Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.23
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Jiografia
0
24
1240628
1094077
2022-08-08T08:40:24Z
Bestoernesto
23840
/* Afrika ya Kusini */ Upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
[[File:World map 2004 CIA large 1.7m whitespace removed.jpg|thumb|290px|[[Ramani]] ya dunia.]]
'''Jiografia''' ni somo la [[Dunia]] na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.<ref>{{Cite web |title=Geography |work=The American Heritage Dictionary/ of the English Language, Fourth Edition |publisher=Houghton Mifflin Company |url=http://dictionary.reference.com/browse/geography |accessdate=9 Oktoba 2006 }}</ref>
Neno la [[Kiswahili]] ''jiografia'' linafuata matamshi ya [[Kiingereza]] ya neno la [[Kigiriki]] "γεωγραφία", ''geo-grafia'' kutoka ''gê'' "dunia" na ''graphein'' "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na [[mwanasayansi]] [[Eratosthenes]] ([[276 KK|276]]-[[194 KK]]).
Sehemu za jiografia ni vitu kama [[bara|mabara]], [[bahari]], [[mto|mito]] na [[mlima|milima]]. Wakazi wake ni [[watu]] wote na [[wanyama]] waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile [[maji]] kujaa na kupwa, [[upepo]], na [[tetemeko la ardhi]].
==Nchi za [[Afrika]]==
=== Afrika ya Mashariki ===
* [[Burundi]]
* [[Eritrea]]
* [[Jibuti]]
* [[Kenya]]
* [[Komoro]]
* [[Rwanda]]
* [[Shelisheli]]
* [[Somalia]]
* [[Tanzania]]
* [[Uganda]]
* [[Uhabeshi]] (Ethiopia)
* [[Sudan Kusini]]
=== Afrika ya Kati ===
* [[Gabon]]
* [[Guinea ya Ikweta]]
* [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
* [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
* [[Jamhuri ya Kongo]]
* [[Kamerun]]
* [[Sao Tome na Principe]]
=== Afrika ya Kaskazini ===
* [[Algeria]]
* [[Libya]]
* [[Misri]]
* [[Moroko]]
* [[Sahara ya Magharibi]]
* [[Sudan]]
* [[Tunisia]]
=== Afrika ya Kusini ===
* [[Angola]]
* [[Botswana]]
* [[Eswatini]]
* [[Lesotho]]
* [[Malawi]]
* [[Mauritius]]
* [[Msumbiji]] (Mozambiki)
* [[Namibia]]
* [[Afrika Kusini]]
* [[Zambia]]
* [[Zimbabwe]]
=== Afrika ya Magharibi ===
* [[Benin]]
* [[Burkina Faso]]
* [[Chadi]]
* [[Cabo Verde]]
* [[Ivory Coast]]
* [[Gambia]]
* [[Ghana]]
* [[Guinea]]
* [[Guinea Bisau]]
* [[Liberia]]
* [[Mali]]
* [[Mauritania]]
* [[Niger]]
* [[Nigeria]]
* [[Senegal]]
* [[Sierra Leone]]
* [[Togo]]
==Nchi za [[Amerika ya Kaskazini]]==
* [[Kanada]]
* [[Marekani]] (''Maungano wa Madola ya Amerika'')
* [[Meksiko]] (''Maungano a Madola ya Mexiko'')
==Nchi za [[Amerika ya Kati]]==
=== Nchi za barani ===
* [[Belize]]
* [[Guatemala]]
* [[Honduras]]
* [[El Salvador]]
* [[Nikaragua]]
* [[Kosta Rika]]
* [[Panama]]
''*([[Meksiko]] mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)''
=== Nchi za [[visiwa vya Karibi]] ===
* [[Antigua na Barbuda]]
* [[Visiwa vya Bahamas|Bahamas]]
* [[Barbados]]
* [[Dominica]]
* [[Jamhuri ya Dominika]]
* [[Grenada]]
* [[Haiti]]
* [[Jamaika]]
* [[Kuba]]
* [[Saint Kitts na Nevis]]
* [[Saint Lucia]]
* [[Saint Vincent na Grenadini]]
==Nchi za [[Amerika ya Kusini]]==
* [[Argentina]]
* [[Bolivia]]
* [[Brazil]]
* [[Chile]]
* [[Ekuador]]
* [[Guyana]]
* [[Guyana ya Kifaransa]]
* [[Kolombia]]
* [[Paraguay]]
* [[Peru]]
* [[Surinam]]
* [[Uruguay]]
* [[Venezuela]]
==Nchi za [[Asia]]==
=== Asia ya Kati ===
* [[Afghanistan]]
* [[Kazakhstan]]
* [[Kirgizistan]]
* [[Mongolia]]
* [[Tajikistan]]
* [[Turkmenistan]]
* [[Usbekistan]]
=== Asia ya Kaskazini ===
* [[Siberia]] (sehemu ya [[Urusi]])
=== Asia ya Mashariki ===
* [[Uchina]] (pamoja na [[Taiwan]])
* [[Japani]]
* [[Korea Kaskazini]]
* [[Korea Kusini]]
=== Asia ya Kusini-Mashariki ===
* [[Brunei]]
* [[Indonesia]]
* [[Kamboja]]
* [[Laos]]
* [[Malaysia]]
* [[Myanmar]] (zamani iliitwa Burma)
* [[Philippines]]
* [[Singapur]]
* [[Thailand]] (zamani iliitwa Siam)
* [[Timor Mashariki]]
* [[Vietnam]]
=== Asia ya Kusini ===
* [[Bangladesh]]
* [[Bhutan]]
* [[Uhindi]] (au India)
* [[Maledivi]]
* [[Nepal]]
* [[Pakistan]]
* [[Sri Lanka]] (zamani iliitwa Ceylon)
=== Asia ya Magharibi ===
* [[Armenia]]
* [[Azerbaijan]]
* [[Georgia (nchi)|Georgia]]
* [[Irak]]
* [[Israel]]
* [[Yordani]]
* [[Libanon]]
* [[Palestina]]
* [[Shamu]] (au: Syria)
* [[Uajemi]] (au Iran au Persia)
* [[Uturuki]]
==== Bara Arabu ====
* [[Bahrain]]
* [[Kuwait]]
* [[Muungano wa Falme za Kiarabu]]
* [[Oman]]
* [[Qatar]]
* [[Saudia]]
* [[Yemen]]
==Nchi za [[Ulaya]]==
==Nchi za [[Oceania]]==
==[[mfumo wa Jua]]==
* [[Jua]]
* [[Utaridi]] <ref>Inatajwa kama "[[Zebaki]]" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza "Mercury" linalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili </ref>
* [[Zuhura]] (Ng'andu)
* [[Dunia]] (Ardhi)
* [[Mirihi]] (Meriki - Mars)
* [[Mshtarii]] <ref>inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya [[:en:Spica]]</ref>
* [[Zohari]] <ref>Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya [[:en:Canver (constellation|Cancer]]; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn"</ref>
* [[Uranus]]<ref>Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn"</ref>
* [[Neptun]]<ref>Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius"</ref>
==Tazama pia==
{{Lango|Jiografia}}
* [[Jamii:Nchi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons|Geography}}
{{Sayansi}}
{{Mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:Sayansi]]
63mw3tlhgemshabf6swcy15nx7ckh6s
Majadiliano ya mtumiaji:Kipala
3
1931
1240414
1214648
2022-08-07T21:46:57Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
*Je unapenda kuongeza makala kuhusu Tanzania? Nenda hapa ukachague: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/List Category Tanzania en|'''List Category Tanzania en''']]
*Ukipenda kupanusha wikipedia yetu kwa jumla, angalia mapengo hapa: [[Mtumiaji:Kipala/makala 10000|Makala 10,000]]
*Tazama pia kurasa za muda: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/viungo vya mwili|Viungo vya mwili]] na [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/makala 100|makala 100]]!
'''Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa za Hifadhi ya Nyaraka'''{{archive box collapsible|
*[[User:Kipala/Archive 1|Hifadhi ya Nyaraka 1: 2006/2007]]
*[[User:Kipala/Archive 2|Hifadhi ya Nyaraka 2: Novemba 2006 - Februari 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 3|Hifadhi ya Nyaraka 3: Februari - Aprili 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 4|Hifadhi ya Nyaraka 4: Mei - Julai 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 5|Hifadhi ya Nyaraka 5: Julai - 15 Disemba 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 6|Hifadhi ya Nyaraka 6: 15 Disemba 2008 - 20 Machi 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 7|Hifadhi ya Nyaraka 7: hadi mwisho wa 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 8|Hifadhi ya Nyaraka 8: Januari 2010 - 6 Desemba 2010]]
*[[User:Kipala/Archive 9|Hifadhi ya Nyaraka 9: 6 Desemba 2010 - Desemba 2012]]
*[[User:Kipala/Archive 10|Hifadhi ya Nyaraka 10: Januari 2013 - Desemba 2015]]
*[[User:Kipala/Archive 11|Hifadhi ya Nyaraka 11: Mwaka 2016]]
*[[User:Kipala/Archive 12|Hifadhi ya Nyaraka 12: Mwaka 2017-2018]]
*[[User:Kipala/Archive 13|Hifadhi ya Nyaraka 13: Mwaka 2019]]
}}
<big>'''Ongeza chako chini kabisa!'''</big>
== Kuhusu Wikipedia kwa simu ==
Watu wengi wako Afrika wanasoma wikipedia kwa simu. Wanaweza kuhusu kwa simu pia?
https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps
https://translatewiki.net/wiki/Translating:WikimediaMobile
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:35, 28 Januari 2020 (UTC)
:Asante kwa swali, Ndugu Benson. Tuna watumiaji wengi wanaochangia kwa simu. Inawezekana, pia kwa matokeo mazuri. Historia ya makala inaionyesha kwa "tag:Mobile edit". Kwa upande mwingine tuna tatizo hasa kwa watumiaji wapya wakiamua mara moja kubadilisha kitu kidogo au kuongeza hosa, sentensi au neno kwamba hariri zao zina makosa (au:hazina maana) kwa hiyo tunasafisha mara kwa mara. Si rahisi kuunda makala marefu kidogo kwa simu ya mkononi. Lakini uwezekano upo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:55, 28 Januari 2020 (UTC)
::Kutafsiri kwa kutumia msaada kama translatewiki inawezakana pia, mimi mwenyewe ninaitumia siku hizi mara kwa mara. Hata hivyo, watumiaji wapya wanaonywa dhidi yake. Maana inahitaji maarifa na umakini. Ni rahisi kuingiza makala marefu ya Kiingereza katika programu ya aina hii, kusahihisha kidogo makosa ya kwanza na kuihifadhi. Ila tu mara nyingi (hasa kwenye skrini ndogo ya simu) watumiaji wanachoka au hawaoni tena makosa mengine - yanayobaki. Ni kidogo kama samaki hizi zenye sumu zinazopendwa na Wajapani [[en:fugu]] - tamu sana, lakini ole ukisahau kukata sehemu za sumu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 13:04, 28 Januari 2020 (UTC)
== Kazi nzuri ya uhariri ==
Habari!
Umefanya vyema kuweka kielelezo kwenda [[Mapatano ya Kimataifa dhidi ya Utesaji]].
'''[[Mtumiaji:BlessNathan|BlessNathan]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BlessNathan|majadiliano]])''' 13:56, 1 Februari 2020 (UTC)
== Kuhusu kubadili jina la mtumiaji ==
Mimi '''Simon waziri msika''' naomba kubadili jina la mtumiaji na liwe 20_savage.Asante amani kwako--'''[[Mtumiaji:Simon waziri msika|Simon waziri msika]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Simon waziri msika|majadiliano]])''' 12:23, 7 Februari 2020 (UTC)'''kipala'''.
==Mashindano ya Uhariri Alfagems==
Ndugu, nipo na Magotech kwa ajili ya mashindano yetu. Afadhali usihariri makala zinazoundwa mpaka tutoe tuzo kwa washindi. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:28, 16 Februari 2020 (UTC)
:Usiwe na wasiwasi, naona hiyo baada ya tukio.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:53, 16 Februari 2020 (UTC)
==Ugatuzi Burundi==
Ndugu, naona nchi hiyo ndogo imegawiwa sehemu 16 (provinces) ambazo tungeziita wilaya, si mikoa. Hasa kwa sababu kuna ngazi ya juu zaidi ambayo inafaa iitwe mkoa. Unasemaje?
Kuhusu masahihisho yangu, nimekuelewa. Nitasubiri zaidi. Hofu yangu ni kusahau baadaye... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:43, 17 Machi 2020 (UTC)
::Asante, kama wenzetu wa enwiki wako sawa https://en.wikipedia.org/wiki/Burundi#Subdivisions, zile provinces za Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Je umeona ngazi ya juu? Menginevyo fanya unavyoona. Nadhani tu ni busara tukianza kutaja kwa kila nchi makala yetu husika, ambayo ni [[Eneo la utawala]]; tafadhali uiangalie, unatumia neno hili zuri "ugatuzi", labda uhamishe lemma kwenda kule. Sasa naona tuktaja mfano "wilaya/mikoa ya Burundi", tuwe na makala fupi inayosema "Wilaya/mikoa ya Burundi" inayoeleza kwa sentensi moja "Wilaya/Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Nchi hiyo imegwanywa kwa wilaya/mikoa 17. Wil/Mkoa unagawanywa kwa ....." '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:23, 17 Machi 2020 (UTC)
== Tafsiri ==
Habari! naomba msaada wa tafsriri ya maneno haya : '''Performance of biofilm carriers in anaerobic digestion of sisal leaf waste leachate''' '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 15:41, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Kwa nini unataka kuitafsiri? ni jina la makala kuhusu utafiti fulani, haihitaji tafsiri. Ukitaka kuieleza usitafsiri utumie maneno yako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:25, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Labda kitu kama "ufanisi wa (kipagazi ?) cha ukoga hai katika mmeng'enyo anerobi wa kichujuaji cha mikonge" - siridhiki kipagazi (carrier).'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:13, 2 Aprili 2020 (UTC)
== Masanja ==
Nmeondoa picha ya Masanja kwa sababu ya mlalamikaji mmoja akisema anaomba kuondolewa kwa picha hiyo. Natafuta picha nyingine. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 03:15, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Sawa si picha ya kupendeza sana. Basi kumbuka kufuta faili ya picha yenyewe, maana bado iko. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 05:57, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Naomba maelekezo namna ya kufuta picha. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:51, 11 Aprili 2020 (UTC)
:::Unafungua picha, utaipata kwa kuingia katika historia ya makala. Katika historia fungua nakala yenye picha, bofya picha, utapata ukurasa wa faili yake. Hapa ukihariri unaweza kufuta nisipokosei. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:28, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 14:06, 11 Aprili 2020 (UTC)
Naomba msaada wa kusaidiwa kuhariri makala niliyoanzisha ya Yericko Nyerere.
Naomba kusaidiwa kuweka picha yake.
Naomba kusaidiwa kuweka mpangilio mzuri kulingana na sheria za Wikipedia ya kiswahili.
Mimi ni mgeni sina uzoefu wa kutumia Wikipedia lakini nimeona nianzishe ukurasa wa Yericko ambae ni mwandishi maarufu wa vitabu Afrika Mashariki na Mchambuzi wa Ulinzi na Usalama. '''[[Mtumiaji:Mbutublock|Mbutublock]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mbutublock|majadiliano]])''' 03:58, 9 Septemba 2021 (UTC)
== Programmu ya kusafishia sw.wikipedia ==
Kuna programmu [[en:Wikipedia:CLEANER]], nafikiri inaweza kusaida na Wikipedia ya Kiswahili. Programmu ingine ni [[en:Wikipedia:Typo_Team/moss]]. Au tunaweza kuandika yetu.
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:34, 29 Aprili 2020 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan SSR]] and [[:en:Democratic Republic of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? They certainly don't need to be long like the English versions.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 11:28, 13 Julai 2020 (UTC)
==Kamusi na viongozi wa Wikipedia ya Kiswahili==
Ndugu, nimeona umefuta sehemu ya mchango wa mwalimu wetu Mengistu kwamba una mashaka nao. Naomba maelezo kidogo. Pia nimeona umeandika idadi ya viongozi wa mradi wetu si halisi kwa sababu miaka ya nyuma tulisita kuondoa wale waliopumzika muda mrefu. Je, hatuwezi sasa kuchukua hatua? Amani kwako!--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 22 Julai 2020 (UTC)
:Kuhusu "Kamusi" nimeona hasa muhimu kuhamisha sehemu kuhusu "Historia" nyuma, maana iliwekwa kabla ya maelezo ya kimsingi kuhusu aina tofauti za kamusi. Inawezekana katika kukata na kubandika tena nilifuta zaidi kuliko jinsi nilivyokusudia. Nitaangalia tena. Sehemu ya historia inajaa makosa mengi, hasa sehemu kuhusu kamusi za Kiswahili. Majina yameharibika mno (Sowahili si jina, wala Smee wala Salt walitunga kamusi, walikusanya maneno kadhaa tu kama mifano ya lugha; "Esteere" ni askofu [[Edward Steere]], "Krafp (1845)" ni [[Ludwig Krapf]]. -- Kifungu chote kuhusu Kigiriki kimenakiliwa kutoka makala [[Kigiriki]] lakini hakina uhusiano na mada ya Kamusi. Niliandika "mashaka" kwa sababu sijakuwa na muda wa masahihisho.
::Kuhusu wakabidhi: sawa, twende! Miaka iliyopita ni hasa Oliver ambaye hakupenda kufuta. Mimi mwenyewe naona kama mtu hakuonekana mwaka mmoja afutwe katika hadhi ya mkabidhi. Wikipedia nyingine zinaangalia pia kama mkabishi anatekeleza shughuli zake au la. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:49, 23 Julai 2020 (UTC)
:::Hata mimi naona hivyo: kimya cha mwaka mmoja kiwe kigezo. Tunawashukuru waliofanya kazi, lakini kuwaacha kama majina tu hakuna uhalisia... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:37, 23 Julai 2020 (UTC)
== Foto ==
Hallo Kipala,<br/>
Das Foto, das im Artikel zur SGR steht, ist eine Urheberrechtsverletzung und wird demnächst gelöscht. Um zu vermeiden, dass in dem Artikel ein kaputter Bildlink ist, habe ich es durch ein anderes Foto bereits im Vorhinein ersetzt. Würdest du deine Änderung also wieder zurücksetzen – oder alternativ ein anderes Foto nehmen? Viele Grüße, --'''[[Mtumiaji:Jcornelius|Jcornelius]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jcornelius|majadiliano]])''' 22:59, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Dein Foto ist noch drin im Artikel. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:06, 4 Agosti 2020 (UTC)
::Ich verstehe nicht. Auf welchen Artikel wird verwiesen? Ich sehe kein neues Foto in [[Nzige-jangwa]] (SGR). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:40, 5 Agosti 2020 (UTC)
:::Inahusu [[Reli_ya_SGR_ya_Kenya]]'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:35, 6 Agosti 2020 (UTC)
==Mitaa==
Ndugu, naomba uangalie maswali yangu ya leo katima majadiliano ya kurasa mbalimbali. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:15, 17 Agosti 2020 (UTC)
::Naona swali lako leo tu. Siwezi kuona tena mabadiliko ya jana. Unamaanisha makala zipi?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:22, 17 Agosti 2020 (UTC)
:Ndiyo, leo, si jana! Ni [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:59, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Naomba kuzirudisha upya na kutoa uthibitisho [[Silent ocean Tanzania]],[[Counsellorsalah]]==
[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] Nimeona sababu iliyotolewa kwa ajili ya ufutaji wa makala hizo mbili, nimejifunza jambo juu ya uundaji wa makala hapa wiki. kama ulivyoelezea kwenye ukurasa wa makala ya ufutaji, nilijaribu kuziingiza enwiki lakini zilikosa mantiki. nipo katika kujifunza kuhariri hapa wiki ili na mimi baadae niweze kuisaidia swwiki katika makala tofauti tofauti. hivyo naomba kuanzisha tena makala hizo mbili ambazo tayari zimefutwa, na kwa sababu ambazo ni sahihi, ila nimefanyia marekebisho sababu ya awali na kufupisha maneno, na kuelezea kile tu ambacho kina uthibitisho. ahsante. '''[[Mtumiaji:molee4real|molee4real]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
== Lambo la Kihansi ==
habari Kipala,
naomba msaada namna ya kutumia google maps kwenye ukurasa wangu wenye jina [[Lambo la Kihansi|tajwa]]. Asante --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 12:44, 18 Septemba 2020 (UTC)
:Pia angalia namna ya kutumia "l" na "r". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:29, 18 Septemba 2020 (UTC)
::Mimi mwenyewe sijaelewa bado namna ya kutumia google map pamoja na misimbo ya majiranukta. ninabahatika wakati mwingine kama tunayo infobox iliyoandaliwa kuwa na majiranukta. Ninafikiri tatizo ni hii: tuna infoboxes kadhaa ambazo ni za zamani kabla ya kusanifishwa kwa infoboxes kwenye enwiki jinsi iivyo. Kama tungempata mtu anayeangalia boxes zetu na zile za kawaida za kimataifa tunagweza kuzitafsiri na kutumia. Nahisi hapa tupange warsha ya pekee kwa njia ya zoom, kwa kuomba msaada wa wale wanaojua nje ya swwiki. Mimi hutumia mbinu wangu: nafungua openstreetmap (shauri ya laiseni ya hakimiliki), nachukua pcha ya skrini, naipeleka programu kama PAINT, naweke alama ya mahali pamoja na matini ya Kiswahili, naipakua kwenda commons, basi nimeunda picha ya ramani ninayotumia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:05, 18 Septemba 2020 (UTC)
== We sent you an e-mail ==
Hello {{PAGENAME}},
Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.
You can [[:m:Special:Diff/20479077|see my explanation here]].
'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)
<!-- Message sent by User:Samuel (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Samuel_(WMF)/Community_Insights_survey/other-languages&oldid=20479295 -->
==Idadi ya makala==
Ndugu, imekuwaje tangu siku chache idadi ya makala za Kiswahili imekatwa kama 800: toka 60,300 hivi zimebaki 59,500 tu? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:18, 27 Septemba 2020 (UTC)
:Swali zuri, nimeiona pia, sijui. Najaribu kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:43, 27 Septemba 2020 (UTC)
::Pia nimeona haririo lako la mwisho kuhusu wasomaji wetu: kutoka milioni 4 wamekuwa chini ya 2. Idadi ya mwisho inalingana na ile ya wasomaji kwa nchi, lakini ile ya kwanza ipo katika Wikistat: ina maana gani? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:38, 28 Septemba 2020 (UTC)
:::Niliangalia wikistats na kuona namba za milioni 4. Baadaye niliangalia toolforge ambako ni chini ya mio 2. Nimekumbuka nimewahi kuona hii lkn nilishau. Basi ukifungua https://stats.wikimedia.org/#/sw.wikipedia.org/reading/total-page-views/normal|bar|2-year|~total|monthly unaona idadi ya kuangaliwa kwa swwiki. Ukibofya "Split by agent type" (ambacho nilisahau) unaona kiasi gani cha watu halisi na kiasi gani cha bots au programu za crawler. Namba ya watu halisi ni sawa na namba inayoonyeshwa pale toolforge https://pageviews.toolforge.org/siteviews/?platform=all-access&source=pageviews&agent=user&start=2019-09&end=2020-08&sites=sw.wikipedia.org. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:44, 28 Septemba 2020 (UTC)
== Swahili Wiktionary ==
Saalam, maneno ambayo yapo kwenye sw wiktionary yana hitilafu kidogo. Maneno ambayo hayafahi kuwepo au katika lugha zingine vinaongezeka, sina uwezo wa kuzitoa kwenye wiktionary tafadhali zitoe, au unipe usaidizi wa jinsi nawezaya kuyatoa maneno hayo.'''[[Mtumiaji:Alvin kipchumba|Alvin kipchumba]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alvin kipchumba|majadiliano]])''' 12:15, 30 Septemba 2020 (UTC)
::Naona umeanzisha mwenyewe makala ya "kuadhiminisha" ambayo si Kiswahili. Kwa nini? Mimi sina mamlaka pale Wikamusi, ongea na wakabidhi wa pale, unawakuta kwenye ukurasa wa Jumuia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:04, 30 Septemba 2020 (UTC)
:::(en) If i can weigh in here, the Swahili Wiktionary is really in a mess and i have been going on trying to fix things. If you can help out in any way with the kamusi or otherwise invite users who might be intrested it would be appreciated. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 11:57, 2 Oktoba 2020 (UTC)
::::(en) I was there some days ago. Couldn't do much more since I have a limit access to the site. Though I can fix some error if pointed where!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 13:27, 2 Oktoba 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 05:26, 2 Novemba 2020 (UTC)
:Mpendwa, unachofanya kwenye ukurasa wako wa mtumiaji ni shauri lako, usipoleta matangazo ya kibiashara au haramu au matusi. Ila matini za Kiingereza hazidumu hapa kwenye makala, tunafuta. Pia kama unaweza kutunga makala inayoleta habari halisi, sawa ni kama kila mada. Sieelwei uanchomaanisha ukisema "spread the word"- '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:57, 2 Novemba 2020 (UTC)
==Kundi la whatsapp la wakabidhi==
Habari Kipala!
Nilipata ujumbe wako. Kundi la whatsapp la wakabidhi ni wazo zuri. Nimepotea whatsapp wiki iliyopita kutokana na changamoto binafsi, natarajia kurejea wiki hii. Nitakutaarifu. Asante. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)]]''' [[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)]]
Nimeona majadiliano yenu. Jumapili iliyopita watu mbalimbali walichangia Wikipedia yetu kwa tafsiri za kompyuta. Labda tufikie uamuzi wa moja kwa moja za kuzifuta au kutafsiri upya sehemu ndogo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
==Hamburg==
Nimepata ujumbe huo. Naona unakuhusu zaidi wewe.
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC) --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
== MrWaxwell ==
I have also blocked this user on several small projects for the same reason as here. I think perhaps it may be time for a global lock. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 15:16, 7 Januari 2021 (UTC)
:It is a pity about this guy. For a place like us he could be helpful if he listened, I guess it has to do with his personality/attitude that he is not able to communicate. I have not followed him very much on other wikis, just on the African ones. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:29, 7 Januari 2021 (UTC)
==Google Translations==
Ndugu, nimepokea leo jibu hili:
:[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], If someone translate it by themselves, it's not copyright violation, but if they are doing it using Google translator, then it is a violation as content translated using Google translator is licensed. I am sure this user don't know the Swahali language and they just copied the content from English wiki and used Google translator and pasted it here. I have also [[m:Steward requests/Miscellaneous#Google|translations by User:Sandesh9822]] opened a thread on meta]] to discuss all such articles they created on other wikis. '''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB#top|majadiliano]])''' 07:51, 18 Januari 2021 (UTC)
Ni suala linalotusumbua tangu muda mrefu. Kwa nini tusichukue uamuzi wa kufuta kurasa zote za namna hiyo? Pia naomba uangalie talk katika English Wiki kuhusu Same-sex Marriage. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 18 Januari 2021 (UTC)
Tafadhali nisaidie kuelewa jambo. Swali linahusu makala gani? Na mtumiaji gani? Na uhusiano na [[:en:Same-sex Marriage]] (sehemu gani ya majadiliano?) ni nini? Ninaelewa kwamba unaona matumizi ya automatic translate bila masahihisho kama usumbufu. Ila kabla ya kuiweka kwenye Whatsapp nisaidie nielewe vizuri zaidi. (maana machoni pangu KAMA tafsiri ya kompyuta inasafishwa vema, kuna matokeo mazuri - mimi mwenyewe natumia mara kwa mara programu ya tafsiri ya komyuta siku hizi, lakini inahitaji kazi!) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:06, 18 Januari 2021 (UTC)
::Ni ukurasa juu ya [[B. R. Ambedkar]]. Shida ni kwa hawa wasiojua kabisa Kiswahili. Hakuna uhusiano na ndoa za jinsia moja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 18 Januari 2021 (UTC)
:::Sawa nimepeleka, Nimekuunga mkono. Ila naona umeshwekeza kazi sasa si vibaya tena? (tena sidhani ni kweli alichoandika Mtumiaji:1997kB. Copyright si jambo, matokeo mabaya ni jambo.) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:45, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Naomba ujadiliane na huyo [[Mtumiaji:1997kB|1997kB]]. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:56, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Nimeandika hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/Steward_requests/Miscellaneous#Google_translations_by_User%3ASandesh9822 '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:13, 18 Januari 2021 (UTC)
==Katekesimo==
Ndugu, hata mwaka jana nilikuwa na katekesimo ndogo ya Kilutheri kwa Kiswahili iliyoandaliwa na mtu wa Ufini (Popidan?) lakini sasa siioni tena. Ingeweza kutajwa. Shalom. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 14 Februari 2021 (UTC)
:Nimeiona tena. Kichwa chake ni "Katekisimo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
==Majadiliano: Frozen1==
Ndugu, naomba umjibu mchangiaji asiyejua Kiswahili lakini ana nia njema: ameandika katika ukurasa wangu wa majadiliano chini ya kichwa hicho. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
::Sawa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:01, 16 Machi 2021 (UTC)
==Majina ya nchi==
Suala la majina ya nchi linazidi kusumbua hasa upande wa jamii: Isilandi, Iceland - China, Uchina - Mexico, Meksico, Meksiko n.k. Lini tutakubaliana? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:54, 30 Machi 2021 (UTC)
:Nitaipeleka kwenye kundi la wakabidhi. Naona njia tatu: 1) Ama tuendelee jinsi ilivyo kwa kutumia redirect; 2) Au tukubaliane Orodha rasmi (kutoka [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]??? mimi si rafiki sana wa mapendekezo kwa nchi kadhaa. Tena niko sasa Kenya, sina nakala hapa..). 3) au tupatane kuhusu nchi tu ulizotaja na zinazotajwa kwa wengine kuwa zinasumbua. Nipeleke hoja zote tatu au ipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:17, 30 Machi 2021 (UTC)
::Redirect kwa jamii haisaidii, kwa sababu makala hazionekani katika ukurasa ulioelekezwa upya. Afadhali tukubaliane tuwe na namna moja walau kwa jamii. Tuanze na nchi hizo 3, lakini zipo nyingine pia. Salamu kwa Wakenya wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:15, 30 Machi 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Kipala. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Kipala, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:37, 17 Mei 2021 (UTC)
:Ninashauri usubiri kuwafundisha wengine hadi wewe umeitumia mwenyewe kwa makala 10 au 20 (kwa mfano chukua majina mekundu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Kipala/makala_10000; lazima kwanza kuangalia kama makala iko rayari kwenye swwiki kwa jina tofauti). Mimi ninaitumia mwenyewe mara kwa mara. Hitilafu bado ziko kupeleka tanbihi upande wa Kiswahili (kifaa kinaingiza mara kwa mara msimbo wa '''<nowiki><nowiki></nowiki>''' pasipotakiwa), halafu inatafsiri marejeo yasiyotakiwa kutafsiriwwa kama jina la makala au jina la kitabu au hata majina ya watu. Kuna sehemu kama fomula au jedwali ambako matokeo yanaweza kuwa vibaya, na hapo una hitaji kusahihisha baadaye. Kuhusu matini yenyewe ni matatizoy a kawaida ya tafsiri ya kompyuta kama kwenye google. Yaani progarmu inakupa matini mfululizo ya maneno ya Kiswahili ambayo bado si Kiswahili; maar kwa mara tafsiri ni kosa, unahitaji kubadilisha maneno. Pia muundo wa sentensi mara kwa mara inakosea. Infanya kiasi kizuri ukiwa na makala fupi yenye sentensi fupi. Ningeikataza kwa matini ndefu kwa sababu hapa uchovu wa mhariri utaingia na matokeo ni mabaya. Ukiwa na wahariti wenye uzoefu (si chini ya 200 edits) unaweza kujaribu. Kwa wageni usifanye. - Ni nani aliyekushauri ufundishe watu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:40, 17 Mei 2021 (UTC)
== GFDL ==
Hi! I made a suggestion at [[Majadiliano ya MediaWiki:Licenses]] but it is probably not a page that many users notice. Could you have a look or give me a link to a better page to make the suggestion? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 10:37, 28 Mei 2021 (UTC)
: Hi! Do you have any further questions related to my suggestion? Or do you just wait and see if other users would like to comment? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 12:07, 3 Julai 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Kipala}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:10, 19 Juni 2021 (UTC)
== Request writing about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Helo Kipala, Would you like to write / translate about Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 13:14, 23 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
Naona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Koloni==
Ndugu, tuliwahi kuongelea neno hilo, kwamba toleo la pili la KKS lilikuchanganya kulipanga katika ngeli i-zi (kama koloni kwa maana ya nuktambili), lakini sasa umeanza kubadilisha matini yetu kufuata kosa hilo ambalo toleo la tatu la KKS limelirekebisha, na kulingana na kamusi nyingine zote. Afadhali neno "vita" ambalo kweli baadhi ya watu wanalipanga katika ngeli i-zi, ingawa kamusi zote zinaelekeza kulitumia kama ki-vi au vi peke yake. Ndiyo maana mimi nimeacha kurekebisha "vita ya", lakini vilevile singependa kuona unabadilisha "vita vya". Tuache zote mbili, halafu watoto wetu watafikia mwafaka. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Basi nisamehe, ni kweli tuache hayo mawili kandokando. Nilikumbuka tulijadiliana, sijakumbuka matokeo, nikaangalia KKS<sup>3</sup> , ambayo inapanga neno kwenye i/zi. Ila naona sasa TUKI Kiing-Kisw inatumia ji/ma. Nilidhani katika ile makala ni kosa langu la zamani. Sasa, nitajitahidi kukumbuka, tusipoteze muda wetu juu ya hayo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
==Kiswahili cha Kikongo==
Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)
:Subiri, niangalie (badi njiani kurudi toka Nbi) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:39, 22 Novemba 2021 (UTC)
::: Tulikuwa na yafuatayo kwenye telegram:Ingo Koll, [22/11/2021 20:45]
::: Wapendwa, napata ujumbe kutoka Riccardo anayeuliza:
::: “Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)” Nikimwangalia napata: https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Michango/CapitainAfrika
::: Hadi sasa ameleta machahce, pamoja na: https://sw.wikipedia.org/wiki/Bavua_Ntinu_Andr%C3%A9
::: Naona changamoto kweli. Tufanyeje? Upande moja nafurahia, maana Kongo itakuwa eneo ambako Kiswahili kitakua zaidi (ni lugha rasmi na lugha kuu kwenye mashariki mwa nchi). Upande mwingine alicholeta – sijui tumwambie hakikubaliki?? Ingo Koll, [22/11/2021 20:50]
::: Czeus Clement Masele Wikiadmin, [22/11/2021 21:56] [In reply to Ingo Koll] Sawa
::: Christiaan Kooyman, [22/11/2021 23:48] [In reply to Ingo Koll] Tusiwakatie Wakongo tamaa sana. Tuwasihi tu wajifunze Kiswahili Sanifu. Kwa sasa, tutaboresha Kiswahili cha makala zao, kama nilivyofanya na makala André Bavua Ntinu.
::: Ingo Koll, [24/11/2021 23:05] Kama hakuna zaidi, mnaonaje tukimwambia asipeleke mambo yake kwenye article space moja kwa moja, bali kwanza katika nafasi ya binafsi, halafu aswailiane na mmoja wa hapa? Nani pamoja na Chriko anajitolea kumwongoza?
==Jamii:Wanamichezo au Wachezaji?==
Tuwe na namna moja: unaonaje? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:00, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Sina uhakika, je kila mwanariadha ni mechazji pia? Wale wa mpira na kwa jumla wote kwenye timu ni wachezaji; kwa Kiingereza pia "mechezaji" wa gulf. Lakini yule anayeruka mbali au juu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:10, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Naomba uwashirikishe wengine kabla hatujaendelea kwa fujo, tusije tukahitaji kupoteza muda mwingi baadaye kuweka mambo sawa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
==Wkamahiriki wa sauti==
Nimekuta mara nyingi maneno hayo katika kurasa za filamu: mtumiaji alitaka kusema watu hai wanaotumia sauti yao kwa wahusika wa katuni. Lakini ni wazi kwamba neno halikai sawa... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Ndugu, hujanijibu. Pia naomba tuendelee kujadiliana kuhusu msamiati wa kompyuta (tovuti n.k.) na tafsiri za Wiki ya Kishia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:31, 30 Desemba 2021 (UTC)
::Samahani, nilibanwa kidogo sijaona ukurasa wangu. Kuhusu "wkamahiriki" sijaelewa, labda nieleza kwa upana zaidi? Kuhusu makala za Wiki ya Kishia: nina wasiwasi; yaani anatafsiri neno kwa neno. Je ni jambo la katimiliki??? Nilimwandikia na kumshauri asiendelee vile. Naona makala ni kidhehebu mno. Basi nitapeleka swali Telegram.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:49, 31 Desemba 2021 (UTC)
:::Neno hilo la ajabu limeandikwa katika kurasa nyingi za filamu za katuni kuhusu waigizaji waliotoa sauti yao kwa wahusika. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:23, 1 Januari 2022 (UTC)
::::Nimeandika leo kwenye telegramu: Hamjambo wote naomba ushauri. Makala 19 zinatumia neno"Wkamahiriki" kwa ajili ya waigizaji wanaotoa sauti kwa wahusika katika filamu za katuni. Naona ni kosa lililonakiliwa na watu mbalimbali. Je kuna neno la kufanana linalotaja yale yanayolengwa? Kwa Kiingereza ni "voice actor". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:33, 1 Januari 2022 (UTC)
==[[Qasem Soleimani]]==
Ndugu, Muzney Muhammad anazidi kusema ukurasa huu una makosa na uongo mwingi na amejaribu mara mbili kuleta ukurasa mpya wenye tahajia tofauti ili kufuata Wiki ya Shia. Mimi nimeshindwa kumuelewa. Labda uwasiliane naye wewe. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:02, 4 Januari 2022 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
==Miji ya Burkina Faso==
Pole, ndugu, umerudia kazi ileile. Mwezi uliopita ulitunga ukurasa juu ya miji ya Burkina Faso, na leo tena... Tofauti ni hasa herufi M ya miji.... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 8 Januari 2022 (UTC)
== omba kuhariri ==
Tafadhali ongeza:
<nowiki>(alama: [[file:Earth symbol (fixed width).svg|16px|🜨]])</nowiki>
kwa [[Dunia]].
Asante! '''[[Mtumiaji:Kwamikagami|Kwamikagami]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kwamikagami|majadiliano]])''' 06:12, 26 Januari 2022 (UTC)
== Vifaa ==
Habari yako Kipala, kwa muda mrefu nimeshakua nikifanya kazi kutengeneza Hotcat kwenye wikipedia ya swahili. (en) Due to technical terms let me switch to English, Hotcat is a tool that enables one to easily add and categories( jamii) easily. I have localised it and even tested it and it seems to work properly. Since your an interface admin would it be possible to make it a gadget here? source code is at user:synoman barris/common.js --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 12:25, 6 Februari 2022 (UTC)
==Block==
Ndugu, kwa mara ya pili napata shida kuhifadhi interwiki links nikiwa redioni. Inaonekana Martin Urbanrc amezuia akaunti kadhaa jirani na hii. Nifanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:12, 10 Februari 2022 (UTC)
:Sielewi vema. Martin Urbanec ni nani? Afadhali tuma link nione tatizo linatokea wapi. Kuhusu mitiki nakutuma sasa email ya contacts 2 zilizofanya feedback hadi sasa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:24, 10 Februari 2022 (UTC)
::Nadhani nimempata. Umwandikie hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/User_talk:Martin_Urbanec. Je unajua URL husika ya redio ni nini? Kama ameblock umwombe aeleze, (nitumie kopi) na aondoe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:38, 10 Februari 2022 (UTC)
:::Shida inaendelea bado. Mbali ya hiyo, hawa wachangiaji wapya wanaoshindana kutunga makala wanaandika mambo ya ajabuajabu. Wanaweka mchezaji mwanamume Mkenya katika jamii za Wanawake wa Tanzania n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:05, 13 Machi 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Kipala}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:11, 11 Machi 2022 (UTC)
==Msaada Kuhusu Viungo==
Salamu, ni kwa namna gani tunaweza kubadili viungo ambavyo tayari vimewekwa kimakosa na kuunganishwa na lugha ya kiingereza, mfano katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Serengeti_Afrika_(filamu) , naona makala ya Kiswahili ni Kiingereza maudhui yapo tofauti, Amani Sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:46, 7 Agosti 2022 (UTC)
agv1zhnhf6hp4hv7xc4xhph876mlvcf
1240799
1240414
2022-08-08T10:56:37Z
Kipala
107
/* Msaada Kuhusu Viungo */
wikitext
text/x-wiki
*Je unapenda kuongeza makala kuhusu Tanzania? Nenda hapa ukachague: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/List Category Tanzania en|'''List Category Tanzania en''']]
*Ukipenda kupanusha wikipedia yetu kwa jumla, angalia mapengo hapa: [[Mtumiaji:Kipala/makala 10000|Makala 10,000]]
*Tazama pia kurasa za muda: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/viungo vya mwili|Viungo vya mwili]] na [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/makala 100|makala 100]]!
'''Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa za Hifadhi ya Nyaraka'''{{archive box collapsible|
*[[User:Kipala/Archive 1|Hifadhi ya Nyaraka 1: 2006/2007]]
*[[User:Kipala/Archive 2|Hifadhi ya Nyaraka 2: Novemba 2006 - Februari 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 3|Hifadhi ya Nyaraka 3: Februari - Aprili 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 4|Hifadhi ya Nyaraka 4: Mei - Julai 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 5|Hifadhi ya Nyaraka 5: Julai - 15 Disemba 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 6|Hifadhi ya Nyaraka 6: 15 Disemba 2008 - 20 Machi 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 7|Hifadhi ya Nyaraka 7: hadi mwisho wa 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 8|Hifadhi ya Nyaraka 8: Januari 2010 - 6 Desemba 2010]]
*[[User:Kipala/Archive 9|Hifadhi ya Nyaraka 9: 6 Desemba 2010 - Desemba 2012]]
*[[User:Kipala/Archive 10|Hifadhi ya Nyaraka 10: Januari 2013 - Desemba 2015]]
*[[User:Kipala/Archive 11|Hifadhi ya Nyaraka 11: Mwaka 2016]]
*[[User:Kipala/Archive 12|Hifadhi ya Nyaraka 12: Mwaka 2017-2018]]
*[[User:Kipala/Archive 13|Hifadhi ya Nyaraka 13: Mwaka 2019]]
}}
<big>'''Ongeza chako chini kabisa!'''</big>
== Kuhusu Wikipedia kwa simu ==
Watu wengi wako Afrika wanasoma wikipedia kwa simu. Wanaweza kuhusu kwa simu pia?
https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps
https://translatewiki.net/wiki/Translating:WikimediaMobile
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:35, 28 Januari 2020 (UTC)
:Asante kwa swali, Ndugu Benson. Tuna watumiaji wengi wanaochangia kwa simu. Inawezekana, pia kwa matokeo mazuri. Historia ya makala inaionyesha kwa "tag:Mobile edit". Kwa upande mwingine tuna tatizo hasa kwa watumiaji wapya wakiamua mara moja kubadilisha kitu kidogo au kuongeza hosa, sentensi au neno kwamba hariri zao zina makosa (au:hazina maana) kwa hiyo tunasafisha mara kwa mara. Si rahisi kuunda makala marefu kidogo kwa simu ya mkononi. Lakini uwezekano upo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:55, 28 Januari 2020 (UTC)
::Kutafsiri kwa kutumia msaada kama translatewiki inawezakana pia, mimi mwenyewe ninaitumia siku hizi mara kwa mara. Hata hivyo, watumiaji wapya wanaonywa dhidi yake. Maana inahitaji maarifa na umakini. Ni rahisi kuingiza makala marefu ya Kiingereza katika programu ya aina hii, kusahihisha kidogo makosa ya kwanza na kuihifadhi. Ila tu mara nyingi (hasa kwenye skrini ndogo ya simu) watumiaji wanachoka au hawaoni tena makosa mengine - yanayobaki. Ni kidogo kama samaki hizi zenye sumu zinazopendwa na Wajapani [[en:fugu]] - tamu sana, lakini ole ukisahau kukata sehemu za sumu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 13:04, 28 Januari 2020 (UTC)
== Kazi nzuri ya uhariri ==
Habari!
Umefanya vyema kuweka kielelezo kwenda [[Mapatano ya Kimataifa dhidi ya Utesaji]].
'''[[Mtumiaji:BlessNathan|BlessNathan]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BlessNathan|majadiliano]])''' 13:56, 1 Februari 2020 (UTC)
== Kuhusu kubadili jina la mtumiaji ==
Mimi '''Simon waziri msika''' naomba kubadili jina la mtumiaji na liwe 20_savage.Asante amani kwako--'''[[Mtumiaji:Simon waziri msika|Simon waziri msika]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Simon waziri msika|majadiliano]])''' 12:23, 7 Februari 2020 (UTC)'''kipala'''.
==Mashindano ya Uhariri Alfagems==
Ndugu, nipo na Magotech kwa ajili ya mashindano yetu. Afadhali usihariri makala zinazoundwa mpaka tutoe tuzo kwa washindi. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:28, 16 Februari 2020 (UTC)
:Usiwe na wasiwasi, naona hiyo baada ya tukio.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:53, 16 Februari 2020 (UTC)
==Ugatuzi Burundi==
Ndugu, naona nchi hiyo ndogo imegawiwa sehemu 16 (provinces) ambazo tungeziita wilaya, si mikoa. Hasa kwa sababu kuna ngazi ya juu zaidi ambayo inafaa iitwe mkoa. Unasemaje?
Kuhusu masahihisho yangu, nimekuelewa. Nitasubiri zaidi. Hofu yangu ni kusahau baadaye... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:43, 17 Machi 2020 (UTC)
::Asante, kama wenzetu wa enwiki wako sawa https://en.wikipedia.org/wiki/Burundi#Subdivisions, zile provinces za Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Je umeona ngazi ya juu? Menginevyo fanya unavyoona. Nadhani tu ni busara tukianza kutaja kwa kila nchi makala yetu husika, ambayo ni [[Eneo la utawala]]; tafadhali uiangalie, unatumia neno hili zuri "ugatuzi", labda uhamishe lemma kwenda kule. Sasa naona tuktaja mfano "wilaya/mikoa ya Burundi", tuwe na makala fupi inayosema "Wilaya/mikoa ya Burundi" inayoeleza kwa sentensi moja "Wilaya/Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Nchi hiyo imegwanywa kwa wilaya/mikoa 17. Wil/Mkoa unagawanywa kwa ....." '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:23, 17 Machi 2020 (UTC)
== Tafsiri ==
Habari! naomba msaada wa tafsriri ya maneno haya : '''Performance of biofilm carriers in anaerobic digestion of sisal leaf waste leachate''' '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 15:41, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Kwa nini unataka kuitafsiri? ni jina la makala kuhusu utafiti fulani, haihitaji tafsiri. Ukitaka kuieleza usitafsiri utumie maneno yako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:25, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Labda kitu kama "ufanisi wa (kipagazi ?) cha ukoga hai katika mmeng'enyo anerobi wa kichujuaji cha mikonge" - siridhiki kipagazi (carrier).'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:13, 2 Aprili 2020 (UTC)
== Masanja ==
Nmeondoa picha ya Masanja kwa sababu ya mlalamikaji mmoja akisema anaomba kuondolewa kwa picha hiyo. Natafuta picha nyingine. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 03:15, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Sawa si picha ya kupendeza sana. Basi kumbuka kufuta faili ya picha yenyewe, maana bado iko. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 05:57, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Naomba maelekezo namna ya kufuta picha. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:51, 11 Aprili 2020 (UTC)
:::Unafungua picha, utaipata kwa kuingia katika historia ya makala. Katika historia fungua nakala yenye picha, bofya picha, utapata ukurasa wa faili yake. Hapa ukihariri unaweza kufuta nisipokosei. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:28, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 14:06, 11 Aprili 2020 (UTC)
Naomba msaada wa kusaidiwa kuhariri makala niliyoanzisha ya Yericko Nyerere.
Naomba kusaidiwa kuweka picha yake.
Naomba kusaidiwa kuweka mpangilio mzuri kulingana na sheria za Wikipedia ya kiswahili.
Mimi ni mgeni sina uzoefu wa kutumia Wikipedia lakini nimeona nianzishe ukurasa wa Yericko ambae ni mwandishi maarufu wa vitabu Afrika Mashariki na Mchambuzi wa Ulinzi na Usalama. '''[[Mtumiaji:Mbutublock|Mbutublock]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mbutublock|majadiliano]])''' 03:58, 9 Septemba 2021 (UTC)
== Programmu ya kusafishia sw.wikipedia ==
Kuna programmu [[en:Wikipedia:CLEANER]], nafikiri inaweza kusaida na Wikipedia ya Kiswahili. Programmu ingine ni [[en:Wikipedia:Typo_Team/moss]]. Au tunaweza kuandika yetu.
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:34, 29 Aprili 2020 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan SSR]] and [[:en:Democratic Republic of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? They certainly don't need to be long like the English versions.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 11:28, 13 Julai 2020 (UTC)
==Kamusi na viongozi wa Wikipedia ya Kiswahili==
Ndugu, nimeona umefuta sehemu ya mchango wa mwalimu wetu Mengistu kwamba una mashaka nao. Naomba maelezo kidogo. Pia nimeona umeandika idadi ya viongozi wa mradi wetu si halisi kwa sababu miaka ya nyuma tulisita kuondoa wale waliopumzika muda mrefu. Je, hatuwezi sasa kuchukua hatua? Amani kwako!--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 22 Julai 2020 (UTC)
:Kuhusu "Kamusi" nimeona hasa muhimu kuhamisha sehemu kuhusu "Historia" nyuma, maana iliwekwa kabla ya maelezo ya kimsingi kuhusu aina tofauti za kamusi. Inawezekana katika kukata na kubandika tena nilifuta zaidi kuliko jinsi nilivyokusudia. Nitaangalia tena. Sehemu ya historia inajaa makosa mengi, hasa sehemu kuhusu kamusi za Kiswahili. Majina yameharibika mno (Sowahili si jina, wala Smee wala Salt walitunga kamusi, walikusanya maneno kadhaa tu kama mifano ya lugha; "Esteere" ni askofu [[Edward Steere]], "Krafp (1845)" ni [[Ludwig Krapf]]. -- Kifungu chote kuhusu Kigiriki kimenakiliwa kutoka makala [[Kigiriki]] lakini hakina uhusiano na mada ya Kamusi. Niliandika "mashaka" kwa sababu sijakuwa na muda wa masahihisho.
::Kuhusu wakabidhi: sawa, twende! Miaka iliyopita ni hasa Oliver ambaye hakupenda kufuta. Mimi mwenyewe naona kama mtu hakuonekana mwaka mmoja afutwe katika hadhi ya mkabidhi. Wikipedia nyingine zinaangalia pia kama mkabishi anatekeleza shughuli zake au la. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:49, 23 Julai 2020 (UTC)
:::Hata mimi naona hivyo: kimya cha mwaka mmoja kiwe kigezo. Tunawashukuru waliofanya kazi, lakini kuwaacha kama majina tu hakuna uhalisia... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:37, 23 Julai 2020 (UTC)
== Foto ==
Hallo Kipala,<br/>
Das Foto, das im Artikel zur SGR steht, ist eine Urheberrechtsverletzung und wird demnächst gelöscht. Um zu vermeiden, dass in dem Artikel ein kaputter Bildlink ist, habe ich es durch ein anderes Foto bereits im Vorhinein ersetzt. Würdest du deine Änderung also wieder zurücksetzen – oder alternativ ein anderes Foto nehmen? Viele Grüße, --'''[[Mtumiaji:Jcornelius|Jcornelius]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jcornelius|majadiliano]])''' 22:59, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Dein Foto ist noch drin im Artikel. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:06, 4 Agosti 2020 (UTC)
::Ich verstehe nicht. Auf welchen Artikel wird verwiesen? Ich sehe kein neues Foto in [[Nzige-jangwa]] (SGR). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:40, 5 Agosti 2020 (UTC)
:::Inahusu [[Reli_ya_SGR_ya_Kenya]]'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:35, 6 Agosti 2020 (UTC)
==Mitaa==
Ndugu, naomba uangalie maswali yangu ya leo katima majadiliano ya kurasa mbalimbali. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:15, 17 Agosti 2020 (UTC)
::Naona swali lako leo tu. Siwezi kuona tena mabadiliko ya jana. Unamaanisha makala zipi?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:22, 17 Agosti 2020 (UTC)
:Ndiyo, leo, si jana! Ni [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:59, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Naomba kuzirudisha upya na kutoa uthibitisho [[Silent ocean Tanzania]],[[Counsellorsalah]]==
[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] Nimeona sababu iliyotolewa kwa ajili ya ufutaji wa makala hizo mbili, nimejifunza jambo juu ya uundaji wa makala hapa wiki. kama ulivyoelezea kwenye ukurasa wa makala ya ufutaji, nilijaribu kuziingiza enwiki lakini zilikosa mantiki. nipo katika kujifunza kuhariri hapa wiki ili na mimi baadae niweze kuisaidia swwiki katika makala tofauti tofauti. hivyo naomba kuanzisha tena makala hizo mbili ambazo tayari zimefutwa, na kwa sababu ambazo ni sahihi, ila nimefanyia marekebisho sababu ya awali na kufupisha maneno, na kuelezea kile tu ambacho kina uthibitisho. ahsante. '''[[Mtumiaji:molee4real|molee4real]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
== Lambo la Kihansi ==
habari Kipala,
naomba msaada namna ya kutumia google maps kwenye ukurasa wangu wenye jina [[Lambo la Kihansi|tajwa]]. Asante --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 12:44, 18 Septemba 2020 (UTC)
:Pia angalia namna ya kutumia "l" na "r". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:29, 18 Septemba 2020 (UTC)
::Mimi mwenyewe sijaelewa bado namna ya kutumia google map pamoja na misimbo ya majiranukta. ninabahatika wakati mwingine kama tunayo infobox iliyoandaliwa kuwa na majiranukta. Ninafikiri tatizo ni hii: tuna infoboxes kadhaa ambazo ni za zamani kabla ya kusanifishwa kwa infoboxes kwenye enwiki jinsi iivyo. Kama tungempata mtu anayeangalia boxes zetu na zile za kawaida za kimataifa tunagweza kuzitafsiri na kutumia. Nahisi hapa tupange warsha ya pekee kwa njia ya zoom, kwa kuomba msaada wa wale wanaojua nje ya swwiki. Mimi hutumia mbinu wangu: nafungua openstreetmap (shauri ya laiseni ya hakimiliki), nachukua pcha ya skrini, naipeleka programu kama PAINT, naweke alama ya mahali pamoja na matini ya Kiswahili, naipakua kwenda commons, basi nimeunda picha ya ramani ninayotumia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:05, 18 Septemba 2020 (UTC)
== We sent you an e-mail ==
Hello {{PAGENAME}},
Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.
You can [[:m:Special:Diff/20479077|see my explanation here]].
'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)
<!-- Message sent by User:Samuel (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Samuel_(WMF)/Community_Insights_survey/other-languages&oldid=20479295 -->
==Idadi ya makala==
Ndugu, imekuwaje tangu siku chache idadi ya makala za Kiswahili imekatwa kama 800: toka 60,300 hivi zimebaki 59,500 tu? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:18, 27 Septemba 2020 (UTC)
:Swali zuri, nimeiona pia, sijui. Najaribu kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:43, 27 Septemba 2020 (UTC)
::Pia nimeona haririo lako la mwisho kuhusu wasomaji wetu: kutoka milioni 4 wamekuwa chini ya 2. Idadi ya mwisho inalingana na ile ya wasomaji kwa nchi, lakini ile ya kwanza ipo katika Wikistat: ina maana gani? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:38, 28 Septemba 2020 (UTC)
:::Niliangalia wikistats na kuona namba za milioni 4. Baadaye niliangalia toolforge ambako ni chini ya mio 2. Nimekumbuka nimewahi kuona hii lkn nilishau. Basi ukifungua https://stats.wikimedia.org/#/sw.wikipedia.org/reading/total-page-views/normal|bar|2-year|~total|monthly unaona idadi ya kuangaliwa kwa swwiki. Ukibofya "Split by agent type" (ambacho nilisahau) unaona kiasi gani cha watu halisi na kiasi gani cha bots au programu za crawler. Namba ya watu halisi ni sawa na namba inayoonyeshwa pale toolforge https://pageviews.toolforge.org/siteviews/?platform=all-access&source=pageviews&agent=user&start=2019-09&end=2020-08&sites=sw.wikipedia.org. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:44, 28 Septemba 2020 (UTC)
== Swahili Wiktionary ==
Saalam, maneno ambayo yapo kwenye sw wiktionary yana hitilafu kidogo. Maneno ambayo hayafahi kuwepo au katika lugha zingine vinaongezeka, sina uwezo wa kuzitoa kwenye wiktionary tafadhali zitoe, au unipe usaidizi wa jinsi nawezaya kuyatoa maneno hayo.'''[[Mtumiaji:Alvin kipchumba|Alvin kipchumba]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alvin kipchumba|majadiliano]])''' 12:15, 30 Septemba 2020 (UTC)
::Naona umeanzisha mwenyewe makala ya "kuadhiminisha" ambayo si Kiswahili. Kwa nini? Mimi sina mamlaka pale Wikamusi, ongea na wakabidhi wa pale, unawakuta kwenye ukurasa wa Jumuia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:04, 30 Septemba 2020 (UTC)
:::(en) If i can weigh in here, the Swahili Wiktionary is really in a mess and i have been going on trying to fix things. If you can help out in any way with the kamusi or otherwise invite users who might be intrested it would be appreciated. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 11:57, 2 Oktoba 2020 (UTC)
::::(en) I was there some days ago. Couldn't do much more since I have a limit access to the site. Though I can fix some error if pointed where!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 13:27, 2 Oktoba 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 05:26, 2 Novemba 2020 (UTC)
:Mpendwa, unachofanya kwenye ukurasa wako wa mtumiaji ni shauri lako, usipoleta matangazo ya kibiashara au haramu au matusi. Ila matini za Kiingereza hazidumu hapa kwenye makala, tunafuta. Pia kama unaweza kutunga makala inayoleta habari halisi, sawa ni kama kila mada. Sieelwei uanchomaanisha ukisema "spread the word"- '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:57, 2 Novemba 2020 (UTC)
==Kundi la whatsapp la wakabidhi==
Habari Kipala!
Nilipata ujumbe wako. Kundi la whatsapp la wakabidhi ni wazo zuri. Nimepotea whatsapp wiki iliyopita kutokana na changamoto binafsi, natarajia kurejea wiki hii. Nitakutaarifu. Asante. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)]]''' [[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)]]
Nimeona majadiliano yenu. Jumapili iliyopita watu mbalimbali walichangia Wikipedia yetu kwa tafsiri za kompyuta. Labda tufikie uamuzi wa moja kwa moja za kuzifuta au kutafsiri upya sehemu ndogo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
==Hamburg==
Nimepata ujumbe huo. Naona unakuhusu zaidi wewe.
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC) --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
== MrWaxwell ==
I have also blocked this user on several small projects for the same reason as here. I think perhaps it may be time for a global lock. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 15:16, 7 Januari 2021 (UTC)
:It is a pity about this guy. For a place like us he could be helpful if he listened, I guess it has to do with his personality/attitude that he is not able to communicate. I have not followed him very much on other wikis, just on the African ones. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:29, 7 Januari 2021 (UTC)
==Google Translations==
Ndugu, nimepokea leo jibu hili:
:[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], If someone translate it by themselves, it's not copyright violation, but if they are doing it using Google translator, then it is a violation as content translated using Google translator is licensed. I am sure this user don't know the Swahali language and they just copied the content from English wiki and used Google translator and pasted it here. I have also [[m:Steward requests/Miscellaneous#Google|translations by User:Sandesh9822]] opened a thread on meta]] to discuss all such articles they created on other wikis. '''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB#top|majadiliano]])''' 07:51, 18 Januari 2021 (UTC)
Ni suala linalotusumbua tangu muda mrefu. Kwa nini tusichukue uamuzi wa kufuta kurasa zote za namna hiyo? Pia naomba uangalie talk katika English Wiki kuhusu Same-sex Marriage. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 18 Januari 2021 (UTC)
Tafadhali nisaidie kuelewa jambo. Swali linahusu makala gani? Na mtumiaji gani? Na uhusiano na [[:en:Same-sex Marriage]] (sehemu gani ya majadiliano?) ni nini? Ninaelewa kwamba unaona matumizi ya automatic translate bila masahihisho kama usumbufu. Ila kabla ya kuiweka kwenye Whatsapp nisaidie nielewe vizuri zaidi. (maana machoni pangu KAMA tafsiri ya kompyuta inasafishwa vema, kuna matokeo mazuri - mimi mwenyewe natumia mara kwa mara programu ya tafsiri ya komyuta siku hizi, lakini inahitaji kazi!) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:06, 18 Januari 2021 (UTC)
::Ni ukurasa juu ya [[B. R. Ambedkar]]. Shida ni kwa hawa wasiojua kabisa Kiswahili. Hakuna uhusiano na ndoa za jinsia moja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 18 Januari 2021 (UTC)
:::Sawa nimepeleka, Nimekuunga mkono. Ila naona umeshwekeza kazi sasa si vibaya tena? (tena sidhani ni kweli alichoandika Mtumiaji:1997kB. Copyright si jambo, matokeo mabaya ni jambo.) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:45, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Naomba ujadiliane na huyo [[Mtumiaji:1997kB|1997kB]]. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:56, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Nimeandika hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/Steward_requests/Miscellaneous#Google_translations_by_User%3ASandesh9822 '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:13, 18 Januari 2021 (UTC)
==Katekesimo==
Ndugu, hata mwaka jana nilikuwa na katekesimo ndogo ya Kilutheri kwa Kiswahili iliyoandaliwa na mtu wa Ufini (Popidan?) lakini sasa siioni tena. Ingeweza kutajwa. Shalom. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 14 Februari 2021 (UTC)
:Nimeiona tena. Kichwa chake ni "Katekisimo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
==Majadiliano: Frozen1==
Ndugu, naomba umjibu mchangiaji asiyejua Kiswahili lakini ana nia njema: ameandika katika ukurasa wangu wa majadiliano chini ya kichwa hicho. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
::Sawa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:01, 16 Machi 2021 (UTC)
==Majina ya nchi==
Suala la majina ya nchi linazidi kusumbua hasa upande wa jamii: Isilandi, Iceland - China, Uchina - Mexico, Meksico, Meksiko n.k. Lini tutakubaliana? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:54, 30 Machi 2021 (UTC)
:Nitaipeleka kwenye kundi la wakabidhi. Naona njia tatu: 1) Ama tuendelee jinsi ilivyo kwa kutumia redirect; 2) Au tukubaliane Orodha rasmi (kutoka [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]??? mimi si rafiki sana wa mapendekezo kwa nchi kadhaa. Tena niko sasa Kenya, sina nakala hapa..). 3) au tupatane kuhusu nchi tu ulizotaja na zinazotajwa kwa wengine kuwa zinasumbua. Nipeleke hoja zote tatu au ipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:17, 30 Machi 2021 (UTC)
::Redirect kwa jamii haisaidii, kwa sababu makala hazionekani katika ukurasa ulioelekezwa upya. Afadhali tukubaliane tuwe na namna moja walau kwa jamii. Tuanze na nchi hizo 3, lakini zipo nyingine pia. Salamu kwa Wakenya wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:15, 30 Machi 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Kipala. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Kipala, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:37, 17 Mei 2021 (UTC)
:Ninashauri usubiri kuwafundisha wengine hadi wewe umeitumia mwenyewe kwa makala 10 au 20 (kwa mfano chukua majina mekundu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Kipala/makala_10000; lazima kwanza kuangalia kama makala iko rayari kwenye swwiki kwa jina tofauti). Mimi ninaitumia mwenyewe mara kwa mara. Hitilafu bado ziko kupeleka tanbihi upande wa Kiswahili (kifaa kinaingiza mara kwa mara msimbo wa '''<nowiki><nowiki></nowiki>''' pasipotakiwa), halafu inatafsiri marejeo yasiyotakiwa kutafsiriwwa kama jina la makala au jina la kitabu au hata majina ya watu. Kuna sehemu kama fomula au jedwali ambako matokeo yanaweza kuwa vibaya, na hapo una hitaji kusahihisha baadaye. Kuhusu matini yenyewe ni matatizoy a kawaida ya tafsiri ya kompyuta kama kwenye google. Yaani progarmu inakupa matini mfululizo ya maneno ya Kiswahili ambayo bado si Kiswahili; maar kwa mara tafsiri ni kosa, unahitaji kubadilisha maneno. Pia muundo wa sentensi mara kwa mara inakosea. Infanya kiasi kizuri ukiwa na makala fupi yenye sentensi fupi. Ningeikataza kwa matini ndefu kwa sababu hapa uchovu wa mhariri utaingia na matokeo ni mabaya. Ukiwa na wahariti wenye uzoefu (si chini ya 200 edits) unaweza kujaribu. Kwa wageni usifanye. - Ni nani aliyekushauri ufundishe watu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:40, 17 Mei 2021 (UTC)
== GFDL ==
Hi! I made a suggestion at [[Majadiliano ya MediaWiki:Licenses]] but it is probably not a page that many users notice. Could you have a look or give me a link to a better page to make the suggestion? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 10:37, 28 Mei 2021 (UTC)
: Hi! Do you have any further questions related to my suggestion? Or do you just wait and see if other users would like to comment? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 12:07, 3 Julai 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Kipala}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:10, 19 Juni 2021 (UTC)
== Request writing about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Helo Kipala, Would you like to write / translate about Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 13:14, 23 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
Naona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Koloni==
Ndugu, tuliwahi kuongelea neno hilo, kwamba toleo la pili la KKS lilikuchanganya kulipanga katika ngeli i-zi (kama koloni kwa maana ya nuktambili), lakini sasa umeanza kubadilisha matini yetu kufuata kosa hilo ambalo toleo la tatu la KKS limelirekebisha, na kulingana na kamusi nyingine zote. Afadhali neno "vita" ambalo kweli baadhi ya watu wanalipanga katika ngeli i-zi, ingawa kamusi zote zinaelekeza kulitumia kama ki-vi au vi peke yake. Ndiyo maana mimi nimeacha kurekebisha "vita ya", lakini vilevile singependa kuona unabadilisha "vita vya". Tuache zote mbili, halafu watoto wetu watafikia mwafaka. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Basi nisamehe, ni kweli tuache hayo mawili kandokando. Nilikumbuka tulijadiliana, sijakumbuka matokeo, nikaangalia KKS<sup>3</sup> , ambayo inapanga neno kwenye i/zi. Ila naona sasa TUKI Kiing-Kisw inatumia ji/ma. Nilidhani katika ile makala ni kosa langu la zamani. Sasa, nitajitahidi kukumbuka, tusipoteze muda wetu juu ya hayo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
==Kiswahili cha Kikongo==
Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)
:Subiri, niangalie (badi njiani kurudi toka Nbi) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:39, 22 Novemba 2021 (UTC)
::: Tulikuwa na yafuatayo kwenye telegram:Ingo Koll, [22/11/2021 20:45]
::: Wapendwa, napata ujumbe kutoka Riccardo anayeuliza:
::: “Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)” Nikimwangalia napata: https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Michango/CapitainAfrika
::: Hadi sasa ameleta machahce, pamoja na: https://sw.wikipedia.org/wiki/Bavua_Ntinu_Andr%C3%A9
::: Naona changamoto kweli. Tufanyeje? Upande moja nafurahia, maana Kongo itakuwa eneo ambako Kiswahili kitakua zaidi (ni lugha rasmi na lugha kuu kwenye mashariki mwa nchi). Upande mwingine alicholeta – sijui tumwambie hakikubaliki?? Ingo Koll, [22/11/2021 20:50]
::: Czeus Clement Masele Wikiadmin, [22/11/2021 21:56] [In reply to Ingo Koll] Sawa
::: Christiaan Kooyman, [22/11/2021 23:48] [In reply to Ingo Koll] Tusiwakatie Wakongo tamaa sana. Tuwasihi tu wajifunze Kiswahili Sanifu. Kwa sasa, tutaboresha Kiswahili cha makala zao, kama nilivyofanya na makala André Bavua Ntinu.
::: Ingo Koll, [24/11/2021 23:05] Kama hakuna zaidi, mnaonaje tukimwambia asipeleke mambo yake kwenye article space moja kwa moja, bali kwanza katika nafasi ya binafsi, halafu aswailiane na mmoja wa hapa? Nani pamoja na Chriko anajitolea kumwongoza?
==Jamii:Wanamichezo au Wachezaji?==
Tuwe na namna moja: unaonaje? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:00, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Sina uhakika, je kila mwanariadha ni mechazji pia? Wale wa mpira na kwa jumla wote kwenye timu ni wachezaji; kwa Kiingereza pia "mechezaji" wa gulf. Lakini yule anayeruka mbali au juu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:10, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Naomba uwashirikishe wengine kabla hatujaendelea kwa fujo, tusije tukahitaji kupoteza muda mwingi baadaye kuweka mambo sawa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
==Wkamahiriki wa sauti==
Nimekuta mara nyingi maneno hayo katika kurasa za filamu: mtumiaji alitaka kusema watu hai wanaotumia sauti yao kwa wahusika wa katuni. Lakini ni wazi kwamba neno halikai sawa... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Ndugu, hujanijibu. Pia naomba tuendelee kujadiliana kuhusu msamiati wa kompyuta (tovuti n.k.) na tafsiri za Wiki ya Kishia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:31, 30 Desemba 2021 (UTC)
::Samahani, nilibanwa kidogo sijaona ukurasa wangu. Kuhusu "wkamahiriki" sijaelewa, labda nieleza kwa upana zaidi? Kuhusu makala za Wiki ya Kishia: nina wasiwasi; yaani anatafsiri neno kwa neno. Je ni jambo la katimiliki??? Nilimwandikia na kumshauri asiendelee vile. Naona makala ni kidhehebu mno. Basi nitapeleka swali Telegram.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:49, 31 Desemba 2021 (UTC)
:::Neno hilo la ajabu limeandikwa katika kurasa nyingi za filamu za katuni kuhusu waigizaji waliotoa sauti yao kwa wahusika. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:23, 1 Januari 2022 (UTC)
::::Nimeandika leo kwenye telegramu: Hamjambo wote naomba ushauri. Makala 19 zinatumia neno"Wkamahiriki" kwa ajili ya waigizaji wanaotoa sauti kwa wahusika katika filamu za katuni. Naona ni kosa lililonakiliwa na watu mbalimbali. Je kuna neno la kufanana linalotaja yale yanayolengwa? Kwa Kiingereza ni "voice actor". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:33, 1 Januari 2022 (UTC)
==[[Qasem Soleimani]]==
Ndugu, Muzney Muhammad anazidi kusema ukurasa huu una makosa na uongo mwingi na amejaribu mara mbili kuleta ukurasa mpya wenye tahajia tofauti ili kufuata Wiki ya Shia. Mimi nimeshindwa kumuelewa. Labda uwasiliane naye wewe. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:02, 4 Januari 2022 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
==Miji ya Burkina Faso==
Pole, ndugu, umerudia kazi ileile. Mwezi uliopita ulitunga ukurasa juu ya miji ya Burkina Faso, na leo tena... Tofauti ni hasa herufi M ya miji.... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 8 Januari 2022 (UTC)
== omba kuhariri ==
Tafadhali ongeza:
<nowiki>(alama: [[file:Earth symbol (fixed width).svg|16px|🜨]])</nowiki>
kwa [[Dunia]].
Asante! '''[[Mtumiaji:Kwamikagami|Kwamikagami]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kwamikagami|majadiliano]])''' 06:12, 26 Januari 2022 (UTC)
== Vifaa ==
Habari yako Kipala, kwa muda mrefu nimeshakua nikifanya kazi kutengeneza Hotcat kwenye wikipedia ya swahili. (en) Due to technical terms let me switch to English, Hotcat is a tool that enables one to easily add and categories( jamii) easily. I have localised it and even tested it and it seems to work properly. Since your an interface admin would it be possible to make it a gadget here? source code is at user:synoman barris/common.js --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 12:25, 6 Februari 2022 (UTC)
==Block==
Ndugu, kwa mara ya pili napata shida kuhifadhi interwiki links nikiwa redioni. Inaonekana Martin Urbanrc amezuia akaunti kadhaa jirani na hii. Nifanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:12, 10 Februari 2022 (UTC)
:Sielewi vema. Martin Urbanec ni nani? Afadhali tuma link nione tatizo linatokea wapi. Kuhusu mitiki nakutuma sasa email ya contacts 2 zilizofanya feedback hadi sasa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:24, 10 Februari 2022 (UTC)
::Nadhani nimempata. Umwandikie hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/User_talk:Martin_Urbanec. Je unajua URL husika ya redio ni nini? Kama ameblock umwombe aeleze, (nitumie kopi) na aondoe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:38, 10 Februari 2022 (UTC)
:::Shida inaendelea bado. Mbali ya hiyo, hawa wachangiaji wapya wanaoshindana kutunga makala wanaandika mambo ya ajabuajabu. Wanaweka mchezaji mwanamume Mkenya katika jamii za Wanawake wa Tanzania n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:05, 13 Machi 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Kipala}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:11, 11 Machi 2022 (UTC)
==Msaada Kuhusu Viungo==
Salamu, ni kwa namna gani tunaweza kubadili viungo ambavyo tayari vimewekwa kimakosa na kuunganishwa na lugha ya kiingereza, mfano katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Serengeti_Afrika_(filamu) , naona makala ya Kiswahili ni Kiingereza maudhui yapo tofauti, Amani Sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:46, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Nimeongeza maelezo kwenye Mwongozo. Uutafute [[Wikipedia:Interwiki]] halafu jaribi kufuata maelezo, tuone kama yanatosha.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 10:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
by07n61ea8p4f8hpv7na87c6r3iohqr
1240801
1240799
2022-08-08T11:00:51Z
Kipala
107
/* Msaada Kuhusu Viungo */
wikitext
text/x-wiki
*Je unapenda kuongeza makala kuhusu Tanzania? Nenda hapa ukachague: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/List Category Tanzania en|'''List Category Tanzania en''']]
*Ukipenda kupanusha wikipedia yetu kwa jumla, angalia mapengo hapa: [[Mtumiaji:Kipala/makala 10000|Makala 10,000]]
*Tazama pia kurasa za muda: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/viungo vya mwili|Viungo vya mwili]] na [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/makala 100|makala 100]]!
'''Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa za Hifadhi ya Nyaraka'''{{archive box collapsible|
*[[User:Kipala/Archive 1|Hifadhi ya Nyaraka 1: 2006/2007]]
*[[User:Kipala/Archive 2|Hifadhi ya Nyaraka 2: Novemba 2006 - Februari 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 3|Hifadhi ya Nyaraka 3: Februari - Aprili 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 4|Hifadhi ya Nyaraka 4: Mei - Julai 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 5|Hifadhi ya Nyaraka 5: Julai - 15 Disemba 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 6|Hifadhi ya Nyaraka 6: 15 Disemba 2008 - 20 Machi 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 7|Hifadhi ya Nyaraka 7: hadi mwisho wa 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 8|Hifadhi ya Nyaraka 8: Januari 2010 - 6 Desemba 2010]]
*[[User:Kipala/Archive 9|Hifadhi ya Nyaraka 9: 6 Desemba 2010 - Desemba 2012]]
*[[User:Kipala/Archive 10|Hifadhi ya Nyaraka 10: Januari 2013 - Desemba 2015]]
*[[User:Kipala/Archive 11|Hifadhi ya Nyaraka 11: Mwaka 2016]]
*[[User:Kipala/Archive 12|Hifadhi ya Nyaraka 12: Mwaka 2017-2018]]
*[[User:Kipala/Archive 13|Hifadhi ya Nyaraka 13: Mwaka 2019]]
}}
<big>'''Ongeza chako chini kabisa!'''</big>
== Kuhusu Wikipedia kwa simu ==
Watu wengi wako Afrika wanasoma wikipedia kwa simu. Wanaweza kuhusu kwa simu pia?
https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps
https://translatewiki.net/wiki/Translating:WikimediaMobile
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:35, 28 Januari 2020 (UTC)
:Asante kwa swali, Ndugu Benson. Tuna watumiaji wengi wanaochangia kwa simu. Inawezekana, pia kwa matokeo mazuri. Historia ya makala inaionyesha kwa "tag:Mobile edit". Kwa upande mwingine tuna tatizo hasa kwa watumiaji wapya wakiamua mara moja kubadilisha kitu kidogo au kuongeza hosa, sentensi au neno kwamba hariri zao zina makosa (au:hazina maana) kwa hiyo tunasafisha mara kwa mara. Si rahisi kuunda makala marefu kidogo kwa simu ya mkononi. Lakini uwezekano upo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:55, 28 Januari 2020 (UTC)
::Kutafsiri kwa kutumia msaada kama translatewiki inawezakana pia, mimi mwenyewe ninaitumia siku hizi mara kwa mara. Hata hivyo, watumiaji wapya wanaonywa dhidi yake. Maana inahitaji maarifa na umakini. Ni rahisi kuingiza makala marefu ya Kiingereza katika programu ya aina hii, kusahihisha kidogo makosa ya kwanza na kuihifadhi. Ila tu mara nyingi (hasa kwenye skrini ndogo ya simu) watumiaji wanachoka au hawaoni tena makosa mengine - yanayobaki. Ni kidogo kama samaki hizi zenye sumu zinazopendwa na Wajapani [[en:fugu]] - tamu sana, lakini ole ukisahau kukata sehemu za sumu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 13:04, 28 Januari 2020 (UTC)
== Kazi nzuri ya uhariri ==
Habari!
Umefanya vyema kuweka kielelezo kwenda [[Mapatano ya Kimataifa dhidi ya Utesaji]].
'''[[Mtumiaji:BlessNathan|BlessNathan]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BlessNathan|majadiliano]])''' 13:56, 1 Februari 2020 (UTC)
== Kuhusu kubadili jina la mtumiaji ==
Mimi '''Simon waziri msika''' naomba kubadili jina la mtumiaji na liwe 20_savage.Asante amani kwako--'''[[Mtumiaji:Simon waziri msika|Simon waziri msika]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Simon waziri msika|majadiliano]])''' 12:23, 7 Februari 2020 (UTC)'''kipala'''.
==Mashindano ya Uhariri Alfagems==
Ndugu, nipo na Magotech kwa ajili ya mashindano yetu. Afadhali usihariri makala zinazoundwa mpaka tutoe tuzo kwa washindi. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:28, 16 Februari 2020 (UTC)
:Usiwe na wasiwasi, naona hiyo baada ya tukio.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:53, 16 Februari 2020 (UTC)
==Ugatuzi Burundi==
Ndugu, naona nchi hiyo ndogo imegawiwa sehemu 16 (provinces) ambazo tungeziita wilaya, si mikoa. Hasa kwa sababu kuna ngazi ya juu zaidi ambayo inafaa iitwe mkoa. Unasemaje?
Kuhusu masahihisho yangu, nimekuelewa. Nitasubiri zaidi. Hofu yangu ni kusahau baadaye... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:43, 17 Machi 2020 (UTC)
::Asante, kama wenzetu wa enwiki wako sawa https://en.wikipedia.org/wiki/Burundi#Subdivisions, zile provinces za Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Je umeona ngazi ya juu? Menginevyo fanya unavyoona. Nadhani tu ni busara tukianza kutaja kwa kila nchi makala yetu husika, ambayo ni [[Eneo la utawala]]; tafadhali uiangalie, unatumia neno hili zuri "ugatuzi", labda uhamishe lemma kwenda kule. Sasa naona tuktaja mfano "wilaya/mikoa ya Burundi", tuwe na makala fupi inayosema "Wilaya/mikoa ya Burundi" inayoeleza kwa sentensi moja "Wilaya/Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Nchi hiyo imegwanywa kwa wilaya/mikoa 17. Wil/Mkoa unagawanywa kwa ....." '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:23, 17 Machi 2020 (UTC)
== Tafsiri ==
Habari! naomba msaada wa tafsriri ya maneno haya : '''Performance of biofilm carriers in anaerobic digestion of sisal leaf waste leachate''' '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 15:41, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Kwa nini unataka kuitafsiri? ni jina la makala kuhusu utafiti fulani, haihitaji tafsiri. Ukitaka kuieleza usitafsiri utumie maneno yako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:25, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Labda kitu kama "ufanisi wa (kipagazi ?) cha ukoga hai katika mmeng'enyo anerobi wa kichujuaji cha mikonge" - siridhiki kipagazi (carrier).'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:13, 2 Aprili 2020 (UTC)
== Masanja ==
Nmeondoa picha ya Masanja kwa sababu ya mlalamikaji mmoja akisema anaomba kuondolewa kwa picha hiyo. Natafuta picha nyingine. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 03:15, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Sawa si picha ya kupendeza sana. Basi kumbuka kufuta faili ya picha yenyewe, maana bado iko. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 05:57, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Naomba maelekezo namna ya kufuta picha. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:51, 11 Aprili 2020 (UTC)
:::Unafungua picha, utaipata kwa kuingia katika historia ya makala. Katika historia fungua nakala yenye picha, bofya picha, utapata ukurasa wa faili yake. Hapa ukihariri unaweza kufuta nisipokosei. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:28, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 14:06, 11 Aprili 2020 (UTC)
Naomba msaada wa kusaidiwa kuhariri makala niliyoanzisha ya Yericko Nyerere.
Naomba kusaidiwa kuweka picha yake.
Naomba kusaidiwa kuweka mpangilio mzuri kulingana na sheria za Wikipedia ya kiswahili.
Mimi ni mgeni sina uzoefu wa kutumia Wikipedia lakini nimeona nianzishe ukurasa wa Yericko ambae ni mwandishi maarufu wa vitabu Afrika Mashariki na Mchambuzi wa Ulinzi na Usalama. '''[[Mtumiaji:Mbutublock|Mbutublock]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mbutublock|majadiliano]])''' 03:58, 9 Septemba 2021 (UTC)
== Programmu ya kusafishia sw.wikipedia ==
Kuna programmu [[en:Wikipedia:CLEANER]], nafikiri inaweza kusaida na Wikipedia ya Kiswahili. Programmu ingine ni [[en:Wikipedia:Typo_Team/moss]]. Au tunaweza kuandika yetu.
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:34, 29 Aprili 2020 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan SSR]] and [[:en:Democratic Republic of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? They certainly don't need to be long like the English versions.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 11:28, 13 Julai 2020 (UTC)
==Kamusi na viongozi wa Wikipedia ya Kiswahili==
Ndugu, nimeona umefuta sehemu ya mchango wa mwalimu wetu Mengistu kwamba una mashaka nao. Naomba maelezo kidogo. Pia nimeona umeandika idadi ya viongozi wa mradi wetu si halisi kwa sababu miaka ya nyuma tulisita kuondoa wale waliopumzika muda mrefu. Je, hatuwezi sasa kuchukua hatua? Amani kwako!--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 22 Julai 2020 (UTC)
:Kuhusu "Kamusi" nimeona hasa muhimu kuhamisha sehemu kuhusu "Historia" nyuma, maana iliwekwa kabla ya maelezo ya kimsingi kuhusu aina tofauti za kamusi. Inawezekana katika kukata na kubandika tena nilifuta zaidi kuliko jinsi nilivyokusudia. Nitaangalia tena. Sehemu ya historia inajaa makosa mengi, hasa sehemu kuhusu kamusi za Kiswahili. Majina yameharibika mno (Sowahili si jina, wala Smee wala Salt walitunga kamusi, walikusanya maneno kadhaa tu kama mifano ya lugha; "Esteere" ni askofu [[Edward Steere]], "Krafp (1845)" ni [[Ludwig Krapf]]. -- Kifungu chote kuhusu Kigiriki kimenakiliwa kutoka makala [[Kigiriki]] lakini hakina uhusiano na mada ya Kamusi. Niliandika "mashaka" kwa sababu sijakuwa na muda wa masahihisho.
::Kuhusu wakabidhi: sawa, twende! Miaka iliyopita ni hasa Oliver ambaye hakupenda kufuta. Mimi mwenyewe naona kama mtu hakuonekana mwaka mmoja afutwe katika hadhi ya mkabidhi. Wikipedia nyingine zinaangalia pia kama mkabishi anatekeleza shughuli zake au la. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:49, 23 Julai 2020 (UTC)
:::Hata mimi naona hivyo: kimya cha mwaka mmoja kiwe kigezo. Tunawashukuru waliofanya kazi, lakini kuwaacha kama majina tu hakuna uhalisia... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:37, 23 Julai 2020 (UTC)
== Foto ==
Hallo Kipala,<br/>
Das Foto, das im Artikel zur SGR steht, ist eine Urheberrechtsverletzung und wird demnächst gelöscht. Um zu vermeiden, dass in dem Artikel ein kaputter Bildlink ist, habe ich es durch ein anderes Foto bereits im Vorhinein ersetzt. Würdest du deine Änderung also wieder zurücksetzen – oder alternativ ein anderes Foto nehmen? Viele Grüße, --'''[[Mtumiaji:Jcornelius|Jcornelius]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jcornelius|majadiliano]])''' 22:59, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Dein Foto ist noch drin im Artikel. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:06, 4 Agosti 2020 (UTC)
::Ich verstehe nicht. Auf welchen Artikel wird verwiesen? Ich sehe kein neues Foto in [[Nzige-jangwa]] (SGR). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:40, 5 Agosti 2020 (UTC)
:::Inahusu [[Reli_ya_SGR_ya_Kenya]]'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:35, 6 Agosti 2020 (UTC)
==Mitaa==
Ndugu, naomba uangalie maswali yangu ya leo katima majadiliano ya kurasa mbalimbali. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:15, 17 Agosti 2020 (UTC)
::Naona swali lako leo tu. Siwezi kuona tena mabadiliko ya jana. Unamaanisha makala zipi?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:22, 17 Agosti 2020 (UTC)
:Ndiyo, leo, si jana! Ni [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:59, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Naomba kuzirudisha upya na kutoa uthibitisho [[Silent ocean Tanzania]],[[Counsellorsalah]]==
[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] Nimeona sababu iliyotolewa kwa ajili ya ufutaji wa makala hizo mbili, nimejifunza jambo juu ya uundaji wa makala hapa wiki. kama ulivyoelezea kwenye ukurasa wa makala ya ufutaji, nilijaribu kuziingiza enwiki lakini zilikosa mantiki. nipo katika kujifunza kuhariri hapa wiki ili na mimi baadae niweze kuisaidia swwiki katika makala tofauti tofauti. hivyo naomba kuanzisha tena makala hizo mbili ambazo tayari zimefutwa, na kwa sababu ambazo ni sahihi, ila nimefanyia marekebisho sababu ya awali na kufupisha maneno, na kuelezea kile tu ambacho kina uthibitisho. ahsante. '''[[Mtumiaji:molee4real|molee4real]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
== Lambo la Kihansi ==
habari Kipala,
naomba msaada namna ya kutumia google maps kwenye ukurasa wangu wenye jina [[Lambo la Kihansi|tajwa]]. Asante --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 12:44, 18 Septemba 2020 (UTC)
:Pia angalia namna ya kutumia "l" na "r". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:29, 18 Septemba 2020 (UTC)
::Mimi mwenyewe sijaelewa bado namna ya kutumia google map pamoja na misimbo ya majiranukta. ninabahatika wakati mwingine kama tunayo infobox iliyoandaliwa kuwa na majiranukta. Ninafikiri tatizo ni hii: tuna infoboxes kadhaa ambazo ni za zamani kabla ya kusanifishwa kwa infoboxes kwenye enwiki jinsi iivyo. Kama tungempata mtu anayeangalia boxes zetu na zile za kawaida za kimataifa tunagweza kuzitafsiri na kutumia. Nahisi hapa tupange warsha ya pekee kwa njia ya zoom, kwa kuomba msaada wa wale wanaojua nje ya swwiki. Mimi hutumia mbinu wangu: nafungua openstreetmap (shauri ya laiseni ya hakimiliki), nachukua pcha ya skrini, naipeleka programu kama PAINT, naweke alama ya mahali pamoja na matini ya Kiswahili, naipakua kwenda commons, basi nimeunda picha ya ramani ninayotumia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:05, 18 Septemba 2020 (UTC)
== We sent you an e-mail ==
Hello {{PAGENAME}},
Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.
You can [[:m:Special:Diff/20479077|see my explanation here]].
'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)
<!-- Message sent by User:Samuel (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Samuel_(WMF)/Community_Insights_survey/other-languages&oldid=20479295 -->
==Idadi ya makala==
Ndugu, imekuwaje tangu siku chache idadi ya makala za Kiswahili imekatwa kama 800: toka 60,300 hivi zimebaki 59,500 tu? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:18, 27 Septemba 2020 (UTC)
:Swali zuri, nimeiona pia, sijui. Najaribu kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:43, 27 Septemba 2020 (UTC)
::Pia nimeona haririo lako la mwisho kuhusu wasomaji wetu: kutoka milioni 4 wamekuwa chini ya 2. Idadi ya mwisho inalingana na ile ya wasomaji kwa nchi, lakini ile ya kwanza ipo katika Wikistat: ina maana gani? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:38, 28 Septemba 2020 (UTC)
:::Niliangalia wikistats na kuona namba za milioni 4. Baadaye niliangalia toolforge ambako ni chini ya mio 2. Nimekumbuka nimewahi kuona hii lkn nilishau. Basi ukifungua https://stats.wikimedia.org/#/sw.wikipedia.org/reading/total-page-views/normal|bar|2-year|~total|monthly unaona idadi ya kuangaliwa kwa swwiki. Ukibofya "Split by agent type" (ambacho nilisahau) unaona kiasi gani cha watu halisi na kiasi gani cha bots au programu za crawler. Namba ya watu halisi ni sawa na namba inayoonyeshwa pale toolforge https://pageviews.toolforge.org/siteviews/?platform=all-access&source=pageviews&agent=user&start=2019-09&end=2020-08&sites=sw.wikipedia.org. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:44, 28 Septemba 2020 (UTC)
== Swahili Wiktionary ==
Saalam, maneno ambayo yapo kwenye sw wiktionary yana hitilafu kidogo. Maneno ambayo hayafahi kuwepo au katika lugha zingine vinaongezeka, sina uwezo wa kuzitoa kwenye wiktionary tafadhali zitoe, au unipe usaidizi wa jinsi nawezaya kuyatoa maneno hayo.'''[[Mtumiaji:Alvin kipchumba|Alvin kipchumba]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alvin kipchumba|majadiliano]])''' 12:15, 30 Septemba 2020 (UTC)
::Naona umeanzisha mwenyewe makala ya "kuadhiminisha" ambayo si Kiswahili. Kwa nini? Mimi sina mamlaka pale Wikamusi, ongea na wakabidhi wa pale, unawakuta kwenye ukurasa wa Jumuia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:04, 30 Septemba 2020 (UTC)
:::(en) If i can weigh in here, the Swahili Wiktionary is really in a mess and i have been going on trying to fix things. If you can help out in any way with the kamusi or otherwise invite users who might be intrested it would be appreciated. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 11:57, 2 Oktoba 2020 (UTC)
::::(en) I was there some days ago. Couldn't do much more since I have a limit access to the site. Though I can fix some error if pointed where!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 13:27, 2 Oktoba 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 05:26, 2 Novemba 2020 (UTC)
:Mpendwa, unachofanya kwenye ukurasa wako wa mtumiaji ni shauri lako, usipoleta matangazo ya kibiashara au haramu au matusi. Ila matini za Kiingereza hazidumu hapa kwenye makala, tunafuta. Pia kama unaweza kutunga makala inayoleta habari halisi, sawa ni kama kila mada. Sieelwei uanchomaanisha ukisema "spread the word"- '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:57, 2 Novemba 2020 (UTC)
==Kundi la whatsapp la wakabidhi==
Habari Kipala!
Nilipata ujumbe wako. Kundi la whatsapp la wakabidhi ni wazo zuri. Nimepotea whatsapp wiki iliyopita kutokana na changamoto binafsi, natarajia kurejea wiki hii. Nitakutaarifu. Asante. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)]]''' [[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)]]
Nimeona majadiliano yenu. Jumapili iliyopita watu mbalimbali walichangia Wikipedia yetu kwa tafsiri za kompyuta. Labda tufikie uamuzi wa moja kwa moja za kuzifuta au kutafsiri upya sehemu ndogo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
==Hamburg==
Nimepata ujumbe huo. Naona unakuhusu zaidi wewe.
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC) --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
== MrWaxwell ==
I have also blocked this user on several small projects for the same reason as here. I think perhaps it may be time for a global lock. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 15:16, 7 Januari 2021 (UTC)
:It is a pity about this guy. For a place like us he could be helpful if he listened, I guess it has to do with his personality/attitude that he is not able to communicate. I have not followed him very much on other wikis, just on the African ones. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:29, 7 Januari 2021 (UTC)
==Google Translations==
Ndugu, nimepokea leo jibu hili:
:[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], If someone translate it by themselves, it's not copyright violation, but if they are doing it using Google translator, then it is a violation as content translated using Google translator is licensed. I am sure this user don't know the Swahali language and they just copied the content from English wiki and used Google translator and pasted it here. I have also [[m:Steward requests/Miscellaneous#Google|translations by User:Sandesh9822]] opened a thread on meta]] to discuss all such articles they created on other wikis. '''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB#top|majadiliano]])''' 07:51, 18 Januari 2021 (UTC)
Ni suala linalotusumbua tangu muda mrefu. Kwa nini tusichukue uamuzi wa kufuta kurasa zote za namna hiyo? Pia naomba uangalie talk katika English Wiki kuhusu Same-sex Marriage. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 18 Januari 2021 (UTC)
Tafadhali nisaidie kuelewa jambo. Swali linahusu makala gani? Na mtumiaji gani? Na uhusiano na [[:en:Same-sex Marriage]] (sehemu gani ya majadiliano?) ni nini? Ninaelewa kwamba unaona matumizi ya automatic translate bila masahihisho kama usumbufu. Ila kabla ya kuiweka kwenye Whatsapp nisaidie nielewe vizuri zaidi. (maana machoni pangu KAMA tafsiri ya kompyuta inasafishwa vema, kuna matokeo mazuri - mimi mwenyewe natumia mara kwa mara programu ya tafsiri ya komyuta siku hizi, lakini inahitaji kazi!) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:06, 18 Januari 2021 (UTC)
::Ni ukurasa juu ya [[B. R. Ambedkar]]. Shida ni kwa hawa wasiojua kabisa Kiswahili. Hakuna uhusiano na ndoa za jinsia moja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 18 Januari 2021 (UTC)
:::Sawa nimepeleka, Nimekuunga mkono. Ila naona umeshwekeza kazi sasa si vibaya tena? (tena sidhani ni kweli alichoandika Mtumiaji:1997kB. Copyright si jambo, matokeo mabaya ni jambo.) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:45, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Naomba ujadiliane na huyo [[Mtumiaji:1997kB|1997kB]]. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:56, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Nimeandika hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/Steward_requests/Miscellaneous#Google_translations_by_User%3ASandesh9822 '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:13, 18 Januari 2021 (UTC)
==Katekesimo==
Ndugu, hata mwaka jana nilikuwa na katekesimo ndogo ya Kilutheri kwa Kiswahili iliyoandaliwa na mtu wa Ufini (Popidan?) lakini sasa siioni tena. Ingeweza kutajwa. Shalom. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 14 Februari 2021 (UTC)
:Nimeiona tena. Kichwa chake ni "Katekisimo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
==Majadiliano: Frozen1==
Ndugu, naomba umjibu mchangiaji asiyejua Kiswahili lakini ana nia njema: ameandika katika ukurasa wangu wa majadiliano chini ya kichwa hicho. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
::Sawa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:01, 16 Machi 2021 (UTC)
==Majina ya nchi==
Suala la majina ya nchi linazidi kusumbua hasa upande wa jamii: Isilandi, Iceland - China, Uchina - Mexico, Meksico, Meksiko n.k. Lini tutakubaliana? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:54, 30 Machi 2021 (UTC)
:Nitaipeleka kwenye kundi la wakabidhi. Naona njia tatu: 1) Ama tuendelee jinsi ilivyo kwa kutumia redirect; 2) Au tukubaliane Orodha rasmi (kutoka [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]??? mimi si rafiki sana wa mapendekezo kwa nchi kadhaa. Tena niko sasa Kenya, sina nakala hapa..). 3) au tupatane kuhusu nchi tu ulizotaja na zinazotajwa kwa wengine kuwa zinasumbua. Nipeleke hoja zote tatu au ipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:17, 30 Machi 2021 (UTC)
::Redirect kwa jamii haisaidii, kwa sababu makala hazionekani katika ukurasa ulioelekezwa upya. Afadhali tukubaliane tuwe na namna moja walau kwa jamii. Tuanze na nchi hizo 3, lakini zipo nyingine pia. Salamu kwa Wakenya wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:15, 30 Machi 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Kipala. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Kipala, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:37, 17 Mei 2021 (UTC)
:Ninashauri usubiri kuwafundisha wengine hadi wewe umeitumia mwenyewe kwa makala 10 au 20 (kwa mfano chukua majina mekundu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Kipala/makala_10000; lazima kwanza kuangalia kama makala iko rayari kwenye swwiki kwa jina tofauti). Mimi ninaitumia mwenyewe mara kwa mara. Hitilafu bado ziko kupeleka tanbihi upande wa Kiswahili (kifaa kinaingiza mara kwa mara msimbo wa '''<nowiki><nowiki></nowiki>''' pasipotakiwa), halafu inatafsiri marejeo yasiyotakiwa kutafsiriwwa kama jina la makala au jina la kitabu au hata majina ya watu. Kuna sehemu kama fomula au jedwali ambako matokeo yanaweza kuwa vibaya, na hapo una hitaji kusahihisha baadaye. Kuhusu matini yenyewe ni matatizoy a kawaida ya tafsiri ya kompyuta kama kwenye google. Yaani progarmu inakupa matini mfululizo ya maneno ya Kiswahili ambayo bado si Kiswahili; maar kwa mara tafsiri ni kosa, unahitaji kubadilisha maneno. Pia muundo wa sentensi mara kwa mara inakosea. Infanya kiasi kizuri ukiwa na makala fupi yenye sentensi fupi. Ningeikataza kwa matini ndefu kwa sababu hapa uchovu wa mhariri utaingia na matokeo ni mabaya. Ukiwa na wahariti wenye uzoefu (si chini ya 200 edits) unaweza kujaribu. Kwa wageni usifanye. - Ni nani aliyekushauri ufundishe watu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:40, 17 Mei 2021 (UTC)
== GFDL ==
Hi! I made a suggestion at [[Majadiliano ya MediaWiki:Licenses]] but it is probably not a page that many users notice. Could you have a look or give me a link to a better page to make the suggestion? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 10:37, 28 Mei 2021 (UTC)
: Hi! Do you have any further questions related to my suggestion? Or do you just wait and see if other users would like to comment? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 12:07, 3 Julai 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Kipala}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:10, 19 Juni 2021 (UTC)
== Request writing about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Helo Kipala, Would you like to write / translate about Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 13:14, 23 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
Naona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Koloni==
Ndugu, tuliwahi kuongelea neno hilo, kwamba toleo la pili la KKS lilikuchanganya kulipanga katika ngeli i-zi (kama koloni kwa maana ya nuktambili), lakini sasa umeanza kubadilisha matini yetu kufuata kosa hilo ambalo toleo la tatu la KKS limelirekebisha, na kulingana na kamusi nyingine zote. Afadhali neno "vita" ambalo kweli baadhi ya watu wanalipanga katika ngeli i-zi, ingawa kamusi zote zinaelekeza kulitumia kama ki-vi au vi peke yake. Ndiyo maana mimi nimeacha kurekebisha "vita ya", lakini vilevile singependa kuona unabadilisha "vita vya". Tuache zote mbili, halafu watoto wetu watafikia mwafaka. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Basi nisamehe, ni kweli tuache hayo mawili kandokando. Nilikumbuka tulijadiliana, sijakumbuka matokeo, nikaangalia KKS<sup>3</sup> , ambayo inapanga neno kwenye i/zi. Ila naona sasa TUKI Kiing-Kisw inatumia ji/ma. Nilidhani katika ile makala ni kosa langu la zamani. Sasa, nitajitahidi kukumbuka, tusipoteze muda wetu juu ya hayo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
==Kiswahili cha Kikongo==
Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)
:Subiri, niangalie (badi njiani kurudi toka Nbi) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:39, 22 Novemba 2021 (UTC)
::: Tulikuwa na yafuatayo kwenye telegram:Ingo Koll, [22/11/2021 20:45]
::: Wapendwa, napata ujumbe kutoka Riccardo anayeuliza:
::: “Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)” Nikimwangalia napata: https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Michango/CapitainAfrika
::: Hadi sasa ameleta machahce, pamoja na: https://sw.wikipedia.org/wiki/Bavua_Ntinu_Andr%C3%A9
::: Naona changamoto kweli. Tufanyeje? Upande moja nafurahia, maana Kongo itakuwa eneo ambako Kiswahili kitakua zaidi (ni lugha rasmi na lugha kuu kwenye mashariki mwa nchi). Upande mwingine alicholeta – sijui tumwambie hakikubaliki?? Ingo Koll, [22/11/2021 20:50]
::: Czeus Clement Masele Wikiadmin, [22/11/2021 21:56] [In reply to Ingo Koll] Sawa
::: Christiaan Kooyman, [22/11/2021 23:48] [In reply to Ingo Koll] Tusiwakatie Wakongo tamaa sana. Tuwasihi tu wajifunze Kiswahili Sanifu. Kwa sasa, tutaboresha Kiswahili cha makala zao, kama nilivyofanya na makala André Bavua Ntinu.
::: Ingo Koll, [24/11/2021 23:05] Kama hakuna zaidi, mnaonaje tukimwambia asipeleke mambo yake kwenye article space moja kwa moja, bali kwanza katika nafasi ya binafsi, halafu aswailiane na mmoja wa hapa? Nani pamoja na Chriko anajitolea kumwongoza?
==Jamii:Wanamichezo au Wachezaji?==
Tuwe na namna moja: unaonaje? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:00, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Sina uhakika, je kila mwanariadha ni mechazji pia? Wale wa mpira na kwa jumla wote kwenye timu ni wachezaji; kwa Kiingereza pia "mechezaji" wa gulf. Lakini yule anayeruka mbali au juu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:10, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Naomba uwashirikishe wengine kabla hatujaendelea kwa fujo, tusije tukahitaji kupoteza muda mwingi baadaye kuweka mambo sawa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
==Wkamahiriki wa sauti==
Nimekuta mara nyingi maneno hayo katika kurasa za filamu: mtumiaji alitaka kusema watu hai wanaotumia sauti yao kwa wahusika wa katuni. Lakini ni wazi kwamba neno halikai sawa... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Ndugu, hujanijibu. Pia naomba tuendelee kujadiliana kuhusu msamiati wa kompyuta (tovuti n.k.) na tafsiri za Wiki ya Kishia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:31, 30 Desemba 2021 (UTC)
::Samahani, nilibanwa kidogo sijaona ukurasa wangu. Kuhusu "wkamahiriki" sijaelewa, labda nieleza kwa upana zaidi? Kuhusu makala za Wiki ya Kishia: nina wasiwasi; yaani anatafsiri neno kwa neno. Je ni jambo la katimiliki??? Nilimwandikia na kumshauri asiendelee vile. Naona makala ni kidhehebu mno. Basi nitapeleka swali Telegram.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:49, 31 Desemba 2021 (UTC)
:::Neno hilo la ajabu limeandikwa katika kurasa nyingi za filamu za katuni kuhusu waigizaji waliotoa sauti yao kwa wahusika. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:23, 1 Januari 2022 (UTC)
::::Nimeandika leo kwenye telegramu: Hamjambo wote naomba ushauri. Makala 19 zinatumia neno"Wkamahiriki" kwa ajili ya waigizaji wanaotoa sauti kwa wahusika katika filamu za katuni. Naona ni kosa lililonakiliwa na watu mbalimbali. Je kuna neno la kufanana linalotaja yale yanayolengwa? Kwa Kiingereza ni "voice actor". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:33, 1 Januari 2022 (UTC)
==[[Qasem Soleimani]]==
Ndugu, Muzney Muhammad anazidi kusema ukurasa huu una makosa na uongo mwingi na amejaribu mara mbili kuleta ukurasa mpya wenye tahajia tofauti ili kufuata Wiki ya Shia. Mimi nimeshindwa kumuelewa. Labda uwasiliane naye wewe. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:02, 4 Januari 2022 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
==Miji ya Burkina Faso==
Pole, ndugu, umerudia kazi ileile. Mwezi uliopita ulitunga ukurasa juu ya miji ya Burkina Faso, na leo tena... Tofauti ni hasa herufi M ya miji.... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 8 Januari 2022 (UTC)
== omba kuhariri ==
Tafadhali ongeza:
<nowiki>(alama: [[file:Earth symbol (fixed width).svg|16px|🜨]])</nowiki>
kwa [[Dunia]].
Asante! '''[[Mtumiaji:Kwamikagami|Kwamikagami]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kwamikagami|majadiliano]])''' 06:12, 26 Januari 2022 (UTC)
== Vifaa ==
Habari yako Kipala, kwa muda mrefu nimeshakua nikifanya kazi kutengeneza Hotcat kwenye wikipedia ya swahili. (en) Due to technical terms let me switch to English, Hotcat is a tool that enables one to easily add and categories( jamii) easily. I have localised it and even tested it and it seems to work properly. Since your an interface admin would it be possible to make it a gadget here? source code is at user:synoman barris/common.js --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 12:25, 6 Februari 2022 (UTC)
==Block==
Ndugu, kwa mara ya pili napata shida kuhifadhi interwiki links nikiwa redioni. Inaonekana Martin Urbanrc amezuia akaunti kadhaa jirani na hii. Nifanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:12, 10 Februari 2022 (UTC)
:Sielewi vema. Martin Urbanec ni nani? Afadhali tuma link nione tatizo linatokea wapi. Kuhusu mitiki nakutuma sasa email ya contacts 2 zilizofanya feedback hadi sasa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:24, 10 Februari 2022 (UTC)
::Nadhani nimempata. Umwandikie hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/User_talk:Martin_Urbanec. Je unajua URL husika ya redio ni nini? Kama ameblock umwombe aeleze, (nitumie kopi) na aondoe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:38, 10 Februari 2022 (UTC)
:::Shida inaendelea bado. Mbali ya hiyo, hawa wachangiaji wapya wanaoshindana kutunga makala wanaandika mambo ya ajabuajabu. Wanaweka mchezaji mwanamume Mkenya katika jamii za Wanawake wa Tanzania n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:05, 13 Machi 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Kipala}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:11, 11 Machi 2022 (UTC)
==Msaada Kuhusu Viungo==
Salamu, ni kwa namna gani tunaweza kubadili viungo ambavyo tayari vimewekwa kimakosa na kuunganishwa na lugha ya kiingereza, mfano katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Serengeti_Afrika_(filamu) , naona makala ya Kiswahili ni Kiingereza maudhui yapo tofauti, Amani Sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:46, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Nimeongeza maelezo kwenye Mwongozo. Utafute "Wikipedia:Interwiki" halafu jaribi kufuata maelezo, tuone kama yanatosha.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 10:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
0jcbznrp97ih2c3k4hjdys9wyubkh48
1240851
1240801
2022-08-08T11:33:36Z
Kipala
107
/* Msaada Kuhusu Viungo */
wikitext
text/x-wiki
*Je unapenda kuongeza makala kuhusu Tanzania? Nenda hapa ukachague: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/List Category Tanzania en|'''List Category Tanzania en''']]
*Ukipenda kupanusha wikipedia yetu kwa jumla, angalia mapengo hapa: [[Mtumiaji:Kipala/makala 10000|Makala 10,000]]
*Tazama pia kurasa za muda: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/viungo vya mwili|Viungo vya mwili]] na [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/makala 100|makala 100]]!
'''Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa za Hifadhi ya Nyaraka'''{{archive box collapsible|
*[[User:Kipala/Archive 1|Hifadhi ya Nyaraka 1: 2006/2007]]
*[[User:Kipala/Archive 2|Hifadhi ya Nyaraka 2: Novemba 2006 - Februari 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 3|Hifadhi ya Nyaraka 3: Februari - Aprili 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 4|Hifadhi ya Nyaraka 4: Mei - Julai 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 5|Hifadhi ya Nyaraka 5: Julai - 15 Disemba 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 6|Hifadhi ya Nyaraka 6: 15 Disemba 2008 - 20 Machi 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 7|Hifadhi ya Nyaraka 7: hadi mwisho wa 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 8|Hifadhi ya Nyaraka 8: Januari 2010 - 6 Desemba 2010]]
*[[User:Kipala/Archive 9|Hifadhi ya Nyaraka 9: 6 Desemba 2010 - Desemba 2012]]
*[[User:Kipala/Archive 10|Hifadhi ya Nyaraka 10: Januari 2013 - Desemba 2015]]
*[[User:Kipala/Archive 11|Hifadhi ya Nyaraka 11: Mwaka 2016]]
*[[User:Kipala/Archive 12|Hifadhi ya Nyaraka 12: Mwaka 2017-2018]]
*[[User:Kipala/Archive 13|Hifadhi ya Nyaraka 13: Mwaka 2019]]
}}
<big>'''Ongeza chako chini kabisa!'''</big>
== Kuhusu Wikipedia kwa simu ==
Watu wengi wako Afrika wanasoma wikipedia kwa simu. Wanaweza kuhusu kwa simu pia?
https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps
https://translatewiki.net/wiki/Translating:WikimediaMobile
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:35, 28 Januari 2020 (UTC)
:Asante kwa swali, Ndugu Benson. Tuna watumiaji wengi wanaochangia kwa simu. Inawezekana, pia kwa matokeo mazuri. Historia ya makala inaionyesha kwa "tag:Mobile edit". Kwa upande mwingine tuna tatizo hasa kwa watumiaji wapya wakiamua mara moja kubadilisha kitu kidogo au kuongeza hosa, sentensi au neno kwamba hariri zao zina makosa (au:hazina maana) kwa hiyo tunasafisha mara kwa mara. Si rahisi kuunda makala marefu kidogo kwa simu ya mkononi. Lakini uwezekano upo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:55, 28 Januari 2020 (UTC)
::Kutafsiri kwa kutumia msaada kama translatewiki inawezakana pia, mimi mwenyewe ninaitumia siku hizi mara kwa mara. Hata hivyo, watumiaji wapya wanaonywa dhidi yake. Maana inahitaji maarifa na umakini. Ni rahisi kuingiza makala marefu ya Kiingereza katika programu ya aina hii, kusahihisha kidogo makosa ya kwanza na kuihifadhi. Ila tu mara nyingi (hasa kwenye skrini ndogo ya simu) watumiaji wanachoka au hawaoni tena makosa mengine - yanayobaki. Ni kidogo kama samaki hizi zenye sumu zinazopendwa na Wajapani [[en:fugu]] - tamu sana, lakini ole ukisahau kukata sehemu za sumu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 13:04, 28 Januari 2020 (UTC)
== Kazi nzuri ya uhariri ==
Habari!
Umefanya vyema kuweka kielelezo kwenda [[Mapatano ya Kimataifa dhidi ya Utesaji]].
'''[[Mtumiaji:BlessNathan|BlessNathan]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BlessNathan|majadiliano]])''' 13:56, 1 Februari 2020 (UTC)
== Kuhusu kubadili jina la mtumiaji ==
Mimi '''Simon waziri msika''' naomba kubadili jina la mtumiaji na liwe 20_savage.Asante amani kwako--'''[[Mtumiaji:Simon waziri msika|Simon waziri msika]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Simon waziri msika|majadiliano]])''' 12:23, 7 Februari 2020 (UTC)'''kipala'''.
==Mashindano ya Uhariri Alfagems==
Ndugu, nipo na Magotech kwa ajili ya mashindano yetu. Afadhali usihariri makala zinazoundwa mpaka tutoe tuzo kwa washindi. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:28, 16 Februari 2020 (UTC)
:Usiwe na wasiwasi, naona hiyo baada ya tukio.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:53, 16 Februari 2020 (UTC)
==Ugatuzi Burundi==
Ndugu, naona nchi hiyo ndogo imegawiwa sehemu 16 (provinces) ambazo tungeziita wilaya, si mikoa. Hasa kwa sababu kuna ngazi ya juu zaidi ambayo inafaa iitwe mkoa. Unasemaje?
Kuhusu masahihisho yangu, nimekuelewa. Nitasubiri zaidi. Hofu yangu ni kusahau baadaye... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:43, 17 Machi 2020 (UTC)
::Asante, kama wenzetu wa enwiki wako sawa https://en.wikipedia.org/wiki/Burundi#Subdivisions, zile provinces za Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Je umeona ngazi ya juu? Menginevyo fanya unavyoona. Nadhani tu ni busara tukianza kutaja kwa kila nchi makala yetu husika, ambayo ni [[Eneo la utawala]]; tafadhali uiangalie, unatumia neno hili zuri "ugatuzi", labda uhamishe lemma kwenda kule. Sasa naona tuktaja mfano "wilaya/mikoa ya Burundi", tuwe na makala fupi inayosema "Wilaya/mikoa ya Burundi" inayoeleza kwa sentensi moja "Wilaya/Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Nchi hiyo imegwanywa kwa wilaya/mikoa 17. Wil/Mkoa unagawanywa kwa ....." '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:23, 17 Machi 2020 (UTC)
== Tafsiri ==
Habari! naomba msaada wa tafsriri ya maneno haya : '''Performance of biofilm carriers in anaerobic digestion of sisal leaf waste leachate''' '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 15:41, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Kwa nini unataka kuitafsiri? ni jina la makala kuhusu utafiti fulani, haihitaji tafsiri. Ukitaka kuieleza usitafsiri utumie maneno yako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:25, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Labda kitu kama "ufanisi wa (kipagazi ?) cha ukoga hai katika mmeng'enyo anerobi wa kichujuaji cha mikonge" - siridhiki kipagazi (carrier).'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:13, 2 Aprili 2020 (UTC)
== Masanja ==
Nmeondoa picha ya Masanja kwa sababu ya mlalamikaji mmoja akisema anaomba kuondolewa kwa picha hiyo. Natafuta picha nyingine. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 03:15, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Sawa si picha ya kupendeza sana. Basi kumbuka kufuta faili ya picha yenyewe, maana bado iko. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 05:57, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Naomba maelekezo namna ya kufuta picha. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:51, 11 Aprili 2020 (UTC)
:::Unafungua picha, utaipata kwa kuingia katika historia ya makala. Katika historia fungua nakala yenye picha, bofya picha, utapata ukurasa wa faili yake. Hapa ukihariri unaweza kufuta nisipokosei. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:28, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 14:06, 11 Aprili 2020 (UTC)
Naomba msaada wa kusaidiwa kuhariri makala niliyoanzisha ya Yericko Nyerere.
Naomba kusaidiwa kuweka picha yake.
Naomba kusaidiwa kuweka mpangilio mzuri kulingana na sheria za Wikipedia ya kiswahili.
Mimi ni mgeni sina uzoefu wa kutumia Wikipedia lakini nimeona nianzishe ukurasa wa Yericko ambae ni mwandishi maarufu wa vitabu Afrika Mashariki na Mchambuzi wa Ulinzi na Usalama. '''[[Mtumiaji:Mbutublock|Mbutublock]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mbutublock|majadiliano]])''' 03:58, 9 Septemba 2021 (UTC)
== Programmu ya kusafishia sw.wikipedia ==
Kuna programmu [[en:Wikipedia:CLEANER]], nafikiri inaweza kusaida na Wikipedia ya Kiswahili. Programmu ingine ni [[en:Wikipedia:Typo_Team/moss]]. Au tunaweza kuandika yetu.
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:34, 29 Aprili 2020 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan SSR]] and [[:en:Democratic Republic of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? They certainly don't need to be long like the English versions.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 11:28, 13 Julai 2020 (UTC)
==Kamusi na viongozi wa Wikipedia ya Kiswahili==
Ndugu, nimeona umefuta sehemu ya mchango wa mwalimu wetu Mengistu kwamba una mashaka nao. Naomba maelezo kidogo. Pia nimeona umeandika idadi ya viongozi wa mradi wetu si halisi kwa sababu miaka ya nyuma tulisita kuondoa wale waliopumzika muda mrefu. Je, hatuwezi sasa kuchukua hatua? Amani kwako!--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 22 Julai 2020 (UTC)
:Kuhusu "Kamusi" nimeona hasa muhimu kuhamisha sehemu kuhusu "Historia" nyuma, maana iliwekwa kabla ya maelezo ya kimsingi kuhusu aina tofauti za kamusi. Inawezekana katika kukata na kubandika tena nilifuta zaidi kuliko jinsi nilivyokusudia. Nitaangalia tena. Sehemu ya historia inajaa makosa mengi, hasa sehemu kuhusu kamusi za Kiswahili. Majina yameharibika mno (Sowahili si jina, wala Smee wala Salt walitunga kamusi, walikusanya maneno kadhaa tu kama mifano ya lugha; "Esteere" ni askofu [[Edward Steere]], "Krafp (1845)" ni [[Ludwig Krapf]]. -- Kifungu chote kuhusu Kigiriki kimenakiliwa kutoka makala [[Kigiriki]] lakini hakina uhusiano na mada ya Kamusi. Niliandika "mashaka" kwa sababu sijakuwa na muda wa masahihisho.
::Kuhusu wakabidhi: sawa, twende! Miaka iliyopita ni hasa Oliver ambaye hakupenda kufuta. Mimi mwenyewe naona kama mtu hakuonekana mwaka mmoja afutwe katika hadhi ya mkabidhi. Wikipedia nyingine zinaangalia pia kama mkabishi anatekeleza shughuli zake au la. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:49, 23 Julai 2020 (UTC)
:::Hata mimi naona hivyo: kimya cha mwaka mmoja kiwe kigezo. Tunawashukuru waliofanya kazi, lakini kuwaacha kama majina tu hakuna uhalisia... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:37, 23 Julai 2020 (UTC)
== Foto ==
Hallo Kipala,<br/>
Das Foto, das im Artikel zur SGR steht, ist eine Urheberrechtsverletzung und wird demnächst gelöscht. Um zu vermeiden, dass in dem Artikel ein kaputter Bildlink ist, habe ich es durch ein anderes Foto bereits im Vorhinein ersetzt. Würdest du deine Änderung also wieder zurücksetzen – oder alternativ ein anderes Foto nehmen? Viele Grüße, --'''[[Mtumiaji:Jcornelius|Jcornelius]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jcornelius|majadiliano]])''' 22:59, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Dein Foto ist noch drin im Artikel. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:06, 4 Agosti 2020 (UTC)
::Ich verstehe nicht. Auf welchen Artikel wird verwiesen? Ich sehe kein neues Foto in [[Nzige-jangwa]] (SGR). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:40, 5 Agosti 2020 (UTC)
:::Inahusu [[Reli_ya_SGR_ya_Kenya]]'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:35, 6 Agosti 2020 (UTC)
==Mitaa==
Ndugu, naomba uangalie maswali yangu ya leo katima majadiliano ya kurasa mbalimbali. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:15, 17 Agosti 2020 (UTC)
::Naona swali lako leo tu. Siwezi kuona tena mabadiliko ya jana. Unamaanisha makala zipi?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:22, 17 Agosti 2020 (UTC)
:Ndiyo, leo, si jana! Ni [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:59, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Naomba kuzirudisha upya na kutoa uthibitisho [[Silent ocean Tanzania]],[[Counsellorsalah]]==
[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] Nimeona sababu iliyotolewa kwa ajili ya ufutaji wa makala hizo mbili, nimejifunza jambo juu ya uundaji wa makala hapa wiki. kama ulivyoelezea kwenye ukurasa wa makala ya ufutaji, nilijaribu kuziingiza enwiki lakini zilikosa mantiki. nipo katika kujifunza kuhariri hapa wiki ili na mimi baadae niweze kuisaidia swwiki katika makala tofauti tofauti. hivyo naomba kuanzisha tena makala hizo mbili ambazo tayari zimefutwa, na kwa sababu ambazo ni sahihi, ila nimefanyia marekebisho sababu ya awali na kufupisha maneno, na kuelezea kile tu ambacho kina uthibitisho. ahsante. '''[[Mtumiaji:molee4real|molee4real]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
== Lambo la Kihansi ==
habari Kipala,
naomba msaada namna ya kutumia google maps kwenye ukurasa wangu wenye jina [[Lambo la Kihansi|tajwa]]. Asante --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 12:44, 18 Septemba 2020 (UTC)
:Pia angalia namna ya kutumia "l" na "r". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:29, 18 Septemba 2020 (UTC)
::Mimi mwenyewe sijaelewa bado namna ya kutumia google map pamoja na misimbo ya majiranukta. ninabahatika wakati mwingine kama tunayo infobox iliyoandaliwa kuwa na majiranukta. Ninafikiri tatizo ni hii: tuna infoboxes kadhaa ambazo ni za zamani kabla ya kusanifishwa kwa infoboxes kwenye enwiki jinsi iivyo. Kama tungempata mtu anayeangalia boxes zetu na zile za kawaida za kimataifa tunagweza kuzitafsiri na kutumia. Nahisi hapa tupange warsha ya pekee kwa njia ya zoom, kwa kuomba msaada wa wale wanaojua nje ya swwiki. Mimi hutumia mbinu wangu: nafungua openstreetmap (shauri ya laiseni ya hakimiliki), nachukua pcha ya skrini, naipeleka programu kama PAINT, naweke alama ya mahali pamoja na matini ya Kiswahili, naipakua kwenda commons, basi nimeunda picha ya ramani ninayotumia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:05, 18 Septemba 2020 (UTC)
== We sent you an e-mail ==
Hello {{PAGENAME}},
Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.
You can [[:m:Special:Diff/20479077|see my explanation here]].
'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)
<!-- Message sent by User:Samuel (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Samuel_(WMF)/Community_Insights_survey/other-languages&oldid=20479295 -->
==Idadi ya makala==
Ndugu, imekuwaje tangu siku chache idadi ya makala za Kiswahili imekatwa kama 800: toka 60,300 hivi zimebaki 59,500 tu? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:18, 27 Septemba 2020 (UTC)
:Swali zuri, nimeiona pia, sijui. Najaribu kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:43, 27 Septemba 2020 (UTC)
::Pia nimeona haririo lako la mwisho kuhusu wasomaji wetu: kutoka milioni 4 wamekuwa chini ya 2. Idadi ya mwisho inalingana na ile ya wasomaji kwa nchi, lakini ile ya kwanza ipo katika Wikistat: ina maana gani? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:38, 28 Septemba 2020 (UTC)
:::Niliangalia wikistats na kuona namba za milioni 4. Baadaye niliangalia toolforge ambako ni chini ya mio 2. Nimekumbuka nimewahi kuona hii lkn nilishau. Basi ukifungua https://stats.wikimedia.org/#/sw.wikipedia.org/reading/total-page-views/normal|bar|2-year|~total|monthly unaona idadi ya kuangaliwa kwa swwiki. Ukibofya "Split by agent type" (ambacho nilisahau) unaona kiasi gani cha watu halisi na kiasi gani cha bots au programu za crawler. Namba ya watu halisi ni sawa na namba inayoonyeshwa pale toolforge https://pageviews.toolforge.org/siteviews/?platform=all-access&source=pageviews&agent=user&start=2019-09&end=2020-08&sites=sw.wikipedia.org. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:44, 28 Septemba 2020 (UTC)
== Swahili Wiktionary ==
Saalam, maneno ambayo yapo kwenye sw wiktionary yana hitilafu kidogo. Maneno ambayo hayafahi kuwepo au katika lugha zingine vinaongezeka, sina uwezo wa kuzitoa kwenye wiktionary tafadhali zitoe, au unipe usaidizi wa jinsi nawezaya kuyatoa maneno hayo.'''[[Mtumiaji:Alvin kipchumba|Alvin kipchumba]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alvin kipchumba|majadiliano]])''' 12:15, 30 Septemba 2020 (UTC)
::Naona umeanzisha mwenyewe makala ya "kuadhiminisha" ambayo si Kiswahili. Kwa nini? Mimi sina mamlaka pale Wikamusi, ongea na wakabidhi wa pale, unawakuta kwenye ukurasa wa Jumuia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:04, 30 Septemba 2020 (UTC)
:::(en) If i can weigh in here, the Swahili Wiktionary is really in a mess and i have been going on trying to fix things. If you can help out in any way with the kamusi or otherwise invite users who might be intrested it would be appreciated. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 11:57, 2 Oktoba 2020 (UTC)
::::(en) I was there some days ago. Couldn't do much more since I have a limit access to the site. Though I can fix some error if pointed where!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 13:27, 2 Oktoba 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 05:26, 2 Novemba 2020 (UTC)
:Mpendwa, unachofanya kwenye ukurasa wako wa mtumiaji ni shauri lako, usipoleta matangazo ya kibiashara au haramu au matusi. Ila matini za Kiingereza hazidumu hapa kwenye makala, tunafuta. Pia kama unaweza kutunga makala inayoleta habari halisi, sawa ni kama kila mada. Sieelwei uanchomaanisha ukisema "spread the word"- '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:57, 2 Novemba 2020 (UTC)
==Kundi la whatsapp la wakabidhi==
Habari Kipala!
Nilipata ujumbe wako. Kundi la whatsapp la wakabidhi ni wazo zuri. Nimepotea whatsapp wiki iliyopita kutokana na changamoto binafsi, natarajia kurejea wiki hii. Nitakutaarifu. Asante. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)]]''' [[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)]]
Nimeona majadiliano yenu. Jumapili iliyopita watu mbalimbali walichangia Wikipedia yetu kwa tafsiri za kompyuta. Labda tufikie uamuzi wa moja kwa moja za kuzifuta au kutafsiri upya sehemu ndogo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
==Hamburg==
Nimepata ujumbe huo. Naona unakuhusu zaidi wewe.
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC) --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
== MrWaxwell ==
I have also blocked this user on several small projects for the same reason as here. I think perhaps it may be time for a global lock. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 15:16, 7 Januari 2021 (UTC)
:It is a pity about this guy. For a place like us he could be helpful if he listened, I guess it has to do with his personality/attitude that he is not able to communicate. I have not followed him very much on other wikis, just on the African ones. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:29, 7 Januari 2021 (UTC)
==Google Translations==
Ndugu, nimepokea leo jibu hili:
:[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], If someone translate it by themselves, it's not copyright violation, but if they are doing it using Google translator, then it is a violation as content translated using Google translator is licensed. I am sure this user don't know the Swahali language and they just copied the content from English wiki and used Google translator and pasted it here. I have also [[m:Steward requests/Miscellaneous#Google|translations by User:Sandesh9822]] opened a thread on meta]] to discuss all such articles they created on other wikis. '''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB#top|majadiliano]])''' 07:51, 18 Januari 2021 (UTC)
Ni suala linalotusumbua tangu muda mrefu. Kwa nini tusichukue uamuzi wa kufuta kurasa zote za namna hiyo? Pia naomba uangalie talk katika English Wiki kuhusu Same-sex Marriage. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 18 Januari 2021 (UTC)
Tafadhali nisaidie kuelewa jambo. Swali linahusu makala gani? Na mtumiaji gani? Na uhusiano na [[:en:Same-sex Marriage]] (sehemu gani ya majadiliano?) ni nini? Ninaelewa kwamba unaona matumizi ya automatic translate bila masahihisho kama usumbufu. Ila kabla ya kuiweka kwenye Whatsapp nisaidie nielewe vizuri zaidi. (maana machoni pangu KAMA tafsiri ya kompyuta inasafishwa vema, kuna matokeo mazuri - mimi mwenyewe natumia mara kwa mara programu ya tafsiri ya komyuta siku hizi, lakini inahitaji kazi!) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:06, 18 Januari 2021 (UTC)
::Ni ukurasa juu ya [[B. R. Ambedkar]]. Shida ni kwa hawa wasiojua kabisa Kiswahili. Hakuna uhusiano na ndoa za jinsia moja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 18 Januari 2021 (UTC)
:::Sawa nimepeleka, Nimekuunga mkono. Ila naona umeshwekeza kazi sasa si vibaya tena? (tena sidhani ni kweli alichoandika Mtumiaji:1997kB. Copyright si jambo, matokeo mabaya ni jambo.) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:45, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Naomba ujadiliane na huyo [[Mtumiaji:1997kB|1997kB]]. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:56, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Nimeandika hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/Steward_requests/Miscellaneous#Google_translations_by_User%3ASandesh9822 '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:13, 18 Januari 2021 (UTC)
==Katekesimo==
Ndugu, hata mwaka jana nilikuwa na katekesimo ndogo ya Kilutheri kwa Kiswahili iliyoandaliwa na mtu wa Ufini (Popidan?) lakini sasa siioni tena. Ingeweza kutajwa. Shalom. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 14 Februari 2021 (UTC)
:Nimeiona tena. Kichwa chake ni "Katekisimo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
==Majadiliano: Frozen1==
Ndugu, naomba umjibu mchangiaji asiyejua Kiswahili lakini ana nia njema: ameandika katika ukurasa wangu wa majadiliano chini ya kichwa hicho. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
::Sawa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:01, 16 Machi 2021 (UTC)
==Majina ya nchi==
Suala la majina ya nchi linazidi kusumbua hasa upande wa jamii: Isilandi, Iceland - China, Uchina - Mexico, Meksico, Meksiko n.k. Lini tutakubaliana? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:54, 30 Machi 2021 (UTC)
:Nitaipeleka kwenye kundi la wakabidhi. Naona njia tatu: 1) Ama tuendelee jinsi ilivyo kwa kutumia redirect; 2) Au tukubaliane Orodha rasmi (kutoka [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]??? mimi si rafiki sana wa mapendekezo kwa nchi kadhaa. Tena niko sasa Kenya, sina nakala hapa..). 3) au tupatane kuhusu nchi tu ulizotaja na zinazotajwa kwa wengine kuwa zinasumbua. Nipeleke hoja zote tatu au ipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:17, 30 Machi 2021 (UTC)
::Redirect kwa jamii haisaidii, kwa sababu makala hazionekani katika ukurasa ulioelekezwa upya. Afadhali tukubaliane tuwe na namna moja walau kwa jamii. Tuanze na nchi hizo 3, lakini zipo nyingine pia. Salamu kwa Wakenya wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:15, 30 Machi 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Kipala. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Kipala, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:37, 17 Mei 2021 (UTC)
:Ninashauri usubiri kuwafundisha wengine hadi wewe umeitumia mwenyewe kwa makala 10 au 20 (kwa mfano chukua majina mekundu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Kipala/makala_10000; lazima kwanza kuangalia kama makala iko rayari kwenye swwiki kwa jina tofauti). Mimi ninaitumia mwenyewe mara kwa mara. Hitilafu bado ziko kupeleka tanbihi upande wa Kiswahili (kifaa kinaingiza mara kwa mara msimbo wa '''<nowiki><nowiki></nowiki>''' pasipotakiwa), halafu inatafsiri marejeo yasiyotakiwa kutafsiriwwa kama jina la makala au jina la kitabu au hata majina ya watu. Kuna sehemu kama fomula au jedwali ambako matokeo yanaweza kuwa vibaya, na hapo una hitaji kusahihisha baadaye. Kuhusu matini yenyewe ni matatizoy a kawaida ya tafsiri ya kompyuta kama kwenye google. Yaani progarmu inakupa matini mfululizo ya maneno ya Kiswahili ambayo bado si Kiswahili; maar kwa mara tafsiri ni kosa, unahitaji kubadilisha maneno. Pia muundo wa sentensi mara kwa mara inakosea. Infanya kiasi kizuri ukiwa na makala fupi yenye sentensi fupi. Ningeikataza kwa matini ndefu kwa sababu hapa uchovu wa mhariri utaingia na matokeo ni mabaya. Ukiwa na wahariti wenye uzoefu (si chini ya 200 edits) unaweza kujaribu. Kwa wageni usifanye. - Ni nani aliyekushauri ufundishe watu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:40, 17 Mei 2021 (UTC)
== GFDL ==
Hi! I made a suggestion at [[Majadiliano ya MediaWiki:Licenses]] but it is probably not a page that many users notice. Could you have a look or give me a link to a better page to make the suggestion? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 10:37, 28 Mei 2021 (UTC)
: Hi! Do you have any further questions related to my suggestion? Or do you just wait and see if other users would like to comment? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 12:07, 3 Julai 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Kipala}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:10, 19 Juni 2021 (UTC)
== Request writing about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Helo Kipala, Would you like to write / translate about Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 13:14, 23 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
Naona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Koloni==
Ndugu, tuliwahi kuongelea neno hilo, kwamba toleo la pili la KKS lilikuchanganya kulipanga katika ngeli i-zi (kama koloni kwa maana ya nuktambili), lakini sasa umeanza kubadilisha matini yetu kufuata kosa hilo ambalo toleo la tatu la KKS limelirekebisha, na kulingana na kamusi nyingine zote. Afadhali neno "vita" ambalo kweli baadhi ya watu wanalipanga katika ngeli i-zi, ingawa kamusi zote zinaelekeza kulitumia kama ki-vi au vi peke yake. Ndiyo maana mimi nimeacha kurekebisha "vita ya", lakini vilevile singependa kuona unabadilisha "vita vya". Tuache zote mbili, halafu watoto wetu watafikia mwafaka. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Basi nisamehe, ni kweli tuache hayo mawili kandokando. Nilikumbuka tulijadiliana, sijakumbuka matokeo, nikaangalia KKS<sup>3</sup> , ambayo inapanga neno kwenye i/zi. Ila naona sasa TUKI Kiing-Kisw inatumia ji/ma. Nilidhani katika ile makala ni kosa langu la zamani. Sasa, nitajitahidi kukumbuka, tusipoteze muda wetu juu ya hayo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
==Kiswahili cha Kikongo==
Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)
:Subiri, niangalie (badi njiani kurudi toka Nbi) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:39, 22 Novemba 2021 (UTC)
::: Tulikuwa na yafuatayo kwenye telegram:Ingo Koll, [22/11/2021 20:45]
::: Wapendwa, napata ujumbe kutoka Riccardo anayeuliza:
::: “Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)” Nikimwangalia napata: https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Michango/CapitainAfrika
::: Hadi sasa ameleta machahce, pamoja na: https://sw.wikipedia.org/wiki/Bavua_Ntinu_Andr%C3%A9
::: Naona changamoto kweli. Tufanyeje? Upande moja nafurahia, maana Kongo itakuwa eneo ambako Kiswahili kitakua zaidi (ni lugha rasmi na lugha kuu kwenye mashariki mwa nchi). Upande mwingine alicholeta – sijui tumwambie hakikubaliki?? Ingo Koll, [22/11/2021 20:50]
::: Czeus Clement Masele Wikiadmin, [22/11/2021 21:56] [In reply to Ingo Koll] Sawa
::: Christiaan Kooyman, [22/11/2021 23:48] [In reply to Ingo Koll] Tusiwakatie Wakongo tamaa sana. Tuwasihi tu wajifunze Kiswahili Sanifu. Kwa sasa, tutaboresha Kiswahili cha makala zao, kama nilivyofanya na makala André Bavua Ntinu.
::: Ingo Koll, [24/11/2021 23:05] Kama hakuna zaidi, mnaonaje tukimwambia asipeleke mambo yake kwenye article space moja kwa moja, bali kwanza katika nafasi ya binafsi, halafu aswailiane na mmoja wa hapa? Nani pamoja na Chriko anajitolea kumwongoza?
==Jamii:Wanamichezo au Wachezaji?==
Tuwe na namna moja: unaonaje? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:00, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Sina uhakika, je kila mwanariadha ni mechazji pia? Wale wa mpira na kwa jumla wote kwenye timu ni wachezaji; kwa Kiingereza pia "mechezaji" wa gulf. Lakini yule anayeruka mbali au juu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:10, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Naomba uwashirikishe wengine kabla hatujaendelea kwa fujo, tusije tukahitaji kupoteza muda mwingi baadaye kuweka mambo sawa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
==Wkamahiriki wa sauti==
Nimekuta mara nyingi maneno hayo katika kurasa za filamu: mtumiaji alitaka kusema watu hai wanaotumia sauti yao kwa wahusika wa katuni. Lakini ni wazi kwamba neno halikai sawa... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Ndugu, hujanijibu. Pia naomba tuendelee kujadiliana kuhusu msamiati wa kompyuta (tovuti n.k.) na tafsiri za Wiki ya Kishia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:31, 30 Desemba 2021 (UTC)
::Samahani, nilibanwa kidogo sijaona ukurasa wangu. Kuhusu "wkamahiriki" sijaelewa, labda nieleza kwa upana zaidi? Kuhusu makala za Wiki ya Kishia: nina wasiwasi; yaani anatafsiri neno kwa neno. Je ni jambo la katimiliki??? Nilimwandikia na kumshauri asiendelee vile. Naona makala ni kidhehebu mno. Basi nitapeleka swali Telegram.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:49, 31 Desemba 2021 (UTC)
:::Neno hilo la ajabu limeandikwa katika kurasa nyingi za filamu za katuni kuhusu waigizaji waliotoa sauti yao kwa wahusika. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:23, 1 Januari 2022 (UTC)
::::Nimeandika leo kwenye telegramu: Hamjambo wote naomba ushauri. Makala 19 zinatumia neno"Wkamahiriki" kwa ajili ya waigizaji wanaotoa sauti kwa wahusika katika filamu za katuni. Naona ni kosa lililonakiliwa na watu mbalimbali. Je kuna neno la kufanana linalotaja yale yanayolengwa? Kwa Kiingereza ni "voice actor". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:33, 1 Januari 2022 (UTC)
==[[Qasem Soleimani]]==
Ndugu, Muzney Muhammad anazidi kusema ukurasa huu una makosa na uongo mwingi na amejaribu mara mbili kuleta ukurasa mpya wenye tahajia tofauti ili kufuata Wiki ya Shia. Mimi nimeshindwa kumuelewa. Labda uwasiliane naye wewe. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:02, 4 Januari 2022 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
==Miji ya Burkina Faso==
Pole, ndugu, umerudia kazi ileile. Mwezi uliopita ulitunga ukurasa juu ya miji ya Burkina Faso, na leo tena... Tofauti ni hasa herufi M ya miji.... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 8 Januari 2022 (UTC)
== omba kuhariri ==
Tafadhali ongeza:
<nowiki>(alama: [[file:Earth symbol (fixed width).svg|16px|🜨]])</nowiki>
kwa [[Dunia]].
Asante! '''[[Mtumiaji:Kwamikagami|Kwamikagami]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kwamikagami|majadiliano]])''' 06:12, 26 Januari 2022 (UTC)
== Vifaa ==
Habari yako Kipala, kwa muda mrefu nimeshakua nikifanya kazi kutengeneza Hotcat kwenye wikipedia ya swahili. (en) Due to technical terms let me switch to English, Hotcat is a tool that enables one to easily add and categories( jamii) easily. I have localised it and even tested it and it seems to work properly. Since your an interface admin would it be possible to make it a gadget here? source code is at user:synoman barris/common.js --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 12:25, 6 Februari 2022 (UTC)
==Block==
Ndugu, kwa mara ya pili napata shida kuhifadhi interwiki links nikiwa redioni. Inaonekana Martin Urbanrc amezuia akaunti kadhaa jirani na hii. Nifanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:12, 10 Februari 2022 (UTC)
:Sielewi vema. Martin Urbanec ni nani? Afadhali tuma link nione tatizo linatokea wapi. Kuhusu mitiki nakutuma sasa email ya contacts 2 zilizofanya feedback hadi sasa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:24, 10 Februari 2022 (UTC)
::Nadhani nimempata. Umwandikie hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/User_talk:Martin_Urbanec. Je unajua URL husika ya redio ni nini? Kama ameblock umwombe aeleze, (nitumie kopi) na aondoe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:38, 10 Februari 2022 (UTC)
:::Shida inaendelea bado. Mbali ya hiyo, hawa wachangiaji wapya wanaoshindana kutunga makala wanaandika mambo ya ajabuajabu. Wanaweka mchezaji mwanamume Mkenya katika jamii za Wanawake wa Tanzania n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:05, 13 Machi 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Kipala}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:11, 11 Machi 2022 (UTC)
==Msaada Kuhusu Viungo==
Salamu, ni kwa namna gani tunaweza kubadili viungo ambavyo tayari vimewekwa kimakosa na kuunganishwa na lugha ya kiingereza, mfano katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Serengeti_Afrika_(filamu) , naona makala ya Kiswahili ni Kiingereza maudhui yapo tofauti, Amani Sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:46, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Nimeongeza maelezo kwenye Mwongozo. Utafute "msaada:Interwiki" halafu jaribi kufuata maelezo, tuone kama yanatosha.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 10:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
oic0spd7086m9mjireshh7ip5ksm5ny
Wikipedia:Makala kwa ufutaji
4
2104
1240375
1239817
2022-08-07T19:59:46Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] IMEFUTWA==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] IMEFUTWA==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] IMEFUTWA==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]]==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]]==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
92ul0un8ankujaz42kgay93tjos28hc
1240585
1240375
2022-08-08T07:10:33Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]]==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
gmd6clm96n4toh2okz4tgw8p83xp8nq
Eswatini
0
3191
1240442
1195323
2022-08-08T02:38:00Z
Bestoernesto
23840
/* Viungo vya nje */ upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox country
|native_name = Umbuso weSwatini''<br />Kingdom of Swaziland
|conventional_long_name =
|common_name =Uswazi
|image_flag = Flag of Eswatini.svg
|image_coat = Coat of arms of Eswatini.svg
|image_map =LocationSwaziland.png
|national_motto = Siyinqaba<br />([[Kiswati]]: Sisi ni boma)
|national_anthem =''[[Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati]]''
|official_languages =[[Kiingereza]], [[Kiswati]]
|capital = <small>serikali</small>: [[Mbabane]]<br /><small>mfalme na bunge</small>: [[Lobamba]]
|latd=26 |latm=19 |latNS=S |longd=31 |longm=8|longEW=E
|largest_city = [[Mbabane]]
|government_type = Ufalme
|leader_titles = [[Orodha ya wafalme wa Uswazi|Mfalme]]
|leader_title2 = [[Ndlovukati]]
|leader_title3 = [[Orodha ya mawaziri wakuu wa Uswazi|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Mswati III wa Uswazi|Mswati III]]
|leader_name2 = [[Ntfombi Tfwala]]
|leader_name3 = [[Themba N. Masuku]]
|area_rank = ya 157
|area_magnitude = 1 E10
|area= 17,364
|areami²= 6,704<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water = 0.9
|population_estimate = 1,119,000
|population_estimate_rank = ya 154
|population_estimate_year = Julai 2015
|population_census = 1,018,449
|population_census_year = 2007
|Ethnic_groups = The majority of Swaziland's population is ethnically Swazi, mixed with a small number of Zulu and White Africans, mostly people of British and Afrikaner descent.
|Ethnic_groups_year =
|population_density = 68.2
|population_densitymi² = 176.8 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = 135
|GDP_PPP =$6.222 billion <!--CIA-->
|GDP_PPP_rank = ya 149
|GDP_PPP_year=2005
|GDP_PPP_per_capita = $5,500
|GDP_PPP_per_capita_rank =ya 127
|sovereignty_type =[[Uhuru]]
|established_events =kutoka [[Uingereza]]
|established_dates =[[6 Septemba]] [[1968]]
|HDI =0.498
|HDI_rank =ya 147
|HDI_year =2003
|HDI_category =<font color="#E0584E">low</font>
|currency =[[Lilangeni]]
|currency_code =SZL
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = + 2
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld =[[.sz]]
|calling_code =268
|footnotes =
}}
[[Picha:Wz-map.gif|thumb|left|220px|[[Ramani]] ya Eswatini.]]
'''Eswatini''' ([[jina]] rasmi tangu [[mwaka]] [[2018]] ni '''Umbuso weSwatini'''; [[kifupi]] cha [[Kiswati]]: '''eSwatini'''<ref>[http://www.bbc.com/news/world-africa-43821512 Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'], tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018</ref>; kwa [[Kiswahili]] pia: '''Uswazi'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Swaziland''') ni nchi ndogo ya [[Kusini mwa Afrika]] isiyo na [[pwani]] katika [[bahari]] yoyote.
Imepakana na [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]].
[[Mji mkuu]] ni [[Mbabane]].
==Historia==
{{main|Historia ya Eswatini}}
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]].
Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]].
[[Waswati]] walianzisha [[ufalme]] wao katikati ya [[karne ya 18]] chini ya [[Ngwane III]]; mipaka ya sasa ilikubalika mwaka [[1881]].
Baada ya [[vita]] kati ya [[Waingereza]] na [[Makaburu]], Swaziland ilukuwa [[nchi lindwa]] ya [[Uingereza]] tangu mwaka [[1903]] hadi [[1967]].
Chini ya [[mfalme]] [[Sobhuza II]] aliyetawala kwa muda mrefu sana ([[1921]]-[[1982]]), Swaziland ilipata [[uhuru]] [[tarehe]] [[6 Septemba]] [[1968]].
==Siasa==
Eswatini inatawaliwa tangu mwaka [[1986]] na [[mfalme]] [[Mswati III]]. Mfalme anapingwa mara nyingi kwa sababu anatumia [[pesa]] nyingi kwa ajili yake binafsi ilhali wananchi ni [[maskini]] sana. Kwa muda mwingi wa [[uhuru]] wa nchi [[katiba]] imesimamishwa, na mfalme ametawala peke yake.
==Watu==
[[File:A Swati Woman Dancing.jpg|thumb|righgt|Mwanamke kutoka Eswatini akicheza.]]
Wakazi wengi ni wa [[kabila]] la [[Waswati]] na kuongea [[lugha]] ya [[Kiswati]] ambacho ni [[lugha rasmi]] pamoja na [[Kiingereza]].
Upande wa [[dini]], 83% ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waprotestanti]], lakini pia [[Wakatoliki]] (20%). Wanaoendelea kufuata [[dini asilia za Kiafrika]] ni 15% na [[Waislamu]] 1%.
==Afya==
Eswatini ni kati ya nchi [[duniani]] zilizoathiriwa zaidi na [[Ukimwi]]; [[umri]] wa [[wastani]] unafikia miaka 32.62 pekee kwa sababu ya [[Kifo|vifo]] vingi (64%) vinavyotokana na [[ugonjwa]] huo.
==Tanbihi==
<references/>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya Wafalme wa Uswazi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]]
* [[Demografia ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Eswatini}}
* {{CIA World Factbook link|wz|Swaziland}}
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm Swaziland] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm |date=20090521105240 }} from ''UCB Libraries GovPubs''
* {{dmoz|Regional/Africa/Swaziland}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14095303 Swaziland] from the [[BBC News]]
* [http://www.cbi.ac.sz/ Central Business Institute Swaziland] {{Wayback|url=http://www.cbi.ac.sz/ |date=20160109192630 }}
* [http://www.swazilive.com/ Swazi Live] Swaziland accommodation and business directory
* {{wikiatlas|Swaziland}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SZ Key Development Forecasts for Swaziland] from [[International Futures]]
* [http://www.gov.sz/ Government of Swaziland]
* [http://www.welcometoswaziland.com/ Swaziland Tourism Authority]
* [http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ Swaziland Internet Cafe directory] {{Wayback|url=http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ |date=20091202055106 }}
* [http://www.photostaud.com/africa/swaziland Photographs of Swaziland Wildlife – Hlane Royal National Park, Mkhaya Game Reserve]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Eswatini]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Madola]]
tpqfbvaaut3gg6zgfsg9ugnycfece1f
1240443
1240442
2022-08-08T02:46:03Z
Bestoernesto
23840
/* Viungo vya nje */ Error 404 corr.
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox country
|native_name = Umbuso weSwatini''<br />Kingdom of Swaziland
|conventional_long_name =
|common_name =Uswazi
|image_flag = Flag of Eswatini.svg
|image_coat = Coat of arms of Eswatini.svg
|image_map =LocationSwaziland.png
|national_motto = Siyinqaba<br />([[Kiswati]]: Sisi ni boma)
|national_anthem =''[[Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati]]''
|official_languages =[[Kiingereza]], [[Kiswati]]
|capital = <small>serikali</small>: [[Mbabane]]<br /><small>mfalme na bunge</small>: [[Lobamba]]
|latd=26 |latm=19 |latNS=S |longd=31 |longm=8|longEW=E
|largest_city = [[Mbabane]]
|government_type = Ufalme
|leader_titles = [[Orodha ya wafalme wa Uswazi|Mfalme]]
|leader_title2 = [[Ndlovukati]]
|leader_title3 = [[Orodha ya mawaziri wakuu wa Uswazi|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Mswati III wa Uswazi|Mswati III]]
|leader_name2 = [[Ntfombi Tfwala]]
|leader_name3 = [[Themba N. Masuku]]
|area_rank = ya 157
|area_magnitude = 1 E10
|area= 17,364
|areami²= 6,704<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water = 0.9
|population_estimate = 1,119,000
|population_estimate_rank = ya 154
|population_estimate_year = Julai 2015
|population_census = 1,018,449
|population_census_year = 2007
|Ethnic_groups = The majority of Swaziland's population is ethnically Swazi, mixed with a small number of Zulu and White Africans, mostly people of British and Afrikaner descent.
|Ethnic_groups_year =
|population_density = 68.2
|population_densitymi² = 176.8 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = 135
|GDP_PPP =$6.222 billion <!--CIA-->
|GDP_PPP_rank = ya 149
|GDP_PPP_year=2005
|GDP_PPP_per_capita = $5,500
|GDP_PPP_per_capita_rank =ya 127
|sovereignty_type =[[Uhuru]]
|established_events =kutoka [[Uingereza]]
|established_dates =[[6 Septemba]] [[1968]]
|HDI =0.498
|HDI_rank =ya 147
|HDI_year =2003
|HDI_category =<font color="#E0584E">low</font>
|currency =[[Lilangeni]]
|currency_code =SZL
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = + 2
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld =[[.sz]]
|calling_code =268
|footnotes =
}}
[[Picha:Wz-map.gif|thumb|left|220px|[[Ramani]] ya Eswatini.]]
'''Eswatini''' ([[jina]] rasmi tangu [[mwaka]] [[2018]] ni '''Umbuso weSwatini'''; [[kifupi]] cha [[Kiswati]]: '''eSwatini'''<ref>[http://www.bbc.com/news/world-africa-43821512 Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'], tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018</ref>; kwa [[Kiswahili]] pia: '''Uswazi'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Swaziland''') ni nchi ndogo ya [[Kusini mwa Afrika]] isiyo na [[pwani]] katika [[bahari]] yoyote.
Imepakana na [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]].
[[Mji mkuu]] ni [[Mbabane]].
==Historia==
{{main|Historia ya Eswatini}}
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]].
Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]].
[[Waswati]] walianzisha [[ufalme]] wao katikati ya [[karne ya 18]] chini ya [[Ngwane III]]; mipaka ya sasa ilikubalika mwaka [[1881]].
Baada ya [[vita]] kati ya [[Waingereza]] na [[Makaburu]], Swaziland ilukuwa [[nchi lindwa]] ya [[Uingereza]] tangu mwaka [[1903]] hadi [[1967]].
Chini ya [[mfalme]] [[Sobhuza II]] aliyetawala kwa muda mrefu sana ([[1921]]-[[1982]]), Swaziland ilipata [[uhuru]] [[tarehe]] [[6 Septemba]] [[1968]].
==Siasa==
Eswatini inatawaliwa tangu mwaka [[1986]] na [[mfalme]] [[Mswati III]]. Mfalme anapingwa mara nyingi kwa sababu anatumia [[pesa]] nyingi kwa ajili yake binafsi ilhali wananchi ni [[maskini]] sana. Kwa muda mwingi wa [[uhuru]] wa nchi [[katiba]] imesimamishwa, na mfalme ametawala peke yake.
==Watu==
[[File:A Swati Woman Dancing.jpg|thumb|righgt|Mwanamke kutoka Eswatini akicheza.]]
Wakazi wengi ni wa [[kabila]] la [[Waswati]] na kuongea [[lugha]] ya [[Kiswati]] ambacho ni [[lugha rasmi]] pamoja na [[Kiingereza]].
Upande wa [[dini]], 83% ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waprotestanti]], lakini pia [[Wakatoliki]] (20%). Wanaoendelea kufuata [[dini asilia za Kiafrika]] ni 15% na [[Waislamu]] 1%.
==Afya==
Eswatini ni kati ya nchi [[duniani]] zilizoathiriwa zaidi na [[Ukimwi]]; [[umri]] wa [[wastani]] unafikia miaka 32.62 pekee kwa sababu ya [[Kifo|vifo]] vingi (64%) vinavyotokana na [[ugonjwa]] huo.
==Tanbihi==
<references/>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya Wafalme wa Uswazi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]]
* [[Demografia ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Eswatini}}
* [https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/eswatini/ Eswatini] entry at [[World Fact Book]]
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm Swaziland] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm |date=20090521105240 }} from ''UCB Libraries GovPubs''
* {{dmoz|Regional/Africa/Swaziland}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14095303 Swaziland] from the [[BBC News]]
* [http://www.cbi.ac.sz/ Central Business Institute Swaziland] {{Wayback|url=http://www.cbi.ac.sz/ |date=20160109192630 }}
* [http://www.swazilive.com/ Swazi Live] Swaziland accommodation and business directory
* {{wikiatlas|Swaziland}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SZ Key Development Forecasts for Swaziland] from [[International Futures]]
* [http://www.gov.sz/ Government of Swaziland]
* [http://www.welcometoswaziland.com/ Swaziland Tourism Authority]
* [http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ Swaziland Internet Cafe directory] {{Wayback|url=http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ |date=20091202055106 }}
* [http://www.photostaud.com/africa/swaziland Photographs of Swaziland Wildlife – Hlane Royal National Park, Mkhaya Game Reserve]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Eswatini]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Madola]]
9yxhqd0r3gwoqnugivq0gaa4cp9886j
1240602
1240443
2022-08-08T07:42:52Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox country
|native_name = Umbuso weSwatini''<br />Kingdom of Swaziland
|conventional_long_name =
|common_name =Uswazi
|image_flag = Flag of Eswatini.svg
|image_coat = Coat of arms of Eswatini.svg
|image_map =LocationSwaziland.png
|national_motto = Siyinqaba<br />([[Kiswati]]: Sisi ni boma)
|national_anthem =''[[Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati]]''
|official_languages =[[Kiingereza]], [[Kiswati]]
|capital = <small>serikali</small>: [[Mbabane]]<br /><small>mfalme na bunge</small>: [[Lobamba]]
|latd=26 |latm=19 |latNS=S |longd=31 |longm=8|longEW=E
|largest_city = [[Mbabane]]
|government_type = Ufalme
|leader_titles = [[Orodha ya wafalme wa Uswazi|Mfalme]]
|leader_title2 = [[Ndlovukati]]
|leader_title3 = [[Orodha ya mawaziri wakuu wa Uswazi|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Mswati III wa Uswazi|Mswati III]]
|leader_name2 = [[Ntfombi Tfwala]]
|leader_name3 = [[Themba N. Masuku]]
|area_rank = ya 157
|area_magnitude = 1 E10
|area= 17,364
|areami²= 6,704<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water = 0.9
|population_estimate = 1,119,000
|population_estimate_rank = ya 154
|population_estimate_year = Julai 2015
|population_census = 1,018,449
|population_census_year = 2007
|Ethnic_groups = The majority of Swaziland's population is ethnically Swazi, mixed with a small number of Zulu and White Africans, mostly people of British and Afrikaner descent.
|Ethnic_groups_year =
|population_density = 68.2
|population_densitymi² = 176.8 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = 135
|GDP_PPP =$6.222 billion <!--CIA-->
|GDP_PPP_rank = ya 149
|GDP_PPP_year=2005
|GDP_PPP_per_capita = $5,500
|GDP_PPP_per_capita_rank =ya 127
|sovereignty_type =[[Uhuru]]
|established_events =kutoka [[Uingereza]]
|established_dates =[[6 Septemba]] [[1968]]
|HDI =0.498
|HDI_rank =ya 147
|HDI_year =2003
|HDI_category =<font color="#E0584E">low</font>
|currency =[[Lilangeni]]
|currency_code =SZL
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = + 2
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld =[[.sz]]
|calling_code =268
|footnotes =
}}
[[Picha:Wz-map.gif|thumb|left|220px|[[Ramani]] ya Eswatini.]]
'''Eswatini''' ([[jina]] rasmi tangu [[mwaka]] [[2018]] ni '''Umbuso weSwatini'''; [[kifupi]] cha [[Kiswati]]: '''eSwatini'''<ref>[http://www.bbc.com/news/world-africa-43821512 Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'], tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018</ref>; kwa [[Kiswahili]] pia: '''Uswazi'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Swaziland''') ni nchi ndogo ya [[Kusini mwa Afrika]] isiyo na [[pwani]] katika [[bahari]] yoyote.
Imepakana na [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]].
[[Mji mkuu]] ni [[Mbabane]].
==Historia==
{{main|Historia ya Eswatini}}
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]].
Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]].
[[Waswati]] walianzisha [[ufalme]] wao katikati ya [[karne ya 18]] chini ya [[Ngwane III]]; mipaka ya sasa ilikubalika mwaka [[1881]].
Baada ya [[vita]] kati ya [[Waingereza]] na [[Makaburu]], Swaziland ilukuwa [[nchi lindwa]] ya [[Uingereza]] tangu mwaka [[1903]] hadi [[1967]].
Chini ya [[mfalme]] [[Sobhuza II]] aliyetawala kwa muda mrefu sana ([[1921]]-[[1982]]), Swaziland ilipata [[uhuru]] [[tarehe]] [[6 Septemba]] [[1968]].
==Siasa==
Eswatini inatawaliwa tangu mwaka [[1986]] na [[mfalme]] [[Mswati III]]. Mfalme anapingwa mara nyingi kwa sababu anatumia [[pesa]] nyingi kwa ajili yake binafsi ilhali wananchi ni [[maskini]] sana. Kwa muda mwingi wa [[uhuru]] wa nchi [[katiba]] imesimamishwa, na mfalme ametawala peke yake.
==Watu==
[[File:A Swati Woman Dancing.jpg|thumb|righgt|Mwanamke kutoka Eswatini akicheza.]]
Wakazi wengi ni wa [[kabila]] la [[Waswati]] na kuongea [[lugha]] ya [[Kiswati]] ambacho ni [[lugha rasmi]] pamoja na [[Kiingereza]]. Shuleni kinafundishwa pia [[Kireno]].
Upande wa [[dini]], 89.3% ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waprotestanti]], lakini pia [[Wakatoliki]] (5%). Wanaoendelea kufuata [[dini asilia za Kiafrika]] ni 0.5% na [[Waislamu]] ni 1%.
==Afya==
Eswatini ni kati ya nchi [[duniani]] zilizoathiriwa zaidi na [[Ukimwi]]; [[umri]] wa [[wastani]] unafikia miaka 22 pekee kwa sababu ya [[Kifo|vifo]] vingi (64%) vinavyotokana na [[ugonjwa]] huo uliopata 26% ya watu wazima wote.
==Tanbihi==
<references/>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya Wafalme wa Uswazi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]]
* [[Demografia ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Eswatini}}
* [https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/eswatini/ Eswatini] entry at [[World Fact Book]]
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm Swaziland] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm |date=20090521105240 }} from ''UCB Libraries GovPubs''
* {{dmoz|Regional/Africa/Swaziland}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14095303 Swaziland] from the [[BBC News]]
* [http://www.cbi.ac.sz/ Central Business Institute Swaziland] {{Wayback|url=http://www.cbi.ac.sz/ |date=20160109192630 }}
* [http://www.swazilive.com/ Swazi Live] Swaziland accommodation and business directory
* {{wikiatlas|Swaziland}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SZ Key Development Forecasts for Swaziland] from [[International Futures]]
* [http://www.gov.sz/ Government of Swaziland]
* [http://www.welcometoswaziland.com/ Swaziland Tourism Authority]
* [http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ Swaziland Internet Cafe directory] {{Wayback|url=http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ |date=20091202055106 }}
* [http://www.photostaud.com/africa/swaziland Photographs of Swaziland Wildlife – Hlane Royal National Park, Mkhaya Game Reserve]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Eswatini]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Madola]]
hzdlxslle09ipan4xqtydghqnkc1lnr
1240629
1240602
2022-08-08T08:41:13Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox country
|native_name = Umbuso weSwatini''<br />Kingdom of Eswatini
|conventional_long_name =
|common_name =Uswazi
|image_flag = Flag of Eswatini.svg
|image_coat = Coat of arms of Eswatini.svg
|image_map =LocationSwaziland.png
|national_motto = Siyinqaba<br />([[Kiswati]]: Sisi ni boma)
|national_anthem =''[[Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati]]''
|official_languages =[[Kiingereza]], [[Kiswati]]
|capital = <small>serikali</small>: [[Mbabane]]<br /><small>mfalme na bunge</small>: [[Lobamba]]
|latd=26 |latm=19 |latNS=S |longd=31 |longm=8|longEW=E
|largest_city = [[Mbabane]]
|government_type = Ufalme
|leader_titles = [[Orodha ya wafalme wa Uswazi|Mfalme]]
|leader_title2 = [[Ndlovukati]]
|leader_title3 = [[Orodha ya mawaziri wakuu wa Uswazi|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Mswati III wa Uswazi|Mswati III]]
|leader_name2 = [[Ntfombi Tfwala]]
|leader_name3 = [[Themba N. Masuku]]
|area_rank = ya 157
|area_magnitude = 1 E10
|area= 17,364
|areami²= 6,704<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water = 0.9
|population_estimate = 1,119,000
|population_estimate_rank = ya 154
|population_estimate_year = Julai 2015
|population_census = 1,018,449
|population_census_year = 2007
|Ethnic_groups = The majority of Swaziland's population is ethnically Swazi, mixed with a small number of Zulu and White Africans, mostly people of British and Afrikaner descent.
|Ethnic_groups_year =
|population_density = 68.2
|population_densitymi² = 176.8 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = 135
|GDP_PPP =$6.222 billion <!--CIA-->
|GDP_PPP_rank = ya 149
|GDP_PPP_year=2005
|GDP_PPP_per_capita = $5,500
|GDP_PPP_per_capita_rank =ya 127
|sovereignty_type =[[Uhuru]]
|established_events =kutoka [[Uingereza]]
|established_dates =[[6 Septemba]] [[1968]]
|HDI =0.498
|HDI_rank =ya 147
|HDI_year =2003
|HDI_category =<font color="#E0584E">low</font>
|currency =[[Lilangeni]]
|currency_code =SZL
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = + 2
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld =[[.sz]]
|calling_code =268
|footnotes =
}}
[[Picha:Wz-map.gif|thumb|left|220px|[[Ramani]] ya Eswatini.]]
'''Eswatini''' ([[jina]] rasmi tangu [[mwaka]] [[2018]] ni '''Umbuso weSwatini'''; [[kifupi]] cha [[Kiswati]]: '''eSwatini'''<ref>[http://www.bbc.com/news/world-africa-43821512 Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'], tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018</ref>; kwa [[Kiswahili]] pia: '''Uswazi'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Swaziland''') ni nchi ndogo ya [[Kusini mwa Afrika]] isiyo na [[pwani]] katika [[bahari]] yoyote.
Imepakana na [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]].
[[Mji mkuu]] ni [[Mbabane]].
==Historia==
{{main|Historia ya Eswatini}}
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]].
Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]].
[[Waswati]] walianzisha [[ufalme]] wao katikati ya [[karne ya 18]] chini ya [[Ngwane III]]; mipaka ya sasa ilikubalika mwaka [[1881]].
Baada ya [[vita]] kati ya [[Waingereza]] na [[Makaburu]], Swaziland ilukuwa [[nchi lindwa]] ya [[Uingereza]] tangu mwaka [[1903]] hadi [[1967]].
Chini ya [[mfalme]] [[Sobhuza II]] aliyetawala kwa muda mrefu sana ([[1921]]-[[1982]]), Swaziland ilipata [[uhuru]] [[tarehe]] [[6 Septemba]] [[1968]].
==Siasa==
Eswatini inatawaliwa tangu mwaka [[1986]] na [[mfalme]] [[Mswati III]]. Mfalme anapingwa mara nyingi kwa sababu anatumia [[pesa]] nyingi kwa ajili yake binafsi ilhali wananchi ni [[maskini]] sana. Kwa muda mwingi wa [[uhuru]] wa nchi [[katiba]] imesimamishwa, na mfalme ametawala peke yake.
==Watu==
[[File:A Swati Woman Dancing.jpg|thumb|righgt|Mwanamke kutoka Eswatini akicheza.]]
Wakazi wengi ni wa [[kabila]] la [[Waswati]] na kuongea [[lugha]] ya [[Kiswati]] ambacho ni [[lugha rasmi]] pamoja na [[Kiingereza]]. Shuleni kinafundishwa pia [[Kireno]].
Upande wa [[dini]], 89.3% ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waprotestanti]], lakini pia [[Wakatoliki]] (5%). Wanaoendelea kufuata [[dini asilia za Kiafrika]] ni 0.5% na [[Waislamu]] ni 1%.
==Afya==
Eswatini ni kati ya nchi [[duniani]] zilizoathiriwa zaidi na [[Ukimwi]]; [[umri]] wa [[wastani]] unafikia miaka 22 pekee kwa sababu ya [[Kifo|vifo]] vingi (64%) vinavyotokana na [[ugonjwa]] huo uliopata 26% ya watu wazima wote.
==Tanbihi==
<references/>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya Wafalme wa Uswazi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]]
* [[Demografia ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Eswatini}}
* [https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/eswatini/ Eswatini] entry at [[World Fact Book]]
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm Swaziland] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm |date=20090521105240 }} from ''UCB Libraries GovPubs''
* {{dmoz|Regional/Africa/Swaziland}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14095303 Swaziland] from the [[BBC News]]
* [http://www.cbi.ac.sz/ Central Business Institute Swaziland] {{Wayback|url=http://www.cbi.ac.sz/ |date=20160109192630 }}
* [http://www.swazilive.com/ Swazi Live] Swaziland accommodation and business directory
* {{wikiatlas|Swaziland}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SZ Key Development Forecasts for Swaziland] from [[International Futures]]
* [http://www.gov.sz/ Government of Swaziland]
* [http://www.welcometoswaziland.com/ Swaziland Tourism Authority]
* [http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ Swaziland Internet Cafe directory] {{Wayback|url=http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ |date=20091202055106 }}
* [http://www.photostaud.com/africa/swaziland Photographs of Swaziland Wildlife – Hlane Royal National Park, Mkhaya Game Reserve]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Eswatini]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Madola]]
kgdmw7a8sgu255le2d42wb1hwmu2qz6
1240637
1240629
2022-08-08T08:54:40Z
Bestoernesto
23840
/* Viungo vya nje */ Lot of Errors 500 - Internal server error / Last revised: 10/01/09
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox country
|native_name = Umbuso weSwatini''<br />Kingdom of Eswatini
|conventional_long_name =
|common_name =Uswazi
|image_flag = Flag of Eswatini.svg
|image_coat = Coat of arms of Eswatini.svg
|image_map =LocationSwaziland.png
|national_motto = Siyinqaba<br />([[Kiswati]]: Sisi ni boma)
|national_anthem =''[[Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati]]''
|official_languages =[[Kiingereza]], [[Kiswati]]
|capital = <small>serikali</small>: [[Mbabane]]<br /><small>mfalme na bunge</small>: [[Lobamba]]
|latd=26 |latm=19 |latNS=S |longd=31 |longm=8|longEW=E
|largest_city = [[Mbabane]]
|government_type = Ufalme
|leader_titles = [[Orodha ya wafalme wa Uswazi|Mfalme]]
|leader_title2 = [[Ndlovukati]]
|leader_title3 = [[Orodha ya mawaziri wakuu wa Uswazi|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Mswati III wa Uswazi|Mswati III]]
|leader_name2 = [[Ntfombi Tfwala]]
|leader_name3 = [[Themba N. Masuku]]
|area_rank = ya 157
|area_magnitude = 1 E10
|area= 17,364
|areami²= 6,704<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water = 0.9
|population_estimate = 1,119,000
|population_estimate_rank = ya 154
|population_estimate_year = Julai 2015
|population_census = 1,018,449
|population_census_year = 2007
|Ethnic_groups = The majority of Swaziland's population is ethnically Swazi, mixed with a small number of Zulu and White Africans, mostly people of British and Afrikaner descent.
|Ethnic_groups_year =
|population_density = 68.2
|population_densitymi² = 176.8 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = 135
|GDP_PPP =$6.222 billion <!--CIA-->
|GDP_PPP_rank = ya 149
|GDP_PPP_year=2005
|GDP_PPP_per_capita = $5,500
|GDP_PPP_per_capita_rank =ya 127
|sovereignty_type =[[Uhuru]]
|established_events =kutoka [[Uingereza]]
|established_dates =[[6 Septemba]] [[1968]]
|HDI =0.498
|HDI_rank =ya 147
|HDI_year =2003
|HDI_category =<font color="#E0584E">low</font>
|currency =[[Lilangeni]]
|currency_code =SZL
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = + 2
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld =[[.sz]]
|calling_code =268
|footnotes =
}}
[[Picha:Wz-map.gif|thumb|left|220px|[[Ramani]] ya Eswatini.]]
'''Eswatini''' ([[jina]] rasmi tangu [[mwaka]] [[2018]] ni '''Umbuso weSwatini'''; [[kifupi]] cha [[Kiswati]]: '''eSwatini'''<ref>[http://www.bbc.com/news/world-africa-43821512 Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'], tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018</ref>; kwa [[Kiswahili]] pia: '''Uswazi'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Swaziland''') ni nchi ndogo ya [[Kusini mwa Afrika]] isiyo na [[pwani]] katika [[bahari]] yoyote.
Imepakana na [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]].
[[Mji mkuu]] ni [[Mbabane]].
==Historia==
{{main|Historia ya Eswatini}}
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]].
Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]].
[[Waswati]] walianzisha [[ufalme]] wao katikati ya [[karne ya 18]] chini ya [[Ngwane III]]; mipaka ya sasa ilikubalika mwaka [[1881]].
Baada ya [[vita]] kati ya [[Waingereza]] na [[Makaburu]], Swaziland ilukuwa [[nchi lindwa]] ya [[Uingereza]] tangu mwaka [[1903]] hadi [[1967]].
Chini ya [[mfalme]] [[Sobhuza II]] aliyetawala kwa muda mrefu sana ([[1921]]-[[1982]]), Swaziland ilipata [[uhuru]] [[tarehe]] [[6 Septemba]] [[1968]].
==Siasa==
Eswatini inatawaliwa tangu mwaka [[1986]] na [[mfalme]] [[Mswati III]]. Mfalme anapingwa mara nyingi kwa sababu anatumia [[pesa]] nyingi kwa ajili yake binafsi ilhali wananchi ni [[maskini]] sana. Kwa muda mwingi wa [[uhuru]] wa nchi [[katiba]] imesimamishwa, na mfalme ametawala peke yake.
==Watu==
[[File:A Swati Woman Dancing.jpg|thumb|righgt|Mwanamke kutoka Eswatini akicheza.]]
Wakazi wengi ni wa [[kabila]] la [[Waswati]] na kuongea [[lugha]] ya [[Kiswati]] ambacho ni [[lugha rasmi]] pamoja na [[Kiingereza]]. Shuleni kinafundishwa pia [[Kireno]].
Upande wa [[dini]], 89.3% ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waprotestanti]], lakini pia [[Wakatoliki]] (5%). Wanaoendelea kufuata [[dini asilia za Kiafrika]] ni 0.5% na [[Waislamu]] ni 1%.
==Afya==
Eswatini ni kati ya nchi [[duniani]] zilizoathiriwa zaidi na [[Ukimwi]]; [[umri]] wa [[wastani]] unafikia miaka 22 pekee kwa sababu ya [[Kifo|vifo]] vingi (64%) vinavyotokana na [[ugonjwa]] huo uliopata 26% ya watu wazima wote.
==Tanbihi==
<references/>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya Wafalme wa Uswazi]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]]
* [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]]
* [[Demografia ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Eswatini}}
* [https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/eswatini/ Eswatini] entry at [[World Fact Book]]
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm Swaziland] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/swaziland.htm |date=20090521105240 }} from ''UCB Libraries GovPubs''
* {{dmoz|Regional/Africa/Swaziland}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14095303 Swaziland] from the [[BBC News]]
* [http://www.cbi.ac.sz/ Central Business Institute Swaziland] {{Wayback|url=http://www.cbi.ac.sz/ |date=20160109192630 }}
* {{wikiatlas|Swaziland}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SZ Key Development Forecasts for Swaziland] from [[International Futures]]
* [http://www.gov.sz/ Government of Swaziland]
* [http://www.welcometoswaziland.com/ Swaziland Tourism Authority]
* [http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ Swaziland Internet Cafe directory] {{Wayback|url=http://internetcafedirectory.co.za/component/option,com_mtree/task,listcats/cat_id,52/Itemid,26/ |date=20091202055106 }}
* [http://www.photostaud.com/africa/swaziland Photographs of Swaziland Wildlife – Hlane Royal National Park, Mkhaya Game Reserve]
{{Afrika}}
{{African Union}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Eswatini]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Madola]]
ruwbcs0jblwi2nq7db19p89tcz8crwt
Mbabane
0
3509
1240612
1179632
2022-08-08T08:16:34Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: Mbabane.jpg|thumb|Mbabane ni mji mkuu wa Eswatini]]
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Jiji la Mbabane
|picha_ya_satelite =
|settlement_type = Jiji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Eswatini]]
|subdivision_type1 =
|subdivision_name1 =
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla =
|website =
}}
[[Picha:SwazilandKaart.png|300px|right]]
'''Mbabane''' ni [[mji mkuu]] wa [[Eswatini]] ikiwa na wakazi 70,000 (2003). [[Ofisi]] za [[serikali]] ziko huko lakini [[bunge]] na [[jumba]] la [[mfalme]] yako mjini [[Lobamba]].
[[Mji]] uko kwenye [[milima]] ya [[Mdimba]] kwenye [[kimo]] cha [[mita]] 1200 juu ya [[UB]].
== Historia ==
Mji ulianzishwa na [[Waingereza]] [[mwaka]] [[1902]] [[BK]] baada ya [[vita]] dhidi ya [[makaburu]] ukawa [[makao makuu]] ya kiutawala ya eneo la Uswazi.
[[Jina]] limetokana na [[chifu]] [[Mbabane Kunene]] aliyekuwa mkuu wa sehemu ile wakati wa kuunda mji.
== Uchumi ==
Nguvu ya kiuchumi ya Mbabane ni [[migodi]] ya karibu ya [[bati]] na [[dhahabu]].
== Viungo vya nje==
* [http://www.swazi.com/mbabane2000/ Maelezo kuhusu Mbabane (Kiing.)] {{Wayback|url=http://www.swazi.com/mbabane2000/ |date=20060614090521 }}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji Mikuu Afrika]]
[[Jamii:Miji ya Eswatini]]
[[Jamii:Mbabane| ]]
87dqgovshheyupx7rzlg944yjs2xse4
Afrika ya Kusini
0
3688
1240615
1048059
2022-08-08T08:21:51Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Africa-countries-southern.png|thumb|Nchi za Afrika ya Kusini]]
'''Afrika ya Kusini''' ni ukanda ulioko kusini mwa bara la [[Afrika]].
Katika hesabu ya [[UM]] nchi 5 zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za ukanda huo:
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Botswana.svg|left|30px]] [[Botswana]]
| [[Gaborone]]
|-
| [[Picha:Flag of Eswatini.svg|left|30px]] [[Eswatini]]
| [[Mbabane]]
|-
| [[Picha:Flag of Lesotho.svg|left|30px]] [[Lesotho]]
| [[Maseru]]
|-
| [[Picha:Flag of Namibia.svg|left|30px]] [[Namibia]]
| [[Windhoek]]
|-
| [[Picha:Flag of South Africa.svg|left|30px]] [[Afrika Kusini]]
| [[Bloemfontein]], [[Cape Town]], [[Pretoria]]
|}
Mara nyingi nchi zifuatazo zinatajwa pia kuwa nchi za Afrika ya Kusini:
* [[Angola]] – wakati mwingine kanda la [[Afrika ya Kati]] katika orodha ya [[UM]].
* [[Msumbiji]] na [[Madagaska]] – menginevyo kanda la [[Afrika ya Mashariki]] katika orodha ya UM.
* [[Malawi]], [[Zambia]] na [[Zimbabwe]] – wakati mwingine zinehesabiwa kuwa sehemu ya [[Afrika ya Kusini]] au ya [[Afrika ya Mashariki]] - (zamani zilikuwa pamoja kama [[Rhodesia ya Kusini]], [[Rhodesia ya Kaskazini]] na [[Unyasa]] katika [[Shirikisho la Afrika ya Kati]])
* [[Komori]], [[Morisi]], [[Shelisheli]], [[Mayotte]] na [[Réunion]] ni visiwa vidogo vya [[Bahari Hindi]] vinavyohesabiwa kuwa sehemu za [[Afrika ya Mashariki]].
[[Jamii:Afrika]]
f7vj5nwt4eral0j82vb49qzlbn3z8n3
Twiga
0
4025
1240376
1197943
2022-08-07T20:01:15Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Twiga
| picha = Giraffe standing.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Twiga kusi
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wanaonyonyesha watoto wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Mamalia wanaokanyaga kwa kwato mbili-mbili)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Giraffidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[twiga]])</small>
| jenasi = ''[[Giraffa]]'' <small>(Twiga)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Morten Thrane Brünnich|Brünnich]], 1771
| subdivision = '''Spishi 11:'''
* ''[[Giraffa camelopardalis|G. camelopardalis]]''
** ''[[Giraffa camelopardalis antiquorum|G. c. antiquorum]]''
** ''[[Giraffa camelopardalis camelopardalis|G. c. camelopardalis]]''
** ''[[Giraffa camelopardalis peralta|G. c. peralta]]''
* ''[[Giraffa giraffa|G. giraffa]]''
** ''[[Giraffa giraffa angolensis|G. g. angolensis]]''
** ''[[Giraffa giraffa giraffa|G. g. giraffa]]''
* †''[[Giraffa gracilis|G. gracilis]]''
* †''[[Giraffa jumae|G. jumae]]''
* †''[[Giraffa priscilla|G. priscilla]]''
* †''[[Giraffa punjabiensis|G. punjabiensis]]''
* †''[[Giraffa pygmaea|G. pygmaea]]''
* ''[[Giraffa reticulata|G. reticulata]]''
* †''[[Giraffa sivalensis|G. sivalensis]]''
* †''[[Giraffa stillei|G. stillei]]''
* ''[[Giraffa tippelskirchi|G. tippelskirchi]]''
** ''[[Giraffa tippelskirchi tippelskirchi|G. t. tippelskirchi]]''
** ''[[Giraffa tippelskirchi thornicrofti|G. t. thornicrofti]]''
}}
'''Twiga''' ni [[jenasi]] ya [[mnyama|wanyama]] ya [[Afrika]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Giraffidae]]. [[Spishi]] hizi ni [[mamalia]] wenye [[kwato shufwa]] na [[shingo]] ndefu kuliko ile ya wanyama wote wa nchi kavu. [[Mwili]] wao umepambwa kwa madoa yasiyo na [[umbo]] maalumu, yenye [[rangi]] ya njano mabaka meusi na kutenganishwa na rangi nyeupe, au rangi ya manjano-kahawia.
Twiga wana uhusiano na [[tandala]] na [[ng’ombe]], lakini wanawekwa kwenye [[familia]] yao pamoja na ndugu wao wa karibu [[okapi]]. Wanapatikana hasa kuanzia [[Nijeri]] mpaka [[Afrika Kusini]].
Twiga huishi hasa maeneo ya [[savanna]] na [[nyika]]. Hata hivyo wakati [[chakula]] kinapokuwa adimu, hupendelea maeneo yenye [[mti|miti]] mingi, [[mgunga|migunga]] na [[kikwata|vikwata]] hasa. Hunywa [[maji]] mengi sana wakati yanapopatikana ili kukabili [[ukame]] ukija.
== Mabadiliko ya zamani ==
Twiga ni spishi nne katika familia ya Giraffidae pamoja na okapi. Familia hii hapo awali ilikuwa na wanyama wengi kiasi. Twiga huaminika kuwa walitokana na [[swala]] aliyekuwa na urefu wa futi 3 tu, mnamo miaka [[milioni]] 30–50 iliyopita.
Kutokea kwa [[shingo]] ndefu ya twiga kumezua mjadala mkubwa sana. [[Hadithi]] iliyozoeleka ni kwamba ilikuwa ni kutokana na juhudi za twiga kuyafikia [[tawi|matawi]] ya juu ya [[miti]] wakati wa ushindani wa chakula na wanyama wenzie walao majani.
Kuna [[nadharia]] nyingine isemayo kuwa twiga dume ndio waliokuwa na shingo ndefu kuleta tofauti na jike, na kuweza kufikia majani ya juu ili kupata chakula, kukua kwa shingo zao kulikuwa tu ni kama ukuaji wa pilic baada ya [[balehe]]. Hata hivyo, nadharia hii ya pili haikubaliki sana na kulingana na tafiti za hivi karibuni, imeonyesha udhaifu mkubwa na kubakiza nadharia ile ya kuanza peke yake.
Hata madoa ya twiga yanaaminika kuwa hapo awali yalikuwa ni ya rangi angavu juu ya mwili wa [[ngozi]] nyeusi. Madoa hayo taratibu yaliendelea kuwa ya muundo wa [[nyota]] na [[maua]], leo hii yamekuwa hayana umbo maalumu.
== Pembe ==
[[Picha:Giraffe08 - melbourne zoo edit.jpg|thumb|200px|Twiga katika zoo]]
[[Picha:Giraffes IMG 9614.JPG|thumb|200px|Twiga mama na mtoto]]
[[Picha:Giraffa camelopardalis angolensis (mating).jpg|thumb|200px|Twiga wakijamiiana]]
Jinsia zote wana pembe, japo pembe za twiga jike ni ndogo. Na kwa pembe hizi unaweza ukatambua jinsia ya twiga kwa urahisi, kwa sababu twiga jike wana nywele juu ya nundu za pembe zao, huku pembe za twiga dume zikiwa na vipara tu. Twiga dume wakati mwingine huwa na mkusanyiko wa kalsiamu kwenye fuvu zao za kichwa, ambao (mkusanyiko) hukua kadiri wanavyoongezeka umri, na kuwa kama nundu nyingine na kufanya jumla ya nundu kuwa tatu.
== Shingo ==
Twiga wana shingo ndefu wanaoitumia kula majani ya miti mirefu kabisa. Twiga wana pingili saba za mifupa ya shingoni, kama wanyama wengine, japo baadhi ya wataalamu wanadai zipo nane zaidi, mifupa hiyo ina maungio.
== Miguu na miondoko ==
Twiga wana miguu mirefu sana, kwa kadiri ya 10% zaidi ya miguu ya nyumbu. Mwendo wa twiga ni wa maringo, lakini akiwa anafukuzwa hukimbia sana, mpaka kufikia mwendokasi wa km. 55 kwa saa. Twiga ni kazi kuwindwa, na ni hatari. Wanapendwa hujihami kwa teke la nguvu. Teke la twiga mkubwa ni laweza kupasua fuvu la kichwa cha simba au hata kuvunja uti wa mgongo. Simba pekee ndio wanyama wanaoweza kuwa tishio kwa twiga.
== Mfumo wa mzunguko wa damu ==
Moyo wa twiga una uzito wa kg. 10 na una urefu wa sm. 60, na hutakiwa kuzalisha mgandamizo wa damu mara mbili zaidi ukilinganisha na wanyama wa kawaida, ili kusaidia kusukuma damu mpaka kwenye ubongo, kichwani. Karibu na shingo kuna mfumo wa damu tata, unaomida damu nyingi isiende kwenye ubongo wakati twiga anapoinamisha kichwa chake pia.
== Tabia ==
Twiga jike hujikusanya pamoja kwenye makundi ambao wakati mwingine hujumuisha twiga dume wadogo. Twiga dume wadogo hao hupenda kujiunga na dume wakubwa. Utafiti wa mwaka 1920 ulithibitisha kuwa twiga hawachangamani na twiga wasio wa kundi moja. Pia pindi dume atakapo kumpanda jike, basi huchagua yeyote aliye katika kipindi cha joto, kwenye kundi lolote. Twiga dume hutambua twiga jike walio katika kipindi cha joto kwa kuonja ladha ya mikojo yao. Twiga huchangamana vizuri na wanyama wengine wala nyasi. Kuwa pamoja na twiga hawa ni faida kubwa, kwa sababu urefu wao husaidia hata kuona adui wakiwa tangu mbali.
== Uzazi ==
Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.
== Kushindana/kupigana kwa shingo ==
[[Picha:Two male giraffes are necking in San Francisco Zoo 4.jpg|thumb|200px|Twiga mapiganoni]]
Kitendo hiki cha twiga kufanywa kwa madhumuni mbali mbali lengo mojawapo ni kupigana vita, vita vinaweza kuwa kubwa kwelikweli. Kadiri shingo inavyokuwa ndefu, ndipo kichwa napo kinapokuwa kikubwa zaidi, na nguvu ya kupigana huwa kubwa vile vile. Na imeonekana twiga dume wanaofanikiwa kupata jike wa kujamiiana ni wale twiga dume waliofanikiwa kushinda kwenye vita. Ndiyo maana husikika kuwa, shingo ndefu imetokana na ushindani wa kijinsia, lakini mara nyingine twiga, husuguana tu shingo zao kwa kujipatia raha/ashki ya kimapenzi. Tena ajabu, twiga dume, wao kwa wao ndio hushiriki zaidi zoezi hili hasa nyakati za upweke. Mhemko wakati wa shughuli hii unaweza kuwa mkubwa mpaka kufikia kileleni.
== Kulala ==
Twiga ni miongoni mwa mamalia wanaolala kwa muda kidogo kuliko wote, na hulala kwa wastani wa dakika kumi mpaka saa 2 katika masaa 24 ya siku moja na kuwa na wastani wa saa 1. za kulala kwa siku.
== Chakula ==
[[Picha:Giraffe feeding, Tanzania.jpg|thumb|200px|Twiga anayekula]]
Twiga hula majani ya miti, na pia hula nyasi nyingi na matunda. Ulimi wake ni mgumu sababu mlo wa twiga huhusisha miiba pia. Twiga anaweza kula mpaka kilo 29 za majani kwa siku, lakini anaweza hata kustahimili kwa kilo 6.8 tu za nyasi. Twiga hula kidogo sana kwa sababu hupata chakula chenye virutubisho vingi sana na pia mfumo wake wa mmeng’enyo wa chakula ni wa uhakika sana. Twiga pia huweza kukaa kwa vipindi virefu bila kunywa maji. Ulimi wa twiga una urefu wa takribani sentimeta 45.
==Spishi==
* ''Giraffa camelopardalis'', [[Twiga Kaskazi]] ([[w:Northern giraffe|Northern giraffe]])
** ''Giraffa c. antiquorum'', [[Twiga wa Kordofani]] ([[w:Kordofan giraffe|Kordofan giraffe]])
** ''Giraffa c. camelopardalis'', [[Twiga Nubi]] ([[w:Nubian giraffe|Nubian giraffe]])
** ''Giraffa c. peralta'', [[Twiga Magharibi]] ([[w:West African giraffe|West African giraffe]])
* ''Giraffa giraffa'', [[Twiga Kusi]] ([[w:Southern giraffe|Southern giraffe]])
** ''Giraffa g. angolensis'', [[Twiga wa Angola]] ([[w:Angolan giraffe|Angolan giraffe]])
** ''Giraffa g. giraffa'', [[Twiga wa Afrika Kusini]] ([[w:South African giraffe|South African giraffe]])
* ''Giraffa reticulata'', [[Twiga Somali]] ([[w:Reticulated giraffe|Reticulated giraffe]])
* ''Giraffa tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. thornicrofti'', [[Twiga wa Luangwa]] ([[w:Luangwa giraffe|Luangwa giraffe]])
@''G. c. rothschildi'' amechukuliwa kuwa sawa na ''G. c. camelopardalis'' siku hizi.
==Spishi za kabla ya historia==
* ''Giraffa gracilis''
* ''Giraffa jumae''
* ''Giraffa priscilla''
* ''Giraffa punjabiensis''
* ''Giraffa pygmaea''
* ''Giraffa sivalensis''
* ''Giraffa stillei''
==Picha==
<gallery>
Giraffa camelopardalis antiquorum (Vincennes Zoo) 2.jpg|Twiga kaskazi
File:Nyerere National Park (156).jpg|thumb|Mkia wa Twiga
Giraffe Ithala KZN South Africa Luca Galuzzi 2004.JPG|Twiga kusi
Two Giraffes.PNG|Twiga Somali
MasaiGiraffe2.jpg|Twiga Masai
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Kundi la Twiga [[Hifadhi ya Serengeti]]
File:Gtall.jpg|thumb|Muonekano wa Twiga kwa Nyuma
File:Nyerere National Park (74).jpg|thumb|Twiga Hifadhi ya Nyerere Tanzania
</gallery>
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Twiga katika kundi
== Marejeo ==
{{reflist|30em}}
{{Artiodactyla|R.}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
3aoidaxnyazs1rlp5e8ng3acn63agyu
1240395
1240376
2022-08-07T20:41:18Z
ChriKo
35
Nyongeza mabingwa wa spishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Twiga
| picha = Giraffe standing.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Twiga kusi
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wanaonyonyesha watoto wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Mamalia wanaokanyaga kwa kwato mbili-mbili)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Giraffidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[twiga]])</small>
| jenasi = ''[[Giraffa]]'' <small>(Twiga)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1762
| subdivision = '''Spishi 11, nususpishi 7:'''
* ''[[Giraffa camelopardalis|G. camelopardalis]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis antiquorum|G. c. antiquorum]]'' <small>[[William John Swainson|Swainson]], 1835</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis camelopardalis|G. c. camelopardalis]]'' <small>(Linnaeus, 1758)</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis peralta|G. c. peralta]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1898</small>
* ''[[Giraffa giraffa|G. giraffa]]'' <small>([[Johann Christian Daniel von Schreber|Schreber]], 1784)</small>
** ''[[Giraffa giraffa angolensis|G. g. angolensis]]'' <small>([[Richard Lydekker|Lydekker]], 1903)</small>
** ''[[Giraffa giraffa giraffa|G. g. giraffa]]'' <small>(Schreber, 1784)</small>
* †''[[Giraffa gracilis|G. gracilis]]''
* †''[[Giraffa jumae|G. jumae]]'' <small>[[Louis Seymour Bazett Leakey|Leakey]], 1965</small>
* †''[[Giraffa priscilla|G. priscilla]]'' <small>[[Guy Ellcock Pilgrim|Pilgrim]], 1911</small>
* †''[[Giraffa punjabiensis|G. punjabiensis]]''
* †''[[Giraffa pygmaea|G. pygmaea]]'' <small>[[John M. Harris|Harris]], 1976</small>
* ''[[Giraffa reticulata|G. reticulata]]'' <small>[[William Edward de Winton|De Winton]], 1889</small>
* †''[[Giraffa sivalensis|G. sivalensis]]'' <small>[[Hugh Falconer|Falconer]] & [[Proby Thomas Cautley|Cautley]], 1843</small>
* †''[[Giraffa stillei|G. stillei]]'' <small>[[Camille Louis Joseph Arambourg|Arambourg]], 1947</small>
* ''[[Giraffa tippelskirchi|G. tippelskirchi]]'' <small>[[Georg Friedrich Paul Matschie|Matschie]], 1898</small>
** ''[[Giraffa tippelskirchi tippelskirchi|G. t. tippelskirchi]]'' <small>Matschie, 1898</small>
** ''[[Giraffa tippelskirchi thornicrofti|G. t. thornicrofti]]'' <small>(Lydekker, 1911)</small>
}}
'''Twiga''' ni [[jenasi]] ya [[mnyama|wanyama]] ya [[Afrika]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Giraffidae]]. [[Spishi]] hizi ni [[mamalia]] wenye [[kwato shufwa]] na [[shingo]] ndefu kuliko ile ya wanyama wote wa nchi kavu. [[Mwili]] wao umepambwa kwa madoa yasiyo na [[umbo]] maalumu, yenye [[rangi]] ya njano mabaka meusi na kutenganishwa na rangi nyeupe, au rangi ya manjano-kahawia.
Twiga wana uhusiano na [[tandala]] na [[ng’ombe]], lakini wanawekwa kwenye [[familia]] yao pamoja na ndugu wao wa karibu [[okapi]]. Wanapatikana hasa kuanzia [[Nijeri]] mpaka [[Afrika Kusini]].
Twiga huishi hasa maeneo ya [[savanna]] na [[nyika]]. Hata hivyo wakati [[chakula]] kinapokuwa adimu, hupendelea maeneo yenye [[mti|miti]] mingi, [[mgunga|migunga]] na [[kikwata|vikwata]] hasa. Hunywa [[maji]] mengi sana wakati yanapopatikana ili kukabili [[ukame]] ukija.
== Mabadiliko ya zamani ==
Twiga ni spishi nne katika familia ya Giraffidae pamoja na okapi. Familia hii hapo awali ilikuwa na wanyama wengi kiasi. Twiga huaminika kuwa walitokana na [[swala]] aliyekuwa na urefu wa futi 3 tu, mnamo miaka [[milioni]] 30–50 iliyopita.
Kutokea kwa [[shingo]] ndefu ya twiga kumezua mjadala mkubwa sana. [[Hadithi]] iliyozoeleka ni kwamba ilikuwa ni kutokana na juhudi za twiga kuyafikia [[tawi|matawi]] ya juu ya [[miti]] wakati wa ushindani wa chakula na wanyama wenzie walao majani.
Kuna [[nadharia]] nyingine isemayo kuwa twiga dume ndio waliokuwa na shingo ndefu kuleta tofauti na jike, na kuweza kufikia majani ya juu ili kupata chakula, kukua kwa shingo zao kulikuwa tu ni kama ukuaji wa pilic baada ya [[balehe]]. Hata hivyo, nadharia hii ya pili haikubaliki sana na kulingana na tafiti za hivi karibuni, imeonyesha udhaifu mkubwa na kubakiza nadharia ile ya kuanza peke yake.
Hata madoa ya twiga yanaaminika kuwa hapo awali yalikuwa ni ya rangi angavu juu ya mwili wa [[ngozi]] nyeusi. Madoa hayo taratibu yaliendelea kuwa ya muundo wa [[nyota]] na [[maua]], leo hii yamekuwa hayana umbo maalumu.
== Pembe ==
[[Picha:Giraffe08 - melbourne zoo edit.jpg|thumb|200px|Twiga katika zoo]]
[[Picha:Giraffes IMG 9614.JPG|thumb|200px|Twiga mama na mtoto]]
[[Picha:Giraffa camelopardalis angolensis (mating).jpg|thumb|200px|Twiga wakijamiiana]]
Jinsia zote wana pembe, japo pembe za twiga jike ni ndogo. Na kwa pembe hizi unaweza ukatambua jinsia ya twiga kwa urahisi, kwa sababu twiga jike wana nywele juu ya nundu za pembe zao, huku pembe za twiga dume zikiwa na vipara tu. Twiga dume wakati mwingine huwa na mkusanyiko wa kalsiamu kwenye fuvu zao za kichwa, ambao (mkusanyiko) hukua kadiri wanavyoongezeka umri, na kuwa kama nundu nyingine na kufanya jumla ya nundu kuwa tatu.
== Shingo ==
Twiga wana shingo ndefu wanaoitumia kula majani ya miti mirefu kabisa. Twiga wana pingili saba za mifupa ya shingoni, kama wanyama wengine, japo baadhi ya wataalamu wanadai zipo nane zaidi, mifupa hiyo ina maungio.
== Miguu na miondoko ==
Twiga wana miguu mirefu sana, kwa kadiri ya 10% zaidi ya miguu ya nyumbu. Mwendo wa twiga ni wa maringo, lakini akiwa anafukuzwa hukimbia sana, mpaka kufikia mwendokasi wa km. 55 kwa saa. Twiga ni kazi kuwindwa, na ni hatari. Wanapendwa hujihami kwa teke la nguvu. Teke la twiga mkubwa ni laweza kupasua fuvu la kichwa cha simba au hata kuvunja uti wa mgongo. Simba pekee ndio wanyama wanaoweza kuwa tishio kwa twiga.
== Mfumo wa mzunguko wa damu ==
Moyo wa twiga una uzito wa kg. 10 na una urefu wa sm. 60, na hutakiwa kuzalisha mgandamizo wa damu mara mbili zaidi ukilinganisha na wanyama wa kawaida, ili kusaidia kusukuma damu mpaka kwenye ubongo, kichwani. Karibu na shingo kuna mfumo wa damu tata, unaomida damu nyingi isiende kwenye ubongo wakati twiga anapoinamisha kichwa chake pia.
== Tabia ==
Twiga jike hujikusanya pamoja kwenye makundi ambao wakati mwingine hujumuisha twiga dume wadogo. Twiga dume wadogo hao hupenda kujiunga na dume wakubwa. Utafiti wa mwaka 1920 ulithibitisha kuwa twiga hawachangamani na twiga wasio wa kundi moja. Pia pindi dume atakapo kumpanda jike, basi huchagua yeyote aliye katika kipindi cha joto, kwenye kundi lolote. Twiga dume hutambua twiga jike walio katika kipindi cha joto kwa kuonja ladha ya mikojo yao. Twiga huchangamana vizuri na wanyama wengine wala nyasi. Kuwa pamoja na twiga hawa ni faida kubwa, kwa sababu urefu wao husaidia hata kuona adui wakiwa tangu mbali.
== Uzazi ==
Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.
== Kushindana/kupigana kwa shingo ==
[[Picha:Two male giraffes are necking in San Francisco Zoo 4.jpg|thumb|200px|Twiga mapiganoni]]
Kitendo hiki cha twiga kufanywa kwa madhumuni mbali mbali lengo mojawapo ni kupigana vita, vita vinaweza kuwa kubwa kwelikweli. Kadiri shingo inavyokuwa ndefu, ndipo kichwa napo kinapokuwa kikubwa zaidi, na nguvu ya kupigana huwa kubwa vile vile. Na imeonekana twiga dume wanaofanikiwa kupata jike wa kujamiiana ni wale twiga dume waliofanikiwa kushinda kwenye vita. Ndiyo maana husikika kuwa, shingo ndefu imetokana na ushindani wa kijinsia, lakini mara nyingine twiga, husuguana tu shingo zao kwa kujipatia raha/ashki ya kimapenzi. Tena ajabu, twiga dume, wao kwa wao ndio hushiriki zaidi zoezi hili hasa nyakati za upweke. Mhemko wakati wa shughuli hii unaweza kuwa mkubwa mpaka kufikia kileleni.
== Kulala ==
Twiga ni miongoni mwa mamalia wanaolala kwa muda kidogo kuliko wote, na hulala kwa wastani wa dakika kumi mpaka saa 2 katika masaa 24 ya siku moja na kuwa na wastani wa saa 1. za kulala kwa siku.
== Chakula ==
[[Picha:Giraffe feeding, Tanzania.jpg|thumb|200px|Twiga anayekula]]
Twiga hula majani ya miti, na pia hula nyasi nyingi na matunda. Ulimi wake ni mgumu sababu mlo wa twiga huhusisha miiba pia. Twiga anaweza kula mpaka kilo 29 za majani kwa siku, lakini anaweza hata kustahimili kwa kilo 6.8 tu za nyasi. Twiga hula kidogo sana kwa sababu hupata chakula chenye virutubisho vingi sana na pia mfumo wake wa mmeng’enyo wa chakula ni wa uhakika sana. Twiga pia huweza kukaa kwa vipindi virefu bila kunywa maji. Ulimi wa twiga una urefu wa takribani sentimeta 45.
==Spishi==
* ''Giraffa camelopardalis'', [[Twiga Kaskazi]] ([[w:Northern giraffe|Northern giraffe]])
** ''Giraffa c. antiquorum'', [[Twiga wa Kordofani]] ([[w:Kordofan giraffe|Kordofan giraffe]])
** ''Giraffa c. camelopardalis'', [[Twiga Nubi]] ([[w:Nubian giraffe|Nubian giraffe]])
** ''Giraffa c. peralta'', [[Twiga Magharibi]] ([[w:West African giraffe|West African giraffe]])
* ''Giraffa giraffa'', [[Twiga Kusi]] ([[w:Southern giraffe|Southern giraffe]])
** ''Giraffa g. angolensis'', [[Twiga wa Angola]] ([[w:Angolan giraffe|Angolan giraffe]])
** ''Giraffa g. giraffa'', [[Twiga wa Afrika Kusini]] ([[w:South African giraffe|South African giraffe]])
* ''Giraffa reticulata'', [[Twiga Somali]] ([[w:Reticulated giraffe|Reticulated giraffe]])
* ''Giraffa tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. thornicrofti'', [[Twiga wa Luangwa]] ([[w:Luangwa giraffe|Luangwa giraffe]])
@''G. c. rothschildi'' amechukuliwa kuwa sawa na ''G. c. camelopardalis'' siku hizi.
==Spishi za kabla ya historia==
* ''Giraffa gracilis''
* ''Giraffa jumae''
* ''Giraffa priscilla''
* ''Giraffa punjabiensis''
* ''Giraffa pygmaea''
* ''Giraffa sivalensis''
* ''Giraffa stillei''
==Picha==
<gallery>
Giraffa camelopardalis antiquorum (Vincennes Zoo) 2.jpg|Twiga kaskazi
File:Nyerere National Park (156).jpg|thumb|Mkia wa Twiga
Giraffe Ithala KZN South Africa Luca Galuzzi 2004.JPG|Twiga kusi
Two Giraffes.PNG|Twiga Somali
MasaiGiraffe2.jpg|Twiga Masai
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Kundi la Twiga [[Hifadhi ya Serengeti]]
File:Gtall.jpg|thumb|Muonekano wa Twiga kwa Nyuma
File:Nyerere National Park (74).jpg|thumb|Twiga Hifadhi ya Nyerere Tanzania
</gallery>
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Twiga katika kundi
== Marejeo ==
{{reflist|30em}}
{{Artiodactyla|R.}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
1dnx9c9ilgymqy7dj26okh5pq7375kp
13 Februari
0
4666
1240296
1146777
2022-08-07T12:43:35Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''13 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na nne]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 321 (322 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1960]] - Mlipuko wa [[bomu ya nyuklia]] ya kwanza ya [[Ufaransa]]
== Waliozaliwa ==
* [[1599]] - [[Papa Alexander VII]]
* [[1910]] - [[William Shockley]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1956]]
* [[1954]] - [[Vijay Seshadri]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[1955]] - [[Castor Paul Msemwa]], [[askofu]] [[Mkatoliki]] nchini [[Tanzania]]
== Waliofariki ==
* [[1130]] - [[Papa Honorius II]]
* [[1818]] - [[Mtakatifu]] [[Paulo Liu Hanzuo]], [[padri]] [[mfiadini]] wa [[China]]
* [[1883]] - [[Richard Wagner]], [[mtunzi]] wa [[muziki]] kutoka [[Ujerumani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Martiniano wa Kaisarea]], [[Kastori wa Akwitania]], [[Beninyo wa Todi]], [[Stefano wa Lyon]], [[Stefano wa Rieti]], [[Gosbati]], [[Gwimera]], [[Fulkrano]], [[Gilbati wa Meaux]], [[Paulo Liu Hanzuo]], [[Paulo Loc Van Le|Paulo Le-Van-Loc]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 13|13 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/13 BBC: On This Day]
* [http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Feb&day=13 On This Day in Canada] {{Wayback|url=http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Feb&day=13 |date=20150623160234 }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 13}}
[[Jamii:Februari]]
blqkcye8njaf53e6xz172ycnnngm0lw
1240305
1240296
2022-08-07T13:09:44Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''13 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na nne]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 321 (322 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1960]] - Mlipuko wa [[bomu ya nyuklia]] ya kwanza ya [[Ufaransa]]
== Waliozaliwa ==
* [[1599]] - [[Papa Alexander VII]]
* [[1910]] - [[William Shockley]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1956]]
* [[1954]] - [[Vijay Seshadri]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[1955]] - [[Castor Paul Msemwa]], [[askofu]] [[Mkatoliki]] nchini [[Tanzania]]
== Waliofariki ==
* [[1130]] - [[Papa Honorius II]]
* [[1818]] - [[Mtakatifu]] [[Paulo Liu Hanzuo]], [[padri]] [[mfiadini]] wa [[China]]
* [[1883]] - [[Richard Wagner]], [[mtunzi]] wa [[muziki]] kutoka [[Ujerumani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Martiniano wa Kaisarea]], [[Kastori wa Karden]], [[Beninyo wa Todi]], [[Stefano wa Lyon]], [[Stefano wa Rieti]], [[Gosbati]], [[Gimer]], [[Fulkrano]], [[Gilbati wa Meaux]], [[Paulo Liu Hanzuo]], [[Paulo Loc Van Le|Paulo Le-Van-Loc]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 13|13 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/13 BBC: On This Day]
* [http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Feb&day=13 On This Day in Canada] {{Wayback|url=http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Feb&day=13 |date=20150623160234 }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 13}}
[[Jamii:Februari]]
bwm2t3k5f7m1ftm6w8wg8alodrhxyzh
14 Februari
0
4667
1240315
1151251
2022-08-07T13:46:18Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''14 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na tano]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 320 (321 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1130]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Innocent II]]
== Waliozaliwa ==
* [[1861]] - [[Andrew C. McLaughlin]], mwanahistoria kutoka [[Marekani]]
* [[1869]] - [[Charles Wilson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1927]]
* [[1917]] - [[Herbert Hauptman]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1985]]
== Waliofariki ==
* [[869]] - [[Mt. Kyrilo]], [[mmonaki]] kutoka [[Ugiriki]] ambaye alieneza [[Ukristo]] kati ya [[Waslavoni]] pamoja na mdogo wake [[Methodi wa Thesalonike|Mt. Methodi]] na kubuni [[mwandiko]] wa [[Kikyrili]]
* [[1779]] - [[James Cook]], [[mpelelezi]] kutoka [[Uingereza]]
* [[1975]] - [[Julian Huxley]], [[mwanabiolojia]], na mkurugenzi wa kwanza wa [[UNESCO]]
* [[1975]] - [[P. G. Wodehouse]], [[mwandishi]] kutoka [[Uingereza]]
* [[1982]] - [[Antonio Casas]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Hispania]]
* [[2015]] - [[Philip Levine (mshairi)|Philip Levine]], mshairi kutoka [[Marekani]]
==Sikukuu==
* [[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Sirili wa Thesalonike]] na [[Methodi wa Thesalonike]], [[Valentinus]], [[Vitalis wa Spoleto]], [[Zeno wa Roma]], [[Basiano na wenzake]], [[Eleukadio]], [[Ausenti abati]], [[Nostriano]], [[Antonino wa Sorrento]], [[Yohane Mbatizaji Garcia]] n.k.
* Kutokana na [[sikukuu]] ya mtakatifu [[Valentinus]], tarehe hii inasheherekewa kama "[[Siku ya wapendanao]]"
==Viungo vya nje==
{{commons|February 14|14 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/14 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 14}}
[[Jamii:Februari]]
no2wwnlyagds8mmuvdybszj5o3zyr20
15 Februari
0
4668
1240326
1146791
2022-08-07T14:11:10Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''15 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na sita]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 319 (320 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1775]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Pius VI]]
== Waliozaliwa ==
* [[1368]] - [[Kaisari Sigismund]] wa [[Ujerumani]]
* [[1622]] - [[Moliere]], [[mshairi]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1845]] - [[Elihu Root]], [[mwanasiasa]] [[Marekani|Mmarekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1912]]
* [[1861]] - [[Charles Édouard Guillaume]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1920]]
* [[1873]] - [[Hans von Euler-Chelpin]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1929]]
* [[1915]] - [[Robert Hofstadter]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1961]]
* [[1948]] - [[Tino Insana]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1969]] - [[Birdman]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1145]] - [[Papa Lucius II]]
* [[1637]] - [[Kaisari Ferdinand II]] wa [[Ujerumani]]
* [[1857]] - [[Mikhail Glinka]], [[mtunzi]] wa [[muziki]] kutoka [[Urusi]]
* [[1959]] - [[Owen Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1928]]
* [[1965]] - [[Nat King Cole]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]]
* [[1988]] - [[Richard Feynman]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1965]]
* [[1999]] - [[Henry Kendall]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1990]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Onesimo]], [[Faustini na Jovita]], [[Isicho na wenzake]], [[Joja wa Clermont]], [[Kwinidi]], [[Severo wa Antrodoco]], [[Dekoroso wa Capua]], [[Walfredi]], [[Sifredi]], [[Klaudio wa Colombière]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 15|15 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/15 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 15}}
[[Jamii:Februari]]
oxv8much5t7bq36z959jo7f6u8wf0s1
1240328
1240326
2022-08-07T14:18:06Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''15 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na sita]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 319 (320 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1775]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Pius VI]]
== Waliozaliwa ==
* [[1368]] - [[Kaisari Sigismund]] wa [[Ujerumani]]
* [[1622]] - [[Moliere]], [[mshairi]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1845]] - [[Elihu Root]], [[mwanasiasa]] [[Marekani|Mmarekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1912]]
* [[1861]] - [[Charles Édouard Guillaume]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1920]]
* [[1873]] - [[Hans von Euler-Chelpin]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1929]]
* [[1915]] - [[Robert Hofstadter]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1961]]
* [[1948]] - [[Tino Insana]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1969]] - [[Birdman]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1145]] - [[Papa Lucius II]]
* [[1637]] - [[Kaisari Ferdinand II]] wa [[Ujerumani]]
* [[1857]] - [[Mikhail Glinka]], [[mtunzi]] wa [[muziki]] kutoka [[Urusi]]
* [[1959]] - [[Owen Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1928]]
* [[1965]] - [[Nat King Cole]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]]
* [[1988]] - [[Richard Feynman]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1965]]
* [[1999]] - [[Henry Kendall]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1990]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Onesimo]], [[Faustini na Jovita]], [[Isicho na wenzake]], [[Joja wa Clermont]], [[Kwinidi]], [[Severo wa Antrodoco]], [[Dekoroso wa Capua]], [[Wilfrido]], [[Sifredi]], [[Klaudio wa Colombière]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 15|15 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/15 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 15}}
[[Jamii:Februari]]
2xy8tdg7wyxyuihlf9937jrty64xw8x
16 Februari
0
4669
1240610
1226687
2022-08-08T08:13:49Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''16 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na saba]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 318 (319 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1812]] - [[Henry Wilson]], [[Kaimu Rais]] wa [[Marekani]] ([[1873]]-[[1875]])
* [[1848]] - [[Octave Mirbeau]], [[mwandishi]] [[Ufaransa|Mfaransa]]
* [[1886]] - [[Van Wyck Brooks]], mwanahistoria kutoka [[Marekani]]
* [[1900]] - [[Albert Hackett]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[1915]] - [[Elisabeth Eybers]], mwandishi wa [[Afrika Kusini]]
* [[1944]] - [[Richard Ford]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[1958]] - [[Ice-T]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
* [[1965]] - [[Adama Barrow]], rais wa [[Gambia]] (tangu 2017)
* [[1974]] - [[Johnny Tri Nguyen]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] wa [[Marekani|Kimarekani]] kutoka [[Vietnam Kusini]]
* [[1978]] - [[John Tartaglia]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[1982]] - [[Angela Damas]], [[mrembo]] wa [[Tanzania]] mwaka wa [[2002]]
== Waliofariki ==
* [[1886]] - [[Albert Küchler]], [[mchoraji]] kutoka [[Denmark]]
* [[1907]] - [[Giosue Carducci]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1906]]
* [[1917]] - [[Octave Mirbeau]], mwandishi [[Ufaransa|Mfaransa]]
* [[1926]] - [[Mwenye heri]] [[Yosefu Allamano]], [[padri]] [[mwanzilishi]] nchini [[Italia]]
* [[1932]] - [[Ferdinand Buisson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1927]]
* [[1970]] - [[Peyton Rous]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1966]]
* [[2016]] - [[Boutros Boutros-Ghali]], [[mwanasiasa]] wa [[Misri]], na [[Katibu Mkuu]] wa [[UM]] ([[1992]]-[[1996]]), wa kwanza kutoka [[bara]] la [[Afrika]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Juliana wa Nikomedia]], [[Panfilo, Valens na wenzao|Elia, Panfilo na wenzao]], [[Maruta]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 16|16 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/16 BBC: On This Day]
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/February_16 Today in Canadian History] {{Wayback|url=http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/February_16 |date=20210318025739 }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 16}}
[[Jamii:Februari]]
td1iymmf8f5lx15geeq6bnmrjvjihp0
17 Februari
0
4670
1240614
1226693
2022-08-08T08:21:06Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''17 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na nane]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 317 (318 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1867]] - [[Meli]] ya kwanza inapitia [[Mfereji wa Suez]]
== Waliozaliwa ==
* [[1888]] - [[Otto Stern]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1943]]
* [[1925]] - [[Hal Holbrook]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1961]] - [[Andrey Korotayev]], [[mwanahistoria]] na [[mwanauchumi]] kutoka [[Urusi]]
* [[1963]] - [[Larry Whitney]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[1965]] - [[Michael Bay]], [[mtayarishaji wa filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1971]] - [[Denise Richards]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[1985]] - [[Anne Curtis]], mwigizaji filamu kutoka [[Ufilipino]] na [[Australia]]
== Waliofariki ==
* [[1310]] - [[Mtakatifu]] [[Aleksi Falconieri]], [[mtawa]] [[mwanzilishi]] kutoka [[Italia]]
* [[1673]] - [[Moliere]], [[mshairi]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1970]] - [[Shmuel Yosef Agnon]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1966]]
* [[1982]] - [[Thelonious Monk]], [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Waanzilishi saba]] wa shirika la [[Watumishi wa Maria]], [[Theodoro wa Amasea]], [[Bonoso]], [[Mesrop]], [[Fintano wa Clonenagh]], [[Flaviano wa Konstantinopoli]], [[Finano]], [[Silvino wa Auchy]], [[Kostabile]], [[Evermodo]], [[Petro Yu Chong-nyul]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 17|17 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/17 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 17}}
[[Jamii:Februari]]
52xpln77ruvem3hloj1oe92il1iniz5
1240641
1240614
2022-08-08T08:58:47Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''17 Februari''' ni [[siku]] ya [[arubaini na nane]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 317 (318 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
* [[1867]] - [[Meli]] ya kwanza inapitia [[Mfereji wa Suez]]
== Waliozaliwa ==
* [[1888]] - [[Otto Stern]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1943]]
* [[1925]] - [[Hal Holbrook]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1961]] - [[Andrey Korotayev]], [[mwanahistoria]] na [[mwanauchumi]] kutoka [[Urusi]]
* [[1963]] - [[Larry Whitney]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[1965]] - [[Michael Bay]], [[mtayarishaji wa filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1971]] - [[Denise Richards]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[1985]] - [[Anne Curtis]], mwigizaji filamu kutoka [[Ufilipino]] na [[Australia]]
== Waliofariki ==
* [[1310]] - [[Mtakatifu]] [[Aleksi Falconieri]], [[mtawa]] [[mwanzilishi]] kutoka [[Italia]]
* [[1673]] - [[Moliere]], [[mshairi]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1970]] - [[Shmuel Yosef Agnon]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1966]]
* [[1982]] - [[Thelonious Monk]], [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Waanzilishi saba]] wa shirika la [[Watumishi wa Maria]], [[Theodoro wa Amasea]], [[Bonoso wa Trier]], [[Mesrop]], [[Fintano wa Clonenagh]], [[Flaviano wa Konstantinopoli]], [[Finano]], [[Silvino wa Auchy]], [[Kostabile]], [[Evermodo]], [[Petro Yu Chong-nyul]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 17|17 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/17 BBC: On This Day]
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Februari 17}}
[[Jamii:Februari]]
ic3pbjxz1nch2ifn1f7qz4fjvkelgd2
19 Aprili
0
4738
1240624
1160678
2022-08-08T08:37:48Z
Bestoernesto
23840
/* Waliozaliwa */ Upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Aprili}}
Tarehe '''19 Aprili''' ni [[siku]] ya 109 ya [[mwaka]] (ya 110 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 256.
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1832]] - [[José Echegaray y Eizaguirre]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa 1904
* [[1912]] - [[Glenn Seaborg]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1951]]
* [[1968]] - [[Mswati III]], [[mfalme]] wa [[Eswatini]]
== Waliofariki ==
* [[1012]] - [[Alphege Mtakatifu]], [[askofu mkuu]] wa [[Canterbury]] ([[Uingereza]])
* [[1054]] - [[Mtakatifu]] [[Papa Leo IX]]
* [[1824]] - [[George Byron]], [[mshairi]] [[Uingereza|Mwingereza]]
* [[1882]] - [[Charles Darwin]], [[mwanasayansi]] [[Uingereza|Mwingereza]]
* [[1998]] - [[Octavio Paz]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]], mwaka wa [[1990]]
* [[2006]] - [[Ellen Kuzwayo]], [[mwandishi]] kutoka [[Afrika Kusini]]
* [[2010]] - [[Guru (rapa)|Guru]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
* [[2021]] - [[Walter Mondale]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Mapaliko na wenzake]], [[Martha binti Pusisi]], [[Joji wa Antiokia]], [[Alphege Mtakatifu|Alfege]], [[Papa Leo IX]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|April 19|19 Aprili}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/april/19 BBC: On This Day]
* [http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Apr&day=19 On This Day in Canada] {{Webarchive|url=https://archive.is/20121210071817/http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Apr&day=19 |date=2012-12-10 }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Aprili 19}}
[[Jamii:Aprili]]
6463zfr2ck2il1x068gmstt6z6wwld1
Orodha ya nchi za Afrika
0
6544
1240621
1230128
2022-08-08T08:33:12Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:LocationAfrica.png|thumb|320px|Afrika duniani.]]
[[Picha:Africa satellite plane.jpg|thumbnail|right|250px|Afrika kutoka angani.]]
[[File:Africa-regions.png|thumb|upright|Kanda za Afrika:
{{legend|#2020FF|[[Afrika Kaskazini]]}}
{{legend|#40FF40|[[Afrika Magharibi]]}}
{{legend|#FF00FF|[[Afrika ya Kati]]}}
{{legend|#FFD000|[[Afrika Mashariki]]}}
{{legend|#FF0A0A|[[Kusini mwa Afrika]]}}
<small>(Mpangilio wa [[Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa]]</small>]]
'''Orodha ya [[nchi huru]] na maeneo barani [[Afrika]]''' inafuata kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na [[Umoja wa Mataifa]]. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.
Mpangilio wa nchi kwa kanda za kaskazini, magharibi, mashariki, kati na kusini hufuata mfumo wa [[Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa]].
=== [[Afrika ya Mashariki]]: ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Burundi.svg|left|30px]] [[Burundi]]
| align="right" | 27,830
| align="right" | 9,824,000
| align="right" | 401.7
| [[Bujumbura]]
|-
| [[Picha:Flag of the Comoros.svg|left|30px]] [[Komoro]]
| align="right" | 2,170
| align="right" | 783,000
| align="right" | 363.1
| [[Moroni (Komori)|Moroni]]
|-
| [[Picha:Flag of Djibouti.svg|left|30px]] [[Jibuti]]
| align="right" | 23,000
| align="right" | 961,000
| align="right" | 38.6
| [[Jibuti (mji)|Jibuti]]
|-
| [[Picha:Flag of Eritrea.svg|left|30px]] [[Eritrea]]
| align="right" | 121,320
| align="right" | 6,895,000
| align="right" | 43.1
| [[Asmara]]
|-
| [[Picha:Flag of Ethiopia.svg|left|30px]] [[Ethiopia]]
| align="right" | 1,127,127
| align="right" | 90,076,000
| align="right" | 88.2
| [[Addis Ababa]]
|-
| [[Picha:Flag of Kenya.svg|left|30px]] [[Kenya]]
| align="right" | 582,650
| align="right" | 44,234,000
| align="right" |79.0
| [[Nairobi]]
|-
| [[Picha:Flag of Madagascar.svg|left|30px]] [[Madagaska]]
| align="right" | 587,040
| align="right" | 23,043,000
| align="right" | 41.3
| [[Antananarivo]]
|-
| [[Picha:Flag of Malawi.svg|left|30px]] [[Malawi]]
| align="right" | 118,480
| align="right" | 16,307,000
| align="right" | 145.3
| [[Lilongwe]]
|-
| [[Picha:Flag of Mauritius.svg|left|30px]] [[Mauritius]]
| align="right" | 2,040
| align="right" | 1,263,000
| align="right" | 624.0
| [[Port Louis]]
|-
| [[Picha:Flag of France.svg|left|30px]] [[Mayotte]] ([[Ufaransa]])
| align="right" | 374
| align="right" | 229,000
| align="right" | 641.7
| [[Mamoudzou]]
|-
| [[Picha:Flag of Mozambique.svg|left|30px]] [[Msumbiji]]
| align="right" | 801,590
| align="right" | 25,728,000
| align="right" | 34.9
| [[Maputo]]
|-
| [[Picha:Flag of France.svg|left|30px]] [[Réunion]] (Ufaransa)
| align="right" | 2,512
| align="right" | 853,000
| align="right" | 342.8
| [[Saint-Denis (Reunion)|Saint-Denis]]
|-
| [[Picha:Flag of Rwanda.svg|left|30px]] [[Rwanda]]
| align="right" | 26,338
| align="right" | 11,324,000
| align="right" | 440.8
| [[Kigali]]
|-
| [[Picha:Flag of the Seychelles.svg|left|30px]] [[Shelisheli]]
| align="right" | 455
| align="right" | 97,000
| align="right" | 211.0
| [[Victoria (Shelisheli)|Victoria]]
|-
| [[Picha:Flag of Somalia.svg|left|30px]] [[Somalia]]
| align="right" | 637,657
| align="right" | 10,972,000
| align="right" | 16.9
| [[Mogadishu]]
|-
| [[Picha:Flag of South Sudan.svg|left|30px]] [[Sudan Kusini]]
| align="right" | 619,745
| align="right" | 12,340,000
| align="right" | 19.2
| [[Juba, Sudan|Juba]]
|-
| [[Picha:Flag of Tanzania.svg|left|30px]] [[Tanzania]]
| align="right" | 945,087
| align="right" | 48,829,000
| align="right" | 56.6
| [[Dodoma (mji)|Dodoma]]
|-
| [[Picha:Flag of Uganda.svg|left|30px]] [[Uganda]]
| align="right" | 236,040
| align="right" | 35,760,000
| align="right" | 165.4
| [[Kampala]]
|-
| [[Picha:Flag of Zambia.svg|left|30px]] [[Zambia]]
| align="right" | 752,614
| align="right" | 15,474,000
| align="right" | 21.5
| [[Lusaka]]
|-
| [[Picha:Flag of Zimbabwe.svg|left|30px]] [[Zimbabwe]]
| align="right" | 390,580
| align="right" | 13,503,000
| align="right" | 39.9
| [[Harare]]
|}
=== [[Afrika ya Kati]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Angola.svg|left|30px]] [[Angola]]
| align="right" | 1,246,700
| align="right" | 25,326,000
| align="right" | 20.1
| [[Luanda]]
|-
| [[Picha:Flag of Cameroon.svg|left|30px]] [[Kamerun]]
| align="right" | 475,440
| align="right" | 21,918,000
| align="right" | 49.1
| [[Yaoundé]]
|-
| [[Picha:Flag of the Central African Republic.svg|left|30px]] [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| align="right" | 622,984
| align="right" | 4,900,000
| align="right" | 7.9
| [[Bangui]]
|-
| [[Picha:Flag of Chad.svg|left|30px]] [[Chadi]]
| align="right" | 1,284,000
| align="right" | 13,675,000
| align="right" | 10.9
| [[N'Djamena]]
|-
| [[Picha:Flag of the Republic of the Congo.svg|left|30px]] [[Kongo, Jamhuri ya]]
| align="right" | 342,000
| align="right" | 4,706,000
| align="right" | 13.5
| [[Brazzaville]]
|-
| [[Picha:Flag of the Democratic Republic of the Congo.svg|left|30px]] [[Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia]]
| align="right" | 2,345,410
| align="right" | 77,267,000
| align="right" | 32.9
| [[Kinshasa]]
|-
| [[Picha:Flag of Equatorial Guinea.svg|left|30px]] [[Guinea ya Ikweta]]
| align="right" | 28,051
| align="right" | 1,996,000
| align="right" | 30.1
| [[Malabo]]
|-
| [[Picha:Flag of Gabon.svg|left|30px]] [[Gabon]]
| align="right" | 267,667
| align="right" | 1,873,000
| align="right" | 6.4
| [[Libreville]]
|-
| [[Picha:Flag of Sao Tome and Principe.svg|left|30px]] [[São Tomé na Príncipe]]
| align="right" | 1,001
| align="right" | 194,000
| align="right" | 189.8
| [[São Tomé]]
|}
=== [[Afrika ya Kaskazini]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Algeria.svg|left|30px]] [[Algeria]]
| align="right" | 2,381,740
| align="right" | 39,903,000
| align="right" | 16.7
| [[Algiers]]
|-
| [[Picha:Flag of Egypt.svg|left|30px]] [[Misri]] (2)
| align="right" | 1,001,450
| align="right" | 88,523,000
| align="right" | 91.4
| [[Cairo]]
|-
| [[Picha:Flag of Libya.svg|left|30px]] [[Libya]]
| align="right" | 1,759,540
| align="right" | 6,278,000
| align="right" | 3.6
| [[Tripoli (Libya)|Tripoli]]
|-
| [[Picha:Flag of Morocco.svg|left|30px]] [[Moroko]]
| align="right" | 446,550
| align="right" | 33,680,000
| align="right" | 77.0
| [[Rabat]]
|-
| [[Picha:Flag of Sudan.svg|left|30px]] [[Sudan]]
| align="right" | 1,861,484
| align="right" | 30,894,000
| align="right" | 21.6
| [[Khartoum]]
|-
| [[Picha:Flag of Tunisia.svg|left|30px]] [[Tunisia]]
| align="right" | 163,610
| align="right" | 11,118,000
| align="right" | 68.8
| [[Tunis]]
|-
| colspan=5 | ''Maeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini'':
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|30px]][[Picha:Flag of the Canary Islands.svg|30px]] [[Visiwa vya Kanari]]([[Hispania]]) (3)
| align="right" | 7,492
| align="right" | 1,694,477
| align="right" | 226.2
| [[Las Palmas de Gran Canaria]],<br />[[Santa Cruz de Tenerife]]
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|left|30px]] [[Ceuta]] (Hispania) (4)
| align="right" | 20
| align="right" | 71,505
| align="right" | 3,575.2
| —
|-
| [[Picha:Flag of Portugal.svg|left|30px]] [[Picha:Flag of Madeira.svg|30px]] [[Visiwa vya Madeira]] ([[Ureno]])(5)
| align="right" | 797
| align="right" | 245,000
| align="right" | 307.4
| [[Funchal]]
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|left|30px]] [[Melilla]] (Hispania) (6)
| align="right" | 12
| align="right" | 66,411
| align="right" | 5,534.2
|
|}
=== [[Kusini mwa Afrika]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Botswana.svg|left|30px]] [[Botswana]]
| align="right" | 600,370
| align="right" | 2,176,000
| align="right" | 3.8
| [[Gaborone]]
|-
| [[Picha:Flag of Eswantini.svg|left|30px]] [[Eswatini]]
| align="right" | 17,363
| align="right" | 1,119,000
| align="right" | 74.1
| [[Mbabane]]
|-
| [[Picha:Flag of Lesotho.svg|left|30px]] [[Lesotho]]
| align="right" | 30,355
| align="right" | 1,908,000
| align="right" | 70.3
| [[Maseru]]
|-
| [[Picha:Flag of Namibia.svg|left|30px]] [[Namibia]]
| align="right" | 825,418
| align="right" | 2,281,000
| align="right" | 3.0
| [[Windhoek]]
|-
| [[Picha:Flag of South Africa.svg|left|30px]] [[Afrika Kusini]] (7)
| align="right" | 1,219,912
| align="right" | 54,957,000
| align="right" | 44.7
| [[Bloemfontein]], [[Cape Town]], [[Pretoria]]
|}
=== [[Afrika ya Magharibi]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Benin.svg|left|30px]] [[Benin]]
| align="right" | 112,620
| align="right" | 10,782,000
| align="right" | 96.6
| [[Porto-Novo]]
|-
| [[Picha:Flag of Burkina Faso.svg|left|30px]] [[Burkina Faso]]
| align="right" | 274,200
| align="right" | 18,450,000
| align="right" | 66.0
| [[Ouagadougou]]
|-
| [[Picha:Flag of Cape Verde.svg|left|30px]] [[Cabo Verde]]
| align="right" | 4,033
| align="right" | 525,000
| align="right" | 129.2
| [[Praia (Cabo Verde)|Praia]]
|-
| [[Picha:Flag of Cote d'Ivoire.svg|left|30px]] [[Côte d'Ivoire]] (8)
| align="right" | 322,460
| align="right" | 23,326,000
| align="right" | 70.4
| [[Abidjan]], [[Yamoussoukro]]
|-
| [[Picha:Flag of The Gambia.svg|left|30px]] [[Gambia]]
| align="right" | 11,300
| align="right" | 2,022,000
| align="right" | 176.2
| [[Banjul]]
|-
| [[Picha:Flag of Ghana.svg|left|30px]] [[Ghana]]
| align="right" | 239,460
| align="right" | 27,714,000
| align="right" | 114.5
| [[Accra]]
|-
| [[Picha:Flag of Guinea.svg|left|30px]] [[Guinea]]
| align="right" | 245,857
| align="right" | 10,935,000
| align="right" | 51.3
| [[Conakry]]
|-
| [[Picha:Flag of Guinea-Bissau.svg|left|30px]] [[Guinea-Bissau]]
| align="right" | 36,120
| align="right" | 1,788,000
| align="right" | 51.1
| [[Bissau]]
|-
| [[Picha:Flag of Liberia.svg|left|30px]] [[Liberia]]
| align="right" | 111,370
| align="right" | 4,046,000
| align="right" | 40.4
| [[Monrovia]]
|-
| [[Picha:Flag of Mali.svg|left|30px]] [[Mali]]
| align="right" | 1,240,000
| align="right" | 17,796,000
| align="right" | 14.2
| [[Bamako]]
|-
| [[Picha:1959-2017 Flag of Mauritania.svg|left|30px]] [[Mauritania]]
| align="right" | 1,030,700
| align="right" | 3,632,000
| align="right" | 3.9
| [[Nouakchott]]
|-
| [[Picha:Flag of Niger.svg|left|30px]] [[Niger]]
| align="right" | 1,267,000
| align="right" | 18,880,000
| align="right" | 15.7
| [[Niamey]]
|-
| [[Picha:Flag of Nigeria.svg|left|30px]] [[Nigeria]]
| align="right" | 923,768
| align="right" | 184,000,000
| align="right" | 197.2
| [[Abuja]]
|-
| [[Picha:Flag of Saint Helena.svg|left|30px]] [[Saint Helena (Uingereza)|Saint Helena]] ([[Uingereza]])
| align="right" | 410
| align="right" | 4,000
| align="right" | 19.6
| [[Jamestown, Saint Helena|Jamestown]]
|-
| [[Picha:Flag of Senegal.svg|left|30px]] [[Senegal]]
| align="right" | 196,190
| align="right" | 14,150,000
| align="right" | 77.1
| [[Dakar]]
|-
| [[Picha:Flag of Sierra Leone.svg|left|30px]] [[Sierra Leone]]
| align="right" | 71,740
| align="right" | 6,513,000
| align="right" | 89.9
| [[Freetown]]
|-
| [[Picha:Flag of Togo.svg|left|30px]] [[Togo]]
| align="right" | 56,785
| align="right" | 7,065,000
| align="right" | 128.6
| [[Lomé]]
|-
| [[Picha:Flag of Western Sahara.svg|left|30px]] [[Sahara ya Magharibi]] ([[Moroko]]) (9)
| align="right" | 266,000
| align="right" | 509,000
| align="right" | 2.2
| [[El Aaiún]]
|- style=" font-weight:bold; "
| Jumla
| align="right" | 30,368,609
| align="right" | 1,153,308,000
| align="right" |
|
|}
[[File:topography of africa.png|thumb|upright|Ramani ya Afrika.]]
[[File:African continent-en.svg|thumb|Mipaka ya nchi za Afrika.]]
== Maelezo ==
{{Lango|Afrika}}
# Kanda zinazotajwa (Afrika ya Kusini – Magharibi n.k.) zinafuata utaratibu wa Umoja wa Mataifa [[:Image:United Nations geographical subregions.png|UN categorisations/map]].
# [[Misri]] imo Afrika lakini sehemu ya eneo lake iko Asia ya Magharibi. Wengine huiita [[nchi ya kimabara]].
# [[Visiwa vya Kanari]] ni sehemu ya [[Hispania]] ikiwa [[Las Palmas de Gran Canaria]] pamoja na [[Santa Cruz de Tenerife]] ndiyo miji mikuu pamoja mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini; viko karibu na [[Moroko]] and [[Sahara ya Magharibi]]; wakazi na eneo vya 2001.
# Mji wa [[Ceuta]] ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya [[Moroko]]; wakazi na eneo ni ya 2001.
# [[Visiwa vya Madeira]] ni sehemu ya [[Ureno]], mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini viko karibu na [[Moroko]]; wakazi na eneo vya 2001.
# Mji wa [[Melilla]] ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya [[Moroko]]; wakazi na eneo ni ya 2001.
# [[Bloemfontein]] ndiyo makao ya [[Mahakama Kuu]] ya [[Afrika Kusini]], [[Cape Town]] ni makao ya [[Bunge]], [[Pretoria]] ni [[makao makuu]] ya [[serikali]].
# [[Yamoussoukro]] ndiyo rasmi Mji Mkuu wa [[Côte d'Ivoire]] lakini [[Abidjan]] ni makao ya serikali hali halisi.
# [[Sahara ya Magharibi]] imetekwa na kutawaliwa kwa sehemu kubwa na [[Moroko]] hali isiyokubalika na jumuiya ya kimataifa</small>
{{Africa topics}}
[[Jamii:Nchi za Afrika|*]]
[[Jamii:Nchi|Afrika]]
[[Jamii:Orodha za Afrika]]
[[Jamii:Orodha za kijiografia|Afrika]]
jzq0a0o0y66rtz2babxoyd5apvju7ql
1240622
1240621
2022-08-08T08:35:02Z
Bestoernesto
23840
/* Kusini mwa Afrika */ typo
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:LocationAfrica.png|thumb|320px|Afrika duniani.]]
[[Picha:Africa satellite plane.jpg|thumbnail|right|250px|Afrika kutoka angani.]]
[[File:Africa-regions.png|thumb|upright|Kanda za Afrika:
{{legend|#2020FF|[[Afrika Kaskazini]]}}
{{legend|#40FF40|[[Afrika Magharibi]]}}
{{legend|#FF00FF|[[Afrika ya Kati]]}}
{{legend|#FFD000|[[Afrika Mashariki]]}}
{{legend|#FF0A0A|[[Kusini mwa Afrika]]}}
<small>(Mpangilio wa [[Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa]]</small>]]
'''Orodha ya [[nchi huru]] na maeneo barani [[Afrika]]''' inafuata kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na [[Umoja wa Mataifa]]. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.
Mpangilio wa nchi kwa kanda za kaskazini, magharibi, mashariki, kati na kusini hufuata mfumo wa [[Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa]].
=== [[Afrika ya Mashariki]]: ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Burundi.svg|left|30px]] [[Burundi]]
| align="right" | 27,830
| align="right" | 9,824,000
| align="right" | 401.7
| [[Bujumbura]]
|-
| [[Picha:Flag of the Comoros.svg|left|30px]] [[Komoro]]
| align="right" | 2,170
| align="right" | 783,000
| align="right" | 363.1
| [[Moroni (Komori)|Moroni]]
|-
| [[Picha:Flag of Djibouti.svg|left|30px]] [[Jibuti]]
| align="right" | 23,000
| align="right" | 961,000
| align="right" | 38.6
| [[Jibuti (mji)|Jibuti]]
|-
| [[Picha:Flag of Eritrea.svg|left|30px]] [[Eritrea]]
| align="right" | 121,320
| align="right" | 6,895,000
| align="right" | 43.1
| [[Asmara]]
|-
| [[Picha:Flag of Ethiopia.svg|left|30px]] [[Ethiopia]]
| align="right" | 1,127,127
| align="right" | 90,076,000
| align="right" | 88.2
| [[Addis Ababa]]
|-
| [[Picha:Flag of Kenya.svg|left|30px]] [[Kenya]]
| align="right" | 582,650
| align="right" | 44,234,000
| align="right" |79.0
| [[Nairobi]]
|-
| [[Picha:Flag of Madagascar.svg|left|30px]] [[Madagaska]]
| align="right" | 587,040
| align="right" | 23,043,000
| align="right" | 41.3
| [[Antananarivo]]
|-
| [[Picha:Flag of Malawi.svg|left|30px]] [[Malawi]]
| align="right" | 118,480
| align="right" | 16,307,000
| align="right" | 145.3
| [[Lilongwe]]
|-
| [[Picha:Flag of Mauritius.svg|left|30px]] [[Mauritius]]
| align="right" | 2,040
| align="right" | 1,263,000
| align="right" | 624.0
| [[Port Louis]]
|-
| [[Picha:Flag of France.svg|left|30px]] [[Mayotte]] ([[Ufaransa]])
| align="right" | 374
| align="right" | 229,000
| align="right" | 641.7
| [[Mamoudzou]]
|-
| [[Picha:Flag of Mozambique.svg|left|30px]] [[Msumbiji]]
| align="right" | 801,590
| align="right" | 25,728,000
| align="right" | 34.9
| [[Maputo]]
|-
| [[Picha:Flag of France.svg|left|30px]] [[Réunion]] (Ufaransa)
| align="right" | 2,512
| align="right" | 853,000
| align="right" | 342.8
| [[Saint-Denis (Reunion)|Saint-Denis]]
|-
| [[Picha:Flag of Rwanda.svg|left|30px]] [[Rwanda]]
| align="right" | 26,338
| align="right" | 11,324,000
| align="right" | 440.8
| [[Kigali]]
|-
| [[Picha:Flag of the Seychelles.svg|left|30px]] [[Shelisheli]]
| align="right" | 455
| align="right" | 97,000
| align="right" | 211.0
| [[Victoria (Shelisheli)|Victoria]]
|-
| [[Picha:Flag of Somalia.svg|left|30px]] [[Somalia]]
| align="right" | 637,657
| align="right" | 10,972,000
| align="right" | 16.9
| [[Mogadishu]]
|-
| [[Picha:Flag of South Sudan.svg|left|30px]] [[Sudan Kusini]]
| align="right" | 619,745
| align="right" | 12,340,000
| align="right" | 19.2
| [[Juba, Sudan|Juba]]
|-
| [[Picha:Flag of Tanzania.svg|left|30px]] [[Tanzania]]
| align="right" | 945,087
| align="right" | 48,829,000
| align="right" | 56.6
| [[Dodoma (mji)|Dodoma]]
|-
| [[Picha:Flag of Uganda.svg|left|30px]] [[Uganda]]
| align="right" | 236,040
| align="right" | 35,760,000
| align="right" | 165.4
| [[Kampala]]
|-
| [[Picha:Flag of Zambia.svg|left|30px]] [[Zambia]]
| align="right" | 752,614
| align="right" | 15,474,000
| align="right" | 21.5
| [[Lusaka]]
|-
| [[Picha:Flag of Zimbabwe.svg|left|30px]] [[Zimbabwe]]
| align="right" | 390,580
| align="right" | 13,503,000
| align="right" | 39.9
| [[Harare]]
|}
=== [[Afrika ya Kati]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Angola.svg|left|30px]] [[Angola]]
| align="right" | 1,246,700
| align="right" | 25,326,000
| align="right" | 20.1
| [[Luanda]]
|-
| [[Picha:Flag of Cameroon.svg|left|30px]] [[Kamerun]]
| align="right" | 475,440
| align="right" | 21,918,000
| align="right" | 49.1
| [[Yaoundé]]
|-
| [[Picha:Flag of the Central African Republic.svg|left|30px]] [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| align="right" | 622,984
| align="right" | 4,900,000
| align="right" | 7.9
| [[Bangui]]
|-
| [[Picha:Flag of Chad.svg|left|30px]] [[Chadi]]
| align="right" | 1,284,000
| align="right" | 13,675,000
| align="right" | 10.9
| [[N'Djamena]]
|-
| [[Picha:Flag of the Republic of the Congo.svg|left|30px]] [[Kongo, Jamhuri ya]]
| align="right" | 342,000
| align="right" | 4,706,000
| align="right" | 13.5
| [[Brazzaville]]
|-
| [[Picha:Flag of the Democratic Republic of the Congo.svg|left|30px]] [[Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia]]
| align="right" | 2,345,410
| align="right" | 77,267,000
| align="right" | 32.9
| [[Kinshasa]]
|-
| [[Picha:Flag of Equatorial Guinea.svg|left|30px]] [[Guinea ya Ikweta]]
| align="right" | 28,051
| align="right" | 1,996,000
| align="right" | 30.1
| [[Malabo]]
|-
| [[Picha:Flag of Gabon.svg|left|30px]] [[Gabon]]
| align="right" | 267,667
| align="right" | 1,873,000
| align="right" | 6.4
| [[Libreville]]
|-
| [[Picha:Flag of Sao Tome and Principe.svg|left|30px]] [[São Tomé na Príncipe]]
| align="right" | 1,001
| align="right" | 194,000
| align="right" | 189.8
| [[São Tomé]]
|}
=== [[Afrika ya Kaskazini]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Algeria.svg|left|30px]] [[Algeria]]
| align="right" | 2,381,740
| align="right" | 39,903,000
| align="right" | 16.7
| [[Algiers]]
|-
| [[Picha:Flag of Egypt.svg|left|30px]] [[Misri]] (2)
| align="right" | 1,001,450
| align="right" | 88,523,000
| align="right" | 91.4
| [[Cairo]]
|-
| [[Picha:Flag of Libya.svg|left|30px]] [[Libya]]
| align="right" | 1,759,540
| align="right" | 6,278,000
| align="right" | 3.6
| [[Tripoli (Libya)|Tripoli]]
|-
| [[Picha:Flag of Morocco.svg|left|30px]] [[Moroko]]
| align="right" | 446,550
| align="right" | 33,680,000
| align="right" | 77.0
| [[Rabat]]
|-
| [[Picha:Flag of Sudan.svg|left|30px]] [[Sudan]]
| align="right" | 1,861,484
| align="right" | 30,894,000
| align="right" | 21.6
| [[Khartoum]]
|-
| [[Picha:Flag of Tunisia.svg|left|30px]] [[Tunisia]]
| align="right" | 163,610
| align="right" | 11,118,000
| align="right" | 68.8
| [[Tunis]]
|-
| colspan=5 | ''Maeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini'':
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|30px]][[Picha:Flag of the Canary Islands.svg|30px]] [[Visiwa vya Kanari]]([[Hispania]]) (3)
| align="right" | 7,492
| align="right" | 1,694,477
| align="right" | 226.2
| [[Las Palmas de Gran Canaria]],<br />[[Santa Cruz de Tenerife]]
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|left|30px]] [[Ceuta]] (Hispania) (4)
| align="right" | 20
| align="right" | 71,505
| align="right" | 3,575.2
| —
|-
| [[Picha:Flag of Portugal.svg|left|30px]] [[Picha:Flag of Madeira.svg|30px]] [[Visiwa vya Madeira]] ([[Ureno]])(5)
| align="right" | 797
| align="right" | 245,000
| align="right" | 307.4
| [[Funchal]]
|-
| [[Picha:Flag of Spain.svg|left|30px]] [[Melilla]] (Hispania) (6)
| align="right" | 12
| align="right" | 66,411
| align="right" | 5,534.2
|
|}
=== [[Kusini mwa Afrika]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Botswana.svg|left|30px]] [[Botswana]]
| align="right" | 600,370
| align="right" | 2,176,000
| align="right" | 3.8
| [[Gaborone]]
|-
| [[Picha:Flag of Eswatini.svg|left|30px]] [[Eswatini]]
| align="right" | 17,363
| align="right" | 1,119,000
| align="right" | 74.1
| [[Mbabane]]
|-
| [[Picha:Flag of Lesotho.svg|left|30px]] [[Lesotho]]
| align="right" | 30,355
| align="right" | 1,908,000
| align="right" | 70.3
| [[Maseru]]
|-
| [[Picha:Flag of Namibia.svg|left|30px]] [[Namibia]]
| align="right" | 825,418
| align="right" | 2,281,000
| align="right" | 3.0
| [[Windhoek]]
|-
| [[Picha:Flag of South Africa.svg|left|30px]] [[Afrika Kusini]] (7)
| align="right" | 1,219,912
| align="right" | 54,957,000
| align="right" | 44.7
| [[Bloemfontein]], [[Cape Town]], [[Pretoria]]
|}
=== [[Afrika ya Magharibi]] ===
{| border="1" cellpadding="4" cellspacing="0" style="border:1px solid #aaa; border-collapse:collapse"
|- bgcolor="#ECECEC"
! Jina la nchi au eneo,<br /> [[bendera]]
! [[Orodha ya nchi kufuatana na eneo|Eneo]]<br />(km²)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi|Wakazi]]<br />(mnamo Julai 2015)
! [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi kwa km²|Wakazi kwa km²]]
! [[Mji Mkuu]]
|-
| [[Picha:Flag of Benin.svg|left|30px]] [[Benin]]
| align="right" | 112,620
| align="right" | 10,782,000
| align="right" | 96.6
| [[Porto-Novo]]
|-
| [[Picha:Flag of Burkina Faso.svg|left|30px]] [[Burkina Faso]]
| align="right" | 274,200
| align="right" | 18,450,000
| align="right" | 66.0
| [[Ouagadougou]]
|-
| [[Picha:Flag of Cape Verde.svg|left|30px]] [[Cabo Verde]]
| align="right" | 4,033
| align="right" | 525,000
| align="right" | 129.2
| [[Praia (Cabo Verde)|Praia]]
|-
| [[Picha:Flag of Cote d'Ivoire.svg|left|30px]] [[Côte d'Ivoire]] (8)
| align="right" | 322,460
| align="right" | 23,326,000
| align="right" | 70.4
| [[Abidjan]], [[Yamoussoukro]]
|-
| [[Picha:Flag of The Gambia.svg|left|30px]] [[Gambia]]
| align="right" | 11,300
| align="right" | 2,022,000
| align="right" | 176.2
| [[Banjul]]
|-
| [[Picha:Flag of Ghana.svg|left|30px]] [[Ghana]]
| align="right" | 239,460
| align="right" | 27,714,000
| align="right" | 114.5
| [[Accra]]
|-
| [[Picha:Flag of Guinea.svg|left|30px]] [[Guinea]]
| align="right" | 245,857
| align="right" | 10,935,000
| align="right" | 51.3
| [[Conakry]]
|-
| [[Picha:Flag of Guinea-Bissau.svg|left|30px]] [[Guinea-Bissau]]
| align="right" | 36,120
| align="right" | 1,788,000
| align="right" | 51.1
| [[Bissau]]
|-
| [[Picha:Flag of Liberia.svg|left|30px]] [[Liberia]]
| align="right" | 111,370
| align="right" | 4,046,000
| align="right" | 40.4
| [[Monrovia]]
|-
| [[Picha:Flag of Mali.svg|left|30px]] [[Mali]]
| align="right" | 1,240,000
| align="right" | 17,796,000
| align="right" | 14.2
| [[Bamako]]
|-
| [[Picha:1959-2017 Flag of Mauritania.svg|left|30px]] [[Mauritania]]
| align="right" | 1,030,700
| align="right" | 3,632,000
| align="right" | 3.9
| [[Nouakchott]]
|-
| [[Picha:Flag of Niger.svg|left|30px]] [[Niger]]
| align="right" | 1,267,000
| align="right" | 18,880,000
| align="right" | 15.7
| [[Niamey]]
|-
| [[Picha:Flag of Nigeria.svg|left|30px]] [[Nigeria]]
| align="right" | 923,768
| align="right" | 184,000,000
| align="right" | 197.2
| [[Abuja]]
|-
| [[Picha:Flag of Saint Helena.svg|left|30px]] [[Saint Helena (Uingereza)|Saint Helena]] ([[Uingereza]])
| align="right" | 410
| align="right" | 4,000
| align="right" | 19.6
| [[Jamestown, Saint Helena|Jamestown]]
|-
| [[Picha:Flag of Senegal.svg|left|30px]] [[Senegal]]
| align="right" | 196,190
| align="right" | 14,150,000
| align="right" | 77.1
| [[Dakar]]
|-
| [[Picha:Flag of Sierra Leone.svg|left|30px]] [[Sierra Leone]]
| align="right" | 71,740
| align="right" | 6,513,000
| align="right" | 89.9
| [[Freetown]]
|-
| [[Picha:Flag of Togo.svg|left|30px]] [[Togo]]
| align="right" | 56,785
| align="right" | 7,065,000
| align="right" | 128.6
| [[Lomé]]
|-
| [[Picha:Flag of Western Sahara.svg|left|30px]] [[Sahara ya Magharibi]] ([[Moroko]]) (9)
| align="right" | 266,000
| align="right" | 509,000
| align="right" | 2.2
| [[El Aaiún]]
|- style=" font-weight:bold; "
| Jumla
| align="right" | 30,368,609
| align="right" | 1,153,308,000
| align="right" |
|
|}
[[File:topography of africa.png|thumb|upright|Ramani ya Afrika.]]
[[File:African continent-en.svg|thumb|Mipaka ya nchi za Afrika.]]
== Maelezo ==
{{Lango|Afrika}}
# Kanda zinazotajwa (Afrika ya Kusini – Magharibi n.k.) zinafuata utaratibu wa Umoja wa Mataifa [[:Image:United Nations geographical subregions.png|UN categorisations/map]].
# [[Misri]] imo Afrika lakini sehemu ya eneo lake iko Asia ya Magharibi. Wengine huiita [[nchi ya kimabara]].
# [[Visiwa vya Kanari]] ni sehemu ya [[Hispania]] ikiwa [[Las Palmas de Gran Canaria]] pamoja na [[Santa Cruz de Tenerife]] ndiyo miji mikuu pamoja mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini; viko karibu na [[Moroko]] and [[Sahara ya Magharibi]]; wakazi na eneo vya 2001.
# Mji wa [[Ceuta]] ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya [[Moroko]]; wakazi na eneo ni ya 2001.
# [[Visiwa vya Madeira]] ni sehemu ya [[Ureno]], mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini viko karibu na [[Moroko]]; wakazi na eneo vya 2001.
# Mji wa [[Melilla]] ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya [[Moroko]]; wakazi na eneo ni ya 2001.
# [[Bloemfontein]] ndiyo makao ya [[Mahakama Kuu]] ya [[Afrika Kusini]], [[Cape Town]] ni makao ya [[Bunge]], [[Pretoria]] ni [[makao makuu]] ya [[serikali]].
# [[Yamoussoukro]] ndiyo rasmi Mji Mkuu wa [[Côte d'Ivoire]] lakini [[Abidjan]] ni makao ya serikali hali halisi.
# [[Sahara ya Magharibi]] imetekwa na kutawaliwa kwa sehemu kubwa na [[Moroko]] hali isiyokubalika na jumuiya ya kimataifa</small>
{{Africa topics}}
[[Jamii:Nchi za Afrika|*]]
[[Jamii:Nchi|Afrika]]
[[Jamii:Orodha za Afrika]]
[[Jamii:Orodha za kijiografia|Afrika]]
6dt34mbuqd56117rhr8a94iw0oxd8h8
Kigezo:Afrikamap
10
7297
1240577
1237845
2022-08-08T06:59:33Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Image label begin|image=BlankMap-Africa.png|width={{{width|400}}}|float={{{float|none}}}}}
{{Image label small|x=0.29|y=0.125|scale={{{width|400}}}|text=[[Algeria|Aljeria]]}}
{{Image label small|x=0.28|y=0.3975|scale={{{width|400}}}|text=[[Togo]]}}
{{Image label small|x=0.3025|y=0.375|scale={{{width|400}}}|text=[[Benin]]}}
{{Image label small|x=0.2375|y=0.4775|scale={{{width|400}}}|text=[[Guinea ya Ikweta]]}}
{{Image label small|x=0.4925|y=0.295|scale={{{width|400}}}|text=[[Chadi]]}}
{{Image label small|x=0.6175|y=0.1275|scale={{{width|400}}}|text=[[Misri]]}}
{{Image label small|x=0.7375|y=0.385|scale={{{width|400}}}|text=[[Uhabeshi]]}}
{{Image label small|x=0.745|y=0.2925|scale={{{width|400}}}|text=[[Eritrea]]}}
{{Image label small|x=0.0|y=0.28|scale={{{width|400}}}|text=[[Cabo Verde|<span style="line-height: 13px;">Cabo<sup>*</sup><br/>Verde</span>]]}}
{{Image label small|x=0.4775|y=0.1375|scale={{{width|400}}}|text=[[Libya]]}}
{{Image label small|x=0.245|y=0.275|scale={{{width|400}}}|text=[[Mali]]}}
{{Image label small|x=0.245|y=0.4325|scale={{{width|400}}}|text=[[Ghana]]}}
{{Image label small|x=0.1875|y=0.385|scale={{{width|400}}}|text=[[Kodivaa]]}}
{{Image label small|x=0.245|y=0.3275|scale={{{width|400}}}|text=[[Burkina Faso|Burkina<br/>Faso]]}}
{{Image label small|x=0.09|y=0.2425|scale={{{width|400}}}|text=[[Mauritania]]}}
{{Image label small|x=0.15|y=0.07|scale={{{width|400}}}|text=[[Moroko]]}}
{{Image label small|x=0.12|y=0.515|scale={{{width|400}}}|text=[[Sao Tome na Principe|<span style="line-height: 11pt;">Sao Tome na Principe<sup>*</sup></span>]]}}
{{Image label small|x=0.385|y=0.2695|scale={{{width|400}}}|text=[[Niger|Nijeri]]}}
{{Image label small|x=0.385|y=0.515|scale={{{width|400}}}|text=[[Gabon]]}}
{{Image label small|x=0.365|y=0.365|scale={{{width|400}}}|text=[[Nigeria|Naijeria]]}}
{{Image label small|x=0.455|y=0.49|scale={{{width|400}}}|text=[[Jamhuri ya Kongo|Kongo]]}}
{{Image label small|x=0.82|y=0.4325|scale={{{width|400}}}|text=[[Somalia]]}}
{{Image label small|x=0.4925|y=0.9185|scale={{{width|400}}}|text=[[Afrika Kusini]]}}
{{Image label small|x=0.44|y=0.7825|scale={{{width|400}}}|text=[[Namibia]]}}
{{Image label small|x=0.6175|y=0.3025|scale={{{width|400}}}|text=[[Sudan]]}}
{{Image label small|x=0.375|y=0.035|scale={{{width|400}}}|text=[[Tunisia]]}}
{{Image label small|x=0.0575|y=0.15|scale={{{width|400}}}|text=[[Sahara ya Magharibi|Sahara<br/>ya Magharibi]]}}
{{Image label small|x=0.07|y=0.295|scale={{{width|400}}}|text=[[Senegal]]}}
{{Image label small|x=0.1275|y=0.3195|scale={{{width|400}}}|text=[[Gambia]]}}
{{Image label small|x=0.0225|y=0.34|scale={{{width|400}}}|text=[[Guinea Bisau|Guinea<br/>Bisau]]}}
{{Image label small|x=0.1275|y=0.36|scale={{{width|400}}}|text=[[Guinea]]}}
{{Image label small|x=0.125|y=0.43|scale={{{width|400}}}|text=[[Liberia]]}}
{{Image label small|x=0.775|y=0.7725|scale={{{width|400}}}|text=[[Madagaska]]}}
{{Image label small|x=0.4925|y=0.415|scale={{{width|400}}}|text=[[Jamhuri ya Afrika ya Kati|Jamhuri ya<br/>Afrika ya Kati]]}}
{{Image label small|x=0.7295|y=0.49|scale={{{width|400}}}|text=[[Kenya]]}}
{{Image label small|x=0.645|y=0.4775|scale={{{width|400}}}|text=[[Uganda]]}}
{{Image label small|x=0.6875|y=0.585|scale={{{width|400}}}|text=[[Tanzania]]}}
{{Image label small|x=0.6675|y=0.55|scale={{{width|400}}}|text=[[Burundi]]}}
{{Image label small|x=0.675|y=0.525|scale={{{width|400}}}|text=[[Rwanda]]}}
{{Image label small|x=0.640|y=0.415|scale={{{width|400}}}|text=[[Sudan Kusini|Sudan<br/>Kusini]]}}
{{Image label small|x=0.47|y=0.66|scale={{{width|400}}}|text=[[Angola]]}}
{{Image label small|x=0.045|y=0.715|scale={{{width|400}}}|text=[[Saint Helena|<span style="line-height: 11pt;">Saint Helena (UK)<sup>*</sup></span>]]}}
{{Image label small|x=0.375|y=0.435|scale={{{width|400}}}|text=[[Kamerun]]}}
{{Image label small|x=0.08|y=0.385|scale={{{width|400}}}|text=[[Sierra Leone|Sierra<br/>Leone]]}}
{{Image label small|x=0.645|y=0.90|scale={{{width|400}}}|text=[[Lesoto]]}}
{{Image label small|x=0.585|y=0.69|scale={{{width|400}}}|text=[[Zambia]]}}
{{Image label small|x=0.5975|y=0.7475|scale={{{width|400}}}|text=[[Zimbabwe]]}}
{{Image label small|x=0.5385|y=0.795|scale={{{width|400}}}|text=[[Botswana]]}}
{{Image label small|x=0.9125|y=0.76|scale={{{width|400}}}|text=[[Morisi|Morisi*]]}}
{{Image label small|x=0.89|y=0.7975|scale={{{width|400}}}|text=[[Réunion|Réunion*]]}}
{{Image label small|x=0.82|y=0.655|scale={{{width|400}}}|text=[[Komori|*Komori]]}}
{{Image label small|x=0.8625|y=0.6175|scale={{{width|400}}}|text=[[Shelisheli]]}}
{{Image label small|x=0.5165|y=0.5195|scale={{{width|400}}}|text=[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Jamhuri ya<br/>Kidemokrasia<br/>ya Kongo]]}}
{{Image label small|x=0.68|y=0.8525|scale={{{width|400}}}|text=[[Eswatini]]}}
{{Image label small|x=0.7025|y=0.735|scale={{{width|400}}}|text=[[Msumbiji]]}}
{{Image label small|x=0.68|y=0.67|scale={{{width|400}}}|text=[[Malawi]]}}
{{Image label small|x=0.8225|y=0.3395|scale={{{width|400}}}|text=[[Jibuti]]}}
{{Image label small|x=0.01|y=0.045|scale={{{width|400}}}|text=[[Atlantiki|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Bahari ya<br/>Atlantiki</span>]]}}
{{Image label small|x=0.1625|y=0.6075|scale={{{width|400}}}|text=[[Atlantiki|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Bahari ya<br/>Atlantiki</span>]]}}
{{Image label small|x=0.9125|y=0.5375|scale={{{width|400}}}|text=[[Bahari ya Hindi|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Bahari<br/>ya Hindi</font></span>]]}}
{{Image label small|x=0.115|y=0.01|scale={{{width|400}}}|text=[[Mlango wa bahari wa Gibraltar|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Mlango wa bahari wa Gibraltar</span>]]}}
{{Image label small|x=0.455|y=0.0235|scale={{{width|400}}}|text=[[Bahari ya Mediteranea|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Bahari ya Mediteranea</span>]]}}
{{Image label small|x=0.725|y=0.1975|scale={{{width|400}}}|text=[[Bahari ya Shamu|<span style="font-style: italic; color: #48A3B5;">Bahari<br/>ya Shamu</span>]]}}
{{Image label end}}
<noinclude>
[[Jamii:Afrika|*]]
[[Jamii:Vigezo vya Afrika]]
</noinclude>
ah3n1hky2lrqdht23k7l51h4jc49wky
Lucky Dube
0
8158
1240643
1234481
2022-08-08T08:59:22Z
Mp3Juices12
55368
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
| Jina = Lucky Dube
| Img =
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Lucky Philip Dube
| Amezaliwa = {{birth date|1964|08|3}}<br />[[Ermelo, Mpumalanga|Ermelo]], [[Transvaal]]<br /><small> (now [[Mpumalanga]]), [[Afrika Kusini]]
| Amekufa = {{death date and age|2007|10|18|1964|08|3}}<br />[[Rosettenville, Gauteng|Rosettenville]], [[Johannesburg]]<br />[[Gauteng]], [[South Africa]]</small>
| Aina = [[reggae]], [[mbaqanga]]
| Ala = [[Mwimbaji|Sauti]], [[Kinanda]]
| Studio = [[Rycodisc]], [[Gallo Record Company]]
| Kazi yake = [[Mwanamuziki]]
| Miaka ya kazi = 1982 - 2008
| Ameshirikiana na = [[The Love Brothers]]
| Tovuti = [http://www.luckydubemusic.com/ Official website]
}}
'''Lucky Philip Dube''' (tamka ''doo-bei)'' <ref name="Fun"> [http://www.luckydubemusic.com/funfacts.html Fun Facts,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba 2007</ref> ([[3 Agosti]] [[1964]] - [[18 Oktoba]] [[2007]]) alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[reggae]] kutoka [[Afrika Kusini]]. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya [[Kizulu]], [[Kiingereza]] na [[Kiafrikaans]] katika kipindi cha miaka 25 na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi kabisa. <ref name="Reuters2">[2] ^ [http://www.reuters.com/article/entertainmentNews/idUSL1913845120071019 Five facts about raggae star Lucky Dube,] ''Reuters,'' tarehe 19 Oktoba 2007</ref> <ref name="Reuters">[3] ^ [http://africa.reuters.com/wire/news/usnL19289913.html S. Africa reggae icon shot and killed - radio,] {{Wayback|url=http://africa.reuters.com/wire/news/usnL19289913.html |date=20071021025200 }} ''Reuters,'' [[tarehe 19 Oktoba 2007.]]</ref> Dube aliuawa katika kitongoji cha [[Rosettenville huko Johannesburg]] jioni ya [[18 Oktoba, mwaka 2007.]] <ref name="Reuters"></ref> <ref name="News24">[5] ^ [http://www.news24.com/News24/South_Africa/News/0,,2-7-1442_2205149,00.html Hijackers gun down Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.news24.com/News24/South_Africa/News/0,,2-7-1442_2205149,00.html |date=20071028110446 }} News24.com, [[tarehe 19 Oktoba 2007]]</ref> <ref name="BBC">[6] ^ [http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7052050.stm S African reggae star shot dead,] ''BBC News,'' [[tarehe 19 Oktoba 2007]],</ref>
==Wasifu wake==
===Maisha Yake ya Utotoni===
Lucky Dube alizaliwa [[Ermelo]], zamani lilikuwa eneo la Transvaal ya Mashariki, na sasa ni sehemu ya [[Mpumalanga]], tarehe 3 Agosti mnamo mwaka 1964. Wazazi wake walitalikiana kabla ya yeye kuzaliwa na alilelewa na mama yake, Sarah, ambaye alimpa jina hilo kwa sababu alichukulia kuzaliwa kwake kama bahati baada ya mimba nyingi kutoka/kuharibika. <ref name="CNN">[7] ^ [http://www.cnn.com/2007/SHOWBIZ/Music/10/19/safrica.death/ Car jacker kills reggae star,] ''CNN,'' tarehe 19 Oktoba mnamo mwaka 2007.</ref> Pamoja na ndugu zake wawili, Thandi na Patrick, kwa kipindi cha muda mrefu utotoni mwake Dube aliishi na nyanyake/bibi yake, wakati mama yake alihamishwa kufanya kazi sehemu nyingine. Kwenye mahojiano ya mwaka 1999 alimsimulia nyanyake/bibi yake kama "mpenzi wake wa dhati" ambaye "alizidisha vitu vingi kumkuza kuwa mtu wa kuwajibika aliye sasa." <ref name="M&G">[8] ^ Luvuyo Kakaza, [http://www.chico.mweb.co.za/art/q_n_a/990826-dube.html Getting Lucky,] {{Wayback|url=http://www.chico.mweb.co.za/art/q_n_a/990826-dube.html |date=20070911081427 }} ''The Mail & Guardian,'' tarehe 26 Agosti 1999.</ref> <ref name="Bio">[9] ^ [http://www.luckydubemusic.com/biography.html Finding reggae,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba mnamo mwaka 2007</ref>
===Kuanza Uwanamuziki wake===
Utotoni mwake Dube alilima lakini, alipokuwa mtu mzima, na kutambua kwamba hakuchuma pato la kumwezesha kulisha familia yake, alianza kuenda shuleni. Akiwa shuleni alijiunga na kwaya, pamoja na marafiki wengine, na kuunda kikundi chake cha kwanza cha waimbaji kilichoitwa''The Skyway Band.'' <ref name="Bio"></ref> Alipokuwa shuleni aligundua kuhusu [[harakati]] za [[Rastafara]]. Akiwa na umri wa miaka 18 Dube alijiunga na bendi ya binamu yake, ''The Love Brothers'', iliyoimba [[muziki wa pop kwa lugha ya Kizulu]] zilizojulikana kama [[mbaqanga]] huku akiyakimu maisha yake kwa kufanya kazi na kampuni ya Hole and Cooke kama mlinzi kwenye mnada wa magari huko [[Midrand]]. Bendi hiyo iliinga kwenye mkataba na kampuni ya Teal Record, chini ya Richard Siluma (Baadaye Teal iliunganishwa na Kampuni ya [[Gallo Record]]). Ingawa bado Dube alikuwa shuleni, bendi hiyo ilirekodi katika mji wa Johannesburg wakati alikuwa likizoni. Albamu waliotoa iliitwa kwa jima la ''Lucky Dube and the Supersoul.'' Albamu ya pili ilitolewa muda mchache baadaye, mara hii kando na kuimba Dube alitunga misitari. Ni wakati huu ambao alianza kujifunza Kiingereza. <ref name="Bio"></ref>
===Kuhamia rege===
Baada ya kwa albamu yake ya tano ya Mbaqanga, Dave Segal (ambaye badaye alikuwa mhandisi wa sauti ya Dube) alimshauri aachane na jina la "Supersoul". Albamu zingine zote zilizofuata zilirekodiwa kama ''Lucky Dube.'' Wakati huu Dube alianza kugundua kwamba mashabiki walifurahishwa na baadhi ya nyimbo za rege alizoimba hadharani. Aliweza kuvutiwa na [[Jimmy Cliff]] <ref name="Indy">[12] ^ Basildon Petain, [http://news.independent.co.uk/world/africa/article3078918.ece South African raggae star shot dead in front of his chilldren,] {{Wayback|url=http://news.independent.co.uk/world/africa/article3078918.ece |date=20071021114829 }} ''The Independent,'' tarehe 19 Oktoba 2007.</ref> na [[Peter Tosh]], <ref name="M&G"></ref> alihisi kwamba ujumbe wa masuala ya kijamii na kisiasa uliohusishwa na rege ya kutoka Jamaica ungefaa kwa hadhira ya Afrika Kusini jamii ambayo ubaguzi wa rangi(usarangi) ulikuwa umekithiri. <ref name="Indy"></ref>
Aliamua kujaribu mtindo huu mpya wa muziki na katika mwaka wa 1984, alitoa [[albamu]] ndogo ya ''Rastas Never Die.'' Mauzo ya rekodi hiyo yalikuwa mabaya - idadi ilikuwa karibu 4000- ikilinganishwa na 30000 ambayo rekodi yake ya mbaqanga zingeuzwa. Serikali iliyoeneza usarangi (ubaguzi wa rangi), ikiwa na nia ya kukomesha harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi, ilipiga marufuku albamu hiyo mwaka 1985. <ref name="SABC">[http://www.sabcnews.com/south_africa/crime1justice/0,2172,157771,00.html condolences pour in for Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.sabcnews.com/south_africa/crime1justice/0,2172,157771,00.html |date=20080621075355 }} ''SABC,'' 19 Oktoba 2007.</ref> Hata hivyo, hakuvunjika moyo na aliendelea kuimba nyimbo za rege hadharani na akatoa albamu ya pili ya rege. ''Think About The Children'' (1985). Ilifanikiwa kupata hali ya [[mauzo ya zaidi ya milioni]] na kumfanya Dube kuwa mwanamziki wa rege maarufu Afrika Kusini, mbali na kuvutia watu nje ya nyumbani kwao. <ref name="Bio"></ref>
=== Mafanikio muhimu na ya kibiashara ===
Dube aliendelea kutoa albamu zilizofanikiwa kibiashara. Mwaka 1989 alishinda tuzo nne za [[OKTV]] wimbo wa ''Prisoner,'' ulishinda nyingine na wimbo wa ''Captured Live'' ulishinda tuzo nyingine mwaka uliofuata na bado wimbo wa ''House Of Exile'' ulishinda tuzo mbili mwaka mmoja baadaye. <ref name="Albums">[17] ^ [http://www.luckydubemusic.com/discography.html Discography,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba 2007</ref> Albamu yake ya mwaka 1993, ''Victims'' iliuza zaidi ya nakala milioni moja duniani kote. <ref name="Reuters2"></ref> Mwaka 1995 alipata mkataba wa kurekodi duniani na na kampuni ya [[Motown.]] Albamu yake ya ''Trinity'' ilikuwa ya kwanza kutolewa na kampuni ya [[Tabu Records]] baada ya Motown {1{/1} kujipatia kitambulisho hicho. <ref name="Albums"></ref>
Mnamo mwaka 1996 alitoa [[mkusanyiko albamu ya]], ''Serious Reggae Business,'' ambayo ilimpelekea kuitwa "Mwanamziki wa Kiafrika mwenye mauzo bora zaidi" kwenye [[Tuzo la Wanamziki Duniani]] na "Msanii bora wa Mwaka" kwenye [[Tuzo la Wanamziki nchini]]. Albamu zake tatu zilizofuata zote zilishinda tuzo kwenye [[Tuzo la Wanamziki la Afrika Kusini.]] <ref name="Albums"></ref> Albamu yake ya hivi karibuni, ''Respect,'' ilipata nafasi ya kutolewa Ulaya na Kampuni ya Muziki ya [[Warner Musi.]] <ref name="Reuters2"></ref> Dube alizuru nchi nyingi, na kuimba kwenye jukwaa moja na wasanii kama vile [[Sinéad O'Connor]], [[Peter Gabriel]] na [[Sting]]. <ref name="Indy"></ref> Alishiriki kwenye igizo la rege liitwalo Sunsplash mwaka 1991 (hali ya kipekee mwaka huo, alialikwa jukwaani tena na kuimba kwa muda wa dakika 25 akirudia) na onyesho la hadharani la 8 la mwaka 2005 mjini Johannesburg. <ref name="Indy"></ref>
Mbali na kuimba, wakati mwingine dube alikuwa muigizaji, alishiriki kwenye filamu za ''Voice In The Dark, Getting Lucky'' na ''Lucky Strikes Back.'' <ref name="News24-2">[24] ^ [http://www.whoswhosa.co.za/Pages/profilefull.aspx?IndID=5079 Who's Who: Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.whoswhosa.co.za/Pages/profilefull.aspx?IndID=5079 |date=20071023170114 }} News24, ilitolewa tarehe 10 Oktoba 2007</ref>
===Kifo===
Lucky Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville mjini Johannesburg tarehe 18 Oktoba 2007, muda mfupi baada ya kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. |18 Oktoba 2007, muda mfupi baada kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. <ref>{{cite news | first=Scott | last=Bobb | coauthors= | authorlink= | title=S. African Reggae Star Lucky Dube Killed in Attempted Car-Jacking | date=19 Oktoba 2007 | publisher=Voice of America | url=http://voanews.com/english/archive/2007-10/2007-10-19-voa5.cfm | work=VOA News | pages= | accessdate=2 Januari 2009 | language= | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080106110032/http://voanews.com/english/archive/2007-10/2007-10-19-voa5.cfm | archivedate=2008-01-06 }}</ref>]] Dube alikuwa akiendesha gari lake la aina ya [[Chrysler 300C]] ambayo kumbe ndiyo wauaji wake walikuwa wanataka. Duru za polisi zinaonyesha kuwa aliuawa kwa kupiga risasi na wezi wa magari. Wanaume watano wametiwa mbaroni kutokana na mauaji hayo <ref>{{cite news|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7055487.stm|title=Five arrests over SA star's death|date=21 Oktoba 2007|publisher=[[BBC News]]}}</ref> Watu watatu wwalishitakiwa na kupatikana na hatia tarehe 31 Machi 2009; wawili walijaribu kutoroka lakini walishikwa. <ref>[29] ^ [http://news.yahoo.com/s/nm/20090331/people_nm/us_safrica_dube;_ylt=Avl7kCYNz2C25QUn4grvMaZxFb8C Three Accused of the Murder of Lucky Dube Found Guilty] Habari za Yahoo, 31 Machi 2009</ref> Watu hao walihukumiwa kifungo cha maisha. <ref>[30] ^ [http://news.yahoo.com/s/ap/20090402/ap_en_ce/af_south_africa_star_slain;_ylt=Aq0E6HOg2yVsT_ugfaZgKOpxFb8C Reggae Star's Killers Get Life] Habari za Yahoo, tarehe 2 Aprili 2009</ref>
Aliacha mjane Zanele na watoto wake saba.
===Hiba===
Tarehe 21 Oktoba 2008, [[Rykodisc]] alitoa albamu ya mkusanyiko kwa jina ''Retrospective,'' ambayo ilikuwa na nyimbo nyingi za kuvutia za Dube pamoja na traki nyingine ambazo hazikuwa zimetolea vilevile awali unreleased tracks katika [[Marekani.]] Albamu hiyo ilisifia muziki wa Dube na kuadhimisha mchango aliyotoa nchini [[Afrika ya Kusini]]. <ref>[31] ^ [http://www.rykodisc.com/luckydube/bio/ Lucky Dube - Bio|Artist|RYKODISC] {{Wayback|url=http://www.rykodisc.com/luckydube/bio/ |date=20090201165125 }}</ref>
==Diskografia==
===[[Mbaqanga]]===
* [[Lengane Ngeyethu]] (1981)
* [[Kudala Ngikuncenga]] (1982)
* Kukuwe (1983)
* [[Abathakathi]] (1984)
* Ngikwethembe Na? (1985)
* Umadakeni (1987)
===[[Kiafrikaans]]===
* [[Help My krap]] (1986)
===[[Reggae]]===
* [[Rastas Never Die]] (1984)
* [[Think About The Children]] (1985)
* [[Slave]] (1987)
* [[Together As One]] (1988)
* [[Prisoner]] (1989)
* [[Captured Live]] (1990)
* [[House of Exil]]e (1991)
* [[Victims]] (1993)
* [[Trinity]] (1995)
* [[Serious Reggae Business]] (1996)
* [[Tax Man]] (1997)
* [[The Way It Is]] (1999)
* Ili The Rough Guide Lucky Dube (mkusanyiko) (2001)
* Soul Taker (2001)
* The Other Side (2003)
* Respect (2006)
===[[Mkusanyiko]]===
* The Best Lucky Dube wa (2008)
*Lucky Dube Live In Uganda (2008)
*Retrospective (2008)
==Viungo vya nje==
* [http://www.luckydubemusic.com tovuti rasmi]
* [https://www.mp3juices.link/ Mp3juice]
* [https://www.discogs.com/artist/396515-Lucky-Dube Diskogradfia rasmi] - [[Discogs]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Waliofariki 2007]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
oekb055fiagvi4p094jn9f7r4w0zvh3
1240767
1240643
2022-08-08T09:52:06Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
| Jina = Lucky Dube
| Img =
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Lucky Philip Dube
| Amezaliwa = {{birth date|1964|08|3}}<br />[[Ermelo, Mpumalanga|Ermelo]], [[Transvaal]]<br /><small> (now [[Mpumalanga]]), [[Afrika Kusini]]
| Amekufa = {{death date and age|2007|10|18|1964|08|3}}<br />[[Rosettenville, Gauteng|Rosettenville]], [[Johannesburg]]<br />[[Gauteng]], [[South Africa]]</small>
| Aina = [[reggae]], [[mbaqanga]]
| Ala = [[Mwimbaji|Sauti]], [[Kinanda]]
| Studio = [[Rycodisc]], [[Gallo Record Company]]
| Kazi yake = [[Mwanamuziki]]
| Miaka ya kazi = 1982 - 2008
| Ameshirikiana na = [[The Love Brothers]]
| Tovuti = [http://www.luckydubemusic.com/ Official website]
}}
'''Lucky Philip Dube''' (tamka ''doo-bei)'' <ref name="Fun"> [http://www.luckydubemusic.com/funfacts.html Fun Facts,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba 2007</ref> ([[3 Agosti]] [[1964]] - [[18 Oktoba]] [[2007]]) alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[reggae]] kutoka [[Afrika Kusini]]. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya [[Kizulu]], [[Kiingereza]] na [[Kiafrikaans]] katika kipindi cha miaka 25 na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi kabisa. <ref name="Reuters2">[2] ^ [http://www.reuters.com/article/entertainmentNews/idUSL1913845120071019 Five facts about raggae star Lucky Dube,] ''Reuters,'' tarehe 19 Oktoba 2007</ref> <ref name="Reuters">[3] ^ [http://africa.reuters.com/wire/news/usnL19289913.html S. Africa reggae icon shot and killed - radio,] {{Wayback|url=http://africa.reuters.com/wire/news/usnL19289913.html |date=20071021025200 }} ''Reuters,'' [[tarehe 19 Oktoba 2007.]]</ref> Dube aliuawa katika kitongoji cha [[Rosettenville]] huko [[Johannesburg]] jioni ya 18 Oktoba, mwaka 2007. <ref name="Reuters"></ref> <ref name="News24"> [http://www.news24.com/News24/South_Africa/News/0,,2-7-1442_2205149,00.html Hijackers gun down Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.news24.com/News24/South_Africa/News/0,,2-7-1442_2205149,00.html |date=20071028110446 }} News24.com, [[tarehe 19 Oktoba 2007]]</ref> <ref name="BBC"> [http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7052050.stm S African reggae star shot dead,] ''BBC News,'' tarehe 19 Oktoba 2007</ref>
==Wasifu wake==
===Maisha Yake ya Utotoni===
Lucky Dube alizaliwa [[Ermelo]], zamani lilikuwa eneo la Transvaal ya Mashariki, na sasa ni sehemu ya [[Mpumalanga]], tarehe 3 Agosti mnamo mwaka 1964. Wazazi wake walitalikiana kabla ya yeye kuzaliwa na alilelewa na mama yake, Sarah, ambaye alimpa jina hilo kwa sababu alichukulia kuzaliwa kwake kama bahati baada ya mimba nyingi kutoka/kuharibika. <ref name="CNN"> [http://www.cnn.com/2007/SHOWBIZ/Music/10/19/safrica.death/ Car jacker kills reggae star,] ''CNN,'' tarehe 19 Oktoba mnamo mwaka 2007.</ref> Pamoja na ndugu zake wawili, Thandi na Patrick, kwa kipindi cha muda mrefu utotoni mwake Dube aliishi na nyanyake/bibi yake, wakati mama yake alihamishwa kufanya kazi sehemu nyingine. Kwenye mahojiano ya mwaka 1999 alimsimulia nyanyake/bibi yake kama "mpenzi wake wa dhati" ambaye "alizidisha vitu vingi kumkuza kuwa mtu wa kuwajibika aliye sasa." <ref name="M&G">[8] ^ Luvuyo Kakaza, [http://www.chico.mweb.co.za/art/q_n_a/990826-dube.html Getting Lucky,] {{Wayback|url=http://www.chico.mweb.co.za/art/q_n_a/990826-dube.html |date=20070911081427 }} ''The Mail & Guardian,'' tarehe 26 Agosti 1999.</ref> <ref name="Bio"> [http://www.luckydubemusic.com/biography.html Finding reggae,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba mnamo mwaka 2007</ref>
===Kuanza Uwanamuziki wake===
Utotoni mwake Dube alilima lakini, alipokuwa mtu mzima, na kutambua kwamba hakuchuma pato la kumwezesha kulisha familia yake, alianza kuenda shuleni. Akiwa shuleni alijiunga na kwaya, pamoja na marafiki wengine, na kuunda kikundi chake cha kwanza cha waimbaji kilichoitwa''The Skyway Band.'' <ref name="Bio"></ref> Alipokuwa shuleni aligundua kuhusu [[harakati]] za [[Rastafara]]. Akiwa na umri wa miaka 18 Dube alijiunga na bendi ya binamu yake, ''The Love Brothers'', iliyoimba [[muziki wa pop kwa lugha ya Kizulu]] zilizojulikana kama [[mbaqanga]] huku akiyakimu maisha yake kwa kufanya kazi na kampuni ya Hole and Cooke kama mlinzi kwenye mnada wa magari huko [[Midrand]]. Bendi hiyo iliinga kwenye mkataba na kampuni ya Teal Record, chini ya Richard Siluma (Baadaye Teal iliunganishwa na Kampuni ya [[Gallo Record]]). Ingawa bado Dube alikuwa shuleni, bendi hiyo ilirekodi katika mji wa Johannesburg wakati alikuwa likizoni. Albamu waliotoa iliitwa kwa jima la ''Lucky Dube and the Supersoul.'' Albamu ya pili ilitolewa muda mchache baadaye, mara hii kando na kuimba Dube alitunga misitari. Ni wakati huu ambao alianza kujifunza Kiingereza. <ref name="Bio"></ref>
===Kuhamia rege===
Baada ya kwa albamu yake ya tano ya Mbaqanga, Dave Segal (ambaye badaye alikuwa mhandisi wa sauti ya Dube) alimshauri aachane na jina la "Supersoul". Albamu zingine zote zilizofuata zilirekodiwa kama ''Lucky Dube.'' Wakati huu Dube alianza kugundua kwamba mashabiki walifurahishwa na baadhi ya nyimbo za rege alizoimba hadharani. Aliweza kuvutiwa na [[Jimmy Cliff]] <ref name="Indy">[12] ^ Basildon Petain, [http://news.independent.co.uk/world/africa/article3078918.ece South African raggae star shot dead in front of his chilldren,] {{Wayback|url=http://news.independent.co.uk/world/africa/article3078918.ece |date=20071021114829 }} ''The Independent,'' tarehe 19 Oktoba 2007.</ref> na [[Peter Tosh]], <ref name="M&G"></ref> alihisi kwamba ujumbe wa masuala ya kijamii na kisiasa uliohusishwa na rege ya kutoka Jamaica ungefaa kwa hadhira ya Afrika Kusini jamii ambayo ubaguzi wa rangi(usarangi) ulikuwa umekithiri. <ref name="Indy"></ref>
Aliamua kujaribu mtindo huu mpya wa muziki na katika mwaka wa 1984, alitoa [[albamu]] ndogo ya ''Rastas Never Die.'' Mauzo ya rekodi hiyo yalikuwa mabaya - idadi ilikuwa karibu 4000- ikilinganishwa na 30000 ambayo rekodi yake ya mbaqanga zingeuzwa. Serikali iliyoeneza usarangi (ubaguzi wa rangi), ikiwa na nia ya kukomesha harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi, ilipiga marufuku albamu hiyo mwaka 1985. <ref name="SABC">[http://www.sabcnews.com/south_africa/crime1justice/0,2172,157771,00.html condolences pour in for Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.sabcnews.com/south_africa/crime1justice/0,2172,157771,00.html |date=20080621075355 }} ''SABC,'' 19 Oktoba 2007.</ref> Hata hivyo, hakuvunjika moyo na aliendelea kuimba nyimbo za rege hadharani na akatoa albamu ya pili ya rege. ''Think About The Children'' (1985). Ilifanikiwa kupata hali ya [[mauzo ya zaidi ya milioni]] na kumfanya Dube kuwa mwanamziki wa rege maarufu Afrika Kusini, mbali na kuvutia watu nje ya nyumbani kwao. <ref name="Bio"></ref>
=== Mafanikio muhimu na ya kibiashara ===
Dube aliendelea kutoa albamu zilizofanikiwa kibiashara. Mwaka 1989 alishinda tuzo nne za [[OKTV]] wimbo wa ''Prisoner,'' ulishinda nyingine na wimbo wa ''Captured Live'' ulishinda tuzo nyingine mwaka uliofuata na bado wimbo wa ''House Of Exile'' ulishinda tuzo mbili mwaka mmoja baadaye. <ref name="Albums">[17] ^ [http://www.luckydubemusic.com/discography.html Discography,] luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba 2007</ref> Albamu yake ya mwaka 1993, ''Victims'' iliuza zaidi ya nakala milioni moja duniani kote. <ref name="Reuters2"></ref> Mwaka 1995 alipata mkataba wa kurekodi duniani na na kampuni ya [[Motown.]] Albamu yake ya ''Trinity'' ilikuwa ya kwanza kutolewa na kampuni ya [[Tabu Records]] baada ya Motown {1{/1} kujipatia kitambulisho hicho. <ref name="Albums"></ref>
Mnamo mwaka 1996 alitoa [[mkusanyiko albamu ya]], ''Serious Reggae Business,'' ambayo ilimpelekea kuitwa "Mwanamziki wa Kiafrika mwenye mauzo bora zaidi" kwenye [[Tuzo la Wanamziki Duniani]] na "Msanii bora wa Mwaka" kwenye [[Tuzo la Wanamziki nchini]]. Albamu zake tatu zilizofuata zote zilishinda tuzo kwenye [[Tuzo la Wanamziki la Afrika Kusini.]] <ref name="Albums"></ref> Albamu yake ya hivi karibuni, ''Respect,'' ilipata nafasi ya kutolewa Ulaya na Kampuni ya Muziki ya [[Warner Musi.]] <ref name="Reuters2"></ref> Dube alizuru nchi nyingi, na kuimba kwenye jukwaa moja na wasanii kama vile [[Sinéad O'Connor]], [[Peter Gabriel]] na [[Sting]]. <ref name="Indy"></ref> Alishiriki kwenye igizo la rege liitwalo Sunsplash mwaka 1991 (hali ya kipekee mwaka huo, alialikwa jukwaani tena na kuimba kwa muda wa dakika 25 akirudia) na onyesho la hadharani la 8 la mwaka 2005 mjini Johannesburg. <ref name="Indy"></ref>
Mbali na kuimba, wakati mwingine dube alikuwa muigizaji, alishiriki kwenye filamu za ''Voice In The Dark, Getting Lucky'' na ''Lucky Strikes Back.'' <ref name="News24-2"> [http://www.whoswhosa.co.za/Pages/profilefull.aspx?IndID=5079 Who's Who: Lucky Dube,] {{Wayback|url=http://www.whoswhosa.co.za/Pages/profilefull.aspx?IndID=5079 |date=20071023170114 }} News24, ilitolewa tarehe 10 Oktoba 2007</ref>
===Kifo===
Lucky Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville mjini Johannesburg tarehe 18 Oktoba 2007, muda mfupi baada ya kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. |18 Oktoba 2007, muda mfupi baada kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. <ref>{{cite news | first=Scott | last=Bobb | coauthors= | authorlink= | title=S. African Reggae Star Lucky Dube Killed in Attempted Car-Jacking | date=19 Oktoba 2007 | publisher=Voice of America | url=http://voanews.com/english/archive/2007-10/2007-10-19-voa5.cfm | work=VOA News | pages= | accessdate=2 Januari 2009 | language= | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080106110032/http://voanews.com/english/archive/2007-10/2007-10-19-voa5.cfm | archivedate=2008-01-06 }}</ref>]] Dube alikuwa akiendesha gari lake la aina ya [[Chrysler 300C]] ambayo kumbe ndiyo wauaji wake walikuwa wanataka. Duru za polisi zinaonyesha kuwa aliuawa kwa kupiga risasi na wezi wa magari. Wanaume watano wametiwa mbaroni kutokana na mauaji hayo <ref>{{cite news|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7055487.stm|title=Five arrests over SA star's death|date=21 Oktoba 2007|publisher=[[BBC News]]}}</ref> Watu watatu wwalishitakiwa na kupatikana na hatia tarehe 31 Machi 2009; wawili walijaribu kutoroka lakini walishikwa. <ref> [http://news.yahoo.com/s/nm/20090331/people_nm/us_safrica_dube;_ylt=Avl7kCYNz2C25QUn4grvMaZxFb8C Three Accused of the Murder of Lucky Dube Found Guilty] Habari za Yahoo, 31 Machi 2009</ref> Watu hao walihukumiwa kifungo cha maisha. <ref> [http://news.yahoo.com/s/ap/20090402/ap_en_ce/af_south_africa_star_slain;_ylt=Aq0E6HOg2yVsT_ugfaZgKOpxFb8C Reggae Star's Killers Get Life] Habari za Yahoo, tarehe 2 Aprili 2009</ref>
Aliacha mjane Zanele na watoto wake saba.
===Hiba===
Tarehe 21 Oktoba 2008, [[Rykodisc]] alitoa albamu ya mkusanyiko kwa jina ''Retrospective,'' ambayo ilikuwa na nyimbo nyingi za kuvutia za Dube pamoja na traki nyingine ambazo hazikuwa zimetolea vilevile awali unreleased tracks katika [[Marekani.]] Albamu hiyo ilisifia muziki wa Dube na kuadhimisha mchango aliyotoa nchini [[Afrika ya Kusini]]. <ref> [http://www.rykodisc.com/luckydube/bio/ Lucky Dube - Bio|Artist|RYKODISC] {{Wayback|url=http://www.rykodisc.com/luckydube/bio/ |date=20090201165125 }}</ref>
==Diskografia==
===[[Mbaqanga]]===
* [[Lengane Ngeyethu]] (1981)
* [[Kudala Ngikuncenga]] (1982)
* Kukuwe (1983)
* [[Abathakathi]] (1984)
* Ngikwethembe Na? (1985)
* Umadakeni (1987)
===[[Kiafrikaans]]===
* [[Help My krap]] (1986)
===[[Reggae]]===
* [[Rastas Never Die]] (1984)
* [[Think About The Children]] (1985)
* [[Slave]] (1987)
* [[Together As One]] (1988)
* [[Prisoner]] (1989)
* [[Captured Live]] (1990)
* [[House of Exil]]e (1991)
* [[Victims]] (1993)
* [[Trinity]] (1995)
* [[Serious Reggae Business]] (1996)
* [[Tax Man]] (1997)
* [[The Way It Is]] (1999)
* Ili The Rough Guide Lucky Dube (mkusanyiko) (2001)
* Soul Taker (2001)
* The Other Side (2003)
* Respect (2006)
===[[Mkusanyiko]]===
* The Best Lucky Dube wa (2008)
*Lucky Dube Live In Uganda (2008)
*Retrospective (2008)
==Viungo vya nje==
* [http://www.luckydubemusic.com tovuti rasmi]
* [https://www.discogs.com/artist/396515-Lucky-Dube Diskogradfia rasmi] - [[Discogs]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Waliofariki 2007]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
bx14pw07fm9c09pq6z3i5kprmr2truf
Methodio
0
10360
1240314
1151640
2022-08-07T13:43:44Z
Riccardo Riccioni
452
/* Maisha */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Cyril Methodius25K.jpg|thumb|300px|Ndugu Sirili na Methodi mitume wa Waslavoni.]]
'''Methodio wa Thesalonike''' (kwa [[Kigiriki]]: Μεθόδιος - Methodios; kwa [[Kislavoni]]: Мефодии; [[Thesalonike]], [[Ugiriki]], mnamo [[826]] - [[Velehrad]], [[Moravia]], leo nchini [[Ucheki]], [[6 Aprili]] [[885]]) alikuwa [[mmisionari]] wa [[Waslavoni]] wa [[Ulaya]] ya [[kusini]]-[[mashariki]] katika [[karne ya 9]] [[BK]] akishirikiana na [[kaka]] yake [[Kyrilo wa Saloniki|Sirili]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] pamoja na kaka yake.
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa [[tarehe]] ya [[kifo]] cha kaka yake, [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Maisha==
Alizaliwa kwa [[jina]] la "Mikaeli" [[Mji|mjini]] [[Thesalonike]] au Saloniki katika [[Ugiriki]] ya [[kaskazini]] wakati wa enzi za [[Dola la Bizanti]] kama [[mtoto]] wa Leontios [[askari]] wa Kibizanti na Maria [[mke]] wake Mslavoni.
Methodio alijiunga na [[wamonaki]] akawa [[msimamizi]] wa [[monasteri]].
Mnamo [[mwaka]] [[861]] Rastislav mtawala wa Moravia alitafuta njia ya kuimarisha [[utawala]] wake kwa kupunguza athira ya majirani wake [[Wafrankoni wa Mashariki]] (au [[Wajerumani]] jinsi walivyoitwa baadaye). Wajerumani waliwahi kuleta [[imani]] ya [[Kikristo]] Moravia. Ratislav alitaka kuwa na [[maaskofu]] na [[upadri|mapadri]] wasio Wajerumani. Hivyo alimwomba [[Kaisari]] wa [[Bizanti]] kutuma wamisionari kwake kutoka huko.
[[Kaisari]] [[Michael III Konstantino]] wa [[Konstantinopoli]] alituma ndugu Kyrilo na Methodio kwa sababu wote wawili walikuwa watu wa [[Kanisa]] wenye [[elimu]] nzuri wakijua [[lugha]] ya [[Kislavoni]] tangu [[utoto]] wao.
Baadaya ya kifo cha Kyrilo, Methodio aliendelea akiwa amefanywa na Papa Adriani II kuwa askofu wa [[Srijem]] (leo nchini [[Kroatia]]) na [[mwalimu]] wa Kikristo mwenye athira kubwa kati ya Waslavoni. Tangu mwaka [[883]] alitafsiri [[Biblia]] katika lugha ya [[Kisalvoni]] na kuweka misingi ya [[liturgia]] ya Kislavoni.
Anasifiwa kama mmisionari aliyefaulu kuunganisha ujumbe wa [[Ukristo]] na [[utamaduni]] wa Waslavoni, akifanya kazi bila kujibakiza na kwa kuvumilia vipingamizi vingi, akitegemezwa daima na Mapapa wa Roma.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Saints Cyril and Methodius}}
* [http://www.catholicrevelations.com/category/saints/the-life-of-st-cyril-and-st-methodius-saints-apostles-bishops-confessors-of-the-catholic-church.html The Life and Miracles of Saints Cyril and Methodius, Bishops and Apostles of the Christian Church] {{Wayback|url=http://www.catholicrevelations.com/category/saints/the-life-of-st-cyril-and-st-methodius-saints-apostles-bishops-confessors-of-the-catholic-church.html |date=20140903070543 }}
* [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/encyclicals/documents/hf_jp-ii_enc_19850602_slavorum-apostoli_en.html ''Slavorum Apostoli'' by Pope John Paul II]
* [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/apost_letters/documents/hf_jp-ii_apl_31121980_egregiae-virtutis_lt.html Waraka wa Papa Yohane Paulo II]
* [http://www.hri.org/Martis/contents/doc19.html Cyril and Methodius – Encyclical letter (Epistola Enciclica), 31 December 1980] Waraka wa [[Papa Yohane Paulo II]]]
* [http://www.britannica.com/eb/article?tocId=9028430 ''"Cyril and Methodius, Saints"'' article] in ''[[Encyclopædia Britannica]]''.
* ''{{CathEncy|wstitle=Sts. Cyril and Methodius}}
* [http://www.fatheralexander.org/booklets/english/kyrill_and_methody_e.htm ''"Equal to Apostles SS. Cyril and Methodius Teachers of Slavs"'', by Prof. Nicolai D. Talberg]
* [http://www.papalencyclicals.net/Leo13/l13cym.htm Catholic Culture]
* [http://orthodoxwiki.org/Cyril_and_Methodius Cyril and Methodius at orthodoxwiki]
* Bulgarian Official Holidays, National Assembly of the Republic of Bulgaria: [http://www.parliament.bg/?page=history&lng=en&hid=11 in English], [http://www.parliament.bg/?page=history&lng=bg&hid=11 in Bulgarian]
* Bank holidays in the Czech Republic, Czech National Bank: [http://www.cnb.cz/www.cnb.cz/en/media_service/schedules/media_svatky.html in English] {{Wayback|url=http://www.cnb.cz/www.cnb.cz/en/media_service/schedules/media_svatky.html |date=20071031045000 }}, [http://www.cnb.cz/cs/verejnost/pro_media/harmonogramy/svatky.html in Czech] {{Wayback|url=http://www.cnb.cz/cs/verejnost/pro_media/harmonogramy/svatky.html |date=20101103043248 }}
* [http://www.balkanfolk.com/news.php?id=23 24 May – The Day Of Slavonic Alphabet, Bulgarian Enlightenment and Culture]
* [http://www.catholic-forum.com/saints/saintc08.htm Cyril] {{Wayback|url=http://www.catholic-forum.com/saints/saintc08.htm |date=20110202030856 }} at [http://www.catholic-forum.com/saints/indexsnt.htm Patron Saints Index] {{Wayback|url=http://www.catholic-forum.com/saints/indexsnt.htm |date=20070625171623 }}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 826]]
[[Jamii:Waliofariki 885]]
[[Jamii:Watu wa Bizanti]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ugiriki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ucheki]]
eoej5jttiqenu863teqxvs92gmn2t2x
Nembo za Afrika
0
13797
1240616
1020922
2022-08-08T08:25:48Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:LocationAfrica.png|right|250px]]
[[Orodha ya nchi za Afrika|Nchi za Afrika]] zina nembo zifuatazo
{|class="wikitable"
|-
!Nchi
!Nembo
!Motto
!Makala
|-
|[[Algeria]]
|[[Picha:Coat of arms of Algeria.svg|100px]]
|Al Jumhūrīyah al Jazā'irīyah ad Dīmuqrāţīyah ash Sha'bīyah
|[[Nembo ya Algeria]]
|-
|[[Angola]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Angola.svg|100px]]
|República de Angola
|[[Nembo ya Angola]]
|-
|[[Benin]]
|
|Fraternite, Justice, Travail
|[[Nembo ya Benin]]
|-
|[[Botswana]]
|
|Pula
|[[Nembo ya Botswana]]
|-
|[[Burkina Faso]]
|
|Unite Progres Justice
|[[Nembo ya Burkina Faso]]
|-
|[[Burundi]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Burundi.svg|100px]]
|Unite Travail Progres
|[[Nembo ya Burundi]]
|-
|[[Kamerun]]
|[[Picha:Coat of arms of Cameroon.svg|100px]]
|Paix, Travail, Patrie
|[[Nembo ya Kamerun]]
|-
| [[Cabo Verde]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Cape_Verde.svg|100px]]
|Republica de Cabo Verde
|[[Nembo ya Cabo Verde]]
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
|
|Unite, Dignite, Travail
|[[Nembo ya Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
|-
|[[Chad]]
|
|Unite, travail, progre
|[[Nembo ya Chad]]
|-
|[[Komori]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Comoros.svg|100px]]
|Republique Federale Islamique des Comores
|[[Nembo ya Komori]]
|-
|[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
|[[Picha:Armoiries de la République démocratique du Congo - 2006.png|100px]]
|Justice, paix, travail
|[[Nembo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
|
|Unité Travail Progrès
|[[Nembo ya Jamhuri ya Kongo]]
|-
|[[Côte d'Ivoire]]<br />(1964-circa 2000)
|
|Republique de Cote d' Iviore
|[[Nembo ya Côte d'Ivoire]]
|-
|[[Djibouti]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Djibouti.svg|100px]]
|(none)
|[[Nembo ya Djibouti]]
|-
| [[Misri]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Egypt.svg|100px]]
|Jumhuriyat Misr al-Arabiya
|[[Nembo ya Misri]]
|-
| [[Guinea ya Ikweta]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Equatorial_Guinea.svg|100px]]
|Unidad, Paz, Justicia<br />
|[[Nembo ya Guinea ya Ikweta]]
|-
|[[Eritrea]]
|
|Eritrea
|[[Nembo ya Eritrea]]
|-
| [[Eswatini]]
|
|Siyinqaba<br />
|[[Nembo ya Eswatini]]
|-
|[[Ethiopia]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Ethiopia.svg|100px]]
|(none)
|[[Nembo ya Ethiopia]]
|-
|[[Gabon]]
|[[Picha:Coat of arms of Gabon.svg|100px]]
|Union, Travail, Justice
|[[Nembo ya Gabon]]
|-
|[[Gambia]]
|
|Progress, Peace, Prosperity
|[[Nembo ya Gambia]]
|-
|[[Ghana]]
|
|Freedom and Justice
|[[Nembo ya Ghana]]
|-
|[[Guinea]]
|
|Travail, Justice, Solidarité<br />
|[[Nembo ya Guinea]]
|-
|[[Guinea Bisau]]
|
|Unidade, Luta, Progresso<br />
|[[Nembo ya Guinea Bisau]]
|-
|[[Kenya]]
|[[Picha:Coat-of-arms-DETAILED-rgb.png|130px]]
|[[Harambee]]<br />
|[[Nembo ya Kenya]]
|-
|[[Lesotho]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Lesotho_(1966-2006).svg|100px]]
|Khotso, Pula, Nala<br />
|[[Nembo ya Lesotho]]
|-
|[[Liberia]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Liberia.png|100px]]
|The love of liberty brought us here
|[[Nembo ya Liberia]]
|-
|[[Libya]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Libya.svg|100px]]
|Motto
|[[Nembo ya Libya]]
|-
|[[Madagaska]]
|[[Picha:Seal_of_Madagascar.svg|100px]]
|Tanindrazana, Fahafahana, Fandrosoana<br />
|[[Nembo ya Madagaska]]
|-
|[[Malawi]]
|
|Unity and Freedom
|[[Nembo ya Malawi]]
|-
|[[Mali]]
|
|Un peuple, un but, une foi<br />
|[[Nembo ya Mali]]
|-
|[[Mauritania]]
|
|شرف إخاء عدل<br />
|[[Nembo ya Mauritania]]
|-
|[[Mauritius]]
|[[Picha:Coat_of_arms_of_Mauritius.svg|100px]]
|Stella Clavisque Maris Indici<br />
|[[Nembo ya Mauritius]]
|-
|[[Moroko]]
|[[Picha:Coat of arms of Morocco.png|100px]]
|<span style="line-height:1.25em;"><big> الله، الوطن، الملك </big> <small></small><br />Allāh, al Waţan, al Malik <small>
|[[Nembo ya Moroko]]
|-
|[[Msumbiji]]
|
|Motto
|[[Nembo ya Msumbiji]]
|-
|[[Namibia]]
|
|Unity, Liberty, Justice
|[[Nembo ya Namibia]]
|-
|[[Niger]]
|
|Fraternité, Travail, Progrès<br />
|[[Nembo ya Niger]]
|-
|[[Nigeria]]
|
|Unity and Faith, Peace and Progress
|[[Nembo ya Nigeria]]
|-
|[[Rwanda]]
|[[Picha:Coat of arms of Rwanda.svg|100px]]
|Ubumwe, Umurimo, Gukunda Igihugu<br />
|[[Nembo ya Rwanda]]
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
|
|Motto
|[[Nembo ya Sao Tome na Principe]]
|-
|[[Senegal]]
|
|Un Peuple, Un But, Une Foi<br />
|[[Nembo ya Senegal]]
|-
| [[Shelisheli]]
|[[Picha:Coat of Arms of the Republic of Seychelles.svg|100px]]
|Finis Coronat Opus<br />
|[[Nembo ya Shelisheli]]
|-
|[[Sierra Leone]]
|
|Unity - Freedom - Justice
|[[Nembo ya Sierra Leone]]
|-
|[[Somalia]]
|[[Picha:Coat of arms of Somalia.svg|100px]]
|
|[[Nembo ya Somalia]]
|-
| [[Afrika Kusini]]
|
|!ke e: {{IPA|ǀ}}xarra {{IPA|ǁ}}ke<br />
|[[Nembo ya Afrika Kusini]]
|-
|[[Sudan]]
|[[Picha:Emblem of Sudan.svg|100px]]
|Al-Nasr Lana<br />
|[[Nembo ya Sudan]]
|-
|[[Tanzania]]
|[[Picha:Coat of arms of Tanzania.svg|100px]]
|Uhuru na Umoja<br />
|[[Nembo ya Tanzania]]
|-
|[[Togo]]
|
|Travail, Liberté, Patrie<br />
|[[Nembo ya Togo]]
|-
|[[Tunisia]]
|
|
|[[Nembo ya Tunisia]]
|-
|[[Uganda]]
|[[Picha:Coat of arms of Uganda.png|100px]]
|For God and My Country
|[[Nembo ya Uganda]]
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
|
|حرية ديمقراطية وحدة <br />
|[[Nembo ya Sahara ya Magharibi]]
|-
|[[Zambia]]
|
|One Zambia, One Nation
|[[Nembo ya Zambia]]
|-
|[[Zimbabwe]]
|
|Unity, Freedom, Work
|[[Nembo ya Zimbabwe]]
|}
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Nembo za Afrika]]
[[Jamii:Orodha]]
q7rxuupdplx8pkpep1bdehqe8put1yn
Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni
3
14699
1240282
1240257
2022-08-07T12:05:15Z
Riccardo Riccioni
452
/* Ukarasa wa majadiliano wa "Katimawan2005" */
wikitext
text/x-wiki
==Ujumbe==
Habari, ukiwa na nafasi nashukuru ukiangalia baruapepe zako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:09, 20 Oktoba 2020 (UTC)
==Fransisko wa Asizi==
Riccardo, salam. Nd. Riccardo, ile makala ya Fransisko wa Asizi, umeandika safi sana na inaeleweka. Lakini je vipi kuhusu mwaka aliozaliwa huyu bwana unaujua? Natumai utakuwa umeitafsiri kutoka wiki zingine ama sivyo? Natumai ndivyo!! Basi kama utaweza kuandika mwanzo kabisa mwaka aliozaliwa itakuwa bora zaidi. Labada nikupe mfano mdogo: '''Fransisko wa Asizi''' (tarehe na mwaka aliozaliwa) alikuwa mtakatifu kutoka nchini Italia. Asizi alizaliwa katika mkoa wa Umbria, wilaya ya Perugia, Italia.... Kisha unaweka kama ndugu na mambo mengine!! Haya basi kama hujaelewa labda umwulize Kipala atakupa habari zaidi!! Kingine usisahau kuweka InterWiki katika makala yako kama ipo katika wiki zingine-'''<nowiki>[[it:Fransisko of Asizi]]</nowiki>''' (sijui kwa lugha ya Kitaliano wanahitaje) lakini inategemea na lugha vyovyote vile inaswihi. Kingine kuweka vichwa katika makala, hili nenda kaangalie makala yako utaona nimefanya vipi mpaka kimekuja kichwa cha habari-[[Fransisko wa Asizi]]. Sina mengi na nakutakia kheri ya mwaka mpya na furaha tele moyoni!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:08, 7 Januari 2008 (UTC)
Kuna kitu nimesahau kukueleza. Kuweka jamii au category katika makala, mfano: '''<nowiki>[[Category:Watakatifu wa Italia]]</nowiki>''' au '''<nowiki>[[Category:Watakatifu]]</nowiki>''' na nyingine ya mwaka aliozaliwa -unaweka mabano kama hayo kisha unaadika (Waliozaliwa 19 na...) kama kafa unaandika Waliofariki (mwaka aliokufa). Natumai utakuwa umeelewa!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:20, 7 Januari 2008 (UTC)
==Ushauri==
Salam. Ukiwa bado humchanga katika wiki hii, ni vyema ku-login kabla ya kuumba makala!!! Nimeona baadhi ya makala umeandika bila ku-login, kisha nikafikiri ni Kipala aliyefanya hiyo hivyo, kwani yeye ndiye huwa na kawaida hiyo!! Basi endelea na kazi yako Ndugu, wako katika ujenzi wa Wikipedia,--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:19, 28 Februari 2008 (UTC)
:Asantee ntajitahidi '''[[Mtumiaji:Billy pixel|Billy pixel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Billy pixel|majadiliano]])''' 06:34, 3 Agosti 2022 (UTC)
==Mpangilio wa makala==
Salaam! Kuna mapendekezo kuhusiana na muundo wa makala na vichwa vyake. Naomba angalia [[Talk:Klara|hapa]] kwa maelezo zaidi....--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:43, 11 Machi 2008 (UTC)
::Salaam! Tukiwa tunaendelea na mada yetu ya vichwa vya habari katika makala, labda nikueleze kingine nimekiona! Ni vyema wakati wa kutaka kumwachia mtu ujumbe katika kurasa ya majadiliano, uwe unaanzia chini na sio juu. Ukifanya hivyo inakuwa rahisi mtu kufahamu ujumbe upo wapi. Vinginevyo uangalia mabadiliko ya mwisho ndiyo utajua ujumbe upo wapi. Pendekezo: Ni vyema uwe unaweka (au kuacha ujumbe wako kuanzia chini). Vichwa vya habari: Labda nikuonyeshe namna ya kuweka vichwa vya habari
<nowiki>==Hapa unaweka maelezo husika na kichwa cha habari hiki==</nowiki>
Hapa chini yake unaaza kuelezea vile habari kama kilivyo kichwa chake cha habari.
Naomba angalia makala hii :[[Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya]] na vichwa vyake vya habari, labda utapata mwelekeo mzuri zaidi. Ukiwa unaona bado huja elewa basi nijulishe au mwulize mkabidhi yoyote atakupa maelekezo zaidi! Kila lakheri....--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 04:18, 25 Machi 2008 (UTC)
==Viungo vya nje==
Salam. Ndugu Riccardo, hamna uwezekano wa kupata viungo vya nje katika makala unazo-changia? Maana naona makala nyingi umeandika bila ya viungo vya nje, wakati ukiziangalia katika Wikipedia zingine unazikuta wamewekea viungo vya nje. Je vipi utafanya ili uweze kuweka hata viungo vya nje katika baadhi ya makala utakazo changia-zenye kuhitaji viungo vya nje?--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 11:57, 27 Machi 2008 (UTC)
==Ualimu==
Salaamu Ricardo,nafurahi sana kuona kazi yako. Nina neno kuhusu [[ualimu]] naomba utazame ukurasa wa majadiliano huko. ̰-[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 19:12, 27 Machi 2008 (UTC)
==Hongera ya makala 7,000==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 7,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu saba. Naona kama naota kufikia kiwango hicho, ingawaje si nyingi hivyo lakini tumefika!. Basi tuendelee kushauriana na kuvumiliana!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 07:32, 21 Aprili 2008 (UTC)
==Fransisko==
Ricardo, niliandika hapa kitu juu ya umbo la makala lakini nimeifuta tena kwa sababu sijaona ya kwamba umeshabadilisha mwenyewe. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 11:19, 14 Mei 2008 (UTC)
==Vitabu vya Biblia==
Riccardo salaam, nimeona umechapa kazi kan bisa kuhusu vitabu vya Biblia. Ombi langu ni: tujaribu kushikamana pamoja. Labda umeona ya kwamba hata Oliver na mimi tumeshaanza makala kadhaa juu ya vitabu vya Biblia lakini sijandelea kwa muda mrefu. Hapa naona kuna mamabo mawili yanaofaa tukumbuke: tupatane juu ya majina na jamii.
*Kwanza tukiwa na makala nyingi napendekeza tutumie jamii za "Vitabu vya Agano la Kalre" na "Vitabu yva Agano Jipya" zote mbili chini ya "Category:Biblia". Menginevyo jamii zitajaa mno tukiweka kila kitu chini ya Biblia. Vile vile misahafu naona tutumie hii wka ngaziy a juu maana yake tukitaja vitabu vya dini mbalimbali si sehemu za kila kitabu cha kila dini (kwa mfano upande wa Uhindu tunapata nyingi mno, kama vile upande wa Ukristo).
*Pili naomba ukiongeza kumbuka makala za
**[[Agano la Kale]]
**[[Agano Jipya]]
**[[Orodha ya vitabu vya Biblia]]
kwa sababu hapa kuna orodha na tukiunda makala kwa jina tofauti orodha hizi si msaada tena. Au tunafanya kazi mara mbili, linganisha [[Kumbukumbu la Sheria (Biblia)]] na [[Kumbukumbu la Sheria]]. Kumbe makala imeshakupatikana tayari. Basi sasa tuunganishe. Halafu ona jinsi nilivyofanya kwa Ruth: wewe uliandika [[Kitabu cha Ruth]] halafu nikaweka kiungo cha #REDIRECT kutoka orodha inapoandikwa kw< umbo la "Ruthu". Unaonaje? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 14:43, 2 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Namna ya kuelekeza ukurasa mmoja kuelekeza kwingine ni:
*'''<nowiki>#REDIRECT [[andika ukurasa unaotaka ku-redirect hapa]]</nowiki>'''.
:::Mengineyo, waone wataalamu wa "Dini", yaani Kipala! Ushauri: Naona mara nyingi ukiandika
ujumbe, huwa hakuna jina lako linalotokea katika ukurasa wa majadiliano wa mtu uliyemwachia ujumbe. Fanya hivi: '''<nowiki>--~~~~</nowiki>''' kisha yenyewe itaandika jina lako, muda, tarehe n.k. Kazi njema na kila lakheri! Wako katika ujenzi wa Wikipedoia hii ya Kiswahili,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:56, 3 Juni 2008 (UTC)
::::Salamu!!!!! Baba Riccardo, napenda kujua kwa nini Bibilia nyingine zina vitabu 72 na nyingine zina vitabu 66? Pole na Kazi na Mungu akubariki.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 15:39, 27 Machi 2015 (UTC)
:::::Ndugu Asante sana.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 16:16, 27 Machi 2015 (UTC)
==Kutia sahihi==
Salam, Riccardo. Kuna kitu nimeona wakati wa kumaliza kuandika, jina lako linatoka bila kiungo. Hapa naona mambo mawili: Huenda akawa umeilemaza ile sehemu ya kuweka automatic link(angalia "mapendekezo yangu - raw signature"). Pia inawezekana ukawa unakosea namna ya kujisajilisha ili uweze kupatikana katika viungo hivi vya wiki. Angalia mfano huu tena kwa njia ya picha kisha uwe unafanya hivyo:
[[Image:Kutia Saini.JPG|thumb|centre|300px|Fuata hizi alama kama zilivyo.]]
Samahani lakini kama nitakuwa na kukera katika kukumbushia namna ya kijisajili. Kazi njema na natumai utakuwa umeelewa! Endapo ukiwa bado, basi nijulishe...--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 13:07, 12 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Riccardo, nimeona makala nyingi ukiwa unaandika vichwa vya habari kwa "herufi kubwa". Kwani haiwezekani kuandika herufi ndogo?? Unaombwa ufuate format ya wikipedia jinsi inavyokwenda! Usijisikie vibaya pale unapoelezwa kwani tupo katika kuboresha makala zetu! Hata mimi nilikuwa nafanya kama unavyofanya, lakini Kipala akanieleza namna ya kufanya vyema!!! Basi tushirikiane katika kazi ili tuwe wabora zaidi. Mengineyo: Ujumbe wa juu natumai umeuona, na kama umeona naomba nifute ile picha!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:06, 13 Juni 2008 (UTC)
::::Umefaulu. Ila usiandike jina lako, yenyewe itaandika jina lako na muda uliacha ujumbe ule. Hongera na kazi na tuendelee kushauriana! Wako katika ujenzi wa Wikipedia hii,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:30, 13 Juni 2008 (UTC)
==Masharti ya makala==
Salaam Riccardo umefanya kazi kubwa ya kutunga makala mengi juu ya vichwa vyenye maana. Nashukuru. Lakini naona tatizo juu ya makala kadhaa kulinganana na masharti ya kamusi elezo. Kwa upande mmoja makala kuhusu maazimio ya mtaguso wa pili wa Vatikani hayafuati muundo wa makala. Maana yake mwanmzoni hazielezi waziwazi neno hili ni nini bali zinaanza na maelezo juu ya nia au mawazo ya Mtaguso. Hii haisaidii kueleweka vema. Halafu kuna jambo la pili nimeona mara nyingi namna ya mahubiri inayochanganywa na habari. Hii si mtindo wa kamusi elezo. Labda kama ukiandika kwa ajili ya homepage ya kanisa lako ingekuwa sawa. Lakini hapa tunahitaji maelezo yaliyo wazi kwa mtu yeyote. Kama Waislamu, Wakristo wa madhehebu mengine na watu wanaokanusha dini wanafanya hivihivi wikipedia yetu haieleweki tena. Naona haja kuleta masahihisho hapa. Ningeomba usinedelee kuandika makala kwa muundo huohuo bali tujitahidi pamoja kuleta mpanglio unaofaa. Napenda kurudia ya kwamba naona makala yote yanahusu mada muhimu lakini hatuna budi kusaidiana kutunza kiwango cha ubora fulani.--[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
:Nimesahihisha kidogo mwanzo wa makala kuhusu "[[Dei Verbum]]". Pamoja na muundo niliona mafundisho au mahubiri ya kidhehebu. Ilikuwa vema ya kwamba ulinikumbusha juzi ya kwamba haikuwa sahihi kuonyesha mafundisho ya Kiprotestant juu ya idadi ya vitabu vya Agano la Kale. Nimekubali kabisa. Vivyo hivyo hakuna mahali hapa kuingiza mafundisho ya kidhehebu juu ya madhehebu mengine.
:Mfano: Si kweli ya kwamba viongozi Waprotestanti walikataa ualimu wa kanisa; kinyume chake ualimu huu unasisitizwa sana! Tofauti ilikuwa ya kwamba wakati ule Waprotestanti hawakukubali Kanisa Katoliki kuwa kanisa kweli. Sasa tuna kazi ya kueleza mawazo haya katika makala juu ya historia ya kanisa au historia ya mafundisho ya kidini na hapo ni sawa. Lakini haifai kurudia matamko ya upinzani wa kidhehebu ndani ya makala kama hii, isipokuwa kama ni kweli sehemu ya kichwa fulani. Lakini inapaswa kuelezwa kama maoni fulani si kama habari halisi. Tuhurumie wasomaji wetu wanaotoka katika mazingira mbalimbali. Naomba tuelewane hapa na kusaidiana. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
==Agano la Kale==
Ricccardo, asante kwa kunikumbusha. Samahani lakini sina uhakika unalenga nini yaani makala gani. Pale nilipoangalia nakuta vitabu vipo bila shaka unamaanisha sehemu nyingine ambako sioni. Naomba fanya hivi: weka kiungo (link) pale unapoandika kwenye ukurasa wangu ili nifike palepale. Mfano: [[Agano la Kale]] kuna vitabu vyote unavyotaja. Je wewe unalemha nini hasa? (halafu: Kuanzia kesho kutwa sitakuwepo kwa wiki 4 - naomba uvumilivu wako). --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:30, 16 Julai 2008 (UTC)
::::Nimeelewa. Ilikuwa [[Template:Biblia_AK]]. Nimesahihisha. Halafu ilikuwa nini juu ya kulinganisha "Biblia ya Kiebrania" na "Agano la Kale"? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 07:42, 17 Julai 2008 (UTC)
:::::Nimejibu ujumbe wako [[User talk:Muddyb Blast Producer|hapa!]]--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 15:10, 25 Agosti 2008 (UTC)
==Hi Ricardo Riccioni ==
Hi! How are you? Could you please help me add a couple of sentences to the Kiswahili version of [http://en.wikipedia.org/wiki/Puerto_Rico_Independence_Party this interesting article]?
Thanks so much! -[[User:Ivana Icana|Ivana Icana]] ([[User talk:Ivana Icana|majadiliano]]) 22:30, 6 Septemba 2008 (UTC)
Could you please send me the artical '''[[Mtumiaji:Sen2006|Sen2006]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sen2006|majadiliano]])''' 10:38, 15 Oktoba 2018 (UTC)
:yes, i can. give me your your sentences '''[[Mtumiaji:Nestory kamal|Nestory kamal]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Nestory kamal|majadiliano]])''' 13:25, 11 Desemba 2021 (UTC)
== Lugha ==
Riccardo, salam. Eti, umefikia wakati wa wewe kujiwekea viwango vya lugha uzifahamuzo katika ukurasa wako wa mtumiaji! Hapa kuna orodha chache ya mifano hai yenye kuonyesha lugha unazozijua. Angalia hizi:
Haya, katika kila kodi ya lugha, kwa mfano: sw-2 au 3, ni kiwango cha lugha unachokifahamu. Ikiwa en-2, 3, 4, ni namna ya kutaja vyema uwezo wa ujua wako wa lugha! Ukiona unajua zaidi ya namba 1,2,3 basi ongeza hadi nne katika kila kodi ya lugha, halafu ukimaliza kopi hayo mabano yote kisha nenda ka-paste katika ukurasa wako wa mtumiaji! Chukua hizi:
'''<big><nowiki>{{Babel|it|sw-3|en-3|es-3|fr-2|la-1}}</nowiki></big>'''
Karibu sana!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:54, 13 Oktoba 2008 (UTC)
::Tayari nsihaongeza msingi wa lugha "A" katika Kihispania! Ni kama uonavyo hapo juu. Natumai kwa hili tushamalizana, kwa maelezo mengine zaidi, tafadhali uliza tu ukijisikia wataka kuuliza! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:08, 1 Novemba 2008 (UTC)
== Picha ==
Riccardo Riccioni, salam. Namna ya kuweka picha ni rahisi sana ndugu yangu! Hebu fuata taratibu hizi kisha tuone kama tutafaulu katika kuelekezana huku. Andika:
'''<big><nowiki>[[Image:Jina la picha.jpg, .png, .svg, .gif n.k.|thumb|hapa weka kulia au kushoto (kwa Kiingereza)|ukubwa wa picha=250px n.k.|Maelezo ya picha, kisha]]</nowiki></big>'''
Kingine: Ukitaka kutumia formula hiyo, tafadhali usi kopi na hayo maandishi yaliyoandikwa. Chukua maelezo matupu bila ya nowiki! Haya, tazama picha jinsi inavyokuja kwa hapa:
<nowiki>
[[Image:Flag of Italy.png|thumb|left|15px|Bendera ya Italia]]. </nowiki>Ukiona bado hujaelewa, basi nijulishe nitakuelekeza zaidi!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
:Ndugu, sijaelewa. Pole! Kwanza sijui nowiki ni nini. Pili sijui picha niichukue wapi. Tatu nijueje ukubwa. Nilichoelewa ni kulia na kushoto... Pamoja na hayo, naona unapenda kufahamu niko wapi: si mbali na wewe, naishi Morogoro, hivyo itakuwa rahisi kukutana siku yoyote... Nimetekeleza agizo lako kuhusu Holy See. Natumaini inatosha. Kama ningeweza, ningeweka picha nzuri iliyopo mwanzoni mwa makala hiyo kwa Kiitalia! Pia katika user page yangu ya Kiingereza nimepandisha maksi zangu za Kiswahili kwa kuandika 4. Mbona mimi ni Mtanzania? Ila nimeona template hiyo haipo katika Kiitalia na Kiswahili. Amani kwako! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]]) 23:19, 15 Novemba 2008 (UTC)
::Duh! Ebwana eeeh! Basi mie sikujua kamama wewe ni Mtanzania. Lakini mbona una jina la Kiitalia (hata lugha yako ya kwanza ni Kiitalia!). Basi naona unge badilisha ile sehemu ya Kiswahi uweke (sw tupu bila namba!) Maana wewe ni Mswahili? Aaah, nahisi umekaa Tanzania mda mrefu, kiasi hata ujue Kiswahili kama Mzawa! Haya, basi eti picha ujuaelewa? Naona unge fungua ile picha na uitazame kama inatoka Wikimedia Commons (Commons ni mradi unaopakia picha kwa ajili ya Wikipedia zote au hata mieadi yote ya Wiki!). Basi tazama [http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ukulu_mtakatifu&diff=prev&oldid=177019 hii] jinsi nilivyoongeza picha halafu muda mwingine ufanye kama hivyo. Pale utaona maandishi ya kijani (hayo ndiyo niliongeza mimi!). Ukiona bado hujaelewa, basi niulize tena kisha nitakueleza vyema! Na kuhusu mie, nina kaa huku kwetu shamba [[Kiwalani]]! Bwana akubariki,--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 12:19, 17 Novemba 2008 (UTC)
==Ombi la la tafsiri ya makala==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo Riccioni popote ulipo! Naomba kama utapata muda wa kuweza kutafsiri makala ya [[:en:Holy See|Holy See]] kutoka lugha ya Kiingereza au Kitaliano kama utapenda! Nataka kujua kuhusiana na hiyo Holy See, yaani uandike makala ya [[Holy See]] katika Wikipedia hii, ikiwezekana kwa Kiswahili itakuwa bora zaidi ama unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
== Mambo mbalimbali ==
Ndugu Riccardo, salaam! Nakushukuru kwa jumbe zako kadhaa za siku zilizopita, na sina budi kukuomba radhi kwa kimya yangu. Upande wa Carl Hinton, nitaendelea kuangalia sehemu ambazo amenakilisha tu kutoka katika "Biblia Inasema". Nimesafiri bila nakala yangu ya kitabu hicho kwa hiyo itanichukua muda kadhaa kabla sijaweza kuendelea na kazi hii ya ufutaji tena.
Upande wa kichwa cha makala mbalimbali, mimi sioni shida, hasa kwa vile makala za zamani zitarejea zile za kisasa. Ila kuhusu "vita" nakubaliana na Ndugu Muddyb kwamba neno hili liendelee katika ngeli ya nomino ya 9 (yaani kihusishi chake kiwe "ya", siyo "vya"). Nyakati hubadilika. Kwa vyovyote turejee moja kwa nyingine.
Basi, nakushukuru kwa kazi yako inayonifurahisha sana (mbona umehangaika ingewezekana kunichukiza? Haikufanya hivyo hata kidogo!). Na kazi njema! [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]]) 14:27, 10 Novemba 2008 (UTC)
==Mtaguso==
Ndugu Riccardo, salaam. Naomba uangalie maoni kwenye ukurasa wa majadiliano ya [[Talk:Mtaguso Mkuu]] na pia makala ya [[Mitaguso_ya_kiekumene]]. Ningefurahi tukiweza kushirikiana katika jambo hili. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 08:51, 18 Novemba 2008 (UTC)
== Hongera ya makala 8,000 ==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 8,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu nane. Nikikumbuka vile ulivochangia kwa hali na mali ili walau nasisi Waswahili tufikie elfu kadhaa, Naona sasa tumesogea! Shukrani za dhati zikufikie na tuendelee kushauriana na kuvumiliana{{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:31, 19 Desemba 2008 (UTC)
==Badiliko la baadhi ya viungo!==
Riccardo, salam! Kuna mabadiliko katika baadhi ya viungo vyetu! Sasa hivi kuna baadhi ya viungo vyetu vinatumika kwa Kiswahili. Kwa mfano CATEGORY hii sasa hivi ipo kama JAMII au picha, zamani ilikuwa Image:jina la picha. hiyo na hiyo. Lakini sasa ni Picha: halafu jina.... Ila zote zinafanya kazi, yaani kwa Kiswahili na Kiingereza! Lakini bora zaidi tukitumia kwa lugha yetu, au wewe unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 09:04, 24 Desemba 2008 (UTC)
:Mpendwa, nafurahi kuona maendeleo hayo ya lugha yetu. Tusonge mbele bila ya kugeuka nyuma! Ila sehemu nyingine kuna makosa: kwa mfano ukarasa badala ya ukurasa. Naomba nyinyi wataalamu mrekebishe. Kuhusu picha nimefaulu kuziingiza kwa njia tofauti na ile uliyonielekeza, yaani nazikopi kutoka lugha nyingine, ila mara mojamoja inashindikana. Mah! Hatumalizi kujifunza... Kuhusu uraia wangu, ni kama ulivyoelewa: nilizaliwa Italia, lakini nipo Tanzania tangu mwaka 1984. Nimekuwa raia tangu mwaka 1997. Asante. --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:44, 25 Desemba 2008 (UTC)
::Sawa, lakini hujaonyesha uo ukurasa wenye jina la "UKARASA". Ni bora kuonyesha kiungo kile ambacho umeokiona kinamakosa! Ahsante{{imetulia sana}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:42, 27 Desemba 2008 (UTC)
:::Kwa mfano hapa pembeni na hapa chini katika Majadiliano ya mtumiaji. --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 16:04, 29 Desemba 2008 (UTC)
==Galileo==
Hongera na asante kwa masahihisho ya maana! Nakiri nina udhaifu wa kupitia tena hasa nikiandika usiku manane wakati mwingine sioni makosa (tahajia, muundo wa sentensi). Basi tuendelee kusaidiana. Kitu kidogo: nashauri usitumie "jamii" badala ya "category". Najua inatakiwa kuwa sawa lakini bado kuna mdudu ndani yake --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:11, 29 Desemba 2008 (UTC)
:Ndugu,kweli nimeona unafanya kazi kubwa usiku, na si mara mojamoja kama mimi... Hongera na heri kwa mwaka mpya! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 22:33, 29 Desemba 2008 (UTC)
::Ni vyema kutoa sababu zinazopelekea shida ya JAMII au CATEGORY. Kuna tatizo lolote lililotokea au kutofautisha, kuleta tabu, au kutoonekana kwa makala pindi utakapoweka kiungo cha JAMII badala ya CATEGORY? Naomba nifahamishwe ili niende kuwaeleza wale Madevoloper wa MediaWiki haraka iwezekanavyo{{sura ya uzuni}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:49, 30 Desemba 2008 (UTC)
::Mimi sijaona tatizo lolote. Sasa mmeniweka njia panda: nionekane mkaidi kwa Kipala au kwa Muddy Blast? --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 13:34, 31 Desemba 2008 (UTC)
== [[Historia ya Wokovu]] ==
Ndugu Riccardo. Hongera kwa kazi njema! Miezi miwili iliyopita, ndugu wetu Kipala aliuliza kuhusu hatimiliki ya makala ya [[Historia ya Wokovu]]. Nadhani ni wewe uliyeandika makala hiyo kwa sehemu kubwa kabisa. Ikiwa umenakilisha kutoka kitabu fulani na kuvunja hatimiliki, naomba urekebishe na kufupisha makala. Hata hivyo imekuwa ndefu mno kwa ajili ya kamusi elezo. Tukazane kusaidiana na kazi njema. Umesalimiwa na '''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:22, 23 Januari 2009 (UTC)
Ndugu, usiwe na wasiwasi: mwandishi wa makala hiyo ni mimi mwenyewe tu. Ni kweli kwamba ni ndefu, lakini historia ya binadamu ni ndefu zaidi... ni vigumu kusimulia miaka elfu kwa nusu saa! --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:41, 25 Januari 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 9,000 ==
Riccardo, salam. Ni siku 43 nyuma, yaani, 19 Desemba 2008 hadi tar. 2 Februari 2009 - 9,000. Leo tuna makala 9,000. Inazidi kuifanya Wikipedia yetu kuwa vilevile ya pili kama jinsi ilivyozoeleka! Sina maneno mengi, ila ni kukutakia furaha ya kufika hapa tulipo! Pia, maisha mema na kazi kwa ujumla. Kila la kheri. {{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 16:25, 2 Februari 2009 (UTC)
Mpendwa,
bado kidogo kufikia 10,000 na kupanda chati katika wiki za lugha nyingine... Bahati mbaya, sina muda mwingi kukuungia mkono katika harakati zako. Halafu siku hizi napoteza muda kuboresha makala zilizopo kuliko kuanzisha mpya. Asante! --'''[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:45, 4 Februari 2009 (UTC)
== 11,000 ==
Riccardo Riccioni, salaaaaam! Wikipedia yetu imefikisha makala 11,000! Ni furaha iliyoje? Basi tu, niseme tujitahidi kuendeleza na kushauriana kwa kila jambo litakalosaidia Wikipedia yetu kuwa juu! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 15:51, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Tuzo ya Barnstar ==
{|style="background: #efe; border: 3px groove #0c0; padding: 5px;" width="100%"
|-
| width="65" | [[Image:Original_Barnstar.png|60px|Barnstar]]
| valign="top" | <big>'''Hongera: Umepewa Tuzo ya Barnstar!'''</big>
----
Kwa juhudi ya kazi zako hapa katika Wikipedia ya Kiswahili!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:37, 27 Aprili 2009 (UTC)
|}
:Ukifanyakazi kwa kiasi kikubwa katika Wikipedia, basi unastahili pongezi ya [[:it:Wikipedia:Wikioscar|TUZO YA WIKI]] kila unapochangia zaidi! Ukifungua ukurasa huo, utaona maelezo marefu kuhusu BARNSTAR kwa lugha ya Kiitalia! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:06, 30 Aprili 2009 (UTC)
== Jamii za Juu na Chini ==
Riccardo Riccioni, salam! Kuna tatizo nimeliona, kaka. Ukianzisha JAMII, unatakiwa pia uweke JAMII za chini. Kwa mfano:
'''JAMII ya JUU'''
*'''Jamii:Nyimbo za Tupac'''
'''JAMII ya CHINI'''
*'''Jamii:Nyimbo msanii kwa msanii'''
Kifupi hakuna jamii bila mwenziwe. Na ikiwa hakuna uwezekano wa kupata mwenziwake, ni afadhali zisiumbwe! Bimaana, JAMII YA WANAMUZIKI WA TANZANIA, ipo chini ya WATU WA TANZANIA. Natumai ya kwamba utakuwa umenielewa namna jinsi nilivyoeleza. Kazi njema.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:07, 4 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] awe bureaucrat ==
Nimemteua '''Mwanaharakati''' achaguliwe kuwa msimamizi mkuu pamoja nasi (b'crat). Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Wakabidhi wakabidhi]. Asante! --'''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:17, 28 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Flowerparty|Flowerparty]] awe mkabidhi ==
Nimemteua '''Flowerparty''' achaguliwe kuwa mkabidhi pamoja nasi. Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Wakabidhi|Wakabidhi]]. Ahsante! --<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 10:34, 9 Julai 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 12,000 ==
Riccardo, salam! Hongera kwa kusukuma Wikipedia yetu na kufikisha makala zaidi ya 12,000! Ninatumainia kuona michango yako mengine kibao kuliko hiyo uliyoifanya hapo awali!. Siku takii lolote lile, isikuwa kheri ya maisha. Wako kijana mtiifu, <sup>'''Muddyb'''</sup><sub>'''A.K.A.'''</sub>--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:02, 25 Julai 2009 (UTC)
:Riccardo, bila samahani kwani mjadala huu ni wetu wote! Kuhusu kungongeza mbegu: ni vyema pia kuongeza mbegu kwani hata ile Wikipedia ya Kiitalia ilipiga hatua kubwa kwa kufuatia mbegu zilizowekwa (niliyajua haya wakati ninaandika makala kuhusu matoleo ya Mawikipedia - ya Kiitalia umekuwa kubwa baada ya kujaza mbegu za miji na vitongoji vya Ufaransa). Hivyo tunakaribisha mbegu kedekede. Lete tu, kaka! Kuhusu picha: Pole kwa kusahau tena. Picha ukitaka ije hapa ni lazima uhakikisha kwamba hiyo picha ipo kwenye commons? Ikiwa ipo, basi suala lake ni dogo sana, kaka yangu. Ni kiasi cha kubadili tu kama umeitoa kutoka Wikipedia ya Kiitalia (jinsi ulivyoeleza "Immagine" badilia kuwa '''<nowiki>[[Picha:jina la faili.jpg/ siyo lazima iwe .jpg hata kama ipo .png, .svg, .gif na kadhalilika|thumb|righ/left/centre - vyovyote vile|ukubwa wa picha/mfano 250px|maelezo ya picha.]]</nowiki>''' Umeelewa?--06:31, 27 Julai 2009 (UTC)
==Picha==
Ndugu Riccardo, salaam! Narudi sasa hivi kutoka kwako nyumbani (ziara ad limina apostolorum..) naona swali lako kwenye ukurasa wa Muddy kuhusu picha. Kila picha iliyopo kwenye [http://commons.wikimedia.org/wiki/Main_Page commons] inaonekana ukibadilisha tu "immagine" kuwa ""picha" kwenye jina lake. Majina ya Kiingereza hupokelewa vile bila mabadiliko kama picha iko kwenye commons. Lakini picha nyingi ziko tu kwenye wikipedia ya lugha fulani. Hapa kua njia ifuatayo:
a) unanakili picha kwa kompyuta yako (je hii unajua? rightclick - save image as - halafu uiweke mahali unapojua kwa mfano desktop)
b) katika sw.wikipedia unapakia picha: bofya "pakia faili" kwenye orodha upande wa kushoto-chini, fuata maelezo kwenye fomu
c) nashauri kufuta picha baadaye kwenye mashine yako kusudi usijaze nafasi iliyopo mno.
Wasalaam --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:30, 28 Julai 2009 (UTC)
::Ushauri uliokokotezwa. Ukipakia picha kutoka Wikipedia zingine usisahau kuiwekea mabano ya hatimili (license tag). Bimaana usipofanya hivyo, siku hizi tumepata mtu wa kushughulikia picha ([[User:Flowerparty|Flowerparty]]) ninamashaka ataiondoa ikiwa haina maelezo yeyote ya hatimiliki! Pole kwa mengi tuliokueleza!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:19, 7 Agosti 2009 (UTC)
== 13,000 ==
Riccardo, salaam! Si umeona kwamba tumekuwa wa kwanza katika Afrika - na taarifa hizo ulinieleza hapo juzi. Leo hii tumefikia '''13,000'''!!! Basi hongera na tuendelee kushauriana!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:03, 18 Agosti 2009 (UTC)
== defaultsort ==
Bila samahani. Machoni mwangu, 'Defaultsort' maana yake ni kuorodhesha kufuatana na alfabeti. Kwa hiyo naona, mtakatifu ambaye hana jina la familia, aorodheshwe chini ya jina lake la kwanza na siyo chini ya jina lake la mahali wala la baba. Tunaweza kuongeza ubini ila tusiuweke kwanza katika 'Defaultsort'. Au unasemaje? Kila la kheri, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:56, 3 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam. Unaweza kuchungulia majadala [[Majadiliano:Teresa wa Mtoto Yesu|huu]] mara moja?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:10, 4 Septemba 2009 (UTC)
::Labda ni mimi ambaye sijakuelewa vizuri. Ungalikuwa umeniorodheshea makala za watakatifu hao watatu ili niangalie mimi mwenyewe, ningalikuelewa haraka zaidi. Kwa vyovyote inaonekana kama tumeelewana hatimaye. Ila katika tamaduni zetu kuna tofauti kati ya jina la familia na jina la baba. Ndiyo maana, tukiangalia ubini, hatuelewi kitu kilekile. Hata hivyo, ni vizuri kumworodhesha mtu yeyote katika 'Defaultsort' kulingana na jina lake ambalo chini yake amejulikana vizuri zaidi - liwe jina binafsi au jina la familia (sijamkuta mtu anayejulikana chini ya ubini). Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:16, 4 Septemba 2009 (UTC)
:::Ah - nimeanza kuelewa. Umebadilisha mfululizo wa majina ya watu fulani baada ya kubadilishwa nami. Ukiangalia k.m. Mtakatifu Alberto Hurtado, wikipedia nyingine, hata ya Kiitalia na ya Kiingereza, zinamworodhesha chini ya '''H''', na siyo chini ya A. Tufuate mifano yao. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:42, 4 Septemba 2009 (UTC)
== [[Kigezo:Mtakatifu]] ==
Riccardo, salaam! Husika na kichwa cha habari hapo juu ni sanduku la kujumlishia habari za Watakatifu kama jinsi wanavyoweka katika Wikipedia zingine. Dhumuni la kuandika ujumbe huu ni kukutaka utoe msaada wako wa kutfasiri baadhi ya maeno yaliyomo kwenye kigezo hicho. Binafsi najua kuandika kaziliwa wapi/kufa na kadhalika. Mengine kama "feast" (ndani yake kuna maneno kama "calender of saints"). Si kazi kubwa saana. Lakini ningependa tufanye pamoja kwa sababu kazi hii inakuhusu sana wewe. Ni katika kutaka kuboresha makala zako zaidi, kaka yangu. Ukiwa tayari, basi nijulishe! Unaonaje?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:52, 5 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Pole kwa kuchelewa kukujibu! Muda mzuri ni ule wa saa nane au saa tisa. Lakini zaidi ni saa nane naona itakuwa poa zaidi. Ukiona saa nane tu - basi utaona nimebadilisha baadhi ya vitu na kuviorodhesha kwenye ukurasa wa majadiliano husika na kigezo hicho. Wasalaaam!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 05:59, 7 Septemba 2009 (UTC)
::Basi kwa sasa hivi unaweza?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:31, 7 Septemba 2009 (UTC)
:::Riccardo: ukitazama yale majadiliano ya lile jedwani utaona mabadiliko kidogo. Je, unaweza kuendeleza zile sehemu zilizosalia?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:49, 7 Septemba 2009 (UTC)
== 14,000 ==
Riccardo, salaaaam! Ninapenda kukutaarifu kwamba Wikipedia yetu imefikisha zaidi ya makala 14,000! Ni matumaini yangu kwamba tutafika elfu 15,000? Mmmh, ni safari ndefu! Labda tu nitoe pongezi zako kwa kuendeleza zaidi makala za dini na jamii? Haikuwa kazi rahisi, lakini uliweza! Basi hongera kwa kuliwezesha na kila la kheri katika maisha! Ni mimi mdogo wako mtiifu.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 14:47, 11 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam! Ahsante kwa kutupia jicho na kusahihisha makala ya [[Matengenezo ya Kiprotestanti]]. Halafu ingekuwa vizuri zaidi ukamalizia kuandika makala ya Matengenezo ya Ukatoliki. Niliiona makala ile kule kwenye [[Wikipedia ya Kiingereza Rahisi]]. Wameelezea kama jinsi ilivyo ile ya Uprotestanti. Je, ungependa kuanzisha makala hiyo? Ni mimi mdogo wako,<sup>'''Muddyb'''</sup>, au,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:28, 5 Oktoba 2009 (UTC)
::Riccardo, kumradhi kwa kukitelekeza kigezo cha Mtakatifu. Nilijaribu kitu fulani lakini maarifa yangu yalisimama kimwendelezo. Si kitu. Ngoja nipitie tena ili nione wapi nilikwama hapo awali.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:40, 5 Oktoba 2009 (UTC)
:::Nimebadilisha mfumo wa jedwali la [[Kigezo:Walimu wa Kanisa|Kigezo:Walimu wa Kanisa]]. Hebu tazama na uniambie kama inafaa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:57, 5 Oktoba 2009 (UTC)
== mradi wa Google kwa ajili ya wikipedia yetu ==
Bwana Riccardo, salaam!
</br>Nimepata mawasiliano kutoka Christine Moon huko Palo Alto, California. Yeye anafanya kazi kwa shirika la Google, nao wameanza kupanga mradi au huduma kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania na Kenya ili waelimishwe kuandika makala kwa wikipedia ya Kiswahili. Kumbe!
</br>Christine sasa ametualika kumwandikia maoni yetu, angalia tovuti hiyo:
</br>http://docs.google.com/Doc?docid=0AbIPJ9Nv6udZZGd6MndwcGdfMzFkODNzOG0zYw&hl=en
</br>Bahati mbaya yeye haelewi Kiswahili, kwa hiyo itakuwa lazima kumwandikia kwa Kiingereza. Ukihitaji msaada wangu upande wa kumwandikia, karibu unijulishe. Asante kwa michango yako!
</br>Ni wako katika ujenzi wa lugha yetu,
--'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:57, 10 Oktoba 2009 (UTC)
== Kanisa la Armenia ==
Riccardo, salam. Kwanza nitoe shukrani zangu nyingi za dhati kwa msaada wako juu ya masawazisho ya makala zenye athira ya kidini. Nimeona maranyingi ukisawazisha (na hata kupanua makala hizo). Leo hii, nimeonelea angalao uandike makala moja au mbili za katika hicho kichwa husika hapo juu - kwa sababu niliona umeiweka sawa kwa kiasi kikubwa. Je, ungeweza angalao kuandika kitu kama labda: Kanisa la Kifalme la Armenia au lile la Katoliki? Yaani, dhumuni la kusema hivi ni kwa sababu kile kiungo au ile maana ya kutofautisha makala zile bila hata kuwepo ni sawasawa na bure! Nitakuwa mwenyekushukuru iwapo utanisaidia kwa hili. Zile makala zingekuwa za kawaida, kwa mfano muziki au filamu, basi ningeendelea mwenyewe. Lakini masuala ya kidini, aah, sijui kitu kwa kweli. Ni hayo tu. Wako,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 10:55, 13 Oktoba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Haya, kwanza ahsante kwa kuanzisha makala zile za kidini kama jinsi nilivyoomba hapo juu. Pili, nimeona maranyingi ukiandika "waamini" badala ya "waumini." Sasa hapa sijajua kama ni Kiswahili kipya? Maana, nimezoea kuona wakiandika waumini na si "waamini". Je, hiyo ni sawa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 12:55, 19 Oktoba 2009 (UTC)
::Muddyb mpendwa, nimefikiria swali lako. Sina hakika, lakini naona neno waumini linamaanisha wafuasi wa dini fulani, wakati waamini linasisitiza zaidi kuwa ndio wanaoamini ufunuo fulani, tofauti na wasiouamini. Ningesema waumini ni neutral zaidi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:25, 26 Oktoba 2009 (UTC)
== majadiliano kuhusu utafsiri wa istilahi ==
Bwana Riccardo, salaam! Nimeanzisha majadiliano mapya kuhusu utafsiri wa istilahi ya wikipedia yetu [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Istilahi_ya_wikipedia hapa]. Naomba uyaangalie na kuchangia maoni yako. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:54, 23 Oktoba 2009 (UTC)
:Salaam Riccardo, nimesoma na kukubali hoja lako kuhusu aina na kundi/jamii. Umenishtusha kidogo ktika mfano mmoja uliyotoa kuhusu maharagwa na nafaka. Niliandika makala za [[maharagwe]], [[jamii kunde]] na [[nafaka]]; kwangu kunde na nafaka ni makundi mawili tofauti. Sina neno ukipumzisha watakatifu kidogo na kuingia kwenye mboga. Ila tu nashukuru kwa maelezo ya ndani aidi --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:08, 26 Oktoba 2009 (UTC)
::Ndugu, usihangaike. Biolojia yangu iliishia darasa la kumi tu. Ukiona maharagwe si nafaka,inawezekana nimekosea kutoa mfano. Afadhali nisijaribu kugusa kurasa za mambo nisiyoyajua. Tena watakatifu na mambo ya dini wananivutia zaidi... SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:20, 26 Oktoba 2009 (UTC)
:::Baada ya muda mrefu narudia suala hilo kwa kusema nimesoma kamusi ya Kiswahili Sanifu: inasema haragwe ni nafaka... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 04:46, 19 Septemba 2010 (UTC)
== Uchaguzi Mpya ==
Salam, Riccardo. Unaombwa upige kura katika ukurasa wa wakabidhi wa Wikipedia. Mmoja kati ya wachangiaji wenzetu ([[Mtumiaji:Mr_Accountable|Mr Accountable]]) amejiteua kuwa mkabidhi! Ili kumpgia kura, tafadhali fungua [[Wikipedia:Wakabidhi#Mr_Accountable|hapa]]. Ahsante sana.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 18:39, 28 Novemba 2009 (UTC)
== [[Baptisti]] ==
Salam, Riccardo! Ahsante kwa masahihisho na ongezeko lako la kwenye makala ya Baptisti. Kwa kweli makala imekaa vyema kabisa. Tatizo langu lipo palepale - sijui mengi kuhusu dini. Ikiwa tunapata msaada kama huo, basi mambo yatakuwa mazuri.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:33, 5 Machi 2010 (UTC)
:Eeeh, kweli. Lakini kwa bahati mbaya tafsiri ile sijaitunga miye! Nilisoma kutoka katika kamusi ya TUKI niliyonayo kwenye kompyuta yangu. Ili sema Baptist - SW = Baptisti. Lakini bila kutafakari juu ya uitaji wa wanadini jinsi wafanyavyo, basi ikawa imetokea. Ahsante sana na ni tumaini kila niandikapo makala za dini, basi utawasawazisha!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:35, 6 Machi 2010 (UTC)
::Afadhali ulivyoliona hilo! Binafsi nilijaribu, lakini hali yangu haikuwa vyema tena - nikaona bora kutumia muda huo kuanzisha makala mapya kuliko kuendelea na zile. Labda tutarekebisha! Kuhusu Kipala, sifahamu kwa sababu ni muda sasa hatujazungumza kuhusu mahali alipo. Ninatumai yupo kulekule Iran! Ila tu kazi zimembana!!! Salam teeele kutoka mjini Dar es Salaam, Tanzania. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:16, 8 Machi 2010 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan Soviet Socialist Republic]] and [[:en:Azerbaijan Democratic Republic]] in Swahili Wikipedia?
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 15:50, 29 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Scientology ==
Salam, Riccardo! Unaweza kunieleza au hata kuandika makala kuhusu kichwa cha bari hapo juu? Ningependa kujua ni dhehebu la namna gani. Wako katika ujenzi wa Wikipedia yetu,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:54, 19 Machi 2010 (UTC)
:Salaaam! Ahsante kwa itikio lako la vitendo!!! Ni tumaini lako kwamba nimefurahi, basi kweli nimefurahi!!! Shukrani tena. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:43, 23 Machi 2010 (UTC)
== Hongera ya makala 18,000 ==
Salam, {{BASEPAGENAME}}! Hongera ya makala 18,000! Kumbe tumefika - japokuwa kuna mengi ya kusahihisha na kufuta pia. Lakini si mbaya tukipongezana! Tuendeleeni jamani.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:13, 31 Mei 2010 (UTC)
==Wafiadini wa Uganda==
Naona kama makala hii inataka kujadili habari za "Wafiadini wa Uganda" ipanushwe kidogo kulingana na pande zote zilizohusika yaani Wakatoliki na Waanglikana. Sasa inaonekana kama habari ya upande mmoja tu inayotaja upande mwingine kandokando. Sawa nikiongeza? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:06, 13 Juni 2010 (UTC)
==Questionnaire==
Nadhani labda wewe umepata pia maswali yale ya Rachel - hapa majibu yangu: [[Mtumiaji:Kipala/questionnaire]] - '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:08, 30 Juni 2010 (UTC)
==Kura ya kuamua juu ya wakabidhi waliopotea==
Karibu kutembelea ukurasa wa wakabidhi na kuamua juu ya wenzetu waliopewa haki za wakabidhi lakini hawakuonekana tangu miezi mingi: '''[[Wikipedia:Wakabidhi#Kura_ya_kuondoa_wakabidhi_waliopotea]]'''. Tuliwahi kujadili swali hili mwaka uliopita (tazama kwenye ukurasa unaotajwa, juu ya pendekezo) ; sasa njia imeonekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 05:27, 1 Oktoba 2010 (UTC)
==Salamu na viungo vya mwili==
Riccardo, salaam, nafurahia jinsi unavyochungulia makala nilipoandika na kuboresha Kiswahili na tahajia. Sana nina ombi. Nliwahi kuanzisha makala juu ya viungo vya mwili na hao vijana wa mashindano ya makala za afya waliendelea. Makala hizi zote zinahitaji kuangaliwa kwa sababu Wakenya (nadhani) waliunda sentensi za ajabu kidogo na pia mara nyingi walikosa viungo. Nikiingia hapa nakiri udhaifu: kwa Wasafwa na Wanyakyusa nilipojifunza Kiswahili na baadaye Nairobi sijasikia kitu kingine ila "mkono" na "mguu". Kumbe. Sasa nimetengeneza picha ya [[mkono]] nikilenga ktaja sehemu zake kuanzia bega kupitia kisugidi hadi kiganja. Lakini ninahisi ya kwamba sina uhakika kwa sababu sina uzoefu kutaja sehemu zile (yooote mkono!) na kamusi zangu si wazi sana; mara nyingi maelezo si kamili, yanaingiliana maana au kuna maneno kadhaa na mimi sijui lipi ni afadhali. Je unajua wewe majina haya au unaweza kuchungulia kidogo? Tuanze kumaliza mkono baadaye inafuata mguu na mengine! Namwuliza pia Muddy ni vema kusikia jinsi wanavyosema Dar. Asante ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:38, 10 Aprili 2011 (UTC)
:Asante kwa maneno yako ya kunitia moyo. Kuhusu viungo vya mwili mimi pia nina shida kuelezea sehemu mbalimbali, labda hata kwa Kiitalia! Sidhani nitaweza kukusaidia. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:03, 11 Aprili 2011 (UTC)
==Bunda vijijini==
Je kuna wilaya ya Bunda vijijini?? Kama iko naomba habari na marejeo kwa ajili ya makla za wilaya / Mkoa wa Mara. Kama la, makala ya [[Jimbo Katoliki la Musoma]] isahihishwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:05, 22 Januari 2012 (UTC)
::Sidhani... ni haraka tu ya kuandika! Samahani! --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:04, 25 Januari 2012 (UTC)
::Pamoja na hayo, hatujaingiza mikoa (k. mf. Njome, Simiu) na wilaya mpya za Tanzania (k. mf. Gairo, Nyasa). --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:10, 25 Januari 2012 (UTC)
::Asante kwa jibu. Kuhusu mikoa na wilaya mpya - niko mbali. Unaweza kuanzisha makala ?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:08, 25 Januari 2012 (UTC)
:::Sina DATA za kutosha. --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 14:26, 28 Januari 2012 (UTC)
::::Hatimaye serikali imetoa tangazo rasmi kuhusu mikoa mipya 4 na wilaya 19 (si tena 21!), ingawa lenyewe lina utata kama jamaa alivyolalamikia katika ukurasa juu ya Wilaya ya Wanging'ombe. Naomba ukurasa kuhusu mkoa wa Simiu usogezwe kwa kuandika Simiyu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 18:04, 10 Machi 2012 (UTC)
== Barnstar kwa ajili yako! ==
[[File:Tireless Contributor Barnstar Hires.gif|100px|thumb|'''Barnstar kwa Ajili ya Mchangiaji Asiyechoka''']]
Hongera kwa juhudi zako!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:57, 21 Agosti 2012 (UTC)
Ndugu Muddy, asante kwa pongezi zako. Nazipokea kwa mikono miwili kutoka kwako, bosi! Ni kweli sijachoka kuchangia Wiki. Ila nasikitika kuona umepunguza kasi zako, na pengine nawaza kuwa nimesababisha mimi mwaka juzi. Hivyo napata moyo ninapoona matendo kama hili na lile la kuupandisha chati ukurasa juu ya mpendwa wetu Bikira Mariamu. Mungu atujalie daima amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:49, 26 Agosti 2012 (UTC)
::Hapana, Riccardo! Hamu imepungua yenyewe natural. Sijui kwanini - naona bora nicheze na Facebook kuliko kuja Wikipedia ya Kiswahili. Huwa najitahidi hivyo-hivyo tu. Usijali. Nitajitahidi nirudie kama zamani - ila tu, hizi zama zingine! Nimetumikia Wikipedia hii kwa miaka minne mfululizo bila kusimama! Labda umefika wakati wa kupumzika huku nikijisukuma polepole huenda ile mojo ya zamani ikarudi! Narudia tena, hahusiki na kupotea kwangu. Hii ni hiari yangu na wala silazimishwi. Kila la kheri, mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:18, 28 Agosti 2012 (UTC)
==Uzoroastro==
Salaam nimeona makala nimefikiri umbo la jina Zoroasta / Uzoroasta labda ingefaa zaidi. Jinsi ilivyo naona sasa tatizo ya kwamba umetumia jina "Zoroaster" lakini dini kama "Uzoroastro" ambako ninahisi Kiitalia iliingilia kidogo. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:46, 1 Novemba 2012 (UTC)
Ndugu Kipala, ni furaha kila ninapoona unaendelea kujitokeza katika wiki yetu. Kuhusu jina la dini hiyo, inawezekana athari ya Kiitalia, lakini pia jina la Kiingereza Zoroastrianism limechangia. Sina shida ukipenda kubadilisha jina liwe rahisi zaidi. Samahani, niliwahi kuandika ombi la kurekebisha picha uliyoswahilisha ya mwaka wa Kanisa, kwa kuandika Siku Tatu Kuu za Pasaka badala ya Ijumaa Kuu - Pasaka: ni mtazamo mpana zaidi, unahusisha karamu ya mwisho na Jumamosi Kuu katika umoja wa fumbo la Pasaka. Asante. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:07, 2 Novemba 2012 (UTC)
== [[Unyakuo]] ==
Riccardo, salaam. Ni siku nyingi sana zimepita na sijapata kujua hali yako na hata kuomba msaada wa hapa na pale. Haya, leo nimekuja na shida kidogo. Ninaomba urekebishe hiyo makala kama unaelewa jamaa alitaka kumaanisha kitu gani. Nimeona mambo yanayokuhusu - ndiyo maana nimekuja kwako. Tafadhali saidia kupanua makala hiyo ili iwe Kiwikipedia zaidi na kuleta maana vilevile. Wako, Muddyb, au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:54, 4 Juni 2013 (UTC)
:Ni kweli, hatuwasiliani sana, ingawa ninahitaji bado maelekezo yako ya kiufundi. Kwa mfano, nikitaka kuongeza kati ya lugha zangu Kihehe, nitumie kifupisho kipi? HH? Au hairuhusiwi? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:05, 6 Juni 2013 (UTC)
::Haya, kama nimeweza kukuelewa - unajaribu kumaanisha zile lugha zako za ukurasa wa mtumiaji? Ikiwa ndiyo, basi naona hili hapa: katika msimbo wa lugha ya Kihehe kimataifa ni "heh". Sasa utatazama kama hatua yako ni "Heh" 1, 2, au 3! Ukijibu tu, nitakutengenezea kigezo cha lugha hiyo haraka iwezekanavyo. Ukiona unaweza kuendelea mwenyewe, basi sawa tu. Wako Muddyb au,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:00, 7 Juni 2013 (UTC)
== Aiuto per favore! ==
{{it}} Scusami, signor Riccioni.<br />
Il mio italiano non è buono.
{{en}} Can you help me with a small translation?<br />
My page [[:en:Le Monde's 100 Books of the Century]]<br />
What is a good Swahili name for the page?<br />
(Ho scritto anche la pagina italiana [[:it:I 100 libri del secolo di le Monde]].)<br />
Mille grazie. Nel Canada, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 15:28, 15 Julai 2013 (UTC)
:Hello again.
:The table now looks like this.
:It is always best to check the words with someone who really speaks the language.
{| class="wikitable sortable centre"
! scope=col | Nambari ?
! scope=col class="unsortable" | Mada ?
! scope=col class="unsortable" | Mwandishi
! scope=col | Mwaka
|----------------------------------
| align="right" | 1
| ''[[:en:The Stranger (novel)|The Stranger]]''<br />[[Picha:Fortjesusdoor.JPG|20px]] ''[[Mgeni]]''
| [[Albert Camus]] [[Picha:Nobel prize medal mod.png|20px]]
| [[1942|1942]]
|}
:Because there is only a limited amount of information available in Swahili, the page has working links into enwiki.
:Thanks again, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 19:22, 17 Julai 2013 (UTC)
== Vandalism(o) ==
Greetings again. I just repaired some vandalism to the [[Tanzania]] article, but I did not issue any warning, since I do not speak the language.
Fransisko wa Asizi:<br />
I saw his name at the top of this page.<br />
I saw St. Francis's robe in the museum in Assisi.<br />
You feel that you are in the presence of greatness.<br />
'''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 23:49, 19 Julai 2013 (UTC)
:Bureaucrats.
:Perhaps swwiki works differently from other projects. In other projects, it is usually experienced editors, rollbackers, admins who issues warnings, not bureaucrats specifically.
:I think a lot of projects have a template, with mature and reasonable wording, and then any responsible person can use that template, and simply add his name to its words.
:But I have not tried to discover how swwiki handles this problem.
:Best regards, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 06:35, 21 Julai 2013 (UTC)
::We don't have many editors in this Wiki. Feel free to provide any kind of help on that aspect. Surely I'm not an admin, but what if things happened and I need to take action for? Also you're allowed to create the tamplate and happily to have it translated into Kiswahili. With best regards,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 10:25, 22 Julai 2013 (UTC)
== Wiki Indaba conference ==
Salaam, P.Riccardo. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 12:32, 4 Novemba 2013 (UTC)
==Wilaya mpya, kata==
Salaam Riccardo! Naone umeshaanza kuhariri makala kadhaa za wilaya mpya. Mimi nimeangalia matokeo ya sensa naona hapa kuna orodha kamiliy a kata na wilaya kwa hali ya 2012. Kuna mabadiliko mengi. Kwa sasa naandaa orodha ya kata zota za wilaya zote; maana kuna wilaya mpya lakini pia kata mpya katika wilaya zote. Je unaweza kusaidia hapa? Nikipata email yako naweza kukutuma faili za excel na word penye orodha hizi. Asante. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:57, 27 Novemba 2013 (UTC)
::Mzee, nitasaidia kidogo kadiri ya nafasi. Anwani yangu ni ndugurikardo@yahoo.it SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:04, 29 Novemba 2013 (UTC)
==Asante !==
Napenda kukushukuru kwa kuchungulia mara kwa mara michango yangu! Kwa kweli naona A) kuna udhaifu upande wangu kurudia kusoma kwa makini yale niliyoandika na B) ilhali nakaa mbali na Waswahili siku hizi Kiswahili changu kimedhoofika kiasi - kwa hiyo: Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:26, 17 Desemba 2013 (UTC)
::Mzee, nafurahi kuchangia juhudi zako kwa ajili ya Afrika Mashariki. Hapa juu nilijibu ombi lako kuhusu wilaya mpya. Vipi, bado uko Iran? Ningependa kujua unafanya nini huko. Anwani yangu ya e-mail ni hii hapa juu. Heri za Noeli! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:18, 22 Desemba 2013 (UTC)
== Update on Upcoming Wiki Indaba Conference ==
Hello Sir.
My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.
The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.
As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.
This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.
Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.
Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.
my contact is rexford[@]wikiafrica.net
==Naomba ushirikiano wako!==
Mpendwa, nakuomba uangalie baada ya siku 2,3 kurasa hizi mbili:
1. [[Wikipedia:Wakabidhi#Kusafisha_orodha_ya_Wakabidhi_mwaka_2014]]<br>
2. [[Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Wiki_Indaba_2014]]
Kuhusu 1) napendekeza kuwachagua wakabidhi wapya na kuondoa wale waliomo katika orodha ya wakabidhi lakini hawakuwepo tangu miaka 2.
Kuhusu 2): nahitaji msaada na mawazo yenu. Nitashiriki kwenye mkutano wa Wikimedia mwezi wa Juni. Inaonekana mimi ndipo mchnagiaji wa pekee kutoka Wikipedia yetu. Ninajitahidi kupeleka mawazo ya jumuiya yetu. Naomba michango!
Nitaongeza karibuni mawazo yangu kuhusu mambo ninayoona kuwa na maana kwa mtazamo wangu. Ujumb huu natuma kwa wachangiaji wanaoonekana katika orodha ya wachangiaji hai waliochangia zaidi ya mara 3 katika siku 30 zilizopita!
Ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:27, 13 Mei 2014 (UTC)
==Hongera na Pole!==
Nd Riccardo, sijui kama umeona ya kwamba umepigiwa kura kupewa madaraka ya mkabidhi katika wikipedia hii? Nataka kufunga kura sasa karibuni wote walioshiriki walisema NDIYO. Ni cheo kidogo zaidi nafasi ya kufanya kazi... Namshukuru Mungu ya kwamba umejiunga nasi! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:20, 22 Mei 2014 (UTC)
:Ndugu, sikuona chochote. Imekuwaje? Ninachoweza kusema ni kuwa sina utaalamu zaidi wa kompyuta, hivyo mambo mbalimbali ya Wiki kwangu bado ni mafumbo... Nadhani nitakachoweza kufanya ni kuendelea kama sasa. Kwa vyovyote, asante kwa walionipa kura, kwa wale wasionipa na hasa kwako. Amani kwenu!
::Ingekuwa msaada sana kama unashiriki tu kila unapoingia A) kuwapa watumiaji mapya waliojiandikisha alama ya <nowiki>{{karibu}}</nowiki> na B) kila unapoona makala mpya kuitazama na ukiona haifai au kama una mashaka kuweka alama ya <nowiki>{{futa}}</nowiki> juu kabisa ya makala na kuiingiza katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]]. C) ukiona makala iliyoharibiwa kwa kuingiza matusi au fujo tupu ni vema kumzuia huyu aliyeandika. Kuzuia anwani zisizoandikishwa ina faida ndogo to mara nyingi ni internet cafe lakini mimi nambana hata hivyo kwa muda. Hata kama unafanya A) pekee itasaidia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 23 Mei 2014 (UTC)
:::OK, nitajifunza... --'''[[Mtumiaji:Riccardo_Riccioni|Riccardo Riccioni]]'''
== Article request questions ==
Hi, Riccardo! Do you do article requests in Swahili? There are some aviation-related articles and articles about Kenya on the English Wikipedia which do not yet have Swahili versions. If you are interested I can give you a list.
Thank you
'''[[Mtumiaji:WhisperToMe|WhisperToMe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:WhisperToMe|majadiliano]])''' 07:57, 19 Agosti 2014 (UTC)
== [[Maurizio Malvestiti]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Ho visto che hai fatto alcune modifiche alla pagina del nouvo vescovo della mia diocesi, grazie! Ti chiedo, quando avessi 5 minuti, di inserire qualche notizia o nota per ampliare la pagina.
Ti ringrazio per l'aiuto e ti auguro buona domenica. Grazie ancora e a presto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 12:48, 31 Agosti 2014 (UTC)
: Grazie mille! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:51, 31 Agosti 2014 (UTC)
== {{int:right-upload}}, [[commons:Special:MyLanguage/Commons:Upload Wizard|{{int:uploadwizard}}]]? ==
[[Image:Commons-logo.svg|right|100px|alt=Wikimedia Commons logo]]
Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on [[MediaWiki talk:Licenses]] and the village pump. Thanks, [[m:User:Nemo_bis|Nemo]] 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)
<!-- Message sent by User:Nemo bis@metawiki using the list at http://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User_talk:Nemo_bis/Unused_local_uploads&oldid=9923284 -->
== Kigezo Ukristo! ==
Salaam. Mzee wangu, ile kazi uliyonituma nimeimaliza! Sasa zimeungana na kama ulivyotaka! Kila la kheri..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:54, 22 Septemba 2014 (UTC)
== [[:en:Do not buy Russian goods!]] ==
Hello! Could you translate an article about boycott of Russian goods in Ukraine for the Swahili Wikipedia? Thanks for the help. --'''[[Mtumiaji:Trydence|Trydence]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Trydence|majadiliano]])''' 16:00, 16 Oktoba 2014 (UTC)
==Rosetta / Churyumov–Gerasimenko ==
Rafiki, umenishinda!! Nafungua makala nataka kuingiza habari - kumbe iko tayari! Asante!! --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:58, 13 Novemba 2014 (UTC)
:Ndugu Kipala, asante kwako. Tunaendeleza ulichoanzisha wewe. Sikiliza, tangu mliponichagua kuwa sysop nimejitahidi kufanya nilichoweza, lakini nimeona shida moja: niki-patrol kurasa mpya natoa maoni yangu katika ukurasa wa majadiliano, lakini baadaye naona kimya. Mara chache nimeambiwa nikate shauri mimi nisisubiri, lakini mara nyingine ni muhimu kusikia nyinyi mnasemaje. Au niandike katika ukurasa wako mwenyewe? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:14, 15 Novemba 2014 (UTC)
==Kuhusu mkutano wa Machi 2015 na mawasiliano na WMF==
Salaam naomba utazame hapa: [[Majadiliano_ya_Wikipedia:Wakabidhi#Mawasiliano_na_ofisi_ya_WMF_-_Wikimedia_Foundation_.2F_Asaf_Bartov]] na kuchangia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:56, 3 Desemba 2014 (UTC)
::Asante kwa ushauri woote! Sasa naomba lete pendekezo na namba. Binafsi sijali nyota sana pia sina picha siku hizi nyota ina maana gani TZ. Mende wachache (au bila - ikiwezekana), usafi kiasi, vyumba vilivyoona rangi mpya karne hii... Mimi nahitaji kiasi fulani ninayoweza kutaja, je unaweza kuulizia? Nitashukuru!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:30, 3 Januari 2015 (UTC)
:::Riccardo, samahani nikirudia ombi langu la hapo juu. Unaweza kunipa makadirio yoyote kuhusu gharama ya malalo? Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:46, 10 Januari 2015 (UTC)
== Habari gani? ==
Ubarikiwe, ndugu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:55, 21 Machi 2015 (UTC)
== AutoWikiBrowser ==
Ndugu, kiungo cha hiyo programu ni https://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:AutoWikiBrowser - ubarikiwe! --[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] 14:08, 21 Machi 2015 (UTC)
== Kitabu cha Historia ya Kanisa ==
Ninavyoona hakimiliki ziko kwangu. Kilichapishwa na "Motheco Publishers" - sijui kama bado wako lakini hakuna mapatano kati yetu yale yote yalikuwa kimdomo tu na watu ambao hawako tena leo. Nisingekuwa na tatizo kuiweka kwenye wikitabu ukiona inaweza kufaa (nilisita maana sijaridhika tena) lakini kule kumefungwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:53, 3 Aprili 2015 (UTC)
== Mchango wa mawazo ==
Ndugu {{BASEPAGENAME}}, kuna makala nimetunga, lakini kumbe yapo mengine (ijapokuwa ile yangu imetanuka zaidi). Tafadhali tupieni jicho hapo: [[Majadiliano:Uislamu nchi kwa nchi]].. Kisha fanyeni uamuzi..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 19:07, 15 Aprili 2015 (UTC)
== Shukrani kwa masahihisho ==
Ndugu Riccardo, salaam. Shukrani sana kwa masahihisho. Siku nyingi zimepita bila kuhariri na nahisi shida za hapa na pale.. Tuvumiliane hivyohivyo. Eh, tena nitafurahi kama utaendelea kuweka lugha sawa. Uwezo wangu umepungua kiasi kikubwa sana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:47, 17 Aprili 2015 (UTC)
== [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi Nassoro]] ==
Ndugu Riccardo, salaam. Nimeanza kuchoka na [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi]] alivyochoka pia Ndg Muddyb. Huyo Silausi akiendelea kubadilisha makala bila kufuata mashauri yetu na kanuni za [[Wikipedia:Umaarufu]], nitamzuia kwa muda kadhaa. Bahati mbaya inaonekana kama ataanzisha akaunti nyingine tena alivyofanya baada ya kuzuiliwa kama [[Mtumiaji:Lusajo Chicharito Brown]]. Unaonaje? Wasalaam, '''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:45, 29 Juni 2015 (UTC)
:Tukimtambua, naona tumzuie kwa jina lolote na kufuta kurasa zake zote. Atachoka tu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:39, 30 Juni 2015 (UTC)
== Wingi wa ushanga! ==
Salaam, Ndugu Riccardo. Eti wingi kirai au neno "Ushanga" ni aje?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:00, 4 Agosti 2015 (UTC)
:Vipi? Si shanga? Walau nasikia hivyo, ila sijaangalia kamusi yoyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:49, 6 Agosti 2015 (UTC)
::Basi nilifanya hivyo, lakini katika makala ya masafa marefu ulibadili wingi wake na kuweka umoja wake.. Niliandika biashara ya shanga (wingi) ukaweka "ushanga" (umoja). Swali, waliuza shanga au ushanga? Biashara zilivyo - sidhani kama watafsiri masafa marefu kwa kitu kimoja. #SamahaniLakini. Wako--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:40, 7 Agosti 2015 (UTC)
:::Sijui ilikuwaje. Sasa nimerekebisha kwa kuwela kiungo kwenda umoja, na labda ndivyo nilivyotaka kuboresha makala yako. Pole kwa usumbufu. Mara nyingi tunafanya kazi kwa hofu ya umeme kukatakata! Amani kwako. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:49, 7 Agosti 2015 (UTC)
==Tafadhali uangalie jamii kuhusu mfumo wa kuanzisha makala==
Mpendwa, nakuomba kuaangalia [https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Kura_juu_ya_utaratibu_wa_kuanzisha_makala_mapya_.28.22Community_request_to_disable_article_page_creation_by_anonymous.2FIP_editors.22_.29 ukurasa wa Jumuiya]. Tuliomba wikimedia ya kutpa mfumo wa kuzuia watumiaji wasiojiandikisha wasianzise makala mapya. Kusudi lilikuwa kupunguza idadi ya makala mabaya yasiyotosheleza masharti ya wikipedia ilhali tuko wachache mno kuziangalia. Wikipedia kubwa kadhaa zinatumia utaratibu huu (kama en:wikipedia) lakini sisi tunapaswa kupeleka ombi kwa kamati fulani. Kamati hii wametupa nafasi kwa kipindi ha miezi 6 tu inayokwisha karibuni. Sasa wanakamati wamekuja wanadai tujieleza au watarudisha mfumo huu nyuma. Mimi nikiwa 1 kati ya wachache wanaochugulia makala mapya naona itaturudisha nyuma. Naomba mchangie! Sanaaaaa!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:35, 10 Septemba 2015 (UTC)
== Hatua ==
Ndugu zangu, hongera ninyi nyote kwa kufikia makala 30,000, kazi nzuri! Mlifanya mbio za nyika kweli. Nilisafiri kwa hivyo sikuiona sasa hivi. Tuendelee mpaka hatua ijayo: 40,000. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:53, 24 Septemba 2015 (UTC)
== RE:Infobox Country ==
Salaam Ndugu Riccardo. Ahsante kwa pongezi (ijapokuwa sijioni miongoni mwa hao wanaostahili! Kuhusu vigezo tajwa hapo juu, kwanini usimuulize Kipala? Yeye ndiye alikuwa anaumba (nadhani) kama sio kuumba, basi kutumia mara kwa mara. Au labda ungefuata kimoja kizuri kisha tumia kama msingi wa maumbo ya baadaye. Wako, Muddyb au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:25, 25 Septemba 2015 (UTC)
== Mwendokasi! ==
Salaam Ndu. {{BASEPAGENAME}}! Ninahisi sasa punde sitokushika tena. Mwendokasi huu ni zaidi ya garimoshi la umeme. Hongera na makala ya Historia ya Afrika. Sikupati tena.. Ila pongezi sana. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:10, 1 Oktoba 2015 (UTC)
Elimu ndio msingi wa maisha ya binadamu.
==Sala==
Nakuasa ndugu tujaribu kukumbuka hata kidogo hawa wenzetu wanaofanya mtihani wa kidato cha nne Mungu awape uzima tele na kuwakumbusha yale ya msingi waliyoyafanya kwa kipindi cha miaka minne walipokuwa shuleni,pia awalinde katika kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza shule kwa 0,level.
Tunaomba uiombe shule yetu katika kipindi hiki kigumu mitihani ya taifa
== AMANI ==
TUITUNZE AMANI YETU HAPA NCHINI TULIYOJALIWA NA MWENYEZI MUNGU
== SHUKRANI ==
Tunakushuru ndugu Riccardo kwa kutupa malezi bora hapa shule na tunamuomba mungu akujalie maisha maisha malefu zaidi na akupatie nguvu ili uendele kuifanya kazi
yake BWANA
==Salamu ==
Mpendwa, uliniandikia kwenye ukurasa wangu nikajibu sijui kama uliiona. Kama la angalia hapa: [[Majadiliano_ya_mtumiaji:Kipala#Kujisomea]]. Nitafurahi kuona jibu lako!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:56, 15 Novemba 2015 (UTC)
== meanings of ''[[mafuta]]'' ==
Hello, nice to meet you and sorry for writing in English. I noticed that you had [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mafuta&diff=960910&oldid=960909 removed interwiki links] at that page which are bound with a concept [[d:Q42962|''oil'']]. I probably understand why you did so, because the term ''[[wikt:mafuta|mafuta]]'' has at least two meanings: “oil / olio” and “grease / grasso”. Do I think right about it? If so, I would like to add this page to the links of [[d:Q10379768]], which treats the both above-mentioned meanings. Your sincerely, '''[[Mtumiaji:エリック・キィ|Eryk Kij]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:エリック・キィ|majadiliano]])''' 04:17, 7 Januari 2016 (UTC)
:May be, but I don't understand those languages. If you are certain, link them with Swahili mafuta. I think I removed the links because now we use Wikidata. But if I did a mistake, let you undo my deletion. All the best! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:44, 9 Januari 2016 (UTC)
== Kazi ya Mcdonaln Aloyce Fute ==
Ndugu Riccardo, salaam. Ikiwa [[Mtumiaji:MCDONALN ALOYCE FUTE|MCDONALN ALOYCE FUTE]] ni mwanachama wa kilabu chenu huko Morogoro, labda umwambie kwamba haileti faida kubwa akiendelea kuanzisha makala nyingi za miaka kabla ya Kristo kama hata wanahistoria wataalamu hawajui kitu kuhusu miaka ileile (ukiangalia wikipedia ya Kiingereza utakuta kwamba miaka kadhaa haina makala). Tuingize habari zifaazo katika makala zetu. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:05, 23 Januari 2016 (UTC)
:Ndugu, ni kweli unavyosema. Mcdonaln ni mwanafunzi wetu wa kidato cha tatu, hivyo anachangia anavyoweza. Acha kwa sasa azoee kazi na kuipenda. Baadaye atatoa mchango wa thamani zaidi. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:21, 24 Januari 2016 (UTC)
::Ndugu Riccardo, ni sawa azoee. Lakini sasa kuanzisha makala za miaka ya KK bila yaliyomo hakutamfundisha kuipenda kazi ya wikipedia. Nilimshauri aingize angalao tukio moja kwa kila mwaka ili wasomaji wapate faida. Mpaka sasa hajajibu, anaendelea kuanzisha makala mpya tu bila habari. Naomba uongee naye ana kwa ana. Lazima aendelee katika michango yake badala ya kuanzisha makala tupu tu. Asante. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 19:42, 14 Februari 2016 (UTC)
:::Ukisikia maneno ya kiutuzima ndiyo haya! Yaani, hivi, Dokta Stegen anajaribu kutueleza ya kwamba tuumbe makala yenye faida na si kuandikaandika miaka tu bila maana. Nimekuelewa uzuri kabisa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:06, 15 Februari 2016 (UTC)
::::Mtoto ni mtoto, acha akue! Mwenyewe ataona kuna kazi nzuri kuliko hizo za kiroboti... Umeona mwenzake Daren Jox ameshaanza kuingiza picha na maneno mbalimbali? Tuwape muda. Muhimu wasiharibu. Kama kazi ni za bure, hata Wikipedia nyingine zinazo. Pia hizi fremu zinaandaa na kukaribisha michango, kama tunapoweka viungo kuelekea kurasa ambazo hazipo. Yeyote atakayependa kuingiza habari za miaka hiyo KK watakuta fremu iko tayari, wasihitaji kwenda kutafuta kwenye wiki nyingine, kunakili na kubandika. Kuhusu kujibu, nitamuambia, lakini katika hilo pia tuelewe kwake ni kazi mpya. Naomba tusianze vita bure! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:31, 17 Februari 2016 (UTC)
:::::Haya, asante, mzee. Nitamwacha. Wewe ni mwalimu wake. Nisimkatishe tamaa mwanafunzi wako. Kweli tusiwe na vita! Wako katika kuendeleza elimu mtandaoni, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:09, 17 Februari 2016 (UTC)
== NAOMBA MSAADA WA NAMNA YA KUWEKA PICHA ==
Asante sana. Lakini pia napata shida kuweka picha. picha zinapatikana katika wikipedia ya Kiingereza. nawezaje kuzitumia pia katika kurasa zangu? --JERRYN159
:Fungua makala penye picha unayopenda kwa kugonga "Edit source". Sasa utaona sehemu ya picha. Picha inafungwa katika mabano mraba <nowiki>[[,,,,]]</nowiki>
:Kwa mfano: <nowiki>[[File:Poland1939 GermanPlanMap.jpg|thumb|Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]]</nowiki>
:Sasa unanakili sehemu yote pamoja na mabano mraba "<nowiki>[[ ...]]</nowiki>" na kuibandika katika makala ya Kiswahili mahali unapotaka.
:Hatua zinazofuata ni
:a) unafuta matini ya kiingereza kuanzia mstari baada ya neno "thumb|" yaani thumb|'''Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]] '''
:b) sasa unaweka badala yake matini ya Kiswahili, kwa mfano: thumb|'''Ramani inayoonyesha mpangilio na mipango ya kusogea ...]]'''
:c) sasa bofya "onyesha hakikisho la mabadiliko" na utazame ulichofanya. Kama unakubali gonga "hifadhi ukurasa". Kama hukubali sahihisha na kuangalia tena hadi unaridhika.
:d) ukiridhika bofya "hifadhi ukurasa". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 01:49, 16 Februari 2016 (UTC)
== Famouse Ukrainian People or maarufu Kiukreni ==
:Hello [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]! Sorry for writing in English. I don`t understand Swahili. I ask you to contribute with translation into the Swahili language. Could you or other users of your wikipedia translate some articles, that dedicated for prominent figures in Ukraine. The list shown on the page [[Wikipedia:Makala zilizoombwa]]. It is equipped interlanguage links and given pronunciation on Latin alphabet.--'''[[Mtumiaji:Yasnodark|Yasnodark]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Yasnodark|majadiliano]])''' 11:36, 10 Aprili 2016 (UTC)
== Askofu Isuja ==
Ndugu Riccardo, naona kwamba umeweka siku ya leo kama tarehe ya kufariki kwa Askofu Isuja. Nimesikitika sana kusikia hivyo. Habari hiyo imetokea wapi? Asante kwa kazi yako yote kwa ajili ya wikipedia yetu. Wako katika kujenga elimu, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:53, 13 Aprili 2016 (UTC)
:Ndugu, habari ni ya kweli: alifariki katika hospitali ya Itigi. Habari niliipata kwanza kwa mwalimu wetu aliyepewa kipaimara na marehemu, halafu nimeikuta tayari katika ukurasa wa Wikipedia juu ya Isuja. Baadaye kwa wengine pia. Apumzike kwa amani. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:11, 14 Aprili 2016 (UTC)
::Asante kwa kunijulisha. Lugha yake ya mama, yaani lugha ya Kirangi, nimeifanyia kazi tangu 1996. Warangi watamkumbuka sana. Apelekwe mahali penye raha ili apumzike kutoka kazi zake zote. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:24, 14 Aprili 2016 (UTC)
==Mto Kongo==
Salaam uliingiza masahishi katika makala wakati bado nahariri. Ili kuokoa nyongeza zangu nilipaswa kuhifadhi upya na mabadiliko yako sasa yamepotea. Pole. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:06, 1 Mei 2016 (UTC)
== Vandalism ==
Hi. I noticed a user that is vandalising pages, including your user page. You are one of the local admins that is active here, so let me know if you want some help with this user, of if you prefer to handle it yourself. -- '''[[Mtumiaji:Tegel|Tegel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tegel|majadiliano]])''' 10:46, 1 Mei 2016 (UTC)
==[[logi]]==
Salaam ilhali mimi ni mdhaifu sana katika mambo ya hisabati naomba kama uwezekano upo umwonyeshe mwalimu wa hisabati ukurasa huu [[logi]] (labda umpe ukiuchapisha) na kumwuliza kama chaguo ya maneno ni sahihi, kama maelezo hadi hapo ni sahihi na labda pia kama inaweza kusaidia, au ni nini iliyokosewa au kukosekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:50, 1 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%92%D0%B8%D0%BA%D0%B8%D0%BF%D0%B5%D0%B4%D0%B8%D1%8F:%D0%A4%D0%BE%D1%80%D1%83%D0%BC_%D0%B0%D0%B4%D0%BC%D0%B8%D0%BD%D0%B8%D1%81%D1%82%D1%80%D0%B0%D1%82%D0%BE%D1%80%D0%BE%D0%B2 here] question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 08:12, 9 Mei 2016 (UTC)
== Unisamehe mzee wangu ==
Salaam tele kutoka mjini, Dar es Salaam.
Ninaomba unisamehe mzee wangu kwa kutoweka jamii au kuumba jamii ambazo ninaziweka.
Nimeona mara kadhaa umeingia kila mahali na kuweka jamii husika.
Siku mingi sijaja humu vilevile furaha yangu kuona nyendo zangu kuna wakubwa wanaangalia!
Ubarikiwe sana.
Wako,
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:40, 14 Mei 2016 (UTC)
:Tunakuhitaji sana, hivyo tunafurahi kukusoma tena. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:51, 14 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%9E%D0%B1%D1%81%D1%83%D0%B6%D0%B4%D0%B5%D0%BD%D0%B8%D0%B5_%D1%83%D1%87%D0%B0%D1%81%D1%82%D0%BD%D0%B8%D0%BA%D0%B0:Alex_Spade here] (this talk user page) question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 22:11, 17 Mei 2016 (UTC)
== Grazie mille ==
Carissimo Riccardo, grazie mille per il tuo aiuto. Sai, quest'estate, ero a Pesaro il 24 agosto, e sono stato svegliato all'alba dal terremoto. Il mio letto ha tremato per 30 secondi come una barca!!! Che paura!!!
Ma sono ancora qui, e devo pregare per tutti quelli che non ci sono più.
Grazie ancora per l'aiuto e a presto!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 22:27, 8 Septemba 2016 (UTC)
: Com'è piccolo il mondo, mons. Borromeo era lodigiano come me ed è stato vescovo di Pesaro, e il mio parroco, abito a Caselle Landi, ha il papà di Montalto! Pace anche a te, fratello! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:42, 9 Septemba 2016 (UTC)
:: Yaaaaahhhhhh, mi bastava qualcuno che mi desse il ''la''. Non credo di riuescire a farle tutte, ma comincio subito!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:27, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Piacenza-Bobbio|Si comincia]]!!! ==
Fattoooooo!!! Per favore, mi tradurrest le 4-5 parole che ho inserito in [[Jimbo Kuu la Pesaro|questa pagina]]? Grazie mille per il tuo aiuto prezioso!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:48, 10 Septemba 2016 (UTC)
::(eccetto 3), cioè le 2 diocesi e l'abbazia che seguono il rito bizantino. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:12, 10 Septemba 2016 (UTC)
::: Grazie per l'aiuto, ma non capisco cosa vuoi dire con ''eccetto 3''. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:16, 10 Septemba 2016 (UTC)
::::era quello che avevo aggiunto io. La traduzione delle tue parole la trovi in Jimbo kuu la Pesaro. Buona Domenica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:19, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Vigevano]] E [[Gianni Ambrosio]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Qui, nella Bassa Padana, si muore di caldo, a Caselle Landi ci sono ancora 35°C!!!
Ho aperto queste due nuove pagine, e ti chiedo qualche minuto del tuo tempo, per favore, per vedere se ci sia qualcosa da limare. Grazie mille per l'aiuto prezioso!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:39, 11 Septemba 2016 (UTC)
: Grazie ancora e pace a te, em comunhão! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 21:27, 12 Septemba 2016 (UTC)
== How to improve Swahili-wikipedia? ==
I dont speak Swahili, sorry, but I wrote a little piece on [[Donald Trump]] anyway, using google translation. Its good if you can check and improve. He is the newly elected American president, as you know. Also, if you can check [[Astrid Lindgren]] it would be good. She is a very famous author of childrens books, known worldwide for her stories. See English wikipedia etc. Another thing I have thought about is that all the African wikipedia-versions are very undeveloped. Including swahili, although its a quite big language. I would like to get in touch with people with whome I can talk (in English) about this, and strategies for improvement. One thing that I have thought about is that there should be some people in Tanzania, Kenya and Uganda that are paid to have courses on wikipedia. For example in local groups at home, or in schools. What do you think? --'''[[Mtumiaji:Mats33|Mats33]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mats33|majadiliano]])''' 16:59, 11 Novemba 2016 (UTC)
:Speaking of improving Swahili Wikipedia, are you for real? Or you've just wrote so Riccardo could have the Trump's article cleared out?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:36, 12 Novemba 2016 (UTC)
::Hi Mats33, kindly describe where your interest in sw:wiki comes from. Where are you active and visible on wikimedia? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:09, 12 Novemba 2016 (UTC)
==Warsha, ombi la makala==
Salaam, nitashukuru ukioata nafasi kumwuliza mwalimu wa chuo kama aliona email yangu. Sijapata jibu tangu kuandika wiki 2 sasa.
Halafu ombi: Tunahitaji makala za [[jando]] na [[unyago]]. Naomba usaidie. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:03, 17 Novemba 2016 (UTC)
Mnaijeria wa chuo alikuwa anasubiri e-mail yako. Halafu akatuma watu kuniulizia. Niliposikia hivyo, nilimtumia ujumbe kwamba mimi nilipata nakala, halafu nikamtumia. Sijajua kama sasa ameipata au alikosea kunipa anwani yake. Kuhusu makala hizo, nitajaribu. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:14, 18 Novemba 2016 (UTC)
== Asking to a permission/advice/review ==
Hi. I have a question. I would like to translate some articles to Swahili (mostly about computer science). But I don't speak Swahili. So, I've found the non-native Swahili speaker, making translations for money. But since I don't speak Swahili at all, I can't rate these translations by myself. The examples may be found [[Mtumiaji:DoctorXI|on my page]]. Is the quality of the articles satisfactory? Should I place such articles to the public categories? Or should I place them in the sandbox or somewhere for review? Or the translations are just bad, and I search another translator? (Repost from [[Majadiliano ya mtumiaji:Malangali]]) --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 12:32, 22 Desemba 2016 (UTC)
Could you, please, recommend a good translator from English? For example, for $18 per 1800 characters (1 page). --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 14:23, 23 Desemba 2016 (UTC)
== Translation ==
Hello, could you please translate '''Automatic refresh (Aggiornamento automatico)''' to {{#language:sw}}? Thanks '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 20:07, 13 Januari 2017 (UTC)
:Where is it? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:11, 14 Januari 2017 (UTC)
::It's not an article. I just need the sentence translated. '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 11:46, 14 Januari 2017 (UTC)
:::I don't know the approved translation. I would try "upyaisho wa kujichipua", but it is very enigmatic! Let you ask somebody other. Thank you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:01, 15 Januari 2017 (UTC)
== Share your experience and feedback as a Wikimedian in this global survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! The Wikimedia Foundation is asking for your feedback in a survey. We want to know how well we are supporting your work on and off wiki, and how we can change or improve things in the future. The opinions you share will directly affect the current and future work of the Wikimedia Foundation. You have been randomly selected to take this survey as we would like to hear from your Wikimedia community. To say thank you for your time, we are giving away 20 Wikimedia T-shirts to randomly selected people who take the survey. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes.
<big>'''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now!]'''</big>
You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. Please visit our [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions page]] to find more information about this survey. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email to surveys@wikimedia.org.
Thank you!
--[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 21:41, 13 Januari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
==Kura kuhusu wikisource==
Salaam kuna [[Wikipedia:Jumuia#Pendekezo:_Tuanzishe_kitengo_cha_WikiSource_NDANI_ya_wikipedia_yetu| Pendekezo: Tuanzishe kitengo cha WikiSource NDANI ya wikipedia yetu]] unaombwa kuiangalia na kupiga kura! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 02:06, 29 Januari 2017 (UTC)
== Matumizi ya namba ==
Ndg. Riccardo, salaam. Je, ungeweza kumwelezea mwanafunzi wako Macdonaln Aloyce Fute jinsi ya kurejea makala za namba kwa makala za miaka? Tena mambo ya namba tasa nilivyofanya kwa namba kuanzia [[Mia_tano_na_arobaini|540]] hadi [[Mia tano na hamsini na sita|556]]. Nitashukuru sana! Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:45, 30 Januari 2017 (UTC)
:Kazi ya miaka ni rahisi, ila kuhusu namba tasa sidhani ataweza... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:29, 31 Januari 2017 (UTC)
::Asante! Hata akifanyia kazi miaka tu, itakuwa msaada mkubwa. Nami nitaendelea na namba tasa. ... Amani na iwe kwenu pia! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 15:41, 31 Januari 2017 (UTC)
== Neptuni / Kausi ==
Salaam, naona umehamisha makala ya Neptun kwenda "Kausi". Ukisoma [[Majadiliano:Sayari]] utaona ya kwamba naona sababu za kuamini hili ni kosa. Sijakuta ushuhuda wowote ya kwamba kuna jina la "Kausi" kwa ajili ya sayari hii. Kwa bahati mbaya kosa lililotokea wakati wa kutunga orosha ya sayari kwa [[KAST]] limeenea hadi vitabu kadhaa vya shule ya msingi. Naona "Kausi" ni kosa lakini je tufanyeje?? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:21, 12 Februari 2017 (UTC)
:Miezi iliyopita nilipendekeza badiliko hilo baada ya kuona kamusi 2-3 za mwisho, ikiwemo KKK, zimepitisha jina Kausi. Kwa kuwa hakuna aliyepinga, nimechukua hatua ya kuunganisha kurasa mbili katika jina jipya ambalo linazidi kuzoeleka. Kinachobaki ni kutafiti limetoka wapi... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:04, 13 Februari 2017 (UTC)
::Samahani pendekezo hili sijaona. Umeleta wapi? Mimi nakumbuka tu majadiliano hapa [[Majadiliano:Neptun]], ilhali Neptune hapakuwa na majadiliano. Pia nikiangalia "Kausi" katika Kamusi Kuu ya Kiswahili, maelezo yake ni wazi '''si''' Neptuni. "Kausi - aina ya nyota ambayo hutumiwa na waganga wa kienyeji kupigia ramli, bao". Maanake hii "Kausi" (bado nimetafuta asili ya neno katika kamusi zangu) ilijulikana kwa wazee lakini Neptuni haikujulikana maana haionekani bila mitambo kwa hiyo haina matumizi katika mapokea na shughuli za waganga wa kienyeji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 13 Februari 2017 (UTC)
:::Kumbe nimepata mwanga! Kausi inatokana na Kiarabu القوس al-qaus inamaanisha upinde yaani zodiaki inayoitwa kwako nyumbani sagittario. Narejea makala ya Knappert, AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105. nukuu hapo:
:::"Swahili astrologers concentrate first and foremost on the signs of the Zodiac, Buruji za Falaki, whose names are all from Arabic: Hamali, Aries - Mizani, Libra - Thauri, Taurus - Akarabu, Scorpio - Jauza, Gemini - '''Kausi, Sagittarius''' - Saratani, Cancer - Jadi, Capricornis - Asadi, Leo - Dalu, Aquarius - Sumbula, Virgo - Hutu, Pisces
:::... The Swahili names of the Planets are: Mercury, Utaridi; Venus, Zuhura; Mars, Mirihi; Jupiter, Mushitari; and Saturn, Zohali."
:::Naona kitabu cha rejeleo kuu ni J. Knappert, List of names for stars and constellations, in Swahili, xxxv/1 (Dar es Salaam, March 1965) . Basi nitajarib kuipata. Sasa naelewa jinsi gani sehemu ya orodha ya sayari zimepata majina kama Sumbula au Saratani: zimetungwa na watu ambao ama walisikia au kusoma majina ya zodiaki na kuyatumia kwa sayari kwa kukamilisha oeodha - bila kujua wanachofanya. Je tunaweza kusema swali la Kausi limepata jibu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:53, 13 Februari 2017 (UTC)
::::Kwa rejeo lako, NGUMU kusema jibu limepatikana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:46, 14 Februari 2017 (UTC)
:::::Napata picha ya uhakika sasa: Kausi ni jina la "buruji ya falaki" (kwa lugha ya Waswahili asilia wenyewe) yaani kundinyota za zodiaki inayoitwa "sagittarius" kwa Kilatini/Kiingereza. Kwa hiyo ni jina linalojulikana kabisa katika utamaduni wa Waswahili lakini si kwa sayari (ambayo haiwezekani kwa Neptuni). Kama watu wameitumia kwa sayari ya Neptuni ni kosa. Marejeo kwa kujisomea hapa: [https://archive.org/stream/EncyclopaediaDictionaryIslamMuslimWorldEtcGibbKramerScholars.13/08.EncycIslam.NewEdPrepNumLeadOrient.EdEdComCon.BosDonLewPel.etc.UndPatIUA.v8.Ned-Sam.Leid.EJBrill.1995.#page/n115/mode/2up/search/NUDJUM J Knappert, fungu "In East Africa", makala AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105]
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:20, 14 Februari 2017 (UTC)
== Your feedback matters: Final reminder to take the global Wikimedia survey ==
(''Sorry to write in English'')
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! This is a final reminder that the Wikimedia Foundation survey will close on '''28 February, 2017 (23:59 UTC)'''. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes. '''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now.]'''
If you already took the survey - thank you! We won't bother you again.
'''About this survey:''' You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project here]] or you can read the [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email through EmailUser function to [[:m:Special:EmailUser/EGalvez_(WMF)| User:EGalvez (WMF)]]. '''About the Wikimedia Foundation:''' The [[:wmf:Home|Wikimedia Foundation]] supports you by working on the software and technology to keep the sites fast, secure, and accessible, as well as supports Wikimedia programs and initiatives to expand access and support free knowledge globally. Thank you! --[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 07:35, 23 Februari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
== WMCon 2017 Berlin ==
Ndugu, salaam. Nataka kukujulisha tu kwamba nimealikwa kuhudhuria [https://meta.wikimedia.org/wiki/Wikimedia_Conference_2017 Wikimedia Conference 2017], nami nikajisajili tayari. Sitahudhuria rasmi kwa ajili ya wikipedia yetu bali kama mwanakamati wa [https://meta.wikimedia.org/wiki/Language_committee#Current LangCom]. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:58, 4 Machi 2017 (UTC)
== Ombi la MetaWiki ==
Salaam,
Naomba munichangie msaada wa kukubali ombi langu la kupewa laptop kule Meta-Wiki. Kiungo [https://meta.wikimedia.org/wiki/Hardware_donation_program/Muddyb#Endorsements hiki hapa]. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:13, 17 Machi 2017 (UTC)
:Samahani, lakini mimi pia nimeomba: watakubali niunge mkono ombi lako? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:25, 17 Machi 2017 (UTC)
::Sijajua. Tumuulize Kipala?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:37, 17 Machi 2017 (UTC)
:::Badili hii: '''STATUS''' weka '''OPEN''' badala ya sasa iko '''DRAFT'''----[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:40, 17 Machi 2017 (UTC)
Status
== : )==
''Grazie mille'' /Asante sana! '''[[Mtumiaji:Gaudio|Gaudio]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaudio|majadiliano]])''' 20:19, 23 Machi 2017 (UTC)
PIRLA CHI LEGGE
== Buongiorno da [[Coreca]] e [[Campora San Giovanni]] ==
Buongiorno Padre Riccardo,
spero tutto bene lì da voi, qui abbastanza bene per ora, ringraziando Dio stanno iniziando le belle giornate e mi posso dedicare alla campagna e a Wikipedia. Le scrivo per chiederle una cortesia se può e vuole e ha tempo per me. Grazie al web ho avuto modo di conoscere amici di Uganda, Kenya e Tanzania grazie anche al nostro amato parroco don Apollinaris che è di quelle zone (di [[Moshi (mji)|Moshi]] per l'esattezza), e ultimamente sto aggiornando tutte le pagine dei due borghi dove vivo e lavoro e dove ovviamente il sacerdote presta servizio. Mi chiedevo se le andrebbe di ampliare e/o aggiornare le pagine di [[Coreca]] e[[Campora San Giovanni]], giusto e non più di 20 minuti del suo prezioso tempo. Oltre a questo, presto o forse in queste ore, un mio amico di Facebook proveniente dal Kenya si iscriverà nella Wikipedia Swahili, su mio suggerimento gli ho detto che lei potrà aiutarlo i primi tempi, bene detto questo spero di avere sue notizie quanto prima, un caro saluto da Coreca e Campora San Giovanni. A presto!--'''[[Mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|Luigi Salvatore Vadacchino]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|majadiliano]])''' 06:31, 5 Mei 2017 (UTC)
==Ushauri kwa vijana==
Salaam naomba ukipata nafasi waambie vijana waangalie wanachooweza kuuona kwenye kurasa zao za majidiliano. Pia waangalie tena kurasa walizowahi kuandika. Maana naona wengine wanatunga makala hovyo, hata kuhusu mada ambazo ziko tayari hakuna njia ili kufuta. Mengine ya awali hawaangalii tena. Nilimwandikia DANIEL DE SANTOS maelezo marefu, nahisi hajaona. Wengine tatizo lilelile. Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:19, 17 Juni 2017 (UTC)
:Asante, ndugu. Naendeleza kazi yako. Nikiwa nao, nawaelekeza na kuwaita waone namna ninavyoboresha maandishi yao. Polepole tutafika! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:10, 17 Juni 2017 (UTC)
::Asante, kweli tutafika! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:53, 17 Juni 2017 (UTC)
== [[Ahera]] ==
Ndugu Riccardo salaam,<br>
Baada ya salaam, nikupe pole na kazi nyingi!<br>
Ombi sasa,<br>
Binafsi ningeliweza kuipanua makala hii, lakini naona kama sekta yako.<br>
Bora niheshimu upanuzi wake ufanywe na mtu mqenye maarifa ya juu katika masuala ya dini kuliko kupapachia!<br>
Najua utaiboresha katika viwango vizuri. Isitoshe: una faida za lugha nyingi tu.<br>
Wako,<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 05:13, 12 Septemba 2017 (UTC)
:OK bosi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:45, 12 Septemba 2017 (UTC)
::Ebwana eh! Nimekoma nayo! Sio mchezo kabisaaa. Ahsante sana. Yaani, upo fasta balaa! Ubarikiwe mzee wangu. Naona umeniita bosi, hahahaha, sawa bwana! Nimefurahi sana, miaka 10 sasa tuko ote na hujabadili mwendo! Tazama:<br>
2008 = 643<br>
2009 = 1,311<br>
2010 = 728<br>
2011 = 801<br>
2012 = 1,458<br>
2013 = 934<br>
2014 = 2,371<br>
2015 = 3,734<br>
2016= 4,745<br>
2017 = 5,302<br>
Au chungulia haririo zote hapa: [https://tools.wmflabs.org/xtools-ec/?user=Riccardo+Riccioni&project=sw.wikipedia.org/ kiungo cha kuonesha haririo] zako zote.. Ahsante sana kwa kushiriki pamoja kujenga wiki yetu hii!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:31, 12 Septemba 2017 (UTC)
:::Sikutegemea kuona takwimu hizi zote! Kumbe umenionyesha njia rahisi ya kutathmini kazi yangu. Asante sana kwa kunitia moyo, nami nakuambia nimefurahi kuona wewe pia umekazana tena. Tusirudi nyuma katika kuenzi lugha yetu. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:24, 13 Septemba 2017 (UTC)
::::Ahsante sana. Usihofu mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:49, 17 Septemba 2017 (UTC)
== [[Kigezo:History_of_Tanzania]] ==
Salaam tena,
Ushauri wangu, bora tu, utafsiri cha juu hapo ambacho kishakamilika na kimeunga kurasa nyingi! Ushauri tu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:46, 17 Septemba 2017 (UTC)
== Kabisa! ==
Kweli hatimaye. Kabisa ndugu. Tumerudi!! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 05:33, 3 Oktoba 2017 (UTC)
== Annullamento ==
Prima di annullare andrebbe controllato. Quel quadro é di un anonimo. Si capisce dal titolo, dalla pagina su commons e dal sito ufficiale di palazzo Barberini dove sta. per favore correggi. Pierpao '''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 07:15, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Fatto. Il problema è stato che hai cambiato le parole swahili usando non so quale lingua... sembrava un vandalismo. Comunque grazie di darci una mano. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:22, 14 Novemba 2017 (UTC)
::Vero, ho scritto in polacco. Grazie e scusa. Ho messo le fonti su Commons.--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 08:28, 14 Novemba 2017 (UTC)
== Interior design ==
Vipi. Ile makala ya interior design. Je ipi ndio sahihi hasa? Usanifu wa ndani au ubunifu wa ndani. Au kuna neno jingine? --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 10:42, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Nitaangalia, lakini sidhani "ubunifu wa ndani". Walau usanifu wa ndani unarandana na "usanifu majengo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:53, 15 Novemba 2017 (UTC)
== Nakala ya Rayvanny ==
Asante kwa kunisaidia kuikamilisha nakala ya [[Rayvanny]].'''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC) '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC)
== Pitia Kurasa la [[Tarrus Riley]] ==
Tafadhali pitia kurasa mpya niliyo andika na uchangie.Pliz check on my new article [[Tarrus Riley]] and make editings and contributions. '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 19:43, 30 Novemba 2017 (UTC)
==[[Makanisa ya Kiselti]]: Selti au Kelti?==
Tuna makala ya [[Wakelti]] na umbo hili la jina limeshatumiwa mara kadhaa linganisha hapa: [[Maalum:VingoViungavyoUkurasahuu/Wakelti]].
Je ingekuwa vigumu kuhamisha hata makala hii kuwa "[[Makanisa ya Kikelti]]"?? ''''''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:05, 27 Januari 2018 (UTC)
== Mpira ==
Salaam,<br>
Habari za masiku!<br>
Naona si kazi kubwa sana.<br>
Ngoja nikufanyie fasta uone! Ni namna ya kuvuta tu.. Nipe dakika 2 zote zitaisha kwa Argentina. Ila hizo zingine nitahitaji AutoWikiBrowser.. Ngoja nitaza kwanza.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:44, 8 Februari 2018 (UTC)
== Fati ==
Riccardo salaam. Niliona makala inayoitwa [[Fati]], nikashangaa. Sijawahi kuona au kusikia neno hili, hapa Kenya hasa. Neno hili hutumika sana kwenu Tanzania? Nikisoma kuhusu chakula ninaona mafuta tu, au pengine shahamu. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:41, 2 Machi 2018 (UTC)
:Ndugu, aliyeandika ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Hata mimi nilipoona kichwa hicho nilitikisa kichwa nikamuambia lakini sikupenda kumkatisha tamaa. Lakini pia si mara ya kwanza kusikia neno hilo katika mazingira ya shule. Kama unaona neno lingine, hamisha tu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:10, 3 Machi 2018 (UTC)
::Asante sana, Riccardo. Nimefahamu sasa. Nitahariri makala hii na nyingine zinazotaja neno hili. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 18:52, 3 Machi 2018 (UTC)
==Milima==
Asante kwa makala za milima! Je habari zao unapata wapi? Kuna chanzo kinachoweza kutajwa? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 5 Machi 2018 (UTC)
:Halafu: ukipenda kufuatilia: angalia '''[[:ceb:Kategoriya:Kabukiran_sa_Tanzania_nga_mas_taas_kay_sa_1000_metros_ibabaw_sa_dagat_nga_lebel|Jamii "milima ya Tanzania" kwenye cebwiki]]'''. Ninavyojua huyu aliyetunga Cebuano ni mtu mmoja to kutoka Uswidi aliyetumia takwimu mbalimbali halafu akatunga makala zote kwa njia ya bot! Ila tu sijaelewa bado ni wapi alipopata data katika yale anayotaja. Linganisha [[:ceb:Bigoro_Hills]] na [[Milima_ya_Bigoro]]. Anatumia http://www.geonames.org/about.html (sijaiujua bado, ina habari nyingi sana! - labda unaweza kuweka wanafunzi wachukue data hapa?) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:49, 5 Machi 2018 (UTC)
::Ndiyo, natumia wiki ya cebuano, ingawa siijui... Pia mara nyingine kuna makosa au tofauti, lakini basi, nadhani kwa kiasi kikubwa ni sawa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:06, 6 Machi 2018 (UTC)
== Huna mpinzani bwana! ==
Salaam tele,<br>
Tunakuunga mkono kiaina, japo siku hizi shughuli zinanichosha kuliko zamani. Ila nitajihidi kufanya kama awali.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 20:43, 17 Machi 2018 (UTC)
== Kupanda mbegu ==
Salaam,<br>
Ndugu, hakika unanihamasisha kuanza kupanda mbegu. Japo sijui nitapanda mbegu za mti gani.<br>
Naona kama wazo la kuanza kuzipanda linanijia.<br>
Nimekumbuka, nadhani nina kiporo cha Uislamu kwa nchi. Labda niingize idadi tu badala ya maneno mengi? Kuimaliza Afrika ilinichukua mwaka mzima! <br>
Nitajaribu!<br>
Ahsante sana kwa hamasa yako.<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:06, 2 Aprili 2018 (UTC)
:Ndiyo ndugu, tupande mbegu. Polepole zitakua. Kweli, upande wa dini, kitu kikubwa ni idadi ya waumini kati ya wakazi wote. Asilimia walau inaleta picha fulani. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:49, 2 Aprili 2018 (UTC)
::Nitafuata ushauri wako. Shukrani mno!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:53, 2 Aprili 2018 (UTC)
== Majimbo ya Sudani ==
Salaam mzee wangu, {{PAGENAME}}!<br>
Naona unaendeleza kasi yako ileile. Vizuri<br>
Ila kuna jambo kidogo nataka kuuliza. Hivi yale majimbo uliyowekea (mabano) una mpango wa kuunda makala ya kujitegemea?--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:53, 15 Aprili 2018 (UTC)
:Ndugu, asante kwa pongezi! Kuhusu mabano nimeyaweka kwa sababu baadhi ya majimbo yana jina la mji au mto. Hivi nimependa kutofautisha. Labda kwa mengi haikuwa lazima, lakini basi, nimetumia mtindo mmoja kwa yote. Salamu za amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 16 Aprili 2018 (UTC)
==Hongera ya makala 41000==
Hongera kwa kutusukuma juu ya 41000!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:50, 2 Mei 2018 (UTC)
:Safi sana!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:20, 3 Mei 2018 (UTC)
==ufahamu zaidi kuhusu neno [[Qadash]] na [[Hagios]]==
Habari ndugu Riccardo Riccioni napenda ufafanuzi zaidi juu yahaya maneno mawili, amboyo ni neno la kiebrania '''Qadash''' pamoja na neno la kigiliki '''Hagios'''. Ahsante '''[[Mtumiaji:Enock John|Enock John]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Enock John|majadiliano]])''' 08:54, 7 Mei 2018 (UTC)
== [[Kanisa Katoliki la Kimelkiti]] ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Ho visto che hai creato tu questa pagina, tempo fa! Bravissimo! Volevo segnalarti che, da qualche tempo, Gregorio III è patriarca emerito, l'attuale patriarca è Youssef Absi (senza mettere il "I", per favore). Poi, volevo chiederti, se puoi anche aggiungere che l'[[:it:Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti|Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti]] è retta, attualmente, da mons. [[Yasser Ayyash]]. Grazie mille per il tuo prezioso aiuto, a presto.
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 06:30, 15 Juni 2018 (UTC)
== Categorie duplicate ==
Ciao! Nel tempo libero mi occupo di sistemare i collegamenti interwiki delle categorie in diverse lingue. Passando di qui ho notato che [[:Jamii:Georgia (nchi)]] e [[:Jamii:Georgia]] sembrano essere la stessa categoria: potresti unirle nel modo migliore? Grazie mille e a presto, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:47, 6 Julai 2018 (UTC)
:Idem: [[:Jamii:Watu wa Wales]] e [[:Jamii:Watu wa Welisi]]. Grazie ancora, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:54, 6 Julai 2018 (UTC)
::E non riesco a capire se [[:Jamii:Wanauchumi]] (e sottocategorie) siano duplicati di [[:Jamii:Wachumi]] (e sottocategorie). Scusa per il tempo che ti faccio perdere! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:03, 6 Julai 2018 (UTC)
:::Grazie della collaborazione. Sto provvedendo. Pace a tutti! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 6 Julai 2018 (UTC)
::::Anche [[:Jamii:Malambo]] e [[:Jamii:Lambo]]. Grazie a te! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:30, 6 Julai 2018 (UTC)
==Kuangalia makala ya kufutwa==
Salaam, ndugu!
Tumeona ya kwamba Oliver anachukua likizo. Sasa tulikuwa na mfumo ya kwamba tunaangaliana katika makala yaliyopendekezwa kwa ufutaji. tulipatana mmoja analeta mapendekezo lakini asifute mwenyewe isipokuwa ni jambo ambalo halina maswali. Menginevyo mwingine aamue. Ilhali Oliver hapatikani kwa muda huu naomba uingie wewe! Tazama hapa: [[https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]].- --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:00, 7 Julai 2018 (UTC)
:Ndiyo, nimeona. Sijui anaumwa nini. Kuhusu ufutaji, mara nyingine nimefuta ukurasa peke yangu, ama kwa sababu ni za wanafunzi wangu ama kwa sababu ilikuwa wazi kwamba hazifai: kichwa na matini yote kwa Kiingereza au Kivietnam! Kuhusu ombi lako, sawa, nitashika nafasi hiyo kwa muda aliosema Oliver. Jumapili njema katika amani ya Mfufuka! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:17, 8 Julai 2018 (UTC)
== Taasisi ya samaki? ==
Riccardo salaam. Wakati nilipofanya mabadiliko kwenye sanduku ya [[samaki]], nilijiuliza kama Kiswahili ina istilahi kwa "shoal" au "school of fish". Nikatafuta kwenye kamusi kadhaa. Inaonekana kama neno la kawaida ni kundi, lakini TUKI (English - Swahili) inatoa pia usheha kwa "shoal" na kamusi ya Willy Kirkeby inatafsiri "school of fish" kwa taasisi. Nilishangaa na kwenye Google sikuweza kupata mifano ya maneno haya yakimaanisha "shoal" au "school". Unajua kwamba maneno haya yanatumika kwa maana hii? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:25, 9 Septemba 2018 (UTC)
:Kamusi yangu ya ENglish-Swahili inasema "school<sup>2</sup> n (of fish) kundi (kubwa la samaki)". Taasisi surely is different, it is an institute where they teach about fish. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:05, 9 Septemba 2018 (UTC)
::Hata yangu inasema hiyo, lakini angalia kitomeo cha "shoal<sup>2</sup>": n kundi la samaki, usheha. Kitomea cha "I. school" kwenye Kirkeby: ''n: of fish or marine animal:'' taasisi (-). Sijui ameipata wapi? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 16:46, 9 Septemba 2018 (UTC)
:::Katika Madan English-Swahili (1903) ninakuta "'''School''' (of fish) kundi (ma), wingi". Taasisi itakuwa ni kosa. lakini naweza kuwauliza wavuvi, maana naishi sasa ufukoni moja kwa moja, wako nje. Usheha unawezekana, Kamusi ya Visawe (2008) ina "'''Usheha''': halaiki, umati, unasi, umma, msoa, umayamaya, kaumu, kundi kubwa (la watu)", crosschecking here with "'''Wingi''': halaiki, umati, usheha, umayamaya, unasi, kaumu, jamii, umma, hadhara, ulufu". Basi nadhani unaweza kwenda na Usheha, lakini subiri nitauliza Wavuvi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:39, 9 Septemba 2018 (UTC)
::::Asante kwa mchanganuo huu. Ndiyo, waulize wavuvi tafadhali. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 20:00, 9 Septemba 2018 (UTC)
== Makala ya afya ya MJ ==
Salaam,
Ndugu Riccardo, nimeona umeunganisha makala ya afya ya Michael Jackson na makala yake nyengine kuhusu maisha, muziki na mambo mengine. Kifupi hizo zilikuwa makala mbili tofauti. Wala haikuwa na haja kuziunganisha. Wikipedia ya Kiingereza ina makala yake maalumu kuhusu afya ya MJ. Nami nikafanya hivyo hapa kwenye Wikipedia ya Kiswahili. Sioni sababu ya kuiunga hata kidogo. Basi unganisheni na makala za albamu, singo na mengineyo. Wikipedia karibia zote wametenga makala ya afya na muziki. Sisi tumechanganya yote mahali pamoja. Mkanyanyiko mtupu.--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:19, 7 Oktoba 2018 (UTC)
:Pole kwa kukuchukiza! Siku zile nilijaribu kuweka sawa makala zenye mashaka kwa kufuata mapendekezo yaliyokuwepo, mojawapo la kuuunganisha hizo mbili za MJ. Kama unapenda kuzitenganisha tena, mimi sina shida. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:30, 7 Oktoba 2018 (UTC)
==Mkabidhi mpya. pendekezo==
Naomba angalia hapa [[Wikipedia:Jumuia#Mkabidhi_kwa_Jadnapac]] (Halafu: Je unaona nafasi kuja Dar mwisho wa Novemba kwa warsha ya Astronomia, Ijumaa- Jmosi?). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:39, 30 Oktoba 2018 (UTC)
:Si rahisi. Labda kwa ajili yako nikijua mapema tarehe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:00, 31 Oktoba 2018 (UTC)
==Vyanzo, Kenya==
Salaam naona umeanza kushughulika miji ya Kenya, asante! Ila tu unatumia namba bila kutaja vyanzo. Ni vema ukiweza kukumbuka. Kwa vyote vya Kenya nimetengeneza tanbihi ifuatayo inayoweza kuwekwa: '''<nowiki> <ref>[https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 Sensa ya Kenya 2009], tovuti ya [[KNBS]], ilitazamiwa Januari 2009</ref></nowiki>'''
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:28, 7 Januari 2019 (UTC)
== Document your culture with Wiki Loves Love 2019 and win exciting prizes! ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
[[File:WLL Subtitled Logo subtitled b (transparent).svg|frameless|right]]
{{int:please-translate}}
Africa has many beautiful festivals, ceremonies and celebrations of love and we need your help to
document these! They are the core part of African culture and in order to make sure this way
of life followed by our ancestors remain among us, we need to have them online to make
sure they are preserved. Join hands with [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|Wiki Loves Love]] that aims to document and spread
how love is expressed in all cultures via different rituals, celebrations and festivals and have
a chance to win exciting prizes!! While uploading, please add your country code in the Wikimedia Commons
upload wizard. If you want to organize an on-site Wiki Loves Love event, then contact [[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|our international team]]! For more information, check out our [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|project page]] on Wikimedia Commons.
There are several prizes to grab. Hope to see you spreading love this February with Wiki
Loves Love!
Imagine...The sum of all love!
[[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|Wiki Loves Love team]] 07:34, 4 Februari 2019 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/wlla&oldid=18845412 -->
==Continental shelf==
Salaam, tuna majadiliano kuhusu "[[tako la bara]]". Muddy haipendi, ChriKo ana mawazo. Je unaweza kuwauliza alimu wa jiografia kama wanajua Kiswahili cha continental shelf, na wangependelea nini? Nilianza makala kwa kutumia "tako la bara" (sikumbuki kam niliikuta au niliitunga kwa jaribio la kutafsiri), sasa nilikuta matumizi ya "kitako" kwa "msingi, chanzo, kiti cha kitu", na chriko alipendendekeza "mwambao wa bara" (ambayo mim sidhani inafaa). naomba jaribu kuwauliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 6 Februari 2019 (UTC)
:Asante, mchango wako kuhusu tako la bahari naona sasa tu maana ulichangia mahali ambako sikutegemea. Kuhusu visiwa nilianza lakini sasa nasita kwa kwa sababu nilitambua sikutafakari vema labda tushauriane tena (na toba yangu kurudia kila kitu..). tatizo ninaloona tukiwa na vitu vingi katika jamii moja hatuna budi kuvipnga kwa vikundi vidogo. Kwa hiyo ni nilianza jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria (inayounganishwa katika Jamii:Ziwa Viktoria na pia Jamii:Visiwa vya Tanzania) nikaona naweza kufuta mengine. Mpaka kuona ya kwamba tukiendelea na visiwa vya ziwa tutapata pia visiwa vya Kenya na Uganda, kumbe sikufikiri adi mwisho. Subiri, nirudi nyumbani (niko kwenye kikao cha kuchosha) na kutafakari upya.--'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:51, 10 Februari 2019 (UTC)
==Futa==
Naona umebandika pendekezo la kufuta kwa makala mbalimbali. Ila tu usipopeleka jina kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]] zitabaki tu maana maana si rahisi kuzitambua. Baada ya kuweka tangazo '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' unaweza kubofya ile "'''hapa'''" ya buluu na kuandikisha makala mle kama sehemu mpya. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:17, 19 Februari 2019 (UTC)
:Ndiyo, najua utaratibu huo, ila ukiangalia [[Jamii:Makala kwa ufutaji]] utakuta kurasa nyingi ambazo zinaweza kufutwa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:44, 19 Februari 2019 (UTC)
==Monte San Valentín==
Ehi ciao, sei Italiano? Ho visto che hai spostato la pagina "Cerro San Valentin" a "Monte San Valentin", ma la grafia corretta in spagnolo è "Monte San Valentín", con l'accento acuto. Potresti spostarla tu per piacere?
Ehm... Ma se parli Italiano perché non rispondi? Lo spostamento della pagina non riguardava la parola "Monte" ma l'accento su "Valentín", quindi chiamalo pure "Cerro", "Monte", "Mlima" o come ti pare, l'importante è aggiungerci l'accento acuto per rendere l'ortografia spagnola corretta. Grazie!
Sì, ero italiano. Non ti ho risposto perché tu non hai firmato. Devi sapere che il Kiswahili non ha accenti nello scritto, quindi diventa quasi impossibile cercare la pagina con l'í. Però ho messo l'accento nel testo, dove è indicato il nome in Spagnolo. Penso che basti. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:58, 1 Machi 2019 (UTC)
Ho capito. Be', non voglio intromettermi nelle scelte di questa versione di Wikipedia perciò non insisterò, però non è un discorso di caratteri e diacritici esistenti in Swahili, perché si tratta di un nome straniero che viene scritto come nella lingua originale. In tutte le altre lingue di Wikipedia questa pagina ha l'accento, anche in quelle in cui l'accento non esiste, tipo il Polacco ma anche l'Esperanto che è una lingua artificiale. Su questa enciclopedia ho trovato per esempio la pagina su "Édith Piaf" scritto con l'accento, così come in quella italiana ci sono quelle su "Anders Ångström" o "Karol Wojtyła". Se preferisci non lasciare diacritici per questa particolare pagina come ho detto non insisterò a convincerti a farlo, ma sarebbe un'eccezione ingiustificata sia fra le altri wiki per questa voce sia fra le altre voci in questa wiki. Grazie comunque per avermi dato una risposta educata e civile, non tutti lo fanno qua dentro. Pace a te :-) --'''[[Mtumiaji:151.48.68.205|151.48.68.205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:151.48.68.205|majadiliano]])''' 19:59, 7 Machi 2019 (UTC)
== Msaada ==
Jambo,
Mimi ni mpya kwa Wikipedia.Nahitaji msaada tafadhali.Niliandika makala ya Kiswahili na napenda unisome na kunisaidia kurekebisha. Asante.
:Jambo mojawapo ni kwamba ukituma meseji kama hiyo ongeza saini yako mwishoni kwa kubofya hapo juu alama ya tatu ili itokee kama kwangu hapa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:12, 28 Machi 2019 (UTC)
== Asante ==
Asante kaka Riccioni kwa kugundua mchango nilioifanya katika eneo bunge la Limuru. Kwa swala la kuongeza data katika majimbo na maeneo bunge ya huku Kenya, nitafanya jitihada ya kuhariri. Mimi bado ni mwanafunzi wa Shule Ya Upili Anestar, Lanet-Nakuru , Kidato cha 3 na kwa sababu tumekuja likizo ya wiki nne nitakuwa huku mara kwa mara. Huku twasema zote, lakini hutegemea. Maeneo bunge ni tofauti na majimbo huku. Majimbo ni kama Nakuru,Mandera,Narok,West Pokot ambayo ni 47 na eneo bunge ni kama Kabete,Limuru,
Malindi, Lanet na mengine ambazo ni 290.
Kunradhi kwa kurudisha ujumbe wako baada wa muda mrefu 😁.
Peace man --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 15:28, 6 Aprili 2019 (UTC)
:Asante pia kwa kuchangia pakubwa kwa ukuaji wa Swahili Wikipedia. Bila nyinyi, Wikipedia haingekuwa ilivyo sasa. Tutakapo shikilia usukani siku zijazo, tutafanya hata makubwa zaidi.
Nina swali, mtakuwa na warsha ya Swahili Wikipedia siku gani? Nitafurahi sana kukiwa nayo, nitafanya juu chini kuhudhuria.
Sarufi yangu inaweza kuathiriwa na sheng kidogo lakini nitakuwa mwanaisimu kama wewe 😁
Kuwa na siku yenye fanaka. Salamu nyingi kutoka kwa mamangu huku Nairobi,Kenya --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 07:29, 7 Aprili 2019 (UTC)
::Kweli tunatumaini mtashika usukani na kufanya makubwa kuliko sisi. Kuhusu warsha, hatujapanga, lakini utajua tu. Amani kwako na kwa mama! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:16, 11 Aprili 2019 (UTC)
==[[Bibi Titi Mohamed]]==
Uliniuliza kwa nini nilibadilisha. Kwa kweli sijui wala sikumbuki. Nikiitazama siwezi kuwaza mabadiliko yana kusudi gani. Hata nina mashaka kama ni kweli mabadiliko yangu, lakini siwezi kuwaza jinsi gani mwingine aliweza kuhariri kwa jina langu. Kama kosa langu, basi nisamehe. Nimeirudisha jinsi ulivyoiacha. Asante kwa kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:49, 12 Aprili 2019 (UTC)
== Tarafa ya Abengourou ==
Hello Ndugu Riccardo, Thank you very much for your kind works on the stubs i am currently proposing about Côte d'Ivoire. Could you, please, correct [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|this draft]] concerning the departments of Côte d'Ivoire, before its possible publication ? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:45, 8 Mei 2019 (UTC)
:Please, don't use "vikoa" but "kata". Moreover, try to link to other Wikis. Thank you again! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:39, 9 Mei 2019 (UTC)
::Again, thanks a lot for your corrections and advices. On the current Ivorian territorial division, we have the following situation:
::*14 districts (Wilaya)
::*31 Regions (Mikoa)
::*108 Departments (Tarafa)
::*510 Sub-prefectures (Kata)
::
::I'am about to create the articles of the 14 Districts (Wilaya) and up-to-date the 108 departments (Tarafa). However, this requires that current articles on departments (also named here Wilaya) be renamed as Tarafa.
::
::Am I allowed to do it? --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:16, 10 Mei 2019 (UTC)
:::The only problem is that in Tanzania and many other countries the districts are subdivision of Region, not the contrary. This is way the departments were called Wilaya. But we have to accept the Ivorian terminology. So, go on. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:01, 10 Mei 2019 (UTC)
== [[Rutongo]] ==
Ciao caro, come stai? Quì abbiamo avuto un maggio completamente piovoso, adesso, forse si starà meglio!
Per favore, noto che in questa città c'è il seminario maggiore, magari può servire nella pagina, me lo aggiungeresti, tu, per favore? Grazie mille, un caro saluto, in comunione!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:38, 2 Juni 2019 (UTC)
: Ehilààààà, più veloce della luce. Grazie mille!!! Hai una mail? Il mio sito è reimomo.it '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:53, 2 Juni 2019 (UTC)
::Sono qua in computer room con un po' di studenti della nostra secondaria; cerco di appassionarli a Wikipedia in Swahili... Oggi la Messa sarà di sera. Il mio indirizzo e-mail è: ndugurikardo@yahoo.it. Pace e bene alla vostra repubblica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:58, 2 Juni 2019 (UTC)
== Wanafunzi? ==
Ndugu, kuna watu wanafanya warsha ya kuandika kwenye Wikipedia? Naona kuna makala nikadhani labda ni wanafunzi wanajarijaribu hivi.--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:05, 9 Juni 2019 (UTC)
:Ndiyo, ni wanafunzi wa Alfagems Morogoro. Niko nao. Wengine wameshapiga hatua, wengine bado. Ndio kesho ya Wikipedia yetu. Wakikosea, narekebisha. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:06, 9 Juni 2019 (UTC)
::Ni vizuri nimeuliza. Nilishangaa kidogo. Nilifuta moja ya mwanafilamu Kanumba baadaye ninaona makala nyingine na majina mapya zinajitokea. Nikaona si kawaida, ngoja niulize. Hongereni. Ni vizuri sana. Tutawaidia. Wape salamu. Kweli hawa ndio wahahari wa kesho. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:14, 9 Juni 2019 (UTC)
== Help ==
Shikamoo Baba,
I'm again coming back to ask your help. Would you, please, have a look at these two drafts ([[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|SLM2]] ; [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga3|SLM3]]) that could serve as models for other articles to create? Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 11:48, 10 Juni 2019 (UTC)
Merci beaucoup pour vos contributions. Je voudre entendre le significance de "Imara" dans le box. Paix à tous! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:21, 10 Juni 2019 (UTC)
:Merci beaucoup pour vos corrections et conseils. J'ai supprimé le "Imara" dans l'infobox. Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 23:09, 12 Juni 2019 (UTC)
==Administrative division of Côte d'Ivoire==
Hello Riccardo Riccioni,
Can you, please, give your opinion on [[Majadiliano ya Wikipedia:Mradi wa Cote d'Ivoire#Administrative division of Cote d'Ivoire|this question]]? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 18:45, 21 Juni 2019 (UTC)
== Cellulitis ==
Eti ugonjwa wa Cellulitis kwa Kiswahili ni nini?--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:53, 27 Juni 2019 (UTC)
:Kamusi ya tiba: " '''cellulitis''' n '''selulitisi''': inflamesheni ya tishu areola (tishu unganishi)". Binafsi simpendi sana huyu aliyetunga kamusi hii maana alikuwa mvivu kiasi, akitumia kimsingi maneno ya Kilatini tu na kuyaswahilisha kidogo mwishoni. Ila tu hatuna nyingine kwa hiyo twende naye. Ndesanjo: tafadhali andikisha email yako hapa, nitakutumia kmusi hii '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:55, 27 Juni 2019 (UTC)
::Asante Kipala kwa kujibu kwa niaba yangu. Bila kuangalia kamusi hiyo ya kivivu nilikuwa nafikiria kutohoa "selulaiti". Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:44, 28 Juni 2019 (UTC)
:::Samahani kwa kukanyaga shamba lako! Nilipoona swali la Ndesanjo kwenye "mabadiliko ya karibuni" nilikuwa nimefungua kamusi ile, badi nilikuwa mbioni... '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:43, 28 Juni 2019 (UTC)
::::Hakuna shida kabisa. Hapa tunasaidiana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:58, 29 Juni 2019 (UTC)
== Barua pepe yangu ==
Riccardo salaam. Umeona barua pepe niliyokutuma hivi karibuni? Ningependa kupata maoni yako juu ya majina ya wadudu wale. Asante. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:52, 28 Juni 2019 (UTC)
:Majibu niliyopata kwa sasa ni haya:
*Aphid = Kidukari
*Cricket = Nyenje
*Fire ant = Majimoto
*Moth = Nondo
*Bumblebee = Nyukibambi
*Bird grasshopper = Parare
*Palm weevil = Sururu
*Sand flea = Tekenya
*Mealybug = Kidung'ata
*White fly = Nzi Mweupe
Kazi njema na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:16, 10 Julai 2019 (UTC)
:Asante sana. Natumaini nitapata majina mengine tena. Hawajui majina ya "true bug" na "cicada"? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:48, 10 Julai 2019 (UTC)
::Jana mwalimu aliniuliza kuhusu 'cicada'. Nikamueleza kidogo kwa sababu hata Italia yupo (anaitwa cicala), na Watanzania wengine wanamfahamu, ila majina wanayotumia ni tofauti. Baadhi wanamuita "nyenje" jina ambalo hapa juu limetumika kwa Cricket na wengine tena wanalitumia kwa Mende... Tutaendelea na utafiti. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 11 Julai 2019 (UTC)
:::Kwa kuendelea kuuliza kuhusu Cicada, nimejibiwa kuwa jina lake ni Nyenje, Nyenze au Chenene. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:43, 20 Julai 2019 (UTC)
::::Asante sana kwa juhudi zako. Ndiyo, hata mimi nilipata majina haya. Inaonekana kama watu wanachanganya wadudu hao kwa sababu wanapiga kelele iliyo takriban sawa. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 19:48, 27 Julai 2019 (UTC)
:::::Riccardo salaam. Ninarudi kwako ili kukuuliza mara nyingine tena kwamba jina "kunguni-mgunda" linaweza kutumiwa kutafsiri "true bugs". Walimu hawa hawana maoni kuhusu jina hili? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:04, 7 Oktoba 2019 (UTC)
::::::Ndugu, nimemuuliza mwalimu mmoja. Ameridhika na jina hilo. Hongera na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:48, 8 Oktoba 2019 (UTC)
:::::::Asante sana. Nimeshatoa ukurasa wa oda Hemiptera ([[Mdudu Mabawa-nusu]]). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:28, 8 Oktoba 2019 (UTC)
== spam links ==
Hi Riccardo! I removed some additional spam links by one of the accounts we talked about last week [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Utunzi_wa_wanyama_wa_nyumbani&action=history here]. However I noticed many times when he spammed a url he wrote the link direct in english (ie. instead of <nowiki>[www.google.com mbwa]</nowiki>, they wrote <nowiki>[www.google.com dog]</nowiki>. Would you mind taking a look and translating the actual words where I removed the bad spam links? Thanks! '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 14:39, 10 Julai 2019 (UTC)
: Thank you per your work. As I wrote, I do what I can. OK, I'll try doing what you said too. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:08, 11 Julai 2019 (UTC)
== Kiswahili poaǃ ==
Ndugu naona Kiswahili changu kinanitoka kidogoǃ Hahaha. Asante kwa masahihisho yako. Kweli lugha umeipata kabisa. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:12, 18 Julai 2019 (UTC)
:Haika mbe! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:34, 18 Julai 2019 (UTC)
== Hello there ==
Are you doing good '''[[Mtumiaji:Kitereza|Kitereza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kitereza|majadiliano]])''' 19:34, 20 Agosti 2019 (UTC)
== templates ==
Hey, I saw a bunch of issues with templates, especially cite book/journal and [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kigezo:Book&action=history this] is probably what is causing it. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 18:14, 23 Agosti 2019 (UTC)
:I don't undertand what you have said because the templates are mysterious to me!!! Let's inform Kipala or Muddyb. Peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 24 Agosti 2019 (UTC)
::Hello [[mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]], care to fix it for us? Your help would be greatly appreciated!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 07:08, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::I'm apparently wrong about that but the issue with the book template is because it requires =title in the template, I will work on them later today. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:32, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::Thanks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:33, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::I'll work on the template itself but this is what is basically required: <nowiki>* {{cite book |last=Creighton |first=Oliver |year=2005 |title=Medieval Town Walls: An Archaeology and Social History of Urban Defence|location= |publisher= |isbn=978-1-85760-259-3}}</nowiki>. Another good option if you don't feel like filling all of it out yourself (I never do) is to [https://tools.wmflabs.org/refill/ reFill.] It doesn't appear to be enabled on this wiki, so I'll also look into that. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:44, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::::Thanks again and peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:46, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::::It might be helpful if you name the templates you came about. We hve swahilized a number of templates but find the recent ones a bit complicated. Thus have to look for work-arounds. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:40, 27 Agosti 2019 (UTC)
== Reminder: Community Insights Survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
'''Share your experience in this survey'''
Hi {{PAGENAME}},
A couple of weeks ago, we invited you to take the Community Insights Survey. It is the Wikimedia Foundation’s annual survey of our global communities. We want to learn how well we support your work on wiki. We are 10% towards our goal for participation. If you have not already taken the survey, you can help us reach our goal! '''Your voice matters to us.'''
Please take 15 to 25 minutes to '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_0pSrrkJAKVRXPpj?Target=CI2019List(meafwps,act5) give your feedback through this survey]'''. It is available in various languages.
This survey is hosted by a third-party and [https://foundation.wikimedia.org/wiki/Community_Insights_2019_Survey_Privacy_Statement governed by this privacy statement] (in English).
Find [[m:Community Insights/Frequent questions|more information about this project]]. [mailto:surveys@wikimedia.org Email us] if you have any questions, or if you don't want to receive future messages about taking this survey.
Sincerely,
</div> [[User:RMaung (WMF)|RMaung (WMF)]] 18:58, 20 Septemba 2019 (UTC)
<!-- Message sent by User:RMaung (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=CI2019List(meaf_wps,act5)&oldid=19397738 -->
==[[George Padmore]]==
Ndugu kwa bahati mbaya umeharibu kazi! Sijamaliza nilikuwa nilihifadhi hatua ya kwanza tu (kwa hiyo bado Kiswahili kibaya!) nikaendelea na kupumzika - basi inaonekana yote imepotea. Basi. - Je uliona email yangu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:47, 18 Oktoba 2019 (UTC)
:Basi nimeweza kuitengeneza, kumbukumbu ya laptop ilikuwa nayo. Tena kosa langu: nilipoona "Edit conflict" sikuchagua version yangu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:07, 18 Oktoba 2019 (UTC)
== Mfumo ''katika soka'' ==
Ndugu Riccardo natumai uko salama,
kuna makala inayohusu mifumo katika soka "formation" nilijaribu kutafsiri kutoka lugha ya kiingereza, nilivyochapisha utangulizi haukua na marejeo kabisa pamoja na jamii, nilikuta notification kwamba ukurasa huo utafutwa, niliongeza vilivyokosekana kwa kutafsiri kipande kingine chenye marejeo, kwa upande wa jamii niliweka michezo hii ilikua ijumaa ya tarehe 18, hadi leo hii bado naona kuna ujumbe wa kufuta makala hiyo.--'''[[Mtumiaji:Innocent Massawe|Innocent Massawe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Innocent Massawe|majadiliano]])''' 05:36, 21 Oktoba 2019 (UTC)
:Ndugu, usiogope, mradi haijafutwa! Tutaipitia upya. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:42, 21 Oktoba 2019 (UTC)
==Tawimto==
Naona umeanza kusahihisha uwingi wa tawimto kuwa "matawimto". Una uhakika ??? Tawimto ni mto ambao ni tawi la mfumo wa mto mkubwa zaidi. Kama ni mingi ni mito - ha hii naona ni neno kuu. Kwa hiyo si lazima "mito" ionyeshe uwingi? Sikioni inaumia kidogo nikiona "matawimto mikubwa" ([[Syr Darya]]). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:07, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:Labda umesahau kwamba jambo hilo la neno linalotokana na mawili tulilijadili katika warsha wa astronomia, nikapewa majibu ya hakika: ni mafungunyota, mafunguvisiwa n.k. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:25, 25 Oktoba 2019 (UTC)
::Sawa kabisa, hii ninakumbuka sana. Ila tu: fungunyota ni fungu moja lenya nyota nyingi, kundibyota vilevile, kwa hiyo kama mafungo mengi - unapata umbo.
Tawimto si tawi moja lenye mito mingi, wala mto moja mwenye matawi mengi (kinyume chake katika ufafanuzi!) - ni mto mmoja lenye tabia ya kuwa tawi la mto mkubwa zaidi. Kwa hiyo naona mantiki halingani. Ama iwe "matawimito" au "tawimito". Basi nitajaribu kuuliza aruspicina di Tataki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:31, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:::Nakubali kwamba kuna tofauti na fungunyota, lakini jibu lilikuwa kwamba -a inayofuata ni lazima ilingane na fungu, si nyota, kwa hivyo iwe la, si za. Kama ni hivyo, wingi wake ni ya kutokana na mafungu. Sasa naona kuhusu tawimto ni vilevile. Labda tunaelewa tofuati neno hilo. Wewe unalisoma kama mtotawi, mto ulio tawi la mwingine. Mimi naona ni tawi la mto. Yaani hapa neno mto unajumlisha mto mkuu na matawi yake yote. Basi, uulizie TATAKI, bila kusahau suala la "virusi za UKIMWI". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:53, 27 Oktoba 2019 (UTC)
::::Angalau jibu moja (aliandika sms), angalia [[ Majadiliano:Tawimto]]. Amani! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:07, 1 Novemba 2019 (UTC)
== Vigezo vya Msanii kuwekwa Wikipedia ==
Nahitaji kujua Vigezo vya msanii kuwekwa Wikipedia. Je anatakiwa awe na umaarufu wa kiasi gani..? au awe ametoa nyimbo ngapi zilizomo katika kurasa za Google na YouTube..? Naomba msaada katika hili '''[[Mtumiaji:Mikuyu Denis|Mikuyu Denis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mikuyu Denis|majadiliano]])''' 15:55, 31 Desemba 2019 (UTC)
:Ndugu, si suala la idadi ya nyimbo. Unaweza ukaandika mmoja tu ukawa maarufu mara, au ukaandika nyingi lakini hazivutii watu... Vigezo vya umaarufu alikwishakupa Kipala ukamuambia aache ubaguzi! Ubaguzi gani? Ndiyo namna ya kumjibu mzee wa watu aliyetufanyia kazi kuuubwwa miaka zaidi ya 10? Hivyo uonyeshe huyo msanii amejulikana kweli na watu wengi: kwa mfano kwamba magazeti yanamzungumzia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:40, 1 Januari 2020 (UTC)
==Klabu ya Wikipedia katika sekondari ya Alfagems==
Habari za siku. Samahani nauliza kuhusu program ya wikipedia kwa hapo shuleni, siku ile hatukufikia muafaka kama naweza kuwa nakuja kwa vipindi vya wikipedia. '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 05:47, 13 Februari 2020 (UTC)
:Ndiyo, karibu sana Jumapili saa 8:00 kamili. Tutakuwa na mashindano ya utunzi bora wa makala. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 13 Februari 2020 (UTC)
::Asante, ntajumuika nanyi! '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 11:53, 14 Februari 2020 (UTC)
:::Habari, sawa ntazipitia. Pia wanafunzi waliniambia leo kuna kipindi cha wikipedia naomba kujua itakuwa sangapi. Ikiwezekana naomba ratiba ya wiki nzima tafadhali '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 06:01, 18 Februari 2020 (UTC)
::::Klabu ya Wikipedia ni Jumapili tu. Siku nyingine zote kuanzia saa 8:00 mchana wanafunzi wanaruhusiwa kwenda chumba cha tarakilishi kujisomea lolote. Kama ukipenda klabu iwe siku tofauti na Jumapili, tunaweza kuibadilisha, lakini iwe mara moja kwa juma. Asante kwa ushirikiano wako na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:06, 18 Februari 2020 (UTC)
:::::Sawa basi ngoja ibakie jumapili kama ilivyo kwa sasa, mwanzo nilidhani kuwa kuna siku nyingine katikati ya wiki ya Wikipedia. Asante! MagoTech Tanzania 23:08, 18 Februari 2020 (UTC)
Habari za siku ndugu. Samahani sana nilipata dharura nikaondoka Morogoro. Sitokuwepo kwa mda kwa maana hiyo sitoweza kuhudhuria katika mikutano ya klabu ya Wikipedia kwa shuleni Alfagems. Samahani sana kwa usumbufu ulio na unaoweza kujitokeza.
Nitawatembelea pindi ntakapo rejea tena. Asante MagoTech Tanzania 12:59, 16 Machi 2020 (UTC)
==Masahihisho==
Ndugu unasahisha haraka mno. Meitneri sijamaliza. Sasa nilikuwa na masahihisho katika dirisha langu, nasi sehemu ya kazi yako imepotea, nahofia. TAfadhali nipe masaa kadhaa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:10, 16 Machi 2020 (UTC)
== Pictures from Wiki Loves Africa 2020 ==
Hello. I am sure you are right, but we can only use what is available. So do not hesitate to take different pictures, more relevant, I will be glad to insert them. Actually we had the same problem. In the beginning we had only 19th-century engravings. But this is changing rapidly now. And Wiki Loves Africa helps. Have a nice day, '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle#top|majadiliano]])''' 14:47, 21 Machi 2020 (UTC)
:Good news, here came some more contemporary pictures uploaded this morning ([https://commons.wikimedia.org/wiki/Category:Orly_Air_Park]). If you want to add something you can send me an email. -- '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle|majadiliano]])''' 06:09, 22 Machi 2020 (UTC), from France
== Kumbukumbu ==
::Habari, nimeona ni vyema nikupatie picha yako ya kumbukumbu katika mradi wa Astronomia.
[[File:Ricardo Riccion.jpg|thumb|Riccardo Riccioni akitazama anga wakati wa mradi wa Astronomia.]]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])'''
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekezwa makala [[Tarekh ya mitume:Ibrahim]] ifutwe, ni sahihi maana amenakili yote. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Naomba ukumbuke! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
== Ciao ==
Ma lei è di Grosseto. Perchè ci siamo già incrociati, ma non mi ricordo dove? Io sono di Castel del Piano. A parte la mia curiosità spero non inopportuna mentre venivo a sbirciare ho notato che ci sono tre link nella colonna a sinistra non tradotti:
*email this user
*mute preferences (in italiano abbiamo tradotto "preferenze sul silenzio")
*view user groups
se mi scrive la traduzione ve li sistemo su translatewiki. Grazie--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 13:12, 26 Aprili 2020 (UTC)
:No, non sono di Grosseto, ma mia sorella si è sposata a Orbetello e vive a Capalbio. Ha 4 figli in giro per il mondo... Poi ho due amici sacerdoti di Castell'Azzara. Può darsi che ci siamo visti nella maremma! Scusa, ma non capisco bene quello che dici riguardo ai tre link. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:16, 26 Aprili 2020 (UTC)
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekeza tena makala 2 zifutwe. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Nimeona kwa kubahatika tu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
==Usaidizi wa upangiliaji wa makala==
Ndugu ricardo mimi ni mgeni hapa sina muda mrefu, ila mara kadhaa nimekua nikiona makala nyngi sana hasa za lugha ya Kiswahili zikiwa zime haririwa na wewe, una mchango mkubwa sana kwenye makala nyingi za Kiswahili Hongera kwako. Nina makala ambayo nimeaianzisha hapa, kwenye swwiki na ningependa uipitie kwa maboresho zaidi, Nafurahi sana kura miongoni mwa watumiaji wa swwiki na ninatazamia kutoa mchango mkubwa kwenye swwiki. Ahsante Na makala hiyo inaitwa [[Counsellorsalah]].
:Ndugu, nimeshapitia na kurekebisha makala hiyo mara mbili, ila mwenyewe sijui kurekebisha vizuri sanduku la infobox mwanzoni. Kwa mengine namna ya kujifunza ni kuangalia kila mara marekebisho tunayofanya ili ufanye vizuri zaidi na zaidi. Unapoona katika "Mabadiliko ya karibuni" kwamba ukurasa wako umehaririwa na mwingine, bonyeza "tofauti" ili kuona wapi na wapi yamefanyika hayo mabadiliko. Polepole ndiyo mwendo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:44, 9 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 23:09, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Please, ask <nowiki>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]</nowiki>. Thank you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:39, 4 Agosti 2020 (UTC)
==Nimechanganyikiwa katika Wilaya ya Lindi==
Labda utaona nimeanzisha makala za wilaya mpya "Mtama" pale Lindi. Basi nilikosea, kesho nitafanya usafi tena (chanzo ni swali lako kuhusu kata lile kama ni mjini au vijijini, nikaangalia orodha ya wakazi wa 2016, nikachanganya wilaya na jimbo....) Nivumilie kidogo, sasa nalala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:35, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Hongera Ndugu Riccardo ya kutupeleka kwa 60,000==
[[file:WPW Design Barnstar 2.0.png|thumb|Nyota ya Ujenzi wa Wikipedia]]
Ndugu Riccardo, umetupeleka kwa makala 60,000. Hongera na Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
::Hongera Ndugu Riccardo. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:05, 20 Agosti 2020 (UTC)
:Asante kwenu kwa kutambua mchango wangu. Mimi pia natambua mchango wenu na wa wenzetu wengine. Tuongeze bidii tukilenga makala ya 100,000. Lakini pia namkumbusha Kipala suala la kupunguza viongozi waliopumzika muda mrefu na kuongeza wakabidhi wapya, mmojawapo Czeus25 Masele... Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:54, 21 Agosti 2020 (UTC)
==Wakabidhi==
naomba uangalie tangazo kwenye ukurasa wa Mwanzo (juu) na ukurasa wa Wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:39, 4 Septemba 2020 (UTC)
==Maswali==
Nimeangalia makala za [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]; Malunde najaribu kufuatilia, Rutamba nimesahihisha, Madume bora ningeacha kwa sasa au kufuta, sjui. Tafadhali angalia swali langu kuhusu [[Taniaba]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:13, 6 Septemba 2020 (UTC)
==Kata mpya==
Ombi tu: tafadhali usianze bado kuhariri kata mpya nilizoingiza katika vigezo vya masanduku ya kata. Kazi hii ni maandalizi ya mafundisho kwa ajili ya wachangiaji wapya, wapate nafasi ya kuhariri kwa njia nyepesi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:55, 28 Septemba 2020 (UTC)
==Mambo ya ukabidhi, baruapepe==
Tafadhali angalia baruapepe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:49, 6 Novemba 2020 (UTC)
==Gunter Pauli==
Hello Riccardo, could you please kindly clarify the reason why you have deleted this page ?
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gunter_Pauli Thank you
'''[[Mtumiaji:Freemanbat|Freemanbat]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Freemanbat|majadiliano]])''' 13:13, 24 Novemba 2020 (UTC)
:Yes, I deleted it because this is Swahili Wikipedia and your text was not in Swahili. I think it was in a South Asian language. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:32, 24 Novemba 2020 (UTC)
::Just to chip in: you uploaded some gibberish. Did you take it from Google Translate? Please read the welcome notice on your user page, and be reminded that this is considered unwanted here. Generally not a good idea if you have no clue of the language you try to contribute to, because the results usually are so bad that we delete it anyway (so even if you had picked the right language at google translate). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:17, 24 Novemba 2020 (UTC)
== [[Kituo cha Hamburg Dammtor]] ==
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
[[Picha:Karte der S-Bahn Hamburg.svg||thumb|right|200px|Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor]]
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah [[Maalum:Michango/84.174.183.93|84.174.183.93]] 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC)
:Hi, the map is as it is. it is not flexible. You would have to make a new map. Maybe there is a different one, you better look for it at commons. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 18 Desemba 2020 (UTC)
== [[B. R. Ambedkar]] ==
Hello, I was patrolling recent changes and noticed [https://sw.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar this article] and upon some investigation I found out that it's Google translation of [https://en.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar English Wikipedia] article, which is a copyright violation, so I am requesting you to delete it. --'''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB|majadiliano]])''' 17:15, 16 Januari 2021 (UTC)
== Majadiliano:Frozen 1 ==
If you'll see the discussion at this page, the article is marked as needing improvement. I already signed up so it can be moved, but I'm not confirmed yet. I don't know what else to do with the article just yet as I'm not fluent in Swahili. But this page and other Disney articles have some problems due to vandalism. One of the other pages with these kinds of problems would be [[The Fox and the Hound]]. [[Bambi]] and [[Dumbo]] are two more. I also saw [[Teletubbies]] deleted, but can it be recreated with better content? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 21:57, 27 Februari 2021 (UTC)
At [[Thumbelina (filamu ya 1994)]], the English text added that was reverted would have helped the article if it had been translated. So, who could translate it? I also wanted to add that Dove Cameron plays the twins in [[Liv and Maddie]]. As usual, the English text would have helped the article. For those other pages like The Fox and the Hound, Dumbo, and Bambi, they often have machine translation in them, and the machine translations came from either English or Simple English Wikipedias (or both). The Dumbo page seemed to have the worst translation. Meanwhile, other Disney pages don't exist yet (like Fantasia, Cinderella, Lady and the Tramp, The Aristocats, Oliver & Company, The Little Mermaid, The Rescuers Down Under, and many more. I don't know if it'd be worth it to just create stubs about them. Even if it is, I wouldn't know who could improve them all. Do you? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 20:13, 6 Machi 2021 (UTC)
:I appreciate your intention but I think at this stage our little Wikipedia has more urgent tasks. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:10, 7 Machi 2021 (UTC)
::Can the machine translation on The Fox and the Hound be removed? That, and on pages like Liv and Maddie, [[The Simpsons]], and [[Hannah Montana]], Jamii:Televisheni za Marekani was replaced with Jamii:vipindi vya televisheni. The problem with that is, they are American television shows, but the other category says genres of television. They aren't television genres. The genre of Liv and Maddie is a situation comedy for teenagers (teen sitcom). Hannah Montana is also that. The Simpsons, however, is an animated adult situation comedy. So, how does this get corrected? Finally, there's the fact that I would just fix everything myself if I knew Swahili well. Is there a way to learn it? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 17:59, 12 Machi 2021 (UTC)
:::I think there are many ways to learn Swahili, especially through internet. About television, I don't understand your point. If something is presented in TV it is called kipindi, without examining what is its genre. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:26, 13 Machi 2021 (UTC)
::::Jamii:vipindi vya televisheni is linked to Category:Television genres at the Wikidata page. Is that wrong? Meanwhile, Jamii:Televisheni za Marekani was supposed to say Category:Television of the United States. However, should it be Jamii:Vipindi vya televisheni za Marekani for Category:Television series of the United States? Finally, do you know the best ways I can learn Swahili? I've already been blocked in another Wikipedia (diqwiki) because I was too disruptive. Right now, they are working on cleaning up pages after vandalism by the Disney vandals. There are many Disney vandals, but the worst ones do things like adding the machine translations, content in the wrong language, or pages with no content. The diq articles were made very badly, where the content was short and unwikified. That has happened here before. However, there hasn't been disruption to The Fox and the Hound since 2011 (10 years ago), so can the protection be removed? However, it's at least much better now with the machine translated content. '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 19:32, 14 Machi 2021 (UTC)
:::::Riccardo asked me to look at this. As for the naming of the categories, we have to consult a little. May take a bit of time, depends who has time for that. For learning Swahili? If you find a course that is best. If you cannot find one, do not try to translate long texts. You can possibly help by doing short stubs if you are wise enough to know your limits. Disney ntries are no priority here. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:13, 16 Machi 2021 (UTC)
== nakala ya arthur schopenhauer ==
je unaeza fafanua sababu za kutoa sehemu nilioandika kuhusu mwanafalsafa huyu? '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 19:37, 10 Machi 2021 (UTC)
== Grazie mille!!! ==
Sì, preghiamo gli uni per gli altri, e anche perchè il signor Corona se ne torni da dov'è venuto al più presto!!!
Scusami per il primo messaggio, me lo sono scritto direttamente nella mia pagoina pensando di scrivere nella tua. Pace a te!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:52, 13 Machi 2021 (UTC)
== Request for adding an article ==
Hello sir Riccardo Riccioni
Could you please write a stub about the Tachelhit language in this wiki ? its an african language in Morocco – just a few sentences based on https://en.wikipedia.org/wiki/Shilha_language ?
Thank you very much -- '''[[Mtumiaji:Ayour2002|Ayour2002]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ayour2002|majadiliano]])''' 15:03, 17 Machi 2021 (UTC)
==Ujumbe==
Hello Sir!!! Samahani kwa usumbuu, baruapepe ya Ijumaa (matembezi ya anga) ilifika kwako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:25, 22 Machi 2021 (UTC)
== [[Christian Carlassare]] ==
Caro padre Riccardo, Pace!!!
Come stai? Io, mia mamma, la mia morosa e tutte le nostre famiglie stanno bene: tutti negativi al Covid-19!!! Ma in Italia la situazione è molto brutta, anzi, fa schifo, 15 regioni in zona rossa. le nostre mamme hanno fatto le due dosi del vaccino Pfeizer, e hanno avuto solo un po' di male al braccio e un po' di stanchezza nei giorni successivi.
Ieri, il presdiente del Consiglio dei ministri e sua moglie si sono fatti vaccinare pubblicamente con Astra Zeneca.
La Pasqua sarà comunque a casa, tutti confinati, eccetto i ricongiungimenti familiari, ma anche quì ci saranno molte restirizioni.
Per favore, ti chiedo qualche minuto per vedere se vada tutto bene in questa pagina. Secondo me, potresti aggiungere che, ''attualmente (al momento della sua elezione) è il vescovo cattolico italiano più giovane''. Grazie molte per il tuo prezioso aiuto!!!
Una Buona e Santa Pasqua, in comunione
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 08:24, 31 Machi 2021 (UTC)
== Buon Lunedì dell'Angelo ==
carissimo padre Riccardo, pace!!!
Grazie per le tue preghiere!!!
Completerò con piacere le diocesi mancanti della Lombardia. Poi, per le correzioni, ci penserai tu. Grazie ancora, un caro saluto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:28, 5 Aprili 2021 (UTC)
: Ciao, ho cominciato ad aprire la [[Jimbo Katoliki la Crema|diocesi di Crema]]. Quando riesci a trovare qualche minuto, per favore, dovresti sistemare le poche cose che ho lasciato in italiano dove ci sono i nomi dei vescovi, soprattutto i due vescovi appartenenti agli ordini religiosi.
: Grazie ancora, a presto
: '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:43, 5 Aprili 2021 (UTC)
==Kuzuia mtumiaji==
Habari, Kuna mtumiaji ambaye ametumia IP address na kufuta makala kwa kuandika maneno ya kingereza. Nimejaribu kumzuia je nimefanya kitu sahihi? Na je ambavyo nimefanya ndo inavyotakiwa kuwa? Asante sana --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 08:50, 19 Aprili 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Riccardo.
Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:15, 27 Aprili 2021 (UTC)Idd ninga
:Asante kwa kunishirikisha. Mimi pia naona shaka, ila sina utaalamu zaidi. Kwa mambo kama hayo ni afadhali kumuuliza Kipala. Amani kwako pia. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:26, 28 Aprili 2021 (UTC)
== Kigezo cha Redirect ==
Habari, Naomba kuuliza ni kwa namna gani unaweza kuweka redirect. Kuna jamii ya waigizaji filamu wa India nataka niiwekee redirect kuelekea jamii ya waigizaji filamu wa uhindi. Nimejaribu ila sikufanikiwa, naomba mwongozo. Asante! --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 05:45, 29 Aprili 2021 (UTC)
:Kwanza hongera kwa juhudi zako. Pili suala la majina ya nchi linatakiwa bado kujadiliwa. Mfano mmojawapo ni: India au Uhindi? Tatu: kuweka redirect ni rahisi, ila ukielekeza upya jamii, makala za jamii iliyoelekezwa upya hazionekani katika jamii mpya. Inabidi ubadilishe jina la jamii katika kila ukurasa. Labda kuna template maalumu, lakini mimi siijui. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:25, 29 Aprili 2021 (UTC)
==Hongera==
Hongera, nikitazama massview analysis hiyo https://pageviews.toolforge.org/massviews/?platform=all-access&agent=user&source=category&range=latest-20&subjectpage=0&subcategories=1&sort=views&direction=1&view=list&target=https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Watakatifu_Wakristo
Jamii:Watakatifu Wakristo 2021-04-10 - 2021-04-30<br/>
Daily average Totals 3.385 pages 30.090/total 1.433/day<br/>
1 Orodha ya Watakatifu Wakristo 1.482 71 / day
Ingawa naona jamii inajumlisha kurasa nyingi ambazo si watakatifu wenyewe (kama vile watu wengi wa Biblia kwa jumla, mahali kama Roma), hata hivyo kuna wasomaji wengi wanaotafuta huduma hiyo! Ubarikiwe! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:21, 1 Mei 2021 (UTC)
:Asante kwa pongezi. Hata hivyo kuna mengi ambayo siyaelewi katika majedwali hayo... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:39, 2 Mei 2021 (UTC)
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Riccardo Riccioni, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:33, 17 Mei 2021 (UTC)
== Makala juu ya umaarufu! ==
Salaam tele.
Unisamehe kwa ukimya wangu, kuna mambo mengi yanaingiliana kwa wakati mmoja. Nimeusoma ujumbe wako na ninakubaliana nao kwa asilimia mia moja. Nilidhani nimeiandika mimi kumbe kumbukumbu zangu zimeyonzwa na msukumo wa maisha!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:28, 30 Mei 2021 (UTC)
== Kuhusu marekebisho ya nakala ya Arthur Schopenhauer ==
Bado sijatosheka na sababu ulizopeana za kufuta aya nyingi nilizowakilisha tawasifu ya mwanafalsafa Arthur Schopenhauer. Mimi ni mzaliwa wa Kenya na nimeongea kiswahili tangu utotoni na nimekua nikisoma Kazi za Schopenhauer kwa miaka zaidi ya saba sasa.
Nilikua na nia ya kuandika nakala zaidi nikifafanua nadharia muhimu za mwanafalsafa huyu lakini katisha tamaa na tabia hii yako ya kufutafuta mawakilisho yangu kiholelaholela.. kama kuna kitu yauelewi niambie kwanza tujadili ama urudishe ujinga yako Italia!! '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 11:19, 14 Juni 2021 (UTC)
:Asante kwa tusi lako, ila si utamaduni wetu. Pia ulivyoandika ni uthibitisho kwamba Kiswahili chako si sanifu. Kwa mfano "ujinga yako" si sahihi. Kama ukiona nimefuta kiholela, uwasiliane na mkabidhi mwingine aweke mambo sawa. Amani tele kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:32, 16 Juni 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Riccardo Riccioni}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:05, 19 Juni 2021 (UTC)
== Hello ==
Hello, please save the [[Qaem Shahr]] article and link it to the wiki data item. Thank '''[[Mtumiaji:Viera iran|Viera iran]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Viera iran|majadiliano]])''' 22:45, 24 Julai 2021 (UTC)
==Kukarabisha wageni==
Salamu,Katika ukurasa huu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Ultracounter_nitrogenius wakati namkaribisha nilijikuta nimechapisha sehemu ya kurasa ya mtumiaji bila kugundua, ila baada ya kushtuka nikafuta alama na maneno ya ukaribisho na kwenda kuandika upya tena katika ukurasa wa majadiliano, nisaidie kutazama kama itakuwa sawa na msaada zaidi wa maelekezo iwapo ikitokea nimerudia makosa kama hayo, Amani sana
'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])'''
== Translation request ==
Hello.
Can you translate and upload the article [[:en:Flag of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? It does not need to be long.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Multituberculata|Multituberculata]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Multituberculata|majadiliano]])''' 14:06, 4 Agosti 2021 (UTC)
== Kuzuia mtumiaji ==
Habari ndugu, <br>
Naona umemzuia mtumiaji Awadhi awampo bila kumpa sababu. Naomba kama hautojali kumwandikia sababu ya kumzuia katika kurasa yake ya majadiliano. Asante.<br> Amani kwako '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 10:58, 5 Agosti 2021 (UTC)
:Ndugu, hongera kwa kumtetea mhariri mpya, lakini sijakuelewa. Mbona nilimpa maelekezo tarehe 25 Juni asiyafanyie kazi? Sababu ya kumzuia ni hiyo: kutafsiri kwa kutumia progamu bila kurekebisha matini hata yaeleweke! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:28, 6 Agosti 2021 (UTC)
== Kigezo ya uzuio ==
Naomba uangalie Kigezo:Zuia tafsiri. Itumiwe kwa kunakili '''<nowiki>{{Zuia tafsiri}} ~~~~</nowiki>''' na kuweka kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika, baada ya kumzuia.
Unadhani inafaa? Kesho nataka kufanya zoom meeting saa 2 usiku kuhusu hiyo. Ungeweza kungia? (najua ni saa mbaya kwako...){{Zuia tafsiri}} '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:00, 11 Agosti 2021 (UTC)
== Msaada Tafsiri ==
Habari, nimetunga [[Msaada:Tafsiri]]. Tafadhalia angalia kama inafaa, inaeleweka n.k. Naona wako wachache watakaoisoma maana wako wanaojitahidi. -- Nimeona nitaje pia ContentTranslation. Hadi sasa nimejaribu kuificha. Lakini hao wote wanatumia google, na google haina msaada kutunza fomati. ContentTranslation angalau inasaidia kupata fomati (interwiki, jamii). Ushauri wako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:31, 12 Agosti 2021 (UTC)
:Kweli, ni afadhali kuliko Google. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:36, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Kuzuia==
Habari naona umemzuia Praygood Mwanga, sawa kabisa. Ila naona ni vema kuongeza chini ya kigezo nusu sentensi tunapotaja makala tunayorejelea. Kama ningeelewa vigezo vizuri zaidi, ningeingiza nafasi ndani ya kifupi cha kigezo lakini sijui. Kwa mtu kama yule kijana anayeazisha makala mengi, ni vema kutaja makala husika chini ya kigezo, kabla ya sahihi. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:19, 19 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
NAona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Upitiaji wa makala==
pitia makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Dougaj pamoja na https://sw.wikipedia.org/wiki/Shule_ya_Sekondari_ya_FPCT_Tumaini nimerekebisha kidogo
'''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 08:16, 11 Septemba 2021 (UTC)
:Sawa, lakini sasa angalia mimi nilivyorekebishwa zaidi ili ujifunze kufanya vizuri zaidi. Amani kwako| --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
== Vimo vya vilele vya Mlima Kenya ==
Riccardo salaam. Wakati ulipoandika vimo vya vilele vya Mlima Kenya, labda ulikuwa umekosea? Ukarasa wa Mlima Kenya una vimo vingine. Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:11, 16 Septemba 2021 (UTC)
:Ni kweli, nimeona hicho, ila nimefuata Wikipedia ya Kisebuano. Kama unaweza kusahihisha, nitashukuru sana. Kinachonifurahisha ni kwamba sasa Wakenya wengi wanasoma Wiki ya Kiswahili! Amani kwako pia! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:34, 16 Septemba 2021 (UTC)
== Apology ==
Hello {{u|Riccardo Riccioni}} I hope you're doing well. I'm C1K98V from India. I don't know the language, nor was aware of the sw wikipedia. However, I'm familiar with the policy of wikipedia. I apologize to begin with the wrong step. But my intention was not violate the policy. Please help with expanding the stub subject, creating article associated with India. I upload creative commons license files on wikimedia commons. I assure, I won't create any problem to the community. Please guide me. Thanks for your consideration, stay safe. --[[User:C1K98V|<b style="color:#FF0000">''C1K98V''</b>]] <sup>([[User talk:C1K98V|💬]] [[Special:Contribs/C1K98V|✒️]] [[Special:ListFiles/C1K98V|📂]])</sup> 11:39, 25 Septemba 2021 (UTC)
== Re ==
Grazie per il tuo benvenuto :-) La mia utenza qui è stata creata in conseguenza di una rinomina effettuata, non conosco lo swahili ma fa comunque sempre piacere essere "benvenutati", poter ringraziare in italiano è poi davvero una sorpresa! Grazie e buon lavoro! --'''[[Mtumiaji:Civvì|Civvì]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Civvì|majadiliano]])''' 19:56, 9 Oktoba 2021 (UTC)
==Makala za ufutaji==
Mzee mwenzangu, nisipokosei ulipendekeza makala kadhaa zifutwe, Ila usipopeleka makala hizo kwenye ukurasa wake [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] zitasahauliwa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:38, 28 Novemba 2021 (UTC)
:Ndiyo, najua, lakini siku hizi tunafanya kazi kwa wasiwasi: umeme unakatika muda wowote kwa saa nyingi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:03, 29 Novemba 2021 (UTC)
==BwanaHeri==
Asante kwa salamu, nimeiunda kama akaunti mbadala; niliihitaji leo nilitaka kutunga maelezo jinsi ya kujiandikisha kwa matumizi ya barua pepe, na hapo nilihitaji kutumia akaunti mpya ili niweza kuona hatua. Ukiangalia [[Wikipedia:Mwongozo (Kujisajili)]] naomba ukague maelezo chini na. 4) kama ni sahihi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:27, 29 Novemba 2021 (UTC)
== Request translate article about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Hello Riccardo Riccioni, Would you like to translate the article [[en:Isabelle de Charrière]] (Q123386) for the SW Wikipedia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 08:27, 20 Desemba 2021 (UTC)
==Marejeo==
Kama kuna kosa umeliona kwenye tasfiri, rekebisha na ujadili kwenye majadilano ya page husika, na utumie lugha ya upole. Asante. --'''[[Mtumiaji:Halidtz|Halidtz]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Halidtz|majadiliano]])''' 13:20, 25 Desemba 2021 (UTC)
== Interlingue ==
Grazie per il benvenuto. Potresti aiutarmi ad aggiungere qualche informazione in più all'articolo su Interlingue, per favore? --'''[[Mtumiaji:Caro de Segeda|Caro de Segeda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Caro de Segeda|majadiliano]])''' 12:34, 31 Desemba 2021 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
== Looking for French speakers ==
Hello, Riccardo. I am looking for French speakers, especially French speakers from Africa who use mobile devices for editing. Do you know of anyone here at the Kiswahili Wikipedia who might be interested in talking to me? The goal is to make it easier for people using a smartphone to post on a talk page. You can see the current status on this page by clicking on this link: https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Riccardo_Riccioni?dtenable=1 – but it's still too hard, and it isn't available on the mobile site yet. Please let me know if you could recommend any editors who might be affected. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:28, 1 Februari 2022 (UTC)
:@[[Mtumiaji:SJ|SJ]], @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], @[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]], @[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]], perhaps one of you knows an editor who might edit the French or Arabic Wikipedias from a smartphone. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:48, 1 Februari 2022 (UTC)
::No I don't know anyone.
::'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 12:33, 11 Machi 2022 (UTC)
== Come stai? ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Come stai? Quì sembra che stiamo migliorando, da ieri non abbiamo più l'obbligo di mascherine all'aperto, anche se l'attenzione è sempre alta. Io e la mia famiglia stiamo bene.
Volevo chiederti un piccolo favore, quando avessi due minuti di tempo: potresti tradurmi in Swahili la didascalia della mia foto nella mia pagina personale? Grazie mille di tutto e buon fine settimana, a presto. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:20, 11 Februari 2022 (UTC)
: Grazie infinite, sempre (come diceva il mio amico trappista brasiliano frei Manù) ''em comunhão''!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:57, 12 Februari 2022 (UTC)
== Global IP block exemption ==
Hello, I saw your request o er at Kipala's talk page and I think there's one way to fix your problem. Since your IP has been blocked as an Open Proxy, it cannot be unblocked rather you can request Global IP block exemption. Email stewards@wikimedia.org . Include:
*the IP mentioned in the error message you got
*the username you use
* why you need to use Tor or the Open Proxy
Hope this helps. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 18:53, 12 Februari 2022 (UTC)
== Incorrect block ==
Hello. [[User:EthanGaming7640]] undo vandalism. Please see his contributions. Thank you! '''[[Mtumiaji:AlPaD|AlPaD]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AlPaD|majadiliano]])''' 15:29, 17 Februari 2022 (UTC)
:Hiki ni kizuizi kisicho sahihi. Mtumiaji alikuwa akifanya uhariri mzuri. Tafadhali kagua. Asante. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 15:41, 17 Februari 2022 (UTC)
::He has 1 edit only on this wikipedia which was absolutely destructive, inserting gibberish. Here we block indefinitely for such behaviour. Are you sockpuppets? Complain to Meta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 17 Februari 2022 (UTC)
:::I am a former administrator with over 30,000 edits on multiple projects. If you look at the change, he was removing the gibberish. You can also see extensive work cross-wiki for his account. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 18:56, 18 Februari 2022 (UTC)
::::That seems to have been a mixup. He is unblocked, thanks for pointing to it. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:58, 18 Februari 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Riccardo Riccioni}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 11:24, 11 Machi 2022 (UTC)
:asante @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] sana kwa Marekebisho yako kwenye makala ninazo edit maan mimi bado ni mwanafunzi mchanga kabsa bashukuru sana najifunza kila unapo nirekebisha tuwasiliane kwa barua pepe '''[[Mtumiaji:Ceasar255|Ceasar255]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ceasar255|majadiliano]])''' 18:52, 2 Aprili 2022 (UTC)
==Msaada wa utengenezaji wa (infobox:football biografy)==
Salaam nimeona wewe ni mtaalamu naomba unisaidie kutengeneza (kigezo:infobox) kwaajili ya makala za wachezaji nimeona kwenye wikipedia ya kingereza kwakweli inapendeza mfano kama hii ({{cite|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Template:Infobox_football_biography}} ) amani,sana '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
:Ndugu, ni kweli masanduku yanapendeza, ila mimi siyatengenezi kwa kuwa si mtaalamu zaidi. Umuulize [[mtumiaji:Muddyb|Muddyb]]. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:41, 22 Machi 2022 (UTC)
::sawa sawa '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:45, 22 Machi 2022 (UTC)
== Goodbye ==
Hi Riccardo Riccioni, I'm going to block globally because I made the bad translations.--'''[[Mtumiaji:Martorellpedro|Martorellpedro]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Martorellpedro|majadiliano]])''' 19:18, 15 Mei 2022 (UTC)
== Riccardo sijui kuhariri (kuchangis) Kwa kutumia smartphone he nifanyeje?? ==
Learning Jr 10:51, 2 Juni 2022 (UTC)
:Samahani, mimi hata simu sina... Sijui ufanyeje. Umuulize mkabidhi mwingine yeyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:23, 3 Juni 2022 (UTC)
::Naona kuhariri kwa simu itakuwa changamoto kwa wengi, pia kwake [[Mtumiaji:Tomson G Wiston|Tomson G Wiston]]. Nikiangalia swali lake, tayari ameshakosea mara 2 tahajia ("kuchangis" badala ya "kuchangia"; "he" badala ya "je"). Si rahisi kuharir vema ukiwa na simu tu. Hakika asijaribu matini ndefu. Menginevyo anahitaji tu nafasi ya kujiunga na intaneti, simu janja halafu aingie sw.m.wikipedia.org na kuhariri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:37, 3 Juni 2022 (UTC)
== Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]] ==
Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]]. Parvej Husen Talukder ni mshairi na mwandishi wa Bangladeshi. '''[[Mtumiaji:Rnwiki-global|Rnwiki-global]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rnwiki-global|majadiliano]])''' 00:48, 16 Juni 2022 (UTC)
== Manii na shahawa ==
Riccardo salaam. Umeshasoma toleo la mwisho la makala kuhusu shahawa? Nilitaka kupea shahawa ufafanuzi tofauti kwa manii. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 13:36, 21 Juni 2022 (UTC)
:Salamu nyingi kwako! Natumaini unazidi kupona. Ndiyo, nimeona jaribio lako, lakini sijaelewa tofauti iko wapi. Nimeangalia kamusi mbalimbali, zinaonyesha ni visawe. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:38, 22 Juni 2022 (UTC)
::Asante. Ninaendelea kupona. Shida tatu zimeisha, lakini moja inabaki. Ni kweli kama kamusi nyingi zinasema kwamba maneno haya ni visawe. Lakini Kamusi sanifu ya Biolojia, Fizikia na Kemia inapendelea manii kwa sperm na shahawa kwa semen. Sperm na semen ni tofauti. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:21, 22 Juni 2022 (UTC)
::ni kwanini nikiweka biography yangu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] anai futa? wakati sijakosea chochote '''[[Mtumiaji:Jamespromax|Jamespromax]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jamespromax|majadiliano]])''' 14:52, 14 Julai 2022 (UTC)
== Ukurasa wa Sigebert III ==
Habari ndugu,
Nimejaribu kupitia makala ya Sigebert na kuona makala iliyoandikwa haikuwa na uwiano na makala ya kiingereza. Nimejaribu kuirekebisha waweza kuipitia na kuona ilivyo sasa. Katika jina la makala pia naona ulikosea (au ndo ilivyo?).
Amani kwako. '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 15:52, 25 Julai 2022 (UTC)
== Ukarasa wa majadiliano wa "Katimawan2005" ==
Habari ndugu Riccardo,
Samahani ninaomba msaada kwenye ukurasa wa mtumiaji "Katimawan2005" uweze kuupitia na kufuta kili nilichochapisha kimakosa wakati ninamtumia salaam ya ukaribisho kwenye wikipedia ya kiswahili, kama ndugu "Kipala" alivyosema kule kwenye group la telegram kuwa hata sisi ambao sio wakabidhi tutoe msaada kwenye kutuma salaam ya ukaribisho kwa kila mtumiaji aliejiunga na Wikipedia ya kiswahili ambaye alikua bado hajapokea salam hiyo.
Asante. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:38, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Sioni shida yoyote kwa sasa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:05, 7 Agosti 2022 (UTC)
1rkbjvcxemfzaspwffv0brosz96ua7c
1240608
1240282
2022-08-08T08:12:08Z
Anuary Rajabu
45588
/* Ukarasa wa majadiliano wa "Katimawan2005" */ Reply
wikitext
text/x-wiki
==Ujumbe==
Habari, ukiwa na nafasi nashukuru ukiangalia baruapepe zako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:09, 20 Oktoba 2020 (UTC)
==Fransisko wa Asizi==
Riccardo, salam. Nd. Riccardo, ile makala ya Fransisko wa Asizi, umeandika safi sana na inaeleweka. Lakini je vipi kuhusu mwaka aliozaliwa huyu bwana unaujua? Natumai utakuwa umeitafsiri kutoka wiki zingine ama sivyo? Natumai ndivyo!! Basi kama utaweza kuandika mwanzo kabisa mwaka aliozaliwa itakuwa bora zaidi. Labada nikupe mfano mdogo: '''Fransisko wa Asizi''' (tarehe na mwaka aliozaliwa) alikuwa mtakatifu kutoka nchini Italia. Asizi alizaliwa katika mkoa wa Umbria, wilaya ya Perugia, Italia.... Kisha unaweka kama ndugu na mambo mengine!! Haya basi kama hujaelewa labda umwulize Kipala atakupa habari zaidi!! Kingine usisahau kuweka InterWiki katika makala yako kama ipo katika wiki zingine-'''<nowiki>[[it:Fransisko of Asizi]]</nowiki>''' (sijui kwa lugha ya Kitaliano wanahitaje) lakini inategemea na lugha vyovyote vile inaswihi. Kingine kuweka vichwa katika makala, hili nenda kaangalie makala yako utaona nimefanya vipi mpaka kimekuja kichwa cha habari-[[Fransisko wa Asizi]]. Sina mengi na nakutakia kheri ya mwaka mpya na furaha tele moyoni!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:08, 7 Januari 2008 (UTC)
Kuna kitu nimesahau kukueleza. Kuweka jamii au category katika makala, mfano: '''<nowiki>[[Category:Watakatifu wa Italia]]</nowiki>''' au '''<nowiki>[[Category:Watakatifu]]</nowiki>''' na nyingine ya mwaka aliozaliwa -unaweka mabano kama hayo kisha unaadika (Waliozaliwa 19 na...) kama kafa unaandika Waliofariki (mwaka aliokufa). Natumai utakuwa umeelewa!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:20, 7 Januari 2008 (UTC)
==Ushauri==
Salam. Ukiwa bado humchanga katika wiki hii, ni vyema ku-login kabla ya kuumba makala!!! Nimeona baadhi ya makala umeandika bila ku-login, kisha nikafikiri ni Kipala aliyefanya hiyo hivyo, kwani yeye ndiye huwa na kawaida hiyo!! Basi endelea na kazi yako Ndugu, wako katika ujenzi wa Wikipedia,--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:19, 28 Februari 2008 (UTC)
:Asantee ntajitahidi '''[[Mtumiaji:Billy pixel|Billy pixel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Billy pixel|majadiliano]])''' 06:34, 3 Agosti 2022 (UTC)
==Mpangilio wa makala==
Salaam! Kuna mapendekezo kuhusiana na muundo wa makala na vichwa vyake. Naomba angalia [[Talk:Klara|hapa]] kwa maelezo zaidi....--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:43, 11 Machi 2008 (UTC)
::Salaam! Tukiwa tunaendelea na mada yetu ya vichwa vya habari katika makala, labda nikueleze kingine nimekiona! Ni vyema wakati wa kutaka kumwachia mtu ujumbe katika kurasa ya majadiliano, uwe unaanzia chini na sio juu. Ukifanya hivyo inakuwa rahisi mtu kufahamu ujumbe upo wapi. Vinginevyo uangalia mabadiliko ya mwisho ndiyo utajua ujumbe upo wapi. Pendekezo: Ni vyema uwe unaweka (au kuacha ujumbe wako kuanzia chini). Vichwa vya habari: Labda nikuonyeshe namna ya kuweka vichwa vya habari
<nowiki>==Hapa unaweka maelezo husika na kichwa cha habari hiki==</nowiki>
Hapa chini yake unaaza kuelezea vile habari kama kilivyo kichwa chake cha habari.
Naomba angalia makala hii :[[Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya]] na vichwa vyake vya habari, labda utapata mwelekeo mzuri zaidi. Ukiwa unaona bado huja elewa basi nijulishe au mwulize mkabidhi yoyote atakupa maelekezo zaidi! Kila lakheri....--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 04:18, 25 Machi 2008 (UTC)
==Viungo vya nje==
Salam. Ndugu Riccardo, hamna uwezekano wa kupata viungo vya nje katika makala unazo-changia? Maana naona makala nyingi umeandika bila ya viungo vya nje, wakati ukiziangalia katika Wikipedia zingine unazikuta wamewekea viungo vya nje. Je vipi utafanya ili uweze kuweka hata viungo vya nje katika baadhi ya makala utakazo changia-zenye kuhitaji viungo vya nje?--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 11:57, 27 Machi 2008 (UTC)
==Ualimu==
Salaamu Ricardo,nafurahi sana kuona kazi yako. Nina neno kuhusu [[ualimu]] naomba utazame ukurasa wa majadiliano huko. ̰-[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 19:12, 27 Machi 2008 (UTC)
==Hongera ya makala 7,000==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 7,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu saba. Naona kama naota kufikia kiwango hicho, ingawaje si nyingi hivyo lakini tumefika!. Basi tuendelee kushauriana na kuvumiliana!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 07:32, 21 Aprili 2008 (UTC)
==Fransisko==
Ricardo, niliandika hapa kitu juu ya umbo la makala lakini nimeifuta tena kwa sababu sijaona ya kwamba umeshabadilisha mwenyewe. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 11:19, 14 Mei 2008 (UTC)
==Vitabu vya Biblia==
Riccardo salaam, nimeona umechapa kazi kan bisa kuhusu vitabu vya Biblia. Ombi langu ni: tujaribu kushikamana pamoja. Labda umeona ya kwamba hata Oliver na mimi tumeshaanza makala kadhaa juu ya vitabu vya Biblia lakini sijandelea kwa muda mrefu. Hapa naona kuna mamabo mawili yanaofaa tukumbuke: tupatane juu ya majina na jamii.
*Kwanza tukiwa na makala nyingi napendekeza tutumie jamii za "Vitabu vya Agano la Kalre" na "Vitabu yva Agano Jipya" zote mbili chini ya "Category:Biblia". Menginevyo jamii zitajaa mno tukiweka kila kitu chini ya Biblia. Vile vile misahafu naona tutumie hii wka ngaziy a juu maana yake tukitaja vitabu vya dini mbalimbali si sehemu za kila kitabu cha kila dini (kwa mfano upande wa Uhindu tunapata nyingi mno, kama vile upande wa Ukristo).
*Pili naomba ukiongeza kumbuka makala za
**[[Agano la Kale]]
**[[Agano Jipya]]
**[[Orodha ya vitabu vya Biblia]]
kwa sababu hapa kuna orodha na tukiunda makala kwa jina tofauti orodha hizi si msaada tena. Au tunafanya kazi mara mbili, linganisha [[Kumbukumbu la Sheria (Biblia)]] na [[Kumbukumbu la Sheria]]. Kumbe makala imeshakupatikana tayari. Basi sasa tuunganishe. Halafu ona jinsi nilivyofanya kwa Ruth: wewe uliandika [[Kitabu cha Ruth]] halafu nikaweka kiungo cha #REDIRECT kutoka orodha inapoandikwa kw< umbo la "Ruthu". Unaonaje? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 14:43, 2 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Namna ya kuelekeza ukurasa mmoja kuelekeza kwingine ni:
*'''<nowiki>#REDIRECT [[andika ukurasa unaotaka ku-redirect hapa]]</nowiki>'''.
:::Mengineyo, waone wataalamu wa "Dini", yaani Kipala! Ushauri: Naona mara nyingi ukiandika
ujumbe, huwa hakuna jina lako linalotokea katika ukurasa wa majadiliano wa mtu uliyemwachia ujumbe. Fanya hivi: '''<nowiki>--~~~~</nowiki>''' kisha yenyewe itaandika jina lako, muda, tarehe n.k. Kazi njema na kila lakheri! Wako katika ujenzi wa Wikipedoia hii ya Kiswahili,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:56, 3 Juni 2008 (UTC)
::::Salamu!!!!! Baba Riccardo, napenda kujua kwa nini Bibilia nyingine zina vitabu 72 na nyingine zina vitabu 66? Pole na Kazi na Mungu akubariki.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 15:39, 27 Machi 2015 (UTC)
:::::Ndugu Asante sana.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 16:16, 27 Machi 2015 (UTC)
==Kutia sahihi==
Salam, Riccardo. Kuna kitu nimeona wakati wa kumaliza kuandika, jina lako linatoka bila kiungo. Hapa naona mambo mawili: Huenda akawa umeilemaza ile sehemu ya kuweka automatic link(angalia "mapendekezo yangu - raw signature"). Pia inawezekana ukawa unakosea namna ya kujisajilisha ili uweze kupatikana katika viungo hivi vya wiki. Angalia mfano huu tena kwa njia ya picha kisha uwe unafanya hivyo:
[[Image:Kutia Saini.JPG|thumb|centre|300px|Fuata hizi alama kama zilivyo.]]
Samahani lakini kama nitakuwa na kukera katika kukumbushia namna ya kijisajili. Kazi njema na natumai utakuwa umeelewa! Endapo ukiwa bado, basi nijulishe...--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 13:07, 12 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Riccardo, nimeona makala nyingi ukiwa unaandika vichwa vya habari kwa "herufi kubwa". Kwani haiwezekani kuandika herufi ndogo?? Unaombwa ufuate format ya wikipedia jinsi inavyokwenda! Usijisikie vibaya pale unapoelezwa kwani tupo katika kuboresha makala zetu! Hata mimi nilikuwa nafanya kama unavyofanya, lakini Kipala akanieleza namna ya kufanya vyema!!! Basi tushirikiane katika kazi ili tuwe wabora zaidi. Mengineyo: Ujumbe wa juu natumai umeuona, na kama umeona naomba nifute ile picha!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:06, 13 Juni 2008 (UTC)
::::Umefaulu. Ila usiandike jina lako, yenyewe itaandika jina lako na muda uliacha ujumbe ule. Hongera na kazi na tuendelee kushauriana! Wako katika ujenzi wa Wikipedia hii,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:30, 13 Juni 2008 (UTC)
==Masharti ya makala==
Salaam Riccardo umefanya kazi kubwa ya kutunga makala mengi juu ya vichwa vyenye maana. Nashukuru. Lakini naona tatizo juu ya makala kadhaa kulinganana na masharti ya kamusi elezo. Kwa upande mmoja makala kuhusu maazimio ya mtaguso wa pili wa Vatikani hayafuati muundo wa makala. Maana yake mwanmzoni hazielezi waziwazi neno hili ni nini bali zinaanza na maelezo juu ya nia au mawazo ya Mtaguso. Hii haisaidii kueleweka vema. Halafu kuna jambo la pili nimeona mara nyingi namna ya mahubiri inayochanganywa na habari. Hii si mtindo wa kamusi elezo. Labda kama ukiandika kwa ajili ya homepage ya kanisa lako ingekuwa sawa. Lakini hapa tunahitaji maelezo yaliyo wazi kwa mtu yeyote. Kama Waislamu, Wakristo wa madhehebu mengine na watu wanaokanusha dini wanafanya hivihivi wikipedia yetu haieleweki tena. Naona haja kuleta masahihisho hapa. Ningeomba usinedelee kuandika makala kwa muundo huohuo bali tujitahidi pamoja kuleta mpanglio unaofaa. Napenda kurudia ya kwamba naona makala yote yanahusu mada muhimu lakini hatuna budi kusaidiana kutunza kiwango cha ubora fulani.--[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
:Nimesahihisha kidogo mwanzo wa makala kuhusu "[[Dei Verbum]]". Pamoja na muundo niliona mafundisho au mahubiri ya kidhehebu. Ilikuwa vema ya kwamba ulinikumbusha juzi ya kwamba haikuwa sahihi kuonyesha mafundisho ya Kiprotestant juu ya idadi ya vitabu vya Agano la Kale. Nimekubali kabisa. Vivyo hivyo hakuna mahali hapa kuingiza mafundisho ya kidhehebu juu ya madhehebu mengine.
:Mfano: Si kweli ya kwamba viongozi Waprotestanti walikataa ualimu wa kanisa; kinyume chake ualimu huu unasisitizwa sana! Tofauti ilikuwa ya kwamba wakati ule Waprotestanti hawakukubali Kanisa Katoliki kuwa kanisa kweli. Sasa tuna kazi ya kueleza mawazo haya katika makala juu ya historia ya kanisa au historia ya mafundisho ya kidini na hapo ni sawa. Lakini haifai kurudia matamko ya upinzani wa kidhehebu ndani ya makala kama hii, isipokuwa kama ni kweli sehemu ya kichwa fulani. Lakini inapaswa kuelezwa kama maoni fulani si kama habari halisi. Tuhurumie wasomaji wetu wanaotoka katika mazingira mbalimbali. Naomba tuelewane hapa na kusaidiana. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
==Agano la Kale==
Ricccardo, asante kwa kunikumbusha. Samahani lakini sina uhakika unalenga nini yaani makala gani. Pale nilipoangalia nakuta vitabu vipo bila shaka unamaanisha sehemu nyingine ambako sioni. Naomba fanya hivi: weka kiungo (link) pale unapoandika kwenye ukurasa wangu ili nifike palepale. Mfano: [[Agano la Kale]] kuna vitabu vyote unavyotaja. Je wewe unalemha nini hasa? (halafu: Kuanzia kesho kutwa sitakuwepo kwa wiki 4 - naomba uvumilivu wako). --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:30, 16 Julai 2008 (UTC)
::::Nimeelewa. Ilikuwa [[Template:Biblia_AK]]. Nimesahihisha. Halafu ilikuwa nini juu ya kulinganisha "Biblia ya Kiebrania" na "Agano la Kale"? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 07:42, 17 Julai 2008 (UTC)
:::::Nimejibu ujumbe wako [[User talk:Muddyb Blast Producer|hapa!]]--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 15:10, 25 Agosti 2008 (UTC)
==Hi Ricardo Riccioni ==
Hi! How are you? Could you please help me add a couple of sentences to the Kiswahili version of [http://en.wikipedia.org/wiki/Puerto_Rico_Independence_Party this interesting article]?
Thanks so much! -[[User:Ivana Icana|Ivana Icana]] ([[User talk:Ivana Icana|majadiliano]]) 22:30, 6 Septemba 2008 (UTC)
Could you please send me the artical '''[[Mtumiaji:Sen2006|Sen2006]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sen2006|majadiliano]])''' 10:38, 15 Oktoba 2018 (UTC)
:yes, i can. give me your your sentences '''[[Mtumiaji:Nestory kamal|Nestory kamal]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Nestory kamal|majadiliano]])''' 13:25, 11 Desemba 2021 (UTC)
== Lugha ==
Riccardo, salam. Eti, umefikia wakati wa wewe kujiwekea viwango vya lugha uzifahamuzo katika ukurasa wako wa mtumiaji! Hapa kuna orodha chache ya mifano hai yenye kuonyesha lugha unazozijua. Angalia hizi:
Haya, katika kila kodi ya lugha, kwa mfano: sw-2 au 3, ni kiwango cha lugha unachokifahamu. Ikiwa en-2, 3, 4, ni namna ya kutaja vyema uwezo wa ujua wako wa lugha! Ukiona unajua zaidi ya namba 1,2,3 basi ongeza hadi nne katika kila kodi ya lugha, halafu ukimaliza kopi hayo mabano yote kisha nenda ka-paste katika ukurasa wako wa mtumiaji! Chukua hizi:
'''<big><nowiki>{{Babel|it|sw-3|en-3|es-3|fr-2|la-1}}</nowiki></big>'''
Karibu sana!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:54, 13 Oktoba 2008 (UTC)
::Tayari nsihaongeza msingi wa lugha "A" katika Kihispania! Ni kama uonavyo hapo juu. Natumai kwa hili tushamalizana, kwa maelezo mengine zaidi, tafadhali uliza tu ukijisikia wataka kuuliza! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:08, 1 Novemba 2008 (UTC)
== Picha ==
Riccardo Riccioni, salam. Namna ya kuweka picha ni rahisi sana ndugu yangu! Hebu fuata taratibu hizi kisha tuone kama tutafaulu katika kuelekezana huku. Andika:
'''<big><nowiki>[[Image:Jina la picha.jpg, .png, .svg, .gif n.k.|thumb|hapa weka kulia au kushoto (kwa Kiingereza)|ukubwa wa picha=250px n.k.|Maelezo ya picha, kisha]]</nowiki></big>'''
Kingine: Ukitaka kutumia formula hiyo, tafadhali usi kopi na hayo maandishi yaliyoandikwa. Chukua maelezo matupu bila ya nowiki! Haya, tazama picha jinsi inavyokuja kwa hapa:
<nowiki>
[[Image:Flag of Italy.png|thumb|left|15px|Bendera ya Italia]]. </nowiki>Ukiona bado hujaelewa, basi nijulishe nitakuelekeza zaidi!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
:Ndugu, sijaelewa. Pole! Kwanza sijui nowiki ni nini. Pili sijui picha niichukue wapi. Tatu nijueje ukubwa. Nilichoelewa ni kulia na kushoto... Pamoja na hayo, naona unapenda kufahamu niko wapi: si mbali na wewe, naishi Morogoro, hivyo itakuwa rahisi kukutana siku yoyote... Nimetekeleza agizo lako kuhusu Holy See. Natumaini inatosha. Kama ningeweza, ningeweka picha nzuri iliyopo mwanzoni mwa makala hiyo kwa Kiitalia! Pia katika user page yangu ya Kiingereza nimepandisha maksi zangu za Kiswahili kwa kuandika 4. Mbona mimi ni Mtanzania? Ila nimeona template hiyo haipo katika Kiitalia na Kiswahili. Amani kwako! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]]) 23:19, 15 Novemba 2008 (UTC)
::Duh! Ebwana eeeh! Basi mie sikujua kamama wewe ni Mtanzania. Lakini mbona una jina la Kiitalia (hata lugha yako ya kwanza ni Kiitalia!). Basi naona unge badilisha ile sehemu ya Kiswahi uweke (sw tupu bila namba!) Maana wewe ni Mswahili? Aaah, nahisi umekaa Tanzania mda mrefu, kiasi hata ujue Kiswahili kama Mzawa! Haya, basi eti picha ujuaelewa? Naona unge fungua ile picha na uitazame kama inatoka Wikimedia Commons (Commons ni mradi unaopakia picha kwa ajili ya Wikipedia zote au hata mieadi yote ya Wiki!). Basi tazama [http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ukulu_mtakatifu&diff=prev&oldid=177019 hii] jinsi nilivyoongeza picha halafu muda mwingine ufanye kama hivyo. Pale utaona maandishi ya kijani (hayo ndiyo niliongeza mimi!). Ukiona bado hujaelewa, basi niulize tena kisha nitakueleza vyema! Na kuhusu mie, nina kaa huku kwetu shamba [[Kiwalani]]! Bwana akubariki,--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 12:19, 17 Novemba 2008 (UTC)
==Ombi la la tafsiri ya makala==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo Riccioni popote ulipo! Naomba kama utapata muda wa kuweza kutafsiri makala ya [[:en:Holy See|Holy See]] kutoka lugha ya Kiingereza au Kitaliano kama utapenda! Nataka kujua kuhusiana na hiyo Holy See, yaani uandike makala ya [[Holy See]] katika Wikipedia hii, ikiwezekana kwa Kiswahili itakuwa bora zaidi ama unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
== Mambo mbalimbali ==
Ndugu Riccardo, salaam! Nakushukuru kwa jumbe zako kadhaa za siku zilizopita, na sina budi kukuomba radhi kwa kimya yangu. Upande wa Carl Hinton, nitaendelea kuangalia sehemu ambazo amenakilisha tu kutoka katika "Biblia Inasema". Nimesafiri bila nakala yangu ya kitabu hicho kwa hiyo itanichukua muda kadhaa kabla sijaweza kuendelea na kazi hii ya ufutaji tena.
Upande wa kichwa cha makala mbalimbali, mimi sioni shida, hasa kwa vile makala za zamani zitarejea zile za kisasa. Ila kuhusu "vita" nakubaliana na Ndugu Muddyb kwamba neno hili liendelee katika ngeli ya nomino ya 9 (yaani kihusishi chake kiwe "ya", siyo "vya"). Nyakati hubadilika. Kwa vyovyote turejee moja kwa nyingine.
Basi, nakushukuru kwa kazi yako inayonifurahisha sana (mbona umehangaika ingewezekana kunichukiza? Haikufanya hivyo hata kidogo!). Na kazi njema! [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]]) 14:27, 10 Novemba 2008 (UTC)
==Mtaguso==
Ndugu Riccardo, salaam. Naomba uangalie maoni kwenye ukurasa wa majadiliano ya [[Talk:Mtaguso Mkuu]] na pia makala ya [[Mitaguso_ya_kiekumene]]. Ningefurahi tukiweza kushirikiana katika jambo hili. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 08:51, 18 Novemba 2008 (UTC)
== Hongera ya makala 8,000 ==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 8,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu nane. Nikikumbuka vile ulivochangia kwa hali na mali ili walau nasisi Waswahili tufikie elfu kadhaa, Naona sasa tumesogea! Shukrani za dhati zikufikie na tuendelee kushauriana na kuvumiliana{{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:31, 19 Desemba 2008 (UTC)
==Badiliko la baadhi ya viungo!==
Riccardo, salam! Kuna mabadiliko katika baadhi ya viungo vyetu! Sasa hivi kuna baadhi ya viungo vyetu vinatumika kwa Kiswahili. Kwa mfano CATEGORY hii sasa hivi ipo kama JAMII au picha, zamani ilikuwa Image:jina la picha. hiyo na hiyo. Lakini sasa ni Picha: halafu jina.... Ila zote zinafanya kazi, yaani kwa Kiswahili na Kiingereza! Lakini bora zaidi tukitumia kwa lugha yetu, au wewe unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 09:04, 24 Desemba 2008 (UTC)
:Mpendwa, nafurahi kuona maendeleo hayo ya lugha yetu. Tusonge mbele bila ya kugeuka nyuma! Ila sehemu nyingine kuna makosa: kwa mfano ukarasa badala ya ukurasa. Naomba nyinyi wataalamu mrekebishe. Kuhusu picha nimefaulu kuziingiza kwa njia tofauti na ile uliyonielekeza, yaani nazikopi kutoka lugha nyingine, ila mara mojamoja inashindikana. Mah! Hatumalizi kujifunza... Kuhusu uraia wangu, ni kama ulivyoelewa: nilizaliwa Italia, lakini nipo Tanzania tangu mwaka 1984. Nimekuwa raia tangu mwaka 1997. Asante. --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:44, 25 Desemba 2008 (UTC)
::Sawa, lakini hujaonyesha uo ukurasa wenye jina la "UKARASA". Ni bora kuonyesha kiungo kile ambacho umeokiona kinamakosa! Ahsante{{imetulia sana}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:42, 27 Desemba 2008 (UTC)
:::Kwa mfano hapa pembeni na hapa chini katika Majadiliano ya mtumiaji. --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 16:04, 29 Desemba 2008 (UTC)
==Galileo==
Hongera na asante kwa masahihisho ya maana! Nakiri nina udhaifu wa kupitia tena hasa nikiandika usiku manane wakati mwingine sioni makosa (tahajia, muundo wa sentensi). Basi tuendelee kusaidiana. Kitu kidogo: nashauri usitumie "jamii" badala ya "category". Najua inatakiwa kuwa sawa lakini bado kuna mdudu ndani yake --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:11, 29 Desemba 2008 (UTC)
:Ndugu,kweli nimeona unafanya kazi kubwa usiku, na si mara mojamoja kama mimi... Hongera na heri kwa mwaka mpya! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 22:33, 29 Desemba 2008 (UTC)
::Ni vyema kutoa sababu zinazopelekea shida ya JAMII au CATEGORY. Kuna tatizo lolote lililotokea au kutofautisha, kuleta tabu, au kutoonekana kwa makala pindi utakapoweka kiungo cha JAMII badala ya CATEGORY? Naomba nifahamishwe ili niende kuwaeleza wale Madevoloper wa MediaWiki haraka iwezekanavyo{{sura ya uzuni}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:49, 30 Desemba 2008 (UTC)
::Mimi sijaona tatizo lolote. Sasa mmeniweka njia panda: nionekane mkaidi kwa Kipala au kwa Muddy Blast? --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 13:34, 31 Desemba 2008 (UTC)
== [[Historia ya Wokovu]] ==
Ndugu Riccardo. Hongera kwa kazi njema! Miezi miwili iliyopita, ndugu wetu Kipala aliuliza kuhusu hatimiliki ya makala ya [[Historia ya Wokovu]]. Nadhani ni wewe uliyeandika makala hiyo kwa sehemu kubwa kabisa. Ikiwa umenakilisha kutoka kitabu fulani na kuvunja hatimiliki, naomba urekebishe na kufupisha makala. Hata hivyo imekuwa ndefu mno kwa ajili ya kamusi elezo. Tukazane kusaidiana na kazi njema. Umesalimiwa na '''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:22, 23 Januari 2009 (UTC)
Ndugu, usiwe na wasiwasi: mwandishi wa makala hiyo ni mimi mwenyewe tu. Ni kweli kwamba ni ndefu, lakini historia ya binadamu ni ndefu zaidi... ni vigumu kusimulia miaka elfu kwa nusu saa! --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:41, 25 Januari 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 9,000 ==
Riccardo, salam. Ni siku 43 nyuma, yaani, 19 Desemba 2008 hadi tar. 2 Februari 2009 - 9,000. Leo tuna makala 9,000. Inazidi kuifanya Wikipedia yetu kuwa vilevile ya pili kama jinsi ilivyozoeleka! Sina maneno mengi, ila ni kukutakia furaha ya kufika hapa tulipo! Pia, maisha mema na kazi kwa ujumla. Kila la kheri. {{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 16:25, 2 Februari 2009 (UTC)
Mpendwa,
bado kidogo kufikia 10,000 na kupanda chati katika wiki za lugha nyingine... Bahati mbaya, sina muda mwingi kukuungia mkono katika harakati zako. Halafu siku hizi napoteza muda kuboresha makala zilizopo kuliko kuanzisha mpya. Asante! --'''[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:45, 4 Februari 2009 (UTC)
== 11,000 ==
Riccardo Riccioni, salaaaaam! Wikipedia yetu imefikisha makala 11,000! Ni furaha iliyoje? Basi tu, niseme tujitahidi kuendeleza na kushauriana kwa kila jambo litakalosaidia Wikipedia yetu kuwa juu! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 15:51, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Tuzo ya Barnstar ==
{|style="background: #efe; border: 3px groove #0c0; padding: 5px;" width="100%"
|-
| width="65" | [[Image:Original_Barnstar.png|60px|Barnstar]]
| valign="top" | <big>'''Hongera: Umepewa Tuzo ya Barnstar!'''</big>
----
Kwa juhudi ya kazi zako hapa katika Wikipedia ya Kiswahili!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:37, 27 Aprili 2009 (UTC)
|}
:Ukifanyakazi kwa kiasi kikubwa katika Wikipedia, basi unastahili pongezi ya [[:it:Wikipedia:Wikioscar|TUZO YA WIKI]] kila unapochangia zaidi! Ukifungua ukurasa huo, utaona maelezo marefu kuhusu BARNSTAR kwa lugha ya Kiitalia! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:06, 30 Aprili 2009 (UTC)
== Jamii za Juu na Chini ==
Riccardo Riccioni, salam! Kuna tatizo nimeliona, kaka. Ukianzisha JAMII, unatakiwa pia uweke JAMII za chini. Kwa mfano:
'''JAMII ya JUU'''
*'''Jamii:Nyimbo za Tupac'''
'''JAMII ya CHINI'''
*'''Jamii:Nyimbo msanii kwa msanii'''
Kifupi hakuna jamii bila mwenziwe. Na ikiwa hakuna uwezekano wa kupata mwenziwake, ni afadhali zisiumbwe! Bimaana, JAMII YA WANAMUZIKI WA TANZANIA, ipo chini ya WATU WA TANZANIA. Natumai ya kwamba utakuwa umenielewa namna jinsi nilivyoeleza. Kazi njema.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:07, 4 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] awe bureaucrat ==
Nimemteua '''Mwanaharakati''' achaguliwe kuwa msimamizi mkuu pamoja nasi (b'crat). Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Wakabidhi wakabidhi]. Asante! --'''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:17, 28 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Flowerparty|Flowerparty]] awe mkabidhi ==
Nimemteua '''Flowerparty''' achaguliwe kuwa mkabidhi pamoja nasi. Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Wakabidhi|Wakabidhi]]. Ahsante! --<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 10:34, 9 Julai 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 12,000 ==
Riccardo, salam! Hongera kwa kusukuma Wikipedia yetu na kufikisha makala zaidi ya 12,000! Ninatumainia kuona michango yako mengine kibao kuliko hiyo uliyoifanya hapo awali!. Siku takii lolote lile, isikuwa kheri ya maisha. Wako kijana mtiifu, <sup>'''Muddyb'''</sup><sub>'''A.K.A.'''</sub>--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:02, 25 Julai 2009 (UTC)
:Riccardo, bila samahani kwani mjadala huu ni wetu wote! Kuhusu kungongeza mbegu: ni vyema pia kuongeza mbegu kwani hata ile Wikipedia ya Kiitalia ilipiga hatua kubwa kwa kufuatia mbegu zilizowekwa (niliyajua haya wakati ninaandika makala kuhusu matoleo ya Mawikipedia - ya Kiitalia umekuwa kubwa baada ya kujaza mbegu za miji na vitongoji vya Ufaransa). Hivyo tunakaribisha mbegu kedekede. Lete tu, kaka! Kuhusu picha: Pole kwa kusahau tena. Picha ukitaka ije hapa ni lazima uhakikisha kwamba hiyo picha ipo kwenye commons? Ikiwa ipo, basi suala lake ni dogo sana, kaka yangu. Ni kiasi cha kubadili tu kama umeitoa kutoka Wikipedia ya Kiitalia (jinsi ulivyoeleza "Immagine" badilia kuwa '''<nowiki>[[Picha:jina la faili.jpg/ siyo lazima iwe .jpg hata kama ipo .png, .svg, .gif na kadhalilika|thumb|righ/left/centre - vyovyote vile|ukubwa wa picha/mfano 250px|maelezo ya picha.]]</nowiki>''' Umeelewa?--06:31, 27 Julai 2009 (UTC)
==Picha==
Ndugu Riccardo, salaam! Narudi sasa hivi kutoka kwako nyumbani (ziara ad limina apostolorum..) naona swali lako kwenye ukurasa wa Muddy kuhusu picha. Kila picha iliyopo kwenye [http://commons.wikimedia.org/wiki/Main_Page commons] inaonekana ukibadilisha tu "immagine" kuwa ""picha" kwenye jina lake. Majina ya Kiingereza hupokelewa vile bila mabadiliko kama picha iko kwenye commons. Lakini picha nyingi ziko tu kwenye wikipedia ya lugha fulani. Hapa kua njia ifuatayo:
a) unanakili picha kwa kompyuta yako (je hii unajua? rightclick - save image as - halafu uiweke mahali unapojua kwa mfano desktop)
b) katika sw.wikipedia unapakia picha: bofya "pakia faili" kwenye orodha upande wa kushoto-chini, fuata maelezo kwenye fomu
c) nashauri kufuta picha baadaye kwenye mashine yako kusudi usijaze nafasi iliyopo mno.
Wasalaam --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:30, 28 Julai 2009 (UTC)
::Ushauri uliokokotezwa. Ukipakia picha kutoka Wikipedia zingine usisahau kuiwekea mabano ya hatimili (license tag). Bimaana usipofanya hivyo, siku hizi tumepata mtu wa kushughulikia picha ([[User:Flowerparty|Flowerparty]]) ninamashaka ataiondoa ikiwa haina maelezo yeyote ya hatimiliki! Pole kwa mengi tuliokueleza!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:19, 7 Agosti 2009 (UTC)
== 13,000 ==
Riccardo, salaam! Si umeona kwamba tumekuwa wa kwanza katika Afrika - na taarifa hizo ulinieleza hapo juzi. Leo hii tumefikia '''13,000'''!!! Basi hongera na tuendelee kushauriana!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:03, 18 Agosti 2009 (UTC)
== defaultsort ==
Bila samahani. Machoni mwangu, 'Defaultsort' maana yake ni kuorodhesha kufuatana na alfabeti. Kwa hiyo naona, mtakatifu ambaye hana jina la familia, aorodheshwe chini ya jina lake la kwanza na siyo chini ya jina lake la mahali wala la baba. Tunaweza kuongeza ubini ila tusiuweke kwanza katika 'Defaultsort'. Au unasemaje? Kila la kheri, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:56, 3 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam. Unaweza kuchungulia majadala [[Majadiliano:Teresa wa Mtoto Yesu|huu]] mara moja?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:10, 4 Septemba 2009 (UTC)
::Labda ni mimi ambaye sijakuelewa vizuri. Ungalikuwa umeniorodheshea makala za watakatifu hao watatu ili niangalie mimi mwenyewe, ningalikuelewa haraka zaidi. Kwa vyovyote inaonekana kama tumeelewana hatimaye. Ila katika tamaduni zetu kuna tofauti kati ya jina la familia na jina la baba. Ndiyo maana, tukiangalia ubini, hatuelewi kitu kilekile. Hata hivyo, ni vizuri kumworodhesha mtu yeyote katika 'Defaultsort' kulingana na jina lake ambalo chini yake amejulikana vizuri zaidi - liwe jina binafsi au jina la familia (sijamkuta mtu anayejulikana chini ya ubini). Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:16, 4 Septemba 2009 (UTC)
:::Ah - nimeanza kuelewa. Umebadilisha mfululizo wa majina ya watu fulani baada ya kubadilishwa nami. Ukiangalia k.m. Mtakatifu Alberto Hurtado, wikipedia nyingine, hata ya Kiitalia na ya Kiingereza, zinamworodhesha chini ya '''H''', na siyo chini ya A. Tufuate mifano yao. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:42, 4 Septemba 2009 (UTC)
== [[Kigezo:Mtakatifu]] ==
Riccardo, salaam! Husika na kichwa cha habari hapo juu ni sanduku la kujumlishia habari za Watakatifu kama jinsi wanavyoweka katika Wikipedia zingine. Dhumuni la kuandika ujumbe huu ni kukutaka utoe msaada wako wa kutfasiri baadhi ya maeno yaliyomo kwenye kigezo hicho. Binafsi najua kuandika kaziliwa wapi/kufa na kadhalika. Mengine kama "feast" (ndani yake kuna maneno kama "calender of saints"). Si kazi kubwa saana. Lakini ningependa tufanye pamoja kwa sababu kazi hii inakuhusu sana wewe. Ni katika kutaka kuboresha makala zako zaidi, kaka yangu. Ukiwa tayari, basi nijulishe! Unaonaje?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:52, 5 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Pole kwa kuchelewa kukujibu! Muda mzuri ni ule wa saa nane au saa tisa. Lakini zaidi ni saa nane naona itakuwa poa zaidi. Ukiona saa nane tu - basi utaona nimebadilisha baadhi ya vitu na kuviorodhesha kwenye ukurasa wa majadiliano husika na kigezo hicho. Wasalaaam!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 05:59, 7 Septemba 2009 (UTC)
::Basi kwa sasa hivi unaweza?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:31, 7 Septemba 2009 (UTC)
:::Riccardo: ukitazama yale majadiliano ya lile jedwani utaona mabadiliko kidogo. Je, unaweza kuendeleza zile sehemu zilizosalia?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:49, 7 Septemba 2009 (UTC)
== 14,000 ==
Riccardo, salaaaam! Ninapenda kukutaarifu kwamba Wikipedia yetu imefikisha zaidi ya makala 14,000! Ni matumaini yangu kwamba tutafika elfu 15,000? Mmmh, ni safari ndefu! Labda tu nitoe pongezi zako kwa kuendeleza zaidi makala za dini na jamii? Haikuwa kazi rahisi, lakini uliweza! Basi hongera kwa kuliwezesha na kila la kheri katika maisha! Ni mimi mdogo wako mtiifu.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 14:47, 11 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam! Ahsante kwa kutupia jicho na kusahihisha makala ya [[Matengenezo ya Kiprotestanti]]. Halafu ingekuwa vizuri zaidi ukamalizia kuandika makala ya Matengenezo ya Ukatoliki. Niliiona makala ile kule kwenye [[Wikipedia ya Kiingereza Rahisi]]. Wameelezea kama jinsi ilivyo ile ya Uprotestanti. Je, ungependa kuanzisha makala hiyo? Ni mimi mdogo wako,<sup>'''Muddyb'''</sup>, au,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:28, 5 Oktoba 2009 (UTC)
::Riccardo, kumradhi kwa kukitelekeza kigezo cha Mtakatifu. Nilijaribu kitu fulani lakini maarifa yangu yalisimama kimwendelezo. Si kitu. Ngoja nipitie tena ili nione wapi nilikwama hapo awali.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:40, 5 Oktoba 2009 (UTC)
:::Nimebadilisha mfumo wa jedwali la [[Kigezo:Walimu wa Kanisa|Kigezo:Walimu wa Kanisa]]. Hebu tazama na uniambie kama inafaa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:57, 5 Oktoba 2009 (UTC)
== mradi wa Google kwa ajili ya wikipedia yetu ==
Bwana Riccardo, salaam!
</br>Nimepata mawasiliano kutoka Christine Moon huko Palo Alto, California. Yeye anafanya kazi kwa shirika la Google, nao wameanza kupanga mradi au huduma kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania na Kenya ili waelimishwe kuandika makala kwa wikipedia ya Kiswahili. Kumbe!
</br>Christine sasa ametualika kumwandikia maoni yetu, angalia tovuti hiyo:
</br>http://docs.google.com/Doc?docid=0AbIPJ9Nv6udZZGd6MndwcGdfMzFkODNzOG0zYw&hl=en
</br>Bahati mbaya yeye haelewi Kiswahili, kwa hiyo itakuwa lazima kumwandikia kwa Kiingereza. Ukihitaji msaada wangu upande wa kumwandikia, karibu unijulishe. Asante kwa michango yako!
</br>Ni wako katika ujenzi wa lugha yetu,
--'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:57, 10 Oktoba 2009 (UTC)
== Kanisa la Armenia ==
Riccardo, salam. Kwanza nitoe shukrani zangu nyingi za dhati kwa msaada wako juu ya masawazisho ya makala zenye athira ya kidini. Nimeona maranyingi ukisawazisha (na hata kupanua makala hizo). Leo hii, nimeonelea angalao uandike makala moja au mbili za katika hicho kichwa husika hapo juu - kwa sababu niliona umeiweka sawa kwa kiasi kikubwa. Je, ungeweza angalao kuandika kitu kama labda: Kanisa la Kifalme la Armenia au lile la Katoliki? Yaani, dhumuni la kusema hivi ni kwa sababu kile kiungo au ile maana ya kutofautisha makala zile bila hata kuwepo ni sawasawa na bure! Nitakuwa mwenyekushukuru iwapo utanisaidia kwa hili. Zile makala zingekuwa za kawaida, kwa mfano muziki au filamu, basi ningeendelea mwenyewe. Lakini masuala ya kidini, aah, sijui kitu kwa kweli. Ni hayo tu. Wako,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 10:55, 13 Oktoba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Haya, kwanza ahsante kwa kuanzisha makala zile za kidini kama jinsi nilivyoomba hapo juu. Pili, nimeona maranyingi ukiandika "waamini" badala ya "waumini." Sasa hapa sijajua kama ni Kiswahili kipya? Maana, nimezoea kuona wakiandika waumini na si "waamini". Je, hiyo ni sawa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 12:55, 19 Oktoba 2009 (UTC)
::Muddyb mpendwa, nimefikiria swali lako. Sina hakika, lakini naona neno waumini linamaanisha wafuasi wa dini fulani, wakati waamini linasisitiza zaidi kuwa ndio wanaoamini ufunuo fulani, tofauti na wasiouamini. Ningesema waumini ni neutral zaidi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:25, 26 Oktoba 2009 (UTC)
== majadiliano kuhusu utafsiri wa istilahi ==
Bwana Riccardo, salaam! Nimeanzisha majadiliano mapya kuhusu utafsiri wa istilahi ya wikipedia yetu [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Istilahi_ya_wikipedia hapa]. Naomba uyaangalie na kuchangia maoni yako. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:54, 23 Oktoba 2009 (UTC)
:Salaam Riccardo, nimesoma na kukubali hoja lako kuhusu aina na kundi/jamii. Umenishtusha kidogo ktika mfano mmoja uliyotoa kuhusu maharagwa na nafaka. Niliandika makala za [[maharagwe]], [[jamii kunde]] na [[nafaka]]; kwangu kunde na nafaka ni makundi mawili tofauti. Sina neno ukipumzisha watakatifu kidogo na kuingia kwenye mboga. Ila tu nashukuru kwa maelezo ya ndani aidi --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:08, 26 Oktoba 2009 (UTC)
::Ndugu, usihangaike. Biolojia yangu iliishia darasa la kumi tu. Ukiona maharagwe si nafaka,inawezekana nimekosea kutoa mfano. Afadhali nisijaribu kugusa kurasa za mambo nisiyoyajua. Tena watakatifu na mambo ya dini wananivutia zaidi... SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:20, 26 Oktoba 2009 (UTC)
:::Baada ya muda mrefu narudia suala hilo kwa kusema nimesoma kamusi ya Kiswahili Sanifu: inasema haragwe ni nafaka... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 04:46, 19 Septemba 2010 (UTC)
== Uchaguzi Mpya ==
Salam, Riccardo. Unaombwa upige kura katika ukurasa wa wakabidhi wa Wikipedia. Mmoja kati ya wachangiaji wenzetu ([[Mtumiaji:Mr_Accountable|Mr Accountable]]) amejiteua kuwa mkabidhi! Ili kumpgia kura, tafadhali fungua [[Wikipedia:Wakabidhi#Mr_Accountable|hapa]]. Ahsante sana.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 18:39, 28 Novemba 2009 (UTC)
== [[Baptisti]] ==
Salam, Riccardo! Ahsante kwa masahihisho na ongezeko lako la kwenye makala ya Baptisti. Kwa kweli makala imekaa vyema kabisa. Tatizo langu lipo palepale - sijui mengi kuhusu dini. Ikiwa tunapata msaada kama huo, basi mambo yatakuwa mazuri.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:33, 5 Machi 2010 (UTC)
:Eeeh, kweli. Lakini kwa bahati mbaya tafsiri ile sijaitunga miye! Nilisoma kutoka katika kamusi ya TUKI niliyonayo kwenye kompyuta yangu. Ili sema Baptist - SW = Baptisti. Lakini bila kutafakari juu ya uitaji wa wanadini jinsi wafanyavyo, basi ikawa imetokea. Ahsante sana na ni tumaini kila niandikapo makala za dini, basi utawasawazisha!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:35, 6 Machi 2010 (UTC)
::Afadhali ulivyoliona hilo! Binafsi nilijaribu, lakini hali yangu haikuwa vyema tena - nikaona bora kutumia muda huo kuanzisha makala mapya kuliko kuendelea na zile. Labda tutarekebisha! Kuhusu Kipala, sifahamu kwa sababu ni muda sasa hatujazungumza kuhusu mahali alipo. Ninatumai yupo kulekule Iran! Ila tu kazi zimembana!!! Salam teeele kutoka mjini Dar es Salaam, Tanzania. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:16, 8 Machi 2010 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan Soviet Socialist Republic]] and [[:en:Azerbaijan Democratic Republic]] in Swahili Wikipedia?
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 15:50, 29 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Scientology ==
Salam, Riccardo! Unaweza kunieleza au hata kuandika makala kuhusu kichwa cha bari hapo juu? Ningependa kujua ni dhehebu la namna gani. Wako katika ujenzi wa Wikipedia yetu,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:54, 19 Machi 2010 (UTC)
:Salaaam! Ahsante kwa itikio lako la vitendo!!! Ni tumaini lako kwamba nimefurahi, basi kweli nimefurahi!!! Shukrani tena. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:43, 23 Machi 2010 (UTC)
== Hongera ya makala 18,000 ==
Salam, {{BASEPAGENAME}}! Hongera ya makala 18,000! Kumbe tumefika - japokuwa kuna mengi ya kusahihisha na kufuta pia. Lakini si mbaya tukipongezana! Tuendeleeni jamani.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:13, 31 Mei 2010 (UTC)
==Wafiadini wa Uganda==
Naona kama makala hii inataka kujadili habari za "Wafiadini wa Uganda" ipanushwe kidogo kulingana na pande zote zilizohusika yaani Wakatoliki na Waanglikana. Sasa inaonekana kama habari ya upande mmoja tu inayotaja upande mwingine kandokando. Sawa nikiongeza? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:06, 13 Juni 2010 (UTC)
==Questionnaire==
Nadhani labda wewe umepata pia maswali yale ya Rachel - hapa majibu yangu: [[Mtumiaji:Kipala/questionnaire]] - '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:08, 30 Juni 2010 (UTC)
==Kura ya kuamua juu ya wakabidhi waliopotea==
Karibu kutembelea ukurasa wa wakabidhi na kuamua juu ya wenzetu waliopewa haki za wakabidhi lakini hawakuonekana tangu miezi mingi: '''[[Wikipedia:Wakabidhi#Kura_ya_kuondoa_wakabidhi_waliopotea]]'''. Tuliwahi kujadili swali hili mwaka uliopita (tazama kwenye ukurasa unaotajwa, juu ya pendekezo) ; sasa njia imeonekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 05:27, 1 Oktoba 2010 (UTC)
==Salamu na viungo vya mwili==
Riccardo, salaam, nafurahia jinsi unavyochungulia makala nilipoandika na kuboresha Kiswahili na tahajia. Sana nina ombi. Nliwahi kuanzisha makala juu ya viungo vya mwili na hao vijana wa mashindano ya makala za afya waliendelea. Makala hizi zote zinahitaji kuangaliwa kwa sababu Wakenya (nadhani) waliunda sentensi za ajabu kidogo na pia mara nyingi walikosa viungo. Nikiingia hapa nakiri udhaifu: kwa Wasafwa na Wanyakyusa nilipojifunza Kiswahili na baadaye Nairobi sijasikia kitu kingine ila "mkono" na "mguu". Kumbe. Sasa nimetengeneza picha ya [[mkono]] nikilenga ktaja sehemu zake kuanzia bega kupitia kisugidi hadi kiganja. Lakini ninahisi ya kwamba sina uhakika kwa sababu sina uzoefu kutaja sehemu zile (yooote mkono!) na kamusi zangu si wazi sana; mara nyingi maelezo si kamili, yanaingiliana maana au kuna maneno kadhaa na mimi sijui lipi ni afadhali. Je unajua wewe majina haya au unaweza kuchungulia kidogo? Tuanze kumaliza mkono baadaye inafuata mguu na mengine! Namwuliza pia Muddy ni vema kusikia jinsi wanavyosema Dar. Asante ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:38, 10 Aprili 2011 (UTC)
:Asante kwa maneno yako ya kunitia moyo. Kuhusu viungo vya mwili mimi pia nina shida kuelezea sehemu mbalimbali, labda hata kwa Kiitalia! Sidhani nitaweza kukusaidia. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:03, 11 Aprili 2011 (UTC)
==Bunda vijijini==
Je kuna wilaya ya Bunda vijijini?? Kama iko naomba habari na marejeo kwa ajili ya makla za wilaya / Mkoa wa Mara. Kama la, makala ya [[Jimbo Katoliki la Musoma]] isahihishwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:05, 22 Januari 2012 (UTC)
::Sidhani... ni haraka tu ya kuandika! Samahani! --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:04, 25 Januari 2012 (UTC)
::Pamoja na hayo, hatujaingiza mikoa (k. mf. Njome, Simiu) na wilaya mpya za Tanzania (k. mf. Gairo, Nyasa). --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:10, 25 Januari 2012 (UTC)
::Asante kwa jibu. Kuhusu mikoa na wilaya mpya - niko mbali. Unaweza kuanzisha makala ?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:08, 25 Januari 2012 (UTC)
:::Sina DATA za kutosha. --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 14:26, 28 Januari 2012 (UTC)
::::Hatimaye serikali imetoa tangazo rasmi kuhusu mikoa mipya 4 na wilaya 19 (si tena 21!), ingawa lenyewe lina utata kama jamaa alivyolalamikia katika ukurasa juu ya Wilaya ya Wanging'ombe. Naomba ukurasa kuhusu mkoa wa Simiu usogezwe kwa kuandika Simiyu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 18:04, 10 Machi 2012 (UTC)
== Barnstar kwa ajili yako! ==
[[File:Tireless Contributor Barnstar Hires.gif|100px|thumb|'''Barnstar kwa Ajili ya Mchangiaji Asiyechoka''']]
Hongera kwa juhudi zako!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:57, 21 Agosti 2012 (UTC)
Ndugu Muddy, asante kwa pongezi zako. Nazipokea kwa mikono miwili kutoka kwako, bosi! Ni kweli sijachoka kuchangia Wiki. Ila nasikitika kuona umepunguza kasi zako, na pengine nawaza kuwa nimesababisha mimi mwaka juzi. Hivyo napata moyo ninapoona matendo kama hili na lile la kuupandisha chati ukurasa juu ya mpendwa wetu Bikira Mariamu. Mungu atujalie daima amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:49, 26 Agosti 2012 (UTC)
::Hapana, Riccardo! Hamu imepungua yenyewe natural. Sijui kwanini - naona bora nicheze na Facebook kuliko kuja Wikipedia ya Kiswahili. Huwa najitahidi hivyo-hivyo tu. Usijali. Nitajitahidi nirudie kama zamani - ila tu, hizi zama zingine! Nimetumikia Wikipedia hii kwa miaka minne mfululizo bila kusimama! Labda umefika wakati wa kupumzika huku nikijisukuma polepole huenda ile mojo ya zamani ikarudi! Narudia tena, hahusiki na kupotea kwangu. Hii ni hiari yangu na wala silazimishwi. Kila la kheri, mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:18, 28 Agosti 2012 (UTC)
==Uzoroastro==
Salaam nimeona makala nimefikiri umbo la jina Zoroasta / Uzoroasta labda ingefaa zaidi. Jinsi ilivyo naona sasa tatizo ya kwamba umetumia jina "Zoroaster" lakini dini kama "Uzoroastro" ambako ninahisi Kiitalia iliingilia kidogo. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:46, 1 Novemba 2012 (UTC)
Ndugu Kipala, ni furaha kila ninapoona unaendelea kujitokeza katika wiki yetu. Kuhusu jina la dini hiyo, inawezekana athari ya Kiitalia, lakini pia jina la Kiingereza Zoroastrianism limechangia. Sina shida ukipenda kubadilisha jina liwe rahisi zaidi. Samahani, niliwahi kuandika ombi la kurekebisha picha uliyoswahilisha ya mwaka wa Kanisa, kwa kuandika Siku Tatu Kuu za Pasaka badala ya Ijumaa Kuu - Pasaka: ni mtazamo mpana zaidi, unahusisha karamu ya mwisho na Jumamosi Kuu katika umoja wa fumbo la Pasaka. Asante. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:07, 2 Novemba 2012 (UTC)
== [[Unyakuo]] ==
Riccardo, salaam. Ni siku nyingi sana zimepita na sijapata kujua hali yako na hata kuomba msaada wa hapa na pale. Haya, leo nimekuja na shida kidogo. Ninaomba urekebishe hiyo makala kama unaelewa jamaa alitaka kumaanisha kitu gani. Nimeona mambo yanayokuhusu - ndiyo maana nimekuja kwako. Tafadhali saidia kupanua makala hiyo ili iwe Kiwikipedia zaidi na kuleta maana vilevile. Wako, Muddyb, au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:54, 4 Juni 2013 (UTC)
:Ni kweli, hatuwasiliani sana, ingawa ninahitaji bado maelekezo yako ya kiufundi. Kwa mfano, nikitaka kuongeza kati ya lugha zangu Kihehe, nitumie kifupisho kipi? HH? Au hairuhusiwi? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:05, 6 Juni 2013 (UTC)
::Haya, kama nimeweza kukuelewa - unajaribu kumaanisha zile lugha zako za ukurasa wa mtumiaji? Ikiwa ndiyo, basi naona hili hapa: katika msimbo wa lugha ya Kihehe kimataifa ni "heh". Sasa utatazama kama hatua yako ni "Heh" 1, 2, au 3! Ukijibu tu, nitakutengenezea kigezo cha lugha hiyo haraka iwezekanavyo. Ukiona unaweza kuendelea mwenyewe, basi sawa tu. Wako Muddyb au,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:00, 7 Juni 2013 (UTC)
== Aiuto per favore! ==
{{it}} Scusami, signor Riccioni.<br />
Il mio italiano non è buono.
{{en}} Can you help me with a small translation?<br />
My page [[:en:Le Monde's 100 Books of the Century]]<br />
What is a good Swahili name for the page?<br />
(Ho scritto anche la pagina italiana [[:it:I 100 libri del secolo di le Monde]].)<br />
Mille grazie. Nel Canada, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 15:28, 15 Julai 2013 (UTC)
:Hello again.
:The table now looks like this.
:It is always best to check the words with someone who really speaks the language.
{| class="wikitable sortable centre"
! scope=col | Nambari ?
! scope=col class="unsortable" | Mada ?
! scope=col class="unsortable" | Mwandishi
! scope=col | Mwaka
|----------------------------------
| align="right" | 1
| ''[[:en:The Stranger (novel)|The Stranger]]''<br />[[Picha:Fortjesusdoor.JPG|20px]] ''[[Mgeni]]''
| [[Albert Camus]] [[Picha:Nobel prize medal mod.png|20px]]
| [[1942|1942]]
|}
:Because there is only a limited amount of information available in Swahili, the page has working links into enwiki.
:Thanks again, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 19:22, 17 Julai 2013 (UTC)
== Vandalism(o) ==
Greetings again. I just repaired some vandalism to the [[Tanzania]] article, but I did not issue any warning, since I do not speak the language.
Fransisko wa Asizi:<br />
I saw his name at the top of this page.<br />
I saw St. Francis's robe in the museum in Assisi.<br />
You feel that you are in the presence of greatness.<br />
'''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 23:49, 19 Julai 2013 (UTC)
:Bureaucrats.
:Perhaps swwiki works differently from other projects. In other projects, it is usually experienced editors, rollbackers, admins who issues warnings, not bureaucrats specifically.
:I think a lot of projects have a template, with mature and reasonable wording, and then any responsible person can use that template, and simply add his name to its words.
:But I have not tried to discover how swwiki handles this problem.
:Best regards, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 06:35, 21 Julai 2013 (UTC)
::We don't have many editors in this Wiki. Feel free to provide any kind of help on that aspect. Surely I'm not an admin, but what if things happened and I need to take action for? Also you're allowed to create the tamplate and happily to have it translated into Kiswahili. With best regards,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 10:25, 22 Julai 2013 (UTC)
== Wiki Indaba conference ==
Salaam, P.Riccardo. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 12:32, 4 Novemba 2013 (UTC)
==Wilaya mpya, kata==
Salaam Riccardo! Naone umeshaanza kuhariri makala kadhaa za wilaya mpya. Mimi nimeangalia matokeo ya sensa naona hapa kuna orodha kamiliy a kata na wilaya kwa hali ya 2012. Kuna mabadiliko mengi. Kwa sasa naandaa orodha ya kata zota za wilaya zote; maana kuna wilaya mpya lakini pia kata mpya katika wilaya zote. Je unaweza kusaidia hapa? Nikipata email yako naweza kukutuma faili za excel na word penye orodha hizi. Asante. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:57, 27 Novemba 2013 (UTC)
::Mzee, nitasaidia kidogo kadiri ya nafasi. Anwani yangu ni ndugurikardo@yahoo.it SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:04, 29 Novemba 2013 (UTC)
==Asante !==
Napenda kukushukuru kwa kuchungulia mara kwa mara michango yangu! Kwa kweli naona A) kuna udhaifu upande wangu kurudia kusoma kwa makini yale niliyoandika na B) ilhali nakaa mbali na Waswahili siku hizi Kiswahili changu kimedhoofika kiasi - kwa hiyo: Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:26, 17 Desemba 2013 (UTC)
::Mzee, nafurahi kuchangia juhudi zako kwa ajili ya Afrika Mashariki. Hapa juu nilijibu ombi lako kuhusu wilaya mpya. Vipi, bado uko Iran? Ningependa kujua unafanya nini huko. Anwani yangu ya e-mail ni hii hapa juu. Heri za Noeli! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:18, 22 Desemba 2013 (UTC)
== Update on Upcoming Wiki Indaba Conference ==
Hello Sir.
My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.
The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.
As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.
This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.
Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.
Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.
my contact is rexford[@]wikiafrica.net
==Naomba ushirikiano wako!==
Mpendwa, nakuomba uangalie baada ya siku 2,3 kurasa hizi mbili:
1. [[Wikipedia:Wakabidhi#Kusafisha_orodha_ya_Wakabidhi_mwaka_2014]]<br>
2. [[Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Wiki_Indaba_2014]]
Kuhusu 1) napendekeza kuwachagua wakabidhi wapya na kuondoa wale waliomo katika orodha ya wakabidhi lakini hawakuwepo tangu miaka 2.
Kuhusu 2): nahitaji msaada na mawazo yenu. Nitashiriki kwenye mkutano wa Wikimedia mwezi wa Juni. Inaonekana mimi ndipo mchnagiaji wa pekee kutoka Wikipedia yetu. Ninajitahidi kupeleka mawazo ya jumuiya yetu. Naomba michango!
Nitaongeza karibuni mawazo yangu kuhusu mambo ninayoona kuwa na maana kwa mtazamo wangu. Ujumb huu natuma kwa wachangiaji wanaoonekana katika orodha ya wachangiaji hai waliochangia zaidi ya mara 3 katika siku 30 zilizopita!
Ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:27, 13 Mei 2014 (UTC)
==Hongera na Pole!==
Nd Riccardo, sijui kama umeona ya kwamba umepigiwa kura kupewa madaraka ya mkabidhi katika wikipedia hii? Nataka kufunga kura sasa karibuni wote walioshiriki walisema NDIYO. Ni cheo kidogo zaidi nafasi ya kufanya kazi... Namshukuru Mungu ya kwamba umejiunga nasi! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:20, 22 Mei 2014 (UTC)
:Ndugu, sikuona chochote. Imekuwaje? Ninachoweza kusema ni kuwa sina utaalamu zaidi wa kompyuta, hivyo mambo mbalimbali ya Wiki kwangu bado ni mafumbo... Nadhani nitakachoweza kufanya ni kuendelea kama sasa. Kwa vyovyote, asante kwa walionipa kura, kwa wale wasionipa na hasa kwako. Amani kwenu!
::Ingekuwa msaada sana kama unashiriki tu kila unapoingia A) kuwapa watumiaji mapya waliojiandikisha alama ya <nowiki>{{karibu}}</nowiki> na B) kila unapoona makala mpya kuitazama na ukiona haifai au kama una mashaka kuweka alama ya <nowiki>{{futa}}</nowiki> juu kabisa ya makala na kuiingiza katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]]. C) ukiona makala iliyoharibiwa kwa kuingiza matusi au fujo tupu ni vema kumzuia huyu aliyeandika. Kuzuia anwani zisizoandikishwa ina faida ndogo to mara nyingi ni internet cafe lakini mimi nambana hata hivyo kwa muda. Hata kama unafanya A) pekee itasaidia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 23 Mei 2014 (UTC)
:::OK, nitajifunza... --'''[[Mtumiaji:Riccardo_Riccioni|Riccardo Riccioni]]'''
== Article request questions ==
Hi, Riccardo! Do you do article requests in Swahili? There are some aviation-related articles and articles about Kenya on the English Wikipedia which do not yet have Swahili versions. If you are interested I can give you a list.
Thank you
'''[[Mtumiaji:WhisperToMe|WhisperToMe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:WhisperToMe|majadiliano]])''' 07:57, 19 Agosti 2014 (UTC)
== [[Maurizio Malvestiti]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Ho visto che hai fatto alcune modifiche alla pagina del nouvo vescovo della mia diocesi, grazie! Ti chiedo, quando avessi 5 minuti, di inserire qualche notizia o nota per ampliare la pagina.
Ti ringrazio per l'aiuto e ti auguro buona domenica. Grazie ancora e a presto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 12:48, 31 Agosti 2014 (UTC)
: Grazie mille! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:51, 31 Agosti 2014 (UTC)
== {{int:right-upload}}, [[commons:Special:MyLanguage/Commons:Upload Wizard|{{int:uploadwizard}}]]? ==
[[Image:Commons-logo.svg|right|100px|alt=Wikimedia Commons logo]]
Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on [[MediaWiki talk:Licenses]] and the village pump. Thanks, [[m:User:Nemo_bis|Nemo]] 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)
<!-- Message sent by User:Nemo bis@metawiki using the list at http://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User_talk:Nemo_bis/Unused_local_uploads&oldid=9923284 -->
== Kigezo Ukristo! ==
Salaam. Mzee wangu, ile kazi uliyonituma nimeimaliza! Sasa zimeungana na kama ulivyotaka! Kila la kheri..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:54, 22 Septemba 2014 (UTC)
== [[:en:Do not buy Russian goods!]] ==
Hello! Could you translate an article about boycott of Russian goods in Ukraine for the Swahili Wikipedia? Thanks for the help. --'''[[Mtumiaji:Trydence|Trydence]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Trydence|majadiliano]])''' 16:00, 16 Oktoba 2014 (UTC)
==Rosetta / Churyumov–Gerasimenko ==
Rafiki, umenishinda!! Nafungua makala nataka kuingiza habari - kumbe iko tayari! Asante!! --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:58, 13 Novemba 2014 (UTC)
:Ndugu Kipala, asante kwako. Tunaendeleza ulichoanzisha wewe. Sikiliza, tangu mliponichagua kuwa sysop nimejitahidi kufanya nilichoweza, lakini nimeona shida moja: niki-patrol kurasa mpya natoa maoni yangu katika ukurasa wa majadiliano, lakini baadaye naona kimya. Mara chache nimeambiwa nikate shauri mimi nisisubiri, lakini mara nyingine ni muhimu kusikia nyinyi mnasemaje. Au niandike katika ukurasa wako mwenyewe? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:14, 15 Novemba 2014 (UTC)
==Kuhusu mkutano wa Machi 2015 na mawasiliano na WMF==
Salaam naomba utazame hapa: [[Majadiliano_ya_Wikipedia:Wakabidhi#Mawasiliano_na_ofisi_ya_WMF_-_Wikimedia_Foundation_.2F_Asaf_Bartov]] na kuchangia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:56, 3 Desemba 2014 (UTC)
::Asante kwa ushauri woote! Sasa naomba lete pendekezo na namba. Binafsi sijali nyota sana pia sina picha siku hizi nyota ina maana gani TZ. Mende wachache (au bila - ikiwezekana), usafi kiasi, vyumba vilivyoona rangi mpya karne hii... Mimi nahitaji kiasi fulani ninayoweza kutaja, je unaweza kuulizia? Nitashukuru!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:30, 3 Januari 2015 (UTC)
:::Riccardo, samahani nikirudia ombi langu la hapo juu. Unaweza kunipa makadirio yoyote kuhusu gharama ya malalo? Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:46, 10 Januari 2015 (UTC)
== Habari gani? ==
Ubarikiwe, ndugu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:55, 21 Machi 2015 (UTC)
== AutoWikiBrowser ==
Ndugu, kiungo cha hiyo programu ni https://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:AutoWikiBrowser - ubarikiwe! --[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] 14:08, 21 Machi 2015 (UTC)
== Kitabu cha Historia ya Kanisa ==
Ninavyoona hakimiliki ziko kwangu. Kilichapishwa na "Motheco Publishers" - sijui kama bado wako lakini hakuna mapatano kati yetu yale yote yalikuwa kimdomo tu na watu ambao hawako tena leo. Nisingekuwa na tatizo kuiweka kwenye wikitabu ukiona inaweza kufaa (nilisita maana sijaridhika tena) lakini kule kumefungwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:53, 3 Aprili 2015 (UTC)
== Mchango wa mawazo ==
Ndugu {{BASEPAGENAME}}, kuna makala nimetunga, lakini kumbe yapo mengine (ijapokuwa ile yangu imetanuka zaidi). Tafadhali tupieni jicho hapo: [[Majadiliano:Uislamu nchi kwa nchi]].. Kisha fanyeni uamuzi..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 19:07, 15 Aprili 2015 (UTC)
== Shukrani kwa masahihisho ==
Ndugu Riccardo, salaam. Shukrani sana kwa masahihisho. Siku nyingi zimepita bila kuhariri na nahisi shida za hapa na pale.. Tuvumiliane hivyohivyo. Eh, tena nitafurahi kama utaendelea kuweka lugha sawa. Uwezo wangu umepungua kiasi kikubwa sana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:47, 17 Aprili 2015 (UTC)
== [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi Nassoro]] ==
Ndugu Riccardo, salaam. Nimeanza kuchoka na [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi]] alivyochoka pia Ndg Muddyb. Huyo Silausi akiendelea kubadilisha makala bila kufuata mashauri yetu na kanuni za [[Wikipedia:Umaarufu]], nitamzuia kwa muda kadhaa. Bahati mbaya inaonekana kama ataanzisha akaunti nyingine tena alivyofanya baada ya kuzuiliwa kama [[Mtumiaji:Lusajo Chicharito Brown]]. Unaonaje? Wasalaam, '''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:45, 29 Juni 2015 (UTC)
:Tukimtambua, naona tumzuie kwa jina lolote na kufuta kurasa zake zote. Atachoka tu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:39, 30 Juni 2015 (UTC)
== Wingi wa ushanga! ==
Salaam, Ndugu Riccardo. Eti wingi kirai au neno "Ushanga" ni aje?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:00, 4 Agosti 2015 (UTC)
:Vipi? Si shanga? Walau nasikia hivyo, ila sijaangalia kamusi yoyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:49, 6 Agosti 2015 (UTC)
::Basi nilifanya hivyo, lakini katika makala ya masafa marefu ulibadili wingi wake na kuweka umoja wake.. Niliandika biashara ya shanga (wingi) ukaweka "ushanga" (umoja). Swali, waliuza shanga au ushanga? Biashara zilivyo - sidhani kama watafsiri masafa marefu kwa kitu kimoja. #SamahaniLakini. Wako--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:40, 7 Agosti 2015 (UTC)
:::Sijui ilikuwaje. Sasa nimerekebisha kwa kuwela kiungo kwenda umoja, na labda ndivyo nilivyotaka kuboresha makala yako. Pole kwa usumbufu. Mara nyingi tunafanya kazi kwa hofu ya umeme kukatakata! Amani kwako. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:49, 7 Agosti 2015 (UTC)
==Tafadhali uangalie jamii kuhusu mfumo wa kuanzisha makala==
Mpendwa, nakuomba kuaangalia [https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Kura_juu_ya_utaratibu_wa_kuanzisha_makala_mapya_.28.22Community_request_to_disable_article_page_creation_by_anonymous.2FIP_editors.22_.29 ukurasa wa Jumuiya]. Tuliomba wikimedia ya kutpa mfumo wa kuzuia watumiaji wasiojiandikisha wasianzise makala mapya. Kusudi lilikuwa kupunguza idadi ya makala mabaya yasiyotosheleza masharti ya wikipedia ilhali tuko wachache mno kuziangalia. Wikipedia kubwa kadhaa zinatumia utaratibu huu (kama en:wikipedia) lakini sisi tunapaswa kupeleka ombi kwa kamati fulani. Kamati hii wametupa nafasi kwa kipindi ha miezi 6 tu inayokwisha karibuni. Sasa wanakamati wamekuja wanadai tujieleza au watarudisha mfumo huu nyuma. Mimi nikiwa 1 kati ya wachache wanaochugulia makala mapya naona itaturudisha nyuma. Naomba mchangie! Sanaaaaa!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:35, 10 Septemba 2015 (UTC)
== Hatua ==
Ndugu zangu, hongera ninyi nyote kwa kufikia makala 30,000, kazi nzuri! Mlifanya mbio za nyika kweli. Nilisafiri kwa hivyo sikuiona sasa hivi. Tuendelee mpaka hatua ijayo: 40,000. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:53, 24 Septemba 2015 (UTC)
== RE:Infobox Country ==
Salaam Ndugu Riccardo. Ahsante kwa pongezi (ijapokuwa sijioni miongoni mwa hao wanaostahili! Kuhusu vigezo tajwa hapo juu, kwanini usimuulize Kipala? Yeye ndiye alikuwa anaumba (nadhani) kama sio kuumba, basi kutumia mara kwa mara. Au labda ungefuata kimoja kizuri kisha tumia kama msingi wa maumbo ya baadaye. Wako, Muddyb au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:25, 25 Septemba 2015 (UTC)
== Mwendokasi! ==
Salaam Ndu. {{BASEPAGENAME}}! Ninahisi sasa punde sitokushika tena. Mwendokasi huu ni zaidi ya garimoshi la umeme. Hongera na makala ya Historia ya Afrika. Sikupati tena.. Ila pongezi sana. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:10, 1 Oktoba 2015 (UTC)
Elimu ndio msingi wa maisha ya binadamu.
==Sala==
Nakuasa ndugu tujaribu kukumbuka hata kidogo hawa wenzetu wanaofanya mtihani wa kidato cha nne Mungu awape uzima tele na kuwakumbusha yale ya msingi waliyoyafanya kwa kipindi cha miaka minne walipokuwa shuleni,pia awalinde katika kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza shule kwa 0,level.
Tunaomba uiombe shule yetu katika kipindi hiki kigumu mitihani ya taifa
== AMANI ==
TUITUNZE AMANI YETU HAPA NCHINI TULIYOJALIWA NA MWENYEZI MUNGU
== SHUKRANI ==
Tunakushuru ndugu Riccardo kwa kutupa malezi bora hapa shule na tunamuomba mungu akujalie maisha maisha malefu zaidi na akupatie nguvu ili uendele kuifanya kazi
yake BWANA
==Salamu ==
Mpendwa, uliniandikia kwenye ukurasa wangu nikajibu sijui kama uliiona. Kama la angalia hapa: [[Majadiliano_ya_mtumiaji:Kipala#Kujisomea]]. Nitafurahi kuona jibu lako!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:56, 15 Novemba 2015 (UTC)
== meanings of ''[[mafuta]]'' ==
Hello, nice to meet you and sorry for writing in English. I noticed that you had [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mafuta&diff=960910&oldid=960909 removed interwiki links] at that page which are bound with a concept [[d:Q42962|''oil'']]. I probably understand why you did so, because the term ''[[wikt:mafuta|mafuta]]'' has at least two meanings: “oil / olio” and “grease / grasso”. Do I think right about it? If so, I would like to add this page to the links of [[d:Q10379768]], which treats the both above-mentioned meanings. Your sincerely, '''[[Mtumiaji:エリック・キィ|Eryk Kij]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:エリック・キィ|majadiliano]])''' 04:17, 7 Januari 2016 (UTC)
:May be, but I don't understand those languages. If you are certain, link them with Swahili mafuta. I think I removed the links because now we use Wikidata. But if I did a mistake, let you undo my deletion. All the best! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:44, 9 Januari 2016 (UTC)
== Kazi ya Mcdonaln Aloyce Fute ==
Ndugu Riccardo, salaam. Ikiwa [[Mtumiaji:MCDONALN ALOYCE FUTE|MCDONALN ALOYCE FUTE]] ni mwanachama wa kilabu chenu huko Morogoro, labda umwambie kwamba haileti faida kubwa akiendelea kuanzisha makala nyingi za miaka kabla ya Kristo kama hata wanahistoria wataalamu hawajui kitu kuhusu miaka ileile (ukiangalia wikipedia ya Kiingereza utakuta kwamba miaka kadhaa haina makala). Tuingize habari zifaazo katika makala zetu. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:05, 23 Januari 2016 (UTC)
:Ndugu, ni kweli unavyosema. Mcdonaln ni mwanafunzi wetu wa kidato cha tatu, hivyo anachangia anavyoweza. Acha kwa sasa azoee kazi na kuipenda. Baadaye atatoa mchango wa thamani zaidi. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:21, 24 Januari 2016 (UTC)
::Ndugu Riccardo, ni sawa azoee. Lakini sasa kuanzisha makala za miaka ya KK bila yaliyomo hakutamfundisha kuipenda kazi ya wikipedia. Nilimshauri aingize angalao tukio moja kwa kila mwaka ili wasomaji wapate faida. Mpaka sasa hajajibu, anaendelea kuanzisha makala mpya tu bila habari. Naomba uongee naye ana kwa ana. Lazima aendelee katika michango yake badala ya kuanzisha makala tupu tu. Asante. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 19:42, 14 Februari 2016 (UTC)
:::Ukisikia maneno ya kiutuzima ndiyo haya! Yaani, hivi, Dokta Stegen anajaribu kutueleza ya kwamba tuumbe makala yenye faida na si kuandikaandika miaka tu bila maana. Nimekuelewa uzuri kabisa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:06, 15 Februari 2016 (UTC)
::::Mtoto ni mtoto, acha akue! Mwenyewe ataona kuna kazi nzuri kuliko hizo za kiroboti... Umeona mwenzake Daren Jox ameshaanza kuingiza picha na maneno mbalimbali? Tuwape muda. Muhimu wasiharibu. Kama kazi ni za bure, hata Wikipedia nyingine zinazo. Pia hizi fremu zinaandaa na kukaribisha michango, kama tunapoweka viungo kuelekea kurasa ambazo hazipo. Yeyote atakayependa kuingiza habari za miaka hiyo KK watakuta fremu iko tayari, wasihitaji kwenda kutafuta kwenye wiki nyingine, kunakili na kubandika. Kuhusu kujibu, nitamuambia, lakini katika hilo pia tuelewe kwake ni kazi mpya. Naomba tusianze vita bure! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:31, 17 Februari 2016 (UTC)
:::::Haya, asante, mzee. Nitamwacha. Wewe ni mwalimu wake. Nisimkatishe tamaa mwanafunzi wako. Kweli tusiwe na vita! Wako katika kuendeleza elimu mtandaoni, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:09, 17 Februari 2016 (UTC)
== NAOMBA MSAADA WA NAMNA YA KUWEKA PICHA ==
Asante sana. Lakini pia napata shida kuweka picha. picha zinapatikana katika wikipedia ya Kiingereza. nawezaje kuzitumia pia katika kurasa zangu? --JERRYN159
:Fungua makala penye picha unayopenda kwa kugonga "Edit source". Sasa utaona sehemu ya picha. Picha inafungwa katika mabano mraba <nowiki>[[,,,,]]</nowiki>
:Kwa mfano: <nowiki>[[File:Poland1939 GermanPlanMap.jpg|thumb|Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]]</nowiki>
:Sasa unanakili sehemu yote pamoja na mabano mraba "<nowiki>[[ ...]]</nowiki>" na kuibandika katika makala ya Kiswahili mahali unapotaka.
:Hatua zinazofuata ni
:a) unafuta matini ya kiingereza kuanzia mstari baada ya neno "thumb|" yaani thumb|'''Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]] '''
:b) sasa unaweka badala yake matini ya Kiswahili, kwa mfano: thumb|'''Ramani inayoonyesha mpangilio na mipango ya kusogea ...]]'''
:c) sasa bofya "onyesha hakikisho la mabadiliko" na utazame ulichofanya. Kama unakubali gonga "hifadhi ukurasa". Kama hukubali sahihisha na kuangalia tena hadi unaridhika.
:d) ukiridhika bofya "hifadhi ukurasa". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 01:49, 16 Februari 2016 (UTC)
== Famouse Ukrainian People or maarufu Kiukreni ==
:Hello [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]! Sorry for writing in English. I don`t understand Swahili. I ask you to contribute with translation into the Swahili language. Could you or other users of your wikipedia translate some articles, that dedicated for prominent figures in Ukraine. The list shown on the page [[Wikipedia:Makala zilizoombwa]]. It is equipped interlanguage links and given pronunciation on Latin alphabet.--'''[[Mtumiaji:Yasnodark|Yasnodark]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Yasnodark|majadiliano]])''' 11:36, 10 Aprili 2016 (UTC)
== Askofu Isuja ==
Ndugu Riccardo, naona kwamba umeweka siku ya leo kama tarehe ya kufariki kwa Askofu Isuja. Nimesikitika sana kusikia hivyo. Habari hiyo imetokea wapi? Asante kwa kazi yako yote kwa ajili ya wikipedia yetu. Wako katika kujenga elimu, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:53, 13 Aprili 2016 (UTC)
:Ndugu, habari ni ya kweli: alifariki katika hospitali ya Itigi. Habari niliipata kwanza kwa mwalimu wetu aliyepewa kipaimara na marehemu, halafu nimeikuta tayari katika ukurasa wa Wikipedia juu ya Isuja. Baadaye kwa wengine pia. Apumzike kwa amani. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:11, 14 Aprili 2016 (UTC)
::Asante kwa kunijulisha. Lugha yake ya mama, yaani lugha ya Kirangi, nimeifanyia kazi tangu 1996. Warangi watamkumbuka sana. Apelekwe mahali penye raha ili apumzike kutoka kazi zake zote. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:24, 14 Aprili 2016 (UTC)
==Mto Kongo==
Salaam uliingiza masahishi katika makala wakati bado nahariri. Ili kuokoa nyongeza zangu nilipaswa kuhifadhi upya na mabadiliko yako sasa yamepotea. Pole. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:06, 1 Mei 2016 (UTC)
== Vandalism ==
Hi. I noticed a user that is vandalising pages, including your user page. You are one of the local admins that is active here, so let me know if you want some help with this user, of if you prefer to handle it yourself. -- '''[[Mtumiaji:Tegel|Tegel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tegel|majadiliano]])''' 10:46, 1 Mei 2016 (UTC)
==[[logi]]==
Salaam ilhali mimi ni mdhaifu sana katika mambo ya hisabati naomba kama uwezekano upo umwonyeshe mwalimu wa hisabati ukurasa huu [[logi]] (labda umpe ukiuchapisha) na kumwuliza kama chaguo ya maneno ni sahihi, kama maelezo hadi hapo ni sahihi na labda pia kama inaweza kusaidia, au ni nini iliyokosewa au kukosekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:50, 1 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%92%D0%B8%D0%BA%D0%B8%D0%BF%D0%B5%D0%B4%D0%B8%D1%8F:%D0%A4%D0%BE%D1%80%D1%83%D0%BC_%D0%B0%D0%B4%D0%BC%D0%B8%D0%BD%D0%B8%D1%81%D1%82%D1%80%D0%B0%D1%82%D0%BE%D1%80%D0%BE%D0%B2 here] question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 08:12, 9 Mei 2016 (UTC)
== Unisamehe mzee wangu ==
Salaam tele kutoka mjini, Dar es Salaam.
Ninaomba unisamehe mzee wangu kwa kutoweka jamii au kuumba jamii ambazo ninaziweka.
Nimeona mara kadhaa umeingia kila mahali na kuweka jamii husika.
Siku mingi sijaja humu vilevile furaha yangu kuona nyendo zangu kuna wakubwa wanaangalia!
Ubarikiwe sana.
Wako,
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:40, 14 Mei 2016 (UTC)
:Tunakuhitaji sana, hivyo tunafurahi kukusoma tena. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:51, 14 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%9E%D0%B1%D1%81%D1%83%D0%B6%D0%B4%D0%B5%D0%BD%D0%B8%D0%B5_%D1%83%D1%87%D0%B0%D1%81%D1%82%D0%BD%D0%B8%D0%BA%D0%B0:Alex_Spade here] (this talk user page) question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 22:11, 17 Mei 2016 (UTC)
== Grazie mille ==
Carissimo Riccardo, grazie mille per il tuo aiuto. Sai, quest'estate, ero a Pesaro il 24 agosto, e sono stato svegliato all'alba dal terremoto. Il mio letto ha tremato per 30 secondi come una barca!!! Che paura!!!
Ma sono ancora qui, e devo pregare per tutti quelli che non ci sono più.
Grazie ancora per l'aiuto e a presto!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 22:27, 8 Septemba 2016 (UTC)
: Com'è piccolo il mondo, mons. Borromeo era lodigiano come me ed è stato vescovo di Pesaro, e il mio parroco, abito a Caselle Landi, ha il papà di Montalto! Pace anche a te, fratello! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:42, 9 Septemba 2016 (UTC)
:: Yaaaaahhhhhh, mi bastava qualcuno che mi desse il ''la''. Non credo di riuescire a farle tutte, ma comincio subito!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:27, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Piacenza-Bobbio|Si comincia]]!!! ==
Fattoooooo!!! Per favore, mi tradurrest le 4-5 parole che ho inserito in [[Jimbo Kuu la Pesaro|questa pagina]]? Grazie mille per il tuo aiuto prezioso!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:48, 10 Septemba 2016 (UTC)
::(eccetto 3), cioè le 2 diocesi e l'abbazia che seguono il rito bizantino. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:12, 10 Septemba 2016 (UTC)
::: Grazie per l'aiuto, ma non capisco cosa vuoi dire con ''eccetto 3''. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:16, 10 Septemba 2016 (UTC)
::::era quello che avevo aggiunto io. La traduzione delle tue parole la trovi in Jimbo kuu la Pesaro. Buona Domenica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:19, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Vigevano]] E [[Gianni Ambrosio]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Qui, nella Bassa Padana, si muore di caldo, a Caselle Landi ci sono ancora 35°C!!!
Ho aperto queste due nuove pagine, e ti chiedo qualche minuto del tuo tempo, per favore, per vedere se ci sia qualcosa da limare. Grazie mille per l'aiuto prezioso!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:39, 11 Septemba 2016 (UTC)
: Grazie ancora e pace a te, em comunhão! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 21:27, 12 Septemba 2016 (UTC)
== How to improve Swahili-wikipedia? ==
I dont speak Swahili, sorry, but I wrote a little piece on [[Donald Trump]] anyway, using google translation. Its good if you can check and improve. He is the newly elected American president, as you know. Also, if you can check [[Astrid Lindgren]] it would be good. She is a very famous author of childrens books, known worldwide for her stories. See English wikipedia etc. Another thing I have thought about is that all the African wikipedia-versions are very undeveloped. Including swahili, although its a quite big language. I would like to get in touch with people with whome I can talk (in English) about this, and strategies for improvement. One thing that I have thought about is that there should be some people in Tanzania, Kenya and Uganda that are paid to have courses on wikipedia. For example in local groups at home, or in schools. What do you think? --'''[[Mtumiaji:Mats33|Mats33]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mats33|majadiliano]])''' 16:59, 11 Novemba 2016 (UTC)
:Speaking of improving Swahili Wikipedia, are you for real? Or you've just wrote so Riccardo could have the Trump's article cleared out?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:36, 12 Novemba 2016 (UTC)
::Hi Mats33, kindly describe where your interest in sw:wiki comes from. Where are you active and visible on wikimedia? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:09, 12 Novemba 2016 (UTC)
==Warsha, ombi la makala==
Salaam, nitashukuru ukioata nafasi kumwuliza mwalimu wa chuo kama aliona email yangu. Sijapata jibu tangu kuandika wiki 2 sasa.
Halafu ombi: Tunahitaji makala za [[jando]] na [[unyago]]. Naomba usaidie. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:03, 17 Novemba 2016 (UTC)
Mnaijeria wa chuo alikuwa anasubiri e-mail yako. Halafu akatuma watu kuniulizia. Niliposikia hivyo, nilimtumia ujumbe kwamba mimi nilipata nakala, halafu nikamtumia. Sijajua kama sasa ameipata au alikosea kunipa anwani yake. Kuhusu makala hizo, nitajaribu. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:14, 18 Novemba 2016 (UTC)
== Asking to a permission/advice/review ==
Hi. I have a question. I would like to translate some articles to Swahili (mostly about computer science). But I don't speak Swahili. So, I've found the non-native Swahili speaker, making translations for money. But since I don't speak Swahili at all, I can't rate these translations by myself. The examples may be found [[Mtumiaji:DoctorXI|on my page]]. Is the quality of the articles satisfactory? Should I place such articles to the public categories? Or should I place them in the sandbox or somewhere for review? Or the translations are just bad, and I search another translator? (Repost from [[Majadiliano ya mtumiaji:Malangali]]) --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 12:32, 22 Desemba 2016 (UTC)
Could you, please, recommend a good translator from English? For example, for $18 per 1800 characters (1 page). --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 14:23, 23 Desemba 2016 (UTC)
== Translation ==
Hello, could you please translate '''Automatic refresh (Aggiornamento automatico)''' to {{#language:sw}}? Thanks '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 20:07, 13 Januari 2017 (UTC)
:Where is it? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:11, 14 Januari 2017 (UTC)
::It's not an article. I just need the sentence translated. '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 11:46, 14 Januari 2017 (UTC)
:::I don't know the approved translation. I would try "upyaisho wa kujichipua", but it is very enigmatic! Let you ask somebody other. Thank you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:01, 15 Januari 2017 (UTC)
== Share your experience and feedback as a Wikimedian in this global survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! The Wikimedia Foundation is asking for your feedback in a survey. We want to know how well we are supporting your work on and off wiki, and how we can change or improve things in the future. The opinions you share will directly affect the current and future work of the Wikimedia Foundation. You have been randomly selected to take this survey as we would like to hear from your Wikimedia community. To say thank you for your time, we are giving away 20 Wikimedia T-shirts to randomly selected people who take the survey. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes.
<big>'''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now!]'''</big>
You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. Please visit our [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions page]] to find more information about this survey. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email to surveys@wikimedia.org.
Thank you!
--[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 21:41, 13 Januari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
==Kura kuhusu wikisource==
Salaam kuna [[Wikipedia:Jumuia#Pendekezo:_Tuanzishe_kitengo_cha_WikiSource_NDANI_ya_wikipedia_yetu| Pendekezo: Tuanzishe kitengo cha WikiSource NDANI ya wikipedia yetu]] unaombwa kuiangalia na kupiga kura! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 02:06, 29 Januari 2017 (UTC)
== Matumizi ya namba ==
Ndg. Riccardo, salaam. Je, ungeweza kumwelezea mwanafunzi wako Macdonaln Aloyce Fute jinsi ya kurejea makala za namba kwa makala za miaka? Tena mambo ya namba tasa nilivyofanya kwa namba kuanzia [[Mia_tano_na_arobaini|540]] hadi [[Mia tano na hamsini na sita|556]]. Nitashukuru sana! Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:45, 30 Januari 2017 (UTC)
:Kazi ya miaka ni rahisi, ila kuhusu namba tasa sidhani ataweza... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:29, 31 Januari 2017 (UTC)
::Asante! Hata akifanyia kazi miaka tu, itakuwa msaada mkubwa. Nami nitaendelea na namba tasa. ... Amani na iwe kwenu pia! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 15:41, 31 Januari 2017 (UTC)
== Neptuni / Kausi ==
Salaam, naona umehamisha makala ya Neptun kwenda "Kausi". Ukisoma [[Majadiliano:Sayari]] utaona ya kwamba naona sababu za kuamini hili ni kosa. Sijakuta ushuhuda wowote ya kwamba kuna jina la "Kausi" kwa ajili ya sayari hii. Kwa bahati mbaya kosa lililotokea wakati wa kutunga orosha ya sayari kwa [[KAST]] limeenea hadi vitabu kadhaa vya shule ya msingi. Naona "Kausi" ni kosa lakini je tufanyeje?? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:21, 12 Februari 2017 (UTC)
:Miezi iliyopita nilipendekeza badiliko hilo baada ya kuona kamusi 2-3 za mwisho, ikiwemo KKK, zimepitisha jina Kausi. Kwa kuwa hakuna aliyepinga, nimechukua hatua ya kuunganisha kurasa mbili katika jina jipya ambalo linazidi kuzoeleka. Kinachobaki ni kutafiti limetoka wapi... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:04, 13 Februari 2017 (UTC)
::Samahani pendekezo hili sijaona. Umeleta wapi? Mimi nakumbuka tu majadiliano hapa [[Majadiliano:Neptun]], ilhali Neptune hapakuwa na majadiliano. Pia nikiangalia "Kausi" katika Kamusi Kuu ya Kiswahili, maelezo yake ni wazi '''si''' Neptuni. "Kausi - aina ya nyota ambayo hutumiwa na waganga wa kienyeji kupigia ramli, bao". Maanake hii "Kausi" (bado nimetafuta asili ya neno katika kamusi zangu) ilijulikana kwa wazee lakini Neptuni haikujulikana maana haionekani bila mitambo kwa hiyo haina matumizi katika mapokea na shughuli za waganga wa kienyeji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 13 Februari 2017 (UTC)
:::Kumbe nimepata mwanga! Kausi inatokana na Kiarabu القوس al-qaus inamaanisha upinde yaani zodiaki inayoitwa kwako nyumbani sagittario. Narejea makala ya Knappert, AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105. nukuu hapo:
:::"Swahili astrologers concentrate first and foremost on the signs of the Zodiac, Buruji za Falaki, whose names are all from Arabic: Hamali, Aries - Mizani, Libra - Thauri, Taurus - Akarabu, Scorpio - Jauza, Gemini - '''Kausi, Sagittarius''' - Saratani, Cancer - Jadi, Capricornis - Asadi, Leo - Dalu, Aquarius - Sumbula, Virgo - Hutu, Pisces
:::... The Swahili names of the Planets are: Mercury, Utaridi; Venus, Zuhura; Mars, Mirihi; Jupiter, Mushitari; and Saturn, Zohali."
:::Naona kitabu cha rejeleo kuu ni J. Knappert, List of names for stars and constellations, in Swahili, xxxv/1 (Dar es Salaam, March 1965) . Basi nitajarib kuipata. Sasa naelewa jinsi gani sehemu ya orodha ya sayari zimepata majina kama Sumbula au Saratani: zimetungwa na watu ambao ama walisikia au kusoma majina ya zodiaki na kuyatumia kwa sayari kwa kukamilisha oeodha - bila kujua wanachofanya. Je tunaweza kusema swali la Kausi limepata jibu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:53, 13 Februari 2017 (UTC)
::::Kwa rejeo lako, NGUMU kusema jibu limepatikana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:46, 14 Februari 2017 (UTC)
:::::Napata picha ya uhakika sasa: Kausi ni jina la "buruji ya falaki" (kwa lugha ya Waswahili asilia wenyewe) yaani kundinyota za zodiaki inayoitwa "sagittarius" kwa Kilatini/Kiingereza. Kwa hiyo ni jina linalojulikana kabisa katika utamaduni wa Waswahili lakini si kwa sayari (ambayo haiwezekani kwa Neptuni). Kama watu wameitumia kwa sayari ya Neptuni ni kosa. Marejeo kwa kujisomea hapa: [https://archive.org/stream/EncyclopaediaDictionaryIslamMuslimWorldEtcGibbKramerScholars.13/08.EncycIslam.NewEdPrepNumLeadOrient.EdEdComCon.BosDonLewPel.etc.UndPatIUA.v8.Ned-Sam.Leid.EJBrill.1995.#page/n115/mode/2up/search/NUDJUM J Knappert, fungu "In East Africa", makala AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105]
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:20, 14 Februari 2017 (UTC)
== Your feedback matters: Final reminder to take the global Wikimedia survey ==
(''Sorry to write in English'')
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! This is a final reminder that the Wikimedia Foundation survey will close on '''28 February, 2017 (23:59 UTC)'''. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes. '''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now.]'''
If you already took the survey - thank you! We won't bother you again.
'''About this survey:''' You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project here]] or you can read the [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email through EmailUser function to [[:m:Special:EmailUser/EGalvez_(WMF)| User:EGalvez (WMF)]]. '''About the Wikimedia Foundation:''' The [[:wmf:Home|Wikimedia Foundation]] supports you by working on the software and technology to keep the sites fast, secure, and accessible, as well as supports Wikimedia programs and initiatives to expand access and support free knowledge globally. Thank you! --[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 07:35, 23 Februari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
== WMCon 2017 Berlin ==
Ndugu, salaam. Nataka kukujulisha tu kwamba nimealikwa kuhudhuria [https://meta.wikimedia.org/wiki/Wikimedia_Conference_2017 Wikimedia Conference 2017], nami nikajisajili tayari. Sitahudhuria rasmi kwa ajili ya wikipedia yetu bali kama mwanakamati wa [https://meta.wikimedia.org/wiki/Language_committee#Current LangCom]. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:58, 4 Machi 2017 (UTC)
== Ombi la MetaWiki ==
Salaam,
Naomba munichangie msaada wa kukubali ombi langu la kupewa laptop kule Meta-Wiki. Kiungo [https://meta.wikimedia.org/wiki/Hardware_donation_program/Muddyb#Endorsements hiki hapa]. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:13, 17 Machi 2017 (UTC)
:Samahani, lakini mimi pia nimeomba: watakubali niunge mkono ombi lako? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:25, 17 Machi 2017 (UTC)
::Sijajua. Tumuulize Kipala?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:37, 17 Machi 2017 (UTC)
:::Badili hii: '''STATUS''' weka '''OPEN''' badala ya sasa iko '''DRAFT'''----[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:40, 17 Machi 2017 (UTC)
Status
== : )==
''Grazie mille'' /Asante sana! '''[[Mtumiaji:Gaudio|Gaudio]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaudio|majadiliano]])''' 20:19, 23 Machi 2017 (UTC)
PIRLA CHI LEGGE
== Buongiorno da [[Coreca]] e [[Campora San Giovanni]] ==
Buongiorno Padre Riccardo,
spero tutto bene lì da voi, qui abbastanza bene per ora, ringraziando Dio stanno iniziando le belle giornate e mi posso dedicare alla campagna e a Wikipedia. Le scrivo per chiederle una cortesia se può e vuole e ha tempo per me. Grazie al web ho avuto modo di conoscere amici di Uganda, Kenya e Tanzania grazie anche al nostro amato parroco don Apollinaris che è di quelle zone (di [[Moshi (mji)|Moshi]] per l'esattezza), e ultimamente sto aggiornando tutte le pagine dei due borghi dove vivo e lavoro e dove ovviamente il sacerdote presta servizio. Mi chiedevo se le andrebbe di ampliare e/o aggiornare le pagine di [[Coreca]] e[[Campora San Giovanni]], giusto e non più di 20 minuti del suo prezioso tempo. Oltre a questo, presto o forse in queste ore, un mio amico di Facebook proveniente dal Kenya si iscriverà nella Wikipedia Swahili, su mio suggerimento gli ho detto che lei potrà aiutarlo i primi tempi, bene detto questo spero di avere sue notizie quanto prima, un caro saluto da Coreca e Campora San Giovanni. A presto!--'''[[Mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|Luigi Salvatore Vadacchino]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|majadiliano]])''' 06:31, 5 Mei 2017 (UTC)
==Ushauri kwa vijana==
Salaam naomba ukipata nafasi waambie vijana waangalie wanachooweza kuuona kwenye kurasa zao za majidiliano. Pia waangalie tena kurasa walizowahi kuandika. Maana naona wengine wanatunga makala hovyo, hata kuhusu mada ambazo ziko tayari hakuna njia ili kufuta. Mengine ya awali hawaangalii tena. Nilimwandikia DANIEL DE SANTOS maelezo marefu, nahisi hajaona. Wengine tatizo lilelile. Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:19, 17 Juni 2017 (UTC)
:Asante, ndugu. Naendeleza kazi yako. Nikiwa nao, nawaelekeza na kuwaita waone namna ninavyoboresha maandishi yao. Polepole tutafika! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:10, 17 Juni 2017 (UTC)
::Asante, kweli tutafika! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:53, 17 Juni 2017 (UTC)
== [[Ahera]] ==
Ndugu Riccardo salaam,<br>
Baada ya salaam, nikupe pole na kazi nyingi!<br>
Ombi sasa,<br>
Binafsi ningeliweza kuipanua makala hii, lakini naona kama sekta yako.<br>
Bora niheshimu upanuzi wake ufanywe na mtu mqenye maarifa ya juu katika masuala ya dini kuliko kupapachia!<br>
Najua utaiboresha katika viwango vizuri. Isitoshe: una faida za lugha nyingi tu.<br>
Wako,<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 05:13, 12 Septemba 2017 (UTC)
:OK bosi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:45, 12 Septemba 2017 (UTC)
::Ebwana eh! Nimekoma nayo! Sio mchezo kabisaaa. Ahsante sana. Yaani, upo fasta balaa! Ubarikiwe mzee wangu. Naona umeniita bosi, hahahaha, sawa bwana! Nimefurahi sana, miaka 10 sasa tuko ote na hujabadili mwendo! Tazama:<br>
2008 = 643<br>
2009 = 1,311<br>
2010 = 728<br>
2011 = 801<br>
2012 = 1,458<br>
2013 = 934<br>
2014 = 2,371<br>
2015 = 3,734<br>
2016= 4,745<br>
2017 = 5,302<br>
Au chungulia haririo zote hapa: [https://tools.wmflabs.org/xtools-ec/?user=Riccardo+Riccioni&project=sw.wikipedia.org/ kiungo cha kuonesha haririo] zako zote.. Ahsante sana kwa kushiriki pamoja kujenga wiki yetu hii!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:31, 12 Septemba 2017 (UTC)
:::Sikutegemea kuona takwimu hizi zote! Kumbe umenionyesha njia rahisi ya kutathmini kazi yangu. Asante sana kwa kunitia moyo, nami nakuambia nimefurahi kuona wewe pia umekazana tena. Tusirudi nyuma katika kuenzi lugha yetu. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:24, 13 Septemba 2017 (UTC)
::::Ahsante sana. Usihofu mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:49, 17 Septemba 2017 (UTC)
== [[Kigezo:History_of_Tanzania]] ==
Salaam tena,
Ushauri wangu, bora tu, utafsiri cha juu hapo ambacho kishakamilika na kimeunga kurasa nyingi! Ushauri tu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:46, 17 Septemba 2017 (UTC)
== Kabisa! ==
Kweli hatimaye. Kabisa ndugu. Tumerudi!! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 05:33, 3 Oktoba 2017 (UTC)
== Annullamento ==
Prima di annullare andrebbe controllato. Quel quadro é di un anonimo. Si capisce dal titolo, dalla pagina su commons e dal sito ufficiale di palazzo Barberini dove sta. per favore correggi. Pierpao '''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 07:15, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Fatto. Il problema è stato che hai cambiato le parole swahili usando non so quale lingua... sembrava un vandalismo. Comunque grazie di darci una mano. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:22, 14 Novemba 2017 (UTC)
::Vero, ho scritto in polacco. Grazie e scusa. Ho messo le fonti su Commons.--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 08:28, 14 Novemba 2017 (UTC)
== Interior design ==
Vipi. Ile makala ya interior design. Je ipi ndio sahihi hasa? Usanifu wa ndani au ubunifu wa ndani. Au kuna neno jingine? --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 10:42, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Nitaangalia, lakini sidhani "ubunifu wa ndani". Walau usanifu wa ndani unarandana na "usanifu majengo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:53, 15 Novemba 2017 (UTC)
== Nakala ya Rayvanny ==
Asante kwa kunisaidia kuikamilisha nakala ya [[Rayvanny]].'''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC) '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC)
== Pitia Kurasa la [[Tarrus Riley]] ==
Tafadhali pitia kurasa mpya niliyo andika na uchangie.Pliz check on my new article [[Tarrus Riley]] and make editings and contributions. '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 19:43, 30 Novemba 2017 (UTC)
==[[Makanisa ya Kiselti]]: Selti au Kelti?==
Tuna makala ya [[Wakelti]] na umbo hili la jina limeshatumiwa mara kadhaa linganisha hapa: [[Maalum:VingoViungavyoUkurasahuu/Wakelti]].
Je ingekuwa vigumu kuhamisha hata makala hii kuwa "[[Makanisa ya Kikelti]]"?? ''''''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:05, 27 Januari 2018 (UTC)
== Mpira ==
Salaam,<br>
Habari za masiku!<br>
Naona si kazi kubwa sana.<br>
Ngoja nikufanyie fasta uone! Ni namna ya kuvuta tu.. Nipe dakika 2 zote zitaisha kwa Argentina. Ila hizo zingine nitahitaji AutoWikiBrowser.. Ngoja nitaza kwanza.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:44, 8 Februari 2018 (UTC)
== Fati ==
Riccardo salaam. Niliona makala inayoitwa [[Fati]], nikashangaa. Sijawahi kuona au kusikia neno hili, hapa Kenya hasa. Neno hili hutumika sana kwenu Tanzania? Nikisoma kuhusu chakula ninaona mafuta tu, au pengine shahamu. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:41, 2 Machi 2018 (UTC)
:Ndugu, aliyeandika ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Hata mimi nilipoona kichwa hicho nilitikisa kichwa nikamuambia lakini sikupenda kumkatisha tamaa. Lakini pia si mara ya kwanza kusikia neno hilo katika mazingira ya shule. Kama unaona neno lingine, hamisha tu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:10, 3 Machi 2018 (UTC)
::Asante sana, Riccardo. Nimefahamu sasa. Nitahariri makala hii na nyingine zinazotaja neno hili. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 18:52, 3 Machi 2018 (UTC)
==Milima==
Asante kwa makala za milima! Je habari zao unapata wapi? Kuna chanzo kinachoweza kutajwa? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 5 Machi 2018 (UTC)
:Halafu: ukipenda kufuatilia: angalia '''[[:ceb:Kategoriya:Kabukiran_sa_Tanzania_nga_mas_taas_kay_sa_1000_metros_ibabaw_sa_dagat_nga_lebel|Jamii "milima ya Tanzania" kwenye cebwiki]]'''. Ninavyojua huyu aliyetunga Cebuano ni mtu mmoja to kutoka Uswidi aliyetumia takwimu mbalimbali halafu akatunga makala zote kwa njia ya bot! Ila tu sijaelewa bado ni wapi alipopata data katika yale anayotaja. Linganisha [[:ceb:Bigoro_Hills]] na [[Milima_ya_Bigoro]]. Anatumia http://www.geonames.org/about.html (sijaiujua bado, ina habari nyingi sana! - labda unaweza kuweka wanafunzi wachukue data hapa?) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:49, 5 Machi 2018 (UTC)
::Ndiyo, natumia wiki ya cebuano, ingawa siijui... Pia mara nyingine kuna makosa au tofauti, lakini basi, nadhani kwa kiasi kikubwa ni sawa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:06, 6 Machi 2018 (UTC)
== Huna mpinzani bwana! ==
Salaam tele,<br>
Tunakuunga mkono kiaina, japo siku hizi shughuli zinanichosha kuliko zamani. Ila nitajihidi kufanya kama awali.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 20:43, 17 Machi 2018 (UTC)
== Kupanda mbegu ==
Salaam,<br>
Ndugu, hakika unanihamasisha kuanza kupanda mbegu. Japo sijui nitapanda mbegu za mti gani.<br>
Naona kama wazo la kuanza kuzipanda linanijia.<br>
Nimekumbuka, nadhani nina kiporo cha Uislamu kwa nchi. Labda niingize idadi tu badala ya maneno mengi? Kuimaliza Afrika ilinichukua mwaka mzima! <br>
Nitajaribu!<br>
Ahsante sana kwa hamasa yako.<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:06, 2 Aprili 2018 (UTC)
:Ndiyo ndugu, tupande mbegu. Polepole zitakua. Kweli, upande wa dini, kitu kikubwa ni idadi ya waumini kati ya wakazi wote. Asilimia walau inaleta picha fulani. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:49, 2 Aprili 2018 (UTC)
::Nitafuata ushauri wako. Shukrani mno!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:53, 2 Aprili 2018 (UTC)
== Majimbo ya Sudani ==
Salaam mzee wangu, {{PAGENAME}}!<br>
Naona unaendeleza kasi yako ileile. Vizuri<br>
Ila kuna jambo kidogo nataka kuuliza. Hivi yale majimbo uliyowekea (mabano) una mpango wa kuunda makala ya kujitegemea?--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:53, 15 Aprili 2018 (UTC)
:Ndugu, asante kwa pongezi! Kuhusu mabano nimeyaweka kwa sababu baadhi ya majimbo yana jina la mji au mto. Hivi nimependa kutofautisha. Labda kwa mengi haikuwa lazima, lakini basi, nimetumia mtindo mmoja kwa yote. Salamu za amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 16 Aprili 2018 (UTC)
==Hongera ya makala 41000==
Hongera kwa kutusukuma juu ya 41000!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:50, 2 Mei 2018 (UTC)
:Safi sana!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:20, 3 Mei 2018 (UTC)
==ufahamu zaidi kuhusu neno [[Qadash]] na [[Hagios]]==
Habari ndugu Riccardo Riccioni napenda ufafanuzi zaidi juu yahaya maneno mawili, amboyo ni neno la kiebrania '''Qadash''' pamoja na neno la kigiliki '''Hagios'''. Ahsante '''[[Mtumiaji:Enock John|Enock John]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Enock John|majadiliano]])''' 08:54, 7 Mei 2018 (UTC)
== [[Kanisa Katoliki la Kimelkiti]] ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Ho visto che hai creato tu questa pagina, tempo fa! Bravissimo! Volevo segnalarti che, da qualche tempo, Gregorio III è patriarca emerito, l'attuale patriarca è Youssef Absi (senza mettere il "I", per favore). Poi, volevo chiederti, se puoi anche aggiungere che l'[[:it:Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti|Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti]] è retta, attualmente, da mons. [[Yasser Ayyash]]. Grazie mille per il tuo prezioso aiuto, a presto.
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 06:30, 15 Juni 2018 (UTC)
== Categorie duplicate ==
Ciao! Nel tempo libero mi occupo di sistemare i collegamenti interwiki delle categorie in diverse lingue. Passando di qui ho notato che [[:Jamii:Georgia (nchi)]] e [[:Jamii:Georgia]] sembrano essere la stessa categoria: potresti unirle nel modo migliore? Grazie mille e a presto, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:47, 6 Julai 2018 (UTC)
:Idem: [[:Jamii:Watu wa Wales]] e [[:Jamii:Watu wa Welisi]]. Grazie ancora, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:54, 6 Julai 2018 (UTC)
::E non riesco a capire se [[:Jamii:Wanauchumi]] (e sottocategorie) siano duplicati di [[:Jamii:Wachumi]] (e sottocategorie). Scusa per il tempo che ti faccio perdere! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:03, 6 Julai 2018 (UTC)
:::Grazie della collaborazione. Sto provvedendo. Pace a tutti! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 6 Julai 2018 (UTC)
::::Anche [[:Jamii:Malambo]] e [[:Jamii:Lambo]]. Grazie a te! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:30, 6 Julai 2018 (UTC)
==Kuangalia makala ya kufutwa==
Salaam, ndugu!
Tumeona ya kwamba Oliver anachukua likizo. Sasa tulikuwa na mfumo ya kwamba tunaangaliana katika makala yaliyopendekezwa kwa ufutaji. tulipatana mmoja analeta mapendekezo lakini asifute mwenyewe isipokuwa ni jambo ambalo halina maswali. Menginevyo mwingine aamue. Ilhali Oliver hapatikani kwa muda huu naomba uingie wewe! Tazama hapa: [[https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]].- --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:00, 7 Julai 2018 (UTC)
:Ndiyo, nimeona. Sijui anaumwa nini. Kuhusu ufutaji, mara nyingine nimefuta ukurasa peke yangu, ama kwa sababu ni za wanafunzi wangu ama kwa sababu ilikuwa wazi kwamba hazifai: kichwa na matini yote kwa Kiingereza au Kivietnam! Kuhusu ombi lako, sawa, nitashika nafasi hiyo kwa muda aliosema Oliver. Jumapili njema katika amani ya Mfufuka! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:17, 8 Julai 2018 (UTC)
== Taasisi ya samaki? ==
Riccardo salaam. Wakati nilipofanya mabadiliko kwenye sanduku ya [[samaki]], nilijiuliza kama Kiswahili ina istilahi kwa "shoal" au "school of fish". Nikatafuta kwenye kamusi kadhaa. Inaonekana kama neno la kawaida ni kundi, lakini TUKI (English - Swahili) inatoa pia usheha kwa "shoal" na kamusi ya Willy Kirkeby inatafsiri "school of fish" kwa taasisi. Nilishangaa na kwenye Google sikuweza kupata mifano ya maneno haya yakimaanisha "shoal" au "school". Unajua kwamba maneno haya yanatumika kwa maana hii? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:25, 9 Septemba 2018 (UTC)
:Kamusi yangu ya ENglish-Swahili inasema "school<sup>2</sup> n (of fish) kundi (kubwa la samaki)". Taasisi surely is different, it is an institute where they teach about fish. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:05, 9 Septemba 2018 (UTC)
::Hata yangu inasema hiyo, lakini angalia kitomeo cha "shoal<sup>2</sup>": n kundi la samaki, usheha. Kitomea cha "I. school" kwenye Kirkeby: ''n: of fish or marine animal:'' taasisi (-). Sijui ameipata wapi? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 16:46, 9 Septemba 2018 (UTC)
:::Katika Madan English-Swahili (1903) ninakuta "'''School''' (of fish) kundi (ma), wingi". Taasisi itakuwa ni kosa. lakini naweza kuwauliza wavuvi, maana naishi sasa ufukoni moja kwa moja, wako nje. Usheha unawezekana, Kamusi ya Visawe (2008) ina "'''Usheha''': halaiki, umati, unasi, umma, msoa, umayamaya, kaumu, kundi kubwa (la watu)", crosschecking here with "'''Wingi''': halaiki, umati, usheha, umayamaya, unasi, kaumu, jamii, umma, hadhara, ulufu". Basi nadhani unaweza kwenda na Usheha, lakini subiri nitauliza Wavuvi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:39, 9 Septemba 2018 (UTC)
::::Asante kwa mchanganuo huu. Ndiyo, waulize wavuvi tafadhali. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 20:00, 9 Septemba 2018 (UTC)
== Makala ya afya ya MJ ==
Salaam,
Ndugu Riccardo, nimeona umeunganisha makala ya afya ya Michael Jackson na makala yake nyengine kuhusu maisha, muziki na mambo mengine. Kifupi hizo zilikuwa makala mbili tofauti. Wala haikuwa na haja kuziunganisha. Wikipedia ya Kiingereza ina makala yake maalumu kuhusu afya ya MJ. Nami nikafanya hivyo hapa kwenye Wikipedia ya Kiswahili. Sioni sababu ya kuiunga hata kidogo. Basi unganisheni na makala za albamu, singo na mengineyo. Wikipedia karibia zote wametenga makala ya afya na muziki. Sisi tumechanganya yote mahali pamoja. Mkanyanyiko mtupu.--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:19, 7 Oktoba 2018 (UTC)
:Pole kwa kukuchukiza! Siku zile nilijaribu kuweka sawa makala zenye mashaka kwa kufuata mapendekezo yaliyokuwepo, mojawapo la kuuunganisha hizo mbili za MJ. Kama unapenda kuzitenganisha tena, mimi sina shida. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:30, 7 Oktoba 2018 (UTC)
==Mkabidhi mpya. pendekezo==
Naomba angalia hapa [[Wikipedia:Jumuia#Mkabidhi_kwa_Jadnapac]] (Halafu: Je unaona nafasi kuja Dar mwisho wa Novemba kwa warsha ya Astronomia, Ijumaa- Jmosi?). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:39, 30 Oktoba 2018 (UTC)
:Si rahisi. Labda kwa ajili yako nikijua mapema tarehe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:00, 31 Oktoba 2018 (UTC)
==Vyanzo, Kenya==
Salaam naona umeanza kushughulika miji ya Kenya, asante! Ila tu unatumia namba bila kutaja vyanzo. Ni vema ukiweza kukumbuka. Kwa vyote vya Kenya nimetengeneza tanbihi ifuatayo inayoweza kuwekwa: '''<nowiki> <ref>[https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 Sensa ya Kenya 2009], tovuti ya [[KNBS]], ilitazamiwa Januari 2009</ref></nowiki>'''
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:28, 7 Januari 2019 (UTC)
== Document your culture with Wiki Loves Love 2019 and win exciting prizes! ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
[[File:WLL Subtitled Logo subtitled b (transparent).svg|frameless|right]]
{{int:please-translate}}
Africa has many beautiful festivals, ceremonies and celebrations of love and we need your help to
document these! They are the core part of African culture and in order to make sure this way
of life followed by our ancestors remain among us, we need to have them online to make
sure they are preserved. Join hands with [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|Wiki Loves Love]] that aims to document and spread
how love is expressed in all cultures via different rituals, celebrations and festivals and have
a chance to win exciting prizes!! While uploading, please add your country code in the Wikimedia Commons
upload wizard. If you want to organize an on-site Wiki Loves Love event, then contact [[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|our international team]]! For more information, check out our [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|project page]] on Wikimedia Commons.
There are several prizes to grab. Hope to see you spreading love this February with Wiki
Loves Love!
Imagine...The sum of all love!
[[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|Wiki Loves Love team]] 07:34, 4 Februari 2019 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/wlla&oldid=18845412 -->
==Continental shelf==
Salaam, tuna majadiliano kuhusu "[[tako la bara]]". Muddy haipendi, ChriKo ana mawazo. Je unaweza kuwauliza alimu wa jiografia kama wanajua Kiswahili cha continental shelf, na wangependelea nini? Nilianza makala kwa kutumia "tako la bara" (sikumbuki kam niliikuta au niliitunga kwa jaribio la kutafsiri), sasa nilikuta matumizi ya "kitako" kwa "msingi, chanzo, kiti cha kitu", na chriko alipendendekeza "mwambao wa bara" (ambayo mim sidhani inafaa). naomba jaribu kuwauliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 6 Februari 2019 (UTC)
:Asante, mchango wako kuhusu tako la bahari naona sasa tu maana ulichangia mahali ambako sikutegemea. Kuhusu visiwa nilianza lakini sasa nasita kwa kwa sababu nilitambua sikutafakari vema labda tushauriane tena (na toba yangu kurudia kila kitu..). tatizo ninaloona tukiwa na vitu vingi katika jamii moja hatuna budi kuvipnga kwa vikundi vidogo. Kwa hiyo ni nilianza jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria (inayounganishwa katika Jamii:Ziwa Viktoria na pia Jamii:Visiwa vya Tanzania) nikaona naweza kufuta mengine. Mpaka kuona ya kwamba tukiendelea na visiwa vya ziwa tutapata pia visiwa vya Kenya na Uganda, kumbe sikufikiri adi mwisho. Subiri, nirudi nyumbani (niko kwenye kikao cha kuchosha) na kutafakari upya.--'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:51, 10 Februari 2019 (UTC)
==Futa==
Naona umebandika pendekezo la kufuta kwa makala mbalimbali. Ila tu usipopeleka jina kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]] zitabaki tu maana maana si rahisi kuzitambua. Baada ya kuweka tangazo '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' unaweza kubofya ile "'''hapa'''" ya buluu na kuandikisha makala mle kama sehemu mpya. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:17, 19 Februari 2019 (UTC)
:Ndiyo, najua utaratibu huo, ila ukiangalia [[Jamii:Makala kwa ufutaji]] utakuta kurasa nyingi ambazo zinaweza kufutwa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:44, 19 Februari 2019 (UTC)
==Monte San Valentín==
Ehi ciao, sei Italiano? Ho visto che hai spostato la pagina "Cerro San Valentin" a "Monte San Valentin", ma la grafia corretta in spagnolo è "Monte San Valentín", con l'accento acuto. Potresti spostarla tu per piacere?
Ehm... Ma se parli Italiano perché non rispondi? Lo spostamento della pagina non riguardava la parola "Monte" ma l'accento su "Valentín", quindi chiamalo pure "Cerro", "Monte", "Mlima" o come ti pare, l'importante è aggiungerci l'accento acuto per rendere l'ortografia spagnola corretta. Grazie!
Sì, ero italiano. Non ti ho risposto perché tu non hai firmato. Devi sapere che il Kiswahili non ha accenti nello scritto, quindi diventa quasi impossibile cercare la pagina con l'í. Però ho messo l'accento nel testo, dove è indicato il nome in Spagnolo. Penso che basti. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:58, 1 Machi 2019 (UTC)
Ho capito. Be', non voglio intromettermi nelle scelte di questa versione di Wikipedia perciò non insisterò, però non è un discorso di caratteri e diacritici esistenti in Swahili, perché si tratta di un nome straniero che viene scritto come nella lingua originale. In tutte le altre lingue di Wikipedia questa pagina ha l'accento, anche in quelle in cui l'accento non esiste, tipo il Polacco ma anche l'Esperanto che è una lingua artificiale. Su questa enciclopedia ho trovato per esempio la pagina su "Édith Piaf" scritto con l'accento, così come in quella italiana ci sono quelle su "Anders Ångström" o "Karol Wojtyła". Se preferisci non lasciare diacritici per questa particolare pagina come ho detto non insisterò a convincerti a farlo, ma sarebbe un'eccezione ingiustificata sia fra le altri wiki per questa voce sia fra le altre voci in questa wiki. Grazie comunque per avermi dato una risposta educata e civile, non tutti lo fanno qua dentro. Pace a te :-) --'''[[Mtumiaji:151.48.68.205|151.48.68.205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:151.48.68.205|majadiliano]])''' 19:59, 7 Machi 2019 (UTC)
== Msaada ==
Jambo,
Mimi ni mpya kwa Wikipedia.Nahitaji msaada tafadhali.Niliandika makala ya Kiswahili na napenda unisome na kunisaidia kurekebisha. Asante.
:Jambo mojawapo ni kwamba ukituma meseji kama hiyo ongeza saini yako mwishoni kwa kubofya hapo juu alama ya tatu ili itokee kama kwangu hapa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:12, 28 Machi 2019 (UTC)
== Asante ==
Asante kaka Riccioni kwa kugundua mchango nilioifanya katika eneo bunge la Limuru. Kwa swala la kuongeza data katika majimbo na maeneo bunge ya huku Kenya, nitafanya jitihada ya kuhariri. Mimi bado ni mwanafunzi wa Shule Ya Upili Anestar, Lanet-Nakuru , Kidato cha 3 na kwa sababu tumekuja likizo ya wiki nne nitakuwa huku mara kwa mara. Huku twasema zote, lakini hutegemea. Maeneo bunge ni tofauti na majimbo huku. Majimbo ni kama Nakuru,Mandera,Narok,West Pokot ambayo ni 47 na eneo bunge ni kama Kabete,Limuru,
Malindi, Lanet na mengine ambazo ni 290.
Kunradhi kwa kurudisha ujumbe wako baada wa muda mrefu 😁.
Peace man --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 15:28, 6 Aprili 2019 (UTC)
:Asante pia kwa kuchangia pakubwa kwa ukuaji wa Swahili Wikipedia. Bila nyinyi, Wikipedia haingekuwa ilivyo sasa. Tutakapo shikilia usukani siku zijazo, tutafanya hata makubwa zaidi.
Nina swali, mtakuwa na warsha ya Swahili Wikipedia siku gani? Nitafurahi sana kukiwa nayo, nitafanya juu chini kuhudhuria.
Sarufi yangu inaweza kuathiriwa na sheng kidogo lakini nitakuwa mwanaisimu kama wewe 😁
Kuwa na siku yenye fanaka. Salamu nyingi kutoka kwa mamangu huku Nairobi,Kenya --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 07:29, 7 Aprili 2019 (UTC)
::Kweli tunatumaini mtashika usukani na kufanya makubwa kuliko sisi. Kuhusu warsha, hatujapanga, lakini utajua tu. Amani kwako na kwa mama! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:16, 11 Aprili 2019 (UTC)
==[[Bibi Titi Mohamed]]==
Uliniuliza kwa nini nilibadilisha. Kwa kweli sijui wala sikumbuki. Nikiitazama siwezi kuwaza mabadiliko yana kusudi gani. Hata nina mashaka kama ni kweli mabadiliko yangu, lakini siwezi kuwaza jinsi gani mwingine aliweza kuhariri kwa jina langu. Kama kosa langu, basi nisamehe. Nimeirudisha jinsi ulivyoiacha. Asante kwa kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:49, 12 Aprili 2019 (UTC)
== Tarafa ya Abengourou ==
Hello Ndugu Riccardo, Thank you very much for your kind works on the stubs i am currently proposing about Côte d'Ivoire. Could you, please, correct [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|this draft]] concerning the departments of Côte d'Ivoire, before its possible publication ? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:45, 8 Mei 2019 (UTC)
:Please, don't use "vikoa" but "kata". Moreover, try to link to other Wikis. Thank you again! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:39, 9 Mei 2019 (UTC)
::Again, thanks a lot for your corrections and advices. On the current Ivorian territorial division, we have the following situation:
::*14 districts (Wilaya)
::*31 Regions (Mikoa)
::*108 Departments (Tarafa)
::*510 Sub-prefectures (Kata)
::
::I'am about to create the articles of the 14 Districts (Wilaya) and up-to-date the 108 departments (Tarafa). However, this requires that current articles on departments (also named here Wilaya) be renamed as Tarafa.
::
::Am I allowed to do it? --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:16, 10 Mei 2019 (UTC)
:::The only problem is that in Tanzania and many other countries the districts are subdivision of Region, not the contrary. This is way the departments were called Wilaya. But we have to accept the Ivorian terminology. So, go on. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:01, 10 Mei 2019 (UTC)
== [[Rutongo]] ==
Ciao caro, come stai? Quì abbiamo avuto un maggio completamente piovoso, adesso, forse si starà meglio!
Per favore, noto che in questa città c'è il seminario maggiore, magari può servire nella pagina, me lo aggiungeresti, tu, per favore? Grazie mille, un caro saluto, in comunione!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:38, 2 Juni 2019 (UTC)
: Ehilààààà, più veloce della luce. Grazie mille!!! Hai una mail? Il mio sito è reimomo.it '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:53, 2 Juni 2019 (UTC)
::Sono qua in computer room con un po' di studenti della nostra secondaria; cerco di appassionarli a Wikipedia in Swahili... Oggi la Messa sarà di sera. Il mio indirizzo e-mail è: ndugurikardo@yahoo.it. Pace e bene alla vostra repubblica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:58, 2 Juni 2019 (UTC)
== Wanafunzi? ==
Ndugu, kuna watu wanafanya warsha ya kuandika kwenye Wikipedia? Naona kuna makala nikadhani labda ni wanafunzi wanajarijaribu hivi.--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:05, 9 Juni 2019 (UTC)
:Ndiyo, ni wanafunzi wa Alfagems Morogoro. Niko nao. Wengine wameshapiga hatua, wengine bado. Ndio kesho ya Wikipedia yetu. Wakikosea, narekebisha. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:06, 9 Juni 2019 (UTC)
::Ni vizuri nimeuliza. Nilishangaa kidogo. Nilifuta moja ya mwanafilamu Kanumba baadaye ninaona makala nyingine na majina mapya zinajitokea. Nikaona si kawaida, ngoja niulize. Hongereni. Ni vizuri sana. Tutawaidia. Wape salamu. Kweli hawa ndio wahahari wa kesho. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:14, 9 Juni 2019 (UTC)
== Help ==
Shikamoo Baba,
I'm again coming back to ask your help. Would you, please, have a look at these two drafts ([[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|SLM2]] ; [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga3|SLM3]]) that could serve as models for other articles to create? Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 11:48, 10 Juni 2019 (UTC)
Merci beaucoup pour vos contributions. Je voudre entendre le significance de "Imara" dans le box. Paix à tous! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:21, 10 Juni 2019 (UTC)
:Merci beaucoup pour vos corrections et conseils. J'ai supprimé le "Imara" dans l'infobox. Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 23:09, 12 Juni 2019 (UTC)
==Administrative division of Côte d'Ivoire==
Hello Riccardo Riccioni,
Can you, please, give your opinion on [[Majadiliano ya Wikipedia:Mradi wa Cote d'Ivoire#Administrative division of Cote d'Ivoire|this question]]? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 18:45, 21 Juni 2019 (UTC)
== Cellulitis ==
Eti ugonjwa wa Cellulitis kwa Kiswahili ni nini?--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:53, 27 Juni 2019 (UTC)
:Kamusi ya tiba: " '''cellulitis''' n '''selulitisi''': inflamesheni ya tishu areola (tishu unganishi)". Binafsi simpendi sana huyu aliyetunga kamusi hii maana alikuwa mvivu kiasi, akitumia kimsingi maneno ya Kilatini tu na kuyaswahilisha kidogo mwishoni. Ila tu hatuna nyingine kwa hiyo twende naye. Ndesanjo: tafadhali andikisha email yako hapa, nitakutumia kmusi hii '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:55, 27 Juni 2019 (UTC)
::Asante Kipala kwa kujibu kwa niaba yangu. Bila kuangalia kamusi hiyo ya kivivu nilikuwa nafikiria kutohoa "selulaiti". Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:44, 28 Juni 2019 (UTC)
:::Samahani kwa kukanyaga shamba lako! Nilipoona swali la Ndesanjo kwenye "mabadiliko ya karibuni" nilikuwa nimefungua kamusi ile, badi nilikuwa mbioni... '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:43, 28 Juni 2019 (UTC)
::::Hakuna shida kabisa. Hapa tunasaidiana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:58, 29 Juni 2019 (UTC)
== Barua pepe yangu ==
Riccardo salaam. Umeona barua pepe niliyokutuma hivi karibuni? Ningependa kupata maoni yako juu ya majina ya wadudu wale. Asante. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:52, 28 Juni 2019 (UTC)
:Majibu niliyopata kwa sasa ni haya:
*Aphid = Kidukari
*Cricket = Nyenje
*Fire ant = Majimoto
*Moth = Nondo
*Bumblebee = Nyukibambi
*Bird grasshopper = Parare
*Palm weevil = Sururu
*Sand flea = Tekenya
*Mealybug = Kidung'ata
*White fly = Nzi Mweupe
Kazi njema na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:16, 10 Julai 2019 (UTC)
:Asante sana. Natumaini nitapata majina mengine tena. Hawajui majina ya "true bug" na "cicada"? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:48, 10 Julai 2019 (UTC)
::Jana mwalimu aliniuliza kuhusu 'cicada'. Nikamueleza kidogo kwa sababu hata Italia yupo (anaitwa cicala), na Watanzania wengine wanamfahamu, ila majina wanayotumia ni tofauti. Baadhi wanamuita "nyenje" jina ambalo hapa juu limetumika kwa Cricket na wengine tena wanalitumia kwa Mende... Tutaendelea na utafiti. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 11 Julai 2019 (UTC)
:::Kwa kuendelea kuuliza kuhusu Cicada, nimejibiwa kuwa jina lake ni Nyenje, Nyenze au Chenene. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:43, 20 Julai 2019 (UTC)
::::Asante sana kwa juhudi zako. Ndiyo, hata mimi nilipata majina haya. Inaonekana kama watu wanachanganya wadudu hao kwa sababu wanapiga kelele iliyo takriban sawa. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 19:48, 27 Julai 2019 (UTC)
:::::Riccardo salaam. Ninarudi kwako ili kukuuliza mara nyingine tena kwamba jina "kunguni-mgunda" linaweza kutumiwa kutafsiri "true bugs". Walimu hawa hawana maoni kuhusu jina hili? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:04, 7 Oktoba 2019 (UTC)
::::::Ndugu, nimemuuliza mwalimu mmoja. Ameridhika na jina hilo. Hongera na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:48, 8 Oktoba 2019 (UTC)
:::::::Asante sana. Nimeshatoa ukurasa wa oda Hemiptera ([[Mdudu Mabawa-nusu]]). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:28, 8 Oktoba 2019 (UTC)
== spam links ==
Hi Riccardo! I removed some additional spam links by one of the accounts we talked about last week [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Utunzi_wa_wanyama_wa_nyumbani&action=history here]. However I noticed many times when he spammed a url he wrote the link direct in english (ie. instead of <nowiki>[www.google.com mbwa]</nowiki>, they wrote <nowiki>[www.google.com dog]</nowiki>. Would you mind taking a look and translating the actual words where I removed the bad spam links? Thanks! '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 14:39, 10 Julai 2019 (UTC)
: Thank you per your work. As I wrote, I do what I can. OK, I'll try doing what you said too. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:08, 11 Julai 2019 (UTC)
== Kiswahili poaǃ ==
Ndugu naona Kiswahili changu kinanitoka kidogoǃ Hahaha. Asante kwa masahihisho yako. Kweli lugha umeipata kabisa. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:12, 18 Julai 2019 (UTC)
:Haika mbe! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:34, 18 Julai 2019 (UTC)
== Hello there ==
Are you doing good '''[[Mtumiaji:Kitereza|Kitereza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kitereza|majadiliano]])''' 19:34, 20 Agosti 2019 (UTC)
== templates ==
Hey, I saw a bunch of issues with templates, especially cite book/journal and [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kigezo:Book&action=history this] is probably what is causing it. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 18:14, 23 Agosti 2019 (UTC)
:I don't undertand what you have said because the templates are mysterious to me!!! Let's inform Kipala or Muddyb. Peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 24 Agosti 2019 (UTC)
::Hello [[mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]], care to fix it for us? Your help would be greatly appreciated!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 07:08, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::I'm apparently wrong about that but the issue with the book template is because it requires =title in the template, I will work on them later today. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:32, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::Thanks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:33, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::I'll work on the template itself but this is what is basically required: <nowiki>* {{cite book |last=Creighton |first=Oliver |year=2005 |title=Medieval Town Walls: An Archaeology and Social History of Urban Defence|location= |publisher= |isbn=978-1-85760-259-3}}</nowiki>. Another good option if you don't feel like filling all of it out yourself (I never do) is to [https://tools.wmflabs.org/refill/ reFill.] It doesn't appear to be enabled on this wiki, so I'll also look into that. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:44, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::::Thanks again and peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:46, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::::It might be helpful if you name the templates you came about. We hve swahilized a number of templates but find the recent ones a bit complicated. Thus have to look for work-arounds. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:40, 27 Agosti 2019 (UTC)
== Reminder: Community Insights Survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
'''Share your experience in this survey'''
Hi {{PAGENAME}},
A couple of weeks ago, we invited you to take the Community Insights Survey. It is the Wikimedia Foundation’s annual survey of our global communities. We want to learn how well we support your work on wiki. We are 10% towards our goal for participation. If you have not already taken the survey, you can help us reach our goal! '''Your voice matters to us.'''
Please take 15 to 25 minutes to '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_0pSrrkJAKVRXPpj?Target=CI2019List(meafwps,act5) give your feedback through this survey]'''. It is available in various languages.
This survey is hosted by a third-party and [https://foundation.wikimedia.org/wiki/Community_Insights_2019_Survey_Privacy_Statement governed by this privacy statement] (in English).
Find [[m:Community Insights/Frequent questions|more information about this project]]. [mailto:surveys@wikimedia.org Email us] if you have any questions, or if you don't want to receive future messages about taking this survey.
Sincerely,
</div> [[User:RMaung (WMF)|RMaung (WMF)]] 18:58, 20 Septemba 2019 (UTC)
<!-- Message sent by User:RMaung (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=CI2019List(meaf_wps,act5)&oldid=19397738 -->
==[[George Padmore]]==
Ndugu kwa bahati mbaya umeharibu kazi! Sijamaliza nilikuwa nilihifadhi hatua ya kwanza tu (kwa hiyo bado Kiswahili kibaya!) nikaendelea na kupumzika - basi inaonekana yote imepotea. Basi. - Je uliona email yangu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:47, 18 Oktoba 2019 (UTC)
:Basi nimeweza kuitengeneza, kumbukumbu ya laptop ilikuwa nayo. Tena kosa langu: nilipoona "Edit conflict" sikuchagua version yangu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:07, 18 Oktoba 2019 (UTC)
== Mfumo ''katika soka'' ==
Ndugu Riccardo natumai uko salama,
kuna makala inayohusu mifumo katika soka "formation" nilijaribu kutafsiri kutoka lugha ya kiingereza, nilivyochapisha utangulizi haukua na marejeo kabisa pamoja na jamii, nilikuta notification kwamba ukurasa huo utafutwa, niliongeza vilivyokosekana kwa kutafsiri kipande kingine chenye marejeo, kwa upande wa jamii niliweka michezo hii ilikua ijumaa ya tarehe 18, hadi leo hii bado naona kuna ujumbe wa kufuta makala hiyo.--'''[[Mtumiaji:Innocent Massawe|Innocent Massawe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Innocent Massawe|majadiliano]])''' 05:36, 21 Oktoba 2019 (UTC)
:Ndugu, usiogope, mradi haijafutwa! Tutaipitia upya. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:42, 21 Oktoba 2019 (UTC)
==Tawimto==
Naona umeanza kusahihisha uwingi wa tawimto kuwa "matawimto". Una uhakika ??? Tawimto ni mto ambao ni tawi la mfumo wa mto mkubwa zaidi. Kama ni mingi ni mito - ha hii naona ni neno kuu. Kwa hiyo si lazima "mito" ionyeshe uwingi? Sikioni inaumia kidogo nikiona "matawimto mikubwa" ([[Syr Darya]]). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:07, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:Labda umesahau kwamba jambo hilo la neno linalotokana na mawili tulilijadili katika warsha wa astronomia, nikapewa majibu ya hakika: ni mafungunyota, mafunguvisiwa n.k. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:25, 25 Oktoba 2019 (UTC)
::Sawa kabisa, hii ninakumbuka sana. Ila tu: fungunyota ni fungu moja lenya nyota nyingi, kundibyota vilevile, kwa hiyo kama mafungo mengi - unapata umbo.
Tawimto si tawi moja lenye mito mingi, wala mto moja mwenye matawi mengi (kinyume chake katika ufafanuzi!) - ni mto mmoja lenye tabia ya kuwa tawi la mto mkubwa zaidi. Kwa hiyo naona mantiki halingani. Ama iwe "matawimito" au "tawimito". Basi nitajaribu kuuliza aruspicina di Tataki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:31, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:::Nakubali kwamba kuna tofauti na fungunyota, lakini jibu lilikuwa kwamba -a inayofuata ni lazima ilingane na fungu, si nyota, kwa hivyo iwe la, si za. Kama ni hivyo, wingi wake ni ya kutokana na mafungu. Sasa naona kuhusu tawimto ni vilevile. Labda tunaelewa tofuati neno hilo. Wewe unalisoma kama mtotawi, mto ulio tawi la mwingine. Mimi naona ni tawi la mto. Yaani hapa neno mto unajumlisha mto mkuu na matawi yake yote. Basi, uulizie TATAKI, bila kusahau suala la "virusi za UKIMWI". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:53, 27 Oktoba 2019 (UTC)
::::Angalau jibu moja (aliandika sms), angalia [[ Majadiliano:Tawimto]]. Amani! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:07, 1 Novemba 2019 (UTC)
== Vigezo vya Msanii kuwekwa Wikipedia ==
Nahitaji kujua Vigezo vya msanii kuwekwa Wikipedia. Je anatakiwa awe na umaarufu wa kiasi gani..? au awe ametoa nyimbo ngapi zilizomo katika kurasa za Google na YouTube..? Naomba msaada katika hili '''[[Mtumiaji:Mikuyu Denis|Mikuyu Denis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mikuyu Denis|majadiliano]])''' 15:55, 31 Desemba 2019 (UTC)
:Ndugu, si suala la idadi ya nyimbo. Unaweza ukaandika mmoja tu ukawa maarufu mara, au ukaandika nyingi lakini hazivutii watu... Vigezo vya umaarufu alikwishakupa Kipala ukamuambia aache ubaguzi! Ubaguzi gani? Ndiyo namna ya kumjibu mzee wa watu aliyetufanyia kazi kuuubwwa miaka zaidi ya 10? Hivyo uonyeshe huyo msanii amejulikana kweli na watu wengi: kwa mfano kwamba magazeti yanamzungumzia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:40, 1 Januari 2020 (UTC)
==Klabu ya Wikipedia katika sekondari ya Alfagems==
Habari za siku. Samahani nauliza kuhusu program ya wikipedia kwa hapo shuleni, siku ile hatukufikia muafaka kama naweza kuwa nakuja kwa vipindi vya wikipedia. '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 05:47, 13 Februari 2020 (UTC)
:Ndiyo, karibu sana Jumapili saa 8:00 kamili. Tutakuwa na mashindano ya utunzi bora wa makala. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 13 Februari 2020 (UTC)
::Asante, ntajumuika nanyi! '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 11:53, 14 Februari 2020 (UTC)
:::Habari, sawa ntazipitia. Pia wanafunzi waliniambia leo kuna kipindi cha wikipedia naomba kujua itakuwa sangapi. Ikiwezekana naomba ratiba ya wiki nzima tafadhali '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 06:01, 18 Februari 2020 (UTC)
::::Klabu ya Wikipedia ni Jumapili tu. Siku nyingine zote kuanzia saa 8:00 mchana wanafunzi wanaruhusiwa kwenda chumba cha tarakilishi kujisomea lolote. Kama ukipenda klabu iwe siku tofauti na Jumapili, tunaweza kuibadilisha, lakini iwe mara moja kwa juma. Asante kwa ushirikiano wako na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:06, 18 Februari 2020 (UTC)
:::::Sawa basi ngoja ibakie jumapili kama ilivyo kwa sasa, mwanzo nilidhani kuwa kuna siku nyingine katikati ya wiki ya Wikipedia. Asante! MagoTech Tanzania 23:08, 18 Februari 2020 (UTC)
Habari za siku ndugu. Samahani sana nilipata dharura nikaondoka Morogoro. Sitokuwepo kwa mda kwa maana hiyo sitoweza kuhudhuria katika mikutano ya klabu ya Wikipedia kwa shuleni Alfagems. Samahani sana kwa usumbufu ulio na unaoweza kujitokeza.
Nitawatembelea pindi ntakapo rejea tena. Asante MagoTech Tanzania 12:59, 16 Machi 2020 (UTC)
==Masahihisho==
Ndugu unasahisha haraka mno. Meitneri sijamaliza. Sasa nilikuwa na masahihisho katika dirisha langu, nasi sehemu ya kazi yako imepotea, nahofia. TAfadhali nipe masaa kadhaa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:10, 16 Machi 2020 (UTC)
== Pictures from Wiki Loves Africa 2020 ==
Hello. I am sure you are right, but we can only use what is available. So do not hesitate to take different pictures, more relevant, I will be glad to insert them. Actually we had the same problem. In the beginning we had only 19th-century engravings. But this is changing rapidly now. And Wiki Loves Africa helps. Have a nice day, '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle#top|majadiliano]])''' 14:47, 21 Machi 2020 (UTC)
:Good news, here came some more contemporary pictures uploaded this morning ([https://commons.wikimedia.org/wiki/Category:Orly_Air_Park]). If you want to add something you can send me an email. -- '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle|majadiliano]])''' 06:09, 22 Machi 2020 (UTC), from France
== Kumbukumbu ==
::Habari, nimeona ni vyema nikupatie picha yako ya kumbukumbu katika mradi wa Astronomia.
[[File:Ricardo Riccion.jpg|thumb|Riccardo Riccioni akitazama anga wakati wa mradi wa Astronomia.]]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])'''
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekezwa makala [[Tarekh ya mitume:Ibrahim]] ifutwe, ni sahihi maana amenakili yote. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Naomba ukumbuke! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
== Ciao ==
Ma lei è di Grosseto. Perchè ci siamo già incrociati, ma non mi ricordo dove? Io sono di Castel del Piano. A parte la mia curiosità spero non inopportuna mentre venivo a sbirciare ho notato che ci sono tre link nella colonna a sinistra non tradotti:
*email this user
*mute preferences (in italiano abbiamo tradotto "preferenze sul silenzio")
*view user groups
se mi scrive la traduzione ve li sistemo su translatewiki. Grazie--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 13:12, 26 Aprili 2020 (UTC)
:No, non sono di Grosseto, ma mia sorella si è sposata a Orbetello e vive a Capalbio. Ha 4 figli in giro per il mondo... Poi ho due amici sacerdoti di Castell'Azzara. Può darsi che ci siamo visti nella maremma! Scusa, ma non capisco bene quello che dici riguardo ai tre link. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:16, 26 Aprili 2020 (UTC)
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekeza tena makala 2 zifutwe. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Nimeona kwa kubahatika tu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
==Usaidizi wa upangiliaji wa makala==
Ndugu ricardo mimi ni mgeni hapa sina muda mrefu, ila mara kadhaa nimekua nikiona makala nyngi sana hasa za lugha ya Kiswahili zikiwa zime haririwa na wewe, una mchango mkubwa sana kwenye makala nyingi za Kiswahili Hongera kwako. Nina makala ambayo nimeaianzisha hapa, kwenye swwiki na ningependa uipitie kwa maboresho zaidi, Nafurahi sana kura miongoni mwa watumiaji wa swwiki na ninatazamia kutoa mchango mkubwa kwenye swwiki. Ahsante Na makala hiyo inaitwa [[Counsellorsalah]].
:Ndugu, nimeshapitia na kurekebisha makala hiyo mara mbili, ila mwenyewe sijui kurekebisha vizuri sanduku la infobox mwanzoni. Kwa mengine namna ya kujifunza ni kuangalia kila mara marekebisho tunayofanya ili ufanye vizuri zaidi na zaidi. Unapoona katika "Mabadiliko ya karibuni" kwamba ukurasa wako umehaririwa na mwingine, bonyeza "tofauti" ili kuona wapi na wapi yamefanyika hayo mabadiliko. Polepole ndiyo mwendo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:44, 9 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 23:09, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Please, ask <nowiki>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]</nowiki>. Thank you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:39, 4 Agosti 2020 (UTC)
==Nimechanganyikiwa katika Wilaya ya Lindi==
Labda utaona nimeanzisha makala za wilaya mpya "Mtama" pale Lindi. Basi nilikosea, kesho nitafanya usafi tena (chanzo ni swali lako kuhusu kata lile kama ni mjini au vijijini, nikaangalia orodha ya wakazi wa 2016, nikachanganya wilaya na jimbo....) Nivumilie kidogo, sasa nalala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:35, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Hongera Ndugu Riccardo ya kutupeleka kwa 60,000==
[[file:WPW Design Barnstar 2.0.png|thumb|Nyota ya Ujenzi wa Wikipedia]]
Ndugu Riccardo, umetupeleka kwa makala 60,000. Hongera na Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
::Hongera Ndugu Riccardo. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:05, 20 Agosti 2020 (UTC)
:Asante kwenu kwa kutambua mchango wangu. Mimi pia natambua mchango wenu na wa wenzetu wengine. Tuongeze bidii tukilenga makala ya 100,000. Lakini pia namkumbusha Kipala suala la kupunguza viongozi waliopumzika muda mrefu na kuongeza wakabidhi wapya, mmojawapo Czeus25 Masele... Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:54, 21 Agosti 2020 (UTC)
==Wakabidhi==
naomba uangalie tangazo kwenye ukurasa wa Mwanzo (juu) na ukurasa wa Wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:39, 4 Septemba 2020 (UTC)
==Maswali==
Nimeangalia makala za [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]; Malunde najaribu kufuatilia, Rutamba nimesahihisha, Madume bora ningeacha kwa sasa au kufuta, sjui. Tafadhali angalia swali langu kuhusu [[Taniaba]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:13, 6 Septemba 2020 (UTC)
==Kata mpya==
Ombi tu: tafadhali usianze bado kuhariri kata mpya nilizoingiza katika vigezo vya masanduku ya kata. Kazi hii ni maandalizi ya mafundisho kwa ajili ya wachangiaji wapya, wapate nafasi ya kuhariri kwa njia nyepesi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:55, 28 Septemba 2020 (UTC)
==Mambo ya ukabidhi, baruapepe==
Tafadhali angalia baruapepe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:49, 6 Novemba 2020 (UTC)
==Gunter Pauli==
Hello Riccardo, could you please kindly clarify the reason why you have deleted this page ?
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gunter_Pauli Thank you
'''[[Mtumiaji:Freemanbat|Freemanbat]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Freemanbat|majadiliano]])''' 13:13, 24 Novemba 2020 (UTC)
:Yes, I deleted it because this is Swahili Wikipedia and your text was not in Swahili. I think it was in a South Asian language. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:32, 24 Novemba 2020 (UTC)
::Just to chip in: you uploaded some gibberish. Did you take it from Google Translate? Please read the welcome notice on your user page, and be reminded that this is considered unwanted here. Generally not a good idea if you have no clue of the language you try to contribute to, because the results usually are so bad that we delete it anyway (so even if you had picked the right language at google translate). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:17, 24 Novemba 2020 (UTC)
== [[Kituo cha Hamburg Dammtor]] ==
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
[[Picha:Karte der S-Bahn Hamburg.svg||thumb|right|200px|Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor]]
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah [[Maalum:Michango/84.174.183.93|84.174.183.93]] 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC)
:Hi, the map is as it is. it is not flexible. You would have to make a new map. Maybe there is a different one, you better look for it at commons. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 18 Desemba 2020 (UTC)
== [[B. R. Ambedkar]] ==
Hello, I was patrolling recent changes and noticed [https://sw.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar this article] and upon some investigation I found out that it's Google translation of [https://en.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar English Wikipedia] article, which is a copyright violation, so I am requesting you to delete it. --'''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB|majadiliano]])''' 17:15, 16 Januari 2021 (UTC)
== Majadiliano:Frozen 1 ==
If you'll see the discussion at this page, the article is marked as needing improvement. I already signed up so it can be moved, but I'm not confirmed yet. I don't know what else to do with the article just yet as I'm not fluent in Swahili. But this page and other Disney articles have some problems due to vandalism. One of the other pages with these kinds of problems would be [[The Fox and the Hound]]. [[Bambi]] and [[Dumbo]] are two more. I also saw [[Teletubbies]] deleted, but can it be recreated with better content? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 21:57, 27 Februari 2021 (UTC)
At [[Thumbelina (filamu ya 1994)]], the English text added that was reverted would have helped the article if it had been translated. So, who could translate it? I also wanted to add that Dove Cameron plays the twins in [[Liv and Maddie]]. As usual, the English text would have helped the article. For those other pages like The Fox and the Hound, Dumbo, and Bambi, they often have machine translation in them, and the machine translations came from either English or Simple English Wikipedias (or both). The Dumbo page seemed to have the worst translation. Meanwhile, other Disney pages don't exist yet (like Fantasia, Cinderella, Lady and the Tramp, The Aristocats, Oliver & Company, The Little Mermaid, The Rescuers Down Under, and many more. I don't know if it'd be worth it to just create stubs about them. Even if it is, I wouldn't know who could improve them all. Do you? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 20:13, 6 Machi 2021 (UTC)
:I appreciate your intention but I think at this stage our little Wikipedia has more urgent tasks. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:10, 7 Machi 2021 (UTC)
::Can the machine translation on The Fox and the Hound be removed? That, and on pages like Liv and Maddie, [[The Simpsons]], and [[Hannah Montana]], Jamii:Televisheni za Marekani was replaced with Jamii:vipindi vya televisheni. The problem with that is, they are American television shows, but the other category says genres of television. They aren't television genres. The genre of Liv and Maddie is a situation comedy for teenagers (teen sitcom). Hannah Montana is also that. The Simpsons, however, is an animated adult situation comedy. So, how does this get corrected? Finally, there's the fact that I would just fix everything myself if I knew Swahili well. Is there a way to learn it? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 17:59, 12 Machi 2021 (UTC)
:::I think there are many ways to learn Swahili, especially through internet. About television, I don't understand your point. If something is presented in TV it is called kipindi, without examining what is its genre. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:26, 13 Machi 2021 (UTC)
::::Jamii:vipindi vya televisheni is linked to Category:Television genres at the Wikidata page. Is that wrong? Meanwhile, Jamii:Televisheni za Marekani was supposed to say Category:Television of the United States. However, should it be Jamii:Vipindi vya televisheni za Marekani for Category:Television series of the United States? Finally, do you know the best ways I can learn Swahili? I've already been blocked in another Wikipedia (diqwiki) because I was too disruptive. Right now, they are working on cleaning up pages after vandalism by the Disney vandals. There are many Disney vandals, but the worst ones do things like adding the machine translations, content in the wrong language, or pages with no content. The diq articles were made very badly, where the content was short and unwikified. That has happened here before. However, there hasn't been disruption to The Fox and the Hound since 2011 (10 years ago), so can the protection be removed? However, it's at least much better now with the machine translated content. '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 19:32, 14 Machi 2021 (UTC)
:::::Riccardo asked me to look at this. As for the naming of the categories, we have to consult a little. May take a bit of time, depends who has time for that. For learning Swahili? If you find a course that is best. If you cannot find one, do not try to translate long texts. You can possibly help by doing short stubs if you are wise enough to know your limits. Disney ntries are no priority here. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:13, 16 Machi 2021 (UTC)
== nakala ya arthur schopenhauer ==
je unaeza fafanua sababu za kutoa sehemu nilioandika kuhusu mwanafalsafa huyu? '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 19:37, 10 Machi 2021 (UTC)
== Grazie mille!!! ==
Sì, preghiamo gli uni per gli altri, e anche perchè il signor Corona se ne torni da dov'è venuto al più presto!!!
Scusami per il primo messaggio, me lo sono scritto direttamente nella mia pagoina pensando di scrivere nella tua. Pace a te!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:52, 13 Machi 2021 (UTC)
== Request for adding an article ==
Hello sir Riccardo Riccioni
Could you please write a stub about the Tachelhit language in this wiki ? its an african language in Morocco – just a few sentences based on https://en.wikipedia.org/wiki/Shilha_language ?
Thank you very much -- '''[[Mtumiaji:Ayour2002|Ayour2002]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ayour2002|majadiliano]])''' 15:03, 17 Machi 2021 (UTC)
==Ujumbe==
Hello Sir!!! Samahani kwa usumbuu, baruapepe ya Ijumaa (matembezi ya anga) ilifika kwako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:25, 22 Machi 2021 (UTC)
== [[Christian Carlassare]] ==
Caro padre Riccardo, Pace!!!
Come stai? Io, mia mamma, la mia morosa e tutte le nostre famiglie stanno bene: tutti negativi al Covid-19!!! Ma in Italia la situazione è molto brutta, anzi, fa schifo, 15 regioni in zona rossa. le nostre mamme hanno fatto le due dosi del vaccino Pfeizer, e hanno avuto solo un po' di male al braccio e un po' di stanchezza nei giorni successivi.
Ieri, il presdiente del Consiglio dei ministri e sua moglie si sono fatti vaccinare pubblicamente con Astra Zeneca.
La Pasqua sarà comunque a casa, tutti confinati, eccetto i ricongiungimenti familiari, ma anche quì ci saranno molte restirizioni.
Per favore, ti chiedo qualche minuto per vedere se vada tutto bene in questa pagina. Secondo me, potresti aggiungere che, ''attualmente (al momento della sua elezione) è il vescovo cattolico italiano più giovane''. Grazie molte per il tuo prezioso aiuto!!!
Una Buona e Santa Pasqua, in comunione
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 08:24, 31 Machi 2021 (UTC)
== Buon Lunedì dell'Angelo ==
carissimo padre Riccardo, pace!!!
Grazie per le tue preghiere!!!
Completerò con piacere le diocesi mancanti della Lombardia. Poi, per le correzioni, ci penserai tu. Grazie ancora, un caro saluto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:28, 5 Aprili 2021 (UTC)
: Ciao, ho cominciato ad aprire la [[Jimbo Katoliki la Crema|diocesi di Crema]]. Quando riesci a trovare qualche minuto, per favore, dovresti sistemare le poche cose che ho lasciato in italiano dove ci sono i nomi dei vescovi, soprattutto i due vescovi appartenenti agli ordini religiosi.
: Grazie ancora, a presto
: '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:43, 5 Aprili 2021 (UTC)
==Kuzuia mtumiaji==
Habari, Kuna mtumiaji ambaye ametumia IP address na kufuta makala kwa kuandika maneno ya kingereza. Nimejaribu kumzuia je nimefanya kitu sahihi? Na je ambavyo nimefanya ndo inavyotakiwa kuwa? Asante sana --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 08:50, 19 Aprili 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Riccardo.
Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:15, 27 Aprili 2021 (UTC)Idd ninga
:Asante kwa kunishirikisha. Mimi pia naona shaka, ila sina utaalamu zaidi. Kwa mambo kama hayo ni afadhali kumuuliza Kipala. Amani kwako pia. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:26, 28 Aprili 2021 (UTC)
== Kigezo cha Redirect ==
Habari, Naomba kuuliza ni kwa namna gani unaweza kuweka redirect. Kuna jamii ya waigizaji filamu wa India nataka niiwekee redirect kuelekea jamii ya waigizaji filamu wa uhindi. Nimejaribu ila sikufanikiwa, naomba mwongozo. Asante! --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 05:45, 29 Aprili 2021 (UTC)
:Kwanza hongera kwa juhudi zako. Pili suala la majina ya nchi linatakiwa bado kujadiliwa. Mfano mmojawapo ni: India au Uhindi? Tatu: kuweka redirect ni rahisi, ila ukielekeza upya jamii, makala za jamii iliyoelekezwa upya hazionekani katika jamii mpya. Inabidi ubadilishe jina la jamii katika kila ukurasa. Labda kuna template maalumu, lakini mimi siijui. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:25, 29 Aprili 2021 (UTC)
==Hongera==
Hongera, nikitazama massview analysis hiyo https://pageviews.toolforge.org/massviews/?platform=all-access&agent=user&source=category&range=latest-20&subjectpage=0&subcategories=1&sort=views&direction=1&view=list&target=https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Watakatifu_Wakristo
Jamii:Watakatifu Wakristo 2021-04-10 - 2021-04-30<br/>
Daily average Totals 3.385 pages 30.090/total 1.433/day<br/>
1 Orodha ya Watakatifu Wakristo 1.482 71 / day
Ingawa naona jamii inajumlisha kurasa nyingi ambazo si watakatifu wenyewe (kama vile watu wengi wa Biblia kwa jumla, mahali kama Roma), hata hivyo kuna wasomaji wengi wanaotafuta huduma hiyo! Ubarikiwe! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:21, 1 Mei 2021 (UTC)
:Asante kwa pongezi. Hata hivyo kuna mengi ambayo siyaelewi katika majedwali hayo... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:39, 2 Mei 2021 (UTC)
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Riccardo Riccioni, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:33, 17 Mei 2021 (UTC)
== Makala juu ya umaarufu! ==
Salaam tele.
Unisamehe kwa ukimya wangu, kuna mambo mengi yanaingiliana kwa wakati mmoja. Nimeusoma ujumbe wako na ninakubaliana nao kwa asilimia mia moja. Nilidhani nimeiandika mimi kumbe kumbukumbu zangu zimeyonzwa na msukumo wa maisha!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:28, 30 Mei 2021 (UTC)
== Kuhusu marekebisho ya nakala ya Arthur Schopenhauer ==
Bado sijatosheka na sababu ulizopeana za kufuta aya nyingi nilizowakilisha tawasifu ya mwanafalsafa Arthur Schopenhauer. Mimi ni mzaliwa wa Kenya na nimeongea kiswahili tangu utotoni na nimekua nikisoma Kazi za Schopenhauer kwa miaka zaidi ya saba sasa.
Nilikua na nia ya kuandika nakala zaidi nikifafanua nadharia muhimu za mwanafalsafa huyu lakini katisha tamaa na tabia hii yako ya kufutafuta mawakilisho yangu kiholelaholela.. kama kuna kitu yauelewi niambie kwanza tujadili ama urudishe ujinga yako Italia!! '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 11:19, 14 Juni 2021 (UTC)
:Asante kwa tusi lako, ila si utamaduni wetu. Pia ulivyoandika ni uthibitisho kwamba Kiswahili chako si sanifu. Kwa mfano "ujinga yako" si sahihi. Kama ukiona nimefuta kiholela, uwasiliane na mkabidhi mwingine aweke mambo sawa. Amani tele kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:32, 16 Juni 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Riccardo Riccioni}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:05, 19 Juni 2021 (UTC)
== Hello ==
Hello, please save the [[Qaem Shahr]] article and link it to the wiki data item. Thank '''[[Mtumiaji:Viera iran|Viera iran]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Viera iran|majadiliano]])''' 22:45, 24 Julai 2021 (UTC)
==Kukarabisha wageni==
Salamu,Katika ukurasa huu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Ultracounter_nitrogenius wakati namkaribisha nilijikuta nimechapisha sehemu ya kurasa ya mtumiaji bila kugundua, ila baada ya kushtuka nikafuta alama na maneno ya ukaribisho na kwenda kuandika upya tena katika ukurasa wa majadiliano, nisaidie kutazama kama itakuwa sawa na msaada zaidi wa maelekezo iwapo ikitokea nimerudia makosa kama hayo, Amani sana
'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])'''
== Translation request ==
Hello.
Can you translate and upload the article [[:en:Flag of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? It does not need to be long.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Multituberculata|Multituberculata]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Multituberculata|majadiliano]])''' 14:06, 4 Agosti 2021 (UTC)
== Kuzuia mtumiaji ==
Habari ndugu, <br>
Naona umemzuia mtumiaji Awadhi awampo bila kumpa sababu. Naomba kama hautojali kumwandikia sababu ya kumzuia katika kurasa yake ya majadiliano. Asante.<br> Amani kwako '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 10:58, 5 Agosti 2021 (UTC)
:Ndugu, hongera kwa kumtetea mhariri mpya, lakini sijakuelewa. Mbona nilimpa maelekezo tarehe 25 Juni asiyafanyie kazi? Sababu ya kumzuia ni hiyo: kutafsiri kwa kutumia progamu bila kurekebisha matini hata yaeleweke! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:28, 6 Agosti 2021 (UTC)
== Kigezo ya uzuio ==
Naomba uangalie Kigezo:Zuia tafsiri. Itumiwe kwa kunakili '''<nowiki>{{Zuia tafsiri}} ~~~~</nowiki>''' na kuweka kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika, baada ya kumzuia.
Unadhani inafaa? Kesho nataka kufanya zoom meeting saa 2 usiku kuhusu hiyo. Ungeweza kungia? (najua ni saa mbaya kwako...){{Zuia tafsiri}} '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:00, 11 Agosti 2021 (UTC)
== Msaada Tafsiri ==
Habari, nimetunga [[Msaada:Tafsiri]]. Tafadhalia angalia kama inafaa, inaeleweka n.k. Naona wako wachache watakaoisoma maana wako wanaojitahidi. -- Nimeona nitaje pia ContentTranslation. Hadi sasa nimejaribu kuificha. Lakini hao wote wanatumia google, na google haina msaada kutunza fomati. ContentTranslation angalau inasaidia kupata fomati (interwiki, jamii). Ushauri wako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:31, 12 Agosti 2021 (UTC)
:Kweli, ni afadhali kuliko Google. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:36, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Kuzuia==
Habari naona umemzuia Praygood Mwanga, sawa kabisa. Ila naona ni vema kuongeza chini ya kigezo nusu sentensi tunapotaja makala tunayorejelea. Kama ningeelewa vigezo vizuri zaidi, ningeingiza nafasi ndani ya kifupi cha kigezo lakini sijui. Kwa mtu kama yule kijana anayeazisha makala mengi, ni vema kutaja makala husika chini ya kigezo, kabla ya sahihi. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:19, 19 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
NAona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Upitiaji wa makala==
pitia makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Dougaj pamoja na https://sw.wikipedia.org/wiki/Shule_ya_Sekondari_ya_FPCT_Tumaini nimerekebisha kidogo
'''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 08:16, 11 Septemba 2021 (UTC)
:Sawa, lakini sasa angalia mimi nilivyorekebishwa zaidi ili ujifunze kufanya vizuri zaidi. Amani kwako| --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
== Vimo vya vilele vya Mlima Kenya ==
Riccardo salaam. Wakati ulipoandika vimo vya vilele vya Mlima Kenya, labda ulikuwa umekosea? Ukarasa wa Mlima Kenya una vimo vingine. Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:11, 16 Septemba 2021 (UTC)
:Ni kweli, nimeona hicho, ila nimefuata Wikipedia ya Kisebuano. Kama unaweza kusahihisha, nitashukuru sana. Kinachonifurahisha ni kwamba sasa Wakenya wengi wanasoma Wiki ya Kiswahili! Amani kwako pia! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:34, 16 Septemba 2021 (UTC)
== Apology ==
Hello {{u|Riccardo Riccioni}} I hope you're doing well. I'm C1K98V from India. I don't know the language, nor was aware of the sw wikipedia. However, I'm familiar with the policy of wikipedia. I apologize to begin with the wrong step. But my intention was not violate the policy. Please help with expanding the stub subject, creating article associated with India. I upload creative commons license files on wikimedia commons. I assure, I won't create any problem to the community. Please guide me. Thanks for your consideration, stay safe. --[[User:C1K98V|<b style="color:#FF0000">''C1K98V''</b>]] <sup>([[User talk:C1K98V|💬]] [[Special:Contribs/C1K98V|✒️]] [[Special:ListFiles/C1K98V|📂]])</sup> 11:39, 25 Septemba 2021 (UTC)
== Re ==
Grazie per il tuo benvenuto :-) La mia utenza qui è stata creata in conseguenza di una rinomina effettuata, non conosco lo swahili ma fa comunque sempre piacere essere "benvenutati", poter ringraziare in italiano è poi davvero una sorpresa! Grazie e buon lavoro! --'''[[Mtumiaji:Civvì|Civvì]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Civvì|majadiliano]])''' 19:56, 9 Oktoba 2021 (UTC)
==Makala za ufutaji==
Mzee mwenzangu, nisipokosei ulipendekeza makala kadhaa zifutwe, Ila usipopeleka makala hizo kwenye ukurasa wake [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] zitasahauliwa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:38, 28 Novemba 2021 (UTC)
:Ndiyo, najua, lakini siku hizi tunafanya kazi kwa wasiwasi: umeme unakatika muda wowote kwa saa nyingi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:03, 29 Novemba 2021 (UTC)
==BwanaHeri==
Asante kwa salamu, nimeiunda kama akaunti mbadala; niliihitaji leo nilitaka kutunga maelezo jinsi ya kujiandikisha kwa matumizi ya barua pepe, na hapo nilihitaji kutumia akaunti mpya ili niweza kuona hatua. Ukiangalia [[Wikipedia:Mwongozo (Kujisajili)]] naomba ukague maelezo chini na. 4) kama ni sahihi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:27, 29 Novemba 2021 (UTC)
== Request translate article about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Hello Riccardo Riccioni, Would you like to translate the article [[en:Isabelle de Charrière]] (Q123386) for the SW Wikipedia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 08:27, 20 Desemba 2021 (UTC)
==Marejeo==
Kama kuna kosa umeliona kwenye tasfiri, rekebisha na ujadili kwenye majadilano ya page husika, na utumie lugha ya upole. Asante. --'''[[Mtumiaji:Halidtz|Halidtz]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Halidtz|majadiliano]])''' 13:20, 25 Desemba 2021 (UTC)
== Interlingue ==
Grazie per il benvenuto. Potresti aiutarmi ad aggiungere qualche informazione in più all'articolo su Interlingue, per favore? --'''[[Mtumiaji:Caro de Segeda|Caro de Segeda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Caro de Segeda|majadiliano]])''' 12:34, 31 Desemba 2021 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
== Looking for French speakers ==
Hello, Riccardo. I am looking for French speakers, especially French speakers from Africa who use mobile devices for editing. Do you know of anyone here at the Kiswahili Wikipedia who might be interested in talking to me? The goal is to make it easier for people using a smartphone to post on a talk page. You can see the current status on this page by clicking on this link: https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Riccardo_Riccioni?dtenable=1 – but it's still too hard, and it isn't available on the mobile site yet. Please let me know if you could recommend any editors who might be affected. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:28, 1 Februari 2022 (UTC)
:@[[Mtumiaji:SJ|SJ]], @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], @[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]], @[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]], perhaps one of you knows an editor who might edit the French or Arabic Wikipedias from a smartphone. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:48, 1 Februari 2022 (UTC)
::No I don't know anyone.
::'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 12:33, 11 Machi 2022 (UTC)
== Come stai? ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Come stai? Quì sembra che stiamo migliorando, da ieri non abbiamo più l'obbligo di mascherine all'aperto, anche se l'attenzione è sempre alta. Io e la mia famiglia stiamo bene.
Volevo chiederti un piccolo favore, quando avessi due minuti di tempo: potresti tradurmi in Swahili la didascalia della mia foto nella mia pagina personale? Grazie mille di tutto e buon fine settimana, a presto. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:20, 11 Februari 2022 (UTC)
: Grazie infinite, sempre (come diceva il mio amico trappista brasiliano frei Manù) ''em comunhão''!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:57, 12 Februari 2022 (UTC)
== Global IP block exemption ==
Hello, I saw your request o er at Kipala's talk page and I think there's one way to fix your problem. Since your IP has been blocked as an Open Proxy, it cannot be unblocked rather you can request Global IP block exemption. Email stewards@wikimedia.org . Include:
*the IP mentioned in the error message you got
*the username you use
* why you need to use Tor or the Open Proxy
Hope this helps. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 18:53, 12 Februari 2022 (UTC)
== Incorrect block ==
Hello. [[User:EthanGaming7640]] undo vandalism. Please see his contributions. Thank you! '''[[Mtumiaji:AlPaD|AlPaD]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AlPaD|majadiliano]])''' 15:29, 17 Februari 2022 (UTC)
:Hiki ni kizuizi kisicho sahihi. Mtumiaji alikuwa akifanya uhariri mzuri. Tafadhali kagua. Asante. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 15:41, 17 Februari 2022 (UTC)
::He has 1 edit only on this wikipedia which was absolutely destructive, inserting gibberish. Here we block indefinitely for such behaviour. Are you sockpuppets? Complain to Meta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 17 Februari 2022 (UTC)
:::I am a former administrator with over 30,000 edits on multiple projects. If you look at the change, he was removing the gibberish. You can also see extensive work cross-wiki for his account. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 18:56, 18 Februari 2022 (UTC)
::::That seems to have been a mixup. He is unblocked, thanks for pointing to it. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:58, 18 Februari 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Riccardo Riccioni}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 11:24, 11 Machi 2022 (UTC)
:asante @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] sana kwa Marekebisho yako kwenye makala ninazo edit maan mimi bado ni mwanafunzi mchanga kabsa bashukuru sana najifunza kila unapo nirekebisha tuwasiliane kwa barua pepe '''[[Mtumiaji:Ceasar255|Ceasar255]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ceasar255|majadiliano]])''' 18:52, 2 Aprili 2022 (UTC)
==Msaada wa utengenezaji wa (infobox:football biografy)==
Salaam nimeona wewe ni mtaalamu naomba unisaidie kutengeneza (kigezo:infobox) kwaajili ya makala za wachezaji nimeona kwenye wikipedia ya kingereza kwakweli inapendeza mfano kama hii ({{cite|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Template:Infobox_football_biography}} ) amani,sana '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
:Ndugu, ni kweli masanduku yanapendeza, ila mimi siyatengenezi kwa kuwa si mtaalamu zaidi. Umuulize [[mtumiaji:Muddyb|Muddyb]]. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:41, 22 Machi 2022 (UTC)
::sawa sawa '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:45, 22 Machi 2022 (UTC)
== Goodbye ==
Hi Riccardo Riccioni, I'm going to block globally because I made the bad translations.--'''[[Mtumiaji:Martorellpedro|Martorellpedro]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Martorellpedro|majadiliano]])''' 19:18, 15 Mei 2022 (UTC)
== Riccardo sijui kuhariri (kuchangis) Kwa kutumia smartphone he nifanyeje?? ==
Learning Jr 10:51, 2 Juni 2022 (UTC)
:Samahani, mimi hata simu sina... Sijui ufanyeje. Umuulize mkabidhi mwingine yeyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:23, 3 Juni 2022 (UTC)
::Naona kuhariri kwa simu itakuwa changamoto kwa wengi, pia kwake [[Mtumiaji:Tomson G Wiston|Tomson G Wiston]]. Nikiangalia swali lake, tayari ameshakosea mara 2 tahajia ("kuchangis" badala ya "kuchangia"; "he" badala ya "je"). Si rahisi kuharir vema ukiwa na simu tu. Hakika asijaribu matini ndefu. Menginevyo anahitaji tu nafasi ya kujiunga na intaneti, simu janja halafu aingie sw.m.wikipedia.org na kuhariri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:37, 3 Juni 2022 (UTC)
== Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]] ==
Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]]. Parvej Husen Talukder ni mshairi na mwandishi wa Bangladeshi. '''[[Mtumiaji:Rnwiki-global|Rnwiki-global]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rnwiki-global|majadiliano]])''' 00:48, 16 Juni 2022 (UTC)
== Manii na shahawa ==
Riccardo salaam. Umeshasoma toleo la mwisho la makala kuhusu shahawa? Nilitaka kupea shahawa ufafanuzi tofauti kwa manii. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 13:36, 21 Juni 2022 (UTC)
:Salamu nyingi kwako! Natumaini unazidi kupona. Ndiyo, nimeona jaribio lako, lakini sijaelewa tofauti iko wapi. Nimeangalia kamusi mbalimbali, zinaonyesha ni visawe. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:38, 22 Juni 2022 (UTC)
::Asante. Ninaendelea kupona. Shida tatu zimeisha, lakini moja inabaki. Ni kweli kama kamusi nyingi zinasema kwamba maneno haya ni visawe. Lakini Kamusi sanifu ya Biolojia, Fizikia na Kemia inapendelea manii kwa sperm na shahawa kwa semen. Sperm na semen ni tofauti. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:21, 22 Juni 2022 (UTC)
::ni kwanini nikiweka biography yangu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] anai futa? wakati sijakosea chochote '''[[Mtumiaji:Jamespromax|Jamespromax]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jamespromax|majadiliano]])''' 14:52, 14 Julai 2022 (UTC)
== Ukurasa wa Sigebert III ==
Habari ndugu,
Nimejaribu kupitia makala ya Sigebert na kuona makala iliyoandikwa haikuwa na uwiano na makala ya kiingereza. Nimejaribu kuirekebisha waweza kuipitia na kuona ilivyo sasa. Katika jina la makala pia naona ulikosea (au ndo ilivyo?).
Amani kwako. '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 15:52, 25 Julai 2022 (UTC)
== Ukarasa wa majadiliano wa "Katimawan2005" ==
Habari ndugu Riccardo,
Samahani ninaomba msaada kwenye ukurasa wa mtumiaji "Katimawan2005" uweze kuupitia na kufuta kili nilichochapisha kimakosa wakati ninamtumia salaam ya ukaribisho kwenye wikipedia ya kiswahili, kama ndugu "Kipala" alivyosema kule kwenye group la telegram kuwa hata sisi ambao sio wakabidhi tutoe msaada kwenye kutuma salaam ya ukaribisho kwa kila mtumiaji aliejiunga na Wikipedia ya kiswahili ambaye alikua bado hajapokea salam hiyo.
Asante. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:38, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Sioni shida yoyote kwa sasa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:05, 7 Agosti 2022 (UTC)
::Asante sana naona umeshakuwa sawa ndio. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
4rg7t9amoy0cdxyxlw1t5fftljk11cf
Kiukraine
0
19183
1240288
1240279
2022-08-07T12:26:57Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{| cellpadding="2" cellspacing="0" style="vertical-align:top;float:right;width:300px;border:1px solid #ccc;margin-left:1em;"
! colspan="2" style="background-color:#A9BEC7;font-size:120%;" |Kiukreni
|-
| style="vertical-align:top;border-bottom:1px solid #ccc;" | Kinazungumzwa nchini:
| style="border-bottom:1px solid #ccc;" | [[Ukraine|Ukreni]], [[Urusi]], [[Kazakhstan]], [[Moldova]], [[Marekani]], [[Kanada]], [[Belarus]], [[Ureno]], [[Slovakia]], [[Argentina]], [[Kyrgyzstan]], [[Latvia]], [[Romania]], [[Ulaya ya Magharibi]], [[Croatia]], [[Brazil]]
|-
| style="vertical-align:top;border-bottom:1px solid #ccc;" | Waongeaji:
| style="border-bottom:1px solid #ccc;" | Milioni 39
|-
| style="vertical-align:top;border-bottom:1px solid #ccc;" | Daraja:
| style="border-bottom:1px solid #ccc;" | 25
|-
! colspan="2" style="background-color:#A9BEC7;" | Lugha rasmi:
|-
| style="vertical-align:top;border-bottom:1px solid #ccc;" | Nchi:
| style="border-bottom:1px solid #ccc;" | [[Ukraine|Ukreni]]
|-
! colspan="2" style="background-color:#A9BEC7;" |Uainishaji wa kiisimu:
|-
| colspan="2" |[[Picha:Slavic europe.png|200px|center]]
|-
| colspan="2" align="center"|
{|
|colspan=4 | [[Lugha za Kihindi-Kiulaya]]
|-
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|colspan=3|[[Lugha za Kislavoni]]
|-
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|colspan=2|[[Kislavoni cha Mashariki]]
|-
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|style="background-color:#A9BEC7;"|
|'''Kiukreni'''
|}
|}
[[Picha:Ukrainian in the world.svg|thumb|Uenezi wa Kiukreni duniani.]]
'''Kiukreni''' (kwa Kiukreni: '''українська (мова)''', ukrajins'ka mova) ni [[lugha]] ya [[Kislavoni cha Mashariki]], mojawapo katika [[familia]] ya [[Lugha za Kihindi-Kiulaya]].
[[File:WIKITONGUES- Vira speaking Ukrainian.webm|thumb|250px|Kiukraine kinavyozungumzwa.]]
Kiukreni ni lugha ya pili inayozungumzwa zaidi katika orodha ya lugha za Kislavoni. Kuna waongeaji [[milioni]] 37 wanaoongea lugha hii nchini [[Ukraine]], ambapo ni [[lugha rasmi]]. Wengi wa wenyeji wake lugha hii ni [[lugha mama]]. Kwa [[hesabu]] ya [[dunia]] nzima, kuna waongeaji wapatao milioni 47 wanaoongea lugha hii.
Lugha ya Kiukreni huandikwa kwa [[herufi]] za [[Kikyrili]].
== Alfabeti ==
[[Alfabeti]] ya Kiukreni kwa [[tafsiri]] ya maelezo kuelekea [[Kijerumani]]:
{| class="wikitable"
! Groß (HTML-''Entity'')
! Klein (HTML-''Entity'')
! wissenschaftliche<br />Transliteration
! deutsche<br />Transkription
|-----
| А (А) || а (а)
| A a || A a
|-----
| Б (Б) || б (б)
| B b || B b
|-----
| В (В) || в (в)
| V v || W w
|-----
| Г (Г) || г (г)
| H h || H h
|-----
| Ґ (Ґ) || ґ (ґ)
| G g || G g
|-----
| Д (Д) || д (д)
| D d || D d
|-----
| Е (Е) || е (е)
| E e || E e
|-----
| Є (Є) || є (є)
| Je je || Je je
|-----
| Ж (Ж) || ж (ж)
| Ž ž || Sch (Sh) sch (sh)
|-----
| З (З) || з (з)
| Z z || S s
|-----
| И (И) || и (и)
| Y y || Y y
|-----
| І (І) || і (і)
| I i || I i
|-----
| Ї (Ї) || ї (ї)
| Ji ji || Ji ji
|-----
| Й (Й) || й (й)
| J j <sup>1</sup>|| J j
|-----
| К (К) || к (к)
| K k || K k (statt ks auch x)
|-----
| Л (Л) || л (л)
| L l || L l
|-----
| М (М) || м (м)
| M m || M m
|-----
| Н (Н) || н (н)
| N n || N n
|-----
| О (О) || о (о)
| O o || O o
|-----
| П (П) || п (п)
| P p || P p
|-----
| Р (Р) || р (р)
| R r || R r
|-----
| С (С) || с (с)
| S s || S s (zwischen Vokalen auch ss)
|-----
| Т (Т) || т (т)
| T t || T t
|-----
| У (У) || у (у)
| U u || U u
|-----
| Ф (Ф) || ф (ф)
| F f || F f
|-----
| Х (Х) || х (х)
| Ch ch || Ch ch
|-----
| Ц (Ц) || ц (ц)
| C c || Z z
|-----
| Ч (Ч) || ч (ч)
| Č č || Tsch tsch
|-----
| Ш (Ш) || ш (ш)
| Š š || Sch sch
|-----
| Щ (Щ) || щ (щ)
| Šč šč || Schtsch schtsch (Stsch stsch)
|-----
| || ь (ь)
| ’ bzw. j <sup>2</sup> (Weichheitszeichen)|| (–) bzw. j
|-----
| Ю (Ю) || ю (ю)
| Ju Ju || Ju ju
|-----
| Я (Я) || я (я)
| Ja ja || Ja ja
|-----
| || ’
| ’ (apostrophe)<sup>3</sup> || (–)
|}
==Viungo vya nje==
*[http://www.language-archives.org/language/ukr makala za OLAC kuhusu Kiukraine]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/ukra1253 lugha ya Kiukraine katika Glottolog]
*http://www.ethnologue.com/language/ukr
{{mbegu-lugha}}
[[Jamii:Lugha za Kislavoni]]
[[Jamii:Lugha za Ukraine]]
ip8wruxd2ggrdzgnakubf0ajrc1lzpe
Kadıköy
0
29833
1240794
950139
2022-08-08T10:05:11Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Two ships in Kadıköy and the Haydarpaşa Train Station behind.jpg|right|300 px|thumb|[[Meli]] mbili huko Kadıköy na [[stesheni]] ya [[treni]] ya [[Haydarpaşa]] kwa nyuma.]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] na [[wilaya]] iliopo katika [[Mkoa wa Istanbul]] kwenye [[Kanda ya Marmara]] huko nchini [[Uturuki]].
Katika [[historia ya Kanisa]] ni maarufu kama Kalsedonia: huko ulifanyika [[Mtaguso Mkuu]] wa [[mwaka]] [[451]] ([[Mtaguso wa Kalsedonia]]).
{{Districts of Turkey|provname=Istanbul|image=Istanbul|sortkey={{PAGENAME}}}}
{{mbegu-jio-Uturuki}}
[[Jamii:Miji ya Uturuki]]
[[Jamii:Wilaya za Uturuki]]
fg5tkqnb5605r10i021bn2qzr0owcrh
Hilari wa Poitiers
0
30729
1240639
1232948
2022-08-08T08:57:13Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Hilaryofpoitiers.jpg|thumb|300px|right|Hilari akiwekwa [[wakfu]] kuwa [[Askofu]] wa [[Poitiers]].]]
'''Hilari wa Poitiers''' ([[315]] hivi - [[367]]), [[askofu]] wa [[mji]] huo (kwa [[Kilatini]] Pictavium), [[Galia]], leo [[Ufaransa]]), [[mwanateolojia]], [[mwanafalsafa]] na [[mwandishi]].
Alichangia [[teolojia]], k. mf. kuhusu [[Ufunuo]], akiunganisha mitazamo ya [[Ukristo|Kikristo]] ya [[Ukristo wa Mashariki|mashariki]] na ya [[Kanisa la Magharibi|magharibi]].
Tangu zamani anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]], [[Waorthodoksi]], halafu na [[Waanglikana]] kama [[mtakatifu]] na [[babu wa Kanisa]].
Wakatoliki wanamheshimu pia kama [[mwalimu wa Kanisa]] tangu [[mwaka]] [[1851]], alipotangazwa na [[Papa Pius IX]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila mwaka [[tarehe]] [[13 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
== Maisha ==
Hilari akizaliwa mwaka 315 hivi katika familia ya kisharifu, lakini si ya [[Ukristo|Kikristo]].
Maandishi yake yanaonesha alipata [[elimu]] nzuri kuhusu [[fasihi]], akavutiwa mapema na [[falsafa]] na kutafuta [[ukweli]].
Akitafakari hatima ya [[binadamu]] na kusoma [[Biblia]], hatimaye aliongokea [[Ukristo]] [[ubatizo|akabatizwa]] mwaka [[345]] hivi.
Alikuwa baba wa nyumbani alipochaguliwa askofu wa Poitiers mwaka [[353]].
Mwaka [[354]] tu alikuja kujua [[Kanuni ya Imani ya Nisea]], akaanza kuitetea katika [[sinodi]] na [[mitaguso]] dhidi ya [[uzushi]] wa [[Ario]].
Kwa ajili hiyo mwaka [[356]] kwa ombi la maaskofu [[Waario]] alipelekwa na [[Kaisari]] [[Konstans II]] uhamishoni [[Frigia]] (leo katika [[Uturuki]]).
Akiishi huko miaka minne iliyofuata alipata nafasi ya kuchimba mafundisho ya [[mababu wa Kanisa]] wa [[Ukristo wa Mashariki|mashariki]], hata akaanza kuandika juu ya [[Utatu]] (''De Trinitate'').
Humo anasimulia safari yake kuelekea imani ambayo aliiungama katika ubatizo akiwa tayari kuishika daima na hata kuifia. Hilari anajenga [[teolojia]] yake juu ya maneno ya kubatizia yaliyoagizwa na [[Yesu]], akisisitiza ukweli wa majina “[[Baba]]” na “[[Mwana]]” yanayomaanisha kuwa [[dhati]] yao ni moja.
Anajitahidi kuonyesha sehemu mbalimbali za [[Agano la Kale]] ambazo pia zinadokeza [[umungu]] wa Mwana na usawa wake na Baba. Kuhusu sehemu za [[Agano Jipya]] zinazoweza kuleta [[utata]], anafundisha kutofautisha zile zinazosema juu ya Yesu kama [[Mungu]] na zile zinazosema juu yake kama [[mtu]].
Aliandika: “Mungu hajui kuwa chochote ila [[upendo]], hajui kuwa yeyote ila Baba. Wenye upendo hawana [[kijicho]], na yule ambaye ni Baba ni hivyo kikamilifu”. Kwa sababu hiyo Mwana ni Mungu kweli pasipo [[upungufu]] wowote. “Yule anayetokana na aliye [[mkamilifu]] ni mkamilifu vilevile kwa sababu yeye ana yote, ametoa yote”.
[[Binadamu]] wanapata [[wokovu]] kwa [[Kristo]] tu, [[Mwana wa Mungu]] na [[Mwana wa Adamu]], ambaye kwa kujifanya mtu ameunganika na watu wote. “Kwa kuhusiana na [[mwili]] wake, wote wanaweza kumfikia Kristo, mradi wavue [[nafsi]] yao ya awali kwa kuipigilia [[msalaba]]ni; mradi tunaachana na [[maisha]] yetu ya kwanza na kuongoka ili tuzikwe pamoja naye katika ubatizo wake tukitarajia [[uzima]]”.
Huko uhamishoni aliandika pia [[Kitabu cha Sinodi]] ambamo kwa faida ya maaskofu wenzake wa Galia, alikusanya na kufafanua maungamo ya imani na [[hati]] nyingine za [[sinodi]] za mashariki za wakati ule.
Kabla na baada ya vitabu hivyo, aliandika [[ufafanuzi]] wa [[Zaburi]] na sehemu nyingine za Biblia kuanzia [[Injili ya Mathayo]], mbali ya [[tenzi]] za [[dini]] na vitabu vya [[historia]]. Kati ya maandishi yake yote, mengi yametufikia.
Kuhusu Zaburi, alizifafanua kwa mtazamo huu: “Bila shaka mambo yote yanayosemwa katika Zaburi yanatakiwa kueleweka kadiri ya tangazo la [[Injili]], hivi kwamba, haidhuru roho ya [[unabii]] imesema kwa sauti gani, yote yaweze kuhusianishwa na [[ujuzi]] wa ujio wa [[Bwana]] wetu Yesu Kristo, wa [[umwilisho]], [[mateso]] na [[ufalme]], na [[uwezo]] na [[utukufu]] wa [[ufufuko]] wake”. Hivyo katika Zaburi zote aliona [[fumbo la Kristo]] na la mwili wake, yaani Kanisa.
Aliporuhusiwa kurudi kwao aliwajibika tena katika [[uchungaji]] wa [[dayosisi|jimbo]] lake, lakini aliathiri [[Kanisa]] hata nje ya mipaka yake hasa kwa mafundisho yake; hivyo alikuwa mhusika mkuu wa [[Mtaguso wa Paris]] ([[361]]) uliotumia misamiati ya [[Mtaguso I wa Nisea]], na kwa kutumia [[nguvu]] na [[busara]] pamoja, alifaulu kurudisha [[Waario]] wengi katika [[Kanisa]] na kueneza Ukristo.
Kutokana na [[juhudi]] zake aliitwa “[[Atanasi]] wa magharibi”.
Kati ya wanafunzi wake muhimu zaidi, yupo [[Martin wa Tours]], aliyeanzisha [[monasteri]] karibu na Poitiers halafu akawa askofu mmonaki wa kwanza katika [[Kanisa la Magharibi]].
Alifariki mwaka 367.
==Sala yake==
Mungu, Baba Mwenyezi, najua vema kuwa
huduma kuu inayonipasa kwako katika maisha yangu ni kwamba
kila neno na wazo langu liseme juu yako.
Kipawa cha kusema ulichonijalia hakiwezi kunipa furaha kubwa
kuliko ile ya kukutumikia kwa kuhubiri
na kuonyesha kwa ulimwengu usiokujua, au kwa mzushi anayekukanusha,
jinsi ulivyo, yaani Baba, Baba ambaye Mwanae pekee ni Mungu.
Lakini kwa kusema haya, nasema tu ninachotaka kufanya.
Ili niweze kukifanya kweli nahitaji kuomba msaada wako na huruma yako,
kuomba ujaze upepo tanga nilizozipandisha kwa ajili yako
na uzisukume mbele katika mwendo wangu,
yaani umvuvie Roho wako katika imani yangu na katika kuiungama,
na uniwezeshe kuendelea mahubiri niliyoyaanza…
Acha niseme nawe, Mwenyezi Mungu, ingawa ni mavumbi na majivu tu,
acha niseme kwa uhuru kwa kuwa nimefungamana nawe
kwa vifungo vya upendo.
Kabla sijakufahamu nilikuwa si kitu.
Nilikuwa na bahati mbaya ya kutojua maana ya maisha,
nilikuwa sijielewi, nilikuwa tofauti kabisa na jinsi nilivyo.
Huruma yako ndiyo iliyonipa uhai…
Muda wote ambao nitaishi na kupumua kwa pumzi uliyonipa,
Baba Mtakatifu, Mwenyezi Mungu, nitakiri kwamba tangu milele yote
wewe si Mungu tu, bali Baba pia.
Sitakuwa kamwe na kichaa na uovu wa kujifanya hakimu
wa uwezo wako usio na mipaka, wala wa mafumbo yako,
hata nipendelee wazo langu maskini kuliko yale ambayo
dini inakiri juu ya ukuu wako usio na mipaka
au imani inafundisha kuhusu umilele wake…
Nakuomba, utunze salama imani hiyo uliyonijalia,
na kunifadhilia kwamba muda wote wa maisha yangu niweze tu
kuzingatia yale ambayo dhamiri yangu inasema juu yake.
Niweze daima kushika imani niliyoiungama nilipozaliwa upya,
Nishike ungamo lake nililolitamka nilipobatizwa
kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu.
Niweze kukuabudu wewe, Baba yetu,
na kumuabudu Mwanao pamoja nawe;
niweze kuwa jinsi Roho wako Mtakatifu anavyotaka niwe,
yeye atokaye kwako kwa njia ya Mwanao pekee.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Mababu wa Kanisa]]
== Maandishi ==
[[File:Divi Hilarii Pictavorum episcopi De Trinitate.tif|thumb|Lucubrationes, 1523]]
* ''De Trinitate'' ndio kitabu chake bora; kilikuwa cha pekee katika [[Kilatini]]
* ''Tenzi''
* ''Contra Arianos vel Auxentium Mediolanensem liber''
* ''Contra Constantium Augustum liber''
* ''Commentarius in Evangelium Matthaei''
* ''Tractatus super Psalmos''
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.documentacatholicaomnia.eu/20_40_0315-0367-_Hilarius_Pictaviensis,_Sanctus.html Maandishi yake yote katika [[Patrologia Latina]] ya [[Migne]] pamoja na [[faharasa]]]
* [http://www.sources-chretiennes.mom.fr/index.php?pageid=outils_recherche Vitabu juu yake vilivyoorodheshwa katika [[tovuti]] ya [[Sources Chrétiennes]]]
* [http://www.ccel.org/fathers2/NPNF2-09/Npnf2-09-03.htm Nicene and Post-Nicene Fathers, Series II, Vol. IX] St Hilary of Poitiers: introduction and texts
* [http://www.documentacatholicaomnia.eu/20_40_0315-0367-_Hilarius_Pictaviensis,_Sanctus.html Opera Omnia]
* [http://www.newadvent.org/cathen/07349b.htm Catholic Encyclopedia: ''St. Hilary of Poitiers'']
* {{fr}} [http://www.patristique.org See also patristique.org]
*[http://www.vatican.va/holy_father/benedict_xvi/audiences/2007/documents/hf_ben-xvi_aud_20071010_en.html [[Papa Benedikto XVI]], Katekesi juu ya Mt. Hilari wa Poitiers] Tarehe [[10 Oktoba]] [[2007]]
*[http://www.fourthcentury.com/index.php/hilary-chart Maandishi ya Hilari katika mpangilio wa kitarehe.]
{{Walimu wa Kanisa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 315]]
[[Jamii:Waliofariki 367]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Mababu wa Kanisa]]
[[Jamii:Walimu wa Kanisa]]
5g15ytips77f8q9nhqu4tkf3d7pt2ki
ISO 3166-1
0
32108
1240619
1197216
2022-08-08T08:30:15Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
'''ISO 3166-1''' ni utaratibu wa vifupisho sanifu kwa ajili ya nchi na maeneo ulitolewa na [[Shirika la Kimataifa la Usanifishaji]] (International Organization for Standardization ISO). Huitwa pia "misimbo ya nchi" (''country codes'').
Hii ni orodha ya nchi '''[[ISO]] 3166-1''':
== Orodha ==
* AD [[Andorra]]
* AE [[Falme za Kiarabu]]
* AF [[Afghanistan]]
* AG [[Antigua na Barbuda]]
* AI [[Anguilla]]
* AL [[Albania]]
* AM [[Armenia]]
* AN [[Antili za Kiholanzi]]
* AO [[Angola]]
* AQ [[Antaktika]]
* AR [[Ajentina]]
* AS [[Samoa ya Marekani]]
* AT [[Austria]]
* AU [[Australia]]
* AW [[Aruba]]
* AZ [[Azerbaijan]]
* BA [[Bosnia na Hezegovina]]
* BB [[Babadosi]]
* BD [[Bangladesh]]
* BE [[Ubelgiji]]
* BF [[Burkina Faso]]
* BG [[Bulgaria]]
* BH [[Bahareni]]
* BI [[Burundi]]
* BJ [[Benin]]
* BM [[Bermuda]]
* BN [[Brunei]]
* BO [[Bolivia]]
* BR [[Brazil]]
* BS [[Bahamas]]
* BT [[Bhutan]]
* BV [[Kisiwa cha Bouvet]]
* BW [[Botswana]]
* BY [[Belarusi]]
* BZ [[Belize]]
* CA [[Canada]]
* CC [[Visiwa vya Cocos (Keeling)]]
* CF [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
* CG [[Kongo]]
* CI [[Kodivaa]]
* CK [[Visiwa vya Cook]]
* CL [[Chile]]
* CM [[Kameruni]]
* CN [[China]]
* CO [[Kolombia]]
* CR [[Costa Rica]]
* CU [[Cuba]]
* CV [[Kepuvede]]
* CX [[Kisiwa cha Krismasi]]
* CY [[Kupro]]
* CZ [[Ucheki]]
* DE [[Ujerumani]]
* DJ [[Djibouti]]
* DK [[Denmark]]
* DM [[Dominica]]
* DO [[Jamhuri ya Dominika]]
* DZ [[Algeria]]
* EC [[Ecuador]]
* EE [[Estonia]]
* EG [[Misri]]
* EH [[Sahara ya Magharibi]]
* ER [[Eritrea]]
* ES [[Uhispania]]
* ET [[Ethiopia]]
* FI [[Ufini]]
* FJ [[Fiji]]
* FK [[Visiwa vya Falkland]] (Malvinas)
* FM [[Micronesia]]
* FO [[Visiwa vya Faroe]]
* FR [[Ufaransa]]
* GA [[Gabon]]
* GB [[Ufalme wa Muungano]] (Uingereza)
* GD [[Grenada]]
* GE [[Georgia]]
* GF [[Guyana ya Kifaransa]]
* GG [[Guernsey]]
* GH [[Ghana]]
* GI [[Gibraltar]]
* GL [[Greenland]]
* GM [[Gambia]]
* GN [[Guinea]]
* GP [[Guadeloupe]]
* GQ [[Ekwetorio Gini]]
* GR [[Ugiriki]]
* GS [[Visiwa vya South Georgia na South Sandwich]]
* GT [[Guatemala]]
* GU [[Guam]]
* GW [[Ginebisau]]
* GY [[Guyana]]
* HK [[Hong Kong]]
* HM [[Visiwa vya Heard na McDonald]]
* HN [[Honduras]]
* HR [[Korasia]]
* HT [[Haiti]]
* HU [[Hungaria]]
* CH [[Switzerland]]
* ID [[Indonesia]]
* IE [[Eire]] (Ayalandi)
* IL [[Israeli]]
* IM [[Isle of Man]]
* IN [[India]]
* IO [[Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi]]
* IQ [[Iraki]]
* IR [[Irani]]
* IS [[Isilandi]]
* IT [[Italia]]
* JE [[Jersey]]
* JM [[Jamaika]]
* JO [[Yordan]]
* JP [[Japan]]
* KE [[Kenya]]
* KG [[Kirgizia]]
* KH [[kambodia]]
* KI [[Kiribati]]
* KM [[Visiwa vya Ngazija]]
* KN [[Saint Kitts na Nevis]]
* KO [[Kosovo]]
* KP [[Korea ya Kaskazini]]
* KR [[Korea ya Kusini]]
* KW [[Kuwait]]
* KY [[Visiwa vya Cayman]]
* KZ [[Kazakistani]]
* LA [[Laos]]
* LB [[Lebanoni]]
* LC [[Saint Lucia]]
* LI [[Liechtenstein]]
* LK [[Sirilanka]]
* LR [[Liberia]]
* LS [[Lesoto]]
* LT [[Lituanya]]
* LU [[Luxemburg]] (Lasembagi)
* LV [[Lativia]]
* LY [[Libya]]
* MA [[Moroko]]
* MC [[Monaco]]
* MD [[Moldova]]
* ME [[Montenegro]]
* MG [[Madagaska]]
* MH [[Visiwa vya Marshall]]
* MK [[Masedonia]]
* ML [[Mali]]
* MM [[Myama]] ([[Bama]])
* MN [[Mongolia]]
* MO [[Macao]]
* MP [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
* MQ [[Martinique]]
* MR [[Moritania]]
* MS [[Montserrat]]
* MT [[Malta]]
* MU [[Morisi]]
* MV [[Maldova]]
* MW [[Malawi]]
* MX [[Meksiko]]
* MY [[Malesia]]
* MZ [[Msumbiji]]
* NA [[Namibia]]
* NC [[New Caledonia]]
* NE [[Niger]]
* NF [[Kisiwa cha Norfolk]]
* NG [[Nigeria]]
* NI [[Nikaragua]]
* NL [[Uholanzi]]
* NO [[Norwei]]
* NP [[Nepali]]
* NR [[Nauru]]
* NU [[Niue]]
* NZ [[Nyuzilandi]]
* OM [[Oman]]
* PA [[Panama]]
* PE [[Peru]]
* PF [[Polynesia ya Kifaransa]]
* PG [[Papua Guinea Mpya]]
* PH [[Ufilipino]]
* PK [[Pakistan]]
* PL [[Polandi]]
* PM [[Saint-Pierre na Miquelon]]
* PN [[Visiwa vya Pitcairn]]
* PR [[Pwetoriko]]
* PT [[Ureno]]
* PW [[Palau]]
* PY [[Paraguay]]
* QA [[Katari]]
* RE [[Riyunioni]]
* RO [[Romania]]
* RS [[Serbia]]
* RU [[Urusi]]
* RW [[Rwanda]]
* SA [[Saudi Arabia]]
* SB [[Visiwa vya Solomon]]
* SC [[Shelisheli]]
* SD [[Sudan]]
* SE [[Uswidi]]
* SG [[Singapoo]]
* SH [[Saint Helena]]
* SI [[Slovenia]]
* SJ [[Svalbard]] (Svalbard na Jan Mayen)
* SK [[Slovakia]]
* SL [[Siera Leoni]]
* SM [[San Marino]]
* SN [[Senegal]]
* SO [[Somalia]]
* SR [[Surinamu]]
* ST [[Sao Tome na Principe]]
* SV [[El Salvador]]
* SY [[Siria]]
* SZ [[Eswatini]]
* TB [[Tibet]]
* TC [[Visiwa vya Turks na Caicos]]
* TD [[Chad]]
* TF [[Majimbo ya Ufaransa Kusini]]
* TG [[Togo]]
* TH [[Tailandi]]
* TJ [[Tajikistan]]
* TK [[Tokelau]]
* TL [[Timor Mashariki]]
* TM [[Turukimenistani]]
* TN [[Tunisia]]
* TO [[Tonga]]
* TR [[Uturuki]]
* TT [[Trinidad na Tobago]]
* TV [[Tuvalu]]
* TW [[Taiwan]]
* TZ [[Tanzania]]
* UA [[Ukraini]]
* UG [[Uganda]]
* UM [[US Minor Outlying Islands]]
* US [[Marekani]]
* UY [[Urugwai]]
* UZ [[Uzibekistani]]
* VA [[Vatican]]
* VC [[Saint Vincent na Grenadini]]
* VE [[Venezuela]]
* VG [[Visiwa vya Virgin vya Uingereza]]
* VI [[Visiwa vya Virgin vya Marekani]]
* VN [[Vietnam]]
* VU [[Vanuatu]]
* WF [[Wallis na Futuna]]
* WS [[Samoa]]
* YE [[Yemeni]]
* YT [[Mayotte]]
* ZA [[Afrika Kusini]]
* ZM [[Zambia]]
* ZR [[Zaire]]
* ZW [[Zimbabwe]]
[[Jamii:Nchi]]
[[Jamii:Orodha za nchi]]
[[Jamii:Kifupi|!]]
ajmn6r4mb6whn6e9bhmjf2sgy8du8x5
Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)
4
32878
1240586
1103495
2022-08-08T07:15:21Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
{{Wikipedia:Tutorial/TabsHeader|This=5}}
<div style="border:2px solid #A3B1BF; padding:.5em 1em 1em 1em; border-top:none; background-color:#fff; color:#000">
{{TOCright}}
'''Kuunga''' pamoja viungo vya makala za Wikipedia ni kazi nyepesi lakini muhimu sana. Inaruhusu watumiaji kupata habari nyingi zinazohusiana na makala wanayosoma. Inaongeza manufaa ya Wikipedia kwa wasomaji.
==Mfano==
====Viungo vya buluu====
Makala juu ya mji wa Misri inaweza kuonekana hivyo:<br />
::::'''Giza''' ([[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini mwa [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Inajulikana hasa kama mahali pa [[piramidi za Giza|piramidi]].
Maneno yenye rangi ya buluu yanaunga makala hii na makala mengine kuhusu [[Kiarabu|Kar. = Kiarabu]], [[Misri]], [[Kairo]] na [[piramidi za Giza|piramidi]]. Ukibofya neno la buluu unapelekwa kwenda makala hizi.
====Viungo vyekundu====
Kuna pia viungo vyenye rangi nyekundu:
:'''Mabata-bahari''' ni [[ndege]] wa maji wa [[familia ndogo]] ya [[Merginae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Anatidae]].
Katika sentensi hii makala za [[ndege]], [[Merginae]] na [[Anatidae]] ziko tayari lakini "[[familia ndogo]]" haikuandikwa bado. Wakati wa kuandika makala unaweza kuanzisha viungo vyekundu ukiona hapa ni neno muhimu inayostahili makala yake.
Hapa unatakiwa kuwa mwangalifu
*usiweke maneno hovyo katika mabano mraba na kuanzisha kiungo chekundu manna maneno yaleyale katika mabano yanatakiwa kuwa jina la makala mpya.
*fanya utafiti kama mada iko tayari labda kwa tahajia tofauti; kwa mfano umetafuta nchi ya "[[Aljiria]]" lakini kumbe: "[[Algeria]]" iko tayari!
==Jinsi ya kuunga==
====Mabano mraba <nowiki>[[ ]]</nowiki>====
Kuweka kiungo kwenda ukurasa mwingine wa Wikipedia (inaitwa <em>kiungo cha wiki</em>), weka katika mabano mraba mawili, kama hivi:
:Mfano: <tt><nowiki>[[Televisheni]]</nowiki></tt> = [[Televisheni]].
Njia nyingine kwa kutumia [[puku (kompyuta)|puku]]: Unaweza pia kuangaza maneno husika na kubofya alama ya [[Picha:Alama ya Kiungo.jpg|100px]] kwenye menyu ya dirisha la uhariri.
====Kigawanyishi-kibomba "|" kwa umbo tofauti la neno====
Mara kwa mara jina la makala inayoelekezwa ni tofauti kidogo na maneno katika makala unayoshughulikia kama tofauti umoja/uwingi.
:Mfano: "Serengeti kuna '''viboko''' wengi...". Unataka kuweka kiungo kwenda makala ya mnyama "'''kiboko'''".
Hapa unaweza kugawa mabano mraba kwa kutumia alama ya kigawanyishi-kibomba "|" (SHIFT + BACKSLASH kwenye baobonye zenye ABC za Kiingereza). Sasa kuna sehemu mbili ndani ya mabano mraba. Nafasi ya kwanza unaandika jina la makala inayoelekezwa na nafasi ya pili nyuma ya kigawanyishi unaandika maneno jinsi yanavyofaa katika sentensi yako.
:Mfano: '''<tt><nowiki>[[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt>''' = [[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]
Pia unaweza kutengeneza kiungo kuelekea sehemu mahususi ya makala kama kuna vichwa vya ndani ya makala:
:<tt><nowiki>[[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt> = [[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]
====Kiungo kuonekana kama ''italiki'' au '''koze'''====
Iwapo unataka "maandishi yanayoonekana" ya kiungo kuonekana kama "italiki" weka apostrofi mbili kabla na baada ya mabano mraba kama hivi:
:<tt><nowiki>''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''</nowiki></tt> = ''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''
(ukizoea utaangaza sehemu ya mabano mraba na kubofya alama ya " ''I'' " kwenye menyu ya kuhariri. Vilevile kwa kiungo kuonekana kama koze).
====Kuhakikisha viungo ni sahihi====
Hapa tunatumia dirisha la "tafuta" [[Picha:Wikipedia-menyu-Kutafuta.png]] upande wa kushoto. Tukitaka kujua kama kuna tayari chochote kuhusu "Pemba" tunaandika neno hili dirishani. Halafu tunabofya "tafuta" tutapata orodha ya makala 119 yote yaliyo na neno "Pemba" ama katika jina au katika maandishi ya makala, kama vile [[Pemba (kisiwa)]], [[Mkoa wa Pemba Kusini]], [[Mkoa wa Pemba Kaskazini]], kata zote za Pemba, makala za kihistoria zinazogusa Pemba na mengine. Kwa kuchungulia usigonge "makala" chini ya dirisha maana hii itakupa makala 1 tu ama ya [[Pemba]] (maana) au ya mahali 1 tu. Kwa njia hii unaweza kuunganisha na makala yaliyopo tayari ukitumia jina na umbo sahihi.
Tafadhali tazama viungo vyako ili kuhakikisha kwamba zimeelekezwa katika makala sahihi. Kwa mfano, [[Gibraltar]] imelengwa katika makala inayohusu eneo dogo la Kiingereza ndani ya Hispania, wakati [[Mlango wa Gibraltar]] ni jina la makala inayohusu mlango wa bahari kati ya Ulaya na Afrika karibu na Gibraltar.
Pia kuna kurasa za kutofautisha "maana" -- hizi siyo makala, bali kurasa zenye viungo vya makala zenye majina ya karibu. Tazama [[Msaada:Maana]] kwa kuanzisha makala hizi.
=====Makosa ya mara kwa mara=====
Makosa yatokea kirahisi usipoangalia vema yote ndani ya mabano mraba. Usiweke mabano ya kiungo bila kutafakari. Usimwage matokeo ya google translate bila kuchungulia kwanza!
Kwa mfano kuingiza alama za '''.''' au ''',''' ndani ya kiungo inabadilisha marejeo na kuharibu kiungo. <nowiki>[[Afrika,]]</nowiki> haiwezi kuunganisha na [[Afrika]] shauri ya koma ndani ya mabano.
Kingine ni kutumia umbo la neno lisilo kawaida kwa mfano uwingi badala ya umoja au kinyume. Hapa ni sharti kuchungulia kupitia dirisha la tafuta au jamii je umbo la kawaida hapa ni nini? Vilevile tahajia isiyo kawaida.
Jaribu kutafuta majina ya kikamusi; usiweke kiungo kwa "biashara haribifu ya watumwa". Jina la kikamusi ni "biashara ya watumwa".
==Viungo vya picha==
Picha au michoro huonekana katika makala kwa njia ya viungo. Kwa maelezo zaidi soma
'''[[Msaada:Picha]]'''
==Wakati wa kuunga==
Kuongeza viungo kwenye makala inaleta maana zaidi, lakini viungo vingi zaidi huleta vurugu. Utaratibu ni fanya neno fulani mara moja tu kuwa kiungo katika makala moja usirudie neno hili kama kiungo. Unapaswa kuchagua mara ya kwanza ambako neno hiuli linatokeo kwenye makala.
Kuchungulia kwenye viungo vingine vya makala za Wikipedia pia inaweza kukusaidia kujifunza wakati kuweka viungo. Tazama ukurasa wa [[:Jamii:Makala nzuri|makala nzuri]] kwa orodha ya makala zenye ubora mkubwa sana.
==Jamii au Category==
Kila makala inatakiwa kuungwa katika jamii na makala nyingine zinazojadiliana mada za karibu.
:Andika <nowiki>[[Jamii:]]</nowiki>, na weka jina la jamii nyuma ya "nukta pacha" baina ya mabano ya miraba miwili.
'''Ni muhimu sana kuweka jamii sahihi kwa hiyo itakuwa rahisi kwa watu wengine kupata kazi yako.''' Njia iliyobora kutafuta jamii gani inayotakiwa iwekwe kwenye makala ni kuchungulia kurasa zenye kuelezea suala moja, na tazama jamii gani walizotumia.
:Mfano: Unaandika makala kuhusu mnyama fulani. Chungulia kwa kuandika "'''jamii:wanyama'''" katika dirisha la "tafuta" na angalia vijamii vidogo vilivyopo tayari na makala zilizo ndani ya vijamii hivi.
<div style="float: right; background-color:#f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 100%; border: 1px solid #cedff2; margin-bottom:3px;">'''Kwa habari zaidi, rejea katika ukurasa wa [[Wikipedia:Msaada_wa_kuanzisha_makala#Jamii_au_Category|Jamii]].'''</div>
==Interwiki==
[[Picha:Interwiki.png|thumb|300px|Bofya hapa kuona picha vizuri zaidi]]
Interwiki ni orodha ya viungo vya mada fulani na makala za kufanana katika wikipedia za lugha mbalimbali. Katika ukurasa unaosoma sasa hivi orodha ipo upande wa kushoto nje ya makala chini ya kichwa "Lugha nyingine". Hapo unaona majina kama Alemannisch, العربية, Català, Česky, English na kadhalika. Zote ni za rangi ya buluu maana ni viungo kwenda kurasa za "Mwongozo wa wikipedia" kwa lugha hizo.
Ukianzisha makala mpya na kuihifadhi utaona hakuna majina ya lugha buluu bado. Ukibofya pembeni "Add links" utaona dirisha dogo. Humo unaandika juu "enwiki" na kuthibitisha, chini yake unaandika jina la makala husika katika Wikipedia ya Kiingereza. Thibitisha tena mara mbili na sasa makala yako ya Kiswahili imeunganishwa na namba ya mada yake katika orodha "Wikidata" inayoorodhesha makala za Wikipedia zote. Sasa itaonyesha lugha nyingine kwa rangi ya buluu na makala yetu ya Kiswahili inaonekana pia kwa wasomaji wa lugha nyingine. Huu ni msaada mkubwa kwa wahariri wanaoweza kusoma lugha mbalimbali na kuongeza habari kutoka huko.
Ukikuta kiungo cha Interwiki kisicho sahihi (mtumiaji aliyetangulia alikosa kuteua namba sahihi) unaweza kubofya "Hariri viungo". Sasa unafika katika ukurasa wa Wikidata, angalia sanduku ya "Wikipedia", bofya "edit" halafu alama ya ndoo ya takataka hivyo kufuta neno la Kiswahili. Sasa bofya "publish" na kufunga Wikidata. Ukiita sasa makala yako utaona haionyeshi interwiki tena (inaweza kuchukua dakika kadhaa hadi mabadiliko yanaonekana). Sasa unaweza kuanzaupya kuweka interwiki sahihi.
<div style="float: left; background-color: #f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #cedff2;">'''Jaribu ulichojifunza katika [[/sanduku la mchanga/]]'''</div>{{-}}
<div style="float:right; margin-top: 0.0em; margin-bottom:3px; background-color: #cedff2; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #B8C7D9;">'''Endelea mwongozo na [[Wikipedia:Mwongozo (Kutaja vyanzo)|Kutaja vyanzo]]<span style="font-size: larger; font-weight: bold;"> →</span></div>
</div>
<div style="clear:both"></div>
</div>
[[Jamii:Mwongozo wa Wikipedia|*4]]
bkpv70fe0bl7i3rw6dh62y73pr1wrjv
1240592
1240586
2022-08-08T07:25:13Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
{{Wikipedia:Tutorial/TabsHeader|This=5}}
<div style="border:2px solid #A3B1BF; padding:.5em 1em 1em 1em; border-top:none; background-color:#fff; color:#000">
{{TOCright}}
'''Kuunga''' pamoja viungo vya makala za Wikipedia ni kazi nyepesi lakini muhimu sana. Inaruhusu watumiaji kupata habari nyingi zinazohusiana na makala wanayosoma. Inaongeza manufaa ya Wikipedia kwa wasomaji.
==Mfano==
====Viungo vya buluu====
Makala juu ya mji wa Misri inaweza kuonekana hivyo:<br />
::::'''Giza''' ([[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini mwa [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Inajulikana hasa kama mahali pa [[piramidi za Giza|piramidi]].
Maneno yenye rangi ya buluu yanaunga makala hii na makala mengine kuhusu [[Kiarabu|Kar. = Kiarabu]], [[Misri]], [[Kairo]] na [[piramidi za Giza|piramidi]]. Ukibofya neno la buluu unapelekwa kwenda makala hizi.
====Viungo vyekundu====
Kuna pia viungo vyenye rangi nyekundu:
:'''Mabata-bahari''' ni [[ndege]] wa maji wa [[familia ndogo]] ya [[Merginae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Anatidae]].
Katika sentensi hii makala za [[ndege]], [[Merginae]] na [[Anatidae]] ziko tayari lakini "[[familia ndogo]]" haikuandikwa bado. Wakati wa kuandika makala unaweza kuanzisha viungo vyekundu ukiona hapa ni neno muhimu inayostahili makala yake.
Hapa unatakiwa kuwa mwangalifu
*usiweke maneno hovyo katika mabano mraba na kuanzisha kiungo chekundu manna maneno yaleyale katika mabano yanatakiwa kuwa jina la makala mpya.
*fanya utafiti kama mada iko tayari labda kwa tahajia tofauti; kwa mfano umetafuta nchi ya "[[Aljiria]]" lakini kumbe: "[[Algeria]]" iko tayari!
==Jinsi ya kuunga==
====Mabano mraba <nowiki>[[ ]]</nowiki>====
Kuweka kiungo kwenda ukurasa mwingine wa Wikipedia (inaitwa <em>kiungo cha wiki</em>), weka katika mabano mraba mawili, kama hivi:
:Mfano: <tt><nowiki>[[Televisheni]]</nowiki></tt> = [[Televisheni]].
Njia nyingine kwa kutumia [[puku (kompyuta)|puku]]: Unaweza pia kuangaza maneno husika na kubofya alama ya [[Picha:Alama ya Kiungo.jpg|100px]] kwenye menyu ya dirisha la uhariri.
====Kigawanyishi-kibomba "|" kwa umbo tofauti la neno====
Mara kwa mara jina la makala inayoelekezwa ni tofauti kidogo na maneno katika makala unayoshughulikia kama tofauti umoja/uwingi.
:Mfano: "Serengeti kuna '''viboko''' wengi...". Unataka kuweka kiungo kwenda makala ya mnyama "'''kiboko'''".
Hapa unaweza kugawa mabano mraba kwa kutumia alama ya kigawanyishi-kibomba "|" (SHIFT + BACKSLASH kwenye baobonye zenye ABC za Kiingereza). Sasa kuna sehemu mbili ndani ya mabano mraba. Nafasi ya kwanza unaandika jina la makala inayoelekezwa na nafasi ya pili nyuma ya kigawanyishi unaandika maneno jinsi yanavyofaa katika sentensi yako.
:Mfano: '''<tt><nowiki>[[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt>''' = [[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]
Pia unaweza kutengeneza kiungo kuelekea sehemu mahususi ya makala kama kuna vichwa vya ndani ya makala:
:<tt><nowiki>[[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt> = [[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]
====Kiungo kuonekana kama ''italiki'' au '''koze'''====
Iwapo unataka "maandishi yanayoonekana" ya kiungo kuonekana kama "italiki" weka apostrofi mbili kabla na baada ya mabano mraba kama hivi:
:<tt><nowiki>''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''</nowiki></tt> = ''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''
(ukizoea utaangaza sehemu ya mabano mraba na kubofya alama ya " ''I'' " kwenye menyu ya kuhariri. Vilevile kwa kiungo kuonekana kama koze).
====Kuhakikisha viungo ni sahihi====
Hapa tunatumia dirisha la "tafuta" [[Picha:Wikipedia-menyu-Kutafuta.png]] upande wa kushoto. Tukitaka kujua kama kuna tayari chochote kuhusu "Pemba" tunaandika neno hili dirishani. Halafu tunabofya "tafuta" tutapata orodha ya makala 119 yote yaliyo na neno "Pemba" ama katika jina au katika maandishi ya makala, kama vile [[Pemba (kisiwa)]], [[Mkoa wa Pemba Kusini]], [[Mkoa wa Pemba Kaskazini]], kata zote za Pemba, makala za kihistoria zinazogusa Pemba na mengine. Kwa kuchungulia usigonge "makala" chini ya dirisha maana hii itakupa makala 1 tu ama ya [[Pemba]] (maana) au ya mahali 1 tu. Kwa njia hii unaweza kuunganisha na makala yaliyopo tayari ukitumia jina na umbo sahihi.
Tafadhali tazama viungo vyako ili kuhakikisha kwamba zimeelekezwa katika makala sahihi. Kwa mfano, [[Gibraltar]] imelengwa katika makala inayohusu eneo dogo la Kiingereza ndani ya Hispania, wakati [[Mlango wa Gibraltar]] ni jina la makala inayohusu mlango wa bahari kati ya Ulaya na Afrika karibu na Gibraltar.
Pia kuna kurasa za kutofautisha "maana" -- hizi siyo makala, bali kurasa zenye viungo vya makala zenye majina ya karibu. Tazama [[Msaada:Maana]] kwa kuanzisha makala hizi.
=====Makosa ya mara kwa mara=====
Makosa yatokea kirahisi usipoangalia vema yote ndani ya mabano mraba. Usiweke mabano ya kiungo bila kutafakari. Usimwage matokeo ya google translate bila kuchungulia kwanza!
Kwa mfano kuingiza alama za '''.''' au ''',''' ndani ya kiungo inabadilisha marejeo na kuharibu kiungo. <nowiki>[[Afrika,]]</nowiki> haiwezi kuunganisha na [[Afrika]] shauri ya koma ndani ya mabano.
Kingine ni kutumia umbo la neno lisilo kawaida kwa mfano uwingi badala ya umoja au kinyume. Hapa ni sharti kuchungulia kupitia dirisha la tafuta au jamii je umbo la kawaida hapa ni nini? Vilevile tahajia isiyo kawaida.
Jaribu kutafuta majina ya kikamusi; usiweke kiungo kwa "biashara haribifu ya watumwa". Jina la kikamusi ni "biashara ya watumwa".
==Viungo vya picha==
Picha au michoro huonekana katika makala kwa njia ya viungo. Kwa maelezo zaidi soma
'''[[Msaada:Picha]]'''
==Wakati wa kuunga==
Kuongeza viungo kwenye makala inaleta maana zaidi, lakini viungo vingi zaidi huleta vurugu. Utaratibu ni fanya neno fulani mara moja tu kuwa kiungo katika makala moja usirudie neno hili kama kiungo. Unapaswa kuchagua mara ya kwanza ambako neno hiuli linatokeo kwenye makala.
Kuchungulia kwenye viungo vingine vya makala za Wikipedia pia inaweza kukusaidia kujifunza wakati kuweka viungo. Tazama ukurasa wa [[:Jamii:Makala nzuri|makala nzuri]] kwa orodha ya makala zenye ubora mkubwa sana.
==Jamii au Category==
Kila makala inatakiwa kuungwa katika jamii na makala nyingine zinazojadiliana mada za karibu.
:Andika <nowiki>[[Jamii:]]</nowiki>, na weka jina la jamii nyuma ya "nukta pacha" baina ya mabano ya miraba miwili.
'''Ni muhimu sana kuweka jamii sahihi kwa hiyo itakuwa rahisi kwa watu wengine kupata kazi yako.''' Njia iliyobora kutafuta jamii gani inayotakiwa iwekwe kwenye makala ni kuchungulia kurasa zenye kuelezea suala moja, na tazama jamii gani walizotumia.
:Mfano: Unaandika makala kuhusu mnyama fulani. Chungulia kwa kuandika "'''jamii:wanyama'''" katika dirisha la "tafuta" na angalia vijamii vidogo vilivyopo tayari na makala zilizo ndani ya vijamii hivi.
<div style="float: right; background-color:#f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 100%; border: 1px solid #cedff2; margin-bottom:3px;">'''Kwa habari zaidi, rejea katika ukurasa wa [[Wikipedia:Msaada_wa_kuanzisha_makala#Jamii_au_Category|Jamii]].'''</div>
==Interwiki==
[[Picha:Interwiki.png|thumb|300px|Bofya hapa kuona picha vizuri zaidi]]
Interwiki ni orodha ya viungo vya mada fulani na makala za kufanana katika wikipedia za lugha mbalimbali. Katika ukurasa unaosoma sasa hivi orodha ipo upande wa kushoto nje ya makala chini ya kichwa "Lugha nyingine". Hapo unaona majina kama Alemannisch, العربية, Català, Česky, English na kadhalika. Zote ni za rangi ya buluu maana ni viungo kwenda kurasa za "Mwongozo wa wikipedia" kwa lugha hizo.
Ukianzisha makala mpya na kuihifadhi utaona hakuna majina ya lugha buluu bado. Ukibofya pembeni "Add links" utaona dirisha dogo. Humo unaandika juu "enwiki" na kuthibitisha, chini yake unaandika jina la makala husika katika Wikipedia ya Kiingereza. Thibitisha tena mara mbili na sasa makala yako ya Kiswahili imeunganishwa na namba ya mada yake katika orodha "Wikidata" inayoorodhesha makala za Wikipedia zote. Sasa itaonyesha lugha nyingine kwa rangi ya buluu na makala yetu ya Kiswahili inaonekana pia kwa wasomaji wa lugha nyingine. Huu ni msaada mkubwa kwa wahariri wanaoweza kusoma lugha mbalimbali na kuongeza habari kutoka huko.
Ukikuta kiungo cha Interwiki kisicho sahihi (mtumiaji aliyetangulia alikosa kuteua namba sahihi) unaweza kubofya "Hariri viungo". Sasa unafika katika ukurasa wa Wikidata, angalia sanduku ya "Wikipedia", bofya "edit" halafu alama ya ndoo ya takataka hivyo kufuta neno la Kiswahili. Sasa bofya "publish" na kufunga Wikidata. Ukiita sasa makala yako utaona haionyeshi interwiki tena (inaweza kuchukua dakika kadhaa hadi mabadiliko yanaonekana). Sasa unaweza kuanzaupya kuweka interwiki sahihi.
Hatua hizi utatekeleza katika mtazamo wa dawati (Desktop view) inayopatikana kwa kubofya maandishi madogo "dawati" kwenye dirisha la simu yako, chini kabisa.
<div style="float: left; background-color: #f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #cedff2;">'''Jaribu ulichojifunza katika [[/sanduku la mchanga/]]'''</div>{{-}}
<div style="float:right; margin-top: 0.0em; margin-bottom:3px; background-color: #cedff2; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #B8C7D9;">'''Endelea mwongozo na [[Wikipedia:Mwongozo (Kutaja vyanzo)|Kutaja vyanzo]]<span style="font-size: larger; font-weight: bold;"> →</span></div>
</div>
<div style="clear:both"></div>
</div>
[[Jamii:Mwongozo wa Wikipedia|*4]]
eb49owa53t22a7duqyystuktwsi0u22
1240605
1240592
2022-08-08T07:57:47Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Wikipedia:Tutorial/TabsHeader|This=5}}
<div style="border:2px solid #A3B1BF; padding:.5em 1em 1em 1em; border-top:none; background-color:#fff; color:#000">
{{TOCright}}
'''Kuunga''' pamoja viungo vya makala za Wikipedia ni kazi nyepesi lakini muhimu sana. Inaruhusu watumiaji kupata habari nyingi zinazohusiana na makala wanayosoma. Inaongeza manufaa ya Wikipedia kwa wasomaji.
==Mfano==
====Viungo vya buluu====
Makala juu ya mji wa Misri inaweza kuonekana hivyo:<br />
::::'''Giza''' ([[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini mwa [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Inajulikana hasa kama mahali pa [[piramidi za Giza|piramidi]].
Maneno yenye rangi ya buluu yanaunga makala hii na makala nyingine kuhusu [[Kiarabu|Kar. = Kiarabu]], [[Misri]], [[Kairo]] na [[piramidi za Giza|piramidi]]. Ukibofya neno la buluu unapelekwa kwenye makala hizo.
====Viungo vyekundu====
Kuna pia viungo vyenye rangi nyekundu:
:'''Mabata-bahari''' ni [[ndege]] wa maji wa [[familia ndogo]] ya [[Merginae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Anatidae]].
Katika sentensi hii makala za [[ndege]], [[Merginae]] na [[Anatidae]] ziko tayari lakini "[[familia ndogo]]" haikuandikwa bado. Wakati wa kuandika makala unaweza kuanzisha viungo vyekundu ukiona hapa ni neno muhimu inayostahili makala yake.
Hapa unatakiwa kuwa mwangalifu
*usiweke maneno hovyo katika mabano mraba na kuanzisha kiungo chekundu maana maneno yaleyale katika mabano yanatakiwa kuwa jina la makala mpya.
*fanya utafiti kama mada iko tayari labda kwa tahajia tofauti; kwa mfano umetafuta nchi ya "[[Aljiria]]", kumbe: "[[Algeria]]" iko tayari!
==Jinsi ya kuunga==
====Mabano mraba <nowiki>[[ ]]</nowiki>====
Ili kuunganisha ukurasa mmoja na mwingine wa Wikipedia (inaitwa <em>kiungo cha wiki</em>), weka katika mabano mraba mawili, kama hivi:
:Mfano: <tt><nowiki>[[Televisheni]]</nowiki></tt> = [[Televisheni]].
Njia nyingine kwa kutumia [[puku (kompyuta)|puku]] ni kuangaza maneno husika na kubofya alama ya [[Picha:Alama ya Kiungo.jpg|100px]] kwenye menyu ya dirisha la uhariri.
====Kigawanyishi-kibomba "|" kwa umbo tofauti la neno====
Mara kwa mara jina la makala inayoelekezwa ni tofauti kidogo na maneno katika makala unayoshughulikia kama tofauti umoja/uwingi.
:Mfano: "Serengeti kuna '''viboko''' wengi...". Unataka kuweka kiungo kwenda makala ya mnyama "'''kiboko'''".
Hapa unaweza kugawa mabano mraba kwa kutumia alama ya kigawanyishi-kibomba "|" (SHIFT + BACKSLASH kwenye baobonye zenye ABC za Kiingereza). Sasa kuna sehemu mbili ndani ya mabano mraba. Nafasi ya kwanza unaandika jina la makala inayoelekezwa na nafasi ya pili nyuma ya kigawanyishi unaandika maneno jinsi yanavyofaa katika sentensi yako.
:Mfano: '''<tt><nowiki>[[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt>''' = [[Kurasa uliyoilenga|maandishi yanayoonekana]]
Pia unaweza kutengeneza kiungo kuelekea sehemu mahususi ya makala kama kuna vichwa vya ndani ya makala:
:<tt><nowiki>[[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]</nowiki></tt> = [[Makala unapolenga#Sehemu ya makala yenye kichwa kidogo|maandishi yanayoonekana]]
====Kiungo kuonekana kama ''italiki'' au '''koze'''====
Iwapo unataka "maandishi yanayoonekana" ya kiungo kuonekana kama "italiki" (yaani herufi mlazo), weka apostrofi mbili kabla na baada ya mabano mraba kama hivi:
:<tt><nowiki>''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''</nowiki></tt> = ''[[Mapinduzi ya Viwandani]]''
(ukizoea utaangaza sehemu ya mabano mraba na kubofya alama ya " ''I'' " kwenye menyu ya kuhariri. Vilevile kwa kiungo kuonekana kama koze).
====Kuhakikisha viungo ni sahihi====
Hapa tunatumia dirisha la "tafuta" [[Picha:Wikipedia-menyu-Kutafuta.png]] upande wa kushoto. Tukitaka kujua kama kuna chochote tayari kuhusu "Pemba" tunaandika neno hili dirishani. Halafu tunabofya "tafuta" tutapata orodha ya makala 119 yote yaliyo na neno "Pemba" ama katika jina au katika maandishi ya makala, kama vile [[Pemba (kisiwa)]], [[Mkoa wa Pemba Kusini]], [[Mkoa wa Pemba Kaskazini]], kata zote za Pemba, makala za kihistoria zinazogusa Pemba na mengine. Kwa kuchungulia usigonge "makala" chini ya dirisha maana hii itakupa makala 1 tu ama ya [[Pemba]] (maana) au ya mahali 1 tu. Kwa njia hii unaweza kuunganisha na makala yaliyopo tayari ukitumia jina na umbo sahihi.
Tafadhali tazama viungo vyako ili kuhakikisha kwamba zimeelekezwa katika makala sahihi. Kwa mfano, [[Gibraltar]] imelengwa katika makala inayohusu eneo dogo la Kiingereza ndani ya Hispania, wakati [[Mlango wa Gibraltar]] ni jina la makala inayohusu mlango wa bahari kati ya Ulaya na Afrika karibu na Gibraltar.
Pia kuna kurasa za kutofautisha "maana" -- hizi siyo makala, bali kurasa zenye viungo vya makala zenye majina ya karibu. Tazama [[Msaada:Maana]] kwa kuanzisha makala hizi.
=====Makosa ya mara kwa mara=====
Makosa yanatokea kwa urahisi usipoangalia vema yote ndani ya mabano mraba. Usiweke mabano ya kiungo bila kutafakari. Usimwage matokeo ya google translate bila kuchungulia kwanza!
Kwa mfano kuingiza alama za '''.''' au ''',''' ndani ya kiungo inabadilisha marejeo na kuharibu kiungo. <nowiki>[[Afrika,]]</nowiki> haiwezi kuunganisha na [[Afrika]] kwa sababu ya koma ndani ya mabano.
Lingine ni kutumia umbo la neno lisilo kawaida kwa mfano wingi badala ya umoja au kinyume. Hapa ni sharti kuchungulia kupitia dirisha la tafuta au jamii: je, umbo la kawaida hapa ni nini? Vilevile tahajia isiyo kawaida.
Jaribu kutafuta majina ya kikamusi; usiweke kiungo kwa "biashara haribifu ya watumwa". Jina la kikamusi ni "biashara ya watumwa".
==Viungo vya picha==
Picha au michoro huonekana katika makala kwa njia ya viungo. Kwa maelezo zaidi soma
'''[[Msaada:Picha]]'''
==Wakati wa kuunga==
Kuongeza viungo kwenye makala kunaleta maana zaidi, lakini viungo vingi mno huleta vurugu. Utaratibu ni huu: fanya neno fulani mara moja tu kuwa kiungo katika makala moja, usirudie neno hili kama kiungo. Unapaswa kuchagua mara ya kwanza ambako neno hilo linatokea kwenye makala.
Kuchungulia kwenye viungo vingine vya makala za Wikipedia pia inaweza kukusaidia kujifunza wakati wa kuweka viungo. Tazama ukurasa wa [[:Jamii:Makala nzuri|makala nzuri]] kwa orodha ya makala zenye ubora mkubwa.
==Jamii au Category==
Kila makala inatakiwa kuungwa katika jamii na makala nyingine zinazojadili mada za karibu.
:Andika <nowiki>[[Jamii:]]</nowiki>, na weka jina la jamii nyuma ya "nukta pacha" baina ya mabano ya miraba miwili.
'''Ni muhimu sana kuweka jamii sahihi, kwa kuwa hivyo itakuwa rahisi kwa watu wengine kupata kazi yako.''' Njia iliyo bora ya kutafuta jamii gani inayotakiwa iwekwe kwenye makala ni kuchungulia kurasa zenye kuelezea suala moja, na tazama jamii gani walizotumia.
:Mfano: Unaandika makala kuhusu mnyama fulani. Chungulia kwa kuandika "'''jamii:wanyama'''" katika dirisha la "tafuta" na angalia vijamii vidogo vilivyopo tayari na makala zilizo ndani ya vijamii hivi.
<div style="float: right; background-color:#f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 100%; border: 1px solid #cedff2; margin-bottom:3px;">'''Kwa habari zaidi, rejea katika ukurasa wa [[Wikipedia:Msaada_wa_kuanzisha_makala#Jamii_au_Category|Jamii]].'''</div>
==Interwiki==
[[Picha:Interwiki.png|thumb|300px|Bofya hapa kuona picha vizuri zaidi]]
Interwiki ni orodha ya viungo vya mada fulani na makala za kufanana katika Wikipedia za lugha mbalimbali. Katika ukurasa unaosoma sasa hivi orodha ipo upande wa kushoto nje ya makala chini ya kichwa "Lugha nyingine". Hapo unaona majina kama Alemannisch, العربية, Català, Česky, English na kadhalika. Zote ni za rangi ya buluu maana ni viungo vya kwenda kurasa za "Mwongozo wa Wikipedia" kwa lugha hizo.
Ukianzisha makala mpya na kuihifadhi utaona hakuna majina ya lugha ya buluu bado. Ukibofya pembeni "Add links" utaona dirisha dogo. Humo unaandika juu "enwiki" na kuthibitisha, chini yake unaandika jina la makala husika katika Wikipedia ya Kiingereza. Thibitisha tena mara mbili na sasa makala yako ya Kiswahili imeunganishwa na namba ya mada yake katika orodha "Wikidata" inayoorodhesha makala za Wikipedia zote. Sasa itaonyesha lugha nyingine kwa rangi ya buluu na makala yetu ya Kiswahili inaonekana pia kwa wasomaji wa lugha hizo nyingine. Huu ni msaada mkubwa kwa wahariri wanaoweza kusoma lugha mbalimbali na kuongeza habari kutoka huko.
Ukikuta kiungo cha Interwiki kisicho sahihi (mtumiaji aliyetangulia alikosa kuteua namba sahihi) unaweza kubofya "Hariri viungo". Sasa unafika katika ukurasa wa Wikidata, angalia sanduku ya "Wikipedia", bofya "edit" halafu alama ya ndoo ya takataka ili kufuta neno la Kiswahili. Sasa bofya "publish" na kufunga Wikidata. Ukiita sasa makala yako utaona haionyeshi interwiki tena (inaweza kuchukua dakika kadhaa hadi mabadiliko yanaonekana). Sasa unaweza kuanza upya kuweka interwiki sahihi.
Hatua hizo utatekeleza katika mtazamo wa dawati (Desktop view) inayopatikana kwa kubofya maandishi madogo "dawati" kwenye dirisha la simu yako, chini kabisa.
<div style="float: left; background-color: #f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #cedff2;">'''Jaribu ulichojifunza katika [[/sanduku la mchanga/]]'''</div>{{-}}
<div style="float:right; margin-top: 0.0em; margin-bottom:3px; background-color: #cedff2; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #B8C7D9;">'''Endelea mwongozo na [[Wikipedia:Mwongozo (Kutaja vyanzo)|Kutaja vyanzo]]<span style="font-size: larger; font-weight: bold;"> →</span></div>
</div>
<div style="clear:both"></div>
</div>
[[Jamii:Mwongozo wa Wikipedia|*4]]
jits1uyzoy3y9rgi21nbgyu3q1274sr
Leleti Khumalo
0
34044
1240916
1202446
2022-08-08T11:53:11Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Mwigizaji 2
| jina = Leleti Khumalo
| picha = Leleti_Khumalo.JPG
| imagesize =
| maelezo ya picha =
| birthname =
| tarehe ya kuzaliwa = 1970
| mahala pa kuzaliwa = [[Durban, South Africa]]
| deathdate =
| deathplace =
| othername =
| kazi = Muigizaji
| miaka ya kazi = 1988 hadi sasa
| spouse =
}}
'''Leleti Khumalo''' (alizaliwa [[KwaMashu]], kaskazini mwa [[Durban, Afrika Kusini]], 1970) ni [[mwigizaji]] mwenye asili ya Zulu wa [[Afrika Kusini]] ambaye alicheza nafasi ya kuongoza katika filamu ya ''[[Sarafina!]]'' sambamba na [[Whoopi Goldberg]] na aliyeigiza katika filamu za ''[[Hotel Rwanda]]'' na ''[[Yesterday]]'' .
Baada ya kuonyesha nia ya kuigiza kuanzia umri mdogo, Khumalo alijiunga na kundi la vijana la kukcheza iitwayo Amajika, iliyoongozwa na [[Tu Nokwe]].
== Sarafina! ==
Katika 1985, alijaribu kuigiza katika kimuziki cha [[Mbongeni Ngema]], ambayo baadaye ikawa filamu kubwa ya kimataifa ya [[Sarafina]]!, Ngema aliiandika sehemu ya uongozi ya Sarafina hasa kwa Khumalo. Sasa ameolewa na [[Mbongeni Ngema]]. Lakini kumekuwa na madai kwamba yeye amekuwa na mahusiano kadhaa na wanawake tofauti, ikiwa ni pamoja na marehemu [[Brenda Fassie]].
Khumalo aliigiza sehemu ya [[Sarafina]]! katika jukwaa [[Afrika ya Kusini]] na [[Broadway]], ambapo alipewa [[Tuzo la Tony]] 1988 la Muigizaji Bora zaidi wa Kike katika filamu ya kimuziki. ''[[Sarafina!]]'' ilikaa Brodway kwa muda wa miaka miwili, na baadaye wakaanza ziara ya dunia mzima. Mwaka 1987 alipata tuzo la [[NAACP]] la Muigizaji bora zaidi wa kike.
Mwaka 1992, alishirikiana sambamba na [[Whoopi Goldberg]], [[Miriam Makeba]] na [[Yohana kani]] katika filamu ya [[Darrell James Roodt]] ya ''[[Sarafina]]'' Ambayo ilikuwa filamu kubwa zaidi kutolewa Barani Afrika. Kwa mara nyingine, Khumalo aliteuliwa kwa [[tuzo]] la [[Image]] pamoja na [[Angela Bassett]], [[Whoopi Goldberg]] na [[Janet Jackson]].
Iliyoigizwa kulingana na fujo za vijana katika mji wa Soweto mwaka 1976, [[Sarafina]] inaelezea hadithi ya msichana wa shule ambaye haogopi kupigania haki zake na kuwahamasisha wenzake kusimama katika maandamano, hasa baada ya mwalimu wake, Maria Masembuko ([[Whoopi Goldberg]]) kutiwa mbaroni.
Mwaka 1993, Khumalo alitoa albamu yake ya kwanza, ''Leleti and Sarafina''
[[Sarafina!]] ilitolewa tena [[Afrika Kusini]] tarehe 16 Juni 2006 kama ukumbuzi wa 30 wa fujo za vijana za Soweto.
== Kazi za baadaye ==
Alikuwa muigizaji msaidizi katika filamu ya muziki ya [[Mbongeni Ngema]] ya [[Magic at 4 AM]] ambayo ilikuwa wakfu wa [[Muhammad Ali]]. Alikuwa muigizaji mkuu katika filamu nyingine ya Ngema, [[Mama]] (1996), ambayo ilifanya ziara ya [[Ulaya]] na [[Australia]]. Mwaka 1997, aliigiza pia katika [[Sarafina 2]].
Khumalo aliigiza katika filamu za mwaka wa 2004 za ''[[Hotel Rwanda]]'' na ''[[Yesterday]]'' , ambazo Yesterday iliteuliwa kupata tuzo la [[Academy Award]] 2005 katika kitengo cha "Filamu bora zaidi isiyo ya kiingereza". ''Yesterday'' pia hivi karibuni ilipata tuzo la Filamu bora Zaidi katika masherekeo ya Kimataifa ya Filamu ya [[India]] ya [[Pune]] na ilipokelewa vizuri katika masherekeo ya Kimataifa ya Filamu ya [[Venice]] na [[Toronto]].
Khumalo alijiunga waigizaji wa kipindi kinachoendelea zaidi cha [[Afrika ya Kusini]] cha ''[[Generations]]'' mwaka 2005 kama Busiswe (Busi) Dlomo. Ametumia akili yake kufika aliko leo, katika uongozi wa kampuni ya mawasiliano ya Afrika ya Kusini, Ezweni, ambayo anamiliki yeye na kaka yake na mwanzilishi [[Karabo Moroka]].<ref>{{Cite web |url=http://generations.sabc1.co.za/template.asp?ID=2&char=61 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-01-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060721052852/http://generations.sabc1.co.za/template.asp?ID=2&char=61 |archivedate=2006-07-21 }}</ref>
== Filamu ==
*[[Invictus|''Invictus'']] (2009) .... Mary
*''Faith's Corner'' (2005) .... Faith
*''[[Hotel Rwanda]]'' (2004) .... Fedens
*''[[Yesterday]]'' (2004) .... Yesterday
*Cry, the Beloved Country (1995) (kama Leleti Kumalo) .... Katie
*''[[Sarafina!]]'' (1992) .... Sarafina
*''[[Voices of Sarafina!]]'' (1988)
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
*{{imdb name|id=0452009|name=Leleti Khumalo}}
*[http://thecia.com.au/reviews/y/yesterday.shtml Picha za Khumalo katika filammu ''Yesterday'' ] {{Wayback|url=http://thecia.com.au/reviews/y/yesterday.shtml |date=20120207224041 }}
*[http://generations.sabc1.co.za/template.asp?ID=2&char=61 Wasifu wa Generations wa Khumalo] {{Wayback|url=http://generations.sabc1.co.za/template.asp?ID=2&char=61 |date=20060721052852 }}
{{DEFAULTSORT:Khumalo, Leleti}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1970]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Watu kutoka Durban]]
jt18o89y3av1p11u1v4jllmhiuqegs3
Kigezo:Country data Eswatini
10
34419
1240580
1048063
2022-08-08T07:04:26Z
Bestoernesto
23840
Bestoernesto alihamisha ukurasa wa [[Kigezo:Country data Swaziland]] hadi [[Kigezo:Country data Eswatini]]: upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{ {{{1<noinclude>|country showdata</noinclude>}}}
| alias = Uswazi
| flag alias = Flag of Eswatini.svg
| size = {{{size|}}}
| name = {{{name|}}}
| altlink = {{{altlink|}}}
<noinclude>
| redir1 = SWZ
</noinclude>
}}
m8y070mgv3lyhz82a18wy2xj1mtko6x
1240604
1240580
2022-08-08T07:55:22Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{ {{{1<noinclude>|country showdata</noinclude>}}}
| alias = Eswatini
| flag alias = Flag of Eswatini.svg
| size = {{{size|}}}
| name = {{{name|}}}
| altlink = {{{altlink|}}}
<noinclude>
| redir1 = SWZ
</noinclude>
}}
726l09c6721v7w62vgelcq2p2256g0q
Masakazu Morita
0
34962
1240918
1204906
2022-08-08T11:53:59Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Muigizaji
| jina = Masakazu Morita<br />森田 成一
| picha =
| image_size =
| landscape =
| birthname =
| alias =
| jina la kuzaliwa = 森田 成一 (Morita Masakazu)
| alizaliwa = {{Birth date and age|1972|10|21}}
| birth_place = [[Tokyo]], [[Japan]]
| death_date =
| death_place =
| kazi yake = Seiyū, actor
| spouse =
| parents =
| children =
| credits =
| URL =
| jina lingine =
| ndoa =
| rafiki =
| watoto =
| wazazi =
| mahusiano =
| Miaka ya Kazi =
| Tovuti Rasmi =
}}
'''Masakazu Morita'''|森田 成一|''Morita Masakazu'' ni mwigizaji na seiyū alizaliwa tarehe [[21 Oktoba]] [[1972]], huko Tokyo, Ujapani. Hivi sasa anafanya kazi na Aoni Productions. Yeye pia ni mtangazaji wa kipindi cha Bleach B-Station cha redio. Morita afaamika sana kwa jukumu lake kama Ichigo Kurosaki (Bleach), Tidus (Final Fantasy X), Auel Neider ''(Gundam Seed Destiny),'' Pegasus Seiya ''(Saint Seiya Hades: Chapter Inferno),'' na Troy Bolton (Toleo ya kijapani wa ''High School musical'' na ''High School Musical 2).''
Kulingana na mwandishi wa Bleach [[Tite Kubo]], ni "mwenye nguvu nyingi", lakini "mtu anayependa marafiki na aliyewazi na watu".
==Majukumu==
=== Majukumu ya Anime na TV ===
* Aqua Kids (Juno)
* Baccano! (Claire Stanfield)
* Beck (Hyoudou Masaru)
* Bleach (Ichigo Kurosaki,|Bleach '''(Ichigo Kurosaki,''' Hollow Ichigo)
* Case closed (Fukuma Ryosuke kipindi cha 419 na 420)
* Dragon Ball: Yo! Son Goku and His Friends Return!! (Tarble)
* Diamond Daydreams '''(yuu)'''
* Edeni of the East (Ryo Yūki)
* Final Fantasy VII Advent Children - motion actor
* Interlude '''(Nameless)'''
* Kiniro no Corda '''(Kazuki Hihara)'''
* Kite Liberator '''(rin Gaga)'''
* Marginal Prince '''(Alfred Visconti)'''
* Kidou Senshi Gundam SEED Destiny (Auel Neider)
* Major (Sato Toshiya)
* One Piece (Marco)
* Onmyou Taisenki (Yakumo Yoshikawa)
* Prince Of Tennis (Tashiro)
* Ring ni kakero '''(Ryuji Takane)'''
* Sengoku Basara '''(Maeda Keiji)'''
* Saint Seiya: Hades Chapter (Pegasus Seiya)
=== Majukumu ya Michezo ===
* Bleach: Shattered Blade (Ichigo Kurosaki)
* Bakumetsu Renka Shinsengumi '''(Kondo Hasami)'''
* Final Fantasy X (Tidus)|Final Fantasy X '''(Tidus)'''
* Final Fantasy X-2 (Tidus), (Shuyin)
* Kingdom Hearts (Tidus)
* Kiniro no Corda series '''(Hihara Kazuki)'''
* Riviera: The Promised Land Riveria: The Promised Land (Ledah)
* Yo-Jin-Bo: The Bodyguards (Yozaburo Shiraanui)
* Sengoku Basara 2 (Maeda Keiji)
* Summon Night: Swordcraft Story 2 (Loki)
* Dynasty Warriors 5 (Pang De)
* Tokimeki Memorial Girl's Side: 2nd Kiss '''(Saeki teru)'''
* Dissidia: Final Fantasy (Tidus)'''(Tidus)'''
* Transfoma Armada Mchezo '''(Hot Shot)'''
* Puyo Puyo! 15th Anniversary '''(Schezo Wegey)'''
===Majukumu ya kuigiza.===
* Special A (Tadashi Karino)
* Superior (Lakshri)
===Majukumu ya kudabu.===
* High School Musical '''(Troy Bolton)'''
* High School Musical 2 '''(Troy Bolton)'''
==Maelezo mengine.==
* Alishinda "Best Rookie Actor" katika Seiyū Awards kwa jukumu lake kama Ichigo Kurosaki
* Jina lake hutafsiriwa vibaya wakati mwingine kama '''Seiichi Morita.''' Suala mmoja ya mhuska Ichigo, anaye igizwa na Morita ni ana tabia ya kutafsiri majina ambayo yameandikwa vibaya.
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* {{IMDb name|id=1040968|name=Masakazu Morita}}
* {{Ann name|id=21028}}
* [http://www.aoni.co.jp/actor/ma/morita-masakazu.html Masakazu Morita] {{Wayback|url=http://www.aoni.co.jp/actor/ma/morita-masakazu.html |date=20130429144112 }} saa Aoni Uzalishaji (Kijapani)
{{japan-voice-actor-stub}}
{{DEFAULTSORT:Morita, Masakazu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Japani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
e7yq6xvt57rt8udevxh5gmm4uancyy1
Omarion
0
35374
1240923
1202952
2022-08-08T11:57:42Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Omarion
| picha = Omarion LF.JPG
| maelezo = Omarion in Desemba 2007.
| Background = solo_singer
| jina la kuzaliwa = Omarion Ismael Grandberry
| amezaliwa = {{birth date and age|mf=yes|1984|11|12}}<br>[[Inglewood]], [[California]] [[United States]]
| chimbuko = [[Los Angeles]], [[California]], United States
| ala = [[Vocals]], [[piano]] [[guitar]]
| aina = [[Contemporary R&B|R&B]], [[Hip Hop]], [[Pop music|Pop]], [[New Jack Swing]], [[Compas music|Kompa]], [[Utah Jazz|Jazz]]
| Voice_type = [[Baritone]]<ref>http://www.monstersandcritics.com/people/archive/peoplearchive.php/Omarion/biography/{{Dead link|date=December 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
| kazi yake = [[Singer–songwriter]], [[dancer]], [[actor]]
| miaka ya kazi = 1993–hadi sasa
| studio = [[EMI]]<br />StarWorld Entertainment<br />[[The Ultimate Group]]
| ameshirikiana na = [[B2K]], [[Bow Wow]], [[Chris Brown]], [[Marques Houston]], [[Lil Wayne]], [[Diamond Platnumz]]
| wavuti = [http://www.omariononline.com/ www.omariononline.com]
}}
'''Omari Ismael Grandberry''' (amezaliwa [[12 Novemba]] [[1984]]) <ref name="billboard">{{cite web|url=http://www.billboard.com/artist/omarion-featuring-gucci-mane/484526#/artist/omarion/bio/484526|title=Omarion Biography|last=Kellman|first=Andy|publisher=''[[Billboard magazine|Billboard]]''|accessdate=2010-01-19|archivedate=2012-11-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121107104358/http://www.billboard.com/artist/omarion-featuring-gucci-mane/484526#/artist/omarion/bio/484526}}</ref> anafahamika zaidi kama '''Omarion,''' ni Mmarekani ambaye ana tuzo la [[Grammy]] kwa mwimbaji wa ngoma za mahaba, mwigizaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mcheza densi, na mwimbaji wa zamani wa risasi kijana bendi [[B2K]]. Omari amekamilisha albamu yake ya tatu iliyoitwa [[Ollusion]] iliyotoka tarehe 12 Januari 2010, huku ikiwa na wimbo mkali "[[I Get It In]]" <ref name="singersroom">{{cite web|url=http://www.singersroom.com/news/4924/Omarion-Says-New-Label-Album-Beautiful-Thing|title=Omarion Says New Label, Album 'Beautiful Thing'|accessdate=2009-15-12}}</ref>
==Wasifu wa Muziki==
===Kuondoka kutoka B2K kwenda kuimba kipekee===
Karibu mwaka baada ya kikundi chenye ushindi na fedha kochokocho, [[B2K]] kupasuliwa Omarion alianza kazi yake mwenyewe na albamu yake ya kwanza, ''[[O.]]'' <ref name="billboard"/> Albamu ilipata kushika nafasi ya # 1 katika chati za Marekani bora 200 na [[wimbo bora wa mahaba.]] Albamu imetoa nyimbo murwa zijulikanazo [[O]] na [[Neptunes-zinazozalishwa "Touch".]]
===Mpito kwa watu wazima na albamu ya pili===
Mnamo Desemba 2006, Omarion iliyotolewa albamu yake ya pili, [[21,|''21,'']] jina lake kwa umri wake wakati wa kurekodi. Na pia ilipata kushika nafasi ya 1 chati za Marekani za nyimbo bora 200 na wimbo bora wa mahaba.<ref name="billboard"/> Albamu hii alikuwa yenye ukomavu zaidi kuliko kazi yake ya awali. [[Entourage]] (zilizotayarishwa na [[Eric Hudson)]] ulikuwa wimbo wa kipekee wa kwanza uliotolewa; na video iliingiza mwenzake wa zamani katika B2K [[Lil 'Fizz.]] Wimbo wa kipekee wa pili kutoka ''21,'' [["Ice Box"]], uliotayarishwa na [[Timbaland]], ulipata adhimu redio na ulipata kushika nafasi katika kuchezwa zaidi 12 kwenye chati za nyimbo bora 100. Video inahusisha [[Solange Knowles.]] <ref name="sony">{{cite web|url=http://www.sonymusic.com.au/news/details.do;jsessionid=8B078A9B472BC4E98F110F3C6E297C1D.tomcat3?newsId=20030829004281|title=Breaking The Ice: Watch Omarion's New Video Starring Solange Knowles Now|publisher=Sony Music Entertainment}}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Wimbo ulichezwa tena rasmi ukihusisha Usher na changanya mwanamziki wa White Owl akimshirikisha Usher Fabolous na Michael Doughty.
===Albumu kwa kushirikiana Bow Wow===
Mnamo Desemba 2007, Omarion iliyotolewa mradi wake wa tatu, jitihada sambamba rapa [[Bow Wow]], anastahili ''[[Face Off]]'' <ref name="Bow Wow, Omarion Set Date For Collaborative CD">{{cite web|url=http://www.billboard.com/news/bow-wow-omarion-set-date-for-collaborative-1003663973.story#/news/bow-wow-omarion-set-date-for-collaborative-1003663973.story|title=Bow Wow, Omarion Set Date For Collaborative CD|publisher=''[[Billboard magazine|Billboard]]''}}</ref> Mtayarishaji [[Jermaine Dupri]] alipendekeza awali ya ushirikiano, ambayo inapatikana albamu na sehemu mbili ya maandishi yaitwayo "The Road To Platinum". Hii ilikuwa ni [[BET]] kufuatia maalum kurekodi na uendelezaji wa mradi huo. Wimbo wa kipekee wa kwanza uliotolewa ulikuwa umeandikwa na mwanamziki [[The-Dream]], unaoitwa "Girlfriend". Wimbo wa pili sampuli ya [[LL Cool J]] "Going Back To Cali" na ulikuwa unajulikana kama "Hey Baby". ''Face Off'' iliingia rasmi albamu chati za ''Marekani'' 200 ifikapo namba kumi, ilikuwa albamu ya rapu namba moja katika ya Marekani na albamu ya nyimbo za mahaba namba mbili. Yeye pia ilitoa kitabu cha tawasifu yake chenye jina "O" mwaka 2004. Ni ilitolewa kwa niaba ya MTV.
===Kuondoka Kwa Rekodi Young Money na Albumu ya tatu, Ollusion===
Iliripotiwa kuwa siku ya 20 Julai, Omarion alikuwa ametia mkataba na Studio ya [[Lil Wayne]] [[Young Money]] chini ya rekodi ya [[Cash Money .]] Lakini fununu zilianza kuenea kwamba Omarion ilikuwa imefukuzwa kutoka studio kutokana na kinachovuja ya wimbo [["I Get It In"]] akimshirikisha Lil Wayne. Tarehe 21 Agosti 2009 Omarion aliandika katika tovuti ya [[Twitter]] kwamba hakuwa imefukuzwa kutoka Rekodi ya Young Money kwa kuvuja wimbo, lakini kuwa aliomba kuachiliwa kutoka rekodi hiyo kutekeleza mipango mingine na hakuna mgogoro na kampuni wala hawakukosana. Hii iliungwa mkono fungate moja baadaye katika mahojiano na Lil Wayne <ref name="mtv">{{cite web|url=http://www.mtv.com/news/articles/1619225/20090821/omarion.jhtml|title=Omarion Has 'Nothing But Love' For Lil Wayne, Despite Leaving Young Money|last=Reid|first=Shaheem|accessdate=2009-8-21}}</ref> yeye mwenyewe alisema kwamba ilikuwa tu 'uamuzi wa kibiashara ' na Omarion aliuliza kwa ajili ya kutolewa kwa bora ya kazi yake. Tangu kutoka rekodi ya Young Money, Omarion aliunda kikundi chake mwenyewe StarWorld Entertainment na kuunda mkataba na [[EMI]] wakati akiuimba tena wimbo "I Get It In", ambayo sasa ulishirikisha msanii wa Atlanta [[Gucci Mane.]] "Hoodie" utakuwa wimbo wa kufuatia pamoja na Jay Mwamba <ref name="Omarion Says 'It's Gonna Be My Time' This Fall">{{cite web|url=http://www.mtv.com/news/articles/1622965/20091002/omarion.jhtml|title=Omarion Says 'It's Gonna Be My Time' This Fall|last=Rodriguez|first=Jayson|accessdate=2009-10-2}}</ref>
==Kazi ya uigizaji==
Mapema mwaka 2004, Omarion alionekana katika filamu kadhaa, wengi hasa ''[[You Got Served]]'' ambayo yeye alikuwa mhusika mkuu sambamba na mwenzake [[Marques Houston]], vilevile masahibu wa bendi yake ya zamani [[B2K]]. Filamu inayozingatia kuzunguka kundi la marafiki katika [[ngoma]] ya [['hip hop']] ambao kushiriki katika mashindano ya kucheza densi kwa siri. Ilichuma dola milioni 40 duniani kote. Baadaye mwaka huo alikuwa na jukumu la shule angry "Reggie" katika maigizo ya kuchesha ''[[Fat Albert]],'' misingi ya miundo ya kitoto ''[[Fat Albert na Cosby Kids.]]'' Omarion pia alicheza sauti ya Fifteen Cent katika filamu ''[[The Proud Family.]]''
Katika mwisho wa 2007, Omarion, aliigiza katika filamu za kutisha ''[[Somebody HelpMimi]],'' ambayo ilitolewa katika DVD na kuonyeshwa huko BET katika maadhimisho ya [[Halloween.]]
Omarion aliigiza na kusaidia kuunda filamu ''[[Feel the Noise.]]'' Omarion pia amekuwa mgeni katika maigizo kochokocho ya runinga. Yeye alionekana katika kipindi ''[[One on One]]'' kama Nytemare na ''[[The Bernie Mac Show]]'' kama Shonte.
Yeye alifanya kufanya kuonekana kama yeye mwenyewe pamoja na Khloe Kardashian Kourtney on "Khloe na Kourtney inachukua Miami" show ambapo Omarion Khloe na kutafiti iwapo uhusiano kati ya wawili wangekuwa kufanya upembuzi yakinifu. Lakini zinageuka kuwa hakufanya kazi nje.
==Diskografia==
{{Main|Omarion discography}}
;Albamu ya kipekee
* 2005: [[O|''O'']]
* 2006: [[21|''21'']]
* 2010: [[Ollusion|''Ollusion'']]
;Albamu shirikishi
* 2007: ''[[Face Off]]'' <small>(pamoja na '''[[Bow Wow)]]''' </small>
==Filamu==
* 2004: ''[[You Got Served]]''
* 2004: ''Fat Albert''
* 2007: [[Feel the Noise|''Feel the Noise'']]
* 2007: ''[[Somebody Help Me]]''
* 2009: ''[[Wrong Side of Town]]''
==Tuzo na Mapendekezo==
* [[Shindano la Mziki wa Marekani]]
** 2005, Mwanaume bora katika nyimbo za mahaba (alipendekezwa)
* [[Tuzo za BET]]
** '''2005, Chaguo la Watazamaji: ''O'' (mshindi)'''
** 2005, Mwanaume mpya bora katika nyimbo za mahaba (alipendekezwa)
* [[Tuzo la Maonyesho]]
** 2008, Kikundi bora pamoja na <small>Bow Wow</small> (alipendekezwa)
** 2008, mwimbaji bora zaidi (kuchaguliwa)
* [[Shindano la Grammy]]
** 2006, Albamu bora zaidi ya nyimbo za mahaba: ''[[O]]'' (alipendekezwa)
* [[Tuzo za filamu za MTV]]
** 2004, Mwanaumebora katika Utendaji: ''[[You Got aliwahi]]'' (alipendekezwa)
** 2004, Densi bora zaidi: ''[[You Got aliwahi]]'' pamoja na [[Marques Houston]] (walipendekezwa)
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* {{Official|http://omariononline.com/}}
* {{IMDb name|1217506|Omarion}}
* Omarion katika [http://www.twitter.com/1omarion/ Twitter]
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Marekani]]
[[Jamii:Watu kutoka Inglewood, California]]
hpa7ylg79wjn4oq8p1rsnlkkn57a215
1240924
1240923
2022-08-08T11:58:57Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Omarion
| picha = Omarion LF.JPG
| maelezo = Omarion in Desemba 2007.
| Background = solo_singer
| jina la kuzaliwa = Omarion Ismael Grandberry
| amezaliwa = {{birth date and age|mf=yes|1984|11|12}}<br>[[Inglewood]], [[California]] [[United States]]
| chimbuko = [[Los Angeles]], [[California]], United States
| ala = [[Vocals]], [[piano]] [[guitar]]
| aina = [[Contemporary R&B|R&B]], [[Hip Hop]], [[Pop music|Pop]], [[New Jack Swing]], [[Compas music|Kompa]], [[Utah Jazz|Jazz]]
| Voice_type = [[Baritone]]<ref>http://www.monstersandcritics.com/people/archive/peoplearchive.php/Omarion/biography/{{Dead link|date=December 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
| kazi yake = [[Singer–songwriter]], [[dancer]], [[actor]]
| miaka ya kazi = 1993–hadi sasa
| studio = [[EMI]]<br />StarWorld Entertainment<br />[[The Ultimate Group]]
| ameshirikiana na = [[B2K]], [[Bow Wow]], [[Chris Brown]], [[Marques Houston]], [[Lil Wayne]], [[Diamond Platnumz]]
| wavuti = [http://www.omariononline.com/ www.omariononline.com]
}}
'''Omari Ismael Grandberry''' (amezaliwa [[12 Novemba]] [[1984]]) <ref name="billboard">{{cite web|url=http://www.billboard.com/artist/omarion-featuring-gucci-mane/484526#/artist/omarion/bio/484526|title=Omarion Biography|last=Kellman|first=Andy|publisher=''[[Billboard magazine|Billboard]]''|accessdate=2010-01-19|archivedate=2012-11-07|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121107104358/http://www.billboard.com/artist/omarion-featuring-gucci-mane/484526#/artist/omarion/bio/484526}}</ref> anafahamika zaidi kama '''Omarion,''' ni Mmarekani ambaye ana tuzo la [[Grammy]] kwa mwimbaji wa ngoma za mahaba, mwigizaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mcheza densi, na mwimbaji wa zamani wa risasi kijana bendi [[B2K]]. Omari amekamilisha albamu yake ya tatu iliyoitwa [[Ollusion]] iliyotoka tarehe 12 Januari 2010, huku ikiwa na wimbo mkali "[[I Get It In]]" <ref name="singersroom">{{cite web|url=http://www.singersroom.com/news/4924/Omarion-Says-New-Label-Album-Beautiful-Thing|title=Omarion Says New Label, Album 'Beautiful Thing'|accessdate=2009-15-12}}</ref>
==Wasifu wa Muziki==
===Kuondoka kutoka B2K kwenda kuimba kipekee===
Karibu mwaka baada ya kikundi chenye ushindi na fedha kochokocho, [[B2K]] kupasuliwa Omarion alianza kazi yake mwenyewe na albamu yake ya kwanza, ''[[O.]]'' <ref name="billboard"/> Albamu ilipata kushika nafasi ya # 1 katika chati za Marekani bora 200 na [[wimbo bora wa mahaba.]] Albamu imetoa nyimbo murwa zijulikanazo [[O]] na [[Neptunes-zinazozalishwa "Touch".]]
===Mpito kwa watu wazima na albamu ya pili===
Mnamo Desemba 2006, Omarion iliyotolewa albamu yake ya pili, [[21,|''21,'']] jina lake kwa umri wake wakati wa kurekodi. Na pia ilipata kushika nafasi ya 1 chati za Marekani za nyimbo bora 200 na wimbo bora wa mahaba.<ref name="billboard"/> Albamu hii alikuwa yenye ukomavu zaidi kuliko kazi yake ya awali. [[Entourage]] (zilizotayarishwa na [[Eric Hudson)]] ulikuwa wimbo wa kipekee wa kwanza uliotolewa; na video iliingiza mwenzake wa zamani katika B2K [[Lil 'Fizz.]] Wimbo wa kipekee wa pili kutoka ''21,'' [["Ice Box"]], uliotayarishwa na [[Timbaland]], ulipata adhimu redio na ulipata kushika nafasi katika kuchezwa zaidi 12 kwenye chati za nyimbo bora 100. Video inahusisha [[Solange Knowles]]. Wimbo ulichezwa tena rasmi ukihusisha Usher na changanya mwanamziki wa White Owl akimshirikisha Usher Fabolous na Michael Doughty.
===Albumu kwa kushirikiana Bow Wow===
Mnamo Desemba 2007, Omarion iliyotolewa mradi wake wa tatu, jitihada sambamba rapa [[Bow Wow]], anastahili ''[[Face Off]]'' <ref name="Bow Wow, Omarion Set Date For Collaborative CD">{{cite web|url=http://www.billboard.com/news/bow-wow-omarion-set-date-for-collaborative-1003663973.story#/news/bow-wow-omarion-set-date-for-collaborative-1003663973.story|title=Bow Wow, Omarion Set Date For Collaborative CD|publisher=''[[Billboard magazine|Billboard]]''}}</ref> Mtayarishaji [[Jermaine Dupri]] alipendekeza awali ya ushirikiano, ambayo inapatikana albamu na sehemu mbili ya maandishi yaitwayo "The Road To Platinum". Hii ilikuwa ni [[BET]] kufuatia maalum kurekodi na uendelezaji wa mradi huo. Wimbo wa kipekee wa kwanza uliotolewa ulikuwa umeandikwa na mwanamziki [[The-Dream]], unaoitwa "Girlfriend". Wimbo wa pili sampuli ya [[LL Cool J]] "Going Back To Cali" na ulikuwa unajulikana kama "Hey Baby". ''Face Off'' iliingia rasmi albamu chati za ''Marekani'' 200 ifikapo namba kumi, ilikuwa albamu ya rapu namba moja katika ya Marekani na albamu ya nyimbo za mahaba namba mbili. Yeye pia ilitoa kitabu cha tawasifu yake chenye jina "O" mwaka 2004. Ni ilitolewa kwa niaba ya MTV.
===Kuondoka Kwa Rekodi Young Money na Albumu ya tatu, Ollusion===
Iliripotiwa kuwa siku ya 20 Julai, Omarion alikuwa ametia mkataba na Studio ya [[Lil Wayne]] [[Young Money]] chini ya rekodi ya [[Cash Money .]] Lakini fununu zilianza kuenea kwamba Omarion ilikuwa imefukuzwa kutoka studio kutokana na kinachovuja ya wimbo [["I Get It In"]] akimshirikisha Lil Wayne. Tarehe 21 Agosti 2009 Omarion aliandika katika tovuti ya [[Twitter]] kwamba hakuwa imefukuzwa kutoka Rekodi ya Young Money kwa kuvuja wimbo, lakini kuwa aliomba kuachiliwa kutoka rekodi hiyo kutekeleza mipango mingine na hakuna mgogoro na kampuni wala hawakukosana. Hii iliungwa mkono fungate moja baadaye katika mahojiano na Lil Wayne <ref name="mtv">{{cite web|url=http://www.mtv.com/news/articles/1619225/20090821/omarion.jhtml|title=Omarion Has 'Nothing But Love' For Lil Wayne, Despite Leaving Young Money|last=Reid|first=Shaheem|accessdate=2009-8-21}}</ref> yeye mwenyewe alisema kwamba ilikuwa tu 'uamuzi wa kibiashara ' na Omarion aliuliza kwa ajili ya kutolewa kwa bora ya kazi yake. Tangu kutoka rekodi ya Young Money, Omarion aliunda kikundi chake mwenyewe StarWorld Entertainment na kuunda mkataba na [[EMI]] wakati akiuimba tena wimbo "I Get It In", ambayo sasa ulishirikisha msanii wa Atlanta [[Gucci Mane.]] "Hoodie" utakuwa wimbo wa kufuatia pamoja na Jay Mwamba <ref name="Omarion Says 'It's Gonna Be My Time' This Fall">{{cite web|url=http://www.mtv.com/news/articles/1622965/20091002/omarion.jhtml|title=Omarion Says 'It's Gonna Be My Time' This Fall|last=Rodriguez|first=Jayson|accessdate=2009-10-2}}</ref>
==Kazi ya uigizaji==
Mapema mwaka 2004, Omarion alionekana katika filamu kadhaa, wengi hasa ''[[You Got Served]]'' ambayo yeye alikuwa mhusika mkuu sambamba na mwenzake [[Marques Houston]], vilevile masahibu wa bendi yake ya zamani [[B2K]]. Filamu inayozingatia kuzunguka kundi la marafiki katika [[ngoma]] ya [['hip hop']] ambao kushiriki katika mashindano ya kucheza densi kwa siri. Ilichuma dola milioni 40 duniani kote. Baadaye mwaka huo alikuwa na jukumu la shule angry "Reggie" katika maigizo ya kuchesha ''[[Fat Albert]],'' misingi ya miundo ya kitoto ''[[Fat Albert na Cosby Kids.]]'' Omarion pia alicheza sauti ya Fifteen Cent katika filamu ''[[The Proud Family.]]''
Katika mwisho wa 2007, Omarion, aliigiza katika filamu za kutisha ''[[Somebody HelpMimi]],'' ambayo ilitolewa katika DVD na kuonyeshwa huko BET katika maadhimisho ya [[Halloween.]]
Omarion aliigiza na kusaidia kuunda filamu ''[[Feel the Noise.]]'' Omarion pia amekuwa mgeni katika maigizo kochokocho ya runinga. Yeye alionekana katika kipindi ''[[One on One]]'' kama Nytemare na ''[[The Bernie Mac Show]]'' kama Shonte.
Yeye alifanya kufanya kuonekana kama yeye mwenyewe pamoja na Khloe Kardashian Kourtney on "Khloe na Kourtney inachukua Miami" show ambapo Omarion Khloe na kutafiti iwapo uhusiano kati ya wawili wangekuwa kufanya upembuzi yakinifu. Lakini zinageuka kuwa hakufanya kazi nje.
==Diskografia==
;Albamu ya peke yake
* 2005: [[O|''O'']]
* 2006: [[21|''21'']]
* 2010: [[Ollusion|''Ollusion'']]
;Albamu shirikishi
* 2007: ''[[Face Off]]'' <small>(pamoja na '''[[Bow Wow)]]''' </small>
==Filamu==
* 2004: ''[[You Got Served]]''
* 2004: ''Fat Albert''
* 2007: [[Feel the Noise|''Feel the Noise'']]
* 2007: ''[[Somebody Help Me]]''
* 2009: ''[[Wrong Side of Town]]''
==Tuzo na Mapendekezo==
* [[Shindano la Mziki wa Marekani]]
** 2005, Mwanaume bora katika nyimbo za mahaba (alipendekezwa)
* [[Tuzo za BET]]
** '''2005, Chaguo la Watazamaji: ''O'' (mshindi)'''
** 2005, Mwanaume mpya bora katika nyimbo za mahaba (alipendekezwa)
* [[Tuzo la Maonyesho]]
** 2008, Kikundi bora pamoja na <small>Bow Wow</small> (alipendekezwa)
** 2008, mwimbaji bora zaidi (kuchaguliwa)
* [[Shindano la Grammy]]
** 2006, Albamu bora zaidi ya nyimbo za mahaba: ''[[O]]'' (alipendekezwa)
* [[Tuzo za filamu za MTV]]
** 2004, Mwanaumebora katika Utendaji: ''[[You Got aliwahi]]'' (alipendekezwa)
** 2004, Densi bora zaidi: ''[[You Got aliwahi]]'' pamoja na [[Marques Houston]] (walipendekezwa)
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* {{Official|http://omariononline.com/}}
* {{IMDb name|1217506|Omarion}}
* Omarion katika [http://www.twitter.com/1omarion/ Twitter]
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Marekani]]
[[Jamii:waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Watu kutoka Inglewood, California]]
0dxbqsl4uyy0m9agj87r1exswsq4fwu
Vita ya Maji Maji
0
40512
1240700
1228146
2022-08-08T09:24:59Z
102.64.64.19
/* Marejeo */
wikitext
text/x-wiki
[[File:Wilhelm Kuhnert Schlacht bei Mahenge.jpg|thumb|Wilhelm Kuhnert, Mapigano huko [[Mahenge]] mwaka 1905.]]
{{History of Tanzania}}
'''Vita ya Maji Maji''' ulikuwa upingaji mkali wa [[Waafrika]] dhidi ya [[utawala wa kikoloni]] wa [[Ujerumani]] katika maeneo ya kusini ya [[koloni]] la [[Afrika Mashariki ya Kijerumani]].
[[Vita]] hivyo vilishirikisha baadhi ya ma[[kabila]] ya [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo dhidi ya [[sera]] ya Kijerumani iliyoundwa kwa nguvu kuwalazimisha watu wa Tanganyika kulima [[zao]] la [[pamba]].
Vita hivyo vilidumu kuanzia [[mwaka]] [[1905]] hadi [[1907]].
Chanzo kikubwa cha vita hii ni kwamba wanajamii walichoka kunyanyaswa na wakoloni. Baadhi ya manyanyaso hayo wakoloni waliwataka wanajamii kulima [[mazao]] ya [[Biashara|kibiashara]] na walikatazwa kulima mazao ya [[chakula]]; kwa [[mantiki]] hiyo wanajamii walilima [[mazao ya biashara]] na kuacha kulima mazao ya chakula kwa lengo la kuwanufaisha wakoloni huku wao wakipata [[njaa]] kwa sababu ya kutolima mazao ya chakula kwa ajili ya kuwapatia chakula na huku [[adhabu]] kali ikitolewa kwa wale watakaopinga.
Kwa sababu hiyo wananchi walilazimika kufanya [[kazi]] huku wakilipwa [[mshahara]] mdogo au kutolipwa kabisa. Watu ambao hawakulazimika kufanya kazi ni [[watoto]] wadogo na [[wazee]]; kwa wale [[vijana]] wenye nguvu walifanyishwa kazi ngumu lakini kwa upande wa [[wasichana]] na [[mama]] [[Ujauzito|wajawazito]] waliufanya kazi za ndani.
Moja ya changamoto walizozipata kwa upande wa vijana wa kiume ni kudhalilishwa kwa kupigwa mijeledi wakiwa uchi mbele ya [[wanawake]] wao na pia walitozwa [[pesa]] kubwa ukilinganisha na mshahara wanaopata ni kidogo: hizo ndizo baadhi ya changamoto walizozipata. Hivyo basi waliamua kukataa manyanyaso na masumbuko dhidi ya wakoloni.
Tunaona kwamba wahusika wakuu ni mtemi wa wanajamii [[Kinjekitile Ngwale]] na watemi wa Kijerumani.
Tunaona kwamba mtemi huyu wa [[kabila]] la [[Wangindo|Wamatumbi]]
aliamini kwamba [[maji]] ndiyo [[silaha]] ya kipekee ambayo ingetumika kuwashinda wakoloni hata akawaambia wananchi wake kwamba wakoloni wakirusha silaha waseme "maji" kwa madai ya kuwa silaha itabadilika na kuwa maji.
Wanajamii wake waliamini kusikiliza, kwa hiyo basi vita ilipoanza wakoloni walipoanza kuwashambulia wanajamii walisema, "maji", lakini tunaona kwamba jinsi walivyokuwa wakisema "maji" ndivyo walivyozidi kushambuliwa.
Tunaona madhara makubwa waliyoyapata: ni wanajamii wengi walipoteza maisha kwa hiyo [[nguvukazi]] ilipungua kwa kiwango kikubwa, lakini tunaangalia chanzo kikubwa kabisa ni kupinga manyanyaso.
==Marejeo==
* Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
{{Hoja Kuhusu Tanzania}}
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
[[Jamii:Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]
d2lqgmffrgbkqca0gxfzpfc1kncbexj
1240773
1240700
2022-08-08T09:53:58Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/102.64.64.19|102.64.64.19]] ([[User talk:102.64.64.19|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Kipala|Kipala]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Wilhelm Kuhnert Schlacht bei Mahenge.jpg|thumb|Wilhelm Kuhnert, Mapigano huko [[Mahenge]] mwaka 1905.]]
{{History of Tanzania}}
'''Vita ya Maji Maji''' ulikuwa upingaji mkali wa [[Waafrika]] dhidi ya [[utawala wa kikoloni]] wa [[Ujerumani]] katika maeneo ya kusini ya [[koloni]] la [[Afrika Mashariki ya Kijerumani]].
[[Vita]] hivyo vilishirikisha baadhi ya ma[[kabila]] ya [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo dhidi ya [[sera]] ya Kijerumani iliyoundwa kwa nguvu kuwalazimisha watu wa Tanganyika kulima [[zao]] la [[pamba]].
Vita hivyo vilidumu kuanzia [[mwaka]] [[1905]] hadi [[1907]].
Chanzo kikubwa cha vita hii ni kwamba wanajamii walichoka kunyanyaswa na wakoloni. Baadhi ya manyanyaso hayo wakoloni waliwataka wanajamii kulima [[mazao]] ya [[Biashara|kibiashara]] na walikatazwa kulima mazao ya [[chakula]]; kwa [[mantiki]] hiyo wanajamii walilima [[mazao ya biashara]] na kuacha kulima mazao ya chakula kwa lengo la kuwanufaisha wakoloni huku wao wakipata [[njaa]] kwa sababu ya kutolima mazao ya chakula kwa ajili ya kuwapatia chakula na huku [[adhabu]] kali ikitolewa kwa wale watakaopinga.
Kwa sababu hiyo wananchi walilazimika kufanya [[kazi]] huku wakilipwa [[mshahara]] mdogo au kutolipwa kabisa. Watu ambao hawakulazimika kufanya kazi ni [[watoto]] wadogo na [[wazee]]; kwa wale [[vijana]] wenye nguvu walifanyishwa kazi ngumu lakini kwa upande wa [[wasichana]] na [[mama]] [[Ujauzito|wajawazito]] waliufanya kazi za ndani.
Moja ya changamoto walizozipata kwa upande wa vijana wa kiume ni kudhalilishwa kwa kupigwa mijeledi wakiwa uchi mbele ya [[wanawake]] wao na pia walitozwa [[pesa]] kubwa ukilinganisha na mshahara wanaopata ni kidogo: hizo ndizo baadhi ya changamoto walizozipata. Hivyo basi waliamua kukataa manyanyaso na masumbuko dhidi ya wakoloni.
Tunaona kwamba wahusika wakuu ni mtemi wa wanajamii [[Kinjekitile Ngwale]] na watemi wa Kijerumani.
Tunaona kwamba mtemi huyu wa [[kabila]] la [[Wangindo]] aliamini kwamba [[maji]] ndiyo [[silaha]] ya kipekee ambayo ingetumika kuwashinda wakoloni hata akawaambia wananchi wake kwamba wakoloni wakirusha silaha waseme "maji" kwa madai ya kuwa silaha itabadilika na kuwa maji.
Wanajamii wake waliamini kusikiliza, kwa hiyo basi vita ilipoanza wakoloni walipoanza kuwashambulia wanajamii walisema, "maji", lakini tunaona kwamba jinsi walivyokuwa wakisema "maji" ndivyo walivyozidi kushambuliwa.
Tunaona madhara makubwa waliyoyapata: ni wanajamii wengi walipoteza maisha kwa hiyo [[nguvukazi]] ilipungua kwa kiwango kikubwa, lakini tunaangalia chanzo kikubwa kabisa ni kupinga manyanyaso.
==Marejeo==
* Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
{{Hoja Kuhusu Tanzania}}
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
[[Jamii:Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]
gkyk2ep7srpk4865fxeflif9ooc1ks8
Lango:Afrika/Nchi
100
42785
1240588
461400
2022-08-08T07:16:36Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{|
|
*{{flag|Jamhuri ya Afrika ya Kati}}
*{{flag|Afrika Kusini}}
*{{flag|Algeria}}
*{{flag|Angola}}
*{{flag|Benin}}
*{{flag|Botswana}}
*{{flag|Burkina Faso}}
*{{flag|Burundi}}
*{{flag|Cabo Verde}}
*{{flag|Chad}}
*{{flag|Cote d'Ivoire}}
*{{flag|Eritrea}}
*{{flag|Eswatini}}
*{{flag|Ethiopia}}
*{{flag|Gabon}}
*{{flag|Gambia}}
*{{flag|Ghana}}
*{{flag|Guinea}}
*{{flag|Guinea Bisau}}
|
*{{flag|Guinea ya Ikweta}}
*{{flag|Jibuti }}
*{{flag|Kamerun }}
*{{flag|Kenya }}
*{{flag|Komori }}
*{{flag|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo}}
*{{flag|Jamhuri ya Kongo}}
*{{flag|Lesotho }}
*{{flag|Liberia }}
*{{flag|Libya }}
*{{flag|Madagaska}}
*{{flag|Malawi }}
*{{flag|Mali }}
*{{flag|Mauritania}}
*{{flag|Mayotte }}
*{{flag|Misri }}
*{{flag|Morisi }}
*{{flag|Moroko }}
*{{flag|Msumbiji }}
|
*{{flag|Namibia }}
*{{flag|Niger }}
*{{flag|Nigeria }}
*{{flag|Rwanda }}
*{{flag|Sahara ya Magharibi}}
*{{flag|Saint Helena }}
*{{flag|Sao Tome na Principe}}
*{{flag|Senegal }}
*{{flag|Shelisheli}}
*{{flag|Sierra Leone}}
*{{flag|Somalia }}
*{{flag|Sudan }}
*{{flag|Tanzania}}
*{{flag|Togo }}
*{{flag|Tunisia}}
*{{flag|Uganda }}
*{{flag|Zambia }}
*{{flag|Zimbabwe}}
|}
leixbeuqwfhjrflf8fvu1vnwovgnhun
Kigezo:Country data Uswazi
10
42818
1240579
461477
2022-08-08T07:02:54Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Kigezo:Country data Eswatini]]
gglhhrtfoa9gykmd10jpsthiw34d94p
Majadiliano ya kigezo:Country data Eswatini
11
53315
1240582
509890
2022-08-08T07:04:26Z
Bestoernesto
23840
Bestoernesto alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya kigezo:Country data Swaziland]] hadi [[Majadiliano ya kigezo:Country data Eswatini]]: upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Majadiliano<!-- |search=y -->}}
{{Mradi wa Vigezo}}
olh7nxakali4i9hbcq9phwan83ryzp4
Cary Grant
0
55123
1240867
1139440
2022-08-08T11:39:28Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya Nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox actor
| jina = Cary Grant
| picha = Cary Grant head shot Allan Warren.jpg
| ukubwa wa picha = 225px
| maelezo ya picha = Grant in 1973, by [[Allan Warren]]
| jina la kuzaliwa = Archibald Alexander Leach
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date|1904|1|18|mf=y}}
| mahala pa kuzaliwa = [[Bristol]], Uingereza
| tarehe ya kufa = {{dda|1986|11|29|1904|1|18|mf=y}}
| mahala alipofia = [[Davenport, Iowa]],<br />Marekani
| kazi yake = Mwigizaji
| miaka ya kazi = 1932–1966
| ndoa = [[Virginia Cherrill]] (1934–1935)<br />[[Barbara Hutton]] (1942–1945)<br />[[Betsy Drake]] (1949–1962)<br />[[Dyan Cannon]] (1965–1967)<br />Barbara Harris (1981–1986)
| rafiki = Maureen Donaldson (1973–1977)<ref name=DonaldsonM-RoyceW>Donaldson,<br />Phyllis Brooks(1937–1941) Maureen and William Royce. ''An Affair to Remember: My Life With Cary Grant''. New York: Charter Books, 1990. ISBN 1-55773-371-6.</ref>
}}
'''Archibald Alexander Leach'''<ref>McMann 1996, p. 271, n.13. Note: Although Grant's baptismal record records his middle name as "Alec", it is "Alexander" on his birth certificate.</ref> (18 Januari 1904 – 29 Novemba 1986), anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii|jina lake la kisanii]] kama '''Cary Grant''', alikuwa mwigizaji wa filamu wa [[Uingereza (nchi)|Kiingereza-Kimarekani]].<ref>Obituary ''[[Variety Obituaries|Variety]]'', 3 Desemba 1986.</ref> Huenda akawa alitambulika sana kwa kuwa mfano wa kuigwa na anaongoza kwa: uzuri, ukidume, kuwa na kipaji, na mcheshi.
Amepewa nafasi ya pili kwenye orodha ya [[AFI's 100 Years... 100 Stars|Waigizaji Wakali wa Kiume wa Muda Wote]] na [[Taasisi ya Filamu Marekani]]. Miongoni mwa filamu zake mashuhuri ni pamoja na ''[[The Awful Truth]]'' (1937), ''[[Bringing Up Baby]]'' (1938), ''[[Gunga Din (film)|Gunga Din]]'' (1939), ''[[Only Angels Have Wings]]'' (1939), ''[[His Girl Friday]]'' (1940), ''[[The Philadelphia Story (film)|The Philadelphia Story]]'' (1940), ''[[Suspicion (film)|Suspicion]]'' (1941), ''[[Arsenic and Old Lace (film)|Arsenic and Old Lace]]'' (1944), ''[[Notorious (1946 film)|Notorious]]'' (1946), ''[[To Catch a Thief (film)|To Catch A Thief]]'' (1955), ''[[An Affair to Remember]]'' (1957), ''[[North by Northwest]]'' (1959), na ''[[Charade]]'' (1963).
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
=== Bibliografia ===
{{Refbegin}}
* [[Peter Bogdanovich|Bogdanovich, Peter]]. ''Who the Hell's in It: Portraits and Conversations''. New York: A.A. Knopf, 2004. ISBN 0-375-40010-9.
* Eliot, Marc. ''Cary Grant: The Biography''. New York: Aurum Press, 2005. ISBN 1-84513-073-1.
* [[Charles Higham (biographer)|Higham, Charles]] and Roy Moseley. ''Cary Grant: The Lonely Heart''. London: Thompson Learning, 1997. ISBN 0-15-115787-1.
* Johannson, Warren and William A. Percy. [https://web.archive.org/web/20060221073017/http://williamapercy.com/pub-Outing.htm ''Outing: Shattering the Conspiracy of Silence.'']. Kirkwood, New York: Harrington Park Press, 1994, pp. 146–147.
* [[Pauline Kael|Kael, Pauline]]. "The Man from Dream City - Cary Grant" - ''[[The New Yorker]]'' - 14 Julai 1975 - (reprinted in: Pauline Kael: ''For Keeps - 30 Years at the Movies''. New York: Dutton, 1994.)
* [[Arthur Laurents|Laurents, Arthur]]. ''Original Story by: A Memoir of Broadway and Hollywood''. Milwaukee, Wisconsin: Hal Leonard Corp, 2001. ISBN 1-55783-467-9.
* [[William J. Mann|Mann, William J.]] ''Behind the Screen: How Gays and Lesbians Shaped Hollywood, 1910-1969''. New York: Viking, 2001. ISBN 0-670-03017-1.
* McCann, Graham. ''Cary Grant: A Class Apart''. London: Fourth Estate, 1997. ISBN 1-85702-574-1.
* McGilligan, Patrick. ''Alfred Hitchcock: A Life in Darkness and Light''. New York: Regan Books, 2003. ISBN 0-06-039322-X.
* Morecambe, Gary; Sterling, Martin. ''Cary Grant: In Name Alone''. London: Robson Books, 2001. ISBN 1-86105-466-1.
* Nelson, Nancy and Cary Grant. ''Evenings With Cary Grant: Recollections In His Own Words and By Those Who Loved Him Best''. Thorndike, Maine: Thorndike Press, 1992. ISBN 1-56054-342-6.
* [[Vito Russo|Russo, Vito]]. ''The Celluloid Closet: Homosexuality in the Movies'' [revised edition]. New York: Harrow & Row, 1987. ISBN 0-06-096132-5.
* Wansell, Geoffrey. ''Cary Grant: Dark Angel''. London: Arcade, 1997. ISBN 1-55970-369-5.
{{Refend}}
== Viungo vya Nje ==
{{Wikiquote}}
{{Commons|Cary Grant}}
* {{IMDb name|26}}
* {{Amg movie|8478}}
* {{tcmdb name|75180}}
* {{ibdb name|78289}}
* [http://www.carygrant.net/ CaryGrant.net with filmography and historic reviews and photo galleries]
* {{findagrave|1667}}
* [http://www.pbs.org/wnet/americanmasters/database/grant_c.html "The Man From Dream City"] by [[Pauline Kael]], originally published in ''[[The New Yorker]]'', 14 Julai 1975
* [http://www.wumingfoundation.com/english/giap/giapdigest32_3.htm#style "Cary Grant: Style as a Martial Art"] by [[Wu Ming]], on the inclusion of Grant in their novel ''[[54 (novel)|54]]''.
* [http://www.carygrantradio.com/ Radio Shows: The Ultimate Cary Grant Pages]. A vast collection of mp3 files.
{{DEFAULTSORT:Grant, Cary}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1904]]
[[Jamii:Waliofariki 1986]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
261pqpd3vzkvzpie2ayisgdtyw377zd
Aleksi Falconieri
0
56522
1240620
1138756
2022-08-08T08:30:19Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Sant_Alessio_Falconieri.gif|thumb|200 pix|Aleksi Falconieri.]]
'''Aleksi Falconieri''' ([[Firenze]], [[Italia]], [[1200]] hivi - [[Monte Senario]], Italia [[17 Februari]] [[1310]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99092</ref> kati ya waanzilishi saba wa shirika la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa 1200]]
[[Category:Waliofariki 1310]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
d08a7h65ezvp53bj026ijputictqqam
Mesrop
0
57190
1240748
1137774
2022-08-08T09:45:51Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Mesrop1776t.jpg|right|thumb|200px|Mesrop Mashtots alivyochorwa mwaka [[1776]].]]
[[Image:Mesrop Mashtots by Francesco Majotto.jpg|thumb|200px|Mesrop Mashtots alivyochorwa na [[Francesco Maggiotto]] ([[1750]]-[[1805]]).]]
[[Image:Amaras-vank.jpg|thumb|200px|right|Monasteri ya [[Amaras]] huko [[Nagorno Karabakh]] ambapo Mesrop Mashtots alianzisha shule ya kwanza iliyotumia [[alfabeti]] yake.<ref>Viviano, Frank. “The Rebirth of Armenia,” National Geographic Magazine, March 2004</ref>]]
'''Mesrop Mashtots''' (pia Mesrob Mashtotz, kwa [[Kiarmenia]] Մեսրոպ Մաշտոց; [[Hatsik]], [[Armenia ya Kale]], leo nchini [[Uturuki]], [[361]] hivi - [[Wagharshapat]], [[Armenia]], [[17 Februari]] [[440]]) alikuwa [[mmonaki]], [[mwanateolojia]], [[Ushairi|mshairi]] na [[mtaalamu]] wa [[lugha]] [[mwanafunzi]] wa [[Patriarki]] [[Nerses I]].
Anaitwa "Mwalimu wa Armenia" kwa kuwa ndiye aliyebuni [[alfabeti]] ya [[Kiarmenia]] ([[406]]) ili waamini waweze kujua Biblia ya Kikristo akaitafsiri yote akaanzisha [[shule]] nyingi akiweka hivyo misingi ya [[taifa]] hilo na [[ustaarabu]] wake uliolidumisha hata leo kati ya matatizo makubwa ya [[historia]] yake, hasa [[dhuluma]] za kidini.
Baada ya kufanya kazi ikulu, alipata daraja takatifu na kujiunga na umonaki akaanzisha mtindo wa [[monasteri]] kuwa na shule karibu nayo ili kuandaa watu watakaoendeleza [[elimu]] ya [[dini]] hasa kwa kutafsiri na kunakili [[vitabu]].
Mapema monasteri kubwa zikawa pia na [[seminari kuu]] au [[vyuo vikuu]] vya [[teolojia]].
Hivyo umonaki wa Armenia ulidumisha [[utamaduni]] wa taifa hilo, ambalo lilikuwa la kwanza kupokea [[Ukristo]] jumla pamoja na [[mfalme]] wake ([[300]]) halafu likaushika moja kwa moja hata lilipopitia vipindi vigumu sana.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waorthodoksi wa Mashariki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] ya [[kifo]] chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Mababu wa Kanisa]]
==Tanbihi==
<references/>
== Marejeo ==
* {{cite journal|first=Karen|last=Yuzbašyan|year=2011|title=L'invention de l'alphabet arménien|journal=Revue des Études Arméniennes|volume=33|pages=67–129|doi=10.2143/REA.33.0.2144981}}
* {{cite journal|first=Karen|last=Yuzbašyan|year=1995|title=Le destin de l'alphabet de Daniēl en Arménie|journal=Revue des Études Arméniennes|volume=25|pages=171–181|doi=10.2143/REA.25.0.2003780}}
* {{cite book|title=Ueber den Ursprung des armenischen Alphabets in Verbindung mit der Biographie des heil. Maštocʻ|url=https://archive.org/details/ueberdenursprung00markuoft|first=Josef|last=Markwart|author-link=Josef Markwart
|publisher= Mechitharisten-Buchdruckerei|place=Vienna|year=1917}}
* {{cite book|title=Considérations sur l'alphabet de Saint Mesrop|first=Frédéric|last=Feydit|publisher=Mechitharisten-Buchdruckerei|place=Vienna|year=1964|oclc=460351913}}
* {{cite book|title=Հայոց գրերը [The Armenian alphabet]|url=http://serials.flib.sci.am/Founders/Hayoc%20grer-%20Acharyan/book/content.html|first=Hračʿya|last=Ačaṙean|author-link1=Hrachia Acharian|publisher=Yerevan University Press|year=1984|edition=2}}
* {{cite book|title=Koriwns Biographie des Mesrop Maštocʻ : Übersetzung und Kommentar|first=Gabriele|last=Winkler|place=Rome|publisher=Pontificio istituto orientale|year=1994|isbn=9788872102985}}
== Filamu ==
* ''Mashtots'' (1988), directed by [[Levon Mkrtchyan]]
== Viungo vya nje ==
* [http://www.vehi.net/istoriya/armenia/korun/english/index.html Koriun, «The Life of Mashtots», translated by Bedros Norehad.]
* [http://www.newadvent.org/cathen/10211a.htm Mesrop katika [[Catholic Encyclopedia]].]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 361]]
[[Jamii:Waliofariki 440]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:watawa waanzilishi]]
[[Jamii:Mababu wa Kanisa]]
[[Jamii:waandishi wa Kiarmenia]]
[[Jamii:washairi wa Armenia]]
[[Jamii:Watakatifu wa Armenia]]
[[Jamii:watakatifu wa Uturuki]]
q2kxru0umyxbk5afk5n0rv3cu3lg7io
Dondoo
0
57997
1240782
995167
2022-08-08T09:57:45Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Dondoo
| picha = Steenbock male.JPG
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Dondoo-nyika]]<br><sup>(''Raphicerus campestris'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Antilopinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[swala]])</small>
| jenasi = ''[[Raphicerus]]'' <small>(Dondoo)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Charles Hamilton Smith|C. H. Smith]], 1827
| subdivision = Spishi 3:
:''[[Raphicerus campestris|R. campestris]]'' <small>[[Carl Peter Thunberg|Thunberg]], 1811</small>
:''[[Raphicerus melanotis|R. melanotis]]'' <small>Thunberg, 1811</small>
:''[[Raphicerus sharpei|R. sharpei]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1897</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Dondoo''', '''dondoro''' au '''isha''' ni [[mnyama|wanyamapori]] wadogo wa [[jenasi]] ''[[Raphicerus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]] wenye [[sikio|masikio]] makubwa. Wana rangi ya mchanga inayoelekea nyekundu na mara nyingi madoa au milima nyeupe. Madume wana [[pembe]] fupi na laini. Wanatokea [[Afrika ya Kusini]] na ya [[Afrika ya Mashariki|Mashariki]] katika maeneo mbalimbali kutoka ukanda wa [[jangwa]] mpaka [[kilima|vilima]] vyenye [[msitu]] wazi. Wanyama hawa hula [[jani|majani]], [[tawi|vitawi]], [[mzizi|mizizi]] na [[kiazi|viazi]].
==Spishi==
* ''Raphicerus campestris'', [[Dondoo-nyika]] au Isha ([[w:Steenbok|Steenbok]])
** ''Raphicerus c. campestris'', [[Dondoo-nyika kusi]]
** ''Raphicerus c. neumanni'', [[Dondoo-nyika mashariki]]
* ''Raphicerus melanotis'', [[Dondoo Kusi]] ([[w:Cape Grysbok|Cape Grysbok]])
* ''Raphicerus sharpei'', [[Dondoo wa Sharpe]] ([[w:Sharpe's Grysbok|Sharpe's Grysbok]])
==Picha==
<gallery>
File:Raphicerus campestris male (Etosha, 2012).jpg|Isha
File:Southafrica-capegrysbok.jpg|Dondoo kusi
File:Sharpe's Grysbok.jpg|Dondoo wa Sharpe
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.5}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
9zbfo8f8tredyj483vnfizs13j3secy
Kigezo:SWZ
10
59037
1240578
1061886
2022-08-08T07:01:16Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Flag|Eswatini}}<noinclude>
{{Flag template documentation|Eswatini|SWZ|SWZ|SWZ}}
</noinclude>
5bqgygusxpxj2g0pg5a5btfbtcbmbpr
Kigezo:English official language clickable map
10
59823
1240618
962477
2022-08-08T08:28:54Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Navbox
|title = [[English-speaking world]]
|name = English official language clickable map
|state = autocollapse
|list1style = text-align:left; color:darkblue;
|list1 = <div>
<center>
''Click on a coloured region to get related article:''
</center>
<imagemap>
Image:Anglospeak(800px)Countries.png|center|600px|English speaking countries
poly 311 122 366 105 369 124 413 126 415 118 393 118 397 107 404 98 397 55 410 27 359 29 339 55 345 76 326 84 314 96 308 109 [[English language in Europe]]
circle 364 120 7 [[Languages of Malta]]
poly 89 33 62 54 67 58 70 62 70 66 66 71 64 78 62 75 61 85 69 86 72 84 133 85 146 88 149 94 153 94 152 97 150 103 174 95 172 91 167 89 167 81 166 74 169 66 156 59 165 50 173 50 182 49 190 48 200 47 206 53 214 54 226 39 210 24 229 16 253 3 192 8 127 22 [[Canadian English]]
poly 196 48 177 56 168 73 168 81 167 90 173 94 184 90 202 89 217 78 200 75 200 72 206 69 209 59 [[Quebec English]]
poly 211 55 206 70 198 69 199 75 204 77 215 78 214 80 207 87 187 90 187 96 190 98 224 87 224 68 [[Canadian English]]
poly 89 31 58 58 40 60 6 71 6 62 32 36 58 30 87 29 [[Alaska]]
circle 211 353 15 [[Falkland Islands English]]
rect 323 54 335 71 [[Scottish English]]
poly 328 73 314 70 310 81 323 83 [[Hiberno-English]]
rect 311 64 324 73 [[Mid Ulster English]]
poly 328 72 325 84 336 83 342 68 [[British English]]
poly 402 288 395 294 407 308 412 297 [[Demographics of Lesotho]]
poly 406 308 394 295 402 287 414 298 419 286 407 288 407 284 410 284 409 277 405 275 393 284 390 282 385 287 382 282 378 291 371 289 374 307 403 310 [[South African English]]
poly 412 282 407 286 407 289 411 289 418 289 419 277 [[Eswatini]]
poly 452 247 438 258 436 284 450 290 460 249 [[Languages of Madagascar]]
circle 476 274 21 [[Morisi]]
poly 299 202 311 192 306 187 293 190 [[Sierra Leone]]
poly 299 204 310 194 318 199 312 211 [[Liberian English]]
rect 324 183 338 210 [[Languages of Ghana]]
poly 348 259 385 262 379 290 354 292 [[Namlish]]
poly 397 264 386 263 381 279 384 287 388 280 392 283 403 276 [[Demographics of Botswana#Languages]]
poly 406 258 401 264 404 274 411 274 415 266 415 259 [[Languages of Zimbabwe]]
poly 389 263 402 264 414 252 417 242 409 238 402 240 402 246 390 243 385 252 [[Languages of Zambia]]
poly 414 238 413 254 420 262 426 255 422 244 [[Malawian English]]
poly 429 227 416 219 409 219 405 228 407 237 418 241 424 246 442 246 441 227 [[Tanzania]]
poly 399 215 410 221 404 228 395 224 [[Rwanda]]
rect 408 205 418 225 [[Ugandan English]]
poly 421 204 418 213 418 218 429 226 440 220 439 204 [[Lugha za Kenya]]
poly 394 155 386 181 399 205 425 205 416 193 425 155 [[Languages of Sudan]]
poly 342 176 338 199 337 208 351 210 355 203 357 195 363 196 373 182 368 176 [[Languages of Nigeria]]
poly 371 188 358 196 354 211 362 219 376 215 378 194 [[Cameroon English]]
poly 515 121 505 123 511 130 504 139 502 143 504 148 492 163 475 153 470 132 499 109 508 108 516 114 [[Pakistani English]]
poly 540 133 544 140 554 142 560 135 569 140 558 160 537 170 528 192 519 195 505 169 499 156 503 146 501 142 510 129 507 123 520 114 [[Indian English]]
poly 665 343 636 312 582 316 593 256 651 244 689 245 710 285 700 317 [[Australian English]]
poly 729 302 694 328 695 352 754 347 770 301 [[New Zealand English]]
rect 682 213 702 254 [[Languages of Papua New Guinea]]
rect 705 220 730 254 [[Visiwa vya Solomon]]
circle 659 202 10 [[Palau]]
poly 671 182 663 191 708 211 726 207 728 201 [[Shirikisho la Mikronesia]]
rect 754 245 802 281 [[Languages of Fiji]]
circle 590 215 5 [[Singapore English]]
rect 615 163 657 207 [[Philippine English]]
circle 608 155 8 [[Hong Kong English]]
circle 734 187 15 [[Visiwa vya Marshall]]
circle 746 217 10 [[Languages of Nauru]]
poly 143 138 139 151 159 162 168 153 159 140 [[Bahamian English]]
poly 69 85 135 86 154 93 156 100 190 87 194 92 181 99 157 125 143 133 142 147 139 149 127 139 100 149 38 122 55 87 [[American English]]
circle 134 164 7 [[Demographics of the Cayman Islands#Languages]]
circle 144 171 8 [[Jamaican English]]
rect 109 159 126 180 [[Languages of Belize]]
circle 320 261 20 [[Demographics of Saint Helena]]
rect 176 193 202 224 [[Languages of Guyana]]
rect 164 156 175 178 [[Puerto Rico]]
rect 175 156 198 193 [[Caribbean English|English of the Windward Islands and Leeward Islands]]
circle 184 129 12 [[Bermudian English]]
desc none
</imagemap>
<!-- removed from map:
poly 543 133 544 142 551 145 557 137 555 129 546 130 [[Bhutan]]
circle 511 202 12 [[Maldivi]] -->
</div>
|list2 =
{{Navbox|child
|group1style = background:blue; color:blue;
|group1 = {{Pad}}
|list1style = text-align:center; background:#dde; color:darkblue;
|list1 = '''Countries where English is the national language or the native language of the majority.'''
{{Navbox|child
|groupstyle = background:#eef;
|group1 = [[Languages of Africa|Africa]]
|list1 = ''[[Saint Helena]]''
|group2 = [[Anglo-America|Americas]]
|list2 = ''[[Anguilla]]''{{,}} [[Antigua na Barbuda]]{{,}} [[Bahamas]]{{,}} [[Barbados]]{{,}} ''[[Bermuda]]''{{,}} ''[[Visiwa vya Virgin vya Uingereza]]''{{,}} [[Kanada]]{{,}} ''[[Cayman]]''{{,}} [[Dominica]]{{,}} ''[[Visiwa vya Falkland]]''{{,}} [[Grenada]]{{,}} [[Guyana]]{{,}} [[Jamaika]]{{,}} ''[[Montserrat]]''{{,}} ''[[Saba]]''{{,}} [[Saint Kitts na Nevis]]{{,}} [[Saint Lucia]]{{,}} [[Saint Vincent na Grenadini]]{{,}} ''[[Sint Eustatius]]''{{,}} ''[[Sint Maarten]]''{{,}} ''[[South Georgia and the South Sandwich Islands]]''{{,}} [[Trinidad na Tobago]]{{,}} ''[[Visiwa vya Turks na Caicos]]''{{,}} [[Marekani]]{{,}} ''[[Visiwa vya Virgin vya Marekani]]''
|group3 = [[English language in Europe|Europe]]
|list3 = ''[[Gibraltar]]''{{,}} ''[[Guernsey]]''{{,}} [[Eire|Ireland]]{{,}} ''[[Isle of Man]]''{{,}} ''[[Jersey]]''{{,}} [[Malta]]{{,}} [[Ufalme wa Muungano]]
|group4 = [[Languages of Oceania|Oceania]]
|list4 = [[Australia]]{{,}} [[New Zealand]]{{,}} ''[[Kisiwa cha Norfolk]]''
}}
|group2style = background:lightblue; color:lightblue;
|group2 = {{Pad}}
|list2style = text-align:center; background:#dde; color:darkblue;
|list2 = '''Countries where English is an official language, but not the majority language.'''
{{Navbox|child
|groupstyle = background: #eef;
|group1 = Africa
|list1 = [[Botswana]]{{,}} [[Eswatini]]{{,}} [[Kamerun]]{{,}} [[Gambia]]{{,}} [[Ghana]]{{,}} [[Kenya]]{{,}} [[Lesotho]]{{,}} [[Liberia]]{{,}} [[Malawi]]{{,}} [[Morisi]]{{,}} [[Namibia]]{{,}} [[Nigeria]]{{,}} [[Rwanda]]{{,}} [[Sierra Leone]]{{,}} ''[[Somaliland]]''{{,}} [[Afrika Kusini]]{{,}}[[Sudan Kusini]]{{,}} [[Sudan]]{{,}} [[Tanzania]]{{,}} [[Uganda]]{{,}} [[Zambia]]{{,}} [[Zimbabwe]]
|group2 = Americas
|list2 = [[Belize]]{{,}} ''[[Puerto Rico]]''
|group3 = [[Languages of Asia|Asia]]
|list3 = ''[[Kisiwa cha Krismasi]]''{{,}}''[[Visiwa vya Cocos (Keeling)]]''{{,}}''[[Hong Kong]]''{{,}} [[Uhindi]]{{,}} [[Pakistan]]{{,}} [[Ufilipino]]{{,}} [[Singapuri]]
|group4 = Oceania
|list4 = ''[[Samoa ya Marekani]]''{{,}} [[Visiwa vya Cook]]{{,}} [[Fiji]]{{,}} ''[[Guam]]''{{,}} [[Kiribati]]{{,}} [[Visiwa vya Marshall]]{{,}} [[Shirikisho la Mikronesia|Micronesia]]{{,}} [[Nauru]]{{,}} [[Niue]]{{,}} ''[[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]''{{,}} [[Palau]]{{,}} [[Papua Guinea Mpya]]{{,}} ''[[Pitcairn]]''{{,}} [[Samoa]]{{,}} [[Visiwa vya Solomon]]{{,}} ''[[Tokelau]]''{{,}} [[Tuvalu]]{{,}} [[Vanuatu]]
}}
}}
}}<noinclude>
{{Documentation}}
[[Category:English-speaking countries and territories| ]]
[[Category:Language templates|English]]
</noinclude>
5qlyzsh7uysiu5cw2zd2mwjydpi4fp3
Kigezo:African Union
10
61567
1240569
1194889
2022-08-08T06:49:56Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Navbox
|name = African Union (AU)
|title = Nchi wanachama wa [[Umoja wa Afrika]] (AU)
|titlestyle = {{{titlestyle|}}}
|list1 = <div><!--reduces gap between wrapped lines-->
{{Nowrap begin}} [[Afrika ya Kati (Jamhuri ya)]] {{·w}} [[Afrika Kusini]] {{·w}} [[Algeria]] {{·w}} [[Angola]] {{·w}} [[Benin]] {{·w}} [[Botswana]] {{·w}} [[Burkina Faso]] {{·w}} [[Burundi]] {{·w}} [[Cabo Verde]] {{·w}} [[Chad]] {{·w}} [[Cote d'Ivoire]] {{·w}} [[Eritrea]] {{·w}} [[Eswatini]] {{·w}} [[Ethiopia]] {{·w}} [[Gabon]] {{·w}} [[Gambia]] {{·w}} [[Ghana]] {{·w}} [[Guinea]] {{·w}} [[Guinea Bisau]] {{·w}} [[Guinea ya Ikweta]] {{·w}} [[Jibuti]] {{·w}} [[Kamerun]] {{·w}} [[Kenya]] {{·w}} [[Komori]] {{·w}} [[Jamhuri ya Kongo|Kongo (Jamhuri ya)]] {{·w}} [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya)]] {{·w}} [[Lesotho]] {{·w}} [[Liberia]] {{·w}} [[Libya]] {{·w}} [[Madagaska]] {{·w}} [[Malawi]] {{·w}} [[Mali]] {{·w}} [[Misri]] {{·w}} [[Morisi (Visiwa vya)]] {{·w}} [[Mauritania]] {{·w}} [[Morisi (Visiwa vya)]] {{·w}} [[Moroko]] {{·w}} [[Msumbiji]] {{·w}} [[Namibia]] {{·w}} [[Niger]] {{·w}} [[Nigeria]] {{·w}} [[Rwanda]] {{·w}} [[Sahara ya Magharibi]] {{·w}} [[Sao Tome na Principe]] {{·w}} [[Senegal]] {{·w}} [[Shelisheli]] {{·w}} [[Sierra Leone]] {{·w}} [[Somalia]] {{·w}} [[Sudan]] {{·w}} [[Sudan Kusini]] {{·w}} [[Tanzania]] {{·w}} [[Togo]] {{·w}} [[Tunisia]] {{·w}} [[Uganda]] {{·w}} [[Zambia]] {{·w}} [[Zimbabwe]] {{Nowrap end}}
</div>
}}<noinclude>
[[Category:Vigezo vya Afrika|{{PAGENAME}}]]
[[Category:Umoja wa Afrika]]
[[Category:International organization templates|{{PAGENAME}}]]
</noinclude>
5eojiwlk0o10mww0sd0kyh8c3hvykdw
Valentinus
0
64542
1240316
1156728
2022-08-07T13:49:08Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
wikitext
text/x-wiki
[[Image:St-valentine-baptizing-st-lucilla-jacopo-bassano.jpg|thumb|Mt. Valentinus akimbatiza [[Mt. Lusila]], [[mchoro]] wa [[Jacopo Bassano]].]]
'''Valentinus''' ([[Terni]], [[Italia]], [[176]] hivi - [[Roma]], [[14 Februari]] [[273]]) alikuwa [[askofu]] wa Terni.
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]] katika [[Kanisa Katoliki]], lakini pia na [[Waorthodoksi]], [[Waanglikana]] na [[Walutheri]] kadhaa.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]] ya kila [[mwaka]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
Valentinus anakumbukwa kama mtetezi wa wapendanao na sikukuu yake kuadhimishwa kote [[duniani]] kama ''[[Valentine's Day]]''.
==Historia==
[[Historia]] yake inawezekana inamchanganya na Valentinus mwingine, [[padri]] wa [[karne ya 3]] huko [[Roma]], aliyeuawa mwaka [[269]] katika [[mazingira]] yaleyale.
==Hadithi==
Kuna [[hadithi]] mbalimbali juu yake. Mojawapo inasema Valentinus aliandika [[barua]] kwa [[binti]] aliyekuja kumsalimia [[gereza|gerezani]]; mwisho wa barua alihitimisha kwa maneno haya: ''Kutoka kwa Valentinus wako''.
Mbali ya hadithi, askofu huyo alijulikana kwa [[miujiza]] yake. Huko Terni, mnamo [[2011]], ilipatikana [[mifupa]] ya Sabino e Serapia: mmoja alikuwa [[Mpagani]] [[akida]] wa [[jeshi]] la Roma, mwingine [[msichana]] [[Mkristo]] motomoto. Kwa ajili yake Sabino aliongokea [[Ukristo]], lakini baada ya muda mfupi aligundua kwamba Serapia ni [[mgonjwa]] wa [[kifua kikuu]]. Ili asitengane naye, Sabino alimuomba Valentinus, naye alibariki [[ndoa]] yao na kuomba [[mapendo]] yao yadumu [[milele]]. Baadaye walifariki pamoja wamekumbatiana na ndivyo mifupa yao inavyopatikana hadi leo.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* [http://www.catholic-forum.com/saints/golden169.htm ''The Golden Legend'': St. Valentine] {{Wayback|url=http://www.catholic-forum.com/saints/golden169.htm |date=20120112234436 }}
* [http://www.newadvent.org/cathen/15254a.htm Catholic Encyclopedia: ''St. Valentine'']
* [[Roman Catholic Diocese of Terni-Narni-Amelia |Diocese of Terni]]. 2009. [http://www.diocesi.terni.it/sanvalentino/biografia/main.php?cat_id=1001&subcat_id=240 ''Saint Valentine''] {{Wayback|url=http://www.diocesi.terni.it/sanvalentino/biografia/main.php?cat_id=1001&subcat_id=240 |date=20121229053757 }}
* [http://www.mirabilis.ca/archives/002639.html ''In Search of St. Valentine''] {{Wayback|url=http://www.mirabilis.ca/archives/002639.html |date=20120216230644 }}
* Oruch, Jack B. 1981. "St. Valentine, Chaucer, and Spring in February", ''Speculum '''56'''.3 (July 1981), pp 534–565.
* [[Vincenzo Paglia|Paglia, Vincenzo]]. 2007. [http://onfaith.washingtonpost.com/onfaith/guestvoices/2007/02/saint_valentines_message.html "Saint Valentine's Message".''Washington Post, February 15, 2007.''] {{Wayback|url=http://onfaith.washingtonpost.com/onfaith/guestvoices/2007/02/saint_valentines_message.html |date=20130906013915 }}
* Johannes Baptista de Rossi et Ludovicus Duchesne, ''Martyrologium Hieronymianum: ad fidem codicum adiectis prolegomenis'', Ex Actibus Sanctorum Novembris, Tomi II, pars prior, Bruxellis, 1894, LXXXII, p. 195, ''S. Valentinus, p. 20.''
* Agostino Amore, ''Valentino, presbitero, santo, martire di Roma (?)'', Bibliotheca sanctorum, 12:896-897, Roma, 1961-1970.
* Agostino Amore, ''S. Valentino di Roma o di Terni?'', Antonianum 41, 1966, pp 260–77.
* Francesco Scorza Barcellona, ''San Valentino di Roma e/o di Terni tra storia e agiografia'', in Rosetto, ed. Flaviano, 2000, ''Il culto di San Valentino nel Veneto'', Padova, 2009, p. 198.
* [[Vincenzo Pirro]] (a cura di), ''San Valentino Patrono di Terni'', Ed. Thyrus, Arrone, 2009.
* Edoardo D'Angelo, ''La Passione di Valentino da Terni (BHL 8460): un martirio occulto di età postcostantiniana?'' in Massimiliano Bassetti, Enrico Menestò, ''San Valentino e il suo culto tra Medioevo ed Età contemporanea'', Spoleto, 2012, XII, p. 179-222.
* Edoardo D'Angelo, ''Terni Medievale. La città, la Chiesa, i santi, l'agiografia'', Spoleto, 2015, pp. 226-242.
* Edoardo D'Angelo, ''Valentino, santo'', in ''Dizionario Biografico degli Italiani'', Roma, 2020, pp. 833-835.
* Edoardo D'Angelo. ''San Valentino vescovo e martire: dalla tradizione alla storia'', Napoli, 2020.
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Saint Valentine}}
* [http://www.virtualmuseum.ca/Exhibitions/Valentin/English/index.php3 Valentine's Day: Love and Romance Through the Ages] {{Wayback|url=http://www.virtualmuseum.ca/Exhibitions/Valentin/English/index.php3 |date=20111215070136 }}
* [http://www.museevirtuel.ca/Exhibitions/Valentin/Francais/index.php3 La Saint-Valentin : L'amour et la tendresse à travers les âges] {{Wayback|url=http://www.museevirtuel.ca/Exhibitions/Valentin/Francais/index.php3 |date=20111108170724 }}
{{DEFAULTSORT:Valentinus}}
[[Jamii:Waliozaliwa 176]]
[[Jamii:Waliofariki 273]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
sn5lccdxf81pplso78skog8jnhw5rsm
Viunganishi
0
71155
1240576
1190008
2022-08-08T06:59:23Z
41.222.181.191
wikitext
text/x-wiki
{{ExamplesSidebar|35%|
* Alifyeka '''lakini''' hakulima
* Habiba aliondoka '''pamoja na''' mama yake
* Wao ni '''kama''' sisi
* '''Kiache''' '''hicho'''.
* Kaka '''na''' Dada
}}
'''Viunganishi''' ni neno au kikundi cha maneno chenye kuunganisha vipashio vya lugha ili kuunda kipashio kikubwa zaidi. Pia ni maneno yanayounganisha maneno mengine. Kiunganishi kinaweza kuunganisha neno na neno, kirai na kirai, kishazi na kishazi, sentensi na sentensi au vinginevyo.
==Uchambuzi==
;Mifano ya jumla:
*'''Baba''' na '''mama'''
*Analima '''bila''' kupanda
*Baba analima '''na''' baba anapanda
*Shoka limeshindwa '''sembuse''' panga
===Maumbo ya viunganishi===
Viunganishi havina maneno ya kupambikwa katika neno au katika kupatanishwa kisarufi ndani ya tungo. Yaani, mfano cheza, '''chezewa''', '''chezeka''', na kadhalika. Hayo ni maumbo ya maneno ambayo hayabadiliki.
;Mfano:
Na, lakini, ingawa, bila, au, ila, sembuse, kwa sababu, kwa kuwa, pamoja na, ijapokuwa, tena, iwapo, labda, toka, n.k.
==Aina za viunganishi==
Kuna aina mbili za viunganishi - navyo ni:
*[[Viunganishi halisi]]
*[[Viunganishi vihusishi]]
Ama:
*[[Viunganishi huru]]
*[[Viunganishi tegemezi]]
Viunganishi huru ni vile vinavyosimama pekee katika [[tungo]]/katikati ya vipashio vinavyoungwa. Kwa mfano: Sisi tunaimba na kucheza.
Viunganishi tegemezi ni vile ambavyo huunda kwa viambishi vya o-rejeshi vinavyowekwa katika [[kishazi huru]] kwa pamoja huunda [[sentensi]] changamano. Viambishi hivyo ni kama vile: po, ye, lo, cho n.k. Kwa mfano: Mama anayepika ni msusi.
==Tazama pia==
*[[Lango:Lugha]]
{{aina za maneno}}
{{mbegu-lugha}}
[[Jamii:Isimu]]
[[Jamii:Sarufi]]
0u74tjvo94yt9fl9s1aua7g28kbfmuq
1240603
1240576
2022-08-08T07:44:13Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/41.222.181.191|41.222.181.191]] ([[User talk:41.222.181.191|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:169.255.185.205|169.255.185.205]]
wikitext
text/x-wiki
{{ExamplesSidebar|35%|
* Alifyeka '''lakini''' hakulima
* Habiba aliondoka '''pamoja na''' mama yake
* Wao ni binadamu '''kama''' sisi
* '''Kiache''' '''hicho'''.
* Kaka '''na''' Dada
}}
'''Viunganishi''' ni neno au kikundi cha maneno chenye kuunganisha vipashio vya lugha ili kuunda kipashio kikubwa zaidi. Pia ni maneno yanayounganisha maneno mengine. Kiunganishi kinaweza kuunganisha neno na neno, kirai na kirai, kishazi na kishazi, sentensi na sentensi au vinginevyo.
==Uchambuzi==
;Mifano ya jumla:
*'''Baba''' na '''mama'''
*Analima '''bila''' kupanda
*Baba analima '''na''' baba anapanda
*Shoka limeshindwa '''sembuse''' panga
===Maumbo ya viunganishi===
Viunganishi havina maneno ya kupambikwa katika neno au katika kupatanishwa kisarufi ndani ya tungo. Yaani, mfano cheza, '''chezewa''', '''chezeka''', na kadhalika. Hayo ni maumbo ya maneno ambayo hayabadiliki.
;Mfano:
Na, lakini, ingawa, bila, au, ila, sembuse, kwa sababu, kwa kuwa, pamoja na, ijapokuwa, tena, iwapo, labda, toka, n.k.
==Aina za viunganishi==
Kuna aina mbili za viunganishi - navyo ni:
*[[Viunganishi halisi]]
*[[Viunganishi vihusishi]]
Ama:
*[[Viunganishi huru]]
*[[Viunganishi tegemezi]]
Viunganishi huru ni vile vinavyosimama pekee katika [[tungo]]/katikati ya vipashio vinavyoungwa. Kwa mfano: Sisi tunaimba na kucheza.
Viunganishi tegemezi ni vile ambavyo huunda kwa viambishi vya o-rejeshi vinavyowekwa katika [[kishazi huru]] kwa pamoja huunda [[sentensi]] changamano. Viambishi hivyo ni kama vile: po, ye, lo, cho n.k. Kwa mfano: Mama anayepika ni msusi.
==Tazama pia==
*[[Lango:Lugha]]
{{aina za maneno}}
{{mbegu-lugha}}
[[Jamii:Isimu]]
[[Jamii:Sarufi]]
rof1bmprkt31g59c7gwwfjpxnj0ipz5
Nyomi Banxxx
0
72790
1240922
1236950
2022-08-08T11:56:12Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Nyomi Banxxx at AVN Adult Entertainment Expo 2012 1.jpg|thumb|right|250px|Akiwa katika tamasha la filamu za kikubwa maarufu kama AVN Adult Entertainment]].
'''Nyomi Banxxx''' (amezaliwa '''Amanda Dee'''; 14 Oktoba, [[1972]]) ni [[mwigizaji]] wa zamani wa [[filamu]] za [[ponografia]] na mtangazaji wa vipindi vya redio kutoka nchini [[Marekani]].<ref name=HipHopVibe>{{cite web|url= http://www.hip-hopvibe.com/2013/06/11/hhv-exclusive-nyomi-banxxx-talks-xxx-career-moving-on-to-radio-and-more/|title= HHV Exclusive: Nyomi Banxxx talks XXX career, moving on to radio, and more|accessdate= 2014-01-22|author= TBTentGroup|date= 2013-01-11|publisher= ''Hip Hop Vibe''}}</ref> Banxxx aliingia katika tasnia ya filamu za kikubwa mnamo 2006 na kustaafu mwaka wa 2013.<ref name=HipHopVibe/>
Jina lake la kisanii linatokana na wanamitindo maarufu [[Naomi Campbell]] na [[Tyra Banks]].<ref>{{cite web|url= http://www.whackmagazine.com/2011/02/08/nyomi-banxxx-%E2%80%94-%E2%80%9Chonestly-we-all-have-a-little-freak-in-us%E2%80%9D/|title= Nyomi Banxxx — "Honestly, we all have a little freak in us!"|accessdate= 2014-02-27|author= Miss Lagsalot|date= 2011-02-08|publisher= ''WHACK! Magazine''|archivedate= 2011-11-16|archiveurl= https://web.archive.org/web/20111116181952/http://www.whackmagazine.com/2011/02/08/nyomi-banxxx-%E2%80%94-%E2%80%9Chonestly-we-all-have-a-little-freak-in-us%E2%80%9D/}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya Nje==
{{Commons category|Nyomi Banxxx}}
* {{official website|http://www.nyomibanxxx.com}}
{{BD|1972|}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
1oveo8u6g4scgttdbz8p9w65r31c8qw
Flaviano wa Kostantinopoli
0
85891
1240785
1137776
2022-08-08T09:59:12Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:San Flaviano incisione.jpg|250px|thumb|right|Mt. Flaviano.]]
'''Flaviano wa Konstantinopoli''' (kwa [[Kigiriki]] Φλαβιανος, ''Phlabianos''; kwa [[Kilatini]] Flavianus; alifariki [[Hypaepa]], [[Lydia]], leo [[Uturuki]], [[11 Agosti]] [[449]]), alikuwa [[Patriarki]] wa [[Konstantinopoli]] tangu [[446]] hadi 449.
Anaheshimiwa tangu kale na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]]<ref>[http://glt.xyz/texts/Feb/16.uni.htm Menaion, read in ''Συναξάριον'']</ref> kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[16 Februari]], [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> na pia [[24 Novemba]].
== Maisha ==
Flaviano alikuwa mlinzi wa vyombo vitakatifu vya [[Kanisa]] la Konstantinopoli. Kutokana na sifa yake ya [[utakatifu]] alichaguliwa kuwa [[askofu mkuu]] wa [[jiji]] hilo.
Alipowekwa [[wakfu]] na kutawazwa, [[kaisari]] [[Theodosius II]] alikuwa [[Kalsedonia]]. [[Towashi]] wake Khrisafyo alijaribu kumdai Flaviano [[zawadi]] ya [[dhahabu]] kwa ajili ya kaisari, lakini alipokataliwa alifanya [[njama]] dhidi yake kwa kumuunga mkono [[Eutike]], mpinzani wa Flaviano.
Flaviano aliongoza [[mtaguso]] wa [[Askofu|maaskofu]] 40 huko Konstantinopoli tarehe [[8 Novemba]] [[448]] ili kumaliza mgogoro kati ya [[askofu mkuu]] wa [[Sardi]] na maaskofu wawili wa kanda yake. Hapo askofu [[Eusebius wa Dorylaeum]] alileta [[shtaka]] dhidi ya [[Eutike]]. Flaviano alitaka apewa muda wa kuonywa, lakini [[sinodi]] ilimuondoa Eutike.
Kwa kuwa huyo alilalamika na kupata sapoti ya [[Dioskoro I wa Aleksandria]], kaisari aliitisha mtaguso mwingine huko [[Efeso]]. Huko tarehe [[8 Agosti]] 449, Eutike na Dioskoro walimshambulia vikali Flaviano ambaye siku tatu baadaye alifariki dunia kutokana na mapigo aliyoyapata.<ref>Among the documents which touch on the career of Flavian are the reply of [[Petrus Chrysologus]], [[archbishop]] of Ravenna, to a circular appeal of [[Eutyches]], and various letters of [[Theodoret]]. [[Pope Leo I]] wrote Flavian a beautiful letter before hearing that he was dead.</ref>
==Matokeo==
[[Papa Leo I]], ambaye wajumbe wake walipuuziwa katika huo mtaguso, alilalamika kwa kuuita "sinodi ya wizi" akafuta maamuzi uliyoyatoa.
Baada ya Theodosius II kufa mwaka [[450]], dada yake [[Pulkeria wa Konstantinopoli|Pulkeria]] alirudi [[madaraka|madarakani]], [[Ndoa|akioana]] na [[afisa]] [[Marchano]], ambaye akawa kaisari. Hao wawili walirudisha masalia ya Flaviano Konstantinopoli kwa namna ya "maandamano ya ushindi ... si mazishi".
[[Mtaguso wa Kalsedonia]] ([[451]]) alilaani mafundisho ya Eutike, alithibitisha "Hati kwa Flaviano" ya Papa Leo (barua 28<ref>{{cite web|url = http://www.newadvent.org/fathers/3604028.htm| author = [[Pope Leo I]]| title = Letter 28 - The Tome| accessdate = 2011-02-18| publisher = [[New Advent]]}}</ref> na kumtangaza Flaviano kuwa [[mfiadini]].
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Vyanzo==
* [[Evagrius Scholasticus]]. ii. 2. etc.
* Facund, Pro Trib. Capit. viii. 5; xii. 5.
* [[Papa Leo I]] Epp. 23, 26, 27, 28, 44.
* [[Liberatus wa Karthago]] Breviar. xi. xii.
* [[Nicephorus Callistus Xanthopoulos]], Constant. xiv. 47.
* [[Sozomen]] H. E. ix. 1.
* [[[[Teofane muungamadini]]]], ''Chronology'' pp. 84–88.
==Marejeo==
* {{Cite book|ref=harv|last=Meyendorff|first=John|author-link=John Meyendorff|year=1989|title=Imperial unity and Christian divisions: The Church 450-680 A.D.|series=The Church in history|volume=2|location=Crestwood, NY|publisher=St. Vladimir's Seminary Press|isbn=978-0-88-141056-3|url=https://books.google.com/books?id=6J_YAAAAMAAJ}}
==Viungo vya nje==
* {{Cite Catholic Encyclopedia |wstitle=St. Flavian|volume=6}}
*[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=100556 St Flavian of Constantinople] Orthodox Synaxarion (February 18)
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliofariki 449]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
512g3vtczncv89v7ymr48vb1bb2ro4x
1240786
1240785
2022-08-08T09:59:58Z
Riccardo Riccioni
452
/* Vyanzo */
wikitext
text/x-wiki
[[image:San Flaviano incisione.jpg|250px|thumb|right|Mt. Flaviano.]]
'''Flaviano wa Konstantinopoli''' (kwa [[Kigiriki]] Φλαβιανος, ''Phlabianos''; kwa [[Kilatini]] Flavianus; alifariki [[Hypaepa]], [[Lydia]], leo [[Uturuki]], [[11 Agosti]] [[449]]), alikuwa [[Patriarki]] wa [[Konstantinopoli]] tangu [[446]] hadi 449.
Anaheshimiwa tangu kale na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]]<ref>[http://glt.xyz/texts/Feb/16.uni.htm Menaion, read in ''Συναξάριον'']</ref> kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[16 Februari]], [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> na pia [[24 Novemba]].
== Maisha ==
Flaviano alikuwa mlinzi wa vyombo vitakatifu vya [[Kanisa]] la Konstantinopoli. Kutokana na sifa yake ya [[utakatifu]] alichaguliwa kuwa [[askofu mkuu]] wa [[jiji]] hilo.
Alipowekwa [[wakfu]] na kutawazwa, [[kaisari]] [[Theodosius II]] alikuwa [[Kalsedonia]]. [[Towashi]] wake Khrisafyo alijaribu kumdai Flaviano [[zawadi]] ya [[dhahabu]] kwa ajili ya kaisari, lakini alipokataliwa alifanya [[njama]] dhidi yake kwa kumuunga mkono [[Eutike]], mpinzani wa Flaviano.
Flaviano aliongoza [[mtaguso]] wa [[Askofu|maaskofu]] 40 huko Konstantinopoli tarehe [[8 Novemba]] [[448]] ili kumaliza mgogoro kati ya [[askofu mkuu]] wa [[Sardi]] na maaskofu wawili wa kanda yake. Hapo askofu [[Eusebius wa Dorylaeum]] alileta [[shtaka]] dhidi ya [[Eutike]]. Flaviano alitaka apewa muda wa kuonywa, lakini [[sinodi]] ilimuondoa Eutike.
Kwa kuwa huyo alilalamika na kupata sapoti ya [[Dioskoro I wa Aleksandria]], kaisari aliitisha mtaguso mwingine huko [[Efeso]]. Huko tarehe [[8 Agosti]] 449, Eutike na Dioskoro walimshambulia vikali Flaviano ambaye siku tatu baadaye alifariki dunia kutokana na mapigo aliyoyapata.<ref>Among the documents which touch on the career of Flavian are the reply of [[Petrus Chrysologus]], [[archbishop]] of Ravenna, to a circular appeal of [[Eutyches]], and various letters of [[Theodoret]]. [[Pope Leo I]] wrote Flavian a beautiful letter before hearing that he was dead.</ref>
==Matokeo==
[[Papa Leo I]], ambaye wajumbe wake walipuuziwa katika huo mtaguso, alilalamika kwa kuuita "sinodi ya wizi" akafuta maamuzi uliyoyatoa.
Baada ya Theodosius II kufa mwaka [[450]], dada yake [[Pulkeria wa Konstantinopoli|Pulkeria]] alirudi [[madaraka|madarakani]], [[Ndoa|akioana]] na [[afisa]] [[Marchano]], ambaye akawa kaisari. Hao wawili walirudisha masalia ya Flaviano Konstantinopoli kwa namna ya "maandamano ya ushindi ... si mazishi".
[[Mtaguso wa Kalsedonia]] ([[451]]) alilaani mafundisho ya Eutike, alithibitisha "Hati kwa Flaviano" ya Papa Leo (barua 28<ref>{{cite web|url = http://www.newadvent.org/fathers/3604028.htm| author = [[Pope Leo I]]| title = Letter 28 - The Tome| accessdate = 2011-02-18| publisher = [[New Advent]]}}</ref> na kumtangaza Flaviano kuwa [[mfiadini]].
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Vyanzo==
* [[Evagrius Scholasticus]]. ii. 2. etc.
* Facund, Pro Trib. Capit. viii. 5; xii. 5.
* [[Papa Leo I]] Epp. 23, 26, 27, 28, 44.
* [[Liberatus wa Karthago]] Breviar. xi. xii.
* [[Nicephorus Callistus Xanthopoulos]], Constant. xiv. 47.
* [[Sozomen]] H. E. ix. 1.
* [[Teofane muungamadini]], ''Chronology'' pp. 84–88.
==Marejeo==
* {{Cite book|ref=harv|last=Meyendorff|first=John|author-link=John Meyendorff|year=1989|title=Imperial unity and Christian divisions: The Church 450-680 A.D.|series=The Church in history|volume=2|location=Crestwood, NY|publisher=St. Vladimir's Seminary Press|isbn=978-0-88-141056-3|url=https://books.google.com/books?id=6J_YAAAAMAAJ}}
==Viungo vya nje==
* {{Cite Catholic Encyclopedia |wstitle=St. Flavian|volume=6}}
*[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=100556 St Flavian of Constantinople] Orthodox Synaxarion (February 18)
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliofariki 449]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
ea8pfzrcenvn33dgfzdmqewxsn7jo1i
Kastori wa Karden
0
87533
1240297
1073881
2022-08-07T12:47:41Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Karden Statue Kastorbrunnen 2006-08-16.jpg|thumb|250px|Sanamu ya Mt. Kastori huko Karden.]]
'''Kastori wa Karden''' (kwa [[Kijerumani]] Kastor von Karden) alikuwa [[padri]] na [[mkaapweke]] wa [[karne ya 4]] kutoka [[Akwitania]], leo nchini [[Ufaransa]].
[[Mwanafunzi]] wa [[Maksimino wa Trier]] mnamo [[mwaka]] [[345]] hivi<ref name="heiligen">{{cite web|url= http://www.heiligen-3s.nl/heiligen/02/13/02-13-0400-Kastor-Karden.php|title= Kastor van Karden|date=n.d.|publisher=Heiligen-3s|accessdate=March 27, 2009}}</ref> alipewa naye [[upadrisho]].
Hapo alifanya maskani yake [[Treis-Karden|Karden]] kwenye [[mto]] [[Moselle]] pamoja na [[wamonaki]] kadhaa.
Alifariki huko akiwa [[mzee]] sana.<ref name="kirchen">{{cite web|url=http://kirchensite.de/index.php?myELEMENT=84363|title=Heiliger Kastor von Karden|date=n.d.|publisher=Kirchensite.de|accessdate=March 27, 2009}}</ref>
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
*{{de icon}} [http://www.sankt-kastor-koblenz.de/der-heilige-kastor/ Kastor - ein Mann aus Aquitanien]
*{{nl icon}} [http://www.heiligen-3s.nl/heiligen/02/13/02-13-0400-Kastor-Karden.php Kastor van Karden]
*{{de icon}} [http://www.heiligenlexikon.de/BiographienK/Kastor_von_Karden.htm Kastor von Karden]
*{{it icon}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/40660]
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Kastori wa Karden}}
[[Category:Mapadri]]
[[Category:Wakaapweke]]
[[Jamii:watakatifu wa Ufaransa]]
[[Category:Watakatifu wa Ujerumani]]
sela43v69yh3j1e1cpp7hoxhy361cym
1240299
1240297
2022-08-07T12:51:38Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Karden Statue Kastorbrunnen 2006-08-16.jpg|thumb|250px|[[Sanamu]] ya Mt. Kastori huko Karden.]]
'''Kastori wa Karden''' (kwa [[Kijerumani]] Kastor von Karden; alifariki [[400]] hivi) alikuwa [[padri]] na [[mkaapweke]] wa [[karne ya 4]] kutoka [[Akwitania]], leo nchini [[Ufaransa]].
[[Mwanafunzi]] wa [[Maksimino wa Trier]] mnamo [[mwaka]] [[345]] hivi<ref name="heiligen">{{cite web|url= http://www.heiligen-3s.nl/heiligen/02/13/02-13-0400-Kastor-Karden.php|title= Kastor van Karden|date=n.d.|publisher=Heiligen-3s|accessdate=March 27, 2009}}</ref> alipewa naye [[upadrisho]].
Hapo alifanya maskani yake [[Treis-Karden|Karden]] kwenye [[mto]] [[Moselle]] pamoja na [[wamonaki]] kadhaa.
Alifariki huko akiwa [[mzee]] sana.<ref name="kirchen">{{cite web|url=http://kirchensite.de/index.php?myELEMENT=84363|title=Heiliger Kastor von Karden|date=n.d.|publisher=Kirchensite.de|accessdate=March 27, 2009}}</ref>
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
*{{de icon}} [http://www.sankt-kastor-koblenz.de/der-heilige-kastor/ Kastor - ein Mann aus Aquitanien]
*{{nl icon}} [http://www.heiligen-3s.nl/heiligen/02/13/02-13-0400-Kastor-Karden.php Kastor van Karden]
*{{de icon}} [http://www.heiligenlexikon.de/BiographienK/Kastor_von_Karden.htm Kastor von Karden]
*{{it icon}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/40660]
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Kastori wa Karden}}
[[Category:Mapadri]]
[[Category:Wakaapweke]]
[[Jamii:watakatifu wa Ufaransa]]
[[Category:Watakatifu wa Ujerumani]]
h4nn2ilbh2siivehb9nps2o989c26fl
Waanzilishi saba
0
87748
1240617
1146370
2022-08-08T08:26:31Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Sant_Alessio_Falconieri.gif|thumb|250px|Mtakatifu Aleksi Falconieri.]]
'''Waanzilishi saba''' wa [[Utawa]] wa [[Watumishi wa Maria]], ni [[wanaume]] wa [[Firenze]] ([[Italia]]) ambao [[mwaka]] [[1233]] hivi waliacha shughuli zao wakaenda kuishi upwekeni ili kuanzisha [[shirika]] la [[maisha ya wakfu]] aina ya [[ombaomba]] kwa [[heshima]] ya [[Bikira Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
[[Jina|Majina]] yao ni: [[Buonfiglio wa Monaldi]] (Bonfilius), [[Yohane wa Buonagiunta]] (Bonajuncta), [[Amadeo wa Amidei]] (Bartolomeus), [[Rikovero wa Lippi-Ugguccioni]] (Ugo), [[Benedikto wa Antella]] (Manettus), [[Gerardino wa Sostegno]] (Sostene), na [[Aleksi Falconieri]] (Alexius), wa mwisho kufa ([[1310]]), ambaye ndiye maarufu zaidi.
Wote wanaheshimiwa katika [[Kanisa Katoliki]] kama [[watakatifu]], na [[sikukuu]] yao ya pamoja huwa [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.servidimaria.org Tovuti rasmi ya Watumishi wa Maria] {{Wayback|url=http://www.servidimaria.org/ |date=20090210090841 }}
* [http://www.servite.org/ Tovuti ya Watumishi wa Maria [[Marekani]] ]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Jamii:Wakaapweke]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Jamii:Watumishi wa Maria]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
ceagz1uzwh7sc15xwcyktwrjqupzg10
Woga
0
90683
1240359
1004479
2022-08-07T17:38:11Z
Hamisi Mnaro
55348
Hofu ni nini, na pia kwanini tunaogopa
wikitext
text/x-wiki
'''Woga''' ni [[tabia]] ya kupatwa na [[hofu]] kupita kiasi inayokuwa ndani ya [[binadamu]] juu ya [[kitu]] au vitu fulanifulani.
Kila [[mtu]] ana woga wake, huenda ikawa juu ya [[Mungu]], [[malaika]], [[shetani]], lakini pia juu ya [[mnyama]], mahali, [[giza]] n.k.
Kila mmoja anatakiwa kujitawala asije akashindwa na tabia hiyo hata kuacha majukumu yake.
{{mbegu}}Tunachunguza biolojia ya hofu: kwa nini imeibuka, nini hutokea katika miili yetu wakati tunaogopa, na kwa nini wakati mwingine hutoka nje ya udhibiti. Tembeza chini…kama utathubutu.
Kila mtu anapata hofu; hofu ni sehemu isiyoepukika ya uzoefu wa mwanadamu.
Watu kwa ujumla huchukulia hofu kuwa hisia zisizofurahi, lakini wengine hujaribu kuichochea - kwa mfano, kwa kuruka kutoka kwa ndege au kutazama filamu za kutisha.
Hofu ina haki; kwa mfano, kusikia nyayo ndani ya nyumba yako wakati unajua kuwa wewe ndiye nyumba pekee ni sababu halali ya kuwa na hofu.
Hofu pia inaweza kuwa isiyofaa. Kwa mfano, tunaweza kupata hofu kubwa tunapotazama filamu ya kufyeka, ingawa tunajua kwamba mnyama huyo ni mwigizaji wa kujipodoa na kwamba damu yake si halisi.
Watu wengi wanaona phobias kuwa dhihirisho lisilofaa zaidi la hofu. Hizi zinaweza kushikamana na kitu chochote - buibui, vinyago, karatasi, au mazulia - na kuathiri maisha ya watu kwa kiasi kikubwa.
== Kwa nini tunaogopa? ==
Kwa habari ya mageuzi, hofu ni ya zamani, na, kwa kiwango fulani, tunaweza kushukuru hofu kwa mafanikio yetu kama spishi.
Kiumbe chochote kisichokimbia na kujificha kutoka kwa wanyama wakubwa au hali hatari kinaweza kuondolewa kutoka kwa mkusanyiko wa jeni kabla ya kupata nafasi ya kuzaa.
Jukumu muhimu la hofu katika kuishi husaidia kueleza kwa nini wakati mwingine inaonekana kuwa ya kufurahisha kidogo.
Kwa maneno mengine, ni mantiki kuruka kidogo ikiwa wewe ni mnyama katika mazingira ya uhasama. Ni bora kukimbia na kujificha wakati kivuli chako kinakupata kwa mshangao kuliko kudhani kuwa kivuli kiko salama, na kuliwa na dubu sekunde 5 baadaye.
[[Jamii:Saikolojia]]
[[Jamii:Maadili]]
sgjaalosif8lnso8186g5uhafbkl6nx
1240401
1240359
2022-08-07T20:57:37Z
Idd ninga
30188
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Hamisi Mnaro|Hamisi Mnaro]] ([[User talk:Hamisi Mnaro|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Woga''' ni [[tabia]] ya kupatwa na [[hofu]] kupita kiasi inayokuwa ndani ya [[binadamu]] juu ya [[kitu]] au vitu fulanifulani.
Kila [[mtu]] ana woga wake, huenda ikawa juu ya [[Mungu]], [[malaika]], [[shetani]], lakini pia juu ya [[mnyama]], mahali, [[giza]] n.k.
Kila mmoja anatakiwa kujitawala asije akashindwa na tabia hiyo hata kuacha majukumu yake.
{{mbegu}}
[[Jamii:Saikolojia]]
[[Jamii:Maadili]]
j3e9lbfku0s71dkzjccjwh11mql1qyu
Paulo Liu Hanzuo
0
94239
1240311
1137701
2022-08-07T13:31:24Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Martyr Saints of China.jpg|thumb|[[Wafiadini]] [[Wakatoliki]] wa China.]]
'''Paulo Liu Hanzuo''' alikuwa [[padri]] wa [[China]] aliyefia [[Ukristo]] kwa kunyongwa huko [[Chengdu]] [[13 Februari]] [[1818]].
[[Papa Yohane Paulo II]] alimtangaza [[mtakatifu]] [[mfiadini]] [[mwaka]] [[2000]].
[[Sikukuu]] yake na ya wenzake 119 huadhimishwa [[tarehe]] [[9 Julai]], lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya [[kifodini]] chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1778]]
[[Category:Waliofariki 1818]]
[[Category:Mapadri]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa China]]
4mbk0620gwia7zxpycqh9m7mlrt4ud8
Juliana wa Nikomedia
0
96105
1240607
1151633
2022-08-08T08:09:13Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Juliana of Nicomedia.jpg|thumb|Mt. Juliana.]]
[[File:Juliana.JPG|thumb|[[Sanamu]] ya Mt. Juliana huko [[Heidelberg]], [[Ujerumani]].]]
'''Juliana wa Nikomedia''' ([[Nikomedia]], leo [[Izmit]] nchini [[Uturuki]], [[286]] hivi - [[304]] hivi) alikuwa [[bikira]] [[Mkristo]] aliyefia [[dini]] yake kwa kukatwa [[kichwa]] katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Diocletian]] akiwa na [[umri]] wa miaka 18 hivi alipokataa kuolewa na [[mtawala]] [[Mpagani]]<ref name=kirsch>[http://www.newadvent.org/cathen/08555a.htm Kirsch, Johann Peter. "St. Juliana." The Catholic Encyclopedia. Vol. 8. New York: Robert Appleton Company, 1910. 7 Feb. 2013]</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waorthodoksi wa Mashariki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[16 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]] inaposemekana anaheshimiwa hasa katika [[mkoa]] wa [[Campania]], leo nchini [[Italia]], [[masalia]] yalipohamishiwa</ref> au [[21 Desemba]] (kwa Waorthodoksi).
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Vyanzo==
*[[Mombritius]], Sanctuarium, II, fol. 41 v.-43 v.;
*Acta SS., FEB., II, 808 sqq.;
*[[J. P. Migne]], P.G. CXIV, 1437–52;
*[[Bibliotheca Hagiographica Latina]], I, 670 sq.; Bibl. hagiogr. graeca (2nd. ed.), 134;
*[[Nilles]], ''Kalendarium manuale'', I (2nd ed., Innsbruck, 1896), 359;
*[[Mazocchi]], ''In vetus S. Neapolitanae ecclesiae Kalendarum commentarius'', I (Naples, 1744), 556-9;
*Oswald Cockayne, ''St. Juliana'' (London, 1872)
*Vita di S. Giuliana (Novara, 1889);
*[[Oskar Backhaus]], ''Ueber die Quelle der mittelenglischen Legende der hl. Juliana und ihr Verhaltnis zu Cynewulfs Juliana'' (Halle, 1899).
==Viungo vya nje==
* [https://web.archive.org/web/20050326183150/http://www.catholic-forum.com/saints/golden170.htm Life of St Juliana] in the [[Golden Legend]]
* [https://web.archive.org/web/20050814082410/http://www.catholic-forum.com/saints/saintj35.htm Catholic Forum: St Juliana] with details of her iconography
*{{it}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/41250 Santa Giuliana di Nicomedia]
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Juliana wa Nikomedia}}
[[Jamii:Waliozaliwa 286]]
[[Category:Waliofariki 304]]
[[Category:Watu wa Roma ya Kale]]
[[Jamii:Mabikira]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
dqrctebc5j4s82x9zhf34ledtxd701d
Mtumiaji:GerardM/Members of the Pan-African Parliament
2
100646
1240589
1054348
2022-08-08T07:20:54Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
This list is not ready for use on Wikipedia because a Member of the Pan-African Parliament who was a member twice does not show twice.
{{Wikidata list
|sparql=SELECT ?item WHERE { ?item wdt:P39 wd:Q30277603 }
|section=
|sort=P39/Q30277603/P580
|sort_order=desc
|columns=label:Article,description,P27:Country,P39/Q30277603/P580:Start date,P39/Q30277603/P582:End date,P18:Image
|thumb=128
|min_section=2
}}
{| class='wikitable sortable' style='width:100%'
!Article
!description
!Country
!Start date
!End date
!Image
|-
| ''[[:d:Q27517197|Su'ad al-Fatih al-Badawi]]''
|
| [[Sudan]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q21866844|Roger Nkodo Dang]]''
|
| [[Kamerun]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q19559941|Bethel Nnaemeka Amadi]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16885575|Ismaël Tidjani Serpos]]''
|
| [[Benin]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16875382|Shirley Itumeleng Tiny Segokgo]]''
|
| [[Botswana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16733428|Letuka Nkole]]''
|
| [[Lesotho]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16732593|Ngarindo Milengar]]''
|
| [[Chad]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16731171|Jalel Lakadar]]''
|
| [[Tunisia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16727764|Loyce Biira Bwambale]]''
|
| [[Uganda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16474098|Thabang Nyeoe]]''
|
| [[Lesotho]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q16193066|Hasna Mohamed Dato]]''
|
| [[Jibuti]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q12667216|Ompie Nkumbula-Lieventhal]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| [[William Shija|William Ferdinand Shija]]
|
| [[Tanzania]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7849929|Tsudao Gurirab]]''
|
| [[Namibia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7799883|Théophile Nata]]''
|
| [[Benin]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7655840|Swelethu Madasa]]''
|
| [[Afrika Kusini]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7650988|Suzanne Vos]]''
|
| [[Afrika Kusini]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7615016|Steven Malamba]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7564454|Souleiman Miyir Ali]]''
|
| [[Jibuti]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7558266|Solitoki Esso]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7519957|Simon Vuwa Kaunda]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7515068|Silikam néé Manamourou]]''
|
| [[Kamerun]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7508826|Sidibe Korian Sidibe]]''
|
| [[Mali]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7492872|Sheik I. Kamara]]''
|
| [[Sierra Leone]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7430888|Schadrack Niyonkuru]]''
|
| [[Burundi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7428343|Saviour Kasukuwere]]''
|
| [[Zimbabwe]]
|
|
| [[Picha:Saviour Kasukuwere - 2014 (cropped).jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q7399554|Sahbi Karoui]]''
|
| [[Tunisia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7365027|Ronald Koone Sebego]]''
|
| [[Botswana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7313777|René Radembino Coniquet]]''
|
| [[Gabon]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7311784|Remidus E. Kissassi]]''
|
| [[Tanzania]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7282795|Ragab Muftah Abudabus]]''
|
| [[Libya]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7257109|Ptomsoouwé Batchassi]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7193770|Pilar Buepoyo Boseka]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7192146|Pierre Claver Nahimana]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7155466|Paurina Mpariwa]]''
|
| [[Zimbabwe]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7145364|Patrica Ndogu]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7116578|Oziel Hlalele Motaung]]''
|
| [[Lesotho]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7110235|Oubkiri Marc Yao]]''
|
| [[Burkina Faso]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7103884|Orou Gabé Orou Sego]]''
|
| [[Benin]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q7103019|Orlanda Maria Duarte Santos Ferreira]]''
|
| [[Cabo Verde]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6987829|Nehemiah Mmoloki Moduble]]''
|
| [[Botswana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6958826|Nagia Essayed]]''
|
| [[Libya]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6950074|Mélanie Komzo]]''
|
| [[Jamhuri ya Kongo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6949725|Mário José Carvalho de Lima]]''
|
| [[Cabo Verde]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6936060|Munhawa Sousa Salvador]]''
|
| [[Msumbiji]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6928258|Mphiwa Dlamini]]''
|
| [[Eswatini]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6926281|Moustapha Dicko]]''
|
| [[Mali]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6919199|Mounkaïla Aïssata]]''
|
| [[Niger]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6893473|Mohammed el-Hadhiri]]''
|
| [[Libya]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6893276|Mohammed Ragab Ahmad]]''
|
| [[Misri]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6893189|Mohammed Lutfi Farhat]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6893178|Mohammed Kumalia]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6891478|Mohamed Salama Badi]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6891477|Mohamed Salah Zaray]]''
|
| [[Tunisia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6890948|Mohamed Abdoulkader Mohamed]]''
|
| [[Jibuti]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6873258|Miria Matembe]]''
|
| [[Uganda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6847499|Mike Kennedy Sebalu]]''
|
| [[Uganda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6799739|Mbonda Elie]]''
|
| [[Kamerun]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6799647|Mbaydoum Simeon]]''
|
| [[Chad]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6799571|Mbah Ndam Joseph Njang]]''
|
| [[Komori]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6787667|Matlapeng Ray Molomo]]''
|
| [[Botswana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6778573|Marwick Khumalo]]''
|
| [[Uswazi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6762735|Marie Agba-Otikpo]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6762725|Marie-Thérèse Toyi]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6760997|Maria Angelina Dique Enoque]]''
|
| [[Msumbiji]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6745570|Mamdouh Hosny Khalil]]''
|
| [[Misri]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6743559|Malik Al-Hassan Yakubu]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
| [[Picha:2477970261 Gertrude Mongella.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q6742942|Malebaka Flory Bulane]]''
|
| [[Lesotho]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6733019|Mahamane Saley]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6712755|M. K. Mubanga]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6712685|M. J. Mahlangu]]''
|
| [[Afrika Kusini]]
|
|
| [[Picha:Mninwa Johannes Mahlangu.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q6707636|Lydia Katjita]]''
|
| [[Namibia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6692314|Lovenes Gondwe]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6689635|Loumonvi Fombo]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6689633|Loum N. Neloumsei Elise]]''
|
| [[Chad]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6686903|Louis Chimango]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6514449|Lee Maeba]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6488716|Larba Yarga]]''
|
| [[Burkina Faso]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6400993|Khauhelo Deborah Raditapole]]''
|
| [[Lesotho]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6386988|Kemoh Sesay]]''
|
| [[Sierra Leone]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6372549|Karlous Marx Shinohamba]]''
|
| [[Namibia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6367491|Kara Baya]]''
|
| [[Algeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6298027|João Baptista Ferreira Medina]]''
|
| [[Cabo Verde]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6293010|José Manuel Gomes Andrade]]''
|
| [[Cabo Verde]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6292303|José Gabriel Manteigas]]''
|
| [[Msumbiji]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6276249|Joram Gumbo]]''
|
| [[Zimbabwe]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6185640|Jerónimo Elavoko Wanga]]''
|
| [[Angola]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6182886|Jerome Sacca Kina Guezere]]''
|
| [[Benin]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6169634|Jean-Marie Mokole]]''
|
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6169165|Jean-Claude Siapa Ivouloungou]]''
|
| [[Jamhuri ya Kongo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6168974|Jean-Baptiste Nouganga]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6168959|Jean-Baptiste Manwangari]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6110703|Jachan Mandir Omach]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6077711|Isabel Nkavadeka]]''
|
| [[Msumbiji]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6019041|Paul Temba Nyathi]]''
|
| [[Zimbabwe]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q6003530|Imbia Sylvester Itoe]]''
|
| [[Kamerun]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5997394|Rodwell Munyenyembe]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5984382|Ibra Diouf]]''
|
| [[Senegal]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5745625|Heshmat Fahmi]]''
|
| [[Misri]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5680106|Hassoumi Massoudou]]''
|
| [[Niger]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5645794|Hammi Larouissi]]''
|
| [[Algeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5437837|Fatima Hajaig]]''
|
| [[Afrika Kusini]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5415197|Eva Verona Teixeira Ortet]]''
|
| [[Cabo Verde]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5399952|Essomba Tsoungui Elie Victor]]''
|
| [[Kamerun]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5379334|Enoch Teye Mensah]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5371550|Emile Diatta]]''
|
| [[Senegal]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5364520|Ella Kamanya]]''
|
| [[Namibia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5347539|Efigênia dos Santos Lima Clemente]]''
|
| [[Angola]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5340644|Eduardo Joaquim Mulémbwè]]''
|
| [[Msumbiji]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5305823|Draoui Mohamed]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5290428|Domingos Manuel Njinga]]''
|
| [[Angola]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5227869|Dauda Kamara]]''
|
| [[Sierra Leone]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5214947|Danboyi Usman]]''
|
| [[Nigeria]]
|
|
| [[Picha:Sen- Saleh Usman Danboyi 2014-03-08 22-17.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q5186053|Crispin Shumina]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5082459|Charles Shanyurai Majange]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5073688|Chara Bachir]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q5022768|Callista Chimombo]]''
|
| [[Malawi]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4979540|Rosine Soglo]]''
|
| [[Benin]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4949361|Boudina Mostefa]]''
|
| [[Algeria]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4896329|Besnat Jere]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4885218|Ben Amathila]]''
|
| [[Namibia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4841119|Badreddine Missaoui]]''
|
| [[Tunisia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4837318|Baba Jigida]]''
|
| [[Sierra Leone]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4821112|Augustin Iyamuremye]]''
|
| [[Rwanda]]
|
|
|
|-
| [[Athumani Saidi Mwinshehe Janguo|Athumani Saidi Janguo]]
|
| [[Tanzania]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4803981|Ascofare Oulematou Tamboura]]''
|
| [[Mali]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4768083|Anne-Marie Goumba]]''
|
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4760021|André Obami Itou]]''
|
| [[Jamhuri ya Kongo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4759057|Andrews Adjei-Yeboah]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4749653|Améyo Adja]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4739855|Amani W. A. Kabourou]]''
|
| [[Tanzania]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4739203|Amal Nuri Safar]]''
|
| [[Libya]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4738971|Ama Benyiwa-Doe]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4695917|Ahmed Mohamed Hassan]]''
|
| [[Jibuti]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4683147|Adjaratou Abdoulaye]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4670269|Abu Mbawa Kongobah]]''
|
| [[Sierra Leone]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4665885|Abdulla Edriss Ebrahim]]''
|
|
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4665198|Abdu Katuntu]]''
|
| [[Uganda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q4664734|Abdel Ahad Gamal El Din]]''
|
| [[Misri]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q3847967|Idriss Ndele Moussa]]''
|
| [[Chad]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q3474839|Saida Agrebi]]''
|
| [[Tunisia]]
|
|
| [[Picha:Saida Agrebi (cropped).jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q3407786|Prosper Higiro]]''
|
| [[Rwanda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q3326057|Mountaga Tall]]''
|
| [[Mali]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q3125967|Halifa Sallah]]''
|
| [[Gambia]]
|
|
| [[Picha:Halifa Sallah 2016.png|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q2843389|Aminata Mbengue Ndiaye]]''
|
| [[Senegal]]
|
|
| [[Picha:Aminata Mbengue Ndiaye.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q2827005|Agnès Mukabaranga]]''
|
| [[Rwanda]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q2821497|Abel Chivukuvuku]]''
|
| [[Angola]]
|
|
| [[Picha:Abel Chivukuvuku 2017.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q2522820|Fambaré Ouattara Natchaba]]''
|
| [[Togo]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q2074457|Peter Daka]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q1949199|Moses Muteteka]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q1860273|Mounir Fakhry Abdel Nour]]''
|
| [[Misri]]
|
|
| [[Picha:Mounir Fakhry Abdel Nour Senate of Poland.JPG|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q1525179|Kalifa Kambi]]''
|
| [[Gambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q1524043|Gilbert Noël Ouédraogo]]''
|
| [[Burkina Faso]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q1390067|Fabakary Jatta]]''
|
| [[Gambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q1266544|Mammah Kandeh]]''
|
| [[Gambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q967740|Aden Robleh Awaleh]]''
|
| [[Jibuti]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q864065|Bintanding Jarju]]''
|
| [[Gambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q804894|Baleka Mbete]]''
|
| [[Afrika Kusini]]
|
|
| [[Picha:Vladimir Putin in South Africa 5-6 September 2006-14 (cropped).jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q781111|Austin Liato]]''
|
| [[Zambia]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q722327|Bénéwendé Stanislas Sankara]]''
|
| [[Burkina Faso]]
|
|
|
|-
| [[Gertrude Mongella]]
|
| [[Tanzania]]
|
|
| [[Picha:Gertrude Mongella crop.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q449364|Delwa Kassiré Koumakoye]]''
|
| [[Chad]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q324108|Ibrahim Boubacar Keïta]]''
|
| [[Mali]]
|
|
| [[Picha:Ibrahim Boubacar Keïta par Claude Truong-Ngoc décembre 2013.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q264090|Fernando José de França Dias Van-Dúnem]]''
|
| [[Angola]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q178176|Abraham Ossei Aidooh]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
|
|-
| ''[[:d:Q58260|Arvin Boolell]]''
|
| [[Morisi]]
|
|
| [[Picha:Arvin Boolell, 2013 (cropped).jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q58186|Phandu Skelemani]]''
|
| [[Botswana]]
|
|
| [[Picha:Phandu Skelemani 2014.png|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q50678|John Mahama]]''
|
| [[Ghana]]
|
|
| [[Picha:John Dramani Mahama at Chatham House.jpg|center|128px]]
|-
| ''[[:d:Q6762766|Marie Blandine Sawadogo]]''
|
| [[Burkina Faso]]
| 2004
|
|
|-
| ''[[:d:Q6722501|Verónica Macamo]]''
|
| [[Msumbiji]]
| 2004
|
| [[Picha:President of National Assembly, Veronica Macamo, at Maputo, in Mozambique (cropped).jpg|center|128px]]
|}
{{Wikidata list end}}
3pqtu1pqlss97s55e23fp5aruvzv7ud
Theodoro wa Amasea
0
101209
1240636
1151726
2022-08-08T08:53:36Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Theodore Tyro.jpg|thumb|[[Picha takatifu]] ya Mt. Theodoro.]]
[[File:San Salvador Interno - cappella a destra del presbiterio.jpg|thumb|[[Kaburi]] lake huko [[Venice]].]]
[[File:San Salvador Interno - corpo di San Teodoro.jpg|thumb|[[Masalia]] ya Mt. Theodoro wa Amasea.]]
'''Theodoro wa Amasea''' (kwa [[Kigiriki]]: Θεόδωρος) alikuwa [[askari]] [[Mkristo]] ambaye, kwa ajili ya [[imani]] aliyoikiri kwa [[ushujaa]] wakati wa [[dhuluma]], aliteswa, akafungwa na hatimaye akauawa kwa kuchomwa [[moto]] katika [[mji]] [[Amasya|huo]] wa [[Uturuki]] wa leo mwanzoni mwa [[karne ya 4]] ([[306]] hivi<ref>[http://www.newadvent.org/cathen/14573a.htm Mershman, Francis. "St. Theodore of Amasea." The Catholic Encyclopedia. Vol. 14. New York: Robert Appleton Company, 1912. 30 Dec. 2014]</ref><ref>{{Cite encyclopedia | title = Theodore of Amasea | encyclopedia = Oxford Dictionary of Byzantium | volume = III | pages = 2048–2049 | publisher = Oxford University Press | year = 1991}}</ref><ref>Delaney pp.547-8. Butler (1925) pp.169-70. ''Book of Saints'', p.535.</ref><ref>https://archive.org/stream/bibliothecahagi00boll#page/248/mode/2up</ref><ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/76900</ref>).
[[Gregori wa Nisa]] alimsifu kwa [[hotuba]] yake maarufu.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[9 Novemba]] au [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
===Vitabu===
* ''The Book of Saints'' (a dictionary of servants of God canonised by the Catholic Church) compiled by the [[Benedictine monks]] of St Augustine's Abbey, Ramsgate (6th edition, revised & rest, 1989).
* ''Butler's Lives of the Saints'' (originally compiled by the Revd Alban Butler 1756/59), Vol II (February) and XI (November), 1926/38 revised edition, 1995 new full edition.
* Delaney, John J: ''Dictionary of Saints'' (1982).
* [[Hippolyte Delehaye]]: ''Les Legendes Grecques des Saints Militaires'' (Paris 1909).
* Demus, Otto: ''The Church of San Marco in Venice'' (Washington 1960).
* Demus, Otto: ''The Mosaics of San Marco in Venice'' (4 volumes) 1 The Eleventh & Twelfth Centuries - Text (1984).
* Farmer, David: ''The Oxford Dictionary of Saints'' (4th edition, 1997).
* Grotowski, Piotr L.: ''Arms and armour of the warrior saints: tradition & innovation in Byzantine iconography (843-1261)'' (Leiden: Brill, 2010).
* ''The Oxford Companion to the Year'' (by Bonnie Blackburn & Leofranc Holford-Stevens) (Oxford 1999).
* Walter, Christopher: ''The Warrior Saints in Byzantine Art and Tradition'' (2003)
===Makala===
* B. Fourlas, ''"Eine frühbyzantinische Silberschale mit der Darstellung des heiligen Theodor"'', ''Jahrbuch des Römisch-Germanischen Zentralmuseums Mainz 55'', 2008 [2011], pp. 483–528 (on the iconography before iconoclasm).
==Viungo vya nje==
{{commons category|Theodore of Amasea}}
*[http://www.goarch.org/special/theodoretyre/ Website of Orthodox Church]
*[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsLife.asp?FSID=100547 Hagiography from the website of the Orthodox Church in America]
*[https://web.archive.org/web/20070206181207/http://www.saintpatrickdc.org/ss/1109.shtml Saints of November 9: St Theodore Tiro]
*[http://www.stpetersbasilica.info/Exterior/Colonnades/Saints/St%20Theodore-138/StTheodore.htm Colonnade Statue in St Peter's Square]
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Theodoro wa Amasea}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 3]]
[[Category:Waliofariki 306]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
1fuxi8ryb2trcgh4fcuztwloipxrjf5
Kigezo:Nash MC
10
106488
1240609
1047478
2022-08-08T08:12:16Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Navbox Musical artist
|background = solo_singer
|title = [[Discografia ya Nash MC|Nash MC]]
|name = Nash MC
|group1 = ''[[Chizi (albamu)|Chizi]]''
|list1 = "[[Haki Mistari]]"{{·}} "[[Nash Da Gama]]"{{·}} "[[B.B.M (Beti Bora Milele)]]"{{·}} "[[Temeke (wimbo)|Temeke]]" {{·}} "[[Asiyehusika na Hip Hop]]"{{·}} "[[Mie Zangu Dua]]"{{·}} "[[Nilivyompata]]"{{·}} "[[Wanaonijua]]"{{·}} "[[Kuishi au Kuishia]]"{{·}} "[[Kaka Suma]]"{{·}} "[[Pambana]]"{{·}} "[[Soko na Pesa]]"{{·}} "[[Weka Mbali na Watoto]]"{{·}} "[[Maswali ya Kiwaki]]"
|group2 = ''[[Mchochezi]]''
|list2 = "[[Mchochezi (wimbo)|Mchochezi]]"{{·}} "[[Wakaza Beti]]"{{·}} "[[Mshairi]]"{{·}} "[[Baada ya Chuo]]"{{·}} "[[Maalim Ponda]]"{{·}} "[[Nash Qaida]]"{{·}} "[[Hakuna Anaetudai]]"{{·}} "[[Onyo]]" {{·}} "[[Eswatini]]"{{·}} "[[Zimaa]]"
|group3 = ''[[Mzimu wa Shaaban Robert]]''
|list3 = "[[Mzimu wa Shaaban Robert (wimbo)|Mzimu wa Shaaban Robert]]"{{·}} "Temeke" {{·}} "[[Tunazindua Mitaa]]"{{·}} "[[Maalim]]"{{·}} "[[Mapendo]]"{{·}} "[[Mbinu za Lugha]]"{{·}} "[[Uzoefu]]"{{·}} "[[Homa Imenizidia]]"{{·}} "[[Mchawi Ndugu]]"{{·}} "[[Mkongwe]]"{{·}} "[[V.V.U]]"{{·}} "[[Umande]]"{{·}} "[[Vita (wimbo)|Vita]]"{{·}} "[[Wanajaribu Game]]"{{·}} "[[Kwako Nash MC]]"{{·}} "[[Majinuni Nash]]"{{·}} "[[Mkali Kwneye Game]]"{{·}} "[[Mitihani]]"
|group16 = Nyimbo nyenginezo
|list16 = "[[Naandika]]"{{·}} "[[Hasi 15]]"{{·}} "[[Shule ya Zamani]]"
}}<noinclude>
[[Jamii:Nash MC|~Singles]]
</noinclude>
slm8sqecr7c8bsovehrvgtfsyv1540q
Msaada:Interwiki
12
107597
1240828
1160897
2022-08-08T11:21:37Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Interwiki.png|thumb|300px|Bofya hapa kuona picha vizuri zaidi]]
'''Interwiki''' ni orodha ya viungo vya mada fulani na makala za kufanana katika wikipedia za lugha nyingine.
Katika ukurasa unaosoma sasa hivi orodha ipo upande wa kushoto nje ya makala chini ya "Lugha zingine". Hapa utaona Deutsch, English, فارسی , Français na kadhalika. Zote ni rangi ya buluu maana ni viungo kwenda kurasa za "Mwongozo wa wikipedia" (Help:Interlanguage links) kwa lugha hizi.
Ukianzisha makala mpya na kuihifadhi utaona bado hakuna majina ya lugha kwa rangi ya buluu.
* Angalia kwenye dirisha la PC chini kabisa upande wa kushoto.
* Utaona "Lugha" na chini yake "Add links".
* Bofya "Add links"
* Utaona sanduku "Link with page".
* Ingiza hapa "enwiki" <small>(kwa kawaida, unaweza kuteua pia lugha nyingine..)</small>, thibitisha
* Kwenye sehemu ya "page" andika jina la makala (au la makala uliyotafsiri), thibitisha yote, na tena.
Sasa utaona orodha ya lugha zenye viungo kwenda makala za lugha nyingine. Ni msaada mkubwa kama msomaji anataka kusoma maelezo zaidi kwa Kiingereza na kadhalika. Ni msaada pia kwa wahariri wanaosoma lugha hizo wakitafuta habari za nyongeza.
==Kusahihisha Interwiki==
Ukikuta kiungo cha Interwiki kisicho sahihi (mtumiaji aliyetangulia alikosa kuteua namba sahihi) unaweza kubofya "Hariri viungo". Sasa unafika katika ukurasa wa Wikidata, angalia sanduku ya "Wikipedia", bofya "edit" halafu alama ya ndoo ya takataka ili kufuta neno la Kiswahili. Sasa bofya "publish" na kufunga Wikidata. Ukiita sasa makala yako utaona haionyeshi interwiki tena (inaweza kuchukua dakika kadhaa hadi mabadiliko yanaonekana). Sasa unaweza kuanza upya kuweka interwiki sahihi.
Hatua hizo utatekeleza katika mtazamo wa dawati (Desktop view) inayopatikana kwa kubofya maandishi madogo "dawati" kwenye dirisha la simu yako, chini kabisa.
<div style="float: left; background-color: #f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #cedff2;">'''Jaribu ulichojifunza katika [[/sanduku la mchanga/]]'''</div>{{-}}
<div style="float:right; margin-top: 0.0em; margin-bottom:3px; background-color: #cedff2; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #B8C7D9;">'''Soma zaidi katika [[Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)]]<span style="font-size: larger; font-weight: bold;"> →</span></div>
</div>
<div style="clear:both"></div>
</div>
[[jamii:Msaada]]
f3u0ugmcy2uohmcbtmq8ctqqucwlhqs
1240829
1240828
2022-08-08T11:23:46Z
Kipala
107
/* Kusahihisha Interwiki */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Interwiki.png|thumb|300px|Bofya hapa kuona picha vizuri zaidi]]
'''Interwiki''' ni orodha ya viungo vya mada fulani na makala za kufanana katika wikipedia za lugha nyingine.
Katika ukurasa unaosoma sasa hivi orodha ipo upande wa kushoto nje ya makala chini ya "Lugha zingine". Hapa utaona Deutsch, English, فارسی , Français na kadhalika. Zote ni rangi ya buluu maana ni viungo kwenda kurasa za "Mwongozo wa wikipedia" (Help:Interlanguage links) kwa lugha hizi.
Ukianzisha makala mpya na kuihifadhi utaona bado hakuna majina ya lugha kwa rangi ya buluu.
* Angalia kwenye dirisha la PC chini kabisa upande wa kushoto.
* Utaona "Lugha" na chini yake "Add links".
* Bofya "Add links"
* Utaona sanduku "Link with page".
* Ingiza hapa "enwiki" <small>(kwa kawaida, unaweza kuteua pia lugha nyingine..)</small>, thibitisha
* Kwenye sehemu ya "page" andika jina la makala (au la makala uliyotafsiri), thibitisha yote, na tena.
Sasa utaona orodha ya lugha zenye viungo kwenda makala za lugha nyingine. Ni msaada mkubwa kama msomaji anataka kusoma maelezo zaidi kwa Kiingereza na kadhalika. Ni msaada pia kwa wahariri wanaosoma lugha hizo wakitafuta habari za nyongeza.
==Kusahihisha Interwiki==
Ukikuta kiungo cha Interwiki kisicho sahihi (mtumiaji aliyetangulia alikosa kuteua namba sahihi) unaweza kubofya "Hariri viungo". Sasa unafika katika ukurasa wa Wikidata, angalia sanduku ya "Wikipedia", bofya "edit" halafu alama ya ndoo ya takataka ili kufuta neno la Kiswahili. Sasa bofya "publish" na kufunga Wikidata. Ukiita sasa makala yako utaona haionyeshi interwiki tena (inaweza kuchukua dakika kadhaa hadi mabadiliko yanaonekana). Sasa unaweza kuanza upya kuweka interwiki sahihi.
Hatua hizo utatekeleza katika mtazamo wa dawati (Desktop view) inayopatikana kwa kubofya maandishi madogo "dawati" kwenye dirisha la simu yako, chini kabisa.
<div style="float: left; background-color: #f5faff; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #cedff2;">'''Jaribu ulichojifunza katika [[Wikipedia:sanduku la mchanga|Sanduku la Mchanga]]'''</div>{{-}}
<div style="float:right; margin-top: 0.0em; margin-bottom:3px; background-color: #cedff2; color: #000; padding: .2em .6em; font-size: 130%; border: 1px solid #B8C7D9;">'''Soma zaidi katika [[Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)]]<span style="font-size: larger; font-weight: bold;"> →</span></div>
</div>
<div style="clear:both"></div>
</div>
[[jamii:Msaada]]
fg2gx71194530yzxggqesilnm758onc
AC Milan
0
113385
1240441
1067162
2022-08-08T01:48:50Z
MAYUNGA Simba
55356
Ac milan
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Logo of AC Milan.svg|alt=hiyo ndiyo nembo ya AC Milan|thumb]]
'''AC Milan''' ni [[timu]] ya [[mpira wa miguu]] iliyoanzishwa na Herbet Kilpin, Alfred Edwards, [[tarehe]] [[16 Desemba]] [[1899]]. Timu hii itabakia katika [[historia]] ya timu kubwa [[duniani]].
Uwanja wake wa nyumbani unaitwa San Siro. Kwa sasa [[kocha]] wa AC Milan anaitwa [[Gennaro Gattuso]].
Kati ya [[wachezaji]] wa sasa wa AC Milan kuna [[Josè Mauri]], [[Riccardo Montolivo]], [[Ricardo Rodŕiguez]], [[Antonio Donnaruma]], [[Ignazio Abate]] n.k.
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Italia]] timu hii imeshachukua vikombe kadhaa mojawapo ikiwa ni kombe la ligi ya mabingwa ulaya yaani[
UEFA CHAMPIONS LEAGU] wakiwa wamelichukua mara nane na kuwa timu ya pili kwa kikombe hicho
2xorbft9jce51k7ij207d6fzor5yrqj
1240600
1240441
2022-08-08T07:33:47Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Logo of AC Milan.svg|alt=hiyo ndiyo nembo ya AC Milan|thumb]]
'''AC Milan''' ni [[timu]] ya [[mpira wa miguu]] iliyoanzishwa na Herbet Kilpin, Alfred Edwards, [[tarehe]] [[16 Desemba]] [[1899]].
Timu hii itabakia katika [[historia]] ya timu kubwa [[duniani]] kwa kuwa imeshachukua makombe kadhaa, likiwemo kombe la ligi ya mabingwa Ulaya ya UEFA wakiwa wamelichukua mara nane na kuwa timu ya pili kwa kupata kombe hilo mara nyingi zaidi.
Uwanja wake wa nyumbani unaitwa San Siro.
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Milano]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Italia]]
h75ccg08kj26gjxefyeo0k2e9sfknl3
Paulo Loc Van Le
0
115811
1240312
1137702
2022-08-07T13:33:29Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ([[1830]]-[[1859]]) alikuwa [[padri]] wa [[Vietnam]] aliyekatwa [[kichwa]] [[mlango|langoni]] mwa [[mji]] wa [[Thi-Nghe]] kwa sababu ya [[imani]] yake. Ni mmojawapo kati ya [[Wakristo]] [[wafiadini wa Vietnam]] [[kifodini|waliouawa]] kwa ajili ya [[imani]] yao huko Vietnam katika [[karne ya 17]], [[Karne ya 18|18]] na [[karne ya 19|19]] ([[1625]]–[[1886]]).
Wanatajwa pia kama [[Watakatifu]] [[Andrea Dung-Lac|Andrea Dũng-Lạc]] na wenzake 116.
Kwa nyakati tofauti, [[Papa Leo XIII]], [[Papa Pius X]] na [[Papa Pius XII]] waliwatangaza kuwa [[wenye heri]], halafu [[Papa Yohane Paulo II]] aliwaunganisha katika kuwafanya [[watakatifu]] [[wafiadini]] tarehe [[19 Juni]] [[1988]].
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa kwa pamoja kila tarehe [[24 Novemba]], lakini ya kwake mwenyewe tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
<references/>
==Marejeo==
*''Les Missions Etrangères. Trois siecles et demi d'histoire et d'aventure en Asie'' Editions Perrin, 2008, ISBN 978-2-262-02571-7
*''"St. Andrew Dung-Lac & Martyrs"'', by Father Robert F. McNamara, Saints Alive and All God's Children Copyright 1980-2010 Rev. Robert F. McNamara and St. Thomas the Apostle Church.
* ''"Vietnamese Martyr Teaches Quiet Lessons"'', By Judy Ball, An AmericanCatholic.org Web Site from the Franciscans and St. Anthony Messenger Press.
==Viungo vya nje==
{{commons|Category:Vietnamese Martyrs}}
*[http://www.katolsk.no/biografi/adung_en.htm St. Andrew Dung-Lac and his 116 companions, martyrs]
*[http://saints.sqpn.com/saint-anre-tran-an-dung/ St. Andrew Dung-Lac An Tran]
*[https://sites.google.com/site/vietnamesemartyrs/VietnameseMartyrs/agnes-le-thi-thanh]
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1830|1859}}
[[Jamii:Mapadri]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Vietnam]]
h81mtk31lw96zw9hjtqmy0bd00yw7fx
Basiano na wenzake
0
117757
1240319
1137768
2022-08-07T13:54:33Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Basiano na wenzake''' ni [[kundi]] la [[Wakristo]] wa [[karne ya 3]] waliofia [[dini]] yao kwa namna mbalimbali huko [[Aleksandria]] ([[Misri]]).
Kati yao kuna: [[padri]] Sirioni, halafu Agatoni na Mose waliochomwa [[moto]], Dionisi na Amoni waliouawa kwa [[upanga]], Tonioni, Proto, na Lusio waliotoswa [[Bahari|baharini]] pamoja na Basiano.
Pengine wanahesabiwa kuwa 26 au 30 na baadhi kutajwa kwa majina haya: Armata, Arbasi, Orus, Paulo, Plesius, Pasamona na Hipus, ambao lakini hawatajwi katika [[Martyrologium Romanum]] kwa kuwa labda wanahusika na kundi lingine linaloadhimishwa [[tarehe]] [[9 Februari]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40870</ref>.
Tangu kale wanaheshimiwa kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref><ref>https://catholicsaints.info/martyrs-of-alexandria-14-february/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Misri]]
gwx8u3fggm0ufoohb0s3j07pjcjtkw5
Marioo
0
118253
1240291
1240251
2022-08-07T12:29:44Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Marioo.jpg|thumb|Marioo katika mahali pa kurekodi video ya muziki wake 'Aya' jijini Dar es Salaam, Tanzania 2019.]]
'''Marioo''' (jina lake halisi ni '''Omary Mwanga'''; alizaliwa [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Bongo Flava]], pia [[mtunzi]] na [[mtayarishaji]] wa [[nyimbo]].
Baada ya kuzaliwa jijini, alipelekwa kijijini kwa bibi yake Kibiti, mkoa wa Pwani, na huko ndiko alikokulia, kwa kuwa yeye anatokea katika [[kabila]] la [[Wandengereko]].
Marioo alianza safari yake ya muziki kama mtunzi wa nyimbo akitunga nyimbo kama "Wasikudanganye" iliyoimbwa na mwanamuziki wa Tanzania anayeitwa [[Nandy]] ¨The African Princess¨.
Pia aliandika wimbo wa "Unaniweza" ulioimbwa na [[Jux]] na ni mmiliki wa hit song "beer tam" iliyoshinda tuzo za TMA kama wimbo bora wa mwaka 2021/2022.
Wimbo wake wa kwanza ni "Dar Kugumu" mwaka [[2017]]. Kabla ya kuendelea kutengeneza jina lake kwa kutoa nyimbo nyingine kama Inatosha, Unanionea, AYA, Raha, Chibonge, Mama Aminah na Beer Tamu.
Pia amefanikiwa kufanya kolabo na wasanii wa nchi mbalimbali ikiwemo [[Afrika Kusini]].
{{mbegu-mwanamuziki-TZ}}
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]]
50995wc3ex8n163siy1yhp2kj30v5up
Petro Yu Chongnyul
0
124608
1240853
1137778
2022-08-08T11:34:28Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Korean martyrs.jpg|thumb|250px|Wafiadini wa Korea walivyochorwa katika [[patakatifu]] pa [[Kisiwa Jeju]].]]
'''{{PAGENAME}}''' ([[Korea Kaskazini]], [[1837]] - [[Pyongyang]], Korea Kaskazini, [[17 Februari]] [[1866]]) alikuwa [[baba]] wa [[familia]] ambaye alikamatwa akiwasomea [[Injili]] [[Ukristo|Wakristo]] waliokusanyika [[usiku]] [[nyumba|nyumbani]] mwa [[katekista]]. Kisha kufungwa, alipigwa [[mjeledi|mijedeli]] hadi akafa kwa ajili ya [[Yesu|Kristo]].
Ni mmojawapo katika [[kundi]] kubwa la [[Wakristo]] wa [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Korea]] waliouawa kwa ajili ya [[imani]] yao katika miaka [[1791]]–[[1888]]. Wanakadiriwa kuwa 8,000 - 10,000.
Yeye na wenzake 102 walitangazwa na [[Papa Yohane Paulo II]] kuwa [[watakatifu]] [[tarehe]] [[6 Mei]] [[1984]].<ref>[http://www.kofc.org/en/columbia/detail/korea-church-martyrs.html Korea and the church of martyrs]</ref>
[[Sikukuu]] ya hao [[Wafiadini wa Korea]] huadhimishwa tarehe [[20 Septemba]], lakini ya kwake mwenyewe tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Mazingira==
Mwishoni mwa [[karne ya 18]], [[Ukristo]] wa Kikatoliki ulianza kuenea taratibu nchini<ref>Michael Walsh, ed. "Butler's Lives of the Saints" (HarperCollins Publishers: New York, 1991), p. 297.</ref> kwa juhudi za wananchi [[walei]]. Mwaka [[1836]] Korea, nchi ya [[Ukonfusio|Kikonfusyo]] ilipata [[wamisionari]] wa kwanza kutoka nje (wanashirika wa [[Paris Foreign Missions Society]])<ref>''The Liturgy of the Hours Supplement'' (New York: Catholic Book Publishing Co., 1992, pp. 17–18.</ref>.
Chini ya [[nasaba ya Joseon]], Ukristo ulifutwa, tena waamini walidhulumiwa na kuuawa. Waliobaki walipaswa kushika [[imani]] yao kwa [[siri]].
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Marejeo==
*Attwater, Donald and Catherine Rachel John (1993). ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books. ISBN|0-14-051312-4.
*Dallet, Charles (1874). [https://archive.org/details/histoiredelegli01dallgoog ''Histoire de l'Église de Corée'', Volume 1]. Paris: Librairie Victor Palmé.
*Dallet, Charles (1874). [https://archive.org/details/bub_gb_LoUPAAAAIAAJ ''Histoire de l'Église de Corée'', Volume 2]. Paris: Librairie Victor Palmé.
*Fathers of the London Oratory (1859). [https://books.google.com/books?id=QMUCAAAAQAAJ&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0#v=onepage&q&f=false ''The New Glories of the Catholic Church'']. London: Richardson and Son.
==Viungo vya nje==
* [https://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/homilies/1984/documents/hf_jp-ii_hom_19840506_martiri-coreani_en.html Homily of Pope John Paul II given for the Mass for the canonization of the Korean martyrs]
* [http://www.catholicculture.org/culture/library/view.cfm?id=4740&CFID=29233537&CFTOKEN=88892945 List and brief description of martyrs]
* [https://web.archive.org/web/20180524152040/http://animation.mepasie.org/rubriques/haut/historique-des-mep History of the Missions Etrangeres de Paris MEP]
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1837|1866}}
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Korea]]
1gcxmnndl935006jm54cw0xsl4hroti
Bab
0
126454
1240572
1214291
2022-08-08T06:54:29Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Shrine_of_the_Bab_2.jpg|thumb|Kaburi la Bab (Bustani ya Wabahai huko Haifa, Israeli).]]
[[Picha:Houseofthebab2008.jpg|thumb|Nyumba ya Bab huko [[Shiraz]] iliharibiwa na kubadilishwa kuwa msikiti.]]
'''Bab''' (kwa [[Kiarabu]]: الباب ''al-bab'', wa maana ya "Geti la Mungu"; [[20 Oktoba|20.]] [[20 Oktoba|Oktoba]] [[1819]] huko [[Shiraz]], [[Uajemi|Iran]]; [[9 Julai|9.]] [[9 Julai|Julai]] [[1850]] huko [[Tabriz]], Iran) ni [[jina]] la [[heshima]] la [[Dini|kidini]] la '''Seyyed ʿAli Muhammad Shirazi''' (kwa [[Kifarsi]]: سيد علی محمد شیرازی ) aliyekuwa [[mwanzilishi]] wa dini ya [[Ubabi]]. Wababi na [[Baha'i|Wabahai]] wanaamini alikuwa [[ufunuo]] wa [[Mungu]].
== Familia ==
[[Baba]] wa [[Sayyid]] Ali Muhammad alikuwa [[mfanyabiashara]] mashuhuri [[Mji|mjini]] Shiraz, alifariki [[muda]] mfupi baada ya kuzaliwa kwake, kwa hiyo alilelewa na [[mjomba]] Haji Mirza Sayyid Ali, mfanyabiashara pia.
Alipofikia [[umri]] alijiunga na [[biashara]] ya [[familia]] akishirikiana na mjomba wake. Alitambuliwa na wenzake kuwa mtu mwaminifu aliyeonyesha [[ukarimu]] kwa wale walio na uhitaji. Hakufurahia sana biashara akipendelea kusoma [[vitabu]] vya dini ma kutumia muda mwingi katika [[sala]]. Mjomba alimtuma [[Bushehr]] iliyokuwa wakati ule [[bandari]] kubwa ya Uajemi kwenye [[Ghuba ya Uajemi]]. [[Mwaka]] [[1842]] alimwoa Khadíjih-Bagum akazaa naye [[mtoto]] mmoja aliyeitwa Aḥmad lakini alifariki mapema.
==Mazingira ya kidini==
Wakati ule kulikuwa na harakati ya "Washeikhi" waliokuwa wafuasi wa [[Sheikh Ahmad]] aliyehubiri kurudi kwa [[Imamu wa 12]] aliye [[Mahdi]] wa [[Washia]] kulikuwa karibu sana. [[Kiongozi]] wa pili baada ya Sheikh Ahmad alikuwa Kazim Rashti (1793–1843) aliyewaambia wafuasi wake kuwa Mahdi ameshafika tayari, aliwatuma waende wamtafute. Mmoja wa wafuasi hao alikuwa Mulla Husain aliyesafiri katika miji mingi ya Uajemi (Iran) akimtafuta Mahdi.
== Ufunuo ==
[[Picha:Masjidivakil2008.JPG|thumb|Msikiti mkuu wa Shiraz.]]
Katika Mei [[1844]] Mulla Husein alifika Shiraz alipokutana na Ali Muhammad aliyemkaribisha kwake [[Nyumba|nyumbani]]. Husein akieleza alimtafuta nani, mwenyeji wake alimjibu ni yeye aliyemtafuta.
[[Usiku]] ule akiwa mjini Shiraz, Sayyid Ali Muhammad aliandika kwa [[kasi]] kubwa mlango wa kwanza wa kitabu chake cha tafsir ya sura 12 ya Kurani huku Mulla Husain na [[mke]] wake wakimtazama. Kuanzia usiku ule alijiita ''Bab'', alidai kuwa ni [[mdomo]] wa Mungu ulioahidiwa na [[manabii]] wa siku za zamani akiwa yeye [[mlango]] au geti linalounganisha waumini na Mahdi anayetarijiwa. Mulla Husain alikuwa mwumini wa kwanza aliyekubali ufunuo huo.
== Herufi za uhai ==
Baada ya Mulla Husain kumkubali, Bab alimwambia asubiri kabla ya kuhubiri hadi wafuasi 17 wengine watakapokuwa wamefika kwake. Katika muda mfupi, waumini wengine 17 walimkuta "kwa utafutaji wao wenyewe". Kati ya wanafunzi hao 18 alikuwepo pia [[mwanamke]] mmoja, Zarrin Tāj Baraghāni, aliyekuwa mashuhuri kama [[mshairi]] kwa jina la Qurrat al-ʿAyn (kwa Kiarabu: "faraja ya macho") au kama Ṭāhira (kwa Kiarabu: "safi"), na baadaye aliitwa [[mwanaharakati]] wa kwanza wa [[haki za wanawake]] huko [[Mashariki ya Kati]].
Bab aliwaita wanafunzi hao 18 "Herufi Hai" akawatuma kwenda sehemu mbalimbali za Uajemi na [[Turkestan]] ili kueneza habari ya kuwasili kwake.
== Hija ya kwenda Makka na Madina ==
Bab mwenyewe alikwenda [[Hajj|Hija]] huko [[Makka]] na [[Madina]] mnamo Novemba 1844 na "Herufi Hai" Quddus, ambapo alitangaza [[utume]] wake wazi. Alitunga [[barua]] kwa Sharifu wa Makka akajitangaza kuwa Imamu wa 12.
== Kukamatwa na Kufukuza ==
[[Picha:Mahku2008.jpg|thumb|Bab alifungwa katika Ngome ya Maku kabla ya kunyongwa kwake.]]
Baada ya kurudi Iran, viongozi wa [[Uislamu]] walianza kumstaki na kuhubiri dhidi yake. Bab alikamatwa mara ya kwanza Shiraz, baadaye [[Isfahan]]. Kutoka kule alitumwa kama mfungwa [[Teheran]] na baadaye [[Tabriz]].
== Gereza na mauti ==
[[Picha:Where_Bab_executed.jpg|thumb|Tarehe 9 Julai 1850 Bab alitekelezwa hadharani hapa huko Tabriz.]]
Katika [[Majira ya joto|msimu wa joto]] wa [[1847]], Bab alihamishwa kwenye [[ngome]] ya [[mlima]] wa [[Maku]], [[magharibi]] mwa [[Azerbaijan]] alipofungwa siku 40. Mnamo Julai [[1848]] alipelekwa huko [[Tabriz]], ambapo alihojiwa na [[mahakama]] ya [[wataalamu]] wa Uislamu. Walipendekeza kumpa [[adhabu ya kifo]], lakini [[serikali]], ilipendelea alikuwa na wafuasi wengi waliompenda, ilijaribu kumtangaza [[kichaa]]. Bab alipigwa vibaya akafungwa tena katika ngome.
Mwaka [[1850]] [[waziri mkuu]] mpya Amir Kabir aliamua kumaliza [[kesi]] hiyo akaamuru kumwua. Tarehe [[9 Julai]] 1850 Bab alirudishwa Tabriz akawekwa mbele ya kikosi cha [[wanajeshi]] ambao walimpiga [[risasi]]. [[Maiti]] yake ilitupwa katika [[shimo]]. Lakini wafuasi wake wanadai maiti ilichukuliwa kwa [[siri]] usiku na kufichwa baadaye katika sehemu mbalimbali hadi alipoletwa [[Haifa]] mnamo [[1899]] na alilazwa na ʿ Abdul-Baha ' katika [[jengo]] la [[kaburi]] kwenye Mlima [[Mlima Karmeli|Karmeli]] mnamo [[1909]].
[[Picha:Where_the_Bab's_body_was_thrown_in_Tabriz.jpg|thumb|Baada ya kunyongwa kwa Bab, mifupa yake ilihifadhiwa hapa.]]
==Wafuasi wake==
Baada ya [[kifodini]] chake jumuiya aliyoanzisha iliendelea. Wafuasi wengi walijiunga na [[Baha Ullah]] aliyejitangaza kuwa yule aliyetangazwa na Bab na kuanzisha dini ya Baha'i. Wengine walikaa peke yao na [[ibada]] za pekee lakini si wengi. Leo hii wako mnamo wafuasi 1,000 wanaoendelea katika mafundisho wa Bab ilhali hawakujiunga na Ubahai.
== Upeo wa kufichua ==
Bab ameandika mengi. Yeye mwenyewe alisema mnamo 1848 kwamba alikuwa ameandika vifungu 500,000. Katika jamii ya Bahai kuna mkusanyo wa dondoo kutoka [[maandishi]] ya Bab katika [[lugha]] za [[Ulaya]] chini ya kichwa "Uteuzi kutoka kwa maandishi yake". Louis Alphonse Daniel Nicolas Karne ya alama saba na Bayan ya Kiarabu na Kiajemi iliyotafsiriwa kwa [[Kifaransa]].
Kazi zake muhimu zaidi ni:
* ''Qayyūm al-Asmā'' (takriban Kijerumani: "Milele wa majina", pia hujulikana kama "Maoni juu ya Surah Joseph")
* ''al- Bayan al-'Arabi'' ("Azimio la Kiarabu")
* ''Bayan-i-Farsi'' ("Azimio la Uajemi")
* ''Dala'il-i-Sab'ih'' (" Ushuhuda Saba ")
* ''Kitab-i-Asma'' (" Kitabu cha Majina ")
* ''Kitab-i-panj sha'n'' (Kijerumani takriban: "Kitabu cha sifa tano")
== Ushuhuda wa mtu binafsi ==
* [http://news.ca.bahai.org/bahais-celebrate-birth-bab ''Baha’is celebrate the birth of the Bab''.] Canadian Baha’i News Service, 17 October 2014.
=== Kutoka kwa Bab ===
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/diglib/books/K-O/N/sept/sept.htm h-net.org]|title=Le Livre de Sept Preuves („Sieben Beweise“)|date=1902}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/diglib/books/K-O/N/nba/beyana.htm h-net.org]|title=Le Beyan Arabe („arabische Erklärung“)|date=1905}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/diglib/books/K-O/N/nbp/beyanp.htm h-net.org]|title=Le Beyan Persan („persische Erklärung“)|date=|volume=4 Bände (1911, 1913, 1914)}}
* {{Cite book|url=[http://www.holy-writings.com/?a=SHOWTEXT&d=%2F%2Fde%2FBahaitum%2FAuthentisches+Schrifttum%2FBab%2FEine+Auswahl+aus+Seinen+Schriften.txt holy-writings.com]|title=Eine Auswahl aus seinen Schriften|date=1991|publisher=Bahá’í-Verlag|isbn=3-87037-247-8}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/bhpapers/vol1/nahl2.htm h-net.org]|title=Reading Itself. The Bab’s “Sura of the Bees”. A Commentary on Qur’an 12:93 from the Sura of Joseph (Surat al-nahl, „Sure der Bienen“ [Sure 93 des Qayyum al-Asma’ ‹Ewiger der Namen›])|date=1997|volume=5}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/trans/bayan/bayan.htm h-net.org]|title=The Persian Bayan. Ongoing Translation (Bayan-i-Farsi, „persische Erklärung“)|date=|volume=1,4 ab 1997}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/trans/vol2/suluk/suluktr.htm h-net.org]|title=The Bab’s “Journey towards God” (Risalah fi’s-Suluk, „Reise zu Gott“)|date=1998|volume=2,1}}
* {{Cite book|url=[http://www.h-net.org/~bahai/notes/vol7/BABWILL.htm h-net.org]|title=The Primal Point’s Will and Testament („Wille und Testament des Ersten Punktes [der Bab]“)|date=2004|volume=7,2}}
=== Juu ya Bab ===
* {{Cite book|title=The Báb. The herald of the day of days|url=https://archive.org/details/babheraldofdayof0000baly|date=1973|publisher=George Ronald|isbn=0-85398-048-9}}
* {{Cite book|title=Nabíls Bericht aus den frühen Tagen der Bahá’í-Offenbarung|date=|publisher=Bahá’í-Verlag}}
** {{Cite book|title=Band 1|date=1975|isbn=3-87037-057-2}}
** {{Cite book|title=Band 2|date=1982|isbn=3-87037-136-6}}
** {{Cite book|title=Band 3|date=1991|isbn=3-87037-276-1}}
* {{Cite book|title=Auf den Pfaden der Gottesliebe. Über den Báb und Seine Zeit|date=1997|publisher=Bahá’í-Verlag}}
* {{Cite book|title=[[Gott geht vorüber]]|date=2001|publisher=Bahá’í-Verlag|pages=33–133}}
* {{Cite book|title=The Sources for Early Bābī Doctrine and History. A Survey|date=1992|publisher=Brill|isbn=978-90-04-09462-8}}
* {{Cite book|url=[http://books.google.de/books?id=5BxWw44GKNcC&printsec=frontcover&source=gbs_summary_r&cad=0 Online als Voransicht bei Google Books]|title=Qur’ān Commentary as Sacred Performance. The Bāb’s tafsīrs on Qur’an 103 and 108, the Declining Day and the Abundance|date=1998|publisher=Georg Olms Verlag|isbn=3-487-10727-9|pages=145–158}}
* {{Cite book|title=Frühe Šaiḫī- und Bābī-Theologie. Die Darlegung der Beweise für Muḥammads besonderes Prophetentum (Ar-Risāla fī Iṯbāt an-Nubūwa al-Ḫāṣṣa)|date=2004|publisher=Brill|isbn=978-90-04-14034-9|volume=57}}
* {{Cite book|title=The Messiah of Shiraz. Studies in Early and Middle Babism|date=2009|publisher=Brill|isbn=978-90-04-17035-3|volume=3}}
* {{Cite book|title=Gnostic Apocalypse in Islam. The Literary Beginnings of the Babi Movement|date=2009|publisher=Routledge|isbn=978-0-415-49539-4}}
== Viungo vya nje ==
<references/>
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliofariki 1850]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1819]]
[[Jamii:Watu wa Uajemi]]
[[Jamii:bahai]]
bde8k5gv7rsd6csyyqwq381b8j2dtv9
Kigezo:Viongozi wakuu wa Jumuiya ya Madola
10
128025
1240606
1125131
2022-08-08T07:58:54Z
Bestoernesto
23840
upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
{{Navbox
| name = Viongozi wakuu wa Jumuiya ya Madola
| title = [[Orodha ya wakuu wa serikali ya Jumuiya ya Madola|Viongozi wakuu wa Jumuiya ya Madola]]
| bodyclass = hlist
| above =
* '''Kichwa:''' [[Elizabeth II]]
* '''Katibu Mkuu:''' [[Patricia Scotland]]
* '''Mwenyekiti-katika Ofisi:''' [[Boris Johnson]]
| list1 =
* {{Nowrap|{{flagicon|Antigua and Barbuda}} [[Gaston Browne|Browne]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Australia}} [[Scott Morrison|Morrison]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Bahamas}} [[Hubert Minnis|Minnis]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Bangladesh}} [[Sheikh Hasina|Hasina]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Barbados}} [[Mia Mottley|Mottley]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Belize}} [[Dean Barrow|D. Barrow]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Botswana}} [[Mokgweetsi Masisi|Masisi]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Brunei}} [[Hassanal Bolkiah|Bolkiah]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Cameroon}} [[Paul Biya|Biya]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Canada}} [[Justin Trudeau|Trudeau]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Cyprus}} [[Nicos Anastasiades|Anastasiades]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Dominica}} [[Roosevelt Skerrit|Skerrit]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Eswatini}} [[Ambrose Mandvulo Dlamini|Dlamini]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Fiji}} [[Frank Bainimarama|Bainimarama]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Gambia}} [[Adama Barrow|A. Barrow]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Ghana}} [[Nana Akufo-Addo|Akufo-Addo]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Grenada}} [[Keith Mitchell|Mitchell]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Guyana}} [[Irfaan Ali|Ali]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|India}} [[Narendra Modi|Modi]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Jamaica}} [[Andrew Holness|Holness]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Kenya}} [[Uhuru Kenyatta|Kenyatta]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Kiribati}} [[Taneti Maamau|Maamau]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Lesotho}} [[Moeketsi Majoro|Majoro]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Malawi}} [[Lazarus Chakwera|Chakwera]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Malaysia}} [[Muhyiddin Yassin|Muhyiddin]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Maldives}} [[Ibrahim Mohamed Solih|Solih]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Malta}} [[Robert Abela|Abela]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Mauritius}} [[Pravind Jugnauth|Jugnauth]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Mozambique}} [[Filipe Nyusi|Nyusi]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Namibia}} [[Hage Geingob|Geingob]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Nauru}} [[Lionel Aingimea|Aingimea]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|New Zealand}} [[Jacinda Ardern|Ardern]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Nigeria}} [[Muhammadu Buhari|Buhari]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Pakistan}} [[Imran Khan|Khan]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Papua New Guinea}} [[James Marape|Marape]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Rwanda}} [[Paul Kagame|Kagame]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Saint Kitts and Nevis}} [[Timothy Harris|Harris]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Saint Lucia}} [[Allen Chastanet|Chastanet]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Saint Vincent and the Grenadines}} [[Ralph Gonsalves|Gonsalves]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Samoa}} [[Tuilaepa Aiono Sailele Malielegaoi|Malielegaoi]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Seychelles}} [[Danny Faure|Faure]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Sierra Leone}} [[Julius Maada Bio|Bio]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Singapore}} [[Lee Hsien Loong|Lee]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Solomon Islands}} [[Manasseh Sogavare|Sogavare]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|South Africa}} [[Cyril Ramaphosa|Ramaphosa]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Sri Lanka}} [[Gotabaya Rajapaksa|Rajapaksa]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Tanzania}} [[John Magufuli|Magufuli]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Tonga}} [[Pohiva Tuʻiʻonetoa|Tuʻiʻonetoa]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Trinidad and Tobago}} [[Keith Rowley|Rowley]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Tuvalu}} [[Kausea Natano|Natano]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Uganda}} [[Yoweri Museveni|Museveni]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|United Kingdom}} [[Boris Johnson|Johnson]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Vanuatu}} [[Bob Loughman|Loughman]]}}
* {{Nowrap|{{flagicon|Zambia}} [[Edgar Lungu|Lungu]]}}
}}
s54tx166wywajowpmc5j0wmd7yjsqa2
Martiniano wa Kaisarea
0
132724
1240292
1150791
2022-08-07T12:34:28Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Hosios Loukas (nave, south west bay) - S.Martinianos.jpg|thumb|[[Mozaiki]] inayoonyesha [[sura]] yake.]]
'''Martiniano wa Kaisarea''' (alifariki [[Athens]], [[Ugiriki]], [[422]] hivi) alikuwa [[Mkristo]] wa [[Palestina]] ambaye aliwahi kuishi kama [[mkaapweke]] karibu na [[Kaisarea Baharini]], leo nchini [[Israeli]].
Baadaye alikwenda kuishi katika [[kisiwa]] kidogo na hatimaye akaanza kuhamahama <ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/92687</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadimishwa [[tarehe]] [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Category:Waliofariki 422]]
[[Category:Wakaapweke]]
[[Category:Watakatifu wa Israeli]]
[[Jamii:watakatifu wa Ugiriki]]
3ou7d1ks8oxwh1szuu4zrqzbbrxqvui
Stefano wa Lyon
0
132726
1240301
1150795
2022-08-07T12:55:23Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ([[karne ya 5]] - [[Lyon]], leo nchini [[Ufaransa]], [[karne ya 6]]) alikuwa [[askofu]] wa 23 wa [[mji]] huo kabla ya [[mwaka]] [[514]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40670</ref>.
Alitetea [[imani sahihi]] dhidi ya [[Ario|Waario]] walioungwa mkono na [[mtawala]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
*{{la}} [https://archive.org/details/actasanctorum05unse/page/671 ''De S. Stephano episcopo Lugdunensis in Gallia''], in [[Acta Sanctorum|Acta Sanctorum Februarii]], vol. II, Parigi-Roma 1865, pp. 672-673
*{{fr}} [[Louis Duchesne]], [https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k107956w/f162.image ''Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule''], vol. II, Paris 1910, pp. 157-165
*{{fr}} [https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k3412734n/f116.image ''Dictionnaire d'archéologie chrétienne et de liturgie''], Tome X, première partie, Paris 1931, coll. 200-201
*{{it}} Bernard de Vregille, ''Stefano, vescovo di Lione, santo'', in «[[Bibliotheca Sanctorum]]», vol. XI, col. 1405
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 5]]
[[Jamii:Waliofariki karne ya 6]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
ilffd4x9ikh5c118lcbl7vaglxkja0w
Vitalis wa Spoleto
0
132860
1240317
1151252
2022-08-07T13:51:44Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Vitalis wa Spoleto''' (alifariki [[Spoleto]], [[Umbria]], [[Italia]], [[karne ya 4]] hivi) alikuwa [[Mkristo]] aliyefia [[dini]] yake hiyo wakati wa [[dhuluma]] ya [[Dola la Roma]] baada ya kushika [[imani]] na kumuiga [[Yesu]] [[Masiya|Kristo]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Kanisa la Kiorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 3]]
[[Category:Waliofariki karne ya 4]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
f1i1aq945li65123k1koed7zjvjc3oy
Yohane Mbatizaji Garcia
0
132865
1240324
1151260
2022-08-07T14:07:10Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:São João Batista da Conceição.png|thumb|250px|Mt. Yohane Mbatizaji Garcia.]]
'''Yohane Mbatizaji Garcia''' ([[Almodóvar del Campo]], [[Ciudad Real]], [[Hispania]], [[10 Julai]] [[1561]] - [[Cordoba, Hispania]], [[14 Februari]] [[1613]]) alikuwa [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] na [[mtawa]] wa shirika la [[Watrinitari]], yaani watawa wa [[Utatu mtakatifu]], waliojitoa kabisa kwa ajili ya kukomboa [[Ukristo|Wakristo]] waliotekwa [[utumwa]]ni.
Alijitahidi kufanya [[urekebisho]] wa shirika hilo kwa kuanzisha [[tawi]] la [[Watrinitari Peku]] kwa kufuata mfano wa [[Teresa wa Yesu]] kati ya vipingamizi vikubwa na tabu nyingi.
Pia aliandika [[vitabu]] vingi vya [[teolojia]].
Alitangazwa na [[Papa Pius VII]] kuwa [[mwenyeheri]] tarehe [[26 Septemba]] [[1819]], halafu [[Papa Paulo VI]] alimtangaza [[mtakatifu]] [[tarehe]] [[25 Mei]] [[1975]]<ref>{{cite web|url=https://translate.google.com.au/translate?sl=auto&tl=en&js=y&prev=_t&hl=en&ie=UTF-8&u=http%3A%2F%2Fwww.santiebeati.it%2Fdettaglio%2F90071&edit-text=&act=url|title=Saint John Baptist of the Conception|publisher=Santi e Beati|date=|access-date=22 July 2015}}</ref>.
[[Sikukuu]] yake ni tarehe 14 Februari<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
<references/>
==Viungo vya nje==
{{commons|Juan Bautista de la Concepción}}
*[http://www.hagiographycircle.com/year/1613.htm#López-Rico Hagiography Circle]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa 1561]]
[[Category:Waliofariki 1613]]
[[Jamii:Mapadri]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watrinitari]]
[[Category:Watakatifu wa Hispania]]
e7e4q2m5fdjwhk76c7kxo7dk7kxy1tf
Faustini na Jovita
0
132866
1240327
1151757
2022-08-07T14:13:52Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Pala_della_mercanzia_(vincenzo_foppa).jpg|thumb|250px|''Bikira Maria na Mtoto Yesu pamoja na Wat. Jovita na Faustino'', kazi ya [[Vincenzo Foppa]].]]
'''Faustini na Jovita''' (walifariki [[Brescia]], [[Lombardia]], [[Italia Kaskazini]], [[120]] au [[124]]) walikuwa [[Wakristo]] ambao [[kifodini|walifia dini]] yao chini ya [[kaisari]] [[Hadrian]].
Inasemekana Faustini alikuwa [[shemasi]] na mwenzake [[mhubiri]] waliopigania sana [[imani]].
Tangu kale wanaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa [[tarehe]] [[15 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
*[http://www.newadvent.org/cathen/06019a.htm Jovita and Faustinus] at the [[Catholic Encyclopedia]]
*[https://web.archive.org/web/20060303003605/http://www.catholic-forum.com/saints/saintjbj.htm Faustinus at Patron Saints Index]
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0215.shtml#faus Saint of the Day, February 15: ''Jovita and Faustinus''] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0215.shtml#faus |date=20110423191725 }} at ''SaintPatrickDC.org''
*{{it}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/41000 San Faustino]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 1]]
[[Category:Waliofariki 120]]
[[Jamii:Mashemasi]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
9n93fmdqg0s94c3vpygvpf5p3l2atwz
Maruta
0
132925
1240613
1151638
2022-08-08T08:17:51Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Saint Maruthas, Bishop of Martyropolis in Mesopotamia (Menologion of Basil II).jpeg|thumb|250px|[[Mchoro mdogo]] ukimwonyesha Mt. Maruta askofu.]]
'''Maruta''' ([[karne ya 4]] – [[415]]) alikuwa [[mmonaki]] wa [[Kanisa la Mashariki]]<ref name="Marcus47">''The Armenian Life of Marutha of Maipherkat'', Ralph Marcus, '''The Harvard Theological Review''', Vol. 25, No. 1 (Jan., 1932), 47. </ref> maarufu kama [[askofu]] wa [[Mayferkat]] (leo [[Silvan]] nchini [[Uturuki]]) kwa zaidi ya miaka 10 ambapo alifaulu kuzuia [[dhuluma]] ya [[Dola la Persia]] dhidi ya [[Wakristo]]<ref name="Marcus50">''The Armenian Life of Marutha of Maipherkat'', Ralph Marcus, '''The Harvard Theological Review''', 50.</ref>.
Hivyo aliweza kujenga upya [[Kanisa|makanisa]], kukusanya humo [[masalia]] ya [[wafiadini]], kuendesha [[sinodi]] mbili zilizolipa Kanisa hilo muundo imara, pamoja na kuandika [[vitabu]] vya [[historia ya Kanisa]] na [[ufafanuzi]] wa [[Biblia]], [[tenzi]], [[anafora]] n.k.<ref>His writings include:
* ''Acts of the Persian Martyrs'' (these acts remember the victims of the persecution of Shapur II and Yazdegerd I)
* ''History of the Council of Nicaea''
* A translation in Syriac of the canons of the [[First Council of Nicaea|Council of Nicaea]]
* A Syrian liturgy, or [[Anaphora (liturgy)|anaphora]]
* Commentaries on the Gospels
* ''Acts of the Council of Seleucia-Ctesiphon'' (26 spurious canons of a [[synod]] held in 410)
He also wrote hymns on the Holy Eucharist, on the Cross, and on saints killed in Shapur's persecution.</ref>
[[Rafiki]] wa [[Yohane Krisostomo]], alishiriki [[Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli]] ([[481]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/92498</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waorthodoksi wa Mashariki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[16 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Mababu wa Kanisa]]
==Tanbihi==
<references/>
== Marejeo ==
*[http://www.newadvent.org/cathen/09748a.htm Maruthas] from the ''[[Catholic Encyclopedia]]'' (1915)
*[[De Lacy O'Leary]], ''The Syriac Church and Fathers'' (2002)
*[[William Smith (lexicographer)|Smith, William]] & [[Henry Wace (Anglican priest)|Wace, Henry]] (editors); ''A dictionary of christian biography, literature, sects and doctrine'', "Maruthas (1)", (1877).
* Moffett, Samuel Hugh. ''A History of Christianity in Asia'', (Maryknoll: Orbis Books, 1998) p. 154-155
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Category:Waliofariki 415]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Mababu wa Kanisa]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
1z31fr8a8d57xijp8hsd12v78b6u3n6
Module:ISO 3166/data/National
828
134116
1240599
1157350
2022-08-08T07:30:23Z
Bestoernesto
23840
corr.
Scribunto
text/plain
return {
["AD"] = {alpha3="AND",numeric="020",name="Andorra"},
["AE"] = {alpha3="ARE",numeric="784",name="United Arab Emirates",altnames={"UAE"}},
["AF"] = {alpha3="AFG",numeric="004",name="Afghanistan"},
["AG"] = {alpha3="ATG",numeric="028",name="Antigua and Barbuda"},
["AI"] = {alpha3="AIA",numeric="660",name="Anguilla"},
["AL"] = {alpha3="ALB",numeric="008",name="Albania"},
["AM"] = {alpha3="ARM",numeric="051",name="Armenia"},
["AO"] = {alpha3="AGO",numeric="024",name="Angola"},
["AQ"] = {alpha3="ATA",numeric="010",name="Antarctica"},
["AR"] = {alpha3="ARG",numeric="032",name="Argentina"},
["AS"] = {alpha3="ASM",numeric="016",name="American Samoa"},
["AT"] = {alpha3="AUT",numeric="040",name="Austria"},
["AU"] = {alpha3="AUS",numeric="036",name="Australia"},
["AW"] = {alpha3="ABW",numeric="533",name="Aruba"},
["AX"] = {alpha3="ALA",numeric="248",name="Åland Islands",altnames={"Aland Islands","Åland","Aland"}},
["AZ"] = {alpha3="AZE",numeric="031",name="Azerbaijan"},
["BA"] = {alpha3="BIH",numeric="070",name="Bosnia and Herzegovina",altnames={"Bosnia"}},
["BB"] = {alpha3="BRB",numeric="052",name="Barbados"},
["BD"] = {alpha3="BGD",numeric="050",name="Bangladesh"},
["BE"] = {alpha3="BEL",numeric="056",name="Belgium"},
["BF"] = {alpha3="BFA",numeric="854",name="Burkina Faso"},
["BG"] = {alpha3="BGR",numeric="100",name="Bulgaria"},
["BH"] = {alpha3="BHR",numeric="048",name="Bahrain"},
["BI"] = {alpha3="BDI",numeric="108",name="Burundi"},
["BJ"] = {alpha3="BEN",numeric="204",name="Benin"},
["BL"] = {alpha3="BLM",numeric="652",name="Saint Barthélemy",altnames={"St Barthelemy"}},
["BM"] = {alpha3="BMU",numeric="060",name="Bermuda"},
["BN"] = {alpha3="BRN",numeric="096",name="Brunei",isoname="Brunei Darussalam"},
["BO"] = {alpha3="BOL",numeric="068",name="Bolivia",isoname="Bolivia (Plurinational State of)"},
["BQ"] = {alpha3="BES",numeric="535",name="Caribbean Netherlands",isoname="Bonaire, Sint Eustatius and Saba"},
["BR"] = {alpha3="BRA",numeric="076",name="Brazil"},
["BS"] = {alpha3="BHS",numeric="044",name="Bahamas"},
["BT"] = {alpha3="BTN",numeric="064",name="Bhutan"},
["BV"] = {alpha3="BVT",numeric="074",name="Bouvet Island"},
["BW"] = {alpha3="BWA",numeric="072",name="Botswana"},
["BY"] = {alpha3="BLR",numeric="112",name="Belarus"},
["BZ"] = {alpha3="BLZ",numeric="084",name="Belize"},
["CA"] = {alpha3="CAN",numeric="124",name="Canada"},
["CC"] = {alpha3="CCK",numeric="166",name="Cocos (Keeling) Islands",altnames={"Cocos Islands","Keeling Islands"}},
["CD"] = {alpha3="COD",numeric="180",name="Democratic Republic of the Congo",isoname="Congo, Democratic Republic of the",altnames={"Congo-Kinshasa","DRC","DR Congo"}},
["CF"] = {alpha3="CAF",numeric="140",name="Central African Republic",altnames={"CAR"}},
["CG"] = {alpha3="COG",numeric="178",name="Republic of the Congo",isoname="Congo",altnames={"Congo-Brazzaville"}},
["CH"] = {alpha3="CHE",numeric="756",name="Switzerland"},
["CI"] = {alpha3="CIV",numeric="384",name="Côte d'Ivoire",altnames={"Ivory Coast"}},
["CK"] = {alpha3="COK",numeric="184",name="Cook Islands"},
["CL"] = {alpha3="CHL",numeric="152",name="Chile"},
["CM"] = {alpha3="CMR",numeric="120",name="Cameroon"},
["CN"] = {alpha3="CHN",numeric="156",name="China",altnames={"People's Republic of China","PRC"}},
["CO"] = {alpha3="COL",numeric="170",name="Colombia"},
["CR"] = {alpha3="CRI",numeric="188",name="Costa Rica"},
["CU"] = {alpha3="CUB",numeric="192",name="Cuba"},
["CV"] = {alpha3="CPV",numeric="132",name="Cabo Verde",altnames={"Cape Verde"}},
["CW"] = {alpha3="CUW",numeric="531",name="Curaçao",altnames={"Curacao"}},
["CX"] = {alpha3="CXR",numeric="162",name="Christmas Island"},
["CY"] = {alpha3="CYP",numeric="196",name="Cyprus"},
["CZ"] = {alpha3="CZE",numeric="203",name="Czech Republic",isoname="Czechia"},
["DE"] = {alpha3="DEU",numeric="276",name="Germany"},
["DJ"] = {alpha3="DJI",numeric="262",name="Djibouti"},
["DK"] = {alpha3="DNK",numeric="208",name="Denmark"},
["DM"] = {alpha3="DMA",numeric="212",name="Dominica"},
["DO"] = {alpha3="DOM",numeric="214",name="Dominican Republic"},
["DZ"] = {alpha3="DZA",numeric="012",name="Algeria"},
["EC"] = {alpha3="ECU",numeric="218",name="Ecuador"},
["EE"] = {alpha3="EST",numeric="233",name="Estonia"},
["EG"] = {alpha3="EGY",numeric="818",name="Egypt"},
["EH"] = {alpha3="ESH",numeric="732",name="Western Sahara"},
["ER"] = {alpha3="ERI",numeric="232",name="Eritrea"},
["ES"] = {alpha3="ESP",numeric="724",name="Spain"},
["ET"] = {alpha3="ETH",numeric="231",name="Ethiopia"},
["FI"] = {alpha3="FIN",numeric="246",name="Finland"},
["FJ"] = {alpha3="FJI",numeric="242",name="Fiji"},
["FK"] = {alpha3="FLK",numeric="238",name="Falkland Islands",isoname="Falkland Islands (Malvinas)",altnames={"Falklands","Islas Malvinas","Malvinas","Malvinas Islands"}},
["FM"] = {alpha3="FSM",numeric="583",name="Federated States of Micronesia",isoname="Micronesia (Federated States of)",altnames={"Micronesia"}},
["FO"] = {alpha3="FRO",numeric="234",name="Faroe Islands",altnames={"Faroer","Faeroer"}},
["FR"] = {alpha3="FRA",numeric="250",name="France"},
["GA"] = {alpha3="GAB",numeric="266",name="Gabon"},
["GB"] = {alpha3="GBR",numeric="826",name="United Kingdom",isoname="United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland",altnames={"UK","Great Britain"}},
["GB-ENG"] = {alpha3="ENG",numeric="000",name="England"}, --Considered to be a country
["GB-NIR"] = {alpha3="NIR",numeric="000",name="Northern Ireland"}, --Considered to be a country
["GB-SCT"] = {alpha3="SCT",numeric="000",name="Scotland"}, --Considered to be a country
["GB-WLS"] = {alpha3="WLS",numeric="000",name="Wales"}, --Considered to be a country
["GB-EAW"] = {alpha3="EAW",numeric="000",name="England and Wales"}, --Considered to be a country
["GD"] = {alpha3="GRD",numeric="308",name="Grenada"},
["GE"] = {alpha3="GEO",numeric="268",name="Georgia"},
["GF"] = {alpha3="GUF",numeric="254",name="French Guiana"},
["GG"] = {alpha3="GGY",numeric="831",name="Guernsey"},
["GH"] = {alpha3="GHA",numeric="288",name="Ghana"},
["GI"] = {alpha3="GIB",numeric="292",name="Gibraltar"},
["GL"] = {alpha3="GRL",numeric="304",name="Greenland"},
["GM"] = {alpha3="GMB",numeric="270",name="Gambia"},
["GN"] = {alpha3="GIN",numeric="324",name="Guinea"},
["GP"] = {alpha3="GLP",numeric="312",name="Guadeloupe"},
["GQ"] = {alpha3="GNQ",numeric="226",name="Equatorial Guinea"},
["GR"] = {alpha3="GRC",numeric="300",name="Greece"},
["GS"] = {alpha3="SGS",numeric="239",name="South Georgia and the South Sandwich Islands"},
["GT"] = {alpha3="GTM",numeric="320",name="Guatemala"},
["GU"] = {alpha3="GUM",numeric="316",name="Guam"},
["GW"] = {alpha3="GNB",numeric="624",name="Guinea-Bissau"},
["GY"] = {alpha3="GUY",numeric="328",name="Guyana"},
["HK"] = {alpha3="HKG",numeric="344",name="Hong Kong",altnames={"Hong Kong SAR","HKSAR"}},
["HM"] = {alpha3="HMD",numeric="334",name="Heard Island and McDonald Islands",altnames={"Heard and McDonald Islands"}},
["HN"] = {alpha3="HND",numeric="340",name="Honduras"},
["HR"] = {alpha3="HRV",numeric="191",name="Croatia"},
["HT"] = {alpha3="HTI",numeric="332",name="Haiti"},
["HU"] = {alpha3="HUN",numeric="348",name="Hungary"},
["ID"] = {alpha3="IDN",numeric="360",name="Indonesia"},
["IE"] = {alpha3="IRL",numeric="372",name="Ireland",altnames={"Republic of Ireland"}},
["IL"] = {alpha3="ISR",numeric="376",name="Israel"},
["IM"] = {alpha3="IMN",numeric="833",name="Isle of Man"},
["IN"] = {alpha3="IND",numeric="356",name="India"},
["IO"] = {alpha3="IOT",numeric="086",name="British Indian Ocean Territory"},
["IQ"] = {alpha3="IRQ",numeric="368",name="Iraq"},
["IR"] = {alpha3="IRN",numeric="364",name="Iran",isoname="Iran (Islamic Republic of)"},
["IS"] = {alpha3="ISL",numeric="352",name="Iceland"},
["IT"] = {alpha3="ITA",numeric="380",name="Italy"},
["JE"] = {alpha3="JEY",numeric="832",name="Jersey"},
["JM"] = {alpha3="JAM",numeric="388",name="Jamaica"},
["JO"] = {alpha3="JOR",numeric="400",name="Jordan"},
["JP"] = {alpha3="JPN",numeric="392",name="Japan"},
["KE"] = {alpha3="KEN",numeric="404",name="Kenya"},
["KG"] = {alpha3="KGZ",numeric="417",name="Kyrgyzstan"},
["KH"] = {alpha3="KHM",numeric="116",name="Cambodia"},
["KI"] = {alpha3="KIR",numeric="296",name="Kiribati"},
["KM"] = {alpha3="COM",numeric="174",name="Comoros"},
["KN"] = {alpha3="KNA",numeric="659",name="Saint Kitts and Nevis",altnames={"St Kitts and Nevis"}},
["KP"] = {alpha3="PRK",numeric="408",name="North Korea",isoname="Korea (Democratic People's Republic of)",altnames={"Democratic People's Republic of Korea"}},
["KR"] = {alpha3="KOR",numeric="410",name="South Korea",isoname="Korea, Republic of",altnames={"Republic of Korea"}},
["KW"] = {alpha3="KWT",numeric="414",name="Kuwait"},
["KY"] = {alpha3="CYM",numeric="136",name="Cayman Islands"},
["KZ"] = {alpha3="KAZ",numeric="398",name="Kazakhstan"},
["LA"] = {alpha3="LAO",numeric="418",name="Laos",isoname="Lao People's Democratic Republic"},
["LB"] = {alpha3="LBN",numeric="422",name="Lebanon"},
["LC"] = {alpha3="LCA",numeric="662",name="Saint Lucia",altnames={"St Lucia"}},
["LI"] = {alpha3="LIE",numeric="438",name="Liechtenstein"},
["LK"] = {alpha3="LKA",numeric="144",name="Sri Lanka"},
["LR"] = {alpha3="LBR",numeric="430",name="Liberia"},
["LS"] = {alpha3="LSO",numeric="426",name="Lesotho"},
["LT"] = {alpha3="LTU",numeric="440",name="Lithuania"},
["LU"] = {alpha3="LUX",numeric="442",name="Luxembourg"},
["LV"] = {alpha3="LVA",numeric="428",name="Latvia"},
["LY"] = {alpha3="LBY",numeric="434",name="Libya"},
["MA"] = {alpha3="MAR",numeric="504",name="Morocco"},
["MC"] = {alpha3="MCO",numeric="492",name="Monaco"},
["MD"] = {alpha3="MDA",numeric="498",name="Moldova",isoname="Moldova, Republic of"},
["ME"] = {alpha3="MNE",numeric="499",name="Montenegro"},
["MF"] = {alpha3="MAF",numeric="663",name="Saint-Martin",isoname="Saint Martin (French part)",altnames={"St Martin","St Martin (French part)","Collectivity of Saint Martin","Collectivity of St Martin"}},
["MG"] = {alpha3="MDG",numeric="450",name="Madagascar"},
["MH"] = {alpha3="MHL",numeric="584",name="Marshall Islands"},
["MK"] = {alpha3="MKD",numeric="807",name="North Macedonia",altnames={"Republic of North Macedonia","Macedonia","Republic of Macedonia","Macedonia, the former Yugoslav Republic of"}},
["ML"] = {alpha3="MLI",numeric="466",name="Mali"},
["MM"] = {alpha3="MMR",numeric="104",name="Myanmar",altnames={"Burma"}},
["MN"] = {alpha3="MNG",numeric="496",name="Mongolia"},
["MO"] = {alpha3="MAC",numeric="446",name="Macau",isoname="Macao",altnames={"Macau SAR","Macao SAR"}},
["MP"] = {alpha3="MNP",numeric="580",name="Northern Mariana Islands"},
["MQ"] = {alpha3="MTQ",numeric="474",name="Martinique"},
["MR"] = {alpha3="MRT",numeric="478",name="Mauritania"},
["MS"] = {alpha3="MSR",numeric="500",name="Montserrat"},
["MT"] = {alpha3="MLT",numeric="470",name="Malta"},
["MU"] = {alpha3="MUS",numeric="480",name="Mauritius"},
["MV"] = {alpha3="MDV",numeric="462",name="Maldives"},
["MW"] = {alpha3="MWI",numeric="454",name="Malawi"},
["MX"] = {alpha3="MEX",numeric="484",name="Mexico"},
["MY"] = {alpha3="MYS",numeric="458",name="Malaysia"},
["MZ"] = {alpha3="MOZ",numeric="508",name="Mozambique"},
["NA"] = {alpha3="NAM",numeric="516",name="Namibia"},
["NC"] = {alpha3="NCL",numeric="540",name="New Caledonia"},
["NE"] = {alpha3="NER",numeric="562",name="Niger"},
["NF"] = {alpha3="NFK",numeric="574",name="Norfolk Island"},
["NG"] = {alpha3="NGA",numeric="566",name="Nigeria"},
["NI"] = {alpha3="NIC",numeric="558",name="Nicaragua"},
["NL"] = {alpha3="NLD",numeric="528",name="Netherlands"},
["NO"] = {alpha3="NOR",numeric="578",name="Norway"},
["NP"] = {alpha3="NPL",numeric="524",name="Nepal"},
["NR"] = {alpha3="NRU",numeric="520",name="Nauru"},
["NU"] = {alpha3="NIU",numeric="570",name="Niue"},
["NZ"] = {alpha3="NZL",numeric="554",name="New Zealand",altnames={"Aotearoa"}},
["OM"] = {alpha3="OMN",numeric="512",name="Oman"},
["PA"] = {alpha3="PAN",numeric="591",name="Panama"},
["PE"] = {alpha3="PER",numeric="604",name="Peru"},
["PF"] = {alpha3="PYF",numeric="258",name="French Polynesia"},
["PG"] = {alpha3="PNG",numeric="598",name="Papua New Guinea"},
["PH"] = {alpha3="PHL",numeric="608",name="Philippines"},
["PK"] = {alpha3="PAK",numeric="586",name="Pakistan"},
["PL"] = {alpha3="POL",numeric="616",name="Poland"},
["PM"] = {alpha3="SPM",numeric="666",name="Saint Pierre and Miquelon",altnames={"St Pierre and Miquelon"}},
["PN"] = {alpha3="PCN",numeric="612",name="Pitcairn"},
["PR"] = {alpha3="PRI",numeric="630",name="Puerto Rico"},
["PS"] = {alpha3="PSE",numeric="275",name="Palestine",isoname="Palestine, State of",altnames={"State of Palestine"}},
["PT"] = {alpha3="PRT",numeric="620",name="Portugal"},
["PW"] = {alpha3="PLW",numeric="585",name="Palau"},
["PY"] = {alpha3="PRY",numeric="600",name="Paraguay"},
["QA"] = {alpha3="QAT",numeric="634",name="Qatar"},
["RE"] = {alpha3="REU",numeric="638",name="Réunion"},
["RO"] = {alpha3="ROU",numeric="642",name="Romania"},
["RS"] = {alpha3="SRB",numeric="688",name="Serbia"},
["RU"] = {alpha3="RUS",numeric="643",name="Russia",isoname="Russian Federation"},
["RW"] = {alpha3="RWA",numeric="646",name="Rwanda"},
["SA"] = {alpha3="SAU",numeric="682",name="Saudi Arabia"},
["SB"] = {alpha3="SLB",numeric="090",name="Solomon Islands"},
["SC"] = {alpha3="SYC",numeric="690",name="Seychelles"},
["SD"] = {alpha3="SDN",numeric="729",name="Sudan"},
["SE"] = {alpha3="SWE",numeric="752",name="Sweden"},
["SG"] = {alpha3="SGP",numeric="702",name="Singapore"},
["SH"] = {alpha3="SHN",numeric="654",name="Saint Helena, Ascension and Tristan da Cunha"},
["SI"] = {alpha3="SVN",numeric="705",name="Slovenia"},
["SJ"] = {alpha3="SJM",numeric="744",name="Svalbard and Jan Mayen"},
["SK"] = {alpha3="SVK",numeric="703",name="Slovakia"},
["SL"] = {alpha3="SLE",numeric="694",name="Sierra Leone"},
["SM"] = {alpha3="SMR",numeric="674",name="San Marino"},
["SN"] = {alpha3="SEN",numeric="686",name="Senegal"},
["SO"] = {alpha3="SOM",numeric="706",name="Somalia"},
["SR"] = {alpha3="SUR",numeric="740",name="Suriname"},
["SS"] = {alpha3="SSD",numeric="728",name="South Sudan"},
["ST"] = {alpha3="STP",numeric="678",name="São Tomé and Príncipe",isoname="Sao Tome and Principe",altnames={"Democratic Republic of Sao Tome and Principe"}},
["SV"] = {alpha3="SLV",numeric="222",name="El Salvador"},
["SX"] = {alpha3="SXM",numeric="534",name="Sint Maarten",isoname="Sint Maarten (Dutch part)",altnames={"St Maarten","Saint Martin (Dutch part)","St Martin (Dutch part)"}},
["SY"] = {alpha3="SYR",numeric="760",name="Syria",isoname="Syrian Arab Republic"},
["SZ"] = {alpha3="SWZ",numeric="748",name="Eswatini"},
["TC"] = {alpha3="TCA",numeric="796",name="Turks and Caicos Islands"},
["TD"] = {alpha3="TCD",numeric="148",name="Chad"},
["TF"] = {alpha3="ATF",numeric="260",name="French Southern and Antarctic Lands",isoname="French Southern Territories"},
["TG"] = {alpha3="TGO",numeric="768",name="Togo"},
["TH"] = {alpha3="THA",numeric="764",name="Thailand"},
["TJ"] = {alpha3="TJK",numeric="762",name="Tajikistan"},
["TK"] = {alpha3="TKL",numeric="772",name="Tokelau"},
["TL"] = {alpha3="TLS",numeric="626",name="Timor-Leste",altnames={"East Timor"}},
["TM"] = {alpha3="TKM",numeric="795",name="Turkmenistan"},
["TN"] = {alpha3="TUN",numeric="788",name="Tunisia"},
["TO"] = {alpha3="TON",numeric="776",name="Tonga"},
["TR"] = {alpha3="TUR",numeric="792",name="Turkey"},
["TT"] = {alpha3="TTO",numeric="780",name="Trinidad and Tobago"},
["TV"] = {alpha3="TUV",numeric="798",name="Tuvalu"},
["TW"] = {alpha3="TWN",numeric="158",name="Taiwan",isoname="Taiwan, Province of China",altnames={"Republic of China"}},
["TZ"] = {alpha3="TZA",numeric="834",name="Tanzania",isoname="Tanzania, United Republic of"},
["UA"] = {alpha3="UKR",numeric="804",name="Ukraine"},
["UG"] = {alpha3="UGA",numeric="800",name="Uganda"},
["UM"] = {alpha3="UMI",numeric="581",name="United States Minor Outlying Islands"},
["US"] = {alpha3="USA",numeric="840",name="United States",isoname="United States of America",altnames={"US","USA"}},
["UY"] = {alpha3="URY",numeric="858",name="Uruguay"},
["UZ"] = {alpha3="UZB",numeric="860",name="Uzbekistan"},
["VA"] = {alpha3="VAT",numeric="336",name="Vatican City",isoname="Holy See",altnames={"Holy See (Vatican City State)","Vatican City State"}},
["VC"] = {alpha3="VCT",numeric="670",name="Saint Vincent and the Grenadines",altnames={"St Vincent and the Grenadines"}},
["VE"] = {alpha3="VEN",numeric="862",name="Venezuela",isoname="Venezuela (Bolivarian Republic of)"},
["VG"] = {alpha3="VGB",numeric="092",name="British Virgin Islands",isoname="Virgin Islands (British)",altnames={"UK Virgin Islands","BVI"}},
["VI"] = {alpha3="VIR",numeric="850",name="United States Virgin Islands",isoname="Virgin Islands (U.S.)",altnames={"US Virgin Islands","USVI"}},
["VN"] = {alpha3="VNM",numeric="704",name="Vietnam",isoname="Viet Nam"},
["VU"] = {alpha3="VUT",numeric="548",name="Vanuatu"},
["WF"] = {alpha3="WLF",numeric="876",name="Wallis and Futuna"},
["WS"] = {alpha3="WSM",numeric="882",name="Samoa"},
["YE"] = {alpha3="YEM",numeric="887",name="Yemen"},
["YT"] = {alpha3="MYT",numeric="175",name="Mayotte"},
["ZA"] = {alpha3="ZAF",numeric="710",name="South Africa"},
["ZM"] = {alpha3="ZMB",numeric="894",name="Zambia"},
["ZW"] = {alpha3="ZWE",numeric="716",name="Zimbabwe"}
}
d5fbi3y10saghds3crd5kt4w5ox348x
Florence Devouard
0
135616
1240453
1204443
2022-08-08T04:52:48Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person
|jina = Florence Devouard
|picha = Florence Devouard Wiki Indaba 2017.jpg
|imagesize =
|alt =
|caption = Florence Devouard
|order =
| term_label =
|cheo = Consultant in Internet Communication Strategy, Chair Emeritus of the Wikimedia Foundation
|term_start =
|term_end =
|ndoa = Bertrand Devouard
|taoiseach =
|mtangulizi =
|aliyemfuata =
|tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1968|9|10|df=yes}}
|birth_place = [[Versailles (city)|Versailles]], France
|birthname =
|utaifa = [[Ufaransa]]
|chama =
|ndoa =
|relations =
|watoto = 3
|makazi =
|alma_mater =
|occupation = Mwenyekiti wa Shirika la '''Wikimedia Foundation'''
|kazi =
|cabinet =
|committees =
|portfolio =
|religion =
|signature =
|signature_alt =
|website =
|footnotes =
|blank1 =
|data1 =
}}
'''Florence Jacqueline Sylvie Devouard''' (née Nibart; amezaliwa [[10 Septemba]] [[1968]]) ni [[mwenyekiti]] wa zamani wa Bodi ya Wadhamini ya [[Wikimedia Foundation]] kati ya [[Oktoba]] [[2006]] na [[Julai]] [[2008]].
Devouard ana [[digrii]] ya [[Mhandisi|uhandisi]] katika [[Agronomia]] kutoka ENSAIA na DEA katika [[elimu]] maumbile (genetics) na bioteknolojia kutoka [[:fr:Institut national polytechnique de Lorraine|INPL]]. <ref>{{Cite web|first=Florence|author=Devouard|url=http://www.devouard.org/small-biography-florence-devouard-en|title=Small biography about Florence Devouard|accessdate=2 November 2016}}</ref>
Tarehe 9 Machi 2008, Devouard alichaguliwa kuwa mjumbe wa baraza la manispaa la Malintrat. <ref>[https://www.interieur.gouv.fr/Elections/Les-resultats/Municipales/elecresult__municipales_2008/(path)/municipales_2008/063/063204.html Election results, French Ministry of the Interior]</ref>
[[File:Wikimania_2019_-_Florence_Devouard_(ENG).mp3|thumb|Florence Devouard about the Wikimedia movement]]
Devouard alijiunga na bodi ya Wikimedia Foundation mnamo Juni 2004 kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, akimfuatia [[Jimmy Wales]]. <ref>{{Cite web|url=https://wikimediafoundation.org/wiki/Board_of_Trustees#Florence_Nibart-Devouard|title=Board of Trustees|publisher=Wikimedia Foundation|date=15 February 2012|accessdate=26 March 2012}}</ref> Amehudumu katika Bodi ya Ushauri ya Shirika la Wikimedia Foundation tangu Julai 2008. <ref>{{Cite web|url=http://www.alliance-lab.org/archives/2420#.VseTUutw2uQ|title=Wikipedia's initiatives in the developing world. Interview with Florence Devouard|work=Alliance lab|accessdate=18 February 2015|archivedate=2015-02-01|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150201191137/http://alliance-lab.org/archives/2420#.VseTUutw2uQ}}</ref>
Mwanzilishi mwenza wa Wikimedia France mnamo Oktoba 2004, alikuwa makamu mwenyekiti wa bodi hiyo mnamo 2011 hadi Desemba 2012. <ref>{{Cite web|url=http://wikimedia.fr/assembl%C3%A9e-g%C3%A9n%C3%A9rale-de-d%C3%A9cembre-2012|title=Assemblée Générale de Décembre 2012 (General Assembly - December 2012)|language=fr|work=Wikimédia France official website|date=1 December 2010|accessdate=3 June 2014|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140606225810/http://wikimedia.fr/assembl%C3%A9e-g%C3%A9n%C3%A9rale-de-d%C3%A9cembre-2012|archivedate=6 June 2014}}</ref>
== Kutambulika ==
Tarehe 16 Mei 2008, alitambuliwa na kupewa tuzo ya heshima ya ''knight'' kama iitwavyo kwa Kifaransa ''Ordre National du Mérite''; tuzo hiyo iliyopendekezwa na Wizara ya Mambo ya Nje kama "Mwenyekiti wa Shirika la Kimataifa". <ref>{{Cite web|url=http://www.legifrance.gouv.fr/affichTexte.do?dateTexte=&cidTexte=JORFTEXT000018800905|title=Decree of May 16, 2008|language=fr|publisher=Legifrance.gouv.fr|accessdate=26 March 2012}}</ref>
=== Kwa Kujisomea zaidi ===
* Lih, Andrew. Mapinduzi ya Wikipedia: Jinsi kundi la Nobodies lilivyounda Ensaiklopidia Kubwa Zaidi Duniani . Hyperion, Jiji la New York . 2009. Toleo la Kwanza. ISBN 978-1-4013-0371-6 (karatasi ya alkali).
==Viungo vya nje==
* [http://www.devouard.com Wavuti ya Ushauri ya Anthere] Archived
* [https://web.archive.org/web/20100530234954/http://www.anthere.org/ Blogi ya kibinafsi]
* [https://web.archive.org/web/20061127110146/http://www.ecrans.fr/spip.php?article520 Wikimedia Foundation na uendelevu]
* Florence Devouard's Wikipedia user page
* [[metawiki:Election candidates 2005/En#User:Anthere|Uwasilishaji wa wagombea wa Bodi ya 2005]]
* Video-Mahojiano mnamo 10 Februari 2007 katika mkutano wa Lift07 huko Geneva
* {{Cite news|date=25 January 2008|url=http://www.swissinfo.org/eng/front/What_the_future_holds_for_Wikipedia.html?siteSect=108&sid=8667736|title=Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2021-05-13|archivedate=2008-10-06|archiveurl=https://web.archive.org/web/20081006040316/http://www.swissinfo.org/eng/front/What_the_future_holds_for_Wikipedia.html?siteSect=108&sid=8667736}} Mahojiano na Florence Devouard.
* [http://www.channelnewsasia.com/stories/afp_world_business/view/258049/1/.html 'Bi Wikipedia' inaendesha jitu kubwa la wavuti kutoka kwa] {{Wayback|url=http://www.channelnewsasia.com/stories/afp_world_business/view/258049/1/.html |date=20121021212921 }} kifungu cha kijiji cha HQ 2007 AFP
* [http://technology.timesonline.co.uk/tol/news/tech_and_web/personal_tech/article2027538.ece Maisha Katika Siku:] Makala ya ''Times ya'' Florence Devouard 2007
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Ufaransa]]
[[Jamii:Wikimedia]]
hshdtbceakoazjbd0l0ngpx2my9rxmy
Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo
3
138410
1240416
1235246
2022-08-07T21:54:18Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 09:18, 19 Juni 2021 (UTC)
:Ndugu, asante na pongezi kwa kutunga makala nyingi, ila kabla hujaendelea soma vizuri maelekezo ya hapa juu. Kwanza kabisa usikubali tafsiri ya kompyuta bila kuipitia kwa makini ili kuhakikisha inaeleweka kweli. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:21, 25 Juni 2021 (UTC)
==Vyanzo==
Salamu, tazama katika makala ya https://sw.wikipedia.org/wiki/Almami , uliweka vyanzo vinavyotokana na link za Wikipedia ya Kiingereza, vyanzo vya aina hiyo havikubaliki katika Wikipedia ya Kiswahili, tafuta vyanzo ambavyo havitokani na link za Wikipedia ya Kiingereza, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])'''
==Kukuzuia==
Kwa kuwa hujali maelekezo yetu, nakuzuia kwa wiki moja. Pole! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:19, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Ndugu, kama hujaelewa kwa nini nimekuzuia kwa muda mfupi ni kwamba mimi na Iddi tumekupa maelekezo usiyafuate. Matokeo ni kwamba makala zako hazistahili katika Wikipedia, hasa kwa sababu ya tafsiri mbovu mno. Ila usikate tamaa, bali uwe tayari kupata masahihisho na maonyo. Sisi sote tumejifunza hivyo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 6 Agosti 2021 (UTC)
Habari ndugu Riccardo Riccioni natumai muda wa adhabu ulionipa umeisha kwa sasa na kiukweli nimejifunzaa naaidi kua makini katika ufanyaji kazi wangu hivyo naomba unifungulie niendelee na kazi. Asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 08:34, 12 Agosti 2021 (UTC)
:Sawasawa, ila naona makala yako mpya kuhusu Amerika ya Kusini ina matatizo tayari. Uirekebishe kwa kufuata fomati inayotakiwa. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:03, 12 Agosti 2021 (UTC)
::Sawah lakini najitaidi sana kuto kufwata google translator ningependa kujuaa pia kuna makosa gani katika nakala iyo ya Amerika ya kusini uwenda kuna kitu sijakielewa vizuri '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:12, 12 Agosti 2021 (UTC)
::: Kwanza hakuna utangulizi unaohusika moja kwa moja na kichwa. Pili vyanzo kutoka Wikipedia ya Kiingereza havikubaliki. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:15, 12 Agosti 2021 (UTC)
Nimeifanyia marekebisho naomba kujua kama kuna makosa tenaa '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:42, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Usahihishe makala zako kabla ya kuendelea!==
Ndugu nimepitilia makala zako kadhaa. Leo umeanzisha [[VVU/KIMWI huko Armenia]] (ulikosea kuandika Ukimwi, uliandika "kimwi" tu). Yote ni tafsiri ya google (100%) lakini umejitahidi kusahihisha sehemu kubwa ya kasoro. Ila sentensi ya mwisho imetoka vibaya. Siwezi kukuzuia kufuata google translate lakini naweza kuchukua hatua nikiona hutaki au huwezi kuisahihisha iwe Kiswahili. -- Labda hujatambua bado lakini huwezi kufuata google kama sentensi za Kiingereza ni ndefu, matokeo yake kamwe ni Kiswahili (kama katika makala hiyo). Programu zina kasoro mbili A) zinachanganya maneno, ambayo ni rahisi kuona; B) zinapanga sentensi au maelezo kwa namna isiyolingana na lugha ya pili na kuzifanya hazieleweki. Hapo LAZIMA UTAFAKARI, washa bongo na andika sentensi inayoeleweka kwa bibi yako au mtoto wa miaka 6. Kata habari ya Kiingereza kwa sentensi 2 au tatu, usitumie tu maneno kwa tafsiri lakini tunga maelezo badala yake. Kama sentensi ya Kiingereza ina kitenzi mwishoni baada ya mfululizo wa maelezo lazima uiweke kwenye mwanzo.
Naona pia hujarudi kuangalia makala ulizowahi kutunga, mfano [[VVU/UKIMWI nchini Guinea]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika Kaskazini]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika ya Kusini]].
'''
Ninakuonya sasa. Ilhali sasa umejitahidi, sikuzui sasa. Lakini naomba uniambie karibuni jinsi gani na lini unataka kushughulika kasoro katika makala zako za awali. Maana usiendelea kutunga mapya kabla ya kufanya usafi.'''
Kwa jumla makala zako zote zina kasoro katika muundo. 1) Huweki [[Msaada:Interwiki|interwiki]], wala 2) kichwa cha Marejeo / Tanbihi (ona [[Wikipedia:Mwongozo_(Kutaja_vyanzo)]]. Pia hufuati taratibu wa kuonyesha maneno ya kwanza = [[lemma]] ya makala kwa herufi koze. 3) [[Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)|Viungo vya ndani]] unatumia mara chache mno. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:47, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Pitia Mkala==
Salamu, katika makala hii hapa ( https://sw.wikipedia.org/wiki/Mgomo_wa_watumishi_wa_umma_wa_Afrika_Kusini_mwaka_2007 ) kwanza makala imekuwa na kiswahili ambacho ni kigumu kueleweka hali ambayo inaweza kusababishwa kuwekewa alama ya tafsiri ya Kompyuta, pia makala haina interwiki hivyo, hivyo kuwa na ugumu zaidi wa kuweza kuipata makala katika lugha nyingine na kushindwa kuifanyia marekebisho, hebu pitia kwanza makala zako kabla ya kuendelea kuandika makala nyingine,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:47, 24 Agosti 2021 (UTC)
{{zuia tafsiri}} ona [[Mgomo wa watumishi wa umma wa Afrika Kusini mwaka 2007]]. Nimewahi kukuonya. Hujajibu. Wala hukujali. Basi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:55, 24 Agosti 2021 (UTC)
:habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa yakujirudia rudia. naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwez wa kumi na moja . Nimejifunza mambo mengi mapya na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo nipate msaada kwa wakati . natumai ombi langu litafanyiwa kazi asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:13, 30 Novemba 2021 (UTC)
:habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa ya kujirudia rudia. Naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwezi wa kumi na moja. Nimejifunza mambo mengi mapya kupitia event hiyo na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo niweze kupata msaada kwa wakati. natumai ombi langu litafanyiwa kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:43, 2 Desemba 2021 (UTC)
::Asante naomba uwezeshe mawasiliano kwa email kwa kufuata maelezo hapo : [[Wikipedia:Email]]''' <br/>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:22, 2 Desemba 2021 (UTC)
:::Bado makala zako zina matatizo mbalimbali. Uwe makini zaidi! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:01, 25 Februari 2022 (UTC)
::::sawa asante kwa taarifa . ningependa kujua seem ambazo bado ninakosea ili niweze kujirekebisha asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 20:09, 25 Februari 2022 (UTC)
::::Siwezi kukueleza makosa yote. Angalia mwenyewe nilivyorekebisha kwa kufungua ukurasa "Mabadiliko ya karibuni" na kutazama "tofauti" kati ya ukurasa ulivyotungwa na wewe na nilivyohariri mimi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 26 Februari 2022 (UTC)
==Vyanzo vya Kiingereza==
Salamu, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Loubna_Abidar , kumbuka kwamba vyazo vya kiingerza katika makala ya Wikipedia ya Kiswahili havitakiwi, Zingatia hilo, pitia na urekebishe makala yako. '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 12:20, 28 Februari 2022 (UTC)
==Onyo la Mwisho==
Salamu Ndugu Awadhi, mara ya mwisho nilikutumia ujumbe katika ukurasa wako wa majadiliano hapo juu kuhusu kutumia vyanzo vinavyotokana na Makala za Kiingereza, lakini bado umekuwa ukiendelea kuleta makala za aina hiyo, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Latifa_Jbabdi , ni bora sasa kuacha kuweka vyanzo vya aina hiyo maana havina maana yeyote na pia inaonyesha kuwa haufuati utaratibu mzuri wa kuanza kaundika makala zako,REKEBISHA kabla ya Kuendelea,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 08:59, 1 Machi 2022 (UTC)
:salamu ndugu Idd Ninga katika kutumia vyanzo vya kiingereza katika makala ya Loubna Abidar nimebadilisha kwa kutafuta vyanzo tofauti vinavoendana na makala husika '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:21, 1 Machi 2022 (UTC)
::Asante kwa masahihisho sasa nimegundua nilipokua nakosea pia kama kuna kosa lolote nahitaji kujua ili niweze lifanyia marekebisho '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:23, 1 Machi 2022 (UTC)
== Interwiki ==
Habari! Kwa makala ambazo zina lugha zaidi ya moja, ni vizuri kuweka kiungo cha lugha nyingine (interwiki). Kujifunza zaidi soma [https://en.wikipedia.org/wiki/Help:Interwiki%20linking hapa]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:30, 3 Machi 2022 (UTC)
:asante ndugu Czeus25 Masele nitalifanyia kazi kwa kuongea na uongozi wangu vizuri ili nipate msaada katika mafunzo ya kuongeza lugha '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:07, 4 Machi 2022 (UTC)
:Kweli, jitahidi kuweka kiungo kwenda makala kama za kwako katika lugha nyingine. Pia angalia nilivyorekebisha ulivyoandika ili uzidi kupunguza makosa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:30, 5 Machi 2022 (UTC)
==Maboresho==
Jaribu kutumia muda mwingine kupitia makala zako za nyuma kuona maboresho yaliyofanyika ili uwezo kuyatumia katika makala zako mpya utakazo kuwa unaandika, Kumbuka kuweka alama ya Mbegu,katika makala zako,Ukipitia maboresho ya nyuma utaona jinsi makala zinavyoonekana tofauti na ulivyozianzisha, Amani Sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:38, 21 Machi 2022 (UTC)
:asante kwa maelezo lakini ningeomba kuona tofauti ya makala nnazo hariri mimi na mnazo zilekebisha nizijue kwa majina angalau makala tano ili niweze kujifunza zaidi katika hilo asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:05, 21 Machi 2022 (UTC)
::alama ya mbegu inawekwa kama jamii inayojitegemea? '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:10, 21 Machi 2022 (UTC)
:::Angalia walau kurasa mbili za mwisho ulizozitunga. Kuhusu mbegu, itajitokeza yenyewe katika jamii ukiandika vizuri, kwa mfano: <nowiki>{{mbegu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-mtu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-cheza-mpira}}</nowiki> au <nowiki>{{mbegu-igiza-filamu}}</nowiki>. Hivyo, usiandike: <nowiki>[[Jamii:Mbegu]]</nowiki> n.k. Pia usizidishe jamii bure. Kwa kawaida, ukiandika <nowiki>Jamii:Wanawake wa Tanzania</nowiki>, hakuna haja ya kuandika pia: <nowiki>Jamii:Wanawake</nowiki> na <nowiki>Jamii:Watu wa Tanzania</nowiki>. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:57, 22 Machi 2022 (UTC)
::::asante kwa mafunzo mapya naahidi kulifanyia kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:46, 22 Machi 2022 (UTC)
:::::ndugu Riccardo nimeweza kuhariri makala zifuatazo kwa kufuata utaratibu niliojifunza hapo juu hivyo naomba upitie makala hizi na kunisahihisha "https://sw.wikipedia.org/wiki/Halima_Rafat","https://sw.wikipedia.org/wiki/Rangina_Hamidi","https://sw.wikipedia.org/wiki/Massouda_Jalal". asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 06:41, 23 Machi 2022 (UTC)
::::::Habari!, naona bado unatumia [[Jamii:Mbegu]], tafadhali soma vizuri maelekezo uliyopewa hapo juu utafanya vizuri. Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:10, 23 Machi 2022 (UTC)
==Zuio ?==
Najiuliza kama ninapaswa kukuzuia tena. Baada ya kukagua makala za [[Frank Chester Robertson]], [[Kundi la Algoa]], naona bado unatumia google translate ukisahihisha kidogo tu. Lakini unaacha matini isiyoeleweka. Tena naona una tabia kuanzisha makala ambazo humalizi, ukiacha makala mafupi bila maudhui halisi baada ya kutafsiri mistari michache tu bila kujali makala inmasema nini. Ona [[Uuaji wa Abdirahman Abdi]] ambayo ni bure kabisa jinsi ilivyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:19, 21 Julai 2022 (UTC)
:habari ndugu kipala nimeweza kuzifanyia marekebisho makala ambazo zilikua na makosa hapo mwanzoni kwani zilikua ni makala za majaribio kwa mtumiaji mpya nilikua namuelekeza namna ya utendaji kazi wetu.
:asante na naomba kama kuna tatizo nirekebishwe '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 20:21, 25 Julai 2022 (UTC)
==Hakiki Makala Zako==
Ni bora sasa ukawa unapitia makala zako na kuzihakiki kabla ya kuchapisha, kwa sababu makala nyingi unaandika sehemu ya herufi kubwa unaweka herufi ndogo, na hiyo inatokea kwa maneno mengi katika makala moja, hivyo kuzalisha makala yenye makosa mengi ya kiuandishi, pia mwanzo wa jina la makala yako weka alama hii ((' ' ') badala ya kuweka alama nne au zaidi, hiyo hufanya maandishi yako kulala (kuwa na italic) na hivyo kuharibu muonekano mzuri wa makala zako, Amani sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:53, 7 Agosti 2022 (UTC)
liubm69oa5u6h4gi09qlvf2hezj2fva
1240568
1240416
2022-08-08T06:41:55Z
Awadhi Awampo
48284
/* Hakiki Makala Zako */ Reply
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 09:18, 19 Juni 2021 (UTC)
:Ndugu, asante na pongezi kwa kutunga makala nyingi, ila kabla hujaendelea soma vizuri maelekezo ya hapa juu. Kwanza kabisa usikubali tafsiri ya kompyuta bila kuipitia kwa makini ili kuhakikisha inaeleweka kweli. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:21, 25 Juni 2021 (UTC)
==Vyanzo==
Salamu, tazama katika makala ya https://sw.wikipedia.org/wiki/Almami , uliweka vyanzo vinavyotokana na link za Wikipedia ya Kiingereza, vyanzo vya aina hiyo havikubaliki katika Wikipedia ya Kiswahili, tafuta vyanzo ambavyo havitokani na link za Wikipedia ya Kiingereza, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])'''
==Kukuzuia==
Kwa kuwa hujali maelekezo yetu, nakuzuia kwa wiki moja. Pole! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:19, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Ndugu, kama hujaelewa kwa nini nimekuzuia kwa muda mfupi ni kwamba mimi na Iddi tumekupa maelekezo usiyafuate. Matokeo ni kwamba makala zako hazistahili katika Wikipedia, hasa kwa sababu ya tafsiri mbovu mno. Ila usikate tamaa, bali uwe tayari kupata masahihisho na maonyo. Sisi sote tumejifunza hivyo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 6 Agosti 2021 (UTC)
Habari ndugu Riccardo Riccioni natumai muda wa adhabu ulionipa umeisha kwa sasa na kiukweli nimejifunzaa naaidi kua makini katika ufanyaji kazi wangu hivyo naomba unifungulie niendelee na kazi. Asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 08:34, 12 Agosti 2021 (UTC)
:Sawasawa, ila naona makala yako mpya kuhusu Amerika ya Kusini ina matatizo tayari. Uirekebishe kwa kufuata fomati inayotakiwa. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:03, 12 Agosti 2021 (UTC)
::Sawah lakini najitaidi sana kuto kufwata google translator ningependa kujuaa pia kuna makosa gani katika nakala iyo ya Amerika ya kusini uwenda kuna kitu sijakielewa vizuri '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:12, 12 Agosti 2021 (UTC)
::: Kwanza hakuna utangulizi unaohusika moja kwa moja na kichwa. Pili vyanzo kutoka Wikipedia ya Kiingereza havikubaliki. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:15, 12 Agosti 2021 (UTC)
Nimeifanyia marekebisho naomba kujua kama kuna makosa tenaa '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:42, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Usahihishe makala zako kabla ya kuendelea!==
Ndugu nimepitilia makala zako kadhaa. Leo umeanzisha [[VVU/KIMWI huko Armenia]] (ulikosea kuandika Ukimwi, uliandika "kimwi" tu). Yote ni tafsiri ya google (100%) lakini umejitahidi kusahihisha sehemu kubwa ya kasoro. Ila sentensi ya mwisho imetoka vibaya. Siwezi kukuzuia kufuata google translate lakini naweza kuchukua hatua nikiona hutaki au huwezi kuisahihisha iwe Kiswahili. -- Labda hujatambua bado lakini huwezi kufuata google kama sentensi za Kiingereza ni ndefu, matokeo yake kamwe ni Kiswahili (kama katika makala hiyo). Programu zina kasoro mbili A) zinachanganya maneno, ambayo ni rahisi kuona; B) zinapanga sentensi au maelezo kwa namna isiyolingana na lugha ya pili na kuzifanya hazieleweki. Hapo LAZIMA UTAFAKARI, washa bongo na andika sentensi inayoeleweka kwa bibi yako au mtoto wa miaka 6. Kata habari ya Kiingereza kwa sentensi 2 au tatu, usitumie tu maneno kwa tafsiri lakini tunga maelezo badala yake. Kama sentensi ya Kiingereza ina kitenzi mwishoni baada ya mfululizo wa maelezo lazima uiweke kwenye mwanzo.
Naona pia hujarudi kuangalia makala ulizowahi kutunga, mfano [[VVU/UKIMWI nchini Guinea]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika Kaskazini]], [[VVU / UKIMWI huko Amerika ya Kusini]].
'''
Ninakuonya sasa. Ilhali sasa umejitahidi, sikuzui sasa. Lakini naomba uniambie karibuni jinsi gani na lini unataka kushughulika kasoro katika makala zako za awali. Maana usiendelea kutunga mapya kabla ya kufanya usafi.'''
Kwa jumla makala zako zote zina kasoro katika muundo. 1) Huweki [[Msaada:Interwiki|interwiki]], wala 2) kichwa cha Marejeo / Tanbihi (ona [[Wikipedia:Mwongozo_(Kutaja_vyanzo)]]. Pia hufuati taratibu wa kuonyesha maneno ya kwanza = [[lemma]] ya makala kwa herufi koze. 3) [[Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)|Viungo vya ndani]] unatumia mara chache mno. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:47, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Pitia Mkala==
Salamu, katika makala hii hapa ( https://sw.wikipedia.org/wiki/Mgomo_wa_watumishi_wa_umma_wa_Afrika_Kusini_mwaka_2007 ) kwanza makala imekuwa na kiswahili ambacho ni kigumu kueleweka hali ambayo inaweza kusababishwa kuwekewa alama ya tafsiri ya Kompyuta, pia makala haina interwiki hivyo, hivyo kuwa na ugumu zaidi wa kuweza kuipata makala katika lugha nyingine na kushindwa kuifanyia marekebisho, hebu pitia kwanza makala zako kabla ya kuendelea kuandika makala nyingine,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:47, 24 Agosti 2021 (UTC)
{{zuia tafsiri}} ona [[Mgomo wa watumishi wa umma wa Afrika Kusini mwaka 2007]]. Nimewahi kukuonya. Hujajibu. Wala hukujali. Basi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:55, 24 Agosti 2021 (UTC)
:habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa yakujirudia rudia. naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwez wa kumi na moja . Nimejifunza mambo mengi mapya na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo nipate msaada kwa wakati . natumai ombi langu litafanyiwa kazi asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:13, 30 Novemba 2021 (UTC)
:habari ndugu kipala nilikua naomba kufunguliwa akaunti yangu iliyofungwa tarehe 22 mwezi wa nane kutokana na makosa ya kujirudia rudia. Naahidi kubadilika kutokana na darasa nililolipata kupitia event iliyofanyika mkoani morogoro tarehe 20 mwezi wa kumi na moja. Nimejifunza mambo mengi mapya kupitia event hiyo na nimetambua sehemu ambazo nilikua nakosea katika ufanyaji kazi wangu pia ningependa kufunguliwa IP adress yangu ili kama kutakua na changamoto au makosa madogo madogo niweze kupata msaada kwa wakati. natumai ombi langu litafanyiwa kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:43, 2 Desemba 2021 (UTC)
::Asante naomba uwezeshe mawasiliano kwa email kwa kufuata maelezo hapo : [[Wikipedia:Email]]''' <br/>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:22, 2 Desemba 2021 (UTC)
:::Bado makala zako zina matatizo mbalimbali. Uwe makini zaidi! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:01, 25 Februari 2022 (UTC)
::::sawa asante kwa taarifa . ningependa kujua seem ambazo bado ninakosea ili niweze kujirekebisha asante. '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 20:09, 25 Februari 2022 (UTC)
::::Siwezi kukueleza makosa yote. Angalia mwenyewe nilivyorekebisha kwa kufungua ukurasa "Mabadiliko ya karibuni" na kutazama "tofauti" kati ya ukurasa ulivyotungwa na wewe na nilivyohariri mimi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 26 Februari 2022 (UTC)
==Vyanzo vya Kiingereza==
Salamu, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Loubna_Abidar , kumbuka kwamba vyazo vya kiingerza katika makala ya Wikipedia ya Kiswahili havitakiwi, Zingatia hilo, pitia na urekebishe makala yako. '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 12:20, 28 Februari 2022 (UTC)
==Onyo la Mwisho==
Salamu Ndugu Awadhi, mara ya mwisho nilikutumia ujumbe katika ukurasa wako wa majadiliano hapo juu kuhusu kutumia vyanzo vinavyotokana na Makala za Kiingereza, lakini bado umekuwa ukiendelea kuleta makala za aina hiyo, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Latifa_Jbabdi , ni bora sasa kuacha kuweka vyanzo vya aina hiyo maana havina maana yeyote na pia inaonyesha kuwa haufuati utaratibu mzuri wa kuanza kaundika makala zako,REKEBISHA kabla ya Kuendelea,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 08:59, 1 Machi 2022 (UTC)
:salamu ndugu Idd Ninga katika kutumia vyanzo vya kiingereza katika makala ya Loubna Abidar nimebadilisha kwa kutafuta vyanzo tofauti vinavoendana na makala husika '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 09:21, 1 Machi 2022 (UTC)
::Asante kwa masahihisho sasa nimegundua nilipokua nakosea pia kama kuna kosa lolote nahitaji kujua ili niweze lifanyia marekebisho '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 10:23, 1 Machi 2022 (UTC)
== Interwiki ==
Habari! Kwa makala ambazo zina lugha zaidi ya moja, ni vizuri kuweka kiungo cha lugha nyingine (interwiki). Kujifunza zaidi soma [https://en.wikipedia.org/wiki/Help:Interwiki%20linking hapa]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:30, 3 Machi 2022 (UTC)
:asante ndugu Czeus25 Masele nitalifanyia kazi kwa kuongea na uongozi wangu vizuri ili nipate msaada katika mafunzo ya kuongeza lugha '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:07, 4 Machi 2022 (UTC)
:Kweli, jitahidi kuweka kiungo kwenda makala kama za kwako katika lugha nyingine. Pia angalia nilivyorekebisha ulivyoandika ili uzidi kupunguza makosa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:30, 5 Machi 2022 (UTC)
==Maboresho==
Jaribu kutumia muda mwingine kupitia makala zako za nyuma kuona maboresho yaliyofanyika ili uwezo kuyatumia katika makala zako mpya utakazo kuwa unaandika, Kumbuka kuweka alama ya Mbegu,katika makala zako,Ukipitia maboresho ya nyuma utaona jinsi makala zinavyoonekana tofauti na ulivyozianzisha, Amani Sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:38, 21 Machi 2022 (UTC)
:asante kwa maelezo lakini ningeomba kuona tofauti ya makala nnazo hariri mimi na mnazo zilekebisha nizijue kwa majina angalau makala tano ili niweze kujifunza zaidi katika hilo asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:05, 21 Machi 2022 (UTC)
::alama ya mbegu inawekwa kama jamii inayojitegemea? '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:10, 21 Machi 2022 (UTC)
:::Angalia walau kurasa mbili za mwisho ulizozitunga. Kuhusu mbegu, itajitokeza yenyewe katika jamii ukiandika vizuri, kwa mfano: <nowiki>{{mbegu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-mtu}}</nowiki>, au <nowiki>{{mbegu-cheza-mpira}}</nowiki> au <nowiki>{{mbegu-igiza-filamu}}</nowiki>. Hivyo, usiandike: <nowiki>[[Jamii:Mbegu]]</nowiki> n.k. Pia usizidishe jamii bure. Kwa kawaida, ukiandika <nowiki>Jamii:Wanawake wa Tanzania</nowiki>, hakuna haja ya kuandika pia: <nowiki>Jamii:Wanawake</nowiki> na <nowiki>Jamii:Watu wa Tanzania</nowiki>. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:57, 22 Machi 2022 (UTC)
::::asante kwa mafunzo mapya naahidi kulifanyia kazi '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 19:46, 22 Machi 2022 (UTC)
:::::ndugu Riccardo nimeweza kuhariri makala zifuatazo kwa kufuata utaratibu niliojifunza hapo juu hivyo naomba upitie makala hizi na kunisahihisha "https://sw.wikipedia.org/wiki/Halima_Rafat","https://sw.wikipedia.org/wiki/Rangina_Hamidi","https://sw.wikipedia.org/wiki/Massouda_Jalal". asante '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 06:41, 23 Machi 2022 (UTC)
::::::Habari!, naona bado unatumia [[Jamii:Mbegu]], tafadhali soma vizuri maelekezo uliyopewa hapo juu utafanya vizuri. Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:10, 23 Machi 2022 (UTC)
==Zuio ?==
Najiuliza kama ninapaswa kukuzuia tena. Baada ya kukagua makala za [[Frank Chester Robertson]], [[Kundi la Algoa]], naona bado unatumia google translate ukisahihisha kidogo tu. Lakini unaacha matini isiyoeleweka. Tena naona una tabia kuanzisha makala ambazo humalizi, ukiacha makala mafupi bila maudhui halisi baada ya kutafsiri mistari michache tu bila kujali makala inmasema nini. Ona [[Uuaji wa Abdirahman Abdi]] ambayo ni bure kabisa jinsi ilivyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:19, 21 Julai 2022 (UTC)
:habari ndugu kipala nimeweza kuzifanyia marekebisho makala ambazo zilikua na makosa hapo mwanzoni kwani zilikua ni makala za majaribio kwa mtumiaji mpya nilikua namuelekeza namna ya utendaji kazi wetu.
:asante na naomba kama kuna tatizo nirekebishwe '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 20:21, 25 Julai 2022 (UTC)
==Hakiki Makala Zako==
Ni bora sasa ukawa unapitia makala zako na kuzihakiki kabla ya kuchapisha, kwa sababu makala nyingi unaandika sehemu ya herufi kubwa unaweka herufi ndogo, na hiyo inatokea kwa maneno mengi katika makala moja, hivyo kuzalisha makala yenye makosa mengi ya kiuandishi, pia mwanzo wa jina la makala yako weka alama hii ((' ' ') badala ya kuweka alama nne au zaidi, hiyo hufanya maandishi yako kulala (kuwa na italic) na hivyo kuharibu muonekano mzuri wa makala zako, Amani sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:53, 7 Agosti 2022 (UTC)
: '''[[Mtumiaji:Awadhi Awampo|Awadhi Awampo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Awadhi Awampo#top|majadiliano]])''' 06:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
9v8n2wtgmffy9x06l8f58lqno3rpukv
Syndy Emad
0
143939
1240890
1196808
2022-08-08T11:46:13Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
wikitext
text/x-wiki
'''Syndy Emade ''' (alizaliwa Elone Synthia Emade mnamo 21 Novemba 1993) ni mwigizaji wa [Cameroon], mwanamitindo na mtayarishaji wa filamu. Yeye ni balozi wa chapa nchini Cameroon kwa programu InstaVoice Celeb.<ref>{{cite news|title=Syndy Emade Joins Yvonne Nelson as The Faces Of Orange Instavoice Celeb Africa|url=http://www.cameroonianbeauties.com/alex-ekubo-syndy-emade/|work=cameroonbeauty|date=23 April 2017|accessdate=12 August 2017|archivedate=2019-09-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190924204038/http://www.cameroonianbeauties.com/alex-ekubo-syndy-emade/}}</ref><ref name="henrietteslounge">{{cite web|url=http://www.henrietteslounge.com/2017/04/cameroons-syndy-emade-becomes-new-face.html|title=Cameroon's Syndy Emade alikuwa Uso Mpya kwa InstaVoice Celeb na Orange|first=|last=Henriette.|date=|website=www.henrietteslounge.com|accessdate=14 August 2017|archivedate=2018-10-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20181005164926/http://www.henrietteslounge.com/2017/04/cameroons-syndy-emade-becomes-new-face.html}}</ref> Yeye ni mmiliki wa Blue Rain Entertainment.<ref name="henrietteslounge" /><ref>{{cite web|url=http://nexdimempire.com/tag/blue-rain-entertainment/|title=Nexdim Empire » Blue Rain Entertainment|author=|date=|website=Nexdim Empire|accessdate=14 August 2017}}</ref>
==Kazi==
E alifanya mradi wa kwanza wa sinema ilikuwa katika 2010 katika sinema "Obsession".<ref>{{cite web|url=http://www.culturebene.com/24576-syndy-emade-la-belle-aux-trois-casquettes.html|title=Syndy Emade, La belle aux trois casquettes - Culturebene|author=|date=25 September 2016|website=culturebene.com|accessdate=14 August 2017}}</ref> She is the founder and chair lady of BLUE RAIN Entertainment. Her recent work in 2017 includes [[A Man For The Weekend]] featuring Nigerian [[Nollywood]] star [[Alexx Ekubo]].<ref>{{cite web|url=http://dcodedtv.com/syndy-emade-borrows-alexx-ekubo-for-new-movie-a-man-for-the-weekend/|title=Syndy Emade borrows Alexx Ekubo for new movie "A Man For The Weekend" – Dcoded TV|author=|date=|website=dcodedtv.com|accessdate=14 August 2017}}</ref>
== Filamu ==
=== 2017 ===
* ''[[A Man For The Weekend]]''
=== 2016 ===
* ''Bad Angel'' (TV series)
* ''Soldier wife''
* ''House mate''
* ''Smokesscreen''
* ''Before you say yes''
*''Chaising tails''
=== 2015 ===
*''Die Another Day''
*''A Kiss from Rose''
*''Chaising tails''
=== 2014 ===
*''Why I hate sunshine''
*''Rose on the grave''
*''Different kind of men'' (2013)
*''Pink poison'' with [[Epule Jeffrey]] (2012)
*''Entangled''
* ''Obsession'' (2010)
==Marejeo==
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Arusha MoAC]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Kamerun]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
8cz3yaki68cdq6tlofm6ianvil0na10
Hofu
0
147565
1240584
1214849
2022-08-08T07:07:42Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Expression of the Emotions Figure 20.png|thumb|Hofu kadiri ya [[Charles Darwin]].]]
[[File:Scared Child at Nighttime.jpg|thumb|Binti aliyepatwa na hofu.]]
'''Hofu''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni hali ya wasiwasi inayompata [[mtu]] au [[mnyama]] mbele ya mwingine au kingine kisichompendeza au [[Hatari|kuhatarisha]] [[usalama]] wake.
Ni kati ya [[ono|maono]] ya msingi zaidi. Hata hivyo inatakiwa kudhibitiwa isije ikawa [[woga]] ambao unahofu kupita [[kiasi]].
Tunachunguza asili ya hofu: kwa nini imeibuka, nini hutokea katika miili yetu wakati tunaogopa, na kwa nini wakati mwingine hutoka nje ya udhibiti.
Kila mtu anapata hofu; hofu ni sehemu isiyoepukika ya uzoefu wa mwanadamu.
Watu kwa ujumla huchukulia hofu kuwa hisia zisizofurahi, lakini wengine hujaribu kuichochea - kwa mfano, kwa kuruka kutoka [[Ndege (uanahewa)|ndege]] au kutazama [[filamu]] za kutisha.
Hofu inaweza kuwa ya haki; kwa mfano, kusikia nyayo ndani ya [[nyumba]] yako wakati unajua kuwa wewe ndiye pekee nyumbani ni sababu halali ya kuwa na hofu.
Hofu pia inaweza kuwa isiyofaa. Kwa mfano, tunaweza kupata hofu kubwa tunapotazama filamu ya kutisha, ingawa tunajua kwamba [[mhusika]] ni [[mwigizaji]] wa kujipodoa na kwamba [[damu]] yake si halisi.
Watu wengi wanaona fobia kuwa dhihirisho lisilofaa zaidi la hofu. Hizi zinaweza kushikamana na kitu chochote - buibui, vinyago, karatasi, au mazulia - na kuathiri maisha ya watu kwa kiasi kikubwa.
Hofu ni ya zamani, na, kwa kiwango fulani, tunaweza kushukuru hofu kwa mafanikio yetu kama spishi, maana kiumbe chochote kisichokimbia na kujificha kutoka kwa [[Mnyama|wanyama]] wakubwa au hali hatari kinaweza kuondolewa kabla ya kupata nafasi ya kuzaa.
Ni bora kukimbia na kujificha wakati kivuli chako kinakupata kwa mshangao kuliko kudhani kuwa kivuli kiko salama, na kuliwa na dubu sekunde 5 baadaye.
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Saikolojia]]
ibfkwha5db53x33zx033s67q2br3d1g
Blanketi la Basotho
0
148078
1240815
1236883
2022-08-08T11:15:00Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Parade of Basotho women.jpg|thumb|[[Mwanamke|Wanawake]] wa Besotho wakiwa wamevalia blanketi.]]
'''Blanketi la Basotho''' ni aina ya pekee ya [[blanketi]] ya [[sufi]] inayovaliwa na [[Wasotho]] huko [[Lesotho]] na [[Afrika Kusini]].<ref>{{Cite web|title=The History of the Basotho traditional blanket - The Blanket Wrap|url=http://maliba-lodge.com/blanketwrap/2010/lesotho-stories/the-history-of-the-basotho-traditional-blanket/|work=web.archive.org|date=2017-06-03|accessdate=2022-03-20|archivedate=2017-06-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20170603184100/http://maliba-lodge.com/blanketwrap/2010/lesotho-stories/the-history-of-the-basotho-traditional-blanket/}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]]
[[Jamii:Utamaduni]]
[[Jamii:Mavazi]]
m3r9anuf3k16ebsxcyvkfs133tg46t4
Reggie Tsiboe
0
149653
1240440
1236668
2022-08-07T23:37:52Z
186.129.11.76
'''Reggie Tsiboe''' (1950), İngiliz-Ganalı [[dansçı]] ve [[şarkıcı]]. 1982 yılında [[Bobby Farrell]]'in ayrılmasının ardından [[Boney M.]] grubuna girmiştir. 1984 yılında Farrell gruba dönmüş ve grup 5 kişi olmuştur.
{{İngiliz-şarkıcı-taslak}}
{{Otorite kontrolü}}
[[Kategori:1950 doğumlular]]
[[Kategori:Yaşayan insanlar]]
[[Kategori:Boney M. üyeleri]]
[[Kategori:Ganalı erkek sinema oyuncuları]]
[[Kategori:Ganalı müzisyenler]]
[[Kategori:İngiltere'deki Ganalı göçmenler]]
wikitext
text/x-wiki
'''Reggie Tsiboe''' (alizaliwa [[7 Septemba]], [[1950]]), ni [[Mghana]]-[[Mwingereza]] mburudishaji , dansi na mmoja wa [[waimbaji]] wa kikundi cha disko Boney M. kati ya mwaka 1982 na 1986 na baadaye kati ya mwaka 1989 na mwaka 1990<ref>https://boneym.es/bio-reggie-tsiboe/</ref>.
Mwaka [[1982]], Tsiboe alichukua nafasi ya mchezaji densi [[Bobby Farrell]], lakini mnamo [[1984]] Farrell alijiunga tena na kikundi na wakawa wanadensi kwa pamoja<ref>https://books.google.com/books?id=IwkKAQAAMAAJ&q=Reggie+Tsiboe</ref>. Mwaka 1986, bendi ya asili iligawanyika baada ya miaka 10 ya mafanikio, lakini mwaka wa 1989, Liz Mitchell na Reggie waliunda toleo jipya rasmi la Boney M. na mwaka wa 1990 walitoa nyimbo kwa msaada wa mtayarishaji Frank Farian "Hadithi", lakini miezi michache baadaye wote wawili walienda njia zao tofauti.
'''Tsiboe''' alionekana kwenye [[albamu]] tatu za mwisho za Boney M.: ''Ten Thousand Lightyears'' (1984), ''Kalimba de Luna'' - ''16 Happy Songs'' (1984) na ''Eye Dance'' (1985) na pia alirekodi nyimbo za Krismasi na kikundi, ambazo zilitolewa kimataifa baada ya mgawanyiko wa bendi kwenye [[albamu]] mpya ya Boney M. Christmas, Nyimbo 20 kubwa za [[krismasi]] mwaka wa 1986. Reggie aliimba sauti kuu za nyimbo kadhaa za Boney M, zikiwemo "''Kalimba de Luna''", "''Happy Song''", "''Going Back West''", "''My Chérie Amour''", "''Young, Free and single''", "''Dreadlock Holiday''" na "''Barbarella Fortuneteller.''
Tarehe 21 Septemba 2006, Tsiboe na [[waimbaji]] wengine wawili wakuu wa Boney M., '''Liz Mitchell''' na '''Marcia Barrett''', walikuwa wageni maalum huko [[London]] kwenye onyesho la kwanza la [[muziki]] la '''Daddy Cool''', ambalo lilitokana na [[muziki]] wa kikundi hicho maarufu.
Kabla ya kujiunga na kundi hilo alikuwa mwigizaji wa filamu nchini [[Ghana]]. Moja ya filamu iliyompa umaarufu ni filamu ya ''Love Brewed in an African Pot''. Kufuatia kipindi chake cha Boney M Tsiboe alirejea katika [[uigizaji]], Pia ameigiza katika filamu chache za TV za [[Uingereza]] Akiwemo ''Dr who''.
Tsiboe sasa anaishi [[Marlborough, Massachusetts|Marlborough]], Wiltshire nchini [[Uingereza|Uingereza.]]
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
g3x1yqq55symzzzgk47mqmvif3y317q
1240795
1240440
2022-08-08T10:45:02Z
Zafer
21927
Tengua pitio 1240440 lililoandikwa na [[Special:Contributions/186.129.11.76|186.129.11.76]] ([[User talk:186.129.11.76|Majadiliano]])
wikitext
text/x-wiki
'''Reggie Tsiboe''' (alizaliwa [[7 Septemba]], [[1964]]), ni [[Mghana]]-[[Mwingereza]] mburudishaji , dansi na mmoja wa [[waimbaji]] wa kikundi cha disko Boney M. kati ya mwaka 1982 na 1986 na baadaye kati ya mwaka 1989 na mwaka 1990<ref>https://boneym.es/bio-reggie-tsiboe/</ref>.
Mwaka [[1982]], Tsiboe alichukua nafasi ya mchezaji densi [[Bobby Farrell]], lakini mnamo [[1984]] Farrell alijiunga tena na kikundi na wakawa wanadensi kwa pamoja<ref>https://books.google.com/books?id=IwkKAQAAMAAJ&q=Reggie+Tsiboe</ref>. Mwaka 1986, bendi ya asili iligawanyika baada ya miaka 10 ya mafanikio, lakini mwaka wa 1989, Liz Mitchell na Reggie waliunda toleo jipya rasmi la Boney M. na mwaka wa 1990 walitoa nyimbo kwa msaada wa mtayarishaji Frank Farian "Hadithi", lakini miezi michache baadaye wote wawili walienda njia zao tofauti.
'''Tsiboe''' alionekana kwenye [[albamu]] tatu za mwisho za Boney M.: ''Ten Thousand Lightyears'' (1984), ''Kalimba de Luna'' - ''16 Happy Songs'' (1984) na ''Eye Dance'' (1985) na pia alirekodi nyimbo za Krismasi na kikundi, ambazo zilitolewa kimataifa baada ya mgawanyiko wa bendi kwenye [[albamu]] mpya ya Boney M. Christmas, Nyimbo 20 kubwa za [[krismasi]] mwaka wa 1986. Reggie aliimba sauti kuu za nyimbo kadhaa za Boney M, zikiwemo "''Kalimba de Luna''", "''Happy Song''", "''Going Back West''", "''My Chérie Amour''", "''Young, Free and single''", "''Dreadlock Holiday''" na "''Barbarella Fortuneteller.''
Tarehe 21 Septemba 2006, Tsiboe na [[waimbaji]] wengine wawili wakuu wa Boney M., '''Liz Mitchell''' na '''Marcia Barrett''', walikuwa wageni maalum huko [[London]] kwenye onyesho la kwanza la [[muziki]] la '''Daddy Cool''', ambalo lilitokana na [[muziki]] wa kikundi hicho maarufu.
Kabla ya kujiunga na kundi hilo alikuwa mwigizaji wa filamu nchini [[Ghana]]. Moja ya filamu iliyompa umaarufu ni filamu ya ''Love Brewed in an African Pot''. Kufuatia kipindi chake cha Boney M Tsiboe alirejea katika [[uigizaji]], Pia ameigiza katika filamu chache za TV za [[Uingereza]] Akiwemo ''Dr who''.
Tsiboe sasa anaishi [[Marlborough, Massachusetts|Marlborough]], Wiltshire nchini [[Uingereza|Uingereza.]]
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
0cgaq0qtsq7tar7gewl48xbqu319rfq
Majadiliano ya mtumiaji:Adya juma
3
149731
1240396
1223141
2022-08-07T20:42:10Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:49, 7 Mei 2022 (UTC)
==Kuhusu Jamii==
Salamu,angalia jamii unazoweka katika makala zako , ni lazima ziwe zinaendana na aina ya makala unayoaandika, kama jamii hiyo haifanani na makala unayoanzisha, basi usiweke jamii hiyo, pia kabla ya kuweka jamii, soma kwanza makala zilizotangulia ili kujua ni namna gani jamii zinaingia katika makala fulani, Amani Sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 20:42, 7 Agosti 2022 (UTC)
lbopuf4osioju6ighbubxyzcmpmtufa
Majadiliano ya mtumiaji:Red-tailed hawk
3
154483
1240353
1239818
2022-08-07T16:31:27Z
Deepfriedokra
37807
Deepfriedokra alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Red tailed hawk]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Red-tailed hawk]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/Red tailed hawk|Red tailed hawk]]" to "[[Special:CentralAuth/Red-tailed hawk|Red-tailed hawk]]"
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}} '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 06:48, 4 Agosti 2022 (UTC)
fqponq1liqs5w8s96ief3cwdd8s8tg1
Clara Barker
0
155434
1240285
1240280
2022-08-07T12:18:02Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Dr Clara M Barker PLD Lab.jpg|alt=ClaraBarker katika maabara yake|thumb|ClaraBarker katika maabara yake]]
'''Clara Barker''' ni [[mhandisi]] wa [[Uingereza]] na [[mwanaharakati]] wa [[ushoga]].<ref>{{Cite web|title=Dr Clara Barker recognised by Prime Minister for her LGBT+ voluntary work — Mathematical, Physical and Life Sciences Division|url=https://www.mpls.ox.ac.uk/latest/news/dr-clara-barker-recognised-by-prime-minister-for-her-lgbt-voluntary-work|work=www.mpls.ox.ac.uk|accessdate=2022-08-07}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:wahandisi wa Uingereza]]
rg393h28etc5p3q75713aa34o3tm49j
LGBT
0
155435
1240283
1240281
2022-08-07T12:11:39Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Acceptance_of_Homosexuality_Worldwide_(Pew_Research_Poll_2019-20).svg|right|thumb|Utafiti wa mwaka 2019 (Pew Global Research Poll): Asilimia ya wakazi wanaokubali ushoga uwe halali katika jamii:
{{legend|#a50026|0-10%}}
{{legend|#d73027|11-20%}}
{{legend|#f46d43|21-30%}}
{{legend|#fdae61|31-40%}}
{{legend|#fee090|41-50%}}
{{legend|#e0f3f8|51-60%}}
{{legend|#abd9e9|61-70%}}
{{legend|#74add1|71-80%}}
{{legend|#4575b4|81-90%}}
{{legend|#313695|91-100%}}
{{legend|#c0c0c0|Hakuna taarifa}}]]
'''LGBT''' (au LGBTQIA+) ni [[Kifupi|kifupisho]] cha [[Kiingereza]] kinachojumlisha watu wanaojiona au kujiita [[wasagaji]], [[mashoga]], wenye [[jinsia]] mbili, [[wasenge]], queer, intersex na wasio na jinsia. Watu hao pengine wanabaguliwa.<ref>{{Cite web|title=Cameroun : Hausse des violences à l’encontre de personnes LGBTI|url=https://www.hrw.org/fr/news/2022/05/11/cameroun-hausse-des-violences-lencontre-de-personnes-lgbti|work=Human Rights Watch|date=2022-05-11|accessdate=2022-08-07|language=fr}}</ref>
[[Faili:World_marriage-equality_laws_(up_to_date).svg|left|thumb|
Hali ya kisheria ya ndoa za jinsia moja katika majimbo kote ulimwenguni.
{{legend|#002255|Ndoa wazi kwa wapenzi wa jinsia moja}}
{{legend|#0066FF|Vinakubaliwa vyama vya kiraia}}
{{legend|#9900CC|Ndoa ya watu wa jinsia moja hutambuliwa kikamilifu inapofanywa katika maeneo fulani ya mamlaka}}
{{legend|#EEEEEE|Hata vyama vya watu wa jinsia moja havitambuliwi kisheria}}
]]
== Tanbihi ==
<references />
[[Jamii:kifupi]]
[[Jamii:jinsia]]
paf5bo6pmp15fstx8hut4wicplg7je5
Wasenge
0
155436
1240284
2022-08-07T12:15:37Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Msenge]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[msenge]]
qeklmne0tonwz6s6wgtnj8dwqfj4618
Majadiliano ya mtumiaji:Vneb23
3
155437
1240286
2022-08-07T12:19:37Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} Kurasa zako ni fupi mno. Labda hujui Kiswahili. Amani kwako! ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}
Kurasa zako ni fupi mno. Labda hujui Kiswahili. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:19, 7 Agosti 2022 (UTC)
1ni4m7rqs8y2qltpxaf7yykulr3p97u
1240287
1240286
2022-08-07T12:24:56Z
Vneb23
46747
Reply
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}
Kurasa zako ni fupi mno. Labda hujui Kiswahili. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:19, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Ninaongea kiswahili kidogo. Ninajifunza. Ninataka kusaida ! '''[[Mtumiaji:Vneb23|Vneb23]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Vneb23#top|majadiliano]])''' 12:24, 7 Agosti 2022 (UTC)
2svaim8bgduohzvg6fl44wg2t3elj2f
1240289
1240287
2022-08-07T12:29:15Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}
Kurasa zako ni fupi mno. Labda hujui Kiswahili. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:19, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Ninaongea kiswahili kidogo. Ninajifunza. Ninataka kusaida ! '''[[Mtumiaji:Vneb23|Vneb23]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Vneb23#top|majadiliano]])''' 12:24, 7 Agosti 2022 (UTC)
::Hongera kwa hilo. Lakini usiishie kutangaza ushoga! Kamusi elezo inahitaji mambo mengi muhimu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:29, 7 Agosti 2022 (UTC)
fizvfz1o3lrjuk9kltibj2efpeysk11
1240329
1240289
2022-08-07T14:24:16Z
Vneb23
46747
Reply
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}
Kurasa zako ni fupi mno. Labda hujui Kiswahili. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:19, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Ninaongea kiswahili kidogo. Ninajifunza. Ninataka kusaida ! '''[[Mtumiaji:Vneb23|Vneb23]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Vneb23#top|majadiliano]])''' 12:24, 7 Agosti 2022 (UTC)
::Hongera kwa hilo. Lakini usiishie kutangaza ushoga! Kamusi elezo inahitaji mambo mengi muhimu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:29, 7 Agosti 2022 (UTC)
:::Asante. Nitajitahidi kutafakari wiki hii. '''[[Mtumiaji:Vneb23|Vneb23]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Vneb23#top|majadiliano]])''' 14:24, 7 Agosti 2022 (UTC)
ssle8x0pxagaoq732wtf0mczxudivko
Shirazi, Kenya
0
155438
1240290
2022-08-07T12:29:32Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Shirazi''' (pia inajulikana kama '''kifunzi''','''kifundi''' au '''chifundi''') ni [[kijiji]] kinachopatikana [[jimbo]] la [[pwani]] ya [[kenya]]. Ni eneo linalotawaliwa na watu wa jamii ya [[Shiraz|shirazi]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=99x5ea1Gq-cC&pg=PA513|title=Kenya|last=Trillo|first=Richard|date=2002|publisher=Rough Guides|isbn=978-1-85828-859-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=EcqdxCd2pWMC&pg=PA171|title=Swahili Origins: Swahili Culture & the Shungwaya Phenomenon|last=Allen|first=James De Vere|date=1993|publisher=J. Currey|isbn=978-0-85255-075-5|language=en}}</ref>
== marejeo ==
[[Jamii:Maeneo ya kenya]]
[[Jamii:Jimbo la kenya]]
[[Jamii:Pwani ya kenya]]
[[Jamii:Kenya]]
ipjl2oix7atovt8j5k17ufw40vhhfga
1240293
1240290
2022-08-07T12:37:55Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Shirazi, kenya]] hadi [[Shirazi, Kenya]]: Usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
'''Shirazi''' (pia inajulikana kama '''kifunzi''','''kifundi''' au '''chifundi''') ni [[kijiji]] kinachopatikana [[jimbo]] la [[pwani]] ya [[kenya]]. Ni eneo linalotawaliwa na watu wa jamii ya [[Shiraz|shirazi]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=99x5ea1Gq-cC&pg=PA513|title=Kenya|last=Trillo|first=Richard|date=2002|publisher=Rough Guides|isbn=978-1-85828-859-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=EcqdxCd2pWMC&pg=PA171|title=Swahili Origins: Swahili Culture & the Shungwaya Phenomenon|last=Allen|first=James De Vere|date=1993|publisher=J. Currey|isbn=978-0-85255-075-5|language=en}}</ref>
== marejeo ==
[[Jamii:Maeneo ya kenya]]
[[Jamii:Jimbo la kenya]]
[[Jamii:Pwani ya kenya]]
[[Jamii:Kenya]]
ipjl2oix7atovt8j5k17ufw40vhhfga
1240295
1240293
2022-08-07T12:39:18Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Shirazi''' (pia inajulikana kama '''kifunzi''', '''kifundi''' au '''chifundi''') ni [[kijiji]] kinachopatikana [[pwani]] mwa [[Kenya]]. Ni eneo linalotawaliwa na watu wa jamii ya [[Washirazi]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=99x5ea1Gq-cC&pg=PA513|title=Kenya|last=Trillo|first=Richard|date=2002|publisher=Rough Guides|isbn=978-1-85828-859-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=EcqdxCd2pWMC&pg=PA171|title=Swahili Origins: Swahili Culture & the Shungwaya Phenomenon|last=Allen|first=James De Vere|date=1993|publisher=J. Currey|isbn=978-0-85255-075-5|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
moha8ckks7ekx0f33uecnbnqaj5sp1h
Shirazi, kenya
0
155439
1240294
2022-08-07T12:37:55Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Shirazi, kenya]] hadi [[Shirazi, Kenya]]: Usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Shirazi, Kenya]]
ow1gq2u4y4vuqkarysn20ugqwbjijcc
Kastori wa Akwitania
0
155440
1240298
2022-08-07T12:48:17Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Kastori wa Karden]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Kastori wa Karden]]
29lrc0xluyzt36ufys7f73c54a2l2fm
Maksimino wa Trier
0
155441
1240300
2022-08-07T12:52:14Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Masimino wa Trier]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[masimino wa Trier]]
00yemlxp2sj97ngjqojpz3clb0jgula
Mwanzo (albamu)
0
155442
1240302
2022-08-07T13:00:18Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Mwanzo''' ni albamu ya kwanza ya [[Kikundi|kundi]] la sauti sol kinachoundwa na [[vijana]] wa kenya wanaofanya [[mziki wa kiafrika]] .albamu hii ilizinduliwa mnamo mwezi agasti ,4 ,2009 chini ya penya records.'' <ref>{{Citation|last=Sauti Sol|title=Mwanzo|url=https://www.amazon.co.uk/Mwanzo/dp/B002GLC72U|access-date=2022-08-07}}</ref>
== imejumuisha mandiko kama ==
"lazizi" iliyotolewa kama wimbo wa kwanza kwenye [[albamu]] hii,nyimbo hii ilijizolea umaarufu kwa mashabiki na kufanya wanamuziki wengine wafanye kava za nyimbo hii kwa namna yao. nyimbo hii inahusiana na mwanaume mmoja mwenye maisha yakawaida akiomba namba za simu kwa mwanadada na akapanga kuwa nae kimahusiano.nyimbo hii ilijizolea umaarufu na kutengeneza maelfu ya mashabiki katika ukanda wa [[Afrika ya Mashariki|afrika mashariki.]]
== marejeo ==
[[Jamii:Muziki wa kizazi kipya]]
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Muziki wa Kenya]]
pd251ad754q4ewv87t2348957bk5qsx
1240313
1240302
2022-08-07T13:37:03Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''''Mwanzo''''' ni albamu ya kwanza ya [[kikundi]] la sauti Sol kinachoundwa na [[vijana]] wa Kenya wanaofanya [[muziki wa Kiafrika]].
Albamu hii ilizinduliwa mnamo 4 Agosti 2009 chini ya Penya records.'' <ref>{{Citation|last=Sauti Sol|title=Mwanzo|url=https://www.amazon.co.uk/Mwanzo/dp/B002GLC72U|access-date=2022-08-07}}</ref>
Imejumuisha maandiko kama "lazizi" iliyotolewa kama wimbo wa kwanza kwenye [[albamu]] hii,nyimbo hii ilijizolea umaarufu kwa mashabiki na kufanya wanamuziki wengine wafanye kava za nyimbo hii kwa namna yao. nyimbo hii inahusiana na mwanaume mmoja mwenye maisha yakawaida akiomba namba za simu kwa mwanadada na akapanga kuwa nae kimahusiano.nyimbo hii ilijizolea umaarufu na kutengeneza maelfu ya mashabiki katika ukanda wa [[Afrika ya Mashariki]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Muziki wa kizazi kipya]]
[[Jamii:Muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Muziki wa Kenya]]
huf3azw1db4ah2yiyhpd994ha3qkfgv
Gosbati
0
155443
1240303
2022-08-07T13:04:38Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gosbati''' (pia: '''Gauzbert, Gautbert'''; alifariki [[860]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa [[Osnabrück|Osnabruck]], [[Ujerumani]] kuanzia [[mwaka]] [[845]] hadi [[858]], baada ya kufanya [[umisionari]] huko [[Uswidi]]. Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake ni [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]...'
wikitext
text/x-wiki
'''Gosbati''' (pia: '''Gauzbert, Gautbert'''; alifariki [[860]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa [[Osnabrück|Osnabruck]], [[Ujerumani]] kuanzia [[mwaka]] [[845]] hadi [[858]], baada ya kufanya [[umisionari]] huko [[Uswidi]].
Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
* Wood, Ian. ''The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050''. Great Britain: Longman, 2001.
* Gauzbert. In: Allgemeine Enzyklopädie der Wissenschaften und Künste. Brockhaus, Leipzig 1852, Erste Section, fünfundfünfzigster Teil, S. 61–62, bei Google-Books
* Ekkart Sauser: Gosbert, Bischof von Osnabrück. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 18, Bautz, Herzberg 2001, ISBN 3-88309-086-7, Sp. 528.
* Friedrich Wilhelm Bautz: Ansgar (Anskar, Anscharius), Erzbischof von Hamburg-Bremen. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 1, Bautz, Hamm 1975. 2., unveränderte Auflage Hamm 1990, ISBN 3-88309-013-1, Sp. 186–187.
* Gautbert, in Pierer's Universal-Lexikon, Band 7. Altenburg 1859, S. 19
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 860]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uswidi]]
jg01fg3jvm4enluu2nucsuy1oj85h98
1240304
1240303
2022-08-07T13:07:26Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Gosbati''' (pia: '''Gauzbert, Gautbert'''; alifariki [[860]] hivi) alikuwa [[askofu]] wa [[Osnabrück|Osnabruck]], [[Ujerumani]] kuanzia [[mwaka]] [[845]] hadi [[858]], baada ya kufanya [[umisionari]] huko [[Uswidi]] na baada ya kufukuzwa na [[Dini za jadi|Wapagani]] kutoka [[Dayosisi|jimbo]] lake la awali..
Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
* Wood, Ian. ''The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050''. Great Britain: Longman, 2001.
* Gauzbert. In: Allgemeine Enzyklopädie der Wissenschaften und Künste. Brockhaus, Leipzig 1852, Erste Section, fünfundfünfzigster Teil, S. 61–62, bei Google-Books
* Ekkart Sauser: Gosbert, Bischof von Osnabrück. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 18, Bautz, Herzberg 2001, ISBN 3-88309-086-7, Sp. 528.
* Friedrich Wilhelm Bautz: Ansgar (Anskar, Anscharius), Erzbischof von Hamburg-Bremen. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 1, Bautz, Hamm 1975. 2., unveränderte Auflage Hamm 1990, ISBN 3-88309-013-1, Sp. 186–187.
* Gautbert, in Pierer's Universal-Lexikon, Band 7. Altenburg 1859, S. 19
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 860]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uswidi]]
sg5yo4vav5uzmp4bzuez9p7lg2tloos
Gimer
0
155444
1240306
2022-08-07T13:15:46Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gimer''' (alifariki [[13 Februari]] [[932]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa kwanza<ref>''Acta Sanctorum Februarii'', vol. II (Venezia 1735), pp. 672 e 897.</ref> wa [[Carcassonne]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40710</ref>. Tangu kale Marsiali anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]<ref name="bss">René Wasselynck, BSS, vol. VII (1966), col. 516.</ref>. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa tareh...'
wikitext
text/x-wiki
'''Gimer''' (alifariki [[13 Februari]] [[932]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa kwanza<ref>''Acta Sanctorum Februarii'', vol. II (Venezia 1735), pp. 672 e 897.</ref> wa [[Carcassonne]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40710</ref>.
Tangu kale Marsiali anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]<ref name="bss">René Wasselynck, BSS, vol. VII (1966), col. 516.</ref>.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), ''Bibliotheca Sanctorum'' (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 9]]
[[Category:Waliofariki 932]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
8pxf937wb6y50ds18vw8acr8x9nq9io
1240308
1240306
2022-08-07T13:25:19Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Gimer''' (alifariki [[13 Februari]] [[932]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa kwanza<ref>''Acta Sanctorum Februarii'', vol. II (Venezia 1735), pp. 672 e 897.</ref> wa [[Carcassonne]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40710</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]<ref name="bss">René Wasselynck, BSS, vol. VII (1966), col. 516.</ref>.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), ''Bibliotheca Sanctorum'' (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 9]]
[[Category:Waliofariki 932]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
06i54deh3b6bmb4fksu0gamfct8ujgh
Fulkrano
0
155445
1240307
2022-08-07T13:24:03Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:Miraclefulcran.jpg|thumb|[[Muujiza]] wa Mt. Fulkrano.]] '''Fulkrano''' ([[karne ya 10]] - [[13 Februari]] [[1006]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Lodeve]] (leo nchini [[Ufaransa]]) kuanzia [[mwaka]] [[949]] hadi [[kifo]] chake<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40720</ref>. Alijitahidi kudai [[Kleri|waklero]] na [[Mtawa|watawa]] washike [[maadili]] yao, alistawisha [[Liturgia|liturujia]] na kusaidia [[Umaskini|fukara]]<ref>https://www.newadv...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Miraclefulcran.jpg|thumb|[[Muujiza]] wa Mt. Fulkrano.]]
'''Fulkrano''' ([[karne ya 10]] - [[13 Februari]] [[1006]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Lodeve]] (leo nchini [[Ufaransa]]) kuanzia [[mwaka]] [[949]] hadi [[kifo]] chake<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40720</ref>.
Alijitahidi kudai [[Kleri|waklero]] na [[Mtawa|watawa]] washike [[maadili]] yao, alistawisha [[Liturgia|liturujia]] na kusaidia [[Umaskini|fukara]]<ref>https://www.newadvent.org/cathen/06313a.htm</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), ''Bibliotheca Sanctorum'' (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 10]]
[[Category:Waliofariki 1006]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
afmamtk2ku4w31b6nmceq9alrd6310q
Gilbati wa Meaux
0
155446
1240309
2022-08-07T13:28:16Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gilbati wa Meaux''' ([[karne ya 10]] - [[13 Februari]] [[1015]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Meaux]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40730</ref>. Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]. ==Viungo vya nje== *[https://web.archive.org/web/20080928150326/http://saints.sqpn.com/saintg52.htm ''Patron Saints'' page]'
wikitext
text/x-wiki
'''Gilbati wa Meaux''' ([[karne ya 10]] - [[13 Februari]] [[1015]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Meaux]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40730</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
==Viungo vya nje==
*[https://web.archive.org/web/20080928150326/http://saints.sqpn.com/saintg52.htm ''Patron Saints'' page]
l4rwoabrffmqf5lc9siy020p5x625za
1240310
1240309
2022-08-07T13:29:54Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Gilbati wa Meaux''' ([[karne ya 10]] - [[13 Februari]] [[1015]] [[BK]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Meaux]] (leo nchini [[Ufaransa]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40730</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), ''Bibliotheca Sanctorum'' (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
==Viungo vya nje==
*[https://web.archive.org/web/20080928150326/http://saints.sqpn.com/saintg52.htm ''Patron Saints'' page]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 10]]
[[Category:Waliofariki 1015]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
q3vko410b9a2yjlfr2nenj42e3p2x3y
Africa: The Serengeti (Filamu)
0
155447
1240318
2022-08-07T13:53:43Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Africa:serengeti''' ni filamu ya kubuni iliyotengenezwa na George casey.ilichukuliwa katika 70mm kutoka eneo la tukio ndani ya [[Hifadhi ya Serengeti|hifadhi]] ya [[serengeti]] iliyopo tanzania na eneo la masai mara nchini kenya .filamu hii imeelezewa na james earl jones.ilizinduliwa na [[IMAX]] [[theaters]] mnamo 1994.''
filamu hii inaonesha mandhari ya eneo la serengeti yaliyopo ukanada wa afrika mashariki.serengeti ni eneo kubwa lenye uoto wa nyasi za asili linalopatikana tanzania.serengeti hupatwa na majira ya ukame yayotokea maramoja kwa mwaka hali hii husababisha wanyama kuhamia upande wa kaskazini ili kujinusuru na ukame.mamilioni ya [[nyumbu]] ,[[Punda milia|pundamilia]] na [[swala]] husafiri maili kadhaa katika eneo la wazi ambapo [[simba]] pamoja na wanyama wengine hatari huwasubir kwaajili ya kujipatia kitoweo,hii hujulikana kama moja katika ya maajabu makubwa ya [[dunia]].<ref>{{Citation|title=Africa: The Serengeti|url=https://www.rottentomatoes.com/m/imax_africa_the_serengeti|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref>
[[Hans zimmer]] mtunzi wa filamu iitwayo [[the]] [[lion king]] (amabapo jones ameipa sauti yake ) alichangia katika mdundo wa sauti katika filamu hii.
== marejeo ==
[[Jamii:Afrika ya Mashariki]]
[[Jamii:Hifadhi ya Taifa]]
mzqyvi21f6ffknh1fxozspwzvr0sst8
1240412
1240318
2022-08-07T21:39:11Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Africa:serengeti''' ni [[filamu]] ya kubuni iliyotengenezwa na George casey.ilichukuliwa katika 70mm kutoka eneo la tukio ndani ya [[Hifadhi ya Serengeti]] ya iliyopo nchini [[Tanzania]] na eneo la masai mara nchini [[Kenya]] .filamu hii imeelezewa na [[James Earl Jones]].ilizinduliwa na [[IMAX]] [[theaters]] mnamo [[1994]].''
filamu hii inaonesha mandhari ya eneo la Serengeti yaliyopo ukanada wa [[Afrika mashariki]].serengeti ni eneo kubwa lenye uoto wa nyasi za asili linalopatikana Tanzania.Serengeti hupatwa na majira ya ukame yayotokea maramoja kwa mwaka hali hii husababisha wanyama kuhamia upande wa kaskazini ili kujinusuru na ukame.mamilioni ya [[nyumbu]] ,[[Punda milia|pundamilia]] na [[swala]] husafiri maili kadhaa katika eneo la wazi ambapo [[Simba]] pamoja na wanyama wengine hatari huwasubir kwaajili ya kujipatia kitoweo,hii hujulikana kama moja katika ya maajabu makubwa ya [[dunia]].<ref>{{Citation|title=Africa: The Serengeti|url=https://www.rottentomatoes.com/m/imax_africa_the_serengeti|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref>
[[Hans zimmer]] mtunzi wa filamu iitwayo [[the lion king]] , ambapo Jones ameipa sauti yake alichangia katika mdundo wa sauti katika filamu hii.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Afrika ya Mashariki]]
[[Jamii:Filamu]]
[[Jamii:Sanaa]]
3w52rmktmiszuee8gtnohsdj9d6hox0
Nostriano
0
155448
1240320
2022-08-07T14:01:07Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[karne ya 5]]) alikuwa [[askofu]] wa 15 wa [[mji]] [[Napoli|huo]], [[Italia Kusini]], [[rafiki]] wa askofu [[Quodvultedus]], [[mkimbizi]] kutoka [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]<ref>{{cite book|last1=Noga-Banai|first1=Galit|title=The Trophies of the Martyrs: An Art Historical Study of Early Christian Silver Reliquaries|date=2008|publisher=OUP Oxford|isbn=9780199217748|page=94|url=https://books.google.com/books?id=85wU...'
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[karne ya 5]]) alikuwa [[askofu]] wa 15 wa [[mji]] [[Napoli|huo]], [[Italia Kusini]], [[rafiki]] wa askofu [[Quodvultedus]], [[mkimbizi]] kutoka [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]<ref>{{cite book|last1=Noga-Banai|first1=Galit|title=The Trophies of the Martyrs: An Art Historical Study of Early Christian Silver Reliquaries|date=2008|publisher=OUP Oxford|isbn=9780199217748|page=94|url=https://books.google.com/books?id=85wUDAAAQBAJ&q=Nostrianus+naples&pg=PA94|language=en}}</ref>.<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/48330</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]. [[Papa Leo XIII]] alithibitisha [[heshima]] hiyo [[mwaka]] [[1878]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Category:Waliofariki karne ya 5]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
kni1lyz8ezwdom8iqybwlkq5keovdsa
1240321
1240320
2022-08-07T14:02:05Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[karne ya 5]]) alikuwa [[askofu]] wa 15 wa [[mji]] [[Napoli|huo]], [[Italia Kusini]], [[rafiki]] wa askofu [[Quodvultdeus]], [[mkimbizi]] kutoka [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]<ref>{{cite book|last1=Noga-Banai|first1=Galit|title=The Trophies of the Martyrs: An Art Historical Study of Early Christian Silver Reliquaries|date=2008|publisher=OUP Oxford|isbn=9780199217748|page=94|url=https://books.google.com/books?id=85wUDAAAQBAJ&q=Nostrianus+naples&pg=PA94|language=en}}</ref>.<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/48330</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]. [[Papa Leo XIII]] alithibitisha [[heshima]] hiyo [[mwaka]] [[1878]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Category:Waliofariki karne ya 5]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
tetdhbpbi1yoobpey8tehius44rgs4k
1240322
1240321
2022-08-07T14:04:02Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[karne ya 5]]) alikuwa [[askofu]] wa 15 wa [[mji]] [[Napoli|huo]], [[Italia Kusini]], kwa miaka 17. Alikuwa [[rafiki]] wa askofu [[Quodvultdeus]], [[mkimbizi]] kutoka [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]<ref>{{cite book|last1=Noga-Banai|first1=Galit|title=The Trophies of the Martyrs: An Art Historical Study of Early Christian Silver Reliquaries|date=2008|publisher=OUP Oxford|isbn=9780199217748|page=94|url=https://books.google.com/books?id=85wUDAAAQBAJ&q=Nostrianus+naples&pg=PA94|language=en}}</ref>.<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/48330</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]. [[Papa Leo XIII]] alithibitisha [[heshima]] hiyo [[tarehe]] 2 Mei [[1878]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[14 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* ''Il martirologio romano. Riformato a norma dei decreti del Concilio ecumenico Vaticano II e promulgato da papa Giovanni Paolo II'', LEV, Città del Vaticano 2004.
* Congregatio de Causis Sanctorum, ''Index ac status causarum'', Città del Vaticano 1999.
* Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), ''Bibliotheca Sanctorum'' (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
* Charles Pietri, Luce Pietri (ed.), [http://digital.casalini.it/10.1400/37235 ''Prosopographie chrétienne du Bas-Empire. 2. Prosopographie de l'Italie chrétienne (313-604)''], École française de Rome, Roma 2000, vol. II, pp. 1543-1544
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Category:Waliofariki karne ya 5]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
iu0jrlcob0jqixk5phxqoieu6ljwbja
Robert H. Frank
0
155449
1240323
2022-08-07T14:07:05Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Harris Frank''' (alizaliwa Januari 2, 1945) ni [[profesa]] wa Henrietta Johnson Louis katika masuala ya menejimenti na pia masuala ya [[uchumi]] katika shule ya menejimenti ya Samuel Curtis Johnson huko Cornell University. Alichangia sana katika chapisho la ''Economic View'' lililo andikwa na jarida la ''[[The New York Times]]'' ambalo chapisho hilo huonekana kila baada ya jumapili ya tano. Frank amechapisha majarida mbalimbali kuhusu mada inayosema ukosefu wa usawa wa mali nchini [[Marekani]].<ref>{{Citation|last=Hacker|first=Andrew|title=We're More Unequal Than You Think {{!}} Andrew Hacker|url=https://www.nybooks.com/articles/2012/02/23/were-more-unequal-you-think/|language=en|issn=0028-7504|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Maisha ya kazi ==
Alizaliwa huko [[Coral Gables, Florida|Coral Gables]], [[Florida]], mnamo mwaka 1945. Frank alihitimu kutoka shule ya Coral Gables 1962. Frank alipata shahada ya [[sayansi]] ya [[Hisabati]] kutoka Taasisi ya Teknolojia ya [[Georgia (jimbo)|Georgia]] 1966, shahada ya uzamili ya [[takwimu]] kutoka chuo kikuu cha California, [[Berkeley, California|Berkeley]] mwaka 1971, shahada ya [[uzamivu]] ya uchumi kutoka UC Berkeley mnamo 1972.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=UkG4FEP6sUMC&redir_esc=y|title=Principles of Macroeconomics|last=Frank|first=Robert H.|last2=Bernanke|first2=Ben|last3=Johnston|first3=Louis Dorrance|date=2009|publisher=McGraw-Hill Irwin|isbn=978-0-07-336265-6|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
m7qx4ta4r1rng1m4zvimb5oym0w3iw8
1240360
1240323
2022-08-07T18:37:55Z
196.249.98.216
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Harris Frank''' (alizaliwa Januari 2, 1945) ni [[profesa]] wa Henrietta Johnson Louis katika masuala ya menejimenti na pia masuala ya [[uchumi]] katika shule ya menejimenti ya Samuel Curtis Johnson huko Cornell University. Alichangia sana katika chapisho la ''Economic View'' lililo andikwa na jarida la ''[[The New York Times]]'' ambalo chapisho hilo huonekana kila baada ya jumapili ya tano. Frank amechapisha majarida mbalimbali kuhusu mada inayosema ukosefu wa usawa wa mali nchini [[Marekani]].<ref>{{Citation|last=Hacker|first=Andrew|title=We're More Unequal Than You Think {{!}} Andrew Hacker|url=https://www.nybooks.com/articles/2012/02/23/were-more-unequal-you-think/|language=en|issn=0028-7504|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Maisha ya kazi ==
Alizaliwa huko [[Coral Gables, Florida|Coral Gables]], [[Florida]], mnamo mwaka 1945. Frank alihitimu kutoka shule ya Coral Gables 1962. Frank alipata shahada ya [[sayansi]] ya [[Hisabati]] kutoka Taasisi ya Teknolojia ya [[Georgia (jimbo)|Georgia]] 1966, shahada ya uzamili ya [[takwimu]] kutoka chuo kikuu cha California, [[Berkeley, California|Berkeley]] mwaka 1971, shahada ya [[uzamivu]] ya uchumi kutoka UC Berkeley mnamo 1972.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=UkG4FEP6sUMC&redir_esc=y|title=Principles of Macroeconomics|last=Frank|first=Robert H.|last2=Bernanke|first2=Ben|last3=Johnston|first3=Louis Dorrance|date=2009|publisher=McGraw-Hill Irwin|isbn=978-0-07-336265-6|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
i6619dcrylv3h30lleocvp4yj4802ww
1240399
1240360
2022-08-07T20:53:49Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
'''Robert Harris Frank''' (alizaliwa [[Januari 2]], [[1945]]) ni [[profesa]] wa Henrietta Johnson Louis katika masuala ya menejimenti na pia masuala ya [[uchumi]] katika shule ya menejimenti ya Samuel Curtis Johnson huko Cornell University. Alichangia sana katika chapisho la ''Economic View'' lililo andikwa na jarida la ''[[The New York Times]]'' ambalo chapisho hilo huonekana kila baada ya jumapili ya tano. Frank amechapisha majarida mbalimbali kuhusu mada inayosema ukosefu wa usawa wa mali nchini [[Marekani]].<ref>{{Citation|last=Hacker|first=Andrew|title=We're More Unequal Than You Think {{!}} Andrew Hacker|url=https://www.nybooks.com/articles/2012/02/23/were-more-unequal-you-think/|language=en|issn=0028-7504|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Maisha ya kazi ==
Alizaliwa huko [[Coral Gables, Florida|Coral Gables]], [[Florida]], mnamo mwaka 1945. Frank alihitimu kutoka shule ya Coral Gables 1962. Frank alipata shahada ya [[sayansi]] ya [[Hisabati]] kutoka Taasisi ya Teknolojia ya [[Georgia (jimbo)|Georgia]] 1966, shahada ya uzamili ya [[takwimu]] kutoka chuo kikuu cha California, [[Berkeley, California|Berkeley]] mwaka 1971, shahada ya [[uzamivu]] ya uchumi kutoka UC Berkeley mnamo 1972.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=UkG4FEP6sUMC&redir_esc=y|title=Principles of Macroeconomics|last=Frank|first=Robert H.|last2=Bernanke|first2=Ben|last3=Johnston|first3=Louis Dorrance|date=2009|publisher=McGraw-Hill Irwin|isbn=978-0-07-336265-6|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
mz9h674nriydtsg8mtdb5u8bsnwhv4m
1240400
1240399
2022-08-07T20:56:02Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
[[Picha:Robert_Frank_-_2013.jpg|thumnail|right|200px|Robert H.Frank]]
'''Robert Harris Frank''' (alizaliwa [[Januari 2]], [[1945]]) ni [[profesa]] wa Henrietta Johnson Louis katika masuala ya menejimenti na pia masuala ya [[uchumi]] katika shule ya menejimenti ya Samuel Curtis Johnson huko Cornell University. Alichangia sana katika chapisho la ''Economic View'' lililo andikwa na jarida la ''[[The New York Times]]'' ambalo chapisho hilo huonekana kila baada ya jumapili ya tano. Frank amechapisha majarida mbalimbali kuhusu mada inayosema ukosefu wa usawa wa mali nchini [[Marekani]].<ref>{{Citation|last=Hacker|first=Andrew|title=We're More Unequal Than You Think {{!}} Andrew Hacker|url=https://www.nybooks.com/articles/2012/02/23/were-more-unequal-you-think/|language=en|issn=0028-7504|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Maisha ya kazi ==
Alizaliwa huko [[Coral Gables, Florida|Coral Gables]], [[Florida]], mnamo mwaka 1945. Frank alihitimu kutoka shule ya Coral Gables 1962. Frank alipata shahada ya [[sayansi]] ya [[Hisabati]] kutoka Taasisi ya Teknolojia ya [[Georgia (jimbo)|Georgia]] 1966, shahada ya uzamili ya [[takwimu]] kutoka chuo kikuu cha California, [[Berkeley, California|Berkeley]] mwaka 1971, shahada ya [[uzamivu]] ya uchumi kutoka UC Berkeley mnamo 1972.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=UkG4FEP6sUMC&redir_esc=y|title=Principles of Macroeconomics|last=Frank|first=Robert H.|last2=Bernanke|first2=Ben|last3=Johnston|first3=Louis Dorrance|date=2009|publisher=McGraw-Hill Irwin|isbn=978-0-07-336265-6|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
4pmjnes2811xu8uilv0ehy4y44td4jr
Majadiliano ya mtumiaji:Dickson Murungi
3
155450
1240325
2022-08-07T14:08:25Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:08, 7 Agosti 2022 (UTC)
c1olgrpbxjc62mpkmnl5ekvpkag8u53
Kinky Friedman
0
155451
1240330
2022-08-07T14:27:44Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Richard Samet "Kinky" Friedman''' (alizaliwa mnamo Novemba 1, 1944)<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=nT0_DwAAQBAJ&redir_esc=y|title=Everything's Bigger in Texas: The Life and Times of Kinky Friedman|last=Sullivan|first=Mary Lou|date=2017-10-01|publisher=Hal Leonard Corporation|isbn=978-1-5400-0499-4|language=en}}</ref> ni [[mwanamuziki]] kutoka nchini [[marekani]], [[mwandishi]] wa [[Wimbo|nyimbo]] na [[riwaya]],[[mchekeshaji]], [[Siasa|mwanasiasa]] na pia ni mwandishi wa zamani wa [[gazeti]] la ''Texas Monthly''.
Friedman alikuwa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya ugavana katika jimbo la Texas na kupata asilimia 12.6 ya kura zote, na kujiweka katika nafasi ya nne kati ya wagombea sita walioshiriki uchaguzi huo.
== Wasifu wake ==
Alizaliwa kama Richard Samet Friedman huko [[Chicago]] mnamo mwaka 1944 kwa wazazi wa [[kiyahudi]] Dr. S. Thomas Friedman na mkewe Minnie (Samet) Friedman.<ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman Comes Home|url=https://www.rollingstone.com/music/music-country/kinky-friedman-country-music-texas-willie-nelson-746620/|work=Rolling Stone|date=2018-11-03|accessdate=2022-08-07|language=en-US|author=Jonathan Bernstein, Jonathan Bernstein}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman on how Willie Nelson, misery shaped his new music|url=https://www.pressdemocrat.com/article/entertainment/texas-songwriter-kinky-friedman-brings-his-newest-tunes-to-the-mystic-theat/|work=Santa Rosa Press Democrat|date=2018-04-19|accessdate=2022-08-07|language=en-US}}</ref><ref>{{Citation|title=Kinky Friedman, Whose Life Reads Like a Book With a Most Unlikely Plot, Is Born|url=https://www.haaretz.com/jewish/2015-11-01/ty-article/.premium/one-and-only-kinky-friedman-is-born/0000017f-e88f-da9b-a1ff-ecefe3e90000|work=Haaretz|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref> Wazazi wake wote walikuwa ni watoto wa wayahudi wa kirusi waliokuwa wakimbizi. Wakati Friedman alivyokuwa mdogo familia yake ilihamia kwenye ranchi huko Kerrville, Texas.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
pmws7a52j5f6po1jpjv0uecjcwtkoiy
1240362
1240330
2022-08-07T18:48:19Z
196.249.98.216
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Richard Samet "Kinky" Friedman''' (alizaliwa mnamo Novemba 1, 1944)<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=nT0_DwAAQBAJ&redir_esc=y|title=Everything's Bigger in Texas: The Life and Times of Kinky Friedman|last=Sullivan|first=Mary Lou|date=2017-10-01|publisher=Hal Leonard Corporation|isbn=978-1-5400-0499-4|language=en}}</ref> ni [[mwanamuziki]] kutoka nchini [[marekani]], [[mwandishi]] wa [[Wimbo|nyimbo]] na [[riwaya]],[[mchekeshaji]], [[Siasa|mwanasiasa]] na pia ni mwandishi wa zamani wa [[gazeti]] la ''Texas Monthly''.
Friedman alikuwa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya ugavana katika jimbo la Texas na kupata asilimia 12.6 ya kura zote, na kujiweka katika nafasi ya nne kati ya wagombea sita walioshiriki uchaguzi huo.
== Wasifu wake ==
Alizaliwa kama Richard Samet Friedman huko [[Chicago]] mnamo mwaka 1944 kwa wazazi wa [[kiyahudi]] Dr. S. Thomas Friedman na mkewe Minnie (Samet) Friedman.<ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman Comes Home|url=https://www.rollingstone.com/music/music-country/kinky-friedman-country-music-texas-willie-nelson-746620/|work=Rolling Stone|date=2018-11-03|accessdate=2022-08-07|language=en-US|author=Jonathan Bernstein, Jonathan Bernstein}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman on how Willie Nelson, misery shaped his new music|url=https://www.pressdemocrat.com/article/entertainment/texas-songwriter-kinky-friedman-brings-his-newest-tunes-to-the-mystic-theat/|work=Santa Rosa Press Democrat|date=2018-04-19|accessdate=2022-08-07|language=en-US}}</ref><ref>{{Citation|title=Kinky Friedman, Whose Life Reads Like a Book With a Most Unlikely Plot, Is Born|url=https://www.haaretz.com/jewish/2015-11-01/ty-article/.premium/one-and-only-kinky-friedman-is-born/0000017f-e88f-da9b-a1ff-ecefe3e90000|work=Haaretz|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref> Wazazi wake wote walikuwa ni watoto wa wayahudi wa kirusi waliokuwa wakimbizi. Wakati Friedman alivyokuwa mdogo familia yake ilihamia kwenye ranchi huko Kerrville, Texas.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
kop0n7xgfbzzoejqctmvo0nyuih5mjq
1240379
1240362
2022-08-07T20:11:20Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Richard Samet "Kinky" Friedman''' (alizaliwa mnamo Novemba 1, [[1944]])<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=nT0_DwAAQBAJ&redir_esc=y|title=Everything's Bigger in Texas: The Life and Times of Kinky Friedman|last=Sullivan|first=Mary Lou|date=2017-10-01|publisher=Hal Leonard Corporation|isbn=978-1-5400-0499-4|language=en}}</ref> ni [[mwanamuziki]] kutoka nchini [[marekani]], [[mwandishi]] wa [[Wimbo|nyimbo]] na [[riwaya]],[[mchekeshaji]], [[Siasa|mwanasiasa]] na pia ni mwandishi wa zamani wa [[gazeti]] la ''Texas Monthly''.
Friedman alikuwa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya ugavana katika jimbo la Texas na kupata asilimia 12.6 ya kura zote, na kujiweka katika nafasi ya nne kati ya wagombea sita walioshiriki uchaguzi huo.
== Wasifu wake ==
Alizaliwa kama Richard Samet Friedman huko [[Chicago]] mnamo mwaka 1944 kwa wazazi wa [[kiyahudi]] Dr. S. Thomas Friedman na mkewe Minnie (Samet) Friedman.<ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman Comes Home|url=https://www.rollingstone.com/music/music-country/kinky-friedman-country-music-texas-willie-nelson-746620/|work=Rolling Stone|date=2018-11-03|accessdate=2022-08-07|language=en-US|author=Jonathan Bernstein, Jonathan Bernstein}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman on how Willie Nelson, misery shaped his new music|url=https://www.pressdemocrat.com/article/entertainment/texas-songwriter-kinky-friedman-brings-his-newest-tunes-to-the-mystic-theat/|work=Santa Rosa Press Democrat|date=2018-04-19|accessdate=2022-08-07|language=en-US}}</ref><ref>{{Citation|title=Kinky Friedman, Whose Life Reads Like a Book With a Most Unlikely Plot, Is Born|url=https://www.haaretz.com/jewish/2015-11-01/ty-article/.premium/one-and-only-kinky-friedman-is-born/0000017f-e88f-da9b-a1ff-ecefe3e90000|work=Haaretz|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref> Wazazi wake wote walikuwa ni watoto wa wayahudi wa kirusi waliokuwa wakimbizi. Wakati Friedman alivyokuwa mdogo familia yake ilihamia kwenye ranchi huko Kerrville, Texas.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
nd035y65m7pexrbepvaagiuu02lm8in
1240383
1240379
2022-08-07T20:18:21Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Richard Samet "Kinky" Friedman''' (alizaliwa mnamo [[Novemba 1]], [[1944]])<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=nT0_DwAAQBAJ&redir_esc=y|title=Everything's Bigger in Texas: The Life and Times of Kinky Friedman|last=Sullivan|first=Mary Lou|date=2017-10-01|publisher=Hal Leonard Corporation|isbn=978-1-5400-0499-4|language=en}}</ref> ni [[mwanamuziki]] kutoka nchini [[marekani]], [[mwandishi]] wa [[Wimbo|nyimbo]] na [[riwaya]],[[mchekeshaji]], [[Siasa|mwanasiasa]] na pia ni mwandishi wa zamani wa [[gazeti]] la ''Texas Monthly''.
Friedman alikuwa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya ugavana katika jimbo la Texas na kupata asilimia 12.6 ya kura zote, na kujiweka katika nafasi ya nne kati ya wagombea sita walioshiriki uchaguzi huo.
== Wasifu ==
Alizaliwa kama Richard Samet Friedman huko [[Chicago]] mnamo mwaka 1944 kwa wazazi wa [[kiyahudi]] Dr. S. Thomas Friedman na mkewe Minnie (Samet) Friedman.<ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman Comes Home|url=https://www.rollingstone.com/music/music-country/kinky-friedman-country-music-texas-willie-nelson-746620/|work=Rolling Stone|date=2018-11-03|accessdate=2022-08-07|language=en-US|author=Jonathan Bernstein, Jonathan Bernstein}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kinky Friedman on how Willie Nelson, misery shaped his new music|url=https://www.pressdemocrat.com/article/entertainment/texas-songwriter-kinky-friedman-brings-his-newest-tunes-to-the-mystic-theat/|work=Santa Rosa Press Democrat|date=2018-04-19|accessdate=2022-08-07|language=en-US}}</ref><ref>{{Citation|title=Kinky Friedman, Whose Life Reads Like a Book With a Most Unlikely Plot, Is Born|url=https://www.haaretz.com/jewish/2015-11-01/ty-article/.premium/one-and-only-kinky-friedman-is-born/0000017f-e88f-da9b-a1ff-ecefe3e90000|work=Haaretz|language=en|access-date=2022-08-07}}</ref> Wazazi wake wote walikuwa ni watoto wa wayahudi wa kirusi waliokuwa wakimbizi. Wakati Friedman alivyokuwa mdogo familia yake ilihamia kwenye ranchi huko Kerrville, Texas.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1944]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
i5u6pzqcp81pzsa1a19e6cc91456u4h
Wilfrido
0
155452
1240331
2022-08-07T14:31:31Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wilfrido''' (pia: '''Walfredo''' au '''Galfrido'''; [[Pisa]], [[Toscana]], [[karne ya 7]] - Monteverdi Marittimo, Pisa, [[15 Februari]] [[756]]) alikuwa [[Kiongozi|mtawala]] wa [[kabila]] la [[Walombardi]] akawa [[mmonaki]] wa [[Toscana]], [[Italia ya Kati]] aliyeanzisha [[monasteri]] mbili baada ya kuishi katika [[ndoa]] na kuzaa [[Mtoto|watoto]] watano<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/91069</ref>. Baada ya kuongoza miaka 10, alipofariki, mmoja...'
wikitext
text/x-wiki
'''Wilfrido''' (pia: '''Walfredo''' au '''Galfrido'''; [[Pisa]], [[Toscana]], [[karne ya 7]] - Monteverdi Marittimo, Pisa, [[15 Februari]] [[756]]) alikuwa [[Kiongozi|mtawala]] wa [[kabila]] la [[Walombardi]] akawa [[mmonaki]] wa [[Toscana]], [[Italia ya Kati]] aliyeanzisha [[monasteri]] mbili baada ya kuishi katika [[ndoa]] na kuzaa [[Mtoto|watoto]] watano<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/91069</ref>.
Baada ya kuongoza miaka 10, alipofariki, mmojawao aliyekuwa [[Upadri|padri]] akawa [[mwandamizi]] wake.
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Papa Pius IX]] alithibitisha [[heshima]] hiyo [[mwaka]] [[1861]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] ya [[kifo]] chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* Alban Butler, Il primo grande dizionario dei santi secondo il calendario, edizioni Piemme, 2001.
* Emanuele Repetti, Dizionario Geografico Fisico della Toscana, Firenzelibri (collana Memorie italiane. Studi e testi), 2005.
* Lodovico Antonio Muratori, Dissertazioni sopra le antichità italiane Volume 5
* Ugolino della Gherardesca, "I della Gherardesca, dai Longobardi alle soglie del 2.000", Edizioni ETS, 1995.
==Viungo vya nje==
* http://www.dellagherardesca.org/gherardesca_opere.html
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Jamii:Waliofariki 756]]
[[Jamii:wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
028u1uxc61barfqo1dox29k2x14f3ng
John Garamendi
0
155453
1240332
2022-08-07T14:38:08Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''John Raymond Garamendi''' (/ˌɡærəˈmɛndi/; alizaliwa Januari 24, 1945) ni [[mfanyabiashara]] kutoka nchini [[marekani]], [[Siasa|mwanasiasa]] na mwanachama wa Chama cha [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Democratic Party]], ambaye amewakilisha maeneo ya Kaskazini mwa [[California]] kati ya [[San Francisco]] na [[Sacramento, California|Sacramento]], ikiwa ni pamoja na miji ya [[Fairfield, California|Fairfield]] na [[Suisun City, California|Suisun]], katika [[Baraza la Wawakilishi wa Marekani|Baraza la Wawakilishi]] la Marekani tangu mwaka 2009. Garamendi alikuwa Kamishna wa Bima wa California kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na 2003 hadi 2007, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani kutoka 1995 hadi 1998, na Gavana wa 46 wa California kutoka 2007 hadi kuchaguliwa kwake kuwepo Congress mwishoni mwa 2009.<ref>{{Cite web|title=Congressional District 10 Special Election Results - September 1, 2009 - California Secretary of State|url=https://web.archive.org/web/20091019140853/http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm|work=web.archive.org|date=2009-10-19|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
gne00w520htxd3uf7av4t44sclvknq5
1240361
1240332
2022-08-07T18:47:04Z
196.249.98.216
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''John Raymond Garamendi''' (/ˌɡærəˈmɛndi/; alizaliwa Januari 24, 1945) ni [[mfanyabiashara]] kutoka nchini [[marekani]], [[Siasa|mwanasiasa]] na mwanachama wa Chama cha [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Democratic Party]], ambaye amewakilisha maeneo ya Kaskazini mwa [[California]] kati ya [[San Francisco]] na [[Sacramento, California|Sacramento]], ikiwa ni pamoja na miji ya [[Fairfield, California|Fairfield]] na [[Suisun City, California|Suisun]], katika [[Baraza la Wawakilishi wa Marekani|Baraza la Wawakilishi]] la Marekani tangu mwaka 2009. Garamendi alikuwa Kamishna wa Bima wa California kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na 2003 hadi 2007, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani kutoka 1995 hadi 1998, na Gavana wa 46 wa California kutoka 2007 hadi kuchaguliwa kwake kuwepo Congress mwishoni mwa 2009.<ref>{{Cite web|title=Congressional District 10 Special Election Results - September 1, 2009 - California Secretary of State|url=https://web.archive.org/web/20091019140853/http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm|work=web.archive.org|date=2009-10-19|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
0c4xb4eb0co3dj810o6mswq0tmmutu1
1240394
1240361
2022-08-07T20:39:39Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
'''John Raymond Garamendi''' (alizaliwa Januari 24, 1945) ni [[mfanyabiashara]] kutoka nchini [[marekani]], [[Siasa|mwanasiasa]] na mwanachama wa Chama cha [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Democratic Party]], ambaye amewakilisha maeneo ya Kaskazini mwa [[California]] kati ya [[San Francisco]] na [[Sacramento, California|Sacramento]], ikiwa ni pamoja na miji ya [[Fairfield, California|Fairfield]] na [[Suisun City, California|Suisun]], katika [[Baraza la Wawakilishi wa Marekani|Baraza la Wawakilishi]] la Marekani tangu mwaka 2009. Garamendi alikuwa Kamishna wa Bima wa California kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na 2003 hadi 2007, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani kutoka 1995 hadi 1998, na Gavana wa 46 wa California kutoka 2007 hadi kuchaguliwa kwake kuwepo Congress mwishoni mwa 2009.<ref>{{Cite web|title=Congressional District 10 Special Election Results - September 1, 2009 - California Secretary of State|url=https://web.archive.org/web/20091019140853/http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm|work=web.archive.org|date=2009-10-19|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
3m8xg6v929s43hk8hpq8kjy2hjquaa3
1240397
1240394
2022-08-07T20:44:54Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
[[picha:John_Garamendi_113th_Congress.jpg|thumbnail|right|200px|John Garamendi]]
'''John Raymond Garamendi''' (alizaliwa Januari 24, 1945) ni [[mfanyabiashara]] kutoka nchini [[marekani]], [[Siasa|mwanasiasa]] na mwanachama wa Chama cha [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Democratic Party]], ambaye amewakilisha maeneo ya Kaskazini mwa [[California]] kati ya [[San Francisco]] na [[Sacramento, California|Sacramento]], ikiwa ni pamoja na miji ya [[Fairfield, California|Fairfield]] na [[Suisun City, California|Suisun]], katika [[Baraza la Wawakilishi wa Marekani|Baraza la Wawakilishi]] la Marekani tangu mwaka 2009. Garamendi alikuwa Kamishna wa Bima wa California kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na 2003 hadi 2007, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani kutoka 1995 hadi 1998, na Gavana wa 46 wa California kutoka 2007 hadi kuchaguliwa kwake kuwepo Congress mwishoni mwa 2009.<ref>{{Cite web|title=Congressional District 10 Special Election Results - September 1, 2009 - California Secretary of State|url=https://web.archive.org/web/20091019140853/http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm|work=web.archive.org|date=2009-10-19|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
2gtz5ofj78q16801jo4o0ja632hl1ae
1240878
1240397
2022-08-08T11:42:37Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.9
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
[[picha:John_Garamendi_113th_Congress.jpg|thumbnail|right|200px|John Garamendi]]
'''John Raymond Garamendi''' (alizaliwa Januari 24, 1945) ni [[mfanyabiashara]] kutoka nchini [[marekani]], [[Siasa|mwanasiasa]] na mwanachama wa Chama cha [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Democratic Party]], ambaye amewakilisha maeneo ya Kaskazini mwa [[California]] kati ya [[San Francisco]] na [[Sacramento, California|Sacramento]], ikiwa ni pamoja na miji ya [[Fairfield, California|Fairfield]] na [[Suisun City, California|Suisun]], katika [[Baraza la Wawakilishi wa Marekani|Baraza la Wawakilishi]] la Marekani tangu mwaka 2009. Garamendi alikuwa Kamishna wa Bima wa California kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na 2003 hadi 2007, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani kutoka 1995 hadi 1998, na Gavana wa 46 wa California kutoka 2007 hadi kuchaguliwa kwake kuwepo Congress mwishoni mwa 2009.<ref>{{Cite web|title=Congressional District 10 Special Election Results - September 1, 2009 - California Secretary of State|url=http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm|work=web.archive.org|date=2009-10-19|accessdate=2022-08-07|archivedate=2009-10-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20091019140853/http://www.sos.ca.gov/elect-results/cd10-results.htm}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
9dx7k6dn838s8jjevf37iyfxr6krxbf
Sifredi
0
155454
1240333
2022-08-07T14:47:58Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Sankt Sigfrid i Växjö.JPG|thumb|[[Sanamu]] yake katika [[kanisa kuu]] la Vaxjo.]] '''Sifredi''' (pia: '''Sigfrid, Siegfried, Sigafridus, Sigeferd, Sigurdr'''; [[Uingereza]], [[karne ya 10]] - Vaxjo, [[Uswidi]], [[1045]]) alikuwa [[askofu]] [[mmisionari]] kwa miaka 40 au zaidi<ref>See Fairweather 2014, pp. 181-194.</ref> huko [[Uswidi]] anayehesabiwa kama mtume wake kwa kuwa [[Ubatizo|alimbatiza]] [[mfalme]] [[Olof III]]<ref>See Fairweather 2014,...'
wikitext
text/x-wiki
[[File:Sankt Sigfrid i Växjö.JPG|thumb|[[Sanamu]] yake katika [[kanisa kuu]] la Vaxjo.]]
'''Sifredi''' (pia: '''Sigfrid, Siegfried, Sigafridus, Sigeferd, Sigurdr'''; [[Uingereza]], [[karne ya 10]] - Vaxjo, [[Uswidi]], [[1045]]) alikuwa [[askofu]] [[mmisionari]] kwa miaka 40 au zaidi<ref>See Fairweather 2014, pp. 181-194.</ref> huko [[Uswidi]] anayehesabiwa kama mtume wake kwa kuwa [[Ubatizo|alimbatiza]] [[mfalme]] [[Olof III]]<ref>See Fairweather 2014, pp. 181-194.</ref> na kushirikiana naye [[Uinjilishaji|kuinjilisha]] nchi hiyo na [[Denmark]], mbali ya [[juhudi]] zake huko [[Norwei]] pia<ref>See Fairweather 2014, pp.198-205,</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[15 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Åberg, Göran (2013), Växjö Diocese: past and present, (Växjö Stiftshistoriska Sallskap, Skrifter 20, Växjö).
* Abrams, Lesley (1995), 'The Anglo-Saxons and the Christianization of Scandinavia', Anglo-Saxon England 24, pp.213–49.
* Adam of Bremen, Gesta Hammaburgensis Ecclesie Pontificum: Latin text in Schmeidler (1917); Latin text and German translation in Trillmich 1961; English translation in Tschan 2002.
* Beauchet, Ludovic (1894), Loi de Vestrogothie (Westgöta-lagen) traduite et annotée et precedée d'une étude sur les sources du droit Suédois (Paris).
* Berend, Nora, ed. (2007), Christianization and the Rise of Christian Monarchy: Scandinavia, Central Europe and Rus' (Cambridge).
* Bishop-lists of Skara = Chronicon Vetus Episcoporum Scarensium and Chronicum Rhythmicum Episcoporum Scarensium auctore Brynolpho . . . Episcopo Scarensi in Scriptores Rerum Suecicarum Medii Aevi, vol. III, part ii, pp. 112–120; for English translations of the earliest entries in these lists by Bishop Lars-Göran Lonnermark, see Fairweather 2014, pp. 210–11; 283; 286; 301.
* Bishop-list of Växjö: Chronicon Vetus Episcoporum Wexionensium in Scriptores Rerum Suecicarum Medii Aevi, vol. III, part ii, pp. 129–32.
* Brunius, Jan (2005) ed. Medieval Book Fragments in Sweden: an international seminar in Stockholm, 13–16 November 2003 (Stockholm)
* Brunius Jan (2013) From Manuscripts to Wrappers: Medieval Book Fragments in the Swedish National Archive (Skrifter utgivna ac Riksarkivet 33: Stockholm)
* Campbell, Alistair (1949) reprinted in Campbell, Alisdair & Keynes, Simon, Encomium Emmae Reginae, (Camden Classic Reprints 4, Cambridge 1998), pp. 66–82.
* Carver, Martin ed. (2003), The Cross Goes North: Processes of Conversion in Northern Europe, A.D. 300-1300 (York & Woodbridge).
* Curshmann, Fritz (1909), Älteren Papsturkunden des Erzbistums Hamburg (Hamburg & Leipzig).
* Dunn-Macray, W (1886) ed. Chronicon Rameseiensis, a saec. X usque ad an. circiter 1200, (Rolls Series LXXXIII, London)
* Ekrem, Inger, Mortensen Lars-Boje & Fisher, Peter ed. & trans. (2003), Historia Norvegie (Copenhagen)
* Fairweather, Janet (2014), Bishop Osmund, A Missionary to Sweden in the Late Viking Age (Skara Stiftshistoriska Sällskaps Skriftserie, volume 71, Skara).
* Flateyjarbók, eds. G, Vigfusson & C.R. Unger (Christiania 1859-68).
* Gneuss, Helmut (2001), Handlist of Anglo-Saxon Manuscripts: a list of manuscripts and manuscript fragments written or owned in England up to 1100
* Goscelini Miracula Sancti Ivonis in Dunn Macray 1886 (Appendix II to Preface)
* Hagiography of St Sigfrid = Historia Sancti Sigfridi Episcopi et Confessoris Latine et Suethice (= Vita I) and Vita Sancti Sigfridi Episcopi et Confessoris ( = Vita II) in Scriptores Rerum Suecicarum Medii Aevi, vol II, part 1, pp. 344–370 + the texts printed in Schmid 1942.
* Halldorsson, Ólafur ed. (1958-2000) Oláfs saga Tryggvasonar en mesta, ed. (3 vols. København)
* Hartzell, K.D (2006) Catalogue of Manuscripts written or owned in England up to 1200 containing music (Woodbridge).
* Hervarar saga: see Tolkien
* Historia Norvegie: Latin text in Monumenta Historica Norvegiae (1880), pp. 69–124; text and English translation in Ekrem, Mortensen & Fisher 2003.
* Johansson, Hilding (1986) 'Skara som stiftstad', in Sträng 1986, pp. 387–410.
* King-lists of Sweden: Scriptores Rerum Suecicarum Medii Aevi vol. I, pp. 1–15
* Kjöllerström, Sven (1979) Sankt Sigfrid, Sigfridslegenden och Växjö Stift (Lecture given at the Kyrkohistoriska föreningens ärsmöte, Uppsala, April 1979 and at the 500th anniversary of the University of Copenhagen, May 1979.
* Knibbs (2011), Anskar, Rimbert and the Forged Foundations of Hamburg-Bremen (Farnham)
* Liber Eliensis: Latin text ed. E.O. Blake 1962 (Royal Historical Society: Camden third series, volume 92, London); English translation by Janet Fairweather 2005, Liber Eliensis: a History of the Isle of Ely from the seventh century to the twelfth (Woodbridge).
* Lager, Linn (2003), 'Runestones and the Conversion of Sweden' in Carver 2003, pp. 497–507.
* Larsson Lars-Olof (1931), Det medeltida Värend (Diss. Lund).
* Malmer, Brita (1989), The Sigtuna Coinage c. 995-1005 (Commentationes de nummis saeculorum IX-XI in Suecia repertis, nova series 4, Stockholm & London.
* Malmer, Brita 1997, The Anglo-Scandinavian Coinage, c. 995-1026 (Commentationes de nummis saeculorum IX-XI repertis, nova series 9 (Stockholm & London)
* Monumenta Historica Norvegiae: Latinske kildeskrifter til Norges historie in Middelaldern ed. G. Strom (Kristiania 1880)
* Niblaeus, Erik G. (2010) German Influence on religious practice in Scandinavia c. 1050 - 1150, King's College, London, diss.
* Norton, Christopher (2004), 'York Minster in the time of Wulfstan', in Townend 2004, pp.207–34.
* Oláfs saga Tryggvasonar en mesta: 'Frá Sigurði Byskupi; Her (s(egir) af framferd Sigurdar byskups; Kapitulum': printed in Halldorsson vol III (2000) pp.57–64; also cited in secondary sources as from Flateyjarbók.
* Oppermann, C.J.A. (1937), The English Missionaries in Sweden and Finland (London)
* Raine, James ed. (1874–94), Historians of the Church of York and its Archbishops (Rolls Series, vols. LXXI – LXXII London).
* Rimbert, Vita Sancti Anskarii, Latin text in Waitz 1884 and Trillmich 1961 (with German translation; English translation in Robinson 1921.
* Robinson, Charles H (1921), Anskar, the Apostle to the North, 801-65, translated from the Vita Anskarii by Bishop Rimbert (London)
* Sawyer, Birgit (2000), The Viking Age Rune-Stones: Custom and Commemoration in Early Medieval Scandinavia (Oxford).
* Sawyer, Birgit and Sawyer, Peter (1993) Medieval Scandinavia: from Conversion to Reformation, circa 800-1500 (Minneapolis & London)
* Sawyer, Birgit, Sawyer, Peter & Wood, Ian (1987), The Christianization of Scandinavia: Report of a Symposium held at Kungalv, Sweden, 4–9 August 1985 (Alingsås)
* Sawyer, Peter, The Making of Sweden (1988: Occasional Papers on Medieval Topics 3 - Viktoria Bokforlag, Alingsås, in cooperation with the Department of History, Gothenburg University)
* Scriptores Rerum Suecicarum Medii Aevi (Uppsala 1818-1876):
** vol. I, ed. E.M. Fant (1818)
** vol. II ed. E.J. Geijer & J.H. Schröder (1828)
** vol. III. ed. E. Annerstadt (1871–76)
* Schmeidler, Bernhard (1917) ed. Adam Bremensis, Gesta Hammaburgensis Ecclesie Pontificum (MGH SRG vol. 2, 3rd edition).
* Schmid, Toni (1931) Den Helige Sigfrid (Lund)
* Schmid, Toni (1942) 'Trois légendes de Saint Sigfrid', Analecta Bollandiana 60, pp. 82–90.
* Scott, John (1981) ed. & trans.William of Malmesbury, De antiquitate Glastoniensis ecclesiae (Woodbridge).
* Snorri Sturluson, Óláfs saga Helga, from Heimskringla ed. Aðalbjarnarson 1941-51; English translations in Monson, E. & Smith. A.H. (Cambridge 1932); Hollander. Lee M. (Austin, Texas 1964).
* Sträng, Arne (1986), Skara: Före 1700, Staden i Stiftet (Skara).
* Talbot, C.H. (1954), The Anglo-Saxon Missionaries in Germany (London).
* Tolkien, Christopher (1960), Hervarar saga och Heidreks konungs: the Saga of King Heidrek the Wise, translated from the Icelandic with introduction, notes, and appendices (London).
* Townend, Matthew (2004) ed. Wulfstan, Archbishop of York (Proceedings of the Second Alcuin Conference: Studies in the Early Middle Ages 10: York)
* Trillmich W. (1961) ed. Quellen des 9. und 11. Jahrhunderts zur Geschichte der Hamburgischen Kirche und des Reiches (Darmstadt).
* Tschan F. (2002), trans. History of the Archbishops of Hamburg-Bremen, with introduction and bibliography by Timothy Reuter (New York).
* Vastovius, Ioannes (1623), Vitis Aquilonia (Cologne, 2nd edition, corrected and annotated by Erik Benzelius, Uppsala 1708).
* Vretemark, Maria and Axelsson, Tony (2008), 'The Varnhem Archaeological Research Project - a new insight into the Christianisation of Västergötland', Viking and Medieval Scandinavia 4, pp. 209 – 219.
* Waitz, G (1884), Vita Anskarii auctore Rimberto: accedit Vita Rimberti (MGH SRG, vol. LV: Hannover).
* William of Malmesbury, see Scott 1981.
* Wordsworth, John, Bishop of Salisbury (1911), The National Church of Sweden (London, Oxford, Milwaukee)
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Saint Sigfrid}}
* [https://web.archive.org/web/20060220054958/http://www.catholic-forum.com/saints/saints13.htm Sigfrid at Patron Saints Index]
* [https://web.archive.org/web/20060615104455/http://arimathea.co.uk/siegfrid.htm Orthodox church article]
* https://www.pase.ac.uk
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:waliozaliwa karne ya 10]]
[[Jamii:Waliofariki 1045]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uingereza]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uswidi]]
5xoh0f1mva3jotoaeia1va9l3zohinj
Deborah Gardner
0
155455
1240334
2022-08-07T15:00:24Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Deborah Gardner''' alikuwa mfanyakazi wa kujitolea wa [[Marekani]] wa ''[[Peace Corps]]'' mwenye umri wa miaka 23 ambaye aliuawa na mfanyakazi mwingine wa kujitolea , Dennis Priven ndani ya [[kisiwa]] cha [[Tonga]] mnamo mwaka 1976 .Usimamiaji wa kesi ya Priven ulileta mtafaruku ndani ya [[Peace Corps]].
== Maisha ya awali ==
Deborah Gardner alikua mhitimu wa chuo kikuu cha [[Washington]] pindi alipojiunga na Peace Corps. Baada ya kumaliza mafunzo alipewa jukumu la kufundisha masomo ya [[Sayansi|sayans]]<nowiki/>i na [[uchumi]] katika shule huko [[Nuku'alofa]], makao makuu ya mji wa [[Tonga]]. Huko ndipo alipokutana na Dennis Priven, aliyekuwa anajitolea katika Peace Corps pindi alipowasili huko Tonga mwaka uliopita.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
ictl2ooahq2rltvgajbtnuuagilwbm3
1240384
1240334
2022-08-07T20:18:42Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Deborah Gardner''' alikuwa mfanyakazi wa kujitolea wa [[Marekani]] wa ''[[Peace Corps]]'' mwenye [[umri]] wa miaka 23 ambaye aliuawa na mfanyakazi mwingine wa kujitolea , Dennis Priven ndani ya [[kisiwa]] cha [[Tonga]] mnamo mwaka 1976 .Usimamiaji wa kesi ya Priven ulileta mtafaruku ndani ya [[Peace Corps]].
== Maisha ya awali ==
Deborah Gardner alikua mhitimu wa chuo kikuu cha [[Washington]] pindi alipojiunga na Peace Corps. Baada ya kumaliza mafunzo alipewa jukumu la kufundisha masomo ya [[Sayansi|sayans]]<nowiki/>i na [[uchumi]] katika shule huko [[Nuku'alofa]], makao makuu ya mji wa [[Tonga]]. Huko ndipo alipokutana na Dennis Priven, aliyekuwa anajitolea katika Peace Corps pindi alipowasili huko Tonga mwaka uliopita.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Amani]]
60rcy734mdrjv68pbasyjudee5u3n44
1240388
1240384
2022-08-07T20:23:22Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Deborah Gardner''' alikuwa mfanyakazi wa kujitolea wa [[Marekani]] wa [[Peace Corps]] ambaye aliuawa na mfanyakazi mwingine wa kujitolea , Dennis Priven ndani ya [[kisiwa]] cha [[Tonga]] mnamo mwaka 1976 .Usimamiaji wa kesi ya Priven ulileta mtafaruku ndani ya [[Peace Corps]].
== Maisha ya awali ==
Deborah Gardner alikua mhitimu wa chuo kikuu cha [[Washington]] pindi alipojiunga na Peace Corps. Baada ya kumaliza mafunzo alipewa jukumu la kufundisha masomo ya [[Sayansi|sayans]]<nowiki/>i na [[uchumi]] katika shule huko [[Nuku'alofa]], makao makuu ya mji wa [[Tonga]]. Huko ndipo alipokutana na Dennis Priven, aliyekuwa anajitolea katika Peace Corps pindi alipowasili huko Tonga mwaka uliopita.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jami:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waliofariki 1997]]
ipobc8eehk4s1hxu11ddweive033k0r
1240389
1240388
2022-08-07T20:23:57Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Deborah Gardner''' alikuwa mfanyakazi wa kujitolea wa [[Marekani]] wa [[Peace Corps]] ambaye aliuawa na mfanyakazi mwingine wa kujitolea , Dennis Priven ndani ya [[kisiwa]] cha [[Tonga]] mnamo mwaka 1976 .Usimamiaji wa kesi ya Priven ulileta mtafaruku ndani ya [[Peace Corps]].
== Maisha ya awali ==
Deborah Gardner alikua mhitimu wa chuo kikuu cha [[Washington]] pindi alipojiunga na Peace Corps. Baada ya kumaliza mafunzo alipewa jukumu la kufundisha masomo ya [[Sayansi|sayans]]<nowiki/>i na [[uchumi]] katika shule huko [[Nuku'alofa]], makao makuu ya mji wa [[Tonga]]. Huko ndipo alipokutana na Dennis Priven, aliyekuwa anajitolea katika Peace Corps pindi alipowasili huko Tonga mwaka uliopita.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waliofariki 1997]]
9vgr7y829c06zuelz2bgrbsx0zhooyx
Alikiona
0
155456
1240335
2022-08-07T15:07:43Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Alikiona'''([[matokeo]]) ni [[tamthilia]] iliyoandikwa mnamo mwaka 1969 na mtunzi wa tamthilia mtanzania [[Ebrahim]] Hussein. awali alikiona iliandikwa kwa lungha ya kiswahili na kutafsiriwa katika lugha ya kiingereza na Joshua williams.tamthilia hii inaelezea [[mahusiano]] kati ya mwanamke sadia na mpenzi wake Abdallah''<ref>https://www.swahili-literatur.at/nacherzaehlungen/alikiona.pdf</ref>''. tamthilia hii imejikita katika uvumbuzi wa mahusiano ya mume sadia.tamthilia hii imeigizwa na [[wahusika watano.]]''
alikiona ina [[vipengele]] vingi vya kiasili kama sifa ya kazi ya mwanzo ya hussein.lakini pia tamthilia hii ina vingele vya [[vichekesho]] ambavyo [[vinaingiliana]] na asili ya [[taarabu]].<ref>{{Cite web|title=African Books Collective: Ebrahim Hussein: Swahili Theatre and Individualism|url=https://www.africanbookscollective.com/books/ebrahim-hussein-swahili-theatre-and-individualism|work=www.africanbookscollective.com|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== marejeo ==
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Ulimwengu]]
liaqa5ub1za2zvle46lfvblmneom2jz
1240398
1240335
2022-08-07T20:49:32Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Alikiona''' (matokeo) ni [[tamthilia]] iliyoandikwa mnamo mwaka [[1969]] na mtunzi wa [[Tamthilia]] mtanzania [[Ibrahim Hussen]]. awali alikiona iliandikwa kwa [[lugha ya Kiswahili]] na kutafsiriwa katika [[lugha ya Kiingereza]] na Joshua williams.tamthilia hii inaelezea [[mahusiano]] kati ya mwanamke sadia na mpenzi wake Abdallah''<ref>https://www.swahili-literatur.at/nacherzaehlungen/alikiona.pdf</ref>''. tamthilia hii imejikita katika uvumbuzi wa mahusiano ya mume sadia.tamthilia hii imeigizwa nawahusika watano.
alikiona ina vipengele vingi vya kiasili kama sifa ya kazi ya mwanzo ya hussein.lakini pia tamthilia hii ina vingele vya [[vichekesho]] ambavyo vinaingiliana na asili ya [[taarab]].<ref>{{Cite web|title=African Books Collective: Ebrahim Hussein: Swahili Theatre and Individualism|url=https://www.africanbookscollective.com/books/ebrahim-hussein-swahili-theatre-and-individualism|work=www.africanbookscollective.com|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Ulimwengu]]
cq13v4hsbce7dic0cggl8binapqxdid
Bahaʼullah
0
155457
1240336
2022-08-07T15:09:14Z
Kipala
107
Created by translating the page "[[:en:Special:Redirect/revision/1102215667|Baháʼu'lláh]]"
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Baháʼu'llah''' (1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]
9j9mnvw55yp57q8re0re366wgcpgxuj
1240337
1240336
2022-08-07T15:10:24Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Baháʼu'lláh]] hadi [[Bahaʼullah]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Baháʼu'llah''' (1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]
9j9mnvw55yp57q8re0re366wgcpgxuj
1240340
1240337
2022-08-07T15:21:05Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[file:https://en.m.wikipedia.org/wiki/Bah%C3%A1%CA%BCu%27ll%C3%A1h#/media/File%3ABah%C3%A1'u'll%C3%A1h_(M%C3%ADrz%C3%A1_%E1%B8%A4usayn-%60Al%C3%AD_N%C3%BAr%C3%AD)_in_1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
akxa9uqytgw3xhu5esdlt5msxmi0sox
1240343
1240340
2022-08-07T15:35:33Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[file:Faili:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
qkibwf2pmdx0t05balhexq505b852sb
1240344
1240343
2022-08-07T15:35:55Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
p16ytgchkq1vol8yiij35qwmn5cpaxl
1240347
1240344
2022-08-07T15:48:23Z
Kipala
107
/* Kujisomea */
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad ncini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Baada ya miezi kadhaa alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
e13e1c7ge8zvok40nr7c42m9cejgmdu
1240348
1240347
2022-08-07T15:54:36Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
Alihamia Baghdad nchini Iraki, wakati ule jimbo la Milki ya Osmani. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Kabla ya kuondoka Iraki aliwatangazia wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wa Mungu kwa enzi hii aliyetabiriwa na Bab. Idadi kubwa ya wauasi wa Bab walikubali ufunuo huu ilhali kundi dogo halikumpokea.
Baada ya miezi kadhaa mjini Istanbul alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma Akka katika Palestina alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akka ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
4ogkrsear0ud7la5euzucjagb0x2fop
1240349
1240348
2022-08-07T15:58:47Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
==Asili na familia==
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
==Mfuasi wa Bab==
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
==Ufunuo wa kwanza==
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
==Uhamishoni Iraki==
Alihamia Baghdad nchini Iraki, wakati ule jimbo la [[Milki ya Osmani]]. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Kabla ya kuondoka Iraki aliwatangazia wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wa Mungu kwa enzi hii aliyetabiriwa na Bab. Idadi kubwa ya wauasi wa Bab walikubali ufunuo huu ilhali kundi dogo halikumpokea.
==Edirne na Akko==
Baada ya miezi kadhaa mjini Istanbul alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma [[Akko]] katika [[Palestina]] alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akko ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
==Mafundisho==
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
no34tlqpqrfu7dd9gzkbqj9c0u2ysq1
1240350
1240349
2022-08-07T15:59:06Z
Kipala
107
Protected "[[Bahaʼullah]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' 1817–1892) alikuwa nabii mwanzilishi wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]] . Alizaliwa katika familia ya kiungwana huko Iran, na alifukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na imani ya Bab akatumia maisha yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko Iraki mnamo 1863, alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu. Mafundisho yake yalihusu kanuni za umoja wa dini zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia maendeleo ya kimaadili na kiroho hadi utawala wa ulimwengu.
==Asili na familia==
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
==Mfuasi wa Bab==
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
==Ufunuo wa kwanza==
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
==Uhamishoni Iraki==
Alihamia Baghdad nchini Iraki, wakati ule jimbo la [[Milki ya Osmani]]. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Kabla ya kuondoka Iraki aliwatangazia wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wa Mungu kwa enzi hii aliyetabiriwa na Bab. Idadi kubwa ya wauasi wa Bab walikubali ufunuo huu ilhali kundi dogo halikumpokea.
==Edirne na Akko==
Baada ya miezi kadhaa mjini Istanbul alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma [[Akko]] katika [[Palestina]] alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akko ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
==Mafundisho==
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]{{
no34tlqpqrfu7dd9gzkbqj9c0u2ysq1
1240570
1240350
2022-08-08T06:53:21Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' [[1817]]–[[1892]]) alikuwa [[nabii]] [[mwanzilishi]] wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]].
Alizaliwa katika [[familia]] ya kiungwana huko [[Uajemi|Iran]], akafukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na [[imani]] ya [[Bab]] akatumia [[maisha]] yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko [[Iraq|Iraki]] mnamo [[1863]], alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea [[ufunuo]] kutoka kwa [[Mungu]]. Mafundisho yake yalihusu [[kanuni]] za [[umoja]] wa [[dini]] zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia [[maendeleo]] ya [[maadili|kimaadili]] na [[maisha ya kiroho|ya kiroho]] hadi [[utawala]] wa [[ulimwengu]].
==Asili na familia==
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
==Mfuasi wa Bab==
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
==Ufunuo wa kwanza==
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
==Uhamishoni Iraki==
Alihamia Baghdad nchini Iraki, wakati ule jimbo la [[Milki ya Osmani]]. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Kabla ya kuondoka Iraki aliwatangazia wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wa Mungu kwa enzi hii aliyetabiriwa na Bab. Idadi kubwa ya wauasi wa Bab walikubali ufunuo huu ilhali kundi dogo halikumpokea.
==Edirne na Akko==
Baada ya miezi kadhaa mjini Istanbul alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma [[Akko]] katika [[Palestina]] alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akko ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
==Mafundisho==
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]
[[Jamii:Bahai]]
7fdjd033j80cqt2xb7glz2c7ybwysu1
1240573
1240570
2022-08-08T06:55:49Z
Riccardo Riccioni
452
/* Kujisomea */
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Baháʼu'lláh|image=Shrine-of-Bahaullah.jpg|alt=|death_date={{Death-date and age|29 May 1892|12 November 1817}}|death_place=[[Acre, Israel|‘Akká]], [[Ottoman Empire]]<br />{{small|(present-day [[Israel]])}}|resting_place_coordinates={{coord|32|56|36|N|35|05|32|E|source:hewiki_region:IL_type:landmark|display=inline}}|watoto={{unbulleted list|[[ʻAbdu'l-Bahá]]|[[Bahíyyih Khánum|Bahíyyih]]|[[Mírzá Mihdí|Mihdí]]|Kázim|ʻAlí Muhammad|Samadiyyih|[[Mírzá Muhammad ʻAlí|Muhammad ʻAlí]]|Ḍíyáʼu'lláh|Badiʻu'llah|Sádhijíyyih|Furughiyyih}}}}
[[file:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg|thumb|Baha'ullah mnamo mwaka 1868 mjini Edirne]]
'''Bahaʼullah''' (alizaliwa '''Hussein Ali al-Nuri''' [[1817]]–[[1892]]) alikuwa [[nabii]] [[mwanzilishi]] wa [[Baha'i|Imani ya Kibahai]].
Alizaliwa katika [[familia]] ya kiungwana huko [[Uajemi|Iran]], akafukuzwa nchini kwa sababu ya kushikamana kwake na [[imani]] ya [[Bab]] akatumia [[maisha]] yake yote katika kifungo zaidi katika [[Milki ya Osmani]]. Alipokaa huko [[Iraq|Iraki]] mnamo [[1863]], alitangaza kwa mara ya kwanza madai yake ya kupokea [[ufunuo]] kutoka kwa [[Mungu]]. Mafundisho yake yalihusu [[kanuni]] za [[umoja]] wa [[dini]] zote na matengenezo upya wa kidini, kuanzia [[maendeleo]] ya [[maadili|kimaadili]] na [[maisha ya kiroho|ya kiroho]] hadi [[utawala]] wa [[ulimwengu]].
==Asili na familia==
Alizaliwa kwa jina la Hussein Ali; ilhali alizaliwa katika familia ya makabaila kutoka jimbo la Nur, aliitwa Mirza Hussein Ali al-Nuri. Alilelewa bila elimu rasmi lakini alisoma vizuri na alishikamana na dini ya Kishia ya familia. Familia yake ilikuwa tajiri.Alipokuwa na umri wa miaka 22 alipewa nafasi ya cheo katika serikali lakini alikataa. Badala yake alisimamia mali ya familia na kutumia muda na pesa nyingi kwa misaada kwa wanyonge na maskini.
==Mfuasi wa Bab==
Akiiwa na umri wa miaka 27 alijiunga na harakati ya [[Bab]] akawa miongoni mwa wafuasi wakubwa wa vuguvugu jipya la kidini ambalo lilihubiri kufutwa kwa sheria ya Kiislamu, jambo ambalo lilisababisha upinzani mkubwa dhidi ya Bab na wafuasi wake. Baada ya kujiunga na harakati ya Bab alianza kutumia jina jipya la "Baha" (kutoka Kiar. <bdi>بهاء</bdi> ''bahāʾ'' kwa maana ya utukufu) lililokuwa baadaye Baha'ullah (utukufu wa Mungu).
Alipokuwa na umri wa miaka 33, serikali iliamua kumwua Bab na kukandamiza harakati yake. Baha alikuwa kati ya wafuasi wa Bab waliokamatwa lakini jina njema ya familia yake lilimwokoa akafukuzwa kutoka Iran ilhali mali zake zilitwaliwa.
==Ufunuo wa kwanza==
Kabla tu ya kuondoka, akiwa gerezani katika shimo chafu, Baháʼu'llah alidai kupokea mafunuo kutoka kwa Mungu yakiashiria mwanzo wa utume wake wa kimungu.
==Uhamishoni Iraki==
Alihamia Baghdad nchini Iraki, wakati ule jimbo la [[Milki ya Osmani]]. Hapa alifundisha na kukusanya wafuasi wa Bab nje ya Iran. Serikali ya Iran iliomba serikali ya Waosmani kumwondoa hapa kwa sababu wahiji wengi kutoka Iran walifika Iraki kwenye miji mitakatifu ya Washia. Aliambiwa kuja Istanbul alipokuwa mgeni wa serikali. Kabla ya kuondoka Iraki aliwatangazia wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wa Mungu kwa enzi hii aliyetabiriwa na Bab. Idadi kubwa ya wauasi wa Bab walikubali ufunuo huu ilhali kundi dogo halikumpokea.
==Edirne na Akko==
Baada ya miezi kadhaa mjini Istanbul alitumwa kwenda [[Edirne]] kwa miaka minne. Serikali ya Kiosmani ilioa mahubiri yake kwa mashaka ikaamua kutuma [[Akko]] katika [[Palestina]] alipofungwa jela. Baada ya miaka kadhaa kwenye jela aliruhusiwa kukaa katika nyumba ya binafsi karibu na Akko ambapo alitumia miaka yake ya mwisho.
==Mafundisho==
Baháʼu'lláh aliandika mengi juu ya mafundisho yake, pamoja na risala angalau 1,500, baadhi zikiwa za urefu wa kitabu, ambazo zimetafsiriwa katika angalau lugha 802. Baadhi ya mifano mashuhuri ni pamoja na ''Maneno Yaliyofichwa'', ''Kitabu cha Uhakika'', na ''Kitáb-i-Aqdas'' . Baadhi ya mafundisho ni fumbo na yanazungumzia asili ya Mungu na maendeleo ya nafsi, huku mengine yanashughulikia mahitaji ya jamii, wajibu wa kidini wa wafuasi wake, au muundo wa taasisi za Kibahá'í ambazo zingeeneza dini. Aliwaona wanadamu kimsingi kama viumbe vya kiroho, na akatoa wito kwa watu kukuza wema wa kimungu na kuendeleza maendeleo ya kimwili na kiroho ya jamii.
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Kujisomea ==
*{{cite book |author=‘Abdu’l-Bahá |author-link=‘Abdu’l-Bahá |orig-year=1908 |year=2014 |title=Some Answered Questions |edition=Extensively retranslated |publisher=Baháʼí World Centre |location=Haifa, Israel |isbn=978-0-87743-374-3 |url=http://www.bahai.org/library/authoritative-texts/abdul-baha/some-answered-questions}}
*{{cite book |last=Adamson |first=Hugh |year=2007 |title=Historical Dictionary of the Baháʼí Faith |publisher=Scarecrow Press |location=Oxford, UK |isbn=978-0-8108-3353-1 }}
*{{Cite book |last=Alkan |first=Necati |chapter=Ch. 6: ‘Abdu’l-Bahá ‘Abbás |pages=72–87 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Amanat |first=Mehrdad |year=2011 |title=Jewish Identities in Iran: Resistance and Conversion to Islam and the Baha'i Faith |url=https://books.google.com/books?id=9ykelPf5GY0C |publisher=I.B.Tauris |isbn=9781845118914}}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=1976 |title=Gleanings from the Writings of Baháʼu'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-187-6 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/gleanings-writings-bahaullah/ }}
*{{Cite book |author=Baháʼu'lláh |author-link=Baháʼu'lláh |date=2003 |orig-year=1862 |title=Kitáb-i-Íqán: The Book of Certitude |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/bahaullah/kitab-i-iqan/ |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=1-931847-08-8 }}
*{{Cite book |last=Balyuzi |first=Hassan |author-link=Hasan M. Balyuzi |date=2000 |title=Baháʼu'lláh: King of Glory |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-328-3 }}
*{{cite encyclopedia |last=Bausani |first=A. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=AQDAS |volume=II/2 |pages=191–192 |url=https://www.iranicaonline.org/articles/aqdas-more-fullv-al-ketah-al-aqdas-pers }}
*{{cite encyclopedia |last1=Bausani |first1=A. |last2=MacEoin |first2=D. |year=2011 |encyclopedia=Encyclopædia Iranica |article=ʿABD-AL-BAHĀʾ |volume=I/1 |pages=102–104 |url=http://www.iranicaonline.org/articles/abd-al-baha }}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: The Báb |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bab_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]]}}
*{{cite web |last=BBC: Featured Religions and Beliefs |date=28 September 2009 |title=Religions – Baháʼí: Baháʼu'lláh |url=https://www.bbc.co.uk/religion/religions/bahai/history/bahaullah_1.shtml |url-status=live|access-date=2 January 2022 |publisher=[[BBC News]] }}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 14: God, Revelation, and Manifestation |pages=175–187 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Bolodo-Taefi |first=Vargha |chapter=Ch. 22: Mysticism |pages=258–268 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2021-11-08 |title=Bahāʾ Allāh |url=https://www.britannica.com/biography/Baha-Allah |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite web |author=Britannica |date=2020-11-19 |title=Bahāʾī Faith |url=https://www.britannica.com/topic/Bahai-Faith |url-status=live |access-date=2022-01-01 |publisher=[[Encyclopædia Britannica]]}}
*{{Cite book |last=Buck |first=Christopher |date=2004 |title=Studies in Modern Religions, Religious Movements and the Bābī-Bahā'ī Faiths |editor=Sharon, Moshe |chapter=The eschatology of Globalization: The multiple-messiahship of Bahā'u'llāh revisited |isbn=90-04-13904-4 |pages=143–178 |location=Boston |publisher=Brill |chapter-url=http://bahai-library.com/buck_eschatology_globalization}}
*{{cite journal |last=Cole |first=Juan |author-link=Juan Cole |date=1982 |title=The Concept of Manifestation in the Baháʼí Writings |journal=Baháʼí Studies |volume=monograph 9 |pages=1–38 |url=http://bahai-library.com/cole_concept_manifestation }}
*{{Cite book |last=Dehghani |first=Sasha |chapter=Ch. 15: Progressive Revelation |pages=188–200 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=Hartz |first=Paula |date=2009 |url=https://bahai-library.com/hartz_bahai_faith |title=World Religions: Baha'i Faith |publisher=Chelsea House Publishers |isbn=978-1-60413-104-8 |edition=3rd |location=New York, NY}}
*{{Cite book |last=Hatcher |first=John |year=1997 |title=The Ocean Of His Words: A Reader's Guide to the Art of Bahá'u'lláh |publisher=Baháʼí Publishing Trust |place=Wilmette, IL |isbn=0-87743-259-7}}
*{{cite book |last1=Hatcher |first1=William |last2=Martin |first2=Douglas |date=1984 |title=The Baháʼí Faith: The Emerging Global Religion |publisher=[[Harper (publisher)|Harper and Row]] |location=San Francisco, CA |isbn=0-06-065441-4 }}
*{{Cite book |last=Heller |first=Wendy M. |chapter=Ch. 34: The Covenant and Covenant-Breaking |pages=409–425 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Hollinger |first=Richard |chapter=Ch. 8: Shoghi Effendi Rabbani |pages=105–116 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |editor-last=Hornby |editor-first=Helen |date=1988 |edition=Second revised and enlarged |title=Lights of Guidance: A Baháʼí Reference File |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=New Delhi, India |isbn=81-85091-46-3}}
*{{cite book |last=Howard |first=Casey |title=World Religions |publisher=Edtech Press |year=2018 |location=London, U.K. |isbn=978-1-83947-364-7}}
*{{cite book |last=Ma'ani |first=Baharieh Rouhani |year=2008|title=Leaves of the Twin Divine Trees |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK|isbn=978-0-85398-533-4}}
*{{Cite book |last=Kluge |first=Ian |chapter=Ch. 19: The Physical and Spiritual Dimensions of Human Nature |pages=230–239 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite book |last=MacEoin |first=Denis |author-link=Denis MacEoin |date=2009 |title=The Messiah of Shiraz: Studies in Early and Middle Babism |publisher=Brill |isbn=978-90-04-17035-3 |doi=10.1163/ej.9789004170353.i-740}}
*{{Cite book |last=Mahmoudi |first=Hoda |chapter=Ch. 32: Peace |pages=384–393 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite journal |last=Maneck |first=Susan |year=1990 |title=Conversion of Religious Minorities to the Baha'i Faith in Iran: Some Preliminary Observations |url=http://bahai-library.com/maneck_conversion_minorities_iran |journal=Journal of Bahá'í Studies |volume=3 |issue=3 |access-date=2012-03-28}}
*{{cite book |last=Maneck |first=Susan |year=1984 |title=Studies in Bábí and Bahá'í history |url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C |publisher=Kalimat Press |isbn=9780933770409 |editor-last=Cole |editor-first=Juan Ricardo |editor2-last=Momen |editor2-first=Moojan |edition=illustrated |volume=2 of Studies in Babi and Baha'i History: From Iran East and West |pages=67–93 |chapter=Early Zoroastrian Conversions to the Bahá'í Faith in Yazd, Iran |chapter-url=https://books.google.com/books?id=7xbzoJ5wFG4C}}
*{{Cite book |last=Matthews |first=Gary |title=The Challenge of Baháʼu'lláh: Does God Still Speak to Humanity Today? |publisher=Baháʼí Publishing |year=2005 |isbn=1-931847-16-9 |location=Wilmette, IL}}
*{{cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=1981 |title=The Bábí and Baháʼí Religions 1844–1944: Some Contemporary Western Accounts |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-102-7 }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |date=2004 |title=Holy People of the World: A Cross-cultural Encyclopedia, volume 3 |editor-first=Phyllis G. |editor-last=Jestice |publisher=ABC-CLIO |isbn=1-57607-355-6 |chapter=Baha'i Faith and Holy People |location=Santa Barbara, CA |url=https://books.google.com/books?id=H5cQH17-HnMC }}
*{{Cite book |last=Momen |first=Moojan |author-link=Moojan Momen |chapter=Ch. 4: Baháʼuʼlláh |pages=40–50 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Mount |first=Guy Emerson |chapter=Ch. 20: Unity in Diversity |pages=240–246 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Nakhjavani |first=Bahiyyih |title=Four on an Island |publisher=George Ronald |year=1983 |isbn=0-85398-174-4 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Pearson |first=Anne M. |chapter=Ch. 21: The Equality of the Sexes |pages=247–257 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 5: The Writings of Baháʼuʼlláh |pages=51–71 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Phelps |first=Steven |chapter=Ch. 17: The Harmony of Science and Religion |pages=211–216 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |author=Pluralism Project |date=2020 |title=The Báb and Baha'u'llah |url=https://hwpi.harvard.edu/files/pluralism/files/the_bab_and_bahaullah_1.pdf |publisher=Harvard University }}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2008 |title=Gate of the Heart: Understanding the Writings of the Báb |publisher=Wilfrid Laurier University Press |place=Waterloo, ON |isbn=978-1-55458-035-4}}
*{{Cite book |last=Saiedi |first=Nader |year=2000 |title=Logos and Civilization: Spirit, History and Order in the Writings of Bahá'u'lláh |publisher=University Press of Maryland |place=Bethesda, MD |isbn=1-88305-363-3}}
*{{Cite book |last=Salmání |first=Ustád Muhammad-ʻAlíy-i |date=1982 |title=My Memories of Baháʼu'lláh |publisher=Kalimát Press |location=Los Angeles, CA |url=http://bahai-library.com/salmani_memories_bahaullah }}
*{{cite book |last1=Schaefer |first1=U. |last2=Towfigh |first2=N. |last3=Gollmer |first3=U. |date=2000 |title=Making the Crooked Straight: A Contribution to Baháʼí Apologetics |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-443-3 |url=https://openlibrary.org/b/OL11609763M/Making_the_Crooked_Straight}}
*{{Cite book |last=Sergeev |first=Mikhail |chapter=Ch. 23: Progress of the Soul: Life After Death |pages=269–281 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{cite web |last=Sharon |first=Moshe |date=2011-01-13 |title=Jewish Conversion to the Baha?i faith |url=http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131020213127/http://www.hum.huji.ac.il/english/units.php?cat=3666&incat=3479 |archive-date=2013-10-20 |access-date=2012-03-28 |work=Chair in Baha'i Studies Publications |publisher=The Hebrew University of Jerusalem}}
*{{Cite book |author=Shoghi Effendi |author-link=Shoghi Effendi |date=1944 |title=God Passes By |publisher=Baháʼí Publishing Trust |location=Wilmette, IL |isbn=0-87743-020-9 |url=https://www.bahai.org/library/authoritative-texts/shoghi-effendi/god-passes-by/ }}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=1987 |title=The Bábí & Baháʼí Religions: From Messianic Shí'ism to a World Religion |location=Cambridge |publisher=The University Press |isbn=0-521-30128-9 }}
*{{cite encyclopedia |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2000 |title=A concise encyclopedia of the Baháʼí Faith |publisher=Oneworld Publications |location=Oxford, UK |isbn=1-85168-184-1 |url=https://books.google.com/books/about/A_Concise_Encyclopedia_of_the_Baha_i_Fai.html?id=Yhy9DwAAQBAJ}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |chapter=Ch. 41: The History of the Bábí and Bahá’í Faiths |pages=501–512 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Peter |author-link=Peter Smith (historian) |date=2008 |title=An Introduction to the Baha'i Faith |publisher=Cambridge University Press |isbn=978-0-521-68107-0 |location=New York, NY |url=https://books.google.com/books?id=z7zdDFTzNr0C }}
*{{cite journal |last1=Smith |first1=Peter|author-link1=Peter Smith (historian) |last2=Momen |first2=Moojan |author-link2=Moojan Momen |year=1989 |title=The Baha'i Faith 1957–1988: A Survey of Contemporary Developments |url=http://bahai-library.com/momen_smith_developments_1957-1988 |volume=19 |journal=Religion |pages=63–91 |doi=10.1016/0048-721X(89)90077-8}}
*{{Cite book |last=Smith |first=Todd |chapter=Ch. 11: The Universal House of Justice |pages=134–144 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Smith |first1=Todd |last2=Ghaemmaghami |first2=Omid |chapter=Ch. 37: Consultation |pages=450–462 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022b |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Sours |first=Michael |title=Understanding Christian Beliefs |publisher=Oneworld Publications |year=1991 |isbn=1-85168-032-2 |location=Oxford, UK}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert |author-link=Robert Stockman |date=2013 |title=Baháʼí Faith: A Guide For The Perplexed |publisher=Bloomsbury Academic |location=New York, NY |isbn=978-1-4411-8781-9}}
*{{Cite book |last=Stockman |first=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Introduction |pages=1–4 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last1=Stockman |first1=Robert H. |author-link=Robert Stockman |chapter=Ch. 18: Oneness and Unity |pages=219–229 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022a |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=2000 |title=The Child of the Covenant |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-439-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1992 |title=The Covenant of Baháʼu'lláh |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-344-5 }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1976 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 1: Baghdad 1853–63 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V1/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1977 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 2: Adrianople 1863-68 |publisher=George Ronald |location=Oxford, UK |isbn=0-85398-071-3 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V2/Cover.html}}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |authorlink=Adib Taherzadeh |date=1984 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 3: 'Akká, The Early Years 1868–77 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-144-2 |url=https://d9263461.github.io/cl/Baha'i/Others/ROB/V3/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Taherzadeh |first=Adib |author-link=Adib Taherzadeh |date=1987 |title=The Revelation of Baháʼu'lláh, v. 4: Mazra'ih and Bahji 1877-92 |publisher=George Ronald |place=Oxford, UK |isbn=0-85398-270-8 |url=http://www.peyman.info/cl/Baha'i/Others/ROB/V4/Cover.html }}
*{{Cite book |last=Warburg |first=Margit |date=2006 |author-link=Margit Warburg |title=Citizens of the World: A History and Sociology of the Baha'is from a Globalisation Perspective |publisher=Brill |isbn=978-90-04-14373-9 |location=Leiden, The Netherlands |oclc=234309958}}
*{{Cite book |last=White |first=Christopher |chapter=Ch. 24: Bahá’í Spirituality and Spiritual Practices |pages=282–288 |url=https://www.routledge.com/The-World-of-the-Bahai-Faith/Stockman/p/book/9781138367722# |title=The World of the Bahá'í Faith |publisher=[[Routledge]] |year=2022 |location=Oxfordshire, UK |isbn=978-1-138-36772-2 |editor-last=Stockman |editor-first=Robert H. |editor-link=Robert Stockman}}
[[Jamii:Waliofariki 1892]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1817]]
[[Jamii:Bahai]]
[[Jamii:watu wa Uajemi]]
g71j8ydx21if7zbkyllqtgs51m6c8vw
Baháʼu'lláh
0
155458
1240338
2022-08-07T15:10:24Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Baháʼu'lláh]] hadi [[Bahaʼullah]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Bahaʼullah]]
k8qil9e1v07svbl0a68opwthen6m7pk
Ina May Gaskin
0
155459
1240339
2022-08-07T15:17:55Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Ina May Gaskin''' (amezaliwa Machi 8, 1940) ni mkunga wa [[Marekani]] ambaye ameelezewa kama "mama wa ukunga"<ref>{{Cite web|title=The midwife of modern midwifery|url=https://www.salon.com/1999/06/01/gaskin/|work=Salon|date=1999-06-01|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Katie Allison Granju}}</ref>. Alisaidia kupata jumuiya inayojitegemea,iitwayo ''The Farm'', na mumewe Stephen Gaskin mwaka wa 1971 ambapo alizindua kazi yake ya ukunga. Anajulikana kwa ''Gaskin Maneuver'', ameandika [[Kitabu|vitabu]] kadhaa juu ya ukunga na [[uzazi]], na anaendelea kuelimisha [[jamii]] kwa njia ya mihadhara na mikutano.
== Maisha yake ==
Gaskin alizaliwa katika familia ya [[Kiprotestanti]] ya Iowa (Methodisti upande mmoja, Presbyteriani kwa upande mwingine). Baba yake, Talford Middleton, alilelewa katika [[shamba]] kubwa la Iowa, ambalo lilipotezwa na benki muda mfupi baada ya kifo cha baba yake mwaka wa 1926. Mama yake, Ruth Stinson Middleton, alikuwa mwalimu wa [[uchumi]] akifundishia nyumbani, ambaye alifundisha katika miji midogo midogo ndani yake, eneo la maili arobaini la Marshalltown, Iowa. Wazazi wote wawili walikuwa wahitimu wa chuo kikuu, ambao waliweka umuhimu mkubwa juu ya elimu ya juu.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
d4cc4khrcfzg8yjphah214tivm7nvp4
1240363
1240339
2022-08-07T18:52:27Z
Adya juma
53516
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Ina May Gaskin''' (amezaliwa Machi 8, 1940) ni mkunga wa [[Marekani]] ambaye ameelezewa kama "mama wa ukunga"<ref>{{Cite web|title=The midwife of modern midwifery|url=https://www.salon.com/1999/06/01/gaskin/|work=Salon|date=1999-06-01|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Katie Allison Granju}}</ref>. Alisaidia kupata jumuiya inayojitegemea,iitwayo ''The Farm'', na mumewe Stephen Gaskin mwaka wa 1971 ambapo alizindua kazi yake ya ukunga. Anajulikana kwa ''Gaskin Maneuver'', ameandika [[Kitabu|vitabu]] kadhaa juu ya ukunga na [[uzazi]], na anaendelea kuelimisha [[jamii]] kwa njia ya mihadhara na mikutano.
== Maisha yake ==
Gaskin alizaliwa katika familia ya [[Kiprotestanti]] ya Iowa (Methodisti upande mmoja, Presbyteriani kwa upande mwingine). Baba yake, Talford Middleton, alilelewa katika [[shamba]] kubwa la Iowa, ambalo lilipotezwa na benki muda mfupi baada ya kifo cha baba yake mwaka wa 1926. Mama yake, Ruth Stinson Middleton, alikuwa mwalimu wa [[uchumi]] akifundishia nyumbani, ambaye alifundisha katika miji midogo midogo ndani yake, eneo la maili arobaini la Marshalltown, Iowa. Wazazi wote wawili walikuwa wahitimu wa chuo kikuu, ambao waliweka umuhimu mkubwa juu ya elimu ya juu.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
cnfwabox62v98gtxu070c4uooranhc9
1240387
1240363
2022-08-07T20:22:53Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Ina May Gaskin''' (alizaliwa [[Machi 8]], [[1940]]) ni mkunga wa [[Marekani]] ambaye ameelezewa kama "mama wa ukunga"<ref>{{Cite web|title=The midwife of modern midwifery|url=https://www.salon.com/1999/06/01/gaskin/|work=Salon|date=1999-06-01|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Katie Allison Granju}}</ref>. Alisaidia kupata jumuiya inayojitegemea,iitwayo ''The Farm'', na mumewe Stephen Gaskin mwaka wa 1971 ambapo alizindua kazi yake ya ukunga. Anajulikana kwa ''Gaskin Maneuver'', ameandika [[Kitabu|vitabu]] kadhaa juu ya ukunga na [[uzazi]], na anaendelea kuelimisha [[jamii]] kwa njia ya mihadhara na mikutano.
== Maisha yake ==
Gaskin alizaliwa katika familia ya [[Kiprotestanti]] ya Iowa (Methodisti upande mmoja, Presbyteriani kwa upande mwingine). Baba yake, Talford Middleton, alilelewa katika [[shamba]] kubwa la Iowa, ambalo lilipotezwa na benki muda mfupi baada ya kifo cha baba yake mwaka wa 1926. Mama yake, Ruth Stinson Middleton, alikuwa mwalimu wa [[uchumi]] akifundishia nyumbani, ambaye alifundisha katika miji midogo midogo ndani yake, eneo la maili arobaini la Marshalltown, Iowa. Wazazi wote wawili walikuwa wahitimu wa chuo kikuu, ambao waliweka umuhimu mkubwa juu ya elimu ya juu.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
hhiw8ljwn6vx68dtrzfhfyaaf4g96wg
1240391
1240387
2022-08-07T20:30:56Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Ina May Gaskin''' (alizaliwa [[Machi 8]], [[1940]]) ni mkunga wa [[Marekani]] ambaye ameelezewa kama "mama wa ukunga"<ref>{{Cite web|title=The midwife of modern midwifery|url=https://www.salon.com/1999/06/01/gaskin/|work=Salon|date=1999-06-01|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Katie Allison Granju}}</ref>. Alisaidia kupata jumuiya inayojitegemea,iitwayo ''The Farm'', na mumewe Stephen Gaskin mwaka wa 1971 ambapo alizindua kazi yake ya ukunga. Anajulikana kwa ''Gaskin Maneuver'', ameandika [[Kitabu|vitabu]] kadhaa juu ya ukunga na [[uzazi]], na anaendelea kuelimisha [[jamii]] kwa njia ya mihadhara na mikutano.
== Maisha yake ==
Gaskin alizaliwa katika [[familia]] ya [[Kiprotestanti]] ya Iowa (Methodisti upande mmoja, Presbyteriani kwa upande mwingine). Baba yake, Talford Middleton, alilelewa katika [[shamba]] kubwa la Iowa, ambalo lilipotezwa na benki muda mfupi baada ya [[kifo]] cha baba yake mwaka wa 1926. Mama yake, Ruth Stinson Middleton, alikuwa [[mwalimu]] wa [[uchumi]] akifundishia nyumbani, ambaye alifundisha katika miji midogo midogo ndani yake, eneo la maili arobaini la Marshalltown, Iowa. Wazazi wote wawili walikuwa wahitimu wa chuo kikuu, ambao waliweka umuhimu mkubwa juu ya elimu ya juu.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
lnf11k9bmc0tdry9q0zszjan8p7begd
Faili:Bahá'u'lláh (Mírzá Ḥusayn-`Alí Núrí) in 1868.jpg
6
155460
1240341
2022-08-07T15:33:50Z
Kipala
107
Picha ya Baha'ullah mnamo mwaka 1868, akiwa mjini Edirne
kutoka
https://en.m.wikipedia.org/wiki/File:Bah%C3%A1%27u%27ll%C3%A1h_(M%C3%ADrz%C3%A1_%E1%B8%A4usayn-%60Al%C3%AD_N%C3%BAr%C3%AD)_in_1868.jpg
Picha ina umri wa miaka zaidi ya 150, kwa hiyo hakika iko nje ya masharti yote ya hakimiliki
wikitext
text/x-wiki
== Muhtasari ==
Picha ya Baha'ullah mnamo mwaka 1868, akiwa mjini Edirne
kutoka
https://en.m.wikipedia.org/wiki/File:Bah%C3%A1%27u%27ll%C3%A1h_(M%C3%ADrz%C3%A1_%E1%B8%A4usayn-%60Al%C3%AD_N%C3%BAr%C3%AD)_in_1868.jpg
Picha ina umri wa miaka zaidi ya 150, kwa hiyo hakika iko nje ya masharti yote ya hakimiliki
== Hatimiliki ==
{{GFDL-en}}
rrqbryzv6lhjgjc3car8gjcrr3qel4k
Allan Gibbard
0
155461
1240342
2022-08-07T15:35:09Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Allan Fletcher''' Gibbard (aliyezaliwa 1942) ni Richard B. Brandt [[Profesa]] wa Chuo Kikuu Mashuhuri cha [[Falsafa|Filosofia]] Emeritus katika Chuo Kikuu cha Michigan, Ann Arbor. Gibbard ametoa mchango mkubwa kwenye nadharia ya kisasa ya [[maadili]]. Pia amechapisha makala katika falsafa ya lugha, [[metafizikia]], na nadharia ya chaguzi katika jamii.<ref>{{Cite journal|last=Gibbard|first=Allan|date=1973|title=Manipulation of Voting Schemes: A General Result|url=https://www.jstor.org/stable/1914083|journal=Econometrica|volume=41|issue=4|pages=587–601|doi=10.2307/1914083|issn=0012-9682}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Allan Fletcher Gibbard alizaliwa [[Aprili]] 7, 1942, huko Providence, kisiwa cha [[Rhode Island|Rhode]]<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/title/international-whos-who-2011/oclc/502032895|title=The international who's who 2011.|date=2010|publisher=Routledge|isbn=978-1-85743-546-7|location=London|language=English|oclc=502032895}}</ref>. Alipata digrii yake ya [[hisabati]] kutoka Chuo cha Swarthmore mnamo 1963 na katika fizikia na falsafa.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
55ezgp3qy68k466p76b85i43n4l2op1
1240364
1240342
2022-08-07T18:54:41Z
Adya juma
53516
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Allan Fletcher''' Gibbard (aliyezaliwa 1942) ni Richard B. Brandt [[Profesa]] wa Chuo Kikuu Mashuhuri cha [[Falsafa|Filosofia]] Emeritus katika Chuo Kikuu cha Michigan, Ann Arbor. Gibbard ametoa mchango mkubwa kwenye nadharia ya kisasa ya [[maadili]]. Pia amechapisha makala katika falsafa ya lugha, [[metafizikia]], na nadharia ya chaguzi katika jamii.<ref>{{Cite journal|last=Gibbard|first=Allan|date=1973|title=Manipulation of Voting Schemes: A General Result|url=https://www.jstor.org/stable/1914083|journal=Econometrica|volume=41|issue=4|pages=587–601|doi=10.2307/1914083|issn=0012-9682}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Allan Fletcher Gibbard alizaliwa [[Aprili]] 7, 1942, huko Providence, kisiwa cha [[Rhode Island|Rhode]]<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/title/international-whos-who-2011/oclc/502032895|title=The international who's who 2011.|date=2010|publisher=Routledge|isbn=978-1-85743-546-7|location=London|language=English|oclc=502032895}}</ref>. Alipata digrii yake ya [[hisabati]] kutoka Chuo cha Swarthmore mnamo 1963 na katika fizikia na falsafa.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
tgnwfyavnb1q4puho3a6x22f9193p5h
Poacher (filamu)
0
155462
1240345
2022-08-07T15:37:34Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Poacher''' ni filamu iliyotengenezwa na [[wakenya]] pamoja na [[waingereza]] ikiongozwa na Tom whithworth.filamu hii ilipewa [[umakin]] [[kimataifa]] baada ya kutolewa na kampuni ya filamu ya [[Netflix]] mnamo septemba 2020.''<ref>{{Cite web|title=Why Netflix is a lifeline for African film-makers|url=http://www.theguardian.com/film/2020/oct/07/netflix-lifeline-for-african-film-makers-fred-onyango|work=the Guardian|date=2020-10-07|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Fred Onyango}}</ref>''filamu hii imekua filamu ya kwanza ya kenya kutolewa na Netflix.''<ref>{{Cite web|title=Award-winning Kenyan Film to Make History on Netflix|url=https://www.kenyans.co.ke/news/57023-award-winning-kenyan-film-make-history-netflix|work=Kenyans.co.ke|accessdate=2022-08-07|language=EN|author=Michael Musyoka on 3 September 2020-12:17 pm}}</ref>
== marejeo ==
ote2uk6w4jiaopujleqgj4qce66zwbb
1240392
1240345
2022-08-07T20:34:21Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
'''Poacher''' ni [[filamu]] iliyotengenezwa na [[wakenya]] pamoja na [[waingereza]] ikiongozwa na Tom whithworth.filamu hii ilipewa [[umakini]] [[kimataifa]] baada ya kutolewa na kampuni ya filamu ya [[Netflix]] mnamo septemba 2020.''<ref>{{Cite web|title=Why Netflix is a lifeline for African film-makers|url=http://www.theguardian.com/film/2020/oct/07/netflix-lifeline-for-african-film-makers-fred-onyango|work=the Guardian|date=2020-10-07|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Fred Onyango}}</ref>''filamu hii imekua filamu ya kwanza ya kenya kutolewa na Netflix.''<ref>{{Cite web|title=Award-winning Kenyan Film to Make History on Netflix|url=https://www.kenyans.co.ke/news/57023-award-winning-kenyan-film-make-history-netflix|work=Kenyans.co.ke|accessdate=2022-08-07|language=EN|author=Michael Musyoka on 3 September 2020-12:17 pm}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
tghaiex2jeyqs79w1bdknr2tf6mznql
1240393
1240392
2022-08-07T20:34:55Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
'''Poacher''' ni [[filamu]] iliyotengenezwa na [[wakenya]] pamoja na [[waingereza]] ikiongozwa na [[Tom whithworth]].filamu hii ilipewa [[umakini]] [[kimataifa]] baada ya kutolewa na kampuni ya filamu ya [[Netflix]] mnamo septemba 2020.''<ref>{{Cite web|title=Why Netflix is a lifeline for African film-makers|url=http://www.theguardian.com/film/2020/oct/07/netflix-lifeline-for-african-film-makers-fred-onyango|work=the Guardian|date=2020-10-07|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Fred Onyango}}</ref>''filamu hii imekua filamu ya kwanza ya kenya kutolewa na Netflix.''<ref>{{Cite web|title=Award-winning Kenyan Film to Make History on Netflix|url=https://www.kenyans.co.ke/news/57023-award-winning-kenyan-film-make-history-netflix|work=Kenyans.co.ke|accessdate=2022-08-07|language=EN|author=Michael Musyoka on 3 September 2020-12:17 pm}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
098fapsdku6d5mmw122ceq5scrkdkwh
1240574
1240393
2022-08-08T06:56:53Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Poacher(filamu)]] hadi [[Poacher (filamu)]]: Usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
'''Poacher''' ni [[filamu]] iliyotengenezwa na [[wakenya]] pamoja na [[waingereza]] ikiongozwa na [[Tom whithworth]].filamu hii ilipewa [[umakini]] [[kimataifa]] baada ya kutolewa na kampuni ya filamu ya [[Netflix]] mnamo septemba 2020.''<ref>{{Cite web|title=Why Netflix is a lifeline for African film-makers|url=http://www.theguardian.com/film/2020/oct/07/netflix-lifeline-for-african-film-makers-fred-onyango|work=the Guardian|date=2020-10-07|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Fred Onyango}}</ref>''filamu hii imekua filamu ya kwanza ya kenya kutolewa na Netflix.''<ref>{{Cite web|title=Award-winning Kenyan Film to Make History on Netflix|url=https://www.kenyans.co.ke/news/57023-award-winning-kenyan-film-make-history-netflix|work=Kenyans.co.ke|accessdate=2022-08-07|language=EN|author=Michael Musyoka on 3 September 2020-12:17 pm}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
098fapsdku6d5mmw122ceq5scrkdkwh
Clark Gibson
0
155463
1240346
2022-08-07T15:46:19Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
Clark C. Gibson PhD ni mwanasayansi wa siasa wa Marekani, anayejulikana zaidi kwa kazi yake kuhusiana na siasa za Kiafrika, uchaguzi katika nchi zinazoendelea kwenye demokrasia , na siasa za mazingira. Gibson kwa sasa ni profesa katika Chuo Kikuu cha [[California]], San Diego, ambapo hapo awali aliwahi kuwa [[mwenyekiti]] wa Idara ya Sayansi ya [[Siasa]]. Ameshauriana na [[Benki]] ya Dunia, [[Umoja wa Mataifa]], Kituo cha Carter, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Taasisi ya Kitaifa ya Ki[[Demokrasia|demokrasia,]] na Taasisi ya Kimataifa ya Republican. [1] Gibson amefanya kazi yenye ushawishi juu ya udanganyifu wa uchaguzi.<ref>{{Citation|title=How to save votes|url=https://www.economist.com/baobab/2012/02/28/how-to-save-votes|work=The Economist|issn=0013-0613|access-date=2022-08-07}}</ref><ref>{{Cite web|title=Spotting Election Fraud Gets Smarter, Cheaper|url=https://psmag.com/news/spotting-election-fraud-gets-smarter-cheaper-40405|work=Pacific Standard|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Emily Badger}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
p4mr7pd533aa78owntaemd12cvusz7g
1240365
1240346
2022-08-07T18:56:24Z
Adya juma
53516
Jamii
wikitext
text/x-wiki
Clark C. Gibson PhD ni mwanasayansi wa siasa wa Marekani, anayejulikana zaidi kwa kazi yake kuhusiana na siasa za Kiafrika, uchaguzi katika nchi zinazoendelea kwenye demokrasia , na siasa za mazingira. Gibson kwa sasa ni profesa katika Chuo Kikuu cha [[California]], San Diego, ambapo hapo awali aliwahi kuwa [[mwenyekiti]] wa Idara ya Sayansi ya [[Siasa]]. Ameshauriana na [[Benki]] ya Dunia, [[Umoja wa Mataifa]], Kituo cha Carter, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Taasisi ya Kitaifa ya Ki[[Demokrasia|demokrasia,]] na Taasisi ya Kimataifa ya Republican. [1] Gibson amefanya kazi yenye ushawishi juu ya udanganyifu wa uchaguzi.<ref>{{Citation|title=How to save votes|url=https://www.economist.com/baobab/2012/02/28/how-to-save-votes|work=The Economist|issn=0013-0613|access-date=2022-08-07}}</ref><ref>{{Cite web|title=Spotting Election Fraud Gets Smarter, Cheaper|url=https://psmag.com/news/spotting-election-fraud-gets-smarter-cheaper-40405|work=Pacific Standard|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Emily Badger}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
0usm62tlstbxetwts7yn0mf9s5i9phd
1240386
1240365
2022-08-07T20:19:41Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
Clark C. Gibson PhD ni mwanasayansi wa siasa wa Marekani, anayejulikana zaidi kwa kazi yake kuhusiana na siasa za Kiafrika, uchaguzi katika nchi zinazoendelea kwenye demokrasia , na siasa za mazingira. Gibson kwa sasa ni profesa katika Chuo Kikuu cha [[California]], San Diego, ambapo hapo awali aliwahi kuwa [[mwenyekiti]] wa Idara ya Sayansi ya [[Siasa]]. Ameshauriana na [[Benki]] ya Dunia, [[Umoja wa Mataifa]], Kituo cha Carter, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Taasisi ya Kitaifa ya Ki[[Demokrasia|demokrasia,]] na Taasisi ya Kimataifa ya Republican. [1] Gibson amefanya kazi yenye ushawishi juu ya udanganyifu wa uchaguzi.<ref>{{Citation|title=How to save votes|url=https://www.economist.com/baobab/2012/02/28/how-to-save-votes|work=The Economist|issn=0013-0613|access-date=2022-08-07}}</ref><ref>{{Cite web|title=Spotting Election Fraud Gets Smarter, Cheaper|url=https://psmag.com/news/spotting-election-fraud-gets-smarter-cheaper-40405|work=Pacific Standard|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Emily Badger}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
c0y6tg5ef6f33puygpzogunmdcir2gx
Jill Goldthwait
0
155464
1240351
2022-08-07T16:15:05Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Jill Goldthwait''' Ni [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Marekani|kimarekani]] kutokea [[Maine]].<ref>{{Cite web|title=Bangor Daily News - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?nid=2457&dat=19941111&id=qq1JAAAAIBAJ&sjid=eQ4NAAAAIBAJ&pg=1422,3584302|work=news.google.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Goldthwait amekuwa katika mji wa [[New Jersey]] na alipata [[Shahada ya Awali|digrii]] ya uuguzi katika [[mji]] wa [[California|California.]] Alihudumu kama mfanyakazi wa kujitolea wa ''[[Peace Corps]]'' huko [[Tonga]]. Alihamia [[Maine]] mnamo 1978 na kuishi katika [[Bandari]] ya Bar, [[Maine]] kwenye Kisiwa cha Desert..Alifanya kazi kama [[muuguzi]] wa idara ya dharura katika [[Hospitali]] ya ''Mount Desert Island'' na alihudumu katika [[Mji]] wa Bar [[Harbor Hills, New York|Harbor]] kwa muda wa miaka 9 kabla ya kuwania nafasi seneti katika jimbo la Maine.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
c1i5zcf81168ow3zb1qk1re3kfbr8wy
1240366
1240351
2022-08-07T18:58:19Z
Adya juma
53516
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Jill Goldthwait''' Ni [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Marekani|kimarekani]] kutokea [[Maine]].<ref>{{Cite web|title=Bangor Daily News - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?nid=2457&dat=19941111&id=qq1JAAAAIBAJ&sjid=eQ4NAAAAIBAJ&pg=1422,3584302|work=news.google.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Goldthwait amekuwa katika mji wa [[New Jersey]] na alipata [[Shahada ya Awali|digrii]] ya uuguzi katika [[mji]] wa [[California|California.]] Alihudumu kama mfanyakazi wa kujitolea wa ''[[Peace Corps]]'' huko [[Tonga]]. Alihamia [[Maine]] mnamo 1978 na kuishi katika [[Bandari]] ya Bar, [[Maine]] kwenye Kisiwa cha Desert..Alifanya kazi kama [[muuguzi]] wa idara ya dharura katika [[Hospitali]] ya ''Mount Desert Island'' na alihudumu katika [[Mji]] wa Bar [[Harbor Hills, New York|Harbor]] kwa muda wa miaka 9 kabla ya kuwania nafasi seneti katika jimbo la Maine.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
<references />
[[Jamii:USW CHSS]]
aajkzn9ezo0ztddrmatotgejb4wqkjw
1240381
1240366
2022-08-07T20:15:27Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Jill Goldthwait''' Ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani|kimarekani]] kutokea [[Maine]].<ref>{{Cite web|title=Bangor Daily News - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?nid=2457&dat=19941111&id=qq1JAAAAIBAJ&sjid=eQ4NAAAAIBAJ&pg=1422,3584302|work=news.google.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Goldthwait amekulia katika mji wa [[New Jersey]] na kupata [[Shahada ya Awali]] ya uuguzi katika [[mji]] wa [[California]], Alihudumu kama mfanyakazi wa kujitolea wa ''[[Peace Corps]]'' huko [[Tonga]]. Alihamia [[Maine]] mnamo mwaka [[1978]] na kuishi katika eneo la Bar Harbor.Alifanya kazi kama [[muuguzi]] wa idara ya dharura katika ''Hospitali ya Mount Desert Island'' kwa muda wa miaka 9..
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
i7q50rofgkvbog273nkhf7w0ck6j5qz
1240385
1240381
2022-08-07T20:19:35Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Jill Goldthwait''' Ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani|kimarekani]] kutokea [[Maine]].<ref>{{Cite web|title=Bangor Daily News - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?nid=2457&dat=19941111&id=qq1JAAAAIBAJ&sjid=eQ4NAAAAIBAJ&pg=1422,3584302|work=news.google.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Goldthwait amekulia katika [[mji]] wa [[New Jersey]] na kupata [[Shahada ya Awali]] ya uuguzi katika [[mji]] wa [[California]], Alihudumu kama mfanyakazi wa kujitolea wa ''[[Peace Corps]]'' huko [[Tonga]]. Alihamia [[Maine]] mnamo mwaka [[1978]] na kuishi katika eneo la Bar Harbor.Alifanya kazi kama [[muuguzi]] wa idara ya dharura katika ''Hospitali ya Mount Desert Island'' kwa muda wa miaka 9..
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
8j663x6snosxdoxsl0lmooaksrcihru
Jim Gray (mwanasheria)
0
155465
1240352
2022-08-07T16:17:27Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
James Polin Gray (alizaliwa Februari 14, 1945) ni [[mwanasheria]] kutoka nchini [[marekani]] na [[mwandishi]]. Alikuwa [[hakimu]] msimamizi wa [[Mahakama]] ya Juu ya [[Kaunti]] ya Orange, California. Gray alikuwa makamu wa rais wa Chama cha Libertarian mwaka 2012, na pia mgombeaji wa chama hicho mnamo mwaka 2004 katika [[Senati|Seneti]] ya Marekani huko California.Ni mwandishi wa vitabu na pia muandishi wa [[tamthilia]] na ni mkosoaji mkubwa wa sheria za [[dawa]] za nchini marekani.
== Maisha ya awali ==
Gray ni Mzaliwa wa Washington, D.C. na alilelewa katika eneo la [[Los Angeles]], huko California, Gray alipata digrii yake ya shahada ya kwanza kutoka [[Chuo Kikuu]] cha California, Los Angeles mnamo mwaka 1966, kisha akafundisha katika Peace Corps huko [[Kosta Rika]]. Gray alirudi California na kupata digrii ya Udaktari wa sheria kutoka Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Southern California mnamo mwaka 1971.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
s62ag9nizw14m5tqybzoi21pf0iomdw
1240409
1240352
2022-08-07T21:30:01Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
James Polin Gray (alizaliwa Februari 14, 1945) ni [[mwanasheria]] kutoka nchini [[marekani]] na [[mwandishi]]. Alikuwa [[hakimu]] msimamizi wa [[Mahakama]] ya Juu ya [[Kaunti]] ya Orange, California. Gray alikuwa makamu wa rais wa Chama cha Libertarian mwaka 2012, na pia mgombeaji wa chama hicho mnamo mwaka 2004 katika [[Senati|Seneti]] ya Marekani huko California.Ni mwandishi wa vitabu na pia muandishi wa [[tamthilia]] na ni mkosoaji mkubwa wa sheria za [[dawa]] za nchini marekani.
== Maisha ya awali ==
Gray ni Mzaliwa wa Washington, D.C. na alilelewa katika eneo la [[Los Angeles]], huko California, Gray alipata digrii yake ya shahada ya kwanza kutoka [[Chuo Kikuu]] cha California, Los Angeles mnamo mwaka 1966, kisha akafundisha katika Peace Corps huko [[Kosta Rika]]. Gray alirudi California na kupata digrii ya Udaktari wa [[sheria]] kutoka Shule ya Sheria ya [[Chuo Kikuu]] cha Southern California mnamo mwaka 1971.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
5ri7akylfxgp50q5q3bf9uotpb3kv7v
1240410
1240409
2022-08-07T21:32:41Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:James_P_Gray.JPG|thumbnail|right|200px|Jim Gray]]
James Polin Gray (alizaliwa [[Februari 14]], [[1945]]) ni [[mwanasheria]] kutoka nchini [[marekani]] na [[mwandishi]]. Alikuwa [[hakimu]] msimamizi wa [[Mahakama]] ya Juu ya [[Kaunti]] ya Orange, California. Gray alikuwa makamu wa rais wa Chama cha Libertarian mwaka 2012, na pia mgombeaji wa chama hicho mnamo mwaka 2004 katika [[Senati|Seneti]] ya Marekani huko California.Ni mwandishi wa vitabu na pia muandishi wa [[tamthilia]] na ni mkosoaji mkubwa wa sheria za [[dawa]] za nchini marekani.
== Maisha ya awali ==
Gray ni Mzaliwa wa Washington, D.C. na alilelewa katika eneo la [[Los Angeles]], huko California, Gray alipata digrii yake ya shahada ya kwanza kutoka [[Chuo Kikuu]] cha California, Los Angeles mnamo mwaka 1966, kisha akafundisha katika Peace Corps huko [[Kosta Rika]]. Gray alirudi California na kupata digrii ya Udaktari wa [[sheria]] kutoka Shule ya Sheria ya [[Chuo Kikuu]] cha Southern California mnamo mwaka 1971.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
hazlclr1g041mytz7a4p3kwi2o5944c
1240411
1240410
2022-08-07T21:33:35Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:James_P_Gray.JPG|thumbnail|right|200px|Jim Gray]]
James Polin Gray (alizaliwa [[Februari 14]], [[1945]]) ni [[mwanasheria]] kutoka nchini [[marekani]] na [[mwandishi]]. Alikuwa [[hakimu]] msimamizi wa [[Mahakama]] ya Juu ya [[Kaunti]] ya Orange, California. Gray alikuwa makamu wa rais wa Chama cha Libertarian mwaka 2012, na pia mgombeaji wa chama hicho mnamo mwaka 2004 katika [[Senati|Seneti]] ya Marekani huko California.Ni mwandishi wa vitabu na pia muandishi wa [[tamthilia]] na ni mkosoaji mkubwa wa sheria za [[dawa]] za nchini marekani.
== Maisha ya awali ==
Gray ni Mzaliwa wa Washington, D.C. na alilelewa katika eneo la [[Los Angeles]], huko California, Gray alipata digrii yake ya shahada ya kwanza kutoka [[Chuo Kikuu]] cha California, Los Angeles mnamo mwaka 1966, kisha akafundisha katika Peace Corps huko [[Kosta Rika]]. Gray alirudi California na kupata digrii ya Udaktari wa [[sheria]] kutoka Shule ya Sheria ya [[Chuo Kikuu]] cha Southern California mnamo mwaka 1971.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
hf7sruf3o7c284yixzwkaz7fh9s6t2d
Majadiliano ya mtumiaji:Red tailed hawk
3
155466
1240354
2022-08-07T16:31:27Z
Deepfriedokra
37807
Deepfriedokra alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Red tailed hawk]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Red-tailed hawk]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/Red tailed hawk|Red tailed hawk]]" to "[[Special:CentralAuth/Red-tailed hawk|Red-tailed hawk]]"
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Red-tailed hawk]]
ktwl11eovyjeerxrsenc52icatcvro1
John Granville (mwanadiplomasia)
0
155467
1240355
2022-08-07T16:34:17Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
John M. Granville ( 25 Septemba 1974 – 1 Januari 2008 ) alikuwa [[mwanadiplomasia]] wa Marekani ambaye alifanya kazi nchini [[Sudan]] Kusini . Mnamo Januari 1, 2008, aliuawa kwa kupigwa risasi huko [[Khartoum (jimbo)|khartoum]], Sudan.
== Maisha ya kazi ==
Granville alilelewa [[Buffalo, New York|Buffalo]], New York. Alihitimu Shule ya ''Canisius'' mwaka wa 1993 na Chuo Kikuu cha Fordham. Mnamo 2003, alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Clark na kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya [[Sanaa]] katika Maendeleo ya Kimataifa na Mabadiliko ya Kijamii. Alisomea kama Fulbright Fellow barani Afrika. Baada ya shule, Granville alijiunga na Peace Corps na akatumwa kuelekea nchini [[Kamerun|Kameruni]] kikazi kwa miaka miwili.
== kazi ==
Granville alilelewa Buffalo, New York. Alihitimu Shule ya Canisius mwaka wa 1993 na Chuo Kikuu cha Fordham. Mnamo 2003, alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Clark na kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika Maendeleo ya Kimataifa na Mabadiliko ya Kijamii. Alisomea kama Fulbright Fellow barani Afrika. Baada ya shule, Granville alijiunga na Peace Corps na akatumwa Kameruni kwa miaka miwili.
== Marejeo ==
Granville alilelewa Buffalo, New York. Alihitimu Shule ya Upili ya Canisius mwaka wa 1993 na Chuo Kikuu cha Fordham. Mnamo 2003, alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Clark na Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika Maendeleo ya Kimataifa na Mabadiliko ya Kijamii. Alisomea kama Fulbright Fellow barani Afrika. Baada ya shule, Granville alijiunga na Peace Corps na akatumwa Kameruni kwa miaka miwili.
[[Jamii:Amani]]
kd5pe9he5emuloe2vpvrmzwle8q5o2x
1240356
1240355
2022-08-07T16:35:30Z
Adya juma
53516
Mabadiliko madogo
wikitext
text/x-wiki
John M. Granville ( 25 Septemba 1974 – 1 Januari 2008 ) alikuwa [[mwanadiplomasia]] wa Marekani ambaye alifanya kazi nchini [[Sudan]] Kusini . Mnamo Januari 1, 2008, aliuawa kwa kupigwa risasi huko [[Khartoum (jimbo)|khartoum]], Sudan.
== Maisha ya kazi ==
Granville alilelewa [[Buffalo, New York|Buffalo]], New York. Alihitimu Shule ya ''Canisius'' mwaka wa 1993 na Chuo Kikuu cha Fordham. Mnamo 2003, alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Clark na kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya [[Sanaa]] katika Maendeleo ya Kimataifa na Mabadiliko ya Kijamii. Alisomea kama Fulbright Fellow barani Afrika. Baada ya shule, Granville alijiunga na Peace Corps na akatumwa kuelekea nchini [[Kamerun|Kameruni]] kikazi kwa miaka miwili.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
tp7zz7mhwo762vz8e1md87yvbmbv2w6
1240408
1240356
2022-08-07T21:26:38Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
John M. Granville ( [[25 Septemba]] [[1974]] – [[1 Januari]] [[2008]] ) alikuwa [[mwanadiplomasia]] wa [[Marekani]] ambaye alifanya kazi nchini [[Sudan Kusini]] . Mnamo Januari 1, 2008, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mjii wa [[Khartoum]], Sudan.
== Maisha ya kazi ==
Granville alilelewa [[Buffalo, New York|Buffalo]], New York. Alihitimu Shule ya ''Canisius'' mwaka wa 1993 na [[Chuo Kikuu]] cha Fordham. Mnamo 2003, alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Clark na kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya [[Sanaa]] katika Maendeleo ya Kimataifa na Mabadiliko ya Kijamii. Alisomea kama Fulbright Fellow barani Afrika. Baada ya shule, Granville alijiunga na [[Peace Corps]] na akatumwa kuelekea nchini [[Kamerun]] kikazi kwa miaka miwili.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Waliofariki 2008]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
0zzoczpw16kr3gqbec6aix97vq6purf
Gordon Gray III
0
155468
1240357
2022-08-07T16:48:16Z
Adya juma
53516
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Gordon Gray III''' (born 1956) Ni [[profesa]] katika shule ya mahusiano ya kimataifa ya Penn. Alistaafu kama [[balozi]] wa masuala ya nje na pia alikua mshiriki wa zamani wa Huduma ya Mambo ya Nje ambaye pia alipata cheo cha [[waziri]] mshauri.alijiunga na kitivo cha chuo cha kitaifa mnamo Julai mwaka 2012 na alipewa wadhifa wa naibu kamanda na mshauri wa mambo ya nje ya kimataifa kutokea Juni 2014 hadi kufikia Juni 2015.Alikua balozi wa [[marekani]] nchini [[Tunisia]] na aliapishwa mnamo Agosti 20 2009 baada ya kuteuliwa katika nafasi hiyo na [[Rais]] Barack Obama, na kuhudumu hadi Julai 5, 2012.
== Wasifu ==
Gordon Gray III alizaliwa katika Jiji la [[New York]] mwaka wa 1956. Alihudhuria Chuo Kikuu cha [[Yale]], akipokea digrii yake katika Sayansi ya Siasa mwaka 1978. Gray baadaye alihudumu katika ''Peace Corps'' huko [[Oued Zem]], Morocco hadi 1980. Kisha alihudhuria Chuo Kikuu cha Columbia, ambako alihitimu mwaka wa 1982 na Shahada ya Uzamili ya Mambo ya Kimataifa. Mnamo 2015, alipata tuzo ya heshima ya shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Ulinzi.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
k1lvcuhmj7fwrizumq8nf0ff4haule6
1240367
1240357
2022-08-07T18:59:56Z
Adya juma
53516
Jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Gordon Gray III''' (born 1956) Ni [[profesa]] katika shule ya mahusiano ya kimataifa ya Penn. Alistaafu kama [[balozi]] wa masuala ya nje na pia alikua mshiriki wa zamani wa Huduma ya Mambo ya Nje ambaye pia alipata cheo cha [[waziri]] mshauri.alijiunga na kitivo cha chuo cha kitaifa mnamo Julai mwaka 2012 na alipewa wadhifa wa naibu kamanda na mshauri wa mambo ya nje ya kimataifa kutokea Juni 2014 hadi kufikia Juni 2015.Alikua balozi wa [[marekani]] nchini [[Tunisia]] na aliapishwa mnamo Agosti 20 2009 baada ya kuteuliwa katika nafasi hiyo na [[Rais]] Barack Obama, na kuhudumu hadi Julai 5, 2012.
== Wasifu ==
Gordon Gray III alizaliwa katika Jiji la [[New York]] mwaka wa 1956. Alihudhuria Chuo Kikuu cha [[Yale]], akipokea digrii yake katika Sayansi ya Siasa mwaka 1978. Gray baadaye alihudumu katika ''Peace Corps'' huko [[Oued Zem]], Morocco hadi 1980. Kisha alihudhuria Chuo Kikuu cha Columbia, ambako alihitimu mwaka wa 1982 na Shahada ya Uzamili ya Mambo ya Kimataifa. Mnamo 2015, alipata tuzo ya heshima ya shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Ulinzi.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
71ee920z2mxqp8wguv6hu95x764nbdl
1240382
1240367
2022-08-07T20:16:29Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Gordon Gray III''' (born 1956) Ni [[profesa]] katika shule ya mahusiano ya kimataifa ya Penn. Alistaafu kama [[balozi]] wa masuala ya nje na pia alikua mshiriki wa zamani wa Huduma ya Mambo ya Nje ambaye pia alipata cheo cha [[waziri]] mshauri.alijiunga na kitivo cha chuo cha kitaifa mnamo Julai mwaka 2012 na alipewa wadhifa wa naibu kamanda na mshauri wa mambo ya nje ya kimataifa kutokea Juni 2014 hadi kufikia Juni 2015.Alikua balozi wa [[marekani]] nchini [[Tunisia]] na aliapishwa mnamo Agosti 20 2009 baada ya kuteuliwa katika nafasi hiyo na [[Rais]] Barack Obama, na kuhudumu hadi [[Julai 5]], [[2012]].
== Wasifu ==
Gordon Gray III alizaliwa katika Jiji la [[New York]] mwaka wa 1956. Alihudhuria Chuo Kikuu cha [[Yale]], akipokea digrii yake katika Sayansi ya Siasa mwaka 1978. Gray baadaye alihudumu katika ''Peace Corps'' huko [[Oued Zem]], Morocco hadi 1980. Kisha alihudhuria Chuo Kikuu cha Columbia, ambako alihitimu mwaka wa 1982 na Shahada ya Uzamili ya Mambo ya Kimataifa. Mnamo 2015, alipata tuzo ya heshima ya shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Ulinzi.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
7zlifp7dz3l1syhuo0eltsjfop5iied
The White Masai
0
155469
1240358
2022-08-07T17:20:08Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''The White Masai;''' ni filamu ya mwaka 2005 iliyoongozwa na hermine Huntgerburth na ikiwa na waigizaji mahususi([[nyota]]) ambao ni Nina Hoss pamoja na Jacky Ido.filamu hii inamuhusu corola mwanamke aliezama katika wimbi zito la mapenzi na kijana lemalian kutoka nchini kenya katika jamii ya [[kimaasai]].filamu hii imetokana na riwaya yenye uhalisia wa kijiografia iliyotungwa na mjerumani corinne hofman.majina katika filamu hii [[yamebadilishwa]] kutoka yale yalio tumika kwenye [[riwaya]].''<ref>{{Cite web|title=The White Masai|url=https://www.theage.com.au/entertainment/movies/the-white-masai-20060720-ge2qz5.html|work=The Age|date=2006-07-20|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Philippa Hawker Reviewer}}</ref>
== marejeo ==
[[Jamii:Jamii ya kimasai]]
[[Jamii:Ujerumani]]
[[Jamii:Kenya]]
[[Jamii:Masai]]
kd2301wce13sp56ixymphl4wvxjbmle
1240403
1240358
2022-08-07T21:02:17Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''The White Masai''' ni [[filamu]] ya mwaka [[2005]] iliyoongozwa na [[hermine Huntgerburth]] na ikiwa na waigizaji nyota ambao ni Nina Hoss pamoja na Jacky Ido.filamu hii inamuhusu corola [[Mwanamke]] aliezama katika wimbi zito la mapenzi na kijana lemalian kutoka nchini kenya katika jamii ya [[kimaasai]].filamu hii imetokana na riwaya yenye uhalisia wa kijiografia iliyotungwa na mjerumani corinne hofman.majina katika filamu hii yamebadilishwa kutoka yale yalio tumika kwenye [[riwaya]].''<ref>{{Cite web|title=The White Masai|url=https://www.theage.com.au/entertainment/movies/the-white-masai-20060720-ge2qz5.html|work=The Age|date=2006-07-20|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Philippa Hawker Reviewer}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
[[Jamii:Sanaa]]
7zlx7otsi9s9gt6oosldgz4l1vv6ct4
1240594
1240403
2022-08-08T07:27:08Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[The White Masai (filamu)]] hadi [[The White Masai]]: urahisi wa kuupata
wikitext
text/x-wiki
'''The White Masai''' ni [[filamu]] ya mwaka [[2005]] iliyoongozwa na [[hermine Huntgerburth]] na ikiwa na waigizaji nyota ambao ni Nina Hoss pamoja na Jacky Ido.filamu hii inamuhusu corola [[Mwanamke]] aliezama katika wimbi zito la mapenzi na kijana lemalian kutoka nchini kenya katika jamii ya [[kimaasai]].filamu hii imetokana na riwaya yenye uhalisia wa kijiografia iliyotungwa na mjerumani corinne hofman.majina katika filamu hii yamebadilishwa kutoka yale yalio tumika kwenye [[riwaya]].''<ref>{{Cite web|title=The White Masai|url=https://www.theage.com.au/entertainment/movies/the-white-masai-20060720-ge2qz5.html|work=The Age|date=2006-07-20|accessdate=2022-08-07|language=en|author=Philippa Hawker Reviewer}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
[[Jamii:Sanaa]]
7zlx7otsi9s9gt6oosldgz4l1vv6ct4
1240596
1240594
2022-08-08T07:27:52Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''The White Masai''' (kwa Kijerumani: Die weiße Massai) ni [[filamu]] ya mwaka [[2005]] iliyoongozwa na Hermine Huntgeburth na kuigiza kama Nina Hoss na Jacky Ido. Screenplay hiyo inamhusu Carola, mwanamke anayependana nchini Kenya na Maasai Lemalian. Filamu hiyo inatokana na riwaya ya tawasifu ya jina moja na mwandishi mzaliwa wa Ujerumani Corinne Hofmann. <ref>{{Citation|last=Ngugi|first=Pamela M.Y.|title=MIAKA HAMSINI YA FASIHI YA WATOTO KATIKA KISWAHILI NCHINI KENYA:|date=2014-05-08|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvgc60vs.9|work=Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya|pages=16–33|publisher=Twaweza Communications|access-date=2022-08-07}}</ref> Katika toleo la filamu, majina yamebadilishwa kutoka kwa wale walio katika riwaya. <ref>{{Citation|last=Sartain|first=Lee|title=McMillan, Enolia (20 October 1904–24 October 2006)|date=2015-10|url=http://dx.doi.org/10.1093/anb/9780198606697.article.1501403|work=American National Biography Online|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Carola (Hoss), mwanamke wa Kijerumani anayeishi Uswisi, yuko likizo na mpenzi wake nchini Kenya. <ref>{{Cite web|title=ABC News/Washington Post October Politics Poll, October 2002|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03767|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-08-27|accessdate=2022-08-07}}</ref>Anampenda shujaa wa Kimasai Lemalian (Ido), ambaye anatembelea akiwa amevalia mavazi ya eneo lake. Akiwa uwanja wa ndege akiwa njiani kurejea nyumbani anaamua kukaa. Inabainika kuwa Lemalian amekwenda kijijini kwake katika Wilaya ya Samburu. Carola anasafiri kwenda eneo hilo, na kukaa nyumbani kwa mwanamke mwingine wa Ulaya. Lemalian anasikia kuhusu kukaa kwake na kuja kukutana naye. Hatimaye wanaanza kuishi pamoja..
== Maudhui ya kimaumbile ==
Mandhari ya filamu hiyo imekuwa na utata. Hatimaye, filamu inahusu mgongano wa tamaduni na mtazamo wa ulimwengu. Watu wawili wanaoamini kuwa mtazamo wao wa kidunia ni bora na hivyo ni sahihi (hivyo Carola analaani tohara ya mwanamke kwa sababu haiendani na mtazamo wake wa kitamaduni wakati Lemalian hawezi kuelewa jinsi anavyoweza kuzungumza na wanaume bila kuwa mwaminifu kwake), na ni kutokuwa na uwezo wao wa kuelewa mwingine unaoleta taabu, kutengana, na talaka yao.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu]]
mcfrz70n1pdyp9ngrlaz3ubzxl4592l
Judi Aubel
0
155470
1240368
2022-08-07T19:07:54Z
Salehe Adinan
54827
Kuunda makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Judith “Judi” Aubel''' (1946/1947 ( umri 74-75))<ref>{{Citation|title=BBC 100 Women 2016: Who is on the list?|date=2019-10-07|url=https://www.bbc.com/news/world-38012048|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-07}}</ref> ni mtaalamu wa kimarekani wa masuala ya [[afya ya jamii]]<ref>{{Cite web|title=Wiley: Research highlights key role grandmothers play in mother and child nutrition and health|url=http://eu.wiley.com/WileyCDA/PressRelease/pressReleaseId-102199.html|work=eu.wiley.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> na [[mjasiriamali wa kijamii]]. Anatumikia kama mkurugenzi mtendaji wa mradi wa bibi<ref>https://web.archive.org/web/20161220082631/http://www.iacdglobal.org/publications-and-resources/member-publications/judi-aubel-grandmother-project Iliwekwa mnamo 7-8-2022</ref> usiotengeneza faida ambao unafanya kazi kuboresha maisha ya wanawake na watoto kwa kuzingatia [[bibi]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
evdmz26xs8jg9ih5emo4p50a12k5eat
1240370
1240368
2022-08-07T19:35:12Z
Salehe Adinan
54827
nimeongeza picha
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Judi Aubel.jpg|thumb|Judi Aubel mnamo mwaka 2017]]
'''Judith “Judi” Aubel''' (1946/1947 ( umri 74-75))<ref>{{Citation|title=BBC 100 Women 2016: Who is on the list?|date=2019-10-07|url=https://www.bbc.com/news/world-38012048|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-07}}</ref> ni mtaalamu wa kimarekani wa masuala ya [[afya ya jamii]]<ref>{{Cite web|title=Wiley: Research highlights key role grandmothers play in mother and child nutrition and health|url=http://eu.wiley.com/WileyCDA/PressRelease/pressReleaseId-102199.html|work=eu.wiley.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> na [[mjasiriamali wa kijamii]]. Anatumikia kama mkurugenzi mtendaji wa mradi wa bibi<ref>https://web.archive.org/web/20161220082631/http://www.iacdglobal.org/publications-and-resources/member-publications/judi-aubel-grandmother-project Iliwekwa mnamo 7-8-2022</ref> usiotengeneza faida ambao unafanya kazi kuboresha maisha ya wanawake na watoto kwa kuzingatia [[bibi]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
kttrw8s33bdy19r79hagh3v580r554f
1240377
1240370
2022-08-07T20:02:55Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Judi Aubel.jpg|thumb|Judi Aubel mnamo mwaka 2017]]
'''Judith “Judi” Aubel''' (1946/1947 ( umri 74-75))<ref>{{Citation|title=BBC 100 Women 2016: Who is on the list?|date=2019-10-07|url=https://www.bbc.com/news/world-38012048|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-07}}</ref> ni mtaalamu wa kimarekani wa masuala ya [[afya ya jamii]]<ref>{{Cite web|title=Wiley: Research highlights key role grandmothers play in mother and child nutrition and health|url=http://eu.wiley.com/WileyCDA/PressRelease/pressReleaseId-102199.html|work=eu.wiley.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> na [[mjasiriamali wa kijamii]]. Anatumikia kama mkurugenzi mtendaji wa mradi wa ''The Grandmother Project'' <ref>https://web.archive.org/web/20161220082631/http://www.iacdglobal.org/publications-and-resources/member-publications/judi-aubel-grandmother-project Iliwekwa mnamo 7-8-2022</ref> usiotengeneza faida ambao unafanya kazi kuboresha maisha ya wanawake na watoto.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
b5pvra3cfw6ywo8mtpatjvpjt94q8nv
1240378
1240377
2022-08-07T20:05:53Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Judi Aubel.jpg|thumb|Judi Aubel mnamo mwaka 2017]]
'''Judith “Judi” Aubel''' (1946/1947 ( umri 74-75))<ref>{{Citation|title=BBC 100 Women 2016: Who is on the list?|date=2019-10-07|url=https://www.bbc.com/news/world-38012048|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-07}}</ref> ni mtaalamu wa kimarekani wa masuala ya [[afya ya jamii]]<ref>{{Cite web|title=Wiley: Research highlights key role grandmothers play in mother and child nutrition and health|url=http://eu.wiley.com/WileyCDA/PressRelease/pressReleaseId-102199.html|work=eu.wiley.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> na [[mjasiriamali wa kijamii]]. Anatumikia kama mkurugenzi mtendaji wa mradi wa ''The Grandmother Project'' <ref>https://web.archive.org/web/20161220082631/http://www.iacdglobal.org/publications-and-resources/member-publications/judi-aubel-grandmother-project Iliwekwa mnamo 7-8-2022</ref> usiotengeneza faida ambao unafanya kazi kuboresha maisha ya wanawake na watoto.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
6ah70rq2nrb1wuli60qc63wficquxz9
1240380
1240378
2022-08-07T20:15:13Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Judi Aubel.jpg|thumb|Judi Aubel mnamo mwaka 2017]]
'''Judith “Judi” Aubel''' ([[1946]]/[[1947]] ( [[umri]] 74-75))<ref>{{Citation|title=BBC 100 Women 2016: Who is on the list?|date=2019-10-07|url=https://www.bbc.com/news/world-38012048|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-07}}</ref> ni mtaalamu wa kimarekani wa masuala ya [[afya ya jamii]]<ref>{{Cite web|title=Wiley: Research highlights key role grandmothers play in mother and child nutrition and health|url=http://eu.wiley.com/WileyCDA/PressRelease/pressReleaseId-102199.html|work=eu.wiley.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> na [[mjasiriamali wa kijamii]]. Anatumikia kama mkurugenzi mtendaji wa mradi wa ''The Grandmother Project'' <ref>https://web.archive.org/web/20161220082631/http://www.iacdglobal.org/publications-and-resources/member-publications/judi-aubel-grandmother-project Iliwekwa mnamo 7-8-2022</ref> usiotengeneza faida ambao unafanya kazi kuboresha maisha ya wanawake na watoto.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
2zu7dlifszaps18qf6suwq8go0d8fe7
Majadiliano ya mtumiaji:Ola185
3
155472
1240371
2022-08-07T19:50:23Z
Idd ninga
30188
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:50, 7 Agosti 2022 (UTC)
kro6aztnvg573wvdz383vt4rdt3fczz
Majadiliano ya mtumiaji:Mphuyick
3
155473
1240372
2022-08-07T19:51:20Z
Idd ninga
30188
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:51, 7 Agosti 2022 (UTC)
9z343s7vjn07u81hzpc8i6lbcr8fj23
Majadiliano ya mtumiaji:Hamisi Mnaro
3
155474
1240373
2022-08-07T19:52:30Z
Idd ninga
30188
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:52, 7 Agosti 2022 (UTC)
oachq9etlrevkl9bhvc13lzqfgczuci
Majadiliano ya mtumiaji:Guddi The King
3
155475
1240390
2022-08-07T20:25:35Z
Idd ninga
30188
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 20:25, 7 Agosti 2022 (UTC)
08i3a9631zi6ceh3g4ok2zt4cmn4e0o
Drew S. Days III
0
155476
1240402
2022-08-07T21:00:43Z
Salehe Adinan
54827
Kuunda makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Drew Saunders Days III''' (Agosti 29, 1941 – Novemba 15, 2020)<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu|mwanasheria mkuu wa Marekani]] kuanzia mwaka 1993 hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha [[Haki za binadamu nchini Kenyaa|haki za kiraia]] katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka 1997 hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington, D.C.|Washington, DC]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sharia katika shule ya sheria Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katika mataifa ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
'''Marejeo'''
[[Jamii:Amani]]
4rkx1kduf6sfuk5n53kpj6ljueoukzu
1240404
1240402
2022-08-07T21:06:49Z
Salehe Adinan
54827
nimeongeza picha
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Drew S. Days, III.jpg|thumb|40th Solicitor General of the United States]]
'''Drew Saunders Days III''' (Agosti 29, 1941 – Novemba 15, 2020)<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu|mwanasheria mkuu wa Marekani]] kuanzia mwaka 1993 hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha [[Haki za binadamu nchini Kenyaa|haki za kiraia]] katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka 1997 hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington, D.C.|Washington, DC]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sharia katika shule ya sheria Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katika mataifa ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
'''Marejeo'''
[[Jamii:Amani]]
2f9hmqfap3k8t8h23ae2bdokedkn02x
1240405
1240404
2022-08-07T21:13:34Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha [[ za kiraia]] katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka 1997 hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington, D.C.|Washington, DC]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sharia katika shule ya sheria Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
8wda9krd1cu10vm3bm2b5mc2wz5iab4
1240406
1240405
2022-08-07T21:21:51Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha [[ za kiraia]] katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka [[1997]] hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington, D.C.|Washington, DC]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sharia katika shule ya sheria Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
odz5w3s9rdgh1pyt4bkm1lwnw6ye13j
1240407
1240406
2022-08-07T21:23:00Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha kiraia katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka [[1997]] hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington D.C.]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sheria katika shule ya sheria ya Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
betg3vi4b9h1qsl2kdss725jbx17r30
1240431
1240407
2022-08-07T22:41:19Z
Salehe Adinan
54827
kuongeza jamii na kuongeza picha
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Drew S. Days, III.jpg|thumb|'''''Drew S. Days III''''']]
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha kiraia katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka [[1997]] hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington D.C.]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sheria katika shule ya sheria ya Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
cqzpxs73wjklih4viuc2ntzg1axquia
1240432
1240431
2022-08-07T22:41:54Z
Salehe Adinan
54827
kuacha nafasi
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Drew S. Days, III.jpg|thumb|'''''Drew S. Days III''''']]
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni mwanasheria wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha kiraia katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref> Alikuwa ni profesa wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka [[1997]] hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington D.C.]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sheria katika shule ya sheria ya Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
kkkltat8p34unq9e8lm4p8r1exvjfdj
1240444
1240432
2022-08-08T04:32:35Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Drew S. Days, III.jpg|thumb|'''''Drew S. Days III''''']]
'''Drew Saunders Days III''' ([[Agosti 29]], [[1941]] – [[Novemba 15]], [[2020]])<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/27379905|title=The African American encyclopedia|date=1993|publisher=Marshall Cavendish Corp|others=Michael W. Williams|isbn=1-85435-545-7|location=New York|oclc=27379905}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> alikuwa ni [[mwanasheria]] wa kimarekani, ambae alitumikia kama [[Mwanasheria Mkuu]] mkuu wa Marekani kuanzia mwaka [[1993]] hadi kufikia mwaka 1996 chini ya [[Bill Clinton|Raisi Bill Clinton]]. Pia alitumikia kama kama mmarekani mweusi wa kwanza kuwa [[mwanasheria mkuu msaidizi]] wa kitengo cha kiraia katika [[Jimmy Carter|utawala wa Carter]] kuanzia mwaka 1977 hadi mnamo mwaka 1980.<ref>{{Cite journal|last=Macias|first=Steven J.|date=2010-05|title=Roger K. Newman, editor, The Yale Biographical Dictionary of American Law, New Haven, Conn.: Yale University Press, 2009. Pp. xiii + 622. $65.00 (ISBN 978-0-300-11300-6).|url=http://dx.doi.org/10.1017/s0738248010000325|journal=Law and History Review|volume=28|issue=2|pages=567–569|doi=10.1017/s0738248010000325|issn=0738-2480}}</ref>
Alikuwa ni [[profesa]] wa Alfred M. Rankin wa sheria katika shule ya [[Chuo Kikuu cha Yale|sharia Yale]], alianza kutumikia nafasi hiyo mnamo mwaka 1992 na kujiunga na kitivo cha sharia Yale mwaka 1981.<ref>{{Cite journal|last=Days|first=Drew S.|last2=Dimond|first2=Paul R.|date=1986-07|title=School Desegregation Law in the 1980's: Why Isn't Anybody Laughing?|url=http://dx.doi.org/10.2307/796473|journal=The Yale Law Journal|volume=95|issue=8|pages=1737|doi=10.2307/796473|issn=0044-0094}}</ref> Kuanzia mwaka [[1997]] hadi kufikia mwaka 2011, aliongoza mahakama kuu na kufanya rufaa pale [[Morrison & Foerster LLP]] na alikuwa ni [[mshauri]] kwenye ofisi ya biashara ya [[Washington D.C.]]. Mpaka kustaafu kwake mnamo disemba 2011<ref>{{Cite web|title=Figure 3. Zfp335R1092W-induced T cell dysregulation affects mainly mature SP thymocytes and recent thymic emigrants.|url=http://dx.doi.org/10.7554/elife.03549.010|work=dx.doi.org|accessdate=2022-08-07}}</ref>. Aliweza kupata shahada yake ya sheria katika shule ya sheria ya Yale mwaka 1966.<ref>{{Cite web|title=III. Attorneys|url=http://dx.doi.org/10.1163/2589-4021_ieco_com_110603|work=International Encyclopedia of Comparative Law Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>Aliweza kukubaliwa kufanya sharia katika [[Mahakama kuu marekani|Mahakama kuu ya Marekani]] na katik[[1992]]<nowiki/>a mataifa]] ya [[Illinois]] na [[New York|New york]] .<ref>{{Cite journal|last=Nolan|first=Sara|date=2008-02-22|title=Employee Privacy: Guide to US and International Law, Morrison & Foerster LLP|url=http://dx.doi.org/10.1108/shr.2008.37207bac.003|journal=Strategic HR Review|volume=7|issue=2|doi=10.1108/shr.2008.37207bac.003|issn=1475-4398}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
qknbd1ypkjskqgtqldfnvy63yueijsi
Tom Dine
0
155477
1240413
2022-08-07T21:43:51Z
Salehe Adinan
54827
Kuunda makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Thomas A. Dine''' (amezaliwa tarehe 29 Februari 1940, Cincinnati, Ohio) alitumikia kama mshauri mkuu wa sera katika [[jukwaa la sera la Israeli]] (IPF), akisaidia kuhusiana na sera, mipango na kufanya maamuzi yakimaendeleo ndani ya ofisi ya Washington. Dine alitumikia kama mkurugenzi mkuu wa jumuiya ya shirikisho la wayahudi la Fransisco, Raisi wa [[Redio huru ya ulaya|redio huru ya Ulaya]]/redio huru ya Prague, na kama msimamizi msaidizi wa Ulaya na jimbo jipya la kujitegemea la Eurasia ya [[Wakala wa Kimarekani kwa Maendeleo ya Kimataifa|USAID.]]
Zaidi hasa, alikuwa ni mkurugennzi mkuu wa kamati wa [[masuala ya umma ya Marekani na Israeli]] (AIPAC) kuanzia mwaka 1980 kuelekea mnamo mwaka 1993. [[Alhurra,]] ambayo ni chaneli ya televisheni ya kimarekani iliyojikita katika masuala ya umma ya lugha ya kiarabu iliweza kumuajiri Dine kama Mshauri wake.<ref>{{Cite journal|last=DoD Office of Inspector General|date=2009-09-23|title=Investigation of Allegations of the Use of Mind-Altering Drugs to Facilitate Interrogations of Detainees|url=http://dx.doi.org/10.21236/ada639218|location=Fort Belvoir, VA}}</ref>
'''Marejeo'''
bhinfrc6ggkp6hmzlo1xr16gavvfwhl
1240433
1240413
2022-08-07T22:45:01Z
Salehe Adinan
54827
kuongeza jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Thomas A. Dine''' (amezaliwa tarehe 29 Februari 1940, Cincinnati, Ohio) alitumikia kama mshauri mkuu wa sera katika [[jukwaa la sera la Israeli]] (IPF), akisaidia kuhusiana na sera, mipango na kufanya maamuzi yakimaendeleo ndani ya ofisi ya Washington. Dine alitumikia kama mkurugenzi mkuu wa jumuiya ya shirikisho la wayahudi la Fransisco, Raisi wa [[Redio huru ya ulaya|redio huru ya Ulaya]]/redio huru ya Prague, na kama msimamizi msaidizi wa Ulaya na jimbo jipya la kujitegemea la Eurasia ya [[Wakala wa Kimarekani kwa Maendeleo ya Kimataifa|USAID.]]
Zaidi hasa, alikuwa ni mkurugennzi mkuu wa kamati wa [[masuala ya umma ya Marekani na Israeli]] (AIPAC) kuanzia mwaka 1980 kuelekea mnamo mwaka 1993. [[Alhurra,]] ambayo ni chaneli ya televisheni ya kimarekani iliyojikita katika masuala ya umma ya lugha ya kiarabu iliweza kumuajiri Dine kama Mshauri wake.<ref>{{Cite journal|last=DoD Office of Inspector General|date=2009-09-23|title=Investigation of Allegations of the Use of Mind-Altering Drugs to Facilitate Interrogations of Detainees|url=http://dx.doi.org/10.21236/ada639218|location=Fort Belvoir, VA}}</ref>
'''Marejeo'''
<references />
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
l72ud1baqphttw7yp7gu629eiqivyzt
1240452
1240433
2022-08-08T04:50:48Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Thomas A. Dine''' (alizaliwa 29 Februari 1940, Cincinnati, Ohio) alitumikia kama mshauri mkuu wa sera katika [[jukwaa la sera la Israeli]] (IPF), akisaidia kuhusiana na sera, mipango na kufanya maamuzi yakimaendeleo ndani ya ofisi ya Washington. Dine alitumikia kama mkurugenzi mkuu wa jumuiya ya shirikisho la wayahudi la Fransisco, Raisi wa [[Redio huru ya ulaya|redio huru ya Ulaya]]/redio huru ya Prague, na kama msimamizi msaidizi wa Ulaya na jimbo jipya la kujitegemea la Eurasia ya [[Wakala wa Kimarekani kwa Maendeleo ya Kimataifa|USAID.]]
Zaidi hasa, alikuwa ni mkurugennzi mkuu wa kamati wa [[masuala ya umma ya Marekani na Israeli]] (AIPAC) kuanzia mwaka 1980 kuelekea mnamo mwaka 1993. [[Alhurra,]] ambayo ni chaneli ya televisheni ya kimarekani iliyojikita katika masuala ya umma ya lugha ya kiarabu iliweza kumuajiri Dine kama Mshauri wake.<ref>{{Cite journal|last=DoD Office of Inspector General|date=2009-09-23|title=Investigation of Allegations of the Use of Mind-Altering Drugs to Facilitate Interrogations of Detainees|url=http://dx.doi.org/10.21236/ada639218|location=Fort Belvoir, VA}}</ref>
==Marejeo==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
cai90pt7xbugsjo0ix882j7xg5kdklf
Mwanakupona binti Mshamu Nabhany
0
155478
1240415
2022-08-07T21:48:20Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mwana Kupona binti Msham''' (born on Pate Island, died c. 1865) was a Swahili poet of the 19th century, author of a poem called '''''Utendi wa Mwana Kupona''''' ("The Book of Mwana Kupona"), which is one of the most well-known works of early Swahili literature. <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publis...'
wikitext
text/x-wiki
'''Mwana Kupona binti Msham''' (born on Pate Island, died c. 1865) was a Swahili poet of the 19th century, author of a poem called '''''Utendi wa Mwana Kupona''''' ("The Book of Mwana Kupona"), which is one of the most well-known works of early Swahili literature. <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publisher=Cambridge University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== ''Utendi wa Mwana Kupona'' ==
Shairi hilo lilianza mwaka 1858 (mwaka 1275 wa kalenda ya Kiislamu), na limejikita katika mafundisho na ushauri wa Mwana Kupona kwa binti yake, kuhusu ndoa na majukumu ya mke. Licha ya somo linaloonekana kuwa la kidunia, kitabu hicho ni maarufu kidini na hata cha fumbo, na kimelinganishwa na Kitabu cha Mithali cha Kibiblia. Mistari michache ya shairi imewekwa wakfu kwa mwandishi mwenyewe: <ref>{{Cite journal|last=Bruner|first=Charlotte H.|last2=Busby|first2=Margaret|date=1994|title=Daughters of Africa|url=http://dx.doi.org/10.2307/40150048|journal=World Literature Today|volume=68|issue=1|pages=189|doi=10.2307/40150048|issn=0196-3570}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
rlhgvx8z1vz12xhpy832jx5zg6l2hdl
1240418
1240415
2022-08-07T22:02:24Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Mwana Kupona binti Msham''' (alizaliwa katika Kiswa cha Pate na kufariki mwaka [[1865]]) alikuwa ni [[mshairi]] wa [[Kiswahili]] katika [[Karne ya 10]] na muandishi wa [[Utenzi wa Mwanakupona]], ambao ni moja ya utenzi maarufu katika fasihi ya Kiswahili . <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publisher=Cambridge University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Utendi wa Mwana Kupona ==
Shairi hilo lilianza mwaka 1858 (mwaka 1275 wa kalenda ya Kiislamu), na limejikita katika mafundisho na ushauri wa Mwana Kupona kwa binti yake, kuhusu ndoa na majukumu ya mke. Licha ya somo linaloonekana kuwa la kidunia, kitabu hicho ni maarufu kidini na hata cha fumbo, na kimelinganishwa na Kitabu cha Mithali cha Kibiblia. Mistari michache ya shairi imewekwa wakfu kwa mwandishi mwenyewe: <ref>{{Cite journal|last=Bruner|first=Charlotte H.|last2=Busby|first2=Margaret|date=1994|title=Daughters of Africa|url=http://dx.doi.org/10.2307/40150048|journal=World Literature Today|volume=68|issue=1|pages=189|doi=10.2307/40150048|issn=0196-3570}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliofariki 1865]]
[[Jamii:Waandishi wa Afrika]]
7onqky61wwfowr7kqdavnq6ba6g1asg
1240419
1240418
2022-08-07T22:04:24Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Mwana Kupona binti Msham''' (alizaliwa katika Kiswa cha Pate na kufariki mwaka [[1865]]) alikuwa ni [[mshairi]] wa [[Kiswahili]] katika [[Karne ya 10]] na muandishi wa [[Utenzi wa Mwanakupona]], ambao ni moja ya utenzi maarufu katika fasihi ya Kiswahili . <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publisher=Cambridge University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Utendi wa Mwana Kupona ==
Shairi hilo lilianza mwaka 1858 (mwaka 1275 wa kalenda ya Kiislamu), na limejikita katika mafundisho na ushauri wa Mwana Kupona kwa binti yake, kuhusu ndoa na majukumu ya mke. Licha ya somo linaloonekana kuwa la kidunia, kitabu hicho ni maarufu kidini na hata cha fumbo, na kimelinganishwa na Kitabu cha Mithali cha Kibiblia. Mistari michache ya shairi imewekwa wakfu kwa mwandishi mwenyewe: <ref>{{Cite journal|last=Bruner|first=Charlotte H.|last2=Busby|first2=Margaret|date=1994|title=Daughters of Africa|url=http://dx.doi.org/10.2307/40150048|journal=World Literature Today|volume=68|issue=1|pages=189|doi=10.2307/40150048|issn=0196-3570}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliofariki 1865]]
[[Jamii:Waandishi wa Afrika]]
6w57yntxw95c7vkt40qo2zr2rdh23rr
1240420
1240419
2022-08-07T22:05:01Z
Idd ninga
30188
Idd ninga alihamisha ukurasa wa [[Mwana Kupona]] hadi [[Mwanakupona binti Mshamu Nabhany]]: Usahihi wa Jina
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Mwana Kupona binti Msham''' (alizaliwa katika Kiswa cha Pate na kufariki mwaka [[1865]]) alikuwa ni [[mshairi]] wa [[Kiswahili]] katika [[Karne ya 10]] na muandishi wa [[Utenzi wa Mwanakupona]], ambao ni moja ya utenzi maarufu katika fasihi ya Kiswahili . <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publisher=Cambridge University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Utendi wa Mwana Kupona ==
Shairi hilo lilianza mwaka 1858 (mwaka 1275 wa kalenda ya Kiislamu), na limejikita katika mafundisho na ushauri wa Mwana Kupona kwa binti yake, kuhusu ndoa na majukumu ya mke. Licha ya somo linaloonekana kuwa la kidunia, kitabu hicho ni maarufu kidini na hata cha fumbo, na kimelinganishwa na Kitabu cha Mithali cha Kibiblia. Mistari michache ya shairi imewekwa wakfu kwa mwandishi mwenyewe: <ref>{{Cite journal|last=Bruner|first=Charlotte H.|last2=Busby|first2=Margaret|date=1994|title=Daughters of Africa|url=http://dx.doi.org/10.2307/40150048|journal=World Literature Today|volume=68|issue=1|pages=189|doi=10.2307/40150048|issn=0196-3570}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliofariki 1865]]
[[Jamii:Waandishi wa Afrika]]
6w57yntxw95c7vkt40qo2zr2rdh23rr
1240587
1240420
2022-08-08T07:16:02Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Mwana Kupona binti Msham''' (alizaliwa katika [[kisiwa]] cha [[Pate]] na kufariki [[mwaka]] [[1865]]) alikuwa [[mshairi]] wa [[Kiswahili]] katika [[Karne ya 19]] na [[mwandishi]] wa [[Utenzi wa Mwanakupona]], ambao ni mmoja kati ya [[tenzi]] maarufu katika [[fasihi ya Kiswahili]]. <ref>{{Citation|title=The Brotherton manuscript and its contents|date=2013-04-18|url=http://dx.doi.org/10.1017/cbo9781139839136.003|work=The Anonimalle Chronicle 1307 to 1334|pages=12–24|publisher=Cambridge University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Utendi wa Mwana Kupona ==
[[Shairi]] hilo lilianza mwaka [[1858]] (mwaka 1275 wa [[kalenda ya Kiislamu]]), na limejikita katika mafundisho na ushauri wa Mwana Kupona kwa [[binti]] yake, kuhusu [[ndoa]] na majukumu ya [[mke]]. Licha ya somo linaloonekana kuwa la kidunia, [[kitabu]] hicho ni maarufu kidini na hata cha fumbo, na kimelinganishwa na [[Kitabu cha Methali]] cha [[Biblia]]. Mistari michache ya shairi imewekwa [[wakfu]] kwa mwandishi mwenyewe: <ref>{{Cite journal|last=Bruner|first=Charlotte H.|last2=Busby|first2=Margaret|date=1994|title=Daughters of Africa|url=http://dx.doi.org/10.2307/40150048|journal=World Literature Today|volume=68|issue=1|pages=189|doi=10.2307/40150048|issn=0196-3570}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliofariki 1865]]
[[Jamii:Waandishi wa Kenya]]
[[Jamii:waandishi wa Kiswahili]]
22cqfr19tj92lfxc5t1cd4v787j6mxu
Ali Mazrui
0
155479
1240417
2022-08-07T22:01:54Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ali Al'amin Mazrui (24 Februari 1933 - 12 Oktoba 2014), alikuwa msomi, profesa, na mwandishi wa kisiasa wa Masomo ya Afrika na Kiislamu, na uhusiano wa Kaskazini-Kusini. Alizaliwa Mombasa, Kenya. Nafasi zake ni pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Utamaduni wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Binghamton huko Binghamton, New York, na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Afro-American na Afrika katika Chuo Kikuu cha Michigan. . Alitoa mfululizo wa maka...'
wikitext
text/x-wiki
Ali Al'amin Mazrui (24 Februari 1933 - 12 Oktoba 2014), alikuwa msomi, profesa, na mwandishi wa kisiasa wa Masomo ya Afrika na Kiislamu, na uhusiano wa Kaskazini-Kusini. Alizaliwa Mombasa, Kenya. Nafasi zake ni pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Utamaduni wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Binghamton huko Binghamton, New York, na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Afro-American na Afrika katika Chuo Kikuu cha Michigan. . Alitoa mfululizo wa makala ya televisheni Ya Waafrika: Urithi wa Tatu.
== Maisha ya awali ==
Mazrui alizaliwa tarehe 24 Februari 1933 huko Mombasa, Koloni la Kenya. <ref>{{Citation|last=Opicho|first=Alexander|title=Professor Ali A. Mazrui Is Dead:|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.126|work=A Giant Tree has Fallen|pages=430–432|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07}}</ref> Alikuwa mtoto wa Al-Amin Bin Ali Mazrui, Jaji Mkuu wa Kiislamu katika mahakama za Kadhi za Kenya Colony. Baba yake pia alikuwa msomi na mwandishi, na moja ya vitabu vyake vimetafsiriwa kwa Kiingereza na Hamza Yusuf kama "Maudhui ya Tabia", ambayo Ali alitoa utangulizi. Familia ya Mazrui ilikuwa familia tajiri na muhimu kihistoria nchini Kenya, baada ya hapo awali kuwa watawala wa Mombasa. Baba yake Ali alikuwa Chifu Kadhi wa Kenya, mamlaka ya juu zaidi juu ya sheria za Kiislamu <ref>{{Citation|title=Mazrui, Ali A.|date=2005-04-07|url=http://dx.doi.org/10.1093/acref/9780195301731.013.42372|work=African American Studies Center|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Elimu ==
Mazrui alihudhuria shule ya msingi mjini Mombasa, ambako alikumbuka kuwa alijifunza Kiingereza hasa kushiriki katika midahalo rasmi, kabla ya kugeuza kipaji cha uandishi. Uandishi wa habari, kulingana na Mazrui, ilikuwa hatua ya kwanza aliyochukua barabara ya masomo. Mbali na Kiingereza, Mazrui pia alizungumza Kiswahili na Kiarabu. <ref>{{Cite web|title=Binghamton University, Institute of Global Cultural Studies (IGCS)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_1639|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Kazi ya kitaaluma ==
Mazrui alianza kazi yake ya masomo katika Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda, ambako alikuwa na ndoto ya kuhudhuria tangu akiwa mtoto. <ref>{{Citation|last=Jamal|first=Alamin|title=Statement of Mourning and Tribute to Our Father, Ali Al’amin Mazrui, October 19, 2014|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.13|work=A Giant Tree has Fallen|pages=43–44|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07|last2=Mazrui|first2=Kim Abubakar}}</ref> Huko Makerere, Mazrui aliwahi kuwa profesa wa sayansi ya siasa, na akaanza kuchora sifa yake ya kimataifa. Mazrui alihisi kwamba miaka yake huko Makerere ilikuwa baadhi ya mambo muhimu na yenye tija katika maisha yake. Alimwambia mwandishi wa wasifu wake kwamba 1967,
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
5mmisew5c8sv7jq2f31hl5wlmb21lf3
1240423
1240417
2022-08-07T22:11:38Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Ali Al'amin Mazrui''' ([[24 Februari]] [[1933]] - [[12 Oktoba]] [[2014]]), alikuwa msomi, profesa, na mwandishi wa kisiasa wa Masomo ya Afrika na Kiislamu, na uhusiano wa Kaskazini-Kusini. Alizaliwa [[Mombasa]], [[Kenya]]. Nafasi zake ni pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Utamaduni wa Kimataifa katika [[Chuo Kikuu]] cha Binghamton huko Binghamton, New York, na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Afro-American na Afrika katika Chuo Kikuu cha Michigan. . Alitoa mfululizo wa makala ya televisheni Ya Waafrika: Urithi wa Tatu.
== Maisha ya awali ==
Mazrui alizaliwa tarehe 24 Februari 1933 huko Mombasa, Koloni la Kenya. <ref>{{Citation|last=Opicho|first=Alexander|title=Professor Ali A. Mazrui Is Dead:|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.126|work=A Giant Tree has Fallen|pages=430–432|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07}}</ref> Alikuwa mtoto wa Al-Amin Bin Ali Mazrui, Jaji Mkuu wa Kiislamu katika mahakama za Kadhi za Kenya Colony. Baba yake pia alikuwa msomi na mwandishi, na moja ya vitabu vyake vimetafsiriwa kwa Kiingereza na Hamza Yusuf kama "Maudhui ya Tabia", ambayo Ali alitoa utangulizi. Familia ya Mazrui ilikuwa familia tajiri na muhimu kihistoria nchini Kenya, baada ya hapo awali kuwa watawala wa Mombasa. Baba yake Ali alikuwa Chifu Kadhi wa Kenya, mamlaka ya juu zaidi juu ya sheria za Kiislamu <ref>{{Citation|title=Mazrui, Ali A.|date=2005-04-07|url=http://dx.doi.org/10.1093/acref/9780195301731.013.42372|work=African American Studies Center|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Elimu ==
Mazrui alihudhuria shule ya msingi mjini Mombasa, ambako alikumbuka kuwa alijifunza Kiingereza hasa kushiriki katika midahalo rasmi, kabla ya kugeuza kipaji cha uandishi. Uandishi wa habari, kulingana na Mazrui, ilikuwa hatua ya kwanza aliyochukua barabara ya masomo. Mbali na Kiingereza, Mazrui pia alizungumza Kiswahili na Kiarabu. <ref>{{Cite web|title=Binghamton University, Institute of Global Cultural Studies (IGCS)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_1639|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Kazi ya kitaaluma ==
Mazrui alianza kazi yake ya masomo katika Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda, ambako alikuwa na ndoto ya kuhudhuria tangu akiwa mtoto. <ref>{{Citation|last=Jamal|first=Alamin|title=Statement of Mourning and Tribute to Our Father, Ali Al’amin Mazrui, October 19, 2014|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.13|work=A Giant Tree has Fallen|pages=43–44|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07|last2=Mazrui|first2=Kim Abubakar}}</ref> Huko Makerere, Mazrui aliwahi kuwa profesa wa sayansi ya siasa, na akaanza kuchora sifa yake ya kimataifa. Mazrui alihisi kwamba miaka yake huko Makerere ilikuwa baadhi ya mambo muhimu na yenye tija katika maisha yake. Alimwambia mwandishi wa wasifu wake kwamba 1967,
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1933]]
[[Jamii:Waliofariki 2014]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Waandishi wa Kenya]]
jafy0m0lm3fxz9zxkfmsmvadyvpkzj7
1240424
1240423
2022-08-07T22:13:39Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
'''Ali Al'amin Mazrui''' ([[24 Februari]] [[1933]] - [[12 Oktoba]] [[2014]]), alikuwa msomi, profesa, na mwandishi wa kisiasa wa Masomo ya Afrika na Kiislamu, na uhusiano wa Kaskazini-Kusini. Alizaliwa [[Mombasa]], [[Kenya]]. Nafasi zake ni pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya [[Utamaduni]] wa Kimataifa katika [[Chuo Kikuu]] cha Binghamton huko Binghamton, New York, na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Afro-American na Afrika katika Chuo Kikuu cha Michigan. . Alitoa mfululizo wa makala ya televisheni Ya Waafrika: Urithi wa Tatu.
== Maisha ya awali ==
Mazrui alizaliwa tarehe 24 Februari 1933 huko Mombasa, Koloni la Kenya. <ref>{{Citation|last=Opicho|first=Alexander|title=Professor Ali A. Mazrui Is Dead:|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.126|work=A Giant Tree has Fallen|pages=430–432|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07}}</ref> Alikuwa mtoto wa Al-Amin Bin Ali Mazrui, Jaji Mkuu wa Kiislamu katika mahakama za Kadhi za Kenya Colony. Baba yake pia alikuwa msomi na mwandishi, na moja ya vitabu vyake vimetafsiriwa kwa Kiingereza na Hamza Yusuf kama "Maudhui ya Tabia", ambayo Ali alitoa utangulizi. Familia ya Mazrui ilikuwa familia tajiri na muhimu kihistoria nchini Kenya, baada ya hapo awali kuwa watawala wa Mombasa. Baba yake Ali alikuwa Chifu Kadhi wa Kenya, mamlaka ya juu zaidi juu ya sheria za Kiislamu <ref>{{Citation|title=Mazrui, Ali A.|date=2005-04-07|url=http://dx.doi.org/10.1093/acref/9780195301731.013.42372|work=African American Studies Center|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Elimu ==
Mazrui alihudhuria shule ya msingi mjini Mombasa, ambako alikumbuka kuwa alijifunza Kiingereza hasa kushiriki katika midahalo rasmi, kabla ya kugeuza kipaji cha uandishi. Uandishi wa habari, kulingana na Mazrui, ilikuwa hatua ya kwanza aliyochukua barabara ya masomo. Mbali na Kiingereza, Mazrui pia alizungumza Kiswahili na Kiarabu. <ref>{{Cite web|title=Binghamton University, Institute of Global Cultural Studies (IGCS)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_1639|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Kazi ya kitaaluma ==
Mazrui alianza kazi yake ya masomo katika Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda, ambako alikuwa na ndoto ya kuhudhuria tangu akiwa mtoto. <ref>{{Citation|last=Jamal|first=Alamin|title=Statement of Mourning and Tribute to Our Father, Ali Al’amin Mazrui, October 19, 2014|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.13|work=A Giant Tree has Fallen|pages=43–44|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07|last2=Mazrui|first2=Kim Abubakar}}</ref> Huko Makerere, Mazrui aliwahi kuwa profesa wa sayansi ya siasa, na akaanza kuchora sifa yake ya kimataifa. Mazrui alihisi kwamba miaka yake huko Makerere ilikuwa baadhi ya mambo muhimu na yenye tija katika maisha yake. Alimwambia mwandishi wa wasifu wake kwamba 1967,
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1933]]
[[Jamii:Waliofariki 2014]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Waandishi wa Kenya]]
3tjo81lexq27cb9xb7lwvhqg883dtca
Mwana Kupona
0
155480
1240421
2022-08-07T22:05:01Z
Idd ninga
30188
Idd ninga alihamisha ukurasa wa [[Mwana Kupona]] hadi [[Mwanakupona binti Mshamu Nabhany]]: Usahihi wa Jina
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Mwanakupona binti Mshamu Nabhany]]
c920l3hctxarz14haqqk64630ukxw6d
Dada Masiti
0
155481
1240422
2022-08-07T22:07:38Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mana Sitti Habib Jamaladdin (Kiarabu: مانا ستي حبيب جمال الدين) (c. 1810s - 15 Julai 1919 <ref>{{Cite journal|last=Kassim|first=Kamsol Mohamed|last2=Bahari|first2=Anuar|last3=Kassim|first3=Norizah|last4=Rashid|first4=Nik Ramli Nik Abdul|last5=Jusoff|first5=Kamaruzaman|date=2009-04-15|title=Retaining Customers through Relationship Marketing in an Islamic Financial Institution in Malaysia|url=http://dx.doi.org/10.5539/ijms.v1n1p66|journal...'
wikitext
text/x-wiki
Mana Sitti Habib Jamaladdin (Kiarabu: مانا ستي حبيب جمال الدين) (c. 1810s - 15 Julai 1919 <ref>{{Cite journal|last=Kassim|first=Kamsol Mohamed|last2=Bahari|first2=Anuar|last3=Kassim|first3=Norizah|last4=Rashid|first4=Nik Ramli Nik Abdul|last5=Jusoff|first5=Kamaruzaman|date=2009-04-15|title=Retaining Customers through Relationship Marketing in an Islamic Financial Institution in Malaysia|url=http://dx.doi.org/10.5539/ijms.v1n1p66|journal=International Journal of Marketing Studies|volume=1|issue=1|doi=10.5539/ijms.v1n1p66|issn=1918-7203}}</ref>), anayejulikana kama Dada Masiti ("Bibi Masiti"), alikuwa mshairi, mshairi wa kisomali, msomi wa mafumbo na Kiislamu. Alitunga mashairi yake katika lahaja ya Bravanese iliyozungumzwa huko Barawa. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/706025122|title=Dictionary of African biography|date=2012|publisher=Oxford University Press|others=Emmanuel Kwaku Akyeampong, Henry Louis, Jr. Gates|isbn=978-0-19-538207-5|location=Oxford|oclc=706025122}}</ref>
== Wasifu ==
Dada Masiti alizaliwa mana Sitti Habib Jamaladdin katika miaka ya 1810 huko Barawa (Brava), mji wa pwani kusini mwa Somalia. Familia yake ya pande zote mbili ilitoka katika ukoo wa Mahadali Ashraf. Babu mzaa mama yake pia alikuwa wa Ali Naziri Ashraf, ambayo iliamuru ushawishi zaidi katika eneo hilo na ilikuwa kubwa zaidi kati ya subclans mbili. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/29705644|title=Blood and bone : the call of kinship in Somali society|last=Lewis|first=I. M.|date=1994|publisher=Red Sea Press|isbn=0-932415-92-X|location=Lawrenceville, NJ|oclc=29705644}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
dq2l73sk7m4dh23h9u1054myva9ierl
1240426
1240422
2022-08-07T22:20:25Z
Idd ninga
30188
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Mana Sitti Habib Jamaladdin''' ([[Kiarabu]]: مانا ستي حبيب جمال الدين) (1810s - 15 Julai 1919 <ref>{{Cite journal|last=Kassim|first=Kamsol Mohamed|last2=Bahari|first2=Anuar|last3=Kassim|first3=Norizah|last4=Rashid|first4=Nik Ramli Nik Abdul|last5=Jusoff|first5=Kamaruzaman|date=2009-04-15|title=Retaining Customers through Relationship Marketing in an Islamic Financial Institution in Malaysia|url=http://dx.doi.org/10.5539/ijms.v1n1p66|journal=International Journal of Marketing Studies|volume=1|issue=1|doi=10.5539/ijms.v1n1p66|issn=1918-7203}}</ref>), anayejulikana kama Dada Masiti ("Bibi Masiti"), alikuwa mshairi, mshairi wa kisomali, msomi wa mafumbo na Kiislamu. Alitunga mashairi yake katika lahaja ya Bravanese iliyozungumzwa huko Barawa. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/706025122|title=Dictionary of African biography|date=2012|publisher=Oxford University Press|others=Emmanuel Kwaku Akyeampong, Henry Louis, Jr. Gates|isbn=978-0-19-538207-5|location=Oxford|oclc=706025122}}</ref>
== Wasifu ==
Dada Masiti alizaliwa mana Sitti Habib Jamaladdin katika miaka ya 1810 huko Barawa (Brava), mji wa pwani kusini mwa Somalia. Familia yake ya pande zote mbili ilitoka katika ukoo wa Mahadali Ashraf. Babu mzaa mama yake pia alikuwa wa Ali Naziri Ashraf, ambayo iliamuru ushawishi zaidi katika eneo hilo na ilikuwa kubwa zaidi kati ya subclans mbili. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/29705644|title=Blood and bone : the call of kinship in Somali society|last=Lewis|first=I. M.|date=1994|publisher=Red Sea Press|isbn=0-932415-92-X|location=Lawrenceville, NJ|oclc=29705644}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1810]]
[[Jamii:Waliofariki 1919]]
[[Jamii:Waandishi wa Somalia]]
qstvuqiya4oi6pxfpfeuh85vt85ewo0
1240590
1240426
2022-08-08T07:21:33Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Mana Sitti Habib Jamaladdin''' (kwa [[Kiarabu]]: مانا ستي حبيب جمال الدين; [[miaka ya 1810]] - [[15 Julai]] [[1919]] <ref>{{Cite journal|last=Kassim|first=Kamsol Mohamed|last2=Bahari|first2=Anuar|last3=Kassim|first3=Norizah|last4=Rashid|first4=Nik Ramli Nik Abdul|last5=Jusoff|first5=Kamaruzaman|date=2009-04-15|title=Retaining Customers through Relationship Marketing in an Islamic Financial Institution in Malaysia|url=http://dx.doi.org/10.5539/ijms.v1n1p66|journal=International Journal of Marketing Studies|volume=1|issue=1|doi=10.5539/ijms.v1n1p66|issn=1918-7203}}</ref>) anayejulikana kama Dada Masiti ("Bibi Masiti"), alikuwa [[Ushairi|mshairi]] wa [[Kisomali]], msomi wa mafumbo na [[Uislamu|Kiislamu]]. Alitunga [[Shairi|mashairi]] yake katika [[lahaja]] ya Bravanese iliyozungumzwa huko [[Brava|Barawa]]. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/706025122|title=Dictionary of African biography|date=2012|publisher=Oxford University Press|others=Emmanuel Kwaku Akyeampong, Henry Louis, Jr. Gates|isbn=978-0-19-538207-5|location=Oxford|oclc=706025122}}</ref>
== Wasifu ==
Dada Masiti huko Barawa (Brava), [[mji]] wa [[pwani]] kusini mwa [[Somalia]]. [[Familia]] yake ya pande zote mbili ilitoka katika [[ukoo]] wa Mahadali Ashraf. [[Babu]] mzaa [[mama]] yake pia alikuwa wa Ali Naziri Ashraf, ambayo iliamuru ushawishi zaidi katika eneo hilo na ilikuwa kubwa zaidi kati ya subclans mbili. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/29705644|title=Blood and bone : the call of kinship in Somali society|last=Lewis|first=I. M.|date=1994|publisher=Red Sea Press|isbn=0-932415-92-X|location=Lawrenceville, NJ|oclc=29705644}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1810]]
[[Jamii:Waliofariki 1919]]
[[Jamii:Waandishi wa Somalia]]
7w9dz3mi29f16y0m9s6ycfft9ax1xwg
1240591
1240590
2022-08-08T07:23:45Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Mana Sitti Habib Jamaladdin''' (kwa [[Kiarabu]]: مانا ستي حبيب جمال الدين; [[miaka ya 1810]] - [[15 Julai]] [[1919]] <ref>{{Cite journal|last=Kassim|first=Kamsol Mohamed|last2=Bahari|first2=Anuar|last3=Kassim|first3=Norizah|last4=Rashid|first4=Nik Ramli Nik Abdul|last5=Jusoff|first5=Kamaruzaman|date=2009-04-15|title=Retaining Customers through Relationship Marketing in an Islamic Financial Institution in Malaysia|url=http://dx.doi.org/10.5539/ijms.v1n1p66|journal=International Journal of Marketing Studies|volume=1|issue=1|doi=10.5539/ijms.v1n1p66|issn=1918-7203}}</ref>) anayejulikana kama Dada Masiti ("Bibi Masiti"), alikuwa [[Ushairi|mshairi]] wa [[Kisomali]], msomi wa mafumbo na [[Uislamu|Kiislamu]]. Alitunga [[Shairi|mashairi]] yake kwa [[Kiswahili]] katika [[lahaja]] ya [[Chimbalanzi]] iliyozungumzwa huko [[Brava|Barawa]]. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/706025122|title=Dictionary of African biography|date=2012|publisher=Oxford University Press|others=Emmanuel Kwaku Akyeampong, Henry Louis, Jr. Gates|isbn=978-0-19-538207-5|location=Oxford|oclc=706025122}}</ref>
== Wasifu ==
Dada Masiti huko Barawa (Brava), [[mji]] wa [[pwani]] kusini mwa [[Somalia]]. [[Familia]] yake ya pande zote mbili ilitoka katika [[ukoo]] wa Mahadali Ashraf. [[Babu]] mzaa [[mama]] yake pia alikuwa wa Ali Naziri Ashraf, ambayo iliamuru ushawishi zaidi katika eneo hilo na ilikuwa kubwa zaidi kati ya subclans mbili. <ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/29705644|title=Blood and bone : the call of kinship in Somali society|last=Lewis|first=I. M.|date=1994|publisher=Red Sea Press|isbn=0-932415-92-X|location=Lawrenceville, NJ|oclc=29705644}}</ref>
== Tanbihi ==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* Abdullahi, Mohamed Diriye (2001). Culture and customs of Somalia. Greenwood. ISBN 978-0-313-31333-2.
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1810]]
[[Jamii:Waliofariki 1919]]
[[Jamii:Waandishi wa Somalia]]
[[Jamii:waandishi wa Kiswahili]]
4w7af8rpxc6nd7llrfdlladt22grzka
Dunia Tofauti
0
155482
1240425
2022-08-07T22:17:56Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Dunia Tofauti (A Different World in English) ni filamu ya kimapenzi ya Kenya ya mwaka 2017 iliyoongozwa na Kang'ethe Mungai. Nyota wa filamu Avril Nyambura na Innocent Njuguna, na anamshirikisha Maureen Njau katika jukumu la kusaidia. <ref>{{Citation|title=The Hustler|date=2002-01-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203137420-46|work=The Road Movie Book|pages=349–350|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-13742-0|access-date=2022-08-07}}</ref> == Muundo ==...'
wikitext
text/x-wiki
Dunia Tofauti (A Different World in English) ni filamu ya kimapenzi ya Kenya ya mwaka 2017 iliyoongozwa na Kang'ethe Mungai. Nyota wa filamu Avril Nyambura na Innocent Njuguna, na anamshirikisha Maureen Njau katika jukumu la kusaidia. <ref>{{Citation|title=The Hustler|date=2002-01-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203137420-46|work=The Road Movie Book|pages=349–350|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-13742-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Nina (alicheza na Avril Nyambura) ni mwanamke aliyezaliwa na kukulia katika makazi duni ya Nairobi. Anakutana na Hinga (alicheza na Innocent Mungai), mtu kutoka asili nzuri na kazi nzuri, ambaye amekwama na tairi bapa karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, na pamoja na genge lake, wanamwibia vitu vyake vyote vya thamani. Katika hali ya kupotosha, hatimaye wawili hao hupendana, Licha ya ukweli kwamba Hinga anajihusisha na Ciru (Maureen Njau), mwanamke anayedai na kudhibiti asili yake hiyo ya kijamii. Hinga hatimaye anamsaidia Nina kufuatilia vitu vyake vya thamani pamoja na kukwepa mamlaka <ref>{{Cite journal|last=Herr|first=Bruce W.|last2=Ke|first2=Weimao|last3=Hardy|first3=Elisha|last4=Borner|first4=Katy|date=2007-07|title=Movies and Actors: Mapping the Internet Movie Database|url=http://dx.doi.org/10.1109/iv.2007.78|journal=2007 11th International Conference Information Visualization (IV '07)|publisher=IEEE|doi=10.1109/iv.2007.78}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Bayoumi|first=Sameh|date=2018-07-01|title=Tofauti za Vitamkwa baina ya Kiswahili cha Unguja na Kiswahili cha Tanzania Bara|url=http://dx.doi.org/10.21608/bflt.2018.58385|journal=Bulletin of The Faculty of Languages & Translation|volume=15|issue=2|pages=161–218|doi=10.21608/bflt.2018.58385|issn=2090-8504}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
1mweojdaudz5kl7ybh50n9vj33y6how
1240455
1240425
2022-08-08T05:00:04Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Dunia Tofauti''' (A Different World in English) ni [[filamu]] ya kimapenzi ya Kenya ya mwaka 2017 iliyoongozwa na Kang'ethe Mungai. Nyota wa filamu Avril Nyambura na Innocent Njuguna, na anamshirikisha Maureen Njau katika jukumu la kusaidia. <ref>{{Citation|title=The Hustler|date=2002-01-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203137420-46|work=The Road Movie Book|pages=349–350|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-13742-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Nina (alicheza na Avril Nyambura) ni mwanamke aliyezaliwa na kukulia katika makazi duni ya Nairobi. Anakutana na Hinga (alicheza na Innocent Mungai), mtu kutoka asili nzuri na kazi nzuri, ambaye amekwama na tairi bapa karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, na pamoja na genge lake, wanamwibia vitu vyake vyote vya thamani. Katika hali ya kupotosha, hatimaye wawili hao hupendana, Licha ya ukweli kwamba Hinga anajihusisha na Ciru (Maureen Njau), mwanamke anayedai na kudhibiti asili yake hiyo ya kijamii. Hinga hatimaye anamsaidia Nina kufuatilia vitu vyake vya thamani pamoja na kukwepa mamlaka <ref>{{Cite journal|last=Herr|first=Bruce W.|last2=Ke|first2=Weimao|last3=Hardy|first3=Elisha|last4=Borner|first4=Katy|date=2007-07|title=Movies and Actors: Mapping the Internet Movie Database|url=http://dx.doi.org/10.1109/iv.2007.78|journal=2007 11th International Conference Information Visualization (IV '07)|publisher=IEEE|doi=10.1109/iv.2007.78}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Bayoumi|first=Sameh|date=2018-07-01|title=Tofauti za Vitamkwa baina ya Kiswahili cha Unguja na Kiswahili cha Tanzania Bara|url=http://dx.doi.org/10.21608/bflt.2018.58385|journal=Bulletin of The Faculty of Languages & Translation|volume=15|issue=2|pages=161–218|doi=10.21608/bflt.2018.58385|issn=2090-8504}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
psntlcu856h98o9pcy10cw3j3qcaag7
Masai weupe
0
155483
1240427
2022-08-07T22:26:13Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'The White Masai (kwa Kijerumani: Die weiße Massai) ni filamu ya mwaka 2005 iliyoongozwa na Hermine Huntgeburth na kuigiza kama Nina Hoss na Jacky Ido. Screenplay hiyo inamhusu Carola, mwanamke anayependana nchini Kenya na Maasai Lemalian. Filamu hiyo inatokana na riwaya ya tawasifu ya jina moja na mwandishi mzaliwa wa Ujerumani Corinne Hofmann. <ref>{{Citation|last=Ngugi|first=Pamela M.Y.|title=MIAKA HAMSINI YA FASIHI YA WATOTO KATIKA KISWAHILI NCHINI KEN...'
wikitext
text/x-wiki
The White Masai (kwa Kijerumani: Die weiße Massai) ni filamu ya mwaka 2005 iliyoongozwa na Hermine Huntgeburth na kuigiza kama Nina Hoss na Jacky Ido. Screenplay hiyo inamhusu Carola, mwanamke anayependana nchini Kenya na Maasai Lemalian. Filamu hiyo inatokana na riwaya ya tawasifu ya jina moja na mwandishi mzaliwa wa Ujerumani Corinne Hofmann. <ref>{{Citation|last=Ngugi|first=Pamela M.Y.|title=MIAKA HAMSINI YA FASIHI YA WATOTO KATIKA KISWAHILI NCHINI KENYA:|date=2014-05-08|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvgc60vs.9|work=Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya|pages=16–33|publisher=Twaweza Communications|access-date=2022-08-07}}</ref> Katika toleo la filamu, majina yamebadilishwa kutoka kwa wale walio katika riwaya. <ref>{{Citation|last=Sartain|first=Lee|title=McMillan, Enolia (20 October 1904–24 October 2006)|date=2015-10|url=http://dx.doi.org/10.1093/anb/9780198606697.article.1501403|work=American National Biography Online|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Carola (Hoss), mwanamke wa Kijerumani anayeishi Uswisi, yuko likizo na mpenzi wake nchini Kenya. <ref>{{Cite web|title=ABC News/Washington Post October Politics Poll, October 2002|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03767|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-08-27|accessdate=2022-08-07}}</ref>Anampenda shujaa wa Kimasai Lemalian (Ido), ambaye anatembelea akiwa amevalia mavazi ya eneo lake. Akiwa uwanja wa ndege akiwa njiani kurejea nyumbani anaamua kukaa. Inabainika kuwa Lemalian amekwenda kijijini kwake katika Wilaya ya Samburu. Carola anasafiri kwenda eneo hilo, na kukaa nyumbani kwa mwanamke mwingine wa Ulaya. Lemalian anasikia kuhusu kukaa kwake na kuja kukutana naye. Hatimaye wanaanza kuishi pamoja..
== Maudhui ya kimaumbile.. ==
Mandhari ya filamu hiyo imekuwa na utata. Hatimaye, filamu inahusu mgongano wa tamaduni na mtazamo wa ulimwengu. Watu wawili wanaoamini kuwa mtazamo wao wa kidunia ni bora na hivyo ni sahihi (hivyo Carola analaani tohara ya mwanamke kwa sababu haiendani na mtazamo wake wa kitamaduni wakati Lemalian hawezi kuelewa jinsi anavyoweza kuzungumza na wanaume bila kuwa mwaminifu kwake), na ni kutokuwa na uwezo wao wa kuelewa mwingine unaoleta taabu, kutengana, na talaka yao.
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
pb4tcwd234wb2d223j7ksw24ua84r8f
1240454
1240427
2022-08-08T04:55:38Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''The White Masai''' (kwa Kijerumani: Die weiße Massai) ni [[filamu]] ya mwaka [[2005]] iliyoongozwa na Hermine Huntgeburth na kuigiza kama Nina Hoss na Jacky Ido. Screenplay hiyo inamhusu Carola, mwanamke anayependana nchini Kenya na Maasai Lemalian. Filamu hiyo inatokana na riwaya ya tawasifu ya jina moja na mwandishi mzaliwa wa Ujerumani Corinne Hofmann. <ref>{{Citation|last=Ngugi|first=Pamela M.Y.|title=MIAKA HAMSINI YA FASIHI YA WATOTO KATIKA KISWAHILI NCHINI KENYA:|date=2014-05-08|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvgc60vs.9|work=Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya|pages=16–33|publisher=Twaweza Communications|access-date=2022-08-07}}</ref> Katika toleo la filamu, majina yamebadilishwa kutoka kwa wale walio katika riwaya. <ref>{{Citation|last=Sartain|first=Lee|title=McMillan, Enolia (20 October 1904–24 October 2006)|date=2015-10|url=http://dx.doi.org/10.1093/anb/9780198606697.article.1501403|work=American National Biography Online|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Carola (Hoss), mwanamke wa Kijerumani anayeishi Uswisi, yuko likizo na mpenzi wake nchini Kenya. <ref>{{Cite web|title=ABC News/Washington Post October Politics Poll, October 2002|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03767|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-08-27|accessdate=2022-08-07}}</ref>Anampenda shujaa wa Kimasai Lemalian (Ido), ambaye anatembelea akiwa amevalia mavazi ya eneo lake. Akiwa uwanja wa ndege akiwa njiani kurejea nyumbani anaamua kukaa. Inabainika kuwa Lemalian amekwenda kijijini kwake katika Wilaya ya Samburu. Carola anasafiri kwenda eneo hilo, na kukaa nyumbani kwa mwanamke mwingine wa Ulaya. Lemalian anasikia kuhusu kukaa kwake na kuja kukutana naye. Hatimaye wanaanza kuishi pamoja..
== Maudhui ya kimaumbile.. ==
Mandhari ya filamu hiyo imekuwa na utata. Hatimaye, filamu inahusu mgongano wa tamaduni na mtazamo wa ulimwengu. Watu wawili wanaoamini kuwa mtazamo wao wa kidunia ni bora na hivyo ni sahihi (hivyo Carola analaani tohara ya mwanamke kwa sababu haiendani na mtazamo wake wa kitamaduni wakati Lemalian hawezi kuelewa jinsi anavyoweza kuzungumza na wanaume bila kuwa mwaminifu kwake), na ni kutokuwa na uwezo wao wa kuelewa mwingine unaoleta taabu, kutengana, na talaka yao.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
em9hr815zb6xyesm023o1uatk1dtl4w
1240593
1240454
2022-08-08T07:26:08Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[The White Masai]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[The White Masai]]
i33d2o96au96dzrbof2pabswftm5fyd
Stefanie DeLeo
0
155484
1240428
2022-08-07T22:28:21Z
Salehe Adinan
54827
Kuunda makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Stefanie DeLeo''' (amezaliwa Aprilri 22, 1982) ni mwandishi wakimarekani na mtunzi wa tamthilia anayejulikana hususani katika tamtilia yake aliyoweza kuichapisha ikihusiana na Usonji, “''Worth a thousand words''” ikimaanisha thamani ya maneno elfu moja iliyochapishwa mnamo mwaka 2010 kupitia toleo la [[JAC NEED publishers]]<ref>{{Cite journal|date=2016-12|title=LAS VEGAS SANDS CORP., a Nevada corporation, Plaintiff, v. UKNOWN REGISTRANTS OF www.wn0000.com, www.wn1111.com, www.wn2222.com, www.wn3333.com, www.wn4444.com, www.wn5555.com, www.wn6666.com, www.wn7777.com, www.wn8888.com, www.wn9999.com, www.112211.com, www.4456888.com, www.4489888.com, www.001148.com, and www.2289888.com, Defendants.|url=http://dx.doi.org/10.1089/glre.2016.201011|journal=Gaming Law Review and Economics|volume=20|issue=10|pages=859–868|doi=10.1089/glre.2016.201011|issn=1097-5349}}</ref>. Septemba 2017, alichapishwa katika toleo la [[The Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable.|''the Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable''.]] Pia ni mwandishi wa [[Cry my safari|''Cry My Safari'']]<ref>{{Citation|title=The Amazon Infrastructure|date=2022|url=http://dx.doi.org/10.7551/mitpress/11985.003.0007|work=Four Shades of Gray|publisher=The MIT Press|access-date=2022-08-07}}</ref> na tamthilia ya kuchekesha ''ya [[Answer the Question]]'', [[Iris]]<ref>{{Citation|title=The Search for School Factors|date=2012-05-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203126622-11|work=Disaffection From School (RLE Edu M)|pages=104–119|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-12662-2|access-date=2022-08-07}}</ref> na mwandishi mchangiaji kwenye kitabu cha maandalizi cha SAT.<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/268794903|title=LD SAT study guide|last=Osborne|first=Paul|date=2009|publisher=Alpha|isbn=978-1-59257-887-0|location=New York, N.Y.|oclc=268794903}}</ref> Kwa kuongezea amekuwa ni mwanablogu mgeni kwenye [[Melibee Global]], ikionyeshwa katika muda wake ughaibuni.<ref>{{Cite web|title=Search Results for “stefanie deleo” – MelibeeGlobal.com|url=https://melibeeglobal.com/?s=stefanie+deleo|work=melibeeglobal.com|accessdate=2022-08-07}}</ref>Stefaine pia amerudi kuwa ni [[Peace Corps|peace corps]] akiwa ameishi na kufanya kazi katika mji wa Afrika Kusini wa [[Kuruman]] kwa miaka miwili na nusu, ambapo ameainishwa kama mkazi mashuhuri.
'''Marejeo'''
8ertfyfdngelrxfwpo2w078yq2wfq0a
1240429
1240428
2022-08-07T22:29:32Z
Salehe Adinan
54827
kuongeza jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Stefanie DeLeo''' (amezaliwa Aprilri 22, 1982) ni mwandishi wakimarekani na mtunzi wa tamthilia anayejulikana hususani katika tamtilia yake aliyoweza kuichapisha ikihusiana na Usonji, “''Worth a thousand words''” ikimaanisha thamani ya maneno elfu moja iliyochapishwa mnamo mwaka 2010 kupitia toleo la [[JAC NEED publishers]]<ref>{{Cite journal|date=2016-12|title=LAS VEGAS SANDS CORP., a Nevada corporation, Plaintiff, v. UKNOWN REGISTRANTS OF www.wn0000.com, www.wn1111.com, www.wn2222.com, www.wn3333.com, www.wn4444.com, www.wn5555.com, www.wn6666.com, www.wn7777.com, www.wn8888.com, www.wn9999.com, www.112211.com, www.4456888.com, www.4489888.com, www.001148.com, and www.2289888.com, Defendants.|url=http://dx.doi.org/10.1089/glre.2016.201011|journal=Gaming Law Review and Economics|volume=20|issue=10|pages=859–868|doi=10.1089/glre.2016.201011|issn=1097-5349}}</ref>. Septemba 2017, alichapishwa katika toleo la [[The Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable.|''the Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable''.]] Pia ni mwandishi wa [[Cry my safari|''Cry My Safari'']]<ref>{{Citation|title=The Amazon Infrastructure|date=2022|url=http://dx.doi.org/10.7551/mitpress/11985.003.0007|work=Four Shades of Gray|publisher=The MIT Press|access-date=2022-08-07}}</ref> na tamthilia ya kuchekesha ''ya [[Answer the Question]]'', [[Iris]]<ref>{{Citation|title=The Search for School Factors|date=2012-05-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203126622-11|work=Disaffection From School (RLE Edu M)|pages=104–119|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-12662-2|access-date=2022-08-07}}</ref> na mwandishi mchangiaji kwenye kitabu cha maandalizi cha SAT.<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/268794903|title=LD SAT study guide|last=Osborne|first=Paul|date=2009|publisher=Alpha|isbn=978-1-59257-887-0|location=New York, N.Y.|oclc=268794903}}</ref> Kwa kuongezea amekuwa ni mwanablogu mgeni kwenye [[Melibee Global]], ikionyeshwa katika muda wake ughaibuni.<ref>{{Cite web|title=Search Results for “stefanie deleo” – MelibeeGlobal.com|url=https://melibeeglobal.com/?s=stefanie+deleo|work=melibeeglobal.com|accessdate=2022-08-07}}</ref>Stefaine pia amerudi kuwa ni [[Peace Corps|peace corps]] akiwa ameishi na kufanya kazi katika mji wa Afrika Kusini wa [[Kuruman]] kwa miaka miwili na nusu, ambapo ameainishwa kama mkazi mashuhuri.
'''Marejeo'''
<references />
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
2maq8ph7ob0bwov33i5wfb5eqdjksrx
1240451
1240429
2022-08-08T04:46:38Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Stefanie DeLeo''' (alizaliwa [[Aprili 22]], [[1982]] ni mwandishi wakimarekani na mtunzi wa tamthilia anayejulikana hususani katika tamtilia yake aliyoweza kuichapisha ikihusiana na Usonji, “''Worth a thousand words''” ikimaanisha thamani ya maneno elfu moja iliyochapishwa mnamo mwaka 2010 kupitia toleo la [[JAC NEED publishers]]<ref>{{Cite journal|date=2016-12|title=LAS VEGAS SANDS CORP., a Nevada corporation, Plaintiff, v. UKNOWN REGISTRANTS OF www.wn0000.com, www.wn1111.com, www.wn2222.com, www.wn3333.com, www.wn4444.com, www.wn5555.com, www.wn6666.com, www.wn7777.com, www.wn8888.com, www.wn9999.com, www.112211.com, www.4456888.com, www.4489888.com, www.001148.com, and www.2289888.com, Defendants.|url=http://dx.doi.org/10.1089/glre.2016.201011|journal=Gaming Law Review and Economics|volume=20|issue=10|pages=859–868|doi=10.1089/glre.2016.201011|issn=1097-5349}}</ref>. Septemba 2017, alichapishwa katika toleo la [[The Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable.|''the Newest Soup for the Soul: Dreams and the unexplainable''.]]
Pia ni mwandishi wa [[Cry my safari|''Cry My Safari'']]<ref>{{Citation|title=The Amazon Infrastructure|date=2022|url=http://dx.doi.org/10.7551/mitpress/11985.003.0007|work=Four Shades of Gray|publisher=The MIT Press|access-date=2022-08-07}}</ref> na tamthilia ya kuchekesha ''ya [[Answer the Question]]'', [[Iris]]<ref>{{Citation|title=The Search for School Factors|date=2012-05-04|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203126622-11|work=Disaffection From School (RLE Edu M)|pages=104–119|publisher=Routledge|isbn=978-0-203-12662-2|access-date=2022-08-07}}</ref> na mwandishi mchangiaji kwenye kitabu cha maandalizi cha SAT.<ref>{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/268794903|title=LD SAT study guide|last=Osborne|first=Paul|date=2009|publisher=Alpha|isbn=978-1-59257-887-0|location=New York, N.Y.|oclc=268794903}}</ref> Kwa kuongezea amekuwa ni mwanablogu mgeni kwenye [[Melibee Global]], ikionyeshwa katika muda wake ughaibuni.<ref>{{Cite web|title=Search Results for “stefanie deleo” – MelibeeGlobal.com|url=https://melibeeglobal.com/?s=stefanie+deleo|work=melibeeglobal.com|accessdate=2022-08-07}}</ref>Stefaine pia amerudi kuwa ni [[Peace Corps|peace corps]] akiwa ameishi na kufanya kazi katika mji wa Afrika Kusini wa [[Kuruman]] kwa miaka miwili na nusu, ambapo ameainishwa kama mkazi mashuhuri.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
9vb676sobbo6lwztc8djeqlqo749pzd
Watu wote
0
155485
1240430
2022-08-07T22:37:27Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Watu Wote: Sisi sote, au tu Watu Wote ni filamu fupi ya Kenya na Ujerumani ya 2017, iliyoongozwa na Katja Benrath, kama mradi wake wa kuhitimu katika Shule ya Vyombo vya Habari ya Hamburg. Filamu hiyo inatokana na shambulio la basi la Desemba 2015 lililofanywa na Al-Shabaab huko Mandera, Kenya <ref>{{Citation|last=Hamden|first=Raymond H.|title=Ethnogeographic Terrorists: Religious and Political|date=2018-11-20|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781315156750-5|...'
wikitext
text/x-wiki
Watu Wote: Sisi sote, au tu Watu Wote ni filamu fupi ya Kenya na Ujerumani ya 2017, iliyoongozwa na Katja Benrath, kama mradi wake wa kuhitimu katika Shule ya Vyombo vya Habari ya Hamburg. Filamu hiyo inatokana na shambulio la basi la Desemba 2015 lililofanywa na Al-Shabaab huko Mandera, Kenya <ref>{{Citation|last=Hamden|first=Raymond H.|title=Ethnogeographic Terrorists: Religious and Political|date=2018-11-20|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781315156750-5|work=Psychology of Terrorists|pages=51–64|publisher=CRC Press|isbn=978-1-315-15675-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Jua, Mkristo anayeishi Kenya, anapanda basi la kukodi kumtembelea jamaa na hana raha kuzungukwa na abiria wa Kiislamu. Basi hilo limesimamishwa na kundi la kigaidi lenye vurugu la Al-Shabaab, ambalo wanachama wake wanawataka Waislamu kuwatambua abiria wa Kikristo. <ref>{{Cite journal|date=2017-09|title=Outstanding Dietetics Student Awards, 2017|url=http://dx.doi.org/10.1016/j.jand.2017.07.011|journal=Journal of the Academy of Nutrition and Dietetics|volume=117|issue=9|pages=1460|doi=10.1016/j.jand.2017.07.011|issn=2212-2672}}</ref> <ref>{{Cite journal|date=2017-02-21|title=Accused student challenges panel's findings|url=http://dx.doi.org/10.1002/say.30314|journal=Student Affairs Today|volume=19|issue=12|pages=10–10|doi=10.1002/say.30314|issn=1098-5166}}</ref>
== Mapokezi ==
On review aggregator website Rotten Tomatoes, the film holds an approval rating of 100% based on 9 reviews, with an average rating of 8.2/10. <ref>{{Citation|title=Bill Plympton, Academy Award–Nominated Independent Animator|date=2013-02-11|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780080514956-58|work=Producing Independent 2D Character Animation|pages=288–295|publisher=Routledge|isbn=978-0-08-051495-6|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
g1y9d5cnlz22banut86bzd0901evr6e
1240450
1240430
2022-08-08T04:44:29Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Watu Wote''' (Sisi sote, au tu Watu Wote) ni [[filamu]] fupi ya Kenya na Ujerumani ya 2017, iliyoongozwa na Katja Benrath, kama mradi wake wa kuhitimu katika Shule ya Vyombo vya Habari ya Hamburg. Filamu hiyo inatokana na shambulio la basi la Desemba 2015 lililofanywa na Al-Shabaab huko Mandera, Kenya <ref>{{Citation|last=Hamden|first=Raymond H.|title=Ethnogeographic Terrorists: Religious and Political|date=2018-11-20|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781315156750-5|work=Psychology of Terrorists|pages=51–64|publisher=CRC Press|isbn=978-1-315-15675-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Jua, Mkristo anayeishi Kenya, anapanda basi la kukodi kumtembelea jamaa na hana raha kuzungukwa na abiria wa Kiislamu. Basi hilo limesimamishwa na kundi la kigaidi lenye vurugu la Al-Shabaab, ambalo wanachama wake wanawataka Waislamu kuwatambua abiria wa Kikristo. <ref>{{Cite journal|date=2017-09|title=Outstanding Dietetics Student Awards, 2017|url=http://dx.doi.org/10.1016/j.jand.2017.07.011|journal=Journal of the Academy of Nutrition and Dietetics|volume=117|issue=9|pages=1460|doi=10.1016/j.jand.2017.07.011|issn=2212-2672}}</ref> <ref>{{Cite journal|date=2017-02-21|title=Accused student challenges panel's findings|url=http://dx.doi.org/10.1002/say.30314|journal=Student Affairs Today|volume=19|issue=12|pages=10–10|doi=10.1002/say.30314|issn=1098-5166}}</ref>
== Mapokezi ==
On review aggregator website Rotten Tomatoes, the film holds an approval rating of 100% based on 9 reviews, with an average rating of 8.2/10. <ref>{{Citation|title=Bill Plympton, Academy Award–Nominated Independent Animator|date=2013-02-11|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780080514956-58|work=Producing Independent 2D Character Animation|pages=288–295|publisher=Routledge|isbn=978-0-08-051495-6|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
qy2qmi1440thk6kt8udimpzn53yxzsu
1240598
1240450
2022-08-08T07:30:06Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Watu Wote''' (Sisi sote, au tu Watu Wote) ni [[filamu]] fupi ya Kenya na Ujerumani ya 2017, iliyoongozwa na Katja Benrath, kama mradi wake wa kuhitimu katika Shule ya Vyombo vya Habari ya Hamburg<ref>{{Citation|title=Bill Plympton, Academy Award–Nominated Independent Animator|date=2013-02-11|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780080514956-58|work=Producing Independent 2D Character Animation|pages=288–295|publisher=Routledge|isbn=978-0-08-051495-6|access-date=2022-08-07}}</ref>.
Filamu hiyo inatokana na shambulio la basi la Desemba 2015 lililofanywa na Al-Shabaab huko Mandera, Kenya <ref>{{Citation|last=Hamden|first=Raymond H.|title=Ethnogeographic Terrorists: Religious and Political|date=2018-11-20|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781315156750-5|work=Psychology of Terrorists|pages=51–64|publisher=CRC Press|isbn=978-1-315-15675-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Muundo ==
Jua, Mkristo anayeishi Kenya, anapanda basi la kukodi kumtembelea jamaa na hana raha kuzungukwa na abiria wa Kiislamu. Basi hilo limesimamishwa na kundi la kigaidi lenye vurugu la Al-Shabaab, ambalo wanachama wake wanawataka Waislamu kuwatambua abiria wa Kikristo. <ref>{{Cite journal|date=2017-09|title=Outstanding Dietetics Student Awards, 2017|url=http://dx.doi.org/10.1016/j.jand.2017.07.011|journal=Journal of the Academy of Nutrition and Dietetics|volume=117|issue=9|pages=1460|doi=10.1016/j.jand.2017.07.011|issn=2212-2672}}</ref> <ref>{{Cite journal|date=2017-02-21|title=Accused student challenges panel's findings|url=http://dx.doi.org/10.1002/say.30314|journal=Student Affairs Today|volume=19|issue=12|pages=10–10|doi=10.1002/say.30314|issn=1098-5166}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
25tovap2fnxfe6eloev08qy90mjqf25
Virunga (filamu)
0
155486
1240434
2022-08-07T22:56:37Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Virunga ni filamu ya makala ya Uingereza ya mwaka 2014 iliyoongozwa na Orlando von Einsiedel. Inaangazia kazi ya uhifadhi wa walinzi wa mbuga ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga ya Congo wakati wa kuongezeka kwa vurugu za Uasi wa M23 mnamo 2012 na kuchunguza shughuli za kampuni ya mafuta ya Uingereza Soco International ndani ya eneo la Urithi wa Dunia la UNESCO. Soco International iliishia kuchunguza rasmi fursa za mafuta huko Virunga mnamo Aprili 2014....'
wikitext
text/x-wiki
Virunga ni filamu ya makala ya Uingereza ya mwaka 2014 iliyoongozwa na Orlando von Einsiedel. Inaangazia kazi ya uhifadhi wa walinzi wa mbuga ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga ya Congo wakati wa kuongezeka kwa vurugu za Uasi wa M23 mnamo 2012 na kuchunguza shughuli za kampuni ya mafuta ya Uingereza Soco International ndani ya eneo la Urithi wa Dunia la UNESCO. Soco International iliishia kuchunguza rasmi fursa za mafuta huko Virunga mnamo Aprili 2014. <ref>{{Cite web|title=Virunga (filamu) - Search|url=https://www.bing.com/search?q=Virunga+(filamu)&cvid=dffbc5636fcb46e7ac580294deba57b9&aqs=edge..69i57j0j69i60j69i64j69i60l2.2174j0j1&pglt=43&FORM=ANAB01&PC=U531#|work=www.bing.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Filamu ilionyeshwa katika Tamasha la Filamu la Tribeca mnamo 17 Aprili 2014. Baada ya kurushwa kwenye Netflix, iliteuliwa kwa Tuzo ya Chuo cha Kipengele bora cha Hati.
== Utayalishaji ==
Uzalishaji ulianza mwaka 2012, wakati von Einsiedel aliposafiri kwenda Hifadhi ya Taifa ya Virunga katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa nia ya kuandika maendeleo mazuri ambayo yalikuwa yamefanywa na mamlaka ya hifadhi katika kuhamasisha utalii na maendeleo katika eneo hilo. Hata hivyo, ndani ya wiki tatu baada ya kuwasili Virunga, mzozo ulianza na uasi wa M23 mnamo Aprili 2012, ukibadilisha mwelekeo wa filamu ili kufidia mzozo unaoibuka. <ref>{{Citation|last=Bernard|first=Sheila Curran|title=Orlando von Einsiedel|date=2022-06-09|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781003289678-24|work=Documentary Storytelling|pages=353–366|publisher=Routledge|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Kutolewa ==
Virunga ilikuwa na premiere yake ya ulimwengu katika Tamasha la Filamu la Tribeca huko New York City mnamo 17 Aprili 2014. Kuonyeshwa kwa filamu hiyo kumekuja siku mbili tu baada ya mkuu wa wadi ya hifadhi ya taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, kupigwa risasi na watu wenye silaha wasiojulikana barabarani kutoka mji wa Goma kuelekea makao makuu ya hifadhi hiyo huko Rumangabo. <ref>{{Citation|title=Wyatt, Caroline Jane, (born 21 April 1967), Religious Affairs Correspondent, BBC, 2014–16|date=2008-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u246948|work=Who's Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>De Merode alinusurika katika shambulio hilo na waziri mkuu wa Virunga akaendelea baadaye
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
549wesbbho1z1fepjbcwqd7nbydvbyh
1240448
1240434
2022-08-08T04:40:24Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Virunga''' ni [[filamu]] ya makala ya Uingereza ya mwaka 2014 iliyoongozwa na Orlando von Einsiedel. Inaangazia kazi ya uhifadhi wa walinzi wa mbuga ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga ya Congo wakati wa kuongezeka kwa vurugu za Uasi wa M23 mnamo 2012 na kuchunguza shughuli za kampuni ya mafuta ya Uingereza Soco International ndani ya eneo la Urithi wa Dunia la UNESCO. Soco International iliishia kuchunguza rasmi fursa za mafuta huko Virunga mnamo Aprili 2014. <ref>{{Cite web|title=Virunga (filamu) - Search|url=https://www.bing.com/search?q=Virunga+(filamu)&cvid=dffbc5636fcb46e7ac580294deba57b9&aqs=edge..69i57j0j69i60j69i64j69i60l2.2174j0j1&pglt=43&FORM=ANAB01&PC=U531#|work=www.bing.com|accessdate=2022-08-07}}</ref> Filamu ilionyeshwa katika Tamasha la Filamu la Tribeca mnamo 17 Aprili 2014. Baada ya kurushwa kwenye Netflix, iliteuliwa kwa Tuzo ya Chuo cha Kipengele bora cha Hati.
== Utayalishaji ==
Uzalishaji ulianza mwaka 2012, wakati von Einsiedel aliposafiri kwenda Hifadhi ya Taifa ya Virunga katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa nia ya kuandika maendeleo mazuri ambayo yalikuwa yamefanywa na mamlaka ya hifadhi katika kuhamasisha utalii na maendeleo katika eneo hilo. Hata hivyo, ndani ya wiki tatu baada ya kuwasili Virunga, mzozo ulianza na uasi wa M23 mnamo Aprili 2012, ukibadilisha mwelekeo wa filamu ili kufidia mzozo unaoibuka. <ref>{{Citation|last=Bernard|first=Sheila Curran|title=Orlando von Einsiedel|date=2022-06-09|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781003289678-24|work=Documentary Storytelling|pages=353–366|publisher=Routledge|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Kutolewa ==
Virunga ilikuwa na premiere yake ya ulimwengu katika Tamasha la Filamu la Tribeca huko New York City mnamo 17 Aprili 2014. Kuonyeshwa kwa filamu hiyo kumekuja siku mbili tu baada ya mkuu wa wadi ya hifadhi ya taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, kupigwa risasi na watu wenye silaha wasiojulikana barabarani kutoka mji wa Goma kuelekea makao makuu ya hifadhi hiyo huko Rumangabo. <ref>{{Citation|title=Wyatt, Caroline Jane, (born 21 April 1967), Religious Affairs Correspondent, BBC, 2014–16|date=2008-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u246948|work=Who's Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>De Merode alinusurika katika shambulio hilo na waziri mkuu wa Virunga akaendelea baadaye
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
ie1r4mvt3v2gjl538hcweux2cdw6o9h
Umoja: Kijiji ambacho wanaume ni marufuku
0
155487
1240435
2022-08-07T23:02:43Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Umoja, Kijiji Ambapo Wanaume Wamekatazwa ni filamu ya makala ya Ufaransa kuhusu kijiji cha Umoja nchini Kenya, iliyoongozwa na Jean Crousillac na Jean-Marc Sainclair na kutolewa mnamo 2009. == Tuzo na uteuzi wa tamasha == Katika 2009, maandishi yalishinda tuzo ya Silver FIPA katika kitengo cha hadithi kubwa na Matukio ya Kijamii <ref>{{Cite journal|last=Sistach|first=Dominique|date=2011|title=« Interdit aux enfants et aux chiens »|url=http://dx.doi.or...'
wikitext
text/x-wiki
Umoja, Kijiji Ambapo Wanaume Wamekatazwa ni filamu ya makala ya Ufaransa kuhusu kijiji cha Umoja nchini Kenya, iliyoongozwa na Jean Crousillac na Jean-Marc Sainclair na kutolewa mnamo 2009.
== Tuzo na uteuzi wa tamasha ==
Katika 2009, maandishi yalishinda tuzo ya Silver FIPA katika kitengo cha hadithi kubwa na Matukio ya Kijamii <ref>{{Cite journal|last=Sistach|first=Dominique|date=2011|title=« Interdit aux enfants et aux chiens »|url=http://dx.doi.org/10.3917/graph.034.0045|journal=Le sociographe|volume=n° 34|issue=1|pages=45|doi=10.3917/graph.034.0045|issn=1297-6628}}</ref> na Vijana wa Ulaya Kutajwa Maalum. Pia ilishinda Tuzo ya Msalaba Mwekundu katika Tamasha la Filamu la Kimataifa la Reykjavík
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
4nvhlizc5cw7hhhbx9znm9znixl0gba
1240449
1240435
2022-08-08T04:43:05Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Umoja''', (Kijiji Ambapo Wanaume Wamekatazwa) ni [[filamu]] ya makala ya Ufaransa kuhusu kijiji cha Umoja nchini Kenya, iliyoongozwa na Jean Crousillac na Jean-Marc Sainclair na kutolewa mnamo 2009.
== Tuzo na uteuzi wa tamasha ==
Katika 2009, maandishi yalishinda tuzo ya Silver FIPA katika kitengo cha hadithi kubwa na Matukio ya Kijamii <ref>{{Cite journal|last=Sistach|first=Dominique|date=2011|title=« Interdit aux enfants et aux chiens »|url=http://dx.doi.org/10.3917/graph.034.0045|journal=Le sociographe|volume=n° 34|issue=1|pages=45|doi=10.3917/graph.034.0045|issn=1297-6628}}</ref> na Vijana wa Ulaya Kutajwa Maalum. Pia ilishinda Tuzo ya Msalaba Mwekundu katika Tamasha la Filamu la Kimataifa la Reykjavík
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
21gscakqwodqzft8ivvry7yrvqurl0i
Hii ni Kongo
0
155488
1240436
2022-08-07T23:12:44Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'HII NI KONGO (This Is Congo) ni filamu ya makala ya mwaka 2017 iliyoandaliwa na mtengenezaji wa filamu na mpiga picha wa Marekani Daniel McCabe. [1] Ilisambazwa na Mbwawoof na kutayarishwa na Turbo / Vision Film Co, T-Dog Productions, Filamu za Sabotage na Injini ya Mawazo. Filamu hiyo ina sauti juu ya mwigizaji wa Ivory Coast Isaach de Bankolé. <ref>{{Cite journal|date=2017|title=RAND Review: September-October 2017|url=http://dx.doi.org/10.7249/cp22-2017...'
wikitext
text/x-wiki
HII NI KONGO (This Is Congo) ni filamu ya makala ya mwaka 2017 iliyoandaliwa na mtengenezaji wa filamu na mpiga picha wa Marekani Daniel McCabe. [1] Ilisambazwa na Mbwawoof na kutayarishwa na Turbo / Vision Film Co, T-Dog Productions, Filamu za Sabotage na Injini ya Mawazo. Filamu hiyo ina sauti juu ya mwigizaji wa Ivory Coast Isaach de Bankolé. <ref>{{Cite journal|date=2017|title=RAND Review: September-October 2017|url=http://dx.doi.org/10.7249/cp22-2017-09|doi=10.7249/cp22-2017-09}}</ref>Ilionyeshwa katika Tamasha la Filamu la Venice kama jina la nje ya mashindano, na ilikuwa na uchunguzi katika TIFF Bell Lightbox mnamo Aprili 2018 <ref>{{Citation|last=Wallin|first=Zoë|title=The Girl Reporter Pictures|date=2019-03-07|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780429244339-3|work=Classical Hollywood Film Cycles|pages=34–80|publisher=Routledge|access-date=2022-08-07}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Groner|first=Pat N.|date=1979|title=Point of View|url=http://dx.doi.org/10.1097/00004010-197904030-00010|journal=Health Care Management Review|volume=4|issue=3|pages=37–48|doi=10.1097/00004010-197904030-00010|issn=0361-6274}}</ref>
== Mapokezi ==
Hii ni Kongo ilipokea maoni mazuri kutoka kwa wakosoaji wa filamu. Cath Clarke wa The Guardian alikadiria nyota 3 kati ya 5, akisema "ni kusoma kwa muda mrefu juu ya mzozo wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, <ref>{{Citation|last=Kerrigan|first=Heather|title=United Nations Briefing on the Humanitarian Crisis in Yemen : October 23, 2018|date=2019|url=http://dx.doi.org/10.4135/9781544352572.n49|work=Historic Documents of 2018|pages=611–621|publisher=CQ Press|access-date=2022-08-07}}</ref> <ref>{{Cite web|title=New York Times New York State Poll, October 2002|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03708.v3|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-04-25|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
q02ldsh5y96ytuq97s6cc4w4ribkrt6
1240447
1240436
2022-08-08T04:38:26Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''HII NI KONGO''' (This Is Congo) ni [[filamu]] ya makala ya mwaka 2017 iliyoandaliwa na mtengenezaji wa filamu na mpiga picha wa Marekani Daniel McCabe. [1] Ilisambazwa na Mbwawoof na kutayarishwa na Turbo / Vision Film Co, T-Dog Productions, Filamu za Sabotage na Injini ya Mawazo. Filamu hiyo ina sauti juu ya mwigizaji wa Ivory Coast Isaach de Bankolé. <ref>{{Cite journal|date=2017|title=RAND Review: September-October 2017|url=http://dx.doi.org/10.7249/cp22-2017-09|doi=10.7249/cp22-2017-09}}</ref>Ilionyeshwa katika Tamasha la Filamu la Venice kama jina la nje ya mashindano, na ilikuwa na uchunguzi katika TIFF Bell Lightbox mnamo Aprili 2018 <ref>{{Citation|last=Wallin|first=Zoë|title=The Girl Reporter Pictures|date=2019-03-07|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780429244339-3|work=Classical Hollywood Film Cycles|pages=34–80|publisher=Routledge|access-date=2022-08-07}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Groner|first=Pat N.|date=1979|title=Point of View|url=http://dx.doi.org/10.1097/00004010-197904030-00010|journal=Health Care Management Review|volume=4|issue=3|pages=37–48|doi=10.1097/00004010-197904030-00010|issn=0361-6274}}</ref>
== Mapokezi ==
Hii ni Kongo ilipokea maoni mazuri kutoka kwa wakosoaji wa filamu. Cath Clarke wa The Guardian alikadiria nyota 3 kati ya 5, akisema "ni kusoma kwa muda mrefu juu ya mzozo wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, <ref>{{Citation|last=Kerrigan|first=Heather|title=United Nations Briefing on the Humanitarian Crisis in Yemen : October 23, 2018|date=2019|url=http://dx.doi.org/10.4135/9781544352572.n49|work=Historic Documents of 2018|pages=611–621|publisher=CQ Press|access-date=2022-08-07}}</ref> <ref>{{Cite web|title=New York Times New York State Poll, October 2002|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03708.v3|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-04-25|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
abampab3tfa1gu4rdeb1vh7v7473tre
Supa Modo
0
155489
1240437
2022-08-07T23:20:11Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Supa Modo ni filamu ya maigizo iliyotayarishwa kimataifa mwaka 2018 iliyoongozwa na Likarion Wainaina. <ref>{{Cite journal|last=Klein|first=M.T.|date=1991-02-22|title=Design, synthesis, and characterization of novel fine-particle, unsupported catalysts for coal liquefaction. Technical progress report, October 26, 1990--January 26, 1991: Draft|url=http://dx.doi.org/10.2172/10157994}}</ref> Ilionyeshwa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu...'
wikitext
text/x-wiki
Supa Modo ni filamu ya maigizo iliyotayarishwa kimataifa mwaka 2018 iliyoongozwa na Likarion Wainaina. <ref>{{Cite journal|last=Klein|first=M.T.|date=1991-02-22|title=Design, synthesis, and characterization of novel fine-particle, unsupported catalysts for coal liquefaction. Technical progress report, October 26, 1990--January 26, 1991: Draft|url=http://dx.doi.org/10.2172/10157994}}</ref> Ilionyeshwa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la 68 la Berlin. <ref>{{Cite journal|last=Fisher|first=Jennifer|date=2018|title=What Press Releases Can Do|url=http://dx.doi.org/10.5070/d561040992|journal=Dance Major Journal|volume=6|doi=10.5070/d561040992|issn=2578-9627}}</ref>Ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya kwa Filamu Bora ya Lugha ya Kigeni katika Tuzo za 91 za Chuo, lakini haikuteuliwa. <ref>{{Cite journal|date=2018-08-31|title=September 2018|url=http://dx.doi.org/10.1144/geosci-28-8|journal=Geoscientist|volume=28|issue=8|doi=10.1144/geosci-28-8|issn=0961-5628}}</ref>
== Muundo ==
Jo ni msichana mdogo anayeishi katika kijiji kidogo nchini Kenya. Ni ndoto yake kuwa shujaa mkuu, lakini kwa bahati mbaya matarajio haya yanazuiwa na ugonjwa wake wa terminal unaokaribia. Kama jaribio la kufanya tamaa zake ziwezekane kijiji kizima kinapanga mpango wa fikra kwa lengo la kufanya matamanio yake yatimie.<ref>{{Cite journal|last=Fotouh|first=K.H.|date=1995-07-01|title=Support of EOR to independent producers in Texas. [Quarterly report], January 30, 1995--April 30, 1995|url=http://dx.doi.org/10.2172/93945}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
mludy724ceb6kc31g2jr6lmelfe71oc
1240446
1240437
2022-08-08T04:36:28Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Supa Modo''' ni [[filamu]] ya maigizo iliyotayarishwa kimataifa mwaka 2018 iliyoongozwa na Likarion Wainaina. <ref>{{Cite journal|last=Klein|first=M.T.|date=1991-02-22|title=Design, synthesis, and characterization of novel fine-particle, unsupported catalysts for coal liquefaction. Technical progress report, October 26, 1990--January 26, 1991: Draft|url=http://dx.doi.org/10.2172/10157994}}</ref> Ilionyeshwa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la 68 la Berlin. <ref>{{Cite journal|last=Fisher|first=Jennifer|date=2018|title=What Press Releases Can Do|url=http://dx.doi.org/10.5070/d561040992|journal=Dance Major Journal|volume=6|doi=10.5070/d561040992|issn=2578-9627}}</ref>Ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya kwa Filamu Bora ya Lugha ya Kigeni katika Tuzo za 91 za Chuo, lakini haikuteuliwa. <ref>{{Cite journal|date=2018-08-31|title=September 2018|url=http://dx.doi.org/10.1144/geosci-28-8|journal=Geoscientist|volume=28|issue=8|doi=10.1144/geosci-28-8|issn=0961-5628}}</ref>
== Muundo ==
Jo ni msichana mdogo anayeishi katika kijiji kidogo nchini Kenya. Ni ndoto yake kuwa shujaa mkuu, lakini kwa bahati mbaya matarajio haya yanazuiwa na ugonjwa wake wa terminal unaokaribia. Kama jaribio la kufanya tamaa zake ziwezekane kijiji kizima kinapanga mpango wa fikra kwa lengo la kufanya matamanio yake yatimie.<ref>{{Cite journal|last=Fotouh|first=K.H.|date=1995-07-01|title=Support of EOR to independent producers in Texas. [Quarterly report], January 30, 1995--April 30, 1995|url=http://dx.doi.org/10.2172/93945}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
iadzhpwrr8rrj0sjp1bjmgwc5z7iym6
Subira (filamu ya 2018)
0
155490
1240438
2022-08-07T23:23:40Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Subira ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2018 iliyoongozwa na Ravneet Sippy Chadha. Ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha Filamu Bora ya Kimataifa ya Kipengele katika Tuzo za 92 za Academy, lakini haikuteuliwa.<ref>{{Cite journal|last=Tapper|first=Michael|date=2005-11|title=Explorations into New Genre Realms|url=http://dx.doi.org/10.1386/fiin.3.6.60|journal=Film International|volume=3|issue=6|pages=60–61|doi=10.1386/fiin.3.6.60|issn=1651-6826}}<...'
wikitext
text/x-wiki
Subira ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2018 iliyoongozwa na Ravneet Sippy Chadha. Ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha Filamu Bora ya Kimataifa ya Kipengele katika Tuzo za 92 za Academy, lakini haikuteuliwa.<ref>{{Cite journal|last=Tapper|first=Michael|date=2005-11|title=Explorations into New Genre Realms|url=http://dx.doi.org/10.1386/fiin.3.6.60|journal=Film International|volume=3|issue=6|pages=60–61|doi=10.1386/fiin.3.6.60|issn=1651-6826}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
3wr9j3pdgcwine4od1mee4w9g162b1k
1240445
1240438
2022-08-08T04:34:41Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Subira''' ni [[filamu]] ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2018 iliyoongozwa na Ravneet Sippy Chadha. Ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha Filamu Bora ya Kimataifa ya Kipengele katika Tuzo za 92 za Academy, lakini haikuteuliwa.<ref>{{Cite journal|last=Tapper|first=Michael|date=2005-11|title=Explorations into New Genre Realms|url=http://dx.doi.org/10.1386/fiin.3.6.60|journal=Film International|volume=3|issue=6|pages=60–61|doi=10.1386/fiin.3.6.60|issn=1651-6826}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-filamu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
earus461g9m9hsravdsv52g136a361c
Simulizi za maisha yetu
0
155491
1240439
2022-08-07T23:32:16Z
Codtz
47187
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Hadithi za Maisha Yetu ni filamu ya Kenya, iliyotolewa mwaka wa 2014. Imeundwa na wanachama wa The Nest Collective, mkusanyiko wa sanaa wenye makao yake jijini Nairobi, filamu hiyo ni antholojia ya filamu tano fupi zinazoigiza hadithi za kweli za maisha ya LGBT nchini Kenya. <ref>{{Citation|last=Stinson|first=Susan|title=What We Teach is Who We are: The Stories of Our Lives|url=http://dx.doi.org/10.1007/0-306-47511-1_14|work=The Arts in Children’s Lives|...'
wikitext
text/x-wiki
Hadithi za Maisha Yetu ni filamu ya Kenya, iliyotolewa mwaka wa 2014. Imeundwa na wanachama wa The Nest Collective, mkusanyiko wa sanaa wenye makao yake jijini Nairobi, filamu hiyo ni antholojia ya filamu tano fupi zinazoigiza hadithi za kweli za maisha ya LGBT nchini Kenya. <ref>{{Citation|last=Stinson|first=Susan|title=What We Teach is Who We are: The Stories of Our Lives|url=http://dx.doi.org/10.1007/0-306-47511-1_14|work=The Arts in Children’s Lives|pages=157–168|publisher=Kluwer Academic Publishers|isbn=1-4020-0471-0|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Kutolewa ==
Kwa sababu hali ya kisheria ya ushoga nchini Kenya ingeweza kuwaweka wanachama wa pamoja katika hatari ya kukamatwa, wanachama binafsi wa pamoja walibaki bila kujulikana katika sifa za filamu hiyo. <ref>{{Citation|title=September 1, 1999. Australia’s First Openly Gay|date=2014-02-25|url=http://dx.doi.org/10.4324/9781315801704-212|work=Speaking for Our Lives|pages=803–809|publisher=Routledge|access-date=2022-08-07}}</ref> Wakati filamu hiyo ilipoonyeshwa katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Toronto la 2014 mnamo Septemba 2014, wanachama watatu wa pamoja - Jim Chuchu, George Gachara na Njoki Ngumi - waliamua kufichua majina yao katika mahojiano na gazeti la LGBT la Toronto Xtra!.<ref>{{Citation|title=Come Out of Your Political Closets To Israeli Filmmakers|date=2011-01-31|url=http://dx.doi.org/10.7312/alon15758-020|work=What Does a Jew Want?|publisher=Columbia University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
g6m4kt6tisc676svcrw6s5u3sfva260
Majadiliano ya mtumiaji:Peter200
3
155492
1240456
2022-08-08T05:09:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:09, 8 Agosti 2022 (UTC)
ax7866x2l611n6dxtp3vex5c6bxmnwf
Majadiliano ya mtumiaji:Geimfyglið
3
155493
1240457
2022-08-08T05:10:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:10, 8 Agosti 2022 (UTC)
0e420kl3em5ewneam2cefppj11fbnfy
Majadiliano ya mtumiaji:Peccafly
3
155494
1240458
2022-08-08T05:10:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:10, 8 Agosti 2022 (UTC)
0e420kl3em5ewneam2cefppj11fbnfy
Majadiliano ya mtumiaji:Alfasud06
3
155495
1240459
2022-08-08T05:11:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:11, 8 Agosti 2022 (UTC)
tj53ortxattdc6qup2pk2inh4iq8vyd
Majadiliano ya mtumiaji:Jaanusele
3
155496
1240460
2022-08-08T05:11:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:11, 8 Agosti 2022 (UTC)
tj53ortxattdc6qup2pk2inh4iq8vyd
Majadiliano ya mtumiaji:Xuqingbai
3
155497
1240461
2022-08-08T05:12:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
kc8z1xibej4j6yvrh8gds4ipi9lhuwd
Majadiliano ya mtumiaji:Gondnok
3
155498
1240462
2022-08-08T05:12:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
kc8z1xibej4j6yvrh8gds4ipi9lhuwd
Majadiliano ya mtumiaji:Kevyn
3
155499
1240463
2022-08-08T05:13:00Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
hjarxd9u552e46li0nshtdqsmsv51rv
Majadiliano ya mtumiaji:Teixant
3
155500
1240464
2022-08-08T05:13:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
hjarxd9u552e46li0nshtdqsmsv51rv
Majadiliano ya mtumiaji:Loten
3
155501
1240465
2022-08-08T05:14:00Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
0m4v1wegkpv84rqnwlyxr4r64mp9eo0
Majadiliano ya mtumiaji:Paso kwa Paso
3
155502
1240466
2022-08-08T05:14:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
0m4v1wegkpv84rqnwlyxr4r64mp9eo0
Majadiliano ya mtumiaji:Elnegrojose
3
155503
1240467
2022-08-08T05:15:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
8qhzf5fe53odccoblt6vm7igcrsyt57
Majadiliano ya mtumiaji:Noropdoropi
3
155504
1240468
2022-08-08T05:15:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
8qhzf5fe53odccoblt6vm7igcrsyt57
Majadiliano ya mtumiaji:Anarabert
3
155505
1240469
2022-08-08T05:16:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
h12du2putvqn9xb91sdb2x32tdx2q92
Majadiliano ya mtumiaji:😂
3
155506
1240470
2022-08-08T05:16:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
h12du2putvqn9xb91sdb2x32tdx2q92
Majadiliano ya mtumiaji:PeterSymonds
3
155507
1240471
2022-08-08T05:16:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
h12du2putvqn9xb91sdb2x32tdx2q92
Majadiliano ya mtumiaji:Ryan
3
155508
1240472
2022-08-08T05:17:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
nwj4fnyqnt2o6zgnf9pyv7gle5k3tnc
Majadiliano ya mtumiaji:Shureg
3
155509
1240473
2022-08-08T05:17:58Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
nwj4fnyqnt2o6zgnf9pyv7gle5k3tnc
Majadiliano ya mtumiaji:Wiher
3
155510
1240474
2022-08-08T05:18:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
2r12y0l5wjyo6oybqyqioqaedklnlen
Majadiliano ya mtumiaji:Turuva
3
155511
1240475
2022-08-08T05:18:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
2r12y0l5wjyo6oybqyqioqaedklnlen
Majadiliano ya mtumiaji:Theo
3
155512
1240476
2022-08-08T05:19:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
4a84fv8i86l8spkb0f7d83ay4hvdnfh
Majadiliano ya mtumiaji:Francescoluciano93
3
155513
1240477
2022-08-08T05:19:58Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
4a84fv8i86l8spkb0f7d83ay4hvdnfh
Majadiliano ya mtumiaji:Msoffe N. L. Msoffe
3
155514
1240478
2022-08-08T05:20:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:20, 8 Agosti 2022 (UTC)
662qr3p902y9qvy19mb7jb1iot6oxzq
Majadiliano ya mtumiaji:Xantener
3
155515
1240479
2022-08-08T05:20:47Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:20, 8 Agosti 2022 (UTC)
662qr3p902y9qvy19mb7jb1iot6oxzq
Majadiliano ya mtumiaji:JörgenMoorlag
3
155516
1240480
2022-08-08T05:21:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:21, 8 Agosti 2022 (UTC)
ifepwk8xr3ayc8rkmwx1opl0btitpwv
Majadiliano ya mtumiaji:Zotico
3
155517
1240481
2022-08-08T05:21:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:21, 8 Agosti 2022 (UTC)
ifepwk8xr3ayc8rkmwx1opl0btitpwv
Majadiliano ya mtumiaji:Radomil
3
155518
1240482
2022-08-08T05:22:37Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:22, 8 Agosti 2022 (UTC)
gzait0dre0g318hy57pasrsqqx8kjiw
Majadiliano ya mtumiaji:Mateusz Lemôlálô
3
155519
1240483
2022-08-08T05:23:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:23, 8 Agosti 2022 (UTC)
5429w0fq8ozsihrnulx38g6eqtww5kl
Majadiliano ya mtumiaji:Aramaicus
3
155520
1240484
2022-08-08T05:23:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:23, 8 Agosti 2022 (UTC)
5429w0fq8ozsihrnulx38g6eqtww5kl
Majadiliano ya mtumiaji:Open2universe
3
155521
1240485
2022-08-08T05:23:58Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:23, 8 Agosti 2022 (UTC)
5429w0fq8ozsihrnulx38g6eqtww5kl
Majadiliano ya mtumiaji:AGOT
3
155522
1240486
2022-08-08T05:24:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:24, 8 Agosti 2022 (UTC)
olsrzuwra8kkis7royo3jckm59jyfks
Majadiliano ya mtumiaji:Kneiphof
3
155523
1240487
2022-08-08T05:24:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:24, 8 Agosti 2022 (UTC)
olsrzuwra8kkis7royo3jckm59jyfks
Majadiliano ya mtumiaji:Paelius
3
155524
1240488
2022-08-08T05:25:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:25, 8 Agosti 2022 (UTC)
rx29k0d9hp752rl0pu6sqxr205xp9ed
Majadiliano ya mtumiaji:Iguacu
3
155525
1240489
2022-08-08T05:26:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:26, 8 Agosti 2022 (UTC)
lnfxay9j0h888dicliracdfzeihzes3
Majadiliano ya mtumiaji:Garber
3
155526
1240490
2022-08-08T05:26:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:26, 8 Agosti 2022 (UTC)
lnfxay9j0h888dicliracdfzeihzes3
Majadiliano ya mtumiaji:Zobango
3
155527
1240491
2022-08-08T05:27:09Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
cheuuarnxxltchkaom8dgu3z22bgcyv
Majadiliano ya mtumiaji:חי
3
155528
1240492
2022-08-08T05:27:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
cheuuarnxxltchkaom8dgu3z22bgcyv
Majadiliano ya mtumiaji:Egaida
3
155529
1240493
2022-08-08T05:28:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
o3v1p806sxt2o95nf8iafbv1eqmfks4
Majadiliano ya mtumiaji:Law soma
3
155530
1240494
2022-08-08T05:28:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
o3v1p806sxt2o95nf8iafbv1eqmfks4
Majadiliano ya mtumiaji:Albert Krantz
3
155531
1240495
2022-08-08T05:29:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
2xepmtep5q4d2zbz3aci4zi5uyg6hso
Majadiliano ya mtumiaji:Mhaesen
3
155532
1240496
2022-08-08T05:29:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
2xepmtep5q4d2zbz3aci4zi5uyg6hso
Majadiliano ya mtumiaji:Oscar P
3
155533
1240497
2022-08-08T05:29:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
2xepmtep5q4d2zbz3aci4zi5uyg6hso
Majadiliano ya mtumiaji:Fractalizator
3
155534
1240498
2022-08-08T05:30:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
pxbiyxa1c6691znwkkf6tpth4y4w6j0
Majadiliano ya mtumiaji:DIPPY
3
155535
1240499
2022-08-08T05:31:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
fkqv5jryprl40o5eejttl0qc3jczuuv
Majadiliano ya mtumiaji:Kachitta
3
155536
1240500
2022-08-08T05:31:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
fkqv5jryprl40o5eejttl0qc3jczuuv
Majadiliano ya mtumiaji:曖
3
155537
1240501
2022-08-08T05:31:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
fkqv5jryprl40o5eejttl0qc3jczuuv
Majadiliano ya mtumiaji:Asvaghosa
3
155538
1240502
2022-08-08T05:32:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
5n59zy84uakd1mv2yruwrruzt5x67pw
Majadiliano ya mtumiaji:Kusma
3
155539
1240503
2022-08-08T05:32:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
5n59zy84uakd1mv2yruwrruzt5x67pw
Majadiliano ya mtumiaji:Conrad.Irwin
3
155540
1240504
2022-08-08T05:33:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
0rzl2etxv48qp58t2vcsn7rplfnkcb6
Majadiliano ya mtumiaji:Netrat
3
155541
1240505
2022-08-08T05:33:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
0rzl2etxv48qp58t2vcsn7rplfnkcb6
Majadiliano ya mtumiaji:Phlyming
3
155542
1240506
2022-08-08T05:35:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:35, 8 Agosti 2022 (UTC)
aloq5m1u5l6j36ykuelht7nk28viwao
Majadiliano ya mtumiaji:SignIDlike
3
155543
1240507
2022-08-08T05:35:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:35, 8 Agosti 2022 (UTC)
aloq5m1u5l6j36ykuelht7nk28viwao
Majadiliano ya mtumiaji:Kaihsu
3
155544
1240508
2022-08-08T05:36:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:36, 8 Agosti 2022 (UTC)
m8447putqdtwej0wkbwz2bw5cj1qaqn
Majadiliano ya mtumiaji:Mm40
3
155545
1240509
2022-08-08T05:36:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:36, 8 Agosti 2022 (UTC)
m8447putqdtwej0wkbwz2bw5cj1qaqn
Majadiliano ya mtumiaji:Ralala
3
155546
1240510
2022-08-08T05:36:41Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:36, 8 Agosti 2022 (UTC)
m8447putqdtwej0wkbwz2bw5cj1qaqn
Majadiliano ya mtumiaji:Groupsixty
3
155547
1240511
2022-08-08T05:37:06Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
p1oc0drhz5ewg2sqck84fzj1ks5iwx7
Majadiliano ya mtumiaji:Burrows
3
155548
1240512
2022-08-08T05:37:34Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
p1oc0drhz5ewg2sqck84fzj1ks5iwx7
Majadiliano ya mtumiaji:Adamantios
3
155549
1240513
2022-08-08T05:37:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
p1oc0drhz5ewg2sqck84fzj1ks5iwx7
Majadiliano ya mtumiaji:Kggucwa
3
155550
1240514
2022-08-08T05:38:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:38, 8 Agosti 2022 (UTC)
g2xp6s09mou2hr79bjeb8dr9ws6dmt6
Majadiliano ya mtumiaji:محمد عزيز
3
155551
1240515
2022-08-08T05:38:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:38, 8 Agosti 2022 (UTC)
g2xp6s09mou2hr79bjeb8dr9ws6dmt6
Majadiliano ya mtumiaji:Rentice
3
155552
1240516
2022-08-08T05:39:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
gky9rwj38poj6z4qmz4lblszafckils
Majadiliano ya mtumiaji:Elephantissimo
3
155553
1240517
2022-08-08T05:39:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
gky9rwj38poj6z4qmz4lblszafckils
Majadiliano ya mtumiaji:HAL Neuntausend
3
155554
1240518
2022-08-08T05:40:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
nqctqfgbd280sqlffx57rtz4em37ck4
Majadiliano ya mtumiaji:Remi0o
3
155555
1240519
2022-08-08T05:40:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
nqctqfgbd280sqlffx57rtz4em37ck4
Majadiliano ya mtumiaji:Errie22
3
155556
1240520
2022-08-08T05:41:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
q5oqaw419vbchbusljk1dc7lnmn17u7
Majadiliano ya mtumiaji:Mozzan
3
155557
1240521
2022-08-08T05:42:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
t6hdo7xa61rw9lgreovscdwuqsg524q
Majadiliano ya mtumiaji:KTo288
3
155558
1240522
2022-08-08T05:43:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
7y47n16n6gg73evg7gw8fivhbz9n9hg
Majadiliano ya mtumiaji:Grimlock
3
155559
1240523
2022-08-08T05:47:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
e20tz2hxco8e5rskg9xotkfur8u1sxv
Majadiliano ya mtumiaji:Matasg
3
155560
1240524
2022-08-08T05:48:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
q00m4pinmirbb1fx8mkflfa95qbkaul
Majadiliano ya mtumiaji:790
3
155561
1240525
2022-08-08T05:48:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
q00m4pinmirbb1fx8mkflfa95qbkaul
Majadiliano ya mtumiaji:Permjak
3
155562
1240526
2022-08-08T05:49:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
fzqez1yt2xiakkqhac0iyknnvivluvb
Majadiliano ya mtumiaji:Editorofthewiki
3
155563
1240527
2022-08-08T05:49:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
fzqez1yt2xiakkqhac0iyknnvivluvb
Majadiliano ya mtumiaji:Ekton
3
155564
1240528
2022-08-08T05:50:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
t81qgyeavwxlsglzmaeml8lss0p9z4y
Majadiliano ya mtumiaji:JohnManuel
3
155565
1240529
2022-08-08T05:50:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
t81qgyeavwxlsglzmaeml8lss0p9z4y
Majadiliano ya mtumiaji:Renamed user ixgysjijel
3
155566
1240530
2022-08-08T05:51:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
qpmqqcurki3qkdrhu248ndeu08p1isn
Majadiliano ya mtumiaji:Tpbradbury
3
155567
1240531
2022-08-08T05:51:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
qpmqqcurki3qkdrhu248ndeu08p1isn
Majadiliano ya mtumiaji:Interfector
3
155568
1240532
2022-08-08T05:52:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
hqe7uyo93wqr3mqkyqgg6shc3ec09vq
Majadiliano ya mtumiaji:Scannagrilli
3
155569
1240533
2022-08-08T05:52:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
hqe7uyo93wqr3mqkyqgg6shc3ec09vq
Majadiliano ya mtumiaji:Tigershrike
3
155570
1240534
2022-08-08T05:53:09Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
lgr9to435822fwusqu9zhwg2zivs8so
Majadiliano ya mtumiaji:Stwalkerster
3
155571
1240535
2022-08-08T05:53:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
lgr9to435822fwusqu9zhwg2zivs8so
Majadiliano ya mtumiaji:Konradek
3
155572
1240536
2022-08-08T05:54:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
e2bx1gr7xnbt76sg8by7ypphtcvie1w
Majadiliano ya mtumiaji:20percent
3
155573
1240537
2022-08-08T05:54:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
e2bx1gr7xnbt76sg8by7ypphtcvie1w
Majadiliano ya mtumiaji:Diti
3
155574
1240538
2022-08-08T05:55:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:55, 8 Agosti 2022 (UTC)
8uif6xjt3avyr4icrp6snd11bfl8cc7
Majadiliano ya mtumiaji:Warpath
3
155575
1240539
2022-08-08T05:55:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:55, 8 Agosti 2022 (UTC)
8uif6xjt3avyr4icrp6snd11bfl8cc7
Majadiliano ya mtumiaji:Ironicon
3
155576
1240540
2022-08-08T05:56:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
b7m29a8zbiy843f3ialan1rv7mvskxt
Majadiliano ya mtumiaji:Arienh4
3
155577
1240541
2022-08-08T05:56:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
b7m29a8zbiy843f3ialan1rv7mvskxt
Majadiliano ya mtumiaji:Yoshy921
3
155578
1240542
2022-08-08T05:57:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:57, 8 Agosti 2022 (UTC)
2q7vh7ojkcuxqyv7vqul4g6d48ztep9
Majadiliano ya mtumiaji:Okrach
3
155579
1240543
2022-08-08T05:57:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:57, 8 Agosti 2022 (UTC)
2q7vh7ojkcuxqyv7vqul4g6d48ztep9
Majadiliano ya mtumiaji:Hburdon
3
155580
1240544
2022-08-08T05:58:09Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:58, 8 Agosti 2022 (UTC)
pxusyhhvaqp70tc42px1sjq7v9yb0p8
Majadiliano ya mtumiaji:Shibo77
3
155581
1240545
2022-08-08T05:58:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:58, 8 Agosti 2022 (UTC)
pxusyhhvaqp70tc42px1sjq7v9yb0p8
Majadiliano ya mtumiaji:AttoRenato
3
155582
1240546
2022-08-08T05:59:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:59, 8 Agosti 2022 (UTC)
737fbx8ioxbuxtqxm9ubganghwjit4z
Majadiliano ya mtumiaji:Mravinszky
3
155583
1240547
2022-08-08T05:59:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:59, 8 Agosti 2022 (UTC)
737fbx8ioxbuxtqxm9ubganghwjit4z
Majadiliano ya mtumiaji:Yzb
3
155584
1240548
2022-08-08T05:59:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:59, 8 Agosti 2022 (UTC)
737fbx8ioxbuxtqxm9ubganghwjit4z
Majadiliano ya mtumiaji:RohanBot
3
155585
1240549
2022-08-08T06:00:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:00, 8 Agosti 2022 (UTC)
k8ndd8ji5i5pu835lv5wcuwn08jb05u
Majadiliano ya mtumiaji:Mardetanha
3
155586
1240550
2022-08-08T06:00:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:00, 8 Agosti 2022 (UTC)
k8ndd8ji5i5pu835lv5wcuwn08jb05u
Majadiliano ya mtumiaji:Rotkraut
3
155587
1240551
2022-08-08T06:01:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
0mfelnoffexyvdyv8kzazx4kflz6hyf
Majadiliano ya mtumiaji:Anders
3
155588
1240552
2022-08-08T06:01:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
0mfelnoffexyvdyv8kzazx4kflz6hyf
Majadiliano ya mtumiaji:Abiyoyo
3
155589
1240553
2022-08-08T06:02:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
r4ppa0rbnp7nyr2ynk9oxlk1jhy6gs1
Majadiliano ya mtumiaji:Filnik
3
155590
1240554
2022-08-08T06:02:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
r4ppa0rbnp7nyr2ynk9oxlk1jhy6gs1
Majadiliano ya mtumiaji:BetacommandBot
3
155591
1240555
2022-08-08T06:03:00Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
hvvvo79cfa4g5nh8w7lq57tp47ea6m7
Majadiliano ya mtumiaji:Fabexplosive
3
155592
1240556
2022-08-08T06:03:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
hvvvo79cfa4g5nh8w7lq57tp47ea6m7
Majadiliano ya mtumiaji:RMHED
3
155593
1240557
2022-08-08T06:03:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
hvvvo79cfa4g5nh8w7lq57tp47ea6m7
Majadiliano ya mtumiaji:Tygrrr
3
155594
1240558
2022-08-08T06:04:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:04, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ydfqb5liaismhm58rfv5h5mg7j2qy6
Majadiliano ya mtumiaji:Pfainuk
3
155595
1240559
2022-08-08T06:04:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:04, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ydfqb5liaismhm58rfv5h5mg7j2qy6
Majadiliano ya mtumiaji:Laitche
3
155596
1240560
2022-08-08T06:05:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 8 Agosti 2022 (UTC)
tbxpd2yvky660vgch35kxy2vue06zx9
Majadiliano ya mtumiaji:Willy.on.Wheels Special Edition
3
155597
1240561
2022-08-08T06:05:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 8 Agosti 2022 (UTC)
tbxpd2yvky660vgch35kxy2vue06zx9
Majadiliano ya mtumiaji:Sarcelles
3
155598
1240562
2022-08-08T06:05:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 8 Agosti 2022 (UTC)
tbxpd2yvky660vgch35kxy2vue06zx9
Majadiliano ya mtumiaji:Delfindakila
3
155599
1240563
2022-08-08T06:06:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:06, 8 Agosti 2022 (UTC)
8loaqbj79icndwhgrs4edzj8h32y6t2
Majadiliano ya mtumiaji:Evil berry
3
155600
1240564
2022-08-08T06:06:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:06, 8 Agosti 2022 (UTC)
8loaqbj79icndwhgrs4edzj8h32y6t2
Majadiliano ya mtumiaji:JurgenG
3
155601
1240565
2022-08-08T06:07:06Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:07, 8 Agosti 2022 (UTC)
b256ciunt5fk0gnh4b7w2osx25qhdam
Mtumiaji:Rotkraut
2
155602
1240566
2022-08-08T06:08:09Z
Rotkraut
807
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Babel|de|fr-3|en-3|pl-1|sw-0}} {{User SUL Box|de}}'
wikitext
text/x-wiki
{{Babel|de|fr-3|en-3|pl-1|sw-0}}
{{User SUL Box|de}}
jew18wvj34gzaecf7r52rfju5gwrx2s
Majadiliano ya mtumiaji:PetaRZ
3
155603
1240567
2022-08-08T06:12:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
jkxvz276v8hjtef14d91ea6150x8h9s
Jamii:Bahai
14
155604
1240571
2022-08-08T06:53:42Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Dini]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Dini]]
ryy3d06jcchvoigific5ajsz8zfz4ui
Poacher(filamu)
0
155605
1240575
2022-08-08T06:56:53Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Poacher(filamu)]] hadi [[Poacher (filamu)]]: Usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Poacher (filamu)]]
8qqya9d0171wnnnx5na4uo0c5edeqs2
Kigezo:Country data Swaziland
10
155606
1240581
2022-08-08T07:04:26Z
Bestoernesto
23840
Bestoernesto alihamisha ukurasa wa [[Kigezo:Country data Swaziland]] hadi [[Kigezo:Country data Eswatini]]: upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Kigezo:Country data Eswatini]]
sm3ri3mel088fb2v9ik5nbc96g0mdah
Majadiliano ya kigezo:Country data Swaziland
11
155607
1240583
2022-08-08T07:04:26Z
Bestoernesto
23840
Bestoernesto alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya kigezo:Country data Swaziland]] hadi [[Majadiliano ya kigezo:Country data Eswatini]]: upgrade Eswatini
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya kigezo:Country data Eswatini]]
rt0eqvgj88be90q2443i1kvr3zu6ut9
The White Masai (filamu)
0
155608
1240595
2022-08-08T07:27:08Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[The White Masai (filamu)]] hadi [[The White Masai]]: urahisi wa kuupata
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[The White Masai]]
sxw3ereqx9ltcewch1av1g2d6yqplfj
Majadiliano ya mtumiaji:MAYUNGA Simba
3
155609
1240597
2022-08-08T07:28:23Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
no84r0unnsk6gazzfumykxtgffvfco4
Majadiliano ya mtumiaji:Bestoernesto
3
155610
1240601
2022-08-08T07:34:07Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:34, 8 Agosti 2022 (UTC)
eeaakdy11ei3td39ft82a4i39oqbyxk
Dola la Persia
0
155611
1240611
2022-08-08T08:16:22Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Uajemi ya Kale]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[uajemi ya Kale]]
99ygcokzlf5g9bni6mj715ml6ms2la1
Yohane wa Buonagiunta
0
155612
1240623
2022-08-08T08:35:38Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], Italia [[1257]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99087</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], h...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], Italia [[1257]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99087</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1257]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
9xbpgoe238x1kn6ow8t409l5i5wp3s3
Buonfiglio wa Monaldi
0
155613
1240625
2022-08-08T08:37:49Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1 Januari]] [[1262]]) alikuwa wa kwanza<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99086</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] 1 De...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1 Januari]] [[1262]]) alikuwa wa kwanza<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99086</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1262]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
prtx03llxqfi0ycrs8nkuewoc3wc6a2
Benedikto wa Antella
0
155614
1240626
2022-08-08T08:39:14Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[20 Agosti]] [[1268]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99088</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] 1 De...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[20 Agosti]] [[1268]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99088</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1268]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
k1xcruvrp0rzvh7jko1qzw1d8tx86ss
Amadeo wa Amidei
0
155615
1240627
2022-08-08T08:40:21Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1266]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99089</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] 1717...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1266]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99089</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1266]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
ndw5sa6jrr2rv2w1rufmgktvesbaem5
Rikovero wa Lippi-Ugguccioni
0
155616
1240630
2022-08-08T08:41:40Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1282]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99091</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] 1717...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1282]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99091</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1282]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
90ypau3xrbmtx9h40qcjgdy1wo48brp
Gerardino wa Sostegno
0
155617
1240631
2022-08-08T08:42:30Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1282]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99090</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>. Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] 1717...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SetServitesFondatori.jpg|thumb|200 pix|Waanzilishi saba pamoja.]]
'''{{PAGENAME}}''' (alifariki [[Monte Senario]], [[Italia]], [[1282]]) alikuwa mmojawapo<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/99090</ref> kati ya [[mwanzilishi|waanzilishi]] [[Waanzilishi saba|saba]] wa [[shirika]] la [[Watumishi wa Maria]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/26150</ref>.
Alitangazwa na [[Papa Klementi XI]] kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[1 Desemba]] [[1717]], halafu [[Papa Leo XIII]] alimtangaza [[mtakatifu]] pamoja na wenzake tarehe [[15 Januari]] [[1888]].
[[Sikukuu]] yao inaadhimishwa kila tarehe [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* ''Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317'', a cura di Agostino M. Morini, [[Servi di Maria|OSM]] in: ''Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.)'', I, Bruxelles 1897, pp. 60-106.
==Viungo vya nje==
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml 17 February saints] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml |date=20120212232210 }} at St. Patrick Catholic Church
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 13]]
[[Category:Waliofariki 1282]]
[[Category:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watumishi wa Maria]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
edj9xe1pwpv1ijrc2ofg43jti9qjtd0
Ombaomba
0
155618
1240632
2022-08-08T08:43:12Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Mashirika ya ombaomba]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[mashirika ya ombaomba]]
87de3yt0ji691xq32jpypqmhylrmzcl
Majadiliano ya mtumiaji:Kamara2109
3
155619
1240633
2022-08-08T08:45:08Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
ln07gwvmjcaeylsjtvwce1fp8uyy3bo
Majadiliano ya mtumiaji:Kahabi Assa
3
155620
1240634
2022-08-08T08:45:31Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
ln07gwvmjcaeylsjtvwce1fp8uyy3bo
Majadiliano ya mtumiaji:Immah 146
3
155621
1240635
2022-08-08T08:45:52Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
ln07gwvmjcaeylsjtvwce1fp8uyy3bo
Majadiliano ya mtumiaji:Pwjb
3
155622
1240638
2022-08-08T08:56:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
6vtcyt2bks2xjzgrictgs8j7md83p25
Majadiliano ya mtumiaji:Bogorm
3
155623
1240640
2022-08-08T08:58:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:58, 8 Agosti 2022 (UTC)
s6s6q25v95e82q7z2o6bz9kxik2n64p
Majadiliano ya mtumiaji:Emesee
3
155624
1240642
2022-08-08T08:59:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:59, 8 Agosti 2022 (UTC)
06m8xj891vwilpx16xgm9jr7n88ichv
Majadiliano ya mtumiaji:Maloq
3
155625
1240644
2022-08-08T08:59:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:59, 8 Agosti 2022 (UTC)
06m8xj891vwilpx16xgm9jr7n88ichv
Majadiliano ya mtumiaji:Jacob.jose
3
155626
1240645
2022-08-08T09:00:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:00, 8 Agosti 2022 (UTC)
djygd19iaxlv2izb670hm9d3y9b6o5z
Majadiliano ya mtumiaji:Remigiu
3
155627
1240646
2022-08-08T09:00:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:00, 8 Agosti 2022 (UTC)
djygd19iaxlv2izb670hm9d3y9b6o5z
Majadiliano ya mtumiaji:Slgrandson
3
155628
1240647
2022-08-08T09:00:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:00, 8 Agosti 2022 (UTC)
djygd19iaxlv2izb670hm9d3y9b6o5z
Majadiliano ya mtumiaji:SyG
3
155629
1240648
2022-08-08T09:01:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
74xbypw2v6qsf2877f5cijggzhoy503
Majadiliano ya mtumiaji:Stephen G. Brown
3
155630
1240649
2022-08-08T09:01:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
74xbypw2v6qsf2877f5cijggzhoy503
Majadiliano ya mtumiaji:Gliu
3
155631
1240650
2022-08-08T09:02:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
m2t1815jbccwq3935hv9t4w1hir9zdt
Majadiliano ya mtumiaji:Bluedenim
3
155632
1240651
2022-08-08T09:02:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
m2t1815jbccwq3935hv9t4w1hir9zdt
Majadiliano ya mtumiaji:Novil Ariandis
3
155633
1240652
2022-08-08T09:02:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
m2t1815jbccwq3935hv9t4w1hir9zdt
Majadiliano ya mtumiaji:Gruznov
3
155634
1240653
2022-08-08T09:03:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
r6vjwbypn0nm3bkazlkfa896qmc7in6
Majadiliano ya mtumiaji:NobbiP
3
155635
1240654
2022-08-08T09:03:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
r6vjwbypn0nm3bkazlkfa896qmc7in6
Majadiliano ya mtumiaji:Martin Sikay
3
155636
1240655
2022-08-08T09:04:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:04, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ibezgyx7ddt10ws13w1chu5cpjuh0s
Majadiliano ya mtumiaji:Metalhead64
3
155637
1240656
2022-08-08T09:04:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:04, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ibezgyx7ddt10ws13w1chu5cpjuh0s
Majadiliano ya mtumiaji:Asgar
3
155638
1240657
2022-08-08T09:04:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:04, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ibezgyx7ddt10ws13w1chu5cpjuh0s
Majadiliano ya mtumiaji:Mel D'artagnan
3
155639
1240658
2022-08-08T09:05:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:05, 8 Agosti 2022 (UTC)
n0lu171bequbpta6j0suizrm755444t
Majadiliano ya mtumiaji:Baycrest
3
155640
1240659
2022-08-08T09:05:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:05, 8 Agosti 2022 (UTC)
n0lu171bequbpta6j0suizrm755444t
Gina Ahadi
0
155641
1240660
2022-08-08T09:05:42Z
Husseyn Issa
44885
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
Gina Ahadi (amezaliwa 2 Mei 1999) ni [[mwanamitindo]] kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] na Mkongo wa kwanza kushinda Tuzo ya Miss Global.<ref>{{Cite web|title=Miss Global Contestants|url=https://missglobal.com/|work=Miss Global Organization|accessdate=2022-08-08|language=en-US}}</ref> Mnamo Mei 3 ya 2021 alishindana katika kinyang'anyiro cha Miss [[Kentucky]] [[Marekani]] lakini hakushinda hivyo akatunukiwa taji la Miss Global. Taji hilo alilipata baada ya kwenda [[Afrika]] kutembelea kituo cha watoto yatima na wagonjwa katika hospitali ya [[Tanzania]] iitwayo [[Mwananyamala]] hospital, alitoa sabuni na maji pamoja na biskuti kadhaa kwa watoto na kwa wagonjwa wa kituo hicho cha kulelea watoto yatima cha Manunda, na pia alitoa chakula kwa watoto hao, sabuni, mafuta ya kupikia na pesa taslimu kwa ajili ya kuwanunulia watoto hao nguo. Baadaye alitembelea [[Hifadhi ya Mikumi|Hifadhi ya Taifa ya Mikumi]] kwa sababu Gina alikuwa anapendelea sana [[Utamaduni wa Kiafrika|utamaduni]] na vitu vya [[asili]].
== Maisha ya awali ==
Gina alizaliwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Alihamia [[Uganda]] alipokuwa mdogo ambapo wazazi wake walikuwawakiishi kama wakimbizi. Walikaa Kampala Uganda kwa takriban miaka 8 ambapo wakati huo Gina alikuwa akisoma shule ya msingi. Mnamo 2004 Gina na familia yake walihamia [[marekani]] USA, alianza shule ya kati ama [[Elimu ya sekondari|sekondari]] na kuhitimu na GPA ya 4.0. Pia alienda shule ya upili ama kidato cha tano na sita ambapo alihitimu pia na kiwango kile cha uwezo wa GPA 4.0 ,kisha akatuma maombi kwenye Shule ya [[Tiba|matibabu]] na kufuzu kama Msaidizi wa Matibabu.
== Career ==
Gina anafanya [[kazi]] kwenye kituo cha walezi wa [[watu wazima]] huko marekani. Mnamo mwaka 2018 Gina alianza kujihusisha na kazi aliyotokea kuipenda ya uana[[mitindo]], alianza kwa kupiga [[picha]] za kawaida, ambapo picha zake zilikuwa zikivuma sana na watu kuzipenda kwakua ndizo picha zilizokuwa zikionekana za [[mwanamke]] kutoka nchini Kongo huko Marekani akipiga picha akiwa amevalia [[Bikini (atolli)|bikini]]. Alianza hivyo na kuonekana sana katika [[video]] nyingi za muziki na [[wasanii]] mashuhuri kama vile ''Unanifaa'' ya Destin na Rich da Chris, ''Congo'' ya Mandi classic na ''Salima'' ya snazzy.
Mnamo mwaka 2019 miss fashion Global ilimfikia na kumuomba ashiriki katika shindano lao kama [[mwanamitindo]] . Gina alihudhuria na kushindana lakini hakushinda pia hakufika fainali. Zaidi pia alliomba kushiriki shindano la miss [[Houston, Texas|houston]] USA lakini hakufanikiwa kutokana na vipimo vya ugonjwa wa [[UVIKO-19|uviko 19]] kuonyesha ana ugonjwa huo, na hivyo kuwekwa kando na shindano hilo, na kwa hivyo hakupata nafasi ya kushiriki katika shindano hilo. Lakini katika mwaka huo huo aligombania nafasi ya kushiriki tena katika shindano la Miss Global kwa mwaka wa 2021 na wakati huu alifanikiwa kufika fainali na kutwa mshindi nafasi ya pili.<ref>{{Cite web|title=Miss Global Contestants|url=https://missglobal.com/|work=Miss Global Organization|accessdate=2022-08-08|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Mbegu za watu]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1999]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamitindo]]
6evdsfjdxmy6av15ujmr03plz4vqwfi
Majadiliano ya mtumiaji:Troefkaart
3
155642
1240661
2022-08-08T09:06:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:06, 8 Agosti 2022 (UTC)
940ajtdx8tsy71jmq9mra760nc5lg9s
Majadiliano ya mtumiaji:Noddy93
3
155643
1240662
2022-08-08T09:06:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:06, 8 Agosti 2022 (UTC)
940ajtdx8tsy71jmq9mra760nc5lg9s
Majadiliano ya mtumiaji:Shikai shaw
3
155644
1240663
2022-08-08T09:06:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:06, 8 Agosti 2022 (UTC)
940ajtdx8tsy71jmq9mra760nc5lg9s
Bonoso wa Trier
0
155645
1240664
2022-08-08T09:08:50Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Bonosus von Trier.png|thumb|right|Mt. Bonoso wa Trier.]] '''Bonoso wa Trier''' (alifariki [[373]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] [[Trier|huo]]<ref>Ekkart Sauser : ''Saints and Blessed in the Diocese of Trier'' (1987).</ref><ref>[http://www.gcatholic.org/dioceses/diocese/trie0.htm GCatholic.org Diocese of Trier]</ref> wa [[Galia]], leo nchini [[Ujerumani]]) kuanzia mwaka 353/358/361 hadi [[kifo]] chake. Kama [[mtangulizi]] wake, Paulino wa Trier...'
wikitext
text/x-wiki
[[File:Bonosus von Trier.png|thumb|right|Mt. Bonoso wa Trier.]]
'''Bonoso wa Trier''' (alifariki [[373]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] [[Trier|huo]]<ref>Ekkart Sauser : ''Saints and Blessed in the Diocese of Trier'' (1987).</ref><ref>[http://www.gcatholic.org/dioceses/diocese/trie0.htm GCatholic.org Diocese of Trier]</ref> wa [[Galia]], leo nchini [[Ujerumani]]) kuanzia mwaka 353/358/361 hadi [[kifo]] chake.
Kama [[mtangulizi]] wake, [[Paulino wa Trier]], alipigania [[imani sahihi]] dhidi ya [[Waario]] walioungwa mkono na [[serikali]] ya [[Dola la Roma]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/41360</ref>.
Tangu zamani anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila mwaka [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* [[Ekkart Sauser]]: ''Heilige und Selige im Bistum Trier.'' Trier 1987
== Viungo vya nje ==
* Schild, Stefanie, Bonosius, in: Internetportal Rheinische Geschichte, abgerufen unter: http://www.rheinische-geschichte.lvr.de/Persoenlichkeiten/bonosius-/DE-2086/lido/57c585a5400095.22498240 (abgerufen am 22. Februar 2021)
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 373]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
kgaxoap18zkvs7fq1za7rw0dzxh7moa
1240683
1240664
2022-08-08T09:17:30Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Bonosus von Trier.png|thumb|right|Mt. Bonoso wa Trier.]]
'''Bonoso wa Trier''' (alifariki [[373]]) alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] [[Trier|huo]]<ref>Ekkart Sauser : ''Saints and Blessed in the Diocese of Trier'' (1987).</ref><ref>[http://www.gcatholic.org/dioceses/diocese/trie0.htm GCatholic.org Diocese of Trier]</ref> wa [[Galia]], leo nchini [[Ujerumani]]) kuanzia mwaka 353/358/361 hadi [[kifo]] chake.
Kama [[mtangulizi]] wake, [[Paulino wa Trier]], alipigania [[imani sahihi]] pamoja na [[Hilari wa Poitiers]] dhidi ya [[Waario]] walioungwa mkono na [[serikali]] ya [[Dola la Roma]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/41360</ref>.
Tangu zamani anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila mwaka [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* [[Ekkart Sauser]]: ''Heilige und Selige im Bistum Trier.'' Trier 1987
== Viungo vya nje ==
* Schild, Stefanie, Bonosius, in: Internetportal Rheinische Geschichte, abgerufen unter: http://www.rheinische-geschichte.lvr.de/Persoenlichkeiten/bonosius-/DE-2086/lido/57c585a5400095.22498240 (abgerufen am 22. Februar 2021)
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 373]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
dbim81i3gzdkbds7mvxfsbq8l8xouzd
Majadiliano ya mtumiaji:Algebraist
3
155646
1240665
2022-08-08T09:10:58Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:10, 8 Agosti 2022 (UTC)
0vw7fmtho04b11mabnf3c85mst3xn66
Majadiliano ya mtumiaji:Andim
3
155647
1240666
2022-08-08T09:11:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:11, 8 Agosti 2022 (UTC)
hye1g1bpvvupio4qowxxct04d9kkab3
Majadiliano ya mtumiaji:Connum
3
155648
1240667
2022-08-08T09:11:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:11, 8 Agosti 2022 (UTC)
hye1g1bpvvupio4qowxxct04d9kkab3
Majadiliano ya mtumiaji:Manuel Trujillo Berges
3
155649
1240668
2022-08-08T09:12:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
pnj0x260mgrr0npzhbpp8adybeoyupp
Majadiliano ya mtumiaji:נטע
3
155650
1240669
2022-08-08T09:12:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
pnj0x260mgrr0npzhbpp8adybeoyupp
Majadiliano ya mtumiaji:Kakoui
3
155651
1240670
2022-08-08T09:13:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
rqx5ozf6vp0in7aq2sywz6otfkj8eq2
Majadiliano ya mtumiaji:Cannibaloki
3
155652
1240671
2022-08-08T09:13:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
rqx5ozf6vp0in7aq2sywz6otfkj8eq2
Majadiliano ya mtumiaji:Nir
3
155653
1240672
2022-08-08T09:13:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
rqx5ozf6vp0in7aq2sywz6otfkj8eq2
Majadiliano ya mtumiaji:Stepshep
3
155654
1240673
2022-08-08T09:14:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
122c8tdpbq9ytg8iup94bmfmzdi3mw2
Majadiliano ya mtumiaji:Spl908455
3
155655
1240674
2022-08-08T09:14:37Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
122c8tdpbq9ytg8iup94bmfmzdi3mw2
Majadiliano ya mtumiaji:Frank5308000
3
155656
1240675
2022-08-08T09:14:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
122c8tdpbq9ytg8iup94bmfmzdi3mw2
Majadiliano ya mtumiaji:Mordan
3
155657
1240676
2022-08-08T09:15:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
og0q8g7yu4q67ia2cw0z18idauy88vm
Majadiliano ya mtumiaji:Edward the Confessor
3
155658
1240677
2022-08-08T09:15:46Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
og0q8g7yu4q67ia2cw0z18idauy88vm
Majadiliano ya mtumiaji:Peko
3
155659
1240678
2022-08-08T09:16:07Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
5tkx1l6fo2m4kwjsh6ml9y361gx5r3t
Majadiliano ya mtumiaji:Kyube
3
155660
1240679
2022-08-08T09:16:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
5tkx1l6fo2m4kwjsh6ml9y361gx5r3t
Majadiliano ya mtumiaji:Testator
3
155661
1240680
2022-08-08T09:16:47Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
5tkx1l6fo2m4kwjsh6ml9y361gx5r3t
Majadiliano ya mtumiaji:RM77
3
155662
1240681
2022-08-08T09:17:06Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
njbuvrs9p28lvjyisr7q1uh2ni2n5rq
Majadiliano ya mtumiaji:Michaello
3
155663
1240682
2022-08-08T09:17:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
njbuvrs9p28lvjyisr7q1uh2ni2n5rq
Majadiliano ya mtumiaji:SPQRobin
3
155664
1240684
2022-08-08T09:17:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
njbuvrs9p28lvjyisr7q1uh2ni2n5rq
Majadiliano ya mtumiaji:Robert Ullmann
3
155665
1240685
2022-08-08T09:18:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
g2wtbu4g074tgnyq3i941i0yzdekknv
Majadiliano ya mtumiaji:Poupée de chaussette
3
155666
1240686
2022-08-08T09:18:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
g2wtbu4g074tgnyq3i941i0yzdekknv
Majadiliano ya mtumiaji:Pieter Kuiper
3
155667
1240687
2022-08-08T09:19:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
tfxasrmjlqy8hkdpx8fh1dor8s9l9y2
Majadiliano ya mtumiaji:Sl
3
155668
1240688
2022-08-08T09:19:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
tfxasrmjlqy8hkdpx8fh1dor8s9l9y2
Majadiliano ya mtumiaji:长夜无风
3
155669
1240689
2022-08-08T09:20:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:20, 8 Agosti 2022 (UTC)
3zo6m7cicz7kw01t4ofdzt0v7poal1h
Majadiliano ya mtumiaji:氷鷺
3
155670
1240690
2022-08-08T09:21:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:21, 8 Agosti 2022 (UTC)
p46u3hbtxc8chd3zmd8vnu4k8gw5ma4
Majadiliano ya mtumiaji:Luguburili
3
155671
1240691
2022-08-08T09:21:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:21, 8 Agosti 2022 (UTC)
p46u3hbtxc8chd3zmd8vnu4k8gw5ma4
Majadiliano ya mtumiaji:Geonarva
3
155672
1240692
2022-08-08T09:22:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:22, 8 Agosti 2022 (UTC)
toytjeit6ha30u3nc6oz784e53sy2be
Majadiliano ya mtumiaji:Ninane
3
155673
1240693
2022-08-08T09:22:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:22, 8 Agosti 2022 (UTC)
toytjeit6ha30u3nc6oz784e53sy2be
Majadiliano ya mtumiaji:Gaj777
3
155674
1240694
2022-08-08T09:22:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:22, 8 Agosti 2022 (UTC)
toytjeit6ha30u3nc6oz784e53sy2be
Majadiliano ya mtumiaji:Melancholie
3
155675
1240695
2022-08-08T09:23:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:23, 8 Agosti 2022 (UTC)
ibrpt5mqg713cpvduculaxd9kaea6do
Majadiliano ya mtumiaji:TXiKi
3
155676
1240696
2022-08-08T09:23:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:23, 8 Agosti 2022 (UTC)
ibrpt5mqg713cpvduculaxd9kaea6do
Majadiliano ya mtumiaji:Euku
3
155677
1240697
2022-08-08T09:24:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:24, 8 Agosti 2022 (UTC)
8tfm93isgktd3t56hhjld0lyuua89pm
Majadiliano ya mtumiaji:Docu
3
155678
1240698
2022-08-08T09:24:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:24, 8 Agosti 2022 (UTC)
8tfm93isgktd3t56hhjld0lyuua89pm
Majadiliano ya mtumiaji:Meme-Meme
3
155679
1240699
2022-08-08T09:24:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:24, 8 Agosti 2022 (UTC)
8tfm93isgktd3t56hhjld0lyuua89pm
Majadiliano ya mtumiaji:Gollam
3
155680
1240701
2022-08-08T09:25:07Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:25, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ixe7haug2lidxsgin2bm5gjnlp66pz
Majadiliano ya mtumiaji:Teslov
3
155681
1240702
2022-08-08T09:25:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:25, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ixe7haug2lidxsgin2bm5gjnlp66pz
Majadiliano ya mtumiaji:Xexobot
3
155682
1240703
2022-08-08T09:25:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:25, 8 Agosti 2022 (UTC)
5ixe7haug2lidxsgin2bm5gjnlp66pz
Majadiliano ya mtumiaji:Marine-Blue
3
155683
1240704
2022-08-08T09:26:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:26, 8 Agosti 2022 (UTC)
tt8iim8vevumfu8z34vnt2qokk7zhzo
Majadiliano ya mtumiaji:TottyBot
3
155684
1240705
2022-08-08T09:26:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:26, 8 Agosti 2022 (UTC)
tt8iim8vevumfu8z34vnt2qokk7zhzo
Majadiliano ya mtumiaji:Nakon
3
155685
1240706
2022-08-08T09:26:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:26, 8 Agosti 2022 (UTC)
tt8iim8vevumfu8z34vnt2qokk7zhzo
Majadiliano ya mtumiaji:H92
3
155686
1240707
2022-08-08T09:27:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
anb1v62h86hsfz1rofzgfn1cuu248rl
Majadiliano ya mtumiaji:Gregorius Pilosus
3
155687
1240708
2022-08-08T09:27:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
anb1v62h86hsfz1rofzgfn1cuu248rl
Majadiliano ya mtumiaji:Egs
3
155688
1240709
2022-08-08T09:27:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
anb1v62h86hsfz1rofzgfn1cuu248rl
Majadiliano ya mtumiaji:Barek
3
155689
1240710
2022-08-08T09:28:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
hqf94njf94ggvdx6b11ibtztp2tllf7
Majadiliano ya mtumiaji:Timpul
3
155690
1240711
2022-08-08T09:28:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
hqf94njf94ggvdx6b11ibtztp2tllf7
Majadiliano ya mtumiaji:Bff
3
155691
1240712
2022-08-08T09:29:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
jyew97ln3s2swwyvposl8mm3qw1bi1t
Majadiliano ya mtumiaji:Knua
3
155692
1240713
2022-08-08T09:29:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
jyew97ln3s2swwyvposl8mm3qw1bi1t
Majadiliano ya mtumiaji:ZorroIII
3
155693
1240714
2022-08-08T09:29:47Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
jyew97ln3s2swwyvposl8mm3qw1bi1t
Majadiliano ya mtumiaji:Nick
3
155694
1240715
2022-08-08T09:30:07Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
6qmgnedz26k41zxo0rkp1gzfm8rhy2y
Majadiliano ya mtumiaji:Alpha Centaury
3
155695
1240716
2022-08-08T09:30:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
6qmgnedz26k41zxo0rkp1gzfm8rhy2y
Majadiliano ya mtumiaji:StigBot
3
155696
1240717
2022-08-08T09:30:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
6qmgnedz26k41zxo0rkp1gzfm8rhy2y
Majadiliano ya mtumiaji:Merdis
3
155697
1240718
2022-08-08T09:31:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
o7knpu7l0ihem8h1cjpghvfsahxduky
Majadiliano ya mtumiaji:محمد مصطفى عودة
3
155698
1240719
2022-08-08T09:31:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
o7knpu7l0ihem8h1cjpghvfsahxduky
Majadiliano ya mtumiaji:Carlos-X
3
155699
1240720
2022-08-08T09:31:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
o7knpu7l0ihem8h1cjpghvfsahxduky
Majadiliano ya mtumiaji:Alex.muller
3
155700
1240721
2022-08-08T09:32:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
c8w0sd0ovsp5nyhhr9i5czorq8wzg97
Majadiliano ya mtumiaji:Boro
3
155701
1240722
2022-08-08T09:32:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
c8w0sd0ovsp5nyhhr9i5czorq8wzg97
Majadiliano ya mtumiaji:Lime82
3
155702
1240723
2022-08-08T09:32:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
c8w0sd0ovsp5nyhhr9i5czorq8wzg97
Majadiliano ya mtumiaji:Cuprum
3
155703
1240724
2022-08-08T09:33:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
10krsep07hzvwfqmgle8gtqwtijxa1x
Majadiliano ya mtumiaji:Xe lu
3
155704
1240725
2022-08-08T09:33:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
10krsep07hzvwfqmgle8gtqwtijxa1x
Majadiliano ya mtumiaji:BilloKenobi
3
155705
1240726
2022-08-08T09:33:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
10krsep07hzvwfqmgle8gtqwtijxa1x
Majadiliano ya mtumiaji:Gons
3
155706
1240727
2022-08-08T09:34:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:34, 8 Agosti 2022 (UTC)
3vht2g8owyf9qmvnwd56ccmbzorz7ub
Majadiliano ya mtumiaji:Bdk
3
155707
1240728
2022-08-08T09:34:34Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:34, 8 Agosti 2022 (UTC)
3vht2g8owyf9qmvnwd56ccmbzorz7ub
Majadiliano ya mtumiaji:MichiK
3
155708
1240729
2022-08-08T09:35:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:35, 8 Agosti 2022 (UTC)
gwsp28mckvehri7fu226hnz1fkfi3ov
Majadiliano ya mtumiaji:הגמל התימני
3
155709
1240730
2022-08-08T09:39:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
k2g06lv1hyr1eltl6l9vu8ehlk3w4y5
Majadiliano ya mtumiaji:TinucherianBot II
3
155710
1240731
2022-08-08T09:39:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
k2g06lv1hyr1eltl6l9vu8ehlk3w4y5
Majadiliano ya mtumiaji:Kadellar
3
155711
1240732
2022-08-08T09:40:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
plev4q8a0klio0ooghv1iyh5whbdw0k
Majadiliano ya mtumiaji:Porantim
3
155712
1240733
2022-08-08T09:40:37Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
plev4q8a0klio0ooghv1iyh5whbdw0k
Majadiliano ya mtumiaji:Omphalos
3
155713
1240734
2022-08-08T09:40:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
plev4q8a0klio0ooghv1iyh5whbdw0k
Majadiliano ya mtumiaji:Thi
3
155714
1240735
2022-08-08T09:41:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
bva8icvbj19jxkdhu8t99nuvsz5qayf
Majadiliano ya mtumiaji:Annemarie
3
155715
1240736
2022-08-08T09:41:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
bva8icvbj19jxkdhu8t99nuvsz5qayf
Majadiliano ya mtumiaji:PietJay
3
155716
1240737
2022-08-08T09:41:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
bva8icvbj19jxkdhu8t99nuvsz5qayf
Majadiliano ya mtumiaji:CvetanPetrov1940
3
155717
1240738
2022-08-08T09:42:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
pity4qehp07602yj0jm0dxnlcg9lnzg
Majadiliano ya mtumiaji:Ms2150
3
155718
1240739
2022-08-08T09:42:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
pity4qehp07602yj0jm0dxnlcg9lnzg
Majadiliano ya mtumiaji:Bob A
3
155719
1240740
2022-08-08T09:43:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
5nkvuqxvlm6uxg2whqn1fr79toedz8y
Majadiliano ya mtumiaji:Quarryman
3
155720
1240741
2022-08-08T09:43:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
5nkvuqxvlm6uxg2whqn1fr79toedz8y
Majadiliano ya mtumiaji:Olog hai
3
155721
1240742
2022-08-08T09:43:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
5nkvuqxvlm6uxg2whqn1fr79toedz8y
Majadiliano ya mtumiaji:Itsmine
3
155722
1240743
2022-08-08T09:44:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:44, 8 Agosti 2022 (UTC)
hko1wz50l9lqsg2s7gdnaunwo9mrept
Majadiliano ya mtumiaji:Yotcmdr
3
155723
1240744
2022-08-08T09:44:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:44, 8 Agosti 2022 (UTC)
hko1wz50l9lqsg2s7gdnaunwo9mrept
Majadiliano ya mtumiaji:Myst
3
155724
1240745
2022-08-08T09:45:09Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
f8xbfwbz3oi1ywmue8blk81fgrspm6t
Majadiliano ya mtumiaji:Visitatore
3
155725
1240746
2022-08-08T09:45:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
f8xbfwbz3oi1ywmue8blk81fgrspm6t
Majadiliano ya mtumiaji:Alexbalex
3
155726
1240747
2022-08-08T09:45:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
f8xbfwbz3oi1ywmue8blk81fgrspm6t
Majadiliano ya mtumiaji:Paploo
3
155727
1240749
2022-08-08T09:46:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:46, 8 Agosti 2022 (UTC)
q1d5bqjh2l2mu0594yinsr7y7wpc4k6
Majadiliano ya mtumiaji:IchibanPL
3
155728
1240750
2022-08-08T09:46:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:46, 8 Agosti 2022 (UTC)
q1d5bqjh2l2mu0594yinsr7y7wpc4k6
Majadiliano ya mtumiaji:Splarka
3
155729
1240751
2022-08-08T09:46:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:46, 8 Agosti 2022 (UTC)
q1d5bqjh2l2mu0594yinsr7y7wpc4k6
Majadiliano ya mtumiaji:Vasyl` Babych
3
155730
1240752
2022-08-08T09:47:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
626j8c3a337nwl5m2q0aptkzlmi20wv
Majadiliano ya mtumiaji:Jason Giin
3
155731
1240753
2022-08-08T09:47:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
626j8c3a337nwl5m2q0aptkzlmi20wv
Jamii:Waandishi wa Kiarmenia
14
155732
1240754
2022-08-08T09:47:35Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Armenia]] [[Jamii:waandishi lugha kwa lugha|A]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Armenia]]
[[Jamii:waandishi lugha kwa lugha|A]]
9r94ukm1dmn90s6fgmpuz9jzomimv4a
Majadiliano ya mtumiaji:Al Silonov
3
155733
1240755
2022-08-08T09:47:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
626j8c3a337nwl5m2q0aptkzlmi20wv
Majadiliano ya mtumiaji:RJL Hartmans
3
155734
1240756
2022-08-08T09:48:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
alrti214u8vb7wftrkmmglv9rngvl3u
Majadiliano ya mtumiaji:武福希
3
155735
1240757
2022-08-08T09:48:36Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
alrti214u8vb7wftrkmmglv9rngvl3u
Majadiliano ya mtumiaji:Avalls89
3
155736
1240758
2022-08-08T09:48:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
alrti214u8vb7wftrkmmglv9rngvl3u
Majadiliano ya mtumiaji:MassimoAr
3
155737
1240759
2022-08-08T09:49:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
jifhutimzmsxmh6a3r5tt2973zp3n2g
Majadiliano ya mtumiaji:Edu fred
3
155738
1240760
2022-08-08T09:49:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
jifhutimzmsxmh6a3r5tt2973zp3n2g
Majadiliano ya mtumiaji:KEN
3
155739
1240761
2022-08-08T09:50:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
9fn3ugp417plk5z9vceobg1ii64uydc
Majadiliano ya mtumiaji:Jayson Gin
3
155740
1240762
2022-08-08T09:50:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
9fn3ugp417plk5z9vceobg1ii64uydc
Majadiliano ya mtumiaji:Culo-sija
3
155741
1240763
2022-08-08T09:50:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
9fn3ugp417plk5z9vceobg1ii64uydc
Majadiliano ya mtumiaji:Ecemaml Sp
3
155742
1240764
2022-08-08T09:51:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
9x8bm7cym25x20abtkjoqotoiwpycaf
Majadiliano ya mtumiaji:Caribbean1
3
155743
1240765
2022-08-08T09:51:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
9x8bm7cym25x20abtkjoqotoiwpycaf
Majadiliano ya mtumiaji:Majkl.tenkrat
3
155744
1240766
2022-08-08T09:52:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
16b8zups739ff7ftux4ytgt8t210f76
Majadiliano ya mtumiaji:Timir2
3
155745
1240768
2022-08-08T09:52:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
16b8zups739ff7ftux4ytgt8t210f76
Majadiliano ya mtumiaji:Navian
3
155746
1240769
2022-08-08T09:52:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
16b8zups739ff7ftux4ytgt8t210f76
Majadiliano ya mtumiaji:K2daz3
3
155747
1240770
2022-08-08T09:53:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
7jgjxbc1nn178rn7bi9ixgy03u4zb11
Majadiliano ya mtumiaji:Bernhard Wallisch
3
155748
1240771
2022-08-08T09:53:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
7jgjxbc1nn178rn7bi9ixgy03u4zb11
Majadiliano ya mtumiaji:Esenlik
3
155749
1240772
2022-08-08T09:53:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
7jgjxbc1nn178rn7bi9ixgy03u4zb11
Majadiliano ya mtumiaji:Hugo nicolas russo
3
155750
1240774
2022-08-08T09:54:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
3n6lvcf07u8nlb4br057i0ozg24ogls
Majadiliano ya mtumiaji:Sapphic
3
155751
1240775
2022-08-08T09:54:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
3n6lvcf07u8nlb4br057i0ozg24ogls
Majadiliano ya mtumiaji:06singhk
3
155752
1240776
2022-08-08T09:54:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
3n6lvcf07u8nlb4br057i0ozg24ogls
Majadiliano ya mtumiaji:Rael
3
155753
1240777
2022-08-08T09:55:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:55, 8 Agosti 2022 (UTC)
ggm0ns5gr774l6vx8zcfh5f2cckkr8f
Majadiliano ya mtumiaji:Rdecejabolko
3
155754
1240778
2022-08-08T09:55:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:55, 8 Agosti 2022 (UTC)
ggm0ns5gr774l6vx8zcfh5f2cckkr8f
Majadiliano ya mtumiaji:Sry85
3
155755
1240779
2022-08-08T09:56:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
cza6djl4snooy55poe6hdh0wi4uiamx
Majadiliano ya mtumiaji:Slejpner
3
155756
1240780
2022-08-08T09:56:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
cza6djl4snooy55poe6hdh0wi4uiamx
Majadiliano ya mtumiaji:UpperPalatine
3
155757
1240781
2022-08-08T09:56:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
cza6djl4snooy55poe6hdh0wi4uiamx
Mama Tumaini (filamu)
0
155758
1240783
2022-08-08T09:58:28Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Mama Tumaini – Tumaini betyr håp''''' (mama wa Matumaini)<ref>{{Cite book|url=https://www.oxfordreference.com/view/10.1093/acref/9780195382075.001.0001/acref-9780195382075|title=Dictionary of African Biography|date=2011-01-01|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-538207-5|editor-last=Gates|editor-first=Henry Louis|language=en-US|doi=10.1093/acref/9780195382075.001.0001/acref-9780195382075|editor-last2=Akyeampong|editor-first2=Emmanuel|editor-last3=Niven|editor-first3=Steven J.}}</ref> ni [[filamu]] ya kuchekesha na kifamilia yenye maudhui ya Kinorwei na Kitanzania iliyochezwa [[Mwaka 1968|mwaka 1986]]. Iliongozwa na kuandaliwa na Martin Mhando na Sigve Endresen. Stori ilihusisha nchi za [[Tanzania]] na [[Norwei]]. Filamu ilijihusisha na maudhui ya kiafrika na ilihusisha waigizaji na makundi ya uigizaji wa kiafrika.<ref>{{Cite web|title=Nasjonalbiblioteket|url=https://www.nb.no/items/URN:NBN:no-nb_digibok_2007080100115?page=0|work=www.nb.no|accessdate=2022-08-08}}</ref>
Filamu ilitengenezwa na kudhaminiwa na shirika la wakala na ushirikiano wa maendeleo wa Norwei.<ref>{{Cite web|title=Nasjonalbiblioteket|url=https://www.nb.no/items/URN:NBN:no-nb_digibok_2009070800085|work=www.nb.no|accessdate=2022-08-08}}</ref> Filamu hiyo haikuweza kuonyeshwa katika kumbi za kibiashara nchini Norwei lakini ilionyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu la Norwai lilolo fanyika katika mji wa [[Kristiansand]] mwaka 1986.<ref>{{Cite web|title=Nasjonalbiblioteket|url=https://www.nb.no/items/URN:NBN:no-nb_digibok_2010020103034|work=www.nb.no|accessdate=2022-08-08}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Filamu za 1986]]
[[Jamii:Filamu za Tanzania]]
emkam5atac8w1fnbnz0cdudiha6mnwn
Majadiliano ya mtumiaji:John49dublin
3
155759
1240784
2022-08-08T09:58:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:58, 8 Agosti 2022 (UTC)
42qnkwypec2otgazbpr1cah05ytpbya
Majadiliano ya mtumiaji:Paintman
3
155760
1240787
2022-08-08T10:01:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
ojbzyg8kctswyx79ifnu6wsn0vniflz
Majadiliano ya mtumiaji:Beppe80it
3
155761
1240788
2022-08-08T10:01:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
ojbzyg8kctswyx79ifnu6wsn0vniflz
Majadiliano ya mtumiaji:Afroman2007
3
155762
1240789
2022-08-08T10:01:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:01, 8 Agosti 2022 (UTC)
ojbzyg8kctswyx79ifnu6wsn0vniflz
Majadiliano ya mtumiaji:Karl1263
3
155763
1240790
2022-08-08T10:02:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
71kiz4rwnm2fnf8x4t0c4wc8tb5ys35
Majadiliano ya mtumiaji:Rampage159
3
155764
1240791
2022-08-08T10:02:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:02, 8 Agosti 2022 (UTC)
71kiz4rwnm2fnf8x4t0c4wc8tb5ys35
Kalsedonia
0
155765
1240792
2022-08-08T10:03:01Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Kadıköy]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Kadıköy]]
5rsj873oraais0lms710x7gsaybcgfx
Majadiliano ya mtumiaji:It Is Me Here
3
155766
1240793
2022-08-08T10:03:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:03, 8 Agosti 2022 (UTC)
kde6jlorob0n7vqbgpc8h4jo3enfpc1
Majadiliano ya mtumiaji:Polyglot
3
155767
1240796
2022-08-08T10:54:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
ld64xva4xllz23g813msnaixzk7s8oi
Majadiliano ya mtumiaji:Senpai
3
155768
1240797
2022-08-08T10:54:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
ld64xva4xllz23g813msnaixzk7s8oi
Majadiliano ya mtumiaji:Sephiroth BCRX
3
155769
1240798
2022-08-08T10:55:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:55, 8 Agosti 2022 (UTC)
61ayra4velec9z2ef5afmxw15pxnfmz
Finano wa Lindisfarne
0
155770
1240800
2022-08-08T11:00:42Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Finano''' (alifariki [[Februari]] [[661]]) alikuwa [[mmonaki]] kutoka [[Eire|Ireland]] huko [[monasteri ya Iona]], [[Uskoti]], halafu [[askofu]] wa pili wa [[Lindisfarne]], [[Uingereza]], kuanzia [[mwaka]] [[651]] hadi [[kifo]] chake. Alikuwa maarufu kwa [[ujuzi]] wake na kwa [[juhudi]] za [[uinjilishaji]], kama tunavyosoma hasa katika [[maandishi]] ya [[Beda Mheshimiwa]]. Tangu kale anaadhimishwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama mtakatifu...'
wikitext
text/x-wiki
'''Finano''' (alifariki [[Februari]] [[661]]) alikuwa [[mmonaki]] kutoka [[Eire|Ireland]] huko [[monasteri ya Iona]], [[Uskoti]], halafu [[askofu]] wa pili wa [[Lindisfarne]], [[Uingereza]], kuanzia [[mwaka]] [[651]] hadi [[kifo]] chake.
Alikuwa maarufu kwa [[ujuzi]] wake na kwa [[juhudi]] za [[uinjilishaji]], kama tunavyosoma hasa katika [[maandishi]] ya [[Beda Mheshimiwa]].
Tangu kale anaadhimishwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]], hasa [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* {{cite book |author1=Fryde, E. B. |author2=Greenway, D. E. |author3=Porter, S. |author4=Roy, I. |title=Handbook of British Chronology|edition=Third revised |publisher=Cambridge University Press |location=Cambridge, UK |year=1996 |isbn=0-521-56350-X }}
* {{cite book |author=Kirby, D. P. |title=The Earliest English Kings |publisher=Routledge |location=New York |year=2000 |isbn=0-415-24211-8 }}
* Walsh, Michael ''A New Dictionary of Saints: East and West'' London: Burns & Oats 2007 ISBN|0-86012-438-X
==Viungo vya nje==
* [http://www.fordham.edu/halsall/basis/bede-book1.html ''Ecclesiastical History of the English People''], Book 1, L.C. Jane's 1903 Temple Classics translation. From the [[Internet Medieval Sourcebook]].
* [http://www.ccel.org/ccel/bede/history.pdf Bede's Ecclesiastical History and the Continuation of Bede (pdf)], at [http://www.ccel.org CCEL], edited & translated by A.M. Sellar.
* [http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=975 Catholic Online Saints and Angels]
* [https://web.archive.org/web/20070905135304/http://www.catholic-forum.com/saints/saintf12.htm Patron Saints Index]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Category:Waliofariki 661]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:watakatifu wa Uskoti]]
[[Category:Watakatifu wa Uingereza]]
7cq80i0s5d07uq1hdmq8ittdo9ty5x2
1240802
1240800
2022-08-08T11:01:35Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Finano]] hadi [[Finano wa Lindisfarne]]: kutofautisha watu
wikitext
text/x-wiki
'''Finano''' (alifariki [[Februari]] [[661]]) alikuwa [[mmonaki]] kutoka [[Eire|Ireland]] huko [[monasteri ya Iona]], [[Uskoti]], halafu [[askofu]] wa pili wa [[Lindisfarne]], [[Uingereza]], kuanzia [[mwaka]] [[651]] hadi [[kifo]] chake.
Alikuwa maarufu kwa [[ujuzi]] wake na kwa [[juhudi]] za [[uinjilishaji]], kama tunavyosoma hasa katika [[maandishi]] ya [[Beda Mheshimiwa]].
Tangu kale anaadhimishwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]], hasa [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* {{cite book |author1=Fryde, E. B. |author2=Greenway, D. E. |author3=Porter, S. |author4=Roy, I. |title=Handbook of British Chronology|edition=Third revised |publisher=Cambridge University Press |location=Cambridge, UK |year=1996 |isbn=0-521-56350-X }}
* {{cite book |author=Kirby, D. P. |title=The Earliest English Kings |publisher=Routledge |location=New York |year=2000 |isbn=0-415-24211-8 }}
* Walsh, Michael ''A New Dictionary of Saints: East and West'' London: Burns & Oats 2007 ISBN|0-86012-438-X
==Viungo vya nje==
* [http://www.fordham.edu/halsall/basis/bede-book1.html ''Ecclesiastical History of the English People''], Book 1, L.C. Jane's 1903 Temple Classics translation. From the [[Internet Medieval Sourcebook]].
* [http://www.ccel.org/ccel/bede/history.pdf Bede's Ecclesiastical History and the Continuation of Bede (pdf)], at [http://www.ccel.org CCEL], edited & translated by A.M. Sellar.
* [http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=975 Catholic Online Saints and Angels]
* [https://web.archive.org/web/20070905135304/http://www.catholic-forum.com/saints/saintf12.htm Patron Saints Index]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Category:Waliofariki 661]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:watakatifu wa Uskoti]]
[[Category:Watakatifu wa Uingereza]]
7cq80i0s5d07uq1hdmq8ittdo9ty5x2
1240804
1240802
2022-08-08T11:02:43Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Finano wa Lindisfarne''' (alifariki [[Februari]] [[661]]) alikuwa [[mmonaki]] kutoka [[Eire|Ireland]] huko [[monasteri ya Iona]], [[Uskoti]], halafu [[askofu]] wa pili wa [[Lindisfarne]], [[Uingereza]], kuanzia [[mwaka]] [[651]] hadi [[kifo]] chake.
Alikuwa maarufu kwa [[ujuzi]] wake na kwa [[juhudi]] za [[uinjilishaji]], kama tunavyosoma hasa katika [[maandishi]] ya [[Beda Mheshimiwa]].
Tangu kale anaadhimishwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]], hasa [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* {{cite book |author1=Fryde, E. B. |author2=Greenway, D. E. |author3=Porter, S. |author4=Roy, I. |title=Handbook of British Chronology|edition=Third revised |publisher=Cambridge University Press |location=Cambridge, UK |year=1996 |isbn=0-521-56350-X }}
* {{cite book |author=Kirby, D. P. |title=The Earliest English Kings |publisher=Routledge |location=New York |year=2000 |isbn=0-415-24211-8 }}
* Walsh, Michael ''A New Dictionary of Saints: East and West'' London: Burns & Oats 2007 ISBN|0-86012-438-X
==Viungo vya nje==
* [http://www.fordham.edu/halsall/basis/bede-book1.html ''Ecclesiastical History of the English People''], Book 1, L.C. Jane's 1903 Temple Classics translation. From the [[Internet Medieval Sourcebook]].
* [http://www.ccel.org/ccel/bede/history.pdf Bede's Ecclesiastical History and the Continuation of Bede (pdf)], at [http://www.ccel.org CCEL], edited & translated by A.M. Sellar.
* [http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=975 Catholic Online Saints and Angels]
* [https://web.archive.org/web/20070905135304/http://www.catholic-forum.com/saints/saintf12.htm Patron Saints Index]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Category:Waliofariki 661]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Jamii:Wakolumbani]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ireland]]
[[Jamii:watakatifu wa Uskoti]]
[[Category:Watakatifu wa Uingereza]]
8emiug6fn1vkfmnky7feryizu6u2lxg
Finano
0
155771
1240803
2022-08-08T11:01:35Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Finano]] hadi [[Finano wa Lindisfarne]]: kutofautisha watu
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Finano wa Lindisfarne]]
n0zwofh0oqhdx4qbpuh1n0iyvpznjp4
Majadiliano ya mtumiaji:Mr.kazix3737
3
155772
1240805
2022-08-08T11:11:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:11, 8 Agosti 2022 (UTC)
pe8gillp3fi8uta5kgr6yjuf30ebfyo
Majadiliano ya mtumiaji:SylverSpy 93
3
155773
1240806
2022-08-08T11:12:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
cjr2p4swgzsm8hqupjqrsx344fuvmxw
Majadiliano ya mtumiaji:Whwlg911
3
155774
1240807
2022-08-08T11:12:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
cjr2p4swgzsm8hqupjqrsx344fuvmxw
Majadiliano ya mtumiaji:Trou Noir
3
155775
1240808
2022-08-08T11:13:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
01rmtm1b9iibyie79jku8padvo5scq0
Kostabile
0
155776
1240809
2022-08-08T11:13:25Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha: COSTABILE_GENTILCORE.JPG|thumb|250px|[[Muujiza]] wa Mt. Kostabile.]] '''Kostabile, [[O.S.B.]]''' ([[Castellabate]], [[Salerno]], [[1070]] hivi - [[Cava de' Tirreni]], [[Salerno]], [[17 Januari]] [[1124]]) alijiunga na [[monasteri]] maarufu tangu [[Mtoto|utotoni]] akawa [[abati]] wake kuanzia [[mwaka]] [[1122]] hadi [[Mauti|kifo]] chake. Aliishi na kuongoza kwa [[upole]] na [[upendo]] wa ajabu hata akaitwa "[[blanketi]]" la [[ndugu]]. Tangu kale...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: COSTABILE_GENTILCORE.JPG|thumb|250px|[[Muujiza]] wa Mt. Kostabile.]]
'''Kostabile, [[O.S.B.]]''' ([[Castellabate]], [[Salerno]], [[1070]] hivi - [[Cava de' Tirreni]], [[Salerno]], [[17 Januari]] [[1124]]) alijiunga na [[monasteri]] maarufu tangu [[Mtoto|utotoni]] akawa [[abati]] wake kuanzia [[mwaka]] [[1122]] hadi [[Mauti|kifo]] chake.
Aliishi na kuongoza kwa [[upole]] na [[upendo]] wa ajabu hata akaitwa "[[blanketi]]" la [[ndugu]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila [[tarehe]] [[17 Januari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
*{{it}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/91125 San Constabile (Costabile)]
*[https://web.archive.org/web/20070224053421/http://www.catholic-forum.com/SAINTS/saintc2f.htm Constabilis of Cava]
*[https://web.archive.org/web/20120212232210/http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml Constabilis of Cava]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1070]]
[[Jamii:Waliofariki 1124]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:Mapadri]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
5llngzeaq0b8034eudni4gq5w6x3ehe
1240820
1240809
2022-08-08T11:16:54Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: COSTABILE_GENTILCORE.JPG|thumb|250px|[[Muujiza]] wa Mt. Kostabile.]]
'''Kostabile, [[O.S.B.]]''' ([[Castellabate]], [[Salerno]], [[1070]] hivi - [[Cava de' Tirreni]], [[Salerno]], [[17 Februari]] [[1124]]) alijiunga na [[monasteri]] maarufu tangu [[Mtoto|utotoni]] akawa [[abati]] wake kuanzia [[mwaka]] [[1122]] hadi [[Mauti|kifo]] chake.
Aliishi na kuongoza kwa [[upole]] na [[upendo]] wa ajabu hata akaitwa "[[blanketi]]" la [[ndugu]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
*{{it}} [http://www.santiebeati.it/dettaglio/91125 San Constabile (Costabile)]
*[https://web.archive.org/web/20070224053421/http://www.catholic-forum.com/SAINTS/saintc2f.htm Constabilis of Cava]
*[https://web.archive.org/web/20120212232210/http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml Constabilis of Cava]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1070]]
[[Jamii:Waliofariki 1124]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:Mapadri]]
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]]
n44plxj6ukbbzcq3gwkdrdzpunifk7t
Majadiliano ya mtumiaji:Stochelo
3
155777
1240810
2022-08-08T11:13:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
01rmtm1b9iibyie79jku8padvo5scq0
Majadiliano ya mtumiaji:Richardw
3
155778
1240811
2022-08-08T11:13:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:13, 8 Agosti 2022 (UTC)
01rmtm1b9iibyie79jku8padvo5scq0
Majadiliano ya mtumiaji:Damir533
3
155779
1240812
2022-08-08T11:14:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
1get8iyxjii3p03xl8926akokktz4xv
Majadiliano ya mtumiaji:Arne List
3
155780
1240813
2022-08-08T11:14:34Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
1get8iyxjii3p03xl8926akokktz4xv
Majadiliano ya mtumiaji:Jane sendama
3
155781
1240814
2022-08-08T11:14:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:14, 8 Agosti 2022 (UTC)
1get8iyxjii3p03xl8926akokktz4xv
Majadiliano ya mtumiaji:Acf
3
155782
1240816
2022-08-08T11:15:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
0nf47m3y3un4woknoxxllqtwgrip8n1
Majadiliano ya mtumiaji:Dsmurat
3
155783
1240817
2022-08-08T11:15:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
0nf47m3y3un4woknoxxllqtwgrip8n1
Majadiliano ya mtumiaji:OccultuS
3
155784
1240818
2022-08-08T11:15:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:15, 8 Agosti 2022 (UTC)
0nf47m3y3un4woknoxxllqtwgrip8n1
Majadiliano ya mtumiaji:Sante44
3
155785
1240819
2022-08-08T11:16:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:16, 8 Agosti 2022 (UTC)
mlznkf3iw8yr9chm3uhxfikbtil2ckl
Majadiliano ya mtumiaji:Midale
3
155786
1240821
2022-08-08T11:17:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
3087awpsqbfpftp0sddwrgo9zvklkxz
Majadiliano ya mtumiaji:Zhoe
3
155787
1240822
2022-08-08T11:17:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:17, 8 Agosti 2022 (UTC)
3087awpsqbfpftp0sddwrgo9zvklkxz
Majadiliano ya mtumiaji:AnakngAraw
3
155788
1240823
2022-08-08T11:18:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
if6w49w2ju5pzlxnh4ul2rdx7sl7w4c
Majadiliano ya mtumiaji:Diba
3
155789
1240824
2022-08-08T11:18:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
if6w49w2ju5pzlxnh4ul2rdx7sl7w4c
Majadiliano ya mtumiaji:Moipaulochon
3
155790
1240825
2022-08-08T11:18:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:18, 8 Agosti 2022 (UTC)
if6w49w2ju5pzlxnh4ul2rdx7sl7w4c
Majadiliano ya mtumiaji:Syomwendwa
3
155791
1240826
2022-08-08T11:19:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
pejhfduzua4g578eq89456yybkk7nkd
Majadiliano ya mtumiaji:Louis Waweru
3
155792
1240827
2022-08-08T11:19:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:19, 8 Agosti 2022 (UTC)
pejhfduzua4g578eq89456yybkk7nkd
Majadiliano ya mtumiaji:FilWriter
3
155793
1240830
2022-08-08T11:27:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
soa8943st1paqoxnrhcpnx50112u2sz
Majadiliano ya mtumiaji:Mishanya321
3
155794
1240831
2022-08-08T11:27:22Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
soa8943st1paqoxnrhcpnx50112u2sz
Evermodo
0
155795
1240832
2022-08-08T11:27:22Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:Evermode.jpg|thumb|Mt. Evermodo kati ya watakatifu wawili.]] '''Evermodo, [[Wapremontree|O.Prem.]]''' ([[Ubelgiji]], [[1100]] hivi – [[Ratzeburg]], [[Ujerumani]], [[17 Februari]] [[1178]]) alikuwa [[Mkristo]] ambaye, baada ya kuguswa na mahubiri ya [[Norbert wa Xanten]], akawa [[Ukanoni|kanoni]] wa [[shirika]] la [[Wapremontree|Premontree]] aliongozana naye hadi alipofariki [[dunia]]. Baadaye akaongoza na kuanzisha [[monasteri]] mbalimbali<ref>...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Evermode.jpg|thumb|Mt. Evermodo kati ya watakatifu wawili.]]
'''Evermodo, [[Wapremontree|O.Prem.]]''' ([[Ubelgiji]], [[1100]] hivi – [[Ratzeburg]], [[Ujerumani]], [[17 Februari]] [[1178]]) alikuwa [[Mkristo]] ambaye, baada ya kuguswa na mahubiri ya [[Norbert wa Xanten]], akawa [[Ukanoni|kanoni]] wa [[shirika]] la [[Wapremontree|Premontree]] aliongozana naye hadi alipofariki [[dunia]].
Baadaye akaongoza na kuanzisha [[monasteri]] mbalimbali<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/41420</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]]. [[Heshima]] hiyo ilithibitishwa na [[Papa Benedikto XIII]] [[mwaka]] [[1728]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[17 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje==
*[https://web.archive.org/web/20090923031459/http://saints.sqpn.com/sainte0z.htm Saint Evermod of Ratzeburg] at ''Saints.SQPN.com''
*[http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=3304 Evermod at Catholic Online]
*[http://www.saintpatrickdc.org/ss/0217.shtml#ever Saint of the Day, February 17: ''Evermod of Ratzeburg''] at ''SaintPatrickDC.org''
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1100|1178}}
[[Jamii:Wakanoni]]
[[Jamii:Wapremontree]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:watakatifu wa Ubelgiji]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
9qpmssbujyvkwls5jl51pcomlzqluno
Majadiliano ya mtumiaji:Oren neu dag
3
155796
1240833
2022-08-08T11:27:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:27, 8 Agosti 2022 (UTC)
soa8943st1paqoxnrhcpnx50112u2sz
Majadiliano ya mtumiaji:EmoNarutoFan
3
155797
1240834
2022-08-08T11:28:02Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
fz8gvckzrqnmsq7nvmrej9vgik7x5ho
Majadiliano ya mtumiaji:Atlan da Gonozal
3
155798
1240835
2022-08-08T11:28:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:28, 8 Agosti 2022 (UTC)
fz8gvckzrqnmsq7nvmrej9vgik7x5ho
Majadiliano ya mtumiaji:Wakeuptired
3
155799
1240836
2022-08-08T11:29:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
qxes97a89aqs1z6crgzrgzmbxdnt37v
Majadiliano ya mtumiaji:Harald Khan
3
155800
1240837
2022-08-08T11:29:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
qxes97a89aqs1z6crgzrgzmbxdnt37v
Msaada:Links
12
155801
1240838
2022-08-08T11:29:26Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '#REDIRECT Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)'
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)]
30b9tqate459gwb1d3r97jw2prw41mo
1240841
1240838
2022-08-08T11:30:14Z
Kipala
107
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)]]
ja4tqhaj48cqv54cztcqn6ohl87hf21
Majadiliano ya mtumiaji:Worldofbb
3
155802
1240839
2022-08-08T11:29:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:29, 8 Agosti 2022 (UTC)
qxes97a89aqs1z6crgzrgzmbxdnt37v
Majadiliano ya mtumiaji:Eug
3
155803
1240840
2022-08-08T11:30:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
rzt6f80vlr5xl4bbdsr0pu38541l3qk
Majadiliano ya mtumiaji:Wing
3
155804
1240842
2022-08-08T11:30:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:30, 8 Agosti 2022 (UTC)
rzt6f80vlr5xl4bbdsr0pu38541l3qk
Majadiliano ya mtumiaji:Akaraka
3
155805
1240843
2022-08-08T11:31:00Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
5wtzn0guf0a2yqw4ynkdfhr9ev8ht2e
Majadiliano ya mtumiaji:Johannes Rohr
3
155806
1240844
2022-08-08T11:31:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
5wtzn0guf0a2yqw4ynkdfhr9ev8ht2e
Majadiliano ya mtumiaji:Henrik
3
155807
1240845
2022-08-08T11:31:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:31, 8 Agosti 2022 (UTC)
5wtzn0guf0a2yqw4ynkdfhr9ev8ht2e
Majadiliano ya mtumiaji:930618wemi
3
155808
1240846
2022-08-08T11:32:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
9cev5a1mg96v0omixkn73jk36gsa17g
Majadiliano ya mtumiaji:Bruxism
3
155809
1240847
2022-08-08T11:32:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
9cev5a1mg96v0omixkn73jk36gsa17g
Msaada:Viungo vya Wikipedia
12
155810
1240848
2022-08-08T11:32:27Z
Kipala
107
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Wikipedia:Mwongozo (Viungo vya Wikipedia)]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia)]]
ja4tqhaj48cqv54cztcqn6ohl87hf21
Majadiliano ya mtumiaji:Lebennebel
3
155811
1240849
2022-08-08T11:32:53Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:32, 8 Agosti 2022 (UTC)
9cev5a1mg96v0omixkn73jk36gsa17g
Majadiliano ya mtumiaji:Rune X2
3
155812
1240850
2022-08-08T11:33:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:33, 8 Agosti 2022 (UTC)
56o6tpvztmr2gutl95dn2z13nz55qh6
Majadiliano ya mtumiaji:Manirakizaemile
3
155813
1240852
2022-08-08T11:34:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:34, 8 Agosti 2022 (UTC)
16wpumcsxg93drnz3rycxpbjntefywl
Majadiliano ya mtumiaji:Homo ergaster
3
155814
1240854
2022-08-08T11:34:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:34, 8 Agosti 2022 (UTC)
16wpumcsxg93drnz3rycxpbjntefywl
Majadiliano ya mtumiaji:Bolo1729
3
155815
1240855
2022-08-08T11:35:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:35, 8 Agosti 2022 (UTC)
3gsig2nrw4e4pu6h94cdb91evec7b0t
Majadiliano ya mtumiaji:ChrisDHDR
3
155816
1240856
2022-08-08T11:35:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:35, 8 Agosti 2022 (UTC)
3gsig2nrw4e4pu6h94cdb91evec7b0t
Majadiliano ya mtumiaji:Luckyz
3
155817
1240857
2022-08-08T11:36:06Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:36, 8 Agosti 2022 (UTC)
9vrxwdqtuqq3ytaj1dxn8ey3ylkwczu
Majadiliano ya mtumiaji:SmartDen
3
155818
1240858
2022-08-08T11:36:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:36, 8 Agosti 2022 (UTC)
9vrxwdqtuqq3ytaj1dxn8ey3ylkwczu
Majadiliano ya mtumiaji:Thfump
3
155819
1240859
2022-08-08T11:37:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
mw06wh9le2y4jhekavlh0kvscra7wj0
Majadiliano ya mtumiaji:Limotecariu
3
155820
1240860
2022-08-08T11:37:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
mw06wh9le2y4jhekavlh0kvscra7wj0
Majadiliano ya mtumiaji:Marek69
3
155821
1240861
2022-08-08T11:37:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:37, 8 Agosti 2022 (UTC)
mw06wh9le2y4jhekavlh0kvscra7wj0
Majadiliano ya mtumiaji:Daimore
3
155822
1240862
2022-08-08T11:38:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:38, 8 Agosti 2022 (UTC)
ls0eebc0eebl6gnwes7zgw9cqzm7g2f
Majadiliano ya mtumiaji:AleXXw
3
155823
1240863
2022-08-08T11:38:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:38, 8 Agosti 2022 (UTC)
ls0eebc0eebl6gnwes7zgw9cqzm7g2f
Majadiliano ya mtumiaji:Manticore
3
155824
1240864
2022-08-08T11:38:47Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:38, 8 Agosti 2022 (UTC)
ls0eebc0eebl6gnwes7zgw9cqzm7g2f
Majadiliano ya mtumiaji:Phestoem
3
155825
1240865
2022-08-08T11:39:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
tgmy60u7ranlep7env4rym5agde5qlr
Majadiliano ya mtumiaji:Lejjona
3
155826
1240866
2022-08-08T11:39:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
tgmy60u7ranlep7env4rym5agde5qlr
Majadiliano ya mtumiaji:Ucbear
3
155827
1240868
2022-08-08T11:39:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:39, 8 Agosti 2022 (UTC)
tgmy60u7ranlep7env4rym5agde5qlr
Jamii:Waigizaji filamu wa Angola
14
155828
1240869
2022-08-08T11:40:11Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Angola]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|A]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Angola]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|A]]
7kzgrols1ggxhhzmq0uzyggh94pl1fv
Majadiliano ya mtumiaji:I-210
3
155829
1240870
2022-08-08T11:40:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
l95p15vmlkybhjulaiavj6bnp2tpukz
Majadiliano ya mtumiaji:Succu
3
155830
1240871
2022-08-08T11:40:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
l95p15vmlkybhjulaiavj6bnp2tpukz
Majadiliano ya mtumiaji:Jérôme
3
155831
1240872
2022-08-08T11:40:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:40, 8 Agosti 2022 (UTC)
l95p15vmlkybhjulaiavj6bnp2tpukz
Majadiliano ya mtumiaji:Scipius
3
155832
1240873
2022-08-08T11:41:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:41, 8 Agosti 2022 (UTC)
og9ly3jltuaj0xgbp8qnkk1jse48ijl
Jamii:Waigizaji filamu wa Burundi
14
155833
1240874
2022-08-08T11:41:24Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Burundi]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|B]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Burundi]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|B]]
js4rakn276s0fez3wz4c0gyfver96j5
Majadiliano ya mtumiaji:Maximaximax
3
155834
1240875
2022-08-08T11:42:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
kzhigzgzkuhsc1dxggtr3an2dqa70i8
Jamii:Waigizaji filamu wa Denmark
14
155835
1240876
2022-08-08T11:42:30Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Denmark]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|D]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Denmark]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|D]]
pymz8v30na5ocn0gyquzonjya0yh907
Majadiliano ya mtumiaji:Renné
3
155836
1240877
2022-08-08T11:42:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
kzhigzgzkuhsc1dxggtr3an2dqa70i8
Majadiliano ya mtumiaji:Flénu
3
155837
1240879
2022-08-08T11:42:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
kzhigzgzkuhsc1dxggtr3an2dqa70i8
Majadiliano ya mtumiaji:Ludo29
3
155838
1240880
2022-08-08T11:43:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
i4oni5m3h6p6369cbbixtld5lc1g2ak
Jamii:Waigizaji filamu wa Ireland
14
155839
1240881
2022-08-08T11:43:24Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Ireland]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|I]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Ireland]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|I]]
e3ise6lxbuowltor3i5zh5o7wasgp0m
Majadiliano ya mtumiaji:Steorra
3
155840
1240882
2022-08-08T11:43:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
i4oni5m3h6p6369cbbixtld5lc1g2ak
Majadiliano ya mtumiaji:Hegvald
3
155841
1240883
2022-08-08T11:43:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:43, 8 Agosti 2022 (UTC)
i4oni5m3h6p6369cbbixtld5lc1g2ak
Majadiliano ya mtumiaji:Zhoulikan
3
155842
1240884
2022-08-08T11:44:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:44, 8 Agosti 2022 (UTC)
k4px95o1rtd6yz85ocvbqmnom4cxnt1
Jamii:Waigizaji filamu wa Israeli
14
155843
1240885
2022-08-08T11:44:31Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Israel]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|I]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Israel]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|I]]
qzph28dgkxfmp6sxm6a9t8dvgjrqtwq
Majadiliano ya mtumiaji:KirstinTB
3
155844
1240886
2022-08-08T11:44:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:44, 8 Agosti 2022 (UTC)
k4px95o1rtd6yz85ocvbqmnom4cxnt1
Majadiliano ya mtumiaji:Gmaldoff
3
155845
1240887
2022-08-08T11:44:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:44, 8 Agosti 2022 (UTC)
k4px95o1rtd6yz85ocvbqmnom4cxnt1
Majadiliano ya mtumiaji:Peremees
3
155846
1240888
2022-08-08T11:45:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:45, 8 Agosti 2022 (UTC)
c2c82e2sqskq43bupbc3ndkgigbkuxf
Majadiliano ya mtumiaji:Irena.Mor
3
155847
1240889
2022-08-08T11:46:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:46, 8 Agosti 2022 (UTC)
8guz9y9uwfyb01v0eyg7luhqoq1v19h
Majadiliano ya mtumiaji:Beyonce sinem
3
155848
1240891
2022-08-08T11:46:25Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:46, 8 Agosti 2022 (UTC)
8guz9y9uwfyb01v0eyg7luhqoq1v19h
Jamii:Waigizaji filamu wa Kamerun
14
155849
1240892
2022-08-08T11:46:33Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Kamerun]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|K]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Kamerun]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|K]]
1orbmu7v0rz37ms5nzdcoyuapk43kj6
Majadiliano ya mtumiaji:Jlaval
3
155850
1240893
2022-08-08T11:47:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
1u25k621r1784hzi87ym1knek0svisq
Jamii:Waigizaji filamu wa Liberia
14
155851
1240894
2022-08-08T11:47:32Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Liberia]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|L]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Liberia]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|L]]
nhv3nzjbr2qfhueo89soimvb5iwdhkn
Majadiliano ya mtumiaji:Coneslayer
3
155852
1240895
2022-08-08T11:47:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
1u25k621r1784hzi87ym1knek0svisq
Majadiliano ya mtumiaji:Adam Zivner
3
155853
1240896
2022-08-08T11:47:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:47, 8 Agosti 2022 (UTC)
1u25k621r1784hzi87ym1knek0svisq
Majadiliano ya mtumiaji:M bar B Ranch
3
155854
1240897
2022-08-08T11:48:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
qhlmgg4xii3a4nk8a9zcp3wt06k9iyg
Jamii:Waigizaji filamu wa Poland
14
155855
1240898
2022-08-08T11:48:33Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Poland]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|P]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Poland]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|P]]
s707syn2tzgeth8gjme31lbvnc2qr3n
Majadiliano ya mtumiaji:GateKeeperX
3
155856
1240899
2022-08-08T11:48:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:48, 8 Agosti 2022 (UTC)
qhlmgg4xii3a4nk8a9zcp3wt06k9iyg
Majadiliano ya mtumiaji:Blacknificent
3
155857
1240900
2022-08-08T11:49:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
rarw7fsps6q1i1e7y6rjf6ro3tdygb5
Jamii:Waigizaji filamu wa Romania
14
155858
1240901
2022-08-08T11:49:14Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Romania]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|R]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Romania]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|R]]
timb0x42gayxsxubiuntfmjhp7a6obh
Majadiliano ya mtumiaji:Giuseppe Caruso
3
155859
1240902
2022-08-08T11:49:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
rarw7fsps6q1i1e7y6rjf6ro3tdygb5
Majadiliano ya mtumiaji:Curusa
3
155860
1240903
2022-08-08T11:49:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:49, 8 Agosti 2022 (UTC)
rarw7fsps6q1i1e7y6rjf6ro3tdygb5
Jamii:Waigizaji filamu wa Tunisia
14
155861
1240904
2022-08-08T11:49:57Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Tunisia]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|T]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Tunisia]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|T]]
f0qooc0z3ii5lwcuonjlfic4ydw0k0v
Majadiliano ya mtumiaji:Stullkowski
3
155862
1240905
2022-08-08T11:50:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
jmcwegxljbrwdgcfww8ugauka2hle4j
Majadiliano ya mtumiaji:Blackbinight
3
155863
1240906
2022-08-08T11:50:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
jmcwegxljbrwdgcfww8ugauka2hle4j
Jamii:Waigizaji filamu wa Ufilipino
14
155864
1240907
2022-08-08T11:50:41Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Ufilipino]] [[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|U]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Ufilipino]]
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|U]]
4uqkmz1iukmhevqkm1ru9vtv1q4n9d9
Majadiliano ya mtumiaji:Fev
3
155865
1240908
2022-08-08T11:50:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
jmcwegxljbrwdgcfww8ugauka2hle4j
Majadiliano ya mtumiaji:Rockerswb
3
155866
1240909
2022-08-08T11:50:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:50, 8 Agosti 2022 (UTC)
jmcwegxljbrwdgcfww8ugauka2hle4j
Majadiliano ya mtumiaji:Thorn93
3
155867
1240910
2022-08-08T11:51:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
bhohnnf4dick82l1gebp0ub9ybpljh7
Majadiliano ya mtumiaji:Sherallyhussein
3
155868
1240911
2022-08-08T11:51:36Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
bhohnnf4dick82l1gebp0ub9ybpljh7
Majadiliano ya mtumiaji:Riddle88
3
155869
1240912
2022-08-08T11:51:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:51, 8 Agosti 2022 (UTC)
bhohnnf4dick82l1gebp0ub9ybpljh7
Majadiliano ya mtumiaji:Video2005
3
155870
1240913
2022-08-08T11:52:19Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
7rcbpihq410gizowoycumj4oat281sp
Majadiliano ya mtumiaji:Flrn
3
155871
1240914
2022-08-08T11:52:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:52, 8 Agosti 2022 (UTC)
7rcbpihq410gizowoycumj4oat281sp
Majadiliano ya mtumiaji:LOGATION
3
155872
1240915
2022-08-08T11:53:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
lyb5zc3wya852mlr4kg6m37ocbs0phs
Majadiliano ya mtumiaji:Robotje
3
155873
1240917
2022-08-08T11:53:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:53, 8 Agosti 2022 (UTC)
lyb5zc3wya852mlr4kg6m37ocbs0phs
Majadiliano ya mtumiaji:Equadus
3
155874
1240919
2022-08-08T11:54:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
7wb9h33zrc7sre15ure0ka6r8l20fix
Majadiliano ya mtumiaji:Alessa77
3
155875
1240920
2022-08-08T11:54:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
7wb9h33zrc7sre15ure0ka6r8l20fix
Majadiliano ya mtumiaji:HyperBroad
3
155876
1240921
2022-08-08T11:54:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 11:54, 8 Agosti 2022 (UTC)
7wb9h33zrc7sre15ure0ka6r8l20fix