Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.23
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Wazinza
0
4148
1241837
1209921
2022-08-10T17:07:23Z
197.186.7.91
wikitext
text/x-wiki
'''Wazinza''' ni [[kabila]] la [[watu]] kutoka eneo la [[kusini]]-[[magharibi]] kwa [[Ziwa Viktoria]] na [[visiwa]] vya jirani, nchini [[Tanzania]].
Mwaka [[1987]] idadi ya Wazinza ilikadiriwa kuwa 138,000 [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=zin].
[[Lugha]] yao ni [[Kizinza]].
[[Kazi]] yao ilikuwa [[uvuvi]], ufugaji na uwindaji pamoja na kilimo. Lakini kwa sasa wamejikita katika anga la wasomi maana wametapakaa kila [[taaluma]] na kila mahali.
==Vyakula asilia wanavyovipenda==
Wazinza walio wengi hupenda kula [[ugali]] wa [[mhogo]], ndizi, [[samaki]] (hasa [[sato]], [[sangara]], [[mumi]], [[kamongo]], [[dagaa]], [[mbete]], [[nshonzi]]) na nyama.
Lakini pia kutokana na uhaba wa vyakula hivyo na mgawanyo wa makazi na kazi, Wazinza wamekuwa wakila vyakula vya aina nyingine nyingi. Mfano ni [[wali]], ugali wa [[mtama]], ugali wa [[mahindi]], [[mboga za majani]] kama vile [[msusa]], [[kisamvu]], [[mchicha]], n.k.
Vyakula asilia kama [[maboga]], [[viazi vitamu]], mihogo mitamu, [[kunde]], [[maharage]] ni miongoni mwa vyakula muhimu sana kwa Wazinza.
{{Makabila ya Tanzania}}
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Zinza}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Geita]]
oz42owbvji66t693t64z3tq02mqynrv
11 Agosti
0
4860
1241847
1146761
2022-08-11T09:09:38Z
41.59.121.196
wikitext
text/x-wiki
{{Agosti}}
Tarehe '''11 Agosti''' ni [[siku]] ya 223 ya [[mwaka]] (ya 224 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 142.
==Matukio==
*[[1492]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Alexander VI]]
*[[1960]] - Nchi ya [[Chad]] inapata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]
Uchaguzi nchini kenya
==Waliozaliwa==
*[[1858]] - [[Christiaan Eijkman]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1929]]
*[[1921]] - [[Alex Haley]], [[mwandishi]] kutoka [[Marekani]]
*[[1926]] - [[Aaron Klug]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1982]]
*[[1988]] - [[Angel Kamugisha]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Tanzania]]
==Waliofariki==
*[[1253]] - [[Mtakatifu]] [[Klara wa Asizi]], [[bikira]] [[Mfransisko]] kutoka [[Italia]]
*[[1890]] - Mtakatifu [[John Henry Newman]], [[padri]] [[kardinali]] kutoka [[Uingereza]]
*[[1937]] - [[Edith Wharton]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
*[[1972]] - [[Max Theiler]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1951]]
*[[2006]] - [[Mazisi Kunene]], mwandishi kutoka [[Afrika Kusini]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Klara wa Asizi]], [[Aleksanda wa Makaa]], [[Tibursi wa Roma]], [[Suzana wa Roma]], [[Rufino wa Asizi]], [[Taurini wa Evreux]], [[Equisi]], [[Gaugeriki wa Cambrai]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|August 11|Agosti 11}}
*[http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/august/11 BBC: On This Day]
*[http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Aug&day=11 On This Day in Canada] {{Webarchive|url=https://archive.is/20121210025315/http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Aug&day=11 |date=2012-12-10 }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Agosti 11}}
[[Category:Agosti]]
20r417rs954ixbkkol9k9f6vu2o13al
Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni
3
14699
1241831
1240608
2022-08-10T13:19:59Z
196.249.103.144
/* Msaada wa kuandika Makala ya Mtandao wa jamiiTalk na Mwanzilishi wake */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
==Ujumbe==
Habari, ukiwa na nafasi nashukuru ukiangalia baruapepe zako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:09, 20 Oktoba 2020 (UTC)
==Fransisko wa Asizi==
Riccardo, salam. Nd. Riccardo, ile makala ya Fransisko wa Asizi, umeandika safi sana na inaeleweka. Lakini je vipi kuhusu mwaka aliozaliwa huyu bwana unaujua? Natumai utakuwa umeitafsiri kutoka wiki zingine ama sivyo? Natumai ndivyo!! Basi kama utaweza kuandika mwanzo kabisa mwaka aliozaliwa itakuwa bora zaidi. Labada nikupe mfano mdogo: '''Fransisko wa Asizi''' (tarehe na mwaka aliozaliwa) alikuwa mtakatifu kutoka nchini Italia. Asizi alizaliwa katika mkoa wa Umbria, wilaya ya Perugia, Italia.... Kisha unaweka kama ndugu na mambo mengine!! Haya basi kama hujaelewa labda umwulize Kipala atakupa habari zaidi!! Kingine usisahau kuweka InterWiki katika makala yako kama ipo katika wiki zingine-'''<nowiki>[[it:Fransisko of Asizi]]</nowiki>''' (sijui kwa lugha ya Kitaliano wanahitaje) lakini inategemea na lugha vyovyote vile inaswihi. Kingine kuweka vichwa katika makala, hili nenda kaangalie makala yako utaona nimefanya vipi mpaka kimekuja kichwa cha habari-[[Fransisko wa Asizi]]. Sina mengi na nakutakia kheri ya mwaka mpya na furaha tele moyoni!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:08, 7 Januari 2008 (UTC)
Kuna kitu nimesahau kukueleza. Kuweka jamii au category katika makala, mfano: '''<nowiki>[[Category:Watakatifu wa Italia]]</nowiki>''' au '''<nowiki>[[Category:Watakatifu]]</nowiki>''' na nyingine ya mwaka aliozaliwa -unaweka mabano kama hayo kisha unaadika (Waliozaliwa 19 na...) kama kafa unaandika Waliofariki (mwaka aliokufa). Natumai utakuwa umeelewa!!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] 05:20, 7 Januari 2008 (UTC)
==Ushauri==
Salam. Ukiwa bado humchanga katika wiki hii, ni vyema ku-login kabla ya kuumba makala!!! Nimeona baadhi ya makala umeandika bila ku-login, kisha nikafikiri ni Kipala aliyefanya hiyo hivyo, kwani yeye ndiye huwa na kawaida hiyo!! Basi endelea na kazi yako Ndugu, wako katika ujenzi wa Wikipedia,--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:19, 28 Februari 2008 (UTC)
:Asantee ntajitahidi '''[[Mtumiaji:Billy pixel|Billy pixel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Billy pixel|majadiliano]])''' 06:34, 3 Agosti 2022 (UTC)
==Mpangilio wa makala==
Salaam! Kuna mapendekezo kuhusiana na muundo wa makala na vichwa vyake. Naomba angalia [[Talk:Klara|hapa]] kwa maelezo zaidi....--[[User:Muddyb Blast Producer|"Mwanaharakati"]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|talk]]) 12:43, 11 Machi 2008 (UTC)
::Salaam! Tukiwa tunaendelea na mada yetu ya vichwa vya habari katika makala, labda nikueleze kingine nimekiona! Ni vyema wakati wa kutaka kumwachia mtu ujumbe katika kurasa ya majadiliano, uwe unaanzia chini na sio juu. Ukifanya hivyo inakuwa rahisi mtu kufahamu ujumbe upo wapi. Vinginevyo uangalia mabadiliko ya mwisho ndiyo utajua ujumbe upo wapi. Pendekezo: Ni vyema uwe unaweka (au kuacha ujumbe wako kuanzia chini). Vichwa vya habari: Labda nikuonyeshe namna ya kuweka vichwa vya habari
<nowiki>==Hapa unaweka maelezo husika na kichwa cha habari hiki==</nowiki>
Hapa chini yake unaaza kuelezea vile habari kama kilivyo kichwa chake cha habari.
Naomba angalia makala hii :[[Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya]] na vichwa vyake vya habari, labda utapata mwelekeo mzuri zaidi. Ukiwa unaona bado huja elewa basi nijulishe au mwulize mkabidhi yoyote atakupa maelekezo zaidi! Kila lakheri....--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 04:18, 25 Machi 2008 (UTC)
==Viungo vya nje==
Salam. Ndugu Riccardo, hamna uwezekano wa kupata viungo vya nje katika makala unazo-changia? Maana naona makala nyingi umeandika bila ya viungo vya nje, wakati ukiziangalia katika Wikipedia zingine unazikuta wamewekea viungo vya nje. Je vipi utafanya ili uweze kuweka hata viungo vya nje katika baadhi ya makala utakazo changia-zenye kuhitaji viungo vya nje?--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 11:57, 27 Machi 2008 (UTC)
==Ualimu==
Salaamu Ricardo,nafurahi sana kuona kazi yako. Nina neno kuhusu [[ualimu]] naomba utazame ukurasa wa majadiliano huko. ̰-[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 19:12, 27 Machi 2008 (UTC)
==Hongera ya makala 7,000==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 7,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu saba. Naona kama naota kufikia kiwango hicho, ingawaje si nyingi hivyo lakini tumefika!. Basi tuendelee kushauriana na kuvumiliana!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 07:32, 21 Aprili 2008 (UTC)
==Fransisko==
Ricardo, niliandika hapa kitu juu ya umbo la makala lakini nimeifuta tena kwa sababu sijaona ya kwamba umeshabadilisha mwenyewe. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 11:19, 14 Mei 2008 (UTC)
==Vitabu vya Biblia==
Riccardo salaam, nimeona umechapa kazi kan bisa kuhusu vitabu vya Biblia. Ombi langu ni: tujaribu kushikamana pamoja. Labda umeona ya kwamba hata Oliver na mimi tumeshaanza makala kadhaa juu ya vitabu vya Biblia lakini sijandelea kwa muda mrefu. Hapa naona kuna mamabo mawili yanaofaa tukumbuke: tupatane juu ya majina na jamii.
*Kwanza tukiwa na makala nyingi napendekeza tutumie jamii za "Vitabu vya Agano la Kalre" na "Vitabu yva Agano Jipya" zote mbili chini ya "Category:Biblia". Menginevyo jamii zitajaa mno tukiweka kila kitu chini ya Biblia. Vile vile misahafu naona tutumie hii wka ngaziy a juu maana yake tukitaja vitabu vya dini mbalimbali si sehemu za kila kitabu cha kila dini (kwa mfano upande wa Uhindu tunapata nyingi mno, kama vile upande wa Ukristo).
*Pili naomba ukiongeza kumbuka makala za
**[[Agano la Kale]]
**[[Agano Jipya]]
**[[Orodha ya vitabu vya Biblia]]
kwa sababu hapa kuna orodha na tukiunda makala kwa jina tofauti orodha hizi si msaada tena. Au tunafanya kazi mara mbili, linganisha [[Kumbukumbu la Sheria (Biblia)]] na [[Kumbukumbu la Sheria]]. Kumbe makala imeshakupatikana tayari. Basi sasa tuunganishe. Halafu ona jinsi nilivyofanya kwa Ruth: wewe uliandika [[Kitabu cha Ruth]] halafu nikaweka kiungo cha #REDIRECT kutoka orodha inapoandikwa kw< umbo la "Ruthu". Unaonaje? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 14:43, 2 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Namna ya kuelekeza ukurasa mmoja kuelekeza kwingine ni:
*'''<nowiki>#REDIRECT [[andika ukurasa unaotaka ku-redirect hapa]]</nowiki>'''.
:::Mengineyo, waone wataalamu wa "Dini", yaani Kipala! Ushauri: Naona mara nyingi ukiandika
ujumbe, huwa hakuna jina lako linalotokea katika ukurasa wa majadiliano wa mtu uliyemwachia ujumbe. Fanya hivi: '''<nowiki>--~~~~</nowiki>''' kisha yenyewe itaandika jina lako, muda, tarehe n.k. Kazi njema na kila lakheri! Wako katika ujenzi wa Wikipedoia hii ya Kiswahili,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:56, 3 Juni 2008 (UTC)
::::Salamu!!!!! Baba Riccardo, napenda kujua kwa nini Bibilia nyingine zina vitabu 72 na nyingine zina vitabu 66? Pole na Kazi na Mungu akubariki.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 15:39, 27 Machi 2015 (UTC)
:::::Ndugu Asante sana.--'''[[Mtumiaji:TELESPHORY|TELESPHORY]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:TELESPHORY|majadiliano]])''' 16:16, 27 Machi 2015 (UTC)
==Kutia sahihi==
Salam, Riccardo. Kuna kitu nimeona wakati wa kumaliza kuandika, jina lako linatoka bila kiungo. Hapa naona mambo mawili: Huenda akawa umeilemaza ile sehemu ya kuweka automatic link(angalia "mapendekezo yangu - raw signature"). Pia inawezekana ukawa unakosea namna ya kujisajilisha ili uweze kupatikana katika viungo hivi vya wiki. Angalia mfano huu tena kwa njia ya picha kisha uwe unafanya hivyo:
[[Image:Kutia Saini.JPG|thumb|centre|300px|Fuata hizi alama kama zilivyo.]]
Samahani lakini kama nitakuwa na kukera katika kukumbushia namna ya kijisajili. Kazi njema na natumai utakuwa umeelewa! Endapo ukiwa bado, basi nijulishe...--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 13:07, 12 Juni 2008 (UTC)
::Salaaam! Riccardo, nimeona makala nyingi ukiwa unaandika vichwa vya habari kwa "herufi kubwa". Kwani haiwezekani kuandika herufi ndogo?? Unaombwa ufuate format ya wikipedia jinsi inavyokwenda! Usijisikie vibaya pale unapoelezwa kwani tupo katika kuboresha makala zetu! Hata mimi nilikuwa nafanya kama unavyofanya, lakini Kipala akanieleza namna ya kufanya vyema!!! Basi tushirikiane katika kazi ili tuwe wabora zaidi. Mengineyo: Ujumbe wa juu natumai umeuona, na kama umeona naomba nifute ile picha!--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:06, 13 Juni 2008 (UTC)
::::Umefaulu. Ila usiandike jina lako, yenyewe itaandika jina lako na muda uliacha ujumbe ule. Hongera na kazi na tuendelee kushauriana! Wako katika ujenzi wa Wikipedia hii,--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 10:30, 13 Juni 2008 (UTC)
==Masharti ya makala==
Salaam Riccardo umefanya kazi kubwa ya kutunga makala mengi juu ya vichwa vyenye maana. Nashukuru. Lakini naona tatizo juu ya makala kadhaa kulinganana na masharti ya kamusi elezo. Kwa upande mmoja makala kuhusu maazimio ya mtaguso wa pili wa Vatikani hayafuati muundo wa makala. Maana yake mwanmzoni hazielezi waziwazi neno hili ni nini bali zinaanza na maelezo juu ya nia au mawazo ya Mtaguso. Hii haisaidii kueleweka vema. Halafu kuna jambo la pili nimeona mara nyingi namna ya mahubiri inayochanganywa na habari. Hii si mtindo wa kamusi elezo. Labda kama ukiandika kwa ajili ya homepage ya kanisa lako ingekuwa sawa. Lakini hapa tunahitaji maelezo yaliyo wazi kwa mtu yeyote. Kama Waislamu, Wakristo wa madhehebu mengine na watu wanaokanusha dini wanafanya hivihivi wikipedia yetu haieleweki tena. Naona haja kuleta masahihisho hapa. Ningeomba usinedelee kuandika makala kwa muundo huohuo bali tujitahidi pamoja kuleta mpanglio unaofaa. Napenda kurudia ya kwamba naona makala yote yanahusu mada muhimu lakini hatuna budi kusaidiana kutunza kiwango cha ubora fulani.--[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
:Nimesahihisha kidogo mwanzo wa makala kuhusu "[[Dei Verbum]]". Pamoja na muundo niliona mafundisho au mahubiri ya kidhehebu. Ilikuwa vema ya kwamba ulinikumbusha juzi ya kwamba haikuwa sahihi kuonyesha mafundisho ya Kiprotestant juu ya idadi ya vitabu vya Agano la Kale. Nimekubali kabisa. Vivyo hivyo hakuna mahali hapa kuingiza mafundisho ya kidhehebu juu ya madhehebu mengine.
:Mfano: Si kweli ya kwamba viongozi Waprotestanti walikataa ualimu wa kanisa; kinyume chake ualimu huu unasisitizwa sana! Tofauti ilikuwa ya kwamba wakati ule Waprotestanti hawakukubali Kanisa Katoliki kuwa kanisa kweli. Sasa tuna kazi ya kueleza mawazo haya katika makala juu ya historia ya kanisa au historia ya mafundisho ya kidini na hapo ni sawa. Lakini haifai kurudia matamko ya upinzani wa kidhehebu ndani ya makala kama hii, isipokuwa kama ni kweli sehemu ya kichwa fulani. Lakini inapaswa kuelezwa kama maoni fulani si kama habari halisi. Tuhurumie wasomaji wetu wanaotoka katika mazingira mbalimbali. Naomba tuelewane hapa na kusaidiana. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
==Agano la Kale==
Ricccardo, asante kwa kunikumbusha. Samahani lakini sina uhakika unalenga nini yaani makala gani. Pale nilipoangalia nakuta vitabu vipo bila shaka unamaanisha sehemu nyingine ambako sioni. Naomba fanya hivi: weka kiungo (link) pale unapoandika kwenye ukurasa wangu ili nifike palepale. Mfano: [[Agano la Kale]] kuna vitabu vyote unavyotaja. Je wewe unalemha nini hasa? (halafu: Kuanzia kesho kutwa sitakuwepo kwa wiki 4 - naomba uvumilivu wako). --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:30, 16 Julai 2008 (UTC)
::::Nimeelewa. Ilikuwa [[Template:Biblia_AK]]. Nimesahihisha. Halafu ilikuwa nini juu ya kulinganisha "Biblia ya Kiebrania" na "Agano la Kale"? --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 07:42, 17 Julai 2008 (UTC)
:::::Nimejibu ujumbe wako [[User talk:Muddyb Blast Producer|hapa!]]--[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] ([[User talk:Muddyb Blast Producer|majadiliano]]) 15:10, 25 Agosti 2008 (UTC)
==Hi Ricardo Riccioni ==
Hi! How are you? Could you please help me add a couple of sentences to the Kiswahili version of [http://en.wikipedia.org/wiki/Puerto_Rico_Independence_Party this interesting article]?
Thanks so much! -[[User:Ivana Icana|Ivana Icana]] ([[User talk:Ivana Icana|majadiliano]]) 22:30, 6 Septemba 2008 (UTC)
Could you please send me the artical '''[[Mtumiaji:Sen2006|Sen2006]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sen2006|majadiliano]])''' 10:38, 15 Oktoba 2018 (UTC)
:yes, i can. give me your your sentences '''[[Mtumiaji:Nestory kamal|Nestory kamal]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Nestory kamal|majadiliano]])''' 13:25, 11 Desemba 2021 (UTC)
== Lugha ==
Riccardo, salam. Eti, umefikia wakati wa wewe kujiwekea viwango vya lugha uzifahamuzo katika ukurasa wako wa mtumiaji! Hapa kuna orodha chache ya mifano hai yenye kuonyesha lugha unazozijua. Angalia hizi:
Haya, katika kila kodi ya lugha, kwa mfano: sw-2 au 3, ni kiwango cha lugha unachokifahamu. Ikiwa en-2, 3, 4, ni namna ya kutaja vyema uwezo wa ujua wako wa lugha! Ukiona unajua zaidi ya namba 1,2,3 basi ongeza hadi nne katika kila kodi ya lugha, halafu ukimaliza kopi hayo mabano yote kisha nenda ka-paste katika ukurasa wako wa mtumiaji! Chukua hizi:
'''<big><nowiki>{{Babel|it|sw-3|en-3|es-3|fr-2|la-1}}</nowiki></big>'''
Karibu sana!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:54, 13 Oktoba 2008 (UTC)
::Tayari nsihaongeza msingi wa lugha "A" katika Kihispania! Ni kama uonavyo hapo juu. Natumai kwa hili tushamalizana, kwa maelezo mengine zaidi, tafadhali uliza tu ukijisikia wataka kuuliza! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:08, 1 Novemba 2008 (UTC)
== Picha ==
Riccardo Riccioni, salam. Namna ya kuweka picha ni rahisi sana ndugu yangu! Hebu fuata taratibu hizi kisha tuone kama tutafaulu katika kuelekezana huku. Andika:
'''<big><nowiki>[[Image:Jina la picha.jpg, .png, .svg, .gif n.k.|thumb|hapa weka kulia au kushoto (kwa Kiingereza)|ukubwa wa picha=250px n.k.|Maelezo ya picha, kisha]]</nowiki></big>'''
Kingine: Ukitaka kutumia formula hiyo, tafadhali usi kopi na hayo maandishi yaliyoandikwa. Chukua maelezo matupu bila ya nowiki! Haya, tazama picha jinsi inavyokuja kwa hapa:
<nowiki>
[[Image:Flag of Italy.png|thumb|left|15px|Bendera ya Italia]]. </nowiki>Ukiona bado hujaelewa, basi nijulishe nitakuelekeza zaidi!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
:Ndugu, sijaelewa. Pole! Kwanza sijui nowiki ni nini. Pili sijui picha niichukue wapi. Tatu nijueje ukubwa. Nilichoelewa ni kulia na kushoto... Pamoja na hayo, naona unapenda kufahamu niko wapi: si mbali na wewe, naishi Morogoro, hivyo itakuwa rahisi kukutana siku yoyote... Nimetekeleza agizo lako kuhusu Holy See. Natumaini inatosha. Kama ningeweza, ningeweka picha nzuri iliyopo mwanzoni mwa makala hiyo kwa Kiitalia! Pia katika user page yangu ya Kiingereza nimepandisha maksi zangu za Kiswahili kwa kuandika 4. Mbona mimi ni Mtanzania? Ila nimeona template hiyo haipo katika Kiitalia na Kiswahili. Amani kwako! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]]) 23:19, 15 Novemba 2008 (UTC)
::Duh! Ebwana eeeh! Basi mie sikujua kamama wewe ni Mtanzania. Lakini mbona una jina la Kiitalia (hata lugha yako ya kwanza ni Kiitalia!). Basi naona unge badilisha ile sehemu ya Kiswahi uweke (sw tupu bila namba!) Maana wewe ni Mswahili? Aaah, nahisi umekaa Tanzania mda mrefu, kiasi hata ujue Kiswahili kama Mzawa! Haya, basi eti picha ujuaelewa? Naona unge fungua ile picha na uitazame kama inatoka Wikimedia Commons (Commons ni mradi unaopakia picha kwa ajili ya Wikipedia zote au hata mieadi yote ya Wiki!). Basi tazama [http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ukulu_mtakatifu&diff=prev&oldid=177019 hii] jinsi nilivyoongeza picha halafu muda mwingine ufanye kama hivyo. Pale utaona maandishi ya kijani (hayo ndiyo niliongeza mimi!). Ukiona bado hujaelewa, basi niulize tena kisha nitakueleza vyema! Na kuhusu mie, nina kaa huku kwetu shamba [[Kiwalani]]! Bwana akubariki,--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 12:19, 17 Novemba 2008 (UTC)
==Ombi la la tafsiri ya makala==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo Riccioni popote ulipo! Naomba kama utapata muda wa kuweza kutafsiri makala ya [[:en:Holy See|Holy See]] kutoka lugha ya Kiingereza au Kitaliano kama utapenda! Nataka kujua kuhusiana na hiyo Holy See, yaani uandike makala ya [[Holy See]] katika Wikipedia hii, ikiwezekana kwa Kiswahili itakuwa bora zaidi ama unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
== Mambo mbalimbali ==
Ndugu Riccardo, salaam! Nakushukuru kwa jumbe zako kadhaa za siku zilizopita, na sina budi kukuomba radhi kwa kimya yangu. Upande wa Carl Hinton, nitaendelea kuangalia sehemu ambazo amenakilisha tu kutoka katika "Biblia Inasema". Nimesafiri bila nakala yangu ya kitabu hicho kwa hiyo itanichukua muda kadhaa kabla sijaweza kuendelea na kazi hii ya ufutaji tena.
Upande wa kichwa cha makala mbalimbali, mimi sioni shida, hasa kwa vile makala za zamani zitarejea zile za kisasa. Ila kuhusu "vita" nakubaliana na Ndugu Muddyb kwamba neno hili liendelee katika ngeli ya nomino ya 9 (yaani kihusishi chake kiwe "ya", siyo "vya"). Nyakati hubadilika. Kwa vyovyote turejee moja kwa nyingine.
Basi, nakushukuru kwa kazi yako inayonifurahisha sana (mbona umehangaika ingewezekana kunichukiza? Haikufanya hivyo hata kidogo!). Na kazi njema! [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]]) 14:27, 10 Novemba 2008 (UTC)
==Mtaguso==
Ndugu Riccardo, salaam. Naomba uangalie maoni kwenye ukurasa wa majadiliano ya [[Talk:Mtaguso Mkuu]] na pia makala ya [[Mitaguso_ya_kiekumene]]. Ningefurahi tukiweza kushirikiana katika jambo hili. --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 08:51, 18 Novemba 2008 (UTC)
== Hongera ya makala 8,000 ==
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 8,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu nane. Nikikumbuka vile ulivochangia kwa hali na mali ili walau nasisi Waswahili tufikie elfu kadhaa, Naona sasa tumesogea! Shukrani za dhati zikufikie na tuendelee kushauriana na kuvumiliana{{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:31, 19 Desemba 2008 (UTC)
==Badiliko la baadhi ya viungo!==
Riccardo, salam! Kuna mabadiliko katika baadhi ya viungo vyetu! Sasa hivi kuna baadhi ya viungo vyetu vinatumika kwa Kiswahili. Kwa mfano CATEGORY hii sasa hivi ipo kama JAMII au picha, zamani ilikuwa Image:jina la picha. hiyo na hiyo. Lakini sasa ni Picha: halafu jina.... Ila zote zinafanya kazi, yaani kwa Kiswahili na Kiingereza! Lakini bora zaidi tukitumia kwa lugha yetu, au wewe unaonaje?--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 09:04, 24 Desemba 2008 (UTC)
:Mpendwa, nafurahi kuona maendeleo hayo ya lugha yetu. Tusonge mbele bila ya kugeuka nyuma! Ila sehemu nyingine kuna makosa: kwa mfano ukarasa badala ya ukurasa. Naomba nyinyi wataalamu mrekebishe. Kuhusu picha nimefaulu kuziingiza kwa njia tofauti na ile uliyonielekeza, yaani nazikopi kutoka lugha nyingine, ila mara mojamoja inashindikana. Mah! Hatumalizi kujifunza... Kuhusu uraia wangu, ni kama ulivyoelewa: nilizaliwa Italia, lakini nipo Tanzania tangu mwaka 1984. Nimekuwa raia tangu mwaka 1997. Asante. --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:44, 25 Desemba 2008 (UTC)
::Sawa, lakini hujaonyesha uo ukurasa wenye jina la "UKARASA". Ni bora kuonyesha kiungo kile ambacho umeokiona kinamakosa! Ahsante{{imetulia sana}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:42, 27 Desemba 2008 (UTC)
:::Kwa mfano hapa pembeni na hapa chini katika Majadiliano ya mtumiaji. --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 16:04, 29 Desemba 2008 (UTC)
==Galileo==
Hongera na asante kwa masahihisho ya maana! Nakiri nina udhaifu wa kupitia tena hasa nikiandika usiku manane wakati mwingine sioni makosa (tahajia, muundo wa sentensi). Basi tuendelee kusaidiana. Kitu kidogo: nashauri usitumie "jamii" badala ya "category". Najua inatakiwa kuwa sawa lakini bado kuna mdudu ndani yake --[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 22:11, 29 Desemba 2008 (UTC)
:Ndugu,kweli nimeona unafanya kazi kubwa usiku, na si mara mojamoja kama mimi... Hongera na heri kwa mwaka mpya! --[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]]) 22:33, 29 Desemba 2008 (UTC)
::Ni vyema kutoa sababu zinazopelekea shida ya JAMII au CATEGORY. Kuna tatizo lolote lililotokea au kutofautisha, kuleta tabu, au kutoonekana kwa makala pindi utakapoweka kiungo cha JAMII badala ya CATEGORY? Naomba nifahamishwe ili niende kuwaeleza wale Madevoloper wa MediaWiki haraka iwezekanavyo{{sura ya uzuni}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:49, 30 Desemba 2008 (UTC)
::Mimi sijaona tatizo lolote. Sasa mmeniweka njia panda: nionekane mkaidi kwa Kipala au kwa Muddy Blast? --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 13:34, 31 Desemba 2008 (UTC)
== [[Historia ya Wokovu]] ==
Ndugu Riccardo. Hongera kwa kazi njema! Miezi miwili iliyopita, ndugu wetu Kipala aliuliza kuhusu hatimiliki ya makala ya [[Historia ya Wokovu]]. Nadhani ni wewe uliyeandika makala hiyo kwa sehemu kubwa kabisa. Ikiwa umenakilisha kutoka kitabu fulani na kuvunja hatimiliki, naomba urekebishe na kufupisha makala. Hata hivyo imekuwa ndefu mno kwa ajili ya kamusi elezo. Tukazane kusaidiana na kazi njema. Umesalimiwa na '''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:22, 23 Januari 2009 (UTC)
Ndugu, usiwe na wasiwasi: mwandishi wa makala hiyo ni mimi mwenyewe tu. Ni kweli kwamba ni ndefu, lakini historia ya binadamu ni ndefu zaidi... ni vigumu kusimulia miaka elfu kwa nusu saa! --[[Maalum:Michango/196.45.46.171|196.45.46.171]] 06:41, 25 Januari 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 9,000 ==
Riccardo, salam. Ni siku 43 nyuma, yaani, 19 Desemba 2008 hadi tar. 2 Februari 2009 - 9,000. Leo tuna makala 9,000. Inazidi kuifanya Wikipedia yetu kuwa vilevile ya pili kama jinsi ilivyozoeleka! Sina maneno mengi, ila ni kukutakia furaha ya kufika hapa tulipo! Pia, maisha mema na kazi kwa ujumla. Kila la kheri. {{tabasamu kuubwa}}--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 16:25, 2 Februari 2009 (UTC)
Mpendwa,
bado kidogo kufikia 10,000 na kupanda chati katika wiki za lugha nyingine... Bahati mbaya, sina muda mwingi kukuungia mkono katika harakati zako. Halafu siku hizi napoteza muda kuboresha makala zilizopo kuliko kuanzisha mpya. Asante! --'''[[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[User talk:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:45, 4 Februari 2009 (UTC)
== 11,000 ==
Riccardo Riccioni, salaaaaam! Wikipedia yetu imefikisha makala 11,000! Ni furaha iliyoje? Basi tu, niseme tujitahidi kuendeleza na kushauriana kwa kila jambo litakalosaidia Wikipedia yetu kuwa juu! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 15:51, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Tuzo ya Barnstar ==
{|style="background: #efe; border: 3px groove #0c0; padding: 5px;" width="100%"
|-
| width="65" | [[Image:Original_Barnstar.png|60px|Barnstar]]
| valign="top" | <big>'''Hongera: Umepewa Tuzo ya Barnstar!'''</big>
----
Kwa juhudi ya kazi zako hapa katika Wikipedia ya Kiswahili!--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 14:37, 27 Aprili 2009 (UTC)
|}
:Ukifanyakazi kwa kiasi kikubwa katika Wikipedia, basi unastahili pongezi ya [[:it:Wikipedia:Wikioscar|TUZO YA WIKI]] kila unapochangia zaidi! Ukifungua ukurasa huo, utaona maelezo marefu kuhusu BARNSTAR kwa lugha ya Kiitalia! Kila la kheri.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:06, 30 Aprili 2009 (UTC)
== Jamii za Juu na Chini ==
Riccardo Riccioni, salam! Kuna tatizo nimeliona, kaka. Ukianzisha JAMII, unatakiwa pia uweke JAMII za chini. Kwa mfano:
'''JAMII ya JUU'''
*'''Jamii:Nyimbo za Tupac'''
'''JAMII ya CHINI'''
*'''Jamii:Nyimbo msanii kwa msanii'''
Kifupi hakuna jamii bila mwenziwe. Na ikiwa hakuna uwezekano wa kupata mwenziwake, ni afadhali zisiumbwe! Bimaana, JAMII YA WANAMUZIKI WA TANZANIA, ipo chini ya WATU WA TANZANIA. Natumai ya kwamba utakuwa umenielewa namna jinsi nilivyoeleza. Kazi njema.--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 05:07, 4 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]] awe bureaucrat ==
Nimemteua '''Mwanaharakati''' achaguliwe kuwa msimamizi mkuu pamoja nasi (b'crat). Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Wakabidhi wakabidhi]. Asante! --'''[[User:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[User talk:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:17, 28 Mei 2009 (UTC)
== [[Mtumiaji:Flowerparty|Flowerparty]] awe mkabidhi ==
Nimemteua '''Flowerparty''' achaguliwe kuwa mkabidhi pamoja nasi. Naomba upige kura kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Wakabidhi|Wakabidhi]]. Ahsante! --<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 10:34, 9 Julai 2009 (UTC)
== Hongera ya makala 12,000 ==
Riccardo, salam! Hongera kwa kusukuma Wikipedia yetu na kufikisha makala zaidi ya 12,000! Ninatumainia kuona michango yako mengine kibao kuliko hiyo uliyoifanya hapo awali!. Siku takii lolote lile, isikuwa kheri ya maisha. Wako kijana mtiifu, <sup>'''Muddyb'''</sup><sub>'''A.K.A.'''</sub>--<sub>'''[[User:Muddyb Blast Producer|Mwanaharakati]]'''</sub> <sup>([[User talk:Muddyb Blast Producer|Longa]])</sup> 13:02, 25 Julai 2009 (UTC)
:Riccardo, bila samahani kwani mjadala huu ni wetu wote! Kuhusu kungongeza mbegu: ni vyema pia kuongeza mbegu kwani hata ile Wikipedia ya Kiitalia ilipiga hatua kubwa kwa kufuatia mbegu zilizowekwa (niliyajua haya wakati ninaandika makala kuhusu matoleo ya Mawikipedia - ya Kiitalia umekuwa kubwa baada ya kujaza mbegu za miji na vitongoji vya Ufaransa). Hivyo tunakaribisha mbegu kedekede. Lete tu, kaka! Kuhusu picha: Pole kwa kusahau tena. Picha ukitaka ije hapa ni lazima uhakikisha kwamba hiyo picha ipo kwenye commons? Ikiwa ipo, basi suala lake ni dogo sana, kaka yangu. Ni kiasi cha kubadili tu kama umeitoa kutoka Wikipedia ya Kiitalia (jinsi ulivyoeleza "Immagine" badilia kuwa '''<nowiki>[[Picha:jina la faili.jpg/ siyo lazima iwe .jpg hata kama ipo .png, .svg, .gif na kadhalilika|thumb|righ/left/centre - vyovyote vile|ukubwa wa picha/mfano 250px|maelezo ya picha.]]</nowiki>''' Umeelewa?--06:31, 27 Julai 2009 (UTC)
==Picha==
Ndugu Riccardo, salaam! Narudi sasa hivi kutoka kwako nyumbani (ziara ad limina apostolorum..) naona swali lako kwenye ukurasa wa Muddy kuhusu picha. Kila picha iliyopo kwenye [http://commons.wikimedia.org/wiki/Main_Page commons] inaonekana ukibadilisha tu "immagine" kuwa ""picha" kwenye jina lake. Majina ya Kiingereza hupokelewa vile bila mabadiliko kama picha iko kwenye commons. Lakini picha nyingi ziko tu kwenye wikipedia ya lugha fulani. Hapa kua njia ifuatayo:
a) unanakili picha kwa kompyuta yako (je hii unajua? rightclick - save image as - halafu uiweke mahali unapojua kwa mfano desktop)
b) katika sw.wikipedia unapakia picha: bofya "pakia faili" kwenye orodha upande wa kushoto-chini, fuata maelezo kwenye fomu
c) nashauri kufuta picha baadaye kwenye mashine yako kusudi usijaze nafasi iliyopo mno.
Wasalaam --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:30, 28 Julai 2009 (UTC)
::Ushauri uliokokotezwa. Ukipakia picha kutoka Wikipedia zingine usisahau kuiwekea mabano ya hatimili (license tag). Bimaana usipofanya hivyo, siku hizi tumepata mtu wa kushughulikia picha ([[User:Flowerparty|Flowerparty]]) ninamashaka ataiondoa ikiwa haina maelezo yeyote ya hatimiliki! Pole kwa mengi tuliokueleza!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:19, 7 Agosti 2009 (UTC)
== 13,000 ==
Riccardo, salaam! Si umeona kwamba tumekuwa wa kwanza katika Afrika - na taarifa hizo ulinieleza hapo juzi. Leo hii tumefikia '''13,000'''!!! Basi hongera na tuendelee kushauriana!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:03, 18 Agosti 2009 (UTC)
== defaultsort ==
Bila samahani. Machoni mwangu, 'Defaultsort' maana yake ni kuorodhesha kufuatana na alfabeti. Kwa hiyo naona, mtakatifu ambaye hana jina la familia, aorodheshwe chini ya jina lake la kwanza na siyo chini ya jina lake la mahali wala la baba. Tunaweza kuongeza ubini ila tusiuweke kwanza katika 'Defaultsort'. Au unasemaje? Kila la kheri, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:56, 3 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam. Unaweza kuchungulia majadala [[Majadiliano:Teresa wa Mtoto Yesu|huu]] mara moja?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 13:10, 4 Septemba 2009 (UTC)
::Labda ni mimi ambaye sijakuelewa vizuri. Ungalikuwa umeniorodheshea makala za watakatifu hao watatu ili niangalie mimi mwenyewe, ningalikuelewa haraka zaidi. Kwa vyovyote inaonekana kama tumeelewana hatimaye. Ila katika tamaduni zetu kuna tofauti kati ya jina la familia na jina la baba. Ndiyo maana, tukiangalia ubini, hatuelewi kitu kilekile. Hata hivyo, ni vizuri kumworodhesha mtu yeyote katika 'Defaultsort' kulingana na jina lake ambalo chini yake amejulikana vizuri zaidi - liwe jina binafsi au jina la familia (sijamkuta mtu anayejulikana chini ya ubini). Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:16, 4 Septemba 2009 (UTC)
:::Ah - nimeanza kuelewa. Umebadilisha mfululizo wa majina ya watu fulani baada ya kubadilishwa nami. Ukiangalia k.m. Mtakatifu Alberto Hurtado, wikipedia nyingine, hata ya Kiitalia na ya Kiingereza, zinamworodhesha chini ya '''H''', na siyo chini ya A. Tufuate mifano yao. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:42, 4 Septemba 2009 (UTC)
== [[Kigezo:Mtakatifu]] ==
Riccardo, salaam! Husika na kichwa cha habari hapo juu ni sanduku la kujumlishia habari za Watakatifu kama jinsi wanavyoweka katika Wikipedia zingine. Dhumuni la kuandika ujumbe huu ni kukutaka utoe msaada wako wa kutfasiri baadhi ya maeno yaliyomo kwenye kigezo hicho. Binafsi najua kuandika kaziliwa wapi/kufa na kadhalika. Mengine kama "feast" (ndani yake kuna maneno kama "calender of saints"). Si kazi kubwa saana. Lakini ningependa tufanye pamoja kwa sababu kazi hii inakuhusu sana wewe. Ni katika kutaka kuboresha makala zako zaidi, kaka yangu. Ukiwa tayari, basi nijulishe! Unaonaje?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:52, 5 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Pole kwa kuchelewa kukujibu! Muda mzuri ni ule wa saa nane au saa tisa. Lakini zaidi ni saa nane naona itakuwa poa zaidi. Ukiona saa nane tu - basi utaona nimebadilisha baadhi ya vitu na kuviorodhesha kwenye ukurasa wa majadiliano husika na kigezo hicho. Wasalaaam!--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 05:59, 7 Septemba 2009 (UTC)
::Basi kwa sasa hivi unaweza?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:31, 7 Septemba 2009 (UTC)
:::Riccardo: ukitazama yale majadiliano ya lile jedwani utaona mabadiliko kidogo. Je, unaweza kuendeleza zile sehemu zilizosalia?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:49, 7 Septemba 2009 (UTC)
== 14,000 ==
Riccardo, salaaaam! Ninapenda kukutaarifu kwamba Wikipedia yetu imefikisha zaidi ya makala 14,000! Ni matumaini yangu kwamba tutafika elfu 15,000? Mmmh, ni safari ndefu! Labda tu nitoe pongezi zako kwa kuendeleza zaidi makala za dini na jamii? Haikuwa kazi rahisi, lakini uliweza! Basi hongera kwa kuliwezesha na kila la kheri katika maisha! Ni mimi mdogo wako mtiifu.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 14:47, 11 Septemba 2009 (UTC)
:Riccardo, salam! Ahsante kwa kutupia jicho na kusahihisha makala ya [[Matengenezo ya Kiprotestanti]]. Halafu ingekuwa vizuri zaidi ukamalizia kuandika makala ya Matengenezo ya Ukatoliki. Niliiona makala ile kule kwenye [[Wikipedia ya Kiingereza Rahisi]]. Wameelezea kama jinsi ilivyo ile ya Uprotestanti. Je, ungependa kuanzisha makala hiyo? Ni mimi mdogo wako,<sup>'''Muddyb'''</sup>, au,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:28, 5 Oktoba 2009 (UTC)
::Riccardo, kumradhi kwa kukitelekeza kigezo cha Mtakatifu. Nilijaribu kitu fulani lakini maarifa yangu yalisimama kimwendelezo. Si kitu. Ngoja nipitie tena ili nione wapi nilikwama hapo awali.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 08:40, 5 Oktoba 2009 (UTC)
:::Nimebadilisha mfumo wa jedwali la [[Kigezo:Walimu wa Kanisa|Kigezo:Walimu wa Kanisa]]. Hebu tazama na uniambie kama inafaa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 09:57, 5 Oktoba 2009 (UTC)
== mradi wa Google kwa ajili ya wikipedia yetu ==
Bwana Riccardo, salaam!
</br>Nimepata mawasiliano kutoka Christine Moon huko Palo Alto, California. Yeye anafanya kazi kwa shirika la Google, nao wameanza kupanga mradi au huduma kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania na Kenya ili waelimishwe kuandika makala kwa wikipedia ya Kiswahili. Kumbe!
</br>Christine sasa ametualika kumwandikia maoni yetu, angalia tovuti hiyo:
</br>http://docs.google.com/Doc?docid=0AbIPJ9Nv6udZZGd6MndwcGdfMzFkODNzOG0zYw&hl=en
</br>Bahati mbaya yeye haelewi Kiswahili, kwa hiyo itakuwa lazima kumwandikia kwa Kiingereza. Ukihitaji msaada wangu upande wa kumwandikia, karibu unijulishe. Asante kwa michango yako!
</br>Ni wako katika ujenzi wa lugha yetu,
--'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 07:57, 10 Oktoba 2009 (UTC)
== Kanisa la Armenia ==
Riccardo, salam. Kwanza nitoe shukrani zangu nyingi za dhati kwa msaada wako juu ya masawazisho ya makala zenye athira ya kidini. Nimeona maranyingi ukisawazisha (na hata kupanua makala hizo). Leo hii, nimeonelea angalao uandike makala moja au mbili za katika hicho kichwa husika hapo juu - kwa sababu niliona umeiweka sawa kwa kiasi kikubwa. Je, ungeweza angalao kuandika kitu kama labda: Kanisa la Kifalme la Armenia au lile la Katoliki? Yaani, dhumuni la kusema hivi ni kwa sababu kile kiungo au ile maana ya kutofautisha makala zile bila hata kuwepo ni sawasawa na bure! Nitakuwa mwenyekushukuru iwapo utanisaidia kwa hili. Zile makala zingekuwa za kawaida, kwa mfano muziki au filamu, basi ningeendelea mwenyewe. Lakini masuala ya kidini, aah, sijui kitu kwa kweli. Ni hayo tu. Wako,--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 10:55, 13 Oktoba 2009 (UTC)
:Riccardo, salaam! Haya, kwanza ahsante kwa kuanzisha makala zile za kidini kama jinsi nilivyoomba hapo juu. Pili, nimeona maranyingi ukiandika "waamini" badala ya "waumini." Sasa hapa sijajua kama ni Kiswahili kipya? Maana, nimezoea kuona wakiandika waumini na si "waamini". Je, hiyo ni sawa?--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 12:55, 19 Oktoba 2009 (UTC)
::Muddyb mpendwa, nimefikiria swali lako. Sina hakika, lakini naona neno waumini linamaanisha wafuasi wa dini fulani, wakati waamini linasisitiza zaidi kuwa ndio wanaoamini ufunuo fulani, tofauti na wasiouamini. Ningesema waumini ni neutral zaidi. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:25, 26 Oktoba 2009 (UTC)
== majadiliano kuhusu utafsiri wa istilahi ==
Bwana Riccardo, salaam! Nimeanzisha majadiliano mapya kuhusu utafsiri wa istilahi ya wikipedia yetu [http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Istilahi_ya_wikipedia hapa]. Naomba uyaangalie na kuchangia maoni yako. Asante! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:54, 23 Oktoba 2009 (UTC)
:Salaam Riccardo, nimesoma na kukubali hoja lako kuhusu aina na kundi/jamii. Umenishtusha kidogo ktika mfano mmoja uliyotoa kuhusu maharagwa na nafaka. Niliandika makala za [[maharagwe]], [[jamii kunde]] na [[nafaka]]; kwangu kunde na nafaka ni makundi mawili tofauti. Sina neno ukipumzisha watakatifu kidogo na kuingia kwenye mboga. Ila tu nashukuru kwa maelezo ya ndani aidi --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 04:08, 26 Oktoba 2009 (UTC)
::Ndugu, usihangaike. Biolojia yangu iliishia darasa la kumi tu. Ukiona maharagwe si nafaka,inawezekana nimekosea kutoa mfano. Afadhali nisijaribu kugusa kurasa za mambo nisiyoyajua. Tena watakatifu na mambo ya dini wananivutia zaidi... SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:20, 26 Oktoba 2009 (UTC)
:::Baada ya muda mrefu narudia suala hilo kwa kusema nimesoma kamusi ya Kiswahili Sanifu: inasema haragwe ni nafaka... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 04:46, 19 Septemba 2010 (UTC)
== Uchaguzi Mpya ==
Salam, Riccardo. Unaombwa upige kura katika ukurasa wa wakabidhi wa Wikipedia. Mmoja kati ya wachangiaji wenzetu ([[Mtumiaji:Mr_Accountable|Mr Accountable]]) amejiteua kuwa mkabidhi! Ili kumpgia kura, tafadhali fungua [[Wikipedia:Wakabidhi#Mr_Accountable|hapa]]. Ahsante sana.--<span class="handtekening_lang">[[Image:Flag of Tanzania.svg|20px|Muddyb]] </span><font face="Verdana">[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="green"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Arial">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sup><big>'''Longa'''</big></sup></font>]]</span></small></font></font color></font face="arial"> 18:39, 28 Novemba 2009 (UTC)
== [[Baptisti]] ==
Salam, Riccardo! Ahsante kwa masahihisho na ongezeko lako la kwenye makala ya Baptisti. Kwa kweli makala imekaa vyema kabisa. Tatizo langu lipo palepale - sijui mengi kuhusu dini. Ikiwa tunapata msaada kama huo, basi mambo yatakuwa mazuri.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:33, 5 Machi 2010 (UTC)
:Eeeh, kweli. Lakini kwa bahati mbaya tafsiri ile sijaitunga miye! Nilisoma kutoka katika kamusi ya TUKI niliyonayo kwenye kompyuta yangu. Ili sema Baptist - SW = Baptisti. Lakini bila kutafakari juu ya uitaji wa wanadini jinsi wafanyavyo, basi ikawa imetokea. Ahsante sana na ni tumaini kila niandikapo makala za dini, basi utawasawazisha!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:35, 6 Machi 2010 (UTC)
::Afadhali ulivyoliona hilo! Binafsi nilijaribu, lakini hali yangu haikuwa vyema tena - nikaona bora kutumia muda huo kuanzisha makala mapya kuliko kuendelea na zile. Labda tutarekebisha! Kuhusu Kipala, sifahamu kwa sababu ni muda sasa hatujazungumza kuhusu mahali alipo. Ninatumai yupo kulekule Iran! Ila tu kazi zimembana!!! Salam teeele kutoka mjini Dar es Salaam, Tanzania. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:16, 8 Machi 2010 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan Soviet Socialist Republic]] and [[:en:Azerbaijan Democratic Republic]] in Swahili Wikipedia?
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 15:50, 29 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Scientology ==
Salam, Riccardo! Unaweza kunieleza au hata kuandika makala kuhusu kichwa cha bari hapo juu? Ningependa kujua ni dhehebu la namna gani. Wako katika ujenzi wa Wikipedia yetu,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:54, 19 Machi 2010 (UTC)
:Salaaam! Ahsante kwa itikio lako la vitendo!!! Ni tumaini lako kwamba nimefurahi, basi kweli nimefurahi!!! Shukrani tena. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:43, 23 Machi 2010 (UTC)
== Hongera ya makala 18,000 ==
Salam, {{BASEPAGENAME}}! Hongera ya makala 18,000! Kumbe tumefika - japokuwa kuna mengi ya kusahihisha na kufuta pia. Lakini si mbaya tukipongezana! Tuendeleeni jamani.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:13, 31 Mei 2010 (UTC)
==Wafiadini wa Uganda==
Naona kama makala hii inataka kujadili habari za "Wafiadini wa Uganda" ipanushwe kidogo kulingana na pande zote zilizohusika yaani Wakatoliki na Waanglikana. Sasa inaonekana kama habari ya upande mmoja tu inayotaja upande mwingine kandokando. Sawa nikiongeza? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:06, 13 Juni 2010 (UTC)
==Questionnaire==
Nadhani labda wewe umepata pia maswali yale ya Rachel - hapa majibu yangu: [[Mtumiaji:Kipala/questionnaire]] - '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:08, 30 Juni 2010 (UTC)
==Kura ya kuamua juu ya wakabidhi waliopotea==
Karibu kutembelea ukurasa wa wakabidhi na kuamua juu ya wenzetu waliopewa haki za wakabidhi lakini hawakuonekana tangu miezi mingi: '''[[Wikipedia:Wakabidhi#Kura_ya_kuondoa_wakabidhi_waliopotea]]'''. Tuliwahi kujadili swali hili mwaka uliopita (tazama kwenye ukurasa unaotajwa, juu ya pendekezo) ; sasa njia imeonekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 05:27, 1 Oktoba 2010 (UTC)
==Salamu na viungo vya mwili==
Riccardo, salaam, nafurahia jinsi unavyochungulia makala nilipoandika na kuboresha Kiswahili na tahajia. Sana nina ombi. Nliwahi kuanzisha makala juu ya viungo vya mwili na hao vijana wa mashindano ya makala za afya waliendelea. Makala hizi zote zinahitaji kuangaliwa kwa sababu Wakenya (nadhani) waliunda sentensi za ajabu kidogo na pia mara nyingi walikosa viungo. Nikiingia hapa nakiri udhaifu: kwa Wasafwa na Wanyakyusa nilipojifunza Kiswahili na baadaye Nairobi sijasikia kitu kingine ila "mkono" na "mguu". Kumbe. Sasa nimetengeneza picha ya [[mkono]] nikilenga ktaja sehemu zake kuanzia bega kupitia kisugidi hadi kiganja. Lakini ninahisi ya kwamba sina uhakika kwa sababu sina uzoefu kutaja sehemu zile (yooote mkono!) na kamusi zangu si wazi sana; mara nyingi maelezo si kamili, yanaingiliana maana au kuna maneno kadhaa na mimi sijui lipi ni afadhali. Je unajua wewe majina haya au unaweza kuchungulia kidogo? Tuanze kumaliza mkono baadaye inafuata mguu na mengine! Namwuliza pia Muddy ni vema kusikia jinsi wanavyosema Dar. Asante ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:38, 10 Aprili 2011 (UTC)
:Asante kwa maneno yako ya kunitia moyo. Kuhusu viungo vya mwili mimi pia nina shida kuelezea sehemu mbalimbali, labda hata kwa Kiitalia! Sidhani nitaweza kukusaidia. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:03, 11 Aprili 2011 (UTC)
==Bunda vijijini==
Je kuna wilaya ya Bunda vijijini?? Kama iko naomba habari na marejeo kwa ajili ya makla za wilaya / Mkoa wa Mara. Kama la, makala ya [[Jimbo Katoliki la Musoma]] isahihishwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:05, 22 Januari 2012 (UTC)
::Sidhani... ni haraka tu ya kuandika! Samahani! --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:04, 25 Januari 2012 (UTC)
::Pamoja na hayo, hatujaingiza mikoa (k. mf. Njome, Simiu) na wilaya mpya za Tanzania (k. mf. Gairo, Nyasa). --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 08:10, 25 Januari 2012 (UTC)
::Asante kwa jibu. Kuhusu mikoa na wilaya mpya - niko mbali. Unaweza kuanzisha makala ?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:08, 25 Januari 2012 (UTC)
:::Sina DATA za kutosha. --[[Maalum:Michango/41.221.34.70|41.221.34.70]] 14:26, 28 Januari 2012 (UTC)
::::Hatimaye serikali imetoa tangazo rasmi kuhusu mikoa mipya 4 na wilaya 19 (si tena 21!), ingawa lenyewe lina utata kama jamaa alivyolalamikia katika ukurasa juu ya Wilaya ya Wanging'ombe. Naomba ukurasa kuhusu mkoa wa Simiu usogezwe kwa kuandika Simiyu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 18:04, 10 Machi 2012 (UTC)
== Barnstar kwa ajili yako! ==
[[File:Tireless Contributor Barnstar Hires.gif|100px|thumb|'''Barnstar kwa Ajili ya Mchangiaji Asiyechoka''']]
Hongera kwa juhudi zako!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:57, 21 Agosti 2012 (UTC)
Ndugu Muddy, asante kwa pongezi zako. Nazipokea kwa mikono miwili kutoka kwako, bosi! Ni kweli sijachoka kuchangia Wiki. Ila nasikitika kuona umepunguza kasi zako, na pengine nawaza kuwa nimesababisha mimi mwaka juzi. Hivyo napata moyo ninapoona matendo kama hili na lile la kuupandisha chati ukurasa juu ya mpendwa wetu Bikira Mariamu. Mungu atujalie daima amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:49, 26 Agosti 2012 (UTC)
::Hapana, Riccardo! Hamu imepungua yenyewe natural. Sijui kwanini - naona bora nicheze na Facebook kuliko kuja Wikipedia ya Kiswahili. Huwa najitahidi hivyo-hivyo tu. Usijali. Nitajitahidi nirudie kama zamani - ila tu, hizi zama zingine! Nimetumikia Wikipedia hii kwa miaka minne mfululizo bila kusimama! Labda umefika wakati wa kupumzika huku nikijisukuma polepole huenda ile mojo ya zamani ikarudi! Narudia tena, hahusiki na kupotea kwangu. Hii ni hiari yangu na wala silazimishwi. Kila la kheri, mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 16:18, 28 Agosti 2012 (UTC)
==Uzoroastro==
Salaam nimeona makala nimefikiri umbo la jina Zoroasta / Uzoroasta labda ingefaa zaidi. Jinsi ilivyo naona sasa tatizo ya kwamba umetumia jina "Zoroaster" lakini dini kama "Uzoroastro" ambako ninahisi Kiitalia iliingilia kidogo. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:46, 1 Novemba 2012 (UTC)
Ndugu Kipala, ni furaha kila ninapoona unaendelea kujitokeza katika wiki yetu. Kuhusu jina la dini hiyo, inawezekana athari ya Kiitalia, lakini pia jina la Kiingereza Zoroastrianism limechangia. Sina shida ukipenda kubadilisha jina liwe rahisi zaidi. Samahani, niliwahi kuandika ombi la kurekebisha picha uliyoswahilisha ya mwaka wa Kanisa, kwa kuandika Siku Tatu Kuu za Pasaka badala ya Ijumaa Kuu - Pasaka: ni mtazamo mpana zaidi, unahusisha karamu ya mwisho na Jumamosi Kuu katika umoja wa fumbo la Pasaka. Asante. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:07, 2 Novemba 2012 (UTC)
== [[Unyakuo]] ==
Riccardo, salaam. Ni siku nyingi sana zimepita na sijapata kujua hali yako na hata kuomba msaada wa hapa na pale. Haya, leo nimekuja na shida kidogo. Ninaomba urekebishe hiyo makala kama unaelewa jamaa alitaka kumaanisha kitu gani. Nimeona mambo yanayokuhusu - ndiyo maana nimekuja kwako. Tafadhali saidia kupanua makala hiyo ili iwe Kiwikipedia zaidi na kuleta maana vilevile. Wako, Muddyb, au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 09:54, 4 Juni 2013 (UTC)
:Ni kweli, hatuwasiliani sana, ingawa ninahitaji bado maelekezo yako ya kiufundi. Kwa mfano, nikitaka kuongeza kati ya lugha zangu Kihehe, nitumie kifupisho kipi? HH? Au hairuhusiwi? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:05, 6 Juni 2013 (UTC)
::Haya, kama nimeweza kukuelewa - unajaribu kumaanisha zile lugha zako za ukurasa wa mtumiaji? Ikiwa ndiyo, basi naona hili hapa: katika msimbo wa lugha ya Kihehe kimataifa ni "heh". Sasa utatazama kama hatua yako ni "Heh" 1, 2, au 3! Ukijibu tu, nitakutengenezea kigezo cha lugha hiyo haraka iwezekanavyo. Ukiona unaweza kuendelea mwenyewe, basi sawa tu. Wako Muddyb au,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:00, 7 Juni 2013 (UTC)
== Aiuto per favore! ==
{{it}} Scusami, signor Riccioni.<br />
Il mio italiano non è buono.
{{en}} Can you help me with a small translation?<br />
My page [[:en:Le Monde's 100 Books of the Century]]<br />
What is a good Swahili name for the page?<br />
(Ho scritto anche la pagina italiana [[:it:I 100 libri del secolo di le Monde]].)<br />
Mille grazie. Nel Canada, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 15:28, 15 Julai 2013 (UTC)
:Hello again.
:The table now looks like this.
:It is always best to check the words with someone who really speaks the language.
{| class="wikitable sortable centre"
! scope=col | Nambari ?
! scope=col class="unsortable" | Mada ?
! scope=col class="unsortable" | Mwandishi
! scope=col | Mwaka
|----------------------------------
| align="right" | 1
| ''[[:en:The Stranger (novel)|The Stranger]]''<br />[[Picha:Fortjesusdoor.JPG|20px]] ''[[Mgeni]]''
| [[Albert Camus]] [[Picha:Nobel prize medal mod.png|20px]]
| [[1942|1942]]
|}
:Because there is only a limited amount of information available in Swahili, the page has working links into enwiki.
:Thanks again, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 19:22, 17 Julai 2013 (UTC)
== Vandalism(o) ==
Greetings again. I just repaired some vandalism to the [[Tanzania]] article, but I did not issue any warning, since I do not speak the language.
Fransisko wa Asizi:<br />
I saw his name at the top of this page.<br />
I saw St. Francis's robe in the museum in Assisi.<br />
You feel that you are in the presence of greatness.<br />
'''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 23:49, 19 Julai 2013 (UTC)
:Bureaucrats.
:Perhaps swwiki works differently from other projects. In other projects, it is usually experienced editors, rollbackers, admins who issues warnings, not bureaucrats specifically.
:I think a lot of projects have a template, with mature and reasonable wording, and then any responsible person can use that template, and simply add his name to its words.
:But I have not tried to discover how swwiki handles this problem.
:Best regards, '''[[Mtumiaji:Varlaam|Varlaam]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Varlaam|majadiliano]])''' 06:35, 21 Julai 2013 (UTC)
::We don't have many editors in this Wiki. Feel free to provide any kind of help on that aspect. Surely I'm not an admin, but what if things happened and I need to take action for? Also you're allowed to create the tamplate and happily to have it translated into Kiswahili. With best regards,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 10:25, 22 Julai 2013 (UTC)
== Wiki Indaba conference ==
Salaam, P.Riccardo. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 12:32, 4 Novemba 2013 (UTC)
==Wilaya mpya, kata==
Salaam Riccardo! Naone umeshaanza kuhariri makala kadhaa za wilaya mpya. Mimi nimeangalia matokeo ya sensa naona hapa kuna orodha kamiliy a kata na wilaya kwa hali ya 2012. Kuna mabadiliko mengi. Kwa sasa naandaa orodha ya kata zota za wilaya zote; maana kuna wilaya mpya lakini pia kata mpya katika wilaya zote. Je unaweza kusaidia hapa? Nikipata email yako naweza kukutuma faili za excel na word penye orodha hizi. Asante. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:57, 27 Novemba 2013 (UTC)
::Mzee, nitasaidia kidogo kadiri ya nafasi. Anwani yangu ni ndugurikardo@yahoo.it SHALOM! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:04, 29 Novemba 2013 (UTC)
==Asante !==
Napenda kukushukuru kwa kuchungulia mara kwa mara michango yangu! Kwa kweli naona A) kuna udhaifu upande wangu kurudia kusoma kwa makini yale niliyoandika na B) ilhali nakaa mbali na Waswahili siku hizi Kiswahili changu kimedhoofika kiasi - kwa hiyo: Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:26, 17 Desemba 2013 (UTC)
::Mzee, nafurahi kuchangia juhudi zako kwa ajili ya Afrika Mashariki. Hapa juu nilijibu ombi lako kuhusu wilaya mpya. Vipi, bado uko Iran? Ningependa kujua unafanya nini huko. Anwani yangu ya e-mail ni hii hapa juu. Heri za Noeli! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:18, 22 Desemba 2013 (UTC)
== Update on Upcoming Wiki Indaba Conference ==
Hello Sir.
My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.
The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.
As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.
This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.
Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.
Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.
my contact is rexford[@]wikiafrica.net
==Naomba ushirikiano wako!==
Mpendwa, nakuomba uangalie baada ya siku 2,3 kurasa hizi mbili:
1. [[Wikipedia:Wakabidhi#Kusafisha_orodha_ya_Wakabidhi_mwaka_2014]]<br>
2. [[Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Wiki_Indaba_2014]]
Kuhusu 1) napendekeza kuwachagua wakabidhi wapya na kuondoa wale waliomo katika orodha ya wakabidhi lakini hawakuwepo tangu miaka 2.
Kuhusu 2): nahitaji msaada na mawazo yenu. Nitashiriki kwenye mkutano wa Wikimedia mwezi wa Juni. Inaonekana mimi ndipo mchnagiaji wa pekee kutoka Wikipedia yetu. Ninajitahidi kupeleka mawazo ya jumuiya yetu. Naomba michango!
Nitaongeza karibuni mawazo yangu kuhusu mambo ninayoona kuwa na maana kwa mtazamo wangu. Ujumb huu natuma kwa wachangiaji wanaoonekana katika orodha ya wachangiaji hai waliochangia zaidi ya mara 3 katika siku 30 zilizopita!
Ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:27, 13 Mei 2014 (UTC)
==Hongera na Pole!==
Nd Riccardo, sijui kama umeona ya kwamba umepigiwa kura kupewa madaraka ya mkabidhi katika wikipedia hii? Nataka kufunga kura sasa karibuni wote walioshiriki walisema NDIYO. Ni cheo kidogo zaidi nafasi ya kufanya kazi... Namshukuru Mungu ya kwamba umejiunga nasi! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:20, 22 Mei 2014 (UTC)
:Ndugu, sikuona chochote. Imekuwaje? Ninachoweza kusema ni kuwa sina utaalamu zaidi wa kompyuta, hivyo mambo mbalimbali ya Wiki kwangu bado ni mafumbo... Nadhani nitakachoweza kufanya ni kuendelea kama sasa. Kwa vyovyote, asante kwa walionipa kura, kwa wale wasionipa na hasa kwako. Amani kwenu!
::Ingekuwa msaada sana kama unashiriki tu kila unapoingia A) kuwapa watumiaji mapya waliojiandikisha alama ya <nowiki>{{karibu}}</nowiki> na B) kila unapoona makala mpya kuitazama na ukiona haifai au kama una mashaka kuweka alama ya <nowiki>{{futa}}</nowiki> juu kabisa ya makala na kuiingiza katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]]. C) ukiona makala iliyoharibiwa kwa kuingiza matusi au fujo tupu ni vema kumzuia huyu aliyeandika. Kuzuia anwani zisizoandikishwa ina faida ndogo to mara nyingi ni internet cafe lakini mimi nambana hata hivyo kwa muda. Hata kama unafanya A) pekee itasaidia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 23 Mei 2014 (UTC)
:::OK, nitajifunza... --'''[[Mtumiaji:Riccardo_Riccioni|Riccardo Riccioni]]'''
== Article request questions ==
Hi, Riccardo! Do you do article requests in Swahili? There are some aviation-related articles and articles about Kenya on the English Wikipedia which do not yet have Swahili versions. If you are interested I can give you a list.
Thank you
'''[[Mtumiaji:WhisperToMe|WhisperToMe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:WhisperToMe|majadiliano]])''' 07:57, 19 Agosti 2014 (UTC)
== [[Maurizio Malvestiti]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Ho visto che hai fatto alcune modifiche alla pagina del nouvo vescovo della mia diocesi, grazie! Ti chiedo, quando avessi 5 minuti, di inserire qualche notizia o nota per ampliare la pagina.
Ti ringrazio per l'aiuto e ti auguro buona domenica. Grazie ancora e a presto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 12:48, 31 Agosti 2014 (UTC)
: Grazie mille! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:51, 31 Agosti 2014 (UTC)
== {{int:right-upload}}, [[commons:Special:MyLanguage/Commons:Upload Wizard|{{int:uploadwizard}}]]? ==
[[Image:Commons-logo.svg|right|100px|alt=Wikimedia Commons logo]]
Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on [[MediaWiki talk:Licenses]] and the village pump. Thanks, [[m:User:Nemo_bis|Nemo]] 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)
<!-- Message sent by User:Nemo bis@metawiki using the list at http://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User_talk:Nemo_bis/Unused_local_uploads&oldid=9923284 -->
== Kigezo Ukristo! ==
Salaam. Mzee wangu, ile kazi uliyonituma nimeimaliza! Sasa zimeungana na kama ulivyotaka! Kila la kheri..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:54, 22 Septemba 2014 (UTC)
== [[:en:Do not buy Russian goods!]] ==
Hello! Could you translate an article about boycott of Russian goods in Ukraine for the Swahili Wikipedia? Thanks for the help. --'''[[Mtumiaji:Trydence|Trydence]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Trydence|majadiliano]])''' 16:00, 16 Oktoba 2014 (UTC)
==Rosetta / Churyumov–Gerasimenko ==
Rafiki, umenishinda!! Nafungua makala nataka kuingiza habari - kumbe iko tayari! Asante!! --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:58, 13 Novemba 2014 (UTC)
:Ndugu Kipala, asante kwako. Tunaendeleza ulichoanzisha wewe. Sikiliza, tangu mliponichagua kuwa sysop nimejitahidi kufanya nilichoweza, lakini nimeona shida moja: niki-patrol kurasa mpya natoa maoni yangu katika ukurasa wa majadiliano, lakini baadaye naona kimya. Mara chache nimeambiwa nikate shauri mimi nisisubiri, lakini mara nyingine ni muhimu kusikia nyinyi mnasemaje. Au niandike katika ukurasa wako mwenyewe? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:14, 15 Novemba 2014 (UTC)
==Kuhusu mkutano wa Machi 2015 na mawasiliano na WMF==
Salaam naomba utazame hapa: [[Majadiliano_ya_Wikipedia:Wakabidhi#Mawasiliano_na_ofisi_ya_WMF_-_Wikimedia_Foundation_.2F_Asaf_Bartov]] na kuchangia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:56, 3 Desemba 2014 (UTC)
::Asante kwa ushauri woote! Sasa naomba lete pendekezo na namba. Binafsi sijali nyota sana pia sina picha siku hizi nyota ina maana gani TZ. Mende wachache (au bila - ikiwezekana), usafi kiasi, vyumba vilivyoona rangi mpya karne hii... Mimi nahitaji kiasi fulani ninayoweza kutaja, je unaweza kuulizia? Nitashukuru!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:30, 3 Januari 2015 (UTC)
:::Riccardo, samahani nikirudia ombi langu la hapo juu. Unaweza kunipa makadirio yoyote kuhusu gharama ya malalo? Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:46, 10 Januari 2015 (UTC)
== Habari gani? ==
Ubarikiwe, ndugu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:55, 21 Machi 2015 (UTC)
== AutoWikiBrowser ==
Ndugu, kiungo cha hiyo programu ni https://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:AutoWikiBrowser - ubarikiwe! --[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] 14:08, 21 Machi 2015 (UTC)
== Kitabu cha Historia ya Kanisa ==
Ninavyoona hakimiliki ziko kwangu. Kilichapishwa na "Motheco Publishers" - sijui kama bado wako lakini hakuna mapatano kati yetu yale yote yalikuwa kimdomo tu na watu ambao hawako tena leo. Nisingekuwa na tatizo kuiweka kwenye wikitabu ukiona inaweza kufaa (nilisita maana sijaridhika tena) lakini kule kumefungwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:53, 3 Aprili 2015 (UTC)
== Mchango wa mawazo ==
Ndugu {{BASEPAGENAME}}, kuna makala nimetunga, lakini kumbe yapo mengine (ijapokuwa ile yangu imetanuka zaidi). Tafadhali tupieni jicho hapo: [[Majadiliano:Uislamu nchi kwa nchi]].. Kisha fanyeni uamuzi..--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 19:07, 15 Aprili 2015 (UTC)
== Shukrani kwa masahihisho ==
Ndugu Riccardo, salaam. Shukrani sana kwa masahihisho. Siku nyingi zimepita bila kuhariri na nahisi shida za hapa na pale.. Tuvumiliane hivyohivyo. Eh, tena nitafurahi kama utaendelea kuweka lugha sawa. Uwezo wangu umepungua kiasi kikubwa sana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:47, 17 Aprili 2015 (UTC)
== [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi Nassoro]] ==
Ndugu Riccardo, salaam. Nimeanza kuchoka na [[Majadiliano ya mtumiaji:Silausi Nassoro|Silausi]] alivyochoka pia Ndg Muddyb. Huyo Silausi akiendelea kubadilisha makala bila kufuata mashauri yetu na kanuni za [[Wikipedia:Umaarufu]], nitamzuia kwa muda kadhaa. Bahati mbaya inaonekana kama ataanzisha akaunti nyingine tena alivyofanya baada ya kuzuiliwa kama [[Mtumiaji:Lusajo Chicharito Brown]]. Unaonaje? Wasalaam, '''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 16:45, 29 Juni 2015 (UTC)
:Tukimtambua, naona tumzuie kwa jina lolote na kufuta kurasa zake zote. Atachoka tu. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:39, 30 Juni 2015 (UTC)
== Wingi wa ushanga! ==
Salaam, Ndugu Riccardo. Eti wingi kirai au neno "Ushanga" ni aje?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:00, 4 Agosti 2015 (UTC)
:Vipi? Si shanga? Walau nasikia hivyo, ila sijaangalia kamusi yoyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:49, 6 Agosti 2015 (UTC)
::Basi nilifanya hivyo, lakini katika makala ya masafa marefu ulibadili wingi wake na kuweka umoja wake.. Niliandika biashara ya shanga (wingi) ukaweka "ushanga" (umoja). Swali, waliuza shanga au ushanga? Biashara zilivyo - sidhani kama watafsiri masafa marefu kwa kitu kimoja. #SamahaniLakini. Wako--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 06:40, 7 Agosti 2015 (UTC)
:::Sijui ilikuwaje. Sasa nimerekebisha kwa kuwela kiungo kwenda umoja, na labda ndivyo nilivyotaka kuboresha makala yako. Pole kwa usumbufu. Mara nyingi tunafanya kazi kwa hofu ya umeme kukatakata! Amani kwako. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:49, 7 Agosti 2015 (UTC)
==Tafadhali uangalie jamii kuhusu mfumo wa kuanzisha makala==
Mpendwa, nakuomba kuaangalia [https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Jumuia#Kura_juu_ya_utaratibu_wa_kuanzisha_makala_mapya_.28.22Community_request_to_disable_article_page_creation_by_anonymous.2FIP_editors.22_.29 ukurasa wa Jumuiya]. Tuliomba wikimedia ya kutpa mfumo wa kuzuia watumiaji wasiojiandikisha wasianzise makala mapya. Kusudi lilikuwa kupunguza idadi ya makala mabaya yasiyotosheleza masharti ya wikipedia ilhali tuko wachache mno kuziangalia. Wikipedia kubwa kadhaa zinatumia utaratibu huu (kama en:wikipedia) lakini sisi tunapaswa kupeleka ombi kwa kamati fulani. Kamati hii wametupa nafasi kwa kipindi ha miezi 6 tu inayokwisha karibuni. Sasa wanakamati wamekuja wanadai tujieleza au watarudisha mfumo huu nyuma. Mimi nikiwa 1 kati ya wachache wanaochugulia makala mapya naona itaturudisha nyuma. Naomba mchangie! Sanaaaaa!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:35, 10 Septemba 2015 (UTC)
== Hatua ==
Ndugu zangu, hongera ninyi nyote kwa kufikia makala 30,000, kazi nzuri! Mlifanya mbio za nyika kweli. Nilisafiri kwa hivyo sikuiona sasa hivi. Tuendelee mpaka hatua ijayo: 40,000. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:53, 24 Septemba 2015 (UTC)
== RE:Infobox Country ==
Salaam Ndugu Riccardo. Ahsante kwa pongezi (ijapokuwa sijioni miongoni mwa hao wanaostahili! Kuhusu vigezo tajwa hapo juu, kwanini usimuulize Kipala? Yeye ndiye alikuwa anaumba (nadhani) kama sio kuumba, basi kutumia mara kwa mara. Au labda ungefuata kimoja kizuri kisha tumia kama msingi wa maumbo ya baadaye. Wako, Muddyb au--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:25, 25 Septemba 2015 (UTC)
== Mwendokasi! ==
Salaam Ndu. {{BASEPAGENAME}}! Ninahisi sasa punde sitokushika tena. Mwendokasi huu ni zaidi ya garimoshi la umeme. Hongera na makala ya Historia ya Afrika. Sikupati tena.. Ila pongezi sana. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:10, 1 Oktoba 2015 (UTC)
Elimu ndio msingi wa maisha ya binadamu.
==Sala==
Nakuasa ndugu tujaribu kukumbuka hata kidogo hawa wenzetu wanaofanya mtihani wa kidato cha nne Mungu awape uzima tele na kuwakumbusha yale ya msingi waliyoyafanya kwa kipindi cha miaka minne walipokuwa shuleni,pia awalinde katika kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza shule kwa 0,level.
Tunaomba uiombe shule yetu katika kipindi hiki kigumu mitihani ya taifa
== AMANI ==
TUITUNZE AMANI YETU HAPA NCHINI TULIYOJALIWA NA MWENYEZI MUNGU
== SHUKRANI ==
Tunakushuru ndugu Riccardo kwa kutupa malezi bora hapa shule na tunamuomba mungu akujalie maisha maisha malefu zaidi na akupatie nguvu ili uendele kuifanya kazi
yake BWANA
==Salamu ==
Mpendwa, uliniandikia kwenye ukurasa wangu nikajibu sijui kama uliiona. Kama la angalia hapa: [[Majadiliano_ya_mtumiaji:Kipala#Kujisomea]]. Nitafurahi kuona jibu lako!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:56, 15 Novemba 2015 (UTC)
== meanings of ''[[mafuta]]'' ==
Hello, nice to meet you and sorry for writing in English. I noticed that you had [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mafuta&diff=960910&oldid=960909 removed interwiki links] at that page which are bound with a concept [[d:Q42962|''oil'']]. I probably understand why you did so, because the term ''[[wikt:mafuta|mafuta]]'' has at least two meanings: “oil / olio” and “grease / grasso”. Do I think right about it? If so, I would like to add this page to the links of [[d:Q10379768]], which treats the both above-mentioned meanings. Your sincerely, '''[[Mtumiaji:エリック・キィ|Eryk Kij]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:エリック・キィ|majadiliano]])''' 04:17, 7 Januari 2016 (UTC)
:May be, but I don't understand those languages. If you are certain, link them with Swahili mafuta. I think I removed the links because now we use Wikidata. But if I did a mistake, let you undo my deletion. All the best! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:44, 9 Januari 2016 (UTC)
== Kazi ya Mcdonaln Aloyce Fute ==
Ndugu Riccardo, salaam. Ikiwa [[Mtumiaji:MCDONALN ALOYCE FUTE|MCDONALN ALOYCE FUTE]] ni mwanachama wa kilabu chenu huko Morogoro, labda umwambie kwamba haileti faida kubwa akiendelea kuanzisha makala nyingi za miaka kabla ya Kristo kama hata wanahistoria wataalamu hawajui kitu kuhusu miaka ileile (ukiangalia wikipedia ya Kiingereza utakuta kwamba miaka kadhaa haina makala). Tuingize habari zifaazo katika makala zetu. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 13:05, 23 Januari 2016 (UTC)
:Ndugu, ni kweli unavyosema. Mcdonaln ni mwanafunzi wetu wa kidato cha tatu, hivyo anachangia anavyoweza. Acha kwa sasa azoee kazi na kuipenda. Baadaye atatoa mchango wa thamani zaidi. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:21, 24 Januari 2016 (UTC)
::Ndugu Riccardo, ni sawa azoee. Lakini sasa kuanzisha makala za miaka ya KK bila yaliyomo hakutamfundisha kuipenda kazi ya wikipedia. Nilimshauri aingize angalao tukio moja kwa kila mwaka ili wasomaji wapate faida. Mpaka sasa hajajibu, anaendelea kuanzisha makala mpya tu bila habari. Naomba uongee naye ana kwa ana. Lazima aendelee katika michango yake badala ya kuanzisha makala tupu tu. Asante. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 19:42, 14 Februari 2016 (UTC)
:::Ukisikia maneno ya kiutuzima ndiyo haya! Yaani, hivi, Dokta Stegen anajaribu kutueleza ya kwamba tuumbe makala yenye faida na si kuandikaandika miaka tu bila maana. Nimekuelewa uzuri kabisa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 15:06, 15 Februari 2016 (UTC)
::::Mtoto ni mtoto, acha akue! Mwenyewe ataona kuna kazi nzuri kuliko hizo za kiroboti... Umeona mwenzake Daren Jox ameshaanza kuingiza picha na maneno mbalimbali? Tuwape muda. Muhimu wasiharibu. Kama kazi ni za bure, hata Wikipedia nyingine zinazo. Pia hizi fremu zinaandaa na kukaribisha michango, kama tunapoweka viungo kuelekea kurasa ambazo hazipo. Yeyote atakayependa kuingiza habari za miaka hiyo KK watakuta fremu iko tayari, wasihitaji kwenda kutafuta kwenye wiki nyingine, kunakili na kubandika. Kuhusu kujibu, nitamuambia, lakini katika hilo pia tuelewe kwake ni kazi mpya. Naomba tusianze vita bure! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:31, 17 Februari 2016 (UTC)
:::::Haya, asante, mzee. Nitamwacha. Wewe ni mwalimu wake. Nisimkatishe tamaa mwanafunzi wako. Kweli tusiwe na vita! Wako katika kuendeleza elimu mtandaoni, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:09, 17 Februari 2016 (UTC)
== NAOMBA MSAADA WA NAMNA YA KUWEKA PICHA ==
Asante sana. Lakini pia napata shida kuweka picha. picha zinapatikana katika wikipedia ya Kiingereza. nawezaje kuzitumia pia katika kurasa zangu? --JERRYN159
:Fungua makala penye picha unayopenda kwa kugonga "Edit source". Sasa utaona sehemu ya picha. Picha inafungwa katika mabano mraba <nowiki>[[,,,,]]</nowiki>
:Kwa mfano: <nowiki>[[File:Poland1939 GermanPlanMap.jpg|thumb|Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]]</nowiki>
:Sasa unanakili sehemu yote pamoja na mabano mraba "<nowiki>[[ ...]]</nowiki>" na kuibandika katika makala ya Kiswahili mahali unapotaka.
:Hatua zinazofuata ni
:a) unafuta matini ya kiingereza kuanzia mstari baada ya neno "thumb|" yaani thumb|'''Map showing the deployment and planned advances ..(text)...]] '''
:b) sasa unaweka badala yake matini ya Kiswahili, kwa mfano: thumb|'''Ramani inayoonyesha mpangilio na mipango ya kusogea ...]]'''
:c) sasa bofya "onyesha hakikisho la mabadiliko" na utazame ulichofanya. Kama unakubali gonga "hifadhi ukurasa". Kama hukubali sahihisha na kuangalia tena hadi unaridhika.
:d) ukiridhika bofya "hifadhi ukurasa". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 01:49, 16 Februari 2016 (UTC)
== Famouse Ukrainian People or maarufu Kiukreni ==
:Hello [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]! Sorry for writing in English. I don`t understand Swahili. I ask you to contribute with translation into the Swahili language. Could you or other users of your wikipedia translate some articles, that dedicated for prominent figures in Ukraine. The list shown on the page [[Wikipedia:Makala zilizoombwa]]. It is equipped interlanguage links and given pronunciation on Latin alphabet.--'''[[Mtumiaji:Yasnodark|Yasnodark]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Yasnodark|majadiliano]])''' 11:36, 10 Aprili 2016 (UTC)
== Askofu Isuja ==
Ndugu Riccardo, naona kwamba umeweka siku ya leo kama tarehe ya kufariki kwa Askofu Isuja. Nimesikitika sana kusikia hivyo. Habari hiyo imetokea wapi? Asante kwa kazi yako yote kwa ajili ya wikipedia yetu. Wako katika kujenga elimu, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:53, 13 Aprili 2016 (UTC)
:Ndugu, habari ni ya kweli: alifariki katika hospitali ya Itigi. Habari niliipata kwanza kwa mwalimu wetu aliyepewa kipaimara na marehemu, halafu nimeikuta tayari katika ukurasa wa Wikipedia juu ya Isuja. Baadaye kwa wengine pia. Apumzike kwa amani. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:11, 14 Aprili 2016 (UTC)
::Asante kwa kunijulisha. Lugha yake ya mama, yaani lugha ya Kirangi, nimeifanyia kazi tangu 1996. Warangi watamkumbuka sana. Apelekwe mahali penye raha ili apumzike kutoka kazi zake zote. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:24, 14 Aprili 2016 (UTC)
==Mto Kongo==
Salaam uliingiza masahishi katika makala wakati bado nahariri. Ili kuokoa nyongeza zangu nilipaswa kuhifadhi upya na mabadiliko yako sasa yamepotea. Pole. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:06, 1 Mei 2016 (UTC)
== Vandalism ==
Hi. I noticed a user that is vandalising pages, including your user page. You are one of the local admins that is active here, so let me know if you want some help with this user, of if you prefer to handle it yourself. -- '''[[Mtumiaji:Tegel|Tegel]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tegel|majadiliano]])''' 10:46, 1 Mei 2016 (UTC)
==[[logi]]==
Salaam ilhali mimi ni mdhaifu sana katika mambo ya hisabati naomba kama uwezekano upo umwonyeshe mwalimu wa hisabati ukurasa huu [[logi]] (labda umpe ukiuchapisha) na kumwuliza kama chaguo ya maneno ni sahihi, kama maelezo hadi hapo ni sahihi na labda pia kama inaweza kusaidia, au ni nini iliyokosewa au kukosekana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:50, 1 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%92%D0%B8%D0%BA%D0%B8%D0%BF%D0%B5%D0%B4%D0%B8%D1%8F:%D0%A4%D0%BE%D1%80%D1%83%D0%BC_%D0%B0%D0%B4%D0%BC%D0%B8%D0%BD%D0%B8%D1%81%D1%82%D1%80%D0%B0%D1%82%D0%BE%D1%80%D0%BE%D0%B2 here] question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 08:12, 9 Mei 2016 (UTC)
== Unisamehe mzee wangu ==
Salaam tele kutoka mjini, Dar es Salaam.
Ninaomba unisamehe mzee wangu kwa kutoweka jamii au kuumba jamii ambazo ninaziweka.
Nimeona mara kadhaa umeingia kila mahali na kuweka jamii husika.
Siku mingi sijaja humu vilevile furaha yangu kuona nyendo zangu kuna wakubwa wanaangalia!
Ubarikiwe sana.
Wako,
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:40, 14 Mei 2016 (UTC)
:Tunakuhitaji sana, hivyo tunafurahi kukusoma tena. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:51, 14 Mei 2016 (UTC)
== msaada tafadhali ==
Please write [https://ru.wikipedia.org/wiki/%D0%9E%D0%B1%D1%81%D1%83%D0%B6%D0%B4%D0%B5%D0%BD%D0%B8%D0%B5_%D1%83%D1%87%D0%B0%D1%81%D1%82%D0%BD%D0%B8%D0%BA%D0%B0:Alex_Spade here] (this talk user page) question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). '''[[Mtumiaji:CYl7EPTEMA777|CYl7EPTEMA777]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CYl7EPTEMA777|majadiliano]])''' 22:11, 17 Mei 2016 (UTC)
== Grazie mille ==
Carissimo Riccardo, grazie mille per il tuo aiuto. Sai, quest'estate, ero a Pesaro il 24 agosto, e sono stato svegliato all'alba dal terremoto. Il mio letto ha tremato per 30 secondi come una barca!!! Che paura!!!
Ma sono ancora qui, e devo pregare per tutti quelli che non ci sono più.
Grazie ancora per l'aiuto e a presto!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 22:27, 8 Septemba 2016 (UTC)
: Com'è piccolo il mondo, mons. Borromeo era lodigiano come me ed è stato vescovo di Pesaro, e il mio parroco, abito a Caselle Landi, ha il papà di Montalto! Pace anche a te, fratello! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:42, 9 Septemba 2016 (UTC)
:: Yaaaaahhhhhh, mi bastava qualcuno che mi desse il ''la''. Non credo di riuescire a farle tutte, ma comincio subito!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:27, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Piacenza-Bobbio|Si comincia]]!!! ==
Fattoooooo!!! Per favore, mi tradurrest le 4-5 parole che ho inserito in [[Jimbo Kuu la Pesaro|questa pagina]]? Grazie mille per il tuo aiuto prezioso!!!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 14:48, 10 Septemba 2016 (UTC)
::(eccetto 3), cioè le 2 diocesi e l'abbazia che seguono il rito bizantino. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:12, 10 Septemba 2016 (UTC)
::: Grazie per l'aiuto, ma non capisco cosa vuoi dire con ''eccetto 3''. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:16, 10 Septemba 2016 (UTC)
::::era quello che avevo aggiunto io. La traduzione delle tue parole la trovi in Jimbo kuu la Pesaro. Buona Domenica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:19, 10 Septemba 2016 (UTC)
== [[Jimbo Katoliki la Vigevano]] E [[Gianni Ambrosio]] ==
Caro Riccardo, Pace!
Qui, nella Bassa Padana, si muore di caldo, a Caselle Landi ci sono ancora 35°C!!!
Ho aperto queste due nuove pagine, e ti chiedo qualche minuto del tuo tempo, per favore, per vedere se ci sia qualcosa da limare. Grazie mille per l'aiuto prezioso!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 15:39, 11 Septemba 2016 (UTC)
: Grazie ancora e pace a te, em comunhão! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 21:27, 12 Septemba 2016 (UTC)
== How to improve Swahili-wikipedia? ==
I dont speak Swahili, sorry, but I wrote a little piece on [[Donald Trump]] anyway, using google translation. Its good if you can check and improve. He is the newly elected American president, as you know. Also, if you can check [[Astrid Lindgren]] it would be good. She is a very famous author of childrens books, known worldwide for her stories. See English wikipedia etc. Another thing I have thought about is that all the African wikipedia-versions are very undeveloped. Including swahili, although its a quite big language. I would like to get in touch with people with whome I can talk (in English) about this, and strategies for improvement. One thing that I have thought about is that there should be some people in Tanzania, Kenya and Uganda that are paid to have courses on wikipedia. For example in local groups at home, or in schools. What do you think? --'''[[Mtumiaji:Mats33|Mats33]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mats33|majadiliano]])''' 16:59, 11 Novemba 2016 (UTC)
:Speaking of improving Swahili Wikipedia, are you for real? Or you've just wrote so Riccardo could have the Trump's article cleared out?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:36, 12 Novemba 2016 (UTC)
::Hi Mats33, kindly describe where your interest in sw:wiki comes from. Where are you active and visible on wikimedia? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:09, 12 Novemba 2016 (UTC)
==Warsha, ombi la makala==
Salaam, nitashukuru ukioata nafasi kumwuliza mwalimu wa chuo kama aliona email yangu. Sijapata jibu tangu kuandika wiki 2 sasa.
Halafu ombi: Tunahitaji makala za [[jando]] na [[unyago]]. Naomba usaidie. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:03, 17 Novemba 2016 (UTC)
Mnaijeria wa chuo alikuwa anasubiri e-mail yako. Halafu akatuma watu kuniulizia. Niliposikia hivyo, nilimtumia ujumbe kwamba mimi nilipata nakala, halafu nikamtumia. Sijajua kama sasa ameipata au alikosea kunipa anwani yake. Kuhusu makala hizo, nitajaribu. Shalom! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:14, 18 Novemba 2016 (UTC)
== Asking to a permission/advice/review ==
Hi. I have a question. I would like to translate some articles to Swahili (mostly about computer science). But I don't speak Swahili. So, I've found the non-native Swahili speaker, making translations for money. But since I don't speak Swahili at all, I can't rate these translations by myself. The examples may be found [[Mtumiaji:DoctorXI|on my page]]. Is the quality of the articles satisfactory? Should I place such articles to the public categories? Or should I place them in the sandbox or somewhere for review? Or the translations are just bad, and I search another translator? (Repost from [[Majadiliano ya mtumiaji:Malangali]]) --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 12:32, 22 Desemba 2016 (UTC)
Could you, please, recommend a good translator from English? For example, for $18 per 1800 characters (1 page). --'''[[Mtumiaji:DoctorXI|DoctorXI]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:DoctorXI|majadiliano]])''' 14:23, 23 Desemba 2016 (UTC)
== Translation ==
Hello, could you please translate '''Automatic refresh (Aggiornamento automatico)''' to {{#language:sw}}? Thanks '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 20:07, 13 Januari 2017 (UTC)
:Where is it? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:11, 14 Januari 2017 (UTC)
::It's not an article. I just need the sentence translated. '''[[Mtumiaji:-XQV-|-XQV-]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:-XQV-|majadiliano]])''' 11:46, 14 Januari 2017 (UTC)
:::I don't know the approved translation. I would try "upyaisho wa kujichipua", but it is very enigmatic! Let you ask somebody other. Thank you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:01, 15 Januari 2017 (UTC)
== Share your experience and feedback as a Wikimedian in this global survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! The Wikimedia Foundation is asking for your feedback in a survey. We want to know how well we are supporting your work on and off wiki, and how we can change or improve things in the future. The opinions you share will directly affect the current and future work of the Wikimedia Foundation. You have been randomly selected to take this survey as we would like to hear from your Wikimedia community. To say thank you for your time, we are giving away 20 Wikimedia T-shirts to randomly selected people who take the survey. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes.
<big>'''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now!]'''</big>
You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. Please visit our [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions page]] to find more information about this survey. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email to surveys@wikimedia.org.
Thank you!
--[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 21:41, 13 Januari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
==Kura kuhusu wikisource==
Salaam kuna [[Wikipedia:Jumuia#Pendekezo:_Tuanzishe_kitengo_cha_WikiSource_NDANI_ya_wikipedia_yetu| Pendekezo: Tuanzishe kitengo cha WikiSource NDANI ya wikipedia yetu]] unaombwa kuiangalia na kupiga kura! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 02:06, 29 Januari 2017 (UTC)
== Matumizi ya namba ==
Ndg. Riccardo, salaam. Je, ungeweza kumwelezea mwanafunzi wako Macdonaln Aloyce Fute jinsi ya kurejea makala za namba kwa makala za miaka? Tena mambo ya namba tasa nilivyofanya kwa namba kuanzia [[Mia_tano_na_arobaini|540]] hadi [[Mia tano na hamsini na sita|556]]. Nitashukuru sana! Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:45, 30 Januari 2017 (UTC)
:Kazi ya miaka ni rahisi, ila kuhusu namba tasa sidhani ataweza... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:29, 31 Januari 2017 (UTC)
::Asante! Hata akifanyia kazi miaka tu, itakuwa msaada mkubwa. Nami nitaendelea na namba tasa. ... Amani na iwe kwenu pia! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 15:41, 31 Januari 2017 (UTC)
== Neptuni / Kausi ==
Salaam, naona umehamisha makala ya Neptun kwenda "Kausi". Ukisoma [[Majadiliano:Sayari]] utaona ya kwamba naona sababu za kuamini hili ni kosa. Sijakuta ushuhuda wowote ya kwamba kuna jina la "Kausi" kwa ajili ya sayari hii. Kwa bahati mbaya kosa lililotokea wakati wa kutunga orosha ya sayari kwa [[KAST]] limeenea hadi vitabu kadhaa vya shule ya msingi. Naona "Kausi" ni kosa lakini je tufanyeje?? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:21, 12 Februari 2017 (UTC)
:Miezi iliyopita nilipendekeza badiliko hilo baada ya kuona kamusi 2-3 za mwisho, ikiwemo KKK, zimepitisha jina Kausi. Kwa kuwa hakuna aliyepinga, nimechukua hatua ya kuunganisha kurasa mbili katika jina jipya ambalo linazidi kuzoeleka. Kinachobaki ni kutafiti limetoka wapi... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:04, 13 Februari 2017 (UTC)
::Samahani pendekezo hili sijaona. Umeleta wapi? Mimi nakumbuka tu majadiliano hapa [[Majadiliano:Neptun]], ilhali Neptune hapakuwa na majadiliano. Pia nikiangalia "Kausi" katika Kamusi Kuu ya Kiswahili, maelezo yake ni wazi '''si''' Neptuni. "Kausi - aina ya nyota ambayo hutumiwa na waganga wa kienyeji kupigia ramli, bao". Maanake hii "Kausi" (bado nimetafuta asili ya neno katika kamusi zangu) ilijulikana kwa wazee lakini Neptuni haikujulikana maana haionekani bila mitambo kwa hiyo haina matumizi katika mapokea na shughuli za waganga wa kienyeji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 13 Februari 2017 (UTC)
:::Kumbe nimepata mwanga! Kausi inatokana na Kiarabu القوس al-qaus inamaanisha upinde yaani zodiaki inayoitwa kwako nyumbani sagittario. Narejea makala ya Knappert, AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105. nukuu hapo:
:::"Swahili astrologers concentrate first and foremost on the signs of the Zodiac, Buruji za Falaki, whose names are all from Arabic: Hamali, Aries - Mizani, Libra - Thauri, Taurus - Akarabu, Scorpio - Jauza, Gemini - '''Kausi, Sagittarius''' - Saratani, Cancer - Jadi, Capricornis - Asadi, Leo - Dalu, Aquarius - Sumbula, Virgo - Hutu, Pisces
:::... The Swahili names of the Planets are: Mercury, Utaridi; Venus, Zuhura; Mars, Mirihi; Jupiter, Mushitari; and Saturn, Zohali."
:::Naona kitabu cha rejeleo kuu ni J. Knappert, List of names for stars and constellations, in Swahili, xxxv/1 (Dar es Salaam, March 1965) . Basi nitajarib kuipata. Sasa naelewa jinsi gani sehemu ya orodha ya sayari zimepata majina kama Sumbula au Saratani: zimetungwa na watu ambao ama walisikia au kusoma majina ya zodiaki na kuyatumia kwa sayari kwa kukamilisha oeodha - bila kujua wanachofanya. Je tunaweza kusema swali la Kausi limepata jibu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:53, 13 Februari 2017 (UTC)
::::Kwa rejeo lako, NGUMU kusema jibu limepatikana!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:46, 14 Februari 2017 (UTC)
:::::Napata picha ya uhakika sasa: Kausi ni jina la "buruji ya falaki" (kwa lugha ya Waswahili asilia wenyewe) yaani kundinyota za zodiaki inayoitwa "sagittarius" kwa Kilatini/Kiingereza. Kwa hiyo ni jina linalojulikana kabisa katika utamaduni wa Waswahili lakini si kwa sayari (ambayo haiwezekani kwa Neptuni). Kama watu wameitumia kwa sayari ya Neptuni ni kosa. Marejeo kwa kujisomea hapa: [https://archive.org/stream/EncyclopaediaDictionaryIslamMuslimWorldEtcGibbKramerScholars.13/08.EncycIslam.NewEdPrepNumLeadOrient.EdEdComCon.BosDonLewPel.etc.UndPatIUA.v8.Ned-Sam.Leid.EJBrill.1995.#page/n115/mode/2up/search/NUDJUM J Knappert, fungu "In East Africa", makala AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105]
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:20, 14 Februari 2017 (UTC)
== Your feedback matters: Final reminder to take the global Wikimedia survey ==
(''Sorry to write in English'')
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
Hello! This is a final reminder that the Wikimedia Foundation survey will close on '''28 February, 2017 (23:59 UTC)'''. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes. '''[https://wikimedia.qualtrics.com/SE/?SID=SV_6mTVlPf6O06r3mt&Aud=VAE&Src=51VAESSA Take the survey now.]'''
If you already took the survey - thank you! We won't bother you again.
'''About this survey:''' You can find more information about [[m:Community_Engagement_Insights/About_CE_Insights|this project here]] or you can read the [[m:Community_Engagement_Insights/Frequently_asked_questions|frequently asked questions]]. This survey is hosted by a third-party service and governed by this [[:foundation:Community_Engagement_Insights_2016_Survey_Privacy_Statement|privacy statement]]. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email through EmailUser function to [[:m:Special:EmailUser/EGalvez_(WMF)| User:EGalvez (WMF)]]. '''About the Wikimedia Foundation:''' The [[:wmf:Home|Wikimedia Foundation]] supports you by working on the software and technology to keep the sites fast, secure, and accessible, as well as supports Wikimedia programs and initiatives to expand access and support free knowledge globally. Thank you! --[[:m:User:EGalvez (WMF)|EGalvez (WMF)]] ([[:m:User talk:EGalvez (WMF)|talk]]) 07:35, 23 Februari 2017 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:EGalvez (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Community_Engagement_Insights/MassMessages/Lists/2016/51-VAESSA&oldid=16205392 -->
== WMCon 2017 Berlin ==
Ndugu, salaam. Nataka kukujulisha tu kwamba nimealikwa kuhudhuria [https://meta.wikimedia.org/wiki/Wikimedia_Conference_2017 Wikimedia Conference 2017], nami nikajisajili tayari. Sitahudhuria rasmi kwa ajili ya wikipedia yetu bali kama mwanakamati wa [https://meta.wikimedia.org/wiki/Language_committee#Current LangCom]. Wasalaam, --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 20:58, 4 Machi 2017 (UTC)
== Ombi la MetaWiki ==
Salaam,
Naomba munichangie msaada wa kukubali ombi langu la kupewa laptop kule Meta-Wiki. Kiungo [https://meta.wikimedia.org/wiki/Hardware_donation_program/Muddyb#Endorsements hiki hapa]. Wako,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:13, 17 Machi 2017 (UTC)
:Samahani, lakini mimi pia nimeomba: watakubali niunge mkono ombi lako? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:25, 17 Machi 2017 (UTC)
::Sijajua. Tumuulize Kipala?--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:37, 17 Machi 2017 (UTC)
:::Badili hii: '''STATUS''' weka '''OPEN''' badala ya sasa iko '''DRAFT'''----[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:40, 17 Machi 2017 (UTC)
Status
== : )==
''Grazie mille'' /Asante sana! '''[[Mtumiaji:Gaudio|Gaudio]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaudio|majadiliano]])''' 20:19, 23 Machi 2017 (UTC)
PIRLA CHI LEGGE
== Buongiorno da [[Coreca]] e [[Campora San Giovanni]] ==
Buongiorno Padre Riccardo,
spero tutto bene lì da voi, qui abbastanza bene per ora, ringraziando Dio stanno iniziando le belle giornate e mi posso dedicare alla campagna e a Wikipedia. Le scrivo per chiederle una cortesia se può e vuole e ha tempo per me. Grazie al web ho avuto modo di conoscere amici di Uganda, Kenya e Tanzania grazie anche al nostro amato parroco don Apollinaris che è di quelle zone (di [[Moshi (mji)|Moshi]] per l'esattezza), e ultimamente sto aggiornando tutte le pagine dei due borghi dove vivo e lavoro e dove ovviamente il sacerdote presta servizio. Mi chiedevo se le andrebbe di ampliare e/o aggiornare le pagine di [[Coreca]] e[[Campora San Giovanni]], giusto e non più di 20 minuti del suo prezioso tempo. Oltre a questo, presto o forse in queste ore, un mio amico di Facebook proveniente dal Kenya si iscriverà nella Wikipedia Swahili, su mio suggerimento gli ho detto che lei potrà aiutarlo i primi tempi, bene detto questo spero di avere sue notizie quanto prima, un caro saluto da Coreca e Campora San Giovanni. A presto!--'''[[Mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|Luigi Salvatore Vadacchino]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Luigi Salvatore Vadacchino|majadiliano]])''' 06:31, 5 Mei 2017 (UTC)
==Ushauri kwa vijana==
Salaam naomba ukipata nafasi waambie vijana waangalie wanachooweza kuuona kwenye kurasa zao za majidiliano. Pia waangalie tena kurasa walizowahi kuandika. Maana naona wengine wanatunga makala hovyo, hata kuhusu mada ambazo ziko tayari hakuna njia ili kufuta. Mengine ya awali hawaangalii tena. Nilimwandikia DANIEL DE SANTOS maelezo marefu, nahisi hajaona. Wengine tatizo lilelile. Asante '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:19, 17 Juni 2017 (UTC)
:Asante, ndugu. Naendeleza kazi yako. Nikiwa nao, nawaelekeza na kuwaita waone namna ninavyoboresha maandishi yao. Polepole tutafika! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:10, 17 Juni 2017 (UTC)
::Asante, kweli tutafika! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:53, 17 Juni 2017 (UTC)
== [[Ahera]] ==
Ndugu Riccardo salaam,<br>
Baada ya salaam, nikupe pole na kazi nyingi!<br>
Ombi sasa,<br>
Binafsi ningeliweza kuipanua makala hii, lakini naona kama sekta yako.<br>
Bora niheshimu upanuzi wake ufanywe na mtu mqenye maarifa ya juu katika masuala ya dini kuliko kupapachia!<br>
Najua utaiboresha katika viwango vizuri. Isitoshe: una faida za lugha nyingi tu.<br>
Wako,<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 05:13, 12 Septemba 2017 (UTC)
:OK bosi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:45, 12 Septemba 2017 (UTC)
::Ebwana eh! Nimekoma nayo! Sio mchezo kabisaaa. Ahsante sana. Yaani, upo fasta balaa! Ubarikiwe mzee wangu. Naona umeniita bosi, hahahaha, sawa bwana! Nimefurahi sana, miaka 10 sasa tuko ote na hujabadili mwendo! Tazama:<br>
2008 = 643<br>
2009 = 1,311<br>
2010 = 728<br>
2011 = 801<br>
2012 = 1,458<br>
2013 = 934<br>
2014 = 2,371<br>
2015 = 3,734<br>
2016= 4,745<br>
2017 = 5,302<br>
Au chungulia haririo zote hapa: [https://tools.wmflabs.org/xtools-ec/?user=Riccardo+Riccioni&project=sw.wikipedia.org/ kiungo cha kuonesha haririo] zako zote.. Ahsante sana kwa kushiriki pamoja kujenga wiki yetu hii!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 14:31, 12 Septemba 2017 (UTC)
:::Sikutegemea kuona takwimu hizi zote! Kumbe umenionyesha njia rahisi ya kutathmini kazi yangu. Asante sana kwa kunitia moyo, nami nakuambia nimefurahi kuona wewe pia umekazana tena. Tusirudi nyuma katika kuenzi lugha yetu. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:24, 13 Septemba 2017 (UTC)
::::Ahsante sana. Usihofu mzee wangu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:49, 17 Septemba 2017 (UTC)
== [[Kigezo:History_of_Tanzania]] ==
Salaam tena,
Ushauri wangu, bora tu, utafsiri cha juu hapo ambacho kishakamilika na kimeunga kurasa nyingi! Ushauri tu!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:46, 17 Septemba 2017 (UTC)
== Kabisa! ==
Kweli hatimaye. Kabisa ndugu. Tumerudi!! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 05:33, 3 Oktoba 2017 (UTC)
== Annullamento ==
Prima di annullare andrebbe controllato. Quel quadro é di un anonimo. Si capisce dal titolo, dalla pagina su commons e dal sito ufficiale di palazzo Barberini dove sta. per favore correggi. Pierpao '''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 07:15, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Fatto. Il problema è stato che hai cambiato le parole swahili usando non so quale lingua... sembrava un vandalismo. Comunque grazie di darci una mano. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:22, 14 Novemba 2017 (UTC)
::Vero, ho scritto in polacco. Grazie e scusa. Ho messo le fonti su Commons.--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 08:28, 14 Novemba 2017 (UTC)
== Interior design ==
Vipi. Ile makala ya interior design. Je ipi ndio sahihi hasa? Usanifu wa ndani au ubunifu wa ndani. Au kuna neno jingine? --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 10:42, 14 Novemba 2017 (UTC)
:Nitaangalia, lakini sidhani "ubunifu wa ndani". Walau usanifu wa ndani unarandana na "usanifu majengo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:53, 15 Novemba 2017 (UTC)
== Nakala ya Rayvanny ==
Asante kwa kunisaidia kuikamilisha nakala ya [[Rayvanny]].'''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC) '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC)
== Pitia Kurasa la [[Tarrus Riley]] ==
Tafadhali pitia kurasa mpya niliyo andika na uchangie.Pliz check on my new article [[Tarrus Riley]] and make editings and contributions. '''[[Mtumiaji:Boy Addi|Boy Addi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boy Addi|majadiliano]])''' 19:43, 30 Novemba 2017 (UTC)
==[[Makanisa ya Kiselti]]: Selti au Kelti?==
Tuna makala ya [[Wakelti]] na umbo hili la jina limeshatumiwa mara kadhaa linganisha hapa: [[Maalum:VingoViungavyoUkurasahuu/Wakelti]].
Je ingekuwa vigumu kuhamisha hata makala hii kuwa "[[Makanisa ya Kikelti]]"?? ''''''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:05, 27 Januari 2018 (UTC)
== Mpira ==
Salaam,<br>
Habari za masiku!<br>
Naona si kazi kubwa sana.<br>
Ngoja nikufanyie fasta uone! Ni namna ya kuvuta tu.. Nipe dakika 2 zote zitaisha kwa Argentina. Ila hizo zingine nitahitaji AutoWikiBrowser.. Ngoja nitaza kwanza.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:44, 8 Februari 2018 (UTC)
== Fati ==
Riccardo salaam. Niliona makala inayoitwa [[Fati]], nikashangaa. Sijawahi kuona au kusikia neno hili, hapa Kenya hasa. Neno hili hutumika sana kwenu Tanzania? Nikisoma kuhusu chakula ninaona mafuta tu, au pengine shahamu. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 17:41, 2 Machi 2018 (UTC)
:Ndugu, aliyeandika ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Hata mimi nilipoona kichwa hicho nilitikisa kichwa nikamuambia lakini sikupenda kumkatisha tamaa. Lakini pia si mara ya kwanza kusikia neno hilo katika mazingira ya shule. Kama unaona neno lingine, hamisha tu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:10, 3 Machi 2018 (UTC)
::Asante sana, Riccardo. Nimefahamu sasa. Nitahariri makala hii na nyingine zinazotaja neno hili. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 18:52, 3 Machi 2018 (UTC)
==Milima==
Asante kwa makala za milima! Je habari zao unapata wapi? Kuna chanzo kinachoweza kutajwa? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 5 Machi 2018 (UTC)
:Halafu: ukipenda kufuatilia: angalia '''[[:ceb:Kategoriya:Kabukiran_sa_Tanzania_nga_mas_taas_kay_sa_1000_metros_ibabaw_sa_dagat_nga_lebel|Jamii "milima ya Tanzania" kwenye cebwiki]]'''. Ninavyojua huyu aliyetunga Cebuano ni mtu mmoja to kutoka Uswidi aliyetumia takwimu mbalimbali halafu akatunga makala zote kwa njia ya bot! Ila tu sijaelewa bado ni wapi alipopata data katika yale anayotaja. Linganisha [[:ceb:Bigoro_Hills]] na [[Milima_ya_Bigoro]]. Anatumia http://www.geonames.org/about.html (sijaiujua bado, ina habari nyingi sana! - labda unaweza kuweka wanafunzi wachukue data hapa?) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:49, 5 Machi 2018 (UTC)
::Ndiyo, natumia wiki ya cebuano, ingawa siijui... Pia mara nyingine kuna makosa au tofauti, lakini basi, nadhani kwa kiasi kikubwa ni sawa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:06, 6 Machi 2018 (UTC)
== Huna mpinzani bwana! ==
Salaam tele,<br>
Tunakuunga mkono kiaina, japo siku hizi shughuli zinanichosha kuliko zamani. Ila nitajihidi kufanya kama awali.--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 20:43, 17 Machi 2018 (UTC)
== Kupanda mbegu ==
Salaam,<br>
Ndugu, hakika unanihamasisha kuanza kupanda mbegu. Japo sijui nitapanda mbegu za mti gani.<br>
Naona kama wazo la kuanza kuzipanda linanijia.<br>
Nimekumbuka, nadhani nina kiporo cha Uislamu kwa nchi. Labda niingize idadi tu badala ya maneno mengi? Kuimaliza Afrika ilinichukua mwaka mzima! <br>
Nitajaribu!<br>
Ahsante sana kwa hamasa yako.<br>
--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:06, 2 Aprili 2018 (UTC)
:Ndiyo ndugu, tupande mbegu. Polepole zitakua. Kweli, upande wa dini, kitu kikubwa ni idadi ya waumini kati ya wakazi wote. Asilimia walau inaleta picha fulani. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:49, 2 Aprili 2018 (UTC)
::Nitafuata ushauri wako. Shukrani mno!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 11:53, 2 Aprili 2018 (UTC)
== Majimbo ya Sudani ==
Salaam mzee wangu, {{PAGENAME}}!<br>
Naona unaendeleza kasi yako ileile. Vizuri<br>
Ila kuna jambo kidogo nataka kuuliza. Hivi yale majimbo uliyowekea (mabano) una mpango wa kuunda makala ya kujitegemea?--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 13:53, 15 Aprili 2018 (UTC)
:Ndugu, asante kwa pongezi! Kuhusu mabano nimeyaweka kwa sababu baadhi ya majimbo yana jina la mji au mto. Hivi nimependa kutofautisha. Labda kwa mengi haikuwa lazima, lakini basi, nimetumia mtindo mmoja kwa yote. Salamu za amani! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 16 Aprili 2018 (UTC)
==Hongera ya makala 41000==
Hongera kwa kutusukuma juu ya 41000!! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:50, 2 Mei 2018 (UTC)
:Safi sana!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:20, 3 Mei 2018 (UTC)
==ufahamu zaidi kuhusu neno [[Qadash]] na [[Hagios]]==
Habari ndugu Riccardo Riccioni napenda ufafanuzi zaidi juu yahaya maneno mawili, amboyo ni neno la kiebrania '''Qadash''' pamoja na neno la kigiliki '''Hagios'''. Ahsante '''[[Mtumiaji:Enock John|Enock John]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Enock John|majadiliano]])''' 08:54, 7 Mei 2018 (UTC)
== [[Kanisa Katoliki la Kimelkiti]] ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Ho visto che hai creato tu questa pagina, tempo fa! Bravissimo! Volevo segnalarti che, da qualche tempo, Gregorio III è patriarca emerito, l'attuale patriarca è Youssef Absi (senza mettere il "I", per favore). Poi, volevo chiederti, se puoi anche aggiungere che l'[[:it:Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti|Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti]] è retta, attualmente, da mons. [[Yasser Ayyash]]. Grazie mille per il tuo prezioso aiuto, a presto.
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 06:30, 15 Juni 2018 (UTC)
== Categorie duplicate ==
Ciao! Nel tempo libero mi occupo di sistemare i collegamenti interwiki delle categorie in diverse lingue. Passando di qui ho notato che [[:Jamii:Georgia (nchi)]] e [[:Jamii:Georgia]] sembrano essere la stessa categoria: potresti unirle nel modo migliore? Grazie mille e a presto, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:47, 6 Julai 2018 (UTC)
:Idem: [[:Jamii:Watu wa Wales]] e [[:Jamii:Watu wa Welisi]]. Grazie ancora, --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 12:54, 6 Julai 2018 (UTC)
::E non riesco a capire se [[:Jamii:Wanauchumi]] (e sottocategorie) siano duplicati di [[:Jamii:Wachumi]] (e sottocategorie). Scusa per il tempo che ti faccio perdere! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:03, 6 Julai 2018 (UTC)
:::Grazie della collaborazione. Sto provvedendo. Pace a tutti! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 6 Julai 2018 (UTC)
::::Anche [[:Jamii:Malambo]] e [[:Jamii:Lambo]]. Grazie a te! --'''[[Mtumiaji:Epìdosis|Epìdosis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Epìdosis|majadiliano]])''' 13:30, 6 Julai 2018 (UTC)
==Kuangalia makala ya kufutwa==
Salaam, ndugu!
Tumeona ya kwamba Oliver anachukua likizo. Sasa tulikuwa na mfumo ya kwamba tunaangaliana katika makala yaliyopendekezwa kwa ufutaji. tulipatana mmoja analeta mapendekezo lakini asifute mwenyewe isipokuwa ni jambo ambalo halina maswali. Menginevyo mwingine aamue. Ilhali Oliver hapatikani kwa muda huu naomba uingie wewe! Tazama hapa: [[https://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]].- --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:00, 7 Julai 2018 (UTC)
:Ndiyo, nimeona. Sijui anaumwa nini. Kuhusu ufutaji, mara nyingine nimefuta ukurasa peke yangu, ama kwa sababu ni za wanafunzi wangu ama kwa sababu ilikuwa wazi kwamba hazifai: kichwa na matini yote kwa Kiingereza au Kivietnam! Kuhusu ombi lako, sawa, nitashika nafasi hiyo kwa muda aliosema Oliver. Jumapili njema katika amani ya Mfufuka! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:17, 8 Julai 2018 (UTC)
== Taasisi ya samaki? ==
Riccardo salaam. Wakati nilipofanya mabadiliko kwenye sanduku ya [[samaki]], nilijiuliza kama Kiswahili ina istilahi kwa "shoal" au "school of fish". Nikatafuta kwenye kamusi kadhaa. Inaonekana kama neno la kawaida ni kundi, lakini TUKI (English - Swahili) inatoa pia usheha kwa "shoal" na kamusi ya Willy Kirkeby inatafsiri "school of fish" kwa taasisi. Nilishangaa na kwenye Google sikuweza kupata mifano ya maneno haya yakimaanisha "shoal" au "school". Unajua kwamba maneno haya yanatumika kwa maana hii? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:25, 9 Septemba 2018 (UTC)
:Kamusi yangu ya ENglish-Swahili inasema "school<sup>2</sup> n (of fish) kundi (kubwa la samaki)". Taasisi surely is different, it is an institute where they teach about fish. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:05, 9 Septemba 2018 (UTC)
::Hata yangu inasema hiyo, lakini angalia kitomeo cha "shoal<sup>2</sup>": n kundi la samaki, usheha. Kitomea cha "I. school" kwenye Kirkeby: ''n: of fish or marine animal:'' taasisi (-). Sijui ameipata wapi? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 16:46, 9 Septemba 2018 (UTC)
:::Katika Madan English-Swahili (1903) ninakuta "'''School''' (of fish) kundi (ma), wingi". Taasisi itakuwa ni kosa. lakini naweza kuwauliza wavuvi, maana naishi sasa ufukoni moja kwa moja, wako nje. Usheha unawezekana, Kamusi ya Visawe (2008) ina "'''Usheha''': halaiki, umati, unasi, umma, msoa, umayamaya, kaumu, kundi kubwa (la watu)", crosschecking here with "'''Wingi''': halaiki, umati, usheha, umayamaya, unasi, kaumu, jamii, umma, hadhara, ulufu". Basi nadhani unaweza kwenda na Usheha, lakini subiri nitauliza Wavuvi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:39, 9 Septemba 2018 (UTC)
::::Asante kwa mchanganuo huu. Ndiyo, waulize wavuvi tafadhali. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 20:00, 9 Septemba 2018 (UTC)
== Makala ya afya ya MJ ==
Salaam,
Ndugu Riccardo, nimeona umeunganisha makala ya afya ya Michael Jackson na makala yake nyengine kuhusu maisha, muziki na mambo mengine. Kifupi hizo zilikuwa makala mbili tofauti. Wala haikuwa na haja kuziunganisha. Wikipedia ya Kiingereza ina makala yake maalumu kuhusu afya ya MJ. Nami nikafanya hivyo hapa kwenye Wikipedia ya Kiswahili. Sioni sababu ya kuiunga hata kidogo. Basi unganisheni na makala za albamu, singo na mengineyo. Wikipedia karibia zote wametenga makala ya afya na muziki. Sisi tumechanganya yote mahali pamoja. Mkanyanyiko mtupu.--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 07:19, 7 Oktoba 2018 (UTC)
:Pole kwa kukuchukiza! Siku zile nilijaribu kuweka sawa makala zenye mashaka kwa kufuata mapendekezo yaliyokuwepo, mojawapo la kuuunganisha hizo mbili za MJ. Kama unapenda kuzitenganisha tena, mimi sina shida. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:30, 7 Oktoba 2018 (UTC)
==Mkabidhi mpya. pendekezo==
Naomba angalia hapa [[Wikipedia:Jumuia#Mkabidhi_kwa_Jadnapac]] (Halafu: Je unaona nafasi kuja Dar mwisho wa Novemba kwa warsha ya Astronomia, Ijumaa- Jmosi?). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:39, 30 Oktoba 2018 (UTC)
:Si rahisi. Labda kwa ajili yako nikijua mapema tarehe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:00, 31 Oktoba 2018 (UTC)
==Vyanzo, Kenya==
Salaam naona umeanza kushughulika miji ya Kenya, asante! Ila tu unatumia namba bila kutaja vyanzo. Ni vema ukiweza kukumbuka. Kwa vyote vya Kenya nimetengeneza tanbihi ifuatayo inayoweza kuwekwa: '''<nowiki> <ref>[https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 Sensa ya Kenya 2009], tovuti ya [[KNBS]], ilitazamiwa Januari 2009</ref></nowiki>'''
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:28, 7 Januari 2019 (UTC)
== Document your culture with Wiki Loves Love 2019 and win exciting prizes! ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
[[File:WLL Subtitled Logo subtitled b (transparent).svg|frameless|right]]
{{int:please-translate}}
Africa has many beautiful festivals, ceremonies and celebrations of love and we need your help to
document these! They are the core part of African culture and in order to make sure this way
of life followed by our ancestors remain among us, we need to have them online to make
sure they are preserved. Join hands with [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|Wiki Loves Love]] that aims to document and spread
how love is expressed in all cultures via different rituals, celebrations and festivals and have
a chance to win exciting prizes!! While uploading, please add your country code in the Wikimedia Commons
upload wizard. If you want to organize an on-site Wiki Loves Love event, then contact [[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|our international team]]! For more information, check out our [[c:Special:MyLanguage/Commons:Wiki Loves Love 2019|project page]] on Wikimedia Commons.
There are several prizes to grab. Hope to see you spreading love this February with Wiki
Loves Love!
Imagine...The sum of all love!
[[:c:Commons:Wiki Loves Love 2019/International Team|Wiki Loves Love team]] 07:34, 4 Februari 2019 (UTC)
</div>
<!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/wlla&oldid=18845412 -->
==Continental shelf==
Salaam, tuna majadiliano kuhusu "[[tako la bara]]". Muddy haipendi, ChriKo ana mawazo. Je unaweza kuwauliza alimu wa jiografia kama wanajua Kiswahili cha continental shelf, na wangependelea nini? Nilianza makala kwa kutumia "tako la bara" (sikumbuki kam niliikuta au niliitunga kwa jaribio la kutafsiri), sasa nilikuta matumizi ya "kitako" kwa "msingi, chanzo, kiti cha kitu", na chriko alipendendekeza "mwambao wa bara" (ambayo mim sidhani inafaa). naomba jaribu kuwauliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 6 Februari 2019 (UTC)
:Asante, mchango wako kuhusu tako la bahari naona sasa tu maana ulichangia mahali ambako sikutegemea. Kuhusu visiwa nilianza lakini sasa nasita kwa kwa sababu nilitambua sikutafakari vema labda tushauriane tena (na toba yangu kurudia kila kitu..). tatizo ninaloona tukiwa na vitu vingi katika jamii moja hatuna budi kuvipnga kwa vikundi vidogo. Kwa hiyo ni nilianza jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria (inayounganishwa katika Jamii:Ziwa Viktoria na pia Jamii:Visiwa vya Tanzania) nikaona naweza kufuta mengine. Mpaka kuona ya kwamba tukiendelea na visiwa vya ziwa tutapata pia visiwa vya Kenya na Uganda, kumbe sikufikiri adi mwisho. Subiri, nirudi nyumbani (niko kwenye kikao cha kuchosha) na kutafakari upya.--'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:51, 10 Februari 2019 (UTC)
==Futa==
Naona umebandika pendekezo la kufuta kwa makala mbalimbali. Ila tu usipopeleka jina kwenye ukurasa wa [[Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji]] zitabaki tu maana maana si rahisi kuzitambua. Baada ya kuweka tangazo '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' unaweza kubofya ile "'''hapa'''" ya buluu na kuandikisha makala mle kama sehemu mpya. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:17, 19 Februari 2019 (UTC)
:Ndiyo, najua utaratibu huo, ila ukiangalia [[Jamii:Makala kwa ufutaji]] utakuta kurasa nyingi ambazo zinaweza kufutwa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:44, 19 Februari 2019 (UTC)
==Monte San Valentín==
Ehi ciao, sei Italiano? Ho visto che hai spostato la pagina "Cerro San Valentin" a "Monte San Valentin", ma la grafia corretta in spagnolo è "Monte San Valentín", con l'accento acuto. Potresti spostarla tu per piacere?
Ehm... Ma se parli Italiano perché non rispondi? Lo spostamento della pagina non riguardava la parola "Monte" ma l'accento su "Valentín", quindi chiamalo pure "Cerro", "Monte", "Mlima" o come ti pare, l'importante è aggiungerci l'accento acuto per rendere l'ortografia spagnola corretta. Grazie!
Sì, ero italiano. Non ti ho risposto perché tu non hai firmato. Devi sapere che il Kiswahili non ha accenti nello scritto, quindi diventa quasi impossibile cercare la pagina con l'í. Però ho messo l'accento nel testo, dove è indicato il nome in Spagnolo. Penso che basti. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:58, 1 Machi 2019 (UTC)
Ho capito. Be', non voglio intromettermi nelle scelte di questa versione di Wikipedia perciò non insisterò, però non è un discorso di caratteri e diacritici esistenti in Swahili, perché si tratta di un nome straniero che viene scritto come nella lingua originale. In tutte le altre lingue di Wikipedia questa pagina ha l'accento, anche in quelle in cui l'accento non esiste, tipo il Polacco ma anche l'Esperanto che è una lingua artificiale. Su questa enciclopedia ho trovato per esempio la pagina su "Édith Piaf" scritto con l'accento, così come in quella italiana ci sono quelle su "Anders Ångström" o "Karol Wojtyła". Se preferisci non lasciare diacritici per questa particolare pagina come ho detto non insisterò a convincerti a farlo, ma sarebbe un'eccezione ingiustificata sia fra le altri wiki per questa voce sia fra le altre voci in questa wiki. Grazie comunque per avermi dato una risposta educata e civile, non tutti lo fanno qua dentro. Pace a te :-) --'''[[Mtumiaji:151.48.68.205|151.48.68.205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:151.48.68.205|majadiliano]])''' 19:59, 7 Machi 2019 (UTC)
== Msaada ==
Jambo,
Mimi ni mpya kwa Wikipedia.Nahitaji msaada tafadhali.Niliandika makala ya Kiswahili na napenda unisome na kunisaidia kurekebisha. Asante.
:Jambo mojawapo ni kwamba ukituma meseji kama hiyo ongeza saini yako mwishoni kwa kubofya hapo juu alama ya tatu ili itokee kama kwangu hapa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:12, 28 Machi 2019 (UTC)
== Asante ==
Asante kaka Riccioni kwa kugundua mchango nilioifanya katika eneo bunge la Limuru. Kwa swala la kuongeza data katika majimbo na maeneo bunge ya huku Kenya, nitafanya jitihada ya kuhariri. Mimi bado ni mwanafunzi wa Shule Ya Upili Anestar, Lanet-Nakuru , Kidato cha 3 na kwa sababu tumekuja likizo ya wiki nne nitakuwa huku mara kwa mara. Huku twasema zote, lakini hutegemea. Maeneo bunge ni tofauti na majimbo huku. Majimbo ni kama Nakuru,Mandera,Narok,West Pokot ambayo ni 47 na eneo bunge ni kama Kabete,Limuru,
Malindi, Lanet na mengine ambazo ni 290.
Kunradhi kwa kurudisha ujumbe wako baada wa muda mrefu 😁.
Peace man --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 15:28, 6 Aprili 2019 (UTC)
:Asante pia kwa kuchangia pakubwa kwa ukuaji wa Swahili Wikipedia. Bila nyinyi, Wikipedia haingekuwa ilivyo sasa. Tutakapo shikilia usukani siku zijazo, tutafanya hata makubwa zaidi.
Nina swali, mtakuwa na warsha ya Swahili Wikipedia siku gani? Nitafurahi sana kukiwa nayo, nitafanya juu chini kuhudhuria.
Sarufi yangu inaweza kuathiriwa na sheng kidogo lakini nitakuwa mwanaisimu kama wewe 😁
Kuwa na siku yenye fanaka. Salamu nyingi kutoka kwa mamangu huku Nairobi,Kenya --'''[[Mtumiaji:RazorTheDJ|RazorTheDJ]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:RazorTheDJ|majadiliano]])''' 07:29, 7 Aprili 2019 (UTC)
::Kweli tunatumaini mtashika usukani na kufanya makubwa kuliko sisi. Kuhusu warsha, hatujapanga, lakini utajua tu. Amani kwako na kwa mama! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:16, 11 Aprili 2019 (UTC)
==[[Bibi Titi Mohamed]]==
Uliniuliza kwa nini nilibadilisha. Kwa kweli sijui wala sikumbuki. Nikiitazama siwezi kuwaza mabadiliko yana kusudi gani. Hata nina mashaka kama ni kweli mabadiliko yangu, lakini siwezi kuwaza jinsi gani mwingine aliweza kuhariri kwa jina langu. Kama kosa langu, basi nisamehe. Nimeirudisha jinsi ulivyoiacha. Asante kwa kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:49, 12 Aprili 2019 (UTC)
== Tarafa ya Abengourou ==
Hello Ndugu Riccardo, Thank you very much for your kind works on the stubs i am currently proposing about Côte d'Ivoire. Could you, please, correct [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|this draft]] concerning the departments of Côte d'Ivoire, before its possible publication ? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:45, 8 Mei 2019 (UTC)
:Please, don't use "vikoa" but "kata". Moreover, try to link to other Wikis. Thank you again! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:39, 9 Mei 2019 (UTC)
::Again, thanks a lot for your corrections and advices. On the current Ivorian territorial division, we have the following situation:
::*14 districts (Wilaya)
::*31 Regions (Mikoa)
::*108 Departments (Tarafa)
::*510 Sub-prefectures (Kata)
::
::I'am about to create the articles of the 14 Districts (Wilaya) and up-to-date the 108 departments (Tarafa). However, this requires that current articles on departments (also named here Wilaya) be renamed as Tarafa.
::
::Am I allowed to do it? --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 10:16, 10 Mei 2019 (UTC)
:::The only problem is that in Tanzania and many other countries the districts are subdivision of Region, not the contrary. This is way the departments were called Wilaya. But we have to accept the Ivorian terminology. So, go on. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:01, 10 Mei 2019 (UTC)
== [[Rutongo]] ==
Ciao caro, come stai? Quì abbiamo avuto un maggio completamente piovoso, adesso, forse si starà meglio!
Per favore, noto che in questa città c'è il seminario maggiore, magari può servire nella pagina, me lo aggiungeresti, tu, per favore? Grazie mille, un caro saluto, in comunione!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:38, 2 Juni 2019 (UTC)
: Ehilààààà, più veloce della luce. Grazie mille!!! Hai una mail? Il mio sito è reimomo.it '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:53, 2 Juni 2019 (UTC)
::Sono qua in computer room con un po' di studenti della nostra secondaria; cerco di appassionarli a Wikipedia in Swahili... Oggi la Messa sarà di sera. Il mio indirizzo e-mail è: ndugurikardo@yahoo.it. Pace e bene alla vostra repubblica! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 09:58, 2 Juni 2019 (UTC)
== Wanafunzi? ==
Ndugu, kuna watu wanafanya warsha ya kuandika kwenye Wikipedia? Naona kuna makala nikadhani labda ni wanafunzi wanajarijaribu hivi.--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:05, 9 Juni 2019 (UTC)
:Ndiyo, ni wanafunzi wa Alfagems Morogoro. Niko nao. Wengine wameshapiga hatua, wengine bado. Ndio kesho ya Wikipedia yetu. Wakikosea, narekebisha. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:06, 9 Juni 2019 (UTC)
::Ni vizuri nimeuliza. Nilishangaa kidogo. Nilifuta moja ya mwanafilamu Kanumba baadaye ninaona makala nyingine na majina mapya zinajitokea. Nikaona si kawaida, ngoja niulize. Hongereni. Ni vizuri sana. Tutawaidia. Wape salamu. Kweli hawa ndio wahahari wa kesho. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 13:14, 9 Juni 2019 (UTC)
== Help ==
Shikamoo Baba,
I'm again coming back to ask your help. Would you, please, have a look at these two drafts ([[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga2|SLM2]] ; [[Mtumiaji:Zenman/Sanduku la mchanga3|SLM3]]) that could serve as models for other articles to create? Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 11:48, 10 Juni 2019 (UTC)
Merci beaucoup pour vos contributions. Je voudre entendre le significance de "Imara" dans le box. Paix à tous! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:21, 10 Juni 2019 (UTC)
:Merci beaucoup pour vos corrections et conseils. J'ai supprimé le "Imara" dans l'infobox. Asante sana. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 23:09, 12 Juni 2019 (UTC)
==Administrative division of Côte d'Ivoire==
Hello Riccardo Riccioni,
Can you, please, give your opinion on [[Majadiliano ya Wikipedia:Mradi wa Cote d'Ivoire#Administrative division of Cote d'Ivoire|this question]]? Thanks in advance. --[[Mtumiaji:Zenman|Z<span class="romain">enman</span>]] <sup><small>[[[Majadiliano ya mtumiaji:Zenman|M<span class="romain">ajadiliano</span>]]]</small></sup> 18:45, 21 Juni 2019 (UTC)
== Cellulitis ==
Eti ugonjwa wa Cellulitis kwa Kiswahili ni nini?--'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:53, 27 Juni 2019 (UTC)
:Kamusi ya tiba: " '''cellulitis''' n '''selulitisi''': inflamesheni ya tishu areola (tishu unganishi)". Binafsi simpendi sana huyu aliyetunga kamusi hii maana alikuwa mvivu kiasi, akitumia kimsingi maneno ya Kilatini tu na kuyaswahilisha kidogo mwishoni. Ila tu hatuna nyingine kwa hiyo twende naye. Ndesanjo: tafadhali andikisha email yako hapa, nitakutumia kmusi hii '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:55, 27 Juni 2019 (UTC)
::Asante Kipala kwa kujibu kwa niaba yangu. Bila kuangalia kamusi hiyo ya kivivu nilikuwa nafikiria kutohoa "selulaiti". Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:44, 28 Juni 2019 (UTC)
:::Samahani kwa kukanyaga shamba lako! Nilipoona swali la Ndesanjo kwenye "mabadiliko ya karibuni" nilikuwa nimefungua kamusi ile, badi nilikuwa mbioni... '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:43, 28 Juni 2019 (UTC)
::::Hakuna shida kabisa. Hapa tunasaidiana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:58, 29 Juni 2019 (UTC)
== Barua pepe yangu ==
Riccardo salaam. Umeona barua pepe niliyokutuma hivi karibuni? Ningependa kupata maoni yako juu ya majina ya wadudu wale. Asante. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:52, 28 Juni 2019 (UTC)
:Majibu niliyopata kwa sasa ni haya:
*Aphid = Kidukari
*Cricket = Nyenje
*Fire ant = Majimoto
*Moth = Nondo
*Bumblebee = Nyukibambi
*Bird grasshopper = Parare
*Palm weevil = Sururu
*Sand flea = Tekenya
*Mealybug = Kidung'ata
*White fly = Nzi Mweupe
Kazi njema na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:16, 10 Julai 2019 (UTC)
:Asante sana. Natumaini nitapata majina mengine tena. Hawajui majina ya "true bug" na "cicada"? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:48, 10 Julai 2019 (UTC)
::Jana mwalimu aliniuliza kuhusu 'cicada'. Nikamueleza kidogo kwa sababu hata Italia yupo (anaitwa cicala), na Watanzania wengine wanamfahamu, ila majina wanayotumia ni tofauti. Baadhi wanamuita "nyenje" jina ambalo hapa juu limetumika kwa Cricket na wengine tena wanalitumia kwa Mende... Tutaendelea na utafiti. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 11 Julai 2019 (UTC)
:::Kwa kuendelea kuuliza kuhusu Cicada, nimejibiwa kuwa jina lake ni Nyenje, Nyenze au Chenene. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 14:43, 20 Julai 2019 (UTC)
::::Asante sana kwa juhudi zako. Ndiyo, hata mimi nilipata majina haya. Inaonekana kama watu wanachanganya wadudu hao kwa sababu wanapiga kelele iliyo takriban sawa. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 19:48, 27 Julai 2019 (UTC)
:::::Riccardo salaam. Ninarudi kwako ili kukuuliza mara nyingine tena kwamba jina "kunguni-mgunda" linaweza kutumiwa kutafsiri "true bugs". Walimu hawa hawana maoni kuhusu jina hili? Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:04, 7 Oktoba 2019 (UTC)
::::::Ndugu, nimemuuliza mwalimu mmoja. Ameridhika na jina hilo. Hongera na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:48, 8 Oktoba 2019 (UTC)
:::::::Asante sana. Nimeshatoa ukurasa wa oda Hemiptera ([[Mdudu Mabawa-nusu]]). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 15:28, 8 Oktoba 2019 (UTC)
== spam links ==
Hi Riccardo! I removed some additional spam links by one of the accounts we talked about last week [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Utunzi_wa_wanyama_wa_nyumbani&action=history here]. However I noticed many times when he spammed a url he wrote the link direct in english (ie. instead of <nowiki>[www.google.com mbwa]</nowiki>, they wrote <nowiki>[www.google.com dog]</nowiki>. Would you mind taking a look and translating the actual words where I removed the bad spam links? Thanks! '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 14:39, 10 Julai 2019 (UTC)
: Thank you per your work. As I wrote, I do what I can. OK, I'll try doing what you said too. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:08, 11 Julai 2019 (UTC)
== Kiswahili poaǃ ==
Ndugu naona Kiswahili changu kinanitoka kidogoǃ Hahaha. Asante kwa masahihisho yako. Kweli lugha umeipata kabisa. --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 08:12, 18 Julai 2019 (UTC)
:Haika mbe! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:34, 18 Julai 2019 (UTC)
== Hello there ==
Are you doing good '''[[Mtumiaji:Kitereza|Kitereza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kitereza|majadiliano]])''' 19:34, 20 Agosti 2019 (UTC)
== templates ==
Hey, I saw a bunch of issues with templates, especially cite book/journal and [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kigezo:Book&action=history this] is probably what is causing it. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 18:14, 23 Agosti 2019 (UTC)
:I don't undertand what you have said because the templates are mysterious to me!!! Let's inform Kipala or Muddyb. Peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:08, 24 Agosti 2019 (UTC)
::Hello [[mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]], care to fix it for us? Your help would be greatly appreciated!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 07:08, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::I'm apparently wrong about that but the issue with the book template is because it requires =title in the template, I will work on them later today. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:32, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::Thanks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:33, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::I'll work on the template itself but this is what is basically required: <nowiki>* {{cite book |last=Creighton |first=Oliver |year=2005 |title=Medieval Town Walls: An Archaeology and Social History of Urban Defence|location= |publisher= |isbn=978-1-85760-259-3}}</nowiki>. Another good option if you don't feel like filling all of it out yourself (I never do) is to [https://tools.wmflabs.org/refill/ reFill.] It doesn't appear to be enabled on this wiki, so I'll also look into that. :) '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 11:44, 27 Agosti 2019 (UTC)
::::::Thanks again and peace to you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:46, 27 Agosti 2019 (UTC)
:::::::It might be helpful if you name the templates you came about. We hve swahilized a number of templates but find the recent ones a bit complicated. Thus have to look for work-arounds. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:40, 27 Agosti 2019 (UTC)
== Reminder: Community Insights Survey ==
<div class="plainlinks mw-content-ltr" lang="en" dir="ltr">
'''Share your experience in this survey'''
Hi {{PAGENAME}},
A couple of weeks ago, we invited you to take the Community Insights Survey. It is the Wikimedia Foundation’s annual survey of our global communities. We want to learn how well we support your work on wiki. We are 10% towards our goal for participation. If you have not already taken the survey, you can help us reach our goal! '''Your voice matters to us.'''
Please take 15 to 25 minutes to '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_0pSrrkJAKVRXPpj?Target=CI2019List(meafwps,act5) give your feedback through this survey]'''. It is available in various languages.
This survey is hosted by a third-party and [https://foundation.wikimedia.org/wiki/Community_Insights_2019_Survey_Privacy_Statement governed by this privacy statement] (in English).
Find [[m:Community Insights/Frequent questions|more information about this project]]. [mailto:surveys@wikimedia.org Email us] if you have any questions, or if you don't want to receive future messages about taking this survey.
Sincerely,
</div> [[User:RMaung (WMF)|RMaung (WMF)]] 18:58, 20 Septemba 2019 (UTC)
<!-- Message sent by User:RMaung (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=CI2019List(meaf_wps,act5)&oldid=19397738 -->
==[[George Padmore]]==
Ndugu kwa bahati mbaya umeharibu kazi! Sijamaliza nilikuwa nilihifadhi hatua ya kwanza tu (kwa hiyo bado Kiswahili kibaya!) nikaendelea na kupumzika - basi inaonekana yote imepotea. Basi. - Je uliona email yangu?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:47, 18 Oktoba 2019 (UTC)
:Basi nimeweza kuitengeneza, kumbukumbu ya laptop ilikuwa nayo. Tena kosa langu: nilipoona "Edit conflict" sikuchagua version yangu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:07, 18 Oktoba 2019 (UTC)
== Mfumo ''katika soka'' ==
Ndugu Riccardo natumai uko salama,
kuna makala inayohusu mifumo katika soka "formation" nilijaribu kutafsiri kutoka lugha ya kiingereza, nilivyochapisha utangulizi haukua na marejeo kabisa pamoja na jamii, nilikuta notification kwamba ukurasa huo utafutwa, niliongeza vilivyokosekana kwa kutafsiri kipande kingine chenye marejeo, kwa upande wa jamii niliweka michezo hii ilikua ijumaa ya tarehe 18, hadi leo hii bado naona kuna ujumbe wa kufuta makala hiyo.--'''[[Mtumiaji:Innocent Massawe|Innocent Massawe]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Innocent Massawe|majadiliano]])''' 05:36, 21 Oktoba 2019 (UTC)
:Ndugu, usiogope, mradi haijafutwa! Tutaipitia upya. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:42, 21 Oktoba 2019 (UTC)
==Tawimto==
Naona umeanza kusahihisha uwingi wa tawimto kuwa "matawimto". Una uhakika ??? Tawimto ni mto ambao ni tawi la mfumo wa mto mkubwa zaidi. Kama ni mingi ni mito - ha hii naona ni neno kuu. Kwa hiyo si lazima "mito" ionyeshe uwingi? Sikioni inaumia kidogo nikiona "matawimto mikubwa" ([[Syr Darya]]). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:07, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:Labda umesahau kwamba jambo hilo la neno linalotokana na mawili tulilijadili katika warsha wa astronomia, nikapewa majibu ya hakika: ni mafungunyota, mafunguvisiwa n.k. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:25, 25 Oktoba 2019 (UTC)
::Sawa kabisa, hii ninakumbuka sana. Ila tu: fungunyota ni fungu moja lenya nyota nyingi, kundibyota vilevile, kwa hiyo kama mafungo mengi - unapata umbo.
Tawimto si tawi moja lenye mito mingi, wala mto moja mwenye matawi mengi (kinyume chake katika ufafanuzi!) - ni mto mmoja lenye tabia ya kuwa tawi la mto mkubwa zaidi. Kwa hiyo naona mantiki halingani. Ama iwe "matawimito" au "tawimito". Basi nitajaribu kuuliza aruspicina di Tataki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:31, 25 Oktoba 2019 (UTC)
:::Nakubali kwamba kuna tofauti na fungunyota, lakini jibu lilikuwa kwamba -a inayofuata ni lazima ilingane na fungu, si nyota, kwa hivyo iwe la, si za. Kama ni hivyo, wingi wake ni ya kutokana na mafungu. Sasa naona kuhusu tawimto ni vilevile. Labda tunaelewa tofuati neno hilo. Wewe unalisoma kama mtotawi, mto ulio tawi la mwingine. Mimi naona ni tawi la mto. Yaani hapa neno mto unajumlisha mto mkuu na matawi yake yote. Basi, uulizie TATAKI, bila kusahau suala la "virusi za UKIMWI". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 11:53, 27 Oktoba 2019 (UTC)
::::Angalau jibu moja (aliandika sms), angalia [[ Majadiliano:Tawimto]]. Amani! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:07, 1 Novemba 2019 (UTC)
== Vigezo vya Msanii kuwekwa Wikipedia ==
Nahitaji kujua Vigezo vya msanii kuwekwa Wikipedia. Je anatakiwa awe na umaarufu wa kiasi gani..? au awe ametoa nyimbo ngapi zilizomo katika kurasa za Google na YouTube..? Naomba msaada katika hili '''[[Mtumiaji:Mikuyu Denis|Mikuyu Denis]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mikuyu Denis|majadiliano]])''' 15:55, 31 Desemba 2019 (UTC)
:Ndugu, si suala la idadi ya nyimbo. Unaweza ukaandika mmoja tu ukawa maarufu mara, au ukaandika nyingi lakini hazivutii watu... Vigezo vya umaarufu alikwishakupa Kipala ukamuambia aache ubaguzi! Ubaguzi gani? Ndiyo namna ya kumjibu mzee wa watu aliyetufanyia kazi kuuubwwa miaka zaidi ya 10? Hivyo uonyeshe huyo msanii amejulikana kweli na watu wengi: kwa mfano kwamba magazeti yanamzungumzia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:40, 1 Januari 2020 (UTC)
==Klabu ya Wikipedia katika sekondari ya Alfagems==
Habari za siku. Samahani nauliza kuhusu program ya wikipedia kwa hapo shuleni, siku ile hatukufikia muafaka kama naweza kuwa nakuja kwa vipindi vya wikipedia. '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 05:47, 13 Februari 2020 (UTC)
:Ndiyo, karibu sana Jumapili saa 8:00 kamili. Tutakuwa na mashindano ya utunzi bora wa makala. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:03, 13 Februari 2020 (UTC)
::Asante, ntajumuika nanyi! '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 11:53, 14 Februari 2020 (UTC)
:::Habari, sawa ntazipitia. Pia wanafunzi waliniambia leo kuna kipindi cha wikipedia naomba kujua itakuwa sangapi. Ikiwezekana naomba ratiba ya wiki nzima tafadhali '''[[Mtumiaji:Magotech|Magotech]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 06:01, 18 Februari 2020 (UTC)
::::Klabu ya Wikipedia ni Jumapili tu. Siku nyingine zote kuanzia saa 8:00 mchana wanafunzi wanaruhusiwa kwenda chumba cha tarakilishi kujisomea lolote. Kama ukipenda klabu iwe siku tofauti na Jumapili, tunaweza kuibadilisha, lakini iwe mara moja kwa juma. Asante kwa ushirikiano wako na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:06, 18 Februari 2020 (UTC)
:::::Sawa basi ngoja ibakie jumapili kama ilivyo kwa sasa, mwanzo nilidhani kuwa kuna siku nyingine katikati ya wiki ya Wikipedia. Asante! MagoTech Tanzania 23:08, 18 Februari 2020 (UTC)
Habari za siku ndugu. Samahani sana nilipata dharura nikaondoka Morogoro. Sitokuwepo kwa mda kwa maana hiyo sitoweza kuhudhuria katika mikutano ya klabu ya Wikipedia kwa shuleni Alfagems. Samahani sana kwa usumbufu ulio na unaoweza kujitokeza.
Nitawatembelea pindi ntakapo rejea tena. Asante MagoTech Tanzania 12:59, 16 Machi 2020 (UTC)
==Masahihisho==
Ndugu unasahisha haraka mno. Meitneri sijamaliza. Sasa nilikuwa na masahihisho katika dirisha langu, nasi sehemu ya kazi yako imepotea, nahofia. TAfadhali nipe masaa kadhaa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:10, 16 Machi 2020 (UTC)
== Pictures from Wiki Loves Africa 2020 ==
Hello. I am sure you are right, but we can only use what is available. So do not hesitate to take different pictures, more relevant, I will be glad to insert them. Actually we had the same problem. In the beginning we had only 19th-century engravings. But this is changing rapidly now. And Wiki Loves Africa helps. Have a nice day, '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle#top|majadiliano]])''' 14:47, 21 Machi 2020 (UTC)
:Good news, here came some more contemporary pictures uploaded this morning ([https://commons.wikimedia.org/wiki/Category:Orly_Air_Park]). If you want to add something you can send me an email. -- '''[[Mtumiaji:Ji-Elle|Ji-Elle]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ji-Elle|majadiliano]])''' 06:09, 22 Machi 2020 (UTC), from France
== Kumbukumbu ==
::Habari, nimeona ni vyema nikupatie picha yako ya kumbukumbu katika mradi wa Astronomia.
[[File:Ricardo Riccion.jpg|thumb|Riccardo Riccioni akitazama anga wakati wa mradi wa Astronomia.]]. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])'''
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekezwa makala [[Tarekh ya mitume:Ibrahim]] ifutwe, ni sahihi maana amenakili yote. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Naomba ukumbuke! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
== Ciao ==
Ma lei è di Grosseto. Perchè ci siamo già incrociati, ma non mi ricordo dove? Io sono di Castel del Piano. A parte la mia curiosità spero non inopportuna mentre venivo a sbirciare ho notato che ci sono tre link nella colonna a sinistra non tradotti:
*email this user
*mute preferences (in italiano abbiamo tradotto "preferenze sul silenzio")
*view user groups
se mi scrive la traduzione ve li sistemo su translatewiki. Grazie--'''[[Mtumiaji:Pierpao|Pierpao]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Pierpao|majadiliano]])''' 13:12, 26 Aprili 2020 (UTC)
:No, non sono di Grosseto, ma mia sorella si è sposata a Orbetello e vive a Capalbio. Ha 4 figli in giro per il mondo... Poi ho due amici sacerdoti di Castell'Azzara. Può darsi che ci siamo visti nella maremma! Scusa, ma non capisco bene quello che dici riguardo ai tre link. Pace a te! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 13:16, 26 Aprili 2020 (UTC)
==Makala kwa ufutaji==
Naona umependekeza tena makala 2 zifutwe. Ila usipoandikisha makala katika [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] inaweza kusahauliwa na kubaki. Nimeona kwa kubahatika tu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
==Usaidizi wa upangiliaji wa makala==
Ndugu ricardo mimi ni mgeni hapa sina muda mrefu, ila mara kadhaa nimekua nikiona makala nyngi sana hasa za lugha ya Kiswahili zikiwa zime haririwa na wewe, una mchango mkubwa sana kwenye makala nyingi za Kiswahili Hongera kwako. Nina makala ambayo nimeaianzisha hapa, kwenye swwiki na ningependa uipitie kwa maboresho zaidi, Nafurahi sana kura miongoni mwa watumiaji wa swwiki na ninatazamia kutoa mchango mkubwa kwenye swwiki. Ahsante Na makala hiyo inaitwa [[Counsellorsalah]].
:Ndugu, nimeshapitia na kurekebisha makala hiyo mara mbili, ila mwenyewe sijui kurekebisha vizuri sanduku la infobox mwanzoni. Kwa mengine namna ya kujifunza ni kuangalia kila mara marekebisho tunayofanya ili ufanye vizuri zaidi na zaidi. Unapoona katika "Mabadiliko ya karibuni" kwamba ukurasa wako umehaririwa na mwingine, bonyeza "tofauti" ili kuona wapi na wapi yamefanyika hayo mabadiliko. Polepole ndiyo mwendo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:44, 9 Mei 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 23:09, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Please, ask <nowiki>[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]</nowiki>. Thank you. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:39, 4 Agosti 2020 (UTC)
==Nimechanganyikiwa katika Wilaya ya Lindi==
Labda utaona nimeanzisha makala za wilaya mpya "Mtama" pale Lindi. Basi nilikosea, kesho nitafanya usafi tena (chanzo ni swali lako kuhusu kata lile kama ni mjini au vijijini, nikaangalia orodha ya wakazi wa 2016, nikachanganya wilaya na jimbo....) Nivumilie kidogo, sasa nalala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:35, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Hongera Ndugu Riccardo ya kutupeleka kwa 60,000==
[[file:WPW Design Barnstar 2.0.png|thumb|Nyota ya Ujenzi wa Wikipedia]]
Ndugu Riccardo, umetupeleka kwa makala 60,000. Hongera na Asante! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
::Hongera Ndugu Riccardo. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 13:05, 20 Agosti 2020 (UTC)
:Asante kwenu kwa kutambua mchango wangu. Mimi pia natambua mchango wenu na wa wenzetu wengine. Tuongeze bidii tukilenga makala ya 100,000. Lakini pia namkumbusha Kipala suala la kupunguza viongozi waliopumzika muda mrefu na kuongeza wakabidhi wapya, mmojawapo Czeus25 Masele... Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:54, 21 Agosti 2020 (UTC)
==Wakabidhi==
naomba uangalie tangazo kwenye ukurasa wa Mwanzo (juu) na ukurasa wa Wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:39, 4 Septemba 2020 (UTC)
==Maswali==
Nimeangalia makala za [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]; Malunde najaribu kufuatilia, Rutamba nimesahihisha, Madume bora ningeacha kwa sasa au kufuta, sjui. Tafadhali angalia swali langu kuhusu [[Taniaba]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:13, 6 Septemba 2020 (UTC)
==Kata mpya==
Ombi tu: tafadhali usianze bado kuhariri kata mpya nilizoingiza katika vigezo vya masanduku ya kata. Kazi hii ni maandalizi ya mafundisho kwa ajili ya wachangiaji wapya, wapate nafasi ya kuhariri kwa njia nyepesi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:55, 28 Septemba 2020 (UTC)
==Mambo ya ukabidhi, baruapepe==
Tafadhali angalia baruapepe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:49, 6 Novemba 2020 (UTC)
==Gunter Pauli==
Hello Riccardo, could you please kindly clarify the reason why you have deleted this page ?
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gunter_Pauli Thank you
'''[[Mtumiaji:Freemanbat|Freemanbat]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Freemanbat|majadiliano]])''' 13:13, 24 Novemba 2020 (UTC)
:Yes, I deleted it because this is Swahili Wikipedia and your text was not in Swahili. I think it was in a South Asian language. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:32, 24 Novemba 2020 (UTC)
::Just to chip in: you uploaded some gibberish. Did you take it from Google Translate? Please read the welcome notice on your user page, and be reminded that this is considered unwanted here. Generally not a good idea if you have no clue of the language you try to contribute to, because the results usually are so bad that we delete it anyway (so even if you had picked the right language at google translate). '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:17, 24 Novemba 2020 (UTC)
== [[Kituo cha Hamburg Dammtor]] ==
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
[[Picha:Karte der S-Bahn Hamburg.svg||thumb|right|200px|Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor]]
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah [[Maalum:Michango/84.174.183.93|84.174.183.93]] 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC)
:Hi, the map is as it is. it is not flexible. You would have to make a new map. Maybe there is a different one, you better look for it at commons. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:37, 18 Desemba 2020 (UTC)
== [[B. R. Ambedkar]] ==
Hello, I was patrolling recent changes and noticed [https://sw.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar this article] and upon some investigation I found out that it's Google translation of [https://en.wikipedia.org/wiki/B._R._Ambedkar English Wikipedia] article, which is a copyright violation, so I am requesting you to delete it. --'''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB|majadiliano]])''' 17:15, 16 Januari 2021 (UTC)
== Majadiliano:Frozen 1 ==
If you'll see the discussion at this page, the article is marked as needing improvement. I already signed up so it can be moved, but I'm not confirmed yet. I don't know what else to do with the article just yet as I'm not fluent in Swahili. But this page and other Disney articles have some problems due to vandalism. One of the other pages with these kinds of problems would be [[The Fox and the Hound]]. [[Bambi]] and [[Dumbo]] are two more. I also saw [[Teletubbies]] deleted, but can it be recreated with better content? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 21:57, 27 Februari 2021 (UTC)
At [[Thumbelina (filamu ya 1994)]], the English text added that was reverted would have helped the article if it had been translated. So, who could translate it? I also wanted to add that Dove Cameron plays the twins in [[Liv and Maddie]]. As usual, the English text would have helped the article. For those other pages like The Fox and the Hound, Dumbo, and Bambi, they often have machine translation in them, and the machine translations came from either English or Simple English Wikipedias (or both). The Dumbo page seemed to have the worst translation. Meanwhile, other Disney pages don't exist yet (like Fantasia, Cinderella, Lady and the Tramp, The Aristocats, Oliver & Company, The Little Mermaid, The Rescuers Down Under, and many more. I don't know if it'd be worth it to just create stubs about them. Even if it is, I wouldn't know who could improve them all. Do you? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 20:13, 6 Machi 2021 (UTC)
:I appreciate your intention but I think at this stage our little Wikipedia has more urgent tasks. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:10, 7 Machi 2021 (UTC)
::Can the machine translation on The Fox and the Hound be removed? That, and on pages like Liv and Maddie, [[The Simpsons]], and [[Hannah Montana]], Jamii:Televisheni za Marekani was replaced with Jamii:vipindi vya televisheni. The problem with that is, they are American television shows, but the other category says genres of television. They aren't television genres. The genre of Liv and Maddie is a situation comedy for teenagers (teen sitcom). Hannah Montana is also that. The Simpsons, however, is an animated adult situation comedy. So, how does this get corrected? Finally, there's the fact that I would just fix everything myself if I knew Swahili well. Is there a way to learn it? '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 17:59, 12 Machi 2021 (UTC)
:::I think there are many ways to learn Swahili, especially through internet. About television, I don't understand your point. If something is presented in TV it is called kipindi, without examining what is its genre. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:26, 13 Machi 2021 (UTC)
::::Jamii:vipindi vya televisheni is linked to Category:Television genres at the Wikidata page. Is that wrong? Meanwhile, Jamii:Televisheni za Marekani was supposed to say Category:Television of the United States. However, should it be Jamii:Vipindi vya televisheni za Marekani for Category:Television series of the United States? Finally, do you know the best ways I can learn Swahili? I've already been blocked in another Wikipedia (diqwiki) because I was too disruptive. Right now, they are working on cleaning up pages after vandalism by the Disney vandals. There are many Disney vandals, but the worst ones do things like adding the machine translations, content in the wrong language, or pages with no content. The diq articles were made very badly, where the content was short and unwikified. That has happened here before. However, there hasn't been disruption to The Fox and the Hound since 2011 (10 years ago), so can the protection be removed? However, it's at least much better now with the machine translated content. '''[[Mtumiaji:I like peace and quiet|I like peace and quiet]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:I like peace and quiet|majadiliano]])''' 19:32, 14 Machi 2021 (UTC)
:::::Riccardo asked me to look at this. As for the naming of the categories, we have to consult a little. May take a bit of time, depends who has time for that. For learning Swahili? If you find a course that is best. If you cannot find one, do not try to translate long texts. You can possibly help by doing short stubs if you are wise enough to know your limits. Disney ntries are no priority here. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:13, 16 Machi 2021 (UTC)
== nakala ya arthur schopenhauer ==
je unaeza fafanua sababu za kutoa sehemu nilioandika kuhusu mwanafalsafa huyu? '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 19:37, 10 Machi 2021 (UTC)
== Grazie mille!!! ==
Sì, preghiamo gli uni per gli altri, e anche perchè il signor Corona se ne torni da dov'è venuto al più presto!!!
Scusami per il primo messaggio, me lo sono scritto direttamente nella mia pagoina pensando di scrivere nella tua. Pace a te!
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:52, 13 Machi 2021 (UTC)
== Request for adding an article ==
Hello sir Riccardo Riccioni
Could you please write a stub about the Tachelhit language in this wiki ? its an african language in Morocco – just a few sentences based on https://en.wikipedia.org/wiki/Shilha_language ?
Thank you very much -- '''[[Mtumiaji:Ayour2002|Ayour2002]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ayour2002|majadiliano]])''' 15:03, 17 Machi 2021 (UTC)
==Ujumbe==
Hello Sir!!! Samahani kwa usumbuu, baruapepe ya Ijumaa (matembezi ya anga) ilifika kwako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:25, 22 Machi 2021 (UTC)
== [[Christian Carlassare]] ==
Caro padre Riccardo, Pace!!!
Come stai? Io, mia mamma, la mia morosa e tutte le nostre famiglie stanno bene: tutti negativi al Covid-19!!! Ma in Italia la situazione è molto brutta, anzi, fa schifo, 15 regioni in zona rossa. le nostre mamme hanno fatto le due dosi del vaccino Pfeizer, e hanno avuto solo un po' di male al braccio e un po' di stanchezza nei giorni successivi.
Ieri, il presdiente del Consiglio dei ministri e sua moglie si sono fatti vaccinare pubblicamente con Astra Zeneca.
La Pasqua sarà comunque a casa, tutti confinati, eccetto i ricongiungimenti familiari, ma anche quì ci saranno molte restirizioni.
Per favore, ti chiedo qualche minuto per vedere se vada tutto bene in questa pagina. Secondo me, potresti aggiungere che, ''attualmente (al momento della sua elezione) è il vescovo cattolico italiano più giovane''. Grazie molte per il tuo prezioso aiuto!!!
Una Buona e Santa Pasqua, in comunione
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 08:24, 31 Machi 2021 (UTC)
== Buon Lunedì dell'Angelo ==
carissimo padre Riccardo, pace!!!
Grazie per le tue preghiere!!!
Completerò con piacere le diocesi mancanti della Lombardia. Poi, per le correzioni, ci penserai tu. Grazie ancora, un caro saluto
'''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:28, 5 Aprili 2021 (UTC)
: Ciao, ho cominciato ad aprire la [[Jimbo Katoliki la Crema|diocesi di Crema]]. Quando riesci a trovare qualche minuto, per favore, dovresti sistemare le poche cose che ho lasciato in italiano dove ci sono i nomi dei vescovi, soprattutto i due vescovi appartenenti agli ordini religiosi.
: Grazie ancora, a presto
: '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 09:43, 5 Aprili 2021 (UTC)
==Kuzuia mtumiaji==
Habari, Kuna mtumiaji ambaye ametumia IP address na kufuta makala kwa kuandika maneno ya kingereza. Nimejaribu kumzuia je nimefanya kitu sahihi? Na je ambavyo nimefanya ndo inavyotakiwa kuwa? Asante sana --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 08:50, 19 Aprili 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Riccardo.
Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:15, 27 Aprili 2021 (UTC)Idd ninga
:Asante kwa kunishirikisha. Mimi pia naona shaka, ila sina utaalamu zaidi. Kwa mambo kama hayo ni afadhali kumuuliza Kipala. Amani kwako pia. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:26, 28 Aprili 2021 (UTC)
== Kigezo cha Redirect ==
Habari, Naomba kuuliza ni kwa namna gani unaweza kuweka redirect. Kuna jamii ya waigizaji filamu wa India nataka niiwekee redirect kuelekea jamii ya waigizaji filamu wa uhindi. Nimejaribu ila sikufanikiwa, naomba mwongozo. Asante! --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 05:45, 29 Aprili 2021 (UTC)
:Kwanza hongera kwa juhudi zako. Pili suala la majina ya nchi linatakiwa bado kujadiliwa. Mfano mmojawapo ni: India au Uhindi? Tatu: kuweka redirect ni rahisi, ila ukielekeza upya jamii, makala za jamii iliyoelekezwa upya hazionekani katika jamii mpya. Inabidi ubadilishe jina la jamii katika kila ukurasa. Labda kuna template maalumu, lakini mimi siijui. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:25, 29 Aprili 2021 (UTC)
==Hongera==
Hongera, nikitazama massview analysis hiyo https://pageviews.toolforge.org/massviews/?platform=all-access&agent=user&source=category&range=latest-20&subjectpage=0&subcategories=1&sort=views&direction=1&view=list&target=https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Watakatifu_Wakristo
Jamii:Watakatifu Wakristo 2021-04-10 - 2021-04-30<br/>
Daily average Totals 3.385 pages 30.090/total 1.433/day<br/>
1 Orodha ya Watakatifu Wakristo 1.482 71 / day
Ingawa naona jamii inajumlisha kurasa nyingi ambazo si watakatifu wenyewe (kama vile watu wengi wa Biblia kwa jumla, mahali kama Roma), hata hivyo kuna wasomaji wengi wanaotafuta huduma hiyo! Ubarikiwe! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:21, 1 Mei 2021 (UTC)
:Asante kwa pongezi. Hata hivyo kuna mengi ambayo siyaelewi katika majedwali hayo... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 05:39, 2 Mei 2021 (UTC)
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Riccardo Riccioni, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:33, 17 Mei 2021 (UTC)
== Makala juu ya umaarufu! ==
Salaam tele.
Unisamehe kwa ukimya wangu, kuna mambo mengi yanaingiliana kwa wakati mmoja. Nimeusoma ujumbe wako na ninakubaliana nao kwa asilimia mia moja. Nilidhani nimeiandika mimi kumbe kumbukumbu zangu zimeyonzwa na msukumo wa maisha!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:28, 30 Mei 2021 (UTC)
== Kuhusu marekebisho ya nakala ya Arthur Schopenhauer ==
Bado sijatosheka na sababu ulizopeana za kufuta aya nyingi nilizowakilisha tawasifu ya mwanafalsafa Arthur Schopenhauer. Mimi ni mzaliwa wa Kenya na nimeongea kiswahili tangu utotoni na nimekua nikisoma Kazi za Schopenhauer kwa miaka zaidi ya saba sasa.
Nilikua na nia ya kuandika nakala zaidi nikifafanua nadharia muhimu za mwanafalsafa huyu lakini katisha tamaa na tabia hii yako ya kufutafuta mawakilisho yangu kiholelaholela.. kama kuna kitu yauelewi niambie kwanza tujadili ama urudishe ujinga yako Italia!! '''[[Mtumiaji:Sinatrasona|Sinatrasona]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Sinatrasona|majadiliano]])''' 11:19, 14 Juni 2021 (UTC)
:Asante kwa tusi lako, ila si utamaduni wetu. Pia ulivyoandika ni uthibitisho kwamba Kiswahili chako si sanifu. Kwa mfano "ujinga yako" si sahihi. Kama ukiona nimefuta kiholela, uwasiliane na mkabidhi mwingine aweke mambo sawa. Amani tele kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:32, 16 Juni 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Riccardo Riccioni}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:05, 19 Juni 2021 (UTC)
== Hello ==
Hello, please save the [[Qaem Shahr]] article and link it to the wiki data item. Thank '''[[Mtumiaji:Viera iran|Viera iran]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Viera iran|majadiliano]])''' 22:45, 24 Julai 2021 (UTC)
==Kukarabisha wageni==
Salamu,Katika ukurasa huu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Ultracounter_nitrogenius wakati namkaribisha nilijikuta nimechapisha sehemu ya kurasa ya mtumiaji bila kugundua, ila baada ya kushtuka nikafuta alama na maneno ya ukaribisho na kwenda kuandika upya tena katika ukurasa wa majadiliano, nisaidie kutazama kama itakuwa sawa na msaada zaidi wa maelekezo iwapo ikitokea nimerudia makosa kama hayo, Amani sana
'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])'''
== Translation request ==
Hello.
Can you translate and upload the article [[:en:Flag of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? It does not need to be long.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Multituberculata|Multituberculata]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Multituberculata|majadiliano]])''' 14:06, 4 Agosti 2021 (UTC)
== Kuzuia mtumiaji ==
Habari ndugu, <br>
Naona umemzuia mtumiaji Awadhi awampo bila kumpa sababu. Naomba kama hautojali kumwandikia sababu ya kumzuia katika kurasa yake ya majadiliano. Asante.<br> Amani kwako '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 10:58, 5 Agosti 2021 (UTC)
:Ndugu, hongera kwa kumtetea mhariri mpya, lakini sijakuelewa. Mbona nilimpa maelekezo tarehe 25 Juni asiyafanyie kazi? Sababu ya kumzuia ni hiyo: kutafsiri kwa kutumia progamu bila kurekebisha matini hata yaeleweke! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:28, 6 Agosti 2021 (UTC)
== Kigezo ya uzuio ==
Naomba uangalie Kigezo:Zuia tafsiri. Itumiwe kwa kunakili '''<nowiki>{{Zuia tafsiri}} ~~~~</nowiki>''' na kuweka kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika, baada ya kumzuia.
Unadhani inafaa? Kesho nataka kufanya zoom meeting saa 2 usiku kuhusu hiyo. Ungeweza kungia? (najua ni saa mbaya kwako...){{Zuia tafsiri}} '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:00, 11 Agosti 2021 (UTC)
== Msaada Tafsiri ==
Habari, nimetunga [[Msaada:Tafsiri]]. Tafadhalia angalia kama inafaa, inaeleweka n.k. Naona wako wachache watakaoisoma maana wako wanaojitahidi. -- Nimeona nitaje pia ContentTranslation. Hadi sasa nimejaribu kuificha. Lakini hao wote wanatumia google, na google haina msaada kutunza fomati. ContentTranslation angalau inasaidia kupata fomati (interwiki, jamii). Ushauri wako? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:31, 12 Agosti 2021 (UTC)
:Kweli, ni afadhali kuliko Google. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:36, 12 Agosti 2021 (UTC)
==Kuzuia==
Habari naona umemzuia Praygood Mwanga, sawa kabisa. Ila naona ni vema kuongeza chini ya kigezo nusu sentensi tunapotaja makala tunayorejelea. Kama ningeelewa vigezo vizuri zaidi, ningeingiza nafasi ndani ya kifupi cha kigezo lakini sijui. Kwa mtu kama yule kijana anayeazisha makala mengi, ni vema kutaja makala husika chini ya kigezo, kabla ya sahihi. Unaonaje? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:19, 19 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
NAona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Upitiaji wa makala==
pitia makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Dougaj pamoja na https://sw.wikipedia.org/wiki/Shule_ya_Sekondari_ya_FPCT_Tumaini nimerekebisha kidogo
'''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 08:16, 11 Septemba 2021 (UTC)
:Sawa, lakini sasa angalia mimi nilivyorekebishwa zaidi ili ujifunze kufanya vizuri zaidi. Amani kwako| --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
== Vimo vya vilele vya Mlima Kenya ==
Riccardo salaam. Wakati ulipoandika vimo vya vilele vya Mlima Kenya, labda ulikuwa umekosea? Ukarasa wa Mlima Kenya una vimo vingine. Amani kwako. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:11, 16 Septemba 2021 (UTC)
:Ni kweli, nimeona hicho, ila nimefuata Wikipedia ya Kisebuano. Kama unaweza kusahihisha, nitashukuru sana. Kinachonifurahisha ni kwamba sasa Wakenya wengi wanasoma Wiki ya Kiswahili! Amani kwako pia! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 15:34, 16 Septemba 2021 (UTC)
== Apology ==
Hello {{u|Riccardo Riccioni}} I hope you're doing well. I'm C1K98V from India. I don't know the language, nor was aware of the sw wikipedia. However, I'm familiar with the policy of wikipedia. I apologize to begin with the wrong step. But my intention was not violate the policy. Please help with expanding the stub subject, creating article associated with India. I upload creative commons license files on wikimedia commons. I assure, I won't create any problem to the community. Please guide me. Thanks for your consideration, stay safe. --[[User:C1K98V|<b style="color:#FF0000">''C1K98V''</b>]] <sup>([[User talk:C1K98V|💬]] [[Special:Contribs/C1K98V|✒️]] [[Special:ListFiles/C1K98V|📂]])</sup> 11:39, 25 Septemba 2021 (UTC)
== Re ==
Grazie per il tuo benvenuto :-) La mia utenza qui è stata creata in conseguenza di una rinomina effettuata, non conosco lo swahili ma fa comunque sempre piacere essere "benvenutati", poter ringraziare in italiano è poi davvero una sorpresa! Grazie e buon lavoro! --'''[[Mtumiaji:Civvì|Civvì]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Civvì|majadiliano]])''' 19:56, 9 Oktoba 2021 (UTC)
==Makala za ufutaji==
Mzee mwenzangu, nisipokosei ulipendekeza makala kadhaa zifutwe, Ila usipopeleka makala hizo kwenye ukurasa wake [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] zitasahauliwa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:38, 28 Novemba 2021 (UTC)
:Ndiyo, najua, lakini siku hizi tunafanya kazi kwa wasiwasi: umeme unakatika muda wowote kwa saa nyingi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 06:03, 29 Novemba 2021 (UTC)
==BwanaHeri==
Asante kwa salamu, nimeiunda kama akaunti mbadala; niliihitaji leo nilitaka kutunga maelezo jinsi ya kujiandikisha kwa matumizi ya barua pepe, na hapo nilihitaji kutumia akaunti mpya ili niweza kuona hatua. Ukiangalia [[Wikipedia:Mwongozo (Kujisajili)]] naomba ukague maelezo chini na. 4) kama ni sahihi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:27, 29 Novemba 2021 (UTC)
== Request translate article about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Hello Riccardo Riccioni, Would you like to translate the article [[en:Isabelle de Charrière]] (Q123386) for the SW Wikipedia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 08:27, 20 Desemba 2021 (UTC)
==Marejeo==
Kama kuna kosa umeliona kwenye tasfiri, rekebisha na ujadili kwenye majadilano ya page husika, na utumie lugha ya upole. Asante. --'''[[Mtumiaji:Halidtz|Halidtz]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Halidtz|majadiliano]])''' 13:20, 25 Desemba 2021 (UTC)
== Interlingue ==
Grazie per il benvenuto. Potresti aiutarmi ad aggiungere qualche informazione in più all'articolo su Interlingue, per favore? --'''[[Mtumiaji:Caro de Segeda|Caro de Segeda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Caro de Segeda|majadiliano]])''' 12:34, 31 Desemba 2021 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
== Looking for French speakers ==
Hello, Riccardo. I am looking for French speakers, especially French speakers from Africa who use mobile devices for editing. Do you know of anyone here at the Kiswahili Wikipedia who might be interested in talking to me? The goal is to make it easier for people using a smartphone to post on a talk page. You can see the current status on this page by clicking on this link: https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Riccardo_Riccioni?dtenable=1 – but it's still too hard, and it isn't available on the mobile site yet. Please let me know if you could recommend any editors who might be affected. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:28, 1 Februari 2022 (UTC)
:@[[Mtumiaji:SJ|SJ]], @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], @[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]], @[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]], perhaps one of you knows an editor who might edit the French or Arabic Wikipedias from a smartphone. '''[[Mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|Whatamidoing (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Whatamidoing (WMF)|majadiliano]])''' 20:48, 1 Februari 2022 (UTC)
::No I don't know anyone.
::'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 12:33, 11 Machi 2022 (UTC)
== Come stai? ==
Carissimo Riccardo, Pace!
Come stai? Quì sembra che stiamo migliorando, da ieri non abbiamo più l'obbligo di mascherine all'aperto, anche se l'attenzione è sempre alta. Io e la mia famiglia stiamo bene.
Volevo chiederti un piccolo favore, quando avessi due minuti di tempo: potresti tradurmi in Swahili la didascalia della mia foto nella mia pagina personale? Grazie mille di tutto e buon fine settimana, a presto. '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 23:20, 11 Februari 2022 (UTC)
: Grazie infinite, sempre (come diceva il mio amico trappista brasiliano frei Manù) ''em comunhão''!!! '''[[Mtumiaji:Rei Momo|Rei Momo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rei Momo|majadiliano]])''' 13:57, 12 Februari 2022 (UTC)
== Global IP block exemption ==
Hello, I saw your request o er at Kipala's talk page and I think there's one way to fix your problem. Since your IP has been blocked as an Open Proxy, it cannot be unblocked rather you can request Global IP block exemption. Email stewards@wikimedia.org . Include:
*the IP mentioned in the error message you got
*the username you use
* why you need to use Tor or the Open Proxy
Hope this helps. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 18:53, 12 Februari 2022 (UTC)
== Incorrect block ==
Hello. [[User:EthanGaming7640]] undo vandalism. Please see his contributions. Thank you! '''[[Mtumiaji:AlPaD|AlPaD]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AlPaD|majadiliano]])''' 15:29, 17 Februari 2022 (UTC)
:Hiki ni kizuizi kisicho sahihi. Mtumiaji alikuwa akifanya uhariri mzuri. Tafadhali kagua. Asante. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 15:41, 17 Februari 2022 (UTC)
::He has 1 edit only on this wikipedia which was absolutely destructive, inserting gibberish. Here we block indefinitely for such behaviour. Are you sockpuppets? Complain to Meta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 17 Februari 2022 (UTC)
:::I am a former administrator with over 30,000 edits on multiple projects. If you look at the change, he was removing the gibberish. You can also see extensive work cross-wiki for his account. '''[[Mtumiaji:Griffinofwales|Griffinofwales]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Griffinofwales|majadiliano]])''' 18:56, 18 Februari 2022 (UTC)
::::That seems to have been a mixup. He is unblocked, thanks for pointing to it. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:58, 18 Februari 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Riccardo Riccioni}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 11:24, 11 Machi 2022 (UTC)
:asante @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] sana kwa Marekebisho yako kwenye makala ninazo edit maan mimi bado ni mwanafunzi mchanga kabsa bashukuru sana najifunza kila unapo nirekebisha tuwasiliane kwa barua pepe '''[[Mtumiaji:Ceasar255|Ceasar255]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ceasar255|majadiliano]])''' 18:52, 2 Aprili 2022 (UTC)
==Msaada wa utengenezaji wa (infobox:football biografy)==
Salaam nimeona wewe ni mtaalamu naomba unisaidie kutengeneza (kigezo:infobox) kwaajili ya makala za wachezaji nimeona kwenye wikipedia ya kingereza kwakweli inapendeza mfano kama hii ({{cite|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Template:Infobox_football_biography}} ) amani,sana '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
:Ndugu, ni kweli masanduku yanapendeza, ila mimi siyatengenezi kwa kuwa si mtaalamu zaidi. Umuulize [[mtumiaji:Muddyb|Muddyb]]. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:41, 22 Machi 2022 (UTC)
::sawa sawa '''[[Mtumiaji:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein m mmbaga|majadiliano]])''' 07:45, 22 Machi 2022 (UTC)
== Goodbye ==
Hi Riccardo Riccioni, I'm going to block globally because I made the bad translations.--'''[[Mtumiaji:Martorellpedro|Martorellpedro]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Martorellpedro|majadiliano]])''' 19:18, 15 Mei 2022 (UTC)
== Riccardo sijui kuhariri (kuchangis) Kwa kutumia smartphone he nifanyeje?? ==
Learning Jr 10:51, 2 Juni 2022 (UTC)
:Samahani, mimi hata simu sina... Sijui ufanyeje. Umuulize mkabidhi mwingine yeyote. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 07:23, 3 Juni 2022 (UTC)
::Naona kuhariri kwa simu itakuwa changamoto kwa wengi, pia kwake [[Mtumiaji:Tomson G Wiston|Tomson G Wiston]]. Nikiangalia swali lake, tayari ameshakosea mara 2 tahajia ("kuchangis" badala ya "kuchangia"; "he" badala ya "je"). Si rahisi kuharir vema ukiwa na simu tu. Hakika asijaribu matini ndefu. Menginevyo anahitaji tu nafasi ya kujiunga na intaneti, simu janja halafu aingie sw.m.wikipedia.org na kuhariri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:37, 3 Juni 2022 (UTC)
== Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]] ==
Unda ukurasa [[Parvej Husen Talukder]]. Parvej Husen Talukder ni mshairi na mwandishi wa Bangladeshi. '''[[Mtumiaji:Rnwiki-global|Rnwiki-global]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rnwiki-global|majadiliano]])''' 00:48, 16 Juni 2022 (UTC)
== Manii na shahawa ==
Riccardo salaam. Umeshasoma toleo la mwisho la makala kuhusu shahawa? Nilitaka kupea shahawa ufafanuzi tofauti kwa manii. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 13:36, 21 Juni 2022 (UTC)
:Salamu nyingi kwako! Natumaini unazidi kupona. Ndiyo, nimeona jaribio lako, lakini sijaelewa tofauti iko wapi. Nimeangalia kamusi mbalimbali, zinaonyesha ni visawe. Amani kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 08:38, 22 Juni 2022 (UTC)
::Asante. Ninaendelea kupona. Shida tatu zimeisha, lakini moja inabaki. Ni kweli kama kamusi nyingi zinasema kwamba maneno haya ni visawe. Lakini Kamusi sanifu ya Biolojia, Fizikia na Kemia inapendelea manii kwa sperm na shahawa kwa semen. Sperm na semen ni tofauti. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 11:21, 22 Juni 2022 (UTC)
::ni kwanini nikiweka biography yangu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] anai futa? wakati sijakosea chochote '''[[Mtumiaji:Jamespromax|Jamespromax]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jamespromax|majadiliano]])''' 14:52, 14 Julai 2022 (UTC)
== Ukurasa wa Sigebert III ==
Habari ndugu,
Nimejaribu kupitia makala ya Sigebert na kuona makala iliyoandikwa haikuwa na uwiano na makala ya kiingereza. Nimejaribu kuirekebisha waweza kuipitia na kuona ilivyo sasa. Katika jina la makala pia naona ulikosea (au ndo ilivyo?).
Amani kwako. '''[[Mtumiaji:Magotech|MagoTech Tanzania]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Magotech|majadiliano]])''' 15:52, 25 Julai 2022 (UTC)
== Ukarasa wa majadiliano wa "Katimawan2005" ==
Habari ndugu Riccardo,
Samahani ninaomba msaada kwenye ukurasa wa mtumiaji "Katimawan2005" uweze kuupitia na kufuta kili nilichochapisha kimakosa wakati ninamtumia salaam ya ukaribisho kwenye wikipedia ya kiswahili, kama ndugu "Kipala" alivyosema kule kwenye group la telegram kuwa hata sisi ambao sio wakabidhi tutoe msaada kwenye kutuma salaam ya ukaribisho kwa kila mtumiaji aliejiunga na Wikipedia ya kiswahili ambaye alikua bado hajapokea salam hiyo.
Asante. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:38, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Sioni shida yoyote kwa sasa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 12:05, 7 Agosti 2022 (UTC)
::Asante sana naona umeshakuwa sawa ndio. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 08:12, 8 Agosti 2022 (UTC)
== Msaada wa kuandika Makala ya Mtandao wa jamiiTalk na Mwanzilishi wake ==
Habari Wana Wikia kama kuna yeyote wa kuwekeza kuandika makala ya Mtandao wa jamiiTalk na Mwanzilishi wake asaidie.
Kwa Maswali zaidi nashauri kumuulize Mwanzilishi wake kwenye Akaunti yake ya JamiiTalk
mymol3j9l7kq3ihmx50d48v5ado1auz
Leonard Euler
0
19189
1241834
1107151
2022-08-10T15:00:15Z
Tkihampa
55424
Added content
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Leonhard Euler.jpg|thumb|right|Leonhard Euler]]
'''Leonhard Euler''' (tamka ''oiler'') ([[15 Aprili]] [[1707]] – [[7 Septemba]] [[1783]]) alikuwa [[mtaalamu]] wa [[hisabati]] na [[fizikia]] kutoka nchini [[Uswisi]]. Hata hivyo, sehemu kubwa ya [[maisha]] yake alikaa [[Ujerumani]] na [[Urusi]].
Neno alilotamka wakati umauti unamkuta ni sasa nakufa
Alitunga maneno mengi yanayoendelea kutumiwa hadi leo na wanahisabati; alianza kutumia [[alama]] kama [[Pi (namba)|π]] kama [[namba]] ya [[duara]] au ∑ kwa jumla ya [[hesabu]].
{{mbegu-mwanasayansi}}
{{BD|1707|1783|Euler, Leonhard}}
[[Jamii:Wanahisabati wa Uswisi|Euler]]
[[Jamii:Wanafizikia wa Uswisi|Euler]]
taigzcwh0v9yidx3gttkxupa5seia3g
Madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa
0
35063
1241825
1234560
2022-08-10T12:09:59Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.9
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
'''Madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa''', likiwa pamoja na ongezeko la [[joto]] [[duniani]], ni mada muhimu sana, hasa kwa [[mazingira]] na [[maisha]] ya [[binadamu]]. Ushahidi unaoonyesha mabadiliko ya [[hali ya hewa]] ni pamoja na [[Kupanda kwa halijoto duniani|rekodi muhimu ya kipimo joto]], kupanda kwa [[maji]] ya [[bahari]], na kupungua kwa kiwango kilichofunikwa na [[theluji]] katika [[ulimwengu]].<ref name="WGI AR4 SPM" />
Kulingana na Ripoti ya Uchunguzi ya Nne ya IPCC, mengikati ya maongezeko ya vipimo vya joto vya wastani [[duniani]] tangu katikati ya [[karne ya 20]] ''huenda'' ni kwa sababu ya ongezeko la wingi wa [[Dioksidi kabonia|hewaukaa]] inayotokana na binadamu. Inatabiriwa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa katika siku za usoni yatahusisha ongezeko kubwa zaidi la joto duniani, kupanda kwa kiwango cha [[maji]] baharini, na uwezekano wa kupanda kwa wingi wa matukio ya hali mbaya ya [[hewa]]. [[Mazingira]] huonekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kuathiriwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Mifumo ya kibinadamu huonekana kama yenye kubadilika katika uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ya siku za usoni.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Ili kupunguza hatari hizo, nchi nyingi zimebuni sera zinazolenga kupunguza [[uzalishaji]] wao wa gesi chafu.
==Muhtasari==
Katika kipindi cha miaka mia hivi kilichopita, rekodi ya joto imeonyesha mwelekeo wa hali ya anga ambapo kipimo cha joto kimepanda, yaani, ongezeko la joto Duniani. Mabadiliko mengine ambayo yameonekana ni pamoja na [[kupunguka kwa eneo la Aktiki]], [[Kutolewa kwa gesi ya metheni katika eneo la Aktiki]], kutolewa kwa gesi ya Kaboni iliyo ardhini katika maeneo yenye mchanga uliofanywa kuwa kama barafu na [[Kutolewa kwa gesi ya metheni]] katika madongedonge ya [[pwani]], na kupanda kwa [[uwiano wa bahari]].<ref>{{Cite web |url=http://newscenter.lbl.gov/feature-stories/2008/09/17/impacts-on-the-threshold-of-abrupt-climate-changes/ |title= IMPACTS: On the Threshold of Abrupt Climate Changes |accessdate=2008-10-14 |work= IMPACTS: On the Threshold of Abrupt Climate Changes |publisher= [[U.S. Department of Energy]]’s Office of Biological and Environmental Research |month= Septemba |year= 2008}}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.independent.co.uk/news/science/hundreds-of-methane-plumes-discovered-941456.html |title= Hundreds of methane 'plumes' discovered |accessdate=2008-10-14 |work= Hundreds of methane 'plumes' discovered |publisher= [[The Independent]] |month= Septemba |year= 2008}}</ref>
Kipimo cha joto cha wastani duniani kinatabiriwa kupanda, pamoja na uwezekano wa visa vya matukio mabaya ya hali ya hewa, na mabadiliko ya ruwaza za [[mvua]]. Tukisonga kutoka hali ya maeneo makubwa Duniani hadi hali ya maeneo madogo, kuna ongezeko la uhakika kuhusu jinsi hali ya hewa itakavyobadilika. Uwezekano wa ongezeko la joto kuwa na matokeo ambayo hayakuwa yametarajiwa awali, unaongezeka na kiwango, ukubwa na muda wa mabadiliko ya hali ya hewa.<ref>{{Cite web |url=http://books.nap.edu/openbook.php?record_id=10136&page=1
|title= Executive Summary
|accessdate=2007-05-07
|format= [[PHP]]
|work= Abrupt Climate Change: Inevitable Surprises
|publisher=[[United States National Academy of Sciences]]
|month= Juni
|year= 2002}}</ref> Some of the physical impacts of climate change are irreversible at continental and global scales.<ref name="noaanews.noaa.gov">{{Cite pressrelease
|title=New Study Shows Climate Change Largely Irreversible
|url=http://www.noaanews.noaa.gov/stories2009/20090126_climate.html
|publisher=[[NOAA]]
|year=2009
|day=26
|month=Jan
|access-date=2010-01-15
|archivedate=2009-08-25
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090825053534/http://www.noaanews.noaa.gov/stories2009/20090126_climate.html
|deadurl=yes
}}</ref> Eneo la bahari lenye maji linatarajiwa kupanda hadi kati ya sentimita 18 na 59 (inchi 7.1 hadi 23.2) kufikia mwwisho wa karne ya 21. Kwa sababu ya ukosefu wa maarifa ya kutosha ya kisayansi, makisio haya ya kupanda huku kwa kiwango cha bahari chenye maji hayajumuishi mchango utakaofanywa na mabati ya barafu.<ref name="WGI AR4 SPM">{{Cite web
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg1/ar4-wg1-spm.pdf
|title=Summary for Policymakers
|work=Climate Change 2007: The Physical Science Basis. Contribution of Working Group I to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change
|accessdate=2007-02-02
|date=2007-02-05
|publisher=[[Intergovernmental Panel on Climate Change]]}}</ref> Kupunguka kwa Slowing of the [[Mzunguko wa Joto na vyuma|Mzunguko wa Kimeridia wa Kupinduka]] una uwezekano mkubwa wa kufanyika katika karne hii, lakini vipimo vya joto katika eneo la Atlantiki na Ulaya huenda vikawa vikubwa zaidi kwa sababu ya ongezeko la joto duniani.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Kwa joto duniani kuongezeka kwa kiwango cha 1-4°C (ikilinganisha kipindi cha kati ya mwaka wa 1990 hadi mwaka wa 2000), kuna uwezekano wa wastani kwamba kuyeyuka kwa sehemu kwa [[Bati la barafu la Greenland]] kutatendeka kwa kipindi cha karne nyingi na milenia. Ikihusisha uwezekano wa mchango wa kuyeyushwa kwa sehemu ya [[Bati la barafu la eneo la Magharibi mwa Antaktiki]], eneo lenye maji baharini litapanda kwa kiwango cha kati ya mita 4 na 6 au zaidi.<ref name="WG2 AR4 SPM" />
Matokeo yatakaodhihirika katika mifumo ya kibinadamu ya mabadiliko ya hali ya anga pengine yatazambazwa kwa pamoja. Baadhi ya maeneo na sekta yanatarajiwa kufaidika ilhali mengine yataathirika na gharama. Huku kukiwa na idadi zaidi za ongezeko la joto (zaidi ya 2-3°C, ikilinganishwa na viwango vya mwaka wa 1990), kuna uwezekano kuwa faida zitapungua na gharama kuongezeka.<ref name="WG2 AR4 SPM">{{Cite book | url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-spm.pdf | format=[[Portable Document Format|PDF]] | title=Summary for Policymakers. Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change | accessdate=2007-11-30 | year=2007 | author=[[Intergovernmental Panel on Climate Change]] | editors=M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E.Hanson | publisher=[[Cambridge University Press]], Cambridge, UK | pages=7–22 | archive-date=2018-01-13 | archive-url=https://web.archive.org/web/20180113141313/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-spm.pdf | dead-url=yes }}</ref> Maeneo ya [[urefu]] wa chini na maeneo ambayo hayajaendelea sana pengine yamo katika hatari kuu ya mabadiliko ya hali ya anga. Huku uwezo wa mifumo ya kibinadamu [[kukabiliana na kubadilika kwa hali ya anga|kukabiliana]] na athari za kubadilika kwa hali ya anga ni mkubwa, ingawa bei ya kufanya mabadiliko hayaeleweki kwa kina na yana uwezekano wa kuwa makubwa.<ref name=ipccwg2c19>{{Cite web
|date=2007
|title=Assessing key vulnerabilities and the risk from climate change. ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=[[Cambridge University Press]]
|author=Schneider, S.H., S. Semenov, A. Patwardhan, I. Burton, C.H.D. Magadza, M. Oppenheimer, A.B. Pittock, A. Rahman, J.B. Smith, A. Suarez and F. Yamin. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter19.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140923002713/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter19.pdf
|archivedate=2014-09-23
}}</ref> Kuna uwezekano kuwa mabadiliko ya hali ya anga yatasababisha kupungua katika utofauti wa mifumo ya kiikolojia na kupotea kwa spishi nyingi. Uwezo wa kufanya mabadiliko wa mifumo ya [[kibaiolojia]] na mifumo ya [[Kijiofizikia]] inakadiriwa kuwa ya chini kuliko ya mifumo ya kibinadamu.
==Athari za kimwili==
===Athari katika hali ya hewa===
Kuongezeka kwa joto huenda kukaongeza kiasi cha usimbishaji <ref name="ar4wg1a">{{Cite web |publisher= [[Intergovernmental Panel on Climate Change]] |author= Houghton, J.T.,Y. Ding, D.J. Griggs, M. Noguer, P.J. van der Linden, X. Dai, K.Maskell, and C.A. Johnson |title= Climate Change 2001: The Scientific Basis. Contribution of Working Group I to the Third Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change. Human influences will continue to change atmospheric composition throughout the 21st century. |url= http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/008.htm |accessdate= 2007-12-03 |year= 2001 |archiveurl= https://web.archive.org/web/20071231162245/http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/008.htm |archivedate= 2007-12-31 }}</ref><ref>{{Cite web |publisher= [[Intergovernmental Panel on Climate Change]] |editor= Houghton, J.T.,Y. Ding, D.J. Griggs, M. Noguer, P.J. van der Linden, X. Dai, K.Maskell, and C.A. Johnson |title= Climate Change 2001: The Scientific Basis. Contribution of Working Group I to the Third Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change. Precipitation and Convection. |author= U. Cubasch, G.A. Meehl, et al. |url= http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/365.htm |accessdate= 2007-12-03 |accessyear= |year= 2001 |archiveurl= https://web.archive.org/web/20071122014937/http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/365.htm |archivedate= 2007-11-22 }}</ref> Lakini haijulikani kwa kweli jinsi ongezeko la joto litakavyoathiri dhoruba. Dhoruba zinazopatikana nje ya maeneo ya Kitropiki hutegemea [[gredienti ya kipimo cha joto]], ambacho kinatabiriwa kuwa dhaifu kuzidi katika Ulimwengu wa kaskazini huku kanda la ncha ya eneo la kaskazini mwa Ulimwengu likizidi kuwa na joto jingi kuliko maeneo mengine katika ulimwengu wa kasakazini.<ref>{{Cite web |publisher= [[Intergovernmental Panel on Climate Change]] |editor= Houghton, J.T.,Y. Ding, D.J. Griggs, M. Noguer, P.J. van der Linden, X. Dai, K.Maskell, and C.A. Johnson |title= Climate Change 2001: The Scientific Basis. Contribution of Working Group I to the Third Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change. Extra-tropical storms. |author= U. Cubasch, G.A. Meehl, et al. |url= http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/366.htm |accessdate= 2007-12-03 |accessyear= |year= 2001 |archiveurl= https://web.archive.org/web/20071123190203/http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/366.htm |archivedate= 2007-11-23 }}</ref>
====Hali kali za hewa ====
[[Image:Trends in natural disasters.jpg|thumb|right|Ongezeko la joto Duniani huenda limechangia mienendo ya majanda ya kimaumbile kama vile [[hali kali ya hewa]].]]
Kulingana na makadirio ya siku zijazo ya mabadiliko ya hali ya hewa, ripoti ya IPCC imetabiri mengi.<ref name="WGI AR4 SPM" /> Imetabiriwa kuwa katika maeneo mengi ya nchi, idadi ya vipindi vya joto au [[mawimbi ya joto]] yana uwezekano mkubwa wa kupanda. Kuna uwezekano kuwa:
* Maeneo mengi zaidi yataathirika na [[ukame]]
* Pia kutakuwa na matukio ya [[saikloni za Kitrpiki]] mengi
* Pia matukio ya kukithiri kwa kiwango cha kiwango chenye maji baharini (bila kuhesabu [[tsunami]])
Nguvu ya dhoruba itakayosababisha hali kali ya hewa inazidi kuongezeka, kama vile kipimo cha nguvu zinazotolewa na harikeni.<ref>{{Cite web |url=http://www.realclimate.org/index.php?p=181 |title=Hurricanes and Global Warming - Is There a Connection?|publisher=Real Climate|accessdate=2007-12-03|author=Stefan Rahmstorf, Michael Mann, Rasmus Benestad, Gavin Schmidt, and William Connolley}}</ref> [[Kerry Emanuel]] anaandika kuwa nguvu zinazotokana na harikeni zinategemea sana kiwango cha joto, hivyo kuashiria ongezeko la joto Duniani.<ref>{{Cite journal |url=ftp://texmex.mit.edu/pub/emanuel/PAPERS/NATURE03906.pdf |title=Increasing destructiveness of tropical cyclones over the past 30 years|last=Emanuel|first=Kerry |journal=[[Nature (journal)|Nature]] |year=2005 |volume=436 |pages=686–688 |doi=10.1038/nature03906|format=PDF}}</ref> Hata hivyo, masomo zaidi yaliyofanywa na Emanuel kwa kutumia mifano zaidi ya mapato yalihitimisha kuwa kuongezeka huku kwa nguvu zinazotokana na na dhoruba katika miongo ya hivi karibuni hakuwezi kuhusishwa kwa kipekee na ongezeko la joto Duniani.<ref>{{Cite journal |url=ftp://texmex.mit.edu/pub/emanuel/PAPERS/Emanuel_etal_2008.pdf |title=Hurricanes and global warming: Results from downscaling IPCC AR4 simulations|last=Emanuel|first=Kerry |journal=[[Bulletin of the American Meteorological Society]] |year=2008 |volume=89 |pages=347–367 |doi=10.1175/BAMS-89-3-347|format=PDF |first2=Ragoth |first3=John}}</ref> Kufanywa kwa mifano ya harikeni pia kumetoa matokeo yanayofanana, kupata kuwa harikeni, zikundwa katika maeneo yanayotoa viwango vingi zaidi vya Kaboni monoksaidi (CO<sub>2</sub>), vina nguvu zaidi, hata hivyo, idadi ya harikeni itapungua.<ref>{{Cite journal|doi=10.1038/ngeo202|title=Simulated reduction in Atlantic hurricane frequency under twenty-first-century warming conditions|year=2008|author=Knutson, Thomas R.|journal=Nature Geoscience|volume=3|pages=11|first2=Joseph J.|first3=Stephen T.|first4=Gabriel A.|first5=Isaac M.}}</ref> Ulimwenguni kote, uwiano wa [[harikeni]] zinazofikia [[Kipimo cha Saffir–Simpson cha Harikeni|kiwango cha 4 au 5]] – kikiambatana na kasi za upepo za zaidi ya mita 56 kila sekunde – umepnada kutoka 20% katika miaka ya 1970 hadi 35% katika miaka ya 1990.<ref>{{Cite news |url=http://www.newscientist.com/article.ns?id=dn8002 |title=Warming world blamed for more strong hurricanes |first=Fred |last=Pearce |publisher=[[New Scientist]] |date=2005-09-15 |accessdate=2007-12-03 |archivedate=2006-05-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060509072619/http://www.newscientist.com/article.ns?id=dn8002 }}</ref> Usimbishaji nchini Marekani kutokana na harikeni umepanda kwa zaidi ya 7% katika karne ya ishirini.<ref>{{Cite news| url=http://www.newscientist.com/channel/earth/climate-change/mg18625054.800 |title=Global warming will bring fiercer hurricanes|publisher=New Scientist Environment |date= 2005-06-25 |accessdate=2007-12-03}}</ref><ref>{{Cite news| url=http://www.noaanews.noaa.gov/stories2006/s2622.htm |title=Area Where Hurricanes Develop is Warmer, Say NOAA Scientists |publisher=[[NOAA]] News Online |date=2006-05-01 |accessdate=2007-12-03}}</ref><ref>{{Cite news |url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1109337,00.html |title=Global Warming: The Culprit? |last=Kluger |first=Jeffrey |publisher=[[Time (magazine)|Time]] |date=2005-09-26 |accessdate=2007-12-03 |archivedate=2009-03-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090311061211/http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1109337,00.html }}</ref> Kiwango ambacho hili limesababishwa na ongezeko la joto Duniani kinyume na [[Kuyumbayumba kwa Miongo mingi wa Kiatlantiki]] hauleweki vizuri. Baadhi ya utafiti umepata kuwa ongezeko la [[joto la uso wa bahari]] unaweza kuanzishwa na ongezeko la [[upepo wa kukata]], hivyo basi kusababisha mabadiliko madogo au hata kutosababisha mabadiliko yoyote ya shughuli za harikeni.<ref>{{Cite web |url=http://www.livescience.com/environment/070417_wind_shear.html |title=Study: Global Warming Could Hinder Hurricanes|author=Thompson, Andrea|publisher=LiveScience|date= 2007-04-17|accessdate=2007-12-06}}</ref> Hoyos ''pamoja na watafiti wengine.'' (2006) wamehusisha mwenendo wa ongezeko wa iadi ya harikeni za jamii ya 4 na 5 kwa kipindi kati ya 1970-2004 moja kwa moja na mwenendo wa vipimo vya joto vya uso wa bahari.<ref name="Hoyos2006">{{Cite journal |last=Hoyos |first=Carlos D. |authorlink= |coauthors= |year=2006 |month= |title=Deconvolution of the Factors Contributing to the Increase in Global Hurricane Intensity |journal=Science |volume=312 |issue=5770 |pages=94–97 |doi=10.1126/science.1123560 |url= |accessdate= |quote=|pmid=16543416 |first2=PA |first3=PJ |first4=JA }}</ref>
Ongezeko la majanga yanayotokana na hali kali ya hewa husababishwa hasa na ongezeko la idadi ya watu katika kila eneo mraba, na matarajio ya kuongezeka kwingi zaidi katika katika siku za usoni.<ref name="Pielke2008">{{Cite journal | last = Pielke | first = Roger A., Jr. | authorlink = | coauthors = ''et al.'' | year = 2008 | month = | title = Normalized Hurricane Damage in the United States: 1900–2005 | journal = Natural Hazards Review | volume = 9 | issue = 1 | pages = 29–42 | doi = 10.1061/(ASCE)1527-6988(2008)9:1(29) | url = http://forecast.mssl.ucl.ac.uk/shadow/docs/Pielkeetal2006a.pdf | accessdate = | quote = | format = PDF | archive-date = 2009-03-25 | archive-url = https://web.archive.org/web/20090325193610/http://forecast.mssl.ucl.ac.uk/shadow/docs/Pielkeetal2006a.pdf | dead-url = yes }}</ref> [[Shirika la Dunia la Somo la Hali ya Hewa]] linaelezea kuwa “ingawa kuna ushahidi wa na dhidi ya kuwa na ishara inayoweza kupimika ya kianthropojeniki katika hali ya anga ya rekodi ya saikloni ya kitropiki hadi wa leo, hakuna hitimisho maalum linaloweza kufanywa kuhusu hoja hii.”<ref name="WMO-IWTC">{{Cite press release |title=Summary Statement on Tropical Cyclones and Climate Change |publisher=World Meteorological Organization |date=2006-12-04 |url=http://www.wmo.int/pages/prog/arep/press_releases/2006/pdf/iwtc_summary.pdf |format=PDF |language= |accessdate= |quote= }}</ref> Pia waliifanya kuwa wazi kuwa “hakuna saikloni moja ya kitropiki ambayo inayoweza kuhusishwa moja kwa moja na mabadiliko ya hali ya anga.”<ref name="WMO-IWTC" />
[[Thomas Knutson]] na Robert E. Tuleya wa [[NOAA]] walisema mnamo mwaka wa 2004 kuwa ongezeko la joto uliowezeshwa na [[gesi za nyumba za kijani kibichi]] huenda zikasababisha ongezeko la matukio ya dhoruba za jamii ya 5 ambazo husababisha uharibifu mwingi.<ref>{{Cite journal|author = Knutson, Thomas R. and Robert E. Tuleya|title= Impact of CO<sub>2</sub>-Induced Warming on Simulated Hurricane Intensity and Precipitation:Sensitivity to the Choice of Climate Model and Convective Parameterization|journal=Journal of Climate|volume=17|issue=18|year=2004|pages=3477–3494 |url=http://www.gfdl.noaa.gov/reference/bibliography/2004/tk0401.pdf|doi=10.1175/1520-0442(2004)017<3477:IOCWOS>2.0.CO;2|format=PDF}}</ref> Mnamo mwaka wa 2008, Knutson ''pamoja na watafiti wengine.'' Alipata kuwa idadi ya harikeni za Kiatlantiki na dhoruba za Kitropiki zingepungua kufuatia ongezeko la joto litakalosababishwa na gesi za nyumba za kijani kibichi katika siku za usoni.<ref name="Knutson2008">{{Cite journal |last=Knutson |first=Thomas |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2008 |month= |title=Simulated reduction in Atlantic hurricane frequency under twenty-first-century warming conditions |journal=[[Nature Geoscience]] |volume=1 |issue=6 |pages=359–364 |doi=10.1038/ngeo202 |url= |accessdate= |quote= }}</ref> Vecchi na Soden wanapata kuwa makadirio ya [[upepo wa kukata]], ambayo yanapoongezeka yanapunguza [[saikloni za kitropiki]], pia kunabadilisha mifano iliyotabiriwa ya ongezeko la joto. Kuna makadirio ya ongezeko la idadi ya [[upepo wa kukata]] katika Atlantiki ya Kitropiki na Pasifiki ya Mashariki inayohusishwa na kupungua kwa kipimo cha [[Mzunguko wa Walker]], na pia kupungua kwa kukata kwa upepo katika eneo la magharibi na kati la Pasifiki.<ref>{{Cite web |url=http://www.gfdl.noaa.gov/~gav/ipcc_shears.html |title=IPCC Projections and Hurricanes |publisher=Geophysical Fluids Dynamic Laboratory|accessdate=2007-12-06|author=Brian Soden and Gabriel Vecchi}}</ref> Utafiti huo haufanyi makadirio kuhusu madhara kwa harikeni za eneo la Atlantiki na Pasifiki ya mashariki kuhusu anga inayozidi kuwa na joto na unyevunyevu, na mfano uliotaboriwa unaongezeka katika upepo wa kukata wa eneo la Atlantiki.<ref>{{Cite journal |last= Vecchi |first= Gabriel A. |coauthors= Brian J. Soden |date= 2007-04-18 |title= Increased tropical Atlantic wind shear in model projections of global warming |journal= [[Geophysical Research Letters]] |volume= 34 |issue= L08702 |pages= 1–5 |doi= 10.1029/2006GL028905 |url= http://www.gfdl.noaa.gov/reference/bibliography/2007/gav0701.pdf |format= PDF |accessdate= 2007-04-21}}</ref>
Hatari kubwa zaidi ya hali kali ya hewa haimaanishi hatari kubwa iliyo wazi ya hali ya hewa ambayo haifanani na ile ya wastani.<ref>{{Cite web |url=http://www.climateprediction.net/science/pubs/ccs_allen.pdf |author=Myles Allen |authorlink=Myles Allen |publisher=climateprediction.net |accessdate=2007-11-30 |title=The Spectre of Liability |format=PDF |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071128074237/http://www.climateprediction.net/science/pubs/ccs_allen.pdf |archivedate=2007-11-28 }}</ref> Hata hivyo, ushahidi ni wazi kuwa hali kali ya hewa na mvua ya wastani pia vinaongezeka. Kuongezeka kwa joto kunatarajiwa kuzalisha mawimbi makali zaidi juu ya ardhi na idadi kubwa zaidi ya dhoruba kali sana.<ref>{{Cite journal|last = Del Genio | first = Tony | coauthors = ''et al.''|title=Will moist convection be stronger in a warmer climate?|journal = Geophysical Research Letters | volume = 34 | doi = 10.1029/2007GL030525|year=2007|pages=L16703}}</ref>
====Kuongezeka kwa uvukizi====
[[Image:BAMS climate assess boulder water vapor 2002 - 2.png|thumb|left|200px|Kuongezeka kwa maji yanayotokana na uvukizi katika eneo la Boulder, Colorado.]]
Katika kipindi cha karne ya 20th, viwango vywa uvukizi vimepungua duniani kote <ref>{{Cite journal | url=http://www.nature.com/nature/journal/v377/n6551/abs/377687b0.html| title=Evaporation losing its strength |first=T. C. |last=Peterson |coauthors= V. S. Golubev, P. Ya. Groisman |journal= [[Nature (journal)|Nature]]|date= 26 Oktoba 2002|volume=377|pages=687–688| doi=10.1038/377687b0| format=abstract}}</ref>; hili linadhaniwa na wengi kuweza kuelezewa kupitia [[kufifia Duniani]]. Kadiri hali ya anga inavyozidi kuwa moto na sababu za kufifia Duniani kunapunguzwa, [[uvukizi]] utazidi kwa sababu ya bahari yenye joto zaidi. Kwa sababu Dunia ni mfumo uliofungwa hili litasababisha viwangi vingi zaidi vya [[mvua]], pamoja na [[mmomonyoko]]. Mmomonyoko huu, kwa upande mwingine, unaweza katika maeneo ya kitropiki ambao yamo hatarini (hasa Barani Afrika) kusababisha [[kuenea kwa majangwa]]. Kwa upande mwingine, katika maeneo mengine, ongezeko la mvua litasababisha kukuwa kwa misitu katika maeneo kavu yenye majangwa.
Wanasayansi wamepata ushahidi kuwa ongezeko la uvukizi kunaweza kusababisha [[hali ya hewa]] kali zaidi kadiri ongezeko la joto Duniani linapoendelea. Ripoti ya kila mwaka ya tatu ya IPCC inasema: "...wingi wa wastani Duniani wa mvuke na usimbishaji unakadiriwa kuongezeka katika karne ya 21. Kufikia nusu ya pili ya karne ya 21, kuna uwezekano kuwa usimbishaji utakuwa umeongezeka katika maeneo ya kilatitudo ya kati na ya juu ya kaskazini na [[Antaktika]] katika majira ya baridi. Katika latitiudi za chini ikuna kupunguka na kuongezeka katika maeneo juu ya ardhi. Tofauti kubwa zaidi za mwaka mmoja hadi mwingine za usimbishaji ina uwezekano wa kufanyika katika maeneo mengi ambapo ongezeko la usimbishaji wa wastani umetabiriwa."<ref name="ar4wg1a" /><ref>{{Cite web |publisher= [[Intergovernmental Panel on Climate Change]] |editor= Houghton, J.T.,Y. Ding, D.J. Griggs, M. Noguer, P.J. van der Linden, X. Dai, K.Maskell, and C.A. Johnson |title= Climate Change 2001: The Scientific Basis. Contribution of Working Group I to the Third Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change. Precipitation and Convection. |author= U. Cubasch, G.A. Meehl, et al. |url= http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/364.htm |accessdate= 2007-12-03 |accessyear= |year= 2001 |archiveurl= https://web.archive.org/web/20071209083441/http://www.grida.no/climate/ipcc_tar/wg1/364.htm |archivedate= 2007-12-09 }}</ref>
====Gharama itakayotokana na hali kali zaidi ya hewa====
Kwa mujibu wa maelezeo ya [[Shirika la Kimataifa la Somo la Hali ya Hewa]], “Ongezeko la hivi karibuni la athari ya kijamii kutokana na saikloni za kitropiki imesababishwa hasa na ongezeko la ukolezi wa idadi ya watu na miundombinu katika maeneo ya pwani.”<ref name="WMO-IWTC" /> Pielke ''pamoja na watafiti wengine.'' (2008) alilinganisha uharibifu wa harikeni za Marekani wa kati ya miaka 1900–2005 na viwango vywa mwaka wa 2005 na alipata kuwa hakukuwa na mwenendo uliobaki wa uharibifu uliobaki. Miaka ya 1970 na 1980 ilijulikana hasa kwa sababu idadi yao ndogo ya uharibifu ikilinganishwa na miongo ya awali. [[Muongo]] wa 1996–2005 una idadi ya pili ya uharibifu ikilinganishwa na miongo 11 ya awali, huku muongo wa miaka ya 1926–1935 pekee ukiipita kwa kigharama. Dhoruba iliyosababisha uharibifu mwingi zaidi ni [[harikeni ya Miami ya mnamo mwaka wa 1926]], ikiwa na uharibifu takriban dola bilioni 157 bilioni.<ref name="Pielke2008" />
''Jarida la Bima'' la Marekani lilitabiri kuwa “hasara zinazotokna na majanga zinafaa kutarajiwa kuongezeka maradufu kila miaka 10 kwa sababu ya ongezeko la gharama ya ujenzi, ongezeko la idadi ya mijengo, na mabadiliko ya tabia zao.”<ref>Insurance Journal: [http://www.insurancejournal.com/news/national/2006/04/18/67389.htm Sound Risk Management, Strong Investment Results Prove Positive for P/C Industry], 18 Aprili 2006.</ref> Chama cha Watoaji Bima cha Uingereza (ABI) limetaja kuwa kupunguza uzalisaji wa kabini kunaweza kupungua 80% ya gharama za nyongeza za kila mwaka zinazotokana na saikloni za kitropiki kufikia miaka ya 2080. Gharama pia inapanda kwa sababu ya kujenga katika maeneo wazi kama vile pwani na maeneo tambarare yaliyofurika. ABI inadai kuwa kupunguza kwa udhaifu dhidi ya baadhi ya madhara ya mabadiliko ya hali ya anga, kwa mfano kupitia mijengo dhabiti zaidi na ulinzi dhidi ya mafuriko ulioboreshwa zaidi, pia kunaweza sababisha kupunguza matumizi ya pesa baada ya muda mrefu.<ref>{{Cite web |url=http://www.abi.org.uk/Display/File/Child/552/Financial_Risks_of_Climate_Change.pdf |title=Financial risks of climate change |publisher=Association of British Insurers |month=Juni |year=2005 |format=PDF |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20051028161015/http://www.abi.org.uk/Display/File/Child/552/Financial_Risks_of_Climate_Change.pdf |archivedate=2005-10-28 }}</ref>
====Mabadiliko ya hali ya anga katika maeneo madogo====
[[Image:Cyclone Catarina 2004.jpg|thumb|right|Harikeni ya kwanza iliyorekodiwa katika eneo la Kusini la Kiatlanitiki, [[Saikiloni Catarina|"Catarina"]], iliyoathiri Brazil mnamo Machi mwaka wa 2004]]
Katika Ulimwengu wa kaskazini, eneo la kaskazini la kana ya [[Aktiki]] ambayo ni nyumbani kwa watu 4,000,000 imekuwa na ongezeko la joto la kati ya 1°C na 3°C (1.8°F na 5.4°F) katika kipindi cha miaka 50 iliyopita. Kanada, [[Alaska]] na Urusi hivi sasa zinapitia hatua ya uyeyukaji wa [[mchanga ambao ni kama barafu]]. Hili linaweza kuharibu mifumo ya kiikolojia na kwa kuongeza shghuli za bacteria katika udongo zinaweza kusababisha maeneo haya kuwa vyanzo vya kaboni badala ya [[vitumiaji vya kaboni]].<ref>{{Cite web |url=http://www.arctic.noaa.gov/essay_romanovsky.html |title=How rapidly is permafrost changing and what are the impacts of these changes? |author=Vladimir Romanovsky |publisher= NOAA|accessdate=2007-12-06}}</ref> Utafiti (ulichapishwa katika jarida la ''Sayansi'') kuhusu mabadiliko katika udongo uliofanywa kuwa kama barafu wa eneo la magharibi la [[Siberia]] unaonyesha kwamba inazidi kupungua katika maeneo ya kusini, hivyo kupelekea kwa hasara ya kupotea kwa kariibu 11% ya takriban mito 11,000 ya Siberia tangu mwaka wa 1971.<ref>{{Cite news |url=http://www.guardian.co.uk/international/story/0,,1503170,00.html |title=Shrinking lakes of Siberia blamed on global warming|author=Nick Paton Walsh |publisher=The Guardian |date=2005-06-10}}</ref> Wakati uo huo, Siberia ya magharibi ipo katika hatua ya kwanza ambapo udongo ulikuwa kama barafu unaunda maziwa mapya, ambayo mwishow yanaanza kupotea kama katika eneo la mashariki. Isitoshe, kuyeyuka kwa udongo ambao umekuwa kama barafu mwishowe kutasababisha kutolewa kwa gesi ya metheni kutoka kwa maeneo majimaji yaliyofanywa kuwa kama mawe na barafu.
Kabla ya mwezi Machi mwaka wa 2004, hakuna [[saikloni ya kitropiki]] ambayo ilikuwa imewahi kuonekana katika bahari ya Kusini ya Atlantiki. [[Saikloni Catarina|Saikloni ya Atlantiki]] ya kwanza kutokea kusini mwa [[ikweta]] iliathiri [[Brazil]] mnamo tarehe 28 Machi, mwaka wa 2004 ikiwa na upepo wa kasi la 40 m/s (Kilomita 144 kwa kila saa), ingawa baadhi ya wasomi wa Kibrazili wa hali ya anga wanakana kuwa ilikuwa harikeni.<ref>{{Cite news |url=http://www.usatoday.com/weather/news/2004-03-28-brazil-storm_x.htm |title=First South Atlantic hurricane hits Brazil |publisher= [[USA Today]] |date= 2004-03-28}}</ref> Mifumo ya ufuatiliaji ingeongezwa hadi kilomita 1,600(maili 1,000) zaidi kulekea upande wa kusini. Hakuna makubaliano kuhusu ikiwa harikeni hii inahusishwa na mabadiliko ya hali ya anga,<ref name="Henson2005">{{Cite web |url=http://www.ucar.edu/communications/quarterly/summer05/catarina.html |title=What was Catarina? |accessdate=2008-06-22 |last=Henson |first=Bob |coauthors= |year=2005 |work=UCAR Quarterly |publisher= |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160603153603/http://www.ucar.edu/communications/quarterly/summer05/catarina.html |archivedate=2016-06-03 }}</ref><ref>{{Cite journal |last=Pezza |first=Alexandre B. |coauthors=Simmonds, Ian |date=2006-04-28 |title=Catarina: The first South Atlantic hurricane and its association with vertical wind shear and high latitude blocking |journal=Proceedings of 8th International Conference on Southern Hemisphere Meteorology and Oceanography |pages=353–364 |isbn=85-17-00023-4 |accessdate= |ISBN-status=May be invalid - please double check}}</ref> lakini muundo mmoja wa hali ya anga unaonyesha kuongezeka kwa kuanza kwa saikloni za kitropiki katika eneo la Kusini la Atlantiki kwa sababu ya ongezeko la joto Duniani kufikia mwisho wa karne ya 21.<ref>{{Cite web|url=http://www2.metoffice.gov.uk/weather/tropicalcyclone/catarina.html|title=South Atlantic Hurricane breaks all the rules|publisher=U. K. [[Met Office]]|accessdate=2007-12-06|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070929091040/http://www2.metoffice.gov.uk/weather/tropicalcyclone/catarina.html|archivedate=2007-09-29}}</ref>
===Kupungua na kukoma kwa theluji===
[[Image:Glacier Mass Balance Map.png|250px|left|thumb|Mapu ya mabadiliko ya upana wa theluji milimani tangu mwaka wa 1970. Kupungua kwa upana kumeonyeshwa katika rangi ya machungwa na rangi nyekundu, kuongezeka kumeonyeshwa kwa rangi ya bluu.]]
Katika nyakati za kihistoria, theluji ilikuwa katika wakati wenye kipindi cha baridi kati ya mwaka wa 1550 na mwaka wa 1850, kipindi kinachojulikana kama [[Enzi ndogo ya Barafu]]. Baada ya hapo, hadi mwaka wa 1940, theluji Duniani kote ilizidi kurudi nyuma kadiri hali ya anga ilipozidi kuwa moto. [[Kurudi nyuma kwa theluji tangu mwaka wa 1850|Kurudi nyuma kwa theluji]] kulipungua na mara nyingi kufanya kinyume na kuanza kusonga mbele kati ya mwaka wa 1950 na mwaka wa 1980 Dunia ilipopoa kidogo. Tangu mwaka wa 1980, kurudi nyuma kwa theluji kumezidi na sasa kumeonekana katika kila pemebe Duniani, huku kukitishia kuwepu kwa theluji kokote Duniani. Utaratibu huu umefanyika kwa kasi zaidi tangu mwaka wa 1995.<ref>{{Cite web
| author=World Glacier Monitoring Service
| title=Home page
| work=
| url=http://www.geo.unizh.ch/wgms/fog.html
| accessdate=20 Desemba 2005
| archiveurl=https://web.archive.org/web/20051218105620/http://www.geo.unizh.ch/wgms/fog.html
| archivedate=2005-12-18
}}</ref>
Bila kuhesabu [[kofia za barafu]] na [[mabati ya barafu]] ya Aktiki na Antaktiki, eneo la jumla la [[theluji]] Duniani kote imepungua kutoka 50% tangu mwisho wa karne ya 19.<ref name="munichre">{{Cite web | url=http://www.munichre.com/en/ts/geo_risks/climate_change_and_insurance/retreat_of_the_glaciers/default.aspx | title=Retreat of the glaciers | publisher=Munich Re Group | accessdate=2007-12-12 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080117092159/http://www.munichre.com/en/ts/geo_risks/climate_change_and_insurance/retreat_of_the_glaciers/default.aspx | archivedate=2008-01-17 }}</ref> Kwa sasa viwango vya kupungua kwa theluji na urari wa hasara ya kiwango umekuwa ukiongezeka katika maeneo ya [[Andes]], [[Alps]], [[Pyrenees]], [[Himalayas]], [[Milima ya Rocky]] na [[Cascades za Kasakazini]].
Kupotea kwa theluji hausababishi tu kuanguka kwa ardhi, mafuriki ya haraka na kufurika kwa [[maziwa ya theluji]],<ref>{{Cite web |url=http://www.rrcap.unep.org/issues/glof/ |title=Glacial Lake Outburst Flood Monitoring and Early Warning System |publisher=[[United Nations Environment Programme]] |accessdate=2007-12-12 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060717213108/http://www.rrcap.unep.org/issues/glof/ |archivedate=2006-07-17 }}</ref> lakini pia kunasababisha mabadiliko ya mitiririko ya maji katika mito. Maji kutokana na theluji yanapungua katika msimu wa jua wakati ambapo ukubwa wa theluji unapungua, upungufu huu tayari unaonekana katika maeneo mengi.<ref>{{Cite web |url=http://www.nichols.edu/departments/glacier/glacier.htm |title=Recent retreat of North Cascade Glaciers and changes in North Cascade Streamflow |publisher=North Cascade Glacier Climate Project |author=Mauri S. Pelto |accessdate=2007-12-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060307121854/http://www.nichols.edu/departments/glacier/glacier.htm |archivedate=2006-03-07 }}</ref> Theluji inabaki na maji milimani katika miaka yenye usimbishaji, kwa sababu barafu inayofunika theluji inafanya jiwe la barafu lisiyeyuke. Katika miaka kavu na yenye joto jingi, theluji inabadilisha idadi ndogo zaidi za usimbishaji kwa kutoa maji mengi zaidi yaliyoyeyushwa.<ref name="munichre" />
Kuyeyuka kwa theluji ya maeneo ya [[Hindu Kush]] na [[Himalaya]] ambayo ni chanzo cha maji cha mito mikuu ya [[Asia ya Kati|Kati]], [[Asia ya Kusini|Kusini]], [[Asia ya Mashariki|Mashariki]] na [[Asia ya Kusini Mashariki]] wakati wa ukame. Kuongezeka kwa uyeyushaji kungesababisha mitiririko mingi zaidi kwa kipindi cha miongo mingi zaidi, ambapo "baadhi ya maeneo yenye watu wengi zaidi Duniani yataishiwa na maji'" kadiri theluji ambayo ni vyanzo vya mito inayeyushwa.<ref>{{Cite journal
| journal=[[Nature (journal)|Nature]]
| last=Barnett
| first=T. P.
| coauthors=J. C. Adam, D. P. Lettenmaier
| title= Potential impacts of a warming climate on water availability in snow-dominated regions
| url=http://www.nature.com/nature/journal/v438/n7066/full/nature04141.html
| date=17 Novemba 2005
| volume=438
| pages=303–309
| accessdate=2008-02-18
| doi= 10.1038/nature04141
}}</ref> [[Muinuko wa Kitibeti]] una hifadhi ya ukubwa wa tatu zaidi Duniani. Vipimo vya joto pale vinaongezeka mara nne haraka kuliko katika eneo lingine nchini Uchina, na kurudi nyuma kwa theluji unafanyika kwa kasi ikilinganishwa na mahali pengine Duniani.<ref>{{Cite web |url=http://www.google.com/hostednews/afp/article/ALeqM5g1eE4Xw3njaW1MKpJRYOch4hOdLQ |title=Global warming benefits to Tibet: Chinese official. Reported 18/Aug/2009. |accessdate=2010-01-15 |archivedate=2010-01-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100123192540/http://www.google.com/hostednews/afp/article/ALeqM5g1eE4Xw3njaW1MKpJRYOch4hOdLQ }}</ref>
Kulingana na ripoti ya Reuters, theluji za [[Himalayas|Himalaya]] ambazo ndizo vyanzo vya mito mikubwa zaidi Barani Asia, mito [[Ganges]], [[Indus]], [[Brahmaputra]], [[Yangtze]], [[Mekong]], [[Salween]] na [[Manjano]] – inaweza kupungua kadiri vipimo vya joto vinavyoongezeka.<ref>{{Cite web
| author=
| title=Vanishing Himalayan Glaciers Threaten a Billion
| publisher=[[Reuters]]
| url=http://www.planetark.com/dailynewsstory.cfm/newsid/42387/story.htm
| date=2007-06-05
| accessdate=21 Desemba 2007 }}</ref> Takriban watu bilioni 2.4 wanaishi katika [[bonde la mifereji]] wa mito ya Himalaya<ref>{{Cite web |url=http://www.peopleandplanet.net/pdoc.php?id=3024 |title=Big melt threatens millions, says UN |publisher=People and the Planet |date=2007-06-24 |accessdate=2007-12-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070819200515/http://www.peopleandplanet.net/pdoc.php?id=3024 |archivedate=2007-08-19 }}</ref> Uhindi, Uchina, [[Pakistan]], [[Bangladesh]], [[Nepal]] na [[Myanmar]] huenda zikawa na mafuriko yakifuatiwa na [[ukame]] katika miongo ijayo. Nchini Uhindi pekee, mto wa Ganges unatoa maji ya kunywa na kilimo kwa zaidi ya watu milioni 500 million.<ref>{{Cite web
| author=
| title=Ganges, Indus may not survive: climatologists
| publisher=Rediff India Abroad
| url=http://www.rediff.com/news/2007/jul/24indus.htm
| date=2007-07-25
| accessdate=21 Desemba 2007 }}</ref><ref>{{Cite web
| author=China Daily
| title=Glaciers melting at alarming speed
| publisher=People's Daily Online
| url=http://english.peopledaily.com.cn/90001/90781/90879/6222327.html
| date=2007-07-24
| accessdate=21 Desemba 2007 }}</ref><ref>{{Cite web
| author=Navin Singh Khadka
| title=Himalaya glaciers melt unnoticed
| publisher=[[BBC]]
| url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/3998967.stm
| date=2004-11-10
| accessdate=21 Desemba 2007 }}</ref> Imekubalika, hata hivyo, kuwa ongezeko la maji kutoka theluji za Himalaya kila msimu ulisababisha ongezeko la uzalishaji wa kilimo katika eneo la Uhindi ya kasakazini katika kipindi chote cha karne ya 20.<ref>{{Cite journal |last=Rühland |first=Kathleen |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2006 |month= |title=Accelerated melting of Himalayan snow and ice triggers pronounced changes in a valley peatland from northern India |journal=Geophysical Research Letters |volume=33 |issue= |pages=L15709 |doi=10.1029/2006GL026704 |url= |accessdate= |quote= }}</ref>
Kurudi nyuma kwa theluji ya milima, hasa katika eneo la magharibi kaskazini la Marekani, Ardhi ya Franz-Josef Land, Asia, the Alps, the Pyrenees, Indonesia na Afrika, na maeneo ya kitropiki na yanayokaribia kuwa ya kitropiki katika Bara la Marekani Kusini, imetumika kama ushahidi wa ongezeko la joto Duniani tangu mwisho wa karne ya 19. Theluji nyingi zinapotea kwa sababu ya kuyeyuka na hivyo kusababisha wasiwasi zaidi kuhsu rasilimali za maji katika maeneo haya yenye theluji katika siku zijazo. Katika eneo la Magharibi la Marekani ya Kaskazini theluji katika laini ya 47 zimeonekana kurudi nyuma.<ref>{{Cite web |url=http://www.nichols.edu/departments/glacier/glacier.htm |title=North Cascade Glacier Climate Project |publisher=North Cascade Glacier Climate Project |author=Mauri S. Pelto |accessdate=2007-12-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060307121854/http://www.nichols.edu/departments/glacier/glacier.htm |archivedate=2006-03-07 }}</ref>
[[Image:Retreat of the Helheim Glacier, Greenland.jpg|thumb|200px|right|Kurudi nyuma kwa theluji la Helheim, nchini Greenland]]
Ijapokuwa ya kuwa karibu na umuhimu wao kwa [[idadi ya watu Duniani|Idadi ya watu]], theluji za milima na mabonde za latititudi zenye joto jingi zinchangia kiwango kidogo cha barafu ya theluji Duniani. Takriban 99% inapatikana katika mabati makuu ya barafu ya maeneo ya Kipola na chini ya kipola ya Antaktika na Greenland. Mabati haya yanayoendelea mfululizo huwa katika eneo la kilomita 3 (maili 1.9) au zaidi kwa upana, hufunika maeneo ya kipola na chini ya kipola ya ardhi. Kama mito inayotoka katika mito mikubwa, theluji nyingi za kutoka hubeba barafu kutoka sehemu za mwisho za bati la barafu hadi baharini.
Kusonga nyuma kwa theluji kumeonekana katika theluji hizi za kutoka, hivyo kusababisha ongezeko la kiwango cha barafu inayotoka katika theluji. Katika [[Greenland]] wakati tangu mwaka wa 2000 umefanya kurudi nyuma kwa theluji nyingi kubwa amabazo hapo awali hazikuwa hazisongi. Theluji tatu zimefanyiwa utafiti: Helheim, [[Jakobshavn Isbræ]] na Kangerdlugssuaq, ambazo zinaondoa maji katika 16% ya [[Bati la Barafu la Greenland]]. Picha za setelaiti na picha zilizochukuliwa kutoka juu angani kutoka miaka ya 1950 na 1970 zinaonyesha kuwa sehemu ya mbele ya theluji ilikuwa imebaki katika eneo moja kwa miongo mingi.Katika miaka ya 2001 ilikuwa imeanza kurudi nyuma kwa haraka sana, kiwango cha kilomita 7.2 (maili 4.5) kati ya mwaka wa 2001 na mwaka wa 2005. Pia imeongeza kasi yake ya kurudi nyuma kutoka mita 20(futi 66) kwa siku hadi mita 32(futi 100) kwa siku.<ref>{{Cite web |url=http://currents.ucsc.edu/05-06/11-14/glacier.asp |title=Rapidly accelerating glaciers may increase how fast the sea level rises|author=Emily Saarman|publisher=UC Santa Cruz Currents |date= 2005-11-14 |accessdate=2007-12-28}}</ref> Jakobshavn Isbræ katika eneo la Greenland magharibi ilikuwa ikisonga katika kasi ya zaidi ya mita 24(futi 79 kila siku) tangu mwaka wa 1950 bila kuvunjika. Ulimi wa theluji ulianza kuvunjika mnamo mwaka wa 2000, na kusababisha kuvunjika kabisa kwa mnamo mwaka wa 2003, ingawa kiwango cha kurudi nyuma kiliongezeka maradufu mnamo hadi mita 30 (futi 98) kila siku.<ref>{{Cite web |url=http://www.nasa.gov/vision/earth/lookingatearth/jakobshavn.html |title=Fastest Glacier in Greenland Doubles Speed |publisher=[[NASA]] |date=2004-12-01 | author=Krishna Ramanujan |accessdate=2007-12-28}}</ref>
===Bahari ===
Jukumu la bahari katika ongezeko la joto Duniani ni la utata. Bahari hutumika kama eneo ambapo kaboni monoksaidi huingia, na kuchukua nyingi ambayo ingebaki katika anga, lakini ongezeko la CO<sub>2</sub> limesababisha [[aside kuongezeka baharini]]. Aidha, kadiri kiwango cha joto cha bahari kinavyongezeka, zinashindwa kuchukua ndani CO<sub>2</sub> nyingi. Ongezeko la joto Duniani inatabiriwa kuwa na athari nyingi kwa bahari. Baadhi ya athari zinazoendelea ni ongezeko la eneo la bahari lenye maji kwa sababu ya upanuzi unaosababishwa na joto na kuyeyuka kwa theluji na mabati ya barafu, na kuongezeka kwa joto katika uso wa bahari, hivyo kusababisha ongezeko la tofauti za vipimo vya joto. Athari zingine zinazowezekana ni kubadilika kwa mzunguko wa bahari katika eneo kubwa.
====Kupanda kwa usawa wa bahari====
{{Main|Kupanda kwa usawa wa bahari}}
Huku kipimo cha joto cha wastani kikipanda, kiasi cha [[maji]] katika bahari kinapanuka, na maji zaidi yanaingia ambapo hapo awali yalikuwa yamefungiwa katika thluji za ardhi, kwa mfano, [[Mabati ya barafu ya Greenland|Greenland]] na [[mabati ya barafu ya Antaktiki]]. Kwa theluji nyingi Ulimwenguni kote, kupoteza kiasi cha 60% hadi mwaka wa 2050 umetabiriwa.<ref name="Schneeberger2993">{{Cite journal |last=Schneeberger |first=Christian |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2003 |month= |title=Modelling changes in the mass balance of glaciers of the northern hemisphere for a transient 2×CO<sub>2</sub> scenario |journal=Journal of Hydrology |volume=282 |issue=1–4 |pages=145–163 |doi=10.1016/S0022-1694(03)00260-9 |url= |accessdate= |quote= }}</ref> Wakato uo huo, makadirio ya jumla kiwango cha kuyeyuka kwa barafu katika eneo la Greenland ni {{|239|+/-|23|Kilomita za kikiubi}} kila mwaka, hasa katika Greenland ya Mashariki.<ref name="Chen2006">{{Cite journal |last=Chen |first=J. L. |authorlink= |coauthors=Wilson, C. R.; Tapley, B. D. |year=2006 |month= |title=Satellite Gravity Measurements Confirm Accelerated Melting of Greenland Ice Sheet |journal=Science |volume=313 |issue=5795 |pages=1958–1960 |doi=10.1126/science.1129007 |url= |accessdate= |quote= |pmid=16902089 }}</ref> Bati la barafu la eneo la Antaktiki, hata hivyo, linatarajiwa kuwa kati karne ya 21 kwa sababu ya ongezeko la usimbishaji.<ref name="ar4wg1ch5" /> Chini ya Ripoti Maalum ya IPCC kuhusu Matukio ya Uzalishaji (SRES) A1B, kufikia miaka ya kati ya 2090 eneo lenye maji baharini kitafikia kati ya mita 0.22 na 0.44 (incha 8.7 hadi 17) juu ya viwango vya mwaka 1990, na hivi sasa vinaongezeka kwa kiwango cha milimita 4 (incha 0.16) kila mwaka.<ref name="ar4wg1ch5">{{Cite web |publisher= Cambridge University Press, Cambridge, United Kingdom and New York, NY, USA. |author= Bindoff, N.L., J. Willebrand, V. Artale, A, Cazenave, J. Gregory, S. Gulev, K. Hanawa, C. Le Quéré, S. Levitus, Y. Nojiri, C.K. Shum, L.D. Talley and A. Unnikrishnan |editor= Solomon, S., D. Qin, M. Manning, Z. Chen, M. Marquis, K.B. Averyt, M. Tignor and H.L. Miller |title= Observations: Oceanic Climate Change and Sea Level. In: Climate Change 2007: The Physical Science Basis. Contribution of Working Group I to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change |url= http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg1/ar4-wg1-chapter5.pdf |format= PDF |accessdate= 2007-12-29 |accessyear= |year= 2007 |archiveurl= https://web.archive.org/web/20170513164252/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg1/ar4-wg1-chapter5.pdf |archivedate= 2017-05-13 }}</ref> Tangu mwaka wa 1900, ongezeko la kiwango cha maji baharini kimepanda kwa kiwango cha wastani cha milimita 1.7 (Incha 0.067) kila mwaka;<ref name="ar4wg1ch5" /> tangu mwaka wa 1993, picha za anga za [[setalaiti]] za [[TOPEX/Poseidon]] zinaonyesha kiwango cha karibu milimita 3(incha 0.03) kila mwaka.<ref name="ar4wg1ch5" />
Kiwango chenye maji baharini kimepanda zaidi ya mita 120 (futi 390) tangu [[kiwango cha juu zaidi cha mwisho cha Kitheluji]] takriban miaka 20,000 iliyopita. Kiasi kikubwa cha hayo kilifanuika kabla ya miaka 7000 iliyopita.<ref name="Fleming1998">{{Cite journal |last=Fleming |first=Kevin |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=1998 |month= |title=Refining the [[eustatic]] [[sea-level curve]] since the Last Glacial Maximum using far- and intermediate-field sites |journal=Earth and Planetary Science Letters |volume=163 |issue=1–4 |pages=327–342 |doi=10.1016/S0012-821X(98)00198-8 |url= |accessdate= |quote= }}</ref> Kiwango cha joto cha Dunia kilipungua baada ya [[Kiwango cha Juu zaidi cha Hali ya Anga cha Holocene]], kusababisha kupunguka kwa kiwango cha maji baharini cha mita 0.7+/0.1 au Incha 28+/3.9 kati ya miaka 4000 na 2500 kabla ya wakati wa leo.<ref name="Goodwin1998">{{Cite journal |last=Goodwin |first=Ian D. |authorlink= |coauthors= |year=1998 |month= |title=Did changes in Antarctic ice volume influence late Holocene sea-level lowering? |journal=Quaternary Science Reviews |volume=17 |issue=4–5 |pages=319–332 |doi=10.1016/S0277-3791(97)00051-6 |url= |accessdate= |quote= }}</ref> Kutoka kipindi cha miaka 3000 iliyopita hadi mwanzo wa karne ya 19, kiwango cha maji baharini hakikubadilika, kikiwa kinaymbayumba kwa sehemu ndogo tu. Hata hivyo, [[Kipindi cha Kati chenye Joto]] huenda kilisababishamay kupanda kidogo kwa kiwango cha maji baharini; ushahidi umepatikana katika Bahari ya Pasifiki wa ongezeko wa pengine mita 0.9 (Futi 2 incha 11) juu ya viwango vya sasa katika 700 BP.<ref>{{Cite journal |last=Nunn |first=Patrick D. |authorlink= |coauthors= |year=1998 |month= |title=Sea-Level Changes over the Past 1,000 Years in the Pacific |journal=Journal of Coastal Research |volume=14 |issue=1 |pages=23–30 |doi=10.2112/0749-0208(1998)014[0023:SLCOTP]2.3.CO;2 |url= |accessdate= |quote= |doi_brokendate=2009-01-29 }}</ref>
Katika jarida lililochapishwa mnamo mwaka wa 2007, mtafiti wa hali ya anga [[James Hansen]] '' pamoja na watafiti wengineo.'' Alidai kuwa barafu katika fito haiyeyuki katika njia ya kufuata utaratibu au kwa kuelekea upande mmoja maalum, lakini kwa mujibu wa rekodi ya kijiolojia, [[mabati ya barafu]] huweza kuwacha kuwa dhaifu ghafla wakati ambapo kiwango fulani maalum kinapitwa.Katika jarida hili Hansen ''pamoja na watafiti wengine.'' wanasema:
<blockquote>Hofu yetu kuwa visa vya BAU GHG vinaweza kusababisha ongezeko kubwa la kiwango cha maji baharini katika karne hii (Hansen 2005) linatofautiana na makadirio ya IPCC (2001,2007) yanayotabiri mchango mdogo au mchango usiokuwepo wa kupanda kwa kiwango cha maji baharini katika karne ya ishirini na mbili katika Greenland na Antaktika. Hata hivyo, uchambuzi na makadirio ya IPCC yanatofautiana na makadirio ya (2001, 2007), ambayo yanatazamia kuwa na mabadiliko kidogo au hata kutokuwa na mabadiliko yoyote ya ongezeko la kiwango cha maji baharini katika karne ya ishirini na mbili kutoka eneo la Greenland na Antaktika. Hata hivyo, IPCC uchambuzi na makadiro ya IPCC hayaelezei vizuri kwa fizikia isoyofuata njia moja ya barafu majimaji ya kuvunjika kwa bati la barafu, vijito vya barafu na kabati za barafu ambazo husababisha mmomoyoko, na pia haziambatani na ushahidi wa anga wa palaeo ambao tumewasilisha kuhusu ukosefu wa tofauti kati ya kulazimisha kwa mabati ya barafu na kupanda kwa kiwamgo cha maji baharini.<ref>{{Cite journal | last = Hansen | first = James | coauthors = ''et al.'' | year = 2007 | url = http://pubs.giss.nasa.gov/docs/2007/2007_Hansen_etal_2.pdf | title = Climate change and trace gases | journal = Phil. Trans. Roy. Soc. A | volume = 365 | pages = 1925–1954 | format = [[Portable Document Format|PDF]] | doi = 10.1098/rsta.2007.2052 | access-date = 2010-01-15 | archive-date = 2011-10-22 | archive-url = https://web.archive.org/web/20111022020035/http://pubs.giss.nasa.gov/docs/2007/2007_Hansen_etal_2.pdf | dead-url = yes | = https://web.archive.org/web/20111022020035/http://pubs.giss.nasa.gov/docs/2007/2007_Hansen_etal_2.pdf }}</ref></blockquote>
Kupanda kwa kiwango cha maji baharini kwa sababu ya kuanguka kwa bati lingesambazwa katika njia isiyo sawa duniani kote. Kupoteza kiwango cha barafu katika eneo linalozunguka mabati ya barafu yatapungua kutokana na mvuto katika eneo hilo, hivyo kupunguza kiwango cha kupanda kwa maji baharini au hata kusababisha kiwango cha maji baharini kushuka. Kupungua kwa kiwango katika eneo fulani kutasababisha pia wakati wa kutosonga wa Dunia, kadiri kusonga kwa maeneo ndani ya Dunia yatahitaji miaka eelfu 10-15 ili kuweza kurudisha kiwango kilichopotea. Mabadiliko haya ya wakati wa kutosonga wa Dunia, kunasababisha kusonga kwa kweli kwa ncha za Dunia, ambapo laini ya kuzunguka ya Dunia inabaki bila kusonga ikilinganishwa na jua, lakini mpira usiobadilika umbo wa Dunia unazunguka kwa kuufuata. Hili linabadilisha eno la kufura kwa ikweta Duniani na inaathiri zaidi geoid, au eneo la nguvu Duniani. Utafiti wa mwaka wa 2009 kuhusu madhara ya kuharibika kwa bati la barafu la Antaktiki ya Magharibi unaonyesha matokeo ya matokeo haya mawili. Badala ya kupanda kwa mita 5 Duniani, Antaktika ya magharibi itakuwa na kupungua kwa kiwango cha maji baharini kwa takriban sentimita 25, huku Marekani, sehemu za Kanada, na Bahari ya Uhindi ikiwa a ongezeko la mita 6.5 la kiwango cha maji baharini.<ref>{{Cite journal|doi=10.1126/science.1166510|title=The Sea-Level Fingerprint of West Antarctic Collapse|year=2009|last1=Mitrovica|first1=J. X.|first2=N.|first3=P. U.|journal=Science|volume=323|pages=753}}</ref>
Jarida lililochapishwa mnamo mwaka wa 2008 na kikundi cha watafiti katika Chuo Kikuu cha Wisconsin wakiongozwa na Anders Carlson walitumia mfano wa kuyeyeka kwa theluji katika miaka 9000 kabla ya wakati wa sasa kama njia ya swa ya kutabiri kupanda kwa kiwango cha maji baharini kwa urefu wa mita 1.3 katika karne ijayo<ref>{{Cite web|url=http://www.newscientist.com/article/dn14634-sea-level-rises-could-far-exceed-ipcc-estimates.html|title=Sea level rises could far exceed IPCC estimates|accessdate=2009-01-24|publisher=New Scientist}}</ref><ref>{{Cite journal|doi=10.1038/ngeo285|title=Rapid early Holocene deglaciation of the Laurentide ice sheet|year=2008|author=Carlson, Anders E.|journal=Nature Geoscience|volume=1|pages=620|first2=Allegra N.|first3=Delia W.|first4=Rosemarie E.|first5=Gavin A.|first6=Faron S.|first7=Joseph M.|first8=Elizabeth A.}}</ref>, ambayo ni ya juu zaidi kuliko makadirio ya IPCC. Hata hivyo, mifano ya mtiririko wa theluji katika mabati ya barafu ya siku za leo unaonyesha kuwa idadi ya uwezekano ya juu zaidi ya kiwango cha maji baharini katika karne ijayo ni sentimita 80, kwa kutegemea vikwazo kuhusu jinsi barafu inavyoweza kutiririka chini ya laini ya usawa ya urefu na kuelekea baharini.<ref>{{Cite journal|doi=10.1126/science.1159099|year=2008|month=Septemba|author=Pfeffer, Wt; Harper, Jt; O'Neel, S|title=Kinematic constraints on glacier contributions to 21st-century sea-level rise.|volume=321|issue=5894|pages=1340–3|issn=0036-8075|pmid=18772435|journal=Science (New York, N.Y.)}}</ref>
====Ongezeko la joto====
Kuanzia mwaka wa 1961 hadi mwaka wa 2003, vipimo vya joto vya bahari Duniani kote vimeongezeka kwa kiwango cha 0.10 °C kutoka eneo la juu la bahari hadi urefu wa mita 700 ndani ya bahari. Kuna tofauti kuanzia mwaka mmoja hadi mwingine na hata vipindi virefu zaidi vya wakati, huku joto la Duniani kote la bahari likipanda kati ya mwaka wa 1991 hadi mwaka wa, lakini kupoa kukirekodiwa kati ya mwaka wa 2003 hadi mwaka wa 2007.<ref name="ar4wg1ch5" /> Kipimo cha joto cha eneo la Bahari ya Antaktiki ya Kusini kilipanda kwa 0.17 °C (0.31 °F) kati ya miaka ya 1950 na 1980, karibu mara mbili zaidi ya Bahari za Dunia kijumla<ref>{{Cite journal | url=http://www.sciencemag.org/cgi/content/full/295/5558/1275?ijkey=nFvdOLNYlMNZU&keytype=ref&siteid=sci |title=Warming of the Southern Ocean Since the 1950s |first=Sarah T. |last=Gille |journal= [[Science (journal)|Science]] |date=15 Februari 2002|volume=295|number=5558pages=1275–1277 |doi=10.1126/science.1065863 |pages=1275 |pmid=11847337 | issue=5558}}</ref>. Ikijumuisha madhara ya mifumo ya kiikolojia (k.m. kwa kuyeyusha barafu ya baharini, kuathiri algae ambayo humea katika sehemu ya chini), kuongezeka kwa joto kunapunguza uwezo wa bahari wa kuchukua ndani CO<sub>2</sub>. {{Citation needed|date=Juni 2008}}
====Ongezeko la asidi====
{{Main|Asidi baharini}}
Kuongezeka kwa asidi baharini ni chanzo cha ukolezi wa kiwango cha [[Kaboni daioksaidi|CO<sub>2</sub>]] katika anga, na si matokeo ya moja kwa moja ya [[ongezeko la joto Duniani]]. Bahari huchukua ndani kiasi kikubwa cha CO<sub>2</sub> kinachotolewa na viumbe hai, kama gesi mmunyufu au katika mifupa ya wanyama wadogo wa majini ambao huanguka chini na kuwa chokaa au simiti. Bahari kwa sasa huchukua karibu tani moja ya CO<sub>2</sub> kwa kila mtu kila mwaka. Inatabiriwa kuwa bahari imechukuwa ndani karibu nusu ya CO<sub>2</sub> inayozalishwa na shughuli za kibinadamu tangu mwaka wa 1800 (petagramu 118 ± 19 za kaboni tangu mwaka wa 1800 hadi mwaka wa 1994).<ref name="Sabine2004">{{Cite journal |last=Sabine |first=Christopher L. |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2004 |month= |title=The Oceanic Sink for Anthropogenic CO<sub>2</sub> |journal=Science |volume=385 |issue=5682 |pages=367–371 |doi=10.1126/science.1097403 |url= |accessdate= |quote=|pmid=15256665 }}</ref>
Majini, CO<sub>2</sub> huwa asidi ya kikaboni dhaifi, na ongezeko la gesi ya nyumba ya kijani tangu [[Mapinduzi ya Viwandani]] tayari imepunguza pH ya wastani ya (kipimo cha mahabara cha kiwango cha asidi) cha maji ya bahari kutoka kiwango cha 0.1 hadi kiwango cha 8.2. Kutolewa kwa gesi kunaotabiriwa kunaweza kupunguza kiwango cha pH zaidi kwa kipimo cha 0.5 kufikia mwaka wa 2100, kwa kiwango ambacho hakijatazamwa kwa millenia nyingi, kwa kina, kwa kiwango cha mabadiliko mara kubwa mara 100 zaidi kuliko katika wakati wowote katika kipindi hiki.<ref>{{Cite web |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/sci/tech/4633681.stm |title=Emission cuts 'vital' for oceans|date=2005-06-30 |publisher=[[BBC]] |accessdate=2007-12-29}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://royalsociety.org/document.asp?tip=0&id=3249|title=Ocean acidification due to increasing atmospheric carbon dioxide|publisher=[[Royal Society]]|date=2005-06-30|accessdate=2008-06-22}}</ref>
Kuna wasiwasi kuwa ongezeko la asidi kunaweza kuwa na madhara mabaya hasa kwa marijani<ref>{{Cite web |url=http://www.opendemocracy.net/globalization-climate_change_debate/2558.jsp |title=Global warming and coral reefs |auithor=Thomas J Goreau |publisher=Open Democracy |date=2005-05-30 |accessdate=2007-12-29 |archivedate=2006-02-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060221053516/http://www.opendemocracy.net/globalization-climate_change_debate/2558.jsp }}</ref> (16% ya marijani ya Dunia wamekufa kutokana na kuchomwa na kemikali inayosababishwa na maji moto tangu mwaka wa ,<ref name="Walther2002">{{Cite journal |last=Walther |first=Gian-Reto |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2002 |month= |title=Ecological responses to recent climate change |journal=Nature |volume=416 |issue=6879 |pages=389–395 |doi=10.1038/416389a |url= |accessdate= |quote= }}</ref> ambayo kibahati ulikuwa mwaka mwenye joto zaidi kuwahi kurekodiwa ) na viumbe wengine wa kimarina wenye mifupa ya kalsiamu kabonati.<ref>{{Cite web|url=http://dsc.discovery.com/news/2006/07/05/acidocean_pla.html |title=Rising Ocean Acidity Threatens Reefs | author=Larry O'Hanlon |publisher=Discovery News |date=2006-07-05 |accessdate=2007-12-29}}</ref>
Mnamo tarehe Novemba mwaka wa 2009 katika makala katika jarida la ''Science'' yaliyoandikwa na wanasayansi katika Idara ya Uvuvi na Bahari katika eneo la Kanada yaliripoti kuwa yalikuwa yamepata viwango vidogo sana vya vitalu vya ujenzi vya kalsiamu kloraidi inayojenga mifupa ya planktoni katika Ziwa la Beaufort.<ref name=Canwest2009-11-20>{{Cite news
| url=http://www.canada.com/technology/Climate+change+causing+corrosive+water+affect+Arctic+marine+life+study/2242554/story.html
| title=Climate change causing 'corrosive' water to affect Arctic marine life: study
| publisher=[[Canadawest]]
| date=2009-11-19
| author=Margaret Munro
| archiveurl=https://www.webcitation.org/query?url=http%3A%2F%2Fwww.canada.com%2Ftechnology%2FClimate%2Bchange%2Bcausing%2Bcorrosive%2Bwater%2Baffect%2BArctic%2Bmarine%2Blife%2Bstudy%2F2242554%2Fstory.html&date=2009-11-21
| archivedate=2009-11-21
| accessdate=2010-01-15
}}</ref>
Fiona McLaughlin, mmoja wa waandishi wa DFO, alidokeza kuwa ongezeko la asidi katika Bahari ya Aktiki lilikuwa karibu kufikia kiwango ambapo kingeanza kumumunyisha nyuta za planktoni zilizopo: ''"mfumo wa kiikolojia wa eneo la Aktiki upo hatarini. Kwa kweli, utamumunyisha mifupa ya wanyama hao."''
Kwa sababu baridi inachukua ndani CO<sub>2</sub> kwa urahisi zaidi kuliko maji yenye joto zaidi asidi ni nyingi zaidi katika maeneo ya ncha za ulimwengu. McLaughlin alitabiri ongezeko la asidi litasafiri hadi eneo la Atlantiki ya Kaskazini katika kipindi cha miaka kumi ijayo.
====Kukoma kwa mzunguko wa kijoto====
Kuna taarifa ambazo hazijahakikishwa kuwa ongezeko la joto huenda likasababisha kupoa katika eneo la Atlantiki ya magharibi na kusababisha kupoa ao ongezeko ndogo la joto, kupitia kuzima au kulegea kwa mzunguko wa thermohaline, katika eneo hilo,<ref name="Lenton2008"/> hasa [[Skandinavia]] na [[Britania]].
Uwezekano wa kuharibika karibu na mwisho wa mzunguko si wazi; kuna ushahidi mchache wa utulivu wa muda mfupi wa Hewa Kasi ya Ghuba na uwezekano wa kupungua kwa nguvu za upepo wa Atlantiki ya kaskazini.{{Citation needed|date=Januari 2009}} Hata hivyo, kiasi cha kupungua kwa nguvu, na ikiwa kitatosha kukomesha mzunguko, bado linajadiliwa. Kwa sasa, hakuna kupoa ambao kumepatikana katika eneo la Ulaya ya kaskazini au bahari jirani.{{Citation needed|date=Januari 2009}} Lenton et al. found that "simulations clearly pass a THC tipping point this century".<ref name="Lenton2008">{{Cite doi|10.1073/pnas.0705414105}}</ref>
====Kumalizika kwa oksijeni====
Kiasi cha oksigeni baharini huenda kikapungua na kusababisha madhara ya maisha ya wanyama majini.<ref>{{Cite doi|10.1126/science.240.4855.996}}</ref><ref>{{Cite doi|10.1038/ngeo420}}</ref>
==Matokeo chanya==
Baadhi ya madhara bayana ya ongezeko la joto Duniani ni ya matokeo ya kichanya, ambayo yanachangia moja kwa moja kwa ongezeko zaidi la joto Duniani. Ripoti ya Kitathmini ya Nne ya IPCC inadokeza kuwa "ongezeko la joto la Kianthropojeniki linaweza kusababisha matokeo ambayo ni ya haraka na ambayo hayawezi kubadilika, ikitegemea na kiwango na ukubwa wa mabadiliko ya hali ya anga." Hili ni kwa sababu ya kuwepo kwa matokeo haya ya kichanya.
====Metheni kutolewa kutoka maeneo majimaji baada ya myeyusho wa barafu====
Siberia ya magharibi ndiyo eneo kubwa zaidi Duniani lenye kaboni majimaji, eneo la kilomita mraba milioni moja la ardhi iliyojumuishwa na barafu iliyoundwa miaka 11,000 iliyopita baada ya kuisha kwa kipindi cha mwisho cha [[zama ya barafu]]. Kuyeyuka kwa ardhi na barafu yake huenda kukasababisha kutolewa kwa, baada ya miongo mingi, viwango vingi vya metheni. Zaidi ya [[tani]] milioni 70,000 za metheni, gesi ya nyumba ya jkijani kibichi ambayo yenye nguvu nyingi sana, huenda ikatolewa katika miongo michache ijayo, hivyo kutengeneza chanzoo zaidi cha gesi ya nyumba ya kijani kibichi.<ref>{{Cite web |url=http://www.newscientist.com/article.ns?id=mg18725124.500 |title=Climate warning as Siberia melts |author=Fred Pearce |publisher=New Scientist |date=2005-08-11 |accessdate=2007-12-30 |archivedate=2007-12-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071213181045/http://www.newscientist.com/article.ns?id=mg18725124.500 }}</ref> Kuyeyuka sawa kumeonekana katika eneo la mashariki la [[Siberia]]<ref>{{Cite web |url=http://www.zmag.org/content/showarticle.cfm?SectionID=56&ItemID=8482 |title=Warming Hits 'Tipping Point' |author=Ian Sample |publisher=Guardian |date=2005-08-11 |accessdate=2007-12-30 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20051106124008/http://www.zmag.org/content/showarticle.cfm?SectionID=56&ItemID=8482 |archivedate=2005-11-06 }}</ref>. Lawrence na wengineo. (2008) alipendekeza kuwa kuyeyuka kwa wingi kwa barafu ya Aktiki huenda kukaanzisha mchakato wa ujumbe unaojirudiarudia ambao utayeyusha udongo wa Aktiki, hivyo kusababisha kuongezeka kwa joto zaidi.<ref>{{Cite pressrelease | year=2008 | day=10 | month=Juni | title=Permafrost Threatened by Rapid Retreat of Arctic Sea Ice, NCAR Study Finds | url=http://www.ucar.edu/news/releases/2008/permafrost.jsp | publisher=[[University Corporation for Atmospheric Research|UCAR]] | accessdate=2009-05-25 | archivedate=2010-01-18 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20100118170723/http://www.ucar.edu/news/releases/2008/permafrost.jsp | deadurl=yes }}</ref><ref>{{Cite doi|10.1029/2008GL033985}}</ref>
====Metheni inayotolewa kutoka haidreti====
Metheni klathreti, ambayo pia inajulikana kama metheni haidreti, ni aina ya [[maji]] ya [[barafu]] ambayo yana kiwangi kikubwa cha [[metheni]] ndani ya muundo wake. Kiasi kikubwa sana cha metheni klathreti kimepatikana chini ya madonge katika sakafu ya mabahari Duniani. Kutolewa ghafla kwa viwango vikubwa vya gesi asilia kutoka metheni klathreti katika matokeo ya nyumba ya kijani, imedadisiwa kama chanzo cha mabadiliko ya kale na ya siku za usoni ya hali ya anga. Kutolewa kwa metheni hii ambayo imeshikiliwa ndani ni matokeo makubwa ya ongezeko la vipimo vya joto; inadhaniwa kuwa jambo hili pekee linaweza kuongeza kipimo cha joto Dunaini kwa kiasi cha 5° zaidi, kwani metheni ni gesi yenye nguvu nyingi zaidi ya nyumba ya kijani kuliko kaboni monoksaidi. Nadharia pia inatabiri kuwa hili litaathiri oksijeni inayopatikana kwa sasa angani. Nadharia hii imependekezwa kuelezea kuangamia kukubwa zaidi Duniani unaojulikana kama tukio la kuangamia kwa wanyama kwa Permian–Triassic. Mnamo mwaka wa 2008, safari ya kiutafiti ya Umoja wa Marekani wa Jiofizikia ulipata kuwa viwango vya metheni zaidi ya mara 100 ya kawaida katika eneo la Aktiki la Siberia, linalotolewa na klathereti za metheni zinazotoka katika mashimo katika 'kifuniko' cha mawe cha mchanga ambao ni barafu, katika eneo linalozunguka Mto Lena na eneo kati ya Bahari ya Leptev na Bahari ya Mashariki ya Siberia.<ref>{{Cite web|url=http://www.independent.co.uk/environment/climate-change/exclusive-the-methane-time-bomb-938932.html|title=Exclusive: The methane time bomb|last=Connor|first=Steve|date=23 Septemba 2008|publisher=[[The Independent]]|accessdate=2008-10-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.independent.co.uk/news/science/hundreds-of-methane-plumes-discovered-941456.html|title=Hundreds of methane 'plumes' discovered|last=Connor|first=Steve|date=25 Septemba 2008|publisher=[[The Independent]]|accessdate=2008-10-03}}</ref><ref>N. Shakhova, I. Semiletov, A. Salyuk, D. Kosmach, and N. Bel’cheva (2007), [http://www.cosis.net/abstracts/EGU2007/01071/EGU2007-J-01071.pdf?PHPSESSID=e Methane release on the Arctic East Siberian shelf], ''Geophysical Research Abstracts'', '''9''', 01071</ref>
====Matokeo ya mzunguko wa kaboni====
Kumekuwa na utabiri, na ushahidi mchache, kuwa ongezeko la joto Duniani linaweza kusababisha kupotwa kwa kaboni kutoka kwa mifumo ya kiikolojia ardhini, hivyo kusababisha ongezeko la viwango vya CO<sub>2</sub> angani. Mifumo mingi ya anga inaonyesha kuwa ongezeko la joto katika karne ya 21 linaweza kufanywa kuwa la kasi zaidi kupitia mwitiko wa mzunguko wa kaboni ardhini kwa ongezeko la joto la aina hiyo.<ref>{{Cite journal |url=http://www.nature.com/nature/journal/v408/n6809/abs/408184a0.html |journal =[[Nature (journal)|Nature]] |title=Acceleration of global warming due to carbon-cycle feedbacks in a coupled climate model |first=Peter M. |last=Cox |coauthors=Richard A. Betts, Chris D. Jones, Steven A. Spall and Ian J. Totterdell |volume=408 |number=6809 |date=9 Novemba 2000 |accessdate=2008-01-02 |format=abstract |doi=10.1038/35041539 |pages=184}}</ref> Mifano yote 11 models katika utafiti wa C4MIP ulipata kuwa kiasi kikubwa zaidi cha CO<sub>2</sub> ya kianthropojeniki itabaki hewani ikiwa mabadiliko ya hali ya anga yatatazamwa. Kufikia mwisho wa karne ya ishirini na kwanza, idadi hii zaidi ya CO<sub>2</sub> ilibadilika kati ya sehemu 20 kwa kila milioni na sehemu 200 kwa kila milioni kwa mifano mbili, mifano mingi hupatikana kati ya sehemu 50 na sehemu 100 kwa kila milioni. Viwango vingi zaidi vya CO<sub>2</sub> vilisababisha ongezeko zaidi la mabadiliko ya hali ya anga ya kati 0.1° na 1.5 °C. Hata hivyo, bado kulikuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu ukubwa wa utambuzi wa mifano hii. Mifano nane ilionyesha kuwa mabadiliko mengi yalitokana na ardhi, huku tatu ikisema kuwa mabadiliko hayo yalitokana na bahari. Mambo yenye kutoka habari nyingi katika mifamo hii ni kwa sababu ya ongezeko la la hewa ambayo ina kaboni kutoka ardhini katika misitu yote ya latitiudi za juu za Ulimwengu wa Magharibi. Mfano mmoja hasa unaoitwa HadCM3 unaonyesha kuwa ujmbe wa pili wa mzunguko wa kaboni kwa sababu ya kupotea kwa kiasi kingi cha msitu wa mvua wa Amazon ukijibu kupungua kukubwa kwa usibishaji katika eneo la kitropiki la Marekani ya Kusini.<ref>{{Cite web |url=http://education.guardian.co.uk/higher/research/story/0,,965721,00.html |title=5.5C temperature rise in next century| publisher=The Guardian |date=2003-05-29|accessdate=2008-01-02}}</ref> Ingawa mifano haikubaliani kuhusu nguvu ya ujumbe kutokana na mzunguko wa kaboni ardhini, kila moja inaonyesha kuwa ujumbe wowote wa aina hiyo kutaongeza kasi ya ongezeko la joto Duniani
Uchunguzi unaonyesha kwamba mchanga nchini Uingereza umekuwa ukipoteza Kaboni kwa kiwango cha tani milioni 4 kkila mwaka kwa kipindi cha miaka 25 iliyopita<ref>{{Cite web |url=http://www.guardian.co.uk/life/science/story/0,12996,1565050,00.html |title= Loss of soil carbon 'will speed global warming' |author=Tim Radford |publisher=The Guardian |date=2005-09-08 |accessdate=2008-01-02}}</ref> kulingana na jarida katika andiko liitwalo Maumbile lililoandikwa na Bellamy na wengineo. Mnamo Septemba mwaka wa 2005, wanadokeza kuwa matokeo haya huenda hayawezi kuelezewa kupitia mabadiliko katika utimizi wa ardhi. Mabadiliko kama haya yanategemea mtandao mkubwa wa utafiti na kwa hivyo hayawezi kupatikana katika eneo kubwa Duniani. Kutumia matokeo haya hadi eneo la Uingereza, wanakadiria kuwa hasara ya kila mwaka ni tani milioni 13 kila mwaka. Hiki ni kiasi sawa na kiasi cha gesi ya kaboni daioksaidi kilichopunguzwa na Uingereza chini ya Mkataba wa Kyoto(tani milioni 12.7 za kaboni kila mwaka).<ref>{{Cite journal |journal=[[Nature (journal)|Nature]] |title= Environmental science: Carbon unlocked from soils |first=E. Detlef |last= Schulze |coauthors= Annette Freibauer |url=http://www.nature.com/nature/journal/v437/n7056/full/437205a.html |volume=437|number=7056 |pages=205–206 |date=8 Septemba 2005 |accessdate=2008-01-02 |doi= 10.1038/437205a}}</ref>
Pia imependekezwa na mwanasayansi Chris Freeman kuwa kuondolewa kwa kaboni kutoka maeneo ya majimaji kuingia hadi maeneo ya kupitishia maji (ambapo yatapata kuingia angani) ni mojawapo ya ujumbe wa chanya wa ongezeko la joto Duniani. Kaboni ambayo kwa sasa imehifadhiwa katika maeneo majimaji ya Kaboni (gigatoni 390-455, theluthi moja ya hifadhi ya kaboni ardhini) ni zaidi ya nusu ya kiasi cha kaboni ambacho tayari kinapatikana angani.<ref name="Freeman2001">{{Cite journal |last=Freeman |first=Chris |authorlink= |coauthors=Ostle, Nick; Kang, Hojeong |year=2001 |month= |title=An enzymic 'latch' on a global carbon store |journal=Nature |volume=409 |issue=6817 |pages=149 |doi=10.1038/35051650 |url= |accessdate= |quote= }}</ref> viwango vya kemikali ya DOC majini vinazidi kupanda; Freeman anapima kwamba, si idadi kubwa zaidi ya vipimo vya joto, bali idadi kubwa zaidi ya CO<sub>2</sub> ya angani ndivyo vinavyosababisha, kupitia kuwezesha uzalishaji wa kimsingi.<ref name="Freeman2004">{{Cite journal |last=Freeman |first=Chris |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2004 |month= |title=Export of dissolved organic carbon from peatlands under elevated carbon dioxide levels |journal=Nature |volume=430 |issue=6996 |pages=195–198 |doi=10.1038/nature02707 |url= |accessdate= |quote= |pmid=15241411 }}</ref><ref name="Connor2004">{{Cite news |first=Steve |last=Connor |authorlink= |coauthors= |title=Peat bog gases 'accelerate global warming' |url=http://www.independent.co.uk/news/science/peat-bog-gases-accelerate-global-warming-552447.html |work=The Independent |publisher= |date=2004-07-08 |accessdate= |archivedate=2009-08-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090829104707/http://www.independent.co.uk/news/science/peat-bog-gases-accelerate-global-warming-552447.html }}</ref>
Vifo vya miti vinaaminika kuongezeka kama chanzo cha mabadiliko ya hali ya anga, jambo ambalo ni matokeo ya ujumbe wa kichanya.<ref>http://climateprogress.org/2009/01/23/science-global-warming-is-killing-us-trees-a-dangerous-carbon-cycle-feedback/</ref> Hili linahitilafiana na mtazamo wa wengi wa hapo awali kuwa ongezeko la mimea asili lingesababisha matokeo ya ujumbe hasi.{{Citation needed|date=Januari 2009}}
====Mioto ya misituni====
Ripoti ya Kitathmini ya Nne ya IPCC inatabiri ya kuwa maeneo mengi ya latitiudu za kati, kama vile Ulaya ya Kimeditereani, kitakuwa na upungufu wa mvua na ongezeko la ukavu, ambalo litaruhusu mioto mengi zaidi kutokea katika maeneo makubwa na kwa wingi. Kufanya hivi kunatoa kaboni zaidi kuingia katika anga kuliko kiwango ambacho mzunguko wa kaboni unaweza kuchukua ndani, na pia kupunguza eneo la jumla la msitu Duniani, hivyo kufanya mzunguko wa hasi. Sehemu ya mzunguko huo ni ni kukuwa zaidi kwa misitu na kuhama kuelekea eneo la kaskazini kwa misitu kadiri latitiudi za kasakazini zinavyokuwa na hali ya anga inayoweza kusaidia ukuaji wa misitu. Kuna swali kuhusu ikiwa uchomaji wa kuni mbadala kama vile misitu, kunafaa kuhesabiwa kama kuchangia ongezeko la joto Duniani.<ref>{{Cite web | url=http://www.davidsuzuki.org/Forests/Forests_101/FIRE/Climate_Change.asp | title=Climate Change and Fire | publisher=[[David Suzuki Foundation]] | accessdate=2007-12-02 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20071208060244/http://www.davidsuzuki.org/Forests/Forests_101/FIRE/Climate_Change.asp | archivedate=2007-12-08 }}</ref><ref>{{Cite web | url=http://yosemite.epa.gov/oar/globalwarming.nsf/content/ImpactsForests.html | title=Global warming : Impacts : Forests | accessdate=2007-12-02 | publisher=[[United States Environmental Protection Agency]] | date=2000-01-07 | archivedate=2007-02-19 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20070219004645/http://yosemite.epa.gov/oar/globalwarming.nsf/content/ImpactsForests.html }}</ref><ref>{{Cite web | url= http://www.whrc.org/southamerica/fire_savann/FeedbackCycles.htm | title= Feedback Cycles: linking forests, climate and landuse activities | publisher= [[Woods Hole Research Center]] | accessdate= 2007-12-02 | archiveurl= https://web.archive.org/web/20071025235611/http://www.whrc.org/southamerica/fire_savann/FeedbackCycles.htm | archivedate= 2007-10-25 }}</ref> Cook na Vizy pia walipata kuwa mioto ya misitu ilikuwa na uwezo wa kutokea katika eneo la msitu wa mvuawa Amazon, hatimaye kusababisha mpito kuelekea mimea ya Caatinga katika eneo la Mashariki la Amazon.{{Citation needed|date=Machi 2009}}
====Kurudi nyuma kwa barafu====
{{Main|Kupungua kwa eneo la Aktiki}}
Bahari huingiza joto kutoka jua, huku barafu ikimulika mianga ya jua hadi nafasi ya angani. Kwa hivyo, barafu ya baharini inayorudi nyuma itaruhusu jua kuongeza joto katika maji ya bahari ambayo sasa yameachwa wazi, hivyo kuongeza kiwango cha ongezeko la joto Duniani. Mbinu ni sawa kama ya gari nyeusi inayokuwa moto haraka zaidi inapokaa katika jua kuliko gari nyeuzi. Badiliko hili la kumulika joto la jua pia ndiyo sababu kuu mbona Jopo la Kimataifa la Mabadiliko ya Hali ya Anga linatabiri kuwa vipimo vya joto katika pembe ya kasakazini mwa Dunia itaongezeka kwa kiasi mara mbili ikilinganishwa na maeneo mengine Duniani. Mnamo tarehe Septemba mwaka wa 2007, eneo la barafu katika bahari ya Aktiki lilifika nusu ya ukubwa wake ikilinganishwa na ukubwa wa wastani wa majira ya kiangazi mchache zaidi kati ya mwaka wa 1979 na 2000.<ref>{{Cite web |url=http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/ |title=The cryosphere today |publisher=University of Illinois at Urbana-Champagne Polar Research Group |accessdate=2008-01-02 |archivedate=2011-02-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110223161943/http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/ }}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.nsidc.org/news/press/2007_seaiceminimum/20070810_index.html |title=Arctic Sea Ice News Fall 2007 |publisher=National Snow and Ice Data Center |accessdate=2008-01-02 |archivedate=2007-12-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071223022124/http://nsidc.org/news/press/2007_seaiceminimum/20070810_index.html }}.</ref> Pia mnamo mwezi Septemba mwaka wa 2007, barafu ya eneo la Bahari ya Aktiki Arctic ilirudi nyuma kiasi kwamba iliruhusu barabara ya kaskazini magharibi kuweza kupitika na meli kwa mara ya kwanza katika historia iliyorekodiwa.<ref>{{Cite news
| title=Arctic ice levels at record low opening Northwest Passage
| newspaper=Wikinews
|url=http://en.wikinews.org/wiki/Arctic_ice_levels_at_record_low_opening_Northwest_Passage
|date = 16 Septemba 2007}}</ref> The record losses of 2007 and 2008 may, however, be temporary.<ref>{{Cite web
|date=2008
|title=Avoiding dangerous climate change
|publisher=The Met Office
|page=9
|url=http://www.metoffice.gov.uk/publications/brochures/cop14.pdf
|accessdate=29 Agosti 2008
|archivedate=2010-12-29
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20101229172709/http://www.metoffice.gov.uk/publications/brochures/cop14.pdf
}}</ref>
Mark Serreze wa Kituo cha Marekani cha Theluji na Barafu kinatazama mwaka wa 2030 kama "mwaka ambapo kofia ya barafu ya eneo la Akitiki itakuwa bila barafu.<ref>{{Cite web |url=http://www.guardian.co.uk/environment/2007/sep/05/climatechange.sciencenews |publisher=The Guardian
|date=2007-09-05
|title=Ice-free Arctic could be here in 23 years
|author=Adam, D.
|accessdate=2008-01-02}}</ref> Ongezeko la joto Duniani katika maeneo ya ncha za Dunia halitarajiki kufanyika katika eneo la Ulmwengu wa Kusini.<ref>{{Cite web |url=http://www.realclimate.org/index.php?p=18 |title=Antarctic cooling, global warming? |author= Eric Steig and Gavin Schmidt |publisher=RealClimate |accessdate=2008-01-20}}</ref> Barafu ya bahari ya Antaktiki ilifikia kiwango chake cha juu zaidi kilichorekodiwa tangu mwanzo wa uchunguzi mnamo mwaka wa 1979,<ref>{{Cite web |url=http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/IMAGES/current.area.south.jpg |title=Southern hemisphere sea ice area |publisher=Cryosphere Today |accessdate=2008-01-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080113065818/http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/IMAGES/current.area.south.jpg |archivedate=2008-01-13 }}</ref> lakini faida kutokana na barafu katika eneo la kusini ni inazidiwa na hasara katika eneo la kaskazini. Mwenendo wa barafu ya bahari Duniani, huku ncha za Dunia za Ulimwengu wa kaskazini na kusini zikijumuishwa zinaonyesha upungufu wazi.<ref>{{Cite web |url=http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/IMAGES/global.daily.ice.area.withtrend.jpg |title=Global sea ice area |publisher=Cryosphere Today |accessdate=2008-01-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080110162748/http://arctic.atmos.uiuc.edu/cryosphere/IMAGES/global.daily.ice.area.withtrend.jpg |archivedate=2008-01-10 }}</ref>
====Athari ya erosoli za kiberiti====
{{Main|planktoni}}
Erosoli za kiberiti, hasa aerosoli za kistratosfia za kiberiti zina athari kubwa kwa hali ya anga. Chanzo kimoja cha aerosoli za aina hiyo ni mzunguko wa kiberiti, ambapo planktoni hutoa gesi kama vile DMS ambayo mwishowe huchanganyika na gesi ya oksigeni kuwa sukfuri daioksaidi katika anga. Uharibifu wa bahari kwa sababu ya chanzo ongezeko la asidi katika bahari au uharibifu wa mzunguko wa kithamohalaini unaweza kusababisha uharibifu wa mzunguko wa kiberiti, hivyo kusababisha athari yake ya kupunguza joto katika sayari ya Dunia kupitia kutengeneza aerosoli za kistratosferi za kiberiti.
==Uchambuzi wa matokeo mabaya==
Kufuatia kanuni ya kisayansi ya Le Chatelier's, msawazo wa kikemikali wa mzunguko wa kaboni wa Dunia utasonga kutokana na kutolewa kwa CO<sub>2</sub> ya kianthropojenikia. Chanzo msingi cha hiki ni bahari, amabyo inachukua ndani gesi hii kupitia pampu ya umumunyifu. Kwa sasa hili ni chanzo la theluthi moja pekee ya kutolewa kwa gesi hii, lakini mwishowe kiwango kingi cha (~75%) ya CO<sub>2</sub> kinachotolewa na shughuli za kibinadamu kitapotelea baharini kwa kipindi cha karne nyingi: "Makadirio bora zaidi ya urefu wa maisha ya kuni ya fosili ya CO<sub>2</sub> kwa majadiliano ya umma yanaweza kuwa miaka 300, ukiongezea 25% ambayo hudumu milele"<ref>{{Cite journal |last=Archer|first=David|year=2005|title= Fate of fossil fuel CO<sub>2</sub> in geologic time |journal=[[Journal of Geophysical Research]]|volume=110|url = http://geosci.uchicago.edu/~archer/reprints/archer.2005.fate_co2.pdf |doi=10.1029/2004JC002625|pages= C09S05}}</ref>. Hata hivyo, kiwango ambacho bahari itachukuwa ndani gesi hiyo katika siku za usoni hakijulikani kwa hakika, na kitaathiriwa na kuongezeka mawimbi ya majini yanayosababishwa na ongezeko la joto na, uwezekano wa mabadiliko ya mzunguko wa kemikali za chuma na joto baharini.
Pia, mionzi ya joto ya Dunia inaongezeka kwa uwiano na nguvu ya nne ya kipimo cha joto, hivyo kusababisha ongezeko la mionzi inyotolewa kadiri Dunia inapopata joto. Athari ya machakato huu zinajumuishwa katika mifumo ya hali ya anga ya Duniani iliyofanywa kuwa muhtasari na Jopo la Kimataifa la Mabadiliko ya Hali ya Anga.
==Matokeo mengine==
===Kiuchumi na kijamii===
Wakazi ambao ni wazawa wa maeneo wanamoishi katika maeneo ya latitiudi za juu tayari wanaathirika na matokeo mabaya ya mabadiliko ya hali ya anga.<ref name=ipccwg2c19 /> Athari ya mabadiliko ya hali ya anga kwa mifumo ya kibinadamu ina uwezekano wa kusambazwabila kufuatilia mpango maalum. Bara Afrika pengine ndilo eneo dhaifu zaidi dhidi ya mabadiliko ya hali ya anga ya siku za usoni. [[Nchi zinazoendelea]] pengine zimo hatarini dhaifu dhidi ya mabadiliko ya hali ya anga kuliko [[nchi zilizostawi]]. Huku joto kikiwa 1-2°C zaidi ya vipimo vya kati ya viwango vya mwaka wa 1990 na 2000, na kuna uwezekano kuwa athari mbaya zitafanyika katika maeneo mbalimbali, k.m., Mataifa ya Aktiki na visiwa vidogo. Katika maeneo mengine, vikundi fulani vya wakazi vitaathirika na kiwango hiki cha ongezeko la joto, k.m., jamii za maeneo ya juu na jamii za maeneo ya pwani yenye viwango vikubwa vya [[umaskini]]. Ongezeko la joto la zaidi ya 2-3°C, kuna uwezekano kuwa nchi nyingi zitakuwa na matokeo mabaya kwa jumla.
Madhara ya jumla ya ki[[uchumi]] ya mabadiliko ya hali ya anga hayana uhakika.<ref name=ipccwg2c19 /> Makadirio ya kawaida ya athari za mabadiliko ya hali ya anga ni ya mabadiliko ya uzalishaji bidhaa Duniani kote ya zaidi au chini ya asilimia chache. Mabadiliko machache ya bidhaa jumla Duniani kote zinaweza kuhusishwa na mabadiliko makubwa katika uchumi wa kitaifa.
====Bima====
Sekta moja inayoathirika moja kwa moja na hatari za ongezeko la joto Duniani ni sekta ya [[bima]].<ref>[http://www.aaisonline.com/viewpoint/AAISviewpointSp05.pdf Viewpoint] {{Wayback|url=http://www.aaisonline.com/viewpoint/AAISviewpointSp05.pdf |date=20120301073456 }} American Association of Insurance Services</ref> Kulingana na ripoti ya mwaka 2005 kutoka Shirika la Watoa Bima la Uingereza, kupunguza kiasi cha uzalishaji wa kaboni kunaweza zuia 80% ya makadirio ya nyongeza zaidi ya kila mwaka ya saikloni za kitropiki kufikia miaka ya 2080.<ref>Association of British Insurers (2005) [http://www.abi.org.uk/Display/File/Child/552/Financial_Risks_of_Climate_Change.pdf "Financial Risks of Climate Change"] {{Wayback|url=http://www.abi.org.uk/Display/File/Child/552/Financial_Risks_of_Climate_Change.pdf |date=20051028161015 }} summary report</ref> Ripoti ya mnamo mwezi Juni mwaka wa 2004 iliyotolewa na Shirika la Watoa Bima la Uingereza lilidokeza "Mabadiliko ya hali ya anga zi swala la umbali kwa vizazi vijavyo kushughulikia. Ni, kwa aina mbalimbali, hapa tayari, ikiathiri biashar ya makapuni ya bima hivi sasa."<ref>Association of British Insurers (Juni 2005) [http://www.abi.org.uk/Display/File/364/SP_Climate_Change5.pdf "A Changing Climate for Insurance:] {{Wayback|url=http://www.abi.org.uk/Display/File/364/SP_Climate_Change5.pdf |date=20090320104126 }} A Summary Report for Chief Executives and Policymakers"</ref> Ni bayana kuwa hatari za hali ya hewa kwa kaya na mali zilikuwa zinaongezeka tayari kwa kiasi cha kati ya 2 na 4 % kila mwaka kwa sababu kubadilika kwa hali ya hewa, na kuwa madai ya uharibifu wa dhoruba na mafuriko nchini Uingereza yalikuwa yameongezeka maradufu hadi zaidi ya £6 bilioni katika kipindi cha kati ya 1998 na 2003, ikilinganishwa na miaka mitano ya awali. Matokeo ni kuongezeka kwa bei za bima, na hatari kwamba katika maeneo kadhaa bima dhidi ya mafuriko hayataweza kupatikana na baadhi ya watu.
Taasisi za bima, ikiwemo kampuni kubwa zaidi Duniani za bima, Munich Re na Swiss Re, zilionya katika utafiti wa mnamo mwaka wa 2002 kuwa "ongezeko la matukio ya hali kali za hali ya anga, zinazoambatana na mienendo ya kijamii" zingegarimu karibu $ dola za bilioni 150 za Marekani kila mwaka katika muongo ujao.<ref>UNEP (2002) [http://www.unepfi.org/fileadmin/documents/CEO_briefing_climate_change_2002_en.pdf "Key findings of UNEP’s Finance Initiatives study"] ''CEObriefing''</ref> Gharama hizi zitakuwa mzigo kwa wateja, walipa ushuru na sekata, zikiambatana na kuongezeka kwa bei zinazohusiana na bima na misaada ya majanga.
Nchini Marekani, hasara za kibima pia zimeongezeka sana. Kulingana na Choi na Fisher (2003) kila ongezeko la 1% la usimbishaji kila mwaka kunaweza kuongeza hasara ya janga kwa zaidi kiasi cha 2.8%.<ref name="choifisher">{{Cite journal|last=Choi|first=O. |coauthors=A. Fisher |year=2003 | url= http://www.ingentaconnect.com/content/klu/clim/2003/00000058/F0020001/05109227 |title=The Impacts of Socioeconomic Development and Climate Change on Severe Weather Catastrophe Losses: Mid-Atlantic Region (MAR) and the U.S.|journal=Climatic Change| volume=58|number=(1-2)|pages=149–170 |doi=10.1023/A:1023459216609}}</ref> Kuongezeka kwa jumla mara nyingi huchangiwa na ongezeko la idadi ya watu na bei ya mali katika maeneo ya pwani yalio hatarini, ingawa kulikuwa pia na ongezeko la idadi ya matukio yanayohusiana kama vile mvua nyingi tangu miaka ya 1950.<ref>{{Cite journal|journal = [[Science (journal)|Science]]|volume=284|pages=1943–1947| year=1999|number=5422|title=Mitigation Emerges as Major Strategy for Reducing Losses Caused by Natural Disasters|author=Board on Natural Disasters|doi=10.1126/science.284.5422.1943|pmid=10373106|issue = 5422}}</ref>
====Usafiri====
Barabara, viwanja vya ndege, barabara za reli na mifereji ya kupitishia bidhaa (ikiwemo mabomba ya mafuta, mifereji ya kupitishia maji machafu na mifereji ya kupitishia maji masafi n.k.) huenda yakahitaji ukarabati zaidi na kuundwa upya kadiri yanapoathiriwa na tofauti kubwa zaidi ya vipimo vya joto. Maeneo ambayo tayari yameathiriwa sana ni kama vile ameneo yenye ardhi iliyokuwa kama barafu, ambayo yana viwango vingi vya kuzama kwa ardhi, inayosababisha barabara kujipinda, misingi ya nyumba kuzama chini na viwanja vya ndege kuwa na nyufa kubwa.<ref>[http://www.airportbusiness.com/article/article.jsp?id=2258&siteSection=4 Studies Show Climate Change Melting Permafrost Under Runways in Western Arctic] {{Wayback|url=http://www.airportbusiness.com/article/article.jsp?id=2258&siteSection=4 |date=20110927221000 }} ''Weber, Bob Airportbusiness.com'' Oktoba 2007</ref>
====Athari kwa kilimo====
{{Main|Mabadiliko ya hali ya hewa na kilimo}}
{{See also|Usalama wa chakula|Chakula dhidi ya kuni|Shida ya bei za vyakula Duniani 2007–2008}}
=====Chakula=====
Mabadiliko ya hali ya anga yanatarajiwa kuwa na mchanganyiko wa matokeo kwa [[kilimo]], huku baadhi ya maeneo yakifaidika kutokna na kupanda kiasi kwa vipimo vya joto na mengine yakithirika vibaya.<ref>{{Cite web
|date=2007
|title=Food, fibre and forest products. ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=[[Cambridge University Press]]
|page=275
|author=Easterling, W.E., P.K. Aggarwal, P. Batima, K.M. Brander, L. Erda, S.M. Howden, A. Kirilenko, J. Morton, J.-F. Soussana, J. Schmidhuber and F.N. Tubiello. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter5.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090804124847/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter5.pdf
|archivedate=2009-08-04
}}</ref> Maeneo ya latititudi za chini yamo hatarini zaidi ya kuathiriwa na upungufu wa mazao ya chakula. Maeneo ya latitiudi za kati na za juu yanaweza kuwa na ongezeko la vipimo vya joto vya kati ya 1-3°C (ikilinganishwa na kipindi cha 1980-99). Kulingana na ripoiti ya IPCC, zaidi ya ongezeko la joto la 3°C kunaweza kusababisha mazao ya kilimo Duniani kupungua, lakini taarifa hii si ya uhakika. Utafiti mwingi wa kilimo uliopimwa katika Ripoti haujumuishi mabadiliko katika hali kali za hewa, mabadiliko katika kuenea kwa wadudu waharibifu na magonjwa, au maendeleo yanayowezekana yanayoweza kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga.
Makala katika jarida la ''[[New Scientist]]'' yanaelezea jinsi mimea ya [[mpunga]] inavyoweza kuathirika vikali na ongezeko la vipimo vya joto.<ref>{{Cite news |first=Jim |last=Giles |authorlink= |coauthors= |title= Major food source threatened by climate change |url=http://www.newscientist.com/article/dn13517-major-food-source-threatened-by-climate-change.html |work=NewScientist |publisher= |date=24 Machi 2008 |accessdate= }}</ref> Katika mkutano wa mwaka 2005 uliofanywa na Jamii ya Kimilki, faida za ongezeko la viwango vya kaboni monoksaidi vilisemekana kupitwa na madhara ya mabadiliko ya hali ya anga.<ref>''[[The Independent]]'', 27 Aprili 2005, "Climate change poses threat to food supply, scientists say" - report on [http://www.royalsoc.ac.uk/event.asp?id=2844 this event]</ref>
=====Mgao wa athari=====
Nchini [[Iceland]], vipimo vya joto vinavyongezeka vimefanya upanzi wa [[shayiri]] katika maeneo mengi kuwezekana, jambo ambalo halingewezekana miaka ishirini iliyopita. Joto kiasi ni kwa sababu ya ya matokeo ya nchini tu (ambauo huenda hayatadumu) ya mawimbi ya kibahari kutoka eneo la Carribean, ambayo pia yameathiri idadi ya samaki.<ref>{{Cite web |url=http://www.guardian.co.uk/climatechange/story/0,12374,1517939,00.html |title=Frozen assets
|author=Paul Brown
|publisher=[[The Guardian]]
|date=2005-06-30
|accessdate=2008-01-22}}</ref> Kufikia kipindi cha kati cha karne ya 21, katika eneo la [[Siberia]] na kwingineko nchini [[Urusi]], mabadiliko ya hali ya anga yanatarajiwa kupanua wigo la kilimo.<ref>{{Cite web
|date=2007
|title=Polar regions (Arctic and Antarctic). ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=Cambridge University Press
|author=Anisimov, O.A., D.G. Vaughan, T.V. Callaghan, C. Furgal, H. Marchant, T.D. Prowse, H. Vilhjálmsson and J.E. Walsh. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|page=668
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter15.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080920160747/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter15.pdf
|archivedate=2008-09-20
}}</ref> Katika [[Asia]] ya mashariki na kusini mashariki, mazao huenda yakaongezeka kwa asilimia 20%, huku katika eneo la kati na la kusini la Asia, mazao huenda yakapungua kwa kiasi cha 30%.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Katika sehemu kavu zaidi katika Marekani ya Kilatini, mavuno ya mimea kadhaa muhimu inatarajiwa kupungua, huku katika maeneo ya halijoto, mazao ya [[soya]] yanatarajiwa kupanda.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Katika eneo la Ulaya ya kasakazini, mabadiliko ya hali ya anga yanatarajiwa kufaidi mimea katika kipindi cha mwanzo.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Kilimo cha kujikimu na kilimo cha biashara vinatarajiwa kuathirika vibaya na mabadiliko ya hali ya anga katika visiwa vidogo.<ref>{{Cite web
|date=2007
|title=Small islands. ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=Cambridge University Press
|author=Mimura, N., L. Nurse, R.F. McLean, J. Agard, L. Briguglio, P. Lefale, R. Payet and G. Sem. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|page=689
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter16.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090804124958/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter16.pdf
|archivedate=2009-08-04
}}</ref> Bila mabadiliko mengine zaidi, ifikapo mwaka wa 2030, uzalishaji kutokana na kilimo unakadiriwa kuwa utakuwa umepungua katika maeneo mengi ya [[Australia]] ya kusini na magharibi, na maeneo ya [[mashariki]] ya New Zealand. Faida ya awali zinakadiriwa katika maeneo ya magharibi na kusini mwa New Zealand.<ref>{{Cite web
|date=2007
|title=Australia and New Zealand. ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=Cambridge University Press
|author=Hennessy, K., B. Fitzharris, B.C. Bates, N. Harvey, S.M. Howden, L. Hughes, J. Salinger and R. Warrick. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|page=509
|url=http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter11.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090310150719/http://www.ipcc.ch/pdf/assessment-report/ar4/wg2/ar4-wg2-chapter11.pdf
|archivedate=2009-03-10
}}</ref>
Marekani ya kaskazini, katika miongo michache ya karne hii, mabadiliko wastani ya hali ya anga yanakadiriwa kuongeza mapato jumla ya kilimo kinachotegemea mvua kwa kiasi cha kati ya 5 na 20%, lakini na umuhimu tofauti katika kanda nyingi.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Kulingana na jarida la 2006 lililoandikwa na Deschenes na Greenstone, lilitabiri ongezeko la vipimo vya joto na usimbishaji hakutakuwa na matokeo yoyote kwa mimea muhimu zaidi nchini Marekani.<ref>{{Cite web |url=http://ideas.repec.org/p/fem/femwpa/2006.6.html |title=The Economic Impacts of Climate Change: Evidence from Agricultural Profits and Random Fluctuations in Weather |accessdate= |work= |publisher= |date= }}</ref>
Barani [[Afrika]], mabadiliko ya hali ya anga yanatarajiwa kuathiri sana uzalishaji wa kilimo na upatikanaji wa chakula.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Jiografia ya Afrika inaifanya iwe hatarini zaidi, na asilimia sabini ya wakazi wa Afrika wanategema kilimo kinachtumia mvua kwa kujipatia riziki. Ripoti rasmi ya [[Tanzania]] kuhusu mabadiliko ya hali ya anga inadokeza kuwa maeneo ambayo kawaida hupokea mvua mara mbili kila mwaka huenda yakapata mvua zaidi, na yale ambao hupokea msimu mmoja pekee huenda yakapokea mvua kidogo zaidi. Matokeo ya jumla yanatarajia kupungua kwa asilimia 33% kwa mazao ya mahindi - chakula muhimu sana nchini Tanzania.<ref>{{Cite web |url=http://www.guardian.co.uk/climatechange/story/0,12374,1517935,00.html| title=In the land where life is on hold |author= John Vidal |publisher=[[The Guardian]]|date=2005-06-30 |accessdate=2008-01-22}}</ref> Pamoja na mambo mengine, mabadiliko ya hali ya anga katika eneo ya kanda - hasa, kupungua kwa usimbishaji - kunadhaniwa kuchangia kwa [[mgogoro wa Darfur]].<ref>{{Cite web|url=http://www.irinnews.org/Report.aspx?ReportId=72985|title= Climate change - only one cause among many for Darfur conflict|publisher=IRIN|date=2007-06-28|accessdate=2008-01-22}}</ref> Mchanganyiko wa miongo ya [[ukame]], kuenea kwa jangwa, na idadi ya watu kupita kiasi, kwa sababu Waarabu wa Kibaggara wanaohama kila kukicha wakitafuta maji lazima wapeleke mifugo wao kusini zaidi, kwa ardhi ambao inadhibitiwa na watu wanaolima ardhi.<ref>{{Cite web|url=http://www.alertnet.org/db/blogs/1265/2007/06/30-100806-1.htm|title=Looking to water to find peace in Darfur|publisher=Reuters AlertNet|author=Nina Brenjo|date=2007-07-30|accessdate=2008-01-22|archivedate=2007-12-13|archiveurl=https://web.archive.org/web/20071213132239/http://www.alertnet.org/db/blogs/1265/2007/06/30-100806-1.htm}}</ref>
====Pwani na maeneo yaliyo chini====
Kwa sababu za kihistoria zinazohusiana na [[biashara]], miji mikubwa zaidi Duniani na yenye utajiri mwingi inapatikana katika pwani. Katika nchi zinazoendelea, watu masikini zaidi huishi katika maeneo tambarare yanayofurika, kwa sababu ndiyo nafasi pekee inayopatikana, au ardhi ya kilimo yenye rutuba.Mkazi haya mara nyingi hukosa miundombinu kama vile daiki na mifumo ya kuonya mapema. Jamii masikini zaidi pia hukosa bima, akiba au mkopo wa karibu unaohitajika kujiokoa kutokana na majanga. Huku hali ya anga ikibadilika katika siku za usoni, kuna uwezekano kuwa maeneo ya pwani yenye watu wengi katika kila eneo mraba yatakumbwa na ongezeko la hatari ya kupanda kwa kiwango cha maji baharini na uharibifu kwa sababu ya matuki ya hali mbaya zaidi ya hewa.<ref name=ipccwg2c19 /> Kutokana na tofauti katika uwezo wa kukabiliana na mabadiliko haya, maeneo ya pwani katika nchi zinazoendelea yatakumbwa na ugumu zaidi wa kuliko pwani za nchi zilizoendelea.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Utafiti wa mwaka wa 2006 uliofanywa na Nicholls na [[Richard Tol|Tol]] unatilia maanani madhara yanayotokana na kupanda kwa kiwango cha maji baharini:<ref>{{Cite journal
|date=2006
|title=Impacts and responses to sea-level rise: a global analysis of the SRES scenarios over the twenty-first century
|author=Nicholls, R.J. and R.S.J. Tol
|journal=Phil. Trans. R. Soc. A
|volume=364
|page=1073
|doi=10.1098/rsta.2006.1754
|url=http://www.fnu.zmaw.de/fileadmin/fnu-files/publication/tol/RM7168.pdf
|accessdate=2009-05-20
|archive-date=2009-09-02
|archive-url=https://web.archive.org/web/20090902233748/http://www.fnu.zmaw.de/fileadmin/fnu-files/publication/tol/RM7168.pdf
|dead-url=yes
}}</ref>
<blockquote>[...] Dunia za siku zijazo zitakazokumbwa na hatari ya ongezeko la kiwango cha maji baharini zinaonekana kuwa za mifano ya IPCC za A2 na B2, amabalo kimsingi inaonyesha tofauti katika hali ya kijamii na kiuchumi (idadi ya watu katika pwani fulani, [[Pato la Taifa]] (GDP) na Pato la Taifa la Kila mtu kibinafsi), badala ya kiasi cha ongezeko la maji baharini. Visiwa vidogo na maeneo ya kidelta huwa hatarini zaidi kama inavyoonekana katika uchambuzi mwingi wa mapema. Pamoja, matokeo haya yanaonyesha kwamba jamii za kibinadamu zitakuwa na chaguo zaidi kuhusu jinsi zinavyojibu ongezeko la kiwango cha maji baharini zaidi kuliko inavyodhaniwa. Hata hivyo, hitimisho hili linahitaji kuambatana na utambuzi kuwa bado hatuelewi machaguzi haya na athari kubwa bado zinzwezekana.</blockquote>
====Uhamiaji====
Baadhi ya visiwa vya mataifa ya bahari la Pasifiki, kama vile [[Tuvalu]], yana wasiwasi kuhusu uwezekano wa kulazimishwa kuhama, kwani hawajimudu kiuchumi kujinga dhidi ya mafuriko. Tuvalu tayari ina mkataba wa kidharura na nchi ya New Zealand kuruhusu kuhamishwa wa kihatua.<ref>[http://www.guardian.co.uk/climatechange/story/0,12374,1063181,00.html Unnatural disasters] ''Andrew Simms'' The Guardian Oktoba 2003</ref>
Katika miaka ya 1990 aina nyingi ya makadirio ilitaja idadi ya wakimbizi wa kimazingira kuwa karibu milioni 25. (Wakimbizi wa kimazingira hawajumuishwi katika ufafanuzi rasmi wa [[mkimbizi]] ambao hunajumuisha tu wahamiaji wanaotoroka mateso. Jopo la Kimataifa la Mabadiliko ya Hali ya Anga (IPCC kwa Kiingereza), ambalo linashauri serikali za Dunia chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa, lilikadiria kuwa wakimbizi milioni 150 wa kimazingira watakuwepo kufikia mwaka wa 2050, kutokana na madhara ya mafuriko katika pwani, mmonyoko wa udongo katika maeneo ya pwani na matatizo ya kilimo (milioni 150 inamaanisha kuwa million 1.5% ya wakazi wote bilioni 10 wa Duniani waliokadiriwa kufikia mwaka wa 2050).<ref>{{Cite web |url=http://www.risingtide.nl/greenpepper/envracism/refugees.html |title=Hidden statistics: environmental refugees |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20050223042051/http://www.risingtide.nl/greenpepper/envracism/refugees.html |archivedate=2005-02-23 }}</ref><ref>[https://web.archive.org/web/20050223042051/http://www.risingtide.nl/greenpepper/envracism/refugees.html Hidden statistics: environmental refugees] Archived version</ref>
====Njia ya kaskazini magharibi====
[[Image:Arctic Ice Thickness.png|250px|right|thumb|Mabadiliko ya upana wa barafu ya eneo la Aktiki kutoka miaka ya 1950 hadi miaka ya 2050 ilivyofanywa kimfano katika mojawapo ya Mahabara ya Kijiofizikia yanayotafiti Mabadiliko ya Maji (GFDL) kutokana na majaribio ya R30 ya mzunguko wa anga juu ya bahari.]]
Barafu ya eneo la Aktiki inayoyeyuka inaweza kufungua njia ya kasakazini magharibi katika majira ya kiangazi, jambo linaloweza kusababisha kupungua kwa njia za meli kwa kiwango cha maili za kinautiki 5,000 (kilomita 9,000) kati ya Bara Ulaya na Asia. Jambo hili litakuwa la kimanufaa sana hasa kwa mapipa makubwa ambayo hayawezi kutoshea kupita katika eneo la [[Mfereji wa Panama]] na kwa sasa yanalazimishwa kuzunguka ncha ya Marekani ya Kusini. Kwa mujibu wa Huduma ya Barafu ya Kanada, kiwango cha barafu katika eneo la magharibi la Kanada visiwa vya Aktiki lilipungua kwa kiwango cha 15% kati ya mwaka wa 1969 na mwaka wa 2004.<ref>[http://www.washingtontimes.com/specialreport/20050612-123835-3711r.htm ''www.washingtontimes.com'']</ref>
Mnamo Septemba mwaka wa 2007, Kofia ya Barafu ya eneo la Aktiki ilirudi nyuma kiasi kwamba Njia ya Kaskazini Magharibi iliweza kupitika na meli kwa mara ya kwanza katika historia iliyorekodiwa.<ref>{{Cite news | title=Arctic ice levels at record low opening Northwest Passage | newspaper=Wikinews | url=http://en.wikinews.org/wiki/Arctic_ice_levels_at_record_low_opening_Northwest_Passage}}</ref>
Mnamo Agosti, mwaka wa 2008, barafu ya baharini iliyokuwa ikiyeyuka ilifungua kwa wakati mmoja Njia ya Kaskazini magharibi na njia ya bahari ya kasakazini, kuifanya iwezekane kusafiri kwa meli katika eneo la kofia ya barafu ya Aktiki.<ref name="dailymail.co.uk">[http://www.dailymail.co.uk/news/article-1050990/The-North-Pole-island-time-history-ice-melts.html dailymail.co.uk, The North Pole becomes an 'island' for the first time in history as ice melts]</ref> Njia ya Kaskazini magharibi ilifunguliwa mnamo tarehe 25 Agosti, mwaka wa 2008, na eneo lililobaki la ulimi wa barafu lililokuwa linafuna njia ya Bahari ya Kasakazini lilimumunyika siku chache zilizofuata. Kwa sababu ya kupungua kwa eneo la Aktiki, kikundi cha Beluga cha Bremen, Ujerumani, kilitangaza mipango ya kutuma meli ya kwanza katika Njia ya Bahari ya Kaskazini mano mwaka wa 2009.<ref name="dailymail.co.uk" />
====Maendeleo====
Madhara ya pamoja ya ongezeko la joto Duniani huenda yakawa na athari kali sana hasa kwa binadamu na nchi ambazo hazina rasilimali za kupunguza athari hizo. Hili linaweza kufanya maendeleo ya kiuchumi na upunguzaji wa umaskini uwe mgumu, na kiufanya iwe vigumu zaidi kuyafikia [[Malengo ya Maendeleo ya Milenia]].<ref>{{Cite web|url=http://www.odi.org.uk/iedg/publications/climate_change_web.pdf|title=Poverty Reduction, Equity and Climate Change: Global Governance Synergies or Contradictions?|author=Richards, Michael|publisher=Overseas Development Institute|accessdate=2007-12-01|format=PDF|archivedate=2003-04-06|archiveurl=https://web.archive.org/web/20030406125549/http://www.odi.org.uk/iedg/publications/climate_change_web.pdf}}</ref>
Mnamo Oktoba mwaka wa 2004 Kikundi Tendakazi kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Anga na Maendeleo, muungano wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ya maendeleo na mazingira, ilitoa ripoti [http://www.iied.org/pubs/display.php?o=9512IIED iliyoitwa Kuteketea] kuhusu jinsi mabadiliko ya hali ya anga yanavyoathiri maendeleo. Ripoti hii, na ripoti ya Julai 2005 [http://www.iied.org/pubs/display.php?o=9560IIED Afrika - Yateketea?] zilitabiri ongezeko la njaa na magonjwa kwa sababu ya upungufu wa mvua na hali mbaya ya hewa, hasa Barani Afrika. Haya huenda yakawa na madhara mabaya kwa maendeleo kwa wale walioathirika.
===Mifumo ya kiikolojia===
{{See also|Hatari ya kuangamia kutokana na ongezeko la joto duniani}}
Ongezeko la joto Duniani ambalo halidhibitiwi linaweza kuathiri maeneo mengi ya kiikolojia ardhini. Ongezeko la kipimo cha joto Duniani kunamaanisha ya kuwa mifumo ya kiikolojia itabadilika; baadhi ya [[spishi]] wanalazimishwa kuhama makazi yao (huku viumbe hao wakikabiliana na uwezekano wa kuangamia) kwa sababu ya hali ya anga inayobadilika, huku wengine viumbe wakinawiri. Athari zaidi za ongezeko la joto Duniani, kama vile kupungua kwa theluji milimani, kupanda kwa eneo la bahari lenye maji, na mabadiliko ya hali ya hewa, yanaweza kuathiri si tu shughuli za kibinadamu bali hata mfumo wa kiikolojia. Kusoma kuhusu uhusiano kati ya hali ya anga ya Dunia na kuangamia kwa viumbe katika kipindi kilichopita cha miaka milioni 520, wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha York wanaandika, "Vipimo vya joto Duniani vilivyotabiriwa kwa karne zinjazo vinaweza kusababisha ‘tukio jipya kubwa la maangamizi ya viumbe’, ambapo zaidi ya asilimia 50 ya spishi za wanyama na mimea itaangamizwa.
Spishi wengi ambao wamo hatarini ni wanyama wa eneo la Aktiki na Antaktiki kama vile [[dubu]] wa kipola<ref>{{Cite journal | last = Amstrup | first=Steven C. | coauthors = [[Ian Stirling]], Tom S. Smith, Craig Perham, Gregory W. Thiemann | date = 2006-04-27 | title = Recent observations of intraspecific predation and cannibalism among polar bears in the southern Beaufort Sea | journal = Polar Biology | volume = 29 | issue = 11 | pages = 997–1002 | doi = 10.1007/s00300-006-0142-5}}</ref> na Penguini wa Kaisari<ref>{{Cite journal | last = Le Bohec | first = Céline | coauthors = Joël M. Durant, Michel Gauthier-Clerc, Nils C. Stenseth, Young-Hyang Park, Roger Pradel, David Grémillet, Jean-Paul Gendner, and Yvon Le Maho | title = King penguin population threatened by Southern Ocean warming | journal = [[Proceedings of the National Academy of Sciences]]
| volume = 105| issue = 7| pages = 2493| date = 2008-02-11 | url = http://www.pnas.org/cgi/content/abstract/0712031105v1
| doi = 10.1073/pnas.0712031105 | accessdate = 2008-02-13 | format = abstract | pmid = 18268328 | pmc = 2268164}}</ref>. Katika eneo la Aktiki, maji ya Bandari la Hudson hayana barafu kwa wiki tatu au zaidi kuliko miaka thelathini iliyopita, hivyo kuathiri dubu wa kipola wanaokaa pale, ambao hupendelea kuwinda katika barafu ya bahari.<ref>[http://www.lrb.co.uk/v27/n01/byer01_.html On Thinning Ice] {{Wayback|url=http://www.lrb.co.uk/v27/n01/byer01_.html |date=20091001174901 }} by Michael Byers ''London Review of Books'' Januari 2005</ref> Spishi ambao wanategemea hali baridi za hewa kama vile gyrfalcon, na ndege wa theluji ambao huwinda Lemmings ambao hutumia maji baridi wakati wa majira ya baridi kwa faida yao huenda wakaathirika vikali.<ref>{{Cite web |url=http://ec.europa.eu/environment/nature/conservation/wildbirds/action_plans/docs/falco_rusticolis.pdf |title=International Species Action Plan for the Gyrfalcon Falco rusticolis |publisher=BirdLife International |year=1999 |author=Pertti Koskimies (compiler) |accessdate=2007-12-28|format=PDF}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://aknhp.uaa.alaska.edu/zoology/species_ADFG/ADFG_PDFs/Birds/Snowy%20Owl_ADFG_final_2006.pdf |title=Snowy Owl |publisher=University of Alaska |year=2006 |accessdate=2007-12-28|format=PDF}}</ref> Wanyama wa majini bila uti wa mgongo hufurahia ukuaji wa kilele katika vipimo vywa joto ambavyo wamevizoea, bila kujali kiasi cha baridi, na wanyama wenye damu baridi wanaopatikana katika maeneo ya latitiudi za juu na urefu wa juu kwa jumla hukuwa kwa kasi kwa sababu ya msimu wa kipindi kifupi cha ukuaji.<ref>{{Cite journal
| author=Arendt, J.D.
| title=Adaptive intrinsic growth rates: an integration across taxa
| year=1997
| journal=[[The Quarterly Review of Biology]]
| volume=72
| issue=2
| pages=149–177
| url=http://links.jstor.org/sici?sici=0033-5770%28199706%2972%3A2%3C149%3AAIGRAI%3E2.0.CO%3B2-X
| doi=10.1086/419764}}
</ref> Hali inayokuwa na joto jingi kuliko kawaida inasababisha viango vikubwa zaidi vywa kimetaboliki na baada ya hapo kupungua kwa ukubwa wa kimwili licha ya kuongezeka kwa utafutaji wa chakula, jambo amablo linaongeza hatari ya ya kuwindwa. Hakika , hata ongezeko ndogo la la kipimo cha joto wakati wa maendeleo ya ukuaji wa mnyama unasababisha hitilafu katika ufanisi wa ukuaji na viwango bvya kuishi katika samaki wa aina ya Rainbow trout.<ref>{{Cite journal
| author=Biro, P.A., ''et al.''
| year=2007
| month=Juni
| title=Mechanisms for climate-induced mortality of fish populations in whole-lake experiments
| journal=[[Proceedings of the National Academy of Sciences]]
| volume=104
| issue=23
| pages=9715–9719
| doi=10.1073/pnas.0701638104
| issn=1091-6490
| pmid=17535908
| pmc=1887605}}
</ref>
Ongezeko la joto limeanza kuwa na madhara wazi kwa wanyama<ref>{{Cite web |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/4313726.stm |title=Animals 'hit by global warming'| author=Time Hirsch |publisher=[[BBC]] News |date=2005-10-05 |accessdate=2007-12-29}}</ref>, na [[vipepeo]] wamehama hadi maeneo ya kasakazini kwa kiasi cha kilomita 200 Barani Ulaya na Marekani Kaskazini. Mimea hubaki nyuma na kuhama kwa wanyama wakubwa unafanywa kuwa pole pole kwa sababu ya miji na barabara. Nchini Uingereza, vipepeo wa majira ya baada ya baridi wanatokea kwa wastani siku 6 mapema kuliko miongo miwili ilyopita<ref>{{Cite journal |url=http://www.nature.com/nature/journal/v416/n6879/pdf/416389a.pdf |title= Ecological responses to recent climate change |journal=[[Nature (journal)|Nature]] |last=Walther |first=Gian-Reto |coauthors=Eric Post, Peter Convey, Annette Menzel, Camille Parmesan, Trevor J. C. Beebee, Jean-Marc Fromentin, Ove Hoegh-Guldberg, Franz Bairlein |volume=416 |number= |pages=389–395|date=28 Machi 2002 |doi= 10.1038/416389a|format=PDF}}</ref>.
Makala ya mwaka 2002 katika jariida la ''Maumbile'' yalitafiti maandiko ya kisayansi ili kupata mabadiliko ya hivi karibuni ya misimu mbalimbali ya spishi za mimea na wanyama.Kutokana na spishi ambazo zimeonyesha mabadiliko ya hivi karibuni, 4 kati ya 5 zilihamisha maeneo yao ya kimakazi kuelekea maeneo ya kaskazini na kusini mwa Dunia au maeneo ya urefu mkubwa zidi, kuunda "spishi za kikimbizi". Vyura walikuwa wakizaana, maua yalikuwa yanamea na ndege walikuwa wakihama kwa wastani siku 2.3 mapema kila muongo; vipepeo, ndege na mimea kuelekea ncha za Dunia kwa kiwango cha kilomita 6.1 kila muongo. Utafti wa mwaka 2005 ulihitimisha ya kuwa shughuli za kibinadamu ndiyo sababu ya ongezeko la joto na mabadiliko ya tabia ya spishi yanayoonekana kwa sasa, na unahusisha matokeo haya na makadirio ya mifumo ya hali ya anga ili kutoa kuhakikisha makadirio hayo<ref>{{Cite web |url=http://iis-db.stanford.edu/pubs/20887/PNAS_5_16_05.pdf |title=''www.stanford.edu'' |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060917020212/http://iis-db.stanford.edu/pubs/20887/PNAS_5_16_05.pdf |archivedate=2006-09-17 }}</ref>. Wanasayansi wameona lkuwa nyasi ya kinywelenywele ya eneo la Antaktiki inazidi kumea katika maeneo ya Antaktika ambapo hapo awali haikupatikana kwa wingi.<ref>[http://www.heatisonline.org/contentserver/objecthandlers/index.cfm?id=5014&method=full Grass flourishes in warmer Antarctic] originally from [[The Times]], Desemba 2004</ref>
Utafiti wa kimekanika umefanya kumbukumbu ya kuangamia kwa wanyama kwa sababu ya mabadilikom ya hali ya anga ya hivi karibuni: McLaughlin ''na wengineo.'' alitengeneza kumbukumbu ya wakazi wawili wa kipepeo wa aina ya
Bay checkerspot butterfly akihatarishwa na mabadiliko ya usimbishaji.<ref name="McLaughlin">{{Cite journal |last= McLaughlin |first= John F. |coauthors= ''et al.'' |date= 2002-04-30 |title= Climate change hastens population extinctions |journal= [[Proceedings of the National Academy of Sciences|PNAS]] |volume= 99 |issue= 9 |pages= 6070–6074 |doi= 10.1073/pnas.052131199 |url= http://www.nd.edu/~hellmann/pnas.pdf |format= [[Portable Document Format|PDF]] |accessdate= 2007-03-29 |pmid= 11972020 |pmc= 122903 |archive-date= 2005-04-05 |archive-url= https://web.archive.org/web/20050405173535/http://www.nd.edu/~hellmann/pnas.pdf |dead-url= yes }}</ref>
Parmesan anadokeza, "Utafiti mchache umefanywa kwa ukubwa ambao unajumuisha spishi nzima"<ref>{{Cite journal |last= Permesan |first= Camille |date= 2006-08-24 |title= Ecological and Evolutionary Responses to Recent Climate Change |journal= [[Annual Review of Ecology, Evolution, and Systematics]] |volume= 37 |pages= 637–669 |doi= 10.1146/annurev.ecolsys.37.091305.110100 |url= http://cns.utexas.edu/communications/File/AnnRev_CCimpacts2006.pdf |format= [[Portable Document Format|PDF]] |accessdate= 2007-03-30 |archive-date= 2007-01-05 |archive-url= https://web.archive.org/web/20070105021545/http://cns.utexas.edu/communications/File/AnnRev_CCimpacts2006.pdf |dead-url= yes }}</ref> na McLaughlin ''na wengineo.'' alikubali "utafiti mdogo wa kimekania umehusisha kuangamia kwa wanyama na mabadiliko ya hivi karibuni ya hali ya anga."<ref name="McLaughlin" /> Daniel Botkin na waandishi wengine katika utafiti mmoja wanaamini kuwa viwango vya kuangamia kwa wanyama vilivyokadiriwa ni vimekadiriwa kupita kiasi cha kweli.<ref>{{Cite journal |last=Botkin |first=Daniel B. |coauthors=''et al.'' |year=2007 |month=Machi |title=Forecasting the Effects of Global Warming on Biodiversity |journal=[[BioScience]] |volume=57 |issue=3 |pages=227–236 |doi=10.1641/B570306 |url=http://www.imv.dk/Admin/Public/DWSDownload.aspx?File=%2FFiles%2FFiler%2FIMV%2FPublikationer%2FFagartikler%2F2007%2F050307_Botkin_et_al.pdf |accessdate= 2007-11-30|format=PDF}}</ref>
Spishi wengi wa maji yasiyokuwa na chumvi na mimea na wanyama wa maji yenye chumvi wanategemea maji yanayotiokana na theluji ili kuhakikisha makao baridi ambao wameyazoea. Baadhi ya spishi za samaki ambao si wa maji yasiyokuwa na chumvi wanahitaji maji baridi ili kuishi na kuzaana, na hili ni kweli hasa kwa Salmoni na aina ya samaki wa [Cutthroat trout. Kupungua kwa maji kutoka theluji kunasababisha maji kidogo katika vijito yanaoweza kuruhusu spishi hizi kustawi. Spishi mmoja muhimu aitwaye Krilli wa Baharini, anapendelea maji baridi na ndiye chanzo msingi cha chakula kwa viumbe [[mamalia]] kama vile nyangumi wa Bluu<ref>{{Cite news | last = Lovell | first = Jeremy | title = Warming Could End Antarctic Species | publisher = CBS News | date = 2002-09-09 | url = http://www.cbsnews.com/stories/2002/09/09/tech/main521258.shtml | accessdate = 2008-01-02 | archivedate = 2008-01-17 | archiveurl = https://web.archive.org/web/20080117201441/http://www.cbsnews.com/stories/2002/09/09/tech/main521258.shtml }}</ref>. Mabadiliko kwa [[mawimbi ya bahari]], kwa sababu ya ongezeko la maji yasiyokuwa na chumvi kutoka theluji inayoyeyuka, na mabadiliko yanayowezekana kutokana na mzunguko wa thermohaline wa bahari za Dunia, huenda kukaathiri maeneo ya kushikia samaki ya sasa ambayo binadamu wanategemea pia.
Kiumbe aitwaye ''lemuroid possum mweupe'', anayepatikana tu katika misitu ya milimani ya eneo la kasakzini la Queensland, ametakjwa kama spishi wa kwanza wa kimamalia kuangamizwa na ongezeko la joto Duniani linalosababishwa na binadamu. Possum mweupe hajaonekana kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu. Possum hawa hawawezi kuishi katika vipimo vya joto vya zaidi ya 30 °C (86 °F) kwa kipindi kirefu, jambo lililofanyika mnamo mwaka wa 2005. Safari ya mwisho ya kiupelelezi ya kutafuta Possum wowote weupe ambao bado wako hai kilifaa kwanza mwaka wa 2009.<ref>{{Cite web |url=http://www.news.com.au/couriermail/story/0,23739,24742053-952,00.html |title=White possum said to be first victim of global warming |accessdate=2008-12-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081205100341/http://www.news.com.au/couriermail/story/0,23739,24742053-952,00.html |archivedate=2008-12-05 }}</ref>
====Misitu====
[[Image:Northern Forest Trend in Photosynthetic Activity.gif|thumb|250px|right]]
Misitu ya Paini katika eneo la Pine [[British Columbia]] imeharibiwa na uvamizi wa mdudu wa paini, uvamizi huu umeenea bila kukoma tangu mwaka wa 1998 angalau kwa sababu ya ukosefu wa majira ya bairi kali tangu wakati huo; siku chache za baridi kali zinaweza kuwauwa wengi wa wadudu hao waharibifu na hapo zamani siku kama hizo ziliweza kufanya uharibifu huo usienee. Uvamizi huo wa wadudu, ambao (kufikia Novemba mwaka wa 2008) ulikuwa umeuwa karibu nusu ya miti ya aina hiyo katika jombo (ekari milioni 33 au 135,000 km²)<ref>{{Cite web |url=http://mpb.cfs.nrcan.gc.ca/index_e.html |title=Natural Resources Canada |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100613003653/http://mpb.cfs.nrcan.gc.ca/index_e.html |archivedate=2010-06-13 }}</ref><ref name="robbins">Jim Robbins, [http://www.nytimes.com/2008/11/18/science/18trees.html?em|Bark Beetles Kill Millions of Acres of Trees in West], New York Times, 17 Novemba 2008</ref> ni idadi ambayo haijawahi kubwa ambayo haijawahi kufikiwa tena<ref name="kurz">Werner Kurz et al. [http://www.nature.com/nature/journal/v452/n7190/abs/nature06777.html Mountain pine beetle and forest carbon feedback to climate change], ''Nature'' 452, 987-990 (24 Aprili 2008).</ref> na iliisha kupitia upepo mkali ambao haukuwa wa kawaida mnamo mwaka wa 2007 kati mgawanyo wa kibara kuelekea Alberta. Ugonjwa katika eneo kubwa, pia ulianza, lakini wa kiwango cha chini, mnamo mwaka w 1999 katika maeneo la Colorado, Wyoming na MOntana. Shirika la Huduma ya Misitu la Marekani linakadiria ya kuwa kati ya mwaka 2011 na 2013 karibu miti yote ya paini ya aina ya lodgepole iliyo zaidi ya inchi tano kwa upana (milimita 127) itapotea<ref name="robbins" />.
Kwa sababu misitu ya kaskazini ni eneo ambapo gesi ya kaboni huingia, huku misitu iliyokauka ikiwa chanzo kikubwa cha kaboni, kupota kwa kiasi kikubwa kama hicho cha msitu kinazidisha uvamizi wa wadudu katika misitu ya Biritish Columbia pekee inakaribia ya mwaka wa kawaida wa mioto ya misituni katika eneo lote la [[Kanada]] au kutolewa kwa miaka tano kutoka vyanzo vya usafiri vya nchi hiyo<ref name="kurz" /><ref>[http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=89942771 Pine Forests Destroyed by Beetle Takeover], [[National Public Radio|NPR]]'s[[Talk of the Nation]], 25 Aprili 2008</ref>.
Mbali na matokeo wazi ya kiikolojia na kiuchumi, misitu mikubwa iliyokufa huleta hatari ya moto. Hata misitu mingi inayoonekana kuwa yenye afya inaonekana kuwa katika hatari ya mioto ya misitu kwa sababu ya ongezeko la joto. Miaka kumi ya wastani ya misitu iliyochemeka katika eneo la Marekani kasakazini, baada ya miongo mingi ya karibu 10,000 km² (ekari milioni 2.5), imeongezeka polepole tangu 1970 hadi zaidi ya 28,000 km² (kari milioni 7) kila mwaka.<ref>[http://www.usgcrp.gov/usgcrp/nacc/education/alaska/ak-edu-5.htm US National Assessment of the Potential Consequences of Climate Variability and Change] {{Wayback|url=http://www.usgcrp.gov/usgcrp/nacc/education/alaska/ak-edu-5.htm |date=20140222044749 }} Regional Paper: Alaska</ref>. Ingawa mbadiliko katika mbinu za usimamizi wa misitu huenda ukawa umechangia mabadiliko haya, katika eneo la magharibi la Marekani, tangu mwaka wa 1986, majira marefu zaidi ya kiangazi yamesababisha mioto mikubwa ya misituni kuongezeka mara nne na maeneo yanayochomwa kuongezeka mara sita, ikilinganishwa na kipindi kati ya 1970 na 1986. Ongezeko sawa la mioto ya misituni imeripotiwa nchini Kanada kati ya mwaka wa 1920 na 1999.<ref>{{Cite web |url=http://www.sciencemag.org/cgi/content/short/313/5789/927 |title=Science Magazine - August 2006 "Is Global Warming Causing More, Larger Wildfires?" - Steven W. Running |accessdate=2010-01-15 |archivedate=2009-02-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090210134640/http://www.sciencemag.org/cgi/content/short/313/5789/927 }}</ref>
Mioto ya misitu nchini [[Indonesia]] imeongezeka pakubwa tangu mwaka wa 1997 pia. Mioto hii mara nyingi huanzishwa kimakusudi ili kuondoa msitu kwa ajili ya kilimo. Mioto hii inaweza kusababisha maeneo yenye kuni ya kaboni kushika moto katika kanda hiyo na gesi ya kaboni monoksaidi inayotolewa imekadiriwa, katika mwaka wa kawaida, kuwa 15% ya kiwango cha kaboni moksaidi kinachotolewa na uchomaji wa kuni za fosili.<ref>BBC News: [http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/4208564.stm Asian peat fires add to warming]</ref>
====Milima====
[[Milima]] huchukua takriban asilimia 215 ya eneo la Dunia na huwa makao ya zaidi ya idadi moja kwa kumi ya idadi ya binadamu Duniani. Mabadiliko katika hali ya anga yanasababisha idadi nyingi ya hatari kwa wakazi wa milima<ref>[http://www.sciencedirect.com/science?_ob=ArticleURL&_udi=B6VFV-4MY0TS1-1&_user=4225319&_coverDate=10%2F31%2F2007&_rdoc=12&_fmt=summary&_orig=browse&_srch=doc-info(%23toc%236020%232007%23999829996%23668309%23FLA%23display%23Volume)&_cdi=6020&_sort=d&_docanchor=&_ct=17&_acct=C000048559&_version=1&_urlVersion=0&_userid=4225319&md5=b28529ce89b28da5f49792dfebeef70b&errMsg=1 Exposure of global mountain systems to climate warming during the 21st Century] {{Wayback|url=http://www.sciencedirect.com/science?_ob=ArticleURL&_udi=B6VFV-4MY0TS1-1&_user=4225319&_coverDate=10%2F31%2F2007&_rdoc=12&_fmt=summary&_orig=browse&_srch=doc-info(%23toc%236020%232007%23999829996%23668309%23FLA%23display%23Volume)&_cdi=6020&_sort=d&_docanchor=&_ct=17&_acct=C000048559&_version=1&_urlVersion=0&_userid=4225319&md5=b28529ce89b28da5f49792dfebeef70b&errMsg=1 |date=20090105015350 }} Science Direct</ref>. Watafiti wanatarajia kuwa baada ya kipindi kirefu, hali ya anga litaathiri mifumo ya kiikoloji ya milima na maeneo tambarare, iadadi na nguvu ya mioto ya misitu, utofauti wa wanyamapori, na usambazaji wa maji.
Utafiti unaonyesha ya uwa hali ya anga yenye joto zaidi nchini Marekani huenda ikasababisha wakazi wa maeneo ya chini kuhama kuelekea maeneo ya juu zaidi ya kialpaini.<ref>[http://www.epa.gov/climatechange/effects/downloads/potential_effects.pdf The Potential Effects Of Global Climate Change On The United States] Report to Congress Editors: Joel B. Smith and Dennis Tirpak US-EPA Desemba 1989</ref> Kuhama kwa aina hiyo kutashambulia miti nadra ya Kialpaini na makazi mengine katika maeneo yaliyoko juu. Mimea na wanyama wa maeneo ya kimo cha juu wana nafasi ndogo kwa makazi mapya kadiri wanavyohama milimani ili kukabiliana na mabadiliko ya muda mrefu ya hali ya anga ya kikanda
Mabadiliko ya hali ya anga pia yataathiri kina cha theluji milimani. Mabadiliko yoyote katika kuyeyeka kwao wa kimsimu kunaweza kuwa na matokeo makali kwa maeneo yanayotegemea maji bila chumvi kutoka milima hiyo. Vipimo vya joto vimavyozidi kupanda vinaweza kusababisha theluji kuyeyuka mapema na haraka katika msimu unaotokea kabla ya kiangazi na kubadilisha wakati maji yanapotoka milimani na jinsi yatakavyotoka pale. Mabadiliko haya yanaweza kuathiri upatikanaji wa maji yasiyokuwa na chumvi kwa mifumo ya kimaumbile na matumizi ya binadamu.<ref>{{Cite press release | title = Freshwater Issues at ‘Heart of Humankind’S Hopes for Peace and Development’ | publisher = [[United Nations]] | date = 2002-12-12 | url = http://www.un.org/News/Press/docs/2002/ENVDEV713.doc.htm | accessdate = 2008-02-13}}</ref>
====Uzalishaji wa kiikolojia====
Kulingana na jarida la mwaka 2003 la Smith na Hitz, ni jambo la busara kudokeza kuwa uhusiano kati ya ongezeko la kipimo cha joto cha wastani cha joto Duniani na uzalishaji wa kiikolojia ni wa kiparaboli. Ukolezi mwingi zaidi wa gesi ya kaboni daioksaidi kutasaidia mimea kukuwa na kutosheleza mahitaji ya maji. Mwanzoni vipimo vya juu vya joto vinaweza kusaidia ukuaji wa mimea. Hatimaye, ongezeko la ukuaji litafikia kilelel halafu litaanza kushuka.<ref>{{Cite web
|date=2003
|title=OECD Workshop on the Benefits of Climate Policy: Improving Information for Policy Makers. Background Paper: Estimating Global Impacts from Climate Change
|publisher=[[Organisation for Economic Co-operation and Development]]
|author=Smith, J. and Hitz, S.
|page=Page 66
|url=http://www.oecd.org/dataoecd/9/60/2482270.pdf
|accessdate=2009-06-19}}</ref> Kulingana na ripoti ya IPCC, ongezeko la kimataifa la joto linalozidi 1.5-2.5°C (ikilinganishwa na kipindi cha 1980-99), litakuwa na matokeo mabaya kwa mfumo wa kiikolojia, bidhaa na huduma, k.m., ugavi wa maji na chakula.<ref name="WG2 AR4 SPM" /> Utafiti uliofanywa na [http://pages.unibas.ch/botschoen/scc/index.shtml Mradi wa Kiswidi kuchunga Miti] {{Wayback|url=http://pages.unibas.ch/botschoen/scc/index.shtml |date=20110927151444 }} ulipendekeza ya kuwa miti inayokuwa polepole hufanywa kuwa kwa kipindi kifupi chini ya viwango vya juu zaidi vya gesi ya CO<sub>2</sub>, huku miti inayokuwa kwa kasi kama vile liana, hufaidika baada ya kipindi kirefu. Kwa jumla, lakini hasa katika [[misitu ya mvua]], hili linamaanisha kuwa liana huwa ndiyo spishi inayopatikana kwa wigi; na kwa sababu liana huoza haraka kuliko miti kaboni anayopatikana ndani yao inarudishwa haraka zaidi angani, Miti inayokuwa polepole huweka kwa ndani kaboni ya annga kwa miongo mingi.
===Uhaba wa maji===
{{See also|Uhaba wa maji}}
Kupanda kwa eneo lenye maji baharini kunakadiriwa kuongezeka kuingia kwa maji ya chumvi katika maji yaliyo chini ya ardhi katika maeneo mbalimbali, na kuathiri maji ya kunywa na kilimo katika maeneo ya pwani.<ref>{{Cite web |url=http://yosemite.epa.gov/oar/GlobalWarming.nsf/content/ResourceCenterPublicationsSeaLevelRiseIndex.html |title=EPA : Global Warming : Resource Center : Publications : Sea Level Rise : Sea Level Rise Reports<!-- Bot generated title --> |accessdate=2010-01-15 |archivedate=2007-10-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071005061922/http://yosemite.epa.gov/oar/globalwarming.nsf/content/ResourceCenterPublicationsSeaLevelRiseIndex.html }}</ref> Ongezeko la uvukizi kutapunguza ufanisi wa hifadhi za maji. Ongezeko la hali kali ya hewa kunaamanisha kuwa maji mengi zaidi yanaanguka katika ardhi ngumu na na kushindwa kuyachukua maji hayo ndani, hivyo kupelekea mafuriko ya muda kutokea badala ya kuyaongeza maji yale ardhini au katika maji yaliyo chini ya ardhi. Katika maeneo mengine, theluji zinazopungua kwa ukubwa zinatishia upatikanaji wa maji.<ref>[http://www.opendemocracy.net/globalization-climate_change_debate/kazakhstan_2551.jsp Kazakhstan: glaciers and geopolitics] ''Stephan Harrison'' Open Democracy Mei 2005</ref>
Tishio linalozidi la glaciers ltakuwa na athari mbalimbali. Katika maeneo ambayo yanategemea sana maji kutoka theluji yanayoyeyuka wakati wenye joto wa wa miezi ya msimu wa kiangazi, kuendelea kwa kurudi nyuma kwa mwishowe kutasababisha theluji kupungua na kupunguza maji yanayotoka katika theluji au kukomesha kabisa maji yanayotoka pale. Kupungua kwa maji yanayotoka katika theluji kutaathii uwezo wa kuinyunyuzia mimmea na kupunguza mitiririko ya vijito katika msimu wa kiangazi unaohitajika kuongeza maji katika mabwawa na hifadhi za maji. Hali hii ni mbaya sana kwa unyunyiziaji wa mimmea Barani Marekani Kusini, ambapo maziwa mengi ya kujengwa hujazwa na muyeyusho wa theluji pekee.{{Ref harv|peru2|BBC|BBC}} CNchi za Asia ya kati pia kihistoria zimekuwa zikitegemea maji yanayoyeyuka kutoka theluji kila msimu kwa unyunyziaji mimmea na hifadhi za maji ya kunywa. Nchini Norway, milima ya Alps na katika eneo la Kaskazini magharibi kwa Pasifiki la Marekani ya Kaskazini mtiririko wa maji kutoka thluji ni muhimu kwa kuzalisha umeme kwa kutumia maji. Vipimo vya juu zaidi vya joto pia vitaongeza mahitaji ya maji kwa madhumuni ya kupoesha na kukata kiu.
Katika eneo la [[Sahel]], kumekuwa na kipindi kisicho cha kawaida cha mvua kuanzia mwaka wa 1950 hadi mwaka wa 1970, kikifuatiwa na miaka yenye kiangazi kingi kuanzia mwaka wa 1970 hadi mwaka wa 1990. Kuanzia mwaka wa 1990 hadi mwaka wa 2004 mvua ulirejea vipimo vya wastani vya kipindi cha miaka 1898–1993, lakini mabadiliko kuanzia mwaka mmoja hadi mwingine yalikuwa mengi.<ref name="Mitchell">{{Cite web |url=http://jisao.washington.edu/data_sets/sahel/ |title=Sahel rainfall index (20-10N, 20W-10E), 1900–2007 |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090321073627/http://jisao.washington.edu/data_sets/sahel/ |archivedate=2009-03-21 }}</ref><ref>{{Cite web | title=Temporary Drought or Permanent Desert? | url=http://earthobservatory.nasa.gov/Study/Desertification/desertification2.html | publisher=[[NASA]] Earth Observatory | accessdate=2008-06-23 | archivedate=2008-09-21 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20080921175448/http://earthobservatory.nasa.gov/Study/Desertification/desertification2.html | =https://web.archive.org/web/20080921175448/http://earthobservatory.nasa.gov/Study/Desertification/desertification2.html }}</ref>
===Afya===
Mbadiliko ya hali ya anga huchangia katika ongezeko la [[magonjwa]] na vifo vywa mapema. Maendeleo ya kiuchumi yataathiri jinsi ufanisi wa hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga utakua. Kwa mujibu wa ripoti ya IPCC, kuna uwezekano kuwa:
*mabadiliko ya hali ya anga yataleta faida chache, kama vile kupunua kwa vifo kutokana na baridi
*Urari wa matokeo chanya na hasi ya kiafya yatatofautiana toka eneo moja hadi lingine
*Athari mbaya zitakuwa nyingi zaidi katika nchi zenye mapato ya chini.
*Matokeo mabaya ya kiafya zinazotokana na mabadiliko ya hali ya anga yatazidi matokeo faida, hasa katika nchi zinazoendelea. Baadhi ya mifano ya matokeo mabaya ya kiafya ni ongezeko la [[utapiamlo]], ongezeko la vifo, magonjwa na majeraha kwa sababu ya mawimbi ya joto, mafuriko, dhoruba, moto, ukame na kuongezeka kwa visa vya magonjwa ya moyo na ya kupumua.<ref>{{Cite web
|date=2007
|title=Human health. ''Climate Change 2007: Impacts, Adaptation and Vulnerability. Contribution of Working Group II to the Fourth Assessment Report of the Intergovernmental Panel on Climate Change''
|publisher=Cambridge University Press
|author=Confalonieri, U., B. Menne, R. Akhtar, K.L. Ebi, M. Hauengue, R.S. Kovats, B. Revich and A. Woodward. M.L. Parry, O.F. Canziani, J.P. Palutikof, P.J. van der Linden and C.E. Hanson, Eds.
|page=Page 393
|url=http://www.ipcc.ch/publications_and_data/publications_ipcc_fourth_assessment_report_wg2_report_impacts_adaptation_and_vulnerability.htm
|accessdate=2009-05-20}}</ref>
According to a 2009 study by [[University College London|UCL]] academics, climate change and global warming pose the biggest threat to human health in the 21st century.<ref>{{Cite news
|date=14 Mei 2009
|title=Professor Anthony Costello: climate change biggest threat to humans
|work=[[The Times]]
|author=Lister, S.
|url=http://www.timesonline.co.uk/tol/news/uk/health/article6283681.ece
|accessdate=2009-08-08}}</ref><ref>{{Cite news
|date=14 Mei 2009
|title=Climate change: The biggest global-health threat of the 21st century
|work=[[University College London|UCL]] News
|url=http://www.ucl.ac.uk/news/news-articles/0905/09051501
|accessdate=2009-08-08}}</ref>
====Athari za moja kwa moja za ongezeko la kipimo cha joto====
Matokeo ya ongezeko la kipimo cha joto ambayo yanamathiri binadamu moja kwa moja zaidi ni athari ya vipimo vya juu zaidi vya joto. Vipimo vya joto vya juu zaidi vinaongeza idadi ya watu wanaokufa siku fulani kwa sababu nyingi: watu wenye matatizo ya moyo ni dhaifu zaidi kwa sababu lazima mfumo wa wa moyo ufanye kazi zaidi ili upoe wakati wa hali ya hewa yenye joto, kuchoka kutokana na joto na baadhi ya matatizo ya kupumua huongezeka. Ongezeko la joto Duniani huenda likamaanisha magonjwa zaidi ya moyo, madaktari wanaonya.<ref>[http://www.iht.com/articles/ap/2007/09/05/europe/EU-MED-Global-Warming-Hearts.php Global warming could mean more heart problems, doctors warn] {{Wayback|url=http://www.iht.com/articles/ap/2007/09/05/europe/EU-MED-Global-Warming-Hearts.php |date=20070907205539 }} Septemba 2007 Associated Press</ref> Kipimo cha joto cha hewa cha juu zaidi pia kinaongeza ukolezi wa ozoni katika ngazi ya chini. Katika anga ya chini, ozoni ni gesi hatari. Inaharibu tishu za mapafu, na kusababisha shida kwa watu wenye ugonjwa wa pumu na magonjwa mengine ya mapafu.<ref>{{Cite web|author=McMichael, A.J., Campbell-Lendrum, D.H., Corvalán, C.F., Ebi, K.L., Githeko, A., Scheraga, J.D. and Woodward, A. |year=2003|url=http://www.who.int/globalchange/climate/summary/en/index.html |title=Climate Change and Human Health – Risk and Responses |publisher=[[World Health Organization]], Geneva}}</ref>
Ongezeko la joto lina matokeo mawili kwa idadi ya vifo ya moja kwa moja ambayo hutendeka kinyume: Idadi kubwa ya vipimo vya joto wakati wa majira ya baridi hupunguza vifo kutokana na baridi; vipimo vya joto vya juu zaidi wakati wa majira ya kiangazi huongeza vifo kutokana na joto. Athari ya jumla ya matokeo haya ya moja kwa moja inatagemea inategemea hali ya anga ya eneo fulani. Palutikof ''na wengineo.'' (1996) alifanya hesabu na kupata kuwa nchini Uingereza na Wales kwa kila ongezeko la 1 °C la kipimo cha joto kupungua kwa vifo kutokana na baridi kunazidi ongezeko la joto kutokana na joto, hivyo basi kusababisha kupungua kwa idadi ya wastani ya vifo ambayo ni 7000,<ref>{{Cite journal |author=J.P. Palutikof, S. Subak and M.D. Agnew |title=Impacts of the exceptionally hot weather in 1995 in the UK |journal=Climate Monitor|volume= 25|number=3 |year=1996}}</ref> huko Keatinge ''na wengineo.'' (2000) “akidokeza kuwa ongezeko lolote la vifo kutokana na ongezeko la vipimo vya joto huenda likapitwa ndogo likilinganishwa na idadi kupungwa kwa idadi kubwa ya vifo kutokana na baridi.”<ref name="Keatinge2000">{{Cite journal | last = Keatinge | first = W. R. | authorlink = | coauthors = ''et al.'' | year = 2000 | month = | title = Heat related mortality in warm and cold regions of Europe: observational study | journal = British Medical Journal | volume = 321 | issue = 7262 | pages = 670–673 | id = | url = | accessdate = | quote =| doi = 10.1136/bmj.321.7262.670| pmid = 10987770 | pmc = 27480 }}</ref> Cold-related deaths are far more numerous than heat-related deaths in the United States, Europe, and almost all countries outside the tropics.<ref>[http://www.medscape.com/viewarticle/494582_2 The Impact of Global Warming on Health and Mortality]</ref> Katika kipindi cha miaka ya 1979–1999, jumla ya vifo 3,829 nchini Marekani vilihusishwa na joto jingi kutokana na hali ya hewa,<ref>[http://www.cdc.gov/mmwr/preview/mmwrhtml/mm5126a2.htm Heat-Related Deaths --- Four States, July--August 2001, and United States, 1979--1999]</ref> katika kipindi hicho pia jumla ya vifo 13,970 vilisababishwa miili ya waathirika kupigwa na baridi kali.<ref>[http://www.cdc.gov/mmwr/preview/mmwrhtml/mm5104a2.htm Hypothermia-Related Deaths --- Utah, 2000, and United States, 1979--1998]</ref> Barani Ulaya, vifo vya wastani kutokana na joto ni 304 katika eneo la Kasakzini mwa Finland, 445 mjini Athens na 40 mjini London, huku vifo kutokana na baridi vikiwa 2457, 2533, na 3129 mtawalia.<ref name="Keatinge2000" /> Kulingana na Keatinge ''na wengineo.'' (2000), “wakazi Barani Ulaya wamezoea vipimo vya joto vya majira ya kiangazi vya kati ya 13.5°C hadi 24.1°C, na wanatarajiwa kuzoea ongezeko la joto lililotabriwa katika nusu karne ijayo wakiwa na ongezeko ndogo endelevu la vifo kutokana na joto.”<ref name="Keatinge2000" />
Ripoti ya serikali inaonyesha kupungua kwa vifo kutokana na ongezeko la joto la hivi karibuni na inatabiri ya kwamba kutakuwa na ongezeko la vifo kutokana na ongezeko la joto la hivi karibuni na inatabiri ongezeko la vifo katika siku za usoni kwa sababu ya ongezeko la joto nchini Uingereza.<ref>{{Cite web
| last = Department of Health and Health Protection Agency | title = Health effects of climate change in the UK 2008: an update of the Department of Health report 2001/2002 | date = 12 Februari 2008 | url = http://www.dh.gov.uk/en/Publicationsandstatistics/Publications/PublicationsPolicyAndGuidance/DH_080702}}</ref> The [[2003 European heat wave]] killed 22,000–35,000 people, based on normal mortality rates.<ref name="Schär2004">{{Cite journal | author = Schär, C. | coauthors = Jendritzky, G. | year = 2004 | title = Hot news from summer 2003 | journal = Nature | volume = 432 | issue = 7017 | pages = 559–60 | issn = | doi = 10.1038/432559a | url = | accessdate = | format = | pmid = 15577890 }}</ref> Peter A. Stott from the [[Hadley Centre for Climate Prediction and Research]] estimated with 90% confidence that past human influence on climate was responsible for at least half the risk of the 2003 European summer heat-wave.<ref name="Stott2004">{{Cite journal| author = Peter A. Stott | coauthors = D.A. Stone, M.R. Allen | year = 2004 | title = Human contribution to the European heatwave of 2003 | journal = Nature | volume = 432 | pages = 610–614 | issn = 0028-0836 | doi = 10.1038/nature03089 | url = | accessdate = | format =| pmid = 15577907| issue = 7017 }}</ref>
====Kuenea kwa magonjwa====
{{See also|Magonjwa ya kitropiki}}
Ongezeko la joto Duniani linaweza kuendelea hadi katika maeneo ambayo hayana wadudu wengi <ref>{{Cite web | title= Climate change linked to spread of disease | publisher=[[IRIN]] | url=http://www.irinnews.org/Report.aspx?ReportId=77675}}</ref> kueneza [[maradhi ya kuambukiza]] kama vile [[homa ya dengue]],<ref>{{Cite journal |title = Potential effect of population and climate changes on global distribution of dengue fever: an empirical model |url = http://image.thelancet.com/extras/01art11175web.pdf |format = [[Portable Document Format|PDF]] |journal = The Lancet |last = Hales |first = Simon |coauthors = ''et al.'' |volume = 360 |issue = 9336 |pages = 830–834 |date= 2002-09-14 |accessdate=2007-05-02 |doi = 10.1016/S0140-6736(02)09964-6}}</ref> Virusi vywa Nile ya Magharibi, na [[malaria]].<ref>{{Cite journal | last = Rogers | first = D. | coauthors = S. Randolph | title = The global spread of malaria in a future warmer world | journal = Science | volume = 289 | issue = 5485 | pages = 1763–6 | date = 2000-09-08 | url = http://www.sciencemag.org/cgi/content/full/289/5485/1763 | accessdate = 2008-01-04 | pmid = 10976072 }}</ref><ref>{{Cite news | last = Boseley | first = Sarah | title = Health hazard | publisher = The Guardian | date = Juni 2005 | url = http://www.guardian.co.uk/climatechange/story/0,12374,1517940,00.html | accessdate = 2008-01-04 }}</ref> Katika nchi maskini, hili linaweza tu kusababisha ,matukio mengi zaidi ya magonjwa hayo. Katika nchi tajiri zaidi, ambapo magonjwa hayo tayari yameangamizwa au kupungzwa kwa [[chanjo]], kutoa maji kutoka mabwawa na utumizi wa madwa ya kuulia wadudu, madhara yataonekana kiuchumi kuliko kiafya.
[[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) linasema kuwa ongezeko la joto Duniani unaweza kusababisha ongezeko kubwa la magonjwa yanayosababishwa na wadudu nchini Uingereza na Bara Ulaya, huku eneo la kasakazini la Ulaya likizidi kuwa na joto jingi, ticks - wanaobeba ugonjwa wa ensefailatisi na ugonjwa wa laimu - na nzi wa mchangani - ambayo hubeba ugonjwa wa visceral leishmaniasis - wana uwezekano wa kuongezeka.<ref>BBC News: [http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/372219.stm Global Warming disease warning]</ref> Hata hivyo, tangu jadi ugonjwa wa malaria umekuwa tishio la kawaida Barani Ulaya, huku janga la mwisho likifanyika nchini Uholanzi katika kipindi cha miaka ya 1950. Nchini Marekani, ugonjwa wa malaria umekuwa ukitokea katika maeneo machache katika majimbo 36 (ikiwemo Washington, North Dakota, Michigan na New York) hadi miaka ya 1940.<ref>{{Cite journal |last=Reiter |first=Paul |authorlink= |coauthors=''et al.'' |year=2004 |month= |title=Global warming and malaria: a call for accuracy |journal=The Lancet Infectious Deseases |volume=4 |issue=6 |pages=323–324 |doi=10.1016/S1473-3099(04)01038-2 |url= |accessdate= |quote= }}</ref>
Kufikia mwaka wa 1949, nchi ya Marekani ilitangazwa kutokuwa na ugonjwa wa malaria kama tishio la afya ya umma, baada ya zaidi ya mnyunyuzio wa dawa ya [[DDT]] katika nyumba 4,650,000 nchini humo.<ref>{{Cite web |url=http://www.cdc.gov/malaria/history/eradication_us.htm |title=Eradication of Malaria in the United States (1947-1951) |accessdate=2008-07-12 |work= |publisher=Centers for Disease Control and Prevention |date=23 Aprili 2004 }}</ref>
[[Shirika la Afya Duniani]] linakadiria kuwepo kwa vifo 150,000 kila mwaka "kutokana na mabadiliko ya hali ya anga", ambapo nusu kati ya vifo hivyo ni katika kanda ya Asia ya Kipasifiki.<ref>[http://www.abc.net.au/ra/news/stories/200804/s2211161.htm?tab=latest "Malaria found in PNG highlands"], ABC Radio Australia, 8 Aprili 2008</ref> Mnamo Aprili mwaka wa 2008, shirika hilo liliripoti kuwa, kutokana na ongezeko la vipimo vya joto, idadi ya watu wanaoambukizwa ugonjwa wa [[malaria]] inatarajiwa kuongezeka katika maeneo ya miinuko ya nchi ya [[Papua New Guinea]].<ref>[http://www.irinnews.org/Report.aspx?ReportId=77993 PAPUA NEW GUINEA: Climate change challenge to combat malaria] ''UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs''</ref>
====Watoto====
Mnamo mwaka wa 2007, Chuo cha Marekani cha Usomi kuhusu Magonjwa ya Watoto kilitoa taarifa ya sera iliyoutwa ''Mbadiliko ya Hali ya anga Duniani na Afya ya Watoto'':
Madhara yanayotarajiwa moja kwa moja ya mabadiliko ya hali ya anga ni pamoja na majeraha na kifo kutokana na hali kali ya hewa na maafa asilia, ongezeko la maradhi ya kuambukiza yanasombaa zaidi pindi tu hali ya anga inapobadilika, ongezeko la [[uchafuzi wa hewa#Athari za kiafya|magonjwa yanayotokana na uchafuzi wa hewa]], na magonjwa mnegi zaidi yanayotokana na joto, na yenye kusababisha vifo. Kutokana na aina hizi zote za hatari, watoto wana ongezeko la udhaifu dhidi ya magonjwa haya wakilinganishwa na makundi mengine.<ref>{{Cite web |url=http://aappolicy.aappublications.org/cgi/content/full/pediatrics;120/5/1149 |title=AAP ''Global Climate Change and Children's Health'' |accessdate=2010-01-15 |archivedate=2009-07-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090722104801/http://aappolicy.aappublications.org/cgi/content/full/pediatrics;120/5/1149 }}</ref>
Mnamo tarehe 2008-04-29, Ripoti ya UNICEF na Uingereza ilipata kuwa ongezeko la jotio Duniani tayari inapunguza ubora wa hali ya maisha ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kufanya iwe gumu zaidi kufikia malengo ya [[Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Kimilenia]]. Ongezeko la joto Duniani kutapunguza upatikanaji wa maji safi na chakula hasa Barani Africa na Asia. Majanga, vurugu na magonjwa yanatarajiwa kuwa mengi zaidi na makali zaidi, hivyo kufanya siku za usoni za watoto maskini kabisa Duniani kuwa magumu zaidi.<ref>{{Cite web |url=http://www.unicef.org.uk/press/news_detail_full_story.asp?news_id=1120 |title=UNICEF UK News :: News item :: The tragic consequences of climate change for the world’s children :: April 29, 2008 00:00 |accessdate=2010-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090122045816/http://www.unicef.org.uk/press/news_detail_full_story.asp?news_id=1120 |archivedate=2009-01-22 }}</ref>
===Usalama===
Bodi ya Ushauri ya Jeshi, jopo la majenerali wa Marekani waliostaafu ilitoa Ripoti iliyoitwa "Usalama wa Kitaifa na Tishio la Mabadiliko ya Hali ya Anga." Ripoti hiyo ilitabiri ya kuwa ongezeko la joto Duniani litakuwa na athari kwa usalama, haswa katika kufanya "madhara kuongezeka" katika maeneo ambayo tayari si salama.<ref>[http://securityandclimate.cna.org/report/ "National Security and the Threat of Climate Change] {{Wayback|url=http://securityandclimate.cna.org/report/ |date=20110811183032 }}". Military Advisory Board, 15 Aprili 2007.</ref>
Katibu wa nje wa Uingereza Margaret Beckett anadokeza kuwa “Hali ya anga ambayo si dhabiti itaongeza zaidi baadhi ya visababishi vya migogoro, kama vile shinikizo la uhamiaji a ushndani wa rasilimali.”<ref>Reuters. [http://www.nytimes.com/2007/04/18/world/18nations.html?ex=1334548800en=599119af2640e7b1ei=5088partner=rssnytemc=rss U.N. Council Hits Impasse Over Debate on Warming]. The New York Times, 17 Aprili 2007. Retrieved on 29 Mei 2007.</ref>
Na mapema wiki kadhaa, Wabunge wa Marekani Chuck Hagel (R-NB) na Richard Durbin (D-IL) walianzisha mswada katika Bunge la Marekani ambalo lingehitaji mashirika ya kijasusi ya mikoa kushirikiana katika Tathmini ya Kijasusi ya KItaifa kupima changamoto za kiusalama zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya anga.<ref>[http://www.salon.com/news/feature/2007/04/09/muckraker/ Will global warming threaten national security?] {{Wayback|url=http://www.salon.com/news/feature/2007/04/09/muckraker/ |date=20090115205937 }}. ''Salon,'' 9 Aprili 2007. Retrieved on 29 Mei 2007.</ref>
Mnamo Novemba mwaka wa 2007, mashirika mawili ya Washington, yalianzisha Kituo Cha Masomo ya Kimbinu na Masomo ya Kimataifa na shirika jipya zaidi la Kituo cha Usala Mpya wa Marekani, kilichapisha ripoti ulichambua matokeo ya kusalama Duniani kote yanayoweza kutokana na aina tatu za ongezeko la joto Duniani. Ripoti hiyo inatazama matukio matatu, mawili katika kipindi cha mtazamo wa takriban miaka 30 na kimoja kikiendelea hadi mwaka wa 2100. Matokeo yake ya jumla yanahitimisha ya kwamba mafuriko "...yana uwezo wa kuwa changamoto maeneo ya mikoa na hata mataifa. Migogoro ya kisilaha kati ya mataifa kuhusu rasilimali, kama vile Mto Nile na vijitti vyake, unawezekana..." na kuwa" Labda shida zinazotufanya tuwe na shaka zaidi zinahusika na ongezeko la vipimo vya joto na maeneo yenye maji baharini kupanda ni kutokana na uhamiaji mkubwa wa watu - ndani na nje ya mipaka ."<ref>{{Cite web|author=Kurt M. Campbell, Jay Gulledge, J.R. McNeill, John Podesta, Peter Ogden, Leon Fuerth, R. James Woolsey, Alexander T.J. Lennon, Julianne Smith, Richard Weitz, Derek Mix|title=The Age of Consequences: The Foreign Policy and National Security Implications of Global Climate Change|url=http://csis.org/files/media/csis/pubs/071105_ageofconsequences.pdf|format=PDF|date=Oktober 2007|accessdate=2009-07-14}}</ref>
Utafiti uliofanywa mwaka wa 2009 unaibua shaka kuhusu dhana ya kuwa ongezeko la joto na vurugu yanahusiana. Richard Tol na Sebastian Wagner walikusanya deta kuhusu hali ya anga na migogoro katika Bara Ulaya kati ya miaka ya 1000 na 2000. Walihitimisha ya kuwa hadi kipindi cha kati cha karne ya 18, kulikuwa na uhusiano muhimu kati ya idadi ya migogoro na kipimo cha wastani cha joto, lakini baada ya hapo hakuna uhusiano wowote wenye umuhimu wa kitakwimu unaonekana. Tol na Wagner wanadokeza kuwa uhusiano kati ya vita na hali ya hewa baridi zaidi unapungua wakati wa kipindi cha Mapinduzi ya Viwandani, wakati wa kuboreshwa kwa kilimo na usafiri vilivyo. Jarida la ''The Economist'' linapendekeza kuwa somo linalotokana na utafiti wao ni kuwa migogoro inayotokana na hali ya anga inaweza kupungzwa kwa kuendeleza mchakato wa kuboresha mazao.<ref>{{Cite news|title=Cool heads or heated conflicts?|date=10 Oktoba 2009|work=The Economist|pages=88|accessdate=2009-10-28}}</ref>
==Tanbihi==
{{Reflist|colwidth=30em}}
==Viungo vya nje==
;Matokeo ya nje
* [http://webarchive.loc.gov/all/20141208131059/https%3A//www.wmo.int/pages/themes/climate/main_climate_change.php "Climate Change", 2014-12-08] [[World Meteorological Organization]].
* [http://www.ipcc-wg1.unibe.ch/ The IPCC Working Group I (WG I)]. This body assesses the physical scientific aspects of the climate system and climate change.
* [https://nex.nasa.gov/nex/ NASA Nex Climate Data and Prediction Models]
*US Navy Climate Change Roadmap, 2010, [http://www.navy.mil/navydata/documents/CCR.pdf]
;Matokeo katika jamii, uchumi na ekolojia
* [https://www.un.org/esa/dsd/dsd_aofw_cc/cc_index.shtml Climate change] on the United Nations Economic and Social Development (UNESD) Division for Sustainable Development website.
* [https://web.archive.org/web/20100225092739/http://www.ipcc-wg2.gov/ The IPCC Working Group II (WG II) website, 2010-02-25] – This body assesses the vulnerability of socio-economic and natural systems to climate change, negative and positive consequences of climate change, and options for adapting to it.
;Kwa jumla
* [http://esa.un.org/subindex/pgViewSites.asp?termCode=QB.25 List of United Nations Functional Commissions and Expert Bodies related to climate change] {{Wayback|url=http://esa.un.org/subindex/pgViewSites.asp?termCode=QB.25 |date=20121028011205 }}
* [[IRIN]], the humanitarian news and analysis service of the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs: [http://www.irinnews.org/Report.aspx?ReportId=79563 "What climate change does"], [http://www.irinnews.org/Report.aspx?ReportId=79508 "How climate change works"], and [http://www.irinnews.org/IndepthMain.aspx?IndepthId=73&ReportId=78246 "Gathering Storm – the humanitarian impact of climate change"]
* Picha:
** [http://video.google.com/videoplay?docid=4119472365452589212 "Educational Forum: Arctic Climate Impact"]. Panel discussion with James J. McCarthy, Professor at Harvard University, and Author; Paul R. Epstein, M.D., instructor in medicine at Harvard Medical School; and Ross Gelbspan, Pulitzer Prize–winning journalist and author. Massachusetts School of Law.
** [http://climateprogress.org/2010/02/05/videos-humans-are-changing-the-climate-global-warming-threat-chris-field/#more-18551 "How we know humans are changing the climate and Why climate change is a clear and present danger"]. Interviews with Christopher Field and Michael MacCracken. Christopher Field is the director of the Department of Global Ecology at the Carnegie Institution of Washington, professor of biology and environmental earth system science at Stanford University, and the Working Group II Co-Chair for the Intergovernmental Panel on Climate Change. Michael MacCracken is the chief scientist for Climate Change Programs at the Climate Institute and a co-author and contributing author for various chapters in the IPCC assessment reports. Climate Progress website, February 5, 2010.
*[http://www.businessinsider.com/terrible-effects-of-climate-change-2014-10 25 Devastating Effects Of Climate Change]—''[[Business Insider]]'' (October 11, 2014)
{{Reflist}}
{{Mbegu}}
[[Jamii:Metorolojia]]
[[jamii:Madhara ya mazingira]]
[[Jamii:Ekolojia]]
4l0b42ebdj768f6ki2inudal77q93gs
Paa (Bovidae)
0
36039
1241838
1199970
2022-08-10T20:46:02Z
ChriKo
35
Spishi katika sanduku
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Paa
| picha = Common duiker kenya.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Nsya]]<br><sup>(''Sylvicapra grimmia'')</sup>
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Cephalophinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[Paa (Bovidae)|paa]])</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = J. E. Gray, 1871
| subdivision = '''Jenasi 3, spishi 21:'''
* ''[[Cephalophus]]'' <small>[[Charles Hamilton Smith|C. H. Smith]], 1827</small>
** ''[[Cephalophus adersi|C. adersi]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]]'', 1918</small>
** ''[[Cephalophus brookei|C. brookei]]'' <small>(Thomas, 1903)</small>
** ''[[Cephalophus callipygus|C. callipygus]]'' <small>[[Wilhelm Peters|Peters]], 1876</small>
** ''[[Cephalophus dorsalis|C. dorsalis]]'' <small>[[John Edward Gray|Gray]], 1846</small>
** ''[[Cephalophus harveyi|C. harveyi]]'' <small>Thomas, 1893</small>
** ''[[Cephalophus jentinki|C. jentinki]]'' <small>Thomas, 1892</small>
** ''[[Cephalophus leucogaster|C. leucogaster]]'' <small>Gray, 1873</small>
** ''[[Cephalophus natalensis|C. natalensis]]'' <small>[[Andrew Smith|Smith]], 1834</small>
** ''[[Cephalophus niger|C. niger]]'' <small>Gray, 1846</small>
** ''[[Cephalophus nigrifrons|C. nigrifrons]]'' <small>Gray, 1871</small>
** ''[[Cephalophus ogilbyi|C. ogilbyi]]'' <small>([[George Robert Waterhouse|Waterhouse]], 1838)</small>
** ''[[Cephalophus rubidus|C. rubidus]]'' <small>Thomas, 1901</small>
** ''[[Cephalophus rufilatus|C. rufilatus]]'' <small>Gray, 1846</small>
** ''[[Cephalophus spadix|C. spadix]]'' <small>[[Frederick W. True|True]], 1890</small>
** ''[[Cephalophus silvicultor|C. silvicultor]]'' <small>([[Adam Afzelius|Afzelius]], 1815)</small>
** ''[[Cephalophus weynsi|C. weynsi]]'' <small>Thomas, 1901</small>
** ''[[Cephalophus zebra|C. zebra]]'' <small>Gray, 1838</small>
* ''[[Philantomba]]'' <small>[[Edward Blyth|Blyth]], 1840</small>
** ''[[Philantomba maxwellii|P. maxwellii]]'' <small>([[Charles Hamilton Smith|C.H. Smith]], 1827)</small>
** ''[[Philantomba monticola|P. monticola]]'' <small>([[Carl Peter Thunberg|Thunberg]], 1789)</small>
** ''[[Philantomba walteri|P. walteri]]'' <small[[Marc Colyn|Colyn]] ''et al.'', 2010</small>
* ''[[Sylvicapra]]'' <small>[[William Ogilby|Ogilby]], 1837</small>
** ''[[Sylvicapra grimmia|S. grimmia]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Paa''' ([[ing.]] ''duiker''; huitwa pia: '''Nsya''', ''Sylvicapra grimmia''; '''Mindi''', ''Cephalophus spadix''; '''Funo''', ''Cephalophus natalensis''; na '''Chesi''', ''Philantomba monticola'') ni jina la kawaida kwa [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[Afrika]] wanaofanana na [[swala]] na walio na pembe fupi. Huainishwa katika [[nususfamilia]] [[Cephalophinae]] ya [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. [[Paa-chonge]] ni wanyama wengine katika familia [[Tragulidae]].
==Spishi==
* '''Nusufamilia Cephalophinae'''
** '''Jenasi ''Cephalophus'''''
*** ''Cephalophus adersi'', [[Paa Nunga]] ([[w:Ader's Duiker|Ader's Duiker]])
*** ''Cephalophus brookei'', [[Paa wa Brooke]] ([[w:Brooke's Duiker|Brooke's Duiker]])
*** ''Cephalophus callipygus'', [[Funo wa Peters]] ([[w:Peters's Duiker|Peters's Duiker]])
*** ''Cephalophus dorsalis'', [[Paa Mgongo-mweusi]] ([[w:Bay Duiker|Bay Duiker]])
*** ''Cephalophus harveyi'', [[Funo wa Harvey]] ([[w:Harvey's Duiker|Harvey's Duiker]])
*** ''Cephalophus jentinki'', [[Paa wa Jentink]] ([[w:Jentink's Duiker|Jentink's Duiker]])
*** ''Cephalophus leucogaster'', [[Paa Tumbo-jeupe]] ([[w:White-bellied Duiker|White-bellied Duiker]])
*** ''Cephalophus natalensis'', [[Funo]] ([[w:Red Forest Duiker|Red Forest Duiker]])
*** ''Cephalophus niger'', [[Paa Mweusi]] ([[w:Black Duiker|Black Duiker]])
*** ''Cephalophus nigrifrons'', [[Paa Paji-jeusi]] ([[w:Black-fronted Duiker|Black-fronted Duiker]])
*** ''Cephalophus ogilbyi'', [[Paa wa Ogilby]] ([[w:Ogilby's Duiker|Ogilby's Duiker]])
*** ''Cephalophus rubidis'', [[Paa Mwekundu]] ([[w:Ruwenzori Duiker|Ruwenzori Duiker]])
*** ''Cephalophus rufilatus'', [[Paa Mbavu-nyekundu]] ([[w:Red-flanked Duiker|Red-flanked]])
*** ''Cephalophus spadix'', [[Mindi]] ([[w:Abbott's duiker|Abbott's Duiker]])
*** ''Cephalophus silvicultor'', [[Kipoke (paa)|Kipoke]] ([[w:Yellow-backed Duiker|Yellow-backed Duiker]])
*** ''Cephalophus weynsi'', [[Funo wa Weyns]] ([[w:Weyns's Duiker|Weyns's Duiker]])
*** ''Cephalophus zebra'', [[Paa Milia]] ([[w:Zebra Duiker|Zebra Duiker]])
** '''Jenasi ''Philantomba'''''
*** ''Philantomba maxwellii'', [[Chesi wa Maxwell]] ([[w:Maxwell's Duiker|Maxwell's Duiker]])
*** ''Philantomba monticola'', [[Chesi (mnyama)|Chesi]] ([[w:Blue Duiker|Blue duiker]])
*** ''Philantomba walteri'', [[Chesi wa Walter]] ([[w:Walter's Duiker|Walter's Duiker]])
** '''Jenasi ''Sylvicapra'''''
*** ''Sylvicapra grimmia'', [[Nsya]] ([[w:Common Duiker|Common Duiker]])
==Picha==
<gallery>
Peters Duiker (Cephalophus callipygus) from behind, Campo Maan National Park.jpg|Funo wa Peters
Cephalophus dorsalis.JPG|Paa mgongo-mweusi
Rotducker im Okapi-Wald - Zoo Leipzig.png|Funo
Cephalophus niger.jpg|Paa mweusi
Cephalophe a front noir.jpg|Paa paji-jeusi
Redflankedduiker.jpg|Paa mbavu-nyekundu
Yellow-backed Duiker.jpg|Kipoke
Cephalophus zebra.jpg|Paa milia
Stavenn Cephalophus maxwellii.jpg|Chesi wa Maxwell
Blue Duiker.jpg|Chesi
Common Duiker1.jpg|Nsya
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.2}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
[[Jamii:Wanyama wa Biblia]]
qqunzzv7620le8wy71inc4eks04monw
Nyumbu
0
60142
1241836
1197944
2022-08-10T16:37:45Z
ChriKo
35
wikitext
text/x-wiki
{{maana nyingine|Nyumbu (chotara)}}
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Nyumbu
| picha = Common wildebeest.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Nyumbu kidevu-cheupe magharibi]]<br><sup>(''Connochaetes taurinus mearnsi'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Alcelaphinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[kongoni]])</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Victor Brooke|Brooke]], 1876
| jenasi = ''[[Connochaetes]]'' <small>(Nyumbu)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Martin Lichtenstein|Lichtenstein]], 1812
| subdivision = '''Spishi 2, nususpishi 5:'''
* ''[[Connochaetes gnou|C. gnou]]'' <small>([[Eberhard August Wilhelm von Zimmermann|Zimmermann]], 1780)</small>
* ''[[Connochaetes taurinus|C. taurinus]]'' <small>([[William John Burchell|Burchell]], 1823)</small>
** ''C. t. albojubatus'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1892</small>
** ''C. t. cooksoni'' <small>[[Blaine]], 1914</small>
** ''C. t. johnstoni'' <small>[[Philip Sclater|Sclater]], 1896</small>
** ''C. t. mearnsi'' <small>([[Edmund Heller|Heller]], 1913)</small>
** ''C. t. taurinus'' <small>(Burchell, 1823)</small>
}}
'''Nyumbu''' (kwa [[Kiingereza]]: wildebeest) ni [[mnyama|wanyamapori]] wakubwa wa [[jenasi]] ''[[Connochaetes]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Kwa [[asili]] [[jina]] hili lilitumika kwa [[nususpishi]] ''C. taurinus mearnsi'' na ''C. t. albojubatus'', lakini siku hizi [[spishi]] na [[nususpishi]] zote za ''Connochaetes'' huitwa nyumbu.
Wanatokea [[savana]] za [[Afrika]] tu. [[Rangi]] yao ni [[nyeusi]] pengine na mng'aro [[buluu]] au [[kahawia]].
Dume na jike wana [[pembe]] zenye [[umbo]] la zile za [[ng'ombe]]. Wanyama hawa hula [[nyasi]] fupi.
== Spishi ==
* ''Connochaetes gnou'', [[Nyumbu Mkia-mweupe]] ([[w:Black Wildebeest|Black]] au White-tailed Wildebeest au Gnu)
* ''Connochaetes taurinus'', [[Nyumbu Buluu]] ([[w:Blue Wildebeest|Blue]] au Brindled Wildebeest)
** ''Connochaetes t. albojubatus'', [[Nyumbu Kidevu-cheupe Mashariki]] ([[w:Eastern White-bearded Wildebeest|Eastern White-bearded Wildebeest]])
** ''Connochaetes t. cooksoni'', [[Nyumbu wa Cookson]] ([[w:Cookson's Wildebeest|Cookson's Wildebeest]])
** ''Connochaetes t. johnstoni'', [[Nyumbu wa Nyasa]] ([[w:Nyassaland Wildebeest|Nyassaland Wildebeest]])
** ''Connochaetes t. mearnsi'', [[Nyumbu Kidevu-cheupe Magharibi]] ([[w:Western White-bearded Wildebeest|Western White-bearded Wildebeest]])
** ''Connochaetes t. taurinus'', [[Nyumbu Kusi]] ([[w:Southern Wildebeest|Southern Wildebeest]])
== Picha ==
<gallery>
Black Wildebeest.jpg|Nyumbu mkia-mweupe
Wildebeest, Amboseli National Park.jpg|Nyumbu kidevu-cheupe mashariki
Connochaetes taurinus.jpg|Nyumbu kusi nchini Namibia
Connochaetes_taurinus_-Kruger_National_Park-8.jpg|Nyumbu kusi kwa karibu
File:Ant 46.jpg|thumb|Nyumbu akiruka
File:Nyumbu na Swala.jpg|thumb|Nyumbu na Swala Tanzania
</gallery>
{{Artiodactyla|R.2}}
{{Mbegu-mnyama}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
5ioopahib0odx9djjnipeuksnq7ix7m
Nyamera (jenasi)
0
60733
1241828
1199966
2022-08-10T12:42:40Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Nyamera
| picha = Topi in Northern Serengeti2.JPG
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Nyamera wa kawaida]]<br><sup>(''Damaliscus korrigum jimela'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Alcelaphinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[kongoni]])</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Victor Brooke|Brooke]], 1876
| subdivision = '''Jenasi 2, spishi 5:'''
* ''[[Beatragus]]'' <small>[[Edmund Heller|Heller]], 1891</small>
** ''[[Beatragus hunteri|B. hunteri]]'' <small>([[Philip Lutley Sclater|Sclater]], 1889)</small>
* ''[[Damaliscus]]'' <small>Sclater & [[Oldfield Thomas|Thomas]], 1894</small>
** ''[[Damaliscus korrigum|D. korrigum]]'' <small>[[William Ogilby|Ogilby]], 1837</small>
** ''[[Damaliscus lunatus|D. lunatus]]'' <small>[[William John Burchell|Burchell]], 1824</small>
** ''[[Damaliscus pygargus|D. pygargus]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1767)</small>
** ''[[Damaliscus superstes|D. superstes]]'' <small>([[Fenton Peter David Cotterill|Cotterill]], 2003)</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Nyamera''' ni [[mnyama|wanyamapori]] wakubwa wa [[jenasi]] ''[[Beatragus]]'' na ''[[Damaliscus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Kwa asili jina hili lilitumika kwa [[nususpishi]] ''D. korrigum topi'', lakini siku hizi [[spishi]] na nususpishi zote huitwa nyamera mara nyingi. Majina mengine ni '''hirola''', '''jimela''', '''sasabi''' na '''tiang'''. Wanatokea [[savana]] za [[Afrika]] tu. Rangi yao ni ya mchanga inayoelekea nyekundu au kijivu mara nyingi. Wana mabaka meusi mwilini, miguuni na kichwani, isipokuwa [[hirola]], na [[nyamera baka-nyeupe]] ana baka nyeupe kwa pua na paji. Kichwa chao ni kirefu kama kile cha [[kongoni]] lakini pembe zao hazina umbo wa [[zeze]]. Wanyama hawa hula [[nyasi|manyasi]].
==Spishi==
* ''Beatragus hunteri'', [[Hirola]] au Nyamera wa Hunter ([[w:Hirola|Hirola]] au Hunter's Hartebeest)
* ''Damaliscus korrigum'', [[Nyamera]] ([[w:Topi|Topi]])
** ''Damaliscus k. jimela'', [[Nyamera wa Kawaida]] au Jimela ([[w:Topi|Topi]])
** ''Damaliscus k. korrigum'', [[Nyamera Magharibi]] ([[w:Korrigum|Korrigum]])
** ''Damaliscus k. tiang'', Nyamera Kaskazi au [[Tiang]] ([[w:Tiang|Tiang]])
** ''Damaliscus k. topi'', [[Nyamera-pwani]] au Topi ([[w:Coastal Topi|Coastal Topi]])
* ''Damaliscus lunatus'', [[Sasabi]] ([[w:Tsessebe|Tsessebe]])
* ''Damaliscus pygargus'', [[Nyamera Baka-jeupe]] ([[w:Bontebok|Bontebok]])
** ''Damaliscus p. phillipsi'', [[Nyamera matako-mekundu]] ([[w:Blesbok|Blesbok]])
** ''Damaliscus p. pygargus'', [[Nyamera matako-meupe]] (Bontebok)
* ''Damaliscus superstes'', [[Sasabi wa Bangweulu]] ([[w:Bangweulu Tsessebe|Bangweulu Tsessebe]])
==Picha==
<gallery>
Hirola head with sub-orbital glands.jpg|Picha ya kichwa cha hirola inayoonyesha tezi mbele ya macho
Tiang (Damaliscus lunatus tiang).jpg|Tiang
Damaliscus lunatus.jpg|Sasabi
Bontebok (Damaliscus pygargus pygargus) (30573334994).jpg|Nyamera matako-meupe
Blesbok (Damaliscus pygargus phillipsi) (32413640451).jpg|Nyamera matako-mekundu
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.2}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
smkz05qqsmbmqxcdv1odky84pu7b9kc
1241835
1241828
2022-08-10T15:06:56Z
ChriKo
35
Nususpishi katika sanduku
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Nyamera
| picha = Topi in Northern Serengeti2.JPG
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Nyamera wa kawaida]]<br><sup>(''Damaliscus korrigum jimela'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Alcelaphinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[kongoni]])</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Victor Brooke|Brooke]], 1876
| subdivision = '''Jenasi 2, spishi 5, nususpishi 6:'''
* ''[[Beatragus]]'' <small>[[Edmund Heller|Heller]], 1891</small>
** ''[[Beatragus hunteri|B. hunteri]]'' <small>([[Philip Lutley Sclater|Sclater]], 1889)</small>
* ''[[Damaliscus]]'' <small>Sclater & [[Oldfield Thomas|Thomas]], 1894</small>
** ''[[Damaliscus korrigum|D. korrigum]]'' <small>([[William Ogilby|Ogilby]], 1837)</small>
*** ''[[Damaliscus korrigum jimela|D. k. jimela]]'' <small>([[Georg Friedrich Paul Matschie|Matschie]], 1892)</small>
*** ''[[Damaliscus korrigum korrigum|D. k. korrigum]]'' <small>Ogilby, 1837</small>
*** ''[[Damaliscus korrigum tiang|D. k. tiang]]'' <small>[[Theodor von Heuglin|Heuglin]], 1863</small>
*** ''[[Damaliscus korrigum topi|D. k. topi]]'' <small>Blaine, 1914</small>
** ''[[Damaliscus lunatus|D. lunatus]]'' <small>[[William John Burchell|Burchell]], 1824</small>
** ''[[Damaliscus pygargus|D. pygargus]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1767)</small>
*** ''[[Damaliscus pygargus phillipsi|D. p. phillipsi]]'' <small>[[Francis Harper|Harper]], 1939</small>
*** ''[[Damaliscus pygargus pygargus|D. p. pygargus]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1767)</small>
** ''[[Damaliscus superstes|D. superstes]]'' <small>([[Fenton Peter David Cotterill|Cotterill]], 2003)</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Nyamera''' ni [[mnyama|wanyamapori]] wakubwa wa [[jenasi]] ''[[Beatragus]]'' na ''[[Damaliscus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Kwa asili jina hili lilitumika kwa [[nususpishi]] ''D. korrigum topi'', lakini siku hizi [[spishi]] na nususpishi zote huitwa nyamera mara nyingi. Majina mengine ni '''hirola''', '''jimela''', '''sasabi''' na '''tiang'''. Wanatokea [[savana]] za [[Afrika]] tu. Rangi yao ni ya mchanga inayoelekea nyekundu au kijivu mara nyingi. Wana mabaka meusi mwilini, miguuni na kichwani, isipokuwa [[hirola]], na [[nyamera baka-nyeupe]] ana baka nyeupe kwa pua na paji. Kichwa chao ni kirefu kama kile cha [[kongoni]] lakini pembe zao hazina umbo wa [[zeze]]. Wanyama hawa hula [[nyasi|manyasi]].
==Spishi==
* ''Beatragus hunteri'', [[Hirola]] au Nyamera wa Hunter ([[w:Hirola|Hirola]] au Hunter's Hartebeest)
* ''Damaliscus korrigum'', [[Nyamera]] ([[w:Topi|Topi]])
** ''Damaliscus k. jimela'', [[Nyamera wa Kawaida]] au Jimela ([[w:Topi|Topi]])
** ''Damaliscus k. korrigum'', [[Nyamera Magharibi]] ([[w:Korrigum|Korrigum]])
** ''Damaliscus k. tiang'', Nyamera Kaskazi au [[Tiang]] ([[w:Tiang|Tiang]])
** ''Damaliscus k. topi'', [[Nyamera-pwani]] au Topi ([[w:Coastal Topi|Coastal Topi]])
* ''Damaliscus lunatus'', [[Sasabi]] ([[w:Tsessebe|Tsessebe]])
* ''Damaliscus pygargus'', [[Nyamera Baka-jeupe]] ([[w:Bontebok|Bontebok]])
** ''Damaliscus p. phillipsi'', [[Nyamera matako-mekundu]] ([[w:Blesbok|Blesbok]])
** ''Damaliscus p. pygargus'', [[Nyamera matako-meupe]] (Bontebok)
* ''Damaliscus superstes'', [[Sasabi wa Bangweulu]] ([[w:Bangweulu Tsessebe|Bangweulu Tsessebe]])
==Picha==
<gallery>
Hirola head with sub-orbital glands.jpg|Picha ya kichwa cha hirola inayoonyesha tezi mbele ya macho
Tiang (Damaliscus lunatus tiang).jpg|Tiang
Damaliscus lunatus.jpg|Sasabi
Bontebok (Damaliscus pygargus pygargus) (30573334994).jpg|Nyamera matako-meupe
Blesbok (Damaliscus pygargus phillipsi) (32413640451).jpg|Nyamera matako-mekundu
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.2}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
lzute1h3r2ush68wwm9y0f0fxa24vup
Ngurunguru
0
61950
1241824
1176909
2022-08-10T12:06:57Z
ChriKo
35
Nususpishi katika sanduku
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Ngurunguru
| picha = Klipspringer.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Dume la ngurunguru]]<br><sup>(''Oreotragus oreotragus'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Antilopinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[swala]])</small>
| jenasi = ''[[Oreotragus]]'' <small>(Ngurunguru)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Andrew Smith|A. Smith]], 1834
| spishi = ''[[Oreotragus oreotragus|O. oreotragus]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Eberhard August Wilhelm von Zimmermann|Zimmermann]], 1783)
| subdivision = '''Nususpishi 11:'''
* ''[[Oreotragus oreotragus aceratos|O. o. aceratos]]'' <small>[[Theophil Noack|Noack]], 1899</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus aureus|O. o. aureus]]'' <small>[[Edmund Heller|Heller]], 1913</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus centralis|O. o. centralis]]'' <small>[[Martin Hinton|Hinton]], 1921</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus oreotragus|O. o. oreotragus]]'' <small>(Zimmermann, 1783)</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus porteousi|O. o. porteousi]]'' <small>[[Richard Lydekker|Lydekker]], 1911</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus saltatrixoides|O. o. saltatrixoides]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1853</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus schillingsi|O. o. schillingsi]]'' <small>[[Oscar Rudolph Neumann|Neumann]], 1902</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus somalicus|O. o. somalicus]]'' <small>Neumann, 1902</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus stevensoni|O. o. stevensoni]]'' <small>[[Austin Roberts|Roberts]], 1946</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus transvaalensis|O. o. transvaalensis]]'' <small>Roberts, 1917</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus tyleri|O. o. tyleri]]'' <small>Hinton, 1921</small>
| ramani = Oreotragus oreotragus range map.png
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa ngurunguru
}}
'''Ngurunguru''' au '''mbuzi mawe''' (''Oreotragus oreotragus'') ni [[swala]] wadogo wanaotokea [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]] tu. Jina “mbuzi mawe” ni kielekezi cha makazi yao: maeneo yenye [[jiwe|mawe]] na majabali mengi. Swala hawa ni wadogo wenye kimo cha [[sm]] 58 [[bega|begani]]. Wana rangi ya kahawa hadi kijivu, karibu na [[zaituni]], na vidoa vidogo vingi. Rangi hii inafanana na rangi ya majabali ambapo wanaishi na kwa sababu ya hii hawaonekani vizuri kutoka umbali mkubwa. Madume wana pembe za sm 10–15. Katika [[Afrika ya Mashariki]] majike wana pembe pia mara nyingi. Wanyama hawa wasimama kwa ncha za kwato zao na wanaweza kubana kwato nne zote juu ya kipande cha jabali kwa upana wa sarafu kubwa. Hula [[mmea|mimea]] inayomea kati ya majabali. Hawana haja ya kunywa, kwa sababu hupata [[maji]] ya kutosha kutoka [[chakula]] chao.
==Nususpishi==
* ''Oreotragus oreotragus'', [[Ngurunguru]] ([[w:Klipspringer|Klipspringer]])
** ''Oreotragus o. aceratos'' (msambao: [[Tanzania]], [[Msumbiji]], [[Malawi]], [[Zambia]], [[Angola]])
** ''Oreotragus o. oreotragus'' (msambao: [[Afrika ya Kusini]])
** ''Oreotragus o. porteousi'' (msambao: [[Nijeria]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]])
** ''Oreotragus o. saltatrixoides'' (msambao: [[Uhabeshi]], [[Eritrea]], [[Jibuti]], [[Sudani]])
** ''Oreotragus o. somalicus'' (msambao: [[Somalia]], [[Kenya]], [[Tanzania]])
** ''Oreotragus o. stevensoni'' (msambao: [[Zimbabwe]])
** ''Oreotragus o. tyleri'' (msambao: [[Namibia]])
Siku hizi [[nususpishi]] ''O. o. porteousi'' inafahamika tu.
[[Picha:Oreotragus oreotragus -San Diego Zoo, California, USA-8a.jpg|thumb|left|Jike la ngurunguru]]
==Viungo vya nje==
* [http://animaldiversity.ummz.umich.edu/site/accounts/information/Oreotragus_oreotragus.html Ngurunguru kwa “Animal Diversity Web”]
* [http://www.wildinfo.com/facts/Klipspringer.asp?page=/facts/Klipspringer.asp Ngurunguru kwa “WildInfo”]
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.5}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
3ufk17obhd2in99yl9jyr2fdxo8w5no
1241826
1241824
2022-08-10T12:21:57Z
ChriKo
35
Majina ya nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Ngurunguru
| picha = Klipspringer.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Dume la ngurunguru]]<br><sup>(''Oreotragus oreotragus'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Antilopinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[swala]])</small>
| jenasi = ''[[Oreotragus]]'' <small>(Ngurunguru)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Andrew Smith|A. Smith]], 1834
| spishi = ''[[Oreotragus oreotragus|O. oreotragus]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Eberhard August Wilhelm von Zimmermann|Zimmermann]], 1783)
| subdivision = '''Nususpishi 11:'''
* ''[[Oreotragus oreotragus aceratos|O. o. aceratos]]'' <small>[[Theophil Noack|Noack]], 1899</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus aureus|O. o. aureus]]'' <small>[[Edmund Heller|Heller]], 1913</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus centralis|O. o. centralis]]'' <small>[[Martin Hinton|Hinton]], 1921</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus oreotragus|O. o. oreotragus]]'' <small>(Zimmermann, 1783)</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus porteousi|O. o. porteousi]]'' <small>[[Richard Lydekker|Lydekker]], 1911</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus saltatrixoides|O. o. saltatrixoides]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1853</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus schillingsi|O. o. schillingsi]]'' <small>[[Oscar Rudolph Neumann|Neumann]], 1902</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus somalicus|O. o. somalicus]]'' <small>Neumann, 1902</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus stevensoni|O. o. stevensoni]]'' <small>[[Austin Roberts|Roberts]], 1946</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus transvaalensis|O. o. transvaalensis]]'' <small>Roberts, 1917</small>
* ''[[Oreotragus oreotragus tyleri|O. o. tyleri]]'' <small>Hinton, 1921</small>
| ramani = Oreotragus oreotragus range map.png
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa ngurunguru
}}
'''Ngurunguru''' au '''mbuzi mawe''' (''Oreotragus oreotragus'') ni [[swala]] wadogo wanaotokea [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]] tu. Jina “mbuzi mawe” ni kielekezi cha makazi yao: maeneo yenye [[jiwe|mawe]] na majabali mengi. Swala hawa ni wadogo wenye kimo cha [[sm]] 58 [[bega|begani]]. Wana rangi ya kahawa hadi kijivu, karibu na [[zaituni]], na vidoa vidogo vingi. Rangi hii inafanana na rangi ya majabali ambapo wanaishi na kwa sababu ya hii hawaonekani vizuri kutoka umbali mkubwa. Madume wana pembe za sm 10–15. Katika [[Afrika ya Mashariki]] majike wana pembe pia mara nyingi. Wanyama hawa wasimama kwa ncha za kwato zao na wanaweza kubana kwato nne zote juu ya kipande cha jabali kwa upana wa sarafu kubwa. Hula [[mmea|mimea]] inayomea kati ya majabali. Hawana haja ya kunywa, kwa sababu hupata [[maji]] ya kutosha kutoka [[chakula]] chao.
==Nususpishi==
* ''Oreotragus oreotragus'', Ngurunguru ([[w:Klipspringer|Klipspringer]])
** ''Oreotragus o. aceratos'', Ngurunguru wa Tanzania Kusi (msambao: [[Tanzania]], [[Msumbiji]], [[Malawi]], [[Zambia]], [[Angola]])
** ''Oreotragus o. aureus'', Ngurunguru wa Kenya (msambao: [[Kenya]])
** ''Oreotragus o. centralis'', Ngurunguru wa Zambia (msambo: [[Afrika ya Kati]] na ya Kusini)
** ''Oreotragus o. oreotragus'', Ngurunguru wa Rasi (msambao: [[Afrika Kusini]])
** ''Oreotragus o. porteousi'', Ngurunguru wa Kati (msambao: [[Nijeria]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]])
** ''Oreotragus o. saltatrixoides'', Ngurunguru wa Ethiopia (msambao: [[Uhabeshi]], [[Eritrea]], [[Jibuti]], [[Sudani]])
** ''Oreotragus o. schillingsi'', Ngurunguru Masai (msambao: [[Afrika ya Mashariki]])
** ''Oreotragus o. somalicus'', Ngurunguru Somali (msambao: kaskazini mwa [[Somalia]])
** ''Oreotragus o. stevensoni'', Ngurunguru wa Stevenson (msambao: [[Zimbabwe]])
** ''Oreotragus o. transvaalensis'', Ngurunguru wa Transvaal (msambao: maneneo ya juu na [[Drakensberg|Drakensberge]] ya Afrika Kusini)
** ''Oreotragus o. tyleri'', Ngurunguru wa Namibia (msambao: [[Namibia]])
[[Picha:Oreotragus oreotragus -San Diego Zoo, California, USA-8a.jpg|thumb|left|Jike la ngurunguru]]
==Viungo vya nje==
* [http://animaldiversity.ummz.umich.edu/site/accounts/information/Oreotragus_oreotragus.html Ngurunguru kwa “Animal Diversity Web”]
* [http://www.wildinfo.com/facts/Klipspringer.asp?page=/facts/Klipspringer.asp Ngurunguru kwa “WildInfo”]
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.5}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
5865rmpf0duh93rs13d03sqkpscpq0d
Majadiliano ya mtumiaji:Jumanne Mwita
3
94763
1241858
1234452
2022-08-11T11:36:27Z
Jumanne Mwita
28716
Kaondosha yaliyomo
wikitext
text/x-wiki
phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1
Mtumiaji:Jumanne Mwita
2
113517
1241857
1232927
2022-08-11T11:24:26Z
Jumanne Mwita
28716
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox officeholder
|honorific-prefix =
|name = Jumanne Amos Mwita
|honorific-suffix =
|image = <!-- Do not change this image without first presenting your preferred replacement on the talk page. -->Jumanne Mwita.jpg
|caption = Jumanne Amos Mwita (Tanzanian Peasant)
|image_size = 250px
|office = [[Mkulima Mtanzania]]
|term_start = 26 April 2013
|term_end = Novemba 2022
|1blankname = Mkurugenzi
|1namedata = [[Jumanne Mwita]] {{small|(2018)}} <br> {{small|(April –2019)}}
|office2 = Credit Officer <br> Maswi Credit Company Limited
|term_start2 = 31 Januari 2008
|term_end2 = 2 Februari 2009
|order3 =
|director company = [[Mjomba Investiment Company Limited]]
|term_start3 = Februari 2017
|term_end3 = Aprili 2019
|co-director3 = [[Jennipher Nkoba Marwa]]
|co-director4 = [[Deus Mniko Mgesi]]
|order4 =
|birth_name = Jumanne Amos Mwita<ref>
|birth_date = {{birth date and age |df=yes|1995|06|06}}
|birth_place = [[Katoro]], [[Geita]], [[Tanzania]]
|origin = [[Kahama]], [[Tanzania]]
|nationality = [[Mtanzania]]
|Spouse = Janeth Mgongo
||relations = married
|children = 2
|residence = [[Katoro]], [[Geita]]
|alma_mater = [[Form-Four]]
|occupation =
|profession = Mkulima
|religion = [[Mkiristo]]
|signature =
|signature_alt =
|associated_acts =
|website = {{Blogger|www.jumanne255.com|jumanne255}}
|image_size = 250px
|footnotes =
|data1 =
<!--Company Branch-->
|nickname = Bhoke Nyanswi
|branch company = [[Maswa]]
|unit =
|battles =
== Asili ==
Amezaliwa [[6 June]] [[1995]] katika [[kijiji]] cha Nyantare, [[kata]] ya [[Guta]], [[tarafa]] ya Guta, [[Wilaya ya Bunda]], [[mkoa wa Mara]].
[[Lugha mama]] inayotumika ni [[Kikurya]].
Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Wakulima Masikini]]. [[Babu]] yake Mzee Mwita Machage alikuwa [[Mfugaji na Mkulima]] wa [[Bunda]].
Jumanne Mwita amesimulia [[hadithi yake]] ya kifamilia wakati [[mama]] yake alipokuwa [[mja mzito]], bibi yake alitamka kuwa ikiwa atakuwa mama atazaa mtoto wa mwisho kama akiwa wa kiume atampatie [[urithi]] wa [[cheo]] chake mpaka jina lake.
Jumanne aliposoma [[Shule ya Sekondari ya Kibaha]] alikuwa ni mtu asiye na furaha kwa sababu hakujua hatima yake itakuwaje kwa sababu ya mahitaji ya shule vilevile ada kwa ujumla ndicho kilichokuwa kikimsibu matokeo yake akaacha shule akiwa kidato cha kwanza na ni [[Mwanafunzi]] ambae alikuwa akipenda shule toka akiwa mdogo.
== Historia ya maisha yake kwa ufupi ==
'''Jumanne Amos Mwita alizaliwa siku ya [[Jumanne]] Tarehe''' [[06]] [[June]] [[1995]] '''katika [[kijiji]] cha [[Nyantare]], [[Wilaya]] ya [[Bunda vijijini]] huko [[Musoma]], [[Mkoa]] wa [[Mara]], nchini [[Tanzania]].'''
Ni mtoto wa 3 kati watoto 3 wa [[Nyanswi Mwita Machage]],[[Kabila]] lake ni [[Mkurya]].
Alibadili [[jina]] kuacha kuitwa [[Bhoke Nyanswi Mwita]] baada ya kuona haliendani na jinsia yake nakuona anaweza kulibadili kwa kuapa [[Mahakamani]] basi alifanya hivyo kwa kuapa mahakamani mpaka sasa anatumia jina la [[Jumanne Amos Mwita]] kiharali.
== Masomo ==
Mwaka [[2003]] – [[2009]] akasoma [[Shule ya Msingi]] Mbulu, halafu [[2010]] [[Shule ya Sekondari]] (Nyasubi Sec School) Kahama, halafu
Baada ya kumaliza [[shule ya msingi]] alichaguliwa kwenda [[Sekondari]] , sekondari ya [[Nyasubi sekondari School]] aliendelea kusoma Elimu yake ya Sekondari kwa muda wa miezi 4 tu baada ya hapo aliacha shule sababu ya kukoswa [[Ada]]. Baafa ya kukoswa ada niliachana kabisa na maswala ya [[Shule]] na badalayake alijikita zaidi katika [[Ufundi ujenzi]] kama saiadia fundi na [[Fundi seremala]].
==Kazi yake kuu?==
Ni mfanyakazi na mwajiriwa katika kampuni ya kutoa [[Mikopo]] iliyosajiliwa nchi Tanzania kiharali. kampuni inaitwa [[Maswi Credit Company Ltd]] ambayo amehudumu kwa taklibani miaka 5 kuanzia [[2013]] hadi [[2017]] baada ya kuanzisha kampuni yake wakishirikiana na wakurugenzi wenzake ambao ni [[Jennifer Nkoba]] na [[Deus Mgesi]].
==Kampuni!==
Pia [[Jumanne]] amewahi kuwa mmoja wa [[wakurugenzi]] na mwanzilishi wa [[kampuni]] iitwayo [[Mjomba Investment Company Limited]]. Kampuni hiyo ilidumu katika kipindi cha [[miaka 3]] ilikuwa ikitoa huduma ya [[mikopo]] kwa [[wajasiliamali]] na [[wafanyakazi]] wa [[Serikalini]]
pollqfrt0k7z3227m7mdmb2ymfbb0wq
Mtumiaji:Vanished user 9592036
2
130836
1241840
1133033
2022-08-11T02:14:17Z
QueerEcofeminist
30468
QueerEcofeminist alihamisha ukurasa wa [[Mtumiaji:IIIIIOIIOOI]] hadi [[Mtumiaji:Vanished user 9592036]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/IIIIIOIIOOI|IIIIIOIIOOI]]" to "[[Special:CentralAuth/Vanished user 9592036|Vanished user 9592036]]"
wikitext
text/x-wiki
Hujambo
ign8mjojcdy03ifgwdrc6ox5zberdx1
Majadiliano ya mtumiaji:Vanished user 9592036
3
130839
1241839
1133040
2022-08-11T02:14:17Z
QueerEcofeminist
30468
QueerEcofeminist alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:IIIIIOIIOOI]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Vanished user 9592036]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/IIIIIOIIOOI|IIIIIOIIOOI]]" to "[[Special:CentralAuth/Vanished user 9592036|Vanished user 9592036]]"
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:40, 20 Oktoba 2020 (UTC)
gxwo7be7cw7owla1c6y2a86jy69c9rz
Majadiliano ya mtumiaji:Pamokooo
3
156444
1241829
1241803
2022-08-10T12:55:50Z
Kipala
107
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Pamoko''' likiwa kama neno lisilo rasmi lenye maana sawa na pamoja, ni '''shirika''' la '''mashoga''' na '''wasagaji''' nchini '''Tanzania''' likiwa tawi la '''LGBTQ''' lililoundwa '''Dar''' '''es''' '''Salaam''' kwa lengo la kuunganisha wapenzi wote wa jinsia moja.
Wapenzi wa jinsia moja wamekuwa wakiungana na kujadili maswala yote yanayohusiana la '''LGBTQ''' ikiwemo ushauri juu ya afya zao na namna nzuri ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja.
Kumekuwa na dhana mbaya juu ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wengine wakidai sio vitendo sahihi vilivyohalalishwa, lakini '''Pamoko''' wanadai kuwa kuna ulazima wa kuwaunganisha wapenzi wote wa jinsia moja na kushauriana nao ili kuwalinda na maafa yatokanayo na ngono ya jinsia moja.
== Karibu ==
{{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:55, 10 Agosti 2022 (UTC)
8i2udxmih75yfm3kdensnmjmixz26uw
Sharon Clark
0
156456
1241827
2022-08-10T12:40:23Z
Abdulkarim000
55420
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Sharon Clark''' (amezaliwa Oktoba 15, 1943, in [[Seminole]], [[Oklahoma]]) Ni mwanamitindo na mwigizaji wa Kimarekani. Alikuwa [[playboy playmate]] wa mwezi kwa Agosti 1970. Kituo chake cha kati kilipigwa picha na William Figge and Ed DeLong.<ref>{{Cite web|title=PLAYBOY Playmates|url=http://wekinglypigs.com/cgi-bin/nand/search/pmstat?browse=::CONFIG::modelbrowse&key=clark,+sharon&limit=0|work=wekinglypigs.com|accessdate=2022-08-10}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
h9kdeenoh0keha1v28jmmka8y21cbyi
Chyna
0
156457
1241830
2022-08-10T13:14:11Z
Abdulkarim000
55420
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Chyna'''<ref>{{Cite web|title=Wayback Machine|url=https://web.archive.org/web/20160303211419/http://www.aolcdn.com/tmz_documents/1107_chyna_wm.pdf|work=web.archive.org|date=2016-03-03|accessdate=2022-08-10}}</ref> ('''Joan''' '''Marie''' '''Laurer'''; Desemba 27, 1969 – Aprili 17, 2016) alikuwa [[Miereka|mwanamiereka]], [[Bodybuilder|mjenga mwili]] na mwenye hadhi ya televisheni.Aliibuka kwanza kuwa maarufu kwenye [[W.W.E.|Shirikisho la Mieleka duniani]] (WWF, now WWE) mwaka 1997, ambapo alitunukiwa kuwa mtu wa maajabu wa tisa duniani. ([[Andre the giant|Andre]] jitu alitunukiwa mtu wa ajabu wa nane). Mmoja wa waanzilishi wa [[Stable D Generation X]] kama mwanamke wa kwanza kukuza utekelezaji, alishikilia ubingwa wa WWF kimataifa ( Mwanamke pekee mwoneshaji) mara mbili na WWF ubingwa wa wanawake.<ref>{{Cite web|title=Chyna {{!}} WWE.com|url=https://web.archive.org/web/20160509005353/http://www.wwe.com/superstars/chyna|work=web.archive.org|date=2016-05-09|accessdate=2022-08-10}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
7727g0l782hl5b99t5gynomu40qdimo
Eric Bassler
0
156458
1241832
2022-08-10T13:29:17Z
Abdulkarim000
55420
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Eric S. Bassler''' ni mwanasiasa wa Kimarekani na mshauri wa kifedha akihudumu kama mwanachama wa bunge la seneti ya [[Indiana]] kutoka wilaya ya 39. Alitwaa ofisi Novemba 5, 2014.
== Maisha ya awali ==
Bassler alizaliwa na kukulia Washington, [[Indiana]]. Alitunukiwa shahada ya kwanza ya sanaa ya Chemia na saikolojia and shahada ya uzamili ya uchumi kutoka [[University of Indiana|Chuo kikuu cha Indiana]] [[Bloomington]].<ref><nowiki>https://www.indianasenaterepublicans.com//bassler</nowiki></ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
67yex4dnfnj0nq1no4godn60vnspf7p
Robert Blackwill
0
156459
1241833
2022-08-10T13:43:05Z
Abdulkarim000
55420
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Dean Blackwill''' amezaliwa (Agosti 8, 1939) <ref><nowiki>http://www.reagan.utexas.edu/archives/speeches/1985/32985c.htm</nowiki></ref>ni [[mwanadiplomasia]] mstaafu wa kimarekani, mtunzi, mkuu katika [[baraza la mahusiano ya kimataifa]] na [[mtetezi]].<ref><nowiki>http://www.cfr.org/experts/india-europerussia-nato/robert-d-blackwill/b6</nowiki></ref> Blackwik alihudumu [[Balozi|mwakimishi wa taifa la marekani]] chini ya Rais George W. Bush tangu mwaka 2002 mpaka 2003 na kama naibu baraza la ulinzi wa taifa la Marekani nchini Iraq tangu mwaka 2003 mpaka 2004, ambapo alikuwa kiungo kati ya [[Paul Bremer]] pamoja na [[Condoleezza Rice]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
1kltq1urfpnu2s5m813tsoyvy8rurdm
Majadiliano ya mtumiaji:IIIIIOIIOOI
3
156460
1241841
2022-08-11T02:14:17Z
QueerEcofeminist
30468
QueerEcofeminist alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:IIIIIOIIOOI]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Vanished user 9592036]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/IIIIIOIIOOI|IIIIIOIIOOI]]" to "[[Special:CentralAuth/Vanished user 9592036|Vanished user 9592036]]"
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Vanished user 9592036]]
7cecz9gxzyugwt9ju5dgwo5iaqm8d1g
Mtumiaji:IIIIIOIIOOI
2
156461
1241842
2022-08-11T02:14:17Z
QueerEcofeminist
30468
QueerEcofeminist alihamisha ukurasa wa [[Mtumiaji:IIIIIOIIOOI]] hadi [[Mtumiaji:Vanished user 9592036]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/IIIIIOIIOOI|IIIIIOIIOOI]]" to "[[Special:CentralAuth/Vanished user 9592036|Vanished user 9592036]]"
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Mtumiaji:Vanished user 9592036]]
oj8zg6fkux493iyhlyg7mdequqet5id
Sing Bing Kang
0
156462
1241843
2022-08-11T06:55:36Z
Husseyn Issa
44885
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
Sing Bing Kang ni [[Utafiti|mtafiti]] mkuu katika Utafiti wa [[Microsoft]]<ref>{{Cite web|title=Microsoft researchers and engineers working around the world|url=https://www.microsoft.com/en-us/research/people/|work=Microsoft Research|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref>. Huko, anaandika makala zinazohusiana na michoro ya [[Tarakilishi|kompyuta]] ambayo inachapishwa na Jarida la Kimataifa la Kompyuta na mengine mengi. Ni mhariri mwenza wa vitabu viwili; Maono ya Panoramiki(''Panoramic Vision''):sensori, nadharia, na Matumizi ambayo alifanya na R. Benosman, na mada zinazoibuka katika dira ya kompyuta huku G. Medioni akiwa mhariri mkuu. Kando na kuhariri na kuchapisha, pia alikuwa mwandishi mwenza wa vitabu viwili; ''Image-Based Rendering'' na ''Image-Based Modeling of Plants and Trees''.<ref>{{Cite web|title=Microsoft researchers and engineers working around the world|url=https://www.microsoft.com/en-us/research/people/|work=Microsoft Research|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Teknolojia]]
4ggrqmlcfeg054l02ymxqfr74tl2a2c
Bill Kincaid
0
156463
1241844
2022-08-11T07:16:09Z
Husseyn Issa
44885
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
William S. Kincaid (amezaliwa Machi 10, 1956) ni [[mhandisi]] wa [[kompyuta]] na [[mjasiriamali]] wa [[Marekani|Kimarekani]] anayejulikana kwa kuunda MP3 player SoundJam MP pamoja na Jeff Robbin ambayo hatimaye ilinunuliwa na [[Apple Inc.|Apple]] na kubadilishwa jina na iTunes.
== Kazi ==
Robbin na Kincaid walifanya kazi Apple katika miaka ya 1990 kama wahandisi wa [[programu]] za mifumo kwenye mradi wao wa mfumo wa uendeshaji ''Copland,'' lakini mradi uliachwa baadaye. Wote wawili waliondoka Apple, ambapo Robbin aliunda ''Conflict Catcher'' na Kincaid alifanya kazi mwanzoni mwa mradi huo.
Baada ya kusikiliza kipindi kwenye kituo cha redio cha ''NPR'', Kincaid aliunda [[kifaa]] cha kielektroniki cha maunzi na kifaa cha laini cha ''Diamond Rio'' ambacho hutumika katika vicheza sauti vya kidijitali. Kisha akamwajiri Jeff Robbin kuunda sehemu ya mbele ya programu ya kucheza MP3 waliyoipa jina la ''SoundJam MP''. Dave Heller alikamilisha timu yake vizuri kwa ajili ya kazi . Watatu hao walichagua kampuni ya ''Casady & Greene'' kama msambazaji wao, ambaye Jeff alikuwa amefanya naye kazi hapo awali kusambaza ''Conflict Catcher''.
Programu hii iliona mafanikio ya mapema katika soko la kicheza muziki cha ''Mac'', ikishindana na ''Audion'' ya [[kampuni]] ya ''Panic''.
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
2wq0pfovr8ze9qc1cs51aclarimzrlw
Majadiliano ya mtumiaji:Velimir Ivanovic
3
156464
1241845
2022-08-11T07:33:24Z
Liuxinyu970226
10004
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> == Global ban proposal notification == Apologies for writing in English. {{int:Please-translate}} There is an on-going discussion about a proposal that you be globally banned from editing all Wikimedia projects. You are invited to participate at [[:m:Requests for comment/Global ban for Velimir Ivanovic|Requests for comment/Global ban for Velimir Ivanovic]] on Meta-Wiki. {{int:Feedback-thanks-title}} ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
== Global ban proposal notification ==
Apologies for writing in English. {{int:Please-translate}}
There is an on-going discussion about a proposal that you be globally banned from editing all Wikimedia projects. You are invited to participate at [[:m:Requests for comment/Global ban for Velimir Ivanovic|Requests for comment/Global ban for Velimir Ivanovic]] on Meta-Wiki. {{int:Feedback-thanks-title}} '''[[Mtumiaji:Liuxinyu970226|Liuxinyu970226]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Liuxinyu970226|majadiliano]])''' 07:33, 11 Agosti 2022 (UTC)
je1w9n6w9beoksd52lmzi0u57r87yzm
Kukamua Kifaru
0
156465
1241846
2022-08-11T07:52:28Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Kukamua Kifaru''''' (kingereza: Milking the Rhino) ni Filamu ya makala iliyotolewa 2009, ikitayalishwa na Kartemquin Films, ambayo inachunguza uhusiano kati ya wanyamapori wa [[Afrika]], wanakijiji wanaoishi miongoni mwa [[wanyamapori]] hawo na wahifadhi ambao wanatazamia kuweka utalii ili kupata fedha za kigeni. Wamasai wa [[Kenya]] na Waovahimba [[Namibia]] wameishi karne nyingi kama [[Ufugaji|wafugaj]]<nowiki/>i wa [[ng'ombe]]. Japo ardhi yao kugeuzwa kama mapori ya akiba, yamegeuka kuwa kivutio cha utalii.<ref>{{Cite web|title=AWF News|url=https://www.awf.org/news|work=African Wildlife Foundation|accessdate=2022-08-10|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wamasai]]
[[Jamii:Kenya]]
[[Jamii:Namibia]]
[[Jamii:Wanyamapori wa Afrika Mashariki]]
lxvp4ovnsq7a6urcxp8e604k384qjdq
Majadiliano ya mtumiaji:B67n89
3
156466
1241848
2022-08-11T09:35:22Z
2A00:23C4:4E9F:D101:1C9B:7205:68BB:603D
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '.'
wikitext
text/x-wiki
.
6t9fg2gmch401ldtk8m7pyzz632ixbb
1241849
1241848
2022-08-11T09:39:04Z
B67n89
55435
Kaondosha yaliyomo
wikitext
text/x-wiki
phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1
Chwaka, Pemba
0
156467
1241850
2022-08-11T09:58:27Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Chwaka''' (''Magofu ya mji wa kale wa Chwaka'' ) Ni eneo la kihistoria la Kiswahili la [[Zama za Kati]] karibu na kijiji cha Chwaka kilichopo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]]. Kuna msikiti wa Kiswahili uliochimbwa kwenye eneo hilo la kihistoria.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> Maeneo ya kihistoria ya magofu haya ni kilomita 6 kutoka mji mdogo wa Konde, mwisho wa njia ambayo ina urefu wa mita 900 kuelekea kijiji cha Tumbe kwenye njia ya kijiji cha Myumoni.
Tovuti ya akiolojia ni alama ya wazi kutoka barabarani na ni wazi kwa umma. Katika kisiwa kizima cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]], magofu haya ni miongoni mwa maeneo yaliyohifadhiwa vyema. Eneo hili lina maandishi ya mapema yaliyoandikwa [[karne ya 13]]. Hata hivyo, Harun Bin Ali, mtoto wa Mkame Ndune wa Pujini. Makazi haya, ambayo yalijumuisha eneo la hekta 20, yalikuwa na ngome kubwa ya kasri, kumbi za karamu, misikiti miwili, vyuma vya chuma, na bandari katika mkondo wa karibu. Mji huu uliachwa katika [[karne ya 16]].<ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref>
Kuta za [[msikiti]] mkubwa huo na matao yake ya lango bado zipo hadi leo.Mabaki (bakuli, keramik) ambayo yaligunduliwa wakati wa uchimbaji sasa yanaonyeshwa kwenye Makumbusho ya Albert huko [[London]] pamoja na Makumbusho ya [[Mji Mkongwe]] huko [[Stone Town]], ambayo imefungwa kwa muda kutokana na kuporomoka kwa sehemu ya jumba la zamani.<ref>{{Cite web|title=Early notification of collapse of House of Wonders in Zanzibar|url=https://whc.unesco.org/en/news/2233/|work=UNESCO World Heritage Centre|accessdate=2022-08-11|language=en|author=UNESCO World Heritage Centre}}</ref> Kulingana na mwasisi, mke wa Harun aliomba kwamba mbegu ziunganishwe na chokaa ili kushikilia msikiti mdogo unaojulikana kama Msikiti Chooko, au "msikiti wa nafaka za kijani," pamoja na Makaburi kadhaa, likiwemo la Harun, yamefunuliwa nyuma ya msikiti huo.<ref>{{Cite web|title=Local history – Culture - CHWAKA RUINS - Konde|url=https://www.petitfute.co.uk/v42146-konde/c1173-visites-points-d-interet/c976-archeologie-artisanat-science-et-technique/c979-histoire-locale-culture/1524293-ruines-de-chwaka.html|work=www.petitfute.co.uk|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref>
[[Jamii:Zama za Kale]]
[[Jamii:Pemba]]
[[Jamii:Makumbusho]]
in1z2m39xjny47bu8olsi3ri7atetw9
1241851
1241850
2022-08-11T09:59:30Z
Immah 146
55367
wikitext
text/x-wiki
'''Chwaka''' (''Magofu ya mji wa kale wa Chwaka'' ) Ni eneo la kihistoria la Kiswahili la [[Zama za Kati]] karibu na kijiji cha Chwaka kilichopo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]]. Kuna msikiti wa Kiswahili uliochimbwa kwenye eneo hilo la kihistoria.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> Maeneo ya kihistoria ya magofu haya ni kilomita 6 kutoka mji mdogo wa Konde, mwisho wa njia ambayo ina urefu wa mita 900 kuelekea kijiji cha Tumbe kwenye njia ya kijiji cha Myumoni.
Tovuti ya akiolojia ni alama ya wazi kutoka barabarani na ni wazi kwa umma. Katika kisiwa kizima cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]], magofu haya ni miongoni mwa maeneo yaliyohifadhiwa vyema. Eneo hili lina maandishi ya mapema yaliyoandikwa [[karne ya 13]]. Hata hivyo, Harun Bin Ali, mtoto wa Mkame Ndune wa Pujini. Makazi haya, ambayo yalijumuisha eneo la hekta 20, yalikuwa na ngome kubwa ya kasri, kumbi za karamu, misikiti miwili, vyuma vya chuma, na bandari katika mkondo wa karibu. Mji huu uliachwa katika [[karne ya 16]].<ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref>
Kuta za [[msikiti]] mkubwa huo na matao yake ya lango bado zipo hadi leo.Mabaki (bakuli, keramik) ambayo yaligunduliwa wakati wa uchimbaji sasa yanaonyeshwa kwenye Makumbusho ya Albert huko [[London]] pamoja na Makumbusho ya [[Mji Mkongwe]] huko [[Stone Town]], ambayo imefungwa kwa muda kutokana na kuporomoka kwa sehemu ya jumba la zamani.<ref>{{Cite web|title=Early notification of collapse of House of Wonders in Zanzibar|url=https://whc.unesco.org/en/news/2233/|work=UNESCO World Heritage Centre|accessdate=2022-08-11|language=en|author=UNESCO World Heritage Centre}}</ref> Kulingana na mwasisi, mke wa Harun aliomba kwamba mbegu ziunganishwe na chokaa ili kushikilia msikiti mdogo unaojulikana kama Msikiti Chooko, au "msikiti wa nafaka za kijani," pamoja na Makaburi kadhaa, likiwemo la Harun, yamefunuliwa nyuma ya msikiti huo.<ref>{{Cite web|title=Local history – Culture - CHWAKA RUINS - Konde|url=https://www.petitfute.co.uk/v42146-konde/c1173-visites-points-d-interet/c976-archeologie-artisanat-science-et-technique/c979-histoire-locale-culture/1524293-ruines-de-chwaka.html|work=www.petitfute.co.uk|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Zama za Kale]]
[[Jamii:Pemba]]
[[Jamii:Makumbusho]]
c8p2ru87p9jimgqk5riwu70sqfp4n5g
Sanje ya Kati
0
156468
1241852
2022-08-11T10:08:25Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Sanje ya Kati''' (Swahili ''Kisiwa cha kale cha Sanje ya Kati'') ni eneo la kihistoria ambalo hawaishi watu lililopo kisiwa cha Sanje ya kati kata ya Pande Mikoma Mkoani [[Lindi (mji)|Lindi]], kwenye [[Pwani]] ya [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Tanzania|Tanzania.]] Eneo ili ni nyumbani kwa [[waswahili]] enzi za mawe za kati ni eneo ambalo halija chimbuliwa kikamilifu.<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James De Vere|date=1974|title=Swahili Architecture in the Later Middle Ages|url=https://www.jstor.org/stable/3334723|journal=African Arts|volume=7|issue=2|pages=42–84|doi=10.2307/3334723|issn=0001-9933}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya hindi]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Lindi]]
4pdgww8iifee8gm0j6rd26remm98vjc
Githinji Gitahi
0
156469
1241853
2022-08-11T10:46:07Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Githinji Gitahi,''' Ni [[daktari]] wa [[Kenya]] ambaye amehudumu kama Afisa mkuu mtendaji wa Amref Health Africa pia alikua mwenyekiti mwenza wa kamati ya uongozi ya UHC2030.<ref>{{Cite web|title=Dr Githinji Gitahi, Group CEO, Amref Health Africa|url=https://amref.org/githinji-gitahi/|work=Amref Health Africa|accessdate=2022-08-11|language=en-GB}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Amref CEO Dr. Gitahi appointed to the new commission on African COVID-19 response|url=https://www.pmldaily.com/features/health/2021/07/amref-ceo-dr-gitahi-appointed-to-the-new-commission-on-african-covid-19-response.html|work=PML Daily|date=2021-07-09|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref>mwezi julai 2021, aliteuliwa kama kamsishna katika tume ya Afrika ya Korona [[Mlipuko wa virusi vya corona 2019-20|(COVID-19).]]<ref>{{Cite web|title=Gitahi Githinji, Amref Health Africa: Profile and Biography|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/16994969|work=Bloomberg.com|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Dr. Githinji Gitahi has been appointed as a Commissioner for COVID-19 response in Africa|url=https://hapakenya.com/2021/07/03/dr-githinji-gitahi-has-been-appointed-as-a-commissioner-for-covid-19-response-in-africa/|work=HapaKenya|date=2021-07-03|accessdate=2022-08-11|language=en-GB|author=Grace Matheka}}</ref><ref>{{Cite web|title=Dr Githinji Gitahi Appointed to the New Commission on African COVID-19 Response by South Africa President, H.E Cyril Ramaphosa|url=https://www.monitor.co.ke/2021/07/02/dr-githinji-gitahi-appointed-to-the-new-commission-on-african-covid-19-response-by-south-africa-president-h-e-cyril-ramaphosa/|work=Kenya Monitor|date=2021-07-02|accessdate=2022-08-11|language=en-GB}}</ref><ref>https://www.devex.com/news/perspectives-on-change-dr-githinji-gitahi-and-patrick-lembwakita-100185</ref>
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Githinji alizaliwa 7 ya mwezi wa nane huko [[Othaya]], [[Nyeri|Nyeri,]] Nchini Kenya. Mnamo Mwaka 1996 alihitimu [[chuo Kikuu cha Nairobi]] na Shahada ya Udaktari na upasuaji na Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara katika Masoko kutoka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani (itaendelea).<ref>{{Cite web|title=Dr Githinji Gitahi|url=https://worldconference.croix-rouge.fr/dr-githinji-gitahi/?lang=en|work=WorldConference|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Juliana Rotich & Former NMG MD Githinji Gitahi appointed to the Board of Standard Group - Kenyan Wallstreet|url=https://kenyanwallstreet.com/juliana-rotich-former-nmg-md-githinji-gitahi-appointed-to-the-board-of-standard-group/|date=2018-03-19|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref> Ana Cheti cha Mtazamo wa kimkakati kwa Usimamizi usio wa Faida kutoka [[Chuo Kikuu cha Harvard|Chuo Kikuu cha Harvard.]]<ref>https://www.theknowledgewarehouseke.com/dr-githinji-gitahi-top-25-ceos-setting-the-business-agenda-in-2021/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Kenya]]
[[Jamii:COVID-19]]
6uh2947donzcctmnn9etl9dp0xvel4d
Kipungani
0
156470
1241854
2022-08-11T10:59:06Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Kipungani''' Ni makazi ya kihistoria ya Lugha ya [[Kiswahili]] yanayopatikana kwenye [[Lamu (kisiwa)|Kisiwa cha Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]].<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref>
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Kenya]]
i120zln4o4ln4oiyupo4lh7q9xgnq1a
1241855
1241854
2022-08-11T10:59:45Z
Immah 146
55367
wikitext
text/x-wiki
'''Kipungani''' Ni makazi ya kihistoria ya Lugha ya [[Kiswahili]] yanayopatikana kwenye [[Lamu (kisiwa)|Kisiwa cha Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]].<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Kenya]]
fzqvit632pp2qm0jvgdq79em3i6azoy
Tanga, Tanzania
0
156471
1241856
2022-08-11T11:04:21Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Tanga''' ni Jiji linalopatikana kasikazini mwa [[Tanzania]], upande wa magharibi mwa [[Bahari ya Hindi|bahari ya Hind]]<nowiki/>i na ni makao makuu ya Mkoa wa [[Tanga (mji)|Tanga]]. Ina idadi ya watu wapatao 273,332 katika [[sensa]] ya mwaka 2012. Jina la Tanga lina maana "[[Safari]]" kwa kiswahili.<ref>{{Citation|title=Tanga, Tanzania|date=2022-08-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Tanga,_Tanzania&oldid=1102256433|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref>
Jiji la Tanga lipo pembezoni mwa Bahari ya Hindi, na ni mji mkuu wa Mkoa wa Tanga. Pia ni makao makuu ya Wilaya ya Tanga.
== Historia ==
Nyaraka kuhusu Tanga zinatoka kwa Wareno. [[Ureno|Wareno]] walianziasha kama kituo cha [[biashara]] katika ukanda wa [[Afrika ya Mashariki|Afrika mashariki]] na walidhibiti eneo hilo kwa zaidi ya miaka 200 kati ya mwaka 1500 mpaka mwaka 1700.<ref>{{Citation|title=Tanga, Tanzania|date=2022-08-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Tanga,_Tanzania&oldid=1102256433|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref>
== Marejeo ==
eq2az4cllkyr33yc5konqcx0wfp9l6p