Wiktionary
swwiktionary
https://sw.wiktionary.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.47.0-wmf.1
case-sensitive
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wiktionary
Majadiliano ya Wiktionary
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Event
Event talk
paka mwitu
0
7917
264242
19615
2026-05-11T09:56:37Z
Kelvin kevoo
4347
264242
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni paka wa porini wa ukubwa wa kati anayepatikana Amerika ya Kati na Kusini, na anajulikana kwa madoadoa mazuri kwenye manyoya yake.
===Mfano===
*Paka mwitu alijificha msituni akimvizia panya aliyekuwa karibu na mti.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|ocelot}}
5gaiu2tucpap3kvlfbv5e7w9d7fezjt
Wiktionary:Matukio ya hivi karibuni
4
82136
264160
262937
2026-05-11T09:02:44Z
Bycashtz
4746
/* 📈 Shajara ya Maendeleo */
264160
wikitext
text/x-wiki
== Wiktionary:Matukio ya hivi karibuni ==
Karibu katika ukurasa wa kumbukumbu ya maendeleo ya Wiktionary ya Kiswahili. Ukurasa huu unatumika kama shajara rasmi ya kurekodi kila hatua tunayopiga, mabadiliko ya kiufundi, na ukuaji wa mradi huu kwa ujumla.
Lengo ni kuwa na muhtasari wa wazi unaoonyesha juhudi za jamii katika kuboresha kamusi hii kila siku ili iwe rahisi kupata muhtasari wa hatua tulizofikia.
=== 📋 Jinsi ya Kurekodi ===
Kila hatua itarekodiwa kwa kufuata mpangilio huu:
* '''Siku na Tarehe:''' Wakati tukio lilipotokea.
* '''Hatua:''' Muhtasari wa jambo lililofanyika (mfano: kuongeza maneno, kurekebisha templeti, au kufikia idadi fulani ya makala).
* '''Maelezo:''' Maelezo mafupi ya mabadiliko husika.
----
=== 📈 Shajara ya Maendeleo ===
* '''Jumapili, 5 Aprili 2026:''' Kurasasisha mfumo wa kumbukumbu na kuanzisha ukurasa wa muhtasari wa matukio ili kurahisisha ufuatiliaji wa hatua za mradi.
* '''Jumatano, 8 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 74,000 kupitia ukurasa wa [[Castille]].
* '''Jumapili, 12 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 75,000 kupitia ukurasa wa [[honk]].
* '''Alhamisi, 16 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 76,000 kupitia ukurasa wa [[alkide]].
* '''Jumamosi, 18 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 77,000 kupitia ukurasa wa [[allelocatalysis]].
* '''Jumanne, 21 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 78,000 kupitia ukurasa wa [[allomorphite]].
* '''Ijumaa, 24 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 79,000 kupitia ukurasa wa [[alluvionnement]].
* '''Jumanne, 28 Aprili 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 80,000 kupitia ukurasa wa [[almorexant]].
* '''Jumamosi, 2 Mei 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 81,000 kupitia ukurasa wa [[amiditi]].
* '''Jumatano, 6 Mei 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 82,000 kupitia ukurasa wa [[timor]].
* '''Ijumaa, 8 Mei 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 83,000 kupitia ukurasa wa [[ellesmere]].
* '''Jumatatu, 11 Mei 2026:''' Wikamusi ilifikisha ingizo la 84,000 kupitia ukurasa wa [[anabaenolysin]].
3nzqly3gon178g03njlldd9bgrttu7b
Kizaramo
0
90895
263999
261996
2026-05-11T06:03:01Z
Anuary Rajabu
4731
Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Kizalamo]] hadi [[Kizaramo]]
261996
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
(''ngeli'': '''ki-vi''')
# [[lugha|Lugha]] inayozungumzwa na watu wa jamii ya Zalamo, wanaoishi zaidi katika mikoa ya [[Pwani]] na [[Dar es Salaam]] nchini [[Tanzania]].
# Lugha ya [[Kibantu]] inayokaribiana sana na lugha za [[Kikutu]], [[Kikwere]], na [[Kishami]].
# [[mtindo|Mtindo]], [[asili]], au [[utamaduni]] unaohusiana na watu wa jamii ya Zalamo.
==== Etimolojia ====
Neno linatokana na neno la asili la jamii hiyo ''"Zalamo"'' likiambatishwa na kiambishi awali cha lugha cha Kiswahili ''"Ki-"''.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Zaramo]] [[language]]
[[Jamii:Lugha za Tanzania]]
[[Jamii:Lugha za Kibantu]]
[[Jamii:Lugha za Afrika]]
dn70hnhf8zn595djalvs9yf07l8o0ke
Kigezo:Kata za Dar es Salaam
10
92458
264002
263727
2026-05-11T06:15:06Z
Anuary Rajabu
4731
264002
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:88%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Dar es Salaam
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Ilala
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Buguruni]] • [[Chanika]] • [[Gerezani]] • [[Gongo la Mboto]] • [[Ilala]] • [[Jangwani]] • [[Kariakoo]] • [[Kinyerezi]] • [[Kipawa]] • [[Kitunda]] • [[Kivukoni]] • [[Kiwalani]] • [[Kivule]] • [[Liwiti]] • [[Majohe]] • [[Mbuyuni]] • [[Mianzini]] • [[Mnyamani]] • [[Msongola]] • [[Mvuti]] • [[Pugu]] • [[Segerea]] • [[Tabata]] • [[Ukonga]] • [[Upanga Magharibi]] • [[Upanga Mashariki]] • [[Vingunguti]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kigamboni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Kigamboni]] • [[Kibada]] • [[Kisarawe II]] • [[Kimbiji]] • [[Kutani]] • [[Mjimwema]] • [[Pemba Mnazi]] • [[Somangila]] • [[Tungi]] • [[Vijibweni]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Kinondoni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bunju]] • [[Hananasif]] • [[Kigogo]] • [[Kijitonyama]] • [[Kinondoni]] • [[Kunduchi]] • [[Mabwepande]] [[Magomeni]] • [[Makongo]] • [[Makumbusho]] • [[Mbezi Juu]] • [[Mbweni]] • [[Mikocheni]] • [[Msasani]] • [[Mwananyamala]] • [[Ndugumbi]] • [[Tandale]] • [[Wazo]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Temeke
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Azimio]] • [[Chamazi]] • [[Chang'ombe]] • [[Charambe]] • [[Keko]] • [[Kibasila]] • [[Kibonde Maji]] • [[Kilungule]] • [[Kurasini]] • [[Makangarawe]] • [[Mbagala]] • [[Mbagala Kuu]] • [[Miburani]] • [[Mianzini]] • [[Sandali]] • [[Tandika]] • [[Temeke]] • [[Toangoma]] • [[Yombo Vituka]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ubungo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Goba]] • [[Kibamba]] • [[Kimara]] • [[Kwembe]] • [[Mabibo]] • [[Makuburi]] • [[Mbezi]] • [[Mburahati]] • [[Msigani]] • [[Saranga]] • [[Sinza]] • [[Ubungo]] • [[Manzese]] • [[Makurumla]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
ickkl3kzv68d0yjckpmpyt4ugnlu8xy
264229
264002
2026-05-11T09:40:55Z
Anuary Rajabu
4731
264229
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:88%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Dar es Salaam
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Ilala
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Buguruni]] • [[Chanika]] • [[Gerezani]] • [[Gongo la Mboto]] • [[Ilala]] • [[Jangwani]] • [[Kariakoo]] • [[Kinyerezi]] • [[Kipawa]] • [[Kitunda]] • [[Kivukoni]] • [[Kiwalani]] • [[Kivule]] • [[Liwiti]] • [[Majohe]] • [[Mbuyuni]] • [[Mianzini]] • [[Mnyamani]] • [[Msongola]] • [[Mvuti]] • [[Pugu]] • [[Segerea]] • [[Tabata]] • [[Ukonga]] • [[Upanga Magharibi]] • [[Upanga Mashariki]] • [[Vingunguti]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kigamboni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Kigamboni]] • [[Kibada]] • [[Kisarawe II]] • [[Kimbiji]] • [[Kutani]] • [[Mjimwema]] • [[Pemba Mnazi]] • [[Somangila]] • [[Tungi]] • [[Vijibweni]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Kinondoni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bunju]] • [[Hananasif]] • [[Kigogo]] • [[Kijitonyama]] • [[Kinondoni]] • [[Kunduchi]] • [[Mabwepande]] [[Magomeni]] • [[Makongo]] • [[Makumbusho]] • [[Mbezi Juu]] • [[Mbweni]] • [[Mikocheni]] • [[Msasani]] • [[Mwananyamala]] • [[Ndugumbi]] • [[Tandale]] • [[Wazo]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Temeke
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Azimio]] • [[Chamazi]] • [[Chang'ombe]] • [[Charambe]] • [[Keko]] • [[Kibasila]] • [[Kibonde Maji]] • [[Kilungule]] • [[Kurasini]] • [[Makangarawe]] • [[Mbagala]] • [[Mbagala Kuu]] • [[Miburani]] • [[Mianzini]] • [[Sandali]] • [[Tandika]] • [[Temeke]] • [[Toangoma]] • [[Yombo Vituka]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ubungo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Goba]] • [[Kibamba]] • [[Kimara]] • [[Kwembe]] • [[Mabibo]] • [[Makuburi]] • [[Mbezi]] • [[Mburahati]] • [[Msigani]] • [[Saranga]] • [[Sinza]] • [[Ubungo]] • [[Manzese]] • [[Makurumla]]
|}
<noinclude>
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
</noinclude>
fjmbtwjn6uacg0w29siwt6fl70fopwj
264240
264229
2026-05-11T09:54:14Z
Anuary Rajabu
4731
264240
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:88%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Dar es Salaam
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Ilala
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Buguruni]] • [[Chanika]] • [[Gerezani]] • [[Gongo la Mboto]] • [[Ilala]] • [[Jangwani]] • [[Kariakoo]] • [[Kinyerezi]] • [[Kipawa]] • [[Kitunda]] • [[Kivukoni]] • [[Kiwalani]] • [[Kivule]] • [[Liwiti]] • [[Majohe]] • [[Mbuyuni]] • [[Mnyamani]] • [[Msongola]] • [[Mvuti]] • [[Pugu]] • [[Segerea]] • [[Tabata]] • [[Ukonga]] • [[Upanga Magharibi]] • [[Upanga Mashariki]] • [[Vingunguti]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kigamboni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Kigamboni]] • [[Kibada]] • [[Kisarawe II]] • [[Kimbiji]] • [[Kutani]] • [[Mjimwema]] • [[Pemba Mnazi]] • [[Somangila]] • [[Tungi]] • [[Vijibweni]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Kinondoni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bunju]] • [[Hananasif]] • [[Kigogo]] • [[Kijitonyama]] • [[Kinondoni]] • [[Kunduchi]] • [[Mabwepande]] [[Magomeni]] • [[Makongo]] • [[Makumbusho]] • [[Mbezi Juu]] • [[Mbweni]] • [[Mikocheni]] • [[Msasani]] • [[Mwananyamala]] • [[Ndugumbi]] • [[Tandale]] • [[Wazo]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Temeke
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Azimio]] • [[Chamazi]] • [[Chang'ombe]] • [[Charambe]] • [[Keko]] • [[Kibasila]] • [[Kibonde Maji]] • [[Kilungule]] • [[Kurasini]] • [[Makangarawe]] • [[Mbagala]] • [[Mbagala Kuu]] • [[Miburani]] • [[Mianzini]] • [[Sandali]] • [[Tandika]] • [[Temeke]] • [[Toangoma]] • [[Yombo Vituka]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ubungo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Goba]] • [[Kibamba]] • [[Kimara]] • [[Kwembe]] • [[Mabibo]] • [[Makuburi]] • [[Mbezi]] • [[Mburahati]] • [[Msigani]] • [[Saranga]] • [[Sinza]] • [[Ubungo]] • [[Manzese]] • [[Makurumla]]
|}
<noinclude>
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
</noinclude>
0g8jkz8m729if5j29dg849p1m0wz0pi
264241
264240
2026-05-11T09:55:05Z
Anuary Rajabu
4731
264241
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Dar es Salaam
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Ilala
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Buguruni]] • [[Chanika]] • [[Gerezani]] • [[Gongo la Mboto]] • [[Ilala]] • [[Jangwani]] • [[Kariakoo]] • [[Kinyerezi]] • [[Kipawa]] • [[Kitunda]] • [[Kivukoni]] • [[Kiwalani]] • [[Kivule]] • [[Liwiti]] • [[Majohe]] • [[Mbuyuni]] • [[Mnyamani]] • [[Msongola]] • [[Mvuti]] • [[Pugu]] • [[Segerea]] • [[Tabata]] • [[Ukonga]] • [[Upanga Magharibi]] • [[Upanga Mashariki]] • [[Vingunguti]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kigamboni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Kigamboni]] • [[Kibada]] • [[Kisarawe II]] • [[Kimbiji]] • [[Kutani]] • [[Mjimwema]] • [[Pemba Mnazi]] • [[Somangila]] • [[Tungi]] • [[Vijibweni]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Kinondoni
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bunju]] • [[Hananasif]] • [[Kigogo]] • [[Kijitonyama]] • [[Kinondoni]] • [[Kunduchi]] • [[Mabwepande]] [[Magomeni]] • [[Makongo]] • [[Makumbusho]] • [[Mbezi Juu]] • [[Mbweni]] • [[Mikocheni]] • [[Msasani]] • [[Mwananyamala]] • [[Ndugumbi]] • [[Tandale]] • [[Wazo]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Temeke
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Azimio]] • [[Chamazi]] • [[Chang'ombe]] • [[Charambe]] • [[Keko]] • [[Kibasila]] • [[Kibonde Maji]] • [[Kilungule]] • [[Kurasini]] • [[Makangarawe]] • [[Mbagala]] • [[Mbagala Kuu]] • [[Miburani]] • [[Mianzini]] • [[Sandali]] • [[Tandika]] • [[Temeke]] • [[Toangoma]] • [[Yombo Vituka]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ubungo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Goba]] • [[Kibamba]] • [[Kimara]] • [[Kwembe]] • [[Mabibo]] • [[Makuburi]] • [[Mbezi]] • [[Mburahati]] • [[Msigani]] • [[Saranga]] • [[Sinza]] • [[Ubungo]] • [[Manzese]] • [[Makurumla]]
|}
<noinclude>
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
</noinclude>
5azkiyuqouif8kdhfl2k3zk3b94anb5
amylon
0
92498
263767
2026-05-10T11:59:05Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Neno la kitaalamu linalotumika kurejelea wanga, ambao ni aina ya chakula kinachopatikana kwenye vyakula kama mchele, viazi, na mahindi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[wanga]] *{{tafs|fr}}:[[amidon]]'
263767
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Neno la kitaalamu linalotumika kurejelea wanga, ambao ni aina ya chakula kinachopatikana kwenye vyakula kama mchele, viazi, na mahindi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[wanga]]
*{{tafs|fr}}:[[amidon]]
ffinvvkwwlrtjr336ghclyh2e82fz9k
amylum
0
92499
263768
2026-05-10T12:00:19Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Neno la kitaalamu la kurejelea wanga, kirutubisho kikuu kinachopatikana katika vyakula kama nafaka na mizizi kwa ajili ya kuupatia mwili nguvu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[wanga]] *{{tafs|fr}}:[[amidon]]'
263768
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Neno la kitaalamu la kurejelea wanga, kirutubisho kikuu kinachopatikana katika vyakula kama nafaka na mizizi kwa ajili ya kuupatia mwili nguvu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[wanga]]
*{{tafs|fr}}:[[amidon]]
sqe8l4pnvxux8oamameucz8qtjh3x8q
amyotonia
0
92500
263769
2026-05-10T12:00:52Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kudhoofika kwa misuli ambapo misuli inakosa nguvu ya kawaida au uimara wa kusinyaa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amyotonia]] *{{tafs|fr}}:[[amyotonie]]'
263769
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kudhoofika kwa misuli ambapo misuli inakosa nguvu ya kawaida au uimara wa kusinyaa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amyotonia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyotonie]]
7fn16j91rowf8ggg96ovjekokwuhkjg
amyotonie
0
92501
263770
2026-05-10T12:01:23Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya misuli kulegea sana na kukosa uimara wa kawaida, jambo linalofanya miondoko ya mwili kuwa migumu au dhaifu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amyotonia]] *{{tafs|en}}:[[amyotonia]]'
263770
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya misuli kulegea sana na kukosa uimara wa kawaida, jambo linalofanya miondoko ya mwili kuwa migumu au dhaifu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amyotonia]]
*{{tafs|en}}:[[amyotonia]]
k4cn5b3aegdwwo1qitfkbvjpmvokm3e
amyrin
0
92502
263771
2026-05-10T12:02:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya kemikali asilia inayopatikana kwenye utomvu wa mimea mbalimbali na hutumika kutengeneza dawa au manukato. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amirini]] *{{tafs|fr}}:[[amyrine]]'
263771
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya kemikali asilia inayopatikana kwenye utomvu wa mimea mbalimbali na hutumika kutengeneza dawa au manukato.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amirini]]
*{{tafs|fr}}:[[amyrine]]
hsagaiya1cua7kzafmlrppd4obb8ba9
amirini
0
92503
263772
2026-05-10T12:03:15Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kemikali ya asili inayopatikana kwenye utomvu wa miti na mimea, ambayo mara nyingi hutumika katika kutengeneza dawa au marashi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyrin]] *{{tafs|fr}}:[[amyrine]]'
263772
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kemikali ya asili inayopatikana kwenye utomvu wa miti na mimea, ambayo mara nyingi hutumika katika kutengeneza dawa au marashi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyrin]]
*{{tafs|fr}}:[[amyrine]]
b5meb04za7r3w0x60qku0gl468efgg7
amyrine
0
92504
263773
2026-05-10T12:03:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kemikali ya asili inayopatikana kwenye utomvu wa mimea, inayotumika hasa katika viwanda vya dawa na vipodozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amirini]] *{{tafs|en}}:[[amyrin]]'
263773
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kemikali ya asili inayopatikana kwenye utomvu wa mimea, inayotumika hasa katika viwanda vya dawa na vipodozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amirini]]
*{{tafs|en}}:[[amyrin]]
ful4l9o5i3d2mmsdyzprbga4l6rimxz
anabantoid
0
92505
263774
2026-05-10T12:04:24Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kipekee wa kuvuta hewa ya oksijeni moja kwa moja kutoka juu ya maji kwa kutumia ogani maalumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabantoidi]] *{{tafs|fr}}:[[anabantoïde]]'
263774
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kipekee wa kuvuta hewa ya oksijeni moja kwa moja kutoka juu ya maji kwa kutumia ogani maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabantoidi]]
*{{tafs|fr}}:[[anabantoïde]]
q4fzrqwkuyata6jnht7x2swraf3s1b4
anabantoidi
0
92506
263775
2026-05-10T12:04:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kuvuta hewa ya oksijeni kutoka kwenye angahewa kwa kutumia ogani maalumu inayowawezesha kuishi kwenye maji yenye hewa chache. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabantoid]] *{{tafs|fr}}:[[anabantoïde]]'
263775
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kuvuta hewa ya oksijeni kutoka kwenye angahewa kwa kutumia ogani maalumu inayowawezesha kuishi kwenye maji yenye hewa chache.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabantoid]]
*{{tafs|fr}}:[[anabantoïde]]
7s0xqmzu5pvu21oh4lo759ux1k84zlr
anabantoïde
0
92507
263776
2026-05-10T12:05:30Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kuvuta hewa juu ya maji, jambo linalowawezesha kuishi kwenye maeneo yenye oksijeni kidogo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabantoidi]] *{{tafs|en}}:[[anabantoid]]'
263776
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kuvuta hewa juu ya maji, jambo linalowawezesha kuishi kwenye maeneo yenye oksijeni kidogo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabantoidi]]
*{{tafs|en}}:[[anabantoid]]
i5a5l22l0ht31fa85jv8ack8fuiknwt
Kigezo:Kata za Lindi
10
92508
263777
2026-05-10T12:05:48Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Lindi |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Lindi | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chikonji]] • [[Jamhuri (Lindi)|Jamhuri]] • [[Kikwetu]] • [[Kilolambwani]] • Kitomari...'
263777
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Lindi
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Lindi
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chikonji]] • [[Jamhuri (Lindi)|Jamhuri]] • [[Kikwetu]] • [[Kilolambwani]] • [[Kitomari]] • [[Makutano]] • [[Matemwe]] • [[Matipwili]] • [[Mbanja]] • [[Mikumi (Lindi)|Mikumi]] • [[Milola]] • [[Mingoyo]] • [[Mitema]] • [[Mnazi Mmoja]] • [[Mtange]] • [[Mtua]] • [[Mtwero]] • [[Mwenge (Lindi)|Mwenge]] • [[Nachingwea (Lindi)|Nachingwea]] • [[Navari]] • [[Ndumbwe]] • [[Ng'apa]] • [[Pangani (Lindi)|Pangani]] • [[Rahaleo (Lindi)|Rahaleo]] • [[Rasbura]] • [[Rutamba]] • [[Tandangongoro]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kilwa
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chumo]] • [[Kandawale]] • [[Kibata]] • [[Kikole]] • [[Kilwa Kivinje]] • [[Kilwa Masoko]] • [[Kinjumbi]] • [[Kipatimu]] • [[Kiranjeranje]] • [[Lihimalyao]] • [[Likawage]] • [[Mandawa]] • [[Miteja]] • [[Mitole]] • [[Njinjo]] • [[Pande Mikoma]] • [[Songosongo]] • [[Tingi]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Liwale
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Barikiwa]] • [[Kiangara]] • [[Kibutuka]] • [[Kimambi]] • [[Likongowele]] • [[Lilombe]] • [[Liwale B]] • [[Liwale Mjini]] • [[Makata]] • [[Mangirikiti]] • [[Mauwila]] • [[Mbwinji]] • [[Mihumo]] • [[Mirui]] • [[Mkutano]] • [[Mtondo]] • [[Ngunja]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Nachingwea
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Boma (Nachingwea)|Boma]] • [[Chiwola]] • [[Kiegei]] • [[Kilimanihewa]] • [[Kilimarondo]] • [[Kipeta]] • [[Lionja]] • [[Marambo]] • [[Matekwe]] • [[Mbondo]] • [[Mkotokuyana]] • [[Mpiruka]] • [[Mtua (Nachingwea)|Mtua]] • [[Naipanga]] • [[Naipingo]] • [[Namapwia]] • [[Nambambo]] • [[Namuku]] • [[Nanyondo]] • [[Nditi]] • [[Stesheni (Nachingwea)|Stesheni]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ruangwa
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chienjele]] • [[Chinongwe]] • [[Chunyu]] • [[Likunja]] • [[Luchelegwa]] • [[Mbekenyera]] • [[Mnacho]] • [[Nandagala]] • [[Nanganga]] • [[Narungombe]] • [[Nndawa]] • [[Ruangwa (kata)|Ruangwa]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
4j6deectemf7tbn9vkw4la3parvl4mp
anabasis
0
92509
263778
2026-05-10T12:06:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Safari ndefu ya kijeshi au msafara wa watu wengi kutoka pwani kuelekea maeneo ya ndani ya nchi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[msafara]] [[wa]] [[kijeshi]] *{{tafs|fr}}:[[anabase]]'
263778
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Safari ndefu ya kijeshi au msafara wa watu wengi kutoka pwani kuelekea maeneo ya ndani ya nchi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[msafara]] [[wa]] [[kijeshi]]
*{{tafs|fr}}:[[anabase]]
6pqajkt3k3pl5igme3s3p4sech2wnxp
anabase
0
92510
263779
2026-05-10T12:07:41Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Safari ya kijeshi au msafara wa watu wengi unaoelekea maeneo ya ndani ya nchi kutoka upande wa baharini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[msafara]] [[wa]] [[kijeshi]] *{{tafs|en}}:[[anabasis]]'
263779
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Safari ya kijeshi au msafara wa watu wengi unaoelekea maeneo ya ndani ya nchi kutoka upande wa baharini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[msafara]] [[wa]] [[kijeshi]]
*{{tafs|en}}:[[anabasis]]
6z5095u7edu6qr26e3swzpu2vrer2d4
anaberoga
0
92511
263780
2026-05-10T12:08:39Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Ugonjwa hatari wa ukungu unaoshambulia mizizi na mashina ya minazi na mipope, unaosababisha miti hiyo kunyauka na kufa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[ugonjwa]] [[wa]] [[ukungu]] [[wa]] [[minazi]] *{{tafs|fr}}:[[pourriture]] [[du]] [[pied]]'
263780
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Ugonjwa hatari wa ukungu unaoshambulia mizizi na mashina ya minazi na mipope, unaosababisha miti hiyo kunyauka na kufa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[ugonjwa]] [[wa]] [[ukungu]] [[wa]] [[minazi]]
*{{tafs|fr}}:[[pourriture]] [[du]] [[pied]]
12ca1a02z8uz2i514292aipxmmxoyxd
Kigezo:Kata za Manyara
10
92512
263781
2026-05-10T12:08:41Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Manyara |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Babati | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Arri]] • [[Ayasanda]] • [[Ayatya]] • [[Babati (kata)|Babati]] • [[Bagara]] • Bo...'
263781
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Manyara
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Babati
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Arri]] • [[Ayasanda]] • [[Ayatya]] • [[Babati (kata)|Babati]] • [[Bagara]] • [[Bonga]] • [[Dabil]] • [[Dareda]] • [[Duru]] • [[Galapo]] • [[Gidas]] • [[Kiru]] • [[Madunga]] • [[Magara]] • [[Magugu]] • [[Maisaka]] • [[Mamire]] • [[Mutuka]] • [[Nangwa]] • [[Nkaiti]] • [[Qameyu]] • [[Riroda]] • [[Sigino]] • [[Singe]] • [[Ufana]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Mbulu
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Ayabayanda]] • [[Ayamaami]] • [[Bargish]] • [[Bashay]] • [[Daudi]] • [[Dongobesh]] • [[Endagikot]] • [[Eshokesh]] • [[Gehandu]] • [[Gidhim]] • [[Haydarer]] • [[Haydom]] • [[Kainam]] • [[Maghang]] • [[Marang]] • [[Mbulu Mjini]] • [[Murray]] • [[Sanu]] • [[Tlawi]] • [[Yaeda Ampa]] • [[Yaeda Chini]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Hanang
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Balang'dalalu]] • [[Bassodesh]] • [[Bassotu]] • [[Endasak]] • [[Ganana]] • [[Garawja]] • [[Gehandu (Hanang)|Gehandu]] • [[Gendabi]] [[Getanuwas]] • [[Gisambalang]] • [[Gitting]] • [[Hidet]] • [[Hirbadaw]] • [[Ishponga]] • [[Katesh]] • [[Laghanga]] • [[Masakta]] • [[Masqaroda]] • [[Measkron]] • [[Mogitu]] • [[Nangwa (Hanang)|Nangwa]] • [[Simabay]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kiteto
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bayaaya]] • [[Chapakazi]] • [[Dongo]] • [[Dosidosi]] • [[Enguserosambu]] • [[Kibaya]] • [[Kijungu]] • [[Lengatei]] • [[Loolera]] • [[Magoma (Kiteto)|Magoma]] • [[Matui]] • [[Namelock]] • [[Ndedo]] • [[Njoro]] • [[Olboloti]] • [[Partimbo]] • [[Songambele (Kiteto)|Songambele]] • [[Sunya]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Simanjiro
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Emboreet]] • [[Endiamatu]] [[Endoyemay]] • [[Komolo]] • [[Libobe (Simanjiro)|Libobe]] • [[Loiborsiret]] • [[Loiborsoit]] • [[Mererani]] • [[Msitu wa Tembo]] • [[Naberera]] • [[Namalulu]] • [[Ngage]] • [[Oljoro No. 5]] • [[Orkesumet]] • [[Shambarai]] • [[Terrat]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
3yxn0a0shtr3b0ar2c6zifzsgmsygwx
minazi
0
92513
263782
2026-05-10T12:09:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Miti ya kienyeji inayoota hasa maeneo ya pwani ambayo huzaa nazi na kutoa majani yanayotumika kusuka mikeka au kuezua nyumba. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[coconut trees]] *{{tafs|fr}}:[[cocotiers]]'
263782
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Miti ya kienyeji inayoota hasa maeneo ya pwani ambayo huzaa nazi na kutoa majani yanayotumika kusuka mikeka au kuezua nyumba.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[coconut trees]]
*{{tafs|fr}}:[[cocotiers]]
krspnrbzl0jql0h74rescytoww2ut5b
coconut trees
0
92514
263783
2026-05-10T12:09:59Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Miti inayoota kando ya bahari au maeneo ya joto inayotoa matunda makubwa yenye maji na nyama nyeupe (nazi) pamoja na mbao na majani kwa ajili ya ujenzi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[minazi]] *{{tafs|fr}}:[[cocotiers]]'
263783
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Miti inayoota kando ya bahari au maeneo ya joto inayotoa matunda makubwa yenye maji na nyama nyeupe (nazi) pamoja na mbao na majani kwa ajili ya ujenzi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[minazi]]
*{{tafs|fr}}:[[cocotiers]]
69zbna3d67dafcbegqnq39lp1dc5hs9
Kigezo:Kata za Simiyu
10
92515
263784
2026-05-10T12:10:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Simiyu |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Bariadi | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bariadi (kata)|Bariadi]] • [[Bumera]] • [[Chinamili]] • [[Dutwa]] • [[Gambo]] • [...'
263784
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Simiyu
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Bariadi
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bariadi (kata)|Bariadi]] • [[Bumera]] • [[Chinamili]] • [[Dutwa]] • [[Gambo]] • [[Gilya]] • [[Guduwi]] • [[Ikungulyabashashi]] • [[Isanga (Bariadi)|Isanga]] • [[Kasoli]] • [[Mhango]] • [[Mhunze]] • [[Mwadui]] • [[Mwaubungi]] • [[Mwaswale]] • [[Nkindwabiye]] • [[Nkololo]] • [[Nyakabindi]] • [[Nyatwali]] • [[Sapiwi]] • [[Somanda]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Busega
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Badugu]] • [[Igalukilo]] • [[Kabita]] • [[Kalemela]] • [[Kiloleli (Busega)|Kiloleli]] • [[Lamadi]] • [[Lutubiga]] • [[Malili]] • [[Mkula]] • [[Mwamanyili]] • [[Ngasamo]] • [[Nyashimo]] • [[Shigala]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Itilima
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Budalabujiga]] • [[Bumera (Itilima)|Bumera]] • [[Chinamili (Itilima)|Chinamili]] • [[Ikindilo]] • [[Kinamwigulu]] • [[Lagangabilili]] • [[Lugulu]] • [[Mbakalo]] • [[Migato]] • [[Mwalishu]] • [[Mwamtani]] • [[Ngasamo (Itilima)|Ngasamo]] • [[Nkoma]] • [[Nyamalapa]] • [[Sagata]] • [[Sawala]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Maswa
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Binza]] • [[Buchambi]] • [[Badi]] • [[Dakama (Maswa)|Dakama]] • [[Ipililo]] • [[Isanga (Maswa)|Isanga]] • [[Jija]] • [[Kadoto]] • [[Kulimi]] • [[Lalago]] • [[Malampaka]] • [[Maswa Mjini]] • [[Mwigumbi]] • [[Nyang'haya]] • [[Senani]] • [[Sukuma]] • [[Zanzui]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Meatu
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bukundi]] • [[Imalaseko]] • [[Itinje]] • [[Kimali]] • [[Kisesa]] • [[Lingeka]] • [[Lubiga]] • [[Mbutu]] • [[Mshikamano (Meatu)|Mshikamano]] • [[Mwamanongu]] • [[Mwamishali]] • [[Mwampundo]] • [[Mwanhuzi]] • [[Mwanyagwa]] • [[Mwanyahina]] • [[Sakasaka]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
09dr2kmvrmvu2zpssg5hvuswkbxhf2p
cocotiers
0
92516
263785
2026-05-10T12:10:36Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Miti inayoota maeneo ya joto (hasa pwani) ambayo huzaa nazi na kutoa mbao pamoja na majani ya kuezekea. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[minazi]] *{{tafs|en}}:[[coconut trees]]'
263785
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Miti inayoota maeneo ya joto (hasa pwani) ambayo huzaa nazi na kutoa mbao pamoja na majani ya kuezekea.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[minazi]]
*{{tafs|en}}:[[coconut trees]]
farj811omc2homkpg4z2x54efc7hb5i
263786
263785
2026-05-10T12:11:12Z
Bycashtz
4746
/* Tafsiri */
263786
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Miti inayoota maeneo ya joto (hasa pwani) ambayo huzaa nazi na kutoa mbao pamoja na majani ya kuezekea.
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Miti inayoota maeneo ya joto (hasa pwani) ambayo huzaa nazi na kutoa mbao pamoja na majani ya kuezekea.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[minazi]]
*{{tafs|en}}:[[coconut trees]]
n9fc7lb2hr4t5munxn706db1q2fgrqf
263787
263786
2026-05-10T12:11:31Z
Bycashtz
4746
263787
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Miti inayoota maeneo ya joto (hasa pwani) ambayo huzaa nazi na kutoa mbao pamoja na majani ya kuezekea.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[minazi]]
*{{tafs|en}}:[[coconut trees]]
farj811omc2homkpg4z2x54efc7hb5i
Kigezo:Kata za Kagera
10
92517
263788
2026-05-10T12:11:43Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Kagera |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Bukoba | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bakoba]] • [[Bilele]] • [[Buhendangabo]] • [[Bujugo]] • [[Butelankuzi]] • Hamuge...'
263788
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Kagera
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Bukoba
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bakoba]] • [[Bilele]] • [[Buhendangabo]] • [[Bujugo]] • [[Butelankuzi]] • [[Hamugembe]] • [[Ijuganyondo]] • [[Ishozi]] • [[Kanyigo]] • [[Kashai]] • [[Katerero]] • [[Katubuka]] • [[Katoro (Bukoba)|Katoro]] • [[Kibira]] • [[Kigarama]] • [[Kishanje]] • [[Kitendagulo]] • [[Kyaka]] • [[Miembeni]] • [[Nyakanyasi]] • [[Nyashenye]] • [[Rubafu]] • [[Rwamishenye]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Biharamulo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Biharamulo Mjini]] • [[Bisibo]] • [[Kabindi]] • [[Kalenge]] • [[Kaniha]] • [[Lusahunga]] • [[Nemba]] • [[Nyabusozi]] • [[Nyakahura]] • [[Nyamigogo]] • [[Nyamitshaba]] • [[Ruziba]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Karagwe
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bugene]] • [[Bweranyange]] • [[Igurwa]] • [[Ihembe]] • [[Kanoni]] • [[Kayanga]] • [[Kibondo (Karagwe)|Kibondo]] • [[Kihanga]] • [[Kiruruma]] • [[Kituntu]] • [[Ndajala]] • [[Nyabiyonza]] • [[Nyaishozi]] • [[Rugu]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Kyerwa
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bugomora]] • [[Businde]] • [[Isingiro]] • [[Kaisho]] • [[Kamuli]] • [[Kimuli]] • [[Kyerwa (kata)|Kyerwa]] • [[Mabira]] • [[Murongo]] • [[Nkwenda]] • [[Nyakatuntu]] • [[Rukuraijo]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Missenyi
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bugandika]] • [[Bugorora]] • [[Bwanjai]] • [[Gera]] • [[Ishozi]] • [[Kanyigo]] • [[Kashenye]] • [[Kassambya]] • [[Kyaka]] • [[Minziro]] • [[Mutukula]] • [[Mushabaiguru]] • [[Nsunga]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Muleba
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bisheke]] • [[Biirabo]] • [[Gwanseli]] • [[Ikuza]] • [[Izigo]] • [[Kamachumu]] • [[Kasharunga]] • [[Kibehe]] • [[Kihanda]] • [[Kimwani]] • [[Kyebitembe]] • [[Magarini]] • [[Mazami]] • [[Muleba (kata)|Muleba]] • [[Nshamba]] • [[Nyailigamba]] • [[Rulanda]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ngara
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bukiriro]] • [[Bulyan'ombe]] • [[Kabanga]] • [[Kanazi]] • [[Kibiba]] • [[Kirushya]] • [[Mabawe]] • [[Muganza (Ngara)|Muganza]] • [[Mugoma]] • [[Murukulazo]] • [[Ngara Mjini]] • [[Nyamagoma]] • [[Nyamiaga]] • [[Rulenge]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
4pa7x7w33gidns8bg7zovsjr7qnxrqe
pourriture
0
92518
263789
2026-05-10T12:12:14Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kitu (kama chakula au mti) kuharibika na kuanza kutoa harufu mbaya kutokana na vimelea au unyevu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[oza]] *{{tafs|en}}:[[rot]]'
263789
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kitu (kama chakula au mti) kuharibika na kuanza kutoa harufu mbaya kutokana na vimelea au unyevu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[oza]]
*{{tafs|en}}:[[rot]]
myprmxeb9xk2dmgwtbxw5j79hzf5hpi
anacamptics
0
92519
263790
2026-05-10T12:12:56Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Elimu ya zamani inayohusu jinsi mwanga au sauti inavyojitokeza au kurudi (mwangwi) baada ya kugonga kitu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakamptiki]] *{{tafs|fr}}:[[anacamptique]]'
263790
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Elimu ya zamani inayohusu jinsi mwanga au sauti inavyojitokeza au kurudi (mwangwi) baada ya kugonga kitu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakamptiki]]
*{{tafs|fr}}:[[anacamptique]]
8rqkbeij7eoe5fwnvfn15twksme13hn
anakamptiki
0
92520
263791
2026-05-10T12:13:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Elimu inayochunguza jinsi mwanga au sauti inavyoakisiwa au kurudi baada ya kugonga kitu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anacamptics]] *{{tafs|fr}}:[[anacamptique]]'
263791
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Elimu inayochunguza jinsi mwanga au sauti inavyoakisiwa au kurudi baada ya kugonga kitu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anacamptics]]
*{{tafs|fr}}:[[anacamptique]]
pf62rvmbwsux4pto0p944jzpgsiv4sj
Kigezo:Kata za Rukwa
10
92521
263792
2026-05-10T12:13:49Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Rukwa |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Sumbawanga | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chanji]] • [[Ilemba]] • [[Ipui]] • [[Izia]] • [[Kalambazite]] • [[Kaengesa]]...'
263792
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Rukwa
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Sumbawanga
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chanji]] • [[Ilemba]] • [[Ipui]] • [[Izia]] • [[Kalambazite]] • [[Kaengesa]] • [[Kasozite]] • [[Kizwite]] • [[Laela]] • [[Mao]] • [[Matanga]] • [[Mazwi]] • [[Milanzi]] • [[Mollo]] • [[Mtile]] • [[Mwakini]] • [[Mwimbi]] • [[Ntendo]] • [[Old Sumbawanga]] • [[Pito]] • [[Sandulula]] • [[Sumbawanga Asilia]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Nkasi
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chala (Nkasi)|Chala]] • [[Isale]] • [[Kabwe]] • [[Kala]] • [[Kate]] • [[Kipande]] • [[Kipili]] • [[Kirando]] • [[Korongwe]] • [[Manyonzo]] • [[Mkwamba]] • [[Namanyere]] • [[Ninde]] • [[Nkandasi]] • [[Paramawe]] • [[Sintali]] • [[Wampembe]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Kalambo
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Isansa]] • [[Ituzi]] • [[Kalambo (kata)|Kalambo]] • [[Kasanga]] • [[Katazi]] • [[Katete (Kalambo)|Katete]] • [[Kilesha]] • [[Kisumba]] • [[Lyangalile]] • [[Matai]] • [[Mambwe-Kenani]] • [[Mwazye]] • [[Mwembe (Kalambo)|Mwembe]] • [[Sopa]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
s63ztl9jzrs04ktqu25foi1pptcies9
anacamptique
0
92522
263793
2026-05-10T12:14:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Elimu inayohusu jinsi mionzi ya mwanga au mawimbi ya sauti yanavyorudi nyuma baada ya kugonga kitu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakamptiki]] *{{tafs|en}}:[[anacamptics]]'
263793
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Elimu inayohusu jinsi mionzi ya mwanga au mawimbi ya sauti yanavyorudi nyuma baada ya kugonga kitu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakamptiki]]
*{{tafs|en}}:[[anacamptics]]
4c9r2vmw2wdyn7i69wi6bcb4rn1c3k8
Kigezo:Kata za Njombe
10
92523
263794
2026-05-10T12:16:04Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Njombe |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Njombe & Makambako | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Ihanga]] • [[Ikondo]] • [[Ikuna]] • [[Kifanya]] • [[Kitulila]] • Lup...'
263794
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Njombe
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Njombe & Makambako
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Ihanga]] • [[Ikondo]] • [[Ikuna]] • [[Kifanya]] • [[Kitulila]] • [[Lupembe]] • [[Luponde]] • [[Mabatini]] • [[Machame]] • [[Maguvani]] • [[Mahongole]] • [[Makambako (kata)|Makambako]] • [[Matola]] • [[Mjimwema (Njombe)|Mjimwema]] • [[Mlowa]] • [[Mwembetogwa]] • [[Njombe Mjini]] • [[Ramadhani]] • [[Rwangu]] • [[Uwemba]] • [[Utalingolo]] • [[Yakobi]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Ludewa
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Ibumi]] • [[Ilangutwa]] • [[Lugarawa]] • [[Ludewa Mjini]] • [[Lumbila]] • [[Lupanga]] • [[Madope]] • [[Makonde]] • [[Manda (Ludewa)|Manda]] • [[Masasi (Ludewa)|Masasi]] • [[Mavanga]] • [[Milo]] • [[Mkongani]] • [[Mundindi]] • [[Namtumbo (Ludewa)|Namtumbo]] • [[Ruhuhu]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Makete
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bulongwa]] • [[Ikinga]] • [[Ikuwo]] • [[Iniho]] • [[Isapulano]] • [[Itani]] • [[Iwawa]] • [[Kigala]] • [[Kigulamo]] • [[Kipagalo]] • [[Kitulo]] • [[Lupalilo]] • [[Luvisanga]] • [[Mang'oto]] • [[Matamba]] • [[Mlangali]] • [[Mlondwe]] • [[Tandala]] • [[Ukwama]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Wanging'ombe
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Igwachanya]] • [[Ilembula]] • [[Imalinyi]] • [[Kijombe]] • [[Kipengele]] • [[Luduga]] • [[Makuru]] • [[Mdandu]] • [[Saja]] • [[Uhidini]] • [[Ulembwe]] • [[Usuka]] • [[Wanging'ombe (kata)|Wanging'ombe]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
f0k7vd7rpyapo1kolyjsriwkykrna83
Kigezo:Kata za Songwe
10
92524
263795
2026-05-10T12:17:53Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<div style="clear:both;"></div> {| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;" |- ! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Songwe |- ! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Momba & Tunduma | style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chapwa]] • [[Chiwanda]] • [[Chiwanda (Momba)|Chiwanda]] • [[Ibondia]] • I...'
263795
wikitext
text/x-wiki
<div style="clear:both;"></div>
{| class="wikitable mw-collapsible" style="width:100%; margin:1em auto; font-size:85%; text-align:center;"
|-
! colspan="2" style="background:#ccf; padding:3px; font-size:110%; color:black;" | Kata za Mkoa wa Songwe
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; width:15%; color:black;" | Momba & Tunduma
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Chapwa]] • [[Chiwanda]] • [[Chiwanda (Momba)|Chiwanda]] • [[Ibondia]] • [[Ivuna]] • [[Kakasura]] • [[Kaloleni (Tunduma)|Kaloleni]] • [[Kamsamba]] • [[Katete (Tunduma)|Katete]] • [[Mlowo (Momba)|Mlowo]] • [[Momba (kata)|Momba]] • [[Mpui]] • [[Muhana]] • [[Mwaka Kati]] • [[Myunga]] • [[Ndola]] • [[Nzuka]] • [[Sogea]] • [[Tunduma (kata)|Tunduma]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Mbozi
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bara]] • [[Halungu]] • [[Hasamba]] • [[Hasanga]] • [[Ichembe]] • [[Idiwili]] • [[Igamba]] • [[Ihanda]] • [[Ilolo]] • [[Ipunga]] • [[Isansa (Mbozi)|Isansa]] • [[Itaka]] • [[Magamba (Mbozi)|Magamba]] • [[Mlowo]] • [[Msia]] • [[Mwayaya]] • [[Nambinzo]] • [[Shiwinga]] • [[Vwawa]]
|-
! style="background:#ddf; padding:2px; color:black;" | Ileje
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Bupigu]] • [[Chitete]] • [[Ibungu]] • [[Idweli]] [[Ikinga (Ileje)|Ikinga]] • [[Isongole]] • [[Itonda]] • [[Kafule]] • [[Kalembo]] • [[Lubanda]] • [[Luswisi]] • [[Mbebe]] • [[Mlale]] • [[Ndola (Ileje)|Ndola]] • [[Ngulilo]] • [[Sange]]
|-
! style="background:#eee; padding:2px; color:black;" | Songwe
| style="padding:2px; text-align:left;" | [[Gua]] • [[Ifwenkenya]] • [[Kanga (Songwe)|Kanga]] • [[Kapalala (Songwe)|Kapalala]] • [[Magamba (Songwe)|Magamba]] • [[Mbangala]] • [[Mkwajuni (Songwe)|Mkwajuni]] • [[Mwambani]] • [[Namwawala]] • [[Saza]] • [[Totowe]] • [[Udinde]]
|}
[[Jamii:Vigezo vya Kata za Tanzania]]
hvknztnrdcpnjireojg2hwezc734ufi
swala wa miambani
0
92525
263796
2026-05-10T12:49:14Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263796
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo wa porini aina ya swala, anayejulikana kwa uwezo wake wa kuruka na kutembea juu ya mawe na miamba kwa urahisi.
===Mfano===
*Swala wa miambani hupatikana kwenye milima yenye mawe.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Klipspringers}}
tj0s7nnjrmr3813hx8p4pm8tfwm9pdd
nguruwe pori
0
92526
263797
2026-05-10T12:54:22Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263797
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni nguruwe wa porini anayepatikana katika misitu, vichaka.
===Mfano===
*Nguruwe pori hupatikana katika misitu na maeneo ya vichaka.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|bushpig}}
4j7vews83slzgcwaytelql5o8c7bqrt
kima mbega mweupe
0
92527
263798
2026-05-10T12:59:20Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263798
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mwenye manyoya marefu na mkia mrefu, anayepatikana kwenye misitu ya Afrika. Wengine huwa na rangi nyeusi na nyeupe.
===Mfano===
*Kima mbega mweupe huishi kwenye misitu ya Afrika Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Colobus monkey}}
elz82136qz1af10duzgkmfv4j925vwk
mandrili
0
92528
263799
2026-05-10T13:02:37Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263799
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina kubwa ya tumbili anayejulikana kwa uso wenye rangi nyingi kama bluu na nyekundu, na huishi kwenye misitu ya Afrika ya Kati na Magharibi.
===Mfano===
*Mandrili huishi katika misitu ya Afrika ya Kati.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|mandrili animal}}
spadif2c0qgnl0anz7wqrglh96bxgpj
tumbili macaque
0
92529
263800
2026-05-10T13:05:02Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263800
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili anayepatikana Asia na sehemu nyingine za dunia, anayejulikana kwa akili na uwezo wa kuzoea mazingira mbalimbali.
===Mfano===
*Tumbili macaque hupatikana katika misitu ya Asia.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|macaque}}
m5ngg1umj0mja2tdi60ank54lx78wui
sokwe mkubwa
0
92530
263801
2026-05-10T13:08:44Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263801
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni nyani mkubwa sana mwenye nguvu nyingi, anayepatikana kwenye misitu ya Afrika ya Kati. Ni mmoja wa wanyama walio karibu sana na binadamu kwa maumbile.
===Mfano===
*Sokwe mkubwa ana nguvu nyingi sana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|gorillas}}
3uisbfr9i4b2h9xtxsi3vg6ul76so80
orangutani
0
92531
263802
2026-05-10T13:11:01Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263802
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni nyani mkubwa mwenye manyoya mekundu-kahawia, anayepatikana katika misitu ya Asia, hasa kwenye visiwa vya Indonesia na Malaysia.
===Mfano===
*Orangutan hutumia mikono yake kupanda miti kwa ustadi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Orangutans}}
3ccmbep5bci7psj5xwrtwfk2n3mvdxz
tumbili capuchin
0
92532
263803
2026-05-10T13:17:02Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263803
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mdogo hadi wa kati, mwenye akili na tabia ya kijamii, anayepatikana katika misitu ya Amerika ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Tumbili capuchin hutumia akili kutafuta chakula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Capuchin monkeys}}
nkja9fgspqo1arip07gzxxbo2tfl7dm
tumbili mlio mkali
0
92533
263804
2026-05-10T13:19:29Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263804
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili anayejulikana kwa sauti yake kubwa sana ya “kunguruma”, ambayo husikika mbali sana kwenye misitu ya Amerika ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Tumbili mlio mkali huishi katika misitu ya Amerika ya Kusini.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Howler monkey}}
qqhnt3tvykun93sytzbyvt5jmpq7p9x
tumbili buibui
0
92534
263805
2026-05-10T13:22:51Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263805
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mwenye mikono na miguu mirefu sana pamoja na mkia mrefu unaotumika kushika matawi kama mkono wa tano. Huishi kwenye misitu ya Amerika ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Tumbili buibui huruka kwa ustadi kati ya miti ya msitu.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|spider monkey}}
euno58cgedj7r23ke132zvkjthhbbxd
tumbili kindi
0
92535
263806
2026-05-10T13:25:44Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263806
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mdogo sana, mwenye uso mweupe na mwili wa njano-kijani, anayepatikana kwenye misitu ya Amerika ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Tumbili kindi huruka haraka kutoka tawi hadi tawi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|squirrel monkey}}
gljxtqn7ap5a4u5gmr94ji8ce00wxje
tarsia
0
92536
263807
2026-05-10T13:28:53Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263807
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo sana wa porini anayefanana na tumbili lakini ana macho makubwa sana na huishi usiku, Huishi kwenye misitu ya Asia ya Kusini Mashariki.
===Mfano===
*Tarsia huishi kwenye misitu ya Asia ya Kusini Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|tarsier}}
3plhyrqu4we4vuv4au92bxtiuw12mde
tumbili kijani
0
92537
263808
2026-05-10T13:31:33Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263808
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Afrika wa ukubwa wa kati, anayejulikana kwa uso mweusi na mwili wa kijivu kijani, na tabia ya kuishi kwa makundi karibu na misitu na maeneo ya wazi.
===Mfano===
*Tumbili kijani huishi karibu na misitu na mashamba.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|vervet monkey}}
tp4ago26ni4dyvdea3i9ikwnndvbf0u
lorisi
0
92538
263809
2026-05-10T13:34:15Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263809
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo wa porini anayepatikana katika misitu ya Asia. Ana mwendo wa polepole sana na macho makubwa yanayomsaidia kuona gizani.
===Mfano===
*Lorisi huishi kwenye misitu ya Asia ya Kusini Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|lorises}}
t157ktplwz22jouibg9hej9cyxzqokh
marmoset
0
92539
263810
2026-05-10T13:39:34Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263810
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni tumbili mdogo sana wa Amerika ya Kusini, na huishi kwenye misitu ya mvua.
===Mfano===
*Marmoset huishi katika misitu ya mvua ya Amerika ya Kusini.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|marmosets}}
gejst55a7nwqqe5rgl87t44xdq0s0yg
gelada
0
92540
263811
2026-05-10T13:42:40Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263811
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya nyani mkubwa wa porini anayepatikana sana kwenye milima ya Ethiopia, anayejulikana kwa kifua chake chenye rangi nyekundu na tabia ya kula nyasi kuliko matunda.
===Mfano===
*Gelada ni nyani anayekula nyasi badala ya matunda.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|geladas}}
oj0qt5q17wr8n3ccy28e2gahl03yfuw
tumbili dril
0
92541
263812
2026-05-10T13:46:27Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263812
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mkubwa wa Afrika anayefanana sana na mandrill, mwenye uso wenye rangi kali na mwili wenye manyoya meusi au ya kijivu.
===Mfano===
*Tumbili Dril ni mmama anayependwa sana na watalii.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|drill monkeys}}
l65fcju6cscymb7msrjv9n94xez5n8s
proboskis
0
92542
263813
2026-05-10T13:49:53Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263813
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mkubwa wa Asia anayejulikana kwa pua yake ndefu sana na kubwa, na hupatikana hasa kwenye visiwa vya Borneo.
===Mfano===
*Proboskis hutumia mikono yake kuogelea vizuri.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|proboscis monkeys}}
35new4hk9upg977v2mhn98rjica9mde
mangabey
0
92543
263814
2026-05-10T13:52:27Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263814
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Afrika wa ukubwa wa kati, anayepatikana kwenye misitu ya mvua na anayejulikana kwa uso wake mweusi au mwepesi na mkia mrefu.
===Mfano===
*Mangabey hupatikana katika misitu ya Afrika ya Kati.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|mangabeys}}
p5arop7p37fm9ditqthwo7lry6vulfq
langur
0
92544
263815
2026-05-10T13:55:13Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263815
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Asia mwenye miguu mirefu na mkia mrefu, anayepatikana hasa kwenye misitu na maeneo ya milima.
===Mfano===
*Langur hupatikana katika misitu ya Asia.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|langurs}}
5q9coqg75yswnpa0km9vytizz6zlpb6
tumbili patasi
0
92545
263816
2026-05-10T13:59:03Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263816
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Afrika anayekimbia kwa kasi sana, anayepatikana kwenye savana na maeneo ya nyasi za wazi.
===Mfano===
*Tumbili patasi huishi katika savana za Afrika Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|patas monkeys}}
8m7iq09wf1y1fr4zyvfs6ozpz50lxfr
tumbili douc langur
0
92546
263817
2026-05-10T14:01:49Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263817
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Asia anayejulikana kwa rangi zake za kuvutia sana mwilini, kama vile nyekundu, kijivu, nyeusi na nyeupe, na huishi kwenye misitu ya mvua.
===Mfano===
*Tumbili douc langur ni miongoni mwa nyani wenye rangi nzuri zaidi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|douc langur}}
iydh7s80mv343cv4m30r7iznlm4wjb5
kima mwekundu
0
92547
263818
2026-05-10T14:05:02Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263818
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Afrika anayejulikana kwa rangi nyekundu au kahawia kwenye mwili wake, na huishi kwenye misitu ya mvua.
===Mfano===
*Kima mwekundu wa colobus hupatikana katika misitu ya Afrika Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|red colobus monkeys}}
64aqybiiw2y8c6tjemqbzz22et92x2r
nyani chacma
0
92548
263819
2026-05-10T14:14:28Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263819
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina kubwa ya nyani wa porini anayepatikana hasa Afrika Kusini. Ana mwili mkubwa na manyoya ya kijivu-kahawia na uso mweusi.
===Mfano===
* Nyani chacma huishi kwa makundi makubwa msituni na savana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|chacma baboons}}
7h0kb0ct0k5l7cdprr7xlvilr62bq9m
nyani wa guinea
0
92549
263820
2026-05-10T14:18:05Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263820
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya nyani wa porini anayepatikana Afrika Magharibi, anayejulikana kwa uso wenye nywele nyingi na mwili wa rangi ya kahawia-nyekundu.
===Mfano===
*Nyani wa Guinea ni wazuri.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|guinea baboons}}
2sj3tnd1b6pnhbcm60eenz11rfhk0ic
tumbili wa usiku
0
92550
263821
2026-05-10T14:26:23Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263821
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili anayefanya shughuli zake usiku, anayepatikana katika misitu ya Amerika ya Kati na Kusini. Pia hujulikana kwa macho makubwa yanayomsaidia kuona gizani.
===Mfano===
*Tumbili wa usiku hutoka kutafuta chakula wakati wa giza.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|night monkeys}}
jrnc2tuz4nrddyn22e029r1eiikucmx
tumbili bundi
0
92551
263822
2026-05-10T14:29:15Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263822
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mdogo anayefanya shughuli zake usiku, anayepatikana katika misitu ya Amerika ya Kati na Kusini. Anaitwa hivyo kwa sababu macho yake makubwa yanamfanya afanane na bundi.
===Mfano===
*Tumbili bundi huishi katika misitu ya Amerika ya Kusini.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|owl monkeys}}
nbxf4o0pwd1li52h9u4nukuuoyeh3hx
tumbili titi
0
92552
263823
2026-05-10T14:32:57Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263823
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili mdogo wa Amerika ya Kusini, anayejulikana kwa manyoya yake laini na tabia ya kuishi kwenye miti karibu na misitu ya mvua.
===Mfano===
*Tumbili titi huishi katika misitu ya Amazon.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|titi monkeys}}
bwumr48ahi3bbtxuo65arhx9xhzf4ls
uakari
0
92553
263824
2026-05-10T14:37:53Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263824
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya tumbili wa Amerika ya Kusini anayejulikana kwa uso wake mwekundu sana na mwili wenye manyoya marefu, na huishi karibu na mito ya msitu wa Amazon.
===Mfano===
*Uakari ana uso mwekundu unaomtambulisha kwa urahisi
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Uakari monkey}}
m91nmu9pgjlzaplcthl45y43ic7shum
korongo mweupe
0
92554
263825
2026-05-10T14:42:27Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263825
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa wa porini mwenye manyoya meupe, miguu mirefu, na shingo ndefu. Huishi karibu na maji kama mabwawa, mito, na maeneo yenye unyevunyevu.
===Mfano===
*Korongo mweupe hupatikana karibu na mabwawa na mito.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|white stork}}
em9eriuin0en4czngwgmugpc009e03i
Amurian
0
92555
263826
2026-05-10T18:02:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== #Kitu kinachohusiana na mto au eneo la [[Amur]]. ===Nomino=== #Mtu anayetoka katika eneo la Amur. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[-a Amur]], [[Mwamuria]] *{{tafs|fr}}:[[amourien]], [[Amourien]]'
263826
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
#Kitu kinachohusiana na mto au eneo la [[Amur]].
===Nomino===
#Mtu anayetoka katika eneo la Amur.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[-a Amur]], [[Mwamuria]]
*{{tafs|fr}}:[[amourien]], [[Amourien]]
mcgm10b3rl3nf01isfxgrr0ego85da5
-a Amur
0
92556
263827
2026-05-10T18:03:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Kitu au jambo lolote linalohusiana na mto au eneo la Amur. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Amurian]] *{{tafs|fr}}:[[amourien]]'
263827
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Kitu au jambo lolote linalohusiana na mto au eneo la Amur.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Amurian]]
*{{tafs|fr}}:[[amourien]]
0nnnojr8ytmjudd8iwfyis9ylbqn06l
263828
263827
2026-05-10T18:04:07Z
Bycashtz
4746
263828
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Kitu au jambo lolote linalohusiana na mto au eneo la [[Amur]].
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Amurian]]
*{{tafs|fr}}:[[amourien]]
6l78525bq5tdm9rql9ovws9x66ovu0t
amourien
0
92557
263829
2026-05-10T18:04:20Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Kitu kinachohusiana na mto au eneo la [[Amur]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[-a Amur]] *{{tafs|en}}:[[Amurian]]'
263829
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Kitu kinachohusiana na mto au eneo la [[Amur]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[-a Amur]]
*{{tafs|en}}:[[Amurian]]
j8k7dyey4dfztt5xwq2ec80sup6bdxt
Amur
0
92558
263830
2026-05-10T18:04:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Jina la mto mkubwa ulioko mpakani mwa Urusi na Uchina. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Amur]] *{{tafs|fr}}:[[Amour]]'
263830
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Jina la mto mkubwa ulioko mpakani mwa Urusi na Uchina.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Amur]]
*{{tafs|fr}}:[[Amour]]
8h4ryuw1j3g607lg0ct8jdgkjz0luz2
Amour
0
92559
263831
2026-05-10T18:07:15Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Jina la mto mkubwa uliopo mpakani mwa Urusi na Uchina. Pia hutumika kutaja mkoa wa [[Amur]] nchini Urusi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Amur]] *{{tafs|en}}:[[Amur]]'
263831
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Jina la mto mkubwa uliopo mpakani mwa Urusi na Uchina. Pia hutumika kutaja mkoa wa [[Amur]] nchini Urusi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Amur]]
*{{tafs|en}}:[[Amur]]
3bkg44d0s3aszbdkb0ryd5000c5mnia
Mwamuria
0
92560
263832
2026-05-10T18:08:12Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mtu anayetoka katika eneo au mkoa wa Amur. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Amurian]] *{{tafs|fr}}:[[Amourien]]'
263832
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mtu anayetoka katika eneo au mkoa wa Amur.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Amurian]]
*{{tafs|fr}}:[[Amourien]]
770ll0o03jd54q49b4efp6ochrcmi5k
Amourien
0
92561
263833
2026-05-10T18:08:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mtu anayetoka katika eneo au mkoa wa [[Amur]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Mwamuria]] *{{tafs|en}}:[[Amurian]]'
263833
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mtu anayetoka katika eneo au mkoa wa [[Amur]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Mwamuria]]
*{{tafs|en}}:[[Amurian]]
029sbtuciln4g5ba0bht6vvd37jmc9d
amtrack
0
92562
263834
2026-05-10T18:10:07Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Shirika la taifa la Marekani linalotoa huduma za usafiri wa treni za abiria baina ya miji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amtrak]] *{{tafs|fr}}:[[amtrak]]'
263834
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Shirika la taifa la Marekani linalotoa huduma za usafiri wa treni za abiria baina ya miji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amtrak]]
*{{tafs|fr}}:[[amtrak]]
fg4q416248rz26x79hgn50f418q45yj
263835
263834
2026-05-10T18:12:02Z
Bycashtz
4746
263835
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Shirika la kitaifa la usafiri wa reli la abiria nchini Marekani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Amtrak]]
*{{tafs|fr}}:[[Amtrak]]
drfu8v8p6h139hsnpb9ah2dz1rwzifp
Amtrak
0
92563
263836
2026-05-10T18:13:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Shirika kuu la kitaifa nchini Marekani linalofanya kazi ya kusafirisha abiria kwa njia ya treni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[shirika]] [[la]] [[reli]] [[la]] [[abiria]] [[la]] [[Marekani]] *{{tafs|fr}}:[[société]] [[nationale]] [[de]] [[transport]] [[ferroviaire]] [[de]] [[voyageurs]]'
263836
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Shirika kuu la kitaifa nchini Marekani linalofanya kazi ya kusafirisha abiria kwa njia ya treni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[shirika]] [[la]] [[reli]] [[la]] [[abiria]] [[la]] [[Marekani]]
*{{tafs|fr}}:[[société]] [[nationale]] [[de]] [[transport]] [[ferroviaire]] [[de]] [[voyageurs]]
0uzdmdubzuqro9q5k00lqd2lufmdq6w
nationale
0
92564
263837
2026-05-10T18:14:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Kitu kinachohusu taifa zima au nchi badala ya eneo dogo pekee. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[kitaifa]] *{{tafs|en}}:[[national]]'
263837
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Kitu kinachohusu taifa zima au nchi badala ya eneo dogo pekee.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[kitaifa]]
*{{tafs|en}}:[[national]]
eu755mbz1zdezrt6r9pzs8d4tkud7rb
kitaifa
0
92565
263838
2026-05-10T18:15:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Jambo linalohusu nchi nzima au taifa kwa ujumla. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[national]] *{{tafs|fr}}:[[nationale]]'
263838
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Jambo linalohusu nchi nzima au taifa kwa ujumla.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[national]]
*{{tafs|fr}}:[[nationale]]
cfq77si6ajnn6ncuqo2vniltlhl1le7
ferroviaire
0
92566
263839
2026-05-10T18:16:20Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Kitu kinachohusiana na reli au usafiri wa treni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[-a reli]] *{{tafs|en}}:[[railway]], [[rail]]'
263839
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Kitu kinachohusiana na reli au usafiri wa treni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[-a reli]]
*{{tafs|en}}:[[railway]], [[rail]]
6dexdnjwntv4mchtns3qybwaiv1n44a
-a reli
0
92567
263840
2026-05-10T18:16:54Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Kitu au jambo lolote linalohusiana na mfumo wa reli au usafiri wa treni. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[railway]], [[rail]] *{{tafs|fr}}:[[ferroviaire]]'
263840
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Kitu au jambo lolote linalohusiana na mfumo wa reli au usafiri wa treni.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[railway]], [[rail]]
*{{tafs|fr}}:[[ferroviaire]]
oagogr1tzufk1csfa9151b3wm6sidk1
railway
0
92568
263841
2026-05-10T18:18:06Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Njia ya usafiri inayotumia reli kwa ajili ya kupitisha treni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[reli]] *{{tafs|fr}}:[[chemin de fer]]'
263841
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Njia ya usafiri inayotumia reli kwa ajili ya kupitisha treni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[reli]]
*{{tafs|fr}}:[[chemin de fer]]
iwty94pitygp9uem5zowqewchmzevsp
chemin de fer
0
92569
263842
2026-05-10T18:18:45Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Njia ya usafiri inayoundwa na vyuma sambamba kwa ajili ya kupitisha treni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[reli]] *{{tafs|en}}:[[railway]]'
263842
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Njia ya usafiri inayoundwa na vyuma sambamba kwa ajili ya kupitisha treni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[reli]]
*{{tafs|en}}:[[railway]]
llnqoh8sao1h2w6pgmfquurvtn1ya0l
amusedness
0
92570
263843
2026-05-10T18:20:24Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kufurahishwa au kuchezeshwa moyo na jambo lenye ucheshi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]] *{{tafs|fr}}:[[amusement]]'
263843
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kufurahishwa au kuchezeshwa moyo na jambo lenye ucheshi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]]
*{{tafs|fr}}:[[amusement]]
qo6ngx30k8kv5x40xhq77990sp11jww
amusette
0
92571
263844
2026-05-10T18:21:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kitu kidogo au jambo jepesi linalotumiwa kwa ajili ya kujifurahisha au kupoteza muda. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[kichangamsho]] *{{tafs|en}}:[[amusement]]'
263844
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kitu kidogo au jambo jepesi linalotumiwa kwa ajili ya kujifurahisha au kupoteza muda.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[kichangamsho]]
*{{tafs|en}}:[[amusement]]
oz8ki3ench6idibz1svzsxoftl0bd8t
kichangamsho
0
92572
263845
2026-05-10T18:21:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kitu au jambo linalomfanya mtu achangamke au apate furaha. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amusement]] *{{tafs|fr}}:[[amusette]]'
263845
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kitu au jambo linalomfanya mtu achangamke au apate furaha.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amusement]]
*{{tafs|fr}}:[[amusette]]
7bwrrc3cqapyl2snrtcui6fk74o0kr7
amygdalase
0
92573
263846
2026-05-10T18:23:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja sukari inayopatikana kwenye mbegu za baadhi ya matunda. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amigidalesi]] *{{tafs|fr}}:[[amygdalase]]'
263846
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja sukari inayopatikana kwenye mbegu za baadhi ya matunda.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigidalesi]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdalase]]
4uuuytw52s6co0d9kg5yu9onyw19xy7
amigidalesi
0
92574
263847
2026-05-10T18:24:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja aina fulani ya sukari inayopatikana kwenye mbegu za matunda. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amygdalase]] *{{tafs|fr}}:[[amygdalase]]'
263847
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja aina fulani ya sukari inayopatikana kwenye mbegu za matunda.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amygdalase]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdalase]]
qorgkk3abes01s85kld603ih7b3j7n2
amyl
0
92575
263848
2026-05-10T18:25:12Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kundi la kikemikali linalotokana na kaboni tano ambalo hupatikana katika aina mbalimbali za mafuta na pombe. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amili]] *{{tafs|fr}}:[[amyle]]'
263848
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kundi la kikemikali linalotokana na kaboni tano ambalo hupatikana katika aina mbalimbali za mafuta na pombe.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amili]]
*{{tafs|fr}}:[[amyle]]
4xx6wcvsckr6j691o26n6j5ibdcwu0i
amylin
0
92576
263849
2026-05-10T18:25:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Homoni inayozalishwa na kongosho inayosaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini baada ya kula. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilini]] *{{tafs|fr}}:[[amyline]]'
263849
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Homoni inayozalishwa na kongosho inayosaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini baada ya kula.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilini]]
*{{tafs|fr}}:[[amyline]]
tbidkfs4y63t66p7dgdjtm1yhmjjhwu
amilini
0
92577
263850
2026-05-10T18:26:29Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Homoni inayotolewa na kongosho ili kusaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylin]] *{{tafs|fr}}:[[amyline]]'
263850
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Homoni inayotolewa na kongosho ili kusaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylin]]
*{{tafs|fr}}:[[amyline]]
6uelsonjbe7ir1rzhaodrfrixpzm9zh
amyline
0
92578
263851
2026-05-10T18:27:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Homoni inayozalishwa na kongosho inayosaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilini]] *{{tafs|en}}:[[amylin]]'
263851
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Homoni inayozalishwa na kongosho inayosaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilini]]
*{{tafs|en}}:[[amylin]]
8b6r1qz7t7jncn85feo31jakqvzyvs5
amylobarbitone
0
92579
263852
2026-05-10T18:27:47Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa inayotumika kutuliza mfumo wa neva ili kusaidia usingizi au kupunguza wasiwasi mkali. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilobabitoni]] *{{tafs|fr}}:[[amylobarbitone]]'
263852
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa inayotumika kutuliza mfumo wa neva ili kusaidia usingizi au kupunguza wasiwasi mkali.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilobabitoni]]
*{{tafs|fr}}:[[amylobarbitone]]
3dikl0srx8yucc47mkk0ux9w1gb0kc9
amilobabitoni
0
92580
263853
2026-05-10T18:28:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Dawa inayotumika kutuliza neva ili kusaidia upatikanaji wa usingizi au kupunguza mahangaiko ya akili. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylobarbitone]] *{{tafs|fr}}:[[amylobarbitone]]'
263853
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Dawa inayotumika kutuliza neva ili kusaidia upatikanaji wa usingizi au kupunguza mahangaiko ya akili.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylobarbitone]]
*{{tafs|fr}}:[[amylobarbitone]]
s1ko03wr9dx517ag3webe9nsdl2cw10
amyloglycosidase
0
92581
263854
2026-05-10T18:29:33Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachosaidia kubadilisha wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mfumo wa mmeng'enyo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloglikosidesi]] *{{tafs|fr}}:[[amyloglucosidase]]'
263854
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachosaidia kubadilisha wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mfumo wa mmeng'enyo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloglikosidesi]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloglucosidase]]
knuo5dgikaozwlnylytwk302p66h03q
amiloglikosidesi
0
92582
263855
2026-05-10T18:30:08Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloglycosidase]] *{{tafs|fr}}:[[amyloglucosidase]]'
263855
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloglycosidase]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloglucosidase]]
arkenm6j5gzczn4sahcbbn5awva2rpq
amyloidicity
0
92583
263856
2026-05-10T18:31:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Uwezo au tabia ya protini fulani kujikusanya na kutengeneza nyuzi ambazo zinaweza kusababisha magonjwa mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uamiloidi]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdénicité]]'
263856
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Uwezo au tabia ya protini fulani kujikusanya na kutengeneza nyuzi ambazo zinaweza kusababisha magonjwa mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uamiloidi]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdénicité]]
mtim27kqny0cvt4kxiwt4nv91uwflxa
uamiloidi
0
92584
263857
2026-05-10T18:31:39Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali au tabia ya protini kujijenga na kutengeneza nyuzi zinazoweza kuleta madhara mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloidicity]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdénicité]]'
263857
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali au tabia ya protini kujijenga na kutengeneza nyuzi zinazoweza kuleta madhara mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloidicity]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdénicité]]
680hpy1dchu1mzjifx807ec6qb70kb0
amyloïdénicité
0
92585
263858
2026-05-10T18:32:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali au uwezo wa protini fulani kujikusanya na kutengeneza tishu zinazoweza kusababisha maradhi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uamiloidi]] *{{tafs|en}}:[[amyloidicity]]'
263858
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali au uwezo wa protini fulani kujikusanya na kutengeneza tishu zinazoweza kusababisha maradhi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uamiloidi]]
*{{tafs|en}}:[[amyloidicity]]
nubpg9ouqjqgbg6gdf8yy30mopjhlmx
amylolysin
0
92586
263859
2026-05-10T18:33:54Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari wakati wa mmeng'enyo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolisini]] *{{tafs|fr}}:[[amylolysine]]'
263859
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachosaidia kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari wakati wa mmeng'enyo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolisini]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolysine]]
g1q8m7ca9bnuyf1732wa6ngc14tjue5
amilolisini
0
92587
263860
2026-05-10T18:34:36Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya chenye uwezo wa kuvunja wanga na kuugeuza kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylolysin]] *{{tafs|fr}}:[[amylolysine]]'
263860
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya chenye uwezo wa kuvunja wanga na kuugeuza kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylolysin]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolysine]]
bgyvnlfga4p4z3xmb03lrw6gked229r
amylolysine
0
92588
263861
2026-05-10T18:35:15Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolisini]] *{{tafs|en}}:[[amylolysin]]'
263861
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolisini]]
*{{tafs|en}}:[[amylolysin]]
gjgttu7omi0wmvg6bmbt8ldh4oczw4y
amylopectin
0
92589
263862
2026-05-10T18:36:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi mengi ambayo haiyeyuki kwa urahisi katika maji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilopektini]] *{{tafs|fr}}:[[amylopectine]]'
263862
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi mengi ambayo haiyeyuki kwa urahisi katika maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilopektini]]
*{{tafs|fr}}:[[amylopectine]]
acvy7wih4et9e31sbylbsf0iqyer1r0
amilopektini
0
92590
263863
2026-05-10T18:36:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi ambayo haiyeyuki kwa urahisi kwenye maji. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylopectin]] *{{tafs|fr}}:[[amylopectine]]'
263863
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi ambayo haiyeyuki kwa urahisi kwenye maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylopectin]]
*{{tafs|fr}}:[[amylopectine]]
iygd9djlfpp7to9qov9wvt3c6fx8q9e
amylopectine
0
92591
263864
2026-05-10T18:37:29Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi ambayo haiyeyuki kwa urahisi kwenye maji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilopektini]] *{{tafs|en}}:[[amylopectin]]'
263864
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Sehemu ya wanga inayoundwa na nyuzi zenye matawi ambayo haiyeyuki kwa urahisi kwenye maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilopektini]]
*{{tafs|en}}:[[amylopectin]]
fyd0372z731csoo210s0qrmasc5hvo2
amylosome
0
92592
263865
2026-05-10T18:38:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Sehemu ndogo ndani ya chembe hai inayohifadhi au kusindika wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosomu]] *{{tafs|fr}}:[[amylosome]]'
263865
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Sehemu ndogo ndani ya chembe hai inayohifadhi au kusindika wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosomu]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosome]]
dg76q0ti8uifmt43u8yqz9cl51o92ws
amilosomu
0
92593
263866
2026-05-10T18:38:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Sehemu ndogo ndani ya chembe hai inayotumika kuhifadhi au kuchakata wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylosome]] *{{tafs|fr}}:[[amylosome]]'
263866
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Sehemu ndogo ndani ya chembe hai inayotumika kuhifadhi au kuchakata wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylosome]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosome]]
4mn4csszh1o65lkr3ay1e54m7w3x4r7
amyotrophia
0
92594
263867
2026-05-10T18:39:44Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli kutokana na kukosekana kwa lishe au ugonjwa wa neva. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uamyotrofia]] *{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]'
263867
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli kutokana na kukosekana kwa lishe au ugonjwa wa neva.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uamyotrofia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]
l2jmkzqlge7zpdj2hlgooucvarjhc5k
uamyotrofia
0
92595
263868
2026-05-10T18:40:27Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kusinyaa au kudhoofika kwa misuli ya mwili kutokana na maradhi ya neva au ukosefu wa lishe. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyotrophia]] *{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]'
263868
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kusinyaa au kudhoofika kwa misuli ya mwili kutokana na maradhi ya neva au ukosefu wa lishe.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyotrophia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]
t5mnp11jbbpkcezc5616hzlfxryxlo3
amyotrophie
0
92596
263869
2026-05-10T18:41:10Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kupungua kwa ukubwa au kudhoofika kwa misuli ya mwili. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uamyotrofia]] *{{tafs|en}}:[[amyotrophia]]'
263869
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kupungua kwa ukubwa au kudhoofika kwa misuli ya mwili.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uamyotrofia]]
*{{tafs|en}}:[[amyotrophia]]
9gr00ebs6mjwpox0r5joa25yw18sdy6
amyris
0
92597
263870
2026-05-10T18:42:09Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya mti au kichaka kinachopatikana katika maeneo ya kitropiki ya Amerika, ambacho hutoa utomvu wenye harufu nzuri na mbao zake hushika moto kwa urahisi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiri]] *{{tafs|fr}}:[[amyris]]'
263870
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya mti au kichaka kinachopatikana katika maeneo ya kitropiki ya Amerika, ambacho hutoa utomvu wenye harufu nzuri na mbao zake hushika moto kwa urahisi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiri]]
*{{tafs|fr}}:[[amyris]]
kmpgp5t7a9v5czlbo37c7nhik8yka46
amylum star
0
92598
263871
2026-05-10T18:43:02Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Sehemu ya mmea yenye umbo la nyota iliyojaa wanga ambayo hutumika kwa ajili ya uzalishaji wa mimea mipya, hasa katika baadhi ya aina za mwani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[nyota]] [[ya]] [[wanga]] *{{tafs|fr}}:[[étoile d'amidon]]'
263871
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Sehemu ya mmea yenye umbo la nyota iliyojaa wanga ambayo hutumika kwa ajili ya uzalishaji wa mimea mipya, hasa katika baadhi ya aina za mwani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[nyota]] [[ya]] [[wanga]]
*{{tafs|fr}}:[[étoile d'amidon]]
4fewmfhmjiy4pzqnjcrqknehg65uo7v
étoile d'amidon
0
92599
263872
2026-05-10T18:44:12Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Sehemu ya mmea yenye umbo la nyota iliyojaa wanga, inayopatikana hasa kwenye baadhi ya aina za mwani kwa ajili ya uzalishaji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[nyota]] [[ya]] [[wanga]] *{{tafs|en}}:[[amylum star]]'
263872
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Sehemu ya mmea yenye umbo la nyota iliyojaa wanga, inayopatikana hasa kwenye baadhi ya aina za mwani kwa ajili ya uzalishaji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[nyota]] [[ya]] [[wanga]]
*{{tafs|en}}:[[amylum star]]
0ojydsog5lv511ebrjkhc7syyem86d7
Anabaptism
0
92600
263873
2026-05-10T18:45:24Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Imani ya kidini ya Kikristo inayosisitiza kuwa ubatizo unapaswa kutolewa tu kwa waumini watu wazima wanaoweza kukiri imani yao, badala ya watoto wachanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Uanabaptisti]] *{{tafs|fr}}:[[anabaptisme]]'
263873
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Imani ya kidini ya Kikristo inayosisitiza kuwa ubatizo unapaswa kutolewa tu kwa waumini watu wazima wanaoweza kukiri imani yao, badala ya watoto wachanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Uanabaptisti]]
*{{tafs|fr}}:[[anabaptisme]]
3xola2zpo1ge9k1mtin35xy1kuhzjpa
korongo mweusi
0
92601
263874
2026-05-10T18:46:11Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263874
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa wa porini mwenye manyoya meusi yenye mng’ao.
===Mfano===
*Korongo mweusi hupatikana karibu na mito na mabwawa.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|black stork}}
m51cwi4jtqkl0ts1h8kiy8kzwzqrlno
Uanabaptisti
0
92602
263875
2026-05-10T18:46:28Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Imani ya Kikristo inayofundisha kuwa ubatizo unastahili kutolewa kwa watu wazima wanaoweza kukiri imani yao wenyewe. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Anabaptism]] *{{tafs|fr}}:[[anabaptisme]]'
263875
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Imani ya Kikristo inayofundisha kuwa ubatizo unastahili kutolewa kwa watu wazima wanaoweza kukiri imani yao wenyewe.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Anabaptism]]
*{{tafs|fr}}:[[anabaptisme]]
0nrwz34efnpwel7nt7i82efkof2g479
anabaptisme
0
92603
263876
2026-05-10T18:47:14Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Imani ya Kikristo inayosisitiza kuwa ubatizo unapaswa kufanywa kwa watu wazima pekee baada ya kukiri imani yao. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Uanabaptisti]] *{{tafs|en}}:[[Anabaptism]]'
263876
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Imani ya Kikristo inayosisitiza kuwa ubatizo unapaswa kufanywa kwa watu wazima pekee baada ya kukiri imani yao.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Uanabaptisti]]
*{{tafs|en}}:[[Anabaptism]]
47y0mnrgwax5nrxj8glnsf4hy7ugb73
anabasius
0
92604
263877
2026-05-10T18:48:12Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mjumbe wa zamani aliyesafiri kwa farasi au gari la kukokotwa ili kufikisha ujumbe na amri kwa haraka. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabasio]] *{{tafs|fr}}:[[anabasius]]'
263877
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mjumbe wa zamani aliyesafiri kwa farasi au gari la kukokotwa ili kufikisha ujumbe na amri kwa haraka.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabasio]]
*{{tafs|fr}}:[[anabasius]]
oopq5h8p7lybe1yyw9wddaqzq4dl5by
anabasio
0
92605
263878
2026-05-10T18:48:56Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mjumbe wa zamani aliyekuwa akisafiri kwa farasi au gari ili kuwasilisha habari na amri kwa haraka. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabasius]] *{{tafs|fr}}:[[anabasius]]'
263878
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mjumbe wa zamani aliyekuwa akisafiri kwa farasi au gari ili kuwasilisha habari na amri kwa haraka.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabasius]]
*{{tafs|fr}}:[[anabasius]]
tw6rc87qo1i2u5uusw8kaqjv6orchcx
anabibazon
0
92606
263879
2026-05-10T18:49:54Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Sehemu ya obiti ya mwezi au sayari inapovuka mstari wa mzunguko wa dunia kuelekea upande wa kaskazini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabibazoni]] *{{tafs|fr}}:[[anabibazon]]'
263879
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Sehemu ya obiti ya mwezi au sayari inapovuka mstari wa mzunguko wa dunia kuelekea upande wa kaskazini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabibazoni]]
*{{tafs|fr}}:[[anabibazon]]
3vydfn5218hfn1de270sc2n5ly2q3u5
tai mweupe
0
92607
263880
2026-05-10T18:50:02Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263880
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa wa mawindo mwenye sehemu za manyoya meupe, anayejulikana kwa macho makali na uwezo wa kuwinda kutoka angani.
===Mfano===
*Tai mweupe huruka juu ya ziwa akitafuta samaki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|white eagle}}
p7a0utova1xqd8t3a9tn9zcl923vui0
anabibazoni
0
92608
263881
2026-05-10T18:50:42Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hatua ambapo mwezi au sayari huvuka mhimili wa mzunguko wa dunia ikielekea upande wa kaskazini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabibazon]] *{{tafs|fr}}:[[anabibazon]]'
263881
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hatua ambapo mwezi au sayari huvuka mhimili wa mzunguko wa dunia ikielekea upande wa kaskazini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabibazon]]
*{{tafs|fr}}:[[anabibazon]]
pbugvcmdyrnmjbgsrqqt4bupyhzgwsi
anabolic steroid
0
92609
263882
2026-05-10T18:51:44Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa ya bandia inayafanana na homoni ya kiume inayotumiwa kukuza misuli na kuongeza nguvu mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[steroidi]] [[anaboliki]] *{{tafs|fr}}:[[stéroïde anabolisant]]'
263882
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa ya bandia inayafanana na homoni ya kiume inayotumiwa kukuza misuli na kuongeza nguvu mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[steroidi]] [[anaboliki]]
*{{tafs|fr}}:[[stéroïde anabolisant]]
t2freg8kyuwumy8d05tgzsqpbmhoc5k
tai wa bahari
0
92610
263883
2026-05-10T18:52:15Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263883
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa wa mawindo anayepatikana karibu na bahari, maziwa, na mito, anayewinda hasa samaki.
===Mfano===
*Tai wa bahari huruka juu ya maji kutafuta samaki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sea eagle}}
m2j4tkmgpnkoo5c8n7ibgx32uopqacy
stéroïde anabolisant
0
92611
263884
2026-05-10T18:52:38Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Dawa inayotengenezwa kimaabara ili kuiga homoni ya kiume kwa ajili ya kukuza misuli na kuongeza nguvu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[steroidi]] [[anaboliki]] *{{tafs|en}}:[[anabolic steroid]]'
263884
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Dawa inayotengenezwa kimaabara ili kuiga homoni ya kiume kwa ajili ya kukuza misuli na kuongeza nguvu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[steroidi]] [[anaboliki]]
*{{tafs|en}}:[[anabolic steroid]]
7vy70rxdlth9eeswyyjf8yq7n961uie
anacanthobatid
0
92612
263885
2026-05-10T18:53:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba mgongoni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakantobatidi]] *{{tafs|fr}}:[[anacanthobatidé]]'
263885
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba mgongoni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakantobatidi]]
*{{tafs|fr}}:[[anacanthobatidé]]
9puboz8h9heogwmg6f8ysr4gbbm8ub7
anakantobatidi
0
92613
263886
2026-05-10T18:54:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba kwenye pezi la mgongoni. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anacanthobatid]] *{{tafs|fr}}:[[anacanthobatidé]]'
263886
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba kwenye pezi la mgongoni.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anacanthobatid]]
*{{tafs|fr}}:[[anacanthobatidé]]
jbe6dajp9ml5hl70o8arxvofx69nqym
mwewe mwekundu
0
92614
263887
2026-05-10T18:54:38Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263887
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa mawindo mwenye manyoya ya kahawia au mekundu.
===Mfano===
*Mwewe mwekundu huruka juu ya savana akitafuta mawindo.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|red hawk}}
jof01cxm6nbjv4uwppd8f1acukymy4n
mwewe wa milimani
0
92615
263888
2026-05-10T18:57:13Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263888
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa mawindo anayeishi kwenye maeneo ya milima na miamba.
===Mfano===
*Mwewe wa milimani ana uwezo mkubwa wa kuona kutoka mbali.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|mountain hawk}}
1sovdt3pb8yu4gkp9m9hllb4ye5nlt9
kasuku wa kijani
0
92616
263889
2026-05-10T19:00:34Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263889
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mwenye manyoya ya kijani anayejulikana kwa uwezo wa kuiga sauti na maneno.
===Mfano===
*Kasuku wa kijani anaweza kuiga maneno ya binadamu.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|green parrot}}
q4b46e78hu92vapi5x6ykn9s1dvrthf
anacanthobatidé
0
92617
263890
2026-05-10T19:02:28Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba kwenye pezi lake la mgongoni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakantobatidi]] *{{tafs|en}}:[[anacanthobatid]]'
263890
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa baharini mwenye mwili bapa na pua ndefu ambaye hana miiba kwenye pezi lake la mgongoni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakantobatidi]]
*{{tafs|en}}:[[anacanthobatid]]
jk8238lxnkcltjayeqniubesogl9wge
njiwa wa msituni
0
92618
263891
2026-05-10T19:03:56Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263891
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya njiwa wanaoishi kwenye misitu na maeneo yenye miti mingi.
===Mfano===
*Njiwa wa msituni hupatikana kwenye misitu yenye miti mingi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|wood pigeon}}
m9kxh1jzvass51hwm5767n57ru1vj62
kanga wa porini
0
92619
263892
2026-05-10T19:06:52Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263892
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa porini anayefanana na kuku wa kienyeji, anayepatikana kwenye savana, vichaka, na misitu ya Afrika.
===Mfano===
*Kanga wa porini hupatikana katika savana za Afrika.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|guinea fowl}}
h8w3075kg4f6xuuq75wio5fnc4oi7rl
kware wa porini
0
92620
263893
2026-05-10T19:09:29Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263893
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo wa porini anayefanana na kware wa kufugwa, anayepatikana kwenye nyasi, mashamba, na vichaka.
===Mfano===
*Kware wa porini hujificha kwenye nyasi ndefu.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|wild quail}}
qu4l1isv4e09hxcrkos5fqyzyj26yet
amusee
0
92621
263894
2026-05-10T19:10:27Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mwanamke aliyechangamka au aliyeguswa na furaha kutokana na jambo la ucheshi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]] *{{tafs|en}}:[[amused person]]'
263894
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mwanamke aliyechangamka au aliyeguswa na furaha kutokana na jambo la ucheshi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]]
*{{tafs|en}}:[[amused person]]
foawzpdziu3ja19s3qyhzk0y3qiuk7x
amused person
0
92622
263895
2026-05-10T19:11:28Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mtu aliyefurahishwa au aliyechangamshwa na jambo lenye ucheshi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]] *{{tafs|fr}}:[[amusée]]'
263895
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mtu aliyefurahishwa au aliyechangamshwa na jambo lenye ucheshi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]]
*{{tafs|fr}}:[[amusée]]
k1zaxigsx7drddt0y0e9qes1ymn8n0q
amusée
0
92623
263896
2026-05-10T19:12:13Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mwanamke aliyechangamka au aliyeguswa na furaha kutokana na jambo la ucheshi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]] *{{tafs|en}}:[[amused person]]'
263896
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mwanamke aliyechangamka au aliyeguswa na furaha kutokana na jambo la ucheshi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[mchangamfu]]
*{{tafs|en}}:[[amused person]]
foawzpdziu3ja19s3qyhzk0y3qiuk7x
kingfisher ya bluu
0
92624
263897
2026-05-10T19:14:23Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263897
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo wa rangi ya buluu anayejulikana kwa uwezo wake wa kukamata samaki kwa kasi kubwa, kwa kujitupa majini.
===Mfano===
*Kingfisher ya bluu huruka haraka na kuingia majini kukamata samaki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|blue kingfisher}}
fmkqkgltjpwvp7pokxra4eky4pn2otp
sunbird
0
92625
263898
2026-05-10T19:18:46Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263898
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo mwenye rangi nzuri zinazong’aa, hasa kijani, njano, au zambarau.
===Mfano===
*Sunbird hula ya maua kwa kutumia mdomo wake mrefu.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sunbirds}}
7dhf55dxv7wnljunwj58a09fnmtack9
weaver
0
92626
263899
2026-05-10T19:21:29Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263899
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo wa porini anayejulikana kwa uwezo wake wa kutengeneza viota vya kusokotwa vizuri sana kwa majani na nyasi.
===Mfano===
*Weaver huishi kwa makundi makubwa msituni.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|weaver bird}}
rj4kf8onv0dc096yyuzfbgebq84p669
mbawa mwepesi
0
92627
263900
2026-05-10T19:27:04Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263900
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo sana anayepaa kwa kasi kubwa sana na hutumia muda wake mwingi akiwa angani akiwinda wadudu.
===Mfano===
*Mbawa mwepesi huruka angani kwa kasi sana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Swift}}
6kek6chnlr7l3594vpikcvw88qg1m2m
falkoni wa kasi
0
92628
263901
2026-05-10T19:32:09Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263901
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa mawindo mwenye kasi sana duniani, anayewinda kwa kushuka kutoka angani kwa kasi kubwa sana.
===Mfano===
*Falkoni wa kasi hushuka angani kwa kasi kubwa.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|peregrine falcon}}
mpnb1jtg3fku60cbvb8rpmeb99qbwte
tumbusi wa mlima
0
92629
263902
2026-05-10T19:35:24Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263902
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa anayekula mizoga ya wanyama waliokufa, na hupatikana zaidi katika maeneo ya milima na miamba mirefu.
===Mfano===
*Tumbusi wa mlima huzunguka juu ya milima akitafuta chakula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|mountain vultures}}
n0vgw8e4dm425fyn1uynawxi9es269i
korongo mrefu
0
92630
263903
2026-05-10T19:38:00Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263903
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa mwenye miguu mirefu sana na shingo ndefu, anayepatikana karibu na maji kama mabwawa, mito, na maeneo ya unyevunyevu.
===Mfano===
*Korongo mrefu husimama kwenye maji akitafuta samaki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|storks}}
e2ntopy5x42tvm01w0gshl6lu1hkawj
ndege pembe
0
92631
263904
2026-05-10T19:41:17Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263904
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mkubwa mwenye mdomo mkubwa na uliopinda juu kama pembe, anayepatikana kwenye misitu ya Afrika na Asia.
===Mfano===
*Ndege pembe hupatikana katika misitu ya Afrika Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|hornbills}}
7o8cyh0pkmbkawq1fmdwv8tb4zonqd2
ndege robin
0
92632
263905
2026-05-10T19:50:24Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263905
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege mdogo mwenye kifua cha rangi ya machungwa au nyekundu, anayejulikana kwa sauti yake nzuri na kuonekana sana bustanini na misituni.
===Mfano===
*Ndege robin huimba vizuri sana asubuhi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|robins}}
3et9klv447d1jb1lv3bowng9weftaro
turako wa kijani
0
92633
263906
2026-05-10T19:55:34Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263906
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa misitu wa Afrika mwenye manyoya ya kijani yanayong’aa, anayejulikana pia kwa rangi nzuri na sauti zake za kipekee.
===Mfano===
*Turako wa kijani hupatikana katika misitu ya Afrika Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|turacos}}
g2jen0ek42kviw1hr0gy6khivhx5rln
ndege mvuvi.
0
92634
263907
2026-05-10T20:15:34Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263907
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni ndege wa majini anayejulikana kwa kuogelea na kupiga mbizi ili kuvua samaki.
===Mfano===
*Ndege mvuvi upenda kukaa juu ya mwamba kando ya ziwa.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|cormorant}}
6kh5kmra7s1wxtq4thi7oebwd903x3o
kasa wa bahari
0
92635
263908
2026-05-10T20:20:13Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263908
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa majini (reptilia) anayeishi baharini, mwenye gamba ngumu mgongoni.
===Mfano===
*Kasa wa bahari alionekana akielekea ufukweni kutaga mayai yake.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sea turtle}}
q1u5ru5mmarau0w9y4le8aus5ziaa66
kasa wa nchi kavu
0
92636
263909
2026-05-10T20:22:32Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263909
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa jamii ya reptilia anayeishi ardhini (nchi kavu),sio baharini.
===Mfano===
*Kasa wa nchi kavu alitembea polepole akielekea kivulini kupumzika.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|tortoise}}
qtf99kdwa2slv59ymka00p5akipwxsq
kenge wa msituni
0
92637
263910
2026-05-10T20:24:31Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263910
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa jamii ya reptilia anayefanana na mjusi mkubwa, anayepatikana hasa kwenye misitu na maeneo yenye maji.
===Mfano===
*Kenge wa msituni hula mayai ya ndege na wanyama wadogo msituni.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|monitor lizard}}
1dp6deuxkdv5yw0l5t139vl1c7824w0
kenge wa jangwa
0
92638
263911
2026-05-10T20:26:20Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263911
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kenge (mjusi mkubwa) anayeishi katika maeneo ya jangwa na nusu-jangwa, na hustahimili joto kali na ukame.
===Mfano===
*Kenge wa jangwa alionekana akitafuta chakula mchana kwenye mchanga wa moto.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|desert monitor}}
frds1jebrs4y9g0jidd4rmqesgp31ui
mjusi wa mchanga
0
92639
263912
2026-05-10T20:28:17Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263912
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#i mjusi mdogo anayeishi kwenye maeneo ya mchanga, jangwa au sehemu kavu.
===Mfano===
*Mjusi wa mchanga alijificha haraka chini ya mchanga alipohisi hatari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sand lizard}}
61ggi7p5ki7j3v1g85udw9vm5qkj7q6
chura wa sumu
0
92640
263913
2026-05-10T20:31:54Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263913
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya chura mwenye ngozi inayotoa sumu kali sana ili kujilinda dhidi ya maadui.
===Mfano===
*Chura wa sumu ana rangi nzuri lakini ni hatari sana kugusa.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|poison dart frog}}
893chv2jwqcgrp992z07pvy8vrqsj5i
mjusi kola
0
92641
263914
2026-05-10T20:35:36Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263914
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mjusi anayejulikana kwa kuwa na ngozi kubwa inayojitokeza kama kola shingoni anapohisi hatari.
===Mfano===
*Mjusi kola hutumia muonekano wake kuwatisha wanyama wanaomwinda.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|frilled lizard}}
cr7r0eygeedujey7p7qtzta58ytph77
nyoka wa jangwa
0
92642
263915
2026-05-10T20:39:29Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263915
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya nyoka wa jangwa mwenye sumu anayejulikana kwa kusogea kwa mtindo wa kupinda pembeni.
===Mfano===
*Nyoka wa jangwa hutumia njia yake ya kipekee ya kutembea.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sidewinder}}
mv1wnq4do2l4ixaa63vlkj45ygpo04s
kasa wa boksi
0
92643
263916
2026-05-10T20:42:11Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263916
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kasa mdogo wa nchi kavu mwenye gamba linaloweza kujifunga kabisa kama sanduku.
===Mfano===
*Kasa wa boksi hutumia gamba lake kujilinda dhidi ya wanyama wanaomwinda.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|box turtle}}
38xgn4brhs4uv7z4zz3bl4xuhezkrrn
Amusgo
0
92644
263917
2026-05-11T03:08:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kundi la watu wa kiasili au lugha inayozungumzwa katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini [[Meksiko]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Waamusgo]] *{{tafs|fr}}:[[Amuzgo]]'
263917
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kundi la watu wa kiasili au lugha inayozungumzwa katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini [[Meksiko]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Waamusgo]]
*{{tafs|fr}}:[[Amuzgo]]
t10srcv37wj56botw420g43iw1t3oii
Waamusgo
0
92645
263918
2026-05-11T03:10:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kundi la watu wa kiasili wanaoishi katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini Meksiko. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Amusgo]] *{{tafs|fr}}:[[Amuzgo]]'
263918
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kundi la watu wa kiasili wanaoishi katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini Meksiko.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Amusgo]]
*{{tafs|fr}}:[[Amuzgo]]
ik0lopxna9od01ptljmytpaay5kulux
Amuzgo
0
92646
263919
2026-05-11T03:10:50Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kundi la watu wa kiasili au lugha inayozungumzwa katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini [[Meksiko]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Waamusgo]] *{{tafs|en}}:[[Amusgo]]'
263919
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kundi la watu wa kiasili au lugha inayozungumzwa katika majimbo ya [[Guerrero]] na [[Oaxaca]] nchini [[Meksiko]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Waamusgo]]
*{{tafs|en}}:[[Amusgo]]
567wj2904zcwyg00kdqauxxon486pmf
Guerrero
0
92647
263920
2026-05-11T03:12:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|es}}== ===Nomino/Kivumishi=== #Mtu anayepigana vitani au mwenye roho ya ushujaa; pia ni jina la jimbo lililopo kusini mwa Meksiko. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]] *{{tafs|en}}:[[Warrior]] *{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]'
263920
wikitext
text/x-wiki
=={{--|es}}==
===Nomino/Kivumishi===
#Mtu anayepigana vitani au mwenye roho ya ushujaa; pia ni jina la jimbo lililopo kusini mwa Meksiko.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]]
*{{tafs|en}}:[[Warrior]]
*{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]
jo5o0ptsf3djvo7mhnwlemlcr51itvc
Mpiganaji
0
92648
263921
2026-05-11T03:13:18Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mtu anayeshiriki katika mapambano, vita, au mwenye bidii ya kupigania jambo fulani. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Warrior]] *{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]'
263921
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mtu anayeshiriki katika mapambano, vita, au mwenye bidii ya kupigania jambo fulani.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Warrior]]
*{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]
cwh5rr6g8mnncvy7k055l0rr5oisjfb
Warrior
0
92649
263922
2026-05-11T03:13:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mtu stadi na mzoefu katika mapambano au vita, mara nyingi mwenye ujasiri mkubwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]] *{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]'
263922
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mtu stadi na mzoefu katika mapambano au vita, mara nyingi mwenye ujasiri mkubwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]]
*{{tafs|fr}}:[[Guerrier]]
pxpnjjohe3rwk4j3qyz4rcpxn4cbf3h
Guerrier
0
92650
263923
2026-05-11T03:14:19Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mtu anayepigana vitani au mwenye ushujaa wa kijeshi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]] *{{tafs|en}}:[[Warrior]]'
263923
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mtu anayepigana vitani au mwenye ushujaa wa kijeshi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Mpiganaji]]
*{{tafs|en}}:[[Warrior]]
gfyoa2kerdru2g8e6fqs6ywv6kezmv9
Oaxaca
0
92651
263924
2026-05-11T03:15:07Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|es}}== ===Nomino=== #Jimbo lililoko kusini mwa Meksiko linalojulikana kwa utajiri wa tamaduni za kiasili na kihistoria. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Oaxaca]] *{{tafs|en}}:[[Oaxaca]] *{{tafs|fr}}:[[Oaxaca]]'
263924
wikitext
text/x-wiki
=={{--|es}}==
===Nomino===
#Jimbo lililoko kusini mwa Meksiko linalojulikana kwa utajiri wa tamaduni za kiasili na kihistoria.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Oaxaca]]
*{{tafs|en}}:[[Oaxaca]]
*{{tafs|fr}}:[[Oaxaca]]
ly5myk0231sgf22d0ater93qofk7m3a
amygdalate
0
92652
263925
2026-05-11T03:17:06Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== #Kitu chenye asili ya lozi au kilichoundwa kwa mfano wa lozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[enye]] [[lozi]] *{{tafs|fr}}:[[amygdalin]]'
263925
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
#Kitu chenye asili ya lozi au kilichoundwa kwa mfano wa lozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[enye]] [[lozi]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdalin]]
ajgsu152jk2upbvpqdr4uvre6lk7f8z
amygdalin
0
92653
263926
2026-05-11T03:18:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchanganyiko wa kikemikali unaopatikana kwa wingi kwenye mbegu za matunda kama lozi chungu na michele. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amigdalini]] *{{tafs|fr}}:[[amygdaline]]'
263926
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchanganyiko wa kikemikali unaopatikana kwa wingi kwenye mbegu za matunda kama lozi chungu na michele.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigdalini]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdaline]]
lba8be3q611vpmun6aacgjk0wlo2dz7
263927
263926
2026-05-11T03:18:59Z
Bycashtz
4746
263927
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mchanganyiko wa kikemikali wa asili unaopatikana ndani ya mbegu za lozi na matunda mengine.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigdalini]]
*{{tafs|en}}:[[amygdalin]]
68wn8wadj4pxsh3lxeitmou0ox2clz0
amygdaloid
0
92654
263928
2026-05-11T03:19:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== #Kitu chenye umbo linalofanana na lozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amigdaloidi]] *{{tafs|fr}}:[[amygdaloïde]]'
263928
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
#Kitu chenye umbo linalofanana na lozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigdaloidi]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdaloïde]]
akbgxm989qcav0abwlpwe0ck6vj9f06
amigdaloidi
0
92655
263929
2026-05-11T03:20:12Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Kitu chenye umbo linalofanana na tunda la lozi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amygdaloid]] *{{tafs|fr}}:[[amygdaloïde]]'
263929
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Kitu chenye umbo linalofanana na tunda la lozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amygdaloid]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdaloïde]]
e6c8vp011cb0mfhqqqwibmnl3ytr6vd
amygdaloïde
0
92656
263930
2026-05-11T03:20:50Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Kitu chenye umbo linalofanana na tunda la lozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amigdaloidi]] *{{tafs|en}}:[[amygdaloid]]'
263930
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Kitu chenye umbo linalofanana na tunda la lozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigdaloidi]]
*{{tafs|en}}:[[amygdaloid]]
q78p28lf34gjxweop2rliuftfg744cd
amyl acetate
0
92657
263931
2026-05-11T03:21:29Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchanganyiko wa kikemikali wenye harufu inayofanana na tunda la ndizi ambao hutumika kama kionjo au kiyeyushaji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amili]] [[aseteti]] *{{tafs|fr}}:[[acétate d'amyle]]'
263931
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchanganyiko wa kikemikali wenye harufu inayofanana na tunda la ndizi ambao hutumika kama kionjo au kiyeyushaji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amili]] [[aseteti]]
*{{tafs|fr}}:[[acétate d'amyle]]
4t6kpgs8x97cew9daom8si23h6pzfir
aseteti
0
92658
263932
2026-05-11T03:22:13Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Chumvi au esta inayotokana na asidi [[asetiki]], inayotumika sana katika viwanda vya nguo na plastiki. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[acetate]] *{{tafs|fr}}:[[acétate]]'
263932
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Chumvi au esta inayotokana na asidi [[asetiki]], inayotumika sana katika viwanda vya nguo na plastiki.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[acetate]]
*{{tafs|fr}}:[[acétate]]
9hwrxrxoqi6koyl5r8b4zyt2p6w5sw6
acétate d'amyle
0
92659
263933
2026-05-11T03:24:05Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye harufu nzuri ya matunda kinachotumika kuongeza ladha kwenye vyakula au kuyeyusha vitu vingine. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amili]] [[aseteti]] *{{tafs|en}}:[[amyl acetate]]'
263933
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye harufu nzuri ya matunda kinachotumika kuongeza ladha kwenye vyakula au kuyeyusha vitu vingine.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amili]] [[aseteti]]
*{{tafs|en}}:[[amyl acetate]]
a33fiv2zqz1ajzk1064kqlenkn69zbo
amylinomimetic
0
92660
263934
2026-05-11T03:24:42Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa inayofanya kazi sawa na homoni ya mwilini inayosaidia kurekebisha kiasi cha sukari kwenye damu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilinomimetiki]] *{{tafs|fr}}:[[amylinomimétique]]'
263934
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa inayofanya kazi sawa na homoni ya mwilini inayosaidia kurekebisha kiasi cha sukari kwenye damu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilinomimetiki]]
*{{tafs|fr}}:[[amylinomimétique]]
i03i7p7gy4r1a1b78x9bzpg40hv7epr
amilinomimetiki
0
92661
263935
2026-05-11T03:25:24Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya dawa inayosaidia mwili kudhibiti sukari kwa kuiga utendaji wa homoni asili ya [[amilini]]. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylinomimetic]] *{{tafs|fr}}:[[amylinomimétique]]'
263935
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya dawa inayosaidia mwili kudhibiti sukari kwa kuiga utendaji wa homoni asili ya [[amilini]].
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylinomimetic]]
*{{tafs|fr}}:[[amylinomimétique]]
qq1f9hzabffb0v4s38rib1qzwqwx1v6
amylinomimétique
0
92662
263936
2026-05-11T03:25:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Dawa inayosaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini kwa kufanya kazi kama homoni ya asili. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilinomimetiki]] *{{tafs|en}}:[[amylinomimetic]]'
263936
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Dawa inayosaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini kwa kufanya kazi kama homoni ya asili.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilinomimetiki]]
*{{tafs|en}}:[[amylinomimetic]]
kfwlw7ktvdr2y5ixz0clu2u9hhsp7ou
amyloblast
0
92663
263937
2026-05-11T03:26:36Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Seli inayohusika na kutengeneza au kuhifadhi chembechembe za wanga ndani ya mimea. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloblasti]] *{{tafs|fr}}:[[amyloblaste]]'
263937
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Seli inayohusika na kutengeneza au kuhifadhi chembechembe za wanga ndani ya mimea.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloblasti]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloblaste]]
ot0sj77tidd5gd8j414b8r2mwk48mwq
amiloblasti
0
92664
263938
2026-05-11T03:27:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Seli ndogo inayopatikana kwenye mimea ambayo kazi yake ni kutengeneza au kuweka akiba ya wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloblast]] *{{tafs|fr}}:[[amyloblaste]]'
263938
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Seli ndogo inayopatikana kwenye mimea ambayo kazi yake ni kutengeneza au kuweka akiba ya wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloblast]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloblaste]]
scaky1ujt5x0lipw6cxfe11b3g8zb56
amyloblaste
0
92665
263939
2026-05-11T03:27:45Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Seli ya mmea inayohusika na kutengeneza au kuhifadhi chembe za wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloblasti]] *{{tafs|en}}:[[amyloblast]]'
263939
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Seli ya mmea inayohusika na kutengeneza au kuhifadhi chembe za wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloblasti]]
*{{tafs|en}}:[[amyloblast]]
8buiooguziholnth6z5tj8arzsljls8
amylogram
0
92666
263940
2026-05-11T03:28:23Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Chati au kipimo kinachoonyesha jinsi unga unavyobadilika kuwa mzito unapopashwa moto kwenye maji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilogramu]] *{{tafs|fr}}:[[amylogramme]]'
263940
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Chati au kipimo kinachoonyesha jinsi unga unavyobadilika kuwa mzito unapopashwa moto kwenye maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilogramu]]
*{{tafs|fr}}:[[amylogramme]]
hteo6divkjuwbzdyor3k1bdu1jlz0do
amilogramu
0
92667
263941
2026-05-11T03:28:56Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Chati inayopatikana baada ya kupima uwezo wa unga kuwa mzito wakati unachemshwa. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylogram]] *{{tafs|fr}}:[[amylogramme]]'
263941
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Chati inayopatikana baada ya kupima uwezo wa unga kuwa mzito wakati unachemshwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylogram]]
*{{tafs|fr}}:[[amylogramme]]
48o5z419451331cwwk32duino254hjk
amylogramme
0
92668
263942
2026-05-11T03:29:36Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Chati inayotumika kuonyesha mabadiliko ya unga unavyokuwa mzito unapopikwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilogramu]] *{{tafs|en}}:[[amylogram]]'
263942
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Chati inayotumika kuonyesha mabadiliko ya unga unavyokuwa mzito unapopikwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilogramu]]
*{{tafs|en}}:[[amylogram]]
2fhjs6hxackslppglnp49cqwfhohzkq
amyloidity
0
92669
263943
2026-05-11T03:30:50Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kitu kuwa na asili ya wanga au kufanya kazi kama wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[hali]] [[ya]] [[kuwa]] [[na]] [[wanga]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdie]]'
263943
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kitu kuwa na asili ya wanga au kufanya kazi kama wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[hali]] [[ya]] [[kuwa]] [[na]] [[wanga]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdie]]
m4wtnecna8tmyhg56yv4brh62cipk9h
amyloïdie
0
92670
263944
2026-05-11T03:31:37Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya tishu au seli za kibaolojia kuwa na asili ya wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[hali]] [[ya]] [[kuwa]] [[na]] [[wanga]] *{{tafs|en}}:[[amyloidity]]'
263944
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya tishu au seli za kibaolojia kuwa na asili ya wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[hali]] [[ya]] [[kuwa]] [[na]] [[wanga]]
*{{tafs|en}}:[[amyloidity]]
gowkc7qeo935yo5krz156sr0207bdno
amylolysis
0
92671
263945
2026-05-11T03:32:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kibaolojia wa kumeng'enya au kuvunja wanga kuwa sukari rahisi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolisisi]] *{{tafs|fr}}:[[amylolyse]]'
263945
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kibaolojia wa kumeng'enya au kuvunja wanga kuwa sukari rahisi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolisisi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolyse]]
oti53n921xq1srb7dj2rvfuc1pev0a9
amilolisisi
0
92672
263946
2026-05-11T03:32:49Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kibaolojia ambapo wanga huvunjwa na kubadilishwa kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylolysis]] *{{tafs|fr}}:[[amylolyse]]'
263946
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kibaolojia ambapo wanga huvunjwa na kubadilishwa kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylolysis]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolyse]]
c6ovohxv5h9qi5gkg2ee7rn92by3051
amylolyse
0
92673
263947
2026-05-11T03:33:23Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali wa kuvunja wanga ili uweze kugeuka kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolisisi]] *{{tafs|en}}:[[amylolysis]]'
263947
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali wa kuvunja wanga ili uweze kugeuka kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolisisi]]
*{{tafs|en}}:[[amylolysis]]
16sey10bc1415mvsoj7wmj7zffs00lu
amylopectinosis
0
92674
263948
2026-05-11T03:34:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Ugonjwa adimu wa kurithi ambapo mwili unashindwa kuvunja wanga na kusababisha akiba ya sukari isiyo ya kawaida kujijenga kwenye [[ogani]] kama ini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilopektinosisi]] *{{tafs|fr}}:[[amylopectinose]]'
263948
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Ugonjwa adimu wa kurithi ambapo mwili unashindwa kuvunja wanga na kusababisha akiba ya sukari isiyo ya kawaida kujijenga kwenye [[ogani]] kama ini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilopektinosisi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylopectinose]]
3pxspnyxn62exdo7rwwc5ti8jfcq4hz
amilopektinosisi
0
92675
263949
2026-05-11T03:34:53Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Ugonjwa wa kurithi unaosababisha mwili kushindwa kuchakata sukari kwa usahihi na kusababisha madhara kwenye ini na misuli. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylopectinosis]] *{{tafs|fr}}:[[amylopectinose]]'
263949
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Ugonjwa wa kurithi unaosababisha mwili kushindwa kuchakata sukari kwa usahihi na kusababisha madhara kwenye ini na misuli.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylopectinosis]]
*{{tafs|fr}}:[[amylopectinose]]
9l98w5wfguyffjmni0cm2xtrechbtws
amylopectinose
0
92676
263950
2026-05-11T03:35:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Ugonjwa adimu unaotokana na matatizo ya mwili kushindwa kuvunja aina fulani ya wanga na kusababisha mkusanyiko wa sukari kwenye ini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilopektinosisi]] *{{tafs|en}}:[[amylopectinosis]]'
263950
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Ugonjwa adimu unaotokana na matatizo ya mwili kushindwa kuvunja aina fulani ya wanga na kusababisha mkusanyiko wa sukari kwenye ini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilopektinosisi]]
*{{tafs|en}}:[[amylopectinosis]]
ntc19mdc23x63oag6t0asjmn80uzxgy
amylosphere
0
92677
263951
2026-05-11T03:38:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Chembe ndogo sana za protini zinazopatikana kwenye ubongo ambazo zinahusishwa na matatizo ya kupoteza kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosfia]] *{{tafs|fr}}:[[amylosphère]]'
263951
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Chembe ndogo sana za protini zinazopatikana kwenye ubongo ambazo zinahusishwa na matatizo ya kupoteza kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosfia]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosphère]]
0jhjyql3q58nbp3n8a8ymgtqmtqtujz
amilosfia
0
92678
263952
2026-05-11T03:39:08Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Chembe ndogo za protini mwilini zinazoweza kuathiri seli za ubongo na kusababisha matatizo ya kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylosphere]] *{{tafs|fr}}:[[amylosphère]]'
263952
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Chembe ndogo za protini mwilini zinazoweza kuathiri seli za ubongo na kusababisha matatizo ya kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylosphere]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosphère]]
0vf80eaffgtajuv6hnubbd26t701fq8
amylosphère
0
92679
263953
2026-05-11T03:39:43Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Chembe ndogo sana za protini zinazoweza kusababisha madhara kwenye seli za ubongo na kuathiri kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosfia]] *{{tafs|en}}:[[amylosphere]]'
263953
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Chembe ndogo sana za protini zinazoweza kusababisha madhara kwenye seli za ubongo na kuathiri kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosfia]]
*{{tafs|en}}:[[amylosphere]]
07xrjjyjvl2zxz48niv1m98z1x1zhqq
amyluria
0
92680
263954
2026-05-11T03:41:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kuwa na chembechembe za wanga ndani ya mkojo, mara nyingi ikionyesha tatizo la mfumo wa mmeng'enyo au figo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiluria]] *{{tafs|fr}}:[[amylurie]]'
263954
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kuwa na chembechembe za wanga ndani ya mkojo, mara nyingi ikionyesha tatizo la mfumo wa mmeng'enyo au figo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiluria]]
*{{tafs|fr}}:[[amylurie]]
g22ibhqhilrhn2sba1fgwlujwgdhbsf
amiluria
0
92681
263955
2026-05-11T03:42:09Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kuwapo kwa chembechembe za wanga katika mkojo, jambo linaloweza kuashiria hitilafu fulani mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyluria]] *{{tafs|fr}}:[[amylurie]]'
263955
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kuwapo kwa chembechembe za wanga katika mkojo, jambo linaloweza kuashiria hitilafu fulani mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyluria]]
*{{tafs|fr}}:[[amylurie]]
9snj8ph9cchqgrsptgz83qttg2flsye
amylurie
0
92682
263956
2026-05-11T03:42:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kuwapo kwa chembechembe za wanga ndani ya mkojo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiluria]] *{{tafs|en}}:[[amyluria]]'
263956
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kuwapo kwa chembechembe za wanga ndani ya mkojo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiluria]]
*{{tafs|en}}:[[amyluria]]
h2hemhencuywnbav7tgi6k8t2ituuoq
amyss
0
92683
263957
2026-05-11T03:43:37Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Neno la zamani linalorejelea shimo kubwa sana, lisilo na mwisho, au hali ya kutokuwapo kwa kitu chochote. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[shimo]] [[lisilo]] [[na]] [[mwisho]] *{{tafs|fr}}:[[abîme]]'
263957
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Neno la zamani linalorejelea shimo kubwa sana, lisilo na mwisho, au hali ya kutokuwapo kwa kitu chochote.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[shimo]] [[lisilo]] [[na]] [[mwisho]]
*{{tafs|fr}}:[[abîme]]
8u4tdwy4940djo0da61xvdwbtk3uua2
Anaang
0
92684
263958
2026-05-11T03:46:06Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Jina la jamii ya watu au lugha inayopatikana katika maeneo ya kaskazini mwa nchi ya India. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Waanaang]] *{{tafs|en}}:[[Anaang]]'
263958
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Jina la jamii ya watu au lugha inayopatikana katika maeneo ya kaskazini mwa nchi ya India.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Waanaang]]
*{{tafs|en}}:[[Anaang]]
lf94si3qz4fiyqn7z6kxarx3m08ctqb
Waanaang
0
92685
263959
2026-05-11T03:46:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kundi la watu au jamii inayopatikana katika nchi ya India. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Anaang]] *{{tafs|fr}}:[[Anaang]]'
263959
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kundi la watu au jamii inayopatikana katika nchi ya India.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Anaang]]
*{{tafs|fr}}:[[Anaang]]
aviwq5xwb9y9zum99zbobahqi6egd6h
Anabaptist
0
92686
263960
2026-05-11T03:47:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mtu anayeamini kuwa ubatizo unapaswa kutolewa kwa watu wazima tu wenye uwezo wa kuungama imani yao, na si watoto wachanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Anabaptisti]] *{{tafs|fr}}:[[Anabaptiste]]'
263960
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mtu anayeamini kuwa ubatizo unapaswa kutolewa kwa watu wazima tu wenye uwezo wa kuungama imani yao, na si watoto wachanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Anabaptisti]]
*{{tafs|fr}}:[[Anabaptiste]]
51ps28mwxphmvglc0g8anllq13e7f2f
Anabaptisti
0
92687
263961
2026-05-11T03:48:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Muumini wa Kikristo anayeamini kuwa mtu anapaswa kubatizwa akiwa mtu mzima mwenye uamuzi wake mwenyewe badala ya kubatizwa akiwa mchanga. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Anabaptist]] *{{tafs|fr}}:[[Anabaptiste]]'
263961
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Muumini wa Kikristo anayeamini kuwa mtu anapaswa kubatizwa akiwa mtu mzima mwenye uamuzi wake mwenyewe badala ya kubatizwa akiwa mchanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Anabaptist]]
*{{tafs|fr}}:[[Anabaptiste]]
rf8dgb27cw2c8lkyrg52i29xsor71b0
Anabaptiste
0
92688
263962
2026-05-11T03:48:42Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mtu anayefuata imani ya Kikristo inayosisitiza ubatizo wa watu wazima badala ya watoto wadogo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Anabaptisti]] *{{tafs|en}}:[[Anabaptist]]'
263962
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mtu anayefuata imani ya Kikristo inayosisitiza ubatizo wa watu wazima badala ya watoto wadogo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Anabaptisti]]
*{{tafs|en}}:[[Anabaptist]]
7iw8j3n20gv1r1ztd2y450b40tkvfsy
anabathrid
0
92689
263963
2026-05-11T03:50:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya konokono wadogo sana wanaopatikana baharini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[konokono]] [[wa]] [[baharini]] *{{tafs|fr}}:[[anabathride]]'
263963
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya konokono wadogo sana wanaopatikana baharini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[konokono]] [[wa]] [[baharini]]
*{{tafs|fr}}:[[anabathride]]
epl7bosy2qjtpnzh5oj2qammadce26j
anabathride
0
92690
263964
2026-05-11T03:50:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Aina ya konokono mdogo sana wa baharini anayepatikana kwenye maji ya chumvi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[konokono]] [[wa]] [[baharini]] *{{tafs|en}}:[[anabathrid]]'
263964
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Aina ya konokono mdogo sana wa baharini anayepatikana kwenye maji ya chumvi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[konokono]] [[wa]] [[baharini]]
*{{tafs|en}}:[[anabathrid]]
t50gl26i8rgqwfp110q29ra23dhdxgc
anabiong
0
92691
263965
2026-05-11T03:51:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kundi la watu au jamii ya kiasili inayopatikana katika nchi ya India, hasa katika maeneo ya kaskazini-mashariki. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Waanabiongi]] *{{tafs|fr}}:[[Anabiong]]'
263965
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kundi la watu au jamii ya kiasili inayopatikana katika nchi ya India, hasa katika maeneo ya kaskazini-mashariki.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Waanabiongi]]
*{{tafs|fr}}:[[Anabiong]]
6okyj7xfbo43bjozls2fxq21d1td2ul
Waanabiongi
0
92692
263966
2026-05-11T03:52:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kundi la watu au jamii inayopatikana katika nchi ya India. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Anabiong]] *{{tafs|fr}}:[[Anabiong]]'
263966
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kundi la watu au jamii inayopatikana katika nchi ya India.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Anabiong]]
*{{tafs|fr}}:[[Anabiong]]
31rca2urowr04a2geq4r1jr64s3xl29
263967
263966
2026-05-11T03:52:45Z
Bycashtz
4746
263967
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kundi la watu au jamii inayopatikana katika nchi ya India.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabiong]]
*{{tafs|fr}}:[[Anabiong]]
8lnrg5nkn2fzz8ysw5o3tg2fx3maqqv
Anabiong
0
92693
263968
2026-05-11T03:53:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Jina la jamii ya watu au lugha inayopatikana katika maeneo ya kaskazini mwa nchi ya India. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Waanabiongi]] *{{tafs|en}}:[[anabiong]]'
263968
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Jina la jamii ya watu au lugha inayopatikana katika maeneo ya kaskazini mwa nchi ya India.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Waanabiongi]]
*{{tafs|en}}:[[anabiong]]
qe8xgcn055qvvdnninzrzwvmfvddnte
anabolic window
0
92694
263969
2026-05-11T03:54:39Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Muda mfupi baada ya kufanya mazoezi ambapo mwili unaaminika kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia virutubisho kujenga na kuimarisha misuli. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[muda]] [[wa]] [[kujenga]] [[misuli]] *{{tafs|fr}}:[[fenêtre anabolique]]'
263969
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Muda mfupi baada ya kufanya mazoezi ambapo mwili unaaminika kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia virutubisho kujenga na kuimarisha misuli.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[muda]] [[wa]] [[kujenga]] [[misuli]]
*{{tafs|fr}}:[[fenêtre anabolique]]
7dn3eg6e3cu3767b13r8eihnzsqgln7
fenêtre anabolique
0
92695
263970
2026-05-11T03:55:55Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kipindi cha muda baada ya mazoezi ambapo mwili hufanya kazi kwa haraka kutengeneza misuli kwa kutumia chakula unachokula. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[muda]] [[wa]] [[kujenga]] [[misuli]] *{{tafs|en}}:[[anabolic window]]'
263970
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kipindi cha muda baada ya mazoezi ambapo mwili hufanya kazi kwa haraka kutengeneza misuli kwa kutumia chakula unachokula.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[muda]] [[wa]] [[kujenga]] [[misuli]]
*{{tafs|en}}:[[anabolic window]]
mqipbe8qxhte46cr1ce5qk0ctgfd7ye
anacardate
0
92696
263971
2026-05-11T03:57:44Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Chumvi au kemikali inayopatikana kwenye mafuta ya ganda la korosho. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakardeti]] *{{tafs|fr}}:[[anacardate]]'
263971
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Chumvi au kemikali inayopatikana kwenye mafuta ya ganda la korosho.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakardeti]]
*{{tafs|fr}}:[[anacardate]]
kyd1j5rv06a707lhk08b81fcd6bmycm
anakardeti
0
92697
263972
2026-05-11T03:58:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya kemikali inayotokana na asidi inayopatikana kwenye maganda ya korosho. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anacardate]] *{{tafs|fr}}:[[anacardate]]'
263972
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya kemikali inayotokana na asidi inayopatikana kwenye maganda ya korosho.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anacardate]]
*{{tafs|fr}}:[[anacardate]]
qhqthgtado2822gsw4n1z6nqgjzpq79
kasa wa jangwani
0
92698
263973
2026-05-11T04:20:18Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263973
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kasa wa nchi kavu anayeishi katika maeneo ya jangwa yenye joto kali na ukame.
===Mfano===
*Kasa wa jangwani hujificha shimoni wakati wa joto kali la mchana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|desert tortoise}}
1owwth5mfuahahrq449laaegipt01ml
Wiktionary:Wiki for Refugees
4
92699
263974
2026-05-11T04:25:01Z
Muddyb
60
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Portal navigation | portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div> | headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em; | wrc = no | themecolor = #00b3ff | icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]] | tab1 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees|Maskani]] | icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]] | tab2 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]...'
263974
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
'''Wiki for Refugees''' ni kampeni na mradi unaokusudia kukusanya, kutafsiri, na kuhifadhi istilahi pamoja na maudhui yanayohusu wakimbizi na watu waliokimbia makazi yao kwa ajili ya majukwaa ya [[Wikipedia]] na [[Wiktionary]]. Kwa kupitia mradi huu, tunalenga kuongeza upatikanaji wa taarifa sahihi za kisheria, kijamii, na kibinadamu kwa lugha ya Kiswahili. Lengo kuu ni kusaidia jamii, wadau wa maendeleo, na wakimbizi wenyewe kupata maarifa yatakayosaidia katika ulinzi wa haki zao, ujumuishaji katika jamii, na kuhifadhi historia za safari zao kama sehemu ya urithi wa binadamu duniani.
hbx65ydysnw90zt47d6egfd27c6ejzu
263976
263974
2026-05-11T04:29:51Z
Muddyb
60
263976
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wikipedia:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
'''Wiki for Refugees''' ni kampeni na mradi unaokusudia kukusanya, kutafsiri, na kuhifadhi istilahi pamoja na maudhui yanayohusu wakimbizi na watu waliokimbia makazi yao kwa ajili ya majukwaa ya [[Wikipedia]] na [[Wiktionary]]. Kwa kupitia mradi huu, tunalenga kuongeza upatikanaji wa taarifa sahihi za kisheria, kijamii, na kibinadamu kwa lugha ya Kiswahili. Lengo kuu ni kusaidia jamii, wadau wa maendeleo, na wakimbizi wenyewe kupata maarifa yatakayosaidia katika ulinzi wa haki zao, ujumuishaji katika jamii, na kuhifadhi historia za safari zao kama sehemu ya urithi wa binadamu duniani.
==Ratiba==
[[Jamii:Miradi ya Wikamusi]]
q100086b1dbx1qe3p40yetdbe1ulf09
263977
263976
2026-05-11T04:31:19Z
Muddyb
60
263977
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wiktionarya:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
'''Wiki for Refugees''' ni kampeni na mradi unaokusudia kukusanya, kutafsiri, na kuhifadhi istilahi pamoja na maudhui yanayohusu wakimbizi na watu waliokimbia makazi yao kwa ajili ya majukwaa ya [[Wikipedia]] na [[Wiktionary]]. Kwa kupitia mradi huu, tunalenga kuongeza upatikanaji wa taarifa sahihi za kisheria, kijamii, na kibinadamu kwa lugha ya Kiswahili. Lengo kuu ni kusaidia jamii, wadau wa maendeleo, na wakimbizi wenyewe kupata maarifa yatakayosaidia katika ulinzi wa haki zao, ujumuishaji katika jamii, na kuhifadhi historia za safari zao kama sehemu ya urithi wa binadamu duniani.
==Ratiba==
[[Jamii:Miradi ya Wikamusi]]
7ompduz3s0dyf6f96pp4oay3pemxhn5
263978
263977
2026-05-11T04:31:56Z
Muddyb
60
263978
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
'''Wiki for Refugees''' ni kampeni na mradi unaokusudia kukusanya, kutafsiri, na kuhifadhi istilahi pamoja na maudhui yanayohusu wakimbizi na watu waliokimbia makazi yao kwa ajili ya majukwaa ya [[Wikipedia]] na [[Wiktionary]]. Kwa kupitia mradi huu, tunalenga kuongeza upatikanaji wa taarifa sahihi za kisheria, kijamii, na kibinadamu kwa lugha ya Kiswahili. Lengo kuu ni kusaidia jamii, wadau wa maendeleo, na wakimbizi wenyewe kupata maarifa yatakayosaidia katika ulinzi wa haki zao, ujumuishaji katika jamii, na kuhifadhi historia za safari zao kama sehemu ya urithi wa binadamu duniani.
==Ratiba==
[[Jamii:Miradi ya Wikamusi]]
7m5emagphbi32t6mjda0qtz7yp8h8c5
kasa mwenye miiba
0
92700
263975
2026-05-11T04:26:18Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263975
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kasa mkubwa wa nchi kavu mwenye miiba karibu na miguu yake ya nyuma.
===Mfano===
*kasa mwenye miiba alikuwa karibu na kichaka.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|spurred tortoise}}
llatmjv3475hvxal3ftpbfr2k36m2gw
Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi
4
92701
263979
2026-05-11T04:32:19Z
Muddyb
60
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{| class="wikitable sortable" |+ Orodha ya Istilahi za Ukimbizi na Uhamiaji |- ! Na. !! Kiingereza !! Kiswahili !! Maelezo |- | 1 || [[refugee]] || [[mkimbizi]] || mtu aliyelazimika kutoroka nchi yake kwa hofu ya kuteswa au vita. |- | 2 || [[asylum seeker]] || [[muomba hifadhi]] || mtu anayesubiri uamuzi wa kisheria kuhusu hali yake ya ukimbizi. |- | 3 || [[internally displaced person]] || [[mtu aliyekimbia makazi ndani ya nchi]] || mtu aliyepoteza makazi...'
263979
wikitext
text/x-wiki
{| class="wikitable sortable"
|+ Orodha ya Istilahi za Ukimbizi na Uhamiaji
|-
! Na. !! Kiingereza !! Kiswahili !! Maelezo
|-
| 1 || [[refugee]] || [[mkimbizi]] || mtu aliyelazimika kutoroka nchi yake kwa hofu ya kuteswa au vita.
|-
| 2 || [[asylum seeker]] || [[muomba hifadhi]] || mtu anayesubiri uamuzi wa kisheria kuhusu hali yake ya ukimbizi.
|-
| 3 || [[internally displaced person]] || [[mtu aliyekimbia makazi ndani ya nchi]] || mtu aliyepoteza makazi lakini hajafika mpaka wa kimataifa.
|-
| 4 || [[stateless person]] || [[mtu asiye na utaifa]] || mtu ambaye hakuna nchi inayomtambua kama raia wake.
|-
| 5 || [[asylum]] || [[hifadhi]] || ulinzi wa kisheria unaotolewa na nchi kwa wageni.
|-
| 6 || [[repatriation]] || [[kurejea nyumbani]] || mchakato wa kurudi nchi ya asili baada ya hali kuwa shwari.
|-
| 7 || [[resettlement]] || [[makazi mapya]] || mchakato wa kupelekwa nchi ya tatu kwa makazi ya kudumu.
|-
| 8 || [[non-refoulement]] || [[kutomrudisha mkimbizi]] || kanuni ya kimataifa inayozuia kumrudisha mtu kwenye hatari.
|-
| 9 || [[integration]] || [[ujumuishaji]] || mchakato wa mkimbizi kuingiliana na jamii inayomuhifadhi.
|-
| 10 || [[persecution]] || [[mateso]] || uonevu wa kimfumo dhidi ya mtu au kikundi fulani.
|-
| 11 || [[humanitarian aid]] || [[misaada ya kibinadamu]] || huduma za dharura kama chakula na dawa kwa wahitaji.
|-
| 12 || [[refugee camp]] || [[kambi ya wakimbizi]] || makazi ya muda yaliyotengwa kwa ajili ya watu waliokimbia vita.
|-
| 13 || [[transit]] || [[mapito]] || hali ya kupita katika nchi fulani kuelekea kwingine.
|-
| 14 || [[border control]] || [[udhibiti wa mpaka]] || hatua za usalama zinazochukuliwa mipakani mwa nchi.
|-
| 15 || [[deportation]] || [[uhamisho wa lazima]] || kitendo cha serikali kumtoa mgeni nchini kwa nguvu.
|-
| 16 || [[naturalization]] || [[uraia wa kuomba]] || mchakato wa mkimbizi kupata uraia wa nchi aliyokimbilia.
|-
| 17 || [[protection]] || [[ulinzi]] || hatua za kuhakikisha usalama wa haki za binadamu.
|-
| 18 || [[migration]] || [[uhamiaji]] || kitendo cha watu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
|-
| 19 || [[human rights]] || [[haki za binadamu]] || haki za msingi anazostahili kila mtu bila ubaguzi.
|-
| 20 || [[unhcr]] || [[shirika la umoja wa mataifa la wakimbizi]] || chombo kikuu cha kimataifa kinacholinda wakimbizi.
|-
| 21 || [[conflict]] || [[migogoro]] || hali ya kutofautiana inayopelekea vurugu au vita.
|-
| 22 || [[perpetrator]] || [[mtendaji wa ukatili]] || mtu anayehusika na kusababisha mateso au uhalifu.
|-
| 23 || [[survivor]] || [[mnusurika]] || mtu aliyefanikiwa kupona baada ya tukio la hatari.
|-
| 24 || [[vulnerability]] || [[mazingira hatarishi]] || hali ya kuwa katika hatari ya kuumizwa au kunyanyaswa.
|-
| 25 || [[discrimination]] || [[ubaguzi]] || kumtendea mtu vibaya kwa sababu ya asili au imani yake.
|-
| 26 || [[xenophobia]] || [[hofu ya wageni]] || chuki au hofu dhidi ya watu kutoka nchi nyingine.
|-
| 27 || [[refugee status]] || [[hali ya ukimbizi]] || hadhi ya kisheria anayopewa mtu aliyekidhi vigezo.
|-
| 28 || [[visa]] || [[viza]] || idhini rasmi inayomruhusu mtu kuingia nchi fulani.
|-
| 29 || [[passport]] || [[pasi ya kusafiria]] || hati rasmi ya utambulisho kwa ajili ya kusafiri kimataifa.
|-
| 30 || [[family reunification]] || [[kuunganisha familia]] || mchakato wa kuleta pamoja wanafamilia waliotenganishwa.
|-
| 31 || [[host country]] || [[nchi inayohifadhi]] || nchi inayokubali kupokea na kutoa ulinzi kwa wakimbizi.
|-
| 32 || [[forced migration]] || [[uhamiaji wa kulazimishwa]] || kuhama kunakosababishwa na mambo yaliyo nje ya uwezo wa mtu.
|-
| 33 || [[economic migrant]] || [[mhamiaji wa kiuchumi]] || mtu anayehama kutafuta kazi au maisha bora, si kwa hofu ya kifo.
|-
| 34 || [[trafficking]] || [[biashara haramu ya binadamu]] || kusafirisha watu kwa nguvu au udanganyifu kwa ajili ya unyonyaji.
|-
| 35 || [[smuggling]] || [[magendo ya watu]] || kusaidia watu kuvuka mpaka kinyume cha sheria kwa malipo.
|-
| 36 || [[reception center]] || [[kituo cha mapokezi]] || mahali ambapo wakimbizi hufika kwanza na kusajiliwa.
|-
| 37 || [[durable solutions]] || [[suluhu za kudumu]] || mipango ya muda mrefu ya kumaliza hali ya ukimbizi.
|-
| 38 || [[voluntary return]] || [[kurudi kwa hiari]] || uamuzi wa mkimbizi mwenyewe kurejea nyumbani.
|-
| 39 || [[war crime]] || [[uhalifu wa kivita]] || ukiukaji mkubwa wa sheria za vita dhidi ya raia.
|-
| 40 || [[genocide]] || [[mauaji ya kimbari]] || mauaji ya makusudi ya kikundi kizima cha watu.
|-
| 41 || [[amnesty]] || [[msamaha]] || uamuzi wa serikali kutoshtaki watu fulani kwa makosa ya kisiasa.
|-
| 42 || [[citizenship]] || [[uraia]] || hali ya kuwa mwanachama kamili wa nchi fulani kisheria.
|-
| 43 || [[residence permit]] || [[kibali cha kuishi]] || hati inayomruhusu mgeni kukaa nchini kwa muda fulani.
|-
| 44 || [[work permit]] || [[kibali cha kazi]] || idhini ya kisheria inayomruhusu mgeni kuajiriwa.
|-
| 45 || [[uprooted]] || [[kung'olewa makazi]] || hali ya kuondolewa kwa nguvu kwenye mazingira yako ya asili.
|-
| 46 || [[displaced]] || [[wakimbizi wa ndani]] || watu waliopoteza makazi yao asilia.
|-
| 47 || [[marginalized]] || [[waliotengwa]] || vikundi vya watu wanaonyimwa fursa sawa katika jamii.
|-
| 48 || [[ethnic cleansing]] || [[usafishaji wa kikabila]] || jaribio la kuondoa kabila fulani katika eneo kwa nguvu.
|-
| 49 || [[political prisoner]] || [[mfungwa wa kisiasa]] || mtu aliyefungwa kwa sababu ya kupinga serikali au imani yake.
|-
| 50 || [[torture]] || [[utesaji]] || kusababisha maumivu makali kwa mtu kwa makusudi.
|-
| 51 || [[gender-based violence]] || [[ukatili wa kijinsia]] || ukatili unaolenga jinsia fulani, mara nyingi wanawake na wasichana.
|-
| 52 || [[unaccompanied minor]] || [[mtoto asiyeambatana]] || mtoto chini ya miaka 18 aliye peke yake bila mzazi au mlezi.
|-
| 53 || [[separated child]] || [[mtoto aliyetenganishwa]] || mtoto aliye mbali na wazazi wake lakini anaweza kuwa na ndugu wengine.
|-
| 54 || [[refugee law]] || [[sheria ya wakimbizi]] || seti ya sheria za kimataifa zinazolinda haki za wakimbizi.
|-
| 55 || [[conventions]] || [[mikataba ya kimataifa]] || makubaliano kati ya nchi mbalimbali kuhusu masuala fulani.
|-
| 56 || [[oau convention]] || [[mkataba wa umoja wa afrika]] || mkataba maalum wa bara la afrika kuhusu wakimbizi.
|-
| 57 || [[geneva convention]] || [[mkataba wa geneva]] || mkataba wa msingi wa mwaka 1951 kuhusu haki za wakimbizi.
|-
| 58 || [[mandate]] || [[mamlaka]] || kazi maalum ambayo shirika limepewa kuifanya.
|-
| 59 || [[self-reliance]] || [[kujitegemea]] || uwezo wa mkimbizi kukidhi mahitaji yake bila kutegemea misaada.
|-
| 60 || [[social cohesion]] || [[mshikamano wa kijamii]] || kuishi kwa amani kati ya wakimbizi na jamii inayowahifadhi.
|-
| 61 || [[well-founded fear]] || [[hofu yenye msingi]] || hofu inayothibitishwa kuwa na hatari halisi ya mateso.
|-
| 62 || [[screening]] || [[uchujaji]] || mchakato wa awali wa kuwatambua na kuwapanga watu wanaohitaji msaada.
|-
| 63 || [[registration]] || [[usajili]] || kuandikisha taarifa za mkimbizi kwenye kumbukumbu rasmi.
|-
| 64 || [[biometrics]] || [[biometria]] || utambulisho wa mtu kwa kutumia alama za vidole au macho.
|-
| 65 || [[identity card]] || [[kitambulisho]] || kadi inayothibitisha jina na asili ya mtu.
|-
| 66 || [[legal aid]] || [[msaada wa kisheria]] || huduma za wakili zinazotolewa kwa wasio na uwezo.
|-
| 67 || [[advocacy]] || [[utetezi]] || kusema au kutenda kwa ajili ya kutafuta haki za wengine.
|-
| 68 || [[awareness]] || [[ueleweshaji]] || kutoa taarifa ili jamii ielewe masuala ya ukimbizi.
|-
| 69 || [[donors]] || [[wafadhili]] || watu au nchi zinazotoa fedha kusaidia wakimbizi.
|-
| 70 || [[ngos]] || [[mashirika yasiyo ya kiserikali]] || taasisi zinazofanya kazi za kijamii bila kutafuta faida.
|-
| 71 || [[civil society]] || [[asasi za kiraia]] || vikundi vya wananchi vinavyojitegemea na serikali.
|-
| 72 || [[emergency]] || [[dharura]] || hali ya hatari inayohitaji hatua za haraka sana.
|-
| 73 || [[shelter]] || [[malazi]] || mahali salama pa kuishi, hata kama ni kwa muda.
|-
| 74 || [[sanitation]] || [[usafi wa mazingira]] || mifumo ya maji taka na usafi kuzuia magonjwa.
|-
| 75 || [[nutrition]] || [[lishe]] || upatikanaji wa chakula bora kwa ajili ya afya.
|-
| 76 || [[vaccination]] || [[chanjo]] || dawa ya kuzuia magonjwa ya kuambukiza kambini.
|-
| 77 || [[psychosocial support]] || [[msaada wa kisaikolojia]] || huduma za ushauri kwa walioathirika kiakili na kiwewe.
|-
| 78 || [[trauma]] || [[kiwewe]] || madhara ya kisaikolojia yanayotokana na matukio ya kutisha.
|-
| 79 || [[livelihood]] || [[riziki]] || njia anayotumia mtu kujipatia kipato au mahitaji ya msingi.
|-
| 80 || [[skills training]] || [[mafunzo ya ufundi]] || kuwapa wakimbizi ujuzi wa kazi ili wajitegemee.
|-
| 81 || [[education]] || [[elimu]] || haki ya watoto wakimbizi kupata masomo shuleni.
|-
| 82 || [[scholarship]] || [[fursa ya masomo]] || msaada wa kifedha kwa wanafunzi wakimbizi wenye vipaji.
|-
| 83 || [[inclusion]] || [[ushirikishwaji]] || kuhakikisha wakimbizi wanapata huduma za kitaifa kama raia.
|-
| 84 || [[global compact]] || [[mkataba wa kimataifa]] || makubaliano mapya ya dunia kuhusu ugavi wa majukumu ya wakimbizi.
|-
| 85 || [[burden sharing]] || [[ugavi wa majukumu]] || nchi tajiri kusaidia nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi.
|-
| 86 || [[climate refugee]] || [[mkimbizi wa tabianchi]] || mtu anayehama kwa sababu ya ukame, mafuriko au majanga ya asili.
|-
| 87 || [[environmental migration]] || [[uhamiaji wa mazingira]] || kuhama kunakosababishwa na uharibifu wa mazingira.
|-
| 88 || [[illegal entry]] || [[kuingia kinyume cha sheria]] || kuvuka mpaka bila kufuata taratibu za viza au pasi.
|-
| 89 || [[border post]] || [[kituo cha mpaka]] || ofisi rasmi ya kukagulia watu wanaoingia nchini.
|-
| 90 || [[detention]] || [[uzuiaji]] || kumweka mtu kizuizini kwa sababu za kisheria au kiusalama.
|-
| 91 || [[freedom of movement]] || [[uhuru wa kutembea]] || haki ya mkimbizi kusafiri ndani ya nchi inayomhifadhi.
|-
| 92 || [[right to work]] || [[haki ya kufanya kazi]] || uwezo wa kisheria wa mkimbizi kujiajiri au kuajiriwa.
|-
| 93 || [[social services]] || [[huduma za kijamii]] || huduma kama afya, maji, na elimu zinazotolewa na serikali.
|-
| 94 || [[equality]] || [[usawa]] || hali ya kuwatendea watu wote bila upendeleo.
|-
| 95 || [[justice]] || [[haki]] || mfumo wa kisheria unaohakikisha usawa na adhabu kwa wahalifu.
|-
| 96 || [[peacebuilding]] || [[ujenzi wa amani]] || jitihada za kuzuia migogoro isirudie ili wakimbizi warudi.
|-
| 97 || [[diplomacy]] || [[diplomasia]] || mazungumzo kati ya nchi kutatua matatizo ya wakimbizi.
|-
| 98 || [[borderline]] || [[mstari wa mpaka]] || alama inayotenganisha nchi mbili.
|-
| 99 || [[identity theft]] || [[wizi wa utambulisho]] || kutumia taarifa za mtu mwingine kinyume cha sheria.
|-
| 100 || [[unions]] || [[vyama]] || vikundi vya wakimbizi vinavyoungana kudai haki zao.
|-
| 101-250 || [[various terms]] || [[istilahi mbalimbali]] || *unaweza kuendeleza kwa kuingiza maneno madogo madogo ya kisheria na kijamii hapa...*
|}
1odseunhr71bkyuefp9qyx2rezb4nzy
263981
263979
2026-05-11T04:33:37Z
Muddyb
60
263981
wikitext
text/x-wiki
{| class="wikitable sortable"
|+ Orodha ya Istilahi za Ukimbizi na Uhamiaji
|-
! Na. !! Kiingereza !! Kiswahili !! Maelezo
|-
| 1 || [[refugee]] || [[mkimbizi]] || mtu aliyelazimika kutoroka nchi yake kwa hofu ya kuteswa au vita.
|-
| 2 || [[asylum seeker]] || [[muomba hifadhi]] || mtu anayesubiri uamuzi wa kisheria kuhusu hali yake ya ukimbizi.
|-
| 3 || [[internally displaced person]] || [[mtu aliyekimbia makazi ndani ya nchi]] || mtu aliyepoteza makazi lakini hajafika mpaka wa kimataifa.
|-
| 4 || [[stateless person]] || [[mtu asiye na utaifa]] || mtu ambaye hakuna nchi inayomtambua kama raia wake.
|-
| 5 || [[asylum]] || [[hifadhi]] || ulinzi wa kisheria unaotolewa na nchi kwa wageni.
|-
| 6 || [[repatriation]] || [[kurejea nyumbani]] || mchakato wa kurudi nchi ya asili baada ya hali kuwa shwari.
|-
| 7 || [[resettlement]] || [[makazi mapya]] || mchakato wa kupelekwa nchi ya tatu kwa makazi ya kudumu.
|-
| 8 || [[non-refoulement]] || [[kutomrudisha mkimbizi]] || kanuni ya kimataifa inayozuia kumrudisha mtu kwenye hatari.
|-
| 9 || [[integration]] || [[ujumuishaji]] || mchakato wa mkimbizi kuingiliana na jamii inayomuhifadhi.
|-
| 10 || [[persecution]] || [[mateso]] || uonevu wa kimfumo dhidi ya mtu au kikundi fulani.
|-
| 11 || [[humanitarian aid]] || [[misaada ya kibinadamu]] || huduma za dharura kama chakula na dawa kwa wahitaji.
|-
| 12 || [[refugee camp]] || [[kambi ya wakimbizi]] || makazi ya muda yaliyotengwa kwa ajili ya watu waliokimbia vita.
|-
| 13 || [[transit]] || [[mapito]] || hali ya kupita katika nchi fulani kuelekea kwingine.
|-
| 14 || [[border control]] || [[udhibiti wa mpaka]] || hatua za usalama zinazochukuliwa mipakani mwa nchi.
|-
| 15 || [[deportation]] || [[uhamisho wa lazima]] || kitendo cha serikali kumtoa mgeni nchini kwa nguvu.
|-
| 16 || [[naturalization]] || [[uraia wa kuomba]] || mchakato wa mkimbizi kupata uraia wa nchi aliyokimbilia.
|-
| 17 || [[protection]] || [[ulinzi]] || hatua za kuhakikisha usalama wa haki za binadamu.
|-
| 18 || [[migration]] || [[uhamiaji]] || kitendo cha watu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
|-
| 19 || [[human rights]] || [[haki za binadamu]] || haki za msingi anazostahili kila mtu bila ubaguzi.
|-
| 20 || [[unhcr]] || [[shirika la umoja wa mataifa la wakimbizi]] || chombo kikuu cha kimataifa kinacholinda wakimbizi.
|-
| 21 || [[conflict]] || [[migogoro]] || hali ya kutofautiana inayopelekea vurugu au vita.
|-
| 22 || [[perpetrator]] || [[mtendaji wa ukatili]] || mtu anayehusika na kusababisha mateso au uhalifu.
|-
| 23 || [[survivor]] || [[mnusurika]] || mtu aliyefanikiwa kupona baada ya tukio la hatari.
|-
| 24 || [[vulnerability]] || [[mazingira hatarishi]] || hali ya kuwa katika hatari ya kuumizwa au kunyanyaswa.
|-
| 25 || [[discrimination]] || [[ubaguzi]] || kumtendea mtu vibaya kwa sababu ya asili au imani yake.
|-
| 26 || [[xenophobia]] || [[hofu ya wageni]] || chuki au hofu dhidi ya watu kutoka nchi nyingine.
|-
| 27 || [[refugee status]] || [[hali ya ukimbizi]] || hadhi ya kisheria anayopewa mtu aliyekidhi vigezo.
|-
| 28 || [[visa]] || [[viza]] || idhini rasmi inayomruhusu mtu kuingia nchi fulani.
|-
| 29 || [[passport]] || [[pasi ya kusafiria]] || hati rasmi ya utambulisho kwa ajili ya kusafiri kimataifa.
|-
| 30 || [[family reunification]] || [[kuunganisha familia]] || mchakato wa kuleta pamoja wanafamilia waliotenganishwa.
|-
| 31 || [[host country]] || [[nchi inayohifadhi]] || nchi inayokubali kupokea na kutoa ulinzi kwa wakimbizi.
|-
| 32 || [[forced migration]] || [[uhamiaji wa kulazimishwa]] || kuhama kunakosababishwa na mambo yaliyo nje ya uwezo wa mtu.
|-
| 33 || [[economic migrant]] || [[mhamiaji wa kiuchumi]] || mtu anayehama kutafuta kazi au maisha bora, si kwa hofu ya kifo.
|-
| 34 || [[trafficking]] || [[biashara haramu ya binadamu]] || kusafirisha watu kwa nguvu au udanganyifu kwa ajili ya unyonyaji.
|-
| 35 || [[smuggling]] || [[magendo ya watu]] || kusaidia watu kuvuka mpaka kinyume cha sheria kwa malipo.
|-
| 36 || [[reception center]] || [[kituo cha mapokezi]] || mahali ambapo wakimbizi hufika kwanza na kusajiliwa.
|-
| 37 || [[durable solutions]] || [[suluhu za kudumu]] || mipango ya muda mrefu ya kumaliza hali ya ukimbizi.
|-
| 38 || [[voluntary return]] || [[kurudi kwa hiari]] || uamuzi wa mkimbizi mwenyewe kurejea nyumbani.
|-
| 39 || [[war crime]] || [[uhalifu wa kivita]] || ukiukaji mkubwa wa sheria za vita dhidi ya raia.
|-
| 40 || [[genocide]] || [[mauaji ya kimbari]] || mauaji ya makusudi ya kikundi kizima cha watu.
|-
| 41 || [[amnesty]] || [[msamaha]] || uamuzi wa serikali kutoshtaki watu fulani kwa makosa ya kisiasa.
|-
| 42 || [[citizenship]] || [[uraia]] || hali ya kuwa mwanachama kamili wa nchi fulani kisheria.
|-
| 43 || [[residence permit]] || [[kibali cha kuishi]] || hati inayomruhusu mgeni kukaa nchini kwa muda fulani.
|-
| 44 || [[work permit]] || [[kibali cha kazi]] || idhini ya kisheria inayomruhusu mgeni kuajiriwa.
|-
| 45 || [[uprooted]] || [[kung'olewa makazi]] || hali ya kuondolewa kwa nguvu kwenye mazingira yako ya asili.
|-
| 46 || [[displaced]] || [[wakimbizi wa ndani]] || watu waliopoteza makazi yao asilia.
|-
| 47 || [[marginalized]] || [[waliotengwa]] || vikundi vya watu wanaonyimwa fursa sawa katika jamii.
|-
| 48 || [[ethnic cleansing]] || [[usafishaji wa kikabila]] || jaribio la kuondoa kabila fulani katika eneo kwa nguvu.
|-
| 49 || [[political prisoner]] || [[mfungwa wa kisiasa]] || mtu aliyefungwa kwa sababu ya kupinga serikali au imani yake.
|-
| 50 || [[torture]] || [[utesaji]] || kusababisha maumivu makali kwa mtu kwa makusudi.
|-
| 51 || [[gender-based violence]] || [[ukatili wa kijinsia]] || ukatili unaolenga jinsia fulani, mara nyingi wanawake na wasichana.
|-
| 52 || [[unaccompanied minor]] || [[mtoto asiyeambatana]] || mtoto chini ya miaka 18 aliye peke yake bila mzazi au mlezi.
|-
| 53 || [[separated child]] || [[mtoto aliyetenganishwa]] || mtoto aliye mbali na wazazi wake lakini anaweza kuwa na ndugu wengine.
|-
| 54 || [[refugee law]] || [[sheria ya wakimbizi]] || seti ya sheria za kimataifa zinazolinda haki za wakimbizi.
|-
| 55 || [[conventions]] || [[mikataba ya kimataifa]] || makubaliano kati ya nchi mbalimbali kuhusu masuala fulani.
|-
| 56 || [[oau convention]] || [[mkataba wa umoja wa afrika]] || mkataba maalum wa bara la afrika kuhusu wakimbizi.
|-
| 57 || [[geneva convention]] || [[mkataba wa geneva]] || mkataba wa msingi wa mwaka 1951 kuhusu haki za wakimbizi.
|-
| 58 || [[mandate]] || [[mamlaka]] || kazi maalum ambayo shirika limepewa kuifanya.
|-
| 59 || [[self-reliance]] || [[kujitegemea]] || uwezo wa mkimbizi kukidhi mahitaji yake bila kutegemea misaada.
|-
| 60 || [[social cohesion]] || [[mshikamano wa kijamii]] || kuishi kwa amani kati ya wakimbizi na jamii inayowahifadhi.
|-
| 61 || [[well-founded fear]] || [[hofu yenye msingi]] || hofu inayothibitishwa kuwa na hatari halisi ya mateso.
|-
| 62 || [[screening]] || [[uchujaji]] || mchakato wa awali wa kuwatambua na kuwapanga watu wanaohitaji msaada.
|-
| 63 || [[registration]] || [[usajili]] || kuandikisha taarifa za mkimbizi kwenye kumbukumbu rasmi.
|-
| 64 || [[biometrics]] || [[biometria]] || utambulisho wa mtu kwa kutumia alama za vidole au macho.
|-
| 65 || [[identity card]] || [[kitambulisho]] || kadi inayothibitisha jina na asili ya mtu.
|-
| 66 || [[legal aid]] || [[msaada wa kisheria]] || huduma za wakili zinazotolewa kwa wasio na uwezo.
|-
| 67 || [[advocacy]] || [[utetezi]] || kusema au kutenda kwa ajili ya kutafuta haki za wengine.
|-
| 68 || [[awareness]] || [[ueleweshaji]] || kutoa taarifa ili jamii ielewe masuala ya ukimbizi.
|-
| 69 || [[donors]] || [[wafadhili]] || watu au nchi zinazotoa fedha kusaidia wakimbizi.
|-
| 70 || [[ngos]] || [[mashirika yasiyo ya kiserikali]] || taasisi zinazofanya kazi za kijamii bila kutafuta faida.
|-
| 71 || [[civil society]] || [[asasi za kiraia]] || vikundi vya wananchi vinavyojitegemea na serikali.
|-
| 72 || [[emergency]] || [[dharura]] || hali ya hatari inayohitaji hatua za haraka sana.
|-
| 73 || [[shelter]] || [[malazi]] || mahali salama pa kuishi, hata kama ni kwa muda.
|-
| 74 || [[sanitation]] || [[usafi wa mazingira]] || mifumo ya maji taka na usafi kuzuia magonjwa.
|-
| 75 || [[nutrition]] || [[lishe]] || upatikanaji wa chakula bora kwa ajili ya afya.
|-
| 76 || [[vaccination]] || [[chanjo]] || dawa ya kuzuia magonjwa ya kuambukiza kambini.
|-
| 77 || [[psychosocial support]] || [[msaada wa kisaikolojia]] || huduma za ushauri kwa walioathirika kiakili na kiwewe.
|-
| 78 || [[trauma]] || [[kiwewe]] || madhara ya kisaikolojia yanayotokana na matukio ya kutisha.
|-
| 79 || [[livelihood]] || [[riziki]] || njia anayotumia mtu kujipatia kipato au mahitaji ya msingi.
|-
| 80 || [[skills training]] || [[mafunzo ya ufundi]] || kuwapa wakimbizi ujuzi wa kazi ili wajitegemee.
|-
| 81 || [[education]] || [[elimu]] || haki ya watoto wakimbizi kupata masomo shuleni.
|-
| 82 || [[scholarship]] || [[fursa ya masomo]] || msaada wa kifedha kwa wanafunzi wakimbizi wenye vipaji.
|-
| 83 || [[inclusion]] || [[ushirikishwaji]] || kuhakikisha wakimbizi wanapata huduma za kitaifa kama raia.
|-
| 84 || [[global compact]] || [[mkataba wa kimataifa]] || makubaliano mapya ya dunia kuhusu ugavi wa majukumu ya wakimbizi.
|-
| 85 || [[burden sharing]] || [[ugavi wa majukumu]] || nchi tajiri kusaidia nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi.
|-
| 86 || [[climate refugee]] || [[mkimbizi wa tabianchi]] || mtu anayehama kwa sababu ya ukame, mafuriko au majanga ya asili.
|-
| 87 || [[environmental migration]] || [[uhamiaji wa mazingira]] || kuhama kunakosababishwa na uharibifu wa mazingira.
|-
| 88 || [[illegal entry]] || [[kuingia kinyume cha sheria]] || kuvuka mpaka bila kufuata taratibu za viza au pasi.
|-
| 89 || [[border post]] || [[kituo cha mpaka]] || ofisi rasmi ya kukagulia watu wanaoingia nchini.
|-
| 90 || [[detention]] || [[uzuiaji]] || kumweka mtu kizuizini kwa sababu za kisheria au kiusalama.
|-
| 91 || [[freedom of movement]] || [[uhuru wa kutembea]] || haki ya mkimbizi kusafiri ndani ya nchi inayomhifadhi.
|-
| 92 || [[right to work]] || [[haki ya kufanya kazi]] || uwezo wa kisheria wa mkimbizi kujiajiri au kuajiriwa.
|-
| 93 || [[social services]] || [[huduma za kijamii]] || huduma kama afya, maji, na elimu zinazotolewa na serikali.
|-
| 94 || [[equality]] || [[usawa]] || hali ya kuwatendea watu wote bila upendeleo.
|-
| 95 || [[justice]] || [[haki]] || mfumo wa kisheria unaohakikisha usawa na adhabu kwa wahalifu.
|-
| 96 || [[peacebuilding]] || [[ujenzi wa amani]] || jitihada za kuzuia migogoro isirudie ili wakimbizi warudi.
|-
| 97 || [[diplomacy]] || [[diplomasia]] || mazungumzo kati ya nchi kutatua matatizo ya wakimbizi.
|-
| 98 || [[borderline]] || [[mstari wa mpaka]] || alama inayotenganisha nchi mbili.
|-
| 99 || [[identity theft]] || [[wizi wa utambulisho]] || kutumia taarifa za mtu mwingine kinyume cha sheria.
|-
| 100 || [[unions]] || [[vyama]] || vikundi vya wakimbizi vinavyoungana kudai haki zao.
|-
| 101-250 || ongeza chini || ongeza orodha || unaweza kuendeleza kwa kuingiza maneno madogo madogo ya kisheria na kijamii hapa...
|}
cz7vpyepapi8n91ptkdhvcxqvvo7jgg
263982
263981
2026-05-11T04:34:31Z
Muddyb
60
263982
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
{| class="wikitable sortable"
|+ Orodha ya Istilahi za Ukimbizi na Uhamiaji
|-
! Na. !! Kiingereza !! Kiswahili !! Maelezo
|-
| 1 || [[refugee]] || [[mkimbizi]] || mtu aliyelazimika kutoroka nchi yake kwa hofu ya kuteswa au vita.
|-
| 2 || [[asylum seeker]] || [[muomba hifadhi]] || mtu anayesubiri uamuzi wa kisheria kuhusu hali yake ya ukimbizi.
|-
| 3 || [[internally displaced person]] || [[mtu aliyekimbia makazi ndani ya nchi]] || mtu aliyepoteza makazi lakini hajafika mpaka wa kimataifa.
|-
| 4 || [[stateless person]] || [[mtu asiye na utaifa]] || mtu ambaye hakuna nchi inayomtambua kama raia wake.
|-
| 5 || [[asylum]] || [[hifadhi]] || ulinzi wa kisheria unaotolewa na nchi kwa wageni.
|-
| 6 || [[repatriation]] || [[kurejea nyumbani]] || mchakato wa kurudi nchi ya asili baada ya hali kuwa shwari.
|-
| 7 || [[resettlement]] || [[makazi mapya]] || mchakato wa kupelekwa nchi ya tatu kwa makazi ya kudumu.
|-
| 8 || [[non-refoulement]] || [[kutomrudisha mkimbizi]] || kanuni ya kimataifa inayozuia kumrudisha mtu kwenye hatari.
|-
| 9 || [[integration]] || [[ujumuishaji]] || mchakato wa mkimbizi kuingiliana na jamii inayomuhifadhi.
|-
| 10 || [[persecution]] || [[mateso]] || uonevu wa kimfumo dhidi ya mtu au kikundi fulani.
|-
| 11 || [[humanitarian aid]] || [[misaada ya kibinadamu]] || huduma za dharura kama chakula na dawa kwa wahitaji.
|-
| 12 || [[refugee camp]] || [[kambi ya wakimbizi]] || makazi ya muda yaliyotengwa kwa ajili ya watu waliokimbia vita.
|-
| 13 || [[transit]] || [[mapito]] || hali ya kupita katika nchi fulani kuelekea kwingine.
|-
| 14 || [[border control]] || [[udhibiti wa mpaka]] || hatua za usalama zinazochukuliwa mipakani mwa nchi.
|-
| 15 || [[deportation]] || [[uhamisho wa lazima]] || kitendo cha serikali kumtoa mgeni nchini kwa nguvu.
|-
| 16 || [[naturalization]] || [[uraia wa kuomba]] || mchakato wa mkimbizi kupata uraia wa nchi aliyokimbilia.
|-
| 17 || [[protection]] || [[ulinzi]] || hatua za kuhakikisha usalama wa haki za binadamu.
|-
| 18 || [[migration]] || [[uhamiaji]] || kitendo cha watu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
|-
| 19 || [[human rights]] || [[haki za binadamu]] || haki za msingi anazostahili kila mtu bila ubaguzi.
|-
| 20 || [[unhcr]] || [[shirika la umoja wa mataifa la wakimbizi]] || chombo kikuu cha kimataifa kinacholinda wakimbizi.
|-
| 21 || [[conflict]] || [[migogoro]] || hali ya kutofautiana inayopelekea vurugu au vita.
|-
| 22 || [[perpetrator]] || [[mtendaji wa ukatili]] || mtu anayehusika na kusababisha mateso au uhalifu.
|-
| 23 || [[survivor]] || [[mnusurika]] || mtu aliyefanikiwa kupona baada ya tukio la hatari.
|-
| 24 || [[vulnerability]] || [[mazingira hatarishi]] || hali ya kuwa katika hatari ya kuumizwa au kunyanyaswa.
|-
| 25 || [[discrimination]] || [[ubaguzi]] || kumtendea mtu vibaya kwa sababu ya asili au imani yake.
|-
| 26 || [[xenophobia]] || [[hofu ya wageni]] || chuki au hofu dhidi ya watu kutoka nchi nyingine.
|-
| 27 || [[refugee status]] || [[hali ya ukimbizi]] || hadhi ya kisheria anayopewa mtu aliyekidhi vigezo.
|-
| 28 || [[visa]] || [[viza]] || idhini rasmi inayomruhusu mtu kuingia nchi fulani.
|-
| 29 || [[passport]] || [[pasi ya kusafiria]] || hati rasmi ya utambulisho kwa ajili ya kusafiri kimataifa.
|-
| 30 || [[family reunification]] || [[kuunganisha familia]] || mchakato wa kuleta pamoja wanafamilia waliotenganishwa.
|-
| 31 || [[host country]] || [[nchi inayohifadhi]] || nchi inayokubali kupokea na kutoa ulinzi kwa wakimbizi.
|-
| 32 || [[forced migration]] || [[uhamiaji wa kulazimishwa]] || kuhama kunakosababishwa na mambo yaliyo nje ya uwezo wa mtu.
|-
| 33 || [[economic migrant]] || [[mhamiaji wa kiuchumi]] || mtu anayehama kutafuta kazi au maisha bora, si kwa hofu ya kifo.
|-
| 34 || [[trafficking]] || [[biashara haramu ya binadamu]] || kusafirisha watu kwa nguvu au udanganyifu kwa ajili ya unyonyaji.
|-
| 35 || [[smuggling]] || [[magendo ya watu]] || kusaidia watu kuvuka mpaka kinyume cha sheria kwa malipo.
|-
| 36 || [[reception center]] || [[kituo cha mapokezi]] || mahali ambapo wakimbizi hufika kwanza na kusajiliwa.
|-
| 37 || [[durable solutions]] || [[suluhu za kudumu]] || mipango ya muda mrefu ya kumaliza hali ya ukimbizi.
|-
| 38 || [[voluntary return]] || [[kurudi kwa hiari]] || uamuzi wa mkimbizi mwenyewe kurejea nyumbani.
|-
| 39 || [[war crime]] || [[uhalifu wa kivita]] || ukiukaji mkubwa wa sheria za vita dhidi ya raia.
|-
| 40 || [[genocide]] || [[mauaji ya kimbari]] || mauaji ya makusudi ya kikundi kizima cha watu.
|-
| 41 || [[amnesty]] || [[msamaha]] || uamuzi wa serikali kutoshtaki watu fulani kwa makosa ya kisiasa.
|-
| 42 || [[citizenship]] || [[uraia]] || hali ya kuwa mwanachama kamili wa nchi fulani kisheria.
|-
| 43 || [[residence permit]] || [[kibali cha kuishi]] || hati inayomruhusu mgeni kukaa nchini kwa muda fulani.
|-
| 44 || [[work permit]] || [[kibali cha kazi]] || idhini ya kisheria inayomruhusu mgeni kuajiriwa.
|-
| 45 || [[uprooted]] || [[kung'olewa makazi]] || hali ya kuondolewa kwa nguvu kwenye mazingira yako ya asili.
|-
| 46 || [[displaced]] || [[wakimbizi wa ndani]] || watu waliopoteza makazi yao asilia.
|-
| 47 || [[marginalized]] || [[waliotengwa]] || vikundi vya watu wanaonyimwa fursa sawa katika jamii.
|-
| 48 || [[ethnic cleansing]] || [[usafishaji wa kikabila]] || jaribio la kuondoa kabila fulani katika eneo kwa nguvu.
|-
| 49 || [[political prisoner]] || [[mfungwa wa kisiasa]] || mtu aliyefungwa kwa sababu ya kupinga serikali au imani yake.
|-
| 50 || [[torture]] || [[utesaji]] || kusababisha maumivu makali kwa mtu kwa makusudi.
|-
| 51 || [[gender-based violence]] || [[ukatili wa kijinsia]] || ukatili unaolenga jinsia fulani, mara nyingi wanawake na wasichana.
|-
| 52 || [[unaccompanied minor]] || [[mtoto asiyeambatana]] || mtoto chini ya miaka 18 aliye peke yake bila mzazi au mlezi.
|-
| 53 || [[separated child]] || [[mtoto aliyetenganishwa]] || mtoto aliye mbali na wazazi wake lakini anaweza kuwa na ndugu wengine.
|-
| 54 || [[refugee law]] || [[sheria ya wakimbizi]] || seti ya sheria za kimataifa zinazolinda haki za wakimbizi.
|-
| 55 || [[conventions]] || [[mikataba ya kimataifa]] || makubaliano kati ya nchi mbalimbali kuhusu masuala fulani.
|-
| 56 || [[oau convention]] || [[mkataba wa umoja wa afrika]] || mkataba maalum wa bara la afrika kuhusu wakimbizi.
|-
| 57 || [[geneva convention]] || [[mkataba wa geneva]] || mkataba wa msingi wa mwaka 1951 kuhusu haki za wakimbizi.
|-
| 58 || [[mandate]] || [[mamlaka]] || kazi maalum ambayo shirika limepewa kuifanya.
|-
| 59 || [[self-reliance]] || [[kujitegemea]] || uwezo wa mkimbizi kukidhi mahitaji yake bila kutegemea misaada.
|-
| 60 || [[social cohesion]] || [[mshikamano wa kijamii]] || kuishi kwa amani kati ya wakimbizi na jamii inayowahifadhi.
|-
| 61 || [[well-founded fear]] || [[hofu yenye msingi]] || hofu inayothibitishwa kuwa na hatari halisi ya mateso.
|-
| 62 || [[screening]] || [[uchujaji]] || mchakato wa awali wa kuwatambua na kuwapanga watu wanaohitaji msaada.
|-
| 63 || [[registration]] || [[usajili]] || kuandikisha taarifa za mkimbizi kwenye kumbukumbu rasmi.
|-
| 64 || [[biometrics]] || [[biometria]] || utambulisho wa mtu kwa kutumia alama za vidole au macho.
|-
| 65 || [[identity card]] || [[kitambulisho]] || kadi inayothibitisha jina na asili ya mtu.
|-
| 66 || [[legal aid]] || [[msaada wa kisheria]] || huduma za wakili zinazotolewa kwa wasio na uwezo.
|-
| 67 || [[advocacy]] || [[utetezi]] || kusema au kutenda kwa ajili ya kutafuta haki za wengine.
|-
| 68 || [[awareness]] || [[ueleweshaji]] || kutoa taarifa ili jamii ielewe masuala ya ukimbizi.
|-
| 69 || [[donors]] || [[wafadhili]] || watu au nchi zinazotoa fedha kusaidia wakimbizi.
|-
| 70 || [[ngos]] || [[mashirika yasiyo ya kiserikali]] || taasisi zinazofanya kazi za kijamii bila kutafuta faida.
|-
| 71 || [[civil society]] || [[asasi za kiraia]] || vikundi vya wananchi vinavyojitegemea na serikali.
|-
| 72 || [[emergency]] || [[dharura]] || hali ya hatari inayohitaji hatua za haraka sana.
|-
| 73 || [[shelter]] || [[malazi]] || mahali salama pa kuishi, hata kama ni kwa muda.
|-
| 74 || [[sanitation]] || [[usafi wa mazingira]] || mifumo ya maji taka na usafi kuzuia magonjwa.
|-
| 75 || [[nutrition]] || [[lishe]] || upatikanaji wa chakula bora kwa ajili ya afya.
|-
| 76 || [[vaccination]] || [[chanjo]] || dawa ya kuzuia magonjwa ya kuambukiza kambini.
|-
| 77 || [[psychosocial support]] || [[msaada wa kisaikolojia]] || huduma za ushauri kwa walioathirika kiakili na kiwewe.
|-
| 78 || [[trauma]] || [[kiwewe]] || madhara ya kisaikolojia yanayotokana na matukio ya kutisha.
|-
| 79 || [[livelihood]] || [[riziki]] || njia anayotumia mtu kujipatia kipato au mahitaji ya msingi.
|-
| 80 || [[skills training]] || [[mafunzo ya ufundi]] || kuwapa wakimbizi ujuzi wa kazi ili wajitegemee.
|-
| 81 || [[education]] || [[elimu]] || haki ya watoto wakimbizi kupata masomo shuleni.
|-
| 82 || [[scholarship]] || [[fursa ya masomo]] || msaada wa kifedha kwa wanafunzi wakimbizi wenye vipaji.
|-
| 83 || [[inclusion]] || [[ushirikishwaji]] || kuhakikisha wakimbizi wanapata huduma za kitaifa kama raia.
|-
| 84 || [[global compact]] || [[mkataba wa kimataifa]] || makubaliano mapya ya dunia kuhusu ugavi wa majukumu ya wakimbizi.
|-
| 85 || [[burden sharing]] || [[ugavi wa majukumu]] || nchi tajiri kusaidia nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi.
|-
| 86 || [[climate refugee]] || [[mkimbizi wa tabianchi]] || mtu anayehama kwa sababu ya ukame, mafuriko au majanga ya asili.
|-
| 87 || [[environmental migration]] || [[uhamiaji wa mazingira]] || kuhama kunakosababishwa na uharibifu wa mazingira.
|-
| 88 || [[illegal entry]] || [[kuingia kinyume cha sheria]] || kuvuka mpaka bila kufuata taratibu za viza au pasi.
|-
| 89 || [[border post]] || [[kituo cha mpaka]] || ofisi rasmi ya kukagulia watu wanaoingia nchini.
|-
| 90 || [[detention]] || [[uzuiaji]] || kumweka mtu kizuizini kwa sababu za kisheria au kiusalama.
|-
| 91 || [[freedom of movement]] || [[uhuru wa kutembea]] || haki ya mkimbizi kusafiri ndani ya nchi inayomhifadhi.
|-
| 92 || [[right to work]] || [[haki ya kufanya kazi]] || uwezo wa kisheria wa mkimbizi kujiajiri au kuajiriwa.
|-
| 93 || [[social services]] || [[huduma za kijamii]] || huduma kama afya, maji, na elimu zinazotolewa na serikali.
|-
| 94 || [[equality]] || [[usawa]] || hali ya kuwatendea watu wote bila upendeleo.
|-
| 95 || [[justice]] || [[haki]] || mfumo wa kisheria unaohakikisha usawa na adhabu kwa wahalifu.
|-
| 96 || [[peacebuilding]] || [[ujenzi wa amani]] || jitihada za kuzuia migogoro isirudie ili wakimbizi warudi.
|-
| 97 || [[diplomacy]] || [[diplomasia]] || mazungumzo kati ya nchi kutatua matatizo ya wakimbizi.
|-
| 98 || [[borderline]] || [[mstari wa mpaka]] || alama inayotenganisha nchi mbili.
|-
| 99 || [[identity theft]] || [[wizi wa utambulisho]] || kutumia taarifa za mtu mwingine kinyume cha sheria.
|-
| 100 || [[unions]] || [[vyama]] || vikundi vya wakimbizi vinavyoungana kudai haki zao.
|-
| 101-250 || ongeza chini || ongeza orodha || unaweza kuendeleza kwa kuingiza maneno madogo madogo ya kisheria na kijamii hapa...
|}
18nfijrszjj4e1cav4fg69rpqldd7uh
264313
263982
2026-05-11T11:55:06Z
Muddyb
60
264313
wikitext
text/x-wiki
{{WFR}}
{| class="wikitable sortable"
|+ Orodha ya Istilahi za Ukimbizi na Uhamiaji
|-
! Na. !! Kiingereza !! Kiswahili !! Maelezo
|-
| 1 || [[refugee]] || [[mkimbizi]] || mtu aliyelazimika kutoroka nchi yake kwa hofu ya kuteswa au vita.
|-
| 2 || [[asylum seeker]] || [[muomba hifadhi]] || mtu anayesubiri uamuzi wa kisheria kuhusu hali yake ya ukimbizi.
|-
| 3 || [[internally displaced person]] || [[mtu aliyekimbia makazi ndani ya nchi]] || mtu aliyepoteza makazi lakini hajafika mpaka wa kimataifa.
|-
| 4 || [[stateless person]] || [[mtu asiye na utaifa]] || mtu ambaye hakuna nchi inayomtambua kama raia wake.
|-
| 5 || [[asylum]] || [[hifadhi]] || ulinzi wa kisheria unaotolewa na nchi kwa wageni.
|-
| 6 || [[repatriation]] || [[kurejea nyumbani]] || mchakato wa kurudi nchi ya asili baada ya hali kuwa shwari.
|-
| 7 || [[resettlement]] || [[makazi mapya]] || mchakato wa kupelekwa nchi ya tatu kwa makazi ya kudumu.
|-
| 8 || [[non-refoulement]] || [[kutomrudisha mkimbizi]] || kanuni ya kimataifa inayozuia kumrudisha mtu kwenye hatari.
|-
| 9 || [[integration]] || [[ujumuishaji]] || mchakato wa mkimbizi kuingiliana na jamii inayomuhifadhi.
|-
| 10 || [[persecution]] || [[mateso]] || uonevu wa kimfumo dhidi ya mtu au kikundi fulani.
|-
| 11 || [[humanitarian aid]] || [[misaada ya kibinadamu]] || huduma za dharura kama chakula na dawa kwa wahitaji.
|-
| 12 || [[refugee camp]] || [[kambi ya wakimbizi]] || makazi ya muda yaliyotengwa kwa ajili ya watu waliokimbia vita.
|-
| 13 || [[transit]] || [[mapito]] || hali ya kupita katika nchi fulani kuelekea kwingine.
|-
| 14 || [[border control]] || [[udhibiti wa mpaka]] || hatua za usalama zinazochukuliwa mipakani mwa nchi.
|-
| 15 || [[deportation]] || [[uhamisho wa lazima]] || kitendo cha serikali kumtoa mgeni nchini kwa nguvu.
|-
| 16 || [[naturalization]] || [[uraia wa kuomba]] || mchakato wa mkimbizi kupata uraia wa nchi aliyokimbilia.
|-
| 17 || [[protection]] || [[ulinzi]] || hatua za kuhakikisha usalama wa haki za binadamu.
|-
| 18 || [[migration]] || [[uhamiaji]] || kitendo cha watu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
|-
| 19 || [[human rights]] || [[haki za binadamu]] || haki za msingi anazostahili kila mtu bila ubaguzi.
|-
| 20 || [[unhcr]] || [[shirika la umoja wa mataifa la wakimbizi]] || chombo kikuu cha kimataifa kinacholinda wakimbizi.
|-
| 21 || [[conflict]] || [[migogoro]] || hali ya kutofautiana inayopelekea vurugu au vita.
|-
| 22 || [[perpetrator]] || [[mtendaji wa ukatili]] || mtu anayehusika na kusababisha mateso au uhalifu.
|-
| 23 || [[survivor]] || [[mnusurika]] || mtu aliyefanikiwa kupona baada ya tukio la hatari.
|-
| 24 || [[vulnerability]] || [[mazingira hatarishi]] || hali ya kuwa katika hatari ya kuumizwa au kunyanyaswa.
|-
| 25 || [[discrimination]] || [[ubaguzi]] || kumtendea mtu vibaya kwa sababu ya asili au imani yake.
|-
| 26 || [[xenophobia]] || [[hofu ya wageni]] || chuki au hofu dhidi ya watu kutoka nchi nyingine.
|-
| 27 || [[refugee status]] || [[hali ya ukimbizi]] || hadhi ya kisheria anayopewa mtu aliyekidhi vigezo.
|-
| 28 || [[visa]] || [[viza]] || idhini rasmi inayomruhusu mtu kuingia nchi fulani.
|-
| 29 || [[passport]] || [[pasi ya kusafiria]] || hati rasmi ya utambulisho kwa ajili ya kusafiri kimataifa.
|-
| 30 || [[family reunification]] || [[kuunganisha familia]] || mchakato wa kuleta pamoja wanafamilia waliotenganishwa.
|-
| 31 || [[host country]] || [[nchi inayohifadhi]] || nchi inayokubali kupokea na kutoa ulinzi kwa wakimbizi.
|-
| 32 || [[forced migration]] || [[uhamiaji wa kulazimishwa]] || kuhama kunakosababishwa na mambo yaliyo nje ya uwezo wa mtu.
|-
| 33 || [[economic migrant]] || [[mhamiaji wa kiuchumi]] || mtu anayehama kutafuta kazi au maisha bora, si kwa hofu ya kifo.
|-
| 34 || [[trafficking]] || [[biashara haramu ya binadamu]] || kusafirisha watu kwa nguvu au udanganyifu kwa ajili ya unyonyaji.
|-
| 35 || [[smuggling]] || [[magendo ya watu]] || kusaidia watu kuvuka mpaka kinyume cha sheria kwa malipo.
|-
| 36 || [[reception center]] || [[kituo cha mapokezi]] || mahali ambapo wakimbizi hufika kwanza na kusajiliwa.
|-
| 37 || [[durable solutions]] || [[suluhu za kudumu]] || mipango ya muda mrefu ya kumaliza hali ya ukimbizi.
|-
| 38 || [[voluntary return]] || [[kurudi kwa hiari]] || uamuzi wa mkimbizi mwenyewe kurejea nyumbani.
|-
| 39 || [[war crime]] || [[uhalifu wa kivita]] || ukiukaji mkubwa wa sheria za vita dhidi ya raia.
|-
| 40 || [[genocide]] || [[mauaji ya kimbari]] || mauaji ya makusudi ya kikundi kizima cha watu.
|-
| 41 || [[amnesty]] || [[msamaha]] || uamuzi wa serikali kutoshtaki watu fulani kwa makosa ya kisiasa.
|-
| 42 || [[citizenship]] || [[uraia]] || hali ya kuwa mwanachama kamili wa nchi fulani kisheria.
|-
| 43 || [[residence permit]] || [[kibali cha kuishi]] || hati inayomruhusu mgeni kukaa nchini kwa muda fulani.
|-
| 44 || [[work permit]] || [[kibali cha kazi]] || idhini ya kisheria inayomruhusu mgeni kuajiriwa.
|-
| 45 || [[uprooted]] || [[kung'olewa makazi]] || hali ya kuondolewa kwa nguvu kwenye mazingira yako ya asili.
|-
| 46 || [[displaced]] || [[wakimbizi wa ndani]] || watu waliopoteza makazi yao asilia.
|-
| 47 || [[marginalized]] || [[waliotengwa]] || vikundi vya watu wanaonyimwa fursa sawa katika jamii.
|-
| 48 || [[ethnic cleansing]] || [[usafishaji wa kikabila]] || jaribio la kuondoa kabila fulani katika eneo kwa nguvu.
|-
| 49 || [[political prisoner]] || [[mfungwa wa kisiasa]] || mtu aliyefungwa kwa sababu ya kupinga serikali au imani yake.
|-
| 50 || [[torture]] || [[utesaji]] || kusababisha maumivu makali kwa mtu kwa makusudi.
|-
| 51 || [[gender-based violence]] || [[ukatili wa kijinsia]] || ukatili unaolenga jinsia fulani, mara nyingi wanawake na wasichana.
|-
| 52 || [[unaccompanied minor]] || [[mtoto asiyeambatana]] || mtoto chini ya miaka 18 aliye peke yake bila mzazi au mlezi.
|-
| 53 || [[separated child]] || [[mtoto aliyetenganishwa]] || mtoto aliye mbali na wazazi wake lakini anaweza kuwa na ndugu wengine.
|-
| 54 || [[refugee law]] || [[sheria ya wakimbizi]] || seti ya sheria za kimataifa zinazolinda haki za wakimbizi.
|-
| 55 || [[conventions]] || [[mikataba ya kimataifa]] || makubaliano kati ya nchi mbalimbali kuhusu masuala fulani.
|-
| 56 || [[oau convention]] || [[mkataba wa umoja wa afrika]] || mkataba maalum wa bara la afrika kuhusu wakimbizi.
|-
| 57 || [[geneva convention]] || [[mkataba wa geneva]] || mkataba wa msingi wa mwaka 1951 kuhusu haki za wakimbizi.
|-
| 58 || [[mandate]] || [[mamlaka]] || kazi maalum ambayo shirika limepewa kuifanya.
|-
| 59 || [[self-reliance]] || [[kujitegemea]] || uwezo wa mkimbizi kukidhi mahitaji yake bila kutegemea misaada.
|-
| 60 || [[social cohesion]] || [[mshikamano wa kijamii]] || kuishi kwa amani kati ya wakimbizi na jamii inayowahifadhi.
|-
| 61 || [[well-founded fear]] || [[hofu yenye msingi]] || hofu inayothibitishwa kuwa na hatari halisi ya mateso.
|-
| 62 || [[screening]] || [[uchujaji]] || mchakato wa awali wa kuwatambua na kuwapanga watu wanaohitaji msaada.
|-
| 63 || [[registration]] || [[usajili]] || kuandikisha taarifa za mkimbizi kwenye kumbukumbu rasmi.
|-
| 64 || [[biometrics]] || [[biometria]] || utambulisho wa mtu kwa kutumia alama za vidole au macho.
|-
| 65 || [[identity card]] || [[kitambulisho]] || kadi inayothibitisha jina na asili ya mtu.
|-
| 66 || [[legal aid]] || [[msaada wa kisheria]] || huduma za wakili zinazotolewa kwa wasio na uwezo.
|-
| 67 || [[advocacy]] || [[utetezi]] || kusema au kutenda kwa ajili ya kutafuta haki za wengine.
|-
| 68 || [[awareness]] || [[ueleweshaji]] || kutoa taarifa ili jamii ielewe masuala ya ukimbizi.
|-
| 69 || [[donors]] || [[wafadhili]] || watu au nchi zinazotoa fedha kusaidia wakimbizi.
|-
| 70 || [[ngos]] || [[mashirika yasiyo ya kiserikali]] || taasisi zinazofanya kazi za kijamii bila kutafuta faida.
|-
| 71 || [[civil society]] || [[asasi za kiraia]] || vikundi vya wananchi vinavyojitegemea na serikali.
|-
| 72 || [[emergency]] || [[dharura]] || hali ya hatari inayohitaji hatua za haraka sana.
|-
| 73 || [[shelter]] || [[malazi]] || mahali salama pa kuishi, hata kama ni kwa muda.
|-
| 74 || [[sanitation]] || [[usafi wa mazingira]] || mifumo ya maji taka na usafi kuzuia magonjwa.
|-
| 75 || [[nutrition]] || [[lishe]] || upatikanaji wa chakula bora kwa ajili ya afya.
|-
| 76 || [[vaccination]] || [[chanjo]] || dawa ya kuzuia magonjwa ya kuambukiza kambini.
|-
| 77 || [[psychosocial support]] || [[msaada wa kisaikolojia]] || huduma za ushauri kwa walioathirika kiakili na kiwewe.
|-
| 78 || [[trauma]] || [[kiwewe]] || madhara ya kisaikolojia yanayotokana na matukio ya kutisha.
|-
| 79 || [[livelihood]] || [[riziki]] || njia anayotumia mtu kujipatia kipato au mahitaji ya msingi.
|-
| 80 || [[skills training]] || [[mafunzo ya ufundi]] || kuwapa wakimbizi ujuzi wa kazi ili wajitegemee.
|-
| 81 || [[education]] || [[elimu]] || haki ya watoto wakimbizi kupata masomo shuleni.
|-
| 82 || [[scholarship]] || [[fursa ya masomo]] || msaada wa kifedha kwa wanafunzi wakimbizi wenye vipaji.
|-
| 83 || [[inclusion]] || [[ushirikishwaji]] || kuhakikisha wakimbizi wanapata huduma za kitaifa kama raia.
|-
| 84 || [[global compact]] || [[mkataba wa kimataifa]] || makubaliano mapya ya dunia kuhusu ugavi wa majukumu ya wakimbizi.
|-
| 85 || [[burden sharing]] || [[ugavi wa majukumu]] || nchi tajiri kusaidia nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi.
|-
| 86 || [[climate refugee]] || [[mkimbizi wa tabianchi]] || mtu anayehama kwa sababu ya ukame, mafuriko au majanga ya asili.
|-
| 87 || [[environmental migration]] || [[uhamiaji wa mazingira]] || kuhama kunakosababishwa na uharibifu wa mazingira.
|-
| 88 || [[illegal entry]] || [[kuingia kinyume cha sheria]] || kuvuka mpaka bila kufuata taratibu za viza au pasi.
|-
| 89 || [[border post]] || [[kituo cha mpaka]] || ofisi rasmi ya kukagulia watu wanaoingia nchini.
|-
| 90 || [[detention]] || [[uzuiaji]] || kumweka mtu kizuizini kwa sababu za kisheria au kiusalama.
|-
| 91 || [[freedom of movement]] || [[uhuru wa kutembea]] || haki ya mkimbizi kusafiri ndani ya nchi inayomhifadhi.
|-
| 92 || [[right to work]] || [[haki ya kufanya kazi]] || uwezo wa kisheria wa mkimbizi kujiajiri au kuajiriwa.
|-
| 93 || [[social services]] || [[huduma za kijamii]] || huduma kama afya, maji, na elimu zinazotolewa na serikali.
|-
| 94 || [[equality]] || [[usawa]] || hali ya kuwatendea watu wote bila upendeleo.
|-
| 95 || [[justice]] || [[haki]] || mfumo wa kisheria unaohakikisha usawa na adhabu kwa wahalifu.
|-
| 96 || [[peacebuilding]] || [[ujenzi wa amani]] || jitihada za kuzuia migogoro isirudie ili wakimbizi warudi.
|-
| 97 || [[diplomacy]] || [[diplomasia]] || mazungumzo kati ya nchi kutatua matatizo ya wakimbizi.
|-
| 98 || [[borderline]] || [[mstari wa mpaka]] || alama inayotenganisha nchi mbili.
|-
| 99 || [[identity theft]] || [[wizi wa utambulisho]] || kutumia taarifa za mtu mwingine kinyume cha sheria.
|-
| 100 || [[unions]] || [[vyama]] || vikundi vya wakimbizi vinavyoungana kudai haki zao.
|-
| 101-250 || ongeza chini || ongeza orodha || unaweza kuendeleza kwa kuingiza maneno madogo madogo ya kisheria na kijamii hapa...
|}
exnk5ugd1ca8671zq2dtnyvsyx0bpxj
kasa chui
0
92702
263980
2026-05-11T04:33:06Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263980
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kasa mwenye gamba lina madoa yanayofanana na ya chui,Hula majani, nyasi na mimea.
===Mfano===
*Kasa chui alikuwa akila nyasi kwenye savana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|leopard tortoise}}
4vyu89qros4clhbqecyr9xtyoviumjz
nyoka wa majini
0
92703
263983
2026-05-11T04:37:17Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263983
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya nyoka anayeishi ndani au karibu na maji kama mito, maziwa, mabwawa na maeneo yenye unyevunyevu.
===Mfano===
*Nyoka wa maji aliogelea haraka kuvamia samaki mdogo.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|water snake}}
iws81ogjwiv9hbw1zh4te7r6hdfab8c
kasa mwenye gamba laini
0
92704
263984
2026-05-11T04:40:04Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263984
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kasa wa maji mwenye gamba lisilo gumu sana kama la kasa wengine. gamba lake huwa laini na bapa,
===Mfano===
*Kasa mwenye gamba laini alijificha kwenye matope ya mtoni.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|softshell turtle}}
arx5f9ftb2xlgoxj0q41he3mavrpuuc
panda mwekundu
0
92705
263985
2026-05-11T04:44:58Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263985
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo anayefanana kidogo na dubu na paka, mwenye manyoya mekundu.
===Mfano===
*Panda mwekundu alipanda juu ya mti kutafuta chakula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|red panda}}
2xj3p774exk5yu44nx07n0qytkd9245
wombat
0
92706
263986
2026-05-11T04:51:16Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263986
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo wa Australia anayefanana na dubu mdogo mwenye mwili mnene na miguu mifupi.
===Mfano===
*Wombat hutumia muda mwingi chini ya ardhi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|wombat animal}}
36u5cd3hqftvnkl9zfjs2mhni9amako
swala saiga
0
92707
263987
2026-05-11T04:56:45Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263987
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya swala wa kipekee anayeishi katika nyika baridi za Asia ya Kati, mwenye pua kubwa.
===Mfano===
*Swala saiga walihama kwa makundi makubwa kwenye nyika.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|saiga antelope}}
8a0v5lodbxy3evcsrv3dayyr397outo
markhor
0
92708
263988
2026-05-11T04:59:40Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263988
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya mbuzi mwitu mkubwa anayeishi milimani, hasa katika Asia ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Markhor ni mnyama adimu na wa kipekee sana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|markhor animal}}
n3ptez82fhlkd0h0boygbh8k5ohylz6
mbuzi mwitu
0
92709
263989
2026-05-11T05:07:06Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263989
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa jamii ya mbuzi wa porini anayepatikana katika milima ya Ulaya, Asia na Afrika Kaskazini.
===Mfano===
*Mbuzi mwitu alipanda kwa urahisi kwenye mwamba mkali.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|ibex}}
qhrdpr50ghlaexf4gwkl5nxowt5ey9t
kondoo mwitu
0
92710
263990
2026-05-11T05:11:57Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263990
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aiana ya kondoo hupatikana hasa Ulaya na Asia ya Magharibi. Ni mnyama wa milimani mwenye uwezo wa kuishi kwenye maeneo ya miinuko na miamba.
===Mfano===
*Kondoo mwitu alionekana juu ya mlima akila nyasi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|mouflon}}
mbijynzu5ecj30ktyea802w1343e7b9
takin
0
92711
263991
2026-05-11T05:16:10Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263991
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnayama mkubwa hupatikana katika milima ya Himalaya (Bhutan, China, India na Myanmar). Ni mnyama wa kipekee mwenye mwili mzito na manyoya mazito yanayomlinda dhidi ya baridi kali.
===Mfano===
*Takin ni mnyama adimu wa milima ya Asia
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|takin animal}}
3kffi7ptye2zygocwkx57veh3de10oq
ng’ombe mwitu
0
92712
263992
2026-05-11T05:19:14Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
263992
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa jamii ya ng’ombe wa mwitu na ndiye ng’ombe mkubwa zaidi wa porini duniani. Hupatikana katika misitu ya India, Nepal, Myanmar na Thailand.
===Mfano===
*Ng’ombe mwitu alionekana msituni akila majani.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|gaur}}
ag000g8nu14yx6zn0jsmzoxef8xhxam
Buguruni
0
92713
263993
2026-05-11T05:53:39Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Buguruni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Inasemekana jina hili linatokana na jina la mti wa '''mbuguruni''' uliokuwa ukipatikana kwa wingi eneo hilo zamani. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Buguruni]] [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
263993
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Buguruni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na jina la mti wa '''mbuguruni''' uliokuwa ukipatikana kwa wingi eneo hilo zamani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Buguruni]]
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
ewqtean67pjxr1q4xajept5aerprre1
263995
263993
2026-05-11T05:55:44Z
Anuary Rajabu
4731
263995
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Buguruni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na jina la mti wa '''mbuguruni''' uliokuwa ukipatikana kwa wingi eneo hilo zamani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Buguruni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
e8zrrstdr7i7lz6lfdytty2z3c7npiy
Jamii:Kata za Tanzania
14
92714
263994
2026-05-11T05:54:59Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '*Kata za Mikoa ya Tanzania'
263994
wikitext
text/x-wiki
*Kata za Mikoa ya Tanzania
ea30nsm529zf6c4xxjrsxym4dlqsrd7
Chanika
0
92715
263996
2026-05-11T05:58:28Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Chanika''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Inasemekana jina hili linatokana na lugha za wenyeji likimaanisha mahali palipochanyika au kutenganika, kikirejea mgawanyo wa ardhi au makazi ya zamani. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Chanika]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
263996
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Chanika'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na lugha za wenyeji likimaanisha mahali palipochanyika au kutenganika, kikirejea mgawanyo wa ardhi au makazi ya zamani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Chanika]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
i5n1x8ml6r6pkeom25u3h25okjakv2u
Gerezani
0
92716
263997
2026-05-11T05:59:13Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Gerezani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na neno la [[Kireno]] ''igreja'' (kanisa), ambalo baadaye liliingia katika [[Kiswahili]] kurejea majengo ya ngome au magereza ya zamani yaliyojengwa na wakoloni eneo hilo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Gerezani]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
263997
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Gerezani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kireno]] ''igreja'' (kanisa), ambalo baadaye liliingia katika [[Kiswahili]] kurejea majengo ya ngome au magereza ya zamani yaliyojengwa na wakoloni eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Gerezani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
0tnyi0x98yoc6pwltq8f3n69q0p4grk
Gongolamboto
0
92717
263998
2026-05-11T06:00:43Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Gongo la Mboto''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya [[Kizaramo]], ambapo "Gongo" linamaanisha kilima au mwinuko, na "Mboto" lilikuwa jina la mzee maarufu aliyekuwa akiishi katika mwinuko huo zamani. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Gongo la Mboto]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
263998
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Gongo la Mboto'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya [[Kizaramo]], ambapo "Gongo" linamaanisha kilima au mwinuko, na "Mboto" lilikuwa jina la mzee maarufu aliyekuwa akiishi katika mwinuko huo zamani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Gongo la Mboto]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
jplg2kpyn2inwi9bv2ii04qjytoo7eg
Kizalamo
0
92718
264000
2026-05-11T06:03:01Z
Anuary Rajabu
4731
Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Kizalamo]] hadi [[Kizaramo]]
264000
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Kizaramo]]
k5cmhv1qhh15jgjtfkanw06tzsws8vw
bilbi
0
92719
264001
2026-05-11T06:06:47Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264001
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa jamii ya marsupial (wenye mfuko wa kubebea watoto). Huishi zaidi kwenye maeneo ya jangwa na nusu-jangwa nchini Australia.
===Mfano===
*Bilbi alitembea usiku jangwani.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|bilby}}
5l2h46tr5a04fhfrnt6au2iiwpvnn60
Jangwani
0
92720
264003
2026-05-11T06:16:51Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Jangwani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''jangwa''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni'', kurejea eneo la bondeni ambalo mara nyingi huwa na mchanga mwingi na hukumbwa na mafuriko, likifananishwa na jangwa dogo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Jangwani]] {{Kata za Dar es Sa...'
264003
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Jangwani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''jangwa''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni'', kurejea eneo la bondeni ambalo mara nyingi huwa na mchanga mwingi na hukumbwa na mafuriko, likifananishwa na jangwa dogo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Jangwani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
p0sloie4ze9esjld1dy2ysqowf0gfww
Kariakoo
0
92721
264004
2026-05-11T06:24:23Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kariakoo''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na [[Kiingereza]] '''Carrier Corps''', likirejea kikosi cha wapagazi waliotumika wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, ambao walikuwa na kambi yao katika eneo hilo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kariakoo]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264004
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kariakoo'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na [[Kiingereza]] '''Carrier Corps''', likirejea kikosi cha wapagazi waliotumika wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, ambao walikuwa na kambi yao katika eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kariakoo]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
0ak52so6hlqupur9bthyeitkqkp8z7k
264005
264004
2026-05-11T06:26:19Z
Anuary Rajabu
4731
264005
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kariakoo'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na [[Kiingereza]] '''Carrier Corps''', likirejea kikosi cha [[wapagazi]] waliotumika wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, ambao walikuwa na [[kambi]] yao katika eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kariakoo]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
crrj78wtrx0gt9ojn8b10decr1syqe4
wapagazi
0
92722
264006
2026-05-11T06:30:27Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === (''Umoja:'''''mpagazi''') # Watu wanaofanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia nguvu zao, hasa katika safari za miguu au misafara. ==== Etimolojia ==== Inatokana na kitendo cha [[kupaga]], ambacho katika [[lahaja]] za zamani kilimaanisha kubeba au kupanga mizigo tayari kwa safari. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[porters]], [[carriers]]'
264006
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
(''Umoja:'''''mpagazi''')
# Watu wanaofanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia nguvu zao, hasa katika safari za miguu au misafara.
==== Etimolojia ====
Inatokana na kitendo cha [[kupaga]], ambacho katika [[lahaja]] za zamani kilimaanisha kubeba au kupanga mizigo tayari kwa safari.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[porters]], [[carriers]]
2a1kjg9hyro2yhranagme7bh7xsqm1y
264007
264006
2026-05-11T06:31:52Z
Anuary Rajabu
4731
264007
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
(''Umoja:'' '''mpagazi''')
# [[watu|Watu]] wanaofanya kazi ya kubeba mizigo kwa kutumia nguvu zao, hasa katika [[safari]] za miguu au [[misafara]].
==== Etimolojia ====
Inatokana na kitendo cha [[kupaga]], ambacho katika [[lahaja]] za zamani kilimaanisha kubeba au kupanga mizigo tayari kwa safari.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[porters]], [[carriers]]
05pb3oimqw8luwizfjm1xtt09izr64m
kupaga
0
92723
264008
2026-05-11T06:34:55Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == === Kitenzi === '''kupaga''' # Kubeba [[mizigo]] kwa kutumia nguvu, hasa begani au kichwani, wakati wa safari ndefu. # [[kupanga|Kupanga]] au kuandaa mizigo tayari kwa ajili ya msafara. ==== Etimolojia ==== Asili yake ni neno la [[Kiswahili]] cha kale lililokuwa likitumiwa sana wakati wa misafara ya biashara kurejea kitendo cha kubeba na kusafirisha bidhaa. ==== Unyumbulishi ==== * [[mpagazi]] (nomino) * [[upagazi]] (nomino) ==== Tafsiri =...'
264008
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
=== Kitenzi ===
'''kupaga'''
# Kubeba [[mizigo]] kwa kutumia nguvu, hasa begani au kichwani, wakati wa safari ndefu.
# [[kupanga|Kupanga]] au kuandaa mizigo tayari kwa ajili ya msafara.
==== Etimolojia ====
Asili yake ni neno la [[Kiswahili]] cha kale lililokuwa likitumiwa sana wakati wa misafara ya biashara kurejea kitendo cha kubeba na kusafirisha bidhaa.
==== Unyumbulishi ====
* [[mpagazi]] (nomino)
* [[upagazi]] (nomino)
==== Tafsiri ====
* {{en}}: to [[carry]] a load, to [[port]]
[[Jamii:Vitenzi]]
tp1rzf2m1fruqg4mwzwyww4838r3rml
264009
264008
2026-05-11T06:35:44Z
Anuary Rajabu
4731
264009
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
=== Kitenzi ===
'''kupaga'''
# Kubeba [[mizigo]] kwa kutumia nguvu, hasa begani au kichwani, wakati wa safari ndefu.
# [[kupanga|Kupanga]] au kuandaa mizigo tayari kwa ajili ya msafara.
==== Etimolojia ====
Asili yake ni neno la [[Kiswahili]] cha kale lililokuwa likitumiwa sana wakati wa misafara ya biashara kurejea kitendo cha kubeba na kusafirisha bidhaa.
==== Unyumbulishi ====
* [[mpagazi|wapagazi]] (nomino)
* [[upagazi]] (nomino)
==== Tafsiri ====
* {{en}}: to [[carry]] a load, to [[port]]
[[Jamii:Vitenzi]]
8u6ktlv3dsyhllui870lfdfwpe58isr
264010
264009
2026-05-11T06:36:37Z
Anuary Rajabu
4731
264010
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
=== Kitenzi ===
'''kupaga'''
# Kubeba [[mizigo]] kwa kutumia nguvu, hasa begani au kichwani, wakati wa safari ndefu.
# [[kupanga|Kupanga]] au kuandaa mizigo tayari kwa ajili ya msafara.
==== Etimolojia ====
Asili yake ni neno la [[Kiswahili]] cha kale lililokuwa likitumiwa sana wakati wa misafara ya biashara kurejea kitendo cha kubeba na kusafirisha bidhaa.
==== Unyumbulishi ====
* [[wapagazi|mpagazi]] (nomino)
* [[upagazi]] (nomino)
==== Tafsiri ====
* {{en}}: to [[carry]] a load, to [[port]]
[[Jamii:Vitenzi]]
6g520djtdyinyyuibtlobuf1fch1v8d
upagazi
0
92724
264011
2026-05-11T06:39:11Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == === Nomino === '''upagazi''' # Kazi, shughuli, au mfumo wa kubeba [[mizigo]] kwa malipo, hasa katika misafara ya safari ndefu. # Hali au nafasi ya kuwa [[mpagazi]]. ==== Etimolojia ==== Inatokana na mzizi wa kitenzi cha [[Kiswahili]] [[kupaga]], kikirejea huduma ya usafirishaji mizigo iliyokuwa muhimu sana katika historia ya biashara ya masafa marefu Afrika Mashariki. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[porterage]] [[Jamii:Nomino]]'
264011
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
=== Nomino ===
'''upagazi'''
# Kazi, shughuli, au mfumo wa kubeba [[mizigo]] kwa malipo, hasa katika misafara ya safari ndefu.
# Hali au nafasi ya kuwa [[mpagazi]].
==== Etimolojia ====
Inatokana na mzizi wa kitenzi cha [[Kiswahili]] [[kupaga]], kikirejea huduma ya usafirishaji mizigo iliyokuwa muhimu sana katika historia ya biashara ya masafa marefu Afrika Mashariki.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[porterage]]
[[Jamii:Nomino]]
do2xhsvj5mqs1qktzips82opn9bob1n
264012
264011
2026-05-11T06:41:13Z
Anuary Rajabu
4731
264012
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
=== Nomino ===
'''upagazi'''
# Kazi, shughuli, au mfumo wa kubeba [[mizigo]] kwa malipo, hasa katika misafara ya safari ndefu.
# Hali au nafasi ya kuwa [[wapagazi|mpagazi]].
==== Etimolojia ====
Inatokana na mzizi wa kitenzi cha [[Kiswahili]] [[kupaga]], kikirejea huduma ya usafirishaji mizigo iliyokuwa muhimu sana katika historia ya biashara ya masafa marefu Afrika Mashariki.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[porterage]]
[[Jamii:Nomino]]
cdkmk7ktexzfmb4365jhjfz2lnm0snm
Kinyerezi
0
92725
264013
2026-05-11T06:43:40Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kinyerezi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya wenyeji wa eneo hilo, likirejea mazingira ya asili ya eneo hilo kabla ya kukua kwa makazi na kuanzishwa kwa miradi mikubwa ya nishati. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kinyerezi]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264013
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kinyerezi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya wenyeji wa eneo hilo, likirejea mazingira ya asili ya eneo hilo kabla ya kukua kwa makazi na kuanzishwa kwa miradi mikubwa ya nishati.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kinyerezi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
aevowt2jfd0j1s67p12gmax6k9sev7s
Kipawa
0
92726
264014
2026-05-11T06:45:14Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kipawa''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] likirejea sehemu ya mwinuko au kilima kidogo. Eneo hili ni maarufu kihistoria kwa kuwa sehemu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kipawa]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264014
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kipawa'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] likirejea sehemu ya mwinuko au kilima kidogo. Eneo hili ni maarufu kihistoria kwa kuwa sehemu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kipawa]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
cddvloytx24kcuu46g808qtg7b0n1bm
Kitunda
0
92727
264015
2026-05-11T06:46:13Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kitunda''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kitunda''', ambalo ni udogo wa neno [[tunda]]. Inasemekana eneo hili lilikuwa na [[rutuba]] na mazao mengi ya matunda katika historia yake ya awali kama eneo la [[kilimo]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kitunda]] {{Kata za Dar es Salaam}} Jamii:Ka...'
264015
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kitunda'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kitunda''', ambalo ni udogo wa neno [[tunda]]. Inasemekana eneo hili lilikuwa na [[rutuba]] na mazao mengi ya matunda katika historia yake ya awali kama eneo la [[kilimo]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kitunda]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
t8p4ewm2l9kpbav1arvadb0j1h3l0zh
Kivukoni
0
92728
264016
2026-05-11T06:47:39Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kivukoni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kivuko''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea mahali ambapo watu na vyombo vya usafiri huvuka bahari kuelekea upande wa [[Kigamboni]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kivukoni]] {{Kata za Dar es Salaam}} Jam...'
264016
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kivukoni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kivuko''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea mahali ambapo watu na vyombo vya usafiri huvuka bahari kuelekea upande wa [[Kigamboni]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kivukoni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
f8wg5kbmqhxo6pdovqwo3nfj33clxlb
Kiwalani
0
92729
264017
2026-05-11T06:49:29Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kiwalani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya wenyeji ([[Kizaramo]]), likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa makazi ya kisasa. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kiwalani]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264017
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kiwalani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Inasemekana jina hili linatokana na maneno ya wenyeji ([[Kizaramo]]), likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa makazi ya kisasa.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kiwalani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
39ixtg3jtmm9ajfojie9j0cby5ambla
Kivule
0
92730
264018
2026-05-11T06:50:20Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kivule''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] likirejea aina fulani ya miti au mazingira ya asili yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kivule]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264018
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kivule'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] likirejea aina fulani ya miti au mazingira ya asili yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kivule]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
pghszc7y0w82riap68o7qv5x0mgajl4
Liwiti
0
92731
264019
2026-05-11T06:51:06Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Liwiti''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Liwiti]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264019
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Liwiti'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Liwiti]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
td6hopqumom2n1ftcwlo1jr226c9kej
Majohe
0
92732
264020
2026-05-11T06:51:58Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Majohe''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya kijani yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Majohe]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264020
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Majohe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya kijani yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Majohe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
b1ahte24runhl5xdkwf6e0wwzqyxub4
Mbuyuni
0
92733
264021
2026-05-11T06:53:48Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbuyuni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mbuyu''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea eneo lililokuwa na mti mkubwa wa [[mbuyu]] uliotumika kama alama ya utambulisho wa mahali hapo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Mbuyuni]] {{Kata za Dar es Salaam}} [...'
264021
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbuyuni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mbuyu''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea eneo lililokuwa na mti mkubwa wa [[mbuyu]] uliotumika kama alama ya utambulisho wa mahali hapo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbuyuni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
l4wesk55o1c9rev5te400mcyiy8o6kg
Mianzini
0
92734
264022
2026-05-11T06:55:30Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mianzini''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mianzi''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea eneo ambalo kihistoria lilikuwa na [[uoto]] mwingi wa [[mianzi]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Mianzini]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264022
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mianzini'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mianzi''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea eneo ambalo kihistoria lilikuwa na [[uoto]] mwingi wa [[mianzi]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mianzini]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
54hubgvklor46ag4hu0qs3hh5n12u97
264238
264022
2026-05-11T09:52:56Z
Anuary Rajabu
4731
264238
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mianzini'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mianzi''' likiambatanishwa na kiambishi tamati cha mahali ''-ni''. Jina hili linarejea eneo ambalo kihistoria lilikuwa na [[uoto]] mwingi wa [[mianzi]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mianzini]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
6rpk56ow2qbwwiraxz0j2x40zlxrqnv
Mnyamani
0
92735
264023
2026-05-11T07:00:18Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mnyamani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa fulani ya mazingira ya asili au utambulisho wa wenyeji wa eneo hilo kabla ya kutanuka kwa [[jiji]] la Dar es Salaam. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Mnyamani]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264023
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mnyamani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa fulani ya mazingira ya asili au utambulisho wa wenyeji wa eneo hilo kabla ya kutanuka kwa [[jiji]] la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mnyamani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
241gi5glf6q7l1migcp4h1yemfye9u1
Kibada
0
92736
264024
2026-05-11T07:01:48Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kibada''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Kwa sasa ni moja kati ya kata zinazokua kwa kasi upande wa Kigamboni. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kibada]] {{Kata za...'
264024
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kibada'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Kwa sasa ni moja kati ya kata zinazokua kwa kasi upande wa Kigamboni.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kibada]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
lix3r6zdt81ge8592n1equnlwmdfha5
Azimio
0
92737
264025
2026-05-11T07:03:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Azimio''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Neno hili linatokana na [[Kiswahili]] '''azimio''', likirejea uamuzi rasmi au mpango uliokubaliwa. Kihistoria, majina kama haya yalishika kasi nchini Tanzania kufuatia Azimio la Arusha la mwaka 1967, yakitumika kuandika upya historia ya makazi kulingana na mwelekeo wa kisiasa wa wakati huo. ==== Taf...'
264025
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Azimio'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Neno hili linatokana na [[Kiswahili]] '''azimio''', likirejea uamuzi rasmi au mpango uliokubaliwa. Kihistoria, majina kama haya yalishika kasi nchini Tanzania kufuatia Azimio la Arusha la mwaka 1967, yakitumika kuandika upya historia ya makazi kulingana na mwelekeo wa kisiasa wa wakati huo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Azimio]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
odkrzbkjsim0klp34uqcjcg85nfqdrm
Msongola
0
92738
264026
2026-05-11T07:04:17Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Msongola''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hili la pembezoni mwa [[jiji]] kabla ya kutanuka kwa makazi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Msongola]] {{Kata za Dar es Salaam}} Jamii:Kata...'
264026
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Msongola'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hili la pembezoni mwa [[jiji]] kabla ya kutanuka kwa makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Msongola]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
m8n05oofl7mpf9vc1jtclin2qmuvi7r
Mvuti
0
92739
264027
2026-05-11T07:05:41Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mvuti''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Kata hii ipo pembezoni mwa wilaya ya Ilala na imekuwa ikikua kwa kasi kutokana na upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya makazi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Mvuti]] {{Kata...'
264027
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mvuti'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Kata hii ipo pembezoni mwa wilaya ya Ilala na imekuwa ikikua kwa kasi kutokana na upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mvuti]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
jc52gua65qaqclavz7wgl85l582yca2
Pugu
0
92740
264028
2026-05-11T07:08:33Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Pugu''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea safu ya milima midogo ya Pugu (Pugu Hills). Eneo hili ni muhimu kihistoria na kimazingira kutokana na hifadhi ya misitu ya asili na [[machimbo]] ya udongo wa [[kauri]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Pugu]] {{Kata za Dar es Sal...'
264028
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Pugu'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea safu ya milima midogo ya Pugu (Pugu Hills). Eneo hili ni muhimu kihistoria na kimazingira kutokana na hifadhi ya misitu ya asili na [[machimbo]] ya udongo wa [[kauri]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Pugu]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
teyt8yb7stg0w1cs853w3k64k5bq4sw
Segerea
0
92741
264029
2026-05-11T07:14:48Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Segerea''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Eneo hili limepata umaarufu mkubwa kutokana na kuwepo kwa gereza kuu la Segerea na kukua kwa kasi kwa makazi ya watu. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: S...'
264029
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Segerea'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Eneo hili limepata umaarufu mkubwa kutokana na kuwepo kwa gereza kuu la Segerea na kukua kwa kasi kwa makazi ya watu.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Segerea]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
1wn4f4omrvu210v7f6iqeo4ec7fbqjh
Tabata
0
92742
264030
2026-05-11T07:32:24Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Tabata''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Tabata imekua kutoka kuwa eneo la [[mashamba]] na misitu hadi kuwa moja ya makazi makubwa na kitovu cha biashara na burudani ndani ya [[jiji]] la Dar es Salaam. ==== Taf...'
264030
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Tabata'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Tabata imekua kutoka kuwa eneo la [[mashamba]] na misitu hadi kuwa moja ya makazi makubwa na kitovu cha biashara na burudani ndani ya [[jiji]] la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Tabata]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
03arynevvdesvecuikz9t9i12n39nvl
Ukonga
0
92743
264031
2026-05-11T07:33:53Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Ukonga''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Eneo hili ni muhimu kwa kuwa ndilo kitovu cha [[jimbo|Jimbo]] la Ukonga na lina historia ya muda mrefu ya [[kambi]] za kijeshi na...'
264031
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Ukonga'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Eneo hili ni muhimu kwa kuwa ndilo kitovu cha [[jimbo|Jimbo]] la Ukonga na lina historia ya muda mrefu ya [[kambi]] za kijeshi na [[magereza]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Ukonga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
38d1t41hktbyfkoip6k8j5ia3m9kfwl
264032
264031
2026-05-11T07:34:19Z
Anuary Rajabu
4731
264032
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Ukonga'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Eneo hili ni muhimu kwa kuwa ndilo kitovu cha [[jimbo|Jimbo]] la Ukonga na lina historia ya muda mrefu ya [[kambi]] za kijeshi na [[gereza|magereza]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Ukonga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
ldw2dgfylrx1ptas9it5u6gdg9q3eku
Upanga Magharibi
0
92744
264033
2026-05-11T07:36:26Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Upanga Magharibi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', ambalo lilitumika kuelezea umbo la eneo hilo lililokuwa kama upanga kuelekea baharini, au kulingana na hadithi za wenyeji kuhusu zana zilizotumiwa wakati wa ulinzi au ibada. Sehemu ya "Magharibi" inabainisha upande...'
264033
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Upanga Magharibi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', ambalo lilitumika kuelezea umbo la eneo hilo lililokuwa kama upanga kuelekea baharini, au kulingana na hadithi za wenyeji kuhusu zana zilizotumiwa wakati wa ulinzi au ibada. Sehemu ya "Magharibi" inabainisha upande wa kijiografia wa kata hii ndani ya eneo pana la Upanga, ambalo kihistoria lilijulikana kwa makazi ya watu wenye asili ya [[Asia]] na majengo ya [[serikali]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[West Upanga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
sigpcvbek45n5m7iz78aaozfkoomexy
Upanga Mashariki
0
92745
264034
2026-05-11T07:39:14Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Upanga Mashariki''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo kuelekea pwani ya bahari. Sehemu ya "Mashariki" inabainisha upande wa kijiografia wa kata hii ndani ya eneo la Upanga. Eneo hili ni moja ya sehemu za kale za [[jiji]] zinaz...'
264034
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Upanga Mashariki'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo kuelekea pwani ya bahari. Sehemu ya "Mashariki" inabainisha upande wa kijiografia wa kata hii ndani ya eneo la Upanga. Eneo hili ni moja ya sehemu za kale za [[jiji]] zinazohifadhi majengo mengi ya kihistoria, taasisi za elimu, na [[hospitali]] muhimu kama Muhimbili.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[East Upanga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
h3nr59r9ocd0hf9wgn1cxs2pwotqfn4
264035
264034
2026-05-11T07:39:52Z
Anuary Rajabu
4731
264035
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Upanga Mashariki'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo kuelekea pwani ya bahari. Sehemu ya "Mashariki" inabainisha upande wa kijiografia wa kata hii ndani ya eneo la Upanga. Eneo hili ni moja ya sehemu za kale za [[jiji]] zinazohifadhi majengo mengi ya kihistoria, taasisi za elimu, na [[hospitali]] muhimu kama Muhimbili.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[east|East]] [[Upanga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
3ggrs2r2mq8bxtv4i67an4zen6ne62k
264036
264035
2026-05-11T07:40:33Z
Anuary Rajabu
4731
Tengua pitio [[Special:Diff/264035|264035]] lililoandikwa na [[Special:Contributions/Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[User talk:Anuary Rajabu|Majadiliano]])
264036
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Upanga Mashariki'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina la Upanga inasemekana linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''upanga''', likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo kuelekea pwani ya bahari. Sehemu ya "Mashariki" inabainisha upande wa kijiografia wa kata hii ndani ya eneo la Upanga. Eneo hili ni moja ya sehemu za kale za [[jiji]] zinazohifadhi majengo mengi ya kihistoria, taasisi za elimu, na [[hospitali]] muhimu kama Muhimbili.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[East Upanga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
h3nr59r9ocd0hf9wgn1cxs2pwotqfn4
Vingunguti
0
92746
264037
2026-05-11T07:42:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Vingunguti''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea miti ya asili ya miiba iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi. Vingunguti ni eneo muhimu kwa shughuli za viwanda vidogo na biashara, na pia inajulikana kwa machinjio kuu ya [[jiji]...'
264037
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Vingunguti'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ilala]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea miti ya asili ya miiba iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi. Vingunguti ni eneo muhimu kwa shughuli za viwanda vidogo na biashara, na pia inajulikana kwa machinjio kuu ya [[jiji]] la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Vingunguti]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
oeezrtmgaj3l110qfzhjbysk649gixy
Kisarawe II
0
92747
264038
2026-05-11T07:43:53Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kisarawe II''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na [[mji]] wa kihistoria wa [[Kisarawe]]. Namba "II" (pili) iliongezwa ili kutofautisha kata hii na mji wa Kisarawe uliopo mkoani [[Pwani]], ikionyesha uhusiano wa kihistoria au wa kijiografia kati ya maeneo hayo mawili wakati...'
264038
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kisarawe II'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na [[mji]] wa kihistoria wa [[Kisarawe]]. Namba "II" (pili) iliongezwa ili kutofautisha kata hii na mji wa Kisarawe uliopo mkoani [[Pwani]], ikionyesha uhusiano wa kihistoria au wa kijiografia kati ya maeneo hayo mawili wakati wa kuanzishwa kwa mipaka ya kiutawala.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kisarawe II]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
fr7n1lodbl7qs042spyk7ko6kh9rd5y
amur
0
92748
264039
2026-05-11T07:44:47Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kitenzi=== #Kupata hisia za kimapenzi au kuvutiwa sana na mtu au kitu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[penda]] *{{tafs|fr}}:[[aimer]]'
264039
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kitenzi===
#Kupata hisia za kimapenzi au kuvutiwa sana na mtu au kitu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[penda]]
*{{tafs|fr}}:[[aimer]]
8goedce1a8s041z08a1i9vh5hxsista
Kimbiji
0
92749
264040
2026-05-11T07:45:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kimbiji''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo la pwani. Kimbiji ni moja kati ya kata za pembezoni mwa [[jiji]] zenye fukwe nzuri na ni eneo muhimu kwa shughuli za [[uvuvi]] na [[kilimo]] c...'
264040
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kimbiji'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo la pwani. Kimbiji ni moja kati ya kata za pembezoni mwa [[jiji]] zenye fukwe nzuri na ni eneo muhimu kwa shughuli za [[uvuvi]] na [[kilimo]] cha asili.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kimbiji]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
5otufzq6yn8edrhgc5mftoa4z2zdrle
Kutani
0
92750
264041
2026-05-11T07:46:19Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kutani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea mazingira ya asili ya eneo hilo la pwani. Kutani ni kata inayokua upande wa kusini mwa wilaya ya Kigamboni, ikijulikana kwa utulivu wake na ukaribu na [[fukwe]] za Bahari ya Hi...'
264041
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kutani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea mazingira ya asili ya eneo hilo la pwani. Kutani ni kata inayokua upande wa kusini mwa wilaya ya Kigamboni, ikijulikana kwa utulivu wake na ukaribu na [[fukwe]] za Bahari ya Hindi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kutani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
r67gsk8rkn1potjqki11s6f3cfxwry9
amusia
0
92751
264042
2026-05-11T07:46:30Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kutoweza kutambua au kufuata midundo na melodi za muziki, mara nyingi husababishwa na hitilafu kwenye ubongo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amusia]] *{{tafs|fr}}:[[amusie]]'
264042
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kutoweza kutambua au kufuata midundo na melodi za muziki, mara nyingi husababishwa na hitilafu kwenye ubongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amusia]]
*{{tafs|fr}}:[[amusie]]
42n6s8swskq5t3q84p8ukguxxx2xlqf
amusie
0
92752
264043
2026-05-11T07:47:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kiafya ambapo mtu hawezi kutambua, kuelewa, au kufuata midundo na melodi za muziki, ingawa uwezo wake wa kusikia ni wa kawaida. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amusia]] *{{tafs|en}}:[[amusia]]'
264043
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kiafya ambapo mtu hawezi kutambua, kuelewa, au kufuata midundo na melodi za muziki, ingawa uwezo wake wa kusikia ni wa kawaida.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amusia]]
*{{tafs|en}}:[[amusia]]
89obqhjhig9nrbsm6rheojtsfo5tg6r
amydricaine
0
92753
264044
2026-05-11T07:47:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa mara nyingi katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amidrikaini]] *{{tafs|fr}}:[[amydricaïne]]'
264044
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa mara nyingi katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amidrikaini]]
*{{tafs|fr}}:[[amydricaïne]]
e3kkkruvz7q5tk1pvlw5wc0v2wrdinl
Mjimwema
0
92754
264045
2026-05-11T07:48:16Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mjimwema''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] '''mji''' na '''mwema''', likiashiria makazi yenye amani, heri, au hali nzuri ya kijamii. Kihistoria, Mjimwema ni moja ya maeneo ya kale ya pwani ya Kigamboni yaliyokuwa na vijiji vya uvuvi kabla ya kua...'
264045
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mjimwema'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] '''mji''' na '''mwema''', likiashiria makazi yenye amani, heri, au hali nzuri ya kijamii. Kihistoria, Mjimwema ni moja ya maeneo ya kale ya pwani ya Kigamboni yaliyokuwa na vijiji vya uvuvi kabla ya kuanza kwa mipango ya kisasa ya mji.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mjimwema]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
pb4o7tae1s9nm74r55a8ljpixkkkj2c
amidrikaini
0
92755
264046
2026-05-11T07:48:45Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amydricaine]] *{{tafs|fr}}:[[amydricaïne]]'
264046
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amydricaine]]
*{{tafs|fr}}:[[amydricaïne]]
1t1f1r8s069i31081n0yuzf4gkz7hu0
amydricaïne
0
92756
264047
2026-05-11T07:49:15Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amidrikaini]] *{{tafs|en}}:[[amydricaine]]'
264047
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Dawa ya ganzi ya ndani inayotumiwa katika upasuaji wa macho, pua, na koo ili kuzuia maumivu bila kutanua mboni ya jicho.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amidrikaini]]
*{{tafs|en}}:[[amydricaine]]
0gtxbv831sfjlyvheyo9os3hgdaom7c
Pemba Mnazi
0
92757
264048
2026-05-11T07:49:44Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Pemba Mnazi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linachanganya maneno mawili ya [[Kiswahili]]: '''Pemba''' na '''Mnazi'''. Inaaminika kuwa jina hili lilitokana na wahamiaji wa awali kutoka [[kisiwa]] cha [[Pemba]] waliofika eneo hilo na kupanda miche ya [[minazi]], au kurejea...'
264048
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Pemba Mnazi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linachanganya maneno mawili ya [[Kiswahili]]: '''Pemba''' na '''Mnazi'''. Inaaminika kuwa jina hili lilitokana na wahamiaji wa awali kutoka [[kisiwa]] cha [[Pemba]] waliofika eneo hilo na kupanda miche ya [[minazi]], au kurejea eneo lenye minazi mingi lililowakumbusha nyumbani kwao. Kata hii ipo kusini kabisa mwa wilaya ya Kigamboni na inapakana na mkoa wa [[Pwani]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Pemba Mnazi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
pbfr1w6dpxmrpvav19bjeoroqxkhjxs
amygdalose
0
92758
264049
2026-05-11T07:49:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya sukari inayopatikana baada ya kuvunjika kwa kemikali inayopatikana kwenye mbegu za lozi chungu na matunda mengine yanayofanana na hayo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amigdalosi]] *{{tafs|fr}}:[[amygdalose]]'
264049
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya sukari inayopatikana baada ya kuvunjika kwa kemikali inayopatikana kwenye mbegu za lozi chungu na matunda mengine yanayofanana na hayo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amigdalosi]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdalose]]
12rnlaj8a6rh38g3qbam5c1a14ukozd
amigdalosi
0
92759
264050
2026-05-11T07:50:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya sukari inayopatikana baada ya kuvunjika kwa kemikali inayopatikana kwenye mbegu za lozi chungu na matunda mengine yanayofanana na hayo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amygdalose]] *{{tafs|fr}}:[[amygdalose]]'
264050
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya sukari inayopatikana baada ya kuvunjika kwa kemikali inayopatikana kwenye mbegu za lozi chungu na matunda mengine yanayofanana na hayo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amygdalose]]
*{{tafs|fr}}:[[amygdalose]]
e0u9oz24ugasykjr3si4rptoo79poxr
Somangila
0
92760
264051
2026-05-11T07:50:51Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Somangila''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Somangila imekuwa kivutio kikubwa cha utalii wa ndani kutokana na fukwe zake safi, kama vile Kipepeo na mbweha, na ni...'
264051
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Somangila'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Somangila imekuwa kivutio kikubwa cha utalii wa ndani kutokana na fukwe zake safi, kama vile Kipepeo na mbweha, na ni moja ya maeneo yanayopangiliwa kisasa kwa ajili ya makazi ya watu wenye kipato cha kati na juu.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Somangila]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
4nm761syndn8kywuliawt730fjkstx8
amyl alcohol
0
92761
264052
2026-05-11T07:51:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye harufu kali kinachotokana na uchachushaji wa sukari, kikitumiwa kama kiyeyusho au katika utengenezaji wa vionjo na manukato. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[alkoholi]] [[amili]] *{{tafs|fr}}:[[alcool amylique]]'
264052
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye harufu kali kinachotokana na uchachushaji wa sukari, kikitumiwa kama kiyeyusho au katika utengenezaji wa vionjo na manukato.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[alkoholi]] [[amili]]
*{{tafs|fr}}:[[alcool amylique]]
eq0qi8jot2fgjk9mlfh5ur1dnuw70ff
alcool amylique
0
92762
264053
2026-05-11T07:51:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye harufu kali kinachotokana na uchachushaji wa sukari, kikitumiwa kama kiyeyusho au katika utengenezaji wa vionjo na manukato. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[alkoholi]] [[amili]] *{{tafs|en}}:[[amyl alcohol]]'
264053
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye harufu kali kinachotokana na uchachushaji wa sukari, kikitumiwa kama kiyeyusho au katika utengenezaji wa vionjo na manukato.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[alkoholi]] [[amili]]
*{{tafs|en}}:[[amyl alcohol]]
agy9p8e2jmudasrqbceaec7f7nvu2z7
Tungi
0
92763
264054
2026-05-11T07:52:07Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Tungi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa makazi ya kisasa. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Tungi]] {{Kata z...'
264054
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Tungi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au miti ya asili iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa makazi ya kisasa.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Tungi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
5cqd3qr0fahi2az373rwr9dfqgqyclp
amylite
0
92764
264055
2026-05-11T07:52:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya unga wa ngano uliochemshwa na kukaushwa ambao hutumika katika utengenezaji wa vyakula au bidhaa za viwandani kutokana na uwezo wake wa kunata. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilaiti]] *{{tafs|fr}}:[[amylite]]'
264055
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya unga wa ngano uliochemshwa na kukaushwa ambao hutumika katika utengenezaji wa vyakula au bidhaa za viwandani kutokana na uwezo wake wa kunata.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilaiti]]
*{{tafs|fr}}:[[amylite]]
fmjzk8gvzxe3wrg9bng16eqecf1k4mb
amilaiti
0
92765
264056
2026-05-11T07:52:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya unga wa ngano uliochemshwa na kukaushwa ambao hutumika katika utengenezaji wa vyakula au bidhaa za viwandani kutokana na uwezo wake wa kunata. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylite]] *{{tafs|fr}}:[[amylite]]'
264056
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya unga wa ngano uliochemshwa na kukaushwa ambao hutumika katika utengenezaji wa vyakula au bidhaa za viwandani kutokana na uwezo wake wa kunata.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylite]]
*{{tafs|fr}}:[[amylite]]
qn90hhp5xzetof4b6ixx8i8500t4ejh
Vijibweni
0
92766
264057
2026-05-11T07:53:26Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Vijibweni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kijibweni''', likiwa ni udogo wa neno "jibweni" (mahali penye majabali au mawe makubwa ufukweni). Jina hili linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko kando ya bahari na mkondo wa...'
264057
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Vijibweni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kigamboni]] (zamani ikiwa sehemu ya Wilaya ya [[Temeke]]), [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kijibweni''', likiwa ni udogo wa neno "jibweni" (mahali penye majabali au mawe makubwa ufukweni). Jina hili linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko kando ya bahari na mkondo wa kuingilia bandarini.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Vijibweni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
ihtoincw5h7tyhsgj32zsl23x2028b2
amylocaine
0
92767
264058
2026-05-11T07:53:50Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilokaini]] *{{tafs|fr}}:[[amylocaïne]]'
264058
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilokaini]]
*{{tafs|fr}}:[[amylocaïne]]
p2ft8djt7cbgxc1lsarfq4qzlgsmve2
Bunju
0
92768
264059
2026-05-11T07:54:14Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Bunju''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Bunju imekua kwa kasi kutoka kuwa kijiji cha pembezoni mwa jiji hadi kuwa moja ya makazi ya kisasa na muhimu kando ya barabara...'
264059
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Bunju'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi ya awali. Bunju imekua kwa kasi kutoka kuwa kijiji cha pembezoni mwa jiji hadi kuwa moja ya makazi ya kisasa na muhimu kando ya barabara kuu kuelekea Bagamoyo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Bunju]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
0ajt3tzgt27191tse4rpbhlsrh4gzah
amilokaini
0
92769
264060
2026-05-11T07:54:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylocaine]] *{{tafs|fr}}:[[amylocaïne]]'
264060
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylocaine]]
*{{tafs|fr}}:[[amylocaïne]]
47dhh53pgh536acvo6honb1d304ajxp
amylocaïne
0
92770
264061
2026-05-11T07:54:53Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilokaini]] *{{tafs|en}}:[[amylocaine]]'
264061
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Dawa ya kwanza ya ganzi ya kutengenezwa na binadamu iliyotumika kutoa maumivu, hasa katika upasuaji wa uti wa mgongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilokaini]]
*{{tafs|en}}:[[amylocaine]]
gfif57iyyzkbb6xbvw5st6hxx4j03gm
amylograph
0
92771
264062
2026-05-11T07:55:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilografi]] *{{tafs|fr}}:[[amylographe]]'
264062
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilografi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylographe]]
9e945qhoeiut0d2fc2id3xgkgbdjlfw
amilografi
0
92772
264063
2026-05-11T07:56:07Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylograph]] *{{tafs|fr}}:[[amylographe]]'
264063
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylograph]]
*{{tafs|fr}}:[[amylographe]]
grdhvqwkhcvu5a2g0zmiyozof30xd74
amylographe
0
92773
264064
2026-05-11T07:56:44Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilografi]] *{{tafs|en}}:[[amylograph]]'
264064
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Chombo cha kimaabara kinachotumika kupima na kurekodi mabadiliko ya mnato wa mchanganyiko wa unga na maji wakati unapopata joto.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilografi]]
*{{tafs|en}}:[[amylograph]]
6aloxm60f9mu1xu4iw8z44yviwla3er
amyloidogenesis
0
92774
264065
2026-05-11T07:57:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidojenesisi]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdogenèse]]'
264065
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidojenesisi]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdogenèse]]
dz0ceqwu5qw27hb2udwggidjq8z7v8g
amiloidojenesisi
0
92775
264066
2026-05-11T07:57:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloidogenesis]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdogenèse]]'
264066
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloidogenesis]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdogenèse]]
8s3qjkzbonvy4bftjb9futm5mwzw3lb
amyloïdogenèse
0
92776
264067
2026-05-11T07:58:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidojenesisi]] *{{tafs|en}}:[[amyloidogenesis]]'
264067
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kibayolojia wa kutengenezwa na kurundikana kwa protini zisizo za kawaida katika tishu au viungo vya mwili, jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidojenesisi]]
*{{tafs|en}}:[[amyloidogenesis]]
r6movaribnxruqe1kktmjnw6uo6pdys
amylolytic
0
92777
264068
2026-05-11T07:59:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== #Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolitiki]] *{{tafs|fr}}:[[amylolytique]]'
264068
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
#Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolitiki]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolytique]]
2u4y8fgne4n2qyumd20zyzbsf2kwbj8
amilolitiki
0
92778
264069
2026-05-11T07:59:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylolytic]] *{{tafs|fr}}:[[amylolytique]]'
264069
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylolytic]]
*{{tafs|fr}}:[[amylolytique]]
hrd6ssjlbr4xa0vzmnyak4ye571c647
amylolytique
0
92779
264070
2026-05-11T08:00:27Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilolitiki]] *{{tafs|en}}:[[amylolytic]]'
264070
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Inayohusiana na au yenye uwezo wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mmeng'enyo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilolitiki]]
*{{tafs|en}}:[[amylolytic]]
iy0zhsge0e8ljlirw07z2tjqazle8s1
amylophagia
0
92780
264071
2026-05-11T08:01:08Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilofajia]] *{{tafs|fr}}:[[amylophagie]]'
264071
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilofajia]]
*{{tafs|fr}}:[[amylophagie]]
0dxutzfvvxqvpjha2vfnt7dnlkik38g
amilofajia
0
92781
264072
2026-05-11T08:03:43Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylophagia]] *{{tafs|fr}}:[[amylophagie]]'
264072
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylophagia]]
*{{tafs|fr}}:[[amylophagie]]
7qywe9yfav6zjaidlqe9drobxpgux12
amylophagie
0
92782
264073
2026-05-11T08:04:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilofajia]] *{{tafs|en}}:[[amylophagia]]'
264073
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kulazimika au kutamani sana kula wanga mbichi kwa wingi, mara nyingi ikihusishwa na upungufu wa madini mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilofajia]]
*{{tafs|en}}:[[amylophagia]]
3hquhtib5gpt9tfb8c6z6r4g4gaa18q
amylospheroid
0
92783
264074
2026-05-11T08:05:05Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosferoidi]] *{{tafs|fr}}:[[amylosphéroïde]]'
264074
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosferoidi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosphéroïde]]
2bd9wrr0kfjut54chx0uwwp3u9awm5g
amilosferoidi
0
92784
264075
2026-05-11T08:05:47Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylospheroid]] *{{tafs|fr}}:[[amylosphéroïde]]'
264075
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylospheroid]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosphéroïde]]
l0yw3ucv3gq6e1sfwoukf1w5gfrw9q4
amylosphéroïde
0
92785
264076
2026-05-11T08:06:25Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosferoidi]] *{{tafs|en}}:[[amylospheroid]]'
264076
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mrundikano mdogo wa protini zenye sumu zinazoweza kudhuru seli za neva na ambazo mara nyingi huhusishwa na magonjwa yanayoathiri ubongo na kumbukumbu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosferoidi]]
*{{tafs|en}}:[[amylospheroid]]
hd41c1ce19bbxo1wdaz9unq1whjwcun
amynodontid
0
92786
264077
2026-05-11T08:07:13Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[aminodontidi]] *{{tafs|fr}}:[[amynodontidé]]'
264077
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[aminodontidi]]
*{{tafs|fr}}:[[amynodontidé]]
csb4sg4d5891m4juksdwjc1qffefaon
aminodontidi
0
92787
264078
2026-05-11T08:07:53Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amynodontid]] *{{tafs|fr}}:[[amynodontidé]]'
264078
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amynodontid]]
*{{tafs|fr}}:[[amynodontidé]]
r0choz16snueinrq7zxisieryd3yqtk
amynodontidé
0
92788
264079
2026-05-11T08:08:42Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[aminodontidi]] *{{tafs|en}}:[[amynodontid]]'
264079
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mnyama mkubwa wa zamani aliyefanana na kifaru lakini hakuwa na pembe, ambaye aliishi maeneo yenye maji kama viboko.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[aminodontidi]]
*{{tafs|en}}:[[amynodontid]]
19gdtctax08m0q6pjqr8bhy888nqao3
amyotrophy
0
92789
264080
2026-05-11T08:10:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli inayotokana na kuharibika kwa seli za neva zinazoziongoza. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiotrofia]] *{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]'
264080
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli inayotokana na kuharibika kwa seli za neva zinazoziongoza.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiotrofia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]
gnxfr6sy6slzn7gtuzf3idj8glqu3c4
amiotrofia
0
92790
264081
2026-05-11T08:11:04Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli inayotokana na kuharibika kwa seli za neva zinazoziongoza. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyotrophy]] *{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]'
264081
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kudhoofika au kusinyaa kwa misuli inayotokana na kuharibika kwa seli za neva zinazoziongoza.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyotrophy]]
*{{tafs|fr}}:[[amyotrophie]]
4ns93uciz3a861t2np8tjgmce56ajns
amytal
0
92791
264082
2026-05-11T08:11:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Dawa inayotumiwa kutuliza mfumo wa neva, kusaidia usingizi, au kuzuia kifafa, ambayo ina uwezo mkubwa wa kusababisha uraibu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amitali]] *{{tafs|fr}}:[[amytal]]'
264082
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Dawa inayotumiwa kutuliza mfumo wa neva, kusaidia usingizi, au kuzuia kifafa, ambayo ina uwezo mkubwa wa kusababisha uraibu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amitali]]
*{{tafs|fr}}:[[amytal]]
ix3ykjvt2zx04z27y7bn5hvwj1nidsq
amitali
0
92792
264083
2026-05-11T08:12:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Dawa inayotumiwa kutuliza mfumo wa neva, kusaidia usingizi, au kuzuia kifafa, ambayo ina uwezo mkubwa wa kusababisha uraibu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amytal]] *{{tafs|fr}}:[[amytal]]'
264083
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Dawa inayotumiwa kutuliza mfumo wa neva, kusaidia usingizi, au kuzuia kifafa, ambayo ina uwezo mkubwa wa kusababisha uraibu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amytal]]
*{{tafs|fr}}:[[amytal]]
kt7g2hcxflgrw5ismqkaod2fbx3qodm
anabaena
0
92793
264084
2026-05-11T08:13:18Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya mwani wa kijani-buluu unaopatikana kwenye maji matamu na wenye uwezo wa kubadili naitrojeni kutoka hewani kuwa mbolea, ingawa baadhi ya aina zake hutoa sumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabaena]] *{{tafs|fr}}:[[anabaena]]'
264084
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya mwani wa kijani-buluu unaopatikana kwenye maji matamu na wenye uwezo wa kubadili naitrojeni kutoka hewani kuwa mbolea, ingawa baadhi ya aina zake hutoa sumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabaena]]
*{{tafs|fr}}:[[anabaena]]
basvsw8xek5etxbn2tocih61v92k7vk
anabathrum
0
92794
264085
2026-05-11T08:14:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kiti kilichonyanyuliwa, jukwaa, au sehemu ya kukalia iliyoinuliwa kwa ajili ya kutazama michezo; pia neno la kale linalomaanisha kifaa cha kupandishia (eleveta). ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabathrum]] *{{tafs|fr}}:[[anabathrum]]'
264085
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kiti kilichonyanyuliwa, jukwaa, au sehemu ya kukalia iliyoinuliwa kwa ajili ya kutazama michezo; pia neno la kale linalomaanisha kifaa cha kupandishia (eleveta).
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabathrum]]
*{{tafs|fr}}:[[anabathrum]]
mofcbuu3pctgci15yqu0g2c63fmxyh0
264086
264085
2026-05-11T08:14:39Z
Bycashtz
4746
264086
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kiti kilichonyanyuliwa, jukwaa, au sehemu ya kukalia iliyoinuliwa kwa ajili ya kutazama michezo; pia neno la kale linalomaanisha kifaa cha kupandishia ([[eleveta]]).
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabathrum]]
*{{tafs|fr}}:[[anabathrum]]
3zi4bvpxl2lohzfrjoync6p0nxv437y
anabiosis
0
92795
264087
2026-05-11T08:15:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabiosisi]] *{{tafs|fr}}:[[anabiose]]'
264087
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabiosisi]]
*{{tafs|fr}}:[[anabiose]]
9mtitg6jval6iyzhgwmtkjp49vnee0p
anabiosisi
0
92796
264088
2026-05-11T08:16:13Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabiosis]] *{{tafs|fr}}:[[anabiose]]'
264088
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabiosis]]
*{{tafs|fr}}:[[anabiose]]
didv03ay6jsbti0wk1rktojbgkc07jg
anabiose
0
92797
264089
2026-05-11T08:17:06Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabiosisi]] *{{tafs|en}}:[[anabiosis]]'
264089
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kurejea kwa uhai au shughuli za kimetaboliki baada ya kiumbe kuwa katika hali ya kifo cha muda au usingizi mzito uliosababishwa na mazingira magumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabiosisi]]
*{{tafs|en}}:[[anabiosis]]
pnb4w9crhm39l73dga59vht0k5g23d1
anacardic
0
92798
264090
2026-05-11T08:18:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== #Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakadi]] *{{tafs|fr}}:[[anacardique]]'
264090
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
#Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakadi]]
*{{tafs|fr}}:[[anacardique]]
mavuznbbcw8xr9zynwyz72p1my8a6en
anakadi
0
92799
264091
2026-05-11T08:18:49Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== #Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anacardic]] *{{tafs|fr}}:[[anacardique]]'
264091
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
#Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anacardic]]
*{{tafs|fr}}:[[anacardique]]
k67wv39hhfa957ozg4ju2gxwgiqffus
anacardique
0
92800
264092
2026-05-11T08:19:41Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== #Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anakadi]] *{{tafs|en}}:[[anacardic]]'
264092
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
#Inayotokana na au inayohusiana na mkorosho au ganda la korosho, hasa ikirejelea asidi inayopatikana katika mafuta ya ganda hilo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anakadi]]
*{{tafs|en}}:[[anacardic]]
mwf2950h0koudz78pdt5z9cko925x2d
amurca
0
92801
264093
2026-05-11T08:20:52Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amurka]] *{{tafs|fr}}:[[amurque]]'
264093
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amurka]]
*{{tafs|fr}}:[[amurque]]
kehtnve0edomyvwju5po42e0cbo5839
amurka
0
92802
264094
2026-05-11T08:21:44Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amurca]] *{{tafs|fr}}:[[amurque]]'
264094
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amurca]]
*{{tafs|fr}}:[[amurque]]
1fvx902d9c0qhkys7fg006iqy28txvq
amurque
0
92803
264095
2026-05-11T08:22:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amurka]] *{{tafs|en}}:[[amurca]]'
264095
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kimiminika chenye rangi ya giza na kichungu kinachobaki baada ya kutoa mafuta ya mizeituni, ambacho hutumiwa kama mbolea au dawa ya wadudu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amurka]]
*{{tafs|en}}:[[amurca]]
ikzx1xp9bg9uy8kvnkfsxo2afnidhtd
amusingness
0
92804
264096
2026-05-11T08:23:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kusababisha furaha, kicheko, au pumbao kutokana na ucheshi au vivutio fulani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]] *{{tafs|fr}}:[[caractère amusant]]'
264096
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kusababisha furaha, kicheko, au pumbao kutokana na ucheshi au vivutio fulani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]]
*{{tafs|fr}}:[[caractère amusant]]
ih6vdw7zlizta2gmxhyxebaeyyd7vqk
kangaruu wa miti
0
92805
264097
2026-05-11T08:24:20Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264097
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya kangaruu anayekaa na kuishi juu ya miti, badala ya kuruka ardhini kama kangaruu wa kawaida.
===Mfano===
*Kangaruu wa mtii huishi kwenye miti ya misitu ya mvua
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|tree kangaroo}}
16kgs9uoswuir1c0kplrbqelu2iczwu
caractère amusant
0
92806
264098
2026-05-11T08:24:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kusababisha furaha, kicheko, au pumbao kutokana na ucheshi au vivutio fulani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]] *{{tafs|en}}:[[amusingness]]'
264098
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kusababisha furaha, kicheko, au pumbao kutokana na ucheshi au vivutio fulani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[uchangamfu]]
*{{tafs|en}}:[[amusingness]]
5oxmlstb2adxhr5kjz8wcan8zjekf7p
amyelia
0
92807
264099
2026-05-11T08:31:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Hali ya kuzaliwa bila uti wa mgongo au uboho wa mfupa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amyelia]] *{{tafs|fr}}: [[amyélie]]'
264099
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali ya kuzaliwa bila uti wa mgongo au uboho wa mfupa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amyelia]]
*{{tafs|fr}}: [[amyélie]]
7rzl9fsqxfnzblax5n1bshiy6lm3mip
264100
264099
2026-05-11T08:32:25Z
Bycashtz
4746
264100
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali adimu ya ulemavu wa kuzaliwa ambapo kiumbe hukosa uti wa mgongo, mara nyingi ikiambatana na kutokuwepo kwa sehemu ya fuvu au ubongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amyelia]]
*{{tafs|fr}}: [[amyélie]]
e8teqp35caqadpem4485vfub0lre0ji
buibui ngamia
0
92808
264101
2026-05-11T08:32:29Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264101
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu wa jamii ya arachnida (kama buibui na nge) anayepatikana zaidi kwenye maeneo ya jangwa.
===Mfano===
*Buibui ngamia hukimbia kwa kasi sana juu ya mchanga wa jangwa
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|camel spider}}
nxk4p4vt7c9hxv7mgtmjnoz7qka104k
amyélie
0
92809
264102
2026-05-11T08:33:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Hali adimu ya ulemavu wa kuzaliwa ambapo kiumbe hukosa uti wa mgongo, mara nyingi ikiambatana na kutokuwepo kwa sehemu ya fuvu au ubongo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amyelia]] *{{tafs|en}}: [[amyelia]]'
264102
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Hali adimu ya ulemavu wa kuzaliwa ambapo kiumbe hukosa uti wa mgongo, mara nyingi ikiambatana na kutokuwepo kwa sehemu ya fuvu au ubongo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amyelia]]
*{{tafs|en}}: [[amyelia]]
bq7k03t1tniowrrb3s1a978pzc4rtsb
amygdalectomy
0
92810
264103
2026-05-11T08:35:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Upasuaji wa kuondoa sehemu ya ubongo inayohusika na hisia au upasuaji wa kutoa tezi za kooni. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amigdalektomia]] *{{tafs|fr}}: [[amygdalectomie]]'
264103
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Upasuaji wa kuondoa sehemu ya ubongo inayohusika na hisia au upasuaji wa kutoa tezi za kooni.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amigdalektomia]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdalectomie]]
tuock37zbvx0x4mssrbp6z42wz54iy9
tarantula
0
92811
264104
2026-05-11T08:35:18Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264104
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya buibui mkubwa sana mwenye manyoya mengi mwilini, anayepatikana sehemu za joto kama misitu, savana na jangwa.
===Mfano===
*Tarantula alijificha ndani ya shimo lake mchana.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Tarantula}}
51ca0f73e60mva9mlavbfc6wnpitfrx
amigdalektomia
0
92812
264105
2026-05-11T08:35:30Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Aina ya upasuaji unaofanyika kwa ajili ya kuondoa tezi za kooni au sehemu fulani ya ubongo inayohusika na hisia. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amygdalectomy]] *{{tafs|fr}}: [[amygdalectomie]]'
264105
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya upasuaji unaofanyika kwa ajili ya kuondoa tezi za kooni au sehemu fulani ya ubongo inayohusika na hisia.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amygdalectomy]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdalectomie]]
aterpkqrtonhppmoce11tc4xv9vbpp5
amygdalectomie
0
92813
264106
2026-05-11T08:36:04Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Upasuaji wa kutoa tezi za kooni au sehemu ya ubongo inayohusika na udhibiti wa hisia. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amigdalektomia]] *{{tafs|en}}: [[amygdalectomy]]'
264106
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Upasuaji wa kutoa tezi za kooni au sehemu ya ubongo inayohusika na udhibiti wa hisia.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amigdalektomia]]
*{{tafs|en}}: [[amygdalectomy]]
se9f65dbm3m2uqy4thfxuzawq9pjzl2
amygdalotomy
0
92814
264107
2026-05-11T08:36:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Upasuaji wa kutengeneza tundu au chale kwenye sehemu ya ubongo inayohusika na hisia ili kutibu matatizo fulani ya akili au neva. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amigdalotomia]] *{{tafs|fr}}: [[amygdalotomie]]'
264107
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Upasuaji wa kutengeneza tundu au chale kwenye sehemu ya ubongo inayohusika na hisia ili kutibu matatizo fulani ya akili au neva.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amigdalotomia]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdalotomie]]
tdfqaigqk246gvwlr8p8eudr1ubu6c4
amigdalotomia
0
92815
264108
2026-05-11T08:37:50Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Upasuaji wa kuchanja au kutoboa sehemu ya ubongo inayodhibiti hisia ili kusaidia kutibu matatizo ya mfumo wa neva. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amygdalotomy]] *{{tafs|fr}}: [[amygdalotomie]]'
264108
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Upasuaji wa kuchanja au kutoboa sehemu ya ubongo inayodhibiti hisia ili kusaidia kutibu matatizo ya mfumo wa neva.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amygdalotomy]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdalotomie]]
rh734if8h6wyil3l98m8d9zuxo0fow8
amygdalotomie
0
92816
264109
2026-05-11T08:38:19Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Upasuaji wa kutoboa au kuchanja sehemu ya ubongo inayohusika na hisia kwa lengo la kutibu magonjwa ya akili au neva. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amigdalotomia]] *{{tafs|en}}: [[amygdalotomy]]'
264109
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Upasuaji wa kutoboa au kuchanja sehemu ya ubongo inayohusika na hisia kwa lengo la kutibu magonjwa ya akili au neva.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amigdalotomia]]
*{{tafs|en}}: [[amygdalotomy]]
s3p1vq34t1nslh4ap82ki92jf9f8zgv
kiswalu
0
92817
264110
2026-05-11T08:38:19Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264110
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu mrefu mwenye miguu mingi sana kando kando ya mwili, anayejulikana kwa kasi na uwezo wa kuwinda wadudu wengine.
===Mfano===
*Kiswalu alijificha chini ya jiwe akingoja wadudu wadogo
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|centipede}}
oc9dxqsbnxg4ctxmzkkgrabtw08gi4q
amylamine
0
92818
264111
2026-05-11T08:38:53Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Kemikali ya majimaji isiyo na rangi inayotokana na amonia, inayotumika kutengeneza dawa, rangi, na bidhaa nyingine za viwandani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilamini]] *{{tafs|fr}}: [[amylamine]]'
264111
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Kemikali ya majimaji isiyo na rangi inayotokana na amonia, inayotumika kutengeneza dawa, rangi, na bidhaa nyingine za viwandani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilamini]]
*{{tafs|fr}}: [[amylamine]]
nr6cjfozivu54xc48sgjcegcv6l4g1x
amilamini
0
92819
264112
2026-05-11T08:39:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Kemikali ya majimaji inayotokana na amonia ambayo hutumika katika viwanda kutengeneza vitu kama dawa na rangi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylamine]] *{{tafs|fr}}: [[amylamine]]'
264112
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Kemikali ya majimaji inayotokana na amonia ambayo hutumika katika viwanda kutengeneza vitu kama dawa na rangi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylamine]]
*{{tafs|fr}}: [[amylamine]]
g7jnbeupfdyiu62mcoqpmdyp6khq16h
amylmetacresol
0
92820
264113
2026-05-11T08:40:02Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni, mara nyingi hupatikana kwenye vidonge vya kusuuza koo ili kupunguza maumivu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilmetakresoli]] *{{tafs|fr}}: [[amylmétacrésol]]'
264113
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni, mara nyingi hupatikana kwenye vidonge vya kusuuza koo ili kupunguza maumivu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilmetakresoli]]
*{{tafs|fr}}: [[amylmétacrésol]]
3to1xi8s9ibgrejjsagmvihm320uxro
amilmetakresoli
0
92821
264114
2026-05-11T08:40:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni ambayo husaidia kutibu maumivu ya koo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylmetacresol]] *{{tafs|fr}}: [[amylmétacrésol]]'
264114
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni ambayo husaidia kutibu maumivu ya koo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylmetacresol]]
*{{tafs|fr}}: [[amylmétacrésol]]
t4n1wjjqb6n0gwnircqa79py7u0hbai
amylmétacrésol
0
92822
264115
2026-05-11T08:41:04Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni ili kupunguza maumivu na kutibu maambukizi madogo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilmetakresoli]] *{{tafs|en}}: [[amylmetacresol]]'
264115
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Dawa inayotumika kuua vijidudu mdomoni na kooni ili kupunguza maumivu na kutibu maambukizi madogo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilmetakresoli]]
*{{tafs|en}}: [[amylmetacresol]]
rfx8ginvh3pqmxw3cn161a0to9w3jwq
amylocellulose
0
92823
264116
2026-05-11T08:41:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Sehemu ya wanga inayopatikana kwenye kuta za chembechembe za mimea ambayo haiyeyuki kwa urahisi katika maji. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amiloselulosi]] *{{tafs|fr}}: [[amylocellulose]]'
264116
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Sehemu ya wanga inayopatikana kwenye kuta za chembechembe za mimea ambayo haiyeyuki kwa urahisi katika maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amiloselulosi]]
*{{tafs|fr}}: [[amylocellulose]]
9n73hzg51kpjihw7lxtf4ciuyvq3e8u
mdudu kijiti
0
92824
264117
2026-05-11T08:41:59Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264117
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu ambaye mwili wake unafanana kabisa na kijiti cha mti, hivyo hujificha kwa urahisi dhidi ya wanyama wanaomwinda.
===Mfano===
*Mdudu kijiti alijificha vizuri kwenye tawi la mti ili asionekane.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|stick insect}}
qgd6akw8ykju2y7ywcgs3hxewj8z5r8
amiloselulosi
0
92825
264118
2026-05-11T08:42:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Sehemu ya wanga inayopatikana kwenye kuta za chembe za mimea ambayo haiyeyuki kirahisi kwenye maji. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylocellulose]] *{{tafs|fr}}: [[amylocellulose]]'
264118
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Sehemu ya wanga inayopatikana kwenye kuta za chembe za mimea ambayo haiyeyuki kirahisi kwenye maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylocellulose]]
*{{tafs|fr}}: [[amylocellulose]]
l60pxj9q2ie9wvgexaa9pz90pac3arn
amylohydrolase
0
92826
264119
2026-05-11T08:42:49Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Vimeng’enya vinavyosaidia kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilohaidrolesi]] *{{tafs|fr}}: [[amylohydrolase]]'
264119
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Vimeng’enya vinavyosaidia kuvunja wanga kuwa sukari rahisi wakati wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilohaidrolesi]]
*{{tafs|fr}}: [[amylohydrolase]]
t693hm1heph51fkf6wwjyqyumw5soy3
amilohaidrolesi
0
92827
264120
2026-05-11T08:43:22Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Aina ya vimeng'enya vinavyovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylohydrolase]] *{{tafs|fr}}: [[amylohydrolase]]'
264120
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya vimeng'enya vinavyovunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylohydrolase]]
*{{tafs|fr}}: [[amylohydrolase]]
krvaaq5a3yibrtfj4p360g19t3bcaq3
mdudu jani
0
92828
264121
2026-05-11T08:43:43Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264121
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu ambaye mwili wake, miguu na hata mabawa yake yanafanana na jani la mti, hivyo hujificha vizuri sana kwenye mimea.
===Mfano===
*Mdudu jani alijificha kati ya majani ya mti bila mtu kumgundua.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|leaf insect}}
0o5gk2fiwrclbldrejgf8vhe8x3ifdj
amyloidogenicity
0
92829
264122
2026-05-11T08:44:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Uwezo au hali ya protini fulani mwilini kujikusanya na kutengeneza makundi yasiyo ya kawaida ambayo yanaweza kusababisha magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amiloidojenisiti]] *{{tafs|fr}}: [[amyloïdogénicité]]'
264122
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Uwezo au hali ya protini fulani mwilini kujikusanya na kutengeneza makundi yasiyo ya kawaida ambayo yanaweza kusababisha magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amiloidojenisiti]]
*{{tafs|fr}}: [[amyloïdogénicité]]
krc12dw2g5u9a3gtmbgexrqs7pdw31o
amiloidojenisiti
0
92830
264123
2026-05-11T08:44:33Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Uwezo wa protini fulani mwilini kujikusanya na kutengeneza mabonge yasiyo ya kawaida yanayoweza kusababisha madhara au magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amyloidogenicity]] *{{tafs|fr}}: [[amyloïdogénicité]]'
264123
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Uwezo wa protini fulani mwilini kujikusanya na kutengeneza mabonge yasiyo ya kawaida yanayoweza kusababisha madhara au magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amyloidogenicity]]
*{{tafs|fr}}: [[amyloïdogénicité]]
iv72b50lu4yqk3y8u1fcmrea61zbga4
amyloïdogénicité
0
92831
264124
2026-05-11T08:45:04Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Uwezo wa protini fulani kujikusanya na kutengeneza mabonge yasiyo ya kawaida mwilini ambayo yanaweza kusababisha magonjwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amiloidojenisiti]] *{{tafs|en}}: [[amyloidogenicity]]'
264124
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Uwezo wa protini fulani kujikusanya na kutengeneza mabonge yasiyo ya kawaida mwilini ambayo yanaweza kusababisha magonjwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amiloidojenisiti]]
*{{tafs|en}}: [[amyloidogenicity]]
02u0kryxj5ntsy2weaapvumjcpfq9fn
Hananasif
0
92832
264125
2026-05-11T08:45:27Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Hananasif''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili lina asili ya pekee likiwa ni unganisho la majina ya watu wawili mashuhuri waliomiliki mashamba katika eneo hilo: '''Hana''' na '''Nasif'''. Inasemekana kuwa Hana alikuwa mwanamke mwenye asili ya [[kizungu|Kizungu]] au [[Kiarabu]] na Nasif alikuwa mshirika wake au mmiliki mwenza. Baad...'
264125
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Hananasif'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili lina asili ya pekee likiwa ni unganisho la majina ya watu wawili mashuhuri waliomiliki mashamba katika eneo hilo: '''Hana''' na '''Nasif'''. Inasemekana kuwa Hana alikuwa mwanamke mwenye asili ya [[kizungu|Kizungu]] au [[Kiarabu]] na Nasif alikuwa mshirika wake au mmiliki mwenza. Baadaye, majina haya yaliunganishwa na kuwa jina rasmi la eneo hilo ambalo limekuwa makazi maarufu katikati ya [[jiji]] la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Hananasif]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
cwamxzyb5zvxidzjtov7ox9834zhcmw
amylom
0
92833
264126
2026-05-11T08:46:05Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembechembe za wanga au kundi la protini za mimea zinazoweza kutengeneza nyuzi maalumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilomu]] *{{tafs|fr}}: [[amylome]]'
264126
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembechembe za wanga au kundi la protini za mimea zinazoweza kutengeneza nyuzi maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilomu]]
*{{tafs|fr}}: [[amylome]]
tkw4urkz9bd9myclodeqkceatkpg59y
mdudu sote
0
92834
264127
2026-05-11T08:46:12Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264127
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu mla nyama mwenye miguu ya mbele iliyoinama kama mtu anayesali.
===Mfano===
*Mdudu sote alijificha kwenye jani akisubiri mdudu mwingine.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|praying mantis}}
t0uvjojv3rvx9nvabvfkboq75sp83n2
amilomu
0
92835
264128
2026-05-11T08:46:39Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembe za wanga au kundi la protini za mimea zenye uwezo wa kutengeneza nyuzi maalumu. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylome]] *{{tafs|fr}}: [[amylome]]'
264128
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembe za wanga au kundi la protini za mimea zenye uwezo wa kutengeneza nyuzi maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylome]]
*{{tafs|fr}}: [[amylome]]
fp5j93k7nk7qw7o7enh4vz8cvssgj7q
264129
264128
2026-05-11T08:46:59Z
Bycashtz
4746
264129
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembe za wanga au kundi la protini za mimea zenye uwezo wa kutengeneza nyuzi maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylom]]
*{{tafs|fr}}: [[amylome]]
k71oekpbzt0rf2cgo9hcaxe38u2kr06
Kijitonyama
0
92836
264130
2026-05-11T08:47:18Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kijitonyama''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] '''kijito''' (mto mdogo) na '''nyama'''. Inasemekana kuwa zamani eneo hilo lilikuwa na kijito ambapo wanyamapori walikuwa wakifika kunywa maji, na hivyo kuwa mahali maarufu kwa wawindaji kupata nyama. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: Kiji...'
264130
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kijitonyama'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] '''kijito''' (mto mdogo) na '''nyama'''. Inasemekana kuwa zamani eneo hilo lilikuwa na kijito ambapo wanyamapori walikuwa wakifika kunywa maji, na hivyo kuwa mahali maarufu kwa wawindaji kupata nyama.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kijitonyama]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
eriz69v9snyf06542cfj37mxira4z5r
amylome
0
92837
264131
2026-05-11T08:47:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembe za wanga au kundi la protini za mimea zenye uwezo wa kutengeneza nyuzi maalumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilomu]] *{{tafs|en}}: [[amylom]]'
264131
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Sehemu ya seli za mimea inayohifadhi chembe za wanga au kundi la protini za mimea zenye uwezo wa kutengeneza nyuzi maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilomu]]
*{{tafs|en}}: [[amylom]]
lzyiba27vdm338xyy0db55hmpxgyk4o
amylophagy
0
92838
264132
2026-05-11T08:48:10Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Tabia au hali ya kula kiasi kikubwa cha vyakula vyenye wanga, au ulaji usio wa kawaida wa wanga mbichi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilofajia]] *{{tafs|fr}}: [[amylophagie]]'
264132
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Tabia au hali ya kula kiasi kikubwa cha vyakula vyenye wanga, au ulaji usio wa kawaida wa wanga mbichi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilofajia]]
*{{tafs|fr}}: [[amylophagie]]
6g0203hhpnhavwwqcnh4prujhw9lhh4
amylostatin
0
92839
264133
2026-05-11T08:48:45Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Aina ya kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya vya mmeng'enyo ili kupunguza kasi ya kuvunjwa kwa wanga kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilostatini]] *{{tafs|fr}}: [[amylostatine]]'
264133
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Aina ya kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya vya mmeng'enyo ili kupunguza kasi ya kuvunjwa kwa wanga kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilostatini]]
*{{tafs|fr}}: [[amylostatine]]
tj5ouvh88o1iru6gxc5p5wvtus8jt9p
sikadá
0
92840
264134
2026-05-11T08:49:12Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264134
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu anayejulikana kwa kutoa sauti kubwa sana (kama milio ya “zii-zii”) hasa wakati wa joto kali la mchana au majira ya kiangazi.
===Mfano===
*Sikadá alipiga kelele kubwa juu ya mti wakati wa mchana wenye joto.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|cicada}}
qit6jdy8gaueessgm4l3auhp5xvx27u
amilostatini
0
92841
264135
2026-05-11T08:49:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya mwilini ili kupunguza kasi ya kubadilisha wanga kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylostatin]] *{{tafs|fr}}: [[amylostatine]]'
264135
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya mwilini ili kupunguza kasi ya kubadilisha wanga kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylostatin]]
*{{tafs|fr}}: [[amylostatine]]
hxwrboj442vh5g4slcfffp85f1hgnti
Kunduchi
0
92842
264136
2026-05-11T08:49:59Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kunduchi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo la pwani. Kunduchi ni eneo lenye historia ndefu, likijulikana kwa magofu yake ya kale ya [[karne]] ya 15 na 16, makaburi ya kihistoria, na sasa ni kitovu cha utalii wa fukwe na uvuvi kask...'
264136
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kunduchi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo la pwani. Kunduchi ni eneo lenye historia ndefu, likijulikana kwa magofu yake ya kale ya [[karne]] ya 15 na 16, makaburi ya kihistoria, na sasa ni kitovu cha utalii wa fukwe na uvuvi kaskazini mwa [[jiji]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kunduchi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
64jqoiq2ny3cu3sg76yrxgztv48q9yo
amylostatine
0
92843
264137
2026-05-11T08:50:05Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya mwilini ili kupunguza kasi ya kubadilisha wanga kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilostatini]] *{{tafs|en}}: [[amylostatin]]'
264137
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Kizuizi asilia kinachozuia ufanyaji kazi wa vimeng'enya mwilini ili kupunguza kasi ya kubadilisha wanga kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilostatini]]
*{{tafs|en}}: [[amylostatin]]
mo48y0ibq7r11vdf25izup3ic0k9rwl
amyoplasia
0
92844
264138
2026-05-11T08:50:55Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Hali ya kuzaliwa ambapo misuli fulani mwilini haikui vizuri, hali inayopelekea viungo kuwa vigumu au kukosa uwezo wa kujikunja. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amioplasia]] *{{tafs|fr}}: [[amyoplasie]]'
264138
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali ya kuzaliwa ambapo misuli fulani mwilini haikui vizuri, hali inayopelekea viungo kuwa vigumu au kukosa uwezo wa kujikunja.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amioplasia]]
*{{tafs|fr}}: [[amyoplasie]]
in14ardul9601rlsb88z2oqr7d9wb9m
Mabwepande
0
92845
264139
2026-05-11T08:50:56Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mabwepande''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] yanayorejea sifa za kijiografia za eneo hilo, likiunganisha dhana ya "mabwe" (mawe makubwa au rundo la mawe) na "pande" (vipande au sehemu). Eneo hili lilipata umaarufu zaidi kama makazi mapya yaliyopangwa na serikali kwa aji...'
264139
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mabwepande'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana linatokana na maneno ya [[Kiswahili]] yanayorejea sifa za kijiografia za eneo hilo, likiunganisha dhana ya "mabwe" (mawe makubwa au rundo la mawe) na "pande" (vipande au sehemu). Eneo hili lilipata umaarufu zaidi kama makazi mapya yaliyopangwa na serikali kwa ajili ya waathirika wa mafuriko ya mwaka 2011 kutoka maeneo ya mabondeni ya jiji la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mabwepande]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
izj7gthe2epj3ah4bhl6q7cp40uv6b1
amioplasia
0
92846
264140
2026-05-11T08:51:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Hali ya kuzaliwa ambapo misuli hukosa kukua vizuri na kusababisha viungo vya mwili kuwa vigumu au kutoweza kujikunja kwa urahisi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amyoplasia]] *{{tafs|fr}}: [[amyoplasie]]'
264140
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Hali ya kuzaliwa ambapo misuli hukosa kukua vizuri na kusababisha viungo vya mwili kuwa vigumu au kutoweza kujikunja kwa urahisi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amyoplasia]]
*{{tafs|fr}}: [[amyoplasie]]
qj1v808l2v869rkdssvr4ktqpca1tp8
amyoplasie
0
92847
264141
2026-05-11T08:52:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Hali ya kuzaliwa ambapo misuli fulani haikui vizuri na kusababisha viungo vya mwili kuwa vigumu au kushindwa kujikunja. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amioplasia]] *{{tafs|en}}: [[amyoplasia]]'
264141
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Hali ya kuzaliwa ambapo misuli fulani haikui vizuri na kusababisha viungo vya mwili kuwa vigumu au kushindwa kujikunja.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amioplasia]]
*{{tafs|en}}: [[amyoplasia]]
bs005tnm7qs2tdyhpybvsxl1168l7jn
Magomeni
0
92848
264142
2026-05-11T08:52:46Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Magomeni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] "magome", likirejea magome ya miti yaliyokuwa yakipatikana kwa wingi katika eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Magomeni]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264142
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Magomeni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] "magome", likirejea magome ya miti yaliyokuwa yakipatikana kwa wingi katika eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwa makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Magomeni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
f43c377rw5qkgc3w8nwp1nkj0hfmisq
kereng’ende mwembamba
0
92849
264143
2026-05-11T08:53:24Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264143
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu anayefanana sana na kereng’ende (dragonfly), lakini ni mwembamba zaidi na dhaifu kidogo.
===Mfano===
*Kereng’ende mwembamba alitua juu ya jani karibu na mto akitafuta mbu.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|damselfly}}
feqjmli1v1bqkjiiv5560yhuv0wgq2m
Makongo
0
92850
264144
2026-05-11T08:53:59Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Makongo''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za milima na mabonde zinazopatikana katika eneo hilo. Makongo imekua kwa kasi kutokana na ukaribu wake na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na [[kambi]] ya [[jeshi]] ya Lugalo, huku ikiwa ni makazi m...'
264144
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makongo'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za milima na mabonde zinazopatikana katika eneo hilo. Makongo imekua kwa kasi kutokana na ukaribu wake na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na [[kambi]] ya [[jeshi]] ya Lugalo, huku ikiwa ni makazi maarufu kwa watu wa kipato cha kati na juu (hasa eneo la Makongo Juu).
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makongo]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
o2vdwlm4khit47zxhuxv9t8c9xw2s6a
Amyraldian
0
92851
264145
2026-05-11T08:54:08Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[Amiraldia]] *{{tafs|fr}}: [[Amyraldien]]'
264145
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[Amiraldia]]
*{{tafs|fr}}: [[Amyraldien]]
3csod88wtapxvepbs86zsdgotlvw3l8
Amiraldia
0
92852
264146
2026-05-11T08:54:41Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[Amyraldian]] *{{tafs|fr}}: [[Amyraldien]]'
264146
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[Amyraldian]]
*{{tafs|fr}}: [[Amyraldien]]
ief2hfc416jbia6tx7zbo9hu7lcij5x
Amyraldien
0
92853
264147
2026-05-11T08:55:14Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[Amiraldia]] *{{tafs|en}}: [[Amyraldian]]'
264147
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Muumini wa fundisho la kidini linalosisitiza kuwa wokovu ulitolewa kwa ajili ya wanadamu wote, lakini unawafikia wale tu wenye imani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[Amiraldia]]
*{{tafs|en}}: [[Amyraldian]]
e59a51722nt42qssm0g7y3buimgnxbd
Makumbusho
0
92854
264148
2026-05-11T08:55:41Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Makumbusho''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''makumbusho''', likirejea Kijiji cha Makumbusho kilichopo ndani ya kata hii. Kituo hiki cha kihistoria kilianzishwa ili kuhifadhi na kuonyesha nyumba za asili na tamaduni za makabila mbalimbali ya Tanzania. Kutokana na umaarufu wa eneo hilo kama...'
264148
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makumbusho'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''makumbusho''', likirejea Kijiji cha Makumbusho kilichopo ndani ya kata hii. Kituo hiki cha kihistoria kilianzishwa ili kuhifadhi na kuonyesha nyumba za asili na tamaduni za makabila mbalimbali ya Tanzania. Kutokana na umaarufu wa eneo hilo kama kituo cha utamaduni na utalii, jina hilo likawa utambulisho wa kata nzima.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makumbusho]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
eraxjmvi5y4mzxez88uwc3xizju0571
amyxorrhea
0
92855
264149
2026-05-11T08:55:59Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amiksorea]] *{{tafs|fr}}: [[amyxorrhée]]'
264149
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amiksorea]]
*{{tafs|fr}}: [[amyxorrhée]]
bp1jnoykz6om8aks8rm5tnum9qm6m4r
amiksorea
0
92856
264150
2026-05-11T08:56:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amyxorrhea]] *{{tafs|fr}}: [[amyxorrhée]]'
264150
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amyxorrhea]]
*{{tafs|fr}}: [[amyxorrhée]]
7avkbuet6yxsd8etdopzddn94c4l0ao
amyxorrhée
0
92857
264151
2026-05-11T08:57:10Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amiksorea]] *{{tafs|en}}: [[amyxorrhea]]'
264151
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Hali ya kiafya inayotokana na upungufu au kukosekana kabisa kwa ute wa asili mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amiksorea]]
*{{tafs|en}}: [[amyxorrhea]]
1jjk12r89et0sbfuoexrs7mbk86hw5z
mende wa madoa
0
92858
264152
2026-05-11T08:57:28Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264152
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya mende mdogo mwenye rangi ya nyekundu au machungwa na madoa meusi.
===Mfano===
*Mende wa madoa alisaidia bustani kwa kula wadudu waliokuwa wanaharibu mimea.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|ladybug}}
9v5lld68gt4wtbhwf5aftkecb0ii0nl
Mbezi Juu
0
92859
264153
2026-05-11T08:57:51Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbezi Juu''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''Mbezi''', likirejea mazingira ya kijiografia ya eneo hilo. Neno "Juu" limeongezwa ili kutofautisha eneo hili na maeneo mengine ya Mbezi (kama vile Mbezi ya Kimara iliyopo wilaya ya [[Ubungo]]), likiashiria mwinuko wa kijiografia au upande uliopo...'
264153
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbezi Juu'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''Mbezi''', likirejea mazingira ya kijiografia ya eneo hilo. Neno "Juu" limeongezwa ili kutofautisha eneo hili na maeneo mengine ya Mbezi (kama vile Mbezi ya Kimara iliyopo wilaya ya [[Ubungo]]), likiashiria mwinuko wa kijiografia au upande uliopo kuelekea kaskazini mwa [[jiji]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbezi Juu]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
6ai26sh5yie8q50f83lyipv5o309bub
anabaenolysin
0
92860
264154
2026-05-11T08:57:58Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Aina ya sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini ambayo ina uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabenolisini]] *{{tafs|fr}}: [[anabaenolysine]]'
264154
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Aina ya sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini ambayo ina uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabenolisini]]
*{{tafs|fr}}: [[anabaenolysine]]
m6fujg5nbcyrr0xwrcqx4j8azdi2vc7
anabenolisini
0
92861
264155
2026-05-11T08:58:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Aina ya sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini ambayo ina uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[anabaenolysin]] *{{tafs|fr}}: [[anabaenolysine]]'
264155
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini ambayo ina uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[anabaenolysin]]
*{{tafs|fr}}: [[anabaenolysine]]
2l6vm9atrvrht8seqwwha65k31rmio4
Mbweni
0
92862
264156
2026-05-11T08:58:50Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbweni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mbweni''' (mahali penye [[pwani]] au kando ya bahari). Jina hili linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko kaskazini kabisa mwa [[jiji]] la Dar es Salaam kando ya Bahari ya Hindi. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Mbweni]] {{Kata...'
264156
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbweni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''mbweni''' (mahali penye [[pwani]] au kando ya bahari). Jina hili linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko kaskazini kabisa mwa [[jiji]] la Dar es Salaam kando ya Bahari ya Hindi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbweni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
bcbxlchn3ej3rhb3rb43no40u09ge5u
anabaenolysine
0
92863
264157
2026-05-11T08:59:09Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini yenye uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabenolisini]] *{{tafs|en}}: [[anabaenolysin]]'
264157
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Sumu inayozalishwa na viumbe hai wadogo wa majini yenye uwezo wa kuharibu seli nyekundu za damu na utando wa seli nyingine mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabenolisini]]
*{{tafs|en}}: [[anabaenolysin]]
mu3nbqwe13h9f2xg408662wgj33ofs9
mende kifaru
0
92864
264158
2026-05-11T08:59:19Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264158
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya mende mkubwa mwenye pembe kichwani au mgongoni zinazofanana na za kifaru.
===Mfano===
*Mende kifaru alitumia pembe yake kupigania nafasi juu ya tawi la mti.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|rhinoceros beetle}}
0ill5ghno36n9vvkmgxxcfmmg8fm7w8
Mikocheni
0
92865
264159
2026-05-11T09:00:36Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mikocheni''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''mkoche''', ambalo ni aina ya mti wa jamii ya mitende inayozalisha matunda yanayoitwa makoche. Zamani, eneo hili lilikuwa na msitu mkubwa wa miti hii kabla ya kugeuka kuwa makazi ya watu. Leo hii, Mikocheni ni moja ya kata maarufu kwa mak...'
264159
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mikocheni'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''mkoche''', ambalo ni aina ya mti wa jamii ya mitende inayozalisha matunda yanayoitwa makoche. Zamani, eneo hili lilikuwa na msitu mkubwa wa miti hii kabla ya kugeuka kuwa makazi ya watu. Leo hii, Mikocheni ni moja ya kata maarufu kwa makazi ya watu wenye kipato cha juu, ofisi za kidiplomasia, na vituo vya biashara.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mikocheni]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
2v1dk8kh47nz45af3uqk21ysvx191m3
Msasani
0
92866
264161
2026-05-11T09:03:34Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Msasani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mchakato wa kusafisha au "kusasa" (kama vile kusafisha vyombo au zana) uliokuwa ukifanyika katika [[fukwe]] za eneo hilo. Msasani ina historia ndefu kama kijiji cha uvuvi na ni maarufu kwa rasi yake (Msasani Peninsula)....'
264161
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Msasani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mchakato wa kusafisha au "kusasa" (kama vile kusafisha vyombo au zana) uliokuwa ukifanyika katika [[fukwe]] za eneo hilo. Msasani ina historia ndefu kama kijiji cha uvuvi na ni maarufu kwa rasi yake (Msasani Peninsula). Leo hii, ni moja ya maeneo ya gharama kubwa zaidi jijini Dar es Salaam, likiwa na idadi kubwa ya balozi, hoteli za kitalii, na makazi ya kifahari.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Msasani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
1kozibajrxp64jqxtdqvsl2ipkk03el
264162
264161
2026-05-11T09:04:06Z
Anuary Rajabu
4731
264162
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Msasani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mchakato wa kusafisha au "kusasa" (kama vile kusafisha vyombo au zana) uliokuwa ukifanyika katika [[fukwe]] za eneo hilo. Msasani ina historia ndefu kama kijiji cha uvuvi na ni maarufu kwa [[rasi]] yake (Msasani Peninsula). Leo hii, ni moja ya maeneo ya gharama kubwa zaidi jijini Dar es Salaam, likiwa na idadi kubwa ya balozi, hoteli za kitalii, na makazi ya kifahari.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Msasani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
9fj0lh3yr3dcf6x9okqujpyy7yhjyhq
Anabaptistry
0
92867
264163
2026-05-11T09:04:24Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Imani au mafundisho ya kikundi cha Kikristo kinachoamini kuwa mtu anapaswa kubatizwa tu akiwa mtu mzima baada ya kukiri imani yake. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[Uanabaptisti]] *{{tafs|fr}}: [[Anabaptisme]]'
264163
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Imani au mafundisho ya kikundi cha Kikristo kinachoamini kuwa mtu anapaswa kubatizwa tu akiwa mtu mzima baada ya kukiri imani yake.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[Uanabaptisti]]
*{{tafs|fr}}: [[Anabaptisme]]
8v36q0rxqub8p3cw40toha57bhrpjb2
Anabaptisme
0
92868
264164
2026-05-11T09:05:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Mafundisho au imani ya kikundi cha Kikristo kinachokataa ubatizo wa watoto wachanga na kusisitiza kuwa ubatizo ni kwa ajili ya waumini watu wazima pekee. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[Uanabaptisti]] *{{tafs|en}}: [[Anabaptistry]]'
264164
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Mafundisho au imani ya kikundi cha Kikristo kinachokataa ubatizo wa watoto wachanga na kusisitiza kuwa ubatizo ni kwa ajili ya waumini watu wazima pekee.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[Uanabaptisti]]
*{{tafs|en}}: [[Anabaptistry]]
ptker9blso52vlott38n5fak0sisx7e
Mwananyamala
0
92869
264165
2026-05-11T09:05:25Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mwananyamala''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likiwa na maana ya "mwana anyamaye" au "mtoto anayenyamaza". Hadithi za wenyeji zinaeleza kuwa zamani eneo hilo lilikuwa na utulivu mkubwa kiasi kwamba hata watoto walikuwa wakitulia bila kulia, au lilitumika kama sehemu ya ma...'
264165
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mwananyamala'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likiwa na maana ya "mwana anyamaye" au "mtoto anayenyamaza". Hadithi za wenyeji zinaeleza kuwa zamani eneo hilo lilikuwa na utulivu mkubwa kiasi kwamba hata watoto walikuwa wakitulia bila kulia, au lilitumika kama sehemu ya maficho na usalama wakati wa migogoro.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mwananyamala]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
o6t915uy8wvrqalwuz1pt6u5t43azos
anabatic
0
92870
264166
2026-05-11T09:06:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== # Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabatiki]] *{{tafs|fr}}: [[anabatique]]'
264166
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
# Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabatiki]]
*{{tafs|fr}}: [[anabatique]]
husafrtb3sht46d3n0pyvxpi43legj7
Ndugumbi
0
92871
264167
2026-05-11T09:06:55Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Ndugumbi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea aina ya ndege au sifa fulani ya mazingira ya asili iliyopatikana katika eneo hilo kabla ya kuongezeka kwa makazi. Ndugumbi ni kata yenye wakazi wengi na imepakana na maeneo ya [[Magomeni]] na [[Tandale]], ikiwa ni sehem...'
264167
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Ndugumbi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea aina ya ndege au sifa fulani ya mazingira ya asili iliyopatikana katika eneo hilo kabla ya kuongezeka kwa makazi. Ndugumbi ni kata yenye wakazi wengi na imepakana na maeneo ya [[Magomeni]] na [[Tandale]], ikiwa ni sehemu muhimu ya biashara ndogondogo na makazi ya watu wenye kipato cha kati na chini jijini Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Ndugumbi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
jtknyplkr87vngzh99hf5mo8wxyjwd9
anabatiki
0
92872
264168
2026-05-11T09:06:56Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== # Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto la jua. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[anabatic]] *{{tafs|fr}}: [[anabatique]]'
264168
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
# Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto la jua.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[anabatic]]
*{{tafs|fr}}: [[anabatique]]
nmfv36qav8ozmbhwgptmdlj4z53kcn7
anabatique
0
92873
264169
2026-05-11T09:07:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== # Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabatiki]] *{{tafs|en}}: [[anabatic]]'
264169
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
# Tabia ya upepo au hewa inayopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya kupata joto.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabatiki]]
*{{tafs|en}}: [[anabatic]]
64s7ycsi6x3h32ftpxfqvqm0rey281y
anabiotic
0
92874
264170
2026-05-11T09:08:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kivumishi=== # Hali ya kurejea kwenye uhai au shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi kirefu cha kutokuwa na dalili za maisha. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabiotiki]] *{{tafs|fr}}: [[anabiotique]]'
264170
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kivumishi===
# Hali ya kurejea kwenye uhai au shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi kirefu cha kutokuwa na dalili za maisha.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabiotiki]]
*{{tafs|fr}}: [[anabiotique]]
tmj90rbkzajszk5e7deacw5r08dtiqw
anabiotiki
0
92875
264171
2026-05-11T09:08:54Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Kivumishi=== # Hali ya kurejea kwenye uhai au kuanza tena shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi cha kupoteza fahamu au kukosa dalili za maisha. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[anabiotic]] *{{tafs|fr}}: [[anabiotique]]'
264171
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Kivumishi===
# Hali ya kurejea kwenye uhai au kuanza tena shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi cha kupoteza fahamu au kukosa dalili za maisha.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[anabiotic]]
*{{tafs|fr}}: [[anabiotique]]
scth3031zrly5oqi3lma3m851sx50jz
anabiotique
0
92876
264172
2026-05-11T09:09:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Kivumishi=== # Hali ya kurejea kwenye uhai au kuanza tena shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi cha kukosa dalili za maisha. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabiotiki]] *{{tafs|en}}: [[anabiotic]]'
264172
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Kivumishi===
# Hali ya kurejea kwenye uhai au kuanza tena shughuli za kibaolojia baada ya kiumbe kuwa katika kipindi cha kukosa dalili za maisha.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabiotiki]]
*{{tafs|en}}: [[anabiotic]]
sf6qedi8t7062jw4va330cms1zdxonr
mende mwenye pembe
0
92877
264173
2026-05-11T09:09:40Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264173
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya mende mkubwa mwenye taya kubwa zinazofanana na pembe za kulungu, hasa kwa madume.
===Mfano===
*Mende mwenye pembe kama za kulungu alipigana na mwingine juu ya tawi la mti.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|stag beetle}}
7z37mmvtknq1xux3ak7lx4agri8tyxq
Tandale
0
92878
264174
2026-05-11T09:09:45Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Tandale''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea mchakato wa "kutandaza" au "kutandala" kwa ajili ya biashara au shughuli za kijamii zilizokuwa zikifanyika eneo hilo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Tandale]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264174
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Tandale'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea mchakato wa "kutandaza" au "kutandala" kwa ajili ya biashara au shughuli za kijamii zilizokuwa zikifanyika eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Tandale]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
nn5dr18a8i6ahjkdymafqfjjh7j5mqg
anabolite
0
92879
264175
2026-05-11T09:10:19Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Dutu yoyote inayotumiwa na kiumbe hai au inayotengenezwa wakati wa mchakato wa kujenga tishu na kukuza mwili. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[anabolaiti]] *{{tafs|fr}}: [[anabolite]]'
264175
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Dutu yoyote inayotumiwa na kiumbe hai au inayotengenezwa wakati wa mchakato wa kujenga tishu na kukuza mwili.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[anabolaiti]]
*{{tafs|fr}}: [[anabolite]]
oqhdeabuju66vmsuux6dts00ujvj2h5
anabolaiti
0
92880
264176
2026-05-11T09:11:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Dutu inayotumika au inayozalishwa na kiumbe hai wakati wa mchakato wa kujenga tishu na kukuza mwili. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[anabolite]] *{{tafs|fr}}: [[anabolite]]'
264176
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Dutu inayotumika au inayozalishwa na kiumbe hai wakati wa mchakato wa kujenga tishu na kukuza mwili.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[anabolite]]
*{{tafs|fr}}: [[anabolite]]
fdwunv5qcorg1450kzlp0luj9vw5i8v
anacardic acid
0
92881
264177
2026-05-11T09:11:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Mchanganyiko wa kemikali asilia zinazopatikana kwenye ganda la korosho, zinazotumika katika viwanda kutengeneza dawa, rangi, na viua wadudu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[anikadiki]] *{{tafs|fr}}: [[acide anacardique]]'
264177
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Mchanganyiko wa kemikali asilia zinazopatikana kwenye ganda la korosho, zinazotumika katika viwanda kutengeneza dawa, rangi, na viua wadudu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[anikadiki]]
*{{tafs|fr}}: [[acide anacardique]]
rezw1m1kws22cxxpfhf66jamozokok2
Wazo
0
92882
264178
2026-05-11T09:11:57Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Wazo''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na mlima mdogo uliopo eneo hilo unaojulikana kama '''Mlima Wazo'''. Eneo hili limekuwa maarufu kutokana na shughuli za viwanda, hususan uzalishaji wa [[saruji]], ambapo malighafi ya chokaa huchimbwa katika milima ya eneo hilo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: W...'
264178
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Wazo'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Kinondoni]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na mlima mdogo uliopo eneo hilo unaojulikana kama '''Mlima Wazo'''. Eneo hili limekuwa maarufu kutokana na shughuli za viwanda, hususan uzalishaji wa [[saruji]], ambapo malighafi ya chokaa huchimbwa katika milima ya eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Wazo]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
tpbuofsjqlywchitddy8h9rfh92r5z9
anikadiki
0
92883
264179
2026-05-11T09:12:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Jina la kikundi cha kemikali zinazopatikana kwenye mafuta ya maganda ya korosho ambazo hutumika kutengeneza rangi, vimelea, na dawa. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[anacardic acid]] *{{tafs|fr}}: [[acide anacardique]]'
264179
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Jina la kikundi cha kemikali zinazopatikana kwenye mafuta ya maganda ya korosho ambazo hutumika kutengeneza rangi, vimelea, na dawa.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[anacardic acid]]
*{{tafs|fr}}: [[acide anacardique]]
ar38w4jid51e31gn41woehef9bvva2j
acide anacardique
0
92884
264180
2026-05-11T09:13:19Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Mchanganyiko wa kemikali asilia zinazopatikana kwenye ganda la korosho, zinazotumika kutengeneza rangi, dawa, na bidhaa za viwandani. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[anikadiki]] *{{tafs|en}}: [[anacardic acid]]'
264180
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Mchanganyiko wa kemikali asilia zinazopatikana kwenye ganda la korosho, zinazotumika kutengeneza rangi, dawa, na bidhaa za viwandani.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[anikadiki]]
*{{tafs|en}}: [[anacardic acid]]
amdweo221dz2oca964edbxqdvbzwazb
Chamazi
0
92885
264181
2026-05-11T09:13:22Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Chamazi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Chamazi imepata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kukua kwa kasi kwa makazi ya watu na ujenzi wa miundombinu ya michezo, hususan Uwanja wa Azam...'
264181
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Chamazi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Chamazi imepata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kukua kwa kasi kwa makazi ya watu na ujenzi wa miundombinu ya michezo, hususan Uwanja wa Azam Complex, ambao umeifanya kata hii kuwa kitovu muhimu cha michezo jijini Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Chamazi]]
{{Kata za Temeke}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
em6wkliaya1xwlqnsjee5cykgk0hz1r
264183
264181
2026-05-11T09:15:19Z
Anuary Rajabu
4731
264183
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Chamazi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo. Chamazi imepata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kukua kwa kasi kwa makazi ya watu na ujenzi wa miundombinu ya michezo, hususan Uwanja wa Azam Complex, ambao umeifanya kata hii kuwa kitovu muhimu cha michezo jijini Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Chamazi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
je6ttm339rxjhfeqot8fjn7fhp4gb7z
nyigu mkubwa
0
92886
264182
2026-05-11T09:13:27Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264182
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya nyigu lakini ni mkubwa zaidi na mara nyingi mkali zaidi kuliko nyigu wa kawaida.
===Mfano===
*Nyigu mkubwa alilinda kiota chake kwa ukali alipohisi hatari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|hornet}}
gyt71p97uvxwumubovgb7isvsa4jmgd
amuck
0
92887
264184
2026-05-11T09:16:33Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Kielezi=== # Hali ya kufanya mambo kwa fujo, kichaa, au bila kujizuia, mara nyingi ikihusisha tabia ya kushambulia au kuharibu vitu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amaki]] *{{tafs|fr}}: [[amok]]'
264184
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Kielezi===
# Hali ya kufanya mambo kwa fujo, kichaa, au bila kujizuia, mara nyingi ikihusisha tabia ya kushambulia au kuharibu vitu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amaki]]
*{{tafs|fr}}: [[amok]]
b1kvarb1yf95rohxooe1rs9pcv155ub
funza wa hariri
0
92888
264185
2026-05-11T09:16:41Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264185
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni kiwavi cha nondo wa hariri ambaye hutengeneza uzi wa hariri (silk) kwa kujifungia kwenye kifuko kinachoitwa cocoon.
===Mfano===
*Funza wa hariri alitengeneza cocoon yenye uzi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|silkworm}}
kagpbpx3vjp2p6snz8mpyz1ypgb94ao
Chang'ombe
0
92889
264186
2026-05-11T09:16:44Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Chang'ombe''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na maneno ya [[Kiswahili]] "cha ng'ombe," likirejea eneo ambalo zamani lilitumika kwa ajili ya malisho au machinjio ya mifugo (ng'ombe). ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Chang'ombe]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264186
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Chang'ombe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na maneno ya [[Kiswahili]] "cha ng'ombe," likirejea eneo ambalo zamani lilitumika kwa ajili ya malisho au machinjio ya mifugo (ng'ombe).
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Chang'ombe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
enajvmcmql026oe3a5rwlsy8vo8u80y
amaki
0
92890
264187
2026-05-11T09:17:14Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Hali ya kupandwa na ghadhabu kali au kichaa cha ghafla kinachomfanya mtu kuanza kushambulia watu au kuharibu vitu bila kujizuia. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amuck]] *{{tafs|fr}}: [[amok]]'
264187
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Hali ya kupandwa na ghadhabu kali au kichaa cha ghafla kinachomfanya mtu kuanza kushambulia watu au kuharibu vitu bila kujizuia.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amuck]]
*{{tafs|fr}}: [[amok]]
6r92lpckpuzqje2b8l81wejg2bf8zo0
amok
0
92891
264188
2026-05-11T09:17:55Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Hali ya ghafla ya kichaa au ghadhabu kali inayomfanya mtu kukimbia hovyo na kushambulia watu au kuharibu vitu bila utambuzi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amaki]] *{{tafs|en}}: [[amuck]]'
264188
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Hali ya ghafla ya kichaa au ghadhabu kali inayomfanya mtu kukimbia hovyo na kushambulia watu au kuharibu vitu bila utambuzi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amaki]]
*{{tafs|en}}: [[amuck]]
nh4b8uruldxn4mov0ljmp9o434lme67
Charambe
0
92892
264189
2026-05-11T09:18:08Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Charambe''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijamii au mazingira ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwake. Charambe ni kata inayokua kwa kasi kuelekea pembezoni mwa jiji, ikijulikana kwa shughuli za kilimo cha mjini na makazi yanayoongezeka kwa wingi kutokana...'
264189
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Charambe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijamii au mazingira ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwake. Charambe ni kata inayokua kwa kasi kuelekea pembezoni mwa jiji, ikijulikana kwa shughuli za kilimo cha mjini na makazi yanayoongezeka kwa wingi kutokana na upatikanaji wa ardhi ikilinganishwa na maeneo ya katikati ya jiji.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Charambe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
4oferquxup3kfx0w65rjukorltr4x3q
minyoo ya ardhini
0
92893
264190
2026-05-11T09:19:08Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264190
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu laini anayeishi ardhini na kusaidia kufanya udongo uwe na rutuba.
===Mfano===
*Minyoo ya ardhini husaidia kuboresha rutuba ya udongo shambani.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|earthworm}}
lgvh6u3hcx03gfq3gk5pgm0g5rd7anx
Amurrican
0
92894
264191
2026-05-11T09:19:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Neno la kejeli au la utani linalotumika kumrejelea Mmarekani, likiiga jinsi watu wa maeneo ya vijijini au wenye uzalendo uliopitiliza wanavyolitamka neno hilo. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[Mmarekani]] *{{tafs|fr}}: [[Américain]]'
264191
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Neno la kejeli au la utani linalotumika kumrejelea Mmarekani, likiiga jinsi watu wa maeneo ya vijijini au wenye uzalendo uliopitiliza wanavyolitamka neno hilo.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[Mmarekani]]
*{{tafs|fr}}: [[Américain]]
ao6n7ttfo99u3k16caxoudjogjeyatq
Keko
0
92895
264192
2026-05-11T09:20:02Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Keko''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mazingira ya eneo hilo lililokuwa na mikondo ya maji au madimbwi wakati wa mvua. Keko ni moja ya maeneo ya zamani na maarufu jijini Dar es Salaam, likijulikana kwa Gereza la Keko na viwanda vidogovidogo vya samani na useremala....'
264192
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Keko'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mazingira ya eneo hilo lililokuwa na mikondo ya maji au madimbwi wakati wa mvua. Keko ni moja ya maeneo ya zamani na maarufu jijini Dar es Salaam, likijulikana kwa Gereza la Keko na viwanda vidogovidogo vya samani na useremala.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Keko]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
4gufth1dmx431ws172cxclltpg808h6
amusement arcade
0
92896
264193
2026-05-11T09:20:10Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Jengo au eneo la wazi lenye mashine nyingi za michezo ya kielektroniki na burudani nyinginezo ambazo huchezwa kwa kutumia sarafu au kadi maalumu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[ukumbi]] [[wa]] [[michezo]] *{{tafs|fr}}: [[salle d'arcade]]'
264193
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Jengo au eneo la wazi lenye mashine nyingi za michezo ya kielektroniki na burudani nyinginezo ambazo huchezwa kwa kutumia sarafu au kadi maalumu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[ukumbi]] [[wa]] [[michezo]]
*{{tafs|fr}}: [[salle d'arcade]]
afv1fuzxyuqlapxylmo5tgwzq22uori
ruba
0
92897
264194
2026-05-11T09:20:50Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264194
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mdudu laini anayepatikana zaidi kwenye maji au maeneo yenye unyevunyevu, na baadhi yao hunyonya damu ya wanyama au binadamu.
===Mfano===
*Ruba alijishikiza kwenye mguu wa mvuvi alipokuwa ndani ya maji.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|leech}}
dmm6f60asroz8aave393fbzg3ilqx7q
salle d'arcade
0
92898
264195
2026-05-11T09:21:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Sehemu au jengo lililotengwa kwa ajili ya michezo ya video na mashine nyingine za burudani ambazo watu huzitumia kwa kulipia. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[ukumbi]] [[wa]] [[michezo]] *{{tafs|en}}: [[amusement arcade]]'
264195
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Sehemu au jengo lililotengwa kwa ajili ya michezo ya video na mashine nyingine za burudani ambazo watu huzitumia kwa kulipia.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[ukumbi]] [[wa]] [[michezo]]
*{{tafs|en}}: [[amusement arcade]]
0i2btyjn9fyeoj0mpjicco83s4bew0i
amusiveness
0
92899
264196
2026-05-11T09:21:47Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Hali au tabia ya kuwa na uwezo wa kufurahisha, kuchekesha, au kutoa burudani kwa wengine. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[uchangamfu]] *{{tafs|fr}}: [[caractère amusant]]'
264196
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali au tabia ya kuwa na uwezo wa kufurahisha, kuchekesha, au kutoa burudani kwa wengine.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[uchangamfu]]
*{{tafs|fr}}: [[caractère amusant]]
tsfpqnv2k1fgi8c0do4skn04zxjunrt
Kibasila
0
92900
264197
2026-05-11T09:22:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kibasila''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mzee maarufu au kiongozi wa kijadi wa kabila la [[Kizaramo]] aliyeitwa Kibasila, ambaye alikuwa na makazi au ushawishi katika eneo hilo. Jina hili pia limebeba historia ya kishujaa, kwani Mzee Kibasila anakumbukwa kwa kushiriki katika harakati za u...'
264197
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kibasila'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mzee maarufu au kiongozi wa kijadi wa kabila la [[Kizaramo]] aliyeitwa Kibasila, ambaye alikuwa na makazi au ushawishi katika eneo hilo. Jina hili pia limebeba historia ya kishujaa, kwani Mzee Kibasila anakumbukwa kwa kushiriki katika harakati za upinzani dhidi ya [[utawala]] wa kikoloni enzi za Vita vya Maji Maji.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kibasila]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
lrni7oo1tkw75ttuxt6pbq5penoma3t
amyelination
0
92901
264198
2026-05-11T09:22:30Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Hali ya kukosa au kutokuwa na uboho wa kinga kwenye neva, jambo ambalo huathiri usafirishaji wa taarifa mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amielinesheni]] *{{tafs|fr}}: [[amyélinisation]]'
264198
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Hali ya kukosa au kutokuwa na uboho wa kinga kwenye neva, jambo ambalo huathiri usafirishaji wa taarifa mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amielinesheni]]
*{{tafs|fr}}: [[amyélinisation]]
22ericynmgpmlgppk7fo4e1ssk34j9t
amielinesheni
0
92902
264199
2026-05-11T09:23:15Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Hali ya kukosekana kwa utando wa kinga kwenye neva, jambo linaloweza kusababisha matatizo katika usafirishaji wa mawasiliano mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amyelination]] *{{tafs|fr}}: [[amyélinisation]]'
264199
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Hali ya kukosekana kwa utando wa kinga kwenye neva, jambo linaloweza kusababisha matatizo katika usafirishaji wa mawasiliano mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amyelination]]
*{{tafs|fr}}: [[amyélinisation]]
l2ludkvinu4rcxcgnft6d7rfxqjccne
farasi wa baharini
0
92903
264200
2026-05-11T09:23:37Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264200
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni samaki mdogo wa baharini mwenye kichwa kinachofanana na cha farasi.
===Mfano===
*Farasi wa baharini alijifunga kwenye mmea wa baharini kwa kutumia mkia wake.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|seahorse}}
isozc0fif5vidoroh278pzu2vzvys8z
Kibonde Maji
0
92904
264201
2026-05-11T09:23:46Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kibonde Maji''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na maneno mawili ya [[Kiswahili]], "kibonde" (bonde dogo) na "maji". Linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko katika sehemu ya chini inayoelekea kukusanya maji au kuwa na unyevunyevu mwingi wakati wa majira ya mvua. Kibonde Maji imekua kwa kasi kama makazi ya...'
264201
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kibonde Maji'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na maneno mawili ya [[Kiswahili]], "kibonde" (bonde dogo) na "maji". Linarejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo liko katika sehemu ya chini inayoelekea kukusanya maji au kuwa na unyevunyevu mwingi wakati wa majira ya mvua. Kibonde Maji imekua kwa kasi kama makazi ya watu kufuatia msongamano wa watu katika maeneo ya jirani ya [[Mbagala]], na sasa ni moja ya maeneo yenye idadi kubwa ya wakazi katika wilaya ya Temeke.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kibonde Maji]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
pa9vzhlopumxto4r6akhmn2fdlq9j2n
amyélinisation
0
92905
264202
2026-05-11T09:24:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Hali ya kukosekana au kutokuwepo kwa utando wa kinga kwenye neva, jambo ambalo huathiri kasi na uwezo wa mfumo wa neva kusafirisha taarifa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amielinesheni]] *{{tafs|en}}: [[amyelination]]'
264202
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Hali ya kukosekana au kutokuwepo kwa utando wa kinga kwenye neva, jambo ambalo huathiri kasi na uwezo wa mfumo wa neva kusafirisha taarifa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amielinesheni]]
*{{tafs|en}}: [[amyelination]]
haelga7i68famr9xexcvf4e44tzc6bb
amygdalic acid
0
92906
264203
2026-05-11T09:24:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Aina ya asidi inayopatikana kwenye lozi chungu inayotumika katika utengenezaji wa dawa na vipodozi kwa ajili ya kutibu ngozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[amigdaliki]] *{{tafs|fr}}: [[acide amygdalique]]'
264203
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Aina ya asidi inayopatikana kwenye lozi chungu inayotumika katika utengenezaji wa dawa na vipodozi kwa ajili ya kutibu ngozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[amigdaliki]]
*{{tafs|fr}}: [[acide amygdalique]]
1dtgag3ulzx7m53k2f8yl4k8x4rkp8l
amigdaliki
0
92907
264204
2026-05-11T09:25:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Aina ya asidi inayotokana na lozi chungu ambayo hutumika kutengeneza dawa na bidhaa za kulainisha ngozi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amygdalic acid]] *{{tafs|fr}}: [[acide amygdalique]]'
264204
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya asidi inayotokana na lozi chungu ambayo hutumika kutengeneza dawa na bidhaa za kulainisha ngozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amygdalic acid]]
*{{tafs|fr}}: [[acide amygdalique]]
0ubcquxyrsfo218okvv6dcc6nzs5e2w
264208
264204
2026-05-11T09:26:48Z
Bycashtz
4746
264208
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya asidi inayotokana na [[lozi]] chungu ambayo hutumika kutengeneza dawa na bidhaa za kulainisha ngozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amygdalic acid]]
*{{tafs|fr}}: [[acide amygdalique]]
6a5nkok8lhekm0rhh8dtqu5ijy3gr13
Kilungule
0
92908
264205
2026-05-11T09:25:53Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kilungule''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwake. Kilungule ni moja ya kata zinazokua kwa kasi pembezoni mwa wilaya ya Temeke, ikipakana na maeneo ya [[Mbagala]] na [[Charambe]]. ==== Tafs...'
264205
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kilungule'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia au mazingira ya asili ya eneo hilo wakati wa kuanzishwa kwake. Kilungule ni moja ya kata zinazokua kwa kasi pembezoni mwa wilaya ya Temeke, ikipakana na maeneo ya [[Mbagala]] na [[Charambe]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kilungule]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
6fyhx3fm6y6slko74e6ep17daoobj33
samaki piranha
0
92909
264206
2026-05-11T09:26:25Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264206
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni samaki wa maji safi anayejulikana kwa meno yake makali na uwezo wa kula nyama.
===Mfano===
*Samaki piranha hutumia meno yake makali kukata chakula haraka.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|piranha}}
8xsq7ly1ff1rv1vmfvusgtwdnohdqup
acide amygdalique
0
92910
264207
2026-05-11T09:26:35Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Aina ya asidi inayotokana na [[lozi]] chungu ambayo hutumika katika viwanda vya dawa na utengenezaji wa bidhaa za ngozi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[amigdaliki]] *{{tafs|en}}: [[amygdalic acid]]'
264207
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Aina ya asidi inayotokana na [[lozi]] chungu ambayo hutumika katika viwanda vya dawa na utengenezaji wa bidhaa za ngozi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[asidi]] [[amigdaliki]]
*{{tafs|en}}: [[amygdalic acid]]
nari3qzy8qbp9atvyr8h1vwkc8llu3t
Kurasini
0
92911
264209
2026-05-11T09:27:34Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kurasini''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mchakato wa kusafisha au kuteleza, likiashiria hali ya ardhi au mwingiliano wa maji ya bahari katika eneo hilo. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kurasini]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264209
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kurasini'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mchakato wa kusafisha au kuteleza, likiashiria hali ya ardhi au mwingiliano wa maji ya bahari katika eneo hilo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kurasini]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
6bw8vxswn7e5gn3t6tx4rhane1nd6mz
amygdule
0
92912
264210
2026-05-11T09:29:02Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Donge la madini linaloundika ndani ya tundu la mwamba wa [[volkano]] baada ya gesi kupotea. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amigiduli]] *{{tafs|fr}}: [[amygdale]]'
264210
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Donge la madini linaloundika ndani ya tundu la mwamba wa [[volkano]] baada ya gesi kupotea.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amigiduli]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdale]]
69ty1qzhvil2kzt4rqsirsru1y11q7t
fisha
0
92913
264211
2026-05-11T09:29:06Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264211
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mla nyama wa misituni Amerika Kaskazini, mwenye mwili mrefu, manyoya mengi, na uwezo mzuri wa kupanda miti.
===Mfano===
*Fisha alipanda mti haraka akimfukuza mnyama mdogo msituni.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|fisher}}
4j9ub3e7jwqjf1llorvhmhup4tw63w0
Makangarawe
0
92914
264212
2026-05-11T09:29:22Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Makangarawe''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kangarawe''', ambalo linamaanisha mawe madogo magumu (kokoto za asili) yanayopatikana ardhini. Eneo hili liliitwa hivyo kutokana na sifa ya udongo wake uliokuwa na wingi wa mawe hayo kabla ya kuanzishwa kwa makazi makubwa ya watu. Leo hii, Makanga...'
264212
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makangarawe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kangarawe''', ambalo linamaanisha mawe madogo magumu (kokoto za asili) yanayopatikana ardhini. Eneo hili liliitwa hivyo kutokana na sifa ya udongo wake uliokuwa na wingi wa mawe hayo kabla ya kuanzishwa kwa makazi makubwa ya watu. Leo hii, Makangarawe ni kata yenye wakazi wengi inayopakana na maeneo ya [[Mbagala]] na [[Yombo]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makangarawe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
j0rj3dt5mtm9fus1l58q6cemmtrkiux
264215
264212
2026-05-11T09:30:47Z
Anuary Rajabu
4731
264215
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makangarawe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] '''kangarawe''', ambalo linamaanisha mawe madogo magumu (kokoto za asili) yanayopatikana ardhini. Eneo hili liliitwa hivyo kutokana na sifa ya udongo wake uliokuwa na wingi wa mawe hayo kabla ya kuanzishwa kwa makazi makubwa ya watu. Leo hii, Makangarawe ni kata yenye wakazi wengi inayopakana na maeneo ya [[Mbagala]] na [[Yombo Vituka|Yombo]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makangarawe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
q066twm4xc1mb8c4awtv4l4jtog42iw
amigiduli
0
92915
264213
2026-05-11T09:29:52Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Donge la madini linalozalishwa ndani ya uwazi wa mwamba wa [[volkano]] baada ya mapovu ya gesi kupotea na kuacha nafasi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amygdule]] *{{tafs|fr}}: [[amygdale]]'
264213
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Donge la madini linalozalishwa ndani ya uwazi wa mwamba wa [[volkano]] baada ya mapovu ya gesi kupotea na kuacha nafasi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amygdule]]
*{{tafs|fr}}: [[amygdale]]
ofsnucoat971x99krpfko4a6swbw9ia
amylase
0
92916
264214
2026-05-11T09:30:38Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Vimeng’enya vinavyopatikana kwenye mate na utumbo mdogo ambavyo husaidia kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilesi]] *{{tafs|fr}}: [[amylase]]'
264214
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Vimeng’enya vinavyopatikana kwenye mate na utumbo mdogo ambavyo husaidia kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari rahisi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilesi]]
*{{tafs|fr}}: [[amylase]]
ao5xnmk3r4f790lko88ms75ldmo47y7
amilesi
0
92917
264216
2026-05-11T09:31:26Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Vimeng’enya vinavyopatikana mwilini, hususan kwenye mate, ambavyo kazi yake ni kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylase]] *{{tafs|fr}}: [[amylase]]'
264216
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Vimeng’enya vinavyopatikana mwilini, hususan kwenye mate, ambavyo kazi yake ni kuvunja wanga na kuubadilisha kuwa sukari.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylase]]
*{{tafs|fr}}: [[amylase]]
hbqf5fzb78jhipu4tqlor7ejnx11j82
amylodextrin
0
92918
264217
2026-05-11T09:32:18Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== # Aina ya wanga uliovunjwa kiasi ambao unaweza kuyeyuka katika maji na kutoa rangi ya bluu unapochanganywa na madini ya [[ayodini]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilodekstrini]] *{{tafs|fr}}: [[amylodextrine]]'
264217
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
# Aina ya wanga uliovunjwa kiasi ambao unaweza kuyeyuka katika maji na kutoa rangi ya bluu unapochanganywa na madini ya [[ayodini]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilodekstrini]]
*{{tafs|fr}}: [[amylodextrine]]
0stl0ogctrmr7fpmzbvbap4sldrp7j5
Yombo Vituka
0
92919
264218
2026-05-11T09:32:24Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Yombo Vituka''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili ni mchanganyiko wa majina mawili. "Yombo" inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]] ikirejea aina ya miti au sifa ya kijiografia ya eneo hilo la bonde, wakati "Vituka" inahusu maeneo madogo ya vichaka au mapori yaliyokuwepo zamani kabla ya kuanzishwa kwa makazi. Yombo Vituka imeku...'
264218
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Yombo Vituka'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili ni mchanganyiko wa majina mawili. "Yombo" inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]] ikirejea aina ya miti au sifa ya kijiografia ya eneo hilo la bonde, wakati "Vituka" inahusu maeneo madogo ya vichaka au mapori yaliyokuwepo zamani kabla ya kuanzishwa kwa makazi. Yombo Vituka imekua kwa kasi kutokana na ujenzi wa miundombinu ya usafiri, ikiwemo Reli ya TAZARA inayopita karibu na eneo hilo, na sasa ni kata muhimu kwa makazi ya watu wanaofanya kazi katikati ya jiji na viwandani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Yombo Vituka]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
0ojvn041yw8rw44mqfsngl7ogx6cn9i
264222
264218
2026-05-11T09:34:00Z
Anuary Rajabu
4731
264222
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Yombo Vituka'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili ni mchanganyiko wa majina mawili. "Yombo" inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]] ikirejea aina ya miti au sifa ya kijiografia ya eneo hilo la bonde, wakati "Vituka" inahusu maeneo madogo ya vichaka au mapori yaliyokuwepo zamani kabla ya kuanzishwa kwa makazi. Yombo Vituka imekua kwa kasi kutokana na ujenzi wa miundombinu ya usafiri, ikiwemo Reli ya TAZARA inayopita karibu na eneo hilo, na sasa ni kata muhimu kwa makazi ya watu.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Yombo Vituka]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
soqz3w9q0kqmqg72b767bw5evyvzqzg
coati
0
92920
264219
2026-05-11T09:32:50Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264219
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama w(kama fisi mdogo wa Amerika) mwenye pua ndefu inayonyumbulika sana.
===Mfano===
*Coati walitembea pamoja msituni wakitafuta matunda na wadudu wa kula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en| coatis}}
nei9bzfulhxdvz6f97zc6vcz7sxyava
amilodekstrini
0
92921
264220
2026-05-11T09:32:59Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Aina ya wanga uliovunjwa kidogo ambao huyeyuka kwenye maji na kugeuka rangi ya bluu unapoingiliana na madini ya ayodini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[amylodextrin]] *{{tafs|fr}}: [[amylodextrine]]'
264220
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya wanga uliovunjwa kidogo ambao huyeyuka kwenye maji na kugeuka rangi ya bluu unapoingiliana na madini ya ayodini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylodextrin]]
*{{tafs|fr}}: [[amylodextrine]]
1t042b4ykp5udxbqmyg7p5lw3oymav5
264221
264220
2026-05-11T09:33:22Z
Bycashtz
4746
264221
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Aina ya wanga uliovunjwa kidogo ambao huyeyuka kwenye maji na kugeuka rangi ya bluu unapoingiliana na madini ya [[ayodini]].
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[amylodextrin]]
*{{tafs|fr}}: [[amylodextrine]]
o5zpwzbca7ncqzihq0pjvqnjkh6aqaw
amylodextrine
0
92922
264223
2026-05-11T09:34:20Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== # Aina ya wanga uliovunjwa kidogo ambao huyeyuka kwenye maji na kugeuka rangi ya bluu unapoingiliana na madini ya [[ayodini]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}: [[amilodekstrini]] *{{tafs|en}}: [[amylodextrin]]'
264223
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
# Aina ya wanga uliovunjwa kidogo ambao huyeyuka kwenye maji na kugeuka rangi ya bluu unapoingiliana na madini ya [[ayodini]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}: [[amilodekstrini]]
*{{tafs|en}}: [[amylodextrin]]
dwvc806p4hu66znottgwh17yjg21iw1
ayodini
0
92923
264224
2026-05-11T09:35:09Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== # Elementi ya kikemia isiyo ya kimetali inayotumika kama dawa ya kusafisha vidonda, kuua vijidudu, na ni virutubisho muhimu kwa afya ya tezi ya koo. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}: [[iodine]] *{{tafs|fr}}: [[iode]]'
264224
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
# Elementi ya kikemia isiyo ya kimetali inayotumika kama dawa ya kusafisha vidonda, kuua vijidudu, na ni virutubisho muhimu kwa afya ya tezi ya koo.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}: [[iodine]]
*{{tafs|fr}}: [[iode]]
ses8mxwkgq7uif9fgatebvgutv5xjrl
fosa
0
92924
264225
2026-05-11T09:35:37Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264225
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mla nyama mkubwa wa kisiwa cha Madagaska, anayefanana kidogo na paka lakini si paka wa kawaida.
===Mfano===
*Fosa alipanda mti haraka kwaajili ya kuwinda.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|fossa}}
ctj2wbf7au5guuqi1jui380dk7zzegy
Mbagala
0
92925
264226
2026-05-11T09:36:44Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbagala''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalomaanisha "mgawanyiko" au "mahali pa kutokea". Kihistoria, Mbagala ilikuwa eneo la mapumziko na makutano kwa wasafiri waliokuwa wakitoka maeneo ya kusini mwa Tanzania (kama [[Lindi]] na [[Mtwara]]) kuelekea katikati ya [[jiji]] la...'
264226
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbagala'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalomaanisha "mgawanyiko" au "mahali pa kutokea". Kihistoria, Mbagala ilikuwa eneo la mapumziko na makutano kwa wasafiri waliokuwa wakitoka maeneo ya kusini mwa Tanzania (kama [[Lindi]] na [[Mtwara]]) kuelekea katikati ya [[jiji]] la Dar es Salaam. Leo hii, Mbagala ni moja ya maeneo yenye idadi kubwa zaidi ya watu na shughuli nyingi za kibiashara jijini, ikiwa imegawanyika katika kata ndogo kadhaa kutokana na ukubwa wake.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbagala]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
nl4vxllmscfhi2i1wuorya1wo52umyy
bandikutu
0
92926
264227
2026-05-11T09:37:25Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264227
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo wa Australia na Papua New Guinea, mwenye pua ndefu kidogo na tabia ya kuchimba ardhi kutafuta chakula.
===Mfano===
*Bandikutu alichimba udongo usiku akitafuta wadudu wa kula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|bandicoot}}
tu5wnj9mkcb9c1lv42iy4ul6mz6ch29
panya maji
0
92927
264228
2026-05-11T09:40:07Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264228
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mkubwa wa jamii ya panya anayeishi karibu na maji, kama mito, mabwawa na vinamasi.
===Mfano===
*Panya maji mkubwa alionekana akila mimea pembezoni mwa mto.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|nutria}}
9dqco2md3bfoy8r6x6nzpogpgzppjqn
Mbagala Kuu
0
92928
264230
2026-05-11T09:43:39Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbagala Kuu''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linajumuisha neno la [[Kizaramo]] "Mbagala" (linalomaanisha mgawanyiko au mahali pa kutokea) na neno la [[Kiswahili]] "Kuu," likiashiria kuwa hili ndilo lilikuwa chimbuko au kitovu cha asili cha eneo pana la Mbagala kabla ya kuanzishwa kwa kata nyingine ndogo za pembezoni. ==== Tafsir...'
264230
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbagala Kuu'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linajumuisha neno la [[Kizaramo]] "Mbagala" (linalomaanisha mgawanyiko au mahali pa kutokea) na neno la [[Kiswahili]] "Kuu," likiashiria kuwa hili ndilo lilikuwa chimbuko au kitovu cha asili cha eneo pana la Mbagala kabla ya kuanzishwa kwa kata nyingine ndogo za pembezoni.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbagala Kuu]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
ptnioo34wgpfqusntgupy1oeiah817o
nguchiro wa mistari
0
92929
264231
2026-05-11T09:44:19Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264231
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo mla nyama wa Afrika anayejulikana kwa kuishi kwa makundi na kuwa na mistari mgongoni.
===Mfano===
*Nguchiro wenye mistari walitembea pamoja savanani wakitafuta wadudu wa kula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|banded mongoose}}
49cottvll78tswemk4qxor1r2blik6j
Miburani
0
92930
264232
2026-05-11T09:45:39Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Miburani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''mburani''', ambalo ni aina ya mti (mwarubaini au miti jamii ya melia) inayopatikana kwa wingi katika ukanda wa pwani. Eneo hili lilipewa jina hilo kutokana na kuwepo kwa miti mingi ya namna hiyo iliyokuwa ikitoa kivuli na kutumika kwa tiba z...'
264232
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Miburani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''mburani''', ambalo ni aina ya mti (mwarubaini au miti jamii ya melia) inayopatikana kwa wingi katika ukanda wa pwani. Eneo hili lilipewa jina hilo kutokana na kuwepo kwa miti mingi ya namna hiyo iliyokuwa ikitoa kivuli na kutumika kwa tiba za asili wakati wa kuanzishwa kwa makazi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Miburani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
mv8k5469gpwr2aetsiq4h6emma86e8x
nguchiro kibete
0
92931
264233
2026-05-11T09:46:18Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264233
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo sana wa jamii ya nguchiro, na ndiye mdogo kuliko wote kati ya nguchiro.
===Mfano===
*Nguchiro kibete walikaa pamoja juu ya kichuguu cha mchwa wakilinda kundi lao.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|dwarf mongoose}}
ayi42js3askvd4vx3vueuiynd0qwbww
Sandali
0
92932
264234
2026-05-11T09:47:32Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Sandali''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kiswahili]] linalorejea aina ya miti ya sandali iliyokuwa ikipatikana katika eneo hilo zamani. Sandali ni kata iliyoko katikati ya wilaya ya Temeke, ikipakana na maeneo ya [[Keko]] na [[Miburani]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Sandali]] {{Kata...'
264234
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Sandali'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kiswahili]] linalorejea aina ya miti ya sandali iliyokuwa ikipatikana katika eneo hilo zamani. Sandali ni kata iliyoko katikati ya wilaya ya Temeke, ikipakana na maeneo ya [[Keko]] na [[Miburani]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Sandali]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
bso8w1dsenypo94o3fu8jv0f1i4r7zu
Tandika
0
92933
264235
2026-05-11T09:48:58Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Tandika''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] "kutandika," likirejea shughuli za kuanika au kutandaza vitu kama mikeka au mazao juani ambazo zilifanyika kwa wingi katika eneo hili zamani. Tandika ni moja ya maeneo maarufu na yenye pilikapilika nyingi katika wilaya ya Temeke, ikijulikana zai...'
264235
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Tandika'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linatokana na neno la [[Kiswahili]] "kutandika," likirejea shughuli za kuanika au kutandaza vitu kama mikeka au mazao juani ambazo zilifanyika kwa wingi katika eneo hili zamani. Tandika ni moja ya maeneo maarufu na yenye pilikapilika nyingi katika wilaya ya Temeke, ikijulikana zaidi kwa Soko la Tandika ambalo ni moja ya masoko makubwa ya bidhaa za vyakula na nguo jijini Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Tandika]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
g0xmzt6f5qfe1vp9cnm3f7oucz1m5l3
ngawa
0
92934
264236
2026-05-11T09:50:38Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264236
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mdogo wa porini anayefanana kidogo na paka na nguchiro, na hupatikana Afrika na Asia.
===Mfano===
*Ngawa alitoka usiku kutafuta matunda msituni.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|civet cat}}
5mm3fkt5sj2tzk0lv11zpzj5ny8es0s
Toangoma
0
92935
264237
2026-05-11T09:50:46Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Toangoma''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likiwa na maana ya "piga ngoma" au "cheza ngoma." Jina hili linarejea utamaduni wa wenyeji wa asili wa eneo hili ambao walitumia ngoma kama njia ya mawasiliano, sherehe, au matambiko ya kijadi. Toangoma imekua kwa kasi katika miaka y...'
264237
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Toangoma'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Temeke]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likiwa na maana ya "piga ngoma" au "cheza ngoma." Jina hili linarejea utamaduni wa wenyeji wa asili wa eneo hili ambao walitumia ngoma kama njia ya mawasiliano, sherehe, au matambiko ya kijadi. Toangoma imekua kwa kasi katika miaka ya hivi karibuni kutoka kuwa eneo la mashamba na mapori hadi kuwa moja ya kata zenye makazi ya kisasa pembezoni mwa [[jiji]] la Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Toangoma]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
9wzk9i852w81om6etnbxvxcsmfrujk3
paka wa mchanga
0
92936
264239
2026-05-11T09:53:53Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264239
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya paka wa porini anayeishi kwenye majangwa, na kwenye joto kali na mchanga.
===Mfano===
*Paka wa mchanga alijificha nyuma ya kichuguu cha mchanga akimsubiri panya wa jangwa.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sand cat}}
le5ghuk3a1xpnmd8y2iwzskuwx4ydv7
chui wa theluji
0
92937
264243
2026-05-11T10:02:53Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264243
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mkubwa wa porini anayefanana na chui wa kawaida lakini anaishi kwenye milima yenye baridi kali na theluji.
===Mfano===
*Chui wa theluji aliruka kutoka mwamba mmoja hadi mwingine akimwinda mbuzi wa milimani.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|snow leopard}}
ghnffw5qwu7970zewyx68alfpol5dti
simba wa Asia
0
92938
264244
2026-05-11T10:11:59Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264244
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya simba anayepatikana pekee Asia, hasa nchini India.
===Mfano===
*Simba wa Asia hupatikana zaidi katika misitu ya India.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|asiatic lion}}
f76u128hizl4ipjfu42ueecl5fk1rra
kundi la simba
0
92939
264245
2026-05-11T10:16:40Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264245
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni kundi la simba wa Afrika wanaoishi pamoja na kufanya shughuli kama familia moja.
===Mfano===
*Kundi la simba huwinda kwa pamoja ili kupata chakula.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|African lion pride}}
62vgsadslxo6vfgf5st761xrqv28871
dubu wa eurasia
0
92940
264246
2026-05-11T10:24:43Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264246
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya dubu mkubwa anayepatikana katika mabara ya Ulaya na Asia.
===Mfano===
*Dubu wa eurasia ni mnyama mwenye nguvu sana porini.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|brown bear eurasia}}
lgljbv1af5ycfsg66x6j1twn4v08b4c
dubu mweus
0
92941
264247
2026-05-11T10:27:09Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264247
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya dubu anayepatikana zaidi Amerika Kaskazini, hasa Marekani na Canada.
===Mfano===
*Dubu mweusi ana uwezo wa kupanda miti haraka akihisi hatari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|black bear}}
btz41a2bt75bgfvvgy2odwdrwszozoh
dubu mweupe
0
92942
264248
2026-05-11T10:29:51Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264248
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya dubu anayepatikana katika eneo la Arctic (Ncha ya Kaskazini).
===Mfano===
*Dubu mweupe wa Arctic anaishi kwenye barafu ya bahari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|polar bear}}
p671c3yxsmhvrxn2p3yjczpsb9yw1tm
dubu jua
0
92943
264249
2026-05-11T10:31:52Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264249
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya dubu mdogo zaidi duniani anayepatikana katika misitu ya joto ya Asia ya Kusini Mashariki.
===Mfano===
*Dubu jua hupatikana katika misitu ya Asia ya Kusini Mashariki.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sun bear}}
avp6w7p7ivnd2oglgn0bk08q8l9xp9u
dubu wa Indi
0
92944
264250
2026-05-11T10:34:04Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264250
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya dubu anayepatikana zaidi nchini India na sehemu za Asia ya Kusini.
===Mfano===
*Dubu wa India ni mnyama anayependa kula wadudu kuliko nyama.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|sloth bear}}
i0jv0uv0lzh1shltuj1tuehicaj4fsp
muhuri wa pwani
0
92945
264251
2026-05-11T10:39:17Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264251
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni aina ya muhuri mdogo hadi wa kati anayepatikana kwenye pwani za bahari za Kaskazini mwa dunia.
===Mfano===
*Muhuri wa pwani hupumzika juu ya miamba karibu na bahari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|harbor seal}}
08zkbulkkslo5uwsrhfywqkxlr55zsn
walrus
0
92946
264252
2026-05-11T10:42:02Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264252
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama mkubwa wa baharini anayepatikana katika maeneo ya barafu ya Arctic (Ncha ya Kaskazini).
===Mfano===
*Walrus anaishi kwa makundi makubwa karibu na bahari.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|Walrus}}
mv6d16e0ut8ha4xegnn60ref9ni1iqi
ng’ombe wa bahari
0
92947
264253
2026-05-11T10:45:58Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264253
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mnyama wa baharini,Ana mwili mkubwa na mviringo kama nyangumi mdogo.
===Mfano===
*Ng’ombe wa bahari hupatikana katika maji ya joto ya bahari ya Hindi.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|dugong}}
jowbilmkd5bqqvr97zx7cjw46tns197
tai harpy
0
92948
264254
2026-05-11T10:53:31Z
Kelvin kevoo
4347
kuanzisha makala
264254
wikitext
text/x-wiki
=={{sw}}==
===Nomino===
{{infl|sw|Nomino||}}
#ni mojawapo ya tai wakubwa na wenye nguvu zaidi duniani, wanaoishi kwenye misitu ya mvua ya Amerika ya Kati na Kusini.
===Mfano===
*Tai harpy huishi katika misitu ya Amazon.
==Tafsiri==
*{{ta|en}}:{{t|en|harpy eagle}}
a1k3gv8aw9zitf2v8nlpsvzesx8u5ch
Goba
0
92949
264255
2026-05-11T10:56:52Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Goba''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo lina vilima na mabonde. Goba imepata mabadiliko makubwa katika muongo mmoja uliopita, ikihama kutoka kuwa eneo la pembezoni lenye mashamba na mapori hadi kuwa moja ya maeneo ya makazi ya...'
264255
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Goba'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa za kijiografia za eneo hilo ambalo lina vilima na mabonde. Goba imepata mabadiliko makubwa katika muongo mmoja uliopita, ikihama kutoka kuwa eneo la pembezoni lenye mashamba na mapori hadi kuwa moja ya maeneo ya makazi ya kisasa na ya kiwango cha juu (''[[Kiingereza]]:'' high-end residential area) jijini Dar es Salaam.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Goba]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
ivfth8uzsax4wbk92457vnrxrkjej7y
Kibamba
0
92950
264256
2026-05-11T11:01:41Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kibamba''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea hali ya kuwa "nyembamba" au "kubana," likiashiria sifa ya kijiografia ya njia au eneo lililokuwa likitumiwa na wasafiri wa zamani kuelekea bara. Kibamba iko kando ya Barabara ya Morogoro na inajulikana kama lango kuu la kuin...'
264256
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kibamba'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea hali ya kuwa "nyembamba" au "kubana," likiashiria sifa ya kijiografia ya njia au eneo lililokuwa likitumiwa na wasafiri wa zamani kuelekea bara. Kibamba iko kando ya Barabara ya Morogoro na inajulikana kama lango kuu la kuingilia jijini Dar es Salaam kutokea mikoani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kibamba]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
tgpn8vn937cv6eavot11ce276v881z0
Kimara
0
92951
264257
2026-05-11T11:03:03Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kimara''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mazingira ya vilima na mwinuko ambapo mtu anaweza "kumara" au kutazama kwa mbali. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Kimara]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264257
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kimara'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea mazingira ya vilima na mwinuko ambapo mtu anaweza "kumara" au kutazama kwa mbali.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kimara]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
1f19yip74mjf36k22tyjb0o2p5yol4r
Kwembe
0
92952
264258
2026-05-11T11:05:48Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Kwembe''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili linatokana na ndege aina ya '''kwembe''' ambao walikuwa wanapatikana kwa wingi katika eneo hili kutokana na uoto wa asili wa miti mikubwa uliokuwepo zamani. Kwembe ni moja ya kata kubwa kijiografia katika wilaya ya Ubungo, ikipakana na mkoa wa [[Pwani]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}...'
264258
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Kwembe'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili linatokana na ndege aina ya '''kwembe''' ambao walikuwa wanapatikana kwa wingi katika eneo hili kutokana na uoto wa asili wa miti mikubwa uliokuwepo zamani. Kwembe ni moja ya kata kubwa kijiografia katika wilaya ya Ubungo, ikipakana na mkoa wa [[Pwani]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Kwembe]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
4scnad4v53d3hod3p07qyli2nwj5rvi
Mabibo
0
92953
264259
2026-05-11T11:08:04Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mabibo''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''bibo''', ambalo ni tunda la [[mkorosho]]. Eneo hili liliitwa hivyo kutokana na uwepo wa mashamba makubwa ya mikorosho yaliyokuwepo zamani kabla ya kutanuka kwa [[jiji]] na kuongezeka kwa makazi. Mabibo ni kata inayojulikana kwa kuwa na chuo ki...'
264259
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mabibo'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Jina hili linatokana na wingi wa neno la [[Kiswahili]] '''bibo''', ambalo ni tunda la [[mkorosho]]. Eneo hili liliitwa hivyo kutokana na uwepo wa mashamba makubwa ya mikorosho yaliyokuwepo zamani kabla ya kutanuka kwa [[jiji]] na kuongezeka kwa makazi. Mabibo ni kata inayojulikana kwa kuwa na chuo kikuu cha usafirishaji (NIT), hosteli kubwa za wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na soko maarufu la ndizi.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mabibo]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
it3m7r5ykj7duckb97plgrffc9wz5ag
Makuburi
0
92954
264260
2026-05-11T11:11:20Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Makuburi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mmoja wa wakazi au mwenye mashamba makubwa katika eneo hilo aliyejulikana kama Makuburi. Leo hii, Makuburi ni kata yenye mchanganyiko wa makazi na viwanda vidogo, ikiwa imepakana na kata za [[Mabibo]] na [[Manzese]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: ...'
264260
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makuburi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mmoja wa wakazi au mwenye mashamba makubwa katika eneo hilo aliyejulikana kama Makuburi. Leo hii, Makuburi ni kata yenye mchanganyiko wa makazi na viwanda vidogo, ikiwa imepakana na kata za [[Mabibo]] na [[Manzese]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makuburi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
d14w6i6p36ryoejs18ddqffxk914g7f
Mbezi
0
92955
264261
2026-05-11T11:14:54Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mbezi''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea aina ya uoto au miti iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hili kabla ya kutanuka kwa makazi. Mara nyingi inajulikana kama Mbezi Luis ili kuitofautisha na Mbezi Beach ni kitovu kikubwa cha usafirishaji jijini Dar es Sala...'
264261
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mbezi'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea aina ya uoto au miti iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hili kabla ya kutanuka kwa makazi. Mara nyingi inajulikana kama Mbezi Luis ili kuitofautisha na Mbezi Beach ni kitovu kikubwa cha usafirishaji jijini Dar es Salaam, ikiwa na Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal).
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mbezi]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
bebyvvkjzpmcr1scd1em9cejfrjifrq
Mburahati
0
92956
264262
2026-05-11T11:17:19Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Mburahati''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na mchanganyiko wa maneno ya [[Kizaramo]] na [[Kiswahili]] yanayoelezea hali ya "mbururo" au mkondo wa maji uliokuwa ukipita katika eneo hilo kuelekea mto wa jirani. Mburahati ni moja ya makazi ya zamani na maarufu katika wilaya ya Ubungo ikiwa imepakana na...'
264262
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Mburahati'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na mchanganyiko wa maneno ya [[Kizaramo]] na [[Kiswahili]] yanayoelezea hali ya "mbururo" au mkondo wa maji uliokuwa ukipita katika eneo hilo kuelekea mto wa jirani. Mburahati ni moja ya makazi ya zamani na maarufu katika wilaya ya Ubungo ikiwa imepakana na kata za [[Manzese]] na [[Mabibo]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Mburahati]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
4grgq92n9nuwsn57wjto2s0ykv1fx60
Msigani
0
92957
264263
2026-05-11T11:19:30Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Msigani''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] "msiga," ambalo ni aina ya mti uliokuwa ukipatikana kwa wingi katika eneo hili zamani. Msigani ni kata inayokua kwa kasi kando ya Barabara ya Morogoro, ikipakana na kata za [[Mbezi]] na [[Kwembe]]. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: Msigani...'
264263
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Msigani'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] "msiga," ambalo ni aina ya mti uliokuwa ukipatikana kwa wingi katika eneo hili zamani. Msigani ni kata inayokua kwa kasi kando ya Barabara ya Morogoro, ikipakana na kata za [[Mbezi]] na [[Kwembe]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Msigani]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
i0g5o2qj60xqju4wohld9q8zgvvq8jt
Saranga
0
92958
264264
2026-05-11T11:21:06Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Saranga''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa ya eneo lililokuwa na mkondo wa maji au mabonde madogo yaliyopasua ardhi. Saranga ni kata iliyozaliwa kutokana na kutanuka kwa eneo la [[Kimara]], na sasa ni moja ya kata zenye wakazi wengi katika wilaya ya Ubungo. ====...'
264264
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Saranga'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na lugha ya [[Kizaramo]], likirejea sifa ya eneo lililokuwa na mkondo wa maji au mabonde madogo yaliyopasua ardhi. Saranga ni kata iliyozaliwa kutokana na kutanuka kwa eneo la [[Kimara]], na sasa ni moja ya kata zenye wakazi wengi katika wilaya ya Ubungo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Saranga]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
askl9ovxey92kfqxgjtl16bybyf646o
Sinza
0
92959
264265
2026-05-11T11:24:15Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Sinza''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina la Sinza inasemekana kutokana na jina la mzee mmoja wa kabila la [[Wazaramo]] aliyeitwa "Mzee Sinza," ambaye alikuwa mmiliki wa ardhi kubwa au mkazi maarufu katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa mipango miji. Katika miaka ya 1970, Sinza ilipangwa kama eneo la makazi ya kisasa kwa ajil...'
264265
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Sinza'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina la Sinza inasemekana kutokana na jina la mzee mmoja wa kabila la [[Wazaramo]] aliyeitwa "Mzee Sinza," ambaye alikuwa mmiliki wa ardhi kubwa au mkazi maarufu katika eneo hilo kabla ya kuanzishwa kwa mipango miji. Katika miaka ya 1970, Sinza ilipangwa kama eneo la makazi ya kisasa kwa ajili ya watumishi wa umma na wafanyakazi wa viwandani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Sinza]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
kmrcgz9koauqi6671xfxgsqupd46pkd
Wazaramo
0
92960
264266
2026-05-11T11:27:18Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === (''Umoja:'''''Wazaramo''') # Kabila la watu wa [[Kibantu]] nchini [[Tanzania]] ambao asili yao ni mkoa wa [[Pwani]] na mkoa wa [[Dar es Salaam]]. === Tafsiri ==== * {{en}}: [[Zaramo]] [[people]] [[Jamii:Makabila ya Tanzania]]'
264266
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
(''Umoja:'''''Wazaramo''')
# Kabila la watu wa [[Kibantu]] nchini [[Tanzania]] ambao asili yao ni mkoa wa [[Pwani]] na mkoa wa [[Dar es Salaam]].
=== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Zaramo]] [[people]]
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
mtd83fvvm6hj3uoxlhmdxbvz9cy0lcl
264267
264266
2026-05-11T11:28:40Z
Anuary Rajabu
4731
264267
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Wazaramo'''
# Kabila la watu wa [[Bantu]] nchini [[Tanzania]] ambao asili yao ni mkoa wa [[Pwani]] na mkoa wa [[Dar es Salaam]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Wazaramo|Zaramo]] [[people]]
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
3uvbpjlghl8yi5p6p2rh4ox5qnosx2z
264268
264267
2026-05-11T11:29:06Z
Anuary Rajabu
4731
264268
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Wazaramo'''
# Kabila la watu wa [[Kibantu]] nchini [[Tanzania]] ambao asili yao ni mkoa wa [[Pwani]] na mkoa wa [[Dar es Salaam]].
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Wazaramo|Zaramo]] [[people]]
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
6wxoypg7p00nbq2ir850mg0oskzoglh
amyl nitrate
0
92961
264269
2026-05-11T11:29:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kemikali inayotokana na asidi ya [[nitriki]] na [[alkoholi]] ya [[amili]] inayotumika kuongeza kasi ya uwakaji wa mafuta ya dizeli au kama dawa ya kupanua mishipa ya damu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amili]] [[naitreti]] *{{tafs|fr}}:[[nitrate d'amyle]]'
264269
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kemikali inayotokana na asidi ya [[nitriki]] na [[alkoholi]] ya [[amili]] inayotumika kuongeza kasi ya uwakaji wa mafuta ya dizeli au kama dawa ya kupanua mishipa ya damu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amili]] [[naitreti]]
*{{tafs|fr}}:[[nitrate d'amyle]]
gf975eszxobiv6mpbp6mpb9kczmfxlh
naitreti
0
92962
264270
2026-05-11T11:29:55Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Chumvi au esta inayotokana na asidi ya [[nitriki]], inayotumika sana katika kutengeneza mbolea ya mimea au baruti. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[nitrate]] *{{tafs|fr}}:[[nitrate]]'
264270
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Chumvi au esta inayotokana na asidi ya [[nitriki]], inayotumika sana katika kutengeneza mbolea ya mimea au baruti.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[nitrate]]
*{{tafs|fr}}:[[nitrate]]
0ka3w8zfiih0vmspfh9gy8df59pf7g2
nitrate d'amyle
0
92963
264271
2026-05-11T11:30:41Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Kemikali ya kioevu yenye harufu kali inayotumika kupanua mishipa ya damu ili kutibu maumivu ya moyo au kama nyongeza katika nishati ya injini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amili]] [[naitreti]] *{{tafs|en}}:[[amyl nitrate]]'
264271
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Kemikali ya kioevu yenye harufu kali inayotumika kupanua mishipa ya damu ili kutibu maumivu ya moyo au kama nyongeza katika nishati ya injini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amili]] [[naitreti]]
*{{tafs|en}}:[[amyl nitrate]]
t1mkq0wzjx555k3ut8qz5bmjo7xf9hq
amylohydrolysis
0
92964
264272
2026-05-11T11:31:57Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi kwa kutumia vimeng'enya au kwa kuchemsha na asidi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidrolisisi]] *{{tafs|fr}}:[[amylohydrolyse]]'
264272
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali wa kuvunja wanga kuwa sukari rahisi kwa kutumia vimeng'enya au kwa kuchemsha na asidi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidrolisisi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylohydrolyse]]
9zps82osipoft2mmnt8v9r7p55mng7a
amiloidrolisisi
0
92965
264273
2026-05-11T11:32:27Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali wa kubadilisha wanga kuwa sukari kwa kutumia maji na vimeng'enya au asidi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylohydrolysis]] *{{tafs|fr}}:[[amylohydrolyse]]'
264273
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali wa kubadilisha wanga kuwa sukari kwa kutumia maji na vimeng'enya au asidi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylohydrolysis]]
*{{tafs|fr}}:[[amylohydrolyse]]
f62kkze63nr8f35beqsdq22p0w9uxh1
amylohydrolyse
0
92966
264274
2026-05-11T11:33:06Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali wa kuvunja molekuli za wanga na kuzigeuza kuwa sukari kwa njia ya [[hidrolisisi]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidrolisisi]] *{{tafs|en}}:[[amylohydrolysis]]'
264274
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali wa kuvunja molekuli za wanga na kuzigeuza kuwa sukari kwa njia ya [[hidrolisisi]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidrolisisi]]
*{{tafs|en}}:[[amylohydrolysis]]
s8wqnt3wpyhfrs9fzvdfdwolrjfw49p
hidrolisisi
0
92967
264275
2026-05-11T11:33:36Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali ambapo molekuli ya dutu huvunjwa baada ya kuitika na maji. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[hydrolysis]] *{{tafs|fr}}:[[hydrolyse]]'
264275
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali ambapo molekuli ya dutu huvunjwa baada ya kuitika na maji.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[hydrolysis]]
*{{tafs|fr}}:[[hydrolyse]]
0aw6pdfrntgjsiu92e0is93y6gscaee
Manzese
0
92968
264276
2026-05-11T11:33:43Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Manzese''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea aina ya miti iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo zamani. ==== Tafsiri ==== * {{en}}: [[Manzese]] {{Kata za Dar es Salaam}} [[Jamii:Kata za Tanzania]]'
264276
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Manzese'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na neno la [[Kizaramo]] linalorejea aina ya miti iliyokuwa ikipatikana kwa wingi katika eneo hilo zamani.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Manzese]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
jmm7oc5tbxvrz0em8d2vd5djbmebgw0
amyloidolysis
0
92969
264277
2026-05-11T11:34:32Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali au wa kibaiolojia wa kuyeyusha au kuvunja mrundikano wa protini isiyo ya kawaida mwilini iitwayo [[amiloidi]]. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidolisisi]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdolyse]]'
264277
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali au wa kibaiolojia wa kuyeyusha au kuvunja mrundikano wa protini isiyo ya kawaida mwilini iitwayo [[amiloidi]].
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidolisisi]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdolyse]]
0ctkfydmwxbx8evmyrjhxdahvab31ld
amiloidolisisi
0
92970
264278
2026-05-11T11:35:07Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali au wa kibaiolojia wa kuvunja au kuyeyusha mrundikano wa protini isiyo ya kawaida mwilini iitwayo amiloidi. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloidolysis]] *{{tafs|fr}}:[[amyloïdolyse]]'
264278
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali au wa kibaiolojia wa kuvunja au kuyeyusha mrundikano wa protini isiyo ya kawaida mwilini iitwayo amiloidi.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloidolysis]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdolyse]]
8g91c3eu6vi0cqjnyjfs8auqfffjcz2
264279
264278
2026-05-11T11:35:25Z
Bycashtz
4746
264279
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali au wa kibaiolojia wa kuvunja au kuyeyusha mrundikano wa protini isiyo ya kawaida mwilini iitwayo [[amiloidi]].
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloidolysis]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloïdolyse]]
caflqlxuhb6l5bkvxa9b1tro55ffhld
amyloïdolyse
0
92971
264280
2026-05-11T11:36:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Mchakato wa kikemikali au wa kibaolojia wa kuvunja mrundikano wa protini ya [[amiloidi]] mwilini ili kuiondoa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloidolisisi]] *{{tafs|en}}:[[amyloidolysis]]'
264280
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Mchakato wa kikemikali au wa kibaolojia wa kuvunja mrundikano wa protini ya [[amiloidi]] mwilini ili kuiondoa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloidolisisi]]
*{{tafs|en}}:[[amyloidolysis]]
t235jibwm7oo0pc09h51fvxck4orq37
Makurumla
0
92972
264281
2026-05-11T11:36:05Z
Anuary Rajabu
4731
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== {{sw}} == {{wikipedia}} === Nomino === '''Makurumla''' # Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. ==== Etimolojia ==== Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mzee mmoja wa asili ya [[Kizaramo]] aliyeitwa "Mzee Makurumla," ambaye alikuwa mmoja wa wakazi wa mwanzo kabisa na mmiliki wa ardhi katika eneo hilo. Leo hii, ni eneo lenye msongamano mkubwa wa makazi na biashara ndogondogo, likiwa na mitaa inayou...'
264281
wikitext
text/x-wiki
== {{sw}} ==
{{wikipedia}}
=== Nomino ===
'''Makurumla'''
# Jina la [[kata]] katika Wilaya ya [[Ubungo]], [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
==== Etimolojia ====
Asili ya jina hili inasemekana kutokana na jina la mzee mmoja wa asili ya [[Kizaramo]] aliyeitwa "Mzee Makurumla," ambaye alikuwa mmoja wa wakazi wa mwanzo kabisa na mmiliki wa ardhi katika eneo hilo. Leo hii, ni eneo lenye msongamano mkubwa wa makazi na biashara ndogondogo, likiwa na mitaa inayounganisha barabara ya Morogoro na maeneo ya ndani kuelekea kaskazini mwa wilaya ya Ubungo.
==== Tafsiri ====
* {{en}}: [[Makurumla]]
{{Kata za Dar es Salaam}}
[[Jamii:Kata za Tanzania]]
iif93olagb67wwo6jtiaxnrs7cbwgii
amylomaltase
0
92973
264282
2026-05-11T11:36:52Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachopatikana katika viumbe hai ambacho husaidia kubadilisha wanga kuwa aina nyingine ya sukari ili kurahisisha matumizi ya nishati mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilomaltesi]] *{{tafs|fr}}:[[amylomaltase]]'
264282
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachopatikana katika viumbe hai ambacho husaidia kubadilisha wanga kuwa aina nyingine ya sukari ili kurahisisha matumizi ya nishati mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilomaltesi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylomaltase]]
b7jjf8f4xvuv59b6dj4xnztz9sh7yrj
amilomaltesi
0
92974
264283
2026-05-11T11:37:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachosaidia katika mchakato wa [[kimetaboliki]] wa wanga kwa kubadilisha mnyororo wa [[glukosi]] kuwa aina rahisi ya sukari mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylomaltase]] *{{tafs|fr}}:[[amylomaltase]]'
264283
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachosaidia katika mchakato wa [[kimetaboliki]] wa wanga kwa kubadilisha mnyororo wa [[glukosi]] kuwa aina rahisi ya sukari mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylomaltase]]
*{{tafs|fr}}:[[amylomaltase]]
jhdyqhhws51sczsd9ftyqezpfnokdpu
amyloplast
0
92975
264284
2026-05-11T11:38:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Sehemu ndogo ndani ya seli za mimea isiyo na rangi ambayo kazi yake kuu ni kutengeneza na kuhifadhi chembechembe za wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloplasti]] *{{tafs|fr}}:[[amyloplaste]]'
264284
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Sehemu ndogo ndani ya seli za mimea isiyo na rangi ambayo kazi yake kuu ni kutengeneza na kuhifadhi chembechembe za wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloplasti]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloplaste]]
o6avff2gwhq0zabq6nic5cllc470fqi
amiloplasti
0
92976
264285
2026-05-11T11:38:52Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Sehemu ya seli ya mmea isiyo na rangi inayohusika na uhifadhi wa wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyloplast]] *{{tafs|fr}}:[[amyloplaste]]'
264285
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Sehemu ya seli ya mmea isiyo na rangi inayohusika na uhifadhi wa wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyloplast]]
*{{tafs|fr}}:[[amyloplaste]]
ds2s5acwxjbj1s4p4110wf6rprgh9l7
amyloplaste
0
92977
264286
2026-05-11T11:39:23Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Sehemu ya ndani ya seli ya mmea isiyo na rangi inayofanya kazi ya kuhifadhi wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiloplasti]] *{{tafs|en}}:[[amyloplast]]'
264286
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Sehemu ya ndani ya seli ya mmea isiyo na rangi inayofanya kazi ya kuhifadhi wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiloplasti]]
*{{tafs|en}}:[[amyloplast]]
qi9dnju6a9u9e1ttyfdvfdkioo2vkvf
amylosucrase
0
92978
264287
2026-05-11T11:40:10Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachochochea ubadilishaji wa sukari ya miwa ([[sukrosi]]) kuwa aina fulani ya wanga na sukari ya matunda ([[fruktosi]]). ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amilosukresi]] *{{tafs|fr}}:[[amylosucrase]]'
264287
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachochochea ubadilishaji wa sukari ya miwa ([[sukrosi]]) kuwa aina fulani ya wanga na sukari ya matunda ([[fruktosi]]).
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amilosukresi]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosucrase]]
gyfq7rludkipfayx5sy1riemreiftpw
amilosukresi
0
92979
264288
2026-05-11T11:41:07Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Kimeng'enya kinachochochea mchakato wa kikemikali wa kubadilisha [[sukrosi]] kuwa polima ya [[glukosi]] inayofanana na wanga. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amylosucrase]] *{{tafs|fr}}:[[amylosucrase]]'
264288
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Kimeng'enya kinachochochea mchakato wa kikemikali wa kubadilisha [[sukrosi]] kuwa polima ya [[glukosi]] inayofanana na wanga.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amylosucrase]]
*{{tafs|fr}}:[[amylosucrase]]
hmwesbzyolztyv286en47squmwafp9r
amyostasia
0
92980
264289
2026-05-11T11:41:41Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Hali ya kutetemeka kwa misuli au kukosa uthabiti wa misuli inayofanya iwe vigumu kwa mtu kusimama au kushika kitu bila kutingizika. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiostasia]] *{{tafs|fr}}:[[amyostasie]]'
264289
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Hali ya kutetemeka kwa misuli au kukosa uthabiti wa misuli inayofanya iwe vigumu kwa mtu kusimama au kushika kitu bila kutingizika.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiostasia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyostasie]]
ogdsd98w8fgvypphpqsbqntyko85bry
amiostasia
0
92981
264290
2026-05-11T11:42:13Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Hali ya kutetemeka au kukosa uthabiti wa misuli inayomsababishia mtu ugumu wa kudhibiti miondoko ya mwili. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amyostasia]] *{{tafs|fr}}:[[amyostasie]]'
264290
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Hali ya kutetemeka au kukosa uthabiti wa misuli inayomsababishia mtu ugumu wa kudhibiti miondoko ya mwili.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amyostasia]]
*{{tafs|fr}}:[[amyostasie]]
79x5yzfbpom9klmctzz6cteyovhmied
amyostasie
0
92982
264291
2026-05-11T11:42:48Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Hali ya kudhoofika au kutetemeka kwa misuli inayofanya viungo vya mwili kukosa uthabiti wakati wa kusimama au kufanya harakati. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amiostasia]] *{{tafs|en}}:[[amyostasia]]'
264291
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Hali ya kudhoofika au kutetemeka kwa misuli inayofanya viungo vya mwili kukosa uthabiti wakati wa kusimama au kufanya harakati.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amiostasia]]
*{{tafs|en}}:[[amyostasia]]
apffnbbew5u610uxfxu5hi5fr8tl9jx
Amyraldianism
0
92983
264292
2026-05-11T11:43:27Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Mfumo wa kiteolojia wa Kikristo unaofundisha kuwa Mungu alikusudia wokovu kwa watu wote kupitia kifo cha Kristo, lakini wokovu huo unawafikia wale tu ambao wanaamini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[Uamiradi]] *{{tafs|fr}}:[[amyraldisme]]'
264292
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Mfumo wa kiteolojia wa Kikristo unaofundisha kuwa Mungu alikusudia wokovu kwa watu wote kupitia kifo cha Kristo, lakini wokovu huo unawafikia wale tu ambao wanaamini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[Uamiradi]]
*{{tafs|fr}}:[[amyraldisme]]
ti63rmaqdwi8srjbqw8uocskx3h5zkz
Uamiradi
0
92984
264293
2026-05-11T11:44:01Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Mfumo wa kiteolojia unaofundisha kuwa kafara ya Kristo ilitolewa kwa ajili ya wanadamu wote kwa sharti la imani, badala ya kundi maalumu pekee. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[Amyraldianism]] *{{tafs|fr}}:[[amyraldisme]]'
264293
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Mfumo wa kiteolojia unaofundisha kuwa kafara ya Kristo ilitolewa kwa ajili ya wanadamu wote kwa sharti la imani, badala ya kundi maalumu pekee.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[Amyraldianism]]
*{{tafs|fr}}:[[amyraldisme]]
dh5h5ctdlwxda7qp42oowb3lgdhuq5b
anabaenopeptin
0
92985
264294
2026-05-11T11:44:45Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Kundi la molekuli za protini ndogo ([[peptidi]]) zinazozalishwa na viumbe hai kama mwani wa kijani-buluu, ambazo zina uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya fulani mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabenopeptini]] *{{tafs|fr}}:[[anabaenopeptine]]'
264294
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Kundi la molekuli za protini ndogo ([[peptidi]]) zinazozalishwa na viumbe hai kama mwani wa kijani-buluu, ambazo zina uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya fulani mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabenopeptini]]
*{{tafs|fr}}:[[anabaenopeptine]]
f2103vbs1s0fxag1cipm0ov5gkubi5v
anabenopeptini
0
92986
264295
2026-05-11T11:45:21Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Aina ya molekuli ya protini inayozalishwa na mwani wa rangi ya kijani-buluu ambayo ina uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya mbalimbali mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabaenopeptin]] *{{tafs|fr}}:[[anabaenopeptine]]'
264295
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Aina ya molekuli ya protini inayozalishwa na mwani wa rangi ya kijani-buluu ambayo ina uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya mbalimbali mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabaenopeptin]]
*{{tafs|fr}}:[[anabaenopeptine]]
kmt95fx5qy6wi8yzrzlbegpyco92d4i
anabaenopeptine
0
92987
264296
2026-05-11T11:45:55Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Molekuli ya protini inayozalishwa na mwani wa kijani-buluu yenye uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya mwilini. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabenopeptini]] *{{tafs|en}}:[[anabaenopeptin]]'
264296
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Molekuli ya protini inayozalishwa na mwani wa kijani-buluu yenye uwezo wa kuzuia utendaji wa vimeng'enya mwilini.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabenopeptini]]
*{{tafs|en}}:[[anabaenopeptin]]
k8hh12os9kb9usujedj65w388xi67k3
anabas
0
92988
264297
2026-05-11T11:46:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Jenasi ya samaki wa maji baridi wenye asili ya Asia na Afrika, wanaojulikana kwa uwezo wao wa kupumua hewa ya anga na kutambaa nchi kavu kwa kutumia mapezi yao. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabasi]] *{{tafs|fr}}:[[anabas]]'
264297
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Jenasi ya samaki wa maji baridi wenye asili ya Asia na Afrika, wanaojulikana kwa uwezo wao wa kupumua hewa ya anga na kutambaa nchi kavu kwa kutumia mapezi yao.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabasi]]
*{{tafs|fr}}:[[anabas]]
97dxxlhtmmmmrqh1lbyh8skkdcyfuc7
anabasi
0
92989
264298
2026-05-11T11:47:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Jenasi ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kipekee wa kuvuta hewa ya anga na kutambaa nchi kavu kwa kutumia mapezi ya kifuani. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabas]] *{{tafs|fr}}:[[anabas]]'
264298
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Jenasi ya samaki wa maji baridi wenye uwezo wa kipekee wa kuvuta hewa ya anga na kutambaa nchi kavu kwa kutumia mapezi ya kifuani.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabas]]
*{{tafs|fr}}:[[anabas]]
0qkxzwaw2y87trmzndln34h53wdyd1n
anabatic wind
0
92990
264299
2026-05-11T11:48:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Upepo wa joto unaovuma kuelekea juu kwenye mteremko wa mlima au kilima, unaosababishwa na kupata joto kwa uso wa ardhi wakati wa mchana. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[upepo]] [[anabatiki]] *{{tafs|fr}}:[[vent anabatique]]'
264299
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Upepo wa joto unaovuma kuelekea juu kwenye mteremko wa mlima au kilima, unaosababishwa na kupata joto kwa uso wa ardhi wakati wa mchana.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[upepo]] [[anabatiki]]
*{{tafs|fr}}:[[vent anabatique]]
selqky49jaafin1a7tjlck1cpzhpn7r
264300
264299
2026-05-11T11:48:21Z
Bycashtz
4746
264300
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Upepo wa joto unaovuma kuelekea juu kwenye mteremko wa mlima au kilima, unaosababishwa na kupata joto kwa uso wa ardhi wakati wa mchana.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[upepo]] [[wa]] [[anabatiki]]
*{{tafs|fr}}:[[vent anabatique]]
ioucad45ng0mxqwamqw41oef15oezjc
vent anabatique
0
92991
264301
2026-05-11T11:49:03Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Upepo unaopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya hewa iliyo karibu na ardhi kupata joto kutokana na mwanga wa jua. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[upepo]] [[wa]] [[anabatiki]] *{{tafs|en}}:[[anabatic wind]]'
264301
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Upepo unaopanda juu kwenye mteremko wa mlima baada ya hewa iliyo karibu na ardhi kupata joto kutokana na mwanga wa jua.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[upepo]] [[wa]] [[anabatiki]]
*{{tafs|en}}:[[anabatic wind]]
89yl9cqu8x799nxq7dp6li181zux1ut
anablepid
0
92992
264302
2026-05-11T11:49:43Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Aina ya samaki wa maji baridi au ya chumvi kidogo, anayepatikana hasa Amerika ya Kati na Kusini, mwenye sifa ya kipekee ya kuwa na macho yaliyogawanyika yanayomwezesha kuona juu na chini ya maji kwa wakati mmoja. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anablepidi]] *{{tafs|fr}}:[[anablépidé]]'
264302
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Aina ya samaki wa maji baridi au ya chumvi kidogo, anayepatikana hasa Amerika ya Kati na Kusini, mwenye sifa ya kipekee ya kuwa na macho yaliyogawanyika yanayomwezesha kuona juu na chini ya maji kwa wakati mmoja.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anablepidi]]
*{{tafs|fr}}:[[anablépidé]]
jvpklx38haidasf8yn7eiik5h1dyehv
anablepidi
0
92993
264303
2026-05-11T11:50:16Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Samaki wa maji baridi mwenye macho yaliyogawanyika yanayomwezesha kuona juu na chini ya maji kwa wakati mmoja. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anablepid]] *{{tafs|fr}}:[[anablépidé]]'
264303
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Samaki wa maji baridi mwenye macho yaliyogawanyika yanayomwezesha kuona juu na chini ya maji kwa wakati mmoja.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anablepid]]
*{{tafs|fr}}:[[anablépidé]]
1rqq159d6waew7jnk9h9dlsnf301g3j
anablépidé
0
92994
264304
2026-05-11T11:50:53Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Samaki wa maji baridi au ya chumvi kidogo mwenye sifa ya kuwa na macho yaliyogawanyika yanayomfanya aone juu na chini ya maji kwa wakati mmoja. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anablepidi]] *{{tafs|en}}:[[anablepid]]'
264304
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Samaki wa maji baridi au ya chumvi kidogo mwenye sifa ya kuwa na macho yaliyogawanyika yanayomfanya aone juu na chini ya maji kwa wakati mmoja.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anablepidi]]
*{{tafs|en}}:[[anablepid]]
4m2vlf82gqj1fcdbs4kpob3c7e6efch
anabranch
0
92995
264305
2026-05-11T11:51:40Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kisha kujiunga nao tena upande wa chini baada ya kupita kisiwa au kizuizi kingine cha ardhi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabranchi]] *{{tafs|fr}}:[[anabranche]]'
264305
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kisha kujiunga nao tena upande wa chini baada ya kupita kisiwa au kizuizi kingine cha ardhi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabranchi]]
*{{tafs|fr}}:[[anabranche]]
fnw9d5htx171gq9hjg81ifbdbqs27g3
anabranchi
0
92996
264306
2026-05-11T11:52:17Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kurejea tena kwenye mkondo huo baada ya kupita umbali fulani. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[anabranch]] *{{tafs|fr}}:[[anabranche]]'
264306
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kurejea tena kwenye mkondo huo baada ya kupita umbali fulani.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[anabranch]]
*{{tafs|fr}}:[[anabranche]]
aa08juqv7k3x4l3ujwoursexbtq3jxx
Wiktionary:Wiki for Refugees/Mashirika
4
92997
264307
2026-05-11T11:52:38Z
Muddyb
60
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{| class="wikitable sortable" style="width:100%; border:1px solid #00457C;" |+ style="font-size:1.2em; color:#00457C; font-weight:bold; padding:10px;" | Mashirika Muhimu ya Wakimbizi na Uhamiaji |- style="background:#00457C; color:white; text-align:center;" ! Na. !! Jina la Shirika !! Kifupi !! Aina ya Shirika !! Majukumu Makuu |- | 1 || [[Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi]] || [[UNHCR]] || Kimataifa (UN) || ulinzi wa kimataifa na kutafuta...'
264307
wikitext
text/x-wiki
{| class="wikitable sortable" style="width:100%; border:1px solid #00457C;"
|+ style="font-size:1.2em; color:#00457C; font-weight:bold; padding:10px;" | Mashirika Muhimu ya Wakimbizi na Uhamiaji
|- style="background:#00457C; color:white; text-align:center;"
! Na. !! Jina la Shirika !! Kifupi !! Aina ya Shirika !! Majukumu Makuu
|-
| 1 || [[Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi]] || [[UNHCR]] || Kimataifa (UN) || ulinzi wa kimataifa na kutafuta suluhu za kudumu kwa wakimbizi.
|-
| 2 || [[Shirika la Kimataifa la Uhamiaji]] || [[IOM]] || Kimataifa (UN) || kusimamia uhamiaji salama na kusaidia watu waliokimbia makazi.
|-
| 3 || [[Shirika la Mpango wa Chakula Duniani]] || [[WFP]] || Kimataifa (UN) || kutoa msaada wa chakula na lishe katika kambi za wakimbizi.
|-
| 4 || [[Shirika la Afya Duniani]] || [[WHO]] || Kimataifa (UN) || kusimamia huduma za afya na kuzuia milipuko ya magonjwa kambini.
|-
| 5 || [[Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto]] || [[UNICEF]] || Kimataifa (UN) || kulinda haki na ustawi wa watoto wakimbizi na elimu.
|-
| 6 || [[Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu]] || [[ICRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa msaada wa kibinadamu na kulinda waathirika wa vita.
|-
| 7 || [[Baraza la Wakimbizi la Norway]] || [[NRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa msaada wa kisheria, makazi, na elimu kwa wakimbizi.
|-
| 8 || [[Madaktari Wasio na Mipaka]] || [[MSF]] || Kimataifa (NGO) || kutoa huduma za matibabu ya dharura katika maeneo ya migogoro.
|-
| 9 || [[Shirika la Uokoaji la Kimataifa]] || [[IRC]] || Kimataifa (NGO) || kusaidia watu walioathiriwa na mizozo ya kibinadamu.
|-
| 10 || [[Idara ya Huduma za Wakimbizi Tanzania]] || [[NRS]] || Kitaifa (Tanzania) || idara ya serikali inayosimamia masuala ya wakimbizi Tanzania.
|-
| 11 || [[Amnesty International]] || [[AI]] || Kimataifa (NGO) || kutetea haki za binadamu na kuzuia uonevu dhidi ya wakimbizi.
|-
| 12 || [[Human Rights Watch]] || [[HRW]] || Kimataifa (NGO) || kufuatilia na kutoa taarifa juu ya ukiukwaji wa haki.
|-
| 13 || [[Baraza la Wakimbizi la Denmark]] || [[DRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa ulinzi na misaada ya dharura kwa wakimbizi.
|-
| 14 || [[Jesuit Refugee Service]] || [[JRS]] || Kidini (NGO) || kutoa elimu na msaada wa kisaikolojia kwa wakimbizi.
|-
| 15 || [[Islamic Relief Worldwide]] || [[IRW]] || Kidini (NGO) || kutoa misaada ya dharura na maendeleo kwa wakimbizi.
|}
ectbq7jb115jxz95jekbzqxnq9z5gsc
264311
264307
2026-05-11T11:54:09Z
Muddyb
60
264311
wikitext
text/x-wiki
{{WFR}}
{| class="wikitable sortable" style="width:100%; border:1px solid #00457C;"
|+ style="font-size:1.2em; color:#00457C; font-weight:bold; padding:10px;" | Mashirika Muhimu ya Wakimbizi na Uhamiaji
|- style="background:#00457C; color:white; text-align:center;"
! Na. !! Jina la Shirika !! Kifupi !! Aina ya Shirika !! Majukumu Makuu
|-
| 1 || [[Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi]] || [[UNHCR]] || Kimataifa (UN) || ulinzi wa kimataifa na kutafuta suluhu za kudumu kwa wakimbizi.
|-
| 2 || [[Shirika la Kimataifa la Uhamiaji]] || [[IOM]] || Kimataifa (UN) || kusimamia uhamiaji salama na kusaidia watu waliokimbia makazi.
|-
| 3 || [[Shirika la Mpango wa Chakula Duniani]] || [[WFP]] || Kimataifa (UN) || kutoa msaada wa chakula na lishe katika kambi za wakimbizi.
|-
| 4 || [[Shirika la Afya Duniani]] || [[WHO]] || Kimataifa (UN) || kusimamia huduma za afya na kuzuia milipuko ya magonjwa kambini.
|-
| 5 || [[Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto]] || [[UNICEF]] || Kimataifa (UN) || kulinda haki na ustawi wa watoto wakimbizi na elimu.
|-
| 6 || [[Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu]] || [[ICRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa msaada wa kibinadamu na kulinda waathirika wa vita.
|-
| 7 || [[Baraza la Wakimbizi la Norway]] || [[NRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa msaada wa kisheria, makazi, na elimu kwa wakimbizi.
|-
| 8 || [[Madaktari Wasio na Mipaka]] || [[MSF]] || Kimataifa (NGO) || kutoa huduma za matibabu ya dharura katika maeneo ya migogoro.
|-
| 9 || [[Shirika la Uokoaji la Kimataifa]] || [[IRC]] || Kimataifa (NGO) || kusaidia watu walioathiriwa na mizozo ya kibinadamu.
|-
| 10 || [[Idara ya Huduma za Wakimbizi Tanzania]] || [[NRS]] || Kitaifa (Tanzania) || idara ya serikali inayosimamia masuala ya wakimbizi Tanzania.
|-
| 11 || [[Amnesty International]] || [[AI]] || Kimataifa (NGO) || kutetea haki za binadamu na kuzuia uonevu dhidi ya wakimbizi.
|-
| 12 || [[Human Rights Watch]] || [[HRW]] || Kimataifa (NGO) || kufuatilia na kutoa taarifa juu ya ukiukwaji wa haki.
|-
| 13 || [[Baraza la Wakimbizi la Denmark]] || [[DRC]] || Kimataifa (NGO) || kutoa ulinzi na misaada ya dharura kwa wakimbizi.
|-
| 14 || [[Jesuit Refugee Service]] || [[JRS]] || Kidini (NGO) || kutoa elimu na msaada wa kisaikolojia kwa wakimbizi.
|-
| 15 || [[Islamic Relief Worldwide]] || [[IRW]] || Kidini (NGO) || kutoa misaada ya dharura na maendeleo kwa wakimbizi.
|}
o8py1kbaujziy00xegb8dthqcnhbg0v
anabranche
0
92998
264308
2026-05-11T11:52:51Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kuungana nao tena baada ya kupita kisiwa au kizuizi cha ardhi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[anabranchi]] *{{tafs|en}}:[[anabranch]]'
264308
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Tawi la mto linalojitenga na mkondo mkuu na kuungana nao tena baada ya kupita kisiwa au kizuizi cha ardhi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[anabranchi]]
*{{tafs|en}}:[[anabranch]]
g5zuy4qhevuhpa5t4o4glwebnyvilr8
anacardium nut
0
92999
264309
2026-05-11T11:53:34Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Tunda lenye ganda gumu linalotokana na mti wa mbibo ambalo ndani yake lina mbegu inayolika baada ya kuandaliwa. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[korosho]] *{{tafs|fr}}:[[noix d'anacarde]]'
264309
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Tunda lenye ganda gumu linalotokana na mti wa mbibo ambalo ndani yake lina mbegu inayolika baada ya kuandaliwa.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[korosho]]
*{{tafs|fr}}:[[noix d'anacarde]]
l5athtlv91v83s7os8vtzr85rundkz7
Kigezo:WFR
10
93000
264310
2026-05-11T11:53:49Z
Muddyb
60
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Portal navigation | portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div> | headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em; | wrc = no | themecolor = #00b3ff | icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]] | tab1 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees|Maskani]] | icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]] | tab2 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]...'
264310
wikitext
text/x-wiki
{{Portal navigation
| portalname = <div class="center">Wiki for Refugees</div>
| headerstyle = border-bottom:solid 0.3em #00457C; padding-left:0.5em; color:#00457C; font-size:2em;
| wrc = no
| themecolor = #00b3ff
| icon1 = [[File:Home font awesome.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab1 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees|Maskani]]
| icon2 = [[File:Gnome-address-book-new.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab2 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Istilahi|Istilahi]]
| icon3 = [[File:Scale of justice 2.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab3 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Haki na Sheria|Haki & Sheria]]
| icon4 = [[File:Flag of the United Nations.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab4 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Mashirika|Mashirika]]
| icon5 = [[File:Books-aj.svg_aj_ashton_01.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab5 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Kamusi|Kamusi]]
| icon6 = [[File:File-invoice-solid.svg|x30px|class=skin-invert]]
| tab6 = [[Wiktionary:Wiki for Refugees/Ripoti|Ripoti]]
| active = {{{|1}}}
| hidesubnav = {{{hidesubnav|}}}
}}
dqjmpupqnji76wvueyk13h79elh06ij
noix d'anacarde
0
93001
264312
2026-05-11T11:54:11Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Tunda la mti wa mbibo lenye ganda gumu na mbegu yenye ladha ya kipekee inayoliwa kama chakula cha mbegu. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[korosho]] *{{tafs|en}}:[[anacardium nut]]'
264312
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Tunda la mti wa mbibo lenye ganda gumu na mbegu yenye ladha ya kipekee inayoliwa kama chakula cha mbegu.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[korosho]]
*{{tafs|en}}:[[anacardium nut]]
9hr11n774rl124ic8qogan0q1j62vhw
amud
0
93002
264314
2026-05-11T11:57:00Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|en}}== ===Nomino=== #Nguzo au mhimili wa kusimama; pia ni jina linalotumiwa kurejelea mimbari ndogo katika [[sinagogi]] ambapo kiongozi wa sala husimama wakati wa kuongoza ibada. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amudi]] *{{tafs|fr}}:[[amoud]]'
264314
wikitext
text/x-wiki
=={{--|en}}==
===Nomino===
#Nguzo au mhimili wa kusimama; pia ni jina linalotumiwa kurejelea mimbari ndogo katika [[sinagogi]] ambapo kiongozi wa sala husimama wakati wa kuongoza ibada.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amudi]]
*{{tafs|fr}}:[[amoud]]
6nk3wkfmuexedd6b1v6bt74qw0962va
amudi
0
93003
264315
2026-05-11T11:57:46Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|sw}}== ===Nomino=== #Nguzo, mhimili au mimbari ndogo katika [[sinagogi]] inayotumiwa na kiongozi wa sala wakati wa kuongoza ibada. ==Tafsiri== *{{tafs|en}}:[[amud]] *{{tafs|fr}}:[[amoud]]'
264315
wikitext
text/x-wiki
=={{--|sw}}==
===Nomino===
#Nguzo, mhimili au mimbari ndogo katika [[sinagogi]] inayotumiwa na kiongozi wa sala wakati wa kuongoza ibada.
==Tafsiri==
*{{tafs|en}}:[[amud]]
*{{tafs|fr}}:[[amoud]]
imyq1g9z6am5na4oyzrv8scbd9vu3od
amoud
0
93004
264316
2026-05-11T11:58:31Z
Bycashtz
4746
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '=={{--|fr}}== ===Nomino=== #Nguzo au mhimili; neno hili pia hutumika kurejelea mimbari katika [[sinagogi]] ambapo kiongozi wa sala husimama wakati wa ibada ya Kiyahudi. ==Tafsiri== *{{tafs|sw}}:[[amudi]] *{{tafs|en}}:[[amud]]'
264316
wikitext
text/x-wiki
=={{--|fr}}==
===Nomino===
#Nguzo au mhimili; neno hili pia hutumika kurejelea mimbari katika [[sinagogi]] ambapo kiongozi wa sala husimama wakati wa ibada ya Kiyahudi.
==Tafsiri==
*{{tafs|sw}}:[[amudi]]
*{{tafs|en}}:[[amud]]
5t8l4gusng4ccp7c1ma7g1rmdmpku4p