018|title=Akothee biography: husband, family and house|url=https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html|accessdate=13 January 2022|work=Tuko.co.ke}}</ref> ), anayejulikana zaidi kama '''Akothee''', ni mwanamuziki na mfanyabiashara kutoka [[Kenya]]. Yeye ndiye mwanzilishi wa Akothee Safaris, kampuni ya watalii iliyoko nchini Kenya, Akothee Foundation, shirika la hisani, na Akothee Homes, biashara ya mali isiyohamishika. <ref>{{Cite web|url=https://www.sde.co.ke/article/2000198430/controversial-kenyan-singer-akothee-s-secrets-owning-houses-worth-sh-300-million-and-rolling-in-choppers|title=Controversial Kenyan singer Akothee's secrets: Owning houses worth Sh 300 million and rolling in choppers|author=Nyanga|first=Caroline|work=Standard Digital News|accessdate=16 April 2019}}</ref> == Maisha ya mapema na elimu == Akoth alizaliwa mwaka wa 1983 katika Kaunti ya [[Kaunti ya Kisumu|Kisumu]], <ref>{{Cite web|author=Taji|first=Pauline|date=21 August 2018|title=Akothee biography: husband, family and house|url=https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html|accessdate=13 January 2022|work=Tuko.co.ke}}Taji, Pauline (21 August 2018). [https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html "Akothee biography: husband, family and house"]. ''Tuko.co.ke''. Retrieved 13 January</ref> binti ya baba msimamizi na mama [[mwanasiasa]], na kukulia katika [[Kaunti ya Migori]] . Alisoma Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyabisawa, lakini aliacha shule akiwa na miaka 14 na kutoroka na mumewe. <ref>{{Cite web|url=https://citizentv.co.ke/lifestyle/wcw-9-things-you-didnt-know-about-akothee-8-is-interesting-97668/|first=Brian|author=Okoth|date=12 August 2015|title=WCW: 9 things you didn't know about Akothee, 8 is interesting|work=Citizentv.co.ke|accessdate=13 January 2022}}</ref> == Kazi ya muziki == Akoth alianza Kazi ya muziki mwaka [[2008]]. <ref>{{Cite web|author=Thomas|first=Zadock|date=2020-04-30|title=Akothee Biography, Net Worth – Age, Career, Songs, Family and Husband|url=https://eafeed.com/akothee-biography/|accessdate=2021-11-12|work=The East African Feed|language=en-GB}}</ref> Tangu wakati huo, ametoa nyimbo za solo pamoja na kushirikiana na wasanii wengine akiwemo [[Diamond Platnumz]] . Nyimbo zake alizozitoa ni pamoja na "Oyoyo" akimshirikisha MC Galaxy, <ref>{{Cite web|author=Taji|first=Pauline|date=21 August 2018|title=Akothee biography: husband, family and house|url=https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html|accessdate=13 January 2022|work=Tuko.co.ke}}aji, Pauline (21 August 2018). [https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html "Akothee biography: husband, family and house"]. ''Tuko.co.ke''. Retrieved 13 January</ref> "Give It To Me" akimshirikisha Flavour, "Sweet Love" akimshirikisha [[Diamond Platnumz]], "Benefactor", "Yuko Moyoni", " Ngoma Mpya" aliyomshirikisha Oc, "Osilliation", "Nimechoka", "Pashe", "Katika", "Djele Djele", "Shengerera", "Mama Bougerie", na "Tucheze".  Mnamo Machi 2020, Akoth alitoa "Mwitu asa", wimbo ulioandikwa na kuimbwa kwa lugha ya [[Wakamba|Kikamba]] . === Tuzo === Ameshinda tuzo kadhaa, zikiwemo "Msanii Bora wa Kike (Afrika Mashariki)" katika [[Tuzo za Jarida la Muzik la Afrika]] mnamo [[2016]] na [[2019]], "Video Bora" katika Tuzo za Magazine za African Muzik mnamo 2016, na "Best Female Msanii" katika Tuzo za Burudani za Kiafrika USA . <ref>{{Cite web|author=Taji|first=Pauline|date=21 August 2018|title=Akothee biography: husband, family and house|url=https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html|accessdate=13 January 2022|work=Tuko.co.ke}}Taji, Pauline (21 August 2018). [https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html "Akothee biography: husband, family and house"]. ''Tuko.co.ke''. Retrieved </ref> Akoth ana zaidi ya wafuasi milioni moja kwenye [[Instagram]], na kwa sasa ni  mtu mashuhuri wa 11 anayefuatwa zaidi Afrika Mashariki. <ref>{{Cite web|url=https://mpasho.co.ke/followed-celebs-instagram-east-africa/|title=The money shot: Most followed East African celebs on Instagram 2019|author=Akinyi|first=Apollo|date=23 January 2019|work=Mpasho News|accessdate=16 April 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.tuko.co.ke/302630-akothee-claims-saved-promises-change-raunchy-wardrobe.html|title=Akothee claims she is now saved, promises she will not change raunchy wardrobe|author=Mwarua|first=Douglas|date=8 April 2019|work=Tuko.co.ke – Kenya news.|accessdate=16 April 2019}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.tuko.co.ke/298666-akothee-leaves-fans-speechless-spreading-legs-wide-open-stage-concert.html|title=Akothee leaves fans speechless after spreading legs wide open while on stage|author=Nyasio|first=Venessa|date=18 February 2019|work=Tuko.co.ke – Kenya news.|accessdate=16 April 2019}}</ref> == Maisha binafsi == Akoth ana watoto watano, <ref>{{Cite web|url=https://citizentv.co.ke/lifestyle/wcw-9-things-you-didnt-know-about-akothee-8-is-interesting-97668/|first=Brian|author=Okoth|date=12 August 2015|title=WCW: 9 things you didn't know about Akothee, 8 is interesting|work=Citizentv.co.ke|accessdate=13 January 2022}}>Okoth, Brian (12 August 2015). [https://citizentv.co.ke/lifestyle/wcw-9-things-you-didnt-know-about-akothee-8-is-interesting-97668/ "WCW: 9 things you didn't know about Akothee, 8 is interesting"].</ref> binti watatu na wavulana wawili. <ref>{{Cite web|author=Thomas|first=Zadock|date=2020-04-30|title=Akothee Biography, Net Worth – Age, Career, Songs, Family and Husband|url=https://eafeed.com/akothee-biography/|accessdate=2021-11-12|work=The East African Feed|language=en-GB}}Thomas, Zadock (30 April 2020). [https://eafeed.com/akothee-biography/ "Akothee Biography, Net Worth – Age, Career, Songs, Family and Husband"]. ''The East African Feed''. Retrieved</ref> Anamiliki nyumba [[Mombasa]], [[Kaunti ya Migori]] na [[Zürich|Zurich]]. <ref>{{Cite web|author=Taji|first=Pauline|date=21 August 2018|title=Akothee biography: husband, family and house|url=https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html|accessdate=13 January 2022|work=Tuko.co.ke}}Taji, Pauline (21 August 2018). [https://www.tuko.co.ke/283307-akothee-biography-husband-family-house.html "Akothee biography: husband, family and house"]. ''Tuko.co.ke''</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 4tw64pfcndh9cl407102b8wmi7d2nex Julie Rydahl Bukh 0 150294 1234967 1227181 2022-07-24T12:54:17Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Julie Rydahl Bukh''' (alizaliwa [[9 Januari]], [[1982]]) ni [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa zamani wa kandanda wa [[Denmark]] ambaye hivi karibuni alichezea klabu ya ''Brøndby IF'' na [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake ya Denmark . Pamoja na timu za asili yake ya Denmark, Rydahl Bukh pia alichezea vilabu vya [[Uswidi|Uswidi,]] [[Australia]] na [[Marekani]]. Alielezewa na [[UEFA]] .com kama kiungo mwenye kipawa cha kiufundi na mbunifu wa safu ya mashambulizi ya upande wa kushoto. <ref>{{Cite web|url=http://www.uefa.com/news/newsid=1723910.html|title=Julie Rydahl Bukh|accessdate=13 July 2013|publisher=[[UEFA]]|work=UEFA.com|date=1 November 2011}}</ref> == Kazi katika klabu == Rydahl alishinda michuano sita mfululizo ya ''Elitedivisionen'' akiwa na klabu ya ''Brøndby IF'', kabla ya kuhamia [[Uswidi]] katika klabu ya ''Linköpings FC'' pamoja na mpenzi wake Cathrine Paaske mnamo Novemba [[2008]]. <ref>{{Cite web|url=http://www.linkopingfc.com/index.php?articleid=195|title=Dansk landslagsduo till LFC|publisher=[[Linköpings FC]]|language=sv|accessdate=13 July 2013|date=26 November 2008}}</ref> == Kazi ya soka kimataifa == Mnamo [[Machi]] [[2001]] Rydahl Bukh alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa dhidi ya [[Ufini]] . Alifunga bao lake la kwanza katika mechi yake ya pili, baada ya kichapo cha 2-1 cha Denmark 2-1 dhidi ya [[Italia]] katika mchezo wao wa ufunguzi wa makundi kwenye michuano ya ''UEFA Women's Euro 2001'' . == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 8lc2slas5xgnmcg0i5o3j9z0pxjnoof Carmen Brusca 0 150295 1234968 1225228 2022-07-24T12:55:10Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Carmen Brusca''' (alizaliwa [[7 Novemba]], [[1985]]) ni mchezaji wa Argentina <ref>{{Cite web|url=http://www.elequipo-deportea.com/futbol/5588/carmen-brusca-una-vida-atada-a-la-redonda.html|title=Carmen Brusca: una vida atada a la redonda|accessdate=29 April 2018|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180624204523/http://www.elequipo-deportea.com/futbol/5588/carmen-brusca-una-vida-atada-a-la-redonda.html|archivedate=24 June 2018}}</ref> na [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa zamani ambaye alicheza kama [[Beki]] . Alikuwa mwanachama wa timu ya taifa ya soka ya wanawake ya [[Argentina]] . Alikuwa sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake [[mwaka]] [[2007]]. Katika ngazi ya klabu alichezea klabu ya ''Boca Juniors'' ya nchini Argentina. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=14 October 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 7zzrctq4mh40f9stkoe1i8z9tyuluu1 Karen Carney 0 150296 1234969 1225229 2022-07-24T12:56:19Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Karen Julia Carney''' MBE (alizaliwa [[1 Agosti]] [[1987]]) ni [[mwandishi wa habari]] za michezo nchini [[Uingereza]] <ref name="btsport_bio">{{Cite news|title=Karen Carney: BT Sport Biography|url=https://sport.bt.com/our-team/pundits/football/karen-carney-bt-sport-biography-S11364383200131|work=BT Sport|date=8 August 2019}}</ref> na mchezaji wa zamani wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] ambaye alicheza kama [[winga]] na [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa kati . Carney amekuwa mtangazaji wa kawaida wa kandanda ya moja kwa moja kwenye kipindi cha [[TV]] cha ''Sky Sports'' na ''Amazon Prime'', akijumuisha Ligi Kuu ya Wanawake na mechi za Ligi Kuu ya wanaume tangu [[2019]]. <ref name="btsport_bio" /> <ref>{{Cite news|title=Football world turns on Leeds United over 'toxic, disgrace' tweet about ex-England star Karen Carney|url=https://www.foxsports.com.au/football/premier-league/epl-premier-league-leeds-united-tweet-karen-carney-video-backlash-on-social-media-covid19/news-story/36a9a3236f7a645cc742101e950bb381|work=Fox Sports|date=29 December 2020}}</ref> Pia ni mwandishi wa safu za michezo wa ''[[BBC]] Sport'', ''BBC Radio 5 Live'' na [[Televisheni]] ya [[BBC]] . <ref>{{Cite news|title=Karen Carney|url=https://www.bbc.com/news/topics/cqe147jr7jpt/karen-carney|work=BBC Sport}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Waandishi nchi kwa nchi]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] mb9vag4xm67r37a6663xmkg8z2lv6cm Rachel Brown 0 150297 1234970 1227422 2022-07-24T12:57:08Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Rachel Brown''' (alizaliwa [[2 Julai]], [[1980]]) ni [[Golikipa|goli kipa]] wa zamani wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] wa [[Uingereza]] ambaye aliichezea [[Liverpool]] tangu [[1995]] hadi [[1998]] na [[Everton F.C.|Everton]] kutoka [[2003]] hadi [[2014]]. Tangu alipocheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya taifa|timu ya]] [[Timu ya taifa|taifa]] ya soka ya wanawake wa Uingereza mwaka [[1997]], Brown alishinda mechi zaidi ya 80 . Alimsomea Pauline Cope katika miaka yake ya kwanza na timu ya taifa, kisha akawaja kuwa goli kipa namba moja wa Uingereza kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake la 2007 na Euro ya Wanawake ya UEFA [[2009]] . Kwa sababu ya majeraha, Brown alifukuzwa katika timu na Karen Bardsley katika Kombe la Dunia la FIFA la wanawake mwaka [[2011]] . Alichaguliwa pia katika kikosi cha Uingereza kwa ajili ya [[Olimpiki|Olimpik]]<nowiki/>i ya [[London]] mwaka [[2012]] . Brown alikuwa kipa kwenye klabu ''ya Channel Five 's Superstars'' na ameajiriwa na ''Everton FC's Community Project''. <ref name="rb">{{Cite web|url=http://rachel-brown.co.uk/|title=About Me|publisher=Rachel Brown|accessdate=29 July 2009|archivedate=2020-11-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201109023450/http://www.rachel-brown.co.uk/}}</ref> Nje ya soka, anajulikana kama ''Rachel Brown-Finnish'', kutokana na ndoa yake na [[mchezaji]] wa [[Gofu (michezo)|gofu]] Ian Finnis. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] rz64gztep5kdutx95czi93wayirm2wx Hannah Bromley 0 150299 1234971 1225232 2022-07-24T12:57:48Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Hannah Bromley''' (alizaliwa [[15 Novemba]], [[1986]] huko [[New Plymouth]], [[Nyuzilandi|New Zealand]] ) ni [[Beki|beki wa kati]] wa [[mpira wa miguu]] ambaye anacheza katika Ligi ya WK ya [[Korea Kusini]] katika klabu ya ''Suwon'' . Ameiwakilisha [[New Zealand]] kwenye [[timu ya taifa]] ya wakubwa pamoja na [[timu]] mbalimbali za taifa za [[vijana]]. == Kazi katika klabu == === IF Floya === Bromley, alitia saini mkataba wa miezi 18 na klabu ya ''IF Fløya'' katika ligi ya Norways Toppserien League , [[Jumatatu]] [[tarehe]] [[1 Februari]] [[2010]]. === Herforder SV === Bromley, alitia saini mkataba wa miaka 2 na klabu ya ''Herforder SV'' katika mashindano ya [[Bundesliga]] ya wanawake ya [[Ujerumani]], mnamo [[15 Januari]] [[2011]]. === Jets za Newcastle === Mnamo [[Oktoba]] [[2015]], Bromley alijiunga na ''Newcastle Jets'' . <ref>{{Cite web|url=https://northernnswfootball.com.au/deans-boosts-squad-with-mix-of-youth-and-experience/|title=Deans Boosts Squad With Mix Of Youth And Experience|publisher=[[Northern NSW Football]]|date=7 October 2015}}</ref> === Suwon === Baada ya msimu mmoja na ''Newcastle Jets'', Bromley alijiunga na [[Suwon]] pamoja na mchezaji mwenzake Gema Simon . <ref>{{Cite news|url=http://www.theherald.com.au/story/3713748/simon-bounces-back-to-net-deal/|title=Newcastle W-League captain Gema Simon nets rich South Korean deal|date=8 February 2016}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 98ufx8gyporbz0jt1hbu4nukwu1beic Mia Brogaard 0 150302 1234972 1227309 2022-07-24T12:58:53Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Mia Birkehøj Brogaard''' ( née Olsen, alizaliwa [[15 Oktoba]] [[1981]]) ni [[Beki|mlinzi]] wa zamani wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] wa [[Denmark]] . Alichezea [[timu ya taifa]] ya soka ya wanawake ya Denmark na klabu ya ''Elitedivisionen Brøndby .'' == Kazi katika klabu == Kufikia [[Septemba]] [[2012]], Brogaard alishikilia rekodi ya muda wote katika klabu ya ''Brøndby'' akiwa na 327 katika mashindano yote. Malene Olsen alikuwa katika nafasi ya pili na 247. Akiwa ameanza kazi yake kama mshambuliaji, kabla ya kurejea kwenye safu ya ulinzi, Brogaard alikuwa ameifungia klabu mabao 74. <ref>{{Cite web|url=http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|title=Kampstatistik på spillere|publisher=[[Brøndby IF (women)|Brøndby IF]]|language=da|accessdate=19 July 2013|date=9 September 2012|archiveurl=https://web.archive.org/web/20141204125351/http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|archivedate=4 December 2014}}</ref> Brogaard alichukua muda kumpata mtoto wake wa kiume Villads mnamo [[2010]]. Alirejea Brøndby katika mnamo 2012 baada ya kucheza michezo kadhaa na ''FC Damsø'' mnamo [[2011]] ili kujiimarisha. <ref>{{Cite web|url=http://www.dbu.dk/Temaer/kvindelandsholdet/Moed_spillerne/14_Mia_Brogaard.aspx|title=Mia Brogaard|publisher=[[Danish Football Association]]|language=da|accessdate=19 July 2013|archivedate=2016-04-27|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160427071658/http://www.dbu.dk/Temaer/kvindelandsholdet/Moed_spillerne/14_Mia_Brogaard.aspx}}</ref> Mnamo [[Novemba]] [[2013]] Brogaard alitangaza kuwa amestaafu mpira wa miguu. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1981]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] bz21zyxk9lrssfctk4xrw3lr533l902 Shannon Boxx 0 150306 1234973 1226142 2022-07-24T12:59:37Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Shannon Leigh Boxx Spearman''' ( née Boxx ; alizaliwa [[Juni 29]], [[1977]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] mstaafu wa nchini [[Marekani]] na mwanachama wa zamani wa [[timu ya taifa]] ya soka ya wanawake wa Amerika, akicheza nafasi ya [[Kiungo (michezo)|kiungo]]. Mara ya mwisho alichezea klabu ya ''Chicago Red Stars'' katika Ligi ya Soka ya wanawake wa Amerika . Alishinda medali za dhahabu katika [[michezo ya Olimpiki]] ya Athens [[mwaka]] [[2004]], Olimpiki ya Beijing mwaka [[2008]], na Olimpiki ya London mwaka [[2012]]. Pia alimaliza katika nafasi ya tatu akiwa na timu ya ya taifa ya Marekani katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] la [[2003]], [[2007]], [[2011]] na [[2015]]. Alikuwa kwenye fainali ya [[tuzo]] ya mchezaji bora wa [[Dunia]] wa [[FIFA]] mwaka [[2005]], na alishinda Mashindano ya Soka ya Wanawake ya NCAA na Notre Dame mnamo [[1995]]. Shannon Boxx alitangaza kustaafu kutoka katika soka la kimataifa na klabu baada ya kushinda Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake lmwaka 2015 . Alicheza mchezo wake wa mwisho mnamo [[21 Oktoba]] 2015 wakati USWNT ilipotoka sare na Brazil kama sehemu ya safari yao ya ushindi. <ref>{{Cite web|author=Bird|first=Liviu|title=Shannon Boxx bids farewell as USWNT looks ahead to Rio with new players|url=https://www.si.com/planet-futbol/2015/10/22/uswnt-brazil-shannon-boxx-olympics|work=Sports Illustrated|accessdate=November 5, 2015}}</ref> Boxx ni [[dada]] mdogo wa Gillian Boxx, ambaye alishinda medali ya dhahabu katika Olimpiki ya [[1996]] akiwa na timu ya Marekani. <ref name="FIFA">{{Cite news|title=Shannon Boxx: USA's cool-headed heroine|url=https://www.fifa.com/classicfootball/awards/gala/news/newsid=101610.html|date=November 30, 2005|work=FIFA.com|accessdate=2022-05-14|archivedate=2008-01-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080117082156/http://www.fifa.com/classicfootball/awards/gala/news/newsid%3D101610.html}}</ref> Boxx aligunduliwa na ugonjwa wa ''lupus'' mnamo 2007 alipokuwa na [[umri]] wa miaka 30, na alitangaza utambuzi wake muda mfupi kabla ya Olimpiki ya London mwaka 2012 ambapo alishinda medali ya [[dhahabu]] akiwa na timu ya Marekani. <ref>{{Cite news|title=Olympic soccer player Shannon Boxx's battle with lupus|url=https://edition.cnn.com/2012/08/16/health/olympic-soccer-boxx-lupus/index.html|date=August 16, 2012}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1977]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] ap63gf23aoefk468cln7wtsf0r6niou Hayley Bowden 0 150308 1234974 1225236 2022-07-24T13:00:12Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Hayley Rose Bowden''' MNZM (née '''Moorwood''' ; alizaliwa [[13 Februari]], [[1984]]) ni [[mwanasoka]] wa chama cha wanawake ambaye amewakilisha [[New Zealand]] katika ngazi ya kimataifa. == Kazi ya soka katika klabu == Mnamo [[2003]] na [[2004]], Bowden alicheza [[mpira wa miguu]] katika Chuo Kikuu cha Baptist kilichopo [[Kusini]] [[Magharibi]] mwa [[Missouri]] . <ref>{{Cite web|url=http://www.sbuniv.edu/athletics/wsoccer/04/04%20Profiles/Moorwood.htm|title=#8 – Hayley Moorwood|publisher=Southwest Baptist University|accessdate=3 July 2011}}</ref> Aliwakilisha Chuo Kikuu cha Virginia Commonwealth mwaka [[2005]], alifunga mabao matatu katika mechi 23. <ref>{{Cite web|url=http://vcurams.vcu.edu/wso/05bios/moorwood.htm|title=#20 HAYLEY MOORWOOD|publisher=Virginia Commonwealth University|accessdate=3 July 2011|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110929132037/http://vcurams.vcu.edu/wso/05bios/moorwood.htm|archivedate=29 September 2011}}</ref> Mnamo [[2009]], alicheza mechi tisa akiwa na klabu ya ''Ottawa Fury'' . <ref name="fury">{{Cite web|url=http://www.uslsoccer.com/teams/2009/roster/2466030.html|title=Ottawa Fury|publisher=USLsoccer.com|accessdate=23 September 2010|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110610121805/http://www.uslsoccer.com/teams/2009/roster/2466030.html|archivedate=10 June 2011}}</ref> == Kazi ya soka kimataifa == Bowden alifunga kwenye mechi yake ya kwanza akiwa na ''Kandanda Ferns,'' na kuibuka na ushindi wa mabao 15-0 dhidi ya [[Samoa]] mnamo [[7 Aprili]] [[2003]], na akawakilisha New Zealand katika fainali za [[Kombe la Dunia la FIFA]] mwaka [[2007]] nchini [[China]], <ref name="wwc2007">{{Cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/squadlist.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080713192919/http://www.fifa.com/tournaments/archive/womensworldcup/china2007/teams/team=1883725/squadlist.html|archivedate=13 July 2008|title=New Zealand Squad List, 2007 Women's World Cup|publisher=FIFA|accessdate=22 September 2008}}</ref> ambapo walipoteza dhidi ya [[Brazil]] 0-5, [[Denmark]] (0 -2) na China (0-2). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] iv1eiz7bapg5bqzncche7slkk5h0p88 Melanie Booth 0 150311 1234975 1225243 2022-07-24T13:00:41Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Melanie Lynn Booth''' (alizaliwa [[Agosti 24]], [[1984]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] mstaafu wa nchini [[Kanada]] . Mara ya mwisho alichezea klabu ya ''Sky Blue FC'' katika Ligi ya taifa ya soka la wanawake na [[timu ya taifa]] ya soka ya wanawake ya Kanada . == Maisha ya awali == Booth alizaliwa huko [[Burlington, Ontario]], Kanada. == Kazi ya uchezaji mpira == === Klabu === Alicheza katika ya ''Ottawa Fury Women'' . <ref>{{Cite web|url=https://web.archive.org/web/20141109102944if_/https://www.ottawafuryfc.com/page/slug/w-league-history#.VF9CIOj7Q2w|title=Ottawa Fury FC W-League History}}</ref> Mnamo [[Januari 11]], [[2013]], alijiunga na ''Sky Blue FC'' katika Ligi ya taifa ya [[soka]] la Wanawake . === Kimataifa === Booth alikuwa na [[umri]] wa miaka 17 aliposhinda mechi yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Kanada mnamo [[Machi 1]], [[2002]], kwenye Kombe la Algarve (kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya [[Scotland]] ). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] j2gega0omwdyrfdjhn65ky319eactjf Jenny Bindon 0 150313 1234976 1225134 2022-07-24T13:01:27Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Jenny Lynn Bindon''' (alizaliwa [[25 Februari]], [[1973]]) ni mzaliwa wa nchini [[Marekani]] na mkufunzi wa [[Mpira wa miguu|chama cha soka]] na [[Golikipa|goli kipa]] wa zamani ambaye aliwakilisha [[New Zealand]] katika ngazi ya kimataifa. Alicheza mechi 77 za kimataifa kati ya [[mwaka]] [[2004]] na [[2010]]. <ref name="candg">{{Cite web|url=http://www.ultimatenzsoccer.com/FootballFerns/id38.htm|title=Caps 'n' Goals, New Zealand Women's national representatives|work=UltimateNZSoccer.com|publisher=The Ultimate New Zealand Soccer Website|accessdate=11 June 2009}}</ref> Aliwahi kuwa mkufunzi mkuu wa timu ya soka ya wanawake ya [[Chuo Kikuu]] cha Loyola Marymount (LMU) . <ref>{{Cite web|url=https://lmulions.com/sports/womens-soccer/roster/coaches/jenny-bindon/4502|title=Jenny Bindon - Women's Soccer Coach|work=Loyola Marymount University Athletics|language=en|accessdate=2020-01-05}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1973]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 6b498ry8mcqnt5bf6wumpzupfc3au2l Bi Yan 0 150316 1234977 1225238 2022-07-24T13:43:10Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Bi Yan''' (alizaliwa [[17 Februari]], [[1984]]) ni [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa nchini [[China]] ambaye alicheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa kati <ref name="wf">{{Cite web|title=Yan Bi|url=https://www.worldfootball.net/player_summary/yan-bi/|work=worldfootball.net|accessdate=16 February 2021}}</ref> na kushiriki katika [[michezo ya Olimpiki]] ya [[mwaka]] [[2004]]. Mnamo [[2004]], alimaliza katika nafasi ya tisa na timu yake ya China kwenye mashindano ya wanawake. Na alicheza [[mechi]] zote mbili. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] lw0gic66lpr9lwwsbvxkptf5to41u0f Adjoa Bayor 0 150319 1234978 1225245 2022-07-24T13:43:48Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Adjoa Bayor''' (alizaliwa [[17 Mei]], [[1979]]) ni [[mwanasoka]] wa zamani wa nchini Ghana ambaye alicheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] . Amewahi kuwa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Ghana . <ref>{{Cite web|url=https://www.adomonline.com/ghana-news/i-broke-my-virginity-at-age-32-adjoa-bayor/|title=I broke my virginity at age 32 - Adjoa Bayor|author=Abedu-Kennedy|first=Dorcas|date=2018-11-15|work=AdomOnline.com|language=en-US|accessdate=2019-02-23}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://citinewsroom.com/2018/11/28/tony-baffoe-challenges-adjoa-bayor-to-get-involved-in-developing-womens-football/|title=Tony Baffoe challenges Adjoa Bayor to get involved in developing women's football|date=2018-11-28|work=Citi Newsroom|language=en-US|accessdate=2019-02-23}}</ref> == Kazi == Bayor alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake [[mwaka]] [[1999]] nchini [[Marekani]]. Alikuwa mshiriki wa timu ya ''World All Stars'' iliyocheza dhidi ya timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya [[China]] mwezi [[Aprili]] [[2007]] huko [[Wuhan]], [[Jamhuri ya Watu wa China|Uchina]] . <ref name="wpsl">{{Cite web|url=http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archiveurl=https://web.archive.org/web/20071108011433/http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archivedate=2007-11-08|title=FIFA Recognizes F.C. Indiana Star|accessdate=2007-09-20|publisher=Women's Professional Soccer League}}</ref> Amewahi kuichezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' huko [[Accra]], [[Ghana]] na pia ameichezea klabu ya ''FC Indiana'' ya [[Marekani]]. <ref name="wpsl">{{Cite web|url=http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archiveurl=https://web.archive.org/web/20071108011433/http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archivedate=2007-11-08|title=FIFA Recognizes F.C. Indiana Star|accessdate=2007-09-20|publisher=Women's Professional Soccer League}}</ref> Bayor alijiunga mnamo [[21 Januari]] [[2009]] na timu ya ''FF USV Jena''. <ref>{{Cite web|url=http://www.zcontent.de/eznews.php?news=1152891559&nummer=1232563945|title=Archived copy|accessdate=2009-01-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111002091924/http://www.zcontent.de/eznews.php?news=1152891559&nummer=1232563945|archivedate=2011-10-02}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 8egis7k2f5ufwoiy1joo1c291le6iyx 1234979 1234978 2022-07-24T13:44:53Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Adjoa Bayor''' (alizaliwa [[17 Mei]], [[1979]]) ni [[mwanasoka]] wa zamani wa nchini Ghana ambaye alicheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] . Amewahi kuwa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Ghana . <ref>{{Cite web|url=https://www.adomonline.com/ghana-news/i-broke-my-virginity-at-age-32-adjoa-bayor/|title=I broke my virginity at age 32 - Adjoa Bayor|author=Abedu-Kennedy|first=Dorcas|date=2018-11-15|work=AdomOnline.com|language=en-US|accessdate=2019-02-23}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://citinewsroom.com/2018/11/28/tony-baffoe-challenges-adjoa-bayor-to-get-involved-in-developing-womens-football/|title=Tony Baffoe challenges Adjoa Bayor to get involved in developing women's football|date=2018-11-28|work=Citi Newsroom|language=en-US|accessdate=2019-02-23}}</ref> == Kazi == Bayor alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake [[mwaka]] [[1999]] nchini [[Marekani]]. Alikuwa mshiriki wa timu ya ''World All Stars'' iliyocheza dhidi ya timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya [[China]] mwezi [[Aprili]] [[2007]] huko [[Wuhan]], [[Jamhuri ya Watu wa China|Uchina]] . <ref name="wpsl">{{Cite web|url=http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archiveurl=https://web.archive.org/web/20071108011433/http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archivedate=2007-11-08|title=FIFA Recognizes F.C. Indiana Star|accessdate=2007-09-20|publisher=Women's Professional Soccer League}}</ref> Amewahi kuichezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' huko [[Accra]], [[Ghana]] na pia ameichezea klabu ya ''FC Indiana'' ya [[Marekani]]. <ref name="wpsl">{{Cite web|url=http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archiveurl=https://web.archive.org/web/20071108011433/http://www.wpsl.info/news/indexa.php?cat=1&id=149|archivedate=2007-11-08|title=FIFA Recognizes F.C. Indiana Star|accessdate=2007-09-20|publisher=Women's Professional Soccer League}}</ref> Bayor alijiunga mnamo [[21 Januari]] [[2009]] na timu ya ''FF USV Jena''. <ref>{{Cite web|url=http://www.zcontent.de/eznews.php?news=1152891559&nummer=1232563945|title=Archived copy|accessdate=2009-01-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111002091924/http://www.zcontent.de/eznews.php?news=1152891559&nummer=1232563945|archivedate=2011-10-02}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Argentina]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] rdy5bcgvnbkv8fxfyw04o3dpwtrpuwt Saskia Bartusiak 0 150322 1234980 1226124 2022-07-24T13:45:53Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Saskia Bartusiak''' (alizaliwa [[9 Septemba]], [[1982]]) ni [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] mstaafu wa [[Ujerumani]]. Alicheza kama [[beki]] wa kati. <ref name="dfb">{{Cite web|url=https://www.dfb.de/index.php?id=1001531|title=Nationalspielerin Saskia Bartusiak|publisher=DFB.de|accessdate=18 June 2011|language=German}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.framba.de/content/index.php?option=com_content&view=article&id=189:saskia-bartusiak&catid=69:alle&Itemid=457|title=Saskia Bartusiak|publisher=Framba.de|accessdate=18 June 2011|language=German|archivedate=2012-03-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20120319093035/http://www.framba.de/content/index.php?option=com_content&view=article&id=189:saskia-bartusiak&catid=69:alle&Itemid=457}}</ref> == Kazi ya soka katika klabu == Bartusiak alianza kazi yake katika klabu ya ''FV 09 Eschersheim''. Mnamo [[1996]], aliondoka kwenye klabu na kujiunga na ''FSV Frankfurt'' ambapo alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Bundesliga]] . Baada ya miaka mitano, alihamia klabu ya 1. ''FFC Frankfurt'' mnamo [[2005]]. Alicheza safu ya [[Beki|ulinzi wa kati]], Bartusiak amekuwa mchezaji muhimu katika mafanikio ya timu ya FFC Frankfurt katika miaka iliyofuata. Alishinda michuano miwili ya Bundesliga na mataji matatu ya Kombe la Ujerumani katika klabu hiyo. Katika msimu wa 2005-[[2006]] na [[2007]]-[[2008]] pia alishinda [[Kombe la UEFA]] la wanawake akiwa na klabu ya Frankfurt. <ref name="dfb">{{Cite web|url=https://www.dfb.de/index.php?id=1001531|title=Nationalspielerin Saskia Bartusiak|publisher=DFB.de|accessdate=18 June 2011|language=German}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] projxg8d24zbdov57gnoo1m21nq4nay Celeste Barbitta 0 150323 1234981 1225128 2022-07-24T13:46:26Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Sabrina Celeste Barbitta Nuño''' (alizaliwa [[22 Mei]] [[1979]]), anajulikana zaidi kama '''Celeste Barbitta''', <ref>{{Cite web|url=https://www.lacomuderacing.com/racing-arranque-inmejorable/|title=Arranque inmejorable|publisher=La Comu de Racing Club|language=es|date=23 September 2018|accessdate=16 June 2019|first=Sol|author=Amato Jacinto}}</ref> ni [[mwanasoka]] wa [[Argentina]] ambaye anacheza kama [[beki]] . Alikuwa mchezaji wa [[timu ya taifa]] ya wanawake ya Argentina katika misimu miwili ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake ( [[2003]] na [[2007]] ). <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/affederation/technicaldevp/50/08/02/fwwcusa2003-technicalreport_neu_081010.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111226232356/http://www.fifa.com/mm/document/affederation/technicaldevp/50/08/02/fwwcusa2003-technicalreport%5fneu%5f081010.pdf|archivedate=26 December 2011|title=FIFA Women's World Cup USA 2003 - Technical Report|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2003|work=FIFA Women's World Cup United States 2003}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=14 October 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] bw9w8er4e6hpgjtaiy9psbd3wvvq4lj Melissa Barbieri 0 150324 1234982 1225130 2022-07-24T13:47:04Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Melissa Anne Barbieri''' (alizaliwa [[20 Februari]], [[1980]]) ni [[goli kipa]] wa kimataifa wa [[Australia]] ambaye anachezea klabu ya ''Melbourne City'' katika ligi ya ''A-League Women''. Alicheza mechi zaidi ya 86 akiwa na [[timu ya taifa]] ya [[soka]] ya wanawake ya Australia na akashiriki mashindano manne ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake . Barbieri alistaafu katika soka la kimataifa [[mwaka]] [[2015]]. <ref name="matildas_retirement_foxsports">{{Cite news|title=Melissa Barbieri retirement: Matildas veteran goalkeeper retires from international football|url=https://www.foxsports.com.au/breaking-news/melissa-barbieri-retirement-fourtime-world-cup-matildas-veteran-retires-from-international-football/news-story/3ed09b14b1fb7024b67015da5a2062cf}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Barbieri alipata ufadhili wa masomo katika [[taasisi]] ya [[michezo]] ya Victoria. <ref name="SMH">{{Cite web|url=http://www.smh.com.au/news/football/barbieri-set-to-break-the-code/2007/03/02/1172338890085.html|title=Barbieri set to break the code|accessdate=21 April 2008|date=3 March 2007|publisher=AAP/Sydney Morning Herald}}</ref> == Maisha binafsi == Barbieri alipata mtoto wake wa kwanza wa kike, mwaka [[2013]]. <ref name="matildas_retirement_foxsports">{{Cite news|title=Melissa Barbieri retirement: Matildas veteran goalkeeper retires from international football|url=https://www.foxsports.com.au/breaking-news/melissa-barbieri-retirement-fourtime-world-cup-matildas-veteran-retires-from-international-football/news-story/3ed09b14b1fb7024b67015da5a2062cf}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 8lfup5tkiz29hzedmu0n5kty6l32lhb Doreen Awuah 0 150327 1234983 1228879 2022-07-24T13:47:37Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Doreen Angelina Awuah''' (alizaliwa [[12 Disemba]] [[1989]]) ni [[mwanasoka]] wa kimataifa wa wanawake wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa kati. Ni mwanachama wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . Alikuwa sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake mwaka [[2007]]. Katika ngazi ya klabu anachezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}} {{Wayback|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf |date=20121014165606 }}</ref> Alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa ya Ghana katika mechi ya makundi dhidi ya [[Norwei|Norway]] . <ref>[https://web.archive.org/web/20150702171237/http://www.fifa.com/womensworldcup/matches/round=248549/match=56321/index.html#nosticky FIFA.com]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] tqh4f8kxpnsvhkzx00sobua37vmkwdy Yaa Avoe 0 150328 1234984 1225246 2022-07-24T13:48:09Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Yaa Avoe''' (alizaliwa [[1 Julai]] [[1982]]) ni [[mwanasoka]] wa kimataifa wa wanawake wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] . Ni mwanachama wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . Alikuwa sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la wanawake mwaka [[2003]] na Kombe la Dunia la FIFA la wanawake mwaka 2007 . Katika ngazi ya klabu anachezea klabu ya ''Ash Town Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] k168xonh1z95m9dd4sayw8rlr3h414w Anita Asante 0 150329 1234985 1225145 2022-07-24T13:48:44Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Anita Amma Ankyewah Asante''' (alizaliwa [[27 Aprili]] [[1985]]) alikuwa [[Beki|mlinzi wa]] [[Mpira wa miguu|kandanda]] wa [[Uingereza]] Kama inavyoonyeshwa na jina lake, Asante ana asili ya [[Ghana]] (jina la "Ama" lina asili ya Kiakan, linalotolewa kwa wasichana waliozaliwa [[Jumamosi]]). Asante amecheza mechi 71 <ref>{{Cite web|url=http://www.thefa.com/news/2014/dec/17/anita-asante-england-player-of-the-year-2014-contender-vote-now-171214|title=Women's Player of the Year 2014 contender: Anita Asante|publisher=Football Association|accessdate=4 July 2019|date=17 December 2014}}</ref> katika [[timu ya taifa]] ya Uingereza na alichaguliwa katika kikosi cha Uingereza kwa ajili ya [[michezo ya Olimpiki]] ya [[London]] mwaka [[2012]] . <ref>{{Cite web|title=Anita Asante|url=https://olympics.com/en/athletes/anita-asante|accessdate=2021-10-07|work=Olympics}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Anita Asante|url=https://www.amnesty.org.uk/anita-asante|accessdate=2021-10-07|work=Amnesty International}}</ref> Katika ngazi ya klabu, Asante amechezea timu za Uingereza za wanawake kama vile [[Arsenal FC|Arsenal]], [[Chelsea F.C.|Chelsea]] <ref>{{Cite news|title=Veteran Asante departs Chelsea Women|language=en-GB|work=BBC Sport|url=https://www.bbc.com/sport/football/53108990}}</ref> na [[Aston Villa F.C.|Aston Villa]], huku pia akiwa amezichezea ''Saint Louis Athletica'', ''Chicago Red Stars'', ''Washington Freedom'' na ''Sky Blue FC''. Kabla ya kusajiliwa na FC Rosengård mwaka [[2013]], alitumia misimu miwili nchini Uswidi na timu ya Göteborg . == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] eo3bezwggpi8cs3b56pthczsxeclutc Gitte Andersen (mchezaji) 0 150331 1234986 1225231 2022-07-24T13:49:19Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Gitte Andersen''' (alizaliwa [[28 Aprili]], [[1977]]) ni [[Beki|mlinzi]] wa zamani wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] wa [[Denmark]] . Alichezea klabu ya ''Brøndby IF'' na [[timu ya taifa]] ya Denmark . Andersen alicheza mechi 202 akiwa na klabu ya Brøndby kati ya mwaka [[2001]] na [[2009]]. <ref>{{Cite web|url=http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|title=Kampstatistik på spillere|publisher=[[Brøndby IF (women)|Brøndby IF]]|language=Danish|accessdate=4 January 2014|date=9 September 2012|archiveurl=https://web.archive.org/web/20141204125351/http://www.brondbyif.net/page.aspx?id=42159|archivedate=4 December 2014}}</ref> == Viungo vya nje == * {{FIFA player|186527}} Rekodi ya mashindano * [http://www.dbu.dk/landshold/landsholdsdatabasen/PlayerInfo/4355&teamtypeid=330#match Takwimu za Shirikisho la Soka la Denmark (DBU).] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1977]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 9ig5fdz7zcbr3hirqjqdir1um8ckl5d Olivia Amoako 0 150332 1234987 1225234 2022-07-24T13:49:55Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Olivia Amoako''' (alizaliwa [[30 Septemba]], [[1985]]) ni [[mwanasoka]] wa [[Ghana]] ambaye alicheza kama [[Beki|mlinzi]] wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . <ref>{{Cite web|title=Women's World Cup 2007, Group Stage 2007|url=http://www.espnfc.com.ng/match?gameId=216518|publisher=ESPN|accessdate=20 March 2017}}</ref> Alikuwa sehemu ya [[timu ya taifa]] kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake mwaka [[2007]] . Katika ngazi ya klabu alichezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] oxlfsm9jyesa59gfruy4plvu17sycyh Anita Amenuku 0 150333 1234988 1225239 2022-07-24T13:52:49Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Anita Amenuku''' (alizaliwa [[27 Julai]], [[1985]]) ni [[mwanasoka]] wa kimataifa wa wanawake wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] . Ni mwanachama wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . Alikuwa sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake mwaka [[2007]]. Katika ngazi ya klabu anachezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> Alicheza kwa mara ya kwanza nchini Ghana mnamo [[12 Septemba]] 2007 dhidi ya [[Australia]] . <ref>[https://web.archive.org/web/20150702171309/http://www.fifa.com/womensworldcup/matches/round=248549/match=56325/index.html#nosticky FIFA.com]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] mxadj2gsmsfcdmy6rqanva6kzo7v0tm Anita Amankwa 0 150334 1234989 1225240 2022-07-24T13:53:26Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Anita Amankwa''' (alizaliwa [[2 Septemba]], [[1989]]) ni [[mwanasoka]] wa kimataifa wa wanawake wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] . Ni mwanachama wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . Alikuwa sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake mwaka [[2007]] Katika ngazi ya klabu anachezea klabu ya ''Takoradi Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] hqegopgsmzimm7m9uzedzvd2po4znbq Eniola Aluko 0 150335 1234990 1225216 2022-07-24T13:53:57Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Eniola Aluko''' (alizaliwa [[21 Februari]] [[1987]]) ni [[mkurugenzi]] wa [[Mpira wa miguu|mpira]] wa miguu, mtoa maoni, na [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa. Mnamo [[Mei]] [[2021]] alikua mkurugenzi wa michezo wa timu ya ''Angel City FC'' huko [[Los Angeles]], [[Marekani]]. <ref name="acfc">{{Cite news|date=20 May 2021}}</ref> == Maisha ya awali == Alizaliwa [[Lagos]], [[Nigeria]], kwa Gbenga na Sileola, Aluko alihamia na [[familia]] yake huko [[Birmingham]] katika eneo la West Midlands nchini [[Uingereza]] akiwa na [[umri]] wa miezi sita. <ref name="STL">{{Cite news|url=http://www.stltoday.com/stltoday/sports/stories.nsf/soccer/story/6260A70C8F1ACABD862575FB00051318?OpenDocument|title=Athletica's Aluko prepares for life as an attorney|last=Timmermann|first=Tom}}</ref> <ref>{{Cite news|url=https://www.kickoff.com/news/articles/south-africa-news/categories/news/news/aluko-hungry-for-2010-wc-action/518244|title=Aluko hungry for 2010 WC action}}</ref> <ref>{{Cite news|url=https://www.theguardian.com/football/2017/oct/21/footballer-whose-hero-is-atticus-finch-from-to-kill-a-mockingbird|title=Eniola Aluko: the footballing whistleblower whose hero is Atticus Finch|last=Kelner|first=Martha}}</ref> Alikua akicheza mpira wa miguu na [[kaka]] yake Sone Aluko na marafiki zake. Pia alicheza michezo mingine, ikiwa ni pamoja na [[tenisi]]. <ref>{{Cite news|last=Moore|first=Glen|title=Women's football in Britain: Doing it for themselves|url=https://www.independent.co.uk/sport/football/news/women-s-football-britain-doing-it-themselves-10125165.html}}</ref> Alipokuwa akikua, Aluko alikua shabiki wa [[Manchester United F.C.|Manchester United]] . <ref>{{Cite web|author=Fagbemi|first=Ayo|title=Eni Aluko: Stand Empowered|work=GAFFER|url=https://gaffer.online/features/football/eni-aluko-standing-out-standing-up/|accessdate=2 March 2021}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 0fw0klkxg3q0ujqrv4zqujw744d83uw Aline Pellegrino 0 150338 1234991 1225247 2022-07-24T14:01:33Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Aline Pellegrino''' (alizaliwa [[Julai 6]], [[1982]]), anajulikana kama '''Aline''', ni [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa zamani wa [[Brazil]] ambaye alicheza kama [[Beki|mlinzi]] wa klabu ya nchini [[Urusi]] ya ''WFC Rossiyanka'' na vilabu kadhaa katika nchi yake ya [[asili]] ya Brazil. Alikuwa mwanachama wa [[Timu ya taifa|timu]] [[Timu ya taifa|ya taifa]] ya Brazili iliyoshinda medali ya fedha katika Olimpiki ya [[2004]] <ref>{{Cite web|publisher=Sports-Reference.com|title=Aline Pellegrino Biography and Statistics|url=https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/pe/aline-pellegrino-1.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200223054759/http://www.sports-reference.com/olympics/search/athlete_search.cgi?search=aline+pellegrino+|archivedate=2020-02-23|accessdate=2010-02-13}}</ref> na kushiriki katika [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake la [[2007]] . <ref>{{FIFA player|212298}}</ref> Alifanywa kuwa [[nahodha]] wa timu ya taifa mnamo [[2006]]. Mnamo [[Agosti]] [[2011]] alijiunga na mshiriki wa Ligi ya Mabingwa wa Urusi WFC Rossiyanka . <ref>{{Cite web|title=Aline and Fabiana join Rossiyanka|url=http://www.santosfc.com.br/noticias/conteudo.asp?id=25167|archiveurl=https://archive.today/20120914060744/http://www.santosfc.com.br/noticias/conteudo.asp?id=25167|archivedate=14 September 2012|publisher=santosfc.com.br|accessdate=27 September 2011|language=Portuguese|date=25 August 2011}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 2kuga71ehm41825uwfvf1fjjvtcpjz7 Dianne Alagich 0 150339 1234992 1225242 2022-07-24T14:02:05Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Dianne Marie Alagich''' (alizaliwa [[12 Mei]] [[1979]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[Mpira wa miguu|kandanda]] wa [[Australia]], ambaye mara ya mwisho alichezea klabu ya ''Adelaide United'' katika ligi ya W-League <ref>{{Cite web|title=Adelaide United Profile|url=http://www.adelaideunited.com.au/default.aspx?s=wleague_profile&pid=433&tid=265|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110314134111/http://www.adelaideunited.com.au/default.aspx?s=wleague_profile|archivedate=14 March 2011|accessdate=16 April 2009}}</ref> na Matildas . <ref>[https://web.archive.org/web/20081004223733/http://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=1/index.html FIFA Player Profile]</ref> Ana [[urefu]] wa 169cm na [[uzito]] wake ni kilo 62. Ni [[dada]] mdogo wa mchezaji wa zamani wa ''Adelaide United'' Richie Alagich . <ref>{{Cite web|author=Filosi|first=Gianluca|date=26 January 2018|title=Alagich not surprised by W-League's growth|url=https://www.adelaideunited.com.au/news/alagich-not-surprised-w-leagues-growth|publisher=[[Adelaide United FC|Adelaide United]]}}</ref> Mnamo [[19 Desemba]] [[2000]], alitunukiwa Medali ya michezo ya Australia . <ref>{{Cite web|title=Dianne Alagich|url=http://www.itsanhonour.gov.au/honours/honour_roll/search.cfm?aus_award_id=972618&search_type=advanced&showInd=true|accessdate=31 December 2012|publisher=[[Department of the Prime Minister and Cabinet (Australia)|Department of the Prime Minister and Cabinet]]}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] mmtzaxih4ftgxq24hxr4czkbw29r4gk Hamdya Abass 0 150340 1234993 1225237 2022-07-24T14:02:52Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Hamdya Abass''' (alizaliwa [[1 Agosti]] [[1982]]) ni [[mwanasoka]] wa kimataifa wa wanawake wa [[Ghana]] ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] . Ni mwanachama wa [[timu ya taifa]] ya [[kandanda]] ya wanawake wa Ghana . Alikuwa ni sehemu ya timu kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la Wanawake la [[2007]] .Katika ngazi ya klabu anachezea klabu ya ''Ghatel Ladies'' nchini Ghana. <ref>{{Cite web|url=https://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc%5f2007%5fplayers%5f19147.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121014165606/http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/fwwc_2007_players_19147.pdf|archivedate=October 14, 2012|title=List of Players|accessdate=2007-09-28|publisher=[[FIFA]]|year=2007|work=FIFA Women's World Cup China 2007}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] 1at7f3wvx55ezyu1mvwxj0624xkvjlp Hannes Coetzee 0 150352 1234994 1225184 2022-07-24T14:03:44Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Hannes Coetzee''' (alizaliwa [[1944]]) ni mpiga [[gitaa]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. Anajulikana sana kwa mbinu yake ya kipekee ya kucheza kwa kutumia [[kijiko]] mdomoni na upigaji wa gitaa. <ref name="Stuijt">{{Cite web|url=http://www.digitaljournal.com/article/263133?tp=1|title=Think you can play the guitar? Try a spoon...|author=Stuijt|first=Adriana|date=6 December 2008|publisher=DigitalJournal.com|accessdate=9 June 2010}}</ref> Mbinu hii ya uchezaji inaitwa ' ''optel en knyp'' ', ambayo hutafsiriwa kama "pick and pinch". <ref name="google">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=ST1ER6vvCT4C|title=A Gentleman's Bedside Book: Entertainment for the Last Fifteen Minutes of the Day|last=Cutler, T.|date=2010|publisher=Constable & Robinson Limited|isbn=9781849018036|access-date=12 June 2015}}</ref> Coetzee alifikia hadhira kwa upana kupitia kazi ya ''Karoo Kitaar Blues'' ya David Kramer ilipotolewa [[mwaka]] [[2003]]. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1944]] [[Jamii:Watunzi wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]] t30chz58588g8hlcmk9cjt9rxovl3ba DJ Clock 0 150353 1234995 1225186 2022-07-24T14:04:23Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Kholile Elvin Gumede''', (alizaliwa [[16 Mei]], [[1988]]), <ref>{{cite tweet|title=UMGS wishes DJ Clock a Happy Birthday!|number=467333679325675521|user=UMGSA|date=May 16, 2014|accessdate=18 April 2020}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.djsproduction.co.za/dj-clock/|title=DJ Clock About|work=djsproduction|accessdate=18 April 2020}}</ref> anajulikana zaidi kama '''DJ Clock''', ni [[DJ]] wa nchini [[Afrika Kusini]] na mtayarishaji wa rekodi. == Kazi == [[Albamu]] yake ya kwanza ya ''The First Tick'' ilitolewa mnamo [[Januari 6]], [[2008]], nchini Afrika Kusini. Katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] ([[2008]]), <ref>{{Cite web|url=http://bimba.co.za/dj-clock|title=Dj Clock}}</ref> ''The First Tick'' aliteuliwa katika [[tuzo]] za SAMA, kama Albamu bora na wimbo wake wa "Umahamba Yedwa" kama rekodi bora ya [[mwaka]] . == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Waliozaliwa 1988]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] hs95kz0q4pjawykg6ovwd4k6q8ov27y Chymamusique 0 150354 1234996 1225188 2022-07-24T14:05:14Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Collen Mmotla''' (alizaliwa [[4 Juni]], [[1990]]) ni [[Disc jockey|DJ]] wa nchini [[Afrika Kusini]] na [[Mtayarishaji wa Muziki|mtayarishaji wa muziki]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.sowetanlive.co.za/entertainment/2018-09-14-chymamusique-follows-on-past-success-with-nod-for-three-lima-gongs/|title=Chymamusique follows on past success with nod for three Lima gongs|work=[[The Sowetan]]}}</ref> == Kazi == Chymamusique alianza kazi yake ya [[muziki]] mwaka [[2000]] kama mpiga [[kinanda]] wa [[Nyimbo za Kiinjili|injili]] na [[jazz]] . Baadae alianza kupendezwa na muziki wa nyumbani mnamo [[2005]] na akaanza kuutayarisha mnamo [[2006]]. Alitoa wimbo wake wa kwanza mnamo [[2010]]. <ref>{{Cite web|url=https://capricornreview.co.za/48594/the-man-behind-dj-chymamusique-is/|title=The man behind DJ Chymamusique is...|date=May 26, 2015|work=Capricorn Review}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] [[Jamii:Muziki nchi kwa nchi]] puh85y63l70qo0ybbitp8sd3e7usddz Yanga Chief 0 150355 1234997 1225191 2022-07-24T14:06:15Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Yanga Ntshakaza''' (alizaliwa [[Oktoba 17]], [[1987]]), anajulikana zaidi kama '''Chifu wa Yanga''' (au kwa [[wiktionary:mononymously|jina]] moja la '''Yanga''' ) ni [[mwanamuziki]] wa [[rap]] na [[mwimbaji]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa [[Mthatha]] na kukulia [[Komani|Queenstown]], Yanga alisomea masomo ya filamu katika [[Chuo Kikuu]] cha [[Johannesburg]] . <ref>{{Cite web|title=WATCH: Yanga paving his own trail - Fourways Review|url=https://fourwaysreview.co.za/233335/watch-yanga-paving-his-own-trail/?pwa-amp|publisher=Fourways Review|accessdate=2021-12-10|first=Nkululeko|author=Zilibokwe|date=2016-05-20}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Articles with hCards]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] cbxb83zppwab2pahdnw2qxy5vi26obv Khuli Chana 0 150356 1234998 1225193 2022-07-24T14:06:50Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Khulane Morule''' (alizaliwa [[Agosti 27]], [[1982]]), anajulikana zaidi kwa [[jina]] lake la [[sanaa]] '''Khuli Chana''', ni [[Kurap|rapa]] wa Motswako nchini Afrika Kusini. == Maisha ya awali na kazi == Morule alizaliwa Mmabatho, [[Kaskazini-Magharibi (jimbo la Afrika Kusini)|Mkoa wa Kaskazini Magharibi]] na alianza kurap motswako akiwa na [[umri]] mdogo. <ref name="trace">{{Cite web|url=http://trace.tv/artist/khuli-chana/|title=Khuli Chana Archives|publisher=Trace TV|accessdate=27 January 2016}}</ref> Alikuwa mwanachama wa kikundi cha rap kiitwacho Morafe. <ref>{{Cite web|url=https://www.news24.com/MoveMag/Archive/khuli-chana-20170728|title=KHULI CHANA|publisher=News 24}}</ref> Kisha akaendelea kwenda peke yake, baada ya kikundi hicho cha rap kuvurugika <ref>{{Cite web|url=https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/khuli-chana-talks-about-his-creative-revolution-12194421|title=Khuli Chana talks about his creative revolution|publisher=IOL SA}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] ghudkenoxg2rrdezdbh8ozgl7gmbayl Seleke Botsime 0 150358 1234999 1227459 2022-07-24T14:07:24Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Seleke Botsime''' (alizaliwa [[1975]]) ni mpiga [[gitaa]], [[mtunzi]] na [[mwanamuziki]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa huko [[Bloemfontein|Mangaung]] katika [[Jimbo]] la [[Dola Huru|Free State]], [[mwimbaji]] huyu amebobea katika [[muziki]] wa [[jazz]] na hutumbuiza kwenye tafrija na matukio mbalimbali nchini kote, na katika [[nchi]] jirani.  Ametoa [[albamu]] inayoitwa CONFRONTATION ikiwa na [[nyimbo]] kumi na moja, kikiwemop kibao cha ''Zimbabwe'' . <ref>{{Cite web|url=http://kaganof.com/kagablog/2007/12/02/seleke-botsime-takes-fs-by-storm/|title=,SELEKE BOTSIME TAKES FS BY STORM!|date=2007-12-02|work=kagablog|accessdate=2022-05-14|archivedate=2018-07-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180703220424/http://kaganof.com/kagablog/2007/12/02/seleke-botsime-takes-fs-by-storm/}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://freestateinterviews.blogspot.com/2009/11/why-i-cut-my-locks-seleke-botsime.html|title="Why I cut my locks" - Seleke Botsime|author=Nkatswang|first=Thato|date=2009-11-23|work=Free State Interviews}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 3sfe9gws4degf4n7yyy62dpfal9i9um Piet Botha 0 150359 1235000 1225199 2022-07-24T14:07:56Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Piet Botha''' ([[18 Julai]], [[1955]] – [[2 Juni]], [[2019]]) <ref>[https://rekordeast.co.za/208736/local-rockstar-piet-botha-dies/ Local Rockstar Piet Botha dies]</ref> alikuwa [[mwanamuziki]] wa nchini [[Afrika Kusini]] <ref name="iolcoza">[http://www.iol.co.za/tonight/news/celebs-hit-city-to-usher-in-new-year-1.1006909 Celebs hit city to usher in new year], [[Independent Online (South Africa)|Independent Online]], 30 September 2011</ref> na [[mwimbaji]] mkuu wa bendi ya [[muziki]] ya ''rock Jack Hammer'' ya Afrika Kusini (ambamo alijulikana kama "The Hammer"), <ref name="jackhammerhist">[http://www.jackhammer.co.za/history.html Jack Hammer history at the band's site]</ref> == Wasifu == Alikuwa mtoto wa [[Waziri]] wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Pik Botha ([[1932]]-[[2018]]) na mjomba wa Roelof Botha, CFO wa zamani wa PayPal . Botha alikwenda Marekani mwaka [[1985]] kufanya kazi, lakini alirejea Afrika Kusini mwaka uliofuata. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Makaburu]] [[Jamii:Waliofariki 2019]] [[Jamii:Waliozaliwa 1955]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] csf8g2k7r424bdiikaxco17kn87veku Blxckie 0 150360 1235001 1225201 2022-07-24T14:08:45Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Sihle Sithole''', anajulikana zaidi kama '''Blxckie''', ni [[rapa]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. <ref name="BREAKROOM">{{Cite web|title=The Rise of Blxckie|url=https://www.breakroomafrica.com/music/2021/2/1/the-rise-of-blxckie|accessdate=2022-01-02|work=BREAKROOM AFRICA|language=en-US}}</ref> Mnamo mwaka [[2021]], alipewa [[jina]] la ''Apple Music 's Up Next'' . <ref>{{Cite web|date=2021-03-23|title=BLXCKIE ANNOUNCED AS APPLE MUSIC UP NEXT ARTIST IN SOUTH AFRICA|url=https://trace.tv/people/blxckie-announced-apple-music-next-artist-south-africa/|accessdate=2022-01-02|work=[[Trace Urban|TRACE]]|language=en|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210411145521/https://trace.tv/people/blxckie-announced-apple-music-next-artist-south-africa/|archivedate=11 April 2021}}</ref> <ref>{{Cite web|author=Shumba|first=Ano|date=2021-03-19|title=SA: Blxckie featured on Apple Music Up Next|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-blxckie-featured-apple-music-next|accessdate=2022-01-02|work=Music In Africa|language=en|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210727195746/https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-blxckie-featured-apple-music-next|archivedate=27 July 2021}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Blxckie Named Apple Music’s ‘Up Next’ Artist|url=https://www.okayafrica.com/blxckie-named-apple-music-up-next/|accessdate=2022-01-02|work=okayafricasite|language=en}}</ref> == Wasifu == Blxckie anatokea [[Durban]], Afrika Kusini ambako alizaliwa na kukulia, mara nyingi alitembelea [[Johannesburg]] . Mnamo mwaka [[2020]], alijikuta "amekwama" huko Johannesburg wakati nchi hiyo ilipofungwa kwa siku 21, lakini baadaye akasema ilikuwa "baraka". <ref name=":0">{{Cite web|title=Meet Blxckie: South African hip-hop’s new kid on the block [watch]|url=https://www.thesouthafrican.com/culture/entertainment/who-is-blxckie-hip-hop-sa-lucasraps-big-time-shlappa-watch/|accessdate=2022-01-11|work=thesouthafrican.com|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu kutoka Durban]] [[Jamii:Waliozaliwa 1999]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Articles with hCards]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] kkg5ejv2yef9v239o947yxul5fd6o4r Binx 0 150361 1235002 1225204 2022-07-24T14:09:30Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Binx''' (alizaliwa [[26 Februari]], [[1992]]) ni [[mwimbaji]] na [[mwanamuziki]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. <ref>{{Cite web|url=http://www.musicconnection.com/live-review-binx-buys/|title=Live Review: Binx Buys at Webster Hall in New York|work=www.musicconnection.com|date=11 August 2017}}</ref> [[EP]] yake ya kwanza, ''The African Bee'', ilipokelewa vyema na mashabiki bila kukosolewa. <ref>{{Cite web|url=https://www.popdust.com/binx-the-african-bee-interview-2068493521.html|title=Meet Binx: The African Bee|date=1 November 2016|publisher=}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.goexpress.co.za/2017/11/20/els-buys-bring-new-york-act-home/|title=EL's Buys to bring her New York act home|date=20 November 2017}}</ref> == Maisha == Binx alizaliwa Bianca Carmen Buys huko Elliot, Afrika Kusini mwaka 1992, na kuhamia [[East London|London Mashariki, Afrika Kusini]] na familia yake mwaka [[2002]]. <ref>{{Cite web|url=http://www.dispatchlive.co.za/news/2015/09/01/video-starstruck-binx-in-awe-after-pre-us-open-gig/|title=VIDEO: Starstruck Binx in awe after pre-US Open gig|first=Gugu|author=Phandle|date=1 September 2015|publisher=}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.goexpress.co.za/2016/09/22/african-bee-on-a-buzz-abroad/|title=African Bee on a buzz abroad - GO! & Express|first=Sarah|author=Kingon|date=22 September 2016|publisher=}}</ref> Alihamia [[Manhattan|Manhattan, New York]] mwaka [[2012]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.pressreader.com/south-africa/the-herald-south-africa/20160815/281603829866422|title=PressReader.com - Connecting People Through News|work=www.pressreader.com}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] miaccm8cj58b3t1nbtc4l9bkarv4h25 Hubert Best 0 150362 1235003 1225207 2022-07-24T14:10:07Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Hubert Best''' (alizaliwa [[1952]]) alikuwa mwanzilishi wa [[kanisa kuu]] la [[Kiingereza]], ambaye alifanya [[kazi]] katika Kanisa Kuu la St. Philip, Birmingham . <ref>The Succession of Organists. Watkins Shaw.</ref> == Maisha ya nyuma == Hubert Best alizaliwa [[24 Machi]] 1952 huko [[Durban]], [[Afrika Kusini]]. Alisoma katika [[Chuo Kikuu]] cha Rhodes . Alisomea masuala ya [[ogani]] katika Royal Academy of Music . <ref>20th Century Cathedral Organists. Enid Bird</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 559cmaaiv5z5btiz52035jbq7zjde7w Julian Bahula 0 150363 1235004 1225321 2022-07-24T14:10:55Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Julian Bahula''' (alizaliwa [[13 Machi]], [[1938]]) ni mpiga [[ngoma]], [[mtunzi]] na [[kiongozi]] wa bendi kutoka nchini [[Afrika Kusini]], anayeishi [[Uingereza]]. == Wasifu == Sebothane Julian Bahula alizaliwa Eersterust, [[Pretoria]] . Kwanza alipata sifa ya kuwa mpiga ngoma katika bendi ya ''Malombo''. <ref name="AM">Eugene Chadbourne, [http://www.allmusic.com/artist/julian-bahula-mn0001214686 Julian Bahula biography], Music.</ref> Alihamia Uingereza mwaka [[1973]] na baadae akaanzisha kundi la ''Jabula'', <ref>[http://www.strut-records.com/tag/jabula/ "Jabula"] {{Wayback|url=http://www.strut-records.com/tag/jabula/ |date=20200809023101 }}, Strut Records, 21 October 2014.</ref> ambalo mwaka [[1977]] liliungana na kundi la mpiga saksafoni Dudu Pukwana kuunda kundi moja la Jabula Spear. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1938]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 3xjwv4h8nfrh6ry0xeccvgjpznqexna Aymos 0 150364 1235005 1225211 2022-07-24T14:11:28Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Babili Amos Shili''', maarufu kwa [[jina]] lake la [[sanaa]] '''Aymos''' ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] kutoka nchini [[Afrika Kusini]]. Anafahamika zaidi kwa [[wimbo]] wake wa "Emcimbini" ambao ulitayarishwa na Kabza De Small na DJ Maphorisa. == Maisha ya awali na kazi == Aymos alizaliwa [[Thembisa|Tembisa]], [[Johannesburg]] . Alianza kwa kuimba kanisani na alipokua katika [[shule ya upili]], alianzisha [[kwaya]] yake mwenyewe. <ref>{{Cite web|title=10 Things You Should Know About Aymos Shili|url=https://theyanos.co.za/2021/06/10-things-you-should-know-about-aymos-shili/|work=theyanos.co.za|accessdate=7 December 2021}}</ref> Mnamo [[2020]], alitoa [[albamu]] ya alioshirikiana na Mas Musiq iliyoitwa ''Shonamalanga'' . <ref>{{Cite web|title=Aymos Shili And Mas Musiq Are Back It With A Joint EP, ‘Shonamalanga’|url=https://www.zkhiphani.co.za/aymos-shili-and-mas-musiq-are-back-it-with-a-joint-ep-shonamalanga/|work=zkhiphani.co.za|accessdate=7 December 2021}}</ref> Albamu hiyo iliteuliwa katika [[tuzo]] za muziki za Afrika Kusini kama albamu bora ya [[amapiano]] na kundi bora la [[mwaka]]. <ref name=":1">{{Cite web|title=Congratulations to our Sony Music Artists on their #SAMA27 Nominations|url=https://allafrica.com/stories/202105200523.html|work=allafrica.com|accessdate=7 December 2021}}</ref> Mnamo [[Septemba]] [[2021]], alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ''Yimi Lo'' . <ref>{{Cite web|title=Aymos on his 'afro-yano' debut album Yimi Lo|url=https://www.news24.com/amp/arts/music/aymos-on-his-afro-yano-debut-album-yimi-lo-20211021|work=News24|accessdate=7 December 2021}}</ref> Kwenye albamu aliwashirikisha wasanii mbali mbali kama vile Kabza De Small na DBN Gogo. <ref>{{Cite web|title=Out of his lockdown struggles, Aymos’s new album 'Yimi Lo' is born|url=https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/out-of-his-lockdown-struggles-aymoss-new-album-yimi-lo-is-born-8e01e5a8-bc29-42ef-8d3d-b1fb839a3abe|work=iol.co.za|accessdate=7 December 2021}}</ref> Mnamo [[Mei]] [[2022]], alifanya alishikishwa kwenye ''African Lullabies Sehemu ya 2'' ya albamu ya Platoon. <ref>{{Cite web|title=Platoon releases second African lullabies album {{!}} Music In Africa|accessdate=2022-05-12|work=Music In Africa|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/platoon-releases-second-african-lullabies-album|first=Peter|author=Choge|date=2022-05-06}}</ref> == Kazi za muziki == * ''Shonamalanga'' (with Mas Musiq) <ref>{{Cite web|date=2020-04-09|title=Aymos Shili & Mas Musiq Back It With A Joint EP, Shonamalanga.|url=https://www.zkhiphani.co.za/aymos-shili-and-mas-musiq-are-back-it-with-a-joint-ep-shonamalanga/|accessdate=2021-12-25|work=Online Youth Magazine {{!}} Zkhiphani.com|language=en-US}}</ref> * ''Yim Lo'' (2021) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 1w0djoq0nujfg2mtipjeoorp8gay6e4 Brian Abrahams 0 150365 1235006 1226320 2022-07-24T14:12:03Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki [[Picha:Brian Abrahams.jpg|thumb|Brian Abrahams]] '''Brian Abrahams''' (alizaliwa [[26 Juni]], [[1947]] huko [[Cape Town]], Afrika Kusini) <ref name="LarkinGE">{{Cite book|title=[[Encyclopedia of Popular Music|The Guinness Encyclopedia of Popular Music]]|date=1992|publisher=[[Guinness Publishing]]|isbn=0-85112-939-0|editor-last=[[Colin Larkin (writer)|Colin Larkin]]|edition=First|page=29}}</ref> ni mpiga [[Ngoma (muziki)|ngoma]] na [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa [[jazz]] wa nchini [[Afrika Kusini]] . == Maisha ya awali == Abrahams alianza kufanya kazi kama mwimbaji katika bendi za nchini [[Afrika Kusini]] katika miaka ya [[1970]]. <ref name="RCJE">{{Cite book|title=Richard Cook's Jazz Encyclopedia|url=https://archive.org/details/richardcooksjazz00cook|last=Cook|first=Richard|publisher=Penguin Books|year=2005|isbn=0-141-00646-3|location=London|pages=[https://archive.org/details/richardcooksjazz00cook/page/2 2]}}</ref> Abrahams alishiriki katika tamasha huko [[Eswatini|Swaziland]] kama mpiga ngoma za Sarah Vaughan na Nancy Wilson . Mnamo [[1975]] alihamia nchini [[Uingereza]], ambapo alipata kutambuliwa zaidi katika kazi yake. == Orodha ya kazi za muziki == * ''Imgoma Yabantwana'' (D6 Records) * ''To Be Free'' (EG Editions Jazz) * ''Force of Nature'' (Reel Recordings) w/ Mike Osbor * ''The Rhythm Of Tides'' (RedGold Records, 1997) w/ Grand Union Orchestra * ''Now Comes The Dragon's Hour'' (RedGold Records, 2002) w/ Grand Union Orchestra * ''12 For 12'' (RedGold Records, 2011) w/ Grand Union Orchestra * ''If Paradise'' (RedGold Records, 2011) w/ Grand Union Orchestra == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1947]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] fk5emgpgii9bagjwlek6vxomyl84m2y Errol Dyers 0 150366 1235007 1225215 2022-07-24T14:12:31Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Errol Dyers''' ([[29 Machi]], [[1952]] &#x2013; [[21 Julai]], [[2017]]) alikuwa [[mwanamuziki]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] na mpiga [[gitaa]] wa nchini [[Afrika Kusini]] na mwanzilishi wa ''Cape [[jazz]] / goema'' . == Kazi == Dyers alitoka katika [[familia]] ya wanamuziki lakini alijifundisha muziki katika mitaa ya [[Cape Town]], na alijulikana kwa uwezo wake wa kuchanganya muziki wa Cape jazz na goema. Aliimba pamoja na wanamuziki wengine wengi, kama vile Abdullah Ibrahim, Basil 'Manenberg' Coetzee, Robbie Jansen na Winston Mankunku . <ref name="iol_obit">{{Cite web|url=http://www.iol.co.za/news/south-africa/western-cape/cape-jazz-giant-errol-dyers-dies-10414157|title=Cape jazz giant Errol Dyers dies|author=Folb|first=Luke|date=22 July 2017|work=iol.co.za}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.enca.com/life/entertainment/errol-dyers-cape-guitar-legend-has-died-aged-65|title=Errol Dyers, Cape guitar legend, dies aged 65|date=22 July 2017|work=enca.com}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Waliofariki 2017]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 0lslar4ht8dulsabdd4xzv57c6e15g2 Matthew Fink 0 150367 1235012 1225268 2022-07-24T14:16:16Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Matthew Fink''' ni [[mtayarishaji wa rekodi]] wa nchini [[Afrika Kusini]], [[mhandisi]] wa sauti, na [[mwanamuziki]]. == Orodha ya kazi za muziki == Fink ametayarisha kazi za wasanii mbali mbali ikiwa ni pamoja na wafuatao * [[2005]]: Jim Neversink – Jim Neversink (Ent Entertainment); has Fink on accordion and guitar * [[2006]]: ''Unspoken'' - Laurie Levine<ref>{{Cite web|author=|url=http://www.iol.co.za/tonight/music/laurie-has-a-new-room-with-a-view-1.968613?ot=inmsa.ArticlePrintPageLayout.ot|title=Laurie has a new room with a view|work=The Star|date=2009-06-10|accessdate=2013-03-19}}</ref> * [[2007]]: ''Beautiful Mornings'' (EP) - The Black Hotels <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2007-07-20-rabbit-in-the-headlights|title=Rabbit in the headlights|accessdate=2013-03-19}}</ref> * [[2008]]: ''Shakey Ni Mzuri''' - Jim Neversink (Radio Lava) <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://www.mg.co.za/article/2009-12-23-mzansis-groove|title=mzansis-groove|accessdate=2013-03-19}}</ref> <ref name="Gedye">{{Cite web|author=Gedye, Lloyd|url=http://www.mg.co.za/article/2008-07-15-a-perfect-accompaniment-to-wallowing|title=A perfect accompaniment to wallowing. M&G reviewers listen to five new CD releases|date=2008-06-15|accessdate=2009-08-30}}</ref> * [[2009]]: Films for the next century - The Black Hotels (independent release); with Fink on keyboard<ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2009-06-05-elegantly-wasted|title=Elegantly wasted|accessdate=2013-03-19}}</ref> * [[2011]]: ''Honey Badger'' - The Black Hotels (Sovereign Entertainment); <ref>{{Cite news|last=Roper, Chris|url=http://mg.co.za/article/2011-04-15-black-hotels-dish-up-sombre-beauty|title=Black Hotels dish up sombre beauty|accessdate=2013-03-19}}</ref> * 2011: ''Tale of the Son'' - Tale of the Son (Rekodi za Deconstruction 2011) <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2009-06-05-some-bands-are-louder-than-others|title=Some bands are louder than others|accessdate=2013-03-19}}</ref> <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2011-01-28-johannesburg-music-pick-january-28-2011|title=Johannesburg music pick January 28, 2011|accessdate=2013-03-19}}</ref> * 2011: ''Guns and Money'' - Klabu ya Shadow <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2011-07-08-back-into-the-light|title=Back into the light|accessdate=2013-03-19}}</ref> <ref>{{Cite web|author=Owen, Therese|url=http://www.iol.co.za/tonight/music/on-the-rise-without-a-shadow-of-a-doubt-1.1114611?ot=inmsa.ArticlePrintPageLayout.ot|title=On the rise without a doubt|work=The Star|date=2011-08-10|accessdate=2013-03-19}}</ref> * [[2012]]:''Songs from the Edge of the World'' - The One Night Stands * 2012: ''The Dark Horse'' - Tailor (Just Music) <ref>{{Cite news|url=http://www.iol.co.za/tonight/music/wearing-her-art-on-her-sleeve-1.1381322#.UUjHyOsjrfA|title=Wearing her art on her sleeve|accessdate=2013-03-19}}</ref> * [[2013]] ''Abraham'' (EP) - Nakhane Touré <ref>{{Cite news|last=Gedye, Lloyd|url=http://mg.co.za/article/2013-03-01-00-courage-amid-the-confusion|title=Courage amid the confusion|accessdate=2013-03-19}}</ref> * 2013 ''The Home We Built''- Matthew Mole (Just Music) * 2013 ''Brave Confusion''- Nakhane Toure == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] n8pzmoa7c8qykb7861mxjorma7c98x9 Paul Hanmer 0 150369 1235013 1225271 2022-07-24T14:16:46Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Paul Hanmer''' (alizaliwa [[1961]], [[Cape Town]] ) ni mpiga [[kinanda]] wa muziki wa [[jazz]] wa nchini [[Afrika Kusini]]. == Kazi == Alipokuwa mtoto alisoma piano. Alisomea katika [[Chuo Kikuu]] cha Cape Two kwa miaka miwili kabla ya kuanza kazi ya muziki na mpiga gitaa Paul Petersen. <ref name="official">{{Cite web|title=Born in Cape Town in 1961 …|url=https://paulhanmer.wordpress.com/about/|work=Paul Hanmer|accessdate=18 May 2020|date=24 December 2016}}</ref> Mnamo miaka ya [[1980]] alianzisha bendi akiwa na Peter Sklair na Ian Herman huko [[Johannesburg]]. <ref name="official" /> Katika miaka ya [[1990]] alikuwa mwanachama wa Bendi ya Cool Friction iliyoongozwa na Tony Cox . Albamu yake ya kwanza, Trains to Taung, ilitolewa na Sheer Sound mwaka [[1997]]. <ref name="official" /> == Orodha ya kazi za muziki == * ''Trains to Taung'' (Sheer Sound, [[1997]]) * ''Playola'' (Sheer Sound, [[2000]]) * ''Window to Elsewhere'' (Sheer Sound, [[2002]]) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Watunzi wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1961]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 3m3nfdx3uvzx0a69rjt6zhayompv0wm Aewon Wolf 0 150406 1235014 1234196 2022-07-24T14:17:23Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Arnold Phillips''' (alizaliwa [[24 Machi]], [[1988]]) anajulikana zaidi kwa [[jina]] lake la [[sanaa]] kama '''Aewon Wolf''', ni [[msanii]] wa nchini [[Afrika Kusini]], [[mwimbaji]], [[Mkurugenzi]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] aliyezaliwa [[Durban]], [[KwaZulu-Natal]]. Pia ni mwanzilishi mwenza wa kikundi cha ubunifu cha Durban kiitwacho ''The wolfpack''. <ref>{{Cite web|title=Party with the Wolf Pack at uShaka|url=https://highwaymail.co.za/254980/party-with-the-wolf-pack-at-ushaka/|date=22 March 2017|work=Highway Mail|accessdate=23 May 2020}}</ref> Pia ndiye mwanzilishi wa ''The Werehouse'' kituo cha mtindo wa maisha na ukumbi wa hafla katika [[jiji]] la Durban ambao umechangia sana ukuzaji wa eneo la [[ubunifu]] la Durban. <ref>{{Cite web|title=The Werehouse is a Home for Durban's Creative Youth|url=https://bubblegumclub.co.za/music/the-werehouse-is-a-home-for-durbans-creative-youth/|date=6 November 2018|work=Bubblegum Club|language=en-ZA|accessdate=23 May 2020}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Waliozaliwa 1988]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] koanstw8e09c2hhfg887x52gm4ow8vh Dewald Louw 0 150442 1235015 1234738 2022-07-24T14:19:45Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Dewald Louw''' (alizaliwa [[18 Juni]], [[1986]], mjini [[Bloemfontein]] ) ni mshindi wa msimu wa kwanza wa mashinadano ya''The Afrikaans KykNET'' ''Idols'' nchini [[Afrika Kusini]] . <ref name="TVSA">{{Cite web|url=http://www.tvsa.co.za/default.asp?blogname=news&articleID=3058|title=Bloemfontein's Dewald Louw Wins Afrikaans Idols|date=29 August 2006|publisher=TVSA News Desk|accessdate=20 May 2010}}</ref> Mnamo [[2007]] na [[2008]], Dewald alipata ofa ya kuchezwa kwa [[nyimbo]] zake mara nyingi kwenye [[redio]] bila malipo yoyote. == Kazi za muziki == '''''Albamu''''' # ''In Jou Oë'' (4 December [[2006]]) # ''Ek en Jy'' (February [[2009]]) '''Wimbo mmoja mmoja''' # ''Idol'' # ''In Jou Oë'' # ''Free to Fly'' # ''Nog 'n Hart'' # ''Lekker Kry'' # ''Liefkry'' # ''How does it feel'' # ''Valentyn'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Makaburu]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] o8538t14dj5kbnabefc3ajoeb1obm62 Joe Mettle 0 150528 1235017 1226462 2022-07-24T14:21:12Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Joseph Oscar Nii Armah Mettle''', anajulikana kwa jina lake la kisanii '''Joe Mettle''', ni [[Injili|mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo wa [[Ghana]] . Mnamo [[Aprili 8]], [[2017]], aliweka historia kwa kuwa mwanamuziki wa kwanza wa Injili kushinda tuzo ya Msanii bora wa mwaka katika [[Tuzo za Vodafone (Ghana)|Tuzo za Muziki za Ghana za 2017]] . <ref>{{Cite web|date=2017-04-09|title=Joe Mettle crowned Artiste of the Year at VGMA 2017|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/NewsArchive/Joe-Mettle-crowned-Artiste-of-the-Year-at-VGMA-2017-527063|accessdate=2022-04-30|work=GhanaWeb|language=en}}</ref> Ameshinda tuzo nyingi nchini Ghana na kwingineko, na ametumbuiza katika hatua za kimataifa na Wasanii wa Kimataifa wa Injili kama vile Donnie McClurkin, [[Nathaniel Bassey]], Ntokozo Mbambo, Michael Stuckey na wengine wengi. <ref>{{Cite news|url=https://www.myjoyonline.com/entertainment/2017/april-10th/joe-mettle-is-first-gospel-musician-to-win-artiste-of-the-year-vgma-pro-apologises.php|title=Joe Mettle is first gospel musician to win Artiste of the Year – VGMA PRO apologises|date=10 April 2017|accessdate=2022-05-15|archivedate=2019-09-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190905145000/http://www.myjoyonline.com/entertainment/2017/april-10th/joe-mettle-is-first-gospel-musician-to-win-artiste-of-the-year-vgma-pro-apologises.php}}</ref> <ref>{{Cite news|url=https://omgvoice.com/entertainment/joe-mettle-vgma-history/?geoip&country=GH|title=Joe Mettle Is The First Gospel Musician To Win Artist of the Year at the VGMA And We Are All Singing ‘Yɛsom Nyame’aa…|date=9 April 2017|accessdate=2022-05-15|archivedate=2018-07-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180707144257/https://omgvoice.com/entertainment/joe-mettle-vgma-history/?geoip&country=GH}}</ref> Ameolewa na Selassie Mettle (nee Dzisa) <ref>{{Cite web|title=PHOTOS: Joe Mettle's traditional marriage comes off|url=https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/photos-joe-mettle-s-traditional-marriage-comes-off.html|accessdate=2022-05-02|work=Graphic Online|language=en-gb}}</ref> . == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] 0i4b9q4swmektjlv7qghz05l7lwnxp2 Gasmilla 0 150553 1235016 1225790 2022-07-24T14:20:36Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Odartei Milla Lamptey''' maarufu kama '''Gasmilla''' au '''International Fisherman''', ni [[msanii]] wa Hiplife wa Ghana . Anajulikana kwa nyimbo zake maarufu za ''Aboodatoi'' na ''Telemo'' na kuunda Ngoma ya Azonto na Aina. <ref name="vgma15">{{Cite web|url=http://www.myjoyonline.com/entertainment/2015/April-15th/organizers-of-vgma-have-never-been-fair-to-me-gasmilla.php|title=Organizers of VGMA have never been fair to me - Gasmilla|publisher=myjoyonline|date=15 April 2015|accessdate=18 April 2015|author=Akpalu, Euphemia}}</ref> <ref name="mtv">{{Cite web|url=http://www.mtv.com/artists/gasmilla/biography/|title=About Gasmilla|publisher=[[MTV Base]]|accessdate=18 April 2015|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150501212646/http://www.mtv.com/artists/gasmilla/biography/|archivedate=1 May 2015}}</ref> Ni mwimbaji wa Afro-pop na mtunzi wa nyimbo. Alidaiwa kutambuliwa kama Balozi wa Kijani wa [[Vodafone]]. <ref name=":0">{{Cite web|date=2021-05-12|title=AMA partners Gasmilla to promote good sanitation behaviour in Accra|url=https://citinewsroom.com/2021/05/ama-partners-gasmilla-to-promote-good-sanitation-behaviour-in-accra/|accessdate=2021-05-17|work=Citinewsroom - Comprehensive News in Ghana|language=en-US}}</ref> == Kazi ya muziki == Gasmilla alianza kazi yake ya muziki akishirikiana na wasanii akiwa katika shule ya upili ya Junior. Alikua msanii wa kwanza katika studio za Cold Eye. Wimbo wake kwanza wa Gasmilla ulikuwa " '''Aboodatoi''' ".  == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] n07yacwdxwb2tv1bbpf45f1896geo8j Efya 0 150554 1235018 1225793 2022-07-24T14:22:11Z Justine Msechu 45962 wikitext text/x-wiki '''Jane Awindor''' (alizaliwa [[Aprili 10]], [[1990]]), <ref name="Efyasworld.com">{{Cite web|url=http://www.efyasworld.com/bio/|title=Efya Biography|publisher=Efyasworld.com|accessdate=March 12, 2014|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140426201618/http://www.efyasworld.com/bio/|archivedate=April 26, 2014}}</ref> <ref name="Ghana Web">{{Cite web|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/NewsArchive/artikel.php?ID=292864|title=From Jane to Efya: The Journey|publisher=Ghana Web|date=November 22, 2013|accessdate=March 11, 2014|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140314035157/http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/NewsArchive/artikel.php?ID=292864|archivedate=March 14, 2014}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.koraawards.com/en/music/biography-efya/|title=BIOGRAPHY EFYA – KORA|date=December 28, 2015|accessdate=July 26, 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160809004629/http://www.koraawards.com/en/music/biography-efya/|archivedate=August 9, 2016}}</ref> anayelikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Efya''', ni mwimbaji wa Ghana, mtunzi wa nyimbo, na mwigizaji kutoka [[Kumasi]] . Yeye ni mtoto wa Nana Adwoa Awindor, mtengenezaji wa filamu na mtangazaji mashuhuri wa kipindi cha televisheni cha ''Greetings From Abroad'' . <ref name="Nana Adwoa Awindor's Interview">{{Cite web|url=http://graphic.com.gh/archive/Entertainment-News/it-hurts-to-read-bad-stuff-about-my-daughter-nana-adwoa-awindor.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140314093938/http://graphic.com.gh/archive/Entertainment-News/it-hurts-to-read-bad-stuff-about-my-daughter-nana-adwoa-awindor.html|title=It hurts to read bad stuff about my daughter -Nana Adwoa Awindor|work=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|date=June 3, 2013|accessdate=March 11, 2014|archivedate=March 14, 2014|author=Owusu-Amoah, Gifty}}</ref> Efya alipata umaarufu wake wa kwanza aliposhiriki katika toleo la kwanza la onyesho la vipaji ''la Stars of the Future'' . <ref name="Efya's interview with Owusu">{{Cite web|url=http://graphic.com.gh/archive/Entertainment-News/i-want-to-be-a-legend-efya.html|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140314093932/http://graphic.com.gh/archive/Entertainment-News/i-want-to-be-a-legend-efya.html|title=I want to be a legend— Efya|work=Daily Graphic|date=July 25, 2013|accessdate=March 11, 2014|archivedate=March 14, 2014|author=Amoah, Gifty Owusu}}</ref> Alishinda kitengo cha Utendaji Bora wa Mwimbaji wa Kike katika [[Tuzo za Vodafone (Ghana)|Tuzo za Muziki za Ghana]] katika mfululizo wa nne, kuanzia [[2011]]. Zaidi ya hayo, alishangiliwa kwa utendaji wake katika Tuzo za Africa Magic Viewers Choice 2013 . <ref name="Efya's interview with Owusu" /> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]] [[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi]] p6a9z9dw4svwha6roux2loruhrbr88o Feriel Boushaki 0 151529 1235036 1228863 2022-07-25T01:52:43Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki '''Feriel Boushaki''' (alizaliwa [[11 Mei]] [[1986]] huko [[Algiers]]) ni msanii wa kisasa wa Algeria aliyebobea katika sanaa za plastiki, uwasilishaji, densi, uigizaji, taswira na usakinishaji.<ref>{{Cite web|url=https://www.ferielboushaki.net/|title=Feriel Boushaki / Artiste / Performance|website=Feriel Boushaki}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.cnap.fr/annuaire/personne/feriel-boushaki|title=Fériel BOUSHAKI &#124; Cnap|website=www.cnap.fr}}</ref> == Taaluma == Boushaki alizaliwa mwaka wa 1986 katika jiji la Algiers, na baada ya kumaliza masomo yake ya msingi nchini Algeria alihamia Ufaransa.<ref name="auto2">{{Cite web|url=https://www.pantin.fr/la-ville/aller-plus-loin/la-culture-dans-le-quartier-des-sept-arpents-3628|title=La culture dans le quartier des Sept-Arpents|first=Ville de|last=Pantin|website=Ville de Pantin : Site Internet}}</ref> Kisha alisomea sanaa katika École nationale supérieure d'arts de Paris-Cergy (ENSAPC) ambapo alipata Diplôme National d'Arts Plastiques (DNAP) mwaka wa 2010 na kutajwa kwa heshima kutoka kwa jury.<ref name="auto">{{Cite web|url=https://www.ensapc.fr/fr/artistes/a-z/b/|title=B}}</ref> Mnamo 2011, alinufaika na kozi ya juu ya mafunzo kama sehemu ya mabadilishano ndani ya idara ya Sanaa/Vitendo iliyoko Haute École d'Art et de Design (HEAD) ya Geneva nchini Uswizi.<ref>{{Cite web|url=https://www.hesge.ch/head/|title=HEAD &#124;|website=www.hesge.ch}}</ref> Kisha aliendelea na masomo yake ya juu katika ENSAPC na mwaka wa 2012 alipata Diplôme national supérieur d'expression plastique (DNSEP) kwa pongezi za jury.<ref name="auto"/> Kisha Boushaki alianza mzunguko wa utafiti katika miaka ya 2015 na 2016 katika muundo wa Maabara ya Fricciones maalum katika muziki, sanaa ya kuona, mandhari, mada za uwakilishi na fomu ya tamasha, na hii ndani ya misingi ya Abasia ya Royaumont katika eneo la Viarmes.<ref>{{Cite web|url=https://www.royaumont.com/laboratoire-frictions/|title=Laboratoire Frictions|website=Royaumont, abbaye et fondation}}</ref> Kisha akafuata mafunzo ya miaka miwili kati ya 2018 na 2019 katika densi na mbunifu wa mandhari katika École nationale supérieure de paysage de Versailles (ENSP).<ref>{{Cite web|url=https://www.ensapc.fr/fr/actualite/100-lexpo-sorties-decoles/|title=UN PROGRAMME DE PERFORMANCES 100%}}</ref> Kisha alijiunga na chuo kikuu cha Paris 8 University Vincennes-Saint-Denis katika kipindi cha 2020 hadi 2021 ili kupata Diploma ya Artec Interuniversity Diploma (DIU), chini ya uongozi wa Yves Citton na Grégory Chatonsky.<ref>{{Cite web|url=https://www.univ-paris8.fr/|title=Université Paris 8 &#124; Vincennes - Saint-Denis|website=www.univ-paris8.fr}}</ref> == Kazi == Msanii huyu anafanya mazoezi ya uigizaji na usanikishaji, pia ni mwigizaji wa densi na uchezaji. Matoleo yake yanashughulikia masuala ya pamoja, kuhamishwa na utambulisho.<ref>{{Cite web|url=https://segolenethuillart.tumblr.com/post/185860213821/retour-sur-la-permanence-des-r%C3%A9flexions-avec-julie|title=Ségolène Thuillart}}</ref> Yeye hupanga na kushiriki katika miradi ya utafiti.<ref name="auto2"/> Shughuli ya kisanii ya Boushaki kama mwigizaji wa dansi na uigizaji ilianza mwaka wa 2010 na tukio la Makamu kwa ushirikiano na Ji Sook Bang katika Kituo cha Pompidou kilichopo Paris.<ref>{{Cite web|url=http://mainsdoeuvres.org/archives/article1446.html|title=Enacting Populism in its mediaescape - Mains d'Œuvres|website=mainsdoeuvres.org}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.paris-art.com/occupations-2/|title=Occupations|date=7 April 2010|website=Paris Art}}</ref> Mnamo 2013 aliandaa wasilisho lililoitwa Ma Visite Guidée kwa ushirikiano na Xavier Le Roy na Fréderic Seguette katika ukumbi wa kimataifa wa Théâtre de la Cité uliopo Paris, na pia aliwasilisha mchezo ulioitwa Mordre la Poussière kwa ushirikiano na Grand Magasin katika muundo sawa.<ref>{{Cite web|url=https://sortir.telerama.fr/evenements/spectacles/xavier-le-roy-et-frederic-seguette-ma-visite-guidee,131064.php|title=Xavier Le Roy et Frédéric Seguette - Ma visite guidée - Spectacles dans le Grand Paris|website=Télérama.fr}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.theatredelacite.com/residences/residences--archives/xavier-le-roy_1|title=Xavier Le Roy - Archives|first=Théâtre de la Cité|last=internationale|website=Théâtre de la Cité internationale}}</ref> Les jeux Chorégraphiques iliyoandaliwa mwaka wa 2014 iliwasilishwa na msanii huyu wa Algeria kwa ushirikiano na Laurent Pichaud na Rémi Héritier katika tamasha la kimataifa la Théâtre de la Cité.<ref>{{Cite web|url=https://remyheritier.net/jeux-choregraphiques/|title=Jeux chorégraphiques : Rémy Héritier}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://toutelaculture.com/spectacles/danse/jeux-choregraphiques-de-laurent-pichaud-et-remy-heritier/|title=Jeux chorégraphiques de Laurent Pichaud et Rémy Héritier|date=6 June 2015}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.museedeladanse.org/fr/articles/jeux-choregraphiques-concus-par-remy-heritier-et-laurent-pichaud.html|title="jeux chorégraphiques" conçus par Rémy Héritier et Laurent Pichaud - Musée de la danse|website=www.museedeladanse.org}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.cnd.fr/fr/program/1438-remy-heritier-laurent-pichaud|title=Rémy Héritier & Laurent Pichaud &#124; Workshop camping|website=Centre national de la danse}}</ref> Baada ya makazi ya kibunifu kati ya 2015 na 2016 katika milima ya Korea Kusini, mazoezi yake yanaendelezwa kwa uangalifu maalum kwa dhana za desturi na mandhari, vipengele viwili ambavyo ustaarabu hukutana.<ref>{{Cite web|url=https://citedesarts.pagesperso-orange.fr/Expos/pnr-2015.htm|title=EXPOSITION "P.N.R"|website=citedesarts.pagesperso-orange.fr}}</ref> Mnamo 2016 alibuni wasilisho lililoitwa Carte blanche kwa ushirikiano na Tino Sehgal katika ukumbi wa Palais de Tokyo ulioko Paris.<ref>{{Cite web|url=https://palaisdetokyo.com/exposition/carte-blanche-a-tino-sehgal/|title=Carte blanche à Tino Sehgal - Palais de Tokyo|website=palaisdetokyo.com}}</ref> Mwaka wa 2018 ulishuhudia Boushaki akiwasilisha kipande cha kisanii kilichoitwa Herman Diephuis, Plus ou moins 20 pour commencer ndani ya mfumo wa Tamasha la 20 la Artdanthé lililoandaliwa katika Théâtre de Vanves.<ref>{{Cite web|url=https://www.hermandiephuis.com/plus-ou-moins-20-pour-commencer|title=Plus ou moins 20 pour commencer (...)|website=hermandiephuis}}</ref> == Utafiti == Boushaki ameshiriki katika shughuli mbalimbali za kisayansi tangu 2011 na amejiunga na maabara kadhaa za utafiti. Kwa hakika, alikuwa mwanachama wa kikundi cha utafiti cha The Other Half of the Landscape (L'autre Moitié Du Paysage LMDP) kuanzia 2011 hadi 2020. Mnamo 2014 alianzisha mzunguko wa Permanence des Réflexions, ambao unajumuisha kupanga majedwali ya pande zote kuhusu uumbaji, na ambao umedumu hadi 2020. Boushaki kisha alijiunga katika mwaka wa 2018 katika Maabara ya Sanaa ya Uigizaji (Laboratoire des Arts de la Performance LAP) kama mwanachama hadi 2020. Mnamo 2019 alianzisha shughuli ya kitamaduni ya Les Scènes Furtives, ambayo inajumuisha kubuni ziara za maonyesho kupitia maeneo ya kijani kibichi. Msanii huyu alishiriki kuanzia tarehe 10 Novemba 2021, katika uzinduzi wa shughuli ya ParcourS de vi(ll)e kwa ushirikiano na Maison de la Recherche inayoshirikiana na Chuo Kikuu cha Artois. Amekuwa mwanachama wa LabEx CDF tangu 2017, ambayo ni sehemu ya mamlaka ya Taasisi ya Louis Bachelier huko Paris. Mnamo 2020 aliwajibika kwa zana za kujifunzia mtandaoni na mratibu wa mpango wa FaIR. == Ngoma na Utendaji == Boushaki amekuwa akifanya kazi kisanii kama mwigizaji dansi na uigizaji tangu 2010. Mnamo 2010 alishiriki katika toleo na uwasilishaji wa tamthilia ya Vice-versa kwa ushirikiano na Ji Sook Bang katika Kituo cha Pompidou huko Paris. Kisha alishiriki katika tamasha la kimataifa la Théâtre de la Cité de Paris katika toleo la 2013 la tamthilia ya Ma Visite Guidée pamoja na wasanii Xavier Le Roy na Fréderic Seguette, kisha katika mwaka huo huo kucheza igizo la Mordre la Poussière kama sehemu ya Grand Magasin, kisha. katika 2014 ya kipande cha Les jeux Chorégraphiques kwa ushirikiano na Laurent Pichaud na Rémi Héritier. Mnamo 2016, alishikilia onyesho lililoitwa Carte blanche, Tino Sehgal katika ukumbi wa Palais de Tokyo ulioko Paris. Wakati wa Tamasha la 20 la Arthandé lililofanyika mwaka wa 2018 huko Théâtre de Vanves, aliwasilisha kipindi cha Herman Diephuis, Plus ou moins 20 pour commencer. == Warsha na mafundisho == Boushaki alishiriki katika 2011 katika Halmashauri ya Jiji la 12 la arrondissement ya Paris katika warsha za kisanii kama vile Animatrice Ville de Paris, na pia aliongoza warsha ya kuchora kuzunguka mazingira kutoka kwa daraja la kwanza (CP) hadi kozi ya Kati mwaka wa 1 (CM1) katika huo huo. wilaya. Mnamo 2012, alisimamia warsha za sanaa katika Lesjöfors Samtida nchini Uswidi na idadi ya wakimbizi, watoto na watu wazima kama sehemu ya mradi wa LMDP (L'autre moitié du paysage). Mnamo mwaka wa 2013, alishiriki pia katika warsha za Umma, watoto wachanga na wazima za Muungano wa Ufaransa wa Maracaïbo nchini Venezuela, kisha katika warsha za kuzunguka mandhari ya Ouled Ftata nchini Morocco kwa ajili ya ukaazi wa LMDP (Nusu nyingine ya mandhari). Kuanzia 2015 hadi 2018, alijiunga na timu ya mradi wa Starter ili kuibuka kama mwalimu kaimu, ndani ya Shule ya Sanaa Nzuri huko Paris, kisha akashiriki katika upatanishi wa Atelier des ndani ya Théâtre de la Cité Internationale katika mkutano wa 14 wa Paris. Alishiriki mnamo 2020 katika jury nyeupe ya Diploma ya Kitaifa ya Sanaa (DNA) katika Taasisi ya Juu ya Sanaa Nzuri huko Besançon, kisha mnamo 2021 katika jury la Sehemu ya Ubunifu ya Diploma ya Juu ya Kitaifa ya Maonyesho ya Plastiki (DNSEP) huko École. mtaalam wa sanaa Annecy Alpes. Kuanzia 2020 hadi 2022, Boushaki alishiriki katika mradi wa VISION VAPEUR ambao ni mradi wa kisanii shirikishi na wenyeji wa wilaya za l'Horloge (Romainville), Sept-Arpents (Pantin) na Béthisy (Noisy-le-Sec), inayoungwa mkono na Kituo cha Kitaifa cha Sanaa ya Plastiki (CNAP), Noisy-le-Sec Contemporary Art Gallery-Centre na Fiminco Foundation, katika eneo la Seine-Saint Denis. == Marejeo == {{Marejeo}} == Vyanzo vya nje == * [https://www.ferielboushaki.net/ Tovuti rasmi] * [https://fr.linkedin.com/in/feriel-boushaki-ba3675b5 Profaili kwenye LinkedIn]{{Dead link|date=July 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} * [https://www.lesarchivesduspectacle.net/?IDX_Personne=218708 Profaili kwenye Les Archives du spectacle] * [https://www.cnap.fr/annuaire/personne/feriel-boushaki Profaili kwenye CNAP] * [https://www.youtube.com/channel/UCdSYF_NZUIZTXeqEKRosJZQ Profaili kwenye Youtube] * [https://vimeo.com/user18880160 Profaili kwenye VIMEO] {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Boushaki, Feriel}} {{BD|1986||}} [[Jamii:Wasanii wa Algeria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Familia Boushaki]] hh53bxacg461p3sw2io9rz09kskacw9 Tubaani 0 152257 1235039 1230343 2022-07-25T03:13:17Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.8 wikitext text/x-wiki Tubaani pia inajulikana kama [[Mbaazi (mmea)|mbaazi]] zenye macho meusi ni chakula maarufu cha [[Ghana]] ambacho huliwa sana katika mikoa ya kaskazini na jumuiya za Zongo ya [[Ghana]].  Chakula iko kinajumuisha paste iliotengenezwa kwa unga wa [[Mbaazi (mmea)|mbaazi]] zenye macho meusi na maji ambayo hupikwa baada ya kuvikwa kwa mara ya kwanza kwenye majani matamu na yenye kunukia ya mimea ya Marantaceous Thaumatococcus daniellii na kutumiwa pamoja na mchuzi au [[pilipili]] na [[vitunguu]] vilivyokatwa na mafuta ya moto mboga.<ref>https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/food/</ref><ref>{{Cite web |url=http://miczd.gov.gh/news/86 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-06-12 |archivedate=2021-07-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210728192343/http://miczd.gov.gh/news/86 }}</ref><ref>http://www.findglocal.com/GH/Accra/761876577201767/Tuo-Zaafi-and-Tubaani</ref><ref>https://zongorepublic.com/health-benefits-of-tubaani-tumbaani/</ref> [[Faili:Ghanaian traditional cuisine. Northern Ghana.jpg|center|thumb|Tuubani]] == Marejeo == <ref>{{Cite web |url=http://miczd.gov.gh/news/86 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-06-12 |archivedate=2021-07-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210728192343/http://miczd.gov.gh/news/86 }}</ref> [[Jamii:Chakula cha Kiafrika]] [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] 3ongcei6hkvnjdjsflt41c5jjiy67rq Majadiliano:Panishee Mdudu 1 152889 1235021 1233835 2022-07-24T20:32:53Z Goodlucktesha 54740 wikitext text/x-wiki Straton F Kilawe Anatambulika kwa Jina La Kisanii Kama Panishee Mdudu Au Panishit , Ni Rapper na Mwanaharakati Wa Hip Hop kutoka Arusha Nchini Tanzania. Amezaliwa mwaka tarehe 11.10.1990  Ni Mtoto Wa kwanza wa kiume katika Familia ya Watoto Watatu Iliyokulia katika hali ya mwananchi wa Kawaida Jijini Arusha Tanzania, Alianza kuvutiwa na muziki kutoka Kwa Mama yake Aliyekuwa Mwanakwaya Na baba yake Mshahiri Wa Kiswahili na kujikuta Akiwa na uwezo wa kuwaandikia watu mashairi ya Kiswahili Shuleni wanapopewa mazoezi ya Somo La Kiswahili,  Panishit Ni Msomi Wa Degree ya Sayansi Ya biolojia aliyotunukiwa na raisi mstaafu wa Tanzania ‘Benjamin William Mkapa ‘ Chuo Kikuu Cha Dodoma  Mwaka 2014 , Alianza kujihusisha na muziki rasmi Mwaka 2012 Pale alipofanikiwa Kuingia Studio na Kurekodi Singo yake ya Kwanza akiwa na Kundi Lake GAZA GANG CLAN ,wimbo uliorekodiwa katika Studio za Noiz Mekah Arusha Chini Ya Producer Def Xtro (DX) wimbo uliompa nafasi ya Kuperfome Jukwaa Moja La Grand Malti na Msanii Wa Hip Hop Joh Makini, Kwa Uwezo Wake Mzuri wa Kucheza na Mic , Joh makini Alimpandisha Jukwaani na Huku Akimwambia "Punish It , Punish It " (Akimaanisha Achane kisawa sawa ) Hapo ndio ukawa Mwanzo wa Kutumia jina "PANISHIT" katika kazi zake za Kisanaa, Mwaka huo Huo Alirecord wimbo wake wa Pili studio Ile Ile Alioupa Jina #Maradhi Wimbo Ambao Ulivutia Masikio Ya Mkongwe Wa Hip Hop kutoka Watengwa JCB kitu kilichompa Moyo Rapa Huyo baada ya Chindo Man pia Kumrecognise na kumuita katika Studio Ya Watengwa Record (WTC) iliyopo kijenge Juu Jijini Arusha, ,Kazi Alizozifanya Na Producer Kz Kutoka kazawaza Records Arusha Zilimfanya Azidi Kujipatia Mashabiki wa hip hop Huku akijihusisha na Na Harakati za hip hop , kama Kilinge Cha Tamaduni Muzik na S.U.A Katika Kipindi Hichi , Panishee Mdudu Alikutana kwa uKaribu na Msanii Mkongwe Wa Hip Hop Tanzania #NashMc Ambaye Alianza kumfundisha mambo mbali mbali kuhusu soko la muziki wa Hip Hop na Changamoto zake , Maalim Nash Alimpa Panishee Mdudu Nafasi Ikiwa ni Pamoja na Kumtambulisha Kwa Mashabiki wake wa Hip Hop , Na kumpa Connection kwa Watangazaji Wa Radio kama Kadhaa , Mwaka 2014 Panishit Alizidi Kujipatia Umaarufu kwa Jamii Ya Hip Hop Baada Ya Ngoma Yake "Mi Sijui" kuingia Top Ten ya Ngoma Zulizodownlodiwa Zaidi Kenya Kwenye Mtandao wa MDUNDO.COM akiwa kwenye Chart Moja na Wasanii , Bahati Kenya , H_the Band na Nikki Mbishi , Chart Ambayo Ilichapishwa na Mtandao Maarufu Wa muziki Kenya Ghafla.Com Wimbo Huo Pia Ulipata Nafasi Ya Kuchezwa Katika Vituo Kadhaa vya Radio , Ambapo DJ Maarufu Dj Mafuvu Aliupa Nafasi Kila Alipoingia Mtamboni kwenye Planet Bongo Ya East Africa Radio. Mwaka Uliofuata Panishit Alirekodi Kazi na wasanii kama Nakaaya Sumari na Walter Chilambo (Sasa Anafanya Gospel),akiungana King Kapita(Aliyekuwa Kundi La wakacha ) naMack G na Kuunda Click Iliyoitwa Watu Wabaya Click (WWC) kundi ambalo Halikudumu Kwa Muda Mrefu , Baada ya Watu Wabaya Click kusambaratika Haukuwa mwisho wa Panishit Kufanya Harakati za Kundi kwani Aliungana na Myson Artist Pamoja na Nasho Smartkid na kulisimamisha kundi la Rotten Blood ambalo Liliwatambulisha Zaidi kwa Mashabiki wa Muziki Tanzania baada ya kurekodi Nyimbo kadhaa wasanii wakubwa Kama Linex Sunday Mjeda , Belle 9 na Moni Centrozone ambapo ngoma hizo zilitengenezwa na Maproduzer ,Mr Ttach , Bin laden, Mesen Seleka na Tony Drizzy , Ngoma zilizopata Nafasi ya kuchezwa na vituo vya Radio Na Tv za Tanzania .. == Panishee mdudu == Jina la makala limebadilishwa ,lilitakiwa kuwa Panishee Mdudu na sio Straton Filbert Kilawe , Jina Maarufu na linalojulikana ni Panishee Mdudu ama Panishit '''[[Mtumiaji:Hip hop Sana society|Hip hop Sana society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hip hop Sana society|majadiliano]])''' 18:33, 19 Julai 2022 (UTC) :Nakubali hoja hiyo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 20 Julai 2022 (UTC) Haifai kutumia jina la straton Filbert Kilawe kama jina LA makala , Lemma inapaswa iwe Panishee Mdudu ,Makala hii Inamuhusu mwanamziki wa Tanzania Anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu au Panishit Na sio Straton Filbert Kilawe (Jina La Familia) '''[[Mtumiaji:Goodlucktesha|Goodlucktesha]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Goodlucktesha|majadiliano]])''' 20:32, 24 Julai 2022 (UTC) e2lpxvmhkd2qmunosisuuw89kyvnw61 1235027 1235021 2022-07-24T21:20:06Z Hip hop Sana society 54739 Hip hop Sana society moved page [[Majadiliano:Straton Filbert Kilawe]] to [[Majadiliano:Panishee Mdudu]] over redirect: Lemma inapaswa kuwa jina la kimuziki ,makala hii inamuhusu Msanii wa Hip Hop Tanzania anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu wikitext text/x-wiki Straton F Kilawe Anatambulika kwa Jina La Kisanii Kama Panishee Mdudu Au Panishit , Ni Rapper na Mwanaharakati Wa Hip Hop kutoka Arusha Nchini Tanzania. Amezaliwa mwaka tarehe 11.10.1990  Ni Mtoto Wa kwanza wa kiume katika Familia ya Watoto Watatu Iliyokulia katika hali ya mwananchi wa Kawaida Jijini Arusha Tanzania, Alianza kuvutiwa na muziki kutoka Kwa Mama yake Aliyekuwa Mwanakwaya Na baba yake Mshahiri Wa Kiswahili na kujikuta Akiwa na uwezo wa kuwaandikia watu mashairi ya Kiswahili Shuleni wanapopewa mazoezi ya Somo La Kiswahili,  Panishit Ni Msomi Wa Degree ya Sayansi Ya biolojia aliyotunukiwa na raisi mstaafu wa Tanzania ‘Benjamin William Mkapa ‘ Chuo Kikuu Cha Dodoma  Mwaka 2014 , Alianza kujihusisha na muziki rasmi Mwaka 2012 Pale alipofanikiwa Kuingia Studio na Kurekodi Singo yake ya Kwanza akiwa na Kundi Lake GAZA GANG CLAN ,wimbo uliorekodiwa katika Studio za Noiz Mekah Arusha Chini Ya Producer Def Xtro (DX) wimbo uliompa nafasi ya Kuperfome Jukwaa Moja La Grand Malti na Msanii Wa Hip Hop Joh Makini, Kwa Uwezo Wake Mzuri wa Kucheza na Mic , Joh makini Alimpandisha Jukwaani na Huku Akimwambia "Punish It , Punish It " (Akimaanisha Achane kisawa sawa ) Hapo ndio ukawa Mwanzo wa Kutumia jina "PANISHIT" katika kazi zake za Kisanaa, Mwaka huo Huo Alirecord wimbo wake wa Pili studio Ile Ile Alioupa Jina #Maradhi Wimbo Ambao Ulivutia Masikio Ya Mkongwe Wa Hip Hop kutoka Watengwa JCB kitu kilichompa Moyo Rapa Huyo baada ya Chindo Man pia Kumrecognise na kumuita katika Studio Ya Watengwa Record (WTC) iliyopo kijenge Juu Jijini Arusha, ,Kazi Alizozifanya Na Producer Kz Kutoka kazawaza Records Arusha Zilimfanya Azidi Kujipatia Mashabiki wa hip hop Huku akijihusisha na Na Harakati za hip hop , kama Kilinge Cha Tamaduni Muzik na S.U.A Katika Kipindi Hichi , Panishee Mdudu Alikutana kwa uKaribu na Msanii Mkongwe Wa Hip Hop Tanzania #NashMc Ambaye Alianza kumfundisha mambo mbali mbali kuhusu soko la muziki wa Hip Hop na Changamoto zake , Maalim Nash Alimpa Panishee Mdudu Nafasi Ikiwa ni Pamoja na Kumtambulisha Kwa Mashabiki wake wa Hip Hop , Na kumpa Connection kwa Watangazaji Wa Radio kama Kadhaa , Mwaka 2014 Panishit Alizidi Kujipatia Umaarufu kwa Jamii Ya Hip Hop Baada Ya Ngoma Yake "Mi Sijui" kuingia Top Ten ya Ngoma Zulizodownlodiwa Zaidi Kenya Kwenye Mtandao wa MDUNDO.COM akiwa kwenye Chart Moja na Wasanii , Bahati Kenya , H_the Band na Nikki Mbishi , Chart Ambayo Ilichapishwa na Mtandao Maarufu Wa muziki Kenya Ghafla.Com Wimbo Huo Pia Ulipata Nafasi Ya Kuchezwa Katika Vituo Kadhaa vya Radio , Ambapo DJ Maarufu Dj Mafuvu Aliupa Nafasi Kila Alipoingia Mtamboni kwenye Planet Bongo Ya East Africa Radio. Mwaka Uliofuata Panishit Alirekodi Kazi na wasanii kama Nakaaya Sumari na Walter Chilambo (Sasa Anafanya Gospel),akiungana King Kapita(Aliyekuwa Kundi La wakacha ) naMack G na Kuunda Click Iliyoitwa Watu Wabaya Click (WWC) kundi ambalo Halikudumu Kwa Muda Mrefu , Baada ya Watu Wabaya Click kusambaratika Haukuwa mwisho wa Panishit Kufanya Harakati za Kundi kwani Aliungana na Myson Artist Pamoja na Nasho Smartkid na kulisimamisha kundi la Rotten Blood ambalo Liliwatambulisha Zaidi kwa Mashabiki wa Muziki Tanzania baada ya kurekodi Nyimbo kadhaa wasanii wakubwa Kama Linex Sunday Mjeda , Belle 9 na Moni Centrozone ambapo ngoma hizo zilitengenezwa na Maproduzer ,Mr Ttach , Bin laden, Mesen Seleka na Tony Drizzy , Ngoma zilizopata Nafasi ya kuchezwa na vituo vya Radio Na Tv za Tanzania .. == Panishee mdudu == Jina la makala limebadilishwa ,lilitakiwa kuwa Panishee Mdudu na sio Straton Filbert Kilawe , Jina Maarufu na linalojulikana ni Panishee Mdudu ama Panishit '''[[Mtumiaji:Hip hop Sana society|Hip hop Sana society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hip hop Sana society|majadiliano]])''' 18:33, 19 Julai 2022 (UTC) :Nakubali hoja hiyo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 20 Julai 2022 (UTC) Haifai kutumia jina la straton Filbert Kilawe kama jina LA makala , Lemma inapaswa iwe Panishee Mdudu ,Makala hii Inamuhusu mwanamziki wa Tanzania Anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu au Panishit Na sio Straton Filbert Kilawe (Jina La Familia) '''[[Mtumiaji:Goodlucktesha|Goodlucktesha]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Goodlucktesha|majadiliano]])''' 20:32, 24 Julai 2022 (UTC) e2lpxvmhkd2qmunosisuuw89kyvnw61 Panishee Mdudu 0 152918 1235025 1233817 2022-07-24T21:20:05Z Hip hop Sana society 54739 Hip hop Sana society moved page [[Straton Filbert Kilawe]] to [[Panishee Mdudu]] over redirect: Lemma inapaswa kuwa jina la kimuziki ,makala hii inamuhusu Msanii wa Hip Hop Tanzania anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2|background=solo_singer|picha=|maelezo=|tarehe ya kuzaliwa={{birth date and age|1990|10|11|df=yes}}|mahali pa kuzaliwa=[[Arusha]],[[Tanzania]]|tarehe ya kufa=|mahali alipofia=|Kazi yake=[[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mwanaharakati]]<br> [[Mshairi]]|Jina=Panishee Mdudu|Jina la kuzaliwa=Straton Filbert Kilawe|Jina lingine=Panishit<br>Panipain<br>Panishit Maradhi|Miaka ya kazi=2012 - hadi leo|Studio=<nowiki>[[Hip Hop Sana Lab]</nowiki>|Ameshirikiana na=*[[Moni Centrozone]] *[[Belle 9]] *[[Linex Mjeda]] *[[Nakaaya]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Arusha]], [[Tanzania]]}} '''Panishee Mdudu''' <ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/panishee-mdudu-mapaka-freestyle/|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref> (pia anajulikana kwa [[jina la kisanii]] au '''Panishit'''; alizaliwa [[11 Oktoba]] [[1990]]) ni [[mwanamuziki]] na [[mwanaharakati]] wa [[Hip hop]] kutoka [[Arusha (mji)|Arusha]] nchini [[Tanzania]]. Mwaka 2014 Panishit alirekodi kazi na wasanii kama [[Nakaaya]] na [[Walter Chilambo]] (sasa anafanya gospel)<ref>{{Cite web|title=These Are The Top Ten Most Downloaded Songs In Kenya|url=https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/|work=Ghafla!|date=2014-06-09|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=Nwasante Khasiani (Writer), Nwasante Khasiani (Writer)}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Panishee Mdudu ⚜ Online songs and bio of the artist — mdundo.com|url=https://mdundo.com/a/2846|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref>. Panishit pia ameshirikiana na [[Moni Centrozone]], [[Linex Sunday Mjeda]] na [[Belle Nine]] <ref>{{Cite web|title=AUDIO {{!}} Panishit X Mack G - FIMBO {{!}} Download|url=https://djmwanga.com/2017/03/panishit-x-mack-g-fimbo.html|work=DJ Mwanga|date=2017-03-20|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=djmwanga}}</ref><ref>{{Cite web|title=Audiomack {{!}} Free Music Sharing and Discovery|url=https://audiomack.com/panishit|work=audiomack.com|accessdate=2022-07-08|language=en}}</ref>. ==Marejeo== {{marejeo}} {{BD|1990|}} [[jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] mr960hwlvkxhi6v39apl72pyp3iwowt 1235031 1235025 2022-07-24T22:24:06Z Hip hop Sana society 54739 Picha ya Faili wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2|background=solo_singer|picha=Picha ya Panishee mdudu.jpg|maelezo=Rapper Panishee Mdudu|tarehe ya kuzaliwa={{birth date and age|1990|10|11|df=yes}}|mahali pa kuzaliwa=[[Arusha]],[[Tanzania]]|tarehe ya kufa=|mahali alipofia=|Kazi yake=[[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mwanaharakati]]<br> [[Mshairi]]|Jina=Panishee Mdudu|Jina la kuzaliwa=Straton Filbert Kilawe|Jina lingine=Panishit<br>Panipain<br>Panishit Maradhi|Miaka ya kazi=2012 - hadi leo|Studio=<nowiki>[[Hip Hop Sana Lab]</nowiki>|Ameshirikiana na=*[[Moni Centrozone]] *[[Belle 9]] *[[Linex Mjeda]] *[[Nakaaya]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Arusha]], [[Tanzania]]}} '''Panishee Mdudu''' <ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/panishee-mdudu-mapaka-freestyle/|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref> (pia anajulikana kwa [[jina la kisanii]] au '''Panishit'''; alizaliwa [[11 Oktoba]] [[1990]]) ni [[mwanamuziki]] na [[mwanaharakati]] wa [[Hip hop]] kutoka [[Arusha (mji)|Arusha]] nchini [[Tanzania]]. Mwaka 2014 Panishit alirekodi kazi na wasanii kama [[Nakaaya]] na [[Walter Chilambo]] (sasa anafanya gospel)<ref>{{Cite web|title=These Are The Top Ten Most Downloaded Songs In Kenya|url=https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/|work=Ghafla!|date=2014-06-09|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=Nwasante Khasiani (Writer), Nwasante Khasiani (Writer)}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Panishee Mdudu ⚜ Online songs and bio of the artist — mdundo.com|url=https://mdundo.com/a/2846|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref>. Panishit pia ameshirikiana na [[Moni Centrozone]], [[Linex Sunday Mjeda]] na [[Belle Nine]] <ref>{{Cite web|title=AUDIO {{!}} Panishit X Mack G - FIMBO {{!}} Download|url=https://djmwanga.com/2017/03/panishit-x-mack-g-fimbo.html|work=DJ Mwanga|date=2017-03-20|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=djmwanga}}</ref><ref>{{Cite web|title=Audiomack {{!}} Free Music Sharing and Discovery|url=https://audiomack.com/panishit|work=audiomack.com|accessdate=2022-07-08|language=en}}</ref>. ==Marejeo== {{marejeo}} {{BD|1990|}} [[jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] gyv92d1ol6apybi5vjdbi0dpiedwm3z Mtumiaji:Joseni abeli 2 153287 1235019 2022-07-24T20:16:14Z Joseni abeli 55083 Role of teachers and parents in eradicating moral decadence to secondary school students wikitext text/x-wiki www.joseniabeli.go.tz ckz7cu1d9ihcnekbaf8e62q2tvqexfv Straton Filbert Kilawe 0 153288 1235026 2022-07-24T21:20:06Z Hip hop Sana society 54739 Hip hop Sana society moved page [[Straton Filbert Kilawe]] to [[Panishee Mdudu]] over redirect: Lemma inapaswa kuwa jina la kimuziki ,makala hii inamuhusu Msanii wa Hip Hop Tanzania anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Panishee Mdudu]] t18stnkro4q7834z3erezw5fa5o992n Majadiliano:Straton Filbert Kilawe 1 153289 1235028 2022-07-24T21:20:06Z Hip hop Sana society 54739 Hip hop Sana society moved page [[Majadiliano:Straton Filbert Kilawe]] to [[Majadiliano:Panishee Mdudu]] over redirect: Lemma inapaswa kuwa jina la kimuziki ,makala hii inamuhusu Msanii wa Hip Hop Tanzania anayejulikana kwa jina la Panishee Mdudu wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Majadiliano:Panishee Mdudu]] dh4sp2xqtdk66kmwuqdn0r9dnhomfbr Mtumiaji:Hip hop Sana society 2 153290 1235040 2022-07-25T06:02:48Z Olimasy 26935 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} -- ~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' shgi704pxm7u712uzd8s8py50wc408y 1235041 1235040 2022-07-25T06:07:24Z Olimasy 26935 Kaondosha yaliyomo wikitext text/x-wiki phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1 Majadiliano ya mtumiaji:Said Abdallah Maganga 3 153291 1235042 2022-07-25T06:10:32Z Olimasy 26935 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} -- ~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' shgi704pxm7u712uzd8s8py50wc408y Majadiliano ya mtumiaji:Joseni abeli 3 153292 1235043 2022-07-25T06:11:26Z Olimasy 26935 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} -- ~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' shgi704pxm7u712uzd8s8py50wc408y 1235044 1235043 2022-07-25T06:11:39Z Olimasy 26935 wikitext text/x-wiki {{karibu}} mipxe3tbf7ib8fwddbzix1vtuq03i62 Majadiliano ya mtumiaji:Mashkawat.ahsan 3 153293 1235045 2022-07-25T06:23:07Z Olimasy 26935 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} -- ~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' shgi704pxm7u712uzd8s8py50wc408y Majadiliano:Mto Dakkwon 1 153294 1235053 2022-07-25T07:58:34Z Rajab Mdimi 55092 Ningependa kujua kiundani kuhusu ili swala wikitext text/x-wiki Kwanini kula raisi au kiongozi lazima aende Vatican city f6jt898qkwavl40q1uxxzpevawa58d0 1235064 1235053 2022-07-25T10:48:35Z Kipala 107 Kaondosha yaliyomo wikitext text/x-wiki phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1 Majadiliano ya mtumiaji:Rajab Mdimi 3 153295 1235057 2022-07-25T09:54:45Z Kipala 107 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~' wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:54, 25 Julai 2022 (UTC) 4znd8aoyveu35tz0anah2uznlo737x3 1235063 1235057 2022-07-25T10:47:23Z Kipala 107 wikitext text/x-wiki == == {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:54, 25 Julai 2022 (UTC) :Habari, naona uliweka swali kwenye ukurasa wa [[Majadiliano:Mto Dakkwon]] ambalo halina uhusiano wowote na mada ya ukurasa. Tafadhali usirudie. Wikipedia si mahali pa kuuliza maswali kuhusu kitu chochote bali mahali pa kuchangia elimu yetu. Ukiwa na swali unaweza kulileta kama linalingana na mada wa kukurasa fulani. Uko huru kuandika chochote (kama si matusi au matangazo ya kibiashara) kwenye ukurasa wako wa Majadiliano. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:47, 25 Julai 2022 (UTC) j3ekas3k5u5odpaq51q4voz2k1e2e1b Lawi 0 153296 1235059 2022-07-25T10:10:44Z Kipala 107 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Lawi (babu)]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Lawi (babu)]] 3xr3sfvz5udktqh0aonpov0fyj25c9f Majadiliano:Idara ya Usalama wa Taifa (Tanzania) 1 153297 1235060 2022-07-25T10:19:22Z 41.59.201.12 /* quality and qualification */ mjadala mpya wikitext text/x-wiki == quality and qualification == what are the best and most qualification to be hired as tiss [[Maalum:Michango/41.59.201.12|41.59.201.12]] 10:19, 25 Julai 2022 (UTC) 06pl86mrqji3rlalhgg8p9jtg31v0mz