Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.47.0-wmf.10
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Event
Event talk
Athi
0
2016
1579451
1118363
2026-07-15T01:57:04Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579451
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:GalanaRiverKenya.jpg|thumbnail|right|200px|Muonekano wa Mto Athi]]
'''Athi''' ni [[jina]] la [[mto]] katika [[kaunti ya Kitui]], [[Kenya]], [[Afrika Mashariki]]. Sehemu za mto huu hujulikana pia kwa majina ya '''Galana''' na '''Sabaki''', kwa hiyo mto wote huitwa pia '''Athi-Galana-Sabaki'''.
Una [[urefu]] wa [[kilomita]] 390, na [[beseni]] lenye eneo la [[Km²]] 70,000.
Mto wa Athi umeupatia jina lake [[mji]] wa [[Athi River]] karibu na [[Nairobi]] pia kwa kampuni ya [[Athi River Mining]].
Athi inaanza karibu na Nairobi ikielekea [[Bahari Hindi]]. Inapita [[Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo Mashariki]] pia [[tambarare]] ya juu ya [[Yatta]] ilipotafuta njia yake kuvukia eneo kubwa la [[mawe]] ya [[volkeno|kivolkeno]].
Baada ya [[maporomoko ya maji]] ya [[Lugard]] inapokea [[mto Tsavo]] ikibadilika jina lake. Mto unaitwa kuanzia hapa kwa jina la Galana. Kabla ya kufika katika [[Bara Hindi]] karibu na [[Malindi]] upande wa [[kaskazini]] jina linabadilika tena kuwa Sabaki.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
i4et3qf5e6wzfn17ptpjcotdq99u94i
Ruvuma (mto)
0
3086
1579449
1306956
2026-07-15T01:51:09Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579449
wikitext
text/x-wiki
{{mto
| jina = Mto wa Ruvuma
| picha =
| maelezo_ya_picha =
| chanzo = Karibu na [[Songea]] kwa 10° 45' kus., 35° 40' mash.
| mdomo = [[Bahari ya Hindi]], kusini ya [[Mtwara]] kwa 10° 28' kus., 40° 30' mash.
| nchi = [[Tanzania]], [[Msumbiji]]
| urefu = 1,083 km
| kimo = 1,850 m
| tawimto = Lujenda,
| tawimto kulia =
| tawimto kushoto =
| mkondo = ?? m³/s
| eneo = 165,760 km²
| watu =
| miji =
}}
[[Picha:Ruvuma_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya Mto Ruvuma]]
'''Ruvuma''' (pia: '''Rovuma''') ni [[mto]] mrefu wa [[Tanzania]] na [[Msumbiji]]. Mpaka kati ya Tanzania na Msumbiji unafuata mwendo wa Mto huu kwa [[km]] 730.
[[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kiko [[mashariki]] mwa [[mji]] wa [[Songea]] katika [[milima]] ya [[Matagoro]] upande wa mashariki wa [[Ziwa Nyasa]]. Unaelekea [[magharibi]] kati ya vilima kwenye [[kimo]] cha [[mita]] 1000 karibu na Songea halafu unabadili mwelekeo kwenda [[kusini]].
Unapofikia mpaka wa Tanzania na Msumbiji, takriban km 200 baada ya chanzo, unageuka tena kuelekea mashariki hadi baharini. Km 35 baada ya kuungana na [[mto Lujenda]] pana [[maporomoko ya Upinde]].
Km 160 kabla ya kufika [[mdomo|mdomoni]] [[bonde la Ruvuma]] linapanuka kuwa na upana wa km 10; lalio la mto ni karibu [[mita]] 500 likiwa na [[visiwa]] vya [[mchanga]]. Wakati wa [[ukame]] [[maji]] hupungua sana hadi watu kuvuka mto kwa [[miguu]]; wakati wa [[mvua]] [[umbali]] kati ya pande zote [[mbili]] unafikia zaidi ya [[kilomita]] [[moja]].
[[Mdomo]] uko [[Bahari ya Hindi]] kati ya [[Mtwara]] (Tanzania) na [[Rasi ya Delgado]] (Msumbiji). Mdomo wenyewe una [[umbo]] la [[delta]]. Athira ya maji kujaa au kupwa baharini huonekana km 20 kabla ya mdomo wenyewe.
Kabla kufika kwenye delta kuna [[feri]] inayobeba [[magari]] kati ya Tanzania na Msumbiji. Feri ilipelekwa hapa na [[padre|mapadre]] [[Wabenedikto]] wanaofanya [[kazi]] pande zote mbili za mto.
[[Tawimto|Matawimto]] muhimu ni [[mto Muhuwesi]] na [[mto Lumesule]] upande wa Tanzania, halafu [[mto Lucheringo]] na [[mto Lujenda]] upande wa Msumbiji.
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
* [[Orodha ya mito ya Msumbiji]]
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
'''''de:''''' "Rowuma" - Deutsches Koloniallexikon (Kamusi ya koloni za Ujerumani 1914) [http://www.ub.bildarchiv-dkg.uni-frankfurt.de/Bildprojekt/Lexikon/Standardframeseite.php?suche=rowuma] {{Wayback|url=http://www.ub.bildarchiv-dkg.uni-frankfurt.de/Bildprojekt/Lexikon/Standardframeseite.php?suche=rowuma |date=20060623070109 }}
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mto Ruvuma]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mito ya Msumbiji]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
bcrbiw0vgc3wkj43325ej97wn2d0yfr
Rufiji (mto)
0
3088
1579443
1569156
2026-07-15T01:28:54Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579443
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika maungano ya [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumulisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>, ambayo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya hayo mawili, unaotiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]]. Luwegu unaotiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba, na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>.
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]., Uingereza ilichukua udhibiti wa Tanganyika. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira, na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref></ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005, Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]]., likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara, na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref></ref>.inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref></ref>.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
oxg8d7sc0xw557a7g1qejpy2lwumtpf
1579444
1579443
2026-07-15T01:30:52Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Matawi ya Bonde */
1579444
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika maungano ya [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumulisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>, ambayo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya matawi hayo mawili, unaotiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]]. Luwegu unatiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba, na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>.
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]., Uingereza ilichukua udhibiti wa Tanganyika. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira, na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref></ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005, Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]]., likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara, na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref></ref>.inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref></ref>.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rm811qfl2yibmqpp2wwsfjc4wsnd1h2
1579445
1579444
2026-07-15T01:32:26Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Matawi ya Bonde */
1579445
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika maungano ya [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumulisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>, ambayo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya matawi hayo mawili, unatiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]], na Luwegu unatiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba, na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>.
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]., Uingereza ilichukua udhibiti wa Tanganyika. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira, na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref></ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005, Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]]., likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara, na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref></ref>.inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref></ref>.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5yl5egq1wy41addpmjmrzpixbtgkq53
1579446
1579445
2026-07-15T01:37:07Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Historia */
1579446
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika maungano ya [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumulisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>, ambayo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya matawi hayo mawili, unatiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]], na Luwegu unatiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref>
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005 Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]], likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref></ref>.inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref></ref>.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ltnni4a3ubox1xoibijjsvc1m0a84io
1579447
1579446
2026-07-15T01:39:17Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji */
1579447
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika maungano ya [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumulisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref></ref>, ambayo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya matawi hayo mawili, unatiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]], na Luwegu unatiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref>
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005 Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]], likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki, <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref> inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
fa9cuxmk6198cc5i161qhhknmblky60
1579448
1579447
2026-07-15T01:43:17Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579448
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SelousSandRivers.jpg|right|thumb|Mto Rufiji katika Hifadhi ya [[Selous]]]]
'''Rufiji''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Tanzania]], [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake kipo Tanzania ya [[kusini]]-[[magharibi]] katika muungano wa [[tawimto|matawimto]] ya [[mto Kilombero]] (Ulanga) na [[mto Luwegu]]. Unafikia [[Bahari Hindi]] kwa njia ya [[delta]] yake takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Dar es Salaam]] karibu na [[kisiwa cha Mafia]]. [[Urefu]] wa Rufiji ni takriban km 600.
[[Beseni]] la Rufiji linajumuisha eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 177,000<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji River Basin|publisher=WWF|url=https://www.wwf.or.tz|access-date=2026-06-08}}</ref>, ambalo ni karibu [[asilimia]] 20 ya ardhi ya Tanzania, na linajumuisha mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Njombe|Njombe]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]]. [[Tawimto]] kubwa katika beseni hilo ni [[Ruaha Mkuu]], ambao una urefu wa kilomita 480 na unajiunga na Rufiji karibu na mji wa Shughuli.
Mnamo mwaka [[2005]] [[daraja]] lilikamilika linalorahisisha [[usafiri]] kati ya [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] na [[Mikoa ya Tanzania|mikoa ya]] [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] na [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]].
== Matawi ya Bonde ==
Mto Rufiji unatokana na matawimto makubwa mawili: [[Mto Kilombero]] (pia unajulikana kama Ulanga) na [[Mto Luwegu]]. Kilombero ni mto mrefu zaidi kati ya matawi hayo mawili, unatiririka kutoka [[Milima ya Livingstone|Milima ya Kipengere]] na [[Milima ya Udzungwa]], na Luwegu unatiririka kutoka [[Milima ya Matengo]] na Milima ya Kipengere.
{| class="wikitable"
|+Matawi makuu ya Mto Rufiji
!Tawi/Mto
!Urefu (km)
!
!
!
|-
|[[Ruaha Mkuu]]
|480
|
|
|
|-
|[[Mto Kilombero]]
|350
|
|
|
|-
|[[Mto Luwegu]]
|300
|
|
|
|}
== Historia ==
[[Picha:Rufiji_River_basin_map.svg|right|thumb|Ramani ya bonde la Mto Rufiji]]
[[Wataalamu]] kadhaa huamini ya kwamba [[mji]] wa kale ulioitwa [[Rhapta]] na kutajwa katika [[kitabu]] cha [[Periplus ya Bahari ya Eritrea]] ulikuwepo kwenye Delta ya Rufiji.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] [[manowari]] ya Kijerumani [[SMS Königsberg]] ilizamishwa katika delta ya mto.
Wakati wa utawala wa [[Ujerumani]] (1885-1918), [[Rufiji (mto)|Mto Rufiji]] ulitumika kama njia kuu ya kusafirisha bidhaa kutoka bara kwenda bandari ya [[Kilwa]] na [[Dar es Salaam]]. Wajerumani walianzisha mashamba ya miti, pamba na kahawa kando ya mto<ref><ref>{{cite web|title=German Colonial Records – Schuberthof Plantation|publisher=Cambridge University Press|url=https://www.cambridge.org/core/search|access-date=2026-06-08}}</ref>
Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], [[Uingereza]] ilichukua udhibiti wa [[Tanganyika]]. Waingereza waliendeleza kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, mpira na korosho kwenye ukingo wa Rufiji.<ref><ref>{{cite book|title=Cotton, colonialism, and social history in sub-Saharan Africa|author=Sunseri, Thaddeus|publisher=Heinemann|year=1995|isbn=0435089684|editor=Isaacman, Allen|pages=|chapter=Peasants and the struggle for labor in cotton regimes of the Rufiji Basin, Tanzania (1890-1918)|editor2=Roberts, Richard}}</ref>
[[Tanzania]] baada ya uhuru (1961) ilirithi miundombinu ya kikoloni. Mwaka 2005 Daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa [[Japani]], likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>Mwaka 2005, daraja la Rufiji lilikamilika kwa msaada wa Japani, likarahisisha usafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.<ref>{{cite web|title=Mkapa Bridge|publisher=Grokipedia|url=https://grokipedia.com/page/mkapa_bridge|access-date=2026-06-08}}</ref>
== Delta na Misitu Ndani ya Mto Rufiji ==
Delta ya Rufiji ni delta kubwa zaidi ya Afrika Mashariki, <ref><ref>{{cite journal |year=2020 |title=Rufiji Delta Mangroves |journal=Wetlands Ecology |volume=28 |pages=45-60}}</ref> inayochukua eneo la kilomita za mraba 1,800. Misitu ya mikoko kwenye delta ya Rufiji ni mikubwa zaidi [[Tanzania]] na ya pili kwa ukubwa [[Afrika Mashariki]].
Delta ya Rufiji ni makazi ya [[Ndovu wa Afrika|ndovu]], [[viboko]], [[mamba]], na aina zaidi ya [[ndege]] 300. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008. Eneo hili limehifadhiwa kama Hifadhi ya Rasilimali za Delta ya Rufiji tangu mwaka 2008<ref><ref>{{cite web|title=Rufiji Delta Resource Reserve|publisher=Ministry of Natural Resources Tanzania|url=https://www.mnrt.go.tz/|access-date=2026-06-08|archive-date=2023-06-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230609010517/https://www.mnrt.go.tz/|url-status=dead}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html Map of the Rufiji River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af22.html |date=20080907170359 }}
* [https://eastafrica.wetlands.org/download/4687/ Rufiji Delta Landscape Strategy 2025-2050] Wetlands International Tanzania
* [https://www.geonames.org/9645329/rufiji-river.html Rufiji River] kwenye tovuti ya GeoNames
* [https://web.archive.org/web/20080907163427/http://www.waterresources.biz/e-atlas/map_print.php?id=233 Map of the Rufiji River basin] kwenye Wayback Machine
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Pwani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
o6w8fu0zlzjbezlqli9f42pmw3qw7sr
Shebeli
0
3105
1579454
1148000
2026-07-15T02:01:15Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579454
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:jubbarivermap.png|thumbnail|right|200px|Ramni inayoonyesha Mto Shebeli]]
'''Shebeli''' (pia: Shabelle, Scebelli, Shabell, Shebele) ni [[tawimto]] la [[Juba (mto)|mto Juba]] linalobeba [[maji]] yake kutoka [[nyanda za juu]] za [[Ethiopia]] kuelekea [[Bahari ya Uhindi]] ingawa mara nyingi unakauka katika [[jangwa]] la [[Somalia]] kabla ya kufikia [[mdomo]] wake.
[[Chanzo (mto)|Chanzo]] cha Shebeli kiko katika [[milima ya Batu]] (Ethiopia) takriban [[km]] 200 kusini kwa [[Addis Ababa]].
Baada ya mwendo wa km 920 mto unaingia [[Somalia]] ukielekea [[Mogadishu]]. Karibu na [[mji]] unageukia [[kusini]]-[[magharibi]] na kufuata [[mstari]] wa [[pwani]] ya Bahari Hindi kwa [[umbali]] wa km 20-40 ndani ya [[bara]].
Baada ya mwendo wa km 900 ndani ya Somalia lalio lake linaingia katika mto Juba lakini baada ya Mogadishu Shebeli ni kavu kwa sehemu kubwa ya [[mwaka]].
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
* [[Orodha ya mito ya Somalia]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
{{mito ya Ethiopia}}
{{mito ya Somalia}}
== Viungo vya nje ==
* '''''en:''''' [http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af24.html Map of the Shebelle River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af24.html |date=20060624173941 }}
* '''''en:''''' [http://www.somwat.com/hydropolitics.html Hydropolitics in the Horn of Africa] {{Wayback|url=http://www.somwat.com/hydropolitics.html |date=20060626084833 }}
* '''''en:''''' [http://www.irinnews.org/report.asp?ReportID=46953&SelectRegion=Horn_of_Africa&SelectCountry=ETHIOPIA "Ethiopia: Rains pound Somali region as death toll rises"], [[IRIN]], [[5 Mei]] [[2005]]
* '''''en:''''' [http://www.un.org/apps/news/story.asp?NewsID=14150 "Floods plague Horn of Africa, wash away refugee shelters" - UN News]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Mito ya Somalia]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
cy9fqyit7jqa2j8sf9k3h6mc5w1b6ui
Juba (mto)
0
3107
1579453
1141298
2026-07-15T01:59:22Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579453
wikitext
text/x-wiki
{{Mto | jina = Mto Juba
| picha = Bardere.bridge.jpg
| maelezo_ya_picha = Daraja la mto Juba huko Baardhere (Bardera), [[Somalia]]
| chanzo = Maungano ya mito ya Dawa na Gebele, [[Ethiopia]]
| mdomo =
| nchi = [[Ethiopia]], [[Somalia]]
| urefu = 1,659 km
| kimo = ? m katika milima ya Bale, Ethiopia
| mkondo = ? m³/s
| eneo = 497,626 km²
| mdomo = [[Bahari ya Hindi]] kaskazini ya [[Kismayu]]
| tawimito =
| tawimito kulia =
| tawimito kushoto =
| watu =
| miji =
}}
{{coord|-0.2495|42.6307|region:SO|display=inline,title}}
[[Picha:jubbarivermap.png|thumb|[[Beseni]] la mto Jubba.]]
[[Image:Juba river downstream Jamaame.jpg|thumb|left|Mto Jubba karibu [[Jamaame]].]]
'''Juba''' (pia: '''Jubba''', '''Giuba''', '''Ganane''' au '''Genale'''; kwa [[Kisomali]]: ''Wabiga Jubba'') ni [[mto]] mkubwa wa [[Somalia]] wenye [[maji]] [[mwaka]] wote. [[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake ni katika [[nyanda za juu]] za [[Ethiopia]]. Unaanzia karibu na mpaka wa Ethiopia, ambao [[Mto Dawa]] na [[mto Ganale Dorya]] inaungana, halafu unatiririkia kusini moja kwa moja hadi [[Bahari ya Hindi]] karibu na [[mji]] wa [[Kismayu]], Somalia [[Kusini]].
Wakati wa [[ukoloni]] mto Juba ulikuwa mpaka kati ya [[Kenya]] na eneo la Somalia lililokuwa chini ya [[Italia]]. Mwaka [[1925]] [[Uingereza]] iliwaachia Waitalia eneo la nchi kusini mwa mto (kwa [[Kiitalia]]: Territorio dell'Oltre Giuba - kwa [[Kiingereza]]: Jubaland).
Kila baada ya miaka kadhaa [[bonde]] la Juba huona [[mafuriko]]. Mafuriko mabaya yaliyoleta uharibifu mwingi yalitokea mnamo mwaka [[1997]].
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
*[http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af10.html Map of the Jubba River basin at Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://multimedia.wri.org/watersheds_2003/af10.html |date=20101110220920 }}
* [http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af10.html Ramani ya Bonde la mto Juba (Kiingereza)] {{Wayback|url=http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af10.html |date=20070927212652 }}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mito ya Somalia]]
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Category:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
broqqcfgbnrye4ipj8avvg61p8ao3b1
Tana (mto)
0
3119
1579450
1302899
2026-07-15T01:53:52Z
Elizabeth Samwel
75873
/* */
1579450
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Tana 39.41642E 0.95086S.jpg|thumb|Chanzo cha Tana ([[picha]] kutoka [[Anga|angani]]).]]
[[Picha:DM-SD-02-04679.jpg|thumb|Mto Tana mwaka 1998 wakati wa [[El Nino]].]]
[[Picha:DM-SD-01-06042.jpg|thumb|Mto Tana mwaka 1998 wakati wa [[El Nino]].]]
'''Tana''' ni [[jina]] la [[mto]] mrefu kuliko [[Mito ya Kenya|yote]] ya [[Kenya]] ukiwa na [[urefu]] wa takriban [[km]] 650.
[[Chanzo (mto)|Chanzo]] chake ni [[milima]] ya [[Aberdare]] [[magharibi]] kwa [[Nyeri]]. Mwanzoni unelekea [[mashariki]], halafu inapinda kuzunguka [[Mlima Kenya]] upande wa [[kusini]]. Kisha huingia ndani ya [[bwawa|mabwawa]] ya [[Masinga]] na [[Kiambere]] yaliyotokana na [[bwawa la Kindaruma]]. Chini ya [[bwawa]] mto huu hugeuka kuelekea [[kaskazini]] na kutiririka mpaka wa kaskazini-kusini kati ya [[Kaunti za Kenya|kaunti]] za [[Meru]] na [[Kitui]], [[Bisanadi]], [[Kora]] na [[Hifadhi ya wanyama ya Rabole]]. Ndani ya hifadhi hugeuka kuelekea [[mashariki]], na kisha kusini mashariki.
Kati ya mito inayoingia mto Tana kuna [[Thika (mto)|mto Thika]].
Inapita [[miji]] ya [[Garissa]], [[Hola]] na [[Garsen]] kabla ya kufika [[Bahari Hindi]] kwenye [[Ghuba ya Ungwana]].
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pd88wavb7m02fs7h8w5mp8v27gf2ldw
1977
0
4469
1579438
1028055
2026-07-14T22:09:02Z
~2026-39659-40
90941
1579438
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka|1982}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1977 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
* [[5 Februari]] - Kuundwa kwa [[Chama cha Mapinduzi]], [[chama tawala]] cha [[Tanzania]]
* [[27 Juni]] - Nchi ya [[Jibuti]] inapata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]].
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
* [[22 Januari]] - [[Hidetoshi Nakata]], [[mchezaji wa mpira]] kutoka [[Japani]]
* [[20 Februari]] - [[Zoltán Trepák]], mchezaji wa mpira kutoka [[Hungaria]]
* [[16 Aprili]] - [[Alek Wek]], [[mrembo]] kutoka [[Sudan]]
* [[23 Aprili]] - [[John Cena]], [[mwanamweleka]], [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1 Juni]] - [[Sarah Wayne Callies]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[8 Juni]] - [[Kanye West]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
* [[24 Juni]] - [[Amir Talai]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[11 Julai]] - [[Edward Moss]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[13 Julai]] - [[Ashley Scott]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[13 Julai]] - [[Kari Wahlgren]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[17 Oktoba]] - [[Andre Villas Boas]], [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Ureno]]
* [[10 Novemba]] - [[Brittany Murphy]], mwigizaji na mwimbaji kutoka [[Marekani]]
* [[18 Novemba]] - [[Fabolous]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[5 Mei]] - [[Ludwig Erhard]], [[Chansela]] wa [[Ujerumani]] ([[1963]]-[[1966]])
* [[3 Juni]] - [[Archibald Vivian Hill]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1922]]
* [[2 Julai]] - [[Vladimir Nabokov]], [[mwandishi]] wa [[Urusi]] na wa [[Marekani]]
* [[4 Agosti]] - [[Edgar Adrian]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1932]]
* [[16 Agosti]] - [[Elvis Presley]], mwimbaji kutoka [[Marekani]]
* [[12 Septemba]] - [[Steve Biko]], [[mwanasiasa]] kutoka [[Afrika Kusini]] (aliuawa na mapolisi)
*[[12 Septemba]]- [[Robert Lowell]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[11 Oktoba]] - [[MacKinlay Kantor]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[25 Desemba]] - [[Charlie Chaplin]], mwigizaji filamu kutoka [[Uingereza]]
==Viungo vya nje==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 20]]
gn438nfj1m746ymq5y2yxq71bofw1cv
1579593
1579438
2026-07-15T10:19:00Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/~2026-39659-40|~2026-39659-40]] ([[User talk:~2026-39659-40|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Escarbot|Escarbot]]
1028055
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka|1977}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1977 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
* [[5 Februari]] - Kuundwa kwa [[Chama cha Mapinduzi]], [[chama tawala]] cha [[Tanzania]]
* [[27 Juni]] - Nchi ya [[Jibuti]] inapata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]].
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
* [[22 Januari]] - [[Hidetoshi Nakata]], [[mchezaji wa mpira]] kutoka [[Japani]]
* [[20 Februari]] - [[Zoltán Trepák]], mchezaji wa mpira kutoka [[Hungaria]]
* [[16 Aprili]] - [[Alek Wek]], [[mrembo]] kutoka [[Sudan]]
* [[23 Aprili]] - [[John Cena]], [[mwanamweleka]], [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1 Juni]] - [[Sarah Wayne Callies]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[8 Juni]] - [[Kanye West]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
* [[24 Juni]] - [[Amir Talai]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[11 Julai]] - [[Edward Moss]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[13 Julai]] - [[Ashley Scott]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[13 Julai]] - [[Kari Wahlgren]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
* [[17 Oktoba]] - [[Andre Villas Boas]], [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Ureno]]
* [[10 Novemba]] - [[Brittany Murphy]], mwigizaji na mwimbaji kutoka [[Marekani]]
* [[18 Novemba]] - [[Fabolous]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[5 Mei]] - [[Ludwig Erhard]], [[Chansela]] wa [[Ujerumani]] ([[1963]]-[[1966]])
* [[3 Juni]] - [[Archibald Vivian Hill]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1922]]
* [[2 Julai]] - [[Vladimir Nabokov]], [[mwandishi]] wa [[Urusi]] na wa [[Marekani]]
* [[4 Agosti]] - [[Edgar Adrian]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1932]]
* [[16 Agosti]] - [[Elvis Presley]], mwimbaji kutoka [[Marekani]]
* [[12 Septemba]] - [[Steve Biko]], [[mwanasiasa]] kutoka [[Afrika Kusini]] (aliuawa na mapolisi)
*[[12 Septemba]]- [[Robert Lowell]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[11 Oktoba]] - [[MacKinlay Kantor]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[25 Desemba]] - [[Charlie Chaplin]], mwigizaji filamu kutoka [[Uingereza]]
==Viungo vya nje==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 20]]
4wkxomt6qgourp5t6jilijlrdhjdreu
Gedi
0
14800
1579511
1512681
2026-07-15T09:28:12Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579511
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Gede
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map =
|pushpin_map_caption = Mahali pake katika Kenya
|settlement_type = Kijiji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Kenya]]
|subdivision_type1 = [[Kaunti za Kenya|Kaunti]]
|subdivision_name1 = [[Kaunti ya Kilifi|Kilifi]]
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla = 600
|latd= |latm= |lats=00 |latNS=S
|longd=36 |longm= |longs=00 |longEW=E
|website =
}}
[[Image:Great Mosque of Gede.jpg|thumb|250px|Maghofu ya msikiti]]
[[Image:Gedi.jpg|thumb|250px|Kaburi la mwaka 1399 kati ya maghofu ya Gedi]]
'''Gedi''' (pia: '''Gede''') ni [[kijiji]] cha wakazi 600 kwenye [[pwani]] ya [[Kenya]] [[kusini]] [[mashariki]] ya [[Kaunti ya Kilifi]], takriban [[kilomita]] 16 [[kusini]] mwa [[Malindi]]. Ni mahali maarufu penye [[maghofu|magofu]] ya [[mji]] wa [[Waswahili]] wa Kale ndani ya msitu wa Arabuko-sokoke.<ref>https://web.archive.org/web/20161202145130/http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/</ref>
Kuna maeneo 116 ya Waswahili yaliotapakaa kutoka kusini mwa Somalia hadi Vumba kuu ilioko katika mpaka wa Kenya na Tanzania.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-08-12 |archivedate=2013-06-16 |archiveurl=https://archive.today/20130616134635/http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/ }}</ref> kutokana na uvumbuzi wa [[magofu]] ya Gedi uliofanywa na [[wakoloni]] miaka ya 1920, Gede imejulikana kama mji uliotambulika zaidi na maeneo yake kufanyiwa utafiti zaidi kando na maeneo ya Shanga, Manda, Ungwana, Kilwa na visiwa vya Komoro.
==Gedi ya kihistoria==
Kando ya kijiji cha leo kuna eneo kubwa la maghofu. [[Ukuta|Kuta]] za [[mawe]] zinaonekana kati ya [[miti]]. [[Nyumba]] za watu, jumba la mkubwa -labda [[mfalme]]-, [[msikiti]] na [[Kaburi|makaburi]] huonekana vizuri. Mji wote ulikuwa na takriban [[ekari]] 45 na mabaki ya ukuta uliozunguka yote yaonekana hadi leo lakini nyumba nyingi zilikuwa za watu [[maskini]] zilizojengwa kwa kutumia [[udongo]] na [[mbao]] tu hazionekani tena.
Hakuna uhakika Gedi ya Kale ilianzishwa lini lakini [[wataalamu]] hukadiria [[umri]] wa nyumba za kwanza zinazopatikana hadi leo kuwa wa mnamo [[karne ya 13]]/[[Karne ya 14|14]]. Kuna [[maandiko]] ya [[Kiarabu]] kwenye makaburi yanayosaidia makadirio hayo. Hakuna habari za kimaandishi juu ya mji, kwa hiyo taarifa zote zimetegemea matokeo ya [[akiolojia]].
Inaonekana Gedi ilikuwa mji [[tajiri]] uliostawi kwa [[biashara]]. Kuna mabaki ya [[bidhaa]] kutoka [[Uhindi]] ([[taa]] ya [[chuma]]), [[China]] ([[jagi]] la [[kauri]] la kipindi cha [[Ming]]), [[Venezia]], [[Italia]] ([[ushanga]] wa [[kioo]]), na [[Hispania]] ([[mkasi]]).
[[Idadi]] ya wakazi inakadiriwa ilikuwa hadi 2,500. Nyumba kubwa za matajiri zilikuwa na [[vyoo]] vya [[maji]] na [[bafu]].
Mnamo [[karne ya 16]] mji uliachwa na wakazi wake. Hakuna uhakika kuhusu sababu yake.
Maghofu ya Gedi yalitangazwa kuwa [[hifadhi ya taifa]] na siku hizi yatawaliwa na [[idara]] ya [[makumbusho ya Kenya]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
*[[Bomas of Kenya]]
*[[Jumba la Mtwana]]
*[[Makumbusho ya Garissa]]
*[[Makumbusho ya Kabarnet]]
*[[Makumbusho ya Kapenguria]]
*[[Makumbusho ya Kitale]]
*[[Makumbusho ya Narok]]
*[[Makumbusho ya reli Nairobi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* James Kirkman. 1975. ''Gedi. Historical monument.'' Museum Trustees of Kenya, Nairobi.
* James Kirkman. 1963. ''Gedi, the palace.'' Studies in African history, Mouton, Den Haag.
* James Kirkman. 1954. ''The Arab City of Gedi.'' Oxford University Press, Oxford.
* Eric P. Mitchell. 2011. "Gedi: The Lost City Revisited" ''World Explorer'' Magazine, Vol. 6, No. 2, pp. 33–36.
* Rudolf Fischer. 1984. ''Korallenstädte in Afrika. Die vorkoloniale Geschichte der Ostküste.'' Edition Piscator, Oberdorf. pp. 107–121.
==Viungo vya Nje==
*[http://www.africanmeccasafaris.com/kenya/mombasa/excursions/gediruins.asp Information about the ruins]
*[https://malindians.com/travel-guides/unsolved-mystery-of-gedi-ruins/ Malindi Tourist and Information Center] {{Wayback|url=https://malindians.com/travel-guides/unsolved-mystery-of-gedi-ruins/ |date=20200321180535 }}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Makumbusho ya Kenya]]
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
[[Jamii:Kaunti ya Kilifi]]
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
tpod6jirjf70qzaftrrqs6nq38igyou
1579619
1579511
2026-07-15T10:47:41Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/NANJ BHALO|NANJ BHALO]] ([[User talk:NANJ BHALO|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]]
1512681
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Gede
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map =
|pushpin_map_caption = Mahali pake katika Kenya
|settlement_type = Kijiji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Kenya]]
|subdivision_type1 = [[Kaunti za Kenya|Kaunti]]
|subdivision_name1 = [[Kaunti ya Kilifi|Kilifi]]
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla = 600
|latd= |latm= |lats=00 |latNS=S
|longd=36 |longm= |longs=00 |longEW=E
|website =
}}
[[Image:Great Mosque of Gede.jpg|thumb|250px|Maghofu ya msikiti]]
[[Image:Gedi.jpg|thumb|250px|Kaburi la mwaka 1399 kati ya maghofu ya Gedi]]
'''Gedi''' (pia: '''Gede''') ni [[kijiji]] cha wakazi 600 kwenye [[pwani]] ya [[Kenya]] [[kusini]] [[mashariki]] katika [[Kaunti ya Kilifi]], takriban [[kilomita]] 16 [[kusini]] kwa [[Malindi]]. Ni mahali maarufu pa [[maghofu]] ya [[mji]] wa [[Waswahili]] wa Kale ndani ya msitu wa Arabuko-sokole.<ref>https://web.archive.org/web/20161202145130/http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/</ref>
Kuna maeneo 116 ya Waswahili yanayonyooka kutoka kusini mwa Somalia mpaka Vumba kuu katika mpaka wa Kenya na Tanzania.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-08-12 |archivedate=2013-06-16 |archiveurl=https://archive.today/20130616134635/http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/ }}</ref> kutokana na uvumbuzi wa [[magofu]] ya Gedi uliofanywa na [[wakoloni]] miaka ya 1920, Gede imejulikana kama mji uliotambulika zaidi na maeneo yake kufanyiwa utafiti zaidi kando na maeneo ya Shanga, Manda, Ungwana, Kilwa na visiwa vya Komoro.
==Gedi ya kihistoria==
Kando ya kijiji cha leo kuna eneo kubwa la maghofu. [[Ukuta|Kuta]] za [[mawe]] zinaonekana kati ya [[miti]]. [[Nyumba]] za watu, jumba la mkubwa -labda [[mfalme]]-, [[msikiti]] na [[Kaburi|makaburi]] huonekana vizuri. Mji wote ulikuwa na takriban [[ekari]] 45 na mabaki ya ukuta uliozunguka yote yaonekana hadi leo lakini nyumba nyingi zilikuwa za watu [[maskini]] zilizojengwa kwa kutumia [[udongo]] na [[mbao]] tu hazionekani tena.
Hakuna uhakika Gedi ya Kale ilianzishwa lini lakini [[wataalamu]] hukadiria [[umri]] wa nyumba za kwanza zinazopatikana hadi leo kuwa wa mnamo [[karne ya 13]]/[[Karne ya 14|14]]. Kuna [[maandiko]] ya [[Kiarabu]] kwenye makaburi yanayosaidia makadirio hayo. Hakuna habari za kimaandishi juu ya mji, kwa hiyo taarifa zote zimetegemea matokeo ya [[akiolojia]].
Inaonekana Gedi ilikuwa mji [[tajiri]] uliostawi kwa [[biashara]]. Kuna mabaki ya [[bidhaa]] kutoka [[Uhindi]] ([[taa]] ya [[chuma]]), [[China]] ([[jagi]] la [[kauri]] la kipindi cha [[Ming]]), [[Venezia]], [[Italia]] ([[ushanga]] wa [[kioo]]), na [[Hispania]] ([[mkasi]]).
[[Idadi]] ya wakazi inakadiriwa ilikuwa hadi 2,500. Nyumba kubwa za matajiri zilikuwa na [[vyoo]] vya [[maji]] na [[bafu]].
Mnamo [[karne ya 16]] mji uliachwa na wakazi wake. Hakuna uhakika kuhusu sababu yake.
Maghofu ya Gedi yalitangazwa kuwa [[hifadhi ya taifa]] na siku hizi yatawaliwa na [[idara]] ya [[makumbusho ya Kenya]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
*[[Bomas of Kenya]]
*[[Jumba la Mtwana]]
*[[Makumbusho ya Garissa]]
*[[Makumbusho ya Kabarnet]]
*[[Makumbusho ya Kapenguria]]
*[[Makumbusho ya Kitale]]
*[[Makumbusho ya Narok]]
*[[Makumbusho ya reli Nairobi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* James Kirkman. 1975. ''Gedi. Historical monument.'' Museum Trustees of Kenya, Nairobi.
* James Kirkman. 1963. ''Gedi, the palace.'' Studies in African history, Mouton, Den Haag.
* James Kirkman. 1954. ''The Arab City of Gedi.'' Oxford University Press, Oxford.
* Eric P. Mitchell. 2011. "Gedi: The Lost City Revisited" ''World Explorer'' Magazine, Vol. 6, No. 2, pp. 33–36.
* Rudolf Fischer. 1984. ''Korallenstädte in Afrika. Die vorkoloniale Geschichte der Ostküste.'' Edition Piscator, Oberdorf. pp. 107–121.
==Viungo vya Nje==
*[http://www.africanmeccasafaris.com/kenya/mombasa/excursions/gediruins.asp Information about the ruins]
*[https://malindians.com/travel-guides/unsolved-mystery-of-gedi-ruins/ Malindi Tourist and Information Center] {{Wayback|url=https://malindians.com/travel-guides/unsolved-mystery-of-gedi-ruins/ |date=20200321180535 }}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Makumbusho ya Kenya]]
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
[[Jamii:Kaunti ya Kilifi]]
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
abj5o6qtkuya48ksaur16lyyx1jsyn6
Ukanda wa Gaza
0
15453
1579501
1427677
2026-07-15T09:20:47Z
Riccardo Riccioni
452
1579501
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Gaza ramani.PNG|right|frame|300px|Ramani ya Ukanda wa Gaza.]]
'''Ukanda wa Gaza''' ni eneo dogo kwenye [[mwambao]] wa [[Mediteranea]] ya [[Mashariki]] lililopo sehemu ya [[Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina]] ya [[Palestina]]. Lina [[urefu]] wa [[kilomita]] 41 na [[upana]] kati ya km 6 na 14. Eneo lote halizidi [[km²]] 365. [[Gaza]] imepakana na [[Bahari ya Kati]] halafu nchi za [[Israeli]] (upande wa [[mashariki]] na [[kaskazini]]) na [[Misri]] (upande wa [[kusini]]-[[magharibi]]). Israeli inatenganisha Gaza na maeneo upande wa [[magharibi]] ya [[Yordani (mto)|mto Yordani]] yaliyo pia chini ya mamlaka ya Palestina.
Licha ya udogo wa eneo hilo, lina [[idadi ya watu]] inayokadiria kuwa zaidi ya watu milioni 2. Hali hii inafanya Gaza kuwa moja kati ya maeneo yenye [[msongamano]] mkubwa zaidi wa watu duniani, yaani zaidi ya watu 4,100 kwa km².
[[Mji]] mkubwa ni [[Gaza]].
Miji mingine ni pamoja na:
* [[Khan Yunis]]
* [[Rafah]] (iliyoko mipakani mwa Misri)
* [[Jabalia]]
==Historia==
Ukanda huu ni kati ya mabaki ya [[Palestina ya Kiingereza]] yasiyotwaliwa na Israeli wakati wa [[vita ya Kiarabu-Kisraeli ya 1948]] na kuwa kimbilio kwa [[wakimbizi]] wengi Wapalestina waliowahi kukaa katika sehemu zilizopata kuwa za Israeli.
=== Baada ya mwaka 1948 ===
Kufuatia [[Vita vya Palestina vya 1948]] (vilivyosababisha [[Nakba]]), Ukanda wa Gaza uliwekwa chini ya utawala wa kijeshi wa [[Misri]]. Katika kipindi hiki, maelfu ya wakimbizi wa Kipalestina walikimbilia Gaza kutoka maeneo yaliyokuwa yamechukuliwa na Israel.
=== Utawala wa Israel na Kujiondoa ===
Wakati wa [[Vita vya Siku Sita]] mnamo mwaka [[1967]] (tukio la [[Naksa]]), Israel iliteka Ukanda wa Gaza kutoka kwa Misri na kuanzisha utawala wa kijeshi pamoja na kujenga makazi ya walowezi wa Kiyahudi.
Tangu [[mwaka]] [[1994]] ulikabidhiwa kwa mamlaka ya Palestina lakini Israeli iliendelea kuwa na [[vijiji]] vya Waisraeli na vituo vya kijeshi ndani yake. Mapigano ya [[intifada]] yaliongezeka kuwa makali na kusababisha [[Kifo|vifo]] vingi. Tangu mwaka [[2005]] Israeli iliondoa wakazi na [[wanajeshi]] wake wote.
Mnamo mwaka [[2005]], chini ya mpango wa kujiondoa upande mmoja, Israel iliondoa majeshi yake yote na kubomoa makazi ya walowezi wake ndani ya Gaza, na kuliacha eneo hilo chini ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
=== Utawala wa Hamas na Vikwazo ===
Baada ya [[uchaguzi]] wa 2006 chama cha [[Hamas]] chini ya [[Ismael Haniya]] kilipata [[kura]] nyingi na kushika serikali ya Palestina. Farakano kati ya Hamas na Fatah wa [[rais]] [[Mahmud Abas]] liliongezeka hadi Hamas kuchukua mamlaka yote katika Gaza kwa nguvu ya [[silaha]] mwezi wa Juni [[2007]] kutoka kwa chama cha [[Fatah]]. Tangu mwezi ule Gaza iko chini ya serikali ya Hamas lakini maeneo mengine yako chini ya mamlaka ya rais Abas.
Tangu wakati huo, Israel na Misri ziliweka vizuizi vikali vya kiuchumi, angani, nchi kavu, na baharini (blockade) dhidi ya ukanda huo kwa sababu za kiusalama, hali iliyosababisha changamoto kubwa za kibinadamu na kiuchumi kwa wakazi wa Gaza. Ukanda huu umekuwa uwanja wa mapigano na vita vya mara kwa mara kati ya Hamas na jeshi la Israel.
Hali ya [[maisha]] ya wakazi wake ni ngumu. Israeli imefunga mipaka na kuzuia wakazi wa Gaza wasitoke nje kwa sababu [[wanamgambo]] Wapalestina wanaendelea kurusha [[roketi]] ndogo kutoka Gaza kwenda Israeli. Kutokana na kufungwa kwa mipaka yote [[uchumi]] ni duni: hakuna [[ajira]]. Hata [[huduma]] za msingi kama vile [[maji]] na [[umeme]] zinavurugika kabisa.
Ukanda wa Gaza una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. Una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi. Pamoja na [[Ukingo wa Magharibi]], Ukanda wa Gaza unaunda maeneo ya [[Palestina]] yanayotafuta uhuru kamili wa kuwa Jamhuri ya Palestina.
== Tazama Pia ==
* [[Ukingo wa Magharibi]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
* [[Nakba]]
==Viungo vya nje==
{{commons|Gaza Strip}}
{{asia}}
{{mbegu-jio-Asia}}
[[Jamii:Palestina]]
[[Jamii:Miji ya Biblia]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
6tvocf3d9bredmajkeipq59dss71s90
Wikipedia:Matukio ya hivi karibuni
4
16648
1579479
1559081
2026-07-15T08:41:07Z
Riccardo Riccioni
452
/* Makala ya 120,000 */
1579479
wikitext
text/x-wiki
==Makala ya 121,000==
Tarehe 14 Julai 2026 umetungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Sadako Pointer]], [[mwimbaji]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 120,000==
Tarehe 30 Mei 2026 umetungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Valentin Filatov (mkufunzi wa dubu)]].
==Makala ya 119,000==
Tarehe 26 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 119,000 kwa makala juu ya [[Salih Zaki Bey]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Iraki]].
==Makala ya 118,000==
Tarehe 23 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 118,000 kwa makala juu ya [[Tod Lippy]], [[Wasanii|msanii]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 117,000==
Tarehe 19 Mei 2026 iliandikwa makala juu ya [[Muziki|wanamuziki]] [[Modern Talking]] ambayo imekuwa ya 117,000 katika [[Wikipedia ya Kiswahili]].
==Makala ya 116,000==
Tarehe 16 Mei 2026 makala juu ya [[John Brodie (mwanasoka aliyezaliwa 1862)]] imefanya idadi ya makala ya Wikipedia ya Kiswahili ifikie 116,000.
==Makala ya 115,000==
Mapema tarehe 13 Mei 2026 makala ya 115,000 ya Wikipedia ya Kiswahili ilitungwa kuhusu [[Nadia Ginetti]], mwanasiasa wa Italia.
==Makala ya 114,000==
Tarehe 10 Mei 2026, Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 114,000 kwa kupitia makala ya [[Hellen Linkswiler]] (5 Januari 1912 – 24 Juni 1984), mtaalamu wa lishe na mwanasayansi wa lishe kutoka [[Marekani]] aliyefanya utafiti kuhusu mahitaji ya madini katika mwili wa binadamu na asidi amino.
==Makala ya 113,000==
Tarehe 7 Mei 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 113,000 inayohusu [[Jan Eliasberg]] mwongozaji na mwandishi wa filamu, maonyesho ya jukwaa, na televisheni kutoka nchini Marekani.
==Makala ya 112,000==
Tarehe 28 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 112,000 inayohusu [[Silverio Izaguirre]], [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Hispania]].
==Makala ya 111,000==
Tarehe 21 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imewahi kupata makala ya 111,000 kuhusu [[Janet Nwadiogo Mokelu]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa Afrika Kusini.
==Makala ya 110,000==
Tarehe 16 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imefikia idadi ya makala 110,000 kwa ukurasa juu ya [[Linda Moss]], mwanasiasa wa nchi hiyohiyo.
==Makala ya 109,000==
Tarehe [[9 Aprili]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 109,000 kuhusu [[Cyprien Mbonimpa]], [[mwanadiplomasia]] wa [[Burundi]]..
==Haririo la 1,500,000==
Siku hiyohiyo ilikuwa imepata kufanyika haririo la 1,500,000 tangu Wikipedia ya Kiswahili ianzishwe.
==Makala ya 108,000==
Tarehe [[18 Machi]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 108,000 kuhusu [[Wahindi wa Tanzania]].
==Makala ya 107,000==
Tarehe [[23 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 107,000 kuhusu [[Chang Ming-che]], mwanataaluma wa [[Taiwan]].
==Makala ya 106,000==
Tarehe [[11 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 106,000 kuhusu [[Musa Tukur Yakasai]], profesa wa [[Nigeria]].
==Makala ya 105,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala kuhusu [[Eliane Rosa Naika]], [[mwanasiasa]] wa [[Madagaska]]: ndiyo ya 105,000.
==Makala ya 104,000==
Mwaka [[2026]] Wikipedia ya Kiswahili imefikia kuwa na makala ya 104,000 tarehe [[10 Januari]] kuhusu [[filamu]] [[Miss Fatimah]].
==Makala ya 103,000==
Tarehe 8 Desemba imetungwa makala ya 103,000 kuhusu [[Carlentini]], mji wa [[Sisilia|Sicilia]], [[Italia visiwani]].
==Makala ya 102,000==
Tarehe 8 Oktoba imetungwa makala ya 102,000 kuhusu [[Irene Charnley]].
==Makala ya 101,000==
Kwa kasi hiyohiyo ya mwaka 2025, Wikipedia yetu imepiku mapema toleo la [[Kimalagasy]] na tarehe 23 Agosti kuwahi nakala ya 101,000 kuhusu [[Dada wa Cooney]].
=='''Makala ya 100,000'''==
Kwa makala juu ya [[Barclayville]], tarehe [[23 Juni]] [[2025]] Wikipedia yetu imetimiza idadi ya laki moja! Ni Wikipedia ya Afrika ya nne kufikia kiwango hicho, siku chache baada ya ile ya Malagasy, na ni ya kwanza kati ya [[lugha za Kiniger-Kongo]]. Tunawashukuru wote, wazima kwa wafu, waliochangia mafanikio hayo.
==Makala ya 99,000==
Tarehe [[4 Juni]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 99,000 kwa ukurasa kuhusu [[wilaya ya Luanshya]] nchini [[Zambia]].
==Makala ya 98,000==
Tarehe [[9 Machi]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 98,000 kwa ukurasa kuhusu [[mwimbaji]] [[Kirsten Price]].
==Makala ya 97,000==
Tarehe [[25 Februari]] 2025 imefikia makala ya 97,000 kwa ukurasa kuhusu [[kardinali]] [[Giulio Bevilacqua]].
==Makala ya 96,000==
Tarehe 18 Februari 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 96,000 kuhusu [[mwimbaji]] [[Janie Fricke]].
==Makala ya 95,000==
Tarehe [[6 Februari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 95,000 juu ya [[Uwanja wa Michezo wa Perth Rectangular]].
==Makala ya 94,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 94,000 kuhusu [[askofu]] [[Joseph Mukasa Zuza]].
==Makala ya 93,000==
Tarehe [[22 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 93,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] [[Grant Needham]].
==Makala ya 92,000==
Tarehe [[13 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 92,000 kuhusu [[mwanamuziki]] [[Terry Tufts]].
==Makala ya 91,000==
Tarehe [[6 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 91,000 kuhusu [[mwanasiasa]] [[Saka Isau]].
==Makala ya 90,000==
Tarehe [[11 Desemba]] [[2024]] Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 90,000 kuhusu mchezaji [[Jason Hartill]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 1,000 kwa siku mbili tu.
==Makala ya 89,000==
Tarehe [[9 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 89,000 kuhusu jimbo la [[Norwei]] [[Vestland]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 10,000 kwa mwaka mmoja tu. Hongera kwa wote waliochangia.
==Makala ya 88,000==
Tarehe [[1 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 88,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanakandanda]] wa kike [[Stephanie Bukovec]].
==Makala ya 87,000==
Tarehe [[22 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 87,000 kuhusu mwanakandanda [[Nicholas Lindsay]].
==Makala ya 86,000==
Tarehe [[7 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 86,000 kuhusu [[Riadha|mwanariadha]] [[Juma Ndiwa]].
==Makala ya 85,000==
Tarehe 20 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 85,000 kuhusu [[mtakatifu]] [[Leoniani wa Vienne]].
==Makala ya 84,000==
Tarehe 8 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 84,000 kuhusu mwanariadha [[Jürgen Kühl]].
==Makala ya 83,000==
Tarehe 19 Septemba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 83,000 kuhusu mwanariadha [[Jacques Riparelli]].
==Makala ya 82,000==
Tarehe 10 Julai 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 82,000 kuhusu [[pipa]].
==Makala ya 81,000==
Tarehe 11 Juni 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 81,000 ambayo inahusu [[Kufukuzwa kwa Wamoroko kutoka Algeria]].
==Makala ya 80,000==
Tarehe 21 Aprili 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 80,000 ambayo inahusu [[mwandamizi]].
==Mradi mpya wa kata za Tanzania==
Tarehe [[20 Aprili]] 2024 tumemaliza kuingiza taarifa za [[kata]] zote nchini [[Tanzania]] kufuatana na [[sensa]] ya mwaka 2022.
==Makala ya 79,000==
Tarehe 9 Desemba [[2023]] Wikipedia hii imefikia makala ya 79,000 kwa ukurasa juu ya kata ya [[Chemchem (Unguja)]] katika mradi mpya wa kata za Tanzania.
{{Infobox_Person
| jina =Kipala
| nchi =Ujerumani
| majina_mengine =
| picha =
| ukubwawapicha =
| maelezo_ya_picha =
| jina_la_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kuzaliwa =
| mahala_pa_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kufariki =10 Julai 2023
| mahala_alipofia =
| sababu_ya_kifariki =
| anajulikana kwa =
| kazi_yake = Mchungaji
| cheo =Mchungaji
| mshahara =
| kipindi =
| alitanguliwa_na =
| akafuatiwa_na =
| chama =
| bodi =
| dini =
| ndoa =
| rafiki =
| watoto =
| mahusiano =
| tovuti =
| maelezo =
| mwajiri =
| urefu =
| uzito =
}}
==Kifo cha Kipala==
Tarehe [[10 Julai]] 2023 mwenzetu bureaucrat [[mtumiaji:Kipala|Kipala]] ameaga dunia. Mchungaji wa Kilutheri na mmisionari katika nchi mbalimbali, zikiwemo [[Tanzania]], [[Kenya]] na [[Iran]], Ingo Koll amefariki nyumbani mwake nchini [[Ujerumani]]. Alichangia sana kamusi elezo ya lugha yetu tangu tarehe 13 Machi 2006 hadi tarehe 28 Juni 2023. Mbali ya hilo, alikuwa kiungo kikuu katika kutuweka pamoja kama Wikipedia ya Kiswahili. Alitoa mchango mkubwa sana katika kuistawisha na katika mijadala mbalimbali, pamoja na kutuwakilisha kimataifa. Mwenyezi Mungu amjalie raha ya milele. Amina.
Tarehe 13 Mei 2023 alikuwa amemuandikia [[mtumiaji:Riccardo Riccioni|ndugu Rikardo]]: "Juzi daktari aliniarifu kwamba nimepata kansa. Aina hiyo kwenye kongosho inaweza kuendelea haraka sana, lakini kuna uwezekano fulani wa tiba itakayoongeza muda kidogo ... labda mwaka 1 au miwili. Hadi sasa sisikii matatizo lakini nahisi maumivu yatakuja, na matokeo ya tiba ya madawa makali yataniathiri pia. Kwa hiyo - sijui sasa nitaweza kuendelea kwa muda gani. Wiki ijayo naingia hospitalini kwa utafiti zaidi.
Sidhani ni wakati wa kuaga sasa. Sina hamu ya kupokea wimbi la "pole". Tangu nimepita umri wa miaka 70 nilijiambia "kuanzia sasa hakuna cha kulalamika", maana katika kazi yangu nimezika watu mamia nilipenda kusoma zaburi ya 90. Nachukua wakati wangu kama zawadi. Sikutegemea nitapatwa na kansa ya haraka vile lakini sioni faida ya kulalamika. Hadi sasa maisha yangu yamekuwa mazuri sana, nina kila sababu kumshukuru Mungu na kushukuru watu niliokuta kwenye njia zangu. Hii ni pamoja na wewe!"
==Makala ya 78,000==
Tarehe [[15 Juni]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 78,000 kwa makala juu ya [[Jamil Adam]] katika mradi wa [[Mchezaji|wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]].
==Makala ya 77,000==
Tarehe [[25 Machi]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 77,000 kwa makala juu ya [[Chomutov]], [[mji]] wa [[Ucheki]].
==Wakabidhi wapya wanne==
Mwezi Aprili 2023 ulifanyika uchaguzi wa wakabidhi wapya. Kati ya 6 waliogombea, 4 wamechaguliwa kwa kupata zaidi ya nusu ya kura halali. Kazi njema, ndugu!
==Makala ya 76,000==
Tarehe [[23 Desemba]] [[2022]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 76,000 kwa makala juu ya [[Bouhjar]], [[mji]] wa [[Tunisia]].
==Makala ya 75,00==
Tarehe [[17 Septemba]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 75,000 kwa makala juu ya [[Kouandé]], [[mji]] wa [[Benin]].
==Makala ya 74,00==
Tarehe [[15 Julai]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 74,000 kwa makala juu ya [[Ghuba ya Venezuela]].
==Makala ya 73,00==
Tarehe [[6 Juni]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 73,000 kwa makala juu ya [[Frenda]], mji wa [[Algeria]].
==Makala ya 72,00==
Tarehe [[14 Mei]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 72,000. Kwa kuwa makala nyingi zimetungwa kwa mashindano, kuna kazi kubwa ni kuziweka sawa.
==Makala ya 71,00==
Tarehe [[23 Aprili]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 71,000 kwa makala nyingi za mradi wa [[Jamii:Arusha Editathon Muziki|Arusha Editathon Muziki]].
==Makala ya 70,00==
Tarehe [[10 Machi]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 70,000 kwa makala juu ya [[Ilesa]] katika mradi wa miji ya [[Nigeria]].
==Makala ya 69,000==
Tarehe [[11 Januari]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 69,000 kwa makala juu ya [[Maroua]] katika mradi wa miji ya [[Kamerun]].
==Makala ya 68,000==
Tarehe [[29 Oktoba]] [[2021]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 68,000 kwa makala juu ya [[Chambishi]] katika mradi wa [[miji]] ya [[Zambia]].
==Makala ya 67,000==
Tarehe [[9 Septemba]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 67,000 kwa makala juu ya [[Nairagie Ngare]] katika mradi wa [[vijiji]] vya [[Kenya]].
==Makala ya 66,000==
Tarehe [[14 Agosti]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 66,000 kwa makala juu ya [[Makutano]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 65,000==
Tarehe [[5 Julai]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 65,000 kwa makala juu ya [[Mwea]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 64,000==
Tarehe [[19 Juni]] 2021 Wikipedia hii imevuka idadi ya 64,000 kutokana na tendo la kurudisha makala 907 lililofanywa na steward aliyekuwa amezifuta kwa mkupuo mmoja mwaka 2020.
==Makala ya 63,000==
Tarehe [[8 Juni]] 2021 mradi wa Africa Wiki Challenge Arusha kuhusu viwanja vya michezo umefikisha Wikipedia yetu hadi kutunga makala ya 63,000 na kusonga mbele haraka. Hongera na asante kwa wahusika wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:58, 9 Juni 2021 (UTC)
==Makala ya 62,000==
Tarehe [[7 Mei]] 2021 mradi wa [[miji]] ya [[Italia]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 62,000 kwa ukurasa juu ya [[San Giovanni Rotondo]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:28, 7 Mei 2021 (UTC)
==Makala ya 61,000==
Tarehe [[15 Machi]] 2021 mradi wa [[watakatifu]] [[Wakristo]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 61,000 kwa ukurasa juu ya [[Agrikola wa Chalon]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:19, 15 Machi 2021 (UTC)
==Makala ya 60,000==
Tarehe [[20 Agosti]] [[2020]] mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 60,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Rubirizi (Muramvya)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:28, 20 Agosti 2020 (UTC) Tarehe [[8 Novemba]] 2020 Wikipedia yetu imetimiza tena idadi hiyo baada ya kukatwa makala 800 hivi hapo katikati (mpaka sasa hatujajua ilikuwaje). Ukurasa husika ni juu ya [[mtakatifu]] [[Andrea Avellino]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:14, 8 Novemba 2020 (UTC)
==Makala ya 59,000==
Tarehe [[22 Mei]] [[2020]] mradi wa [[miji ya Rwanda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 59,000 kwa ukurasa juu ya [[Mukarange]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:02, 22 Mei 2020 (UTC)
==Makala ya 58,000==
Tarehe [[3 Aprili]] [[2020]] mradi wa [[Orodha ya mito ya Burundi|mito ya Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 58,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Gihororo (Karuzi)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 3 Aprili 2020 (UTC)
==Makala ya 57,000==
Tarehe [[17 Machi]] [[2020]] mradi wa [[wachezaji mpira]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 57,000 kwa ukurasa juu ya [[Gilmar Rinaldi]]. Kurasa elfu kwa juma moja tu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:44, 18 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 56,000==
Tarehe [[10 Machi]] [[2020]] mradi wa [[Makabila ya Uganda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 56,000 kwa ukurasa juu ya [[Wakumam]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:36, 10 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 55,000==
Tarehe [[13 Desemba]] [[2019]] mradi wa [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika|Watakatifu wa Afrika]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 55,000 kwa ukurasa juu ya [[Yusto askofu]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:17, 13 Desemba 2019 (UTC)
==Makala ya 54,000==
Tarehe [[4 Oktoba]] 2019 makala ya 54,000 imetungwa kuhusu [[wafiadini]] wa [[Afrika]] [[Suksesi na wenzake 17]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:23, 4 Oktoba 2019 (UTC)
==Makala ya 53,000==
Tarehe [[10 Agosti]] 2019 makala ya 53,000 imetungwa kuhusu [[Tarafa ya Tiémélékro]]. Tunawashukuru wachangiaji wetu kutoka [[Cote d'Ivoire]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:58, 11 Agosti 2019 (UTC)
==Makala ya 52,000==
Tarehe [[16 Julai]] 2019 makala ya 52,000 imetungwa kuhusu [[mto Rwoho]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:55, 16 Julai 2019 (UTC)
==Makala ya 51,000==
Tarehe [[31 Mei]] 2019 makala ya 51,000 imetungwa kuhusu [[mto Osia]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:35, 31 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 50,000==
Tarehe [[3 Mei]] 2019 makala ya 50,000 imetungwa kuhusu [[mto Ocere]]. Hatimaye tumefikia hatua hiyo kubwa! Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 3 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 49,000==
Tarehe [[23 Machi]] 2019 makala ya 49,000 imetungwa kuhusu [[mto Wangodugu]]. Tukazane ili kufikia mapema ya 50,000! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:12, 23 Machi 2019 (UTC)
::Hongera sana Ndugu Riccardo kwa michango yako!! Na asante!'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:58, 23 Machi 2019 (UTC)
==Makala ya 48,000==
Tarehe [[7 Februari]] 2019 makala ya 48,000 imetungwa kuhusu [[kisiwa cha Musira]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:30, 7 Februari 2019 (UTC)
==Makala ya 47,000==
Tarehe [[8 Novemba]] [[2018]] makala ya 47,000 imetungwa kuhusu mto Olkimatare. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:26, 8 Novemba 2018 (UTC)
==Makala ya 46,000==
Tarehe [[15 Oktoba]] 2018 makala ya 46,000 imetungwa kuhusu [[mto Wakavi]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:41, 15 Oktoba 2018 (UTC)
==Ukurasa wa 100,000==
Tarehe [[5 Oktoba]] 2018, kwa makala juu ya [[Mto Thiririka]], Wikipedia yetu imefikia ukurasa wa 100,000 zikihesabiwa si makala tu, bali pia kurasa za maelekezo, majadiliano, watumiaji n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:41, 5 Oktoba 2018 (UTC)
==Baba Tabita kuaga==
Tarehe [[26 Septemba]] 2018, huyo mchangiaji wetu mkuu ameandika ili kutuaga baada ya kazi ya miaka 12 na kisha kuugua kwa muda mrefu, akisema hajui kama ataweza kuchangia tena. Tunazidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona na kuendelea nasi. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 26 Septemba 2018 (UTC)
==Makala ya 45,000==
Tarehe [[12 Agosti]] [[2018]] makala ya 45,000 imetungwa kuhusu [[mto Ilangi]], [[Korongo (jiografia)|korongo]] wa [[Kenya]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:11, 12 Agosti 2018 (UTC)
==Makala ya 44,000==
Tarehe [[30 Julai]] [[2018]] makala ya 44,000 imetungwa kuhusu [[mto Nyairoko]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:55, 30 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 43,000==
Tarehe [[7 Julai]] makala ya 43,000 imetungwa kuhusu [[mto Kaptarit]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 7 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 42,000==
Tarehe 21 Mei 2018, makala ya 42,000 imetungwa kuhusu [[mto Jigulu]]. Mbele kwa mbele! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:18, 21 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 41,000==
Tarehe 2 Mei 2018, makala ya 41,000 ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] kuhusu [[Mto Ligunga]]. Tusonge mbeleee! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 05:13, 3 Mei 2018 (UTC)
:Ninja [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] katika ubora wake. Safi sana! Tunasonga. Sasa hivi tutafika walipo Afrikaans!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:22, 3 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 40,000==
Tarehe 17 Machi 2018, makala ya 40,000 (AROBAINI ELFU, jamani!) ni kuhusu mlima [[Nidze]]. Makala ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. Asante na hongera, Mzee! Sherehe itafanyika wapiii? Tupo pamoja katika furaha na fahari. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:52, 17 Machi 2018 (UTC)
:Sasa niseme tu, zama zangu zimeisha! Nyakati zangu nilipiga buku ndani ya wiki 2. Furaha iliyopo hadi mgonjwa umeamka kitandani. Pole sana mzee wangu, Oliver, na ahsante kwa taarifa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:37, 17 Machi 2018 (UTC)
::Kweli tunahitaji sherehe. Hongereni ndugu zangu wote! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 23:44, 30 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 39,000==
Tarehe 24 Desemba 2017, makala ya 39,000 imeandikwa. Sasa tunalenga ya 40,000: tujitahidi pamoja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:48, 13 Januari 2018 (UTC)
==Makala ya 38,000==
Tarehe 12 Oktoba 2017, makala ya 38,000 ni kuhusu [[Ziwa Kamnarok]], [[ziwa]] lililokauka la [[Kenya]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 21:16, 13 Oktoba 2017 (UTC)
==Makala ya 37,000==
Tarehe 30 Julai 2017, makala ya 37,000 ni kuhusu [[Ziwa Ambussel]], ziwa dogo la [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:44, 30 Julai 2017 (UTC)
==Makala ya 36,000==
Tarehe 20 Mei 2017, makala ya 36,000 ni kuhusu [[Abdallah Majurah Bulembo]], mwanasiasa wa [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na Ndugu [[Majadiliano ya mtumiaji:Luhazi|Luhazi]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 18:29, 20 Mei 2017 (UTC)
==Makala ya 35,000==
Tarehe 12 Januari 2017, makala ya 35,000 ni kuhusu mwandishi [[James Tate (mwandishi)|James Tate]] aliyepokea [[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]] mwaka wa 1992. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:41, 12 Januari 2017 (UTC)
==Makala ya 33,000==
18 Aprili 2016, makala ya 33,000 ni [[Kio'du]], lugha ya [[Vietnam]] na [[Laos]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 11:43, 18 Aprili 2016 (UTC)
==Haririo la 1,000,000==
Upande wa maharirio, tarehe [[10 Oktoba]] 2015 yamefikia [[idadi]] ya [[milioni]] 1.
==Makala ya 30,000==
Nimejitahidi lakini nahisi aliyepita ni Riccardo mnamo tar. 21. Septemba 2015, sina uhakika makala gani. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:32, 23 Septemba 2015 (UTC)
:Ni [[Historia ya Madagaska]] tarehe 22 Septemba 2015. Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 24 Septemba 2015 (UTC)
==Makala ya 29,000==
*13 Juni 2015, makala ya 29,000 ni [[Pembe kuu]] (pembe ya 180°, isiyoonekana kama pembe inafanana na mstari wa kawaida...)
==Warsha ya Wikipedia Morogoro==
Tarehe 21 Machi 2015, wahariri wafuatao walitoa warsha ya kuandika na kuhariri makala za wikipedia ya Kiswahili kwa walimu na wanafunzi wa [http://www.alfagems.com/ shule ya sekondari ya AlfaGems] mjini [[Morogoro (mji)|Morogoro]]: [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], [[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] na [[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] (bahati mbaya, [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Muddyb Blast Producer]] alibanwa kazini na kutoweza kuhudhuria). Tumefurahi kuona mafanikio mema!
<gallery>
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 1.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 1
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 2.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 2
Morogoro 2015 warsha ya wanafunzi 3.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 3
Warsha wanafunzi.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 4
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - Wikipedia imefika!.jpg|Wikipedia ya Kiswahili imefika Alfagems SS
Warsha ya walimu.jpg|Walimu walikuwa na warsha yao pia
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - wikipedia imefika hadi chumba hiki.jpg|Hapo iko chumba cha kompyuta ambako wanafunzi zaidi ya 60 waliangalia nafasi zilizopo kwenye wikipedia ya Kiswahili
</gallery>
==Makala ya 28,000==
*25 Januari 2015, makala ya 28,000 ni [[Kipaici]], lugha ya [[Kaledonia Mpya]].
==Makala ya 22,000==
*28 Oktoba 2011 imefika makala 22,000!
==Makala ya 20,000==
[[Picha:Wikipedia 20000 articles.png|80px|right]]
* 21 Agosti 2010: mji wa [[Dordrecht]] ;-)
==Makala ya 15,000==
* 25 Desemba 2009 (UTC) :-)
'''Mlimba''' ni tarafa iliyopo katika wilaya ya Kilombero katika Mkoa wa Morogoro. Ipo umbali wa kilomita 150 kutoka Ifakara mjini. Tarafa ya Mlimba ina ujumla wa kata 6. Kata ya Tanganyika Masagati ni kata maarufu sana katika tarafa ya Mlimba. Ipo umbali usiopungua kilomita 100 kutoka Mlimba mjini. Tarafa hii inakabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo ya usafiri, utumishi wa umma {walimu,madaktari n.k}. Wakazi wa mlimba wanategemea zaidi usafiri wa TAZARA. Kata ya Mlimba ina shule za msingi zisizopungua 10 na sekondari 3.Tarafa ya Mlimba ina shule zaidi ya 30 za msingi na 8 za sekondari. Moja kati ya shule maarufu ni shule ya msingi MAKIRIKA na shule ya sekondari MLIMBA GIRLS. Shule ya msingi MAKIRIKA ipo umbali wa kilomita 10 kutoka Mlimba mjini. Shule hii ipo katika kijiji cha Makirika. Ina walimu 4 {Donatus Dacky, Abel Michael, John Justine na Selemani Mkonje},shule ina darasa la awali hadi la saba! Pia katika tarafa ya mlimba utakutana na mgodi wa umeme{KIHANSI}... imehaririwa na selemani mkonje
==Maendeleo ya makala za kata nchini [[Tanzania]]==
Makala za kata zinafuata majina ya kata yaliyotajwa katika taarifa ya sensa 2002. Kata zilizoanzishwa baadaye kwa kawaida hazipo bado. Kata zote za Tanzania zimepata makala fupi ya mbegu; mengine yameshapanushwa. Ilikuwa kazi kubwa na ya maana!
Kazi inayobaki ni kufuatilia habari za wilaya mpya zilizoanzishwa mwaka 2006/2007 kwa sababu orodha ya kata iliyopatikana ilikuwa ya sensa ya mwaka 2002. Pale tulipotambua wilaya mpya tulianza makala ya wilaya pia kigezo cha kata zake isipokuwa bado bila majina. Kata ya wilaya mpya bado zinaorodheshwa chini ya chini ya wilaya mama. Mifano ya wilaya mpya ni [[Wilaya ya Misenyi]], [[Wilaya ya Chato]], [[Wilaya ya Rorya]].
==Mikoa ya Tanzania ambayo kata zote zimeanzishwa makala ya mbegu==
[[Mkoa wa Arusha|Arusha]] | [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] | [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]] | [[Mkoa wa Iringa|Iringa]] | [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] | [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] | [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] | [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] | [[Mkoa wa Mara|Mara]] | [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] | [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]] | [[Mkoa wa Manyara|Manyara]] | [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]] | [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]] | [[Mkoa wa Pemba Kaskazini |Pemba Kaskazini]] | [[Mkoa wa Pemba Kusini|Pemba Kusini]] | [[Mkoa wa Pwani|Pwani]] | [[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]] | [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]] | [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] | [[Mkoa wa Singida|Singida]] | [[Mkoa wa Tabora|Tabora]] | [[Mkoa wa Tanga|Tanga]] | [[Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi|Unguja Mjini Magharibi]] | [[Mkoa wa Unguja Kaskazini|Unguja Kaskazini]] | [[Mkoa wa Unguja Kusini|Unguja Kusini]]
==Wikipedia yetu katika orodha ya [[meta:List of Wikipedias by edits per article]]==
[[Meta:List_of_Wikipedias_by_sample_of_articles]] inalinganisha wikipedia za lugha mbalimbali kwenye msingi wa orodha la [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za kamusi elezo]].
Katika ulinganisho wa Aprili 2009 makala zifuatazo ziliangaliwa hasa kuwa ama zinekosekana kabisa au ni fupi mno au ziko na ukubwa karibu na ngazi inayofuata (kati ya ndogo-wastani-kubwa na kila ngazi inapewa uzito tofauti katika ulinganisho).
Majina yafuatayo ni katika wikipedia ya Kiingereza.
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Song Song] ([[Wimbo|wimbo - alama 463 pekee]])
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Crusades Crusades] - [[vita za misalaba]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Communism Communism] - [[ukomunisti]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Culture Culture] - [[utamaduni]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Big Bang Big Bang] - [[mlipuko mkuu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Evolution Evolution] - [[mageuko ya spishi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Democracy Democracy] - [[demokrasia]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Horse Horse] - [[farasi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Basketball Basketball] - [[mpira wa kikapu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Fascism Fashism] - [[ufashisti]]
--'''[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]])''' 17:21, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Mradi mpya: [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]]==
Baada ya kutunga makala za mbegu kwa kila kata ya [[Tanzania]] tunalenga sasa kufanya kazi hiyohiyo kwa kata zote za Kenya. Ukurasa [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]] umeundwa kwa muda kwa kurahisisha utekelezaji wa mradi huu. Orodha hii inafikiwa pia kwa kifupi[[ kata Kenya]].
== Swahili Wikipedia now the largest African language Wikipedia ==
Apologies for the English, I don't speak Swahili, but I thought I'd let everyone know that Swahili has just passed Afrikaans as the largest African language Wikipedia. Congratulations! See [http://www.greenman.co.za/blog/?p=614 greenman.co.za] for more information. '''[[Mtumiaji:Greenman|Greenman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Greenman|majadiliano]])''' 22:12, 3 Agosti 2009 (UTC)
::It was time! - Don't you think so? - Congratulations!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 13:48, 10 Septemba 2018 (UTC)
==The Nairobi Hospital==
Apologies for the English, my Kiswahili are not that good. I've been writting an article (at the el:Wikipedia) about the "[[:el:The Nairobi Hospital]]" and I do not have any pictures to support it. Can somebody from the Nairobi area, take several pictures of "The Nairobi Hospital" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 20:58, 8 Septemba 2018 (UTC)<br/>
P.S. I am particullarly interested of the "Galanos Block".<br/> --'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:05, 14 Septemba 2018 (UTC)
==Galanos sulphur baths==
Additive to The Nairobi Hospital request, I have another one, the following: I have written the [[:el:Galanos sulphur baths]] at the Greek Wikipedia and do not have any pictures to accompany it. Can somebody from the [[:el:Tanga Region]], take several photographs of the "Galanos thermal springs" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:01, 14 Septemba 2018 (UTC)
:Thanks for your contribution. We are a small group, at the moment I am not aware of anybody around Tanga. Lets see if we find someone. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 19 Septemba 2018 (UTC)
::Dear '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]''', thank you very much for your response, I'll be waiting and hoping.<br/>
::With kindest regards!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 07:48, 22 Septemba 2018 (UTC)
== Afrocuration ==
Hi all. I will be adding 4 articles relating to the Afrocuration project to add articles relating to Covid-19. Namely, [[Utambuzi|Medical Diagnosis]], [[Ugonjwa unaopitishwa hewani|Airborne Disease]], Hand Washing, [[Athari ya pandemia ya Korona 2019-20 kwa mazingira|Environmental impact]]. Kind regards '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 15:01, 6 Juni 2020 (UTC)
: {{ping|Riccardo Riccioni}} can I upload the other 2 articles? '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:17, 8 Juni 2020 (UTC)
::If you used computer translation, it's better if you don't upload them. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:51, 9 Juni 2020 (UTC)
::: The 2 pages I created was made through an Afrocuration project done by translators that do speak Kiswahili and was not made through the content creation tool. Unfortunately I cannot gauge the quality of these articles. Were the other 2 of such poor quality that I shouldn't upload them? Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 11:09, 9 Juni 2020 (UTC)
:::: Truly, the first one was very poor, the second one was a little better. Many times Swahili speakers are not so good translators! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:36, 9 Juni 2020 (UTC)
::::: Thanks a lot for your honest feedback. I will ask that the other 2 articles first be proofread. If anyone is keen to help the Google docs are available [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# here] and [https://docs.google.com/document/d/1huDcJvyIdWk3QT1EDmOUNjfXIGRMuzr79n0S9z4bJls/edit# here]. Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:02, 9 Juni 2020 (UTC)
:::::: Both articles need many corrections, though they are understandable. Let you upload them, then we will try to work on them. Thank you for your care and humble attitude. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:37, 10 Juni 2020 (UTC)
:::::::::::: Asante sana kwa maoni yako ya kweli. Nitauliza kwamba nakala zingine 2 kwanza zihakikiwe. Ikiwa mtu yeyote ana hamu ya kusaidia hati za Google zinapatikana [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# hapa] na
'''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 08:47, 13 Juni 2020 (UTC)
==Wikipedia pages Wanting Photos #WPWP==
Habari wachangiaji, katika mradi wa WPWP unaoendelea hivi sasa, kuna fujo nyingi za wachangiaji wakati wa kuongeza picha, kama kuacha maneno ya lugha nyingine katika maelezo juu ya picha. Hivyo ni ombi langu kwa wachangiaji angalau kupitia hizi makala na kufanya masahihisho. [[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Maalum:Michango/Tarih&offset=&limit=500&target=Tarih|Angalia kiungo hiki]] '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:55, 10 Agosti 2020 (UTC)
:Ni kweli. Kwa tamaa ya tuzo wengine wanaongeza picha yoyote na maandishi yasiyo sahihi. Sisi hatuna muda wa kupitia kazi hizo zote. Hata hivyo kwa jumla faida fulani ipo. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:01, 10 Agosti 2020 (UTC)
==Have you Voted?==
Hi all,
There are 16 eligible voters in Swahili Wikipedia for the ongoing [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021|Wikimedia Board of Trustees elections]]. But only one 3 people have voted so far.
The Wikimedia Foundation Board of Trustees election is still ongoing. Votes will be accepted until 23:59 31 August 2021 (UTC).
[https://www.youtube.com/watch?v=6wgyP3fNI4M 2021 Wikimedia Board election video]:Please watch and share this widely so we can motivate more participation from all eligible voters!
Please visit [[:meta:Wikimedia Foundation Board Elections 2021|here]] to cast your vote. You can also read more about the candidates [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021/Candidates|here]]
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:07, 26 Agosti 2021 (UTC)
== 2021 Wikimedia Board of Trustees Election Result ==
Thank you to everyone who participated in the 2021 Board election. The Elections Committee has reviewed the votes of the 2021 Wikimedia Foundation Board of Trustees election, organized to select four new trustees. A record 6,873 people from across 214 projects cast their valid votes. The following four candidates received the most support:
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Rosie_Stephenson-Goodknight Rosie Stephenson-Goodknight|Rosie Stephenson-Goodknight]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Victoria_Doronina Victoria Doronina|Victoria Doronina]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Dariusz_Jemielniak Dariusz Jemielniak|Dariusz Jemielniak]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Lorenzo_Losa Lorenzo Losa|Lorenzo Losa]]
While these candidates have been ranked through the community vote, they are not yet appointed to the Board of Trustees. They still need to pass a successful background check and meet the qualifications outlined in the Bylaws. The Board has set a tentative date to appoint new trustees at the end of this month.
Read the full announcement [[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/2021-09-07/2021_Election_Results|here]].
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:49, 8 Septemba 2021 (UTC)
==Campaigns Ambassador Contractor Opening For African French, Arabic And Swahili Speakers==
Dear Swahili Wikipedia Community,
The [[m:Campaigns|Campaigns Team]] at the Wikimedia Foundation is excited to announce that it seeks a '''Campaigns Ambassador''' with experience working in the French, Arabic or Swahili Wikipedia communities in Africa.
The campaign ambassador will support our product and programs team in providing support and advising to campaign organizers and improve the campaign organizing journey. The Campaigns Ambassador will be supporting the rollout of tools and features to support campaign organizers, in the communities we are building for.
Kindly confirm further details and requirements about the role in the [https://docs.google.com/document/d/1Ddp1mWyzZXtPppQl9ovzjgxBBClmL4EGFc7_58kN1is/edit '''attached job description''']. All interested applicants should submit a copy of their curriculum vitae (CV) and cover letter via email to '''fnartey@Wikimedia.org''' and copy '''ifried@wikimedia.org''' by 28th November 2021.
If you have any further questions about the role kindly contact '''jjonsson@wikimedia.org'''.
Thank you.
Best, <br>
Imelda
==Voting closes soon on the revised Enforcement Guidelines for the Universal Code of Conduct==
: ''[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|You can find this message translated into additional languages on Meta-wiki.]]''
: [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|More languages]] ''•'' [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FRevised+enforcement+guidelines%2FAnnouncement%2FVoting+3&language=&action=page&filter= Please help translate to your language]
:
Hello all,
[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voting|Voting]] closes on the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines|revised Universal Code of Conduct Enforcement Guidelines]] at '''23.59 UTC''' today, '''January 31, 2023'''. Please visit the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voter_information|voter information page on Meta-wiki]] for voter eligibility information and details on how to vote. More information on the Enforcement Guidelines and the voting process is available in this [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_1|previous message]].
On behalf of the UCoC Project Team,
'''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:14, 31 Januari 2023 (UTC)
ai0pwqo5yk2m57pchzr0bc9dokdcfwk
1579483
1579479
2026-07-15T08:44:40Z
Riccardo Riccioni
452
1579483
wikitext
text/x-wiki
==Makala ya 121,000==
Tarehe 14 Julai [[2026]] umetungwa ukurasa wa 121,000 juu ya [[Sadako Pointer]], [[mwimbaji]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 120,000==
Tarehe 30 Mei 2026 umetungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Valentin Filatov (mkufunzi wa dubu)]].
==Makala ya 119,000==
Tarehe 26 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 119,000 kwa makala juu ya [[Salih Zaki Bey]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Iraki]].
==Makala ya 118,000==
Tarehe 23 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 118,000 kwa makala juu ya [[Tod Lippy]], [[Wasanii|msanii]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 117,000==
Tarehe 19 Mei 2026 iliandikwa makala juu ya [[Muziki|wanamuziki]] [[Modern Talking]] ambayo imekuwa ya 117,000 katika [[Wikipedia ya Kiswahili]].
==Makala ya 116,000==
Tarehe 16 Mei 2026 makala juu ya [[John Brodie (mwanasoka aliyezaliwa 1862)]] imefanya idadi ya makala ya Wikipedia ya Kiswahili ifikie 116,000.
==Makala ya 115,000==
Mapema tarehe 13 Mei 2026 makala ya 115,000 ya Wikipedia ya Kiswahili ilitungwa kuhusu [[Nadia Ginetti]], mwanasiasa wa Italia.
==Makala ya 114,000==
Tarehe 10 Mei 2026, Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 114,000 kwa kupitia makala ya [[Hellen Linkswiler]] (5 Januari 1912 – 24 Juni 1984), mtaalamu wa lishe na mwanasayansi wa lishe kutoka [[Marekani]] aliyefanya utafiti kuhusu mahitaji ya madini katika mwili wa binadamu na asidi amino.
==Makala ya 113,000==
Tarehe 7 Mei 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 113,000 inayohusu [[Jan Eliasberg]] mwongozaji na mwandishi wa filamu, maonyesho ya jukwaa, na televisheni kutoka nchini Marekani.
==Makala ya 112,000==
Tarehe 28 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 112,000 inayohusu [[Silverio Izaguirre]], [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Hispania]].
==Makala ya 111,000==
Tarehe 21 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imewahi kupata makala ya 111,000 kuhusu [[Janet Nwadiogo Mokelu]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa Afrika Kusini.
==Makala ya 110,000==
Tarehe 16 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imefikia idadi ya makala 110,000 kwa ukurasa juu ya [[Linda Moss]], mwanasiasa wa nchi hiyohiyo.
==Makala ya 109,000==
Tarehe [[9 Aprili]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 109,000 kuhusu [[Cyprien Mbonimpa]], [[mwanadiplomasia]] wa [[Burundi]]..
==Haririo la 1,500,000==
Siku hiyohiyo ilikuwa imepata kufanyika haririo la 1,500,000 tangu Wikipedia ya Kiswahili ianzishwe.
==Makala ya 108,000==
Tarehe [[18 Machi]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 108,000 kuhusu [[Wahindi wa Tanzania]].
==Makala ya 107,000==
Tarehe [[23 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 107,000 kuhusu [[Chang Ming-che]], mwanataaluma wa [[Taiwan]].
==Makala ya 106,000==
Tarehe [[11 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 106,000 kuhusu [[Musa Tukur Yakasai]], profesa wa [[Nigeria]].
==Makala ya 105,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala kuhusu [[Eliane Rosa Naika]], [[mwanasiasa]] wa [[Madagaska]]: ndiyo ya 105,000.
==Makala ya 104,000==
Mwaka 2026 Wikipedia ya Kiswahili imefikia kuwa na makala ya 104,000 tarehe [[10 Januari]] kuhusu [[filamu]] [[Miss Fatimah]].
==Makala ya 103,000==
Tarehe 8 Desemba imetungwa makala ya 103,000 kuhusu [[Carlentini]], mji wa [[Sisilia|Sicilia]], [[Italia visiwani]].
==Makala ya 102,000==
Tarehe 8 Oktoba imetungwa makala ya 102,000 kuhusu [[Irene Charnley]].
==Makala ya 101,000==
Kwa kasi hiyohiyo ya mwaka 2025, Wikipedia yetu imepiku mapema toleo la [[Kimalagasy]] na tarehe 23 Agosti kuwahi nakala ya 101,000 kuhusu [[Dada wa Cooney]].
=='''Makala ya 100,000'''==
Kwa makala juu ya [[Barclayville]], tarehe [[23 Juni]] [[2025]] Wikipedia yetu imetimiza idadi ya laki moja! Ni Wikipedia ya Afrika ya nne kufikia kiwango hicho, siku chache baada ya ile ya Malagasy, na ni ya kwanza kati ya [[lugha za Kiniger-Kongo]]. Tunawashukuru wote, wazima kwa wafu, waliochangia mafanikio hayo.
==Makala ya 99,000==
Tarehe [[4 Juni]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 99,000 kwa ukurasa kuhusu [[wilaya ya Luanshya]] nchini [[Zambia]].
==Makala ya 98,000==
Tarehe [[9 Machi]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 98,000 kwa ukurasa kuhusu [[mwimbaji]] [[Kirsten Price]].
==Makala ya 97,000==
Tarehe [[25 Februari]] 2025 imefikia makala ya 97,000 kwa ukurasa kuhusu [[kardinali]] [[Giulio Bevilacqua]].
==Makala ya 96,000==
Tarehe 18 Februari 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 96,000 kuhusu [[mwimbaji]] [[Janie Fricke]].
==Makala ya 95,000==
Tarehe [[6 Februari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 95,000 juu ya [[Uwanja wa Michezo wa Perth Rectangular]].
==Makala ya 94,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 94,000 kuhusu [[askofu]] [[Joseph Mukasa Zuza]].
==Makala ya 93,000==
Tarehe [[22 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 93,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] [[Grant Needham]].
==Makala ya 92,000==
Tarehe [[13 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 92,000 kuhusu [[mwanamuziki]] [[Terry Tufts]].
==Makala ya 91,000==
Tarehe [[6 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 91,000 kuhusu [[mwanasiasa]] [[Saka Isau]].
==Makala ya 90,000==
Tarehe [[11 Desemba]] [[2024]] Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 90,000 kuhusu mchezaji [[Jason Hartill]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 1,000 kwa siku mbili tu.
==Makala ya 89,000==
Tarehe [[9 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 89,000 kuhusu jimbo la [[Norwei]] [[Vestland]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 10,000 kwa mwaka mmoja tu. Hongera kwa wote waliochangia.
==Makala ya 88,000==
Tarehe [[1 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 88,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanakandanda]] wa kike [[Stephanie Bukovec]].
==Makala ya 87,000==
Tarehe [[22 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 87,000 kuhusu mwanakandanda [[Nicholas Lindsay]].
==Makala ya 86,000==
Tarehe [[7 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 86,000 kuhusu [[Riadha|mwanariadha]] [[Juma Ndiwa]].
==Makala ya 85,000==
Tarehe 20 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 85,000 kuhusu [[mtakatifu]] [[Leoniani wa Vienne]].
==Makala ya 84,000==
Tarehe 8 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 84,000 kuhusu mwanariadha [[Jürgen Kühl]].
==Makala ya 83,000==
Tarehe 19 Septemba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 83,000 kuhusu mwanariadha [[Jacques Riparelli]].
==Makala ya 82,000==
Tarehe 10 Julai 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 82,000 kuhusu [[pipa]].
==Makala ya 81,000==
Tarehe 11 Juni 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 81,000 ambayo inahusu [[Kufukuzwa kwa Wamoroko kutoka Algeria]].
==Makala ya 80,000==
Tarehe 21 Aprili 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 80,000 ambayo inahusu [[mwandamizi]].
==Mradi mpya wa kata za Tanzania==
Tarehe [[20 Aprili]] 2024 tumemaliza kuingiza taarifa za [[kata]] zote nchini [[Tanzania]] kufuatana na [[sensa]] ya mwaka 2022.
==Makala ya 79,000==
Tarehe 9 Desemba [[2023]] Wikipedia hii imefikia makala ya 79,000 kwa ukurasa juu ya kata ya [[Chemchem (Unguja)]] katika mradi mpya wa kata za Tanzania.
{{Infobox_Person
| jina =Kipala
| nchi =Ujerumani
| majina_mengine =
| picha =
| ukubwawapicha =
| maelezo_ya_picha =
| jina_la_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kuzaliwa =
| mahala_pa_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kufariki =10 Julai 2023
| mahala_alipofia =
| sababu_ya_kifariki =
| anajulikana kwa =
| kazi_yake = Mchungaji
| cheo =Mchungaji
| mshahara =
| kipindi =
| alitanguliwa_na =
| akafuatiwa_na =
| chama =
| bodi =
| dini =
| ndoa =
| rafiki =
| watoto =
| mahusiano =
| tovuti =
| maelezo =
| mwajiri =
| urefu =
| uzito =
}}
==Kifo cha Kipala==
Tarehe [[10 Julai]] 2023 mwenzetu bureaucrat [[mtumiaji:Kipala|Kipala]] ameaga dunia. Mchungaji wa Kilutheri na mmisionari katika nchi mbalimbali, zikiwemo [[Tanzania]], [[Kenya]] na [[Iran]], Ingo Koll amefariki nyumbani mwake nchini [[Ujerumani]]. Alichangia sana kamusi elezo ya lugha yetu tangu tarehe 13 Machi 2006 hadi tarehe 28 Juni 2023. Mbali ya hilo, alikuwa kiungo kikuu katika kutuweka pamoja kama Wikipedia ya Kiswahili. Alitoa mchango mkubwa sana katika kuistawisha na katika mijadala mbalimbali, pamoja na kutuwakilisha kimataifa. Mwenyezi Mungu amjalie raha ya milele. Amina.
Tarehe 13 Mei 2023 alikuwa amemuandikia [[mtumiaji:Riccardo Riccioni|ndugu Rikardo]]: "Juzi daktari aliniarifu kwamba nimepata kansa. Aina hiyo kwenye kongosho inaweza kuendelea haraka sana, lakini kuna uwezekano fulani wa tiba itakayoongeza muda kidogo ... labda mwaka 1 au miwili. Hadi sasa sisikii matatizo lakini nahisi maumivu yatakuja, na matokeo ya tiba ya madawa makali yataniathiri pia. Kwa hiyo - sijui sasa nitaweza kuendelea kwa muda gani. Wiki ijayo naingia hospitalini kwa utafiti zaidi.
Sidhani ni wakati wa kuaga sasa. Sina hamu ya kupokea wimbi la "pole". Tangu nimepita umri wa miaka 70 nilijiambia "kuanzia sasa hakuna cha kulalamika", maana katika kazi yangu nimezika watu mamia nilipenda kusoma zaburi ya 90. Nachukua wakati wangu kama zawadi. Sikutegemea nitapatwa na kansa ya haraka vile lakini sioni faida ya kulalamika. Hadi sasa maisha yangu yamekuwa mazuri sana, nina kila sababu kumshukuru Mungu na kushukuru watu niliokuta kwenye njia zangu. Hii ni pamoja na wewe!"
==Makala ya 78,000==
Tarehe [[15 Juni]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 78,000 kwa makala juu ya [[Jamil Adam]] katika mradi wa [[Mchezaji|wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]].
==Makala ya 77,000==
Tarehe [[25 Machi]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 77,000 kwa makala juu ya [[Chomutov]], [[mji]] wa [[Ucheki]].
==Wakabidhi wapya wanne==
Mwezi Aprili 2023 ulifanyika uchaguzi wa wakabidhi wapya. Kati ya 6 waliogombea, 4 wamechaguliwa kwa kupata zaidi ya nusu ya kura halali. Kazi njema, ndugu!
==Makala ya 76,000==
Tarehe [[23 Desemba]] [[2022]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 76,000 kwa makala juu ya [[Bouhjar]], [[mji]] wa [[Tunisia]].
==Makala ya 75,00==
Tarehe [[17 Septemba]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 75,000 kwa makala juu ya [[Kouandé]], [[mji]] wa [[Benin]].
==Makala ya 74,00==
Tarehe [[15 Julai]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 74,000 kwa makala juu ya [[Ghuba ya Venezuela]].
==Makala ya 73,00==
Tarehe [[6 Juni]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 73,000 kwa makala juu ya [[Frenda]], mji wa [[Algeria]].
==Makala ya 72,00==
Tarehe [[14 Mei]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 72,000. Kwa kuwa makala nyingi zimetungwa kwa mashindano, kuna kazi kubwa ni kuziweka sawa.
==Makala ya 71,00==
Tarehe [[23 Aprili]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 71,000 kwa makala nyingi za mradi wa [[Jamii:Arusha Editathon Muziki|Arusha Editathon Muziki]].
==Makala ya 70,00==
Tarehe [[10 Machi]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 70,000 kwa makala juu ya [[Ilesa]] katika mradi wa miji ya [[Nigeria]].
==Makala ya 69,000==
Tarehe [[11 Januari]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 69,000 kwa makala juu ya [[Maroua]] katika mradi wa miji ya [[Kamerun]].
==Makala ya 68,000==
Tarehe [[29 Oktoba]] [[2021]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 68,000 kwa makala juu ya [[Chambishi]] katika mradi wa [[miji]] ya [[Zambia]].
==Makala ya 67,000==
Tarehe [[9 Septemba]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 67,000 kwa makala juu ya [[Nairagie Ngare]] katika mradi wa [[vijiji]] vya [[Kenya]].
==Makala ya 66,000==
Tarehe [[14 Agosti]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 66,000 kwa makala juu ya [[Makutano]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 65,000==
Tarehe [[5 Julai]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 65,000 kwa makala juu ya [[Mwea]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 64,000==
Tarehe [[19 Juni]] 2021 Wikipedia hii imevuka idadi ya 64,000 kutokana na tendo la kurudisha makala 907 lililofanywa na steward aliyekuwa amezifuta kwa mkupuo mmoja mwaka 2020.
==Makala ya 63,000==
Tarehe [[8 Juni]] 2021 mradi wa Africa Wiki Challenge Arusha kuhusu viwanja vya michezo umefikisha Wikipedia yetu hadi kutunga makala ya 63,000 na kusonga mbele haraka. Hongera na asante kwa wahusika wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:58, 9 Juni 2021 (UTC)
==Makala ya 62,000==
Tarehe [[7 Mei]] 2021 mradi wa [[miji]] ya [[Italia]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 62,000 kwa ukurasa juu ya [[San Giovanni Rotondo]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:28, 7 Mei 2021 (UTC)
==Makala ya 61,000==
Tarehe [[15 Machi]] 2021 mradi wa [[watakatifu]] [[Wakristo]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 61,000 kwa ukurasa juu ya [[Agrikola wa Chalon]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:19, 15 Machi 2021 (UTC)
==Makala ya 60,000==
Tarehe [[20 Agosti]] [[2020]] mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 60,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Rubirizi (Muramvya)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:28, 20 Agosti 2020 (UTC) Tarehe [[8 Novemba]] 2020 Wikipedia yetu imetimiza tena idadi hiyo baada ya kukatwa makala 800 hivi hapo katikati (mpaka sasa hatujajua ilikuwaje). Ukurasa husika ni juu ya [[mtakatifu]] [[Andrea Avellino]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:14, 8 Novemba 2020 (UTC)
==Makala ya 59,000==
Tarehe [[22 Mei]] [[2020]] mradi wa [[miji ya Rwanda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 59,000 kwa ukurasa juu ya [[Mukarange]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:02, 22 Mei 2020 (UTC)
==Makala ya 58,000==
Tarehe [[3 Aprili]] [[2020]] mradi wa [[Orodha ya mito ya Burundi|mito ya Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 58,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Gihororo (Karuzi)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 3 Aprili 2020 (UTC)
==Makala ya 57,000==
Tarehe [[17 Machi]] [[2020]] mradi wa [[wachezaji mpira]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 57,000 kwa ukurasa juu ya [[Gilmar Rinaldi]]. Kurasa elfu kwa juma moja tu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:44, 18 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 56,000==
Tarehe [[10 Machi]] [[2020]] mradi wa [[Makabila ya Uganda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 56,000 kwa ukurasa juu ya [[Wakumam]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:36, 10 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 55,000==
Tarehe [[13 Desemba]] [[2019]] mradi wa [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika|Watakatifu wa Afrika]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 55,000 kwa ukurasa juu ya [[Yusto askofu]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:17, 13 Desemba 2019 (UTC)
==Makala ya 54,000==
Tarehe [[4 Oktoba]] 2019 makala ya 54,000 imetungwa kuhusu [[wafiadini]] wa [[Afrika]] [[Suksesi na wenzake 17]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:23, 4 Oktoba 2019 (UTC)
==Makala ya 53,000==
Tarehe [[10 Agosti]] 2019 makala ya 53,000 imetungwa kuhusu [[Tarafa ya Tiémélékro]]. Tunawashukuru wachangiaji wetu kutoka [[Cote d'Ivoire]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:58, 11 Agosti 2019 (UTC)
==Makala ya 52,000==
Tarehe [[16 Julai]] 2019 makala ya 52,000 imetungwa kuhusu [[mto Rwoho]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:55, 16 Julai 2019 (UTC)
==Makala ya 51,000==
Tarehe [[31 Mei]] 2019 makala ya 51,000 imetungwa kuhusu [[mto Osia]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:35, 31 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 50,000==
Tarehe [[3 Mei]] 2019 makala ya 50,000 imetungwa kuhusu [[mto Ocere]]. Hatimaye tumefikia hatua hiyo kubwa! Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 3 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 49,000==
Tarehe [[23 Machi]] 2019 makala ya 49,000 imetungwa kuhusu [[mto Wangodugu]]. Tukazane ili kufikia mapema ya 50,000! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:12, 23 Machi 2019 (UTC)
::Hongera sana Ndugu Riccardo kwa michango yako!! Na asante!'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:58, 23 Machi 2019 (UTC)
==Makala ya 48,000==
Tarehe [[7 Februari]] 2019 makala ya 48,000 imetungwa kuhusu [[kisiwa cha Musira]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:30, 7 Februari 2019 (UTC)
==Makala ya 47,000==
Tarehe [[8 Novemba]] [[2018]] makala ya 47,000 imetungwa kuhusu mto Olkimatare. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:26, 8 Novemba 2018 (UTC)
==Makala ya 46,000==
Tarehe [[15 Oktoba]] 2018 makala ya 46,000 imetungwa kuhusu [[mto Wakavi]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:41, 15 Oktoba 2018 (UTC)
==Ukurasa wa 100,000==
Tarehe [[5 Oktoba]] 2018, kwa makala juu ya [[Mto Thiririka]], Wikipedia yetu imefikia ukurasa wa 100,000 zikihesabiwa si makala tu, bali pia kurasa za maelekezo, majadiliano, watumiaji n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:41, 5 Oktoba 2018 (UTC)
==Baba Tabita kuaga==
Tarehe [[26 Septemba]] 2018, huyo mchangiaji wetu mkuu ameandika ili kutuaga baada ya kazi ya miaka 12 na kisha kuugua kwa muda mrefu, akisema hajui kama ataweza kuchangia tena. Tunazidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona na kuendelea nasi. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 26 Septemba 2018 (UTC)
==Makala ya 45,000==
Tarehe [[12 Agosti]] [[2018]] makala ya 45,000 imetungwa kuhusu [[mto Ilangi]], [[Korongo (jiografia)|korongo]] wa [[Kenya]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:11, 12 Agosti 2018 (UTC)
==Makala ya 44,000==
Tarehe [[30 Julai]] [[2018]] makala ya 44,000 imetungwa kuhusu [[mto Nyairoko]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:55, 30 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 43,000==
Tarehe [[7 Julai]] makala ya 43,000 imetungwa kuhusu [[mto Kaptarit]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 7 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 42,000==
Tarehe 21 Mei 2018, makala ya 42,000 imetungwa kuhusu [[mto Jigulu]]. Mbele kwa mbele! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:18, 21 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 41,000==
Tarehe 2 Mei 2018, makala ya 41,000 ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] kuhusu [[Mto Ligunga]]. Tusonge mbeleee! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 05:13, 3 Mei 2018 (UTC)
:Ninja [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] katika ubora wake. Safi sana! Tunasonga. Sasa hivi tutafika walipo Afrikaans!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:22, 3 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 40,000==
Tarehe 17 Machi 2018, makala ya 40,000 (AROBAINI ELFU, jamani!) ni kuhusu mlima [[Nidze]]. Makala ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. Asante na hongera, Mzee! Sherehe itafanyika wapiii? Tupo pamoja katika furaha na fahari. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:52, 17 Machi 2018 (UTC)
:Sasa niseme tu, zama zangu zimeisha! Nyakati zangu nilipiga buku ndani ya wiki 2. Furaha iliyopo hadi mgonjwa umeamka kitandani. Pole sana mzee wangu, Oliver, na ahsante kwa taarifa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:37, 17 Machi 2018 (UTC)
::Kweli tunahitaji sherehe. Hongereni ndugu zangu wote! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 23:44, 30 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 39,000==
Tarehe 24 Desemba 2017, makala ya 39,000 imeandikwa. Sasa tunalenga ya 40,000: tujitahidi pamoja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:48, 13 Januari 2018 (UTC)
==Makala ya 38,000==
Tarehe 12 Oktoba 2017, makala ya 38,000 ni kuhusu [[Ziwa Kamnarok]], [[ziwa]] lililokauka la [[Kenya]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 21:16, 13 Oktoba 2017 (UTC)
==Makala ya 37,000==
Tarehe 30 Julai 2017, makala ya 37,000 ni kuhusu [[Ziwa Ambussel]], ziwa dogo la [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:44, 30 Julai 2017 (UTC)
==Makala ya 36,000==
Tarehe 20 Mei 2017, makala ya 36,000 ni kuhusu [[Abdallah Majurah Bulembo]], mwanasiasa wa [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na Ndugu [[Majadiliano ya mtumiaji:Luhazi|Luhazi]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 18:29, 20 Mei 2017 (UTC)
==Makala ya 35,000==
Tarehe 12 Januari 2017, makala ya 35,000 ni kuhusu mwandishi [[James Tate (mwandishi)|James Tate]] aliyepokea [[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]] mwaka wa 1992. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:41, 12 Januari 2017 (UTC)
==Makala ya 33,000==
18 Aprili 2016, makala ya 33,000 ni [[Kio'du]], lugha ya [[Vietnam]] na [[Laos]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 11:43, 18 Aprili 2016 (UTC)
==Haririo la 1,000,000==
Upande wa maharirio, tarehe [[10 Oktoba]] 2015 yamefikia [[idadi]] ya [[milioni]] 1.
==Makala ya 30,000==
Nimejitahidi lakini nahisi aliyepita ni Riccardo mnamo tar. 21. Septemba 2015, sina uhakika makala gani. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:32, 23 Septemba 2015 (UTC)
:Ni [[Historia ya Madagaska]] tarehe 22 Septemba 2015. Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 24 Septemba 2015 (UTC)
==Makala ya 29,000==
*13 Juni 2015, makala ya 29,000 ni [[Pembe kuu]] (pembe ya 180°, isiyoonekana kama pembe inafanana na mstari wa kawaida...)
==Warsha ya Wikipedia Morogoro==
Tarehe 21 Machi 2015, wahariri wafuatao walitoa warsha ya kuandika na kuhariri makala za wikipedia ya Kiswahili kwa walimu na wanafunzi wa [http://www.alfagems.com/ shule ya sekondari ya AlfaGems] mjini [[Morogoro (mji)|Morogoro]]: [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], [[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] na [[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] (bahati mbaya, [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Muddyb Blast Producer]] alibanwa kazini na kutoweza kuhudhuria). Tumefurahi kuona mafanikio mema!
<gallery>
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 1.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 1
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 2.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 2
Morogoro 2015 warsha ya wanafunzi 3.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 3
Warsha wanafunzi.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 4
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - Wikipedia imefika!.jpg|Wikipedia ya Kiswahili imefika Alfagems SS
Warsha ya walimu.jpg|Walimu walikuwa na warsha yao pia
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - wikipedia imefika hadi chumba hiki.jpg|Hapo iko chumba cha kompyuta ambako wanafunzi zaidi ya 60 waliangalia nafasi zilizopo kwenye wikipedia ya Kiswahili
</gallery>
==Makala ya 28,000==
*25 Januari 2015, makala ya 28,000 ni [[Kipaici]], lugha ya [[Kaledonia Mpya]].
==Makala ya 22,000==
*28 Oktoba 2011 imefika makala 22,000!
==Makala ya 20,000==
[[Picha:Wikipedia 20000 articles.png|80px|right]]
* 21 Agosti 2010: mji wa [[Dordrecht]] ;-)
==Makala ya 15,000==
* 25 Desemba 2009 (UTC) :-)
'''Mlimba''' ni tarafa iliyopo katika wilaya ya Kilombero katika Mkoa wa Morogoro. Ipo umbali wa kilomita 150 kutoka Ifakara mjini. Tarafa ya Mlimba ina ujumla wa kata 6. Kata ya Tanganyika Masagati ni kata maarufu sana katika tarafa ya Mlimba. Ipo umbali usiopungua kilomita 100 kutoka Mlimba mjini. Tarafa hii inakabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo ya usafiri, utumishi wa umma {walimu,madaktari n.k}. Wakazi wa mlimba wanategemea zaidi usafiri wa TAZARA. Kata ya Mlimba ina shule za msingi zisizopungua 10 na sekondari 3.Tarafa ya Mlimba ina shule zaidi ya 30 za msingi na 8 za sekondari. Moja kati ya shule maarufu ni shule ya msingi MAKIRIKA na shule ya sekondari MLIMBA GIRLS. Shule ya msingi MAKIRIKA ipo umbali wa kilomita 10 kutoka Mlimba mjini. Shule hii ipo katika kijiji cha Makirika. Ina walimu 4 {Donatus Dacky, Abel Michael, John Justine na Selemani Mkonje},shule ina darasa la awali hadi la saba! Pia katika tarafa ya mlimba utakutana na mgodi wa umeme{KIHANSI}... imehaririwa na selemani mkonje
==Maendeleo ya makala za kata nchini [[Tanzania]]==
Makala za kata zinafuata majina ya kata yaliyotajwa katika taarifa ya sensa 2002. Kata zilizoanzishwa baadaye kwa kawaida hazipo bado. Kata zote za Tanzania zimepata makala fupi ya mbegu; mengine yameshapanushwa. Ilikuwa kazi kubwa na ya maana!
Kazi inayobaki ni kufuatilia habari za wilaya mpya zilizoanzishwa mwaka 2006/2007 kwa sababu orodha ya kata iliyopatikana ilikuwa ya sensa ya mwaka 2002. Pale tulipotambua wilaya mpya tulianza makala ya wilaya pia kigezo cha kata zake isipokuwa bado bila majina. Kata ya wilaya mpya bado zinaorodheshwa chini ya chini ya wilaya mama. Mifano ya wilaya mpya ni [[Wilaya ya Misenyi]], [[Wilaya ya Chato]], [[Wilaya ya Rorya]].
==Mikoa ya Tanzania ambayo kata zote zimeanzishwa makala ya mbegu==
[[Mkoa wa Arusha|Arusha]] | [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] | [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]] | [[Mkoa wa Iringa|Iringa]] | [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] | [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] | [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] | [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] | [[Mkoa wa Mara|Mara]] | [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] | [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]] | [[Mkoa wa Manyara|Manyara]] | [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]] | [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]] | [[Mkoa wa Pemba Kaskazini |Pemba Kaskazini]] | [[Mkoa wa Pemba Kusini|Pemba Kusini]] | [[Mkoa wa Pwani|Pwani]] | [[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]] | [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]] | [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] | [[Mkoa wa Singida|Singida]] | [[Mkoa wa Tabora|Tabora]] | [[Mkoa wa Tanga|Tanga]] | [[Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi|Unguja Mjini Magharibi]] | [[Mkoa wa Unguja Kaskazini|Unguja Kaskazini]] | [[Mkoa wa Unguja Kusini|Unguja Kusini]]
==Wikipedia yetu katika orodha ya [[meta:List of Wikipedias by edits per article]]==
[[Meta:List_of_Wikipedias_by_sample_of_articles]] inalinganisha wikipedia za lugha mbalimbali kwenye msingi wa orodha la [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za kamusi elezo]].
Katika ulinganisho wa Aprili 2009 makala zifuatazo ziliangaliwa hasa kuwa ama zinekosekana kabisa au ni fupi mno au ziko na ukubwa karibu na ngazi inayofuata (kati ya ndogo-wastani-kubwa na kila ngazi inapewa uzito tofauti katika ulinganisho).
Majina yafuatayo ni katika wikipedia ya Kiingereza.
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Song Song] ([[Wimbo|wimbo - alama 463 pekee]])
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Crusades Crusades] - [[vita za misalaba]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Communism Communism] - [[ukomunisti]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Culture Culture] - [[utamaduni]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Big Bang Big Bang] - [[mlipuko mkuu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Evolution Evolution] - [[mageuko ya spishi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Democracy Democracy] - [[demokrasia]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Horse Horse] - [[farasi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Basketball Basketball] - [[mpira wa kikapu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Fascism Fashism] - [[ufashisti]]
--'''[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]])''' 17:21, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Mradi mpya: [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]]==
Baada ya kutunga makala za mbegu kwa kila kata ya [[Tanzania]] tunalenga sasa kufanya kazi hiyohiyo kwa kata zote za Kenya. Ukurasa [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]] umeundwa kwa muda kwa kurahisisha utekelezaji wa mradi huu. Orodha hii inafikiwa pia kwa kifupi[[ kata Kenya]].
== Swahili Wikipedia now the largest African language Wikipedia ==
Apologies for the English, I don't speak Swahili, but I thought I'd let everyone know that Swahili has just passed Afrikaans as the largest African language Wikipedia. Congratulations! See [http://www.greenman.co.za/blog/?p=614 greenman.co.za] for more information. '''[[Mtumiaji:Greenman|Greenman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Greenman|majadiliano]])''' 22:12, 3 Agosti 2009 (UTC)
::It was time! - Don't you think so? - Congratulations!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 13:48, 10 Septemba 2018 (UTC)
==The Nairobi Hospital==
Apologies for the English, my Kiswahili are not that good. I've been writting an article (at the el:Wikipedia) about the "[[:el:The Nairobi Hospital]]" and I do not have any pictures to support it. Can somebody from the Nairobi area, take several pictures of "The Nairobi Hospital" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 20:58, 8 Septemba 2018 (UTC)<br/>
P.S. I am particullarly interested of the "Galanos Block".<br/> --'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:05, 14 Septemba 2018 (UTC)
==Galanos sulphur baths==
Additive to The Nairobi Hospital request, I have another one, the following: I have written the [[:el:Galanos sulphur baths]] at the Greek Wikipedia and do not have any pictures to accompany it. Can somebody from the [[:el:Tanga Region]], take several photographs of the "Galanos thermal springs" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:01, 14 Septemba 2018 (UTC)
:Thanks for your contribution. We are a small group, at the moment I am not aware of anybody around Tanga. Lets see if we find someone. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 19 Septemba 2018 (UTC)
::Dear '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]''', thank you very much for your response, I'll be waiting and hoping.<br/>
::With kindest regards!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 07:48, 22 Septemba 2018 (UTC)
== Afrocuration ==
Hi all. I will be adding 4 articles relating to the Afrocuration project to add articles relating to Covid-19. Namely, [[Utambuzi|Medical Diagnosis]], [[Ugonjwa unaopitishwa hewani|Airborne Disease]], Hand Washing, [[Athari ya pandemia ya Korona 2019-20 kwa mazingira|Environmental impact]]. Kind regards '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 15:01, 6 Juni 2020 (UTC)
: {{ping|Riccardo Riccioni}} can I upload the other 2 articles? '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:17, 8 Juni 2020 (UTC)
::If you used computer translation, it's better if you don't upload them. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:51, 9 Juni 2020 (UTC)
::: The 2 pages I created was made through an Afrocuration project done by translators that do speak Kiswahili and was not made through the content creation tool. Unfortunately I cannot gauge the quality of these articles. Were the other 2 of such poor quality that I shouldn't upload them? Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 11:09, 9 Juni 2020 (UTC)
:::: Truly, the first one was very poor, the second one was a little better. Many times Swahili speakers are not so good translators! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:36, 9 Juni 2020 (UTC)
::::: Thanks a lot for your honest feedback. I will ask that the other 2 articles first be proofread. If anyone is keen to help the Google docs are available [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# here] and [https://docs.google.com/document/d/1huDcJvyIdWk3QT1EDmOUNjfXIGRMuzr79n0S9z4bJls/edit# here]. Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:02, 9 Juni 2020 (UTC)
:::::: Both articles need many corrections, though they are understandable. Let you upload them, then we will try to work on them. Thank you for your care and humble attitude. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:37, 10 Juni 2020 (UTC)
:::::::::::: Asante sana kwa maoni yako ya kweli. Nitauliza kwamba nakala zingine 2 kwanza zihakikiwe. Ikiwa mtu yeyote ana hamu ya kusaidia hati za Google zinapatikana [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# hapa] na
'''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 08:47, 13 Juni 2020 (UTC)
==Wikipedia pages Wanting Photos #WPWP==
Habari wachangiaji, katika mradi wa WPWP unaoendelea hivi sasa, kuna fujo nyingi za wachangiaji wakati wa kuongeza picha, kama kuacha maneno ya lugha nyingine katika maelezo juu ya picha. Hivyo ni ombi langu kwa wachangiaji angalau kupitia hizi makala na kufanya masahihisho. [[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Maalum:Michango/Tarih&offset=&limit=500&target=Tarih|Angalia kiungo hiki]] '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:55, 10 Agosti 2020 (UTC)
:Ni kweli. Kwa tamaa ya tuzo wengine wanaongeza picha yoyote na maandishi yasiyo sahihi. Sisi hatuna muda wa kupitia kazi hizo zote. Hata hivyo kwa jumla faida fulani ipo. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:01, 10 Agosti 2020 (UTC)
==Have you Voted?==
Hi all,
There are 16 eligible voters in Swahili Wikipedia for the ongoing [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021|Wikimedia Board of Trustees elections]]. But only one 3 people have voted so far.
The Wikimedia Foundation Board of Trustees election is still ongoing. Votes will be accepted until 23:59 31 August 2021 (UTC).
[https://www.youtube.com/watch?v=6wgyP3fNI4M 2021 Wikimedia Board election video]:Please watch and share this widely so we can motivate more participation from all eligible voters!
Please visit [[:meta:Wikimedia Foundation Board Elections 2021|here]] to cast your vote. You can also read more about the candidates [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021/Candidates|here]]
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:07, 26 Agosti 2021 (UTC)
== 2021 Wikimedia Board of Trustees Election Result ==
Thank you to everyone who participated in the 2021 Board election. The Elections Committee has reviewed the votes of the 2021 Wikimedia Foundation Board of Trustees election, organized to select four new trustees. A record 6,873 people from across 214 projects cast their valid votes. The following four candidates received the most support:
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Rosie_Stephenson-Goodknight Rosie Stephenson-Goodknight|Rosie Stephenson-Goodknight]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Victoria_Doronina Victoria Doronina|Victoria Doronina]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Dariusz_Jemielniak Dariusz Jemielniak|Dariusz Jemielniak]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Lorenzo_Losa Lorenzo Losa|Lorenzo Losa]]
While these candidates have been ranked through the community vote, they are not yet appointed to the Board of Trustees. They still need to pass a successful background check and meet the qualifications outlined in the Bylaws. The Board has set a tentative date to appoint new trustees at the end of this month.
Read the full announcement [[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/2021-09-07/2021_Election_Results|here]].
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:49, 8 Septemba 2021 (UTC)
==Campaigns Ambassador Contractor Opening For African French, Arabic And Swahili Speakers==
Dear Swahili Wikipedia Community,
The [[m:Campaigns|Campaigns Team]] at the Wikimedia Foundation is excited to announce that it seeks a '''Campaigns Ambassador''' with experience working in the French, Arabic or Swahili Wikipedia communities in Africa.
The campaign ambassador will support our product and programs team in providing support and advising to campaign organizers and improve the campaign organizing journey. The Campaigns Ambassador will be supporting the rollout of tools and features to support campaign organizers, in the communities we are building for.
Kindly confirm further details and requirements about the role in the [https://docs.google.com/document/d/1Ddp1mWyzZXtPppQl9ovzjgxBBClmL4EGFc7_58kN1is/edit '''attached job description''']. All interested applicants should submit a copy of their curriculum vitae (CV) and cover letter via email to '''fnartey@Wikimedia.org''' and copy '''ifried@wikimedia.org''' by 28th November 2021.
If you have any further questions about the role kindly contact '''jjonsson@wikimedia.org'''.
Thank you.
Best, <br>
Imelda
==Voting closes soon on the revised Enforcement Guidelines for the Universal Code of Conduct==
: ''[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|You can find this message translated into additional languages on Meta-wiki.]]''
: [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|More languages]] ''•'' [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FRevised+enforcement+guidelines%2FAnnouncement%2FVoting+3&language=&action=page&filter= Please help translate to your language]
:
Hello all,
[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voting|Voting]] closes on the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines|revised Universal Code of Conduct Enforcement Guidelines]] at '''23.59 UTC''' today, '''January 31, 2023'''. Please visit the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voter_information|voter information page on Meta-wiki]] for voter eligibility information and details on how to vote. More information on the Enforcement Guidelines and the voting process is available in this [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_1|previous message]].
On behalf of the UCoC Project Team,
'''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:14, 31 Januari 2023 (UTC)
ppe6tbeowoo9cfb7thr6ilx5r8t35f1
Wikipedia ya Kiswahili
0
20634
1579481
1559077
2026-07-15T08:42:10Z
Riccardo Riccioni
452
/* Maendeleo */
1579481
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Website
| jina = [[Picha:Wikipedia-favicon.png|16px|Favicon of Wikipedia]] Wikipedia ya Kiswahili
| screenshot =
| logo = [[Picha:Wikipedia-logo-v2-sw.svg|140px]]
| maelezo ya picha = Logo ya Wikipedia ya Kiswahili
| kisara = http://sw.wikipedia.org/
| kibiashara = Hapana
| mahala = [[Miami, Florida]]
| aina = [[Kamusi elezo|Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti]]
| lugha = [[Kiswahili]]
| watumiaji = {{NUMBEROFUSERS}} watumiaji, {{NUMBEROFADMINS}} wakabidhi tarehe {{Date}}
| kujisajiri = Hiari
| mmiliki = [[Wikimedia Foundation]]
| mwanzo = {{start date and age|df=yes|2003|3|8}}
}}
'''Wikipedia ya Kiswahili''' (au '''Wikipedia kwa Kiswahili''') ni toleo la [[kamusi elezo]] ya [[Wikipedia]] kwa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. Ilianzishwa [[tarehe]] [[8 Machi]] [[2003]], na tarehe [[{{CURRENTDAY}} {{CURRENTMONTHNAME}}]], [[{{CURRENTYEAR}}]], imefikia makala zipatazo '''{{NUMBEROFARTICLES}}''', [[idadi]] inayoifanya iwe Wikipedia ya 71 (kati ya 345 zilizo hai) kwa [[hesabu]] ya makala zote.
Mwaka [[2019]] Wikipedia ya Kiswahili iliangaliwa mara 65,856 kwa siku, [[mwaka]] [[2020]] mara 73,056 na mwaka 2021 (Januari-Oktoba) 83,595 ambayo inakaribia kuwa sawa na mara 3,500 kwa [[saa]]. Mwaka huo kurasa zilizotazamwa zilikuwa 70,419,110, sawa na 192,929 kwa siku na 8,038 kwa saa. Idadi hiyo imezidi kuongezeka kwa kuwa kwenye mwezi Mei 2022 kurasa zetu zilifunguliwa mara 240,641 kwa siku na mnamo Juni 2024 mara 275,415 kwa siku.
Karibu [[nusu]] ya wasomaji wetu wako [[Tanzania]], ingawa [[asilimia]] hucheza [[Mwezi (wakati)|mwezi]] kwa mwezi. Kwa mfano, mnamo Juni 2022 kurasa zetu zilifunguliwa kutoka Tanzania 40%, [[Kenya]] 17%, [[Marekani]] 13%, [[Uhindi]] 5%, [[Urusi]] na [[Nigeria]] 4%, nchi zote nyingine 17%.
Wikipedia ya Kiswahili ilikuwa inafunguliwa na 0,01% ya wanaofungua Wikipedia duniani kote mwezi Septemba 2018, ikiwa katika nafasi ya 65 kati ya lugha zote. Takwimu husika zinacheza kirahisi kama, kwa mfano, kutokana na habari zinazotangazwa na [[vyombo vya habari]], watu wengi wanatafuta habari zaidi kwenye [[intaneti]], maana Waswahili walioko Marekani si wengi sana, lakini wana urahisi wa kutumia intaneti, hivyo wanaweza wakawazidi watumiaji wa Tanzania ambako watu wengi bado hawana njia ya kutumia mtandao.
Mwezi huohuo, waliofungua Wikipedia nchini Kenya walikuwa 0,10% za wasomaji wote duniani; kumbe nchini Tanzania waliofungua Wikipedia walikuwa 0,04% tu za wasomaji wote duniani.
Mnamo Januari mwaka [[2021]] kati ya waliofungua [[Wikipedia]] nchini [[Tanzania]], 14% waliifungua kwa Kiswahili. Kumbe nchini Kenya waliofungua Wikipedia ya Kiswahili walikuwa 4% tu, lakini kuna ongezeko kubwa, kwa sababu mnamo Septemba 2018, waliofungua Wikipedia nchini Kenya walikuwa 0,08% za wasomaji wote duniani; kati yao waliofungua Wikipedia ya Kiswahili walikuwa 1.7%. Kumbe nchini Tanzania waliofungua Wikipedia walikuwa 0,03% za wasomaji wote duniani, lakini kati yao 11.2% waliifungua kwa Kiswahili, asilimia inayozidi kukua kadiri makala zinavyoongezeka na kuwa bora zaidi.
== Maendeleo ==
[[Picha:Mwanzo 1.JPG|thumb|250px|Ukurasa wa "Mwanzo" ulivyokuwa mwaka 2004.]]
Mnamo [[Julai]] [[2006]] Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 1,000 na tarehe [[14 Septemba]] mwaka huohuo ilifikia makala ya 2,000.
Mnamo Julai [[2007]] ilifikisha makala 5,000 na tarehe [[26 Septemba]] 2007, 6,000.
Tarehe [[21 Aprili]] [[2008]], Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 7,000 na tarehe [[19 Desemba]] 2008 ilifikisha makala 8,000, hasa baada ya kuanzishwa makala nyingi za mbegu za [[kata]] za [[Tanzania]].
Makala za mbegu za kata za Tanzania ziliendelea kuisukuma Wikipedia ya Kiswahili hadi kufikia kiwango cha makala 9,000 tarehe [[2 Februari]] [[2009]] na makala 10,000 tarehe [[21 Februari]] 2009.
Ilipofika tarehe [[9 Aprili]] 2009, Wikipedia ya Kiswahili ilifikia kiwango cha makala 11,000 na tarehe [[25 Aprili]] 2009 ilifikia makala 12,000.
Mnamo tarehe [[20 Juni]] [[2009]], Wikipedia ya Kiswahili ilibadilisha ukurasa wake wa mwanzo katika sura mpya.
Mnamo tarehe [[17 Agosti]] 2009 ilifikia makala zipatazo 13,000, na kuendelea kuifanya iwe Wikipedia ya kwanza kwa ukubwa katika Afrika. Haikushia hapo: tarehe [[11 Septemba]] 2009, Wikipedia hii ilifikia makala 14,000 na tarehe [[25 Desemba]] 2009 makala 15,000.
[[Picha:Wikipedia 20000 articles.png|80px|right]]
Tarehe [[31 Mei]] [[2010]] ilifikia makala 18,000 na tarehe [[21 Agosti]] mwaka huohuo makala 20,000.
Tarehe [[28 Oktoba]] [[2011]] ilifikia makala 22,000.
Tarehe [[15 Februari]] [[2014]] ilifikia makala 26,000 na tarehe [[28 Oktoba]] mwaka huohuo makala 27,000.
Tarehe [[25 Januari]] [[2015]] ilivuka idadi ya makala 28,000, tarehe [[13 Juni]] 2015 ilifikia makala 29,000, tarehe [[22 Septemba]] mwaka huohuo ilifikia makala 30,000 na kuendelea tena.
Upande wa maharirio, tarehe [[10 Oktoba]] 2015 yalifikia idadi ya [[milioni]] 1.
Tarehe [[10 Novemba]] mwaka huohuo ilivuka makala 31,000 na kupiku [[Wikipedia ya Kiyoruba]].
Tarehe [[13 Februari]] [[2016]] ilivuka idadi ya makala 32,000 na kusonga mbele kiasi cha kufikia 33,000 tarehe [[18 Aprili]] 2016, halafu 34,000 tarehe [[20 Agosti]] 2016 kwa makala [[Kinung]].
Makala juu ya [[James Tate (mwandishi)|James Tate]] iliifanya itimize idadi ya 35,000 tarehe [[12 Januari]] [[2017]]. Mwaka huohuo, tarehe [[20 Mei]] 2017 idadi ya makala ilifikia 36,000, tarehe [[30 Julai]] ilifikia 37,000 kwa makala juu ya [[Ziwa Ambussel]], tarehe [[12 Oktoba]] 38,000 kwa makala juu ya [[mto Jubba]] na tarehe [[24 Desemba]] ilifikia 39,000.
Tarehe [[17 Machi]] [[2018]] mradi wa [[milima]] ulileta makala ya 40,000: [[Nidze]]. Mradi wa [[mito ya Tanzania]] ulisukuma Wikipedia hii kufikia idadi ya makala 41,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Ligunga]] tarehe [[2 Mei]] 2018 na 42,000 kwa ukurasa wa [[mto Jigulu]] tarehe [[21 Mei]].
Mradi wa [[mito ya Kenya]] ulifikisha idadi ya makala kuwa 43,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Kaptarit]] tarehe [[7 Julai]] 2018, kuwa 44,000 tarehe [[30 Julai]] kwa ukurasa juu ya [[mto Nyairoko]], kuwa 45,000 tarehe [[12 Agosti]] kwa ukurasa juu ya [[Mto Ilangi]], kuwa 46,000 tarehe [[15 Oktoba]] kwa ukurasa juu ya [[mto Wakavi]], tena kuwa 47,000 tarehe [[8 Novemba]] kwa ukurasa juu ya [[mto Olkimatare]].
Tarehe [[7 Februari]] [[2019]] mradi wa [[Orodha ya visiwa vya Tanzania|visiwa vya Tanzania]] ulivusha Wikipedia yetu katika elfu ya 48 kwa ukurasa juu ya [[kisiwa cha Musira]].
Tarehe [[23 Machi]] 2019 mradi wa [[Orodha ya mito ya Uganda|Mito ya Uganda]] ulivusha Wikipedia yetu katika elfu ya 49 kwa ukurasa juu ya [[mto Wangodugu]], tarehe [[3 Mei]] 2019 uliifikisha katika idadi ya 50,000 kwa ukurasa juu ya [[mto Ocere]], tarehe [[31 Mei]] uliivusha tena katika elfu ya 51 kwa makala juu ya [[mto Osia]] na tarehe 16 Julai uliifikisha idadi ya 52,000 kwa makala juu ya [[Mto Rwoho]].
Tarehe [[10 Agosti]] 2019 mradi kuhusu ugatuzi nchini [[Cote d'Ivoire]] ulizaa makala ya 53,000 kuhusu [[Tarafa ya Tiémélékro]]. Tunawashukuru wachangiaji wetu kutoka nchi hiyo ya [[Afrika Magharibi]].
Tarehe [[4 Oktoba]] 2019 mradi kuhusu [[watakatifu]] wa [[Afrika]] ulifikisha makala za Wikipedia hii katika idadi ya 54,000 kwa ukurasa juu ya [[wafiadini]] [[Suksesi na wenzake 17]], na tarehe [[13 Desemba]] 2019 [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika|mradi huohuo]] ulifikisha idadi ya makala hadi 55,000 kwa ukurasa juu ya [[Yusto askofu]].
Tarehe [[10 Machi]] [[2020]] mradi wa [[Makabila ya Uganda]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 56,000 kwa ukurasa juu ya [[Wakumam]].
Tarehe [[17 Machi]] 2020 mradi wa [[wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 57,000 kwa ukurasa juu ya [[Gilmar Rinaldi]]. Kurasa elfu kwa juma moja tu!
Tarehe [[3 Aprili]] 2020 mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 58,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Gihororo (Karuzi)]].
Tarehe [[22 Mei]] 2020 mradi wa [[miji]] ya [[Rwanda]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 59,000 kwa ukurasa juu ya [[Mukarange]].
Tarehe [[20 Agosti]] 2020 mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 60,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Rubirizi (Muramvya)]].
Tarehe [[8 Novemba]] 2020 Wikipedia yetu ilitimiza tena idadi hiyo (baada ya makala 907 kufutwa na steward fulani kwa mkupuo mmoja). Ukurasa husika ni juu ya [[mtakatifu]] [[Andrea Avellino]].
Tarehe [[15 Machi]] [[2021]] tulifikia makala 61,000 kwa ukurasa juu ya [[mtakatifu]] [[Agrikola wa Chalon]].
Tarehe [[7 Mei]] 2021 mradi wa [[miji]] ya [[Italia]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 62,000 kwa ukurasa juu ya [[San Giovanni Rotondo]].
Tarehe [[8 Juni]] 2021 mradi wa Africa Wiki Challenge Arusha kuhusu viwanja vya michezo ulifikisha Wikipedia yetu hadi kutunga makala ya 63,000 na kusonga mbele haraka.
Tarehe [[19 Juni]] 2021 Wikipedia hii ilivuka makala ya 64,000 kutokana na tendo la kurudisha makala 907 lililofanywa na steward aliyekuwa amezifuta kwa mkupuo mmoja mwaka 2020.
Tarehe [[5 Julai]] 2021 ilifikia idadi ya 65,000 kwa makala juu ya [[Mwea]] katika mradi wa [[kata]] za [[Kenya]] na tarehe [[14 Agosti]] 2021 ilifikia idadi ya 66,000 kwa makala juu ya [[Makutano]] katika mradi huohuo.
Tarehe [[9 Septemba]] 2021 ilifikia idadi ya 67,000 kwa makala juu ya [[Nairagie Ngare]] katika mradi wa vijiji vya Kenya.
Tarehe [[29 Oktoba]] 2021 ilifikia idadi ya 68,000 kwa makala juu ya [[Chambishi]] katika mradi wa miji ya [[Zambia]].
Tarehe [[11 Januari]] [[2022]] Wikipedia hii ilifikia idadi ya 69,000 kwa makala juu ya [[Maroua]] katika mradi wa miji ya [[Kamerun]], tarehe [[10 Machi]] 2022 ilifikia idadi ya 70,000 kwa makala juu ya [[Ilesa]] katika mradi wa miji ya [[Nigeria]], tarehe [[23 Aprili]] 2022 ilifikia idadi ya 71,000 kwa makala nyingi za mradi wa [[Jamii:Arusha Editathon Muziki|Arusha Editathon Muziki]]. Kazi kubwa ni kuziweka sawa.
Tarehe [[14 Mei]] 2022 ilifikia idadi ya 72,000, tarehe [[6 Juni]] 2022 ilifikia idadi ya 73,000 kwa makala juu ya [[Frenda]], mji wa [[Algeria]], tarehe [[15 Julai]] 2022 idadi ya 74,000 kwa makala juu ya [[Ghuba ya Venezuela]], tarehe [[17 Septemba]] 2022 idadi ya 75,000 kwa makala juu ya [[Kouandé]], [[mji]] wa [[Benin]] na tarehe [[23 Desemba]] 2022 idadi ya 76,000 kwa makala juu ya [[Bouhjar]], [[mji]] wa [[Tunisia]].
Tarehe [[25 Machi]] [[2023]] Wikipedia hii ilifikia idadi ya 77,000 kwa makala juu ya [[Chomutov]], [[mji]] wa [[Ucheki]], tarehe [[15 Juni]] [[2023]] idadi ya 78,000 kwa makala juu ya [[Jamil Adam]] katika mradi wa [[Mchezaji|wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]], na tarehe [[9 Desemba]] 2023 idadi ya 79,000 kwa makala juu ya [[Chemchem (Unguja)]] katika mradi wa kata mpya za Tanzania.
Mwaka [[2024]] Wikipedia ya Kiswahili imesonga mbele kwa kasi zaidi: tarehe [[21 Aprili]] imekuwa na makala ya 80,000 kuhusu [[mwandamizi]], tarehe [[11 Juni]] imekuwa na makala ya 81,000 kuhusu [[Kufukuzwa kwa Wamoroko kutoka Algeria]], tarehe [[10 Julai]] makala ya 82,000 kuhusu [[pipa]], tarehe [[19 Septemba]] makala ya 83,000 kuhusu [[Riadha|mwanariadha]] [[Jacques Riparelli]], tarehe [[8 Oktoba]] makala ya 84,000 kuhusu mwanariadha [[Jürgen Kühl]], tarehe [[20 Oktoba]] makala ya 85,000 kuhusu [[mtakatifu]] [[Leoniani wa Vienne]], tarehe [[7 Novemba]] makala ya 86,000 kuhusu mwanariadha [[Juma Ndiwa]], tarehe [[22 Novemba]] makala ya 87,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanakandanda]] [[Nicholas Lindsay]], tarehe [[1 Desemba]] makala ya 88,000 kuhusu mwanakandanda wa kike [[Stephanie Bukovec]], tarehe 9 Desemba makala ya 89,000 kuhusu jimbo la [[Norwei]] [[Vestland]] na tarehe 11 Desemba makala ya 90,000 kuhusu mchezaji [[Jason Hartill]].
Mwaka [[2025]] Wikipedia ya Kiswahili imezidi tena kukua kwa kasi: tarehe [[6 Januari]] imekuwa na makala ya 91,000 kuhusu mwanasiasa [[Saka Isau]], tarehe [[13 Januari]] imekuwa na makala ya 92,000 kuhusu [[mwanamuziki]] [[Terry Tufts]], tarehe 22 Januari imefikia makala ya 93,000 inayomhusu mchezaji [[Grant Needham]], tarehe [[31 Januari]] imekuwa na makala ya 94,000 kuhusu [[askofu]] [[Joseph Mukasa Zuza]], tarehe [[6 Februari]] imekuwa na makala ya 95,000 juu ya [[Uwanja wa Michezo wa Perth Rectangular]], tarehe [[18 Februari]] imefikia makala ya 96,000 kuhusu mwimbaji [[Janie Fricke]], tarehe [[25 Februari]] imefikia makala ya 97,000 kwa ukurasa kuhusu [[kardinali]] [[Giulio Bevilacqua]], tarehe [[9 Machi]] imefikia makala ya 98,000 kwa ukurasa kuhusu mwimbaji [[Kirsten Price]] na tarehe [[4 Juni]] imefikia makala ya 99,000 kwa ukurasa kuhusu [[wilaya ya Luanshya]] nchini [[Zambia]] na hatimaye tarehe [[23 Juni]] makala ya 100,000 kwa makala juu ya [[Barclayville]]. Ni Wikipedia ya Afrika ya nne kukamilisha makala laki moja, siku chache baada ya ile ya Malagasy. Kwa kasi hiyohiyo Wikipedia yetu imepiku mapema toleo hilo la [[Madagaska]] na tarehe 23 Agosti kuwahi nakala ya 101,000 kuhusu [[Dada wa Cooney]]. Tarehe 8 Oktoba imetungwa makala ya 102,000 kuhusu [[Irene Charnley]] na tarehe 8 Desemba makala ya 103,000 kuhusu [[Carlentini]], mji wa [[Sisilia|Sicilia]], [[Italia visiwani]].
Mwaka [[2026]] Wikipedia ya Kiswahili imefikia kwanza makala ya 104,000 tarehe [[10 Januari]] kuhusu [[filamu]] [[Miss Fatimah]], halafu makala ya 105,000 tarehe [[31 Januari]] kuhusu [[Eliane Rosa Naika]], [[mwanasiasa]] wa [[Madagaska]], makala ya 106,000 tarehe [[11 Februari]] kuhusu
[[Musa Tukur Yakasai]], profesa wa [[Nigeria]], makala ya 107,000 tarehe [[23 Februari]] kuhusu [[Chang Ming-che]], [[mwanataaluma]] wa [[Taiwan]], na makala ya 108,000 tarehe [[18 Machi]] kuhusu [[Wahindi wa Tanzania]].
Tarehe 9 Aprili 2026 limefanyika haririo la 1,500,000 tangu Wikipedia ya Kiswahili kuanzishwa; siku hiyohiyo imepata makala ya 109,000 kuhusu [[Cyprien Mbonimpa]], [[mwanadiplomasia]] wa [[Burundi]]. Halafu tarehe 16 Aprili 2026 imefikia idadi ya makala 110,000 kwa ukurasa juu ya [[Linda Moss]], mwanasiasa wa Afrika Kusini, tarehe 21 Aprili 2026 imewahi kupata makala ya 111,000 kuhusu Janet Nwadiogo Mokelu, mwanasiasa mwingine wa nchi hiyohiyo, na tarehe 28 Aprili 2026 imepata makala ya 112,000 inayohusu [[Silverio Izaguirre]], [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Hispania]].
Tarehe 7 Mei 2026 Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 113,000 inayohusu [[Jan Eliasberg]] mwongozaji na mwandishi wa filamu, maonyesho ya jukwaa, na televisheni kutoka nchini Marekani. Kisha, tarehe 10 Mei 2026, ilifikisha makala 114,000 kwa kupitia makala ya [[Hellen Linkswiler]] (5 Januari 1912 – 24 Juni 1984), mtaalamu wa lishe na mwanasayansi wa lishe kutoka [[Marekani]] aliyefanya utafiti kuhusu mahitaji ya madini katika mwili wa binadamu na asidi amino.
Mapema tarehe 13 Mei 2026 makala ya 115,000 ilitungwa kuhusu [[Nadia Ginetti]], mwanasiasa wa Italia; tarehe 16 Mei 2026 makala juu ya [[John Brodie (mwanasoka aliyezaliwa 1862)]] imefanya idadi ifikie 116,000; tarehe 19 Mei 2026 iliandikwa makala juu ya wanamuziki [[Modern Talking]] ambayo imekuwa ya 117,000; tarehe 23 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 118,000 kwa makala juu ya [[Tod Lippy]], msanii wa Marekani, na tarehe 26 Mei 2026 imefikia idadi ya 119,000 kwa makala juu ya [[Salih Zaki Bey]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Iraki]]. Kabla ya mwezi huo kwisha, tarehe 30 Mei 2026 ulitungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Valentin Filatov (mkufunzi wa dubu)]], halafu tarehe 14 Julai 2026 umetungwa ukurasa wa 121,000 juu ya [[Sadako Pointer]], [[mwimbaji]] wa [[Marekani]].
==Kati ya Wikipedia za Afrika==
Kwa lugha zenye asili ya Afrika na [[visiwa]] vya jirani, Wikipedia kwa Kiswahili ndiyo ya tatu kwa idadi ya makala zote (na ya zile zisizo fupi mno) ikifuatia Wikipedia ya [[Kiarabu cha Misri]] na ile ya [[Kiafrikaans]].
Pia ilikuwa ya kwanza kati ya Wikipedia za [[lugha za Niger-Kongo]] kuvuka kiwango cha makala 1,000. Sasa zimeongezeka, lakini ya Kiswahili bado inaongoza na ni ya kwanza kufikia makala 100,000.
Wikipedia kwa Kiswahili ilikuwa ya pili katika Afrika nzima kuvuka kiasi cha makala 10,000 baada ya [[Wikipedia ya Kiafrikaans]].
<ref>[https://web.archive.org/web/20060901052536/http://www.iht.com/articles/2006/08/27/business/wiki.php ''Building Wikipedia in African languages''], by Noam Cohen, [[:en:International Herald Tribune|International Herald Tribune]], [[27 Agosti]] [[2006]].</ref>
== Tazama pia ==
* [[Wikipedia ya Kiafrikaans]]
* [[Wikipedia ya Kiarabu]]
* [[Wikipedia ya Kibulgaria]]
* [[Wikipedia ya Kicheki]]
* [[Wikipedia ya Kichina]]
* [[Wikipedia ya Kidenmark]]
* [[Wikipedia ya Kiebrania]]
* [[Wikipedia ya Kiesperanto]]
* [[Wikipedia ya Kiestonia]]
* [[Wikipedia ya Kifaransa]]
* [[Wikipedia ya Kifini]]
* [[Wikipedia ya Kihaiti]]
* [[Wikipedia ya Kihispania]]
* [[Wikipedia ya Kiholanzi]]
* [[Wikipedia ya Kihungaria]]
* [[Wikipedia ya Kiindonesia]]
* [[Wikipedia ya Kiitalia]]
* [[Wikipedia ya Kijapani]]
* [[Wikipedia ya Kijerumani]]
* [[Wikipedia ya Kiingereza]]
* [[Wikipedia ya Kiingereza Rahisi]]
* [[Wikipedia ya Kikatala]]
* [[Wikipedia ya Kikorea]]
* [[Wikipedia ya Kikroatia]]
* [[Wikipedia ya Kilingala]]
* [[Wikipedia ya Kilithuania]]
* [[Wikipedia ya Kinorwei]]
* [[Wikipedia ya Kipoland]]
* [[Wikipedia ya Kireno]]
* [[Wikipedia ya Kiromania]]
* [[Wikipedia ya Kirusi]]
* [[Wikipedia ya Kiserbia]]
* [[Wikipedia ya Kislovakia]]
* [[Wikipedia ya Kislovene]]
* [[Wikipedia ya Kiswidi]]
* [[Wikipedia ya Kituruki]]
* [[Wikipedia ya Kiukraini]]
* [[Wikipedia ya Kiwolofu]]
* [[Wikipedia ya Kiyoruba]]
* [[Wikipedia ya Kizulu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [[mwanzo|Wikipedia kwa Kiswahili]]
{{Mawikipedia}}
{{Wikipedia za Kiafrika}}
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Wikipedia kwa lugha tofauti]]
5nnei7xfqf23gbltcv0xli483lnezed
Henrie Mutuku
0
35283
1579582
1513641
2026-07-15T10:10:43Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579582
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
|Img=|
|Name = Henrie Mutuku
|Background = solo_singer
|Born = 1978, [[Kenya]]
|Origin = [[Nairobi]], [[Kenya]]
|Genre = [[Gospel music]]
|Years_active = 2002 - present
|Label = Last Day Records
|URL = [http://www.henriemutuku.com www.henriemutuku.com]
}}
'''Henrie Mutuku''' ni [[mwanamuziki]] wa [[Injili]] kutoka nchini [[Kenya]] ambaye ameshinda tuzo nyingi.
==Maisha ya utotoni==
Mutuku alizaliwa mjini [[Nairobi]] mwaka [[1978]], mzaliwa wa kwanza na ndugu watatu kwa wazazi wao. Alikulia katika eneo la Eastlands, eneo ambalo linakaliwa na watu wengi wenye mapato ya chini katika mji wa Nairobi, na alipata kuaona mitindo mbalimbali ya muziki akiwa na umri mdogo sana kama vile R & B, Reggae, Rap, Benga, Kilingala na nyingine za Afrika.
Alijifunza kuimba na kucheza piano, na kuanza kutumbuiza mapema katika kongamano za familia kabla ya kufuzu kwa kuimba katika Sunday School katika kanisa jirani na baadaye katika kwaya ya kanisa. Mutuku alifikiriw kushughulika na wasifu kuimba wakati wa shule ya upili, ambapo alikuwa ni mwanachama hai wa Kilabu cha Uigizaji na Mkuu wa Kwaya ya shule.
Yeye huongea lugha za [[Kiswahili]], Kiingereza, [[Kamba]] (lugha ya mama) na [[Sheng]].<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.henriemutuku.com/aboutme.htm |title=Official Biography |accessdate=2010-01-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070609161937/http://www.henriemutuku.com/aboutme.htm |archivedate=2007-06-09 }}</ref>
==Wasifu wa muziki==
Henrie ilianza kazi katika muziki pamoja na wasanii wa Kikristo mitaani kama vile Izzo na Pete Odera kama muimbaji wa nyuma. Baadaye alijihusisha kwa sana katika mkusanyiko wa albamu ya mwaka 2002 'Rebirth' iliyotayarishwa na Soul Child Inc <ref>Chorus of hope as 8 Kenyans enter fete, by Njoki Karuoya, published on Saturday Nation on the Web [http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/20072002/News/Sat_Review2.html ]</ref>. Uimbaji wake uliimarika baada ya kushinda tuzo mbili za Msanii Bora wa Afrika Mashariki za Kora mwaka wa 2002 .<ref>Henrie and Eric strike a chord for Kenya, by Amos Ngaira, published on Daily Nation on the Web [http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/04112002/News/News66.html ] {{Wayback|url=http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/04112002/News/News66.html |date=20070927014554 }}</ref>
Albamu yake ya kwanza ilikuwa "Simama" (Stand) ambayo nyimbo kama "Usichoke" (akimshirikisha Roughtone na RK) na "Manzi wa Maana" (akimshirikisha KJ wa Redykulass-aKundi la waigazaji wacheshi la Kenyan). Pia amemshirikishwa katika vipindi vya redio katika vituo vya redio kadhaa maarufu kama Kiss 100 “Smirnoff Top 7 songs in Nairobi”, East Africa FM Radio ‘Link’ na Kampala FM as voted by listeners.
Mutuku amemfungulia pazia [[Bebo Norman]] kwenye matamasha mbili , na kumfanya kurekodi video yake ya kwanza ya muziki, "Nakuhitaji" (I Need you), iliyotayarishwa na televishani ya kimtaa ya Family TV kwa ajili ya uendelezaji wa Bebo Norman Tour. Hiuvi karibuni ametoa video ya wimbo wa "Amini" (Believe), ni mojawapo katika albamu yake ya 'Simama'.
Mwaka wa 2003 alishinda tuzo mbili katika 2[[Tuzo za Kisima]] kama Msanii Bora wa Kike Msanii Bora wa Kike wa muziki wa Injili ya Kisasa <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.kisimaawards.co.ke/cont.asp?cat=awards&sid=40 |title=Kisima Music Awards - 2003 Winners |accessdate=2021-01-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20060807171753/http://www.kisimaawards.co.ke/cont.asp?cat=awards |archivedate=2006-08-07 }}</ref> Pia alitajwa kushiriki kwenye Tuzo za Kora za mwaka wa 2003 <ref> Tuzo za Kora: Wateule 2003</ref>
Mutuku hushiriki kikamilifu katika shughuli za uchangishaji fedha na shughuli za kuzuia UKIMWI, watoto yatima na wagonjwa wa UKIMWI, Protecting Life Movement nchini Kenya na tafsiri ya Biblia na kusoma.
==Angalia Pia==
*[[Muziki wa Kenya]]
*[[Muziki wa Injili]]
==Viungo vya nje==
*[http://www.henriemutuku.com/ Tovuti Rasmi] {{Wayback|url=http://www.henriemutuku.com/ |date=20071026110317 }}
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{DEFAULTSORT:Mutuku, Henrie}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Injili]]
o8anjk6rttbtn4n5cxo8rt8wyf55m2m
Ian Duncan
0
35759
1579628
1324573
2026-07-15T11:41:00Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579628
wikitext
text/x-wiki
{{WRC driver
| Image = <!-- Only freely-licensed images may be used to depict living people. See [[WP:NONFREE]]. -->
| Name = Ian Duncan
| Caption =
| Nationality = {{Flag icon|Kenya}} [[Kenya]]n
| Years = 1983–1999
| Teams = [[Subaru]], [[Toyota]]
| Races = 15
| Championships = 0
| Wins = 1
| Podiums = 4
| Stagewins = 4
| Points = 80
| First race = 1983 [[Safari Rally]]
| First win = 1994 [[Safari Rally]]
| Last race = 1999 [[Safari Rally]]
}}
'''Ian Duncan''' (alizaliwa [[23 Juni]] [[1961]]) ni mmoja ya madereva wa rally ambao wamefanikiwa sana nchini [[Kenya]]. Alikuwa bingwa wa Rally nchini Kenya mara tano (1987, 1988, 1989, 1991 na 2000), na alifanikiwa kupata ushindi wa "outright" katika michuano wa magari ya Rally wa Dunia aliposhinda shindano la 42 la Trustbank Safari Rally mwaka wa 1994. Hii ilikuwa moja kati ya tamati zake za nafasi kumi za kwanza mfululizo katika tukio hilo kuanzia mwaka wa 1990 hadi mwaka wa 1996, licha ya kiwango chake cha sifa mbaya.
==Wasifu==
Ian alilelewa katika shamba la wazazi wake katika sehemu ya [[Limuru]]. Ladha yake ya kwanza ya kuendesha gari ilitokea wakati alikuwa na umri wa miaka karibu kumi, huku akimsaidia mama yake wakati alikwama katika barabara za shamba wakati wa mvua. Alihudhuria Shule ya Upili ya St Mary's, kwani nia yake zaidi ilikuwa katika kutengeneza magari na pikipiki. Pia alishiriki katika Motocross na kushinda taji la 125cc la kitaifa miaka ya 1979 na 1980. Alishiriki katika Safari Rally kwa mara ya kwanza mwaka wa 1983 huku akiliendeaha gari la Nissan Pick-Up huku naibu dereva wake akiwa Gavin Bennett, na alimaliza katika nafasi ya tisa na huku akipata ushindi wa darasa na kupata usikivu wa watu rally.<ref name="mustang"> Daily Nation, 26 Desemba 2009: [http://www.nation.co.ke/sports/-/1090/831468/-/id9hb4z/-/index.html Duncan's mustang ride to victory]</ref>
Ushindi wake wa kwanza wa kitaifa wa Rally ulikuwa katika mji wa Nakuru mwaka wa 1987 wakati alikuwa anaendesha gari ya aina ya Toyota Celica Cam Twin Turbo huku naibu dereva wake akiwa Ian Munro. Duncan alishinda mchuano wake wa kwanza wa kitaifa mwaka huo huo kwani alishinda mashindano mengi. Alishinda tuzo la mwendesha motokaa wa mwaka wa kitaifa mwaka wa 1987.
Alishiriki kwa kutumia Group A Subaru Legacy na Toyota Celica Turbo 4WD katika miaka ya 1990. Mbali na Safari Rally, alishiriki katika mikutano ya kampeni za WRC mara chache tu. Tokeo lake bora lilikuwa kumaliza katika nafasi ya 8 kwa jumla na kushinda darasala kundi N katika shindano la safari rally la Acropolis Rally mwaka wa 1990 nchini [[Ugiriki]] huku naibu dereva wake akiwa Yvonne Mehta (mke wa [[Shekhar Mehta]]).
Baadaye alianza kuendesha gari la aina ya [[Toyota Hilux]] ambalo lilikuwa na injini ya lita 4.5 na alilitumia katika mchuano wa rally wa kitaifa wa Kenya (Kenya National Rally Championship (KNRC)). Mnamo Novemba mwaka wa 2006 Duncan alishinda Guru Nanak Rally na kuwa dereva wa kwanza kushinda taji la KNRC kwa mara ya kumi. Alipewa adhabu ya asilimia nne ya muda kwa sababu hakuwa ameliandikisha gari lake. Aliendeleza rekodi yake mwaka wa 2007 na kwa mara nyingine tena akashinda Guru Nanak Rally.
Duncan ameshinda tukio la Rhino Charge off-road katika miaka ya 1998, 2006 na 2007. Ameshiriki katika mashindano ya pikipiki. Mnamo mwaka wa 2003, alichukua nafasi ya pili katika Kenya Enduro, Motocross na vilevile Michuano ya rally .<ref>Daily Nation, 29 Desemba 2003: [http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/29122003/Sports/Sports291220034.html Rose takes over KNRC] {{Wayback|url=http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/29122003/Sports/Sports291220034.html |date=20040908133649 }}</ref>
Alitumia gari lake mpya, Nissan Patrol Pick-up, mnamo Oktoba mwaka wa 2008. Mwaka wa 2008 pia alishinda mchuano wa kitaifa wa autocross. Mnamo mwaka wa 2009, miaka 15 baada ya kushinda Safari Rally halisi, Duncan alishinda Safari classic rally huku akiliendesha gari la mwaka wa 1967 la Ford Mustang huku naibu dereva wake akiwa naibu dereva wake wa sasa, Amaar Slatch. Bingwa mtetezi [[Bjørn Waldegård]] alimaliza katika nafasi ya pili.
==Ushindi wa WRC==
{| class="wikitable"
! #
! Tukio
! Msimu
! Naibu-dereva
! Gari
|-
| 1
| {{Flag icon|Kenya}} [[42 Trustbank Safari Rally]]
| [[1994]]
| David Williamson
| [[Toyota Celica Turbo 4WD]]
|}
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
*[http://www.rallybase.nl/index.php?type=profile&driverid=2383 Profile of Duncan saa Rallybase.nl,] pamoja na matokeo ya kimataifa
*[http://www.worldrally.net/pakar/safari94.html Ripoti juu ua ushindi wa Duncan katika Safari Rally mwaka wa 1994] {{Wayback|url=http://www.worldrally.net/pakar/safari94.html |date=20091020103436 }}
*[http://www.knrc.net/ Kenya National Rally Championship,] {{Wayback|url=http://www.knrc.net/ |date=20071008081923 }} tovuti rasmi
{{Mbegu-michezo}}{{DEFAULTSORT:Duncan, Ian}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Kenya]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
kxnz0vy8z3hy0ev5ttqu37aq1gxcevq
Boden, Uswidi
0
55409
1579436
1020064
2026-07-14T21:03:29Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579436
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Boden centrum.jpg |thumb|200px|''Boden'']]
[[Picha:Boden kommun.png |thumb|200px|]]
'''Boden''' (Lule Sami: ''Suttes'', Meänkieli: ''Puuti'', Sami ya Kaskazini: ''Suttes'') ni manispaa na pia mji nchini [[Uswidi]] katika mkoa wa [[Norrbotten]]. Kuna wakazi 18,680 (mwaka 2005). Mji ulianzishwa [[1919]].
== Jiografia ==
Eneo lake ni 19.97 [[km²]].
<gallery>
Picha:Barracks-sweden.jpg |''Kambi''
| ''Retro Café katika Boden''
</gallery>
== Viungo vya nje ==
* [http://www.boden.se/ www.boden.se] {{Wayback|url=http://www.boden.se/ |date=20201003174359 }}
{{Mbegu-jio-Uswidi}}
[[Jamii:Miji ya Uswidi]]
6lvp76ci2d1t90c4bs51imzjvjqqbzt
Funguvisiwa la Kurili
0
83144
1579461
1204466
2026-07-15T07:23:35Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579461
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Sea of Okhotsk map with state labels.png|350px|thumb|Mahali pa Kurili kati ya Japani na Kamchatka - Urusi bara]]
'''Funguvisiwa la Kurili''' (kwa [[Kirusi]] кури́льские острова́, ''kurilskiye ostrova'') ni [[kundi]] la [[visiwa]] katika [[Pasifiki]] ya [[Kaskazini]] ambavyo ni sehemu ya [[Urusi]]. Ni visiwa 56 (pamoja na miamba midogo) viivyopangwa kama safu au nyororo yenye [[urefu]] wa [[kilomita]] 1300 kati ya [[rasi]] ya [[Kamchatka]] ya Urusi na kisiwa cha [[Hokkaido]] cha [[Japani]]. Kwa namna fulani inatenga [[Bahari ya Okhotsk]] na Pasifiki kubwa.
==Majina==
Kuna [[Jina|majina]] mbalimbali kwa kundi hili la visiwa. Jina "Kurili" linatokana na [[lugha]] ya [[Waainu]] waliokuwa wakazi asilia. Kwao ilkuwa na maana ya "mahali pa watu" yaani visiwa vilivyokaliwa nao.
Kwa kipindi fulani cha [[historia]] Kurili zilikuwa sehemu ya Japani na kwa [[Kijapani]] vinaitwa Visiwa vya Chishima ([[Kanji]] 千島列島 ''chishima rettō'', maana yake visiwa 1,000) au pia kama Visiwa vya Kuriru ([[Katakana]]: クリル列島 ''kuriru rettō'' yaani Funguvisiwa ya Kurili).
==Jiografia ya Kurili==
[[Picha:Sarychev Volcano.jpg|thumb|350px|Volkeno ya kisiwa Sarychev iliyolipuka mwaka 2009, jinsi ilivyoonekana kutoka kituo cha angani ISS.]]
Visiwa hivi vina asili ya kivolkeno; kila kisiwa ni [[kilele]] cha [[mlima]] wa [[volkeno]] iliyoanza kwenye [[tako la bahari]] na kukua kwa kumwaga [[magma]] chini ya [[maji]] hadi kufikia juu ya [[Uwiano wa bahari|uso wa bahari]].
Safu hii imetokea kama sehemu ya [[pete ya moto]] ya Pasifiki; hapa [[bamba la Pasifiki]] linasukumwa chini ya [[bamba la Amerika Kaskazini]]<ref>Sehemu hii ya bamba la Amerika Kaskazini wakati mwingine hutazamwa kama bamba dogo la pekee kwa jina la Bamba la Okhotsk</ref> na hivi kusababisha nafasi kwenye [[koti la dunia]] inayowezesha [[joto]] na magma kupanda juu.
Safu hii ya milima na visiwa ina volkeno takriban 100, na 40 kati ya hizi ni volkeno hai. Kuna [[matetemeko ya ardhi]] ya mara kwa mara; matetemeko makubwa zaidi yalitokea mwaka [[1963]], lenye nguvu ya 8.5, na mwaka 2006, lenye nguvu ya 8.3 lililosababisha [[tsunami]] iliyofika hadi pwani ya [[Kalifornia]] ([[Marekani]]). <ref>[http://www.usc.edu/dept/tsunamis/2005/tsunamis/Kuril_2006/index.html Central Kuril Island Tsunami in Crescent City, California] {{Wayback|url=http://www.usc.edu/dept/tsunamis/2005/tsunamis/Kuril_2006/index.html |date=20100226130312 }} ''[[University of Southern California]]''</ref>
[[Tabianchi]] ni [[baridi]]; [[majirabaridi]] ni marefu, na [[majirajoto]] huwa na [[ukungu]] mwingi, hivyo [[jua]] kidogo tu. Sehemu kubwa ya [[usimbishaji]] hufika kwa [[umbo]] la [[theluji]].
Tabianchi hii inasababisha visiwa vya kaskazini kuwa na [[uoto]] wa [[tundra]] na visiwa vya kusini na [[misitu]] inayofanana na [[taiga]].
Miinuko mikubwa ni [[mlima Alaid]] wenye [[kimo]] cha [[mita]] 2,339 kwenye [[kisiwa cha Alasoy]] na [[mlima wa Tyatya]] wenye mita 1819 kwenye [[kisiwa cha Kunashir]].
[[Bahari]] inayozunguka visiwa hivi ina [[samaki]] na [[wanyama wa bahari]] wengi.
==Historia==
[[Picha:Demis-kurils-russian names.png|360px|thumb|Visiwa vya Kurili (majina ya Kirusi) na mipaka kati ya Japani na Urusi tangu [[karne ya 19]].]]
Sawa na historia ya kisiwa cha [[Sakhalin]], hata visiwa vya Kurili vilivutwa mara kadhaa kati ya Urusi na Japani katika mwendo wa [[Karne ya 19|karne za 19]] [[Karne ya 20|na 20]].
Wakazi asilia walikuwa [[Waainu]] waliofuata maisha ya [[uvuvi]] na kuwinda wakiwa na [[teknolojia]] asilia bila kutengeneza vyombo vya [[metali]]. Kwa hiyo walikosa uwezo wa kujitetea dhidi ya [[Dola|madola]] ya kisasa jirani kama Urusi na Japani.
Visiwa vya kusini vilikuwa chini ya athira ya Japani. Katika karne ya 19 [[meli]] za wavuvi Wajapani na Warusi waliingiliana, hivyo [[serikali]] za nchi hizi mbili zilifanya [[mkataba]] wa mwaka [[1855]] ya kuamulia mpaka uliokuwa kati ya visiwa vya [[Iturup]] na [[Urup]]. [[Sakhalin]] ilitajwa kama mahali wazi kwa watu wa pande zote mbili.
[[Mkataba wa Petersburg]] wa mwaka [[1875]] ulilenga kuondoa matatizo yaliyosababishwa na kutoelewana kwa walowezi Warusi na Wajapani huko Sakhalin. Japani ilikubali kukabidhi Sakhalin yote kwa Urusi na badala yake kupokea [[mamlaka]] juu ya visiwa vyote vya Kurili.
Kwenye mwisho wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] mwaka [[1945]] [[Umoja wa Kisovyeti]] ilivamia Kurili na kuitwaa.
Tangu 1945 Kurili kwa jumla zinatazamwa kama sehemu ya Urusi, hali ambayo haikubaliwi na Japani. Visiwa vinatawaliwa kama sehemu ya mkoa wa [[Sakhalin Oblast]].
==Marejeo==
<references/>
== Kujisomea ==
{{refbegin}}
* Gorshkov, G. S. ''Volcanism and the Upper Mantle Investigations in the Kurile Island Arc''. Monographs in geoscience. New York: Plenum Press, 1970. ISBN 0-306-30407-4
* Krasheninnikov, Stepan Petrovich, and James Greive. The History of Kamtschatka and the Kurilski Islands, with the Countries Adjacent. Chicago: Quadrangle Books, 1963.
* Rees, David. ''The Soviet Seizure of the Kuriles''. New York: Praeger, 1985. ISBN 0-03-002552-4
* Takahashi, Hideki, and Masahiro Ōhara. ''Biodiversity and Biogeography of the Kuril Islands and Sakhalin''. Bulletin of the Hokkaido University Museum, no. 2-. Sapporo, Japan: Hokkaido University Museum, 2004.
* Hasegawa, Tsuyoshi. Racing the Enemy: Stalin, Truman, and the Surrender of Japan. 2006. ISBN 978-0-674-02241-6.
* Alan Catharine and Denis Cleary. ''Unwelcome Company. ''A fiction thriller novel set in 1984 Tokyo and the Kuriles featuring a light aircraft crash and escape from Russian-held territory. On Kindle.
{{refend}}
==Viungo vya nje==
* [https://www.academia.edu/23500963/SOUTHERN_KURILES_NORTHERN_TERRITORIES_A_STUMBLING-BLOCK_IN_RUSSIA-JAPAN_RELATIONSHIP Southern Kuriles / Northern Territories: A Stumbling-block in Russia-Japan Relationship], history and analysis by Andrew Andersen, Department of Political Science, University of Victoria, May 2001
* http://depts.washington.edu/ikip/index.shtml (Kuril Island Biocomplexity Project)
* {{Wayback|url=http://www.oceandots.com/pacific/kuril/|title=Kuril Islands at Ocean Dots.com|date=20101223043232}} (includes space imagery)
* [http://www.nhpfund.org/nominations/kuril.html Kuril Islands] at [http://www.nhpfund.org/ Natural Heritage Protection Fund]
* [http://artedi.fish.washington.edu/okhotskia/ikip/index.htm The International Kuril Island Project] {{Wayback|url=http://artedi.fish.washington.edu/okhotskia/ikip/index.htm |date=20020211225504 }}
* http://www.mofa.go.jp/region/europe/russia/territory/index.html
* [http://www.forcedmigration.org/video/chishima Chishima: Frontiers of San Francisco Treaty in Hokkaido] {{Wayback|url=http://www.forcedmigration.org/video/chishima |date=20070528025311 }} Short film on the disputed islands from a Japanese perspective
* [http://earthquake.usgs.gov/eqcenter/recenteqsww/Maps/region/Asia.php USGS Map showing location of Magnitude 8.3 Earthquake 46.616°N, 153.224°E Kuril Islands region, November 15, 2006 11:14:16 UTC] {{Wayback|url=http://earthquake.usgs.gov/eqcenter/recenteqsww/Maps/region/Asia.php |date=20061116113408 }}
* [http://www.pictures-of-cats.org/kurilian-bobtail.html Pictures of Cats - Kurilian Bobtail]
* [http://englishrussia.com/?p=2213 Pictures of Kuril Islands] {{Wayback|url=http://englishrussia.com/?p=2213 |date=20100201190627 }}
[[Category:Visiwa vya Urusi]]
[[Jamii:Visiwa vya Pasifiki]]
nlzipo42vhmq7d4cf2lbjt9ed4ghgzp
Flatei Gregory Massay
0
90439
1579437
1454161
2026-07-14T22:03:54Z
~2026-39659-40
90941
1579437
wikitext
text/x-wiki
'''Flatei Gregory Massay''' (alizaliwa [[1 Novemba]] [[1977]]<ref>https://peoplepill.com/people/flatei-massay/</ref>) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Mbulu]] [[Vijijini]] kwa miaka mitano ([[2015]] – [[2020]]).
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-mwanasiasa-Tanzania}}
{{BD|1972|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
p810x4zu94osfzq8j1m4hbf6whcnuy1
1579439
1579437
2026-07-14T22:17:27Z
~2026-39659-40
90941
1579439
wikitext
text/x-wiki
'''Flatei Gregory Massay''' (alizaliwa [[1 Novemba]] [[1977]]<ref>https://peoplepill.com/people/flatei-massay/</ref>) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Mbulu]] [[Vijijini]] kwa miaka mitano ([[2015]] – [[2025]] ).
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-mwanasiasa-Tanzania}}
{{BD|1972|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
qfb2vqm2oi66rmnj7no8o0twcwz70v8
1579592
1579439
2026-07-15T10:18:29Z
Riccardo Riccioni
452
1579592
wikitext
text/x-wiki
'''Flatei Gregory Massay''' (alizaliwa [[1 Novemba]] [[1977]]<ref>https://peoplepill.com/people/flatei-massay/</ref>) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Mbulu]] [[Vijijini]] kwa miaka [[2015]] – [[2025]].
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-mwanasiasa-Tanzania}}
{{BD|1977|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
r539r886a0b780ujfob6cbrh9mt2g2v
Khanga
0
92628
1579475
1516886
2026-07-15T08:21:35Z
NANJ BHALO
90946
nimebabilisha neno 'vazi' na neno 'vao' ambalo ni neno la lahaja ya kiswahili cha Kimvita.
1579475
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi pia ndefu ya [[rangi]] ambayo hupendwa kuvaliwa na [[wanawake]], hasa nchi za [[Afrika Mashariki]] na [[Afrika Magharibi]]. Kanga inafanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa na [[wanaume]].
Kwa kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga huweza kutumiwa kama vazi rasmi, [[kitambaa]] cha [[Kichwa|kichwani]], [[taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na kwa shughuli mbalimbali kama kubeba [[watoto]] au kubeba mizigo kichwani.
Hutumiwa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia]] iliyofiwa na [[ndugu]] yao nchini [[Tanzania]] na hata Kenya.
Mwanzoni kanga ilikuwa ikirembwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana na [[unyonya|manyonya]] ya [[Ndege (mnyama)|ndege]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu ilipewa [[jina]] hili, kwa sasa Kanga inarembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: ''pindo'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] mara nyingi huwa ni [[kitendawili]] au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye kanga hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au kwa swahiba/marafiki, ujumbe unaweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
752kiac44rrqs1sckke2bxt2282utrk
1579478
1579475
2026-07-15T08:33:02Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579478
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi na pana yenye [[rangi]] tafauti ambayo huvaliwa ni[[wanawake]] na mara nyengine na waume haswa katika Pwani ya [[Afrika Mashariki]]. Kanga hufanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa ni [[wanaume]].
Kwa kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga huweza kutumiwa kama vazi rasmi, [[kitambaa]] cha [[Kichwa|kichwani]], [[taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na kwa shughuli mbalimbali kama kubeba [[watoto]] au kubeba mizigo kichwani.
Hutumiwa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia]] iliyofiwa na [[ndugu]] yao nchini [[Tanzania]] na hata Kenya.
Mwanzoni kanga ilikuwa ikirembwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana na [[unyonya|manyonya]] ya [[Ndege (mnyama)|ndege]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu ilipewa [[jina]] hili, kwa sasa Kanga inarembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: ''pindo'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] mara nyingi huwa ni [[kitendawili]] au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye kanga hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au kwa swahiba/marafiki, ujumbe unaweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
rc5gwlmr7u16oo9kf5ejrms9y51olnx
1579480
1579478
2026-07-15T08:41:42Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579480
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi na pana yenye [[rangi]] tafauti ambayo huvaliwa ni[[wanawake]] na mara nyengine na waume haswa katika Pwani ya [[Afrika Mashariki]]. Kanga hufanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa ni [[wanaume]].
Kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga hutumiwa kama vao rasmi, [[kitambaa]] cha [[Kiswahili|kitwani]], [[Tauli|taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na katika shughuli mbalimbali kama kubebea [[watoto]] migongoni, kalazia watoto (Kajo) au kubebea mizigo kitwani (Susu).
Hutumiwa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia]] iliyofiwa na [[ndugu]] yao nchini [[Tanzania]] na hata Kenya.
Mwanzoni kanga ilikuwa ikirembwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana na [[unyonya|manyonya]] ya [[Ndege (mnyama)|ndege]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu ilipewa [[jina]] hili, kwa sasa Kanga inarembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: ''pindo'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] mara nyingi huwa ni [[kitendawili]] au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye kanga hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au kwa swahiba/marafiki, ujumbe unaweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
66vlkvzacoosnnp55awlqbvzsjaw1ts
1579486
1579480
2026-07-15T08:54:16Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579486
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi na pana yenye [[rangi]] tafauti ambayo huvaliwa ni[[wanawake]] na mara nyengine na waume haswa katika Pwani ya [[Afrika Mashariki]]. Kanga hufanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa ni [[wanaume]].
Kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga hutumiwa kama vao rasmi, [[kitambaa]] cha kuvaliwa [[Kiswahili|kitwani]], [[Tauli|taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na katika shughuli mbalimbali kama kubebea [[watoto]] migongoni, kulazia watoto (Kajo) au kubebea mizigo kitwani (Susu).
Hutuolewa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia]] iliyofiwa na [[jamaa]] yao nchini [[Afrika ya Mashariki|katika pwani ya Afrika Mashariki]].
Awali kanga ilikuwa ikinakishiwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana kama [[Unyoya|manyoya]] ya [[nyuni]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu kupawa [[jina]] hilo, kwa wakati hunu Kanga hurembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: u''pindo (mpaka)'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] mara nyingi huwa ni [[kitendawili]], methali, msemo au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye kanga hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au kwa swahiba/marafiki, ujumbe unaweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
3muwe1sm60t4syntdzxokk1l6h3qib7
1579490
1579486
2026-07-15T09:04:03Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579490
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi na pana yenye [[rangi]] tafauti ambayo huvaliwa ni[[wanawake]] na mara nyengine ni waume haswa katika Pwani ya [[Afrika Mashariki]]. Kanga hufanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa ni [[wanaume]].
Kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga hutumiwa kama vao rasmi, [[kitambaa]] cha kuvaliwa [[Kiswahili|kitwani]] (Mswani), [[Tauli|taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na katika shughuli mbalimbali kama kubebea [[watoto]] migongoni, kulazia watoto (Kajo) au kubebea mizigo kitwani (Susu).
Hutuolewa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa watoto, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia|jamaa]] waliofiwa na [[jamaa|ndugu]] yao [[Afrika ya Mashariki|katika pwani ya Afrika Mashariki]].
Awali kanga ilikuwa ikinakishiwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana kama [[Unyoya|manyoya]] ya [[nyuni]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu kupawa [[jina]] hilo, kwa wakati hunu Kanga hurembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: u''pindo (mpaka)'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] au jina, mara nyingi huwa ni [[kitendawili]], methali, msemo au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye leso hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu fulani, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au hata baina ya wake wenza. Ujumbe waweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi na mara nyengine kukashifu au kuonya.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
a2k7ny0j1idp3c5k8qsxbawreu0puc9
1579494
1579490
2026-07-15T09:07:57Z
NANJ BHALO
90946
nimebadilisha maneno ya kiswahili kwa maneno ya kiswahili cha lahaja ya kimvita
1579494
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Kanga''' (au '''leso''') ni vao au [[nguo]] nyepesi na pana yenye [[rangi]] tafauti ambayo huvaliwa ni [[wanawake]] na mara nyengine ni waume haswa katika Pwani ya [[Afrika Mashariki]]. Kanga hufanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa ni [[wanaume]].
Kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga hutumiwa kama vao rasmi, [[kitambaa]] cha kuvaliwa [[Kiswahili|kitwani]] (Mswani), [[Tauli|taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na katika shughuli mbalimbali kama kubebea [[watoto]] migongoni, kulazia watoto (Kajo) au kubebea mizigo kitwani (Susu).
Hutuolewa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa watoto, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia|jamaa]] waliofiwa na [[jamaa|ndugu]] yao [[Afrika ya Mashariki|katika pwani ya Afrika Mashariki]].
Awali kanga ilikuwa ikinakishiwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana kama [[Unyoya|manyoya]] ya [[nyuni]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu kupawa [[jina]] hilo, kwa wakati hunu Kanga hurembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: u''pindo (mpaka)'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] au jina, mara nyingi huwa ni [[kitendawili]], methali, msemo au [[fumbo]].
Maneno hayo juu ya leso hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu fulani, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au hata baina ya wake wenza. Ujumbe waweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi na mara nyengine kukashifu au kuonya.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
p0ae3v51clpzbk9py3et78238v4q9dw
1579615
1579494
2026-07-15T10:39:11Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/NANJ BHALO|NANJ BHALO]] ([[User talk:NANJ BHALO|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]]
1516886
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:African print on cloth.JPG|thumb|Khanga [[Duka|dukani]].]]
'''Khanga''' (au '''kanga''') ni [[vazi]] au [[nguo]] nyepesi pia ndefu ya [[rangi]] ambayo hupendwa kuvaliwa na [[wanawake]], hasa nchi za [[Afrika Mashariki]] na [[Afrika Magharibi]]. Kanga inafanana na [[Kikoi Vazi|kikoi]] ambacho kawaida huvaliwa na [[wanaume]].
Kwa kawaida kanga huwa na [[upana]] wa [[sentimita]] 150 na [[urefu]] wa sentimita 110. Kanga huweza kutumiwa kama vazi rasmi, [[kitambaa]] cha [[Kichwa|kichwani]], [[taulo]], kitambaa cha [[Meza|mezani]] na kwa shughuli mbalimbali kama kubeba [[watoto]] au kubeba mizigo kichwani.
Hutumiwa pia kama [[zawadi]] kwenye [[sherehe]] za kuzaliwa, [[harusi]], sikukuku kama vile Eid n.k.<ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://www.worldcat.org/oclc/34052769|title=The art of African textiles : technology, tradition, and lurex|last=John.|first=Picton,|date=1995|publisher=Barbican Art Gallery|others=Becker, Rayda., Barbican Art Gallery.|isbn=0853316821|location=London|oclc=34052769}}</ref> Hutolewa pia kwa [[familia]] iliyofiwa na [[ndugu]] yao nchini [[Tanzania]] na hata Kenya.
Mwanzoni kanga ilikuwa ikirembwa kwa vitone vidogo ambavyo vilionekana na [[unyonya|manyonya]] ya [[Ndege (mnyama)|ndege]] aina ya [[kanga]]. Ndiyo sababu ilipewa [[jina]] hili, kwa sasa Kanga inarembeshwa kwa chapa za maua, majani na hata matunda.
Kanga huwa na sehemu tatu: ''pindo'', ''mji'' (sehemu ya kati), na ''ujumbe''. [[Ujumbe]] mara nyingi huwa ni [[kitendawili]] au [[fumbo]].
Ujumbe huo kwenye kanga hutumika kupitisha ujumbe au fumbo kwa mtu, mfano mke kwa mumewe au swahiba kwa swahibae au kwa swahiba/marafiki, ujumbe unaweza kuwa kwa nia ya kumshukuru, kumkanya, kutoa hongera au kwa ajili ya mapenzi.
Hii ni mifano ya ujumbe wa kwenye kanga.
*''Majivuno hayafai''f<ref name="translations">{{cite web |url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |title=Alphabetical List of Inscriptions and Their Translations: Kanga & Kitenge: Cloth and Culture in East Africa |publisher=[[Erie Art Museum]] |accessdate=18 December 2009 |deadurl=yes |archiveurl=https://www.webcitation.org/69pcPEZ7C?url=http://www.erieartmuseum.org/exhibits/exhibits2008/kanga/documents/Translations.pdf |archivedate=11 August 2012 |df= }}</ref>
*''Mkipendana mambo huwa sawa''
*''Japo sipati tamaa sikati'' <ref name="translations" />
*''Wazazi ni dhahabu kuwatunza ni thawabu'': <ref name="translations" />
*''Sisi sote abiria dereva ni Mungu''<ref name="translations" />
*''Fimbo la mnyonge halina nguvu''<ref>{{cite news |last=Howden |first=Daniel |title=Kangalicious: Let your dress do the talking |url=https://www.independent.co.uk/life-style/fashion/news/kangalicious-let-your-dress-do-the-talking-1820408.html |work=The Independent |date=14 November 2009 |accessdate=14 November 2009 |quote=Anyone wearing a kanga with the proverb Fimbo La Mnyonge Halina Nguvu" (Might is Right) may know something about the darker side of the garment's journey from the coast into the interior.}}</ref>
*''Mwanamke mazingira tunataka, usawa, amani, maendeleo''<ref name="translations" />
*''Naogopa simba na meno yake siogopi mtu kwa maneno yake''<ref name="translations" />.
*''Leo ni siku ya shangwe na vigelegele''
*Subira huvuta kheri.
*Wawili wakipenda adui hana nafasi.
*Hakuna kama mama.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Kanga}}
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga/kanga1.html Picha za kanga]
*[http://www.glcom.com/hassan/kanga.html Ujumbe wa kanga]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Mavazi]]
[[Jamii:Utamaduni wa Afrika]]
hnqm1vmh6svli5tbvgmq81zxja1ldov
Ike Nwala
0
126221
1579629
1514569
2026-07-15T11:58:46Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579629
wikitext
text/x-wiki
{{Mwigizaji 2
| picha =
| ukubwa wa picha =
| maelezo ya picha =
| jina = Ike Nwala
| jina la kuzaliwa =
| tarehe ya kuzaliwa = {{birth date and age|1986|6|5|df=yes}}
| mahala pa kuzaliwa = [[Brooklyn, New York]],
| miaka ya kazi = 2011 - hadi leo
| ndoa =
}}
'''Ike Nwala''' (''アイクぬわら'', amezaliwa [[Brooklyn]], [[New York City]], [[3 Juni]] [[1986]]) ni [[mchekeshaji]] na [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]].
== Maisha yake==
Wakati Ike aliongozwa na programu ya [[televisheni]] ya [[Kijapani]], aliamua kuwa mchekeshaji na kwenda [[Japani]]<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.sanspo.com/geino/news/20160702/owa16070211000001-n1.html|title=【ビッくらぼんの365日・芸人日記(55)】「おはスタ」などで活躍する米国出身の元証券マンIT系芸人、アイクぬわら。あらゆるものがネットでつながるIoT(Internet of Things)をお笑いでも実現する!|publisher=サンケイスポーツ|date=2016-07-02|accessdate=2016-07-03}}</ref>.
Hivi sasa anafanya [[kazi]] kama mshiriki wa kikundi kinachoitwa Choshinjuku<ref name="cho">{{cite web|url=http://natalie.mu/owarai/news/58640|title=6人で初トークライブ開催、超新塾新メンバーの名前が決定|language=ja|publisher=[[Natalie (website)|Owarai Natalie]]|date=26 Oct 2011|accessdate=28 Jan 2018|archive-date=2020-05-31|archive-url=https://web.archive.org/web/20200531171144/https://natalie.mu/owarai/news/58640|url-status=dead}}</ref>.
==Filmografia==
*''Yo-kai Watch: Soratobu Kujira to Double no Sekai no Daibōken da Nyan!''
*''Yo-kai Watch Shadowside: Oni-ō no Fukkatsu'' (2017)
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya Nje ==
*[http://www.watanabepro.co.jp/mypage/40000018/ Profaili rasmi]
*[https://www.instagram.com/aiku_nuwachan/ Ike Nwala] on Instagram
{{mbegu-igiza-filamu}}
{{BD|1986||Nwara, Ike}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
mth6of60md33ll1m4xnuvh2kaictcf1
Chemchemi
0
127588
1579440
1577770
2026-07-14T23:06:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579440
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Nandala.jpg|150px|thumb|Chemchemi]]
'''Chemchemi''' ni mahali pa asili ambapo maji ya chini ya ardhi<ref>https://www.usgs.gov/special-topic/water-science-school/science/springs-and-water-cycle?qt-science_center_objects=0#qt-science_center_objects</ref> hutoka kwenye miamba inayohifadhi maji (akuifa) na kutiririka juu ya uso wa nchi kama maji ya juu ya ardhi. Ni sehemu ya hidrosfia (mifumo ya maji duniani), pamoja na kuwa sehemu ya mzunguko wa maji. Kwa muda mrefu, chemchemi zimekuwa muhimu kwa wanadamu kama chanzo cha maji baridi, hasa katika maeneo yenye ukame ambayo hupata mvua kidogo ya kila mwaka.
[[Faili:Big Spring Missouri 1-02Aug08.jpg|thumb|Kwa wastani, karibu galoni milioni 303 za [[Marekani]] (mita za ujazo 1,150,000) za maji hutiririka kutoka Big Spring huko [[Missouri]] kwa kiwango cha futi za ujazo 469 kwa sekunde (mita za ujazo 13.3/s).]]
Chemchemi hupandishwa juu ya uso wa nchi na nguvu mbalimbali za asili, kama vile kani ya mvutano (graving) na shinikizo la hidrostatiki. Chemchemi inayotokana na kububujika kwa maji ya chini ya ardhi yaliyopata joto la kijotofasili (joto la ndani ya dunia) hujulikana kama chemchemi ya maji moto. Kiasi cha maji ya chemchemi hutofautiana sana, kuanzia kiwango cha mtiririko wa ujazo kinachokaribia sufuri hadi zaidi ya lita 14,000 kwa sekunde (futi za ujazo 490/sekunde) kwa chemchemi kubwa zaidi.<ref>{{Cite web|title=Te Waikoropupū Springs|url=https://www.doc.govt.nz/parks-and-recreation/places-to-go/nelson-tasman/places/takaka-area/te-waikoropupu-springs/|work=www.doc.govt.nz|accessdate=2026-07-01|language=en-nz}}</ref>
== Uundaji ==
[[Faili:Grand Prismatic Spring.jpg|thumb|Chemchemi ya Grand Prismatic, Hifadhi ya Taifa ya Yellowstone, Wyoming]]
Chemchemi hutengenezwa pale maji ya chini ya ardhi yanapotiririka juu ya uso wa nchi. Hii kawaida hutokea wakati kiwango cha chini cha maji kinapofika juu ya usawa wa uso wa nchi, au ikiwa ardhi imeshuka kwa kasi. Pia, chemchemi zinaweza kutengenezwa kutokana na topografia ya karst (miamba ya chokaa), akuifa (miamba inayohifadhi maji), au shughuli za volkano. Chemchemi zimeonekana pia kwenye sakafu ya bahari zikitoa maji yenye joto zaidi na chumvi kidogo moja kwa moja baharini.<ref>{{Cite web|title=Springs and the Water Cycle {{!}} U.S. Geological Survey|url=https://www.usgs.gov/water-science-school/science/springs-and-water-cycle|work=www.usgs.gov|date=2019-09-08|accessdate=2026-07-01|language=en}}</ref>
Chemchemi zinazoundwa kutokana na topografia ya karst hutengeneza chemchemi za karst, ambapo maji ya chini ya ardhi hupita kwenye mtandao wa nyufa na mivuko—nafasi zilizo wazi kuanzia zile zilizo kati ya chembechembe ndogo za miamba hadi mapango makubwa, na baadaye kububujika kama chemchemi.
[[Faili:Nacentemackinac.jpg|thumb|Chemchemi ya asili kwenye Kisiwa cha Mackinac huko [[Michigan]]]]
Kusukumwa kwa chemchemi juu ya uso wa nchi kunaweza kusababishwa na chemichemi iliyofungiwa, ambapo eneo la ulishaji wa maji lipo kwenye mwinuko wa juu zaidi kuliko ule wa njia ya kutokea maji. Maji ya chemchemi yanayosukumwa juu na vyanzo hivi vya miinuko ya juu hutengeneza visima vya artesian. Hili linawezekana hata kama njia hiyo ya kutokea ipo ndani ya pango lenye kina cha futi 300 (mita 91). Katika muktadha huu, pango hilo hufanya kazi kama bomba la mpira linalotumiwa na eneo la ulishaji wa maji ya chini ya ardhi ili kuruhusu maji yatokee kwenye tundu lililopo mwinuko wa chini.
Chemchemi zisizo za artesian zinaweza kutiririka tu kutoka mwinuko wa juu kupitia ardhini hadi mwinuko wa chini na kutokea kama chemchemi, zikitumia ardhi kama bomba la majitaka. Bado chemchemi nyingine hutokana na shinikizo la chanzo kilicho chini ya ardhi, kwa njia ya shughuli za volkano au magma. Matokeo yake yanaweza kuwa maji yenye joto na shinikizo la juu, yaani, chemchemi za maji moto na chemchemi za maji yanayoruka.
Kitendo cha maji ya chini ya ardhi huyeyusha mfululizo miamba ya msingi inayopitisha maji kama vile chokaa na dolomiti, na hivyo kutengeneza mifumo mikubwa ya mapango.<ref>{{Cite web|title=The Water Cycle: Springs, from USGS Water Science for Schools|url=http://ga.water.usgs.gov/edu/watercyclesprings.html|work=ga.water.usgs.gov|accessdate=2026-07-01|language=en}}</ref>
=== Aina ===
* [[Faili:MiddleSpring.JPG|thumb|Macheo ya jua kwenye Chemchemi ya Kati, Hifadhi ya Taifa ya Wanyamapori ya Fish Springs, [[Utah]]]]Chemchemi za mshuko hutokea kando ya mshuko wa ardhi, kama vile chini ya mabonde ya aluvio (mabonde ya udongo wa bapa), mabonde ya kawaida, au mabonde yaliyoundwa kwa nyenzo zinazopitisha maji kwa urahisi sana.
* Chemchemi za mgusano, ambazo hutokea kando ya mlima au kilima, hutengenezwa pale ambapo maji ya chini ya ardhi yanakuwa yameegamia tabaka lisilopitisha maji la mwamba au udongo linalojulikana kama akikwidi au akifuji.
* Chemchemi za nyufa au viungo hutokea pale maji ya chini ya ardhi yanayotiririka kando ya tabaka lisilopitisha maji la mwamba yanapokutana na ufa au muunganisho (kiungo) katika mwamba huo.
* Chemchemi za mrija hutokea pale maji ya chini ya ardhi yanapotiririka kutoka kwenye mivuko ya mviringo kama ile inayopatikana kwenye mapango (chemchemi za mrija za mfuruko) au chemchemi za mrija za lava zinazopatikana kwenye mapango ya mirija ya lava.[[Faili:Red-coloured spring below Cascada de los Colores, La Palma.jpg|thumb|Chemchemi ya chalybeate chini ya Cascada de los Colores, La Palma]]Chemchemi za artesian kawaida hutokea katika eneo la chini kabisa la ardhi husika. Chemchemi ya artesian hutengenezwa pale ambapo shinikizo la maji ya chini ya ardhi linakuwa kubwa zaidi kuliko shinikizo la angahewa. Katika muktadha huu, maji husukumwa moja kwa moja juu kutoka ardhini.<ref>{{Cite web|title=n2:2334-2463 - Search Results|url=https://search.worldcat.org/search?q=n2:2334-2463|work=search.worldcat.org|accessdate=2026-07-01}}</ref>
* Mashimo ya wonky ni sehemu za asili za kutokea maji baridi chini ya bahari ambazo zimefunikwa na matumbawe pamoja na masandarusi, zikiwa zinasababishwa na mikondo ya zamani ya mito iliyojaa mchanga na matope.
* Chemchemi za karst hutokea kama mtiririko wa nje wa maji ya chini ya ardhi ambayo ni sehemu ya mfumo wa hidrolojia wa karst.
* Chemchemi za joto hupata joto kutokana na shughuli za jotoardhi; zina halijoto ya maji ambayo ni ya juu zaidi kwa kiasi kikubwa kuliko wastani wa halijoto ya hewa ya eneo linalozunguka.<ref>{{Citation|title=Spring {{!}} water|url=https://www.britannica.com/science/spring-water|work=Encyclopedia Britannica|language=en|access-date=2026-07-01}}</ref> Chemchemi za maji yanayoruka ni aina ya chemchemi ya maji moto ambapo mvuke hutengenezwa chini ya ardhi na maji ya chini ya ardhi yaliyopata joto kali kupita kiasi na kunaswa, na hivyo kusababisha milipuko ya mara kwa mara ya maji ya moto na mvuke.
* Chemchemi za kaboni, kama vile ''Soda Springs Geyser'', ni chemchemi zinazobubujisha maji yenye kaboni yanayotokea kiasili, kutokana na gesi ya ukaa iliyoyeyuka kwenye maji hayo. Wakati mwingine huitwa chemchemi zinazochemka au chemchemi zinazofuka povu.
* "Chemchemi za Gushette zinamwagika kutoka kwenye nyuso za miamba".
* Chemchemi za helocrene ni chemchemi zinazosambaa ambazo hutunza maeneo ya mabwawa kwa kutumia maji ya chini ya ardhi.
== Mtiririko ==
Mtiririko wa chemchemi, au ububujikaji upya, hutegemea bonde la ukusanyaji maji la chemchemi hiyo. Mambo yanayoathiri ukusanyaji huo wa maji ni pamoja na ukubwa wa eneo ambalo maji ya chini ya ardhi yananaswa, kiasi cha mvua, ukubwa wa maeneo ya kunasia maji, na ukubwa wa njia ya kutokea ya chemchemi. Maji yanaweza kuvuja na kuingia kwenye mfumo wa chini ya ardhi kutoka vyanzo vingi ikiwa ni pamoja na udongo unaopitisha maji, mashimo ya mnyunyuko, na mito inayopoteza maji. Katika baadhi ya matukio, mito mizima midogo inaonekana kutoweka kabisa pale maji yanapozama ardhini kupitia sakafu ya mto. Hifadhi ya Jimbo la Grand Gulf huko Missouri ni mfano wa mto mzima mdogo unaotoweka kwenye mfumo wa maji ya chini ya ardhi. Maji hayo hujitokeza maili 9 (kilomita 14) mbali, yakitengeneza sehemu ya mtiririko wa Chemchemi ya Mammoth huko Arkansas. Shughuli za kibinadamu pia zinaweza kuathiri mtiririko wa chemchemi—utumiaji wa maji ya chini ya ardhi hupunguza shinikizo la maji katika tabaka la miamba inayohifadhi maji, na hivyo kupunguza kiasi cha mtiririko.
=== Uainishaji ===
[[Faili:La Sorgue, Fontaine-de-Vaucluse.JPG|thumb|Fontaine de Vaucluse au Chemchemi ya Vaucluse nchini [[Ufaransa]] inatoa takriban galo milioni 470 za Marekani (mita za ujazo 1,800,000) za maji kwa siku kwa kasi ya futi za ujazo 727 (mita za ujazo 20.6) kwa sekunde.]]
Chemchemi huangukia katika makundi makuu matatu ya jumla: za kudumu (chemchemi zinazotiririka mfululizo katika mwaka mzima); za vipindi (chemchemi za muda ambazo huwa hai baada ya mvua, au wakati wa mabadiliko fulani ya msimu); na za mzunguko (kama ilivyo kwenye chemchemi za maji zinazotoa mvuke na kulipuka katika vipindi maalumu au visivyoeleweka).
Chemchemi mara nyingi huainishwa kwa kiasi cha maji yanayotiririka kutoka kwazo. Chemchemi kubwa zaidi huitwa 'chemchemi za daraja la kwanza', zinazofafanuliwa kama chemchemi zinazotoa maji kwa kasi ya angalau lita 2,800 au futi za ujazo 100 (mita za ujazo 2.8) za maji kwa sekunde. Baadhi ya maeneo yana chemchemi nyingi za daraja la kwanza, kama vile [[Florida]] ambapo kuna angalau chemchemi 27 zinazojulikana kuwa na ukubwa huo; maeneo ya Ozarks huko Missouri na Arkansas, ambayo yana chemchemi 10 zinazojulikana kuwa za daraja la kwanza; na nyingine 11 katika eneo la Thousand Springs kando ya Mto Snake huko Idaho. Kiwango cha mtiririko wa chemchemi kiko hivi:
{| class="wikitable"
|+
!Ukubwa
!Mtiririko (futi 3/s, gal/dakika, painti/dakika)
!Mtiririko (L/s)
|-
|Ukubwa wa 1
|> futi 100 futi 3/sekunde
|Lita 2800 kwa sekunde
|-
|Ukubwa wa 2
|futi 10 hadi 100 futi 3/sekunde
|Lita 280 hadi 2800 kwa sekunde
|-
|Ukubwa wa 3
|1 hadi 10 futi 3/sekunde
|Lita 28 hadi 280 kwa sekunde
|-
|Ukubwa wa 4
|Galoni 100 za Marekani kwa dakika hadi futi 1 ya ujazo kwa sekunde
|Lita 6.3 hadi 28 kwa sekunde
|-
|Ukubwa wa 5
|Galoni 10 hadi 100/dakika
|Lita 0.63 hadi 6.3 kwa sekunde
|-
|Ukubwa wa 6
|Galoni 1 hadi 10/dakika
|63 hadi 630 mL/s
|-
|Ukubwa wa 7
|Painti 1 kwa galoni 1/dakika
|63 hadi 630 mL/s
|-
|Ukubwa wa 8
|Chini ya painti 1/dakika
|8 mL/s
|-
|Ukubwa wa 0
|hakuna mtiririko (maeneo ya mtiririko wa zamani/wa kihistoria)
|
|}
== Kiasi cha maji ==
[[Faili:PruessLake.JPG|thumb|Ziwa Pruess linalishwa na chemchemi katika Bonde la Snake lililo kavu huko [[Utah]].]]
Madini huyeyuka kwenye maji yanapopita kwenye miamba ya chini ya ardhi. Kiwango hiki cha madini hupimwa kama jumla ya madini yaliyoyeyuka (TDS). Hali hii inaweza kuyapa maji ladha na hata mapovu ya gesi ya ukaa, ikitegemea asili ya jiolojia ya eneo ambalo maji hayo yanapita. Hii ndiyo sababu maji ya chemchemi mara nyingi huwekwa kwenye chupa na kuuzwa kama maji ya madini, ingawa neno hilo mara nyingi limekuwa likitumiwa kwenye matangazo ya udanganyifu. Maji ya madini yana mchanganyiko usiopungua sehemu 250 kwa milioni (ppm) za TDS. Chemchemi zenye kiasi kikubwa cha madini wakati mwingine huitwa 'chemchemi za madini'. (Wakati huo huo, chemchemi zisizo na kiwango hicho cha madini wakati mwingine hutofautishwa kama 'chemchemi tamu'.) Chemchemi zenye kiasi kikubwa cha chumvi za sodiamu zilizoyeyuka, hasa sodiamu kabonati, huitwa 'chemchemi za soda'. Maeneo mengi ya mapumziko yamejengwa karibu na chemchemi za madini na yanajulikana kama miji ya spa. Chemchemi za madini zinasemekana kuwa na sifa za kutibu. Kuoga au kushinda ndani yake kunasemekana kusaidia ufyonzaji wa madini kutoka kwenye maji hayo. Baadhi ya chemchemi zina viwango vya arseniki vinavyozidi kiwango cha kawaida cha sehemu 10 kwa bilioni (ppb) kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa ajili ya maji ya kunywa. Pale ambapo chemchemi hizo zinamwaga maji yake kwenye mito, zinaweza pia kupandisha viwango vya arseniki kwenye mito hiyo kupita kiwango kilichowekwa na WHO.
Maji kutoka kwenye chemchemi kwa kawaida huwa safi na ya uwazi. Hata hivyo, baadhi ya chemchemi zinaweza kuwa na rangi kutokana na madini yaliyoyeyuka kwenye maji hayo. Kwa mfano, maji yaliyojaa madini ya chuma au tanini yatakuwa na rangi ya machungwa.
Katika baadhi ya maeneo ya Marekani, kijito kinachobeba maji yanayotoka kwenye chemchemi kwenda kwenye kijito kikuu cha karibu kinaweza kuitwa '<nowiki/>''spring branch''<nowiki/>', '<nowiki/>''spring creek'<nowiki/>'', au '''run''<nowiki/>'. Maji ya chini ya ardhi huwa na tabia ya kudumisha wastani wa joto la muda mrefu la tabaka lake la miamba inayohifadhi maji; hivyo basi, mtiririko kutoka kwenye chemchemi unaweza kuwa wa baridi zaidi kuliko vyanzo vingine katika siku ya kiangazi, lakini ukabaki bila kugandana wakati wa baridi. Maji baridi ya chemchemi na kijito chake yanaweza kuhifadhi viumbe kama vile aina fulani za samaki wa trauti ambao kwa namna nyingine wasingeweza kuishi katika hali ya hewa ya eneo hilo iliyo ya joto zaidi.
=== Aina za chemchemi za madini ===
* [[Faili:Natural iron hot spring.jpg|thumb|Chemchemi ya maji moto ya asili ya madini ya chuma huko Beppu, [[Japani]]]]Chemchemi za salfa zina kiwango kikubwa cha salfa kilichoyeyuka au hidrojeni salfaidi katika maji. Kihistoria zimekuwa zikitumiwa kupunguza dalili za ugonjwa wa baridi yabisi na magonjwa mengine ya kuvimba.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=5F9OAQAAIAAJ&redir_esc=y|title=Geothermal Resource Assessment of Hot Sulphur Springs, Colorado|last=Pearl|first=Richard Howard|last2=Ringrose|first2=Charles D.|last3=Zacharakis|first3=Ted G.|date=1982|publisher=Colorado Geological Survey|language=en}}</ref><ref>https://www.sciencedirect.com/topics/agricultural-and-biological-sciences/sulfur-springs</ref>
* Chemchemi za Borax<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=wrmYPgAACAAJ&redir_esc=y|title=Identifying Systematic Behaviors in Borax Lake Geothermal Springs, Southeast Oregon|last=Zakrajsek|first=John R.|date=2006|publisher=University of Idaho|language=en}}</ref>
* Chemchemi za jasi
* Chemchemi za chumvi<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=I2tMDwAAQBAJ&redir_esc=y|title=Touring California and Nevada Hot Springs|last=Bischoff|first=Matt C.|date=2018-04-01|publisher=Simon and Schuster|isbn=978-1-4930-2912-9|language=en}}</ref>
* Chemchemi za chuma (chemchemi ya chalybeate)
* Chemchemi za radiamu (au chemchemi zenye mionzi) zina kiwango kinachoweza kutambulika cha mionzi inayozalishwa na mfumo wa asili wa usambaratisho wa kinyuklia.<ref>https://pubs.usgs.gov/journal/1978/vol6issue4/report.pdf</ref>
== Matumizi ==
[[Faili:Maramec Spring fishing ls.jpg|thumb|Uvuvi wa samaki wa trauti kwenye Chemchemi ya Maramec huko Missouri]]
Chemchemi zimekuwa zikitumiwa kwa mahitaji mbalimbali ya mwanadamu — ikiwa ni pamoja na maji ya kunywa, usambazaji wa maji ya nyumbani, umwagiliaji, kinu , usafiri wa majini, na uzalishaji wa umeme. Matumizi ya sasa ni pamoja na shughuli za burudani kama vile uvuvi, kuogelea, na kuelea; tiba; maji kwa ajili ya mifugo; vituo vya kuzalishia samaki; na usambazaji kwa ajili ya maji ya madini ya chupa au maji ya chemchemi ya chupa. Chemchemi zimechukua aina fulani ya dhana ya ngano kwa kuwa baadhi ya watu wanaamini kimakosa kwamba chemchemi daima ni vyanzo vyenye afya vya maji ya kunywa. Zinaweza kuwa hivyo au zisiwe hivyo. Ni lazima mtu afanye kipimo cha kina cha ubora wa maji ili kujua jinsi ya kutumia chemchemi ipasavyo, iwe kwa ajili ya bafu la madini au maji ya kunywa. Chemchemi zinazosimamiwa kama spa tayari zitakuwa na kipimo kama hicho.
=== Maji ya kunywa ===
Chemchemi mara nyingi hutumiwa kama vyanzo vya maji ya chupa.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=yIz0BsS5l80C&redir_esc=y|title=Bottlemania: Big Business, Local Springs, and the Battle over America's Drinking Water|last=Royte|first=Elizabeth|date=2011-01-15|publisher=Bloomsbury Publishing USA|isbn=978-1-60819-663-0|language=en}}</ref> Wakati wa kununua maji ya chupa yaliyowekwa nembo ya maji ya chemchemi , mara nyingi mtu anaweza kupata matokeo ya vipimo vya maji ya chemchemi hiyo kwenye tovuti ya kampuni inayoyauza.
=== Umwagiliaji ===
Chemchemi zimekuwa zikitumiwa kama vyanzo vya maji kwa ajili ya umwagiliaji wa mazao unaotumia nguvu ya mvutano wa dunia. Watu wa asili wa Kusini-Magharibi mwa Amerika walijenga mifereji inayolishwa na chemchemi ambayo ilielekeza maji mashambani kupitia mifereji ya maji. Baadaye, wamisionari wa Uhispania walitumia njia hii.<ref>{{Cite web|title=Acequias|url=https://www.worldheritagesa.com/Missions/The-Acequias|work=www.worldheritagesa.com|accessdate=2026-07-01}}</ref><ref>{{Citation|last=Romero|first=Simon|title=Drought Hits the Southwest, and New Mexico’s Canals Run Dry|date=2021-07-13|url=https://www.nytimes.com/2021/07/13/us/acequias-drought-new-mexico-southwest.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2026-07-01}}</ref>
=== Chemchemi takatifu ===
[[Faili:La Reana2.jpg|thumb|Fontes Tamarici, nchini Uhispania]]
Chemchemi takatifu, au kisima kitakatifu, ni kijito kidogo cha maji kinachochomoza kutoka chini ya ardhi na kuheshimiwa katika baadhi ya muktadha wa kidini: Kikristo na/au wa kipagani na/au mwingineo. Mapokezi na ngano za Ugiriki ya kale zilijaa chemchemi takatifu na zenye hadithi — hasa chemchemi za Corycian, Pierian, na Castalian. Katika Ulaya ya zama za kati, maeneo matakatifu ya kipagani mara nyingi yaligeuzwa kuwa ya Kikristo kama visima vitakatifu. Istilahi 'kisima kitakatifu' kwa kawaida hutumiwa kurejelea chanzo chochote cha maji chenye ukubwa mdogo (yaani, sio ziwa au mto, lakini ikijumuisha madimbwi, chemchemi za asili, na maeneo ya maji yanayovuja/kuchuruzika chini ya ardhi), ambacho kina umuhimu fulani katika hadithi za kale za eneo hilo. Hii inaweza kuchukua sura ya jina maalum, hadithi inayohusiana nayo, sifa za uponyaji zinazonasibishwa na maji hayo kupitia uwepo wa kiroho wa malaika/mizimu mlinzi au wa mtakatifu wa Kikristo, au sherehe au tambiko linalofanyika kwenye eneo la kisima hicho. Ngano za Kikristo mara nyingi husimulia jinsi matendo ya mtakatifu yalivyosababisha maji ya chemchemi kutiririka — mada inayojulikana sana, hasa katika wasifu wa watakatifu wa Kiselti.
=== Chemchemi za maji joto ===
[[Faili:The Mother Spring - Pagosa Hot Springs, Colorado.jpg|thumb|Chemchemi ya ''Mother Spring,'' Chemchemi za Maji Moto za Pagosa, Colorado]]
Maji ya chini ya ardhi yaliyopashwa joto kijiolojia yanayotiririka kutoka kwenye chemchemi za joto yana joto kubwa kuliko joto la mwili wa mwanadamu, kwa kawaida katika kiwango cha 45–50 °C (113–122 °F), lakini yanaweza kuwa na joto kali zaidi. Chemchemi hizo zilizo na maji yenye joto la chini kuliko joto la mwili lakini yenye joto kubwa kuliko joto la hewa wakati mwingine hujulikana kama chemchemi vuguvugu.
==== Kuoga na Tiba ya Maji ====
Chemchemi za maji moto au chemchemi za jotoardhi zimekuwa zikitumiwa kwa ajili ya tiba ya maji, kuoga, na kupumzika kwa maelfu ya miaka. Kutokana na hadithi za kale zinazozunguka chemchemi za maji moto na sifa zake zinazodaiwa kuwa na thamani ya kitiba, baadhi zimekuwa maeneo ya vivutio vya utalii na maeneo ya vituo vya ukarabati wa kimwili.
=== Nishati ya Jotoardhi ===
[[Faili:Spring flowing through grass.jpg|thumb|Chemchemi ya asili huko Pennsylvania ambapo maji yanayotoka juu ya uso wa ardhi yanachomoza, kisha yanatiririka kuelekea chini na kupita kwenye nyasi na miamba ya juu ya ardhi.]]
Chemchemi za maji moto zimekuwa zikitumiwa kama chanzo cha joto kwa maelfu ya miaka. Katika karne ya 20, zilikuwa rasilimali jadidifu ya nishati ya jotoardhi kwa ajili ya kupasha joto nyumba na majengo. Jiji la Beppu, Japani lina visima vya chemchemi za maji moto 2,217 vinavyolipa jiji hilo maji ya moto.<ref>{{Citation|title=Japan builds a head of steam for an alternative to nuclear|url=https://www.csmonitor.com/World/Asia-Pacific/2018/0309/Japan-builds-a-head-of-steam-for-an-alternative-to-nuclear|work=Christian Science Monitor|issn=0882-7729|access-date=2026-07-01}}</ref> Chemchemi za maji moto pia zimekuwa zikitumiwa kama chanzo cha nishati endelevu kwa ajili ya kilimo cha kwenye nyumba za kioo na ukuzaji wa mazao na maua.<ref>https://www.pref.oita.jp/uploaded/attachment/2049215.pdf</ref>
== Istilahi ==
* Mchemko wa chemchemi<ref name=":0">{{Cite web|title=Springs characteristics|url=https://www.sjrwmd.com/waterways/springs/characteristics/|work=SJRWMD|accessdate=2026-07-01|language=en}}</ref>
* Dimbwi la chemchemi<ref name=":0" />
* Mito ya chemchemi, <ref name=":0" />ambayo pia hujulikana kama chemchemi za mtiririko.
* Tundu la chemchemi (au Mdomo wa chemchemi)<ref name=":0" />
== Taswira za kitamaduni ==
[[Faili:Lucas Cranach - Der Jungbrunnen (Gemäldegalerie Berlin).jpg|thumb|Lucas Cranach, Der Jungbrunnen (Chemchemi ya Ujana), 1546]]
Chemchemi zimekuwa zikiwakilishwa katika utamaduni kupitia sanaa, mitandao ya hadithi za miungu, na ngano za kale katika historia yote. Chemchemi ya Ujana ni chemchemi ya ngano ambayo ilisemekana kurudisha ujana kwa mtu yeyote aliyekunywa maji yake.<ref>{{Cite web|title=Water from St. Pete's famed Fountain of Youth contained high levels of lithium|url=https://www.fox13news.com/news/water-from-st-petes-famed-fountain-of-youth-contained-high-levels-of-lithium|work=FOX 13 News|date=2021-10-25|accessdate=2026-07-01|language=en-US|author=Lloyd Sowers}}</ref> Imekuwa ikidaiwa kuwa chemchemi hiyo inapatikana kule St. Augustine, [[Florida]], na iligunduliwa na Juan Ponce de León mnamo mwaka 1513. Hata hivyo, haijaonyesha nguvu yoyote ya kurudisha ujana, na wanahistoria wengi wanapinga ukweli wa ugunduzi huo wa Ponce de León.<ref>{{Cite web|title=St. Augustine Fountain of Youth may be Florida’s oldest attraction|url=https://www.orlandosentinel.com/2020/11/05/st-augustine-fountain-of-youth-may-be-floridas-oldest-attraction/|work=Orlando Sentinel|date=2020-11-05|accessdate=2026-07-01|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Ponce De Leon Never Searched for the Fountain of Youth|url=https://www.smithsonianmag.com/history/ponce-de-leon-never-searched-for-the-fountain-of-youth-72629888/|work=Smithsonian Magazine|accessdate=2026-07-01|language=en}}</ref>
[[Faili:Oracle of Delphi, red-figure kylix, 440-430 BC, Kodros Painter, Berlin F 2538, 141668.jpg|thumb|Kasisi wa Delphi, akikabiliwa kwenye kailiksi ya picha nyekundu, iliyochorwa na Mchoraji Kodros, ikimwonyesha Pythia akiwa na kikombe kinachodhaniwa kuwa na maji kutoka kwenye chemchemi, miaka ya 440–430 KK]]
Pythia, anayejulikana pia kama Mtabiri wa Delphi, alikuwa kuhani mkuu wa kike katika Hekalu la Apollo. Alikuwa akitoa unabii akiwa katika hali ya msisimko mkali wa kupagawa na miungu uliosababishwa na 'mvuke uliokuwa ukipanda kutoka kwenye ufa wa mwamba'. Inasemekana kuwa mvuke huo ulikuwa ukitoka kwenye chemchemi ya Kerna huko Delphi.<ref>{{Citation|last=Broad|first=William J.|title=For Delphic Oracle, Fumes and Visions|date=2002-03-19|url=https://www.nytimes.com/2002/03/19/science/for-delphic-oracle-fumes-and-visions.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2026-07-01}}</ref>
Hadithi ya ngano ya Kigiriki kuhusu Narcissus inaeleza juu ya kijana mmoja aliyepagawa na mapenzi kwa ajili ya kivuli chake mwenyewe kwenye dimbwi tulivu la chemchemi. Narcissus alitazama kwa dhati kwenye 'chemchemi isiyo na matope, yenye rangi ya fedha kutokana na maji yake yanayometa, ambayo haikuguswa na wachungaji wala mbuzi-mwitu wanaolisha milimani wala ng'ombe wengine wowote, ambayo haikuvurugwa na ndege, mnyama, wala tawi lililoanguka kutoka kwenye mti.' (Ovid).<ref>{{Cite journal |last=Nelson |first=Max |date=2000 |title=Narcissus: Myth and Magic |url=https://www.jstor.org/stable/3298150 |journal=The Classical Journal |volume=95 |issue=4 |pages=363–389 |issn=0009-8353}}</ref>
[[Faili:John William Waterhouse Echo And Narcissus.jpg|thumb|John William Waterhouse Echo na Narcissus, 1903]]
Mpiga picha wa Kimarekani wa mapema karne ya 20, James Reuel Smith alitengeneza mfululizo wa picha za kina zinazofanya mapitio ya chemchemi za kihistoria za Jiji la [[Jiji la New York|New York]] kabla hazijafunikwa na jiji hilo baada ya ujio wa mfumo wa maji wa manispaa. Baadaye,<ref>https://digitalcollections.nyhistory.org/items/860-james-reuel-smith-springs-and-wells-photograph-collection-1893-1902{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Smith alipiga picha chemchemi za Ulaya zilizopelekea kitabu chake kilichoitwa, ''Springs and Wells in Greek and Roman Literature, Their Legends and Locations'' (1922).<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/cu31924075437420|title=Springs and wells in Greek and Roman literature, their legends and locations|last=Smith|first=James Reuel|date=1922|publisher=New York, G. P. Putnam's sons|others=Cornell University Library}}</ref>
[[Faili:Sokokura by Hiroshige2.jpg|thumb|Sokokura kutoka kwenye mfululizo wa 'Wasanii Wawili Watembelea Chemchemi Saba za Maji Moto' (Sōhitsu shichitō meguri) wa Utagawa Toyokuni III na Utagawa Hiroshige, 1854]]
Wasanii wa Kijapani wa karne ya 19, Utagawa Hiroshige na Utagawa Toyokuni III, walitengeneza mfululizo wa michoro ya chapa za mbao, 'Wasanii Wawili Watembelea Chemchemi Saba za Maji Moto' mnamo mwaka 1854.
Jiji la China la Jinan linajulikana kama 'Mji wa Chemchemi' (Kichina: 泉城), kwa sababu ya vivutio vyake vya chemchemi 72 na matundu madogo mengi sana ya chemchemi (micro spring holes) yaliyoenea katikati ya jiji hilo.<ref>{{Cite web|url=http://english.jinan.gov.cn/col/col29554/index.html|work=english.jinan.gov.cn|accessdate=2026-07-01}}</ref><ref>{{Cite web|title=Jinan: a City of Springs|url=https://www.theworldofchinese.com/2020/04/jinan-a-city-of-springs/|work=The World of Chinese|accessdate=2026-07-01|language=en|author=Song Yu}}</ref>
== Marejeo ==
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:Mito]]
<references />
[[Jamii:AWC 2026]]
b3shuj74xc09dqsgepnrnzeegpwia33
Ato Malinda
0
133316
1579435
1482333
2026-07-14T20:45:52Z
~2026-39822-51
90940
1579435
wikitext
text/x-wiki
{{Mtu
|rangi =
|jina =Ato Malinda
|picha =Ato Malinda, 2019 (cropped).jpg
|maelezo_ya_picha =
|jina la kuzaliwa =Ato Malinda
|alizaliwa =
|alikufa =
|nchi =Kenya
|kazi yake =
|ndoa =
|wazazi =
|watoto =
|tovuti rasmi =
}}
'''Ato Malinda''' ni miongoni mwa [[wasanii]] wa kike wachache wa maonyesho ya [[Afrika Mashariki]] na anapambana ili sanaa hiyo ipate kukubalika.
Alizaliwa [[Kenya]] mnamo [[1981]], akiwa mtoto wa mama kutoka [[Kenya]] na baba kutoka [[Uganda]]. Alikuwa anaishi [[Uholanzi]] na baadae alirejea [[Kenya]].
== Elimu ==
Baada ya kuhitimu Shule ya upili (sekondari) alikwenda [[Marekani]] kusomea historia ya sanaa na biolojia ya molekuli katika chuo kikuu cha [[Texas]]. Alikuwa na ukuaji mgumu udogoni kwa kushindwa kutimiza matamanio ya baba yake ya kuwa daktari, pamoja na kukabiliana na aibu ya kuwa [[msagaji]] katika jamii yake.
Mwaka [[2006]], baada ya kuhamia [[Uingereza]] kwa muda, alipata tena hamasa ya kuendelea na sanaa.<ref name=":0">{{Cite web|last=Radar|first=Art|title=Ato Malinda on sexuality, African feminism and performance as art – interview {{!}} Art Radar|url=https://artradarjournal.com/2014/08/01/ato-malinda-on-sexuality-african-feminism-and-performance-as-art-interview/|access-date=2020-08-20|language=en-GB|accessdate=2021-03-06|archivedate=2021-04-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210419151227/https://artradarjournal.com/2014/08/01/ato-malinda-on-sexuality-african-feminism-and-performance-as-art-interview/}}</ref> Hurejea nchini [[Kenya]] mara kwa mara ambapo huwa anafanya kazi katika tasnia mbalimbali za sanaa: sanaa ya video, sanaa ya maonyesho, uchoraji na kupaka rangi.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1981|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wasanii wa Kenya]]
0tnzjehd4s801jq9l8ivli435kv5pgx
Halima Ali Adan
0
139932
1579513
1322214
2026-07-15T09:33:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579513
wikitext
text/x-wiki
{{Mtu
|rangi =
|jina =Halima Ali Adan
|picha =Halima A. Adan (9043618876) (cropped).jpg
|maelezo_ya_picha =Picha ya Halima Adan
|jina la kuzaliwa =
|alizaliwa =
|alikufa =
|nchi =Tanzania
|kazi yake =Mwanaharakati
|ndoa =
|wazazi =
|watoto =
|tovuti rasmi =
}}
'''Halima Ali Adan''' ni [[Msomali]] [[mwanaharakati]] wa [[haki za kijinsia]], na [[mtaalamu]] wa [[ukeketaji]]. Ni [[mwenyekiti]] mwenza wa kikosi kazi cha [[ukatili wa kijinsia]] na meneja wa [[programu]] Okoa Watoto na Wanawanake wa [[Somalia]].
==Maisha==
Adan alizaliwa na kukulia [[Mombasa]], [[Kenya]].<ref name="gov.UK">{{cite web |title=International Women's Day: Giving more assistance to the vulnerable community in Somalia for the last 2 years. |url=https://www.gov.uk/government/news/international-womens-day--3 |website=gov.UK|accessdate=24 July 2018}}</ref> Alisomea sayansi ya kompyuta [[chuo kikuu]] cha Greenwich huko [[London]] ambapo alipata [[shahada]] yake ya kwanza. Baada ya kupata shahada ya pili ya mafunzo ya [[maendeleo]], Adan alianza kufanyia kazi katika [[shirika]] la kutoa huduma za [[intaneti]] Kenya.<ref name="gov.UK" /><ref name="Peacebuilders.org">{{cite web |title=Halima Adan |url=http://global-peacebuilders.org/peacebuilders-2/halima-adan/ |website=Peace Builders.org |accessdate=24 July 2018 |archive-date=2018-10-12 |archive-url=https://web.archive.org/web/20181012055255/http://global-peacebuilders.org/peacebuilders-2/halima-adan/ |url-status=dead }}</ref>
==Shughuli==
Tangu [[mwaka]] [[2014]], Adan aliajiriwa na shirika la ''Save Somali Women and Children'' (SSWC) kama [[meneja]] wa program na mwenyekiti mwenza wa kikosi kazi cha ukatili wa kijinsia.<ref name="Humanitarian leadership">{{cite web |title=Dialogue for Action on Aid Localisation in Somalia |url=https://www.humanitarianleadershipacademy.org/dialogue-action-aid-localisation-somalia/ |website=Humanitarian Leadership Academy |accessdate=24 July 2018 |archivedate=2021-07-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210721162301/https://www.humanitarianleadershipacademy.org/dialogue-action-aid-localisation-somalia/ }}</ref> SSWC ilianzishwa mwaka 1992 [[Mogadishu]] na [[mwanamke]] wa kisomali, ambaye lengo lake kutengeneza shirika lisilo la kibiashara ambalo litaunga mkono wanawake na wasichana wa Kisomali ambao wamepitia uzoefu wa kikatili na umaskini katika jamii zao.<ref name="SSWC website">{{cite web |title=Who is SSWC? |url=http://www.sswc-som.com/about.html |website=Save Somali Women and Children |accessdate=24 July 2018 |archivedate=2018-07-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180725033251/http://www.sswc-som.com/about.html }}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]]
[[Jamii:Wanawake wa Somalia]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Somalia]]
[[Jamii:Watu kutoka Mombasa]]
[[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]]
slopbeh49aykjczrse80hf0zmsjs32m
Bernard Agré
0
187174
1579433
1569211
2026-07-14T20:12:37Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579433
wikitext
text/x-wiki
[[File:Agre Bernard.jpg|thumb|Bernard Agré (1994)]]
'''Bernard Agré''' ([[2 Machi]] [[1926]] – [[9 Juni]] [[2014]]) alikuwa [[Askofu mkuu|Askofu Mkuu]] wa [[Abidjan]], [[Côte d'Ivoire]], na [[kardinali]] wa [[Kanisa Katoliki]].<ref name="FIU">{{Rejea tovuti|url=https://cardinals.fiu.edu/bios2001.htm|title=Biographical Dictionary of John Paul II (1978-2005), Consistory of February 21, 2001 (VIII)|author=<!--Not stated-->|date=|website=Florida International University website, The Cardinals of the Holy Roman Church section|publisher=|access-date=|quote=|archive-date=2024-09-25|archive-url=https://web.archive.org/web/20240925204025/https://cardinals.fiu.edu/bios2001.htm|url-status=dead}}</ref>
== Wasifu ==
Alizaliwa Monga, Côte d'Ivoire<ref name="CNA">{{Cite web |url=https://www.catholicnewsagency.com/resource/55088/agre-bernard |title=Catholic News Agency website, ''Agre, Bernard'' |accessdate=2024-10-02 |archive-date=2025-02-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250220131945/https://www.catholicnewsagency.com/resource/55088/agre-bernard |url-status=dead }}</ref>. Alisoma katika Seminari ya Bingerville ambako alisomea falsafa, kisha akaendelea katika Seminari Kuu ya Quidah, Dahomey (sasa Benin), ambako alisomea theolojia. Hatimaye, kati ya mwaka 1957 hadi 1960, alisoma katika Chuo Kikuu cha Kipapa cha Urbaniana huko Roma, ambako alipata shahada ya uzamivu (PhD) katika theolojia kwa heshima ya juu zaidi, ''summa cum laude''.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1926]]
[[Jamii:Waliofariki 2014]]
[[Jamii:maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Makardinali]]
[[Jamii:watu wa Cote d'Ivoire]]
285dk127nyy09koph9eh65gd62ismn8
Abdullah bin Uthman
0
189057
1579396
1464496
2026-07-14T14:52:58Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579396
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Abdullah bin Othman 02 (cropped).jpg|thumb|Abdullah bin Uthman]]
'''Malai Abdullah bin Malai Othman''' (alifariki [[30 Juni]] [[2019]]) alikuwa raisi wa Jumuiya ya Kusimamia Masuala Yanayohusiana na [[Autism|Tawahudi]] katika Mafunzo, Elimu na Rasilimali (SMARTER) huko [[Brunei]].
== Wasifu ==
Malai Abdullah alisomea [[Muuguzi|uuguzi]] baada ya kuhitimu Chuo cha Anthony Abell, Seria mwaka wa [[1973]]. <ref>{{Rejea tovuti| date = 1973| title = 1973 Sinaran Penuntut|url=https://aacclassof1970.wordpress.com/wp-content/uploads/2014/07/1973-aac-yearbook.pdf|accessdate=2024-07-19|work=aacclassof1970}}</ref>
Kabla ya kuanzisha uhamasishaji wa masuala yanayohusiana na usonji kupitia Kituo cha SMARTER Brunei, ambacho hatimaye kilipanuka na kujumuisha vituo vingine viwili,charity shop, na bakery, alikua akifanya kazi serikalini chini ya Wizara ya Afya (MoH). Kuanzishwa Kituo cha SMARTER Brunei kulichochewa na mwanawe wa pekee mwenye tawahudi, na mmoja wa binti zake sasa anafanya kazi na shirika hilo baada ya kupokea mafunzo binafsi kutoka kwa baba yake Mnamo mwaka wa 2018, alikuwa miongoni mwa watu kumi kutoka kanda ya ASEAN waliopokea tuzo ya kiraia ya Padma Shri kutoka kwa Raisi wa India, [[Ram Nath Kovind]], kwa kazi yake ya kuboresha hali ya watoto na watu wazima wenye tawahudi. <ref>{{Rejea tovuti| title = SMARTER President receives Padma Shri Award {{!}} Borneo Bulletin Online|url=https://borneobulletin.com.bn/smarter-president-receives-padma-shri-award/|accessdate=2018-12-14|language=en-US|archive-date=2018-12-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20181215073014/http://borneobulletin.com.bn/smarter-president-receives-padma-shri-award/|url-status=dead}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Guan|first=Tan Wee| date = 2018-04-04| title = Autism society chief receives India's renowned Padma award|url=http://asianews.eu/content/autism-society-chief-receives-indias-renowned-padma-award-70262|accessdate=2018-12-14|work=Asia News Network|language=en}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=High Commission of India, Brunei Darussalam : News|url=http://www.hcindiabrunei.gov.in/news_detail/?newsid=8|accessdate=2018-12-14|work=www.hcindiabrunei.gov.in|archive-date=2018-12-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20181215022101/http://www.hcindiabrunei.gov.in/news_detail/?newsid=8|url-status=dead}}</ref>
== Kifo ==
Malai Abdullah alifariki tarehe 30 Juni 2019, akiwa na umri wa miaka 66, akiwa na mke wake kando yake. Wakati wa kifo chake, alikuwa na matatizo ya kupumua, ambayo baadaye yalithibitishwa na wahudumu wa matibabu katika Hospitali ya Raja Isteri Pengiran Anak Saleha (RIPAS). <ref>{{Rejea tovuti| date = 2019-07-01| title = HIGH COMMISSION OF INDIA, BRUNEI DARUSSALAM| url = https://www.hcindiabrunei.gov.in/newsImage/1561959008_8793_Tribute%20to%20late%20Padma%20Shri%20Malai%20Haji%20Abdullah.pdf| accessdate = 2023-04-23| archive-date = 2022-07-22| archive-url = https://web.archive.org/web/20220722173233/https://www.hcindiabrunei.gov.in/newsImage/1561959008_8793_Tribute%20to%20late%20Padma%20Shri%20Malai%20Haji%20Abdullah.pdf| url-status = dead}}</ref> Ameacha mke wake, binti wanne, mtoto mmoja wa kiume, na wajukuu 11. <ref name=":0">{{Rejea habari|last=Faisal|first=Fadley| date = 2019-07-01| title = SMARTER Brunei President passes away|work=[[Borneo Bulletin]]|url=https://borneobulletin.com.bn/smarter-brunei-president-passes-away/|accessdate=2024-10-23|archivedate=2023-04-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230423142532/https://borneobulletin.com.bn/smarter-brunei-president-passes-away/}}</ref>
== Tuzo ==
* [[Faili:Padma_Shri_Ribbon.svg|50x50px]] Padma Shri (2018)
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:waliozaliwa karne ya 20]]
[[Jamii:Waliofariki 2019]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Brunei]]
ez7h3wbv6t5qfm1a37v48js07eoe11d
Helga Paris
0
189206
1579576
1513612
2026-07-15T10:07:06Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579576
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Helga Paris 2012.jpg|thumb|Paris mwaka 2012]]
'''Helga Paris''' (jina la kuzaliwa: '''Steffens'''; 21 Mei 1938 – 5 Februari 2024) alikuwa mpiga picha kutoka [[Ujerumani]] anayejulikana kwa picha zake za maisha ya kila siku katika [[Ujerumani Mashariki]]. Alianza kwa kupiga picha za maonyesho ya michezo ya kuigiza, kisha akaelekeza kwenye mfululizo wa picha za watu na mitaa, kama vile ''Wakusanyaji wa Takataka'' mwaka 1974, ''Berliner Kneipen'' mwaka 1975, ''Leipzig Hauptbahnhof'' mwaka 1981, picha zake binafsi na nyumba na nyuso kutoka [[Halle (Saale)|Halle]] kwa ajili ya maonyesho ambayo yalifutwa mwaka 1986. Kazi zake, zilizoonyeshwa kimataifa, zilipata kutambuliwa hasa baada ya Muungano wa Ujerumani kama nyaraka za historia iliyopita.<ref name="Aufarbeitung">{{cite web |url=https://www.bundesstiftung-aufarbeitung.de/de/recherche/kataloge-datenbanken/biographische-datenbanken/helga-paris |last=Scharnhorst |first=Anke |title=Paris, Helga geb. Steffens * 21.5.1938 Fotografin |publisher= Bundesstiftung zur Aufarbeitung der SED-Diktatur: Biographische Datenbanken |language=de |access-date=19 May 2015}}</ref><ref name="Scotland">{{cite web |url=http://www.artinscotland.tv/2014/helga-paris-fotografie/ |title=Helga Paris : Fotografie |author=Helga Paris (speaker) |publisher=Art in Scotland TV |location=Edinburgh |date=8 March 2014 |access-date=19 May 2015 |archive-date=2017-09-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170920142504/http://www.artinscotland.tv/2014/helga-paris-fotografie/ |url-status=dead }}</ref><ref name=":0">{{Rejea kitabu|title=Fotografien = Photographs|last1=Paris|first1=Helga|last2=Schube|first2=Inka|last3=Brade|first3=Helmut|last4=Sprengel Museum Hannover|last5=Brandenburgische Kunstsammlungen Cottbus|date=1 January 2004|publisher=Sprengel Museum ; Holzwarth Publications|isbn=978-3-89169-187-8|location=Hannover; Berlin|pages=304–310|oclc = 61137958}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1938]]
[[Jamii:Waliofariki 2024]]
[[Jamii:Wanawake wa Ujerumani]]
enkrd4sf3kiahuh5tw9oh8ybp8d59p3
Robin Black
0
193663
1579409
1398476
2026-07-14T15:31:03Z
EdwardJacobo42
48620
1579409
wikitext
text/x-wiki
[[picha: Robin Clark, 2019 (cropped).jpg|thumb|Robin Black]]'''Robin Black''' ni mchambuzi wa mapigano na [[mtangazaji]] wa michezo kutoka [[Kanada]]. Hapo awali alishiriki katika mashindano ya sanaa za mapigano mchanganyiko na pia alikuwa [[mwanamuziki]] wa glam rock.<ref name="Vibe 105">{{cite web|url=https://www.vibe105to.com/full-disclosure/beyond-the-game-ep-11-robin-black-talks-cormier-vs-lesnar-ufc-calgary|title=Beyond The Game EP. 11: Robin Black Talks Cormier vs Lesnar & UFC Calgary|website=[[CHRY-FM|VIBE 105]]|date=October 6, 2018|quote=TSN MMA analyst|accessdate=2024-12-09|archive-date=2024-07-25|archive-url=https://web.archive.org/web/20240725004642/https://www.vibe105to.com/full-disclosure/beyond-the-game-ep-11-robin-black-talks-cormier-vs-lesnar-ufc-calgary|url-status=dead}}</ref><ref name="MMA Mania">{{cite web|url=https://www.mmamania.com/2021/1/1/22204667/best-bellator-mma-moments-2020-nemkov-bader-robin-black|title=Bink! Robin Black's favorite Bellator moments of 2020|author=Steve Juon|website=[[MMA Mania]]|date=January 1, 2021|quote=Robin Black: musician, fighter, commentator. The man has worn many hats over the years}}</ref><ref name="JRE">{{cite web|url=https://www.jrepodcast.com/episode/joe-rogan-experience-534-robin-black/|title=Joe Rogan Experience #534 – Robin Black|website=[[The Joe Rogan Experience]]|author=Nicolas Atkin|date=August 14, 2014|quote=Robin Black is an MMA analyst and color commentator for Fight Network and was also the lead singer of Canadian Glam Rock band Robin Black & the Intergalactic Rock Stars}}</ref><ref name=mccoy>Heath Jon McCoy, "Loud and proud in leather and feathers: Intergalactic Rock Stars love glitter and glam". ''[[Calgary Herald]]'', November 4, 2000.</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|1969|}}
[[Jamii:Waimbaji wa Kanada]]
tiaytvknvkta6tsa10qp2wevq8httth
Franz Kamphaus
0
202229
1579492
1579312
2026-07-15T09:05:49Z
Riccardo Riccioni
452
1579492
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Coat of arms of Franz Kamphaus.svg|thumb]]
'''Franz Kamphaus''' ([[2 Februari]] [[1932]] – [[28 Oktoba]] [[2024]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Kanisa Katoliki]] kutoka [[Ujerumani]], aliyewahi kuwa askofu wa [[Dayosisi]] ya [[Limburg an der Lahn|Limburg]].
Aliteuliwa kuwa askofu wa Limburg mwaka 1982 baada ya kufundisha teolojia ya kichungaji na homiletiki katika Chuo Kikuu cha Münster. Alijulikana kwa msimamo wake kama askofu pekee wa Ujerumani aliyempinga [[Papa Yohane Paulo II]] kuhusu ushauri kwa wanawake wajawazito waliokuwa kwenye hali ngumu.
Baada ya kumaliza huduma yake mwaka 2007, alihamia katika St. Vincenzstift, Aulhausen, taasisi inayowahudumia watu wenye ulemavu wa kimwili na kiakili, ambako alihudumu kama kuhani.<ref name="Deckers">{{cite news|last=Deckers|first=Daniel|url=https://www.faz.net/aktuell/politik/bischof-kamphaus-ach-ja-der-franz-1739905.html|title=Bischof Kamphaus "Ach ja, der Franz"|date=29 January 2009|newspaper=[[Frankfurter Allgemeine Zeitung]]|language=de|access-date=17 January 2014}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2024]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watu wa Ujerumani]]
p8luvfha0dmwjl3mvwpgbauu6p8minp
Acacia Bandubola
0
208448
1579399
1574891
2026-07-14T15:03:02Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579399
wikitext
text/x-wiki
'''Acacia Bandubola Mbongo''' (alizaliwa [[Kisangani]], 16 Juni) ni mfanyabiashara na mwanasiasa kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], na ni mwanachama wa chama cha Union pour la Démocratie et le Progrès Social (UDPS). Amekuwa Waziri wa Masuala ya Ardhi tangu [[2024]] katika serikali ya Judith Suminwa Tuluka <ref>{{Rejea tovuti|title=ORDONNANCE n°24‑039 du 28 mai 2024 portant nomination du gouvernement Suminwa|publisher=Ministère de la Coopération (RDC)|url=https://cooperation.gouv.cd/dev/wp-content/uploads/2024/10/ORDONNANCE-N%C2%B024-039-DU-28-MAI-2024-portant-nomination-membres-du-gouvernement-Suminwa.pdf|date=28 mai 2024|accessdate=21 juin 2025|archive-date=2025-06-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20250624042048/https://cooperation.gouv.cd/dev/wp-content/uploads/2024/10/ORDONNANCE-N%C2%B024-039-DU-28-MAI-2024-portant-nomination-membres-du-gouvernement-Suminwa.pdf|url-status=dead}}</ref>.
== Wasifu ==
=== Masomo ===
Acacia Bandubola Mbongo alizaliwa na Henriette Mbokoso Bokwetenge na Raphael Bandubola. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Complexe Scolaire Okapi, shule ya binafsi mjini Kisangani, ambako wazazi wake waliishi wakati huo. Mwaka 1994, alihamia Kinshasa, mji mkuu na mkubwa zaidi wa nchi. Aliendelea na masomo yake katika Lycée Bosangani kuanzia 1994 hadi 1999. Mwaka 2000, alipata diploma ya taifa kutoka Lycée Molière. Ana shahada ya uzamili ya pili (Master 2) katika uchumi wa fedha, akiwa amehitimu kwa heshima ya ‘distinction’ kutoka Chuo Kikuu cha Kiprostanti cha Kongo.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|language=fr|title=RDC : Voici le portrait de la nouvelle ministre de l'économie Acacia Bandubola Mbongo|url=https://www.7sur7.cd/2019/09/06/rdc-voici-le-portrait-de-la-nouvelle-Ministre-de-leconomie-acacia-bandubola-mbongo|date=2019-09-06|accessdate=2020-05-21}}</ref> .
== Kazi ==
Acacia Bandubola Mbongo amefanya kazi Ecobank, FINCA, BIAC na [[Vodacom]].
Alianza harakati za kisiasa akiwa mwanafunzi. Aliajiriwa na Delly Sesanga kwa chama chake cha siasa cha ENVOL <ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|last=Infocongo|title=Acacia Bandubola, patronne de l’Economie congolaise - Infocongo|url=https://infocongo.net/2019/09/05/acacia-bandubola-patronne-de-leconomie-congolaise/|date=2019-09-04|accessdate=2025-06-21}}</ref>. Baadaye alijiunga na RNS ( Rally for a New Society ), ambayo alikuwa mgombea wa wadhifa wa naibu wa kitaifa huko [[Wilaya ya Funa]], Kinshasa.
Baada ya kushindwa katika uchaguzi wa wabunge wa 2006, alijiunga na Muungano wa Demokrasia na Maendeleo ya Kijamii (UDPS) na kuendelea na shughuli zake za kisiasa nchini Ufaransa. Alitambuliwa na Étienne Tshisekedi . Alishiriki katika maandamano kadhaa na alisafiri hadi nchi nyingine za Ulaya kusaidia wanaharakati wa Kongo.
Aliteuliwa katika serikali ya Ilunga kama Waziri wa Uchumi wa Kitaifa mnamo Agosti 26, 2019 <ref>{{Rejea tovuti|title=ORDONNANCE n°19‑077 du 26 août 2019 portant nomination du gouvernement Illunga|publisher=Primature de la RDC|url=https://www.primature.cd/public/wp-content/uploads/2019/11/Ordonnance-Portant-nomination-PM-Ilunga.pdf|date=27 août 2024|accessdate=21 juin 2025}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>,<ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|first=Webmaster|last=Webmaster|title=RDC : Voici le parcours politique d’Acacia Bandubola, nommée ministre de l’économie – PROVINCES 26 RDC.net::: site d'information|url=https://provinces26rdc.com/rdc-voici-le-parcours-politique-dacacia-bandubola-nommee-ministre-de-leconomie/|accessdate=2025-06-21}}</ref>, alipokuwa akishikilia wadhifa wa Makamu wa Rais wa UDPS-Ufaransa.
Sanjari na Jacquemain Shabani, Acacia Bandubola aliteuliwa kuwa mkurugenzi mwenza wa kampeni ya rais anayemaliza muda wake [[Félix Tshisekedi]] kwa uchaguzi wa urais wa decemba 2023 <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.jeuneafrique.com/1497302/politique/en-rdc-deux-cadres-de-ludps-pour-diriger-la-campagne-de-felix-tshisekedi/|title=En RDC, deux cadres de l’UDPS pour diriger la campagne de Félix Tshisekedi|publisher=Jeune Afrique|author=Vincent Duhem|date=25 10 2023}}</ref> .
Wakati wa uchaguzi wa wabunge wa Desemba 20, 2023, Acacia Bandubola alichaguliwa kuwa naibu wa kitaifa katika [[Wilaya ya Lukunga|eneo bunge la Lukunga]] katika jimbo la jiji la [[Kinshasa]] <ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|author=Monge Junior Diama|first=|last=|title=Législatives 2023 : Muyaya, Mwaba, Kibuka, Kazadi, Mwabilu, Kabuya, Tshilumbu, … voici la liste des 56 députes élus de Kinshasa|url=https://www.politico.cd/archives/elections-2023/2024/01/14/legislatives-2023-muyaya-mwaba-kibuka-kazadi-mwabilu-kabuya-tshilumbu-voici-la-liste-des-56-deputes-elus-de-kinshasa.html/153762/|date=2024-01-14|accessdate=2024-01-14|archive-date=2024-02-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20240222102237/https://www.politico.cd/archives/elections-2023/2024/01/14/legislatives-2023-muyaya-mwaba-kibuka-kazadi-mwabilu-kabuya-tshilumbu-voici-la-liste-des-56-deputes-elus-de-kinshasa.html/153762/|url-status=dead}}</ref> .
== Maisha binafsi==
Acacia Bandubola Mbongo ameolewa na ni mama wa mtoto mmoja.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|karne ya 20|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
i6vei8a339t5q5kbyycl3he4thstb74
Wikipedia:Mradi wa Nchi
4
208508
1579383
1579327
2026-07-14T13:55:37Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1579383
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-14)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-14)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 632
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 720
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2814
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1152
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 966
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 523
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 417
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 216
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 801
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 166
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 205
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 654
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 366
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2330
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 348
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 318
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 510
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 422
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 210
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 419
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 158
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 176
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 284
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 137
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 319
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 195
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 157
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 25
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29701 || ↓ -1.1%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.7 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2814 || ↑ +1.8%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2330 || ↑ +1564.3%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1121 || ↓ -12.8%
|-
| 4 || [[Australia]] || 801 || ↑ +138.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 720 || ↓ -0.3%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 654 || ↓ -6.8%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 614 || ↓ -9.3%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 523 || ↑ +0.4%
|-
| 9 || [[Kanada]] || 504 || ↑ +39.2%
|-
| 10 || [[Urusi]] || 501 || ↓ -37.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 599 || 43.0%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
6e3loi3fgqja957t6h4bnqyycaji8hx
1579384
1579383
2026-07-14T13:59:11Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1579384
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-14)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-14)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 632
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 720
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2814
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1152
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 966
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 523
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 417
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 216
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 801
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 166
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 205
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 654
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 366
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2330
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 348
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 318
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 510
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 422
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 210
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 419
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 158
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 176
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 284
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 137
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 319
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 195
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 157
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 25
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29729 || ↓ -1.0%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.8 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2814 || ↑ +1.8%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2330 || ↑ +1564.3%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1121 || ↓ -12.8%
|-
| 4 || [[Australia]] || 801 || ↑ +138.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 720 || ↓ -0.3%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 654 || ↓ -6.8%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 614 || ↓ -9.3%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 523 || ↑ +0.4%
|-
| 9 || [[Kanada]] || 504 || ↑ +39.2%
|-
| 10 || [[Urusi]] || 501 || ↓ -37.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
kiwe8xhncwjnjlb5n8gof0xf3ys5uur
1579428
1579384
2026-07-14T19:27:40Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1579428
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-14)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-14)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 632
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 720
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2814
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1152
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 966
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 523
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 417
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 216
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 801
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 166
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 205
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 366
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2330
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 348
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 318
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 510
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 422
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 210
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 419
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 158
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 176
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 284
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 137
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 319
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 195
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 157
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 25
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29729 || ↓ -1.0%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.8 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2814 || ↑ +1.8%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2330 || ↑ +1564.3%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1121 || ↓ -12.8%
|-
| 4 || [[Australia]] || 801 || ↑ +138.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 720 || ↓ -0.3%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 654 || ↓ -6.8%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 614 || ↓ -9.3%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 523 || ↑ +0.4%
|-
| 9 || [[Kanada]] || 504 || ↑ +39.2%
|-
| 10 || [[Urusi]] || 501 || ↓ -37.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
jh2a4sjgvrlvrwxdazpwienn6feoh73
1579429
1579428
2026-07-14T19:35:13Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1579429
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-14)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-14)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 632
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 720
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2814
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1152
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 966
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 523
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 417
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 216
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 801
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 166
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 205
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 366
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2330
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 348
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 308
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 318
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 510
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 422
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 210
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 419
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 158
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 176
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 284
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 137
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 319
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 195
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 157
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 25
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29701 || ↓ -1.1%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.7 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2814 || ↑ +1.8%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2330 || ↑ +1564.3%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1121 || ↓ -12.8%
|-
| 4 || [[Australia]] || 801 || ↑ +138.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 720 || ↓ -0.3%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 654 || ↓ -6.8%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 614 || ↓ -9.3%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 523 || ↑ +0.4%
|-
| 9 || [[Kanada]] || 504 || ↑ +39.2%
|-
| 10 || [[Urusi]] || 501 || ↓ -37.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
lxhwefgxnd9oiw1vj7uzh5dzshjb4co
1579455
1579429
2026-07-15T02:48:44Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1579455
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-15)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-15)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 616
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 707
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2724
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 297
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1099
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 942
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 513
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 403
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 252
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 409
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 758
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 197
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 474
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 298
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 331
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2308
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 317
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 491
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 342
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 310
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 221
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 494
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 406
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 437
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 275
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 410
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 324
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29701 || ↓ -1.1%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.7 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2814 || ↑ +1.8%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2330 || ↑ +1564.3%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1121 || ↓ -12.8%
|-
| 4 || [[Australia]] || 801 || ↑ +138.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 720 || ↓ -0.3%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 654 || ↓ -6.8%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 614 || ↓ -9.3%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 523 || ↑ +0.4%
|-
| 9 || [[Kanada]] || 504 || ↑ +39.2%
|-
| 10 || [[Urusi]] || 501 || ↓ -37.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
r6it8xsp49tdxput9lqbjd4s0rys69v
1579456
1579455
2026-07-15T02:54:53Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1579456
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-15)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-15)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 616
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 707
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2724
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 297
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1099
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 942
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 513
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 403
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 252
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 480
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 409
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 146
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 758
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 197
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 474
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 298
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 331
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2308
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 317
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 491
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 342
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 310
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 221
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 494
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 406
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 437
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 275
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 410
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 324
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 10882 || ↑ +21.2%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 63.3 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Cabo Verde]] || 2308 || ↑ +1333.5%
|-
| 2 || [[Australia]] || 758 || ↑ +98.4%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 699 || ↓ -3.2%
|-
| 4 || [[Afrika Kusini]] || 513 || ↓ -4.1%
|-
| 5 || [[Uturuki]] || 431 || ↓ -6.9%
|-
| 6 || [[Ubelgiji]] || 412 || ↑ +285.0%
|-
| 7 || [[Burundi]] || 409 || ↓ -17.7%
|-
| 8 || [[Norwei]] || 324 || ↑ +205.7%
|-
| 9 || [[Shelisheli]] || 307 || ↑ +117.7%
|-
| 10 || [[Hispania]] || 267 || ↓ -17.1%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
i8dhogrkobj4r2xrzc5byf1maslnwqt
1579476
1579456
2026-07-15T08:23:23Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1579476
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-15)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-15)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 608
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 699
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2810
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 300
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1133
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 942
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 513
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 415
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 252
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 505
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 409
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 212
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 758
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 156
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 197
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 698
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 474
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 175
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 337
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2308
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 310
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 414
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 437
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 283
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 324
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 10882 || ↑ +21.2%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 63.3 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Cabo Verde]] || 2308 || ↑ +1333.5%
|-
| 2 || [[Australia]] || 758 || ↑ +98.4%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 699 || ↓ -3.2%
|-
| 4 || [[Afrika Kusini]] || 513 || ↓ -4.1%
|-
| 5 || [[Uturuki]] || 431 || ↓ -6.9%
|-
| 6 || [[Ubelgiji]] || 412 || ↑ +285.0%
|-
| 7 || [[Burundi]] || 409 || ↓ -17.7%
|-
| 8 || [[Norwei]] || 324 || ↑ +205.7%
|-
| 9 || [[Shelisheli]] || 307 || ↑ +117.7%
|-
| 10 || [[Hispania]] || 267 || ↓ -17.1%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
27tgcnkv1dwbh65ynx6wwm41lspw910
1579477
1579476
2026-07-15T08:24:39Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1579477
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-07-15)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-07-15)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 608
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 699
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2810
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 300
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1133
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#228B22; color:white" | 942
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 513
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 415
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 252
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 505
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 409
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 212
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#228B22; color:white" | 758
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 156
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 197
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 698
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 474
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 175
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 337
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#006400; color:white" | 2308
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 501
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 307
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 310
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 222
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 414
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 412
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 181
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 437
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 283
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 324
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 15
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 5
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 22
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34966 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28905 || ↓ -4.1%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.3 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.1 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2810 || ↑ +0.9%
|-
| 2 || [[Cabo Verde]] || 2308 || ↑ +1333.5%
|-
| 3 || [[Marekani]] || 1133 || ↓ -12.0%
|-
| 4 || [[Australia]] || 758 || ↑ +98.4%
|-
| 5 || [[Kenya]] || 699 || ↓ -3.2%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 698 || ↓ -0.9%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 608 || ↓ -12.0%
|-
| 8 || [[Afrika Kusini]] || 513 || ↓ -4.1%
|-
| 9 || [[Urusi]] || 505 || ↓ -38.1%
|-
| 10 || [[Misri]] || 501 || ↑ +82.8%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 595 || 42.8%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 25.8%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 129 || 9.3%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 125 || 9.0%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 6 || 0.4%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
lbjownnhap3chfaaegfnqo4202u3fq1
Majadiliano ya mtumiaji:SciFusion
3
211806
1579512
1469035
2026-07-15T09:30:36Z
Riccardo Riccioni
452
1579512
wikitext
text/x-wiki
== Wikipedia si Wiktionary ==
Ndugu, usichanganye Wikipedia na Wiktionary. Asante na amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:54, 17 Agosti 2025 (UTC)
==Kurasa za sayansi==
Ndugu, hongera kwa kuelewa Wikipedia inahitaji makala ndefu, si kama za Wikamusi. Lakini sasa umeanza kutafsiri kurasa ndefu kwa kutumia mashine hivi kwamba hazieleweki sana na zinakatisha tamaa ya kuzisahihisha. Uelewe kurasa za sayansi ni ngumu kweli! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:22, 24 Septemba 2025 (UTC)
:Ndugu, mbona unaendelea bila kubadilika? Au nikuzuie kidogo kwanza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:46, 26 Septemba 2025 (UTC)
::Habari, nikabadilisha ,je natakiwa kubadilisha zote nilizoandika? Naomba uniambie vizuri ahsante sana pia Kwa masahihisho '''[[Mtumiaji:SciFusion|SciFusion]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SciFusion#top|majadiliano]])''' 15:04, 26 Septemba 2025 (UTC)
:::Umeanza tena kuleta kurasa za Wiktionary katika Wikipedia. Ukiongeza nyingine, itanibidi kukuzuia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:56, 20 Novemba 2025 (UTC)
==Viungo vya nje==
Ndugu, sasa unaunda kurasa za maana, lakini hazina viungo vya nje, wala jamii wala marejeo. Ndiyo sababu unatunga kurasa ambazo zipo tayari kwa jina tofauti kidogo. Uongeze umakinifu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:30, 15 Julai 2026 (UTC)
k7w37e2heniukpwq9okgmqwa3cfubkz
1579525
1579512
2026-07-15T09:43:46Z
SciFusion
76137
/* Viungo vya nje */ Jibu
1579525
wikitext
text/x-wiki
== Wikipedia si Wiktionary ==
Ndugu, usichanganye Wikipedia na Wiktionary. Asante na amani kwako! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:54, 17 Agosti 2025 (UTC)
==Kurasa za sayansi==
Ndugu, hongera kwa kuelewa Wikipedia inahitaji makala ndefu, si kama za Wikamusi. Lakini sasa umeanza kutafsiri kurasa ndefu kwa kutumia mashine hivi kwamba hazieleweki sana na zinakatisha tamaa ya kuzisahihisha. Uelewe kurasa za sayansi ni ngumu kweli! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:22, 24 Septemba 2025 (UTC)
:Ndugu, mbona unaendelea bila kubadilika? Au nikuzuie kidogo kwanza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:46, 26 Septemba 2025 (UTC)
::Habari, nikabadilisha ,je natakiwa kubadilisha zote nilizoandika? Naomba uniambie vizuri ahsante sana pia Kwa masahihisho '''[[Mtumiaji:SciFusion|SciFusion]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SciFusion#top|majadiliano]])''' 15:04, 26 Septemba 2025 (UTC)
:::Umeanza tena kuleta kurasa za Wiktionary katika Wikipedia. Ukiongeza nyingine, itanibidi kukuzuia. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:56, 20 Novemba 2025 (UTC)
==Viungo vya nje==
Ndugu, sasa unaunda kurasa za maana, lakini hazina viungo vya nje, wala jamii wala marejeo. Ndiyo sababu unatunga kurasa ambazo zipo tayari kwa jina tofauti kidogo. Uongeze umakinifu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:30, 15 Julai 2026 (UTC)
:Sawa ahsante sana kwa masahisho '''[[Mtumiaji:SciFusion|SciFusion]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SciFusion#top|majadiliano]])''' 09:43, 15 Julai 2026 (UTC)
givdldtzor5iblqsczscc14ytcsexb6
Chuo cha Sanaa za Maonyesho na za Macho cha Skunder Boghossian
0
217786
1579442
1472350
2026-07-15T00:45:00Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579442
wikitext
text/x-wiki
'''Chuo cha Sanaa za Maonyesho na za Macho cha Skunder Boghossian''' ni shirika kuu linaloshughulikia shule za zamani zaidi za [[sanaa]] nchini [[Ethiopia]]. Kinatoa masomo ya [[Shahada ya Awali]] (Bachelors) na shahada ya [[Uzamili]] (Masters) katika sanaa, maigizo na muziki.<ref name=":2">{{Cite web|url=http://www.aau.edu.et/cpva/|title=Overview|website=College of Performing and Visual Arts, Addis Ababa University|accessdate=2025-12-04|archive-date=2024-05-28|archive-url=https://web.archive.org/web/20240528013138/https://www.aau.edu.et/cpva/|url-status=dead}}</ref><ref name=":3">{{Cite web|url=http://www.aau.edu.et/cpva/academics/yofthahe-nigussie-school-of-theatrical-arts/|title=Overview of Yofthahe Nigussie School of Theatrical Arts|website=College of Performing and Visual Arts, Addis Ababa University|accessdate=2025-12-04|archive-date=2024-05-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20240522163326/http://www.aau.edu.et/cpva/academics/yofthahe-nigussie-school-of-theatrical-arts/|url-status=dead}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|url=http://www.aau.edu.et/cpva/academics/yared-school-of-music/overview-of-yared/|title=Overview of Yared School of Music|website=College of Performing and Visual Arts, Addis Ababa University|accessdate=2025-12-04|archive-date=2024-05-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20240522163325/http://www.aau.edu.et/cpva/academics/yared-school-of-music/overview-of-yared/|url-status=dead}}</ref>
Kama sehemu ya [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]], chuo hiki kilianzishwa mwaka 2010 kuunganisha shule tatu tofauti ''Shule ya Sanaa na Ubunifu ya Alle'', ''Shule ya Sanaa za Tamthilia ya Yoftahe Nigussie'' na ''Shule ya Muziki ya Yared'' pamoja na ''Kituo cha Gebre Kristos Desta'' na ''Makumbusho ya Sanaa za Kisasa''.<ref>{{Cite web|url=http://www.aau.edu.et/cpva/|title=College of Performing and Visual Arts|website=College of Performing and Visual Arts|access-date=2019-01-16|archive-date=2024-05-28|archive-url=https://web.archive.org/web/20240528013138/https://www.aau.edu.et/cpva/|url-status=dead}}</ref><ref name=":02">{{Cite web|url=https://www.thenextcanvas.com/about-ethiopian-art/|title=About Ethiopian Art|website=The Next Canvas}}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name=":1" />
Chuo hiki kimepewa jina la msanii mashuhuri zaidi wa kisasa wa Ethiopia, [[Skunder Boghossian]], ambaye alifundisha katika Shule ya Sanaa na Ubunifu ya AAU. Kiongozi wake wa kwanza alikuwa [[Berhanu Ashagrie Deribew]].<ref name=":42">{{Cite news|url=https://www.contemporaryand.com/magazines/the-alle-school-of-fine-arts-and-design-has-undergone-major-changes/|title="The Alle School of Fine Arts and Design has undergone major changes"|last=Tigabu|first=Tibebeselassie|date=September 12, 2014|work=Contemporary&}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{Mbegu-elimu}}
[[Jamii:vyuo vikuu vya Ethiopia]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Addis Ababa]]
7jsod41sl9pr53ud5l29is262geh6f7
Hafëz Jusuf Azemi
0
227292
1579509
1513296
2026-07-15T09:27:14Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579509
wikitext
text/x-wiki
'''Hafëz Jusuf Azemi''' (alizaliwa Dobrošte – alifariki [[2023]]) alikuwa mwanachama wa Balli Kombëtar, shirika la kitaifa la Albania lililokuwa linapinga ukomunisti, na baadaye alikuwa mwanaharakati wa kisiasa wa Albania akiwa uhamishoni.
Azemi alikuwa mpiganaji katika kikosi cha Dobrošte cha Balli Kombëtar wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=5T-4AAAAIAAJ&q=jusuf+azemi|title=Lidhja Kosovare Kongresi i Pare Botnuer, Chicago 24-25 Nanduer, 1973|last=Botnuer|first=Lidhja Kosovare Kongresi i pare|date=1974|publisher=Verlag nicht ermittelbar|language=sq}}</ref> Baada ya kushindwa kwa vikosi vya kitaifa na kuibuka kwa utawala wa kikomunisti katika Yugoslavia, alilazimika kwenda uhamishoni. Mwaka 1945, alihamia Bari, Italia, ambako aliwasiliana na wanaharakati mashuhuri wa kitaifa wa [[Albania]] waliokuwa uhamishoni, akiwemo Mid'hat Frashëri, Vasil Andoni, Zef Pali, na Hasan Dosti. Watu hawa walikimbia Albania baada ya kuanzishwa kwa utawala wa kikomunisti ulioongozwa na Enver Hoxha.
Baadaye, Azemi alihamia [[Marekani]] na kuishi [[Chicago]]. Akiwa uhamishoni, aliendelea kutetea haki na uhuru wa Waalbania waliokuwa Yugoslavia. Kufuatia uungwaji mkono wa mataifa ya Magharibi kwa umoja wa Yugoslavia—ikiwemo tukio lililotokea [[London]] ambapo Mid'hat Frashëri alikemewa na mamlaka ya Uingereza kwa kutaja Kosovo—Azemi alishiriki kuanzisha Umoja wa Wakosovo (Lidhja Kosovare) pamoja na Abas Ermenji na Luan Gashi. Pia alihusika katika kuandaa makundi mbalimbali ya diaspora ya Albania nchini Marekani.<ref>{{Rejea tovuti|title=Kontributi i organizatave politike në SHBA për afirmimin e Shqipërisë Etnike - Balli i Kombit në Internet|url=http://www.ballikombit.org/index.php?option=com_content&task=view&id=799&Itemid=1|work=www.ballikombit.org|accessdate=2026-04-08|author=Administrator|archive-date=2016-08-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20160809020547/http://www.ballikombit.org/index.php?option=com_content&task=view&id=799&Itemid=1|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=5T-4AAAAIAAJ&q=jusuf+azemi|title=Lidhja Kosovare Kongresi i Pare Botnuer, Chicago 24-25 Nanduer, 1973|last=Botnuer|first=Lidhja Kosovare Kongresi i pare|date=1974|publisher=Verlag nicht ermittelbar|language=sq}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Waliofariki 2023]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Albania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1920]]
[[Jamii:Mbegu za watu]]
g3gosui9olhxm00ldtymrih5lnz8c14
Daphne (mwimbaji)
0
229668
1579452
1510680
2026-07-15T01:58:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579452
wikitext
text/x-wiki
'''Daphne Njie Efundem''' (anajulikana kwa jina la kisanii '''Daphne'''; alizaliwa 20 Septemba 1989) ni mwimbaji kutoka [[Kamerun]]. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Rejea tovuti |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipata umaarufu wa kimataifa mwaka 2017 kupitia wimbo wake ''Calée.''<ref name=":1">{{Rejea tovuti |last=Mbena |first=Oscar |date=2017-10-27 |title=Musique: Daphne explique à ses fans le sens de « je suis calée » |url=https://www.afrikmag.com/musique-daphne-explique-fans-sens-de-je-suis-calee/ |access-date=2024-05-19 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> Alitoa albamu iitwayo ''Here to Stay'' mwaka 2016 pamoja na nyimbo kadhaa binafsi.
== Maisha na kazi ==
Daphne alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989 mjini [[Buea]]. Alikulia mjini [[Douala]]. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Serikali ya Bepanda jijini Douala, kisha elimu ya sekondari katika Queen of the Rosary College Okoyong mjini [[Mamfe]] na Inter Comprehensive High School mjini Buea. Pia alisomea sheria na saikolojia katika University of Buea.<ref>{{Rejea tovuti |last=You |first=Art Becomes |date=2014-09-05 |title=ABY Interview: 'Rastafari' Singer Daphne Speaks on Breaking Through in The Cameroon Music Industry, Songwriting & More! |url=https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |access-date=2024-05-20 |website=Art Becomes You |language=en-US |archive-date=2024-05-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240520130828/https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |url-status=dead }}</ref>
Mwaka 2014, Daphne alitoa wimbo wake wa kwanza ''Rastafari'' chini ya lebo ya Stevens Music Entertainment, ambao ulimpatia umaarufu. Mwaka huohuo alitoa ''Reflection'', EP yenye nyimbo nne: ''Ndolo'', ''Broken'', ''Reflection'' na ''Rastafari''.<ref>{{Rejea tovuti |last=Nono |first=Brenda |date=2014-12-22 |title=Daphne vous offre son premier album « Reflection EP » en exclusivité! |url=http://www.lwn-mag.com/daphne-offre-premier-album-reflection-ep-en-exclusivite/ |access-date=2024-05-19 |website=LWN Magazine |language=fr-FR}}</ref>
Mwaka 2016 alimshirikisha mwimbaji Ben Decca katika kurekodi upya wimbo ''Ndolo''.<ref>{{Rejea tovuti |last=Nehdi |first=Dariche |date=2016-06-30 |title=Daphné et Ben Decca nous chantent « NDOLO » |url=https://www.culturebene.com/21772-daphne-ben-decca-chantent-ndolo.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka huohuo alitwaa tuzo ya Msanii Bora wa Kike kutoka Afrika ya Kati katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika Marekani.
Mwaka 2017 alitoa wimbo maarufu ''Calée'' uliopata watazamaji zaidi ya milioni 10 kwenye YouTube ndani ya miezi michache. Alishirikiana na wasanii [[Mr. Leo]] na [[Salatiel]] katika wimbo huo. Mafanikio ya wimbo huo yalimletea tuzo mbalimbali, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka na Sauti Bora ya Kike katika Balafon Music Awards mwaka 2017. Mwaka huohuo alianza ziara yake ya kwanza barani Afrika akifanya maonyesho katika [[Côte d'Ivoire]], [[Benin]], [[Gabon]], [[Togo]] na [[Guinea ya Ikweta]].
Mwaka 2018 aliimba katika tamasha la Sômarôho lililofanyika Andoany kwenye kisiwa cha Nosy Be nchini [[Madagaska]]. Mwaka 2019 alitawazwa mshindi mkuu wa tuzo za Canal 2'Or, akishinda tuzo nne katika vipengele mbalimbali.<ref>{{Rejea tovuti |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr |archive-date=19 January 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250119194231/http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |url-status=dead }}</ref> Alikuwa msanii wa kwanza kushinda tuzo nyingi hivyo katika toleo moja la tuzo hizo.<ref>{{Rejea tovuti |last=Rédaction |first=La |date=2019-03-10 |title=Canal 2'OR Act12 : Daphné remporte 4 trophées |url=https://www.culturebene.com/49140-canal-2or-act12-daphne-remporte-4-trophees.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref>
Mwaka 2021 alichaguliwa kuwa jaji katika msimu wa kwanza wa shindano la ''The Voice Kids Afrique Francophone''.<ref>{{Rejea tovuti |last=NGONO |first=Danielle |date=2021-10-12 |title=The Voice Kids : Après Sidiki Diabaté, Daphné rejoint le casting des coaches |url=https://www.culturebene.com/68542-the-voice-kids-apres-sidiki-diabate-daphne-rejoint-le-casting-des-coaches.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref>
Mbali na muziki, mwaka 2020 alionekana katika filamu ''Fisherman's Diary'' akicheza nafasi ya Bi. Anang Joe.<ref name=":1" />
== Maisha binafsi ==
Tarehe 26 Julai 2023, Daphne alijifungua mtoto wa kike aitwaye Afanwi nchini Marekani.<ref>{{Rejea tovuti |date=2024-02-14 |title=Cameroun : La chanteuse Daphné présente le visage de son premier enfant - Afrique sur 7 |url=https://www.afrique-sur7.ci/cameroun-la-chanteuse-daphne-presente-le-visage-de-son-premier-enfant |access-date=2024-05-19 |language=fr-FR}}</ref>
== Diskografia ==
=== Nyimbo ===
* ''Ndolo'' (feat. Ben Decca) (2016)
* ''Calée'' (2017)
* ''Promets-moi'' (2017)
* ''Jusqu'à la Gare'' (2017)
* ''My Lover'' (2018)
* ''Ne Lâches Pas'' (2018)
* ''Doucement'' (2019)
* ''Là-bas'' (2021)
=== Ushirikiano ===
* Numerica feat. Daphne - ''No Way'' (2016)
* Salatiel feat. Daphne - ''Comme ça (À nous deux)'' (2018)
* Hiro feat. Daphne - ''Number One'' (2018)
* Fanicko feat. Daphne - ''Avec Toi'' (2019)
* [[Stanley Enow]] feat. Daphne - ''Forever'' (2019)
* Abz feat. Daphne - ''Ololiyo'' (2020)
* Boy Tag feat. Daphne - ''Far Away'' (2020)
* Ful feat. Daphne - ''Reviens Moi'' (2020)
* [[Koffi Olomide]] feat. Daphne - ''You Got It'' (2020)
=== Albamu ===
* ''Here to Stay'' (2016)
=== EP ===
* ''Reflection'' (2014)
== Filamu ==
* (2020) ''Fisherman's Diary'' <ref name=":0" />
== Tuzo na mafanikio ==
=== Balafon Music Awards ===
* Mshindi wa Wimbo Bora wa Mwaka (2017)
* Sauti Bora ya Kike (2017)
* Msanii Bora wa Kike (2019)
=== AFRIMMA ===
* Msanii Bora wa Kike Afrika ya Kati (2016)
=== Canal 2'Or ===
* Msanii Bora wa Kike (2019)
* Msanii Bora wa Muziki wa Mijini (2019)
* Utendaji Bora wa Kidijitali (2019)
* Wimbo Maarufu (2019)
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}}
{{BD|1989|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kamerun]]
[[Jamii:Waimbaji wa Kamerun]]
6kck02tj95vbc5zqccp99froos8purx
Chinwe Egwim
0
231487
1579441
1530915
2026-07-14T23:21:26Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579441
wikitext
text/x-wiki
'''Chinwe Egwim''' ni mchumi, mwanabenki, mtendaji wa kampuni, teknokrasia na mwandishi kutoka [[Nigeria]], anayehudumu kama Mchumi Mkuu pamoja na Mkuu wa Utafiti wa Uchumi na Ujasusi wa Biashara katika Benki ya Coronation Merchant.<ref name="nairametrics">{{cite web |last1=Press |first1=N. M. |title=Chinwe Egwim appointed Chief Economist, Coronation Merchant Bank |url=https://nairametrics.com/2021/07/06/chinwe-egwim-appointed-chief-economist-coronation-merchant-bank/ |website=Nairametrics |access-date=7 December 2023 |date=6 July 2021}}</ref><ref>{{cite web |title=Chinwe Egwim, Coronation Merchant Bank: Profile and Biography |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/22360492 |website=Bloomberg.com |access-date=7 December 2023 |language=en}}</ref> Awali aliwahi kuwa mchumi mkuu katika FBNQuest Merchant Bank, na pia alikuwa mjumbe wa utendaji wa WIMBIZ.<ref>{{cite web |title=Past Executive Council Members |url=https://wimbiz.org/past-executive-council/ |website=WIMBIZ |access-date=3 February 2024}}</ref> Mwaka 2021, alichaguliwa kuwa mjumbe wa utendaji wa Chama cha Wanawake Wataalamu wa Benki chini ya Chartered Institute of Bankers of Nigeria,<ref>{{cite web |title=Introducing the New Association of Professional Women Bankers Executives |url=https://www.bellanaija.com/2022/01/new-apwb-executives/ |website=BellaNaija |access-date=7 December 2023 |date=11 January 2022}}</ref> na mwaka 2023 aliteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati ya Rais ya Sera za Fedha na Marekebisho ya Kodi.<ref name="Businessday NG">{{Cite news |last1=Ajumobi |first1=Kemi |title=Insights from the economic mastermind, Chinwe Egwim |url=https://businessday.ng/interview/article/insights-from-the-economic-mastermind-chinwe-egwim/ |location=Lagos, Nigeria |newspaper=[[BusinessDay (Nigeria)|BusinessDay]] |access-date=3 February 2024 |date=10 November 2023}}</ref>
==Maisha ya awali==
Chinwe Egwim anatoka [[Jimbo la Imo]] na ni binti wa Chief Paschal Egwim, Mkurugenzi Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Ununuzi wa Umma na Ujasusi wa Bei (Jimbo la Imo), na aliyekuwa kiongozi mwandamizi katika Shell E&P.<ref name="Tribune Online">{{Cite news |last1=Ogunyinka |first1=Victor |title=Chinwe Egwim is creating her own legacy as she succeeds after her father’s footprint |url=https://tribuneonlineng.com/chinwe-egwim-is-creating-her-own-legacy-as-she-succeeds-after-her-fathers-footprint/ |newspaper=[[Nigerian Tribune]] |access-date=2 February 2024 |date=17 June 2022}}</ref><ref>{{cite web |title=Economist Extraordinaire: A Candid Conversation with Chinwe Egwim |url=https://glaziang.com/economist-extraordinaire-a-candid-conversation-with-chinwe-egwim/ |website=Glazia Magazine |access-date=8 December 2023 |date=28 October 2023}}</ref> Alizaliwa tarehe 28 Oktoba mjini [[Warri]], [[Jimbo la Delta]], na alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Uingereza ya Assen nchini Uholanzi, pamoja na Shule ya Kimataifa ya Montessori iliyopo [[Port Harcourt]], Nigeria.<ref name="Tribune Online" />
Elimu yake ya sekondari aliipata katika Federal Government Girls' College, Owerri na Shule ya Sekondari ya Jephthah Comprehensive mjini Port Harcourt, Nigeria,<ref name="Tribune Online" /> kisha akaendelea na masomo nchini [[Ghana]], ambako alipata shahada ya kwanza ya uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Kwame Nkrumah (KNUST).<ref name="Daily Trust">{{Cite news |title=Chinwe Egwim Rewriting Africa’s story |url=https://dailytrust.com/chinwe-egwim-rewriting-africas-story/ |newspaper=[[Daily Trust]] |access-date=2 February 2024 |date=18 July 2022}}</ref> Yeye pia ni mhitimu wa European School of Economics na anashikilia shahada ya uzamili katika Uchumi wa Fedha kutoka Kingston University London.<ref>{{cite web |last1=Editorial |first1=T. W. |title=Smart Money Tribe Podcast: The Nigerian Economy & Your Finances |url=https://twmagazine.net/lifestyle/living/smart-money-tribe-podcast-how-the-nigerian-economy-affects-your-personal-finance-with-chinwe-egwim/ |website=TW Magazine Website |access-date=8 December 2023 |date=24 February 2021 }}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1992|}}
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
bhnnlunu79y6wu1bgkvke3k3ywu09yq
Eddie Andrews (mwanaraga)
0
241740
1579457
1577857
2026-07-15T04:02:43Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 2 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579457
wikitext
text/x-wiki
'''Edwin Peter Andrews''' (amezaliwa 18 Machi 1977) ni mwanasiasa wa [[Afrika Kusini]] anayehudumu kama Naibu Meya wa [[Cape Town]], nafasi ambayo ameishikilia tangu Novemba 2021. Andrews pia ni Mjumbe wa Kamati ya Meya (MayCo) ya Jiji la Cape Town anayesimamia Mipango ya Matumizi ya Ardhi na Mazingira.<ref name="Alderman Eddie Andrews: Deputy Mayor and Mayoral Committee Member for Spatial Planning and Environment">{{cite web|url=[https://www.capetown.gov.za/mayoral-committee-members/spatial-planning-and-environment|title=Alderman](https://www.capetown.gov.za/mayoral-committee-members/spatial-planning-and-environment|title=Alderman) Eddie Andrews: Deputy Mayor and Mayoral Committee Member for Spatial Planning and Environment|publisher=The City of Cape Town|access-date=28 Januari 2026}}</ref>
Andrews ni mchezaji wa zamani wa muungano wa ragbi, aliyekuwa akicheza katika nafasi ya Prop, na aliwahi kuiwakilisha Springboks.<ref>{{Rejea tovuti|url=[http://www.espnscrum.com/southafrica/rugby/player/14526.html|title=Eddie](http://www.espnscrum.com/southafrica/rugby/player/14526.html|title=Eddie) Andrews|website=ESPN Scrum|access-date=19 Novemba 2021}}</ref> Pia aliichezea Stormers katika mashindano ya Super 14 kati ya mwaka 2003 na 2007.<ref name=":2">{{Rejea tovuti|last=Heath|first=Duane|date=21 Machi 2010|title=Promising Test career cruelly cut short by back injury|url=[https://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2010-03-21-promising-test-career-cruelly-cut-short-by-back-injury/|website=TimesLIVE|access-date=19](https://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2010-03-21-promising-test-career-cruelly-cut-short-by-back-injury/|website=TimesLIVE|access-date=19) Novemba 2021}}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Kazi ya raga ==
Andrews alicheza mechi yake ya kwanza katika ngazi ya mkoa akiwa na Western Province dhidi ya Eastern Province kwenye mashindano ya Vodacom Cup mwaka 2000.<ref>{{Rejea kitabu|title=The South African Rugby Annual 2001|last=Colquhoun|first=Andy|publisher=SARFU & MWP Media Sport|year=2001|isbn=0958423180|location=Cape Town|pages=361}}</ref>
Miaka mitatu baadaye alicheza mechi yake ya kwanza ya [Super 12 akiwa na Stormers dhidi ya Hurricanes .<ref>{{Rejea kitabu|title=The South African Rugby Annual 2004|last=Colquhoun|first=Andy|publisher=SA Rugby (Pty) Ltd & MWP Media Sport|year=2004|isbn=0958440484|location=Cape Town|pages=213}}</ref>
Andrews alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa akiwa na Afrika Kusini tarehe 12 Juni 2004 mjini [[Bloemfontein]] dhidi ya Ireland. Afrika Kusini ilishinda mechi hiyo kwa pointi 31–17. Pia alicheza mechi iliyofuata dhidi ya Ireland mjini Cape Town, ambayo nayo Afrika Kusini ilishinda, na alikuwa mchezaji wa akiba katika ushindi dhidi ya Wales mjini [[Pretoria]].<ref name=":0">{{Rejea kitabu|last=Colquhoun|first=Andy|title=South African Rugby Annual 2005|publisher=SA Rugby & MWP Media (Pty) Ltd|year=2005|isbn=0958440492|location=Cape Town|pages=98}}</ref>
Baadaye alicheza dhidi ya Pacific Islanders XV mjini Gosford kabla ya kujumuishwa katika kikosi cha Springboks kwa 2004 Tri Nations series. Alicheza mechi nne za majaribio katika mashindano hayo, mbili dhidi ya All Blacks na mbili dhidi ya Wallabies. Springboks walitwaa ubingwa wa Tri Nations Series mwaka huo. Mwishoni mwa mwaka alipata nafasi nyingine tatu za kuiwakilisha Afrika Kusini katika ziara ya mechi za Ulaya.<ref name=":0" />
Andrews aliichezea tena Afrika Kusini tarehe 18 Juni 2005 katika sare ya pointi 30–30 dhidi ya Ufaransa mjini Durban. Baadaye alicheza dhidi ya Australia na All Blacks katika 2005 Tri Nations series. Mwishoni mwa mwaka huo alipata nafasi nyingine mbili za kuichezea Springboks dhidi ya Argentina mjini Buenos Aires na Ufaransa mjini [[Paris]].<ref name=":1">{{Rejea tovuti|title=Rugby Union - ESPN Scrum - Statsguru - Player analysis - Eddie Andrews - Test matches|url=[http://www.espnscrum.com/statsguru/rugby/player/14526.html|website=ESPN](http://www.espnscrum.com/statsguru/rugby/player/14526.html|website=ESPN) Scrum|access-date=19 Novemba 2021}}</ref>
Mwaka 2006 alicheza katika mechi tatu za kimataifa za katikati ya mwaka, ambazo zilijumuisha ushindi mara mbili dhidi ya Scotland na kipigo dhidi ya Ufaransa. Baadaye aliteuliwa katika kikosi cha Springboks kwa 2006 Tri Nations series.<ref name=":1" />
Mwaka 2007 Andrews alistaafu kucheza rugby ya kulipwa kutokana na ugonjwa wa kubanwa kwa mfereji wa uti wa mgongo (''spinal stenosis'') uliokuwa umeambatana na majeraha ya mara kwa mara ya mgongo. Katika kipindi hicho alianzisha shirika lisilo la kiserikali la '''Joshua Foundation''' pamoja na mwenzake wa Stormers, Tonderai Chavhanga.<ref>{{Rejea tovuti|date=30 Julai 2018|title=Joshua Foundation|url=[https://www.exceed.co.za/joshua-foundation/|website=Exceed|access-date=19](https://www.exceed.co.za/joshua-foundation/|website=Exceed|access-date=19) Novemba 2021}}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name=":2" />
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{DEFAULTSORT:Andrews, Edwin Peter}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
b85qtend61ilaicfia1ythqhbop1ub6
Event:Wikimedia Community Kilimanjaro 2026-27 Wikimalkia/July 2026 Wikimalkia Kickoff and Mentorship Launch
1728
241811
1579516
1578313
2026-07-15T09:38:00Z
Abubakari Sixberth
53268
/* Ratiba */
1579516
wikitext
text/x-wiki
{{Wikimedia Community Kilimanjaro 2026-27 Wikimalkia}}
Warsha ya '''Wikimalkia Kickoff And Mentorship Launch''' kwa mwezi wa Julai 2026, inalenga kuwaleta pamoja wahariri wanawake wapya na wenye uzoefu ili kujifunza, kuunganishwa, kushirikiana, na kukua ndani ya harakati za Wikimedia. Tunapoadhimisha '''Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Kiswahili, Siku ya Kimataifa ya Ujuzi kwa Vijana, na Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana Wenye Asili ya Afrika,''' tunathibitisha upya dhamira yetu ya kuwawezesha wanawake kupitia ujuzi wa kidijitali, kuimarisha Wikipedia ya Kiswahili, na kufanya maarifa huru yawe jumuishi na yanayofikiwa na kila mtu.
==Kwa nini Ushiriki?==
*Kupata mafunzo ya vitendo kuhusu uhariri wa makala za Wikipedia ya Kiswahili.
*Kujiunga na mpango wa ulezi (mentorship)
*Kuongeza maudhui kuhusu wanawake na wasichana wenye asili ya Afrika
'''Sauti ya wanawake katika maarifa huru inaanzia hapa. Karibu tujifunze, tuhariri, na tujenge historia mpya ya Wikimedia.'''
==Ratiba==
*Julai 2026 (Tarehe 8 na Tarehe 18)
==Mahali==
*Mtandaoni na ana kwa ana. (Maelezo ya eneo la ana kwa ana yatatangazwa hivi karibuni)
==Timu==
*Timu itatajwa hivi karibuni
[[Jamii:Editathons swwiki]]
[[Jamii:Wikimedia Community Kilimanjaro 2026-27 Wikimalkia]]
q8nyuygkggandflh4spgps31mt4uo4k
Alf Dubs
0
241841
1579419
1578369
2026-07-14T16:40:10Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1579419
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| heshima_mwanzo = The Right Honourable
| jina = The Lord Dubs
| jina_halisi = Alfred Dubs
| picha = Official portrait of Lord Dubs crop 2.jpg
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| cheo1 = Mwanachama wa Baraza la Lords
| hadhi1 = Lord Temporal
| kipindi1 = Peerage ya maisha
| kipindi_cha_kuanza1= 27 Septemba 1994
| kipindi_cha_kwisha1=
| cheo2 = Mbunge wa Battersea South (1979–1983)<br>Mbunge wa Battersea (1983–1987)
| mtangulizi2 = Ernest Perry
| mrithi2 = John Bowis
| kipindi_cha_kuanza2= 3 Mei 1979
| kipindi_cha_kwisha2= 18 Mei 1987
| cheo3 = Naibu Waziri wa Jimbo la Ireland Kaskazini
| waziri_mkuu3 = Tony Blair
| kipindi_cha_kuanza3= 6 Mei 1997
| kipindi_cha_kwisha3= 31 Desemba 1999
| mtangulizi3 = The Baroness Denton of Wakefield
| mrithi3 = George Howarth
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date and age|1932|12|05|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = Prague, Chekoslovakia
| chama = Labour Party (Uingereza)
| elimu = London School of Economics (BSc)
| mwenzi =
| watoto =
| kazi = Mwanasiasa
}}
'''Alfred Dubs, Baron Dubs''' (alizaliwa 5 Desemba 1932) ni mwanachama wa maisha wa chama cha siasa cha Labour katika baraza la wajumbe wa bunge la [[Uingereza]] .<ref>https://members.parliament.uk/member/2275/career</ref> Alizaliwa nchini [[Chekoslovakia]] na baba wa Kiyahudi aliyekimbilia Uingereza wakati [[Ujerumani]] ya Kinazi ilipoivamia nchi hiyo. Baadaye alimfuata baba yake akiwa mkimbizi wa umri wa miaka sita, akisafiri kwa treni kupitia mpango wa usafirishaji wa watoto.<ref>https://www.theguardian.com/world/2018/nov/23/kindertransport-refugee-lord-dubs-urges-uk-government-to-help-more-child-refugees</ref> Alisoma nchini Uingereza na, baada ya kufanya kazi katika serikali za mitaa na sekta ya matangazo, alikuwa Mbunge wa chama cha Labour katika la jimbo la [[Battersea]] kwa muda wa miaka minane. Baada ya kupoteza kiti chake cha ubunge, alipewa cheo cha kikabaila au cha heshima cha kiungwana ,kinachotumiwa katika mifumo ya kifalme, hasa kule Uingereza na Ulaya,alipewa cheo hicho wakati wa Serikali ya waziri mkuu,'''[[Tony Blair]]''' ,ambapo alihudumu kama waziri mdogo katika Ofisi ya [[Ireland]] ya Kaskazini.<ref>https://www.bbc.com/news/uk-politics-36154673{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{WFR}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Uingereza]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
swmpsfssa2mfd1ny3gheefkhdmj1lur
Panzi bora
0
241872
1579488
1579301
2026-07-15T09:02:08Z
Riccardo Riccioni
452
1579488
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Panzi bora
| picha = Heteracris guineensis male.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Dume la panzi bora wa Gine (''Heteracris guineensis'')
| himaya = [[Animalia]] <small>([[Mnyama|Wanyama]])</small>
| faila = [[Arthropoda]] <small>(Wanyama wenye miguu yenye viungo)</small>
| nusufaila = [[Hexapoda]] <small>([[Arithropodi]] wenye miguu sita)</small>
| ngeli = [[Insecta]] <small>([[Wadudu]])</small>
| nusungeli = [[Pterygota]] <small>(Wadudu wenye mabawa)</small>
| oda = [[Orthoptera]] <small>(Wadudu wenye mabawa nyofu)</small>
| nusuoda = [[Caelifera]] <small>(Panzi)</small>
| oda_ya_chini = [[Acrididea]]
| familia_ya_juu = [[Acridoidea]]
| familia = [[Acrididae]]
| bingwa_wa_familia = [[William Sharp Macleay|Macleay]], 1821
| nusufamilia = [[Euprepocnemidinae]]
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Karl Friedrich Brunner-von Wattenwyl|Brunner-von Wattenwyl]], 1893
| subdivision = '''Kabila 1 na jenasi 10 bila kabila kutoka [[Afrika]]:'''
* [[Eyprepocnemidini]] <small>[[Karl Friedrich Brunner-von Wattenwyl|Karl Friedrich Brunner-von Wattenwyl]], 1893</small>
* ''[[Cataloipus]]'' <small>[[Vitaly Michailovitsh Dirsh|Dirsh]], 1949</small>
* ''[[Malonjeacris]]'' <small>[[Ignacio Bolívar Urrutia|Bolívar]], 1882</small>
* ''[[Metaxymecus]]'' <small>[[Henri Louis Frédéric de Saussure|Saussure]], 1884</small>
* ''[[Tylotropidius]]'' <small>[[Franz Werner|Werner]], 1913</small>
* ''[[Neritius]]'' <small>Saussure, 1884</small>
* ''[[Oxyaeida]]'' <small>Walker, 1870</small>
* ''[[Paraneritius]]'' <small>Bolívar, 1911</small>
* ''[[Paraprocticus]]'' <small>Uvarov, 1941</small>
* ''[[Taramassus]]'' <small>[[Marius Descamps|Descamps]], 1965</small>
* ''[[Tropidiopsis]]'' <small>Saussure, 1884</small>
}}
'''Panzi bora''' (kutoka [[Kiing.]] [[w:Heteracris|splendid grasshoppers]]) ni [[panzi]] wa wastani hadi wakubwa kiasi ([[mm]] 20-70) wa [[nusufamilia]] [[Eyprepocnemidinae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Acrididae]]. [[Spishi]] hizi huwa na [[pronoto]] yenye [[mlia]] mweusi katikati uliopakana na mlia mwepesi kila upande. [[Serki]] za madume ni bapa katika spishi nyingi. Panzi hao huwa na rangi za [[hudhurungi]] za vivuli mbalimbali na mara nyingi kuna milia kijani au njano juu ya pronoto na [[bawa|mabawa]] ya mbele. Spishi kadhaa zina madoa meupe mawili hadi manne kwenye pande za pronoto. Mabawa ya mbele yana madoa meusi kwa kawaida na kuna mabaka meusi kwenye [[femuri]] mara nyingi. [[Tibia]] zinaweza kuwa na rangi kama [[nyekundu]], [[buluu]] au [[zambarau]] k.m.
Panzi hao hutokea [[Afrika]] na [[Ulaya]] na [[Asia]] za kusini. Takriban spishi 160 zimeelezewa, 36 kutoka [[Afrika ya Mashariki]].
Spishi nyingi hupatikana katika maeneno manyevu kiasi na nyingine katika maeneo makavu zaidi. Hukiakia [[mchana]] na hula [[jani|majani]], yale ya [[mmea|mimea]] yenye majani mapana hasa.
==Spishi za Afrika ya Mashariki==
* ''Cataloipus abyssinicus''
* ''Cataloipus oberthuri''
* ''Cataloipus pulcher''
* ''Eyprepocnemis abyssinica''
* ''Eyprepocnemis burtti''
* ''Eyprepocnemis keniensis''
* ''Eyprepocnemis montigena''
* ''Eyprepocnemis noxia''
* ''Eyprepocnemis plorans'', [[Panzi mwombolezi]]
* ''Eyprepocnemis reducta''
* ''Heteracris aethiopica''
* ''Heteracris attenuata''
* ''Heteracris brevipennis'', [[Panzi bora mbawa-fupi]]
* ''Heteracris coerulescens''
* ''Heteracris coerulipes'', [[Panzi-msitu wa Tao la Mashariki]]
* ''Heteracris cyanescens''
* ''Heteracris guineensis'', [[Panzi bora wa Gine]]
* ''Heteracris juliea''
* ''Heteracris trimaculata'', [[Panzi-msitu madoa-matatu]]
* ''Heteracris vinacea'', [[Panzi bora pinki]]
* ''Malonjeacris jagoi''
* ''Metaxymecus brevipennis''
* ''Metaxymecus gracilipes'', [[Panzi miguu-mirefu]]
* ''Oxyaeida brachyptera''
* ''Oxyaeida carli''
* ''Oxyaeida poultoni''
* ''Paraneritius paradoxus''
* ''Paraneritius naliendelensis''
* ''Paraneritius pendulus''
* ''Taramassus cunctator'', [[Panzi vipapasio-vichanuo]]
* ''Taramassus phyllocerus''
* ''Taramassus zavattarii''
* ''Tropidiopsis alluaudi''
* ''Tropidiopsis haasi''
* ''Tropidiopsis undulicercus''
* ''Tylotropidius didymus''
==Picha==
<gallery>
Exx. male. Eyprepocnemis plorans - Flickr - gailhampshire.jpg|Panzi mwombolezi
Heteracris coerulescens male.jpg|Heteracris coerulescens
Metaxymecus gracilipes pair.jpg|Panzi miguu-mirefu
Taramassus zavattarii male3.jpg|Taramassus zavattarii
</gallery>
[[Jamii:panzi na jamaa]]
154pgn92vcdq79k3o11wn5ukqen6hds
Kelly Beckett
0
242062
1579489
1579308
2026-07-15T09:03:32Z
Riccardo Riccioni
452
1579489
wikitext
text/x-wiki
'''Kelly Donnelly''' (alijulikana hapo awali kwa jina la '''Kelly Beckett''') ni [[mwimbaji]] na mtangazaji wa [[televisheni]] kutoka [[Uingereza]]. Anajulikana zaidi kama mwanachama wa kundi la muziki la Paradiso Girls na, hivi karibuni amekuwa mtangazaji wa televisheni katika mitandao ya Style Network, G4 na ENTV, ambapo anajulikana kwa jina la "Fuzzy" na kuripoti matukio mbalimbali kuanzia tuzo za Grammy hadi Oscar. Mnamo [[Juni]] mwaka [[2018]], alitangaza kuzinduliwa kwa mradi wake mpya wa muziki uliojulikana kwa jina la kisanii la ''A Girl Called She''. Wimbo wake wa kwanza na video yake, "I AM SHE", vilizinduliwa tarehe [[30 Oktoba]] mwaka 2018.<ref name=agirlcalledshe>{{cite web|title=A Girl Called She: About|url=https://www.agirlcalledshe.com/|website=A Girl Called She}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki-Ulaya}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waimbaji wa Uingereza]]
sdqfzikghc1jxpxrbdylha25owk746r
Naksa
0
242063
1579493
1579313
2026-07-15T09:07:14Z
Riccardo Riccioni
452
1579493
wikitext
text/x-wiki
'''Naksa''' (kwa [[Kiarabu]]: النكسة, an-Naksa maana yake pigo, kurudi nyuma au mwanguko) inahusu tukio la kihistoria la kukimbia au kufukuzwa kwa takriban [[Wapalestina]] 280,000 hadi 325,000 kutoka katika makazi yao kwenye [[Ukingo wa Magharibi]] wa Mto Yordani na Ukanda wa [[Gaza]].
Tukio hili lilitokea wakati na baada ya [[Vita vya Siku Sita]] vya mwaka [[1967]], ambapo [[Israel]] iliteka maeneo hayo yaliyokuwa yakitawaliwa na [[Yordani]] na [[Misri]].
== Asili ya Jina ==
Neno '''Naksa''' lilianza kutumiwa na mhariri na mwandishi wa habari mashuhuri wa Misri, Mohamed Hassanein Heikal, aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rais [[Gamal Abdel Nasser]]. Heikal alitumia neno hili kuelezea matokeo ya Vita vya Siku Sita vya mwaka 1967 ili kupunguza ukali wa kushindwa kwa mataifa ya Kiarabu, akifananisha tukio hilo na ''pigo la muda'' badala ya janga la kudumu kama lile la [[Nakba]] la mwaka [[1948]].
Hata hivyo, kwa Wapalestina wengi na wanahistoria, Naksa inachukuliwa kama awamu ya pili ya Nakba kwa sababu ilisababisha wimbi lingine kubwa la wakimbizi na kupoteza ardhi zaidi.
== Historia na Muktadha ==
Wakati Vita vya Siku Sita vilipoanza tarehe 5 Juni 1967 kati ya Israel na muungano wa nchi za Kiarabu (Misri, [[Syria]], na Yordani), jeshi la Israel liliteka kwa haraka maeneo ya:
* Ukingo wa Magharibi wa Mto Yordani (pamoja na [[Yerusalemu]] ya Mashariki) kutoka mikononi mwa Yordani.
* Ukanda wa Gaza na Rasi ya [[Sinai]] kutoka mikononi mwa Misri.
* Milima ya [[Golan]] kutoka mikononi mwa Syria.
Kutokana na mapigano hayo na hofu ya usalama wao, mamia ya maelfu ya Wapalestina walilazimika kuvuka Mto Yordani kuelekea nchi jirani ya Yordani, huku wengine wakikimbilia Syria, [[Lebanon]], na Misri. Wengi wao walikuwa tayari ni wakimbizi tangu vita vya mwaka 1948 (Nakba).
== Siku ya Naksa ==
Kila mwaka, tarehe '''5 Juni''' huadhimishwa na Wapalestina na wafuasi wao duniani kote kama '''Siku ya Naksa''' (Yawm an-Naksa). Siku hii hutumiwa kukumbuka upotezaji wa ardhi yao, haki ya wakimbizi kurejea , na kuendelea kwa utawala wa Israel katika maeneo yaliyotekwa tangu mwaka 1967.
Maandamano na kumbukumbu mbalimbali hufanyika katika maeneo ya Kipalestina na kwenye kambi za wakimbizi katika nchi jirani.
== Tazama pia ==
* [[Nakba]] (Janga la Palestina la mwaka 1948)
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
* [[Vita vya Siku Sita]]
[[Jamii:1967]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
omjyb6lnzhqmfi72hn1txwhr5h0rx4k
Nakba
0
242064
1579495
1579314
2026-07-15T09:08:16Z
Riccardo Riccioni
452
1579495
wikitext
text/x-wiki
'''Nakba''' (kwa [[Kiarabu]] :"an-Nakba", maana yake janga au msiba mkubwa) inahusu tukio la kihistoria la kuharibiwa kwa jamii na nchi ya [[Palestina]], na kufukuzwa au kukimbia kwa idadi kubwa ya [[Wapalestina]] kutoka kwenye ardhi yao wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].
Tukio hili lilisababisha takriban Wapalestina 700,000 (ambao walikuwa zaidi ya nusu ya Waarabu wote waliokuwa wakiishi Palestina wakati huo) kukimbilia nchi jirani za [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Misri]], pamoja na maeneo ya [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Gaza]].
== Muktadha wa Kihistoria ==
Mizizi ya Nakba ilianza kukua tangu mwishoni mwa [[karne ya 19]] kutokana na kuongezeka kwa harakati za [[Uzayuni]] zilizolenga kuanzisha taifa la Wayahudi huko Palestina, eneo ambalo wakati huo lilikuwa chini ya [[Dola ya Osmani]] na baadaye likawa chini ya Udhamini wa [[Uingereza]].
Mnamo tarehe 29 Novemba [[1947]], [[Umoja wa Mataifa]] ulipitisha Mpango wa Mgawanyo wa Palestina (Azimio namba 181), uliopendekeza kugawanya ardhi hiyo kuwa mataifa mawili: dola ya Kiarabu na dola ya Kiyahudi. Waarabu walikataa mpango huo wakidai ulikuwa wa upendeleo. Hali hii ilisababisha mivutano na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliyopelekea Vita vya 1948<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> mara baada ya Uingereza kuondoka na [[Israel]] kutangaza uhuru wake tarehe 14 Mei 1948.
== Uharibifu na Ukimbizi ==
Wakati wa Nakba:
* Zaidi ya [[miji]] na vijiji 500 vya Kipalestina viliharibiwa kabisa au kufanywa kuwa tupu ili kuzuia wakimbizi kurejea.
* Maafa makubwa (kama vile mauaji ya Deir Yassin) yalichangia kueneza hofu iliyofanya raia wengi kukimbia makazi yao.
* Maeneo mengi ya kihistoria ya Palestina yaligeuzwa na kuwa sehemu ya Taifa jipya la Israel.
Wapalestina waliokimbia na wazao wao walinyimwa haki ya kurejea (Right of Return) na serikali ya Israel, na hadi leo mamilioni yao wanaishi kama wakimbizi katika nchi mbalimbali za [[Mashariki ya Kati]].
== Siku ya Nakba ==
Kila mwaka, tarehe '''15 Mei''' huadhimishwa na Wapalestina duniani kote kama '''Siku ya Nakba''' (Yawm an-Nakba). Siku hii ni ya maombolezo na kumbukumbu ya kitaifa, ambapo watu hukutana, kufanya maandamano, na kubeba funguo za zamani za nyumba zao kama ishara ya matumaini na haki ya kurejea katika ardhi yao ya asili.
== Tazama Pia ==
* [[Naksa]] (Tukio la mwaka 1967)<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref>
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
* [[Historia ya Palestina]]
== Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:1948]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
dm7kiazipxumx3n4sw7oy0csmb6gvb8
Dola ya Osmani
0
242065
1579496
1579316
2026-07-15T09:08:52Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Milki ya Osmani]]
1579496
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Milki ya Osmani]]
4nara6o9lgpdcl3ji5tdhgylux02ie7
Ukingo wa Gaza
0
242066
1579498
1579318
2026-07-15T09:10:43Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Ukanda wa Gaza]]
1579498
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Ukanda wa Gaza]]
ador9u98unod37rjb8316aec6f5tdas
Ukingo wa Magharibi
0
242067
1579504
1579319
2026-07-15T09:22:03Z
Riccardo Riccioni
452
1579504
wikitext
text/x-wiki
'''Ukingo wa Magharibi''' ni eneo la nchi kavu lililoko [[Mashariki ya Kati]]. Eneo hili limepakana na [[Yordani]] na [[Bahari ya Chumvi]] upande wa mashariki, na [[Israel]] upande wa kaskazini, magharibi na kusini.
Pamoja na [[Ukanda wa Gaza]], Ukingo wa Magharibi unaunda maeneo ya [[Palestina]] yanayotafuta uhuru kamili wa kuwa Jamhuri ya Palestina, huku [[Ramallah]] ikiwa makao makuu ya kiutawala.
== Asili ya Jina ==
Eneo hili liliitwa "Ukingo wa Magharibi" kwa sababu liko upande wa magharibi wa Mto [[Yordani]]. Jina hili lilianza kutumika rasmi baada ya [[Vita vya Palestina vya 1948]] wakati nchi ya Yordani ilipoteka na kulitawala eneo hili, ikitofautisha na ardhi yake kuu iliyoko upande wa mashariki wa mto huo.
== Jiografia na Miji Mikubwa ==
Ukingo wa Magharibi una eneo la takriban kilomita za mraba 5,640. Tofauti na Gaza ambayo ni tambarare ya pwani, Ukingo wa Magharibi una milima mingi na mabonde. Miji mikubwa na yenye umuhimu wa kihistoria katika eneo hili ni pamoja na:
* [[Yerusalemu]] ya Mashariki (ambao Wapalestina wanauona kama mji mkuu wao mtarajiwa)
* [[Ramallah]] (kitovu cha sasa cha kisiasa na kiuchumi)
* [[Hebron]] (mji mkubwa zaidi kiidadi)
* [[Nablus]]
* [[Bethlehemu]] (mji wa kihistoria wa kuzaliwa kwa [[Yesu]])
* [[Yatima]] na [[Yeriko]] (mji wa kale zaidi duniani uliopo chini ya usawa wa bahari)
== Historia ya Kisiasa ==
=== Utawala wa Yordani (1948–1967) ===
Baada ya kumalizika kwa udhamini wa [[Uingereza]] na kuanza kwa [[Nakba]] mnamo 1948, jeshi la Yordani lilidhibiti eneo hili na kuliunganisha rasmi na ufalme wake mnamo [[1950]].
=== Uvamizi wa Israel (1967 hadi sasa) ===
Wakati wa [[Vita vya Siku Sita]] vya mwaka [[1967]] ([[Naksa]]), jeshi la Israel liliteka Ukingo wa Magharibi kutoka mikononi mwa Yordani. Tangu wakati huo, eneo hili limekuwa chini ya utawala wa kijeshi wa Israel.
=== Mikataba ya Oslo na Mgawanyo wa Maeneo ===
Mnamo miaka ya [[1990]], kupitia Mikataba ya Oslo kati ya Israel na Chama cha Ukombozi wa Palestina , Ukingo wa Magharibi uligawanywa katika kanda tatu za kiutawala:
# '''Eneo A :''' Chini ya udhibiti kamili wa kiraia na kiusalama wa Mamlaka ya Palestina inajumuisha miji mingi mikubwa.
# '''Eneo B :''' Udhibiti wa kiraia uko mikononi mwa Mamlaka ya Palestina, lakini ulinzi na usalama uko chini ya jeshi la Israel.
# '''Eneo C :''' Udhibiti kamili wa kiraia na kijeshi uko mikononi mwa Israel. Eneo hili ndilo kubwa zaidi (takriban asilimia 60 ya ardhi yote) na linajumuisha makazi mengi ya walowezi wa Kiyahudi.
Ujenzi wa makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika Eneo C unatajwa na [[Umoja wa Mataifa]] na mataifa mengi duniani kuwa ni kinyume cha [[sheria za kimataifa]] na ni kikwazo kikubwa kwa amani.
== Tazama pia ==
* [[Ukanda wa Gaza]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
* [[Mto Yordani]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
p15badn4gtguacwdq3c25affi2dlov8
Vita vya Siku Sita
0
242068
1579505
1579320
2026-07-15T09:22:38Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579505
wikitext
text/x-wiki
'''Vita vya Siku Sita''' (pia vinajulikana kama '''Vita vya Juni 1967''' au '''Vita vya Tatu kati ya Waarabu na Israel''') vilikuwa vita vifupi lakini vyenye athari kubwa vilivyopiganwa kati ya tarehe '''5 Juni''' na '''10 Juni 1967''' kati ya [[Israel]] na muungano wa nchi za Kiarabu, hasa [[Misri]], [[Yordani]], na [[Syria]].
Vita hivi vilimalizika kwa ushindi mkubwa wa kijeshi wa Israel, ambayo iliteka maeneo mapya yaliyokuwa yakitawaliwa na mataifa hayo ya Kiarabu na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijiografia katika [[Mashariki ya Kati]].
== Chanzo cha Vita ==
Mvutano ulianza kuongezeka miezi michache kabla ya Juni 1967 kutokana na sababu kadhaa:
* '''Kufungwa kwa Mlango wa Tiran:''' Rais wa Misri, [[Gamal Abdel Nasser]], alifunga Mlango wa Tiran mnamo Mei 1967, na kuzuia meli zote za Israel kupita. Israel ilichukulia hatua hii kama tangazo la vita .
* '''Kuondolewa kwa vikosi vya UN:''' Misri iliomba kuondolewa kwa vikosi vya kulinda amani vya [[Umoja wa Mataifa]] (UNEF) vilivyokuwa kwenye rasi ya [[Sinai]].
* '''Mikataba ya Kijeshi:''' Misri, Syria, na Yordani zilitia saini mikataba ya ushirikiano wa kijeshi iliyolenga kuikabili Israel.
== Matukio ya Vita ==
=== Tarehe 5 Juni: Shambulio la Kushtukiza la Angani ===
Asubuhi ya tarehe 5 Juni, Israel ilianzisha shambulio la anga la kushtukiza dhidi ya viwanja vya ndege vya Misri. Ndani ya masaa machache, karibu asilimia 90 ya ndege za kivita za Misri ziliharibiwa zikiwa ardhini. Mashambulizi kama hayo yalifanywa pia dhidi ya nguvu za anga za Syria na Yordani baadaye mchana huo. Hatua hii iliipa Israel udhibiti kamili wa anga kwa muda wote wa vita.
=== Mapigano ya Nchi Kavu ===
Baada ya kudhibiti anga, majeshi ya nchi kavu ya Israel yalianzisha mashambulizi katika pande tatu:
1. '''Upande wa Kusini (Kukabili Misri):''' Jeshi la Israel lilivamia Rasi ya [[Sinai]] na [[Ukanda wa Gaza]] na kuwafurusha wanajeshi wa Misri hadi kuvuka Mfereji wa Suez.
2. '''Upande wa Mashariki (Kukabili Yordani):''' Baada ya Yordani kuanza kushambulia maeneo ya Israel, jeshi la Israel lilijibu mapigo na kuteka [[Ukingo wa Magharibi]] na mji wa kale wa [[Yerusalemu]] (Yerusalemu ya Mashariki).
3. '''Upande wa Kaskazini (Kukabili Syria):''' Katika siku mbili za mwisho za vita, Israel ilivamia na kuteka Milima ya [[Golan]] kutoka kwa Syria, ambayo ilikuwa ikitumiwa kushambulia vijiji vya kaskazini mwa Israel.
== Matokeo ya Vita ==
Vita vilimalizika rasmi baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano tarehe 10 Juni 1967. Matokeo makubwa yalikuwa:
* '''Kupanuka kwa Maeneo ya Israel:''' Israel iliongeza eneo lake mara tatu zaidi kwa kuteka Rasi ya Sinai, Ukanda ya Gaza, Ukingo wa Magharibi, Yerusalemu ya Mashariki, na Milima ya Golan.
* '''Wimbi Jipya la Wakimbizi ([[Naksa]]):''' Kati ya Wapalestina 280,000 na 325,000 walilazimika kukimbia makazi yao kutoka Ukingo wa Magharibi na Gaza, wengi wao wakikimbilia Yordani.
* '''Azimio Namba 242 la UN:''' Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio hili linalotaka Israel iondoe majeshi yake kutoka kwenye maeneo yaliyotekwa, mkabala wa mataifa ya Kiarabu kutambua uhuru na usalama wa Israel ("Ardhi kwa ajili ya Amani").
== Tazama Pia ==
* [[Naksa]] (Tukio la mwaka 1967)
* [[Ukanda wa Gaza]]
* [[Ukingo wa Magharibi]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
[[Jamii:1967]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
rpxowlvtgs7s2dvz2y00aaytcm1mc4f
Uzayuni
0
242069
1579506
1579321
2026-07-15T09:23:21Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579506
wikitext
text/x-wiki
'''Uzayuni''' ni harakati ya kisiasa na ya kizalendo ya [[Wayahudi]] iliyoanza mwishoni mwa [[karne ya 19]] ikiwa na lengo la kuunda na kulinda taifa huru la Kiyahudi katika ardhi ya kihistoria ya [[Palestina]] (ambayo katika mapokeo ya Kiyahudi inajulikana kama ''Ardhi ya Israel'' au Eretz Yisrael).
Baada ya kuanzishwa kwa taifa la [[Israel]] mnamo mwaka [[1948]], Uzayuni uliendelea kama harakati inayounga mkono maendeleo, ulinzi, na usalama wa taifa hilo, pamoja na kuhamasisha Wayahudi kutoka nchi mbalimbali duniani kuhamia nchini humo.
== Chimbuko la Jina ==
Neno "Uzayuni" linatokana na neno la Kiebrania '''Sayuni''' (Zion), ambalo ni jina la kilima kimoja huko [[Yerusalemu]]. Katika maandiko ya [[Biblia]] na fasihi ya Kiyahudi, "Sayuni" iligeuka kuwa ishara ya mji mzima wa Yerusalemu na nchi ya asili ya Wayahudi kwa ujumla.
Neno hili lilitumiwa kwa mara ya kwanza katika muktadha wa kisiasa mnamo mwaka 1890 na mwanasayansi na mwandishi wa Kiyahudi wa Austria, Nathan Birnbaum.
== Historia na Mwanzilishi ==
Harakati za Kizayuni zilianza kupata nguvu barani [[Ulaya]] kutokana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya Wayahudi na mateso waliyokuwa wakiyapata katika nchi mbalimbali, hasa nchini [[Urusi]] na nchi za Ulaya Mashariki.
Mwandishi wa habari wa Kiyahudi kutoka [[Austria]], '''Theodor Herzl''', anachukuliwa kuwa mwanzilishi rasmi wa Uzayuni wa kisiasa. Mnamo mwaka [[1896]], alichapisha kitabu chake maarufu kiitwacho ''Der Judenstaat'' ("Dola la Wayahudi"), ambapo alidokeza kuwa njia pekee ya Wayahudi kujilinda dhidi ya mateso ni kuwa na nchi yao wenyewe.
* Mnamo mwaka [[1897]], Herzl aliitisha Mkutano wa Kwanza wa Kizayuni huko Basel, [[Uswisi]], na kuanzisha Shirika la Kizayuni Duniani.
== Azimio la Balfour na Kuundwa kwa Israel ==
Harakati za Kizayuni zilipata mafanikio makubwa ya kidiplomasia mnamo tarehe 2 Novemba [[1917]] kupitia '''Azimio la Balfour'''. Katika azimio hili, serikali ya [[Uingereza]] (kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nje, Arthur Balfour) iliahidi kuunga mkono kuanzishwa kwa "makazi ya kitaifa ya watu wa Kiyahudi" huko Palestina, eneo ambalo lilikuwa likitawaliwa na [[Dola ya Osmani]] kabla ya kuanguka kwake.
Baada ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wayahudi yaliyofanywa na Wanazi wakati wa [[Vita Vikuu vya Pili vya Dunia]] ([[Holocaust]]), nia ya kimataifa ya kuunga mkono harakati hizo iliongezeka. Hali hii ilipelekea [[Umoja wa Mataifa]] kupitisha mpango wa mgawanyo wa Palestina mwaka 1947, na hatimaye kutangazwa kwa uhuru wa Israel tarehe 14 Mei 1948.
== Mitazamo na Upinzani ==
Uzayuni unaangaliwa kwa mitazamo tofauti sana duniani:
* '''Kwa Wafuasi wake:''' Unaonekana kama vuguvugu la ukombozi wa kitaifa lililoruhusu watu walioteswa kwa karne nyingi kurejea kwenye ardhi ya mababu zao na kujitawala.
* '''Kwa Wapalestina na Mataifa mengi ya Kiarabu na Kiislamu:''' Uzayuni unaonekana kama aina ya ukoloni na ubeberu uliosababisha kuporwa kwa ardhi yao, kufukuzwa kwa wakazi wa asili wa Palestina ([[Nakba]]), na kuendelea kwa uvamizi wa kijeshi.
* '''Umoja wa Mataifa:''' Mnamo mwaka 1975, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha Azimio namba 3379 lililotaja Uzayuni kama "aina ya ubaguzi wa rangi" . Hata hivyo, azimio hili lilifutwa rasmi mnamo mwaka 1991 kupitia Azimio namba 46/86.
== Tazama pia ==
* [[Israeli]]
* [[Nakba]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
* [[Azimio la Balfour]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
n1bi68kpdsp3xzzalkah5kd0goxa4mm
Azimio la Balfour
0
242071
1579507
1579323
2026-07-15T09:24:37Z
Riccardo Riccioni
452
1579507
wikitext
text/x-wiki
'''Azimio la Balfour''' lilikuwa tamko rasmi la serikali ya [[Uingereza]] lililotolewa mnamo tarehe 2 Novemba [[1917]] wakati wa [[Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia]].
Kupitia barua iliyoandikwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, [[Arthur Balfour]], kwenda kwa kiongozi wa jumuiya ya [[Wayahudi]] nchini Uingereza, [[Walter Rothschild, Baroni wa pili wa Rothschild]], serikali ya Uingereza ilitangaza kuunga mkono kuanzishwa kwa "makazi ya kitaifa ya watu wa Kiyahudi" huko [[Palestina]].
== Maandishi ya Azimio ==
Barua hiyo ilikuwa fupi lakini yenye athari kubwa sana. Sehemu kuu ya ujumbe huo ilisomeka hivi (kwa tafsiri ya Kiswahili):
<blockquote>
"Serikali ya Mtukufu Mfalme inaangalia kwa jicho la upendeleo kuanzishwa kwa makazi ya kitaifa ya watu wa Kiyahudi huko Palestina, na itatumia juhudi zake zote kuwezesha mafanikio ya lengo hili, ikielezwa wazi kwamba hakuna kitu kitakachofanywa ambacho kinaweza kuathiri haki za kiraia na kidini za jamii zisizo za Kiyahudi zilizopo Palestina, au haki na hadhi ya kisiasa wanayofurahia Wayahudi katika nchi nyingine yoyote."
</blockquote>
== Muktadha wa Kihistoria ==
Wakati azimio hili linatolewa, Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia vilikuwa bado vinaendelea, na eneo la Palestina lilikuwa bado likitawaliwa na [[Dola ya Osmani]], ingawa majeshi ya Uingereza yalikuwa yakikaribia kuliteka.
Serikali ya Uingereza ilitoa tamko hili kwa sababu kadhaa za kisiasa na kijeshi:
1. '''Kupata Uungaji Mkono:''' Uingereza ilitumaini kuwa tamko hili lingewashawishi Wayahudi wenye ushawishi mkubwa nchini [[Marekani]] na [[Urusi]] kuzishinikiza serikali zao kuendelea kupigana bega kwa bega na Uingereza katika vita hivyo.
2. '''Ushawishi wa Kizayuni:''' Harakati za [[Uzayuni]], chini ya uongozi wa mwanasayansi [[Chaim Weizmann]] (ambaye baadaye akawa Rais wa kwanza wa Israel), zilifanya kampeni kubwa ya kidiplomasia mjini London kushawishi viongozi wa Uingereza.
3. '''Malengo ya Kistratejia:''' Uingereza ilitaka kuwa na mshirika mwaminifu karibu na [[Mfereji wa Suez]], ambao ulikuwa njia kuu ya kuelekea kwenye makoloni yake huko [[India]].
== Athari za Azimio hilo ==
Azimio la Balfour linachukuliwa kuwa moja ya hati zenye utata na athari kubwa zaidi katika historia ya kisasa ya [[Mashariki ya Kati]]:
* '''Kuongezeka kwa Uhamiaji wa Kiyahudi:''' Baada ya vita kumalizika na Uingereza kukabidhiwa rasmi utawala wa udhamini (Mandate) juu ya Palestina na [[Umoja wa Mataifa]], azimio hili lilijumuishwa katika misingi ya utawala huo. Hali hii ilifungua milango kwa mamia ya maelfu ya Wayahudi kuhamia Palestina kutoka Ulaya na kwingineko.
* '''Mizizi ya Mgogoro:''' Wapalestina na Waarabu waliliona azimio hilo kama usaliti mkubwa wa Waingereza (ambao hapo awali walikuwa wamewaahidi Waarabu uhuru wao mkabala wa kupigana dhidi ya Dola ya Osmani). Walipinga vikali kukabidhiwa kwa ardhi yao kwa kikundi kingine bila ridhaa yao, jambo ambalo liliweka msingi wa [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]] na matukio ya baadaye kama vile [[Nakba]] ya mwaka 1948.
== Tazama Pia ==
* [[Uzayuni]]
* [[Nakba]]
* [[Mkataba wa Sykes-Picot]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
[[Jamii:1917]]
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
qc9h5lyj64lp1ot75bsuc3mzjeuhd9w
Mgogoro wa Israeli na Palestina
0
242072
1579508
1579324
2026-07-15T09:26:46Z
Riccardo Riccioni
452
1579508
wikitext
text/x-wiki
{{merge to|Mapigano kati ya Israeli na Palestina}}
'''Mgogoro wa Israeli na Palestina''' ni mzozo wa kijeshi, kisiasa, na kijamii unaoendelea katika eneo la [[Mashariki ya Kati]] kati ya [[Israel]] na [[Wapalestina]]. Ni moja kati ya migogoro ya muda mrefu zaidi duniani, huku mizizi yake ikianza tangu mwishoni mwa [[karne ya 19]] na mwanzoni mwa [[karne ya 20]] kufuatia kuongezeka kwa harakati za [[Uzayuni]] na utaifa wa Kiarabu.
Licha ya jitihada nyingi za kimataifa za kutafuta amani, mgogoro huu umesababisha vita kadhaa, ghasia, vifo vya maelfu ya raia wa pande zote mbili, na mabadiliko makubwa ya kijiografia na kisiasa katika eneo hilo.
== Chimbuko la Kihistoria ==
=== Udhamini wa Uingereza na Mgawanyo wa Ardhi ===
Kabla ya [[Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia]], eneo la Palestina lilikuwa chini ya [[Dola ya Osmani]]. Baada ya kuanguka kwa dola hilo, [[Uingereza]] ilikabidhiwa utawala wa eneo hilo chini ya Udhamini wa Uingereza (British Mandate). Katika kipindi hiki, uhamiaji wa Wayahudi kutoka Ulaya kuelekea Palestina uliongezeka kwa kasi, hasa kutokana na [[Azimio la Balfour]] la mwaka [[1917]] na mateso ya Wayahudi huko Ulaya.
Mnamo mwaka [[1947]], kufuatia mivutano mikubwa kati ya jamii za Kiarabu na Kiyahudi, [[Umoja wa Mataifa]] ulipitisha Azimio namba 181 lililopendekeza kuigawa Palestina kuwa mataifa mawili huru: moja la Kiyahudi na lingine la Kiarabu, huku [[Yerusalemu]] ukiwekwa chini ya utawala wa kimataifa. Wayahudi walikubali mpango huo lakini Waarabu waliupinga wakidai haukuwa wa haki.
=== Vita vya 1948 na Kuundwa kwa Israel (Nakba) ===
Baada ya Waingereza kuondoka, viongozi wa Kiyahudi walitangaza uhuru wa Taifa la Israel tarehe 14 Mei [[1948]]. Siku iliyofuata, muungano wa nchi za Kiarabu ulivamia Israel, na kuanzisha [[Vita vya Palestina vya 1948]]. Vita hivi vilimalizika kwa Israel kushikilia maeneo mengi zaidi kuliko yale yaliyopendekezwa na Umoja wa Mataifa. Tukio hili lilisababisha takriban Wapalestina 700,000 kukimbia au kufukuzwa kwenye makazi yao, tukio linalojulikana kama '''[[Nakba]]''' (Janga). Eneo la [[Ukingo wa Magharibi]] liliwekwa chini ya [[Yordani]], na [[Ukanda wa Gaza]] likatawaliwa na [[Misri]].
=== Vita vya Siku Sita (1967) na Naksa ===
Wakati wa [[Vita vya Siku Sita]] mnamo Juni [[1967]], Israel ilipambana tena na Misri, Yordani, na Syria. Katika ushindi huo wa kijeshi, Israel iliteka Ukingo wa Magharibi, Yerusalemu ya Mashariki, Ukanda wa Gaza, Rasi ya [[Sinai]], na Milima ya [[Golan]]. Ushindi huu ulisababisha wimbi lingine kubwa la wakimbizi wa Kipalestina, tukio linalojulikana kama '''[[Naksa]]''' (Pigo). Tangu mwaka huo, maeneo hayo ya Kipalestina yamebaki chini ya utawala wa kijeshi au udhibiti wa Israel.
== Masuala ya Msingi katika Mgogoro ==
Kuna mambo manne makuu ambayo yamefanya mgogoro huu kuwa mgumu kusuluhishwa:
1. '''Hali ya Yerusalemu:''' Pande zote mbili zinadai Yerusalemu kuwa mji mkuu wao. Israel inauona mji huo kama mji mkuu wake wa milele na usioweza kugawanywa, wakati Wapalestina wanadai Yerusalemu ya Mashariki iwe mji mkuu wa nchi yao huru ya baadaye.
2. '''Mipaka na Walowezi wa Kiyahudi:''' Wapalestina wanataka mipaka ya nchi yao ya baadaye ifuate ile ya kabla ya mwaka 1967. Hata hivyo, ujenzi wa makazi ya raia wa Kiyahudi [[(walowezi)]] katika Ukingo wa Magharibi, unatajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa uhuru wa Palestina.
3. '''Wakimbizi wa Kipalestina:''' Wapalestina wanadai "Haki ya Kurejea" kwa mamilioni ya wakimbizi waliotawanyika duniani tangu mwaka 1948 na 1967. Israel inakataa madai haya ikisema kuwa kuruhusu wakimbizi hao kurejea kutavuruga muundo wa kidemografia na kuondoa utambulisho wa nchi hiyo kama dola la Kiyahudi.
4. '''Usalama na Kutambuliwa kwa Israel:''' Israel inasisitiza kuwa inahitaji mipaka salama na ulinzi dhidi ya mashambulizi ya roketi na ugaidi kutoka kwa makundi ya kijeshi kama vile [[Hamas]] (inayotawala Gaza) na [[Hezbollah]]. Inataka pia mataifa yote ya Kiarabu na Wapalestina kuitambua rasmi kama dola huru la Kiyahudi.
== Jitihada za Amani na Makubaliano ya Oslo ==
Katika miaka ya [[1990]], matumaini makubwa ya amani yalipatikana kupitia '''Mikataba ya Oslo''' (Oslo Accords) kati ya serikali ya Israel na Chama cha Ukombozi wa Palestina ([[PLO]]) chini ya [[Yasser Arafat]]. Mikataba hii ilianzisha Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) na kuweka ramani ya kuelekea "Suluhisho la Mataifa Maiwili" (Two-State Solution) — ambapo Israel na Palestina zingeishi kando kando kwa amani.
Hata hivyo, mchakato huo ulikwama kutokana na:
* Kuuawa kwa Waziri Mkuu wa Israel, [[Yitzhak Rabin]], aliyetia saini mikataba hiyo mnamo mwaka 1995 na Muisraeli mwenye msimamo mkali.
* Kuongezeka kwa mashambulizi ya kujitoa mhanga kutoka kwa makundi ya Kipalestina yanayopinga amani hiyo.
* Kuendelea kwa ujenzi wa makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi ya Palestina.
* Maandamano na mapigano makubwa ya silaha (Intifada ya Kwanza na ya Pili).
== Hali ya Sasa ==
Mgogoro huu umebaki kuwa tete sana, huku kukiwa na mapigano ya mara kwa mara, hasa kati ya jeshi la Israel na kundi la Hamas linalotawala Ukanda wa Gaza. Vizuizi vya kiuchumi dhidi ya Gaza na migogoro ya kiardhi huko Ukingo wa Magharibi vinaendelea kuchochea mivutano ya kila siku, huku jamii ya kimataifa ikiendelea kugawanyika kuhusu namna bora ya kuleta amani ya kudumu.
== Tazama Pia ==
* [[Nakba]]
* [[Naksa]]
* [[Ukanda wa Gaza]]
* [[Ukingo wa Magharibi]]
* [[Uzayuni]]
* [[Azimio la Balfour]]
n0xhdjk38d4o05nbfov1ca8k71fktku
1579510
1579508
2026-07-15T09:27:55Z
Riccardo Riccioni
452
1579510
wikitext
text/x-wiki
{{merge to|Mapambano kati ya Israeli na Palestina}}
'''Mgogoro wa Israeli na Palestina''' ni mzozo wa kijeshi, kisiasa, na kijamii unaoendelea katika eneo la [[Mashariki ya Kati]] kati ya [[Israel]] na [[Wapalestina]]. Ni moja kati ya migogoro ya muda mrefu zaidi duniani, huku mizizi yake ikianza tangu mwishoni mwa [[karne ya 19]] na mwanzoni mwa [[karne ya 20]] kufuatia kuongezeka kwa harakati za [[Uzayuni]] na utaifa wa Kiarabu.
Licha ya jitihada nyingi za kimataifa za kutafuta amani, mgogoro huu umesababisha vita kadhaa, ghasia, vifo vya maelfu ya raia wa pande zote mbili, na mabadiliko makubwa ya kijiografia na kisiasa katika eneo hilo.
== Chimbuko la Kihistoria ==
=== Udhamini wa Uingereza na Mgawanyo wa Ardhi ===
Kabla ya [[Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia]], eneo la Palestina lilikuwa chini ya [[Dola ya Osmani]]. Baada ya kuanguka kwa dola hilo, [[Uingereza]] ilikabidhiwa utawala wa eneo hilo chini ya Udhamini wa Uingereza (British Mandate). Katika kipindi hiki, uhamiaji wa Wayahudi kutoka Ulaya kuelekea Palestina uliongezeka kwa kasi, hasa kutokana na [[Azimio la Balfour]] la mwaka [[1917]] na mateso ya Wayahudi huko Ulaya.
Mnamo mwaka [[1947]], kufuatia mivutano mikubwa kati ya jamii za Kiarabu na Kiyahudi, [[Umoja wa Mataifa]] ulipitisha Azimio namba 181 lililopendekeza kuigawa Palestina kuwa mataifa mawili huru: moja la Kiyahudi na lingine la Kiarabu, huku [[Yerusalemu]] ukiwekwa chini ya utawala wa kimataifa. Wayahudi walikubali mpango huo lakini Waarabu waliupinga wakidai haukuwa wa haki.
=== Vita vya 1948 na Kuundwa kwa Israel (Nakba) ===
Baada ya Waingereza kuondoka, viongozi wa Kiyahudi walitangaza uhuru wa Taifa la Israel tarehe 14 Mei [[1948]]. Siku iliyofuata, muungano wa nchi za Kiarabu ulivamia Israel, na kuanzisha [[Vita vya Palestina vya 1948]]. Vita hivi vilimalizika kwa Israel kushikilia maeneo mengi zaidi kuliko yale yaliyopendekezwa na Umoja wa Mataifa. Tukio hili lilisababisha takriban Wapalestina 700,000 kukimbia au kufukuzwa kwenye makazi yao, tukio linalojulikana kama '''[[Nakba]]''' (Janga). Eneo la [[Ukingo wa Magharibi]] liliwekwa chini ya [[Yordani]], na [[Ukanda wa Gaza]] likatawaliwa na [[Misri]].
=== Vita vya Siku Sita (1967) na Naksa ===
Wakati wa [[Vita vya Siku Sita]] mnamo Juni [[1967]], Israel ilipambana tena na Misri, Yordani, na Syria. Katika ushindi huo wa kijeshi, Israel iliteka Ukingo wa Magharibi, Yerusalemu ya Mashariki, Ukanda wa Gaza, Rasi ya [[Sinai]], na Milima ya [[Golan]]. Ushindi huu ulisababisha wimbi lingine kubwa la wakimbizi wa Kipalestina, tukio linalojulikana kama '''[[Naksa]]''' (Pigo). Tangu mwaka huo, maeneo hayo ya Kipalestina yamebaki chini ya utawala wa kijeshi au udhibiti wa Israel.
== Masuala ya Msingi katika Mgogoro ==
Kuna mambo manne makuu ambayo yamefanya mgogoro huu kuwa mgumu kusuluhishwa:
1. '''Hali ya Yerusalemu:''' Pande zote mbili zinadai Yerusalemu kuwa mji mkuu wao. Israel inauona mji huo kama mji mkuu wake wa milele na usioweza kugawanywa, wakati Wapalestina wanadai Yerusalemu ya Mashariki iwe mji mkuu wa nchi yao huru ya baadaye.
2. '''Mipaka na Walowezi wa Kiyahudi:''' Wapalestina wanataka mipaka ya nchi yao ya baadaye ifuate ile ya kabla ya mwaka 1967. Hata hivyo, ujenzi wa makazi ya raia wa Kiyahudi [[(walowezi)]] katika Ukingo wa Magharibi, unatajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa uhuru wa Palestina.
3. '''Wakimbizi wa Kipalestina:''' Wapalestina wanadai "Haki ya Kurejea" kwa mamilioni ya wakimbizi waliotawanyika duniani tangu mwaka 1948 na 1967. Israel inakataa madai haya ikisema kuwa kuruhusu wakimbizi hao kurejea kutavuruga muundo wa kidemografia na kuondoa utambulisho wa nchi hiyo kama dola la Kiyahudi.
4. '''Usalama na Kutambuliwa kwa Israel:''' Israel inasisitiza kuwa inahitaji mipaka salama na ulinzi dhidi ya mashambulizi ya roketi na ugaidi kutoka kwa makundi ya kijeshi kama vile [[Hamas]] (inayotawala Gaza) na [[Hezbollah]]. Inataka pia mataifa yote ya Kiarabu na Wapalestina kuitambua rasmi kama dola huru la Kiyahudi.
== Jitihada za Amani na Makubaliano ya Oslo ==
Katika miaka ya [[1990]], matumaini makubwa ya amani yalipatikana kupitia '''Mikataba ya Oslo''' (Oslo Accords) kati ya serikali ya Israel na Chama cha Ukombozi wa Palestina ([[PLO]]) chini ya [[Yasser Arafat]]. Mikataba hii ilianzisha Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) na kuweka ramani ya kuelekea "Suluhisho la Mataifa Maiwili" (Two-State Solution) — ambapo Israel na Palestina zingeishi kando kando kwa amani.
Hata hivyo, mchakato huo ulikwama kutokana na:
* Kuuawa kwa Waziri Mkuu wa Israel, [[Yitzhak Rabin]], aliyetia saini mikataba hiyo mnamo mwaka 1995 na Muisraeli mwenye msimamo mkali.
* Kuongezeka kwa mashambulizi ya kujitoa mhanga kutoka kwa makundi ya Kipalestina yanayopinga amani hiyo.
* Kuendelea kwa ujenzi wa makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi ya Palestina.
* Maandamano na mapigano makubwa ya silaha (Intifada ya Kwanza na ya Pili).
== Hali ya Sasa ==
Mgogoro huu umebaki kuwa tete sana, huku kukiwa na mapigano ya mara kwa mara, hasa kati ya jeshi la Israel na kundi la Hamas linalotawala Ukanda wa Gaza. Vizuizi vya kiuchumi dhidi ya Gaza na migogoro ya kiardhi huko Ukingo wa Magharibi vinaendelea kuchochea mivutano ya kila siku, huku jamii ya kimataifa ikiendelea kugawanyika kuhusu namna bora ya kuleta amani ya kudumu.
== Tazama Pia ==
* [[Nakba]]
* [[Naksa]]
* [[Ukanda wa Gaza]]
* [[Ukingo wa Magharibi]]
* [[Uzayuni]]
* [[Azimio la Balfour]]
11o1lh5am1sf9llkvfqup6vor568o17
Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia
0
242073
1579514
1579326
2026-07-15T09:36:46Z
Riccardo Riccioni
452
1579514
wikitext
text/x-wiki
{{Kuhusu|kambi ya wakimbizi|mji wenye jina sawa|Jabalia}}
'''Kambi ya Jabalia''' ni kambi ya wakimbizi ya [[Wapalestina]] iliyopo katika Mkoa wa Gaza Kaskazini kwenye [[Ukanda wa Gaza]], kilomita 3 kaskazini mwa mji wa [[Jabalia]]. Kabla ya uharibifu mkubwa uliotokea, kambi hii ilikuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini [[Palestina]], ikiwa na zaidi ya wakazi 100,000. Kambi hii ina eneo la kilomita za mraba 1.4 pekee, jambo linaloifanya kuwa moja ya maeneo yenye msongamano mkubwa zaidi wa watu duniani.
Kambi hii ilianzishwa mnamo mwaka [[1948]] na [[Umoja wa Mataifa]] ili kuwahifadhi watu waliolazimika kukimbia makazi yao wakati wa kufukuzwa kwa Wapalestina (tukio la [[Nakba]]). Mwanzoni kambi hii ilikuwa na mahema na majengo ya muda, lakini kadiri idadi ya watu ilivyoongezeka, iligeuka kuwa eneo la mjini lenye majengo ya ghorofa yaliyosongamana.
Tangu [[Vita vya Siku Sita]] vya mwaka [[1967]], kambi hii imekuwa chini ya uvamizi wa kijeshi wa [[Israel]] pamoja na maeneo mengine ya Ukanda wa Gaza. Kutokana na mashambulizi ya Israel, kambi hii imeharibiwa kwa kiasi kikubwa<ref>{{cite web |last1=Gritten |first1=David |title=Gazans returning to Jabalia describe 'horrifying' destruction |url=https://www.bbc.com/news/articles/cl44v6e8461o |website=BBC |access-date=9 June 2024}}</ref><ref>Culbertson, Shelly, Kobi Ruthenberg, Robert Lane, Nitay Lehrer, Mary E. Vaiana, and C. Ross Anthony, ''From Camps to Communities: Post-Conflict Shelter in Gaza''. Santa Monica, CA: RAND Corporation, 2025. https://www.rand.org/pubs/research_reports/RRA3486-2.html</ref>.
== Historia ==
Kambi ya wakimbizi ya Jabalia ilianzishwa mwaka 1948 na Umoja wa Mataifa kufuatia kukimbizwa kwa Wapalestina. Mwanzoni ilijumuisha mahema na vibanda vya muda. Baada ya muda, idadi ya watu ilikua na kambi ikabadilika kuwa eneo la makazi ya kudumu yenye majengo ya ghorofa. Kabla ya kuanza kwa vita vya sasa, ilikuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini Palestina ikiwa na idadi ya watu wapatao 100,000.
Baada ya Vita vya Siku Sita vya mwaka 1967, kambi hiyo iliwekwa chini ya utawala wa Israel, jambo lililosababisha takriban watu 2,000 wengine kuyahama makazi yao.
=== Matukio ya Ghasia na Migogoro ===
Kambi hii imekuwa uwanja wa ghasia nyingi katika [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]:
* '''Intifada ya Kwanza:''' Harakati za [[Intifada ya Kwanza]] mnamo Desemba [[1987]] zilianzia ndani ya kambi hii ya Jabalia. Israel inaichukulia kambi hii kama "ngome kuu ya [[Hamas]]".
* '''Operesheni ya siku za majuto (2004):''' Wakati wa [[Intifada ya Pili]], operesheni ya kijeshi ya Israel ilisababisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 155 na uharibifu mkubwa wa nyumba na mashamba, huku athari kubwa ikitokea Jabalia.
* '''Shambulio la Shule ya Al-Fakhura (2009):''' Shule hii ilishambuliwa tarehe 6 Januari 2009 wakati wa Vita vya Kwanza vya Gaza.
* '''Vita vya Gaza vya 2014:''' Mizinga ya jeshi la Israel ilipiga shule ya shirika la [[UNRWA]] kambini hapo, na kuua takriban Wapalestina 15 waliokuwa wamejificha humo. Msemaji wa Umoja wa Mataifa alilaani vikali tukio hilo akisema, "Watoto wameuawa wakiwa wamelala kando ya wazazi wao leo dunia imeaibika."
=== Hali ya Maisha Kabla ya Vita vya Sasa ===
Kabla ya kulipuka kwa vita vya sasa, shirika la UNRWA liliripoti hali mbaya ya maisha kambini humo, ikiwa ni pamoja na msongamano mkubwa wa watu, majengo yasiyo salama, na huduma duni. Changamoto nyingine zilikuwa:
* Kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira (kinachosababishwa na vizuizi vya kiuchumi tangu mwaka 2005 vinavyozuia Wapalestina kufanya kazi Israel).
* Kukatika kwa umeme mara kwa mara na uhaba wa vifaa vya ujenzi.
* Maji yasiyo salama (ambapo asilimia 90 ya maji yalitajwa kutofaa kwa matumizi ya binadamu).
== Uharibifu Wakati wa Vita vya Sasa ==
Kambi ya wakimbizi ya Jabalia imekuwa shabaha ya mashambulizi ya anga ya mara kwa mara kutoka kwa jeshi la Israel.
=== Mwaka 2023 ===
Mnamo tarehe 31 Oktoba 2023, shambulio la anga la Israel liliua takriban Wapalestina 50 na kuzika wengine zaidi ya 100 chini ya vifusi. Hospitali ya Indonesia iliripoti kuwa wahanga wengi walikuwa wanawake na watoto. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Gaza ilitangaza kuwa kambi hiyo "iliharibiwa kabisa". Msemaji wa Jeshi la Israel (IDF), Daniel Hagari, alithibitisha shambulio hilo akidai lililenga na kumuua kamanda wa Hamas aliyeongoza mashambulizi ya Oktoba 7, pamoja na kuharibu miundombinu ya mahandaki chini ya kambi hiyo, madai ambayo Hamas iliyakanusha.
=== Mwaka 2024 ===
Mnamo tarehe 6 Februari 2024, jeshi la Israel lilijiondoa kwa muda kambini humo. Waandishi wa habari waliripoti kuwa kambi nzima ilibaki kuwa magofu na "hakuna nyumba hata moja iliyobaki salama ya kuishi".
Mnamo tarehe 12 Mei 2024, vikosi vya Israel vilivamia tena kambi hiyo kwa kutumia vifaru na mabomu ya ndege. Baada ya kujiondoa tena mwishoni mwa mwezi Mei, asilimia 70 ya kambi ilikuwa imesawazishwa kabisa na kuwa vifusi. Vikosi vya uokoaji viliokoa miili 120 kutoka chini ya magofu. Mamlaka za manispaa za Palestina zilitangaza rasmi kambi ya Jabalia kama "eneo la maafa makubwa".
Mnamo Oktoba 2024, mashambulizi mengine yalisababisha vifo vya watu 33 na kujeruhi wengine 85. Kufikia Desemba 2024, iliripotiwa kuwa ni familia chache sana zilizobaki zikiishi ndani ya kambi hiyo kutokana na kiwango kikubwa cha uharibifu.
== Tazama Pia ==
* [[Ukanda wa Gaza]]
* [[Nakba]]
* [[Naksa]]
* [[Mgogoro wa Israeli na Palestina]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
4z7jyo3k9627979jk5xeui6247104mu
Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik
0
242074
1579517
1579328
2026-07-15T09:38:01Z
Riccardo Riccioni
452
1579517
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik''' ilikuwa kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo katika ukanda wa [[Jimbo la Somali]] mashariki mwa [[Ethiopia]], karibu na mpaka wa [[Somalia]].
Kambi hii ilifunguliwa mnamo mwaka [[1988]] ili kupokea maelfu ya wakimbizi kutoka Kaskazini mwa Somalia (ambayo sasa ni nchi inayojitawala ya [[Somaliland]]) waliokuwa wakikimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe na utawala wa kidikteta wa [[Siad Barre]]. Wakati wa kilele chake, Hart Sheik ilitambuliwa kama kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani.
== Historia na Muktadha ==
Kambi hiyo ilianzishwa haraka sana katikati ya mwaka 1988 kufuatia mashambulizi makali ya anga na ya ardhini yaliyofanywa na jeshi la serikali ya Somalia dhidi ya miji ya [[Hargeisa]] na [[Burao]]. Ndani ya miezi michache tu, zaidi ya Wasomali [[Isaaq|wa ukoo wa Isaaq]] wapatao 250,000 walivuka mpaka na kuingia Ethiopia, wakitafuta hifadhi katika eneo kame la Hart Sheik.
Mwanzoni, shirika la [[UNHCR]] na mashirika mengine ya kibinadamu yalikabiliwa na changamoto kubwa sana ya kutoa huduma za dharura kwa sababu eneo hilo halikuwa na vyanzo vya maji safi na lilikuwa mbali sana na miundombinu mikuu ya usafirishaji.
== Changamoto za Kibinadamu ==
Katika miaka yake ya mapema, hali ya maisha ndani ya kambi ya Hart Sheik ilikuwa ngumu mno kutokana na sababu kadhaa:
* '''Uhaba wa Maji:''' Hii ilikuwa changamoto kubwa zaidi. Kwa miaka mingi, maji yalilazimika kusafirishwa kwa kutumia malori ya tanki kutoka umbali wa kilomita kadhaa (hasa kutoka mji wa [[Jijiga]]), jambo lililokuwa na gharama kubwa sana na lisilo endelevu.
* '''Magonjwa na Lishe Duni:''' Kutokana na mrundikano mkubwa wa watu na uhaba wa maji safi, magonjwa kama ya kuhara (kipindupindu) na utapiamlo yalikuwa tishio kubwa kwa watoto na watu wazima.
Hata hivyo, kadiri miaka ilivyosonga mbele, kambi hiyo ilibadilika na kuwa kama mji mdogo wenye masoko makubwa, biashara ndogondogo, na mifumo ya elimu ya msingi iliyoratibiwa na wakimbizi wenyewe kwa ushirikiano na UNHCR.
== Kufungwa kwa Kambi (2004) ==
Kufuatia kuanguka kwa utawala wa Siad Barre mwaka 1991 na kuimarika kwa amani na usalama katika eneo la Somaliland, wakimbizi wengi walianza kurejea makwao kwa hiari.
Mchakato wa kuwarejesha wakimbizi hao nyumbani uliongezeka kasi mwishoni mwa miaka ya 1990 na mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Mnamo tarehe 1 Julai [[2004]], shirika la UNHCR lilitangaza rasmi kufungwa kwa kambi ya Hart Sheik baada ya kundi la mwisho la wakimbizi kuondoka kwa hiari kurudi nyumbani kwao Hargeisa. Baada ya kufungwa kwake, miundombinu iliyobaki ilikabidhiwa kwa mamlaka za serikali ya Ethiopia na jamii ya wenyeji wa eneo hilo.
== Tazama pia ==
* [[Hargeisa]]
* [[Somaliland]]
* [[UNHCR]]
* [[Jimbo la Somali]]
[[Jamii:Historia ya Ethiopia]]
[[Jamii:Historia ya Somalia]]
gws8ylmgadh7ga6xzyf6hh1wxiznx0w
Kambi ya Wakimbizi ya Itang
0
242075
1579518
1579329
2026-07-15T09:38:37Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579518
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Itang''' ilikuwa kambi kubwa sana ya wakimbizi iliyopo karibu na mji mdogo wa Itang katika jimbo la [[Gambela]], magharibi mwa [[Ethiopia]].
Kambi hii ilianzishwa mnamo mwaka [[1983]] kufuatia kulipuka kwa Vita vya Pili vya Wenyewe kwa Wenyewe nchini [[Sudan]] (ambavyo baadaye vilisababisha kupatikana kwa uhuru wa [[Sudan Kusini]]). Wakati wa kilele chake mwishoni mwa miaka ya 1980, Itang ilikuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi barani Afrika na moja ya kubwa zaidi duniani, ikihifadhi zaidi ya wakimbizi '''280,000''' idadi iliyokuwa kubwa zaidi kuliko idadi ya wenyeji wote wa jimbo la Gambela wakati huo.
== Historia na Muktadha wa Siasa ==
Ukuaji wa haraka wa kambi ya Itang ulichochewa sana na mazingira ya kisiasa ya kikanda:
* '''Ushirikiano wa SPLA na Ethiopia:''' Serikali ya kijeshi ya [[Derg]] nchini Ethiopia, iliyoongozwa na [[Mengistu Haile Mariam]], ilikuwa ikikiunga mkono kikosi cha waasi cha [[Sudan People's Liberation Army]] (SPLA) chini ya [[John Garang]] ili kupambana na serikali ya Khartoum.
* '''Udhibiti wa Kambi:''' Tofauti na kambi nyingine za kawaida za wakimbizi zilizosimamiwa kikamilifu na [[UNHCR]], kambi ya Itang ilikuwa chini ya udhibiti mkubwa wa kijeshi na kiutawala wa kikosi cha SPLA. Waasi wa SPLA walitumia kambi hii kama kituo cha kuandikisha askari wapya (ikiwa ni pamoja na askari watoto), kupata misaada ya chakula, na kutoa mafunzo ya kijeshi kabla ya kuwarudisha wapiganaji mstari wa mbele nchini Sudan.
== Changamoto za Kijamii na Kiikolojia ==
Uwepo wa kambi ya Itang ulileta athari kubwa na za kudumu katika jimbo la Gambela:
* '''Mgongano wa Kikabila:''' Idadi kubwa ya wakimbizi waliokuja Itang walikuwa wa kabila la [[Wanuer]] kutoka Sudan. Hali hii ilivuruga uwiano wa idadi ya watu na kuleta migogoro mikubwa ya ardhi na rasilimali kati ya Wanuer na wenyeji wa kabila la [[Waanuak]] (Anyuak) ambao kihistoria walikuwa wengi katika eneo hilo.
* '''Uharibifu wa Mazingira:''' Kutokana na msongamano mkubwa wa watu wanaohitaji kuni kwa ajili ya kupikia na ujenzi, maeneo makubwa ya misitu inayozunguka Itang na mto Baro yalikatwa kabisa, jambo lililosababisha mmomonyoko mkubwa wa udongo.
== Kuanguka na Kufungwa kwa Kambi (1991) ==
Mnamo Mei [[1991]], utawala wa kijeshi wa Mengistu nchini Ethiopia uliangushwa na vikosi vya waasi vya [[EPRDF]]. Serikali mpya ya Ethiopia iliamua kusitisha uhusiano wa karibu na kundi la SPLA la Sudan Kusini.
Kufuatia mabadiliko haya ya ghafla ya kisiasa na kukatizwa kwa ulinzi wao, wakimbizi wote wa Kinyuer na wapiganaji wa SPLA waliokuwa katika kambi ya Itang walilazimika kuikimbia kambi hiyo haraka sana ndani ya siku chache tu. Walivuka mto Baro kurudi upande wa Sudan kuzuia kushambuliwa na majeshi mapya ya Ethiopia na makundi pinzani. Kambi ya Itang ilibaki tupu na kutelekezwa kabisa mnamo katikati ya mwaka 1991.
== Tazama Pia ==
* [[Gambela]]
* [[SPLA]]
* [[John Garang]]
* [[Mengistu Haile Mariam]]
[[Jamii:Historia ya Sudan]]
[[Jamii:Historia ya Ethiopia]]
g3r1u9osvawmq62a8ga4pn5253494nd
Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka
0
242076
1579519
1579330
2026-07-15T09:39:37Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579519
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka''' ni kambi pekee ya wakimbizi inayofanya kazi nchini [[Malawi]]. Kambi hii ipo katika Wilaya ya Dowa, takriban kilomita 40 kaskazini mwa jiji la [[Lilongwe]], ambalo ndilo jiji kuu la nchi hiyo.
Kambi hii ilianzishwa mnamo mwaka [[1994]] na [[Umoja wa Mataifa]] kupitia shirika la [[UNHCR]] kwa ushirikiano na serikali ya Malawi. Mwanzoni, eneo hili lilikuwa jela lenye ulinzi mkali (Jela la Dzaleka) iliyojengwa wakati wa utawala wa rais wa kwanza wa Malawi, [[Hastings Kamuzu Banda]], ambapo wafungwa wa kisiasa walikuwa wakizuiliwa.
== Idadi ya Watu na Mataifa ==
Kambi ya Dzaleka ilisanifiwa awali kubeba takriban wakimbizi 9,000 hadi 10,000. Hata hivyo, kutokana na migogoro inayoendelea katika ukanda wa Maziwa Makuu na Pembe ya Afrika, kambi hii inakabiliwa na msongamano mkubwa sana wa watu:
* Inahifadhi zaidi ya wakimbizi '''50,000''' hadi kufikia miaka ya hivi karibuni.
* Wakazi wake wanatoka katika nchi mbalimbali zilizokumbwa na vita ikiwa ni pamoja na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC) ambao ndio wengi zaidi wakifuatiwa na wakimbizi kutoka [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], na [[Ethiopia]].
== Changamoto za Kibinadamu na Sheria ==
Hali ya maisha ndani ya kambi ya Dzaleka inakabiliwa na changamoto kadhaa za kimfumo na kisheria:
* '''Sheria ya Kizuizi:''' Malawi inafuata sera kali ya kuwataka wakimbizi wote kuishi ndani ya kambi pekee. Wakimbizi hawaruhusiwi kufanya kazi nje ya kambi au kusafiri kwenda maeneo mengine ya nchi bila kibali maalum cha serikali.
* '''Huduma Duni:''' Kutokana na mrundikano wa watu, kuna changamoto kubwa ya uhaba wa chakula, maji safi, huduma za afya, na miundombinu duni ya elimu kwa watoto.
* '''Uhamisho wa Lazima (2023):''' Mnamo mwaka 2023, serikali ya Malawi ilitekeleza operesheni ya kuwakamata na kuwarudisha kambini kwa nguvu wakimbizi wote waliokuwa wakiishi na kuendesha biashara katika miji mbalimbali nchini humo, jambo lililosababisha msongamano mkubwa zaidi na malalamiko kutoka kwa mashirika ya haki za binadamu.
== Elimu na Utamaduni ==
Licha ya changamoto hizo, Dzaleka imekuwa kitovu cha ubunifu wa kitamaduni na elimu:
* '''Tamasha la Tumaini :''' Kila mwaka tangu 2014, kambi hii imekuwa mwenyeji wa tamasha kubwa la sanaa na muziki lililoanzishwa na wakimbizi wenyewe linalojulikana kama ''Tumaini Festival''. Tamasha hili huvutia wasanii na watazamaji kutoka duniani kote na linalenga kukuza amani, mshikamano, na kuonesha vipaji vya wakimbizi.
* '''Elimu ya Juu:''' M''ashirika kama Jesuit Refugee Service (JRS)'' yanatoa mafunzo ya elimu ya juu na kozi za ufundi stadi ndani ya kambi ili kuwasaidia vijana kujikwamua kiuchumi.
== Tazama Pia ==
* [[Malawi]]
* [[UNHCR]]
* [[Kambi za wakimbizi]]
[[Jamii:Historia ya Afrika]]
b9nrgn7nocth9tax80q3bv61bwj3dqg
Alex Martin (mwigizaji)
0
242077
1579520
1579331
2026-07-15T09:40:18Z
Riccardo Riccioni
452
1579520
wikitext
text/x-wiki
'''Alexandrea Martin''' (alizaliwa [[9 Mei]] [[1974]]) ni mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka [[Marekani]]. Alipewa tuzo ya heshima ya Miss Golden Globe katika hafla ya Tuzo za Golden Globe za mwaka 1994.<ref>{{cite web|url=http://www.bittenandbound.com/2008/09/08/whoopi-goldbergs-daughter-alexandrea-martin/|title=Whoopi Goldberg's Daughter Alexandrea Martin|work=Bitten & Bound|accessdate=February 2, 2022|date=2015-02-23|archive-date=September 28, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130928213903/http://www.bittenandbound.com/2008/09/08/whoopi-goldbergs-daughter-alexandrea-martin/|url-status=dead}}</ref>
== Maisha ya kibinafsi ==
Alexandrea Martin ni binti wa mwigizaji maarufu wa Marekani Whoopi Goldberg na mume wake wa kwanza wa Uingereza, Alvin Martin.
Martin ana watoto watatu; mabinti wawili na mtoto mmoja wa kiume. Alipata mtoto wake wa kwanza na HJ, mwanafunzi mwenzake wa shule ya sekondari mwenye asili ya mchanganyiko wa Kivietinamu na Mwafrika Mweusi, ambaye alikutana naye alipokuwa akiishi Berkeley. Familia yao ilikata mawasiliano yote na HJ baada ya yeye kufungwa gerezani akiwa bado kijana.<ref>{{cite web|url=https://people.com/celebrity/whoopi-goldbergs-daughter-remarries/|title=Whoopi Goldberg's Daughter Remarries|work=PEOPLE.com|date=November 2, 2011|accessdate=February 2, 2022}}</ref>
Martin alipata watoto wake wa pili na wa tatu na mume wake wa wakati huo, Bernard Dean, ambaye baadaye walitalikiana. Hata hivyo, Martin na Dean walifunga ndoa tena tarehe 15 Oktoba 2011. Pia ana mjukuu mmoja.<ref>{{Cite web|date=2018-11-01|title=The Precious Name Whoopi's Grandkids Call Her|url=https://www.goodhousekeeping.com/life/entertainment/a24513569/the-view-whoopi-goldberg-grandchildren/|access-date=2025-02-12|website=Good Housekeeping|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
emj0me77xadiiutuxa0fho8fauowtgp
Kambi za wakimbizi
0
242078
1579521
1579332
2026-07-15T09:41:16Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579521
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya wakimbizi''' ni makazi ya muda yaliyojengwa maalum kwa ajili ya kupokea na kuwahifadhi watu walioyakimbia makazi au nchi zao (wakimbizi) kutokana na vita, ghasia, mateso, au majanga ya asili.
Kambi hizi kwa kawaida hujengwa na kusimamiwa na serikali za nchi mwenyeji kwa ushirikiano wa karibu na [[Umoja wa Mataifa]] hasa kupitia shirika lake la [[UNHCR]]pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali kama vile [[Msalaba Mwekundu]].
== Sifa na Muundo wa Kambi ==
Kambi za wakimbizi zimeundwa kama suluhisho la muda mfupi ili kukidhi mahitaji ya kimsingi ya kibinadamu kabla ya kupatikana kwa suluhisho la kudumu (kama vile kurejea nyumbani kwa hiari au kuhamishiwa nchi nyingine). Huduma hizo ni pamoja na:
* '''Makazi ya dharura:''' Mwanzoni, kambi huanza na mahema au vibanda vya mabati, lakini kambi zinazodumu kwa miaka mingi hugeuka kuwa miji midogo yenye nyumba za udongo au matofali.
* '''Chakula na maji:''' Mashirika ya kibinadamu (kama vile Shirika la Chakula Duniani - [[WFP]]) hugawa mgao wa chakula na maji safi kwa wakimbizi.
* '''Huduma za afya na usafi:''' Zahanati za dharura na vyoo vya jumuiya hujengwa ili kuzuia milipuko ya magonjwa kama [[kipindupindu]].
* '''Elimu na ulinzi:''' Shule za msingi na vituo vya ulinzi wa watoto na wanawake huanzishwa ili kutoa usalama.
== Changamoto katika Kambi za Wakimbizi ==
Ingawa kambi hizi hutoa usalama dhidi ya hatari za kivita, zinakabiliwa na changamoto kubwa za kiutawala na kibinadamu:
* '''Msongamano mkubwa:''' Kambi nyingi huhifadhi watu wengi kuliko uwezo wake wa asili, jambo linalosababisha uhaba wa huduma na usafi duni.
* '''Kudumu kwa muda mrefu (Protracted situations):''' Kambi nyingi zilizoundwa kama za muda zimekuwepo kwa miongo kadhaa (kwa mfano, kambi za Wapalestina tangu mwaka 1948 au kambi ya [[Dadaab]] nchini Kenya tangu mwaka 1991).
* '''Sera za vizuizi:''' Baadhi ya nchi mwenyeji hufuata sera kali zinazowazuia wakimbizi kufanya kazi, kusafiri, au kuingia kwenye soko la ajira nje ya kambi (kama inavyotokea katika kambi ya [[Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka|Dzaleka]] nchini Malawi).
* '''Usalama:''' Wakati mwingine kambi zinaweza kuingiliwa na vikundi vya kijeshi au kuwa maeneo ya uandikishaji askari (kama ilivyokuwa katika [[Kambi ya Wakimbizi ya Itang|Itang]] nchini Ethiopia).
== Kambi Maarufu Duniani ==
Kihistoria na sasa, kuna kambi kadhaa kubwa na maarufu ambazo zimekuwa na athari kubwa za kisiasa na kiuchumi:
# '''[[Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma]] (Kenya):''' Ilianzishwa mwaka 1992 na inahifadhi maelfu ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini, Somalia, na Kongo.
# '''[[Kambi ya Wakimbizi ya Dadaab]] (Kenya):''' Moja ya kambi kubwa zaidi duniani iliyoanzishwa mwaka 1991 kupokea Wasomali.
# '''[[Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]] (Bangladesh):''' Kambi kubwa zaidi duniani kwa sasa inayohifadhi wakimbizi wa Ki-Rohingya waliokimbia mateso nchini [[Myanmar]].
# '''[[Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia]] (Palestina):''' Ilianzishwa mwaka 1948 kufuatia tukio la [[Nakba]] na imekuwa kitovu cha matukio mengi ya kihistoria katika [[Ukanda wa Gaza]].
== Tazama Pia ==
* [[Wakimbizi]]
* [[UNHCR]]
* [[Uhamiaji]]
* [[Haki za binadamu]]
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:dhuluma]]
j3um6ydjy8ni46ywfr8bnse8avy4aes
Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda
0
242079
1579523
1579333
2026-07-15T09:42:13Z
Riccardo Riccioni
452
1579523
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo katika eneo la Fizi, mkoani [[Kivu ya Kusini]], mashariki mwa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC).
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwezi Juni [[2015]] na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]] kwa ushirikiano na serikali ya DRC (kupitia tume yake ya kitaifa ya wakimbizi - CNR) ili kuwapa hifadhi ya dharura raia wa [[Burundi]] waliokuwa wakikimbia machafuko makubwa ya kisiasa na ghasia nchini mwao.
== Idadi ya Watu na Chimbuko ==
Kambi ya Lusenda ilijengwa awali ikiwa na uwezo wa kubeba takriban wakimbizi 10,000. Hata hivyo, kutokana na kuendelea kwa mzozo nchini Burundi, idadi ya wakimbizi iliongezeka kwa kasi sana:
* Kambi hii imekuja kuhifadhi zaidi ya wakimbizi wa Kirundi '''30,000''', jambo lililosababisha msongamano mkubwa na shinikizo kwenye rasilimali chache zilizopo.
* Karibu asilimia 60 au zaidi ya wakazi wa kambi hii ni watoto na vijana walio chini ya umri wa miaka 18.
== Changamoto za Usalama na Maisha ==
Maisha katika kambi ya Lusenda yanakabiliwa na changamoto kubwa za kibinadamu na kiusalama:
* '''Usalama Mdogo:''' Kambi ipo katika mkoa wa Kivu ya Kusini, eneo ambalo lina historia ndefu ya uasi na uwepo wa makundi mengi ya kijeshi yenye silaha (kama vile makundi ya Mai-Mai). Kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya unyanyasaji, uporaji, na vitisho vya usalama dhidi ya wakimbizi na wafanyakazi wa kutoa misaada.
* '''Uhaba wa Chakula na Huduma za Afya:''' Mashirika ya kibinadamu yamekuwa yakikabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha, jambo linalosababisha kupunguzwa kwa mgao wa chakula na uhaba wa dawa muhimu katika zahanati za kambi.
* '''Mvutano na Wenyeji:''' Ingawa kumekuwa na ushirikiano fulani, uwepo wa idadi kubwa ya wakimbizi unaweka shinikizo kubwa kwenye ardhi ya kilimo, kuni, na vyanzo vya maji safi, jambo ambalo nyakati nyingine husababisha migogoro midogo kati ya wakimbizi na jamii ya wenyeji wa Kikongo.
== Miradi ya Maendeleo na Ushirikiano ==
Ili kupunguza mvutano na wenyeji na kukuza kujitegemea, UNHCR na mashirika mengine yameanzisha miradi mbalimbali inayohusisha pande zote mbili:
* '''Kilimo cha Pamoja:''' Wakimbizi na wenyeji wanapewa maeneo ya ardhi ili kulima mazao kwa pamoja na kushiriki katika biashara ndogo ndogo kwenye masoko ya eneo hilo.
* '''Msaada wa Kisaikolojia na Elimu:''' Kuna shule za msingi na sekondari zilizoanzishwa kambini ili kuhakikisha watoto wa wakimbizi wanaendelea na masomo yao ya mtaala wa Kongo au Burundi.
== Tazama Pia ==
* [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
* [[Burundi]]
* [[Kivu ya Kusini]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:Historia ya Burundi]]
dhi6sz3qobd3407ufmdx0zzglyh0ii9
Kivu ya Kusini
0
242080
1579524
1579334
2026-07-15T09:43:03Z
Riccardo Riccioni
452
1579524
wikitext
text/x-wiki
{{merge to|Mkoa wa Kivu Kusini}}
'''Kivu ya Kusini''' ni mmoja wa mikoa 26 ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC) iliyopo mashariki mwa nchi hiyo. Mji mkuu wa mkoa huu ni jiji la [[Bukavu]].
Mkoa huu umepakana na mikoa ya [[Kivu ya Kaskazini]] upande wa kaskazini, [[Maniema]] upande wa magharibi, na [[Katanga]] (kwa sasa mkoa wa Tanganyika) upande wa kusini. Upande wa mashariki, unapakana na nchi za [[Rwanda]], [[Burundi]], na upande wa kusini-mashariki unapakana na [[Tanzania]] kupitia [[Ziwa Tanganyika]].
== Jiografia na Hali ya Hewa ==
Mkoa wa Kivu ya Kusini una eneo lenye ukubwa wa takriban kilomita za mraba 65,070. Jiografia ya mkoa huu ina sifa zifuatazo:
* '''Milima na Nyanda za Juu:''' Eneo hili limezungukwa na milima mirefu inayounda Bonde la Ufa la Afrika Mashariki (Albertine Rift), jambo linalofanya mkoa huu kuwa na udongo wenye rutuba ya kivolkano na hali ya hewa ya ubaridi yenye kuvutia.
* '''Vyanzo vya Maji:''' Mkoa huu unapakana na [[Ziwa Kivu]] upande wa kaskazini na [[Ziwa Tanganyika]] upande wa mashariki na kusini. Mito muhimu kama vile mto Ruzizi unaunganisha maziwa haya mawili.
== Utawala na Maeneo ==
Mkoa wa Kivu ya Kusini umegawanyika katika wilaya au maeneo ya utawala (kwa Kifaransa: ''territoires'') manane:
1. '''Fizi''' (ambapo ndipo ilipo [[Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]])
2. '''Idjwi''' (kisiwa kikubwa kilichopo ndani ya Ziwa Kivu)
3. '''Kabare'''
4. '''Kalehe'''
5. '''Mwenga'''
6. '''Shabunda'''
7. '''Uvira'''
8. '''Walungu'''
Jiji la [[Bukavu]], ambalo ni makao makuu ya mkoa, lina hadhi maalum ya kiutawala kama manispaa.
== Uchumi ==
Kivu ya Kusini ni mkoa wenye utajiri mkubwa wa rasilimali lakini unakabiliwa na changamoto za miundombinu:
* '''Kilimo:''' Kilimo ndiyo muhimili mkuu wa maisha ya wananchi wengi. Mazao makuu ya chakula ni pamoja na muhogo, ndizi, na maharagwe. Mazao ya biashara ni pamoja na kahawa, chai, na miti ya kwinini (cinchona).
* '''Uchimbuaji wa Madini:''' Mkoa una hifadhi kubwa ya madini ya thamani kama vile dhahabu, mianzi ya bati (cassiterite), na [[coltan]] (madini yanayotumika kutengeneza simu za mkononi na kompyuta).
* '''Utalii:''' Mkoa huu unajivunia [[Hifadhi ya Taifa ya Kahuzi-Biega]] (Kahuzi-Biega National Park), ambayo ni makazi ya sokwe adimu wa milimani (Eastern Lowland Gorillas) na imesajiliwa kama Urithi wa Dunia wa [[UNESCO]].
== Changamoto za Usalama na Kibinadamu ==
Tangu katikati ya miaka ya [[1990]] (kufuatia [[Mauaji ya kimbari ya Rwanda]] ya mwaka 1994 na Vita vya Kwanza na vya Pili vya Kongo), Kivu ya Kusini umekuwa mmoja wa mikoa iliyoathirika zaidi na ukosefu wa usalama:
* Uwepo wa makundi mengi ya waasi ya ndani na nje ya nchi (kama vile FDLR, Mai-Mai, na makundi mengine yenye silaha) umesababisha mapigano ya mara kwa mara.
* Hali hii imesababisha mamilioni ya watu kuyahama makazi yao (wakimbizi wa ndani) na wengine kukimbilia nchi jirani. Wakati huo huo, mkoa huu umekuwa mwenyeji wa wakimbizi wengi kutoka Burundi wanaohifadhiwa katika maeneo kama [[Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]].
== Tazama Pia ==
* [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
* [[Bukavu]]
* [[Kivu ya Kaskazini]]
* [[Hifadhi ya Taifa ya Kahuzi-Biega]]
3hzca9febi0goq6b4k08e6k7ckoc4eq
Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera
0
242082
1579526
1579336
2026-07-15T09:44:05Z
Riccardo Riccioni
452
1579526
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo kusini-mashariki mwa nchi ya [[Mauritania]], takriban kilomita 50 kutoka mpaka wa [[Mali]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mapema mwaka [[2012]] kufuatia kulipuka kwa mapigano ya silaha na uasi wa vikundi vya Tuareg na wanamgambo wa Kiislamu kaskazini mwa Mali. Kambi hii inasimamiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]] kwa ushirikiano na serikali ya Mauritania na mashirika mengine ya kibinadamu.
== Idadi ya Watu na Chimbuko ==
Kambi ya M'Bera inahifadhi raia waliokimbia machafuko kutoka Mali, hasa kutoka mikoa ya kaskazini kama vile [[Timbuktu]], [[Gao]], na [[Kidal]].
* Idadi ya wakimbizi kambini hapo imekuwa ikibadilika kulingana na hali ya usalama nchini Mali, lakini mara nyingi imezidi watu '''50,000''' hadi kufikia zaidi ya '''80,000''' katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuendelea kwa ghasia katika ukanda wa [[Sahel]].
* Jamii kubwa zinazoishi katika kambi hii ni pamoja na watu wa kabila la [[Watuareg]] (Tuareg), [[Waarabu]] wa Mali, na [[Wafutani]] (Fulani/Peul).
== Hali ya Kijiografia na Mazingira ==
Kambi ya M'Bera ipo katika mazingira magumu sana ya kijiografia:
* '''Hali ya Hewa ya Jangwani:''' Eneo hili lipo katika ukanda wa jangwa la [[Sahara]], ambapo joto linaweza kupanda hadi nyuzi joto 50 za [[Selsiasi]] wakati wa kiangazi. Kuna dhoruba za mara kwa mara za mchanga na uhaba mkubwa wa mvua.
* '''Uhaba wa Rasilimali:''' Kutokana na ukavu wa eneo hilo, kuna shinikizo kubwa kwenye vyanzo vya maji chini ya ardhi na nishati ya kuni, jambo linalohitaji usimamizi wa karibu ili kuepusha migogoro kati ya wakimbizi na wenyeji wa Mauritania.
== Maisha na Uchumi Kambini ==
Licha ya changamoto za mazingira, kambi ya M'Bera imejenga mfumo thabiti wa kijamii na kiuchumi:
* '''Ufugaji na Biashara:''' Kwa kuwa jamii nyingi za kaskazini mwa Mali (hasa Watuareg na Waarabu) ni wafugaji wa asili, wengi wao walivuka mpaka na wanyama wao (ng'ombe, mbuzi, na ngamia). Biashara ya maziwa, nyama, na ufundi wa mikono imeshamiri ndani ya kambi.
* '''Elimu na Afya:''' UNHCR na washirika wake wamejenga shule kadhaa za msingi na sekondari zinazofuata mtaala wa masomo wa Mali ili kurahisisha wanafunzi kuendelea na masomo pindi watakaporejea nyumbani. Pia kuna vituo vya afya vinavyotoa huduma za bure na lishe kwa watoto wanaokabiliwa na utapiamlo.
== Tazama Pia ==
* [[Mauritania]]
* [[Mali]]
* [[Sahel]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Mali]]
[[Jamii:Historia ya Mauritania]]
75g4bzm8r1hwzf6nmioz3e3em8b1v1q
Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe
0
242084
1579527
1579338
2026-07-15T09:45:02Z
Riccardo Riccioni
452
1579527
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe''' ilikuwa kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo katika Wilaya ya Gicumbi, Mkoa wa Kaskazini nchini [[Rwanda]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwezi Desemba [[1997]] na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]] kwa ushirikiano na serikali ya Rwanda. Lengo kuu la kuanzishwa kwake lilikuwa kuwapa hifadhi ya dharura maelfu ya wakimbizi wa Kikongo (hasa wa kabila la [[Watutsi]] kutoka jimbo la [[Kivu ya Kaskazini]]) waliokuwa wakikimbia ghasia, vita vya wenyewe kwa wenyewe, na mateso ya kikabila nchini [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC).
== Idadi ya Watu na Maisha ya Kambi ==
Kwa zaidi ya miongo miwili, Gihembe ilikuwa makazi ya kudumu kwa jamii kubwa ya wakimbizi:
* Kambi hii ilihifadhi zaidi ya wakimbizi wa Kikongo '''12,000''' hadi '''15,000'''.
* Kizazi kizima cha watoto kilizaliwa na kukulia ndani ya kambi hii, huku wakipata elimu ya msingi na sekondari kupitia shule zilizojengwa kambini hapo ambazo zilifuata mtaala wa elimu wa Rwanda.
== Changamoto za Mazingira na Kufungwa kwa Kambi (2021) ==
Tofauti na kambi nyingine zinazoendelea kufanya kazi, Kambi ya Gihembe ilikabiliwa na changamoto kubwa za kimazingira zilizopelekea kufungwa kwake:
* '''Mmomonyoko wa Udongo na Maporomoko:''' Kambi hiyo ilijengwa juu ya mlima mwinuko sana. Kwa miaka mingi, ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na ujenzi wa nyumba duni ulisababisha mmomonyoko mkubwa wa udongo na mianya mikubwa iliyotishia usalama wa maisha ya wakimbizi na nyumba zao.
* '''Uhamisho na Kufungwa:''' Mnamo mwaka [[2021]], Serikali ya Rwanda kupitia Wizara ya Usimamizi wa Dharura (MINEMA) kwa ushirikiano na UNHCR iliamua kuifunga kambi hiyo rasmi ili kulinda mazingira na kuwahakikishia usalama wakazi wake.
* Wakimbizi wote waliokuwa wakiishi Gihembe walihamishiwa kwa usalama katika [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]] iliyopo Wilaya ya Kirehe, mkoani Mashariki mwa Rwanda, ambayo ina miundombinu bora na salama zaidi.
== Makazi Mpya na Uhamiaji ==
Katika kipindi cha kuwepo kwake, mamia ya wakimbizi kutoka kambi ya Gihembe walipata fursa ya kufanyiwa mchakato wa kuhamishiwa katika nchi za tatu zilizoendelea kama vile [[Marekani]], [[Kanada]], na nchi za [[Ulaya]], ambapo walianza maisha mapya kama raia wa nchi hizo.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]]
* [[Wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
* [[Gicumbi (wilaya)]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Rwanda]]
[[Jamii:Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongp]]
i00src4sptcgb6huywwufseq9pp6t6o
Kambi ya Wakimbizi ya Mahama
0
242085
1579529
1579339
2026-07-15T09:46:22Z
Riccardo Riccioni
452
1579529
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Mahama''' ni kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini [[Rwanda]]. Kambi hii ipo katika Wilaya ya Kirehe, Mkoa wa Mashariki, karibu kabisa na mpaka wa Rwanda na [[Burundi]] uliotenganishwa na [[Mto Kagera]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwezi Aprili [[2015]] na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]] kwa ushirikiano na Serikali ya Rwanda, kupitia Wizara ya Usimamizi wa Dharura (MINEMA). Lengo lake kuu lilikuwa kupokea na kuwahifadhi maelfu ya raia wa Burundi waliokuwa wakikimbia machafuko ya kisiasa na ghasia zilizotokana na uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 nchini mwao.
== Idadi ya Watu na Mataifa ==
Tangu kuanzishwa kwake, kambi ya Mahama imekua kwa kasi na kuwa makazi makubwa ya jamii mchanganyiko:
* '''Wakimbizi wa Burundi:''' Kambi hii ilianza kwa kuhifadhi Wasomali na Warundi, lakini baada ya mgogoro wa Burundi, ikawa makazi ya Warundi zaidi ya 50,000.
* '''Wakimbizi wa DRC:''' Kuanzia mwaka [[2021]], kambi hii ilianza kupokea wakimbizi wa Kikongo kufuatia kufungwa kwa [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe|Kambi ya Gihembe]] na kuhamishwa kwa wakazi wake kwa sababu za kimazingira.
* Hadi kufikia katikati ya miaka ya 2020, kambi hii inahifadhi zaidi ya wakimbizi '''60,000''' kwa ujumla, jambo linaloifanya kuwa kambi yenye idadi kubwa zaidi ya watu nchini Rwanda.
== Miundombinu na Ubora wa Kambi ==
Kambi ya Mahama inatajwa na mashirika mengi ya kibinadamu kama mfano bora wa usimamizi wa kambi za wakimbizi barani Afrika kutokana na miundombinu yake ya kudumu na huduma bora:
* '''Makazi ya Kudumu:''' Tofauti na kambi nyingi zinazotumia mahema, nyumba za kambi ya Mahama zimejengwa kwa matofali ya udongo yaliyochomwa na kuezekwa kwa mabati, jambo linalowapa wakimbizi usalama na faragha zaidi.
* '''Maji Safi na Usafi:''' Kambi ina mtambo wake maalum wa kusafisha maji uliopo kando ya Mto Akagera, unaozalisha mamilioni ya lita za maji safi kila siku kwa ajili ya wakimbizi na jamii inayowazunguka ya wenyeji wa Rwanda.
* '''Elimu na Ushirikiano:''' Watoto wa wakimbizi wanasoma pamoja na watoto wa jamii ya wenyeji katika shule kubwa za msingi na sekondari zilizoanzishwa karibu na kambi hiyo (kama vile shule ya Paysannat L). Shule hizi zinafuata mtaala wa masomo wa Rwanda na zinasaidia kujenga mshikamano mkubwa kati ya wakimbizi na wenyeji.
* '''Afya:''' Kuna vituo vya afya vilivyo na vifaa vya kutosha vinavyotoa huduma za matibabu ya dharura, huduma za uzazi, na matibabu ya magonjwa sugu.
== Uchumi na Kujitegemea ==
Serikali ya Rwanda na UNHCR zinatekeleza sera ya ''Kujumuishwa kwa Wakimbizi''. Ndani ya kambi ya Mahama, wakimbizi wanaruhusiwa kufanya biashara, kuanzisha miradi ya kilimo, na kufanya kazi nje ya kambi. Kuna masoko makubwa ndani ya kambi ambapo Warundi, Wakongo, na Wanyarwanda wanafanya biashara pamoja, jambo linalochochea uchumi wa Wilaya ya Kirehe.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]]
* [[Kambi za wakimbizi]]
* [[Burundi]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Burundi]]
[[Jamii:Historia ya Rwanda]]
e6vy7cg2t4trgk4zzwolw1tbxqqlhrb
Zsela
0
242086
1579531
1579340
2026-07-15T09:47:41Z
Riccardo Riccioni
452
1579531
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Zsela performing at Irving Plaza 2025 01 (cropped).jpg|thumb|Zsela]]
'''Zsela''' (hutamkwa '''/ˈʒeɪlə/'''; alizaliwa [[1995]]) ni jina la kisanii la [[mwimbaji]] na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Marekani]].<ref name="vogue-satenstein">{{cite web|last1=Pareles|first1=Jon|authorlink=Jon Pareles|author-link4=SSSS.DynazenonSQSF|date=22 April 2020|title=This Singer-Songwriter Is the Downtown New York Fashion Scene's Newest Muse|url=https://www.vogue.com/article/zsela-thompson-singer-vaquera-telfar|access-date=2022-05-03|website=The New York Times}}</ref><ref name="nytimes-pareles">{{cite web|access-date=2022-05-03|title=Meet Zsela, a Singer Perfecting the Art of Taking It Slowly|url=https://www.nytimes.com/2020/04/22/arts/music/zsela-ache-of-victory.html|date=19 April 2018|website=Vogue}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
4afl7qvd5ju9m6sxowsoor9801yndmy
Shaunette Renée Wilson
0
242097
1579535
1579368
2026-07-15T09:48:42Z
Riccardo Riccioni
452
1579535
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Shaunette Renée Wilson USWNT v Colombia Mar 7 2026-57 (cropped).jpg|thumb|Shaunette Renée Wilson.]]
'''Shaunette Renée Wilson''' (alizaliwa [[19 Januari]] [[1990]]) ni mwigizaji kutoka [[Guyana]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza kwa misimu minne nafasi ya '''Dkt. Mina Okafor''' katika mfululizo wa televisheni The Resident (2018–2021).<ref>{{cite web|url=https://deadline.com/2017/03/shaunette-renee-wilson-the-resident-fox-pilot-1202038454/|title=Shaunette Renée Wilson Joins 'The Resident' Fox Pilot|first=Denise|last=Petski|date=7 March 2017|website=[[Deadline Hollywood]]|access-date=25 June 2018}}</ref>
Pia ameonekana katika filamu na vipindi mbalimbali, ikiwemo mfululizo wa televisheni Billions (2017), filamu ya mashujaa Black Panther (2018), na filamu ya matukio Indiana Jones and the Dial of Destiny (2023).<ref>{{Rejea tovuti|last=Rose|first=Mike|date=January 19, 2023|title=Today's famous birthdays list for January 19, 2023 includes celebrities Dolly Parton, Jodie Sweetin|url=https://www.cleveland.com/entertainment/2023/01/todays-famous-birthdays-list-for-january-19-2023-includes-celebrities-dolly-parton-jodie-sweetin.html|access-date=January 19, 2023|website=[[Cleveland.com]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waigizaji filamu wa Guyana]]
msut36ktvdq3z14fo9349oyzu6uqin1
Melanie Appleby
0
242105
1579543
1579360
2026-07-15T09:49:47Z
Riccardo Riccioni
452
1579543
wikitext
text/x-wiki
'''Melanie Appleby''' ([[11 Julai]] [[1966]] – [[18 Januari]] [[1990]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Uingereza]] na mmoja wa washiriki wa wawili wa muziki wa miaka ya 1980 uitwao '''Mel and Kim'''.
Wawili hao walipata mafanikio makubwa baada ya wimbo wao "Respectable" kufikia nafasi ya kwanza kwenye chati ya nyimbo za Uingereza (UK Singles Chart) mwezi Machi mwaka 1987.<ref>{{cite web|url=http://www.officialcharts.com/artist/23636/mel-and-kim/|publisher=Official Charts Company|title=Mel and Kim|accessdate=22 April 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki-Ulaya}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1966]]
[[Jamii:Waliofariki 1990]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uingereza]]
9llawjrq4jhe4iu0h5hrw17bjax6tpj
Zola Taylor
0
242106
1579548
1579361
2026-07-15T09:50:27Z
Riccardo Riccioni
452
1579548
wikitext
text/x-wiki
'''Zoletta Lynn Taylor''' ([[17 Machi]] [[1938]] – [[30 Aprili]] [[2007]]) alikuwa [[mwimbaji]] na mwanamuziki wa [[Marekani]].
Alianza kazi yake ya muziki mwanzoni mwa miaka ya 1950, na akawa mwanamke wa kwanza kuwa mshiriki wa kundi la muziki la Marekani The Platters kuanzia mwaka 1954 hadi 1962. Kipindi hicho ndicho ambacho kundi hilo lilitoa nyimbo zake nyingi zilizopata umaarufu mkubwa.<ref>{{cite web|url=https://www.usatoday.com/life/music/news/2007-05-01-zola-taylor_N.htm|title=Zola Taylor of The Platters dies at 69|website=USA Today|date=May 1, 2007|access-date=December 4, 2016}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1938]]
[[Jamii:Waliofariki 2007]]
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
hvji414wwlost5pv05u7g8qed49bd8s
Issa Pointer
0
242107
1579394
1579362
2026-07-14T14:49:17Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579394
wikitext
text/x-wiki
'''Issa Pointer''' (alizaliwa [[22 Januari|Januari 22]], [[1978]]), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Issa Pointer''', ni [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mwanachama wa kundi la muziki la sauti la Pointer Sisters.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.thepointersisters.com/issa.html|title=The Pointer Sisters' Official Website|access-date=2009-01-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20090107003943/http://www.thepointersisters.com/issa.html|archive-date=2009-01-07|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
eame9c1plomobe5fua8o755fnufnzb2
1579551
1579394
2026-07-15T09:51:24Z
Riccardo Riccioni
452
1579551
wikitext
text/x-wiki
'''Issa Pointer''' (anajulikana kwa jina la kisanii '''Issa Pointer'''; alizaliwa [[22 Januari]] [[1978]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mwanachama wa kundi la muziki la sauti la [[Pointer Sisters]].<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.thepointersisters.com/issa.html|title=The Pointer Sisters' Official Website|access-date=2009-01-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20090107003943/http://www.thepointersisters.com/issa.html|archive-date=2009-01-07|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Waimbaji wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
891o1k3ub4ejtla0yv7to8yfdvs3grw
Zelda Harris
0
242108
1579372
1579363
2026-07-14T12:13:12Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579372
wikitext
text/x-wiki
'''Zelda Harris''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]].
Harris alisoma katika Princeton University, ambako alikuwa sehemu ya darasa la wahitimu la mwaka 2007.
Alianza kuigiza akiwa na umri wa miaka mitatu. Harris alipata nafasi ya '''Troy Carmichael''' katika filamu ya Crooklyn iliyoongozwa na Spike Lee baada ya kuwashinda watoto zaidi ya elfu moja waliokuwa wamejitokeza kuwania nafasi hiyo. Hiyo ndiyo nafasi inayomfanya ajulikane zaidi. Pia aliigiza nafasi ya '''Jessi Ramsey''' katika filamu The Baby-Sitters Club.<ref name="thecut">{{Rejea habari|date=2021-01-13|title=Your Friendly Black Sidekick|language=en-us|work=The Cut|url=https://www.thecut.com/2021/01/the-cut-podcast-the-friendly-black-sidekick-in-90s-movies.html|access-date=2021-10-13}}</ref>
Baada ya kazi zake za uigizaji, Harris aliendelea na muziki akiwa mwimbaji katika kundi la '''Zelda and the Lo Los'''. Kufikia mwaka 2021, alikuwa akifanya kazi kama mwalimu.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
0xmylim1tksb9ztqvisbb8d88d9bgtg
Robbi Chong
0
242109
1579552
1579364
2026-07-15T09:52:54Z
Riccardo Riccioni
452
1579552
wikitext
text/x-wiki
'''Robbi Lynn Chong''' (alizaliwa Vancouver, British Columbia, [[28 Mei]] [[1965]]) ni [[mwigizaji]] na mwanamitindo wa zamani wa [[Kanada]].<ref>Pratt, Paul E. [http://www.asianweek.com/2005/11/18/growing-up-a-chong/ "Growing Up a Chong"] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20100609190311/http://www.asianweek.com/2005/11/18/growing-up-a-chong/|date=2010-06-09}}, ''AsianWeek'', 18 November 2005</ref>
== Maisha ya awali ==
Robbi Lynn Chong ni mtoto wa pili wa Maxine Sneed na Tommy Chong, ambaye ni mwigizaji, mchekeshaji, mkurugenzi wa filamu na mwandishi.
Wazazi wake wote wana asili ya mchanganyiko wa makabila mbalimbali. Mama yake ana asili ya Mwafrika Mkanada na Cherokee, huku baba yake akiwa na asili ya nusu ya Kiskoti-Kiayalandi na Kifaransa, pamoja na nusu ya Kichina.
Dada yake, Rae Dawn Chong, pia ni mwigizaji. Robbi Lynn Chong pia ana ndugu watatu wadogo wa upande wa baba (akiwemo mmoja aliyepokelewa kwa kuasiliwa) na dada mmoja wa kambo kutoka kwenye ndoa ya pili ya baba yake.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:waigizaji filamu wa Kanada]]
a5pr2bn7m7e80e2l7sjg3tombow02vf
Sadako Pointer
0
242110
1579553
1579367
2026-07-15T09:53:53Z
Riccardo Riccioni
452
1579553
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Sadako Pointer.jpg|thumb|Sadako Pointer]]
'''Sadako Pointer''' (alizaliwa [[24 Machi]] [[1984]]) ni jina la kisanii la mwimbaji wa [[Marekani]].<ref>[http://lasvegas.informermg.com/2011/08/13/the-pointer-sisters/ The Pointer Sisters], Las Vegas Informer, August 13, 2011.</ref>
== Wasifu ==
Sadako Pointer ni mjukuu wa Ruth Pointer wa kundi la Pointer Sisters kupitia binti wa Ruth aitwaye Faun.
Sadako alikulia katika miji ya New York na Los Angeles, California, Marekani. Ana asili ya Kijapani na Mwafrika-Mmarekani.<ref>{{cite web|url=http://www.proxythefilm.com/|title=Proxy The Film 2015|website=Proxy The Film 2015}}</ref>
Hufanya ziara za muziki pamoja na kundi la '''The Pointer Sisters''' akiwa pamoja na Ruth Pointer na shangazi yake Issa Pointer. Pia alionekana katika filamu ya mwaka 2014 iitwayo Proxy.
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
m777jndag548oanmrzk5xl9bxut94g8
Rosetta Miller-Perry
0
242111
1579555
1579366
2026-07-15T09:54:28Z
Riccardo Riccioni
452
1579555
wikitext
text/x-wiki
'''Rosetta Miller-Perry''' ([[7 Julai]] [[1934]] – [[26 Juni]] [[2026]]) alikuwa [[mwandishi wa habari]] wa [[Marekani]] na mwanzilishi wa gazeti Tennessee Tribune.<ref>{{cite news|date=September 12, 2019|url=https://www.tennessean.com/story/news/local/2019/09/12/women-trailblazers-honored/2304097001/|title=Seven women community leaders to be honored|work=The Tennessean|access-date=November 20, 2022}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
c9qszdzskhc73scawvea1x6rqxaicej
Su-Elise Nash
0
242112
1579556
1579369
2026-07-15T09:55:21Z
Riccardo Riccioni
452
1579556
wikitext
text/x-wiki
'''Su-Elise Nash''' (alizaliwa Dulwich, Uingereza, [[22 Mei]] [[1981]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Uingereza]] ambaye alipata umaarufu kupitia kundi la wasichana la muziki Mis-Teeq.
== Kazi ==
Su-Elise Nash ana asili ya Kijamaika na Kiingereza.
Akiwa mwanachama wa kundi la muziki la Mis-Teeq pamoja na Sabrina Washington na Alesha Dixon, Nash alifanya maonyesho mbalimbali ya vipaji tangu akiwa mtoto. Hata hivyo, kabla ya kujiunga na Mis-Teeq alikuwa ameanza kusomea shahada ya biashara katika Middlesex University.
Ana dada wanne ambao ni Lisa, Chrystina, Helena na Savannah. Baada ya kuvunjika kwa kundi la Mis-Teeq, Nash aliendelea na masomo yake na kupata sifa za ualimu. Baadaye alianzisha shule yake ya sanaa za maonyesho iitwayo "Su-Elise Stage School", iliyopo Gravesend, Kent, Uingereza.<ref>[http://www.su-elisestageschool.co.uk/80625/info.php?p=4] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20081216025035/http://www.su-elisestageschool.co.uk/80625/info.php?p=4|date=16 December 2008}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uingereza]]
1jal25pw4lt7h4n378c8508ncfc4r63
Lillian Lehman
0
242113
1579371
2026-07-14T12:12:44Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lillian Lehman''' (aliyezaliwa [[12 Februari|Februari 12]], [[1947]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=https://news.amomama.com/204036-lillian-lehman-was-married-briefly-good.html|title=Lillian Lehman Was Married Briefly to 'Good Times' Star John Amos — Meet the Actress|website=AmoMama|author=Aby Rivas|date=April 18, 2020}}</ref> Lehman ni binti wa mchungaji wa dhehebu la Kilutheri. Alizaliwa huko Oak Hill, Alabama, lakini alihamia pa...'
1579371
wikitext
text/x-wiki
'''Lillian Lehman''' (aliyezaliwa [[12 Februari|Februari 12]], [[1947]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=https://news.amomama.com/204036-lillian-lehman-was-married-briefly-good.html|title=Lillian Lehman Was Married Briefly to 'Good Times' Star John Amos — Meet the Actress|website=AmoMama|author=Aby Rivas|date=April 18, 2020}}</ref>
Lehman ni binti wa mchungaji wa dhehebu la Kilutheri. Alizaliwa huko Oak Hill, Alabama, lakini alihamia pamoja na familia yake kwenda Buffalo, [[Jiji la New York|New York]], akiwa na umri wa miaka mitano. Wakati akisoma katika Kent State University, alitunukiwa jina la mwigizaji bora wa mwaka.
Amejulikana kwa kuigiza nafasi mbalimbali katika vipindi vya televisheni, ikiwemo nafasi ya Lena Hart katika tamthilia ya NBC Sunset Beach, Muuguzi Carol Williams katika Emergency!, Letty Gilmore katika Fay, Ruth Tenafly katika Tenafly, na Dkt. Joyce Meadows katika General Hospital ya ABC. Pia ameshiriki katika nafasi mbalimbali za wageni kwenye vipindi vya televisheni.<ref name="ma">{{cite news|last1=Harmon|first1=Rick|title=TV judge makes return to birthplace|url=https://www.newspapers.com/clip/74912021/lillian-lehman/|access-date=April 2, 2021|work=The Montgomery Advertiser|date=November 12, 1992|page=19|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
Lehman ni profesa mstaafu wa sanaa za maigizo (Professor Emerita of Theatre) na alihitimu kutoka California State University, Northridge akiwa na shahada ya kwanza (B.A.) katika sanaa za maigizo.
Pia ameigiza katika filamu mbalimbali kama Defending Your Life na Evan Almighty. Kazi zake za televisheni zinajumuisha vipindi kama Magnum, P.I., ER, Cold Case, Seinfeld, na Married... with Children.
Pia alikuwa na nafasi za kujirudia kama Jaji Mary Harcourt katika L.A. Law na Jaji Tiano katika The Closer, pamoja na kuonekana katika vipindi vingine vingi kama JAG, The Wayans Bros. na Alfred Hitchcock Presents.<ref name="etvs">{{cite book|title=Encyclopedia of Television Shows, 1925 through 2010|last1=Terrace|first1=Vincent|date=2011|publisher=McFarland & Company, Inc., Publishers|isbn=978-0-7864-6477-7|edition=2nd|location=Jefferson, N.C.|page=306}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
oor62et3y56rkt3pvi2v5k31zq7elg9
1579425
1579371
2026-07-14T17:42:38Z
Emmy05
90536
1579425
wikitext
text/x-wiki
'''Lillian Lehman''' (aliyezaliwa [[12 Februari|Februari 12]], [[1947]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=https://news.amomama.com/204036-lillian-lehman-was-married-briefly-good.html|title=Lillian Lehman Was Married Briefly to 'Good Times' Star John Amos — Meet the Actress|website=AmoMama|author=Aby Rivas|date=April 18, 2020}}</ref>
Lehman ni binti wa mchungaji wa dhehebu la Kilutheri. Alizaliwa huko Oak [[Hill]], Alabama, lakini alihamia pamoja na familia yake kwenda Buffalo, [[Jiji la New York|New York]], akiwa na umri wa miaka mitano. Wakati akisoma katika Kent State University, alitunukiwa jina la mwigizaji bora wa mwaka.
Amejulikana kwa kuigiza nafasi mbalimbali katika vipindi vya televisheni, ikiwemo nafasi ya Lena Hart katika tamthilia ya NBC Sunset Beach, Muuguzi Carol Williams katika Emergency!, Letty Gilmore katika Fay, Ruth Tenafly katika Tenafly, na Dkt. Joyce Meadows katika General Hospital ya ABC. Pia ameshiriki katika nafasi mbalimbali za wageni kwenye vipindi vya televisheni.<ref name="ma">{{cite news|last1=Harmon|first1=Rick|title=TV judge makes return to birthplace|url=https://www.newspapers.com/clip/74912021/lillian-lehman/|access-date=April 2, 2021|work=The Montgomery Advertiser|date=November 12, 1992|page=19|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
Lehman ni profesa mstaafu wa sanaa za [[Maigizo dhima|maigizo (]]Professor Emerita of Theatre) na alihitimu kutoka California State University, Northridge akiwa na shahada ya kwanza (B.A.) katika sanaa za maigizo.
Pia ameigiza katika [[filamu]] mbalimbali kama Defending Your Life na Evan Almighty. Kazi zake za televisheni zinajumuisha vipindi kama Magnum, P.I., ER, Cold Case, Seinfeld, na Married... with Children.
Pia alikuwa na nafasi za kujirudia kama Jaji Mary Harcourt katika L.A. Law na Jaji Tiano katika The Closer, pamoja na kuonekana katika vipindi vingine vingi kama JAG, The Wayans Bros. na Alfred Hitchcock Presents.<ref name="etvs">{{cite book|title=Encyclopedia of Television Shows, 1925 through 2010|last1=Terrace|first1=Vincent|date=2011|publisher=McFarland & Company, Inc., Publishers|isbn=978-0-7864-6477-7|edition=2nd|location=Jefferson, N.C.|page=306}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
dzksmlg1vzqqcirj5uhglncxa968ama
1579557
1579425
2026-07-15T09:55:44Z
Riccardo Riccioni
452
1579557
wikitext
text/x-wiki
'''Lillian Lehman''' (alizaliwa [[12 Februari]] [[1947]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=https://news.amomama.com/204036-lillian-lehman-was-married-briefly-good.html|title=Lillian Lehman Was Married Briefly to 'Good Times' Star John Amos — Meet the Actress|website=AmoMama|author=Aby Rivas|date=April 18, 2020}}</ref>
Lehman ni binti wa mchungaji wa dhehebu la Kilutheri. Alizaliwa huko Oak [[Hill]], Alabama, lakini alihamia pamoja na familia yake kwenda Buffalo, [[Jiji la New York|New York]], akiwa na umri wa miaka mitano. Wakati akisoma katika Kent State University, alitunukiwa jina la mwigizaji bora wa mwaka.
Amejulikana kwa kuigiza nafasi mbalimbali katika vipindi vya televisheni, ikiwemo nafasi ya Lena Hart katika tamthilia ya NBC Sunset Beach, Muuguzi Carol Williams katika Emergency!, Letty Gilmore katika Fay, Ruth Tenafly katika Tenafly, na Dkt. Joyce Meadows katika General Hospital ya ABC. Pia ameshiriki katika nafasi mbalimbali za wageni kwenye vipindi vya televisheni.<ref name="ma">{{cite news|last1=Harmon|first1=Rick|title=TV judge makes return to birthplace|url=https://www.newspapers.com/clip/74912021/lillian-lehman/|access-date=April 2, 2021|work=The Montgomery Advertiser|date=November 12, 1992|page=19|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
Lehman ni profesa mstaafu wa sanaa za [[Maigizo dhima|maigizo (]]Professor Emerita of Theatre) na alihitimu kutoka California State University, Northridge akiwa na shahada ya kwanza (B.A.) katika sanaa za maigizo.
Pia ameigiza katika [[filamu]] mbalimbali kama Defending Your Life na Evan Almighty. Kazi zake za televisheni zinajumuisha vipindi kama Magnum, P.I., ER, Cold Case, Seinfeld, na Married... with Children.
Pia alikuwa na nafasi za kujirudia kama Jaji Mary Harcourt katika L.A. Law na Jaji Tiano katika The Closer, pamoja na kuonekana katika vipindi vingine vingi kama JAG, The Wayans Bros. na Alfred Hitchcock Presents.<ref name="etvs">{{cite book|title=Encyclopedia of Television Shows, 1925 through 2010|last1=Terrace|first1=Vincent|date=2011|publisher=McFarland & Company, Inc., Publishers|isbn=978-0-7864-6477-7|edition=2nd|location=Jefferson, N.C.|page=306}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
hzkqtyqyaelp58udj4twyivdcgkyehn
Tala Gouveia
0
242114
1579373
2026-07-14T12:21:08Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tala Helen Gouveia''' (alizaliwa [[13 Februari|Februari 13]], [[1988]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Uingereza]], anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya DCI Lauren McDonald katika tamthilia ya uhalifu ya ITV iitwayo McDonald & Dodds (2020–2024).<ref>{{Cite web|url=https://www.nottinghampost.com/whats-on/whats-on-news/who-tala-gouveia-meet-nottingham-3561591|title=Meet the Nottingham starring in new ITV cop drama McDonald & Dodds|first=Rachel|last=Gorman|d...'
1579373
wikitext
text/x-wiki
'''Tala Helen Gouveia''' (alizaliwa [[13 Februari|Februari 13]], [[1988]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Uingereza]], anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya DCI Lauren McDonald katika tamthilia ya uhalifu ya ITV iitwayo McDonald & Dodds (2020–2024).<ref>{{Cite web|url=https://www.nottinghampost.com/whats-on/whats-on-news/who-tala-gouveia-meet-nottingham-3561591|title=Meet the Nottingham starring in new ITV cop drama McDonald & Dodds|first=Rachel|last=Gorman|date=21 November 2019|website=[[Nottingham Post]]}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Tala Helen Gouveia alizaliwa huko Nottingham, Uingereza. Yeye ni binti wa waigizaji wawili wa maigizo ya jukwaani ('''theatre actors'''). Gouveia alipata mafunzo ya uigizaji katika Bristol Old Vic Theatre School.<ref>{{Cite web|url=https://www.theguardian.com/tv-and-radio/2021/feb/18/tala-gouveia-mcdonald-dodds-woke-actor-social-media-diversity|title=Tala Gouveia: 'They called McDonald & Dodds woke just because I was black'|website=[[TheGuardian.com]]|date=18 February 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
6tgfhgcterq5d2yfq55jc7bzy0jv2e6
1579424
1579373
2026-07-14T17:34:46Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1579424
wikitext
text/x-wiki
'''Tala Helen Gouveia''' (alizaliwa [[13 Februari|Februari 13]], [[1988]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Uingereza]], anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya DCI Lauren McDonald katika tamthilia ya uhalifu ya ITV iitwayo McDonald & Dodds (2020–2024).<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nottinghampost.com/whats-on/whats-on-news/who-tala-gouveia-meet-nottingham-3561591|title=Meet the Nottingham starring in new ITV cop drama McDonald & Dodds|first=Rachel|last=Gorman|date=21 November 2019|website=[[Nottingham Post]]}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Tala Helen Gouveia alizaliwa huko Nottingham, Uingereza. Yeye ni binti wa waigizaji wawili wa maigizo ya jukwaani ('''theatre actors'''). Gouveia alipata mafunzo ya uigizaji katika Bristol Old Vic Theatre School.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.theguardian.com/tv-and-radio/2021/feb/18/tala-gouveia-mcdonald-dodds-woke-actor-social-media-diversity|title=Tala Gouveia: 'They called McDonald & Dodds woke just because I was black'|website=[[TheGuardian.com]]|date=18 February 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
ne6j0thyuio9s4lvca6xz1a9uktg2c2
1579558
1579424
2026-07-15T09:56:08Z
Riccardo Riccioni
452
1579558
wikitext
text/x-wiki
'''Tala Helen Gouveia''' (alizaliwa [[13 Februari]] [[1988]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Uingereza]], anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya DCI Lauren McDonald katika tamthilia ya uhalifu ya ITV iitwayo McDonald & Dodds (2020–2024).<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nottinghampost.com/whats-on/whats-on-news/who-tala-gouveia-meet-nottingham-3561591|title=Meet the Nottingham starring in new ITV cop drama McDonald & Dodds|first=Rachel|last=Gorman|date=21 November 2019|website=[[Nottingham Post]]}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Tala Helen Gouveia alizaliwa huko Nottingham, Uingereza. Yeye ni binti wa waigizaji wawili wa maigizo ya jukwaani ('''theatre actors'''). Gouveia alipata mafunzo ya uigizaji katika Bristol Old Vic Theatre School.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.theguardian.com/tv-and-radio/2021/feb/18/tala-gouveia-mcdonald-dodds-woke-actor-social-media-diversity|title=Tala Gouveia: 'They called McDonald & Dodds woke just because I was black'|website=[[TheGuardian.com]]|date=18 February 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
oumwyr0ydgnibkl7yc5ci5bun4tk5m1
Delores Hall
0
242115
1579374
2026-07-14T12:25:52Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Delores Hall''' ni mwigizaji wa [[Marekani]] wa jukwaani na [[televisheni]], ambaye alianza kuonekana kwenye Broadway kwa mara ya kwanza akiwa mbadala katika kikundi cha waigizaji ('''ensemble''') cha mchezo wa kuigiza wa Hair.<ref>{{cite news|last1=Smith|first1=Sid|title='HAIR' GRADUATES ARE EVERYWHERE|url=https://www.chicagotribune.com/news/ct-xpm-1988-10-23-8802090946-story.html|access-date=4 February 2019|issue=23 October 1988|publisher=Chicago Trib...'
1579374
wikitext
text/x-wiki
'''Delores Hall''' ni mwigizaji wa [[Marekani]] wa jukwaani na [[televisheni]], ambaye alianza kuonekana kwenye Broadway kwa mara ya kwanza akiwa mbadala katika kikundi cha waigizaji ('''ensemble''') cha mchezo wa kuigiza wa Hair.<ref>{{cite news|last1=Smith|first1=Sid|title='HAIR' GRADUATES ARE EVERYWHERE|url=https://www.chicagotribune.com/news/ct-xpm-1988-10-23-8802090946-story.html|access-date=4 February 2019|issue=23 October 1988|publisher=Chicago Tribune}}</ref>.<ref>{{cite web|title=Divine Hair - Mass in F|url=http://www.arkivmusic.com/classical/album.jsp?album_id=615852|access-date=29 April 2020|archive-date=30 October 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20171030104112/http://www.arkivmusic.com/classical/album.jsp?album_id=615852|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
o3tsbz06srbe41d3e8imxiltrqs0xjo
Susie Garrett
0
242116
1579375
2026-07-14T12:29:38Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Susie Garrett''' (alizaliwa [[29 Desemba|Desemba 29]], [[1929]] – [[24 Mei|Mei 24]], [[2002]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] wa maigizo ya jukwaani na [[televisheni]], mwimbaji wa muziki wa jazz, na mwalimu wa uigizaji.<ref name="jet-10dec1984">{{cite magazine|title=Marla Gibbs Susie Garrett: Two Sisters Star On TV|url=https://books.google.com/books?id=9bMDAAAAMBAJ&q=susie-garrett&pg=PA60|magazine=[[Jet (magazine)|Jet]]|pages=60–62|access-da...'
1579375
wikitext
text/x-wiki
'''Susie Garrett''' (alizaliwa [[29 Desemba|Desemba 29]], [[1929]] – [[24 Mei|Mei 24]], [[2002]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] wa maigizo ya jukwaani na [[televisheni]], mwimbaji wa muziki wa jazz, na mwalimu wa uigizaji.<ref name="jet-10dec1984">{{cite magazine|title=Marla Gibbs Susie Garrett: Two Sisters Star On TV|url=https://books.google.com/books?id=9bMDAAAAMBAJ&q=susie-garrett&pg=PA60|magazine=[[Jet (magazine)|Jet]]|pages=60–62|access-date=February 2, 2017|date=December 10, 1984}}</ref><ref name="histafam-nov2005">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=zVFgqEAMcngC&q=susie-garrett&pg=PA155|title=Historical Dictionary of African-American Television|last=Fearn-Banks|first=Kathleen|date=November 15, 2005|publisher=[[Scarecrow Press]]|isbn=978-0-8108-6522-8|page=155|access-date=February 2, 2017}}</ref>
Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Betty Johnson, nyanya wa mhusika Cherie, katika mfululizo wa televisheni wa NBC uitwao Punky Brewster.
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2002]]
3gtqye2v4qunbsrnd7kh0qxn1dgl61o
1579559
1579375
2026-07-15T09:57:24Z
Riccardo Riccioni
452
1579559
wikitext
text/x-wiki
'''Susie Garrett''' ([[29 Desemba]] [[1929]] – [[24 Mei]] [[2002]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa jukwaani na [[televisheni]], mwimbaji wa muziki wa jazz, na mwalimu wa uigizaji wa [[Marekani]].<ref name="jet-10dec1984">{{cite magazine|title=Marla Gibbs Susie Garrett: Two Sisters Star On TV|url=https://books.google.com/books?id=9bMDAAAAMBAJ&q=susie-garrett&pg=PA60|magazine=[[Jet (magazine)|Jet]]|pages=60–62|access-date=February 2, 2017|date=December 10, 1984}}</ref><ref name="histafam-nov2005">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=zVFgqEAMcngC&q=susie-garrett&pg=PA155|title=Historical Dictionary of African-American Television|last=Fearn-Banks|first=Kathleen|date=November 15, 2005|publisher=[[Scarecrow Press]]|isbn=978-0-8108-6522-8|page=155|access-date=February 2, 2017}}</ref>
Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Betty Johnson, nyanya wa mhusika Cherie, katika mfululizo wa televisheni wa NBC uitwao Punky Brewster.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2002]]
[[Jamii:waigizaji filamu wa Marekani]]
p7soj7xkxcdxadmaixd379bi3pfn3c3
Roxy Sternberg
0
242117
1579376
2026-07-14T12:33:45Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[picha:Roxy Sternberg.jpg|thumb|Roxy Sternberg]]'''Roxy Sternberg''' (alizaliwa [[21 Aprili|Aprili 21]], [[1989]]) ni mwigizaji wa [[Uingereza]] ambaye kwa sasa anaishi [[Brooklyn]], [[Marekani]].<ref name="cbs bio">{{Cite web|url=https://www.cbs.com/shows/fbi-most-wanted/cast/216287/|title=Roxy Sternberg - FBI: Most Wanted Cast Member|work=CBS|accessdate=11 March 2025}}</ref> Anajulikana kwa nafasi zake katika mfululizo wa televisheni wa FBI: Most Wante...'
1579376
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Roxy Sternberg.jpg|thumb|Roxy Sternberg]]'''Roxy Sternberg''' (alizaliwa [[21 Aprili|Aprili 21]], [[1989]]) ni mwigizaji wa [[Uingereza]] ambaye kwa sasa anaishi [[Brooklyn]], [[Marekani]].<ref name="cbs bio">{{Cite web|url=https://www.cbs.com/shows/fbi-most-wanted/cast/216287/|title=Roxy Sternberg - FBI: Most Wanted Cast Member|work=CBS|accessdate=11 March 2025}}</ref>
Anajulikana kwa nafasi zake katika mfululizo wa televisheni wa FBI: Most Wanted (2020–2025), mfululizo wa sayansi wa Mars (2018), na kipindi cha vichekesho cha michoro ('''sketch show''') cha BBC kinachoitwa Famalam (2018–2020).<ref>[https://www.legit.ng/ask-legit/biographies/1501004-roxy-sternbergs-biography-age-husband-movies-tv-shows/ Roxy Sternberg's biography: A look inside FBI: Most Wanted star's relationships and career], Legit.ng</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
nkjlh6ny1ye4un8j706q4wvtyyfrfq7
1579423
1579376
2026-07-14T17:15:49Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579423
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Roxy Sternberg.jpg|thumb|Roxy Sternberg]]'''Roxy Sternberg''' (alizaliwa [[21 Aprili|Aprili 21]], [[1989]]) ni mwigizaji wa [[Uingereza]] ambaye kwa sasa anaishi [[Brooklyn]], [[Marekani]].<ref name="cbs bio">{{Rejea tovuti|url=https://www.cbs.com/shows/fbi-most-wanted/cast/216287/|title=Roxy Sternberg - FBI: Most Wanted Cast Member|work=CBS|accessdate=11 March 2025}}</ref>
Anajulikana kwa nafasi zake katika mfululizo wa televisheni wa FBI: Most Wanted (2020–2025), mfululizo wa sayansi wa Mars (2018), na kipindi cha vichekesho cha michoro ('''sketch show''') cha BBC kinachoitwa Famalam (2018–2020).<ref>[https://www.legit.ng/ask-legit/biographies/1501004-roxy-sternbergs-biography-age-husband-movies-tv-shows/ Roxy Sternberg's biography: A look inside FBI: Most Wanted star's relationships and career], Legit.ng</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
naqaihgs9bfankicvx9kq3hxo4k9jei
1579560
1579423
2026-07-15T09:58:04Z
Riccardo Riccioni
452
1579560
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Roxy Sternberg.jpg|thumb|Roxy Sternberg]]
'''Roxy Sternberg''' (alizaliwa [[21 Aprili]] [[1989]]) ni mwigizaji wa [[Uingereza]] ambaye kwa sasa anaishi [[Brooklyn]], [[Marekani]].<ref name="cbs bio">{{Rejea tovuti|url=https://www.cbs.com/shows/fbi-most-wanted/cast/216287/|title=Roxy Sternberg - FBI: Most Wanted Cast Member|work=CBS|accessdate=11 March 2025}}</ref>
Anajulikana kwa nafasi zake katika mfululizo wa televisheni wa FBI: Most Wanted (2020–2025), mfululizo wa sayansi wa Mars (2018), na kipindi cha vichekesho cha michoro ('''sketch show''') cha BBC kinachoitwa Famalam (2018–2020).<ref>[https://www.legit.ng/ask-legit/biographies/1501004-roxy-sternbergs-biography-age-husband-movies-tv-shows/ Roxy Sternberg's biography: A look inside FBI: Most Wanted star's relationships and career], Legit.ng</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
ppqvsi25r1s1aw07v4x6re34erji6r7
Betty McGlown
0
242118
1579377
2026-07-14T12:39:29Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Betty McGlown-Travis''' (alizaliwa [[30 Juni|Juni 30]], [[1941]] – [[12 Januari|Januari 12]], [[2008]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa kundi la muziki la The Primettes, ambalo baadaye lilijulikana zaidi kama The Supremes.<ref>{{Cite web|url=http://www.culture24.org.uk/history+%2526+heritage/work+%2526+daily+life/art58815|title=Mary Wilson and the Story of the Supremes at the V&A | Culture24|access-date=February 14,...'
1579377
wikitext
text/x-wiki
'''Betty McGlown-Travis''' (alizaliwa [[30 Juni|Juni 30]], [[1941]] – [[12 Januari|Januari 12]], [[2008]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa kundi la muziki la The Primettes, ambalo baadaye lilijulikana zaidi kama The Supremes.<ref>{{Cite web|url=http://www.culture24.org.uk/history+%2526+heritage/work+%2526+daily+life/art58815|title=Mary Wilson and the Story of the Supremes at the V&A | Culture24|access-date=February 14, 2010|archive-url=https://web.archive.org/web/20120919230229/http://www.culture24.org.uk/history+%26+heritage/work+%26+daily+life/art58815|archive-date=September 19, 2012|url-status=dead}}</ref>
== Wasifu ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2008]]
lq7g6pza95nsbqgb3ya29sfrd1p2b86
1579561
1579377
2026-07-15T09:58:38Z
Riccardo Riccioni
452
1579561
wikitext
text/x-wiki
'''Betty McGlown-Travis''' ([[30 Juni]] [[1941]] – [[12 Januari]] [[2008]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa kundi la muziki la The Primettes, ambalo baadaye lilijulikana zaidi kama The Supremes.<ref>{{Cite web|url=http://www.culture24.org.uk/history+%2526+heritage/work+%2526+daily+life/art58815|title=Mary Wilson and the Story of the Supremes at the V&A | Culture24|access-date=February 14, 2010|archive-url=https://web.archive.org/web/20120919230229/http://www.culture24.org.uk/history+%26+heritage/work+%26+daily+life/art58815|archive-date=September 19, 2012|url-status=dead}}</ref>
== Wasifu ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2008]]
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
et8ydgnyrupeqelgrxoeze1mef4o8y4
Deleon Richards
0
242119
1579378
2026-07-14T13:01:20Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Deleon Richards''' (alizaliwa [[18 Septemba|Septemba 18]], [[1976]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa injili (gospel) kutoka [[Marekani]]. Katika hafla ya 28 ya Tuzo za Grammy, aliteuliwa katika kipengele cha Uimbaji Bora wa Soul Gospel – Mwanamke (Best Soul Gospel Performance - Female). Inasemekana kuwa Richards alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na mwimbaji R. Kelly katika miaka ya 1990. Baadaye aliolewa na mchezaji wa zamani wa baseball Gary Sheffield...'
1579378
wikitext
text/x-wiki
'''Deleon Richards''' (alizaliwa [[18 Septemba|Septemba 18]], [[1976]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa injili (gospel) kutoka [[Marekani]].
Katika hafla ya 28 ya Tuzo za Grammy, aliteuliwa katika kipengele cha Uimbaji Bora wa Soul Gospel – Mwanamke (Best Soul Gospel Performance - Female).
Inasemekana kuwa Richards alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na mwimbaji R. Kelly katika miaka ya 1990. Baadaye aliolewa na mchezaji wa zamani wa baseball Gary Sheffield.<ref>{{Cite web|title=WBSS Media-Deleon Richards|url=https://wbssmedia.com/artists/detail/2277|access-date=2021-05-31|website=wbssmedia.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
jem2foajpx0gj6tat9xz8nhbsa26ah5
1579386
1579378
2026-07-14T14:06:31Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579386
wikitext
text/x-wiki
'''Deleon Richards''' (alizaliwa [[18 Septemba|Septemba 18]], [[1976]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa injili (gospel) kutoka [[Marekani]].
Katika hafla ya 28 ya Tuzo za Grammy, aliteuliwa katika kipengele cha Uimbaji Bora wa Soul Gospel – Mwanamke (Best Soul Gospel Performance - Female).
Inasemekana kuwa Richards alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na mwimbaji R. Kelly katika miaka ya 1990. Baadaye aliolewa na mchezaji wa zamani wa baseball Gary Sheffield.<ref>{{Rejea tovuti|title=WBSS Media-Deleon Richards|url=https://wbssmedia.com/artists/detail/2277|access-date=2021-05-31|website=wbssmedia.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
k6pd4ug2knzo8l1gh6uj59w084fuebl
1579563
1579386
2026-07-15T09:59:21Z
Riccardo Riccioni
452
1579563
wikitext
text/x-wiki
'''Deleon Richards''' (alizaliwa [[18 Septemba]] [[1976]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Nyimbo za Kiinjili|muziki wa Kiinjili]] (gospel) kutoka [[Marekani]].
Katika hafla ya 28 ya Tuzo za Grammy, aliteuliwa katika kipengele cha Uimbaji Bora wa Soul Gospel – Mwanamke (Best Soul Gospel Performance - Female).
Inasemekana kuwa Richards alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na mwimbaji R. Kelly katika miaka ya 1990. Baadaye aliolewa na mchezaji wa zamani wa baseball Gary Sheffield.<ref>{{Rejea tovuti|title=WBSS Media-Deleon Richards|url=https://wbssmedia.com/artists/detail/2277|access-date=2021-05-31|website=wbssmedia.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
h1i1wgq524y8awq7i939q89ti3apa2o
Minnie Gentry
0
242120
1579379
2026-07-14T13:12:52Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Minnie Gentry''' (alizaliwa kwa jina la '''Minnie Lee Watson''', [[2 Desemba|Desemba 2]], [[1915]] – [[11 Mei|Mei 11]], [[1993]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Marekani]]. Gentry alizaliwa kama Minnie Lee Watson huko Norfolk, Virginia, akiwa binti wa Mincie na Taylor Watson. Wakati wa utoto wake, familia yake ilihamia Cleveland, ambako alianza kujifunza piano akiwa na umri wa miaka tisa katika Phyllis Wheatley School of Music.<ref>{{cite web|title=Minni...'
1579379
wikitext
text/x-wiki
'''Minnie Gentry''' (alizaliwa kwa jina la '''Minnie Lee Watson''', [[2 Desemba|Desemba 2]], [[1915]] – [[11 Mei|Mei 11]], [[1993]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Marekani]].
Gentry alizaliwa kama Minnie Lee Watson huko Norfolk, Virginia, akiwa binti wa Mincie na Taylor Watson. Wakati wa utoto wake, familia yake ilihamia Cleveland, ambako alianza kujifunza piano akiwa na umri wa miaka tisa katika Phyllis Wheatley School of Music.<ref>{{cite web|title=Minnie Gentry|url=https://www.ibdb.com/broadway-cast-staff/minnie-gentry-91043|website=Internet Broadway Database|publisher=The Broadway League|access-date=October 20, 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20201020024607/https://www.ibdb.com/broadway-cast-staff/minnie-gentry-91043|archive-date=October 20, 2020}}</ref>
Alianza kujihusisha na uigizaji katika Friendly Inn Settlement na alifunga ndoa na Lloyd Gentry mwaka 1932. Baadaye, alishiriki katika michezo mingi ya kuigiza katika ukumbi maarufu wa sanaa za Waafrika-Wamarekani uitwao Karamu House.<ref name="date">[http://ech.case.edu/ech-cgi/article.pl?id=GMLW Encyclopedia of Cleveland History: Gentry, Minnie Lee Watson]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1915]]
[[Jamii:Waliofariki 1993]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
ck8320rq7wa79mycuity8rfr4vkd70a
1579564
1579379
2026-07-15T10:00:07Z
Riccardo Riccioni
452
1579564
wikitext
text/x-wiki
'''Minnie Gentry''' ([[2 Desemba]] [[1915]] – [[11 Mei]] [[1993]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Marekani]].
Gentry alizaliwa kama '''Minnie Lee Watson''' huko Norfolk, Virginia, akiwa binti wa Mincie na Taylor Watson. Wakati wa utoto wake, familia yake ilihamia Cleveland, ambako alianza kujifunza piano akiwa na umri wa miaka tisa katika Phyllis Wheatley School of Music.<ref>{{cite web|title=Minnie Gentry|url=https://www.ibdb.com/broadway-cast-staff/minnie-gentry-91043|website=Internet Broadway Database|publisher=The Broadway League|access-date=October 20, 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20201020024607/https://www.ibdb.com/broadway-cast-staff/minnie-gentry-91043|archive-date=October 20, 2020}}</ref>
Alianza kujihusisha na uigizaji katika Friendly Inn Settlement na alifunga ndoa na Lloyd Gentry mwaka 1932. Baadaye, alishiriki katika michezo mingi ya kuigiza katika ukumbi maarufu wa sanaa za Waafrika-Wamarekani uitwao Karamu House.<ref name="date">[http://ech.case.edu/ech-cgi/article.pl?id=GMLW Encyclopedia of Cleveland History: Gentry, Minnie Lee Watson]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1915]]
[[Jamii:Waliofariki 1993]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
o2sxeh0l7ytaz2zi3g2wgvnqsdt7ty1
Venise T. Berry
0
242121
1579380
2026-07-14T13:19:34Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Venise T. Berry''' (alizaliwa mwaka [[1955]]) ni [[mwandishi]] wa riwaya wa [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi zake zinazozungumzia mahusiano ya Waafrika-Wamarekani katika maisha ya kisasa.<ref>{{Cite web|title=VIAF|url=https://viaf.org/en/viaf/92573570|website=viaf.org|access-date=2025-12-02}}</ref> Pamoja na kaka yake S. Torriano Berry, pia ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu sinema ya Waafrika-Wamarekani (African-American cinema).<ref name="VTB-Bio...'
1579380
wikitext
text/x-wiki
'''Venise T. Berry''' (alizaliwa mwaka [[1955]]) ni [[mwandishi]] wa riwaya wa [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi zake zinazozungumzia mahusiano ya Waafrika-Wamarekani katika maisha ya kisasa.<ref>{{Cite web|title=VIAF|url=https://viaf.org/en/viaf/92573570|website=viaf.org|access-date=2025-12-02}}</ref>
Pamoja na kaka yake S. Torriano Berry, pia ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu sinema ya Waafrika-Wamarekani (African-American cinema).<ref name="VTB-Bio">{{cite web|url=http://veniseberry.com/1about.html|title=Biography - Venise Berry|work=VeniseBerry.com|publisher=BerryBooks|location=Coralville, Iowa|access-date=2011-10-08}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
bzyzygfk739jgcrmzytbxrvgc5m5fny
1579427
1579380
2026-07-14T17:54:42Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579427
wikitext
text/x-wiki
'''Venise T. Berry''' (alizaliwa mwaka [[1955]]) ni [[mwandishi]] wa riwaya wa [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi zake zinazozungumzia mahusiano ya Waafrika-Wamarekani katika maisha ya kisasa.<ref>{{Rejea tovuti|title=VIAF|url=https://viaf.org/en/viaf/92573570|website=viaf.org|access-date=2025-12-02}}</ref>
Pamoja na kaka yake S. Torriano Berry, pia ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu sinema ya Waafrika-Wamarekani (African-American cinema).<ref name="VTB-Bio">{{cite web|url=http://veniseberry.com/1about.html|title=Biography - Venise Berry|work=VeniseBerry.com|publisher=BerryBooks|location=Coralville, Iowa|access-date=2011-10-08}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
8lq5xcxhehbbmi3rlx16rcjgdi3afqb
1579565
1579427
2026-07-15T10:00:40Z
Riccardo Riccioni
452
1579565
wikitext
text/x-wiki
'''Venise T. Berry''' (alizaliwa [[1955]]) ni [[mwandishi]] wa riwaya wa [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi zake zinazozungumzia mahusiano ya Waafrika-Wamarekani katika maisha ya kisasa.<ref>{{Rejea tovuti|title=VIAF|url=https://viaf.org/en/viaf/92573570|website=viaf.org|access-date=2025-12-02}}</ref>
Pamoja na kaka yake S. Torriano Berry, pia ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu sinema ya Waafrika-Wamarekani (African-American cinema).<ref name="VTB-Bio">{{cite web|url=http://veniseberry.com/1about.html|title=Biography - Venise Berry|work=VeniseBerry.com|publisher=BerryBooks|location=Coralville, Iowa|access-date=2011-10-08}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
nqvigoewxalvypecb56fcuv0eknqums
China Shavers
0
242122
1579381
2026-07-14T13:42:42Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''China Shavers''' (alizaliwa [[16 Juni|Juni 16]], [[1977]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi zake za usaidizi katika vipindi vya [[televisheni]]. Anajulikana kwa kuigiza nafasi ya Brooke Harper katika tamthilia ya maisha ya shule ya sekondari Boston Public, pamoja na nafasi ya Dreama katika kipindi cha vichekesho cha kiimani na nguvu za ajabu (supernatural sitcom) Sabrina the Teenage Witch.<ref>{{cite news|url=https://news.goo...'
1579381
wikitext
text/x-wiki
'''China Shavers''' (alizaliwa [[16 Juni|Juni 16]], [[1977]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi zake za usaidizi katika vipindi vya [[televisheni]].
Anajulikana kwa kuigiza nafasi ya Brooke Harper katika tamthilia ya maisha ya shule ya sekondari Boston Public, pamoja na nafasi ya Dreama katika kipindi cha vichekesho cha kiimani na nguvu za ajabu (supernatural sitcom) Sabrina the Teenage Witch.<ref>{{cite news|url=https://news.google.com/newspapers?id=eWdWAAAAIBAJ&pg=2676,3050128&dq=china-shavers&hl=en|title=Four will be absent from 'Boston Public' in the Fall|date=June 2, 2003|work=[[Google Search]]|publisher=The Spokesman-Review|access-date=15 September 2011}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3q64i7s88qm45f6kfy69hm6xda2wouo
1579566
1579381
2026-07-15T10:01:09Z
Riccardo Riccioni
452
1579566
wikitext
text/x-wiki
'''China Shavers''' (alizaliwa [[16 Juni]] [[1977]]) ni mwigizaji wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi zake za usaidizi katika vipindi vya [[televisheni]].
Anajulikana kwa kuigiza nafasi ya Brooke Harper katika tamthilia ya maisha ya shule ya sekondari Boston Public, pamoja na nafasi ya Dreama katika kipindi cha vichekesho cha kiimani na nguvu za ajabu (supernatural sitcom) Sabrina the Teenage Witch.<ref>{{cite news|url=https://news.google.com/newspapers?id=eWdWAAAAIBAJ&pg=2676,3050128&dq=china-shavers&hl=en|title=Four will be absent from 'Boston Public' in the Fall|date=June 2, 2003|work=[[Google Search]]|publisher=The Spokesman-Review|access-date=15 September 2011}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waigizaji wa Marekani]]
dtric60efahof921b887gvciyzjrvgj
Tracy Reed (mwigizaji wa Marekani)
0
242123
1579382
2026-07-14T13:54:26Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tracy Reed''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] na [[mwanamitindo]] wa zamani.<ref>{{cite news|title=Tracy Reed ... Fledgling Actress and Series Star|url=https://www.newspapers.com/article/ventura-county-star-tracy-reed/174987794/|access-date=June 21, 2025|work=Ventura County Star|date=October 25, 1970|page=107|via=[[Newspapers.com]]}}</ref> == Miaka ya mapema == Tracy Reed alizaliwa huko Fort Benning, Georgia, Marekani. Yeye ni binti wa David Reed, amb...'
1579382
wikitext
text/x-wiki
'''Tracy Reed''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] na [[mwanamitindo]] wa zamani.<ref>{{cite news|title=Tracy Reed ... Fledgling Actress and Series Star|url=https://www.newspapers.com/article/ventura-county-star-tracy-reed/174987794/|access-date=June 21, 2025|work=Ventura County Star|date=October 25, 1970|page=107|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
== Miaka ya mapema ==
Tracy Reed alizaliwa huko Fort Benning, Georgia, Marekani. Yeye ni binti wa David Reed, ambaye ni meja mstaafu wa Jeshi la Marekani, na Anne Reed, ambaye alikuwa mwalimu.
Akiwa mwanafunzi wa uandishi wa habari katika University of California, Los Angeles (UCLA), mtayarishaji wa kipindi cha televisheni alimwalika kufanya majaribio ya uigizaji. Jaribio hilo lilimpatia nafasi katika kipindi cha televisheni Love, American Style.
Baadaye alihitimu kutoka UCLA akiwa na shahada ya kwanza (BA) katika lugha ya Kiingereza.<ref name="cj">{{cite news|last1=Reed|first1=Billy|title=Dreams still come true in Hollywood|url=https://www.newspapers.com/article/the-courier-journal-tracy-reed/174986871/|access-date=June 21, 2025|work=The Courier-Journal|date=October 27, 1976|location=Kentucky, Louisville|page=C 1|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
5lpmx0v43r5rtn1cj5ijuhuuvjykbbc
1579567
1579382
2026-07-15T10:01:55Z
Riccardo Riccioni
452
1579567
wikitext
text/x-wiki
'''Tracy Reed''' ni [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] wa zamani wa [[Marekani]].<ref>{{cite news|title=Tracy Reed ... Fledgling Actress and Series Star|url=https://www.newspapers.com/article/ventura-county-star-tracy-reed/174987794/|access-date=June 21, 2025|work=Ventura County Star|date=October 25, 1970|page=107|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
== Miaka ya mapema ==
Tracy Reed alizaliwa huko Fort Benning, Georgia, Marekani. Yeye ni binti wa David Reed, ambaye ni meja mstaafu wa Jeshi la Marekani, na Anne Reed, ambaye alikuwa mwalimu.
Akiwa mwanafunzi wa uandishi wa habari katika University of California, Los Angeles (UCLA), mtayarishaji wa kipindi cha televisheni alimwalika kufanya majaribio ya uigizaji. Jaribio hilo lilimpatia nafasi katika kipindi cha televisheni Love, American Style.
Baadaye alihitimu kutoka UCLA akiwa na shahada ya kwanza (BA) katika lugha ya Kiingereza.<ref name="cj">{{cite news|last1=Reed|first1=Billy|title=Dreams still come true in Hollywood|url=https://www.newspapers.com/article/the-courier-journal-tracy-reed/174986871/|access-date=June 21, 2025|work=The Courier-Journal|date=October 27, 1976|location=Kentucky, Louisville|page=C 1|via=[[Newspapers.com]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]]
r9d88lorhcwpnpqqxq6qwzg0kn85uza
Arica Himmel
0
242124
1579385
2026-07-14T14:01:45Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Arica Himmel''' (alizaliwa [[23 Februari|Februari 23]], [[2005]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Rainbow "Bow" Johnson katika mfululizo wa vichekesho wa ABC unaoitwa Mixed-ish.<ref>{{Cite web|url=https://www.bustle.com/p/mixed-ish-star-arica-himmel-takes-on-the-bustle-booth-19430831|title=What 'mixed-ish' Star Arica Himmel Learned From Her "Godsister" Teyana Taylor|website=Bustle}}</ref> == Maisha na kazi ==...'
1579385
wikitext
text/x-wiki
'''Arica Himmel''' (alizaliwa [[23 Februari|Februari 23]], [[2005]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Rainbow "Bow" Johnson katika mfululizo wa vichekesho wa ABC unaoitwa Mixed-ish.<ref>{{Cite web|url=https://www.bustle.com/p/mixed-ish-star-arica-himmel-takes-on-the-bustle-booth-19430831|title=What 'mixed-ish' Star Arica Himmel Learned From Her "Godsister" Teyana Taylor|website=Bustle}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Arica Himmel alizaliwa na kukulia katika Jiji la New York, Marekani. Yeye ni binti wa Zelma Davis, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Liberia, na Brandon Himmel.
Arica ana dada mmoja aitwaye Zoe, ambaye pia amefanya kazi kama mwigizaji. Alianza kuigiza jukwaani akiwa na umri wa miaka 11 katika onyesho la Off-Broadway la mchezo wa kuigiza The Layover.
Mwaka 2019, alifanya kwanza kuonekana katika filamu akicheza nafasi ya usaidizi pamoja na Judith Light katika filamu ya vichekesho na drama Before You Know It, ambayo ilionyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye Sundance Film Festival ya mwaka 2019.
Pia mwaka 2019, Himmel alichaguliwa kuigiza nafasi ya Rainbow "Bow" Johnson akiwa mdogo, mhusika mkuu katika mfululizo wa vichekesho wa ABC Mixed-ish, ambao ni mfululizo tanzu (prequel spin-off) wa Black-ish.<ref>{{Cite web|url=https://deadline.com/2019/03/black-ish-anders-holm-tika-sumpter-gary-cole-cast-bow-centric-flashback-episode-tracee-ellis-ross-rainbow-1202577367/|title='Black-ish': Anders Holm, Tika Sumpter, Arica Himmel & Gary Cole Among 7 Cast In Bow-Centric Potential Spinoff Episode|first1=Nellie Andreeva, Denise|last1=Petski|first2=Nellie|last2=Andreeva|first3=Denise|last3=Petski|date=March 18, 2019}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://ew.com/tv/2019/05/02/blackish-season-6-prequel-mixedish-abc-green-light/|title='black-ish' gets a season 6— and a new prequel series 'mixed-ish' on ABC|website=EW.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2005]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
t68hg6vn7pjfisurwz8ojqt02mhrcd6
1579568
1579385
2026-07-15T10:02:38Z
Riccardo Riccioni
452
1579568
wikitext
text/x-wiki
'''Arica Himmel''' (alizaliwa [[23 Februari]] [[2005]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Rainbow "Bow" Johnson katika mfululizo wa vichekesho wa ABC unaoitwa Mixed-ish.<ref>{{Cite web|url=https://www.bustle.com/p/mixed-ish-star-arica-himmel-takes-on-the-bustle-booth-19430831|title=What 'mixed-ish' Star Arica Himmel Learned From Her "Godsister" Teyana Taylor|website=Bustle}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Arica Himmel alizaliwa na kukulia katika Jiji la New York, Marekani. Yeye ni binti wa Zelma Davis, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Liberia, na Brandon Himmel.
Arica ana dada mmoja aitwaye Zoe, ambaye pia amefanya kazi kama mwigizaji. Alianza kuigiza jukwaani akiwa na umri wa miaka 11 katika onyesho la Off-Broadway la mchezo wa kuigiza The Layover.
Mwaka 2019, alifanya kwanza kuonekana katika filamu akicheza nafasi ya usaidizi pamoja na Judith Light katika filamu ya vichekesho na drama Before You Know It, ambayo ilionyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye Sundance Film Festival ya mwaka 2019.
Pia mwaka 2019, Himmel alichaguliwa kuigiza nafasi ya Rainbow "Bow" Johnson akiwa mdogo, mhusika mkuu katika mfululizo wa vichekesho wa ABC Mixed-ish, ambao ni mfululizo tanzu (prequel spin-off) wa Black-ish.<ref>{{Cite web|url=https://deadline.com/2019/03/black-ish-anders-holm-tika-sumpter-gary-cole-cast-bow-centric-flashback-episode-tracee-ellis-ross-rainbow-1202577367/|title='Black-ish': Anders Holm, Tika Sumpter, Arica Himmel & Gary Cole Among 7 Cast In Bow-Centric Potential Spinoff Episode|first1=Nellie Andreeva, Denise|last1=Petski|first2=Nellie|last2=Andreeva|first3=Denise|last3=Petski|date=March 18, 2019}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://ew.com/tv/2019/05/02/blackish-season-6-prequel-mixedish-abc-green-light/|title='black-ish' gets a season 6— and a new prequel series 'mixed-ish' on ABC|website=EW.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2005]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji wa Marekani]]
9s7srx7d12rfrnegvudi0siu289m2cp
Britney Young
0
242125
1579387
2026-07-14T14:09:40Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Britney Young''' (alizaliwa mwaka [[1987]] au 1988) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Carmen "Machu Picchu" Wade katika mfululizo wa televisheni GLOW.<ref>{{cite web|url=https://www.telegraph.co.uk/on-demand/0/glow-meet-cast-characters-new-netflix-wrestling-series-pictures/cherry-bang-sydelle-noel/|title=Cherry Bang (Sydelle Noel) | Meet the Gorgeous Ladies of Wrestling: your guide to the cast & characters o...'
1579387
wikitext
text/x-wiki
'''Britney Young''' (alizaliwa mwaka [[1987]] au 1988) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Carmen "Machu Picchu" Wade katika mfululizo wa televisheni GLOW.<ref>{{cite web|url=https://www.telegraph.co.uk/on-demand/0/glow-meet-cast-characters-new-netflix-wrestling-series-pictures/cherry-bang-sydelle-noel/|title=Cherry Bang (Sydelle Noel) | Meet the Gorgeous Ladies of Wrestling: your guide to the cast & characters of Netflix's GLOW - On demand|work=The Telegraph|publisher=Telegraph.co.uk|date=|accessdate=June 24, 2017}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.usatoday.com/story/life/tv/2017/06/23/mothership-podcast-netflix-glow-star-britney-young/103142432/#|title=The Mothership podcast: Talking wrestling with Britney Young, star of Netflix's 'Glow'|publisher=Usatoday.com|date=2017-05-16|accessdate=2017-06-24}}</ref><ref name="Heavy">{{cite web|url=https://heavy.com/entertainment/2017/06/britney-young-actor-glow-carmen-wade-background-interview-roles/|title=Britney Young: 5 Fast Facts You Need to Know|website=[[Heavy.com]]|last=Morrow|first=Brendan|date=June 23, 2017|accessdate=December 2, 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20180225093947/https://heavy.com/entertainment/2017/06/britney-young-actor-glow-carmen-wade-background-interview-roles/|archive-date=25 February 2018}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Britney Young alizaliwa mjini Tokyo, Japani, na alikulia Eagle River, Alaska, Marekani.
Baba yake ni Mwafrika-Mmarekani, huku mama yake akiwa Mmarekani mwenye asili ya Ulaya. Young ana shahada ya kwanza kutoka USC School of Cinematic Arts huko Los Angeles.
Mnamo Juni 2018, alifanya mahojiano na jarida la ''Glamour'', ambapo alizungumzia jinsi alivyoshinda changamoto za kunyanyaswa akiwa mtoto (''bullying'') na namna alivyokabiliana na mitazamo potofu iliyokuwa ikiendelea katika tasnia ya filamu ya Hollywood.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
hdsih2jc9u59gtzucgtrvo3jif4ccmm
1579569
1579387
2026-07-15T10:03:42Z
Riccardo Riccioni
452
1579569
wikitext
text/x-wiki
'''Britney Young''' (alizaliwa [[1987]] au 1988) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Carmen "Machu Picchu" Wade katika mfululizo wa televisheni GLOW.<ref>{{cite web|url=https://www.telegraph.co.uk/on-demand/0/glow-meet-cast-characters-new-netflix-wrestling-series-pictures/cherry-bang-sydelle-noel/|title=Cherry Bang (Sydelle Noel) | Meet the Gorgeous Ladies of Wrestling: your guide to the cast & characters of Netflix's GLOW - On demand|work=The Telegraph|publisher=Telegraph.co.uk|date=|accessdate=June 24, 2017}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.usatoday.com/story/life/tv/2017/06/23/mothership-podcast-netflix-glow-star-britney-young/103142432/#|title=The Mothership podcast: Talking wrestling with Britney Young, star of Netflix's 'Glow'|publisher=Usatoday.com|date=2017-05-16|accessdate=2017-06-24}}</ref><ref name="Heavy">{{cite web|url=https://heavy.com/entertainment/2017/06/britney-young-actor-glow-carmen-wade-background-interview-roles/|title=Britney Young: 5 Fast Facts You Need to Know|website=[[Heavy.com]]|last=Morrow|first=Brendan|date=June 23, 2017|accessdate=December 2, 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20180225093947/https://heavy.com/entertainment/2017/06/britney-young-actor-glow-carmen-wade-background-interview-roles/|archive-date=25 February 2018}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Britney Young alizaliwa mjini Tokyo, Japani, na alikulia Eagle River, Alaska, Marekani.
Baba yake ni Mwafrika-Mmarekani, huku mama yake akiwa Mmarekani mwenye asili ya Ulaya. Young ana shahada ya kwanza kutoka USC School of Cinematic Arts huko Los Angeles.
Mnamo Juni 2018, alifanya mahojiano na jarida la ''Glamour'', ambapo alizungumzia jinsi alivyoshinda changamoto za kunyanyaswa akiwa mtoto (''bullying'') na namna alivyokabiliana na mitazamo potofu iliyokuwa ikiendelea katika tasnia ya filamu ya Hollywood.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waigizaji filamu wa Marekani]]
ajchvnyixli3hth5la145b59fvz88fy
Sharon Wilkins
0
242126
1579388
2026-07-14T14:20:48Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sharon Wilkins''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]]. Anatokea Newburgh, [[Jiji la New York|New York]], na anaishi katika eneo la Upper West Side, Manhattan, ndani ya Jiji la New York. Amecheza nafasi mbalimbali katika maonyesho ya Broadway na filamu, na pia ameshiriki katika matangazo ya kibiashara. == Kazi == Sharon Wilkins alishiriki katika ziara ya kitaifa ya mchezo wa muziki Xanadu. Ameonekana katika michezo mitatu ya muziki ya Broadway. Alianza n...'
1579388
wikitext
text/x-wiki
'''Sharon Wilkins''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]].
Anatokea Newburgh, [[Jiji la New York|New York]], na anaishi katika eneo la Upper West Side, Manhattan, ndani ya Jiji la New York. Amecheza nafasi mbalimbali katika maonyesho ya Broadway na filamu, na pia ameshiriki katika matangazo ya kibiashara.
== Kazi ==
Sharon Wilkins alishiriki katika ziara ya kitaifa ya mchezo wa muziki Xanadu.
Ameonekana katika michezo mitatu ya muziki ya Broadway. Alianza na The Life mwaka 1997, kisha akaigiza katika Seussical mwaka 2000, na baadaye All Shook Up mwaka 2005.
Tangu mwaka 2005, amekuwa akijikita zaidi katika kazi za televisheni na filamu, akionekana katika vipindi kama Law & Order: Special Victims Unit, 30 Rock na Rescue Me. Pia ameigiza katika filamu kama National Treasure na We Own the Night.
Wilkins pia anashiriki kikamilifu katika shughuli za Broadway Cares/Equity Fights AIDS, shirika linalosaidia mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kupitia jamii ya wasanii wa Broadway.
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
qj98ussxegzmkva8jj6y4lyc4emb5wv
Romina Johnson
0
242127
1579389
2026-07-14T14:25:30Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Romina Johnson''' (alizaliwa [[28 Novemba|Novemba 28]], [[1973]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B, soul na garage anayeishi London, [[Uingereza]]. Anajulikana zaidi nchini Uingereza kwa kutoa sauti kuu (lead vocals) katika wimbo wa Artful Dodger uitwao "Movin' Too Fast", ambao ulifanikiwa kufikia nafasi ya pili kwenye chati za muziki nchini Uingereza mwanzoni mwa mwaka 2000.<ref>{{cite web|url=http://www.rominajohnson.com/about-me/|title=About Me|date...'
1579389
wikitext
text/x-wiki
'''Romina Johnson''' (alizaliwa [[28 Novemba|Novemba 28]], [[1973]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B, soul na garage anayeishi London, [[Uingereza]].
Anajulikana zaidi nchini Uingereza kwa kutoa sauti kuu (lead vocals) katika wimbo wa Artful Dodger uitwao "Movin' Too Fast", ambao ulifanikiwa kufikia nafasi ya pili kwenye chati za muziki nchini Uingereza mwanzoni mwa mwaka 2000.<ref>{{cite web|url=http://www.rominajohnson.com/about-me/|title=About Me|date=15 June 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
fx5ey9y51ywz5v1pijjdest67h7hstq
1579570
1579389
2026-07-15T10:04:20Z
Riccardo Riccioni
452
1579570
wikitext
text/x-wiki
'''Romina Johnson''' (alizaliwa [[28 Novemba]] [[1973]]) ni [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B, soul na garage anayeishi London, [[Uingereza]].
Anajulikana zaidi nchini Uingereza kwa kutoa sauti kuu (lead vocals) katika wimbo wa Artful Dodger uitwao "Movin' Too Fast", ambao ulifanikiwa kufikia nafasi ya pili kwenye chati za muziki nchini Uingereza mwanzoni mwa mwaka 2000.<ref>{{cite web|url=http://www.rominajohnson.com/about-me/|title=About Me|date=15 June 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki-Ulaya}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
gj7toq1z5j5rht1571de13pfuvijv34
Emani 22
0
242128
1579390
2026-07-14T14:29:21Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Emani Johnson''' (alizaliwa [[27 Desemba|Desemba 27]], [[1998]] – [[11 Oktoba|Oktoba 11]], [[2021]]), aliyefahamika zaidi kwa jina la kisanii Emani 22, alikuwa [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B kutoka [[Marekani]]. Alitokea Lancaster, California. Emani alishirikiana na msanii Trippie Redd katika nyimbo "Emani's Interlude" na "Fire Starter", zilizopatikana kwenye mixtape yake ya mwaka 2018 iitwayo A Love Letter to You 3.<ref>{{Cite web|url=https://www.the...'
1579390
wikitext
text/x-wiki
'''Emani Johnson''' (alizaliwa [[27 Desemba|Desemba 27]], [[1998]] – [[11 Oktoba|Oktoba 11]], [[2021]]), aliyefahamika zaidi kwa jina la kisanii Emani 22, alikuwa [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B kutoka [[Marekani]].
Alitokea Lancaster, California. Emani alishirikiana na msanii Trippie Redd katika nyimbo "Emani's Interlude" na "Fire Starter", zilizopatikana kwenye mixtape yake ya mwaka 2018 iitwayo A Love Letter to You 3.<ref>{{Cite web|url=https://www.thefocus.news/music/emani-22-death/?amp|title=Who was Emani 22 as R&B singer's death rocks fans?|website=thefocus.news|date=12 October 2021}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://news.yahoo.com/r-b-singer-emani-22-223427989.html|title=R&B singer Emani 22 dead at 22, producer confirms|website=News.yahoo.com|date=14 October 2021}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.billboard.com/articles/news/obituary/9645324/emani-22-dead|title=Rising R&B Singer Emani 22 Dies at 22|website=Billboard.com}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.papermag.com/emani-22-dead-2655300206.html|title=R&B Singer Emani 22 Has Died|date=14 October 2021|website=Papermag.com}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://people.com/music/rb-singer-emani-22-dead-at-22/|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: She 'Brightened up Any Room She Was in,' Producer J Maine Says|author=Nicholas Rice|website=PEOPLE.com}}</ref><ref>{{Cite web|date=2021-10-16|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: Cause of Death Revealed|url=https://www.eonline.com/news/1305956/r-b-singer-emani-22-dead-at-22|access-date=2021-10-16|website=E! Online}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Waliofariki 2021]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
650q8vt250t1xvtakwbn7r5iakuooxx
1579431
1579390
2026-07-14T20:00:40Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 6 template(s) replaced.
1579431
wikitext
text/x-wiki
'''Emani Johnson''' (alizaliwa [[27 Desemba|Desemba 27]], [[1998]] – [[11 Oktoba|Oktoba 11]], [[2021]]), aliyefahamika zaidi kwa jina la kisanii Emani 22, alikuwa [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B kutoka [[Marekani]].
Alitokea Lancaster, California. Emani alishirikiana na msanii Trippie Redd katika nyimbo "Emani's Interlude" na "Fire Starter", zilizopatikana kwenye mixtape yake ya mwaka 2018 iitwayo A Love Letter to You 3.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thefocus.news/music/emani-22-death/?amp|title=Who was Emani 22 as R&B singer's death rocks fans?|website=thefocus.news|date=12 October 2021}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://news.yahoo.com/r-b-singer-emani-22-223427989.html|title=R&B singer Emani 22 dead at 22, producer confirms|website=News.yahoo.com|date=14 October 2021}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.billboard.com/articles/news/obituary/9645324/emani-22-dead|title=Rising R&B Singer Emani 22 Dies at 22|website=Billboard.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.papermag.com/emani-22-dead-2655300206.html|title=R&B Singer Emani 22 Has Died|date=14 October 2021|website=Papermag.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://people.com/music/rb-singer-emani-22-dead-at-22/|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: She 'Brightened up Any Room She Was in,' Producer J Maine Says|author=Nicholas Rice|website=PEOPLE.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|date=2021-10-16|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: Cause of Death Revealed|url=https://www.eonline.com/news/1305956/r-b-singer-emani-22-dead-at-22|access-date=2021-10-16|website=E! Online}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Waliofariki 2021]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
g85n01wkarwc829z2vsklbzt2kk04ar
1579572
1579431
2026-07-15T10:05:23Z
Riccardo Riccioni
452
1579572
wikitext
text/x-wiki
'''Emani Johnson''' (alifahamika zaidi kwa jina la kisanii Emani 22; [[27 Desemba]] [[1998]] – [[11 Oktoba]] [[2021]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa muziki wa R&B kutoka [[Marekani]].
Alitokea Lancaster, California. Emani alishirikiana na msanii Trippie Redd katika nyimbo "Emani's Interlude" na "Fire Starter", zilizopatikana kwenye mixtape yake ya mwaka 2018 iitwayo A Love Letter to You 3.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thefocus.news/music/emani-22-death/?amp|title=Who was Emani 22 as R&B singer's death rocks fans?|website=thefocus.news|date=12 October 2021}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://news.yahoo.com/r-b-singer-emani-22-223427989.html|title=R&B singer Emani 22 dead at 22, producer confirms|website=News.yahoo.com|date=14 October 2021}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.billboard.com/articles/news/obituary/9645324/emani-22-dead|title=Rising R&B Singer Emani 22 Dies at 22|website=Billboard.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.papermag.com/emani-22-dead-2655300206.html|title=R&B Singer Emani 22 Has Died|date=14 October 2021|website=Papermag.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://people.com/music/rb-singer-emani-22-dead-at-22/|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: She 'Brightened up Any Room She Was in,' Producer J Maine Says|author=Nicholas Rice|website=PEOPLE.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|date=2021-10-16|title=R&B Singer Emani 22 Dead at 22: Cause of Death Revealed|url=https://www.eonline.com/news/1305956/r-b-singer-emani-22-dead-at-22|access-date=2021-10-16|website=E! Online}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Waliofariki 2021]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waimbaji wa Marekani]]
mqehgu3r7f793fr10pmufbjhycrqsd1
Makyla Smith
0
242129
1579391
2026-07-14T14:33:28Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Makyla Smith''' (alizaliwa mwaka [[1982]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Kanada]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Daphne katika mfululizo wa [[televisheni]] wa Showtime uitwao Queer as Folk. == Kazi == Makyla Smith anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya usaidizi kama '''Daphne''', rafiki mkubwa wa '''Justin''' (aliyeigizwa na Randy Harrison), katika mfululizo wa televisheni wa Queer as Folk. Pia ameonekana katika filamu mbalimbali, zikiwemo The Matthe...'
1579391
wikitext
text/x-wiki
'''Makyla Smith''' (alizaliwa mwaka [[1982]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Kanada]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Daphne katika mfululizo wa [[televisheni]] wa Showtime uitwao Queer as Folk.
== Kazi ==
Makyla Smith anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya usaidizi kama '''Daphne''', rafiki mkubwa wa '''Justin''' (aliyeigizwa na Randy Harrison), katika mfululizo wa televisheni wa Queer as Folk.
Pia ameonekana katika filamu mbalimbali, zikiwemo The Matthew Shepard Story, Sex, Lies & Obsession, Owning Mahowny, Homeless to Harvard: The Liz Murray Story, na Prom Queen: The Marc Hall Story.
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4u5g377gn085lit2iem06nt8jaemxpu
1579573
1579391
2026-07-15T10:06:01Z
Riccardo Riccioni
452
1579573
wikitext
text/x-wiki
'''Makyla Smith''' (alizaliwa [[1982]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Kanada]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Daphne katika mfululizo wa [[televisheni]] wa Showtime uitwao Queer as Folk.
== Kazi ==
Makyla Smith anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya usaidizi kama '''Daphne''', rafiki mkubwa wa '''Justin''' (aliyeigizwa na Randy Harrison), katika mfululizo wa televisheni wa Queer as Folk.
Pia ameonekana katika filamu mbalimbali, zikiwemo The Matthew Shepard Story, Sex, Lies & Obsession, Owning Mahowny, Homeless to Harvard: The Liz Murray Story, na Prom Queen: The Marc Hall Story.
{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]]
5hutx57wv7w9tqsqd6h4u7xpfr25n1y
Gaelle Adisson
0
242130
1579392
2026-07-14T14:38:11Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gaelle Adisson''' (alizaliwa mwaka [[1974]]) ni [[mwimbaji]], mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki kutoka [[Marekani]] anayejulikana katika aina za muziki wa deep house na downtempo.<ref>{{cite web|url=https://www.facebook.com/GAELLE24|title=Security Check Required|website=[[Facebook]]|publisher=|accessdate=May 3, 2016}}</ref> == Maisha ya awali == Gaelle Adisson alizaliwa mwaka 1974 huko New Jersey, Marekani. == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mw...'
1579392
wikitext
text/x-wiki
'''Gaelle Adisson''' (alizaliwa mwaka [[1974]]) ni [[mwimbaji]], mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki kutoka [[Marekani]] anayejulikana katika aina za muziki wa deep house na downtempo.<ref>{{cite web|url=https://www.facebook.com/GAELLE24|title=Security Check Required|website=[[Facebook]]|publisher=|accessdate=May 3, 2016}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Gaelle Adisson alizaliwa mwaka 1974 huko New Jersey, Marekani.
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
km93sdj32m8yg0i292llxcgnnh9qz9y
1579574
1579392
2026-07-15T10:06:24Z
Riccardo Riccioni
452
1579574
wikitext
text/x-wiki
'''Gaelle Adisson''' (alizaliwa [[1974]]) ni [[mwimbaji]], mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki kutoka [[Marekani]] anayejulikana katika aina za muziki wa deep house na downtempo.<ref>{{cite web|url=https://www.facebook.com/GAELLE24|title=Security Check Required|website=[[Facebook]]|publisher=|accessdate=May 3, 2016}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Gaelle Adisson alizaliwa mwaka 1974 huko New Jersey, Marekani.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
tedwx1au024ofi23pak8jqh2pzmfwjg
Fayette Pinkney
0
242131
1579393
2026-07-14T14:43:15Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fayette Pinkney''' (alizaliwa [[10 Januari|Januari 10]], [[1948]] – [[27 Juni|Juni 27]], [[2009]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa awali wa kundi la muziki la wanawake la The Three Degrees.<ref>{{cite news|title=Obituary: Fayette Pinkney|work=[[The Guardian]]|location=London|first=Adam|last=Sweeting|date=July 7, 2009|url=https://www.theguardian.com/culture/2009/jul/07/obituary-fayette-pinkney|access-date=2025-03-17}}</ref...'
1579393
wikitext
text/x-wiki
'''Fayette Pinkney''' (alizaliwa [[10 Januari|Januari 10]], [[1948]] – [[27 Juni|Juni 27]], [[2009]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa awali wa kundi la muziki la wanawake la The Three Degrees.<ref>{{cite news|title=Obituary: Fayette Pinkney|work=[[The Guardian]]|location=London|first=Adam|last=Sweeting|date=July 7, 2009|url=https://www.theguardian.com/culture/2009/jul/07/obituary-fayette-pinkney|access-date=2025-03-17}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.soulmusic.com/fapitthde20.html|title=Tribute To Fayette Pinkney|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20101129212529/http://soulmusic.com/fapitthde20.html|archive-date=November 29, 2010}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Fayette Pinkney alizaliwa huko Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Alikuwa mmoja kati ya wasichana watatu vijana waliokusanywa na meneja Richard Barrett mwaka 1963 ili kuunda kundi la muziki la wanawake la The Three Degrees.
Baadaye, Fayette aliendelea na masomo yake na kupata shahada ya kwanza (Bachelor's degree) katika saikolojia kutoka Temple University. Pia alipata shahada ya uzamili (Master's degree) katika huduma za jamii (Human Services) kutoka Lincoln University mwaka 1984.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Waliofariki 2009]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
bqes4uzkpu2nmxh5mde47azhvwfw0xb
1579575
1579393
2026-07-15T10:06:48Z
Riccardo Riccioni
452
1579575
wikitext
text/x-wiki
'''Fayette Pinkney''' ([[10 Januari]] [[1948]] – [[27 Juni]] [[2009]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na mmoja wa wanachama wa awali wa kundi la muziki la wanawake la The Three Degrees.<ref>{{cite news|title=Obituary: Fayette Pinkney|work=[[The Guardian]]|location=London|first=Adam|last=Sweeting|date=July 7, 2009|url=https://www.theguardian.com/culture/2009/jul/07/obituary-fayette-pinkney|access-date=2025-03-17}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.soulmusic.com/fapitthde20.html|title=Tribute To Fayette Pinkney|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20101129212529/http://soulmusic.com/fapitthde20.html|archive-date=November 29, 2010}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Fayette Pinkney alizaliwa huko Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Alikuwa mmoja kati ya wasichana watatu vijana waliokusanywa na meneja Richard Barrett mwaka 1963 ili kuunda kundi la muziki la wanawake la The Three Degrees.
Baadaye, Fayette aliendelea na masomo yake na kupata shahada ya kwanza (Bachelor's degree) katika saikolojia kutoka Temple University. Pia alipata shahada ya uzamili (Master's degree) katika huduma za jamii (Human Services) kutoka Lincoln University mwaka 1984.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Waliofariki 2009]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
f4brv3ej1dnnxvzrbo2evhv25aqjwby
Kimberly Steward
0
242132
1579395
2026-07-14T14:52:02Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kimberly Steward''' ni mtayarishaji wa filamu kutoka [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi kama filamu ya Through a Lens Darkly: Black Photographers and the Emergence of a People (2014).<ref>{{cite news|url=http://www.huffingtonpost.com/entry/kimberly-steward-black-woman-behind-three-of-this-years-oscar-noms_us_5887c5ffe4b098c0bba7377c?|title=This Black Woman Produced A Film That Is Nominated For Six Oscars|date=January 25, 2017|author=Hill, Zahara|work=[...'
1579395
wikitext
text/x-wiki
'''Kimberly Steward''' ni mtayarishaji wa filamu kutoka [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi kama filamu ya Through a Lens Darkly: Black Photographers and the Emergence of a People (2014).<ref>{{cite news|url=http://www.huffingtonpost.com/entry/kimberly-steward-black-woman-behind-three-of-this-years-oscar-noms_us_5887c5ffe4b098c0bba7377c?|title=This Black Woman Produced A Film That Is Nominated For Six Oscars|date=January 25, 2017|author=Hill, Zahara|work=[[The Huffington Post]]}}</ref><ref>{{cite news|url=https://variety.com/exec/kimberly-steward|title=Kimberly Steward|work=[[Variety (magazine)|Variety]]|accessdate=January 12, 2017}}</ref>
Pia alishiriki kama mtayarishaji wa filamu ya Manchester by the Sea kupitia kampuni yake ya uzalishaji iitwayo K Period Media. Filamu hiyo ilimfanya ateuliwe kuwania Tuzo ya Academy (Academy Award/Oscar) mwaka 2016.
Steward ni mjumbe wa bodi ya wadhamini ya Academy Museum of Motion Pictures.<ref>{{Cite news|title=Academy Museum Names New Board of Trustees|website=The Hollywood Reporter|url=https://www.hollywoodreporter.com/news/academy-museum-names-new-board-trustees-1064573|access-date=2020-08-31}}</ref>
Kimberly Steward ni binti wa mfanyabiashara bilionea David Steward, ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya teknolojia ya mifumo ya kompyuta World Wide Technology.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
2ubz67glzlup031f2n56th8nc5m76b3
1579404
1579395
2026-07-14T15:22:19Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579404
wikitext
text/x-wiki
'''Kimberly Steward''' ni mtayarishaji wa filamu kutoka [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi kama filamu ya Through a Lens Darkly: Black Photographers and the Emergence of a People (2014).<ref>{{cite news|url=http://www.huffingtonpost.com/entry/kimberly-steward-black-woman-behind-three-of-this-years-oscar-noms_us_5887c5ffe4b098c0bba7377c?|title=This Black Woman Produced A Film That Is Nominated For Six Oscars|date=January 25, 2017|author=Hill, Zahara|work=[[The Huffington Post]]}}</ref><ref>{{cite news|url=https://variety.com/exec/kimberly-steward|title=Kimberly Steward|work=[[Variety (magazine)|Variety]]|accessdate=January 12, 2017}}</ref>
Pia alishiriki kama mtayarishaji wa filamu ya Manchester by the Sea kupitia kampuni yake ya uzalishaji iitwayo K Period Media. Filamu hiyo ilimfanya ateuliwe kuwania Tuzo ya Academy (Academy Award/Oscar) mwaka 2016.
Steward ni mjumbe wa bodi ya wadhamini ya Academy Museum of Motion Pictures.<ref>{{Rejea habari|title=Academy Museum Names New Board of Trustees|website=The Hollywood Reporter|url=https://www.hollywoodreporter.com/news/academy-museum-names-new-board-trustees-1064573|access-date=2020-08-31}}</ref>
Kimberly Steward ni binti wa mfanyabiashara bilionea David Steward, ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya teknolojia ya mifumo ya kompyuta World Wide Technology.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
p97lz8hi3zf4t12rvcvx7v6y0ga3957
1579577
1579404
2026-07-15T10:07:19Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1579577
wikitext
text/x-wiki
'''Kimberly Steward''' ni mtayarishaji wa filamu kutoka [[Marekani]] anayejulikana kwa kazi kama filamu ya Through a Lens Darkly: Black Photographers and the Emergence of a People (2014).<ref>{{cite news|url=http://www.huffingtonpost.com/entry/kimberly-steward-black-woman-behind-three-of-this-years-oscar-noms_us_5887c5ffe4b098c0bba7377c?|title=This Black Woman Produced A Film That Is Nominated For Six Oscars|date=January 25, 2017|author=Hill, Zahara|work=[[The Huffington Post]]}}</ref><ref>{{cite news|url=https://variety.com/exec/kimberly-steward|title=Kimberly Steward|work=[[Variety (magazine)|Variety]]|accessdate=January 12, 2017}}</ref>
Pia alishiriki kama mtayarishaji wa filamu ya Manchester by the Sea kupitia kampuni yake ya uzalishaji iitwayo K Period Media. Filamu hiyo ilimfanya ateuliwe kuwania Tuzo ya Academy (Academy Award/Oscar) mwaka 2016.
Steward ni mjumbe wa bodi ya wadhamini ya Academy Museum of Motion Pictures.<ref>{{Rejea habari|title=Academy Museum Names New Board of Trustees|website=The Hollywood Reporter|url=https://www.hollywoodreporter.com/news/academy-museum-names-new-board-trustees-1064573|access-date=2020-08-31}}</ref>
Kimberly Steward ni binti wa mfanyabiashara bilionea David Steward, ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya teknolojia ya mifumo ya kompyuta World Wide Technology.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Watayarishaji filamu wa Marekani]]
4av4a182bhh2ea5gy1i3tmhptjhmta9
Juanita Terry Williams
0
242133
1579397
2026-07-14T14:57:18Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Juanita Terry Williams''' (alizaliwa [[3 Januari|Januari 3]], [[1925]] – [[23 Agosti|Agosti 23]], [[2000]]) alikuwa [[mwanasiasa]] na [[mfanyabiashara]] mwanamke kutoka [[Marekani]]. Williams alipata shahada yake ya kwanza (Bachelor's degree) katika elimu ya msingi kutoka Savannah State University mwaka 1957, na baadaye akapata shahada ya uzamili (Master's degree) kutoka Clark Atlanta University mwaka 1967. Akiwa Mwafrika-Mmarekani, Williams alifany...'
1579397
wikitext
text/x-wiki
'''Juanita Terry Williams''' (alizaliwa [[3 Januari|Januari 3]], [[1925]] – [[23 Agosti|Agosti 23]], [[2000]]) alikuwa [[mwanasiasa]] na [[mfanyabiashara]] mwanamke kutoka [[Marekani]].
Williams alipata shahada yake ya kwanza (Bachelor's degree) katika elimu ya msingi kutoka Savannah State University mwaka 1957, na baadaye akapata shahada ya uzamili (Master's degree) kutoka Clark Atlanta University mwaka 1967.
Akiwa Mwafrika-Mmarekani, Williams alifanya kazi kama mshauri wa biashara (business consultant). Alihudumu katika Georgia House of Representatives kuanzia mwaka 1985 hadi 1991 akiwa mwanachama wa Democratic Party.
Mume wake alikuwa Hosea Williams, ambaye pia alihudumu katika Bunge la Jimbo la Georgia. Wawili hao waliishi Atlanta, Georgia.
Juanita Terry Williams alifariki huko Atlanta kutokana na ugonjwa uitwao thrombotic thrombocytopenic purpura (TTP), aina ya ugonjwa wa upungufu wa damu unaohusiana na matatizo ya kuganda kwa damu.<ref>'Juanita Williams; One Of First Black Women In Georgia To Seek Elected Office In Georgia,' '''Los Angeles Times,''' August 27, 2000</ref><ref>'Members of the Georgia General Assembly-Senate and House of Representatives-First Session Of 1989-1990 Term, Senate Public Information Office and House Public Information Office, Atlanta, Georgia, 1989, Biographical Sketch of Juanita Terry Williams, pg. 64</ref><ref>[https://www.georgiaencyclopedia.org/articles/history-archaeology/hosea-williams-1926-2000 New Georgia Encyclopedia-Hosea Williams (1926-2000)]</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1925]]
[[Jamii:Waliofariki 2000]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
2xrm3hi7draxkyw8bbgkktx912z3q1b
1579578
1579397
2026-07-15T10:07:50Z
Riccardo Riccioni
452
1579578
wikitext
text/x-wiki
'''Juanita Terry Williams''' ([[3 Januari]] [[1925]] – [[23 Agosti]] [[2000]]) alikuwa [[mwanasiasa]] na [[mfanyabiashara]] mwanamke kutoka [[Marekani]].
Williams alipata shahada yake ya kwanza (Bachelor's degree) katika elimu ya msingi kutoka Savannah State University mwaka 1957, na baadaye akapata shahada ya uzamili (Master's degree) kutoka Clark Atlanta University mwaka 1967.
Akiwa Mwafrika-Mmarekani, Williams alifanya kazi kama mshauri wa biashara (business consultant). Alihudumu katika Georgia House of Representatives kuanzia mwaka 1985 hadi 1991 akiwa mwanachama wa Democratic Party.
Mume wake alikuwa Hosea Williams, ambaye pia alihudumu katika Bunge la Jimbo la Georgia. Wawili hao waliishi Atlanta, Georgia.
Juanita Terry Williams alifariki huko Atlanta kutokana na ugonjwa uitwao thrombotic thrombocytopenic purpura (TTP), aina ya ugonjwa wa upungufu wa damu unaohusiana na matatizo ya kuganda kwa damu.<ref>'Juanita Williams; One Of First Black Women In Georgia To Seek Elected Office In Georgia,' '''Los Angeles Times,''' August 27, 2000</ref><ref>'Members of the Georgia General Assembly-Senate and House of Representatives-First Session Of 1989-1990 Term, Senate Public Information Office and House Public Information Office, Atlanta, Georgia, 1989, Biographical Sketch of Juanita Terry Williams, pg. 64</ref><ref>[https://www.georgiaencyclopedia.org/articles/history-archaeology/hosea-williams-1926-2000 New Georgia Encyclopedia-Hosea Williams (1926-2000)]</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1925]]
[[Jamii:Waliofariki 2000]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
8us7n0h7eep8600fegresfehd51hd0z
DomiNque Perry
0
242134
1579398
2026-07-14T15:01:00Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''DomiNque Perry''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi zake za kujirudia (recurring roles) katika vipindi mbalimbali vya televisheni, ikiwemo Insecure (2016–2017), Black Jesus (2019), Bust Down (2022), na Rap Sh!t (2022–2023).<ref>{{cite web|url=https://hiphopwired.com/523837/dominque-perry-bangin-candy/|title=Insecure's Tasha the Bank Teller AKA DomiNque Perry is Sumptuous|date=December 2016}}</ref><ref>{{cite web|url=htt...'
1579398
wikitext
text/x-wiki
'''DomiNque Perry''' ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]].
Anajulikana zaidi kwa nafasi zake za kujirudia (recurring roles) katika vipindi mbalimbali vya televisheni, ikiwemo Insecure (2016–2017), Black Jesus (2019), Bust Down (2022), na Rap Sh!t (2022–2023).<ref>{{cite web|url=https://hiphopwired.com/523837/dominque-perry-bangin-candy/|title=Insecure's Tasha the Bank Teller AKA DomiNque Perry is Sumptuous|date=December 2016}}</ref><ref>{{cite web|url=https://madamenoire.com/1035744/dominque-perry-rumors-motherhood/|title=Insecure's DomiNque Perry on Motherhood, What's Next for Tasha, and Rumors "That I Was Just Out Here Thottin'"|date=10 August 2018}}</ref><ref>{{cite web|url=https://theseurbantimes.com/entmt/tv-film/dominque-perry-from-hbos-insecure-joins-peacocks-bust-down-as-guest-star/|archive-url=https://web.archive.org/web/20240214230747/https://theseurbantimes.com/entmt/tv-film/dominque-perry-from-hbos-insecure-joins-peacocks-bust-down-as-guest-star/|url-status=usurped|archive-date=February 14, 2024|title=DomiNque Perry from HBO's INSECURE Joins Peacock's BUST DOWN as Guest Star – These Urban Times|date=8 February 2022}}</ref><ref>{{cite web|url=https://defpen.com/dominque-perry-joins-rap-shit-cast/|title=DomiNque Perry, Brittany Jefferson to Join Cast of Issa Rae's 'Rap Sh*t'|date=22 January 2022}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist|2}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
dmmafm30kxflo7aetk8hpim520y0ct6
Mona Kosar Abdi
0
242135
1579400
2026-07-14T15:04:38Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mona Kosar Abdi''' (alizaliwa [[13 Mei|Mei 13]], [[1991]]) ni [[mwandishi]] wa habari wa [[Marekani]] anayefanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari (multimedia journalist). Alihitimu kutoka University of California, San Diego, ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika masomo ya kimataifa (International Studies), sayansi ya siasa (Political Science) na mawasiliano (Communications).<ref>{{cite news|title=Mona Kosar Abdi Leaving World News Now an...'
1579400
wikitext
text/x-wiki
'''Mona Kosar Abdi''' (alizaliwa [[13 Mei|Mei 13]], [[1991]]) ni [[mwandishi]] wa habari wa [[Marekani]] anayefanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari (multimedia journalist).
Alihitimu kutoka University of California, San Diego, ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika masomo ya kimataifa (International Studies), sayansi ya siasa (Political Science) na mawasiliano (Communications).<ref>{{cite news|title=Mona Kosar Abdi Leaving World News Now and America This Morning to Become ABC News Correspondent|url=https://www.adweek.com/tvnewser/mona-kosar-abdi-leaving-world-news-now-and-america-this-morning-to-become-abc-news-correspondent/|work=[[Adweek]]|date=23 August 2022}}</ref>
Mwezi Januari 2019, Mona alijiunga na ABC News, na mwaka 2020 akawa mtangazaji wa kipindi cha habari World News Now.<ref>{{cite news|title=How Muslim models, designers navigate the complexity of hijabs in fashion|url=https://abcnews.go.com/US/muslim-models-designers-navigate-complexity-hijabs-fashion/story?id=98870948|work=[[ABC News (United States)|ABC News]]|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1991]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
gdamy2ub8zl9cyn99kkvlhqpq1rvu2x
1579579
1579400
2026-07-15T10:08:30Z
Riccardo Riccioni
452
1579579
wikitext
text/x-wiki
'''Mona Kosar Abdi''' (alizaliwa [[13 Mei]] [[1991]]) ni [[mwandishi wa habari]] wa [[Marekani]] anayefanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari (multimedia journalist).
Alihitimu kutoka University of California, San Diego, ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika masomo ya kimataifa (International Studies), sayansi ya siasa (Political Science) na mawasiliano (Communications).<ref>{{cite news|title=Mona Kosar Abdi Leaving World News Now and America This Morning to Become ABC News Correspondent|url=https://www.adweek.com/tvnewser/mona-kosar-abdi-leaving-world-news-now-and-america-this-morning-to-become-abc-news-correspondent/|work=[[Adweek]]|date=23 August 2022}}</ref>
Mwezi Januari 2019, Mona alijiunga na ABC News, na mwaka 2020 akawa mtangazaji wa kipindi cha habari World News Now.<ref>{{cite news|title=How Muslim models, designers navigate the complexity of hijabs in fashion|url=https://abcnews.go.com/US/muslim-models-designers-navigate-complexity-hijabs-fashion/story?id=98870948|work=[[ABC News (United States)|ABC News]]|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1991]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
jp8m0qfjicrgoj66hqbpfkq1qw6fctq
Tania Evans
0
242136
1579401
2026-07-14T15:12:46Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tania Evans''' (alizaliwa [[28 Mei|Mei 28]], [[1967]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite encyclopedia|title=Evans (Tania)|url=http://www.eurokdj.com/search/eurodb.php?name=Evans_Tania|encyclopedia=The Eurodance Encyclopedia|publisher=KDJ Eurodance|accessdate=31 January 2012}}</ref> Alipata umaarufu baada ya kuwa mwimbaji mkuu (lead vocalist) wa kundi la muziki la Eurodance kutoka Ujerumani, Culture Beat, kuanzia m...'
1579401
wikitext
text/x-wiki
'''Tania Evans''' (alizaliwa [[28 Mei|Mei 28]], [[1967]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite encyclopedia|title=Evans (Tania)|url=http://www.eurokdj.com/search/eurodb.php?name=Evans_Tania|encyclopedia=The Eurodance Encyclopedia|publisher=KDJ Eurodance|accessdate=31 January 2012}}</ref>
Alipata umaarufu baada ya kuwa mwimbaji mkuu (lead vocalist) wa kundi la muziki la Eurodance kutoka Ujerumani, Culture Beat, kuanzia mwaka 1993 hadi 1997.<ref>{{cite web|url=http://p2news.com/musik/culture-beat-mit-ihrem-hammer-hit-mrvain|title=Culture Beat mit ihrem Hammer-Hit Mr.Vain|publisher=P2news.com|language=German}}</ref>
== Kazi ==
Tania Evans alianza kazi yake ya muziki kwa kutoa wimbo wake wa kwanza "Can't Let Go" mwaka 1992 kupitia lebo ya muziki ya C.T Records.
Muda mfupi baadaye, alichukua nafasi ya Lana Earl katika kundi la muziki la Eurodance la Ujerumani Culture Beat, na akapata mafanikio makubwa kupitia wimbo wao "Mr. Vain", ambapo Evans ndiye aliyekuwa akiimba sauti kuu. Wimbo huo ukawa wimbo wenye mafanikio zaidi wa Culture Beat, ukifika nafasi ya kwanza katika nchi 13 duniani.
Evans pia aliimba katika nyimbo nyingine za Culture Beat, zikiwemo "Got to Get It", "Anything", "World in Your Hands", "Inside Out", "Crying in the Rain" (ambao pia aliushirikiana kuandika), "Walk the Same Line", na "Take Me Away".<ref name="discogs">[http://www.discogs.com/artist/Tania+Evans?noanv=1 Tania Evans Discogs profile], Discogs.com</ref>
Mwaka 1997, nafasi yake katika kundi hilo ilichukuliwa na Kim Sanders.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
ctccqeode4d83uglxqwfjhgrdpqok97
1579402
1579401
2026-07-14T15:14:23Z
EdwardJacobo42
48620
1579402
wikitext
text/x-wiki
[[picha:ColognePride 2019-Sonntag-Hauptbühne-2000-Tania Evans. ft. Wyllywyll-9077.jpg|thumb|Tania Evans]]'''Tania Evans''' (alizaliwa [[28 Mei|Mei 28]], [[1967]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite encyclopedia|title=Evans (Tania)|url=http://www.eurokdj.com/search/eurodb.php?name=Evans_Tania|encyclopedia=The Eurodance Encyclopedia|publisher=KDJ Eurodance|accessdate=31 January 2012}}</ref>
Alipata umaarufu baada ya kuwa mwimbaji mkuu (lead vocalist) wa kundi la muziki la Eurodance kutoka Ujerumani, Culture Beat, kuanzia mwaka 1993 hadi 1997.<ref>{{cite web|url=http://p2news.com/musik/culture-beat-mit-ihrem-hammer-hit-mrvain|title=Culture Beat mit ihrem Hammer-Hit Mr.Vain|publisher=P2news.com|language=German}}</ref>
== Kazi ==
Tania Evans alianza kazi yake ya muziki kwa kutoa wimbo wake wa kwanza "Can't Let Go" mwaka 1992 kupitia lebo ya muziki ya C.T Records.
Muda mfupi baadaye, alichukua nafasi ya Lana Earl katika kundi la muziki la Eurodance la Ujerumani Culture Beat, na akapata mafanikio makubwa kupitia wimbo wao "Mr. Vain", ambapo Evans ndiye aliyekuwa akiimba sauti kuu. Wimbo huo ukawa wimbo wenye mafanikio zaidi wa Culture Beat, ukifika nafasi ya kwanza katika nchi 13 duniani.
Evans pia aliimba katika nyimbo nyingine za Culture Beat, zikiwemo "Got to Get It", "Anything", "World in Your Hands", "Inside Out", "Crying in the Rain" (ambao pia aliushirikiana kuandika), "Walk the Same Line", na "Take Me Away".<ref name="discogs">[http://www.discogs.com/artist/Tania+Evans?noanv=1 Tania Evans Discogs profile], Discogs.com</ref>
Mwaka 1997, nafasi yake katika kundi hilo ilichukuliwa na Kim Sanders.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
qmvm7uaia4zeh8pltcvgzkx0faofkd7
1579580
1579402
2026-07-15T10:08:58Z
Riccardo Riccioni
452
1579580
wikitext
text/x-wiki
[[picha:ColognePride 2019-Sonntag-Hauptbühne-2000-Tania Evans. ft. Wyllywyll-9077.jpg|thumb|Tania Evans]]
'''Tania Evans''' (alizaliwa [[28 Mei]] [[1967]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite encyclopedia|title=Evans (Tania)|url=http://www.eurokdj.com/search/eurodb.php?name=Evans_Tania|encyclopedia=The Eurodance Encyclopedia|publisher=KDJ Eurodance|accessdate=31 January 2012}}</ref>
Alipata umaarufu baada ya kuwa mwimbaji mkuu (lead vocalist) wa kundi la muziki la Eurodance kutoka Ujerumani, Culture Beat, kuanzia mwaka 1993 hadi 1997.<ref>{{cite web|url=http://p2news.com/musik/culture-beat-mit-ihrem-hammer-hit-mrvain|title=Culture Beat mit ihrem Hammer-Hit Mr.Vain|publisher=P2news.com|language=German}}</ref>
== Kazi ==
Tania Evans alianza kazi yake ya muziki kwa kutoa wimbo wake wa kwanza "Can't Let Go" mwaka 1992 kupitia lebo ya muziki ya C.T Records.
Muda mfupi baadaye, alichukua nafasi ya Lana Earl katika kundi la muziki la Eurodance la Ujerumani Culture Beat, na akapata mafanikio makubwa kupitia wimbo wao "Mr. Vain", ambapo Evans ndiye aliyekuwa akiimba sauti kuu. Wimbo huo ukawa wimbo wenye mafanikio zaidi wa Culture Beat, ukifika nafasi ya kwanza katika nchi 13 duniani.
Evans pia aliimba katika nyimbo nyingine za Culture Beat, zikiwemo "Got to Get It", "Anything", "World in Your Hands", "Inside Out", "Crying in the Rain" (ambao pia aliushirikiana kuandika), "Walk the Same Line", na "Take Me Away".<ref name="discogs">[http://www.discogs.com/artist/Tania+Evans?noanv=1 Tania Evans Discogs profile], Discogs.com</ref>
Mwaka 1997, nafasi yake katika kundi hilo ilichukuliwa na Kim Sanders.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki-Ulaya}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
nluveabyany0c4ugx2is5qamqz3oumy
Dystin Johnson
0
242137
1579403
2026-07-14T15:18:23Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dystin Johnson''' ni [[mwigizaji]] na [[mwandishi]] wa skrini kutoka [[Uingereza]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Norma Starkey katika tamthilia ya vichekesho na drama ya Channel 4 iitwayo Shameless. Alionekana katika nafasi ya kujirudia kwenye misimu ya kwanza na ya tatu, kisha akawa sehemu ya waigizaji wakuu katika misimu ya nne hadi ya sita. Baada ya kuanza kazi yake ya uigizaji katika kipindi cha Harry mwaka 1993, Johnson alipata nafasi...'
1579403
wikitext
text/x-wiki
'''Dystin Johnson''' ni [[mwigizaji]] na [[mwandishi]] wa skrini kutoka [[Uingereza]].
Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Norma Starkey katika tamthilia ya vichekesho na drama ya Channel 4 iitwayo Shameless. Alionekana katika nafasi ya kujirudia kwenye misimu ya kwanza na ya tatu, kisha akawa sehemu ya waigizaji wakuu katika misimu ya nne hadi ya sita.
Baada ya kuanza kazi yake ya uigizaji katika kipindi cha Harry mwaka 1993, Johnson alipata nafasi kuu ya Rossetti Wordsworth katika misimu ya pili hadi ya nne ya kipindi cha watoto cha CBeebies kinachoitwa The Story Makers kuanzia mwaka 2002 hadi 2004.<ref>{{cite web|title=Dystin Johnson|url=http://www.thebritishblacklist.com/thebritishblacklist/dystin-johnson/|website=The British Blacklist|accessdate=20 September 2015|archive-date=5 March 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160305121048/http://www.thebritishblacklist.com/thebritishblacklist/dystin-johnson/|url-status=dead}}</ref>
Pia ameonekana katika vipindi vingine vya televisheni kama Prime Suspect: The Final Act, EastEnders, The Bill na Holby City. Mwaka 2006, alionekana kama yeye mwenyewe katika makala ya BBC Four iitwayo Paul Merton's Silent Clowns.
Mnamo Agosti 2011, Johnson alifanya mwonekano mfupi katika tamthilia ya Coronation Street. Kuanzia mwaka 2012 hadi 2015, aliigiza nafasi ya Mrs. Carter katika kipindi cha watoto cha CBBC kiitwacho 4 O'Clock Club. Mwaka 2022, alionekana kama mhusika Vicki katika sitcom ya kejeli (mockumentary) ya Netflix iitwayo Hard Cell.
Mbali na uigizaji, Johnson pia ni mwandishi wa vipindi vya televisheni. Aliandika vipindi viwili vya drama ya watoto ya CBBC Tracy Beaker Returns na aliandika vipindi vitano vya mfululizo wa CBeebies Get Well Soon pamoja na aliyekuwa mtangazaji wa CBeebies Nicole Davis.
Kufikia mwaka 2022, Johnson alikuwa akiendelea na masomo yake katika University for the Creative Arts. Kazi zake za sanaa zimejikita zaidi katika mitindo ya Abstract Expressionism na Geometric Art.
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanawake wa Uingereza]]
iqy8wblyjpbvo7mpqg1c8wbkwpz0o3m
Ernestine Johnson Morrison
0
242138
1579405
2026-07-14T15:22:43Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ernestine Johnson Morrison''' ni [[mwigizaji]], mtayarishaji wa filamu na mshairi kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Viral Poet Ernestine Johnson Met The Love Of Her Life By Simply Walking In Her Purpose - xoNecole|url=https://www.xonecole.com/viral-poet-ernestine-johnson-met-the-love-of-her-life-by-simply-walking-in-her-purpose/|work=www.xonecole.com|accessdate=2026-07-14|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wanawake wa Marekani]] Jamii:...'
1579405
wikitext
text/x-wiki
'''Ernestine Johnson Morrison''' ni [[mwigizaji]], mtayarishaji wa filamu na mshairi kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Viral Poet Ernestine Johnson Met The Love Of Her Life By Simply Walking In Her Purpose - xoNecole|url=https://www.xonecole.com/viral-poet-ernestine-johnson-met-the-love-of-her-life-by-simply-walking-in-her-purpose/|work=www.xonecole.com|accessdate=2026-07-14|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
4x2nwz59meu88v7zo4m1i79sqgay02z
1579406
1579405
2026-07-14T15:23:09Z
EdwardJacobo42
48620
1579406
wikitext
text/x-wiki
'''Ernestine Johnson Morrison''' ni [[mwigizaji]], mtayarishaji wa filamu na mshairi kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Viral Poet Ernestine Johnson Met The Love Of Her Life By Simply Walking In Her Purpose - xoNecole|url=https://www.xonecole.com/viral-poet-ernestine-johnson-met-the-love-of-her-life-by-simply-walking-in-her-purpose/|work=www.xonecole.com|accessdate=2026-07-14|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
<references />
{{Mbegu-igiza-filamu}}
s7t5espkq4w8jbzh94hxghmxhp9m1ea
1579432
1579406
2026-07-14T20:05:24Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579432
wikitext
text/x-wiki
'''Ernestine Johnson Morrison''' ni [[mwigizaji]], mtayarishaji wa filamu na mshairi kutoka [[Marekani]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Viral Poet Ernestine Johnson Met The Love Of Her Life By Simply Walking In Her Purpose - xoNecole|url=https://www.xonecole.com/viral-poet-ernestine-johnson-met-the-love-of-her-life-by-simply-walking-in-her-purpose/|work=www.xonecole.com|accessdate=2026-07-14|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
<references />
{{Mbegu-igiza-filamu}}
b610x8z3h3btgzkwvt86vsie4safyh5
Gwen Farrell
0
242139
1579407
2026-07-14T15:28:46Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gwendolyn Yancey Farrell''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[1932]] – [[30 Aprili|Aprili 30]], [[2026]]) alikuwa mwigizaji wa [[Marekani]] na mwamuzi wa mchezo wa ngumi (boxing referee). Alijulikana kwa kazi zake katika kipindi maarufu cha televisheni M*A*S*H na filamu Billy Jack Goes to Washington.<ref>{{Cite web|title=Gwen Farrell Adair Obituary (1932 - 2026) - Legacy Remembers|url=https://www.legacy.com/us/obituaries/legacyremembers/gwen-fa...'
1579407
wikitext
text/x-wiki
'''Gwendolyn Yancey Farrell''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[1932]] – [[30 Aprili|Aprili 30]], [[2026]]) alikuwa mwigizaji wa [[Marekani]] na mwamuzi wa mchezo wa ngumi (boxing referee).
Alijulikana kwa kazi zake katika kipindi maarufu cha televisheni M*A*S*H na filamu Billy Jack Goes to Washington.<ref>{{Cite web|title=Gwen Farrell Adair Obituary (1932 - 2026) - Legacy Remembers|url=https://www.legacy.com/us/obituaries/legacyremembers/gwen-farrell-adair-obituary?id=61391684|access-date=2026-05-06|website=Legacy.com}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Gwendolyn Yancey Farrell aliigiza nafasi mbalimbali za wauguzi ('''nurses''') katika mfululizo wa televisheni M*A*S*H, akiwa na nafasi ya kujirudia katika vipindi 26, ikiwemo kipindi cha mwisho cha mfululizo huo.<ref name=":0">{{Cite web|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell, ‘M*A*S*H*’ actress, breathes her last at 93|url=https://www.hungamaexpress.com/news/45837-gwen-farrell-mash-actress-breathes-her-last-at-93|access-date=2026-05-02|website=Hungama Express|language=en}}</ref>
Mbali na uigizaji, Farrell aliweka historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kupata leseni rasmi ya kuwa mwamuzi wa mchezo wa ngumi (licensed woman boxing referee). Pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza kusimamia pambano la kuwania taji la dunia la ngumi (World title fight).
Pia alionekana katika filamu nyingi, zikiwemo Coffy, Earthquake, Billy Jack Goes to Washington, Black Gunn, na Soylent Green.
Farrell alifariki huko Sherman Oaks, Los Angeles, California, tarehe Aprili 30, 2026, akiwa na umri wa miaka 93. Aliacha mume wake, Frank Adair, na mtoto wake Keith Farrell, ambaye ndiye aliyetoa taarifa ya kifo chake. Baadaye ukurasa wa GoFundMe uliundwa kwa ajili ya kukusanya michango ya kugharamia mazishi yake.<ref>{{Cite web|last=|first=|date=2026-05-01|title='M*A*S*H' Actress Gwen Farrell Adair Dead at 94|url=https://www.tmz.com/2026/05/01/mash-actress-gwen-farrell-dead-at-93/|access-date=2026-05-02|website=TMZ|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|last=Garner|first=Glenn|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell Adair Dies: 'M*A*S*H' Actress Was 94|url=https://deadline.com/2026/05/gwen-farrell-adair-dies-94-1236878860/|access-date=2026-05-02|website=Deadline|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
977tsa99k2bbh5g9ucnhxwi6ukc597l
1579426
1579407
2026-07-14T17:47:32Z
Emmy05
90536
1579426
wikitext
text/x-wiki
'''Gwendolyn Yancey Farrell''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[1932]] – [[30 Aprili|Aprili 30]], [[2026]]) alikuwa mwigizaji wa [[Marekani]] na mwamuzi wa mchezo wa ngumi (boxing referee).
Alijulikana kwa kazi zake katika kipindi maarufu cha televisheni M*A*S*H na filamu Billy Jack Goes to Washington.<ref>{{Cite web|title=Gwen Farrell Adair Obituary (1932 - 2026) - Legacy Remembers|url=https://www.legacy.com/us/obituaries/legacyremembers/gwen-farrell-adair-obituary?id=61391684|access-date=2026-05-06|website=Legacy.com}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Gwendolyn Yancey Farrell aliigiza nafasi mbalimbali za wauguzi ('''nurses''') katika mfululizo wa televisheni M*A*S*H, akiwa na nafasi ya kujirudia katika vipindi 26, ikiwemo kipindi cha mwisho cha mfululizo huo.<ref name=":0">{{Cite web|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell, ‘M*A*S*H*’ actress, breathes her last at 93|url=https://www.hungamaexpress.com/news/45837-gwen-farrell-mash-actress-breathes-her-last-at-93|access-date=2026-05-02|website=Hungama Express|language=en}}</ref>
Mbali na uigizaji, Farrell aliweka historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kupata leseni rasmi ya kuwa mwamuzi wa mchezo wa [[ngumi]] (licensed woman boxing referee). Pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza kusimamia pambano la kuwania taji la dunia la ngumi (World title fight).
Pia alionekana katika filamu nyingi, zikiwemo Coffy[[Earthquake|, Earthquake]], Billy Jack Goes to Washington, Black Gunn, na Soylent Green.
Farrell alifariki huko Sherman Oaks, Los Angeles, California, tarehe Aprili 30, 2026, akiwa na umri wa miaka 93. Aliacha mume wake, Frank Adair, na mtoto wake Keith Farrell, ambaye ndiye aliyetoa taarifa ya kifo chake. Baadaye ukurasa wa GoFundMe uliundwa kwa ajili ya kukusanya michango ya kugharamia mazishi yake.<ref>{{Cite web|last=|first=|date=2026-05-01|title='M*A*S*H' Actress Gwen Farrell Adair Dead at 94|url=https://www.tmz.com/2026/05/01/mash-actress-gwen-farrell-dead-at-93/|access-date=2026-05-02|website=TMZ|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|last=Garner|first=Glenn|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell Adair Dies: 'M*A*S*H' Actress Was 94|url=https://deadline.com/2026/05/gwen-farrell-adair-dies-94-1236878860/|access-date=2026-05-02|website=Deadline|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
26gqc3hfs2vsaz2o4zg56wd2lu5zy3p
1579434
1579426
2026-07-14T20:33:35Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced.
1579434
wikitext
text/x-wiki
'''Gwendolyn Yancey Farrell''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[1932]] – [[30 Aprili|Aprili 30]], [[2026]]) alikuwa mwigizaji wa [[Marekani]] na mwamuzi wa mchezo wa ngumi (boxing referee).
Alijulikana kwa kazi zake katika kipindi maarufu cha televisheni M*A*S*H na filamu Billy Jack Goes to Washington.<ref>{{Rejea tovuti|title=Gwen Farrell Adair Obituary (1932 - 2026) - Legacy Remembers|url=https://www.legacy.com/us/obituaries/legacyremembers/gwen-farrell-adair-obituary?id=61391684|access-date=2026-05-06|website=Legacy.com}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Gwendolyn Yancey Farrell aliigiza nafasi mbalimbali za wauguzi ('''nurses''') katika mfululizo wa televisheni M*A*S*H, akiwa na nafasi ya kujirudia katika vipindi 26, ikiwemo kipindi cha mwisho cha mfululizo huo.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell, ‘M*A*S*H*’ actress, breathes her last at 93|url=https://www.hungamaexpress.com/news/45837-gwen-farrell-mash-actress-breathes-her-last-at-93|access-date=2026-05-02|website=Hungama Express|language=en}}</ref>
Mbali na uigizaji, Farrell aliweka historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kupata leseni rasmi ya kuwa mwamuzi wa mchezo wa [[ngumi]] (licensed woman boxing referee). Pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza kusimamia pambano la kuwania taji la dunia la ngumi (World title fight).
Pia alionekana katika filamu nyingi, zikiwemo Coffy[[Earthquake|, Earthquake]], Billy Jack Goes to Washington, Black Gunn, na Soylent Green.
Farrell alifariki huko Sherman Oaks, Los Angeles, California, tarehe Aprili 30, 2026, akiwa na umri wa miaka 93. Aliacha mume wake, Frank Adair, na mtoto wake Keith Farrell, ambaye ndiye aliyetoa taarifa ya kifo chake. Baadaye ukurasa wa GoFundMe uliundwa kwa ajili ya kukusanya michango ya kugharamia mazishi yake.<ref>{{Rejea tovuti|last=|first=|date=2026-05-01|title='M*A*S*H' Actress Gwen Farrell Adair Dead at 94|url=https://www.tmz.com/2026/05/01/mash-actress-gwen-farrell-dead-at-93/|access-date=2026-05-02|website=TMZ|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Garner|first=Glenn|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell Adair Dies: 'M*A*S*H' Actress Was 94|url=https://deadline.com/2026/05/gwen-farrell-adair-dies-94-1236878860/|access-date=2026-05-02|website=Deadline|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
eio1bmf88qp6xs8v4cuwhu44k2vubp6
1579581
1579434
2026-07-15T10:10:14Z
Riccardo Riccioni
452
1579581
wikitext
text/x-wiki
'''Gwendolyn Yancey Farrell''' ([[29 Novemba]] [[1932]] – [[30 Aprili]] [[2026]]) alikuwa mwigizaji na mwamuzi wa mchezo wa ngumi wa [[Marekani]].
Alijulikana kwa kazi zake katika kipindi maarufu cha televisheni M*A*S*H na filamu Billy Jack Goes to Washington.<ref>{{Rejea tovuti|title=Gwen Farrell Adair Obituary (1932 - 2026) - Legacy Remembers|url=https://www.legacy.com/us/obituaries/legacyremembers/gwen-farrell-adair-obituary?id=61391684|access-date=2026-05-06|website=Legacy.com}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Gwendolyn Yancey Farrell aliigiza nafasi mbalimbali za wauguzi ('''nurses''') katika mfululizo wa televisheni M*A*S*H, akiwa na nafasi ya kujirudia katika vipindi 26, ikiwemo kipindi cha mwisho cha mfululizo huo.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell, ‘M*A*S*H*’ actress, breathes her last at 93|url=https://www.hungamaexpress.com/news/45837-gwen-farrell-mash-actress-breathes-her-last-at-93|access-date=2026-05-02|website=Hungama Express|language=en}}</ref>
Mbali na uigizaji, Farrell aliweka historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kupata leseni rasmi ya kuwa mwamuzi wa mchezo wa [[ngumi]] (licensed woman boxing referee). Pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza kusimamia pambano la kuwania taji la dunia la ngumi (World title fight).
Pia alionekana katika filamu nyingi, zikiwemo Coffy[[Earthquake|, Earthquake]], Billy Jack Goes to Washington, Black Gunn, na Soylent Green.
Farrell alifariki huko Sherman Oaks, Los Angeles, California, tarehe Aprili 30, 2026, akiwa na umri wa miaka 93. Aliacha mume wake, Frank Adair, na mtoto wake Keith Farrell, ambaye ndiye aliyetoa taarifa ya kifo chake. Baadaye ukurasa wa GoFundMe uliundwa kwa ajili ya kukusanya michango ya kugharamia mazishi yake.<ref>{{Rejea tovuti|last=|first=|date=2026-05-01|title='M*A*S*H' Actress Gwen Farrell Adair Dead at 94|url=https://www.tmz.com/2026/05/01/mash-actress-gwen-farrell-dead-at-93/|access-date=2026-05-02|website=TMZ|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Garner|first=Glenn|date=2026-05-02|title=Gwen Farrell Adair Dies: 'M*A*S*H' Actress Was 94|url=https://deadline.com/2026/05/gwen-farrell-adair-dies-94-1236878860/|access-date=2026-05-02|website=Deadline|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
d3vu5h2sxjii1g9n8jfihfu2os3zcwm
Dorothy Williams (muuaji mfululizo)
0
242140
1579408
2026-07-14T15:29:55Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dorothy Williams''' ([[12 Desemba]] [[1954]] – [[19 Desemba]] [[2020]]) alikuwa mhalifu kutoka nchini [[Marekani]] aliyepatikana na hatia ya kuwaua wazee watatu wakati wa matukio ya wizi katika jimbo la [[Illinois]] kati ya mwaka [[1987]] na [[1990]]. Kwa mujibu wa rekodi za kesi, Williams alikuwa mraibu wa [[heroini]] na alitumia fedha alizopora kununua dawa hizo za kulevya. Mbali na mauaji hayo, alihusishwa pia na wizi dhidi ya wazee wengine watano....'
1579408
wikitext
text/x-wiki
'''Dorothy Williams''' ([[12 Desemba]] [[1954]] – [[19 Desemba]] [[2020]]) alikuwa mhalifu kutoka nchini [[Marekani]] aliyepatikana na hatia ya kuwaua wazee watatu wakati wa matukio ya wizi katika jimbo la [[Illinois]] kati ya mwaka [[1987]] na [[1990]]. Kwa mujibu wa rekodi za kesi, Williams alikuwa mraibu wa [[heroini]] na alitumia fedha alizopora kununua dawa hizo za kulevya. Mbali na mauaji hayo, alihusishwa pia na wizi dhidi ya wazee wengine watano.
Mwanzoni alihukumiwa adhabu ya kifo, lakini mwaka [[2003]] hukumu hiyo ilibadilishwa kuwa kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa huru. Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya Gavana wa jimbo la Illinois, George Ryan, kubadilisha hukumu za wafungwa wote waliokuwa wakisubiri kunyongwa kutokana na wasiwasi kuhusu matumizi ya adhabu ya kifo katika jimbo hilo.
Dorothy Williams alifariki akiwa gerezani tarehe 19 Desemba 2020, akiwa na umri wa miaka 66.
Miongoni mwa wahanga wa Dorothy Williams walikua ni pamoja na Lonnie Laws (miaka 79), Caesar Zuell (miaka 64) na Mary Harris (miaka 97), ambao waliuawa katika matukio tofauti yaliyotokea kati ya mwaka 1987 na [[1989]].<ref>{{Cite web|title=People v. Williams|url=https://law.justia.com/cases/illinois/supreme-court/1994/71994-7.html|access-date=2025-04-23|website=Justia Law|language=en}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1954]]
[[Jamii: Waliofariki 2020]]
pd1xhlvsdty9idysgwk1h4qsvjwghiv
1579430
1579408
2026-07-14T19:50:05Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579430
wikitext
text/x-wiki
'''Dorothy Williams''' ([[12 Desemba]] [[1954]] – [[19 Desemba]] [[2020]]) alikuwa mhalifu kutoka nchini [[Marekani]] aliyepatikana na hatia ya kuwaua wazee watatu wakati wa matukio ya wizi katika jimbo la [[Illinois]] kati ya mwaka [[1987]] na [[1990]]. Kwa mujibu wa rekodi za kesi, Williams alikuwa mraibu wa [[heroini]] na alitumia fedha alizopora kununua dawa hizo za kulevya. Mbali na mauaji hayo, alihusishwa pia na wizi dhidi ya wazee wengine watano.
Mwanzoni alihukumiwa adhabu ya kifo, lakini mwaka [[2003]] hukumu hiyo ilibadilishwa kuwa kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa huru. Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya Gavana wa jimbo la Illinois, George Ryan, kubadilisha hukumu za wafungwa wote waliokuwa wakisubiri kunyongwa kutokana na wasiwasi kuhusu matumizi ya adhabu ya kifo katika jimbo hilo.
Dorothy Williams alifariki akiwa gerezani tarehe 19 Desemba 2020, akiwa na umri wa miaka 66.
Miongoni mwa wahanga wa Dorothy Williams walikua ni pamoja na Lonnie Laws (miaka 79), Caesar Zuell (miaka 64) na Mary Harris (miaka 97), ambao waliuawa katika matukio tofauti yaliyotokea kati ya mwaka 1987 na [[1989]].<ref>{{Rejea tovuti|title=People v. Williams|url=https://law.justia.com/cases/illinois/supreme-court/1994/71994-7.html|access-date=2025-04-23|website=Justia Law|language=en}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1954]]
[[Jamii: Waliofariki 2020]]
kia2qrbyvhflx8utx2xh1pvxfn4itf1
1579583
1579430
2026-07-15T10:10:49Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tanbihi */
1579583
wikitext
text/x-wiki
'''Dorothy Williams''' ([[12 Desemba]] [[1954]] – [[19 Desemba]] [[2020]]) alikuwa mhalifu kutoka nchini [[Marekani]] aliyepatikana na hatia ya kuwaua wazee watatu wakati wa matukio ya wizi katika jimbo la [[Illinois]] kati ya mwaka [[1987]] na [[1990]]. Kwa mujibu wa rekodi za kesi, Williams alikuwa mraibu wa [[heroini]] na alitumia fedha alizopora kununua dawa hizo za kulevya. Mbali na mauaji hayo, alihusishwa pia na wizi dhidi ya wazee wengine watano.
Mwanzoni alihukumiwa adhabu ya kifo, lakini mwaka [[2003]] hukumu hiyo ilibadilishwa kuwa kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa huru. Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya Gavana wa jimbo la Illinois, George Ryan, kubadilisha hukumu za wafungwa wote waliokuwa wakisubiri kunyongwa kutokana na wasiwasi kuhusu matumizi ya adhabu ya kifo katika jimbo hilo.
Dorothy Williams alifariki akiwa gerezani tarehe 19 Desemba 2020, akiwa na umri wa miaka 66.
Miongoni mwa wahanga wa Dorothy Williams walikua ni pamoja na Lonnie Laws (miaka 79), Caesar Zuell (miaka 64) na Mary Harris (miaka 97), ambao waliuawa katika matukio tofauti yaliyotokea kati ya mwaka 1987 na [[1989]].<ref>{{Rejea tovuti|title=People v. Williams|url=https://law.justia.com/cases/illinois/supreme-court/1994/71994-7.html|access-date=2025-04-23|website=Justia Law|language=en}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1954]]
[[Jamii: Waliofariki 2020]]
[[Jamii:wahalifu]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
dew0pg5rrf1iked27lj1n2s7t04knib
Ta'Rhonda Jones
0
242141
1579410
2026-07-14T15:36:32Z
EdwardJacobo42
48620
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ta'Rhonda Jones''' (alizaliwa [[12 Julai|Julai 12]], [[1988]]) ni mwigizaji na rapa wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi yake ya kujirudia (recurring role) kama Porsha Taylor katika mfululizo wa televisheni wa FOX uitwao Empire.<ref>{{cite web|url=http://www.hollywoodreporter.com/live-feed/empire-tarhonda-jones-porsha-interview-773280|title='Empire's' Ta'Rhonda Jones: Porsha Is Not as "Green" as Everybody Thinks|last=Turchiano|first=Danielle|w...'
1579410
wikitext
text/x-wiki
'''Ta'Rhonda Jones''' (alizaliwa [[12 Julai|Julai 12]], [[1988]]) ni mwigizaji na rapa wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi yake ya kujirudia (recurring role) kama Porsha Taylor katika mfululizo wa televisheni wa FOX uitwao Empire.<ref>{{cite web|url=http://www.hollywoodreporter.com/live-feed/empire-tarhonda-jones-porsha-interview-773280|title='Empire's' Ta'Rhonda Jones: Porsha Is Not as "Green" as Everybody Thinks|last=Turchiano|first=Danielle|work=[[The Hollywood Reporter]]|date=February 28, 2015|accessdate=August 3, 2015}}</ref>
Baadaye alipandishwa na kuwa sehemu ya waigizaji wakuu (main cast) katika msimu wa pili wa kipindi hicho. Katika tamthilia hiyo, Jones aliigiza nafasi ya msaidizi wa mhusika aliyechezwa na Taraji P. Henson.<ref>{{cite web|url=http://www.vulture.com/2015/03/empires-tarhonda-jones-i-am-porsha.html|title=Empire's Ta'Rhonda Jones on Her Breakout Role, Improv-ing on Set, and Why She's was in love with Cookie So Much Like Porsha|last=Kercher|first=Sophia|work=[[Vulture.com]]|date=March 18, 2015|accessdate=July 29, 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
9fr6q2ume47oz55yqkrhkcbmk0ck2do
1579411
1579410
2026-07-14T15:44:24Z
EdwardJacobo42
48620
1579411
wikitext
text/x-wiki
[[picha: Ta'Rhonda Jones 2019 by Glenn Francis.jpg|thumb|Ta'Rhonda Jones]]'''Ta'Rhonda Jones''' (alizaliwa [[12 Julai|Julai 12]], [[1988]]) ni mwigizaji na rapa wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi yake ya kujirudia (recurring role) kama Porsha Taylor katika mfululizo wa televisheni wa FOX uitwao Empire.<ref>{{cite web|url=http://www.hollywoodreporter.com/live-feed/empire-tarhonda-jones-porsha-interview-773280|title='Empire's' Ta'Rhonda Jones: Porsha Is Not as "Green" as Everybody Thinks|last=Turchiano|first=Danielle|work=[[The Hollywood Reporter]]|date=February 28, 2015|accessdate=August 3, 2015}}</ref>
Baadaye alipandishwa na kuwa sehemu ya waigizaji wakuu (main cast) katika msimu wa pili wa kipindi hicho. Katika tamthilia hiyo, Jones aliigiza nafasi ya msaidizi wa mhusika aliyechezwa na Taraji P. Henson.<ref>{{cite web|url=http://www.vulture.com/2015/03/empires-tarhonda-jones-i-am-porsha.html|title=Empire's Ta'Rhonda Jones on Her Breakout Role, Improv-ing on Set, and Why She's was in love with Cookie So Much Like Porsha|last=Kercher|first=Sophia|work=[[Vulture.com]]|date=March 18, 2015|accessdate=July 29, 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
p3pma0wmwsmdqgf3zhi69ulcksr5i91
1579584
1579411
2026-07-15T10:11:53Z
Riccardo Riccioni
452
1579584
wikitext
text/x-wiki
[[picha: Ta'Rhonda Jones 2019 by Glenn Francis.jpg|thumb|Ta'Rhonda Jones]]
'''Ta'Rhonda Jones''' (alizaliwa [[12 Julai]] [[1988]]) ni mwigizaji na rapa wa [[Marekani]] anayejulikana zaidi kwa nafasi yake ya kujirudia (recurring role) kama Porsha Taylor katika mfululizo wa televisheni wa FOX uitwao Empire.<ref>{{cite web|url=http://www.hollywoodreporter.com/live-feed/empire-tarhonda-jones-porsha-interview-773280|title='Empire's' Ta'Rhonda Jones: Porsha Is Not as "Green" as Everybody Thinks|last=Turchiano|first=Danielle|work=[[The Hollywood Reporter]]|date=February 28, 2015|accessdate=August 3, 2015}}</ref>
Baadaye alipandishwa na kuwa sehemu ya waigizaji wakuu (main cast) katika msimu wa pili wa kipindi hicho. Katika tamthilia hiyo, Jones aliigiza nafasi ya msaidizi wa mhusika aliyechezwa na Taraji P. Henson.<ref>{{cite web|url=http://www.vulture.com/2015/03/empires-tarhonda-jones-i-am-porsha.html|title=Empire's Ta'Rhonda Jones on Her Breakout Role, Improv-ing on Set, and Why She's was in love with Cookie So Much Like Porsha|last=Kercher|first=Sophia|work=[[Vulture.com]]|date=March 18, 2015|accessdate=July 29, 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Marapa wa Marekani]]
1x8oaz6up1cldblb1rf8l23txxqwwnc
Mittie Lawrence
0
242142
1579412
2026-07-14T15:45:05Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mittie Lawrence''' (alizaliwa tarehe [[1 Septemba]] [[1941]]) ni [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[United States]]. Alijizolea umaarufu baada ya kushinda shindano la urembo la ''Miss Bronze California'' mwaka [[1959]]. Baadaye alitambulika kwa kuonekana kama '''"'''Billboard Girl'''"''' katika kipindi cha [[televisheni]] cha Steve Allen. Katika [[filamu]] ya muziki Funny Girl ya mwaka [[1968]], Lawrence aliigiza nafasi ya msaidizi binafsi na...'
1579412
wikitext
text/x-wiki
'''Mittie Lawrence''' (alizaliwa tarehe [[1 Septemba]] [[1941]]) ni [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[United States]].
Alijizolea umaarufu baada ya kushinda shindano la urembo la ''Miss Bronze California'' mwaka [[1959]]. Baadaye alitambulika kwa kuonekana kama '''"'''Billboard Girl'''"''' katika kipindi cha [[televisheni]] cha Steve Allen.
Katika [[filamu]] ya muziki Funny Girl ya mwaka [[1968]], Lawrence aliigiza nafasi ya msaidizi binafsi na msiri wa Fanny Brice. Pia alionekana katika tamthilia ya ''Night Call Nurses'' ya mwaka [[1972]].<ref>{{cite web|first=Howard|last=Morehead|title=''First For Mittie''|url=https://books.google.com/books?id=xK8DAAAAMBAJ|work=Jet Magazine|date=February 25, 1960|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref>{{cite web|first=Kim R.|last=Holston|title=''Movie Roadshows: A History and Filmography of Reserved-Seat Limited Showings''|url=https://books.google.com/books?isbn=0786460628/|publisher=McFarland|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref>{{cite web|first=Michael|last=Weldon|title=''The Psychotronic Video Guide To Film''|url=https://books.google.com/books?isbn=0312131496|publisher=MacMillan|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref name="private">{{cite magazine|url=https://www.filmink.com.au/the-nurses-cycle-part-2-private-duty-nurses-and-night-call-nurses/|first=Stephen|last=Vagg|magazine=Filmink|title=The Nurses Cycle Part 2 – Private Duty Nurses and Night Call Nurses|access-date=18 September 2025|date=18 September 2025}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
ck37xkd6djknku6ec3qouufff37h0lx
1579585
1579412
2026-07-15T10:12:44Z
Riccardo Riccioni
452
1579585
wikitext
text/x-wiki
'''Mittie Lawrence''' (alizaliwa [[1 Septemba]] [[1941]]) ni [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[Marekani]].
Alijizolea umaarufu baada ya kushinda shindano la urembo la ''Miss Bronze California'' mwaka [[1959]]. Baadaye alitambulika kwa kuonekana kama '''"'''Billboard Girl'''"''' katika kipindi cha [[televisheni]] cha Steve Allen.
Katika [[filamu]] ya muziki Funny Girl ya mwaka [[1968]], Lawrence aliigiza nafasi ya msaidizi binafsi na msiri wa Fanny Brice. Pia alionekana katika tamthilia ya ''Night Call Nurses'' ya mwaka [[1972]].<ref>{{cite web|first=Howard|last=Morehead|title=''First For Mittie''|url=https://books.google.com/books?id=xK8DAAAAMBAJ|work=Jet Magazine|date=February 25, 1960|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref>{{cite web|first=Kim R.|last=Holston|title=''Movie Roadshows: A History and Filmography of Reserved-Seat Limited Showings''|url=https://books.google.com/books?isbn=0786460628/|publisher=McFarland|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref>{{cite web|first=Michael|last=Weldon|title=''The Psychotronic Video Guide To Film''|url=https://books.google.com/books?isbn=0312131496|publisher=MacMillan|accessdate=July 19, 2016}}</ref><ref name="private">{{cite magazine|url=https://www.filmink.com.au/the-nurses-cycle-part-2-private-duty-nurses-and-night-call-nurses/|first=Stephen|last=Vagg|magazine=Filmink|title=The Nurses Cycle Part 2 – Private Duty Nurses and Night Call Nurses|access-date=18 September 2025|date=18 September 2025}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
tag17weeer09ivfnnwkrpznuc8e5k3d
Debra Byrd
0
242143
1579413
2026-07-14T15:50:19Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Debra Byrd''' ([[19 Julai]] [[1951]] – [[5 Machi]] [[2024]]) alikuwa [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]] aliyefanya kazi na [[Bob Dylan]] na pia alikuwa sehemu ya kundi la waimbaji wasaidizi wa Barry Manilow kati ya mwaka [[1974]] na [[1979]]. Aidha, aliwahi kutumbuiza kwenye maonyesho ya [[Broadway]]. Baadaye, Byrd alijulikana zaidi kama kocha wa sauti katika vipindi vya American Idol na Canadian Idol, ambapo pia aliwasaidia washiriki kwa kuimba sauti...'
1579413
wikitext
text/x-wiki
'''Debra Byrd''' ([[19 Julai]] [[1951]] – [[5 Machi]] [[2024]]) alikuwa [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]] aliyefanya kazi na [[Bob Dylan]] na pia alikuwa sehemu ya kundi la waimbaji wasaidizi wa Barry Manilow kati ya mwaka [[1974]] na [[1979]]. Aidha, aliwahi kutumbuiza kwenye maonyesho ya [[Broadway]].
Baadaye, Byrd alijulikana zaidi kama kocha wa sauti katika vipindi vya American Idol na Canadian Idol, ambapo pia aliwasaidia washiriki kwa kuimba sauti za usaidizi. Vilevile, alihusika kama kocha wa sauti katika mfululizo wa televisheni wa Hub, Majors and Minors.
Katika kipindi cha baadaye cha maisha yake, alifanya kazi kama kocha wa sauti kwa misimu kumi ya American Idol, pamoja na kipindi cha American Juniors, na kwa misimu yote sita ya Canadian Idol. Mwishoni mwa mwaka [[2006]], alishiriki kama mmoja wa majaji wa Military Idol, shindano la uimbaji lililowashirikisha wanajeshi wa [[Jeshi la Marekani]].
Debra Byrd alifariki dunia tarehe 5 Machi 2024 akiwa na umri wa miaka 72.<ref>{{cite web|last1=Haring|first1=Bruce|title=Debra Byrd Dies: 'American Idol' And 'The Voice' Vocal Coach Was 72|url=https://deadline.com/2024/03/debra-byrd-dead-american-idol-the-voice-vocal-coach-was-72-obituary-1235848285/|publisher=[[Deadline Hollywood]]|access-date=March 6, 2024|date=March 6, 2024}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii: Waliofariki 2024]]
[[Jamii: Waimbaji wa Marekani]]
epziepu3xo3iyyr4xzbpuxhflfw9it7
Carolyn Hugley
0
242144
1579414
2026-07-14T15:55:04Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Carolyn Fleming Hugley''' (alizaliwa tarehe [[2 Mei]] [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] kutoka [[Marekani]] na mwanachama wa [[Chama cha Democrat|Chama cha Democratic]]. Tangu mwaka [[1992]], amekuwa akiwakilisha maeneo ya [[Columbus]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Georgia]]. Tangu mwaka [[2025]], Hugley amehudumu kama Kiongozi wa Wachache katika Baraza la Wawakilishi la Georgia. Kabla ya hapo, alikuwa Kiranja wa Chama cha Democratic cha Wachache kuanzia...'
1579414
wikitext
text/x-wiki
'''Carolyn Fleming Hugley''' (alizaliwa tarehe [[2 Mei]] [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] kutoka [[Marekani]] na mwanachama wa [[Chama cha Democrat|Chama cha Democratic]]. Tangu mwaka [[1992]], amekuwa akiwakilisha maeneo ya [[Columbus]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Georgia]].
Tangu mwaka [[2025]], Hugley amehudumu kama Kiongozi wa Wachache katika Baraza la Wawakilishi la Georgia. Kabla ya hapo, alikuwa Kiranja wa Chama cha Democratic cha Wachache kuanzia mwaka [[2003]] hadi [[2018]].<ref>{{Cite web|title=Carolyn Hugley|url=https://ballotpedia.org/Carolyn_Hugley|access-date=2025-12-04|website=Ballotpedia|language=en}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Hugley ni wakala wa bima. Ameolewa na Isaiah Hugley, ambaye amehudumu kama Meneja wa Jiji la Columbus tangu 2005. Wana watoto wawili, Kimberly na Isaiah, Jr.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Marekani]]
ac06mw263jvgo5rsr2o9184hypp31q5
1579586
1579414
2026-07-15T10:13:56Z
Riccardo Riccioni
452
1579586
wikitext
text/x-wiki
'''Carolyn Fleming Hugley''' (alizaliwa [[2 Mei]] [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] kutoka [[Marekani]] na mwanachama wa [[Chama cha Democrat]]. Tangu mwaka [[1992]], amekuwa akiwakilisha maeneo ya [[Columbus]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Georgia]].
Tangu mwaka [[2025]], Hugley amehudumu kama Kiongozi wa Wachache katika Baraza la Wawakilishi la Georgia. Kabla ya hapo, alikuwa Kiranja wa Chama cha Democratic cha Wachache kuanzia mwaka [[2003]] hadi [[2018]].<ref>{{Cite web|title=Carolyn Hugley|url=https://ballotpedia.org/Carolyn_Hugley|access-date=2025-12-04|website=Ballotpedia|language=en}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Hugley ni wakala wa bima. Ameolewa na Isaiah Hugley, ambaye amehudumu kama Meneja wa Jiji la Columbus tangu 2005. Wana watoto wawili, Kimberly na Isaiah, Jr.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Marekani]]
2q9qqdexukn99l9fi4rvbyod5a23dnh
Shawn Christopher
0
242145
1579415
2026-07-14T16:03:26Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Shawn Christopher''' ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa nyumbani kutoka [[Chicago]], [[Illinois]]. == Kazi == Alikuwa mwimbaji msaidizi katika ziara za mwimbaji wa [[R&B]] Chaka Khan kuanzia mwaka [[1982]] hadi [[1985]]. Pia alikuwa mwanachama wa bendi ya muziki wa densi ya viwandani ''My Life with the Thrill Kill Kult'' na aliwahi kuimba na kundi la Sonia Dada. Pia ni dada wa mwimbaji wa R&B, mpiga kinanda na mtayarishaji Gavin Christopher. Mwaka 198...'
1579415
wikitext
text/x-wiki
'''Shawn Christopher''' ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa nyumbani kutoka [[Chicago]], [[Illinois]].
== Kazi ==
Alikuwa mwimbaji msaidizi katika ziara za mwimbaji wa [[R&B]] Chaka Khan kuanzia mwaka [[1982]] hadi [[1985]]. Pia alikuwa mwanachama wa bendi ya muziki wa densi ya viwandani ''My Life with the Thrill Kill Kult'' na aliwahi kuimba na kundi la Sonia Dada. Pia ni dada wa mwimbaji wa R&B, mpiga kinanda na mtayarishaji Gavin Christopher.
Mwaka [[1989]], aliimba sauti kuu kwenye wimbo wa DJ na mtayarishaji Lil Louis uitwao "French Kiss". Wimbo huo ulifanikiwa kuwa namba moja kwenye chati ya ''Billboard Hot Dance Club Play'' mwaka huo.
Katika miaka ya [[1990]], Shawn Christopher alipata mafanikio makubwa akiwa msanii binafsi, akitoa nyimbo tatu zilizofika nafasi ya kwanza kwenye chati ya ''Hot Dance Club Play''. Nyimbo hizo ni ''"Another Sleepless Night"'' ([[1991]]), ambayo pia ilifika nafasi ya 67 kwenye chati ya Billboard Hot 100 na nafasi ya 50 kwenye chati ya Uingereza; "Don't Lose the Magic'''"''' ([[1992]]), iliyofika nafasi ya 71 kwenye [[Billboard Hot 100]] na nafasi ya 30 nchini [[Uingereza]]; pamoja na "Sweet Freedom" ([[1998]]).
Pia alishiriki kuimba sauti za nyuma kwenye wimbo wa Jimmy Somerville wa mwaka [[1995]] uitwao "Heartbeat", ambao ulifika nafasi ya kwanza kwenye chati ya ''Hot Dance Club Play''.
Mwanzoni mwa miaka ya 1990, alirekodi pia wimbo ''"Thinking About the Way",'' ambao ulifika nafasi ya 57 nchini Uingereza mwaka 1994 pamoja na wimbo ''"Make My Love".''<ref name="British Hit Singles & Albums">{{cite book|title=British Hit Singles & Albums|last=Roberts|first=David|publisher=Guinness World Records Limited|year=2006|isbn=1-904994-10-5|edition=19th|location=London|page=106}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
ciu34wd4n2nqv2j1s8xygxga5z0yahi
1579587
1579415
2026-07-15T10:14:25Z
Riccardo Riccioni
452
1579587
wikitext
text/x-wiki
'''Shawn Christopher''' ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa nyumbani kutoka [[Chicago]], [[Illinois]].
== Kazi ==
Alikuwa mwimbaji msaidizi katika ziara za mwimbaji wa [[R&B]] Chaka Khan kuanzia mwaka [[1982]] hadi [[1985]]. Pia alikuwa mwanachama wa bendi ya muziki wa densi ya viwandani ''My Life with the Thrill Kill Kult'' na aliwahi kuimba na kundi la Sonia Dada. Pia ni dada wa mwimbaji wa R&B, mpiga kinanda na mtayarishaji Gavin Christopher.
Mwaka [[1989]], aliimba sauti kuu kwenye wimbo wa DJ na mtayarishaji Lil Louis uitwao "French Kiss". Wimbo huo ulifanikiwa kuwa namba moja kwenye chati ya ''Billboard Hot Dance Club Play'' mwaka huo.
Katika miaka ya [[1990]], Shawn Christopher alipata mafanikio makubwa akiwa msanii binafsi, akitoa nyimbo tatu zilizofika nafasi ya kwanza kwenye chati ya ''Hot Dance Club Play''. Nyimbo hizo ni ''"Another Sleepless Night"'' ([[1991]]), ambayo pia ilifika nafasi ya 67 kwenye chati ya Billboard Hot 100 na nafasi ya 50 kwenye chati ya Uingereza; "Don't Lose the Magic'''"''' ([[1992]]), iliyofika nafasi ya 71 kwenye [[Billboard Hot 100]] na nafasi ya 30 nchini [[Uingereza]]; pamoja na "Sweet Freedom" ([[1998]]).
Pia alishiriki kuimba sauti za nyuma kwenye wimbo wa Jimmy Somerville wa mwaka [[1995]] uitwao "Heartbeat", ambao ulifika nafasi ya kwanza kwenye chati ya ''Hot Dance Club Play''.
Mwanzoni mwa miaka ya 1990, alirekodi pia wimbo ''"Thinking About the Way",'' ambao ulifika nafasi ya 57 nchini Uingereza mwaka 1994 pamoja na wimbo ''"Make My Love".''<ref name="British Hit Singles & Albums">{{cite book|title=British Hit Singles & Albums|last=Roberts|first=David|publisher=Guinness World Records Limited|year=2006|isbn=1-904994-10-5|edition=19th|location=London|page=106}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4wwkngvf5iix8j9msytpnfaqk9d1j6a
Darmirra Brunson
0
242146
1579416
2026-07-14T16:13:54Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Darmirra Brunson''' ni [[mwigizaji]], [[mchekeshaji]] na [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya kuigiza kama Drew katika kipindi kipya cha sitcom ''Love Thy Neighbor.''<ref name="DB">{{cite web|title=OWN Profile|work=oprah.com|url=http://www.oprah.com/own-love-thy-neighbor/Love-Thy-Neighbor-Darmirra-Brunson|accessdate=|archive-date=2013-09-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20130922215639/http://www.oprah.com/own-...'
1579416
wikitext
text/x-wiki
'''Darmirra Brunson''' ni [[mwigizaji]], [[mchekeshaji]] na [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya kuigiza kama Drew katika kipindi kipya cha sitcom ''Love Thy Neighbor.''<ref name="DB">{{cite web|title=OWN Profile|work=oprah.com|url=http://www.oprah.com/own-love-thy-neighbor/Love-Thy-Neighbor-Darmirra-Brunson|accessdate=|archive-date=2013-09-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20130922215639/http://www.oprah.com/own-love-thy-neighbor/Love-Thy-Neighbor-Darmirra-Brunson|url-status=dead}}</ref>
== Kazi ==
Mnamo mwaka [[2013]], Darmirra Brunson alijiunga na waigizaji wa ''sitcom ya Love Thy Neighbor'' iliyoundwa na [[Tyler Perry]].
Pia ana kipindi chake mwenyewe kwenye mtandao wa [[YouTube]] kinachoitwa ''The Darmirra Show,'' ambapo huigiza na kuonyesha uigaji wa watu mbalimbali maarufu kama Beyoncé Knowles, Azealia Banks, Wendy Williams, Sway Calloway, Heidi Montag, DMX, [[Kanye West]], Kelly Rowland, Lil' Kim, Remy Ma, Whitney Houston, [[Nicki Minaj]], [[Rihanna]], [[Mariah Carey]] na [[Iggy Azalea]].
Mbali na kuigiza watu maarufu, Brunson pia huonyesha wahusika wake wa kubuni kama Gretchen Murdle, Larry Steinburg na Aquafina.<ref>{{cite web|title='Love Thy Neighbor' Premiere Is 2nd Highest Rated Series Debut In OWN Network History|work=indiewire.com|url=http://blogs.indiewire.com/shadowandact/love-thy-neighbor-premiere-is-2nd-highest-rated-series-debut-in-own-network-history|accessdate=May 30, 2013|archive-date=June 10, 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20150610224800/http://blogs.indiewire.com/shadowandact/love-thy-neighbor-premiere-is-2nd-highest-rated-series-debut-in-own-network-history|url-status=dead}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanamuziki wa Marekani]]
446c22zo16utamqnvea7t3l1gewzbdm
1579589
1579416
2026-07-15T10:14:56Z
Riccardo Riccioni
452
1579589
wikitext
text/x-wiki
'''Darmirra Brunson''' ni [[mwigizaji]], [[mchekeshaji]] na [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya kuigiza kama Drew katika kipindi kipya cha sitcom ''Love Thy Neighbor.''<ref name="DB">{{cite web|title=OWN Profile|work=oprah.com|url=http://www.oprah.com/own-love-thy-neighbor/Love-Thy-Neighbor-Darmirra-Brunson|accessdate=|archive-date=2013-09-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20130922215639/http://www.oprah.com/own-love-thy-neighbor/Love-Thy-Neighbor-Darmirra-Brunson|url-status=dead}}</ref>
== Kazi ==
Mnamo mwaka [[2013]], Darmirra Brunson alijiunga na waigizaji wa ''sitcom ya Love Thy Neighbor'' iliyoundwa na [[Tyler Perry]].
Pia ana kipindi chake mwenyewe kwenye mtandao wa [[YouTube]] kinachoitwa ''The Darmirra Show,'' ambapo huigiza na kuonyesha uigaji wa watu mbalimbali maarufu kama Beyoncé Knowles, Azealia Banks, Wendy Williams, Sway Calloway, Heidi Montag, DMX, [[Kanye West]], Kelly Rowland, Lil' Kim, Remy Ma, Whitney Houston, [[Nicki Minaj]], [[Rihanna]], [[Mariah Carey]] na [[Iggy Azalea]].
Mbali na kuigiza watu maarufu, Brunson pia huonyesha wahusika wake wa kubuni kama Gretchen Murdle, Larry Steinburg na Aquafina.<ref>{{cite web|title='Love Thy Neighbor' Premiere Is 2nd Highest Rated Series Debut In OWN Network History|work=indiewire.com|url=http://blogs.indiewire.com/shadowandact/love-thy-neighbor-premiere-is-2nd-highest-rated-series-debut-in-own-network-history|accessdate=May 30, 2013|archive-date=June 10, 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20150610224800/http://blogs.indiewire.com/shadowandact/love-thy-neighbor-premiere-is-2nd-highest-rated-series-debut-in-own-network-history|url-status=dead}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
qrvwjytr7vxa7w020zr0me3x63xqz7x
Norma-Jean Wofford
0
242147
1579417
2026-07-14T16:30:16Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Norma-Jean Wofford''' ([[1942]] – [[30 Aprili]] [[2005]])<ref name="Dead">[http://thedeadrockstarsclub.com/2005.html Thedeadrockstarsclub.com] - accessed February 2011</ref> alikuwa [[mpiga gitaa]] kutoka [[Marekani]] aliyefahamika kwa kucheza pamoja na Bo Diddley na bendi yake kuanzia mwaka [[1962]] hadi [[1966]]. Alizaliwa [[Pittsburgh]], [[Pennsylvania]]. Wofford alikuwa mpiga gitaa wa pili wa kike katika bendi ya Bo Diddley baada ya Peggy Jones,...'
1579417
wikitext
text/x-wiki
'''Norma-Jean Wofford''' ([[1942]] – [[30 Aprili]] [[2005]])<ref name="Dead">[http://thedeadrockstarsclub.com/2005.html Thedeadrockstarsclub.com] - accessed February 2011</ref> alikuwa [[mpiga gitaa]] kutoka [[Marekani]] aliyefahamika kwa kucheza pamoja na Bo Diddley na bendi yake kuanzia mwaka [[1962]] hadi [[1966]].
Alizaliwa [[Pittsburgh]], [[Pennsylvania]]. Wofford alikuwa mpiga gitaa wa pili wa kike katika bendi ya Bo Diddley baada ya Peggy Jones, anayejulikana pia kama Lady Bo. Baada ya Jones kuondoka kwenye bendi, mashabiki walimuuliza Bo Diddley kuhusu nafasi yake. Ili kuendelea na mtindo huo, Bo Diddley alimchagua Wofford, akampa jina la kisanii ''"The Duchess"'', akamfundisha kucheza gitaa la midundo na kumtambulisha kwa mashabiki kama dada yake, ingawa hawakuwa na uhusiano wa kifamilia.
Wofford alipiga gitaa na kuimba pamoja na Gloria Morgan na Lily "Bee Bee" Jamieson kama sehemu ya kundi la waimbaji wa kike la Bo-ettes.
Alijulikana pia kwa mavazi yake ya jukwaani yaliyokuwa ya kipekee na alionekana kwenye jalada la baadhi ya albamu za Bo Diddley, zikiwemo Bo Diddley & Company, ''Bo Diddley's Beach Party, Hey! Good Lookin', 500% More Man'' na ''The Originator''.<ref name="British Hit Singles & Albums">{{cite book|title=British Hit Singles & Albums|last=Roberts|first=David|publisher=Guinness World Records Limited|year=2006|isbn=1-904994-10-5|edition=19th|location=London|page=84}}</ref>
Mwaka 1966, Wofford aliolewa na kubadilisha jina lake kuwa Norma-Jean Richardson. Baada ya hapo aliacha shughuli za [[muziki]] na kuhamia [[Florida]] ili kulea familia yake.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[JAmii: Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii: Waliofariki 2005]]
[[Jamii: Wanamuziki wa Marekani]]
o3u4pdy539qzmgcwy5llu10icuhgmi9
1579590
1579417
2026-07-15T10:15:26Z
Riccardo Riccioni
452
1579590
wikitext
text/x-wiki
'''Norma-Jean Wofford''' ([[1942]] – [[30 Aprili]] [[2005]])<ref name="Dead">[http://thedeadrockstarsclub.com/2005.html Thedeadrockstarsclub.com] - accessed February 2011</ref> alikuwa [[mpiga gitaa]] kutoka [[Marekani]] aliyefahamika kwa kucheza pamoja na Bo Diddley na bendi yake kuanzia mwaka [[1962]] hadi [[1966]].
Alizaliwa [[Pittsburgh]], [[Pennsylvania]]. Wofford alikuwa mpiga gitaa wa pili wa kike katika bendi ya Bo Diddley baada ya Peggy Jones, anayejulikana pia kama Lady Bo. Baada ya Jones kuondoka kwenye bendi, mashabiki walimuuliza Bo Diddley kuhusu nafasi yake. Ili kuendelea na mtindo huo, Bo Diddley alimchagua Wofford, akampa jina la kisanii ''"The Duchess"'', akamfundisha kucheza gitaa la midundo na kumtambulisha kwa mashabiki kama dada yake, ingawa hawakuwa na uhusiano wa kifamilia.
Wofford alipiga gitaa na kuimba pamoja na Gloria Morgan na Lily "Bee Bee" Jamieson kama sehemu ya kundi la waimbaji wa kike la Bo-ettes.
Alijulikana pia kwa mavazi yake ya jukwaani yaliyokuwa ya kipekee na alionekana kwenye jalada la baadhi ya albamu za Bo Diddley, zikiwemo Bo Diddley & Company, ''Bo Diddley's Beach Party, Hey! Good Lookin', 500% More Man'' na ''The Originator''.<ref name="British Hit Singles & Albums">{{cite book|title=British Hit Singles & Albums|last=Roberts|first=David|publisher=Guinness World Records Limited|year=2006|isbn=1-904994-10-5|edition=19th|location=London|page=84}}</ref>
Mwaka 1966, Wofford aliolewa na kubadilisha jina lake kuwa Norma-Jean Richardson. Baada ya hapo aliacha shughuli za [[muziki]] na kuhamia [[Florida]] ili kulea familia yake.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii:Waliofariki 2005]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
0gcudzijgk3lf2argglhkn8qi0mdg1o
Alva Chinn
0
242148
1579418
2026-07-14T16:36:48Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Alva Chinn''' ni [[mwanamitindo]] wa mitindo kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|date=2023-04-25|title=The Battle of Versailles at 50: the Fights, the Fashions, the Legacy!|url=https://www.townandcountrymag.com/style/fashion-trends/a43529068/battle-of-versailles-50-anniversary-history-alva-chinn/|access-date=2024-12-18|website=Town & Country|language=en-US}}</ref> == Maisha ya awali, mwanzo wa kazi == Ana asili ya [[Kichina]], [[Kiingereza]], Kihindi...'
1579418
wikitext
text/x-wiki
'''Alva Chinn''' ni [[mwanamitindo]] wa mitindo kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|date=2023-04-25|title=The Battle of Versailles at 50: the Fights, the Fashions, the Legacy!|url=https://www.townandcountrymag.com/style/fashion-trends/a43529068/battle-of-versailles-50-anniversary-history-alva-chinn/|access-date=2024-12-18|website=Town & Country|language=en-US}}</ref>
== Maisha ya awali, mwanzo wa kazi ==
Ana asili ya [[Kichina]], [[Kiingereza]], [[Kihindi]] na Kiafrika. Alikulia [[Boston]], ambako alikuwa malkia wa darasa lake la shule ya upili.<ref name="boston">{{cite news|title=Alva Chinn's Journey|last=Christy|first=Marian|newspaper=[[The Boston Globe]]|location=Boston, Mass.|date=12 June 1983|page=60}}</ref>
Akiwa mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha [[Massachusetts]], alifanya kazi ya uanamitindo kwa toleo la chuo kikuu la jarida la Mademoiselle. Muda mfupi baadaye, alihamia [[New York]] kuanza rasmi kazi yake ya uanamitindo.<ref>{{cite magazine|title=Those Sleek Black Beauties|first=Linda Bird|last=Francke|magazine=[[Newsweek]]|location=New York|volume=85|issue=18|date=May 5, 1975|pages=68, 68a, 68b}}</ref>
== Kazi ==
Alikuwa mwanamitindo aliyefanya kazi na wabunifu maarufu kama Halston, Saint Laurent, Chanel na Chloé. Mwanzoni mwa miaka ya [[1980]], Gianni Versace alimchagua kuwa mwanamitindo wa kipekee wa kuonyesha makusanyo yake.
Mwaka [[2004]], alishirikiana na mbunifu Stephen Burroughs kutengeneza mkusanyiko wa mavazi. Pamoja na wanamitindo wengine kama Pat Cleveland, Anjelica Huston, Pat Ast, Karen Bjornson, Nancy North na Connie Cook, alikua sehemu ya kundi la wanamitindo waliopendwa na Halston, lililojulikana kwa jina la Halstonettes.
Mwaka [[2019]], alikuwa miongoni mwa wanamitindo wa zamani wa Halston waliohojiwa kwa ajili ya filamu ya kumbukumbu kuhusu maisha na kazi yake. Pia alionekana kwenye jalada la albamu ya kwanza ya bendi ya Chic iliyotolewa mwaka [[1977]] na kuitwa Chic.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamitindo}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]]
oudert9qft1hafgil5cxetqlp3rxr2u
1579591
1579418
2026-07-15T10:16:12Z
Riccardo Riccioni
452
1579591
wikitext
text/x-wiki
'''Alva Chinn''' ni [[mwanamitindo]] kutoka [[Marekani]].<ref>{{Cite web|date=2023-04-25|title=The Battle of Versailles at 50: the Fights, the Fashions, the Legacy!|url=https://www.townandcountrymag.com/style/fashion-trends/a43529068/battle-of-versailles-50-anniversary-history-alva-chinn/|access-date=2024-12-18|website=Town & Country|language=en-US}}</ref>
== Maisha ya awali, mwanzo wa kazi ==
Ana asili ya [[China]], [[Uingereza]], [[Uhindi]] na [[Afrika]]. Alikulia [[Boston]], ambako alikuwa malkia wa darasa lake la shule ya upili.<ref name="boston">{{cite news|title=Alva Chinn's Journey|last=Christy|first=Marian|newspaper=[[The Boston Globe]]|location=Boston, Mass.|date=12 June 1983|page=60}}</ref>
Akiwa mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha [[Massachusetts]], alifanya kazi ya uanamitindo kwa toleo la chuo kikuu la jarida la Mademoiselle. Muda mfupi baadaye, alihamia [[New York]] kuanza rasmi kazi yake ya uanamitindo.<ref>{{cite magazine|title=Those Sleek Black Beauties|first=Linda Bird|last=Francke|magazine=[[Newsweek]]|location=New York|volume=85|issue=18|date=May 5, 1975|pages=68, 68a, 68b}}</ref>
== Kazi ==
Alikuwa mwanamitindo aliyefanya kazi na wabunifu maarufu kama Halston, Saint Laurent, Chanel na Chloé. Mwanzoni mwa miaka ya [[1980]], Gianni Versace alimchagua kuwa mwanamitindo wa kipekee wa kuonyesha makusanyo yake.
Mwaka [[2004]], alishirikiana na mbunifu Stephen Burroughs kutengeneza mkusanyiko wa mavazi. Pamoja na wanamitindo wengine kama Pat Cleveland, Anjelica Huston, Pat Ast, Karen Bjornson, Nancy North na Connie Cook, alikua sehemu ya kundi la wanamitindo waliopendwa na Halston, lililojulikana kwa jina la Halstonettes.
Mwaka [[2019]], alikuwa miongoni mwa wanamitindo wa zamani wa Halston waliohojiwa kwa ajili ya filamu ya kumbukumbu kuhusu maisha na kazi yake. Pia alionekana kwenye jalada la albamu ya kwanza ya bendi ya Chic iliyotolewa mwaka [[1977]] na kuitwa Chic.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamitindo}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]]
nisq3jl2uhsqp7lrccx7injw0nxh6wc
Kay Wilson Stallings
0
242149
1579420
2026-07-14T16:43:10Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kay Wilson Stallings''' ni mtendaji na mtayarishaji wa [[televisheni]] kutoka [[Marekani]]. Alifanya kazi katika kampuni ya Nickelodeon kama mtendaji wa mtandao kuanzia mwaka [[1999]] hadi Machi [[2015]], ambapo aliachana na kampuni hiyo kutokana na kupunguzwa kwa wafanyakazi wa ngazi za juu.<ref>{{cite web|url=https://summit.kidscreen.com/2017/speakers/908209/kaywilsonstallings/|title=Kay Wilson Stallings biography|work=[[Kidscreen]]|date=February 2017...'
1579420
wikitext
text/x-wiki
'''Kay Wilson Stallings''' ni mtendaji na mtayarishaji wa [[televisheni]] kutoka [[Marekani]]. Alifanya kazi katika kampuni ya Nickelodeon kama mtendaji wa mtandao kuanzia mwaka [[1999]] hadi Machi [[2015]], ambapo aliachana na kampuni hiyo kutokana na kupunguzwa kwa wafanyakazi wa ngazi za juu.<ref>{{cite web|url=https://summit.kidscreen.com/2017/speakers/908209/kaywilsonstallings/|title=Kay Wilson Stallings biography|work=[[Kidscreen]]|date=February 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20180112221416/https://summit.kidscreen.com/2017/speakers/908209/kaywilsonstallings/|archive-date=2018-01-12}}</ref>
Mnamo Agosti 2015, Stallings alijiunga na ''Sesame Workshop'', na mwaka [[2020]] alipandishwa cheo na kuwa mkuu wa maendeleo ya ubunifu wa kampuni hiyo.<ref>{{cite web|url=https://deadline.com/2015/08/sesame-workshop-nickelodeon-exec-svp-content-development-1201497183/|title=Sesame Workshop Taps Ex-Nickelodeon Exec As SVP Content Development|date=August 11, 2015|work=[[Deadline Hollywood]]|author=Denise Petski}}</ref>
Akiwa makamu wa rais mkuu wa uzalishaji na maendeleo wa Nickelodeon, Stallings alisimamia uundaji wa vipindi mbalimbali vya Nickelodeon Preschool na Nick Jr. Channel. Wakati wa uongozi wake, alihusika katika kuunda zaidi ya vipindi 20, vikiwemo ''Wonder Pets!, The Fresh Beat Band, Shimmer and Shine, Sunny Day, Blaze and the Monster Machines'' na toleo jipya la Winx Club la Nickelodeon.<ref>{{cite episode|title=Show credits: Season 5, Episode 2|url=https://youtube.com/watch?v=u66cNIBSfDE&t=1403|series=Winx Club|minutes=23:09}}</ref>
Pia alikuwa mtendaji mkuu wa vipindi Winx Club na ''The Backyardigans.''<ref>{{cite episode|title=Show credits|url=https://www.youtube.com/watch?v=j1EByzQzMrk&t=1444|series=The Backyardigans|minutes=24:04}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
hm8plwqnosoramawntjeavl28ny4uwh
Ann Bogan
0
242150
1579421
2026-07-14T16:58:56Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ann Bogan''' (alizaliwa mwaka [[1941]]), ambaye wakati mwingine hutajwa pia kama Anne Bogan, ni [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]]. Alijulikana zaidi kama mwanachama wa kundi la waimbaji wa kike la Motown ''The Andantes,'' ambapo alishiriki katika kurekodi nyimbo mbalimbali. Baadaye, Bogan alijiunga na kundi la ''The Marvelettes'' kama mwanachama wa ziara na pia alishiriki katika shughuli zao za kurekodi.<ref>{{Cite web|url=https://www.motownmuseum.org/a...'
1579421
wikitext
text/x-wiki
'''Ann Bogan''' (alizaliwa mwaka [[1941]]), ambaye wakati mwingine hutajwa pia kama Anne Bogan, ni [[mwimbaji]] kutoka [[Marekani]]. Alijulikana zaidi kama mwanachama wa kundi la waimbaji wa kike la Motown ''The Andantes,'' ambapo alishiriki katika kurekodi nyimbo mbalimbali.
Baadaye, Bogan alijiunga na kundi la ''The Marvelettes'' kama mwanachama wa ziara na pia alishiriki katika shughuli zao za kurekodi.<ref>{{Cite web|url=https://www.motownmuseum.org/artist/marvelettes/|title=Marvelettes | Motown Museum | Home of Hitsville U.S.A.|date=December 30, 2020|website=Motown Museum}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Waimbaji wa Marekani]]
sd77kc5l254wbr7f4c931kesdqs7mh2
Sylvia Tella
0
242151
1579422
2026-07-14T17:07:17Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sylvia Tella''' (alizaliwa Silifatu Mornii Wehabie Tella mwaka [[1961]]) ni mwimbaji wa [[muziki]] wa [[Muziki wa rock|rock]] kutoka [[Uingereza]].<ref name="CS">"[https://www.officialcharts.com/artists/ Blow Monkeys Featuring Sylvia Tella]", Official Charts</ref> Alianza kujulikana baada ya kufanya kazi kama mwimbaji msaidizi wa bendi ya Boney M, kabla ya kuanza kazi yake ya kujitegemea na kutoa albamu yake ya kwanza mwaka [[1981]]. Mwaka [[1989]], a...'
1579422
wikitext
text/x-wiki
'''Sylvia Tella''' (alizaliwa Silifatu Mornii Wehabie Tella mwaka [[1961]]) ni mwimbaji wa [[muziki]] wa [[Muziki wa rock|rock]] kutoka [[Uingereza]].<ref name="CS">"[https://www.officialcharts.com/artists/ Blow Monkeys Featuring Sylvia Tella]", Official Charts</ref>
Alianza kujulikana baada ya kufanya kazi kama mwimbaji msaidizi wa bendi ya Boney M, kabla ya kuanza kazi yake ya kujitegemea na kutoa albamu yake ya kwanza mwaka [[1981]].
Mwaka [[1989]], alipata mafanikio kwenye chati za muziki baada ya kushirikiana na kundi la ''The Blow Monkeys,'' na baadaye akapata mafanikio mengine mwaka [[1990]]/[[1991]] kupitia ushirikiano wake na kundi la Pop Will Eat Itself.<ref name="Larkin">Larkin, Colin (2006) ''The Encyclopedia of Popular Music'', Oxford University Press</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Waimbaji wa Uingereza]]
0mwozbyz38iglz99peouu625kwsmz59
Kambi ya wakimbizi ya Jaramana
0
242152
1579458
2026-07-15T05:10:10Z
Tumaini Mwenda Ruleju
69361
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kambi ya Jaramana''' ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini-mashariki mwa jiji la [[Damasko]], mji mkuu wa [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na chimbuko la wakazi wake; ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1948 na kundi la wakimbizi waliofukuzwa kutoka vijiji vya Galilaya (kaskazini mwa Palestina), lakini idadi yake iliongezeka kwa ghafla mnamo mwaka 1967 kufuatia kuwasili kwa mawimbi mapya ya Wapalestina waliokimbia ku...'
1579458
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Jaramana''' ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini-mashariki mwa jiji la [[Damasko]], mji mkuu wa [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na chimbuko la wakazi wake; ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1948 na kundi la wakimbizi waliofukuzwa kutoka vijiji vya Galilaya (kaskazini mwa Palestina), lakini idadi yake iliongezeka kwa ghafla mnamo mwaka 1967 kufuatia kuwasili kwa mawimbi mapya ya Wapalestina waliokimbia kutoka mkoa wa Quneitra katika [[Milima ya Golan]] wakati wa [[Vita vya Siku Sita]].<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Jaramana Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Tofauti na kambi zilizotengwa, Jaramana ilimezwa haraka na upanuzi wa viwanda na miji ya pembezoni mwa Damasko, ikawa kitovu kikubwa cha biashara ya ndani.
== Idadi ya Watu na Athari za Vita ==
Kijiografia, kambi hii ilianza ikiwa na ukubwa wa kilomita ya mraba 0.03 tu, lakini ongezeko kubwa la watu limeifanya kuwa na msongamano mkubwa wa majengo ya saruji yaliyosongamana sana.<ref>{{cite report |author=Syrian Central Bureau of Statistics |title=Socio-Economic Survey of Refugee Settlements in Damascus Governorate |publisher=CBS Syria |year=2020 |language=ar}}</ref> Katika kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria vilivyoanza mwaka 2011, Jaramana ilikuwa na upekee wa kubaki salama kiasi ikilinganishwa na kambi jirani kama ya Yarmouk; hali hii ilisababisha kambi hii kuwa kimbilio kuu la ndani, ambapo ilipokea na kuhifadhi maelfu ya wakimbizi wa ndani (idadi kubwa ikiwa ni Wapalestina na Wasyria waliokimbishwa makazi yao), jambo lililoongeza shinikizo kubwa juu ya miundombinu duni ya shule na kliniki za afya za [[UNRWA]].<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Syria Humanitarian Needs Overview: Impact on Palestinian Refugee Camps |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2024 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
7wyd29lxgu2sjnhszushxgisas3vkfb
1579595
1579458
2026-07-15T10:22:39Z
Riccardo Riccioni
452
1579595
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Jaramana''' ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini-mashariki mwa jiji la [[Damasko]], mji mkuu wa [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na chimbuko la wakazi wake; ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1948 na kundi la wakimbizi waliofukuzwa kutoka vijiji vya Galilaya (kaskazini mwa Palestina), lakini idadi yake iliongezeka kwa ghafla mnamo mwaka 1967 kufuatia kuwasili kwa mawimbi mapya ya Wapalestina waliokimbia kutoka mkoa wa Quneitra katika [[Milima ya Golan]] wakati wa [[Vita vya Siku Sita]].<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Jaramana Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Tofauti na kambi zilizotengwa, Jaramana ilimezwa haraka na upanuzi wa viwanda na miji ya pembezoni mwa Damasko, ikawa kitovu kikubwa cha biashara ya ndani.
== Idadi ya Watu na Athari za Vita ==
Kijiografia, kambi hii ilianza ikiwa na ukubwa wa kilomita ya mraba 0.03 tu, lakini ongezeko kubwa la watu limeifanya kuwa na msongamano mkubwa wa majengo ya saruji yaliyosongamana sana.<ref>{{cite report |author=Syrian Central Bureau of Statistics |title=Socio-Economic Survey of Refugee Settlements in Damascus Governorate |publisher=CBS Syria |year=2020 |language=ar}}</ref> Katika kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria vilivyoanza mwaka 2011, Jaramana ilikuwa na upekee wa kubaki salama kiasi ikilinganishwa na kambi jirani kama ya Yarmouk; hali hii ilisababisha kambi hii kuwa kimbilio kuu la ndani, ambapo ilipokea na kuhifadhi maelfu ya wakimbizi wa ndani (idadi kubwa ikiwa ni Wapalestina na Wasyria waliokimbishwa makazi yao), jambo lililoongeza shinikizo kubwa juu ya miundombinu duni ya shule na kliniki za afya za [[UNRWA]].<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Syria Humanitarian Needs Overview: Impact on Palestinian Refugee Camps |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2024 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Syria]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
p43uy1s9quq41c2i0a3h6h2yzoafv8p
Kambi ya wakimbizi ya Latakia
0
242153
1579459
2026-07-15T05:32:31Z
Tumaini Mwenda Ruleju
69361
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kambi ya Latakia''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم اللاذقية), inayojulikana pia kama "Kambi ya Al-Raml", ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katika mji wa bandari wa [[Latakia]] kando ya Bahari ya Mediterania nchini [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na eneo lake la pwani; tofauti na kambi nyingine za Syria zilizo mikoani au jangwani, Latakia inapakana moja kwa moja na fukwe za bahari, jambo linalofanya uchumi wa...'
1579459
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Latakia''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم اللاذقية), inayojulikana pia kama "Kambi ya Al-Raml", ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katika mji wa bandari wa [[Latakia]] kando ya Bahari ya Mediterania nchini [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na eneo lake la pwani; tofauti na kambi nyingine za Syria zilizo mikoani au jangwani, Latakia inapakana moja kwa moja na fukwe za bahari, jambo linalofanya uchumi wa ndani wa wakazi wake kutegemea kwa kiasi kijapokubalika shughuli za uvuvi, kazi za bandarini, na utalii wa msimu.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Latakia Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Kambi hii ilianzishwa rasmi kati ya mwaka 1955 na 1956 ikihifadhi wakimbizi waliotokea miji ya kaskazini mwa Palestina ya kihistoria kama vile [[Jaffa]], [[Haifa]], na [[Acre]].
== Uchumi wa Pwani ==
Kutokana na mazingira ya kijiografia, kambi hii ina msongamano wa juu sana wa makazi lakini imeweza kuunganishwa kwa karibu na uchumi wa jiji kuu la Latakia kupitia soko lake la ndani, biashara ndogondogo, na huduma za kitalii kando ya fukwe za Al-Raml.<ref>{{cite report |author=Syrian Palestinian Welfare Association |title=Socio-Economic Evaluation of Al-Raml Coastal Camp |publisher=SPWA |year=2021 |language=ar}}</ref> Licha ya fursa hizo, ukosefu wa ajira rasmi bado ni mkubwa na wakazi wengi hutegemea miundombinu ya afya na elimu inayotolewa na [[UNRWA]].
== athari za kiusalama ==
Wakati wa Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria, kambi ya Latakia ilishuhudia changamoto ya kiusalama mnamo Agosti 2011, ambapo operesheni kali za kijeshi za baharini na nchi kavu zililazimu maelfu ya wakazi kukimbia kambi hiyo kwa muda.<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Syria Regional Crisis Response: Humanitarian Update on Latakia Camp |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2023 |language=en}}</ref> Tukio hili liliathiri sana utulivu wa kijamii na kuharibu baadhi ya miundombinu ya huduma za kijamii kambi humo.
== marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
1goojq9b8imm58931jqsi28zoseefp2
1579596
1579459
2026-07-15T10:23:20Z
Riccardo Riccioni
452
1579596
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Latakia''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم اللاذقية), inayojulikana pia kama "Kambi ya Al-Raml", ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katika mji wa bandari wa [[Latakia]] kando ya Bahari ya Mediterania nchini [[Syria]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na eneo lake la pwani; tofauti na kambi nyingine za Syria zilizo mikoani au jangwani, Latakia inapakana moja kwa moja na fukwe za bahari, jambo linalofanya uchumi wa ndani wa wakazi wake kutegemea kwa kiasi kijapokubalika shughuli za uvuvi, kazi za bandarini, na utalii wa msimu.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Latakia Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Kambi hii ilianzishwa rasmi kati ya mwaka 1955 na 1956 ikihifadhi wakimbizi waliotokea miji ya kaskazini mwa Palestina ya kihistoria kama vile [[Jaffa]], [[Haifa]], na [[Acre]].
== Uchumi wa Pwani ==
Kutokana na mazingira ya kijiografia, kambi hii ina msongamano wa juu sana wa makazi lakini imeweza kuunganishwa kwa karibu na uchumi wa jiji kuu la Latakia kupitia soko lake la ndani, biashara ndogondogo, na huduma za kitalii kando ya fukwe za Al-Raml.<ref>{{cite report |author=Syrian Palestinian Welfare Association |title=Socio-Economic Evaluation of Al-Raml Coastal Camp |publisher=SPWA |year=2021 |language=ar}}</ref> Licha ya fursa hizo, ukosefu wa ajira rasmi bado ni mkubwa na wakazi wengi hutegemea miundombinu ya afya na elimu inayotolewa na [[UNRWA]].
== Athari za kiusalama ==
Wakati wa Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria, kambi ya Latakia ilishuhudia changamoto ya kiusalama mnamo Agosti 2011, ambapo operesheni kali za kijeshi za baharini na nchi kavu zililazimu maelfu ya wakazi kukimbia kambi hiyo kwa muda.<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Syria Regional Crisis Response: Humanitarian Update on Latakia Camp |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2023 |language=en}}</ref> Tukio hili liliathiri sana utulivu wa kijamii na kuharibu baadhi ya miundombinu ya huduma za kijamii kambi humo.
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Syria]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
j0g84f050gdddgxjq2obz6rbjoqnj3q
Kambi ya wakimbizi ya Bureij
0
242154
1579460
2026-07-15T05:57:41Z
Tumaini Mwenda Ruleju
69361
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kambi ya Bureij''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم البريج) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katikati kabisa mwa [[Ukanda wa Gaza]], katika jiografia ya {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|display=inline}}.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Bureij Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Upekee mkubwa wa kambi hii unatok...'
1579460
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Bureij''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم البريج) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katikati kabisa mwa [[Ukanda wa Gaza]], katika jiografia ya {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|display=inline}}.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Bureij Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na chimbuko la eneo lake, ambapo ilianzishwa rasmi mwaka 1949 na Shirika la UNRWA juu ya eneo dogo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 0.529 tu, ambalo hapo awali lilikuwa likitumiwa kama kambi ya kijeshi ya Jeshi la [[Uingereza]] kando ya reli ya zamani ya kimkakati iliyoelekea [[Misri]].
== Idadi ya Watu na Msongamano ==
Kutokana na ukubwa huo mdogo wa ardhi, ongezeko la idadi ya watu hadi kufikia wakazi 43,330 waliosajiliwa limeiingiza kambi hii katika msongamano uliopitiliza wa kiwango cha watu 81,909 kwa kila kilomita ya mraba, jambo linalofanya mitaa yake kuwa miembamba sana na miundombinu ya kijamii kuwa hatarini.<ref>{{cite report |author=United Nations Information System on the Question of Palestine |title=Demographic Profiles and Infrastructure of Gaza Strip Refugee Camps |publisher=UNISPAL |year=2021 |language=en}}</ref>
== Changamoto za Kijiografia ==
Katika migogoro ya hivi karibuni, nafasi yake ya kijiografia iliyoko karibu na uzio wa mpaka wa mashariki imeifanya kambi hii kukabiliwa na mashambulizi makali ya mizinga na anga yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu yake ya kiraia.<ref>{{cite news |author=OCHA oPt |title=Central Gaza District Damage and Humanitarian Situation Assessments |url=https://www.ochaopt.org/ |work=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |date=Novemba 14, 2024 |accessdate=2026-07-15}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
39ztnwwey9ftv3fmtryzi8uiz6x04tj
1579597
1579460
2026-07-15T10:24:36Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1579597
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Bureij''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم البريج) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko katikati kabisa mwa [[Ukanda wa Gaza]], katika jiografia ya {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|display=inline}}.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Bureij Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref> Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na chimbuko la eneo lake, ambapo ilianzishwa rasmi mwaka 1949 na Shirika la UNRWA juu ya eneo dogo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 0.529 tu, ambalo hapo awali lilikuwa likitumiwa kama kambi ya kijeshi ya Jeshi la [[Uingereza]] kando ya reli ya zamani ya kimkakati iliyoelekea [[Misri]].
== Idadi ya Watu na Msongamano ==
Kutokana na ukubwa huo mdogo wa ardhi, ongezeko la idadi ya watu hadi kufikia wakazi 43,330 waliosajiliwa limeiingiza kambi hii katika msongamano uliopitiliza wa kiwango cha watu 81,909 kwa kila kilomita ya mraba, jambo linalofanya mitaa yake kuwa miembamba sana na miundombinu ya kijamii kuwa hatarini.<ref>{{cite report |author=United Nations Information System on the Question of Palestine |title=Demographic Profiles and Infrastructure of Gaza Strip Refugee Camps |publisher=UNISPAL |year=2021 |language=en}}</ref>
== Changamoto za Kijiografia ==
Katika migogoro ya hivi karibuni, nafasi yake ya kijiografia iliyoko karibu na uzio wa mpaka wa mashariki imeifanya kambi hii kukabiliwa na mashambulizi makali ya mizinga na anga yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu yake ya kiraia.<ref>{{cite news |author=OCHA oPt |title=Central Gaza District Damage and Humanitarian Situation Assessments |url=https://www.ochaopt.org/ |work=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |date=Novemba 14, 2024 |accessdate=2026-07-15}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
8016m5h9hqw6np22tvw77a6pwwirmci
Kambi ya wakimbizi ya Rashidieh
0
242155
1579462
2026-07-15T07:29:51Z
Tumaini Mwenda Ruleju
69361
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kambi ya Rashidieh''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم الرشيدية) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini mwa mji wa [[Tyre]] ([[Sur]]) nchini [[Lebanon]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na ukaribu wake wa kijiografia na nchi ya Palestina, ikiwa ndiyo kambi ya karibu zaidi na mpaka wa Palestina ya kihistoria kuliko kambi zote nchini Lebanon. Kambi hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili: sehemu ya zamani iliyojengwa na...'
1579462
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Rashidieh''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم الرشيدية) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini mwa mji wa [[Tyre]] ([[Sur]]) nchini [[Lebanon]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na ukaribu wake wa kijiografia na nchi ya Palestina, ikiwa ndiyo kambi ya karibu zaidi na mpaka wa Palestina ya kihistoria kuliko kambi zote nchini Lebanon. Kambi hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili: sehemu ya zamani iliyojengwa na serikali ya [[Ufaransa]] mnamo mwaka 1936 kwa ajili ya wakimbizi wa Kiarmenia waliokimbia mauaji, na sehemu mpya iliyojengwa na UNRWA mnamo mwaka 1963 ili kuhifadhi wakimbizi wa Palestina waliohamishwa kutoka kambi za kaskazini mwa Lebanon.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Rashidieh Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref>
== Uchumi na Kilimo ==
Tofauti na kambi nyingine nchini Lebanon ambazo zimezungukwa na kuta za saruji au maeneo ya mijini, Rashidieh inajulikana kwa kuwa na fursa ya pekee ya ardhi ya kilimo inayozunguka pembezoni mwake. Hali hii inaruhusu idadi kubwa ya wakazi wake kufanya kazi za msimu katika mashamba ya machungwa na ndizi ya Lebanon, ingawa kazi hizi mara nyingi hazina mikataba rasmi wala malipo ya kutosha.<ref>{{cite report |author=Lebanese-Palestinian Coalition for Agricultural Labor |title=Seasonal Agricultural Labor Force in South Lebanon Camps |publisher=LPCAL |year=2022 |language=en}}</ref>
== Miundombinu na Mazingira ==
Kutokana na eneo lake la pwani, kambi hii inakabiliwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya tabianchi ambapo maji ya bahari yanavamia makazi ya karibu na pwani, pamoja na uchafuzi wa vyanzo vya maji safi ya ardhini. Licha ya changamoto hizo, kambi hii imeendelea kuwa ngome muhimu ya kitamaduni na kisiasa kutokana na usimamizi wake thabiti wa ndani unaoratibiwa na kamati za kijamii kwa ushirikiano na UNRWA.<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Environmental and Infrastructure Assessment in Rashidieh Camp |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2024 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
7g85we6sqcu8zlxxieg7nfot3lqeu07
1579598
1579462
2026-07-15T10:24:58Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1579598
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Rashidieh''' (kwa [[Kiarabu]]: مخيم الرشيدية) ni makazi ya kihistoria ya wakimbizi wa Palestina yaliyoko kusini mwa mji wa [[Tyre]] ([[Sur]]) nchini [[Lebanon]]. Upekee mkubwa wa kambi hii unatokana na ukaribu wake wa kijiografia na nchi ya Palestina, ikiwa ndiyo kambi ya karibu zaidi na mpaka wa Palestina ya kihistoria kuliko kambi zote nchini Lebanon. Kambi hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili: sehemu ya zamani iliyojengwa na serikali ya [[Ufaransa]] mnamo mwaka 1936 kwa ajili ya wakimbizi wa Kiarmenia waliokimbia mauaji, na sehemu mpya iliyojengwa na UNRWA mnamo mwaka 1963 ili kuhifadhi wakimbizi wa Palestina waliohamishwa kutoka kambi za kaskazini mwa Lebanon.<ref>{{cite web |author=UNRWA |title=Rashidieh Refugee Camp Profile |url=https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp |website=unrwa.org |language=en |accessdate=2026-07-15}}</ref>
== Uchumi na Kilimo ==
Tofauti na kambi nyingine nchini Lebanon ambazo zimezungukwa na kuta za saruji au maeneo ya mijini, Rashidieh inajulikana kwa kuwa na fursa ya pekee ya ardhi ya kilimo inayozunguka pembezoni mwake. Hali hii inaruhusu idadi kubwa ya wakazi wake kufanya kazi za msimu katika mashamba ya machungwa na ndizi ya Lebanon, ingawa kazi hizi mara nyingi hazina mikataba rasmi wala malipo ya kutosha.<ref>{{cite report |author=Lebanese-Palestinian Coalition for Agricultural Labor |title=Seasonal Agricultural Labor Force in South Lebanon Camps |publisher=LPCAL |year=2022 |language=en}}</ref>
== Miundombinu na Mazingira ==
Kutokana na eneo lake la pwani, kambi hii inakabiliwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya tabianchi ambapo maji ya bahari yanavamia makazi ya karibu na pwani, pamoja na uchafuzi wa vyanzo vya maji safi ya ardhini. Licha ya changamoto hizo, kambi hii imeendelea kuwa ngome muhimu ya kitamaduni na kisiasa kutokana na usimamizi wake thabiti wa ndani unaoratibiwa na kamati za kijamii kwa ushirikiano na UNRWA.<ref>{{cite report |author=UNOCHA |title=Environmental and Infrastructure Assessment in Rashidieh Camp |publisher=United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs |year=2024 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Historia ya Palestina]]
[[Jamii:Historia ya Lebanoni]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
dzbup8otz9ya6m80xnhxgjxvvys1shm
Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba
0
242156
1579463
2026-07-15T07:36:49Z
SciFusion
76137
Nimeunda kurasa
1579463
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo katika Wilaya ya Karongi, Mkoa wa Magharibi nchini [[Rwanda]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwezi Desemba [[1996]], na kuifanya kuwa kambi kongwe zaidi ya wakimbizi nchini Rwanda ambayo bado inafanya kazi hadi sasa. Kambi hii inasimamiwa na Wizara ya Usimamizi wa Dharura nchini Rwanda (MINEMA) kwa ushirikiano wa karibu na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]].
== Chimbuko na Idadi ya Watu ==
Kambi ya Kiziba ilianzishwa ili kupokea maelfu ya raia wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), hasa wale wa kabila la [[Watutsi]] kutoka jimbo la [[Kivu ya Kaskazini]], waliokuwa wakikimbia mapigano na mateso ya kikabila wakati wa [[Vita vya Kwanza vya Kongo]]:
* Kambi hii inahifadhi zaidi ya wakimbizi wa Kikongo '''15,000'''.
* Kwa kuwa kambi hii imedumu kwa takriban miongo mitatu, karibu asilimia 70 ya wakazi wake wa sasa ni vijana na watoto waliozaliwa na kukulia ndani ya kambi hiyo bila kuwahi kufika nchi yao ya asili ya Kongo.
== Kijiografia na Mazingira ==
Kiziba ipo katika eneo lenye changamoto kubwa za kijiografia:
* '''Eneo la Milimani:''' Kambi hii imejengwa juu kabisa ya milima mirefu ya Wilaya ya Karongi, karibu na [[Ziwa Kivu]]. Kutokana na urefu wa eneo hilo, baridi huwa ni kali sana wakati wa usiku na nyakati za asubuhi.
* '''Mmomonyoko wa Udongo:''' Kama ilivyokuwa kwa [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe|Kambi ya Gihembe]], mteremko mkali wa milima hii unaiweka kambi ya Kiziba katika hatari ya mmomonyoko wa udongo na maporomoko ya ardhi wakati wa msimu wa mvua kubwa.
== Maisha ya Kijamii na Elimu ==
Licha ya changamoto za kimaisha, kambi hii imefanikiwa kuweka mifumo mizuri ya kijamii:
* '''Elimu:''' Watoto wa wakimbizi wanasoma katika shule zilizopo karibu na kambi ambazo zinaendeshwa kwa ushirikiano na serikali ya Rwanda. Hii inawapa fursa ya kusoma masomo ya msingi na sekondari kwa lugha ya [[Kiingereza]] na kufuata mtaala wa Rwanda.
* '''Kujiajiri na Biashara:''' Wakimbizi wengi ndani ya kambi hujishughulisha na biashara ndogo ndogo, kazi za mikono, na kilimo kidogo ili kuongeza kipato cha familia zao badala ya kutegemea misaada ya chakula pekee.
== Changamoto za Kiusalama ==
Kambi ya Kiziba imewahi kushuhudia migogoro ya kiusalama katika historia yake. Mnamo mwezi Februari [[2018]], kulitokea maandamano makubwa ya wakimbizi kambini hapo wakipinga kupunguzwa kwa ruzuku ya chakula na posho na UNHCR kwa asilimia 25. Maandamano hayo yalileta mapigano kati ya wakimbizi na vikosi vya usalama na kusababisha vifo na majeraha kwa baadhi ya wakimbizi, tukio lililoleta masikitiko makubwa kutoka kwa mashirika ya haki za kibinadamu kimataifa.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]]
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]]
* [[UNHCR]]
rzngrrkjm7qebho8xkeq6nd6ep7zhai
1579599
1579463
2026-07-15T10:25:43Z
Riccardo Riccioni
452
1579599
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo katika Wilaya ya Karongi, Mkoa wa Magharibi nchini [[Rwanda]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwezi Desemba [[1996]], na kuifanya kuwa kambi kongwe zaidi ya wakimbizi nchini Rwanda ambayo bado inafanya kazi hadi sasa. Kambi hii inasimamiwa na Wizara ya Usimamizi wa Dharura nchini Rwanda (MINEMA) kwa ushirikiano wa karibu na shirika la Umoja wa Mataifa la [[UNHCR]].
== Chimbuko na Idadi ya Watu ==
Kambi ya Kiziba ilianzishwa ili kupokea maelfu ya raia wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), hasa wale wa kabila la [[Watutsi]] kutoka jimbo la [[Kivu ya Kaskazini]], waliokuwa wakikimbia mapigano na mateso ya kikabila wakati wa [[Vita vya Kwanza vya Kongo]]:
* Kambi hii inahifadhi zaidi ya wakimbizi wa Kikongo '''15,000'''.
* Kwa kuwa kambi hii imedumu kwa takriban miongo mitatu, karibu asilimia 70 ya wakazi wake wa sasa ni vijana na watoto waliozaliwa na kukulia ndani ya kambi hiyo bila kuwahi kufika nchi yao ya asili ya Kongo.
== Kijiografia na Mazingira ==
Kiziba ipo katika eneo lenye changamoto kubwa za kijiografia:
* '''Eneo la Milimani:''' Kambi hii imejengwa juu kabisa ya milima mirefu ya Wilaya ya Karongi, karibu na [[Ziwa Kivu]]. Kutokana na urefu wa eneo hilo, baridi huwa ni kali sana wakati wa usiku na nyakati za asubuhi.
* '''Mmomonyoko wa Udongo:''' Kama ilivyokuwa kwa [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe|Kambi ya Gihembe]], mteremko mkali wa milima hii unaiweka kambi ya Kiziba katika hatari ya mmomonyoko wa udongo na maporomoko ya ardhi wakati wa msimu wa mvua kubwa.
== Maisha ya Kijamii na Elimu ==
Licha ya changamoto za kimaisha, kambi hii imefanikiwa kuweka mifumo mizuri ya kijamii:
* '''Elimu:''' Watoto wa wakimbizi wanasoma katika shule zilizopo karibu na kambi ambazo zinaendeshwa kwa ushirikiano na serikali ya Rwanda. Hii inawapa fursa ya kusoma masomo ya msingi na sekondari kwa lugha ya [[Kiingereza]] na kufuata mtaala wa Rwanda.
* '''Kujiajiri na Biashara:''' Wakimbizi wengi ndani ya kambi hujishughulisha na biashara ndogo ndogo, kazi za mikono, na kilimo kidogo ili kuongeza kipato cha familia zao badala ya kutegemea misaada ya chakula pekee.
== Changamoto za Kiusalama ==
Kambi ya Kiziba imewahi kushuhudia migogoro ya kiusalama katika historia yake. Mnamo mwezi Februari [[2018]], kulitokea maandamano makubwa ya wakimbizi kambini hapo wakipinga kupunguzwa kwa ruzuku ya chakula na posho na UNHCR kwa asilimia 25. Maandamano hayo yalileta mapigano kati ya wakimbizi na vikosi vya usalama na kusababisha vifo na majeraha kwa baadhi ya wakimbizi, tukio lililoleta masikitiko makubwa kutoka kwa mashirika ya haki za kibinadamu kimataifa.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]]
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Rwanda]]
[[Jamii:Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
edqefc308zwprmswfrjqa4d3aq8f5zg
Kambi ya Wakimbizi ya Mae La
0
242157
1579464
2026-07-15T07:39:58Z
SciFusion
76137
Nimeunda kurasa
1579464
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Mae La''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo katika Wilaya ya Tha Song Yang, Mkoa wa Tak, magharibi mwa nchi ya [[Thailand]], karibu na mpaka wa [[Myanmar]] (Burma).
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1984]] na inatambuliwa kama kambi kubwa zaidi kati ya kambi tisa za wakimbizi zilizopo kando ya mpaka wa Thailand na Myanmar. Kambi hii inasimamiwa na Kamati ya Wakimbizi ya Karen (KRC) kwa ushirikiano wa karibu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Thailand na mashirika mbalimbali ya kibinadamu ya kimataifa.
== Historia na Chimbuko ==
Mae La ilianzishwa baada ya mapigano makali kati ya jeshi la serikali ya Myanmar na kikundi cha waasi cha chama cha ''Karen National Union'' (KNU). Hatua hiyo ilisababisha maelfu ya raia wa kabila la [[Karen]] (pamoja na makabila mengine madogo madogo kama vile Karenni na Mon) kukimbilia usalama wao nchini Thailand:
* Ilianza kama kambi ndogo iliyohifadhi takriban watu 1,100 mnamo mwaka 1984.
* Kutokana na mashambulizi endelevu na kufungwa kwa kambi ndogo jirani, wakimbizi wengi walihamishiwa Mae La, na kuifanya kambi hiyo kukua kwa kasi sana.
== Idadi ya Watu na Maisha ya Kambi ==
Kambi ya Mae La imekuwa makazi ya kudumu kwa maelfu ya watu kwa zaidi ya miongo minne:
* Kambi hii inahifadhi takriban wakimbizi kati ya '''30,000''' hadi '''40,000''', na kuifanya kuwa mji mdogo uliojitegemea.
* Zaidi ya asilimia 90 ya wakazi wa kambi hiyo ni wa kabila la Karen, wengi wakiwa ni Wakristo na wengine wakiwa Wabudha na Waislamu.
* Nyumba nyingi ndani ya kambi zimejengwa kwa kutumia nguzo za mianzi na kuezekwa kwa majani ya migomba au nyasi kutokana na sheria kali za Thailand zinazozuia ujenzi wa majengo ya kudumu (kama ya zege au matofali) kwa ajili ya wakimbizi.
== Miundombinu na Huduma ==
Licha ya changamoto za kisheria na kubana kwa uhuru wa kwenda nje ya kambi, Mae La ina miundombinu thabiti ya kijamii iliyoanzishwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs):
* '''Elimu:''' Kambi hii ina mfumo mzuri wa elimu kuanzia chekechea, shule za msingi, sekondari, hadi vyuo vidogo vya ufundi na masomo ya Biblia. Kiwango cha elimu kambini hapo kinavutia hata vijana kutoka ndani ya Myanmar wanaovuka mpaka kuja kusoma Mae La.
* '''Afya:''' Kuna kliniki kadhaa zinazoendeshwa na mashirika kama ''Première Urgence Internationale'' (PUI) na ''Borderline Collective'' zinazotoa huduma za matibabu, huduma za uzazi, na msaada wa kisaikolojia.
== Changamoto ==
* '''Kuzuiliwa kwa Uhuru wa Kutembea:''' Serikali ya Thailand haijasaini Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi wa mwaka 1951. Kwa sababu hiyo, wakimbizi wa Mae La hawaruhusiwi kisheria kutoka nje ya kambi bila kibali maalum. Wale wanaotoka nje kutafuta kazi wanakabiliwa na hatari ya kukamatwa na kurudishwa kwao.
* '''Utegemezi wa Misaada:''' Kupungua kwa ufadhili wa kimataifa kwa miaka mingi kumefanya upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine muhimu kuwa mgumu zaidi.
== Makazi Mpya ==
Kati ya mwaka 2005 na 2014, kambi ya Mae La ilikuwa kitovu kikubwa cha mpango wa kimataifa wa kuhamishia wakimbizi katika nchi za tatu. Maelfu ya wakimbizi wa Karen kutoka kambi hii walihamia katika nchi kama vile [[Marekani]], [[Australia]], [[Kanada]], [[New Zealand]], na nchi za Ulaya, ambapo wameanzisha jumuiya kubwa za watu wa Karen nchi hizo.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi za wakimbizi]]
* [[Myanmar]]
* [[Thailand]]
b1fkx6pqypv4zqp37771c3gxhdmoxxv
1579601
1579464
2026-07-15T10:26:38Z
Riccardo Riccioni
452
1579601
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Mae La''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo katika Wilaya ya Tha Song Yang, Mkoa wa Tak, magharibi mwa nchi ya [[Thailand]], karibu na mpaka wa [[Myanmar]] (Burma).
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1984]] na inatambuliwa kama kambi kubwa zaidi kati ya kambi tisa za wakimbizi zilizopo kando ya mpaka wa Thailand na Myanmar. Kambi hii inasimamiwa na Kamati ya Wakimbizi ya Karen (KRC) kwa ushirikiano wa karibu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Thailand na mashirika mbalimbali ya kibinadamu ya kimataifa.
== Historia na Chimbuko ==
Mae La ilianzishwa baada ya mapigano makali kati ya jeshi la serikali ya Myanmar na kikundi cha waasi cha chama cha ''Karen National Union'' (KNU). Hatua hiyo ilisababisha maelfu ya raia wa kabila la [[Karen]] (pamoja na makabila mengine madogo madogo kama vile Karenni na Mon) kukimbilia usalama wao nchini Thailand:
* Ilianza kama kambi ndogo iliyohifadhi takriban watu 1,100 mnamo mwaka 1984.
* Kutokana na mashambulizi endelevu na kufungwa kwa kambi ndogo jirani, wakimbizi wengi walihamishiwa Mae La, na kuifanya kambi hiyo kukua kwa kasi sana.
== Idadi ya Watu na Maisha ya Kambi ==
Kambi ya Mae La imekuwa makazi ya kudumu kwa maelfu ya watu kwa zaidi ya miongo minne:
* Kambi hii inahifadhi takriban wakimbizi kati ya '''30,000''' hadi '''40,000''', na kuifanya kuwa mji mdogo uliojitegemea.
* Zaidi ya asilimia 90 ya wakazi wa kambi hiyo ni wa kabila la Karen, wengi wakiwa ni Wakristo na wengine wakiwa Wabudha na Waislamu.
* Nyumba nyingi ndani ya kambi zimejengwa kwa kutumia nguzo za mianzi na kuezekwa kwa majani ya migomba au nyasi kutokana na sheria kali za Thailand zinazozuia ujenzi wa majengo ya kudumu (kama ya zege au matofali) kwa ajili ya wakimbizi.
== Miundombinu na Huduma ==
Licha ya changamoto za kisheria na kubana kwa uhuru wa kwenda nje ya kambi, Mae La ina miundombinu thabiti ya kijamii iliyoanzishwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs):
* '''Elimu:''' Kambi hii ina mfumo mzuri wa elimu kuanzia chekechea, shule za msingi, sekondari, hadi vyuo vidogo vya ufundi na masomo ya Biblia. Kiwango cha elimu kambini hapo kinavutia hata vijana kutoka ndani ya Myanmar wanaovuka mpaka kuja kusoma Mae La.
* '''Afya:''' Kuna kliniki kadhaa zinazoendeshwa na mashirika kama ''Première Urgence Internationale'' (PUI) na ''Borderline Collective'' zinazotoa huduma za matibabu, huduma za uzazi, na msaada wa kisaikolojia.
== Changamoto ==
* '''Kuzuiliwa kwa Uhuru wa Kutembea:''' Serikali ya Thailand haijasaini Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi wa mwaka 1951. Kwa sababu hiyo, wakimbizi wa Mae La hawaruhusiwi kisheria kutoka nje ya kambi bila kibali maalum. Wale wanaotoka nje kutafuta kazi wanakabiliwa na hatari ya kukamatwa na kurudishwa kwao.
* '''Utegemezi wa Misaada:''' Kupungua kwa ufadhili wa kimataifa kwa miaka mingi kumefanya upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine muhimu kuwa mgumu zaidi.
== Makazi Mpya ==
Kati ya mwaka 2005 na 2014, kambi ya Mae La ilikuwa kitovu kikubwa cha mpango wa kimataifa wa kuhamishia wakimbizi katika nchi za tatu. Maelfu ya wakimbizi wa Karen kutoka kambi hii walihamia katika nchi kama vile [[Marekani]], [[Australia]], [[Kanada]], [[New Zealand]], na nchi za Ulaya, ambapo wameanzisha jumuiya kubwa za watu wa Karen nchi hizo.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi za wakimbizi]]
[[Jamii:Historia ya Myanmar]]
[[Jamii:Historia ya Uthai]]
6illrc3damjrkaedxvzxxt0h35kfhfl
Kambi ya Wakimbizi ya Moria
0
242158
1579465
2026-07-15T07:43:15Z
SciFusion
76137
Nimeunda kurasa
1579465
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Moria''' ilikuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi barani [[Ulaya]]. Kambi hii ilikuwa karibu na kijiji cha Moria kwenye Kisiwa cha [[Lesbos]] nchini [[Ugiriki]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[2015]] kama kituo cha muda cha usajili na utambuzi wa wahamiaji waliokuwa wakivuka [[Bahari ya Aegean]] kutokea [[Turuki]] kuelekea mataifa ya [[Umoja wa Ulaya]]. Moria ilikuja kufahamika duniani kote kama ishara ya mgogoro mkubwa wa wakimbizi barani Ulaya kutokana na mazingira mabaya ya kibinadamu na mrundikano uliopitiliza wa watu.
== Chimbuko na Mrundikano wa Watu ==
Kambi ya Moria ilijengwa ikiwa na uwezo wa kuhifadhi takriban watu '''3,000''' tu kwa wakati mmoja. Hata hivyo, kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi waliokuwa wakikimbia vita na umaskini kutoka nchi za [[Syria]], [[Afghanistan]], [[Iraq]], na mataifa mbalimbali ya Afrika:
* Kufikia mwaka 2020, kambi hiyo ilikuwa imehifadhi zaidi ya watu '''20,000'''.
* Ongezeko hili lilisababisha kambi kupanuka nje ya uzio wake rasmi na kutengeneza makazi ya vibanda vya mifuko ya plastiki na mbao kwenye mashamba ya mizeituni yaliyozunguka eneo hilo (eneo hili lilijulikana kama "Moria Olive Grove").
== Mazingira ya Kibinadamu ==
Mazingira ya maisha ndani ya Moria yalikosolewa vikali na mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kama vile [[Human Rights Watch]] na [[Madaktari Wasio na Mipaka]] (MSF):
* '''Ukosefu wa Usafi:''' Kulikuwa na uhaba mkubwa wa vyoo na mabafu. Mara nyingi, mamia ya watu walilazimika kushiriki choo kimoja, jambo lililosababisha milipuko ya magonjwa.
* '''Chakula na Maji:''' Wakimbizi walilazimika kusimama kwenye mistari mirefu kwa saa kadhaa ili kupata milo duni na maji safi.
* '''Ulinzi na Usalama:''' Ukosefu wa ulinzi wa kutosha ulisababisha viwango vya juu vya vurugu, wizi, na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto, hasa nyakati za usiku kutokana na giza.
== Moto wa Mwaka 2020 na Kufungwa kwa Kambi ==
Mnamo usiku wa tarehe 8 na 9 Septemba [[2020]], mfululizo wa moto mkubwa ulizuka katika maeneo mbalimbali ya kambi hiyo:
* Moto huo uliharibu karibu kambi yote na kuwaacha zaidi ya wakimbizi 12,000 bila malazi yoyote.
* Serikali ya Ugiriki ilieleza kuwa moto huo ulianzishwa kwa makusudi na baadhi ya wakimbizi waliokuwa wakipinga amri ya karantini baada ya kesi kadhaa za [[UVIKO-19]] (COVID-19) kugundulika kambini hapo.
Baada ya maafa hayo, kambi ya Moria ilifungwa kabisa. Wakimbizi walioachwa bila makazi walihamishiwa kwa muda katika kambi mpya ya dharura ya Kara Tepe (iliyojulikana pia kama Moria II) karibu na eneo hilo, kabla ya kuhamishiwa kwenye vituo vilivyoboreshwa zaidi au katika nchi nyingine za Ulaya.
== Tazama Pia ==
* [[Mgogoro wa wahamiaji barani Ulaya]]
* [[Ugiriki]]
fbkixb67ohaw9fz2xygr2z8ivvie5ud
1579602
1579465
2026-07-15T10:27:42Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579602
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Moria''' ilikuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi barani [[Ulaya]]. Kambi hii ilikuwa karibu na kijiji cha Moria kwenye Kisiwa cha [[Lesbos]] nchini [[Ugiriki]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[2015]] kama kituo cha muda cha usajili na utambuzi wa wahamiaji waliokuwa wakivuka [[Bahari ya Aegean]] kutokea [[Turuki]] kuelekea mataifa ya [[Umoja wa Ulaya]]. Moria ilikuja kufahamika duniani kote kama ishara ya mgogoro mkubwa wa wakimbizi barani Ulaya kutokana na mazingira mabaya ya kibinadamu na mrundikano uliopitiliza wa watu.
== Chimbuko na Mrundikano wa Watu ==
Kambi ya Moria ilijengwa ikiwa na uwezo wa kuhifadhi takriban watu '''3,000''' tu kwa wakati mmoja. Hata hivyo, kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi waliokuwa wakikimbia vita na umaskini kutoka nchi za [[Syria]], [[Afghanistan]], [[Iraq]], na mataifa mbalimbali ya Afrika:
* Kufikia mwaka 2020, kambi hiyo ilikuwa imehifadhi zaidi ya watu '''20,000'''.
* Ongezeko hili lilisababisha kambi kupanuka nje ya uzio wake rasmi na kutengeneza makazi ya vibanda vya mifuko ya plastiki na mbao kwenye mashamba ya mizeituni yaliyozunguka eneo hilo (eneo hili lilijulikana kama "Moria Olive Grove").
== Mazingira ya Kibinadamu ==
Mazingira ya maisha ndani ya Moria yalikosolewa vikali na mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kama vile [[Human Rights Watch]] na [[Madaktari Wasio na Mipaka]] (MSF):
* '''Ukosefu wa Usafi:''' Kulikuwa na uhaba mkubwa wa vyoo na mabafu. Mara nyingi, mamia ya watu walilazimika kushiriki choo kimoja, jambo lililosababisha milipuko ya magonjwa.
* '''Chakula na Maji:''' Wakimbizi walilazimika kusimama kwenye mistari mirefu kwa saa kadhaa ili kupata milo duni na maji safi.
* '''Ulinzi na Usalama:''' Ukosefu wa ulinzi wa kutosha ulisababisha viwango vya juu vya vurugu, wizi, na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto, hasa nyakati za usiku kutokana na giza.
== Moto wa Mwaka 2020 na Kufungwa kwa Kambi ==
Mnamo usiku wa tarehe 8 na 9 Septemba [[2020]], mfululizo wa moto mkubwa ulizuka katika maeneo mbalimbali ya kambi hiyo:
* Moto huo uliharibu karibu kambi yote na kuwaacha zaidi ya wakimbizi 12,000 bila malazi yoyote.
* Serikali ya Ugiriki ilieleza kuwa moto huo ulianzishwa kwa makusudi na baadhi ya wakimbizi waliokuwa wakipinga amri ya karantini baada ya kesi kadhaa za [[UVIKO-19]] (COVID-19) kugundulika kambini hapo.
Baada ya maafa hayo, kambi ya Moria ilifungwa kabisa. Wakimbizi walioachwa bila makazi walihamishiwa kwa muda katika kambi mpya ya dharura ya Kara Tepe (iliyojulikana pia kama Moria II) karibu na eneo hilo, kabla ya kuhamishiwa kwenye vituo vilivyoboreshwa zaidi au katika nchi nyingine za Ulaya.
[[Jamii:Historia ya Ugiriki]]
tufet9wmg034pu2y5ccgkvt46eiim04
Kambi ya Wakimbizi ya Azraq
0
242159
1579466
2026-07-15T07:46:11Z
SciFusion
76137
Nimeunda kurasa
1579466
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Azraq''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo karibu na mji wa Azraq katika Mkoa wa Zarqa, nchini [[Yordani]].
Kambi hii ilifunguliwa rasmi mnamo tarehe 30 Aprili [[2014]] ili kupunguza mrundikano wa wakimbizi katika [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]], kufuatia ongezeko kubwa la raia waliokuwa wakikimbia [[Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria]]. Kambi hii inasimamiwa kwa ushirikiano kati ya serikali ya Yordani na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Usanifu na Upangaji wa Kambi ==
Tofauti na kambi nyingine nyingi za wakimbizi duniani ambazo huanza kama makazi ya dharura yasiyo na mpangilio mzuri, Azraq ilifanyiwa upangaji na usanifu wa kina kabla ya kuanza kupokea watu:
* '''Muundo wa Vijiji:''' Kambi hii imegawanywa katika maeneo manne madogo yanayojulikana kama ''vijiji'' . Kila kijiji kina huduma zake za kijamii kama vile kliniki ya afya, maeneo ya michezo ya watoto, na shule ili kuzuia wakazi kutembea umbali mrefu.
* '''Makazi ya Kudumu:''' Badala ya kutumia mahema ya kawaida ya vitambaa ambayo huharibika haraka kutokana na upepo na mabadiliko ya hali ya hewa ya jangwani, Azraq hutumia vibanda vilivyotengenezwa kwa mabati na nyenzo zenye uwezo wa kuzuia joto na baridi.
== Idadi ya Wakaazi na Nishati ==
* '''Idadi ya Watu:''' Kambi hii ina uwezo wa kuhifadhi hadi wakimbizi 55,000, lakini kwa sasa inahifadhi takriban wakimbizi wa Kisiria '''40,000'''.
* '''Nishati ya Jua:''' Kambi ya Azraq inajulikana duniani kote kwa kuwa kambi ya kwanza ya wakimbizi kutumia nishati mbadala ya jua (solar energy) kwa kiwango kikubwa. Mnamo mwaka 2017, mradi mkubwa wa nishati ya jua ulizinduliwa kambini hapo, na kuwezesha kila familia kupata umeme wa uhakika kwa ajili ya taa, friji, na kuchaji vifaa vya mawasiliano.
== Changamoto ==
Licha ya miundombinu bora na mpangilio wa kisasa, Azraq inakabiliwa na changamoto kadhaa za kipekee:
* '''Hali mbaya ya Hewa:''' Kambi hii ipo katikati ya jangwa lenye joto kali sana wakati wa kiangazi na baridi kali ya dharura wakati wa masika, pamoja na dhoruba za mara kwa mara za mchanga.
* '''Kutengwa Kijiografia:''' Kambi ipo umbali wa kilomita 20 kutoka mji wa karibu wa Azraq na takriban kilomita 80 kutoka mji mkuu wa [[Amman]]. Umbali huu unawafanya wakimbizi kujihisi wametengwa na unazuia fursa za wao kupata kazi nje ya kambi.
* '''Vizuizi vya Kutembea:''' Kutokana na sheria za usalama za nchi ya Yordani, wakimbizi wanahitaji vibali maalum ili kuondoka kambini kwenda maeneo mengine ya nchi.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]]
* [[Yordani]]
* [[Wakimbizi wa Syria]]
4ahikahmqrzq96p9vx8dfnltpa0zsh6
1579603
1579466
2026-07-15T10:28:15Z
Riccardo Riccioni
452
1579603
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Azraq''' ni kambi kubwa ya wakimbizi iliyopo karibu na mji wa Azraq katika Mkoa wa Zarqa, nchini [[Yordani]].
Kambi hii ilifunguliwa rasmi mnamo tarehe 30 Aprili [[2014]] ili kupunguza mrundikano wa wakimbizi katika [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]], kufuatia ongezeko kubwa la raia waliokuwa wakikimbia [[Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria]]. Kambi hii inasimamiwa kwa ushirikiano kati ya serikali ya Yordani na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Usanifu na Upangaji wa Kambi ==
Tofauti na kambi nyingine nyingi za wakimbizi duniani ambazo huanza kama makazi ya dharura yasiyo na mpangilio mzuri, Azraq ilifanyiwa upangaji na usanifu wa kina kabla ya kuanza kupokea watu:
* '''Muundo wa Vijiji:''' Kambi hii imegawanywa katika maeneo manne madogo yanayojulikana kama ''vijiji'' . Kila kijiji kina huduma zake za kijamii kama vile kliniki ya afya, maeneo ya michezo ya watoto, na shule ili kuzuia wakazi kutembea umbali mrefu.
* '''Makazi ya Kudumu:''' Badala ya kutumia mahema ya kawaida ya vitambaa ambayo huharibika haraka kutokana na upepo na mabadiliko ya hali ya hewa ya jangwani, Azraq hutumia vibanda vilivyotengenezwa kwa mabati na nyenzo zenye uwezo wa kuzuia joto na baridi.
== Idadi ya Wakaazi na Nishati ==
* '''Idadi ya Watu:''' Kambi hii ina uwezo wa kuhifadhi hadi wakimbizi 55,000, lakini kwa sasa inahifadhi takriban wakimbizi wa Kisiria '''40,000'''.
* '''Nishati ya Jua:''' Kambi ya Azraq inajulikana duniani kote kwa kuwa kambi ya kwanza ya wakimbizi kutumia nishati mbadala ya jua (solar energy) kwa kiwango kikubwa. Mnamo mwaka 2017, mradi mkubwa wa nishati ya jua ulizinduliwa kambini hapo, na kuwezesha kila familia kupata umeme wa uhakika kwa ajili ya taa, friji, na kuchaji vifaa vya mawasiliano.
== Changamoto ==
Licha ya miundombinu bora na mpangilio wa kisasa, Azraq inakabiliwa na changamoto kadhaa za kipekee:
* '''Hali mbaya ya Hewa:''' Kambi hii ipo katikati ya jangwa lenye joto kali sana wakati wa kiangazi na baridi kali ya dharura wakati wa masika, pamoja na dhoruba za mara kwa mara za mchanga.
* '''Kutengwa Kijiografia:''' Kambi ipo umbali wa kilomita 20 kutoka mji wa karibu wa Azraq na takriban kilomita 80 kutoka mji mkuu wa [[Amman]]. Umbali huu unawafanya wakimbizi kujihisi wametengwa na unazuia fursa za wao kupata kazi nje ya kambi.
* '''Vizuizi vya Kutembea:''' Kutokana na sheria za usalama za nchi ya Yordani, wakimbizi wanahitaji vibali maalum ili kuondoka kambini kwenda maeneo mengine ya nchi.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]]
[[Jamii:Historia ya Yordani]]
[[Jamii:Historia ya Syria]]
rzfqmbmt5xtbk8sya35auyekwmfwdaf
Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari
0
242160
1579467
2026-07-15T07:50:21Z
SciFusion
76137
Nimeunda kurasa
1579467
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari''' ni kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini [[Yordani]] na Mashariki ya Kati kwa ujumla. Kambi hii ipo umbali wa takriban kilomita 10 mashariki mwa mji wa Mafraq, kaskazini mwa Yordani, karibu sana na mpaka wa [[Syria]].
Zaatari ilifunguliwa rasmi mnamo tarehe 28 Julai [[2012]] ili kuwapokea raia wa Syria waliokuwa wakikimbia [[Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria]] vilivyoanza mwaka 2011. Tangu wakati huo, kambi hii imekuwa ishara kuu ya athari za kijamii na kibinadamu za mgogoro wa Syria. Kambi inasimamiwa kwa pamoja na serikali ya Yordani na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Idadi ya Watu na Ukuaji ==
Tangu kuanzishwa kwake, Zaatari ilikua kwa kasi kubwa sana na kuwa moja ya makazi yenye mkusanyiko mkubwa wa watu nchini Yordani:
* Katika kilele cha mrundikano mnamo mwaka [[2013]], kambi hiyo ilihifadhi zaidi ya wakimbizi '''200,000''', na kuifanya kwa muda kuwa mji wa nne kwa ukubwa nchini Yordani.
* Baada ya ufunguzi wa kambi mpya kama ya Azraq na kuhamia kwa wakimbizi wengi katika maeneo ya mijini nchini Yordani au nchi za tatu, idadi ya wakaazi ilitulia na kufikia takriban watu '''80,000'''.
== Miundombinu na Maisha ==
Zaatari imebadilika kutoka kambi ya dharura ya mahema hadi kuwa makazi thabiti ya nusu-kudumu:
* '''Makazi:''' Mahema yote ya zamani yamebadilishwa na kuwa nyumba za mabati ambazo hutoa ulinzi bora dhidi ya baridi kali ya majira ya baridi na joto kali la jangwani wakati wa kiangazi.
* '''Nishati na Maji:''' Kambi hiyo ina mtandao mkubwa wa nishati ya jua unaotoa umeme kwa saa kadhaa kwa siku. Pia ina mfumo wa kisasa wa mabomba ya kusambaza maji safi na kutoa maji taka ili kuboresha hali ya usafi.
* '''Elimu na Afya:''' Kuna shule kadhaa zinazoendeshwa kwa ushirikiano wa wizara ya elimu ya Yordani, pamoja na kliniki na hospitali zinazotoa huduma za afya bure kwa wakimbizi.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]]
* [[Wakimbizi wa Syria]]
* [[Yordani]]
61zx20kweq2zuzydrt7fn0q7k8ueygr
1579604
1579467
2026-07-15T10:28:47Z
Riccardo Riccioni
452
1579604
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari''' ni kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini [[Yordani]] na Mashariki ya Kati kwa ujumla. Kambi hii ipo umbali wa takriban kilomita 10 mashariki mwa mji wa Mafraq, kaskazini mwa Yordani, karibu sana na mpaka wa [[Syria]].
Zaatari ilifunguliwa rasmi mnamo tarehe 28 Julai [[2012]] ili kuwapokea raia wa Syria waliokuwa wakikimbia [[Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe vya Syria]] vilivyoanza mwaka 2011. Tangu wakati huo, kambi hii imekuwa ishara kuu ya athari za kijamii na kibinadamu za mgogoro wa Syria. Kambi inasimamiwa kwa pamoja na serikali ya Yordani na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Idadi ya Watu na Ukuaji ==
Tangu kuanzishwa kwake, Zaatari ilikua kwa kasi kubwa sana na kuwa moja ya makazi yenye mkusanyiko mkubwa wa watu nchini Yordani:
* Katika kilele cha mrundikano mnamo mwaka [[2013]], kambi hiyo ilihifadhi zaidi ya wakimbizi '''200,000''', na kuifanya kwa muda kuwa mji wa nne kwa ukubwa nchini Yordani.
* Baada ya ufunguzi wa kambi mpya kama ya Azraq na kuhamia kwa wakimbizi wengi katika maeneo ya mijini nchini Yordani au nchi za tatu, idadi ya wakaazi ilitulia na kufikia takriban watu '''80,000'''.
== Miundombinu na Maisha ==
Zaatari imebadilika kutoka kambi ya dharura ya mahema hadi kuwa makazi thabiti ya nusu-kudumu:
* '''Makazi:''' Mahema yote ya zamani yamebadilishwa na kuwa nyumba za mabati ambazo hutoa ulinzi bora dhidi ya baridi kali ya majira ya baridi na joto kali la jangwani wakati wa kiangazi.
* '''Nishati na Maji:''' Kambi hiyo ina mtandao mkubwa wa nishati ya jua unaotoa umeme kwa saa kadhaa kwa siku. Pia ina mfumo wa kisasa wa mabomba ya kusambaza maji safi na kutoa maji taka ili kuboresha hali ya usafi.
* '''Elimu na Afya:''' Kuna shule kadhaa zinazoendeshwa kwa ushirikiano wa wizara ya elimu ya Yordani, pamoja na kliniki na hospitali zinazotoa huduma za afya bure kwa wakimbizi.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]]
[[Jamii:Historia ya Yordani]]
[[Jamii:Historia ya Syria]]
6fsqdzbu3nqrh5tc6b3yt47oz6p6318
Akbar Ganji
0
242161
1579468
2026-07-15T07:50:59Z
Tumaini Mwenda Ruleju
69361
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Akbar Ganji''' (aliyezaliwa Januari 31, 1960) ni mwandishi wa habari na mwandishi kutoka nchini Iran, ambaye pia ni mwanachama wa zamani wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.<ref>{{cite book |author=Karen L. Kinnear |title=Women in Developing Countries: A Reference Handbook |publisher=ABC-CLIO |year=2011 |pages=152 |isbn=978-1-59884-425-2}}</ref><ref>{{cite web |title=Inside |url=http://www.inside.org |website=inside.org}}</ref> Ganji ameeleze...'
1579468
wikitext
text/x-wiki
'''Akbar Ganji''' (aliyezaliwa Januari 31, 1960) ni mwandishi wa habari na mwandishi kutoka nchini Iran, ambaye pia ni mwanachama wa zamani wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.<ref>{{cite book |author=Karen L. Kinnear |title=Women in Developing Countries: A Reference Handbook |publisher=ABC-CLIO |year=2011 |pages=152 |isbn=978-1-59884-425-2}}</ref><ref>{{cite web |title=Inside |url=http://www.inside.org |website=inside.org}}</ref> Ganji ameelezewa mara kwa mara kama mpinzani mkuu wa kisiasa nchini humo na mwandishi wa habari maarufu wa demokrasia ambaye amevuka mistari nyekundu ya udhibiti wa vyombo vya habari.<ref>{{cite web |title=Akbar Ganji – BetterWorldHeroes.com – Biography |url=http://www.betterworld.net/heroes/ganji.htm |website=Betterworld.net |accessdate=2013-07-30}}</ref><ref>{{cite web |title=Biography: Akbar Ganji |url=https://www.cato.org/people/akbar-ganji |publisher=Cato Institute |accessdate=2021-01-11}}</ref> Ingawa katika ujana wake alikuwa mfuasi wa mapinduzi ya Kiislamu, alikata tamaa katikati ya miaka ya 1990 na kutumikia kifungo katika Gereza la Evin la Tehran kuanzia mwaka 2001 hadi 2006, kufuatia mfululizo wa machapisho yake kuhusu mauaji ya mnyororo nchini Iran yaliyolenga waandishi wapinzani.<ref name="Kahn2008">{{cite web |author=Kahn, Paul W. |title=Akbar Ganji in conversation with Charles Taylor |url=http://www.ssrc.org |publisher=Ssrc.org |date=2008-12-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090506000000/http://www.ssrc.org |archivedate=2009-05-06 |accessdate=2013-11-10}}</ref> Akiwa gerezani, alitoa ilani iliyomfanya kuwa mwanamapinduzi wa kwanza wa zamani kutoa wito wa kubadilishwa kwa mfumo wa kitheokrasi wa Iran na kuwekwa kwa mfumo wa demokrasia.<ref name="Kahn2008" /><ref>{{cite news |title=Iranian dissident freed from jail |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/4819770.stm |work=BBC News |date=2006-03-18}}</ref>
== Tuzo na Kutambulika ==
Baada ya kukabiliwa na kifungo gerezani na hata kufanya mgomo mkali wa njaa ulioweka maisha yake hatarini, Ganji alitambuliwa kimataifa kama mfungwa maarufu wa kisiasa wa Iran.<ref>{{cite book |author=Ebadi, Shirin |title=Iran Awakening |publisher=Random House |location=New York |year=2006 |pages=193}}</ref><ref>{{cite news |title=Iranian Political Prisoner on Hunger Strike Nears Death |url=https://www.npr.org |publisher=NPR |accessdate=2021-06-29}}</ref><ref>{{cite news |title=A top dissident refuses to give in |url=https://www.economist.com |work=The Economist |date=2005-12-08 |issn=0013-0613 |accessdate=2021-06-29}}</ref> Ametajwa kuwa raia wa heshima wa miji mingi ya Ulaya na kushinda tuzo kadhaa kubwa za kimataifa kwa ajili ya uandishi wake na utetezi wa haki za binadamu.<ref name="Kahn2008" /> Miongoni mwa tuzo hizo ni Tuzo ya Dhahabu ya Uhuru kutoka Chama cha Magazeti Duniani, Tuzo ya Martin Ennals kwa Watetezi wa Haki za Binadamu, Tuzo ya Milton Friedman ya Taasisi ya Cato ya Kuendeleza Uhuru, na Tuzo ya Uhuru ya John Humphrey.<ref name="Kahn2008" /><ref>{{cite web |author=Katajun Amirpur |title=Akbar Ganji: Beggars of the state |url=http://www.signandsight.com |website=signandsight |date=2006-07-18 |accessdate=2013-07-30}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
b0w5dnwgy6pdg2v6w2jtjuidprtqfa5
1579605
1579468
2026-07-15T10:29:34Z
Riccardo Riccioni
452
1579605
wikitext
text/x-wiki
'''Akbar Ganji''' (alizaliwa Januari 31, 1960) ni mwandishi wa habari na mwandishi kutoka nchini Iran, ambaye pia ni mwanachama wa zamani wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.<ref>{{cite book |author=Karen L. Kinnear |title=Women in Developing Countries: A Reference Handbook |publisher=ABC-CLIO |year=2011 |pages=152 |isbn=978-1-59884-425-2}}</ref><ref>{{cite web |title=Inside |url=http://www.inside.org |website=inside.org}}</ref> Ganji ameelezewa mara kwa mara kama mpinzani mkuu wa kisiasa nchini humo na mwandishi wa habari maarufu wa demokrasia ambaye amevuka mistari nyekundu ya udhibiti wa vyombo vya habari.<ref>{{cite web |title=Akbar Ganji – BetterWorldHeroes.com – Biography |url=http://www.betterworld.net/heroes/ganji.htm |website=Betterworld.net |accessdate=2013-07-30}}</ref><ref>{{cite web |title=Biography: Akbar Ganji |url=https://www.cato.org/people/akbar-ganji |publisher=Cato Institute |accessdate=2021-01-11}}</ref> Ingawa katika ujana wake alikuwa mfuasi wa mapinduzi ya Kiislamu, alikata tamaa katikati ya miaka ya 1990 na kutumikia kifungo katika Gereza la Evin la Tehran kuanzia mwaka 2001 hadi 2006, kufuatia mfululizo wa machapisho yake kuhusu mauaji ya mnyororo nchini Iran yaliyolenga waandishi wapinzani.<ref name="Kahn2008">{{cite web |author=Kahn, Paul W. |title=Akbar Ganji in conversation with Charles Taylor |url=http://www.ssrc.org |publisher=Ssrc.org |date=2008-12-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090506000000/http://www.ssrc.org |archivedate=2009-05-06 |accessdate=2013-11-10}}</ref> Akiwa gerezani, alitoa ilani iliyomfanya kuwa mwanamapinduzi wa kwanza wa zamani kutoa wito wa kubadilishwa kwa mfumo wa kitheokrasi wa Iran na kuwekwa kwa mfumo wa demokrasia.<ref name="Kahn2008" /><ref>{{cite news |title=Iranian dissident freed from jail |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/4819770.stm |work=BBC News |date=2006-03-18}}</ref>
== Tuzo na Kutambulika ==
Baada ya kukabiliwa na kifungo gerezani na hata kufanya mgomo mkali wa njaa ulioweka maisha yake hatarini, Ganji alitambuliwa kimataifa kama mfungwa maarufu wa kisiasa wa Iran.<ref>{{cite book |author=Ebadi, Shirin |title=Iran Awakening |publisher=Random House |location=New York |year=2006 |pages=193}}</ref><ref>{{cite news |title=Iranian Political Prisoner on Hunger Strike Nears Death |url=https://www.npr.org |publisher=NPR |accessdate=2021-06-29}}</ref><ref>{{cite news |title=A top dissident refuses to give in |url=https://www.economist.com |work=The Economist |date=2005-12-08 |issn=0013-0613 |accessdate=2021-06-29}}</ref> Ametajwa kuwa raia wa heshima wa miji mingi ya Ulaya na kushinda tuzo kadhaa kubwa za kimataifa kwa ajili ya uandishi wake na utetezi wa haki za binadamu.<ref name="Kahn2008" /> Miongoni mwa tuzo hizo ni Tuzo ya Dhahabu ya Uhuru kutoka Chama cha Magazeti Duniani, Tuzo ya Martin Ennals kwa Watetezi wa Haki za Binadamu, Tuzo ya Milton Friedman ya Taasisi ya Cato ya Kuendeleza Uhuru, na Tuzo ya Uhuru ya John Humphrey.<ref name="Kahn2008" /><ref>{{cite web |author=Katajun Amirpur |title=Akbar Ganji: Beggars of the state |url=http://www.signandsight.com |website=signandsight |date=2006-07-18 |accessdate=2013-07-30}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{BD|1960|}}
[[Jamii:watu wa Irani]]
[[Jamii:Wiki for Refugees 2026]]
3pvmj6k3fk0kgmfngox584eqmfb4f2r
Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali
0
242162
1579469
2026-07-15T08:07:19Z
SciFusion
76137
nimeunda makala mpya
1579469
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali''' ni makazi makubwa ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Kikuube (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Hoima]]), Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Makazi haya yalianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1960]] ili kuhifadhi wakimbizi kutoka [[Rwanda]] waliokuwa wakikimbia vurugu za kabla ya uhuru. Tangu wakati huo, makazi haya yamepanuka na kupokea maelfu ya watu wanaokimbia migogoro ya silaha kutoka nchi mbalimbali za maziwa makuu, hasa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Sudan Kusini]], [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], na [[Kenya]].
== Idadi ya Watu na Chimbuko ==
Kyangwali ni moja ya makazi yenye idadi kubwa ya watu nchini Uganda:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''130,000''', huku idadi kubwa ikiwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliovuka [[Ziwa Albert]] kukimbia mapigano katika majimbo ya [[Ituri]] na [[Kivu ya Kaskazini]].
* Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) kwa ushirikiano na shirika la [[UNHCR]] ndio wasimamizi wakuu wa makazi haya.
== Sera ya Kipekee ya Uganda ya Ushirikishwaji ==
Tofauti na nchi nyingi zinazoweka wakimbizi kwenye kambi zilizofungwa, Uganda inatekeleza sera ya kipekee kupitia Sheria ya Wakimbizi ya mwaka 2006:
* '''Ugawaji wa Ardhi:''' Kila familia ya mkimbizi inayowasili Kyangwali hupewa kipande kidogo cha ardhi kwa ajili ya kujenga nyumba na kufanya kilimo cha kujikimu.
* '''Uhuru wa Kutembea na Kufanya Kazi:''' Wakimbizi wana haki ya kufanya biashara, kufanya kazi, na kutembea kwa uhuru nje ya makazi bila kuhitaji vibali maalum.
* '''Ushirikiano wa Huduma:''' Miundombinu kama shule na vituo vya afya inatumiwa kwa pamoja kati ya wakimbizi na wenyeji (Waganda), jambo linalopunguza chuki na kuimarisha amani.
== Uchumi na Kilimo ==
Kyangwali ipo kwenye eneo lenye udongo wenye rutuba nzuri:
* Wakimbizi wanajishughulisha sana na kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], [[mihogo]], na [[michembe]] ya mtama.
* Kuna masoko makubwa ndani ya makazi ambapo mazao ya kilimo yanauzwa hadi kwenye miji ya jirani kama Hoima na [[Kampala]], jambo linalochangia kukuza uchumi wa eneo hilo.
== Changamoto ==
Licha ya sera nzuri, Kyangwali inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Uhaba wa Rasilimali:''' Ongezeko kubwa la ghafula la wakimbizi wapya linasababisha uhaba wa maji safi, madawa katika zahanati, na madarasa ya kutosha shuleni.
* '''Magonjwa:''' Kutokana na ukaribu wake na Ziwa Albert na mikusanyiko mikubwa ya watu, makazi haya wakati mwingine hukabiliwa na milipuko ya magonjwa ya mlipuko kama [[Kipindupindu]].
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Nakivale]]
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]]
* [[Kikuube (wilaya)]]
* [[UNHCR]]
r77t4dbxcrbrc5yqaejzwbk4unvz7sp
1579473
1579469
2026-07-15T08:18:18Z
Muddyb
379
1579473
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali''' ni makazi makubwa ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Kikuube (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Hoima]]), Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Makazi haya yalianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1960]] ili kuhifadhi wakimbizi kutoka [[Rwanda]] waliokuwa wakikimbia vurugu za kabla ya uhuru. Tangu wakati huo, makazi haya yamepanuka na kupokea maelfu ya watu wanaokimbia migogoro ya silaha kutoka nchi mbalimbali za maziwa makuu, hasa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Sudan Kusini]], [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], na [[Kenya]].
== Idadi ya Watu na Chimbuko ==
Kyangwali ni moja ya makazi yenye idadi kubwa ya watu nchini Uganda:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''130,000''', huku idadi kubwa ikiwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliovuka [[Ziwa Albert]] kukimbia mapigano katika majimbo ya [[Ituri]] na [[Kivu ya Kaskazini]].
* Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) kwa ushirikiano na shirika la [[UNHCR]] ndio wasimamizi wakuu wa makazi haya.
== Sera ya Kipekee ya Uganda ya Ushirikishwaji ==
Tofauti na nchi nyingi zinazoweka wakimbizi kwenye kambi zilizofungwa, Uganda inatekeleza sera ya kipekee kupitia Sheria ya Wakimbizi ya mwaka 2006:
* '''Ugawaji wa Ardhi:''' Kila familia ya mkimbizi inayowasili Kyangwali hupewa kipande kidogo cha ardhi kwa ajili ya kujenga nyumba na kufanya kilimo cha kujikimu.
* '''Uhuru wa Kutembea na Kufanya Kazi:''' Wakimbizi wana haki ya kufanya biashara, kufanya kazi, na kutembea kwa uhuru nje ya makazi bila kuhitaji vibali maalum.
* '''Ushirikiano wa Huduma:''' Miundombinu kama shule na vituo vya afya inatumiwa kwa pamoja kati ya wakimbizi na wenyeji (Waganda), jambo linalopunguza chuki na kuimarisha amani.
== Uchumi na Kilimo ==
Kyangwali ipo kwenye eneo lenye udongo wenye rutuba nzuri:
* Wakimbizi wanajishughulisha sana na kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], [[mihogo]], na [[michembe]] ya mtama.
* Kuna masoko makubwa ndani ya makazi ambapo mazao ya kilimo yanauzwa hadi kwenye miji ya jirani kama Hoima na [[Kampala]], jambo linalochangia kukuza uchumi wa eneo hilo.
== Changamoto ==
Licha ya sera nzuri, Kyangwali inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Uhaba wa Rasilimali:''' Ongezeko kubwa la ghafula la wakimbizi wapya linasababisha uhaba wa maji safi, madawa katika zahanati, na madarasa ya kutosha shuleni.
* '''Magonjwa:''' Kutokana na ukaribu wake na Ziwa Albert na mikusanyiko mikubwa ya watu, makazi haya wakati mwingine hukabiliwa na milipuko ya magonjwa ya mlipuko kama [[Kipindupindu]].
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Nakivale]]
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]]
* [[Kikuube (wilaya)]]
* [[UNHCR]]
{{WFR}}
r0knqtj4052qh67fy2wz3yid61ob0i0
1579606
1579473
2026-07-15T10:30:12Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tazama Pia */
1579606
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali''' ni makazi makubwa ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Kikuube (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Hoima]]), Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Makazi haya yalianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1960]] ili kuhifadhi wakimbizi kutoka [[Rwanda]] waliokuwa wakikimbia vurugu za kabla ya uhuru. Tangu wakati huo, makazi haya yamepanuka na kupokea maelfu ya watu wanaokimbia migogoro ya silaha kutoka nchi mbalimbali za maziwa makuu, hasa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Sudan Kusini]], [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], na [[Kenya]].
== Idadi ya Watu na Chimbuko ==
Kyangwali ni moja ya makazi yenye idadi kubwa ya watu nchini Uganda:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''130,000''', huku idadi kubwa ikiwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliovuka [[Ziwa Albert]] kukimbia mapigano katika majimbo ya [[Ituri]] na [[Kivu ya Kaskazini]].
* Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) kwa ushirikiano na shirika la [[UNHCR]] ndio wasimamizi wakuu wa makazi haya.
== Sera ya Kipekee ya Uganda ya Ushirikishwaji ==
Tofauti na nchi nyingi zinazoweka wakimbizi kwenye kambi zilizofungwa, Uganda inatekeleza sera ya kipekee kupitia Sheria ya Wakimbizi ya mwaka 2006:
* '''Ugawaji wa Ardhi:''' Kila familia ya mkimbizi inayowasili Kyangwali hupewa kipande kidogo cha ardhi kwa ajili ya kujenga nyumba na kufanya kilimo cha kujikimu.
* '''Uhuru wa Kutembea na Kufanya Kazi:''' Wakimbizi wana haki ya kufanya biashara, kufanya kazi, na kutembea kwa uhuru nje ya makazi bila kuhitaji vibali maalum.
* '''Ushirikiano wa Huduma:''' Miundombinu kama shule na vituo vya afya inatumiwa kwa pamoja kati ya wakimbizi na wenyeji (Waganda), jambo linalopunguza chuki na kuimarisha amani.
== Uchumi na Kilimo ==
Kyangwali ipo kwenye eneo lenye udongo wenye rutuba nzuri:
* Wakimbizi wanajishughulisha sana na kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], [[mihogo]], na [[michembe]] ya mtama.
* Kuna masoko makubwa ndani ya makazi ambapo mazao ya kilimo yanauzwa hadi kwenye miji ya jirani kama Hoima na [[Kampala]], jambo linalochangia kukuza uchumi wa eneo hilo.
== Changamoto ==
Licha ya sera nzuri, Kyangwali inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Uhaba wa Rasilimali:''' Ongezeko kubwa la ghafula la wakimbizi wapya linasababisha uhaba wa maji safi, madawa katika zahanati, na madarasa ya kutosha shuleni.
* '''Magonjwa:''' Kutokana na ukaribu wake na Ziwa Albert na mikusanyiko mikubwa ya watu, makazi haya wakati mwingine hukabiliwa na milipuko ya magonjwa ya mlipuko kama [[Kipindupindu]].
{{WFR}}
[[Jamii:Historia ya Uganda]]
2of40mosw2nr4pkqh22rn75ldkcaqsn
Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale
0
242163
1579470
2026-07-15T08:14:09Z
SciFusion
76137
nimeunda kurasa
1579470
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale''' ni makazi makubwa na ya kihistoria ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Isingiro, Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Yakiwa yameanzishwa rasmi mnamo mwaka [[1958]], makazi haya yanatajwa kuwa miongoni mwa makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi barani [[Afrika]] yanayoendelea kufanya kazi hadi sasa. Makazi haya yanasimamiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Jiografia na Ukubwa ==
Nakivale inachukua eneo kubwa sana la kijiografia:
* Eneo lake lina ukubwa wa takriban '''kilomita za mraba 184'''.
* Makazi haya yanajumuisha maeneo ya malisho, mashamba, milima, na yanapakana na Ziwa Nakivale ambalo ni chanzo muhimu cha maji na shughuli za uvuvi kwa wakazi wake.
== Idadi ya Watu na Mataifa ==
Nakivale inasifika kwa kuwa na jamii mchanganyiko na ya kitamaduni inayowakilisha mataifa mengi ya Afrika:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''140,000''' hadi '''170,000'''.
* Wakazi wake wanatoka katika nchi mbalimbali zikiwemo [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], [[Eritrea]], [[Ethiopia]], [[Sudan Kusini]], na [[Kenya]].
* Jamii hizi tofauti zinaishi kwa amani katika kanda (zones) mbalimbali zilizotengwa ndani ya makazi hayo, huku kila jamii ikichangia utofauti wa lugha na utamaduni.
== Mfano wa Kujitegemea na Uchumi ==
Sawa na makazi mengine nchini Uganda, Nakivale inafuata sera ya maendeleo inayomwezesha mkimbizi kujitegemea badala ya kutegemea misaada pekee:
* '''Kilimo:''' Kila familia ya mkimbizi inapewa kipande cha ardhi kwa ajili ya kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], na [[migomba]].
* '''Biashara na Teknolojia:''' Ndani ya Nakivale kuna mji mdogo wa kibiashara wenye maduka, masoko, migahawa, na hata huduma za kifedha. Aidha, kambi hii imekuwa kitovu cha ubunifu ambapo vijana wakimbizi wameanzisha miradi ya kijamii na kiteknolojia (kama vile vituo vya mafunzo ya kompyuta na ushonaji) ili kutengeneza fursa za ajira.
== Changamoto ==
Licha ya mafanikio yake kama mfano wa kuigwa duniani, Nakivale inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Mabadiliko ya Tabianchi:''' Uhaba wa mvua na ukame wa mara kwa mara katika Wilaya ya Isingiro huathiri vibaya kilimo ambacho ndio nguzo kuu ya chakula na kipato kwa wakimbizi.
* '''Shinikizo la Miundombinu:''' Ongezeko endelevu la wakimbizi wapya kutoka nchi zenye migogoro kama DRC linasababisha mzigo mkubwa kwenye huduma za kijamii kama vile shule, zahanati, na upatikanaji wa maji safi.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]]
* [[Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]]
* [[Isingiro (wilaya)]]
* [[UNHCR]]
962fh9scoe2o2ifllzaukonq24t4s9m
1579607
1579470
2026-07-15T10:30:44Z
Riccardo Riccioni
452
1579607
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale''' ni makazi makubwa na ya kihistoria ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Isingiro, Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Yakiwa yameanzishwa rasmi mnamo mwaka [[1958]], makazi haya yanatajwa kuwa miongoni mwa makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi barani [[Afrika]] yanayoendelea kufanya kazi hadi sasa. Makazi haya yanasimamiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Jiografia na Ukubwa ==
Nakivale inachukua eneo kubwa sana la kijiografia:
* Eneo lake lina ukubwa wa takriban '''kilomita za mraba 184'''.
* Makazi haya yanajumuisha maeneo ya malisho, mashamba, milima, na yanapakana na Ziwa Nakivale ambalo ni chanzo muhimu cha maji na shughuli za uvuvi kwa wakazi wake.
== Idadi ya Watu na Mataifa ==
Nakivale inasifika kwa kuwa na jamii mchanganyiko na ya kitamaduni inayowakilisha mataifa mengi ya Afrika:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''140,000''' hadi '''170,000'''.
* Wakazi wake wanatoka katika nchi mbalimbali zikiwemo [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], [[Eritrea]], [[Ethiopia]], [[Sudan Kusini]], na [[Kenya]].
* Jamii hizi tofauti zinaishi kwa amani katika kanda (zones) mbalimbali zilizotengwa ndani ya makazi hayo, huku kila jamii ikichangia utofauti wa lugha na utamaduni.
== Mfano wa Kujitegemea na Uchumi ==
Sawa na makazi mengine nchini Uganda, Nakivale inafuata sera ya maendeleo inayomwezesha mkimbizi kujitegemea badala ya kutegemea misaada pekee:
* '''Kilimo:''' Kila familia ya mkimbizi inapewa kipande cha ardhi kwa ajili ya kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], na [[migomba]].
* '''Biashara na Teknolojia:''' Ndani ya Nakivale kuna mji mdogo wa kibiashara wenye maduka, masoko, migahawa, na hata huduma za kifedha. Aidha, kambi hii imekuwa kitovu cha ubunifu ambapo vijana wakimbizi wameanzisha miradi ya kijamii na kiteknolojia (kama vile vituo vya mafunzo ya kompyuta na ushonaji) ili kutengeneza fursa za ajira.
== Changamoto ==
Licha ya mafanikio yake kama mfano wa kuigwa duniani, Nakivale inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Mabadiliko ya Tabianchi:''' Uhaba wa mvua na ukame wa mara kwa mara katika Wilaya ya Isingiro huathiri vibaya kilimo ambacho ndio nguzo kuu ya chakula na kipato kwa wakimbizi.
* '''Shinikizo la Miundombinu:''' Ongezeko endelevu la wakimbizi wapya kutoka nchi zenye migogoro kama DRC linasababisha mzigo mkubwa kwenye huduma za kijamii kama vile shule, zahanati, na upatikanaji wa maji safi.
[[Jamii:Historia ya Uganda]]
daxnaycuinml00mz8tprqdy2tz0fe26
Pharrell Williams
0
242164
1579471
2026-07-15T08:17:00Z
Muddyb
379
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox person | jina = Pharrell Williams | picha = Pharrell Williams 2024 (54133384149).jpg | maelezo = Williams mwaka 2024 | jina la kuzaliwa = Pharrell Lanscilo Williams<ref name="GrammyBio">{{cite web|url=https://www.grammy.com/artists/pharrell-williams/7310|title=Artist: Pharrell Williams|work=Recording Academy|date=November 23, 2020}}</ref> | majina mengine = {{flat list| * Pharrell * Skateboard P * Sk8brd * Auto Goon * Magnum, the Verb Lord * Stat...'
1579471
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person
| jina = Pharrell Williams
| picha = Pharrell Williams 2024 (54133384149).jpg
| maelezo = Williams mwaka 2024
| jina la kuzaliwa = Pharrell Lanscilo Williams<ref name="GrammyBio">{{cite web|url=https://www.grammy.com/artists/pharrell-williams/7310|title=Artist: Pharrell Williams|work=Recording Academy|date=November 23, 2020}}</ref>
| majina mengine = {{flat list|
* Pharrell
* Skateboard P
* Sk8brd
* Auto Goon
* Magnum, the Verb Lord
* Station Wagon P
* Yellow Lightning
}}
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date and age|1973|4|5}}
| mahali pa kuzaliwa = [[Virginia Beach, Virginia]], Marekani
| kazi yake = {{flat list|
* Mwanamuziki
* mwimbaji
* mtunzi wa nyimbo
* rapa
* mtayarishaji wa muziki
* mbunifu wa mitindo
}}
| elimu = [[Northwestern University]] (aliacha masomo)
| miaka ya kazi = 1992–sasa
| ndoa = {{marriage|Helen Lasichanh|2013}}
| watoto = 4
| jamaa = [[Timbaland]] (binamu)<ref>{{cite web|author=Mika|title=Timbaland Reveals Pharrell is His Cousin at 'The Cruz Show'|date=February 13, 2016|url=https://theneptunes.org/2016/02/timbaland-reveals-pharrell-is-his-cousin-at-the-cruz-show/|publisher=[[The Neptunes]]|access-date=February 13, 2016}}</ref>
| tuzo = [[List of awards and nominations received by Pharrell Williams|Orodha kamili]]
| module = {{Infobox musical artist 2
| embed = yes
| background = solo_singer
| aina = {{hlist|[[Hip-hop]]|[[Contemporary R&B|R&B]]|[[Pop music|Pop]]<ref name="Allmusic">{{cite web|url={{AllMusic|class=artist|id=p281403|pure_url=yes}}|title=Pharrell Williams – Overview|last=Kellman|first=Andy|website=[[Allmusic]]|access-date=March 5, 2009}}</ref>|[[Funk music|Funk]]|[[Rock music|Rock]]}}
| ala = {{flat list|
* Sauti
* kinanda
* ngoma
}}
| studio = {{flat list|
* [[I Am Other]]
* [[Columbia Records|Columbia]]
* [[Virgin Records|Virgin]]
* [[Arista Records|Arista]]
* [[Interscope Records|Interscope]]
* [[Star Trak Entertainment|Star Trak]]
}}
| ameshirikiana na = {{flat list|
* [[The Neptunes]]
* [[N.E.R.D.]]
* [[Child Rebel Soldier]]
}}
| wavuti = {{URL|pharrellwilliams.com}}
}}
| sahihi = Pharrell Williams sig.svg
}}
'''Pharrell Lanscilo Williams''' (alizaliwa Aprili 5, 1973) ni mwanamuziki wa Marekani, mwandishi wa nyimbo, mtayarishaji wa muziki, na mbunifu wa mitindo. Hapo awali alijulikana kama nusu ya kwanza ya kundi la utayarishaji wa muziki la [[the Neptunes]], ambalo alilianzisha kwa kushirikiana na [[Chad Hugo]] mnamo mwaka 1992.<ref name="Sony/ATV">{{cite web|url=https://www.sonyatv.com/en/songwriters/637/pharrell-williams|title=Pharrell Williams|publisher=[[Sony/ATV Music Publishing]]|access-date=December 2, 2019}}</ref> Kazi kumi na tano kati ya [[Diskografia ya utayarishaji wa The Neptunes|kazi zao za utayarishaji]] zimefanikiwa kuingia kwenye kumi bora za chati ya [[Billboard Hot 100|''Billboard'' Hot 100]], ikijumuisha nyimbo nne zilizoshika nafasi ya kwanza kabisa kwenye chati hiyo.<ref>{{Cite web|url=https://hiphopdx.com/news/id.63414/title.billboard-proclaims-pharrell-the-neptunes-the-greatest-hip-hop-producers-of-21st-century|title=The Neptunes Named the Greatest Modern Hip Hop Producers by Billboard|date=July 22, 2021|website=HipHopDX.com|access-date=February 24, 2024|archive-date=February 24, 2024|archive-url=https://web.archive.org/web/20240224093624/https://hiphopdx.com/news/id.63414/title.billboard-proclaims-pharrell-the-neptunes-the-greatest-hip-hop-producers-of-21st-century|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite news|url=https://www.latimes.com/entertainment/news/music/la-et-nerd-01jun01,0,7745056.story|title=Los Angeles Times|access-date=December 11, 2011 |first=Chris|last=Lee|date=June 1, 2008}}</ref> Wawili hao pia walianzisha bendi ya [[Muziki wa Rock|rock]] na [[hip-hop]] ya [[N.E.R.D.]] wakishirikiana na [[Shay Haley]] mnamo mwaka 1999, ambapo Williams alikuwa mwimbaji mkuu. Anatajwa kuwa mmoja wa watayarishaji wenye ushawishi mkubwa zaidi katika [[muziki wa pop]] wa kisasa.<ref>{{Cite web|url=https://www.capitalxtra.com/artists/pharrell-williams/lists/the-most-influential-man-in-music/|title=The Story of How Pharrell Became the Most Influential Man in Music|website=Capital XTRA|access-date=December 9, 2021|archive-date=December 9, 2021|archive-url=https://web.archive.org/web/20211209214015/https://www.capitalxtra.com/artists/pharrell-williams/lists/the-most-influential-man-in-music/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite magazine|url=https://www.billboard.com/music/awards/pharrell-williams-rick-rubin-most-awarded-producers-2000s-9605820/|title=Pharrell Williams, Rick Rubin & More of the Most Awarded Producers of the 2000s|magazine=[[Billboard (magazine)|Billboard]]|date=July 23, 2021}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://exclaim.ca/amparticle/pharrell_williams-the_pharrell_phenomenon|title=Pharrell Williams the Pharrell Phenomenon|work=Exclaim}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.theage.com.au/entertainment/music/like-the-song-these-guys-wrote-it-20040515-gdxu7b.html|title=Like the song? These guys wrote it|date=May 15, 2004|work=The Age}}</ref> Pia amechangia kuandaa muziki wa filamu zote za katuni za mfululizo wa ''[[Despicable Me (mfululizo wa filamu)|Despicable Me]]''.
Williams alianzisha studio ya kurekodi muziki ya [[Star Trak Entertainment]] akishirikiana na Hugo mnamo mwaka 2001, ikiwa chini ya usimamizi wa [[Arista Records]]. Wimbo wa kwanza wa Williams kama msanii wa kujitegemea mnamo mwaka 2003, "[[Frontin']]" (akishirikiana na [[Jay-Z]]), ulishika nafasi ya tano kwenye chati ya ''Billboard'' Hot 100. Baadaye alisaini mkataba na kampuni za [[Virgin Records|Virgin]] na [[Interscope Records]] kwa ajili ya kuachia albamu yake ya kwanza ya studio, ''[[In My Mind (albamu ya Pharrell Williams)|In My Mind]]'' (2006), iliyoshika nafasi ya tatu kwenye chati ya [[Billboard 200|''Billboard'' 200]] licha ya kupokea maoni mseto kutoka kwa wakosoaji wa muziki.<ref>{{cite web|url=https://www.bbc.co.uk/music/artists/149f91ef-1287-46da-9a8e-87fee02f1471|title=BBC|access-date=December 11, 2011}}</ref> Williams alitayarisha na kushirikishwa na [[T.I.]] kwenye wimbo wa msanii wa Star Trak, [[Robin Thicke]], wa mwaka 2013 uitwao "[[Blurred Lines]]", ulioshika nafasi ya kwanza kwenye chati ya ''Billboard'' Hot 100 na kupata cheti cha [[cheti cha RIAA|platinamu ya kiwango cha almasi]] kutoka kwa chama cha Chama cha Sekta ya Kurekodi ya Marekani (RIAA). Mwaka huo huo, kushirikishwa kwake pamoja na [[Nile Rodgers]] kwenye wimbo wa [[Daft Punk]] uitwao "[[Get Lucky (wimbo wa Daft Punk)|Get Lucky]]" kulishika nafasi ya pili kwenye chati na kushinda tuzo ya Grammy ya Rekodi Bora ya Mwaka na Utendaji Bora wa Pop wa Kundi/Wawili katika Tuzo za 56 za Kila Mwaka za Grammy. Wimbo wa Williams wa mwaka 2013, "[[Happy (wimbo wa Pharrell Williams)|Happy]]"—ulioandaliwa kwa ajili ya kibwagizo cha filamu ya ''[[Despicable Me 2]]''—ukawa wimbo wake wa pili kushika nafasi ya kwanza kwenye chati mwaka huo.<ref>{{Cite web|url=https://www.grammy.com/grammys/videos/daft-punk-pharrell-williams-nile-rodgers-win-record-year|archive-url=https://web.archive.org/web/20190321015819/https://www.grammy.com/grammys/videos/daft-punk-pharrell-williams-nile-rodgers-win-record-year|url-status=dead|archive-date=March 21, 2019|title=Daft Punk, Pharrell Williams, Nile Rodgers Win Record Of The Year|date=January 26, 2014|website=GRAMMY.com|language=en|access-date=February 2, 2020}}</ref> Pia ulitumika kama wimbo mkuu wa albamu yake ya pili, ''[[Girl (albamu ya Pharrell Williams)|Girl]]'' (2014), iliyoshika nafasi ya pili kwenye chati ya ''Billboard'' 200 na kupokelewa vizuri sana na wakosoaji.<ref name="second album" />
Williams amepokea tuzo na teuzi mbalimbali. Ameshinda tuzo 13 za Grammy, zikiwemo tatu za Mtayarishaji Bora wa Mwaka, Isiyo ya Klasiki (moja akiwa kama mwanachama wa kundi la the Neptunes). Pia ameteuliwa mara mbili kuwania Tuzo za [[Tuzo za Academy|Oscar (Academy Award)]]: mwaka 2014 kwa ajili ya Wimbo Bora wa Asili kupitia "Happy"; na mwaka 2017 kwa ajili ya Filamu Bora akiwa mtayarishaji wa filamu ya ''[[Hidden Figures]]''. Kama mmiliki pekee, alianzisha kampuni ya sanaa na vyombo vya habari ya [[I Am Other]] mnamo mwaka 2012, ambayo inafanya kazi kama studio ya kurekodi na mwavuli wa ubunifu wa miradi yake mingine, ikiwemo nembo yake ya mitindo na duka la nguo la [[Billionaire Boys Club (duka la nguo)|Billionaire Boys Club]].<ref>{{Cite web|url= https://hypebeast.com/2020/4/pharrell-williams-iamother-soundcloud-compilation-album-emerging-talent-search|title=Pharrell Williams, i am OTHER, and SoundCloud Talent Search|date=April 24, 2020|website=Hypebeast.com}}</ref> Amekuwa mkurugenzi wa ubunifu wa mavazi ya wanaume katika nembo ya [[Louis Vuitton]] tangu mwaka 2023.<ref>{{cite web |date=February 15, 2023 |title=Pharrell Williams |url=https://fashionmag.us/2023/02/pharrell-williams-is-louis-vuittons-next-mens-designer/}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Williams alizaliwa mnamo Aprili 5, 1973, mjini [[Virginia Beach, Virginia]],<ref name="Allmusic" /><ref name="The Guardian">{{cite news|url=https://www.theguardian.com/music/2005/nov/06/popandrock.pharrellwilliams|title=Just Williams|last=Bainbridge|first=Luke|date=November 5, 2005|work=[[The Guardian]]|access-date=December 13, 2008|location=London}}</ref> akiwa mtoto mkubwa kati ya watoto watatu wa kiume wa Carolyn (mwalimu) na Pharoah Williams (fundi mjenzi wa majumba).<ref>{{cite web|date=October 13, 2003|title=Pharrell Williams|work=[[People (magazine)|People]]|url=http://www.people.com/people/archive/article/0,,20148349,00.html|access-date=November 28, 2008}}</ref><ref name="fdr1">Ilielezwa kwenye kipindi cha ''[[Finding Your Roots]]'', Februari 16, 2021</ref> Asili ya familia yake inaenda nyuma kwa vizazi vingi katika majimbo ya [[Virginia]] na [[North Carolina]]. Mmoja wa mababu zake alisafiri kwenda [[Afrika Magharibi]] mnamo mwaka 1831, jambo lililowahamasisha ndugu wengine kuhama kutoka Marekani kwenda [[Liberia]] mnamo mwaka 1832.<ref>{{cite web|date=September 2014|title=Why Pharrell Almost Didn't Exist|work=Megan Smolenyak's Blog|url=http://megansmolenyak.com/pharrell/|access-date=September 8, 2014}}</ref> Williams alikutana na [[Chad Hugo]] wakiwa kwenye kambi ya muziki ya majira ya joto katika darasa la saba, ambapo Williams alikuwa akipiga ngoma na Hugo akipiga [[saksofoni ya tenor]].<ref name="Age">{{cite news|url=http://www.theage.com.au/articles/2004/05/12/1084289744331.html|title=Like the song? These guys wrote it|last=Campbell|first=Melissa|date=May 15, 2004|work=[[The Age]]|access-date=May 22, 2007|location=Melbourne}}</ref> Walisoma Shule ya Upili ya Princess Anne ambapo walikuwa wanachama wa bendi ya shule hiyo iliyoitwa Fabulous Marching Cavaliers.<ref>{{cite news|url=https://www.latimes.com/archives/la-xpm-2004-feb-08-ca-shiver8-story.html|title=Virginia is for hip-hop lovers|last=Shiver|first=Jube Jr.|date=February 8, 2004|work=[[Los Angeles Times]]|access-date=March 5, 2009}}</ref> Williams alihitimu shule ya upili mnamo mwaka 1991 na akasoma katika Chuo Kikuu cha Northwestern kwa miaka miwili kabla ya kuacha masomo.<ref>{{cite news|url=https://www.independent.co.uk/news/people/profiles/pharrell-williams-profile-happiness-is-his-truth-9463049.html?amp |title=Pharrell Williams - profile: Happiness is his truth |newspaper=[[The Independent]] |date=May 30, 2014 |access-date=April 13, 2018}}</ref>
== Kazi ==
=== 1992–2004: The Neptunes na N.E.R.D. ===
Mapema miaka ya 1990, Williams alianzisha kundi la hip-hop lililoitwa Surrounded by Idiots akishirikiana na [[Chad Hugo]], Magoo, na binamu yake [[Timbaland]]; kundi likafa kabla ya kurekodi wimbo wowote.<ref name="NYTimestyle">{{cite news|url=https://www.nytimes.com/2004/02/08/magazine/style-the-sound.html|title=Style; The Sound|last=Frere-Jones|first=Sasha|date=February 8, 2004|work=[[The New York Times]]|access-date=March 5, 2009}}</ref> Baadaye alianzisha kundi la watu wanne la mtindo wa R&B lililoitwa [[the Neptunes]], akiwa na Hugo pamoja na marafiki zao [[Shay Haley]] na Mike Etheridge.<ref name="Yolk">{{Cite web|url=http://www.yolk.com/v092/chadhugo1.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20060508073207/http://www.yolk.com/v092/chadhugo1.html|url-status=dead|title=YOLK Generasian Next | 2.0 Archive|archive-date=May 8, 2006|website=Yolk.com|access-date=April 5, 2026}}</ref> Walishiriki katika onyesho la vipaji la shule ya upili, ambapo waligunduliwa na mtayarishaji [[Teddy Riley]], ambaye studio yake ilikuwa karibu na shule hiyo.<ref name="Yolk" /> Baada ya kuhitimu masomo yao, kundi hilo lilisaini mkataba na Riley.<ref name="Yolk" />
Williams aliandika mistari ya Riley kwenye wimbo maarufu wa [[Wreckx-n-Effect]] wa mwaka 1992 uitwao "[[Rump Shaker (wimbo)|Rump Shaker]]".<ref name="NYTimestyle"/> Wakiwa kama the Neptunes, Williams na Hugo walitayarisha wimbo wa [[N.O.R.E.|Noreaga]] wa mwaka 1998 uitwao "[[Superthug]]".<ref name="NYTimestyle"/> The Neptunes walianza kufanya kazi na kundi la rap la [[Clipse]] (wasanii wa rap [[Pusha T]] na [[No Malice|Malice]]) mwishoni mwa miaka ya 1990, na walifanya kazi kwenye albamu ya Clipse, ''[[Exclusive Audio Footage]]'', ambayo haikuwahi kuachiwa rasmi.<ref name="ExclusiveAudioFootage">{{cite web |last1=Winistorfer |first1=Andrew |title=On 'Exclusive Audio Footage,' The Long-Lost Clipse Album |url=https://magazine.vinylmeplease.com/magazine/exclusive-audio-footage/ |website=VinylMePlease |access-date=September 20, 2020 |date=April 19, 2018 |archive-date=August 2, 2021 |archive-url=https://web.archive.org/web/20210802062347/https://magazine.vinylmeplease.com/magazine/exclusive-audio-footage/ |url-status=dead }}</ref>
The Neptunes walitayarisha wimbo wa [[Mystikal]] uitwao "[[Shake Ya Ass]]" (2000), wimbo wa [[Jay-Z]] uitwao "[[I Just Wanna Love U (Give It 2 Me)]]" (2000), na wimbo wa [[Nelly]] uitwao "[[Hot in Herre]]" (2002).<ref name="NYTimestyle"/> Walifanya kazi na mwimbaji [[Kelis]], wakitayarisha albamu zake mbili za kwanza za studio, ''[[Kaleidoscope (albamu ya Kelis)|Kaleidoscope]]'' (1999) na ''[[Wanderland]]'' (2001).<ref name="Kelis">{{cite magazine |last1=Saponara |first1=Michael |title=Kelis Claims The Neptunes Kept All the Profits From Her First Two Albums |url=https://www.billboard.com/music/rb-hip-hop/kelis-neptunes-pharrell-8549698/ |magazine=[[Billboard (magazine)|Billboard]] |publisher=Billboard |access-date=September 19, 2020 |date=January 30, 2020}}</ref> Mnamo mwaka 2001, kundi la [[N.E.R.D.]], ambalo liliundwa na Williams, Hugo, na Haley, lilitoa albamu yao ya kwanza, ''[[In Search of... (albamu ya N.E.R.D.)|In Search of...]]''.<ref name="InSearchOf">{{cite web |last1=Bierut |first1=Patrick |title='In Search Of...': N*E*R*D's 21st-Century Hip-Hop Mission Statement |url=https://www.udiscovermusic.com/stories/nerd-in-search-of-debut-album/ |website=UDiscover Music |access-date=September 20, 2020 |date=August 6, 2020}}</ref> Williams na Hugo walisajili kundi la Clipse kwenye studio ya [[Arista Records]] kupitia lebo yake ya [[Star Trak Entertainment]] mnamo mwaka 2001.<ref name="Yale Daily News">{{cite web|url=http://www.yaledailynews.com/articles/view/19305 |title=Rap duo 'Clipse' rocks the gangsta hip-hop scene |last=Torbati |first=June |date=December 8, 2006 |work=[[Yale Daily News]] |access-date=March 21, 2009 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20070212024815/http://www.yaledailynews.com/articles/view/19305 |archive-date=February 12, 2007 }}</ref> The Neptunes walitayarisha nyimbo kwenye albamu ya mwimbaji [[Babyface (mwanamuziki)|Babyface]] ya mwaka 2001, ''[[Face2Face (albamu ya Babyface)|Face2Face]]'', ikiwa ni pamoja na wimbo wake mkuu wa kwanza "[[There She Goes (wimbo wa Babyface)|There She Goes]]".<ref name="NYTimestyle"/> The Neptunes walitayarisha pia nyimbo za [[Britney Spears]] zilizoitwa "[[I'm a Slave 4 U]]" na "[[Boys (wimbo wa Britney Spears)|Boys]]" kwa ajili ya albamu yake ya tatu ya studio, ''[[Britney (albamu)|Britney]]'' (2001).<ref name="Age"/><ref>{{cite web|url=http://www.mtv.com/news/articles/1449404/20010928/nerd.jhtml|archive-url=https://web.archive.org/web/20040224083819/http://www.mtv.com/news/articles/1449404/20010928/nerd.jhtml|url-status=dead|archive-date=February 24, 2004|title=Neptunes' Pharrell Williams Rethinks R&B|work=MTV News|access-date=February 13, 2015}}</ref>
Mnamo mwaka 2002, Clipse walitoa albamu yao ya kwanza, ''[[Lord Willin']]'', iliyotayarishwa kikamilifu na the Neptunes.<ref name="LordWillin">{{cite web |last1=Allah |first1=Sha Be |title=Today in Hip-Hop History: The Clipse Release Their Debut LP 'Lord Willin' 18 Years Ago |url=https://thesource.com/2020/08/20/today-in-hip-hop-history-the-clipse-release-their-debut-lp-lord-willin-18-years-ago/ |website=[[The Source (magazine)|The Source]] |publisher=The Source |access-date=September 20, 2020 |date=August 20, 2020}}</ref> Mwaka huo huo, the Neptunes walitayarisha nyimbo nyingi kwenye albamu ya kwanza ya [[Justin Timberlake]] iliyoitwa ''[[Justified (albamu)|Justified]]'', ikijumuisha nyimbo za "[[Señorita (wimbo wa Justin Timberlake)|Señorita]]", "[[Like I Love You]]", na "[[Rock Your Body]]".<ref name="NYTimestyle"/> Mnamo mwaka 2003, the Neptunes walitoa albamu ya mkusanyiko iliyoitwa ''[[Clones (albamu)|Clones]]''.<ref name="Clones">{{cite web |last1=Pemberton |first1=Rollie |title=The Neptunes: Clones Album Review |url=https://pitchfork.com/reviews/albums/5876-clones/ |website=[[Pitchfork (website)|Pitchfork]] |publisher=Pitchfork |access-date=September 20, 2020 |date=August 25, 2003}}</ref> Kulingana na utafiti mmoja usio na jina wa mwezi Agosti 2003 uliotajwa na gazeti la ''[[The Age]]'', iligundulika kuwa the Neptunes walitayarisha karibu asilimia 20 ya nyimbo zilizokuwa zikipigwa kwenye redio za Uingereza wakati huo; utafiti mwingine nchini Marekani uligundua kuwa walitayarisha asilimia 43 ya nyimbo zote za redioni.<ref name=Age/> The Neptunes walitayarisha wimbo wa [[Snoop Dogg]] uitwao "[[Drop It Like It's Hot]]" (2004), ambao pia ulishirikisha sauti ya Williams.<ref name="Drop">{{cite web |last1=Fu |first1=Eddie |title=Knowledge Drop: How Crips Pressured Pharrell To Produce Snoop Dogg's "Drop It Like It's Hot" |url=https://genius.com/a/how-crips-pressured-pharrell-to-produce-snoop-dogg-s-drop-it-like-it-s-hot |website=[[Genius (website)|Genius]] |publisher=Genius |access-date=September 19, 2020 |date=November 16, 2019}}</ref>
== Diskografia ==
{{Main|Diskografia ya Pharrell Williams|Diskografia ya utayarishaji wa Pharrell Williams|}}
=== Albamu za peke yake ===
* ''[[In My Mind (albamu ya Pharrell Williams)|In My Mind]]'' (2006)
* ''[[Girl (albamu ya Pharrell Williams)|Girl]]'' (2014)
=== Kandamseto ===
* ''In My Mind: The Prequel'' (akishirikiana na [[DJ Drama]], 2006)
* ''The Billionaire Boys Club Tape'' (2012)
* ''Black Yacht Rock Vol. 1, City of Limitless Access'' (2024)
=== Albamu za ushirikiano ===
;Akiwa na N.E.R.D.
* ''[[In Search of... (albamu ya N.E.R.D.)|In Search of...]]'' (2002)
* ''[[Fly or Die]]'' (2004)
* ''[[Seeing Sounds]]'' (2008)
* ''[[Nothing (albamu ya N.E.R.D.)|Nothing]]'' (2010)
* ''[[No One Ever Really Dies]]'' (2017)
;Akiwa na the Neptunes
* ''[[Clones (albamu)|Clones]]'' (2003)
== Filamu ==
* ''[[Despicable Me (filamu)|Despicable Me]]'' (2010) – Mtunzi wa muziki
* ''[[Get Him to the Greek]]'' (2010) – Yeye mwenyewe
* ''[[Despicable Me 2]]'' (2013) – Mtunzi wa muziki
* ''[[The Voice (kipindi cha TV cha Marekani)|The Voice]]'' (2014–16) – Yeye mwenyewe
* ''[[The Amazing Spider-Man 2]]'' (2014) – Mwandishi msaidizi wa muziki, mwanachama wa The Magnificent Six
* ''[[The Simpsons]]'' (2015) – Yeye mwenyewe (Sehemu ya: "[[Walking Big & Tall]]") (sauti)
* ''[[Pitch Perfect 2]]'' (2015) – Yeye mwenyewe
* ''[[Popstar: Never Stop Never Stopping]]'' (2016) – Yeye mwenyewe
* ''[[Hidden Figures]]'' (2016) – Mtayarishaji, mtunzi wa muziki
* ''[[Despicable Me 3]]'' (2017) – Mtunzi wa muziki
* ''[[The Grinch (filamu)|The Grinch]]'' (2018) – Msimulizi (sauti)
* ''[[Black Is King]]'' (2020) – Muonekano maalum
* ''[[North Hollywood (filamu)|North Hollywood]]'' (2020) – Mtayarishaji
* ''[[A Man Named Scott]]'' (2021) – Yeye mwenyewe
* ''[[Sing 2]]'' (2021) – Alfonso (sauti)
* ''[[Despicable Me 4]]'' (2024) – Mtunzi wa muziki
* ''[[Piece by Piece (filamu ya 2024)|Piece by Piece]]'' (2024) – Yeye mwenyewe (sauti); mtayarishaji, mtunzi wa muziki
* ''[[Mufasa: The Lion King]]'' (2024) – Mtunzi wa muziki
* ''[[Golden (filamu ambayo haijakamilika)|Golden]]'' (2025) – Mtayarishaji, mtunzi wa muziki (filamu ilifutwa kabla ya hatua ya uhariri wa mwisho na [[Universal Filmed Entertainment Group|Universal Studios]])<ref name=Donnelly/>
* ''[[In Whose Name?]]'' (2025) – Yeye mwenyewe
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viung vya nje==
{{commons category}}
* {{official website|http://www.pharrellwilliams.com/}}
* {{IMDb name|1214289}}
{{Pharrell Williams}}
{{BD|1973}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Watayarishaji muziki wa Marekani]]
tnzqkjo89zoeiuhx2wxouatoblsu766
Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi
0
242165
1579472
2026-07-15T08:18:17Z
SciFusion
76137
nimeunda kurasa
1579472
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi''' ni makazi makubwa sana ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Yumbe, Mkoa wa Nile Magharibi , kaskazini mwa [[Uganda]].
Yakiwa yamefunguliwa rasmi mnamo mwezi Agosti [[2016]] ili kupokea maelfu ya watu waliokimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini [[Sudan Kusini]], makazi haya yalikuwa kwa kasi ya ajabu na kuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi barani [[Afrika]] na ya pili kwa ukubwa duniani (baada ya makazi ya wakimbizi wa Rohingya kule Cox's Bazar, [[Bangladesh]]).
== Chimbuko na Historia ==
Mnamo Julai 2016, mapigano makali yalizuka upya katika mji mkuu wa Sudan Kusini, [[Juba]], jambo lililosababisha wimbi kubwa la raia kukimbilia nchi jirani ya Uganda:
* Serikali ya Uganda ilifungua eneo la Bidi Bidi ambalo hapo awali lilikuwa kijiji kidogo cha msituni chenye makazi machache ya wenyeji.
* Ndani ya miezi michache tu, makazi hayo yalipokea zaidi ya wakimbizi '''270,000''', idadi ambayo ilizidi uwezo wa miundombinu mingi ya kimsingi wakati huo na kulazimu mashirika ya kimataifa kuingilia kati kwa haraka.
== Muundo na Usimamizi ==
Ili kurahisisha usimamizi na utoaji wa huduma, Bidi Bidi iligawanywa katika kanda tano kuu za kiutawala (Zoni 1 hadi 5):
* Kila kanda ina huduma zake za kijamii kama vile vituo vya afya, shule za msingi na sekondari, na mifumo ya usambazaji maji.
* Makazi haya yanachukua eneo kubwa la takriban '''kilomita za mraba 250'''.
* Usimamizi unafanywa na Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) kwa ushirikiano wa karibu na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]) pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).
== Ujumuishaji na Maisha ya Kila Siku ==
Bidi Bidi inafuata mtindo wa kipekee wa Uganda wa kutowafungia wakimbizi kwenye kambi zenye fensi:
* '''Kumiliki Ardhi na Kilimo:''' Kila kaya inapewa kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba ya dongo na nyasi (tukul) na kufanya kilimo kidogo cha mboga na nafaka.
* '''Muingiliano wa Kijamii:''' Wakimbizi wanaruhusiwa kufanya biashara na kushirikiana kwa karibu na jamii ya wenyeji wa kabila la [[Alur]] na [[Lugbara]] wanaoishi wilayani Yumbe. Hali hii imesaidia kuzuia migogoro ya kijamii.
* '''Mabadiliko ya Miundombinu:''' Kutokana na uwekezaji wa mashirika ya misaada, barabara zilizounganisha wilaya ya Yumbe ziliboreshwa, na hospitali pamoja na shule mpya zilizojengwa sasa zinahudumia wakimbizi na Waganda wenyeji kwa pamoja.
== Changamoto ==
Ingawa hali imetulia tangu kuanzishwa kwake, Bidi Bidi bado inakabiliwa na changamoto zifuatazo:
* '''Uhaba wa Maji na Nishati:''' Eneo la kaskazini mwa Uganda ni kavu sana. Kusukuma maji ya kutosha kwa ajili ya mamia ya maelfu ya watu ni gharama kubwa. Pia, ukataji wa miti kwa ajili ya kupata kuni za kupikia umesababisha uharibifu mkubwa wa mazingira ya asili.
* '''Kupungua kwa Misaada:''' Kutokana na mizozo mipya duniani, ufadhili wa kifedha kutoka kwa wafadhili wa kimataifa umepungua, jambo linalosababisha kupunguzwa kwa posho za chakula na rasilimali za elimu kambini.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Nakivale]]
* [[Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]]
* [[Sudan Kusini]]
* [[Yumbe (wilaya)]]
reheuhwjlp32ofqrwyuo3c3ycfh9f5m
1579609
1579472
2026-07-15T10:32:38Z
Riccardo Riccioni
452
1579609
wikitext
text/x-wiki
'''Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi''' ni makazi makubwa sana ya wakimbizi yaliyopo katika [[Wilaya ya Yumbe]], kaskazini mwa [[Uganda]].
Yakiwa yamefunguliwa rasmi mnamo mwezi Agosti [[2016]] ili kupokea maelfu ya watu waliokimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini [[Sudan Kusini]], makazi haya yalikuwa kwa kasi ya ajabu na kuwa kambi kubwa zaidi ya wakimbizi barani [[Afrika]] na ya pili kwa ukubwa duniani (baada ya makazi ya wakimbizi wa Rohingya kule Cox's Bazar, [[Bangladesh]]).
== Chimbuko na Historia ==
Mnamo Julai 2016, mapigano makali yalizuka upya katika mji mkuu wa Sudan Kusini, [[Juba]], jambo lililosababisha wimbi kubwa la raia kukimbilia nchi jirani ya Uganda:
* Serikali ya Uganda ilifungua eneo la Bidi Bidi ambalo hapo awali lilikuwa kijiji kidogo cha msituni chenye makazi machache ya wenyeji.
* Ndani ya miezi michache tu, makazi hayo yalipokea zaidi ya wakimbizi '''270,000''', idadi ambayo ilizidi uwezo wa miundombinu mingi ya kimsingi wakati huo na kulazimu mashirika ya kimataifa kuingilia kati kwa haraka.
== Muundo na Usimamizi ==
Ili kurahisisha usimamizi na utoaji wa huduma, Bidi Bidi iligawanywa katika kanda tano kuu za kiutawala (Zoni 1 hadi 5):
* Kila kanda ina huduma zake za kijamii kama vile vituo vya afya, shule za msingi na sekondari, na mifumo ya usambazaji maji.
* Makazi haya yanachukua eneo kubwa la takriban '''kilomita za mraba 250'''.
* Usimamizi unafanywa na Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) kwa ushirikiano wa karibu na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]) pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).
== Ujumuishaji na Maisha ya Kila Siku ==
Bidi Bidi inafuata mtindo wa kipekee wa Uganda wa kutowafungia wakimbizi kwenye kambi zenye fensi:
* '''Kumiliki Ardhi na Kilimo:''' Kila kaya inapewa kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba ya dongo na nyasi (tukul) na kufanya kilimo kidogo cha mboga na nafaka.
* '''Muingiliano wa Kijamii:''' Wakimbizi wanaruhusiwa kufanya biashara na kushirikiana kwa karibu na jamii ya wenyeji wa kabila la [[Alur]] na [[Lugbara]] wanaoishi wilayani Yumbe. Hali hii imesaidia kuzuia migogoro ya kijamii.
* '''Mabadiliko ya Miundombinu:''' Kutokana na uwekezaji wa mashirika ya misaada, barabara zilizounganisha wilaya ya Yumbe ziliboreshwa, na hospitali pamoja na shule mpya zilizojengwa sasa zinahudumia wakimbizi na Waganda wenyeji kwa pamoja.
== Changamoto ==
Ingawa hali imetulia tangu kuanzishwa kwake, Bidi Bidi bado inakabiliwa na changamoto zifuatazo:
* '''Uhaba wa Maji na Nishati:''' Eneo la kaskazini mwa Uganda ni kavu sana. Kusukuma maji ya kutosha kwa ajili ya mamia ya maelfu ya watu ni gharama kubwa. Pia, ukataji wa miti kwa ajili ya kupata kuni za kupikia umesababisha uharibifu mkubwa wa mazingira ya asili.
* '''Kupungua kwa Misaada:''' Kutokana na mizozo mipya duniani, ufadhili wa kifedha kutoka kwa wafadhili wa kimataifa umepungua, jambo linalosababisha kupunguzwa kwa posho za chakula na rasilimali za elimu kambini.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Nakivale]]
* [[Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]]
[[Jamii:Historia ya Uganda]]
lwd3u761m3tfojayk8zlewuslnq0dpv
Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara
0
242166
1579474
2026-07-15T08:20:31Z
SciFusion
76137
nimeunda makala mpya
1579474
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo katika Upazila ya Teknaf, Wilaya ya Cox's Bazar nchini [[Bangladesh]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1992]] ili kuhifadhi wakimbizi wa jamii ya [[Warohingya]] waliokuwa wakikimbia mateso ya kidini na kikabila nchini [[Myanmar]] (zamani ikijulikana kama Burma). Nayapara, pamoja na kambi jirani ya Kutupalong, kwa miaka mingi zilikuwa kambi mbili pekee rasmi zinazotambuliwa na serikali ya Bangladesh katika eneo la Cox's Bazar kabla ya wimbi kubwa la wakimbizi wa mwaka [[2017]].
== Historia na Chimbuko ==
Mnamo mwanzoni mwa miaka ya 1990, operesheni za kijeshi nchini Myanmar zilisababisha zaidi ya Warohingya 250,000 kukimbilia Bangladesh:
* Serikali ya Bangladesh kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]) ilianzisha kambi ya Nayapara kama kitovu cha dharura cha kutoa hifadhi na chakula.
* Tofauti na kambi za wakimbizi nchini [[Uganda]], wakimbizi katika kambi za Bangladesh hawaruhusiwi kufanya kazi kisheria wala kumiliki ardhi, hivyo wanategemea kikamilifu misaada ya kibinadamu ya kimataifa.
== Hali ya Maisha na Miundombinu ==
Maisha ndani ya Nayapara yanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na msongamano wa watu:
* '''Makazi:''' Nyumba nyingi zimejengwa kwa kutumia mianzi na turubai za plastiki kutokana na sheria za nchi hiyo zinazozuia ujenzi wa majengo ya kudumu (zege) kwa wakimbizi.
* '''Maji na Usafi:''' Kutokana na msongamano mkubwa wa watu katika eneo dogo, upatikanaji wa maji safi ya kunywa na mifumo ya majitaka ni changamoto kubwa inayoletea hatari ya magonjwa ya mlipuko.
* '''Elimu na Huduma:''' Mashirika ya kibinadamu yanatoa huduma za afya na elimu ya msingi, ingawa masomo hutolewa kwa mtaala usio rasmi kwa lugha ya Kimyanmar au Kirohingya ili kujiandaa na kurejea nyumbani kwao siku zijazo.
== Matukio na Changamoto ==
Kambi hii imekumbwa na matukio kadhaa makubwa ya dharura kwa miaka mingi:
* '''Ajali za Moto:''' Mnamo Januari [[2021]], moto mkubwa uliowaka nyakati za usiku uliharibu mamia ya vibanda vya makazi, na kuacha zaidi ya wakimbizi 3,500 bila makazi ndani ya masaa machache.
* '''Mazingira na Hali ya Hewa:''' Eneo la Cox's Bazar linakabiliwa na msimu mkali wa dhoruba za kitropiki ([[Kimbunga]]) na mvua za monsuni kila mwaka. Mvua hizi husababisha maporomoko ya ardhi na mafuriko yanayoharibu vibanda vilivyojengwa kwenye milima ya mchanga.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]]
* [[Warohingya]]
* [[UNHCR]]
5suoo7m8tusev4zne5qsblf3fes5qns
1579610
1579474
2026-07-15T10:33:24Z
Riccardo Riccioni
452
1579610
wikitext
text/x-wiki
'''Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo katika Upazila ya Teknaf, Wilaya ya Cox's Bazar nchini [[Bangladesh]].
Kambi hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka [[1992]] ili kuhifadhi wakimbizi wa jamii ya [[Warohingya]] waliokuwa wakikimbia mateso ya kidini na kikabila nchini [[Myanmar]] (zamani ikijulikana kama Burma). Nayapara, pamoja na kambi jirani ya Kutupalong, kwa miaka mingi zilikuwa kambi mbili pekee rasmi zinazotambuliwa na serikali ya Bangladesh katika eneo la Cox's Bazar kabla ya wimbi kubwa la wakimbizi wa mwaka [[2017]].
== Historia na Chimbuko ==
Mnamo mwanzoni mwa miaka ya 1990, operesheni za kijeshi nchini Myanmar zilisababisha zaidi ya Warohingya 250,000 kukimbilia Bangladesh:
* Serikali ya Bangladesh kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]) ilianzisha kambi ya Nayapara kama kitovu cha dharura cha kutoa hifadhi na chakula.
* Tofauti na kambi za wakimbizi nchini [[Uganda]], wakimbizi katika kambi za Bangladesh hawaruhusiwi kufanya kazi kisheria wala kumiliki ardhi, hivyo wanategemea kikamilifu misaada ya kibinadamu ya kimataifa.
== Hali ya Maisha na Miundombinu ==
Maisha ndani ya Nayapara yanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na msongamano wa watu:
* '''Makazi:''' Nyumba nyingi zimejengwa kwa kutumia mianzi na turubai za plastiki kutokana na sheria za nchi hiyo zinazozuia ujenzi wa majengo ya kudumu (zege) kwa wakimbizi.
* '''Maji na Usafi:''' Kutokana na msongamano mkubwa wa watu katika eneo dogo, upatikanaji wa maji safi ya kunywa na mifumo ya majitaka ni changamoto kubwa inayoletea hatari ya magonjwa ya mlipuko.
* '''Elimu na Huduma:''' Mashirika ya kibinadamu yanatoa huduma za afya na elimu ya msingi, ingawa masomo hutolewa kwa mtaala usio rasmi kwa lugha ya Kimyanmar au Kirohingya ili kujiandaa na kurejea nyumbani kwao siku zijazo.
== Matukio na Changamoto ==
Kambi hii imekumbwa na matukio kadhaa makubwa ya dharura kwa miaka mingi:
* '''Ajali za Moto:''' Mnamo Januari [[2021]], moto mkubwa uliowaka nyakati za usiku uliharibu mamia ya vibanda vya makazi, na kuacha zaidi ya wakimbizi 3,500 bila makazi ndani ya masaa machache.
* '''Mazingira na Hali ya Hewa:''' Eneo la Cox's Bazar linakabiliwa na msimu mkali wa dhoruba za kitropiki ([[Kimbunga]]) na mvua za monsuni kila mwaka. Mvua hizi husababisha maporomoko ya ardhi na mafuriko yanayoharibu vibanda vilivyojengwa kwenye milima ya mchanga.
== Tazama Pia ==
* [[Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]]
* [[Warohingya]]
* [[UNHCR]]
[[Jamii:Historia ya Myanmar]]
[[Jamii:Historia ya Bangladesh]]
0q6owxbbf8m57x93cbtjgyiz9ai7kpk
Lise Meitner
0
242167
1579482
2026-07-15T08:42:42Z
SciFusion
76137
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lise Meitner''' (7 Novemba 1878 – 27 Oktoba 1968) alikuwa mwanafizikia mashuhuri wa [[Austria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Uswidi]]) ambaye alifanya utafiti wa upainia katika nyanja za [[unyuklia]] na [[fizikia ya mionzi]] [[[[File:Lise Meitner.tif|Dr. Lise Meitner, Austrian physicist, three-quarter length portrait]]|thumb|Lise Meitner]] Pamoja na mwanakemia [[Otto Hahn]], Meitner aligundua mchakato wa '''[[mtengano wa nyuklia]]''' (kwa Kiingerez...'
1579482
wikitext
text/x-wiki
'''Lise Meitner''' (7 Novemba 1878 – 27 Oktoba 1968) alikuwa mwanafizikia mashuhuri wa [[Austria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Uswidi]]) ambaye alifanya utafiti wa upainia katika nyanja za [[unyuklia]] na [[fizikia ya mionzi]]
[[[[File:Lise Meitner.tif|Dr. Lise Meitner, Austrian physicist, three-quarter length portrait]]|thumb|Lise Meitner]]
Pamoja na mwanakemia [[Otto Hahn]], Meitner aligundua mchakato wa '''[[mtengano wa nyuklia]]''' (kwa Kiingereza: ''nuclear fission'') wa elementi ya [[Urani]] pale inapofyonza [[neutroni]]. Ugunduzi huu ulikuwa msingi mkuu wa maendeleo ya [[nishati ya nyuklia]] na [[silaha za nyuklia]]. Licha ya mchango wake mkubwa, Meitner hakujumuishwa katika Tuzo ya Nobel ya Kemia ya mwaka [[1944]] iliyotunzwa kwa Otto Hahn pekee, jambo linalochukuliwa na wanahistoria wengi kama moja ya dhuluma kubwa zaidi katika historia ya Tuzo za Nobel.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Lise Meitner alizaliwa mjini [[Vienna]], Austria-Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha kati.
* Katika kipindi hicho, wasichana nchini Austria hawakuwa wakiruhusiwa kujiunga na taasisi za elimu ya juu. Hata hivyo, kutokana na usaidizi wa wazazi wake, alipata mafunzo binafsi.
* Mnamo mwaka [[1901]], alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Vienna]] ambako alisomea fizikia chini ya mwanafizikia mashuhuri [[Ludwig Boltzmann]].
* Mwaka [[1905]], alikuwa mwanamke wa pili kupata shahada ya udaktari (PhD) ya fizikia katika chuo kikuu hicho.
== Kazi ya Kisayansi na Ushirikiano na Otto Hahn ==
Baada ya kupata PhD, Meitner alihamia mjini [[Berlin]], [[Ujerumani]], mwaka [[1907]] ambapo alianza kushirikiana na mwanakemia kijana Otto Hahn katika Taasisi ya Kemia ya Kaiser Wilhelm.
* '''Changamoto za Kijinsia:''' Katika miaka yake ya kwanza huko Berlin, wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi katika maabara kuu. Meitner alilazimika kufanya kazi bure (bila mshahara) katika chumba kidogo cha mbao kilichokuwa karakana ya chini ya ardhi (basement).
* '''Ushirikiano:''' Pamoja na Hahn, waligundua isotopu kadhaa mpya na elementi mpya ya mionzi iitwayo '''[[Protaktini]]''' mnamo mwaka [[1917]].
* Mwaka [[1926]], Meitner alikuwa mwanamke wa kwanza nchini Ujerumani kupata cheo cha uprofesa kamili wa fizikia katika [[Chuo Kikuu cha Berlin]].
== Kukimbia Ujerumani ya Nazi ==
Kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]] mwaka [[1933]], Wayahudi wengi walifukuzwa kazi. Meitner alilindwa kwa muda mfupi kutokana na uraia wake wa Austria, lakini baada ya Ujerumani kuivamia na kuimeza Austria ([[Anschluss]]) mnamo Machi [[1938]], maisha yake yalikuwa hatarini.
Mnamo Julai 1938, kwa usaidizi wa wanasayansi wenzake, alitoroka Ujerumani kisiri kupitia mpaka wa Uholanzi na hatimaye akapata hifadhi nchini [[Uswidi]] (Sweden), ambako alifanya kazi katika Taasisi ya Nobel ya Fizikia huko [[Stockholm]].
== Ugunduzi wa Mtengano wa Nyuklia (1938) ==
Hata akiwa uhamishoni Uswidi, Meitner aliendelea kuwasiliana na Otto Hahn kwa siri kupitia barua:
1. Mnamo Desemba 1938, Hahn na msaidizi wake Fritz Strassmann walifanya majaribio huko Berlin na kugundua kwamba kulipua neutroni kwenye Urani kulizalisha elementi nyepesi ya [[Bari]] (Barium), matokeo ambayo yaliwashangaza sana kwani hawakuelewa jinsi gani elementi nzito kama Urani ingeweza kupasuka.
2. Meitner, akishirikiana na mpwa wake [[Otto Frisch]] waliokuwa likizoni nchini Uswidi, walifanya hesabu za kifizikia wakitumia nadharia ya [[Albert Einstein]] ya uhusiano wa nishati na masi ($E=mc^2$).
3. Waligundua kwamba kiini cha atomu ya Urani kilikuwa kimepasuka katikati (mtengano) na kutoa nishati kubwa sana. Frisch alitengeneza neno la Kiingereza **"fission"** (mtengano) kuelezea mchakato huo.
== Mradi wa Manhattan na Tuzo ya Nobel ==
Wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]], Meitner alialikwa kujiunga na [[Mradi wa Manhattan]] (Manhattan Project) nchini Marekani uliokuwa ukitengeneza bomu la kwanza la atomu. Alikataa katakata mwaliko huo akisema maarufu:
> *"Sitaki kuwa na uhusiano wowote na bomu!"*
Mnamo mwaka 1944, Kamati ya Nobel ilitunza Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa Otto Hahn pekee kwa ajili ya ugunduzi wa mtengano wa nyuklia. Kutojumuishwa kwa Meitner kulikosolewa sana wakati huo na hadi leo inatajwa kama moja ya makosa makubwa ya upendeleo wa kijinsia katika kamati hiyo.
== Kifo na Urithi ==
Lise Meitner alihamia nchini [[Uingereza]] mwaka [[1960]] ambapo alifariki dunia mnamo tarehe 27 Oktoba 1968 akiwa na umri wa miaka 89. Kwenye kaburi lake huko Hampshire, mpwa wake Otto Frisch aliandika maneno haya:
> *"Lise Meitner: mwanafizikia ambaye hakupoteza ubinadamu wake."*
=== Heshima za Baadaye: ===
* Mnamo mwaka [[1997]], elementi mpya ya kikemia ya syntetiki yenye namba ya atomu 109 ilipewa jina la '''[[Meitnerium]]''' (alama yake ikiwa '''Mt''') kwa heshima yake. Yeye ndiye mwanamke pekee asiye wa kifalme kuwa na elementi ya kemikali iliyopewa jina lake pekee (Marie Curie anashiriki jina la 'Curium' na mumewe Pierre).
== Tazama Pia ==
* [[Mtengano wa nyuklia]]
* [[Otto Hahn]]
* [[Nishati ya nyuklia]]
* [[Meitnerium]]
k7eloibuz7dan177aho3etgg4qq5ozk
1579484
1579482
2026-07-15T08:46:31Z
SciFusion
76137
nimeunda makala mpya
1579484
wikitext
text/x-wiki
'''Lise Meitner''' (7 Novemba 1878 – 27 Oktoba 1968) alikuwa mwanafizikia mashuhuri wa [[Austria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Uswidi]]) ambaye alifanya utafiti wa upainia katika nyanja za [[unyuklia]] na [[fizikia ya mionzi]]
[[File:Lise Meitner.tif|thumb|Dr. Lise Meitner, Austrian physicist, three-quarter length portrait]]
Pamoja na mwanakemia [[Otto Hahn]], Meitner aligundua mchakato wa '''[[mtengano wa nyuklia]]''' (kwa Kiingereza: ''nuclear fission'') wa elementi ya [[Urani]] pale inapofyonza [[neutroni]]. Ugunduzi huu ulikuwa msingi mkuu wa maendeleo ya [[nishati ya nyuklia]] na [[silaha za nyuklia]]. Licha ya mchango wake mkubwa, Meitner hakujumuishwa katika Tuzo ya Nobel ya Kemia ya mwaka [[1944]] iliyotunzwa kwa Otto Hahn pekee, jambo linalochukuliwa na wanahistoria wengi kama moja ya dhuluma kubwa zaidi katika historia ya Tuzo za Nobel.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Lise Meitner alizaliwa mjini [[Vienna]], Austria-Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha kati.
* Katika kipindi hicho, wasichana nchini Austria hawakuwa wakiruhusiwa kujiunga na taasisi za elimu ya juu. Hata hivyo, kutokana na usaidizi wa wazazi wake, alipata mafunzo binafsi.
* Mnamo mwaka [[1901]], alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Vienna]] ambako alisomea fizikia chini ya mwanafizikia mashuhuri [[Ludwig Boltzmann]].
* Mwaka [[1905]], alikuwa mwanamke wa pili kupata shahada ya udaktari (PhD) ya fizikia katika chuo kikuu hicho.
== Kazi ya Kisayansi na Ushirikiano na Otto Hahn ==
Baada ya kupata PhD, Meitner alihamia mjini [[Berlin]], [[Ujerumani]], mwaka [[1907]] ambapo alianza kushirikiana na mwanakemia kijana Otto Hahn katika Taasisi ya Kemia ya Kaiser Wilhelm.
* '''Changamoto za Kijinsia:''' Katika miaka yake ya kwanza huko Berlin, wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi katika maabara kuu. Meitner alilazimika kufanya kazi bure (bila mshahara) katika chumba kidogo cha mbao kilichokuwa karakana ya chini ya ardhi (basement).
* '''Ushirikiano:''' Pamoja na Hahn, waligundua isotopu kadhaa mpya na elementi mpya ya mionzi iitwayo '''[[Protaktini]]''' mnamo mwaka [[1917]].
* Mwaka [[1926]], Meitner alikuwa mwanamke wa kwanza nchini Ujerumani kupata cheo cha uprofesa kamili wa fizikia katika [[Chuo Kikuu cha Berlin]].
== Kukimbia Ujerumani ya Nazi ==
Kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]] mwaka [[1933]], Wayahudi wengi walifukuzwa kazi. Meitner alilindwa kwa muda mfupi kutokana na uraia wake wa Austria, lakini baada ya Ujerumani kuivamia na kuimeza Austria ([[Anschluss]]) mnamo Machi [[1938]], maisha yake yalikuwa hatarini.
Mnamo Julai 1938, kwa usaidizi wa wanasayansi wenzake, alitoroka Ujerumani kisiri kupitia mpaka wa Uholanzi na hatimaye akapata hifadhi nchini [[Uswidi]] (Sweden), ambako alifanya kazi katika Taasisi ya Nobel ya Fizikia huko [[Stockholm]].
== Ugunduzi wa Mtengano wa Nyuklia (1938) ==
Hata akiwa uhamishoni Uswidi, Meitner aliendelea kuwasiliana na Otto Hahn kwa siri kupitia barua:
1. Mnamo Desemba 1938, Hahn na msaidizi wake Fritz Strassmann walifanya majaribio huko Berlin na kugundua kwamba kulipua neutroni kwenye Urani kulizalisha elementi nyepesi ya [[Bari]] (Barium), matokeo ambayo yaliwashangaza sana kwani hawakuelewa jinsi gani elementi nzito kama Urani ingeweza kupasuka.
2. Meitner, akishirikiana na mpwa wake [[Otto Frisch]] waliokuwa likizoni nchini Uswidi, walifanya hesabu za kifizikia wakitumia nadharia ya [[Albert Einstein]] ya uhusiano wa nishati na masi ($E=mc^2$).
3. Waligundua kwamba kiini cha atomu ya Urani kilikuwa kimepasuka katikati (mtengano) na kutoa nishati kubwa sana. Frisch alitengeneza neno la Kiingereza **"fission"** (mtengano) kuelezea mchakato huo.
== Mradi wa Manhattan na Tuzo ya Nobel ==
Wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]], Meitner alialikwa kujiunga na [[Mradi wa Manhattan]] (Manhattan Project) nchini Marekani uliokuwa ukitengeneza bomu la kwanza la atomu. Alikataa katakata mwaliko huo akisema maarufu:
> *"Sitaki kuwa na uhusiano wowote na bomu!"*
Mnamo mwaka 1944, Kamati ya Nobel ilitunza Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa Otto Hahn pekee kwa ajili ya ugunduzi wa mtengano wa nyuklia. Kutojumuishwa kwa Meitner kulikosolewa sana wakati huo na hadi leo inatajwa kama moja ya makosa makubwa ya upendeleo wa kijinsia katika kamati hiyo.
== Kifo na Urithi ==
Lise Meitner alihamia nchini [[Uingereza]] mwaka [[1960]] ambapo alifariki dunia mnamo tarehe 27 Oktoba 1968 akiwa na umri wa miaka 89. Kwenye kaburi lake huko Hampshire, mpwa wake Otto Frisch aliandika maneno haya:
> *"Lise Meitner: mwanafizikia ambaye hakupoteza ubinadamu wake."*
=== Heshima za Baadaye: ===
* Mnamo mwaka [[1997]], elementi mpya ya kikemia ya syntetiki yenye namba ya atomu 109 ilipewa jina la '''[[Meitnerium]]''' (alama yake ikiwa '''Mt''') kwa heshima yake. Yeye ndiye mwanamke pekee asiye wa kifalme kuwa na elementi ya kemikali iliyopewa jina lake pekee (Marie Curie anashiriki jina la 'Curium' na mumewe Pierre).
== Tazama Pia ==
* [[Mtengano wa nyuklia]]
* [[Otto Hahn]]
* [[Nishati ya nyuklia]]
* [[Meitnerium]]
833pmvpsf5a3d94ffze5m7zslvisfvj
1579612
1579484
2026-07-15T10:36:28Z
Riccardo Riccioni
452
1579612
wikitext
text/x-wiki
[[File:Lise Meitner.tif|thumb|Dr. Lise Meitner.]]
'''Lise Meitner''' (7 Novemba 1878 – 27 Oktoba 1968) alikuwa [[mwanafizikia]] mashuhuri wa [[Austria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Uswidi]]) ambaye alifanya utafiti wa upainia katika nyanja za [[unyuklia]] na [[fizikia ya mionzi]]
Pamoja na mwanakemia [[Otto Hahn]], Meitner aligundua mchakato wa [[mtengano wa nyuklia]] (kwa Kiingereza: ''nuclear fission'') wa elementi ya [[Urani]] pale inapofyonza [[neutroni]]. Ugunduzi huu ulikuwa msingi mkuu wa maendeleo ya [[nishati ya nyuklia]] na [[silaha za nyuklia]]. Licha ya mchango wake mkubwa, Meitner hakujumuishwa katika Tuzo ya Nobel ya Kemia ya mwaka [[1944]] iliyotunzwa kwa Otto Hahn pekee, jambo linalochukuliwa na wanahistoria wengi kama moja ya dhuluma kubwa zaidi katika historia ya Tuzo za Nobel.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Lise Meitner alizaliwa mjini [[Vienna]], Austria-Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha kati.
* Katika kipindi hicho, wasichana nchini Austria hawakuwa wakiruhusiwa kujiunga na taasisi za elimu ya juu. Hata hivyo, kutokana na usaidizi wa wazazi wake, alipata mafunzo binafsi.
* Mnamo mwaka [[1901]], alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Vienna]] ambako alisomea fizikia chini ya mwanafizikia mashuhuri [[Ludwig Boltzmann]].
* Mwaka [[1905]], alikuwa mwanamke wa pili kupata shahada ya udaktari (PhD) ya fizikia katika chuo kikuu hicho.
== Kazi ya Kisayansi na Ushirikiano na Otto Hahn ==
Baada ya kupata PhD, Meitner alihamia mjini [[Berlin]], [[Ujerumani]], mwaka [[1907]] ambapo alianza kushirikiana na mwanakemia kijana Otto Hahn katika Taasisi ya Kemia ya Kaiser Wilhelm.
* '''Changamoto za Kijinsia:''' Katika miaka yake ya kwanza huko Berlin, wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi katika maabara kuu. Meitner alilazimika kufanya kazi bure (bila mshahara) katika chumba kidogo cha mbao kilichokuwa karakana ya chini ya ardhi (basement).
* '''Ushirikiano:''' Pamoja na Hahn, waligundua isotopu kadhaa mpya na elementi mpya ya mionzi iitwayo '''[[Protaktini]]''' mnamo mwaka [[1917]].
* Mwaka [[1926]], Meitner alikuwa mwanamke wa kwanza nchini Ujerumani kupata cheo cha uprofesa kamili wa fizikia katika [[Chuo Kikuu cha Berlin]].
== Kukimbia Ujerumani ya Nazi ==
Kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]] mwaka [[1933]], Wayahudi wengi walifukuzwa kazi. Meitner alilindwa kwa muda mfupi kutokana na uraia wake wa Austria, lakini baada ya Ujerumani kuivamia na kuimeza Austria ([[Anschluss]]) mnamo Machi [[1938]], maisha yake yalikuwa hatarini.
Mnamo Julai 1938, kwa usaidizi wa wanasayansi wenzake, alitoroka Ujerumani kisiri kupitia mpaka wa Uholanzi na hatimaye akapata hifadhi nchini [[Uswidi]] (Sweden), ambako alifanya kazi katika Taasisi ya Nobel ya Fizikia huko [[Stockholm]].
== Ugunduzi wa Mtengano wa Nyuklia (1938) ==
Hata akiwa uhamishoni Uswidi, Meitner aliendelea kuwasiliana na Otto Hahn kwa siri kupitia barua:
1. Mnamo Desemba 1938, Hahn na msaidizi wake Fritz Strassmann walifanya majaribio huko Berlin na kugundua kwamba kulipua neutroni kwenye Urani kulizalisha elementi nyepesi ya [[Bari]] (Barium), matokeo ambayo yaliwashangaza sana kwani hawakuelewa jinsi gani elementi nzito kama Urani ingeweza kupasuka.
2. Meitner, akishirikiana na mpwa wake [[Otto Frisch]] waliokuwa likizoni nchini Uswidi, walifanya hesabu za kifizikia wakitumia nadharia ya [[Albert Einstein]] ya uhusiano wa nishati na masi ($E=mc^2$).
3. Waligundua kwamba kiini cha atomu ya Urani kilikuwa kimepasuka katikati (mtengano) na kutoa nishati kubwa sana. Frisch alitengeneza neno la Kiingereza **"fission"** (mtengano) kuelezea mchakato huo.
== Mradi wa Manhattan na Tuzo ya Nobel ==
Wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]], Meitner alialikwa kujiunga na [[Mradi wa Manhattan]] (Manhattan Project) nchini Marekani uliokuwa ukitengeneza bomu la kwanza la atomu. Alikataa katakata mwaliko huo akisema maarufu:
> *"Sitaki kuwa na uhusiano wowote na bomu!"*
Mnamo mwaka 1944, Kamati ya Nobel ilitunza Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa Otto Hahn pekee kwa ajili ya ugunduzi wa mtengano wa nyuklia. Kutojumuishwa kwa Meitner kulikosolewa sana wakati huo na hadi leo inatajwa kama moja ya makosa makubwa ya upendeleo wa kijinsia katika kamati hiyo.
== Kifo na Urithi ==
Lise Meitner alihamia nchini [[Uingereza]] mwaka [[1960]] ambapo alifariki dunia mnamo tarehe 27 Oktoba 1968 akiwa na umri wa miaka 89. Kwenye kaburi lake huko Hampshire, mpwa wake Otto Frisch aliandika maneno haya:
> *"Lise Meitner: mwanafizikia ambaye hakupoteza ubinadamu wake."*
=== Heshima za Baadaye ===
* Mnamo mwaka [[1997]], elementi mpya ya kikemia ya syntetiki yenye namba ya atomu 109 ilipewa jina la '''[[Meitnerium]]''' (alama yake ikiwa '''Mt''') kwa heshima yake. Yeye ndiye mwanamke pekee asiye wa kifalme kuwa na elementi ya kemikali iliyopewa jina lake pekee (Marie Curie anashiriki jina la 'Curium' na mumewe Pierre).
== Tazama Pia ==
* [[Otto Hahn]]
* [[Nishati ya nyuklia]]
* [[Meitnerium]]
{{BD|1878|1968}}
[[Jamii:wanafizikia wa Austria]]
[[Jamii:wanafizikia wa Uswidi]]
n665oy9q9tx7yu02xt5f77yvx3gka6q
1579613
1579612
2026-07-15T10:37:40Z
Riccardo Riccioni
452
1579613
wikitext
text/x-wiki
[[File:Lise Meitner.tif|thumb|Dr. Lise Meitner.]]
'''Lise Meitner''' (7 Novemba 1878 – 27 Oktoba 1968) alikuwa [[mwanafizikia]] mashuhuri wa [[Austria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Uswidi]]) ambaye alifanya utafiti wa upainia katika nyanja za [[unyuklia]] na [[fizikia ya mionzi]]
Pamoja na mwanakemia [[Otto Hahn]], Meitner aligundua mchakato wa [[myeyungano wa nyuklia]] (kwa Kiingereza: ''nuclear fission'') wa elementi ya [[Urani]] pale inapofyonza [[neutroni]]. Ugunduzi huu ulikuwa msingi mkuu wa maendeleo ya [[nishati ya nyuklia]] na [[silaha za nyuklia]]. Licha ya mchango wake mkubwa, Meitner hakujumuishwa katika Tuzo ya Nobel ya Kemia ya mwaka [[1944]] iliyotunzwa kwa Otto Hahn pekee, jambo linalochukuliwa na wanahistoria wengi kama moja ya dhuluma kubwa zaidi katika historia ya Tuzo za Nobel.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Lise Meitner alizaliwa mjini [[Vienna]], Austria-Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha kati.
* Katika kipindi hicho, wasichana nchini Austria hawakuwa wakiruhusiwa kujiunga na taasisi za elimu ya juu. Hata hivyo, kutokana na usaidizi wa wazazi wake, alipata mafunzo binafsi.
* Mnamo mwaka [[1901]], alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Vienna]] ambako alisomea fizikia chini ya mwanafizikia mashuhuri [[Ludwig Boltzmann]].
* Mwaka [[1905]], alikuwa mwanamke wa pili kupata shahada ya udaktari (PhD) ya fizikia katika chuo kikuu hicho.
== Kazi ya Kisayansi na Ushirikiano na Otto Hahn ==
Baada ya kupata PhD, Meitner alihamia mjini [[Berlin]], [[Ujerumani]], mwaka [[1907]] ambapo alianza kushirikiana na mwanakemia kijana Otto Hahn katika Taasisi ya Kemia ya Kaiser Wilhelm.
* '''Changamoto za Kijinsia:''' Katika miaka yake ya kwanza huko Berlin, wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi katika maabara kuu. Meitner alilazimika kufanya kazi bure (bila mshahara) katika chumba kidogo cha mbao kilichokuwa karakana ya chini ya ardhi (basement).
* '''Ushirikiano:''' Pamoja na Hahn, waligundua isotopu kadhaa mpya na elementi mpya ya mionzi iitwayo '''[[Protaktini]]''' mnamo mwaka [[1917]].
* Mwaka [[1926]], Meitner alikuwa mwanamke wa kwanza nchini Ujerumani kupata cheo cha uprofesa kamili wa fizikia katika [[Chuo Kikuu cha Berlin]].
== Kukimbia Ujerumani ya Nazi ==
Kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]] mwaka [[1933]], Wayahudi wengi walifukuzwa kazi. Meitner alilindwa kwa muda mfupi kutokana na uraia wake wa Austria, lakini baada ya Ujerumani kuivamia na kuimeza Austria ([[Anschluss]]) mnamo Machi [[1938]], maisha yake yalikuwa hatarini.
Mnamo Julai 1938, kwa usaidizi wa wanasayansi wenzake, alitoroka Ujerumani kisiri kupitia mpaka wa Uholanzi na hatimaye akapata hifadhi nchini [[Uswidi]] (Sweden), ambako alifanya kazi katika Taasisi ya Nobel ya Fizikia huko [[Stockholm]].
== Ugunduzi wa Mtengano wa Nyuklia (1938) ==
Hata akiwa uhamishoni Uswidi, Meitner aliendelea kuwasiliana na Otto Hahn kwa siri kupitia barua:
1. Mnamo Desemba 1938, Hahn na msaidizi wake Fritz Strassmann walifanya majaribio huko Berlin na kugundua kwamba kulipua neutroni kwenye Urani kulizalisha elementi nyepesi ya [[Bari]] (Barium), matokeo ambayo yaliwashangaza sana kwani hawakuelewa jinsi gani elementi nzito kama Urani ingeweza kupasuka.
2. Meitner, akishirikiana na mpwa wake [[Otto Frisch]] waliokuwa likizoni nchini Uswidi, walifanya hesabu za kifizikia wakitumia nadharia ya [[Albert Einstein]] ya uhusiano wa nishati na masi ($E=mc^2$).
3. Waligundua kwamba kiini cha atomu ya Urani kilikuwa kimepasuka katikati (mtengano) na kutoa nishati kubwa sana. Frisch alitengeneza neno la Kiingereza **"fission"** (mtengano) kuelezea mchakato huo.
== Mradi wa Manhattan na Tuzo ya Nobel ==
Wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]], Meitner alialikwa kujiunga na [[Mradi wa Manhattan]] (Manhattan Project) nchini Marekani uliokuwa ukitengeneza bomu la kwanza la atomu. Alikataa katakata mwaliko huo akisema maarufu:
> *"Sitaki kuwa na uhusiano wowote na bomu!"*
Mnamo mwaka 1944, Kamati ya Nobel ilitunza Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa Otto Hahn pekee kwa ajili ya ugunduzi wa mtengano wa nyuklia. Kutojumuishwa kwa Meitner kulikosolewa sana wakati huo na hadi leo inatajwa kama moja ya makosa makubwa ya upendeleo wa kijinsia katika kamati hiyo.
== Kifo na Urithi ==
Lise Meitner alihamia nchini [[Uingereza]] mwaka [[1960]] ambapo alifariki dunia mnamo tarehe 27 Oktoba 1968 akiwa na umri wa miaka 89. Kwenye kaburi lake huko Hampshire, mpwa wake Otto Frisch aliandika maneno haya:
> *"Lise Meitner: mwanafizikia ambaye hakupoteza ubinadamu wake."*
=== Heshima za Baadaye ===
* Mnamo mwaka [[1997]], elementi mpya ya kikemia ya syntetiki yenye namba ya atomu 109 ilipewa jina la '''[[Meitnerium]]''' (alama yake ikiwa '''Mt''') kwa heshima yake. Yeye ndiye mwanamke pekee asiye wa kifalme kuwa na elementi ya kemikali iliyopewa jina lake pekee (Marie Curie anashiriki jina la 'Curium' na mumewe Pierre).
== Tazama Pia ==
* [[Otto Hahn]]
* [[Nishati ya nyuklia]]
* [[Meitnerium]]
{{BD|1878|1968}}
[[Jamii:wanafizikia wa Austria]]
[[Jamii:wanafizikia wa Uswidi]]
[[Jamii:Wayahudi]]
5te5rfz0j1dafoxxz08vgjmqsmos50d
Sha-ri Pendleton
0
242168
1579485
2026-07-15T08:52:54Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sha-ri Pendleton''' (alizaliwa tarehe [[5 Desemba]] [[1963]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Marekani]] aliyebobea katika mbio za kuruka vizuizi na kurusha mkuki. Pia aliwahi kujihusisha na mashindano ya ujenzi wa mwili (bodybuilding) mwishoni mwa miaka ya [[1980]]. Kwa jina la jukwaani Blaze, Pendleton alishiriki kama mmoja wa gladiator katika kipindi maarufu cha televisheni cha American Gladiators, kuanzia mwaka [[1989]] hadi [[1992]].<ref>http://www.gl...'
1579485
wikitext
text/x-wiki
'''Sha-ri Pendleton''' (alizaliwa tarehe [[5 Desemba]] [[1963]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Marekani]] aliyebobea katika mbio za kuruka vizuizi na kurusha mkuki. Pia aliwahi kujihusisha na mashindano ya ujenzi wa mwili (bodybuilding) mwishoni mwa miaka ya [[1980]].
Kwa jina la jukwaani Blaze, Pendleton alishiriki kama mmoja wa gladiator katika kipindi maarufu cha televisheni cha American Gladiators, kuanzia mwaka [[1989]] hadi [[1992]].<ref>http://www.gladiatorstv.com/international/america/gladiators/blaze.php American Gladiators Blaze Profile (GladiatorsTV.com)</ref>
== history ==
* Mashindano ya 2 ya Nebraska ya [[1984]]
* [[1986]] The Pride of LA 1
* Mashindano ya 4 ya Los Angeles ya [[1988]]
* Mashindano ya 1988 ya ABBC Natural International
* Mashindano ya 1 (Mrefu), na Mshindi Mkuu
* Mashindano ya 4 ya Los Angeles ya 1989
* Mashindano ya 5 ya NPC Los Angeles ya 1989 (HW)
== Filamu ==
* 1989-1992: American Gladiators (mfululizo wa Runinga) - Blaze
* 1993: Renegade (TV) - kama Cannon (anayesifiwa kama Sha-Ri Mitchell)
* 1995: Alien Within - kama Fife
* 1999: Hard Time: The Premonition (TV) - kama Vinnie
* 2000: Knockout - kama Mwanamke Bondia
* 2023: Misuli na Ghasia: Hadithi Isiyoidhinishwa ya American Gladiators
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
61rzknk6ut343rpj3ua38mrvaozejga
1579614
1579485
2026-07-15T10:38:50Z
Riccardo Riccioni
452
1579614
wikitext
text/x-wiki
'''Sha-ri Pendleton''' (alizaliwa [[5 Desemba]] [[1963]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Marekani]] aliyebobea katika mbio za kuruka vizuizi na kurusha mkuki. Pia aliwahi kujihusisha na mashindano ya ujenzi wa mwili (bodybuilding) mwishoni mwa miaka ya [[1980]].
Kwa jina la jukwaani Blaze, Pendleton alishiriki kama mmoja wa gladiator katika kipindi maarufu cha televisheni cha American Gladiators, kuanzia mwaka [[1989]] hadi [[1992]].<ref>http://www.gladiatorstv.com/international/america/gladiators/blaze.php American Gladiators Blaze Profile (GladiatorsTV.com)</ref>
== Historia ==
* Mashindano ya 2 ya Nebraska ya [[1984]]
* [[1986]] The Pride of LA 1
* Mashindano ya 4 ya Los Angeles ya [[1988]]
* Mashindano ya 1988 ya ABBC Natural International
* Mashindano ya 1 (Mrefu), na Mshindi Mkuu
* Mashindano ya 4 ya Los Angeles ya 1989
* Mashindano ya 5 ya NPC Los Angeles ya 1989 (HW)
== Filamu ==
* 1989-1992: American Gladiators (mfululizo wa Runinga) - Blaze
* 1993: Renegade (TV) - kama Cannon (anayesifiwa kama Sha-Ri Mitchell)
* 1995: Alien Within - kama Fife
* 1999: Hard Time: The Premonition (TV) - kama Vinnie
* 2000: Knockout - kama Mwanamke Bondia
* 2023: Misuli na Ghasia: Hadithi Isiyoidhinishwa ya American Gladiators
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii:wanariadha wa Marekani]]
42tdymjig5wvdrsne5yrcztqhskyohv
Tina Moore
0
242169
1579487
2026-07-15T08:56:58Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tina Moore''' (alizaliwa tarehe [[17 Oktoba]] [[1970]] mjini Racine, [[Wisconsin]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[R&B]] kutoka [[Marekani]]. Mwaka [[1997]], alipata mafanikio makubwa nchini [[Uingereza]] kupitia nyimbo zake ''"Never Gonna Let You Go",'' iliyofikia nafasi ya saba, na ''"Nobody Better"'', iliyofikia nafasi ya 20 kwenye chati za muziki. Nyimbo zote mbili ni matoleo yaliyofanyiwa mchanganyiko mpya kutoka kwenye albamu yake ya mwaka [[1995]], Tin...'
1579487
wikitext
text/x-wiki
'''Tina Moore''' (alizaliwa tarehe [[17 Oktoba]] [[1970]] mjini Racine, [[Wisconsin]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[R&B]] kutoka [[Marekani]].
Mwaka [[1997]], alipata mafanikio makubwa nchini [[Uingereza]] kupitia nyimbo zake ''"Never Gonna Let You Go",'' iliyofikia nafasi ya saba, na ''"Nobody Better"'', iliyofikia nafasi ya 20 kwenye chati za muziki. Nyimbo zote mbili ni matoleo yaliyofanyiwa mchanganyiko mpya kutoka kwenye albamu yake ya mwaka [[1995]], Tina Moore.<ref>{{cite web|url=http://www.allmusic.com/artist/tina-moore-mn0000597169/awards|title=Tina Moore > Charts & Awards > Billboard Albums|publisher=[[AllMusic]]|accessdate=October 28, 2008|archive-url=https://web.archive.org/web/20160314231001/http://www.allmusic.com/artist/tina-moore-mn0000597169/awards|archive-date=14 March 2016}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1970]]
[[Jamii: Wanamuziki wa Marekani]]
ful5ybbgzduhhbpfb5xncff437q3zdx
Lillian Roberts
0
242170
1579491
2026-07-15T09:04:36Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lillian Davis Roberts''' ([[2 Januari]] [[1928]] – [[9 Julai]] [[2026]]) alikuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi kutoka [[Marekani]]. Alihudumu kama mkurugenzi mtendaji wa District Council 37 (DC37) kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2014]]. DC37 ni chama kikubwa zaidi cha wafanyakazi wa serikali za mitaa katika Jiji la [[New York]], na wakati wa uongozi wake Roberts aliongoza shughuli za chama hicho kwa zaidi ya muongo mmoja.<ref>{{Cite news|url=https:/...'
1579491
wikitext
text/x-wiki
'''Lillian Davis Roberts''' ([[2 Januari]] [[1928]] – [[9 Julai]] [[2026]]) alikuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi kutoka [[Marekani]]. Alihudumu kama mkurugenzi mtendaji wa District Council 37 (DC37) kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2014]]. DC37 ni chama kikubwa zaidi cha wafanyakazi wa serikali za mitaa katika Jiji la [[New York]], na wakati wa uongozi wake Roberts aliongoza shughuli za chama hicho kwa zaidi ya muongo mmoja.<ref>{{Cite news|url=https://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9400E4D71331F932A35750C0A9649C8B63|title=PUBLIC LIVES; Back to the Battlefield, Heeding Her Old Union's Call|newspaper=The New York Times|date=March 2002|last1=Greenhouse|first1=Steven}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1928]]
[[Jamii: Waliofariki 2026]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Marekani]]
kbj3qocoknyxhlnchrvropk26y306zs
1579624
1579491
2026-07-15T11:17:22Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579624
wikitext
text/x-wiki
'''Lillian Davis Roberts''' ([[2 Januari]] [[1928]] – [[9 Julai]] [[2026]]) alikuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi kutoka [[Marekani]]. Alihudumu kama mkurugenzi mtendaji wa District Council 37 (DC37) kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2014]]. DC37 ni chama kikubwa zaidi cha wafanyakazi wa serikali za mitaa katika Jiji la [[New York]], na wakati wa uongozi wake Roberts aliongoza shughuli za chama hicho kwa zaidi ya muongo mmoja.<ref>{{Rejea habari|url=https://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9400E4D71331F932A35750C0A9649C8B63|title=PUBLIC LIVES; Back to the Battlefield, Heeding Her Old Union's Call|newspaper=The New York Times|date=March 2002|last1=Greenhouse|first1=Steven}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1928]]
[[Jamii: Waliofariki 2026]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Marekani]]
ipc3ntzlwqr15ppod942mtbr218t1q3
Ernst Chain
0
242171
1579497
2026-07-15T09:09:53Z
SciFusion
76137
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sir Ernst Boris Chain''' (19 Juni 1906 – 12 Agosti 1979) alikuwa mwanabiokemia wa [[Ujerumani]] na [[Uingereza]]<ref>{{cite web |url= https://www.nobelprize.org/nobel_prizes/medicine/laureates/1945/chain-facts.html |title=Ernst B. Chain |publisher=Nobel Foundation |year=2013 |access-date=17 July 2013}}</ref><ref>{{cite book |url=https://books.google.com/books?id=_oIlAAAAMAAJ&q=Ernst+Chain+russian+industrialist |title=The more ye mow us down the more w...'
1579497
wikitext
text/x-wiki
'''Sir Ernst Boris Chain''' (19 Juni 1906 – 12 Agosti 1979) alikuwa mwanabiokemia wa [[Ujerumani]] na [[Uingereza]]<ref>{{cite web |url= https://www.nobelprize.org/nobel_prizes/medicine/laureates/1945/chain-facts.html |title=Ernst B. Chain |publisher=Nobel Foundation |year=2013 |access-date=17 July 2013}}</ref><ref>{{cite book |url=https://books.google.com/books?id=_oIlAAAAMAAJ&q=Ernst+Chain+russian+industrialist |title=The more ye mow us down the more we grow: antibiotics in perspective |first=Arderne A. |last=Forder |publisher=University of Cape Town |year=1984 |isbn=9780799209501 }}</ref> ambaye alishinda [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mnamo mwaka [[1945]].
Alipokea tuzo hiyo kwa ushirikiano na [[Alexander Fleming]] na [[Howard Florey]] kwa ajili ya kazi yao ya ugunduzi wa dawa ya '''[[penisilini]]''' na athari zake za kutibu magonjwa mbalimbali ya maambukizi ya bakteria. Mchango mkubwa wa Chain ulikuwa katika utafiti wa kibiolojia na kikemia uliowezesha kusafisha na kujenga muundo wa kikemia wa penisilini ili iweze kuzalishwa kwa wingi viwandani na kutumika kama dawa salama kwa binadamu.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Ernst Boris Chain alizaliwa mjini [[Berlin]], Ujerumani, katika familia ya Kiyahudi.
* Baba yake, Michael Chain, alikuwa mhandisi wa kemikali aliyetokea nchini [[Urusi]].
* Alisoma kemia na fizikia katika Chuo Kikuu cha Friedrich Wilhelm (sasa kinajulikana kama [[Chuo Kikuu cha Humboldt cha Berlin]]) na kuhitimu mwaka [[1930]].
* Baada ya chama cha [[Nazi]] kuingia madarakani nchini Ujerumani mwaka [[1933]], Chain alilazimika kukimbia nchi hiyo kutokana na asili yake ya Kiyahudi. Alihamia Uingereza akiwa na kiasi kidogo sana cha fedha.
== Kazi ya Kisayansi na Ugunduzi wa Penisilini ==
Baada ya kuwasili Uingereza, Chain alianza kufanya utafiti chini ya uongozi wa mwanabiokemia [[Frederick Gowland Hopkins]] katika [[Chuo Kikuu cha Cambridge]].
Mnamo mwaka [[1935]], alikubali mwaliko kutoka kwa Howard Florey kujiunga na Shule ya Patholojia ya Sir William Dunn katika [[Chuo Kikuu cha Oxford]]. Hapa ndipo ushirikiano wao mkubwa ulipoanza:
1. Mwaka [[1928]], Alexander Fleming alikuwa amegundua kimeng'enya cha penisilini kutoka kwenye ukungu wa ''Penicillium notatum'', lakini alishindwa kukisafisha ili kukifanya kuwa dawa thabiti.
2. Chain na Florey waliamua kufanyia kazi utafiti huo wa Fleming uliokuwa umesahaulika. Chain alitumia ujuzi wake mkubwa wa biokemia kufanikiwa kutenganisha, kusafisha, na kujenga muundo wa kikemia wa penisilini .
3. Jaribio lao la kwanza kwa panya mwaka [[1940]] na baadaye kwa binadamu lilithibitisha kuwa penisilini ilikuwa na uwezo mkubwa wa kuua bakteria hatari bila kudhuru seli za mwili<ref name="www3.imperial.ac.uk">{{cite web |url=http://www3.imperial.ac.uk/newsandeventspggrp/imperialcollege/newssummary/news_5-11-2012-10-8-10 |title=Sir Ernst Chain is honoured in building naming ceremony |first=Natasha |last=Martineau |work=[[Imperial College London]] |date=5 November 2012 |access-date=17 July 2013 |archive-date=3 March 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160303220641/http://www3.imperial.ac.uk/newsandeventspggrp/imperialcollege/newssummary/news_5-11-2012-10-8-10 |url-status=dead }}</ref>.
Kazi hii ilitokea kipindi cha [[Vita vya Pili vya Dunia]], ambapo dawa hiyo ilisaidia kuokoa maisha ya maelfu ya askari waliojeruhiwa vitani kutokana na maambukizi ya vidonda.
== Tuzo ya Nobel na Maisha ya Baadaye ==
Mnamo mwaka 1945, Chain, Florey, na Fleming walitunukiwa kwa pamoja Tuzo ya Nobel ya Fizikia au Tiba kwa mchango wao wa kihistoria.
Baada ya vita, Chain alihamia nchini [[Italia]] mwaka [[1948]] ambako aliongoza kituo cha utafiti cha kemikali ya biolojia huko Roma (Istituto Superiore di Sanità). Alirejea Uingereza mwaka [[1961]] na kuwa profesa wa biokemia katika Chuo cha Imperial , nafasi aliyoishikilia hadi aliporogea kustaafu.
== Kifo na Urithi ==
Sir Ernst Boris Chain alifariki dunia mnamo tarehe 12 Agosti 1979 huko Castlebar, Ireland, akiwa na umri wa miaka 73.
Anakumbukwa kama mmoja wa nguzo kuu za mapinduzi ya matibabu ya viuavijasumu (antibiotics). Jengo la Idara ya Biokemia katika Chuo cha Imperial London lilipewa jina lake kama heshima kwa mchango wake mkubwa kwenye sayansi.
== Tazama Pia ==
* [[Alexander Fleming]]
* [[Howard Florey]]
* [[Penicilini]]
* [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]
== Marejeo ==
1ss0hnvhxqujikd1soykr36699s8neu
1579617
1579497
2026-07-15T10:44:34Z
Riccardo Riccioni
452
1579617
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Sir Ernst Boris Chain''' (19 Juni 1906 – 12 Agosti 1979) alikuwa mwanabiokemia wa [[Ujerumani]] na [[Uingereza]]<ref>{{cite web |url= https://www.nobelprize.org/nobel_prizes/medicine/laureates/1945/chain-facts.html |title=Ernst B. Chain |publisher=Nobel Foundation |year=2013 |access-date=17 July 2013}}</ref><ref>{{cite book |url=https://books.google.com/books?id=_oIlAAAAMAAJ&q=Ernst+Chain+russian+industrialist |title=The more ye mow us down the more we grow: antibiotics in perspective |first=Arderne A. |last=Forder |publisher=University of Cape Town |year=1984 |isbn=9780799209501 }}</ref> ambaye alishinda [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mnamo mwaka [[1945]].
Alipokea tuzo hiyo kwa ushirikiano na [[Alexander Fleming]] na [[Howard Florey]] kwa ajili ya kazi yao ya ugunduzi wa dawa ya '''[[penisilini]]''' na athari zake za kutibu magonjwa mbalimbali ya maambukizi ya bakteria. Mchango mkubwa wa Chain ulikuwa katika utafiti wa kibiolojia na kikemia uliowezesha kusafisha na kujenga muundo wa kikemia wa penisilini ili iweze kuzalishwa kwa wingi viwandani na kutumika kama dawa salama kwa binadamu.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Ernst Boris Chain alizaliwa mjini [[Berlin]], Ujerumani, katika familia ya Kiyahudi.
* Baba yake, Michael Chain, alikuwa mhandisi wa kemikali aliyetokea nchini [[Urusi]].
* Alisoma kemia na fizikia katika Chuo Kikuu cha Friedrich Wilhelm (sasa kinajulikana kama [[Chuo Kikuu cha Humboldt cha Berlin]]) na kuhitimu mwaka [[1930]].
* Baada ya chama cha [[Nazi]] kuingia madarakani nchini Ujerumani mwaka [[1933]], Chain alilazimika kukimbia nchi hiyo kutokana na asili yake ya Kiyahudi. Alihamia Uingereza akiwa na kiasi kidogo sana cha fedha.
== Kazi ya Kisayansi na Ugunduzi wa Penisilini ==
Baada ya kuwasili Uingereza, Chain alianza kufanya utafiti chini ya uongozi wa mwanabiokemia [[Frederick Gowland Hopkins]] katika [[Chuo Kikuu cha Cambridge]].
Mnamo mwaka [[1935]], alikubali mwaliko kutoka kwa Howard Florey kujiunga na Shule ya Patholojia ya Sir William Dunn katika [[Chuo Kikuu cha Oxford]]. Hapa ndipo ushirikiano wao mkubwa ulipoanza:
1. Mwaka [[1928]], Alexander Fleming alikuwa amegundua kimeng'enya cha penisilini kutoka kwenye ukungu wa ''Penicillium notatum'', lakini alishindwa kukisafisha ili kukifanya kuwa dawa thabiti.
2. Chain na Florey waliamua kufanyia kazi utafiti huo wa Fleming uliokuwa umesahaulika. Chain alitumia ujuzi wake mkubwa wa biokemia kufanikiwa kutenganisha, kusafisha, na kujenga muundo wa kikemia wa penisilini .
3. Jaribio lao la kwanza kwa panya mwaka [[1940]] na baadaye kwa binadamu lilithibitisha kuwa penisilini ilikuwa na uwezo mkubwa wa kuua bakteria hatari bila kudhuru seli za mwili<ref name="www3.imperial.ac.uk">{{cite web |url=http://www3.imperial.ac.uk/newsandeventspggrp/imperialcollege/newssummary/news_5-11-2012-10-8-10 |title=Sir Ernst Chain is honoured in building naming ceremony |first=Natasha |last=Martineau |work=[[Imperial College London]] |date=5 November 2012 |access-date=17 July 2013 |archive-date=3 March 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160303220641/http://www3.imperial.ac.uk/newsandeventspggrp/imperialcollege/newssummary/news_5-11-2012-10-8-10 |url-status=dead }}</ref>.
Kazi hii ilitokea kipindi cha [[Vita vya Pili vya Dunia]], ambapo dawa hiyo ilisaidia kuokoa maisha ya maelfu ya askari waliojeruhiwa vitani kutokana na maambukizi ya vidonda.
== Tuzo ya Nobel na Maisha ya Baadaye ==
Mnamo mwaka 1945, Chain, Florey, na Fleming walitunukiwa kwa pamoja Tuzo ya Nobel ya Fizikia au Tiba kwa mchango wao wa kihistoria.
Baada ya vita, Chain alihamia nchini [[Italia]] mwaka [[1948]] ambako aliongoza kituo cha utafiti cha kemikali ya biolojia huko Roma (Istituto Superiore di Sanità). Alirejea Uingereza mwaka [[1961]] na kuwa profesa wa biokemia katika Chuo cha Imperial , nafasi aliyoishikilia hadi aliporogea kustaafu.
== Kifo na Urithi ==
Sir Ernst Boris Chain alifariki dunia mnamo tarehe 12 Agosti 1979 huko Castlebar, Ireland, akiwa na umri wa miaka 73.
Anakumbukwa kama mmoja wa nguzo kuu za mapinduzi ya matibabu ya viuavijasumu (antibiotics). Jengo la Idara ya Biokemia katika Chuo cha Imperial London lilipewa jina lake kama heshima kwa mchango wake mkubwa kwenye sayansi.
== Tazama Pia ==
* [[Alexander Fleming]]
* [[Howard Florey]]
* [[Penisilini]]
* [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]
== Marejeo ==
{{BD|1906|1979}}
[[Jamii:Wayahudi]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Ujerumani]]
[[Jamii:wanasayansi wa Uingereza]]
k35db9c3e7toc6dy4vvqs5cvzjhlweq
Zuri Adele
0
242172
1579499
2026-07-15T09:13:29Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Zuri Adele''' ni mwigizaji kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Malika Williams katika mfululizo wa tamthilia Good Trouble. == Maisha ya awali == Adele alikulia katika familia iliyojihusisha na sanaa na elimu, ikiwa na washairi wa maonyesho, wachezaji, waandishi, waigizaji na waelimishaji. Alisoma katika ''Oprah Winfrey Leadership Academy for Girls'' kabla ya kuendelea na masomo yake katika Chuo Kikuu cha California, Los Angel...'
1579499
wikitext
text/x-wiki
'''Zuri Adele''' ni mwigizaji kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Malika Williams katika mfululizo wa tamthilia Good Trouble.
== Maisha ya awali ==
Adele alikulia katika familia iliyojihusisha na sanaa na elimu, ikiwa na washairi wa maonyesho, wachezaji, waandishi, waigizaji na waelimishaji. Alisoma katika ''Oprah Winfrey Leadership Academy for Girls'' kabla ya kuendelea na masomo yake katika [[Chuo Kikuu cha California, Los Angeles]] (UCLA).<ref>{{Cite web|title=Staying Grounded with Zuri Adele|url=https://www.jejunemagazine.com/home/zuri-adele|access-date=18 August 2025|website=jejunemagazine.com}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Waigizaji wa Marekani]]
du0vae6qrfyczmowok00d5zsz7kc3uy
Laivan Greene
0
242173
1579500
2026-07-15T09:18:00Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Laivan Greene''' (amezaliwa tarehe [[17 Februari]] [[1992]]) ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na mcheza dansi kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi zake za uigizaji kama Courtney Black katika filamu ya ''All of Us'' na kama Keisha Ray katika filamu ya ''Jump In!.''<ref>{{Cite web|title=Cadets serve as platoon leaders|url=https://www.dvidshub.net/news/138465/cadets-serve-platoon-leaders|access-date=2022-04-11|publisher=US Department of Defense}...'
1579500
wikitext
text/x-wiki
'''Laivan Greene''' (amezaliwa tarehe [[17 Februari]] [[1992]]) ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na mcheza dansi kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi zake za uigizaji kama Courtney Black katika filamu ya ''All of Us'' na kama Keisha Ray katika filamu ya ''Jump In!.''<ref>{{Cite web|title=Cadets serve as platoon leaders|url=https://www.dvidshub.net/news/138465/cadets-serve-platoon-leaders|access-date=2022-04-11|publisher=US Department of Defense}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
t5kg8czgyk4ks0jbnpx9hk6n0gporcv
1579623
1579500
2026-07-15T11:11:30Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1579623
wikitext
text/x-wiki
'''Laivan Greene''' (amezaliwa tarehe [[17 Februari]] [[1992]]) ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na mcheza dansi kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi zake za uigizaji kama Courtney Black katika filamu ya ''All of Us'' na kama Keisha Ray katika filamu ya ''Jump In!.''<ref>{{Rejea tovuti|title=Cadets serve as platoon leaders|url=https://www.dvidshub.net/news/138465/cadets-serve-platoon-leaders|access-date=2022-04-11|publisher=US Department of Defense}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
4ahqr344img9tds6px0knrk27xq6f40
Leo Szilard
0
242174
1579502
2026-07-15T09:20:53Z
SciFusion
76137
nimeunda kurasa
1579502
wikitext
text/x-wiki
'''Leo Szilard''' (11 Februari 1898 – 30 Mei 1964) alikuwa mwanafizikia na mvumbuzi mzaliwa wa [[Hungaria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Marekani]]) ambaye alikuwa mmoja wa wanasayansi muhimu zaidi katika maendeleo ya nishati ya nyuklia na utengenezaji wa bomu la atomu.<ref>{{cite web |url=http://fizikaiszemle.hu/archivum/fsz9703/marsl.html |title=A marslakók legendája |first=György |author-link=György |last=Marx |access-date=April 7, 2020 |archive-date=April 9, 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220409175959/http://fizikaiszemle.hu/archivum/fsz9703/marsl.html |url-status=dead }}</ref>
Szilard ndiye aliyegundua wazo la '''[[mmenyuko mfululizo wa nyuklia]]''' (nuclear chain reaction) mnamo mwaka [[1933]], akapata hati miliki ya wazo hilo mwaka [[1936]], na baadaye akashirikiana na [[Enrico Fermi]] kujenga tanuri la kwanza kabisa la kinyuklia duniani (Chicago Pile-1) mnamo mwaka [[1942]]. Licha ya mchango wake mkubwa katika kuanzisha zama za atomu, Szilard alikuwa mpinzani mkubwa wa matumizi ya silaha za nyuklia dhidi ya raia baada ya kuona athari zake.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Leo Szilard alizaliwa mjini [[Budapest]], Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha juu.
* Alionyesha kipaji kikubwa cha hisabati na sayansi tangu utotoni. Mwaka [[1916]], alijiunga na Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Budapest kusomea uhandisi.
* Baada ya kujiunga na jeshi wakati wa [[Vita vya Kwanza vya Dunia]], alihamia [[Ujerumani]] mwaka [[1919]] ili kuendelea na masomo yake katika Chuo cha Teknolojia cha Berlin.<ref>{{cite web|url=https://arxiv.org/html/physics/0207094|title=Fermi and Szilard|first=Nina |last=Byers|access-date=May 23, 2015}}</ref>
* Alihamia [[Chuo Kikuu cha Berlin]] ambapo alisoma fizikia chini ya wanasayansi mashuhuri kama [[Albert Einstein]], [[Max Planck]], na [[Max von Laue]]. Alipata PhD yake ya fizikia mwaka [[1922]].
== Ugunduzi wa Mmenyuko Mfululizo wa Nyuklia ==
Mnamo mwaka [[1933]], kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]], Szilard alitoroka Ujerumani na kukimbilia [[Uingereza]].
Ilikuwa mjini [[London]] mnamo Septemba 1933 ambapo Szilard alipata wazo la kihistoria:
* Alipokuwa akisubiri taa za barabarani ibadilike rangi, alitafakari madai ya mwanafizikia [[Ernest Rutherford]] aliyesema kuwa haiwezekani kuzalisha nishati kutokana na atomu.
* Szilard aligundua kuwa kama kuna elementi inayoweza kufyonza neutroni moja na kisha kutoa neutroni mbili au zaidi wakati wa kupasuka, mchakato huo unaweza kujirudia wenyewe mfululizo na kutoa nishati kubwa sana.<ref>{{cite journal |journal=Zeitschrift für Physik |title=Über die Ausdehnung der phänomenologischen Thermodynamik auf die Schwankungserscheinungen |language=de |volume=32 |issue=1 |pages=753–788 |date=December 1, 1925 |doi=10.1007/BF01331713 |issn=0044-3328 |first=Leo |last=Szilard |bibcode = 1925ZPhy...32..753S |s2cid=121162622 }}</ref>
* Wazo hili lilikuwa ndio msingi wa mmenyuko mfululizo wa nyuklia . Alisajili hataza ya siri ya wazo hili nchini Uingereza ili kuzuia lisiangukie mikononi mwa watafiti wa kijeshi wa Ujerumani.
== Barua ya Einstein-Szilard na Mradi wa Manhattan ==
Mnamo mwaka [[1938]], Szilard alihamia Marekani kufanya utafiti katika [[Chuo Kikuu cha Columbia]]. Baada ya kusikia kuwa wanasayansi wa Ujerumani (akiwemo Lise Meitner na Otto Hahn) wamegundua mtengano wa nyuklia mnamo Desemba 1938, Szilard alihofia kuwa serikali ya Nazi ingetengeneza bomu la atomu kwanza.
1. Julai [[1939]], Szilard alitembelea rafiki yake wa zamani [[Albert Einstein]] huko Long Island, New York. Alimuelezea Einstein uwezekano wa kutengenezwa kwa bomu la atomu kupitia mmenyuko mfululizo wa Urani.
2. Kwa pamoja, waliandika barua ya kihistoria kwenda kwa Rais wa Marekani, [[Franklin D. Roosevelt]] (inayojulikana kama '''Barua ya Einstein-Szilard'''), wakimwonya kuhusu hatari hiyo na kupendekeza Marekani ianze utafiti wake wa nyuklia.
3. Barua hii ilisababisha kuanzishwa kwa kamati ambayo baadaye ilikuja kuwa '''[[Mradi wa Manhattan]]''' uliounda mabomu ya kwanza ya atomu.
== Upinzani Dhidi ya Bomu la Atomu ==
Punde tu baada ya kuwa wazi kuwa Ujerumani haitafanikiwa kutengeneza bomu la atomu (na baada ya Ujerumani kushindwa vita mnamo Mei 1945), Szilard alijaribu kwa nguvu zake zote kuzuia Marekani lisitumie bomu hilo dhidi ya [[Japani]].
* Alizungusha waraka (Szilard Petition) uliotiwa saini na wanasayansi 70 wa Mradi wa Manhattan, wakimsihi Rais [[Harry S. Truman]] asitumie bomu la atomu dhidi ya miji ya Japani bila kutoa onyo la wazi kwanza au kufanya maonyesho ya nguvu ya bomu hilo mahali pasipo na watu.
* Ombi lao lilipuuzwa, na mabomu hayo yaliangushwa huko [[Hiroshima]] na [[Nagasaki]] mnamo Agosti 1945.
== Kazi ya Baadaye, Biolojia, na Kifo ==
Baada ya vita, akiwa amesikitishwa sana na mbio za silaha za nyuklia, Szilard aliamua kuacha kabisa masomo ya fizikia ya nyuklia:
* Alihamia kwenye fani ya '''[[biolojia ya molekuli]]''' ( na kufanya tafiti muhimu katika kuelewa mifumo ya seli na vinasaba.
* Alikuwa mwanaharakati mkubwa wa amani na kudhibiti silaha za nyuklia, akiwa mmoja wa waasisi wa mkutano wa kwanza wa Pugwash uliolenga kuzuia vita vya kinyuklia.
* Mwaka [[1960]], aligundulika kuwa na saratani ya kibofu cha mkojo. Alitumia ujuzi wake wa kifizikia kubuni tiba ya mionzi kwa ajili yake mwenyewe, ambayo ilifanikiwa kumponya saratani hiyo.
Leo Szilard alifariki dunia akiwa usingizini kutokana na mshtuko wa moyo mnamo 27 Mei 1964 huko La Jolla, California, akiwa na umri wa miaka 66.
== Tazama Pia ==
* [[Albert Einstein]]
* [[Mradi wa Manhattan]]
* [[Mmenyuko mfululizo wa nyuklia]]
* [[Enrico Fermi]]
== Marejeon==
sgz0713v9y3e5y5dhmb3paklw3qv4og
1579618
1579502
2026-07-15T10:47:27Z
Riccardo Riccioni
452
1579618
wikitext
text/x-wiki
'''Leo Szilard''' (11 Februari 1898 – 30 Mei 1964) alikuwa mwanafizikia na mvumbuzi mzaliwa wa [[Hungaria]] (baadaye alichukua uraia wa [[Marekani]]) ambaye alikuwa mmoja wa wanasayansi muhimu zaidi katika maendeleo ya nishati ya nyuklia na utengenezaji wa bomu la atomu.<ref>{{cite web |url=http://fizikaiszemle.hu/archivum/fsz9703/marsl.html |title=A marslakók legendája |first=György |author-link=György |last=Marx |access-date=April 7, 2020 |archive-date=April 9, 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220409175959/http://fizikaiszemle.hu/archivum/fsz9703/marsl.html |url-status=dead }}</ref>
Szilard ndiye aliyegundua wazo la [[mmenyuko mfululizo wa nyuklia]] (nuclear chain reaction) mnamo mwaka [[1933]], akapata [[hatimiliki]] ya wazo hilo mwaka [[1936]], na baadaye akashirikiana na [[Enrico Fermi]] kujenga tanuri la kwanza kabisa la kinyuklia duniani (Chicago Pile-1) mnamo mwaka [[1942]]. Licha ya mchango wake mkubwa katika kuanzisha zama za atomu, Szilard alikuwa mpinzani mkubwa wa matumizi ya silaha za nyuklia dhidi ya raia baada ya kuona athari zake.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Leo Szilard alizaliwa mjini [[Budapest]], Hungaria, katika familia ya Kiyahudi ya kiwango cha juu.
* Alionyesha kipaji kikubwa cha hisabati na sayansi tangu utotoni. Mwaka [[1916]], alijiunga na Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Budapest kusomea uhandisi.
* Baada ya kujiunga na jeshi wakati wa [[Vita vya Kwanza vya Dunia]], alihamia [[Ujerumani]] mwaka [[1919]] ili kuendelea na masomo yake katika Chuo cha Teknolojia cha Berlin.<ref>{{cite web|url=https://arxiv.org/html/physics/0207094|title=Fermi and Szilard|first=Nina |last=Byers|access-date=May 23, 2015}}</ref>
* Alihamia [[Chuo Kikuu cha Berlin]] ambapo alisoma fizikia chini ya wanasayansi mashuhuri kama [[Albert Einstein]], [[Max Planck]], na [[Max von Laue]]. Alipata PhD yake ya fizikia mwaka [[1922]].
== Ugunduzi wa Mmenyuko Mfululizo wa Nyuklia ==
Mnamo mwaka [[1933]], kufuatia kupanda madarakani kwa chama cha [[Nazi]] chini ya [[Adolf Hitler]], Szilard alitoroka Ujerumani na kukimbilia [[Uingereza]].
Ilikuwa mjini [[London]] mnamo Septemba 1933 ambapo Szilard alipata wazo la kihistoria:
* Alipokuwa akisubiri taa za barabarani ibadilike rangi, alitafakari madai ya mwanafizikia [[Ernest Rutherford]] aliyesema kuwa haiwezekani kuzalisha nishati kutokana na atomu.
* Szilard aligundua kuwa kama kuna elementi inayoweza kufyonza neutroni moja na kisha kutoa neutroni mbili au zaidi wakati wa kupasuka, mchakato huo unaweza kujirudia wenyewe mfululizo na kutoa nishati kubwa sana.<ref>{{cite journal |journal=Zeitschrift für Physik |title=Über die Ausdehnung der phänomenologischen Thermodynamik auf die Schwankungserscheinungen |language=de |volume=32 |issue=1 |pages=753–788 |date=December 1, 1925 |doi=10.1007/BF01331713 |issn=0044-3328 |first=Leo |last=Szilard |bibcode = 1925ZPhy...32..753S |s2cid=121162622 }}</ref>
* Wazo hili lilikuwa ndio msingi wa mmenyuko mfululizo wa nyuklia . Alisajili hataza ya siri ya wazo hili nchini Uingereza ili kuzuia lisiangukie mikononi mwa watafiti wa kijeshi wa Ujerumani.
== Barua ya Einstein-Szilard na Mradi wa Manhattan ==
Mnamo mwaka [[1938]], Szilard alihamia Marekani kufanya utafiti katika [[Chuo Kikuu cha Columbia]]. Baada ya kusikia kuwa wanasayansi wa Ujerumani (akiwemo Lise Meitner na Otto Hahn) wamegundua mtengano wa nyuklia mnamo Desemba 1938, Szilard alihofia kuwa serikali ya Nazi ingetengeneza bomu la atomu kwanza.
1. Julai [[1939]], Szilard alitembelea rafiki yake wa zamani [[Albert Einstein]] huko Long Island, New York. Alimuelezea Einstein uwezekano wa kutengenezwa kwa bomu la atomu kupitia mmenyuko mfululizo wa Urani.
2. Kwa pamoja, waliandika barua ya kihistoria kwenda kwa Rais wa Marekani, [[Franklin D. Roosevelt]] (inayojulikana kama '''Barua ya Einstein-Szilard'''), wakimwonya kuhusu hatari hiyo na kupendekeza Marekani ianze utafiti wake wa nyuklia.
3. Barua hii ilisababisha kuanzishwa kwa kamati ambayo baadaye ilikuja kuwa '''[[Mradi wa Manhattan]]''' uliounda mabomu ya kwanza ya atomu.
== Upinzani Dhidi ya Bomu la Atomu ==
Punde tu baada ya kuwa wazi kuwa Ujerumani haitafanikiwa kutengeneza bomu la atomu (na baada ya Ujerumani kushindwa vita mnamo Mei 1945), Szilard alijaribu kwa nguvu zake zote kuzuia Marekani lisitumie bomu hilo dhidi ya [[Japani]].
* Alizungusha waraka (Szilard Petition) uliotiwa saini na wanasayansi 70 wa Mradi wa Manhattan, wakimsihi Rais [[Harry S. Truman]] asitumie bomu la atomu dhidi ya miji ya Japani bila kutoa onyo la wazi kwanza au kufanya maonyesho ya nguvu ya bomu hilo mahali pasipo na watu.
* Ombi lao lilipuuzwa, na mabomu hayo yaliangushwa huko [[Hiroshima]] na [[Nagasaki]] mnamo Agosti 1945.
== Kazi ya Baadaye, Biolojia, na Kifo ==
Baada ya vita, akiwa amesikitishwa sana na mbio za silaha za nyuklia, Szilard aliamua kuacha kabisa masomo ya fizikia ya nyuklia:
* Alihamia kwenye fani ya '''[[biolojia ya molekuli]]''' ( na kufanya tafiti muhimu katika kuelewa mifumo ya seli na vinasaba.
* Alikuwa mwanaharakati mkubwa wa amani na kudhibiti silaha za nyuklia, akiwa mmoja wa waasisi wa mkutano wa kwanza wa Pugwash uliolenga kuzuia vita vya kinyuklia.
* Mwaka [[1960]], aligundulika kuwa na saratani ya kibofu cha mkojo. Alitumia ujuzi wake wa kifizikia kubuni tiba ya mionzi kwa ajili yake mwenyewe, ambayo ilifanikiwa kumponya saratani hiyo.
Leo Szilard alifariki dunia akiwa usingizini kutokana na mshtuko wa moyo mnamo 27 Mei 1964 huko La Jolla, California, akiwa na umri wa miaka 66.
== Marejeo==
{{BD|1898|1964}}
[[Jamii:Wayahudi]]
[[Jamii:wanafizikia wa Hungaria]]
[[Jamii:wanafizikia wa Marekani]]
3mwjmdhavhpbot6bbd9ds06fnfjlsqq
Ajani Russell
0
242175
1579503
2026-07-15T09:21:49Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ajani Russell''' ni mpiga ''skateboard'', [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Indigo katika filamu ya mwaka [[2018]] Skate Kitchen na katika mfululizo wa vipindi vya [[televisheni]] vya HBO vya mwaka [[2020]] vinavyoitwa Betty.<ref name=":0">{{Cite web|last=Yamato|first=Jen|date=2018-08-23|title='Skate Kitchen' or die: Meet the NYC all-women collective empowering and inspiring with their own big...'
1579503
wikitext
text/x-wiki
'''Ajani Russell''' ni mpiga ''skateboard'', [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza nafasi ya Indigo katika filamu ya mwaka [[2018]] Skate Kitchen na katika mfululizo wa vipindi vya [[televisheni]] vya HBO vya mwaka [[2020]] vinavyoitwa Betty.<ref name=":0">{{Cite web|last=Yamato|first=Jen|date=2018-08-23|title='Skate Kitchen' or die: Meet the NYC all-women collective empowering and inspiring with their own big screen skate sesh|url=https://www.latimes.com/entertainment/movies/la-et-mn-skate-kitchen-movie-20180823-story.html|access-date=2020-06-20|website=Los Angeles Times|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|last=McNulty|first=Jayson|date=2018-08-27|title=Skate Kitchen|url=https://filmdaze.net/skate-kitchen/|access-date=2020-06-20|website=Film Daze|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|last=Samavai|first=Shriya|date=2018-10-02|title=Rookie » Find the Authenticity: Behind the Scenes of Skate Kitchen|url=https://www.rookiemag.com/2018/10/find-the-authenticity-behind-the-scenes-of-skate-kitchen/|access-date=2020-06-20|website=www.rookiemag.com|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
d2oml7fbdm012t47rrc8yt4x60jbjzq
Elizabeth Adare
0
242176
1579515
2026-07-15T09:36:52Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Elizabeth Adare''' (alizaliwa tarehe [[3 Juni]] [[1949]] mjini [[Newcastle upon Tyne]], [[Northumberland]]) ni [[mwanasaikolojia]] wa watoto kutoka [[Uingereza]], na pia alikuwa [[mwigizaji]] na mtangazaji wa [[televisheni]] katika miaka ya [[1970]] na [[1980]]. Anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya Elizabeth katika kipindi cha televisheni cha hadithi za kisayansi cha miaka ya 1970, ''The Tomorrow People.'' Pia alionekana katika vipindi vingine vya tel...'
1579515
wikitext
text/x-wiki
'''Elizabeth Adare''' (alizaliwa tarehe [[3 Juni]] [[1949]] mjini [[Newcastle upon Tyne]], [[Northumberland]]) ni [[mwanasaikolojia]] wa watoto kutoka [[Uingereza]], na pia alikuwa [[mwigizaji]] na mtangazaji wa [[televisheni]] katika miaka ya [[1970]] na [[1980]].
Anajulikana zaidi kwa nafasi yake ya Elizabeth katika kipindi cha televisheni cha hadithi za kisayansi cha miaka ya 1970, ''The Tomorrow People.''
Pia alionekana katika vipindi vingine vya televisheni vikiwemo ''Mind Your Language'' ("An Inspector Calls"), ''Crossroads, Within These Walls, Rising Damp, Angels, Father, Dear Father, The Expert, Enemy at the Door, Mitch, The Setbacks'' na ''Rumpole of the Bailey.''<ref>{{IMDb name|0011572}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1949]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
d7imuigaqhwrg68qmdt0zndfbxzmywg
Nam Kiwanuka
0
242177
1579522
2026-07-15T09:41:18Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mary Namugenyi "Nam" Kiwanuka''' ni [[mtangazaji]] wa [[televisheni]] na [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Uganda]]-[[Canada]]. Kwa sasa anaendesha kipindi cha habari na makala cha TVO kinachoitwa ''The Thread''. Kiwanuka alihamia Kanada pamoja na familia yake mwaka [[1983]] baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Uganda. Alipewa jina la [[Kiingereza]] Mary kama jina la utani. Alianza kujulikana katika vyombo vya habari akiwa VJ wa MuchMusic kuanz...'
1579522
wikitext
text/x-wiki
'''Mary Namugenyi "Nam" Kiwanuka''' ni [[mtangazaji]] wa [[televisheni]] na [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Uganda]]-[[Canada]]. Kwa sasa anaendesha kipindi cha habari na makala cha TVO kinachoitwa ''The Thread''.
Kiwanuka alihamia Kanada pamoja na familia yake mwaka [[1983]] baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Uganda. Alipewa jina la [[Kiingereza]] Mary kama jina la utani.
Alianza kujulikana katika vyombo vya habari akiwa VJ wa MuchMusic kuanzia mwaka [[1999]] hadi [[2003]]. Baadaye aliandaa vipindi vya michezo ya mpira wa kikapu na mpira wa miguu kwenye Sportsnet, vikiwemo kipindi cha kila wiki cha NBA XL.<ref>{{cite web|last1=Kiwanuka|first1=Nam|title=Black identity and the skin I'm in|url=https://www.tvo.org/article/black-identity-and-the-skin-im-in|website=TVO.org|date=February 26, 2016}}</ref>
Baadaye alifanya kazi kama mwandishi wa habari na mtangazaji mbadala wa kipindi cha habari cha TVOntario The Agenda kuanzia mwaka [[2016]] hadi kipindi hicho kilipomalizika mwaka [[2025]] baada ya mtangazaji Steve Paikin kustaafu.<ref>"Call goes out to all VJ wannabes; Video station MuchMusic holding country-wide auditions". ''[[Toronto Star]]'', November 10, 1999.</ref>
Mbali na kazi yake ya uandishi wa habari, Kiwanuka ameshiriki katika shughuli za kibinadamu nje ya nchi kupitia mashirika kama ''War Child Canada, Journalists for Human Rights'' na ''Msalaba Mwekundu wa Kanada''.<ref>"Analysts will be pressed hard to give oomph to NHL draft show". ''[[The Globe and Mail]]'', June 25, 2004.</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
8evvdevd70wkw2hod8j7pijq2xfpfsz
Gicumbi (wilaya)
0
242178
1579528
2026-07-15T09:45:32Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Wilaya ya Gicumbi]]
1579528
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[wilaya ya Gicumbi]]
pjsxd2ybw4jgxmaiclufrraop110oyn
Ava Muhammad
0
242179
1579530
2026-07-15T09:46:33Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ava Muhammad''' ([[9 Novemba]] [[1951]] – [[25 Agosti]] [[2022]]) alikuwa Muislamu [[Mmarekani]] Mweusi na kiongozi wa kidini katika Taifa la Uislamu (Nation of Islam - NOI). Mwaka [[1998]], alikua mwanamke wa kwanza kuwa Waziri wa kuongoza msikiti na eneo ndani ya historia ya Taifa la Uislamu).<ref>{{Cite web|last=josh.barker|date=2022-09-01|title=Nation of Islam mourns the loss of Minister Dr. Ava Muhammad|url=http://amsterdamnews.com/news/2022/09/...'
1579530
wikitext
text/x-wiki
'''Ava Muhammad''' ([[9 Novemba]] [[1951]] – [[25 Agosti]] [[2022]]) alikuwa Muislamu [[Mmarekani]] Mweusi na kiongozi wa kidini katika Taifa la Uislamu (Nation of Islam - NOI).
Mwaka [[1998]], alikua mwanamke wa kwanza kuwa Waziri wa kuongoza msikiti na eneo ndani ya historia ya Taifa la Uislamu).<ref>{{Cite web|last=josh.barker|date=2022-09-01|title=Nation of Islam mourns the loss of Minister Dr. Ava Muhammad|url=http://amsterdamnews.com/news/2022/09/01/nation-of-islam-mourns-the-loss-of-minister-dr-ava-muhammad/|access-date=2022-09-12|website=New York Amsterdam News|language=en-US}}</ref>
Alijulikana pia kwa nafasi yake kama msemaji wa kitaifa wa Waziri Farrakhan, nafasi ambayo hapo awali iliwahi kushikiliwa na Malcolm X wakati wa uongozi wa Elijah Muhammad. Pia alikuwa mwanachama wa Mafunzo ya Wasichana Waislamu (Muslim Girls' Training - MGT).<ref>{{cite web|url=http://www.prlog.org/10009833-groundbreaking-conference-promises-to-shift-the-nation-consciousness.html|title=Groundbreaking Conference Promises To Shift The Nation's Consciousness|publisher=Prlog.org|date=|accessdate=2010-11-19}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xEEIY4Q1ZAIC&pg=PA248|title=African American Religious Cultures|last1=Pinn|first1=Anthony B.|last2=Finley|first2=Stephen C.|last3=Alexander|first3=Torin|publisher=Bloomsbury Academic|year=2009|isbn=9781576074701}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=WPILfbtT5tQC&pg=PA752|title=Encyclopedia of Women and Religion in North America: Native American creation stories|last1=Keller|first1=Rosemary Skinner|last2=Ruether|first2=Rosemary Radford|last3=Cantlon|first3=Marie|publisher=Indiana University Press|year=2006|isbn=0253346878}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii: Waliofariki 2022]]
0bgtlxjvqjlyaczwnp4ptvef5givl3s
Majadiliano ya mtumiaji:Edwin Kipchumba Keitany
3
242180
1579532
2026-07-15T09:48:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579532
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
gip0lnsnimh56swvvb26qbi9tb1ciyz
Majadiliano ya mtumiaji:Emmanuel Mashiku
3
242181
1579533
2026-07-15T09:48:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579533
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
gip0lnsnimh56swvvb26qbi9tb1ciyz
Majadiliano ya mtumiaji:NANJ BHALO
3
242182
1579534
2026-07-15T09:48:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579534
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
gip0lnsnimh56swvvb26qbi9tb1ciyz
1579616
1579534
2026-07-15T10:41:28Z
Riccardo Riccioni
452
1579616
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
==Kimvita==
Ndugu, nafurahi kwamba unapenda Kimvita, lakini toleo hili ni la Kiswahili Sanifu. Pengine unaweza kutunga kurasa mpya kwa Kimvita, ukieleza jambo hilo mwanzoni, lakini huruhusiwa kubadilisha makala zilizopo kutoka lugha sanifu kwenda lahaja fulani. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:41, 15 Julai 2026 (UTC)
nml6jqdecwho0nvqmatuy9e14uqef0r
Majadiliano ya mtumiaji:Halberstrum
3
242183
1579536
2026-07-15T09:48:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579536
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
gip0lnsnimh56swvvb26qbi9tb1ciyz
Majadiliano ya mtumiaji:Theepicosity
3
242184
1579537
2026-07-15T09:48:54Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579537
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Julai 2026 (UTC)
gip0lnsnimh56swvvb26qbi9tb1ciyz
Majadiliano ya mtumiaji:Stephndee1510
3
242185
1579538
2026-07-15T09:49:04Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579538
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Hawa Hamimu
3
242186
1579539
2026-07-15T09:49:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579539
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Yung Stee
3
242187
1579540
2026-07-15T09:49:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579540
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Syzygy
3
242188
1579541
2026-07-15T09:49:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579541
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Lee-padre
3
242189
1579542
2026-07-15T09:49:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579542
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Sssrfp
3
242190
1579544
2026-07-15T09:49:54Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579544
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 15 Julai 2026 (UTC)
03hqu071fyvl6wxv0kvn2d1scpne61e
Majadiliano ya mtumiaji:Rhode-Moyer
3
242191
1579545
2026-07-15T09:50:04Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579545
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 15 Julai 2026 (UTC)
cg480cn8qgsbu66h76e7y9nbfv5q0hr
Majadiliano ya mtumiaji:Sheisatitagain
3
242192
1579546
2026-07-15T09:50:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579546
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 15 Julai 2026 (UTC)
cg480cn8qgsbu66h76e7y9nbfv5q0hr
Majadiliano ya mtumiaji:Ricky B.Sosa
3
242193
1579547
2026-07-15T09:50:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579547
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 15 Julai 2026 (UTC)
cg480cn8qgsbu66h76e7y9nbfv5q0hr
Majadiliano ya mtumiaji:Horsers
3
242194
1579549
2026-07-15T09:50:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579549
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 15 Julai 2026 (UTC)
cg480cn8qgsbu66h76e7y9nbfv5q0hr
Majadiliano ya mtumiaji:ChandaPenda
3
242195
1579550
2026-07-15T09:50:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1579550
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 15 Julai 2026 (UTC)
cg480cn8qgsbu66h76e7y9nbfv5q0hr
Georgia Dobbins
0
242196
1579554
2026-07-15T09:54:04Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Georgia Dobbins-Davis''' ([[Mei 8]], [[1942]] - [[Septemba 18]], [[2020]]) alikuwa [[mwimbaji]] na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Marekani]]. == Maisha ya awali == Georgia Dobbins alizaliwa tarehe 8 Mei 1942 mjini [[Carthage]], [[Arkansas]], Marekani. Alikuwa mtoto wa kwanza kati ya watoto saba wa Arlanders na Mercile Dobbins. Baadaye, familia yake ilihamia Ypsilanti, [[Michigan]], na kuishi katika mradi wa Willow Run Projects, eneo la makazi lililoanzishw...'
1579554
wikitext
text/x-wiki
'''Georgia Dobbins-Davis''' ([[Mei 8]], [[1942]] - [[Septemba 18]], [[2020]]) alikuwa [[mwimbaji]] na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Marekani]].
== Maisha ya awali ==
Georgia Dobbins alizaliwa tarehe 8 Mei 1942 mjini [[Carthage]], [[Arkansas]], Marekani. Alikuwa mtoto wa kwanza kati ya watoto saba wa Arlanders na Mercile Dobbins.
Baadaye, familia yake ilihamia Ypsilanti, [[Michigan]], na kuishi katika mradi wa Willow Run Projects, eneo la makazi lililoanzishwa kwa ajili ya maveterani wa [[Vita vya Pili vya Dunia]] baada ya baba yake kushiriki katika mapigano nchini [[Ufilipino]].<ref name="autobiography">https://archive.org/details/originalmarvelet00tayl/page/n9/mode/2up?q=georgia</ref>
Akiwa mdogo, Dobbins alipata msukumo kutoka kwa waimbaji kama Ruth Brown, Etta James na Sarah Vaughan. Alianza kuimba na kufanya maonyesho ya muziki wa doo-wop, jambo lililompelekea kuunda vikundi vya muziki na pia kuimba katika Willow Run Baptist Church pamoja na rafiki yake Nickolas Ashford.
Baada ya eneo la Willow Run Projects kubomolewa, Georgia na familia yake walihamia Inkster, Michigan.
==Tanbhi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[JAmii: Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii: Waliofariki 2020]]
mmu4au9fzsr58k4xjcn8jkfon5v2tce
Elisabeth Troy
0
242197
1579562
2026-07-15T09:58:43Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Elisabeth Troy Antwi''' (alizaliwa tarehe [[6 Februari]]) ni [[mwimbaji]] na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite web|url=https://www.officialcharts.com/artist/12156/4-vini-ft-elizabeth-troy/|title='Forever Young' Official Chart History - Official Charts Company|website=[[Official Charts Company|Official Charts]]}}</ref> Ameonekana katika nyimbo kadhaa zilizofanikiwa kuingia kwenye orodha ya nyimbo 40 bora nchini Uingereza, zikiwemo '''"''...'
1579562
wikitext
text/x-wiki
'''Elisabeth Troy Antwi''' (alizaliwa tarehe [[6 Februari]]) ni [[mwimbaji]] na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Uingereza]].<ref>{{cite web|url=https://www.officialcharts.com/artist/12156/4-vini-ft-elizabeth-troy/|title='Forever Young' Official Chart History - Official Charts Company|website=[[Official Charts Company|Official Charts]]}}</ref>
Ameonekana katika nyimbo kadhaa zilizofanikiwa kuingia kwenye orodha ya nyimbo 40 bora nchini Uingereza, zikiwemo '''"'''Crazy Love'''"''' ya MJ Cole na "Hold On to Me" mwaka [[2000]], pamoja na "Fever" ya B.Traits mwaka [[2012]].<ref>{{cite web|url=http://www.allaboutjazz.com/raingods-with-zippos-fish-roadrunner-records-review-by-glenn-astarita.php|title=Fish: Raingods With Zippos|work=All About Jazz|first=Glenn|last=Astarita|date=1 May 1999|accessdate=22 June 2015}}</ref>
Pia alishiriki kuandika na kuimba wimbo wa mwaka [[1996]] uitwao "Headstrong", ambao ulitumika katika wimbo wa filamu Mars Attacks!.
Elisabeth pia alishiriki kuandika na kuimba wimbo "Incomplete" pamoja na Fish katika albamu yake ya mwaka [[1999]] Raingods with Zippos, na baadaye alitoa sauti za kuunga mkono kwenye albamu yake ya mwaka [[2013]] A Feast of Consequences.
Kuanzia mwaka 2013 hadi [[2016]], alifanya ziara za muziki pamoja na kundi la Clean Bandit.<ref>{{Cite web|date=2020-10-21|title=Black History Month: In Conversation w/ Elisabeth Troy (Clean Bandit, MJ Cole) -|url=https://plus.pointblankmusicschool.com/black-history-month-in-conversation-w-elisabeth-troy-clean-bandit-mj-cole/|access-date=2021-02-22|website=Point Blank’s Online Magazine|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
jd6d37zti4jb4mzskn6yj1hvawvzppa
Crystal Celeste Grant
0
242198
1579571
2026-07-15T10:05:11Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Crystal Celeste Grant''' (alizaliwa tarehe [[20 Septemba]] [[1980]] jijini [[Houston]], [[Texas]]) ni [[mwigizaji]] na [[mwimbaji]] wa zamani kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa majukumu yake katika filamu Teenage Caveman ([[2002]]) na Kids in America ([[2005]]). Katika [[televisheni]], aliwahi kuonekana kama mgeni katika vipindi mbalimbali vikiwemo Sister, Sister, Smart Guy, Get Real, City Guys, Pacific Blue na Yes, Dear. Mwaka [[1996]], aliche...'
1579571
wikitext
text/x-wiki
'''Crystal Celeste Grant''' (alizaliwa tarehe [[20 Septemba]] [[1980]] jijini [[Houston]], [[Texas]]) ni [[mwigizaji]] na [[mwimbaji]] wa zamani kutoka [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kwa majukumu yake katika filamu Teenage Caveman ([[2002]]) na Kids in America ([[2005]]).
Katika [[televisheni]], aliwahi kuonekana kama mgeni katika vipindi mbalimbali vikiwemo Sister, Sister, Smart Guy, Get Real, City Guys, Pacific Blue na Yes, Dear. Mwaka [[1996]], alicheza katika filamu Lawnmower Man 2: Beyond Cyberspace. Mnamo mwaka [[2001]], Grant alikuwa sehemu ya waigizaji wa mara kwa mara katika kipindi cha Jumamosi asubuhi cha NBC kilichoitwa All About Us, ambacho kilidumu kwa msimu mmoja. Mwaka 2005, alishiriki kama mwimbaji kwenye albamu Def Con Zero ya kundi la rap Cloak-n-Dagga, kwenye wimbo "Gold Trigga". Crystal Grant ni dada mdogo wa mwigizaji Salim Grant. Tuzo yake ya mwisho ya uigizaji wa kitaalamu ilikuwa katika filamu Kids in America.<ref>Juon, Steve 'Flash' (January 10, 2006). [http://www.rapreviews.com/archive/2006_01_defconzero.html Canibus & Phoenix Orion :: Def Con Zero :: Head Trauma Records/First Kut Organization]. RapReviews.</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
80u03xm2f271gw2yywxo721fmm8vd6e
Polly Jackson
0
242199
1579588
2026-07-15T10:14:34Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Polly Jackson''', ambaye pia alijulikana kama Shangazi Polly Jackson, alikuwa [[mwanaharakati]] wa kupinga utumwa nchini [[Marekani]] na kiongozi aliyeshiriki katika Reli ya Chini ya Ardhi (Underground Railroad). Akiwa mwanamke aliyewahi kuwa mtumwa, alijulikana kwa juhudi zake za kusaidia watu waliokuwa wakikimbia utumwa. Inasemekana kwamba alikuwa akijificha kwa kuvaa kama mwanamke mzee na kupambana na wafanyabiashara wa watumwa waliokuwa wakijaribu...'
1579588
wikitext
text/x-wiki
'''Polly Jackson''', ambaye pia alijulikana kama Shangazi Polly Jackson, alikuwa [[mwanaharakati]] wa kupinga utumwa nchini [[Marekani]] na kiongozi aliyeshiriki katika Reli ya Chini ya Ardhi (Underground Railroad).
Akiwa mwanamke aliyewahi kuwa mtumwa, alijulikana kwa juhudi zake za kusaidia watu waliokuwa wakikimbia utumwa. Inasemekana kwamba alikuwa akijificha kwa kuvaa kama mwanamke mzee na kupambana na wafanyabiashara wa watumwa waliokuwa wakijaribu kuwakamata waliokuwa wakitafuta uhuru, akitumia kisu cha mchinjaji na birika la maji ya moto.<ref name="same">{{cite web|url=https://samepassage.org/the-heroics-of-aunt-polly-jackson-who-fought-off-white-slavers-to-protect-fugitives-in-the-mid-1800s/|title=The heroics of Aunt Polly Jackson who fought off white slavers to protect fugitives in the mid-1800s|website=samepassage.org|publisher=Same Passage|access-date=November 19, 2025}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
04l5jh6pnayvncnzsli0g4xxctqbqll
Ann Saunderson
0
242200
1579594
2026-07-15T10:22:16Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ann Saunderson''' (aliyezaliwa Ann Karen Joy Nanton huko [[Birmingham]]) ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa densi kutoka [[Uingereza]]. == Wasifu == === Kazi ya awali === Ann Nanton ni mwimbaji ambaye alianza kujulikana baada ya kukutana na Kevin Saunderson alipokwenda [[London]] mwaka [[1987]] kumtembelea dada yake mkubwa Judy, ambaye tayari alikuwa mwimbaji wa kipindi. Baada ya muda mfupi, Ann alifunga ndoa na Kevin Saunderson na kuhamia Marekani. Aki...'
1579594
wikitext
text/x-wiki
'''Ann Saunderson''' (aliyezaliwa Ann Karen Joy Nanton huko [[Birmingham]]) ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa densi kutoka [[Uingereza]].
== Wasifu ==
=== Kazi ya awali ===
Ann Nanton ni mwimbaji ambaye alianza kujulikana baada ya kukutana na Kevin Saunderson alipokwenda [[London]] mwaka [[1987]] kumtembelea dada yake mkubwa Judy, ambaye tayari alikuwa mwimbaji wa kipindi. Baada ya muda mfupi, Ann alifunga ndoa na Kevin Saunderson na kuhamia Marekani. Akiwa huko, alionekana kwenye rekodi kadhaa za mumewe kama mwimbaji.
Pia alirekodi muziki kwa kutumia majina ya kisanii Surreal na Karen Joy, na alikuwa mwimbaji mkuu wa kundi la muziki wa dansi Kaos. Vilevile alishiriki katika kazi za kundi la Inner City, ambalo lilianzishwa na mumewe Kevin Saunderson.<ref>{{cite web|url=http://www.goldmanbailey.com/news/40|title=Ann Saunderson joins Defected's performer rights roster|work=goldmanbailey.com|accessdate=10 February 2015}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
ht3nramwkqmdufmimsvk2eiimb0ehh5
Tymika Tafari
0
242201
1579600
2026-07-15T10:26:31Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tymika Tafari''' (alizaliwa tarehe [[4 Mei]] [[1995]]) ni [[mwigizaji]] wa kike kutoka [[Toronto]], [[Ontario]], [[Kanada]]. Anajulikana zaidi kwa majukumu yake katika kipindi cha televisheni Slip, ambapo yeye pamoja na waigizaji wenzake waliteuliwa kwa tuzo ya Utendaji Bora wa Kikundi katika Mfululizo wa Vichekesho kwenye Tuzo za 12 za Skrini za Kanada mwaka [[2024]].<ref>Devon Banfield, [https://nowtoronto.com/culture/canadian-screen-awards-queer-and-...'
1579600
wikitext
text/x-wiki
'''Tymika Tafari''' (alizaliwa tarehe [[4 Mei]] [[1995]]) ni [[mwigizaji]] wa kike kutoka [[Toronto]], [[Ontario]], [[Kanada]]. Anajulikana zaidi kwa majukumu yake katika kipindi cha televisheni Slip, ambapo yeye pamoja na waigizaji wenzake waliteuliwa kwa tuzo ya Utendaji Bora wa Kikundi katika Mfululizo wa Vichekesho kwenye Tuzo za 12 za Skrini za Kanada mwaka [[2024]].<ref>Devon Banfield, [https://nowtoronto.com/culture/canadian-screen-awards-queer-and-now/ "‘Heated Rivalry’ & ‘Settle Down’ lead a huge year for Queer stories at the Canadian Screen Awards"]. ''[[Now (newspaper)|Now]]'', May 28, 2026.</ref><ref name="cs 24">{{Cite web|url=https://www.academy.ca/2024/zoe-lister-jones/|title=Zoe Lister-Jones, Tymika Tafari, Amar Chadha-Patel|website=Canadian Academy: 2024 Canadian Screen Awards|date=6 March 2024|access-date=31 July 2024}}</ref>
Pia aliteuliwa kwa tuzo ya Utendaji Bora wa Kusaidia katika Mfululizo wa Wavuti kwenye Tuzo za 14 za Skrini za Kanada mwaka 2026 kutokana na nafasi yake katika kipindi cha wavuti Settle Down.
Mbali na kazi hizo, Tafari ameonekana katika filamu kama The Marijuana Conspiracy, Dinner with Friends na Son of Sara: Volume 1. Pia ameshiriki katika mfululizo wa wavuti kama Chateau Laurier na Revenge of the Black Best Friend, pamoja na kutoa sauti katika vipindi vya uhuishaji vikiwemo My Little Pony: Make Your Mark, Gary and His Demons, Total Drama Island, PAW Patrol na Work It Out Wombats!.<ref>{{Cite web|title=Son of Sara|url=https://tiff.net/films/son-of-sara|access-date=2025-10-26|website=TIFF|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|last=Tracy|first=Andrew|title=Houston Bone’s ‘Son of Sara’ to premiere at Blood in the Snow|url=https://playbackonline.ca/2025/10/27/houston-bones-son-of-sara-to-premiere-at-blood-in-the-snow/|access-date=2026-06-19}}</ref><ref>{{Cite web|last=Goodfellow|first=Melanie|date=2026-01-28|title=Saban Films Takes U.S. For Houston Bone’s Horror ‘Son of Sara: Volume 1’|url=https://deadline.com/2026/01/saban-films-us-houston-bones-horror-son-sara-volume-1-1236700121/|access-date=2026-04-23|website=Deadline|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|last=Squires|first=John|date=June 18, 2026|title=‘Son of Sara’ Exclusive Trailer – ‘Rosemary’s Baby’ for a New Generation|url=https://bloody-disgusting.com/exclusives/3956580/son-of-sara-exclusive-trailer-rosemarys-baby-for-a-new-generation/|website=[[Bloody Disgusting]]}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
h56napp3t5j3aq32a4wm3pakt3gw8wo
Tawana Brawley
0
242202
1579608
2026-07-15T10:31:17Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tawana Vicenia Brawley''' (alizaliwa tarehe [[15 Desemba]] [[1971]]) ni mwanamke Mwafrika Mmarekani kutoka [[New York]] ambaye alipata umaarufu mwaka [[1987]] akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na madai ya tukio la utekaji nyara na ubakaji lililodaiwa kufanywa na wanaume wanne weupe kwa kipindi cha siku nne. Mnamo tarehe [[28 Novemba]] [[1987]], Brawley alipatikana ndani ya mfuko wa taka baada ya kutoweka kwa siku nne kutoka nyumbani kwake huko Wapping...'
1579608
wikitext
text/x-wiki
'''Tawana Vicenia Brawley''' (alizaliwa tarehe [[15 Desemba]] [[1971]]) ni mwanamke Mwafrika Mmarekani kutoka [[New York]] ambaye alipata umaarufu mwaka [[1987]] akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na madai ya tukio la utekaji nyara na ubakaji lililodaiwa kufanywa na wanaume wanne weupe kwa kipindi cha siku nne.
Mnamo tarehe [[28 Novemba]] [[1987]], Brawley alipatikana ndani ya mfuko wa taka baada ya kutoweka kwa siku nne kutoka nyumbani kwake huko Wappingers Falls, New York. Alikuwa na maandishi ya matusi ya kibaguzi mwilini na alikuwa amefunikwa na kinyesi. Brawley aliwashutumu wanaume wanne weupe kwa kumteka na kumbaka, na kesi hiyo ilipata uangalizi mkubwa nchini Marekani kutokana na hali aliyopatikana nayo, umri wake, pamoja na watu mashuhuri aliowataja katika madai yake.<ref>{{cite book|title=The Media Show: The Changing Face of the News, 1985–1990|last=Diamond|first=Edwin|publisher=MIT Press|year=1991|location=Cambridge, Massachusetts|quote=The great paradox of Brawley 2 was that this dumb show went on for months, encouraged by the authorities and the media. The 'white power structure' – as Sharpton calls it – all but propped up the advisers' shaky scenarios. The governor and the attorney general, their eyes on electoral politics as well as the case, gave the appearance of trying to avoid offense to any constituency, black or white.}}</ref>
Mawakili na wanaharakati waliokuwa wakimsaidia, akiwemo Al Sharpton, Alton H. Maddox na C. Vernon Mason, walichangia katika kulifanya suala hilo lijulikane kitaifa.
Baada ya uchunguzi, baraza kuu la majaji mnamo Oktoba [[1988]] lilihitimisha kuwa hakukuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Brawley alikuwa mwathirika wa unyanyasaji wa kingono kwa nguvu, na likaeleza kuwa huenda tukio hilo lilikuwa limetengenezwa. Steven Pagones, aliyekuwa mmoja wa watu aliowashutumu, baadaye alifanikiwa katika kesi ya kashfa dhidi ya Brawley na washauri wake.
Tukio hilo lilizua mjadala mkubwa nchini Marekani kuhusu ubaguzi wa rangi, vyombo vya habari na namna jamii ilivyoshughulikia madai ya unyanyasaji. Baadhi ya viongozi na wasomi wa Kiafrika Marekani walimsaidia Brawley na kuhoji namna taarifa zilivyowasilishwa, huku familia yake ikiendelea kusisitiza kuwa madai yake yalikuwa ya kweli.<ref name=":0">{{cite news|last1=Cohen|first1=Richard|title=Opinion {{!}} A VINDICATED MAN|url=https://www.washingtonpost.com/archive/opinions/1998/07/16/a-vindicated-man/f83e8a95-cca2-4379-9c7e-f4fc43c7b7af/|newspaper=Washington Post|date=January 9, 2024}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|date=April 26, 2022|title=Doubling down on a fraud {{!}} Christopher Silvester|url=https://thecritic.co.uk/issues/may-2022/doubling-down-on-a-fraud/|access-date=2023-09-02|website=The Critic Magazine|language=en-GB}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
qtewqyazde3fxed2s3j7tb0mm1vxxfh
1579620
1579608
2026-07-15T10:49:09Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Tawana Brawley rape hoax]] hadi [[Tawana Brawley]]: urahisi wa kuupata
1579608
wikitext
text/x-wiki
'''Tawana Vicenia Brawley''' (alizaliwa tarehe [[15 Desemba]] [[1971]]) ni mwanamke Mwafrika Mmarekani kutoka [[New York]] ambaye alipata umaarufu mwaka [[1987]] akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na madai ya tukio la utekaji nyara na ubakaji lililodaiwa kufanywa na wanaume wanne weupe kwa kipindi cha siku nne.
Mnamo tarehe [[28 Novemba]] [[1987]], Brawley alipatikana ndani ya mfuko wa taka baada ya kutoweka kwa siku nne kutoka nyumbani kwake huko Wappingers Falls, New York. Alikuwa na maandishi ya matusi ya kibaguzi mwilini na alikuwa amefunikwa na kinyesi. Brawley aliwashutumu wanaume wanne weupe kwa kumteka na kumbaka, na kesi hiyo ilipata uangalizi mkubwa nchini Marekani kutokana na hali aliyopatikana nayo, umri wake, pamoja na watu mashuhuri aliowataja katika madai yake.<ref>{{cite book|title=The Media Show: The Changing Face of the News, 1985–1990|last=Diamond|first=Edwin|publisher=MIT Press|year=1991|location=Cambridge, Massachusetts|quote=The great paradox of Brawley 2 was that this dumb show went on for months, encouraged by the authorities and the media. The 'white power structure' – as Sharpton calls it – all but propped up the advisers' shaky scenarios. The governor and the attorney general, their eyes on electoral politics as well as the case, gave the appearance of trying to avoid offense to any constituency, black or white.}}</ref>
Mawakili na wanaharakati waliokuwa wakimsaidia, akiwemo Al Sharpton, Alton H. Maddox na C. Vernon Mason, walichangia katika kulifanya suala hilo lijulikane kitaifa.
Baada ya uchunguzi, baraza kuu la majaji mnamo Oktoba [[1988]] lilihitimisha kuwa hakukuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Brawley alikuwa mwathirika wa unyanyasaji wa kingono kwa nguvu, na likaeleza kuwa huenda tukio hilo lilikuwa limetengenezwa. Steven Pagones, aliyekuwa mmoja wa watu aliowashutumu, baadaye alifanikiwa katika kesi ya kashfa dhidi ya Brawley na washauri wake.
Tukio hilo lilizua mjadala mkubwa nchini Marekani kuhusu ubaguzi wa rangi, vyombo vya habari na namna jamii ilivyoshughulikia madai ya unyanyasaji. Baadhi ya viongozi na wasomi wa Kiafrika Marekani walimsaidia Brawley na kuhoji namna taarifa zilivyowasilishwa, huku familia yake ikiendelea kusisitiza kuwa madai yake yalikuwa ya kweli.<ref name=":0">{{cite news|last1=Cohen|first1=Richard|title=Opinion {{!}} A VINDICATED MAN|url=https://www.washingtonpost.com/archive/opinions/1998/07/16/a-vindicated-man/f83e8a95-cca2-4379-9c7e-f4fc43c7b7af/|newspaper=Washington Post|date=January 9, 2024}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|date=April 26, 2022|title=Doubling down on a fraud {{!}} Christopher Silvester|url=https://thecritic.co.uk/issues/may-2022/doubling-down-on-a-fraud/|access-date=2023-09-02|website=The Critic Magazine|language=en-GB}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
qtewqyazde3fxed2s3j7tb0mm1vxxfh
1579622
1579620
2026-07-15T10:49:35Z
Riccardo Riccioni
452
1579622
wikitext
text/x-wiki
'''Tawana Vicenia Brawley''' (alizaliwa [[15 Desemba]] [[1971]]) ni mwanamke Mwafrika Mmarekani kutoka [[New York]] ambaye alipata umaarufu mwaka [[1987]] akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na madai ya tukio la utekaji nyara na ubakaji lililodaiwa kufanywa na wanaume wanne weupe kwa kipindi cha siku nne.
Mnamo tarehe [[28 Novemba]] [[1987]], Brawley alipatikana ndani ya mfuko wa taka baada ya kutoweka kwa siku nne kutoka nyumbani kwake huko Wappingers Falls, New York. Alikuwa na maandishi ya matusi ya kibaguzi mwilini na alikuwa amefunikwa na kinyesi. Brawley aliwashutumu wanaume wanne weupe kwa kumteka na kumbaka, na kesi hiyo ilipata uangalizi mkubwa nchini Marekani kutokana na hali aliyopatikana nayo, umri wake, pamoja na watu mashuhuri aliowataja katika madai yake.<ref>{{cite book|title=The Media Show: The Changing Face of the News, 1985–1990|last=Diamond|first=Edwin|publisher=MIT Press|year=1991|location=Cambridge, Massachusetts|quote=The great paradox of Brawley 2 was that this dumb show went on for months, encouraged by the authorities and the media. The 'white power structure' – as Sharpton calls it – all but propped up the advisers' shaky scenarios. The governor and the attorney general, their eyes on electoral politics as well as the case, gave the appearance of trying to avoid offense to any constituency, black or white.}}</ref>
Mawakili na wanaharakati waliokuwa wakimsaidia, akiwemo Al Sharpton, Alton H. Maddox na C. Vernon Mason, walichangia katika kulifanya suala hilo lijulikane kitaifa.
Baada ya uchunguzi, baraza kuu la majaji mnamo Oktoba [[1988]] lilihitimisha kuwa hakukuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Brawley alikuwa mwathirika wa unyanyasaji wa kingono kwa nguvu, na likaeleza kuwa huenda tukio hilo lilikuwa limetengenezwa. Steven Pagones, aliyekuwa mmoja wa watu aliowashutumu, baadaye alifanikiwa katika kesi ya kashfa dhidi ya Brawley na washauri wake.
Tukio hilo lilizua mjadala mkubwa nchini Marekani kuhusu ubaguzi wa rangi, vyombo vya habari na namna jamii ilivyoshughulikia madai ya unyanyasaji. Baadhi ya viongozi na wasomi wa Kiafrika Marekani walimsaidia Brawley na kuhoji namna taarifa zilivyowasilishwa, huku familia yake ikiendelea kusisitiza kuwa madai yake yalikuwa ya kweli.<ref name=":0">{{cite news|last1=Cohen|first1=Richard|title=Opinion {{!}} A VINDICATED MAN|url=https://www.washingtonpost.com/archive/opinions/1998/07/16/a-vindicated-man/f83e8a95-cca2-4379-9c7e-f4fc43c7b7af/|newspaper=Washington Post|date=January 9, 2024}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|date=April 26, 2022|title=Doubling down on a fraud {{!}} Christopher Silvester|url=https://thecritic.co.uk/issues/may-2022/doubling-down-on-a-fraud/|access-date=2023-09-02|website=The Critic Magazine|language=en-GB}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:wanawake wa Marekani]]
7br1gikovps1kcu8ozypdvpvgatxo8o
Dawn Silva
0
242203
1579611
2026-07-15T10:35:49Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dawn Silva''' ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa funk kutoka [[Marekani]]. Silva alianza kazi yake ya muziki kama mwimbaji wa nyuma katika kundi la Sly and the Family Stone kabla ya kujiunga na Parliament-Funkadelic mwaka [[1977]]. Alikuwa mwanachama pekee wa awali wa kundi la Brides of Funkenstein aliyedumu katika historia yote ya kundi hilo. Mwaka [[1978]], pamoja na Lynn Mabry, walitoa albamu Funk Or Walk ambayo ilipata mafanikio makubwa. Wimbo wa kw...'
1579611
wikitext
text/x-wiki
'''Dawn Silva''' ni [[mwimbaji]] wa [[muziki]] wa funk kutoka [[Marekani]].
Silva alianza kazi yake ya muziki kama mwimbaji wa nyuma katika kundi la Sly and the Family Stone kabla ya kujiunga na Parliament-Funkadelic mwaka [[1977]]. Alikuwa mwanachama pekee wa awali wa kundi la Brides of Funkenstein aliyedumu katika historia yote ya kundi hilo. Mwaka [[1978]], pamoja na Lynn Mabry, walitoa albamu Funk Or Walk ambayo ilipata mafanikio makubwa.
Wimbo wa kwanza wa Brides of Funkenstein kupitia Atlantic Records, uitwao "Disco To Go", uliuza zaidi ya nakala 500,000 na kupata cheti cha Dhahabu. Mwaka [[1979]], akiwa pamoja na Sheila Horne na Jeanette McGruder, Brides walitoa wimbo "Never Buy Texas From A Cowboy". Mwaka [[1981]], kundi hilo lilikuwa pekee ndani ya familia ya P-Funk kupokea tuzo ya Rhythm and Blues kwa albamu hiyo.
Albamu Never Buy Texas From A Cowboy pia ilitajwa na jarida la Rolling Stone mwaka [[2001]] kama mojawapo ya albamu 50 bora zaidi kuwahi kutolewa.<ref>{{cite news|url=https://sfbayview.com/2016/06/parliament-funkadelic-documentary-screens-at-sf-black-film-fest-this-sunday-sfbff-kicks-off-thursday-june-16/|title=Parliament Funkadelic documentary screens at SF Black Film Fest this Sunday|date=June 15, 2016|work=[[San Francisco Bay View]]|access-date=January 10, 2019}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
c663cneoxp3tycw6o758v3jjgpz6blk
Tawana Brawley rape hoax
0
242204
1579621
2026-07-15T10:49:09Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Tawana Brawley rape hoax]] hadi [[Tawana Brawley]]: urahisi wa kuupata
1579621
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Tawana Brawley]]
511lca2oqtdtbao5f1js3yrn33jd16s
Vicki Anderson
0
242205
1579625
2026-07-15T11:29:26Z
Eibrahim77
68081
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Vicki Anderson''' (alizaliwa akiitwa jina la Myra Barnes; [[21 Novemba]] mwaka [[1939]] hadi [[3 Julai]] mwaka [[2023]]) alikuwa mwimbaji wa muziki wa soul kutoka [[Marekani]], alifahamika zaidi kwa maonyesho yake akiwa na James Brown Revue. Alirekodi nyimbo zake kadhaa akitumia jina lake la kuzaliwa pamoja na jina lake la kisanii. Alikuwa mjane wa Bobby Byrd na mama wa mwanamuziki Carleen Anderson. ==Marejeo== {{Reflist}} {{mbegu-mwanamuziki}} {{jam...'
1579625
wikitext
text/x-wiki
'''Vicki Anderson''' (alizaliwa akiitwa jina la Myra Barnes; [[21 Novemba]] mwaka [[1939]] hadi [[3 Julai]] mwaka [[2023]]) alikuwa mwimbaji wa muziki wa soul kutoka [[Marekani]], alifahamika zaidi kwa maonyesho yake akiwa na James Brown Revue. Alirekodi nyimbo zake kadhaa akitumia jina lake la kuzaliwa pamoja na jina lake la kisanii. Alikuwa mjane wa Bobby Byrd na mama wa mwanamuziki Carleen Anderson.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{jamii: waliofariki 2001}}
119byqz44wmm3kgd6qiomjzo66q50yi
1579626
1579625
2026-07-15T11:33:17Z
Riccardo Riccioni
452
1579626
wikitext
text/x-wiki
'''Vicki Anderson''' (alizaliwa akiitwa jina la Myra Barnes; [[21 Novemba]] [[1939]] - [[3 Julai]] [[2023]]) alikuwa mwimbaji wa muziki wa soul kutoka [[Marekani]], alifahamika zaidi kwa maonyesho yake akiwa na James Brown Revue. Alirekodi nyimbo zake kadhaa akitumia jina lake la kuzaliwa pamoja na jina lake la kisanii. Alikuwa mjane wa Bobby Byrd na mama wa mwanamuziki Carleen Anderson.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:waliozaliwa 1939]]
{{jamii:waliofariki 2023}}
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
ly3ans6uhys4thq58ivh6o1blzhcgpi
1579627
1579626
2026-07-15T11:34:00Z
Riccardo Riccioni
452
1579627
wikitext
text/x-wiki
'''Vicki Anderson''' (alizaliwa akiitwa jina la Myra Barnes; [[21 Novemba]] [[1939]] - [[3 Julai]] [[2023]]) alikuwa mwimbaji wa muziki wa soul kutoka [[Marekani]], alifahamika zaidi kwa maonyesho yake akiwa na James Brown Revue. Alirekodi nyimbo zake kadhaa akitumia jina lake la kuzaliwa pamoja na jina lake la kisanii. Alikuwa mjane wa Bobby Byrd na mama wa mwanamuziki Carleen Anderson.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:waliozaliwa 1939]]
[[jamii:waliofariki 2023]]
[[Jamii:waimbaji wa Marekani]]
g73f036hqsrhcfx3mom710qsfhtkhan