Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.23
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Majadiliano ya mtumiaji:Kipala
3
1931
1242125
1241027
2022-08-12T15:20:12Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
*Je unapenda kuongeza makala kuhusu Tanzania? Nenda hapa ukachague: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/List Category Tanzania en|'''List Category Tanzania en''']]
*Ukipenda kupanusha wikipedia yetu kwa jumla, angalia mapengo hapa: [[Mtumiaji:Kipala/makala 10000|Makala 10,000]]
*Tazama pia kurasa za muda: [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/viungo vya mwili|Viungo vya mwili]] na [[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala/makala 100|makala 100]]!
'''Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa za Hifadhi ya Nyaraka'''{{archive box collapsible|
*[[User:Kipala/Archive 1|Hifadhi ya Nyaraka 1: 2006/2007]]
*[[User:Kipala/Archive 2|Hifadhi ya Nyaraka 2: Novemba 2006 - Februari 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 3|Hifadhi ya Nyaraka 3: Februari - Aprili 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 4|Hifadhi ya Nyaraka 4: Mei - Julai 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 5|Hifadhi ya Nyaraka 5: Julai - 15 Disemba 2008]]
*[[User:Kipala/Archive 6|Hifadhi ya Nyaraka 6: 15 Disemba 2008 - 20 Machi 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 7|Hifadhi ya Nyaraka 7: hadi mwisho wa 2009]]
*[[User:Kipala/Archive 8|Hifadhi ya Nyaraka 8: Januari 2010 - 6 Desemba 2010]]
*[[User:Kipala/Archive 9|Hifadhi ya Nyaraka 9: 6 Desemba 2010 - Desemba 2012]]
*[[User:Kipala/Archive 10|Hifadhi ya Nyaraka 10: Januari 2013 - Desemba 2015]]
*[[User:Kipala/Archive 11|Hifadhi ya Nyaraka 11: Mwaka 2016]]
*[[User:Kipala/Archive 12|Hifadhi ya Nyaraka 12: Mwaka 2017-2018]]
*[[User:Kipala/Archive 13|Hifadhi ya Nyaraka 13: Mwaka 2019]]
}}
<big>'''Ongeza chako chini kabisa!'''</big>
== Kuhusu Wikipedia kwa simu ==
Watu wengi wako Afrika wanasoma wikipedia kwa simu. Wanaweza kuhusu kwa simu pia?
https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps
https://translatewiki.net/wiki/Translating:WikimediaMobile
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:35, 28 Januari 2020 (UTC)
:Asante kwa swali, Ndugu Benson. Tuna watumiaji wengi wanaochangia kwa simu. Inawezekana, pia kwa matokeo mazuri. Historia ya makala inaionyesha kwa "tag:Mobile edit". Kwa upande mwingine tuna tatizo hasa kwa watumiaji wapya wakiamua mara moja kubadilisha kitu kidogo au kuongeza hosa, sentensi au neno kwamba hariri zao zina makosa (au:hazina maana) kwa hiyo tunasafisha mara kwa mara. Si rahisi kuunda makala marefu kidogo kwa simu ya mkononi. Lakini uwezekano upo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:55, 28 Januari 2020 (UTC)
::Kutafsiri kwa kutumia msaada kama translatewiki inawezakana pia, mimi mwenyewe ninaitumia siku hizi mara kwa mara. Hata hivyo, watumiaji wapya wanaonywa dhidi yake. Maana inahitaji maarifa na umakini. Ni rahisi kuingiza makala marefu ya Kiingereza katika programu ya aina hii, kusahihisha kidogo makosa ya kwanza na kuihifadhi. Ila tu mara nyingi (hasa kwenye skrini ndogo ya simu) watumiaji wanachoka au hawaoni tena makosa mengine - yanayobaki. Ni kidogo kama samaki hizi zenye sumu zinazopendwa na Wajapani [[en:fugu]] - tamu sana, lakini ole ukisahau kukata sehemu za sumu! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 13:04, 28 Januari 2020 (UTC)
== Kazi nzuri ya uhariri ==
Habari!
Umefanya vyema kuweka kielelezo kwenda [[Mapatano ya Kimataifa dhidi ya Utesaji]].
'''[[Mtumiaji:BlessNathan|BlessNathan]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BlessNathan|majadiliano]])''' 13:56, 1 Februari 2020 (UTC)
== Kuhusu kubadili jina la mtumiaji ==
Mimi '''Simon waziri msika''' naomba kubadili jina la mtumiaji na liwe 20_savage.Asante amani kwako--'''[[Mtumiaji:Simon waziri msika|Simon waziri msika]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Simon waziri msika|majadiliano]])''' 12:23, 7 Februari 2020 (UTC)'''kipala'''.
==Mashindano ya Uhariri Alfagems==
Ndugu, nipo na Magotech kwa ajili ya mashindano yetu. Afadhali usihariri makala zinazoundwa mpaka tutoe tuzo kwa washindi. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:28, 16 Februari 2020 (UTC)
:Usiwe na wasiwasi, naona hiyo baada ya tukio.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:53, 16 Februari 2020 (UTC)
==Ugatuzi Burundi==
Ndugu, naona nchi hiyo ndogo imegawiwa sehemu 16 (provinces) ambazo tungeziita wilaya, si mikoa. Hasa kwa sababu kuna ngazi ya juu zaidi ambayo inafaa iitwe mkoa. Unasemaje?
Kuhusu masahihisho yangu, nimekuelewa. Nitasubiri zaidi. Hofu yangu ni kusahau baadaye... Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:43, 17 Machi 2020 (UTC)
::Asante, kama wenzetu wa enwiki wako sawa https://en.wikipedia.org/wiki/Burundi#Subdivisions, zile provinces za Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Je umeona ngazi ya juu? Menginevyo fanya unavyoona. Nadhani tu ni busara tukianza kutaja kwa kila nchi makala yetu husika, ambayo ni [[Eneo la utawala]]; tafadhali uiangalie, unatumia neno hili zuri "ugatuzi", labda uhamishe lemma kwenda kule. Sasa naona tuktaja mfano "wilaya/mikoa ya Burundi", tuwe na makala fupi inayosema "Wilaya/mikoa ya Burundi" inayoeleza kwa sentensi moja "Wilaya/Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa nchi. Nchi hiyo imegwanywa kwa wilaya/mikoa 17. Wil/Mkoa unagawanywa kwa ....." '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:23, 17 Machi 2020 (UTC)
== Tafsiri ==
Habari! naomba msaada wa tafsriri ya maneno haya : '''Performance of biofilm carriers in anaerobic digestion of sisal leaf waste leachate''' '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 15:41, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Kwa nini unataka kuitafsiri? ni jina la makala kuhusu utafiti fulani, haihitaji tafsiri. Ukitaka kuieleza usitafsiri utumie maneno yako. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:25, 2 Aprili 2020 (UTC)
::Labda kitu kama "ufanisi wa (kipagazi ?) cha ukoga hai katika mmeng'enyo anerobi wa kichujuaji cha mikonge" - siridhiki kipagazi (carrier).'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:13, 2 Aprili 2020 (UTC)
== Masanja ==
Nmeondoa picha ya Masanja kwa sababu ya mlalamikaji mmoja akisema anaomba kuondolewa kwa picha hiyo. Natafuta picha nyingine. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 03:15, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Sawa si picha ya kupendeza sana. Basi kumbuka kufuta faili ya picha yenyewe, maana bado iko. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 05:57, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Naomba maelekezo namna ya kufuta picha. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:51, 11 Aprili 2020 (UTC)
:::Unafungua picha, utaipata kwa kuingia katika historia ya makala. Katika historia fungua nakala yenye picha, bofya picha, utapata ukurasa wa faili yake. Hapa ukihariri unaweza kufuta nisipokosei. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:28, 11 Aprili 2020 (UTC)
::Ahsante. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 14:06, 11 Aprili 2020 (UTC)
Naomba msaada wa kusaidiwa kuhariri makala niliyoanzisha ya Yericko Nyerere.
Naomba kusaidiwa kuweka picha yake.
Naomba kusaidiwa kuweka mpangilio mzuri kulingana na sheria za Wikipedia ya kiswahili.
Mimi ni mgeni sina uzoefu wa kutumia Wikipedia lakini nimeona nianzishe ukurasa wa Yericko ambae ni mwandishi maarufu wa vitabu Afrika Mashariki na Mchambuzi wa Ulinzi na Usalama. '''[[Mtumiaji:Mbutublock|Mbutublock]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mbutublock|majadiliano]])''' 03:58, 9 Septemba 2021 (UTC)
== Programmu ya kusafishia sw.wikipedia ==
Kuna programmu [[en:Wikipedia:CLEANER]], nafikiri inaweza kusaida na Wikipedia ya Kiswahili. Programmu ingine ni [[en:Wikipedia:Typo_Team/moss]]. Au tunaweza kuandika yetu.
'''[[Mtumiaji:Benson Muite|Benson Muite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Benson Muite|majadiliano]])''' 12:34, 29 Aprili 2020 (UTC)
==Translation request==
Hello.
Can you translate and upload the articles [[:en:Azerbaijan SSR]] and [[:en:Democratic Republic of Azerbaijan]] in Swahili Wikipedia? They certainly don't need to be long like the English versions.
Yours sincerely, '''[[Mtumiaji:Karalainza|Karalainza]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Karalainza|majadiliano]])''' 11:28, 13 Julai 2020 (UTC)
==Kamusi na viongozi wa Wikipedia ya Kiswahili==
Ndugu, nimeona umefuta sehemu ya mchango wa mwalimu wetu Mengistu kwamba una mashaka nao. Naomba maelezo kidogo. Pia nimeona umeandika idadi ya viongozi wa mradi wetu si halisi kwa sababu miaka ya nyuma tulisita kuondoa wale waliopumzika muda mrefu. Je, hatuwezi sasa kuchukua hatua? Amani kwako!--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:29, 22 Julai 2020 (UTC)
:Kuhusu "Kamusi" nimeona hasa muhimu kuhamisha sehemu kuhusu "Historia" nyuma, maana iliwekwa kabla ya maelezo ya kimsingi kuhusu aina tofauti za kamusi. Inawezekana katika kukata na kubandika tena nilifuta zaidi kuliko jinsi nilivyokusudia. Nitaangalia tena. Sehemu ya historia inajaa makosa mengi, hasa sehemu kuhusu kamusi za Kiswahili. Majina yameharibika mno (Sowahili si jina, wala Smee wala Salt walitunga kamusi, walikusanya maneno kadhaa tu kama mifano ya lugha; "Esteere" ni askofu [[Edward Steere]], "Krafp (1845)" ni [[Ludwig Krapf]]. -- Kifungu chote kuhusu Kigiriki kimenakiliwa kutoka makala [[Kigiriki]] lakini hakina uhusiano na mada ya Kamusi. Niliandika "mashaka" kwa sababu sijakuwa na muda wa masahihisho.
::Kuhusu wakabidhi: sawa, twende! Miaka iliyopita ni hasa Oliver ambaye hakupenda kufuta. Mimi mwenyewe naona kama mtu hakuonekana mwaka mmoja afutwe katika hadhi ya mkabidhi. Wikipedia nyingine zinaangalia pia kama mkabishi anatekeleza shughuli zake au la. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:49, 23 Julai 2020 (UTC)
:::Hata mimi naona hivyo: kimya cha mwaka mmoja kiwe kigezo. Tunawashukuru waliofanya kazi, lakini kuwaacha kama majina tu hakuna uhalisia... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:37, 23 Julai 2020 (UTC)
== Foto ==
Hallo Kipala,<br/>
Das Foto, das im Artikel zur SGR steht, ist eine Urheberrechtsverletzung und wird demnächst gelöscht. Um zu vermeiden, dass in dem Artikel ein kaputter Bildlink ist, habe ich es durch ein anderes Foto bereits im Vorhinein ersetzt. Würdest du deine Änderung also wieder zurücksetzen – oder alternativ ein anderes Foto nehmen? Viele Grüße, --'''[[Mtumiaji:Jcornelius|Jcornelius]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jcornelius|majadiliano]])''' 22:59, 3 Agosti 2020 (UTC)
:Dein Foto ist noch drin im Artikel. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:06, 4 Agosti 2020 (UTC)
::Ich verstehe nicht. Auf welchen Artikel wird verwiesen? Ich sehe kein neues Foto in [[Nzige-jangwa]] (SGR). '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 14:40, 5 Agosti 2020 (UTC)
:::Inahusu [[Reli_ya_SGR_ya_Kenya]]'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:35, 6 Agosti 2020 (UTC)
==Mitaa==
Ndugu, naomba uangalie maswali yangu ya leo katima majadiliano ya kurasa mbalimbali. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:15, 17 Agosti 2020 (UTC)
::Naona swali lako leo tu. Siwezi kuona tena mabadiliko ya jana. Unamaanisha makala zipi?'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:22, 17 Agosti 2020 (UTC)
:Ndiyo, leo, si jana! Ni [[Rutamba]], [[Malunde]] na [[Madume bora]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:59, 17 Agosti 2020 (UTC)
==Naomba kuzirudisha upya na kutoa uthibitisho [[Silent ocean Tanzania]],[[Counsellorsalah]]==
[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] Nimeona sababu iliyotolewa kwa ajili ya ufutaji wa makala hizo mbili, nimejifunza jambo juu ya uundaji wa makala hapa wiki. kama ulivyoelezea kwenye ukurasa wa makala ya ufutaji, nilijaribu kuziingiza enwiki lakini zilikosa mantiki. nipo katika kujifunza kuhariri hapa wiki ili na mimi baadae niweze kuisaidia swwiki katika makala tofauti tofauti. hivyo naomba kuanzisha tena makala hizo mbili ambazo tayari zimefutwa, na kwa sababu ambazo ni sahihi, ila nimefanyia marekebisho sababu ya awali na kufupisha maneno, na kuelezea kile tu ambacho kina uthibitisho. ahsante. '''[[Mtumiaji:molee4real|molee4real]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
== Lambo la Kihansi ==
habari Kipala,
naomba msaada namna ya kutumia google maps kwenye ukurasa wangu wenye jina [[Lambo la Kihansi|tajwa]]. Asante --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 12:44, 18 Septemba 2020 (UTC)
:Pia angalia namna ya kutumia "l" na "r". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:29, 18 Septemba 2020 (UTC)
::Mimi mwenyewe sijaelewa bado namna ya kutumia google map pamoja na misimbo ya majiranukta. ninabahatika wakati mwingine kama tunayo infobox iliyoandaliwa kuwa na majiranukta. Ninafikiri tatizo ni hii: tuna infoboxes kadhaa ambazo ni za zamani kabla ya kusanifishwa kwa infoboxes kwenye enwiki jinsi iivyo. Kama tungempata mtu anayeangalia boxes zetu na zile za kawaida za kimataifa tunagweza kuzitafsiri na kutumia. Nahisi hapa tupange warsha ya pekee kwa njia ya zoom, kwa kuomba msaada wa wale wanaojua nje ya swwiki. Mimi hutumia mbinu wangu: nafungua openstreetmap (shauri ya laiseni ya hakimiliki), nachukua pcha ya skrini, naipeleka programu kama PAINT, naweke alama ya mahali pamoja na matini ya Kiswahili, naipakua kwenda commons, basi nimeunda picha ya ramani ninayotumia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 19:05, 18 Septemba 2020 (UTC)
== We sent you an e-mail ==
Hello {{PAGENAME}},
Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.
You can [[:m:Special:Diff/20479077|see my explanation here]].
'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)
<!-- Message sent by User:Samuel (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Samuel_(WMF)/Community_Insights_survey/other-languages&oldid=20479295 -->
==Idadi ya makala==
Ndugu, imekuwaje tangu siku chache idadi ya makala za Kiswahili imekatwa kama 800: toka 60,300 hivi zimebaki 59,500 tu? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:18, 27 Septemba 2020 (UTC)
:Swali zuri, nimeiona pia, sijui. Najaribu kuuliza. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:43, 27 Septemba 2020 (UTC)
::Pia nimeona haririo lako la mwisho kuhusu wasomaji wetu: kutoka milioni 4 wamekuwa chini ya 2. Idadi ya mwisho inalingana na ile ya wasomaji kwa nchi, lakini ile ya kwanza ipo katika Wikistat: ina maana gani? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:38, 28 Septemba 2020 (UTC)
:::Niliangalia wikistats na kuona namba za milioni 4. Baadaye niliangalia toolforge ambako ni chini ya mio 2. Nimekumbuka nimewahi kuona hii lkn nilishau. Basi ukifungua https://stats.wikimedia.org/#/sw.wikipedia.org/reading/total-page-views/normal|bar|2-year|~total|monthly unaona idadi ya kuangaliwa kwa swwiki. Ukibofya "Split by agent type" (ambacho nilisahau) unaona kiasi gani cha watu halisi na kiasi gani cha bots au programu za crawler. Namba ya watu halisi ni sawa na namba inayoonyeshwa pale toolforge https://pageviews.toolforge.org/siteviews/?platform=all-access&source=pageviews&agent=user&start=2019-09&end=2020-08&sites=sw.wikipedia.org. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 08:44, 28 Septemba 2020 (UTC)
== Swahili Wiktionary ==
Saalam, maneno ambayo yapo kwenye sw wiktionary yana hitilafu kidogo. Maneno ambayo hayafahi kuwepo au katika lugha zingine vinaongezeka, sina uwezo wa kuzitoa kwenye wiktionary tafadhali zitoe, au unipe usaidizi wa jinsi nawezaya kuyatoa maneno hayo.'''[[Mtumiaji:Alvin kipchumba|Alvin kipchumba]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alvin kipchumba|majadiliano]])''' 12:15, 30 Septemba 2020 (UTC)
::Naona umeanzisha mwenyewe makala ya "kuadhiminisha" ambayo si Kiswahili. Kwa nini? Mimi sina mamlaka pale Wikamusi, ongea na wakabidhi wa pale, unawakuta kwenye ukurasa wa Jumuia. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:04, 30 Septemba 2020 (UTC)
:::(en) If i can weigh in here, the Swahili Wiktionary is really in a mess and i have been going on trying to fix things. If you can help out in any way with the kamusi or otherwise invite users who might be intrested it would be appreciated. Cheers --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 11:57, 2 Oktoba 2020 (UTC)
::::(en) I was there some days ago. Couldn't do much more since I have a limit access to the site. Though I can fix some error if pointed where!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 13:27, 2 Oktoba 2020 (UTC)
== Kanisa la Mwenyezi Mungu ==
I figured, that I could spread the word about [[:en:Eastern Lightning|The Church of Almighty God]] (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
* https://sw.godfootsteps.org/
* https://sw.kingdomsalvation.org/
* https://bitterwinter.org/what-is-the-church-of-almighty-god/
* https://bitterwinter.org/the-church-of-almighty-god-eastern-lightning-10-false-myths/
* https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --'''[[Mtumiaji:Apisite|Apisite]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Apisite|majadiliano]])''' 05:26, 2 Novemba 2020 (UTC)
:Mpendwa, unachofanya kwenye ukurasa wako wa mtumiaji ni shauri lako, usipoleta matangazo ya kibiashara au haramu au matusi. Ila matini za Kiingereza hazidumu hapa kwenye makala, tunafuta. Pia kama unaweza kutunga makala inayoleta habari halisi, sawa ni kama kila mada. Sieelwei uanchomaanisha ukisema "spread the word"- '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:57, 2 Novemba 2020 (UTC)
==Kundi la whatsapp la wakabidhi==
Habari Kipala!
Nilipata ujumbe wako. Kundi la whatsapp la wakabidhi ni wazo zuri. Nimepotea whatsapp wiki iliyopita kutokana na changamoto binafsi, natarajia kurejea wiki hii. Nitakutaarifu. Asante. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)]]''' [[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)]]
Nimeona majadiliano yenu. Jumapili iliyopita watu mbalimbali walichangia Wikipedia yetu kwa tafsiri za kompyuta. Labda tufikie uamuzi wa moja kwa moja za kuzifuta au kutafsiri upya sehemu ndogo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
==Hamburg==
Nimepata ujumbe huo. Naona unakuhusu zaidi wewe.
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
Ramani ya mtandao wa kituo cha Hamburg S-Bahn na Dammtor
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC) --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:47, 18 Desemba 2020 (UTC)
== MrWaxwell ==
I have also blocked this user on several small projects for the same reason as here. I think perhaps it may be time for a global lock. '''[[Mtumiaji:Praxidicae|Praxidicae]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Praxidicae|majadiliano]])''' 15:16, 7 Januari 2021 (UTC)
:It is a pity about this guy. For a place like us he could be helpful if he listened, I guess it has to do with his personality/attitude that he is not able to communicate. I have not followed him very much on other wikis, just on the African ones. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 18:29, 7 Januari 2021 (UTC)
==Google Translations==
Ndugu, nimepokea leo jibu hili:
:[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], If someone translate it by themselves, it's not copyright violation, but if they are doing it using Google translator, then it is a violation as content translated using Google translator is licensed. I am sure this user don't know the Swahali language and they just copied the content from English wiki and used Google translator and pasted it here. I have also [[m:Steward requests/Miscellaneous#Google|translations by User:Sandesh9822]] opened a thread on meta]] to discuss all such articles they created on other wikis. '''[[Mtumiaji:1997kB|1997kB]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:1997kB#top|majadiliano]])''' 07:51, 18 Januari 2021 (UTC)
Ni suala linalotusumbua tangu muda mrefu. Kwa nini tusichukue uamuzi wa kufuta kurasa zote za namna hiyo? Pia naomba uangalie talk katika English Wiki kuhusu Same-sex Marriage. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 18 Januari 2021 (UTC)
Tafadhali nisaidie kuelewa jambo. Swali linahusu makala gani? Na mtumiaji gani? Na uhusiano na [[:en:Same-sex Marriage]] (sehemu gani ya majadiliano?) ni nini? Ninaelewa kwamba unaona matumizi ya automatic translate bila masahihisho kama usumbufu. Ila kabla ya kuiweka kwenye Whatsapp nisaidie nielewe vizuri zaidi. (maana machoni pangu KAMA tafsiri ya kompyuta inasafishwa vema, kuna matokeo mazuri - mimi mwenyewe natumia mara kwa mara programu ya tafsiri ya komyuta siku hizi, lakini inahitaji kazi!) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:06, 18 Januari 2021 (UTC)
::Ni ukurasa juu ya [[B. R. Ambedkar]]. Shida ni kwa hawa wasiojua kabisa Kiswahili. Hakuna uhusiano na ndoa za jinsia moja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 18 Januari 2021 (UTC)
:::Sawa nimepeleka, Nimekuunga mkono. Ila naona umeshwekeza kazi sasa si vibaya tena? (tena sidhani ni kweli alichoandika Mtumiaji:1997kB. Copyright si jambo, matokeo mabaya ni jambo.) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:45, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Naomba ujadiliane na huyo [[Mtumiaji:1997kB|1997kB]]. Asante. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:56, 18 Januari 2021 (UTC)
::::Nimeandika hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/Steward_requests/Miscellaneous#Google_translations_by_User%3ASandesh9822 '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 16:13, 18 Januari 2021 (UTC)
==Katekesimo==
Ndugu, hata mwaka jana nilikuwa na katekesimo ndogo ya Kilutheri kwa Kiswahili iliyoandaliwa na mtu wa Ufini (Popidan?) lakini sasa siioni tena. Ingeweza kutajwa. Shalom. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:40, 14 Februari 2021 (UTC)
:Nimeiona tena. Kichwa chake ni "Katekisimo". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
==Majadiliano: Frozen1==
Ndugu, naomba umjibu mchangiaji asiyejua Kiswahili lakini ana nia njema: ameandika katika ukurasa wangu wa majadiliano chini ya kichwa hicho. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:39, 15 Machi 2021 (UTC)
::Sawa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 06:01, 16 Machi 2021 (UTC)
==Majina ya nchi==
Suala la majina ya nchi linazidi kusumbua hasa upande wa jamii: Isilandi, Iceland - China, Uchina - Mexico, Meksico, Meksiko n.k. Lini tutakubaliana? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:54, 30 Machi 2021 (UTC)
:Nitaipeleka kwenye kundi la wakabidhi. Naona njia tatu: 1) Ama tuendelee jinsi ilivyo kwa kutumia redirect; 2) Au tukubaliane Orodha rasmi (kutoka [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]??? mimi si rafiki sana wa mapendekezo kwa nchi kadhaa. Tena niko sasa Kenya, sina nakala hapa..). 3) au tupatane kuhusu nchi tu ulizotaja na zinazotajwa kwa wengine kuwa zinasumbua. Nipeleke hoja zote tatu au ipi? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 07:17, 30 Machi 2021 (UTC)
::Redirect kwa jamii haisaidii, kwa sababu makala hazionekani katika ukurasa ulioelekezwa upya. Afadhali tukubaliane tuwe na namna moja walau kwa jamii. Tuanze na nchi hizo 3, lakini zipo nyingine pia. Salamu kwa Wakenya wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:15, 30 Machi 2021 (UTC)
==Makala Yenye Mashaka==
Habari Mr Kipala. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana
== Matumizi ya wikimedia special:content translation ==
Habari Kipala, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --'''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 10:37, 17 Mei 2021 (UTC)
:Ninashauri usubiri kuwafundisha wengine hadi wewe umeitumia mwenyewe kwa makala 10 au 20 (kwa mfano chukua majina mekundu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Kipala/makala_10000; lazima kwanza kuangalia kama makala iko rayari kwenye swwiki kwa jina tofauti). Mimi ninaitumia mwenyewe mara kwa mara. Hitilafu bado ziko kupeleka tanbihi upande wa Kiswahili (kifaa kinaingiza mara kwa mara msimbo wa '''<nowiki><nowiki></nowiki>''' pasipotakiwa), halafu inatafsiri marejeo yasiyotakiwa kutafsiriwwa kama jina la makala au jina la kitabu au hata majina ya watu. Kuna sehemu kama fomula au jedwali ambako matokeo yanaweza kuwa vibaya, na hapo una hitaji kusahihisha baadaye. Kuhusu matini yenyewe ni matatizoy a kawaida ya tafsiri ya kompyuta kama kwenye google. Yaani progarmu inakupa matini mfululizo ya maneno ya Kiswahili ambayo bado si Kiswahili; maar kwa mara tafsiri ni kosa, unahitaji kubadilisha maneno. Pia muundo wa sentensi mara kwa mara inakosea. Infanya kiasi kizuri ukiwa na makala fupi yenye sentensi fupi. Ningeikataza kwa matini ndefu kwa sababu hapa uchovu wa mhariri utaingia na matokeo ni mabaya. Ukiwa na wahariti wenye uzoefu (si chini ya 200 edits) unaweza kujaribu. Kwa wageni usifanye. - Ni nani aliyekushauri ufundishe watu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:40, 17 Mei 2021 (UTC)
== GFDL ==
Hi! I made a suggestion at [[Majadiliano ya MediaWiki:Licenses]] but it is probably not a page that many users notice. Could you have a look or give me a link to a better page to make the suggestion? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 10:37, 28 Mei 2021 (UTC)
: Hi! Do you have any further questions related to my suggestion? Or do you just wait and see if other users would like to comment? --'''[[Mtumiaji:MGA73|MGA73]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MGA73|majadiliano]])''' 12:07, 3 Julai 2021 (UTC)
== Can you help me correct an article? Thank you! ==
Hello, {{Ping|Kipala}}!
I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ...
Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:10, 19 Juni 2021 (UTC)
== Request writing about Isabelle de Charrière (Q123386) ==
Helo Kipala, Would you like to write / translate about Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipia? That would be appreciated. '''[[Mtumiaji:Boss-well63|Boss-well63]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Boss-well63|majadiliano]])''' 13:14, 23 Agosti 2021 (UTC)
== Location za Kenya - vijiji au kata? ==
Naona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna<br/>
County - subcounty - division - location - sublocation<br/>
ambazo zinalingana na<br/>
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.<br/>
Au unaonaje?
'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
:Ndugu, nimeshamaliza kuandika makala kwa kata (wards) zote za Kenya kupitia vitabu vya sensa. Vijiji ambavyo mpaka sasa havina ukurasa, maana yake si kata au kata imeanzishwa baada ya sensa. Nadhani msamiati wa hapo juu una tofauti kati ya Kiingereza na Kiswahili, labda ni kwa ajili ya utekelezaji wa sensa. Nimeona umebadilisha ukurasa juu ya kijiji cha Suam, lakini ungesoma kwanza [[Suam|ukurasa juu ya maana mbalimbali za jina hilo]] ungeona kuna kijiji cha Suam katika kaunti moja na kata ya Suam katika kaunti nyingine. Kwa vyovyote kata nyingi zina jina la kijiji chake kimojawapo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni#top|majadiliano]])''' 10:28, 12 Septemba 2021 (UTC)
==Koloni==
Ndugu, tuliwahi kuongelea neno hilo, kwamba toleo la pili la KKS lilikuchanganya kulipanga katika ngeli i-zi (kama koloni kwa maana ya nuktambili), lakini sasa umeanza kubadilisha matini yetu kufuata kosa hilo ambalo toleo la tatu la KKS limelirekebisha, na kulingana na kamusi nyingine zote. Afadhali neno "vita" ambalo kweli baadhi ya watu wanalipanga katika ngeli i-zi, ingawa kamusi zote zinaelekeza kulitumia kama ki-vi au vi peke yake. Ndiyo maana mimi nimeacha kurekebisha "vita ya", lakini vilevile singependa kuona unabadilisha "vita vya". Tuache zote mbili, halafu watoto wetu watafikia mwafaka. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Basi nisamehe, ni kweli tuache hayo mawili kandokando. Nilikumbuka tulijadiliana, sijakumbuka matokeo, nikaangalia KKS<sup>3</sup> , ambayo inapanga neno kwenye i/zi. Ila naona sasa TUKI Kiing-Kisw inatumia ji/ma. Nilidhani katika ile makala ni kosa langu la zamani. Sasa, nitajitahidi kukumbuka, tusipoteze muda wetu juu ya hayo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 12:47, 23 Septemba 2021 (UTC)
==Kiswahili cha Kikongo==
Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)
:Subiri, niangalie (badi njiani kurudi toka Nbi) '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 17:39, 22 Novemba 2021 (UTC)
::: Tulikuwa na yafuatayo kwenye telegram:Ingo Koll, [22/11/2021 20:45]
::: Wapendwa, napata ujumbe kutoka Riccardo anayeuliza:
::: “Ndugu, Wakongo wanachangia Wikipedia yetu kwa Kiswahili cha kwao, kama huyo CapitainAfrika. Tufanye nini? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:55, 22 Novemba 2021 (UTC)” Nikimwangalia napata: https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Michango/CapitainAfrika
::: Hadi sasa ameleta machahce, pamoja na: https://sw.wikipedia.org/wiki/Bavua_Ntinu_Andr%C3%A9
::: Naona changamoto kweli. Tufanyeje? Upande moja nafurahia, maana Kongo itakuwa eneo ambako Kiswahili kitakua zaidi (ni lugha rasmi na lugha kuu kwenye mashariki mwa nchi). Upande mwingine alicholeta – sijui tumwambie hakikubaliki?? Ingo Koll, [22/11/2021 20:50]
::: Czeus Clement Masele Wikiadmin, [22/11/2021 21:56] [In reply to Ingo Koll] Sawa
::: Christiaan Kooyman, [22/11/2021 23:48] [In reply to Ingo Koll] Tusiwakatie Wakongo tamaa sana. Tuwasihi tu wajifunze Kiswahili Sanifu. Kwa sasa, tutaboresha Kiswahili cha makala zao, kama nilivyofanya na makala André Bavua Ntinu.
::: Ingo Koll, [24/11/2021 23:05] Kama hakuna zaidi, mnaonaje tukimwambia asipeleke mambo yake kwenye article space moja kwa moja, bali kwanza katika nafasi ya binafsi, halafu aswailiane na mmoja wa hapa? Nani pamoja na Chriko anajitolea kumwongoza?
==Jamii:Wanamichezo au Wachezaji?==
Tuwe na namna moja: unaonaje? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:00, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Sina uhakika, je kila mwanariadha ni mechazji pia? Wale wa mpira na kwa jumla wote kwenye timu ni wachezaji; kwa Kiingereza pia "mechezaji" wa gulf. Lakini yule anayeruka mbali au juu? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:10, 24 Novemba 2021 (UTC)
:Naomba uwashirikishe wengine kabla hatujaendelea kwa fujo, tusije tukahitaji kupoteza muda mwingi baadaye kuweka mambo sawa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
==Wkamahiriki wa sauti==
Nimekuta mara nyingi maneno hayo katika kurasa za filamu: mtumiaji alitaka kusema watu hai wanaotumia sauti yao kwa wahusika wa katuni. Lakini ni wazi kwamba neno halikai sawa... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:10, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Ndugu, hujanijibu. Pia naomba tuendelee kujadiliana kuhusu msamiati wa kompyuta (tovuti n.k.) na tafsiri za Wiki ya Kishia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:31, 30 Desemba 2021 (UTC)
::Samahani, nilibanwa kidogo sijaona ukurasa wangu. Kuhusu "wkamahiriki" sijaelewa, labda nieleza kwa upana zaidi? Kuhusu makala za Wiki ya Kishia: nina wasiwasi; yaani anatafsiri neno kwa neno. Je ni jambo la katimiliki??? Nilimwandikia na kumshauri asiendelee vile. Naona makala ni kidhehebu mno. Basi nitapeleka swali Telegram.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 20:49, 31 Desemba 2021 (UTC)
:::Neno hilo la ajabu limeandikwa katika kurasa nyingi za filamu za katuni kuhusu waigizaji waliotoa sauti yao kwa wahusika. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:23, 1 Januari 2022 (UTC)
::::Nimeandika leo kwenye telegramu: Hamjambo wote naomba ushauri. Makala 19 zinatumia neno"Wkamahiriki" kwa ajili ya waigizaji wanaotoa sauti kwa wahusika katika filamu za katuni. Naona ni kosa lililonakiliwa na watu mbalimbali. Je kuna neno la kufanana linalotaja yale yanayolengwa? Kwa Kiingereza ni "voice actor". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 15:33, 1 Januari 2022 (UTC)
==[[Qasem Soleimani]]==
Ndugu, Muzney Muhammad anazidi kusema ukurasa huu una makosa na uongo mwingi na amejaribu mara mbili kuleta ukurasa mpya wenye tahajia tofauti ili kufuata Wiki ya Shia. Mimi nimeshindwa kumuelewa. Labda uwasiliane naye wewe. Asante sana. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:02, 4 Januari 2022 (UTC)
== How we will see unregistered users ==
<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">
<section begin=content/>
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help.
If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]].
We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you.
/[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/>
</div>
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
<!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 -->
==Miji ya Burkina Faso==
Pole, ndugu, umerudia kazi ileile. Mwezi uliopita ulitunga ukurasa juu ya miji ya Burkina Faso, na leo tena... Tofauti ni hasa herufi M ya miji.... --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 8 Januari 2022 (UTC)
== omba kuhariri ==
Tafadhali ongeza:
<nowiki>(alama: [[file:Earth symbol (fixed width).svg|16px|🜨]])</nowiki>
kwa [[Dunia]].
Asante! '''[[Mtumiaji:Kwamikagami|Kwamikagami]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kwamikagami|majadiliano]])''' 06:12, 26 Januari 2022 (UTC)
== Vifaa ==
Habari yako Kipala, kwa muda mrefu nimeshakua nikifanya kazi kutengeneza Hotcat kwenye wikipedia ya swahili. (en) Due to technical terms let me switch to English, Hotcat is a tool that enables one to easily add and categories( jamii) easily. I have localised it and even tested it and it seems to work properly. Since your an interface admin would it be possible to make it a gadget here? source code is at user:synoman barris/common.js --'''[[Mtumiaji:Synoman Barris|Synoman Barris]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Synoman Barris|majadiliano]])''' 12:25, 6 Februari 2022 (UTC)
==Block==
Ndugu, kwa mara ya pili napata shida kuhifadhi interwiki links nikiwa redioni. Inaonekana Martin Urbanrc amezuia akaunti kadhaa jirani na hii. Nifanye nini? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:12, 10 Februari 2022 (UTC)
:Sielewi vema. Martin Urbanec ni nani? Afadhali tuma link nione tatizo linatokea wapi. Kuhusu mitiki nakutuma sasa email ya contacts 2 zilizofanya feedback hadi sasa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:24, 10 Februari 2022 (UTC)
::Nadhani nimempata. Umwandikie hapa https://meta.wikimedia.org/wiki/User_talk:Martin_Urbanec. Je unajua URL husika ya redio ni nini? Kama ameblock umwombe aeleze, (nitumie kopi) na aondoe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 11:38, 10 Februari 2022 (UTC)
:::Shida inaendelea bado. Mbali ya hiyo, hawa wachangiaji wapya wanaoshindana kutunga makala wanaandika mambo ya ajabuajabu. Wanaweka mchezaji mwanamume Mkenya katika jamii za Wanawake wa Tanzania n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:05, 13 Machi 2022 (UTC)
== Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? ==
Hi! {{ping|User:Kipala}}
The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]].
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:11, 11 Machi 2022 (UTC)
==Msaada Kuhusu Viungo==
Salamu, ni kwa namna gani tunaweza kubadili viungo ambavyo tayari vimewekwa kimakosa na kuunganishwa na lugha ya kiingereza, mfano katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Serengeti_Afrika_(filamu) , naona makala ya Kiswahili ni Kiingereza maudhui yapo tofauti, Amani Sana, '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 21:46, 7 Agosti 2022 (UTC)
:Nimeongeza maelezo kwenye Mwongozo. Utafute "msaada:Interwiki" halafu jaribi kufuata maelezo, tuone kama yanatosha.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala#top|majadiliano]])''' 10:56, 8 Agosti 2022 (UTC)
::Nimefaulu, Asante sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 12:42, 8 Agosti 2022 (UTC)
==Makala ambazo hazijitoshelezi==
Habari Ingo.
Hua ninakutana na makala nyingi mpya ambazo nashindw kuchukua hatua dhidi yake. Mfano makala hii [[Shabani]], japokua nahisi mada inafaa kua na ukurasa ila makala imeongelea mambo mengi mno na sio mada moja ambayo mimi nimetarajia kwa utashi binafsi ambayo ni Shabani ni moja ya miezi kwenye kalenda ya kiislam. Sasa sioni mkama inafaa kuweka alama ya futa ila pia kubaki kama ilivyo hapana. Nimeweka tu alama ya vyanzo. Hapa ninafanyaje, nimwandikie muhusika aliyeanzisha na maoni yangu, nihariri kwa kufuta maelezo ambayo naona hayafai kua pamoja, au? Nomba ushauri.
Asante,
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:20, 12 Agosti 2022 (UTC)
mc1ey59bmtcy9c8z2z9a6v5os44r08x
Wikipedia:Makala kwa ufutaji
4
2104
1242081
1241966
2022-08-12T13:25:06Z
Olimasy
26935
/* Siku ya kilimo na maendeleo vijijini */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]]==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]]==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
bnxapiryqx1pcyhqrwcz1shl3ny1xwl
1242097
1242081
2022-08-12T13:48:40Z
Olimasy
26935
/* Pamoko */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]]==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMAFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
59icvs6db0x9zg277b6l7xpigy61nor
1242099
1242097
2022-08-12T13:49:50Z
Olimasy
26935
/* Risasi ya Danny Hansford */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMAFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMAFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
mvow5ev9z8v0rl2roi45o2vwfza9jc8
1242102
1242099
2022-08-12T13:52:59Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMAFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMAFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
bkgsvvbsjko099h9lcj2qtf5as7ksoz
1242106
1242102
2022-08-12T13:59:32Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMAFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMAFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==Kilinux==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
fruumxzvlsjjrzkoec7hqokmawm995q
1242126
1242106
2022-08-12T15:20:36Z
Asterlegorch367
34615
/* Risasi ya Danny Hansford IMAFUTWA */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMAFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==Kilinux==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
d5r13lkicmx24mkmdi4v1jpphgpj329
1242127
1242126
2022-08-12T15:20:52Z
Asterlegorch367
34615
/* Pamoko IMAFUTWA */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]]==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==Kilinux==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
7lcaxq1tyk2pfh1t8c5nndus5m3dptw
1242128
1242127
2022-08-12T15:22:44Z
Asterlegorch367
34615
/* Qustul */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]]==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==Kilinux==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
pvlzvczg4ay8112nu5t3n750qwho4hx
1242130
1242128
2022-08-12T15:24:49Z
Asterlegorch367
34615
/* Utalii nchini Rwanda */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]] IMEFUTWA==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==Cynthia Tse Kimberlin==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==Kilinux==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
nt938t4qd2l3bhah1fh1vpwpgh80da3
1242140
1242130
2022-08-12T15:36:24Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]] IMEFUTWA==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Cynthia Tse Kimberlin]]==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kilinux]]==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Franco na Afro Musica]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha hivyo ni ngumu kuona kama inafikia criteria ya umaarufu
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Shule ya isimu ya Afrika]]==
Makala haina chanzo hata kimoja. Pia inaonekana kama ni tafsiri ya moja kwa moja kutoka kwenye translator
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Maud Meyer]]==
Makala haina chanzo hata kimoja na inatumia kurasa nyingine za Wikipedia kama vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Casper Beatz]]==
Makala fupi sana na haina vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Setapa]]==
Makala haina vyanzo na muundo wake sio mzuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Ngoma ya Sakara]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha na muundo haujapangiliwa vizuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
kyla4o8zuzwzic97saaspz3b7k09vl7
1242141
1242140
2022-08-12T15:37:46Z
Asterlegorch367
34615
/* Maalum:Michango/Brian_whizzy */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]] IMEFUTWA==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
Nimepitia makala ulizoorodhesha na kuweka ama alama ya vyanzo au futa au zote kwa pamoja. Mwandishi anaonekana ana moyo ila anahitaji mwongozo na usimamizi
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:37, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Cynthia Tse Kimberlin]]==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kilinux]]==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Franco na Afro Musica]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha hivyo ni ngumu kuona kama inafikia criteria ya umaarufu
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Shule ya isimu ya Afrika]]==
Makala haina chanzo hata kimoja. Pia inaonekana kama ni tafsiri ya moja kwa moja kutoka kwenye translator
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Maud Meyer]]==
Makala haina chanzo hata kimoja na inatumia kurasa nyingine za Wikipedia kama vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Casper Beatz]]==
Makala fupi sana na haina vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Setapa]]==
Makala haina vyanzo na muundo wake sio mzuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Ngoma ya Sakara]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha na muundo haujapangiliwa vizuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
cce3vrondss1warfvsd1318y5q19o5c
1242142
1242141
2022-08-12T15:38:38Z
Asterlegorch367
34615
/* Maalum:Michango/Brian_whizzy */
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]]
[[Jamii:Wikipedia]]
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
<small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019)
* [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21)
:::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake
:::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
:::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''.
:::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
:::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.
</small>
<big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big>
__TOC__
=Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma=
==[[Chocheeni Kuni]]??==
Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)
::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])'''
==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa==
<small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small>
# [[Alfagems Secondary School]]
# [[Alien (kiumbe)]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[Amini Cishugi]]
# [[DJ LYTMAS]]
# [[Emmaus Shule ya Biblia]]
# [[JamiiForums]]
# [[Kigezo:Ambox ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake'''
# [[Kigezo:Ambox/hati ]]
# [[Kisoli (ukoo)]]
# [[Lango:Asia]]
# [[Maneno Lusasi]]
# [[Mbonea]]
# [[Mtumiaji:AliceShine]]
# [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]]
# [[Mtumiaji:Mholanzi]]
# [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]]
# [[Mtumiaji:Silverlombard]]
# [[Mtumiaji:Tegel]]
# [[Mtumiaji:Veracious/Draft]]
# [[Nairobi fly]]
# [[Orodha ya miji ya Kiswahili]]
# [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]]
# [[Shinz Stanz]]
# [[Shule za sekondari]]
# [[Stopselcub]]
# [[Tumaini Lenye Baraka]]
# [[Ukaguzi wa masoko]]
# [[Webico]]
# [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]]
==[[Fatma Juma Haji]]==
Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)
:Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)
==Makala za [[mtumiaji:David rango]]==
David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)
:Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)
ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)
::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)
::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)
==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] ==
[[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)
==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC
==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''==
Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC
==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC)
==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] ==
Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)
:Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.
'''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)
::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)
==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''==
Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC)
:Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''==
Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC)
==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Peju Layiwola]]==
Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC)
---Naomba kuipitia na kuitengeneza.
:Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
:Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC)
:Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)
==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika==
Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)
:Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)
===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''===
Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC)
===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''===
Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC)
==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC)
:Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' ==
Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' ==
Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC)
==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' ==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC)
:Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC)
:Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' ==
Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC)
:Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Khaby Lame]]==
Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]==
Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.
Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)
:Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)
==[[Ndeiru]]==
Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)
:Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)
=Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022=
==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''==
Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC)
:Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC)
::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC)
:Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC)
::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC)
:::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC)
==[[Naogopa]]==
Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)
==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''==
Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC)
:Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC)
==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC)
Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''==
Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC)
==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''==
Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC)
==[[Kibengali (Bangla)]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''==
Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC)
:Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''==
Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC)
==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''==
Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC)
==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''==
Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC)
==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''==
Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC)
==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''==
#. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa
#. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu
#. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari.
Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC)
==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]==
Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC)
::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Fesikh]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Echicha]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Aframomum corrorima]]==
Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Gari ya kulowekwa]]==
Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''==
Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''==
Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Koeksister]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Qustul]] IMEFUTWA==
Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Utalii nchini Rwanda]] IMEFUTWA==
Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC)
==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]==
Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)
:Nimepitia makala ulizoorodhesha na kuweka ama alama ya vyanzo au futa au zote kwa pamoja. Mwandishi anaonekana ana moyo ila anahitaji mwongozo na usimamizi
:'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:37, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''==
Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC)
==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''==
Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC)
:Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika
Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya
Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi
https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/
Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi
https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi
Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood
PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc
Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC)
::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''==
Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC)
==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]==
Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)
==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''==
Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo.
#inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]].
# inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara
# haina vyanzo
Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]] IMEFUTWA==
Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC)
.. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Kundi la Algoa]]==
Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)
==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''==
Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC)
==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Risasi ya Danny Hansford]] IMEFUTWA==
Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia.
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''==
Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''==
Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC)
==[[Pamoko]] IMEFUTWA==
Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Cynthia Tse Kimberlin]]==
Makala ni fupi mno, pia haina vyanzo vya kutosha na kibaya zaidi imemwagwa kwenye translator kisha ikaweka kama ilivyo, napendekezwa ifutwe. si hii pekee ni karibia makala zote alizoandaa mtumiaji huyu. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Kilinux]]==
Makala ni fupi mno pia haina vyanzo vya kutosha. Pia muundo wake haujakaa sawia.--- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
==[[Franco na Afro Musica]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha hivyo ni ngumu kuona kama inafikia criteria ya umaarufu
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Shule ya isimu ya Afrika]]==
Makala haina chanzo hata kimoja. Pia inaonekana kama ni tafsiri ya moja kwa moja kutoka kwenye translator
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Maud Meyer]]==
Makala haina chanzo hata kimoja na inatumia kurasa nyingine za Wikipedia kama vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Casper Beatz]]==
Makala fupi sana na haina vyanzo
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Setapa]]==
Makala haina vyanzo na muundo wake sio mzuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
==[[Ngoma ya Sakara]]==
Makala haina vyanzo vya kutosha na muundo haujapangiliwa vizuri
'''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
0s3ps1axf1bmcjdytxaje0jo04mm1ff
Twiga
0
4025
1242190
1241147
2022-08-12T20:32:00Z
ChriKo
35
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Twiga
| picha = Giraffe standing.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Twiga wa Afrika Kusini
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wanaonyonyesha watoto wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Mamalia wanaokanyaga kwa kwato mbili-mbili)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Giraffidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[twiga]])</small>
| jenasi = ''[[Giraffa]]'' <small>(Twiga)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1762
| subdivision = '''Spishi 11, nususpishi 7:'''
* ''[[Giraffa camelopardalis|G. camelopardalis]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis antiquorum|G. c. antiquorum]]'' <small>[[William John Swainson|Swainson]], 1835</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis camelopardalis|G. c. camelopardalis]]'' <small>(Linnaeus, 1758)</small>
** ''[[Giraffa camelopardalis peralta|G. c. peralta]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1898</small>
* ''[[Giraffa giraffa|G. giraffa]]'' <small>([[Johann Christian Daniel von Schreber|Schreber]], 1784)</small>
** ''[[Giraffa giraffa angolensis|G. g. angolensis]]'' <small>([[Richard Lydekker|Lydekker]], 1903)</small>
** ''[[Giraffa giraffa giraffa|G. g. giraffa]]'' <small>(Schreber, 1784)</small>
* †''[[Giraffa gracilis|G. gracilis]]''
* †''[[Giraffa jumae|G. jumae]]'' <small>[[Louis Seymour Bazett Leakey|Leakey]], 1965</small>
* †''[[Giraffa priscilla|G. priscilla]]'' <small>[[Guy Ellcock Pilgrim|Pilgrim]], 1911</small>
* †''[[Giraffa punjabiensis|G. punjabiensis]]''
* †''[[Giraffa pygmaea|G. pygmaea]]'' <small>[[John M. Harris|Harris]], 1976</small>
* ''[[Giraffa reticulata|G. reticulata]]'' <small>[[William Edward de Winton|De Winton]], 1889</small>
* †''[[Giraffa sivalensis|G. sivalensis]]'' <small>[[Hugh Falconer|Falconer]] & [[Proby Thomas Cautley|Cautley]], 1843</small>
* †''[[Giraffa stillei|G. stillei]]'' <small>[[Camille Louis Joseph Arambourg|Arambourg]], 1947</small>
* ''[[Giraffa tippelskirchi|G. tippelskirchi]]'' <small>[[Georg Friedrich Paul Matschie|Matschie]], 1898</small>
** ''[[Giraffa tippelskirchi tippelskirchi|G. t. tippelskirchi]]'' <small>Matschie, 1898</small>
** ''[[Giraffa tippelskirchi thornicrofti|G. t. thornicrofti]]'' <small>(Lydekker, 1911)</small>
| ramani = Giraffa camelopardalis distribution2.png
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa nususpishi za twiga
}}
'''Twiga''' ni [[jenasi]] ya [[mnyama|wanyama]] ya [[Afrika]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Giraffidae]]. [[Spishi]] hizi ni [[mamalia]] wenye [[kwato shufwa]] na [[shingo]] ndefu kuliko ile ya wanyama wote wa nchi kavu. [[Mwili]] wao umepambwa kwa madoa yasiyo na [[umbo]] maalumu, yenye [[rangi]] ya njano mabaka meusi na kutenganishwa na rangi nyeupe, au rangi ya manjano-kahawia.
Twiga wana uhusiano na [[tandala]] na [[ng’ombe]], lakini wanawekwa kwenye [[familia]] yao pamoja na ndugu wao wa karibu [[okapi]]. Wanapatikana hasa kuanzia [[Nijeri]] mpaka [[Afrika Kusini]].
Twiga huishi hasa maeneo ya [[savanna]] na [[nyika]]. Hata hivyo wakati [[chakula]] kinapokuwa adimu, hupendelea maeneo yenye [[mti|miti]] mingi, [[mgunga|migunga]] na [[kikwata|vikwata]] hasa. Hunywa [[maji]] mengi sana wakati yanapopatikana ili kukabili [[ukame]] ukija.
== Mabadiliko ya zamani ==
Twiga ni spishi nne katika familia ya Giraffidae pamoja na okapi. Familia hii hapo awali ilikuwa na wanyama wengi kiasi. Twiga huaminika kuwa walitokana na [[swala]] aliyekuwa na urefu wa futi 3 tu, mnamo miaka [[milioni]] 30–50 iliyopita.
Kutokea kwa [[shingo]] ndefu ya twiga kumezua mjadala mkubwa sana. [[Hadithi]] iliyozoeleka ni kwamba ilikuwa ni kutokana na juhudi za twiga kuyafikia [[tawi|matawi]] ya juu ya [[miti]] wakati wa ushindani wa chakula na wanyama wenzie walao majani.
Kuna [[nadharia]] nyingine isemayo kuwa twiga dume ndio waliokuwa na shingo ndefu kuleta tofauti na jike, na kuweza kufikia majani ya juu ili kupata chakula, kukua kwa shingo zao kulikuwa tu ni kama ukuaji wa pilic baada ya [[balehe]]. Hata hivyo, nadharia hii ya pili haikubaliki sana na kulingana na tafiti za hivi karibuni, imeonyesha udhaifu mkubwa na kubakiza nadharia ile ya kuanza peke yake.
Hata madoa ya twiga yanaaminika kuwa hapo awali yalikuwa ni ya rangi angavu juu ya mwili wa [[ngozi]] nyeusi. Madoa hayo taratibu yaliendelea kuwa ya muundo wa [[nyota]] na [[maua]], leo hii yamekuwa hayana umbo maalumu.
== Pembe ==
[[Picha:Giraffe08 - melbourne zoo edit.jpg|thumb|200px|Twiga katika zoo]]
[[Picha:Giraffes IMG 9614.JPG|thumb|200px|Twiga mama na mtoto]]
[[Picha:Giraffa camelopardalis angolensis (mating).jpg|thumb|200px|Twiga wakijamiiana]]
Jinsia zote wana pembe, japo pembe za twiga jike ni ndogo. Na kwa pembe hizi unaweza ukatambua jinsia ya twiga kwa urahisi, kwa sababu twiga jike wana nywele juu ya nundu za pembe zao, huku pembe za twiga dume zikiwa na vipara tu. Twiga dume wakati mwingine huwa na mkusanyiko wa kalsiamu kwenye fuvu zao za kichwa, ambao (mkusanyiko) hukua kadiri wanavyoongezeka umri, na kuwa kama nundu nyingine na kufanya jumla ya nundu kuwa tatu.
== Shingo ==
Twiga wana shingo ndefu wanaoitumia kula majani ya miti mirefu kabisa. Twiga wana pingili saba za mifupa ya shingoni, kama wanyama wengine, japo baadhi ya wataalamu wanadai zipo nane zaidi, mifupa hiyo ina maungio.
== Miguu na miondoko ==
Twiga wana miguu mirefu sana, kwa kadiri ya 10% zaidi ya miguu ya nyumbu. Mwendo wa twiga ni wa maringo, lakini akiwa anafukuzwa hukimbia sana, mpaka kufikia mwendokasi wa km. 55 kwa saa. Twiga ni kazi kuwindwa, na ni hatari. Wanapendwa hujihami kwa teke la nguvu. Teke la twiga mkubwa ni laweza kupasua fuvu la kichwa cha simba au hata kuvunja uti wa mgongo. Simba pekee ndio wanyama wanaoweza kuwa tishio kwa twiga.
== Mfumo wa mzunguko wa damu ==
Moyo wa twiga una uzito wa kg. 10 na una urefu wa sm. 60, na hutakiwa kuzalisha mgandamizo wa damu mara mbili zaidi ukilinganisha na wanyama wa kawaida, ili kusaidia kusukuma damu mpaka kwenye ubongo, kichwani. Karibu na shingo kuna mfumo wa damu tata, unaomida damu nyingi isiende kwenye ubongo wakati twiga anapoinamisha kichwa chake pia.
== Tabia ==
Twiga jike hujikusanya pamoja kwenye makundi ambao wakati mwingine hujumuisha twiga dume wadogo. Twiga dume wadogo hao hupenda kujiunga na dume wakubwa. Utafiti wa mwaka 1920 ulithibitisha kuwa twiga hawachangamani na twiga wasio wa kundi moja. Pia pindi dume atakapo kumpanda jike, basi huchagua yeyote aliye katika kipindi cha joto, kwenye kundi lolote. Twiga dume hutambua twiga jike walio katika kipindi cha joto kwa kuonja ladha ya mikojo yao. Twiga huchangamana vizuri na wanyama wengine wala nyasi. Kuwa pamoja na twiga hawa ni faida kubwa, kwa sababu urefu wao husaidia hata kuona adui wakiwa tangu mbali.
== Uzazi ==
Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.
== Kushindana/kupigana kwa shingo ==
[[Picha:Two male giraffes are necking in San Francisco Zoo 4.jpg|thumb|200px|Twiga mapiganoni]]
Kitendo hiki cha twiga kufanywa kwa madhumuni mbali mbali lengo mojawapo ni kupigana vita, vita vinaweza kuwa kubwa kwelikweli. Kadiri shingo inavyokuwa ndefu, ndipo kichwa napo kinapokuwa kikubwa zaidi, na nguvu ya kupigana huwa kubwa vile vile. Na imeonekana twiga dume wanaofanikiwa kupata jike wa kujamiiana ni wale twiga dume waliofanikiwa kushinda kwenye vita. Ndiyo maana husikika kuwa, shingo ndefu imetokana na ushindani wa kijinsia, lakini mara nyingine twiga, husuguana tu shingo zao kwa kujipatia raha/ashki ya kimapenzi. Tena ajabu, twiga dume, wao kwa wao ndio hushiriki zaidi zoezi hili hasa nyakati za upweke. Mhemko wakati wa shughuli hii unaweza kuwa mkubwa mpaka kufikia kileleni.
== Kulala ==
Twiga ni miongoni mwa mamalia wanaolala kwa muda kidogo kuliko wote, na hulala kwa wastani wa dakika kumi mpaka saa 2 katika masaa 24 ya siku moja na kuwa na wastani wa saa 1. za kulala kwa siku.
== Chakula ==
[[Picha:Giraffe feeding, Tanzania.jpg|thumb|200px|Twiga anayekula]]
Twiga hula majani ya miti, na pia hula nyasi nyingi na matunda. Ulimi wake ni mgumu sababu mlo wa twiga huhusisha miiba pia. Twiga anaweza kula mpaka kilo 29 za majani kwa siku, lakini anaweza hata kustahimili kwa kilo 6.8 tu za nyasi. Twiga hula kidogo sana kwa sababu hupata chakula chenye virutubisho vingi sana na pia mfumo wake wa mmeng’enyo wa chakula ni wa uhakika sana. Twiga pia huweza kukaa kwa vipindi virefu bila kunywa maji. Ulimi wa twiga una urefu wa takribani sentimeta 45.
==Spishi==
* ''Giraffa camelopardalis'', [[Twiga Kaskazi]] ([[w:Northern giraffe|Northern giraffe]])
** ''Giraffa c. antiquorum'', [[Twiga wa Kordofani]] ([[w:Kordofan giraffe|Kordofan giraffe]])
** ''Giraffa c. camelopardalis'', [[Twiga Nubi]] ([[w:Nubian giraffe|Nubian giraffe]])
** ''Giraffa c. peralta'', [[Twiga Magharibi]] ([[w:West African giraffe|West African giraffe]])
* ''Giraffa giraffa'', [[Twiga Kusi]] ([[w:Southern giraffe|Southern giraffe]])
** ''Giraffa g. angolensis'', [[Twiga wa Angola]] ([[w:Angolan giraffe|Angolan giraffe]])
** ''Giraffa g. giraffa'', [[Twiga wa Afrika Kusini]] ([[w:South African giraffe|South African giraffe]])
* ''Giraffa reticulata'', [[Twiga Somali]] ([[w:Reticulated giraffe|Reticulated giraffe]])
* ''Giraffa tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. tippelskirchi'', [[Twiga Masai]] ([[w:Masai giraffe|Masai giraffe]])
** ''Giraffa t. thornicrofti'', [[Twiga wa Luangwa]] ([[w:Luangwa giraffe|Luangwa giraffe]])
@''G. c. rothschildi'' amechukuliwa kuwa sawa na ''G. c. camelopardalis'' siku hizi.
==Spishi za kabla ya historia==
* ''Giraffa gracilis''
* ''Giraffa jumae''
* ''Giraffa priscilla''
* ''Giraffa punjabiensis''
* ''Giraffa pygmaea''
* ''Giraffa sivalensis''
* ''Giraffa stillei''
==Picha==
<gallery>
Giraffa camelopardalis antiquorum (Vincennes Zoo) 2.jpg|Twiga kaskazi
Giraffa camelopardalis camelopardalis (Al Ain Zoo, UAE), crop & flip.jpg|Twiga Nubi
Rothschild's Giraffe Portrait Image01.jpg|Twiga wa Rothschild
Girafes d'Afrique de l'Ouest dans la zone girafe au Niger 02.jpg|Twiga magharibi
Nyerere National Park (156).jpg|thumb|Mkia wa Twiga
Giraffa camelopardalis -Zambia-8.jpg|Twiga wa Angola
Giraffe Ithala KZN South Africa Luca Galuzzi 2004.JPG|Twiga wa Afrika Kusini
Two Giraffes.PNG|Twiga Somali
MasaiGiraffe2.jpg|Twiga Masai
Giraffe Walking Square.JPG|Twiga wa Luangwa
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Kundi la Twiga [[Hifadhi ya Serengeti]]
File:Gtall.jpg|thumb|Muonekano wa Twiga kwa Nyuma
File:Nyerere National Park (74).jpg|thumb|Twiga Hifadhi ya Nyerere Tanzania
</gallery>
A Tower of Giraffes in The Serengeti.jpg|thumb|Twiga katika kundi
== Marejeo ==
{{reflist|30em}}
{{Artiodactyla|R.}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
3o5tuic71hyjgji54sv2je6kanrt830
Sokwe (Hominidae)
0
18811
1242206
1233820
2022-08-12T20:46:11Z
ChriKo
35
Nyongeza spishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Sokwe
| picha = Gorilla 019.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Ngagi]]
| domeni = [[Eukaryota]] <small>(Viumbe walio na seli zenye kiini)</small>
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| nusuoda = [[Haplorrhini]] <small>(Wanyama wanaofanana zaidi na [[kima]])</small>
| oda_ya_chini = [[Simiiformes]] <small>(Wanyama kama kima)</small>
| oda_ndogo = [[Catarrhini]] <small>(Kima wa Dunia ya Kale)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>([[Sokwe (Hominoidea)|Masokwe]])</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])</small>
| subdivision = '''[[Jenasi]] 4:'''
* ''[[Pongo]]'' <small>[[Bernard Germain Étienne de la Ville, Comte de Lacépède|Lacépède]], 1799</small>
* ''[[Gorilla]]'' <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy]], 1852</small>
* ''[[Pan]]'') <small>[[Lorenz Oken|Oken]], 1816</small>
* ''[[Homo]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
}}
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii.
== Eneo na uenezaji ==
Masokwe wasiokuwa wanadamu wanaishi katika maeneo ya [[tropiki]] ya [[Afrika]] ([[sokwe mtu|masokwe mtu]] na [[ngagi]]) na [[Asia]] ([[orangutanu]]). Wote ni wakazi wa [[msitu|misitu]] ila tu masokwe mtu wanaoingia pia kwenye [[mbuga]] au [[savana]]. Wanadamu wanaishi duniani kote kwa kubadili mazingira yao, kuvaa nguo na kujenga majumba yanayowalinda kutoka joto kali ama baridi.
== [[Mwainisho]] ==
* ''Ponginae'' ([[w:Ponginae|Ponginae]])
** [[Orangutanu]], ''Pongo''
*** Orangutanu wa [[Sumatra]], ''Pongo abelii'' ([[w:Sumatran orangutan|Sumatran orangutan]])
*** Orangutanu wa [[Borneo]], ''Pongo pygmaeus'' ([[w:Bornean orangutan|Bornean orangutan]])
*** Orangutanu wa [[Tapanuli]], ''Pongo tapanuliensis'' ([[w:Tapanuli orangutan|Tapanuli orangutan]])
* ''Homininae'' ([[w:Homininae|Homininae]])
** ''[[Ngagi|Gorillini]]''
*** [[Ngagi]], ''Gorilla''
**** [[Ngagi Mashariki]] au Gorila Mashariki, ''Gorilla beringei'' ([[w:Eastern gorilla|Eastern gorilla]])
***** [[Ngagi-milima]], ''Gorilla b. beringei'' ([[w:Mountain gorilla|Mountain gorilla]]: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Uganda)
***** [[Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki]], ''Gorilla b. graueri'' ([[w:Eastern lowland gorilla|Eastern lowland gorilla]]: Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
**** [[Ngagi Magharibi]] au Gorila Magharibi, ''Gorilla gorilla'' ([[w:Western gorilla|Western gorilla]])
***** [[Ngagi wa Nijeria]], ''Gorilla g. diehli'' ([[w:Cross River gorilla|Cross River gorilla]]: Nijeria na Kameruni)
***** [[Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi]], ''Gorilla g. gorilla'' ([[w:Western lowland gorilla|Western lowland gorilla]]: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gaboni, Ginekweta, Kongo, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo na [[Angola]])
** ''Hominini'' ([[w:Hominini|Hominini]])
*** [[Sokwe Mtu]], ''Pan''
**** [[Bonobo|Bonobo au Sokwe Mtu Mdogo]], ''Pan paniscus'' ([[w:Bonobo|Bonobo]] au Pygmy chimpanzee: [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]])
**** [[Sokwe Mtu wa Kawaida]], ''Pan troglodytes'' ([[w:Common chimpanzee|Common chimpanzee]])
***** [[Sokwe Mtu Mashariki]], ''Pan t. schweinfurthii'' ([[w:Eastern chimpanzee|Eastern chimpanzee]]: [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Sudani]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Uganda]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Tanzania]] na [[Zambia]])
***** [[Sokwe Mtu wa Kati]], ''Pan t. troglodytes'' ([[w:Central chimpanzee|Central chimpanzee]]: [[Kameruni]], Jamhuri ya Afrika ya Kati, [[Ginekweta]], [[Gaboni]], [[Kongo]] na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
***** [[Sokwe Mtu wa Nijeria]], ''Pan t. vellerosus'' ([[w:Nigerian chimpanzee|Nigerian chimpanzee]]: [[Nijeria]] na Kameruni)
***** [[Sokwe Mtu Magharibi]], ''Pan t. verus'' ([[w:Western chimpanzee|Western chimpanzee]]: [[Senegali]], [[Mali]], [[Gine]], [[Sierra Leone]], [[Liberia]], [[Kodivaa]] na [[Ghana]])
*** [[Homo]]
**** [[Binadamu]], ''Homo sapiens''
== Spishi zilizokwisha ==
* ''[[Ankarapithecus meteai]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Uturuki]])
* ''[[Ardipithecus kadabba]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Uhabeshi]])
* ''[[Ardipithecus ramidus]]'' (Mwanzo wa Pliocene ya Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus afarensis]]'' (Pliocene ya [[Kenya]], [[Tanzania]] na Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus africanus]]'' (Pliocene ya [[Afrika Kusini]])
* ''[[Australopithecus anamensis]]'' (Pliocene ya Kenya na Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus bahrelghazali]]'' (Pliocene ya [[Chadi]])
* ''[[Australopithecus garhi]]'' (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus sediba]]'' (Pleistocene ya Afrika Kusini)
* ''[[Gigantopithecus bilaspurensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Pakistani]] na [[Uhindi]])
* ''[[Gigantopithecus blacky]]'' (Kati ya Pleistocene ya [[Uchina]])
* ''[[Gigantopithecus giganteus]]'' (Pliocene ya Uhindi na Uchina)
* ''[[Kenyanthropus platyops]]'' (Kati ya Pliocene ya Kenya)
* ''[[Lufengpithecus chiangmuanensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus keiyuanensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus lufengensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus yuanmouensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Nakalipithecus nakayamai]]'' (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
* ''[[Oreopithecus bambolii]]'' (Miocene ya [[Italia]] na [[Afrika ya Mashariki]])
* ''[[Orrorin tugenensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
* ''[[Ouranopithecus macedoniensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Ugiriki]])
* ''[[Paranthropus aethiopicus]]'' (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi na Kenya)
* ''[[Paranthropus boisei]]'' (Pliocene na Pleistocene za Kenya na Tanzania)
* ''[[Paranthropus robustus]]'' (Pleistocene ya Afrika Kusini)
* ''[[Sahelanthropus tchadensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya Chadi)
* ''[[Sivapithecus indicus]]'' (Kati ya Miocene ya Uhindi)
* ''[[Sivapithecus parvada]]'' (Kati ya Miocene ya Uhindi)
* ''[[Sivapithecus sivalensis]]'' (Kati ya Miocene ya Pakistani na Uhindi)
== Picha ==
<gallery>
File:Schimpanse zoo-leipig.jpg|[[Sokwe Mtu]] (dume)
File:Bonobo 011.jpg|[[Bonobo]] (majike)
File:Susa group, mountain gorilla.jpg|Ngagi-milima (dume)
File:Flachlandgorilla.jpg| [[Ngagi]] wa Uwanda wa Chini Mashariki (dume)
File:Cross river gorilla.jpg|Ngagi wa Nijeria
File:Male silverback Gorilla.JPG| Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi (dume mzee)
File:Gorilla tool use.png|Ngagi wa kike akivuka maji na kutumia fimbo kujishika
</gallery>
<gallery>
File:Orang-utan_bukit_lawang_2006.jpg|[[Orangutanu]] (wa Sumatra) ni sokwe aliyezoea miti zaidi
File:Orang Utan, Semenggok Forest Reserve, Sarawak, Borneo, Malaysia.JPG|Orangutanu wa Borneo
</gallery>
{{Sokwe}}
{{commonscat|Hominidae|Hominidae}}
{{mbegu-mnyama}}
[[Jamii:Kima na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
ckm32m6mzj093wrlv6i7a1sztvn15ys
Nash Aguas
0
20762
1242302
1147562
2022-08-13T09:04:14Z
49.144.2.26
wikitext
text/x-wiki
{{Mwigizaji 2
| jina = Nash Aguas
| picha = Councilor Nash Aguas.jpg
| ukubwa wa picha =
| maelezo =
| kazi yake = [[Mwigizaji]]
| miaka ya kazi = 2004–hadi leo
| jina la kuzaliwa = Aeign Zackrey Aguas
| tarehe ya kuzaliwa = {{birth date and age|1998|10|10|df=yes}}
| mahala pa kuzaliwa = [[Ufilipino]]
| jina lingine =
| tovuti =
}}
'''Nash Aguas''' (amezaliwa kama '''Aeign Zackrey Aguas''' mnamo tar. [[10 Oktoba]] [[1998]]) ni [[mwigizaji]] wa [[filamu]] na [[televisheni]]-mtoto kutoka nchini [[Ufilipino]]. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa kucheza kama ''Peping'' katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha [[Ufilipino|Kifilipino]] maarufu kama [[Gulong ng Palad]].
==Wasifu==
===Shughuli===
Nash alianza kuonekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni, ni baada ya kushiriki katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mkali wa [[MTB]] kupitia [[:en:F4|Batang F4]].<ref name="Bulilit">{{cite web | url=http://www.goinbulilit.net/bulilitspotlight-nash.html | title=Nash Aguas | accessdate=2008-06-29 | work=Bulilit Spotlight | publisher=Goin' Bulilit Online }}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Aliingia rasmi katika shughuli za uigizaji ni baada ya kujiunga katika mashindano ya kipinid cha TV cha kutafuta watoto wenye vipaji vya uigizaji cha [[ABS-CBN]] maarufu kama [[Star Circle Quest|Star Circle Kid Quest]], ambamo alijiigiza kama ''[[Mr. Suave]] Mdogo''.<ref name="Bulilit">{{cite web | url=http://www.goinbulilit.net/bulilitspotlight-nash.html | title=Nash Aguas | accessdate=2008-06-29 | work=Bulilit Spotlight | publisher=Goin' Bulilit Online}}]</ref>
Alionyesha uwezo na uchangamfu mkubwa na kupelekea kupata kura za ''Bibbo Kid Of The Week'' mara kedekede. Kitendo cha kuwa na uwezo, yaani (kipaji, maarifa, mwonekano, na ucheshi wake), kumemfanya ashinde taji la '''''Grand Kid Questor''''' na pia kuchukua zawadi maalum kibao katika maonyesho ya vipindi.<ref name="Bulilit"/>.
==Filamu==
===Televisheni===
{| border="2" cellpadding="4" cellspacing="0" style="margin: 0em 0em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;"
|- bgcolor="#CCCCCC" align="center"
! '''Mwaka'''
| '''Jina'''
| '''Jina aliliotumia'''
| '''Mtandao'''
|-
| rowspan=2 | 2004
| [[Star Circle Quest]]
| ''kama jina lake/mshindani''
| [[ABS-CBN]]
|-
| Mga Anghel Na Walang Langit
|
| [[ABS-CBN]]
|-
| 2005
| [[Gulong ng Palad]]
| Peping
| [[ABS-CBN]]
|-
| 2005-''present''
| Goin' Bulilit
| ''kama jina lake''
| [[ABS-CBN]]
|-
| rowspan=3 | 2006
| Calla Lily
| Terrence
| [[ABS-CBN]]
|-
| Komiks Presents: Vulcan 5
| Boyet
| [[ABS-CBN]]
|-
| Komiks Presents: Inday sa Balitaw
| Boyong
| [[ABS-CBN]]
|-
| rowspan=2 | 2007
| Maria Flordeluna
| Reneboy Alicante
| [[ABS-CBN]]
|-
| Sineserye Presents: Natutulog Ba Ang Diyos?
| Mark mdogo
| [[ABS-CBN]]
|-
| 2008
| Lobo
| Tikboy
| [[ABS-CBN]]
|-
|}
===Filamu za kawaida===
{| border="2" cellpadding="4" cellspacing="0" style="margin: 0em 0em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;"
|- bgcolor="#CCCCCC" align="center"
! '''Mwaka'''
| '''Jina'''
| '''Jina alilotumia'''
| '''Kampuni'''
|-
| rowspan=2 | 2005
| Hari ng Sablay
| Jay-jay
|
|-
| Happily Ever After
| Leeboy
|
|-
| 2006
| Shake, Rattle & Roll 8: "Yaya"
| Benjo
| Regal Films
|-
| rowspan=3 | 2007
|Shake, Rattle and Roll 9: "Christmas Tree"
| Stephen
| Regal Films
|-
| Angels
|
|
|-
| Tiyanaks
| Biboy
|
|-
| 2008
| Dayo
| Sauti ya Bubuy
|-
| 2009<ref>{{cite web |url=http://www.journal.com.ph/index.php?issue=2008-11-03&sec=3&aid=77394 |title=Staff ng ‘The Buzz,’ pumalag sa ‘Showbiz Central’ |first=Eric John |last=Salut |work=People's Tonight |publisher=Journal Online |date=2008-11-03 |accessdate=2008-11-04 |language=[[Tagalog language|Tagalog]]}}</ref>
| [[:en:Land Down Under (2008 film)|Land Down Under]]
| TBA
|-
|}
==Muziki==
===Albamu ya Dansi===
* '''Jump Around''': Albamu ya Dansi ya Watoto ya ''Moose Gear''<ref name="Pep 1">{{cite web | url=http://www.pep.ph/guide/2077/PEP-PROMO:-Moose-Kids-dance-album/1 | title=PEP Promo: "Moose Kids dance album" | accessdate=2008-06-29 | work=Entertainment Guide/Music | author=Dimaculangan, Jocelyn | publisher=The Philippine Entertainment Portal | date=2008-07-11 }}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
==Tuzo==
* 2006 ''[[Metro Manila Film Festival]]'', '''Mwigizaji Bora wa Kitoto''' kwa kucheza katika ''Shake, Rattle & Roll 8'': ''"Yaya"'' <ref name="Pep 2">{{cite web | url=http://www.pep.ph/guide/1290/Shake,-Rattle-and-Roll-9-frightens-the-public-anew-December-25-/1 | title="Shake, Rattle and Roll 9" frightens the public anew December 25 | accessdate=2008-06-29 | work=Entertainment Guide/Movies | author=Dimaculangan, Jocelyn | publisher=The Philippine Entertainment Portal | date=2008-07-11 | archivedate=2010-10-22 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20101022152855/http://www.pep.ph/guide/1290/Shake,-Rattle-and-Roll-9-frightens-the-public-anew-December-25-/1 }}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya Nje==
* {{IMDb name|id=1758562|name=Nash Aguas}}
{{DEFAULTSORT:Aguas, Nash}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Ufilipino]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
f85xjqab4btaedy9mzslhy8356j6vh0
Pongo
0
40849
1242064
1199972
2022-08-12T12:40:49Z
ChriKo
35
Masahihisho
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Pongo
| picha = Tragelaphus scriptus (male).jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Dume la pongo kusi (kulungu)<br><sup>(''Tragelaphus s. sylvaticus'')</sup>
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Bovinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na ng'ombe)</small>
| jenasi = ''[[Tragelaphus]]'' <small>([[Nyala]], [[pongo]] na [[tandala]])</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Henri Marie Ducrotay de Blainville|de Blainville]], 1816
| spishi = ''[[Tragelaphus scriptus|T. scriptus]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1766)
| subdivision = '''Nususpishi 2:'''
* ''[[Tragelaphus scriptus scriptus|T. s. scriptus]]'' <small>Pallas, 1766</small>
* ''[[Tragelaphus scriptus sylvaticus|T. s. sylvaticus]]'' <small>([[Anders Sparrman|Sparrman]], 1780)</small>
| ramani = Bushbuck Tragelaphus scriptus distribution map.png
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa pongo
}}
'''Pongo''', '''Kulungu''' au '''Mbawala''' ([[Kiing.]] [[w:Bushbuck|bushbuck]]) ni [[mnyama]] wa [[Afrika]] wa [[jenasi]] ''Tragelaphus'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]] ambaye anafanana na [[Tandala]].
==Nususpishi==
* ''Tragelaphus scriptus scriptus'', [[Pongo Kaskazi]] ([[w:Bushbuck#Taxonomy|Northern bushbuck]])
* ''Tragelaphus scriptus sylvaticus'', [[Pongo Kusi]] ([[w:Bushbuck#Taxonomy|Southern bushbuck]])
Zamani [[nususpishi]] 40 zilitofautishwa, lakini [[utafiti]] wa [[ADN]] wa [[sampuli]] nyingi umeonyesha kwamba kuna vikundi 19. Vikundi hivyo viliungana katika nususpishi mbili. Wanasayansi wengine wanatambua [[spishi]] nane tofauti, lakini hii bado inabishaniwa.
== Picha ==
<gallery>
Bushbuck female.jpg|Jike la pongo kusi (mbawala)
Bushbuck(1).jpg|Pongo kusi kwa karibu katika Hifadhi ya Taifa ya Kruger, Afrika Kusini
Guib harnaché a la pendjari.jpg|Jike la pongo kaskazi
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.4}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
8bpitoajzns3ea7k2frm6hcnkok9784
Tandala
0
56241
1242149
1199990
2022-08-12T19:53:23Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
<sup>Kwa matumizi tofauti ya jina hili angalia hapa '''[[Tandala (Makete)]]'''</sup>
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Tandala
| picha = Tragelaphus strepsiceros.JPG
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Dume la [[tandala mkubwa]]<br><sup>(''Tragelaphus strepsiceros'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| jenasi = ''[[Tragelaphus]]'' <small>([[Nyala]], [[pongo]] na [[tandala]])</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Henri Marie Ducrotay de Blainville|de Blainville]], 1816
| subdivision = '''Spishi 8:'''
* ''[[Tragelaphus angasii|T. angasii]]'' <small>[[George French Angas|Angas]], 1849</small>
* ''[[Tragelaphus buxtoni|T. buxtoni]]'' <small>([[Richard Lydekker|Lydekker]], 1910)</small>
* ''[[Tragelaphus eurycerus|T. eurycerus]]'' <small>([[William Ogilby|Ogilby]], 1837)</small>
** ''[[Tragelaphus eurycerus eurycerus|T. e. eurycerus]]'' <small>(Ogilby, 1837)</small>
** ''[[Tragelaphus eurycerus isaaci|T. e. isaaci]]'' <small>([[Oldfield Thomas|Thomas]], 1902)</small>
* ''[[Tragelaphus imberbis|T. imberbis]]'' <small>([[Edward Blyth|Blyth]], 1869)</small>
* ''[[Tragelaphus scriptus|T. scriptus]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1766)</small>
* ''[[Tragelaphus spekii|T. spekii]]'' <small>([[John Hanning Speke|Speke]], 1863)</small>
** ''[[Tragelaphus spekii gratus|T. s. gratus]]'' <small>([[Philip Lutley Sclater|Sclater]], 1880)</small>
** ''[[Tragelaphus spekii selousi|T. s. selousi]]'' <small>([[Walter Rothschild, 2nd Baron Rothschild|Rothschild]], 1898)</small>
** ''[[Tragelaphus spekii spekii|T. s. spekii]]'' <small>(Speke, 1863)</small>
* ''[[Tragelaphus strepsiceros|T. strepsiceros]]'' <small>(Pallas, 1766)</small>
** ''[[Tragelaphus strepsiceros chora|T. s. chora]]'' <small>([[Philipp Jakob Cretzschmar|Cretzschmar]], 1826)</small>
** ''[[Tragelaphus strepsiceros cottoni|T. s. cottoni]]'' <small>([[Guy Dollman|Dollman]] & Burlace, 1928)</small>
** ''[[Tragelaphus strepsiceros strepsiceros|T. s. strepsiceros]]'' <small>(Pallas, 1766)</small>
* ''[[Tragelaphus sylvaticus|T. sylvaticus]]'' <small>([[Anders Erikson Sparrman|Sparrman]], 1780)</small>
}}
'''Tandala''' (kwa [[Kiingereza]]: kudu) ni [[mnyama|wanyama]] wa [[jenasi]] ''[[Tragelaphus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. [[Spishi]] nyingine huitwa '''bongo''', '''kulungu''', '''malu''', '''nyala''' au '''nzohe'''.
Wanatokea [[Afrika]] katika maeneo yenye [[mti|miti]] kutoka [[nyika]] hadi [[msitu]].
Wana milia na madoa meupe juu ya [[rangi]] ya [[kahawa]] au kijivu. Dume ni mkubwa kuliko jike na ana [[pembe]] ndefu zilizopotolewa. Jike hana pembe.
Wanyama hao hula [[jani|majani]], [[nyasi|manyasi]], [[tunda|matunda]] na [[kiazi|viazi]] vya gugu.
==Spishi==
* ''Tragelaphus angasii'', [[Nyala]] ([[w:Nyala|Nyala]])
* ''Tragelaphus buxtoni'', [[Tandala-milima]] ([[w:Mountain Nyala|Mountain Nyala]])
* ''Tragelaphus eurycerus'', [[Bongo]] ([[w:Bongo|Bongo]])
** ''Tragelaphus e. eurycerus'', Bongo Magharibi ([[w:Bongo#Taxonomy|Western bongo]] or lowland bongo)
** ''Tragelaphus e. isaaci'', Bongo Mashariki au Bongo-milima ([[w:Bongo#Taxonomy|Eastern Bongo]] or mountain bongo)
* ''Tragelaphus imberbis'', [[Tandala Mdogo]] ([[w:Lesser Kudu|Lesser Kudu]])
* ''Tragelaphus scriptus'', [[Pongo Kaskazi]] ([[w:Cape bushbuck|Northern bushbuck]])
* ''Tragelaphus spekii'', Nyala-maji au [[Nzohe]] ([[w:Sitatunga|Sitatunga]])
** ''Tragelaphus s. gratus'', Nzohe-misitu ([[w:Sitatunga#Taxonomy and genetics|Congo sitatunga]] or forest sitatunga)
** ''Tragelaphus s. selousi'', Nzohe Kusi ([[w:Sitatunga#Taxonomy and genetics|Southern sitatunga]] or Zambezi sitatunga)
** ''Tragelaphus s. spekii'', Nzohe Mashariki ([[w:Sitatunga#Taxonomy and genetics|Nile sitatunga]] or East African sitatunga)
* ''Tragelaphus strepsiceros'', [[Tandala Mkubwa]] au Malu ([[w:Greater Kudu|Greater Kudu]])
** ''Tragelaphus s. chora'', Tandala Mkubwa Kusi ([[w:Greater Kudu#Subspecies|Greater Kudu]])
** ''Tragelaphus s. cottoni'', Tandala Mkubwa wa Chadi ([[w:Greater Kudu#Subspecies|Greater Kudu]])
** ''Tragelaphus s. strepsiceros'', Tandala Mkubwa Kaskazi ([[w:Greater Kudu#Subspecies|Greater Kudu]])
* ''Tragelaphus sylvaticus'', Kulungu, Mbawala au [[Pongo Kusi]] ([[w:Cape Bushbuck|Southern bushbuck]])
==Picha==
<gallery>
Male nyala.jpg|Dume la nyala
Female Nyala-JD.JPG|Jike la nyala
Tragelaphus eurycerus Dvur zoo 1.jpg|Dume la bongo
Lesser Kudu.jpg|Dume la tandala mdogo
Southern Lesser Kudu.jpg|Jike la tandala mdogo
Sitatunga, Zoo, Budapest.jpg|Dume la nzohe
Tragelaphius spekii 01.jpg|Jike la nzohe
Grand koudou femelle.jpg|Jike la tandala mkubwa
Tragelaphus scriptus (male).jpg|Kulungu
Bushbuck female.jpg|Mbawala
</gallery>
{{Artiodactyla|R.4}}
{{mbegu-mnyama}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
nft57qiuywnbhtlfptig7osjd1eb3iw
Chelsea F.C.
0
57315
1242307
1233900
2022-08-13T11:19:02Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football club|image=Chelsea FC.svg|capacity=|league=|current=|pattern_la1=_chelsea2223h|pattern_b1=_chelsea2223h|pattern_ra1=_chelsea2223h|pattern_sh1=_chelsea2223h|pattern_so1=_chelsea2223hl|leftarm1=0000FF|body1=0000FF|rightarm1=0000FF|shorts1=0000FF|socks1=FFFFFF|pattern_la2=_chelsea2223a|pattern_b2=_chelsea2223a|pattern_ra2=_chelsea2223a|pattern_sh2=_chelsea2223a|pattern_so2=_chelsea2223al|leftarm2=FFFFFF|body2=FFFFFF|rightarm2=FFFFFF|shorts2=FFFFFF|socks2=140A46|pattern_la3=|pattern_b3=|pattern_ra3=|pattern_sh3=|pattern_so3=|leftarm3=|body3=|rightarm3=|shorts3=|socks3=|jinakamili=Chelsea Football Club|jinalautani=The Blues<br> The Pensioners (zamani)<ref>{{Cite web |date=23 April 2015 |title=Chelsea's first cup final – a century ago |url=http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20160826204919/http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |archive-date=26 August 2016 |access-date=25 July 2016 |publisher=Chelsea FC}}</ref>|imeanzishwa={{Start date and age|df=yes|1905|3|10}}<ref name="teamhistory">{{Cite web |title=Team History – Introduction |url=http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0,,10268,00.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20110527214035/http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0%2C%2C10268%2C00.html |archive-date=27 May 2011 |access-date=11 May 2011 |website=chelseafc.com |publisher=Chelsea FC}}</ref>|uwanja=[[Stamford Bridge (stadium)|Stamford Bridge]]|uwezo=40,341<ref name="clubinformation">{{cite web|title=General Club Information|url=https://www.chelseafc.com/en/general-information|language=en|publication-date=}} | site=chelseafc.com.</ref><ref name="cap2021">{{Cite web |title=Premier League Handbook 2020/21 |url=https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210412002820/https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |archive-date=12 April 2021 |publisher=Premier League |access-date=12 April 2021 |page=12 }}</ref>|mmiliki=[[Todd Boehly]]<br />Clearlake Capital<br />[[Hansjörg Wyss]]<br />[[Mark Walter]]|mwenyekiti=[[Bruce Buck]]|ligi=[[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]] {{English football updater|Chelsea}}|msimu=[[2017-18 Premier League|2021-22]]|nafasi=Premier League, 3th|tovuti=http://www.chelseafc.com/|jinalaklabu=Chelsea|clubname=|kocha=[[Thomas Tuchel]]}}
'''Chelsea Football Club'''<ref>{{Cite web|title=Chelsea news and transfers LIVE: Todd Boehly takeover hint, Abramovich fear|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-news-transfers-live-lukaku-23846011|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Danyal Khan, Jake Stokes}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea could look to reunite Lautaro Martinez and Romelu Lukaku in the summer|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-romelu-lukaku-tuchel-transfer-23849808|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Bobby Vincent}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Glen Johnson urges Chelsea to offer Jorginho a new contract amid transfer links|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/defender-urges-chelsea-jorginho-contract-23861027|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea bidder Lord Coe warns club to find quick takeover solution|url=https://www.football.london/chelsea-fc/news/chelsea-bidder-warning-takeover-claim-23857906|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref>ni [[klabu]] ya [[mpira wa miguu]] ya nchini [[Uingereza]] iliyo na maskani yake [[Fulham]], [[London]]. Klabu hii ilianzishwa mwaka [[1905]], na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki [[ligi kuu ya Uingereza]]. Uwanja wao wa nyumbani ni [[Stamford Bridge]] ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.
Chelsea, kwa mara ya kwanza ilipata mafanikio makubwa mwaka [[1955]], ambapo walipata ubingwa wa ligi, na walishinda mataji kadhaa katika miaka ya 1960, 1970, 1990 na 2000. Klabu hii imefurahia zaidi mafanikio katika [[miongo]] miwili ilopita, kwa kushinda mataji makubwa 15 tangu mwaka 1997.
Nyumbani, Chelsea imeshinda ubingwa wa ligi mara nne, [[kombe la FA]] mara saba, [[kombe la ligi]] mara nne, pamoja na [[ngao za jamii]] mara nne. Na kimataifa Chelsea imeshashinda [[UEFA Cup Winners' Cups]] mara mbili, [[UEFA Super Cup]] moja, [[UEFA Europa League]] moja na [[UEFA Champions League]] moja. Chelsea ndio klabu pekee kutoka London kushinda UEFA Champions League, na ni moja kati ya klabu nne kutoka Uingereza, kuchukua makombe yote makubwa matatu ya Ulaya.
Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki.
Tangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, [[Roman Abramovich]].
==Wachezaji ==
[[File:Chelsea players returning to their half.jpg|thumb|Wachezaji wa Chelsea]]
{{updated|7 January 2018.}}<ref>{{cite web |title=First Team Squad List |url=http://www.chelseafc.com/first-team |publisher=Chelsea F.C |accessdate=7 August 2018 }}</ref>
{{Fs start}}
{{Fs player|no=1|nat=ESP|pos=GK|name=[[Kepa Arrizabalaga]]}}
{{Fs player|no=2|nat=GER|pos=DF|name=[[Antonio Rüdiger]]}}
{{Fs player|no=6|nat=DEN|pos=DF=name=[[Andreas Christensen]]}}
{{Fs player|no=3|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marcos Alonso]]}}
{{Fs player|no=30|nat=BRA|pos=DF|name=[[David Luiz]]}}
{{Fs player|no=7|nat=FRA|pos=MF|name=[[N'golo kantè]]|}}
{{Fs player|no=8|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ross Barkley]]}}
{{Fs player|no=29|nat=ESP|pos=FW|name=[[Alvaro morata]]}}
{{Fs player|no=11|nat=ESP|pos=MF|name=[[Pedro (footballer born 1991)]]}}
{{Fs player|no=10|nat=BEL|pos=MF|name=[[Eden Hazard]]}}
{{Fs mid}}
{{Fs player|no=18|nat=FRA|pos=FW|name=[[O. Giroud]]}}
{{Fs player|no=5|nat=ITA|pos=MF|name=[[Jorginho]]}}
{{Fs player|no=22|nat=BRA|pos=MF|name=[[Willian Borges da Silva|Willian]]}}
{{Fs player|no=23|nat=AUS|pos=GK|name=[[Mark Schwarzer]]}}
{{Fs player|no=24|nat=ENG|pos=DF|name=[[Gary Cahill]]}}
{{Fs player|no=26|nat=ENG|pos=DF|name=[[John Terry]]|other=[[Captain (association football)|captain]]}}
{{Fs player|no=27|nat=NED|pos=DF|name=[[Nathan Aké]]}}
{{Fs player|no=28|nat=ESP|pos=DF|name=[[César Azpilicueta]]}}
{{Fs player|no=31|nat=TAN|pos=FW|name=[[Ariri Charles]]}}
{{Fs player|no=33|nat=CZE|pos=DF|name=[[Tomáš Kalas]]}}
{{Fs player|no=40|nat=POR|pos=GK|name=[[Henrique Hilário]]}}
{{Fs player|no=46|nat=ENG|pos=GK|name=Jamal Blackman}}
{{Fs end}}
== Tuzo ==
* Ligi Kuu (6) 1954-1955, 2004-2005, 2005-2006, 2009-2010, 2011-2012, 2016-2017
* FA Cup (7) 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010, 2018
* Kombe la Ligi (4) 1965, 1998, 2005, 2007;
* Ngao ya Jamii (4) 1955, 2000,2005, 2009
* UEFA Cup Winners' Cup (2) 1971, 1998
* UEFA Super Cup (1) 1998, 1999, 2003
* Full Members Cup (2) 1986, 1990
* FA Youth-cup (3) 1960, 1961, 2010
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:Chelsea Football Club]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Uingereza]]
7lqnysy0zd9l1i88i1te4v0nyvbaf08
1242308
1242307
2022-08-13T11:34:57Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football club|image=Chelsea FC.svg|capacity=|league=|current=|pattern_la1=_chelsea2223h|pattern_b1=_chelsea2223h|pattern_ra1=_chelsea2223h|pattern_sh1=_chelsea2223h|pattern_so1=_chelsea2223hl|leftarm1=0000FF|body1=0000FF|rightarm1=0000FF|shorts1=0000FF|socks1=FFFFFF|pattern_la2=_chelsea2223a|pattern_b2=_chelsea2223a|pattern_ra2=_chelsea2223a|pattern_sh2=_chelsea2223a|pattern_so2=_chelsea2223al|leftarm2=FFFFFF|body2=FFFFFF|rightarm2=FFFFFF|shorts2=FFFFFF|socks2=140A46|pattern_la3=|pattern_b3=|pattern_ra3=|pattern_sh3=|pattern_so3=|leftarm3=|body3=|rightarm3=|shorts3=|socks3=|jinakamili=Chelsea Football Club|jinalautani=The Blues<br> The Pensioners (zamani)<ref>{{Cite web |date=23 April 2015 |title=Chelsea's first cup final – a century ago |url=http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20160826204919/http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |archive-date=26 August 2016 |access-date=25 July 2016 |publisher=Chelsea FC}}</ref>|imeanzishwa={{Start date and age|df=yes|1905|3|10}}<ref name="teamhistory">{{Cite web |title=Team History – Introduction |url=http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0,,10268,00.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20110527214035/http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0%2C%2C10268%2C00.html |archive-date=27 May 2011 |access-date=11 May 2011 |website=chelseafc.com |publisher=Chelsea FC}}</ref>|uwanja=[[Stamford Bridge (stadium)|Stamford Bridge]]|uwezo=40,341<ref name="clubinformation">{{cite web|title=General Club Information|url=https://www.chelseafc.com/en/general-information|language=en|publication-date=}} | site=chelseafc.com.</ref><ref name="cap2021">{{Cite web |title=Premier League Handbook 2020/21 |url=https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210412002820/https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |archive-date=12 April 2021 |publisher=Premier League |access-date=12 April 2021 |page=12 }}</ref>|mmiliki=[[Todd Boehly]]<br />Clearlake Capital<br />[[Hansjörg Wyss]]<br />[[Mark Walter]]|mwenyekiti=[[Bruce Buck]]|ligi=[[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]]|msimu=[[2017-18 Premier League|2021-22]]|nafasi=Premier League, 3th|tovuti=http://www.chelseafc.com/|jinalaklabu=Chelsea|clubname=|kocha=[[Thomas Tuchel]]}}
'''Chelsea Football Club'''<ref>{{Cite web|title=Chelsea news and transfers LIVE: Todd Boehly takeover hint, Abramovich fear|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-news-transfers-live-lukaku-23846011|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Danyal Khan, Jake Stokes}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea could look to reunite Lautaro Martinez and Romelu Lukaku in the summer|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-romelu-lukaku-tuchel-transfer-23849808|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Bobby Vincent}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Glen Johnson urges Chelsea to offer Jorginho a new contract amid transfer links|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/defender-urges-chelsea-jorginho-contract-23861027|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea bidder Lord Coe warns club to find quick takeover solution|url=https://www.football.london/chelsea-fc/news/chelsea-bidder-warning-takeover-claim-23857906|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref>ni [[klabu]] ya [[mpira wa miguu]] ya nchini [[Uingereza]] iliyo na maskani yake [[Fulham]], [[London]]. Klabu hii ilianzishwa mwaka [[1905]], na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki [[ligi kuu ya Uingereza]]. Uwanja wao wa nyumbani ni [[Stamford Bridge]] ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.
Chelsea, kwa mara ya kwanza ilipata mafanikio makubwa mwaka [[1955]], ambapo walipata ubingwa wa ligi, na walishinda mataji kadhaa katika miaka ya 1960, 1970, 1990 na 2000. Klabu hii imefurahia zaidi mafanikio katika [[miongo]] miwili ilopita, kwa kushinda mataji makubwa 15 tangu mwaka 1997.
Nyumbani, Chelsea imeshinda ubingwa wa ligi mara nne, [[kombe la FA]] mara saba, [[kombe la ligi]] mara nne, pamoja na [[ngao za jamii]] mara nne. Na kimataifa Chelsea imeshashinda [[UEFA Cup Winners' Cups]] mara mbili, [[UEFA Super Cup]] moja, [[UEFA Europa League]] moja na [[UEFA Champions League]] moja. Chelsea ndio klabu pekee kutoka London kushinda UEFA Champions League, na ni moja kati ya klabu nne kutoka Uingereza, kuchukua makombe yote makubwa matatu ya Ulaya.
Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya bluu, kaptula ya bluu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. Tangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, [[Roman Abramovich]]. Mnamo tarehe 7 Mei 2022, Chelsea ilithibitisha kwamba masharti yametimiza na kikundi kipya cha umiliki, kinachoongozwa na [[Todd Boehly]], Clearlake Capital, [[Mark Walter]] na [[Hansjörg Wyss]], kununua klabu hiyo.<ref>{{Cite web|title=Club statement|url=https://www.chelseafc.com/en/news/article/club-statement1|work=www.chelseafc.com|accessdate=2022-08-13|language=en-gb}}</ref> Mnamo tarehe 25 Mei 2022, serikali iliidhinisha kuuzwa kwa Chelsea kwa £4.25bn.<ref>{{Cite web|title=Chelsea takeover: Todd Boehly's £4.25bn bid approved by government as Roman Abramovich era set to end|url=https://uk-sport-web.prod.oceanusorigin.com/football/news/11095/12620164/chelsea-takeover-todd-boehlys-4-25bn-bid-approved-by-government-as-roman-abramovich-era-set-to-end|work=Sky Sports|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref> Mnamo tarehe 30 Mei 2022, mauzo yalikamilika, na hivyo kumaliza umiliki wa miaka 19 wa Abramovich.<ref>{{Cite web|title=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|url=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|work=Twitter|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref>
==Wachezaji ==
[[File:Chelsea players returning to their half.jpg|thumb|Wachezaji wa Chelsea]]
{{updated|7 January 2018.}}<ref>{{cite web |title=First Team Squad List |url=http://www.chelseafc.com/first-team |publisher=Chelsea F.C |accessdate=7 August 2018 }}</ref>
{{Fs start}}
{{Fs player|no=1|nat=ESP|pos=GK|name=[[Kepa Arrizabalaga]]}}
{{Fs player|no=2|nat=GER|pos=DF|name=[[Antonio Rüdiger]]}}
{{Fs player|no=6|nat=DEN|pos=DF=name=[[Andreas Christensen]]}}
{{Fs player|no=3|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marcos Alonso]]}}
{{Fs player|no=30|nat=BRA|pos=DF|name=[[David Luiz]]}}
{{Fs player|no=7|nat=FRA|pos=MF|name=[[N'golo kantè]]|}}
{{Fs player|no=8|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ross Barkley]]}}
{{Fs player|no=29|nat=ESP|pos=FW|name=[[Alvaro morata]]}}
{{Fs player|no=11|nat=ESP|pos=MF|name=[[Pedro (footballer born 1991)]]}}
{{Fs player|no=10|nat=BEL|pos=MF|name=[[Eden Hazard]]}}
{{Fs mid}}
{{Fs player|no=18|nat=FRA|pos=FW|name=[[O. Giroud]]}}
{{Fs player|no=5|nat=ITA|pos=MF|name=[[Jorginho]]}}
{{Fs player|no=22|nat=BRA|pos=MF|name=[[Willian Borges da Silva|Willian]]}}
{{Fs player|no=23|nat=AUS|pos=GK|name=[[Mark Schwarzer]]}}
{{Fs player|no=24|nat=ENG|pos=DF|name=[[Gary Cahill]]}}
{{Fs player|no=26|nat=ENG|pos=DF|name=[[John Terry]]|other=[[Captain (association football)|captain]]}}
{{Fs player|no=27|nat=NED|pos=DF|name=[[Nathan Aké]]}}
{{Fs player|no=28|nat=ESP|pos=DF|name=[[César Azpilicueta]]}}
{{Fs player|no=31|nat=TAN|pos=FW|name=[[Ariri Charles]]}}
{{Fs player|no=33|nat=CZE|pos=DF|name=[[Tomáš Kalas]]}}
{{Fs player|no=40|nat=POR|pos=GK|name=[[Henrique Hilário]]}}
{{Fs player|no=46|nat=ENG|pos=GK|name=Jamal Blackman}}
{{Fs end}}
== Tuzo ==
* Ligi Kuu (6) 1954-1955, 2004-2005, 2005-2006, 2009-2010, 2011-2012, 2016-2017
* FA Cup (7) 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010, 2018
* Kombe la Ligi (4) 1965, 1998, 2005, 2007;
* Ngao ya Jamii (4) 1955, 2000,2005, 2009
* UEFA Cup Winners' Cup (2) 1971, 1998
* UEFA Super Cup (1) 1998, 1999, 2003
* Full Members Cup (2) 1986, 1990
* FA Youth-cup (3) 1960, 1961, 2010
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:Chelsea Football Club]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Uingereza]]
10k7ip6gev9rifd2x2hnm3l32otr7a2
1242309
1242308
2022-08-13T11:49:27Z
Benix Mby
36425
Wachezaji
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football club|image=Chelsea FC.svg|capacity=|league=|current=|pattern_la1=_chelsea2223h|pattern_b1=_chelsea2223h|pattern_ra1=_chelsea2223h|pattern_sh1=_chelsea2223h|pattern_so1=_chelsea2223hl|leftarm1=0000FF|body1=0000FF|rightarm1=0000FF|shorts1=0000FF|socks1=FFFFFF|pattern_la2=_chelsea2223a|pattern_b2=_chelsea2223a|pattern_ra2=_chelsea2223a|pattern_sh2=_chelsea2223a|pattern_so2=_chelsea2223al|leftarm2=FFFFFF|body2=FFFFFF|rightarm2=FFFFFF|shorts2=FFFFFF|socks2=140A46|pattern_la3=|pattern_b3=|pattern_ra3=|pattern_sh3=|pattern_so3=|leftarm3=|body3=|rightarm3=|shorts3=|socks3=|jinakamili=Chelsea Football Club|jinalautani=The Blues<br> The Pensioners (zamani)<ref>{{Cite web |date=23 April 2015 |title=Chelsea's first cup final – a century ago |url=http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20160826204919/http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |archive-date=26 August 2016 |access-date=25 July 2016 |publisher=Chelsea FC}}</ref>|imeanzishwa={{Start date and age|df=yes|1905|3|10}}<ref name="teamhistory">{{Cite web |title=Team History – Introduction |url=http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0,,10268,00.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20110527214035/http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0%2C%2C10268%2C00.html |archive-date=27 May 2011 |access-date=11 May 2011 |website=chelseafc.com |publisher=Chelsea FC}}</ref>|uwanja=[[Stamford Bridge (stadium)|Stamford Bridge]]|uwezo=40,341<ref name="clubinformation">{{cite web|title=General Club Information|url=https://www.chelseafc.com/en/general-information|language=en|publication-date=}} | site=chelseafc.com.</ref><ref name="cap2021">{{Cite web |title=Premier League Handbook 2020/21 |url=https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210412002820/https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |archive-date=12 April 2021 |publisher=Premier League |access-date=12 April 2021 |page=12 }}</ref>|mmiliki=[[Todd Boehly]]<br />Clearlake Capital<br />[[Hansjörg Wyss]]<br />[[Mark Walter]]|mwenyekiti=[[Bruce Buck]]|ligi=[[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]]|msimu=[[2017-18 Premier League|2021-22]]|nafasi=Premier League, 3th|tovuti=http://www.chelseafc.com/|jinalaklabu=Chelsea|clubname=|kocha=[[Thomas Tuchel]]}}
'''Chelsea Football Club'''<ref>{{Cite web|title=Chelsea news and transfers LIVE: Todd Boehly takeover hint, Abramovich fear|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-news-transfers-live-lukaku-23846011|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Danyal Khan, Jake Stokes}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea could look to reunite Lautaro Martinez and Romelu Lukaku in the summer|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-romelu-lukaku-tuchel-transfer-23849808|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Bobby Vincent}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Glen Johnson urges Chelsea to offer Jorginho a new contract amid transfer links|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/defender-urges-chelsea-jorginho-contract-23861027|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea bidder Lord Coe warns club to find quick takeover solution|url=https://www.football.london/chelsea-fc/news/chelsea-bidder-warning-takeover-claim-23857906|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref>ni [[klabu]] ya [[mpira wa miguu]] ya nchini [[Uingereza]] iliyo na maskani yake [[Fulham]], [[London]]. Klabu hii ilianzishwa mwaka [[1905]], na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki [[ligi kuu ya Uingereza]]. Uwanja wao wa nyumbani ni [[Stamford Bridge]] ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.
Chelsea, kwa mara ya kwanza ilipata mafanikio makubwa mwaka [[1955]], ambapo walipata ubingwa wa ligi, na walishinda mataji kadhaa katika miaka ya 1960, 1970, 1990 na 2000. Klabu hii imefurahia zaidi mafanikio katika [[miongo]] miwili ilopita, kwa kushinda mataji makubwa 15 tangu mwaka 1997.
Nyumbani, Chelsea imeshinda ubingwa wa ligi mara nne, [[kombe la FA]] mara saba, [[kombe la ligi]] mara nne, pamoja na [[ngao za jamii]] mara nne. Na kimataifa Chelsea imeshashinda [[UEFA Cup Winners' Cups]] mara mbili, [[UEFA Super Cup]] moja, [[UEFA Europa League]] moja na [[UEFA Champions League]] moja. Chelsea ndio klabu pekee kutoka London kushinda UEFA Champions League, na ni moja kati ya klabu nne kutoka Uingereza, kuchukua makombe yote makubwa matatu ya Ulaya.
Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya bluu, kaptula ya bluu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. Tangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, [[Roman Abramovich]]. Mnamo tarehe 7 Mei 2022, Chelsea ilithibitisha kwamba masharti yametimiza na kikundi kipya cha umiliki, kinachoongozwa na [[Todd Boehly]], Clearlake Capital, [[Mark Walter]] na [[Hansjörg Wyss]], kununua klabu hiyo.<ref>{{Cite web|title=Club statement|url=https://www.chelseafc.com/en/news/article/club-statement1|work=www.chelseafc.com|accessdate=2022-08-13|language=en-gb}}</ref> Mnamo tarehe 25 Mei 2022, serikali iliidhinisha kuuzwa kwa Chelsea kwa £4.25bn.<ref>{{Cite web|title=Chelsea takeover: Todd Boehly's £4.25bn bid approved by government as Roman Abramovich era set to end|url=https://uk-sport-web.prod.oceanusorigin.com/football/news/11095/12620164/chelsea-takeover-todd-boehlys-4-25bn-bid-approved-by-government-as-roman-abramovich-era-set-to-end|work=Sky Sports|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref> Mnamo tarehe 30 Mei 2022, mauzo yalikamilika, na hivyo kumaliza umiliki wa miaka 19 wa Abramovich.<ref>{{Cite web|title=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|url=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|work=Twitter|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref>
==Wachezaji ==
[[File:Chelsea players returning to their half.jpg|thumb|Wachezaji wa Chelsea]]
=== First-Kikosi cha kwanza ===
{{Updated|10 August 2022}}<ref>{{cite web |url=https://www.chelseafc.com/en/teams/men |title=Men: Senior |publisher=Chelsea F.C. |access-date=6 August 2022}}<br />{{cite web |url=https://www.chelseafc.com/en/teams/men?tab=onLoan |title=Men: On Loan |publisher=Chelsea F.C. |access-date=6 August 2022}}</ref>
<!----------------------------- READ THIS NOTICE FIRST BEFORE EDITING ----------------------------------
– Do NOT add new players before their signing is officially announced by the club through their website, including medical and signing the contract. A transfer fee agreed doesn't mean the player will sign.
– Do NOT remove players before their exit is officially announced by the club.
– Do NOT add or change squad numbers until it is official on the Chelsea F.C. website
– Only add numberless players that are likely to become part of the first team
– Pre-season numbers can be added temporarily with A REFERENCE
– This is Wikipedia, not a football gazette. Anything unconfirmed and unsourced will be removed on sight
---------------------------------------------------------------------------->
{{Fs start}}
{{Fs player|no=1|nat=ESP|pos=GK|name=[[Kepa Arrizabalaga]]}}
{{Fs player|no=3|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marcos Alonso (footballer, born 1990)|Marcos Alonso]]}}
{{fs player|no=5|nat=ITA|pos=MF|name=[[Jorginho (footballer, born December 1991)|Jorginho]]}}
{{Fs player|no=6|nat=BRA|pos=DF|name=[[Thiago Silva]]}}
{{Fs player|no=7|nat=FRA|pos=MF|name=[[N'Golo Kanté]]}}
{{Fs player|no=8|nat=CRO|pos=MF|name=[[Mateo Kovačić]]}}
{{Fs player|no=10|nat=USA|pos=FW|name=[[Christian Pulisic]]}}
{{Fs player|no=12|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ruben Loftus-Cheek]]}}
{{Fs player|no=13|nat=ENG|pos=GK|name=[[Marcus Bettinelli]]}}
{{Fs player|no=14|nat=ENG|pos=DF|name=[[Trevoh Chalobah]]}}
{{Fs player|no=16|nat=SEN|pos=GK|name=[[Édouard Mendy]]}}
{{Fs player|no=17|nat=ENG|pos=FW|name=[[Raheem Sterling]]}}
{{Fs player|no=18|nat=ALB|pos=FW|name=[[Armando Broja]]}}
{{Fs player|no=19|nat=ENG|pos=MF|name=[[Mason Mount]]}}
{{Fs player|no=20|nat=ENG|pos=FW|name=[[Callum Hudson-Odoi]]}}
{{Fs player|no=21|nat=ENG|pos=DF|name=[[Ben Chilwell]]}}
{{Fs mid}}
{{Fs player|no=22|nat=MAR|pos=FW|name=[[Hakim Ziyech]]}}
{{Fs player|no=23|nat=ENG|pos=MF|name=[[Conor Gallagher]]}}
{{Fs player|no=24|nat=ENG|pos=DF|name=[[Reece James (footballer, born 1999)|Reece James]]}}
{{Fs player|no=26|nat=SEN|pos=DF|name=[[Kalidou Koulibaly]]}}
{{Fs player|no=28|nat=ESP|pos=DF|name=[[César Azpilicueta]]|other=[[Captain (association football)|captain]]}}
{{Fs player|no=29|nat=GER|pos=FW|name=[[Kai Havertz]]}}
{{Fs player|no=30|nat=ENG|pos=MF|name=[[Carney Chukwuemeka]]}}
{{Fs player|no=32|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marc Cucurella]]}}
{{Fs player|no=33|nat=ITA|pos=DF|name=[[Emerson Palmieri|Emerson]]}}
{{Fs player|no=|nat=WAL|pos=DF|name=[[Ethan Ampadu]]}}
{{Fs player|no=|nat=GHA|pos=DF|name=[[Baba Rahman]]}}
{{Fs player|no=|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ross Barkley]]}}
{{Fs player|no=|nat=SCO|pos=MF|name=[[Billy Gilmour]]}}
{{Fs player|no=|nat=BEL|pos=FW|name=[[Michy Batshuayi]]}}
{{Fs player|no=|nat=BRA|pos=FW|name=[[Kenedy (footballer)|Kenedy]]}}
{{Fs end}}
== Tuzo ==
* Ligi Kuu (6) 1954-1955, 2004-2005, 2005-2006, 2009-2010, 2011-2012, 2016-2017
* FA Cup (7) 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010, 2018
* Kombe la Ligi (4) 1965, 1998, 2005, 2007;
* Ngao ya Jamii (4) 1955, 2000,2005, 2009
* UEFA Cup Winners' Cup (2) 1971, 1998
* UEFA Super Cup (1) 1998, 1999, 2003
* Full Members Cup (2) 1986, 1990
* FA Youth-cup (3) 1960, 1961, 2010
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:Chelsea Football Club]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Uingereza]]
hc8r0pwnjxzd7q9xbizh8ute0axwoue
1242313
1242309
2022-08-13T11:58:12Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football club|image=Chelsea FC.svg|capacity=|league=|current=|pattern_la1=_chelsea2223h|pattern_b1=_chelsea2223h|pattern_ra1=_chelsea2223h|pattern_sh1=_chelsea2223h|pattern_so1=_chelsea2223hl|leftarm1=0000FF|body1=0000FF|rightarm1=0000FF|shorts1=0000FF|socks1=FFFFFF|pattern_la2=_chelsea2223a|pattern_b2=_chelsea2223a|pattern_ra2=_chelsea2223a|pattern_sh2=_chelsea2223a|pattern_so2=_chelsea2223al|leftarm2=FFFFFF|body2=FFFFFF|rightarm2=FFFFFF|shorts2=FFFFFF|socks2=140A46|pattern_la3=|pattern_b3=|pattern_ra3=|pattern_sh3=|pattern_so3=|leftarm3=|body3=|rightarm3=|shorts3=|socks3=|jinakamili=Chelsea Football Club|jinalautani=The Blues<br> The Pensioners (zamani)<ref>{{Cite web |date=23 April 2015 |title=Chelsea's first cup final – a century ago |url=http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20160826204919/http://www.chelseafc.com/news/latest-news/2015/04/chelsea_s-first-cup-final--a-century-ago.html |archive-date=26 August 2016 |access-date=25 July 2016 |publisher=Chelsea FC}}</ref>|imeanzishwa={{Start date and age|df=yes|1905|3|10}}<ref name="teamhistory">{{Cite web |title=Team History – Introduction |url=http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0,,10268,00.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20110527214035/http://www.chelseafc.com/page/TeamHistory/0%2C%2C10268%2C00.html |archive-date=27 May 2011 |access-date=11 May 2011 |website=chelseafc.com |publisher=Chelsea FC}}</ref>|uwanja=[[Stamford Bridge (stadium)|Stamford Bridge]]|uwezo=40,341<ref name="clubinformation">{{cite web|title=General Club Information|url=https://www.chelseafc.com/en/general-information|language=en|publication-date=}} | site=chelseafc.com.</ref><ref name="cap2021">{{Cite web |title=Premier League Handbook 2020/21 |url=https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210412002820/https://resources.premierleague.com/premierleague/document/2021/04/07/6ebff069-a7ee-415d-afbd-15878b6d33b2/2020-21-PL-Handbook-240321.pdf |archive-date=12 April 2021 |publisher=Premier League |access-date=12 April 2021 |page=12 }}</ref>|mmiliki=[[Todd Boehly]]<br />Clearlake Capital<br />[[Hansjörg Wyss]]<br />[[Mark Walter]]|mwenyekiti=[[Bruce Buck]]|ligi=[[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]]|msimu=[[2017-18 Premier League|2021-22]]|nafasi=Premier League, 3th|tovuti=http://www.chelseafc.com/|jinalaklabu=Chelsea|clubname=|kocha=[[Thomas Tuchel]]}}
'''Chelsea Football Club'''<ref>{{Cite web|title=Chelsea news and transfers LIVE: Todd Boehly takeover hint, Abramovich fear|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-news-transfers-live-lukaku-23846011|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Danyal Khan, Jake Stokes}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea could look to reunite Lautaro Martinez and Romelu Lukaku in the summer|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/chelsea-romelu-lukaku-tuchel-transfer-23849808|work=Football.London|date=2022-05-03|accessdate=2022-05-03|language=en|author=Bobby Vincent}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Glen Johnson urges Chelsea to offer Jorginho a new contract amid transfer links|url=https://www.football.london/chelsea-fc/transfer-news/defender-urges-chelsea-jorginho-contract-23861027|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref><ref>{{Cite web|title=Chelsea bidder Lord Coe warns club to find quick takeover solution|url=https://www.football.london/chelsea-fc/news/chelsea-bidder-warning-takeover-claim-23857906|work=Football.London|date=2022-05-04|accessdate=2022-05-04|language=en|author=Luke Thrower}}</ref>ni [[klabu]] ya [[mpira wa miguu]] ya nchini [[Uingereza]] iliyo na maskani yake [[Fulham]], [[London]]. Klabu hii ilianzishwa mwaka [[1905]], na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki [[ligi kuu ya Uingereza]]. Uwanja wao wa nyumbani ni [[Stamford Bridge]] ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.
Chelsea, kwa mara ya kwanza ilipata mafanikio makubwa mwaka [[1955]], ambapo walipata ubingwa wa ligi, na walishinda mataji kadhaa katika miaka ya 1960, 1970, 1990 na 2000. Klabu hii imefurahia zaidi mafanikio katika [[miongo]] miwili ilopita, kwa kushinda mataji makubwa 15 tangu mwaka 1997.
Nyumbani, Chelsea imeshinda ubingwa wa ligi mara nne, [[kombe la FA]] mara saba, [[kombe la ligi]] mara nne, pamoja na [[ngao za jamii]] mara nne. Na kimataifa Chelsea imeshashinda [[UEFA Cup Winners' Cups]] mara mbili, [[UEFA Super Cup]] moja, [[UEFA Europa League]] moja na [[UEFA Champions League]] moja. Chelsea ndio klabu pekee kutoka London kushinda UEFA Champions League, na ni moja kati ya klabu nne kutoka Uingereza, kuchukua makombe yote makubwa matatu ya Ulaya.
Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya bluu, kaptula ya bluu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. Tangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, [[Roman Abramovich]]. Mnamo tarehe 7 Mei 2022, Chelsea ilithibitisha kwamba masharti yametimiza na kikundi kipya cha umiliki, kinachoongozwa na [[Todd Boehly]], Clearlake Capital, [[Mark Walter]] na [[Hansjörg Wyss]], kununua klabu hiyo.<ref>{{Cite web|title=Club statement|url=https://www.chelseafc.com/en/news/article/club-statement1|work=www.chelseafc.com|accessdate=2022-08-13|language=en-gb}}</ref> Mnamo tarehe 25 Mei 2022, serikali iliidhinisha kuuzwa kwa Chelsea kwa £4.25bn.<ref>{{Cite web|title=Chelsea takeover: Todd Boehly's £4.25bn bid approved by government as Roman Abramovich era set to end|url=https://uk-sport-web.prod.oceanusorigin.com/football/news/11095/12620164/chelsea-takeover-todd-boehlys-4-25bn-bid-approved-by-government-as-roman-abramovich-era-set-to-end|work=Sky Sports|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref> Mnamo tarehe 30 Mei 2022, mauzo yalikamilika, na hivyo kumaliza umiliki wa miaka 19 wa Abramovich.<ref>{{Cite web|title=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|url=https://twitter.com/fabrizioromano/status/1531290432327634944|work=Twitter|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref>
==Wachezaji ==
[[File:Chelsea players returning to their half.jpg|thumb|Wachezaji wa Chelsea]]
=== First-Kikosi cha kwanza ===
{{Updated|10 Agosti 2022}}<ref>{{cite web |url=https://www.chelseafc.com/en/teams/men |title=Men: Senior |publisher=Chelsea F.C. |access-date=6 August 2022}}<br />{{cite web |url=https://www.chelseafc.com/en/teams/men?tab=onLoan |title=Men: On Loan |publisher=Chelsea F.C. |access-date=6 August 2022}}</ref>
{{Fs start}}
{{Fs player|no=1|nat=ESP|pos=GK|name=[[Kepa Arrizabalaga]]}}
{{Fs player|no=3|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marcos Alonso (footballer, born 1990)|Marcos Alonso]]}}
{{fs player|no=5|nat=ITA|pos=MF|name=[[Jorginho (footballer, born December 1991)|Jorginho]]}}
{{Fs player|no=6|nat=BRA|pos=DF|name=[[Thiago Silva]]}}
{{Fs player|no=7|nat=FRA|pos=MF|name=[[N'Golo Kanté]]}}
{{Fs player|no=8|nat=FRA|pos=MF|name=[[Mateo Kovačić]]}}
{{Fs player|no=10|nat=USA|pos=FW|name=[[Christian Pulisic]]}}
{{Fs player|no=12|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ruben Loftus-Cheek]]}}
{{Fs player|no=13|nat=ENG|pos=GK|name=[[Marcus Bettinelli]]}}
{{Fs player|no=14|nat=ENG|pos=DF|name=[[Trevoh Chalobah]]}}
{{Fs player|no=16|nat=SEN|pos=GK|name=[[Édouard Mendy]]}}
{{Fs player|no=17|nat=ENG|pos=FW|name=[[Raheem Sterling]]}}
{{Fs player|no=18|nat=ALB|pos=FW|name=[[Armando Broja]]}}
{{Fs player|no=19|nat=ENG|pos=MF|name=[[Mason Mount]]}}
{{Fs player|no=20|nat=ENG|pos=FW|name=[[Callum Hudson-Odoi]]}}
{{Fs player|no=21|nat=ENG|pos=DF|name=[[Ben Chilwell]]}}
{{Fs mid}}
{{Fs player|no=22|nat=MAR|pos=FW|name=[[Hakim Ziyech]]}}
{{Fs player|no=23|nat=ENG|pos=MF|name=[[Conor Gallagher]]}}
{{Fs player|no=24|nat=ENG|pos=DF|name=[[Reece James (footballer, born 1999)|Reece James]]}}
{{Fs player|no=26|nat=SEN|pos=DF|name=[[Kalidou Koulibaly]]}}
{{Fs player|no=28|nat=ESP|pos=DF|name=[[César Azpilicueta]]|other=[[Captain (association football)|captain]]}}
{{Fs player|no=29|nat=GER|pos=FW|name=[[Kai Havertz]]}}
{{Fs player|no=30|nat=ENG|pos=MF|name=[[Carney Chukwuemeka]]}}
{{Fs player|no=32|nat=ESP|pos=DF|name=[[Marc Cucurella]]}}
{{Fs player|no=33|nat=ITA|pos=DF|name=[[Emerson Palmieri|Emerson]]}}
{{Fs player|no=|nat=WAL|pos=DF|name=[[Ethan Ampadu]]}}
{{Fs player|no=|nat=GHA|pos=DF|name=[[Baba Rahman]]}}
{{Fs player|no=|nat=ENG|pos=MF|name=[[Ross Barkley]]}}
{{Fs player|no=|nat=SCO|pos=MF|name=[[Billy Gilmour]]}}
{{Fs player|no=|nat=BEL|pos=FW|name=[[Michy Batshuayi]]}}
{{Fs player|no=|nat=BRA|pos=FW|name=[[Kenedy (footballer)|Kenedy]]}}
{{Fs end}}
== Tuzo ==
* Ligi Kuu (6) 1954-1955, 2004-2005, 2005-2006, 2009-2010, 2011-2012, 2016-2017
* FA Cup (7) 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010, 2018
* Kombe la Ligi (4) 1965, 1998, 2005, 2007;
* Ngao ya Jamii (4) 1955, 2000,2005, 2009
* UEFA Cup Winners' Cup (2) 1971, 1998
* UEFA Super Cup (1) 1998, 1999, 2003
* Full Members Cup (2) 1986, 1990
* FA Youth-cup (3) 1960, 1961, 2010
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:Chelsea Football Club]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Uingereza]]
n2ycgk48j5bnzsptrlurkx1cqe6yosc
Tohe
0
57996
1242188
1199977
2022-08-12T20:29:23Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Tohe
| picha = Bohor Reedbuck, male, Serengeti.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Tohe ndope]]<br><sup>(''Redunca redunca'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| subdivision = '''Nusufamilia 2, jenasi 2, spishi 4:'''
* [[Peleinae]] <small>J. E. Gray, 1872</small>
** ''[[Pelea]]'' <small>J. E. Gray, 1851</small>
*** ''[[Pelea capreolus|P. capreolus]]'' <small>([[Johann Reinhold Forster|Forster]], 1790)</small>
* [[Reduncinae]] <small>[[Theodor Knottnerus-Meyer|Knottnerus-Meyer]], 1907</small>
** ''[[Redunca]]'' <small>[[Charles Hamilton Smith|C. H. Smith]], 1827</small>
*** ''[[Redunca arundinum|R. arundinum]]'' <small>([[Pieter Boddaert|Boddaert]], 1785)</small>
*** ''[[Redunca fulvorufula|R. fulvorufula]]'' <small>([[Adam Afzelius|Afzelius]], 1815)</small>
*** ''[[Redunca redunca|R. redunca]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1767)</small>
}}
'''Tohe''' ni [[mnyama|wanyamapori]] wa [[jenasi]] ''[[Pelea]]'' na ''[[Redunca]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Wana rangi ya mchanga au ya kijivu lakini tumbo ni jeupe. Madume ya ''Redunca'' wana pembe zilizopindika kuelekea mbele, wale wa ''Pelea'' wana pembe nyofu. Wanatokea mahali pa [[nyasi]] nzito karibu na maji au misitu milimani ([[tohe-milima]] na [[tohe pembe-nyofu]]). Wanyama hawa hula nyasi na [[tete|matete]].
==Spishi==
* '''Nusufamilia Peleinae'''
** ''Pelea capreolus'', [[Tohe pembe-nyofu]] ([[w:Grey Rhebok|Grey rhebok]])
* '''Nusufamilia Reduncinae'''
** ''Redunca arundinum'', [[Tohe kusi]] ([[w:Southern Reedbuck|Southern reedbuck]])
** ''Redunca fulvorufula'', [[Tohe-milima]] ([[w:Mountain Reedbuck|Mountain reedbuck]])
*** ''Redunca f. adamauae'', Tohe wa Milima Adamawa ([[w:Mountain Reedbuck#Subspecies|Adamawa Mountains reedbuck]])
*** ''Redunca f. chanleri'', Tohe-milima wa Chanler ([[w:Mountain Reedbuck#Subspecies|Chanler's mountain reedbuck]])
*** ''Redunca f. fulvorufula'', Tohe-milima Kusi ([[w:Mountain Reedbuck#Subspecies|Southern mountain reedbuck]])
** ''Redunca redunca'', [[Tohe ndope]] au Forhi ([[w:Bohor Reedbuck|Bohor reedbuck]])
*** ''Redunca r. bohor'', Tohe ndope wa Uhabeshi ([[w:Bohor Reedbuck#Taxonomy|Abyssinian reedbuck]])
*** ''Redunca r. cottoni'', Tohe ndope wa Sadd ([[w:Bohor Reedbuck#Taxonomy|Sudd reedbuck]])
*** ''Redunca r. nigeriensis'', Tohe ndope wa Nijeria ([[w:Bohor Reedbuck|Nigerian reedbuck]])
*** ''Redunca r. redunca'', Tohe ndope magharibi ([[w:Bohor Reedbuck|Western reedbuck]])
*** ''Redunca r. wardi'', Tohe ndope mashariki ([[w:Bohor Reedbuck|Eastern reedbuck]])
==Picha==
<gallery>
Pelea capreolus.JPG|Madume na majike ya tohe pembe-nyofu
Common Reedbuck (Redunca arundinum), Kruger National Park.jpg|Dume la tohe kusi
Reed buck South Africa.JPG|Jike la tohe kusi
Mountain Reedbuck, Redunca flavorufula at Borakalalo National Park, South Africa (10001289395).jpg|Dume la tohe-milima
Bergriedbock 2007-08-16 201.jpg|Jike la tohe-milima
Bohor Reedbuck, female, Serengeti.jpg|Jike la tohe ndope
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.2}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
1gmtcf50elard3ah5xbi7v9awutxvqt
Suni
0
61190
1242070
1135743
2022-08-12T13:08:34Z
ChriKo
35
Nyongeza nususpishi
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Suni
| picha = Suni-Tygerberg Zoo.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Dume la suni mashariki]]<br><sup>(''Neotragus moschatus'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| subdivision = '''Jenasi 2, spishi 3, nususpishi 4:'''
* ''[[Neotragus]]'' <small>[[Charles Hamilton Smith|C. H. Smith]], 1827</small>
** ''[[Neotragus pygmaeus|N. pygmaeus]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small>
* ''[[Nesotragus]]'' <small>[[Magnus Wilhelm von Düben|Von Dueben]], 1846</small>
** ''[[Nesotragus batesi|N. batesi]]'' <small>[[William Edward de Winton|de Winton]], 1903</small>
** ''[[Nesotragus moschatus|N. moschatus]]'' <small>Von Dueben, 1846</small>
*** ''[[Nesotragus moschatus kirchenpaueri|N. m. kirchenpaueri]]'' <small>([[Arnold Andreas Friedrich Pagenstecher|Pagenstecher]], 1885)</small>
*** ''[[Nesotragus moschatus livingstonianus|N. m. livingstonianus]]'' <small>([[Thomas Kirk|Kirk]], 1865)</small>
*** ''[[Nesotragus moschatus moschatus|N. m. moschatus]]'' <small>Von Dueben, 1846</small>
*** ''[[Nesotragus moschatus zuluensis|N. m. zuluensis]]'' <small>([[Oldfield Thomas|Thomas]], 1898)</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Suni''' ni [[mnyama|wanyamapori]] wadogo sana wa [[jenasi]] ''[[Neotragus]]'' na ''[[Nesotragus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Wanyama hawa ni wadogo kabisa wa Bovidae (kimo sm 25–40 begani, urefu sm 40–60 na uzito kg 2.5–5.5). Wanatokea [[msitu|misitu]] minyevu na mikavu ya [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]] yenye kichaka kizito. Dume ana pembe fupi kwa urefu wa sm 3.5 hadi 13 kuhusiana spishi. Rangi yao ni kahawianyekundu lakini nyeupe upande wa chini. Suni hula [[jami|majani]], macho ya [[ua|maua]], machipukizi, [[uyoga|nyoga]], [[nyasi|manyasi]] na [[mmea|mimea]].
Zamani [[spishi]] zote ziliainishwa katika jenasi ''Neotragus'' lakini uchunguzi wa [[ADN]] ulifunua kwamba spishi hizi hazina nasaba kwa karibu. [[Suni mdogo]] labda ana nasaba na [[paa]] (''Cephalophinae'') huku spishi mbili nyingine zikiwa na nasaba na [[swala]] (''Antilopinae'').
==Spishi==
* ''Neotragus pygmaeus'', [[Suni Mdogo]] ([[w:Royal Antelope|Royal Antelope]])
* ''Nesotragus batesi'', [[Suni wa Bates]] ([[w:Bates's Pygmy Antelope|Bates's Pygmy Antelope]])
* ''Nesotragus moschatus'', Suni au [[Suni Mashariki]] ([[w:Suni|Suni]])
** ''Nesotragus m. kirchenpaueri''
** ''Nesotragus m. livingstonianus''
** ''Nesotragus m. moschatus''
** ''Nesotragus m. zuluensis''
==Picha==
<gallery>
File:Suni 1.jpg|Jike la suni mashariki
File:Royal antelope.jpg|Jike la suni mdogo
</gallery>
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.5}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
f4ya2wollpbfk91dxei9pbvy86ea0ep
Taya (mnyama)
0
61938
1242154
1199976
2022-08-12T19:58:59Z
ChriKo
35
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Taya
| picha = Oribi in Murchison Falls National Park cropped.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Dume la Taya]]<br><sup>(''Ourebia ourebi'')</sup>
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small>
| nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small>
| familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small>
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Antilopinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[swala]])</small>
| jenasi = ''[[Ourebia]]'' <small>(Taya)</small>
| bingwa_wa_jenasi = Laurillard, 1842
| spishi = ''[[Ourebia ourebi|O. ourebi]]''
| bingwa_wa_spishi = [[Eberhard August Wilhelm von Zimmermann|Zimmermann]], 1782
| ramani = Ourebia ourebi distribution.svg
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa taya
}}
'''Taya''', '''kasia''' au '''vihea''' (''Ourebia ourebi'') ni [[swala]] wadogo wenye miguu myembamba na shingo ndefu ambao wanatokea [[savana]] za [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]].
==Maelezo==
Taya wazima wana urefu wa sm 92–110, kimo cha sm 50–66 begani na uzito wa kg 12–22. Wanaweza kukimbia kwa mbio wa km 40–50 kwa saa. Wakifugwa huishi hadi miaka 14.
Mgongo na kidari cha juu ni njano hadi kahawiamachungwa. Kidevu, koo, kidari cha chini na tumbo ni nyeupe na kuna mviringo mweupe kwa matako. Mkia ni mfupi na una manyoya mengi; upande wa juu ni mweusi au kahawianyeusi na upande wa chini ni mweupe. Baka jeupe kwa umbo wa [[hilali]] juu ya [[jicho]] ni hulka inayosaidia kutofautiana [[spishi]] hii na swala wengine wanaoonekana hivyo hivyo. [[Mwanzi wa pua|Mianzi ya pua]] ni myekundu na chini ya [[sikio|masikio]] liko baka jeusi kubwa la mviringo lililo na [[tezi]]. Tezi nyingine ziko pande za uso ambazo zinatoa uto ulio na kidusi na unaotumika kwa kutopoa bara la taya. Dume tu ana pembe ambazo ni nyembamba na wima na zina nyushi kwa nusu ya chini; nusu ya juu ni laini na ina ncha kali. Urefu wa pembe ni hadi sm 19.
==Msambao na makazi==
Taya wanatokea takriban nchi zote za [[Afrika]] kusini kwa [[Sahara]]. Usambazaji unaenda kutoka [[Senegali]] mpaka [[Uhabeshi]] ya magharibi na ya kati na [[Somalia]] ya kusini, kuendelea upande wa kusini katika [[Kenya]] na [[Uganda]] mpaka [[Botswana]] ya kaskazini na [[Angola]]. Katika [[Msumbiji]], [[Zimbabwe]] na sehemu za kati na mashariki za [[Afrika Kusini]] usambazaji wao ni kirakaraka na si mzima.
Kwa kawaida Taya hukaa katika mbuga wazi au maeneo ya kichaka kisicho kizito. Hupenda maeneo ya [[nyasi|manyasi]] mafupi ambayo wanayala, lakini yenye manyasi marefu pia ambayo ndani yao hujifichia wanyama mbua. Taya hutegemea maji sana na huepuka miteremko ishukayo sana.
==Uzazi==
Wakati wa majira ya kuzaa, kutoka [[Agosti]] hadi [[Desemba]], dume hupanda majike wote wanaogawana bara lake naye. Kwa kawaida majike mmoja au wawili tu wamo katika kila bara. Baada ya muda wa mimba wa miezi 6–7 mtoto mmoja azaliwa. Pindi ya wiki 8–10 za kwanza jike huficha mwanake katika manyasi mazito ambapo atalala bila kujongea akikaribiwa. Mamake hurudi mara kwa mara kumnyonyesha. Watoto hulikizwa baada ya miezi 4–5. Majike hupevua baada ya miezi 10, madume baada ya miezi 14.
[[Picha:Ourebia ourebi cropped.jpg|thumb|left|225px|Jike la taya]]
==Mlo==
Taya wanahitari kula manyasi mafupi lakini hula [[jani|majani]] na [[chipukizi|machipukizi]] wakati wa kiangazi. Huonekana mara nyingi katika maeneo yaliyochomeka wakila machipukizi mapya ya manyasi. Ili kuongezea mlo wao hulamba [[chumvi]] ya asili.
==Maadui==
Taya wana maadui wengi, k.m. [[simba]], [[chui]], [[simbamangu]], [[fisi]], [[mbwa mwitu]], [[bweha]], [[mamba]] na [[chatu]]. Watoto hukamatwa pia na [[tai]], [[kanu]] na wanyama mbua wadogo wengine.
==Mwenendo==
Taya huishi peke yao, kwa jozi au kwa makundi ya dume mmoja pamoja na majike mawili au zaidi. Hupumzika wakati wa joto la mchana na hufanya amali yao asubuhi, alasiri na jioni. Wakishtuka hupiga mbinja ikwaruzayo. Mara nyingi hawajaribu kukimbia lakini hukaa bila kujongea kati ya manyasi hadi adui amekuja katika mita chache wakitegemea [[kamafleji]]. Endapo wanatishwa huondoka shoti wakiruka kwa miguu ishupaayo kila nyago kadhaa (hiyo huitwa [[w:stotting|stotting]] kwa Kiingereza).
==Maafa na hifadhi==
[[Picha:Gazelles grass park w niger 2006.jpg|thumb|right|250px|Taya nchini Niger]]
Idadi za taya zinakamwa na tenzi za watu kama:
* Uharibifu wa makazi – Mbuga zinapotea kwa sababu ya nyongeza ya makao, kupanda kwa kibiashara kwa miti, kilimo cha kibiashara, udhalili wa mbuga na ng'ombe wengi sana, [[moto]], [[mmomonyoko]] na [[uchimbaji]].
* Mawindo yasiyoruhusiwa, k.m. kutega wanyama kwa matanzi. Mawindo ya taya kwa [[mbwa]] ni afa kubwa yaliyopunguza idadi za taya katika [[Afrika Kusini]].
Kwa bahati nzuri taya wanatokea [[hifadhi]] nyingi. Pia hufugwa ili kuachiliwa katika makazi yanayowafalia.
==Nususpishi==
* ''Ourebia ourebi'', [[Taya (mnyama)|Taya]] ([[w:Oribi|Oribi]])
** ''Ourebia o. aequatoria'' ([[Uganda]])
** ''Ourebia o. cottoni'' ([[Tanzania]])
** ''Ourebia o. dorcas'' ([[Chadi]])
** ''Ourebia o. gallarum'' (Kati ya [[Uhabeshi]])
** ''Ourebia o. goslingi'' (Kaskazini kwa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (JKK))
** ''Ourebia o. haggardi'' (Kaskazini kwa [[Kenya]] – '''inakabiliwa'''
** ''Ourebia o. hastata'' (JKK, [[Malawi]], [[Zimbabwe]])
** ''Ourebia o. kenyae'' (Kenya) – '''imekwisha sasa'''
** ''Ourebia o. montana'' ([[Sudani]] mpaka magharibi kwa Uhabeshi)
** ''Ourebia o. ourebi'' ([[Afrika Kusini]])
** ''Ourebia o. quadriscopa'' ([[Senegali]] mpaka [[Nijeria]])
** ''Ourebia o. rutila'' ([[Angola]])
** ''Ourebia o. ugandae'' (Uganda)
==Viungo vya nje==
* ARKive - [http://www.arkive.org/species/GES/mammals/Ourebia_ourebi/ Picha na filamu za taya] {{Wayback|url=http://www.arkive.org/species/GES/mammals/Ourebia_ourebi/ |date=20081007041358 }}
* [http://www.ecotravel.co.za/Guides/Wildlife/Vertebrates/Mammals/Smaller/Oribi.htm Mwongozo wa safari ya kiekolojia kwa taya]
* [http://www.rhino.org.za Ezemvelo KZN Wildlife] {{Wayback|url=http://www.rhino.org.za/ |date=20070124060224 }}
* [http://www.webkenya.com/eng/safari/wildlife.php?Let=o&choice=1 Webkenya – Wanyamapori wa Kenya ]
* [http://images.google.co.nz/images?Hl=en&q=oribi Picha za taya]
* [http://www.google.co.nz/search?q=%22Ourebia+ourebi%22 Maarifa zaidi ya taya]
{{Artiodactyla|R.5}}
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
3s0oieukl0dud07o0uy6yp8r76uc3bt
Ufalme wa Mungu
0
86509
1242082
1203687
2022-08-12T13:26:26Z
Kipala
107
Created by translating the page "[[:de:Special:Redirect/revision/222518002|Reich Gottes]]"
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote dhidi ya upinzani wote katika nyakati za mwisho . Kwa hiyo maabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Mandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
la inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
=== injili ===
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
{{Quote}}Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
5xu39ao9dcs6dsssk8fs032kl6gfu14
1242085
1242082
2022-08-12T13:29:23Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote dhidi ya upinzani wote katika nyakati za mwisho . Kwa hiyo maabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Mandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
=== injili ===
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
{{Quote}}Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
q2a6nmk2i2flttab1ds3zvzydsqw6r1
1242100
1242085
2022-08-12T13:50:06Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote dhidi ya upinzani wote katika nyakati za mwisho . Kwa hiyo maabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Mandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
=== Injili ===
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
jskw8p6hkh74hcd4j2vvawpoljmx143
1242108
1242100
2022-08-12T14:01:17Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
=== Injili ===
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
glwqs6utkpsadu0gp6nbg45h4dt0lkx
1242109
1242108
2022-08-12T14:02:02Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
ed79h2rb59m6a66sygmzwylgu0yecjj
1242114
1242109
2022-08-12T14:05:40Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk 1 ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine Mwisho unasisitiza - pia katika mapokeo ya kimaadili ya apocalyptic ya Kiyahudi - tofauti ya kiroho na uwajibikaji wa maadili, haswa kwa waliotengwa, kwani wakati umewadia kwa hili. Vyovyote vile, Yesu alifikiri kivitendo, alikuwa mbali na faraja ya baadaye . Hakuwa na ndoto ya ulimwengu mwingine wa mawazo na alifikiria "zaidi kama [[Aristoteli|Aristotle]] kuliko [[Plato]] ". <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus, An Essential Guide'', Abingdon, Nashville 2008, S. 99, 104. ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Yesu hakuwa "mwanatheolojia wa utaratibu." Alitaja kwamba baadhi ya wafuasi wake watapata ufalme wa Mungu “katika nguvu” katika maisha yao ( Mk ), lakini pia alisisitiza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua ni lini ( Mk ). ). <ref>James H. Charlesworth: ''The Historical Jesus'', 2008, S. 100f, ISBN 978-0-687-02167-3</ref>
Mwanatheolojia mwenye ushawishi mkubwa na karibu sawa na mwenye utata [[Origen]] (185-253/254 BK. B.C.) alitumia neno ''autobasileia'' katika ufafanuzi wake kuhusu Injili ya Mathayo kueleza ukaribu uliopo kati ya Yesu na utawala wa Mungu alioutangaza. Kwa hiyo Yesu Kristo anakuwa kielelezo cha ufalme na hivyo ni utambuzi tayari umeanza wa yale ambayo yeye mwenyewe alitangaza.
== Marejeo ==
{{Marejeo}}<references />[[:Jamii:Biblia]]
eoat0npkx1zxedt3q7y2wj4ut03fo9z
1242116
1242114
2022-08-12T14:10:42Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk 1 ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine kuelewa ufalme wa Mungu ni kuuona kama mchakato ulioanza tayari lakini haukukamilika bado. Uelewa huo unaonekana katika Waraka wa Yohane ukisema
== Marejeo ==
{{Marejeo}}<references />[[:Jamii:Biblia]]
536ep9qlfub5rimxa3tnkti2zsjak73
1242117
1242116
2022-08-12T14:14:20Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melech'' ) kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]) kawaida, hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mahali pachache tu, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na paenginepo.
"Ufalme wa YHWH" ( ''Malkuth'' kwa Kiebrania) unatokea mara kadhaa katika [[Kitabu cha Zaburi|Zaburi]] ( Zab. 103:19, 145:11 -13) na pia Nyakati 17:14 na 28:5.
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk 1 ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine kuelewa ufalme wa Mungu ni kuuona kama mchakato ulioanza tayari lakini haukukamilika bado. Uelewa huo unaonekana katika Waraka wa Yohane ukisema "Sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa."<ref>1 Yohana 3:2 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/1jn.3.2.SRUVDC</nowiki></ref>
.
== Marejeo ==
{{Marejeo}}<references />[[:Jamii:Biblia]]
2zn89viikxoxj1wjmjteliv2xdpkdv4
1242222
1242117
2022-08-13T06:02:14Z
Kipala
107
Kuboresha sehemu kuhusu Tanakh
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" (Kiebr.. מלך ''melekh'' ) kikitumiwa kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]), hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
Tanakh (Biblia ya Kiebrania) inamtaja "mfalme" YHWH mara kadhaa, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na penginepo.
Istilahi "Ufalme wa Mungu"<ref>Kiebrania מַלְכ֥וּת יְהוָ֖ה malkut YHWH, tafsiri katika matoleo la Kiswahili ni "Ufalme wa BWANA", https://www.bibelwissenschaft.de/online-bibeln/biblia-hebraica-stuttgartensia-bhs/lesen-im-bibeltext/bibelstelle/1.%20Chronik%2028%2C5/bibel/text/lesen/ch/d30819657841a23db0f38d4a8f7fd7b1/</ref> inapatikana mara mbili katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania), katika 1 Mambo ya Nyakati 28:5<ref>Hapo kwa maana kuwa Israeli ni Ufalme wa Mungu, (Amemchagua Sulemani mwanangu ili aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wa BWANA, juu ya Israeli.). 1 Mambo ya Nyakati 28:5 SRUVDC <nowiki>https://bible.com/bible/1817/1ch.28.5.SRUVDC</nowiki></ref> na 2 Mambo ya Nyakati 13:8. Pamoj na hayo, kuna pia maneno “ufalme wake” na “ufalme wako” ilhali hutumiwa kurejelea Mungu.<ref name="Wright">{{cite book|title=Dictionary for Theological Interpretation of the Bible|last1=France|first1=R. T.|publisher=Baker Book House|year=2005|isbn=978-0-8010-2694-2|editor1-last=Vanhoozer|editor1-first=Kevin J.|location=Grand Rapids|pages=420–422|chapter=Kingdom of God|author-link1=R. T. France|editor2-last=Bartholomew|editor2-first=Craig G.|editor3-last=Treier|editor3-first=Daniel J.|editor4-last=Wright|editor4-first=Nicholas Thomas|chapter-url=https://books.google.com/books?id=I8UWJohMGUIC&pg=PA420}}</ref> Mifano ni "Ufalme ni wako, Ee Bwana" jinsi inavyotumika katika 1 Mambo ya Nyakati 29:10–12 na “Ufalme wake ni ufalme wa milele” katika Danieli 4:3.
Pia kuna mistari kama Kutoka 19:6 inayoonyesha jinsi Israeli, kama watu waliochaguliwa na Mungu, wanavyochukuliwa kuwa ufalme wake.
"Neno la Kiebrania malkuth [...] hurejelea kwanza utawala, na pili tu kwa eneo ambalo utawala unatekelezwa. [...] Wakati malkuth inapotumiwa kuhusu Mungu, karibu kila mara inarejelea mamlaka yake au utawala wake kama Mfalme wa mbinguni."<ref>George Eldon Ladd, ''The Presence of the Future: The Eschatology of Biblical Realism'', Eerdmans (Grand Rapids: 1974), 46–47.</ref>
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk 1 ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine kuelewa ufalme wa Mungu ni kuuona kama mchakato ulioanza tayari lakini haukukamilika bado. Uelewa huo unaonekana katika Waraka wa Yohane ukisema "Sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa."<ref>1 Yohana 3:2 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/1jn.3.2.SRUVDC</nowiki></ref>
.
== Marejeo ==
{{Marejeo}}<references />[[:Jamii:Biblia]]
rj5l2sjcs79w3hmx6083hs4m09d5w9j
1242229
1242222
2022-08-13T06:04:29Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Ufalme wa Mungu ('''Kiebrania '''מלכות''' ''malkut,'' [[Kigiriki cha Kale|Kigiriki]] ''βασιλεία τοῦ theoũ basileia tou theou)'' ni istilahi katika [[Biblia]] inayomaanisha kazi ya [[YHWH]] (Mungu wa Wanaisraeli) katika Dunia na pia upeo ambamo mapenzi yake yanatimizwa.
Neno hili linafungamana na cheo cha "mfalme" kinachotumiwa kwa YHWH katika [[Biblia ya Kiebrania|Tanakh]] (Biblia la Kiebrania). Linaonyesha imani kwamba Mungu anatawala juu ya vyote tangu [[uumbaji]] na pia kwamba mapenzi ya Mungu yatatekelezwa kote katika siku za mwisho dhidi ya upinzani wote. Kwa hiyo manabii katika Biblia na maandiko ya kiufunuo huhusisha neno hilo na mawazo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa [[Torati]] kote duniani, ukombozi wa Wanaisraeli wote kutoka kwa utawala wa kigeni na uombozi wa mataifa yote kutoka kwa udhalimu, kuja kwa Mungu kwenye [[hukumu ya mwisho]], na mabadiliko ya uumbaji ambayo yatashinda uovu wote pamoja na mateso, maumivu na kifo.
Kulingana na [[Agano Jipya]], [[Yesu|Yesu wa Nazareti]] alitangaza ufalme huu wa Mungu kuwa umekaribia ( Marko 1,15 ). Wanafunzi wake waliona ufalme katika matendo, kama vile uponyaji wa magonjwa, na mafundisho ya Yesu.
Wakristo wa kwanza waliona kwamba ufalme wa Mungu ulifika katika kazi, kifo na ufufuo wa Yesu. Waliamini kwamba matabiri ya manabii ya Biblia (mfano Isaya 25,8) yalithibitishwa na kuanza kutiimizwa katika historia ya Yesu. Maandiko kama Ufunuo 21: yanaonyesha imani hiyo.
== Tanakh ==
Neno "ufalme wa Mungu" linatokana na cheo "mfalme" ([[Kiebr.]] מלך ''melekh'' ) kikitumiwa kwa ajili ya YHWH. Cheo hiki kilitumika katika [[Israeli ya Kale|historia ya Israeli]] tangu enzi za wafalme (tangu takriban [[1000 KK]]), hasa katika [[Hekalu la Yerusalemu|ibada ya hekalu la Yerusalemu]] .
[[Tanakh]] (Biblia ya Kiebrania, au Agano la Kale) inamtaja "mfalme" YHWH mara kadhaa, kama vile Isaya 6,5, Zaburi 95:1, Zaburi 99:1 na penginepo.
Istilahi "Ufalme wa Mungu"<ref>Kiebrania מַלְכ֥וּת יְהוָ֖ה malkut YHWH, tafsiri katika matoleo la Kiswahili ni "Ufalme wa BWANA", https://www.bibelwissenschaft.de/online-bibeln/biblia-hebraica-stuttgartensia-bhs/lesen-im-bibeltext/bibelstelle/1.%20Chronik%2028%2C5/bibel/text/lesen/ch/d30819657841a23db0f38d4a8f7fd7b1/</ref> inapatikana mara mbili katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania), katika 1 Mambo ya Nyakati 28:5<ref>Hapo kwa maana kuwa Israeli ni Ufalme wa Mungu, (Amemchagua Sulemani mwanangu ili aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wa BWANA, juu ya Israeli.). 1 Mambo ya Nyakati 28:5 SRUVDC <nowiki>https://bible.com/bible/1817/1ch.28.5.SRUVDC</nowiki></ref> na 2 Mambo ya Nyakati 13:8. Pamoj na hayo, kuna pia maneno “ufalme wake” na “ufalme wako” ilhali hutumiwa kurejelea Mungu.<ref name="Wright">{{cite book|title=Dictionary for Theological Interpretation of the Bible|last1=France|first1=R. T.|publisher=Baker Book House|year=2005|isbn=978-0-8010-2694-2|editor1-last=Vanhoozer|editor1-first=Kevin J.|location=Grand Rapids|pages=420–422|chapter=Kingdom of God|author-link1=R. T. France|editor2-last=Bartholomew|editor2-first=Craig G.|editor3-last=Treier|editor3-first=Daniel J.|editor4-last=Wright|editor4-first=Nicholas Thomas|chapter-url=https://books.google.com/books?id=I8UWJohMGUIC&pg=PA420}}</ref> Mifano ni "Ufalme ni wako, Ee Bwana" jinsi inavyotumika katika 1 Mambo ya Nyakati 29:10–12 na “Ufalme wake ni ufalme wa milele” katika Danieli 4:3.
Pia kuna mistari kama Kutoka 19:6 inayoonyesha jinsi Israeli, kama watu waliochaguliwa na Mungu, wanavyochukuliwa kuwa ufalme wake.
"Neno la Kiebrania malkuth [...] hurejelea kwanza utawala, na pili tu kwa eneo ambalo utawala unatekelezwa. [...] Wakati malkuth inapotumiwa kuhusu Mungu, karibu kila mara inarejelea mamlaka yake au utawala wake kama Mfalme wa mbinguni."<ref>George Eldon Ladd, ''The Presence of the Future: The Eschatology of Biblical Realism'', Eerdmans (Grand Rapids: 1974), 46–47.</ref>
== Agano Jipya ==
Katika Agano Jipya, neno la Kigiriki βασιλεία τοῦ Θεοῦ (basileia tou theou, ''ufalme wa Mungu'' ) linaonekana katika sehemu 122, mara 99 katika Injili za [[Injili Ndugu|Synoptic]] <ref name="Benedikt XVI.">[[Benedikt XVI.]]: Jesus von Nazareth. Von der Taufe im Jordan bis zur Verklärung, Herder, 2007, S. 77, ISBN 3-451-29861-9</ref> na mara moja katika Injili ya [[Injili ya Yohane|Yohana]] ( Joh 3: ). Injili ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] mara nyingi inatumia neno mbadala "ufalme wa mbinguni" ( βασιλεία τῶν ουρανῶν ''basileia ton ouranon'' ).
Kufuatana na taarifa katika Agano Jipya, Yesu alianza kuonekana hadharani akitangaza ujumbe ( Mk 1 ):
"Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili."<ref>Marko 1:15 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mrk.1.15.SRUVDC</nowiki></ref>
Katika mahubiri ya Yesu Ufalme wa Mungu ulionyeshwa kama hali iliyopo tayari: "Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao." <ref>Mathayo 5:3 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/mat.5.3.SRUVDC</nowiki></ref> Injili zinonyesha pia imani kwamba ufalme huo ulionekana katika matendo ya Yesu akiponya wagonjwa ("Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia."<ref>Luka 11:20 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.11.20.SRUVDC</nowiki></ref>). Kufuatana na Luka 17:21 Ufalme wa Mungu "umo ndani yenu", lakini hakuna ishara zinazoweza kuonyeshwa "huko au kule".<ref>Luka 17:21 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/luk.17.21.SRUVDC</nowiki></ref>
Wengine wameona mvutano katia matamshi ya Yesu kati ya matarajio ya utawala wa Mungu unaokuja wakati ujao na ishara ya ufalme uliofika tayari. Njia nyingine kuelewa ufalme wa Mungu ni kuuona kama mchakato ulioanza tayari lakini haukukamilika bado. Uelewa huo unaonekana katika Waraka wa Yohane ukisema "Sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa."<ref>1 Yohana 3:2 <nowiki>https://bible.com/bible/1817/1jn.3.2.SRUVDC</nowiki></ref>
.
== Marejeo ==
{{Marejeo}}<references />[[:Jamii:Biblia]]
fh5ci13iidd8xtwml6yki4vsvsx66q6
Franco na Afro Musica
0
149336
1242132
1234472
2022-08-12T15:27:41Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{futa}}
{{vyanzo}}
'''Franco na Afro Musica''' ni bendi kumi na mbili ya [[Kwasa Kwasa|kwasa kwasa]] kutoka Gabane, [[Botswana]].Bendi hiyo ilianzishwa na Frank "Franco" Lesokwane.<ref> https://www.encyclopedia.com/people/literature-and-arts/music-popular-and-jazz-biographies/franco</ref> Kama ilivyo kawaida katika miduara ya [[soukous]] (rumba ya Kongo) kwa wasanii kwenda kwa majina zaidi ya moja, Lesokwane pia inakwenda kwa majina mengine kadhaa kama Stango, Molamu, Lepako na Chakala.
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
cjuxia4kq9v1xvapzunryzos086vzin
Ngoma ya Sakara
0
149355
1242139
1234457
2022-08-12T15:35:29Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{futa}}
'''Ngoma ya Sakara''' ni mojawapo ya familia nne kuu za ngoma za [[Kiyoruba]] za nchini [[Nigeria]].Sakara pia inatengenezwa na kutumiwa na watu wa Hausa wa [[kaskazini]] mwa Nigeria.Sakara ni [[Ngoma (ala ya muziki)|ngoma]] ya [[Kina (fasihi)|kina]] kifupi yenye mwili wa [[duara]] uliotengenezwa kwa udongo ulio[[Oka (mto)|oka]].<ref><nowiki>http://www.lagbaja.net/drums/sakara.php</nowiki></ref>
== Marejeo ==
<references />
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:ala za muziki]]
[[Jamii:muziki wa Afrika]]
dgi0bfrkqoknth9bpbo821q6immfnxy
Setapa
0
149382
1242138
1234446
2022-08-12T15:33:57Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{futa}}
'''Setapa''' ni [[Ngoma (ala ya muziki)|ngoma]] ya kitamaduni ya [[muziki]] ambayo asili yake ni [[kabila]] la Bangwaketse la kijiji cha Kanye na maeneo ya jirani nchini [[Botswana]], kama vile vijiji vya Sesung, Selokolela na Molapo wa Basadi.<ref><nowiki>https://irssh.com/</nowiki></ref> Ngoma ya asili ya Setapa ilianzishwa na Bangwaketse hapo awali na kwa hivyo inachukuliwa kuwa ngoma ya kabila hilo.Vikundi vya densi huvaa maganda ya hudhurungi miguuni ambayo hutoa [[sauti]] kamili wanapocheza na [[Mwanaume|wanaume]] kwa kawaida hubeba [[filimbi]] na [[Pembe za ndovu|pembe]] za ndama ili kutoa sauti kutoka kwa mkondo wa [[hewa]] au wanapopuliza ndani yao.
== Aina za Ngoma ya Muziki ya Setapa ==
1.Setapa sa dipitse: hii ni aina ya dansi ambayo huchezwa na kutoa sauti ya [[farasi]] anayekimbia ardhini.
2. Setapa sa phathisi: Setapa ambayo hufanywa huku sehemu ya chini ya suruali ikiwa imefungwa kwa kigingi au kutumia suruali fupi iliyotengenezwa kwa ngozi ya [[mnyama]] kwa kawaida hujulikana kama tshega.
3.Setapa sa go goga maoto: Aina ya dansi ya Bangwaketse huchezwa kwa kuburuta [[miguu]] chini. Go goga miguu ni [[Misemo|msemo]] wa Kitswana unaomaanisha kuvuta miguu.
== Marejeo ==
Setapa sa dipitse: hii ni aina ya dansi ambayo huchezwa na kutoa sauti ya farasi anayekimbi[[Ardhi|a ardhi]]<nowiki/>ni 2.Setapatapa sa phathisi: Setapa ambayo hufanywa huku sehemu ya chini ya suruali ikiwa imefungwa kwa kigingi au kutumia suruali fupi iliyotengenezwa kwa ngozi ya mnyama kwa kawaida hujulikana kama tshega.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
so75wuvk6pwh9pso65j17mbqoieftkh
Casper Beatz
0
149396
1242137
1234409
2022-08-12T15:32:55Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{futa}}
'''Daluxolo Casper Mpofu''' (ambaye anaimba kwa jina la '''Casper Beatz'''; alizaliwa Harare, [[Zimbabwe]], [[31 Machi]] [[1994]]) ni mtayarishaji na [[Wasanii|msanii]] wa [[Zimbabwe]] anayejulikana sana.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]]
10vp46vy5d9afq0i7qc2cqqp3u2cwem
Momo Wandel Soumah
0
149443
1242135
1234552
2022-08-12T15:32:15Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
'''Momo Wandel Soumah''' ([[1926]] - [[15 Juni]] [[2003]]) alikuwa [[mwimbaji]], [[mtunzi]], na mpiga saksafoni kutoka [[Guinea]], anayetambulika kwa [[sauti]] yake ya uchangamfu.
Soumah alianza katika [[miaka ya 1950]] akicheza katika bendi za [[dansi]]<ref>https://www.theguardian.com/news/2003/jul/10/guardianobituaries.artsobituaries</ref> lakini ikahamia [[muziki]] wa kisasa wa Guinea kufuatia [[mapinduzi]] ya ki[[Utamaduni|tamaduni]]. Alikuwa sehemu ya Orchestra ya Syli yenye ushawishi mkubwa (asili ya Syli Orchester National) ambayo iliundwa chini ya maagizo ya [[rais]] wa kwanza aliyechaguliwa Sekou Toure.Alikufa ghafla mnamo Juni 15, 2003.<ref>{{Cite web |url=http://www.afropop.org/news_flash.php?ID=210 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-01 |archivedate=2008-09-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080917075858/http://www.afropop.org/news_flash.php?ID=210 }}</ref>Wakati wa kifo chake Soumah alikuwa mkurugenzi wa muziki wa Circus Baobab.<ref>https://www.independent.co.uk/news/obituaries/momo-wandel-soumah-36638.html</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|1926|2003}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Guinea]]
da3vnn1ws3kdqtjsch6pac3p8wpzlpa
1242136
1242135
2022-08-12T15:32:32Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Momo Wandel Soumah''' ([[1926]] - [[15 Juni]] [[2003]]) alikuwa [[mwimbaji]], [[mtunzi]], na mpiga saksafoni kutoka [[Guinea]], anayetambulika kwa [[sauti]] yake ya uchangamfu.
Soumah alianza katika [[miaka ya 1950]] akicheza katika bendi za [[dansi]]<ref>https://www.theguardian.com/news/2003/jul/10/guardianobituaries.artsobituaries</ref> lakini ikahamia [[muziki]] wa kisasa wa Guinea kufuatia [[mapinduzi]] ya ki[[Utamaduni|tamaduni]]. Alikuwa sehemu ya Orchestra ya Syli yenye ushawishi mkubwa (asili ya Syli Orchester National) ambayo iliundwa chini ya maagizo ya [[rais]] wa kwanza aliyechaguliwa Sekou Toure.Alikufa ghafla mnamo Juni 15, 2003.<ref>{{Cite web |url=http://www.afropop.org/news_flash.php?ID=210 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-05-01 |archivedate=2008-09-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080917075858/http://www.afropop.org/news_flash.php?ID=210 }}</ref>Wakati wa kifo chake Soumah alikuwa mkurugenzi wa muziki wa Circus Baobab.<ref>https://www.independent.co.uk/news/obituaries/momo-wandel-soumah-36638.html</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|1926|2003}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Guinea]]
9bi7tfrf4ckjtsqamkhxw05k4erssa0
Laba Sosseh
0
149444
1242134
1234516
2022-08-12T15:31:49Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''Laba Badara Sosseh'''<ref>http://worldmusiccentral.org/2007/09/22/african-salsa-legend-laba-sosseh-dies-in-senegal/</ref>, '''Labba Sosseh'''<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Foroyaa</ref> au '''Laba Sosseh''' (alizaliwa Bathurst, sasa [[Banjul]], [[Gambia]], [[12 Machi]] [[1943]] - [[Dakar]], [[Senegal]], [[20 Septemba]] [[2007]]) alikuwa [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa salsa wa Gambia. Kulingana na Dk. Abdoulaye Saine wa Chuo Kikuu cha [[Miami]], Sosseh anachukuliwa kuwa "mwimbaji mkuu wa salsa wa kizazi chake na labda wa wakati wote katika Senegambia Meja.
== Maisha ya kabla na familia ==
Sosseh alizaliwa huko [[Bathurst Island (Nunavut)|Bathurst]], Gambia ya Uingereza (sasa Banjul, Gambia) tarehe [[12 Machi|12]] [[Machi]] [[1943]]. Kupitia mama yake Aji Mariama Mbaye, anayejulikana kama Aja Jankey Mbaye, anahusiana na mwanamuziki wa Senegal Musa Ngum na [[mwanahistoria]] wa Gambia. Alieu Ebrima Cham Joof. Kupitia babake Dembo Corah Sosseh (au Dembo Kura Sosseh), ana uhusiano na Alieu Ebrima Cham Joof kupitia familia ya Sosseh—Joof. Babu yake mzaa mama Tafsir Demba Njange Mbaye (au Tafsir Demba Mbaye/Mbye), alikuwa kiongozi wa [[dini]] ya [[Uislamu|Kiislamu]] wa [[karne ya 20]] huko Banjul na imamu wa [[msikiti]] wa eneo la Half-Die, [[Banjul]]. Kuna mtaa uliopewa jina la Tafsir Demba huko Banjul. Kama binamu yake Musa, alikuwa kabila la Serer lakini mara kwa mara aliimba kwa Kiwolof. Wazee wake walitoka kwa Ufalme wa kabla ya ukoloni wa Serer wa Saloum na kutoka Banjul<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9780313359118</ref>, Gambia. Mama yake alizaliwa nchini [[Gambia]] lakini anafuata asili ya ukoo wa Kaymor wakati huo sehemu ya [[Ufalme]] wa Saloum, ambao sasa ni sehemu ya [[Senegal]] ya kisasa. Baba yake alizaliwa Senegal. Sosse alikuwa mtoto pekee wa mama yake.Watoto wa Sosseh ni pamoja na: Denzy Sosseh (msanii, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, na mtunzi), Demba Said Sosseh, na Koumba Sosseh.
== Maisha binafsi na kifo ==
Sosseh, ambaye alizaa watoto 27, alifariki "baada ya kuugua kwa muda mrefu". Wenzake Pape Fall na Cheikh Tidiane Tall walitangaza kifo chake kwenye RTS, shirika la habari linalomilikiwa na serikali ya Senegal. Sosseh alizikwa kwenye makaburi ya Waislamu huko Yoff, Dakar.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|1943|2007}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Gambia]]
j78rltc6y4jn6evh156v1s9v982fj4a
Maud Meyer
0
149467
1242133
1234638
2022-08-12T15:30:37Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{futa}}
'''Maud Meyer''' alikuwa [[mwanamke]] [[mwimbaji]] wa [[Jazz]] wa [[Nigeria]] mwenye asili ya [[Sierra Leone]] ambaye alipata umaarufu katika [[miaka ya 1950]]. Alizaliwa huko [[Port Harcourt]], [[Rivers State|Jimbo la Rivers]], nchini [[Nigeria]].
Kuanzia umri mdogo, Meyer alionyeshwa muziki na alijifunza kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa na bendi.<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Maud_Meyer#cite_note-maud-1</ref> Kimuziki, aliathiriwa sana na sauti za Billie Holiday.
"Ujuzi wa Meyer haukuwa na mpinzani; angesikiliza aina yoyote ya muziki na kuubadilisha kuwa jazba mara moja". Kulingana na Emeka Keazor, "Alikuwa mmoja wa waimbaji wakubwa wa muziki wa jazz wa wakati wote."<ref name=":0" />
Meyer alipata wafuasi wengi kwenye saketi za klabu. Pia aliimba na bendi mbalimbali maarufu barani [[Afrika]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Maud_Meyer#cite_note-maud2-2</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Maud_Meyer#cite_note-3</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:wanamuziki wa Nigeria]]
[[Jamii:wanawake wa Nigeria]]
86if0qvlxjnu6r2kr6lplifkl0oxsqa
Mtumiaji:Sagacious boy
2
152849
1242151
1232419
2022-08-12T19:57:31Z
Sagacious boy
54641
Politics
wikitext
text/x-wiki
Afri
can politicisre full of drama
8xkdm84kqhbcm8wbfx3jbayekfq45ch
1242152
1242151
2022-08-12T19:58:29Z
Sagacious boy
54641
Politics
wikitext
text/x-wiki
Afri
can polits is e full of drama
ddrok97h9kxpw4i9fp9mpvzsu1y2a1o
1242153
1242152
2022-08-12T19:58:58Z
Sagacious boy
54641
wikitext
text/x-wiki
Afri
can policits i e full of drama
rkxtwnp4dxqjbsol70qxw6mcyogrs7k
1242155
1242153
2022-08-12T20:00:02Z
Sagacious boy
54641
wikitext
text/x-wiki
Africa on the dinner table
slkapn0blnm4t5aww70ht2w884q9le4
Mtumiaji:Zawadi lupelo
2
155415
1242112
1240259
2022-08-12T14:04:14Z
Zawadi lupelo
34531
wikitext
text/x-wiki
Zawadi Beatus Lupelo, ni mtanzania wa kuzaliwa,Mzaliwa na mwenyeji wa Mbalizi, Mbeya.
Kwa sasa anaishi jijini Dar es salaam ninajishughulisha na shughuli za uwakili wa kujitegemea.
{| border="1" cellpadding="2" cellspacing="0" align="right" width="330px" style="margin-left:15px; border-collapse:collapse; border-color:#f2f2f4"
|----
| align="center" colspan="2" style="letter-spacing:0.5px; background-color:khaki" |
<font size="+1">''' Zawadi Lupelo'''
|----
| Jinsia:|| Mwanaume
|----
| Nilizaliwa:|Mbalizi| Wilaya ya Mbeya[Mkoa wa Mbeya[ Tanzania| EA]]
|----
| makazi:|| [[Dar es Salaam|Dar es Salaam, TZ]]
|----
| Mhitimu wa:|| [[Chuo Kikuu cha Dodoma]] <br> [[Shule ya Sheria ya Tanzania]]
|----
|}
{{Babel|en|sw-2|rw-2}}
kc35qokhcwj5x5uhn1ufgxhbnwxtxdn
1242113
1242112
2022-08-12T14:05:12Z
Zawadi lupelo
34531
wikitext
text/x-wiki
Zawadi Beatus Lupelo, ni mtanzania wa kuzaliwa,Mzaliwa na mwenyeji wa Mbalizi, Mbeya.
Kwa sasa anaishi jijini Dar es salaam ninajishughulisha na shughuli za uwakili wa kujitegemea.
{| border="1" cellpadding="2" cellspacing="0" align="right" width="330px" style="margin-left:15px; border-collapse:collapse; border-color:#f2f2f4"
|----
| align="center" colspan="2" style="letter-spacing:0.5px; background-color:khaki" |
<font size="+1">''' Zawadi Lupelo'''
|----
| Jinsia:|| Mwanaume
|----
| Kuzaliwa:||Mbalizi| Wilaya ya Mbeya[Mkoa wa Mbeya[ Tanzania| EA]]
|----
| makazi:|| [[Dar es Salaam|Dar es Salaam, TZ]]
|----
| Mhitimu wa:|| [[Chuo Kikuu cha Dodoma]] <br> [[Shule ya Sheria ya Tanzania]]
|----
|}
{{Babel|en|sw-2|rw-2}}
e23d2iye4ko05xjgbcedw8bji56bxe6
1242115
1242113
2022-08-12T14:05:48Z
Zawadi lupelo
34531
wikitext
text/x-wiki
Zawadi Beatus Lupelo, ni mtanzania wa kuzaliwa,Mzaliwa na mwenyeji wa Mbalizi, Mbeya.
Kwa sasa anaishi jijini Dar es salaam akijishughulisha na shughuli za uwakili wa kujitegemea.
{| border="1" cellpadding="2" cellspacing="0" align="right" width="330px" style="margin-left:15px; border-collapse:collapse; border-color:#f2f2f4"
|----
| align="center" colspan="2" style="letter-spacing:0.5px; background-color:khaki" |
<font size="+1">''' Zawadi Lupelo'''
|----
| Jinsia:|| Mwanaume
|----
| Kuzaliwa:||Mbalizi| Wilaya ya Mbeya[Mkoa wa Mbeya[ Tanzania| EA]]
|----
| makazi:|| [[Dar es Salaam|Dar es Salaam, TZ]]
|----
| Mhitimu wa:|| [[Chuo Kikuu cha Dodoma]] <br> [[Shule ya Sheria ya Tanzania]]
|----
|}
{{Babel|en|sw-2|rw-2}}
dmx3pi6cur0l32u1ggyjzt7epsesf0b
Siyu
0
156488
1242148
1242018
2022-08-12T19:41:28Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.9
wikitext
text/x-wiki
'''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Pwani ya [[Kenya]].
[[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref>
Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415.<ref>https://books.google.com/books?id=xQP_F_tA7ScC&pg=PA163</ref> Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11|archivedate=2013-05-08|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Waswahili]]
[[Jamii:Kaunti ya Lamu]]
ez9f1pgio06zntfsbbrbq2evupu9jrk
Jabari(maumbile)
0
156523
1242310
1242025
2022-08-13T11:55:44Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{futa}}
'''Jabari;'''Ni jina linalo [[wakilisha]] mtu mwenye [[nguvu]] ,mwili mkubwa na misuli mingi,neno jabari limetoholewa kutoka katika lugha ya [[kiarabu]] ambalo mara nyingi [[hupewa]] vijana wakiume [[wakimarekani]] wenye asili ya [[kiafrika]] ,pia neno jabari linaweza kutumika kama jina la katika [[Lugha ya taifa|lugha]] ya kiarabu.
== <ref>{{Cite web|title=Jabari|url=https://ohbabynames.com/all-baby-names/jabari/|work=Oh Baby! Names|accessdate=2022-08-12|language=en-US}}</ref> ==
== marejeo ==
[[Jamii:Kiarabu]]
[[Jamii:Kiswahili]]
dah1j2zspbb3jwfe0ui1rvxpecad9w6
Kisidi
0
156524
1242311
1242028
2022-08-13T11:56:26Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Lugha ya sidi]] hadi [[Kisidi]]: urahisi wa kuupata
wikitext
text/x-wiki
'''''Sidi''''' pia hujulika kama Habsi (Kihabeshi), ni lugha ya [[Lugha za Kibantu|kibantu]] iliyotoka nchini [[Uhindi|India]], chimbuko lake likiwa ni Kiswahili. Ili ripotiwa kuwa Wasidi bado wanazungumza [[lugha]] iyo katikati karne ya 20 huko Kathiawari, Gujarati.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Sidi_language#cite_note-2</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Kibantu]]
[[Jamii:India]]
[[Jamii:Kiswahili]]
tuliz15hedjlcrxqpncv9ib9j9wyt9f
1242314
1242311
2022-08-13T11:58:21Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Kisidi''' (pia hujulika kama Kihabsi yaani Kihabeshi), ni [[lugha]] ya [[Lugha za Kibantu|Kibantu]] iliyotokea nchini [[Uhindi|India]], chimbuko lake likiwa ni [[Kiswahili]]. Ili ripotiwa kuwa Wasidi bado wanazungumza [[lugha]] hiyo katikati karne ya 20 huko [[Kathiawar]], [[Gujarat]].
== Marejeo ==
[[Jamii:lugha za Kibantu]]
[[Jamii:Lugha za India]]
[[Jamii:Kiswahili]]
dkd2qx9kmm3ksgpwt5ypvor3mnuc4yl
Rajiv Joseph
0
156533
1242052
2022-08-12T12:02:17Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Rajiv Joseph''' (amezaliwa Juni 16, 1974) ni [[mwandishi wa maigizo]] wa Kimarekani. Alitajwa kufika kwenye fainali za [[Tuzo ya Pulitzer ya Drama]] ya 2010 kwa tamthilia yake ya [[Bengal Tiger at the Baghdad Zoo]],<ref>http://www.centertheatregroup.org/tickets/productiondetail.aspx?id=6746</ref> na alishinda [[Tuzo ya Obie]] ya Uchezaji Bora Mpya wa Marekani kwa tamthilia yake ya Describe the Night.<ref>{{Cite web|title=As Broadway Turns to Spectacle, Off-Broadway Nourishes Original Plays|url=https://www.villagevoice.com/2018/05/22/as-broadway-turns-to-spectacle-off-broadway-nourishes-original-plays/|work=The Village Voice|date=2018-05-22|accessdate=2022-08-12|author=Danny King}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
6g0zsz5fclebetslwqcw3gdkuhgzw4z
Gretchen Kafoury
0
156537
1242060
2022-08-12T12:31:04Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Gretchen Miller Kafoury''' (Juni 23, 1942 - Machi 13, 2015) alikuwa mwanasiasa wa Amerika, ambaye alihudumu katika [[Baraza la Wawakilishi la Oregon]], [[Tume ya Kaunti ya Multnomah]], na Halmashauri ya Jiji la [[Portland, Oregon|Portland]]. Alihudumu katika bunge kuanzia 1977-82, Tume ya Kaunti ya Multnomah kutoka 1985-91, na [[Halmashauri ya Jiji la Portland]] kutoka 1991-98.<ref>http://www.oregonlive.com/portland/index.ssf/2012/04/for_women_winning_office_in_po.html</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.ca/books?id=gMJWAAAAYAAJ|title=Oregon Blue Book|date=1979|language=en}}</ref>
Gretchen Miller alikutana na kuolewa na [[Stephen Kafoury]] wakati akihudhuria [[Chuo cha Whitman]] mwanzoni wa miaka ya 1960. Alihitimu chuo cha Whitman mnamo 1963,[https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-oreg-1998dec28_3-1]<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> na shahada ya Muziki.<ref>{{Citation|title=Nigel Jaquiss|date=2022-05-02|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Nigel_Jaquiss&oldid=1085768067|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Wanandoa hao walihamia Portland mwaka wa 1965,<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> lakini muda mfupi baadaye walijiunga na [[Peace Corps]], na Gretchen Kafoury alitumia miaka miwili nchini Iran, akifundisha Kiingereza kama mfanyakazi wa kujitolea wa Peace Corps. Walirudi Portland mwaka 1967, na Gretchen Kafoury akawa mwalimu katika [[Chuo Kikuu cha Jimbo la Portland]].<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
Kafoury alianzisha pamoja tawi la Oregon la [[Shirika la Kitaifa la Wanawake]] (NOW) mwaka wa 1970 na Baraza la Kisiasa la Wanawake la Oregon mwaka wa 1971.<ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury papers - Archives West|url=https://archiveswest.orbiscascade.org/ark:/80444/xv47219/op=fstyle.aspx?t=k&q=kafoury|work=archiveswest.orbiscascade.org|accessdate=2022-08-12}}</ref> Mnamo 1972, alikuwa mmoja wa kikundi kidogo cha wanawake (pia akiwemo [[Mildred Schwab]] <ref>https://web.archive.org/web/20110429084457/http://www.portlandonline.com/omf/index.cfm?a=149247&c=44053</ref>) ambaye alipinga sera ya [[Klabu ya Jiji la Portland]] kuwatenga wanachama wanawake, na kusababisha mabadiliko katika sera ya klabu ya zaidi ya miaka hamsini.<ref>http://www.oregonlive.com/politics/index.ssf/2011/09/post_51.html</ref>
Kufikia 1975, Gretchen na Stephen Kafoury walikuwa wametalikiana, lakini Gretchen aliendelea kutumia jina lake la ndoa.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-oreg-1975nov9_9-0</ref> Baadaye aliolewa mara mbili zaidi,<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-duin-1991_10-0</ref> ndoa yake ya mwisho ikiisha mnamo 1998,<ref>https://web.archive.org/web/20150316071531/http://www.bluedevils59.com/page.php?groupingID=registration&page_num=51&sort=4&limit=5</ref> lakini aliendelea kutumia jina Gretchen Kafoury au Gretchen Miller Kafoury.
Mume wa zamani wa Gretchen Kafoury, Stephen Kafoury, alimtangulia katika bunge, na bintiye [[Deborah Kafoury]] alihudumu kwa mihula miwili huko pia, akiwemo mmoja kama kiongozi wa wachache.<ref>{{Cite web|title=Dynasty shines for the left|url=https://archive.ph/GLlRi|work=archive.ph|date=2013-02-16|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Alichaguliwa katika Halmashauri ya Jiji la Portland mwaka wa 1990, na kuhudumu katika baraza hilo kuanzia 1991 hadi 1998. <ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury, longtime Oregon political leader, dies at 72|url=https://www.oregonlive.com/portland/2015/03/gretchen_kafoury_former_city_a.html|work=oregonlive|date=2015-03-14|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Kasia Hall {{!}} The Oregonian/OregonLive}}</ref>
Kuanzia mwaka wa 1999, Kafoury alikuwa mwalimu katika [[Chuo Kikuu cha Jimbo la Portland]], akifundisha madarasa yanayohusiana na ukosefu wa makazi, umaskini, na maendeleo ya jamii.<ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury Biographical Statement {{!}} Multnomah County|url=https://web.archive.org/web/20120423033439/http://web.multco.us/records/gretchen-kafoury-biographical-statement|work=web.archive.org|date=2012-04-23|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Alikufa mnamo Machi 13, 2015, akiwa na umri wa miaka 72, kwa sababu za asili nyumbani kwake Portland. Aliacha binti zake, Deborah na Katharine Kafoury.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
8z3pvaxptks3a4hfc7r0nfxzsnmpllo
1242306
1242060
2022-08-13T10:59:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.9
wikitext
text/x-wiki
'''Gretchen Miller Kafoury''' (Juni 23, 1942 - Machi 13, 2015) alikuwa mwanasiasa wa Amerika, ambaye alihudumu katika [[Baraza la Wawakilishi la Oregon]], [[Tume ya Kaunti ya Multnomah]], na Halmashauri ya Jiji la [[Portland, Oregon|Portland]]. Alihudumu katika bunge kuanzia 1977-82, Tume ya Kaunti ya Multnomah kutoka 1985-91, na [[Halmashauri ya Jiji la Portland]] kutoka 1991-98.<ref>http://www.oregonlive.com/portland/index.ssf/2012/04/for_women_winning_office_in_po.html</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.ca/books?id=gMJWAAAAYAAJ|title=Oregon Blue Book|date=1979|language=en}}</ref>
Gretchen Miller alikutana na kuolewa na [[Stephen Kafoury]] wakati akihudhuria [[Chuo cha Whitman]] mwanzoni wa miaka ya 1960. Alihitimu chuo cha Whitman mnamo 1963,[https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-oreg-1998dec28_3-1]<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> na shahada ya Muziki.<ref>{{Citation|title=Nigel Jaquiss|date=2022-05-02|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Nigel_Jaquiss&oldid=1085768067|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Wanandoa hao walihamia Portland mwaka wa 1965,<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> lakini muda mfupi baadaye walijiunga na [[Peace Corps]], na Gretchen Kafoury alitumia miaka miwili nchini Iran, akifundisha Kiingereza kama mfanyakazi wa kujitolea wa Peace Corps. Walirudi Portland mwaka 1967, na Gretchen Kafoury akawa mwalimu katika [[Chuo Kikuu cha Jimbo la Portland]].<ref>{{Citation|title=Gretchen Kafoury|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Gretchen_Kafoury&oldid=1084966403|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
Kafoury alianzisha pamoja tawi la Oregon la [[Shirika la Kitaifa la Wanawake]] (NOW) mwaka wa 1970 na Baraza la Kisiasa la Wanawake la Oregon mwaka wa 1971.<ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury papers - Archives West|url=https://archiveswest.orbiscascade.org/ark:/80444/xv47219/op=fstyle.aspx?t=k&q=kafoury|work=archiveswest.orbiscascade.org|accessdate=2022-08-12}}</ref> Mnamo 1972, alikuwa mmoja wa kikundi kidogo cha wanawake (pia akiwemo [[Mildred Schwab]] <ref>https://web.archive.org/web/20110429084457/http://www.portlandonline.com/omf/index.cfm?a=149247&c=44053</ref>) ambaye alipinga sera ya [[Klabu ya Jiji la Portland]] kuwatenga wanachama wanawake, na kusababisha mabadiliko katika sera ya klabu ya zaidi ya miaka hamsini.<ref>http://www.oregonlive.com/politics/index.ssf/2011/09/post_51.html</ref>
Kufikia 1975, Gretchen na Stephen Kafoury walikuwa wametalikiana, lakini Gretchen aliendelea kutumia jina lake la ndoa.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-oreg-1975nov9_9-0</ref> Baadaye aliolewa mara mbili zaidi,<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Gretchen_Kafoury#cite_ref-duin-1991_10-0</ref> ndoa yake ya mwisho ikiisha mnamo 1998,<ref>https://web.archive.org/web/20150316071531/http://www.bluedevils59.com/page.php?groupingID=registration&page_num=51&sort=4&limit=5</ref> lakini aliendelea kutumia jina Gretchen Kafoury au Gretchen Miller Kafoury.
Mume wa zamani wa Gretchen Kafoury, Stephen Kafoury, alimtangulia katika bunge, na bintiye [[Deborah Kafoury]] alihudumu kwa mihula miwili huko pia, akiwemo mmoja kama kiongozi wa wachache.<ref>{{Cite web|title=Dynasty shines for the left|url=https://archive.ph/GLlRi|work=archive.ph|date=2013-02-16|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Alichaguliwa katika Halmashauri ya Jiji la Portland mwaka wa 1990, na kuhudumu katika baraza hilo kuanzia 1991 hadi 1998. <ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury, longtime Oregon political leader, dies at 72|url=https://www.oregonlive.com/portland/2015/03/gretchen_kafoury_former_city_a.html|work=oregonlive|date=2015-03-14|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Kasia Hall {{!}} The Oregonian/OregonLive}}</ref>
Kuanzia mwaka wa 1999, Kafoury alikuwa mwalimu katika [[Chuo Kikuu cha Jimbo la Portland]], akifundisha madarasa yanayohusiana na ukosefu wa makazi, umaskini, na maendeleo ya jamii.<ref>{{Cite web|title=Gretchen Kafoury Biographical Statement {{!}} Multnomah County|url=http://web.multco.us/records/gretchen-kafoury-biographical-statement|work=web.archive.org|date=2012-04-23|accessdate=2022-08-12|archivedate=2012-04-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20120423033439/http://web.multco.us/records/gretchen-kafoury-biographical-statement}}</ref>
Alikufa mnamo Machi 13, 2015, akiwa na umri wa miaka 72, kwa sababu za asili nyumbani kwake Portland. Aliacha binti zake, Deborah na Katharine Kafoury.
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
7s5tj0nuxtfjh2sifrbf7r50em71kn2
Alice Kang
0
156538
1242061
2022-08-12T12:35:02Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Alice J. Kang''' ni Profesa Mshiriki wa Sayansi ya Siasa katika [[Chuo Kikuu cha Nebraska-Lincoln]].<ref>{{Cite web|title=Alice J. Kang {{!}} Department of Political Science|url=https://polisci.unl.edu/alice-kang|work=polisci.unl.edu|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
2xvxw5etxojj3fx0a5lnm4j5v4ikoif
Jambo (salamu)
0
156539
1242062
2022-08-12T12:38:24Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Jambo''' Ni salamu au salamu ya [[Kiswahili]]. pia inafanana kimaana na neno la [[Kiingereza]] Hello.
== Kiisimu ==
Hasa, Jambo ni neno la [[lugha ya Kiswahili]] ambalo ni mali ya madaraja ya [[nomino]] 5-6 kwa "pamoja". Jambo kimsingi humaanisha 'jambo',<ref name=":0">https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/0-582-62701-X</ref> kwa maana ya kibiashara, kitaaluma,umma au biashara binafsi.<ref>http://www.merriam-webster.com/dictionary/affair</ref>
kisasilini kutoka amba (-amba) ikimaanisha kusema. Ni mshirika wa Kizulu. Maana ya pili ina kushughulika na jambo au suala.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Lugha ya Mtaani (Kiswahili)]]
gqyh6kgj763mm0ar624ito8w1tgjecm
Chama cha Kiswahili cha Taifa
0
156540
1242063
2022-08-12T12:38:51Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Chama cha Kiswahili cha Taifa''''' (CHAKITA) ni taasisi ya Kenya iliyoanzishwa mwaka 1998 inayohusika na ukuzaji wa lugha ya Kiswahili nchini [[Kenya]].<ref>{{Citation|title=Chama cha Kiswahili cha Taifa|date=2022-01-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Chama_cha_Kiswahili_cha_Taifa&oldid=1066933816|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Mwenyekiti mwanzilishi akiwa ni Profesa Kimani Njogu, mhitimu wa Isimu katika [[Chuo Kikuu cha Yale]].<ref>{{Citation|title=Chama cha Kiswahili cha Taifa|date=2022-01-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Chama_cha_Kiswahili_cha_Taifa&oldid=1066933816|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
Shughuli kuu za CHAKITA ni kuelekeza utafiti katika lugha ya [[kiswahili]] na fasihi kwa uratibu na taasisi za kitaaluma ili kuendeleza kiswahili kitumike kama njia ya maendeleo ya taifa.
== Rejea pia ==
* [[Baraza la Kiswahili la Taifa|Baraza la kiswahili la Taifa]] (BAKITA) [[Tanzania]]
== Marejeo ==
[[Jamii:BAKITA]]
[[Jamii:CHAKITA]]
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Kenya]]
hy5futdsigr69tcji3j9te20k7nelzj
Lloyd Kaufman
0
156541
1242065
2022-08-12T12:42:22Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Stanley Lloyd Kaufman Jr.''' (amezaliwa Disemba 30, 1945) ni muongozaji filamu wa Kimarekani, mwandishi, mtayarishaji na mwigizaji. Pamoja na mtayarishaji [[Michael Herz]], yeye ndiye mwanzilishi mwenza wa studio ya filamu ya [[Troma Entertainment]], na muongozaji wa filamu zao nyingi za kipengele, kama vile [[The Toxic Avenger]] na Tromeo na Juliet. Mbinu nyingi alizotumia katika [[Troma]] zimepewa sifa kwa kufanya tasnia ya filamu kufikiwa zaidi na kugawanyika. <ref>{{Cite web|title=Welcome to Tromaville, the Bloodstained, Toxic-Goo-Drenched, Titty-Shaking Capital of Independent Film|url=https://www.theringer.com/movies/2018/10/17/17979564/troma-movie-studio-lloyd-kaufman-toxic-avenger-independent-film|work=The Ringer|date=2018-10-17|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
rbe0dqcaox8xzfvq4i9bh6r05eaobd5
Tragelaphus scriptus
0
156542
1242066
2022-08-12T12:45:09Z
ChriKo
35
Redirect mpya
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Pongo]]
[[Jamii:Tragelaphus]]
tdy3z5cu117jq5o8s4zlcaf6ai98d1y
Sapreet Kaur
0
156543
1242067
2022-08-12T12:52:08Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Sapreet Kaur Saluja''',<ref>{{Cite web|title=Leadership Connect|url=https://www.leadershipconnect.io/|work=Leadership Connect|accessdate=2022-08-12|language=en-US}}</ref> kwa kawaida hujulikana kama '''Sapreet Kaur''' <ref>https://americankahani.com/community/indian-american-civil-rights-activist-sapreet-k-saluja-named-executive-director-of-new-york-cares/</ref>, (amezaliwa Mei 7, 1976) ni mwanaharakati wa haki za kiraia wa Marekani ambaye aliwahi kuwa mkurugenzi mtendaji wa [[Muungano wa Sikh]] nchini Marekani kuanzia 2009 hadi 2017.<ref>{{Cite web|title=Sapreet Kaur|url=https://www.sikhcoalition.org/people/sapreet-kaur/|work=Sikh Coalition|accessdate=2022-08-12|language=en-US|author=sikhteam}}</ref> Mnamo Januari 2013, alikua [[Sikh]] wa kwanza kuongea katika [[Ibada ya Uzinduzi wa Rais]] huko [[Washington D.C]]. <ref>http://www.sikhcoalition.org/advisories/2013/making-history-inaugural-prayer-service-includes-first-sikh-speaker</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
f7b86502iscoh1kafm2zv5kxer3114g
Marissa Aroy
0
156544
1242068
2022-08-12T12:58:50Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== '''Marissa Aroy''' ==
'''Marissa Aroy''' ni [[Mwongozaji wa filamu|mwongozaji]] na [[mtayarishaji wa filamu]] wa [[Marekani]] mwenye [[asili]] ya [[Ufilipino]]. Aliongoza utayarishaji wa [[makala]] za Sikhs huko Marekani, ambazo zilipokea tuzo ya Emmy kwa "mpango bora wa historia", na The Delano Manongs. Pia Aroy ni [[mwanzilishi]] wa [[Kampuni|kampun]]<nowiki/>i ya [[uzalishaji]] [[filamu]] iitwayo Media Factory. Aroy hivi majuzi aliorodheshwa kama mmoja wa "Wamarekani wenye asili ya [[Asia]] mashuhuri katika [[Burudani]]" na Kituo cha Habari cha Asian American na kutajwa na BuzzFeed kama mmoja wa "Wamarekani wenye asili ya Ufilipino maarufu zaidi nchini [[Marekani]]".<ref>{{Citation|title=Mutua uulnera: Dying Together in Silius’ Saguntum|date=2016-01-01|url=http://dx.doi.org/10.1163/9789004324664_011|work=Family in Flavian Epic|pages=228–247|publisher=BRILL|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Elimu ==
Aroy alipata [[Shahada ya Awali|shahada]] yake ya kwanza ya [[Saikolojia]] katika Chuo cha Boston na akamalizia [[Shahada ya uzamili|Shahada ya Uzamili]] ya [[Uandishi wa habari|Uandishi wa Habari]] katika Chuo Kikuu cha California,Berkeley. Kwa miaka miwili alafanyakazi katika [[Kikosi cha Amani|kikosi cha amani]] katika [[Jamhuri ya Dominikana]] akifanya kazi katika sekta ya afya ya umma na kutengeneza filamu kuhusu [[VVU]][[Ukimwi|/UKIMWI]] katika Jamhuri ya Dominikana. Kama Msomi, Aroy alirekodi simulizi kuhusu athari za uhamiaji kwenye [[familia]] moja inayoitwa Recipe.
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
fu0q2x3bivcv6xqnzostnmmz3zlfv1w
Charles C. Adams Jr.
0
156545
1242069
2022-08-12T13:06:23Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== '''Charles C. Adams Jr.''' ==
'''Charles C. Adams Jr'''. (alizaliwa 25 Agosti, mwaka 1947) ni [[Balozi]] wa zamani wa [[Marekani]] nchini [[Ufini]].<ref>{{Citation|title=Walker, Charls E., (24 Dec. 1923–2 June 2015), Consultant, Washington, DC, since 1973|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u38553|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref>
Hapo awali, alikuwa [[mtaalamu]] wa usuluhishi wa kimataifa wa Marekani [2] na [[mwanaharakati]] wa kisiasa na kijamii wa Marekani.
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
o55iaidq6f6zfs6arq3j3v3w30geq5o
James H. Fowler
0
156546
1242071
2022-08-12T13:09:21Z
Billy pixel
55238
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''James H. Fowler''' (Alizaliwa 18, 1970)<ref>{{Cite web|title=Fowler, James H., 1970- - LC Linked Data Service: Authorities and Vocabularies {{!}} Library of Congress, from LC Linked Data Service: Authorities and Vocabularies (Library of Congress)|url=https://id.loc.gov/authorities/names/n2006058420.html|work=id.loc.gov|accessdate=2022-08-12|author=The Library of Congress}}</ref> ni Mmarekani [[mwanasayansi wa jamii]] mtaalam katika [[mtandao wa kijamii]], [[Ushirikiano|ushirikiano,]][[ushiriki wa kisiasa,]] na [[siasa za genosia]] (utafiti wa msingi wa maumbile ya tabia ya kisiasa). Kwa sasa ni profesa wa jenetiki ya matibabu ndani ya [[shule ya matibabu]] na profesa wa sayansi ya siasa katika mgawanyiko wa sayansi ya kijamii katika [[chuo kikuu cha California, San Diego]]. Aliitwa [[2010 mwenzetu wa John Simon Guggenheim Foundation.]]<ref>http://www.gf.org/fellows/16759-james-fowler</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
lcv5kf4rje0qjzz5cjrjone88j06ncw
Joe Kennedy III
0
156547
1242072
2022-08-12T13:11:30Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Joseph Patrick Kennedy III''' (amezaliwa Oktoba 4, 1980) ni wakili na mwanasiasa wa Marekani ambaye aliwahi kuwa [[mwakilishi wa Marekani]] kwenye [[wilaya ya 4 ya bunge la Massachusetts]] kuanzia 2013 hadi 2021. Mwanachama wa [[Democratic Party]], aliwakilisha wilaya inayoenea kutoka vitongoji vya magharibi mwa Boston. kwa [[Pwani ya Kusini]] ya jimbo hilo. Alifanya kazi kama wakili msaidizi wa wilaya katika ofisi za [[Cape na Visiwa]] na [[Middlesex County]], [[Massachusetts]], kabla ya kuchaguliwa kwake kuwa Congress. Mnamo Januari 2021, alikua mchambuzi wa CNN. <ref>{{Cite web|title=Joe Kennedy becomes CNN commentator|url=https://www.bostonherald.com/2021/01/29/joe-kennedy-becomes-cnn-commentator/|work=Boston Herald|date=2021-01-29|accessdate=2022-08-12|language=en-US}}</ref>
Miongoni mwa [[familia ya Kennedy]], yeye ni mtoto wa Mwakilishi wa Marekani [[Joseph P. Kennedy II]], mjukuu wa [[Seneta wa Marekani]] na [[Mwanasheria Mkuu wa Marekani Robert F. Kennedy]], na mjukuu wa Rais wa Marekani [[John F. Kennedy]] na Seneta wa Marekani [[Ted Kennedy]].
Mzaliwa wa Boston, Kennedy alilelewa katika eneo hilo na kaka yake pacha, Matthew Rauch Kennedy. Baada ya kuhitimu kutoka [[Chuo Kikuu cha Stanford]] na shahada ya kwanza, alikaa miaka miwili katika [[Jamhuri ya Dominika]] kama mwanachama wa [[Peace Corps]], kabla ya kupata [[Daktari wa Juris]] katika [[Shule ya Sheria ya Harvard]] mnamo 2009. Alijiuzulu kama wakili msaidizi wa wilaya mapema 2012. kuwania kiti cha Baraza la Wawakilishi la Marekani kinachoshikiliwa na [[Barney Frank]] anayestaafu. Kennedy aliapishwa kuwa ofisini mnamo Januari 2013, na alikaa katika [[Kamati ya Bunge ya Nishati na Biashara]].
Mnamo 2020, badala ya kugombea tena kiti chake cha Baraza, Kennedy alipinga bila mafanikio Seneta aliye madarakani [[Ed Markey]] kwa uteuzi wa Kidemokrasia katika [[uchaguzi wa Seneti ya Massachusetts Marekani]]. <ref>{{Cite web|title=Markey overcomes Kennedy challenge in Massachusetts|url=https://www.politico.com/news/2020/09/01/massachusetts-primary-markey-kennedy-407078|work=POLITICO|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Stephanie Murray}}</ref>Alifuatwa na mwanademokrasia mwenzake [[Jake Auchincloss]].<ref>{{Cite web|title=Jake Auchincloss swings left in Congress amid lingering progressive skepticism - The Boston Globe|url=https://www.bostonglobe.com/2021/02/15/nation/jake-auchincloss-swings-left-congress-amid-lingering-progressive-skepticism/|work=BostonGlobe.com|accessdate=2022-08-12|language=en-US|author=Liz Goodwin, Victoria McGrane Globe Staff, Updated February 15, 2021, 4:41 p m Share on Facebook Share on TwitterView Comments}}</ref> Tangu kuondoka madarakani, ameanzisha Project Groundwork, ambayo inalenga katika kukuza juhudi za upangaji wa jumuiya kote Marekani. <ref>{{Cite web|title=After Senate defeat, Joe Kennedy III plots new path in politics - The Boston Globe|url=https://www.bostonglobe.com/2021/01/27/metro/after-senate-defeat-joe-kennedy-iii-plots-new-path-politics/|work=BostonGlobe.com|accessdate=2022-08-12|language=en-US|author=Victoria McGrane Globe Staff, Updated January 26, 2021, 9:01 p m Share on Facebook Share on TwitterView Comments}}</ref> Pia amejiunga na bodi kadhaa za ushauri na kuanza kuonekana kama mchambuzi wa kisiasa wa [[CNN]].<ref>{{Cite web|title=Joe Kennedy becomes CNN commentator|url=https://www.bostonherald.com/2021/01/29/joe-kennedy-becomes-cnn-commentator/|work=Boston Herald|date=2021-01-29|accessdate=2022-08-12|language=en-US}}</ref> Mnamo Juni 4, 2021, Rais Biden alimteua kuwa mshiriki wa [[Tume ya Rais kuhusu Ushirika wa Ikulu ya Marekani]]. <ref>{{Cite web|title=President Biden Appoints Members to President’s Commission on White House Fellowships|url=https://www.whitehouse.gov/briefing-room/statements-releases/2021/06/04/president-biden-appoints-members-to-presidents-commission-on-white-house-fellowships/|work=The White House|date=2021-06-04|accessdate=2022-08-12|language=en-US|author=The White House}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
ldzrwyz756uyo27luq7h0jcuehx8nlp
Kisabaki
0
156548
1242073
2022-08-12T13:12:28Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''lugha ya Sabaki''' Ni lugha ya [[kibantu]] ya kiswahili kutoka [[pwani]], iliyopewa jina la [[Mto Sabaki]] ni neno la [[Poromoko la theluji|Pokomo]] kwa Samaki Mkubwa au [[Mamba (mnyama)|Mamba]]. kwa kuongezea kwa lugha ya kiswahili, lugha ya sabaki inahusisha Ilwana (Malakote) na pokomo kwenye [[Tana (mto)|Mto Tana]] Nchini Kenya,Mijikenda, inayozungumzwa katika pwani ya Kenya; Kikomoro,katika Visiwa vya komoro; na Mwani,inayozungumzwa kaskazini mwa Msumbiji.<ref>{{Citation|title=Sabaki languages|date=2022-01-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sabaki_languages&oldid=1068259938|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>Katika uainishaji wa [[kijiografia]] wa Guthrie, [[Kiswahili]] kiko katika eneo la Kibantu G, ambapo lugha nyingine za Kisabaki ziko katika ukanda E70, kwa kawaida chini ya jina.
== Lugha ==
* [[:en:Ilwana_language|Ilwana]] (Malakote) (E.701)
* [[:en:Pokomo_language|Pokomo]] (E.71)
* [[:en:Mijikenda_language|Mijikenda]] (E.72–73) (kasikazini (Nyika), Segeju, Digo, Degere)
* [[:en:Comorian_languages|Comorian languages]]<ref>{{Citation|title=Sabaki languages|date=2022-01-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sabaki_languages&oldid=1068259938|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> kugawanywa katika makundi mawili, Magharibi (Shimwali na Shingazidja) na Mashariki (Shimaore na Shindzwani)
* [[:en:Mwani_language|Mwani]] (Msumbbiji)
* [[:en:Makwe_language|Makwe]] [[:en:Swahili_language|Swahili]] (Brava, Somalia), Coastal Swahili (Lamu, Mombasa, Zanzibar), Pemba Swahili (Pemba, Mafia)
Kwa kuongeza, kuna krioli na pijini kadhaa za Kiswahili: Cutchi-Swahili, Kiswahili), Kikeya.Kingereza, Sheng, Shaba kiswahili (Katanga Swahili, Lubumbashi Swahili), Ngwana (Congo kiswahili), Kikeya.
== Marejeo ==
[[Jamii:Lugha]]
47fvbou5tktwt9ez0m2ljnb89btm2ac
Kins Ferna's
0
156549
1242074
2022-08-12T13:12:52Z
EddymiltonEdm2k
55453
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji. '''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko. ==maisha ya kimaendeleo== Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdo...'
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
268pzh4mdm7n17vtt0qqf1o15yishe9
1242078
1242074
2022-08-12T13:23:12Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
ggs4flxxe959w5dve0gi1zj3yb0uo7k
1242091
1242078
2022-08-12T13:42:40Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
aerla7kz6lua8uvk8dks6xz0ododknw
1242143
1242091
2022-08-12T17:29:42Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
{{computer translation}}
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
rkx3idf66oxamkfvlq1iejvo3pydkxo
1242144
1242143
2022-08-12T17:30:29Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
9gl4cujfgwucano8urkj7ebrzovvhoo
1242145
1242144
2022-08-12T17:45:23Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{nukuu mtandao|url=https://mdundo.com/a/271056|kichwa=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|tovuti=Mdundo}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{nukuu mtandao|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s}}</ref><ref>{{nukuu mtandao|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
fjnvzysstporv3i8yu0j995hf1nkuum
1242146
1242145
2022-08-12T17:57:02Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
l14myp7qrjf5funih9e49bv8p6g4ucx
1242147
1242146
2022-08-12T17:57:54Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake. Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii: Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
0lxksaw9fikdh32bp8dss04qid8l7qk
1242210
1242147
2022-08-12T23:57:12Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake.
Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Alizaliwa 2004]]
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Wasanii wa Muziki]]
[[Jamii:Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wazalishaji wa Kimataifa]]
noe1fs20lp2gv9ccqzx0rwl600jxlna
1242211
1242210
2022-08-12T23:59:49Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake.
Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Mtayarishaji]]
[[Jamii:Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
27x7eksqwuvf2sp1h6w3cpkl5rv172s
1242212
1242211
2022-08-13T00:00:53Z
EddymiltonEdm2k
55453
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anayejulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
==maisha ya kimaendeleo==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake.
Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
===Marejeo===
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
cccpd7iic7siawlrtflg74h4v8bobnb
1242215
1242212
2022-08-13T05:44:26Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''' anajulikana kwa jina lake la kitaalamu '''Kins Ferna's''' ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtunzi]] wa nyimbo na mtayarishaji.<ref>{{cite web|url=https://mdundo.com/a/271056|title=Kins Ferna's Online songs and bio of the artist|work=Mdundo}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople.com|accessdate=10 August 2022}}</ref>
'''Fernando Tomo Lopes Cardoso''', anayejulikana kwa jina lake la kisanii '''Kins Ferna's''', ni msanii wa [[Msumbiji]], [[mtayarishaji]], [[IT]] na mkurugenzi wa masoko.
== Maisha ya kimaendeleo ==
Fernando Tomo Lopes Cardoso au Kins Ferna's, amekuwa na ndoto ya kuwa msanii wa muziki tangu akiwa mdogo.<ref>{{cite web|url=https://pt.everybodywiki.com/Kins_Ferna%27s|title=Kins Ferna's|work=everybodywiki}}</ref><ref>{{cite web|url=https://infofamouspeople.com/famous/kins-fernas.htm|title=KINS FERNA'S - BIOGRAPHY, AGE, WIKI, SPOTIFY, TIKTOK, FACEBOOK, FACTS AND FAMILY|work=infofamouspeople}}</ref>
Alizaliwa tarehe 18 Juni 2004 huko Beira, Msumbiji. Ambapo alilelewa na wazazi wake.
Alihudhuria Shule ya Msingi Kamili ya De Matacuane kwa kiwango cha msingi na Shule ya Sekondari ya Samora Moisés Machel kwa kiwango cha sekondari.
Kins Ferna's anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii ambao, kwa sababu ya urahisi wake, huhamasisha huruma ya watu wengi katika kila hatua anayofanya. Kuanzia umri mdogo, Kins Ferna's aliamua kuweka dau kwamba atakuwa kiumbe ambaye angeishi kwa ajili ya wengine.
Katika hatua zake zote, Kins Ferna's imependelea kampeni za mshikamano ambazo zinalenga kuwanufaisha watu wasiojiweza. Miongoni mwa mipango hii, Kins Ferna alialika Wasumbiji kuendeleza vitendo vya ''Natal Esperança'', ambavyo vinathamini utoaji wa chakula kwa watu wasio na makazi au wengine wanaohitaji Mkesha wa Krismasi. Vile vile, Kins Ferna's tayari imefanya vitendo kwa ajili ya wazee, pamoja na watoto wenye mahitaji tofauti.
Ni muhimu kusisitiza kwamba katika kila kipindi cha redio, Kins Ferna hubeba furaha na mshikamano mwingi, ambapo lengo lake kuu ni kufanya mema kwa wengine. Mapenzi yake ya muziki ni, juu ya yote, kufikisha furaha na wema kwa wengine, kwani anaelewa kuwa hii ndiyo dhamira yake duniani.
==Kazi ya muziki==
Kins Ferna akiwa na umri wa miaka 13 tayari alifikiria kuwa sehemu ya kikundi cha muziki. Lakini alibadili mawazo yake na kwenda kurekodi wimbo wake wa kwanza katika studio karibu na nyumba yake.
Baada ya muda Kins Ferna's kutambulishwa kwenye tasnia ya muziki, alitoa wimbo wake wa kwanza "De boa" kwenye blogger na baada ya miezi michache alitoa muziki wake kwenye Spotify na majukwaa mengi ya utiririshaji ya kimataifa kama Deezer na zaidi...
Kins Ferna's anafahamika zaidi kwa nyimbo zake "Sunset" na "Hope", ambazo zimemletea zaidi ya mitiririko 5,000 kwenye Spotify na majukwaa mengine ya kutiririsha muziki. Na akaunda chaneli ya YouTube ambayo anaitumia kwa muziki na pia kufundisha, kutoa vidokezo, kushauri na kusaidia watayarishaji na wasanii wengine kufaa katika biashara ya muziki.
==discography==
(2019) De Boa - single
(2021) Machweo ya Jua - Mtu Mmoja
(2022) Aina ya Kuhuzunisha Beat - moja
(2022) Tumaini - moja
==albamu==
(2022) Mapinduzi Juz. 1
(2022) Hatima
==Tuzo na Uteuzi==
Tuzo za Muziki za Msumbiji (MMA)
Tuzo za Muziki za Msumbiji ni tuzo za kila mwaka zinazotolewa na BCI ili kutambua mafanikio bora katika tasnia ya muziki ya Msumbiji.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: watunzi]]
[[Jamii:Msumbiji]]
[[Jamii:Wasanii wa Msumbiji]]
tishce0kzmga3r4cx6b0nfigr35mxln
Joseph M. Acaba
0
156550
1242075
2022-08-12T13:16:09Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Joseph M. Acaba ==
Joseph Michael "Joe" Acabá (amezaliwa tarehe 17 Mei, mwaka 1967) ni [[mwalimu]] katika [[Chuo Kikuu]] cha Puerto Rican, mwanajiolojia wa [[maji]], na [[mwanaanga]] wa [[NASA]].<ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> Mnamo Mei mwaka 2004 alikua mtu wa kwanza kutoka Puerto Rican kutajwa kama mwanaanga mwanafunzi wa NASA, ambapo alichaguliwa kama mshiriki katika mafunzo ya anga ya NASA katika kundi namba 19. <ref>{{Cite journal|date=2011|title=NASA astronaut awarded UK honor|url=http://dx.doi.org/10.1063/pt.5.024938|journal=Physics Today|doi=10.1063/pt.5.024938|issn=1945-0699}}</ref> Alimaliza mafunzo yake mnamo Februari 10 mwaka 2006, na akapewa ndege yenye namba za usajili STS-119, ambayo iliruka kutoka Machi 15 hadi Machi 28 mwaka 2009, ili kupeleka seti ya mwisho ya safu za [[jua]] kwenye Kituo cha [[Kimataifa]] cha Anga za Juu. <ref>{{Cite journal|last=Eberhart|first=J.|date=1986-10-11|title=NASA Sets Shuttle Launch Date, Schedule|url=http://dx.doi.org/10.2307/3971089|journal=Science News|volume=130|issue=15|pages=229|doi=10.2307/3971089|issn=0036-8423}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
3k3yyim2977qwepbfvyv42ayeis7hlo
1242110
1242075
2022-08-12T14:02:21Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Joseph M. Acaba ==
'''Joseph Michael "Joe" Acabá''' (amezaliwa tarehe 17 Mei, mwaka 1967) ni [[mwalimu]] katika [[Chuo Kikuu]] cha Puerto Rican, mwanajiolojia wa [[maji]], na [[mwanaanga]] wa [[NASA]].<ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> Mnamo Mei mwaka 2004 alikua mtu wa kwanza kutoka Puerto Rican kutajwa kama mwanaanga mwanafunzi wa NASA, ambapo alichaguliwa kama mshiriki katika mafunzo ya anga ya NASA katika kundi namba 19. <ref>{{Cite journal|date=2011|title=NASA astronaut awarded UK honor|url=http://dx.doi.org/10.1063/pt.5.024938|journal=Physics Today|doi=10.1063/pt.5.024938|issn=1945-0699}}</ref> Alimaliza mafunzo yake mnamo Februari 10 mwaka 2006, na akapewa ndege yenye namba za usajili STS-119, ambayo iliruka kutoka Machi 15 hadi Machi 28 mwaka 2009, ili kupeleka seti ya mwisho ya safu za [[jua]] kwenye Kituo cha [[Kimataifa]] cha Anga za Juu. <ref>{{Cite journal|last=Eberhart|first=J.|date=1986-10-11|title=NASA Sets Shuttle Launch Date, Schedule|url=http://dx.doi.org/10.2307/3971089|journal=Science News|volume=130|issue=15|pages=229|doi=10.2307/3971089|issn=0036-8423}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
9wy2ig9uhblqo76yrbul80xpx6601r3
1242159
1242110
2022-08-12T20:10:47Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Joseph Michael "Joe" Acabá''' (amezaliwa tarehe 17 Mei, mwaka 1967) ni [[mwalimu]] katika [[Chuo Kikuu]] cha Puerto Rican, mwanajiolojia wa [[maji]], na [[mwanaanga]] wa [[NASA]].<ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Wolf|first=Eric T.|last2=Kopparapu|first2=Ravi|last3=Haqq-Misra|first3=Jacob|last4=Fauchez|first4=Thomas J.|date=2022-01-01|title=ExoCAM: A 3D Climate Model for Exoplanet Atmospheres|url=http://dx.doi.org/10.3847/psj/ac3f3d|journal=The Planetary Science Journal|volume=3|issue=1|pages=7|doi=10.3847/psj/ac3f3d|issn=2632-3338}}</ref> Mnamo Mei mwaka 2004 alikua mtu wa kwanza kutoka Puerto Rican kutajwa kama mwanaanga mwanafunzi wa NASA, ambapo alichaguliwa kama mshiriki katika mafunzo ya anga ya NASA katika kundi namba 19. <ref>{{Cite journal|date=2011|title=NASA astronaut awarded UK honor|url=http://dx.doi.org/10.1063/pt.5.024938|journal=Physics Today|doi=10.1063/pt.5.024938|issn=1945-0699}}</ref> Alimaliza mafunzo yake mnamo Februari 10 mwaka 2006, na akapewa ndege yenye namba za usajili STS-119, ambayo iliruka kutoka Machi 15 hadi Machi 28 mwaka 2009, ili kupeleka seti ya mwisho ya safu za [[jua]] kwenye Kituo cha [[Kimataifa]] cha Anga za Juu. <ref>{{Cite journal|last=Eberhart|first=J.|date=1986-10-11|title=NASA Sets Shuttle Launch Date, Schedule|url=http://dx.doi.org/10.2307/3971089|journal=Science News|volume=130|issue=15|pages=229|doi=10.2307/3971089|issn=0036-8423}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
56she468ckolm1zykcuknou9mbnpo9q
Kilinux
0
156551
1242076
2022-08-12T13:18:08Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
Kilinux ni mradi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la [[kiswidi]] (SIDA), katika [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]] na IT+46<ref>{{Citation|title=Kilinux|date=2021-12-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Kilinux&oldid=1062564660|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> kwajili ya kutanua matumizi makubwa ya kiswahili.
Inapatikana nchini [[Tanzania]] na inaendeshwa na Linux, inalenga kuunda mfumo wa kitarakilishi kwajili ya uendeshaji katika Kiswahili, ambacho kinazungumzwa na takriban watu milioni 100. Mradi huu ulianzishwa kwa juhudi za pamoja kati ya Chuo kikuu Cha Dar es Salaam na kampuni ya IT+46 kutoka uswidi.
== Historia ==
Mradi wa kilinux ulianza mwaka 2003 kwa uundaji wa faharasa na kikagua herufi kwa (OpenOffice.org).<ref>{{Citation|title=Kilinux|date=2021-12-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Kilinux&oldid=1062564660|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Chuo kikuu cha Dar es Salaam]]
[[Jamii:Uswidi]]
[[Jamii:Kiswahili]]
17yx0wj2llkp6q5z7oi7uo00wheo6dz
1242096
1242076
2022-08-12T13:46:16Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
{{Futa}}
Kilinux ni mradi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la [[kiswidi]] (SIDA), katika [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]] na IT+46<ref>{{Citation|title=Kilinux|date=2021-12-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Kilinux&oldid=1062564660|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> kwajili ya kutanua matumizi makubwa ya kiswahili.
Inapatikana nchini [[Tanzania]] na inaendeshwa na Linux, inalenga kuunda mfumo wa kitarakilishi kwajili ya uendeshaji katika Kiswahili, ambacho kinazungumzwa na takriban watu milioni 100. Mradi huu ulianzishwa kwa juhudi za pamoja kati ya Chuo kikuu Cha Dar es Salaam na kampuni ya IT+46 kutoka uswidi.
== Historia ==
Mradi wa kilinux ulianza mwaka 2003 kwa uundaji wa faharasa na kikagua herufi kwa (OpenOffice.org).<ref>{{Citation|title=Kilinux|date=2021-12-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Kilinux&oldid=1062564660|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Chuo kikuu cha Dar es Salaam]]
[[Jamii:Uswidi]]
[[Jamii:Kiswahili]]
qpcvct5pb6auo501h62h6blp95i60dp
Cynthia Tse Kimberlin
0
156552
1242077
2022-08-12T13:18:37Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Cynthia Tse Kimberlin''' (mzaliwa wa huko [[Ganado, Arizona, Marekani]]; jina la Kichina: [[謝美玲]]; pinyin: Xiè Měilíng; Cantonese: Tse<sup>6</sup> Mei<sup>5</sup>ling<sup>4</sup>) ni mtaalamu wa [[ethnomusicologist]] kutoka Marekani. Yeye ni mkurugenzi mtendaji na mchapishaji wa Taasisi ya Utafiti wa Muziki na MRI Press, iliyoko [[Point Richmond, California]]. Eneo lake kuu la utaalam ni [[muziki wa Afrika]], haswa [[Ethiopia]] na [[Eritrea]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
i5w0l6zeyuradf2qxd8bk4ar79rwkai
1242093
1242077
2022-08-12T13:44:20Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
{{vyanzo}}
{{Futa}}
'''Cynthia Tse Kimberlin''' (mzaliwa wa huko [[Ganado, Arizona, Marekani]]; jina la Kichina: [[謝美玲]]; pinyin: Xiè Měilíng; Cantonese: Tse<sup>6</sup> Mei<sup>5</sup>ling<sup>4</sup>) ni mtaalamu wa [[ethnomusicologist]] kutoka Marekani. Yeye ni mkurugenzi mtendaji na mchapishaji wa Taasisi ya Utafiti wa Muziki na MRI Press, iliyoko [[Point Richmond, California]]. Eneo lake kuu la utaalam ni [[muziki wa Afrika]], haswa [[Ethiopia]] na [[Eritrea]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
c0fhaasw4qxixdabcu6iqp7byeahcy3
JoAnne Kloppenburg
0
156553
1242079
2022-08-12T13:23:30Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''JoAnne F. Kloppenburg''' (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa [[Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin]], akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake [[Madison, Wisconsin|Madison]]. Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika [[Idara ya Haki ya Wisconsin]] na alikuwa mgombea wa [[Mahakama ya Juu ya Wisconsin]] mwaka wa 2011 na 2016.<ref>{{Cite web|title=Wisconsin Court System - Judge JoAnne F. Kloppenburg|url=https://www.wicourts.gov/courts/appeals/judges/kloppenburg.htm|work=www.wicourts.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
ornrz5kzghzpofwzb7fencb0kk4hp86
1242086
1242079
2022-08-12T13:31:49Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
'''JoAnne F. Kloppenburg''' (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa [[Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin]], akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake [[Madison, Wisconsin|Madison]]. Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika [[Idara ya Haki ya Wisconsin]] na alikuwa mgombea wa [[Mahakama ya Juu ya Wisconsin]] mwaka wa 2011 na 2016.<ref>{{Cite web|title=Wisconsin Court System - Judge JoAnne F. Kloppenburg|url=https://www.wicourts.gov/courts/appeals/judges/kloppenburg.htm|work=www.wicourts.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
{{vyanzo}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
r9igfsv5k2a3vba5do3ok1reukk1ev9
1242087
1242086
2022-08-12T13:32:32Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''JoAnne F. Kloppenburg''' (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa [[Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin]], akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake [[Madison, Wisconsin|Madison]]. Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika [[Idara ya Haki ya Wisconsin]] na alikuwa mgombea wa [[Mahakama ya Juu ya Wisconsin]] mwaka wa 2011 na 2016.<ref>{{Cite web|title=Wisconsin Court System - Judge JoAnne F. Kloppenburg|url=https://www.wicourts.gov/courts/appeals/judges/kloppenburg.htm|work=www.wicourts.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
57m4025smxpp0676t35v73yycphe8bf
1242303
1242087
2022-08-13T10:43:27Z
Benix Mby
36425
Maisha binafsi na infobox
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{Infobox officeholder
| honorific-prefix = Mheshimiwa
| name = JoAnne Kloppenburg
| image = JoAnne Kloppenburg.jpg| caption =
|office = Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin
| term_start = August 1, 2012
| term_end =
| predecessor = [[Margaret J. Vergeront]]
| successor =
|birth_name =
| birth_date = {{birth date and age|1953|09|05}}
| birth_place =
| nationality = [[Marekani]]
| party =
| spouse = Jack Kloppenburg
| alma_mater = [[Chuo Kikuu cha Yale]]<br/>[[Chuo Kikuu cha Princeton]]<br/>[[Chuo Kikuu cha Wisconsin]], [[Juris Doctor|J.D.]]
|birthname=JoAnne Fishman}}
'''JoAnne F. Kloppenburg''' (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa [[Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin]], akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake [[Madison, Wisconsin|Madison]]. Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika [[Idara ya Haki ya Wisconsin]] na alikuwa mgombea wa [[Mahakama ya Juu ya Wisconsin]] mwaka wa 2011 na 2016.<ref>{{Cite web|title=Wisconsin Court System - Judge JoAnne F. Kloppenburg|url=https://www.wicourts.gov/courts/appeals/judges/kloppenburg.htm|work=www.wicourts.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Maisha binafsi ==
JoAnne Kloppenburg ameolewa na Jack Kloppenburg, mhitimu mwenzake wa Yale. Walijiunga na Peace Corps pamoja baada ya ndoa yao.<ref>{{Cite web|title=A Feisty Jewish Judge Fights Her Way Through a Bitter Race in Wisconsin|url=https://forward.com/news/337283/a-feisty-jewish-judge-fights-her-way-through-a-bitter-race-in-wisconsin/|work=The Forward|date=2016-03-30|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref> Jack sasa ni profesa katika [[Chuo Kikuu cha Wisconsin]].
== Tanbihi ==
{{reflist}}
{{mbegu-sheria}}
{{BD|1953}}
[[Jamii:Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Yale]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
ec1ljbda01md0pmaj4ejmg4j2am1gsk
1242304
1242303
2022-08-13T10:44:13Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
{{Infobox officeholder
| honorific-prefix = Mheshimiwa
| name = JoAnne Kloppenburg
| image = JoAnne Kloppenburg.jpg| caption =
|office = Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin
| term_start = August 1, 2012
| term_end =
| predecessor = [[Margaret J. Vergeront]]
| successor =
|birth_name =
| birth_date = {{birth date and age|1953|09|05}}
| birth_place =
| nationality = [[Marekani]]
| party =
| spouse = Jack Kloppenburg
| alma_mater = [[Chuo Kikuu cha Yale]]<br/>[[Chuo Kikuu cha Princeton]]<br/>[[Chuo Kikuu cha Wisconsin]], [[Juris Doctor|J.D.]]
|birthname=JoAnne Fishman}}
'''JoAnne F. Kloppenburg''' (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa [[Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin]], akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake [[Madison, Wisconsin|Madison]]. Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika [[Idara ya Haki ya Wisconsin]] na alikuwa mgombea wa [[Mahakama ya Juu ya Wisconsin]] mwaka wa 2011 na 2016.<ref>{{Cite web|title=Wisconsin Court System - Judge JoAnne F. Kloppenburg|url=https://www.wicourts.gov/courts/appeals/judges/kloppenburg.htm|work=www.wicourts.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Maisha binafsi ==
JoAnne Kloppenburg ameolewa na Jack Kloppenburg, mhitimu mwenzake wa [[Chuo Kikuu cha Yale|Yale]]. Walijiunga na [[Peace Corps]] pamoja baada ya ndoa yao.<ref>{{Cite web|title=A Feisty Jewish Judge Fights Her Way Through a Bitter Race in Wisconsin|url=https://forward.com/news/337283/a-feisty-jewish-judge-fights-her-way-through-a-bitter-race-in-wisconsin/|work=The Forward|date=2016-03-30|accessdate=2022-08-13|language=en}}</ref> Jack sasa ni profesa katika [[Chuo Kikuu cha Wisconsin]].
== Tanbihi ==
{{reflist}}
{{mbegu-sheria}}
{{BD|1953}}
[[Jamii:Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Yale]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
cuuff0jagk0urt2ovhqzbypv68w6aoj
Frank Almaguer
0
156554
1242080
2022-08-12T13:23:43Z
Jackson Mujungu
53508
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== Frank Almaguer == Frank Almaguer (alizaliwa mwaka 1945) ni [[mwanadiplomasia]] mstaafu wa [[Marekani]] na [[Afisa]] katika Huduma za Kigeni. Amehudumu katika nyadhifa mbalimbali katika Vikosi vya Amani, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Idara ya Serikali Marekani na Jumuiya ya Majimbo ya Marekani. <ref>{{Cite journal|date=2015-03-11|title=Is It Possible To Reattach The Retrieved Tooth Fragment From Lower Lip?|url=http://dx.doi.org/10.5866/2...'
wikitext
text/x-wiki
== Frank Almaguer ==
Frank Almaguer (alizaliwa mwaka 1945) ni [[mwanadiplomasia]] mstaafu wa [[Marekani]] na [[Afisa]] katika Huduma za Kigeni. Amehudumu katika nyadhifa mbalimbali katika Vikosi vya Amani, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Idara ya Serikali Marekani na Jumuiya ya Majimbo ya Marekani. <ref>{{Cite journal|date=2015-03-11|title=Is It Possible To Reattach The Retrieved Tooth Fragment From Lower Lip?|url=http://dx.doi.org/10.5866/2015.7.10070|journal=Indian Journal of Dental Advancements|volume=07|issue=01|doi=10.5866/2015.7.10070|issn=2229-5038}}</ref>
== Historia yake ==
Almaguer alizaliwa jijini Holguin, Cuba na kukulia Miami, Florida.<ref name=":0">{{Citation|title=Pearson, David Morris, (21 July 1915–19 May 1985), HM Diplomatic Service, retired; Ambassador to the Republic of Honduras, 1972–75|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u167952|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref> Alipata [[Shahada ya kwanza]] ya Sanaa katika [[sayansi ya siasa]] kutoka Chuo Kikuu cha Florida mwaka 1967 na [[Shahada ya uzamili|Shahada ya Uzamili]] ya Sayansi katika utawala wa serikali kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka 1974. <ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
8c9vwvf8jz4e1fvqxrnelwwrvolgfat
1242111
1242080
2022-08-12T14:04:13Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Frank Almaguer ==
'''Frank Almaguer''' (alizaliwa mwaka 1945) ni [[mwanadiplomasia]] mstaafu wa [[Marekani]] na [[Afisa]] katika Huduma za Kigeni. Amehudumu katika nyadhifa mbalimbali katika Vikosi vya Amani, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Idara ya Serikali Marekani na Jumuiya ya [[Majimbo ya Marekani]]. <ref>{{Cite journal|date=2015-03-11|title=Is It Possible To Reattach The Retrieved Tooth Fragment From Lower Lip?|url=http://dx.doi.org/10.5866/2015.7.10070|journal=Indian Journal of Dental Advancements|volume=07|issue=01|doi=10.5866/2015.7.10070|issn=2229-5038}}</ref>
== Historia yake ==
Almaguer alizaliwa jijini Holguin, Cuba na kukulia Miami, Florida.<ref name=":0">{{Citation|title=Pearson, David Morris, (21 July 1915–19 May 1985), HM Diplomatic Service, retired; Ambassador to the Republic of Honduras, 1972–75|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u167952|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref> Alipata [[Shahada ya kwanza]] ya Sanaa katika [[sayansi ya siasa]] kutoka Chuo Kikuu cha Florida mwaka 1967 na [[Shahada ya uzamili|Shahada ya Uzamili]] ya Sayansi katika utawala wa serikali kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka 1974. <ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
eb29sr20bjov424o7vq042noc2chtap
1242160
1242111
2022-08-12T20:12:11Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Frank Almaguer''' (alizaliwa mwaka 1945) ni [[mwanadiplomasia]] mstaafu wa [[Marekani]] na [[Afisa]] katika Huduma za Kigeni. Amehudumu katika nyadhifa mbalimbali katika Vikosi vya Amani, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Idara ya Serikali Marekani na Jumuiya ya [[Majimbo ya Marekani]]. <ref>{{Cite journal|date=2015-03-11|title=Is It Possible To Reattach The Retrieved Tooth Fragment From Lower Lip?|url=http://dx.doi.org/10.5866/2015.7.10070|journal=Indian Journal of Dental Advancements|volume=07|issue=01|doi=10.5866/2015.7.10070|issn=2229-5038}}</ref>
== Historia ==
Almaguer alizaliwa jijini Holguin, Cuba na kukulia Miami, Florida.<ref name=":0">{{Citation|title=Pearson, David Morris, (21 July 1915–19 May 1985), HM Diplomatic Service, retired; Ambassador to the Republic of Honduras, 1972–75|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u167952|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref> Alipata [[Shahada ya kwanza]] ya Sanaa katika [[sayansi ya siasa]] kutoka Chuo Kikuu cha Florida mwaka 1967 na [[Shahada ya uzamili|Shahada ya Uzamili]] ya Sayansi katika utawala wa serikali kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka 1974. <ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
m56dgyt5mz826and1v67zzfvvipaci8
Majadiliano ya mtumiaji:EddymiltonEdm2k
3
156555
1242083
2022-08-12T13:27:56Z
Olimasy
26935
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}} ... ~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{Karibu}}
... '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])'''
8i3j6x8xq1zj6wfvmexf9cp2tgrvq0i
Peggy Anderson
0
156556
1242084
2022-08-12T13:29:21Z
Jackson Mujungu
53508
anz
wikitext
text/x-wiki
== Peggy Anderson ==
'''Peggy Anderson''' (Julai 14, 1938 - Januari 17, 2016) alikuwa [[mwandishi]] na [[mwanahabari]] wa [[Marekani]], anayejulikana sana kutoka na [[kitabu]] chake kiitwacho Nurse "Muuguzi" cha mwaka 1979, ambacho kilionyesha kazi ya muuguzi na kuuza mamilioni ya nakala. <ref name=":0">{{Cite web|title=New York Times New York City Poll, January 2003|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr03741|work=ICPSR Data Holdings|date=2003-05-16|accessdate=2022-08-12}}</ref>Aliandika vitabu vitatu vinavyojulikana sana: The Daughters "Mabinti" mwaka 1972, kinachohusu Mabinti wa Mapinduzi ya Marekani; Nurse "[[Muuguzi]]" mwaka 1979; na Children's Hospital "[[Hospitali]] ya Watoto" mwaka 1985.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
kv8dgnuae7khw4pk12vwgd3e4mqnjq0
Sally Fox (mvumbuzi)
0
156557
1242088
2022-08-12T13:38:25Z
Billy pixel
55238
Makala mpya
wikitext
text/x-wiki
'''Sally Fox''' (Amezaliwa 1959) ni mtaalamu wa mbegu za [[pamba]] ambaye huzalisha kiasili aina za pamba za rangi. Ni mvumbuzi wa FoxFibre na mwanzilishi wa kampuni ya rangi za pamba za asili Inc. Fox waligundua aina ya kwanza ya [[rafiki wa mazingira]] pamba ya rangi ambayo itasokotwa kama uzi kwenye mashine.<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/inventingmoderna00brow_0|title=Inventing modern America|last=Brown|first=David E.|date=2002|publisher=MIT Press|others=Internet Archive|isbn=978-0-262-02508-9}}</ref>
Fox ameitwa kama mwazilishi wa pamba kwa mchango wake kuhusu viumbe hai, pamba ya rangi na ngano ya urithi.<ref>{{Cite web|title=Meet the ‘Fanatic’ Breeding Colored Cotton, Growing Heirloom Wheat, and Building Soil Carbon|url=https://civileats.com/2018/08/30/mee-the-fanatic-breeding-colored-cotton-growing-heirloom-wheat-and-building-soil-carbon/|work=Civil Eats|date=2018-08-30|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Emily Wilson}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Jeshi la amani]]
q2wllgu25p6rs8g5bpbuwfv6tr41x14
Jesse Arnelle
0
156558
1242089
2022-08-12T13:38:45Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Jesse Arnelle ==
'''Hugh Jesse Arnelle''' (Desemba 30, mwaka 1933 - Oktoba 21, mwaka 2020) alikuwa mchezaji wa [[mpira wa kikapu]] na wakili wa [[Marekani]]. <ref>{{Cite web|title=New York Times New York State Catholic Poll, November 1999|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr02872.v1|work=ICPSR Data Holdings|date=2000-04-18|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Wasifu ==
Arnelle alikuwa raisi wa kwanza wa jumuiya ya wanafunzi mweusi katika Jimbo la Penn mwaka 1955. <ref name=":0">{{Cite web|title=CBS News Monthly Poll #1, January 2008|url=http://dx.doi.org/10.3886/icpsr26142.v1|work=ICPSR Data Holdings|date=2009-09-22|accessdate=2022-08-12}}</ref> Alichaguliwa kwenda katika Bodi ya Wadhamini ya chuo hicho mwaka 1969 na tangu wakati huo alitumikia chuo katika majukumu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na klabu ya Rais, Penn State Renaissance Fund, Kamati ya Uendeshaji wa Kampeni na Baraza la Maendeleo la Taifa katika Jimbo la Penn. Alipokea tuzo ya Lion's Paw, iliyotolewa kwa [[wahitimu]] mashuhuri, mnamo Juni mwaka 2000. <ref name=":0" />Arnelle alifariki tarehe 21 Oktoba mwaka 2020 akiwa na umri wa miaka 86.<ref>{{Cite journal|last=Bridges|first=Katherine|date=2020-10-19|title=AARP 2020 State Polls — Pennsylvania: October 13, 2020 – October 15, 2020|url=http://dx.doi.org/10.26419/res.00401.026|location=Washington, DC}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
ckawd68qek4sdwf7hyn8cbsn3j7kov9
P. F. Kluge
0
156559
1242090
2022-08-12T13:39:13Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Paul Frederick Kluge''' (amezaliwa 1942 huko [[New Jersey]]) ni mwandishi wa riwaya kutoka Amerika anayeishi [[Gambier, Ohio]].
Kluge alilelewa [[Berkeley Heights, New Jersey]].<ref>{{Cite web|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=AC&p_theme=ac&p_action=search&p_maxdocs=200&p_topdoc=1&p_text_direct-0=0EAEDCD4754D23E5&p_field_direct-0=document_id&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&s_trackval=GooglePM|work=nl.newsbank.com|accessdate=2022-08-12}}</ref> Alihitimu kutoka [[Chuo cha Kenyon]] huko Gambier mnamo 1964 na anafundisha [[uandishi wa ubunifu]] huko sasa. Alihudumu katika [[Peace Corps]] kutoka 1967 hadi 1969 huko [[Mikronesia|Micronesia]].
Yeye ni mwandishi wa riwaya kadhaa, zikiwemo ''Eddie na Cruisers'', [[Biggest Elvis]] (1997), ''A Season for War'', ''MacArthur's Ghost'', ''The Day I Die: A Novel of Suspense'', ''Gone Tomorrow'' (2008), ''A Call from Jersey'' (2010). ), na ''The Master Blaster'' (2012).
Kazi isiyo ya kufikirika ya Kluge ''Alma Mater: A College Homecoming'' inasimulia wakati wa Kluge kama mwanafunzi na mwalimu katika Chuo cha Kenyon. ''The Edge of Paradise: America in Micronesia'' inaelezea kurudi kwa Kluge Mikronesia na uchunguzi wake juu ya jinsi uwepo wa Amerika umeathiri visiwa.
Kazi mbili za Kluge zimetengenezwa kuwa filamu: [[Eddie and the Cruisers]], kulingana na riwaya yake ya jina moja, na [[Dog Day Afternoon]], iliyoandikwa na Thomas Moore kama makala ya jarida la ''LIFE'' inayoitwa "The Boys in the Bank." <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=5VYEAAAAMBAJ&pg=PA66|title=LIFE|last=Inc|first=Time|date=1972-09-22|publisher=Time Inc|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lewiston Morning Tribune - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?id=9sdeAAAAIBAJ&pg=2554,4830067|work=news.google.com|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=The Bulletin - Google News Archive Search|url=https://news.google.com/newspapers?id=HVNYAAAAIBAJ&pg=6464,3357539|work=news.google.com|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=Spokane Daily Chronicle - Google News Archive Search|url=https://web.archive.org/web/20220723224359/https://news.google.com/newspapers?id=S5FYAAAAIBAJ&pg=5602,2075017|work=web.archive.org|date=2022-07-23|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
9tme71n2y3bdx06cdygywwvemg3tuy4
Cheboi
0
156560
1242092
2022-08-12T13:43:47Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Cheboi''' Ni jina la ukoo lenye asili ya [[Kenya]]. Watu mashuhuri walio na jina la [[ukoo]] ni pamoja na:
* [[:en:Collins_Cheboi|Collins Cheboi]] (aliyezaliwa 1987), Mkenya mwanariadha wa mbio za kati
* [[:en:Ezekiel_Kemboi_Cheboi|Ezekiel Kemboi Cheboi]] (aliyezaliwa 1982), mwanariadha Mkenya wa mbio za kuruka viunzi
== Angalia pia ==
* [[:en:Cheboin|Cheboin]]
== Marejeo ==
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Kenya]]
6k60cdyo70931m7xuclsrmj2wbay78z
Elaine Koppelman
0
156561
1242094
2022-08-12T13:45:00Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Elaine H. Koppelman Eugster''' ( 28 Machi 1937 - 11 Januari 2019 ) alikuwa mwanahisabati wa Marekani. Alikuwa Profesa wa Hisabati katika wa James Beall katika [[Chuo cha Goucher]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Wanahisabati]]
[[Jamii:Wanahisabati wa Marekani]]
[[Jamii:Vyuo vikuu]]
d3y9b45npzqyiys8wlxe1om5rsl8khh
1242095
1242094
2022-08-12T13:45:59Z
Segyjoe
49837
wikitext
text/x-wiki
'''Elaine H. Koppelman Eugster''' ( 28 Machi 1937 - 11 Januari 2019 ) alikuwa mwanahisabati wa Marekani. Alikuwa Profesa wa Hisabati wa James Beall katika [[Chuo cha Goucher]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Wanahisabati]]
[[Jamii:Wanahisabati wa Marekani]]
[[Jamii:Vyuo vikuu]]
6r1l69mnmyig4xh4etn9r8j08ptw30c
Michael R. Arietti
0
156562
1242098
2022-08-12T13:49:29Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Michael R. Arietti ==
'''Michael Ray Arietti''' (alizaliwa Oktoba 25, mwaka 1947) <ref>{{Cite journal|last=AHLBERG|first=KRISTIN L.|date=2008|title=Building a Model Public History Program: The Office of the Historian at the U.S. Department of State|url=http://dx.doi.org/10.1525/tph.2008.30.2.9|journal=The Public Historian|volume=30|issue=2|pages=9–28|doi=10.1525/tph.2008.30.2.9|issn=0272-3433}}</ref> ni [[mwanadiplomasia]] wa [[Marekani]] na alifanya kazi kama afisa anaehusika na mambo ya nje katika Idara ya serikali ya Marekani. Alihudumu kama balozi wa Marekani nchini [[Rwanda]] kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2008.
== Maisha na Elimu ==
Alikulia katika Jiji la Enfield, Connecticut, Arietti alihitimu [[elimu]] yake ya [[Elimu ya sekondari|sekondari]] katika shule iitwayo Enfield High School mnamo mwaka 1965. <ref>{{Cite journal|date=1965-11|title=CONNECTICUT MAKES FLUORIDATION MANDATORY: IN NEW YORK STATE-OVER 70% COVERAGE|url=http://dx.doi.org/10.1111/j.1746-1561.1965.tb01627.x|journal=Journal of School Health|volume=35|issue=9|pages=401–401|doi=10.1111/j.1746-1561.1965.tb01627.x|issn=0022-4391}}</ref> Alipata shahada yake ya kwanza kutoka [[Chuo Kikuu]] cha Johns Hopkins mwaka 1970. <ref>{{Cite journal|last=Graham|first=Howard|last2=Kauffman|first2=Regina|last3=Khaliq|first3=Waseem|date=2022-08-04|title=Colorectal Cancer Screening Prevalence, Perceived Barriers, and Preference for Screening Colonoscopy Among Hospitalized Women|url=http://dx.doi.org/10.5152/tjg.2022.21567|journal=The Turkish Journal of Gastroenterology|doi=10.5152/tjg.2022.21567|issn=2148-5607}}</ref>
== Kazi ==
Baada ya kuhitimu chuo, alijitolea katika [[Kikosi cha Amani|kikosi cha amani]] na kufanya kazi nchini [[India]] kabla ya kujiunga na Idara ya Serikali ya Marekani.<ref>{{Citation|last=Arietti Junior|first=Antonio Marcelo|title=Análise dos requisitos da qualidade em projetos de robôs agrícolas|url=http://dx.doi.org/10.11606/d.18.2017.tde-21072017-084102|publisher=Universidade de Sao Paulo, Agencia USP de Gestao da Informacao Academica (AGUIA)|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
p0ruetkt7shdfrywr5o2m9pl403z2rv
Siku ya Lugha ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa
0
156563
1242101
2022-08-12T13:51:31Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Siku ya Lugha ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa''''' hufanyika kila mwaka mwezi Julai tarahe 7.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Hii ilianza wakati [[Umoja wa Mataifa]] ulipotangaza Julai 7 kama Siku ya Lugha ya Kiswahili mwaka 2022.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Tarehe 7 Julai 1954, kiongozi wa Tanganyika African National Union (TANU) [[Julius Nyerere|Julius Kambarage Nyerere,]] Aliyekuwa Rais wa kwanza wa [[Tanzania|Tanzania,]] alipitisha Lugha ya [[Kiswahili]] kama lugha inayounganisha mapambano ya uhuru wa [[Afrika]]. [[Jomo Kenyatta]], Rais wa kwanza wa [[Kenya]], alifuata mkondo huo huo na pia alitumia lugha ya [[Kiswahili|Kiswahil]]<nowiki/>i kuwahamasisha na kuwaunganisha wananchi wa Kenya katika mapambano dhidi ya ukoloni kwa kutumia kauli mbiu maarufu ya “Harambee”.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Umoja wa mataifa]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Kenya]]
[[Jamii:Siku ya kiswahili]]
er0g1otmuikncc0u275o727qurgiz54
1242104
1242101
2022-08-12T13:56:04Z
Olimasy
26935
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''''Siku ya Lugha ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa''''' hufanyika kila mwaka mwezi Julai tarahe 7.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Hii ilianza wakati [[Umoja wa Mataifa]] ulipotangaza Julai 7 kama Siku ya Lugha ya Kiswahili mwaka 2022.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> Tarehe 7 Julai 1954, kiongozi wa Tanganyika African National Union (TANU) [[Julius Nyerere|Julius Kambarage Nyerere,]] Aliyekuwa Rais wa kwanza wa [[Tanzania|Tanzania,]] alipitisha Lugha ya [[Kiswahili]] kama lugha inayounganisha mapambano ya uhuru wa [[Afrika]]. [[Jomo Kenyatta]], Rais wa kwanza wa [[Kenya]], alifuata mkondo huo huo na pia alitumia lugha ya [[Kiswahili|Kiswahil]]<nowiki/>i kuwahamasisha na kuwaunganisha wananchi wa Kenya katika mapambano dhidi ya ukoloni kwa kutumia kauli mbiu maarufu ya “Harambee”.<ref>{{Citation|title=UN Swahili Language Day|date=2022-08-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=UN_Swahili_Language_Day&oldid=1103928125|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Umoja wa mataifa]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Kenya]]
[[Jamii:Siku ya kiswahili]]
qy9mx9hgxprs40szgywa8ckk64jrf4y
Timothy Kraft
0
156564
1242103
2022-08-12T13:53:56Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Timothy E. Kraft''' (amezaliwa Aprili 10, 1941) ni [[mshauri mstaafu wa siasa za Kidemokrasia]], anayejulikana zaidi kama meneja wa kampeni kwa jitihada zisizofanikiwa za kuchaguliwa tena kwa [[Rais wa Marekani Jimmy Carter]]. Mnamo Septemba 1980, wiki chache tu kabla ya [[uchaguzi mkuu]], alijiuzulu huku kukiwa na mashtaka ambayo hayajathibitishwa, ambayo baadaye yalisuluhishwa, kwamba hapo awali alikuwa ametumia [[kokeini]].<ref>{{Citation|last=Broder|first=David S.|title=Kraft to Be Carter's Campaign Chief|date=1979-08-11|url=https://www.washingtonpost.com/archive/politics/1979/08/11/kraft-to-be-carters-campaign-chief/b001f920-6e28-46c2-b8dd-e178f4d2fa4d/|work=Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Siasa ya Marekani]]
jrqgdk5l0j0jqdh03q4rerlvk607xdb
Elizabeth Letts
0
156565
1242105
2022-08-12T13:59:05Z
Jackson Mujungu
53508
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
== Elizabeth Letts ==
'''Elizabeth Letts''' ni [[mwandishi]] wa [[kimarekani]].
== Biografia ==
Elizabeth Letts alizaliwa mnamo Juni 23, mwaka 1961, huko Houston, Jijini [[Texas]]. Alikulia Kusini mwa Jiji la [[California]]. Akiwa [[kijana]], alikuwa mshindani wa mashindano ya "equestrian three-day eventer". Alisoma katika Shule ya Northfield Mount Hermon na Chuo cha Yale ambapo alikita katika somo la Historia. Alihudumu katika [[Kikosi cha Amani|kikosi cha amani]] nchini [[Moroko]].
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:USW]]
[[Jamii:Kikosi cha amani]]
ddsioglm1yq0si9eabzl21lq7tnn420
Kathy Kraninger
0
156566
1242107
2022-08-12T14:01:12Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Kathleen Laura Kraninger''' (amezaliwa Disemba 28, 1974) ni afisa wa serikali ya Marekani ambaye alihudumu kama mkurugenzi wa [[Ofisi ya Ulinzi wa Kifedha ya Watumiaji]] (CFPB) kuanzia Desemba 11, 2018, hadi alipojiuzulu Januari 20, 2021.<ref>{{Cite web|title=Senate confirms Trump nominee Kraninger to lead consumer bureau|url=https://www.politico.com/story/2018/12/06/senate-confirms-kraninger-cfpb-1006095|work=POLITICO|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> Kabla ya hapo, alihudumu katika [[Ofisi ya Usimamizi na Bajeti]] ya White House wakati wa [[utawala wa Trump]]. <ref>{{Cite web|title=Privacy|url=https://www.usgovernmentmanual.gov/NotFound?aspxerrorpath=/Agency.aspx|work=www.usgovernmentmanual.gov|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kathleen Kraninger {{!}} Trump Town|url=https://projects.propublica.org/trump-town/staffers/kathleen-kraninger|work=ProPublica|date=2018-03-07|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Derek Kravitz,Al Shaw,Claire Perlman}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kathleen L. Kraninger {{!}} C-SPAN.org|url=https://www.c-span.org/person/?1022327/KathleenLKraninger|work=www.c-span.org|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>https://www.wsj.com/articles/kathy-kraninger-nominated-to-head-cfpb-1529183308</ref>
== Marejeo ==
95hkxv7o4n6zj0xt1dzrfur6540yi6g
Jeanne Labuda
0
156567
1242118
2022-08-12T14:21:46Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
Jeanne Labuda (aliyezaliwa karibia 1947<ref>http://cfapp2.rockymountainnews.com/election/profiles/c_profiles.cfm?oper=cand_profile&id=11758&qa=1</ref><ref>{{Cite web|title=Candidate profile: Jeanne Labuda > Politics > Stories > Sheridan > YourHub.com|url=https://web.archive.org/web/20070825225513/http://denver.yourhub.com/Sheridan/Stories/News/Politics/Story~136498.aspx|work=web.archive.org|date=2007-08-25|accessdate=2022-08-12}}</ref> ) ni mbunge wa zamani katika jimbo la Colorado la [[Marekani]]. Alichaguliwa kwenye [[Baraza la Wawakilishi la Colorado]] kama [[Mwanademokrasia]] mwaka 2006, Labuda aliwakilisha House District 1. <ref>{{Cite web|title=COMaps: State Representative District 1|url=https://web.archive.org/web/20080304220756/http://www.comaps.org/district01h.html|work=web.archive.org|date=2008-03-04|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
q2wmmhmdpke3u4xncsxzjy8ogiowx6o
1242158
1242118
2022-08-12T20:09:12Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Jeanne Labuda''' (alizaliwa karibia [[1947]]<ref>http://cfapp2.rockymountainnews.com/election/profiles/c_profiles.cfm?oper=cand_profile&id=11758&qa=1</ref><ref>{{Cite web|title=Candidate profile: Jeanne Labuda > Politics > Stories > Sheridan > YourHub.com|url=https://web.archive.org/web/20070825225513/http://denver.yourhub.com/Sheridan/Stories/News/Politics/Story~136498.aspx|work=web.archive.org|date=2007-08-25|accessdate=2022-08-12}}</ref> ) ni mbunge wa zamani katika jimbo la Colorado la [[Marekani]]. Alichaguliwa kwenye [[Baraza la Wawakilishi la Colorado]] kama [[Mwanademokrasia]] mwaka 2006, Labuda aliwakilisha House District 1. <ref>{{Cite web|title=COMaps: State Representative District 1|url=https://web.archive.org/web/20080304220756/http://www.comaps.org/district01h.html|work=web.archive.org|date=2008-03-04|accessdate=2022-08-12}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
e0nwetf8zyiet8b43u6u5lc9u5yqgoo
Kobe (jina lililopewa)
0
156568
1242119
2022-08-12T14:31:51Z
Immah 146
55367
Chapisho Jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Kobe''' Ni jina ambalo limepewa jinsia moja ambalo lina [[asili]] na maana nyingi.Asili imehusisha [[Kiebrania]], [[Kiholanzi]], [[Kiswahili]], [[Kijapani]] na [[Kigiriki]]. Tahajia mbadala ya jina hili Coby, Koby, Kobi, Colby, na Cobe.
== Asili ==
kwanza Matumizi ya jina hilo yalikuwa katika nyakati za Biblia wakati jina "Koby" lilitumiwa kama jina la kipenzi la Yakobo.Maana ya [[Kiebrania]] imetokana na maneno Yakov (Yakobo) yenye maana ya "Yahweh (Mungu) anaweza kulinda.Inaweza pia kutafsiriwa kama "Mpandaji", Kushikiliwa kwa kisigino, kivuta mguu na kishika kisigino kutokana na neno la Kilatini la marehemu "Iacobus" ambalo limetokana na lakobos la [[Kigiriki]] (Ἰάκωβος) ambalo limeunganishwa na jina la msingi Jacob<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=9g1YDwAAQBAJ&q=%E1%BC%B0%CE%AC%CE%BA%CF%89%CE%B2%CE%BF%CF%83+jacob&pg=PT160|title=Galatians: A Commentary|last=Keener|first=Craig S.|date=2019-05-21|publisher=Baker Academic|isbn=978-1-4934-1570-0|language=en}}</ref> na kutumika kama fomu ya kupunguza (jina la utani) kwa Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Kobe: Name Meaning, Popularity and Info on BabyNames.com|url=https://babynames.com/name/kobe|work=babynames.com|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Maana ya Kiswahili ya jina [[Kobe]] hutafsiriwa kuwa "kobe" au "kobe".<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=4VDuAgAAQBAJ&q=turtle+in+swahili&pg=PA78|title=A handbook of the Swahili language, as spoken at Zanzibar|last=Steere|first=Edward|publisher=Рипол Классик|isbn=978-1-177-63598-1|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kamusi ya Glosbe - Lugha Zote Katika Sehemu Moja|url=https://glosbe.com/|work=glosbe.com|accessdate=2022-08-12}}</ref> Maana ya Kiholanzi ni sawa na maana ya Kiebrania lakini jina ni kipunguzo cha Jakob badala ya Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Meaning, origin and history of the name Kobe (1)|url=https://www.behindthename.com/name/kobe-1|work=Behind the Name|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Mike Campbell}}</ref>
[[Jamii:Kiswahili]]
9vz4y6q41ezsskjfnozcily8kt0ealx
1242121
1242119
2022-08-12T14:36:31Z
Immah 146
55367
wikitext
text/x-wiki
'''Kobe''' Ni jina ambalo limepewa jinsia moja ambalo lina [[asili]] na maana nyingi.Asili imehusisha [[Kiebrania]], [[Kiholanzi]], [[Kiswahili]], [[Kijapani]] na [[Kigiriki]]. Tahajia mbadala ya jina hili Coby, Koby, Kobi, Colby, na Cobe.
== Asili ==
kwanza Matumizi ya jina hilo yalikuwa katika nyakati za Biblia wakati jina "Koby" lilitumiwa kama jina la kipenzi la Yakobo.Maana ya [[Kiebrania]] imetokana na maneno Yakov (Yakobo) yenye maana ya "Yahweh (Mungu) anaweza kulinda.Inaweza pia kutafsiriwa kama "Mpandaji", Kushikiliwa kwa kisigino, kivuta mguu na kishika kisigino kutokana na neno la Kilatini la marehemu "Iacobus" ambalo limetokana na lakobos la [[Kigiriki]] (Ἰάκωβος) ambalo limeunganishwa na jina la msingi Jacob<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=9g1YDwAAQBAJ&q=%E1%BC%B0%CE%AC%CE%BA%CF%89%CE%B2%CE%BF%CF%83+jacob&pg=PT160|title=Galatians: A Commentary|last=Keener|first=Craig S.|date=2019-05-21|publisher=Baker Academic|isbn=978-1-4934-1570-0|language=en}}</ref> na kutumika kama fomu ya kupunguza (jina la utani) kwa Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Kobe: Name Meaning, Popularity and Info on BabyNames.com|url=https://babynames.com/name/kobe|work=babynames.com|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Maana ya Kiswahili ya jina [[Kobe]] hutafsiriwa kuwa "kobe" au "kobe".<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=4VDuAgAAQBAJ&q=turtle+in+swahili&pg=PA78|title=A handbook of the Swahili language, as spoken at Zanzibar|last=Steere|first=Edward|publisher=Рипол Классик|isbn=978-1-177-63598-1|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kamusi ya Glosbe - Lugha Zote Katika Sehemu Moja|url=https://glosbe.com/|work=glosbe.com|accessdate=2022-08-12}}</ref> Maana ya Kiholanzi ni sawa na maana ya Kiebrania lakini jina ni kipunguzo cha Jakob badala ya Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Meaning, origin and history of the name Kobe (1)|url=https://www.behindthename.com/name/kobe-1|work=Behind the Name|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Mike Campbell}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Kiswahili]]
7tl38aqk0n1d1ofvgt0erc7k8mjogi8
1242157
1242121
2022-08-12T20:06:33Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Kobe''' Ni jina ambalo limepewa jinsia moja ambalo lina [[asili]] na maana nyingi.Asili imehusisha [[Kiebrania]], [[Kiholanzi]], [[Kiswahili]], [[Kijapani]] na [[Kigiriki]]. Tahajia mbadala ya jina hili Coby, Koby, Kobi, Colby, na Cobe.
== Asili ==
kwanza Matumizi ya jina hilo yalikuwa katika nyakati za Biblia wakati jina "Koby" lilitumiwa kama jina la kipenzi la Yakobo.Maana ya [[Kiebrania]] imetokana na maneno Yakov (Yakobo) yenye maana ya "Yahweh (Mungu) anaweza kulinda.Inaweza pia kutafsiriwa kama "Mpandaji", Kushikiliwa kwa kisigino, kivuta mguu na kishika kisigino kutokana na neno la Kilatini la marehemu "Iacobus" ambalo limetokana na lakobos la [[Kigiriki]] (Ἰάκωβος) ambalo limeunganishwa na jina la msingi Jacob<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=9g1YDwAAQBAJ&q=%E1%BC%B0%CE%AC%CE%BA%CF%89%CE%B2%CE%BF%CF%83+jacob&pg=PT160|title=Galatians: A Commentary|last=Keener|first=Craig S.|date=2019-05-21|publisher=Baker Academic|isbn=978-1-4934-1570-0|language=en}}</ref> na kutumika kama fomu ya kupunguza (jina la utani) kwa Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Kobe: Name Meaning, Popularity and Info on BabyNames.com|url=https://babynames.com/name/kobe|work=babynames.com|accessdate=2022-08-12}}</ref>
Maana ya Kiswahili ya jina [[Kobe]] hutafsiriwa kuwa "kobe" au "kobe".<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=4VDuAgAAQBAJ&q=turtle+in+swahili&pg=PA78|title=A handbook of the Swahili language, as spoken at Zanzibar|last=Steere|first=Edward|publisher=Рипол Классик|isbn=978-1-177-63598-1|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Kamusi ya Glosbe - Lugha Zote Katika Sehemu Moja|url=https://glosbe.com/|work=glosbe.com|accessdate=2022-08-12}}</ref> Maana ya Kiholanzi ni sawa na maana ya Kiebrania lakini jina ni kipunguzo cha Jakob badala ya Yakobo.<ref>{{Cite web|title=Meaning, origin and history of the name Kobe (1)|url=https://www.behindthename.com/name/kobe-1|work=Behind the Name|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Mike Campbell}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Kiswahili]]
ihm974eqf5qhmzv5ygws2p12fq35n6l
Jonathan Lash
0
156569
1242120
2022-08-12T14:32:44Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Jonathan Lash''' (amezaliwa Agosti 12, 1945) ni wakili wa Marekani ambaye alikuwa rais wa sita wa [[Chuo cha Hampshire]] <ref>{{Citation|title=Jonathan Lash|date=2022-04-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Jonathan_Lash&oldid=1085221019|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=Office of the President|url=https://www.hampshire.edu/offices-hampshire/office-president|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> (2011-2018) na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya [[Taasisi ya Rasilimali Duniani]] ambako alihudumu kama rais kutoka 1993 hadi 2011.<ref>http://www.wri.org/press/2011/05/jonathan-lash-resign-president-wri-heading-hampshire-college</ref> Alijiuzulu kama rais wa Hampshire kuanzia tarehe 30 Juni 2018. <ref>{{Cite web|title=Hampshire College names new president|url=https://www.masslive.com/news/2018/04/hampshire_college_names_miriam.html|work=masslive|date=2018-04-17|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Diane Lederman {{!}} dlederman@repub.com}}</ref>
Alichukua nafasi ya rais wa sita wa Chuo cha Hampshire mnamo Mei, 2011 na alisimikwa mnamo Aprili 27, 2011.<ref>{{Cite web|title=Inauguration of Hampshire President Jonathan Lash|url=https://www.hampshire.edu/inauguration-hampshire-president-jonathan-lash|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=News Coverage of Inauguration|url=https://www.hampshire.edu/news-coverage-inauguration|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Wanasheria]]
[[Jamii:Vyuo vikuu]]
kt9hfanqhidaop43n8vvqjqh53a66f6
1242161
1242120
2022-08-12T20:15:27Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Jonathan Lash''' (alizaliwa Agosti 12, 1945) ni wakili wa Marekani ambaye alikuwa rais wa sita wa [[Chuo cha Hampshire]] <ref>{{Citation|title=Jonathan Lash|date=2022-04-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Jonathan_Lash&oldid=1085221019|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=Office of the President|url=https://www.hampshire.edu/offices-hampshire/office-president|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> (2011-2018) na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya [[Taasisi ya Rasilimali Duniani]] ambako alihudumu kama rais kutoka 1993 hadi 2011.<ref>http://www.wri.org/press/2011/05/jonathan-lash-resign-president-wri-heading-hampshire-college</ref> Alijiuzulu kama rais wa Hampshire kuanzia tarehe 30 Juni 2018. <ref>{{Cite web|title=Hampshire College names new president|url=https://www.masslive.com/news/2018/04/hampshire_college_names_miriam.html|work=masslive|date=2018-04-17|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Diane Lederman {{!}} dlederman@repub.com}}</ref>
Alichukua nafasi ya rais wa sita wa Chuo cha Hampshire mnamo Mei, 2011 na alisimikwa mnamo Aprili 27, 2011.<ref>{{Cite web|title=Inauguration of Hampshire President Jonathan Lash|url=https://www.hampshire.edu/inauguration-hampshire-president-jonathan-lash|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=News Coverage of Inauguration|url=https://www.hampshire.edu/news-coverage-inauguration|work=Hampshire College|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Wanasheria]]
[[Jamii:Vyuo vikuu]]
fqjyfdbf1g14rg8iy5re5r8olxvd1i9
Shabani
0
156571
1242124
2022-08-12T14:59:47Z
Kamara2109
55365
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''''Shabani''''' ni jina la mwezi wa nane wa kalenda ya [[Uislamu|Kiislamu]] ni jina la [[ukoo]] la Kiislamu na unaweza kurejelea.<ref>{{Citation|last=Parkin|first=Harry ParkinHarry|title=Shabani|date=2021-08-19|url=https://www.oxfordreference.com/oso/viewentry/10.1093$002facref$002f9780198868255.001.0001$002facref-9780198868255-e-35362?t:state:client=0Chz3yVELJAH4Hb0xAGJq1nHz9s%3D%3AH4sIAAAAAAAAAFWOP0vEQBTE3%2FkHlcPGxi9gm93NhZwJluLBcUGEQ%2FsleRdXNpv17SPnNbaWfhG%2F0NXWdlZWrgiCxcAMv2GYtw%2FYX+8BwCgQLHpqhfa6vkfB2mNg2uTCOEZy2oqANJgag7i0Bh3fIAUTOLqZQdssuSfd4rzz9myBm+3n6evB+9fLDuxWMK77zvcuVucNw0n1oActrXatXDIZ115UcLT6GbnWHT7CM4wqOPRx7S8%2Fec8wJmwMYc23ZBmO+9DLO4PrKxd%2FMszkEINMlUhVmUldE65keV6otCyKaTHJc6FUGqXSX5j8gwkmWZ5NJ9+V70CuEgEAAA%3D%3D|work=Concise Oxford Dictionary of Family Names in Britain|editor-last=Parkin|editor-first=Harry|publisher=Oxford University Press|language=en|isbn=978-0-19-886825-5|access-date=2022-08-12}}</ref>
* Agim Shabani (amezaliwa mwaka 1988), mwanasoka wa Norwei mwenye asili ya Albania
* Bunjamin Shabani (amezaliwa mwaka 1991), mwanasoka wa kabila la Albania kutoka Jamhuri ya [[Masedonia]]
* Hussein Shabani (amezaliwa mwaka 1990) mwanasoka wa [[Burundi]]
* Nasser Shabani (alikufa mwaka 2020) Jenerali wa Irani
* Razie Shabani (mwaka 1925 mpaka 2013), mwanasiasa na mwanaharakati wa Kiazabajani
* Shabani Nonda (amezaliwa mwaka 1977) alistahafu kucheza soko
== Maeneo ==
* Shabani, Iran, Kijiji katika Mkoa wa Kurdistan
* Shabani, [[Zimbabwe]], mji wa madini Zimbabwe
== Matumizi mengine ==
Shabani (gorilla) (aliyezaliwa 1996), sokwe wa nyanda za chini magharibi anayetembea kwenye mbuga ya wanyama ya Higashiyama huko Nagoya, Japani.
== Marejeo ==
[[Jamii:Mwezi]]
[[Jamii:Uislamu]]
bse2iibm0urscvb8ep7y3q97ans14o0
1242129
1242124
2022-08-12T15:23:39Z
Asterlegorch367
34615
wikitext
text/x-wiki
{{vyanzo}}
'''''Shabani''''' ni jina la mwezi wa nane wa kalenda ya [[Uislamu|Kiislamu]] ni jina la [[ukoo]] la Kiislamu na unaweza kurejelea.<ref>{{Citation|last=Parkin|first=Harry ParkinHarry|title=Shabani|date=2021-08-19|url=https://www.oxfordreference.com/oso/viewentry/10.1093$002facref$002f9780198868255.001.0001$002facref-9780198868255-e-35362?t:state:client=0Chz3yVELJAH4Hb0xAGJq1nHz9s%3D%3AH4sIAAAAAAAAAFWOP0vEQBTE3%2FkHlcPGxi9gm93NhZwJluLBcUGEQ%2FsleRdXNpv17SPnNbaWfhG%2F0NXWdlZWrgiCxcAMv2GYtw%2FYX+8BwCgQLHpqhfa6vkfB2mNg2uTCOEZy2oqANJgag7i0Bh3fIAUTOLqZQdssuSfd4rzz9myBm+3n6evB+9fLDuxWMK77zvcuVucNw0n1oActrXatXDIZ115UcLT6GbnWHT7CM4wqOPRx7S8%2Fec8wJmwMYc23ZBmO+9DLO4PrKxd%2FMszkEINMlUhVmUldE65keV6otCyKaTHJc6FUGqXSX5j8gwkmWZ5NJ9+V70CuEgEAAA%3D%3D|work=Concise Oxford Dictionary of Family Names in Britain|editor-last=Parkin|editor-first=Harry|publisher=Oxford University Press|language=en|isbn=978-0-19-886825-5|access-date=2022-08-12}}</ref>
* Agim Shabani (amezaliwa mwaka 1988), mwanasoka wa Norwei mwenye asili ya Albania
* Bunjamin Shabani (amezaliwa mwaka 1991), mwanasoka wa kabila la Albania kutoka Jamhuri ya [[Masedonia]]
* Hussein Shabani (amezaliwa mwaka 1990) mwanasoka wa [[Burundi]]
* Nasser Shabani (alikufa mwaka 2020) Jenerali wa Irani
* Razie Shabani (mwaka 1925 mpaka 2013), mwanasiasa na mwanaharakati wa Kiazabajani
* Shabani Nonda (amezaliwa mwaka 1977) alistahafu kucheza soko
== Maeneo ==
* Shabani, Iran, Kijiji katika Mkoa wa Kurdistan
* Shabani, [[Zimbabwe]], mji wa madini Zimbabwe
== Matumizi mengine ==
Shabani (gorilla) (aliyezaliwa 1996), sokwe wa nyanda za chini magharibi anayetembea kwenye mbuga ya wanyama ya Higashiyama huko Nagoya, Japani.
== Marejeo ==
[[Jamii:Mwezi]]
[[Jamii:Uislamu]]
q0votvii2xyog5w43gctzaxko3p3a4l
Majadiliano ya mtumiaji:Habwoya
3
156572
1242131
2022-08-12T15:26:08Z
Asterlegorch367
34615
/* Karibu Wikipedia ya Kiswahili */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu Wikipedia ya Kiswahili ==
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 15:26, 12 Agosti 2022 (UTC)
ivndve26erithdxa9z43v2196taysa3
Bob Beckel
0
156573
1242150
2022-08-12T19:56:59Z
Elisha Andrews
55391
nimeongeza jamii
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Gilliland Beckel''' ( 15 Novemba 1948 - 20 Februari 2022 ) alikuwa [[mchambuzi wa siasa]] na [[mtaalamu wa masuala ya kisiasa]] na [[mtendaji wa kisiasa]] wa Marekani.<ref>Risen, Clay (February 23, 2022). "Bob Beckel, Liberal Operative Who Became a Fixture on Fox, Dies at 73". ''The New York Times''. Archived from the original on February 3, 2022. Retrieved February 23, 2022.</ref>
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
q2emi8kxc5xxjnd1azm0t3e6m39ucr4
1242156
1242150
2022-08-12T20:03:34Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Robert Gilliland Beckel''' ( 15 Novemba, 1948 - 20 Februari, 2022 ) alikuwa [[mchambuzi wa siasa]] na [[mtaalamu wa masuala ya kisiasa]] na [[mtendaji wa kisiasa]] wa Marekani.<ref>Risen, Clay (February 23, 2022). "Bob Beckel, Liberal Operative Who Became a Fixture on Fox, Dies at 73". ''The New York Times''. Archived from the original on February 3, 2022. Retrieved February 23, 2022.</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
spxszf4mg2mtq58exzsii1tqru2rel1
Majadiliano ya mtumiaji:Darya Marciniak
3
156574
1242162
2022-08-12T20:16:42Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:16, 12 Agosti 2022 (UTC)
th6rihlrqtnpgwnr4ku075s5d3ypsit
Majadiliano ya mtumiaji:Sankking
3
156575
1242163
2022-08-12T20:17:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:17, 12 Agosti 2022 (UTC)
spreq69z4c3wj0x7xf2sjjwfkkajw8a
Majadiliano ya mtumiaji:Jason Worthwood
3
156576
1242164
2022-08-12T20:17:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:17, 12 Agosti 2022 (UTC)
spreq69z4c3wj0x7xf2sjjwfkkajw8a
Majadiliano ya mtumiaji:Leslie jacob
3
156577
1242165
2022-08-12T20:17:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:17, 12 Agosti 2022 (UTC)
spreq69z4c3wj0x7xf2sjjwfkkajw8a
Majadiliano ya mtumiaji:Bill Tali
3
156578
1242166
2022-08-12T20:18:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:18, 12 Agosti 2022 (UTC)
h1zdupmscb8bd7m3ye6m9l0tpa9d949
Majadiliano ya mtumiaji:E.amini2015
3
156579
1242167
2022-08-12T20:18:32Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:18, 12 Agosti 2022 (UTC)
h1zdupmscb8bd7m3ye6m9l0tpa9d949
Majadiliano ya mtumiaji:Hezzy Kim
3
156580
1242168
2022-08-12T20:19:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:19, 12 Agosti 2022 (UTC)
cmnii5ji7p68o6eb940ayr8gnwgzdjf
William A. Bablitch
0
156581
1242169
2022-08-12T20:19:16Z
Elisha Andrews
55391
nimeogeza jamii
wikitext
text/x-wiki
'''William Albert Bablitch''' ( 1 Machi 1941 - 16 Februari 2011 )<ref>{{Citation|title=Beyers, Hon. Fredrik William, (15 Oct. 1867–15 Sept. 1938), former Justice of Appeal of Appellate Division of Supreme Court of Union of South Africa|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u206088|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref> alikuwa mwanasiasa, mwanasheria, na wakili kutoka Wisconsin. Alihudumu katika Seneti ya Jimbo la Wisconsin kuanzia 1972 hadi 1983, na katika Mahakama ya Juu ya Wisconsin kuanzia 1983 hadi 2003. <ref>{{Cite journal|date=1975-04|title=Robert C. Nesbit. <italic>Wisconsin: A History</italic>. (State Historical Society of Wisconsin.) [Madison:] University of Wisconsin Press. 1973. Pp. xiv, 573, 88 plates. $12.50|url=http://dx.doi.org/10.1086/ahr/80.2.478-a|journal=The American Historical Review|doi=10.1086/ahr/80.2.478-a|issn=1937-5239}}</ref>
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
3mh0qitv5gtmucs2buyvg27rvu6rbix
1242214
1242169
2022-08-13T05:20:57Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''William Albert Bablitch''' ( [[1 Machi]], [[1941]] - 16 Februari 2011 )<ref>{{Citation|title=Beyers, Hon. Fredrik William, (15 Oct. 1867–15 Sept. 1938), former Justice of Appeal of Appellate Division of Supreme Court of Union of South Africa|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.u206088|work=Who Was Who|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-12}}</ref> alikuwa mwanasiasa, mwanasheria, na wakili kutoka Wisconsin. Alihudumu katika Seneti ya Jimbo la Wisconsin kuanzia 1972 hadi 1983, na katika Mahakama ya Juu ya Wisconsin kuanzia 1983 hadi 2003. <ref>{{Cite journal|date=1975-04|title=Robert C. Nesbit. <italic>Wisconsin: A History</italic>. (State Historical Society of Wisconsin.) [Madison:] University of Wisconsin Press. 1973. Pp. xiv, 573, 88 plates. $12.50|url=http://dx.doi.org/10.1086/ahr/80.2.478-a|journal=The American Historical Review|doi=10.1086/ahr/80.2.478-a|issn=1937-5239}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Amani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
k134zgj4qtpb3zu87ejgu9laei3rsrm
Majadiliano ya mtumiaji:Alien234
3
156582
1242170
2022-08-12T20:19:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:19, 12 Agosti 2022 (UTC)
cmnii5ji7p68o6eb940ayr8gnwgzdjf
Majadiliano ya mtumiaji:Kmmbando
3
156583
1242171
2022-08-12T20:19:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:19, 12 Agosti 2022 (UTC)
cmnii5ji7p68o6eb940ayr8gnwgzdjf
Majadiliano ya mtumiaji:Donaldamile
3
156584
1242172
2022-08-12T20:20:12Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:20, 12 Agosti 2022 (UTC)
lkmbc6dpbl5z67j26izn6yc3tdd8257
Majadiliano ya mtumiaji:Sserwanga Andrew Dancan
3
156585
1242173
2022-08-12T20:20:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:20, 12 Agosti 2022 (UTC)
lkmbc6dpbl5z67j26izn6yc3tdd8257
Majadiliano ya mtumiaji:Golidius.godwine
3
156586
1242174
2022-08-12T20:20:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:20, 12 Agosti 2022 (UTC)
lkmbc6dpbl5z67j26izn6yc3tdd8257
Majadiliano ya mtumiaji:Blex Wakabi
3
156587
1242175
2022-08-12T20:21:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:21, 12 Agosti 2022 (UTC)
5ejq5j1r89pdbrkdbv5pgod1ulvtrqq
Majadiliano ya mtumiaji:Cynthia Kush
3
156588
1242176
2022-08-12T20:21:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:21, 12 Agosti 2022 (UTC)
5ejq5j1r89pdbrkdbv5pgod1ulvtrqq
Majadiliano ya mtumiaji:Trimferar
3
156589
1242177
2022-08-12T20:21:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:21, 12 Agosti 2022 (UTC)
5ejq5j1r89pdbrkdbv5pgod1ulvtrqq
Majadiliano ya mtumiaji:TheDodosaurus
3
156590
1242178
2022-08-12T20:22:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:22, 12 Agosti 2022 (UTC)
l2gb3dgnknyeo45s6hlxktejdldk2gi
Majadiliano ya mtumiaji:Alexandre Vizyinos
3
156591
1242179
2022-08-12T20:22:39Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:22, 12 Agosti 2022 (UTC)
l2gb3dgnknyeo45s6hlxktejdldk2gi
Majadiliano ya mtumiaji:Believe911002
3
156592
1242180
2022-08-12T20:23:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:23, 12 Agosti 2022 (UTC)
m90dlyodnkt7vsfbnln3qv1ez0187at
Majadiliano ya mtumiaji:WhzzBang
3
156593
1242181
2022-08-12T20:23:24Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:23, 12 Agosti 2022 (UTC)
m90dlyodnkt7vsfbnln3qv1ez0187at
Majadiliano ya mtumiaji:Videoles
3
156594
1242182
2022-08-12T20:23:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:23, 12 Agosti 2022 (UTC)
m90dlyodnkt7vsfbnln3qv1ez0187at
Majadiliano ya mtumiaji:Joseph
3
156595
1242183
2022-08-12T20:24:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:24, 12 Agosti 2022 (UTC)
rim94wwwpbunhdtyc05jl52ny2o2x7k
Majadiliano ya mtumiaji:Alexpermskyfe
3
156596
1242184
2022-08-12T20:24:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:24, 12 Agosti 2022 (UTC)
rim94wwwpbunhdtyc05jl52ny2o2x7k
Majadiliano ya mtumiaji:DarrellGon
3
156597
1242185
2022-08-12T20:24:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:24, 12 Agosti 2022 (UTC)
rim94wwwpbunhdtyc05jl52ny2o2x7k
Majadiliano ya mtumiaji:Squeakachu
3
156598
1242186
2022-08-12T20:26:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:26, 12 Agosti 2022 (UTC)
8u0czv5oz5c4d8ytj9lme4c7r7d7bzt
Majadiliano ya mtumiaji:Masusoe-id
3
156599
1242187
2022-08-12T20:29:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:29, 12 Agosti 2022 (UTC)
befocngbfr7amqh9sk7judnznxpfv01
Majadiliano ya mtumiaji:Trailblazer101
3
156600
1242189
2022-08-12T20:30:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:30, 12 Agosti 2022 (UTC)
pnifpoy2i4u1mzcd8p1xgo64ls8r0fl
Majadiliano ya mtumiaji:Robertjamal12
3
156601
1242191
2022-08-12T20:35:10Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:35, 12 Agosti 2022 (UTC)
105pbed4glamcd99njyo6g14nbrthge
Majadiliano ya mtumiaji:MegamAndeŭ4
3
156602
1242192
2022-08-12T20:36:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
q3v9yo26t61z6utvj5xpln072wce1ow
Majadiliano ya mtumiaji:RobertTieva
3
156603
1242193
2022-08-12T20:36:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
q3v9yo26t61z6utvj5xpln072wce1ow
Majadiliano ya mtumiaji:Hosea charles ndelwa
3
156604
1242194
2022-08-12T20:36:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:36, 12 Agosti 2022 (UTC)
q3v9yo26t61z6utvj5xpln072wce1ow
Majadiliano ya mtumiaji:HuShiMu
3
156605
1242195
2022-08-12T20:37:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:37, 12 Agosti 2022 (UTC)
bn4pou9zjzlfkx248679h3fjkb1hjzh
Majadiliano ya mtumiaji:Kelvinibrahimardana
3
156606
1242196
2022-08-12T20:37:37Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:37, 12 Agosti 2022 (UTC)
bn4pou9zjzlfkx248679h3fjkb1hjzh
Majadiliano ya mtumiaji:Njerimucheru
3
156607
1242197
2022-08-12T20:38:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:38, 12 Agosti 2022 (UTC)
lyxm73sheeeh9aywaqj3u2k6e1zk450
Majadiliano ya mtumiaji:Tigergod8
3
156608
1242198
2022-08-12T20:38:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:38, 12 Agosti 2022 (UTC)
lyxm73sheeeh9aywaqj3u2k6e1zk450
Majadiliano ya mtumiaji:Mahmoudalrawi
3
156609
1242199
2022-08-12T20:39:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:39, 12 Agosti 2022 (UTC)
j5ruiikw9fdz9n6uht36ibvvsqoypzt
Majadiliano ya mtumiaji:Xodrium
3
156610
1242200
2022-08-12T20:40:03Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:40, 12 Agosti 2022 (UTC)
plnkkr05xs3s031gjuqm2bitxgdmvbo
Majadiliano ya mtumiaji:Wapaul 94
3
156611
1242201
2022-08-12T20:40:30Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:40, 12 Agosti 2022 (UTC)
plnkkr05xs3s031gjuqm2bitxgdmvbo
Majadiliano ya mtumiaji:Leon Nappo
3
156612
1242202
2022-08-12T20:40:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:40, 12 Agosti 2022 (UTC)
plnkkr05xs3s031gjuqm2bitxgdmvbo
Majadiliano ya mtumiaji:Makomando
3
156613
1242203
2022-08-12T20:41:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:41, 12 Agosti 2022 (UTC)
aekg3l0ur9of52if9sumjs0rzxhywld
Majadiliano ya mtumiaji:Arsen Mallya
3
156614
1242204
2022-08-12T20:41:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:41, 12 Agosti 2022 (UTC)
aekg3l0ur9of52if9sumjs0rzxhywld
Majadiliano ya mtumiaji:Md Revyat
3
156615
1242205
2022-08-12T20:42:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 20:42, 12 Agosti 2022 (UTC)
oqanqs39m6imgd3lc23mb49j9gmd2ag
Maisha ya nusu ya Nairobi
0
156616
1242207
2022-08-12T21:46:28Z
Matoromoni
55334
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Maisha ya Nusu ya Nairobi(''Nairobi Half Life'') ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2012 iliyoongozwa na David "Tosh" Gitonga. Filamu hiyo ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha tuzo ya Oscar bora ya lugha ya kigeni kati ya tuzo 85 za Academy, lakini haikufanya vibaya kati ya zilizo orezeshwa, na ni mara ya kwanza Kwa Kenya kuwasilisha filamu katika kitengo hiki. <ref>{{Cite web|title=APA Access, September 25, 2012|url=http://dx.doi.org/10.1037/e6...'
wikitext
text/x-wiki
Maisha ya Nusu ya Nairobi(''Nairobi Half Life'') ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2012 iliyoongozwa na David "Tosh" Gitonga. Filamu hiyo ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha tuzo ya Oscar bora ya lugha ya kigeni kati ya tuzo 85 za Academy, lakini haikufanya vibaya kati ya zilizo orezeshwa, na ni mara ya kwanza Kwa Kenya kuwasilisha filamu katika kitengo hiki. <ref>{{Cite web|title=APA Access, September 25, 2012|url=http://dx.doi.org/10.1037/e677192012-001|work=PsycEXTRA Dataset|date=2012|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|date=2012|editor-last=Aseeva|editor-first=Natalia|editor2-last=Babkin|editor2-first=Eduard|editor3-last=Kozyrev|editor3-first=Oleg|title=Perspectives in Business Informatics Research|url=http://dx.doi.org/10.1007/978-3-642-33281-4|journal=Lecture Notes in Business Information Processing|doi=10.1007/978-3-642-33281-4|issn=1865-1348}}</ref>
== Muundo ==
Kijana mmoja, Mwas (Joseph Wairimu) bado anaishi na wazazi wake katika nyumba yao ya vijijini nchini Kenya. Anajipatia riziki kwa kuuza filamu za vitendo vya magharibi, anaigiza sana na kuonyesha takwimu nyingi za vitendo katika filamu zake ili kuwashawishi wateja wake. Yeye ni muigizaji anayetamani, na anapokutana na kundi la waigizaji kutoka Nairobi wakitumbuiza katika mji wake, anamwomba mmoja wao amsaidie kurusha kazi zake za uigizaji kwa kumpa nafas ya kufanya maigizo yake.
== Mapokezi ==
Filamu hiyo ilipokelewa vizuri sana na wakosoaji wengi wa kimataifa. Michael Wilmington wa Chicago Tribune, na Kenneth Turan wa Los Angeles Times aliisifu filamu hiyo akisema "imejaa utukufu na migogoro, uharaka na huruma. <ref>{{Cite web|title=Durban International Film Festival (DIFF) (Durban, South Africa)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_3085|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|last=MA|first=Umar|date=2018|title=Analysis of Online Audience Comment on 2016 Subsidy Removal Issue in Nigeria: A Case Study of Premium Times and Sahara Reporters|url=http://dx.doi.org/10.4172/2165-7912.1000363|journal=Journal of Mass Communication & Journalism|volume=08|issue=02|doi=10.4172/2165-7912.1000363|issn=2165-7912}}</ref>
[[Jamii:Wikimedia]]
chrrv0fo1urecdh2tnfjv2xype3ghy9
1242208
1242207
2022-08-12T21:47:14Z
Matoromoni
55334
wikitext
text/x-wiki
Maisha ya Nusu ya Nairobi(''Nairobi Half Life'') ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2012 iliyoongozwa na David "Tosh" Gitonga. Filamu hiyo ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha tuzo ya Oscar bora ya lugha ya kigeni kati ya tuzo 85 za Academy, lakini haikufanya vibaya kati ya zilizo orezeshwa, na ni mara ya kwanza Kwa Kenya kuwasilisha filamu katika kitengo hiki. <ref>{{Cite web|title=APA Access, September 25, 2012|url=http://dx.doi.org/10.1037/e677192012-001|work=PsycEXTRA Dataset|date=2012|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|date=2012|editor-last=Aseeva|editor-first=Natalia|editor2-last=Babkin|editor2-first=Eduard|editor3-last=Kozyrev|editor3-first=Oleg|title=Perspectives in Business Informatics Research|url=http://dx.doi.org/10.1007/978-3-642-33281-4|journal=Lecture Notes in Business Information Processing|doi=10.1007/978-3-642-33281-4|issn=1865-1348}}</ref>
== Muundo ==
Kijana mmoja, Mwas (Joseph Wairimu) bado anaishi na wazazi wake katika nyumba yao ya vijijini nchini Kenya. Anajipatia riziki kwa kuuza filamu za vitendo vya magharibi, anaigiza sana na kuonyesha takwimu nyingi za vitendo katika filamu zake ili kuwashawishi wateja wake. Yeye ni muigizaji anayetamani, na anapokutana na kundi la waigizaji kutoka Nairobi wakitumbuiza katika mji wake, anamwomba mmoja wao amsaidie kurusha kazi zake za uigizaji kwa kumpa nafas ya kufanya maigizo yake.
== Mapokezi ==
Filamu hiyo ilipokelewa vizuri sana na wakosoaji wengi wa kimataifa. Michael Wilmington wa Chicago Tribune, na Kenneth Turan wa Los Angeles Times aliisifu filamu hiyo akisema "imejaa utukufu na migogoro, uharaka na huruma. <ref>{{Cite web|title=Durban International Film Festival (DIFF) (Durban, South Africa)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_3085|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|last=MA|first=Umar|date=2018|title=Analysis of Online Audience Comment on 2016 Subsidy Removal Issue in Nigeria: A Case Study of Premium Times and Sahara Reporters|url=http://dx.doi.org/10.4172/2165-7912.1000363|journal=Journal of Mass Communication & Journalism|volume=08|issue=02|doi=10.4172/2165-7912.1000363|issn=2165-7912}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
ma75qpp8fqn9z6z344xnqkp7xd50h5w
1242209
1242208
2022-08-12T21:51:04Z
Matoromoni
55334
wikitext
text/x-wiki
Maisha ya Nusu ya Nairobi(''Nairobi Half Life'') ni filamu ya kuigiza ya Kenya ya mwaka 2012 iliyoongozwa na David "Tosh" Gitonga. Filamu hiyo ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha tuzo ya Oscar bora ya lugha ya kigeni kati ya tuzo 85 za Academy, lakini haikufanya vibaya kati ya zilizo orezeshwa, na ni mara ya kwanza Kwa Kenya kuwasilisha filamu katika kitengo hiki. <ref>{{Cite web|title=APA Access, September 25, 2012|url=http://dx.doi.org/10.1037/e677192012-001|work=PsycEXTRA Dataset|date=2012|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|date=2012|editor-last=Aseeva|editor-first=Natalia|editor2-last=Babkin|editor2-first=Eduard|editor3-last=Kozyrev|editor3-first=Oleg|title=Perspectives in Business Informatics Research|url=http://dx.doi.org/10.1007/978-3-642-33281-4|journal=Lecture Notes in Business Information Processing|doi=10.1007/978-3-642-33281-4|issn=1865-1348}}</ref>
== Muundo ==
Kijana mmoja, Mwas (Joseph Wairimu) bado anaishi na wazazi wake katika nyumba yao ya vijijini nchini Kenya. Anajipatia riziki kwa kuuza filamu za vitendo vya magharibi, anaigiza sana na kuonyesha takwimu nyingi za vitendo katika filamu zake ili kuwashawishi wateja wake. Yeye ni muigizaji anayetamani, na anapokutana na kundi la waigizaji kutoka Nairobi wakitumbuiza katika mji wake, anamwomba mmoja wao amsaidie kurusha kazi zake za uigizaji kwa kumpa nafas ya kufanya maigizo yake.
== Mapokezi ==
Mwandishi wa Hollywood Todd McCarthy alisifu filamu hiyo baada ya kuitazama katika Sikukuu ya AFI ya 2012: "Tamthiliya hii ya uhalifu yenye nguvu inakuja kama ya uaminifu wa kimsingi na ya kweli." <ref>{{Citation|title=Shaping AFI|date=2022-05-17|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctv2bks5ms.51|work=My Place in the Sun|pages=300–303|publisher=The University Press of Kentucky|access-date=2022-08-12}}</ref>KenyaBuzz alitaja utendaji mbichi wa kuiba shoo uliofanywa na Maina Olwenya kama Oti akisema: "Mhusika huyu ni ghetto zaidi kuliko kusikiliza albamu za zamani za NWA. Anazungumza kwa kujiamini na kutembea kama anavyomiliki mji licha ya kuwa mhalifu wa kawaida. <ref>{{Cite journal|date=2016-12|title=LAS VEGAS SANDS CORP., a Nevada corporation, Plaintiff, v. UKNOWN REGISTRANTS OF www.wn0000.com, www.wn1111.com, www.wn2222.com, www.wn3333.com, www.wn4444.com, www.wn5555.com, www.wn6666.com, www.wn7777.com, www.wn8888.com, www.wn9999.com, www.112211.com, www.4456888.com, www.4489888.com, www.001148.com, and www.2289888.com, Defendants.|url=http://dx.doi.org/10.1089/glre.2016.201011|journal=Gaming Law Review and Economics|volume=20|issue=10|pages=859–868|doi=10.1089/glre.2016.201011|issn=1097-5349}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wikimedia]]
li8ch56y45vihfvirmjmlvmp7sy7nke
1242213
1242209
2022-08-13T05:08:04Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Maisha ya Nusu ya Nairobi'''(''Nairobi Half Life'') ni [[filamu]] ya kuigiza ya nchini [[Kenya]] ya mwaka 2012 iliyoongozwa na David "Tosh" Gitonga. Filamu hiyo ilichaguliwa kama kiingilio cha Kenya cha tuzo ya Oscar bora ya lugha ya kigeni kati ya tuzo 85 za Academy, lakini haikufanya vibaya kati ya zilizo orezeshwa, na ni mara ya kwanza Kwa Kenya kuwasilisha filamu katika kitengo hiki. <ref>{{Cite web|title=APA Access, September 25, 2012|url=http://dx.doi.org/10.1037/e677192012-001|work=PsycEXTRA Dataset|date=2012|accessdate=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|date=2012|editor-last=Aseeva|editor-first=Natalia|editor2-last=Babkin|editor2-first=Eduard|editor3-last=Kozyrev|editor3-first=Oleg|title=Perspectives in Business Informatics Research|url=http://dx.doi.org/10.1007/978-3-642-33281-4|journal=Lecture Notes in Business Information Processing|doi=10.1007/978-3-642-33281-4|issn=1865-1348}}</ref>
== Muundo ==
Kijana mmoja, Mwas (Joseph Wairimu) bado anaishi na wazazi wake katika nyumba yao ya vijijini nchini Kenya. Anajipatia riziki kwa kuuza filamu za vitendo vya magharibi, anaigiza sana na kuonyesha takwimu nyingi za vitendo katika filamu zake ili kuwashawishi wateja wake. Yeye ni muigizaji anayetamani, na anapokutana na kundi la waigizaji kutoka Nairobi wakitumbuiza katika mji wake, anamwomba mmoja wao amsaidie kurusha kazi zake za uigizaji kwa kumpa nafas ya kufanya maigizo yake.
== Mapokezi ==
Mwandishi wa Hollywood Todd McCarthy alisifu filamu hiyo baada ya kuitazama katika Sikukuu ya AFI ya 2012: "Tamthiliya hii ya uhalifu yenye nguvu inakuja kama ya uaminifu wa kimsingi na ya kweli." <ref>{{Citation|title=Shaping AFI|date=2022-05-17|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctv2bks5ms.51|work=My Place in the Sun|pages=300–303|publisher=The University Press of Kentucky|access-date=2022-08-12}}</ref>KenyaBuzz alitaja utendaji mbichi wa kuiba shoo uliofanywa na Maina Olwenya kama Oti akisema: "Mhusika huyu ni ghetto zaidi kuliko kusikiliza albamu za zamani za NWA. Anazungumza kwa kujiamini na kutembea kama anavyomiliki mji licha ya kuwa mhalifu wa kawaida. <ref>{{Cite journal|date=2016-12|title=LAS VEGAS SANDS CORP., a Nevada corporation, Plaintiff, v. UKNOWN REGISTRANTS OF www.wn0000.com, www.wn1111.com, www.wn2222.com, www.wn3333.com, www.wn4444.com, www.wn5555.com, www.wn6666.com, www.wn7777.com, www.wn8888.com, www.wn9999.com, www.112211.com, www.4456888.com, www.4489888.com, www.001148.com, and www.2289888.com, Defendants.|url=http://dx.doi.org/10.1089/glre.2016.201011|journal=Gaming Law Review and Economics|volume=20|issue=10|pages=859–868|doi=10.1089/glre.2016.201011|issn=1097-5349}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wikimedia]]
cjz7srs5u5mbz01ha8s9rij8f4rqv6p
Majadiliano ya mtumiaji:Sorokinanna
3
156617
1242216
2022-08-13T05:59:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 05:59, 13 Agosti 2022 (UTC)
n8q8jbpofjyl8k65y6ej2a4v5e44alm
Majadiliano ya mtumiaji:Leighasuind
3
156618
1242217
2022-08-13T06:00:41Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:00, 13 Agosti 2022 (UTC)
eyfj2es1ew6qquf8mthpf5nl32oeywq
Majadiliano ya mtumiaji:CuriosidadesWikl
3
156619
1242218
2022-08-13T06:01:07Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:01, 13 Agosti 2022 (UTC)
6rfe4840p3pcqro516qg7wmrzzbcms8
Majadiliano ya mtumiaji:Hezron91
3
156620
1242219
2022-08-13T06:01:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:01, 13 Agosti 2022 (UTC)
6rfe4840p3pcqro516qg7wmrzzbcms8
Majadiliano ya mtumiaji:ElBuenAbejorro
3
156621
1242220
2022-08-13T06:01:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:01, 13 Agosti 2022 (UTC)
6rfe4840p3pcqro516qg7wmrzzbcms8
Majadiliano ya mtumiaji:Andrew Gray
3
156622
1242221
2022-08-13T06:02:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
1thzj1sps73jzqxv4vabi34a26njutu
Majadiliano ya mtumiaji:8valve
3
156623
1242223
2022-08-13T06:02:36Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
1thzj1sps73jzqxv4vabi34a26njutu
Majadiliano ya mtumiaji:Joseph kinyanyui
3
156624
1242224
2022-08-13T06:02:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
1thzj1sps73jzqxv4vabi34a26njutu
Majadiliano ya mtumiaji:Idolico
3
156625
1242225
2022-08-13T06:03:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:03, 13 Agosti 2022 (UTC)
oif4ngzbka1e0y9i9my1il8uveiitfa
Majadiliano ya mtumiaji:Ramia Hassani
3
156626
1242226
2022-08-13T06:03:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:03, 13 Agosti 2022 (UTC)
oif4ngzbka1e0y9i9my1il8uveiitfa
Majadiliano ya mtumiaji:Jyotitanwar06
3
156627
1242227
2022-08-13T06:04:01Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:04, 13 Agosti 2022 (UTC)
3nzf5z9f2xa8zizzxlvw0o9lz1bs2nw
Majadiliano ya mtumiaji:Peter G Werner
3
156628
1242228
2022-08-13T06:04:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:04, 13 Agosti 2022 (UTC)
3nzf5z9f2xa8zizzxlvw0o9lz1bs2nw
Majadiliano ya mtumiaji:Mohamud abdi osman
3
156629
1242230
2022-08-13T06:04:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:04, 13 Agosti 2022 (UTC)
3nzf5z9f2xa8zizzxlvw0o9lz1bs2nw
Majadiliano ya mtumiaji:DenisAwaBe
3
156630
1242231
2022-08-13T06:05:06Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 13 Agosti 2022 (UTC)
4w5l3kt0yrpbdmkt2kbipseq8olo3j8
Majadiliano ya mtumiaji:Natalitial
3
156631
1242232
2022-08-13T06:05:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 13 Agosti 2022 (UTC)
4w5l3kt0yrpbdmkt2kbipseq8olo3j8
Majadiliano ya mtumiaji:Kiliani
3
156632
1242233
2022-08-13T06:05:52Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:05, 13 Agosti 2022 (UTC)
4w5l3kt0yrpbdmkt2kbipseq8olo3j8
Majadiliano ya mtumiaji:Mp3Juices12
3
156633
1242234
2022-08-13T06:06:21Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:06, 13 Agosti 2022 (UTC)
ezmr0qfa9mvktn2g48bew3196fm40b2
Kiebr.
0
156634
1242235
2022-08-13T06:06:26Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<nowiki>#</nowiki>REDIRECT [[Kiebrania]]'
wikitext
text/x-wiki
<nowiki>#</nowiki>REDIRECT [[Kiebrania]]
aar7uq775aapxw4qxwgkrq4yc4hq59f
Majadiliano ya mtumiaji:14GTR
3
156635
1242236
2022-08-13T06:29:00Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:29, 13 Agosti 2022 (UTC)
7j5jkr5blrnpfpz0bu9ggih6jv888r9
Majadiliano ya mtumiaji:Rafael Boemi
3
156636
1242237
2022-08-13T06:29:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:29, 13 Agosti 2022 (UTC)
7j5jkr5blrnpfpz0bu9ggih6jv888r9
Majadiliano ya mtumiaji:L55861
3
156637
1242238
2022-08-13T06:29:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:29, 13 Agosti 2022 (UTC)
7j5jkr5blrnpfpz0bu9ggih6jv888r9
Majadiliano ya mtumiaji:小林麻衣
3
156638
1242239
2022-08-13T06:30:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:30, 13 Agosti 2022 (UTC)
jvq5tx757td8cn2jzud2diztl78xkv6
Majadiliano ya mtumiaji:Stifed10
3
156639
1242240
2022-08-13T06:30:44Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:30, 13 Agosti 2022 (UTC)
jvq5tx757td8cn2jzud2diztl78xkv6
Majadiliano ya mtumiaji:2wordy
3
156640
1242241
2022-08-13T06:31:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:31, 13 Agosti 2022 (UTC)
alkj3e2aia7kqwo6mjs32il6fqe8fe3
Majadiliano ya mtumiaji:Wanda Amos
3
156641
1242242
2022-08-13T06:31:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:31, 13 Agosti 2022 (UTC)
alkj3e2aia7kqwo6mjs32il6fqe8fe3
Majadiliano ya mtumiaji:Morgan20freddy
3
156642
1242243
2022-08-13T06:31:50Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:31, 13 Agosti 2022 (UTC)
alkj3e2aia7kqwo6mjs32il6fqe8fe3
Majadiliano ya mtumiaji:KoosTheReader
3
156643
1242244
2022-08-13T06:32:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:32, 13 Agosti 2022 (UTC)
0mi7wn191a89leetwtjveowpeufz3at
Majadiliano ya mtumiaji:Milad2431
3
156644
1242245
2022-08-13T06:32:38Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:32, 13 Agosti 2022 (UTC)
0mi7wn191a89leetwtjveowpeufz3at
Majadiliano ya mtumiaji:Kenraizy Ruto
3
156645
1242246
2022-08-13T06:32:57Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:32, 13 Agosti 2022 (UTC)
0mi7wn191a89leetwtjveowpeufz3at
Majadiliano ya mtumiaji:Սվետա Աղասարյան
3
156646
1242247
2022-08-13T06:33:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:33, 13 Agosti 2022 (UTC)
srszik5w3plts36dqe7h4qjcagl4v0u
Majadiliano ya mtumiaji:Mhidin
3
156647
1242248
2022-08-13T06:33:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:33, 13 Agosti 2022 (UTC)
srszik5w3plts36dqe7h4qjcagl4v0u
Majadiliano ya mtumiaji:ShayoCaryn
3
156648
1242249
2022-08-13T06:34:04Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:34, 13 Agosti 2022 (UTC)
hzuh8vgd6rj82uox60stogh2ytdwh97
Majadiliano ya mtumiaji:Ngwawi careen
3
156649
1242250
2022-08-13T06:34:29Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:34, 13 Agosti 2022 (UTC)
hzuh8vgd6rj82uox60stogh2ytdwh97
Majadiliano ya mtumiaji:Living legend 1
3
156650
1242251
2022-08-13T06:34:47Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:34, 13 Agosti 2022 (UTC)
hzuh8vgd6rj82uox60stogh2ytdwh97
Majadiliano ya mtumiaji:Wik250
3
156651
1242252
2022-08-13T06:35:07Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:35, 13 Agosti 2022 (UTC)
0z1w9ct5xt1cizuy7cte8u18uhuw6fk
Majadiliano ya mtumiaji:Aish12231
3
156652
1242253
2022-08-13T06:35:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:35, 13 Agosti 2022 (UTC)
0z1w9ct5xt1cizuy7cte8u18uhuw6fk
Majadiliano ya mtumiaji:Ckxkxkxkdk four
3
156653
1242254
2022-08-13T06:36:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:36, 13 Agosti 2022 (UTC)
rg44ba68nv5nie1qir0lzwtwsxoymt7
Majadiliano ya mtumiaji:Erasto Mashauri
3
156654
1242255
2022-08-13T06:36:59Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:36, 13 Agosti 2022 (UTC)
rg44ba68nv5nie1qir0lzwtwsxoymt7
Majadiliano ya mtumiaji:Jovainevanjov
3
156655
1242256
2022-08-13T06:37:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:37, 13 Agosti 2022 (UTC)
4sq16ykn1k8ec87s97rrn7pl2q5t79h
Majadiliano ya mtumiaji:Tuliotheiscilon
3
156656
1242257
2022-08-13T06:37:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:37, 13 Agosti 2022 (UTC)
4sq16ykn1k8ec87s97rrn7pl2q5t79h
Majadiliano ya mtumiaji:MakombeGodfrey
3
156657
1242258
2022-08-13T06:38:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:38, 13 Agosti 2022 (UTC)
2oghnz0qvwo3lwl7f4ul9mso3r0tq0p
Majadiliano ya mtumiaji:Stone Yusuph
3
156658
1242259
2022-08-13T06:38:28Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:38, 13 Agosti 2022 (UTC)
2oghnz0qvwo3lwl7f4ul9mso3r0tq0p
Majadiliano ya mtumiaji:Edmond Palladium
3
156659
1242260
2022-08-13T06:38:49Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:38, 13 Agosti 2022 (UTC)
2oghnz0qvwo3lwl7f4ul9mso3r0tq0p
Majadiliano ya mtumiaji:Frank Nya' Sikim
3
156660
1242261
2022-08-13T06:39:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:39, 13 Agosti 2022 (UTC)
dxs93g7ua52c3vzmoraf95d5ci57qhf
Majadiliano ya mtumiaji:Timotheok
3
156661
1242262
2022-08-13T06:39:36Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:39, 13 Agosti 2022 (UTC)
dxs93g7ua52c3vzmoraf95d5ci57qhf
Majadiliano ya mtumiaji:विकिपीडिया25
3
156662
1242263
2022-08-13T06:39:56Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:39, 13 Agosti 2022 (UTC)
dxs93g7ua52c3vzmoraf95d5ci57qhf
Majadiliano ya mtumiaji:LeonardoVinciOtre500
3
156663
1242264
2022-08-13T06:40:15Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:40, 13 Agosti 2022 (UTC)
85n87lvean6ssm1q7jw6ojffx14a2xw
Majadiliano ya mtumiaji:Caren Christopher
3
156664
1242265
2022-08-13T06:40:40Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:40, 13 Agosti 2022 (UTC)
85n87lvean6ssm1q7jw6ojffx14a2xw
Majadiliano ya mtumiaji:Careen samwel
3
156665
1242266
2022-08-13T06:41:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:41, 13 Agosti 2022 (UTC)
lhoja2t2o04vo14zk0sym5z4hl23ibz
Majadiliano ya mtumiaji:Truura
3
156666
1242267
2022-08-13T06:41:45Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:41, 13 Agosti 2022 (UTC)
lhoja2t2o04vo14zk0sym5z4hl23ibz
Majadiliano ya mtumiaji:MrsMeekmilly
3
156667
1242268
2022-08-13T06:42:05Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:42, 13 Agosti 2022 (UTC)
eqi1txq2f0klemlezykcxrbqk61u59t
Majadiliano ya mtumiaji:Patachonica
3
156668
1242269
2022-08-13T06:42:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:42, 13 Agosti 2022 (UTC)
eqi1txq2f0klemlezykcxrbqk61u59t
Majadiliano ya mtumiaji:OvertakenBurner
3
156669
1242270
2022-08-13T06:42:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:42, 13 Agosti 2022 (UTC)
eqi1txq2f0klemlezykcxrbqk61u59t
Majadiliano ya mtumiaji:Hamood1500
3
156670
1242271
2022-08-13T06:43:08Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:43, 13 Agosti 2022 (UTC)
1977vh3gu37lh3j8jywq69n131svgp7
Majadiliano ya mtumiaji:Sh.creative
3
156671
1242272
2022-08-13T06:43:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:43, 13 Agosti 2022 (UTC)
1977vh3gu37lh3j8jywq69n131svgp7
Majadiliano ya mtumiaji:Nresyimchun1.1
3
156672
1242273
2022-08-13T06:43:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:43, 13 Agosti 2022 (UTC)
1977vh3gu37lh3j8jywq69n131svgp7
Majadiliano ya mtumiaji:FloNight
3
156673
1242274
2022-08-13T06:44:17Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:44, 13 Agosti 2022 (UTC)
d4wq1i9sy81zerlwzrl3t6we18w1l2n
Majadiliano ya mtumiaji:MrGamerMooseBTW
3
156674
1242275
2022-08-13T06:44:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:44, 13 Agosti 2022 (UTC)
d4wq1i9sy81zerlwzrl3t6we18w1l2n
Majadiliano ya mtumiaji:Marce Rupeer
3
156675
1242276
2022-08-13T06:45:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:45, 13 Agosti 2022 (UTC)
g1gp480zzdamjj26e7nv2mnekahjm3a
Majadiliano ya mtumiaji:Filgence
3
156676
1242277
2022-08-13T06:45:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:45, 13 Agosti 2022 (UTC)
g1gp480zzdamjj26e7nv2mnekahjm3a
Majadiliano ya mtumiaji:Nandini Babu
3
156677
1242278
2022-08-13T06:45:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:45, 13 Agosti 2022 (UTC)
g1gp480zzdamjj26e7nv2mnekahjm3a
Majadiliano ya mtumiaji:Ibrahimnkya
3
156678
1242279
2022-08-13T06:46:16Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:46, 13 Agosti 2022 (UTC)
72g0eronhbzhkf5bg86v9k0vtwswl6s
Majadiliano ya mtumiaji:Vicjr233
3
156679
1242280
2022-08-13T06:46:43Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:46, 13 Agosti 2022 (UTC)
72g0eronhbzhkf5bg86v9k0vtwswl6s
Majadiliano ya mtumiaji:Douglas Kadima
3
156680
1242281
2022-08-13T06:47:13Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:47, 13 Agosti 2022 (UTC)
karcjsp3vmokw9dpue38yuyz7wnf2em
Majadiliano ya mtumiaji:APXN Property
3
156681
1242282
2022-08-13T06:47:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:47, 13 Agosti 2022 (UTC)
karcjsp3vmokw9dpue38yuyz7wnf2em
Majadiliano ya mtumiaji:Teddy Mulyana
3
156682
1242283
2022-08-13T06:47:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:47, 13 Agosti 2022 (UTC)
karcjsp3vmokw9dpue38yuyz7wnf2em
Majadiliano ya mtumiaji:MrsKryten
3
156683
1242284
2022-08-13T06:48:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:48, 13 Agosti 2022 (UTC)
6lrme0z6autj3fwtop9wv3yz7duqstc
Majadiliano ya mtumiaji:JHurtado26
3
156684
1242285
2022-08-13T06:53:27Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:53, 13 Agosti 2022 (UTC)
lrzuz4ivtgf4k26o5zxa29f5s1enmmx
Majadiliano ya mtumiaji:KamiDende
3
156685
1242286
2022-08-13T06:53:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:53, 13 Agosti 2022 (UTC)
lrzuz4ivtgf4k26o5zxa29f5s1enmmx
Majadiliano ya mtumiaji:Straughn
3
156686
1242287
2022-08-13T06:54:26Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:54, 13 Agosti 2022 (UTC)
c42t7722p16lkzcv76dxq6lj70m09lw
Majadiliano ya mtumiaji:Imtzniceguy
3
156687
1242288
2022-08-13T06:54:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:54, 13 Agosti 2022 (UTC)
c42t7722p16lkzcv76dxq6lj70m09lw
Majadiliano ya mtumiaji:HazemGM
3
156688
1242289
2022-08-13T06:55:14Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:55, 13 Agosti 2022 (UTC)
rjs3wcnzj054l69024pram0zv08ytba
Majadiliano ya mtumiaji:Yusufkayaalp6
3
156689
1242290
2022-08-13T06:55:35Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:55, 13 Agosti 2022 (UTC)
rjs3wcnzj054l69024pram0zv08ytba
Majadiliano ya mtumiaji:Avertje
3
156690
1242291
2022-08-13T06:55:58Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:55, 13 Agosti 2022 (UTC)
rjs3wcnzj054l69024pram0zv08ytba
Majadiliano ya mtumiaji:DraganovTafl
3
156691
1242292
2022-08-13T06:56:20Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:56, 13 Agosti 2022 (UTC)
r4sfcj7h4oethb75fofqfmo66vssvis
Majadiliano ya mtumiaji:Teleosteen
3
156692
1242293
2022-08-13T06:56:55Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:56, 13 Agosti 2022 (UTC)
r4sfcj7h4oethb75fofqfmo66vssvis
Majadiliano ya mtumiaji:Soud Jamal Emanuel
3
156693
1242294
2022-08-13T06:58:23Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 06:58, 13 Agosti 2022 (UTC)
70mrpw8galhwcl2snfd79xvlb2ge2ti
Majadiliano ya mtumiaji:Pavlenkon
3
156694
1242295
2022-08-13T07:01:31Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:01, 13 Agosti 2022 (UTC)
5vxj427ztq9cbpid9dmkmcvkhs17sdb
Majadiliano ya mtumiaji:Tony Sambuka
3
156695
1242296
2022-08-13T07:01:51Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:01, 13 Agosti 2022 (UTC)
5vxj427ztq9cbpid9dmkmcvkhs17sdb
Majadiliano ya mtumiaji:Saileni Emiliani
3
156696
1242297
2022-08-13T07:02:11Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
brf5lkvsmmuihkyyo3h7it5ryoeceij
Majadiliano ya mtumiaji:DJ Wizz Tyga
3
156697
1242298
2022-08-13T07:02:33Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
brf5lkvsmmuihkyyo3h7it5ryoeceij
Majadiliano ya mtumiaji:Marilyn elle
3
156698
1242299
2022-08-13T07:02:54Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:02, 13 Agosti 2022 (UTC)
brf5lkvsmmuihkyyo3h7it5ryoeceij
Majadiliano ya mtumiaji:Wandwasi Davis
3
156699
1242300
2022-08-13T07:03:18Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:03, 13 Agosti 2022 (UTC)
7wdi5l4wk82uodscvrqru92vdxejm8l
Majadiliano ya mtumiaji:Magdaline Mukumbu
3
156700
1242301
2022-08-13T07:03:48Z
Anuary Rajabu
45588
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:03, 13 Agosti 2022 (UTC)
7wdi5l4wk82uodscvrqru92vdxejm8l
Jamii:Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Yale
14
156701
1242305
2022-08-13T10:48:35Z
Benix Mby
36425
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Commons category|Alumni of Yale University}}'
wikitext
text/x-wiki
{{Commons category|Alumni of Yale University}}
tog17hud5gtt8xqrw1hmn79p2spa9za
Lugha ya sidi
0
156702
1242312
2022-08-13T11:56:26Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Lugha ya sidi]] hadi [[Kisidi]]: urahisi wa kuupata
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Kisidi]]
fwfn7emu594b772z7jw2bpcpqjnrs4j