Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.47.0-wmf.6
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Event
Event talk
Chari
0
3153
1569477
1139506
2026-06-10T16:05:38Z
~2026-34224-47
90128
AWC 2026
1569477
wikitext
text/x-wiki
{{Mto | jina = Mto wa Chari
| picha = View of Chari.jpg
| maelezo_ya_picha = Mto Chari
| chanzo =
| mdomo =
| nchi = [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Chad]], [[Kamerun]]
| urefu = 1,200 km
| kimo = 500 - 600 m
| mkondo = ??
| eneo = 669,706 km²
| mdomo = [[Chad (ziwa)|Ziwa Chad]]
| matawimto =
| tawimto kulia =
| tawimto kushoto =
| watu =
| miji =
}}
'''Chari''' ('''Shari''') ni [[mto]] mkubwa unaoishia katika [[Ziwa Chad]]. Unaanza katika [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] ukielekea [[kaskazini]] na kuingia nchi ya [[Chad]]. Baada ya kupita [[mji mkuu]] [[N'Djamena]] Wakazi hao hutegemea mto kwa kilimo cha umwagiliaji, uvuvi na matumizi ya maji ya nyumbani.mto uunaunda mpaka na [[Kamerun]] halafu unaishia katika [[Ziwa Chad]].
Chari inatiririsha 90[[%]] ya [[maji]] yote ya kuingia ziwa Chad.Hii inafanya mto huu kuwa chanzo kikuu cha uhai wa Ziwa Chad na mfumo wake wa ikolojia.
[[Idadi]] kubwa ya wakazi wa nchi ya Chad wanaishi karibu na mto, wakiwa pamoja na wale wa mji mkuu.
[[Picha:Chari River.jpg|thumb|250px|left|Wavuvi kwenye mto Chari.]]
[[Watu]] wanapata [[maisha]] yao mtoni kwa [[kilimo]] na [[uvuvi]], hasa wa [[samaki]] aina ya [[sangara]].
[[Tawimto]] muhimu zaidi ni [[mto Logone]], mengine ni [[Bahr Salamat]], [[Bahr Sarh]], [[Bahr Aouk]] na [[Bahr Keïta]].
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
* [http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af2.html Ramani ya beseni la mto Chari River katika Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af2.html |date=20060625231351 }}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
[[Jamii:Mito ya Chad]]
[[Jamii:Mito ya Kamerun]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Ziwa Chad]]
rcq9k31uk1hs1iy9jvh9mo83h51tm94
1570725
1569477
2026-06-11T07:25:28Z
Riccardo Riccioni
452
1570725
wikitext
text/x-wiki
{{Mto | jina = Mto wa Chari
| picha = View of Chari.jpg
| maelezo_ya_picha = Mto Chari
| chanzo =
| mdomo =
| nchi = [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Chad]], [[Kamerun]]
| urefu = 1,200 km
| kimo = 500 - 600 m
| mkondo = ??
| eneo = 669,706 km²
| mdomo = [[Chad (ziwa)|Ziwa Chad]]
| matawimto =
| tawimto kulia =
| tawimto kushoto =
| watu =
| miji =
}}
'''Chari''' ('''Shari''') ni [[mto]] mkubwa unaoishia katika [[Ziwa Chad]]. Unaanza katika [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] ukielekea [[kaskazini]] na kuingia nchi ya [[Chad]]. Baada ya kupita [[mji mkuu]] [[N'Djamena]] mto uunaunda mpaka na [[Kamerun]] halafu unaishia katika [[Ziwa Chad]].
Chari inatiririsha 90[[%]] ya [[maji]] yote ya kuingia ziwa Chad. Hii inafanya mto huo kuwa chanzo kikuu cha [[uhai]] wa Ziwa Chad na mfumo wake wa [[ekolojia]].
[[Idadi]] kubwa ya wakazi wa nchi ya Chad wanaishi karibu na mto, wakiwa pamoja na wale wa mji mkuu. Watu hao hutegemea mto kwa [[kilimo]] cha [[umwagiliaji]], kwa [[uvuvi]], hasa wa [[samaki]] aina ya [[sangara]], na kwa matumizi ya maji nyumbani.
[[Picha:Chari River.jpg|thumb|250px|left|Wavuvi kwenye mto Chari.]]
[[Tawimto]] muhimu zaidi ni [[mto Logone]], mengine ni [[Bahr Salamat]], [[Bahr Sarh]], [[Bahr Aouk]] na [[Bahr Keïta]].
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Viungo vya nje ==
* [http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af2.html Ramani ya beseni la mto Chari River katika Water Resources eAtlas] {{Wayback|url=http://www.waterandnature.org/eatlas/html/af2.html |date=20060625231351 }}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
[[Jamii:Mito ya Chad]]
[[Jamii:Mito ya Kamerun]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Ziwa Chad]]
ra9m73o9h7hpa41lf51m2ju4m7nwoym
Wikipedia:Babel
4
4005
1570817
1077444
2026-06-11T09:54:41Z
Riccardo Riccioni
452
1570817
wikitext
text/x-wiki
{| align="right"
|-
|{{Shortcut|WP:BABEL}}
|}
[[Picha:Pieter Bruegel the Elder - The Tower of Babel (Vienna) - Google Art Project - edited.jpg|thumb|380px|Picha ya [[Mnara wa Babeli]] ni [[ishara]] ya mwanzo wa [[lugha]] tofauti [[dunia]]ni.]]
Ukurasa huu unaonyesha namna ya kuwaeleza wengine lugha gani unajua kuongea.
==Viwango==
#Msingi: Unaelewa sentensi rahisi tu za lugha hii
#Wastani: Unaelewa sentensi zake nyingi na unaweza kuisema na kuiandika walau kidogo
#Juu: Unasema na kuandika kwa lugha hii kwa kiwango cha juu
#Karibia-mwenyeji: Unaongea lugha hii kwa ufasaha
#Kitaaluma: Unaweza kuwaeleza wazawa undani wa lugha hii
Kwa mfano, '''de-1''' inamaanisha kiwango cha msingi cha Kijerumani. '''es-3''' inamaanisha kiwango cha juu cha Kihispania. '''en''' bila namba inamaanisha ni mwenyeji au mzawa wa Kiingereza.
==Waonyeshe wengine kiwango cha lugha zako==
'''1.''' Chagua lugha unazozielewa. Chagua kiwango chako katika kila lugha unayoielewa. Kwa mfano, kama unaongea Kihispania fasaha, chagua "es-3". Kama umejifunza Kiingereza kwa miaka kadhaa, basi weka "en-2".
'''2.''' Weka kodi za lugha kwenye ukurasa wako wa mtumiaji kwa kutumia vigezo. Kwa mfano, kama unaongea lugha mbili, weka <nowiki>{{subst:Babel-2}}</nowiki> zikifuatiwa na kodi mbili za lugha: <code>'''<nowiki>{{subst:Babel-2|es-3|en-1}}</nowiki>'''</code>. Hii inaonekana kama hivi:
<center>
{| style="width:242px;border:#99B3FF solid 1px"
|-----
| <center>'''[[Wikipedia:Babel]]'''</center>
|-----
| {{User es-3}}
|-----
| {{User en-1}}
|}</center>
'''3.''' Sasa, jina lako litakuwa kwenye jamii zifuatazo: [[:Jamii:User es]], [[:Jamii:User es-3]], [[:Jamii:User en]], na [[:Jamii:User en-1]]. Jamii zote za chini ni [[:Jamii:Wanawikipedia lugha kwa lugha]].
==Lugha tofauti==
:''Ilani: Si lugha zote ziko tayari kwa viwango vyote. Tafadhali uwe na subira.
===A===
----
{{Languageskills|
Symbol=als|
Languagename=Kialemannisch|
Englishname=Kialemannik cha Kijerumani|
Article=Kialemannik cha Kijerumani|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=ASL|
Languagename=American Sign Language|
Englishname=American Sign Language|
Article=American Sign Language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=af|
Languagename=Kiafrikaans|
Englishname=Kiafrikaans|
Article=Kiafrikaans|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=am|
Languagename=አማርኛ|
Englishname=Amharic|
Article=Amharic language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=an|
Languagename=Aragonés|
Englishname=Aragonese|
Article=Aragonese language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=ar|
Languagename=العربية|
Englishname=Arabic|
Article=Arabic language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=ast|
Languagename=Asturianu|
Englishname=Asturian|
Article=Asturian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
===C===
----
{{Languageskills|
Symbol=ca|
Languagename=Català|
Englishname=Catalan|
Article=Catalan language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
===D===
----
{{Languageskills|
Symbol=da|
Languagename=Dansk|
Englishname=Danish|
Article=Danish language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=de|
Languagename=Deutsch|
Englishname=German|
Article=Kijerumani|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
===E===
----
{{Languageskills|
Symbol=en|
Languagename=Kiingereza|
Englishname=Kiingereza|
Article=Kiingereza|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=eo|
Languagename=Kiesperanto|
Englishname=Kiesperanto|
Article=Kiesperanto|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=es|
Languagename=Kihispania|
Englishname=Kihispania|
Article=Kihispania|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=et|
Languagename=Kiestonia|
Englishname=Kiestonia|
Article=Kiestonia|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=eu|
Languagename=Euskera|
Englishname=Basque|
Article=Basque language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===F===
----
{{Languageskills|
Symbol=fa|
Languagename=Farsi|
Englishname=Persian|
Article=Persian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=fi|
Languagename=Suomi|
Englishname=Finnish|
Article=Finnish language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=fr|
Languagename=Français|
Englishname=French|
Article=Kifaransa|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===G===
----
{{Languageskills|
Symbol=gl|
Languagename=Galego|
Englishname=Galician|
Article=Galician language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===H===
----
{{Languageskills|
Symbol=he|
Languagename=עברית|
Englishname=Hebrew|
Article=Kiebrania|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=hr|
Languagename=Hrvatski|
Englishname=Croatian|
Article=Croatian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=hu|
Languagename=Magyar|
Englishname=Hungarian|
Article=Kihungaria|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=hy|
Languagename=Հայերեն|
Englishname=Armenian|
Article=Armenian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===I===
----
{{Languageskills|
Symbol=ia|
Languagename=Interlingua|
Englishname=Interlingua|
Article=Interlingua|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=it|
Languagename=Italiano|
Englishname=Italian|
Article=Kiitalia|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===J===
----
{{Languageskills|
Symbol=ja|
Languagename=ָױ±¾ױZ <nowiki>[</nowiki>''Nihongo''<nowiki>]</nowiki>|
Englishname=Japanese|
Article=Kijapani|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===K===
----
{{Languageskills|
Symbol=ku|
Languagename=Kurdמ, كوردی|
Englishname=Kurdish|
Article=Kurdish language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===L===
----
{{Languageskills|
Symbol=la|
Languagename=Latina|
Englishname=Latin|
Article=Kilatini|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=ln|
Languagename=Lingála|
Englishname=Kilingala|
Article=Kilingala|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===N===
----
{{Languageskills|
Symbol=nds|
Languagename=Plattdtsch|
Englishname=Low German|
Article=Low German language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=nl|
Languagename=Nederlands|
Englishname=Dutch|
Article=Kiholanzi|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===P===
----
{{Languageskills|
Symbol=pl|
Languagename=Polski|
Englishname=Polish|
Article=Polish language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=pt|
Languagename=Português|
Englishname=Portuguese|
Article=Portuguese language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===Q===
----
{{Languageskills|
Symbol=qu|
Languagename=Runa Simi|
Englishname=Quechua|
Article=Quechua language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===R===
----
{{Languageskills|
Symbol=ru|
Languagename=Русский|
Englishname=Russian|
Article=Russian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===S===
----
{{Languageskills|
Symbol=simple|
Languagename=Simple English|
Englishname=Simple English|
Article=Wikipedia:Simple English Wikipedia|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=sv|
Languagename=Svenska|
Englishname=Swedish|
Article=Kiswidi|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===U===
----
{{Languageskills|
Symbol=uk|
Languagename=Українська|
Englishname=Ukrainian|
Article=Ukrainian language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===Y===
----
{{Languageskills|
Symbol=yo|
Languagename=Yorùbá|
Englishname=Kiyoruba|
Article=Kiyoruba|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
===Z===
----
{{Languageskills|
Symbol=zh|
Languagename=ײ׀־ִ <nowiki>[</nowiki>''Zhōng Wיn''<nowiki>]</nowiki>||
Englishname=Chinese|
Article=Chinese language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
<br>
{{Languageskills|
Symbol=zh-classical|
Languagename=־ִׁװ־ִ Classical Chinese / Literary Chinese |
Englishname=Classical Chinese|
Article=Classical Chinese language|
Wikipedia-Feature1=block|
Wikipedia-Feature2=table-row}}
[[Category:Wikipedia|{{PAGENAME}}]]
[[Jamii:Wanawikipedia lugha kwa lugha|!]]
ncai78useihmjuvayxarqsp2zush6lo
Eris
0
7331
1570660
1360958
2026-06-11T03:34:38Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 5 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570660
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Eris and dysnomia2.jpg|thumb|Picha ya Erisi na mwezi wake]]
'''Erisi''' (alama: [[file:Eris symbol (bold).svg|16px|⯰]];<ref>{{cite web |url= https://www.jpl.nasa.gov/infographics/what-is-a-dwarf-planet |author= JPL/NASA |date= 2015-04-22 |website= Jet Propulsion Laboratory |title= What is a Dwarf Planet? |access-date= 2022-01-19}}</ref> pia '''(136199) Erisi''' au '''136199 Erisi''') ni [[sayari kibete]] kubwa inayojulikana katika [[mfumo wa Jua]] letu.
[[Picha:Animation showing movement of 2003 UB313.gif|thumb|Picha inaonyesha mwendo wa Erisi kwenye picha zilizopigwa kwa darubini ya anga ya Mt. Palomar. Erisi ni ile nukta ndogo inayochezacheza upande wa kushoto juu ya mstari wa katikati ya picha. Mwendo unaoonekana ni mabadiliko ya mahali pa Eris angani katika muda wa masaa matatu. Nukta nyingine ni nyota tu zinazokaa mahali pamoja.]]
== Tabia ze Erisi ==
Njia yake ya kuzunguka jua ni nje ya njia ya [[Pluto]]. Eros inaonekana ina angalau [[mwezi]] mmoja unaoitwa [[Dysnomia (mwezi)|Dysnomia]]. Makadirio ya kipenyo chake ni 2400 [[km]] ambacho ni kikubwa kidogo kuliko Pluto. Inazunguka jua katika muda wa miaka 556.7 ya dunia. Umbali wake na jua ni mara 97 umbali wa dunia yetu. Kutoka Erisi hata jua letu laonekana kama [[nyota]] ndogo tu.
== Kutambuliwa kwa Erisi ==
Erisi ilitambuliwa 2005 na [[astronomia|wanaastronomia]] walioongozwa na Dr. Michael E. Brown kwenye [[paoneaanga]] Mount Palomar (Marekani). Walichungulia picha za anga zilizopigwa mwaka 2003 wakatambua nukta ya anga lililobadilika mahali.
== Erisi ni chanzo cha utaratibu wa "Sayari Kibete" ==
Kutambuliwa kwa Erisi kulisababisha wanafalaki kuanzisha kitengo kipya cha "sayari kibete". Brown aliwahi kutangaza Erisi kuwa [[sayari]] ya kumi ya jua letu. Lakini wataalamu wengine waliona uwezekano mkubwa ya kwamba magimba mengine ya kufanana na Erisi yatapatikana karibuni. Maana ya neno "sayari" kwa kulingana na sayari za ndani ilihofiwa kutavurugika. Hivyo utaratibu wa sayari kibete ulianzishwa.
Hivyo Erisi ilikuwa sababu ya kushushwa kwa cheo cha Pluto ambayo ni ndogo kuliko Erisi.
=== Viungo vya Nje ===
* [http://www.gps.caltech.edu/~mbrown/planetlila/ Michael Brown's webpage about
* [http://www.gps.caltech.edu/~mbrown/planetlila/moon/ Tovuti ya Brown kuhusu mwezi wa Eris
* [http://www.johnstonsarchive.net/astro/astmoons/am2003ub313.html compiled list of data]
* [http://cfa-www.harvard.edu/mpec/K05/K05O41.html MPEC listing ]
* [http://neo.jpl.nasa.gov/orbits/2003ub313.html Java 3D orbit visualization] {{Wayback|url=http://neo.jpl.nasa.gov/orbits/2003ub313.html |date=20050731232015 }}
* [http://www.spaceflightnow.com/news/n0509/09solarssytem/ Spaceflight Now article]
* [http://www.slackerastronomy.org/wordpress/index.php/archive/10th-planet/#comments Slacker Astronomy Interview With Co-Discoverer Trujillo] {{Wayback|url=http://www.slackerastronomy.org/wordpress/index.php/archive/10th-planet/#comments |date=20051108052322 }}
* [http://www.nasa.gov/vision/universe/solarsystem/newplanet-072905-images.html NASA - new planet discovered] {{Wayback|url=http://www.nasa.gov/vision/universe/solarsystem/newplanet-072905-images.html |date=20050815011109 }}
* [http://www.iau.org/TRANS-NEPTUNIAN_OBJECT_2003_UB.324.0.html Trans-Neptunian Object mp|2003 UB|313] {{Wayback|url=http://www.iau.org/TRANS-NEPTUNIAN_OBJECT_2003_UB.324.0.html |date=20060426030013 }} — IAU statement regarding the planetary status of Eris
* [http://www.orbitsimulator.com/gravity/articles/newtno.html Simulation of mp|2003 UB|313's orbit] — mp|2003 UB|313 is in a 17:5 resonance with Neptune
* [https://web.archive.org/web/20060114202745/http://www2.keck.hawaii.edu/optics/staff/mvandam/gabrielle Keck observatory page about the discovery of mp|2003 UB|313's moon]
* [http://www.parade.com/articles/editions/2006/edition_01-15-2006/Science_Tenth_Planet Parade Magazine on the spacecraft ''New Horizons'']
* M. E. Brown et al., [http://arxiv.org/PS_cache/astro-ph/pdf/0510/0510029.pdf ''Satellites of the largest Kuiper belt objects''], Astrophysics Journal Letters, [[25 Desemba]] [[2005]] preprint
=== Habari magazetini ===
* [http://www.newscientistspace.com/article.ns?id=dn7763 Tenth planet discovered in outer solar system] - NewScientistSpace.com
* [http://skyandtelescope.com/news/article_1560_1.asp Astronomers Discover "10th Planet"] {{Wayback|url=http://skyandtelescope.com/news/article_1560_1.asp |date=20081203171208 }} - Sky & Telescope article
* [http://www.astronomy.com/asy/default.aspx?c=a&id=3401 Tenth Planet Discovered] - Astronomy Magazine article
* [https://web.archive.org/web/20060306130450/http://www.planetary.org/news/2005/0729_Larger_Than_Pluto.html LARGER THAN PLUTO! 10th Planet Discovered?] - Planetary Society
* [http://www.spaceflightnow.com/news/n0507/29planet/ Tenth planet found!] - spaceflightnow.com
* [http://www.space.com/scienceastronomy/050729_new_planet.html Object Bigger than Pluto Discovered, Called 10th Planet] - space.com
* [http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/4730061.stm Astronomers detect '10th planet'] - BBC News
* [http://slate.msn.com/id/2123839/ You Call That a Planet? How astronomers decide whether a celestial body measures up.] {{Wayback|url=http://slate.msn.com/id/2123839/ |date=20050805001650 }} - Slate.com
* [http://hubblesite.org/newscenter/newsdesk/archive/releases/2006/16 Hubblesite:Revised diameter (April 2006)]
* [http://www.nytimes.com/2006/09/14/science/15xenacnd.html A Dwarf Planet Is Named: Eris] - New York Times
{{Mfumo wa jua}}
[[Jamii:Sayari kibete|Eris]]
d9vkmzx8imracu0x7genevv8t5ta5nj
Jamii:Waigizaji Filamu wa Mexiko
14
13928
1570829
1196373
2026-06-11T11:18:33Z
EmausBot
5566
Bot: Fixing double redirect from [[Jamii:Waigizaji filamu wa Mexiko]] to [[Jamii:Waigizaji filamu wa Meksiko]]
1570829
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[:Jamii:Waigizaji filamu wa Meksiko]]
bjfktx4q6ly4wfgq8o691ez5kd4hq0u
GNU Free Documentation License
0
14548
1570694
1548787
2026-06-11T06:15:29Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570694
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri}}
{{Infobox software license
| name = GNU Free Documentation License
| image = [[File:GFDL Logo.svg|160px]]
| caption = The GFDL logo
| author = [[Free Software Foundation]]
| version = 1.3
| publisher = Free Software Foundation, Inc.
| date = November 3, 2008 (current version)
| spdx = {{Unbulleted list|GFDL-1.3-or-later
|GFDL-1.3-only
|GFDL-1.2-or-later
|GFDL-1.2-only
|GFDL-1.1-or-later
|GFDL-1.1-only
}}
([https://spdx.org/licenses/ see list for more])
| Debian approved = Yes, with no invariant sections (see below)
| GPL compatible = No
| copyleft = Yes
}}
'''GNU Free Documentation License''' ('''GNU FDL''' au '''GFDL''') ni [[leseni]] huru kwa ajili ya nyaraka huria iliyobuniwa na [[Free Software Foundation]] (FSF) kwa ajili ya [[GNU Project]]. Leseni hii inafanana na [[GNU General Public License]], kwa kuwa inawapa wasomaji haki ya kunakili, kusambaza, na kurekebisha kazi (isipokuwa kwa "sehemu zisizobadilika"), na inahitaji kwamba nakala zote na kazi zinazotokana nazo ziwe chini ya leseni hiyo hiyo. Nakala za kazi pia zinaweza kuuzwa kibiashara, lakini iwapo zitazalishwa kwa wingi (zaidi ya nakala 100), hati asilia au msimbo wa chanzo lazima utolewe kwa mpokeaji wa kazi hiyo.
GFDL iliundwa mahsusi kwa ajili ya miongozo ya watumiaji, vitabu vya kiada, vifaa vingine vya rejea na mafunzo, na nyaraka zinazotolewa pamoja na programu za GNU. Hata hivyo, inaweza kutumika kwa kazi yoyote inayotegemea maandishi, bila kujali mada yake. Kwa mfano, kamusi elezo huru ya mtandaoni [[Wikipedia]] inatumia GFDL (pamoja na [[Creative Commons Attribution Share-Alike License]]) kwa sehemu kubwa ya maandishi yake, isipokuwa maandishi yaliyoingizwa kutoka vyanzo vingine baada ya mabadiliko ya leseni ya mwaka 2009, ambayo yanapatikana tu chini ya leseni ya Creative Commons.<ref>{{Rejea tovuti |date=29 June 2023 |title=WIKIPEDIA MOVES TO CC 4.0 LICENSES |url=https://creativecommons.org/2023/06/29/wikipedia-moves-to-cc-4-0-licenses/ |access-date=4 June 2024 |website=Creative Commons}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=FSF Releases New Version of GNU Free Documentation License — Free Software Foundation — Working together for free software |url=https://www.fsf.org/news/fdl-1.3-pr.html |access-date=2024-06-04 |website=www.fsf.org}}</ref>
== Historia ==
Leseni ya GFDL ilitolewa kwa rasimu ili kupata maoni mnamo Septemba 1999.<ref>{{cite newsgroup |title=New Documentation License—Comments Requested |author=Richard Stallman |date=September 12, 1999 |newsgroup=gnu.misc.discuss |message-id=gnusenet199909120759.DAA04152@psilocin.gnu.org |url=http://tech-insider.org/free-software/research/1999/0912.html |access-date=August 17, 2017 |archive-date=2022-12-26 |archive-url=https://web.archive.org/web/20221226013937/https://www.tech-insider.org/free-software/research/1999/0912.html |url-status=dead }}</ref> Baada ya marekebisho, toleo la 1.1 lilitolewa mnamo Machi 2000, toleo la 1.2 mnamo Novemba 2002, na toleo la 1.3 mnamo Novemba 2008. Hali ya sasa ya leseni ni toleo la 1.3.<ref name="onepoint3faq">{{cite web |url=https://www.gnu.org/licenses/fdl-1.3-faq.html |title=GFDL v1.3 FAQ |publisher=GNU |access-date=November 7, 2011 |archive-date=2021-05-01 |archive-url=https://web.archive.org/web/20210501220257/https://www.gnu.org/licenses/fdl-1.3-faq.html |url-status=dead }}</ref>
Mnamo Desemba 1, 2007, mwanzilishi wa Wikipedia [[Jimmy Wales]] alitangaza kwamba kipindi kirefu cha majadiliano na mazungumzo kati ya Free Software Foundation, Creative Commons, [[Wikimedia Foundation]] na wengine kilizaa pendekezo lililoungwa mkono na FSF na Creative Commons kubadilisha Leseni ya Nyaraka Huru ili kutoa uwezekano kwa Wikimedia Foundation kuhamisha miradi yake kwa leseni inayofanana ya [[Creative Commons Attribution Share-Alike]] (CC BY-SA).<ref>{{cite web |last=Lessig |first=Lawrence |url=http://lessig.org/blog/2007/12/some_important_news_from_wikip.html |title=Some important news from Wikipedia to understand clearly |publisher=Lessig Blog |date=December 1, 2007 |access-date=November 7, 2011 |archive-date=October 26, 2011 |archive-url=https://web.archive.org/web/20111026061623/http://lessig.org/blog/2007/12/some_important_news_from_wikip.html |url-status=dead }}</ref><ref>{{cite web|url=https://wikimediafoundation.org/wiki/Resolution:License_update |title=Resolution:License update |publisher=Wikimedia Foundation |access-date=November 7, 2011}}</ref> Mabadiliko haya yalitekelezwa kwenye toleo la 1.3 la leseni, ambalo linajumuisha kifungu kipya kinachoruhusu baadhi ya vifaa vilivyotolewa chini ya leseni ya (GFDL) kutumika pia chini ya leseni ya Creative Commons Attribution Share-Alike.<ref name="onepoint3faq"/>
== Masharti ==
Vifaa vilivyotolewa chini ya toleo la sasa la leseni vinaweza kutumika kwa madhumuni yoyote, alimradi tu matumizi hayo yatekeleze masharti fulani.
* Waandishi wote wa awali wa kazi lazima watambuliwe kama ilivyoainishwa.
* Mabadiliko yoyote kwenye kazi lazima yarekodiwe.
* Kazi zote za asili lazima ziwe chini ya leseni hiyo hiyo.
* Nakala kamili ya leseni, sehemu zisizobadilika kama ilivyoainishwa na mwandishi kama zipo, na yoyote nyingine ya onyo la dhamana (kama onyo la jumla linaloonya wasomi kuwa hati hiyo inaweza kuwa si sahihi kwa mfano) pamoja na matangazo ya hakimiliki kutoka toleo za awali lazima zishikewe.
* Hatua za kiufundi kama vile usimamizi wa hak za kidijitali (DRM) haziruhusiwi kutumika kudhibiti au kuzuia usambazaji au uhariri wa hati.
=== Secondary sections ===
The license explicitly separates any kind of "Document" from "Secondary Sections", which may not be integrated with the Document, but exist as front-matter materials or appendices. Secondary sections can contain information regarding the author's or publisher's relationship to the subject matter, but not any subject matter itself. While the Document itself is wholly editable and is essentially covered by a license equivalent to (but mutually incompatible with) the [[GNU General Public License]], some of the secondary sections have various restrictions designed primarily to deal with proper attribution to previous authors.
Specifically, the authors of prior versions have to be acknowledged and certain "invariant sections" specified by the original author and dealing with his or her relationship to the subject matter may not be changed. If the material is modified, its title has to be changed (unless the prior authors permit to retain the title).
The license also has provisions for the handling of front-cover and back-cover texts of books, as well as for "History", "Acknowledgements", "Dedications" and "Endorsements" sections. These features were added in part to make the license more financially attractive to commercial publishers of software documentation, some of whom were consulted during the drafting of the GFDL.<ref name=why>{{cite web |first1=Richard |last1=Stallman |url=https://www.gnu.org/licenses/why-gfdl.html |title=Why publishers should use the GNU FDL |access-date=July 17, 2009 |website=GNU |archive-date=2009-07-01 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090701092440/http://www.gnu.org/licenses/why-gfdl.html |url-status=dead }}</ref><ref name="gnufaq">GNU Project: "[https://www.gnu.org/licenses/gpl-faq.html#WhyNotGPLForManuals Frequently Asked Questions about the GNU Licenses: Why don't you use the GPL for manuals?]"</ref> "Endorsements" sections are intended to be used in official standard documents, where the distribution of modified versions should only be permitted if they are not labeled as that standard anymore.<ref name="gnufaq"/>
=== Commercial redistribution ===
The GFDL requires the ability to "copy and distribute the Document in any medium, either commercially or noncommercially" and therefore is incompatible with material that excludes commercial re-use. As mentioned above, the GFDL was designed with commercial publishers in mind, as Stallman explained:{{quote|The GFDL is meant as a way to enlist commercial publishers in funding free documentation without surrendering any vital liberty. The 'cover text' feature, and certain other aspects of the license that deal with covers, title page, history, and endorsements, are included to make the license appealing to commercial publishers for books whose authors are paid.<ref name=why/>}} Material that restricts commercial re-use is incompatible with the license and cannot be incorporated into the work. However, incorporating such restricted material may be [[fair use]] under United States copyright law (or [[fair dealing]] in some other countries) and does not need to be licensed to fall within the GFDL if such fair use is covered by all potential subsequent uses. One example of such liberal and commercial fair use is [[parody]].
===Compatibility with Creative Commons licensing terms===
Although the two licenses work on similar copyleft principles, the GFDL is not compatible with the [[Creative Commons licenses|Creative Commons Attribution-ShareAlike license]].
However, at the request of the [[Wikimedia Foundation]],<ref name="onepoint3faq"/> version 1.3 added a time-limited section allowing specific types of websites using the GFDL to additionally offer their work under the CC BY-SA license. These exemptions allow a GFDL-based collaborative project with multiple authors to transition to the CC BY-SA 3.0 license, without first obtaining the permission of every author, if the work satisfies several conditions:<ref name="onepoint3faq"/>
* The work must have been produced on a "Massive Multiauthor Collaboration Site" (MMC), such as a public [[wiki]] for example.
* If external content originally published on a MMC is present on the site, the work must have been licensed under Version 1.3 of the GNU FDL, or an earlier version but with the "or any later version" declaration, with no cover texts or invariant sections. If it was not originally published on an MMC, it can only be [[Software relicensing|relicensed]] if it were added to an MMC before November 1, 2008.
To prevent the clause from being used as a general compatibility measure, the license itself only allowed the change to occur before August 1, 2009. At the release of version 1.3, the FSF stated that all content added before November 1, 2008, to Wikipedia as an example satisfied the conditions. The Wikimedia Foundation itself after a public referendum, invoked this process to [[dual-license]] content released under the GFDL under the [[CC BY-SA]] license in June 2009, and adopted a foundation-wide attribution policy for the use of content from Wikimedia Foundation projects.
==Enforcement==
There have currently been no cases involving the GFDL in a court of law, although its sister license for software, the [[GNU General Public License]], has been successfully enforced in such a setting.<ref>{{cite web |title=BusyBox and the GPL Prevail Again – Updated 4Xs |url=http://www.groklaw.net/article.php?story=20100803132055210 |first=Pamela |last=Jones |work=[[Groklaw]] |date=August 3, 2010 |access-date=May 17, 2019 |archive-date=2010-08-04 |archive-url=https://web.archive.org/web/20100804000246/http://www.groklaw.net/article.php?story=20100803132055210 |url-status=dead }}</ref> Although the content of [[Wikipedia]] has been plagiarized and used in violation of the GFDL by other sites, such as [[Baidu Baike]], no contributors have ever tried to bring an organization to court due to violation of the GFDL. In the case of Baidu, Wikipedia representatives asked the site and its contributors to respect the terms of the licenses and to make proper attributions.<ref>{{cite news
|url=http://www.pcworld.com/article/135550/article.html
|title=Baidu May Be Worst Wikipedia Copyright Violator
|publisher=[[PC World (magazine)|PC World]]
|date=August 6, 2007
|access-date=September 10, 2007
|archive-date=April 21, 2016
|archive-url=https://web.archive.org/web/20160421051401/http://www.pcworld.com/article/135550/article.html
|url-status=dead
|accessdate=2023-02-17
|archivedate=2016-04-21
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160421051401/http://www.pcworld.com/article/135550/article.html
}}</ref>
==Criticism==
Some critics consider the GFDL a non-free license. Some reasons for this are that the GFDL allows "invariant" text which cannot be modified or removed, and that its prohibition against [[digital rights management]] (DRM) systems applies to valid usages, like for "private copies made and not distributed".<ref name="nerode2007">{{cite web|url=http://home.twcny.rr.com/nerode/neroden/fdl.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20071210175219/http://home.twcny.rr.com/nerode/neroden/fdl.html |archive-date=December 10, 2007 |title=Why You Shouldn't Use the GNU FDL |date=December 10, 2007 |access-date=November 7, 2011|first=Nathanael|last=Nerode}}</ref>
Notably, the [[Debian]] project,<ref>{{cite web|url=http://people.debian.org/~srivasta/Position_Statement.xhtml |title=Draft Debian Position Statement about the GNU Free Documentation License (GFDL)|year=2006|access-date=September 25, 2007 |first=Manoj |last=Srivastava |quote=''It is not possible to borrow text from a GFDL'd manual and incorporate it in any free software program whatsoever. This is not a mere license incompatibility. It's not just that the GFDL is incompatible with this or that free software license: it's that it is fundamentally incompatible with any free software license whatsoever. So if you write a new program, and you have no commitments at all about what license you want to use, saving only that it be a free license, you cannot include GFDL'd text. The GNU FDL, as it stands today, does not meet the Debian Free Software Guidelines. There are significant problems with the license, as detailed above; and, as such, we cannot accept works licensed under the GNU FDL into our distribution.''}}</ref> [[Thomas Bushnell]],<ref name="lwn">{{cite web |url=https://lwn.net/Articles/59147/ |archive-url=https://archive.today/20120713142623/http://lwn.net/Articles/59147/ |archive-date=July 13, 2012 |title=Thomas Bushnell dismissed from Hurd project for criticizing GFDL |publisher=archive.is |access-date=April 16, 2017 |date=November 19, 2003 |url-status=dead }}</ref> Nathanael Nerode,<ref name="nerode2003">{{cite web|url=http://home.twcny.rr.com/nerode/neroden/fdl.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20031009105046/http://home.twcny.rr.com/nerode/neroden/fdl.html |archive-date=October 9, 2003 |title=Why You Shouldn't Use the GNU FDL |access-date=November 7, 2011 |first=Nathanael |last=Nerode |date=September 24, 2003}}</ref> and [[Bruce Perens]]<ref name="Bruceperens2003">{{cite web|url=https://lists.debian.org/debian-legal/2003/09/msg00091.html |publisher=lists.debian.org/debian-legal |title=stepping in between Debian and FSF |author=Bruce Perens |author-link=Bruce Perens |date=September 2, 2003 |access-date=March 20, 2016 |quote=FSF, a Free Software organization, isn't being entirely true to the Free Software ethos while it is promoting a license that allows invariant sections to be applied to anything but the license text and attribution. FSF is not Creative Commons:the documentation that FSF handles is an essential component of FSF's Free Software, and should be treated as such. In that light, the GFDL isn't consistent with the ethos that FSF has promoted for 19 years.}}</ref> have raised objections. Bruce Perens saw the GFDL even outside the "Free Software ethos":<ref name="Bruceperens2003"/>
{{quote|"FSF, a Free Software organization, isn't being entirely true to the [[Free Software]] ethos while it is promoting a license that allows invariant sections to be applied to anything but the license text and attribution. [...] the GFDL isn't consistent with the ethos that FSF has promoted for 19 years."}}
In 2006, Debian developers voted to consider works licensed under the GFDL to comply with their [[Debian Free Software Guidelines]] provided that the invariant section clauses are not used.<ref name=debianresolution>Debian: "[http://www.debian.org/vote/2006/vote_001.en.html#amendmenttexta General Resolution: Why the GNU Free Documentation License is not suitable for Debian main – Amendment Text A]". 2006. (Accessed June 20, 2009)</ref> However, their resolution stated that even without invariant sections, GFDL-licensed software documentation is considered to be "still not free of trouble" by the project, namely because of its incompatibility with the major free software licenses.<ref name=debianresolution/>
Those opposed to the GFDL have recommended the use of alternative licenses such as the [[BSD License]] or the GNU GPL.<ref name=debianresolution/>
The [[FLOSS Manuals]] foundation, an organization devoted to creating manuals for free software, decided to eschew the GFDL in favor of the GPL for its texts in 2007, citing the incompatibility between the two, difficulties in implementing the GFDL, and the fact that the GFDL "does not allow for easy duplication and modification", especially for digital documentation.<ref>{{cite web |title=License Change|url=http://en.flossmanuals.net/bin/view/Blog/LicenseChange/|archive-url=https://archive.today/20080228211105/http://en.flossmanuals.net/bin/view/Blog/LicenseChange/|url-status=dead|archive-date=February 28, 2008|website=[[FLOSS Manuals]] Blog |access-date=June 20, 2009 | date=June 6, 2007}}</ref>
===DRM clause===
The GNU FDL contains the statement:
{{quotation|You may not use technical measures to obstruct or control the reading or further copying of the copies you make or distribute.}}
A criticism of this language is that it is too broad, because it applies to private copies made but not distributed. This means that a licensee is not allowed to save document copies "made" in a proprietary file format or using encryption.
In 2003, [[Richard Stallman]] said about the above sentence on the debian-legal mailing list:<ref>{{cite web |first1=Richard |last1=Stallman |date=September 6, 2003 |url=http://lists.debian.org/debian-legal/2003/09/msg00212.html |title=Re: A possible GFDL compromise| access-date=September 25, 2007 |website=Debian Mailing Lists – debian-legal |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20231023074846/https://lists.debian.org/debian-legal/2003/09/msg00212.html |archive-date= October 23, 2023 }}</ref>
{{quotation|This means that you cannot publish them under DRM systems to restrict the possessors of the copies. It isn't supposed to refer to use of encryption or file access control on your own copy. I will talk with our lawyer and see if that sentence needs to be clarified.}}
===Invariant sections===
A GNU FDL work can quickly be encumbered because a new, different title must be given and a list of previous titles must be kept. This could lead to the situation where there are a whole series of title pages, and dedications, in each and every copy of the book if it has a long lineage. These pages cannot be removed until the work enters the [[public domain]] after [[copyright]] expires.
[[Richard Stallman]] said about invariant sections on the ''debian-legal'' mailing list:<ref>{{cite web |first1=Richard |last1=Stallman |date=August 23, 2003 |url=http://lists.debian.org/debian-legal/2003/08/msg00807.html |title=Re: A possible GFDL compromise| access-date=September 25, 2007|website=Debian Mailing Lists – debian-legal |url-status=live |archive-url= https://web.archive.org/web/20231023074535/https://lists.debian.org/debian-legal/2003/08/msg00807.html |archive-date= October 23, 2023 }}</ref>
{{quotation|The goal of invariant sections, ever since the 80s when we first made the GNU Manifesto an invariant section in the Emacs Manual, was to make sure they could not be removed. Specifically, to make sure that distributors of Emacs that also distribute non-free software could not remove the statements of our philosophy, which they might think of doing because those statements criticize their actions.}}
===GPL incompatible in both directions===
The GNU FDL is [[License compatibility|incompatible]] in both directions with the GPL—material under the GNU FDL cannot be put into GPL code and GPL code cannot be put into a GNU FDL manual.<ref>{{Rejea tovuti |last=Braakman |first=Richard |date=April 20, 2003 |title=Re: Proposed statement wrt GNU FDL |url=http://lists.debian.org/debian-legal/2003/04/msg00258.html |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20231208072807/https://lists.debian.org/debian-legal/2003/04/msg00258.html |archive-date=December 8, 2023 |website=Debian Mailing Lists – debian-legal}}</ref> At the June 22–23, 2006 international GPLv3 conference in Barcelona, [[Eben Moglen]] hinted that a future version of the GPL could be made suitable for documentation:<ref>{{cite web |url=http://fsfe.org/projects/gplv3/barcelona-moglen-transcript#lgpl |title=Transcript of Eben Moglen at the 3rd international GPLv3 conference: LGPL, like merging electronic weak |access-date=June 20, 2009 |date=June 22, 2006 |website=Free Software Foundation Europe |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20110807080218/http://fsfe.org/projects/gplv3/barcelona-moglen-transcript#lgpl |archive-date= August 7, 2011 }}</ref>
{{quotation|By expressing LGPL as just an additional permission on top of GPL we simplify our licensing landscape drastically. It's like for physics getting rid of a force, right? We just unified electro-weak, ok? The grand unified field theory still escapes us until the document licences too are just additional permissions on top of GPL. I don't know how we'll ever get there, that's gravity, it's really hard.}}
===Burdens when printing===
The GNU FDL requires that licensees, when printing a document covered by the license, must also include "this License, the copyright notices, and the license notice saying this License applies to the Document". This means that if a licensee prints out a copy of an article whose text is covered under the GNU FDL, they must also include a copyright notice and a physical printout of the GNU FDL, which is a significantly large document in itself. Worse, the same is required for the standalone use of just one (for example, Wikipedia) image.<ref>{{cite web |url=http://notablog.notafish.com/post/2005/04/21/26-why-the-wikimedia-projects-should-not-use-gfdl-as-a-stand-alone-license-for-images |title=Why the Wikimedia projects should not use GFDL as a stand alone license for images |publisher=Notablog.notafish.com |date=April 21, 2005 |access-date=March 14, 2021}}</ref> Several Wikimedia projects have over the years abandoned the use of GFDL, among them the English Wikipedia, which has relicensed the files.<ref>{{cite news |url=https://lwn.net/Articles/305892/ |first=Jonathan |last=Corbet |title=GFDL 1.3: Wikipedia's exit permit |date=November 5, 2008 |access-date=June 8, 2023 |newspaper=LWN.net}}</ref> [[Wikivoyage]], a web site dedicated to [[free content]] travel guides, chose not to use the GFDL from the beginning because it considers it unsuitable for short printed texts.<ref>[[Wikivoyage:Project:Why Wikivoyage isn't GFDL]]</ref>
== Other licenses for free works ==
* [[Creative Commons license]]
* [[Design Science License]]
* [[Free Art License]]
* [[FreeBSD Documentation License]]
* [[Open Content License]]
* [[Open Game License]]
* [[Open Publication License]]
* [[WTFPL]]
== List of projects that use the GFDL ==
{{dynamic list}}
* Most projects of the [[Wikimedia Foundation]], including [[Wikipedia]] (excluding [[Wikivoyage]] and [[Wikinews]]) – On June 15, 2009, the Section 11 clauses were used to dual-license the content of these wikis under the Creative Commons Attribution Share-Alike license and GFDL.
* An Anarchist FAQ
* [[Citizendium]] – the project uses GFDL for articles originally from Wikipedia.
* [[Free On-line Dictionary of Computing]]
* [[Last.fm]] – artist descriptions are under GFDL
* [[Marxists Internet Archive]]
* [[PlanetMath]] (now uses CC BY-SA license)
* [[Rosetta Code]]
* [[SourceWatch]]
* The specification documents that define [[TRAK]], an [[enterprise architecture framework]], are released under the GFDL.
* ''Abstract Algebra'' by Thomas W. Judson.<ref>{{cite web | last1=Judson | first1=Thomas W. | title=Abstract Algebra: Theory and Applications | year=2015 | url=http://abstract.ups.edu/ | accessdate=2023-02-17 | archive-date=2013-07-01 | archive-url=https://web.archive.org/web/20130701030707/http://abstract.ups.edu/ | url-status=dead }}</ref>
* the [[Baseball-Reference]]'s BR Bullpen, a free user-contributed baseball wiki
== See also ==
{{Portal|Free and open-source software}}
<!-- Please keep entries in alphabetical order & add a short description [[WP:SEEALSO]] -->
{{div col|small=yes|colwidth=20em}}
* [[BSD licenses]]
* [[Copyleft]]
* [[Copyright]]
* [[Free-software license]]
* [[GNU]]
* [[Non-commercial educational station]]
* [[Free content]]
* [[Share-alike]]
* [[Software license]]
{{div col end}}
<!-- please keep entries in alphabetical order -->
== References ==
{{Reflist|35em}}
==External links==
* [https://www.gnu.org/licenses/fdl-1.3.html GNU Free Documentation License v1.3] {{Wayback|url=https://www.gnu.org/licenses/fdl-1.3.html |date=20200801133613 }}
* [https://www.gnu.org/licenses/old-licenses/fdl-1.2.html GNU Free Documentation License v1.2] {{Wayback|url=https://www.gnu.org/licenses/old-licenses/fdl-1.2.html |date=20241231122703 }}—This version is [[deprecated]] by the FSF.
* [https://www.gnu.org/licenses/old-licenses/fdl-1.1.html GNU Free Documentation License v1.1] {{Wayback|url=https://www.gnu.org/licenses/old-licenses/fdl-1.1.html |date=20241229144354 }}—This version is [[deprecated]] by the FSF.
{{listen|filename=GFDL (English).ogg|title=Listen to the GFDL (0:23:28) version 1.2, November 2002, (recorded 2005-05-28)|description=Audio recording of the full text of the GNU Free Documentation License.|format=[[Ogg]]}}
* [http://gplv3.fsf.org/doclic-dd1-guide.html FSF guide to the new drafts of documentation licenses] {{Wayback|url=http://gplv3.fsf.org/doclic-dd1-guide.html |date=20120205175357 }}
* [https://www.gnu.org/philosophy/free-doc.html Free Software and Free Manuals] {{Wayback|url=https://www.gnu.org/philosophy/free-doc.html |date=20210815064923 }}, essay by Richard Stallman
* [https://opensource.apple.com/cdl/ Apple's Common Documentation License] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20090331154525/http://www.opensource.apple.com/cdl/ |date=March 31, 2009 }}, an alternative license
{{GNU}}
{{DEFAULTSORT:Gnu Free Documentation License}}
ooel0zpe38scvuik3yv595s43596nmv
Mtumiaji:Riccardo Riccioni
2
14697
1570818
1479386
2026-06-11T10:04:38Z
Riccardo Riccioni
452
1570818
wikitext
text/x-wiki
{{Babel|it|sw-4|en-3|es-2|fr-2|scn-2|nap-2|la-2|pt-1|gl-1|ro-1|grc-1|Mkabidhi|Bureaucrat}}
[[Picha:Ndugu Riccardo.png|thumb|left|Ndugu {{PAGENAME}} alipojiunga na Wikipedia.]]
{{User user-tz}}{{User Changia|163,000|Riccardo Riccioni|jumla=yes}}
hffwl1s3pj3x4cv5wwmp30ysx7l1uic
Arnold Schwarzenegger
0
16340
1569457
1320673
2026-06-10T14:27:36Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569457
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Arnold Schwarzenegger February 2015.jpg|thumb|right|180px|Arnold Schwarzenegger (2015).]]
'''Arnold Schwarzenegger''' (amezaliwa tar. [[30 Julai]] [[1947]] nchini [[Austria]]) ni [[mwigizaji]] wa [[filamu]] na mwanasiasa aliyekuwa [[gavana]] wa jimbo la [[California]] nchini [[Marekani]] tangu 2003 hadi Januari 2011. Arnold anaishi mjini [[Los Angeles]], [[California]].
Schwarzenegger alielekea nchi [[Marekani]] mnamo mwaka wa [[1968]] na kisha baadaye akawa mwigizaji wa filamu. Ameigiza filamu nyingi tu, ikiwemo ile ya The Terminator na nyingine nyingi tu. Mnamo mwaka wa [[2003]], pale Bw. [[Gray Davis]] alipoondoka [[Madaraka|madarakani]], Schwarzenegger akashinda kiti cha kuwa Gavana wa [[California]] akarudishwa mwaka 2007.
Schwarzenegger ameoana na Bi. Maria Shriver.
Kabla ya kuwa mwigizaji, kwanza alikuwa Mnyanyua Vyuma. Kwa kigezo hicho akafanikiwa kushinda mashindano ya Mr. Universum kwa takriban mara saba.
== Viungo vya nje ==
* {{IMDb|0000216}}
* [http://www.builtreport.com/schwarzenegger.html Arnold Schwarzenegger Bodybuilding Gallery] {{Wayback|url=http://www.builtreport.com/schwarzenegger.html |date=20100515200256 }} (Gallery of Arnold Schwarzenegger's Competitive Years)
{{Commons|Arnold Schwarzenegger}}
{{DEFAULTSORT:Schwarzenegger, Arnold}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Austria]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
pzo9o9ugp375pjpv544zfji95xg8d8i
Kitabu cha Isaya
0
16581
1569454
1336272
2026-06-10T14:18:35Z
Riccardo Riccioni
452
1569454
wikitext
text/x-wiki
[[Image:1QIsa b.jpg|thumb|right|Nakala ya zamani ya kitabu cha Isaya iliyopatikana kati ya [[magombo ya Bahari ya Chumvi]].]]
[[File:Isaiah scroll.PNG|right|thumb|Kitabu cha Isaya kwa [[Kiebrania]].]]
'''Kitabu cha Isaya''' ni kati ya [[vitabu vya kinabii]] vya [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebrania]]) na vya [[Agano la Kale]] ambayo ndiyo sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
==Utunzi na mada==
[[Nabii Isaya]] (kwa [[Kiyahudi]] '''יְשַׁעְיָהוּ''', yaani "YHWH anaokoa"), [[kuhani]] wa [[Yerusalemu]] mwenye [[elimu]] nzuri, alizaliwa katika [[Ufalme wa Yuda]] ([[Israeli]] [[Kusini]]) [[mwaka]] [[765 KK|765]] hivi [[KK]], akatabiri kwa muda usiopungua miaka 40 akiingilia kati matukio yote ya [[siasa]], ambayo yalikuwa ya kutisha kutokana na nguvu za [[Waashuru]] ambao waliangamiza [[ufalme wa Israeli]] ([[Kaskazini]]) na kukaribia kufuta hata ufalme wa Kusini.
[[Maandishi]] yake yanapendeza kuliko yote ya [[Kiyahudi]], hasa upande wa [[ushairi]]. Lakini ukuu wa [[Isaya]] uko hasa upande wa [[imani]].
Kuanzia [[wito]] wake alioupata [[Hekalu la Yerusalemu|hekaluni]], alipong’amua kwamba [[Mwenyezi Mungu]] ni mtakatifu kabisa, yaani tofauti mno na yeyote na chochote (6), alitawaliwa na wazo la [[utukufu]] wa [[Mungu]] na la [[unyonge]] wa [[binadamu]] anayehitaji kutakaswa naye. Kwa msingi huo alidai [[wafalme]] na wananchi wote wa Yuda wamtegemee Mungu tu, si [[mataifa]] yenye nguvu, hata upande wa [[siasa]] na mbele ya [[hatari]] kubwa namna gani.
Lakini toka mwanzo aliambiwa hatasikilizwa, hivyo ikambidi atabiri [[adhabu]]. Kweli hali haikuwa [[shwari]], ndiyo sababu wengi walishindwa kuamini na kutulia, wakaendelea kujifanyia mipango na kutafuta [[msaada]] kutoka kwa [[binadamu]], hasa [[Farao]] wa [[Misri]]. Hapo Mungu alimuagiza Isaya atembee [[uchi]] mwaka mmoja unusu ili kudokeza kuwa Wamisri watafanywa [[watumwa]] wa [[Waashuru]] wasiweze kusaidia kitu (20:1-6).
Katika kutuliza watu alimtabiria [[mfalme]] [[Ahazi]] kwamba [[mwanamwali]] atamzaa [[mtoto]] wa kiume atakayethibitisha uwepo wa Mungu pamoja na watu wake, [[jina]] lake [[Emanueli]] litakavyomaanisha. (7:1-17) Kweli [[mke]] wa Ahazi alimzaa [[Hezekia]] atakayeendeleza [[ufalme]] wa [[ukoo]] wa [[Daudi]], lakini [[Wakristo]] wanaona [[utabiri]] huo ulimlenga zaidi [[Yesu]], [[mwana]] wa [[Bikira]] (walivyoelewa watafsiri wa kwanza wa [[Biblia]] katika [[Kigiriki]]) ambaye kweli ni Mungu pamoja nasi, na ni [[mwana wa Daudi]] ambaye atatawala [[milele]] kwa [[amani]] na [[haki]] (11:1-9).
Hivyo, pamoja na adhabu kwa [[utovu]] wao wa imani (22:1-14), Isaya aliwatabiria watu wa [[Yuda]] kuwa Mungu hataangamiza kabisa [[taifa]] lake, bali ataacha mabaki yake ambayo yataleta [[wokovu]] (10:20-23): katika mabaki hayo Bikira atamzaa [[Masiya]] ambaye ni Mungu pamoja nasi, mwana wa Daudi ambaye ataleta amani na haki [[duniani]].
Nafasi ya mwisho kwa Isaya kutuliza watu ilikuwa mwaka [[701 KK]] ambapo [[jeshi]] kubwa la Waashuru lilizingira Yerusalemu na kutamka maneno ya kumkufuru Mungu. Isaya aliwarudishia jibu la [[dharau]], nao kweli wakakimbia haraka baada ya kupatwa na [[tauni]].
Isaya ni maarufu pia kwa ubora wa ma[[shairi]] yake yaliyofanya [[ujumbe]] wake upendeze na uguse zaidi. Kwa sababu hiyo wengi walipenda kuyakariri na kuyasoma na hata kuiga mtindo wake: ndiyo maana [[kitabu]] chake kiliongezewa maandishi mengine mengi mpaka miaka mingi baada ya mwenyewe [[kifodini|kuuawa]] kwa kukatwa kwa [[msumeno]] wakati wa [[mfalme Manase]].
===Isaya wa Pili===
Katika kitabu chake unapatikana pia [[unabii]] wa wafuasi wake wa mbali wasiojulikana kwa jina, waliofanya kazi katika miaka [[550 KK|550]]-[[500 KK|500]] hivi K.K.
Ni kwamba, ingawa [[Ezekieli]] alifanya kazi nzuri, waliokuwa [[uhamisho]]ni sehemu za [[Babuloni]] waliendelea kuzoea na kufurahia [[mazingira]] mapya yenye [[ustawi]] wa [[Uchumi|kiuchumi]] wakazidi kupotewa na [[hamu]] na [[tumaini]] la kurudi [[Yerusalemu]].
Ndiyo sababu [[Mungu]] aliwatumia [[nabii]] mwingine mkubwa: hatujui [[jina]] lake, lakini tunamuita [[Isaya II]] kwa kuwa alifuata [[mapokeo]] ya [[Isaya]] na kulingana naye kwa [[ufasaha]] wa ma[[shairi]] aliyoyatumia kutolea [[ujumbe]] wake; hivyo maandiko yake yamepangwa katika [[kitabu cha Isaya]] (40-55).
Sehemu hiyo inaitwa pia [[kitabu]] cha [[faraja]] ya [[Israeli]] kwa sababu ililenga kuwatia [[moyo]] [[Wayahudi]] wenzake huko [[Babeli]] kwamba Mungu atawarudisha kwao akitumia kama chombo chake [[mfalme]] [[Mpagani]], kwa kuwa yeye anatawala watu wote pamoja na mioyo yao (Is 40:1-11). Hivyo akawafanya watamani kurudi badala ya kukwama katika kujitafutia [[maendeleo]] ya kidunia.
Kwa [[uchangamfu]] wa hali ya juu Isaya II alitabiri [[ukombozi]] na [[mwanzo]] mpya wa [[taifa]] kama [[ajabu]] kubwa kuliko lile la ma[[babu]] wao kutoka [[Misri]] chini ya [[Musa]]. Alilifananisha na [[uumbaji]] mpya utakaowezekana kwa sababu Mungu wa Israeli si mmoja kati ya wengi, [[dhana|walivyodhani]] kwa muda mrefu, bali kweli ni peke yake, hakuna mwingine: ndiyo sababu anaweza yote. [[Imani]] hiyo ilizidi kutia [[mizizi]] kati ya [[Wayahudi]] na kuwaimarisha dhidi ya [[kishawishi]] cha kuabudu wengine.
Pamoja na hayo, katika [[sura]] hizo mna mashairi manne bora kuhusu [[mtumishi mteswa]] wa [[Bwana]] ambayo ndiyo [[utabiri]] bora juu ya [[Yesu]] na juu ya [[wokovu]] atakaoleta kwa kuteseka mwenyewe ili [[fidia|kufidia]] [[dhambi]] za wote (42:1-4; 49:1-6; 50:4-9; 52:13-53:12). Hatimaye Isaya II ndiye aliyeandaa [[dini]] ya Kiyahudi kupokea mataifa yote.
===Isaya wa Tatu===
Isaya 56-66 ni sura za baadaye tena ([[Isaya III]], mwaka 500 hivi K.K.) ambazo zinawakaribisha watu wa mataifa yote kujiunga na [[Israeli]] katika kumuabudu [[Mungu]] pekee. [[Kiini]] chake ni [[Isa]] 61:1-3.
==Ufafanuzi==
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
==Marejeo==
<div style="column-count:2">
{{refbegin}}
* {{cite book |last = Bandstra |first = Barry L. |title = Reading the Old Testament: an introduction to the Hebrew Bible |publisher = Cengage Learning |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=vRY9mTUZKJcC&q=Isaiah&pg=PA489 |isbn = 978-0495391050 }}
* {{cite book |last = Barker |first = Margaret |chapter = Isaiah |editor1-last = Dunn |editor1-first = James D. G. |editor2-last = Rogerson |editor2-first = John William |title = Eerdmans Commentary on the Bible |publisher = Eerdmans |year = 2003 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=2Vo-11umIZQC&q=Barker+the+book+of+Isaiah+was+not+written+by+one+person&pg=PA489 |isbn = 9780802837110 }}
* {{cite book |last = Becker |first = Uwe |chapter = The Book of Isaiah: Its Composition History |editor1-last = Lena-Sofia Tiemeyer |editor1-first = Lena-Sofia |title = The Oxford Handbook of Isaiah |publisher = Oxford University Press |year = 2020 |isbn = 978-0-19-066924-9 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=__3-DwAAQBAJ&pg=PA41 }}
* {{Cite book |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 40–55: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2002 |isbn = 0-385-49717-2 }}
* {{Cite book |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 56–66: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2003 |isbn = 0-385-50174-9 }}
* {{Cite book |last = Boadt |first = Lawrence |title = Reading the Old Testament:An Introduction |publisher = Paulist Press |year = 1984 |url = https://books.google.com/books?id=LGQNT6G_do8C&q=Boadt+Reading+the+Old+Testament%3A+An+Introduction&pg=PA574 |isbn = 9780809126316 }}
* {{Cite book |last = Brettler |first = Marc Zvi |title = How to read the Bible |publisher = Jewish Publication Society |year = 2010 |url = https://books.google.com/books?id=39nQafdJ_ssC |isbn = 978-0-8276-0775-0 }}
* {{Cite book |last = Brueggemann |first = Walter |title = An introduction to the Old Testament: the canon and Christian imagination |publisher = Westminster John Knox |year = 2003 |url = https://archive.org/details/introductiontool00brue |url-access = registration |isbn = 978-0-664-22412-7 }}
* {{Cite book |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990a |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Cite book |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah, book of |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990b |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Cite book |last = Childs |first = Brevard S. |title = Isaiah |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2001 |url = https://books.google.com/books?id=yTxixTkYagoC |isbn = 9780664221430 }}
*{{cite encyclopedia | last = Clifford | first = Richard | editor-last = Freedman | editor-first = David Noel | encyclopedia = The Anchor Bible Dictionary | title = Isaiah, Book of: Second Isaiah | year = 1992 | publisher = Doubleday | volume = 3 | isbn = 0385193610 | pages = 473 }}
* {{Cite book |last = Cohn-Sherbok |first = Dan |title = The Hebrew Bible |publisher = Cassell |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=esHK1XA7_8UC |isbn = 0-304-33702-1 }}* {{Cite book |last = Coogan |first = Michael D. |title = A Brief Introduction to the Old Testament |publisher = Oxford University Press |year = 2009 |url = |isbn = }}
* {{Cite book |last = Gnuse |first = Robert Karl |title = No Other Gods: Emergent Monotheism in Israel |publisher = Continuum |year = 1997 |url = https://books.google.com/books?id=pBSJNDndGjwC |isbn = 9781850756576 }}* {{Cite book |last = Goldingay |first = John |title = Isaiah |publisher = Hendrickson Publishers |year = 2001 |url = |isbn = 0-85364-734-8 }}
* {{Cite book |last = Goldingay |first = John |title = The message of Isaiah 40–55: a literary-theological commentary |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2005 |url = https://books.google.com/books?id=KL_JPUaUensC |isbn = 9780567030382 }}
* {{Cite book |last = Hannah |first = Darrell D. |chapter = Isaiah Within Judaism of the Second Temple Period |editor1-last = Moyise |editor1-first = Steve |editor2-last = Menken |editor2-first = Maarten J.J. |title = Isaiah in the New Testament: The New Testament and the Scriptures of Israel |publisher = Continuum |year = 2005 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=_MqRBQAAQBAJ&q=%22We+turn+now+to+the+four+passages+from+Deutero-Isaiah%22&pg=PA27 |isbn = 9780802837110 }}
* {{Cite book |last = Lemche |first = Niels Peter |title = The Old Testament between theology and history: a critical survey |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=RWqLVc7ccG0C |isbn = 9780664232450 }}
* {{Cite book |last = Petersen |first = David L. |title = The Prophetic Literature: An Introduction |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2002 |url = https://books.google.com/books?id=Z9zLXRhNl9MC |isbn = 9780664254537 }}
* {{Cite book |last = Sawyer |first = John F.A. |title = The Fifth Gospel: Isaiah in the History of Christianity |publisher = Cambridge University Press |year = 1996 |isbn = 9780521565967 |url = https://books.google.com/books?id=aKbdqTh-D3cC }}
* {{Cite book |last = Soggin |first = J. Alberto |title = Introduction to the Old Testament: From Its Origins to the Closing of the Alexandrian Canon |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1989 |url = https://archive.org/details/introductiontool00sogg_1 |url-access = registration |isbn = 0-664-21331-6 }}
* {{Cite book |last = Stromberg |first = Jake |title = An Introduction to the Study of Isaiah |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2011 |url = https://books.google.com/books?id=Hy5LTPMTNJkC |isbn = 9780567363305 }}
* {{Cite book |last = Sweeney |first = Marvin A. |title = Isaiah 1–39: With an Introduction to Prophetic Literature |publisher = Eerdmans |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=BdSzj9-SZv0C&pg=PR3 |isbn = 9780802841001 }}
* {{Cite book |last = Sweeney |first = Marvin A. |chapter = The Latter Prophets |editor1-last = McKenzie |editor1-first = Steven L. |editor2-last = Graham |editor2-first = Matt Patrick |title = The Hebrew Bible Today: An Introduction to Critical Issues |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1998 |url = https://books.google.com/books?id=owwhpmIVgSAC |isbn = 9780664256524 }}
* {{Cite book |last = Whybray |first = R. N. |title = The Second Isaiah |publisher = T&T Clarke |year = 2004 |url = https://books.google.com/books?id=QMENImo6ISYC&pg=PA10 |isbn = 9780567084248 }}
</div style>
{{refend}}
==Viungo vya nje==
{{Wikiquote}}
{{Commons category|Book of Isaiah}}
'''Tafsiri'''
* [http://www.mechon-mamre.org/p/pt/pt1001.htm Book of Isaiah] – Hebrew, side by side with English
* [http://www.chabad.org/library/article.asp?AID=15755 Book of Isaiah] (English translation [with [[Rashi]]'s commentary] at [[Chabad.org]])
* [http://www.biblegateway.com/ Bible Gateway]
{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale|Isaya]]
h5x34ma5n39nhxzzs3pstcdzv7mfo0b
1569455
1569454
2026-06-10T14:20:15Z
Riccardo Riccioni
452
/* Isaya wa Pili */
1569455
wikitext
text/x-wiki
[[Image:1QIsa b.jpg|thumb|right|Nakala ya zamani ya kitabu cha Isaya iliyopatikana kati ya [[magombo ya Bahari ya Chumvi]].]]
[[File:Isaiah scroll.PNG|right|thumb|Kitabu cha Isaya kwa [[Kiebrania]].]]
'''Kitabu cha Isaya''' ni kati ya [[vitabu vya kinabii]] vya [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebrania]]) na vya [[Agano la Kale]] ambayo ndiyo sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
==Utunzi na mada==
[[Nabii Isaya]] (kwa [[Kiyahudi]] '''יְשַׁעְיָהוּ''', yaani "YHWH anaokoa"), [[kuhani]] wa [[Yerusalemu]] mwenye [[elimu]] nzuri, alizaliwa katika [[Ufalme wa Yuda]] ([[Israeli]] [[Kusini]]) [[mwaka]] [[765 KK|765]] hivi [[KK]], akatabiri kwa muda usiopungua miaka 40 akiingilia kati matukio yote ya [[siasa]], ambayo yalikuwa ya kutisha kutokana na nguvu za [[Waashuru]] ambao waliangamiza [[ufalme wa Israeli]] ([[Kaskazini]]) na kukaribia kufuta hata ufalme wa Kusini.
[[Maandishi]] yake yanapendeza kuliko yote ya [[Kiyahudi]], hasa upande wa [[ushairi]]. Lakini ukuu wa [[Isaya]] uko hasa upande wa [[imani]].
Kuanzia [[wito]] wake alioupata [[Hekalu la Yerusalemu|hekaluni]], alipong’amua kwamba [[Mwenyezi Mungu]] ni mtakatifu kabisa, yaani tofauti mno na yeyote na chochote (6), alitawaliwa na wazo la [[utukufu]] wa [[Mungu]] na la [[unyonge]] wa [[binadamu]] anayehitaji kutakaswa naye. Kwa msingi huo alidai [[wafalme]] na wananchi wote wa Yuda wamtegemee Mungu tu, si [[mataifa]] yenye nguvu, hata upande wa [[siasa]] na mbele ya [[hatari]] kubwa namna gani.
Lakini toka mwanzo aliambiwa hatasikilizwa, hivyo ikambidi atabiri [[adhabu]]. Kweli hali haikuwa [[shwari]], ndiyo sababu wengi walishindwa kuamini na kutulia, wakaendelea kujifanyia mipango na kutafuta [[msaada]] kutoka kwa [[binadamu]], hasa [[Farao]] wa [[Misri]]. Hapo Mungu alimuagiza Isaya atembee [[uchi]] mwaka mmoja unusu ili kudokeza kuwa Wamisri watafanywa [[watumwa]] wa [[Waashuru]] wasiweze kusaidia kitu (20:1-6).
Katika kutuliza watu alimtabiria [[mfalme]] [[Ahazi]] kwamba [[mwanamwali]] atamzaa [[mtoto]] wa kiume atakayethibitisha uwepo wa Mungu pamoja na watu wake, [[jina]] lake [[Emanueli]] litakavyomaanisha. (7:1-17) Kweli [[mke]] wa Ahazi alimzaa [[Hezekia]] atakayeendeleza [[ufalme]] wa [[ukoo]] wa [[Daudi]], lakini [[Wakristo]] wanaona [[utabiri]] huo ulimlenga zaidi [[Yesu]], [[mwana]] wa [[Bikira]] (walivyoelewa watafsiri wa kwanza wa [[Biblia]] katika [[Kigiriki]]) ambaye kweli ni Mungu pamoja nasi, na ni [[mwana wa Daudi]] ambaye atatawala [[milele]] kwa [[amani]] na [[haki]] (11:1-9).
Hivyo, pamoja na adhabu kwa [[utovu]] wao wa imani (22:1-14), Isaya aliwatabiria watu wa [[Yuda]] kuwa Mungu hataangamiza kabisa [[taifa]] lake, bali ataacha mabaki yake ambayo yataleta [[wokovu]] (10:20-23): katika mabaki hayo Bikira atamzaa [[Masiya]] ambaye ni Mungu pamoja nasi, mwana wa Daudi ambaye ataleta amani na haki [[duniani]].
Nafasi ya mwisho kwa Isaya kutuliza watu ilikuwa mwaka [[701 KK]] ambapo [[jeshi]] kubwa la Waashuru lilizingira Yerusalemu na kutamka maneno ya kumkufuru Mungu. Isaya aliwarudishia jibu la [[dharau]], nao kweli wakakimbia haraka baada ya kupatwa na [[tauni]].
Isaya ni maarufu pia kwa ubora wa ma[[shairi]] yake yaliyofanya [[ujumbe]] wake upendeze na uguse zaidi. Kwa sababu hiyo wengi walipenda kuyakariri na kuyasoma na hata kuiga mtindo wake: ndiyo maana [[kitabu]] chake kiliongezewa maandishi mengine mengi mpaka miaka mingi baada ya mwenyewe [[kifodini|kuuawa]] kwa kukatwa kwa [[msumeno]] wakati wa [[mfalme Manase]].
===Isaya wa Pili===
Katika kitabu chake unapatikana pia [[unabii]] wa wafuasi wake wa mbali wasiojulikana kwa jina, waliofanya kazi katika miaka [[550 KK|550]]-[[500 KK|500]] hivi K.K.
Ni kwamba, ingawa [[Ezekieli]] alifanya kazi nzuri, waliokuwa kwenye [[Uhamisho wa Babeli]] au [[Babuloni]] waliendelea kuzoea na kufurahia [[mazingira]] mapya yenye [[ustawi]] wa [[Uchumi|kiuchumi]] wakazidi kupotewa na [[hamu]] na [[tumaini]] la kurudi [[Yerusalemu]].
Ndiyo sababu [[Mungu]] aliwatumia [[nabii]] mwingine mkubwa: hatujui [[jina]] lake, lakini tunamuita [[Isaya II]] kwa kuwa alifuata [[mapokeo]] ya [[Isaya]] na kulingana naye kwa [[ufasaha]] wa ma[[shairi]] aliyoyatumia kutolea [[ujumbe]] wake; hivyo maandiko yake yamepangwa katika kitabu cha Isaya (40-55).
Sehemu hiyo inaitwa pia [[kitabu]] cha [[faraja]] ya [[Israeli]] kwa sababu ililenga kuwatia [[moyo]] [[Wayahudi]] wenzake huko [[Babeli]] kwamba Mungu atawarudisha kwao akitumia kama chombo chake [[mfalme]] [[Mpagani]], kwa kuwa yeye anatawala watu wote pamoja na mioyo yao (Is 40:1-11). Hivyo akawafanya watamani kurudi badala ya kukwama katika kujitafutia [[maendeleo]] ya kidunia.
Kwa [[uchangamfu]] wa hali ya juu Isaya II alitabiri [[ukombozi]] na [[mwanzo]] mpya wa [[taifa]] kama [[ajabu]] kubwa kuliko lile la ma[[babu]] wao kutoka [[Misri]] chini ya [[Musa]]. Alilifananisha na [[uumbaji]] mpya utakaowezekana kwa sababu Mungu wa Israeli si mmoja kati ya wengi, [[dhana|walivyodhani]] kwa muda mrefu, bali kweli ni peke yake, hakuna mwingine: ndiyo sababu anaweza yote. [[Imani]] hiyo ilizidi kutia [[mizizi]] kati ya [[Wayahudi]] na kuwaimarisha dhidi ya [[kishawishi]] cha kuabudu wengine.
Pamoja na hayo, katika [[sura]] hizo mna mashairi manne bora kuhusu [[mtumishi mteswa]] wa [[Bwana]] ambayo ndiyo [[utabiri]] bora juu ya [[Yesu]] na juu ya [[wokovu]] atakaoleta kwa kuteseka mwenyewe ili [[fidia|kufidia]] [[dhambi]] za wote (42:1-4; 49:1-6; 50:4-9; 52:13-53:12). Hatimaye Isaya II ndiye aliyeandaa [[dini]] ya Kiyahudi kupokea mataifa yote.
===Isaya wa Tatu===
Isaya 56-66 ni sura za baadaye tena ([[Isaya III]], mwaka 500 hivi K.K.) ambazo zinawakaribisha watu wa mataifa yote kujiunga na [[Israeli]] katika kumuabudu [[Mungu]] pekee. [[Kiini]] chake ni [[Isa]] 61:1-3.
==Ufafanuzi==
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
==Marejeo==
<div style="column-count:2">
{{refbegin}}
* {{cite book |last = Bandstra |first = Barry L. |title = Reading the Old Testament: an introduction to the Hebrew Bible |publisher = Cengage Learning |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=vRY9mTUZKJcC&q=Isaiah&pg=PA489 |isbn = 978-0495391050 }}
* {{cite book |last = Barker |first = Margaret |chapter = Isaiah |editor1-last = Dunn |editor1-first = James D. G. |editor2-last = Rogerson |editor2-first = John William |title = Eerdmans Commentary on the Bible |publisher = Eerdmans |year = 2003 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=2Vo-11umIZQC&q=Barker+the+book+of+Isaiah+was+not+written+by+one+person&pg=PA489 |isbn = 9780802837110 }}
* {{cite book |last = Becker |first = Uwe |chapter = The Book of Isaiah: Its Composition History |editor1-last = Lena-Sofia Tiemeyer |editor1-first = Lena-Sofia |title = The Oxford Handbook of Isaiah |publisher = Oxford University Press |year = 2020 |isbn = 978-0-19-066924-9 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=__3-DwAAQBAJ&pg=PA41 }}
* {{Cite book |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 40–55: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2002 |isbn = 0-385-49717-2 }}
* {{Cite book |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 56–66: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2003 |isbn = 0-385-50174-9 }}
* {{Cite book |last = Boadt |first = Lawrence |title = Reading the Old Testament:An Introduction |publisher = Paulist Press |year = 1984 |url = https://books.google.com/books?id=LGQNT6G_do8C&q=Boadt+Reading+the+Old+Testament%3A+An+Introduction&pg=PA574 |isbn = 9780809126316 }}
* {{Cite book |last = Brettler |first = Marc Zvi |title = How to read the Bible |publisher = Jewish Publication Society |year = 2010 |url = https://books.google.com/books?id=39nQafdJ_ssC |isbn = 978-0-8276-0775-0 }}
* {{Cite book |last = Brueggemann |first = Walter |title = An introduction to the Old Testament: the canon and Christian imagination |publisher = Westminster John Knox |year = 2003 |url = https://archive.org/details/introductiontool00brue |url-access = registration |isbn = 978-0-664-22412-7 }}
* {{Cite book |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990a |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Cite book |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah, book of |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990b |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Cite book |last = Childs |first = Brevard S. |title = Isaiah |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2001 |url = https://books.google.com/books?id=yTxixTkYagoC |isbn = 9780664221430 }}
*{{cite encyclopedia | last = Clifford | first = Richard | editor-last = Freedman | editor-first = David Noel | encyclopedia = The Anchor Bible Dictionary | title = Isaiah, Book of: Second Isaiah | year = 1992 | publisher = Doubleday | volume = 3 | isbn = 0385193610 | pages = 473 }}
* {{Cite book |last = Cohn-Sherbok |first = Dan |title = The Hebrew Bible |publisher = Cassell |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=esHK1XA7_8UC |isbn = 0-304-33702-1 }}* {{Cite book |last = Coogan |first = Michael D. |title = A Brief Introduction to the Old Testament |publisher = Oxford University Press |year = 2009 |url = |isbn = }}
* {{Cite book |last = Gnuse |first = Robert Karl |title = No Other Gods: Emergent Monotheism in Israel |publisher = Continuum |year = 1997 |url = https://books.google.com/books?id=pBSJNDndGjwC |isbn = 9781850756576 }}* {{Cite book |last = Goldingay |first = John |title = Isaiah |publisher = Hendrickson Publishers |year = 2001 |url = |isbn = 0-85364-734-8 }}
* {{Cite book |last = Goldingay |first = John |title = The message of Isaiah 40–55: a literary-theological commentary |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2005 |url = https://books.google.com/books?id=KL_JPUaUensC |isbn = 9780567030382 }}
* {{Cite book |last = Hannah |first = Darrell D. |chapter = Isaiah Within Judaism of the Second Temple Period |editor1-last = Moyise |editor1-first = Steve |editor2-last = Menken |editor2-first = Maarten J.J. |title = Isaiah in the New Testament: The New Testament and the Scriptures of Israel |publisher = Continuum |year = 2005 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=_MqRBQAAQBAJ&q=%22We+turn+now+to+the+four+passages+from+Deutero-Isaiah%22&pg=PA27 |isbn = 9780802837110 }}
* {{Cite book |last = Lemche |first = Niels Peter |title = The Old Testament between theology and history: a critical survey |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=RWqLVc7ccG0C |isbn = 9780664232450 }}
* {{Cite book |last = Petersen |first = David L. |title = The Prophetic Literature: An Introduction |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2002 |url = https://books.google.com/books?id=Z9zLXRhNl9MC |isbn = 9780664254537 }}
* {{Cite book |last = Sawyer |first = John F.A. |title = The Fifth Gospel: Isaiah in the History of Christianity |publisher = Cambridge University Press |year = 1996 |isbn = 9780521565967 |url = https://books.google.com/books?id=aKbdqTh-D3cC }}
* {{Cite book |last = Soggin |first = J. Alberto |title = Introduction to the Old Testament: From Its Origins to the Closing of the Alexandrian Canon |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1989 |url = https://archive.org/details/introductiontool00sogg_1 |url-access = registration |isbn = 0-664-21331-6 }}
* {{Cite book |last = Stromberg |first = Jake |title = An Introduction to the Study of Isaiah |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2011 |url = https://books.google.com/books?id=Hy5LTPMTNJkC |isbn = 9780567363305 }}
* {{Cite book |last = Sweeney |first = Marvin A. |title = Isaiah 1–39: With an Introduction to Prophetic Literature |publisher = Eerdmans |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=BdSzj9-SZv0C&pg=PR3 |isbn = 9780802841001 }}
* {{Cite book |last = Sweeney |first = Marvin A. |chapter = The Latter Prophets |editor1-last = McKenzie |editor1-first = Steven L. |editor2-last = Graham |editor2-first = Matt Patrick |title = The Hebrew Bible Today: An Introduction to Critical Issues |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1998 |url = https://books.google.com/books?id=owwhpmIVgSAC |isbn = 9780664256524 }}
* {{Cite book |last = Whybray |first = R. N. |title = The Second Isaiah |publisher = T&T Clarke |year = 2004 |url = https://books.google.com/books?id=QMENImo6ISYC&pg=PA10 |isbn = 9780567084248 }}
</div style>
{{refend}}
==Viungo vya nje==
{{Wikiquote}}
{{Commons category|Book of Isaiah}}
'''Tafsiri'''
* [http://www.mechon-mamre.org/p/pt/pt1001.htm Book of Isaiah] – Hebrew, side by side with English
* [http://www.chabad.org/library/article.asp?AID=15755 Book of Isaiah] (English translation [with [[Rashi]]'s commentary] at [[Chabad.org]])
* [http://www.biblegateway.com/ Bible Gateway]
{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale|Isaya]]
icaqgg9zhjhlp0hbkyhc5agkftxarjk
1569490
1569455
2026-06-10T17:57:43Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 22 template(s) replaced.
1569490
wikitext
text/x-wiki
[[Image:1QIsa b.jpg|thumb|right|Nakala ya zamani ya kitabu cha Isaya iliyopatikana kati ya [[magombo ya Bahari ya Chumvi]].]]
[[File:Isaiah scroll.PNG|right|thumb|Kitabu cha Isaya kwa [[Kiebrania]].]]
'''Kitabu cha Isaya''' ni kati ya [[vitabu vya kinabii]] vya [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebrania]]) na vya [[Agano la Kale]] ambayo ndiyo sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
==Utunzi na mada==
[[Nabii Isaya]] (kwa [[Kiyahudi]] '''יְשַׁעְיָהוּ''', yaani "YHWH anaokoa"), [[kuhani]] wa [[Yerusalemu]] mwenye [[elimu]] nzuri, alizaliwa katika [[Ufalme wa Yuda]] ([[Israeli]] [[Kusini]]) [[mwaka]] [[765 KK|765]] hivi [[KK]], akatabiri kwa muda usiopungua miaka 40 akiingilia kati matukio yote ya [[siasa]], ambayo yalikuwa ya kutisha kutokana na nguvu za [[Waashuru]] ambao waliangamiza [[ufalme wa Israeli]] ([[Kaskazini]]) na kukaribia kufuta hata ufalme wa Kusini.
[[Maandishi]] yake yanapendeza kuliko yote ya [[Kiyahudi]], hasa upande wa [[ushairi]]. Lakini ukuu wa [[Isaya]] uko hasa upande wa [[imani]].
Kuanzia [[wito]] wake alioupata [[Hekalu la Yerusalemu|hekaluni]], alipong’amua kwamba [[Mwenyezi Mungu]] ni mtakatifu kabisa, yaani tofauti mno na yeyote na chochote (6), alitawaliwa na wazo la [[utukufu]] wa [[Mungu]] na la [[unyonge]] wa [[binadamu]] anayehitaji kutakaswa naye. Kwa msingi huo alidai [[wafalme]] na wananchi wote wa Yuda wamtegemee Mungu tu, si [[mataifa]] yenye nguvu, hata upande wa [[siasa]] na mbele ya [[hatari]] kubwa namna gani.
Lakini toka mwanzo aliambiwa hatasikilizwa, hivyo ikambidi atabiri [[adhabu]]. Kweli hali haikuwa [[shwari]], ndiyo sababu wengi walishindwa kuamini na kutulia, wakaendelea kujifanyia mipango na kutafuta [[msaada]] kutoka kwa [[binadamu]], hasa [[Farao]] wa [[Misri]]. Hapo Mungu alimuagiza Isaya atembee [[uchi]] mwaka mmoja unusu ili kudokeza kuwa Wamisri watafanywa [[watumwa]] wa [[Waashuru]] wasiweze kusaidia kitu (20:1-6).
Katika kutuliza watu alimtabiria [[mfalme]] [[Ahazi]] kwamba [[mwanamwali]] atamzaa [[mtoto]] wa kiume atakayethibitisha uwepo wa Mungu pamoja na watu wake, [[jina]] lake [[Emanueli]] litakavyomaanisha. (7:1-17) Kweli [[mke]] wa Ahazi alimzaa [[Hezekia]] atakayeendeleza [[ufalme]] wa [[ukoo]] wa [[Daudi]], lakini [[Wakristo]] wanaona [[utabiri]] huo ulimlenga zaidi [[Yesu]], [[mwana]] wa [[Bikira]] (walivyoelewa watafsiri wa kwanza wa [[Biblia]] katika [[Kigiriki]]) ambaye kweli ni Mungu pamoja nasi, na ni [[mwana wa Daudi]] ambaye atatawala [[milele]] kwa [[amani]] na [[haki]] (11:1-9).
Hivyo, pamoja na adhabu kwa [[utovu]] wao wa imani (22:1-14), Isaya aliwatabiria watu wa [[Yuda]] kuwa Mungu hataangamiza kabisa [[taifa]] lake, bali ataacha mabaki yake ambayo yataleta [[wokovu]] (10:20-23): katika mabaki hayo Bikira atamzaa [[Masiya]] ambaye ni Mungu pamoja nasi, mwana wa Daudi ambaye ataleta amani na haki [[duniani]].
Nafasi ya mwisho kwa Isaya kutuliza watu ilikuwa mwaka [[701 KK]] ambapo [[jeshi]] kubwa la Waashuru lilizingira Yerusalemu na kutamka maneno ya kumkufuru Mungu. Isaya aliwarudishia jibu la [[dharau]], nao kweli wakakimbia haraka baada ya kupatwa na [[tauni]].
Isaya ni maarufu pia kwa ubora wa ma[[shairi]] yake yaliyofanya [[ujumbe]] wake upendeze na uguse zaidi. Kwa sababu hiyo wengi walipenda kuyakariri na kuyasoma na hata kuiga mtindo wake: ndiyo maana [[kitabu]] chake kiliongezewa maandishi mengine mengi mpaka miaka mingi baada ya mwenyewe [[kifodini|kuuawa]] kwa kukatwa kwa [[msumeno]] wakati wa [[mfalme Manase]].
===Isaya wa Pili===
Katika kitabu chake unapatikana pia [[unabii]] wa wafuasi wake wa mbali wasiojulikana kwa jina, waliofanya kazi katika miaka [[550 KK|550]]-[[500 KK|500]] hivi K.K.
Ni kwamba, ingawa [[Ezekieli]] alifanya kazi nzuri, waliokuwa kwenye [[Uhamisho wa Babeli]] au [[Babuloni]] waliendelea kuzoea na kufurahia [[mazingira]] mapya yenye [[ustawi]] wa [[Uchumi|kiuchumi]] wakazidi kupotewa na [[hamu]] na [[tumaini]] la kurudi [[Yerusalemu]].
Ndiyo sababu [[Mungu]] aliwatumia [[nabii]] mwingine mkubwa: hatujui [[jina]] lake, lakini tunamuita [[Isaya II]] kwa kuwa alifuata [[mapokeo]] ya [[Isaya]] na kulingana naye kwa [[ufasaha]] wa ma[[shairi]] aliyoyatumia kutolea [[ujumbe]] wake; hivyo maandiko yake yamepangwa katika kitabu cha Isaya (40-55).
Sehemu hiyo inaitwa pia [[kitabu]] cha [[faraja]] ya [[Israeli]] kwa sababu ililenga kuwatia [[moyo]] [[Wayahudi]] wenzake huko [[Babeli]] kwamba Mungu atawarudisha kwao akitumia kama chombo chake [[mfalme]] [[Mpagani]], kwa kuwa yeye anatawala watu wote pamoja na mioyo yao (Is 40:1-11). Hivyo akawafanya watamani kurudi badala ya kukwama katika kujitafutia [[maendeleo]] ya kidunia.
Kwa [[uchangamfu]] wa hali ya juu Isaya II alitabiri [[ukombozi]] na [[mwanzo]] mpya wa [[taifa]] kama [[ajabu]] kubwa kuliko lile la ma[[babu]] wao kutoka [[Misri]] chini ya [[Musa]]. Alilifananisha na [[uumbaji]] mpya utakaowezekana kwa sababu Mungu wa Israeli si mmoja kati ya wengi, [[dhana|walivyodhani]] kwa muda mrefu, bali kweli ni peke yake, hakuna mwingine: ndiyo sababu anaweza yote. [[Imani]] hiyo ilizidi kutia [[mizizi]] kati ya [[Wayahudi]] na kuwaimarisha dhidi ya [[kishawishi]] cha kuabudu wengine.
Pamoja na hayo, katika [[sura]] hizo mna mashairi manne bora kuhusu [[mtumishi mteswa]] wa [[Bwana]] ambayo ndiyo [[utabiri]] bora juu ya [[Yesu]] na juu ya [[wokovu]] atakaoleta kwa kuteseka mwenyewe ili [[fidia|kufidia]] [[dhambi]] za wote (42:1-4; 49:1-6; 50:4-9; 52:13-53:12). Hatimaye Isaya II ndiye aliyeandaa [[dini]] ya Kiyahudi kupokea mataifa yote.
===Isaya wa Tatu===
Isaya 56-66 ni sura za baadaye tena ([[Isaya III]], mwaka 500 hivi K.K.) ambazo zinawakaribisha watu wa mataifa yote kujiunga na [[Israeli]] katika kumuabudu [[Mungu]] pekee. [[Kiini]] chake ni [[Isa]] 61:1-3.
==Ufafanuzi==
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
==Marejeo==
<div style="column-count:2">
{{refbegin}}
* {{cite book |last = Bandstra |first = Barry L. |title = Reading the Old Testament: an introduction to the Hebrew Bible |publisher = Cengage Learning |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=vRY9mTUZKJcC&q=Isaiah&pg=PA489 |isbn = 978-0495391050 }}
* {{cite book |last = Barker |first = Margaret |chapter = Isaiah |editor1-last = Dunn |editor1-first = James D. G. |editor2-last = Rogerson |editor2-first = John William |title = Eerdmans Commentary on the Bible |publisher = Eerdmans |year = 2003 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=2Vo-11umIZQC&q=Barker+the+book+of+Isaiah+was+not+written+by+one+person&pg=PA489 |isbn = 9780802837110 }}
* {{cite book |last = Becker |first = Uwe |chapter = The Book of Isaiah: Its Composition History |editor1-last = Lena-Sofia Tiemeyer |editor1-first = Lena-Sofia |title = The Oxford Handbook of Isaiah |publisher = Oxford University Press |year = 2020 |isbn = 978-0-19-066924-9 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=__3-DwAAQBAJ&pg=PA41 }}
* {{Rejea kitabu |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 40–55: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2002 |isbn = 0-385-49717-2 }}
* {{Rejea kitabu |last = Blenkinsopp |first = Joseph |title = Isaiah 56–66: A new translation with introduction and commentary |publisher = Doubleday |year = 2003 |isbn = 0-385-50174-9 }}
* {{Rejea kitabu |last = Boadt |first = Lawrence |title = Reading the Old Testament:An Introduction |publisher = Paulist Press |year = 1984 |url = https://books.google.com/books?id=LGQNT6G_do8C&q=Boadt+Reading+the+Old+Testament%3A+An+Introduction&pg=PA574 |isbn = 9780809126316 }}
* {{Rejea kitabu |last = Brettler |first = Marc Zvi |title = How to read the Bible |publisher = Jewish Publication Society |year = 2010 |url = https://books.google.com/books?id=39nQafdJ_ssC |isbn = 978-0-8276-0775-0 }}
* {{Rejea kitabu |last = Brueggemann |first = Walter |title = An introduction to the Old Testament: the canon and Christian imagination |publisher = Westminster John Knox |year = 2003 |url = https://archive.org/details/introductiontool00brue |url-access = registration |isbn = 978-0-664-22412-7 }}
* {{Rejea kitabu |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990a |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Rejea kitabu |last = Cate |first = Robert L. |chapter = Isaiah, book of |editor1-last = Mills |editor1-first = Watson E. |editor2-last = Bullard |editor2-first = Roger Aubrey |title = Mercer Dictionary of the Bible |publisher = Mercer University Press |year = 1990b |url = https://books.google.com/books?id=goq0VWw9rGIC |isbn = 9780865543737 }}
* {{Rejea kitabu |last = Childs |first = Brevard S. |title = Isaiah |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2001 |url = https://books.google.com/books?id=yTxixTkYagoC |isbn = 9780664221430 }}
*{{cite encyclopedia | last = Clifford | first = Richard | editor-last = Freedman | editor-first = David Noel | encyclopedia = The Anchor Bible Dictionary | title = Isaiah, Book of: Second Isaiah | year = 1992 | publisher = Doubleday | volume = 3 | isbn = 0385193610 | pages = 473 }}
* {{Rejea kitabu |last = Cohn-Sherbok |first = Dan |title = The Hebrew Bible |publisher = Cassell |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=esHK1XA7_8UC |isbn = 0-304-33702-1 }}* {{Rejea kitabu |last = Coogan |first = Michael D. |title = A Brief Introduction to the Old Testament |publisher = Oxford University Press |year = 2009 |url = |isbn = }}
* {{Rejea kitabu |last = Gnuse |first = Robert Karl |title = No Other Gods: Emergent Monotheism in Israel |publisher = Continuum |year = 1997 |url = https://books.google.com/books?id=pBSJNDndGjwC |isbn = 9781850756576 }}* {{Rejea kitabu |last = Goldingay |first = John |title = Isaiah |publisher = Hendrickson Publishers |year = 2001 |url = |isbn = 0-85364-734-8 }}
* {{Rejea kitabu |last = Goldingay |first = John |title = The message of Isaiah 40–55: a literary-theological commentary |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2005 |url = https://books.google.com/books?id=KL_JPUaUensC |isbn = 9780567030382 }}
* {{Rejea kitabu |last = Hannah |first = Darrell D. |chapter = Isaiah Within Judaism of the Second Temple Period |editor1-last = Moyise |editor1-first = Steve |editor2-last = Menken |editor2-first = Maarten J.J. |title = Isaiah in the New Testament: The New Testament and the Scriptures of Israel |publisher = Continuum |year = 2005 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=_MqRBQAAQBAJ&q=%22We+turn+now+to+the+four+passages+from+Deutero-Isaiah%22&pg=PA27 |isbn = 9780802837110 }}
* {{Rejea kitabu |last = Lemche |first = Niels Peter |title = The Old Testament between theology and history: a critical survey |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2008 |url = https://books.google.com/books?id=RWqLVc7ccG0C |isbn = 9780664232450 }}
* {{Rejea kitabu |last = Petersen |first = David L. |title = The Prophetic Literature: An Introduction |publisher = Westminster John Knox Press |year = 2002 |url = https://books.google.com/books?id=Z9zLXRhNl9MC |isbn = 9780664254537 }}
* {{Rejea kitabu |last = Sawyer |first = John F.A. |title = The Fifth Gospel: Isaiah in the History of Christianity |publisher = Cambridge University Press |year = 1996 |isbn = 9780521565967 |url = https://books.google.com/books?id=aKbdqTh-D3cC }}
* {{Rejea kitabu |last = Soggin |first = J. Alberto |title = Introduction to the Old Testament: From Its Origins to the Closing of the Alexandrian Canon |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1989 |url = https://archive.org/details/introductiontool00sogg_1 |url-access = registration |isbn = 0-664-21331-6 }}
* {{Rejea kitabu |last = Stromberg |first = Jake |title = An Introduction to the Study of Isaiah |publisher = Continuum International Publishing Group |year = 2011 |url = https://books.google.com/books?id=Hy5LTPMTNJkC |isbn = 9780567363305 }}
* {{Rejea kitabu |last = Sweeney |first = Marvin A. |title = Isaiah 1–39: With an Introduction to Prophetic Literature |publisher = Eerdmans |year = 1996 |url = https://books.google.com/books?id=BdSzj9-SZv0C&pg=PR3 |isbn = 9780802841001 }}
* {{Rejea kitabu |last = Sweeney |first = Marvin A. |chapter = The Latter Prophets |editor1-last = McKenzie |editor1-first = Steven L. |editor2-last = Graham |editor2-first = Matt Patrick |title = The Hebrew Bible Today: An Introduction to Critical Issues |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1998 |url = https://books.google.com/books?id=owwhpmIVgSAC |isbn = 9780664256524 }}
* {{Rejea kitabu |last = Whybray |first = R. N. |title = The Second Isaiah |publisher = T&T Clarke |year = 2004 |url = https://books.google.com/books?id=QMENImo6ISYC&pg=PA10 |isbn = 9780567084248 }}
</div style>
{{refend}}
==Viungo vya nje==
{{Wikiquote}}
{{Commons category|Book of Isaiah}}
'''Tafsiri'''
* [http://www.mechon-mamre.org/p/pt/pt1001.htm Book of Isaiah] – Hebrew, side by side with English
* [http://www.chabad.org/library/article.asp?AID=15755 Book of Isaiah] (English translation [with [[Rashi]]'s commentary] at [[Chabad.org]])
* [http://www.biblegateway.com/ Bible Gateway]
{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale|Isaya]]
48fjqqmndhv81x9gltns6g965np8rpx
Masista wa Imakulata wa Mt. Klara
0
23567
1570831
1147264
2026-06-11T11:25:41Z
Riccardo Riccioni
452
1570831
wikitext
text/x-wiki
'''Masista wa Imakulata wa Mt. Klara''' ni [[shirika]] la [[mtawa|kitawa]] lenye hadhi ya Kipapa ambalo linaendeleza kazi ya [[malezi]] iliyoanzishwa [[mwaka]] [[1741]] na akina dada watatu huko [[Fiuggi]] ([[Italia]]). Majina ya hao [[Akina Dada Faioli]] ni Teresa, Cecilia e Antonia, ambao, kisha kufiwa [[mama]] yao wakiwa bado wadogo, hawakukata tamaa, bali kwa kusaidiana walifikia pamoja uamuzi wa kutawa ili kumlenga zaidi [[Mungu]].
Kumbe [[wasichana]] wengi wa [[mji]] wao walivutiwa na mfano wao wakawatafuta na kupokewa vizuri kwa malezi.
Hiyo “shule iliyoanza toka chini”, kwa kutegemea [[karama]] ya [[Mwanamke|wanawake]] na kulenga [[ukombozi]] wao, inakumbusha kwamba vizazi vipya vinahitaji walezi wa kuaminika ambao wawaelekeze tunu za [[adili|kiadili]] ambazo ziwaongoze maishani kukomaa na kujenga jamii yenye [[haki]], [[amani]] na [[upendo]].
Kwa sasa masista hao wako katika jumuia nyingi za Italia, lakini pia [[Brazil]], [[Ufilipino]] na kipindi fulani [[Tanzania]].
==Viungo vya nje==
* [http://www.sorellefaioli.org/index.html Tovuti rasmi ya shirika kwa lugha nne, mojawapo ikiwa Kiswahili] {{Wayback|url=http://www.sorellefaioli.org/index.html |date=20090326021900 }}
{{mbegu-katoliki}}
[[Jamii:Mashirika ya kitawa]]
e1o051alv2ddyta1hocwwqb1ww4c9ed
1570832
1570831
2026-06-11T11:27:31Z
Riccardo Riccioni
452
1570832
wikitext
text/x-wiki
'''Masista wa Imakulata wa Mt. Klara''' ni [[shirika]] la [[mtawa|kitawa]] [[shirika la Kipapa|lenye hadhi ya Kipapa]] ambalo linaendeleza kazi ya [[malezi]] iliyoanzishwa [[mwaka]] [[1741]] na akina dada watatu huko [[Fiuggi]] ([[Italia]]). Majina ya hao [[Akina Dada Faioli]] ni Teresa, Cecilia e Antonia, ambao, kisha kufiwa [[mama]] yao wakiwa bado wadogo, hawakukata tamaa, bali kwa kusaidiana walifikia pamoja uamuzi wa kutawa ili kumlenga zaidi [[Mungu]].
Kumbe [[wasichana]] wengi wa [[mji]] wao walivutiwa na mfano wao wakawatafuta na kupokewa vizuri kwa malezi.
Hiyo “shule iliyoanza toka chini”, kwa kutegemea [[karama]] ya [[Mwanamke|wanawake]] na kulenga [[ukombozi]] wao, inakumbusha kwamba vizazi vipya vinahitaji walezi wa kuaminika ambao wawaelekeze tunu za [[adili|kiadili]] ambazo ziwaongoze maishani kukomaa na kujenga jamii yenye [[haki]], [[amani]] na [[upendo]].
Kwa sasa masista hao wako katika jumuia nyingi za Italia, lakini pia [[Brazil]], [[Ufilipino]] na kipindi fulani [[Tanzania]].
==Viungo vya nje==
* https://suoreimmacolatasantachiarafaio.jimdofree.com/
{{mbegu-katoliki}}
[[Jamii:Mashirika ya kitawa]]
tj57vwudcjbh7rnhj6kxkvgdb60kswl
Katoliki
0
33083
1569450
1569372
2026-06-10T13:51:50Z
Riccardo Riccioni
452
/* Jeromu */
1569450
wikitext
text/x-wiki
{{Ukristo}}
'''Katoliki''' kwa [[Kiswahili]] limetokana na [[neno]] la [[Kigiriki]] καθολικός (katholikos), maana yake "kadiri ya utimilifu", "zima". <ref> (taz. [http://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?doc=Perseus%3Atext%3A1999.04.0057%3Aentry%3D%2351864 Henry George Liddell, Robert Scott, ''A Greek-English Lexicon)'' ]</ref>
Katika [[eklesiolojia]] ya [[Ukristo]], [[jina]] hilo lina [[historia]] ndefu na matumizi tofauti kadhaa.
Kwa wengine, neno "[[Kanisa Katoliki]]" linahusu [[Kanisa]] ambalo lina [[ushirika kamili]] na [[Askofu]] wa [[Roma]] (maarufu kama [[Papa]]) na linaloundwa na [[umoja]] wa [[madhehebu]] ya [[Kilatini]] na mengine 23 ya [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]]: ndiyo matumizi ya kawaida katika nchi nyingi. Waumini wake wengi hawajibaini kama "Waroma", lakini kama "Wakatoliki" tu.
Wakatoliki na vilevile [[Waorthodoksi]] wanaamini kwamba [[Kanisa]] lao ni la kwanza na ndilo Kanisa lenyewe.
[[Waanglikana]], [[Walutheri]] na baadhi ya [[Wamethodisti]] huamini kuwa makanisa yao ni ya Kikatoliki kwa maana ya kwamba yako katika mwendelezo na [[asili]] ya Kanisa la kimataifa lililoanzishwa na [[Mitume wa Yesu]].
[[Waprotestanti]] wakati mwingine hutumia neno "Kanisa Katoliki" kwa kutaja waumini wote wa [[Yesu Kristo]] [[duniani]], bila kujali "madhehebu" kuyaunganisha.
Katika mwelekeo wa Kikatoliki (ikiwa ni pamoja na [[Anglikana|Ushirika wa Kianglikana]]), ma[[askofu]] wanachukuliwa kuwa ndio wenye [[daraja]] ya juu ndani ya [[dini]] ya Kikristo, kama wachungaji wa umoja katika ushirika na Kanisa lote na miongoni mwao. <ref> FL Msalaba, ''Oxford Dictionary la Kanisa la kikristo,'' 1977:175.</ref>
Ukatoliki hufikiriwa kuwa [[moja]] ya [[sifa za Kanisa]], nyingine zikiwa umoja, [[utakatifu]] na [[utume]]. <ref> Christliche Religion, Oskar Simmel Rudolf Stählin, 1960, 150</ref> kulingana na [[Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli]] ya mwaka [[381]]: "Nasadiki Kanisa moja, takatifu, katoliki, la Mitume."
== Historia ya matumizi ya neno "Katoliki" ==
===Katika [[Karne ya 2]]===
[[Barua]] zilizoandikwa na [[Ignas wa Antiokia]] kwa Wakristo wenzake wa sehemu mbalimbali <ref>{{cite web
|title=Ignatius Epistle to the Smyrnaeans
|author=J. H. Srawley
|accessdate=2007-06-24
|year=1900
|url=http://www.earlychristianwritings.com/srawley/smyrnaeans.html
}}</ref>mwaka [[106]] hivi ni [[ushahidi]] wa awali wa matumizi ya neno ''Kanisa Katoliki'' ([[Barua kwa Wasmirna]], 8). Kwa kusema ''Kanisa Katoliki'' Ignas alitaja kanisa zima katika [[ushirika]] na [[Kanisa la Roma]] "linalosimamia [[upendo]]".
Ignas aliandika kwamba baadhi ya [[wazushi]] wa wakati wake, ambao hawakuamini kwamba [[Yesu]] aliteswa na kufa, wakisema badala yake kwamba "yeye alionekana tu kuteseka" (Barua kwa Wasmirna, 2), hawakuwa Wakristo wa kweli. <ref> "Kama makafiri wanakariri kwamba Yeye alionekana tu kuteseka, basi wao wenyewe wanaonekana tu kuwa Wakristo".
Ignas alisema wazushi hao hawakuamini [[ukweli]] wa [[mwili wa Kristo]], ambao ulimfanya ateseke halafu akafufuka: "Wao hawakiri [[Ekaristi]] kuwa mwili wa [[Mwokozi]] wetu Yesu Kristo, ambaye aliteseka kwa ajili ya [[dhambi]] zetu, na ambayo [[Baba]], kwa wema wake, alimfufua tena" (Barua kwa Wasmirna, 7).
Hivyo akawaita "wanyama katika sura ya watu, ambao lazima si kutowapokea tu, lakini, kama inawezekana, hata kutokutana nao" (Barua kwa Wasmirna, 4).</ref>
Neno hili pia hutumika katika "[[Kifodini cha Polikarpo]]" mwaka [[155]], katika "[[Hati ya Muratori]]" mwaka [[177]], na katika maandishi ya [[Tertuliani]] dhidi ya wazushi.
===Katika [[Karne ya 3]]===
Neno lilitumiwa barani [[Afrika]] vilevile na [[Klemens wa Aleksandria]] ([[202]]) na [[Sipriani mfiadini|Sipriani]] wa [[Karthago]] ([[252]]).
===Sirili wa Yerusalemu===
[[Sirili wa Yerusalemu]] (kama [[315]]-[[386]]) aliwataka wale aliokuwa akiwafunza katika [[imani]] ya Kikristo: "Kama wewe saa yoyote unakaa katika [[miji]], usitafute tu mahali ambapo 'nyumba ya [[Bwana]]' ipo (kwani madhehebu mengine pia huvunja wito wao wakiita [[maabadi]] yao 'nyumba ya Bwana'), wala si kanisa, lakini ulizia Kanisa Katoliki. Kwa kuwa hilo jina ni la pekee kwa Kanisa takatifu, [[mama]] yetu sote, ambaye ni [[bibi arusi]] wa [[Bwana]] wetu [[Yesu Kristo]], [[Mwana pekee wa Mungu]]" (Katekesi, XVIII, 26). <ref>{{cite web
|title=Catechetical Lecture 18 (Ezekiel xxxvii)
|publisher=Trinity Consulting
|accessdate=2007-06-24
|url=http://www.newadvent.org/fathers/310118.htm
}}</ref>
===Theodosius Mkuu===
Neno ''Ukristo wa Kikatoliki'' liliingia [[sheria]] za [[Dola la Roma]] wakati [[Theodosius Mkuu]] ([[Kaisari]] miaka [[379]]-[[395]]) alipotuza jina hilo kwa ahali ya "kuwa [[dini]] ambayo ilikuwa mikononi mwa Warumi na [[Mtume Petro]], kama ilivyohifadhiwa na waamini kimapokeo na ambayo ni sasa nadhiri kwa [[Papa Damaso I|Papa Damaso]] na kwa Askofu [[Petro II wa Aleksandria|Petro wa Alexandria]]... Kuhusu wengine, ambao katika hukumu yetu ni wajinga, sisi tunaamuru wapewe jina la wazushi, wala hawatapata kuita nyumba zao kwa jina la makanisa."
Sheria hii ya tarehe [[27 Februari]] [[380]], iliyoorodheshwa katika Kitabu cha 16 cha [[Codex Theodosiania]], <ref>{{cite web
|title=Banning of Other Religions Theodosian Code XVI.i.2
|publisher=[[Internet History Sourcebooks Project|Internet Medieval Sourcebook]]
|author=Paul Halsall
|accessdate=2007-06-24
|year=1997
|month=Juni
|url=http://www.fordham.edu/halsall/source/theodcodeXVI.html
|archivedate=2007-02-27
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070227120555/http://www.fordham.edu/halsall/source/theodcodeXVI.html
}}</ref> iliimarisha Ukristo wa Kikatoliki kama [[dini rasmi]] ya Dola la Roma.
===[[Jeromu]]===
Padri huyo alitumia neno hilo mwaka [[418]] kuhusu waamini wa Kanisa akiwaita "Wakatoliki".
===Agostino wa Hippo===
Matumizi ya neno ''Katoliki'' kwa lengo la kutofautisha Kanisa la "kweli" kutoka makundi ya [[uzushi]] hupatikana pia katika [[Agostino wa Hippo]] ([[354]]-[[430]]) aliyeandika:
:"Katika Kanisa Katoliki, kuna mambo mengine mengi ambayo huniweka karibu nalo. Ridhaa ya watu na mataifa hunitunza katika Kanisa; pia [[mamlaka]] yake, ambayo ilianzishwa kwa miujiza, na kulishwa na [[tumaini]], na kuongezwa kwa [[upendo]], ulioimarishwa na umri. [[Mlolongo wa maaskofu]] huniweka mimi, mwanzo kutoka [[Ukulu mtakatifu|kiti]] cha [[Mtume Petro]], ambaye Bwana, baada ya [[ufufuko wa Yesu|kufufuka]] kwake, akampa mamlaka kulisha [[kondoo]] zake ([[Yoh]] 21:15-19), chini ya sasa Uaskofu (katika [[Roma]]: hapa Agostino anazungumza juu ya urithi wa Papa).
:"Na hivyo, mwisho, je sana jina la "Katoliki", ambalo, si bila sababu, huku kukiwa na uzushi mwingi, Kanisa linabakia hivyohivyo kwamba, ingawa wazushi wote wanataka kuitwa Wakatoliki, lakini wakati ambapo mgeni anauliza wapi Kanisa Katoliki hukutana, hakuna mzushi anayethubutu kumpeleka nyumbani kwake.
:"Hivyo basi idadi na umuhimu ni mahusiano ya thamani ya mali kwa jina la Kikristo ambayo humweka muumini katika Kanisa Katoliki, kama haki inavyopasa ... Pamoja nanyi, ambapo hakuna mambo haya kunivutia au kuniweka ... Hakuna mtu atakayenihamisha kutoka imani ambayo inahusu akili yangu pamoja na mahusiano ya wengi na hivyo nguvu ya dini ya kikristo ... Kwa upande wangu, singeweza kuamini [[Injili]] kama nisingeoongozwa na mamlaka ya Kanisa Katoliki."
: ''Dhidi ya Waraka wa Wamani inayoitwa Msingi'', sura ya 4: kuhusu Imani Katoliki. <ref>{{cite web
|title=Against the Epistle of Manichaeus called Fundamental
|publisher=[[Christian Classics Ethereal Library]]
|author=[[Augustine of Hippo]]
|accessdate=2007-06-24
|year=397
|url=http://www.ccel.org/ccel/schaff/npnf104.iv.viii.i.html
}}</ref>
===Vincent wa Lerins===
Mtakatifu mwingine aliyeishi wakati wa Agostino, [[Vincent wa Lerins]], aliandika mwaka [[434]] (akitumia jina Peregrinus) [[kitabu]] kinachojulikana kama ''Commonitoria'' ("Kumbusho"). Humo alisisitiza kwamba, kama [[mwili]] wa [[binadamu]], mafundisho ya Kanisa huendeleza [[ukweli]] huku yakitunza utambulisho wake (mstari 54-59, sura XXIII): "Katika Kanisa Katoliki lenyewe, tuwe waangalifu iwezekanavyo, kwamba sisi hushikilia imani ambayo imekuwa ikiaminiwa kila mahali, daima, na wote. Kwa kuwa ni kweli na katika 'Katoliki', ambayo kama jina lenyewe na sababu ya kutangaza kitu, unaoeleweka na kila mtu. Utawala huu tutakuwa tumeuzingatia kama tutafuata umoja katika ulimwengu, muda, ridhaa. Tutafuata umoja kama tunakiri kwamba imani moja kuwa kweli, ambayo Kanisa zima duniani kote tunakiri; muda, kama sisi tusikose [[busara]] tukaondoka kutoka tafsiri ya [[Mababu wa Kanisa|mababu]] wetu; kukubali, katika namna, kama sisi wenyewe katika zamani kuambatana na ridhaa, ufafanuzi na bidii ya wote, au wa madaktari wa ma[[padri]] wote" (sehemu 6, mwisho wa sura II).
==Wakatoliki wa Magharibi na wa Mashariki ==
[[Madhehebu]] ya [[Kanisa Katoliki]] ([[Kanisa la Kilatini]] na [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]] [[ishirini na tatu]]) huwa na [[jukumu]] la kuhifadhi [[mapokeo]] Katoliki ya [[Mababu wa Kanisa]] la mwanzo.
Makanisa Katoliki ya Mashariki ni yale makanisa ambayo yako katika [[ushirika kamili]] na [[Askofu wa Roma]] (Papa), huku wakiwa wanajitegemea (kwa lugha ya [[Kilatini]] ni ''Ecclesiae sui iuris'') kwa kulinda taratibu za [[liturujia]], za [[teolojia]] na mapokeo ya makanisa mbalimbali ya [[Ukristo]] [[Ukristo wa Mashariki|wa Mashariki]] ambayo wanahusishwa nayo.
Madhehebu hayo ni kama vile: [[Kanisa Katoliki la Kigiriki la Ukraina]], [[Kanisa Katoliki la Kigiriki la Kiruteni]], [[Kanisa Katoliki la Kimelkiti]], [[Kanisa Katoliki la Wakopti]], [[Kanisa Katoliki la Waethiopia]], [[Kanisa Katoliki la Waeritrea]], [[Kanisa la Wamaroni]], [[Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar]] [[Kanisa Katoliki la Kisiria la Malankara]], [[Kanisa Katoliki la Armenia]] na [[Kanisa la Wakaldayo]].
Chini ya [[Papa Yohane Paulo II]] Kanisa Katoliki lilitoa kitabu cha mafundisho ya imani na [[maadili]] chenye [[kichwa]] [[Katekisimu ya Kanisa Katoliki]] ambacho kinasema: "Kuamini kwamba Kanisa ni 'takatifu' na 'Katoliki,' nalo ni 'moja' na 'la Mitume '(kama [[Kanuni ya Imani ya Nisea]] inavyodokeza), hakuwezi kutengwa na imani katika [[Mungu]] Baba, [[Mwana]] na [[Roho Mtakatifu]]. <ref> [http://www.vatican.va/archive/ENG0015/__P26.HTM Katekismi ya Kanisa Katoliki, 750]</ref>
Neno ''Kanisa Katoliki'' linahusu Kanisa lote linaloongozwa na Askofu wa Roma, sasa [[Papa Leo XIV]], na ambalo lina zaidi ya waumini [[bilioni]] 1.4, wakiwa nusu ya Wakristo wote duniani, wanaokadiriwa kuwa bilioni 2.8.
Ingawa kawaida Kanisa Katoliki linajitofautisha na makanisa mengine kwa kujiita "Kanisa Katoliki" tu, pengine linakubali kutumia ufafanuzi "Kanisa Katoliki la Roma", hasa katika hati zilizoandaliwa pamoja na makanisa mengine, lakini pia katika Nyaraka kadhaa za Kipapa <ref>[http://www.vatican.va/holy_father/pius_xi/encyclicals/documents/hf_p-xi_enc_31121929_divini-illius-magistri_en.html ''Divini illius Magistri'' ]</ref> <ref>[http://www.vatican.va/holy_father/pius_xii/encyclicals/documents/hf_p-xii_enc_12081950_humani-generis_en.html ''Humani generis.'' ]</ref>
Mfano mwingine ni ufafanuzi kama Kanisa Takatifu, Katoliki, la Kirumi la Kitume <ref>{{cite web
|title=First Vatican Council – Session 3: Dogmatic constitution on the Catholic faith
|author=Pope [[Pius IX]]
|coauthors=[[Vatican City|Vatican]]
|date=1870-04-24
|accessdate=2007-06-24
|url=http://www.ewtn.com/library/COUNCILS/V1.HTM#4
|archivedate=2006-02-07
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20060207151342/https://www.ewtn.com/library/COUNCILS/V1.htm#4
}}</ref> katika Katiba Katoliki ya [[Mtaguso wa kwanza wa Vatikano]] ya tarehe [[24 Aprili]] [[1870]]. Kurasa hizi zote zinahusu Kanisa Katoliki na kwa majina mengine.
[[Makanisa Katoliki ya Mashariki]], ingawa yana umoja na Roma katika imani, taratibu na sheria zake, yanatofautiana na [[madhehebu]] ya Kilatini na Makanisa Katoliki mengine ya Mashariki.
==Matumizi mbalimbali==
Baadhi ya Makanisa ya Kikristo, hasa Makanisa ya [[Waorthodoksi]], wanajiona kuwa kweli Kanisa Katoliki ambalo, katika mtazamo wao, Wakristo wengine wote, wakiwa pamoja na wale walio katika ushirika na Papa, walijitenga mbali.<ref> Basic Principles Of The Attitude of The Russian Orthodox Church toward the Other Christian Confessions, adopted by the Jubilee Bishops’ Council of the Russian Orthodox Church, 14 Agosti 2000</ref>
Mbali ya [[Kanisa la Kiorthodoksi]]<ref>[http://www.pravoslavieto.com/docs/eng/Orthodox_Catechism_of_Philaret.htm ''Katikismi ndefu ya Orthodox, Katoliki, Kanisa la Mashariki.'' ]</ref>, [[Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki]] na [[Kanisa la Waashuru]] hujiona pia kama "[[Kanisa Katoliki moja Takatifu la kitume]]" la [[Kanuni ya imani ya Nisea]].
Waanglikana na [[Wakatoliki wa Kale]] hujiona katika ushirika katika Kanisa moja na Walutheri wenyewe kama ni "harakati ya mageuzi makubwa ndani ya Kanisa Katoliki".
Wakati Wakatoliki wa Kirumi humwona Askofu wa Roma kama "Halifa wa Petro" anayepaswa kutumikia kama mchungaji wa Kanisa zima, Waanglikana na Wakatoliki wa Kale hukubali kuwa Askofu wa Roma ni ''Primus inter Pares'' kati ya [[Waprimati]] wote, lakini wao hukumbatia [[Usinodi]] ili kujikinga dhidi ya [[Ultramontanism]].
Juhudi za hivi karibuni za Kanisa Katoliki hulenga kuponya mgawanyiko kati ya makanisa ya Magharibi ("Katoliki") na Mashariki ("Orthodoksi"). [[Papa Yohane Paulo II]] mara nyingi alizungumza hamu yake kubwa kwamba Kanisa Katoliki "lirudi kupumua kwa mapafu yote mawili", <ref> [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/encyclicals/documents/hf_jp-ii_enc_25051995_ut-unum-sint_en.html Encyciclical ''Ut unum Sint,'' ] 54</ref> <ref> [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/apost_constitutions/documents/hf_jp-ii_apc_19901018_sacri-canones_lt.html Apostolic Succession ''Sacri Canones'' ]</ref> na hivyo kusisitiza kwamba Kanisa Katoliki linataka kurejesha ushirika kamili na Makanisa ya Mashariki yaliyotengana nalo. <ref> [http://www.guardian.co.uk/world/2005/apr/02/guardianobituaries.catholicism obituary ya Papa Yohane Paulo II]</ref>
Ni kwamba, baada ya [[Farakano la mwaka 1054|utengano wa Mashariki-Magharibi]] mwaka [[1054]], muungano mfupi ulikubaliwa kati ya Papa na baadhi ya Maaskofu wa Kiorthodoksi. Hata hivyo, [[mkataba]] huu ulikataliwa na mmoja wa Maaskofu wa Mashariki, yaani [[Marko wa Efeso]], na watu wa kawaida kwa jumla walikataa mkataba huo.
[[Papa Benedikto XVI]] amesema nia yake ya kurejesha umoja kamili na Waorthodoksi. Kanisa Katoliki linazingatia kwamba karibu tofauti zote zimesuluhishwa (katika kifungu cha [[Filioque]], suala la [[purgatorio]], n.k.), na alitangaza kwamba tofauti katika desturi za jadi, taratibu na nidhamu si vikwazo kwa umoja. <ref> [http://www.vatican.va/archive/hist_councils/ii_vatican_council/documents/vat-ii_decree_19641121_unitatis-redintegratio_en.html Second Vatican Council Decree on Ecumenism] 16</ref>
===Wakristo wengine wa Magharibi ===
Makanisa mengi ya [[Matengenezo ya Kiprotestanti]] hutumia neno ''la kikatoliki'' kurejea kwa imani kwamba Wakristo wote ni sehemu ya Kanisa moja bila kujali madhehebu; kwa mfano, mlango wa 25 wa [[Ukiri wa Imani wa Westminster]] unataja ''kanisa katoliki au la mahali popote (universal)''.
Viongozi wa matengenezo walitumia neno ''la kikatoliki'' kwa maana asili ya "la mahali popote na wakati wowote" siyo kwa dhehebu au mamlaka fulani ndani ya Ukristo. Walijiona wanaendeleza mapokeo ya kanisa lilipokiri "Kanisa moja, takatifu, katoliki, la Mitume" katika [[Kanuni ya Imani ya Nisea]]. Hii inalingana pia na ''kanisa takatifu Katoliki'' katika [[kanuni ya Imani ya Mitume]].
Neno hili pia linaweza kumaanisha yale makanisa ya Kiprotestanti ambayo hudumisha [[Uaskofu]] wao tangu wakati wa mitume na kujiona sehemu ya Kanisa ''la kikatoliki''. Miongoni mwa wale ambao hujiona kama sehemu ya Kanisa ''la kikatoliki'', lakini si ''Katoliki'', ni [[Waanglikana]] na baadhi ya Makanisa ya kikatoliki yaliyogawanyika katika [[karne ya 19]] na [[Karne ya 20|20]], kama vile [[Kanisa Katoliki la Kale]] na [[Kanisa Katoliki huru]], hujifikiria kuwa Wakatoliki, tena Wakatoliki wa kweli wa Kirumi.
Neno linaweza kurejea umoja (idadi) wa Kanisa kwamba, kulingana na [[Math]] 16:18-19 [[Yesu]] alimwambia [[Mtume Petro]]: "Na mimi nakwambia, wewe ni כיפא ''(Kepha)'' (kwa [[Kiaramu]] "mwamba"), na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na nguvu za kifo hazitalishinda. Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na kila utakachofunga duniani kitafungwa mbinguni, na lolote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni."
Baadhi hutumia ''wa kikatoliki'' ili kutofautisha msimamo wao na ule wa [[Wakalvini]] au namna ya [[Uprotestanti uliorekebishwa]]. Hii ni pamoja na Waanglikana, mara nyingi pia hujulikana [[Waanglikana wa Kikatoliki]], na [[Walutheri]] kadhaa ambao husisitiza kwamba wao ni Waprotestanti na wa kikatoliki pamoja.
[[Wamethodisti]] na [[Wakalvini]] hudai madhehebu yao hutokana na Mitume na kanisa la kwanza, lakini hawawezi kudai kushuka kutoka kanisa la kale katika miundo kama vile Uaskofu. Hata hivyo, makanisa hayo hukiri kwamba wao ni sehemu ya kanisa la kikatoliki (zima). Waanglikana na Wamethodisti, hasa wa [[Marekani]], wameitwa mara nyingi kwa utani ''Wakatoliki Wepesi.'' <ref>{{cite web|url=http://everything2.com/title/Diet%2520Catholic |title=Diet Catholic|publisher=Everything2.com |date=2000-03-30 |accessdate=2009-05-28}}</ref> <ref>{{cite web |url=http://forums.catholic.com/showthread.php?t=240043 |title=Methodist vs Catholic - Catholic Answers Forums |publisher=Forums.catholic.com |date= |accessdate=2009-05-28 |archivedate=2016-03-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160305011253/http://forums.catholic.com/showthread.php?t=240043 }}</ref>
Hata hivyo, mara nyingi makanisa ya Kiprotestanti yaliachana na neno la Kigiriki "katoliki" na kutumia tafsiri katika matoleo yao ya Kanuni za Imani ya Mitume au ya Nikea. Pamoja na nia ya kutumia lugha inayoeleweka kirahisi zaidi yaliona pia haja ya kuepukana na neno linalotazamwa na wengi kama la kidhehebu. Hivyo kwa Kiswahili Walutheri hutumia lugha "Kanisa takatifu la Kikristo lililo moja tu" wakati Wamoravian hutumia "Kanisa takatifu lililopo popote". Waanglikana hutumia umbo "kanisa katholiko", si "katoliki".
==Kuepuka matumizi==
Baadhi ya makanisa ya Kiprotestanti huepuka kutumia neno hilo kabisa, kwa mfano Walutheri wengi hutumia neno ''la Kikristo'' badala ya ''la kikatoliki.'' <ref>{{cite web
|url=http://www.lcms.org/pages/internal.asp?NavID=3356
|publisher=The Lutheran Church, Missouri Synod
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20040202152155/http://www.lcms.org/pages/internal.asp?NavID=3356
|archivedate=2004-02-02
}}</ref> <ref>{{cite web
|url=http://www.wels.net/cgi-bin/site.pl?2617&collectionID=711&contentID=4334&shortcutID=2077#nicene
|publisher=Wisconsin Evangelical Lutheran Synod
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
|archiveurl=https://wayback.archive-it.org/all/20080102005622/http://www.wels.net/cgi-bin/site.pl?2617&collectionID=711&contentID=4334&shortcutID=2077#nicene
|archivedate=2008-01-02
}}</ref> <ref>{{cite web
|url=http://www.ilflutheran.org/page11.html
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070928110643/http://www.ilflutheran.org/page11.html
|archivedate=2007-09-28
|publisher=International Lutheran Fellowship
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
}}</ref> Makanisa ya Orthodox huelewa hisia kuhusu madai kipapa Katoliki, lakini kutokubaliana na baadhi ya Waprotestanti juu ya asili ya kanisa kama mwili mmoja.
==Tazama pia==
* [[Kanisa Katoliki]]
* [[Katekisimu ya Kanisa Katoliki]]
* [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]]
* [[Ukatoliki]]
* [[Ukristo]]
* [[Waanglikana wa Kikatoliki]]
* [[Wakatoliki wa Kale]]
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Ukristo]]
[[Jamii:Teolojia]]
nh6x7n0m7lgh6p2yeukhv96yysjwjf0
1569452
1569450
2026-06-10T14:03:45Z
Riccardo Riccioni
452
1569452
wikitext
text/x-wiki
{{Ukristo}}
'''Katoliki''' kwa [[Kiswahili]] limetokana na [[neno]] la [[Kigiriki]] καθολικός (katholikos), maana yake "kadiri ya utimilifu", "zima". <ref> (taz. [http://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?doc=Perseus%3Atext%3A1999.04.0057%3Aentry%3D%2351864 Henry George Liddell, Robert Scott, ''A Greek-English Lexicon)'' ]</ref>
Katika [[eklesiolojia]] ya [[Ukristo]], [[jina]] hilo lina [[historia]] ndefu na matumizi tofauti kadhaa.
Kwa wengine, neno "[[Kanisa Katoliki]]" linahusu [[Kanisa]] ambalo lina [[ushirika kamili]] na [[Askofu]] wa [[Roma]] (maarufu kama [[Papa]]) na linaloundwa na [[umoja]] wa [[madhehebu]] ya [[Kilatini]] na mengine 23 ya [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]]: ndiyo matumizi ya kawaida katika nchi nyingi. Waumini wake wengi hawajibaini kama "Waroma", lakini kama "Wakatoliki" tu.
Wakatoliki na vilevile [[Waorthodoksi]] wanaamini kwamba [[Kanisa]] lao ni la kwanza na ndilo Kanisa lenyewe.
[[Waanglikana]], [[Walutheri]] na baadhi ya [[Wamethodisti]] huamini kuwa makanisa yao ni ya Kikatoliki kwa maana ya kwamba yako katika mwendelezo na [[asili]] ya Kanisa la kimataifa lililoanzishwa na [[Mitume wa Yesu]].
[[Waprotestanti]] wakati mwingine hutumia neno "Kanisa Katoliki" kwa kutaja waumini wote wa [[Yesu Kristo]] [[duniani]], bila kujali "madhehebu" kuyaunganisha.
Katika mwelekeo wa Kikatoliki (ikiwa ni pamoja na [[Anglikana|Ushirika wa Kianglikana]]), ma[[askofu]] wanachukuliwa kuwa ndio wenye [[daraja]] ya juu ndani ya [[dini]] ya Kikristo, kama wachungaji wa umoja katika ushirika na Kanisa lote na miongoni mwao. <ref> FL Msalaba, ''Oxford Dictionary la Kanisa la kikristo,'' 1977:175.</ref>
Ukatoliki hufikiriwa kuwa [[moja]] ya [[sifa za Kanisa]], nyingine zikiwa umoja, [[utakatifu]] na [[utume]]. <ref> Christliche Religion, Oskar Simmel Rudolf Stählin, 1960, 150</ref> kulingana na [[Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli]] ya mwaka [[381]]: "Nasadiki Kanisa moja, takatifu, katoliki, la Mitume."
== Historia ya matumizi ya neno "Katoliki" ==
===Katika [[Karne ya 2]]===
[[Barua]] zilizoandikwa na [[Ignas wa Antiokia]] kwa Wakristo wenzake wa sehemu mbalimbali <ref>{{cite web
|title=Ignatius Epistle to the Smyrnaeans
|author=J. H. Srawley
|accessdate=2007-06-24
|year=1900
|url=http://www.earlychristianwritings.com/srawley/smyrnaeans.html
}}</ref>mwaka [[106]] hivi ni [[ushahidi]] wa awali wa matumizi ya neno ''Kanisa Katoliki'' ([[Barua kwa Wasmirna]], 8). Kwa kusema ''Kanisa Katoliki'' Ignas alitaja kanisa zima katika [[ushirika]] na [[Kanisa la Roma]] "linalosimamia [[upendo]]".
Ignas aliandika kwamba baadhi ya [[wazushi]] wa wakati wake, ambao hawakuamini kwamba [[Yesu]] aliteswa na kufa, wakisema badala yake kwamba "yeye alionekana tu kuteseka" (Barua kwa Wasmirna, 2), hawakuwa Wakristo wa kweli. <ref> "Kama makafiri wanakariri kwamba Yeye alionekana tu kuteseka, basi wao wenyewe wanaonekana tu kuwa Wakristo".
Ignas alisema wazushi hao hawakuamini [[ukweli]] wa [[mwili wa Kristo]], ambao ulimfanya ateseke halafu akafufuka: "Wao hawakiri [[Ekaristi]] kuwa mwili wa [[Mwokozi]] wetu Yesu Kristo, ambaye aliteseka kwa ajili ya [[dhambi]] zetu, na ambayo [[Baba]], kwa wema wake, alimfufua tena" (Barua kwa Wasmirna, 7).
Hivyo akawaita "wanyama katika sura ya watu, ambao lazima si kutowapokea tu, lakini, kama inawezekana, hata kutokutana nao" (Barua kwa Wasmirna, 4).</ref>
Neno hili pia hutumika katika "[[Kifodini cha Polikarpo]]" mwaka [[155]], katika "[[Hati ya Muratori]]" mwaka [[177]], na katika maandishi ya [[Tertuliani]] dhidi ya wazushi.
===Katika [[Karne ya 3]]===
Neno lilitumiwa barani [[Afrika]] vilevile na [[Klemens wa Aleksandria]] ([[202]]) na [[Sipriani mfiadini|Sipriani]] wa [[Karthago]] ([[252]]).
===Sirili wa Yerusalemu===
[[Sirili wa Yerusalemu]] (kama [[315]]-[[386]]) aliwataka wale aliokuwa akiwafunza katika [[imani]] ya Kikristo: "Kama wewe saa yoyote unakaa katika [[miji]], usitafute tu mahali ambapo 'nyumba ya [[Bwana]]' ipo (kwani madhehebu mengine pia huvunja wito wao wakiita [[maabadi]] yao 'nyumba ya Bwana'), wala si kanisa, lakini ulizia Kanisa Katoliki. Kwa kuwa hilo jina ni la pekee kwa Kanisa takatifu, [[mama]] yetu sote, ambaye ni [[bibi arusi]] wa [[Bwana]] wetu [[Yesu Kristo]], [[Mwana pekee wa Mungu]]" (Katekesi, XVIII, 26). <ref>{{cite web
|title=Catechetical Lecture 18 (Ezekiel xxxvii)
|publisher=Trinity Consulting
|accessdate=2007-06-24
|url=http://www.newadvent.org/fathers/310118.htm
}}</ref>
===Theodosius Mkuu===
Neno ''Ukristo wa Kikatoliki'' liliingia [[sheria]] za [[Dola la Roma]] wakati [[Theodosius Mkuu]] ([[Kaisari]] miaka [[379]]-[[395]]) alipotuza jina hilo kwa ahali ya "kuwa [[dini]] ambayo ilikuwa mikononi mwa Warumi na [[Mtume Petro]], kama ilivyohifadhiwa na waamini kimapokeo na ambayo ni sasa nadhiri kwa [[Papa Damaso I|Papa Damaso]] na kwa Askofu [[Petro II wa Aleksandria|Petro wa Alexandria]]... Kuhusu wengine, ambao katika hukumu yetu ni wajinga, sisi tunaamuru wapewe jina la wazushi, wala hawatapata kuita nyumba zao kwa jina la makanisa."
Sheria hii ya tarehe [[27 Februari]] [[380]], iliyoorodheshwa katika Kitabu cha 16 cha [[Codex Theodosiania]], <ref>{{cite web
|title=Banning of Other Religions Theodosian Code XVI.i.2
|publisher=[[Internet History Sourcebooks Project|Internet Medieval Sourcebook]]
|author=Paul Halsall
|accessdate=2007-06-24
|year=1997
|month=Juni
|url=http://www.fordham.edu/halsall/source/theodcodeXVI.html
|archivedate=2007-02-27
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070227120555/http://www.fordham.edu/halsall/source/theodcodeXVI.html
}}</ref> iliimarisha Ukristo wa Kikatoliki kama [[dini rasmi]] ya Dola la Roma.
===[[Jeromu]]===
Padri huyo alitumia neno hilo mwaka [[418]] kuhusu waamini wa Kanisa akiwaita "Wakatoliki".
===Agostino wa Hippo===
Matumizi ya neno ''Katoliki'' kwa lengo la kutofautisha Kanisa la "kweli" kutoka makundi ya [[uzushi]] hupatikana pia katika [[Agostino wa Hippo]] ([[354]]-[[430]]) aliyeandika:
:"Katika Kanisa Katoliki, kuna mambo mengine mengi ambayo huniweka karibu nalo. Ridhaa ya watu na mataifa hunitunza katika Kanisa; pia [[mamlaka]] yake, ambayo ilianzishwa kwa miujiza, na kulishwa na [[tumaini]], na kuongezwa kwa [[upendo]], ulioimarishwa na umri. [[Mlolongo wa maaskofu]] huniweka mimi, mwanzo kutoka [[Ukulu mtakatifu|kiti]] cha [[Mtume Petro]], ambaye Bwana, baada ya [[ufufuko wa Yesu|kufufuka]] kwake, akampa mamlaka kulisha [[kondoo]] zake ([[Yoh]] 21:15-19), chini ya sasa Uaskofu (katika [[Roma]]: hapa Agostino anazungumza juu ya urithi wa Papa).
:"Na hivyo, mwisho, je sana jina la "Katoliki", ambalo, si bila sababu, huku kukiwa na uzushi mwingi, Kanisa linabakia hivyohivyo kwamba, ingawa wazushi wote wanataka kuitwa Wakatoliki, lakini wakati ambapo mgeni anauliza wapi Kanisa Katoliki hukutana, hakuna mzushi anayethubutu kumpeleka nyumbani kwake.
:"Hivyo basi idadi na umuhimu ni mahusiano ya thamani ya mali kwa jina la Kikristo ambayo humweka muumini katika Kanisa Katoliki, kama haki inavyopasa ... Pamoja nanyi, ambapo hakuna mambo haya kunivutia au kuniweka ... Hakuna mtu atakayenihamisha kutoka imani ambayo inahusu akili yangu pamoja na mahusiano ya wengi na hivyo nguvu ya dini ya kikristo ... Kwa upande wangu, singeweza kuamini [[Injili]] kama nisingeoongozwa na mamlaka ya Kanisa Katoliki."
: ''Dhidi ya Waraka wa Wamani inayoitwa Msingi'', sura ya 4: kuhusu Imani Katoliki. <ref>{{cite web
|title=Against the Epistle of Manichaeus called Fundamental
|publisher=[[Christian Classics Ethereal Library]]
|author=[[Augustine of Hippo]]
|accessdate=2007-06-24
|year=397
|url=http://www.ccel.org/ccel/schaff/npnf104.iv.viii.i.html
}}</ref>
===Vincent wa Lerins===
Mtakatifu mwingine aliyeishi wakati wa Agostino, [[Vincent wa Lerins]], aliandika mwaka [[434]] (akitumia jina Peregrinus) [[kitabu]] kinachojulikana kama ''Commonitoria'' ("Kumbusho"). Humo alisisitiza kwamba, kama [[mwili]] wa [[binadamu]], mafundisho ya Kanisa huendeleza [[ukweli]] huku yakitunza utambulisho wake (mstari 54-59, sura XXIII): "Katika Kanisa Katoliki lenyewe, tuwe waangalifu iwezekanavyo, kwamba sisi hushikilia imani ambayo imekuwa ikiaminiwa kila mahali, daima, na wote. Kwa kuwa ni kweli na katika 'Katoliki', ambayo kama jina lenyewe na sababu ya kutangaza kitu, unaoeleweka na kila mtu. Utawala huu tutakuwa tumeuzingatia kama tutafuata umoja katika ulimwengu, muda, ridhaa. Tutafuata umoja kama tunakiri kwamba imani moja kuwa kweli, ambayo Kanisa zima duniani kote tunakiri; muda, kama sisi tusikose [[busara]] tukaondoka kutoka tafsiri ya [[Mababu wa Kanisa|mababu]] wetu; kukubali, katika namna, kama sisi wenyewe katika zamani kuambatana na ridhaa, ufafanuzi na bidii ya wote, au wa madaktari wa ma[[padri]] wote" (sehemu 6, mwisho wa sura II).
==Wakatoliki wa Magharibi na wa Mashariki ==
[[Madhehebu]] ya [[Kanisa Katoliki]] ([[Kanisa la Kilatini]] na [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]] [[ishirini na tatu]]) huwa na [[jukumu]] la kuhifadhi [[mapokeo]] Katoliki ya [[Mababu wa Kanisa]] la mwanzo.
Makanisa Katoliki ya Mashariki ni yale makanisa ambayo yako katika [[ushirika kamili]] na [[Askofu wa Roma]] (Papa), huku wakiwa wanajitegemea (kwa lugha ya [[Kilatini]] ni ''Ecclesiae sui iuris'') kwa kulinda taratibu za [[liturujia]], za [[teolojia]] na mapokeo ya makanisa mbalimbali ya [[Ukristo]] [[Ukristo wa Mashariki|wa Mashariki]] ambayo wanahusishwa nayo.
Madhehebu hayo ni kama vile: [[Kanisa Katoliki la Kigiriki la Ukraina]], [[Kanisa Katoliki la Kigiriki la Kiruteni]], [[Kanisa Katoliki la Kimelkiti]], [[Kanisa Katoliki la Wakopti]], [[Kanisa Katoliki la Waethiopia]], [[Kanisa Katoliki la Waeritrea]], [[Kanisa la Wamaroni]], [[Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar]] [[Kanisa Katoliki la Kisiria la Malankara]], [[Kanisa Katoliki la Armenia]] na [[Kanisa la Wakaldayo]].
Chini ya [[Papa Yohane Paulo II]] Kanisa Katoliki lilitoa kitabu cha mafundisho ya imani na [[maadili]] chenye [[kichwa]] [[Katekisimu ya Kanisa Katoliki]] ambacho kinasema: "Kuamini kwamba Kanisa ni 'takatifu' na 'Katoliki,' nalo ni 'moja' na 'la Mitume '(kama [[Kanuni ya Imani ya Nisea]] inavyodokeza), hakuwezi kutengwa na imani katika [[Mungu]] Baba, [[Mwana]] na [[Roho Mtakatifu]]. <ref> [http://www.vatican.va/archive/ENG0015/__P26.HTM Katekismi ya Kanisa Katoliki, 750]</ref>
Neno ''Kanisa Katoliki'' linahusu Kanisa lote linaloongozwa na Askofu wa Roma, sasa [[Papa Leo XIV]], na ambalo lina zaidi ya waumini [[bilioni]] 1.4, wakiwa nusu ya Wakristo wote duniani, wanaokadiriwa kuwa bilioni 2.8.
Ingawa kawaida Kanisa Katoliki linajitofautisha na makanisa mengine kwa kujiita "Kanisa Katoliki" tu, pengine linakubali kutumia ufafanuzi "Kanisa Katoliki la Roma", hasa katika hati zilizoandaliwa pamoja na makanisa mengine, lakini pia katika Nyaraka kadhaa za Kipapa <ref>[http://www.vatican.va/holy_father/pius_xi/encyclicals/documents/hf_p-xi_enc_31121929_divini-illius-magistri_en.html ''Divini illius Magistri'' ]</ref> <ref>[http://www.vatican.va/holy_father/pius_xii/encyclicals/documents/hf_p-xii_enc_12081950_humani-generis_en.html ''Humani generis.'' ]</ref>
Mfano mwingine ni ufafanuzi kama Kanisa Takatifu, Katoliki, la Kirumi la Kitume <ref>{{cite web
|title=First Vatican Council – Session 3: Dogmatic constitution on the Catholic faith
|author=Pope [[Pius IX]]
|coauthors=[[Vatican City|Vatican]]
|date=1870-04-24
|accessdate=2007-06-24
|url=http://www.ewtn.com/library/COUNCILS/V1.HTM#4
|archivedate=2006-02-07
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20060207151342/https://www.ewtn.com/library/COUNCILS/V1.htm#4
}}</ref> katika Katiba Katoliki ya [[Mtaguso wa kwanza wa Vatikano]] ya tarehe [[24 Aprili]] [[1870]]. Kurasa hizi zote zinahusu Kanisa Katoliki na kwa majina mengine.
Makanisa Katoliki ya Mashariki, ingawa yana umoja na Roma katika imani, taratibu na sheria zake, yanatofautiana na [[madhehebu]] ya Kilatini na Makanisa Katoliki mengine ya Mashariki.
==Matumizi mbalimbali==
Baadhi ya Makanisa ya Kikristo, hasa Makanisa ya [[Waorthodoksi]], wanajiona kuwa kweli Kanisa Katoliki ambalo, katika mtazamo wao, Wakristo wengine wote, wakiwa pamoja na wale walio katika ushirika na Papa, walijitenga mbali.<ref> Basic Principles Of The Attitude of The Russian Orthodox Church toward the Other Christian Confessions, adopted by the Jubilee Bishops’ Council of the Russian Orthodox Church, 14 Agosti 2000</ref>
Mbali ya [[Kanisa la Kiorthodoksi]]<ref>[http://www.pravoslavieto.com/docs/eng/Orthodox_Catechism_of_Philaret.htm ''Katikismi ndefu ya Orthodox, Katoliki, Kanisa la Mashariki.'' ]</ref>, [[Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki]] na [[Kanisa la Waashuru]] hujiona pia kama "[[Kanisa Katoliki moja Takatifu la kitume]]" la [[Kanuni ya imani ya Nisea]].
Waanglikana na [[Wakatoliki wa Kale]] hujiona katika ushirika katika Kanisa moja na Walutheri wenyewe kama ni "harakati ya mageuzi makubwa ndani ya Kanisa Katoliki".
Wakati Wakatoliki humwona Askofu wa Roma kama "Halifa wa Petro" anayepaswa kutumikia kama mchungaji wa Kanisa zima, Waanglikana na Wakatoliki wa Kale hukubali kuwa yeye ni ''Primus inter Pares'' tu kati ya [[Waprimati]] wote, nao hukumbatia [[Usinodi]] ili kujikinga dhidi ya [[Ultramontani]].
Juhudi za hivi karibuni za Kanisa Katoliki hulenga kuponya mgawanyiko kati ya makanisa ya Magharibi ("Katoliki") na Mashariki ("Orthodoksi"). [[Papa Yohane Paulo II]] mara nyingi alizungumza hamu yake kubwa kwamba Kanisa Katoliki "lirudi kupumua kwa mapafu yote mawili", <ref> [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/encyclicals/documents/hf_jp-ii_enc_25051995_ut-unum-sint_en.html Encyciclical ''Ut unum Sint,'' ] 54</ref> <ref> [http://www.vatican.va/holy_father/john_paul_ii/apost_constitutions/documents/hf_jp-ii_apc_19901018_sacri-canones_lt.html Apostolic Succession ''Sacri Canones'' ]</ref> na hivyo kusisitiza kwamba Kanisa Katoliki linataka kurejesha ushirika kamili na Makanisa ya Mashariki yaliyotengana nalo. <ref> [http://www.guardian.co.uk/world/2005/apr/02/guardianobituaries.catholicism obituary ya Papa Yohane Paulo II]</ref>
Ni kwamba, baada ya [[Farakano la mwaka 1054|utengano wa Mashariki-Magharibi]] mwaka [[1054]], muungano mfupi ulikubaliwa kati ya Papa na baadhi ya Maaskofu wa Kiorthodoksi. Hata hivyo, [[mkataba]] huu ulikataliwa na mmoja wa Maaskofu wa Mashariki, yaani [[Marko wa Efeso]], pamoja na watu wa kawaida kwa jumla.
[[Papa Benedikto XVI]] amesema nia yake ya kurejesha umoja kamili na Waorthodoksi. Kanisa Katoliki linazingatia kwamba karibu tofauti zote zimesuluhishwa (katika kifungu cha [[Filioque]], suala la [[purgatorio]], n.k.), na alitangaza kwamba tofauti katika desturi za jadi, taratibu na nidhamu si vikwazo kwa umoja. <ref> [http://www.vatican.va/archive/hist_councils/ii_vatican_council/documents/vat-ii_decree_19641121_unitatis-redintegratio_en.html Second Vatican Council Decree on Ecumenism] 16</ref>
===Wakristo wengine wa Magharibi ===
Madhehebu mengi ya [[Matengenezo ya Kiprotestanti]] hutumia neno ''la kikatoliki'' kurejelea imani ya kwamba Wakristo wote ni sehemu ya Kanisa moja bila kujali tofauti zao; kwa mfano, mlango wa 25 wa [[Ukiri wa Imani wa Westminster]] unataja ''kanisa katoliki au la mahali popote (universal)''.
Viongozi wa matengenezo hayo walitumia neno ''la kikatoliki'' kwa maana asili ya "la mahali popote na wakati wowote" siyo kwa madhehebu au mamlaka fulani ndani ya Ukristo. Walijiona wanaendeleza mapokeo ya kanisa lilipokiri "Kanisa moja, takatifu, katoliki, la Mitume" katika [[Kanuni ya Imani ya Nisea]]. Hii inalingana pia na ''kanisa takatifu Katoliki'' katika [[kanuni ya Imani ya Mitume]].
Neno hili pia linaweza kumaanisha yale makanisa ya Kiprotestanti ambayo hudumisha [[Uaskofu]] wao tangu wakati wa mitume na kujiona sehemu ya Kanisa ''la kikatoliki''. Miongoni mwa wale ambao hujiona kama sehemu ya Kanisa ''la kikatoliki'', lakini si ''Katoliki'', ni [[Waanglikana]] na baadhi ya Makanisa ya kikatoliki yaliyojitenga katika [[karne ya 19]] na [[Karne ya 20|20]], kama vile [[Kanisa Katoliki la Kale]] na [[Kanisa Katoliki huru]], ambayo hujifikiria kuwa Wakatoliki, tena Wakatoliki wa kweli wa Kirumi.
Neno linaweza kurejelea umoja (idadi) wa Kanisa kwamba, kulingana na [[Math]] 16:18-19 [[Yesu]] alimwambia [[Mtume Petro]]: "Na mimi nakwambia, wewe ni כיפא ''(Kepha)'' (kwa [[Kiaramu]] "mwamba"), na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na nguvu za kifo hazitalishinda. Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na kila utakachofunga duniani kitafungwa mbinguni, na lolote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni."
Baadhi hutumia ''wa kikatoliki'' ili kutofautisha msimamo wao na ule wa [[Wakalvini]] au namna ya [[Uprotestanti uliorekebishwa]]. Hii ni pamoja na Waanglikana, mara nyingi pia hujulikana [[Waanglikana wa Kikatoliki]], na [[Walutheri]] kadhaa ambao husisitiza kwamba wao ni Waprotestanti na wa kikatoliki pamoja.
[[Wamethodisti]] na [[Wakalvini]] hudai madhehebu yao hutokana na Mitume na kanisa la kwanza, lakini hawawezi kudai kushuka kutoka kanisa la kale katika miundo kama vile Uaskofu. Hata hivyo, makanisa hayo hukiri kwamba wao ni sehemu ya kanisa la kikatoliki (zima). Waanglikana na Wamethodisti, hasa wa [[Marekani]], wameitwa mara nyingi kwa utani ''Wakatoliki Wepesi.'' <ref>{{cite web|url=http://everything2.com/title/Diet%2520Catholic |title=Diet Catholic|publisher=Everything2.com |date=2000-03-30 |accessdate=2009-05-28}}</ref> <ref>{{cite web |url=http://forums.catholic.com/showthread.php?t=240043 |title=Methodist vs Catholic - Catholic Answers Forums |publisher=Forums.catholic.com |date= |accessdate=2009-05-28 |archivedate=2016-03-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160305011253/http://forums.catholic.com/showthread.php?t=240043 }}</ref>
Hata hivyo, mara nyingi makanisa ya Kiprotestanti yaliachana na neno la Kigiriki "katoliki" na kutumia tafsiri katika matoleo yao ya Kanuni za Imani ya Mitume au ya Nikea{{cite web
|url=http://www.lcms.org/pages/internal.asp?NavID=3356
|publisher=The Lutheran Church, Missouri Synod
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20040202152155/http://www.lcms.org/pages/internal.asp?NavID=3356
|archivedate=2004-02-02
}}</ref> <ref>{{cite web
|url=http://www.wels.net/cgi-bin/site.pl?2617&collectionID=711&contentID=4334&shortcutID=2077#nicene
|publisher=Wisconsin Evangelical Lutheran Synod
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
|archiveurl=https://wayback.archive-it.org/all/20080102005622/http://www.wels.net/cgi-bin/site.pl?2617&collectionID=711&contentID=4334&shortcutID=2077#nicene
|archivedate=2008-01-02
}}</ref> <ref>{{cite web
|url=http://www.ilflutheran.org/page11.html
|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070928110643/http://www.ilflutheran.org/page11.html
|archivedate=2007-09-28
|publisher=International Lutheran Fellowship
|title=Nicene Creed
|accessdate=2007-06-24
}}</ref>. Pamoja na nia ya kutumia lugha inayoeleweka kirahisi zaidi yaliona pia haja ya kuepukana na neno linalotazamwa na wengi kama la kidhehebu. Hivyo kwa Kiswahili Walutheri hutumia lugha "Kanisa takatifu la Kikristo lililo moja tu" wakati Wamoravian hutumia "Kanisa takatifu lililopo popote". Waanglikana hutumia umbo "kanisa katholiko", si "katoliki".
==Tazama pia==
* [[Kanisa Katoliki]]
* [[Katekisimu ya Kanisa Katoliki]]
* [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]]
* [[Ukatoliki]]
* [[Ukristo]]
* [[Waanglikana wa Kikatoliki]]
* [[Wakatoliki wa Kale]]
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Ukristo]]
[[Jamii:Teolojia]]
[[Jamii:Kanisa]]
pryyte0raj5zq266u2q3nvkoxcvrjio
Uhifadhi wa maji
0
33561
1570726
1489500
2026-06-11T07:26:21Z
AlwiyaGhareeb
83622
Nimeongeza jamii pamoja na kutoa link za maneno ya kingereza
1570726
wikitext
text/x-wiki
[[File:Water-conservation-stamp-1960.jpg|thumb|275px|Stempu ya 1960 ya posta ya asilimia nne ya USA: Uhifadhi wa Maji.]]
'''Uhifadhi wa maji''' unahusu kupunguza matumizi ya maji na kuchakata maji taka kwa malengo tofauti kama kusafisha, viwanda, kilimo nk
==Maskani==
Teknolojia ya kuokoa maji ya nyumbani ni pamoja na:
* Vichwa vya mifereji ya kuoga vyenye viwango vya chini vya mtiririko(Low-flow shower heads) (wakati mwingine huitwa vichwa vyenye ufanisi wa kinishati kwani pia zinatumia nishati kidogo, kutokana na kiasi kidogo cha maji kuchemshwa). {{Citation needed|date=Februari 2007}}
* Vyoo visivyohitaji nguvu nyingi kusafisha (Low-flush toilets) na vyoo vya kuhifadhi(composting toilets). Hivi vina makubwa katika ulimwengu uliyoendelea, kwani kwa kawaida [[vyoo]] vya Magharibi hutumia maji kwa wingi.
* Maji chumvi (maji ya bahari) au maji ya mvua yanaweza kutumika kwa kusafisha vyoo.
* Vipulizi vya faucet, ambayo huvunja mtiririko wa maji kuwa matone faini ili kudumisha "ufanisi wa unyevu" wakati huo ukitumia kiasi kidogo cha maji. Faida ya nyongeza ni kwamba zinapunguza kuruka kwa maji wakati wa kuosha mikono na kuosha sahani.
* Marudio ya matumizi ya maji taka (reuse)) au mifumo ya kuchakata, huruhusu:
** Marudio ya matumizi ya [[maji]] kwa kusafisha vyoo au bustani, na
** Usafishaji wa maji taka kupitia [[utakaso]] katika kituo cha kutibu maji. ''Angalia pia marudio ya matumizi ya maji taka''
* Kuchota maji ya mvua
* Mashine za kusafisha nguo zenye ufanisi wa hali ya juu
* Vifaa vinavyosimamia unyunyi
* Midomo ya mifereji inayojifunga wakati haitumiwa, badala ya kuruhusu a hose kukimbia.
Maji pia inaweza kuhifadhiwa kwa kupanda mimea asili na kwa kubadilisha tabia, kama kufupisha muda bafuni na kutoachilia maji yakitiririka wakati unasafisha meno.
==Kibiashara==
Vifaa vingi vya kuokoa maji (kama vyoo vya kusafishwa na maji kidogo) ambayo ni muhimu katika makaazi pia inaweza kufaa katika kuokoa maji katika biashara. Teknolojia zingine za kuokoa maji kibiashara ni pamoja na:
*Sehemu za mkojo zisizo na maji [[Picha:Waterless urinal in City University of Hong Kong.jpg|thumb|Sehemu za mkojo zisizo na maji katika Chuo Kikuu cha Hong Kong City]]
* Usafishaji magari bila maji
* Faucet za Infrared au zinazoendeshwa na mguu- , ambazo zinaweza kuokoa maji kwa kutumia mitiririko fupi ya maji katika kuosha jikoni au bafuni
* Vifagiomaji vyenye presha, ambavyo vinaweza kutumika badala ya mifereji kusafisha mapito.
* Mifumo wa kurudia mizunguko ya kutengeneza filamu za X-ray
* Vifaa vya kusimamia uenezaji katika minara ya kupoesha
* Vifaa vya kuokoa maji ya mvuke, kwa matumizi ya hospitali, nk
==Kilimo==
[[File:PivotIrrigationOnCotton.jpg|thumb|216px|right|Unyunyizaji wa kutoka juu, muundo wa kuzunguka katikati]]
Kwa unyunyizaji wa mazao ufanisi wa juu kwa maji unamaanisha upunguzaji wa hasara kutokana na uvukizi, mtiririko au kumwagika kwa maji chini ya ardhi. Sahani ya [[Uvukizi]] inaweza kutumiwa kubaini kiasi cha maji ya kinachohitajika kunyunyiza ardhi. Unyunyizaji wa gharika, iliyo kongwe na aina ya kawaida, kwa mara nyingi sana hukosa usawa katika usambazaji, kwani sehemu ya shamba hupokea kiasi kinachozidi cha maji ili kutoa wingi wa kutosha kwa maeneo mengine. Unyunyizaji wa kutoka juu, unaotumia mzunguko wa katikati au mifereji inayosonga-upande, inatoa ruwaza sawa zaidi na usambazaji unaweza kudhibitiwa. Unyunyizaji wa drip(tone) ni ghali sana na hautumiwi sana, lakini unatoa matokeo bora katika kufikisha maji kwa mizizi ikiwa na hasara ndogo.
Kama vile kubadilisha mifumo ya unyunyizaji inaweza kuwa ghali kutekeleza, juhudi za uhifadhi mara nyingi hulenga kuongeza ufanisi wa mfumo uliopo. Hii ni pamoja na kutawanya ardhi iliyoshikamana, kujenga kingo za mitaro kuzuia mtiririko, na kutumia unyevu wa udongo na vifaa vya kuhisi mvua kuongezea ratiba ya unyunyizaji.<ref> US EPA, "[https://web.archive.org/web/20040916052609/http://www.epa.gov/ow/you/chap3.html Maji Safi Kupitia Uhifadhi]", Watumiaji wa Desturi za Kilimo</ref>
* Mashimo, ambayo yanachota maji ya mvua inayotiririka na kuitumia kuongezea maji ya ardhini. Hii inasaidia katika malezi ya visima vya maji vya ardhini nk na hatimaye hupunguza mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na maji inayotiririka.
# Upunguzaji wenye manufaa yoyote katika upotezaji wa maji, matumizi, au taka;
# Upunguzaji katika matumizi ya maji unawezekana kwa kutekeleza uhifadhi wa maji au hatua za kuongeza ufanisi wa maji; au,
# Mazoea ya usimamizi wa maji ambayo yanapunguza au kuboresha matumizi ya manufaa ya maji. Hatua ya uhifadhi wa maji ni tendo, mabadiliko ya kitabia, kifaa, teknolojia, au kuboreshwa kwa muundo au mchakato unaotekelezwa ili kupunguza hasara, taka, au matumizi ya maji. Ufanisi wa maji ni chombo cha uhifadhi wa maji. Inayopelekea ufanisi zaidi katika matumizi ya maji na hivyo kupunguza mahitaji ya maji. Thamani na ufanisi wa gharama ya hatua ya ufanisi wa maji lazima utathminiwe katika uhusiano wake na madhara yake kwa matumizi na gharama ya maliasili nyingine (kama nishati au kemikali).<ref name="Vickers, Amy 2002">
{{cite book |title=Water Use and Conservation |last=Vickers |first=Amy |authorlink= |year=2002 |publisher= water plow Press |location=Amherst, MA |isbn=1-931579-07-5 |page=434 |url= |accessdate=}}</ref>
==Ufanisi wa maji==
Ufanisi wa maji unaweza kuelezwa kama uhitimishaji wa kazi, mchakato, au matokeo na kiasi kidogo cha maji yakinifu, au kiashirio cha uhusiano kati ya kiasi cha maji kinachohitajika kwa kusudi maalumu na kiasi cha maji kinachotumika, kinachochukuliwa au kinachofikishwa.<ref name="Vickers, Amy 2002" />
==Lengo na Muundo wa Mtandao wa Chini Kabisa wa Maji==
Ufanisi kigharama wa mtandao wa maji ya chini ni mwongozo wa kiujumla kwa ajili ya kuhifadhi maji ambayo husaidia katika kuamua kiasi cha chini cha maji safi na shabaha ya maji taka katika mfumo wa viwanda au mijini kwa kuzingatia [[mpangilio]] wa usimamiaji wa maji yaani inaangazia mbinu zote za kuokoa maji. Mbinu hii inahakikisha kwamba taka kipindi cha kurudisha malipo kilichotamaniwa na aliyeunda kimeridhishwa kwa kutumia mbinu ya Systematic Hierarchial Approach for Resilient Process Screening (SHARPS).
Mbinu nyingine iliyoanzishwa kwa upeo wa kuokoa maji ni mbinu ya uchambuzi wa maji wa pinch. Hata hivyo, mbinu hii inalenga tu kuongeza maji safi na kupunguza maji taka kupitia marudio ya matumizi na uzalishaji upya.
==Angalia Pia==
* [[Harakati za uhifadhi]]
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Chanzo kikuu==
* [http://ecommons.txstate.edu/arp/2 Helmle, Samuel F., "Water Conservation Planning: Developing a Strategic Plan for Socially Acceptable Demand Cont Programs" (2005). ] {{Wayback|url=http://ecommons.txstate.edu/arp/2 |date=20100420055801 }}[http://ecommons.txstate.edu/arp/2 Applied Research Projects.] {{Wayback|url=http://ecommons.txstate.edu/arp/2 |date=20100420055801 }} Chuo Kikuu cha Jimbo la Texas Karatasi ya 2.
==Viungo vya nje==
{{Div col|cols=2}}
* [http://www.waterefficiency.net Nakala ya Ufanisi wa Maji,] Nakala ya Wataalam wa Uhifadhi wa Maji
* [http://eartheasy.com/live_water_saving.htm Njia Rahisi za kuhifadhi maji Nyumbani] {{Wayback|url=http://eartheasy.com/live_water_saving.htm |date=20120512071801 }}
* [http://www.thisland.uiuc.edu/57ways/57ways_57.html Kuhifadhi Maji ndani na Nje ya Nyumba] {{Wayback|url=http://www.thisland.uiuc.edu/57ways/57ways_57.html |date=20090506013226 }}
* [http://www.redcross.org.uk/standard.asp?id=73304 Ukame na Njia za Kuokoa maji] {{Wayback|url=http://www.redcross.org.uk/standard.asp?id=73304 |date=20081202005434 }} kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu la Uingereza
* [http://www.nal.usda.gov/wqic/cons.shtml Uhifadhi wa Maji ( eneo la mada ya WQIC)] {{Wayback|url=http://www.nal.usda.gov/wqic/cons.shtml |date=20091023222920 }}
* [http://www.allianceforwaterefficiency.org Muungano kwa Ufanisi wa Maji (AWE)]
* [http://www.h2oconserve.org H2O Conserve] {{Wayback|url=http://www.h2oconserve.org/ |date=20190808052914 }} Kihasibu cha Maji
* [http://www.waterconserve.info/ Water Conserve: Tovuti ya Uhifadhi wa Maji ] {{Wayback|url=http://www.waterconserve.info/ |date=20091211110238 }}
* [http://www.deweybrowse.org/drought.html maji] {{Wayback|url=http://www.deweybrowse.org/drought.html |date=20081231215526 }} "Ukame"
* [http://www.bluegold-worldwaterwars.com/ ''Blue Gold'' na Maude Barlow] {{Wayback|url=http://www.bluegold-worldwaterwars.com/ |date=20091218174541 }}
* [http://www.wateruseitwisely.com/index.php Maji-itumie vyema] {{Wayback|url=http://www.wateruseitwisely.com/index.php |date=20100110220050 }}
{{Div col end}}
[[Jamii:Ekolojia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
32o1hctgjzctyghtokyrjijovaemt9d
Ayman Mohyeldin
0
33666
1569461
1207750
2026-06-10T15:05:18Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569461
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Ayman Mohyeldin
| nchi = [[Marekani]]
| majina_mengine =
| picha = Ayman Mohyeldin 2011 Shankbone.JPG
| ukubwawapicha = 200px
| maelezo_ya_picha = Mohyeldin mnamo 2011
| jina_la_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kuzaliwa = [[18 Aprili]] [[1979]]
| mahala_pa_kuzaliwa = [[Cairo]], [[Misri]]
| tarehe_ya_kufariki =
| mahala_alipofia =
| sababu_ya_kifariki =
| anajulikana kwa =
| kazi_yake = Mwanahabari
| cheo =
| mshahara =
| kipindi =
| alitanguliwa_na =
| akafuatiwa_na =
| chama =
| bodi =
| dini =
| ndoa =
| rafiki =
| watoto =
| mahusiano =
| tovuti =
| maelezo =
| mwajiri = NBC
| urefu =
| uzito =
}}
'''Ayman Mohyeldin''' (amezaliwa [[1 Mei]] [[1979]]) ni mwanahabari Mwarabu wa Marekani ambaye yuko mjini Arabuni anayefanyia kazi [[Al-Jazeera]].<ref name="AJ"> [http://english.aljazeera.net/aboutus/2007/12/20086150190526735.html Al Jazeera Field Correspondents ] Al Jazeera</ref> anayeripotia kutoka Gaza. Hapo awali alikuwa akisimamia kutengeneza vipindi alipokuwa akifanya kazi [[CNN]] na [[NBC]]. Ayman alikuwa mmoja wa waandishi wa habari wa kwanza kutoka magharibi kuruhusiwa kuingia Iraq na Serikali ya awali ya Iraq ili kuripoti kuhusu kesi ya [[Rais wa Iraq Saddam Hussein]] iliyohusu uhalifu dhidi ya ubinadamu.<ref name="AJ" /> Hivi karibuni, Ayman aliwahi kuripoti kuhusu vita kati ya Israel na Gaza mnamo Desemba 2008.<ref> [http://english.aljazeera.net/news/middleeast/2008/12/200812279451509662.html Hundreds die in Israel raid on Gaza] Al Jazeera</ref> Yeye alikuwa mwandishi wa kwanza kutoa taarifa kwenye mtandao kuhusu vichuguu ambavyo vilitumiwa kimagendo kupitisha silaha na watu mpakani [[Misri]] na [[Gaza]]. Mpaka wa leo, njia hii ni muhimu inayotumika kuingiza dawa, chakula na mafuta<ref>[http://www.youtube.com/watch?v=rlpVcovyslE Gaza's Underground lifelines] Youtube</ref> mjini [[Gaza]]
==Wasifu==
Ayman alizaliwa mjini [[Cairo]], [[Misri]]. Babake ana asili ya kutoka [[Misri]] na mamake ni wa [[Palestina]]. Yeye alikulia nchini [[Misri]] na [[Marekani]] lakini ameishi sana katika [[nchi za Kiarabu]] na amewahi kuishi miaka miwili nchini [[Iraq]] (2003-2005) kama mwanahabari wa kigeni alipokuwa akifanya kazi CNN.<ref name="I"> [http://www.brandrepublic.com/InDepth/Features/666966/Interview-Ayman-Mohyeldin/4 Interview: Ayman Mohyeldin] Brand Republic</ref> Hivi sasa, anaishi jijini Gaza na ni mwanahabari mkuu wa [[Al-Jazeera]] ya Kiingereza.<ref name="AJ" /> Ayman hakusomea rasmi masomo ya uandishi habari, bali alisomea Siasa (International Politics) katika chuo kikuu cha [[American University]] mjini Washington DC. Alipata shahada yake ya kwanza ya Uhusiano wa Kimataifa kwa lengo la [[Umoja]] wa nchi za [[Ulaya]] na shahada yake ya pili kuhusu Siasa kwa lengo na azimio la amani na migogoro. Ripoti yake ya utafiti alipokuwa chuo kikuu "The News Media Paradigm in the Wars on Terrorism" ilitambulika na kukubaliwa na International Association of Media Researcher's Conference mjini Barcelona, Hispania (2002)
===Maisha ya awali===
Ayman alianza kufanya kazi kwa [[NBC]] News. Baada ya kuacha kusomea Sheria, Ayman alianza kazi kama msaidizi jijini Washington DC. Yeye anadai kuwa kufanya kwake kama msaidizi kulileta athari kubwa kwa maisha yake kama mwandishi wa habari. Kazi yake ya kwanza halisi ilianza muda mfupi baada ya mlipuko wa 9 / 11.<ref name="I" /> Katika mahojiano na PRWeek, Ayman anaeleza vile maisha yake ya hapo awali yalivyoathiri kazi yake ya sasa ya kuwa mwanahabari: "Kwa bahati mbaya, Septemba 11 ilitokea, na hapakuwa na watu wengi waliojua lugha na waliokuwa na ujuzi uliotakikana katika nchi za Kiarabu. Nilipata uzoefu mwingi kwa sababu ya ujuzi wa lugha yangu. Nilipewa mchanganyiko wa kazi nifanye ambayo msaidizi wa kawaida asingepata fursa kama hii. Nilianza kufanya uchunguzi mkubwa wa 9 / 11 na kila aina ugaidi uliohusiana nao ... Mara nyingi, nilikuwa nikifanya kazi ya kutafsiri, lakini pia niliwahi kutunga mandhari au hadithi zilizohusika na nchi za Kiarabu au zilitaka ujuzi wa lugha ya Kiarabu. Kwa hivyo nilipata uzoefu mkubwa usioaminika nilipokuwa na umri mdogo.<ref name="I" />
===Kazi ya hivi karibuni===
Ayman amewahi kutoa habari za matukio makubwa katika nchi za Kiarabu kama [[vita vya Iraq]], Uchaguzi wa kwanza uliohusisha wapigianaji urais walikuwa wengi nchini Misri 2005, Israeli kutoka [[Gaza]] na uchaguzi wa Palestina mwaka wa 2005 katika Ukanda wa Gaza. Amesafiri sana katika [[nchi za Kiarabu]] akiripotia kuhusu bomu la [[Sharm al-Sheikh]] (Julai 2005) na kuripuliwa kwa Hoteli ya Jordan (Novemba 2005).
Kama mtayarishaji wa habari, Ayman alikuwa mwandishi wa kwanza kuingia kwenye stesheni za nyuklia nchini [[Libya]] baada kutoa "Col". [[Muammar al-Gaddafi]] alitangaza kwa mahojiano kuwa [[Libya]] imeachana na mipango ya [[WMD]].<ref name="I" /> Ripoti yake aliotoa alipokuwa CNN "Iraq:Progress reeport" iliyohusu mapambano ya kila siku wakati wa vita vya Iraq ilichaguliwa (lakini haikushinda) tuzo la Emmy. Alihudumu kama mtayarishaji msaidizi kwa [[NBC]] News Special ambayo pia ilipokea (lakini haikushinda) tuzo la [[Emmy]] iliyohusu "Ship at War: Inside the Carrier Steennis" & "Inside the Real West Wing." <ref name="I" /> Yeye pia anajulikana kwa kuripoti kuhusu Hija ya kila mwaka ya Kiislamu [[(Hajj)]] inayofanyika Makka na alikuwa akishiriki katika [[CNN]] Specials "Islam: The Struggle Within" na "Hajj: A Spiritual Journey."
Hivi sasa, yuko Gaza akiripotia kuhusu janga lililoko huko.
==Marejeo==
{{Marejeo}}
<ref>[http://www.habervaktim.com/haber/53890/iste_gazzeyi_tek_basina_savunan_gazeteci.html Gazze'yi tek başına savunan gazeteci!] {{Wayback|url=http://www.habervaktim.com/haber/53890/iste_gazzeyi_tek_basina_savunan_gazeteci.html |date=20120219021315 }} Haber vaktim</ref>
<ref> [http://latimesblogs.latimes.com/babylonbeyond/2008/12/gaza-strip-in-p.html Gaza Strip: In praise of Al Jazeera, Part 1] LA Times</ref>
<ref> [http://latimesblogs.latimes.com/babylonbeyond/2008/12/gaza-strip-in-1.html Gaza Strip: In praise of Al Jazeera, Part 2] LA Times</ref>
<ref> [http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=99108802 Kwa civilians, 'There is No Safe Zone Gaza'] NPR</ref>
<ref>[http://www.haaretz.com/hasen/spages/1054282.html Gideoni Levy / My hero of the Gaza war] {{Wayback|url=http://www.haaretz.com/hasen/spages/1054282.html |date=20100123231159 }} Haarretz</ref>
<ref> [https://web.archive.org/web/20090309060811/http://www.haaretz.com/hasen/spages/1051968.html Twilight Zone / Trumpeting for war] Haarretz</ref>
<ref> [http://bbsnews.net/article.php/20090111162755263 War on Gaza: More Death Threats to Haaretz's Gideon Levy over Al Jazeera Article] {{Wayback|url=http://bbsnews.net/article.php/20090111162755263 |date=20090718235408 }} BBCNews</ref>
<ref> [http://thenational.ae/article/20090111/OPINION/991128805/1080 The war that made al Jazeera English 'different'] {{Wayback|url=http://thenational.ae/article/20090111/OPINION/991128805/1080 |date=20140726053541 }} The National</ref>
<ref> [https://web.archive.org/web/20090121150832/http://www.iht.com/articles/2009/01/11/technology/jazeera.php Al Jazeera provides an inside look at Gaza conflict] The International Herald Tribune</ref>
<ref> [http://www.huffingtonpost.com/ahmed-shihabeldin/al-jazeera-english-beats_b_155125.html Al Jazeera English Beats Israeli's Ban on Reporters in Gaza with Exclusive Coverage] The HUFFINGTON POST</ref>
<ref> [http://www.ft.com/cms/s/35017196-e19c-11dd-afa0-0000779fd2ac,Authorised=false.html?_i_location=http%3A%2F%2Fwww.ft.com%2Fcms%2Fs%2F0%2F35017196-e19c-11dd-afa0-0000779fd2ac.html%3Fnclick_check%3D1_i_referer=_check=1 Al-Jazeera becomes the face of the frontline] Financial Times</ref>
<ref>[http://www.habervaktim.com/haberoku.php?id=62860 Gazze büyük bir hapishane] {{Wayback|url=http://www.habervaktim.com/haberoku.php?id=62860 |date=20120219021326 }} Haber vaktim</ref>
==Viungo vya nje==
* [http://english.aljazeera.net Al Jazeera English]
* [http://www.youtube.com/aljazeeraenglish Youtube channel of Al Jazeera English]
* [http://twitter.com/aymanm Twitter page of Ayman Mohyeldin]
{{DEFAULTSORT:Mohyeldin, Ayman}}
[[Jamii:Waandishi wa Misri]]
[[Jamii:Waandishi wa Kiarabu]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mtebzez7etjeguu0j4jk9tesfb4k2nj
Burj Al Arab
0
34252
1569495
1386124
2026-06-10T18:17:08Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569495
wikitext
text/x-wiki
'''Burj Al Arab''' inayomaanisha "Mnara wa Waarabu" ni hoteli ya anasa iliyo jijini [[Dubai]]. Ni jengo linalotumika kama hoteli pekee lililo na urefu wa mita 321, na ni nambari ya pili katika orodha ya majengo marefu kote duniani..<ref name="test1">{{cite news |date=Machi 2008 |title=World's Tallest Hotels |url=http://www.emporis.com/en/bu/sk/st/tp/ty/ho/ |publisher=Emporis |accessdate=2008-03-23 |archivedate=2011-08-06 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110806145316/http://www.emporis.com/en/bu/sk/st/tp/ty/ho/ }}</ref> Hoteli hii imejengwa kwenye kisiwa bandia inayounganishwa na bara kavu kwa daraja. Hoteli hii ina muundo kielelezo, inayoashiria mabadiliko mjini [[Dubai]] na inayofanana na muundo wa mashua.
== Ujenzi ==
Ujenzi ulianza mnamo mwaka 1994 hadi 2000. Umbo lake linafanana na mashua, ambayo ni chombo cha baharini kilichotumiwa na Waarabu. Aliyebuni jengo hili ni Tom Wright.<ref>{{Cite web |title=Burj Al Arab |url=http://www.galinsky.com/buildings/burjalarab/index.htm |publisher=Galinsky |accessdate=2008-06-08}}</ref> Ilijengwa na kamuni ya ujenzi na ukandarasi inayoitwa Murray & Roberts kutoka [[Afrika Kusini]].<ref name="test5">{{cite news|date= 2006-06-21 | title = Murray & Roberts | url = http://www.murrob.com/ | publisher = Murray & Roberts| accessdate = 2006-06-21}}</ref> Hoteli hii ilitumia dola milioni 650 za Marekani kujenga..<ref name="test4">{{cite news| year = 2006| title = Burj Al Arab| url = http://www.forbestraveler.com/hotel/100/10590| publisher = Forbes Traveler| accessdate = 2007-01-24| archiveurl = https://web.archive.org/web/20070127031719/http://www.forbestraveler.com/hotel/100/10590| archivedate = 2007-01-27}}</ref>
== Yaliyomo ==
=== Vyumba na bei zake ===
Hoteli hii ina vyumba 202. Ni mojawapo kati ya hoteli ghali zaidi kote duniani. Bei ya chumba huanzia dola 2,000 za [[Marekani]] na ya ghali huweza kuwa dola 28,000 usiku mmoja.
=== Mikahawa ===
[[Picha:Al Muntaha restaurant - Burj Al Arab.jpg|thumb|left|Mkahawa wa Al Muntaha]]
[[Picha:Al Mahara Burj al Araba Dubai March 2008pano.jpg|thumb|right|Mkahawa wa Al Mahara]]
Mpishi Mkuu wa Mkahawa wa Al Muntaha, Edah Semaj Leachim, alituzwa tuzo la ''Mpishi Bora wa 2006'' na ndiye mwenye mkahawa huu.
Vilevile Mkahawa wa Al Mahara ilichaguliwa kuwa moja kati ya mikahawa kumi bora kote duniani na ''Condé Nast Traveler.''
== Marejeo ==
* Rose, Steve. [http://arts.guardian.co.uk/features/story/0,11710,1652149,00.html "Sand and Freedom"], ''The Guardian'', 28 Novemba 2005, retrieved 27 Oktoba 2006.
* National Geographic Television. [http://www.youtube.com/watch?v=7A7d67A24Qo: National Geographic: Megastructures], retrieved 27 Oktoba 2006.
== Maandiko ya chini ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
=== Kitovu rasmi ===
* [http://www.burj-al-arab.com/ Burj Al Arab] {{Wayback|url=http://www.burj-al-arab.com/ |date=20071020045855 }} official website
=== Ramani na picha ===
* [http://bbs.keyhole.com/ubb/showflat.php?Cat=&Number=339099&page=0&vc=1 Google Earth] {{Wayback|url=http://bbs.keyhole.com/ubb/showflat.php?Cat=&Number=339099&page=0&vc=1 |date=20080515205704 }} Burj Al Arab
* [http://maps.google.co.uk/maps?f=q&hl=en&q=united+arab+emirates&ie=UTF8&z=18&ll=25.140623,55.186901&spn=0.003409,0.006335&t=k&om=1 Google Maps] picha ya Burj Al Arab
=== Video and picha ===
* [http://www.youtube.com/watch?v=6LZarUmHw1g Video tour] ndani ya Burj Al Arab
* [http://dubaihotel.ws/ Photographs and details] at DubaiHotel.ws
[[Jamii:Dubai]]
1xhsqbh5902oo2dhzyupelpp4s4wvzm
Yakassé-Attobrou
0
63885
1569664
719816
2026-06-10T21:01:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569664
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Yakassé-Attobrou''' ni jina la maeneo ya [[Cote d'Ivoire]]:
*[[Yakassé-Attobrou (mji)|mji wa Yakassé-Attobrou]] na
*[[Yakassé-Attobrou (wilaya)|wilaya wa Yakassé-Attobrou]].
{{maana}}
ol4sc0bd1srmy1u8275b9khaq3z95rn
Guitry
0
63928
1569790
719866
2026-06-10T21:22:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569790
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Guitry''' ni jina la maeneo ya [[Cote d'Ivoire]]:
*[[Guitry (mji)|mji wa Guitry]] na
*[[Guitry (wilaya)|wilaya wa Guitry]].
{{maana}}
ebbid0s73lcywu769gecgm9p2m6up8s
Guéyo
0
63930
1569986
719868
2026-06-10T21:54:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569986
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Guéyo''' ni jina la maeneo ya [[Cote d'Ivoire]]:
*[[Guéyo (mji)|mji wa Guéyo]] na
*[[Guéyo (wilaya)|wilaya wa Guéyo]].
{{maana}}
bv4kzfyz0432p6h2vmuixt5npmmxfi2
486 KK
0
70069
1569623
917804
2026-06-10T20:55:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569623
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{mwakaKK|486}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] 486 [[Kabla ya Kristo|KK]].
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat|486 BC}}
{{Mbegu-historia}}
[[Category:Karne ya 5 KK]]
jke4spjn2viiszmczxpd04zffceygaw
487 KK
0
70070
1569836
917805
2026-06-10T21:30:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569836
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{mwakaKK|487}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] 487 [[Kabla ya Kristo|KK]].
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat|487 BC}}
{{Mbegu-historia}}
[[Category:Karne ya 5 KK]]
1kd4ffyjqld9z0gw37y59n8qw2konvs
488 KK
0
70071
1570035
917806
2026-06-10T22:01:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570035
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{mwakaKK|488}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] 488 [[Kabla ya Kristo|KK]].
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat|488 BC}}
{{Mbegu-historia}}
[[Category:Karne ya 5 KK]]
fflo2o0o8p2od1rnd1qzms7m20ozz9g
501 KK
0
70083
1570031
917824
2026-06-10T22:01:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570031
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|501|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''501 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
nbyn0rxdii2yr27ipch79ea91jqsdti
502 KK
0
70084
1570209
917825
2026-06-10T22:30:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570209
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|502|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''502 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
6iq131ybtkp04lkbjyaa4jviauvqfmi
503 KK
0
70085
1570389
917826
2026-06-10T23:00:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570389
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|503|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''503 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
2ufnw522xgcett0bavcixmu4b45czyh
552 KK
0
70644
1569631
921902
2026-06-10T20:56:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569631
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|552|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''552 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
ayyau08x6vyysawo7iows5cak7sm4td
551 KK
0
70645
1569846
921903
2026-06-10T21:31:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569846
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|551|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''551 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
oq8de4zt2c6j3wx085nl3b1eryb5vqq
573 KK
0
70657
1570041
921915
2026-06-10T22:02:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570041
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|573|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''573 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
jiarhyuzp1cc7we7zpxfkp2135fw36s
572 KK
0
70658
1570223
921916
2026-06-10T22:32:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570223
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|572|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''572 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 6 KK]]
kkm7jgf0akpv2fjy2s4mzwzrtl2rxoj
Frigia
0
70842
1570688
1206421
2026-06-11T05:50:21Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570688
wikitext
text/x-wiki
[[File:Map Anatolia ancient regions-en.svg|300px|thumb|right|[[Ramani]] inayoonyesha Frigia katika [[rasi]] ya [[Anatolia]].]]
'''Frigia''' ''(kwa [[Kiing.]] Phrygia)'' ni [[jina]] la [[ufalme]] wa zamani, halafu [[mkoa]] wa [[Dola|milki]] mbalimbali zilizotawala [[Anatolia]] ambayo leo hii inaunda sehemu kubwa ya nchi ya [[Uturuki]].
Kati ya [[Mfalme|wafalme]] mashuhuri wa Frigia alikuwepo [[Midas]] anayekumbukwa kama [[Utajiri|tajiri]] kwa sababu inasimuliwa kwamba kila [[kitu]] alichokigusa kilibadilika kuwa [[dhahabu]].
[[Mji mkuu]] wa Frigia ilikuwa [[Gordion]]; mabaki yake yamegunduliwa na [[Akiolojia|wanaakiolojia]] karibu na [[mji]] wa [[Eskişehir|Eskishehir]]. [[Aleksander Mashuhuri]] alipita huko akakuta "fundo la Gordion" lililofanywa na kamba la kushika [[gari]] kwenye [[hekalu]] la mji; kulikuwa na utabiri uliosema "atakayefungua fundo hilo atatawala [[Asia]]". Aleksander alipopita akaangalia fundo akatoa [[upanga]] wake na kukata fundo.
Wakazi walioitwa [[Wafrigia]] walitokea [[Ulaya]] na kuzungumza [[lugha]] iliyofanana kidogo na [[Kigiriki]].
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Phrygia}}
*[http://www.ancientopedia.com/phrygia/ Phrygia at Ancient History Encyclopedia] {{Wayback|url=http://www.ancientopedia.com/phrygia/ |date=20101119104426 }}
*[http://www.ancientanatolia.com/historical/phrygian_period.htm Phrygian Period in Anatolia] {{Wayback|url=http://www.ancientanatolia.com/historical/phrygian_period.htm |date=20061206111302 }}
*[http://encyclopedia.jrank.org/PER_PIG/PHRYGIA.html 1911 Encyclopædia Britannica]
*[http://www.kralmidasvefrigya.org King Midas and Phrygia Cultural Center] {{Wayback|url=http://www.kralmidasvefrigya.org/ |date=20100720043840 }}
{{Safari za Mtume Paulo}}
{{mbegu-jio}}
[[Category:Historia ya Uturuki]]
[[Category:Maeneo ya Biblia]]
[[Jamii:Mtume Paulo]]
3okvpk64o70mwfv474n2rxm05d46l8w
Mwokozi
0
70990
1570386
922869
2026-06-10T22:59:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570386
wikitext
text/x-wiki
[[File:Titian - Christ the Redeemer - WGA22796.jpg|thumb|200px|''Kristo Mkombozi'' alivyochorwa na [[Titian]] ([[1534]] hivi), [[Palazzo Pitti]], [[Florence]], [[Italia]].]]
{{Yesu Kristo}}
'''Mwokozi''' katika [[teolojia]] ya [[Ukristo]], ni sifa mojawapo ya [[Yesu]] kutokana na [[imani]] ya kwamba ndiye aliyetekeleza [[wokovu]] wa [[binadamu]] wote.
Ingawa [[Injili]] hazitumii jina hilo, [[Mtume Paulo]] alilieneza kupitia nyaraka zake kuhusiana na [[kifo]] chake [[msalaba]]ni.<ref>Leon Morris, 'Redemption' ''Dictionary of Paul and his Letters'' (Downers Grove: InterVarsity Press, 1993): 784.</ref><ref>Bruce Demarest, ''The Cross and Salvation: The Doctrine of Salvation'' (Wheaton: Crossway Books, 1997): 176.</ref>
Hivyo [[Agano Jipya]] linamtaja [[Yesu Kristo]] kama Mwokozi mara 16, likisisitiza kuwa ameokoa wote.<ref>On Christ's role as universal Saviour, cf. [[Gerald O'Collins]], ''Salvation for All: God's Other Peoples'', OUP (2008).</ref>
[[Waraka wa kwanza wa Yohane]] unamtaja kama "kipatanisho cha [[dhambi]] zetu, tena si cha dhambi zetu tu, bali cha dhambi za [[ulimwengu]]" (1 Yohane 2:2).<ref>For this section, and its respective themes and positions, compare [[Gerald O'Collins]], ''[[Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus]]'', [[Oxford University Press|OUP]] (2009), pp. 297-333. Cf. also O'Collins, ''Salvation for All: God's Other Peoples, cit.''; ''id., [[Jesus: A Portrait]]'', Darton, Longman & Todd (2008), Chs 11-12; ''id.'', ''Incarnation'', Continuum (2002), pp. 36-42; J.A. Fitzmyer, ''The Gospel According to Luke I-IX'', Doubleday (1981), pp. 79-82; [[Karl Rahner]], ''Foundations of Christian Faith'', trans. W.V. Dych, Darton, Longman & Todd (1978), pp. 193-195, 204-206, 279-280, 316-321.</ref>
Mbali ya Yesu, Agano Jipya linatumia jina hilo kwa [[Mungu]] tu (mara 8), wakati [[Agano la Kale]] linaita watu mbalimbali kwa jina hilo, kwa sababu ya kuokoa mtu mmoja, wachache au wengi kutoka matatizo mbalimbali.
== Marejeo ==
{{reflist|2}}
== Marejeo ==
<div class="references-small">
* Borgen, Peder. ''Early Christianity and Hellenistic Judaism''. [[Edinburgh]]: T & T Clark Publishing. 1996.
* Brown, Raymond. ''An Introduction to the New Testament''. [[New York]]: Doubleday. 1997.
* [[James Dunn (theologian)|Dunn, J. D. G.]]. ''Christology in the Making''. London: SCM Press. 1989.
* Ferguson, Everett. ''Backgrounds in Early Christianity''. Grand Rapids: Eerdmans Publishing. 1993.
* Greene, Colin J. D. ''Christology in Cultural Perspective: Marking Out the Horizons''. Grand Rapids: InterVarsity Press. Eerdmans Publishing. 2003.
* Holt, Bradley P. ''Thirsty for God: A Brief History of Christian Spirituality''. Minneapolis: Fortress Press. 2005.
* Letham, Robert. ''The Work of Christ''. Downers Grove: InterVarsity Press. 1993.
* [[Donald Macleod (theologian)|Macleod, Donald]]. ''The Person of Christ''. Downers Grove: InterVarsity Press. 1998.
* [[Alister McGrath|McGrath, Alister]]. ''Historical Theology: An Introduction to the History of Christian Thought''. Oxford: Blackwell Publishing. 1998.
* [[John Macquarrie|Macquarrie, J.]]. ''Jesus Christ in Modern Thought''. [[London]]: SCM Press. 1990.
* [[Jacob Neusner|Neusner, Jacob]]. ''From Politics to Piety: The Emergence of Pharisaic Judaism''. Providence, R. I.: Brown University. 1973.
* Norris, Richard A. Jr. ''The Christological Controversy''. [[Philadelphia]]: Fortress Press. 1980.
* [[Gerald O'Collins|O'Collins, Gerald]]. ''[[Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus]].'' Oxford:[[Oxford University Press]]. 2009.
* _______ ''[[Jesus: A Portrait]]''. London: Darton, Longman & Todd. 2008.
* _______ ''Salvation for All: God's Other Peoples''. [[Oxford]]:[[Oxford University Press]]. 2008.
* Pelikan, Jaroslav. ''Development of Christian Doctrine: Some Historical Prolegomena''. London: Yale University Press. 1969.
* _______ ''The Emergence of the Catholic Tradition (100-600)''. [[Chicago]]: University of Chicago Press. 1971.
* [[Karl Rahner|Rahner, Karl]]. ''Foundations of Christian Faith'', trans. W.V. Dych. London: Darton, Longman & Todd. 1978.
* Tyson, John R.'' Invitation to Christian Spirituality: An Ecumenical Anthology''. New York: Oxford University Press. 1999.
</div>
{{mbegu-Ukristo}}
[[Category:Teolojia]]
[[Category:Yesu Kristo]]
8j9vlt91h70abtvfme53syba5meqrx8
684 KK
0
72009
1570585
928207
2026-06-10T23:32:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570585
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|684|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''684 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
0as2dygcrq6ss1ctx92mnrgo5abhqlz
603 KK
0
72669
1570461
934105
2026-06-10T23:12:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570461
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|603|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] 603 KK ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
[[Jamii:603 KK]]
19yzvd0nuva5nzawcn31i0zkdsmti9a
651 KK
0
72740
1569654
934216
2026-06-10T21:00:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569654
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|651|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''651 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
th98lr0g2ztqh0zehupj5now92g5x03
647 KK
0
72744
1569859
934220
2026-06-10T21:33:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569859
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|647|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''647 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
lr6eiaaf8ztep2x3j6yhd821tqs0eri
646 KK
0
72745
1570056
934221
2026-06-10T22:05:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570056
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|646|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''646 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
mpm6ek7yloq84vilzliup3goe1dbkbz
645 KK
0
72746
1570241
934222
2026-06-10T22:35:55Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570241
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|645|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''645 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 7 KK]]
0wpvkfiuuftgr2foztr8hnaehst695z
Daish
0
75935
1570301
1371047
2026-06-10T22:45:44Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 5 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570301
wikitext
text/x-wiki
<sup>Kuhusu mungu wa kike wa Misri ya Kale, angalia [[Isis]]</sup>
[[File:Mugshot of Abu Bakr al-Baghdadi.jpg|thumb|Picha ya [[Abu Bakr al-Baghdadi]] alipokuwa amefungwa [[Camp Bucca]], 2004. Hatimaye alijilipua.]]
'''Daish''' (pia '''Daesh''', ''tamka: da-ish au da-esh'', kwa [[Kiarabu]] داعش, [[kifupisho]] cha ''ad-Dawlah al-Islāmiyah fīl-ʿIrāq wash-Shām'' yaani '''Dola la Kiislamu''' ''katika [[Iraq]] na [[Shamu]]''); maarufu pia kama '''IS''', na awali '''ISIL''' au '''ISIS''' (kutokana na [[tafsiri]] ya [[Kiingereza]] ''Islamic State'') ni [[kundi]] la [[Waislamu]] wenye [[itikadi kali]] lililoteka na kutawala kwa muda maeneo mbalimbali ya [[Iraq]], [[Syria]], [[Yemen]], [[Libya]], [[Nigeria]] na kufanya kazi katika nchi nyingine 14, zikiwemo [[Afghanistan]] na [[Pakistan]]. Hadi Desemba 2017 ilitawala sehemu kubwa za Iraq, hadi Machi 2019 sehemu za Syria mpaka kuondolewa kijeshi na kulazimishwa kuendelea kwa [[siri]].
[[Tarehe]] [[29 Juni]] [[2014]] kundi hilo lilijitangaza kuwa u[[khalifa]] (khilāfah) wa kimataifa chini ya [[Abu Bakr al-Baghdadi]] na kwa sababu hiyo kupunguza maneno ''fīl-ʿIrāq wash-Shām'' (ya Iraq na Syria) katika [[jina]] lake kuwa الدولة الإسلامية, ad-Dawlah al-Islāmiyah tu.
Kwa msingi huo linadai [[mamlaka]] ya ki[[dini]], ya ki[[siasa]] na ya ki[[jeshi]] juu ya Waislamu wote [[duniani]], likitangua [[uhalali]] wa mwingine yeyote. Bila shaka, Waislamu walio wengi, hasa wenye mamlaka za namna hizo, hawalikubali.
[[Umoja wa Mataifa]] unalaumu Daish kwa makosa ya [[jinai]] dhidi ya [[utu]], kama vile [[mauaji ya kimbari]] na [[dhuluma]] za kidini, hasa dhidi ya [[Wakristo]] na [[Wayazidi]], lakini pia dhidi ya Waislamu wenye msimamo tofauti, kwa namna ya pekee [[Washia]]. Kwa sababu hiyo UN unaliona kundi la ma[[gaidi]] tu, na nchi zaidi ya 60 ziko [[vita]]ni dhidi yake kwa namna moja au nyingine.
Daish inajulikana kwa matumizi yake makubwa ya [[vyombo vya habari]] na [[mawasiliano]] hata katika kutangaza mambo inayofanya kinyume cha taratibu za kimataifa, kama vile kuua kikatili [[raia]] na kubomoa sehemu za [[Urithi wa Dunia]].
[[Makao makuu]] yalikuwa [[Ar-Raqqah]], Syria.
==Historia==
Kundi hilo lilianza kama Jama'at al-Tawhid wal-Jihad mwaka [[1999]], likawa na jina Tanzim Qaidat al-Jihad fi Bilad al-Rafidayn — maarufu kama al-Qaeda nchini Iraq (AQI) — lilipojiunga na [[al-Qaeda]] mwaka [[2004]]. Kuanzia Agosti [[2003]] lilianza mapigano nchini Iraq, na mnamo Januari [[2006]] liliungana na makundi mbalimbali ya [[Suni|Wasuni]] wengine kuunda Mujahideen Shura Council, ambayo mnamo Oktoba [[2006]] ilitangaza ''Islamic State of Iraq'' (ISI).
Chini ya al-Baghdadi, ISI ilituma watu nchini Syria mnamo Agosti [[2011]] ili kushiriki katika [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]] vilivyoanza mnamo Machi 2011.
Al-Qaeda ilivunja uhusiano na ISIL mnamo Februari [[2014]] kutokana na msimamo wake mkali mno. Hivyo tarehe 29 Juni 2014 kundi lilijiita upya ‘Islamic State’ tu.
Eneo lake lilifikia [[kilele]] chake karibu na mwisho wa mwaka [[2015]], baadaye lilianza kupungua. Kufikia tarehe [[10 Desemba]] [[2017]] Daish ilikosa maeneo yote nchini Iraq na hatimaye [[23 Machi]] [[2019]] haikuwa tena na eneo lolote nchini Syria baada ya mapigano makali dhidi ya [[Wakurdi]] wenye kusaidiwa na [[Marekani]].
Mnamo Oktoba 2019 Daish ilitangaza kwamba al-Baghdadi amekufa; kufuatana na [[taarifa]] mbalimbali alijiua kwa kulipua [[bomu]] mahali alipojificha nchini Syria paliposhambuliwa na [[jeshi]] la Marekani <ref>{{cite news|title=Al-Baghdadi Killed in Idlib, a Hotbed of Terror Groups, Foreign Fighters|url=https://www.voanews.com/extremism-watch/al-baghdadi-killed-idlib-hotbed-terror-groups-foreign-fighters|work=Extremism Watch|publisher=Voice of America|date=27 October 2019}}</ref><ref name="Al Jazeera 2019-10-27">{{cite news|url=https://www.aljazeera.com/news/2019/10/targetted-isil-leader-abu-bakr-al-baghdadi-191027050027973.html|title=US targeted ISIL leader Abu Bakr al-Baghdadi: US officials|date=27 October 2019|publisher=Al Jazeera English}}</ref><ref name="Browne">{{cite news|url=https://edition.cnn.com/2019/10/26/politics/white-house-trump-announcement-sunday/index.html|title=ISIS leader al-Baghdadi believed to have been killed in a US military raid, sources say|first1=Ryan|last1=Browne|first2=Phil|last2=Mattingly|date=27 October 2019|publisher=[[CNN]]|editor-first=Jeff|editor-last=Zeleny|editor-link=Jeff Zeleny|editor2-first=Kevin|editor2-last=Liptak|editor3-first=Jeremy|editor3-last=Diamond|editor3-link=Jeremy Diamond}}{{cite news|url=https://www.wsj.com/articles/islamic-state-leader-targeted-in-u-s-military-raid-11572155580|title=Islamic State Leader Abu Bakr al-Baghdadi Is Dead, Trump Says|first1=Gordon|last1=Lubold|first2=Raja|last2=Abdulrahim|work=The Wall Street Journal|date=27 October 2019}}{{cite news|url=https://www.theguardian.com/world/live/2019/oct/27/abu-bakr-al-baghdadi-islamic-state-leader-trump-syria|title=Isis leader Abu Bakr al-Baghdadi killed in US raid, says Donald Trump – latest updates|work=The Guardian|date=27 October 2019}}</ref>. [[Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurashi]] alimfuata kama [[kiongozi]] mpya wa Daish.<ref>{{cite news|url=https://www.theguardian.com/world/2019/oct/31/islamic-state-new-leader-abu-bakr-al-baghdadi-abu-ibrahim-al-hashimi-al-qurayshi|title=Islamic State names new leader after death of Abu Bakr al-Baghdadi|last=Chulov|first=Martin|date=31 October 2019|work=The Guardian}}</ref>
Vikundi wa [[wanamgambo]] ambao walitangaza kushirikiana na Daish viko katika nchi mbalimbali ya [[Afrika]], kama vile [[kaskazini]] mwa [[Msumbiji]]<ref>Hapo walijiita mwanzoni "Al-Shabab", lakini hawana uhusiano na Al-Shabab wa [[Somalia]].</ref>, vikundi vya [[Boko Haram]] katika [[Nigeria]] na nchi jirani [[Chad|Chadi]], [[Kamerun]] na [[Niger]]<ref> Katika sehemu hizo wanajiita "Jimbo la Afrika ya Magharibi ya Daish"</ref>. Wengine wako katika maeneo ambako nchi za [[Niger]], [[Burkina Faso]] na [[Mali]] zinapakana<ref>[https://www.cfr.org/blog/where-exactly-islamic-state-west-africa<nowiki> Where Exactly is the Islamic State in West Africa?], blogu ya Council on Foreign Relations, May 24, 2019, iliangaliwa Februari 2021</nowiki></ref>.
Tangu mwaka [[2015]] kuna [[tawi]] pia katika Afghanistan na Pakistan linalojiita Dola la Kiislamu katika [[Khorasan]]<ref>{{cite news|last1=Starr|first1=Barbara|last2=Browne|first2=Ryan|title=US officials warn ISIS' Afghanistan branch poses a major threat|url=https://edition.cnn.com/2019/02/19/politics/isis-afghanistan-threat/index.html|publisher=CNN|date=19 February 2019|access-date=6 August 2021|archive-date=6 August 2021|archive-url=https://web.archive.org/web/20210806091156/https://edition.cnn.com/2019/02/19/politics/isis-afghanistan-threat/index.html|url-status=live}}</ref><ref name="bbc25june15">{{cite news|title=Islamic State moves in on al-Qaeda turf|url=https://www.bbc.com/news/world-31064300|work=[[BBC News]]|date=25 June 2015|access-date=3 October 2015|archive-date=30 March 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190330230914/https://www.bbc.com/news/world-31064300|url-status=live}}</ref><ref name="nytimes27sep15">{{cite news|title=IS Loyalists Kill 3 Police in First Attack on Afghan Forces|url=https://www.nytimes.com/aponline/2015/09/27/world/asia/ap-as-afghanistan.html|work=[[The New York Times]]|date=27 September 2015|access-date=2 October 2015|archive-date=7 April 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20200407193156/https://www.nytimes.com/aponline/2015/09/27/world/asia/ap-as-afghanistan.html|url-status=live}}</ref>; wapiganaji wake ni Waarabu kadhaa waliohama Afghanistan pamoja na Taliban wenye mwelekeo mkali zaidi. Daish Khorasan imepigania vita dhidi ya Taliban<ref name="turfwar">{{cite web|url=https://www.reuters.com/article/us-afghanistan-islamic-state-idUSKCN0P91EN20150629|title=Exclusive: In turf war with Afghan Taliban, Islamic State loyalists gain ground|work=Reuters|access-date=3 October 2015|archive-date=2 October 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20151002110043/http://www.reuters.com/article/2015/06/29/us-afghanistan-islamic-state-idUSKCN0P91EN20150629|url-status=live}}</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
{{commons|Category:Islamic State of Iraq and the Levant}}
* [http://www.cfr.org/iraq/islamic-state/p14811 The Islamic State] {{Wayback|url=http://www.cfr.org/iraq/islamic-state/p14811 |date=20150701014856 }}. The [[Council on Foreign Relations]]
* [http://www.counterextremism.com/threat/isis ISIS], [[Counter Extremism Project]] profile
* [http://www.bbc.com/news/world-middle-east-35695648 Islamic State group: The full story]. [[BBC News]]
* ''[[Frontline (U.S. TV series)|Frontline]]'': [http://video.pbs.org/video/2365297690/ {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365297690/ |date=20151210155457 }} ''Losing Iraq''] {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365297690/ |date=20151210155457 }} (July 2014), [http://video.pbs.org/video/2365356572/ ''The Rise of ISIS''] {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365356572/ |date=20150906175013 }} (October 2014), [http://video.pbs.org/video/2365496883/ {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365496883/ |date=20151205045135 }} ''Obama at War'']{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} (May 2015), [http://video.pbs.org/video/2365527957/ {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365527957/ |date=20151120042659 }} ''Escaping ISIS''] {{Wayback|url=http://video.pbs.org/video/2365527957/ |date=20151120042659 }} (July 2015), documentaries by [[PBS]]
* [http://www.vice.com/video/islamic-state-full-length ''The Islamic State – Full Length''], documentary by [[Vice News]] (August 2014)
* [http://www.terrorism-info.org.il/Data/articles/Art_20733/101_14_Ef_1329270214.pdf "ISIS: Portrait of a Jihadi Terrorist Organization"] – Report by the [[Intelligence and Terrorism Information Center]].
* [http://www.chechensinsyria.com/ {{Wayback|url=http://www.chechensinsyria.com/ |date=20210118054826 }} From Chechnya To Syria] {{Wayback|url=http://www.chechensinsyria.com/ |date=20210118054826 }} & Analysis of Russian-speaking Foreign Fighters in Syria
* [http://www.defense.gov/News/Special-Reports/0814_Inherent-Resolve Operation Inherent Resolve updates]
* [http://www.agathocledesyracuse.com/ ISIL frontline maps (Iraq and Syria)] {{Wayback|url=http://www.agathocledesyracuse.com/ |date=20161119012418 }}
* [http://jihadology.net/category/the-islamic-state/ The Islamic State – Jihadology] Research project by Aaron Zelin
* [[Gabi Siboni]], [http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/The%20Military%20Power%20of%20the%20Islamic%20State%20%20Gabi%20Siboni260750900.pdf {{Wayback|url=http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/The%20Military%20Power%20of%20the%20Islamic%20State%20%20Gabi%20Siboni260750900.pdf |date=20161022142223 }} The Military Power of the Islamic State] {{Wayback|url=http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/The%20Military%20Power%20of%20the%20Islamic%20State%20%20Gabi%20Siboni260750900.pdf |date=20161022142223 }}, a chapter inside "'''The Lessons of Operation Protective Edge'''", eds. Yoram Schweitzer and Omer Einav, [[Institute for National Security Studies (Israel)|INSS]], 2016.
* Tal Koren and [[Gabi Siboni]], [http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/No.%20601%20-%20Tal%20and%20Gabi%20for%20web.pdf {{Wayback|url=http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/No.%20601%20-%20Tal%20and%20Gabi%20for%20web.pdf |date=20161022142000 }} Cyberspace in the Service of ISIS] {{Wayback|url=http://www.inss.org.il/uploadImages/systemFiles/No.%20601%20-%20Tal%20and%20Gabi%20for%20web.pdf |date=20161022142000 }}, [[Institute for National Security Studies (Israel)|INSS]] Insight No. 601, 4 September 2014.
* [https://www.ctc.usma.edu/posts/the-group-that-calls-itself-a-state-understanding-the-evolution-and-challenges-of-the-islamic-state {{Wayback|url=https://www.ctc.usma.edu/posts/the-group-that-calls-itself-a-state-understanding-the-evolution-and-challenges-of-the-islamic-state |date=20170519170150 }} "The Group That Calls Itself a State"] – Publication by the [[Combating Terrorism Center]] of West Point, [[The United States Military Academy]].
* [http://www.islamicsupremecouncil.com/historic-islamic-edict-fatwa-on-joining-isis-isil/ "Historic Islamic Edict (Fatwa) on Joining ISIS/ISIL"] – from [[Islamic Supreme Council of Canada]]
{{mbegu-siasa}}
[[Jamii:Historia ya Iraq]]
[[Jamii:Historia ya Syria]]
[[Jamii:Historia ya Yemen]]
[[Jamii:Historia ya Libya]]
[[Jamii:Historia ya Nigeria]]
[[Jamii:Uislamu]]
[[Jamii:Ugaidi]]
[[Jamii:Utumwa]]
shxs5enebog5942y2h2wg2op8wvnc99
Lugha za Kidravidi
0
79161
1569563
958227
2026-06-10T20:45:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569563
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Lugha za Kidravidi''' ni familia ya lugha ambazo huzungumzwa upande wa Kusini wa [[Uhindi]] na pia katika kisiwa cha [[Sri Lanka]]. Idadi ya lugha katika familia hiyo ni takriban 80.
==Viungo vya nje==
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/drav1251 lugha za Kidravidi katika Glottolog]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Dravidi}}
[[Jamii:Lugha za Uhindi]]
[[Jamii:Makundi ya lugha]]
5ueonqnpcvwvd4cf12xi1q5osttm5hk
875 KK
0
79825
1570417
960256
2026-06-10T23:04:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570417
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|875|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''875 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
[[Category:Karne ya 9 KK]]
rgmozv847efwz5zckfuxo6u4c2nm3wg
876 KK
0
79826
1570597
960257
2026-06-10T23:34:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570597
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|876|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''876 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
[[Category:Karne ya 9 KK]]
9usk77izdsvk90njl3395fra8zjm46u
901 KK
0
79912
1569718
960429
2026-06-10T21:10:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569718
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|901|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''901 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
b4o6tq9xqzp71swiyedknxhlvpqmrak
919 KK
0
79913
1569914
960430
2026-06-10T21:42:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569914
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|919|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''919 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
dvsbh8wwbvasq9orj7cftzojta0afr3
918 KK
0
79914
1570108
960431
2026-06-10T22:13:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570108
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|918|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''918 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
obp4nayeyi992vtj9972z1zv08k853i
917 KK
0
79915
1570289
960432
2026-06-10T22:43:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570289
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|917|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''917 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
2i7ov1eavqqziz9cl2c5cj0y1wzu9fl
910 KK
0
79922
1570472
960440
2026-06-10T23:14:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570472
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|910|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''910 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
laj6abjb0l6mys6xilg1h75qlhj666m
999 KK
0
80002
1569930
960532
2026-06-10T21:45:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569930
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|999|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''999 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 10 KK]]
goghg7ooikeqh3hywc8rr2364u4wrov
1097 KK
0
80242
1569706
961158
2026-06-10T21:08:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569706
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1097|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1097 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 11 KK]]
75ww7pklwnyug7hvtyzx3c4rrj8g7to
1096 KK
0
80243
1569902
961159
2026-06-10T21:40:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569902
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1096|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1096 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 11 KK]]
nm01iiibjqc8g7sjjhqx09npjv3imo1
1091 KK
0
80250
1570094
961166
2026-06-10T22:11:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570094
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1091|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1091 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 11 KK]]
tmf6lqgaaw4hpgpvuvvlvs9rg42xg7v
1054 KK
0
80251
1570280
961167
2026-06-10T22:42:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570280
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1054|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1054 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 11 KK]]
2zbwsqvof6pohbh7r0ggi77hv1p3s76
1053 KK
0
80254
1570458
961171
2026-06-10T23:11:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570458
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1053|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1053 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 11 KK]]
j7hwor78c3uud6f8uwhsb6s9r07h417
1140 KK
0
80304
1569595
961223
2026-06-10T20:50:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569595
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1140}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1140 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
8nhpalftek9anznk1o6jiemvuzhowrd
1134 KK
0
80345
1569812
961264
2026-06-10T21:26:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569812
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1134}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1134 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
foyllnm32f1copcmormiwy2gck80o5j
1135 KK
0
80346
1570015
961265
2026-06-10T21:58:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570015
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1135}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1135 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
2zba5siu423gs27cyxhnkydmqoh9zet
1189 KK
0
80350
1570191
961269
2026-06-10T22:27:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570191
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1189}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1189 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
pz27tu9g9mg8frwezko0uk25er87jmp
1121 KK
0
80354
1570369
961273
2026-06-10T22:56:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570369
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1121}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1121 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
kl1w6t2a0ijg46zpl8kdeawikrqqtif
1122 KK
0
80355
1570551
961274
2026-06-10T23:27:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570551
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1122}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1122 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 12 KK]]
bpl5hs2rbhlm0git1skahg4s8no1yql
1214 KK
0
80488
1570023
961600
2026-06-10T21:59:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570023
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1214}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1214 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 13 KK]]
lt67oi2q0mtvkmacd28cmyyu2lepj28
1289 KK
0
80508
1570204
961620
2026-06-10T22:29:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570204
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1289}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1289 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 13 KK]]
r7z1cjdaly8wzka6jjout61wvslv9zs
1270 KK
0
80509
1570381
961621
2026-06-10T22:58:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570381
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1270}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1270 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 13 KK]]
lmyyjtw011lc8cyh359fo5z3y4513ew
1225 KK
0
80510
1570565
961622
2026-06-10T23:29:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570565
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1225}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1225 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 13 KK]]
ie1wax4qpdq61g8fbl64wm3yu2rem48
Spora
0
80585
1570146
961758
2026-06-10T22:20:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570146
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Image:Sporic meiosis.svg|thumb|300px|Spora katika mzunguko wa maisha.]]
'''Spora''' ni jina la hatua ya [[uzazi bila ngono]]. Pengine huitwa '''kiiniyoga''' au '''kijimbegu''' pia, lakini jina la kwanza linafaa [[kiyoga|viyoga]] tu. Kwa kawaida spora zina seli moja tu na kuwa [[haploidi]], yaani zina seti moja ya [[ADN]]. Viumbehai vyote vilivyo na seli zenye kiini, vina spora lakini zinaonekana vizuri tu katika [[protozoa]], [[kuvu]], [[mwani|miani]] na [[mmea|mimea]] ambayo sina [[mbegu]] (k.m. [[kigoga|vigoga]] na aina za [[dege|madege]] au [[jimbi|majimbi]]).
Spora zinazoishi nje humea katika viumbe haploidi. Pengine viumbe hivi vinazaa spora tena, pengine vinamea kwa kuwa [[gametofiti]]. Kuna aina mbili za gametofiti: moja ina jinsia ya kiume na ingine jinsia ya kike. Kila aina inazaa [[gameti]] na lazima gameti moja ya kiume na moja ya kike ziungane ili kuwa [[zigoti]]. Halafu zigoti humea katika kiumbe [[diploidi]], yaani kina seti mbili za ADN. Kiumbe hiki kitazaa spora tena.
[[Jamii:Biolojia]]
7icq119uqgnn7dg9koearogtvfs664t
1389 KK
0
81324
1569618
965493
2026-06-10T20:54:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569618
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1389}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1389 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
s3v48xmyljqv628rw915qu06zknm8bi
1370 KK
0
81325
1569831
965494
2026-06-10T21:29:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569831
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1370}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1370 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
9998x07kj94bzyyk8nli0e7t7f3mqzr
1371 KK
0
81327
1570033
965498
2026-06-10T22:01:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570033
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1371}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1371 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
tk5hinq98n4zvwkxj7di6ffl058i7ef
1373 KK
0
81328
1570211
965499
2026-06-10T22:30:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570211
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1373}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1373 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
bqh1be5yn9399q4ldkug84jf2ildahg
1374 KK
0
81329
1570390
965500
2026-06-10T23:00:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570390
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1374}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1374 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
kyhg0tln5vxn8s1mblizyl90s898gpf
1324 KK
0
81725
1569633
968157
2026-06-10T20:56:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569633
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1324}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1324 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
664exwtl3wwweupg0xtns0rnidhpq5e
1307 KK
0
81747
1569848
968187
2026-06-10T21:31:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569848
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1307}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1307 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
punwce1pmyafd1pl2o6s6jel1nealsw
1308 KK
0
81748
1570043
968188
2026-06-10T22:03:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570043
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1308}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1308 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
s3wlr587gp3al0lnb8nsgtu7fiqtaqg
1309 KK
0
81749
1570225
968189
2026-06-10T22:33:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570225
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1309}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1309 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 14 KK]]
p6u3234avzctl0jmg3xcvur4h9o2z1o
1491 KK
0
81751
1570401
968197
2026-06-10T23:02:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570401
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1491}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1491 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
7gymelc9xsoz73t8aakq8kpveoxof2i
1468 KK
0
81805
1569657
968258
2026-06-10T21:00:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569657
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1468}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1468 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
tj4isiftaabnqxzyfk3gkmal3gjmha5
1448 KK
0
81830
1570059
968293
2026-06-10T22:05:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570059
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1448}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1448 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
q18ea4i5jr3zcdrc0zolzwup6dqp5il
1423 KK
0
81845
1570243
968309
2026-06-10T22:36:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570243
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1423}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1423 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
dotlzlkihaoyntg191yb5y6koxhv366
1424 KK
0
81846
1570415
968310
2026-06-10T23:04:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570415
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1424}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1424 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
gq0scew46yvipnnro7jnt7nyd58js2h
1429 KK
0
81851
1570596
968315
2026-06-10T23:34:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570596
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1429}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1429 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
tl2jxre8wy8sjvzpsgnp4qozge1m4t9
1583 KK
0
81876
1570072
968351
2026-06-10T22:08:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570072
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1583}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1583 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
62j4em4o6kldkic6okzpvhx7t7zhio2
1584 KK
0
81977
1570253
968568
2026-06-10T22:37:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570253
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1584}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1584 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
77u60pxh2bl99x60oenscifuqxlb1zw
1586 KK
0
81979
1570427
968570
2026-06-10T23:06:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570427
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1586}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1586 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
mq4luktua1g5iwhnufvzhev8idhlr2q
1545 KK
0
82033
1569680
968628
2026-06-10T21:04:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569680
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1545}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1545 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
jbso2ssxkbju3o1mu3dubjveom5opg7
1548 KK
0
82042
1569877
968637
2026-06-10T21:36:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569877
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1548}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1548 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
lj8av6fagrs2ie0um5ghm94r2s3xce9
1549 KK
0
82044
1570079
968639
2026-06-10T22:09:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570079
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1549}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1549 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
pfnowf14frznc7gs51co4c2jf93lapi
1525 KK
0
82083
1570262
968696
2026-06-10T22:39:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570262
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1525}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1525 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
rpmbyhsu53qqw9r5592wpibq4wio4p5
1515 KK
0
82088
1570437
968701
2026-06-10T23:08:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570437
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1515}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1515 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
ki1iq93lp0dcedsloy2vwhsoe4hxks4
1516 KK
0
82089
1570619
968702
2026-06-10T23:38:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570619
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1516}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1516 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 16 KK]]
apc343acbput16vl39kzzqeg7f0d3s3
1641 KK
0
82169
1569694
968798
2026-06-10T21:06:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569694
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1641}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1641 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 17 KK]]
8cub24pp7og1v4g527akzk0bfhjlsx0
1643 KK
0
82171
1570087
968803
2026-06-10T22:10:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570087
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1643}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1643 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 17 KK]]
p7uguu28yr1retllln7q6k62che9uhw
1602 KK
0
82194
1570632
968842
2026-06-10T23:40:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570632
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1602}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1602 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 17 KK]]
qtnnfwb14nr7n0tk20rfwu4n9f90sxn
1709 KK
0
82245
1570096
968899
2026-06-10T22:12:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570096
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1709}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1709 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 17 KK]]
j4ixxd2k4v8rksx2rcn6q7mmzjvq9zh
1798 KK
0
82292
1570460
969103
2026-06-10T23:12:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570460
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1798}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1798 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 18 KK]]
djjr9dquk7lb3hqpg32j5gwhuzr72y5
1744 KK
0
82375
1569720
969203
2026-06-10T21:11:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569720
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1744}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1744 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 18 KK]]
aa6j202bfv73epezace48xzqo337vlz
1745 KK
0
82376
1569915
969205
2026-06-10T21:42:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569915
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1745}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1745 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 18 KK]]
30k6qy5o4u3j6ytxjl69lbprxh374on
1805 KK
0
82391
1570474
969234
2026-06-10T23:14:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570474
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1805}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1805 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 19 KK]]
b841rd2e3yk37cmo2ux97fcayrl37sz
1845 KK
0
82551
1569740
969727
2026-06-10T21:14:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569740
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1845}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1845 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 19 KK]]
4xgt9wfc2jhxk94eurofbaaeoe55g3y
1979 KK
0
82633
1569755
969867
2026-06-10T21:16:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569755
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1979}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1979 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 20 KK]]
cpr54ngbm9c9lqtktyoqd813264q8ld
1917 KK
0
82654
1569950
969901
2026-06-10T21:48:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569950
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1917}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1917 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 20 KK]]
36dxp4wvok15ehuvgz269pe0hnh57lq
1916 KK
0
82655
1570143
969902
2026-06-10T22:19:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570143
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1916}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1916 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 20 KK]]
ga1sx1d8aidf0xzojnowql3cjypml76
1915 KK
0
82656
1570326
969903
2026-06-10T22:49:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570326
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1915}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1915 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 20 KK]]
8htdegfeuba6l43xhwukb2yq4nbdsen
1903 KK
0
82668
1570513
969915
2026-06-10T23:20:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570513
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{MwakaKK|1903}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1903 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 20 KK]]
trzdjlpjnbxcg6rdiley5tb8c6jmtxf
Giugliano in Campania
0
82929
1569785
970960
2026-06-10T21:21:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569785
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[PIcha:Annunziata_Giugliano.jpg|thumb|300px|[[Kanisa]] la Annunziata na hospitali ya zamani.]]
'''Giugliano in Campania''' ni [[mji]] wa [[mkoa]] wa [[Campania]], [[Italia Kusini]] na kuanzia mwaka [[2015]] ni sehemu ya [[jiji]] la [[Napoli]].
Una wakazi 122,773 na hivyo ni wa 36 nchini [[Italia]] na wa 3 mkoani Campania.
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Napoli]]
9g1x51cjs9tc0e8p2outa3ycukw60d8
Gatchina
0
83003
1569646
971222
2026-06-10T20:58:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569646
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Roschinskaya street.jpg|thumb|Gatchina]]
'''Gatchina''' ([[Kirusi]]: '''Гатчина''') ni [[mji]] wa [[Urusi]]. Ina wakazi 95.623. Iko katika mkoa wa [[Leningrad Oblast]].
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Urusi]]
{{mbegu-jio-Urusi}}
{{Miji ya Urusi}}
[[Jamii:Miji ya Urusi]]
kdqalp993lpque9rphmpcpkaug6edta
Nizhnevartovsk
0
83609
1569688
974432
2026-06-10T21:05:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569688
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Nizhnevartovsk, lake Komsomolskoye skyline.jpg|thumb|Nizhnevartovsk]]
'''Nizhnevartovsk''' ([[Kirusi]]: '''Нижневартовск''') ni [[mji]] wa [[Urusi]]. Ina wakazi 239.044. Iko katika mkoa wa [[Mkoa Huru wa Hanty-Mansi]].
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Urusi]]
{{mbegu-jio-Urusi}}
{{Miji ya Urusi}}
[[Jamii:Miji ya Urusi]]
5it2ji3khxx6iuzn5hssepqjppgjj8u
2041
0
84725
1570216
980892
2026-06-10T22:31:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570216
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Mwaka|2041}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2041 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 21]]
[[Jamii:2041|*]]
alsnx8baon9hmbco260fzevb07ynh13
2042
0
84726
1570393
980893
2026-06-10T23:00:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570393
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Mwaka|2042}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2042 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 21]]
[[Jamii:2042|*]]
eso9i8pynpa2vjjny50pe6lv8bfuu4b
2043
0
84730
1570578
980900
2026-06-10T23:31:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570578
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Mwaka|2043}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2043 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 21]]
[[Jamii:2043|*]]
3fanonoqe8x43w8lcicq0147i3c8coy
2046
0
84853
1569641
981158
2026-06-10T20:58:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569641
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Mwaka|2046}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2046 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 21]]
[[Jamii:2046|*]]
94ndsbc56yi9e6hpyx3cle39r3p1g0t
2047
0
84855
1569852
981162
2026-06-10T21:32:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569852
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Mwaka|2047}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2047 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 21]]
[[Jamii:2047|*]]
3atl9w7shm1az9eybzyal2coa2tuzxt
George Wallace
0
87202
1570441
986978
2026-06-10T23:08:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570441
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:George_C_Wallace.jpg|right|thumb|George Wallace]]
'''George Corley Wallace Jr.''' ([[25 Agosti]], [[1919]] – [[13 Septemba]], [[1998]]) alikuwa mwanasiasa wa [[Marekani]] akiwa mwanachama wa [[Chama cha Kidemokrasia cha Marekani|Chama cha Kidemokrasia]]. Alikuwa [[gavana]] wa [[Alabama]] mara tatu: 1963-1967, 1971-1979 na 1983-1987. Mwaka wa [[Uchaguzi_wa_Rais_wa_Marekani,_1968|1968 aligombea urais]] kama mgombea wa tatu, yaani nje ya vyama vya kawaida, lakini akashindwa na [[Richard Nixon]]. Mwaka wa 1972 alijeruhiwa katika shambulio la mauaji akahitaji kutumia kiti cha magurudumu hadi mwisho wa maisha yake.
{{Mbegu-mwanasiasa}}
{{DEFAULTSORT:Wallace, George}}
[[Category:Waliozaliwa 1919]]
[[Category:Waliofariki 1998]]
[[Category:Wanasiasa wa Marekani]]
nivblrpe8san3kiz6609p6vqis4ta7m
Mwanamke wa Kwanza
0
87285
1570198
987309
2026-06-10T22:28:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570198
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Mwanamke wa Kwanza''' (kwa [[Kiingereza]]: "First Lady") ni cheo kisicho rasmi ambacho hupewa mke wa [[rais]] au mkuu wa nchi asiye [[mfalme]] au [[Kaisari]]. Nchini [[Marekani]], mke wa [[gavana]] wa [[jimbo]] pia huitwa "Mwanamke wa Kwanza".
==Asili==
Cheo hicho kilitumiwa mara ya kwanza kama "First Lady" nchini Marekani karne ya 19. Ndivyo Rais [[Zachary Taylor]] alivyomwita [[Dolley Madison]] mwaka wa 1849 wakati wa mazishi yake.
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Cheo]]
28akwn7f1w8cdtly5f98l77opghbvj6
Stanley Kunitz
0
87292
1569731
987327
2026-06-10T21:12:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569731
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Stanley_Kunitz.jpg|right|thumb|Stanley Kunitz]]
'''Stanley Jasspon Kunitz''' ([[29 Julai]] [[1905]] – [[14 Mei]] [[2006]]) alikuwa mshairi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1959 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/stanley-kunitz Wasifu ya Kunitz kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Kunitz, Stanley}}
[[Category:Waliozaliwa 1905]]
[[Category:Waliofariki 2006]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
b6awlwc8nyba4ubh5i3yu6picu1ohwi
Henry S. Taylor
0
87356
1570470
987583
2026-06-10T23:13:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570470
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Henry Splawn Taylor''' (amezaliwa [[21 Juni]] [[1942]]) ni mshairi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1986 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/henry-taylor Wasifu ya Taylor kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Taylor, Henry}}
[[Category:Waliozaliwa 1942]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
0soevg0k2u0ira59ggk0m1xskn6ih1o
Charles Simic
0
87359
1569850
987594
2026-06-10T21:32:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569850
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Charles_simic_6693.JPG|right|thumb|Charles Simic]]
'''Charles Simic''' (amezaliwa [[9 Mei]] [[1938]]) ni mshairi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1990 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/charles-simic Wasifu ya Simic kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Simic, Charles}}
[[Category:Waliozaliwa 1930]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
m5ufyeogo9zn77xc7jlb61w6fs0rpw4
Lisel Mueller
0
87389
1570579
987820
2026-06-10T23:31:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570579
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Lisel Mueller''' (amezaliwa [[8 Februari]] [[1924]]) ni mshairi wa kike kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1997 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/lisel-mueller Wasifu ya Mueller kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Mueller, Lisel}}
[[Category:Waliozaliwa 1924]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
7f05rp4qwv70crbvgh0sea9vbkz6oux
Thomas Sigismund Stribling
0
87429
1570630
988050
2026-06-10T23:40:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570630
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:T._S._Stribling.jpg|right|thumb|Thomas Sigismund Stribling, kabla ya 1907]]
'''Thomas Sigismund “T.S.” Stribling''' ([[4 Machi]] [[1881]] – [[8 Julai]] [[1965]]) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1933 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]''' kwa [[riwaya]] yake ''The Store''.
{{DEFAULTSORT:Stribling, Thomas}}
[[Category:Waliozaliwa 1881]]
[[Category:Waliofariki 1965]]
[[Category:Waandishi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]
{{Mbegu-mwandishi}}
rfgsniz4dff23spwq73ed7xhqua11zq
Gregory Pardlo
0
88174
1569979
991108
2026-06-10T21:53:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569979
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Gregory_Pardlo_2015.jpg|right|thumb|Gregory Pardlo, 2015]]
'''Gregory Pardlo''' (amezaliwa [[24 Novemba]] [[1968]]) ni mshairi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 2015 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/gregory-pardlo Wasifu ya Pardlo kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Pardlo, Gregory}}
[[Category:Waliozaliwa 1968]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
8vslz8t8ttc11kdlt40plauwjdmaf47
N. Scott Momaday
0
88195
1569828
991176
2026-06-10T21:28:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569828
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:N_Scott_Momaday_George_W_Bush.jpg|right|thumb|N. Scott Momaday pamoja na Rais [[George W. Bush]], 2007]]
'''Navarre Scott Momaday''' (amezaliwa [[27 Februari]] [[1934]]) ni mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1969, alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]''' kwa [[riwaya]] yake ''House Made of Dawn''.
{{DEFAULTSORT:Momaday, N. Scott}}
[[Category:Waliozaliwa 1934]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Waandishi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]
{{Mbegu-mwandishi}}
qha0b5ynf0crsbxxo561w907mwtjzgh
Marilynne Robinson
0
88929
1569544
993962
2026-06-10T20:42:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569544
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Marilynne_Robinson.jpg|right|thumb|Marilynne Robinson mnamo 2012]]
'''Marilynne Robinson''' (amezaliwa [[26 Novemba]] [[1943]]) ni mwandishi wa kike kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa [[2005]], alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]''' kwa [[riwaya]] yake ''Gilead''.
{{DEFAULTSORT:Robinson, Marilynne}}
[[Category:Waliozaliwa 1943]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Waandishi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]
{{Mbegu-mwandishi}}
tjaxjayy6no7rx9awxfm82p7s309spk
Junot Díaz
0
89005
1569765
994194
2026-06-10T21:18:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569765
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:JunotD%C3%ADaz069.JPG|right|thumb|Junot Díaz mnamo 2012]]
'''Junot Díaz''' (amezaliwa [[31 Desemba]] [[1968]]) ni mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa [[2008]], alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]''' kwa [[riwaya]] yake ''The Brief Wondrous Life of Oscar Wao''.
{{DEFAULTSORT:Díaz, Junot}}
[[Category:Waliozaliwa 1968]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Waandishi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]
{{Mbegu-mwandishi}}
jjsrwlqdxpk9015u1sslbark5ei97w2
Kiwarumungu
0
89940
1570576
1002653
2026-06-10T23:31:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570576
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Warumungu_language.png|right|thumb|Eneo la Kiwarumungu (kijani)]]
'''Kiwarumungu''' (au '''Kiwarramunga''') ni [[Lugha za Kipama-Nyungan|lugha ya Kipama-Nyungan]] nchini [[Australia]] inayozungumzwa na [[Wawarumungu]] katika jimbo la [[Northern Territory]]. Katika sensa ya mwaka 2006, idadi ya wasemaji wa Kiwarumungu ilihesabiwa kuwa watu 310. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwarumungu kiko katika kundi lake lenyewe la Kiwarumungu.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/wrm lugha ya Kiwarumungu kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/wrm makala za OLAC kuhusu Kiwarumungu]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/waru1265 lugha ya Kiwarumungu katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/wrm lugha ya Kiwarumungu katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Warumungu}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
e443lpjwbzen96qr2a9fj8d6qqipfvw
Kimartu-Wangka
0
91244
1570027
1006199
2026-06-10T22:00:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570027
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kimartu-Wangka''' ni [[Lugha za Kipama-Nyungan|lugha ya Kipama-Nyungan]] nchini [[Australia]] inayozungumzwa na [[Wamartu-Wangka]] katika jimbo la [[Australia Magharibi]]. Katika sensa ya mwaka 2006, kulikuwa na wasemaji wa Kimartu-Wangka 880. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimartu-Wangka kiko katika kundi la Kipama-Nyungan cha Kusini-Magharibi.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/mpj lugha ya Kimartu-Wangka kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/mpj makala za OLAC kuhusu Kimartu-Wangka]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/mart1256 lugha ya Kimartu-Wangka katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/mpj lugha ya Kimartu-Wangka katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Martu-Wangka}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
iz9psgoo67gs9bnp2ag7f2tr1io9kqf
Kiyindjibarndi
0
91397
1570207
1006585
2026-06-10T22:30:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570207
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kiyindjibarndi''' ni [[Lugha za Kipama-Nyungan|lugha ya Kipama-Nyungan]] nchini [[Australia]] inayozungumzwa na [[Wayindjibarndi]] katika jimbo la [[Australia Magharibi]]. Katika sensa ya mwaka 2006, kulikuwa na wasemaji wa Kiyindjibarndi 310. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyindjibarndi kiko katika kundi la Kipama-Nyungan cha Kusini-Magharibi.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/yij lugha ya Kiyindjibarndi kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/yij makala za OLAC kuhusu Kiyindjibarndi]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/yind1247 lugha ya Kiyindjibarndi katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/yij lugha ya Kiyindjibarndi katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Yindjibarndi}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
0k59adhyvv679zmtxktu9mqr7tz1z36
Lugha za Kiyanyi
0
91483
1570508
1006881
2026-06-10T23:19:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570508
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Lugha za Kiyanyi''' (au za '''Kigarawan''') ni familia ndogo ya lugha nchini [[Australia]]. Katika familia hiyo kuna lugha mbili tu ambazo huzungumzwa katika jimbo la [[Northern Territory]]: [[Kigarrwa]] na [[Kiwaanyi]]. Lugha hizo zote zimo hatarini mwa kutoweka.
==Viungo vya nje==
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/garr1260 lugha za Kiyanyi katika Glottolog]
*[https://www.ethnologue.com/subgroups/yanyi lugha za Kiyanyi katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Yanyi}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
[[Jamii:Makundi ya lugha]]
r7mvuoczv0npwqy7p52mrr09ldfyuv7
Ziwa Eyasi
0
91708
1569462
1346511
2026-06-10T15:07:02Z
Fauzia98
83623
AWC 2026
1569462
wikitext
text/x-wiki
{{coord|3|35|S|35|0|E}}
[[File:Lake Eyasi, Tanzania satellite image.png|thumb|right|250px|Ziwa Eyasi kutoka [[Anga|angani]].]]
'''Ziwa Eyasi''' (zamani pia ''Ziwa Njarasa'', au ''Ziwa Hohenlohe'') ni [[ziwa la chumvi]] kubwa nchini [[Tanzania]] linalopatikana katika [[Wilaya ya Karatu]], mkoani [[mkoa wa Arusha|Arusha]]. Liko upande wa [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]], kusini kidogo mwa [[Hifadhi ya Serengeti]], [[mita]] 1,030 juu ya [[usawa wa bahari]].
Ziwa Eyasi ndio chanzo kikubwa cha maji mkoani Arusha. Ni ziwa la msimu la maji chumvi, lenye kina kirefu kwenye sakafu ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki|Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]]. Ziwa limeinuliwa na kuelekezwa kusini-magharibi hadi kaskazini-mashariki mwa [[Tanzania]], na liko katika tawi la Eyasi-[[Mto Wembere|Wembere]] la Bonde Kuu la Ufa.
Eyasi ni ziwa lenye [[upepo]] mkali sana, labda kuliko maziwa yote nchini Tanzania, kwani unavuma saa 24 bila kutulia hata baadhi ya [[wavuvi]] wakubwa (wengine kutoka [[ziwa Nyasa]], wengine kutoka [[ziwa Viktoria]]) wanashindwa na upepo, mpaka wanakimbia ziwa hilo na kwenda ziwa jirani la [[ziwa Manyara|Manyara]].
[[Wahadzabe|Wahadza]] ndio wakazi asilia wa ziwa hilo. Wanapatikana katika eneo kubwa karibia eneo hilo lote.
[[Pango la Mumba]] ni kituo cha kiakiolojia ambacho kiko kando ya Ziwa Eyasi.
== UMUHIMU WA ZIWA EYASI ==
Ziwa Eyasi lina umuhimu mkubwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kiuchumi, kiutamaduni na kimazingira. Ziwa hili ni makazi ya viumbe hai mbalimbali, wakiwemo ndege wa majini na samaki wanaochangia katika kudumisha uwiano wa mazingira. Aidha, ziwa hili ni chanzo muhimu cha maarifa kwa watafiti wanaochunguza mazingira na historia ya binadamu katika Afrika Mashariki (Britannica, 2026).
Kwa upande wa utalii, Ziwa Eyasi huvutia wageni kutoka ndani na nje ya Tanzania kutokana na mandhari yake ya kipekee pamoja na uwepo wa jamii ya Wahadza ambao bado wanaendeleza baadhi ya mila na desturi zao za asili. Hali hii imechangia kukuza sekta ya utalii na kuongeza kipato kwa wakazi wa maeneo yanayolizunguka ziwa hilo (Tanzania Specialist, 2026).
== UMUHIMU WA PANGO LA MUMBA ==
Pango la Mumba ni moja ya maeneo muhimu ya kiakiolojia nchini Tanzania. Pango hili limehifadhi mabaki mbalimbali yanayoonesha historia ya makazi ya binadamu wa kale katika Afrika Mashariki. Tafiti zilizofanyika katika eneo hili zimeonesha kuwa binadamu waliishi katika eneo hilo kwa maelfu ya miaka iliyopita. Ugunduzi huo umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuelewa maendeleo ya binadamu na tamaduni za kale (NCAA, 2025).
== CHANGAMOTO ZINAZOLIKABILI ZIWA EYASI ==
Pamoja na umuhimu wake mkubwa, Ziwa Eyasi linakabiliwa na changamoto mbalimbali. Miongoni mwa changamoto hizo ni mabadiliko ya tabianchi yanayosababisha kupungua au kuongezeka kwa kiwango cha maji katika misimu tofauti ya mwaka. Aidha, shughuli za kibinadamu kama matumizi yasiyo endelevu ya rasilimali za asili zinaweza kuathiri mfumo wa ikolojia wa eneo hilo (UNEP, 2023).
== JUHUDI ZA UHIFADHI ==
Ili kuhakikisha kuwa Ziwa Eyasi linaendelea kuwa rasilimali muhimu kwa kizazi cha sasa na kijacho, juhudi mbalimbali za uhifadhi zimekuwa zikifanyika. Serikali, wataalamu wa mazingira pamoja na jamii zinazozunguka ziwa hilo wanashirikiana katika kulinda mazingira na kuhamasisha matumizi endelevu ya rasilimali zilizopo.
== HITIMISHO ==
Kwa ujumla, Ziwa Eyasi ni miongoni mwa maeneo muhimu ya asili, utamaduni na historia nchini Tanzania. Uwepo wa jamii ya Wahadza na Pango la Mumba unaongeza thamani ya eneo hili katika historia ya binadamu na maendeleo ya utalii. Hivyo, kuna umuhimu mkubwa wa kuendelea kulihifadhi ziwa hili pamoja na mazingira yake kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.
== MAREJEO ==
# National Museum of Tanzania. (2025). Mumba Rock Shelter Archaeological Site.[https://ww https://www.ncaa.go.tz/mumba-rock-shelter]
# Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). (2025). Archaeological and Cultural Heritage of Mumba and Eyasi Basin. [https://ww https://www.ncaa.go.tz]
# Tanzania Tourist Board. (2025). Lake Eyasi and Cultural Tourism in Northern Tanzania.. [https://ww https://www.tanzaniatourism.go.tz]
# Britannica. (2026). Lake Eyasi.[https://ww https://www.britannica.com/place/Lake-Eyasi]
# UNESCO. (2024). Cultural and Archaeological Heritage in East Africa.[https://ww https://www.unesco.org]
# United Nations Environment Programme (UNEP). (2023). Freshwater Ecosystems and Climate Change in Africa..[https://ww https://www.unep.org]
== Tanbihi ==
<references/>
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-arusha}}
[[Jamii:Wilaya ya Karatu]]
[[Category:Maziwa ya Tanzania]]
objdxkfpjrvidzt3yg8mrhy5p7v3j33
1569463
1569462
2026-06-10T15:14:03Z
Anuary Rajabu
45588
Tengua pitio [[Special:Diff/1569462|1569462]] lililoandikwa na [[Special:Contributions/Fauzia98|Fauzia98]] ([[User talk:Fauzia98|Majadiliano]])
1569463
wikitext
text/x-wiki
{{coord|3|35|S|35|0|E}}
[[File:Lake Eyasi, Tanzania satellite image.png|thumb|right|250px|Ziwa Eyasi kutoka [[Anga|angani]].]]
'''Ziwa Eyasi''' (zamani pia ''Ziwa Njarasa'', au ''Ziwa Hohenlohe'') ni [[ziwa la chumvi]] kubwa nchini [[Tanzania]] linalopatikana katika [[Wilaya ya Karatu]], mkoani [[mkoa wa Arusha|Arusha]]. Liko upande wa [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]], kusini kidogo mwa [[Hifadhi ya Serengeti]], [[mita]] 1,030 juu ya [[usawa wa bahari]].
Ziwa Eyasi ndio chanzo kikubwa cha maji mkoani Arusha. Ni ziwa la msimu la maji chumvi, lenye kina kirefu kwenye sakafu ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki|Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]]. Ziwa limeinuliwa na kuelekezwa kusini-magharibi hadi kaskazini-mashariki mwa [[Tanzania]], na liko katika tawi la Eyasi-[[Mto Wembere|Wembere]] la Bonde Kuu la Ufa.
Eyasi ni ziwa lenye [[upepo]] mkali sana, labda kuliko maziwa yote nchini Tanzania, kwani unavuma saa 24 bila kutulia hata baadhi ya [[wavuvi]] wakubwa (wengine kutoka [[ziwa Nyasa]], wengine kutoka [[ziwa Viktoria]]) wanashindwa na upepo, mpaka wanakimbia ziwa hilo na kwenda ziwa jirani la [[ziwa Manyara|Manyara]].
[[Wahadzabe|Wahadza]] ndio wakazi asilia wa ziwa hilo. Wanapatikana katika eneo kubwa karibia eneo hilo lote.
[[Pango la Mumba]] ni kituo cha kiakiolojia ambacho kiko kando ya Ziwa Eyasi.
==Tanbihi==
<references/>
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-arusha}}
[[Jamii:Wilaya ya Karatu]]
[[Category:Maziwa ya Tanzania]]
6ioqw4uh4pysygns0an8oj7xaep6irm
1569467
1569463
2026-06-10T15:24:37Z
Anuary Rajabu
45588
Protected "[[Ziwa Eyasi]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
1569463
wikitext
text/x-wiki
{{coord|3|35|S|35|0|E}}
[[File:Lake Eyasi, Tanzania satellite image.png|thumb|right|250px|Ziwa Eyasi kutoka [[Anga|angani]].]]
'''Ziwa Eyasi''' (zamani pia ''Ziwa Njarasa'', au ''Ziwa Hohenlohe'') ni [[ziwa la chumvi]] kubwa nchini [[Tanzania]] linalopatikana katika [[Wilaya ya Karatu]], mkoani [[mkoa wa Arusha|Arusha]]. Liko upande wa [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]], kusini kidogo mwa [[Hifadhi ya Serengeti]], [[mita]] 1,030 juu ya [[usawa wa bahari]].
Ziwa Eyasi ndio chanzo kikubwa cha maji mkoani Arusha. Ni ziwa la msimu la maji chumvi, lenye kina kirefu kwenye sakafu ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki|Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]]. Ziwa limeinuliwa na kuelekezwa kusini-magharibi hadi kaskazini-mashariki mwa [[Tanzania]], na liko katika tawi la Eyasi-[[Mto Wembere|Wembere]] la Bonde Kuu la Ufa.
Eyasi ni ziwa lenye [[upepo]] mkali sana, labda kuliko maziwa yote nchini Tanzania, kwani unavuma saa 24 bila kutulia hata baadhi ya [[wavuvi]] wakubwa (wengine kutoka [[ziwa Nyasa]], wengine kutoka [[ziwa Viktoria]]) wanashindwa na upepo, mpaka wanakimbia ziwa hilo na kwenda ziwa jirani la [[ziwa Manyara|Manyara]].
[[Wahadzabe|Wahadza]] ndio wakazi asilia wa ziwa hilo. Wanapatikana katika eneo kubwa karibia eneo hilo lote.
[[Pango la Mumba]] ni kituo cha kiakiolojia ambacho kiko kando ya Ziwa Eyasi.
==Tanbihi==
<references/>
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-arusha}}
[[Jamii:Wilaya ya Karatu]]
[[Category:Maziwa ya Tanzania]]
6ioqw4uh4pysygns0an8oj7xaep6irm
1570722
1569467
2026-06-11T07:19:07Z
Riccardo Riccioni
452
1570722
wikitext
text/x-wiki
{{coord|3|35|S|35|0|E}}
[[File:Lake Eyasi, Tanzania satellite image.png|thumb|right|250px|Ziwa Eyasi kutoka [[Anga|angani]].]]
'''Ziwa Eyasi''' (zamani pia '''Ziwa Njarasa''', au '''Ziwa Hohenlohe''') ni [[ziwa la chumvi]] kubwa nchini [[Tanzania]] linalopatikana katika [[Wilaya ya Karatu]], [[mkoa wa Arusha]]. Liko upande wa [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]], [[kusini]] kidogo mwa [[Hifadhi ya Serengeti]], [[mita]] 1,030 juu ya [[usawa wa bahari]].
Ziwa Eyasi ndio chanzo kikubwa cha maji mkoani Arusha. Ni ziwa la msimu la [[Maji ya chumvi|maji chumvi]], lenye kina kirefu kwenye [[sakafu]] ya [[Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]]. Ziwa limeinuliwa na kuelekezwa kusini-[[magharibi]] hadi kaskazini-[[mashariki]] mwa [[Tanzania]], na liko katika [[tawi]] la Eyasi-[[Mto Wembere|Wembere]] la Bonde Kuu la Ufa.
Eyasi ni [[ziwa]] lenye [[upepo]] mkali sana, labda kuliko [[Orodha ya maziwa ya Tanzania|maziwa yote nchini Tanzania]], kwani unavuma [[saa]] 24 bila kutulia hata baadhi ya [[wavuvi]] wakubwa (wengine kutoka [[ziwa Nyasa]], wengine kutoka [[ziwa Viktoria]]) wanashindwa na upepo huo, mpaka wanakimbia ziwa hilo na kwenda ziwa jirani la [[ziwa Manyara|Manyara]].
[[Wahadzabe|Wahadza]] ndio wakazi asilia wa ziwa hilo. Wanapatikana katika eneo kubwa karibia eneo hilo lote.
[[Pango la Mumba]] ni kituo muhimu cha [[akiolojia|kiakiolojia]] ambacho kiko kando ya Ziwa Eyasi. [[Pango (jiolojia)|Pango]] hilo limehifadhi mabaki mbalimbali yanayoonesha historia ya makazi ya [[zamadamu]] katika Afrika Mashariki. Tafiti zilizofanyika katika eneo hiliozimeonesha kuwa binadamu waliishi katika eneo hilo kwa maelfu ya miaka iliyopita. Ugunduzi huo umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuelewa maendeleo ya binadamu na tamaduni za kale.
== Umuhimu wake ==
Ziwa Eyasi lina umuhimu mkubwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kiuchumi, kiutamaduni na kimazingira. Ziwa hilo ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya [[Kiumbehai|viumbehai]] mbalimbali, wakiwemo [[Ndege (mnyama)|ndege]] wa majini na [[samaki]] wanaochangia katika kudumisha uwiano wa [[mazingira]]. Aidha, ziwa hili ni chanzo muhimu cha [[maarifa]] kwa [[utafiti|watafiti]] wanaochunguza mazingira na [[historia]] ya [[binadamu]] katika Afrika Mashariki.
Kwa upande wa [[utalii]], Ziwa Eyasi huvutia wageni kutoka ndani na nje ya Tanzania kutokana na [[mandhari]] yake ya pekee pamoja na uwepo wa jamii ya Wahadza ambao bado wanaendeleza baadhi ya [[mila]] na [[desturi]] zao kama [[wawindaji-wakusanyaji]]. Hali hii imechangia kukuza sekta ya utalii na kuongeza [[kipato]] kwa wakazi wa maeneo yanayolizunguka ziwa hilo.
== Changamoto ==
Pamoja na umuhimu wake mkubwa, Ziwa Eyasi linakabiliwa na changamoto mbalimbali. Miongoni mwa changamoto hizo ni [[mabadiliko ya tabianchi]] yanayosababisha kupungua au kuongezeka kwa kiwango cha [[maji]] katika misimu tofauti ya mwaka. Aidha, shughuli za binadamu kama matumizi yasiyo endelevu ya [[rasilimali]] za asili zinaweza kuathiri mfumo wa [[ekolojia]] wa eneo hilo.
== Juhudi za uhifadhi ==
Ili kuhakikisha kuwa Ziwa Eyasi linaendelea kuwa rasilimali muhimu kwa kizazi cha sasa na kijacho, [[juhudi]] mbalimbali za [[Hifadhi ya mazingira|uhifadhi]] zimekuwa zikifanyika. [[Serikali]], [[Mtaalamu|wataalamu]] wa mazingira pamoja na jamii zinazozunguka ziwa hilo wanashirikiana katika kulinda mazingira na kuhamasisha matumizi endelevu ya rasilimali zilizopo.
== Hitimisho ==
Kwa ujumla, Ziwa Eyasi ni miongoni mwa maeneo muhimu ya asili, [[utamaduni]] na historia nchini Tanzania. Uwepo wa jamii ya Wahadza na Pango la Mumba unaongeza thamani ya eneo hili katika historia ya binadamu na maendeleo ya utalii. Hivyo, kuna umuhimu mkubwa wa kuendelea kulihifadhi ziwa hilo pamoja na mazingira yake kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.
== Tanbihi ==
<references/>
== Marejeo ==
# National Museum of Tanzania. (2025). Mumba Rock Shelter Archaeological Site.[https://ww https://www.ncaa.go.tz/mumba-rock-shelter]
# Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). (2025). Archaeological and Cultural Heritage of Mumba and Eyasi Basin. [https://ww https://www.ncaa.go.tz]
# Tanzania Tourist Board. (2025). Lake Eyasi and Cultural Tourism in Northern Tanzania.. [https://ww https://www.tanzaniatourism.go.tz]
# Britannica. (2026). Lake Eyasi.[https://ww https://www.britannica.com/place/Lake-Eyasi]
# UNESCO. (2024). Cultural and Archaeological Heritage in East Africa.[https://ww https://www.unesco.org]
# United Nations Environment Programme (UNEP). (2023). Freshwater Ecosystems and Climate Change in Africa..[https://ww https://www.unep.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-arusha}}
[[Jamii:Wilaya ya Karatu]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
8yymywf4m1mz3n0bniurwqmjz45fgoi
Apolinari wa Laodikea
0
92618
1570468
1010719
2026-06-10T23:13:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570468
wikitext
text/x-wiki
'''Apolinari wa Laodikea''' (alifariki [[mwaka]] [[390]]) alikuwa [[mwanateolojia]] aliyefundisha kwamba [[Yesu]] hakuwa na [[akili]] ya [[binadamu|kibinadamu]]; badala yake alisema [[Yesu Kristo]] alikuwa na [[mwili]] na upande wa chini tu wa [[roho]] (zinapotokea [[hisia]]) lakini akili yake ilikuwa ya [[Mungu|Kimungu]].
Inaonekana alifundisha hivyo katika juhudi za kupinga [[Uario]] uliokanusha [[umungu]] wa Yesu.<ref>McGrath, Alister. 1998. ''Historical Theology, An Introduction to the History of Christian Thought.'' Oxford: Blackwell Publishers. Chapter 1.</ref>
Baada ya kupingwa na [[Theodoreto wa Kuro]] na [[Basili Mkuu]], fundisho hilo lililaaniwa na [[Sinodi]] ya [[Aleksandria]] ya mwaka [[362]], iliyoongozwa na [[Atanasi wa Aleksandria]], na hatimaye kutajwa kama [[uzushi]] na [[Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli]] ([[381]]), uliosisitiza kwamba [[Kristo]] ni [[Mungu]] kamili na [[mtu]] kamili.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Marejeo==
*[http://www.newadvent.org/cathen/01615b.htm Catholic Encyclopedia entry]
*Artemi, E., «Mia physis of God Logos sesarkomeni» a)The analysis of this phrase according to Cyril of Alexandria b)The analysis of this phrase according to Apollinaris of Laodicea»,Ecclesiastic Faros t. ΟΔ (2003), 293 – 304.
*[[Alister McGrath|McGrath, Alister]]. 1998. ''Historical Theology, An Introduction to the History of Christian Thought.'' Oxford: Blackwell Publishers. Chapter 1.
* {{Cite book|ref=harv|last=Edwards|first=Mark|year=2009|title=Catholicity and Heresy in the Early Church|publisher=Ashgate|url=https://books.google.com/books?id=z9acTl-jAkAC}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Wanateolojia]]
[[Category:Waliofariki 390]]
80y94xwxigtbxtape4rx8xy4kpiappf
Msambia
0
93201
1569729
1012918
2026-06-10T21:12:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569729
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Uainishaji (Mimea)
| rangi = lightgreen
| jina = Msambia<br>(''Eriobotrya japonica'')
| picha = Eriobotrya japonica, habitus, Wingatepark-buiteklub, a.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = '''Msambia ukichanua'''
| himaya = [[Plantae]] ([[Mmea|Mimea]])
| divisheni_bila_tabaka = [[Angiospermae]] (Mimea inayotoa maua)
| ngeli_bila_tabaka = [[Eudicots]] (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
| oda_bila_tabaka = [[Rosids]] (Mimea kama [[mwaridi]])
| oda = [[Rosales]] (Mimea kama mwaridi)
| familia = [[Rosaceae]] (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
| jenasi = ''[[Eriobotrya]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[John Lindley|Lindl.]]
| spishi= ''[[Eriobotrya japonica|E. japonica]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Carl Peter Thunberg|Thunb.]]) Lindl.
}}
'''Msambia''' au '''mplamu wa Japani''' (''Eriobotrya japonica'') ni [[kichaka]] kikubwa au [[mti]] mdogo wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Rosaceae]]. [[Tunda|Matunda]] yake yaliyo matamu au machungu kidogo huitwa [[sambia|masambia]]. Ikiwa yameiva yana [[rangi ya manjano]].
Asili ya mti huu ni [[Uchina]] lakini hutokea pia huko [[Japani]], [[Korea]] na [[mlima|milima]] ya [[Uhindi]] na [[Pakistani]]. Siku hizi hupandwa duniani kote katika maeneo yasiyo na joto au baridi sana. Katika [[Afrika ya Mashariki]] huonekana sana.
==Picha==
<gallery>
Eriobotrya japonica.jpg|Majani
Цветущая мушмула.jpg|Maua
Nespole MG 6604.jpg|Masambia mtini
Nèfle au marché de la casbah d'Alger.JPG|Masambia sokoni
</gallery>
[[Jamii:Mwaridi na jamaa]]
jvokwzib16bkw2vyvi41u0dir63imop
Mfariji
0
93830
1569743
1015452
2026-06-10T21:14:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569743
wikitext
text/x-wiki
'''Mfariji''' au '''Mtetezi''' au '''Msaidizi''' ni [[tafsiri]] ya [[neno]] la [[Kigiriki]] παράκλητος, parakletos<ref>that can signify "called to one's aid in a court of justice", a "legal assistant", an "assistant", or an "intercessor".{{cite web | url = http://www.perseus.tufts.edu/hopper/text?doc=Perseus%3Atext%3A1999.04.0057%3Aentry%3Dpara%2Fklhtos&highlight=advocate |title=LSJ Lexicon entry |publisher=Perseus.tufts.edu |date= |accessdate=2014-03-11}}</ref><ref>[http://www.dictionary.com/browse/paraclete Definition and etymology of Paraclete]</ref> (kwa [[Kiingereza]] "Paraclete" na kwa [[Kilatini]] ''paracletus'') lililotumiwa na [[Yesu Kristo]] kadiri ya [[Injili ya Yohane]] (14:15-27).
[[Wakristo]] toka mwanzo<ref>{{cite book|last1=Allison|first1=Gregg|title=Historical Theology: An Introduction to Christian Doctrine|date=2011|publisher=[[Zondervan]]|page=431|url=https://books.google.com/books?id=oO2eY2BC6xIC&pg=PA431|accessdate=25 September 2014}}</ref> wameona kuwa linamhusu [[Roho Mtakatifu]]<ref name="The Influence of Christian Prophecy on the Johannine Portrayal of the Paraclete and Jesus">{{cite journal |last= |first= |last2= |first2= |date=October 1978 |title=The Influence of Christian Prophecy on the Johannine Portrayal of the Paraclete and Jesus |url=http://journals.cambridge.org/action/displayAbstract?fromPage=online&aid=1586668&fileId=S0028688500001235 |journal=New Testament Studies |publisher=Cambridge University Press |volume=25 |issue=01 |pages=113–123 |doi= |access-date=27 May 2016}}</ref> kama njia ya [[Yesu]] kuendelea kuwepo kati ya [[wanafunzi]] wake baada ya [[Kifo cha Yesu|kufa]] na [[Ufufuko wa Yesu|kufufuka]]<ref name="THE ROLE OF THE PARACLETE">{{cite journal |last=Lutkemeyer |first=Lawrence J. |last2= |first2= |date= |title=THE ROLE OF THE PARACLETE (Jn. 16:7-15) |jstor=43719890|journal=The Catholic Biblical Quarterly |publisher=Catholic Biblical Association |volume=8 |issue=02 |pages=220 |doi= }}</ref><ref>The Gospel according to John: Volume 2 Raymond Edward Brown - 1970 "Thus, the one whom John calls "another Paraclete" is another Jesus. Since the Paraclete can come only when Jesus departs, the Paraclete is the presence of Jesus when Jesus is absent. Jesus' promises to dwell within his disciples are"</ref><ref>The Spirit of Jesus in Scripture and prayer - Page 60 James W. Kinn - 2004 "Second, the whole complex of parallels above leads Raymond Brown to a more profound conclusion: the Holy Spirit continues the presence of Jesus. Thus the one whom Jesus calls "another Paraclete" is in many ways another Jesus, ."</ref><ref>The Spirit-Paraclete in the Gospel of John - Page 94 George Johnston - 2005 "Brown cannot regard such parallelism as coincidental, and he is perfectly correct. His conclusion is that 'as "another Paraclete" the Paraclete is, as it were, another Jesus ... and the Paraclete is the presence of Jesus when Jesus is "</ref><ref name="THE ROLE OF THE PARACLETE"/><ref>The creed: the apostolic faith in contemporary theology - Page 275 Berard L. Marthaler - 1993 "Thus," writes Brown, "the one whom John calls 'another Paraclete' is another Jesus."17 The Paraclete is the presence of God in the world when Jesus ascends to the Father."</ref>
[[Waislamu]] wengi wamejaribu kuonyesha kwamba Yesu alitabiri ujio wa [[Muhammad]] kama mbadala wake<ref>This claim is based on the Quran verse from Surah 61 verse 6ː
''"And [mention] when Jesus, the son of Mary, said, "O children of Israel, indeed I am the messenger of Allah to you confirming what came before me of the Torah and bringing good tidings of a messenger to come after me, whose name is [[Ahmad]]." But when he came to them with clear evidences, they said, "This is obvious magic."'' Tafsiri nyingineː ''"And when Jesus, son of Mary, said: "O children of Israel, I am God's messenger to you, authenticating what is present with me of the Torah and bringing good news of a messenger to come after me whose name will be acclaimed." But when he showed them the clear proofs, they said: "This is clearly magic."''</ref>.
Wakristo wanajibu kwamba Yesu alisema huyo Mfariji mwingine ataishi nao na kuwa "ndani" yao, kitu ambacho kinawezekana kwa [[roho]] (Roho Mtakatifu), lakini si kwa mtu (mwenye [[mwili]] kama Muhammad).
== Marejeo ==
{{Reflist|2}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.newadvent.org/cathen/11469a.htm Catholic Encyclopedia: Paraclete]
* [http://jewishencyclopedia.com/view.jsp?artid=64&letter=P Jewish Encyclopedia: Paraclete]
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Teolojia]]
[[Category:Roho Mtakatifu]]
[[Category:Yesu Kristo]]
[[Category:Uislamu]]
b9uxbg1hzhssmfmim11e5885lj7pejq
Uda wa Japani
0
94025
1570195
1016070
2026-06-10T22:28:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570195
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Emperor Uda large.jpg|right|thumb|Mchoro wa Uda]]
'''Uda''' ([[10 Juni]], [[867]] – [[3 Septemba]], [[931]]) alikuwa mfalme mkuu wa 59 (''[[Tenno]]'') wa [[Japani]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Sadami'', na alikuwa mwana wa tatu wa Tenno [[Koko]]. Mwaka wa [[887]] alimfuata babake, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 897. Aliyemfuata kama Tenno ni mwana wake, [[Daigo]].
==Angalia pia==
*[[Orodha ya Wafalme Wakuu wa Japani]]
{{Mbegu-Kaizari-Japani}}
{{DEFAULTSORT:Uda}}
[[Jamii:Waliozaliwa 867]]
[[Jamii:Waliofariki 931]]
[[Jamii:Watawala wa Japani]]
kekdg619st4lp4bzmqa7ebivc2oxcgt
Yuda Barsaba
0
94167
1569939
1016554
2026-06-10T21:46:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569939
wikitext
text/x-wiki
'''Yuda Barsaba''' alikuwa [[nabii]] ([[Mdo]] 15:32) na [[Mkristo]] maarufu wa [[Yerusalemu]] katika [[karne ya 1]].
Kadiri ya [[kitabu]] cha [[Matendo ya Mitume]] (katika [[Agano Jipya]] la [[Biblia ya Kikristo]]) [[Mtaguso wa Yerusalemu]] ([[50]] hivi) ulipomalizika, alitumwa pamoja na [[Sila]] huko [[Antiokia]] ili waongozane na [[Mtume Paulo]] na [[Barnaba]] na kuwatangazia Wakristo wa huko maamuzi ya [[mtaguso]] ([[Mdo]] 15:22)<ref>{{citation|editor1-last=Douglas|editor1-first=J D|editor2-last=Tenney|editor2-first=Merrill|title=New International Bible Dictionary|url=https://books.google.com/books?id=eZh6RAAACAAJ|accessdate=13 January 2013|date=1 October 1987|publisher=Zondervan|location=Grand Rapids|isbn=978-0-310-33190-2|page=126|contribution=Barsabbas}}</ref>.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu-Biblia}}
[[Category:Watu wa Biblia]]
[[Jamii:Manabii wa Agano Jipya]]
[[Jamii:Watakatifu wa Israeli]]
goca0w3lhuubiizlrntdxa3dwn9eov4
Kiyitha-Yitha
0
95074
1570614
1019501
2026-06-10T23:37:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570614
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kiyitha-Yitha''' kilikuwa [[Lugha za Kipama-Nyungan|lugha ya Kipama-Nyungan]] nchini [[Australia]] iliyozungumzwa na [[Wayitha-Yitha]] katika majimbo ya [[New South Wales]] na [[Australia Kusini]]. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiyitha-Yitha, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyitha-Yitha kiko katika kundi la Lower Murray.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/xth lugha ya Kiyitha-Yitha kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/xth makala za OLAC kuhusu Kiyitha-Yitha]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/yith1234 lugha ya Kiyitha-Yitha katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/xth lugha ya Kiyitha-Yitha katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Yitha-Yitha}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
rdwz4q3yqff9or01liet1qgv3ghjxmr
Mlima Willingdon
0
95238
1570022
1020030
2026-06-10T21:59:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570022
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Kanada]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,373 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Milima ya Kanada]]
mb2w02umktsngctm498uh622ue9pjkm
Mlima Harrison
0
95247
1570201
1020063
2026-06-10T22:29:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570201
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Kanada]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,360 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Milima ya Kanada]]
tnakl10nsl9aia0s3vnh37jgvohzta7
Mlima Grenville
0
95304
1570563
1020169
2026-06-10T23:29:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570563
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Kanada]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,126 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Milima ya Kanada]]
ggx6ixsilbfsw3k5ixxzc0e3qjl94w7
Kiormuri
0
95370
1569710
1020389
2026-06-10T21:09:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569710
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kiormuri''' ni [[Lugha za Kihindi-Kiulaya|lugha ya Kihindi-Kiulaya]] nchini [[Pakistan]] inayozungumzwa na [[Waormuri]]. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kiormuri imehesabiwa kuwa watu 6000. Pia kuna wasemaji wachache nchini [[Afghanistan]]. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiormuri kiko katika kundi la Kiirani cha Magharibi.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/oru lugha ya Kiormuri kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/oru makala za OLAC kuhusu Kiormuri]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/ormu1247 lugha ya Kiormuri katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/oru lugha ya Kiormuri kwenye Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Ormuri}}
[[Jamii:Lugha za Pakistan]]
[[Jamii:Lugha za Afghanistan]]
0syw894dmgo9xk7136ge8h1g8l7x99z
Mlima Baker (maana)
0
95411
1569651
1020509
2026-06-10T20:59:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569651
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{maana}}
'''Mlima Baker''' ni [[jina]] la [[milima]] mbalimbali [[duniani]], kama vile
* [[Mlima Baker]] - [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
* [[Mlima Baker (Washington)]] - [[Marekani]]
n3ddu7yg799dtodszk4m3jajxbvfrfd
Aniene
0
96287
1569643
1024185
2026-06-10T20:58:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569643
wikitext
text/x-wiki
[[File:Cascade of Aniene - Tivoli - 1890.jpg|thumb|[[Maporomoko ya maji]] ya Aniene huko [[Tivoli, Lazio|Tivoli]], [[1890]].]]
'''Aniene''' ni [[mto]] wa [[mkoa]] wa [[Lazio]] nchini [[Italia]] ambao ni [[tawimto]] la [[Tiber]].
[[Urefu]] wake ni [[km]]. 99.
== Marejeo ==
{{reflist|30em}}
==Marejeo==
* {{citation |contribution=[[s:Encyclopædia Britannica, Ninth Edition/Anio|Anio]] |title=''[[s:Encyclopædia Britannica, Ninth Edition|''Encyclopædia Britannica'', 9th ed.]], [[s:Encyclopædia Britannica, Ninth Edition/Volume II|Vol. II]]'' |editor-last=Baynes |editor-first=Thomas Spencer |display-editors=0 |publisher=Charles Scribner's Sons |location=New York |date=1878 |ref={{harvid|EB|1878}} |p=57 }}.
*{{Citation
| last = Hodge
| first = A. Trevor
| title = Roman Aqueducts & Water Supply
| place = London
| publisher = Duckworth
| year = 1992
| isbn = 0-7156-2194-7
}}
*{{Citation
| last = Schnitter
| first = Niklaus
| title = Römische Talsperren
| journal = Antike Welt
| volume = 8
| issue = 2
| pages = 25–32
| year = 1978
}}
*{{Citation
| last = Smith
| first = Norman
| title = The Roman Dams of Subiaco
| journal = Technology and Culture
| volume = 11
| issue = 1
| pages = 58–68
| year = 1970
| doi=10.2307/3102810
}}
*{{Citation
| last = Smith
| first = Norman
| title = A History of Dams
| place = London
| publisher = Peter Davies
| year = 1971
| isbn = 0-432-15090-0
}}
==Viungo vya nje==
{{commons}}
* {{commons category-inline|Aqua Anio Vetus (Rome)}}
*[http://www.simbruinastagna.com/ Simbruina Stagna History and Art of Subiaco] (Italian site)
[[Category:Roma]]
[[Category:Mito ya Italia]]
[[Jamii:Lazio]]
9ll3h7zq16k3i6ys6vwk07zsjf4ovf6
Aventino
0
96289
1570404
1024187
2026-06-10T23:02:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570404
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Roma Septimontium PNG.png|thumb|right|Vilima saba vya Roma asili na vilima saba ya kandokando yake.]]
[[Picha:Roma dall'aereo.JPG|thumb|Kiini cha Roma kutoka [[Anga|angani]].]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kilima]] maarufu katikati ya [[Roma]], [[mji mkuu]] wa [[Italia]].
Roma mwanzo wake ulikuwa kwenye [[kilima]] hicho na katika vingine [[sita]] vilivyo katikati ya [[mji]] wa leo vinavyoitwa: [[Palatino]], [[Campidoglio]], [[Quirinale]], [[Viminale]], [[Esquilino]] na [[Celio]].
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Roma]]
ovad7b8pfkh6s3kvc08no628g70pii0
Milima ya Mgwila
0
96592
1570212
1025265
2026-06-10T22:31:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570212
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' (kwa [[Kiingereza]] pia "Guami Mountains") iko [[mashariki]] mwa [[Tanzania]] katika [[Mkoa wa Morogoro]].
[[Kilele]] cha juu kiko [[mita]] 979 juu ya [[usawa wa bahari]].
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya milima ya Tanzania]]
{{mbegu-jio-Tanzania}}
[[Category:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
47tywaimrjmv35e5iqjrdk4svs0v065
Mlima Mzogoti
0
96631
1570373
1025318
2026-06-10T22:57:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570373
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[milima ya Usambara]] iliyoko katika [[Mkoa wa Tanga]] nchini [[Tanzania]].
Una [[urefu]] wa [[mita]] ? juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya milima ya Tanzania]]
{{Mbegu-jio-Tanzania}}
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Milima ya Afrika]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
6dqfpx17sm7v2y3e0icz1lc6wrq80xk
Mlima Nengoma
0
96632
1570556
1025319
2026-06-10T23:27:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570556
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[milima ya Usambara]] iliyoko katika [[Mkoa wa Tanga]] nchini [[Tanzania]].
Una [[urefu]] wa [[mita]] ? juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya milima ya Tanzania]]
{{Mbegu-jio-Tanzania}}
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Milima ya Afrika]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
6dqfpx17sm7v2y3e0icz1lc6wrq80xk
La Cruz del Cerro Marques
0
96962
1570294
1025937
2026-06-10T22:44:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570294
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Meksiko]] katika [[Amerika ya Kaskazini]].
Una [[kimo]] cha [[mita]] 3,931 juu ya [[UB]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Mexiko}}
[[Jamii:Milima ya Mexiko]]
0cpa0ifhbmuvcae9cpndeus8ld5ltrw
Holotepec
0
96963
1570480
1025938
2026-06-10T23:15:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570480
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Meksiko]] katika [[Amerika ya Kaskazini]].
Una [[kimo]] cha [[mita]] 3,930 juu ya [[UB]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Mexiko}}
[[Jamii:Milima ya Mexiko]]
ik5t3kv1wqzq35nsniim5yrxni043vx
Shikamo Seye
0
97122
1570064
1026213
2026-06-10T22:06:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570064
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Infobox song
| Jina = Gerant
|Kava = GerantCover.jpg
| Msanii = [[Pepe Kalle]]
| Albamu = [[Gerant]]
| Umetolewa = 1991
| Umerekodiwa = 1990-1991
| Aina ya wimbo = [[Soukous]]
| Urefu = 5:41
| Mtunzi = [[Pepe Kalle]]
| Studio = Mélodie
| Mtayarishaji =
| Nyimbo =
#1 - Gerant
#2 - [[Milla]]
#3 - [[Shikamo Seye]]
#4 - Pedro
#5 - Milla (Version Stade)
#6 - Zonga Aime
#7 - Beli Seyo
#8 - Muyonga
#9 - Bitota
#10 - Gerant (Instrumental)
#11 - Shikhamo (Instrumental)
#12 - Zonga Aime (Instrumental)
}}
"'''Shikamo Seye'''" (vilevile "'''Hidaya"''') ni jina la wimbo wa tatu kutoka katika tepu na CD baadhi ya albamu ya ''[[Gerant]]'' ya msanii wa [[muziki wa soukous]] kutoka nchi ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Pepe Kalle]]. Wimbo unazungumzia msichana aliyeitwa Hidaya kupotea nchii Tanzania wakati alivyokuja kwa ajili ya kutumbuiza miaka ya 1990 mwanzoni. Kinanda kazi ya Manu-Lima wakati gitaa limepigwa na Dally Kimoko.
Baadhi ya maneno anasema;
"Nimepoteza kipenzi changu nchini Tanzania,
Nimepoteza mkanda wa kiuno, nitarudi".
==Viungo vya Nje==
*{{YouTube|25bYcSYqDPA|{{PAGENAME}}}}
[[Jamii:Nyimbo za 1991]]
[[Jamii:Nyimbo za Pepe Kalle]]
{{bolingo-song-stub}}
9y0qysl5x7olt6pv4s8uhbc2orbch4b
Mlima Teichelmann
0
97586
1570447
1027252
2026-06-10T23:09:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570447
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[New Zealand]] wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,144 juu ya [[usawa wa bahari]].
Kama milima yote 30 mirefu zaidi ya nchi hiyo, uko katika [[kisiwa cha kusini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
* [[Orodha ya milima ya New Zealand]]
{{mbegu-jio}}
[[Jamii:Milima ya New Zealand]]
95593vk1qvzvbs4ko5kqqkc8nikh0rn
Mlima Haast
0
97587
1570635
1027253
2026-06-10T23:40:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570635
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[New Zealand]] wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,114 juu ya [[usawa wa bahari]].
Kama milima yote 30 mirefu zaidi ya nchi hiyo, uko katika [[kisiwa cha kusini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
* [[Orodha ya milima ya New Zealand]]
{{mbegu-jio}}
[[Jamii:Milima ya New Zealand]]
lhyvfw2erx9k2iq81wngi07pxghhsth
Bishop's Mitre
0
97660
1570575
1027428
2026-06-10T23:31:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570575
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Kanada]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 1,113 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
* [[Orodha ya milima ya Kanada]]
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Milima ya Kanada]]
100zx3zrmfvysz8pnrgtyjhzjz84kiz
Mto Lugonezi
0
98169
1569919
1028886
2026-06-10T21:43:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569919
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kigoma]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kigoma]]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kigoma]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
n06kd7dj05j25pt40xnw6l5ekd80yys
Mto Mohambwe
0
98193
1570295
1028924
2026-06-10T22:44:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570295
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kigoma]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kigoma]]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kigoma]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
n06kd7dj05j25pt40xnw6l5ekd80yys
Mto Mohwazi
0
98194
1570481
1028925
2026-06-10T23:15:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570481
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kigoma]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kigoma]]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kigoma]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
n06kd7dj05j25pt40xnw6l5ekd80yys
Mto Chigage
0
98451
1569903
1029945
2026-06-10T21:41:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569903
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Chiwa-Chiwa
0
98452
1570095
1029946
2026-06-10T22:11:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570095
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Diwale
0
98456
1570281
1029950
2026-06-10T22:42:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570281
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Dogomi
0
98457
1570459
1029951
2026-06-10T23:11:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570459
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Lumba
0
98500
1569719
1029994
2026-06-10T21:10:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569719
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Mdanda
0
98519
1570109
1030014
2026-06-10T22:14:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570109
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Mgata
0
98523
1570290
1030018
2026-06-10T22:44:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570290
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Mgawile
0
98524
1570473
1030019
2026-06-10T23:14:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570473
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Wysila
0
98577
1569739
1030074
2026-06-10T21:14:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569739
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Yabo
0
98578
1569932
1030075
2026-06-10T21:45:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569932
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj
Mto Mulalakuwa
0
98620
1569613
1030128
2026-06-10T20:53:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569613
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Dar es Salaam]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambao [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
8w9kd2z9mt4pu0vy0dypnu5zah2jh4m
Mto Tegeta
0
98627
1569826
1030135
2026-06-10T21:28:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569826
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Dar es Salaam]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambao [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
8w9kd2z9mt4pu0vy0dypnu5zah2jh4m
Mto Ukooni
0
98628
1570028
1030136
2026-06-10T22:00:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570028
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Dar es Salaam]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambao [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
8w9kd2z9mt4pu0vy0dypnu5zah2jh4m
Mto Kichonda
0
98664
1570325
1030183
2026-06-10T22:49:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570325
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Kigugu
0
98665
1570512
1030184
2026-06-10T23:20:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570512
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Muhinje
0
98738
1569547
1030303
2026-06-10T20:42:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569547
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Nakikona
0
98747
1569961
1030312
2026-06-10T21:50:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569961
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Nakiu
0
98748
1570156
1030313
2026-06-10T22:21:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570156
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Nambango
0
98757
1570523
1030323
2026-06-10T23:22:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570523
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Kakindu
0
98809
1570430
1030409
2026-06-10T23:07:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570430
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tanga]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tanga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bfyaumvilmw1527ogvm6qe14a613pwi
Mto Kehengere
0
98810
1570612
1030410
2026-06-10T23:37:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570612
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tanga]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tanga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bfyaumvilmw1527ogvm6qe14a613pwi
Mto Numba
0
98862
1569682
1030488
2026-06-10T21:04:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569682
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tanga]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tanga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bfyaumvilmw1527ogvm6qe14a613pwi
Mto Ukinduni
0
98871
1569880
1030497
2026-06-10T21:37:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569880
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tanga]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tanga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bfyaumvilmw1527ogvm6qe14a613pwi
Mto Visuvisu
0
98872
1570081
1030498
2026-06-10T22:09:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570081
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tanga]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tanga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tanga]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bfyaumvilmw1527ogvm6qe14a613pwi
Mto Kasisa
0
98888
1569702
1030520
2026-06-10T21:08:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569702
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kilimanjaro]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Pangani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rv6vrv77iasve96tj1e06kvau3hhhqm
Mto Kilambanga
0
98891
1569898
1030523
2026-06-10T21:40:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569898
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kilimanjaro]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Pangani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rv6vrv77iasve96tj1e06kvau3hhhqm
Mto Kilisi
0
98892
1570092
1030524
2026-06-10T22:11:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570092
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kilimanjaro]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Pangani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rv6vrv77iasve96tj1e06kvau3hhhqm
Mto Kinanura
0
98893
1570275
1030525
2026-06-10T22:41:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570275
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kilimanjaro]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Pangani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rv6vrv77iasve96tj1e06kvau3hhhqm
Mto Kirimeri
0
98894
1570453
1030526
2026-06-10T23:10:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570453
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kilimanjaro]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Pangani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rv6vrv77iasve96tj1e06kvau3hhhqm
Mto Nsalamba
0
99018
1570040
1030734
2026-06-10T22:02:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570040
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Rukwa]] ([[Tanzania]] [[Magharibi]]). [[Maji]] yake yanafikia [[bahari]] ya [[Atlantiki]] kupitia [[ziwa Tanganyika]] na [[mto Kongo]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rukwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Rukwa]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
mg0diw8j8pvth9lq9hlvcsywthdim9m
Mto Luswiswi
0
99187
1570599
1031125
2026-06-10T23:35:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570599
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mbeya]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3zb5ty1ofr28jlftkd60nnxx0k1zcw5
Mto Mpembe
0
99200
1569557
1031138
2026-06-10T20:44:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569557
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mbeya]]
f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja
Mto Shindimbe
0
99231
1569779
1031179
2026-06-10T21:20:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569779
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mbeya]]
f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja
Mto Walige
0
99238
1569970
1031187
2026-06-10T21:51:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569970
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mbeya]]
f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja
Mto Zema
0
99239
1570164
1031188
2026-06-10T22:23:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570164
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mbeya]]
f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja
Mto Magole
0
99263
1569839
1031246
2026-06-10T21:30:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569839
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ooh3watwt74ocevg2tpi2l2sy7dsrgd
Mto Mbarwa
0
99264
1569605
1031247
2026-06-10T20:52:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569605
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
cd6n4mvr4we2ako96laa9fx2s46vt46
Mto Mfafia
0
99266
1569820
1031249
2026-06-10T21:27:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569820
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
cd6n4mvr4we2ako96laa9fx2s46vt46
Mto Mlowa
0
99268
1570021
1031251
2026-06-10T21:59:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570021
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
cd6n4mvr4we2ako96laa9fx2s46vt46
Mto Panda
0
99287
1570038
1031271
2026-06-10T22:02:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570038
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ooh3watwt74ocevg2tpi2l2sy7dsrgd
Mto Vwawa
0
99297
1570197
1031286
2026-06-10T22:28:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570197
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Songwe]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Songwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
cd6n4mvr4we2ako96laa9fx2s46vt46
Mto Lukilukuru
0
99374
1569626
1031444
2026-06-10T20:55:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569626
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
a0ed8onayxh67hbr8hfacv92i7blu02
Mto Lukimwa
0
99375
1569840
1031445
2026-06-10T21:30:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569840
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
a0ed8onayxh67hbr8hfacv92i7blu02
Mto Lukulasi
0
99377
1569653
1031447
2026-06-10T20:59:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569653
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bk1v0z4t2hcagsgh0gsagi7k7vaq9sc
Mto Mkulumusi
0
99417
1569744
1031488
2026-06-10T21:15:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569744
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp
Mto Mkusi
0
99421
1569746
1031492
2026-06-10T21:15:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569746
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp
Mto Mtolela
0
99434
1570396
1031505
2026-06-10T23:01:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570396
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
a0ed8onayxh67hbr8hfacv92i7blu02
Mto Mtopesi
0
99435
1570581
1031506
2026-06-10T23:32:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570581
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
a0ed8onayxh67hbr8hfacv92i7blu02
Mto Mupindi
0
99442
1569943
1031514
2026-06-10T21:47:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569943
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp
Mto Nyarukangele
0
99464
1570134
1031536
2026-06-10T22:18:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570134
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp
Mto Nyunayungu
0
99465
1570318
1031537
2026-06-10T22:48:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570318
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp
Mpanda Rapids
0
99476
1570124
1031549
2026-06-10T22:16:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570124
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' zinapatikana [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) na [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
8hr84mf72adr3yimb8k3caolc4ypl51
Mto Munanka
0
99601
1569550
1031836
2026-06-10T20:43:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569550
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Mara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]) ambao [[maji]] yake yanaingia katika [[ziwa Viktoria]] na hatimaye yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia [[mto]] [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
400rpbixff8ybg7lzav2j7ianrkwkck
Mto Nyantari
0
99621
1569771
1031862
2026-06-10T21:19:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569771
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Mara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]) ambao [[maji]] yake yanaingia katika [[ziwa Viktoria]] na hatimaye yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia [[mto]] [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
400rpbixff8ybg7lzav2j7ianrkwkck
Mto Orangi
0
99626
1569964
1031867
2026-06-10T21:50:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569964
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Mara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]) ambao [[maji]] yake yanaingia katika [[ziwa Viktoria]] na hatimaye yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia [[mto]] [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
400rpbixff8ybg7lzav2j7ianrkwkck
Mto Yakaoga
0
99644
1570159
1031887
2026-06-10T22:22:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570159
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Mara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]) ambao [[maji]] yake yanaingia katika [[ziwa Viktoria]] na hatimaye yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia [[mto]] [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
400rpbixff8ybg7lzav2j7ianrkwkck
Mto Yasamambi
0
99645
1570338
1031888
2026-06-10T22:51:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570338
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Mara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]) ambao [[maji]] yake yanaingia katika [[ziwa Viktoria]] na hatimaye yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia [[mto]] [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
400rpbixff8ybg7lzav2j7ianrkwkck
Mto Ngabora
0
99737
1569650
1032035
2026-06-10T20:59:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569650
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Arusha]]
jluk2c6m26vonm64wr12mvgd0zztzyr
Mto Nuogomo
0
99743
1569716
1032043
2026-06-10T21:10:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569716
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Eyasi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Arusha]]
55314zw5bzkyxp2c33wuw25kgsqym5x
Mto Olbobogni
0
99746
1569593
1032046
2026-06-10T20:50:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569593
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[Bahari ya Kati]] kupitia mto [[Naili]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Arusha]]
[[Jamii:Nile]]
1lj8kxxlz4eef3l5bqwx53jkowbqjyi
Mto Vogel
0
99762
1569911
1032063
2026-06-10T21:42:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569911
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Eyasi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Arusha]]
55314zw5bzkyxp2c33wuw25kgsqym5x
Mto Dumdida
0
99791
1569704
1032160
2026-06-10T21:08:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569704
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Manyara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Manyara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Manyara]]
cb4tvl7gpt54isr8eowb7hlj540ta2r
Mto Eir Mdogo
0
99794
1569900
1032169
2026-06-10T21:40:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569900
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Manyara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Manyara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Manyara]]
cb4tvl7gpt54isr8eowb7hlj540ta2r
Mto Tangeri
0
99848
1570592
1032230
2026-06-10T23:33:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570592
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Manyara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Manyara]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Manyara]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Manyara]]
jliq8zb4bu2uqmy9mat16vjuq350dke
Mto Miranda
0
99926
1570590
1032360
2026-06-10T23:33:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570590
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Simiyu]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[mto Nile]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Simiyu]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Simiyu]]
[[Jamii:Nile]]
phh5thuv21lsk140f4dtxbtu321bqgd
Mto Mwambalia
0
100006
1569599
1032531
2026-06-10T20:51:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569599
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tabora]] ([[Tanzania]] [[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tabora]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tabora]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
haefxap3shugr66cydnnhsxnota494x
Mto Mwigombo
0
100007
1569816
1032532
2026-06-10T21:26:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569816
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tabora]] ([[Tanzania]] [[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tabora]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tabora]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
haefxap3shugr66cydnnhsxnota494x
Mto Sunga
0
100015
1570019
1032544
2026-06-10T21:59:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570019
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Tabora]] ([[Tanzania]] [[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Tabora]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Tabora]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
haefxap3shugr66cydnnhsxnota494x
Mto Makonda
0
100086
1569721
1032641
2026-06-10T21:11:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569721
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
1ou419ezwsmtgd5znflzqw6wj7dsm5o
Mto Msemembo
0
100114
1569708
1032682
2026-06-10T21:09:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569708
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
54yig1n633azdhsccsyh0cjfezcyivo
Mto Munyu
0
100123
1570110
1032691
2026-06-10T22:14:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570110
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
1ou419ezwsmtgd5znflzqw6wj7dsm5o
Mto Mwanikuwa
0
100125
1570291
1032693
2026-06-10T22:44:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570291
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
1ou419ezwsmtgd5znflzqw6wj7dsm5o
Mto Nkuku
0
100127
1570475
1032695
2026-06-10T23:14:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570475
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
1ou419ezwsmtgd5znflzqw6wj7dsm5o
Mto Bubuli
0
100186
1570097
1032810
2026-06-10T22:12:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570097
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
ild8kf72h6eitak1mhnsfcxgpnxe3av
Mto Mambo
0
100262
1569573
1032967
2026-06-10T20:46:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569573
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mandima
0
100263
1569795
1032968
2026-06-10T21:23:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569795
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mapembe
0
100264
1569665
1032969
2026-06-10T21:02:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569665
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
bon1wq539yh6h3zp76grzuqlg7nls59
Mto Masena
0
100265
1569869
1032970
2026-06-10T21:35:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569869
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
bon1wq539yh6h3zp76grzuqlg7nls59
Mto Mberewere
0
100268
1569996
1032973
2026-06-10T21:55:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569996
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mbuyajira
0
100269
1570178
1032974
2026-06-10T22:25:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570178
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mkinke
0
100276
1570356
1032981
2026-06-10T22:54:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570356
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mkofwe
0
100277
1570540
1032982
2026-06-10T23:25:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570540
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly
Mto Mloda
0
100284
1570071
1032989
2026-06-10T22:07:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570071
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
bon1wq539yh6h3zp76grzuqlg7nls59
Mto Mombo
0
100287
1570252
1032992
2026-06-10T22:37:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570252
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
bon1wq539yh6h3zp76grzuqlg7nls59
Mto Gambalenga
0
100333
1569552
1033043
2026-06-10T20:43:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569552
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5
Mto Hasi
0
100334
1569774
1033044
2026-06-10T21:19:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569774
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5
Mto Ifuenga
0
100338
1570160
1033048
2026-06-10T22:22:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570160
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5
Mto Ikuka
0
100339
1570340
1033049
2026-06-10T22:52:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570340
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5
Mto Itako
0
100340
1570527
1033050
2026-06-10T23:23:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570527
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5
Ziwa Kimana
0
100567
1569691
1033858
2026-06-10T21:06:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569691
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Manyara]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Manyara]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
e0xafoks9m26zcxglguqretqufq38lb
Ziwa Kitavi
0
100568
1570155
1033859
2026-06-10T22:21:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570155
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Katavi]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Katavi]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
ddh48u8f24n2y5m654jraaa4ujtwt9g
Ziwa Lipelwe
0
100569
1570337
1033860
2026-06-10T22:51:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570337
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Mtwara]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Mtwara]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
mrui54jzve7socn8c42g4q607hil79i
Ziwa Liteho
0
100570
1570522
1033861
2026-06-10T23:22:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570522
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Ruvuma]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
aopxkcgrxlw5cqgbzkidmfr6g2wf8u9
Ziwa Mweru
0
100580
1569443
1569405
2026-06-10T13:11:51Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Fauzia98|Fauzia98]] ([[User talk:Fauzia98|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]]
1556371
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Mtwara]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Mtwara]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
mrui54jzve7socn8c42g4q607hil79i
Ziwa Mikuyu
0
100582
1570269
1033875
2026-06-10T22:40:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570269
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Singida]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Singida]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
00c5nlpe8opuer8vi5vkjisaj1ssqh2
Ziwa Tandale
0
100584
1569762
1033877
2026-06-10T21:18:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569762
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Dar es Salaam]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
dh1xtvkyh6pu20rr6d0h3ark61eqlqf
Ziwa Tenge
0
100585
1569957
1033878
2026-06-10T21:49:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569957
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]].
Linapatikana katika [[mkoa wa Dar es Salaam]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Maziwa ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Maziwa ya Tanzania]]
dh1xtvkyh6pu20rr6d0h3ark61eqlqf
Mto Aburutin
0
100833
1570282
1034598
2026-06-10T22:42:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570282
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267
Mto Chepyungei
0
101315
1570462
1036287
2026-06-10T23:12:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570462
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267
Mto Keritunet
0
101350
1570029
1036329
2026-06-10T22:00:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570029
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
qvilk7s7681bg5t01irby4kwhy1bse6
Bamboo Airways
0
101358
1569470
1429287
2026-06-10T15:34:27Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569470
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Airline
| airline = Bamboo Airways
| image =
| image_size = 200px
| IATA =
| ICAO =
| callsign =
| founded = 2017
| commenced = 1 October 2018
| ceased =
| hubs = {{ubl
|[[Uwanja wa Ndege wa Noi Bai]]
|[[Uwanja wa Ndege wa Tan Son Nhat]]}}
| secondary_hubs =
| focus_cities ={{ubl[[Uwanja wa Ndege wa Nha Trang]]
|[[Uwanja wa Ndege wa Phu Cat]]
|[[Uwanja wa Ndege wa Dong Hoi]]}}
| frequent_flyer =
| lounge =
| alliance =
| subsidiaries =
| fleet_size = 44
| destinations =
| parent =FLC Group
| company_slogan = Hơn cả một chuyến bay! - More than a flight
| headquarters = [[Qui Nhon]], [[Vietnam]]
| key_people = Đỗ Tất Thắng (CEO)
| website = https://www.bambooairways.com/vi/
https://www.bambooairways.com/en/
}}
'''Bamboo Airways''' ni [[kampuni]] ya [[ndege (uanahewa)|ndege]] ya [[taifa]] ya [[Vietnam]] yenye [[makao makuu]] [[jiji|jijini]] [[Hanoi]].
Kampuni hii ilianza kufanya [[kazi]] zake [[mwaka]] [[1996]] baada ya kuvunjika kwa [[Cong ty Hang khong Tre Viet]] kulikopelekea kuvunjika kwa "[[Hang hang khong Tre Viet]]".
Hivi sasa kampuni hii inatoa [[huduma]] [[Bara|barani]] [[Asia]], [[Ulaya]] na [[Australia]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://centreforaviation.com/data/profiles/airlines/bamboo-airways| title = Bamboo Airways Airline Profile {{!}} CAPA|website=centreforaviation.com|language=en|access-date=2018-03-27}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://news.airwise.com/story/flc-annnounces-airbus-a321neo-order-for-bamboo-air|title=FLC Announces Airbus A321neo Order For Bamboo Air|website=news.airwise.com|language=en|access-date=2018-03-27|archive-date=2018-06-12|archive-url=https://web.archive.org/web/20180612143410/https://news.airwise.com/story/flc-annnounces-airbus-a321neo-order-for-bamboo-air|url-status=dead}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://centreforaviation.com/news/flc-group-signs-mou-for-24-a321neos-for-bamboo-airways-783205| title = FLC Group signs MoU for 24 A321neos for Bamboo Airways {{!}} CAPA|website=centreforaviation.com|language=en|access-date=2018-03-27}}</ref>
Kampuni hii ina safari nyingi za ndege nje ya Asia kuliko kampuni yoyote barani Asia.
Ndege zitaanza kuruka mwezi Oktoba 2018. Mwanzoni, zitatumika ndege za kukodisha kutoka Airbus.
Kampuni hiyo ilisaini makubaliano na Airbus kwa Airbus A321neo 24. Mnamo 26 Juni 2018, kampuni hiyo ilisaini makubaliano na Boeing kwa Boeing 787 Dreamliner. Ndege itatolewa mwaka wa 2020.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://atwonline.com/aircraft-orders-deliveries/vietnamese-startup-bamboo-airways-commits-a321neo| title = Vietnamese startup Bamboo Airways commits to A321neo|website=atwonline.com|language=en|access-date=2018-03-27}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.reuters.com/article/us-flc-group-boeing/vietnams-bamboo-airways-commits-to-20-boeing-aircraft-idUSKBN1JL2KB| title = Vietnam's Bamboo Airways commits to 20 Boeing aircraft|publisher=Reuters| date = 2018-06-26|access-date=2018-06-26}}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Usafiri wa Vietnam]]
[[Jamii:Kampuni za Vietnam]]
168f52eamytm4hzbmyyxc1wyuknoszb
Mto Kipsiwara
0
101400
1570208
1036543
2026-06-10T22:30:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570208
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
qvilk7s7681bg5t01irby4kwhy1bse6
Mto Kiptalyung
0
101402
1570387
1036545
2026-06-10T22:59:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570387
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
qvilk7s7681bg5t01irby4kwhy1bse6
Mto Kurumboni
0
101410
1570570
1036553
2026-06-10T23:30:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570570
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
qvilk7s7681bg5t01irby4kwhy1bse6
Mto Torongo
0
101484
1569722
1036767
2026-06-10T21:11:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569722
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267
Mto Wageber
0
101485
1569916
1036768
2026-06-10T21:43:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569916
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267
Mto Kiken
0
101707
1569566
1037053
2026-06-10T20:45:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569566
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Kochar
0
101708
1569788
1037054
2026-06-10T21:22:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569788
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Koduaran
0
101709
1569984
1037055
2026-06-10T21:53:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569984
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Kokoten
0
101710
1570172
1037056
2026-06-10T22:24:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570172
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Ninyit
0
101727
1570352
1037073
2026-06-10T22:53:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570352
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Sebit
0
101735
1570535
1037082
2026-06-10T23:24:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570535
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
jlgru55myf44h61aqx0ss0jcj9xcn2m
Mto Gochobolok
0
101833
1569982
1037372
2026-06-10T21:53:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569982
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
0y2j8o7ye6jdii5unqobui04b1kydwn
Mto Gurgur
0
101834
1570170
1037373
2026-06-10T22:24:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570170
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
0y2j8o7ye6jdii5unqobui04b1kydwn
Mto Kabarait
0
101835
1570350
1037374
2026-06-10T22:53:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570350
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
0y2j8o7ye6jdii5unqobui04b1kydwn
Mto Kachoke
0
101836
1570533
1037375
2026-06-10T23:24:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570533
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
0y2j8o7ye6jdii5unqobui04b1kydwn
Mto Kaikor
0
101838
1570416
1037378
2026-06-10T23:04:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570416
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la [[Korongo (jiografia)|makorongo]] mawili yanayopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
o1b6y02rg4eqfwcpmhxv24dv8migm54
Mto Kanaiki
0
101969
1569728
1037683
2026-06-10T21:12:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569728
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
8mp8qljt4tzbq5bd7xqn3qhgknwb7sa
Mto Kangachin
0
101970
1569922
1037684
2026-06-10T21:44:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569922
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
8mp8qljt4tzbq5bd7xqn3qhgknwb7sa
Mto Kaperarengam
0
101974
1570114
1037688
2026-06-10T22:14:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570114
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
8mp8qljt4tzbq5bd7xqn3qhgknwb7sa
Mto Karamuroi
0
101975
1570296
1037689
2026-06-10T22:45:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570296
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
8mp8qljt4tzbq5bd7xqn3qhgknwb7sa
Mto Loge
0
101990
1570483
1037704
2026-06-10T23:15:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570483
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
8mp8qljt4tzbq5bd7xqn3qhgknwb7sa
Mto Kakalel
0
102084
1569732
1037853
2026-06-10T21:13:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569732
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Kakelai
0
102085
1569925
1037854
2026-06-10T21:44:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569925
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Kakuroetom
0
102086
1570118
1037855
2026-06-10T22:15:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570118
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Kalachir
0
102087
1570302
1037856
2026-06-10T22:45:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570302
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Kalain
0
102088
1570487
1037857
2026-06-10T23:16:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570487
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Lokwatubwa
0
102159
1569525
1037929
2026-06-10T20:39:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569525
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Lorengaloup
0
102168
1569747
1037939
2026-06-10T21:15:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569747
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Naekitoenyala
0
102219
1570320
1038047
2026-06-10T22:48:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570320
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Nairepon
0
102225
1570504
1038053
2026-06-10T23:19:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570504
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Nawaton
0
102282
1569543
1038114
2026-06-10T20:42:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569543
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Yemenin
0
102297
1569764
1038133
2026-06-10T21:18:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569764
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw
Mto Nanyangaten
0
102482
1569619
1038519
2026-06-10T20:54:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569619
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Samburu]]
o15kys1vljlgkwngq37ukxzx8n58iqe
Mto Naori
0
102483
1569833
1038520
2026-06-10T21:29:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569833
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Samburu]]
o15kys1vljlgkwngq37ukxzx8n58iqe
Mto Sioum
0
102710
1569662
1039075
2026-06-10T21:01:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569662
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Trans-Nzoia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1sneiufpnagyu5qpvh2rzvkg2b1as3c
Mto Rongai Mdogo
0
102711
1569865
1039076
2026-06-10T21:34:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569865
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Trans-Nzoia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1sneiufpnagyu5qpvh2rzvkg2b1as3c
Mto Soundet
0
102712
1570065
1039077
2026-06-10T22:06:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570065
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Trans-Nzoia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1sneiufpnagyu5qpvh2rzvkg2b1as3c
Mto Kapkitoi
0
102732
1570420
1039106
2026-06-10T23:05:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570420
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Uasin Gishu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
tesvpedqn8uzbr8isjjnf7dq2ca4dsc
Mto Kerito
0
102733
1570601
1039107
2026-06-10T23:35:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570601
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Uasin Gishu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
tesvpedqn8uzbr8isjjnf7dq2ca4dsc
Mto Sirua (Nandi)
0
102803
1569713
1039180
2026-06-10T21:09:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569713
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nandi]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nandi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nandi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
qis3s5s3iufxwxrt4zdw9rmz81ke5jy
Mto Kasuria
0
102843
1569532
1039248
2026-06-10T20:40:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569532
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Katongaa
0
102844
1569752
1039249
2026-06-10T21:16:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569752
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Melwa (Laikipia)
0
102852
1569947
1039257
2026-06-10T21:48:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569947
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Merguet
0
102853
1570140
1039258
2026-06-10T22:19:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570140
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Musul (Laikipia)
0
102857
1570324
1039262
2026-06-10T22:49:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570324
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Naia Sirua (Laikipia)
0
102858
1570511
1039263
2026-06-10T23:20:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570511
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Laikipia]], katikati ya [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Laikipia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Laikipia]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3wpxf0dnjynwvctg7mqv88bzseqnfgw
Mto Chania (Nakuru)
0
102900
1570495
1039325
2026-06-10T23:17:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570495
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nakuru]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nakuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nakuru]]
1hzokox5xonsa4lofm8n0yp3oh6i1lh
Mto Kibisi (Bungoma)
0
103034
1569685
1039606
2026-06-10T21:05:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569685
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Komoli (Bungoma)
0
103042
1569883
1039614
2026-06-10T21:37:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569883
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Lama (Bungoma)
0
103046
1570084
1039618
2026-06-10T22:10:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570084
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Lurende
0
103047
1570266
1039619
2026-06-10T22:40:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570266
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Lutacho
0
103048
1570444
1039620
2026-06-10T23:09:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570444
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Lutonyi
0
103049
1570626
1039621
2026-06-10T23:39:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570626
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Bungoma]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Bungoma]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bndirt0q1v0j07g3cfkdxnesd3ekens
Mto Namwithala
0
103090
1570233
1039680
2026-06-10T22:34:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570233
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
553oip14l00h8nii9cn4gap9dqwuimw
Mto Nawolo
0
103091
1570406
1039681
2026-06-10T23:02:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570406
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
553oip14l00h8nii9cn4gap9dqwuimw
Mto Akanyo
0
103095
1569867
1039685
2026-06-10T21:35:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569867
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e
Mto Apegei
0
103100
1570067
1039690
2026-06-10T22:07:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570067
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e
Mto Chakoli (Busia)
0
103101
1570249
1039691
2026-06-10T22:37:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570249
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e
Mto Lukala (Busia)
0
103113
1570422
1039703
2026-06-10T23:05:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570422
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e
Mto Madele (Busia)
0
103114
1570604
1039704
2026-06-10T23:35:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570604
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e
Mto Khalaba
0
103144
1569717
1039735
2026-06-10T21:10:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569717
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kakamega]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kakamega]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kakamega]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
qwdppoo89c9ig31jxppffyckengldmk
Mto Kholera
0
103145
1569913
1039736
2026-06-10T21:42:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569913
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kakamega]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kakamega]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kakamega]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
qwdppoo89c9ig31jxppffyckengldmk
Mto Kibisi (Kakamega)
0
103146
1570107
1039737
2026-06-10T22:13:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570107
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kakamega]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kakamega]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kakamega]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
qwdppoo89c9ig31jxppffyckengldmk
Mto Nanugo
0
103163
1570288
1039754
2026-06-10T22:43:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570288
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kakamega]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kakamega]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kakamega]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
qwdppoo89c9ig31jxppffyckengldmk
Mto Emboya
0
103179
1569531
1039774
2026-06-10T20:40:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569531
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Empor Narok
0
103181
1569751
1039776
2026-06-10T21:16:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569751
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Empuyiankat
0
103182
1569946
1039777
2026-06-10T21:47:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569946
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Emuruentikirr
0
103184
1570139
1039779
2026-06-10T22:19:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570139
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Endosapia
0
103186
1570313
1039781
2026-06-10T22:47:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570313
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3l5aitdiulkevi2qxf23nv3cinmy2pp
Mto Engeju Elerai
0
103187
1570498
1039782
2026-06-10T23:18:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570498
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3l5aitdiulkevi2qxf23nv3cinmy2pp
Mto Engesenjani
0
103188
1570323
1039783
2026-06-10T22:49:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570323
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Londuruku
0
103378
1570509
1040199
2026-06-10T23:20:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570509
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2
Mto Matundu (Nairobi)
0
103483
1570068
1040361
2026-06-10T22:07:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570068
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la mmoja kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[kaunti ya Nairobi]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] ya mmojawapo yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nairobi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nairobi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
lh53g3u6rjq599zbgq6o9l9onnu7bch
Mto Mbach
0
103484
1570250
1040362
2026-06-10T22:37:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570250
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la mmoja kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[kaunti ya Nairobi]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] ya mmojawapo yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nairobi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nairobi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
lh53g3u6rjq599zbgq6o9l9onnu7bch
Mto Mokoyeti
0
103485
1570423
1040363
2026-06-10T23:05:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570423
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la mmoja kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[kaunti ya Nairobi]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] ya mmojawapo yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nairobi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nairobi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
lh53g3u6rjq599zbgq6o9l9onnu7bch
Mto Mokoyeti Kaskazini
0
103486
1570605
1040364
2026-06-10T23:36:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570605
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la mmoja kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[kaunti ya Nairobi]] nchini [[Kenya]].
[[Maji]] ya mmojawapo yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nairobi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nairobi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
lh53g3u6rjq599zbgq6o9l9onnu7bch
Mto Alara Yenga
0
103499
1569604
1040380
2026-06-10T20:51:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569604
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Siaya]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Siaya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
p10hsx56rr2zuidbkgsq4c8uyxci3jm
Mto Waulala
0
103535
1570020
1040417
2026-06-10T21:59:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570020
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Siaya]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Siaya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
p10hsx56rr2zuidbkgsq4c8uyxci3jm
Mto Kasat
0
103544
1570273
1040433
2026-06-10T22:41:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570273
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kisumu]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kisumu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisumu]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3c0e6ains92ta1b7hejjl3y07kantet
Mto Kipturu
0
103545
1570451
1040434
2026-06-10T23:10:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570451
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kisumu]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kisumu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisumu]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3c0e6ains92ta1b7hejjl3y07kantet
Mto Mirogi
0
103584
1569709
1040475
2026-06-10T21:09:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569709
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gfl4ycb9z5s9labcjkcxo6g80f2ua8d
Mto Misadhi
0
103585
1569906
1040476
2026-06-10T21:41:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569906
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gfl4ycb9z5s9labcjkcxo6g80f2ua8d
Mto Misembe (Homa Bay)
0
103586
1570099
1040477
2026-06-10T22:12:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570099
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gfl4ycb9z5s9labcjkcxo6g80f2ua8d
Mto Ndhiwa (Homa Bay)
0
103587
1570283
1040480
2026-06-10T22:42:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570283
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gfl4ycb9z5s9labcjkcxo6g80f2ua8d
Mto Nyaliech
0
103591
1570465
1040484
2026-06-10T23:12:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570465
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gfl4ycb9z5s9labcjkcxo6g80f2ua8d
Mto Hibwa
0
103794
1569556
1040904
2026-06-10T20:44:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569556
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Nthiwa
0
103867
1569777
1041060
2026-06-10T21:20:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569777
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Nyairobi
0
103868
1569966
1041061
2026-06-10T21:51:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569966
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Nyakwamba
0
103869
1570162
1041062
2026-06-10T22:22:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570162
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Nyakwana
0
103870
1570344
1041063
2026-06-10T22:52:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570344
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Nyakweria
0
103871
1570529
1041064
2026-06-10T23:23:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570529
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Migori]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Migori]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
aatto0u9cu1y3ruzonc1xmhgw1he9rh
Mto Mkanda
0
103972
1569526
1041175
2026-06-10T20:39:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569526
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Mulunguni
0
103980
1569748
1041184
2026-06-10T21:15:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569748
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Mutamboni
0
103981
1569944
1041185
2026-06-10T21:47:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569944
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Mwamandi
0
103989
1570137
1041193
2026-06-10T22:18:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570137
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Nzarani
0
104001
1570321
1041205
2026-06-10T22:48:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570321
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Ramisi
0
104002
1570506
1041206
2026-06-10T23:19:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570506
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj
Mto Kavuluni
0
104034
1570456
1041243
2026-06-10T23:11:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570456
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kilifi]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]).
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kilifi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kilifi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
3auhy8y16k92snwlphuz2ug9fb8qjpk
Mto Lagha Buna
0
104097
1570117
1041312
2026-06-10T22:15:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570117
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Tana River]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[Mto Tana]] na hatimaye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Tana River]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Tana River]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
si0jx68yc47l1oafhxzz9nl7snhhtil
Mto Magogoni
0
104098
1570300
1041313
2026-06-10T22:45:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570300
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Tana River]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[Mto Tana]] na hatimaye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Tana River]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Tana River]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
si0jx68yc47l1oafhxzz9nl7snhhtil
Carolyne Ekyarisiima
0
104664
1569506
1544397
2026-06-10T19:01:16Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569506
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Carolyne Ekyarisiima
[[File:Carolyne Ekyarisiima, Founder of Apps and Girls.jpg|thumb| Carolyne Ekyarisiima (2020) ]]
|maelezo=|jina la asili=|jina la kuzaliwa=Carolyne Ekyarisiima|tarehe ya kuzaliwa={{birth date and age|df=yes|1986|06|20}}|utaifa=|majina mengine=|uraia=Mganda|elimu=[https://en.wikipedia.org/wiki/Bweranyangi_Girls%27_Senior_Secondary_School Bweranyangi Girls' Senior Secondary School] <br>
Valley College Senior Secondary School<br>
[[Kampala International University]] (CS) - Main Campus -Uganda<br>
[[Kampala International University]] in Tanzania - KIUT (MIS)|mhitimu=|kazi yake=|miaka ya kazi=2014 - Mpaka Leo|mwajiri=|jumuia=|asasi=Mkufunzi Msaidizi - [[Kampala International University]]|julikana=Mwanzilishi [[Apps and Girls|Apps and Girls Foundation]]<br> Mwanzilishi Mwenza WRIS Microfinance <br> Mwanzilishi WRIS Agro <br>Mwanzilishi Mwenza [[NLab Innovation Academy]]|kazi maarufu=Mkurugenzi Mkuu, Mwanasayansi, MfanyaBiashara|nyumbani=Dar es Salaam, Tanzania|cheo=CEO|bodi=[[Tangible Initiatives for Local Development Tanzania]] (TIFLD)|tuzo=|tovuti=awww.appsandgirls.com}}
'''Carolyne Ekyarisiima''' alizaliwa {{birth date and age|df=yes|1986|06|20}} ni [[mwanasayansi]], [[mjasiriamali]] jamii na [[mfanyabiashara]] katika nyanja za [[TEHAMA]] (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano), Kilimo na Elimu. Anafahamika zaidi kwa kuwa mwasisi mwenza wa [[shirika]] lisilokuwa la kiserikali linaloitwa ''[[Apps and Girls|Apps and girls]]'' ambalo lilianziswha likiwa na malengo ya kuongeza [[idadi]] ya [[wanawake]] katika fani ya sayansi kupitia TEHAMA kwa namna ya pekee kabisa ambapo mabinti wanapewa mafunzo ya kutengeneza [[programu]] za kompyuta sambamba na Ujasiriamali jamii (Tech Entreprenuership). Kupitia mafunzo hayo wanafunzi wanatengeneza miradi ya kusaidia [[jamii]] zao lakini pia kuanzisha [[biashara]] kwa malengo ya kuongeza nafasi za [[ajira]] na kupunguza [[umaskini]] katika jamii.
==Maisha yake==
Alizaliwa wilayani [[Bushenyi]] nchini [[Uganda]] katika [[familia]] ya [[watoto]] saba yeye akiwa wa [[tano]]. Utotoni alitamani sana kuwa [[Daktari]] wa kutibu binadamu lakini hakupata nafasi hiyo hasa baada ya hali ya uchumi kuyumba kidogo kutokana na kuwa na ndugu ambao nao walitakiwa kuendelea na elimu kwani Baba mzazi alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi na mama mzazi alikuwa ni mama wa nyumbani ilhali wazazi hawa walipenda sana watoto wao wote walau wafike kidato cha sita.
Udaktari ulikuwa ni gharama kubwa lakini kwa bahati akapata nafasi ya kusomea Computer Science katika Chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala kilichopo nchini Uganda na nihapo ndipo alipo anza kuutizama ulimwengu kivingine.
Katika Moja ya Mahojiano yake na [[Waandishi wa habari|waandishi]] wa habari anasema "''Nikiwa KIU, Nikajikuta naanza penda Kozi niliyo chaguliwa ambayo ndio kwanza niliisikia nilipo ambiwa nimechaguliwa. Sikuwahi hata siku moja fikiria au waza juu ya Computer kuwa sehemu ya maisha yangu''."<ref>{{Rejea tovuti| title = Apps and Girls win the Innovator of the Year Award {{!}} Health & WASH {{!}} Aid & International Development Forum (AIDF)|url=http://www.aidforum.org/topics/health-and-wash/the-winner-of-the-innovator-of-the-year-award-is-announced/|work=www.aidforum.org|accessdate=2024-01-16}}</ref>
Zaidi ya Kuwa Mkufunzi msaidizi, katika muda wake binafsi [[2010]] Carolyne alikuwa akishiriki katika kuanzishwa kwa OUFLab (Moja ya Hatamizi binafsi za mwanzo kabisa kuanzishwa nchini Tanzania) iliyo badilishwa jina mwaka 2013 na kuitwa NLab (Niwezeshe Lab) na baadaye kuja kuwa [[Chuo]] chenye kutoa stashahada na [[astashahada]]. Ushiriki huu ulihusisha mambo mengi kama Kuandaa semina za bure na wazi mashuleni na vyuoni, kuanzisha Program za "Friday Night Code" ambapo wanafunzi mbali mbali walijumuika kutoka Vyuo vikuu mbali mbali siku ya Ijumaa Jioni na kuanza kujifunza Coding mpaka Jumamosi Asubuhi na kwenda majumbani kwao, na haya yalifanyika huko Gongo La Mboto jijii [[Dar es Salaam|Dar Es Salaam]].
Mwaka [[2012]] mipango ya kuanza harambee ya kuiwezesha OUFLab<ref>https://www.indiegogo.com/projects/community-owned-computer-lab-in-tanzania#/updates/all</ref> kununua vifaa ikaanza. Carolyne alishiriki kikamilifu katika mchakato huu, na kila hatua ilionesha namna ushiriki wa wanawake ulivyo wa kiwango cha chini. Mafunzo yaliyo fanyika katika Program zote za OUFLab yalihusisha wanawake na mabinti wachache. Mwaka 2013 Carolyne akashiriki mashindano Kadhaa yaliyo andaliwa na wadau mbali mbali wakiwemo TANZICT, COSTEC na DTBI. Moja ya mashindano hayo ni "Masoko Challenge"<ref>https://masokochallenge.wordpress.com/</ref> iliyo fanyika [[Julai 1]], [[2013]] ambapo Carolyne, Wilhelm na Geofrey kutoka OUFLab walishika nafasi ya Pili.
Baada ya mashindano Carolyne akaona kuna haja ya kile alicho kianza taratibu Nyumbani kwake kukifanya kiwe na ukubwa na hivyo Jully 26, 2013 akafanya mafunzo makubwa yaliyo husisha washiriki zaidi ya 30 kutoka vyuoni na makazini. Mafunzo haya yalikuwa na mafanikio makubwa sana.<ref>https://tanzict.wordpress.com/2013/07/17/joomla-training-for-women-26th-july-2013-8am-4-30pm/</ref>
==Elimu yake==
Carolyne alisoma nchini [[Uganda]] kuanzia elimu yake ya Awali mpaka kidato cha sita, na kisha kusoma [[chuo kikuu]] katika ngazi ya [[shahada]] ya sayansi ya kompyuta hapo hapo Uganda na baada ya kumaliza akapata ajira ya kudumu katika Chuo hicho na kuhamishiwa nchini Tanzania ambako nako akapata nafasi ya kuendelea kusoma na hivyo kusomea shahada ya [[uzamili]] ya mifumo ya habari (Information Systems) kutoka katika [https://kiut.ac.tz/ chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala] Tawi la Dar Es Salaam.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.irex.org/people/carolyne-ekyarisiima | title = Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2018-09-12 |archivedate=2018-10-19 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20181019192300/https://www.irex.org/people/carolyne-ekyarisiima }}</ref>
== Kazi ==
Carolyne alianza kwa kufanya kazi katika chuo kikuu cha Kampala International University kilichopo jijini Dar es salaam, Nchini Tanzania. Aliajiriwa kama mkufunzi msaidizi. Mwaka 2013 Mwishoni aliacha kazi na kuanzisha Apps and Girls na yeye kuwa kama Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo.
Kupitia [[taasisi]] ya ''Apps and girls'' Carolyne anatoa elimu kwa njia ya
*Kutoa mafunzo ya Computer Programming na Robotics kwa wanafunzi mashuleni, na hili analifanya kwa kutembelea mashule ya serikali na binafsi na kuanzisha Coding Clubs ambapo wanafunzi wanajiunga na kuweza anza jifunza pasipo malipo yoyote.
*Anaandaa [[semina]] za kuamsha ari ya kupenda masomo ya sayansi na mafunzo mbalimbali kwa [[wanafunzi]] waliopo katika [[shule]] za [[sekondari]] Tanzania Nzima.
*Anaandaa Mashindano ya Kitaifa yaitwayo Girls Entreprenuership Summit ambayo kwa muda mrefu yamekuwa yakifadhiriwa na Ubalozi wa Marekani na pia Makampuni kama Tigo [[Tanzania]] na mengineyo.
*Zaidi ya wanafunzi waliopo Mashuleni, wanamradi uitwao Jovia ambapo mabinti ambao hawakupata nafasi ya kuendelea na masomo ya secondary au chuo au kutokana na sababu za kupata ujauzito na kushinda kuendelea na shule, anawawezesha pia kwa kuwapa mafunzo ya Tehama na Ujasiriamali.
[[Wasichana]] wameweza kujifunza namna ya kutengeneza [[tovuti]], [[programu]] za kwenye [[simujanja]] na huku baadhi wakianzisha taasisi za kusaidia jamii zao katika matatizo makubwa kama unyanyasaji na ukatili, kupunguza vio vya kina mama wakati wa kujifungua, kusaidia watu wenye magonjwa kama Fistula na Kansa na baadhi kuanzisha biashara kubwa zenye kuinua vipato vya familia zao.
Kubwa zaidi ni kwa mabinti hawa kuweza kuwa mfano wa kuigwa kwa wengine katika jamii, na kupata fursa mbali mbali ambazo zimeweza kuwasaidia maishani na katika elimu zao. Baadhi ya wanafunzi wameweza kupata fursa za kimasomo na kuweza songa mbele huku taasisi nyingine zikijitokeza kuwasaidia zaidi na kutimiza ndoto zao. Kuna mabinto walio fanikiwa kusoma Biashara, Sheria, Sayansi, Tehama, Uinjinia katika vyuo vikubwa duniani kama Oxford na Rochester huku baadhi wakijiunga na masomo katika mashule na taasisi kubwa na Maarufu kama African Leadership Academy, African Leadership University, [https://anzishaprize.org/ Anzisha Prize] {{Wayback|url=https://anzishaprize.org/ |date=20240116054526 }}, <ref> https://qz.com/africa/1214051/how-tanzania-is-betting-on-coding-to-help-close-the-gender-gap-in-its-tech-sector/ </ref> Baadhi ya wasichana ambao wameweza kupita katika mikono ya Carolyne Ekyarisiima ni Pamoja na Winnie Msamba, Balbina Gulam, Modesta Joseph, Necta Richard, Asha Abbas, Fatma Abbas, Lisa Jones, Ummy Bilinje, Elham Mohamed, Queen Mtega, Kokubanza Timanywa, Nancy Kaale na wengineo wengi ambao kwa namna moja ama nyingine nao wamepanda Mbegu ya maendeleo ndani ya Tanzania.
== Biashara ==
Zaidi ya kuwa na mapenzi ya Teknolojia, Carolyne ni Mpenzi wa shughuri za kilimo na ufugaji. Anajishughurisha na biashara za Fedha, Kilimo cha mazao ya chakula na biashara , Biashara ya Vyakula, mifugo na wanyama.
== Mijadala , Mihadhara na Mazungumzo ==
# Mkutano wa E-learning Afrika wa 2017 nchini Mauritius (Namna Teknolojia inavyo weza kutumika kama kitega uchumi katika kuwawezesha Mabinti na wanawake wa Africa)
# Mkutano wa E-Learning Afrika wa Mwaka 2018 Nchini Rwanda (Kumwezesha mwanamke ni Utajiri mkubwa)<ref>{{Cite web |url=https://www.elearning-africa.com/programme/pdf/eLA2018_programme.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2024-02-15 |archive-date=2024-02-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240215064515/https://www.elearning-africa.com/programme/pdf/eLA2018_programme.pdf |url-status=dead }}</ref>
== Tuzo na Teuzi mbalimbali ==
Kutokana na namna ya utendaji kazi wake binafsi na taasisi nzima ya Apps and Girls Carolyne akaweza kupata tuzo ndani na nje ya Tanzania ziki mpongeza yeye binafsi na Timu yake nzima.
# Tigo Digital Changemakers Award - 2017<ref>{{Rejea tovuti| title = CAREER PROFILE : Bridging gender gap in technology|url=https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/success/career-profile-bridging-gender-gap-in-technology-2546378|work=The Citizen| date = 2021-04-01|accessdate=2024-02-06|language=en}}</ref>
# Malkia wa Nguvu (2017) By Clouds Media Group
# The next generation of Leaders (2017) By IFA FOUNDATION<ref>{{Rejea tovuti| title = 2017 Competition Winners {{!}} NextGen In Franchising|url=https://nextgenfranchising.org/2017-past-winners/|work=nextgenfranchising.org|date=2018-02-21|accessdate=2024-02-06|language=en-US|archive-date=2024-02-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20240206063409/https://nextgenfranchising.org/2017-past-winners/|url-status=dead}}</ref>
# Innovator of the Year Award By Aid & International Development Forum
# [https://cioafrica.co/top-35-most-influential-women-in-tech-africa/ 35 Most Influential Women in Tech] By CIO Africa (''Alitajwa'')
# Digital Female Leader Awards (2019), Social Hero By Der DFLA (''Aliteuliwa'')
# 50 Most influential Young Tanzanians (2019) By Avance Media (Alitajwa)<ref>{{Rejea tovuti|title=Avance Media {{!}} Profiles: 2019 50 Most Influential Young Tanzanians|url=https://avancemedia.org/2019miyt/|accessdate=2024-02-06|language=en-US|archive-date=2024-02-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20240206063409/https://avancemedia.org/2019miyt/|url-status=dead}}</ref>
==Viungo vya nje==
# https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/woman/women-entrepreneurs-in-hi-tech-start-ups-2545326
# https://qz.com/africa/1214051/how-tanzania-is-betting-on-coding-to-help-close-the-gender-gap-in-its-tech-sector/
# http://www.aidforum.org/topics/health-and-wash/the-winner-of-the-innovator-of-the-year-award-is-announced/
# https://www.millicom.com/media/2808/final-tigo-digital-changemakers-sir-2015-regional-version.pdf
# https://www.s4ye.org/sites/default/files/2018-11/S4YE%20Digital%20Jobs%20Report.pdf
== Marejeo ==
<references />
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wiki Loves Women Tanzania]]
[[Jamii:Wanawake wa Tanzania]]
nfuuicvex9uzhhqb93kzo44gko1mpad
Mto Kambogo (Embu)
0
104884
1570555
1044337
2026-06-10T23:27:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570555
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Embu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] ambao ndio mrefu kuliko [[Mito ya Kenya|yote nchini]] na unaishia katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Embu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Embu]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
cjp5601qgfsoyvhtcydjpbkxipn1nva
Mkondo wa Sakuto
0
104940
1570510
1044432
2026-06-10T23:20:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570510
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Lamu]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Lamu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Lamu]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
l95d6o72ilykibc4uhl66du9aev7yzk
Mkondo wa Balesangh
0
104942
1569907
1044434
2026-06-10T21:41:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569907
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Lamu]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Lamu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Lamu]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
4ywfaxnk28k46djj6vjsrhsf9pdoht5
Mkondo wa Daitti
0
104943
1570102
1044435
2026-06-10T22:13:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570102
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Lamu]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Lamu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Lamu]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
4ywfaxnk28k46djj6vjsrhsf9pdoht5
Mto Laga Har
0
104957
1569575
1044452
2026-06-10T20:47:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569575
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Wajir]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Wajir]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9h09t0oi99cpcnm9n0tzej0he7ig6vc
Mto Laga Jara
0
104958
1569799
1044453
2026-06-10T21:24:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569799
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Wajir]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Wajir]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9h09t0oi99cpcnm9n0tzej0he7ig6vc
Mto Laga Jarti Guda
0
104959
1570002
1044454
2026-06-10T21:56:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570002
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Wajir]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Wajir]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9h09t0oi99cpcnm9n0tzej0he7ig6vc
Mto Lagh Libahili
0
104964
1570182
1044459
2026-06-10T22:26:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570182
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Wajir]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Wajir]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9h09t0oi99cpcnm9n0tzej0he7ig6vc
Mto Lagh Shubwarabwe
0
104965
1570359
1044460
2026-06-10T22:55:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570359
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Wajir]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Wajir]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
9h09t0oi99cpcnm9n0tzej0he7ig6vc
Mto Laga Gada
0
104975
1570128
1044494
2026-06-10T22:17:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570128
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Mandera]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]], mipakani kwa [[Ethiopia]] na [[Somalia]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini Somalia.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mandera]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mandera]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2qy1ofevtxhjlo228gc6yn7vmryvpge
Mto Lagh Sure
0
104980
1570311
1044499
2026-06-10T22:47:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570311
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Mandera]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]], mipakani kwa [[Ethiopia]] na [[Somalia]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini Somalia.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mandera]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mandera]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2qy1ofevtxhjlo228gc6yn7vmryvpge
Mto Lagh Umul
0
104981
1570496
1044500
2026-06-10T23:18:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570496
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Mandera]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]], mipakani kwa [[Ethiopia]] na [[Somalia]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini Somalia.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mandera]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mandera]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2qy1ofevtxhjlo228gc6yn7vmryvpge
Mto Marania Magharibi
0
105067
1569569
1044697
2026-06-10T20:46:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569569
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h
Mto Matagone
0
105068
1569792
1044698
2026-06-10T21:22:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569792
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h
Mto Morire
0
105072
1569990
1044703
2026-06-10T21:54:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569990
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h
Mto Rhobdo
0
105087
1570354
1044719
2026-06-10T22:54:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570354
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h
Mto Sasaab
0
105088
1570538
1044721
2026-06-10T23:24:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570538
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h
Mto Kortikora
0
105128
1569726
1044791
2026-06-10T21:12:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569726
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
d3ve68yottgndu0ti5o9vn27w712q5h
Mto Laga Dima
0
105129
1569921
1044792
2026-06-10T21:43:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569921
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
d3ve68yottgndu0ti5o9vn27w712q5h
Mto Wamahatho
0
105143
1570113
1044810
2026-06-10T22:14:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570113
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Isiolo]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
d3ve68yottgndu0ti5o9vn27w712q5h
Mto Boro Boro (Taita-Taveta)
0
105145
1569639
1044815
2026-06-10T20:57:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569639
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Pangani]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
[[Jamii:Mto Pangani]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
16w91mj3paibiqmg182mj7lsl1vedc0
Mto Makoma (Taita-Taveta)
0
105162
1569612
1044856
2026-06-10T20:53:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569612
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
5uq8qlebcb636b6wzsb7u1ae6p2xpx3
Mto Mawora
0
105163
1569825
1044857
2026-06-10T21:28:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569825
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
5uq8qlebcb636b6wzsb7u1ae6p2xpx3
Mto Mwanyanymala
0
105166
1570101
1044860
2026-06-10T22:12:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570101
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Galana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ndn1w4e0nvf0xdxoengitn7bpwii5px
Mto Mzima
0
105168
1570284
1044863
2026-06-10T22:43:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570284
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Galana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ndn1w4e0nvf0xdxoengitn7bpwii5px
Mto Ollaioni
0
105169
1570466
1044864
2026-06-10T23:13:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570466
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Taita-Taveta]], [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Galana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Taita-Taveta]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
ndn1w4e0nvf0xdxoengitn7bpwii5px
Mto Kiaruru
0
105219
1569734
1044925
2026-06-10T21:13:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569734
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Kibereli
0
105220
1569927
1044926
2026-06-10T21:44:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569927
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Kiamara
0
105221
1570121
1044928
2026-06-10T22:16:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570121
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Kiburu
0
105222
1570305
1044929
2026-06-10T22:46:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570305
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Kimaiti
0
105223
1570489
1044930
2026-06-10T23:16:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570489
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Tambaya (Kiambu)
0
105287
1569528
1044998
2026-06-10T20:39:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569528
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe
Mto Kathondo
0
105340
1569642
1045122
2026-06-10T20:58:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569642
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kirinyaga]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kirinyaga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kirinyaga]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
k2anaeglpypw8w2fiqqor147neeyem8
Mto Murubara
0
105351
1569853
1045133
2026-06-10T21:32:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569853
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kirinyaga]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kirinyaga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kirinyaga]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
k2anaeglpypw8w2fiqqor147neeyem8
Mto Mururi
0
105352
1570048
1045134
2026-06-10T22:04:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570048
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kirinyaga]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kirinyaga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kirinyaga]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
k2anaeglpypw8w2fiqqor147neeyem8
Mto Rundu (Kirinyaga)
0
105363
1570234
1045146
2026-06-10T22:34:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570234
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kirinyaga]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kirinyaga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kirinyaga]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
k2anaeglpypw8w2fiqqor147neeyem8
Mto Kaule (Kitui)
0
105552
1569733
1045569
2026-06-10T21:13:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569733
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Kisama (Kitui)
0
105577
1569926
1045597
2026-06-10T21:44:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569926
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Kisioni
0
105578
1570119
1045598
2026-06-10T22:15:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570119
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Kisiu
0
105579
1570303
1045599
2026-06-10T22:46:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570303
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Kyambusia
0
105595
1570488
1045622
2026-06-10T23:16:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570488
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Kyanzonzo
0
105596
1570196
1045623
2026-06-10T22:28:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570196
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
06y3nr4po9641tzt5t556u0gs8efiyt
Mto Mubokoni
0
105630
1570375
1045660
2026-06-10T22:57:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570375
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
06y3nr4po9641tzt5t556u0gs8efiyt
Mto Ndatani
0
105726
1569527
1045873
2026-06-10T20:39:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569527
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Ngunguni
0
105727
1569749
1045874
2026-06-10T21:15:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569749
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Ngunyumu
0
105728
1569945
1045875
2026-06-10T21:47:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569945
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Ntheeu
0
105729
1570138
1045876
2026-06-10T22:18:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570138
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Nyondo (Kitui)
0
105730
1570322
1045877
2026-06-10T22:49:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570322
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Nzanzeni
0
105731
1570507
1045878
2026-06-10T23:19:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570507
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2
Mto Thangi
0
105745
1570558
1045893
2026-06-10T23:28:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570558
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kitui]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
06y3nr4po9641tzt5t556u0gs8efiyt
Mto Liji
0
105879
1570544
1046081
2026-06-10T23:25:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570544
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Meru]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Meru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Meru]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
njh74261ejs30rtmlkanb472hle9stz
Mto Karuruma (Murang’a)
0
105952
1569539
1046202
2026-06-10T20:41:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569539
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5
Mto Makindi
0
105960
1569661
1046210
2026-06-10T21:01:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569661
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2tjopag1z5yh0koktux941aul1ktcbu
Mto Mbiri (Murang’a)
0
105961
1569759
1046211
2026-06-10T21:17:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569759
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5
Mto Mea (Murang’a)
0
105962
1569864
1046212
2026-06-10T21:34:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569864
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2tjopag1z5yh0koktux941aul1ktcbu
Mto Morare
0
105963
1569954
1046213
2026-06-10T21:49:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569954
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5
Mto Mugono (Murang’a)
0
105964
1570148
1046214
2026-06-10T22:20:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570148
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5
Mto Ngenya
0
105969
1570063
1046220
2026-06-10T22:06:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570063
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2tjopag1z5yh0koktux941aul1ktcbu
Mto Kameni
0
105970
1570330
1046224
2026-06-10T22:50:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570330
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5
Mto Ruambora
0
105978
1570246
1046232
2026-06-10T22:36:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570246
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
2tjopag1z5yh0koktux941aul1ktcbu
Mto Kasaringa
0
106081
1570046
1046496
2026-06-10T22:03:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570046
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
l1vbyjfgu28u1v3pbefvdw164za8uj6
Mto Sasumwa Mdogo
0
106082
1570230
1046498
2026-06-10T22:34:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570230
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
l1vbyjfgu28u1v3pbefvdw164za8uj6
Mto Monyu
0
106132
1569562
1046570
2026-06-10T20:45:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569562
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
5razmvc4frwx923pnszt0pdk5j77qc2
Mto Muruaki
0
106133
1569784
1046571
2026-06-10T21:21:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569784
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
5razmvc4frwx923pnszt0pdk5j77qc2
Mto Rumaru
0
106144
1569977
1046582
2026-06-10T21:52:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569977
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
5razmvc4frwx923pnszt0pdk5j77qc2
Mto Karura (Nyeri)
0
106274
1569596
1046959
2026-06-10T20:50:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569596
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Katheo Thiru
0
106276
1569814
1046961
2026-06-10T21:26:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569814
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Kiagonde
0
106277
1570017
1046962
2026-06-10T21:58:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570017
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Kianjore
0
106278
1570193
1046963
2026-06-10T22:27:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570193
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Kichichi
0
106279
1570371
1046964
2026-06-10T22:57:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570371
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Mumwe Kaskazini
0
106298
1570553
1046985
2026-06-10T23:27:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570553
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy
Mto Kiangini
0
106568
1569611
1047593
2026-06-10T20:53:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569611
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Kilongoni
0
106569
1569824
1047594
2026-06-10T21:28:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569824
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Kiluku
0
106570
1570026
1047595
2026-06-10T22:00:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570026
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Kimande
0
106571
1570206
1047596
2026-06-10T22:30:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570206
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Kwakiboko
0
106588
1570384
1047614
2026-06-10T22:59:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570384
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Kwakitunga
0
106589
1570568
1047615
2026-06-10T23:29:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570568
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Mtito Andei
0
106688
1569625
1047809
2026-06-10T20:55:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569625
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Ngosini
0
106722
1569838
1047843
2026-06-10T21:30:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569838
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Nguni
0
106723
1570037
1047845
2026-06-10T22:02:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570037
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Ngutwa
0
106724
1570217
1047846
2026-06-10T22:31:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570217
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Nzesi
0
106728
1570394
1047850
2026-06-10T23:00:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570394
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Nzilani
0
106729
1570580
1047851
2026-06-10T23:31:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570580
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx
Mto Noopopong
0
106901
1569725
1048228
2026-06-10T21:11:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569725
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Machakos]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bxbelrrzc5gk89adhb556sci94r200w
Mto Nthekethe
0
106902
1569920
1048229
2026-06-10T21:43:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569920
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Machakos]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bxbelrrzc5gk89adhb556sci94r200w
Mto Uai
0
106906
1570112
1048233
2026-06-10T22:14:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570112
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Machakos]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
bxbelrrzc5gk89adhb556sci94r200w
Mto Olkeju Rongai (Narok)
0
106945
1569786
1048279
2026-06-10T21:21:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569786
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pu70w712989weu0g1agwd1w2kenmewc
Mto Kipsomoro
0
106955
1569673
1048290
2026-06-10T21:03:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569673
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Larangayeti
0
106964
1569873
1048299
2026-06-10T21:36:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569873
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Lepolosie
0
106968
1570075
1048303
2026-06-10T22:08:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570075
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Lereteti
0
106969
1570258
1048304
2026-06-10T22:38:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570258
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Longonine
0
106974
1570431
1048309
2026-06-10T23:07:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570431
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Nekiboitai
0
106982
1570613
1048317
2026-06-10T23:37:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570613
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Olturotua
0
107032
1569683
1048370
2026-06-10T21:04:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569683
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Oolesere
0
107033
1569881
1048371
2026-06-10T21:37:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569881
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Shangalara
0
107053
1570082
1048393
2026-06-10T22:09:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570082
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8
Mto Olkeju Lormungushi
0
107117
1569738
1048457
2026-06-10T21:14:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569738
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg
Mto Ongadie
0
107133
1569931
1048473
2026-06-10T21:45:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569931
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg
Mto Orkejulengitoto
0
107134
1570123
1048474
2026-06-10T22:16:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570123
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg
Mto Orkerii
0
107135
1570307
1048475
2026-06-10T22:46:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570307
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg
Mto Partetpa
0
107136
1570494
1048476
2026-06-10T23:17:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570494
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg
Mto Darakat
0
107167
1569909
1048536
2026-06-10T21:42:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569909
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
jb0wpfr4wu64clythakef1cv2k04df4
Mto Duldul
0
107171
1570226
1048541
2026-06-10T22:33:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570226
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
ciex3fz6r6hu41ef25iv7cs62pu4m2x
Mto Eibor
0
107173
1570105
1048543
2026-06-10T22:13:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570105
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
jb0wpfr4wu64clythakef1cv2k04df4
Mto Imambariswani
0
107199
1569695
1048600
2026-06-10T21:06:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569695
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
qbjx0tb03b38umqb693swr1zhs2uytq
Mto Kaapuru
0
107202
1570287
1048603
2026-06-10T22:43:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570287
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
jb0wpfr4wu64clythakef1cv2k04df4
Mto Kabuyefwe (Naili)
0
107206
1569583
1048607
2026-06-10T20:48:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569583
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s
Mto Kamiti
0
107220
1569890
1048630
2026-06-10T21:38:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569890
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
qbjx0tb03b38umqb693swr1zhs2uytq
Mto Kiboko (Lindi)
0
107262
1570000
1048715
2026-06-10T21:56:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570000
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Lindi]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Lindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
aok19babyw3pjse3eljqi8um8yzbyvc
Mto Kibos
0
107266
1569805
1048727
2026-06-10T21:25:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569805
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s
Mto Kimothon
0
107267
1570010
1048728
2026-06-10T21:57:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570010
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s
Mto Lochan
0
107302
1570120
1048774
2026-06-10T22:15:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570120
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]], kuanzia mpakani mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
jirwsmwos2zkev39vt7xvv50ufnt4tl
Mto Loochuk
0
107310
1570304
1048794
2026-06-10T22:46:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570304
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]], kuanzia mpakani mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
jirwsmwos2zkev39vt7xvv50ufnt4tl
Mto Mookuani
0
107377
1570270
1048970
2026-06-10T22:40:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570270
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Galana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
qbjx0tb03b38umqb693swr1zhs2uytq
Mto Ngaila
0
107411
1570547
1049017
2026-06-10T23:26:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570547
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s
Mto Peleta
0
107436
1570214
1049043
2026-06-10T22:31:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570214
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
s3w4om7j1674tbktm5wbtn6g0cmmqke
Mto Ronkai
0
107443
1570391
1049050
2026-06-10T23:00:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570391
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Mto Jubba]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
s3w4om7j1674tbktm5wbtn6g0cmmqke
Mto Kabahelele
0
107824
1569669
1051003
2026-06-10T21:02:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569669
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]] ([[mkoa wa Geita]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Kongo]] na hatimaye katika [[Bahari Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Geita]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
[[Jamii:Mkoa wa Geita]]
7t5e5qy92cyu680h5ub5139vnwgv35o
Mto Marengamadu
0
107842
1570034
1051036
2026-06-10T22:01:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570034
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katikati ya [[Tanzania]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Rufiji]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mto Rufiji]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
o5tc8jomdlllp96ca4j5z5ug196wn38
Mto Mkowangero
0
107846
1570001
1051040
2026-06-10T21:56:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570001
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Tanzania]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
lqss6ouo4u5ylf9r4j2vxtr8mkn947p
Mto Muipa
0
107880
1570181
1051191
2026-06-10T22:25:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570181
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Tanzania]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
ex1l4robqiogu36yqernxqymlk64rjk
Mto Mulagia
0
107881
1570358
1051192
2026-06-10T22:54:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570358
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
ii847x84lbk7gnnd163zftkw1zmt7uf
Mto Munga Mawe
0
107882
1570542
1051193
2026-06-10T23:25:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570542
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
ii847x84lbk7gnnd163zftkw1zmt7uf
Mlima Narok
0
108029
1570285
1051628
2026-06-10T22:43:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570285
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[mkoa wa Arusha]], [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
[[Kimo]] chake ni [[mita]] 2,184 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima ya mkoa wa Arusha]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Arusha]]
eju1xrok1unaklmcs4mr1eue85pq7dc
Mlima Kwaraha
0
108138
1569600
1051934
2026-06-10T20:51:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569600
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' iko katika [[Mkoa wa Manyara]] nchini [[Tanzania]].
[[Kilele]] kina [[urefu]] wa [[mita]] 2,408 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima ya mkoa wa Manyara]]
*[[Orodha ya milima ya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Milima ya Afrika]]
[[Jamii:Mkoa wa Manyara]]
kei6df8ki184y7zi8qlk3ax6d80gewq
Orodha ya milima ya mkoa wa Katavi
0
108511
1570482
1053818
2026-06-10T23:15:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570482
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya milima ya mkoa wa Katavi''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[milima]] ya eneo hilo la [[Tanzania]] [[magharibi]].
* [[Milima ya Ibindi]]
* [[Milima ya Kosio]]
* [[Milima ya Mlala]]
* [[Milima ya Sitwe]]
* [[Milima ya Wansisi]]
* [[Mlima Ilyandi Sandi]]
* [[Mlima Malambo]]
* [[Mlima Rupila]]
* [[Mlima Yamba]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Katavi]]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Jiografia ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Katavi]]
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
3zf1n59c3nn66m1r73b6abgxc3howet
Orodha ya milima ya mkoa wa Rukwa
0
108521
1569671
1053919
2026-06-10T21:02:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569671
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya milima ya mkoa wa Rukwa''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[milima]] ya eneo hilo la [[Tanzania]] [[magharibi]].
* [[Milima ya Chasamila]]
* [[Milima ya Chiparua]]
* [[Milima ya Chocha]]
* [[Milima ya Kanda]]
* [[Milima ya Kasusu]]
* [[Milima ya Katazi]]
* [[Milima ya Katutu]]
* [[Milima ya Lindi]]
* [[Milima ya Makos]]
* [[Milima ya Mantala]]
* [[Milima ya Maula]]
* [[Milima ya Milungu]]
* [[Milima ya Misansa]]
* [[Milima ya Mpangla]]
* [[Milima ya Mwaya]]
* [[Milima ya Nsasi]]
* [[Milima ya Nyanda]]
* [[Milima ya Takamorwa]]
* [[Milima ya Thombe]]
* [[Milima ya Tikatupu]]
* [[Milima ya Tupande]]
* [[Milima ya Ulua]]
* [[Mlima Ipungulu]]
* [[Mlima Karema]]
* [[Mlima Wasosi]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rukwa]]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Jiografia ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Rukwa]]
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
j9kmez01cusy0kffk3d2mc076nuxehc
Kisiwa cha Nipanga
0
108778
1569667
1055072
2026-06-10T21:02:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569667
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kisiwa]] kimojawapo cha [[mkoa wa Lindi]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-lindi}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
grodkreul8w9bt6bd6wo6bkvbmgvlec
Kisiwa cha Nonguru
0
108779
1569870
1055073
2026-06-10T21:35:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569870
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kisiwa]] kimojawapo cha [[mkoa wa Lindi]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-lindi}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
grodkreul8w9bt6bd6wo6bkvbmgvlec
Visiwa vya Kivurugu
0
108781
1570467
1055075
2026-06-10T23:13:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570467
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' vinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]] na viko chini ya [[mkoa wa Lindi]], nchini [[Tanzania]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-lindi}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
eisindbfwwqaca1nq2e0tjowzm3cf7s
Kisiwa cha Kijiweni
0
108801
1569837
1055103
2026-06-10T21:30:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569837
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Unguja Kusini]], [[Zanzibar]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Unguja Kusini]]
owb2buxjamb23m69s7ba6q80fs8q5k4
Kisiwa cha Kiweni
0
108851
1570442
1055167
2026-06-10T23:09:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570442
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Pemba Kusini]], [[Zanzibar]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
* [[Funguvisiwa la Zanzibar]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Pemba Kusini]]
[[Jamii:Zanzibar]]
31e36fnpgwvalmhcnmn8839cirnduk9
Kisiwa cha Magharibi (Pemba)
0
108865
1570623
1055181
2026-06-10T23:39:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570623
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Pemba Kusini]], [[Zanzibar]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
* [[Funguvisiwa la Zanzibar]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Mkoa wa Pemba Kusini]]
[[Jamii:Zanzibar]]
31e36fnpgwvalmhcnmn8839cirnduk9
Kisiwa cha Songe
0
109026
1570200
1055407
2026-06-10T22:29:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570200
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Mara]], [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-mara}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
razefv8kcge1d4bat7uzy792jd95twf
Kisiwa cha Vianza
0
109027
1570378
1055408
2026-06-10T22:58:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570378
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Mara]], [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-mara}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
razefv8kcge1d4bat7uzy792jd95twf
Kisiwa cha Zue
0
109028
1570561
1055409
2026-06-10T23:28:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570561
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Mara]], [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]].
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-mara}}
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
razefv8kcge1d4bat7uzy792jd95twf
Kisiwa cha Damba
0
109240
1570374
1055928
2026-06-10T22:57:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570374
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mukono]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
3zbim8mbmtzpu7gllhg98jts3arsom8
Kisiwa cha Koome
0
109241
1570557
1055929
2026-06-10T23:28:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570557
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mukono]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
3zbim8mbmtzpu7gllhg98jts3arsom8
Kisiwa cha Baga
0
109260
1569854
1056004
2026-06-10T21:32:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569854
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
o965si2uuysvmi46x6y48nvsqct5176
Kisiwa cha Batwala
0
109263
1570050
1056010
2026-06-10T22:04:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570050
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mukono]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
9etkbkhb15xxql74x8186xczx1luki7
Kisiwa cha Buiga (Mpigi)
0
109269
1569778
1056019
2026-06-10T21:20:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569778
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mpigi]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Mpigi]]
nkecc8ncm6fal7maeglazb4x8otz2kt
Kisiwa cha Bulanku
0
109276
1570235
1056027
2026-06-10T22:34:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570235
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
o965si2uuysvmi46x6y48nvsqct5176
Kisiwa cha Bunjako
0
109278
1569969
1056029
2026-06-10T21:51:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569969
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mpigi]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Mpigi]]
nkecc8ncm6fal7maeglazb4x8otz2kt
Kisiwa cha Bussi
0
109281
1570407
1056034
2026-06-10T23:03:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570407
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Wakiso]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Wakiso]]
r9t7ojjk392kyk4yyg20sta76dod7td
Kisiwa cha Busungwe
0
109282
1570163
1056036
2026-06-10T22:22:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570163
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Rakai]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Rakai]]
sc4l1z92uoik8a3gk0xo9fl9scz685r
Kisiwa cha Bwema
0
109289
1570589
1056043
2026-06-10T23:33:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570589
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
o965si2uuysvmi46x6y48nvsqct5176
Wasagalla
0
109424
1569534
1056545
2026-06-10T20:40:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569534
wikitext
text/x-wiki
'''Wasagalla''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[jamii]] ya [[Wabantu]] wanaoishi [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]], katika [[milima ya Taita]] [[kaunti ya Taita-Taveta]].
[[Lugha]] yao ni [[Kisagalla]], mojawapo kati ya [[lugha za Kibantu]] ambayo inafanana na [[Kitaita]] na pia [[Kichaga]].
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Makabila ya Kenya}}
{{mbegu-utamaduni-KE}}
[[Jamii:Makabila ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]]
pt54de4pa70xalbizpc9aakxt240s1m
Kisiwa cha Funve
0
109487
1569637
1056800
2026-06-10T20:57:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569637
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
doxn747o0lq0gv3rrj1wlkgycu7d8k9
Kisiwa cha Kibibi Kaskazini
0
109661
1570161
1057442
2026-06-10T22:22:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570161
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Kalangala]]
jehxo2ocj76you2j5mnogwltrgu66oi
Kisiwa cha Kibibi Kusini
0
109662
1570343
1057443
2026-06-10T22:52:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570343
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Kalangala]]
jehxo2ocj76you2j5mnogwltrgu66oi
Kisiwa cha Linga (Uganda)
0
109683
1570528
1057478
2026-06-10T23:23:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570528
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Kalangala]]
jehxo2ocj76you2j5mnogwltrgu66oi
Kisiwa cha Lwabagenge
0
109700
1569742
1057495
2026-06-10T21:14:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569742
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
5anx14m6e67bwwitb5q4uixcx1wlx88
Kisiwa cha Lwabana
0
109702
1569938
1057497
2026-06-10T21:46:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569938
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Masaka]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Masaka]]
ckp8cps9npwa7k1fyfb679957tlx77y
Kisiwa cha Lwaji
0
109703
1570132
1057498
2026-06-10T22:17:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570132
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
5anx14m6e67bwwitb5q4uixcx1wlx88
Kisiwa cha Maungwe
0
109717
1570314
1057538
2026-06-10T22:47:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570314
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Mukono]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
b5cly9i0t3nai5kqocieu0nhvwkzxhh
Kisiwa cha Mavi
0
109718
1570499
1057539
2026-06-10T23:18:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570499
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buvuma]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Wilaya ya Buvuma]]
5anx14m6e67bwwitb5q4uixcx1wlx88
Kisiwa cha Samoka
0
109851
1569581
1057827
2026-06-10T20:48:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569581
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] ([[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]], [[Wilaya ya Jinja]]).
Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Jinja]]
[[Jamii:Visiwa vya Uganda]]
[[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]]
a5g6rcdflnesd4yoz4as6vgmu5lxt3f
Nile Nyeupe
0
110208
1570719
1067656
2026-06-11T07:15:47Z
AlwiyaGhareeb
83622
Nimeongeza jamii
1570719
wikitext
text/x-wiki
[[File:White and Blue Nile-en.svg|thumb|upright=1.3|Ramani ikionyesha Nile Neupe na [[Nile ya Buluu]] katika Afrika Mashariki.]]
[[File:RusumoFalls2.jpg|thumb|[[Rusumo Falls]].]]
'''Nile Nyeupe''' (kwa [[Kiingereza]]: '''White Nile'''; kwa [[Kiarabu]]: '''النيل الأبيض''', an-nīl al-'abyaḍ) ni [[mto]] wa [[Afrika]], moja kati ya [[tawimto|matawimto]] makuu ya [[Nile]]; la pili linaitwa [[Nile ya Buluu]]. [[Jina|Majina]] hayo yanatokana na [[rangi]] ya [[maji]] inayosababishwa na [[udongo]] uliomo.<ref>{{cite book|url={{Google books|foVRAAAAYAAJ|page=362|keywords=clay|text=|plainurl=y}}|title=The New American Cyclopaedia: A Popular Dictionary of General Knowledge, Volume 12|last=|first=|date=1867|publisher=|year=|isbn=|location=|page=362|pages=}}</ref>
Kwa usahihi, "Nile Nyeupe" ni mto unaopatikana katika Ziwa No, inapokutana mito [[Bahr al Jabal]] na [[Bahr el Ghazal]]. Kwa maana pana ni mikondo yote inayotokana na [[Ziwa Viktoria]] hadi kuungana na Nile ya Buluu. These Mikondo hiyo inaitwa "[[Nile ya Viktoria]]" (kupitia [[Ziwa Kyoga]] hadi [[Ziwa Albert (Afrika)|Ziwa Albert]]), "Nile ya Albert" (hadi mpaka wa [[Sudan Kusini]]) halafu "Nile ya mlimani" au "Bahr-al-Jabal" (hadi Ziwa No).<ref>{{cite book|last1=Dumont|first1=Henri J.|title=The Nile: Origin, Environments, Limnology and Human Use|date=2009|pages=344–345|publisher=Springer Science & Business Media|isbn=9781402097263|url={{Google books|iF_U1NoknHoC|page=345|keywords=Kyoga|text=|plainurl=y}} }}</ref> "Nile Nyeupe" inamaanisha pengine hata vyanzo vya Ziwa Viktoria.<ref name="abc-clio">{{cite book|last1=Penn|first1=James R.|title=Rivers of the World: A Social, Geographical, and Environmental Sourcebook|date=2001|publisher=ABC-CLIO|isbn=9781576070420|page=299|url={{Google books|koacGt0fhUoC|page=299|keywords=Luvironza|text=|plainurl=y}}}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya mito ya Sudan]]
* [[Orodha ya mito ya Sudan Kusini]]
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Tanbihi==
{{Reflist|30em}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|White Nile}}
{{Mito ya Uganda}}
{{mito ya Sudan Kusini}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Nile]]
[[Category:Mito ya Sudan]]
[[Category:Mito ya Sudan Kusini]]
[[Category:Mito ya Uganda]]
[[Category:Ziwa Viktoria]]
[[Category:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
gpq15mit2szk15m3bj0jcp1vw9sh02m
1570783
1570719
2026-06-11T08:36:34Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/AlwiyaGhareeb|AlwiyaGhareeb]] ([[User talk:AlwiyaGhareeb|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
1067656
wikitext
text/x-wiki
[[File:White and Blue Nile-en.svg|thumb|upright=1.3|Ramani ikionyesha Nile Neupe na [[Nile ya Buluu]] katika Afrika Mashariki.]]
[[File:RusumoFalls2.jpg|thumb|[[Rusumo Falls]].]]
'''Nile Nyeupe''' (kwa [[Kiingereza]]: '''White Nile'''; kwa [[Kiarabu]]: '''النيل الأبيض''', an-nīl al-'abyaḍ) ni [[mto]] wa [[Afrika]], moja kati ya [[tawimto|matawimto]] makuu ya [[Nile]]; la pili linaitwa [[Nile ya Buluu]]. [[Jina|Majina]] hayo yanatokana na [[rangi]] ya [[maji]] inayosababishwa na [[udongo]] uliomo.<ref>{{cite book|url={{Google books|foVRAAAAYAAJ|page=362|keywords=clay|text=|plainurl=y}}|title=The New American Cyclopaedia: A Popular Dictionary of General Knowledge, Volume 12|last=|first=|date=1867|publisher=|year=|isbn=|location=|page=362|pages=}}</ref>
Kwa usahihi, "Nile Nyeupe" ni mto unaopatikana katika [[Ziwa No]], inapokutana mito [[Bahr al Jabal]] na [[Bahr el Ghazal]]. Kwa maana pana ni mikondo yote inayotokana na [[Ziwa Viktoria]] hadi kuungana na Nile ya Buluu. These Mikondo hiyo inaitwa "[[Nile ya Viktoria]]" (kupitia [[Ziwa Kyoga]] hadi [[Ziwa Albert (Afrika)|Ziwa Albert]]), "[[Nile ya Albert]]" (hadi mpaka wa [[Sudan Kusini]]) halafu "Nile ya mlimani" au "Bahr-al-Jabal" (hadi Ziwa No).<ref>{{cite book|last1=Dumont|first1=Henri J.|title=The Nile: Origin, Environments, Limnology and Human Use|date=2009|pages=344–345|publisher=Springer Science & Business Media|isbn=9781402097263|url={{Google books|iF_U1NoknHoC|page=345|keywords=Kyoga|text=|plainurl=y}} }}</ref> "Nile Nyeupe" inamaanisha pengine hata vyanzo vya Ziwa Viktoria.<ref name="abc-clio">{{cite book|last1=Penn|first1=James R.|title=Rivers of the World: A Social, Geographical, and Environmental Sourcebook|date=2001|publisher=ABC-CLIO|isbn=9781576070420|page=299|url={{Google books|koacGt0fhUoC|page=299|keywords=Luvironza|text=|plainurl=y}}}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya mito ya Sudan]]
* [[Orodha ya mito ya Sudan Kusini]]
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Tanbihi==
{{Reflist|30em}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|White Nile}}
{{Mito ya Uganda}}
{{mito ya Sudan Kusini}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Nile]]
[[Category:Mito ya Sudan]]
[[Category:Mito ya Sudan Kusini]]
[[Category:Mito ya Uganda]]
[[Category:Ziwa Viktoria]]
[[Category:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mediteranea]]
jcu52fbfo4uf8jt18f6zd0luhiwve6b
Mto Nagoliakoret
0
110242
1569975
1058964
2026-06-10T21:52:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569975
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Abim]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Abim]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
nnp6j864v0th2lkunm9uw41sshh9nu1
Mto Nyamodo
0
110271
1569644
1058995
2026-06-10T20:58:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569644
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Adjumani]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Adjumani]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
03vjx5fiflrujleut8w2nezxnqvnoat
Mto Nyeguta
0
110274
1570051
1058999
2026-06-10T22:04:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570051
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Adjumani]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Adjumani]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
03vjx5fiflrujleut8w2nezxnqvnoat
Mto Obore
0
110278
1570236
1059003
2026-06-10T22:35:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570236
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Adjumani]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Adjumani]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
03vjx5fiflrujleut8w2nezxnqvnoat
Mto Achebe
0
110298
1570571
1059024
2026-06-10T23:30:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570571
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
mhwpa54y0hiliinknrdyhk8as9xpozx
Mto Dwalopuk
0
110309
1569546
1059041
2026-06-10T20:42:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569546
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5sk50d0l4unm0co1yr3v7t14rv1qthr
Mto Kadil
0
110310
1569767
1059042
2026-06-10T21:18:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569767
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5sk50d0l4unm0co1yr3v7t14rv1qthr
Mto Labwor
0
110324
1569960
1059056
2026-06-10T21:50:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569960
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5sk50d0l4unm0co1yr3v7t14rv1qthr
Mto Lamingonen
0
110325
1570153
1059057
2026-06-10T22:21:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570153
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5sk50d0l4unm0co1yr3v7t14rv1qthr
Mto Lugung
0
110326
1570335
1059058
2026-06-10T22:51:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570335
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Agago]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Agago]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5sk50d0l4unm0co1yr3v7t14rv1qthr
Mto Pila (Uganda)
0
110392
1570408
1059273
2026-06-10T23:03:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570408
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Alebtong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Alebtong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
eg9x61ymprwi0za0sdhmayj87tfulc0
Mto Nakatuman
0
110411
1569655
1059293
2026-06-10T21:00:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569655
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] lililoko [[Kenya]] na [[Ethiopia]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amudat]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amudat]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
tambwsldgd46vn1lhgu33jjnpmgv5ge
Mto Otiko
0
110412
1569860
1059294
2026-06-10T21:33:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569860
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] lililoko [[Kenya]] na [[Ethiopia]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amudat]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amudat]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Ziwa Turkana]]
tambwsldgd46vn1lhgu33jjnpmgv5ge
Mto Acakala
0
110422
1570521
1059307
2026-06-10T23:22:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570521
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Leadiga
0
110503
1569560
1059443
2026-06-10T20:44:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569560
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Mukuru (Uganda)
0
110512
1569782
1059452
2026-06-10T21:21:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569782
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Nyakakworo
0
110516
1569973
1059457
2026-06-10T21:52:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569973
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Nyamungule
0
110517
1570166
1059458
2026-06-10T22:23:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570166
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Nzoroa
0
110518
1570346
1059459
2026-06-10T22:52:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570346
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Obot
0
110519
1570530
1059460
2026-06-10T23:23:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570530
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y
Mto Koli (Uganda)
0
110585
1570348
1059619
2026-06-10T22:53:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570348
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Apac]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Apac]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3cqt67mx6qjt03niaih0nnidmq78af1
Mto Malakwanga
0
110586
1570531
1059620
2026-06-10T23:23:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570531
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Apac]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Apac]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3cqt67mx6qjt03niaih0nnidmq78af1
Mto Uzuva
0
110658
1569574
1059692
2026-06-10T20:46:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569574
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Arua]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Arua]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1u6ri3zr4em3gadcsc1nkwuzexygyhn
Mto Agwok
0
110675
1569796
1059710
2026-06-10T21:23:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569796
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Ajola
0
110676
1569998
1059711
2026-06-10T21:55:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569998
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Akore (Gulu)
0
110677
1570179
1059712
2026-06-10T22:25:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570179
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Amolo
0
110678
1570357
1059713
2026-06-10T22:54:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570357
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Laban (Uganda)
0
110691
1570541
1059726
2026-06-10T23:25:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570541
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Laminamak
0
110756
1569588
1059799
2026-06-10T20:49:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569588
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Laminayila
0
110757
1569810
1059800
2026-06-10T21:25:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569810
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Lamindyang
0
110758
1570012
1059801
2026-06-10T21:58:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570012
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Munurac
0
110804
1570188
1059942
2026-06-10T22:27:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570188
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Nalayibi
0
110805
1570367
1059943
2026-06-10T22:56:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570367
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Ochanga
0
110806
1570549
1059944
2026-06-10T23:26:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570549
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gulu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx
Mto Awer (Kitgum)
0
110834
1570569
1059973
2026-06-10T23:30:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570569
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Lutukumini
0
110913
1569627
1060108
2026-06-10T20:55:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569627
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Orapura
0
110925
1569841
1060120
2026-06-10T21:30:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569841
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Owilkitiko
0
110929
1570039
1060124
2026-06-10T22:02:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570039
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Palukipye
0
110930
1570218
1060125
2026-06-10T22:32:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570218
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Palukweny
0
110931
1570397
1060126
2026-06-10T23:01:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570397
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Mto Wangali
0
110935
1570582
1060130
2026-06-10T23:32:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570582
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kitgum]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kitgum]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gvffiquct1ifjef1opuxh9mp2nn55y6
Kislovenia
0
111148
1569780
1061482
2026-06-10T21:20:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569780
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kislovenia''' ni moja kati ya [[lugha za Kislavoni]], za [[jamii]] ya [[Lugha za Kihindi-Kiulaya]], kinachozungumzwa na [[watu]] [[milioni]] 2.5, zaidi katika nchi ya [[Slovenia]].
Kislovenia kilikuwa [[lugha rasmi]] ya Yugoslavia pamoja na [[Kiserbia]], [[Kikroatia]], na [[Kimasedonia]].
{{mbegu-lugha}}
[[Jamii:Lugha za Kislavoni]]
[[Jamii:Lugha za Slovenia]]
[[Jamii:Lugha za Kroatia]]
[[Jamii:Lugha za Italia]]
[[Jamii:Lugha za Hungaria]]
[[Jamii:Lugha za Austria]]
6wbxb5g53ml681g6wgxlrp1qlw063no
Mto Baram (Kaabong)
0
111223
1570616
1061756
2026-06-10T23:37:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570616
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
8e1g7mjojky08f50g3cfa2z0bjnk8j4
Mto Kalabi (Kaabong)
0
111236
1569663
1061769
2026-06-10T21:01:47Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569663
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Kalere
0
111237
1569866
1061770
2026-06-10T21:34:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569866
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Kalilimon
0
111238
1570066
1061771
2026-06-10T22:07:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570066
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Kalimon
0
111239
1570248
1061772
2026-06-10T22:37:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570248
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Lochorkinei
0
111270
1570421
1061847
2026-06-10T23:05:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570421
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Logara
0
111271
1570603
1061848
2026-06-10T23:35:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570603
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaabong]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6
Mto Ayago (Lamwo)
0
111440
1569652
1062254
2026-06-10T20:59:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569652
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fqb5t35fpuv791qz2jy33npr5g4u8a7
Mto Kelku
0
111461
1569545
1062278
2026-06-10T20:42:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569545
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Lamaido
0
111472
1569766
1062289
2026-06-10T21:18:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569766
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Langok
0
111473
1569959
1062290
2026-06-10T21:50:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569959
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Lapirapira
0
111474
1570152
1062291
2026-06-10T22:21:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570152
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Luker
0
111479
1570334
1062296
2026-06-10T22:51:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570334
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Lukide
0
111480
1570519
1062297
2026-06-10T23:21:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570519
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco
Mto Parono
0
111516
1569858
1062379
2026-06-10T21:33:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569858
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lamwo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fqb5t35fpuv791qz2jy33npr5g4u8a7
Mto Ayila (Nebbi)
0
111638
1570055
1062671
2026-06-10T22:05:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570055
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nebbi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5qonyiny00wr000iwo202gaurta05jy
Mto Nyakumba
0
111654
1569559
1062690
2026-06-10T20:44:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569559
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nebbi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
dpt1a2kmxbk36eskb2hhk3bq7jeaj98
Mto Paiching
0
111672
1569781
1062902
2026-06-10T21:21:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569781
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nebbi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
dpt1a2kmxbk36eskb2hhk3bq7jeaj98
Mto Raguka
0
111673
1569972
1062905
2026-06-10T21:52:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569972
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nebbi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
dpt1a2kmxbk36eskb2hhk3bq7jeaj98
Mto Sido
0
111674
1570165
1062908
2026-06-10T22:23:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570165
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nebbi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
dpt1a2kmxbk36eskb2hhk3bq7jeaj98
Mto Kananyait
0
111694
1570478
1062979
2026-06-10T23:15:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570478
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ta289dn1258zaxamuyxyz37f1iz9knf
Mto Koromoich
0
111698
1569862
1062990
2026-06-10T21:34:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569862
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] ([[Kenya]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
6s1rel5fer3i25cceoupp8riatxw3o0
Mto Lochorakwangen
0
111699
1570061
1062996
2026-06-10T22:06:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570061
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] ([[Kenya]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
6s1rel5fer3i25cceoupp8riatxw3o0
Mto Lodias
0
111700
1570244
1062997
2026-06-10T22:36:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570244
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] ([[Kenya]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
6s1rel5fer3i25cceoupp8riatxw3o0
Mto Lomapus
0
111701
1570418
1063001
2026-06-10T23:05:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570418
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] ([[Kenya]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
6s1rel5fer3i25cceoupp8riatxw3o0
Mto Lopedot
0
111702
1570598
1063007
2026-06-10T23:34:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570598
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]] ([[Kenya]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
6s1rel5fer3i25cceoupp8riatxw3o0
Mto Akura (Oyam)
0
111730
1569590
1063096
2026-06-10T20:49:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569590
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Oyam]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Oyam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Oyam]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5i0r5bqmm3awujjw6m7mzlh78gzgxm3
Mto Okule
0
111853
1569811
1063435
2026-06-10T21:26:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569811
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Oyam]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Oyam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Oyam]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5i0r5bqmm3awujjw6m7mzlh78gzgxm3
Mto Okure
0
111854
1570013
1063436
2026-06-10T21:58:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570013
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Oyam]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Oyam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Oyam]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5i0r5bqmm3awujjw6m7mzlh78gzgxm3
Mto Olony
0
111855
1570189
1063437
2026-06-10T22:27:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570189
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Oyam]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Oyam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Oyam]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5i0r5bqmm3awujjw6m7mzlh78gzgxm3
Mto Omwodoaita
0
111856
1570368
1063438
2026-06-10T22:56:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570368
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Oyam]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Oyam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Oyam]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5i0r5bqmm3awujjw6m7mzlh78gzgxm3
Mto Akworo (Pader)
0
111866
1570240
1063450
2026-06-10T22:35:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570240
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana katika [[wilaya ya Pader]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Pader]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Pader]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
08fevhvs7rwmkfl9e3a7jsxsr7w84x5
Mto Adedi
0
111943
1569572
1063539
2026-06-10T20:46:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569572
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nwoya]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nwoya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nwoya]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
klyxqg94jykjk6lokquh6v8544zwczz
Mto Chobi
0
111944
1569793
1063540
2026-06-10T21:23:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569793
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nwoya]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nwoya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nwoya]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
klyxqg94jykjk6lokquh6v8544zwczz
Mto Daga (Nwoya)
0
111945
1569994
1063541
2026-06-10T21:55:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569994
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nwoya]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nwoya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nwoya]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
klyxqg94jykjk6lokquh6v8544zwczz
Mto Gotwang
0
111971
1570175
1063626
2026-06-10T22:24:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570175
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nwoya]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nwoya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nwoya]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
klyxqg94jykjk6lokquh6v8544zwczz
Mto Okir
0
112001
1570539
1063656
2026-06-10T23:25:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570539
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nwoya]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nwoya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nwoya]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
klyxqg94jykjk6lokquh6v8544zwczz
Mto Duol
0
112069
1569587
1063762
2026-06-10T20:49:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569587
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Mto Koputh
0
112075
1569809
1063768
2026-06-10T21:25:45Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569809
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Mto Kotipe
0
112076
1570011
1063769
2026-06-10T21:57:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570011
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Mto Lochoman
0
112077
1570186
1063770
2026-06-10T22:26:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570186
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Mto Lochoria
0
112078
1570365
1063771
2026-06-10T22:56:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570365
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Mto Lokorimoru
0
112079
1570548
1063772
2026-06-10T23:26:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570548
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Napak]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39
Orodha ya mito ya wilaya ya Budaka
0
112336
1570464
1064674
2026-06-10T23:12:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570464
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya mito ya wilaya ya Budaka''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]].
* [[Mto Kabuna]]
* [[Mto Kadokolene]]
* [[Mto Nakyalomboga]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Wilaya ya Budaka]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]]
l9y4kcox9vkim97mcnfyue6o6lu5byk
Mto Mobo
0
112345
1570633
1064684
2026-06-10T23:40:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570633
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bududa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bududa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bududa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
366n3aglfx6ulh915x9xpq6thhrzhgg
Mto Kiyinikibi
0
112398
1569675
1064848
2026-06-10T21:03:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569675
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bugiri]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bugiri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bugiri]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sirfik5i36gp6xx7uotxh8oi3528w5h
Mto Masuna
0
112400
1569874
1064851
2026-06-10T21:36:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569874
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bugiri]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bugiri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bugiri]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sirfik5i36gp6xx7uotxh8oi3528w5h
Mto Mubigi
0
112401
1570076
1064852
2026-06-10T22:08:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570076
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bugiri]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bugiri]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bugiri]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sirfik5i36gp6xx7uotxh8oi3528w5h
Mto Namusole
0
112469
1569670
1064949
2026-06-10T21:02:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569670
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Butaleja]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Butaleja]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Butaleja]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ia6m1disl35rzcna40fyvqj73gdpmq8
Mto Nabidonga
0
112526
1570615
1065089
2026-06-10T23:37:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570615
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Iganga]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Iganga]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Iganga]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
t3nxforij0oz8ilqxwx5oipdoh5krak
Mto Naigombwa
0
112533
1570471
1065096
2026-06-10T23:13:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570471
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Iganga]] na [[wilaya ya Kibuku]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Iganga]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kibuku]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Iganga]]
[[Jamii:Wilaya ya Kibuku]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rhy2qn3flqevobedvvdmd9thbp65a1t
Mto Kedyangu
0
112723
1569761
1065675
2026-06-10T21:17:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569761
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kaberamaido]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaberamaido]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaberamaido]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
tdbvb55kukr5qjqdfuvkwl19k0msz8u
Orodha ya mito ya wilaya ya Kapchorwa
0
112725
1570525
1065677
2026-06-10T23:22:49Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570525
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya mito ya wilaya ya Kapchorwa''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]].
* [[Mto Chebonet]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Wilaya ya Kapchorwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]]
hapf4zjfm3900lf9r9iou4rvv2n2f04
Mto Kaisiwaisa
0
112878
1569737
1066148
2026-06-10T21:13:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569737
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Namutumba]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Namutumba]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Namutumba]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
4lej9tvurt6fxrj65mwbu6kecscjcn6
Mto Kamirambaizi
0
112879
1569929
1066149
2026-06-10T21:45:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569929
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Namutumba]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Namutumba]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Namutumba]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
4lej9tvurt6fxrj65mwbu6kecscjcn6
Mto Nakolokoto
0
112995
1569723
1066409
2026-06-10T21:11:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569723
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Manafwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9nw3v3bfxb7w1kpliwf1cooruah5iul
Mto Namabi
0
112996
1569918
1066410
2026-06-10T21:43:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569918
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Manafwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9nw3v3bfxb7w1kpliwf1cooruah5iul
Mto Namakhu
0
112997
1570111
1066411
2026-06-10T22:14:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570111
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Manafwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9nw3v3bfxb7w1kpliwf1cooruah5iul
Mto Namakomu
0
112998
1570292
1066412
2026-06-10T22:44:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570292
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Manafwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9nw3v3bfxb7w1kpliwf1cooruah5iul
Mto Tsakhana
0
113020
1570477
1066434
2026-06-10T23:14:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570477
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Manafwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9nw3v3bfxb7w1kpliwf1cooruah5iul
Orodha ya mito ya wilaya ya Ngora
0
113027
1570213
1066443
2026-06-10T22:31:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570213
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya mito ya wilaya ya Ngora''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]].
* [[Mto Achua]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Wilaya ya Ngora]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]]
1szf4biyradtishdemogn2tqi01ohpo
Mto Nabisira
0
113037
1570093
1066457
2026-06-10T22:11:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570093
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Luuka]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Luuka]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Luuka]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
eewn9g0lix5xkj7556f4u4baomdgduc
Mto Nabitakali
0
113038
1570278
1066458
2026-06-10T22:42:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570278
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Luuka]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Luuka]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Luuka]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
eewn9g0lix5xkj7556f4u4baomdgduc
Mto Nakitokolo
0
113039
1570455
1066459
2026-06-10T23:11:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570455
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Luuka]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Luuka]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Luuka]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
eewn9g0lix5xkj7556f4u4baomdgduc
Mto Akwangakera
0
113052
1569884
1066489
2026-06-10T21:37:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569884
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Soroti]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Soroti]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Soroti]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bxyrvbuuhfoqaq15ls3ugz7touudl8m
Mto Alakaituk
0
113053
1570085
1066490
2026-06-10T22:10:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570085
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Soroti]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Soroti]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Soroti]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bxyrvbuuhfoqaq15ls3ugz7touudl8m
Mto Alalaka
0
113054
1570267
1066491
2026-06-10T22:40:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570267
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Soroti]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Soroti]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Soroti]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bxyrvbuuhfoqaq15ls3ugz7touudl8m
Mto Omugenya
0
113058
1570445
1066495
2026-06-10T23:09:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570445
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Soroti]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Soroti]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Soroti]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bxyrvbuuhfoqaq15ls3ugz7touudl8m
Orodha ya mito ya wilaya ya Sironko
0
113063
1569993
1066501
2026-06-10T21:55:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569993
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Orodha ya mito ya wilaya ya Sironko''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]].
* [[Mto Diragana]]
* [[Mto Guragado]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Wilaya ya Sironko]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]]
s8p95wgq6z9v31193vm68l9dcottkrk
Mto Abukuyi
0
113072
1570628
1066515
2026-06-10T23:39:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570628
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Pakoyi
0
113144
1569701
1066618
2026-06-10T21:07:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569701
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Pangole
0
113145
1569895
1066619
2026-06-10T21:39:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569895
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Pekamuge
0
113146
1570091
1066620
2026-06-10T22:11:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570091
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Pungere
0
113151
1570274
1066625
2026-06-10T22:41:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570274
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Rumatol
0
113152
1570452
1066626
2026-06-10T23:10:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570452
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Sopsop
0
113153
1570639
1066627
2026-06-10T23:41:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570639
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Tororo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y
Mto Kawumbuli
0
113211
1569871
1066738
2026-06-10T21:35:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569871
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bushenyi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bushenyi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bushenyi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5o1cm3fx6xj7ifc65n5dtffggpoes19
Mto Warugo
0
113215
1570073
1066742
2026-06-10T22:08:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570073
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bushenyi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bushenyi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Bushenyi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5o1cm3fx6xj7ifc65n5dtffggpoes19
Mto Kaichururu
0
113233
1569677
1066760
2026-06-10T21:03:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569677
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]], kwenye [[Ziwa Albert (Afrika)|ziwa Albert]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ff182evp52tps76r6zhqx3x8u4ukewm
Mto Kaigobya
0
113234
1569876
1066761
2026-06-10T21:36:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569876
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]], kwenye [[Ziwa Albert (Afrika)|ziwa Albert]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ff182evp52tps76r6zhqx3x8u4ukewm
Mto Kanagamyongo
0
113239
1570078
1066766
2026-06-10T22:09:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570078
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]], kwenye [[Ziwa Albert (Afrika)|ziwa Albert]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ff182evp52tps76r6zhqx3x8u4ukewm
Mto Kansensero
0
113240
1570261
1066767
2026-06-10T22:39:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570261
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]], kwenye [[Ziwa Albert (Afrika)|ziwa Albert]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ff182evp52tps76r6zhqx3x8u4ukewm
Mto Ayesha
0
113694
1570669
1561359
2026-06-11T04:06:58Z
Don Malya
61486
1570669
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ayesha''' ni mto wa msimu unaopatikana mashariki mwa [[Ethiopia]]. Bonde lake la [[maji]] ni sehemu ya mfumo wa East African Rift.
== Muhtasari ==
Wizara ya Rasilimali za Maji ya Ethiopia imejumuisha eneo la bonde la Mto Ayesha katika orodha ya mabonde kumi na mawili makuu nchini humo. Bonde hilo lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 2,223, lakini lina sifa ya kutokuwa na mtiririko wa maji unaoweza kupimika kwa kiasi kikubwa.
Kwa ujumla, Mto Ayesha ni mto wa msimu unaotegemea mvua, ambapo maji huonekana zaidi wakati wa vipindi vya mvua na hupungua au kutokuwepo wakati wa kiangazi.<ref>{{Cite web|title=Ayesha River|url=https://grokipedia.com/page/ayesha_river|work=Grokipedia|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
1553bf70d555focime5r6frqle92az0
1570710
1570669
2026-06-11T06:49:56Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570710
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ayesha''' ni mto wa msimu unaopatikana mashariki mwa [[Ethiopia]]. Bonde lake la [[maji]] ni sehemu ya mfumo wa East African Rift.
== Muhtasari ==
Wizara ya Rasilimali za Maji ya Ethiopia imejumuisha eneo la bonde la Mto Ayesha katika orodha ya mabonde kumi na mawili makuu nchini humo. Bonde hilo lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 2,223, lakini lina sifa ya kutokuwa na mtiririko wa maji unaoweza kupimika kwa kiasi kikubwa.
Kwa ujumla, Mto Ayesha ni mto wa msimu unaotegemea mvua, ambapo maji huonekana zaidi wakati wa vipindi vya mvua na hupungua au kutokuwepo wakati wa kiangazi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Ayesha River|url=https://grokipedia.com/page/ayesha_river|work=Grokipedia|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
0z4q67lu83xkov75o8v0d0plyphkxsd
1570771
1570710
2026-06-11T08:19:15Z
Riccardo Riccioni
452
1570771
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ayesha''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Ethiopia]].
[[Beseni]] lake linaenea katika [[kilometa mraba]] 2,223 na ni sehemu ya mfumo wa [[Bonde Kuu la Ufa]].
== Muhtasari ==
Wizara ya Rasilimali za Maji ya Ethiopia imejumuisha eneo la bonde la Mto Ayesha katika orodha ya mabonde kumi na mawili makuu nchini humo. Bonde hilo lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 2,223, lakini lina sifa ya kutokuwa na mtiririko wa maji unaoweza kupimika kwa kiasi kikubwa.
Kwa ujumla, Mto Ayesha ni mto wa msimu unaotegemea mvua, ambapo maji huonekana zaidi wakati wa majira ya mvua na hupungua au kutokuwepo wakati wa kiangazi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Ayesha River|url=https://grokipedia.com/page/ayesha_river|work=Grokipedia|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
lgpjf8boctzs6munsz2ym6wi6grgb8e
Mto Gibe
0
113704
1570057
1068466
2026-06-10T22:05:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570057
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Gibe''' unapatikana [[kusini]] [[magharibi]] mwa [[Ethiopia]].
Unachangiwa [[maji]] na [[mto Amara]], [[mto Alanga]] na [[mto Gilbel Gibe]].
Ndio [[tawimto]] kubwa zaidi la [[mto Omo]], ambao unatokana na muungano wa mto Gibe na [[mto Wabe]] na unaishia katika [[ziwa Turkana]].
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:ziwa Turkana]]
rj7wdi77rhwogoq9lu5v8tpge8rw8q1
Mto Balagas
0
113737
1570671
1068637
2026-06-11T04:08:37Z
Don Malya
61486
1570671
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Atbara OSM.png|250px|right|Ramani ya beseni la mto Atbara.]]
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Ethiopia]], ukichangiwa na [[mto Balessa]] na [[mto Dorana]]. Ni [[tawimto]] la [[mto Tekeze]] ambao unaungana na [[mto Atbarah]] kuelekea [[Nile]].<ref>{{Cite book|url=https://www.biodiversitylibrary.org/bibliography/47465|title=The earth and its inhabitants ...|last=Reclus|first=Élisée|last2=Keane|first2=A. H.|last3=Ravenstein|first3=Ernest George|date=1886|publisher=D. Appleton and company|location=New York|doi=10.5962/bhl.title.47465}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
c51ku6rkab0f56uay4wl6f8qzyggp7b
1570711
1570671
2026-06-11T06:50:06Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570711
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Atbara OSM.png|250px|right|Ramani ya beseni la mto Atbara.]]
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Ethiopia]], ukichangiwa na [[mto Balessa]] na [[mto Dorana]]. Ni [[tawimto]] la [[mto Tekeze]] ambao unaungana na [[mto Atbarah]] kuelekea [[Nile]].<ref>{{Rejea kitabu|url=https://www.biodiversitylibrary.org/bibliography/47465|title=The earth and its inhabitants ...|last=Reclus|first=Élisée|last2=Keane|first2=A. H.|last3=Ravenstein|first3=Ernest George|date=1886|publisher=D. Appleton and company|location=New York|doi=10.5962/bhl.title.47465}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
jv7r1dmhag1ivax8u1osj9qgadissve
Mto Ataba
0
113740
1570665
1554092
2026-06-11T03:56:38Z
Don Malya
61486
1570665
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Atbara OSM.png|250px|right|Ramani ya beseni la mto Atbara.]]
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Ethiopia]].
Ni [[tawimto]] la [[mto Tekeze]] ambao unaungana na [[mto Atbarah]] kuelekea [[Nile]].<ref>{{Cite web|title=Tributaries of the Tekezé River|url=https://deepfo.com/en/most/Tributaries-Tekeze-River|work=deepfo.com|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
8b99w97a2ck8f8qx6vk98ok5ntpnffs
1570707
1570665
2026-06-11T06:49:26Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570707
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Atbara OSM.png|250px|right|Ramani ya beseni la mto Atbara.]]
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Ethiopia]].
Ni [[tawimto]] la [[mto Tekeze]] ambao unaungana na [[mto Atbarah]] kuelekea [[Nile]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Tributaries of the Tekezé River|url=https://deepfo.com/en/most/Tributaries-Tekeze-River|work=deepfo.com|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
flle85n224h15i373raewmgr0fswz69
Mto Angereb
0
113770
1570664
1553614
2026-06-11T03:55:33Z
Don Malya
61486
1570664
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Angereb''' (pia hujulikana kama '''Bahr as-Salam''') ni mto unaopatikana nchini [[Ethiopia]] na mashariki mwa Sudan, na ni mojawapo ya mito inayochangia maji katika mfumo wa [[Nile]]. Mto huu unaanzia karibu na Daqwa, kaskazini mwa mji wa Gondar katika Mkoa wa Amhara, kisha hutiririka kuelekea magharibi hadi kuungana na Atbarah River. Wilaya ya kihistoria ya Armachiho ipo kandokando ya mkondo wake.
'''Bwawa la Angereb''', lililoanza kutumika mwaka 1997, lilijengwa kwa lengo la kutatua tatizo la upatikanaji wa maji safi ya kunywa katika mji wa Gondar kwa kipindi cha takribani miaka 25. Hifadhi ya maji ya Angereb pamoja na visima virefu viwili ndiyo vyanzo vikuu vya [[maji]] kwa mji huo, vikiwa na uwezo wa kuzalisha wastani wa mita za ujazo 8,298 za maji kwa siku.
Mto Angereb una umuhimu mkubwa katika usambazaji wa maji kwa matumizi ya binadamu na pia ni sehemu ya mfumo mpana wa mito inayolisha Mto Nile, ambao ni mojawapo ya mifumo mikubwa zaidi ya maji barani Afrika.<ref>{{Cite journal |last=Haregeweyn |first=Nigussie |last2=Melesse |first2=Bekure |last3=Tsunekawa |first3=Atsushi |last4=Tsubo |first4=Mitsuru |last5=Meshesha |first5=Derege |last6=Balana |first6=Bedru Babulo |date=2012-02-01 |title=Reservoir sedimentation and its mitigating strategies: a case study of Angereb reservoir (NW Ethiopia) |url=https://doi.org/10.1007/s11368-011-0447-z |journal=Journal of Soils and Sediments |language=en |volume=12 |issue=2 |pages=291–305 |doi=10.1007/s11368-011-0447-z |issn=1614-7480}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
*[[Orodha ya mito ya Sudan]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mito ya Sudan}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
q2eul887f9hc8kuv04387rdxrhdgta7
1570706
1570664
2026-06-11T06:49:14Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570706
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Angereb''' (pia hujulikana kama '''Bahr as-Salam''') ni mto unaopatikana nchini [[Ethiopia]] na mashariki mwa Sudan, na ni mojawapo ya mito inayochangia maji katika mfumo wa [[Nile]]. Mto huu unaanzia karibu na Daqwa, kaskazini mwa mji wa Gondar katika Mkoa wa Amhara, kisha hutiririka kuelekea magharibi hadi kuungana na Atbarah River. Wilaya ya kihistoria ya Armachiho ipo kandokando ya mkondo wake.
'''Bwawa la Angereb''', lililoanza kutumika mwaka 1997, lilijengwa kwa lengo la kutatua tatizo la upatikanaji wa maji safi ya kunywa katika mji wa Gondar kwa kipindi cha takribani miaka 25. Hifadhi ya maji ya Angereb pamoja na visima virefu viwili ndiyo vyanzo vikuu vya [[maji]] kwa mji huo, vikiwa na uwezo wa kuzalisha wastani wa mita za ujazo 8,298 za maji kwa siku.
Mto Angereb una umuhimu mkubwa katika usambazaji wa maji kwa matumizi ya binadamu na pia ni sehemu ya mfumo mpana wa mito inayolisha Mto Nile, ambao ni mojawapo ya mifumo mikubwa zaidi ya maji barani Afrika.<ref>{{Rejea jarida |last=Haregeweyn |first=Nigussie |last2=Melesse |first2=Bekure |last3=Tsunekawa |first3=Atsushi |last4=Tsubo |first4=Mitsuru |last5=Meshesha |first5=Derege |last6=Balana |first6=Bedru Babulo |date=2012-02-01 |title=Reservoir sedimentation and its mitigating strategies: a case study of Angereb reservoir (NW Ethiopia) |url=https://doi.org/10.1007/s11368-011-0447-z |journal=Journal of Soils and Sediments |language=en |volume=12 |issue=2 |pages=291–305 |doi=10.1007/s11368-011-0447-z |issn=1614-7480}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
*[[Orodha ya mito ya Sudan]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mito ya Sudan}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
lg5v5pvuq48iymv9fhq964gkg32lwrj
1570767
1570706
2026-06-11T08:11:43Z
Riccardo Riccioni
452
1570767
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Angereb''' (pia hujulikana kama '''Angereb Mkubwa''' au '''Bahr as-Salam''') ni mto unaopatikana nchini [[Ethiopia]] na mashariki mwa [[Sudan]], na ni mojawapo ya mito inayochangia maji katika mfumo wa [[Nile]]. Mto huu unaanzia karibu na Daqwa, kaskazini mwa mji wa Gondar katika Mkoa wa Amhara, kisha hutiririka kuelekea magharibi hadi kuungana na Atbarah River. Wilaya ya kihistoria ya Armachiho ipo kandokando ya mkondo wake.
Bwawa la Angereb, lililoanza kutumika mwaka 1997, lilijengwa kwa lengo la kutatua tatizo la upatikanaji wa maji safi ya kunywa katika mji wa Gondar kwa kipindi cha takribani miaka 25. Hifadhi ya maji ya Angereb pamoja na visima virefu viwili ndiyo vyanzo vikuu vya [[maji]] kwa mji huo, vikiwa na uwezo wa kuzalisha wastani wa mita za ujazo 8,298 za maji kwa siku.
Mto Angereb una umuhimu mkubwa katika usambazaji wa maji kwa matumizi ya binadamu na pia ni sehemu ya mfumo mpana wa mito inayolisha Mto Nile, ambao ni mojawapo ya mifumo mikubwa zaidi ya maji barani Afrika.<ref>{{Rejea jarida |last=Haregeweyn |first=Nigussie |last2=Melesse |first2=Bekure |last3=Tsunekawa |first3=Atsushi |last4=Tsubo |first4=Mitsuru |last5=Meshesha |first5=Derege |last6=Balana |first6=Bedru Babulo |date=2012-02-01 |title=Reservoir sedimentation and its mitigating strategies: a case study of Angereb reservoir (NW Ethiopia) |url=https://doi.org/10.1007/s11368-011-0447-z |journal=Journal of Soils and Sediments |language=en |volume=12 |issue=2 |pages=291–305 |doi=10.1007/s11368-011-0447-z |issn=1614-7480}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
*[[Orodha ya mito ya Sudan]]
== Marejeo ==
<references />
{{mito ya Ethiopia}}
{{mito ya Sudan}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
[[Jamii:AWC 2026]]
72vrsebotj800e43ufnz061g4etaq02
Mto Qechene
0
113793
1569832
1068777
2026-06-10T21:29:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569832
wikitext
text/x-wiki
[[File:Abbay OSM.png|thumb|[[Ramani]] ya [[beseni]] la mto Abay.]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[tawimto]] la [[mto Wanchet]] unaopatikana [[Ethiopia]] na unachangia [[mto Jamma]], [[tawimto]] la [[mto Abay]] (Nile ya Buluu).
==Tazama pia==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rkynz8fpr79jrd7ckgcvbzsk61bn17y
Mto Kobara
0
113809
1570222
1068819
2026-06-10T22:32:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570222
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Sobat OSM.png|thumb|450px|[[Ramani]] ya [[beseni]] la [[mto Sobat]].]]
'''Mto Kobara''' unapatikana [[kusini]] [[magharibi]] mwa [[Ethiopia]] ([[Jimbo la Oromia]]).
Ni [[tawimto]] la [[mto Dipa]], ambalo ni tawimto la [[mto Birbir]], unaochangia [[mto Baro]] ambao kwa kuungana na [[mto Pibor]] unaunda [[mto Sobat]], tawimto la [[Nile Nyeupe]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mito ya Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:jimbo la Oromia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
53m2nshbnz2rn7x4uk32e5oxjlnzj0e
Mto Nozi
0
113870
1570129
1068933
2026-06-10T22:17:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570129
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
s5ztyvdtu2og7qjybhvdwvlmqnk1uzt
Mto Nyakalanga
0
113871
1570312
1068934
2026-06-10T22:47:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570312
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
s5ztyvdtu2og7qjybhvdwvlmqnk1uzt
Mto Nyakasa
0
113872
1570497
1068935
2026-06-10T23:18:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570497
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
s5ztyvdtu2og7qjybhvdwvlmqnk1uzt
Mto Bwiha
0
113927
1570203
1069049
2026-06-10T22:29:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570203
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Dunga (Uganda)
0
113928
1570380
1069050
2026-06-10T22:58:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570380
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Haliso
0
113929
1570564
1069051
2026-06-10T23:29:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570564
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Nyaitale
0
113990
1569617
1069175
2026-06-10T20:54:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569617
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Nyamukisa
0
114001
1569830
1069186
2026-06-10T21:29:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569830
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Nyankongoro
0
114003
1570032
1069189
2026-06-10T22:01:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570032
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Nyantabwoma
0
114004
1570210
1069190
2026-06-10T22:30:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570210
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Ruiga (Kabarole)
0
114011
1570573
1069198
2026-06-10T23:30:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570573
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o
Mto Mitoma
0
114034
1569699
1069221
2026-06-10T21:07:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569699
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
eztigmyc7ots1p07qckuag038dzvg9t
Mto Njuguta
0
114035
1569892
1069222
2026-06-10T21:39:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569892
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
eztigmyc7ots1p07qckuag038dzvg9t
Mto Nyamiko
0
114058
1569806
1069246
2026-06-10T21:25:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569806
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
5usuoxnt4um1f7gkhzvxpwz65uqia54
Mto Nasembe
0
114117
1569537
1069319
2026-06-10T20:41:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569537
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Nyabalingwa
0
114120
1569757
1069324
2026-06-10T21:17:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569757
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Nyabigata
0
114121
1569952
1069325
2026-06-10T21:48:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569952
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Nyansonko
0
114139
1570145
1069341
2026-06-10T22:20:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570145
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Rwebikoko
0
114141
1570328
1069343
2026-06-10T22:50:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570328
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Rwemidodi
0
114143
1570515
1069344
2026-06-10T23:21:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570515
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Masindi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj
Mto Hondwa (Uganda)
0
114557
1570254
1071201
2026-06-10T22:38:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570254
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyenjojo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyenjojo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyenjojo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9hm5pmwil4r4ttr5chxldd9lsyr57cb
Mto Kagensa
0
114558
1570428
1071202
2026-06-10T23:06:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570428
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyenjojo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyenjojo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyenjojo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9hm5pmwil4r4ttr5chxldd9lsyr57cb
Mto Kajumwa
0
114560
1570609
1071204
2026-06-10T23:36:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570609
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyenjojo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyenjojo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyenjojo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
9hm5pmwil4r4ttr5chxldd9lsyr57cb
Mto Rwampanga
0
114942
1569956
1072772
2026-06-10T21:49:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569956
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc
Mto Rwangogole
0
114943
1570150
1072773
2026-06-10T22:20:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570150
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc
Mto Somoli
0
114947
1570332
1072777
2026-06-10T22:50:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570332
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc
Mto Titi (Uganda)
0
114948
1570517
1072778
2026-06-10T23:21:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570517
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc
Mto Bwakasa
0
114972
1569681
1072847
2026-06-10T21:04:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569681
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyegegwa]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyegegwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyegegwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sd7f51pkqts1vscddnhgix8g48ub4qx
Mto Choja
0
114974
1569878
1072849
2026-06-10T21:36:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569878
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyegegwa]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyegegwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyegegwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sd7f51pkqts1vscddnhgix8g48ub4qx
Mto Waragwomi
0
114987
1570080
1072862
2026-06-10T22:09:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570080
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyegegwa]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyegegwa]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyegegwa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
sd7f51pkqts1vscddnhgix8g48ub4qx
Mto Mihbyo
0
115016
1570263
1072897
2026-06-10T22:39:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570263
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Rubirizi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Rubirizi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Rubirizi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
0fbw4buiz2y4xmsgdg9dkwl50e53kyv
Mto Monjera
0
115017
1570438
1072898
2026-06-10T23:08:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570438
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Rubirizi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Rubirizi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Rubirizi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
0fbw4buiz2y4xmsgdg9dkwl50e53kyv
Mto Mpanga (Rubirizi)
0
115018
1570621
1072899
2026-06-10T23:38:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570621
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Rubirizi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Rubirizi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Rubirizi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
0fbw4buiz2y4xmsgdg9dkwl50e53kyv
Mto Sembula
0
115219
1570385
1073619
2026-06-10T22:59:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570385
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Gomba]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gomba]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Gomba]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
m9a7glycpqnnz1di9qqjz1f80wjs0vr
Mto Kanalugenda
0
115292
1569549
1074379
2026-06-10T20:43:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569549
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kibaale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kibaale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kibaale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
f2hs6sl2bvnyjk51pno6nvdyozoj216
Mto Kanyabalogo
0
115293
1569770
1074381
2026-06-10T21:19:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569770
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kibaale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kibaale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kibaale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
f2hs6sl2bvnyjk51pno6nvdyozoj216
Mto Nakigezi
0
115324
1569963
1074558
2026-06-10T21:50:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569963
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kibaale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kibaale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kibaale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
f2hs6sl2bvnyjk51pno6nvdyozoj216
Mto Namposo
0
115325
1570157
1074559
2026-06-10T22:22:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570157
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kibaale]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kibaale]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kibaale]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
f2hs6sl2bvnyjk51pno6nvdyozoj216
Mto Kinyegula
0
115356
1569978
1074660
2026-06-10T21:53:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569978
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lyantonde]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lyantonde]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Lyantonde]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
htnxn5ocn3olzygh1jktz9reto40ok7
Mto Katonga (Mpigi)
0
115398
1570520
1074767
2026-06-10T23:21:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570520
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mpigi]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Viktoria]], halafu [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mpigi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mpigi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c7ll5if7q60xj1sgbufifmg0ha7cky5
Mto Kisasolima
0
115528
1569538
1075245
2026-06-10T20:41:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569538
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Nabangobe
0
115542
1569758
1075262
2026-06-10T21:17:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569758
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Nabiyagi
0
115543
1569953
1075263
2026-06-10T21:49:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569953
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Nakanya
0
115548
1570147
1075268
2026-06-10T22:20:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570147
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Nakiyanja
0
115552
1570329
1075272
2026-06-10T22:50:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570329
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Nakkumbo
0
115553
1570516
1075273
2026-06-10T23:21:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570516
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Mukono]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j
Mto Danze (Nakaseke)
0
115599
1569829
1075444
2026-06-10T21:28:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569829
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakaseke]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakaseke]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakaseke]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
s7mmrupbjy1361l9g6qyt6dirolf0q3
Mto Kambu (Uganda)
0
115616
1569540
1075478
2026-06-10T20:41:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569540
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakasongola]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakasongola]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakasongola]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pwgs8or3ae4ufb4wqfwpdk3uyucmo77
Mto Lwankuba
0
115623
1569760
1075485
2026-06-10T21:17:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569760
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakasongola]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakasongola]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakasongola]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pwgs8or3ae4ufb4wqfwpdk3uyucmo77
Mto Tembwe (Uganda)
0
115633
1569955
1075498
2026-06-10T21:49:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569955
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakasongola]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakasongola]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakasongola]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pwgs8or3ae4ufb4wqfwpdk3uyucmo77
Mto Wabigoli
0
115634
1570149
1075500
2026-06-10T22:20:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570149
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakasongola]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakasongola]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakasongola]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pwgs8or3ae4ufb4wqfwpdk3uyucmo77
Mto Wabitosi
0
115635
1570331
1075502
2026-06-10T22:50:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570331
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakasongola]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakasongola]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Nakasongola]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pwgs8or3ae4ufb4wqfwpdk3uyucmo77
Mto Adip
0
115726
1570009
1075908
2026-06-10T21:57:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570009
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Kwania]], halafu [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
oerw8aof4je2iof3538f3gzkxbygp8g
Mto Apiyo
0
115746
1569541
1075936
2026-06-10T20:41:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569541
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Uganda]] kati ya [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]] na [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
i1iss6aaex9yleyamha9ljd1w7emvoj
Mto Kalale
0
116034
1569813
1077304
2026-06-10T21:26:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569813
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7
Mto Kalapar
0
116036
1570016
1077306
2026-06-10T21:58:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570016
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7
Mto Kamongmong
0
116039
1570192
1077309
2026-06-10T22:27:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570192
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7
Mto Kangombe (Uganda)
0
116045
1570370
1077315
2026-06-10T22:56:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570370
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|mkoa wa Magharibi]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
92u6dumtrkojsuv0y0gxuo3vhw8seyw
Mto Katatye
0
116053
1570552
1077323
2026-06-10T23:27:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570552
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7
Mto Kantongo
0
116055
1570176
1077325
2026-06-10T22:25:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570176
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' (pia: '''Katonga''') unapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
r8547wd4q0jgrpqu5ilijcthcw7lhgo
Mto Kochill
0
116094
1570074
1077474
2026-06-10T22:08:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570074
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mkoa wa Mashariki]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c59kp20i0a7kcjcn1lvtoph6gbcpgfs
Mto Kukumba
0
116098
1569992
1077478
2026-06-10T21:55:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569992
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyankwanzi]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyankwanzi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyankwanzi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3gc1lbyp9kwykj0u4kph3ibkvwkqidz
Mto Kyankuzi
0
116101
1570255
1077482
2026-06-10T22:38:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570255
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mkoa wa Mashariki]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c59kp20i0a7kcjcn1lvtoph6gbcpgfs
Mto Lagot
0
116103
1570429
1077484
2026-06-10T23:06:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570429
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
isrqs9v2dhkucnedseknqja69532z89
Mto Lubamba (Kyankwanzi)
0
116116
1570174
1077506
2026-06-10T22:24:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570174
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kyankwanzi]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kyankwanzi]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kyankwanzi]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3gc1lbyp9kwykj0u4kph3ibkvwkqidz
Mto Lumbuka (Uganda)
0
116119
1570610
1077511
2026-06-10T23:36:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570610
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mkoa wa Mashariki]], nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c59kp20i0a7kcjcn1lvtoph6gbcpgfs
Mto Lwenkunge
0
116125
1570457
1077523
2026-06-10T23:11:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570457
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Uganda]] kati ya [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|mkoa wa Magharibi]] na [[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1mfd5mb4ubnx6wyps4rlza0vx57zj94
Mto Migwe
0
116151
1570376
1077839
2026-06-10T22:57:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570376
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
85dv1mb7auxp1t7mowqyfwd4rf0klp7
Mto Muhwi
0
116153
1570559
1077841
2026-06-10T23:28:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570559
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
85dv1mb7auxp1t7mowqyfwd4rf0klp7
Mto Nyakubale
0
116169
1570584
1077858
2026-06-10T23:32:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570584
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Hoima]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
k41s3ftsx0eyqi8gauhizvyd18rbog5
Mto Mukekemya
0
116215
1570500
1077979
2026-06-10T23:18:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570500
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7kgg3dby6ny3d48k7i9743pd20ma1hv
Mto Mukondo (Uganda)
0
116216
1570355
1077981
2026-06-10T22:54:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570355
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[Nile ya Viktoria]], [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
eiacjb800jyle316vdafd8n9xar6xg0
Mto Ocko
0
116269
1570264
1078152
2026-06-10T22:39:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570264
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gm02o0y4kxph01cijp4l051uk5po9mt
Mto Olya
0
116273
1570439
1078156
2026-06-10T23:08:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570439
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gm02o0y4kxph01cijp4l051uk5po9mt
Mto Polli
0
116287
1570622
1078178
2026-06-10T23:38:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570622
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
gm02o0y4kxph01cijp4l051uk5po9mt
Newfoundland
0
117345
1569868
1085676
2026-06-10T21:35:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569868
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Newfoundland map.png|300px|thumb|Ramani ya Newfoundland]]
[[Picha:Newfoundland and Labrador, Canada.svg|thumb|Newwfoundland na Labrador katika Kanada]]
'''Newfoundland''' (far. ''Terre neuve'') ni kisiwa kikubwa cha [[Kanada]] katika [[Bahari Atlantiki]]. Eneo lake ni kilomita za mraba 108,860 kuna wakazi wapatao 479,538. Pamoja na maeneo kwenye bara ni sehemu ya jimbo la Kanada linaloitwa [[Newfoundland na Labrador]]. Mji mkuu ni St. John's kwenye rasi ya Avalon.
Jina lamaanisha "Nchi Mpya", kikamilifu "nchi iliyokutwa sasa karibuni" ambalo ni maana ya jina "newe founde islande" lililoandikwa na nahodha [[John Cabot]] aliyetunga ramani ya kwanza ya kisiwa hiki.
Wakati wa karne ya 17 wavuvi Wafaransa na Waingereza walivutana kwa sababu ya uwingi wa samaki katika bahari karibu na kisiwa. Wengine walijenga makazi kwenye pwani. Sehemu ya [[Maindio]] wazalendo walikufa kutokana na magionjwa mapya kutoka Ulaya, lakini sehemu nyingine ilibaki, wako hadi leo.
Tangu 1713 Uingereza ilishinda na kupata mamlaka juu ya ksiwa chote. Katika karne ya 19 wahamiaji wengi kutoka Eire, Uskoti na Skandinavia iliongeza idadi ya walowezi kutoka Ulaya. Biashara ilistawi kutokana na uvuvi. Reli ya kwanza ilijengwa mwaka 1882. Eisenbahnlinie über die Insel gebaut.
Kuanzia 1825 Newfoundland ilikuwa koloni ya Uingereza pekee na Kanada ikaendelea kuwa nchi ya kujitawala ndani ya [[milki ya Britania]]. Ni 1948 iliamua kujiunga na Kanada.
[[jamii:Kanada]]
dqw5zu4p2uku01tfet8l3jj3roy0cxu
Kipanjabi
0
118448
1569817
1090305
2026-06-10T21:27:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569817
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kipanjabi''' ni hasa [[jina]] la:
*[[Kipunjabi cha Mashariki]]
lakini linatumika pia kwa:
*[[Kipunjabi cha Magharibi]] (Kilahnda)
{{maana}}
im021p3nklugperp78mphsjvyv92as1
Chifu
0
119380
1569798
1093690
2026-06-10T21:23:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569798
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Chifu''' (kutoka [[Kiingereza]]: "chief"; [[Jina|majina]] ya kienyeji ni mengi tofautitofauti) ni [[kiongozi]] wa [[jadi]] katika [[kabila]] fulani.
[[Uongozi]] huo ulijitokeza mwishoni mwa [[zama za mawe]] na kutawala [[zama za chuma]], mara nyingi ukisaidiwa na [[halmashauri]] ya [[wazee]].
Wakati wa [[ukoloni]], uongozi huo uliweza kukubalika, mradi uwe chini ya himaya ya wakoloni.
Hata baada ya [[uhuru]], machifu wanaweza kuwa na [[madaraka]] fulani, k.mf. nchini [[Uganda]].
{{mbegu-siasa}}
[[Jamii:Utamaduni]]
[[Jamii:Sheria]]
efpznxxt8yji2iqy3dv1k3awvsee0wa
Mto Licungo
0
120657
1570524
1097989
2026-06-10T23:22:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570524
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Msumbiji]] ([[Zambezia]]) unaoishia katika [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
* [[Orodha ya mito ya Msumbiji]]
{{mbegu-jio-Msumbiji}}
[[Jamii:Mito ya Msumbiji]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
pw9fmlu684u9unlwzgtb3xfjbvu12l5
Mto Kinyenyele
0
121719
1570463
1102346
2026-06-10T23:12:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570463
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Dar es Salaam]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambao [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Msimbazi]]. [[Urefu]] wake ni [[kilometa]] 4.35 tu.
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
8f26ahqrlwpvuygivw5twu8bnojs2wx
Kiyoo Kanda
0
122106
1569861
1103731
2026-06-10T21:34:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569861
wikitext
text/x-wiki
'''Kiyoo Kanda''' (神田 清雄; ? - [[9 Mei]] [[1970]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Kanda alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 23 Mei 1923 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ufilipino|Ufilipino]]. Kanda alicheza Japani katika mechi 4.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players_unknown/4.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1923||2||0
|-
|1924||0||0
|-
|1925||2||0
|-
!Jumla||4||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD||1970}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
0yg199xvgqj0699cpjh8ef4bl9foc0q
Jiro Miyake
0
122117
1569624
1103748
2026-06-10T20:55:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569624
wikitext
text/x-wiki
'''Jiro Miyake''' (三宅 二郎; ? - [[30 Novemba]] [[1984]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Miyake alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 17 Mei 1925 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ufilipino|Ufilipino]]. Miyake alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players_unknown/17.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1925||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD||1984}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
6sn4eq6xwcjffgprzbl622sc1m7ndvn
Tameo Ide
0
122142
1570098
1103803
2026-06-10T22:12:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570098
wikitext
text/x-wiki
'''Tameo Ide''' (井出 多米夫; [[27 Novemba]] [[1908]] - [[17 Agosti]] [[1998]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Ide alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 25 Mei 1930 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ufilipino|Ufilipino]]. Ide alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/ide_tameo.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1930||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1908|1998}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
kopq2zy0639s082al9fe825cuwhkdg4
Hideo Shinojima
0
122146
1570434
1103853
2026-06-10T23:07:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570434
wikitext
text/x-wiki
'''Hideo Shinojima''' (篠島 秀雄; [[21 Januari]] [[1910]] - [[11 Februari]] [[1975]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Shinojima alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 25 Mei 1930 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ufilipino|Ufilipino]]. Shinojima alicheza Japani katika mechi 2, akifunga mabao 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/shinojima_hideo.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1930||2||1
|-
!Jumla||2||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1910|1975}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
azq0hx909mweb3s4c66i9pmgns5qf49
Taizo Kawamoto
0
122171
1570247
1103881
2026-06-10T22:36:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570247
wikitext
text/x-wiki
'''Taizo Kawamoto''' (川本 泰三; [[17 Januari]] [[1914]] - [[20 Septemba]] [[1985]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Kawamoto alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 13 Mei 1934 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Indonesia|Indonesia]]. Kawamoto alicheza Japani katika mechi 9, akifunga mabao 4.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/kawamoto_taizo.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1934||3||2
|-
|1935||0||0
|-
|1936||2||1
|-
|1937||0||0
|-
|1938||0||0
|-
|1939||0||0
|-
|1940||1||1
|-
|1941||0||0
|-
|1942||0||0
|-
|1943||0||0
|-
|1944||0||0
|-
|1945||0||0
|-
|1946||0||0
|-
|1947||0||0
|-
|1948||0||0
|-
|1949||0||0
|-
|1950||0||0
|-
|1951||0||0
|-
|1952||0||0
|-
|1953||0||0
|-
|1954||3||0
|-
!Jumla||9||4
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1914|1985}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
5d8wn9shzhncqf79qemswo16dokqqir
Tsukasa Hosaka
0
122262
1570005
1103981
2026-06-10T21:56:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570005
wikitext
text/x-wiki
'''Tsukasa Hosaka''' (保坂 司; [[3 Machi]] [[1937]] - [[21 Januari]] [[2018]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Hosaka alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 6 Novemba 1960 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Korea Kusini|Korea Kusini]]. Hosaka alicheza Japani katika mechi 19.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/hosaka_tsukasa.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1960||1||0
|-
|1961||6||0
|-
|1962||6||0
|-
|1963||5||0
|-
|1964||1||0
|-
!Jumla||19||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1937|2018}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
df6gzttxg4esbe2ltanweluya2zv73d
Kazuo Imanishi
0
122284
1570100
1104011
2026-06-10T22:12:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570100
wikitext
text/x-wiki
'''Kazuo Imanishi''' (今西 和男; alizaliwa [[12 Januari]] [[1941]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Imanishi alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 10 Desemba 1966 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uhindi|Uhindi]]. Imanishi alicheza Japani katika mechi 3.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/imanishi_kazuo.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1966||3||0
|-
!Jumla||3||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1941|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
anl9qgmeig59zpbtmatumm1xnjrn1z6
Kazumi Takada
0
122306
1569769
1104033
2026-06-10T21:19:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569769
wikitext
text/x-wiki
'''Kazumi Takada''' (高田 一美; [[28 Juni]] [[1951]] - [[1 Oktoba]] [[2009]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Takada alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 12 Desemba 1970 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kamboja|Kamboja]]. Takada alicheza Japani katika mechi 16.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/takada_kazumi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1970||4||0
|-
|1971||0||0
|-
|1972||5||0
|-
|1973||3||0
|-
|1974||0||0
|-
|1975||4||0
|-
!Jumla||16||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1951|2009}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
93qrepz25ize3c44y62c3ga8ge60969
Mitsuo Kato
0
122355
1569658
1104087
2026-06-10T21:00:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569658
wikitext
text/x-wiki
'''Mitsuo Kato''' (加藤 光雄; alizaliwa [[22 Januari]] [[1953]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Kato alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 23 Agosti 1979 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Korea Kaskazini|Korea Kaskazini]]. Kato alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/kato_mitsuo.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1979||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1953|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
h1ll40w65wdllkp2hwoia7ki0srvqlv
Takeshi Okada
0
122362
1570360
1104094
2026-06-10T22:55:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570360
wikitext
text/x-wiki
'''Takeshi Okada''' (岡田 武史; alizaliwa [[25 Agosti]] [[1956]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Okada alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 9 Juni 1980 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Hong Kong|Hong Kong]]. Okada alicheza Japani katika mechi 24, akifunga mabao 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/okada_takeshi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1980||3||0
|-
|1981||5||0
|-
|1982||2||1
|-
|1983||7||0
|-
|1984||4||0
|-
|1985||3||0
|-
!Jumla||24||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1956|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
b5yzwxbt2094skwm3a54tc3y7trtzsj
Yahiro Kazama
0
122367
1569886
1104099
2026-06-10T21:38:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569886
wikitext
text/x-wiki
'''Yahiro Kazama''' (風間 八宏; alizaliwa [[16 Oktoba]] [[1961]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Kazama alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 22 Desemba 1980 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Singapuri|Singapuri]]. Kazama alicheza Japani katika mechi 19.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/kazama_yahiro.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1980||4||0
|-
|1981||8||0
|-
|1982||4||0
|-
|1983||3||0
|-
!Jumla||19||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1961|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
17g2jo6cvgxuv4qzkx864japz8jgrdm
Tetsuya Totsuka
0
122369
1570413
1104101
2026-06-10T23:04:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570413
wikitext
text/x-wiki
'''Tetsuya Totsuka''' (戸塚 哲也; alizaliwa [[24 Aprili]] [[1961]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Totsuka alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 22 Desemba 1980 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Singapuri|Singapuri]]. Totsuka alicheza Japani katika mechi 18, akifunga mabao 3.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/totsuka_tetsuya.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1980||4||0
|-
|1981||8||0
|-
|1982||4||3
|-
|1983||0||0
|-
|1984||0||0
|-
|1985||2||0
|-
!Jumla||18||3
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1961|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
jaeddg81ee6ejdb42evwgguts8hz9th
Satoshi Tsunami
0
122370
1569610
1104102
2026-06-10T20:52:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569610
wikitext
text/x-wiki
'''Satoshi Tsunami''' (都並 敏史; alizaliwa [[14 Agosti]] [[1961]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Tsunami alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 22 Desemba 1980 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Singapuri|Singapuri]]. Tsunami alicheza Japani katika mechi 78, akifunga mabao 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/tsunami_satoshi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1980||3||0
|-
|1981||7||0
|-
|1982||8||0
|-
|1983||10||0
|-
|1984||5||0
|-
|1985||7||0
|-
|1986||5||2
|-
|1987||10||0
|-
|1988||0||0
|-
|1989||0||0
|-
|1990||0||0
|-
|1991||0||0
|-
|1992||10||0
|-
|1993||10||0
|-
|1994||0||0
|-
|1995||3||0
|-
!Jumla||78||2
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1961|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
jz3cozz2pgf9hai7u4g9x5geslb93tr
Hiroyuki Sakashita
0
122372
1570060
1104104
2026-06-10T22:06:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570060
wikitext
text/x-wiki
'''Hiroyuki Sakashita''' (坂下 博之; alizaliwa [[6 Mei]] [[1959]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Sakashita alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 28 Desemba 1980 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Macau|Macau]]. Sakashita alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/sakashita_hiroyuki.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1980||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1959|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
i1me8sjlp3d3cgddafhtodhf984nms9
Satoru Mochizuki
0
122416
1570187
1104154
2026-06-10T22:26:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570187
wikitext
text/x-wiki
'''Satoru Mochizuki''' (望月 聡; alizaliwa [[18 Mei]] [[1964]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Mochizuki alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 27 Januari 1988 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Falme za Kiarabu|Falme za Kiarabu]]. Mochizuki alicheza Japani katika mechi 7.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/mochizuki_satoshi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1988||3||0
|-
|1989||4||0
|-
!Jumla||7||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1964|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
7gzujrbiiew9omwebu27xyz8u263yuy
Tetsuji Hashiratani
0
122418
1569711
1104156
2026-06-10T21:09:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569711
wikitext
text/x-wiki
'''Tetsuji Hashiratani''' (柱谷 哲二; alizaliwa [[15 Julai]] [[1964]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Hashiratani alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 27 Januari 1988 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Falme za Kiarabu|Falme za Kiarabu]]. Hashiratani alicheza Japani katika mechi 72, akifunga mabao 6.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/hashiratani_tetsuji.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1988||5||1
|-
|1989||10||0
|-
|1990||6||1
|-
|1991||2||1
|-
|1992||11||0
|-
|1993||14||2
|-
|1994||9||1
|-
|1995||15||0
|-
!Jumla||72||6
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1964|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
cses1c73nfswkuxha7evc3q7tg08ev8
Naoki Soma
0
122473
1570602
1104220
2026-06-10T23:35:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570602
wikitext
text/x-wiki
'''Naoki Soma''' (相馬 直樹; alizaliwa [[19 Julai]] [[1971]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Soma alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 28 Mei 1995 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ekuador|Ekuador]]. Soma alicheza Japani katika mechi 58, akifunga mabao 4.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/soma_naoki.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1995||9||0
|-
|1996||13||2
|-
|1997||21||1
|-
|1998||10||1
|-
|1999||5||0
|-
!Jumla||58||4
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1971|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
e8jlc52v8aa7uezdtqm0p0xuurc8234
Toshihiro Hattori
0
122491
1570135
1104251
2026-06-10T22:18:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570135
wikitext
text/x-wiki
'''Toshihiro Hattori''' (服部 年宏; alizaliwa [[23 Septemba]] [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Hattori alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 11 Septemba 1996 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uzbekistan|Uzbekistan]]. Hattori alicheza Japani katika mechi 44, akifunga mabao 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/hattori_toshihiro.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1996||1||0
|-
|1997||1||0
|-
|1998||5||0
|-
|1999||5||0
|-
|2000||12||1
|-
|2002||11||1
|-
|2003||5||0
|-
|2004||4||0
|-
!Jumla||44||2
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1973|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
epdpph00h7tizgy2vp76ymuispfuhp0
Shigeyoshi Mochizuki
0
122498
1570256
1104260
2026-06-10T22:38:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570256
wikitext
text/x-wiki
'''Shigeyoshi Mochizuki''' (望月 重良; alizaliwa [[9 Julai]] [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Mochizuki alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 15 Juni 1997 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uturuki|Uturuki]]. Mochizuki alicheza Japani katika mechi 15, akifunga mabao 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/mochizuki_shigeyoshi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1997||2||0
|-
|1998||1||0
|-
|1999||2||0
|-
|2000||9||1
|-
|2001||1||0
|-
!Jumla||15||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1973|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
0daxk2q7wyblpamj3159ianoxdrx4jg
Naoki Matsuda
0
122519
1570550
1104285
2026-06-10T23:26:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570550
wikitext
text/x-wiki
'''Naoki Matsuda''' (松田 直樹; [[14 Machi]] [[1977]] - [[4 Agosti]] [[2011]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Matsuda alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 5 Februari 2000 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Mexiko|Mexiko]]. Matsuda alicheza Japani katika mechi 40, akifunga mabao 1.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/matsuda_naoki.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2000||14||0
|-
|2001||10||0
|-
|2002||12||0
|-
|2003||0||0
|-
|2004||3||0
|-
|2005||1||1
|-
!Jumla||40||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1977|2011}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
am17ehavqfy7ttw7lyl07ar3aupwc5v
Naohiro Takahara
0
122523
1569689
1104289
2026-06-10T21:05:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569689
wikitext
text/x-wiki
[[file:Takahara Naohiro, Omiya vs Shimizu 2012 (cropped).jpg|200px|right]]
'''Naohiro Takahara''' (高原 直泰; alizaliwa [[4 Juni]] [[1979]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Takahara alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 13 Februari 2000 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Singapuri|Singapuri]]. Takahara alicheza Japani katika mechi 57, akifunga mabao 23.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/takahara_naohiro.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2000||11||8
|-
|2001||4||0
|-
|2002||4||1
|-
|2003||8||2
|-
|2004||5||1
|-
|2005||7||2
|-
|2006||5||3
|-
|2007||9||6
|-
|2008||4||0
|-
!Jumla||57||23
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1979|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
shp3rbhi99kgzohnai2jzq37vzjgwwn
Masashi Motoyama
0
122528
1569962
1104294
2026-06-10T21:50:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569962
wikitext
text/x-wiki
'''Masashi Motoyama''' (本山 雅志; alizaliwa [[20 Juni]] [[1979]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Motoyama alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 18 Juni 2000 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Bolivia|Bolivia]]. Motoyama alicheza Japani katika mechi 28.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/motoyama_masashi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2000||3||0
|-
|2001||0||0
|-
|2002||0||0
|-
|2003||3||0
|-
|2004||12||0
|-
|2005||8||0
|-
|2006||2||0
|-
!Jumla||28||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1979|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
t2gxgub1ig56mpyw9k2uyflbdpno5sv
Yoichi Doi
0
122556
1570366
1104324
2026-06-10T22:56:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570366
wikitext
text/x-wiki
[[file:Yoichi Doi.jpg|200px|right]]
'''Yoichi Doi''' (土肥 洋一; alizaliwa [[25 Julai]] [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Doi alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 7 Februari 2004 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Malaysia|Malaysia]]. Doi alicheza Japani katika mechi 4.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/doi_yoichi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2004||2||0
|-
|2005||2||0
|-
!Jumla||4||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1973|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
5l01krhlkev1hbchka7v6lp8y2tntpg
Shinzo Koroki
0
122604
1569802
1104378
2026-06-10T21:24:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569802
wikitext
text/x-wiki
[[file:Shinzo Koroki.jpg|250px|right]]
'''Shinzo Koroki''' (興梠 慎三; alizaliwa [[31 Julai]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Koroki alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 9 Oktoba 2008 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Falme za Kiarabu|Falme za Kiarabu]]. Koroki alicheza Japani katika mechi 16.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2008||2||0
|-
|2009||8||0
|-
|2010||1||0
|-
|2011||1||0
|-
|2012||0||0
|-
|2013||0||0
|-
|2014||0||0
|-
|2015||4||0
|-
!Jumla||16||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1986|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
98np0qk0fnar5dr612kmdoxmra4l8wq
Takuya Honda
0
122629
1569924
1104406
2026-06-10T21:44:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569924
wikitext
text/x-wiki
'''Takuya Honda''' (本田 拓也; alizaliwa [[17 Aprili]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Honda alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 17 Januari 2011 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Saudia|Saudia]]. Honda alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/honda_takuya.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2011||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
gak11l3lsi4cko7whzsbozsil97pu6k
Yuki Otsu
0
122643
1570268
1104420
2026-06-10T22:40:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570268
wikitext
text/x-wiki
[[file:Yuki Otsu 2012 Borussia Mönchengladbach (cropped).jpg|200px|right]]
'''Yuki Otsu''' (大津 祐樹; alizaliwa [[24 Machi]] [[1990]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Otsu alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 6 Februari 2013 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Latvia|Latvia]]. Otsu alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/otsu_yuki.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2013||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1990|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
0d98oy8qz9v0ugrwjs6d7xvpmey3qht
Naoyuki Fujita
0
122675
1570586
1104462
2026-06-10T23:32:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570586
wikitext
text/x-wiki
'''Naoyuki Fujita''' (藤田 直之; alizaliwa [[22 Juni]] [[1987]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Fujita alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 5 Agosti 2015 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Korea Kusini|Korea Kusini]]. Fujita alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2015||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1987|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
elwe5lhn46andq6jwl9qdgzoy7rssw5
Koki Yonekura
0
122677
1569620
1104464
2026-06-10T20:54:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569620
wikitext
text/x-wiki
'''Koki Yonekura''' (米倉 恒貴; alizaliwa [[17 Mei]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Yonekura alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 9 Agosti 2015 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya China|China]]. Yonekura alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2015||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1988|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
62d428o4htapps8hc46ni7vbg5cchgp
Kenyu Sugimoto
0
122692
1569714
1104480
2026-06-10T21:10:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569714
wikitext
text/x-wiki
[[file:Keuyuu.jpg|200px|right]]
'''Kenyu Sugimoto''' (杉本 健勇; alizaliwa [[18 Novemba]] [[1992]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Sugimoto alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 5 Septemba 2017 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Saudia|Saudia]]. Sugimoto alicheza Japani katika mechi 8, akifunga mabao 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2017||5||1
|-
|2018||3||0
|-
!Jumla||8||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1992|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
bvt3m9fti9mxc7xc8b3vja0tujy7euj
Tomoya Ugajin
0
122709
1569775
1104501
2026-06-10T21:20:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569775
wikitext
text/x-wiki
'''Tomoya Ugajin''' (宇賀神 友弥; alizaliwa [[23 Machi]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Ugajin alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 23 Machi 2018 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Mali|Mali]]. Ugajin alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2018||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1988|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
nlc9ojvqkkf5j5a4q3dvc66qm136g56
Ritsu Doan
0
122713
1569941
1104505
2026-06-10T21:47:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569941
wikitext
text/x-wiki
[[file:Ritsu Doan, 2019 AFC Asian Cup 1.jpg|200px|right]]
'''Ritsu Doan''' (堂安 律; alizaliwa [[16 Juni]] [[1998]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Anachezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Doan alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 11 Septemba 2018 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kosta Rika|Kosta Rika]]. Doan alicheza Japani katika mechi 18, akifunga mabao 3.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2018||5||1
|-
|2019||13||2
|-
!Jumla||18||3
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1998|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
fja5g1tqwqjihxl2rvklogrgzo8vzz8
Tsukasa Morishima
0
122741
1569773
1104533
2026-06-10T21:19:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569773
wikitext
text/x-wiki
'''Tsukasa Morishima''' (森島 司; alizaliwa [[25 Aprili]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Anachezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]].
Morishima alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 10 Desemba 2019 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya China|China]]. Morishima alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2019||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1997|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
tv1b8vdo0azqcozmnjqonog1mgb6uvx
Lucas Neill
0
122816
1569698
1104647
2026-06-10T21:07:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569698
wikitext
text/x-wiki
[[file:Lucas Neill.jpg|200px|right]]
'''Lucas Neill''' (alizaliwa [[9 Machi]] [[1978]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Australia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|timu ya taifa ya Australia]].
Neill ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|timu ya taifa ya Australia]] tangu mwaka wa 1996. Neill alicheza Australia katika mechi 95, akifunga mabao 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|Timu ya Taifa ya Australia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1996||1||0
|-
|1997||0||0
|-
|1998||1||0
|-
|1999||0||0
|-
|2000||0||0
|-
|2001||0||0
|-
|2002||0||0
|-
|2003||3||0
|-
|2004||5||0
|-
|2005||11||0
|-
|2006||9||0
|-
|2007||8||0
|-
|2008||7||0
|-
|2009||7||0
|-
|2010||10||0
|-
|2011||16||0
|-
|2012||9||0
|-
|2013||8||1
|-
!Jumla||95||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1978|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Australia]]
k7j6ejsaribnllizkeyyuibtatbfwo1
Matthew Spiranovic
0
122822
1569608
1104654
2026-06-10T20:52:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569608
wikitext
text/x-wiki
[[file:Matthew Spiranovic WSW NYL.jpg|200px|right]]
'''Matthew Spiranovic''' (alizaliwa [[27 Juni]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Australia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|timu ya taifa ya Australia]].
Spiranovic ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|timu ya taifa ya Australia]] tangu mwaka wa 2008. Spiranovic alicheza Australia katika mechi 36.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Australia|Timu ya Taifa ya Australia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2008||2||0
|-
|2009||2||0
|-
|2010||1||0
|-
|2011||7||0
|-
|2012||4||0
|-
|2013||0||0
|-
|2014||5||0
|-
|2015||9||0
|-
|2016||4||0
|-
|2017||1||0
|-
|2018||0||0
|-
|2019||1||0
|-
!Jumla||36||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1988|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Australia]]
kca8r486kzxw3188pin1fmsqtp9n3bt
Mto Muha (Burundi)
0
122873
1569592
1104721
2026-06-10T20:49:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569592
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Bujumbura Mjini]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Mjini]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Mjini]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
crphzkofoz8gb5r2xdef4hc6t0hm5d6
Michael Laudrup
0
122883
1569660
1104732
2026-06-10T21:01:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569660
wikitext
text/x-wiki
[[file:Michael Laudrup.jpg|200px|right]]
'''Michael Laudrup''' (alizaliwa [[15 Juni]] [[1964]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Denmark]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Denmark|timu ya taifa ya Denmark]].
Laudrup ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Denmark|timu ya taifa ya Denmark]] tangu mwaka wa 1982. Laudrup alicheza Denmark katika mechi 103, akifunga mabao 35.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Denmark|Timu ya Taifa ya Denmark]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1982||3||2
|-
|1983||4||5
|-
|1984||13||2
|-
|1985||6||6
|-
|1986||10||1
|-
|1987||4||0
|-
|1988||9||1
|-
|1989||8||4
|-
|1990||6||3
|-
|1991||0||0
|-
|1992||0||0
|-
|1993||4||0
|-
|1994||8||3
|-
|1995||9||5
|-
|1996||8||1
|-
|1997||2||1
|-
|1998||9||1
|-
!Jumla||103||35
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1964|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Denmark]]
lzkh8ffbpz5s9k1go6i2kxqwpba8tf5
Igor Cvitanović
0
122916
1569968
1104773
2026-06-10T21:51:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569968
wikitext
text/x-wiki
'''Igor Cvitanović''' (alizaliwa [[1 Novemba]] [[1970]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Kroatia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|timu ya taifa ya Kroatia]].
Cvitanović ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|timu ya taifa ya Kroatia]] tangu mwaka wa 1992. Cvitanović alicheza Kroatia katika mechi 29, akifunga mabao 4.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|Timu ya Taifa ya Kroatia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1992||1||0
|-
|1993||0||0
|-
|1994||5||2
|-
|1995||0||0
|-
|1996||7||1
|-
|1997||7||0
|-
|1998||1||0
|-
|1999||6||1
|-
|2000||1||0
|-
|2001||1||0
|-
!Jumla||29||4
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1970|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kroatia]]
8o72xt3j3le1kq7wljgaxglyp201l0h
Goran Jurić
0
122919
1569891
1104777
2026-06-10T21:39:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569891
wikitext
text/x-wiki
'''Goran Jurić''' (alizaliwa [[5 Februari]] [[1963]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Kroatia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Yugoslavia|timu ya taifa ya Yugoslavia]] na [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|timu ya taifa ya Kroatia]].
Jurić ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Yugoslavia|timu ya taifa ya Yugoslavia]] tangu mwaka wa 1988. Jurić alicheza Yugoslavia na [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|Kroatia]] katika mechi 19.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Yugoslavia|Timu ya Taifa ya Yugoslavia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1988||3||0
|-
|1989||1||0
|-
!Jumla||4||0
|-
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|Timu ya Taifa ya Kroatia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1997||7||0
|-
|1998||3||0
|-
|1999||5||0
|-
!Jumla||15||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1963|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kroatia]]
083kwp1gxgenxnxg6bytim05cayy8q1
Tomislav Marić
0
122920
1570339
1104778
2026-06-10T22:51:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570339
wikitext
text/x-wiki
[[file:Tomislav maric.jpg|200px|right]]
'''Tomislav Marić''' (alizaliwa [[28 Januari]] [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Kroatia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|timu ya taifa ya Kroatia]].
Marić ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|timu ya taifa ya Kroatia]] tangu mwaka wa 2002. Marić alicheza Kroatia katika mechi 11, akifunga mabao 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kroatia|Timu ya Taifa ya Kroatia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2002||5||1
|-
|2003||6||1
|-
!Jumla||11||2
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1973|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kroatia]]
8hu6y3m1ak6lbfb31aho0shmowhmpp6
Momodu Mutairu
0
122956
1570070
1104819
2026-06-10T22:07:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570070
wikitext
text/x-wiki
'''Momodu Mutairu''' (alizaliwa [[2 Septemba]] [[1975]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Nigeria]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|timu ya taifa ya Nigeria]].
Mutairu ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|timu ya taifa ya Nigeria]] tangu mwaka wa 1995. Mutairu alicheza Nigeria katika mechi 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|Timu ya Taifa ya Nigeria]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1995||2||0
|-
!Jumla||2||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1975|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
mzf5vcfg27yj9krbn4dys3kapuwvit1
Michael Obiku
0
122957
1570526
1104820
2026-06-10T23:22:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570526
wikitext
text/x-wiki
'''Michael Obiku''' (alizaliwa [[24 Septemba]] [[1968]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Nigeria]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|timu ya taifa ya Nigeria]].
Obiku ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|timu ya taifa ya Nigeria]] tangu mwaka wa 1989. Obiku alicheza Nigeria katika mechi 4, akifunga mabao 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Nigeria|Timu ya Taifa ya Nigeria]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1989||3||1
|-
|1990||0||0
|-
|1991||0||0
|-
|1992||0||0
|-
|1993||1||0
|-
!Jumla||4||1
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1968|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
nau7et689pbanoiuuc7f4xsitz9befe
Zlatan Ljubijankić
0
123036
1569834
1104938
2026-06-10T21:29:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569834
wikitext
text/x-wiki
[[file:Zlatan Ljubijankić 2009.jpg|200px|right]]
'''Zlatan Ljubijankić''' (alizaliwa [[15 Desemba]] [[1983]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Slovenia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovenia|timu ya taifa ya Slovenia]].
Ljubijankić ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovenia|timu ya taifa ya Slovenia]] tangu mwaka wa 2006. Ljubijankić alicheza Slovenia katika mechi 48, akifunga mabao 6.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovenia|Timu ya Taifa ya Slovenia]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2006||3||1
|-
|2007||1||0
|-
|2008||3||1
|-
|2009||8||2
|-
|2010||10||2
|-
|2011||8||0
|-
|2012||4||0
|-
|2013||5||0
|-
|2014||2||0
|-
|2015||4||0
|-
!Jumla||48||6
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1983|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Slovenia]]
28i3njlg2n436a88dhoomwtb80z9mxq
Pedro Rocha
0
123073
1570629
1104979
2026-06-10T23:39:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570629
wikitext
text/x-wiki
[[file:Pedro Rocha c1966b.jpg|200px|right]]
'''Pedro Rocha''' ([[3 Desemba]] [[1942]] - [[2 Desemba]] [[2013]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Uruguay]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uruguay|timu ya taifa ya Uruguay]].
Rocha ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uruguay|timu ya taifa ya Uruguay]] tangu mwaka wa 1961. Rocha alicheza Uruguay katika mechi 54, akifunga mabao 17.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Uruguay|Timu ya Taifa ya Uruguay]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1961||1||0
|-
|1962||6||0
|-
|1963||2||0
|-
|1964||0||0
|-
|1965||9||5
|-
|1966||7||1
|-
|1967||10||8
|-
|1968||8||1
|-
|1969||5||1
|-
|1970||3||1
|-
|1971||0||0
|-
|1972||0||0
|-
|1973||0||0
|-
|1974||3||0
|-
!Jumla||54||17
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1942|2013}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uruguay]]
mh1c7woca96h5pxg81cxc8t98npzlg0
Márcio Amoroso
0
123085
1570044
1104992
2026-06-10T22:03:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570044
wikitext
text/x-wiki
'''Márcio Amoroso''' (alizaliwa [[5 Julai]] [[1974]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]].
Amoroso ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 1995. Amoroso alicheza Brazil katika mechi 19, akifunga mabao 9.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1995||1||0
|-
|1996||0||0
|-
|1997||0||0
|-
|1998||1||2
|-
|1999||10||7
|-
|2000||3||0
|-
|2001||0||0
|-
|2002||1||0
|-
|2003||3||0
|-
!Jumla||19||9
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1974|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
ct1hfvjwupo0hiaue2snlwmridh0fie
Humberlito Borges
0
123099
1570436
1105010
2026-06-10T23:08:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570436
wikitext
text/x-wiki
[[file:Humberlito Borges Teixeira 02.jpg|200px|right]]
'''Humberlito Borges''' (alizaliwa [[5 Oktoba]] [[1980]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]].
Borges ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 2011. Borges alicheza Brazil katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2011||1||0
|-
!Jumla||1||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1980|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
pyznvsov8trzhnydeh3na2dqxzshc5n
Hulk
0
123138
1569678
1105052
2026-06-10T21:04:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569678
wikitext
text/x-wiki
[[file:Bayer-04 - Zenit (14).jpg|200px|right]]
'''Hulk''' (alizaliwa [[25 Julai]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]].
Hulk ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 2009. Hulk alicheza Brazil katika mechi 48, akifunga mabao 11.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|2009||2||0
|-
|2010||0||0
|-
|2011||6||0
|-
|2012||10||6
|-
|2013||14||2
|-
|2014||9||1
|-
|2015||4||2
|-
|2016||3||0
|-
!Jumla||48||11
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1986|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
p8opwlj4pj24ca8z0j5wgisqb1phclq
Paulo Jamelli
0
123139
1570395
1105053
2026-06-10T23:01:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570395
wikitext
text/x-wiki
'''Paulo Jamelli''' (alizaliwa [[22 Januari]] [[1974]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]].
Jamelli ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 1996. Jamelli alicheza Brazil katika mechi 5, akifunga mabao 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1996||5||2
|-
!Jumla||5||2
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1974|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
0fbaurkxl2ree78wan23ppioqhg4ibf
Ricardo Alexandre dos Santos
0
123171
1570617
1105085
2026-06-10T23:38:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570617
wikitext
text/x-wiki
'''Ricardo Alexandre dos Santos''' ('''Ricardinho''', alizaliwa [[24 Juni]] [[1976]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]].
Ricardinho ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 1996. Ricardinho alicheza Brazil katika mechi 3.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref>
==Takwimu==
<ref name="NFT"/>
{| class="wikitable" style="text-align:center;"
!colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]]
|-
!Mwaka||Mechi||Magoli
|-
|1996||1||0
|-
|1997||0||0
|-
|1998||0||0
|-
|1999||0||0
|-
|2000||1||0
|-
|2001||1||0
|-
!Jumla||3||0
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1976|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
mzvkkmc81phvqfkoqu8n9ea0wpnopks
Mto Nyarusasa (Kayanza)
0
123215
1570562
1105156
2026-06-10T23:28:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570562
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]] na [[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ln5iyqua8oumb1u8tytcsk7oglkhdp4
Mto Vyambo
0
123228
1570449
1105177
2026-06-10T23:10:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570449
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]] na [[mkoa wa Bujumbura Vijijini]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Vijijini]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|V]]
[[Jamii:Mkoa wa Muramvya]]
[[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Vijijini]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
rvpjyg0cack1podnnjyrj3xckv7z8k9
Mto Karindamisa
0
123306
1570440
1105361
2026-06-10T23:08:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570440
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Bujumbura Vijijini]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Vijijini]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Vijijini]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
dfl0i9n7b83bvqxhiujuo1rq7k4xxb5
Mto Kagogo (Bubanza)
0
123446
1570409
1105682
2026-06-10T23:03:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570409
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bubanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bubanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Bubanza]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
o9pd8ajl6bjcpqhswnsw0cnzwow0t1o
Mto Nashabaga
0
123471
1569741
1105709
2026-06-10T21:14:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569741
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bubanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bubanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Bubanza]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
9tue404d5l7v5pzugr6o584irosv2sz
Mto Ninga (Burundi)
0
123474
1569936
1105712
2026-06-10T21:46:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569936
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bubanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bubanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Bubanza]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
9tue404d5l7v5pzugr6o584irosv2sz
Mto Inamurambi
0
123544
1570536
1105811
2026-06-10T23:24:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570536
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|I]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
hlzmsxk1z3l8qp8hnbth99moxo0x3td
Mto Kidatemba (Cibitoke)
0
123552
1570299
1105820
2026-06-10T22:45:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570299
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
f6epbu92vjd2jz9iq5rgc4b4bhzritr
Mto Mukashu
0
123567
1570486
1105835
2026-06-10T23:16:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570486
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
6z3ysmtyw9r3z2c8np5o4sdgp6w5lex
Mto Nyabiho (Cibitoke)
0
123584
1569580
1105861
2026-06-10T20:47:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569580
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q2k4idg7xc5bjhwuqrapj69pj2cxhct
Mto Nyagihashu
0
123594
1569803
1105909
2026-06-10T21:24:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569803
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q2k4idg7xc5bjhwuqrapj69pj2cxhct
Mto Nyakariya
0
123597
1570185
1105914
2026-06-10T22:26:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570185
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q2k4idg7xc5bjhwuqrapj69pj2cxhct
Mto Nyakibanda
0
123598
1570362
1105915
2026-06-10T22:55:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570362
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q2k4idg7xc5bjhwuqrapj69pj2cxhct
Mto Nyakibaya
0
123599
1570546
1105916
2026-06-10T23:26:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570546
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q2k4idg7xc5bjhwuqrapj69pj2cxhct
Mto Ruce
0
123625
1569578
1105944
2026-06-10T20:47:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569578
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
hvdtdty00tli6iu8j8ia9mkiogmtykl
Mto Muyogo
0
123780
1569584
1106232
2026-06-10T20:48:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569584
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
axlned2nvp1nh1p0umhcxxw5f9isi6a
Mto Ndurumu (Makamba)
0
123807
1569684
1106286
2026-06-10T21:05:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569684
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyabugwena
0
123809
1569882
1106288
2026-06-10T21:37:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569882
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyaconga
0
123811
1570083
1106290
2026-06-10T22:09:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570083
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyagituku (Makamba)
0
123818
1570265
1106299
2026-06-10T22:39:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570265
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyagwondo
0
123819
1570443
1106300
2026-06-10T23:09:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570443
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyakabuye (Makamba)
0
123823
1570625
1106305
2026-06-10T23:39:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570625
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Makamba]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1
Mto Nyacijima (Ngozi)
0
123983
1569536
1106553
2026-06-10T20:40:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569536
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ertvm8halu3if5ym2a5jd9eglrrjart
Mto Nyagafunzo (Ngozi)
0
123984
1569756
1106554
2026-06-10T21:17:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569756
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ertvm8halu3if5ym2a5jd9eglrrjart
Mto Rutama
0
123998
1569951
1106571
2026-06-10T21:48:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569951
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c88a0uz4rrvwknmez3j8ih2aggi7nhp
Mto Ruvomo (Burundi)
0
123999
1570144
1106573
2026-06-10T22:19:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570144
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c88a0uz4rrvwknmez3j8ih2aggi7nhp
Mto Ruvumera (Ngozi)
0
124000
1570327
1106575
2026-06-10T22:49:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570327
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c88a0uz4rrvwknmez3j8ih2aggi7nhp
Mto Rwintare (Burundi)
0
124001
1570514
1106576
2026-06-10T23:20:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570514
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
c88a0uz4rrvwknmez3j8ih2aggi7nhp
Mto Bukiriba
0
124130
1569857
1106838
2026-06-10T21:33:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569857
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|B]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
im2cw00e2nq1h7e01awlkj178j3c0ms
Mto Kanyamwijima
0
124173
1569712
1106892
2026-06-10T21:09:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569712
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
dpixdre1aa4vnmugnx2sx4knvk6hsff
Mto Karemera (Muyinga)
0
124176
1570180
1106895
2026-06-10T22:25:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570180
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la [[mito]] miwili na [[Korongo (jiografia)|korongo]] moja vinavyopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
2kcy69dwy0lujv54hre4yr5z6okv15p
Mto Kibwirwa
0
124182
1570053
1106903
2026-06-10T22:04:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570053
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ne9yw4lt982w0771as649v14nurzsez
Mto Kigina (Muyinga)
0
124184
1570412
1106906
2026-06-10T23:04:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570412
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ne9yw4lt982w0771as649v14nurzsez
Mto Kigomero (Muyinga)
0
124185
1570593
1106908
2026-06-10T23:34:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570593
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ne9yw4lt982w0771as649v14nurzsez
Mto Mugacabwoya
0
124211
1569908
1106988
2026-06-10T21:41:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569908
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fuehcfyxjqx7mi18j5xgyt6zqifv1a6
Mto Murugenge
0
124235
1570103
1107015
2026-06-10T22:13:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570103
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fuehcfyxjqx7mi18j5xgyt6zqifv1a6
Mto Muruhoma
0
124236
1570286
1107016
2026-06-10T22:43:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570286
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muyinga]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fuehcfyxjqx7mi18j5xgyt6zqifv1a6
Mto Buryobe
0
124330
1570382
1107261
2026-06-10T22:58:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570382
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|B]]
[[Jamii:Mkoa wa Karuzi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
441cge2ovfdm6nnju24s75dr3o4barb
Mto Cumva
0
124332
1570566
1107264
2026-06-10T23:29:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570566
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|C]]
[[Jamii:Mkoa wa Karuzi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
k709b7io0rmdwy6f2onl3443bfjsjn2
Mto Kinyamaganga (Karuzi)
0
124371
1570154
1107307
2026-06-10T22:21:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570154
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Karuzi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
fycmm9alebnc5f6atrfsze4kae32s70
Mto Mugatare (Karuzi)
0
124380
1570336
1107316
2026-06-10T22:51:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570336
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jina]] la miwili kati ya [[mito]] inayopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Karuzi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rqq9zsritvkbabp9rgtqkadh71hel40
Mto Dundwe (Burundi)
0
125574
1569606
1111662
2026-06-10T20:52:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569606
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|D]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
ig2fvie3w949wkg8siqvcedqsyja47k
Mto Kinyarwera
0
125621
1569598
1111728
2026-06-10T20:50:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569598
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
lxp30evbv26352y3hngnvgc7kt6wi3h
Mto Kirugura
0
125622
1569815
1111729
2026-06-10T21:26:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569815
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
lxp30evbv26352y3hngnvgc7kt6wi3h
Mto Muzimwe (Burundi)
0
125722
1570018
1111982
2026-06-10T21:59:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570018
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
1zfy58fvz33b3ck987unnpkzt2jm6sr
Mto Myugaro
0
125725
1570194
1111985
2026-06-10T22:28:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570194
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
1zfy58fvz33b3ck987unnpkzt2jm6sr
Mto Ndurumu (Bururi)
0
125750
1570372
1112062
2026-06-10T22:57:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570372
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
b2urwxz202sv0pqil9vdvv3ujk3341p
Mto Ngemwe
0
125751
1570554
1112063
2026-06-10T23:27:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570554
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
b2urwxz202sv0pqil9vdvv3ujk3341p
Mto Nyarukenke
0
125813
1569628
1112184
2026-06-10T20:55:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569628
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
r99ck2dtmo5i0aundnwb86hj3ye17kk
Mto Nyeshombe
0
125820
1569842
1112191
2026-06-10T21:31:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569842
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
r99ck2dtmo5i0aundnwb86hj3ye17kk
Mto Remba
0
125822
1569582
1112193
2026-06-10T20:48:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569582
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qot5gocv9fncxf034cie1xn86ikk8r0
Mto Ruzunga
0
125833
1569804
1112207
2026-06-10T21:24:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569804
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qot5gocv9fncxf034cie1xn86ikk8r0
Mto Nonya
0
125859
1570543
1112235
2026-06-10T23:25:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570543
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Bururi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
oah8mm61q5az2j7y88x14uwi2ib0wx4
Winga
0
126059
1570190
1112819
2026-06-10T22:27:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570190
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[File:Garrincha and Vavà 1958 World Cup final.jpg|thumb|right|280px|Winga maarufu [[Garrincha]] akimpasia [[Vavá]] katika [[fainali]] ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] [[mwaka]] [[1958]].]]
'''Winga''' (kutoka [[Kiingereza]] ''winger'') ni nafasi ya [[mchezaji]] katika [[mpira wa miguu]], [[hockey]], [[mpira wa mikono]], [[rugby]] n.k. Nafasi hiyo iko upande wa mbele, ama kulia ama kushoto.
{{mbegu-michezo}}
[[Category:Michezo]]
tgdxb9ldna8a9r332h8j4v19c1252up
Mto Muruhehe
0
126664
1569535
1115039
2026-06-10T20:40:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569535
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
q5zmqeaes4ko3gqs7zslj4oh6ollzt7
Mto Nyagwijima (Cankuzo)
0
126683
1569754
1115065
2026-06-10T21:16:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569754
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
swg7k7vcv19sd4qvljrtrmzrwbz9gpq
Mto Nyamihana
0
126687
1569554
1115069
2026-06-10T20:43:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569554
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
92muvwelhyjc3x01dvjbbbjaod6zi6u
Mto Nyamutinda
0
126689
1569949
1115072
2026-06-10T21:48:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569949
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
swg7k7vcv19sd4qvljrtrmzrwbz9gpq
Mto Nyanzari (Cankuzo)
0
126691
1570142
1115074
2026-06-10T22:19:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570142
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
swg7k7vcv19sd4qvljrtrmzrwbz9gpq
Mto Rugomero (Cankuzo)
0
126695
1569776
1115079
2026-06-10T21:20:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569776
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|R]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
8m2y2cbwq69h6o0g2a7ujq78n0j47lt
Mto Ruhotsa
0
126696
1569965
1115080
2026-06-10T21:51:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569965
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|R]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
8m2y2cbwq69h6o0g2a7ujq78n0j47lt
Mto Kanywampene (Cankuzo)
0
126716
1569730
1115125
2026-06-10T21:12:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569730
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake huelekea [[mto Ruvubu]], [[ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|K]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
d7tqmrorzvarsr6acn6594ljflxqylt
Mto Karico
0
126717
1569923
1115126
2026-06-10T21:44:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569923
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake huelekea [[mto Ruvubu]], [[ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|K]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
d7tqmrorzvarsr6acn6594ljflxqylt
Mto Mugashinge
0
126723
1570116
1115132
2026-06-10T22:15:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570116
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake huelekea [[mto Ruvubu]], [[ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|M]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ax4srogz28riukk982k6rnzp5teavqa
Mto Mukambu (Cankuzo)
0
126725
1570298
1115134
2026-06-10T22:45:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570298
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake huelekea [[mto Ruvubu]], [[ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|M]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ax4srogz28riukk982k6rnzp5teavqa
Mto Rugasari
0
126747
1570485
1115158
2026-06-10T23:16:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570485
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]).
[[Maji]] yake huelekea [[mto Ruvubu]], [[ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|R]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
6p8y25s59mou49urswgtqo0vkb9djhb
Mto Gasebeyi (Gitega)
0
126837
1570115
1115433
2026-06-10T22:15:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570115
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
byk77lacwbh4bfxyy4rwwaw19jj98xs
Mto Inajaga
0
126852
1570297
1115452
2026-06-10T22:45:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570297
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|I]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
63qbncvxgcui1jps2mlkxobebx7nwcf
Mto Kamabuye (Burundi)
0
126878
1570484
1115497
2026-06-10T23:16:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570484
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5ow7zj47pefsp8p62wa2rsdp5gtwnx1
Mto Munwango
0
126940
1569787
1115597
2026-06-10T21:22:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569787
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
mj3p3lqm0tkz7kpiogtopc4ftrznvuc
Mto Munywero (Gitega)
0
126941
1569568
1115598
2026-06-10T20:46:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569568
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
2u5t0ekexrewktjn0ivor4ppz29qgtu
Mto Mutukura (Gitega)
0
126946
1569791
1115606
2026-06-10T21:22:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569791
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
2u5t0ekexrewktjn0ivor4ppz29qgtu
Mto Ndonyi
0
127010
1569989
1115837
2026-06-10T21:54:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569989
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3zs6oo9qpo3dkjbnspsvquslw2200sj
Mto Nkuba (Burundi)
0
127012
1570173
1115839
2026-06-10T22:24:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570173
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3zs6oo9qpo3dkjbnspsvquslw2200sj
Mto Ntagisivya (Gitega)
0
127013
1569983
1115840
2026-06-10T21:53:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569983
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe
Mto Ntaruka (Gitega)
0
127015
1570353
1115842
2026-06-10T22:54:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570353
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3zs6oo9qpo3dkjbnspsvquslw2200sj
Mto Nyaburuma
0
127027
1570171
1115856
2026-06-10T22:24:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570171
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe
Mto Nyakagege
0
127066
1570351
1115947
2026-06-10T22:53:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570351
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe
Mto Nyakerera (Gitega)
0
127070
1570534
1115953
2026-06-10T23:24:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570534
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe
Mto Nyamukurura
0
127085
1570537
1115969
2026-06-10T23:24:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570537
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
3zs6oo9qpo3dkjbnspsvquslw2200sj
Mto Gaheke
0
127168
1569632
1116158
2026-06-10T20:56:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569632
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
9wjodjfys4n5ha1s78grj9tjsrrevmy
Mto Kanyinya (Burundi)
0
127170
1569847
1116160
2026-06-10T21:31:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569847
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qgz6ussm4ivb53y4igvpelowead89fa
Mto Misarara (Burundi)
0
127171
1570042
1116161
2026-06-10T22:03:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570042
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
bcospru4ye8581zspzbiw2cyezapxto
Mto Murembera
0
127172
1570224
1116162
2026-06-10T22:33:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570224
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
bcospru4ye8581zspzbiw2cyezapxto
Mto Mwaba (Burundi)
0
127173
1570400
1116163
2026-06-10T23:01:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570400
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
bcospru4ye8581zspzbiw2cyezapxto
Mto Riba
0
127182
1570587
1116172
2026-06-10T23:33:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570587
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]).
[[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
79q30yctmrmezcm35wp3gdpq10csrf7
Mto Kariba (Kayanza)
0
128148
1570518
1125577
2026-06-10T23:21:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570518
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake kupitia [[mto Ruvubu]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
6bq7btbazszhqm20wy4h5yknjhgwhn6
Mto Mudutukura
0
128202
1569700
1125709
2026-06-10T21:07:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569700
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bsoe2lgss0djhulc6dnrjmw9rjblugg
Mto Muruhugu
0
128205
1569893
1125712
2026-06-10T21:39:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569893
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bsoe2lgss0djhulc6dnrjmw9rjblugg
Mto Muzi (Burundi)
0
128206
1570089
1125713
2026-06-10T22:10:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570089
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bsoe2lgss0djhulc6dnrjmw9rjblugg
Mto Mvumvu (Burundi)
0
128207
1570271
1125714
2026-06-10T22:40:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570271
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bsoe2lgss0djhulc6dnrjmw9rjblugg
Mto Mwaro (Kayanza)
0
128208
1570448
1125715
2026-06-10T23:10:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570448
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
bsoe2lgss0djhulc6dnrjmw9rjblugg
Mto Nambuga
0
128211
1570636
1125718
2026-06-10T23:41:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570636
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
2cnibclfvzhefqcf25i5qs5zdqpshfa
Mto Rushishima
0
128248
1569601
1125759
2026-06-10T20:51:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569601
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake, kupitia [[mto Ruvubu]] na [[ziwa Nyanza]], huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
e8ncsegp116lal2d6wsg94sd7dy408b
Mto Kaganga (Kayanza)
0
128284
1569696
1125904
2026-06-10T21:07:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569696
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
684ztfh709hjlybn8qetxjlme3w0jwb
Mto Gasebo
0
128306
1570425
1125943
2026-06-10T23:06:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570425
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muramvya]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h7dk6mnd50wwfow68mgqqysdcicw95b
Mto Gatongati (Muramvya)
0
128307
1570607
1125944
2026-06-10T23:36:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570607
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muramvya]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
h7dk6mnd50wwfow68mgqqysdcicw95b
Mto Nanete
0
128431
1569935
1126220
2026-06-10T21:46:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569935
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muramvya]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1aumqqk4v6bg7e447whpxiolctf4f0
Mto Nyarutinduzi
0
128437
1570130
1126229
2026-06-10T22:17:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570130
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Muramvya]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
j1aumqqk4v6bg7e447whpxiolctf4f0
Mto Jaga (Burundi)
0
131997
1569630
1137265
2026-06-10T20:56:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569630
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Mwaro]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mwaro]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Mwaro]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|J]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
t40vt6ihwffqmc01v2c7yv326sgitwe
Mto Kabagwana
0
131998
1569844
1137266
2026-06-10T21:31:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569844
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Mwaro]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mwaro]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Mwaro]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
5xcyuc1eenivzj8oplswzrdamvnq8it
Mto Maronge
0
132003
1570219
1137273
2026-06-10T22:32:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570219
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Mwaro]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mwaro]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Mwaro]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ah1n2p5cldkw8yq65p26v33uzubzhwg
Mto Mazimero (Mwaro)
0
132004
1570398
1137274
2026-06-10T23:01:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570398
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Mwaro]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mwaro]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Mwaro]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|M]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
ah1n2p5cldkw8yq65p26v33uzubzhwg
Mto Gahama (Rutana)
0
132047
1569687
1137328
2026-06-10T21:05:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569687
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
ixphwiaxr3tockzt8rb7akvsomycseo
Mto Gakobe
0
132048
1569888
1137329
2026-06-10T21:38:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569888
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
ixphwiaxr3tockzt8rb7akvsomycseo
Mto Ningwe
0
132217
1569542
1138086
2026-06-10T20:41:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569542
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs
Mto Nkanka (Burundi)
0
132218
1569763
1138087
2026-06-10T21:18:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569763
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs
Mto Nyabigozi (Rutana)
0
132219
1569958
1138088
2026-06-10T21:49:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569958
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs
Mto Nyabikere (Rutana)
0
132220
1570151
1138089
2026-06-10T22:21:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570151
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs
Mto Terera
0
132291
1570333
1138266
2026-06-10T22:50:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570333
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|T]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
9i1pqz1ym69vqtls7sz1mllf315mndn
Mto Nyamabenga
0
132338
1569607
1138358
2026-06-10T20:52:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569607
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to
Mto Nyamugomari
0
132339
1569821
1138359
2026-06-10T21:27:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569821
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to
Mto Nyangwe
0
132340
1570024
1138360
2026-06-10T22:00:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570024
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to
Mto Nyankoba
0
132341
1570205
1138361
2026-06-10T22:29:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570205
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mkoa wa Rutana]]
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to
Hemikodata
0
132381
1569879
1145270
2026-06-10T21:37:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569879
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Hemikodata
| picha = Glossobalanus sp..jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Mnyoo-mkonga (''Glossobalanus'' sp.)
| himaya = [[Mnyama|Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| clade = [[Bilateria]]
| clade = [[Nephrozoa]]
| faila_ya_juu = [[Deuterostomia]]
| faila = [[Hemichordata]]
| bingwa_wa_faila = [[William Bateson|Bateson]], 1885
| subdivision = '''Ngeli 3:'''
* [[Enteropneusta]] <small>[[Karl Gegenbaur|Gegenbaur]], 1870</small>
* [[Planctosphaeroidea]] <small></small>
* [[Pterobranchia]] <small>[[Ray Lankester|Lankester]], 1877</small>
}}
'''Hemikodata''' ni [[faila]] ya [[mnyama|wanyama]] wa [[bahari]] katika [[faila ya juu]] [[Deuterostomia]]. Wanachukuliwa kama kikundi cha dada cha [[mnyama Ngozi-miiba|wanyama ngozi-miiba]]. Wanatokea kwa mara ya kwanza katika [[Cambrian]] ya Chini au ya Kati na wana [[ngeli (biolojia)|ngeli]] kuu mbili: [[Enteropneusta]] ([[mnyoo-mkonga|minyoo-mkonga]]) na [[Pterobranchia]]. Ngeli ya tatu, [[Planctosphaeroidea]], inajulikana tu kutoka kwa [[lava]] wa [[spishi]] moja, ''Planctosphaera pelagica''. Ngeli [[Graptolithina]], iliyokwisha sasa, inahusiana sana na Pterobranchia.
Hemikodata ni kati ya jamaa wa karibu zaidi wa kijeni wa [[Kodata]] kati ya [[invertebrata]]. Kwa hivyo [[myoo|minyoo]] hao wa bahari ni ya kuvutia sana kwa utafiti wa asili ya maendeleo ya kodata.
Minyoo-mkonga huishi peke yao katika vishimo kwenye sakafu ya bahari (mirija ya kwanza ya kabla ya [[historia]] iliyotolewa) na hujilisha kwa [[mashapo]]. Lakini spishi kadhaa hutumia nyufa katika [[koromeo]] ili kuchuja chembe za [[chakula]] kutoka maji. Spishi za familia Torquaratoridae huishi huru na kujilisha kwa maada ogania kwenye sakafu. Pterobranchia huchuja chakula na [[mnyiri|minyiri]] yao. Huishi katika makoloni, muundo wa [[kolajeni]] kwa umbo la mrija unaoitwa [[w:coenecium|coenecium]].
==Maelezo==
Mwili wa minyoo-mkonga umegawanyika katika [[mkonga]] wa mbele, [[ukosi]] wa kati na [[fumbatio]] ya nyuma. Mkonga ni ogani yenye [[msuli|misuli]] na [[silio]] ([[nywele]] ndogo sana) kwenye [[ngozi]] unaotumika kwa kuogelea na kukusanya na kupeleka chembe za chakula. [[Kinywa]] kipo kati ya mkonga na ukosi. Fumbatio ni sehemu ndefu zaidi ya mnyama. Ina koromeo iliyotobolewa na nyufa, [[umio]], [[matumbo]] marefu na [[mkundu]] kwa nyuma kabisa. [[Gonadi]] ([[tezi]] za [[jinsia|kijinsia]]) zimo ndani ya fumbatio pia.
Sehemu ya mbele ya mwili wa Pterobranchia imetoholewa katika [[ngao]] ya [[kichwa]] yenye misuli na silio. Hutumika kwa kuogelea na kutoa coenecium. Sehemu ya kati ina jozi moja au mbili za minyiri inayotumika kwa kuchuja chakula kutoka maji. Fumbatio ina matumbo kwa umbo la [[kitanzi]] na gonadi ndani yake na inaendelea katika [[kikonyo]] kinachoweza kufupishwa na kuunganisha wanakoloni ambao hujalishwa kwa kuchipua bila [[ngono]].
==Picha==
<gallery>
Saccoglossus.jpg|Enteropneusta (''Saccoglossus'' sp.)
Cephalodiscus dodecalophus McIntosh.png|Pterobranchia (''Cephalodiscus dodecalophus'')
</gallery>
[[Jamii:Hemichordata]]
q6lt5ixtx8nz2i2717vh9r4si37w289
Mto Sanzu (Burundi)
0
132851
1569594
1151194
2026-06-10T20:50:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569594
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ruyigi]]).
[[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|S]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|S]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
edgkh1oapvfxdf9jjciju65dgmosrpy
Godfrey Mwampembwa
0
134695
1570736
1513026
2026-06-11T07:42:36Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570736
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Godfrey Mwampembwa (27039180056).jpg|thumb|Godfrey Mwampembwa]]
'''Godfrey Mwampembwa''' (anayejulikana kwa jina la kalamu '''Gado'''; alizaliwa [[Dar es Salaam]], [[6 Agosti]] [[1969]]) ni [[mchoraji]] wa [[katuni]] kutoka nchini [[Tanzania]] anayeishi [[Kenya]]. Katuni zake nyingi zinahusu habari za [[siasa]] lakini amechora pia [[Hekaya za Abunuwasi]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|title=Gado|work=lambiek.net|accessdate=9 October 2018}}</ref> Gado ni mchoraji anayechapishwa zaidi katika [[Afrika ya Mashariki]]. Kwa zaidi ya miongo miwili alikuwa mchangiaji katika ''[[Daily Nation]]'' na East African ([[Kenya]]), ''New African'' ([[Ufalme wa Muungano|Uingereza]]), ''Courrier International'' ([[Ufaransa]]) na ''Business Day'' na ''Sunday Tribune'' ([[Afrika Kusini]]). Alichora pia katuni kwa ''Le Monde'' (Ufaransa), ''Washington Times (Marekani)'', ''Der Standard'' ([[Austria]]) na ''Japan Times'' ([[Japani]]).
Alichangia katika gazeti la ''[[Daily Nation]]'' karibu kila siku kwa miaka 23 hadi alipofukuzwa kazi kwenye Machi [[2016]] <ref>[http://www.thetimes.co.uk/tto/news/world/africa/article4712207.ece ''Kenyan cartoonist fired after mocking president'', March 14, 2016 12:01AM] ''[[The Times]]''</ref>
== Masomo na maisha ya binafsi ==
Mwampembwa alianza kuchora alipokuwa bado mtoto wa shule akaanza pia kuchora katuni za kisiasa. Baada ya kumaliza shule alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Ardhi]] kwa masomo ya [[usanifu majengo]]. Alipokuwa mwanafunzi alishiriki katika mashindano ya katuni akasafiri [[Nairobi]] kupokea tuzo aliloshinda akapewa nafasi ya ajira palepale<ref>[https://www.ft.com/content/67491ade-3ae2-11e7-ac89-b01cc67cfeec<nowiki> Gado, the political cartoonist who satirises Kenya’s president], gazeti la Financial Times tar. 24.05.2017, iliangaliwa Aprili 2020</nowiki></ref>. Kwa hiyo baada ya mwaka mmoja aliacha masomo yake na kuwa mchoraji wa katuni wa [[Nation Media Group]] huko Kenya. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.emory.edu/EMORY_REPORT/erarchive/2008/March/March17/ReportFromOIA.htm|title=Report From: Office of International Affairs|work=www.emory.edu|accessdate=9 October 2018}}</ref> Mnamo mwaka 2000 alisoma uhuishaji wa zamani na [[filamu]] katika shule ya filamu huko [[Vancouver]]. Mwaka 2015 alitumia kipindi cha mapumziko kwenye Nation Media kwa masomo kwenye Chuo cha Filamu New York (New York Film School).<ref>[https://businesstoday.co.ke/the-bold-cartoon-that-got-gado-fired-by-nation-media/<nowiki> The bold cartoon that got GADO fired by Nation Media], tovuti ya businesstoday.co.ke, ya tar. 14.06.2016, iliangaliwa Aprili 2020</nowiki></ref>
Amemwoa Stephanie Uwingabe akazaa naye mabinti mawili, Mwaji-Odeta na Keza-Anganile<ref>[http://gadocartoons.com/bio/<nowiki> Bio], tovuti ya gadocartoons.com, iliangaliwa Aprili 2020</nowiki></ref>.
== Kazi ==
Gado hutengeneza katuni za kuchekesha yanayohusu habari za siasa ya Afrika ya Mashariki na siasa ya kimataifa.
Alipoanza kuchora katuni nchini Kenya, nchi hiyo ilikuwa kwenye majira ya mabadiliko ya siasa ya vyama vingi. Gado anasemekana alikuwa mchoraji wa kwanza aliyejiamini kumwonyesha [[Daniel Arap Moi|rais Arap Moi]] katika katuni zake. Baada ya huduma ya miaka mingi namna zake ya kuonyesha viongozi wa serikali zilianza kuleta matatizo kwa gazeti la Nation tangu kushtakiwa kwa rais [[Uhuru Kenyatta]] pamoja na mwanasiasa na makamu wake [[William Ruto]] mbele ya [[Mahakama ya Kimataifa ya Jinai]] mnamo mwaka 2010.<ref>[https://www.cnyakundi.com/just-a-reminder-this-is-why-cartoonist-gado-was-fired-from-the-daily-nation/<nowiki> Just a Reminder : This is why Cartoonist Gado was Fired from the Daily nation], blogu ya Cyprian Nyakundi ya tarehe 13.06.2015, iliangaliwa aprili 2021</nowiki></ref>
Mwaka 2015 alimchora rais Jakaya Kikwete wa Tanzania kama mtu nusu-uchi anayehudumiwa na wanawake warembo waliowakilishi kasoro alizioona katika serikali yake. Gazeti la "The East African" ilibanwa nchini Tanzania kwa mwaka mmoja. Wakati huohuo alimchora makamu wa rais wa Kenya Ruto kwa namna ya kumwunganisha na kashfa ya kutwaa ardhi ya shule mjini Nairobi. Mwampembwa alipumzishwa kazi kwa mwaka mmoja na mwaka 2016 alipokea barua ya kuachishwa kazi.
Tangu kuondoka katika ajira ya Mation Media, Mwampembwa alianza kuchora kwa media ya kimataifa na kuendesha kampuni yake ya Bunimedia. Manmo mwaka 2021 alichangia pia katuni za kila siku kwenye [[East African Standard]].
== Tuzo ==
Mnamo 1999 Gado alichaguliwa kuwa Mchora Katuni wa Mwaka wa Kenya. <ref name="Pilcher">Pilcher, Tim and Brad Brooks. (Foreword: Dave Gibbons). ''The Essential Guide to World Comics''. ''[[Collins and Brown]]''. 2005. 297.</ref>
Mnamo 1996 alipewa Tuzo ya Media ya Olimpiki ya Kimataifa kwa media ya kuchapisha <ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=_FahCuSqO30C&pg=PA158|title=Kwani? 02|last=Wainaina|first=Binyavanga|date=2003|publisher=Kwani Archive Online|isbn=9789966983626|page=158}}</ref> na mnamo 1999 alikuwa Mwampembwa Mchora Katuni ''wa Mwaka'' Kenya. Alikuwa mmoja wa washiriki kumi na wawili wa maonyesho ya ''Cartooning for Peace'' of the [[Umoja wa Mataifa|United Nations]] mnamo 2006.
Mnamo 2007 alipewa Tuzo ya Prince Claus kwa mada ya ''Utamaduni na Mizozo.'' Majaji walimsifu kwa "katuni zake za ujasiri ambazo zinaonyesha kwa ucheshi mambo ya mizozo ya kijamii na kisiasa, na msukumo wa mapambano ya kujieleza huru."
Mnamo 2014 & 2016, Gado alitajwa na jarida ''The'' ''NewAfrican'' kama mmoja wa watu 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika.
Mwaka 2016 Gado alipokea tuzo ya ''Katuni kwa Amani'' 2016 aliyekabidhiwa na [[Kofi Annan]] kwenye Siku ya Wanahabari Duniani, 2 Mei. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://mkenyaujerumani.de/2016/05/04/celebrated-kenyan-cartoonist-gado-wins-the-world-press-freedom-day-caricature-prize/|title=Celebrated Kenyan Cartoonist, GADO Wins the International Editorial Cartoons Prize|author=Radoli|first=Lydia|work=Mkenya Ujerumani|accessdate=2017-03-02}}</ref>
== Kazi zake ==
* [[Abu Nuwas|Abunuwasi]] <ref name="Pilcher">Pilcher, Tim and Brad Brooks. (Foreword: Dave Gibbons). ''The Essential Guide to World Comics''. ''[[Collins and Brown]]''. 2005. 297.</ref>
* Katuni ya michoro ya [[MTV]] <ref>{{Rejea jarida|last=Repetti|first=Massimo|date=1 June 2007|title=African Wave: Specificity and Cosmopolitanism in African Comics|url=http://www.mitpressjournals.org/doi/pdfplus/10.1162/afar.2007.40.2.16?cookieSet=1|journal=African Arts|volume=40|issue=2|pages=16–35|doi=10.1162/afar.2007.40.2.16|access-date=9 October 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.gadocartoons.com {{Wayback|url=http://www.gadocartoons.com/ |date=20210624093129 }} Tovuti rasmi ya Gado]
* [https://web.archive.org/web/*/http://www.gadonet.com/ Wavuti ya zamani ya Gado] (kumbukumbu)
* [http://www.wasaniikenya.com/arts-design/godfrey-mwampembwa-gado.html {{Wayback|url=http://www.wasaniikenya.com/arts-design/godfrey-mwampembwa-gado.html |date=20140813200755 }}] {{Wayback|url=http://www.wasaniikenya.com/arts-design/godfrey-mwampembwa-gado.html |date=20140813200755 }}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Wachoraji wa Tanzania]]
[[Jamii:Wachoraji wa Kenya]]
[[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]]
5w47k37t59rzjde3szjimon4xhnoqip
Mto Nyamvura
0
134987
1569597
1161861
2026-06-10T20:50:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569597
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
s9aofbqlrruku93mmmxhv0w48bjsj60
Mto Cogo (Ruyigi)
0
135050
1570238
1161933
2026-06-10T22:35:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570238
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|C]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|C]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
su9mz7dy8tp6xlj17wgobzxcvqeqqe8
Mto Kagano (Ruyigi)
0
135059
1570411
1161947
2026-06-10T23:03:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570411
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
t7t6rsttq80qivqkxpotlhso4qmcmi7
Mto Kagaragara
0
135060
1570591
1161948
2026-06-10T23:33:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570591
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Nyanza]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]]
[[Jamii:Ziwa Viktoria]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
t7t6rsttq80qivqkxpotlhso4qmcmi7
Mto Gakurwa
0
135091
1570036
1161986
2026-06-10T22:02:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570036
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
llvfatmg1hmogu7d2eqhvjt4taz324f
Mto Gasaka
0
135092
1570215
1161987
2026-06-10T22:31:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570215
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
llvfatmg1hmogu7d2eqhvjt4taz324f
Mto Gikonko
0
135096
1570392
1161992
2026-06-10T23:00:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570392
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|G]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
llvfatmg1hmogu7d2eqhvjt4taz324f
Mto Nyamusuka
0
135153
1569640
1162056
2026-06-10T20:57:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569640
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
10mczpt72w9pfjq28m7ylo9izpfi0js
Mto Nyamuswaga (Ruyigi)
0
135154
1569851
1162057
2026-06-10T21:32:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569851
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
10mczpt72w9pfjq28m7ylo9izpfi0js
Mto Nyamutetema
0
135155
1570047
1162058
2026-06-10T22:03:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570047
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|N]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
10mczpt72w9pfjq28m7ylo9izpfi0js
Mto Rushiha
0
135165
1570232
1162068
2026-06-10T22:34:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570232
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|R]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|R]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
7r1vpfnbcqcyvqg089pop486qgrwzwo
Betty Nambooze
0
136499
1569505
1454914
2026-06-10T18:55:58Z
~2026-34117-36
90131
/* */
1569505
wikitext
text/x-wiki
{{Jedwali
| name = Betty Nambooze
| title = Hon. Betty Nambooze
| image = [[File:Bakireke Nambooze Betty.jpg|200px]]
| caption = Bakireke Nambooze Betty (2021)
| label1 = Tarehe ya kuzaliwa
| data1 = 13 Julai 1969
| label2 = Mahali pa kuzaliwa
| data2 = [[Mukono]], Uganda
| label3 = Taifa
| data3 = Mganda
| label4 = Elimu
| data4 = [[Uganda Martyrs University]] (Stashahada ya Maendeleo)<br />[[Law Development Centre]] (Stashahada ya Sheria)<br />Bishop's Senior Secondary School
| label5 = Kazi
| data5 = Mwandishi wa habari, Mwanasiasa
| label6 = Miaka ya kazi
| data6 = 1993 – sasa
| label7 = Wajulikanao kwa
| data7 = Siasa
| label8 = Wadhifa
| data8 = Mbunge wa [[Bunge la Uganda]]
| label9 = Chama cha kisiasa
| data9 = [[Political party|National Unity Platform]]
| label10 = Mume
| data10 = Henry Bakireke (ameoana tangu 2002)
| label11 = Tuzo
| data11 = [[Uganda Martyrs University]] (Stashahada ya Maendeleo)
}}
'''Betty Nambooze Bakireke''' Anajulikana kama ''Betty Nambooze'' ni [[mwandishi wa habari]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]]. Anahudumu kama mwanachama wa [[Bunge]] la [[Uganda]], akiwakilisha [[Manispaa]] ya [[Mukono]], iliyopo katika [[Wilaya ya Mukono]]<Ref>https://web.archive.org/web/20160304053147/http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=541.000000&const=Mukono+County+North&dist_id=8.000000&distname=Mukono imewekwa mnamo 27-07-2022 </ref>.
==Viungo Vya Nje==
*[https://web.archive.org/web/20160319224843/http://www.parliament.go.ug/new/ Website of the [Parliament of Uganda]
*[http://ugandaradionetwork.com/story/betty-nambooze-triumphs-in-mukono-north-mp-elections Betty Nambooze Triumphs in Mukono North MP Elections]
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
fqy4mhtfw8oeg9fnd333fbqvyyy9hbl
1569510
1569505
2026-06-10T19:08:55Z
Anuary Rajabu
45588
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[User talk:~2026-34117-36|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Justine Msechu|Justine Msechu]]
1454914
wikitext
text/x-wiki
{{Jedwali
| name = Betty Nambooze
| image = [[File:Bakireke Nambooze Betty.jpg|200px]]
| caption = Bakireke Nambooze Betty (2021)
| label1 = Tarehe ya kuzaliwa
| data1 = 13 Julai 1969
| label2 = Mahali pa kuzaliwa
| data2 = [[Mukono]], Uganda
| label3 = Taifa
| data3 = Mganda
| label4 = Elimu
| data4 = [[Uganda Martyrs University]] (Stashahada ya Maendeleo)<br />[[Law Development Centre]] (Stashahada ya Sheria)<br />Bishop's Senior Secondary School
| label5 = Kazi
| data5 = Mwandishi wa habari, Mwanasiasa
| label6 = Miaka ya kazi
| data6 = 1993 – sasa
| label7 = Wajulikanao kwa
| data7 = Siasa
| label8 = Wadhifa
| data8 = Mbunge wa [[Bunge la Uganda]]
| label9 = Chama cha kisiasa
| data9 = [[National Unity Platform]]
| label10 = Mume
| data10 = Henry Bakireke (ameoana tangu 2002)
| label11 = Tuzo
| data11 = [[Uganda Martyrs University]] (Stashahada ya Maendeleo)
}}
'''Betty Nambooze Bakireke''' Anajulikana kama ''Betty Nambooze'' ni [[mwandishi wa habari]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]]. Anahudumu kama mwanachama wa [[Bunge]] la [[Uganda]], akiwakilisha [[Manispaa]] ya [[Mukono]], iliyopo katika [[Wilaya ya Mukono]]<Ref>https://web.archive.org/web/20160304053147/http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=541.000000&const=Mukono+County+North&dist_id=8.000000&distname=Mukono imewekwa mnamo 27-07-2022 </ref>.
==Viungo Vya Nje==
*[https://web.archive.org/web/20160319224843/http://www.parliament.go.ug/new/ Website of the [Parliament of Uganda]
*[http://ugandaradionetwork.com/story/betty-nambooze-triumphs-in-mukono-north-mp-elections Betty Nambooze Triumphs in Mukono North MP Elections]
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
8kdtmfmxuxv6cmn1j1xf1k0c7uxt9vp
Ol Kokwe
0
138877
1569797
1176098
2026-06-10T21:23:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569797
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Mogotio]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
l2f90y35pe0x4ua6p6ov98hi8ok594p
Kipevu
0
138935
1569887
1176328
2026-06-10T21:38:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569887
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = {{PAGENAME}}
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map =
|pushpin_map_caption = Mahali pa katika Kenya
|settlement_type = Mji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Kenya]]
|subdivision_type1 = [[Kaunti za Kenya|Kaunti]]
|subdivision_name1 = [[Kaunti ya Mombasa|Mombasa]]
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla =
|latd= |latm= |lats=00 |latNS=S
|longd=36 |longm= |longs=00 |longEW=E
|website =
}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mombasa]], [[eneo bunge la Changamwe]] nchini [[Kenya]], <ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>..
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mombasa]]
[[Jamii:Mombasa]]
[[Jamii:Kata za Kenya]]
kxtk0mw0v6m7xn4rglwn5ucor0e5rso
Kikoneni
0
139002
1569904
1176523
2026-06-10T21:41:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569904
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kwale]], [[eneo bunge la Msambweni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
646idul5b0t4zbfrgg7xae7cnp50u92
Mackinnon Road / Taru
0
139031
1570054
1176580
2026-06-10T22:05:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570054
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kwale]], [[eneo bunge la Kinango]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
112vrw9znbopjcia7ggxnckl8z9bay1
Mtaa / Gandini
0
139032
1570239
1176581
2026-06-10T22:35:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570239
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kwale]], [[eneo bunge la Kinango]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
112vrw9znbopjcia7ggxnckl8z9bay1
Ndavaya
0
139034
1570594
1176583
2026-06-10T23:34:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570594
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kwale]], [[eneo bunge la Kinango]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kwale]]
112vrw9znbopjcia7ggxnckl8z9bay1
Wajir Mjini
0
139254
1569789
1177402
2026-06-10T21:22:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569789
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Mashariki]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
92zyt9wv4w1q3mfbcar66n3fs3kitfa
Barwaqo
0
139255
1569985
1177403
2026-06-10T21:54:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569985
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Mashariki]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
92zyt9wv4w1q3mfbcar66n3fs3kitfa
Burder
0
139267
1569894
1177417
2026-06-10T21:39:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569894
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Kusini]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
6vhzr32ht8pey0ne7c1wh6zey3onkn6
Dadajabula
0
139268
1570090
1177418
2026-06-10T22:11:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570090
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Kusini]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
6vhzr32ht8pey0ne7c1wh6zey3onkn6
Lagbogol Kusini
0
139269
1570272
1177420
2026-06-10T22:41:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570272
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Kusini]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
6vhzr32ht8pey0ne7c1wh6zey3onkn6
Ibrahim Ure
0
139270
1570450
1177421
2026-06-10T23:10:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570450
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Kusini]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
6vhzr32ht8pey0ne7c1wh6zey3onkn6
Diff
0
139271
1570638
1177422
2026-06-10T23:41:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570638
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Wajir]], [[eneo bunge la Wajir Kusini]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Wajir]]
6vhzr32ht8pey0ne7c1wh6zey3onkn6
Sala (Mandera)
0
139294
1570363
1177451
2026-06-10T22:55:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570363
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mandera]], [[eneo bunge la Lafey]], [[kaskazini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mandera]]
dc4idmv00yuuemnkhtnz717fgcyiret
Kargi/Horr Kusini
0
139326
1569697
1177792
2026-06-10T21:07:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569697
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Marsabit]], [[eneo bunge la Laisamis]], [[kaskazini]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Marsabit]]
sxr0g6mg05x7tt6282vev0wd5euhesw
Logo Logo
0
139328
1570088
1177796
2026-06-10T22:10:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570088
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Marsabit]], [[eneo bunge la Laisamis]], [[kaskazini]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Marsabit]]
sxr0g6mg05x7tt6282vev0wd5euhesw
Kiirua/Naari
0
139382
1569672
1177895
2026-06-10T21:03:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569672
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Meru]], [[eneo bunge la Buuri]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Meru]]
tclxi9iucx56jfyo5wn3drbz096hw3c
Ruiri/Rwarera
0
139383
1569872
1177896
2026-06-10T21:35:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569872
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Meru]], [[eneo bunge la Buuri]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Meru]]
tclxi9iucx56jfyo5wn3drbz096hw3c
Kyeni Kusini
0
139427
1569635
1178029
2026-06-10T20:57:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569635
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Embu]], [[Eneo bunge la Runyenjes]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Embu]]
ewzj7b9lzi7bv26opsrosbv235hr87a
Ndalani
0
139509
1569591
1178703
2026-06-10T20:49:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569591
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Machakos]], [[Eneo bunge la Yatta]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Machakos]]
n93y49izigoyg9newhhbwmbnuoqpqz7
Mitaboni
0
139521
1570168
1178716
2026-06-10T22:23:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570168
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Machakos]], [[Eneo bunge la Kathiani]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Machakos]]
3y9jinsqmzx0ar339uszhfbl70c1d4i
Han Chi-hwan
0
139752
1570787
1263191
2026-06-11T08:55:30Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 3 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570787
wikitext
text/x-wiki
'''Han Chi-hwan''' (kwa [[Kikorea]] 한지환; Hanja: 韓志煥 ; alizaliwa [[Mokdong]] huko [[Seoul]], [[28 Oktoba]] [[1984]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] na haki za kiraia kutokea [[Korea Kusini]]. Ni mtu anayepigania [[haki]] zaidi kwa [[wanaume]] na kupinga dhana ya haki sawa kati ya wanawake na wanaume.
Yeye ni mmoja wa watoa maoni wanaopinga "kukomeshwa kwa alama za ofa za jeshi" (군 가산점, 軍 加 算 算) na mifumo ya upendeleo wa jinsia ya wanawake (여성 할당제, 女性 割 當 制) huko Korea Kusini, pamoja na Sung Jae-ki na Chung Chae -ki .
Han Chi-hwan akiwa na umri mdogo, Hwan mwanamitandao aliyejihusisha na uandishi katika mitandao. Katika miaka ya 2000 alikuwa mpinga-ufeministi na alipambana kupinga ubaguzi wa kijinsia akiambatana na Sung Jae-ki, Chung Chae-ki na Kim Jae-kyong . Alipinga pia upendeleo uliopita kiasi wa wanawake na dhana za kwamba wanawake wana nguvu kuliko wanaume ([[:en:Female_chauvinism|''female chauvinism'']])
Mnamo 1999, alikuwa akipinga kukomeshwa kwa alama za ofa/bonasi za jeshi. Alisema kuwa mwanamke ana uwezo wa kufanya huduma ya kijeshi. "Kukataa huduma ya kijeshi ya wanawake" ni "ubaguzi wa kijinsia" machoni pake. Mnamo 2003, alijumuishwa na kuteuliwa na kilabu cha huduma ya kijeshi usawa wa kijinsia (남녀 공동 병역 의무 추진 위원회). lakini aliondoka mwaka mmoja baadaye. Mnamo 2004, alikuwa akifanya utafiti wa kiitikadi na akawa mrithi wa Chung Chae-ki .
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 alipinga harakati za kuunda "mfumo wa upendeleo wa jinsia kwa mwanamke" (여성 가산점) huko [[Korea Kusini]] . Han ilisemekana kusema mara kwa mara, wanawake wana uwezo sawa na hali kama wanaume walivyo na huendeleza uwezo huo wakielimishwa. Mnamo 2004 hadi Januari 2005, alikuwa akipendelea kukomeshwa kwa mfumo wa hoju, kwa sababu aliuona ni mfano wa mfumo dume wa Kikorea.
== Vitabu ==
* "Ufeministi kwa Harakati za Wanaume na Haki za Wanaume" (페미니즘 에 대한 남성 학과 남성 운동; 2007)
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Vyanzo ==
* [http://www.segye.com/content/html/2007/07/13/20070713000963.html 젠 남성학 에 대해 이야기 할 차례 다] 세계 일보 2007.07.13
* [http://www.dspress.org/news/articleView.html?idxno=2879 절름발이 페미니즘 과 성별 이데올로기] 덕성 여대 신문 2010.01.05
* [http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html {{Wayback|url=http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html |date=20131106050607 }} 은 모른다고? 이 모르는 것도 많아!]{{Wayback|url=http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html |date=20131106050607 }} 일보 2007.07.17
* [http://news.khan.co.kr/kh_news/khan_art_view.html?artid=200707120925441&code=900305 <nowiki>[</nowiki> 언니 페미니즘 <nowiki>]</nowiki> 남성 들이 보내는 편지] 경향 신문 2007-07-12
* [http://www.asiae.co.kr/news/view.htm?idxno=2013073111354254952 남성 권익 운동, 필요 惡 논란 만 키웠다 아시아] 경제 2013.07.31
* [http://www.ssueye.com/news/articleView.html?idxno=840 {{Wayback|url=http://www.ssueye.com/news/articleView.html?idxno=840 |date=20180925124813 }} <nowiki>[</nowiki> 자유 여론 <nowiki>]</nowiki> 시간 과 인력 을 낭비한 절름발이 여론 조사 - 한지환 (법학 ㆍ 2)] {{Wayback|url=http://www.ssueye.com/news/articleView.html?idxno=840 |date=20180925124813 }} 숭실대 학교 학보 [981 호] 2008 년 10 월 14 일자
== Viungo vya nje ==
* [http://blog.daum.net/pipaltree {{Wayback|url=http://blog.daum.net/pipaltree |date=20131104044612 }} 지환 이 의 서재: 남성 운동가 한지환 블로그] (in Korean)
* [http://blog.joins.com/media/index.asp?uid=pipaltree {{Wayback|url=http://blog.joins.com/media/index.asp?uid=pipaltree |date=20070509050855 }} 지환 이 의 서재] (in Korean)
* [http://news.chosun.com//site/data/html_dir/2009/07/24/2009072400975.html <nowiki>[</nowiki> Kwanini <nowiki>]</nowiki> "남성 만 징병 하는 건 가부장제 산물 여성 도 병역 의무 져야 하는 건 당연"] 조선 일보 2009.07.25 (in Korean)
* [http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html {{Wayback|url=http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html |date=20131106050607 }} 은 모른다고? 이 모르는 것도 많아!] {{Wayback|url=http://news.chosun.com/site/data/html_dir/2007/07/17/2007071700005.html |date=20131106050607 }} 일보 일보 2007.07.17 (in Korean)
* [http://www.woorizine.or.kr/pastho/main.htm?mncode=83E&atc_code=83E31 {{Webarchive|url=https://archive.today/20130826023131/http://www.woorizine.or.kr/pastho/main.htm?mncode=83E&atc_code=83E31 |date=2013-08-26 }} "새로운 페미니즘 은 가해자, 수혜자 여성 도 비판 해야 지요."] {{Webarchive|url=https://archive.today/20130826023131/http://www.woorizine.or.kr/pastho/main.htm?mncode=83E&atc_code=83E31 |date=2013-08-26 }} 경기 여성 웹진 우리 (2007, 11 月 - 통권 83 호) (in Korean)
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Korea Kusini]]
kw3ujna4cgxcc569wnnvwtnxrgmngm5
Kalawa
0
140011
1570399
1183398
2026-06-10T23:01:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570399
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Makueni]], [[Eneo bunge la Mbooni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
jtol673cz5lfbdagud7bcvlj4npi7po
Kasikeu
0
140012
1570583
1183400
2026-06-10T23:32:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570583
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Makueni]], [[Eneo bunge la Kilome]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
jo09j6gpn7nmi7odsyslsseo7mzkbi6
Emali/Mulala
0
140026
1569622
1183415
2026-06-10T20:54:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569622
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Makueni]], [[Eneo bunge la Kibwezi Magharibi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
nmfrihjmp7aahg3qzn1viteajnc0s7d
Masongaleni
0
140027
1569835
1183417
2026-06-10T21:29:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569835
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Makueni]], [[Eneo bunge la Kibwezi Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Makueni]]
6uz2oyqro28oxr30bmyb08e74wm7tm2
Gathara
0
140084
1569648
1183663
2026-06-10T20:59:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569648
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyandarua]], [[Eneo bunge la Kinangop]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
55eqys0pp1qj2hugota633k5emx2evk
Nyakio
0
140088
1569856
1183667
2026-06-10T21:33:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569856
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyandarua]], [[Eneo bunge la Kinangop]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]]
55eqys0pp1qj2hugota633k5emx2evk
Mweiga
0
140107
1570006
1183688
2026-06-10T21:57:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570006
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Kieni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
0jt0gssigyq6s6f3pi5k13eieal5j33
Naromoro
0
140108
1570184
1183689
2026-06-10T22:26:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570184
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Kieni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
0jt0gssigyq6s6f3pi5k13eieal5j33
Kiamathaga
0
140109
1570361
1183690
2026-06-10T22:55:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570361
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Kieni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
0jt0gssigyq6s6f3pi5k13eieal5j33
Mwiyogo/Endarasha
0
140110
1570545
1183691
2026-06-10T23:26:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570545
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Kieni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nyeri]]
0jt0gssigyq6s6f3pi5k13eieal5j33
Ithanga
0
140278
1569676
1184120
2026-06-10T21:03:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569676
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Gatanga]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Murang'a]]
qeu1gkbictlu9t5vk3f4zyjnr4kh12m
Gitaru
0
140393
1569707
1184511
2026-06-10T21:08:50Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569707
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kiambu]], [[eneo bunge la Kabete]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
9rylr4xv8thddzb2w18sqhdpm0llumd
Muguga
0
140394
1569905
1184512
2026-06-10T21:41:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569905
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kiambu]], [[eneo bunge la Kabete]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
9rylr4xv8thddzb2w18sqhdpm0llumd
Kiamwangi
0
140594
1570237
1185122
2026-06-10T22:35:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570237
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kiambu]], [[Eneo bunge la Gatundu Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
7oena9ojv7d1w5324ns3veumuz7t7ow
Kiganjo
0
140595
1570410
1185123
2026-06-10T23:03:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570410
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kiambu]], [[Eneo bunge la Gatundu Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
7oena9ojv7d1w5324ns3veumuz7t7ow
Lapur
0
140611
1570577
1185143
2026-06-10T23:31:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570577
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Turkana]], [[Eneo bunge la Turkana Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
6yn50y73fvb5bymqvdd18irrbrjt24o
Wamba Mashariki
0
140950
1569638
1186597
2026-06-10T20:57:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569638
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Samburu]], [[Eneo bunge la Samburu Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Samburu]]
1dw9zmj0jw2dx4ax46ri6j5cxawvg4w
Wamba Kaskazini
0
140951
1569849
1186598
2026-06-10T21:32:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569849
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Samburu]], [[Eneo bunge la Samburu Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Samburu]]
1dw9zmj0jw2dx4ax46ri6j5cxawvg4w
Kuinet/Kapsuswa
0
141120
1570058
1187273
2026-06-10T22:05:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570058
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[eneo bunge la Soy]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
7pvyznsv7vd3x0b0f6wz9vcmosiv0dm
Segero/Barsombe
0
141121
1570242
1187274
2026-06-10T22:36:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570242
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[eneo bunge la Soy]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
7pvyznsv7vd3x0b0f6wz9vcmosiv0dm
Soy
0
141122
1570414
1187275
2026-06-10T23:04:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570414
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[eneo bunge la Soy]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
7pvyznsv7vd3x0b0f6wz9vcmosiv0dm
Ziwa (Uasin Gishu)
0
141123
1570595
1187276
2026-06-10T23:34:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570595
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[eneo bunge la Soy]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
7pvyznsv7vd3x0b0f6wz9vcmosiv0dm
Kiplombe (Uasin Gishu)
0
141127
1569768
1187280
2026-06-10T21:19:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569768
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[eneo bunge la Turbo]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
i3s3opyez0anoml2f9xtmhfzeblq784
Kamara
0
141414
1569940
1189165
2026-06-10T21:47:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569940
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nakuru]], [[eneo bunge la Kuresoi Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Nakuru]]
59m59ltx6ly1riakav84tk0f8knvtis
Olokurto
0
141479
1569561
1189415
2026-06-10T20:44:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569561
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Narok]], [[Eneo bunge la Narok Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
m1ikimloet46omwktjbpsqpngr8mrlc
Narok Mjini
0
141480
1569783
1189416
2026-06-10T21:21:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569783
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Narok]], [[Eneo bunge la Narok Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
m1ikimloet46omwktjbpsqpngr8mrlc
Nkareta'Olorropil
0
141481
1569974
1189417
2026-06-10T21:52:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569974
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Narok]], [[Eneo bunge la Narok Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
m1ikimloet46omwktjbpsqpngr8mrlc
Melili
0
141482
1570167
1189418
2026-06-10T22:23:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570167
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Narok]], [[Eneo bunge la Narok Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
m1ikimloet46omwktjbpsqpngr8mrlc
Olkeri
0
141500
1569659
1189461
2026-06-10T21:00:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569659
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
mholnf4nye9mitph73jyabiizapidra
Nkaimurunya
0
141501
1569863
1189462
2026-06-10T21:34:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569863
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
mholnf4nye9mitph73jyabiizapidra
Purko
0
141503
1570133
1189464
2026-06-10T22:18:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570133
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3egdc9xfy8wr9np1tmpn8ymdfjxxmnb
Ildamat (Kajiado)
0
141504
1570316
1189465
2026-06-10T22:48:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570316
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3egdc9xfy8wr9np1tmpn8ymdfjxxmnb
Dalalekutuk
0
141506
1570317
1189469
2026-06-10T22:48:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570317
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3egdc9xfy8wr9np1tmpn8ymdfjxxmnb
Matapato North
0
141507
1570501
1189470
2026-06-10T23:18:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570501
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3egdc9xfy8wr9np1tmpn8ymdfjxxmnb
Oloosirkon/Sholinke
0
141514
1570062
1189477
2026-06-10T22:06:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570062
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3avnm3ll9uoy2xd5cq4rfq8hwh2a9qc
Kenyawa-Poka
0
141515
1570245
1189478
2026-06-10T22:36:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570245
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3avnm3ll9uoy2xd5cq4rfq8hwh2a9qc
Imaroro
0
141516
1570419
1189479
2026-06-10T23:05:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570419
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kajiado]], [[Eneo bunge la Kajiado Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3avnm3ll9uoy2xd5cq4rfq8hwh2a9qc
Merigi
0
141556
1570347
1189582
2026-06-10T22:53:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570347
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Bomet Mashariki]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bomet]]
eht2jhdwb4ypabl2finlboieoh3enff
Kimulot
0
141572
1569933
1189598
2026-06-10T21:45:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569933
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Konoin]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bomet]]′
1pf5gbv8bzdguufr3hxt7dizm0ylvyh
Koyonzo
0
141618
1569692
1189651
2026-06-10T21:06:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569692
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kakamega]], [[Eneo bunge la Matungu]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kakamega]]
9bj7wsuot4e41ew36w9kx0v40jxwrhm
Muhudi
0
141651
1570476
1189689
2026-06-10T23:14:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570476
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Vihiga]], [[Eneo bunge la Hamisi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Vihiga]]
aj3b4md57c1mgm6b8jq1i0eaprycf4k
Chavakali North
0
141661
1570125
1189699
2026-06-10T22:16:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570125
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Vihiga]], [[Eneo bunge la Sabatia]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Vihiga]]
ri8mit79scnmreg4vjhycurqxsy24us
Mji wa Kale/Makadara
0
141702
1570574
1189823
2026-06-10T23:30:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570574
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mombasa]], [[Eneo bunge la Mvita]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
==Tazama pia==
* [[Mji wa Kale (Mombasa)|Mji wa Kale]]
* [[Makadara (Mombasa)|Makadara]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mombasa]]
8sbj35hcpkxed3kmzogbkgzgdcnmedn
Majengo Ganjoni/Shimanzi
0
141703
1570308
1189829
2026-06-10T22:46:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570308
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mombasa]], [[Eneo bunge la Mvita]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Mombasa]]
992niqoupl49beflq3qvnizqkgedzcu
Bwake/Luuya
0
141717
1569715
1189850
2026-06-10T21:10:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569715
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bungoma]], [[Eneo bunge la Kabuchai]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
nw6hembrivt2z93h7jwo6flk798bk5f
Cheptais
0
141730
1569794
1189863
2026-06-10T21:23:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569794
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bungoma]], [[Eneo bunge la Mlima Elgon]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
jamyuvxzk7mc8jirjbyw1rqsnjvm53t
Chesikaki
0
141731
1569995
1189864
2026-06-10T21:55:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569995
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bungoma]], [[Eneo bunge la Mlima Elgon]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
jamyuvxzk7mc8jirjbyw1rqsnjvm53t
Chepyuk
0
141732
1570177
1189865
2026-06-10T22:25:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570177
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bungoma]], [[Eneo bunge la Mlima Elgon]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Bungoma]]
jamyuvxzk7mc8jirjbyw1rqsnjvm53t
Marachi Central
0
141757
1570446
1189896
2026-06-10T23:09:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570446
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Busia]], [[eneo bunge la Butula]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
qdhgptuezker59dfz01o4xotys7bk07
Ang'orom
0
141779
1569827
1189918
2026-06-10T21:28:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569827
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Busia]], [[eneo bunge la Teso Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
dvulpomvgi7oerege7rvxwnjfmlne85
Amukura Central
0
141781
1570030
1189920
2026-06-10T22:01:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570030
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Busia]], [[eneo bunge la Teso Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Busia]]
dvulpomvgi7oerege7rvxwnjfmlne85
Usonga
0
141785
1569910
1189928
2026-06-10T21:42:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569910
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Siaya]], [[eneo bunge la Alego Usonga]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
9icbu22tkcfmp8k6bxzbt52cz3qdlt1
West Alego
0
141786
1570106
1189929
2026-06-10T22:13:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570106
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Siaya]], [[eneo bunge la Alego Usonga]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
9icbu22tkcfmp8k6bxzbt52cz3qdlt1
North Gem
0
141797
1570257
1189940
2026-06-10T22:38:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570257
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Siaya]], [[eneo bunge la Gem]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
9vzy2a6v60lhtj1h4djlphqf452zfhj
Central Gem
0
141799
1570611
1189942
2026-06-10T23:37:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570611
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Siaya]], [[eneo bunge la Gem]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
9vzy2a6v60lhtj1h4djlphqf452zfhj
Sigomere
0
141812
1570634
1189955
2026-06-10T23:40:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570634
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Siaya]], [[eneo bunge la Ugunja]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Siaya]]
sb3e84ac17gn1ntl0pydddr4rxbddiz
Chemelil/Muhoroni
0
141850
1569693
1190109
2026-06-10T21:06:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569693
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisumu]], [[Eneo bunge la Muhoroni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisumu]]
k9zvqagdyxust7xjo3w54mwxzg4w5zn
Koru
0
141851
1569889
1190110
2026-06-10T21:38:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569889
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisumu]], [[Eneo bunge la Muhoroni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisumu]]
k9zvqagdyxust7xjo3w54mwxzg4w5zn
Kabondo East
0
141886
1570600
1190158
2026-06-10T23:35:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570600
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Homa Bay]], [[Eneo bunge la Kabondo Kasipul]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
8xf6fmfmrsk1wpdph1k0um30xpaz6ui
South Kasipul
0
141891
1569705
1190163
2026-06-10T21:08:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569705
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Homa Bay]], [[Eneo bunge la Kasipul]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
anaz8gu0pdydifg5yr0k2bakgdp694k
Central Kasipul
0
141892
1569901
1190164
2026-06-10T21:40:41Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569901
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Homa Bay]], [[Eneo bunge la Kasipul]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
anaz8gu0pdydifg5yr0k2bakgdp694k
Kaler
0
141941
1570141
1190229
2026-06-10T22:19:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570141
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Migori]], [[Eneo bunge la Nyatike]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
19dyvm8tduleh3zfq2163i64s9sz4rs
Boikanga
0
142009
1570077
1190505
2026-06-10T22:08:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570077
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Mugirango Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisii]]
s88mej5kn8bi2m2o8bilfswujaq1egj
Ibeno
0
142014
1570260
1190510
2026-06-10T22:39:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570260
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Nyaribari Chache]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisii]]
9hki89oqvtutkqwgjotqujr3jaan5qe
Birongo
0
142015
1570435
1190511
2026-06-10T23:07:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570435
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Nyaribari Chache]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisii]]
9hki89oqvtutkqwgjotqujr3jaan5qe
Ichuni
0
142016
1570618
1190512
2026-06-10T23:38:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570618
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Nyaribari Masaba]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisii]]
5a4beoo41wefm0dm06drzq48ofbdtox
Kasisit
0
142115
1569634
1190910
2026-06-10T20:56:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569634
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Baringo]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
81pu1iht5yxhw9074jnztze6fc7k8ag
Lengesim
0
142151
1570227
1190953
2026-06-10T22:33:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570227
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc
Loitokitok
0
142152
1570402
1190954
2026-06-10T23:02:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570402
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc
Lolnguswa
0
142153
1570588
1190955
2026-06-10T23:33:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570588
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kajiado]]
3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc
Entasekera
0
142198
1569577
1191159
2026-06-10T20:47:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569577
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Narok]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
cbczozzg493ok3vdblr6txmygratc50
Masandare
0
142205
1569801
1191167
2026-06-10T21:24:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569801
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Narok]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
cbczozzg493ok3vdblr6txmygratc50
Nairagie Ngare
0
142206
1570004
1191168
2026-06-10T21:56:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570004
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Narok]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Narok]]
cbczozzg493ok3vdblr6txmygratc50
Murua Korg
0
142328
1569533
1191789
2026-06-10T20:40:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569533
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya West Pokot]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
s8x46ge3jx0xxzbdcijo8f3dh0dl0e4
Nakinglas
0
142329
1569753
1191790
2026-06-10T21:16:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569753
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya West Pokot]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
s8x46ge3jx0xxzbdcijo8f3dh0dl0e4
Orwa
0
142330
1569948
1191791
2026-06-10T21:48:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569948
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya West Pokot]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Kenya]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya West Pokot]]
s8x46ge3jx0xxzbdcijo8f3dh0dl0e4
Chumba
0
143493
1569614
1195732
2026-06-10T20:53:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569614
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{multiple image|perrow = 2|total_width=450
| image1 = Ateneul Român - Sala.jpg|width9=300|height9=
| image2 = Salle des catalogues de la Bibliotheque Mazarine Paris.jpg|width12=300|height12=
| image3 = Akha Kitchen.JPG|width1=300|height1=
| image4 = Restaurant bathroom with two-way mirror.jpg|width2=300|height2=
|footer=Mifano ya vyumba mbalimbali
}}
'''Chumba''' (kutoka [[neno]] ''[[Nyumba]]''; kwa [[Kiingereza]]: ''room'') ni [[jengo]] dogo au sehemu ya jengo kubwa. Lengo lake ni kuwapa watu nafasi ya kutosha kwa shughuli fulani, kwa mfano kulala, kula, kusoma n.k. Kwa kawaida kina [[fenicha]] za kutosha kwa lengo husika.
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Majengo]]
s2schw362dqp4u7wfn7j50a3uezs2pt
Meerut
0
143669
1570572
1196111
2026-06-10T23:30:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570572
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Uttar Pradesh|Jimbo la Uttar Pradesh]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 1.3 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[ishirini na saba]] nchini Uhindi.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Uhindi]]
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:Uttar Pradesh]]
oiar93gglmg11qatrcpt5x7qg51bku5
Ludhiana
0
143677
1569987
1196122
2026-06-10T21:54:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569987
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Punjab|Jimbo la Punjab]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 1.6 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[ishirini na mbili]] nchini Uhindi.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Uhindi]]
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:Punjab]]
axa4pc3nlxpia5v5jcv4dbwx9yd1w60
Navi Mumbai
0
143692
1569934
1196147
2026-06-10T21:46:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569934
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Maharashtra|jimbo la Maharashtra]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 1.1 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[thelathini na moja]] nchini Uhindi.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Uhindi]]
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:Maharashtra]]
84a391bkrlhuuphzyldpb16v84mdqp9
Howrah
0
143699
1570608
1196155
2026-06-10T23:36:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570608
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[West Bengal|jimbo la West Bengal]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi karibu [[milioni]] 1.1 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[thelathini na tisa]] nchini Uhindi.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Uhindi]]
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:West Bengal]]
e7rihpdog4mkk80hcz62xg0iz15cnnv
Coimbatore
0
143700
1570126
1196156
2026-06-10T22:16:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570126
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Tamil Nadu|jimbo la Tamil Nadu]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 1.05 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[arubaini na mbili]] nchini Uhindi.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Uhindi]]
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:Tamil Nadu]]
399aoyunw8xg3mjfo2kfmwlin9pifji
Chambishi
0
143859
1570014
1196596
2026-06-10T21:58:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570014
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zambia]] katika [[mkoa]] wa [[Mkoa wa Copperbelt|Copperbelt]].
[[Mwaka]] [[2010]] ulikuwa na wakazi 51,000 hivi <ref>https://web.archive.org/web/20151113143928/http://www.zamstats.gov.zm/report/Census/2010/National/Zambia%20National%20Descriptive%20Population%20Tables.pdf</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zambia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Zambia}}
[[Jamii:Miji ya Zambia]]
[[Jamii:Mkoa wa Copperbelt]]
0po1da6dv72udib1nj60k8gz72rdm5y
Nairobi Kati
0
144672
1569724
1200876
2026-06-10T21:11:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569724
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[tarafa]] ya [[Nairobi]], [[mji mkuu]] wa [[Kenya]], katika [[eneo bunge la Starehe]].
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{nairobi}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Mitaa ya Nairobi]]
[[Jamii:kaunti ya Nairobi]]
emhvx6dkoydfbqbwp3hkpmq7u1nzbkq
Hossa'ina
0
145549
1569690
1206767
2026-06-10T21:06:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569690
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[jimbo la Mataifa ya Kusini]] nchini [[Ethiopia]].
[[Idadi]] ya wakazi wake ni takriban 141,352 ([[2016]]<ref>http://www.citypopulation.de/Ethiopia_d.html</ref>).
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commonscat}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Miji ya Ethiopia]]
[[Jamii:Jimbo la Mataifa ya Kusini]]
avjapnabuhd5jqeolqc2z8re4gkn5yp
Kahone
0
145863
1570069
1208367
2026-06-10T22:07:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570069
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Kaolack]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 14,231 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Kaolack]]
5e7ioyj8c1n9lm3dkviannjs4c7dwta
Gandiaye
0
145864
1570251
1208368
2026-06-10T22:37:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570251
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Kaolack]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 13,819 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Kaolack]]
tu7liaxmm5q9ujibmz36knhs38dxfao
Ndoffane
0
145865
1570424
1208369
2026-06-10T23:06:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570424
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Kaolack]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 12,898 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Kaolack]]
rtt1gz39drtfa3k8mb1vqbrilkxbias
Keur Madiabel
0
145866
1570606
1208370
2026-06-10T23:36:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570606
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Kaolack]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 10,542 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Kaolack]]
e9mtch6p61xnmqraauzqjwl2tujut1x
Rosso (Senegal)
0
145901
1569647
1208438
2026-06-10T20:59:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569647
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Saint-Louis]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 15,870 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Saint-Louis]]
3w2zrlf4zpu7mlqv9xxc86q1r083yap
Ndioum
0
145902
1569855
1208440
2026-06-10T21:33:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569855
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Saint-Louis]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 14,341 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Saint-Louis]]
4a8fn77b2lorprz5cfu42trll9ve36d
Podor
0
145903
1570052
1208441
2026-06-10T22:04:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570052
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Saint-Louis]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 11,608 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Saint-Louis]]
tcay9pf9pds9r4lblbw49nlbk6akjam
Massawa
0
146299
1570309
1210177
2026-06-10T22:47:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570309
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa wa Bahari Nyekundu Kaskazini]] nchini [[Eritrea]].
[[Mwaka]] [[2010]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 36,700.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Eritrea]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Eritrea]]
[[Jamii:Mkoa wa Bahari Nyekundu Kaskazini]]
epukpixfd4pxlwdn7vdqrzt6ad22oml
Nefasit
0
146303
1570229
1210182
2026-06-10T22:33:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570229
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa wa Kati, Eritrea|mkoa wa Kati]] nchini [[Eritrea]].
[[Mwaka]] [[2010]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 8,727.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Eritrea]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Eritrea]]
[[Jamii:Mkoa wa Kati (Eritrea)]]
bi494hoggequ5jhlt9x0txxbykqz7gi
Doba (Chad)
0
146306
1569603
1210187
2026-06-10T20:51:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569603
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa wa Logone Oriental]] nchini [[Chad]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 49,647 <ref>[https://www.citypopulation.de/en/chad/ Major Cities, Republic of Chad], tovuti ya citypopulation.de</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Chad]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Chad]]
[[Jamii:Mkoa wa Logone Oriental]]
92rrz7orq9gxbf2dufon3lr68kmast7
Bébidjia
0
146307
1569818
1210188
2026-06-10T21:27:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569818
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa wa Logone Oriental]] nchini [[Chad]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 28,195 <ref>[https://www.citypopulation.de/en/chad/ Major Cities, Republic of Chad], tovuti ya citypopulation.de</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Chad]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Chad]]
[[Jamii:Mkoa wa Logone Oriental]]
8izouqtisxdilc1wsy8eyp8tpect7fq
Bédjondo
0
146325
1570277
1210208
2026-06-10T22:41:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570277
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa]] wa [[Mandoul]] nchini [[Chad]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 11,086 <ref>[https://www.citypopulation.de/en/chad/ Major Cities, Republic of Chad], tovuti ya citypopulation.de</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Chad]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Chad]]
[[Jamii:Mkoa wa Mandoul]]
igjhuhlba21sj7dd6roqyj8y0mom6yj
Bol (Chad)
0
146347
1569679
1210300
2026-06-10T21:04:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569679
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa wa Lac]] nchini [[Chad]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 35,963 <ref>[https://www.citypopulation.de/en/chad/ Major Cities, Republic of Chad], tovuti ya citypopulation.de</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Chad]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Chad]]
[[Jamii:Mkoa wa Lac]]
j9qe7rrjglfq2ou4bgvdpkkd18zngac
Maro (Chad)
0
146365
1570454
1210326
2026-06-10T23:11:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570454
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[mkoa]] wa [[Moyen Chari]] nchini [[Chad]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 14,888 <ref>[https://www.citypopulation.de/en/chad/ Major Cities, Republic of Chad], tovuti ya citypopulation.de</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Chad]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Chad]]
[[Jamii:Moyen Chari]]
hje9u49xt0ydi3tmyqklqk3uc9t21kb
Uchafuzi wa maji
0
150271
1570820
1225366
2026-06-11T10:30:09Z
Willyfred Philemon
90120
1570820
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
[[Faili:Nrborderborderentrythreecolorsmay05-1-.JPG|thumb|Maji taka na taka za viwandani katika Mto Mpya unapopita kutoka Mexicali ([[Mexico]]) hadi Calexico, [[California]].]]
'''Uchafuzi wa maji''' ni uchafuzi wa maji kwa kawaida kama matokeo ya [[shughuli za binadamu]], kwa namna ambayo huathiri vibaya matumizi yake halali. Uchafuzi wa maji hupunguza uwezo wa vyanzo vya maji kutoa huduma za mfumo ikolojia ambao ungetoa. Vyanzo vya maji ni pamoja na kwa mfano [[Maziwa ya Afrika|maziwa]], [[Mto|mito]], [[bahari]], chemichemi ya maji, hifadhi na maji ya ardhini. Uchafuzi wa maji hutokea wakati uchafu unapoingizwa kwenyevyanzo hivi vya maji. Uchafuzi wa maji kwa kawaida unaweza kuhusishwa na mojawapo ya vyanzo vinne: maji taka, viwanda, kilimo, na mtiririko wa maji [[Mji|mijini]] ikiwa ni pamoja na maji ya [[mvua]]. Kwa mfano, kuachilia maji machafu ambayo hayajasafishwa ipasavyo katika maji asilia kunaweza kusababisha uharibifu wa mifumo [[Ekolojia|ikolojia]] hii ya majini.
== Ufafanuzi ==
Ufafanuzi wa kiutendaji wa uchafuzi wa [[maji]] ni: ''“Uchafuzi wa maji ni kuongezwa kwa vitu au aina za nishati ambazo moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja hubadilisha tabia ya mkusanyiko wa maji kwa namna inayopunguza au kuathiri matumizi yake halali.''<ref>https://iwaponline.com/ebooks/book/72/Wastewater-Characteristics-Treatment-and-Disposal</ref>
Kwa kawaida, maji huchukuliwa kuwa yamechafuliwa pale yanapochanganywa na vitu vinavyotokana na shughuli za [[binadamu]] . Hii ina maana kwamba maji hayo yanaweza kuwa hayafai tena kwa matumizi fulani, kama vile kunywa, au uwezo wake wa kusaidia viumbe hai wake kama [[samaki]] na [[Mmea|mimea]] ya majini hupungua au kubadilika kwa kiasi kikubwa.
[[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]]
{{mbegu}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:Ekolojia]]
p6ik9qfj6s78jjv6zd9b44i8kdrk2e7
1570826
1570820
2026-06-11T10:53:51Z
Riccardo Riccioni
452
1570826
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
[[Faili:Nrborderborderentrythreecolorsmay05-1-.JPG|thumb|Maji taka na taka za viwandani katika Mto Mpya unapopita kutoka Mexicali ([[Mexico]]) hadi Calexico, [[California]].]]
'''Uchafuzi wa maji''' kwa kawaida ni matokeo ya [[shughuli za binadamu]], kwa namna ambayo huathiri vibaya matumizi yake halali. Uchafuzi wa maji hupunguza uwezo wa vyanzo vya maji kutoa huduma za mfumo ikolojia ambao ungetoa. Vyanzo vya maji ni pamoja na kwa mfano [[ziwa|maziwa]], [[Mto|mito]], [[bahari]], chemchemi za maji, hifadhi na maji ya ardhini. Uchafuzi wa maji hutokea wakati uchafu unapoingizwa kwenye vyanzo hivyo vya maji. Uchafuzi wa maji kwa kawaida unaweza kuhusishwa na mojawapo ya vyanzo vinne: maji taka, viwanda, kilimo, na mtiririko wa maji [[Mji|mijini]] ikiwa ni pamoja na maji ya [[mvua]]. Kwa mfano, kuachilia maji machafu ambayo hayajasafishwa ipasavyo katika maji asilia kunaweza kusababisha uharibifu wa mifumo [[eolojia]] hii ya majini.
== Ufafanuzi ==
Ufafanuzi wa kiutendaji wa uchafuzi wa [[maji]] ni: ''“Uchafuzi wa maji ni kuongezwa kwa vitu au aina za nishati ambazo moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja hubadilisha tabia ya mkusanyiko wa maji kwa namna inayopunguza au kuathiri matumizi yake halali.''<ref>https://iwaponline.com/ebooks/book/72/Wastewater-Characteristics-Treatment-and-Disposal</ref>
Kwa kawaida, maji huchukuliwa kuwa yamechafuliwa pale yanapochanganywa na vitu vinavyotokana na shughuli za [[binadamu]]. Hii ina maana kwamba maji hayo yanaweza kuwa hayafai tena kwa matumizi fulani, kama vile kunywa, au uwezo wake wa kusaidia viumbehai wake kama [[samaki]] na [[Mmea|mimea]] ya majini hupungua au kubadilika kwa kiasi kikubwa.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:Ekolojia]]
[[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]]
mt4cwz21s26r3n0imlvlgyaxhm75aa1
Gert Sibande
0
151346
1570493
1228150
2026-06-10T23:17:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570493
wikitext
text/x-wiki
'''Richard "Gert" Sibande''' (alizaliwa [[1907]] karibu na Ermelo, [[Mpumalanga]], alikufa [[1987]]) alikuwa mwanaharakati wa kisiasa wa [[Afrika Kusini]].Alikuwa mmoja wa ANC walioshtakiwa pamoja kujibu mashtaka katika kesi ya uhaini ya 1956-1961 pamoja na [[Nelson Mandela]] na wengine 154.<ref>https://web.archive.org/web/20090108042303/http://www.sahistory.org.za/pages/people/bios/sibande,g.htm</ref>
[[Jamii:WikiForHumanRights 2022]]
[[Jamii:Haki za binadamu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
kt1en676z62yrmcltzqwtcdsxsxsk8x
Daa-njugu
0
153212
1569897
1233808
2026-06-10T21:40:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569897
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Daa-njugu
| picha = Themiste petricola, retracted.jpg
| upana_wa_picha = 200px
| picha2 = Themiste petricola, everted.jpg
| upana_wa_picha2 = 200px
| maelezo_ya_picha2 = Daa-njugu (''Themiste petricola'').<br>Juu: mwili umefupishwa (umbo la njugu); chini: mwili umerefuka.
| himaya = [[Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| himaya_bila_tabaka = [[Protostomia]]
| faila_ya_juu = [[Lophotrochozoa]]
| faila = [[Sipuncula]]
| bingwa_wa_faila = [[Constantine Samuel Rafinesque|Rafinesque]], 1814
| subdivision = '''Ngeli 2, oda 4:'''
* [[Phascolosomatidea]] <small></small>
** [[Aspidosiphoniformes]] <small></small>
** [[Phascolosomatiformes]] <small></small>
* [[Sipunculidea]] <small>[[Edward Cutler|Cutler]] & [[Peter E. Gibbs|Gibbs]], 1985</small>
** [[Golfingiiformes]] <small>Cutler & Gibbs, 1985</small>
** [[Sipunculiformes]] <small></small>
}}
'''Daa-njugu''' (kutoka kwa [[Kiing.]] [[w:Sipuncula|peanut worm]]) ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[faila]] [[Sipuncula]] wanaofanana na [[daa]] wa kawaida. Jina linatoka kwa umbo lao la [[njugu]] wakiwa wamejifupisha.
Daa-njugu hutofautiana kwa ukubwa lakini [[spish]]i nyingi zina urefu wa chini ya [[sm]] 10. [[Mwili]] umegawanywa katika [[kiwiliwili]] kinene kisicho na [[pingili]] na sehemu nyembamba ya mbele ambayo inaweza kurudishwa ndani ya kiwiliwili. [[Mdomo]] uko kwenye ncha ya sehemu hii ya mbele na umezungukwa katika vikundi vingi kwa [[duara]] ya [[mnyiri|minyiri]] mifupi. Kwa sababu hauna sehemu ngumu, mwili ni kinamo. Ingawa hupatikana katika anuwai ya makazi katika [[bahari]] zote za [[dunia]] spishi nyingi huishi katika makazi ya kina kifupi, wakichimba chini ya uso wa [[sakafu ya bahari|sakafu]] za [[mchanga]] na [[matope]]. Nyingine zinaishi chini ya [[jiwe|mawe]], katika mianya ya [[mwamba|miamba]] au katika maeneo mengine yaliyofichwa.
Daa-njugu wengi hujilisha kwa mabaki madogo wakirefusha mwili wa mbele ili kukusanya chembe za [[chakula]] na kuzivuta [[kinywa]]ni. Inarudishwa wakati hali ya kujilisha haifai au hatari inatishia. Isipokuwa spishi chache, [[uzazi]] ni wa kijinsia na unahusisha hatua ya [[lava]] wa ki[[planktoni]]. Daa-njugu hutumiwa kama chakula katika baadhi ya nchi za [[Asia ya Kusini-Mashariki]].
==picha==
<gallery>
Golfingia.jpg|Daa-njugu akionyesha sehemu ya mbele ya mwili yenye minyiri mifupi
</gallery>
[[Jamii:Daa-njugu]]
i7w1ger9ysehq39zq8176v0pjyht2zv
Rinaldo wa Nocera
0
154684
1570567
1239261
2026-06-10T23:29:44Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570567
wikitext
text/x-wiki
'''Rinaldo wa Nocera, [[O.S.B.Cam.]]''' ([[1150]] hivi - [[9 Februari]] [[1217]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Nocera Umbra]], [[Umbria]], [[Italia]]) tangu [[mwaka]] [[1213]] hadi [[kifo]] cheke.
[[Mtoto]] wa [[familia]] [[Utajiri|tajiri]], akiwa [[Ujana|kijana]] aliacha [[mali]] yake yote akawa [[mkaapweke]] hadi alipojiunga na [[Wabenedikto]] [[Wakamaldoli]].
Baada ya kuteuliwa kuwa askofu aliendelea kushika sawasawa [[maisha]] ya [[Mmonaki|kimonaki]] akawa [[rafiki]] wa [[Fransisko wa Asizi]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/40200</ref>.
Tangu kale huheshimiwa kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[9 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* Gino Sigismondi, La "legenda Beati Raynaldi". Le sue fonti e il suo valore, Perugia, Deputazione di storia patria per l'Umbria, 1960. Estratto da: «Bollettino della Deputazione di storia patria per l'Umbria», vol. 56 (1960), pp. 1-111.
*Gino Sigismondi, Rinaldo, vescovo di Nocera Umbra, santo, in Istituto Giovanni XXIII della Pontificia Università Lateranense (a cura di), Bibliotheca Sanctorum, XI. Ragenfreda - Stefano, Roma, Città Nuova Editrice, 1968, pp. 199-204.
*Gino Sigismondi, Il vescovo monaco. Vita di san Rinaldo, vescovo di Nocera Umbra, in Annali della Facoltà di Lettere e Filosofia. 3, Studi linguistico-letterari, XXXI (1993-94), Perugia, Università degli Studi di Perugia - Facoltà di Lettere e Filosofia, 1996. Presentazione di Francesco Di Pilla. 55 p.
*{{cite book|last=Gibelli|first=Alberto |title=Monografia dell'antico monastero di S. Croce di Fonte Avellana: i suoi priori ed abbati|url=https://books.google.com/books?id=jWNMAQAAMAAJ&pg=PA147|year=1895|publisher=P. Conti|location=Faenza|pages=142–147}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1150]]
[[Category:Waliofariki 1217]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:wakaapweke]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Category:Wabenedikto]]
[[Category:Wakamaldoli]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
ifv1qyxyk5eqmtu21bndeu2so8gpz6k
Kinyama-kidoto
0
155089
1569602
1239841
2026-06-10T20:51:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569602
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kinyama-kidoto
| picha = Barentsia laxa 1498966.png
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Koloni ya vinyama-kidoto kutoka Merikani (''Barentsia laxa'')
| himaya = [[Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| himaya_bila_tabaka = [[Protostomia]]
| faila_ya_juu = [[Lophotrochozoa]]
| faila = [[Entoprocta]]
| bingwa_wa_faila = [[Hinrich Nitsche|Nitsche]], 1870
| subdivision = '''Familia 4:'''
* [[Barentsiidae]] <small>Emschermann, 1972</small>
* [[Loxokalypodidae]] <small>Emschermann, 1972</small>
* [[Loxosomatidae]] <small>[[Thomas Hincks|Hincks]], 1880</small>
* [[Pedicellinidae]] <small>[[George Johnston|Johnston]], 1847</small>
}}
'''Vinyama-kidoto''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[maji]] wa [[faila]] [[Entoprocta]] walio na [[mwili]] kwa umbo la [[kidoto]] kwenye mwisho wa [[kikonyo]] kinamo. Wanafanana na kuhusiana na [[kinyama-kigoga|vinyama-kigoga]] na kwa kawaida huishi kwenye [[koloni (biolojia)|makoloni]] kama hawa.
Wanyama hawa huwa na ukubwa wa [[mm]] 0.1-7 bila kuhesabu [[kikonyo]]. Wana "[[taji]]" ya [[mnyiri|minyiri]] ambayo [[silio]] zao husababisha [[mkondo|mikondo]] ya maji inayochota [[chembe]] za [[chakula]] kuelekea [[mdomo]]. Mdomo na [[mkundu]] yote miwili huwamo ndani ya "taji", kinyume na vinyama-kigoga (Ectoprocta) ambao wana mkundu nje ya "taji". Takriban [[spishi]] zote za vinyama-kidoto huishi katika makoloni ambayo yameunganishwa kwenye uso wa chini kama [[mwamba|miamba]], [[kombe|makombe]], [[mwani|miani]] au [[jengo|majengo]] ya chini ya maji. Spishi nyingine huishi peke yao juu ya wanyama wengine wanaokula kwa kusababisha mikondo ya maji, kama vile [[sifongo-bahari]], vinyama-kigoga au [[anelidi]] wanaokaa chini. Baadhi ya spishi hizi zinaweza kusonga polepole. Spishi 150 zote hutokea [[bahari]]ni, isipokuwa spishi mbili zinazoishi katika [[maji tamu]].
[[Jamii:Vinyama-kidoto]]
7iw6ivcq2zcxiwd83f51b49lkp3yj2n
Malanville
0
158880
1570045
1248997
2026-06-10T22:03:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570045
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Benin]] katika [[Mikoa ya Benin|mkoa]] wa [[Alibori]].
[[Mwaka]] [[2013]] mji huo ulikuwa na wakazi 64,639 ([[sensa]]<ref>https://instad.bj/index.php?option=com_content&view=article&id=26&Itemid=115</ref>).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Benin]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Benin]]
[[Jamii:Alibori]]
jrm2d1lggrn2nax2uj2zwii7zp9rscl
Kandi (Benin)
0
158881
1570228
1248999
2026-06-10T22:33:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570228
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Benin]] katika [[Mikoa ya Benin|mkoa]] wa [[Alibori]].
[[Mwaka]] [[2013]] mji huo ulikuwa na wakazi 56,043 ([[sensa]]<ref>https://instad.bj/index.php?option=com_content&view=article&id=26&Itemid=115</ref>).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Benin]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Benin]]
[[Jamii:Alibori]]
meqgyuv84z84pk81yr6onfhdidppf0x
Banikoara
0
158882
1570403
1249001
2026-06-10T23:02:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570403
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Benin]] katika [[Mikoa ya Benin|mkoa]] wa [[Alibori]].
[[Mwaka]] [[2013]] mji huo ulikuwa na wakazi 37,571 ([[sensa]]<ref>https://instad.bj/index.php?option=com_content&view=article&id=26&Itemid=115</ref>).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Benin]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Benin]]
[[Jamii:Alibori]]
lsmcg08fczvdw3mebt5x1y9v9blbmma
Kétou
0
158954
1569586
1249280
2026-06-10T20:48:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569586
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Benin]] katika [[Mikoa ya Benin|mkoa]] wa [[Plateau (Benin)|Plateau]].
[[Mwaka]] [[2013]] mji huo ulikuwa na wakazi 39,626 ([[sensa]]<ref>https://instad.bj/index.php?option=com_content&view=article&id=26&Itemid=115</ref>).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Benin]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Benin]]
[[Jamii:Plateau (Benin)]]
mobfcihw06828jgq42iimw8k3nwdx5k
Ifangni
0
158955
1569808
1249281
2026-06-10T21:25:31Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569808
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Benin]] katika [[Mikoa ya Benin|mkoa]] wa [[Plateau (Benin)|Plateau]].
[[Mwaka]] [[2013]] mji huo ulikuwa na wakazi 31,984 ([[sensa]]<ref>https://instad.bj/index.php?option=com_content&view=article&id=26&Itemid=115</ref>).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Benin]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Benin]]
[[Jamii:Plateau (Benin)]]
myap99zmdk5yrdugs36hf8i709dickd
Sahihi
0
159852
1569551
1250727
2026-06-10T20:43:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569551
wikitext
text/x-wiki
[[Image:JohnHancocksSignature.svg|thumb|300px|Sahihi maarufu ya [[John Hancock]] katika [[tamko la uhuru la Marekani]].]]
'''Sahihi''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]; pia: '''saini''' kutoka [[Kiingereza]] ''sign'' au kirefu ''signature'') ni [[maandishi|andiko]] maalumu unaofanywa na [[Wahusika|mhusika]] kwa [[mkono]] wake kuthibitisha kwamba ni mwenyewe aliyesema au aliyetenda jambo fulani.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Signatures}}
{{Wiktionary}}
*[https://www.npr.org/blogs/money/2014/09/08/345820789/why-do-we-sign-for-things-a-rabbi-a-lawyer-and-a-mastercard-exec-explain Why Do We Sign For Things? A Rabbi, A Lawyer And A MasterCard Exec Explain] NPR / Planet Money
* [https://slate.com/news-and-politics/2011/03/when-did-we-start-signing-our-names-to-authenticate-documents.html History of signatures] at ''Slate''
*[https://www.youtube.com/watch?v=1Z0ibH1Y4OY What is Signature? Signature of 100 famous people]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Sheria]]
[[Jamii:utamaduni]]
nltn74ggjna8uadsv40sx1igt8bqje3
Gourcy
0
161893
1569558
1259173
2026-06-10T20:44:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569558
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Burkina Faso]] katika [[mkoa]] wa [[Nord, Burkina Faso|Nord]].
[[Idadi]] ya wakazi ilikuwa 40,144 wakati wa [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2019]]<ref>https://www.citypopulation.de/en/burkinafaso/cities/</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Burkina Faso]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Nord, Burkina Faso]]
[[Category:Miji ya Burkina Faso]]
kza6f9k2whsww1itpiiatspf3ap6f25
Diébougou
0
161920
1569636
1259351
2026-06-10T20:57:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569636
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Burkina Faso]] katika [[mkoa]] wa [[Sud-Ouest]].
[[Idadi]] ya wakazi ilikuwa 25,691 wakati wa [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2019]]<ref>https://www.citypopulation.de/en/burkinafaso/cities/</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Burkina Faso]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Sud-Ouest]]
[[Category:Miji ya Burkina Faso]]
bxe0v7kq7ti7k27mjgjpjx26o6q4rur
Vita vya Uhuru wa Eritrea
0
162250
1570025
1259965
2026-06-10T22:00:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570025
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Vita vya Uhuru wa Eritrea''' vilipigwa miaka [[1962]]-[[1991]].
Mwaka [[1952]] [[Umoja wa Mataifa]] ulikabidhi [[Eritrea]] kwa [[Ethiopia]] kama eneo la pekee lenye [[serikali]] na [[bunge]] lake katika [[shirikisho]].
[[Mfalme]] wa Ethiopia, [[Haile Selassie]] hakupendezwa na utaratibu huoː alilenga kuunganisha tena Eritrea na Ethiopia na kwa [[mbinu]] mbalimbali alipata [[kura]] ya bunge la Eritrea ya kujivunja na kuwa [[jimbo]] la Ethiopia ([[1962]]).
Baada ya tukio hilo vikundi vya [[wanamgambo]] walienda [[pori|porini]] kupigania kwa [[silaha]] [[uhuru]] wa Eritrea.
Vita vilitapakaa mwaka [[1974]] baada ya [[mapinduzi|ufalme kupinduliwa]] na [[Umaksi]] kuingia na rundo la [[Jeshi]] lililoitwa [[Derg]] kuchukuwa [[mamlaka]], na baadaye kuvamia Eritrea. [[Ukorofi]] wa serikali ya [[Mengistu Haile Mariam]] ulifanya mengi kuongeza waliotumaini uhuru wa Eritrea katika [[miaka ya 1980]].
[[Ukombozi]] wa Eritrea ulitegemea rundo la [[Eritrean Liberation Front]] (ELF), ambayo pia inaitwa "Jebha", na [[Eritrean People's Liberation Front]] (EPLF), ambaye pia inaitwa "Shaabia". ELF ilikuwa na [[Waislamu]] wengi wa [[pwani]] na wahifadhi wa tedo za wananchi, na EPLF wengi [[Ukristo|Wakristo]] kutoka [[nyanda za juu]] za [[Jimbo la Tigray|Tigrayi]] waamini wa Umaksi-Ulenin. ELF ilisaidiwa na [[wafadhili]] [[Waarabu]], na EPLF kutoka nchi za [[Ukomunisti|kikomunisti]] zilizokuwa upande wa [[Urusi]], lakini baadaye nchi hizo zikapinduka na kusaidia [[Derg]] ya [[Mengistu Haile Mariam]]. ELF na EPLF hazikuweza kufanya kazi pamoja na kwa hiyo EPLF ikaimaliza ELF na kuendelea kutafuta uhuru.
Vita vya uhuru vilikwisha mwaka [[1991]], ambapo Waeritrea na waasi Waethiopia kutoka Tigray walishinda jeshi la Ethiopia na kuteka [[Addis Ababa]]; serikali ya Derg ikaanguka miaka miwili baadaye.
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Historia ya Eritrea]]
[[Jamii:Historia ya Ethiopia]]
0kgw51fokvqkxjb4ow2zathp18ns1xg
Gokwe
0
162354
1570433
1260403
2026-06-10T23:07:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570433
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Midlands, Zimbabwe|Midlands]].
Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] wakazi walihesabiwa kuwa 33,000<ref>https://www.citypopulation.de/en/zimbabwe/cities/</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Midlands, Zimbabwe]]
2i2778clt8c5lfgrz0m4jukconpduwj
Mushumbi Pools
0
162436
1569988
1260608
2026-06-10T21:54:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569988
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa]] wa [[Mashonaland ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Mashonaland ya Kati]]
jkao9kg4dx5z2zug961soxtbvil2yg0
Chivhu
0
162446
1570293
1260622
2026-06-10T22:44:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570293
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa]] wa [[Mashonaland Mashariki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Mashonaland Mashariki]]
ma4xsgcoyhwvmrbammxggnurgjk4h4g
Kotwa, Zimbabwe
0
162448
1570479
1260624
2026-06-10T23:15:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570479
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa]] wa [[Mashonaland Mashariki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Mashonaland Mashariki]]
ma4xsgcoyhwvmrbammxggnurgjk4h4g
Chigumisirwa
0
162501
1569735
1260678
2026-06-10T21:13:30Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569735
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa wa Masvingo]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Masvingo]]
4ajukhs31fedcj0p6hgr6beppm3miey
Chikuku, Zimbabwe
0
162502
1569928
1260679
2026-06-10T21:45:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569928
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa wa Masvingo]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Masvingo]]
4ajukhs31fedcj0p6hgr6beppm3miey
Chikukutu
0
162503
1570122
1260680
2026-06-10T22:16:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570122
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa wa Masvingo]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Masvingo]]
4ajukhs31fedcj0p6hgr6beppm3miey
Chiremwaremwa
0
162504
1570306
1260681
2026-06-10T22:46:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570306
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa wa Masvingo]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Masvingo]]
4ajukhs31fedcj0p6hgr6beppm3miey
Chirorwe
0
162505
1570490
1260682
2026-06-10T23:17:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570490
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]], katika [[mkoa wa Masvingo]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Masvingo]]
4ajukhs31fedcj0p6hgr6beppm3miey
Gwai
0
162563
1570202
1260745
2026-06-10T22:29:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570202
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Matabeleland Kusini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Matabeleland Kusini]]
ccu9de1qm48qwgodyadakhr2mogna39
Lutumba
0
162566
1570379
1260749
2026-06-10T22:58:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570379
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Matabeleland Kusini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Matabeleland Kusini]]
ccu9de1qm48qwgodyadakhr2mogna39
Kazungula, Zimbabwe
0
162585
1570199
1260768
2026-06-10T22:28:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570199
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Matabeleland Kaskazini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Matabeleland Kaskazini]]
1rkbx6ss71lue8g480mz2d57znt0psa
Lonely Mine
0
162586
1570377
1260769
2026-06-10T22:58:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570377
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Matabeleland Kaskazini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Matabeleland Kaskazini]]
1rkbx6ss71lue8g480mz2d57znt0psa
Matetsi
0
162587
1570560
1260771
2026-06-10T23:28:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570560
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Zimbabwe]] katika [[mkoa]] wa [[Matabeleland Kaskazini]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{jiografia ya Zimbabwe}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Zimbabwe]]
[[Jamii:Matabeleland Kaskazini]]
1rkbx6ss71lue8g480mz2d57znt0psa
Wilaya ya Sfax
0
162671
1569576
1261073
2026-06-10T20:47:18Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569576
wikitext
text/x-wiki
'''Wilaya ya Sfax''' ni kati ya [[wilaya]] [[wilaya za Tunisia|24]] za [[Tunisia]].
Inapatikana katika mkoa wa [[Kati Mashariki, Tunisia|Kati Mashariki]] ukiwa na wakazi 955,421 ([[2014]]<ref name="census">{{cite web |url=http://tunisia.opendataforafrica.org/TNCD2014/tunisia-census-data-population-2014?region=1000000-tunisia |title=2014 Tunisian census data |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20150518094332/http://tunisia.opendataforafrica.org/TNCD2014/tunisia-census-data-population-2014?region=1000000-tunisia |archive-date=18 May 2015 |accessdate=2022-12-21 |archivedate=2015-05-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150518094332/http://tunisia.opendataforafrica.org/TNCD2014/tunisia-census-data-population-2014?region=1000000-tunisia }}</ref>) katika eneo la [[Kilomita ya mraba|kilomita mraba]] 7,545, msongamano ukiwa wa watu 126.63 kwa kilomita mraba.
==Tazama pia==
* [[Wilaya za Tunisia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Tunisia}}
[[Jamii:wilaya za Tunisia]]
[[Jamii:Wilaya ya Sfax]]
1v2bf6s96bk9jaizv9fpwh2x3tjr7kz
Asante
0
163274
1570221
1262993
2026-06-10T22:32:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570221
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Asante''' ni [[jina]] la:
*[[Anita Asante]]
*[[Molefi Kete Asante]]
*[[Asante Kwasi]]
*[[Benjamin Asante]]
*[[Asante Nyerere]]
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
{{maana}}
[[Jamii:Majina ya watu]]
o9sgdra3f5ps41cpkjo9jt1z0qu2k5p
Long
0
166660
1570008
1274565
2026-06-10T21:57:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570008
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Long''' ni [[jina]] la:
*[[Justin Long]]
*[[Vinh Long]]
*[[Long Island]]
{{maana}}
[[Jamii:Majina ya watu]]
e165fvigqyj2neppcniluq7mtd8brb6
Gibson
0
169146
1569579
1279619
2026-06-10T20:47:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569579
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Gibson''' ni [[jina]] la:
*[[Mel Gibson]]
*[[Janet Gibson]]
*[[Gibson Blasius Meiseyeki]]
*[[Gibson Kente]]
*[[Clark Gibson]]
{{maana}}
akbp14cpdckokqk4diiou5p9a9iy70u
Whistler
0
169239
1570342
1279869
2026-06-10T22:52:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570342
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Whistler''' ni [[jina]] la:
*[[James Whistler]]
*[[Mlima Whistler]]
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
{{maana}}
cfrxgnul00p7j472fk6dn452obq3c9e
Miscanthus giganteus
0
169258
1569745
1279911
2026-06-10T21:15:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569745
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''''Miscanthus'' ''giganteus''''', pia inajulikana kama '''giant miscanthus,''' Ni nyasi ya kudumu yenye mashina kama mianzi ambayo inaweza kukua hadi urefu wa mita nne katika msimu mmoja (kuanzia msimu wa tatu na kuendelea). Kama vile ''[[Mabingobingo|Pennisetum purpureum]]'', ''Arundo donax'' na ''Saccharum ravennae'', pia inaitwa nyasi ya tembo.
Asili ya kudumu ya ''Miscanthus'' ''giganteus'', uwezo wake wa kukua kwenye [[ardhi]] ya kame, ufanisi wake wa [[maji]], kutovamia, mahitaji ya chini ya [[mbolea]], uondoaji mkubwa wa kaboni na mavuno mengi kumezua shauku kubwa miongoni mwa watafiti, huku wengine wakihoji kuwa. ni mali "bora" ya mazao ya [[nishati]] . Wengine hubisha kuwa inaweza kutoa [[hewa chafu]], huku wengine wakiangazia ubora wake wa kusafisha maji na kuimarisha [[udongo]]. Kuna changamoto za kiutendaji na kiuchumi zinazohusiana na utumiaji wake katika [[miundombinu]] iliyopo ya mwako wa msingi wa visukuku, hata hivyo. Urekebishaji na mbinu zingine za uboreshaji wa [[mafuta]] zinachunguzwa kama hatua za kukabiliana na tatizo hili.
{{Mbegu-jio}}
[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Swahili climate voices]]
[[Jamii:Ekolojia]]
r3v8e1wsfjrrf4i42l5szkf8wl7mhkv
Pardubice
0
169546
1569917
1280535
2026-06-10T21:43:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569917
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa kumi kwa ukubwa nchini [[Ucheki]] wenye wakazi 89,000 ([[2022]])<ref>{{cite web |title=Population of Municipalities – 1 January 2022|url=https://www.czso.cz/csu/czso/population-of-municipalities-1-january-2022|publisher=[[Czech Statistical Office]]|date=2022-04-29}}</ref>.
==Tazama pia==
*[[Orodha ya miji ya Ucheki]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}
[[Jamii:Miji ya Ucheki]]
79z99aw9jlq8ezdlzrn6mk0f1g1fsg9
Weber
0
173527
1570259
1295961
2026-06-10T22:38:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570259
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Weber''' ni [[jina]] la:
*[[Anthony Weber]]
*[[Carl Maria von Weber]]
*[[Max Weber]]
{{maana}}
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
1w85ar0fkxw2vvikuehf80wkj1ctsrj
Christian
0
174859
1569736
1301989
2026-06-10T21:13:40Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569736
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Christian''' ni [[jina]] la:
{{div col}}
*[[Christian Anfinsen]]
*[[Christian Lous Lange]]
*[[Christian Sebastia]]
*[[Christian Corrêa Dionisio]]
*[[Christian Finnegan]]
*[[Christian Doppler]]
*[[Christian Karembeu]]
*[[Hans Christian Andersen]]
*[[Christian Luyindama]]
*[[Christian de Duve]]
*[[Christian Carlassare]]
*[[Christian Eriksen]]
*[[Christian Gombe]]
*[[Harold Basil Christian]]
*[[Roch Marc Christian Kaboré]]
*[[Christian Benteke]]
*[[Christian Cooper]]
{{div col end}}
{{maana}}
hh1qr5avuks8wurmbubwkja56wlia37
Mabatini
0
179954
1570007
1326679
2026-06-10T21:57:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570007
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Mabatini''' ni jina la makazi mbalimbali kama:
* [[Mabatini (Mbeya mjini)]]
* [[Mabatini, Nairobi]]
* [[Mabatini (Nyamagana)]]
{{maana}}
qo5no2settzhcebxfqswy2r2zwiji3k
Al Famau
0
182655
1569585
1339539
2026-06-10T20:48:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569585
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kaskazini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
7p1v8kgk44ffex0vpui5ajeja15kptj
Mvuleni (Unguja)
0
182709
1570383
1339609
2026-06-10T22:59:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570383
wikitext
text/x-wiki
'''Mvuleni''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kisiwa]] cha [[Unguja]], leo nchini [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-unguja}}
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
[[Jamii:Unguja]]
4rugafzvtt82y007lbcyk2v91n8utma
Ukutani
0
182713
1570136
1339617
2026-06-10T22:18:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570136
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Tanzania}}
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
jwjygou593kjri3tezwpntiqrhhew35
Mwanakiwambi
0
182732
1570319
1339638
2026-06-10T22:48:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570319
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Tanzania}}
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
jwjygou593kjri3tezwpntiqrhhew35
Ngao Mwanya
0
182736
1570503
1339642
2026-06-10T23:19:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570503
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Tanzania}}
[[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]]
jwjygou593kjri3tezwpntiqrhhew35
Grace Lolim
0
183099
1569519
1513102
2026-06-10T19:59:05Z
Willyfred Philemon
90120
/* Marejeo */
1569519
wikitext
text/x-wiki
'''Grace Lolim''' ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] na amani kutoka [[Kenya]], pia ni mwenyekiti wa kamati ya amani ya [[Isiolo]], mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa [[Dawati la Jinsia Tanzania|dawati la jinsia]] la isiolo. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Defying Culture in Pursuit of Peace « Defenders Coalition|url=https://defenderscoalition.org/defying-culture-in-pursuit-of-peace-2/|access-date=2022-02-20|language=en-US|archive-date=2022-02-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20220220204943/https://defenderscoalition.org/defying-culture-in-pursuit-of-peace-2/|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
= <small>Kazi na uanaharakati</small> =
Lolim alianza kutetea amani mwaka 2000 wakati [[Wasomali]] na [[Waborana]] walipokuwa wakipigana katika eneo la [[Isiolo]]. Ingawa alikuwa amefanikiwa kukimbia mzozo huo pamoja na mume wake na watoto wake, alirudi ili kuwasaidia wazazi wake na ndugu zake aliowaacha nyuma. Aliwakuta wanafamilia wake wakiwa wamejificha pamoja na wanakijiji wengine kando ya mto, huku wakikabiliwa na hatari ya kushambuliwa na mamba.<ref name=":0" />
Licha ya kushawishiwa na mume wake, Lolim alikataa kuwaacha ndugu zake katika hali ya mateso. Alianza safari ya mazungumzo ya kuleta amani kwa kujiunga na kamati ya amani ya kijiji. Wanawake wengine walimteua kuzungumza katika mkutano wa kutafuta suluhu za mzozo katika ngazi ya eneo, jambo lililompa nafasi ya kushirikiana na wajumbe wa kamati kutoka makabila mbalimbali.
Alikuwa mwanamke pekee aliyeteuliwa kuzungumza kwa niaba ya kijiji.
Mwaka 2002, Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ([[Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa|UNDP]]) ulimteua Lolim kushiriki katika programu ya kubadilishana uzoefu na wanawake wa [[Rwanda]] ili kujifunza kuhusu athari za migogoro ya silaha. Kulingana na taarifa moja, alihubiri amani kwa kutumia mafundisho aliyoyapata katika [[Biblia ya Kikristo|Biblia]] na [[Kurani]], jambo lililomsaidia kufikia hadhira mbalimbali na kuwa hatua muhimu kwa kamati ya amani.
Mwaka 2013, Lolim alianzisha Isiolo Gender Watch, shirika linalotetea haki za binadamu na usawa wa kijinsia, ambapo kufikia mwaka 2022 alikuwa akifanya kazi kama mkurugenzi mtendaji. Lolim pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Isiolo.
Wakati wa janga la [[Mlipuko wa virusi vya korona 2019-20|COVID-19]], Lolim aliongoza juhudi za kusambaza ujumbe wa afya kwa jamii yake. Mwaka 2020, alitetea ushirikishwaji mkubwa wa wanawake katika juhudi za ujenzi wa amani. Mwaka 2022, alizungumzia kuenea kwa ukatili wa kijinsia na kingono pamoja na umuhimu wa kupatikana kwa haki kufuatia mauaji ya mwanaharakati wa amani Elizabeth Ibrahim.{{mbegu-mtu}}
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanaharakati wa Kenya]]
[[jamii:Wiki4HumanRights 2024]]
fzag2q0ert0ps8ysu9zzcb4jarfwvi6
1570742
1569519
2026-06-11T07:49:06Z
Riccardo Riccioni
452
1570742
wikitext
text/x-wiki
'''Grace Lolim''' ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] na amani kutoka [[Kenya]], pia ni mwenyekiti wa kamati ya amani ya [[Isiolo]], mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa [[Dawati la Jinsia Tanzania|dawati la jinsia]] la isiolo. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Defying Culture in Pursuit of Peace « Defenders Coalition|url=https://defenderscoalition.org/defying-culture-in-pursuit-of-peace-2/|access-date=2022-02-20|language=en-US|archive-date=2022-02-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20220220204943/https://defenderscoalition.org/defying-culture-in-pursuit-of-peace-2/|url-status=dead}}</ref>
==Kazi na uanaharakati==
Lolim alianza kutetea amani mwaka 2000 wakati [[Wasomali]] na [[Waborana]] walipokuwa wakipigana katika eneo la [[Isiolo]]. Ingawa alikuwa amefanikiwa kukimbia mzozo huo pamoja na mume wake na watoto wake, alirudi ili kuwasaidia wazazi wake na ndugu zake aliowaacha nyuma. Aliwakuta wanafamilia wake wakiwa wamejificha pamoja na wanakijiji wengine kando ya mto, huku wakikabiliwa na hatari ya kushambuliwa na mamba.<ref name=":0" />
Licha ya kushawishiwa na mume wake, Lolim alikataa kuwaacha ndugu zake katika hali ya mateso. Alianza safari ya mazungumzo ya kuleta amani kwa kujiunga na kamati ya amani ya kijiji. Wanawake wengine walimteua kuzungumza katika mkutano wa kutafuta suluhu za mzozo katika ngazi ya eneo, jambo lililompa nafasi ya kushirikiana na wajumbe wa kamati kutoka makabila mbalimbali.
Alikuwa mwanamke pekee aliyeteuliwa kuzungumza kwa niaba ya kijiji.
Mwaka 2002, Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ([[Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa|UNDP]]) ulimteua Lolim kushiriki katika programu ya kubadilishana uzoefu na wanawake wa [[Rwanda]] ili kujifunza kuhusu athari za migogoro ya silaha. Kulingana na taarifa moja, alihubiri amani kwa kutumia mafundisho aliyoyapata katika [[Biblia ya Kikristo|Biblia]] na [[Kurani]], jambo lililomsaidia kufikia hadhira mbalimbali na kuwa hatua muhimu kwa kamati ya amani.
Mwaka 2013, Lolim alianzisha Isiolo Gender Watch, shirika linalotetea haki za binadamu na usawa wa kijinsia, ambapo kufikia mwaka 2022 alikuwa akifanya kazi kama mkurugenzi mtendaji. Lolim pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Isiolo.
Wakati wa janga la [[Mlipuko wa virusi vya korona 2019-20|COVID-19]], Lolim aliongoza juhudi za kusambaza ujumbe wa afya kwa jamii yake. Mwaka 2020, alitetea ushirikishwaji mkubwa wa wanawake katika juhudi za ujenzi wa amani. Mwaka 2022, alizungumzia kuenea kwa ukatili wa kijinsia na kingono pamoja na umuhimu wa kupatikana kwa haki kufuatia mauaji ya mwanaharakati wa amani Elizabeth Ibrahim.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanaharakati wa Kenya]]
[[jamii:Wiki4HumanRights 2024]]
e94kdeuc4i7adc1ke919ej6tnz6dl7y
Burt Lancaster
0
185124
1570049
1346823
2026-06-10T22:04:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570049
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Faili:Burt Lancaster and Shirley Booth in Come Back, Little Sheba (cropped).jpg|thumb|Burt Lancaster na Shirley Booth katika seti ya filamu Come Back (1953). ]]
[[Faili:Burt Lancaster - publicity 1947.JPG|thumb|Burt Lancaster mnamo 1947.]]
'''Burton Stephen "Burt" Lancaster''' (2 Novemba 1913 - 20 Oktoba 1994) alikuwa [[mwigizaji]] maarufu na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini [[Marekani]]. Burt Lancaster alizaliwa [[New York City]], [[New York]]. Huyu ni mtoto mjini. Ualwatani wake ulimpa mafunzo ya michezo ya sarakasi kabla ya kuingia katika uigizaji jumla.
Lancaster alijulikana kwa uigizaji wake wenye nguvu na kipekee. Uigizaji ambao ulimfanya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa [[Hollywood]] katika miaka ya 1940 na 1950. Alishinda [[Tuzo ya Academy]] kama Muigizaji Bora kwa kazi yake katika filamu ya Elmer Gantry (1960). Filamu zake maarufu ni pamoja na From Here to Eternity (1953), Birdman of Alcatraz (1962), The Leopard (1963), na Atlantic City (1980).
Katika kipindi cha kazi yake, Lancaster alishiriki katika aina mbalimbali za filamu. Kuanzia mapigano hadi historia.
==Viungo vya nje==
{{commons|Burt Lancaster}}
{{wikiquote}}
* {{AFI person | 25098-Burt-Lancaster }}
* {{IMDb name}}
* {{Tcmdb name}}
* {{AllRovi person}}
* {{IBDB name}}
* [http://www.virtual-history.com/movie/person/58/burt-lancaster Literature on Burt Lancaster]
* [http://versewisconsin.org/Issue110/poems/balassone.html "The Rainmaker"], a poem for Lancaster
{{BD|1913|1994}}
{{KWW}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
se3ep9r4xppef1vi2c7acqpiznv76wc
Enyimba F.C.
0
188264
1570828
1511796
2026-06-11T11:17:45Z
Makenzis
34368
1570828
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football club
|jinalaclub = Enyima FC
| jinalote = Enyimba Footbal Club
|imeanzishwa = {{start date and age|1976}}
| kocha = [[Yemi Daniel Olanrewaju]]
| uwanja = Uwanja wa Kimataifa wa Enyimba
|uwezo=16,000
|tovuti=https://enyimbafc.net/
|jinalautani= ''Tembo wa watu, Mashujaa wa Aba''
|mwenyekiti=[[Nwanko Kanu]]
|ligi=Ligi Kuu ya Nigeria
|msimu=2025-26
|meneja=11
}}
'''Enyimba F.C.''' maarufu kwa jina la '''Enyimba''', ni klabu ya mpira wa miguu inayopatikana kwenye mji wa [[Aba]] nchini [[Nigeria]].
Inashiriki katika mashindano ya Ligi kuu ya Nigeria. Maana ya jina lao kwa lugha ya [[Kiigbo]] ni ''Tembo wa Watu'', jina hili la utani hutumiwa na mji wa Aba pia.<ref>{{Rejea tovuti |date=2021-09-04 |title=Finidi takes over reins at Aba giants, Enyimba |url=https://www.vanguardngr.com/2021/09/finidi-takes-over-reins-at-aba-giants-enyimba/ |access-date=2022-05-25 |website=Vanguard News |language=en-GB |archive-date=25 May 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220525193832/https://www.vanguardngr.com/2021/09/finidi-takes-over-reins-at-aba-giants-enyimba/ |url-status=live }}</ref>
Ikiwa imeanzishwa mwaka 1976, umaarufu wa klabu hii ulianza kuonekana miaka ya 2000 na kwasasa inatambulika kama klabu yenye mafanikio zaidi kutokea nchini Nigeria, hii ni kwasababu walifanikiwa kushinda mataji mawili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Mataji tisa ya ligi kuu ya Nigeria na mataji manne ya Kombe la shirikisho Nigeria, mafanikio hay ani kuanzia mwaka 2001.<ref>{{Rejea tovuti |last=Football |first=CAF-Confedération Africaine du |title=Enyimba set for Raja with eyes firmly on cup prize |url=https://www.cafonline.com/news-center/news/enyimba-set-for-raja-with-eyes-firmly-on-cup-prize |access-date=2022-05-25 |website=CAFOnline.com |language=en |archive-date=18 June 2023 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230618212035/https://www.cafonline.com/news-center/news/enyimba-set-for-raja-with-eyes-firmly-on-cup-prize |url-status=live }}</ref> Taji la hivi karibuni walifanikiwa kushinda ligi ya Nigeria kwa msimu wa 2022-23.<ref>{{cite web |title=Enyimba win record ninth NIgeria Premier League |url=https://www.cafonline.com/total-caf-champions-league/news/enyimba-clinch-record-ninth-nigerian-league-title#:~:text=Enyimba%20have%20secured%20their%20record,Six%20in%20Lagos%20on%20Sunday. |publisher=cafonline.com |access-date=23 June 2023 |archive-date=23 June 2023 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230623132904/https://www.cafonline.com/total-caf-champions-league/news/enyimba-clinch-record-ninth-nigerian-league-title#:~:text=Enyimba%20have%20secured%20their%20record,Six%20in%20Lagos%20on%20Sunday. |url-status=live }}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:vilabu Mpira]]
rgygx7l1mrybvsjz9nbzcqprehz38zk
Paolo Bossoni
0
188897
1570631
1358450
2026-06-10T23:40:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570631
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Paolo Bossoni''' (alizaliwa tarehe [[2 Julai]] [[1976]] huko San Secondo Parmense) ni mwendesha [[Baisikeli|baiskeli]] wa kitaalamu wa mbio za barabarani kutoka [[Italia]].
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Wanamichezo wa Italia]]
7squj1vbz8k8gbpisv3bnn797rcl2fd
Ziwa Mwero
0
195543
1569445
1378157
2026-06-10T13:21:38Z
Riccardo Riccioni
452
1569445
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Mwero''' (pia: '''Moero''' au '''Mweru''') ni [[ziwa]] kubwa la [[Maji matamu|maji baridi]] lililopo katika eneo la [[Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki]] na [[Afrika ya Kati|ya Kati]] kwenye mpaka wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] na [[Zambia]]. Ni moja ya maziwa muhimu katika mfumo wa [[beseni] la [[Mto Kongo]] na lina mchango mkubwa katika [[uvuvi]] na maisha ya jamii zinazolizunguka.
Ziwa hilo hupokea [[maji]] yake kutoka [[Mto Luapula]], ambao unatoka [[Ziwa Bangweulu]], na hutiririsha maji yake kupitia [[Mto Luvua]] unaoelekea kwenye Mto Congo. Mfumo huo wa mito unaifanya Ziwa Mwero kuwa sehemu muhimu ya mzunguko wa maji katika eneo hilo.
Eneo linalolizunguka ziwa lina [[tambarare]], [[Bonde|mabonde]] na maeneo yenye [[Uoto asilia|uoto wa asili]] unaosaidia kuwa na [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya [[Kiumbehai|viumbehai]] wa majini.
== Umuhimu wa kiuchumi. ==
Ziwa Mwero lina mchango mkubwa katika [[uchumi]] wa jamii zinazolizunguka, hasa kupitia shughuli za [[uvuvi]]. [[Samaki]] wanaovuliwa katika ziwa hilo hutumika kwa [[chakula]] na [[biashara]] katika maeneo ya ndani na nje ya nchi.
Biashara ya samaki na [[bidhaa]] nyingine za maji huchangia [[kipato]] cha [[kaya]] nyingi zinazotegemea ziwa hilo. Aidha, maeneo yanayozunguka ziwa hutumika kwa shughuli za [[kilimo]] kidogo na biashara ya mipakani kati ya Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Ziwa hilo pia linaweza kuwa na mchango katika usafirishaji wa ndani kupitia [[Mtumbwi|mitumbwi]] na vyombo vidogo vya majini vinavyotumika kuunganisha [[kijiji|vijiji]] vilivyo kandokando ya ziwa.
== Mazingira na ikolojia. ==
Ziwa Mwero lina mfumo wa [[ekolojia]] wenye viumbe mbalimbali wa majini na nchi kavu. [[Mazingira]] ya ziwa hilo yanasaidia kuwepo kwa aina tofauti za samaki, [[Ndege (mnyama)|ndege]] wa majini na [[Mmea|mimea]] inayostawi katika maeneo yenye maji.
Uvuvi kupita kiasi na mabadiliko ya mazingira vinaweza kuathiri uwiano wa ekolojia ya ziwa. [[Uchafuzi wa maji]] unaotokana na shughuli za [[binadamu]] pia unaweza kupunguza [[ubora wa maji]] na kuathiri viumbe wanaoishi ndani ya ziwa.
[[Hifadhi ya mazingira]] ya ziwa ni muhimu ili kuhakikisha uendelevu wa [[rasilimali]] za maji na viumbehai wanaotegemea mfumo huo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya maziwa ya Afrika]]
==Marejeo==
* Paul Brien, ''Éponges du Luapula et du lac Moero'', Cercle hydrobiologique de [[Bruxelles]], 1967, 52 p.
* P. de Kimpe, ''Contribution à l'étude hydrobiologique du Luapula-Moëro'', Musée royal de l'Afrique centrale, Bruxelles, 1964, 238 p.
== Viungo vya nje==
<ref>{{cite web|title=Lake Mweru|url=https://www.britannica.com/place/Lake-Mweru|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
<ref>{{cite web|title=Geography of the Congo Basin Lakes|url=https://www.fao.org|publisher=Food and Agriculture Organization (FAO)|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
<ref>{{cite web|title=Freshwater ecosystems in Africa|url=https://www.unep.org|publisher=United Nations Environment Programme (UNEP)|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
<ref>{{cite web|title=Hydrology of the Congo River system|url=https://www.usgs.gov|publisher=U.S. Geological Survey (USGS)|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
{{Maziwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Maziwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:maziwa ya Zambia]]
mlz0qvmdqsh48je2wm6c6275o11pb9x
1569446
1569445
2026-06-10T13:23:19Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1569446
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Mwero''' (pia: '''Moero''' au '''Mweru''') ni [[ziwa]] kubwa la [[Maji matamu|maji baridi]] lililopo katika eneo la [[Bonde Kuu la Ufa]] la [[Afrika ya Mashariki]] na [[Afrika ya Kati|ya Kati]] kwenye mpaka wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] na [[Zambia]]. Ni moja ya maziwa muhimu katika mfumo wa [[beseni] la [[Mto Kongo]] na lina mchango mkubwa katika [[uvuvi]] na maisha ya jamii zinazolizunguka.
Ziwa hilo hupokea [[maji]] yake kutoka [[Mto Luapula]], ambao unatoka [[Ziwa Bangweulu]], na hutiririsha maji yake kupitia [[Mto Luvua]] unaoelekea kwenye Mto Congo. Mfumo huo wa mito unaifanya Ziwa Mwero kuwa sehemu muhimu ya mzunguko wa maji katika eneo hilo.
Eneo linalolizunguka ziwa lina [[tambarare]], [[Bonde|mabonde]] na maeneo yenye [[Uoto asilia|uoto wa asili]] unaosaidia kuwa na [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya [[Kiumbehai|viumbehai]] wa majini.
== Umuhimu wa kiuchumi. ==
Ziwa Mwero lina mchango mkubwa katika [[uchumi]] wa jamii zinazolizunguka, hasa kupitia shughuli za [[uvuvi]]. [[Samaki]] wanaovuliwa katika ziwa hilo hutumika kwa [[chakula]] na [[biashara]] katika maeneo ya ndani na nje ya nchi.
Biashara ya samaki na [[bidhaa]] nyingine za maji huchangia [[kipato]] cha [[kaya]] nyingi zinazotegemea ziwa hilo. Aidha, maeneo yanayozunguka ziwa hutumika kwa shughuli za [[kilimo]] kidogo na biashara ya mipakani kati ya Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Ziwa hilo pia linaweza kuwa na mchango katika usafirishaji wa ndani kupitia [[Mtumbwi|mitumbwi]] na vyombo vidogo vya majini vinavyotumika kuunganisha [[kijiji|vijiji]] vilivyo kandokando ya ziwa.
== Mazingira na ikolojia. ==
Ziwa Mwero lina mfumo wa [[ekolojia]] wenye viumbe mbalimbali wa majini na nchi kavu. [[Mazingira]] ya ziwa hilo yanasaidia kuwepo kwa aina tofauti za samaki, [[Ndege (mnyama)|ndege]] wa majini na [[Mmea|mimea]] inayostawi katika maeneo yenye maji.
Uvuvi kupita kiasi na mabadiliko ya mazingira vinaweza kuathiri uwiano wa ekolojia ya ziwa. [[Uchafuzi wa maji]] unaotokana na shughuli za [[binadamu]] pia unaweza kupunguza [[ubora wa maji]] na kuathiri viumbe wanaoishi ndani ya ziwa.
[[Hifadhi ya mazingira]] ya ziwa ni muhimu ili kuhakikisha uendelevu wa [[rasilimali]] za maji na viumbehai wanaotegemea mfumo huo.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya maziwa ya Afrika]]
==Marejeo==
* Paul Brien, ''Éponges du Luapula et du lac Moero'', Cercle hydrobiologique de [[Bruxelles]], 1967, 52 p.
* P. de Kimpe, ''Contribution à l'étude hydrobiologique du Luapula-Moëro'', Musée royal de l'Afrique centrale, Bruxelles, 1964, 238 p.
== Viungo vya nje==
*{{cite web|title=Lake Mweru|url=https://www.britannica.com/place/Lake-Mweru|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}
*{{cite web|title=Geography of the Congo Basin Lakes|url=https://www.fao.org|publisher=Food and Agriculture Organization (FAO)|access-date=10 Juni 2026}}
*{{cite web|title=Freshwater ecosystems in Africa|url=https://www.unep.org|publisher=United Nations Environment Programme (UNEP)|access-date=10 Juni 2026}}
*{{cite web|title=Hydrology of the Congo River system|url=https://www.usgs.gov|publisher=U.S. Geological Survey (USGS)|access-date=10 Juni 2026}}
{{Maziwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Maziwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:maziwa ya Zambia]]
gdr4cx48izpvyl97wag514mnvygt3yz
Karsan J10
0
196027
1570426
1381697
2026-06-10T23:06:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570426
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
{{Infobox magari
| kampuni = Karsan
| aina = J10
| picha = Karsan_J10_school_bus.jpg
| inchi_za_kuzalisha = [[Uturuki]]
| injini = Dizeli, silinda 4
| abiria = 14
| upana = 1.95m
| urefu = 5.71m
| urefu_wa_juu = 2.47m
| uzito = 2630kg
}}
'''Karsan J10''' ni [[basi]] kutoka [[Uturuki]].
==Viungo vya nje==
[[Jamii:magari]]
6ifozqaa7r91kywzw8mkdtq75n4a6oi
Mabadiliko ya tabianchi
0
198628
1569480
1569304
2026-06-10T16:59:29Z
Anuary Rajabu
45588
1569480
wikitext
text/x-wiki
'''Mabadiliko ya tabianchi''' yanarejelea mabadiliko ya muda mrefu katika [[joto]] na mifumo ya hali ya [[hewa]]. Mabadiliko haya yanaweza kuwa ya [[asili]], kutokana na mabadiliko katika shughuli za jua au milipuko mikubwa ya [[volkeno]]. <ref>{{Cite Web|title=What is Climate change|url=https://www.un.org/en/climatechange/what-is-climate-change|accessdate=2025-02-05}}</ref>
== Sababu za mabadiliko ya tabianchi ==
===Sababu za asili===
* '''Milipuko ya volkeno''' – milipuko mikubwa ya volkeno hutoa majivu, vumbi, na gesi kama dioksidi ya sulfuri angani, ambayo inaweza kupunguza joto la dunia kwa muda kwa kuzuia mwangaza wa jua. Hata hivyo, gesi zingine huchangia ongezeko la joto kwa muda mrefu.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* '''Mabadiliko ya shughuli za jua''' – kiwango cha nishati kinachotolewa na jua hubadilika kwa muda, na kusababisha ongezeko au upungufu wa joto duniani.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* '''Mabadiliko ya mikondo ya bahari'''– mikondo ya bahari kama El Niño na La Niña huathiri joto la dunia na mifumo ya hali ya hewa. Mikondo ya joto huongeza halijoto ya anga, wakati mikondo ya baridi inaweza kusababisha baridi.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* '''Mabadiliko ya mzunguko wa dunia''' – mabadiliko ya mwelekeo na mzunguko wa dunia kuzunguka jua yanaweza kuathiri usambazaji wa mwangaza wa jua na kusababisha vipindi vya baridi au joto kwa maelfu ya miaka.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* '''Uzalishaji wa asili wa gesi za joto''' – michakato ya asili kama kuoza kwa mimea kwenye maeneo ya vinamasi na kuyeyuka kwa permafrost hutoa gesi kama methane na dioksidi kaboni, ambazo huchangia ongezeko la joto.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
===Sababu za kibinadamu===
* Uchomaji wa mafuta ya kawaida – kuchoma makaa ya mawe, mafuta, na gesi asilia hutoa dioksidi kaboni (CO₂) na gesi zingine za joto, ambazo huzuia joto kuondoka angani na kusababisha ongezeko la joto duniani.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Sababu za Mabadiliko ya Binadamu|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Ukataji wa misitu – kukata miti hupunguza uwezo wa misitu kunyonya CO₂, na hivyo kuongeza kiwango cha gesi hizi kwenye anga.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Athari za Binadamu|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Uzalishaji wa viwandani – viwanda hutoa uchafuzi wa hewa, ikiwa ni pamoja na CO₂ na methane, kutoka kwa shughuli za uzalishaji, hali inayochochea mabadiliko ya tabianchi.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Sababu za Mabadiliko|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kilimo – mifugo hutoa methane wakati wa mmeng’enyo wa chakula, na mbolea zenye nitrojeni hutoa oksidi ya nitrojeni, zote zikiwa gesi zenye nguvu za joto zinazochangia ongezeko la joto.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Athari za Kilimo|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Miji mikubwa na mabadiliko ya matumizi ya ardhi – upanuzi wa miji, barabara, na majengo hubadilisha ardhi ya asili, huongeza ufyonzaji wa joto, na kuathiri udhibiti wa halijoto.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Utupaji wa taka na uzalishaji wa gesi kutoka kwa madampo – taka zinazooza kwenye madampo hutoa methane, gesi inayochangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la joto duniani.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Uchafuzi wa Taka|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Matumizi kupita kiasi na unyonyaji wa rasilimali – uhitaji mkubwa wa rasilimali husababisha matumizi makubwa ya nishati, ukataji wa misitu, na uchafuzi wa mazingira, hali zinazochangia mabadiliko ya tabianchi.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Matumizi ya Rasilimali|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Athari za Mabadiliko ya Tabianchi ==
* Kupanda kwa Joto la Dunia - Kiwango cha joto duniani kimeongezeka kwa kasi. Tangu mwaka 1880, wastani wa joto la dunia umeongezeka kwa nyuzi 1.1 °C. Wanasayansi wanatabiri kwamba kama hatutachukua hatua, joto linaweza kuongezeka hadi nyuzi 2.5 °C ifikapo mwisho wa karne hii.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kuyeyuka kwa Barafu na Kupanda kwa Kiwango cha Bahari - Barafu kwenye ncha za [[Aktiki]] na [[Antaktika]] inayeyuka kwa kasi. Pia, [[barafu]] ya [[Mlima Kilimanjaro]] inapotea mwaka baada ya mwaka. Hii inachangia [[kupanda kwa kina cha bahari]] ambako kunatishia miji ya pwani na visiwa vya [[Bahari Hindi]].
* Mabadiliko ya Msimu wa Mvua na Ukame - Sehemu nyingi za [[Tanzania]] zimeathirika na mabadiliko ya tabianchi. [[Mikoa]] ya [[Dodoma]], [[Arusha]], [[Manyara]], [[Shinyanga]], [[Simiyu]], [[Kagera]], [[Songwe]] na [[Mbeya]] imeanza kuonja athari za mabadiliko haya kwa kupata ukame mkali au mafuriko yasiyotarajiwa.
* Kuongezeka kwa Magonjwa - Mabadiliko ya tabianchi yanachangia kuenea kwa [[magonjwa]] ya kuambukiza kama [[malaria]] na [[dengue fever]]. Kwa sababu [[mbu]] wanaoeneza magonjwa haya wanazaliana kwa wingi katika maeneo yenye joto la wastani.<ref>{{cite web|title=Papa Francisko: Athari za Mabadiliko ya Tabianchi|publisher=Vatican News|date=2023-07-25|url=https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2023-07/papa-francisko-athari-mabadiliko-tabia-nchi-duniani-2023.html|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Athari kwa Kilimo na Chakula - [[Ukame]] na mafuriko yanaharibu [[mazao]] na kupunguza [[usawa wa chakula]] (food security) nchini [[Tanzania]]. Wakulima wengi wanapoteza mazao yao na kukosa chakula cha kutosha kwa familia zao.<ref>{{cite web|author=Pawar V. K.|title=Climate Change and Its Impact on Ecosystems and Human Societies|publisher=Zenodo|year=2024|url=https://zenodo.org/records/14217748|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Jinsi ya Kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi ==
Licha ya changamoto kubwa, kuna hatua mbalimbali zinazochukuliwa duniani na nchini [[Tanzania]] kulinda mazingira na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.
* Upandaji Miti - [[Miti]] ni muhimu sana katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi kwa sababu hufyonza [[kaboni dioksidi]] na kutoa [[oksijeni]]. Hapa [[Tanzania]], kampeni ya Kitaifa ya Upandaji Miti inaagiza kila Halmashauri kupanda miti 1,500,000 kila mwaka. Wakati huo huo, inakadiriwa kuwa kati ya hekta 130,000 hadi 500,000 za [[misitu]] hupotea kila mwaka kutokana na [[ukataji miti]] hovyo.
* Matumizi ya Nishati Safi - Kuchoma [[makaa ya mawe]], [[mafuta ya petroliamu]], na [[gesi asilia]] ndio chanzo kikuu cha [[gesi chafuzi]]. Kwa hiyo, nchi duniani zinahamia kwenye matumizi ya [[nishati mbadala]] kama [[nishati ya jua]], [[nishati ya upepo]], na [[nishati ya maji]]. Hii inapunguza kwa kiasi kikubwa utoaji wa hewa chafu angani.
* Kuhifadhi Misitu na Vyanzo vya Maji - Kuhifadhi [[misitu]] na [[vyanzo vya maji]] ni muhimu kwa ajili ya [[wanyamapori]] na [[binadamu]]. Meneja wa mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili, Elikana Kalumanga, amesema kuwa [[mabadiliko ya tabianchi]] yanachangia [[migogoro]] kati ya wanyamapori na binadamu kwa sababu ya uhaba wa maji na malisho.
* Makubaliano ya Kimataifa - [[Tanzania]] iliridhia [[Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi]] mwaka 1996 na Itifaki yake ya Kyoto mwaka 2002. Pia, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoridhia [[Makubaliano ya Paris]] ya mwaka 2015, ambayo yanalenga kuhakikisha kwamba joto la dunia haliingii zaidi ya nyuzi 2 °C kabla ya mwisho wa karne hii.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Hotuba ya Bunge|publisher=Parliament of Tanzania|date=2018-04-03|url=http://parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1523461271-3%20APRILI%202018.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kilimo Endelevu - Wakulima wanahimizwa kutumia mbinu za [[kilimo endelevu]] kama vile [[mbolea za kikaboni]] badala ya kemikali kali, [[mzunguko wa mazao]], na [[umwagiliaji]] wa kisasa unaotumia maji kidogo. Mbinu hizi zinasaidia kupunguza utoaji wa [[methane]] na [[oksidi ya nitrojeni]] angani.
== Gesi Chafuzi na Vyanzo Vyake ==
{| class="wikitable"
|+
!Gesi chafu
!Chanzo kikuu
!Athari
!
|-
|[[Dioksidi kaboni]] (CO₂)
|Uchomaji wa [[mafuta]], [[ukataji miti]], [[viwanda]]
|Hufyonza joto angani na kusababisha [[ongezeko la joto duniani]]
|
|-
|[[Methane]] (CH₄)
|[[Mifugo]] ([[ng'ombe]], [[mbuzi]]), [[mashamba ya mpunga]], [[taka]] za madampo
|Yenye nguvu mara 25 zaidi ya CO₂ katika kuhifadhi joto
|
|-
|[[Oksidi ya nitrojeni]] (N₂O)
|[[Mbolea]] za [[kilimo]], [[viwanda]]
| Yenye nguvu mara 298 zaidi ya CO₂
|
|}
== Tazama pia ==
* [[Kupanda kwa halijoto duniani]]
* [[Tabianchi]]
* [[Tofauti za hali ya hewa na mabadiliko yake]]
* [[Kupanda kwa halijoto duniani]]
* [[Hifadhi ya mazingira]]
* [[Mkataba wa Paris]]
== Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:ekolojia]]
pqpkz0aj48x30qvcrey4tv4vn1k3unc
1569481
1569480
2026-06-10T17:00:44Z
Anuary Rajabu
45588
/* Sababu za asili */
1569481
wikitext
text/x-wiki
'''Mabadiliko ya tabianchi''' yanarejelea mabadiliko ya muda mrefu katika [[joto]] na mifumo ya hali ya [[hewa]]. Mabadiliko haya yanaweza kuwa ya [[asili]], kutokana na mabadiliko katika shughuli za jua au milipuko mikubwa ya [[volkeno]]. <ref>{{Cite Web|title=What is Climate change|url=https://www.un.org/en/climatechange/what-is-climate-change|accessdate=2025-02-05}}</ref>
== Sababu za mabadiliko ya tabianchi ==
===Sababu za asili===
* Milipuko ya volkeno – milipuko mikubwa ya volkeno hutoa majivu, vumbi, na gesi kama dioksidi ya sulfuri angani, ambayo inaweza kupunguza joto la dunia kwa muda kwa kuzuia mwangaza wa jua. Hata hivyo, gesi zingine huchangia ongezeko la joto kwa muda mrefu.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Mabadiliko ya shughuli za jua – kiwango cha nishati kinachotolewa na jua hubadilika kwa muda, na kusababisha ongezeko au upungufu wa joto duniani.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Mabadiliko ya mikondo ya bahari– mikondo ya bahari kama El Niño na La Niña huathiri joto la dunia na mifumo ya hali ya hewa. Mikondo ya joto huongeza halijoto ya anga, wakati mikondo ya baridi inaweza kusababisha baridi.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Mabadiliko ya mzunguko wa dunia – mabadiliko ya mwelekeo na mzunguko wa dunia kuzunguka jua yanaweza kuathiri usambazaji wa mwangaza wa jua na kusababisha vipindi vya baridi au joto kwa maelfu ya miaka.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Uzalishaji wa asili wa gesi za joto – michakato ya asili kama kuoza kwa mimea kwenye maeneo ya vinamasi na kuyeyuka kwa permafrost hutoa gesi kama methane na dioksidi kaboni, ambazo huchangia ongezeko la joto.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Sababu za Asili|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
===Sababu za kibinadamu===
* Uchomaji wa mafuta ya kawaida – kuchoma makaa ya mawe, mafuta, na gesi asilia hutoa dioksidi kaboni (CO₂) na gesi zingine za joto, ambazo huzuia joto kuondoka angani na kusababisha ongezeko la joto duniani.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Sababu za Mabadiliko ya Binadamu|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Ukataji wa misitu – kukata miti hupunguza uwezo wa misitu kunyonya CO₂, na hivyo kuongeza kiwango cha gesi hizi kwenye anga.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Athari za Binadamu|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Uzalishaji wa viwandani – viwanda hutoa uchafuzi wa hewa, ikiwa ni pamoja na CO₂ na methane, kutoka kwa shughuli za uzalishaji, hali inayochochea mabadiliko ya tabianchi.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Sababu za Mabadiliko|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kilimo – mifugo hutoa methane wakati wa mmeng’enyo wa chakula, na mbolea zenye nitrojeni hutoa oksidi ya nitrojeni, zote zikiwa gesi zenye nguvu za joto zinazochangia ongezeko la joto.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Athari za Kilimo|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Miji mikubwa na mabadiliko ya matumizi ya ardhi – upanuzi wa miji, barabara, na majengo hubadilisha ardhi ya asili, huongeza ufyonzaji wa joto, na kuathiri udhibiti wa halijoto.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Utupaji wa taka na uzalishaji wa gesi kutoka kwa madampo – taka zinazooza kwenye madampo hutoa methane, gesi inayochangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la joto duniani.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Uchafuzi wa Taka|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Matumizi kupita kiasi na unyonyaji wa rasilimali – uhitaji mkubwa wa rasilimali husababisha matumizi makubwa ya nishati, ukataji wa misitu, na uchafuzi wa mazingira, hali zinazochangia mabadiliko ya tabianchi.<ref>{{cite web|title=Historia ya Uendelevu – Matumizi ya Rasilimali|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/@api/deki/pages/166233/pdf/22.2%253A%2bHistoria%2bya%2bUendelevu.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Athari za Mabadiliko ya Tabianchi ==
* Kupanda kwa Joto la Dunia - Kiwango cha joto duniani kimeongezeka kwa kasi. Tangu mwaka 1880, wastani wa joto la dunia umeongezeka kwa nyuzi 1.1 °C. Wanasayansi wanatabiri kwamba kama hatutachukua hatua, joto linaweza kuongezeka hadi nyuzi 2.5 °C ifikapo mwisho wa karne hii.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi|publisher=LibreTexts|url=https://query.libretexts.org/Kiswahili/Sayansi_ya_Mazingira_(Ha_na_Schleiger)/06%3A_Athari_za_mazingira/6.03%3A_Mabadiliko_ya_Tabianchi|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kuyeyuka kwa Barafu na Kupanda kwa Kiwango cha Bahari - Barafu kwenye ncha za [[Aktiki]] na [[Antaktika]] inayeyuka kwa kasi. Pia, [[barafu]] ya [[Mlima Kilimanjaro]] inapotea mwaka baada ya mwaka. Hii inachangia [[kupanda kwa kina cha bahari]] ambako kunatishia miji ya pwani na visiwa vya [[Bahari Hindi]].
* Mabadiliko ya Msimu wa Mvua na Ukame - Sehemu nyingi za [[Tanzania]] zimeathirika na mabadiliko ya tabianchi. [[Mikoa]] ya [[Dodoma]], [[Arusha]], [[Manyara]], [[Shinyanga]], [[Simiyu]], [[Kagera]], [[Songwe]] na [[Mbeya]] imeanza kuonja athari za mabadiliko haya kwa kupata ukame mkali au mafuriko yasiyotarajiwa.
* Kuongezeka kwa Magonjwa - Mabadiliko ya tabianchi yanachangia kuenea kwa [[magonjwa]] ya kuambukiza kama [[malaria]] na [[dengue fever]]. Kwa sababu [[mbu]] wanaoeneza magonjwa haya wanazaliana kwa wingi katika maeneo yenye joto la wastani.<ref>{{cite web|title=Papa Francisko: Athari za Mabadiliko ya Tabianchi|publisher=Vatican News|date=2023-07-25|url=https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2023-07/papa-francisko-athari-mabadiliko-tabia-nchi-duniani-2023.html|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Athari kwa Kilimo na Chakula - [[Ukame]] na mafuriko yanaharibu [[mazao]] na kupunguza [[usawa wa chakula]] (food security) nchini [[Tanzania]]. Wakulima wengi wanapoteza mazao yao na kukosa chakula cha kutosha kwa familia zao.<ref>{{cite web|author=Pawar V. K.|title=Climate Change and Its Impact on Ecosystems and Human Societies|publisher=Zenodo|year=2024|url=https://zenodo.org/records/14217748|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Jinsi ya Kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi ==
Licha ya changamoto kubwa, kuna hatua mbalimbali zinazochukuliwa duniani na nchini [[Tanzania]] kulinda mazingira na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.
* Upandaji Miti - [[Miti]] ni muhimu sana katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi kwa sababu hufyonza [[kaboni dioksidi]] na kutoa [[oksijeni]]. Hapa [[Tanzania]], kampeni ya Kitaifa ya Upandaji Miti inaagiza kila Halmashauri kupanda miti 1,500,000 kila mwaka. Wakati huo huo, inakadiriwa kuwa kati ya hekta 130,000 hadi 500,000 za [[misitu]] hupotea kila mwaka kutokana na [[ukataji miti]] hovyo.
* Matumizi ya Nishati Safi - Kuchoma [[makaa ya mawe]], [[mafuta ya petroliamu]], na [[gesi asilia]] ndio chanzo kikuu cha [[gesi chafuzi]]. Kwa hiyo, nchi duniani zinahamia kwenye matumizi ya [[nishati mbadala]] kama [[nishati ya jua]], [[nishati ya upepo]], na [[nishati ya maji]]. Hii inapunguza kwa kiasi kikubwa utoaji wa hewa chafu angani.
* Kuhifadhi Misitu na Vyanzo vya Maji - Kuhifadhi [[misitu]] na [[vyanzo vya maji]] ni muhimu kwa ajili ya [[wanyamapori]] na [[binadamu]]. Meneja wa mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili, Elikana Kalumanga, amesema kuwa [[mabadiliko ya tabianchi]] yanachangia [[migogoro]] kati ya wanyamapori na binadamu kwa sababu ya uhaba wa maji na malisho.
* Makubaliano ya Kimataifa - [[Tanzania]] iliridhia [[Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi]] mwaka 1996 na Itifaki yake ya Kyoto mwaka 2002. Pia, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoridhia [[Makubaliano ya Paris]] ya mwaka 2015, ambayo yanalenga kuhakikisha kwamba joto la dunia haliingii zaidi ya nyuzi 2 °C kabla ya mwisho wa karne hii.<ref>{{cite web|title=Mabadiliko ya Tabianchi – Hotuba ya Bunge|publisher=Parliament of Tanzania|date=2018-04-03|url=http://parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1523461271-3%20APRILI%202018.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kilimo Endelevu - Wakulima wanahimizwa kutumia mbinu za [[kilimo endelevu]] kama vile [[mbolea za kikaboni]] badala ya kemikali kali, [[mzunguko wa mazao]], na [[umwagiliaji]] wa kisasa unaotumia maji kidogo. Mbinu hizi zinasaidia kupunguza utoaji wa [[methane]] na [[oksidi ya nitrojeni]] angani.
== Gesi Chafuzi na Vyanzo Vyake ==
{| class="wikitable"
|+
!Gesi chafu
!Chanzo kikuu
!Athari
!
|-
|[[Dioksidi kaboni]] (CO₂)
|Uchomaji wa [[mafuta]], [[ukataji miti]], [[viwanda]]
|Hufyonza joto angani na kusababisha [[ongezeko la joto duniani]]
|
|-
|[[Methane]] (CH₄)
|[[Mifugo]] ([[ng'ombe]], [[mbuzi]]), [[mashamba ya mpunga]], [[taka]] za madampo
|Yenye nguvu mara 25 zaidi ya CO₂ katika kuhifadhi joto
|
|-
|[[Oksidi ya nitrojeni]] (N₂O)
|[[Mbolea]] za [[kilimo]], [[viwanda]]
| Yenye nguvu mara 298 zaidi ya CO₂
|
|}
== Tazama pia ==
* [[Kupanda kwa halijoto duniani]]
* [[Tabianchi]]
* [[Tofauti za hali ya hewa na mabadiliko yake]]
* [[Kupanda kwa halijoto duniani]]
* [[Hifadhi ya mazingira]]
* [[Mkataba wa Paris]]
== Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:ekolojia]]
mw5agj6pzi4ffjl3dvi4rvkor3u6njt
Direction générale des recettes administratives
0
202326
1570432
1403001
2026-06-10T23:07:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570432
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
Kurugenzi Kuu ya '''Mapato''' ya Utawala, [[Mahakama]], Ardhi na Ushiriki "DGRAD" ni mamlaka ya kifedha ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), ni shirika la kifedha la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) chini ya mamlaka ya moja kwa moja ya Wizara ya Fedha. Ilianzishwa tarehe 27 Desemba 1995 na Amri No. 0058, na ina jukumu la kupanga na kukusanya mapato yasiyo ya kodi ya Serikali.
== Historia ==
Kabla ya kuanzishwa kwa DGRAD, usimamizi wa mapato yasiyo ya kodi ulikuwa chini ya Usimamizi wa Uhasibu wa Umma. Hata hivyo, kutokana na kupungua kwa mchango wa mapato haya katika bajeti ya kitaifa - kutoka zaidi ya 30% hadi chini ya 3% katika karne ya 20 - serikali iliamua kuunda muundo maalum ili kuboresha uhamasishaji wao. Kwa hiyo, DGRAD ilianzishwa mwaka wa 1995, na kazi yake kuu ilikuwa kupanga na kukusanya mapato yasiyo ya kodi.
== Majukumu na majukumu ==
DGRAD ina majukumu ya msingi:
* Udhibiti wa awali: Kuhakikisha uhalali wa shughuli za utambuzi na uondoaji wa mapato uliofanywa na wizara na huduma za umma zinazozalisha.
* Kuagiza na kukusanya: Kulipia ada, ushuru na ada kwa ajili ya mapato ya kiutawala, mahakama, serikali na ushiriki.
* Uthibitisho wa hati: Kuweka uthibitisho au kumbukumbu za malipo kwenye hati na nyaraka za kiutawala.
* Mashtaka ya kukusanya pesa: Kuchukua hatua dhidi ya madeni yasiyotekelezwa kulingana na sheria zinazotumika.
Katika ushirikiano na serikali nyingine, DGRAD huandaa na kuwasilisha kwa mamlaka husika rasimu za sheria, amri, amri na maandishi mengine ya kisheria katika uwanja wake wa mamlaka. Pia inashauriwa kuhusu mabadiliko yoyote au marekebisho ya sheria kuhusu mapato yasiyo ya kodi.
== Shirika na utendaji wake ==
DGRAD ina uhuru wa kiutawala na kifedha, ingawa haina utu wa kisheria. Makao makuu yake yapo Kinshasa, kwenye Boulevard Tshatshi, katika manispaa ya Gombe. Tangu mwaka wa 1998, tumefanya kazi katika mikoa yote ya DRC, na hivyo kuhakikisha kwamba kazi yetu inafanywa katika nchi nzima.
== Utendaji wa hivi karibuni ==
Katika robo ya kwanza ya mwaka 2024, DGRAD ilipata mapato ya takriban CHF bilioni 924.63, ambayo ni asilimia 107.64 ya mapato ya serikali kwa kipindi hicho. Utendaji huo umegawanyika kama ifuatavyo:
* Januari 2024: FC 276.56 bilioni (121.88% ya makadirio)
* Februari 2024: FC 216.37 bilioni (91.78% ya makadirio)
* Machi 2024: FC 431.70 bilioni (108.92% ya makadirio)
Matokeo haya yanaonyesha uboreshaji mkubwa ikilinganishwa na mwaka wa fedha wa 2023, ambapo kiwango cha utekelezaji wa mapato yasiyo ya ushuru katika robo ya kwanza kilikuwa 23.61%. Ongezeko hilo linasababishwa na utaratibu wa digitali na usimamizi bora wa DGRAD.
== Mageuzi na matarajio ==
Kama sehemu ya kuendelea kuboresha uhamasishaji wa mapato yasiyo ya kodi, DGRAD imechukua mageuzi kadhaa, ikiwa ni pamoja na:
* Utaratibu wa digitali: Kuanzishwa kwa majukwaa ya dijiti ili kuwezesha malipo na ufuatiliaji wa mapato, na hivyo kupunguza hatari za udanganyifu na kuboresha uwazi.
* Kuimarisha uwezo: Mafunzo ya wafanyakazi na kuboresha vifaa vya kazi ili kuongeza ufanisi wa shughuli.
* Ushirikiano kati ya taasisi: Kufanya kazi kwa ushirikiano na mashirika mengine ya kifedha na idara zinazozalisha ili kuunganisha taratibu na kuboresha ukusanyaji wa mapato.
Hatua hizo zinalenga kupanua vyanzo vya mapato ya serikali na kupunguza utegemezi wake kwa mapato ya kodi, na hivyo kusaidia kufadhili miradi ya maendeleo na kuimarisha uhuru wa kifedha wa DRC.
== Maelezo ya ziada ==
mapato yasiyo ya kodi ya Serikali.
erjqrpovcrmq6gee8s6gyhh0jn8u7lk
Muriel Duckworth
0
205061
1570388
1408756
2026-06-10T22:59:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570388
wikitext
text/x-wiki
'''Muriel Helen Duckworth''' CM ONS (née Ball; [[31 Oktoba]] 1908 – [[22 Agosti]] [[2009]]) alikuwa Mkanada wa amani, [[mwanafeministi]], na [[mwanaharakati]] wa kijamii na jamii. Alikuwa Quaker anayefuata, dhehebu la kidini lililojitolea kwa kutotumia jeuri. Duckworth alidai kuwa vita, kwa jeuri yake ya kimkakati dhidi ya wanawake na watoto, ni kikwazo kikubwa kwa haki ya kijamii. Alisema kuwa pesa zinazotumika kwa silaha zinaendeleza umaskini huku zikiimarisha nguvu za wasomi waliopendelewa. Alikuwa na imani kwamba "vita ni vya kijinga" na alikataa kwa uthabiti kukubali tofauti zinazopendwa za umma kati ya vita "vyema" na "vibaya."<ref name="Order of Canada">{{cite web|url=http://www.gg.ca/honours/search-recherche/honours-desc.asp?lang=e&TypeID=orc&id=465|title=Order of Canada|publisher=Governor General of Canada|accessdate=November 11, 2008|url-status=dead|archiveurl=https://archive.today/20090829083442/http://www.gg.ca/honours/search-recherche/honours-desc.asp?lang=e&TypeID=orc&id=465|archivedate=August 29, 2009}}</ref>
Duckworth alikuwa mwanachama mwanzilishi wa Nova Scotia Voice of Women for Peace, tawi la jimbo la shirika la kitaifa la amani liitwalo Voice of Women (VOW). Kuanzia [[1967]] hadi [[1971]], alihudumu kama rais wa VOW akiongoza maandamano dhidi ya msaada wa kimya wa serikali ya [[Kanada]] kwa vita vya Marekani vilivyoongozwa na Vietnam.<ref>{{cite web|url=http://www.oxfam.ca/news-and-publications/news/stand-up-speak-out|title=Muriel Duckworth's 100th Birthday Concert and Celebration|publisher=Oxfam Canada|accessdate=August 19, 2009|archive-url=https://web.archive.org/web/20110706193850/http://www.oxfam.ca/news-and-publications/news/stand-up-speak-out|archive-date=July 6, 2011|url-status=dead}}</ref>
Duckworth alikuwa [[mwanamke]] wa kwanza huko Halifax kugombea kiti katika bunge la Nova Scotia. Pia aliongoza juhudi za kupanga jamii za kutafuta maboresho katika elimu, makazi, msaada wa kijamii na upangaji wa manispaa. Katika miaka yake ya baadaye, Duckworth aliigiza pamoja na kikundi cha Halifax cha Raging Grannies, kikundi kinachotunga na kuimba balladi za kejeli zinazokuza haki ya kijamii.
Duckworth alipokea tuzo na heshima nyingi ikiwa ni pamoja na Tuzo ya Gavana Mkuu wa [[1981]] kwa Ukumbusho wa Kesi ya Watu na Agizo la Kanada mnamo [[1983]]. Mnamo [[1991]], alipokea Medali ya Amani ya Pearson. Pia alipewa digrii 10 za heshima za chuo kikuu.
Muriel Helena Ball alizaliwa tarehe [[31 Oktoba]] [[1908]], kwenye shamba la wazazi wake huko Austin, Quebec, kijiji katika Miji ya Mashariki karibu kilomita 130 mashariki mwa Montreal. Alikuwa mmoja wa watoto watano waliozaliwa na Anna Westover na Ezra Ball. Shamba lao lilikuwa kwenye mwambao wa mandhari wa Ziwa Memphremagog na Muriel alitumia miaka yake ya kwanza akifurahia uzuri wa asili uliomzunguka. Aliathiriwa sana na mandhari hiyo hadi alirudi karibu kila majira ya joto kwa maisha yake yote katika nyumba ya majira ya joto ambayo mjomba wake na shangazi wake walijenga mnamo [[1913]].<ref>Beaumont, Hilary. "Duckworth's biographer remembers the 'Raging Granny'," ''Metro Halifax'', August 24, 2009.</ref>
Ingawa shamba la [[familia]] lilifaa kwa kufuga mifugo kama kuku na [[ng'ombe]], ardhi haikuwa na [[rutuba]] sana. Mama yake Muriel aliongezea mapato ya [[familia]] kwa kumudu chukua wapangaji wa [[majira]] ya [[joto]], wakati baba yake aliuza vijiti vya umeme. Muriel alihudhuria shule ya kijijini ya chumba kimoja hadi alipokuwa na miaka saba, kisha akahamishiwa shule kubwa zaidi katika mji wa Magog ambapo alikaa wakati wa wiki na ndugu zake wawili na [[shangazi]]. Mnamo [[1917]], alipokuwa na miaka tisa, baba yake aliuza shamba na kununua duka la [[mboga]] na chakula huko Magog. Pia aliuza kuni na mafuta. Mwaka uliofuata, mama yake alifungua chumba cha chai na nyumba ya bweni ambayo ilihudumia wageni wa majira ya [[joto]] waliokuja kwa meli ya mvuke na reli. Walipokua wakubwa, Muriel na dada zake wawili walimsaidia mama yao na kusafisha, kupika, kutandika vitanda na kuhudumia meza. Kuhudumia umma katika chumba cha chai kulimsaidia Muriel kukabiliana na aibu yake ya muda mrefu.
Kazi ya mama yake kama mwanamke wa Biashara aliyefanikiwa na kujitolea kwake kwa huduma ya jamii katika kanisa la Methodist na Muungano wa Wanawake wa Kikristo wa Kiasi ilikuwa na ushawishi mkubwa kwa Muriel. Anna Ball alikuwa na nyumba ya bweni, umbali wa mtaa mmoja kutoka kituo cha [[treni]]. Alilisha [[Mwanaume|wanaume]] waliokuwa na njaa na kuwapa makazi wanawake [[vijana]] wasio na makazi waliokuja Magog kwa treni na akachangisha pesa za kuanzisha nyumba ya wazee na akaanza [[maktaba]] ya kukopesha ya jamii. Duckworth pia alikuwa mpenda Nellie McClung na Agnes Macphail, wanaharakati wawili wa kisiasa waliopigania haki za wanawake. Miongo kadhaa baadaye, Muriel alimwambia mhojiwa kwamba mfano wa [[mama]] yake ulimsaidia kumudu ingia katika uharakati wa kijamii. Mama yake alijali sana kile alichofanya, Muriel alisema. Aliamini angeweza kuwa na athari chanya na alifanya hivyo.
Baada ya kumaliza shule ya upili ambayo ilimalizika darasa la 11, Muriel alihudhuria Chuo cha Wanawake cha Ontario, shule ya wasichana ya Methodist huko Whitby, Ontario. Shangazi yake, Abbie Ball, alifundisha huko na akajitolea kulipa ada za Muriel. Chuo hicho kilitoa mafundisho ya lugha, historia, hisabati na piano lakini sayansi kidogo. Muriel mwenye umri wa miaka [[15]] alikuwa na aibu sana kushiriki katika drama ingawa shangazi yake alikuwa kocha wa drama wa shule hiyo. Pia aliteseka kwa kumudu kosa nyumbani. Mara moja kwa mwezi, wazungumzaji wageni, kwa kawaida kutoka Kanisa la Muungano la [[Kanada]], walizungumza na mkusanyiko wa wanafunzi. Muriel alimkumbuka hasa James Endicott, wakati huo misionari huko China, ambaye aliendelea kuwa kiongozi mashuhuri wa kanisa na [[marafiki]] wa maisha yote.
== Maisha ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1908]]
[[Jamii:Waliofariki 2009]]
[[Jamii:Wanaharakati]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
t8hipjkmiyov6bukjgflikqrfc29obu
Chantal Djotodia
0
205424
1569512
1464531
2026-06-10T19:40:36Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569512
wikitext
text/x-wiki
'''Chantal Vinadou Tohouégnon Djotodia''' (alizaliwa 27 Agosti 1981) ni muuguzi wa asili ya Benin ambaye alikuwa [[Mwanamke wa Kwanza]] wa [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] kati ya 2013 na 2014.
== Maisha ya awali na elimu ==
Chantal alizaliwa Vinadou Tohouégnon mnamo 27 Agosti 1981 huko Toffo, Benin. Jina la baba yake ni Jean Tohouégno na jina la mama yake ni Douhoun Houngnonsi. Miaka michache baada ya kuzaliwa kwake, wazazi wake walitalakiana, na alilelewa na bibi yake. Alimaliza elimu ya msingi na sekondari. Baadaye, alifanya mafunzo kama msaidizi wa afya na kupata diploma yake mwaka wa 2007.<ref name="CD">{{Rejea tovuti |last1=24 heures au Bénin |first1=24 heures au Bénin |title=A la découverte de Chantal Vinadou Tohouégnon Djotodia 1ère Dame de Bangui |url=http://news.acotonou.com/h/6230.html |website=news.acotonou.com |publisher=A Cotonou |access-date=23 Aprili 2024 |archive-date=2023-08-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230806010922/http://news.acotonou.com/h/6230.html |url-status=dead }}</ref>
== Kazi ==
Baada ya kupata diploma, Chantal alifanya kazi kama muuguzi katika kliniki ya kibinafsi inayosimamiwa na shirika lisilo la kiserikali linalojulikana kama Barka.<ref name="Djotodia">{{Rejea tovuti |last1=Vidjingninou |first1=Fiacre |last2=Abba |first2=Sedik | title = Centrafrique : Michel Djotodia, cool à Cotonou… Mais jusqu’à quand ?|url=https://www.jeuneafrique.com/134467/politique/centrafrique-michel-djotodia-cool-cotonou-mais-jusqu-quand/ |website=jeuneafrique.com |publisher=Jeune Afrique |access-date=23 Aprili 2024}}</ref> Mwaka wa 2008, alikutana na Michel Djotodia na kuvutiwa na hadhi yake kama mkimbizi wa kisiasa, ujuzi wake wa kumvutia, na uwezo wake wa kuongea lugha nyingi. Muda mfupi baadaye, alimpenda Djotodia.<ref name="CD"/>
Hata hivyo, Djotodia alikamatwa na kufungwa gerezani huko Cotonou kwa kuwa alikuwa mkimbizi wa serikali ya Afrika ya Kati. Aliposikia kuwa Djotodia alikuwa gerezani, Chantal aliwasiliana na mashirika yasiyo ya kiserikali, mashirika ya haki za binadamu, na vyombo vya habari ili kuzuia kufukuzwa kwake kwenda Afrika ya Kati. Kwa sababu ya juhudi zake, Djotodia aliachiliwa huru mwaka wa 2010 baada ya miezi 18 ya kufungwa gerezani.<ref name="CD"/>
Baada ya kuachiliwa huru, wanandoa hao walipambana na malipo ya kodi. Kwa sababu hiyo, mara nyingi walifukuzwa kutoka kwenye nyumba zao za kukodishwa kwa kutoweza kulipa kodi. Mwaka wa 2011, Djotodia aliacha Chantal kwa muda ili kujiunga na uasi, na kusababisha Chantal kufukuzwa kutoka kwenye nyumba aliyokuwa akikodisha kwa kutoweza kulipa kodi. Baadaye, Djotodia alirudi Cotonou, na Chantal akamwoa Michel Djotodia huko Cotonou mnamo 27 Juni 2012.<ref name="CD"/>
== Mke wa Kwanza ==
Muda mfupi baada ya Djotodia kufanikiwa kumwangusha Bozize, Chantal alikwenda Bangui na kuwa mke wa kwanza.<ref name="CD"/>
Kama mke wa kwanza, alianzisha shirika lenye lengo la kusaidia mayatima, akina mama, wagonjwa wa UKIMWI, na wazee "The Renaissance." Mbali na hayo, Chantal alitoa jenereta kwa ajili ya wodi ya uzazi, ambayo mara nyingi ilikumbwa na kukatwa kwa umeme. Chantal pia alikuwa mmoja wa wanawake wanne wa Kiafrika waliosaini Azimio la Niamey, lenye lengo la kupambana na dawa bandia na kukabiliana na tatizo la vifo vingi vya watoto.<ref>{{Rejea tovuti |last1=Fight the Fake Alliance |first1=Fight the Fake Alliance | title = Declaration of Niamey Signed to Combat Counterfeit Meds in Sub-Saharan Africa|url=https://fightthefakes.org/naimeydec/ |website=fightthefakes.org |publisher=Fight the Fake Alliance |access-date=22 Aprili 2024}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last1=Lamba |first1=Sébastien |title=La Représentante du FNUAP-RCA, Thérèse Zéba, se réjouit de la volonté de la Première Dame pour la lutte contre la mortalité maternelle |url=https://www.acap.cf/La-Representante-du-FNUAP-RCA-Therese-Zeba-se-rejouit-de-la-volonte-de-la-Premiere-Dame-pour-la-lutte-contre-la_a5334.html |website=acap.cf |publisher=Agence Centrafrique Presse |access-date=23 Aprili 2024 |archive-date=2025-01-25 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250125203800/https://www.acap.cf/La-Representante-du-FNUAP-RCA-Therese-Zeba-se-rejouit-de-la-volonte-de-la-Premiere-Dame-pour-la-lutte-contre-la_a5334.html |url-status=dead }}</ref>
== Baada ya kuwa Mke wa Kwanza ==
Kwa kutarajia kuanguka kwa serikali ya [[Seleka]], Chantal alirudi Benin wiki tatu kabla ya mume wake kufika mnamo 11 Januari 2014 na kununua nyumba kwa ajili ya wanandoa hao.<ref>{{Rejea tovuti |last1=Bensimon |first1=Cyril | title = Centrafrique : Michel Djotodia s’exile au Bénin, la situation reste tendue à Bangui|url=https://www.lemonde.fr/afrique/article/2014/01/11/centrafrique-michel-djotodia-s-exile-au-benin-la-situation-reste-tendue-a-bangui_4346594_3212.html |website=lemonde.fr |publisher=Le Monde |access-date=23 Aprili 2024}}</ref><ref name="Djotodia"/>
Mwaka wa 2018, Chantal aliripotiwa kuwa mgonjwa na kwenda [[Dubai]] kwa matibabu.<ref>{{Rejea tovuti |last1=Africa Intelligence |first1=Africa Intelligence | title = Central African Republic Michel Djotodia airs his grievances against Bangui|url=https://www.africaintelligence.com/central-africa/2018/06/20/michel-djotodia-airs-his-grievances-against-bangui,108314299-bre |website=africaintelligence.com |publisher=Africa Intelligence |access-date=22 Aprili 2024}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu wa Benin]]
6nj2jdt43w2cnqcf1i9l8ev9scnky6k
Elfu moja mia moja sitini na moja
0
206804
1570231
1424757
2026-06-10T22:34:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570231
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia moja sitini na moja''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1161''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCLXI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia moja sitini|1160]] na kutangulia [[Elfu moja mia moja sitini na mbili|1162]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1161 KK]] na [[1161]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
30h0mlbpsr1u5b3civs65f0w87hcwba
Elfu moja mia moja sitini na tisa
0
206842
1570405
1425716
2026-06-10T23:02:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570405
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia moja sitini na tisa''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1169''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCLXIX kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia moja sitini na nane|1168]] na kutangulia [[Elfu moja mia moja sabini|1170]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1169 KK]] na [[1169]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
b9aiumyb7cg85qtcj98fmju78ebu08w
Elfu moja mia moja sabini na mbili
0
206845
1570127
1425719
2026-06-10T22:17:03Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570127
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia moja sabini na mbili''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1172''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCLXXII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia moja sabini na moja|1171]] na kutangulia [[Elfu moja mia moja sabini na tatu|1173]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1172 KK]] na [[1172]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
i9qbb83ocel364y4sm16a1tmyn7c3rt
Elfu moja mia moja sabini na tatu
0
206846
1570310
1425720
2026-06-10T22:47:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570310
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia moja sabini na tatu''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1173''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCLXXIII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia moja sabini na mbili|1172]] na kutangulia [[Elfu moja mia moja sabini na nne|1174]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1173 KK]] na [[1173]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
qbpssa5ac080kqrhsl5rf853wvqyp57
Wilaya ya Chisamba
0
206970
1569686
1427120
2026-06-10T21:05:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569686
wikitext
text/x-wiki
[[File:Chisamba District, Zambia 2022.png|thumb|250px|{{PAGENAME}} nchini Zambia.]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[wilaya]] mojawapo kati ya 116 zinazounda [[Mikoa ya Zambia|mikoa]] 10 ya [[Zambia]]. Inapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Zambia)|Mkoa wa Kati]] pamoja na nyingine 10. Kadiri ya [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] ina wakazi 160,828 katika eneo la [[Kilomita ya mraba|kilometa mraba]] 5,204.5 <ref>[https://www.ilo.org/sites/default/files/wcmsp5/groups/public/@africa/@ro-abidjan/@ilo-lusaka/documents/genericdocument/wcms_888660.pdf 2022 Census of Population and Housing - Preliminary Report] (PDF)</ref>. [[Makao makuu]] ya wilaya yako [[Chisamba]].
== Tazama pia ==
*[[Ugatuzi nchini Zambia]]
*[[Orodha ya miji ya Zambia]]
== Marejeo ==
<references/>
{{Mikoa ya Zambia}}
{{mbegu-jio-Zambia}}
[[Jamii:Mkoa wa Kati (Zambia)]]
[[Jamii:Wilaya za Zambia]]
3ysgogw8816hw2j9ovos4vqg6hzgby9
Wilaya ya Mazabuka
0
207139
1569819
1428415
2026-06-10T21:27:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569819
wikitext
text/x-wiki
[[File:Mazabuka District, Zambia 2022.png|thumb|250px|{{PAGENAME}} nchini Zambia.]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[wilaya]] mojawapo kati ya 116 zinazounda [[Mikoa ya Zambia|mikoa]] 10 ya [[Zambia]]. Inapatikana katika [[Mkoa wa Kusini (Zambia)|Mkoa wa Kusini]] pamoja na nyingine 14. Kadiri ya [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] ina wakazi 232,045 katika eneo la [[Kilomita ya mraba|kilometa mraba]] 4,007.5 <ref>[https://www.ilo.org/sites/default/files/wcmsp5/groups/public/@africa/@ro-abidjan/@ilo-lusaka/documents/genericdocument/wcms_888660.pdf 2022 Census of Population and Housing - Preliminary Report] (PDF)</ref>. [[Makao makuu]] ya wilaya yako [[Mazabuka]].
== Tazama pia ==
*[[Ugatuzi nchini Zambia]]
*[[Orodha ya miji ya Zambia]]
== Marejeo ==
<references/>
{{Mikoa ya Zambia}}
{{mbegu-jio-Zambia}}
[[Jamii:Mkoa wa Kusini (Zambia)]]
[[Jamii:Wilaya za Zambia]]
1os5cl8bhi98vsop8efl95dawrti6mm
Alcalá de Guadaíra
0
207694
1569616
1432462
2026-06-10T20:53:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569616
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Hispania]], katika [[Mkoa wa Sevilla]].
[[Mwaka]] [[2019]] wakazi wake walikuwa 75,279 <ref>{{Cite web|url=https://www.ine.es/dynt3/inebase/es/index.htm?padre=517&capsel=522|publisher=[[Instituto Nacional de Estadística (Spain)|INE]]|title=Cifras oficiales de población resultantes de la revisión del Padrón municipal a 1 de enero. Detalle municipal}}</ref> na kuufanya wa mia moja nchini kwa wingi wa watu.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Hispania]]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-jio-Hispania}}
[[Jamii:Miji ya Hispania]]
[[Jamii:Mkoa wa Sevilla]]
7k2ir1hit6ljvph11wrz3dtbyd3sedb
Masuku
0
207870
1569800
1432932
2026-06-10T21:24:11Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569800
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Gabon]]. Una wakazi 110,568 ([[2013]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Gabon]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Gabon]]
frj514b0brw5b2pobk6wxfe8d7jtn4z
Moanda
0
207872
1569564
1432934
2026-06-10T20:45:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569564
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Gabon]]. Una wakazi 59,154 ([[2013]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Gabon]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Gabon]]
74je6x6wtw3w58i4ydgb89rs7mx0ifs
Divo (mji)
0
207945
1569937
1433172
2026-06-10T21:46:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569937
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Divo''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Cote d'Ivoire]]. Una wakazi 184,441 (kadirio la mwaka [[2014]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Cote d'Ivoire]]
{{mbegu-jio-Cote d'Ivoire}}
[[Jamii:Miji ya Cote d'Ivoire]]
tw0xveqayvlb2xxgk1ue9o3ou1gfgdw
Dabou (mji)
0
207950
1570131
1433178
2026-06-10T22:17:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570131
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Dabou''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Cote d'Ivoire]]. Una wakazi 88,430 (kadirio la mwaka [[2014]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Cote d'Ivoire]]
{{mbegu-jio-Cote d'Ivoire}}
[[Jamii:Miji ya Cote d'Ivoire]]
b6hwdmd49di0tukq80upq4irteo2h3i
Foya
0
207996
1569615
1433251
2026-06-10T20:53:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569615
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Liberia]] wenye wakazi 20,569 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2008]]).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Liberia]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Liberia]]
ru1aruju8x5ctjkt0mpliluu078fu2s
Segou
0
208011
1570003
1433274
2026-06-10T21:56:33Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570003
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 130,690 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
qvzfvibsbhukqu1f2ytsulhpda943qu
Kayes
0
208012
1570183
1433275
2026-06-10T22:26:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570183
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 127,368 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
fgsofzqclzdlu6k5tu8f40y32zvp1wv
Gao
0
208016
1569981
1433280
2026-06-10T21:53:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569981
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 86,633 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
lr6yzuhc85vaxk272ojiuf07divxeey
Bougouni
0
208020
1570169
1433285
2026-06-10T22:23:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570169
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 59,679 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
eq4fgeyktdtinkd4ca11fg0eputkoqt
Baguineda-Camp
0
208022
1570349
1433287
2026-06-10T22:53:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570349
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 58,661 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
hxkeuyo4dlbgirz2tfdfbrvbn3i8oky
Massigui
0
208027
1570532
1433292
2026-06-10T23:23:54Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570532
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mali]] wenye wakazi 53,947 ([[sensa]] ya mwaka 2009).
== Tazamia pia ==
* [[Orodha ya miji ya Mali]]
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mali]]
2lfu8shv76ls4ubzvhsgatwidqfjhdg
Aleg
0
208076
1569609
1433413
2026-06-10T20:52:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569609
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mauritania]]. Wakati wa [[sensa]] ya mwaka [[2013]] [[idadi]] ya wakazi ilikuwa watu 15,211 <ref>{{cite web| url = http://citypopulation.de/Mauritania-Cities.html| title = Mauritania: Regions, Cities & Urban Localites - Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information}}</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Mauritania]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mauritania]]
3wpu05gwfihnkbll7tm9izwn80fttok
Tidjikdja
0
208077
1569823
1433414
2026-06-10T21:27:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569823
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mauritania]]. Wakati wa [[sensa]] ya mwaka [[2013]] [[idadi]] ya wakazi ilikuwa watu 14,751 <ref>{{cite web| url = http://citypopulation.de/Mauritania-Cities.html| title = Mauritania: Regions, Cities & Urban Localites - Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information}}</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Mauritania]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Mauritania]]
98gd5fafsphdi2oflaclynlgpwxsm7i
Birni Ngaouré
0
208246
1569885
1434096
2026-06-10T21:38:01Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569885
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] ambao upo [[Niger]] wenye wakazi 14,430 katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]] <ref>[http://www.citypopulation.de/Niger.html Population figures from citypopulation.de], citing [http://www.stat-niger.org/ (2001) Institut National de la Statistique du Niger].</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Niger]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Niger]]
6omm7kz6ivffn5qstqihmifx5z4ezhk
Birni Nkonni
0
208247
1570086
1434097
2026-06-10T22:10:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570086
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] ambao upo [[Niger]] wenye wakazi 63,169 katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]] <ref>[http://www.citypopulation.de/Niger.html Population figures from citypopulation.de], citing [http://www.stat-niger.org/ (2001) Institut National de la Statistique du Niger].</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Niger]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Niger]]
fybf36my9sti0jclawh4hiby19etzko
Dosso, Niger
0
208252
1569571
1434102
2026-06-10T20:46:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569571
wikitext
text/x-wiki
'''Dosso''' ni [[mji]] ambao upo [[Niger]] wenye wakazi 58,671 katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]] <ref>[http://www.citypopulation.de/Niger.html Population figures from citypopulation.de], citing [http://www.stat-niger.org/ (2001) Institut National de la Statistique du Niger].</ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Niger]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Niger]]
80ssmzbh6nsoucsg2n596xouoizmy7t
Mile 91
0
208375
1570624
1434374
2026-06-10T23:39:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570624
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Sierra Leone]]. [[Idadi]] ya wakazi ilikadiriwa kuwa 15,491 mwaka [[2004]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Sierra Leone]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Miji ya Sierra Leone]]
161c2b3ukw2jk9jna8jpsf0htm6neqb
Wikipedia:Mradi wa Nchi
4
208508
1569472
1569411
2026-06-10T15:48:46Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1569472
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-10)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-10)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 701
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2785
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1131
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1902
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 312
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1011
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 766
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 512
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 287
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 165
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 727
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 838
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 168
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 408
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 370
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 276
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 299
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 272
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 183
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 433
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 189
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 134
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 110
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28981 || ↓ -13.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.5 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2785 || ↓ -13.9%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1131 || ↑ +2.6%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1011 || ↑ +22.7%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 838 || ↑ +67.6%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 766 || ↑ +69.8%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 727 || ↑ +61.6%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 701 || ↓ -0.8%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 645 || ↑ +5.4%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 512 || ↓ -3.2%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 503 || ↑ +1763.0%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 669 || 45.4%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.5%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
a0fcdwap4bnasixm0v03b6pc23l7kka
1569474
1569472
2026-06-10T15:53:44Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1569474
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-10)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-10)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 701
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2785
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1131
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1902
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 312
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1011
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 766
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 512
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 287
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 165
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 727
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 838
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 168
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 408
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 370
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 276
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 299
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 272
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 183
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 433
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 6
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 189
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 134
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 110
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28981 || ↓ -13.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.5 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2785 || ↓ -13.9%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1131 || ↑ +2.6%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1011 || ↑ +22.7%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 838 || ↑ +67.6%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 766 || ↑ +69.8%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 727 || ↑ +61.6%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 701 || ↓ -0.8%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 645 || ↑ +5.4%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 512 || ↓ -3.2%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 503 || ↑ +1763.0%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 669 || 45.4%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.5%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
hz953cwewykfs9e25kdcw41uwa4mmb5
1569524
1569474
2026-06-10T20:38:52Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1569524
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-10)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-10)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2785
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1131
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1902
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 312
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1029
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 766
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 512
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 287
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 165
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 727
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 860
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 168
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 408
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 370
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 276
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 299
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 505
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 272
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 183
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 433
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 189
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 134
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 110
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28981 || ↓ -13.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.5 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2785 || ↓ -13.9%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1131 || ↑ +2.6%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1011 || ↑ +22.7%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 838 || ↑ +67.6%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 766 || ↑ +69.8%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 727 || ↑ +61.6%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 701 || ↓ -0.8%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 645 || ↑ +5.4%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 512 || ↓ -3.2%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 503 || ↑ +1763.0%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 669 || 45.4%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.5%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
p2hdkjnw0ases8tqa07iuo2f3918fvi
1569529
1569524
2026-06-10T20:39:53Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1569529
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-10)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-10)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 645
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2785
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1131
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1902
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 312
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1029
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 766
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 512
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 287
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 165
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 727
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 154
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 860
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 468
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 231
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 168
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 408
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 123
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 370
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 276
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 442
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 299
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 505
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 147
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 179
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 167
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 272
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 183
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 268
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 433
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 80
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 214
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 189
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 120
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 134
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 128
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 144
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 110
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 19
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28981 || ↓ -13.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.5 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2785 || ↓ -13.9%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1131 || ↑ +2.6%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1011 || ↑ +22.7%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 838 || ↑ +67.6%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 766 || ↑ +69.8%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 727 || ↑ +61.6%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 701 || ↓ -0.8%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 645 || ↑ +5.4%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 512 || ↓ -3.2%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 503 || ↑ +1763.0%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 666 || 45.3%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.6%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
kgbakj7rogx078jign890wt5sdnfcip
1570672
1569529
2026-06-11T04:23:12Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1570672
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-11)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-11)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 648
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 731
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2792
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1144
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1811
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 473
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1018
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 763
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 517
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 163
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 164
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 242
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 809
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 462
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 411
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 302
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 447
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 502
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 235
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 334
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 7
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 200
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 108
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 201
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 28981 || ↓ -13.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 168.5 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2785 || ↓ -13.9%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1131 || ↑ +2.6%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1011 || ↑ +22.7%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 838 || ↑ +67.6%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 766 || ↑ +69.8%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 727 || ↑ +61.6%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 701 || ↓ -0.8%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 645 || ↑ +5.4%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 512 || ↓ -3.2%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 503 || ↑ +1763.0%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 666 || 45.3%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.6%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
2jjpvp79njhtu69kh6f7izrm1glasqk
1570673
1570672
2026-06-11T04:41:31Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1570673
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-11)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-11)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 648
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 731
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2792
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1144
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1811
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 473
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1018
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 763
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 517
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 163
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 164
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 242
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 809
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 462
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 411
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 365
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 302
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 447
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 502
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 235
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 334
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 7
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 200
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 108
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 201
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 9058 || ↓ -16.6%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 52.7 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Irani]] || 1008 || ↑ +24.9%
|-
| 2 || [[Kenya]] || 703 || ↓ -0.3%
|-
| 3 || [[Burundi]] || 517 || ↓ -2.1%
|-
| 4 || [[Afrika Kusini]] || 473 || ↓ -14.5%
|-
| 5 || [[Uturuki]] || 431 || ↓ -9.3%
|-
| 6 || [[Zambia]] || 365 || ↑ +39.8%
|-
| 7 || [[Singapuri]] || 334 || ↑ +111.4%
|-
| 8 || [[Hispania]] || 326 || ↑ +10.5%
|-
| 9 || [[Nigeria]] || 277 || ↓ -3.8%
|-
| 10 || [[Hungaria]] || 203 || ↑ +6.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 666 || 45.3%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.6%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
j5i71cpuk8ga2xbbe6tzxz9ee999tlf
1570823
1570673
2026-06-11T10:46:11Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1570823
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-11)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-11)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 648
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 703
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2792
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1144
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1811
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 473
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1008
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 763
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 517
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 163
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 164
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 242
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 794
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 462
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 411
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 302
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 447
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 334
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 7
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 200
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 108
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 201
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 9058 || ↓ -16.6%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 52.7 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Irani]] || 1008 || ↑ +24.9%
|-
| 2 || [[Kenya]] || 703 || ↓ -0.3%
|-
| 3 || [[Burundi]] || 517 || ↓ -2.1%
|-
| 4 || [[Afrika Kusini]] || 473 || ↓ -14.5%
|-
| 5 || [[Uturuki]] || 431 || ↓ -9.3%
|-
| 6 || [[Zambia]] || 365 || ↑ +39.8%
|-
| 7 || [[Singapuri]] || 334 || ↑ +111.4%
|-
| 8 || [[Hispania]] || 326 || ↑ +10.5%
|-
| 9 || [[Nigeria]] || 277 || ↓ -3.8%
|-
| 10 || [[Hungaria]] || 203 || ↑ +6.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 666 || 45.3%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 24.6%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.8%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.4%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
jk3s5crfx0ymvvco9jx9eygm1uerrle
1570824
1570823
2026-06-11T10:49:08Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1570824
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-06-11)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 59
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 74
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 26
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-06-11)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 648
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#228B22; color:white" | 703
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2792
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#006400; color:white" | 1144
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1811
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.09
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 473
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#006400; color:white" | 1008
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#228B22; color:white" | 763
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 517
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 277
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 326
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 163
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 164
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#228B22; color:white" | 724
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 242
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 155
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#228B22; color:white" | 794
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 462
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 171
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 411
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 122
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 361
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 302
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 447
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 152
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 305
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 500
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 234
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 151
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 177
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 72
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 117
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 102
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 334
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 431
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| [[Madagaska]]
| 3.45
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 215
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 7
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 200
|-
| [[Cabo Verde]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 116
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 109
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 153
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 149
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 68
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 98
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 118
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 103
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 203
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 87
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Romania]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 141
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 108
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 201
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 69
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 84
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Maldivi]]
| 2.01
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 145
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.97
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 10
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 18
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 16
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 172 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34921 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29122 || ↓ -13.5%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.0 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 169.3 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2792 || ↓ -13.8%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 1144 || ↑ +3.5%
|-
| 3 || [[Irani]] || 1008 || ↑ +24.9%
|-
| 4 || [[Uingereza]] || 794 || ↑ +47.0%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 763 || ↑ +71.5%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 724 || ↑ +60.2%
|-
| 7 || [[Kenya]] || 703 || ↓ -0.3%
|-
| 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 648 || ↑ +6.6%
|-
| 9 || [[Burundi]] || 517 || ↓ -2.1%
|-
| 10 || [[San Marino]] || 500 || ↑ +1462.5%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 659 || 45.1%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 24.6%
|-
| 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9%
|-
| 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 109 || 7.5%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 8 || 0.5%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5%
|-
| 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3%
|-
| 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3%
|-
|}
ijr77rnj35av08lur93sbixu0tixo1d
Samsung Galaxy Z Flip 7
0
211003
1570677
1448371
2026-06-11T05:29:37Z
Ramadhani Mushi
61176
1570677
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy Z Flip 7 Unfolded.jpg|thumb|Samsung Galaxy Z Flip 7 katika Bluu Shadow imefunguliwa]]
'''Samsung Galaxy Z Flip 7''' ni [[simu]] janja inayokunjika, iliyotengenezwa na kampuni ya [[Samsung Electronics]]. Simu hii ilizinduliwa rasmi tarehe [[9 Julai]] [[2025]], katika tukio la [[Samsung Galaxy Unpacked]] lililofanyika [[Brooklyn]], [[New York City]], [[Marekani]], sambamba na uzinduzi wa [[Samsung Galaxy Z Fold 7]] na mfululizo wa saa janja za [[Samsung Galaxy Watch 8]].<ref>{{cite web |title=Samsung Galaxy Unpacked 2025: Live Updates on Galaxy Z Fold 7, Z Flip 7 and Watch 8 |url=https://www.engadget.com/samsung-galaxy-unpacked-2025-live-updates-on-galaxy-z-fold-7-z-flip-7-and-watch-8-113020067.html |website=Engadget |date=2025-07-09 |access-date=2025-07-09}}</ref><ref>{{cite web |title=How to Watch Samsung Unpacked for the Galaxy Z Fold 7 and Z Flip 7 Debut |url=https://www.cnet.com/tech/mobile/how-to-watch-samsung-unpacked-for-the-galaxy-z-fold-7-and-z-flip-7-debut/ |website=CNET |date=2025-07-08 |access-date=2025-07-09}}</ref>
Samsung pia ilitambulisha toleo la mfanano linaloitwa Galaxy Z Flip 7 FE, ambalo lina muundo mwembamba na mwepesi zaidi, pamoja na [[kamera]] kuu yenye uwezo wa megapikseli 50.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
crz1vppzeikqepr0oxywnyxfv37ql80
Gonsalo Da Silveira
0
212538
1569645
1448796
2026-06-10T20:58:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569645
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Martyrdom by strangulation of Jesuit Father Gonçalo da Silveira in Monomotapa 1561.png|thumb|[[Kifodini]] cha Gonsalvo.]]
'''Gonsalo Da Silveira, [[Shirika la Yesu|S.J.]]''' ([[23 Februari]] [[1526]] - [[1561]]) alikuwa [[padri]] [[mmisionari]] [[Shirika la Yesu|Mjesuiti]] kutoka [[Ureno]] aliyefika [[Msumbiji]] [[tarehe]] [[11 Machi]] [[1560]] baada ya kuongoza miaka mitatu [[shirika]] lake huko [[Uhindi|India]]. Baada ya kumbatiza [[chifu]] wa [[Wakaranga]] na watu wake 450 akaendelea kuhubiri sehemu za ndani ya [[Afrika]] akafika [[Manica]] ([[mji mkuu]] wa [[Ufalme wa Mutapa]]) tarehe [[26 Desemba]] 1560.
Baada ya kuhubiri kwa muda wa [[juma|majuma]] matatu Mwene Mutapa ([[mfalme]]) alipokea [[ubatizo]] pamoja na wakubwa 300. Lakini washauri wake [[Mwislamu|Waislamu]] wakamshtaki Da Silveira kuwa [[mpelelezi]] na [[mchawi]]. Hapo Mwene akageuka akamwua Da Silveira alipolala [[usingizi]]. [[Maiti]] yake ikatupwa [[mto|mtoni]] <ref>John Baur, 2000 Years of Christianity in Africa, toleo la pili, Nairobi 2009, kur. 79-81</ref>.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* Chadwick, ''Life of the Ven. Goncalo Da Silveira'' (Roehampton, 1910);
* Theal, ''Records of S. E. Africa'', printed for the Government of Cape Colony, VII (1901);
* Wilmot, ''Monomotapa'' T. F. Unwin (London, 1896)
** ''Appendix C'' includes a translation of ''Bib. Vat. Cod. Othob. Lat. 2416, F 899. (1699/1700).
==Viungo vya nje==
*[http://www.rhodesia.nl/rhodesiana/volume6.pdf Biographical article written by W. F. Rea]
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1526|1561}}
[[Jamii:Wajesuiti]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:wamisionari]]
[[Jamii:wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:watu wa Ureno]]
cnxgt0gq83ndwc16bmevv7tzowj0t2k
Waamadei
0
212944
1569976
1450163
2026-06-10T21:52:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569976
wikitext
text/x-wiki
[[File:Beato Amadeo da Silva.jpg|thumb|Amedeo da Silva, [[mwanzilishi]] wa [[Urekebisho wa Kikatoliki|urekebisho]] huo.]]
'''Waamadei''' walikuwa [[tawi]] la [[Mtawa|utawa]] wa [[Ndugu Wadogo]] lililotokana na [[juhudi]] za kuleta urekebisho za [[Amedeo da Silva]] ([[1420]]-[[1482]]). Ndiyo sababu waliitwa hivyo.
==Historia==
Baada ya kuanza [[mwaka]] [[1464]] katika [[konventi]] waliyopewa na mkuu wa [[shirika]]<ref name="dip">B. Pandžić, DIP, vol. I (1974), col. 502.</ref>, mwaka [[1568]] waliungana na [[Observansya|Waoservanti]] na kuenea katika konventi nyingine hata kuunda kanda ya kwao.
Kutokana na malalamiko ya walioogopa mafarakano shirikani, [[Papa Paulo II]], kwa [[hati]] ''Inter caetera desiderabilia'' ya tarehe 22 Mei [[1470]], alifuta tawi hilo.<ref name="dip"/> Lakini [[mwandamizi]] wake, [[papa Sisto IV]] alimuita Amedeo [[Roma]], akampa konventi mjini akawakubali tena kwa hati ''Pastoris aeterni'' ya tarehe 24 Machi [[1472]].<ref name="dip"/>
[[Papa Leo X]] kwa hati ''Ite et vos'' ya tarehe 29 Mei [[1517]], aliwaunganisha na Waoservanti: hata hivyo konventi zao zilibaki na uhuru fulani hadi tarehe 23 Januari [[1568]], ambapo [[papa Pius V]], kwa hati ''Beati Christi salvatoris'', aliziweka moja kwa moja chini ya watumishi wa kanda wa Waoservanti.<ref>B. Pandžić, DIP, vol. I (1974), col. 503.</ref>
== Marejeo ==
<references/>
==Marejeo==
* Guerrino Pelliccia e Giancarlo Rocca (curr.), ''Dizionario degli Istituti di Perfezione'' (DIP), 10 voll., Edizioni paoline, Milano 1974-2003. {{it}}
{{mbegu-katoliki}}
[[Category:Wafransisko]]
[[Jamii:mashirika ya kitawa]]
r3d8bxd7ejzxttops82hcjelnrrloc9
Dayo Amusa
0
214852
1570627
1510743
2026-06-10T23:39:38Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570627
wikitext
text/x-wiki
'''Dayo Amusa''' (alizaliwa [[20 Julai]] [[1983]]) ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]], mtangazaji wa televisheni na [[mfanyabiashara]] kutoka [[Nigeria]]. Anajulikana sana kwa uigizaji wake katika filamu za Nollywood hasa filamu za Kiyoruba.<ref>{{cite web|url=http://www.bellanaija.com/2015/02/16/nollywood-actress-dayo-amusa-drops-new-single-blow-my-mind-listen/|title=Nollywood Actress Dayo Amusa Drops New Single ‘Blow My Mind’|publisher=Bella Naija}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.nigeriafilms.com/news/18287/21/dayo-amusa-gives-free-summer-coaching-class.html|title=DAYO AMUSA GIVES FREE SUMMER COACHING CLASS|publisher=Nigeria Films|accessdate=2025-09-27|archive-date=2012-08-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20120823021340/http://www.nigeriafilms.com/news/18287/21/dayo-amusa-gives-free-summer-coaching-class.html|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |date=2020-11-28 |title=Marriage is no shopping mall ― Dayo Amusa |url=https://www.vanguardngr.com/2020/11/marriage-is-no-shopping-mall-―-dayo-amusa/ |access-date=2022-07-19 |website=Vanguard News |language=en-GB}}</ref>
== Maisha ya Awali na Kazi ==
Dayo alizaliwa [[Lagos]], Nigeria.<ref>{{Rejea tovuti |title=Dayo Amusa Biography, Career, Marriage, Age, Net Worth |url=https://naijabiography.com/biography/dayo-amusa-biography-career-marriage-age-net-worth/ |access-date=2022-07-23 |website=Naijabiography Media |language=en-US |archive-date=2022-07-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220723203232/https://naijabiography.com/biography/dayo-amusa-biography-career-marriage-age-net-worth/ |url-status=dead }}</ref> Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto watano. Mama yake anatokea Jimbo la [[Ogun]] huku baba yake akiwa anatokea Lagos. Alisoma katika Shule ya Mayflower, Ikenne. Dayo alisomea Sayansi na Teknolojia ya Chakula katika Chuo cha Ufundi cha Moshood Abiola kabla ya kuanza taaluma yake ya uigizaji mwaka 2002. Dayo alifanya utayarishaji wake wa kwanza mwaka 2006. Ingawa mara nyingi huigiza katika filamu za Lugha ya Kiyouruba ndani ya [[Nollywood]], pia ameigiza katika filamu za lugha ya Kiingereza.<ref>{{cite web|url=http://thenationonlineng.net/my-relationship-with-mike-ezuruonye-nollywood-actress-dayo-amusa/|title=My relationship with Mike Ezuruonye — Nollywood actress Dayo Amusa|publisher = The Nation}}</ref><ref>{{cite news|author1=Aiye Jobele|author2=Aje Egbodo|url=http://www.osundefender.org/?p=101438|title=I Missed Fatherly Care —Dayo Amusa|access-date=2015-08-10|archive-date=2015-09-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20150924062258/http://www.osundefender.org/?p=101438|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.bellanaija.com/2015/02/16/nollywood-actress-dayo-amusa-drops-new-single-blow-my-mind-listen/|title=Nollywood Actress Dayo Amusa Drops New Single}}</ref> Dayo ni Mmiliki na Mkurugenzi wa Shule ya PayDab ambayo ina matawi mawili, moja likiwa [[Ibadan]] na jingine Lagos.<ref>{{cite web|url=http://naijagists.com/dayo-amusa-opens-nursery-school-in-ibadan-oyo-state/|title=Dayo Amusa opens nursery school in Ibadan, Oyo State|website = Niger Gists|access-date = August 10, 2015}}</ref><ref>{{cite web|url=http://pulse.ng/celebrities/dayo-amusa-actress-hosts-5000-kids-and-rewards-lucky-winner-with-n100k-id3802803.html|author=Gbenga Bada|date=May 27, 2015|title=Actress hosts 5000 kids and rewards lucky winner with N100K|publisher=The Pulse|accessdate=2025-09-27|archive-date=2016-03-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20160304083239/http://pulse.ng/celebrities/dayo-amusa-actress-hosts-5000-kids-and-rewards-lucky-winner-with-n100k-id3802803.html|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
{{BD|1983|}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Nigeria]]
qc1c8b2lpv2vzb73urmnsd3h1o4bc5w
Barbara Gonzalez (mtendaji mkuu wa biashara)
0
215355
1569875
1460751
2026-06-10T21:36:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569875
wikitext
text/x-wiki
'''Barbara Jaime Gonzalez''' (amezaliwa tarehe [[18 Februari]] [[1990]]) anayejulikana zaidi kama '''Barbara Gonzalez''' ni mtendaji wa [[biashara]] ya [[michezo]] kutoka [[Tanzania]] na alikuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa zamani wa klabu ya soka ya [[Simba S.C.|Simba Sports Club]].<ref name=Dube>{{cite web | author=Mthokozisi Dube | title=The Lioness of Dar es Salaam | website=This is Africa | url=https://thisisafrica.me/africans-rising/the-lioness-of-dar-es-salaam/ | access-date=2 March 2021 }}</ref>
== Muhtasari wa maisha ==
Barbara Gonzalez ni binti wa baba Mkolombia na alikulia jijini [[Dar es Salaam]]. Alisomea uchumi nchini [[Marekani]], na usimamizi wa maendeleo nchini [[Uingereza]]. Alifanya mafunzo kadhaa kwa vitendo katika [[Umoja wa Mataifa]] kabla ya kurejea Tanzania mwaka [[2014]] na kufanya kazi kama mshauri wa sekta ya umma kwa kampuni ya kifedha. Mwaka [[2016]], bilionea [[Mohammed Dewji]] alimpa kazi kama mkuu wa taasisi yake na mkuu wa wafanyakazi. Mwaka [[2018]] alijiunga na bodi ya [[Simba S.C.]], na mwezi Septemba [[2020]] akiwa na umri wa miaka 30, aliteuliwa kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo.<ref>{{cite web |url=https://www.bbc.com/sport/africa/54189093 |title=Barbara Gonzalez: The CEO changing perceptions in Tanzanian football |website=BBC Sport |date=17 September 2020 | access-date=31 March 2021 }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii: Tanzania]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
d405os3i4t5wwnfsvapumo31ikgxz7k
Ortona
0
215438
1570279
1460925
2026-06-10T22:42:13Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570279
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Abruzzo]], [[Italia Kusini]], wenye wakazi 22,980 ([[2018]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Abruzzo]]
ce021qa9xeh08p93j1gnuj94uq6cl77
Ceccano
0
215450
1569629
1460976
2026-06-10T20:56:08Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569629
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Lazio]], [[Italia ya Kati]], wenye wakazi 23,098 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Lazio]]
borql04tjat3z1yzj3dofcvwulhzand
Bastia Umbra
0
215461
1569703
1460996
2026-06-10T21:08:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569703
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Umbria]], [[Italia ya Kati]], wenye wakazi 21,800 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Umbria]]
l1iq852vd4ce37sosci055bn41v55ew
Orvieto
0
215462
1569899
1460997
2026-06-10T21:40:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569899
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Umbria]], [[Italia ya Kati]], wenye wakazi 21,130 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Umbria]]
26f5z5pz9dscplc6258xu2avg12b4n9
Orbassano
0
215496
1570502
1461041
2026-06-10T23:19:04Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570502
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Piemonte]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 22,537 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Piemonte]]
dppaq4s4jj84464s57usf95nxgt2dut
Vuyo Mbuli
0
215943
1569668
1462822
2026-06-10T21:02:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569668
wikitext
text/x-wiki
'''Vuyo Mbuli''' ([[14 Mei]] [[1967]] – [[19 Mei]] [[2013]]) alikuwa mhudhuri wa [[televisheni]] na mwasilishaji wa habari maarufu nchini [[Afrika Kusini]], anayejulikana kwa kazi yake kwenye kipindi cha Morning Live. Alianza kazi yake kama mwasilishaji wa habari katika SABC mwaka [[1993]] akiwa na Tracy O'Brien, kisha akajiunga na kipindi cha kwanza cha Morning Live mwaka [[1999]], ambapo aliendelea kufanya kazi hadi [[kifo]] chake.<ref name="remembering">{{cite news|title=Remembering Vuyo Mbuli|url=http://www.sabc.co.za/news/a/b65d330043fe220cb8afbc866b9bf97e/RememberingundefinedVuyoundefinedMbuli-20141405|date=14 May 2014|access-date=6 December 2015|publisher=[[South African Broadcasting Corporation]]|archive-date=4 March 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160304092952/http://www.sabc.co.za/news/a/b65d330043fe220cb8afbc866b9bf97e/RememberingundefinedVuyoundefinedMbuli-20141405|url-status=dead}}</ref>
Mbuli alifariki akiwa na umri wa miaka 46 baada ya kuanguka ghafla katika Uwanja wa Free State ulioko Bloemfontein alipokuwa akiangalia mchezo wa raga.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii: Waliofariki 2013]]
[[Jamii: Afrika Kusini]]
[[Jamii: Watu wa Afrika Kusini]]
l8rc5c17o5o5v1hl7aztkrze1crz823
Majadiliano ya mtumiaji:AlwiyaGhareeb
3
216105
1570775
1463599
2026-06-11T08:29:41Z
Riccardo Riccioni
452
1570775
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 07:16, 19 Oktoba 2025 (UTC)
==Kuheshimu kazi za wenzako==
Ndugu, umefuta karibu makala nzima ya mwenzako kuhusu [[uchimbaji wa visima virefu]] ili kujifanya umeanzisha makala. Huu si ustaarabu. Yeye ametangulia na ndiye aliyeanzisha makala. Wewe ulipaswa kuongezea, si kubadilisha yote, hata kama kwako ni rahisi zaidi kwa sababu umetafsiri yote upya, na hata kama mnashindania tuzo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:29, 11 Juni 2026 (UTC)
ne3gu4savu9zdg0ilhiu3hrk9hzx2op
Al-Ashraf Janbalat
0
216203
1569896
1463927
2026-06-10T21:39:51Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569896
wikitext
text/x-wiki
'''Al-Ashraf Abu al-Nasir Janbalat''' (kwa [[Kiarabu]]: الأشرف أبو النصر جنبلاط; [[1455]] – [[1501]]) alikuwa [[sultani]] wa Mamluk wa [[Misri]] kuanzia tarehe [[30 Juni]] [[1500]] hadi [[25 Januari]] [[1501]].<ref>{{Cite EB1911|wstitle=Egypt/3 History|display=Egypt s.v. III. History (as Jān Belāt)|volume=9|page=103|short=y|first1=Edward Stanley|last1=Poole|first2=Stanley|last2=Lane-Poole|author-link2=Stanley Lane-Poole|first3=David Samuel|last3=Margoliouth|author-link3=David Samuel Margoliouth}}</ref><ref>{{cite book|author=Eduard von Zambaur|url=https://books.google.com/books?id=djNGCwAAQBAJ&q=%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%86%D8%B5%D9%88%D8%B1+%D8%B9%D8%B2+%D8%A7%D9%84%D8%AF%D9%8A%D9%86+%D8%B9%D8%A8%D8%AF+%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%B2%D9%8A%D8%B2+%D8%A8%D9%86+%D8%A8%D8%B1%D9%82%D9%88%D9%82&pg=PA18|title=معجم الأنساب والأسرات الحاكمة في التاريخ الإسلامي للمستشرق زامباور|publisher=IslamKotob|year=1980|place=Beirut|language=ar|page=164}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1455]]
[[Jamii: Waliofariki 1501]]
[[Jamii: Misri ya Kale]]
[[Jamii: Historia ya Misri]]
9t69noy8c0jp2v1cdyo3u1oxllehtl2
Asha Ismail
0
216226
1569459
1502467
2026-06-10T14:41:17Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569459
wikitext
text/x-wiki
'''Asha Ismail''' (alizaliwa [[Garissa]], Kenya, tarehe 27 Septemba 1968) ni mwaharakati wa [[haki za binadamu]] nchini [[Kenya]]. Ni mwanzilishi wa shirika la ''Save a Girl, Save a Generation''. Shirika ambalo lengo lake kuu ni kumaliza [[ukeketaji]] kwa [[wasichana]], mfumo wa utoaji [[mahari]], [[:en:Forced_marriage|ndoa za kulazimishwa]] na [[dhuluma]] zozote zile dhidi ya wanawake wa bara la Afrika na Asia.
== Maisha na kazi yake ==
Alifanyiwa ukeketaji akiwa na umri wa maiaka 5 kwa kile alichoambiwa kuwa ni sherehe ya kutakaswa na kula. Alipokuwa kwenye [[hedhi]] na kipindi cha kumzaa bintiye alipita maumivu makali kutokana na madhara aliyofanyiwa, sababu iliyomfanya kuwa na lengo la kutoa elimu ili kumaliza tamaduni hiyo ili msichana wake na wanawake wengine wasipitie yaliyomfika. <ref>{{Rejea tovuti|author=Romero|first=Noelia Izquierdo|date=2021-02-09|title=Mutilación genital femenina, "no se limita a un continente o a un color".|url=https://www.efesalud.com/mutilacion-genital-femenina-mas-alla-del-estigma/|accessdate=2021-10-22|work=EfeSalud|language=es}}</ref> <ref name=":1">{{Rejea tovuti|author=Moreno|first=Sonia|date=2021-03-26|title=La huida de Asha a Madrid para salvar a su hija de la ablación: 10.000 niñas en España están en peligro|url=https://www.elespanol.com/mujer/actualidad/20210326/huida-asha-madrid-salvar-ablacion-espana-peligro/568693537_0.html|accessdate=2021-10-22|work=El Español|language=es}}</ref> Katika kijiji chake, kuna wasichana wanaojulikana kama "wasichana wa Asha" kwa sababu amewaokoa kutokana na ukeketaji. Alihamia nchini Uhispania mnamo mwaka wa 2011, na kuanzisha shirika lisilo la kiserikali la ''Save a Girl, Save a Generation.''<ref>{{Rejea tovuti|author=Luna|first=Victoria|date=2014-02-06|title=Asha Ismail, víctima de ablación: "Me prometí que mi hija no pasaría por esa pesadilla"|url=https://www.20minutos.es/noticia/2050052/0/asha-ismail/victima/ablacion/|accessdate=2021-10-22|work=www.20minutos.es - Últimas Noticias|language=es}}</ref> Binti yake, Hayat Traspas, pia ni mwanachama wa shirika hilo ambalo makao yake makuu ni mjini [[Madrid]].<ref name=":1" />
Ni mmoja wa wanaharakati ambao taarifa zao zilielezewa kwenye filamu ya ''La manzana de Eva'' ("The apple of Eve") na José Manuel Colón mwaka wa 2018. Filamu hiyo inaelezea tarifa za wanawake kutoka mataifa tofauti tofauti duniani wanaoendesha kampeni dhidi ya ukeketwaji wa wasichana<ref>{{Rejea tovuti|date=2018|title=La manzana de Eva|url=https://www.premiosgoya.com/pelicula/la-manzana-de-eva/|work=Premios Goya}}</ref> Alishiriki kwenye kampeni ya ujasiri ya [[:en:Amnesty_International|Amnesty International's]] mwaka wa 2017 inayowatambua wanaharakati wa haki za binadamu.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Premio Nicolás Salmerón de Derechos Humanos|url=https://fundacion.in/premio/|accessdate=2021-10-22|work=Fundación Internacional de Derechos Humanos|language=es|archivedate=2023-01-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230118010728/https://fundacion.in/premio/}}</ref>
== Utambuzi ==
Mnamo Tarehe 8 mwezi wa Machi mwaka wa 2017, kwenye sherehe ya [[Siku ya Wanawake Duniani|Siku ya Kimataifa ya Wanawake]], Ismail alipokea tuzo ya Atenea de Alcobendas kwa kutetea haki za wanawake. <ref>{{Rejea tovuti|author=Sánchez Carbonell|first=Angel|date=2017-03-09|title=Entrega de Premios Atenea y Hombres por la Igualdad de Alcobendas|url=https://www.cronicanorte.es/entrega-premios-atenea-hombres-la-igualdad-alcobendas/111282|accessdate=2021-10-22|work=Cronica Norte|language=es}}</ref>
Tarehe 12 mwezi wa Oktoba mwaka wa 2019, alihudhuria sherehe ya kumbukumbu ya miaka kumi na tano ya [[Shirika Lisilo la Kiserikali|NGO]] ya Tierra de Hombres ambapo alikabidhiwa sanamu iliyotengenezwa na mchongaji sanamu Julia Ares kwa kutambua kazi yake.<ref>{{Rejea tovuti|title=Gala XV Aniversario Tierra de hombres Galicia {{!}} Fundación Tierra de hombres España|url=https://tdh.tierradehombres.org/gala-xv-aniversario-tierra-de-hombres-galicia/|accessdate=2021-10-22|language=es|archive-date=2023-01-17|archive-url=https://web.archive.org/web/20230117195136/https://tdh.tierradehombres.org/gala-xv-aniversario-tierra-de-hombres-galicia/|url-status=dead}}</ref> Pia mwezi Oktoba mwaka wa 2019 alipokea tuzo kutoka kwa tamasha la Periplo huko Puerto de la Cruz. <ref>{{Rejea tovuti|date=2019-10-16|title=Periplo galardona a Leonardo Padura, Alfonso Armada, Asha Ismail y José Manuel Peruyera|url=http://www.puertodelacruz.es/noticias/2019/10/16/periplo-galardona-a-leonardo-padura-alfonso-armada-asha-ismail-y-jose-manuel-peruyera/|accessdate=2021-10-22|work=Excelentísimo Ayuntamiento de Puerto de la Cruz|language=es}}</ref>
Tarehe 24 mwezi wa Januari mwaka wa 2020, Wakfu wa Kimataifa wa Haki za Kibinadamu ulimzawadi Ismail zawadi ya Nicolás Salmeron Tuzo ya Haki za Kibinadamu katika kitengo cha 'Usawa'. <ref>{{Rejea tovuti|title=Premio Nicolás Salmerón de Derechos Humanos|url=https://fundacion.in/premio/|accessdate=2021-10-22|work=Fundación Internacional de Derechos Humanos|language=es|archivedate=2023-01-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230118010728/https://fundacion.in/premio/}}</ref>
Siku ya Kimataifa ya Wanawake mwaka wa 2020, alipokea tuzo kutoka kwa [[Jimbo la Madrid|Jumuiya ya Madrid]] ambayo aliikataa kwa kile alichodai kuwa haiendani na kanuni na kazi yake. Alishukuru hatua hiyo ya kutunukiwa tuzo hiyo, lakini akasema Serikali ya Madrid ilikuwa kikwazo katika juhudi za kutetea wanawake na unyanyasaji wa kijinsia. <ref>{{Rejea tovuti|author=Desalambre|first=Europa Press /|date=2020-03-06|title=La activista contra la mutilación genital Asha Ismail rechaza el reconocimiento de la Comunidad de Madrid por el Día de la Mujer|url=https://www.eldiario.es/desalambre/asha-ismail-comunidad-madrid-mujer_1_1041250.html|accessdate=2021-10-22|work=ElDiario.es|language=es}}</ref>
==Tanbihi==
{{marejeo}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]]
l4rjfxflnt296i8kdqid3w43txcioeu
Elfu moja mia mbili ishirini na mbili
0
217477
1569530
1469585
2026-06-10T20:39:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569530
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia mbili ishirini na mbili''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1222''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCXXII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili ishirini na moja |1221]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili ishirini na tatu|1223]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1222 KK]] na [[1222]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
59m5prpxj8xg758zvm4lt73srfe1drl
Elfu moja mia mbili ishirini na tatu
0
217479
1569750
1469588
2026-06-10T21:16:00Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569750
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia mbili ishirini na tatu''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1223''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCXXIII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili ishirini na mbili |1222]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili ishirini na nne|1224]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1223 KK]] na [[1223]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
ox55fp9nnsshfsjo7zmz6uwablwlnoh
Campobello di Mazara
0
218036
1570491
1472582
2026-06-10T23:17:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570491
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Sicilia]], [[Italia visiwani]] wenye wakazi 11,580 ([[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Sisilia]]
q2r0xb2ph8mv2enn05d4jm70r4zkhhy
Kufuzu Kombe la Dunia la 1998
0
219212
1570364
1477481
2026-06-10T22:55:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570364
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kufuzu Kombe la Dunia la 1998''' kunahusu hatua za mashindano zilizofanyika kuamua timu zitakazoshiriki fainali za [[Kombe la Dunia la FIFA 1998]] zilizofanyika nchini [[Ufaransa]].
== Mfumo wa kufuzu ==
Hatua za kufuzu zilihusisha mabara yote: [[Afrika]], [[Asia]], [[Ulaya]], [[Amerika ya Kusini]], na [[CONCACAF]]. Timu zaidi ya 160 ziliingia mchuano wa kufuzu, ukiwemo mtoano wa moja kwa moja na makundi ya awali kulingana na bara.
Timu 32 pekee zilikusudiwa kushiriki fainali, zikiwa ni pamoja na wenyeji [[Ufaransa]] waliopata nafasi moja kwa moja. Mfumo wa mashindano ulikuwa na makundi nane ya timu nne, kisha hatua ya mtoano ya timu 16 bora, nusu fainali, nafasi ya tatu, na fainali.
== Matokeo makuu ==
* [[Ufaransa]] walifuzu hatua zote hadi fainali na kutwaa taji lao la kwanza la Kombe la Dunia, wakishirikiana na nyota kama [[Zinedine Zidane]].
* [[Ureno]] walifika fainali na kupoteza 3–0 dhidi ya Ufaransa.
* [[Uholanzi]] ilishika nafasi ya tatu baada ya kuifunga [[Kroatia]] 2–1 katika mchezo wa kutafuta nafasi ya tatu.
== Vikundi vya Fainali ==
Timu 32 zilizofuzu ziliundwa katika makundi nane ya timu nne, kisha hatua ya mtoano ya timu 16 bora, nusu fainali, na fainali.
== Viungo vya nje ==
* [https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/1998france Hatua za kufuzu za Kombe la Dunia 1998], FIFA.com
* [https://www.rsssf.org/tables/98full.html Maelezo kamili katika RSSSF]
{{KDF}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Kufuzu Kombe la Dunia]]
[[Jamii:Wiki Loves Sports 2025]]
3ai1skfqzah775apky36sede0s4g2rq
Kufuzu Kombe la Dunia la 1962
0
219224
1569845
1477497
2026-06-10T21:31:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569845
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kufuzu Kombe la Dunia la 1962''' kunahusu hatua za mashindano zilizofanyika kuamua timu zitakazoshiriki fainali za [[Kombe la Dunia la FIFA la 1962]] zilizofanyika nchini [[Chile]].
== Mfumo wa kufuzu ==
Hatua za kufuzu zilihusisha mabara yote: [[Afrika]], [[Asia]], [[Ulaya]], [[Amerika ya Kusini]], na [[CONCACAF]]. Timu zaidi ya 50 ziliingia mchuano wa kufuzu, ukiwemo mtoano wa moja kwa moja na makundi ya awali kulingana na bara.
Timu 16 pekee zilikusudiwa kushiriki fainali, zikiwa ni pamoja na wenyeji [[Chile]] waliopata nafasi moja kwa moja. Mfumo wa mashindano ulikuwa na makundi ya awali katika kila bara, kisha hatua ya mtoano, nusu fainali, nafasi ya tatu, na fainali.
== Matokeo makuu ==
* [[Brazil]] walifuzu hatua zote hadi fainali na kutwaa taji lao la pili mfululizo la Kombe la Dunia.
* [[Czechoslovakia]] walifika fainali lakini walipoteza 3–1 dhidi ya Brazil.
* [[Chile]] walishika nafasi ya tatu baada ya kuifunga [[Yugoslavia]] 1–0 katika mchezo wa kutafuta nafasi ya tatu.
== Vikundi vya Fainali ==
Timu 16 zilizofuzu ziliundwa katika makundi manne ya timu nne, kisha hatua ya mtoano, nusu fainali, na fainali.
== Viungo vya nje ==
* [https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/1962chile Hatua za kufuzu za Kombe la Dunia 1962], FIFA.com
* [https://www.rsssf.org/tables/62full.html Maelezo kamili katika RSSSF]
{{KDF}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Kufuzu Kombe la Dunia]]
[[Jamii:Wiki Loves Sports 2025]]
pwzg86esyrp8np3z0jtd424ti4tyb2a
Bendera ya Cabo Verde
0
219769
1569589
1479272
2026-06-10T20:49:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569589
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[Picha:Flag of Cape Verde.svg|thumb|250px|right|Bendera ya Cabo Verde]]
'''Bendera ya [[Cabo Verde]]''' ilipitishwa rasmi mnamo tarehe 22 Septemba 1992, ikichukua nafasi ya bendera ya zamani iliyokuwa na alama za [[PAIGC]] na nyota ya kijani. Mabadiliko haya yalihusiana na kuachana kwa taifa na ushirikiano wa karibu wa kisiasa na [[Guinea-Bissau]].
Muundo wa bendera una milia mitano ya kulala ya buluu, myeupe na myekundu:
* Mlia mpana wa '''buluu''' juu na chini unaashiria bahari na anga ya [[Atlantiki]] inayozunguka visiwa vya Cabo Verde.
* Mlia wa mweupe ni alama ya amani.
* Mlia wa mwekundu ni alama ya juhudi na kujitolea kwa wananchi wa taifa.
Katikati ya bendera kuna duara la nyota kumi za manjano zenye pembe tano, zikizunguka upande wa kushoto wa bendera.
* Nyota hizi kumi zinawakilisha visiwa vikuu kumi vya [[Cabo Verde]].
* Duara linaashiria umoja wa taifa na mshikamano wa wananchi wake.
=== Historia ===
Bendera ya awali (1961–1992) ilihusiana na harakati za ukombozi za [[PAIGC]] na ilikuwa na nyota ya kijani pamoja na rangi za Pan-Afrika. Baada ya uhuru wa [[Cabo Verde]] mwaka 1975, bendera hiyo iliendelea kutumika hadi mabadiliko ya kisiasa ya miaka ya 1990, ambapo taifa lilichagua bendera mpya yenye alama za kitaifa pekee.
== Viungo vya Nje ==
* [https://www.governo.cv/ Tovuti rasmi ya serikali ya Cabo Verde]
{{Africa topic|Bendera ya|title=[[Bendera]] ya [[Afrika]]}}
[[Jamii:Cabo Verde]]
[[Jamii:Bendera za Afrika|C]]
39dsx0u4369aj9r4zzrw8kj9lu3mvun
Elfu moja mia mbili hamsini na sita
0
220321
1569548
1480740
2026-06-10T20:42:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569548
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia mbili hamsini na sita''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1256''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCLVI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili hamsini na tano|1255]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili hamsini na saba|1257]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1256 KK]] na [[1256]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
mbkktji1b0nuo6bdq2t8itll5m6glb8
Elfu moja mia mbili sabini na moja
0
220443
1569553
1481092
2026-06-10T20:43:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569553
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia mbili sabini na moja''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1271''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCLXXI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili sabini|1270]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili sabini na mbili|1272]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1271 KK]] na [[1271]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
nuw683ejvmuzdxpfnpmdc3hweh8y1v2
Luis Abramovich
0
221814
1569674
1485837
2026-06-10T21:03:20Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569674
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Luis Abramovich''' (alizaliwa [[1962]]) ni mchezaji wa zamani wa soka kutoka [[Argentina]]. Alipokuwa akicheza kwa klabu ya Boca Juniors, alishinda mataji mengi ikiwa ni pamoja na Recopa Sudamericana, Supercopa Sudamericana, na Supercopa Masters. Alicheza jumla ya mechi 200 kwa Boca katika mashindano yote, na kufunga magoli 5.
Hakuwa kocha wa soka, lakini daima alitamani kuongoza timu. Inaonekana alipata fursa ya kufanya hivyo katika ngazi za timu ndogo katika mji wake wa asili. Hata hivyo, matarajio yake ni makubwa zaidi na anatafuta kuonyesha uzoefu wake kama mchezaji katika timu ya daraja la kwanza. Yeye ni mkufunzi aliyeidhinishwa na Shirikisho la Soka la Argentina (AFA).
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Wachezaji wa Argentina]]
g1l62h0wmwgbdooped4zazl1tpiallg
Coleen Vogel
0
223117
1569980
1490203
2026-06-10T21:53:16Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569980
wikitext
text/x-wiki
'''Coleen Vogel''' ni mtaalamu wa hali ya hewa wa Afrika Kusini anayehusika katika kazi ya kimataifa kuhusu [[Mabadiliko ya tabianchi|mabadiliko ya hali ya hewa]]. Yeye ni Profesa Maarufu katika [[Chuo Kikuu cha Witwatersrand]]. Mnamo mwaka [[2009]] alikuwa mshindi wa tatu wa Tuzo ya Burtoni kwa kazi yake.
==Maisha na Kazi==
Vogel alifunzwa kama mtaalamu wa hali ya hewa. Akifanya Kazi katika chuo kikuu cha Witwatersrand jijini [[Johannesburg]] ambapo alikuja kuwa Profess maarufu kwenye chuo cha Global Change Institute.<ref>{{Cite web|title=Prof. Coleen Vogel|url=https://www.wiomsa.org/personnel/coleen-vogel/|work=WIOMSA|accessdate=2026-02-11|language=en-US|archive-date=2025-01-26|archive-url=https://web.archive.org/web/20250126194328/https://www.wiomsa.org/personnel/coleen-vogel/|url-status=dead}}</ref> Alikuwa Mwandishi kiongozi wa ripoti ya nne ya ukaguzi wa mdahalo wa Serikali mbali mbali kuhusu mabadiliko ya Hali ya Hewa, kikundi cha pili kilichofanya Kazi kwa upande wa Afrika, na pia alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kimataifa ya Sayansi na programu ya vipimo vya kibinadamu katika mabadiliko ya Hali ya Hewa.<ref>{{Cite web|title=South African researcher takes top climate change award {{!}} NCCARF 2010 Climate Adaptation Futures Conference Conference|url=http://www.nccarf.edu.au/conference2010/archives/1065|work=nccarf.edu.au|accessdate=2026-02-11|archive-date=2012-05-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20120527042510/http://www.nccarf.edu.au/conference2010/archives/1065|url-status=dead}}</ref>
Mnamo mwaka 2009 alichaguliwa kuwa mtu wa tatu kupokea Tuzo ya Burtoni.<ref name="klein">{{Cite web |title=Richard Klein recognized for 'outstanding contributions' to adaptation science |url=https://www.sei.org/featured/richard-klein-recognized-for-outstanding-contributions-to-adaptation-science/
|access-date=2022-12-15 |website=SEI |language=en-GB}}</ref>
Mnamo mwaka [[2022]] alichapisha onyo pamoja na Francois Engelbrecht, Alize le Roux na Aimee-Noel Mbiyozo likisema kwamba [[Afrika Kusini]] inahitaji kuwa tayari zaidi kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hili lilifuata mafuriko ya KwaZulu-Natal ya 2022 yaliyoua angalau watu 435, kuwaacha watu 40,000 bila makazi na kuharibu nyumba 4,000. Walikubali kwamba mafuriko ya kiwango hicho yamewahi kutokea hapo awali, lakini tofauti sasa ni kwamba yanatokea mara kwa mara zaidi kutokana na mabadiliko ya tabianchi.<ref>{{Cite web |last=Mbiyozo |first=Francois Engelbrecht, Alize le Roux, Coleen Vogel and Aimee-Noel |date=2022-05-12 |title=ISS TODAY: Poor climate adaptation, outdated infrastructure served as catalysts for KZN floods |url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-05-12-poor-climate-adaptation-outdated-infrastructure-served-as-catalysts-for-kzn-floods/
|access-date=2022-12-15 |website=Daily Maverick |language=en}}</ref> Hapo awali, baada ya wimbi la joto la mwaka [[2021]], alikuwa amesisitiza umuhimu wa maandalizi bora zaidi, akibainisha haja ya kudumisha mawasiliano mazuri na nchi za Kaskazini ya dunia na kwamba Afrika pamoja na vyuo vikuu vyake vinapaswa kushiriki zaidi.<ref>{{Cite web |title=Climate change: Universities should lead research effort |url=https://www.universityworldnews.com/post.php?story=20210823143951165
|access-date=2022-12-15 |website=University World News}}</ref>
Vogel anatambulika kama mtaalamu mashuhuri katika Usimamizi wa Maafa nchini Afrika Kusini, akiwa amehusika katika kuandaa mapendekezo ya kijani, nyaraka za sera (white papers), na kusaidia katika Sheria ya Usimamizi wa Maafa.<ref>{{Cite web |title=Coleen Vogel ─ Minding the Gap: Creating Coalitions for Sustainable Change {{!}} Watson Institute |url=https://watson.brown.edu/events/2021/development-and-governance-seminar-coleen-vogel
|access-date=2022-12-15 |website=Watson Institute for International and Public Affairs |language=en}}</ref> Mnamo mwaka 2022 alikuwa kiongozi wa Jiji la Johannesburg katika masuala ya Uhimilivu na Mabadiliko ya Tabianchi.
==Marejeo==
[[Jamii:wanasayansi wa Afrika Kusini]]
tggpmc68ybemi3qtcypyg5kvr8sei30
Allyson Lawless
0
223219
1569438
1490210
2026-06-10T12:35:18Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569438
wikitext
text/x-wiki
'''Allyson Lawless''' ni [[mhandisi]] wa majengo, mfanyabiashara, na mwanachama wa kimataifa wa Akademia ya Kifalme ya Uhandisi. Mnamo mwaka wa 2000, alikuwa mwanamke wa kwanza kuwa rais wa Taasisi ya Afrika Kusini ya Uhandisi wa Kiraia (SAICE).
<ref name=":1">{{Cite web|url=https://www.specifile.co.za/news/allyson-lawless-is-made-an-international-fellow-the-royal-academy-of-engineers/|title=Allyson Lawless made an International Fellow of the Royal Academy of Engineering.|website=www.specifile.co.za|access-date=2019-07-29}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:watu wa Afrika Kusini]]
6hgseb8cwmwzgmgt7ngxkjnjakwzla9
Peter Bamm
0
224130
1569565
1492727
2026-06-10T20:45:38Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569565
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Peter Bamm''' (alzialiwa [[20 Oktoba]] [[1897]], Hochneukirch — sasa sehemu ya Jüchen, [[Ujerumani]] – [[30 Machi]] [[1975]], Zollikon, [[Uswisi]]) alikuwa mwandishi kutoka Ujerumani.
Bamm alijitolea kujiunga na jeshi wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia. Baada ya vita, alisomea udaktari na sinolojia katika miji ya Munich, Göttingen, na Freiburg im Breisgau. Akiwa daktari wa meli, alisafiri sehemu nyingi za dunia kabla ya kuishi Berlin-Wedding.
Wakati wa Vita vya Pili vya Dunia, alihudumu kama daktari wa kijeshi katika Fronti ya Urusi, na baadaye akaelezea uzoefu wake katika kitabu ''Die Unsichtbare Flagge'' (Bendera Isiyoonekana). Baada ya vita, kati ya mwaka 1952 na 1957, alisafiri kwa madhumuni ya masomo katika Mashariki ya Karibu na ya Kati, kisha akafanya kazi kama mwandishi wa habari na mwandishi wa makala maalum kwa magazeti kadhaa ya Berlin.
Amezikwa katika Makaburi ya Stöcken huko Hanover.
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1897]]
[[Jamii:Waliofariki 1975]]
[[Jamii:Watu wa Ujerumani]]
tonfhzylmft9ezvdwhrilqv4ppnrkn9
Herbert Dörner
0
224642
1570620
1493515
2026-06-10T23:38:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570620
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Herbert Dörner''' (alizaliwa[[14 Julai]] [[1930]] – [[26 Machi]] [[1991]]) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa kimataifa kutoka Ujerumani. Aliichezea klabu za Preußen Dellbrück, 1. FC Köln, na Bonner SC.
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1930]]
[[Jamii:Waliofariki 1991]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ujerumani]]
sd3vnroi0h9v7y9a69urfewipr4n0es
Elfu moja mia tatu na tano
0
225981
1570469
1498477
2026-06-10T23:13:34Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570469
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia tatu na tano''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1305''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCV kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu na nne|1304]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu na sita|1306]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1305 KK]] na [[1305]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
8g6dvdsmy78kcu6jo8l6i925uhqt4nb
The Young Girl
0
227427
1570220
1503560
2026-06-10T22:32:23Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570220
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
[[imdbtitle:0073421|The Young Girl]] (Den muso) ni filamu ya [[1975]] ya [[Mali|Mali,]] iliyoongozwa na [[Souleymane Cissé]]
== Muhtasari ==
Mwanamke mdogo [[bubu]] anabakwa na kupata [[mimba]], na matokeo mabaya ndani ya [[familia]] yake. [[Filamu]] hii pia inaonyesha hali ya kijamii/kiuchumi katika miji ya [[Mali]] katika miaka ya [[1970]], hasa kuhusiana na jinsi [[Mwanamke|wanawake]] wanavyotendewa.
== Wahusika ==
* Dounamba Dany Coulibaly
* Fanta Diabate
* Omou Diarra
* Balla Moussa Keita
* Mamoulou Sanogo
[[Jamii:Filamu za 1975]]
[[Jamii:Mali]]
[[Jamii:Africa Film Cinema Tanzania 2026]]
6369o0840xxu7zqfmicis7kmxwkam63
Bridget Masango
0
227676
1569656
1504280
2026-06-10T21:00:28Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569656
wikitext
text/x-wiki
'''Bridget Staff Masango''' (alizaliwa [[23 Februari]] [[1962]]) ni [[mwanasiasa]] kutoka Democratic Alliance nchini Afrika Kusini, akitokea jimbo la [[Gauteng]]. Amekuwa Mbunge katika ''Parliament of South Africa'' tangu Oktoba [[2015]].
Ndani ya Baraza la Mawaziri Kivuli la DA, alihudumu kama Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii kuanzia Oktoba [[2015]] hadi Juni [[2024]]. Kabla ya hapo, kuanzia Mei 2014 hadi Oktoba [[2015]], alihudumu kama mjumbe wa kudumu wa National Council of Provinces.
== Usuli ==
Bridget Staff Masango alizaliwa Kwambonambi, kaskazini mwa Mkoa wa zamani wa Natal (sasa [[KwaZulu-Natal]]). Pia ni mtoto wa sita kati ya watoto tisa katika familia yao. Baadaye, familia yao ilihamia Mkoa wa [[Transvaal]], ambako baba yake alipata ajira kama mlinzi.
Alipata uzoefu wa kazi katika Kundi la 5, ambako alikutana na mwanasiasa mkongwe wa Democratic Alliance, Michael Moriarty. Masango awali alikuwa mwanachama wa Inkatha Freedom Party, na kabla ya kujiunga kikamilifu na DA, alifanya kazi kama meneja wa mawasiliano katika Nelson Mandela Children's Fund.
== Baraza la Kitaifa la Mikoa (2014–2015) ==
Bridget Staff Masango kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2014, alikuwa ameorodheshwa chini katika orodha zote za kitaifa na kikanda za Democratic Alliance. Kwa sababu hiyo, hakuchaguliwa kuingia katika Bunge la Afrika Kusini kupitia National Assembly of South Africa.<ref>{{cite web|last1=Maimane|first1=Mmusi|title=DKB no longer shadow minister of police - Mmusi Maimane|url=https://www.politicsweb.co.za/politics/dkb-no-longer-shadow-minister-of-police--mmusi-mai|website=Politicsweb|access-date=6 November 2020}}</ref><ref>{{cite news|title=DA: Who footed bill for minister’s R11,000-a-night Oyster Box stay?|url=https://www.timeslive.co.za/news/south-africa/2016-06-13-da-who-footed-bill-for-ministers-r11000-a-night-oyster-box-stay/|access-date=6 November 2020|agency=TimesLIVE|date=13 June 2016|url-access=subscription}}</ref>
Hata hivyo, DA ilimchagua kuwakilisha chama katika National Council of Provinces, ambapo aliapishwa rasmi tarehe [[22 Mei]] 2014 kama mjumbe wa kudumu wa mkoa wa Gauteng.<ref>{{cite web|title=Mr President, do the right thing and fire Minister Zulu|url=https://www.da.org.za/2020/06/mr-president-do-the-right-thing-and-fire-minister-zulu|website=Democratic Alliance|access-date=6 November 2020}}</ref>
Baadaye, tarehe [[3 Oktoba]] 2015, kiongozi wa DA bungeni, Mmusi Maimane, alimteua kuwa Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii. Alijiuzulu kutoka NCOP tarehe 5 Oktoba 2015 kufuatia uteuzi huo.<ref name="PA">{{cite web|title=Ms Bridget Staff Masango|url=https://www.pa.org.za/person/bridget-staff-masango/|website=People's Assembly|access-date=6 November 2020}}</ref>
=== Kazi za Kamati ===
* Kamati Teule ya Elimu na Burudani Kamati Teule ya Huduma za Jamii
* Kamati Teule ya Mawasiliano na Biashara za Umma
* Kamati Teule ya Ardhi na Rasilimali za Madini
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]]
[[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]]
tfytgc51edb9fj5jtpz7n7pz28e9lbs
Harouna Coulibaly
0
230825
1570791
1513451
2026-06-11T09:10:13Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570791
wikitext
text/x-wiki
'''Harouna Coulibaly''' ([[1962]] - [[2025]]) alikuwa mwandishi na mkurugenzi wa filamu kutoka [[Nigeria]].
== Maisha na Kazi ==
Alizaliwa Magaria mnamo mwezi Agosti,[[1962]], Coulibaly alisoma katika taasisi ya École nationale d'administration huko Niamey. Kati ya mwaka ya 1986 na 1995, alichapisha mashairi na insha nyingi na alishikilia nafasi za uongozi katika shirika la vijana la Organization des jeunesses panafricaines du Niger.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Personnes {{!}} Africultures : Coulibaly Harouna|url=https://africultures.com/personnes/?no=34381|work=Africultures|accessdate=2026-04-28|language=fr-FR}}</ref> Pia aliandika michezo ya kigiza ya kejeli kuhusu ufisadi na ukwepaji kodi nchini Niger, akivutiwa na kazi za Boubou Hama na André Salifou. Katikati ya miaka ya 1990, alianza utengenezaji wa filamu.<ref>{{Rejea tovuti|title=Le Sahel - Nigerdiaspora|url=https://www.yumpu.com/fr/document/read/17354696/le-sahel-nigerdiaspora|work=yumpu.com|accessdate=2026-04-28|language=fr|author=Yumpu.com}}</ref> Filamu yake ya kwanza, ''Wadjibi'', ilitolewa mwaka [[1996]] na ilikuwa marekebisho ya moja ya michezo yake.<ref>{{Rejea tovuti|title=‘’Le droit chemin’’ : Le cinéaste Harouna Coulibaly s’insurge contre l’incivisme fiscal des africains|url=http://news.aniamey.com/h/5477.html|work=aNiamey.com|accessdate=2026-04-28|archive-date=2026-04-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20260430061515/http://news.aniamey.com/h/5477.html|url-status=dead}}</ref> Filamu yake ya mwaka [[2013]]'', Le droit chemin'', ilimshirikisha Yazi Dogo kama mwigizaji mkuu.<ref name=":0" />
Harouna Coulibaly alifariki mwezi Desemba, [[2025]], akiwa na umri wa miaka 63.<ref>{{Rejea tovuti|title=Tribune : Hommage à Harouna Coulibaly , quand un homme devient une école de valeurs|url=https://www.lesahel.org/tribune-hommage-a-harouna-coulibaly-quand-un-homme-devient-une-ecole-de-valeurs/|work=Le Sahel|date=2025-12-16|accessdate=2026-04-28|language=fr-FR|author=ONEP}}</ref>
== Filamu ==
* Filamu ya ''Wadjibi'' ya mwaka 1996.
* Filamu ya ''Les Architectes du verbe'' ya mwaka 2002.
* Filamu ya ''L'Île de Gorée'' ya mwaka 2002.
* Filamu ya ''Un rendez-vous humanitaire'' ya mwaka 2007.
* Filamu ya ''Ziga'' ya mwaka 2007.
* Filamu ya ''Awa, la consécration'' ya mwaka 2012.<ref>{{Rejea tovuti|title=AWA, le prix d’une erreur {{!}} Cinémathèque Africaine de Ouagadougou (CAO)|url=https://cinemathequeafricaine.org/awa-le-prix-dune-erreur/|accessdate=2026-04-28|language=fr-FR}}</ref>
* Filamu ya ''L'Étoile filante du cinéma nigérien'' ya mwaka 2012.
* Filamu ya ''Le Droit chemin'' ya mwaka 2013.
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Africa Film Cinema Tanzania 2026]]
[[Jamii:Waliofariki 2025]]
[[Jamii:wakurugenzi filamu wa Nigeria]]
rtfb54y73rir2vlprw025ogwbwzhhk7
Kristen J. Amundson
0
231241
1569621
1524147
2026-06-10T20:54:48Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569621
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''Kristen J. “Kris” Amundson''' (alizaliwa tarehe [[3 Desemba]] [[1949]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] na aliyewahi kuwa mjumbe wa Bunge Kuu la Jimbo la Virginia (Virginia General Assembly).
Akiwa mwanachama wa Chama cha Democratic, alichaguliwa mwaka 1999 kuingia katika Baraza la Wawakilishi la Virginia na akawakilisha Wilaya ya 44 katika Kaunti ya Fairfax. Mwaka 2009 alitangaza kuwa hatawania tena uchaguzi na nafasi yake ilichukuliwa na Scott Surovell, pia wa Chama cha Democratic.
Kabla ya kuhudumu katika Bunge la Jimbo, Amundson aliwahi kuwa mjumbe wa Bodi ya Shule ya Kaunti ya Fairfax. Baadaye, alihudumu kama Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa National Association of State Boards of Education (NASBE) kuanzia 2013 hadi 2019.
Pia ni mwandishi wa vitabu viwili: ''81 Questions for Parents'' na ''Unfinished Learning: Parents, Schools, and COVID School Closures'', vyote vimechapishwa na Rowman & Littlefield.
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
ag7lem2po1tzu3g4lu7zgk0url77fdm
Arlene Schnitzer
0
237614
1569456
1548335
2026-06-10T14:21:18Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569456
wikitext
text/x-wiki
'''Arlene Schnitzer''' (alizaliwa '''Director'''; Januari 10, 1929 – Aprili 4, 2020) alikuwa mlinzi wa sanaa na mfadhili wa [[Marekani|Kiamerika]]. Alikuwa mwanzilishi na mkurugenzi wa Fountain Gallery, lililoanzishwa Portland kuonyesha kazi za wasanii wa Kaskazini-Magharibi ya Pasifiki. Yeye ndiye aliyepewa jina la Arlene Schnitzer Concert Hall, kituo cha sanaa za maonesho kilichopo [[Portland, Oregon]].
== Maisha na taaluma ==
Schnitzer alizaliwa na Simon na Helen (Holtzman) Director katika [[Salem, Oregon]], tarehe Januari 10, 1929.<ref name=AAA>{{Cite web|url=[http://www.aaa.si.edu/collections/interviews/oral-history-interview-arlene-schnitzer-12776|title=](http://www.aaa.si.edu/collections/interviews/oral-history-interview-arlene-schnitzer-12776|title=) Oral history interview with Arlene Schnitzer, 1985 June 7-8|publisher=[[Archives of American Art]]}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Kumbuka: Mahojiano ya historia simulizi na Arlene Schnitzer, Juni 7–8, 1985, Archives of American Art, [[Smithsonian Institution]].</ref> Wazazi wake walikuwa Wayahudi wahamiaji, baba yake akitoka Chartoriysk, Urusi, na mama yake kutoka Warsaw, Poland.<ref>{{Cite web|url=[https://www.portlandoregon.gov/parks/article/666370|title=History](https://www.portlandoregon.gov/parks/article/666370|title=History) | Director Park | the City of Portland, Oregon|access-date=2020-04-05|archive-date=2020-08-14|archive-url=[https://web.archive.org/web/20200814233212/https://www.portlandoregon.gov/parks/article/666370|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20200814233212/https://www.portlandoregon.gov/parks/article/666370|url-status=dead}})</ref> Aliishi Salem hadi alipokuwa na umri wa miaka miwili, wakati wazazi wake walipohamia [[Portland, Oregon]]. Familia hiyo kwanza iliishi katika kitongoji cha Grant Park. Schnitzer alisoma katika Fernwood Grammar School.<ref name=AAA/> Kuanzia darasa la nne hadi la saba, alisoma Laurelhurst Grammar School. Baada ya kuhama tena, alisoma Multnomah Grammar School, shule aliyohitimu kutoka humo.<ref name=AAA/> Schnitzer alikumbuka “kukulia katika biashara ya rejareja”; wazazi wake walikuwa wamiliki wa Jennings Furniture Company, duka kubwa la samani.<ref name=AAA/>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1929|2020}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
5q2nopsj6tklnntypphsakvpktbsyy7
Clara Johnson Scroggins
0
237617
1569912
1548345
2026-06-10T21:42:29Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569912
wikitext
text/x-wiki
'''Clara Johnson Scroggins''' alikuwa mkusanyaji na mwandishi wa vitabu kuhusu mapambo ya Krismasi (Christmas ornaments), na alitambuliwa kama mtaalamu mkubwa katika fani hiyo.<ref>{{cite news |last1=Robinson |first1=Ruth |title=DATED ORNAMENTS ON COLLECTORS' LIST |url=[https://www.nytimes.com/1982/12/12/nyregion/dated-ornaments-on-collectors-list.html](https://www.nytimes.com/1982/12/12/nyregion/dated-ornaments-on-collectors-list.html) |accessdate=17 September 2018 |work=New York Times |date=12 December 1982}}</ref><ref>{{cite news |last1=Talley |first1=Olive |title=She goes to the bank before decking the halls |publisher=The Hartford Courant |date=11 December 1983 |page=E9}}</ref><ref>{{cite news |last1=Scott |first1=Ruth |title=Christmas ornament collection: A keepsake for friends & family |work=Atlanta Daily World |date=15 December 1987 |page=2}}</ref> Alikuwa na mkusanyiko mkubwa wa zaidi ya vipande 20,000 hadi zaidi ya 250,000 vya mapambo ya Krismasi katika vipindi tofauti vya maisha yake, na vitabu vyake vilijikita zaidi kwenye historia, thamani, na ukusanyaji wa mapambo ya Hallmark Keepsake.<ref>{{cite web |title=Clara Johnson Scroggins |url=[https://en.wikipedia.org/wiki/Clara_Johnson_Scroggins](https://en.wikipedia.org/wiki/Clara_Johnson_Scroggins) |publisher=Wikipedia |accessdate=2026-05-22}}</ref>
== Maisha na kazi ==
Scroggins alianza kukusanya mapambo ya Krismasi mwaka 1972 baada ya kifo cha ghafla cha mume wake muda mfupi kabla ya Krismasi. Alieleza kwamba alihitaji kitu kitakachomshughulisha na kumsaidia kukabiliana na huzuni, ndipo akaanza kununua na kutafuta mapambo adimu ya Krismasi, akianza na msalaba wa fedha wa Reed and Barton.<ref>{{cite news |title=Collecting Memories: Ornament collectors begin the hunt early |work=Tampa Tribune |date=23 July 1998}}</ref>
Baada ya muda mfupi, alikusanya karibu vipande 1,000 na baadaye mkusanyiko wake ukakua kwa kasi hadi kufikia makumi ya maelfu na hatimaye mamia ya maelfu ya vitu. Mkusanyiko wake ulijumuisha bidhaa kutoka kampuni mbalimbali maarufu za mapambo na vito, na alijulikana kwa kuandika na kuelimisha kuhusu thamani na historia ya mapambo hayo.<ref>{{cite news |title=Decorating the Christmas Tree Is Big Business |work=Los Angeles Times |date=15 December 1994 |url=[https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1994-12-15-fi-9435-story.html}}](https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1994-12-15-fi-9435-story.html}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }})</ref>
Scroggins pia aliandika vitabu kadhaa vya mwongozo wa wakusanyaji, hasa kuhusu mfululizo wa Hallmark Keepsake Ornaments, ambavyo vilitumika kama marejeo kwa wakusanyaji na wataalamu wa mapambo ya Krismasi. Ameelezwa pia kama mmoja wa watu waliokuwa na mchango mkubwa katika kukuza na kuandikisha historia ya tasnia ya mapambo ya Krismasi Marekani.<ref>{{cite web |title=Christmas ornament |url=[https://en.wikipedia.org/wiki/Christmas_ornament](https://en.wikipedia.org/wiki/Christmas_ornament) |accessdate=2026-05-22}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1931|2019}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
3bu568pwx4l4t6o9r8v4excrhb5ygeh
Emília Zathureczky
0
237756
1570658
1549016
2026-06-11T03:06:30Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570658
wikitext
text/x-wiki
'''Emilia Zathureczky''' (21 Oktoba 1823 – 5 Novemba 1905) alikuwa mkusanyaji wa mabaki ya kihistoria wa [[Hungaria]], mwanzilishi wa Makumbusho ya Kitaifa ya Székely na msaidizi wa wapigania mapinduzi.<ref name=":0">{{Rejea tovuti |title=Zathureczky Emilia {{!}} PLM Namespace |url=[https://opac-nevter.pim.hu/en/record/-/record/PIM286190;jsessionid=AFDEE61F1C176A9CFF39D16D40AF3D09](https://opac-nevter.pim.hu/en/record/-/record/PIM286190;jsessionid=AFDEE61F1C176A9CFF39D16D40AF3D09) |access-date=2023-04-27 |website=PLM Namespace |language=hu}}</ref><ref name=":1">{{Rejea tovuti |title=:: [www.sepsiszentgyorgy.info](http://www.sepsiszentgyorgy.info) :: Székely Nemzeti Múzeum 1875-2000 - Séták |url=[https://www.sepsiszentgyorgy.info/sznm/setak/belso/csereyne2.htm](https://www.sepsiszentgyorgy.info/sznm/setak/belso/csereyne2.htm) |access-date=2023-04-27 |website=[www.sepsiszentgyorgy.info](http://www.sepsiszentgyorgy.info) |language=hu }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Maisha na kazi ==
Emilia Zathureczky alizaliwa katika eneo la Olasztelek, ambalo sasa linajulikana kama Brăduț. Alijulikana kwa juhudi zake za kuhifadhi historia na utamaduni wa watu wa Székely kupitia ukusanyaji wa mabaki ya kihistoria, nyaraka na vitu vya kitamaduni.
Alikuwa mmoja wa watu muhimu waliochangia kuanzishwa kwa Makumbusho ya Kitaifa ya Székely, taasisi iliyolenga kuhifadhi urithi wa kihistoria na kitamaduni wa jamii ya Székely. Kupitia kazi yake ya ukusanyaji, aliweza kusaidia kuhifadhi vitu vingi vya thamani ya kihistoria ambavyo vingepotea.
Mbali na shughuli zake za kitamaduni, Zathureczky pia alisaidia wapigania mapinduzi katika nyakati za migogoro ya kisiasa nchini Hungaria. Mchango wake ulifanya atambulike kama mmoja wa wanawake waliochangia historia ya utamaduni na harakati za kijamii katika eneo hilo.<ref name=":1" />
Urithi wake unaendelea kuonekana kupitia maendeleo ya Makumbusho ya Kitaifa ya Székely na uhifadhi wa historia ya watu wa Székely.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1823|1905}}
[[Jamii:Watu wa Hungaria]]
5wkj07z7b4cf6uocmpm6me7xyclhg12
Dale Alderson
0
237765
1570341
1548692
2026-06-10T22:52:12Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570341
wikitext
text/x-wiki
'''Dale Leonard Alderson''' (9 Machi 1918 – 12 Februari 1982) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa (pitcher) katika Major League Baseball ambaye alicheza kuanzia mwaka 1943 hadi 1944 akiwa na timu ya Chicago Cubs. Alikuwa na urefu wa {{convert|5|ft|10|in|abbr=on}} na uzito wa {{convert|190|lb|abbr=on}}, na alikuwa akipiga na kurusha mpira kwa mkono wa kulia.
Mzaliwa wa Belden, Nebraska na mhitimu wa Upper Iowa University, Alderson alikuwa miongoni mwa wachezaji wengi wa MLB ambao taaluma zao ziliingiliwa na huduma ya kijeshi wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia.<ref name="WWII">{{cite web |title=Baseball in Wartime - Dale Alderson |url=[http://baseballinwartime.com/player_biographies/alderson_dale.htm](http://baseballinwartime.com/player_biographies/alderson_dale.htm) |website=BaseballinWartime.com |accessdate=August 27, 2018 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1918|1982}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
0as9hou7kvn3kecgavuf35u5gq990zk
Bashe Awil Omar
0
237812
1569473
1548751
2026-06-10T15:50:30Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569473
wikitext
text/x-wiki
'''Bashe Awil Haji Omar''' (alizaliwa 1972 huko Hargeisa, Somaliland) ni mwanadiplomasia na [[mwanasiasa]] wa [[Somalia]]. Alihudumu kama Mwakilishi wa Somaliland katika Umoja wa Falme za Kiarabu (2015–2018) na Kenya (2018–2021) kama Mkuu wa Ofisi ya Uhusiano ya Somaliland Nairobi.
== Historia ya awali ==
Omar alizaliwa mwaka 1972 huko Hargeisa, Somaliland, na anatoka katika ukoo wa Imran wa familia kubwa ya Isaaq.
Mwaka 1991, baada ya kuzuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Somalia, alihamia Uingereza. Mwaka 1997, Omar alihitimu shahada ya kwanza ya Kemia kutoka University College London. Baadaye alipata ufadhili wa masomo katika University of Manchester ambako alihitimu [[Shahada]] ya Uzamili (MSc) katika Petrochemistry na Kemia ya Hidrokaboni.
Akiwa anaishi California, alijihusisha na harakati za kuhamasisha chama cha Kulmiye, chama cha kisiasa kilichoanzishwa na mkwe wake Ahmed Mohamed Mohamoud. Mwaka 2011, Omar na familia yake walihamia [[Nairobi]], Kenya.<ref>{{Cite web|title=Kenya and Somaliland to foster strong trade ties – Somaliland Kenya Office|url=https://somalilandliaison.com/kenya-and-somaliland-to-foster-strong-trade-ties/|date=2018-11-16|accessdate=2026-05-23|language=en-GB|archive-date=2022-12-10|archive-url=https://web.archive.org/web/20221210065351/https://somalilandliaison.com/kenya-and-somaliland-to-foster-strong-trade-ties/|url-status=dead}}</ref>
Mnamo 30 Juni 2015, aliteuliwa kuwa Balozi wa Somaliland katika Umoja wa Falme za Kiarabu ambapo alihudumu hadi 2018. Mwaka 2018, Rais Muse Bihi Abdi alimteua kuwa Mwakilishi wa Somaliland nchini Kenya na Mkuu wa Ofisi ya Uhusiano ya Somaliland Nairobi.
Akiwa Nairobi, aliandaa mikutano miwili mikubwa kati ya Somaliland na Kenya kuhusu miundombinu na nishati mwaka 2018 na 2019.<ref>{{Citation|title=Somaliland Markets Berbera Port at the UK-Africa Investment Conference|date=2021-01-22|url=https://www.busiweek.com/somaliland-markets-berbera-port-at-the-uk-africa-investment-conference/|work=East African Business Week|language=en-GB|access-date=2026-05-23}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Somalia]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
l6kr3u2z7fgu3jn8d12s4aut6u319nq
Buddy Austin
0
237858
1569494
1548828
2026-06-10T18:14:20Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569494
wikitext
text/x-wiki
'''Austin Wesley Rogers''' (alizaliwa kama '''Austin Wesley Rapes'''; 27 Februari 1929 – 13 Agosti 1981) alikuwa mieleka wa kulipwa kutoka [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa jina lake la ulingoni la "'''Killer''' '''Buddy Austin'''".<ref name="Hornbaker2017">{{cite book|author=Tim Hornbaker|title=Legends of Pro Wrestling: 150 Years of Headlocks, Body Slams, and Piledrivers|url=[https://books.google.com/books?id=UuGLDAAAQBAJ&pg=PT463|date=3](https://books.google.com/books?id=UuGLDAAAQBAJ&pg=PT463|date=3) January 2017|publisher=Skyhorse Publishing Company, Incorporated|isbn=978-1-61321-875-4|pages=462–463}}</ref><ref name="Cagematch">{{cite web|url=[https://www.cagematch.net/?id=2&nr=2149|title=Buddy](https://www.cagematch.net/?id=2&nr=2149|title=Buddy) Austin|work=Cagematch.de|access-date=March 3, 2017}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
Anajulikana zaidi kwa kuonekana kwake katika kampuni ya mieleka ya [[Los Angeles]], [[California]] iitwayo Worldwide Wrestling Associates katikati ya miaka ya 1960, ambapo alitwaa ubingwa wa WWA World Heavyweight Championship na WWA World Tag Team Championship mara tatu kila mmoja.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1929|1981}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
eiaib4o9pmyv82l9lhgaxrmpmr12ztc
Edward Woolsey Bacon
0
237903
1570654
1549196
2026-06-11T01:59:00Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570654
wikitext
text/x-wiki
'''Edward Woolsey Bacon''' (Mei 5, 1843 – Juni 7, 1887<ref>{{cite web|title=Connecticut Deaths and Burials, 1772-1934|url=[https://familysearch.org/ark:/61903/1:1:F7NY-22S|website=FamilySearch|accessdate=22](https://familysearch.org/ark:/61903/1:1:F7NY-22S|website=FamilySearch|accessdate=22) Aprili 2016}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>) alikuwa mchungaji wa [[Marekani]] wa dhehebu la Congregationalist, pamoja na kuwa baharia na askari.
== Wasifu ==
Bacon alizaliwa katika [[New Haven, Connecticut]]. Alitoka katika familia ya wahubiri; alikuwa mtoto wa Leonard Bacon <ref>{{Rejea jarida
| title = American Congregational Union
| journal = [[The Congregational Quarterly]]
| volume = 10
| pages = 299–309
| date = Julai 1868
| url = [https://books.google.com/books?id=s-nNAAAAMAAJ&pg=PA299](https://books.google.com/books?id=s-nNAAAAMAAJ&pg=PA299)
| accessdate = 5 Desemba 2009
| last1 = Clark
| first1 = Joseph Sylvester
| last2 = Dexter
| first2 = Henry Martyn
| last3 = Quint
| first3 = Alonzo Hall
| last4 = Langworthy
| first4 = Isaac Pendleton
| last5 = Cushing
| first5 = Christopher
| last6 = Burnham
| first6 = Samuel
}}</ref> na kaka wa Leonard Woolsey Bacon,<ref>{{cite book|last=General Council of the Congregational and Christian Churches of the United States, Executive Committee|title=The Year book of the Congregational Christian churches of the United States of America|year=1908|pages=12|url=[https://books.google.com/books?id=GhlKAAAAMAAJ&pg=PA12|accessdate=2](https://books.google.com/books?id=GhlKAAAAMAAJ&pg=PA12|accessdate=2) Machi 2010}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1843|1887}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
j6lscs9009r4tekz7m7srnwr86xxreo
Butch Ballard
0
237950
1569497
1548988
2026-06-10T18:22:12Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 2 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569497
wikitext
text/x-wiki
'''George Edward''' “'''Butch'''” '''Ballard''' (Desemba 26, 1918 – Oktoba 1, 2011)<ref name="NET">{{Cite news
|last=Villano-Prokop|first=Diane|title=You can call Butch Ballard a drum major|newspaper=[[Northeast Times]]|year=2007|url=[http://www.northeasttimes.com/2007/0517/butch.html|access-date=2008-03-25|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20081203200512/http://www.northeasttimes.com/2007/0517/butch.html|archive-date=2008-12-03}}](http://www.northeasttimes.com/2007/0517/butch.html|access-date=2008-03-25|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20081203200512/http://www.northeasttimes.com/2007/0517/butch.html|archive-date=2008-12-03}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }})</ref> alikuwa mpiga ngoma wa jazz kutoka [[Marekani]] aliyepiga muziki na wasanii wakubwa kama [[Louis Armstrong]], [[Count Basie]], na [[Duke Ellington]].
== Wasifu ==
Ballard alizaliwa katika [[Camden, New Jersey]] na alikulia katika eneo la Frankford mjini [[Philadelphia]].<ref name="PNW">{{cite web
| title = George 'Butch' Ballard to Receive 2006 Mellon Jazz Community Award
| publisher = [[PR Newswire]]
| date = 2006-12-01
| url = [http://www.prnewswire.com/cgi-bin/stories.pl?ACCT=104&STORY=/www/story/12-01-2006/0004483524&EDATE=](http://www.prnewswire.com/cgi-bin/stories.pl?ACCT=104&STORY=/www/story/12-01-2006/0004483524&EDATE=)
| access-date =2008-03-17 }}</ref><ref name="AAJ">{{cite web
| last = Schermer
| first = Victor L.
| title = Butch Ballard: Legendary Philadelphia Drummer
| publisher = [[All About Jazz]]
| date = 2007-01-09
| url = [https://www.allaboutjazz.com/butch-ballard-legendary-philadelphia-drummer-butch-ballard-by-victor-l-schermer](https://www.allaboutjazz.com/butch-ballard-legendary-philadelphia-drummer-butch-ballard-by-victor-l-schermer)
| access-date = 2008-03-17
}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1918|2011}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
n5s16wh2ss49swvdoz9dir2vx0mts20
Don Ballard
0
237951
1570649
1549188
2026-06-11T00:56:08Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570649
wikitext
text/x-wiki
'''William Donaldson Ballard''' (Machi 15, 1927 – Julai 2, 2019) alikuwa mwanasiasa wa [[Marekani]] katika jimbo la Georgia.
Wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]], Ballard alihudumu katika Jeshi la Wanamaji la Marekani kama mtaalamu wa mabomu ya uharibifu (demolition expert) akiwa ndani ya meli ya ''USS LST-1076''.<ref name="60 years"/>
Baadaye alisoma katika Chuo Kikuu cha Georgia na kuwa wakili.<ref>{{cite web |url=[http://dlg.galileo.usg.edu/statreg-images/pdfs/1981.pdf](http://dlg.galileo.usg.edu/statreg-images/pdfs/1981.pdf) |title=Georgia Official and Statistical Register 1981-82 |publisher=Georgia Secretary of State |date=1981 |accessdate=19 Julai 2019 }}</ref> Mwaka 2012, Ballard alitimiza miaka 60 ya utendaji wa sheria kama wakili anayefanya kazi kikamilifu.<ref name="60 years">{{Rejea tovuti |url=[https://www.rockdalenewtoncitizen.com/news/man-of-the-law-don-ballard-has-been-practicing-law/article_47083743-3e99-5e29-815a-7216e6a8df87.html](https://www.rockdalenewtoncitizen.com/news/man-of-the-law-don-ballard-has-been-practicing-law/article_47083743-3e99-5e29-815a-7216e6a8df87.html) |title=Mtu wa sheria: Don Ballard amekuwa akifanya kazi ya uwakili kwa miaka 60 |first1=Crystal |last1=Tatum |website=RockdaleNewtonCitizen.com |date=Machi 20, 2012 |accessdate=19 Julai 2019 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1927|2019}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
8pp1olk3bnm06s3euiltlon454gn37t
Arthur J. Balzer
0
237954
1569458
1548995
2026-06-10T14:32:07Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569458
wikitext
text/x-wiki
'''Arthur J. Balzer''' (Machi 6, 1895 – Januari 31, 1962) alikuwa mfanyabiashara na mhadhiri wa [[Marekani]] kutoka West Allis, [[Wisconsin]], aliyewahi kuhudumu kwa vipindi kadhaa kama mwanachama wa Bunge la Jimbo la Wisconsin akiwakilisha Kaunti ya Milwaukee. Alihudumu kwanza katika miaka ya 1930 na baadaye kwa muhula mmoja katika miaka ya 1950.<ref>[[http://www.legis.state.wi.us/lrb/pubs/ib/99ib1.pdf](http://www.legis.state.wi.us/lrb/pubs/ib/99ib1.pdf){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} "Members of the Wisconsin Legislature 1848–1999" State of Wisconsin Legislative Bureau. Information Bulletin 99-1, Septemba 1999. uk. 25] {{webarchive |url=[https://web.archive.org/web/20061209014416/http://www.legis.state.wi.us/lrb/pubs/ib/99ib1.pdf](https://web.archive.org/web/20061209014416/http://www.legis.state.wi.us/lrb/pubs/ib/99ib1.pdf) |date=9 Desemba 2006 }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1895|1962}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
c003g3jbcryedtyl97jh6vufwohnlu7
Crispin Mbindule
0
237966
1570104
1550226
2026-06-10T22:13:16Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570104
wikitext
text/x-wiki
'''Crispin Mbindule Mitono''' ni [[mwanasiasa]] kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya [[Kongo]]. Yeye ni mbunge wa [[Bunge]] la Taifa la DRC anayewakilisha jimbo la Butembo. Pia ni mwanachama wa chama cha Union for the Congolese Nation (UNC).
Alisoma katika Chuo Kikuu cha Catholique du Graben.<ref>{{Cite web|title=Nos Elus {{!}} UNC|url=http://www.unc-rdc.org/?q=node/25|work=www.unc-rdc.org|accessdate=2026-05-23|language=fr|archive-date=2013-12-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20131204175323/http://www.unc-rdc.org/?q=node/25|url-status=dead}}</ref><ref>{{Citation|title=MBINDULE MITONO Crispin|url=http://www.assemblee-nationale.cd/v2/?team=mbindule-mitono-crispin|work=RDC - Assemblée Nationale|language=fr-FR|access-date=2026-05-23|archive-date=2015-09-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20150923175458/http://www.assemblee-nationale.cd/v2/?team=mbindule-mitono-crispin|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
i8p8644edxmqdzgslshp0r2pr6kch8h
Donald Bashor
0
237999
1570651
1549103
2026-06-11T01:00:03Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570651
wikitext
text/x-wiki
'''Donald Bashor''' (1930 – 11 Oktoba 1957) alikuwa mhalifu na muuaji kutoka [[Marekani]].
Bashor alitoroka kutoka Jeshi la Wanamaji mwaka 1948. Alifungwa gerezani kwa makosa ya wizi wa kutumia nguvu huko Los Angeles mwaka 1950, lakini alitoroka na kukimbilia Oregon, kisha akakamatwa tena na kutumikia muda uliobaki wa kifungo chake. Aliachiliwa kwa masharti (parole) mwaka 1954.
Baadaye alikiri kufanya mfululizo wa wizi wa kuvunja nyumba pamoja na mauaji ya Karil Graham na Laura Lindsay. Bashor alipigwa risasi na kujeruhiwa alipokuwa akijaribu kutoroka. Alifikishwa mahakamani mwaka 1956, akahukumiwa na kupewa adhabu ya kifo.<ref>[[https://scocal.stanford.edu/opinion/people-v-bashor-24161](https://scocal.stanford.edu/opinion/people-v-bashor-24161){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Noti ya kesi]</ref>
Aliuawa katika chumba cha gesi cha gereza la San Quentin tarehe 11 Oktoba 1957.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1930|1957}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
0rfc4pizfactljjmqpoeafwowy10ags
Harry Beal
0
238004
1570793
1549113
2026-06-11T09:16:55Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570793
wikitext
text/x-wiki
'''Harry Beal''' (16 Agosti 1930 – 26 Januari 2021) alikuwa mwanajeshi wa [[Marekani]] na anayetambuliwa kama mtu wa kwanza kujitolea katika kikosi cha U.S. Navy SEALs.
== Navy SEAL ==
Beal alijiunga na Jeshi la Wanamaji la Marekani mwaka 1948, akihudumu kwanza kwenye meli ya USS Shenandoah (AD-26) kama fundi wa silaha (gunner’s mate). Baadaye mwaka 1955 alijiunga na timu za uharibifu wa chini ya maji (Underwater Demolition Teams), ambazo zilikuwa chimbuko la kikosi cha SEALs.
Wakati kikosi cha kwanza cha U.S. Navy SEALs kilipoanzishwa mwaka 1962, Beal alikuwa wa kwanza kujitolea kujiunga na kikosi hicho cha operesheni maalum. Baadaye alihudumu kama mwalimu wa SEALs hadi alipostaafu Jeshini la Wanamaji la Marekani mwaka 1968.
Inasemekana pia alihusishwa na kumvuta mwanaanga John Glenn kutoka majini baada ya safari yake ya kihistoria ya anga ya Mercury-Atlas 6.
== Maisha ya baadaye ==
Baada ya kustaafu jeshi, Beal alifanya kazi katika Pennsylvania Department of Transportation kwa muda wa miaka 20 hadi alipostaafu mwaka 1990.
Mwaka 2020, daraja lilipewa jina lake katika mji alikozaliwa wa Meyersdale, Pennsylvania kama heshima kwa mchango wake.
Beal alifariki dunia tarehe 26 Januari 2021.<ref>{{cite web |last=Kieta |first=Eric |title=Harry Beal, America's first Navy SEAL, dies at 90 years old |url=[https://www.goerie.com/story/news/2021/01/26/harry-beal-greenville-township-first-navy-seal-obituary-john-f-kennedy-patriot-pioneer/4268877001/](https://www.goerie.com/story/news/2021/01/26/harry-beal-greenville-township-first-navy-seal-obituary-john-f-kennedy-patriot-pioneer/4268877001/) |work=[[Erie Times-News]] |access-date=January 28, 2021 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1930|2021}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
nu225zat7q0ab9mrk8aj56p47o7pum3
Anthony Viti
0
238061
1569451
1557974
2026-06-10T13:52:21Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569451
wikitext
text/x-wiki
'''Anthony Viti''' (alizaliwa [[1961]]) ni msanii nchini [[Marekani]] anayeishi na kufanya kazi huko [[Brooklyn, New York]]<ref>{{Cite web|url=https://www.metmuseum.org/art/collection/search/486189|title=Anthony Viti {{!}} Elegy Number 9 (After MH's Iron Cross) {{!}} The Met|website=The Metropolitan Museum of Art, i.e. The Met Museum|access-date=2018-03-25}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.alfaart.org/our-artists/anthony-viti|title=Anthony Viti – Alfa Art Gallery|website=www.alfaart.org|language=en-US|access-date=2018-03-25}}</ref>. Yeye ni [[msanii]] wa taswira na mwalimu wa sanaa. Viti kwa sasa anafundisha katika ''School of Visual Arts'' na ''Parsons School of Design''.<ref>{{cite web|url=https://www.newschool.edu/public-engagement/faculty-list/?id=4e6a-6377-4e6a-593d|title=Anthony Viti – Public Engagement|website=www.newschool.edu|accessdate=2026-05-23|archive-date=2019-09-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20190915080901/https://www.newschool.edu/public-engagement/faculty-list/?id=4e6a-6377-4e6a-593d|url-status=dead}}</ref><ref name="sva.edu1">{{cite web|url=http://www.sva.edu/faculty/anthony-viti|title=School of Visual Arts – SVA – New York City > Viti Anthony|website=www.sva.edu}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0j91s5vtpyjhcrvap39vyc9vzmiqjlz
Hossein Navab
0
238067
1570827
1564464
2026-06-11T11:14:12Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570827
wikitext
text/x-wiki
'''Hossein Navab''' au ''Hossein Navvab'' (1897–1972) alikuwa mwanadiplomasia wa [[Iran]] alihudumu kwa muda mfupi kama waziri wa mambo ya nje mnamo mwaka 1952.
== Kazi ==
Navab alikuwa mwanadiplomasia wa taaluma. Katika miaka ya 1930, alikuwa katibu wa pili katika [[Ubalozi wa Iran, London]].<ref>{{cite book
|editor=Mortimer Epstein|title=The Statesman's Year-Book|year=1934|publisher=[[Palgrave Macmillan]]|location=London|chapter-url=https://link.springer.com/chapter/10.1057/9780230270633_55|isbn=978-0-230-27063-3|page=1200|chapter=Persia|doi=10.1057/9780230270633}}</ref> Alihudumu kama [[kaunsila jenerali]] (consul general) wa Iran mjini New York katika miaka ya 1940.<ref>{{cite web|author=Bretton Woods|title=Final Act|access-date=25 July 2013|work=Commission for Looted Art in Europe|url=http://www.lootedartcommission.com/bretton-woods|archive-date=2026-05-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20260502224719/https://www.lootedartcommission.com/bretton-woods|url-status=dead}}</ref> Pia alikuwa balozi wa Iran nchini Uholanzi.<ref>{{cite web|title=Judgement of International Court of Justice|work=World Courts|access-date=25 July 2013
|url=http://www.worldcourts.com/icj/eng/decisions/1952.07.22_oil_co.htm}}</ref> Alihudumu kama waziri wa mambo ya nje katika [[Serikali za Mohammad Mosaddegh|baraza la pili la mawaziri]] la [[Waziri Mkuu wa Iran|Waziri Mkuu]] [[Mohammad Mosaddegh]] ambalo lilitangazwa mnamo tarehe 26 Julai 1952.<ref>{{cite journal|title=Developments of the Quarter: Comment and Chronology|url=https://archive.org/details/sim_middle-east-journal_autumn-1952_6_4/page/459|journal=[[The Middle East Journal]]|date=Autumn 1952|volume=6
|issue=4|jstor=4322439|page=459}}</ref> Navab alijiuzulu wadhifa huo bila kutaja sababu yoyote mnamo tarehe 9 Oktoba 1952, na [[Hossein Fatemi]] alichukua nafasi yake.<ref>{{cite news|title=Iran planning envoy shift|date=13 October 1952|agency=[[United Press International]]|location=Tehran
|access-date=25 July 2013|newspaper=[[Lewiston Morning Tribune]]|url=https://news.google.com/newspapers?id=j7teAAAAIBAJ&sjid=zzAMAAAAIBAJ&pg=2982,3680884&dq=hossein+navab&hl=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1897|1972}}
[[Jamii:Watu wa Iran]]
[[Jamii:Historia ya Iran]]
3bkwix264j2ewywne3gtepdl8mgo19s
Curtis Mabena
0
238087
1570158
1549274
2026-06-10T22:22:05Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570158
wikitext
text/x-wiki
'''Daniel Curtis Mabena''' (alizaliwa 8 Novemba 1959) ni [[mwanasiasa]] na mtumishi wa umma wa [[Afrika]] Kusini ambaye aliwakilisha chama cha African National Congress (ANC) katika Bunge la Kitaifa kutoka mwaka 2001 hadi 2009.<ref>{{Cite web|title=Statement by Curtis Mabena on Housing provision {{!}} ANC Parliamentary Caucus|url=https://www.ancparliament.org.za/content/statement-curtis-mabena-housing-provision|work=www.ancparliament.org.za|accessdate=2026-05-23|language=en}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alijiunga na [[Bunge la Tanzania|bunge]] hilo kwa mara ya kwanza mnamo tarehe 3 Julai 2001, akijaza nafasi iliyobaki wazi kufuatia kujiuzulu kwa Thabang Makwetla, na alichaguliwa kwa muhula kamili katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2004.
Baada ya kuacha kiti chake kwenye [[uchaguzi]] mkuu wa mwaka 2009, Mabena alifanya kazi katika [[utawala]] wa umma kwenye Idara ya Masuala ya Maji. Mnamo Mei 2011, mtandao wa News24 uliripoti kuwa Mamlaka ya Sifa za Kielimu ya Afrika Kusini (SAQA) iligundua kuwa alikuwa amedanganya wasifu wake wa kitaaluma (resumé), kwa kudai kwa uongo kuwa ana shahada ya uzamili ya heshima (honours degree) katika masomo ya ulinganishi na maendeleo.<ref>{{Citation|title=State officials ‘lie’ about qualifications {{!}} News24|url=https://www.news24.com/news24/state-officials-lie-about-qualifications-20150429|work=News24|language=en-US|access-date=2026-05-23}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
kzox1coo992c2n3xxw04hgbkxblsxwk
Gaolatlhe Kgabo
0
238106
1570697
1549344
2026-06-11T06:29:03Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570697
wikitext
text/x-wiki
'''Gaolatlhe David Kgabo''' (alizaliwa 3 Aprili 1989) ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini na mbunge katika [[Bunge]] la Kitaifa kwa tiketi ya chama cha African National Congress (ANC). Alichaguliwa kupitia orodha ya kikanda ya mkoa wa North West katika [[uchaguzi]] mkuu wa Afrika Kusini wa mwaka 2024.<ref>{{Rejea tovuti|title=Mr Gaolatlhe David Kgabo - Parliament of South Africa|url=https://parliament.gov.za/person-details/5854|work=parliament.gov.za|accessdate=2026-05-23|language=en|archive-date=2024-11-03|archive-url=https://web.archive.org/web/20241103091413/https://parliament.gov.za/person-details/5854|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
mk07wfvf950ss92botfmm8z63a65lxu
Elliott Blackstone
0
238134
1570657
1549579
2026-06-11T02:35:16Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570657
wikitext
text/x-wiki
'''Elliott R. Blackstone''' (30 Novemba 1924 – 25 Oktoba 2006) alikuwa sajenti katika San Francisco Police Department, anayejulikana kama mtetezi wa muda mrefu wa jamii ya wasagaji, mashoga na watu waliyebadili jinsia katika mji huo.<ref>{{Rejea kitabu|url=[https://books.google.com/books?id=8z8EAAAAMBAJ&q=%22Elliott+Blackstone%22&pg=PA67|title=LIFE|date=1971-12-31|publisher=Time](https://books.google.com/books?id=8z8EAAAAMBAJ&q=%22Elliott+Blackstone%22&pg=PA67|title=LIFE|date=1971-12-31|publisher=Time) Inc|language=en}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Elliott R. Blackstone alizaliwa katika [[Aurora, Illinois]] na kulelewa Chinook, Montana. Alihudumu katika U.S. Navy wakati wa Vita vya Pili vya dunia na baadaye akaachiliwa kwa heshima kutoka jeshini. Mwaka 1949 alikua afisa wa polisi wa [[San Francisco]].<ref name=":2">{{Rejea tovuti|url=[https://zagria.blogspot.com/2014/04/elliot-blackstone-1924-2006-police.html|title=Elliot](https://zagria.blogspot.com/2014/04/elliot-blackstone-1924-2006-police.html|title=Elliot) Blackstone (1924 – 2006) police officer, trans ally.|date=2014-04-11|website=A Gender Variance Who's Who|access-date=2019-07-29}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
Alikuwa mmoja wa waanzilishi wa mfumo ulioja kujulikana baadaye kama Ulinzi shirikishi.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=[http://www.comptonscafeteriariot.org/blackstone.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20061128152033/http://www.comptonscafeteriariot.org/blackstone.html|url-status=dead|archive-date=2006-11-28|title=Compton's](http://www.comptonscafeteriariot.org/blackstone.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20061128152033/http://www.comptonscafeteriariot.org/blackstone.html|url-status=dead|archive-date=2006-11-28|title=Compton's) Cafeteria Riot - Elliott Blackstone|date=2006-11-28|access-date=2018-09-30}}</ref> Mwaka 1962 aliteuliwa kuwa afisa wa kwanza wa idara hiyo wa mawasiliano na jamii ya “[[:en:homophile|homophile]],” kama ilivyoitwa wakati huo.<ref name=":0" />
Blackstone alifanya kazi ndani ya idara ya polisi kubadilisha sera na taratibu zilizokuwa zikielekezwa dhidi ya jamii ya [[LGBT]], kama vile kuwatega wanaume mashoga katika vyoo vya umma.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|url=[https://www.ebar.com/news///248641|title=Police](https://www.ebar.com/news///248641|title=Police) veteran Elliott Blackstone dies|website=Bay Area Reporter|access-date=2026-05-23}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1924|2006}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
7no8w8oub9875syt2oi9jwrmlk3j8li
Clay Blair
0
238136
1569942
1549389
2026-06-10T21:47:22Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569942
wikitext
text/x-wiki
'''Clay Blair Jr.''' (1 Mei 1925 – 16 Desemba 1998) alikuwa mwandishi wa habari na mwandishi wa [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa vitabu vyake kuhusu historia ya kijeshi. Blair aliandika takribani vitabu ishirini na vinne vya historia pamoja na mamia ya makala za magazeti na majarida zilizowafikia wasomaji wengi.
== Maisha ya awali na huduma ya kijeshi ==
Blair alizaliwa katika Lexington, Virginia (Lexington).<ref>University of Wyoming. American Heritage Center. [[http://rmoa.unm.edu/docviewer.php?docId=wyu-ah08295.xml](http://rmoa.unm.edu/docviewer.php?docId=wyu-ah08295.xml) ''Inventory of the Clay Blair Papers'']. Retrieved on July 26, 2009.</ref>
Blair alijiunga na Jeshi la Wanamaji la Marekani (United States Navy) mwaka 1943 wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia]] (World War II).<ref name="together"/> Takribani mwaka 1944, alihudhuria Basic Enlisted Submarine School kabla ya kuendelea na Quartermaster Class A School. Baada ya hapo alipangiwa kwenye meli ya USS Sperry (AS-12) (USS Sperry (AS-12)), ambayo ilikuwa meli ya kuhudumia manowari.<ref name="together">{{cite web | url=[https://navy.togetherweserved.com/usn/servlet/tws.webapp.WebApp?cmd=ShadowBoxProfile&type=Person&ID=396667](https://navy.togetherweserved.com/usn/servlet/tws.webapp.WebApp?cmd=ShadowBoxProfile&type=Person&ID=396667) | title=Blair, Jr., Clay, QM2c | publisher=TWS | access-date=June 17, 2020 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1925|1998}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
73q528idixe6c8w63ujsu4o7idu9ll2
Freddie Blassie
0
238140
1570686
1549587
2026-06-11T05:44:50Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570686
wikitext
text/x-wiki
'''Frederick Kenneth Blassie''' (8 Februari 1918 – 2 Juni 2003) alikuwa mpambanaji wa mieleka ya kitaalamu kutoka [[Marekani]] na meneja wa mieleka (professional wrestling manager), aliyejulikana kwa jina la ulingoni la "'''Classy''' Freddie Blassie". Mafanikio yake ulingoni ni pamoja na kushinda ubingwa wa dunia wa WWA World Heavyweight Championship mara nne katika eneo la Los Angeles. Alijulikana pia kwa jina la "The Hollywood Fashion Plate".<ref name="pencil">"Classy" Freddie Blassie with Keith Elliot Greenberg, ''Listen, You Pencil Neck Geeks'', (WWE Books, 2003).</ref>
Frederick Kenneth Blassie alikuwa pia mshindi wa mara moja wa NWA World Junior Heavyweight Championship na aliingizwa katika WWE Hall of Fame mwaka 1994.Anachukuliwa kama mmoja wa wapambanaji wa mieleka waliokuwa na umahiri mkubwa zaidi katika kucheza nafasi ya “heel” (mhalifu wa hadithi za mieleka).<ref>{{Rejea tovuti |author=Mike Mooneyham |title=Classy Freddie Blassie was pro wrestling's 'Fashion Plate' |url=[https://www.postandcourier.com/sports/wrestling/classy-freddie-blassie-was-pro-wrestling-s-fashion-plate/article_703c9970-a733-11ea-bece-5757df446537.html](https://www.postandcourier.com/sports/wrestling/classy-freddie-blassie-was-pro-wrestling-s-fashion-plate/article_703c9970-a733-11ea-bece-5757df446537.html) |access-date=2022-05-22 |website=Post and Courier |date=June 6, 2020 |language=en }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1918|2003}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
mhjc2vn1v0vgmqvprpw1lhsx3bdwpwa
Darrell Bolz
0
238146
1570505
1549414
2026-06-10T23:19:24Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 2 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570505
wikitext
text/x-wiki
'''Darrell G. Bolz''' (amezaliwa 24 Julai 1943, katika (Ontario)) ni mwanasiasa wa zamani wa Chama cha Republican cha [[Marekani]].
Alihudumu kama Mwakilishi wa Jimbo la Idaho (Idaho House of Representatives) kuanzia mwaka 2001 hadi 2014, akiwakilisha Wilaya ya 10, kiti B.
Alizaliwa Ontario, Oregon na baadaye akajiunga na utumishi wa kijeshi katika Jeshi la Wanamaji la Marekani (United States Navy), kabla ya kuingia katika siasa za jimbo la Idaho.
== Elimu ==
Bolz alihitimu kutoka (Fruitland High School), na akapata shahada ya kwanza katika elimu ya kilimo kutoka [[Chuo Kikuu cha Idaho]] (University of Idaho).
Baada ya kuhudumu kwa miaka mitatu kama baharia katika Jeshi la Wanamaji la Marekani (United States Navy), alirudi katika Chuo Kikuu cha Idaho na kukamilisha shahada ya uzamili (master's degree).
== Uchaguzi ==
* **2012:** Akiwa hakupingwa katika mchujo wa Chama cha Republican uliofanyika Mei 15, 2012, Bolz alishinda kwa kura 2,584, akimkabili mgombea wa Chama cha Democratic Angel Zeimantz.<ref>{{cite web|url=[http://www.sos.idaho.gov/elect/RESULTS/2012/Primary/tot_leg.htm](http://www.sos.idaho.gov/elect/RESULTS/2012/Primary/tot_leg.htm) |title=May 15, 2012 Primary Election Results |author=Ysursa, Ben |authorlink=Ben Ysursa |publisher=[[Secretary of State of Idaho]] |location=[[Boise, Idaho]] |accessdate=July 20, 2012 |url-status=dead |archiveurl=[https://web.archive.org/web/20121119193944/http://www.sos.idaho.gov/elect/RESULTS/2012/Primary/tot_leg.htm](https://web.archive.org/web/20121119193944/http://www.sos.idaho.gov/elect/RESULTS/2012/Primary/tot_leg.htm) |archivedate=November 19, 2012 }}</ref> Katika uchaguzi mkuu wa Novemba 6, 2012, aligombea kiti hicho.
* **2000:** Bolz alimpinga mbunge aliyekuwa madarakani, Dorothy Reynolds, katika mchujo wa Chama cha Republican wa Mei 23, 2000, na kushinda kwa kura 1,973 (asilimia 53.3%).<ref>{{cite web |url= [http://www.sos.idaho.gov/ELECT/2000rslt/primary/tot_leg.htm](http://www.sos.idaho.gov/ELECT/2000rslt/primary/tot_leg.htm) |title= May 23, 2000 Primary Election Results |author= Cenarrusa, Pete T. |authorlink= Pete T. Cenarrusa |publisher= Secretary of State of Idaho |location= Boise, Idaho |accessdate= July 20, 2012 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Baadaye hakupingwa katika uchaguzi mkuu wa Novemba 7, 2000, na akashinda kwa kura 6,698.<ref>{{cite web |url= [http://www.sos.idaho.gov/ELECT/2000rslt/general/tot_leg.htm](http://www.sos.idaho.gov/ELECT/2000rslt/general/tot_leg.htm) |title= November 7, 2000 General Election Results |author= Cenarrusa, Pete T. |publisher= Secretary of State of Idaho |location= Boise, Idaho |accessdate= July 20, 2012 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1943|}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
3nezg8c7jpt744ubo4wh9bod6rr2kkg
Harold Bradley (Mpiga gitaa)
0
238160
1570790
1549438
2026-06-11T09:05:06Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570790
wikitext
text/x-wiki
'''Harold Ray Bradley''' (2 Januari 1926 – 31 Januari 2019) alikuwa mpiga gitaa wa [[Marekani]] na mjasiriamali, aliyefanya kazi zaidi kama mwanamuziki wa studio (session musician). Alishiriki katika rekodi nyingi za muziki wa country, rock na pop, pamoja na kushiriki katika utayarishaji wa vipindi vya televisheni vya burudani na soundtrack za filamu.
Bradley alianza kazi ya muziki katika miaka ya 1940, na baadaye akawa sehemu ya kundi la wanamuziki wa studio lililojulikana kama (Nashville A-Team). Anachukuliwa kuwa mmoja wa wapiga gitaa waliorekodiwa zaidi katika historia ya muziki.<ref name="CMABradleyH">{{cite web|title=Harold Bradley, Legendary Country Music Hall Of Fame Guitarist, Passes At 93|url=[https://www.cmaworld.com/harold-bradley-legendary-country-music-hall-of-fame-guitarist-passes-at-93/|website=cmaworld.com|publisher=Country](https://www.cmaworld.com/harold-bradley-legendary-country-music-hall-of-fame-guitarist-passes-at-93/|website=cmaworld.com|publisher=Country) Music Association|date=31 January 2019|access-date=9 May 2024}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name="nyt">{{cite web|title=Harold Bradley, a Nashville Studio Master, Is Dead at 93|url=[https://www.nytimes.com/2019/01/31/obituaries/harold-bradley-dead.html|website=New](https://www.nytimes.com/2019/01/31/obituaries/harold-bradley-dead.html|website=New) York Times|date=31 January 2019|access-date=9 May 2024}}</ref>
Alifanya kazi kwa karibu na kaka yake mkubwa (Owen Bradley), na mwaka 1954 walianzisha (Bradley Film and Recording Studio), ambayo baadaye ilijulikana kama Quonset Hut Studio. Hii ilikuwa biashara ya kwanza ya tasnia ya muziki katika eneo linalojulikana leo kama (Music Row).<ref name= "Twelve">{{cite book|last=Kosser|first=Michael|title=How Nashville Became Music City, U.S.A.: 50 Years of Music Row|year=2006|publisher=Hal Leonard|url=[https://archive.org/details/hownashvillebeca00mich|url-access=registration|page=[https://archive.org/details/hownashvillebeca00mich/page/12](https://archive.org/details/hownashvillebeca00mich|url-access=registration|page=[https://archive.org/details/hownashvillebeca00mich/page/12) 12]|isbn=9780634098062 }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1926|2019}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
srgroxiczjdnpr6v90fdczgy0bqt8ut
Bill Brandt (Mchezaji wa baseball)
0
238167
1569483
1549446
2026-06-10T17:10:52Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569483
wikitext
text/x-wiki
'''William George Brandt''' (21 Machi 1915 – 16 Mei 1968) alikuwa mchezaji wa baseball wa kulipwa kutoka [[Marekani]]. Alicheza nafasi ya mpigaji mpira (pitcher) wa mkono wa kulia kwa misimu mitatu (1941–1943) akiwa na timu ya Pittsburgh Pirates katika Major League Baseball (MLB). Katika kazi yake ya kitaalamu, alirekodi ushindi 5 na kushindwa 3, akiwa na wastani wa ERA ya 3.57, pamoja na strikeout 21 katika inning 80 na 2/3.
William George Brandt alihudumu katika Jeshi la Wanamaji la Marekani kati ya 1944 hadi 1945 wakati wa Vita vya pili vya dunia. Akiwa jeshini, alichezea timu ya baseball ya Naval Station Great Lakes Bluejackets mwaka 1944, ambapo alishiriki katika michezo ya kijeshi iliyokuwa ikitumika kuinua morali ya wanajeshi wakati wa vita.<ref>{{cite web |title=Baseball in Wartime – Those Who Served A to Z |url=[http://baseballinwartime.com/those_who_served/those_who_served_atoz.htm](http://baseballinwartime.com/those_who_served/those_who_served_atoz.htm) |website=BaseballinWartime.com |accessdate=22 Machi 2019 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
5z2kd0nh2te5m3omdhwt8hrirctlmdf
Donté K. Hayes
0
238187
1570653
1549477
2026-06-11T01:10:50Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570653
wikitext
text/x-wiki
'''Donté K. Hayes''' (alizaliwa [[1975]], [[Baltimore, Maryland]]) ni msanii wa [[Marekani]] anayejulikana kwa uchongaji wake wa kauri.<ref name="Maake Magazine">{{cite web |title=Donté K Hayes |url=https://www.maakemagazine.com/donte-k-hayes |website=Maake Magazine |access-date=4 December 2022}}</ref> Alisoma katika Chuo kikuu cha Kennesaw State na Chuo Kikuu cha Iowa. Mwaka [[2019]], Hayes alitajwa kuwa msanii anayechipukia wa jarida la Ceramics Monthly<ref name="Ceramics Monthly">{{cite web |title=2019 Emerging Artist: Donté K. Hayes |url=https://ceramicartsnetwork.org/ceramics-monthly/ceramics-monthly-article/2019-Emerging-Artist-Dont%C3%A9-K-Hayes-217088 |website=Ceramics Monthly |access-date=4 December 2022 |language=en |archive-date=2022-12-04 |archive-url=https://web.archive.org/web/20221204012206/https://ceramicartsnetwork.org/ceramics-monthly/ceramics-monthly-article/2019-Emerging-Artist-Dont%C3%A9-K-Hayes-217088 |url-status=dead }}</ref>. Mwaka huo huo, alishinda tuzo ya ''1858 Prize for Contemporary Southern Art'' kutoka Makumbusho ya Sanaa ya Gibbes<ref name="Gibbes Museum of Art">{{cite web |last1=Hiester |first1=Becca |title=Society 1858 Celebrates Donté K. Hayes as Winner of Prize for Contemporary Southern Art |url=https://www.gibbesmuseum.org/news/society-1858-celebrates-donte-k-hayes-as-winner-of-prize-for-contemporary-southern-art/ |website=Gibbes Museum of Art |access-date=4 December 2022 |language=en |date=21 February 2020}}</ref>. Kazi yake iko katika mkusanyo wa Museum of Fine Arts,[[ Houston]].<ref name="MFAH">{{cite web |title=Donté K. Hayes |url=https://emuseum.mfah.org/people/45799/donte-k-hayes/objects |website=The MFAH Collections |access-date=4 December 2022}}</ref> Kipande chake, ''Initiate'', kilinunuliwa na Makumbusho ya Sanaa ya Amerika ya Smithsonian kama sehemu ya Kampeni ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Renwick Gallery.<ref name="Savig">{{cite book |last1=Savig |first1=Mary |last2=Atkinson |first2=Nora |last3=Montiel |first3=Anya |title=This Present Moment: Crafting a Better World |date=2022 |publisher=Smithsonian American Art Museum |location=Washington, DC |isbn=9781913875268 |pages=228-238}}</ref><ref name="Smithsonian American Art Museum">{{cite web |title=Donté K. Hayes |url=https://americanart.si.edu/artist/donte-k-hayes-32113 |website=Smithsonian American Art Museum |access-date=4 December 2022}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wachongaji wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1975]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
n53w3yiioxufcnr2fx3m97v6jkp776f
Daisuke Inoue
0
238287
1570315
1549878
2026-06-10T22:47:57Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570315
wikitext
text/x-wiki
'''Daisuke Inoue''' ({{lang|ja|井上 大佑}}; Inoue Daisuke, alizaliwa 10 Mei 1940) ni mfanyabiashara wa [[Japani]] anayejulikana zaidi kama mvumbuzi wa mashine ya karaoke.
Daisuke Inoue alikuwa mwanamuziki katika ujana wake na alifanya kazi ya kuwasindikiza wafanyabiashara waliotaka kuimba katika baa. Alibuni mashine ya karaoke ili kuwawezesha kuimba bila kuhitaji wanamuziki wa moja kwa moja kuwapa muziki wa usindikizaji.
Ingawa hakusajili hati miliki (patent) ya mashine hiyo na hivyo hakupata faida kubwa moja kwa moja kutokana na uvumbuzi wake, aliendelea kufanya kazi katika sekta ya karaoke. Baadaye alisajili hati miliki ya dawa ya kuzuia wadudu iliyotumika kulinda mashine za karaoke.
Mwaka 1999, jarida la ''Time'' lilimtaja kuwa mmoja wa “Waasia Wenye Ushawishi Mkubwa wa Karne”. Pia alitunukiwa Tuzo ya Amani ya Ig Nobel mwaka 2004, na mwaka 2005 maisha yake yalitumiwa kama msingi wa filamu ya wasifu ya Kijapani iliyoitwa ''Karaoke''.
Hata hivyo, tafiti za baadaye zimeonyesha kuwa kulikuwa na watu wengine waliobuni na kuuza mashine za karaoke kabla ya Inoue.<ref>{{Rejea jarida|title=Selection from TOP 100 Japanese Innovations of "Karaoke"|url=[https://www.jpo.go.jp/torikumi_e/kokusai_e/training/enishi/theme/No11_December2015_11.pdf|journal=IP](https://www.jpo.go.jp/torikumi_e/kokusai_e/training/enishi/theme/No11_December2015_11.pdf|journal=IP) Friends Connections|date=Desemba 2015|number=11|access-date=19 Februari 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190109014209/https://www.jpo.go.jp/torikumi_e/kokusai_e/training/enishi/theme/No11_December2015_11.pdf|archive-date=9](https://web.archive.org/web/20190109014209/https://www.jpo.go.jp/torikumi_e/kokusai_e/training/enishi/theme/No11_December2015_11.pdf|archive-date=9) Januari 2019|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=[http://www.karaoke.or.jp/03nenpyo/|title=History](http://www.karaoke.or.jp/03nenpyo/|title=History) of Karaoke|website=All-Japan Karaoke Industrialist Association|access-date=19 Februari 2019}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Rejea kitabu|title=Karaoke hishi : sōi kufū no sekai kakumei|last1=Ugaya |first1=Hiromichi (烏賀陽弘道) |date=2008 |publisher=Shinchōsha |isbn=9784106102929|location=Tōkyō|oclc=291123688}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1940|}}
[[Jamii:Watu wa Japani]]
i9ikaxkelpcr2pqo4ktfwenrpuaiey9
Ben Mosley
0
238371
1569478
1549803
2026-06-10T16:10:20Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569478
wikitext
text/x-wiki
'''Ben Mosley''' (alizaliwa [[Agosti 9]], [[1981]]) ni [[msanii]] nchini [[Uingereza]] wa ambaye kazi yake inategemea mada za usanifu na michezo. Alisoma sanaa katika Chuo Kikuu cha Liverpool. Alianza maonyesho yake ya kwanza mwaka [[2003]]. Anajulikana kwa uchoraji wake akiwa [[mubashara]] na hutengeneza uchoraji maalum katika hafla za kiwango cha juu duniani kote. Alikuwa msanii rasmi wa timu ya [[Uingereza]] kwenye [[Olimpiki ]] ya [[Paris]] [[2024]]. Mojawapo ya kazi zake maarufu ni picha ya [[Malkia Elizabeth II]] ya Platinum Jubilee aliyoichora kwa ajili ya jarida la ''Hello!'' mwaka [[2022]].<ref name=Ben>{{Cite web |url=https://www.benmosleyart.com/about/ |title=About Ben Mosley - Ben Mosley's personal website |accessdate=2026-05-24 |archive-date=2023-11-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20231128232729/https://www.benmosleyart.com/about/ |url-status=dead }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wasanii wa Uingereza]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
a4ljouwfcs7paqp56h47vzziedv3pih
Third World
0
238487
1569807
1549994
2026-06-10T21:25:21Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569807
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Third World
| picha = ThirdWorld7.jpg
| maelezo = Kundi la Third World likitumbuiza kwenye tamasha la [[Reggae Geel]] mnamo mwaka 2022
| background = group_or_band
| asili = [[Kingston, Jamaika|Kingston]], Jamaika
| aina = [[Reggae fusion]]<ref name="Adams">{{cite magazine|author=McAdams, Janine|url=https://books.google.com/books?id=hxAEAAAAMBAJ&pg=PA15 |magazine=Billboard| date=25 July 1992|title=Third World Puts Reggae On Top|volume=104|issue=30|issn=0006-2510|publisher=Nielsen Business Media, Inc.|page=15}}</ref>
| miaka ya kazi = {{start date|1973}}–sasa
| studio = [[Cleopatra Records|Cleopatra]], [[Island Records|Island]], [[Columbia Records|Columbia]], [[Mercury Records|Mercury]], Third World Music Group
| tovuti = {{URL|thirdworldband.com/}}
| washiriki wa sasa = *Richard "Richie" Barr<br />*Richard Daley<br />*Tony "Ruption" Williams<br />*Norris "Noreiga" Webb<br />*AJ "Bobocelli" Brown
}}
'''Third World''' ni kundi la muziki wa [[reggae fusion]] kutoka nchini [[Jamaika]] lililoundwa mnamo mwaka 1973. Mtindo wao wa muziki uliathiriwa pakubwa na miondoko ya muziki wa [[Soul music|soul]], [[funk]], na [[disco]]. Ingawa kundi hili limepitia mabadiliko kadhaa ya washiriki tangu kuanzishwa kwake, Richard Daley amekuwa mwanachama wa kudumu tangu kundi hilo lilipoundwa mnamo mwaka 1973.
== Historia ==
=== Miaka ya 1970 ===
Third World ilianza pale mpiga kinanda [[Michael Cooper (mwanamuziki)|Michael "Ibo" Cooper]] na mpiga gitaa (pamoja na gitaa la cello) Stephen "Cat" Coore (mtoto wa aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu David Coore)—ambao hapo awali walikuwa wakipiga muziki kwenye bendi ya The Alley Cats na baadaye [[Inner Circle (bendi ya reggae)|Inner Circle]]—walipoamua kuondoka na kuanzisha bendi yao wenyewe wakishirikiana na mwimbaji wa zamani wa Inner Circle, Milton "Prilly" Hamilton.<ref name="Thompson">{{cite book|author=Thompson, Dave|year=2002|title=Reggae & Caribbean Music|publisher=Backbeat Books|isbn=0-87930-655-6|pages=278–280}}</ref><ref name="Barrow">{{cite book|author1=Barow, Steve |author2=Dalton, Peter |year=2004|title=The Rough Guide to Reggae|edition=3rd|publisher=Rough Guides|isbn=1-84353-329-4|page=148}}</ref> Walimchukua mpiga gitaa la besi Richard Daley (aliyekuwa akipiga kwenye bendi ya [[Ken Boothe]] na kundi la Tomorrow's Children), na kumwongeza mpiga ngoma Carl Barovier pamoja na mpiga vyombo vya mdundo wa zamani wa Inner Circle, Irvin "Carrot" Jarrett, kabla ya kufanya onyesho lao la kwanza jukwaani mapema mwaka 1974.<ref name="Thompson" />
Baada ya kurekodi baadhi ya nyimbo chini ya mtayarishaji [[Geoffrey Chung]] ambazo hazikutolewa rasmi, wimbo wao wa kwanza rasmi uliotoka ulikuwa "Railroad Track" (1974) waliojitayarisha wenyewe.<ref name="Thompson" /> Katika siku zao za mapema, walitumbuiza zaidi kwenye hoteli na klabu za usiku jijini Kingston na (wakiwa pamoja na [[The Wailers]]) walisindikiza kundi la [[The Jackson Five]] walipotumbuiza kwenye Uwanja wa Kitaifa wa Jamaika.<ref name="Thompson" />
Baadaye walisaini mkataba chini ya studio ya [[Island Records]] na kufanya ziara ya kimuziki barani Ulaya pamoja na The Wailers.<ref name="Thompson" /> Albamu yao ya kwanza iliyobeba jina la bendi hiyo ''[[Third World (albamu ya Third World)|Third World]]'' ilitoka mwaka 1976. Albamu hiyo ilijumuisha wimbo wa kurudiwa wa "[[Satta Massagana]]", ambao hapo awali uliimbwa na kundi la [[The Abyssinians]], na ukawa wimbo uliopendwa sana nchini humo. Hamilton na Cornell Marshall (aliyechukua nafasi ya Barovier hapo awali) walitoka na nafasi zao kuchukuliwa na wanachama wengine wawili wa zamani wa Inner Circle: mwimbaji [[Bunny Rugs|William "Bunny Rugs" Clarke]] na mpiga ngoma Willie Stewart kabla ya kurekodi albamu yao ya pili, ''[[96° in the Shade]]'' (1977), iliyovuma sana ndani ya Jamaika. Kati ya nyimbo nane zilizokuwemo, zilizong'ara zaidi ni "1865 (96° in the Shade)" (wimbo unaozungumzia mapinduzi ya [[Morant Bay rebellion]] ya mwaka 1865), "Rhythm of Life", na wimbo pekee wa kurudiwa wa "Dreamland", ulioandikwa na [[Bunny Wailer]].<ref name="Thompson" /> Walitumbuiza mbele ya umati wa watu 80,000 kwenye tamasha la Smile Jamaica mnamo mwaka 1976.<ref name="Thompson" />
Mnamo mwaka 1977, bendi hii ilishirikiana na daktari wa magonjwa ya akili Frederick Hickling katika kuandaa onyesho la ''Explanitations'' lililofanyika kwenye jukwaa la Little Theatre jijini Kingston mapema mwaka uliofuata.<ref name="Hickling">{{cite book|author=Hickling, Frederick W.|year=2012|title=Psychohistoriography|isbn=978-1849053570|pages=74–78|publisher=Jessica Kingsley Publishers }}</ref>
== Mtindo wa muziki ==
Ingawa bendi hii ilipiga muziki wa [[roots reggae]], walijumuisha pia mitindo mingine kwenye kazi zao. Ushawishi wa mapema kutoka kwa The Wailers ndio uliochochea kuundwa kwa bendi hiyo ili kuelekea upande mpya unaochanganya reggae na aina nyingine za muziki.<ref name="Thompson" /> Ladha yao iliyolenga zaidi muziki wa pop iliwavutia ukosoaji kutoka kwa wapenzi wakomavu wa reggae ambao hawakufurahishwa na kitendo cha bendi hiyo kuingiza miondoko ya soul ya Kimarekani na [[Contemporary R&B|R&B]] kwenye muziki wao.<ref name="Vleck">{{cite magazine|author=van Vleck, Philip|url=https://books.google.com/books?id=yQ0EAAAAMBAJ&dq=%22third+world%22+reggae&pg=PA60|title=Third World ''Ain't Givin' Up''|magazine=[[Billboard (magazine)|Billboard]]|date=31 May 2003|page=60|access-date=8 September 2012}}</ref> Bendi hii imewahi pia kupiga muziki wa folk-pop, hard rock, [[bossa nova]], rap, pop-jazz, [[doo-wop]], na [[Calypso music|calypso]].<ref name="Wartofsky">{{cite news|author=Wartofsky, Alona|title=Third World, From Reggae to Rap|newspaper=[[The Washington Post]]|date=16 April 1990|page=B9}}</ref><ref name="Bordowitz">{{cite book|author=Bordowitz, Hank|year=2004|title=Noise of the World: Non-Western Musicians in Their Own Words|publisher=Soft Skull Press|isbn=9781932360608|page=5}}</ref> Mtindo wao unafahamika zaidi kama [[reggae fusion]].<ref name="Adams" /> Bunny Rugs aliwahi kuuelezea muziki wao kwa kusema: "Kama bendi ya reggae pekee, hapana. Lakini hakika sisi ni bendi ya reggae, ndiyo."<ref name="Adams" /> Cat Coore naye alisema: "Mchanganyiko wa aina mbalimbali za muziki kwetu ni kitu cha asili kwa sababu, kwa kukulia Jamaika, tunajua mizizi halisi ya reggae na ska. Wakati huo huo tunaishi kwenye nchi ambayo unapata fursa ya kuwasikia wasanii kama [[Chuck Berry]], [[Fats Domino]] na wasanii wote wa R&B."<ref name="Darling" /> Mpiga besi Richard Daley aliongeza kuwa: "Tulichukua muziki wa roots reggae na kuuwekea matawi juu yake."
== Washiriki ==
[[File:ThirdWorld5.jpg|thumb|Stephen "Cat" Coore wa bendi ya Third World akitumbuiza kwenye tamasha la [[Reggae Geel]] mwaka 2022]]
=== Washiriki wa sasa ===
*Richard Daley – gitaa la besi <small>(1973–sasa)</small>
*Richard Barr - gitaa la besi <small>(2021–sasa)</small>
*Tony "Ruption" Williams – ngoma <small>(1997–sasa)</small>
*Norris "Noriega" Webb – kinanda <small>(2007–sasa)</small>
*AJ Brown – sauti <small>(2014–sasa)</small>
=== Washiriki wa zamani ===
*[[Bunny Rugs|William "Bunny Rugs" Clarke]] – sauti, gitaa <small>(1976–2014; alifariki 2014)</small>
*[[Michael Cooper (mwanamuziki)|Michael "Ibo" Cooper]] – kinanda <small>(1973–1997; alifariki 2023)</small>
*Stephen "Cat" Coore - gitaa, cello <small>(1973–2026; alifariki 2026)</small>
*Irvin "Carrot" Jarrett – vyombo vya mdundo <small>(1973–1983; alifariki 2018)</small>
*Carl Barovier – ngoma <small>(1973–1976)</small>
*Milton "Prilly" Hamilton – sauti <small>(1973–1976; alifariki 2025)</small>
*Willie Stewart – ngoma <small>(1976–1997)</small>
*Rupert "Gypsy" Bent III – gitaa, kinanda, vyombo vya mdundo, sauti <small>(1989, 1994)</small>
*Leroy "Baarbe" Romans – kinanda <small>(1997–1999)</small>
*Mikel Wallace – kinanda <small>(1999)</small>
*Herbie Harris – kinanda <small>(2002–2010)</small>
*Maurice Gregory - kinanda <small>(2010–2020)</small>
== Kazi za Muziki ==
=== Albamu za Studio ===
{|class="wikitable plainrowheaders" style="text-align:center;" border="1"
|+ Orodha ya albamu na nafasi zilizoshika kwenye chati
! scope="col" rowspan=2 style="width:20em;"| Jina la Albamu
! scope="col" rowspan=2 | Mwaka
! scope="col" rowspan=2 | Studio/Lebo
! scope="col" colspan=3 | Nafasi Kwenye Chati
|-
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[UK Albums Chart|Uingereza]]<br><ref name="British Hit Singles & Albums">{{cite book|first=David|last=Roberts|year=2006|title=British Hit Singles & Albums|edition=19th|publisher=Guinness World Records Limited|location=London|isbn=1-904994-10-5|page=556}}</ref>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[Billboard Hot 200|Marekani]]<br><ref name="Awards">{{cite web|title=Third World - Awards|url=http://www.allmusic.com/artist/third-world-mn0000494474/awards|publisher=[[AllMusic]]|access-date=2 January 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20130127235842/http://www.allmusic.com/artist/third-world-mn0000494474/awards|archive-date=27 January 2013}}</ref>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|Marekani R&B<br><ref name="Awards"/>
|-
! scope="row" | ''[[Third World (albamu ya Third World)|Third World]]''
| 1976
| rowspan="5"|[[Island Records|Island]]
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''[[96° in the Shade]]''
| 1977
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''[[Journey to Addis]]''
| 1978
| 30
| 55
| 14
|-
! scope="row" | ''[[The Story's Been Told]]''
| 1979
| —
| 157
| —
|-
! scope="row" | ''Arise in Harmony''
| 1980
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Rock the World''
| 1981
| [[Columbia Records|CBS]]
| 37
| 186
| 50
|-
! scope="row" | ''You've Got the Power''
| 1982
| Columbia
| 87
| 63
| 20
|-
! scope="row" | ''All the Way Strong''
| 1983
| rowspan="2"|CBS
| —
| 137
| 50
|-
! scope="row" | ''Sense of Purpose''
| 1985
| —
| 119
| 42
|-
! scope="row" | ''Hold on to Love''
| 1987
| Columbia
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''[[Serious Business (albamu ya Third World)|Serious Business]]''
| 1989
| [[Mercury Records|Mercury]]
| —
| 107
| 30
|-
! scope="row" | ''Committed''
| 1992
| Mercury
| —
| —
| 51
|-
! scope="row" | ''Live It Up''
| 1995
| Bud Music
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Generation Coming''
| rowspan="2"|1999
| Déclic Communication
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''The Story's Been Told''
| Island
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Ain't Givin' Up''
| 2003
| [[Shanachie Records|Shanachie]]
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Riddim Haffa Rule''
| 2004
| Music Avenue
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Black Gold Green''
| 2005
| Nocturne
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Patriots''
| 2010
| Third World Music Group
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Under the Magic Sun''
| 2014
| Cleopatra
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | ''More Work to Be Done''
| 2019
| Ghetto Youths International
| —
| —
| —
|-
| colspan="6" style="font-size:90%"| Alama ya "—" inamaanisha albamu haikuingia kwenye chati hizo.
|}
=== Albamu za Onyesho la Jukwaani (Live) ===
{|class="wikitable plainrowheaders" style="text-align:center;" border="1"
|+ Orodha ya albamu za jukwaani na nafasi kwenye chati
! scope="col" rowspan=2 style="width:20em;"| Jina la Albamu
! scope="col" rowspan=2 | Mwaka
! scope="col" rowspan=2 | Lebo
! scope="col" colspan=2 | Nafasi Kwenye Chati
|-
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[Billboard Hot 200|Marekani]]<br><ref name="Awards"/>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|Marekani R&B<br><ref name="Awards"/>
|-
! scope="row" | ''Prisoner in the Street''
| 1980
| Island
| 186
| 59
|-
! scope="row" | ''Dedicated to Stevie Wonder''
| 1982
| Buccaneer
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Third World Live''
| 2001
| rowspan="2"|Tabou 1
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Live in Hawaii & Jamaica''
| 2002
| —
| —
|-
! scope="row" | ''Music Hall in Concert''
| 2007
| Membran Music
| —
| —
|-
| colspan="6" style="font-size:90%"| Alama ya "—" inamaanisha albamu haikuingia kwenye chati hizo.
|}
=== Albamu za Mchanganyiko (Compilations) ===
{|class="wikitable plainrowheaders" style="text-align:center;" border="1"
|+ Orodha ya albamu za mchanganyiko
! scope="col" style="width:20em;"| Jina la Albamu
! scope="col" | Mwaka
! scope="col" | Lebo
|-
! scope="row" | ''Reggae Greats''
| 1985
| Island
|-
! scope="row" | ''Reggae Ambassadors''
| 1994
| Chronicles
|-
! scope="row" | ''The Best of Third World''
| 1993
| Sony
|-
! scope="row" | ''Greatest Hits''
| 1995
| Columbia
|-
! scope="row" | ''25th Anniversary''
| 2001
| BMG
|-
! scope="row" | ''Now That We've Found Love''
| 2004
| Charly
|-
! scope="row" | ''Tuff Mi Tuff''
| 2006
| Noble Price
|-
! scope="row" | ''The Best of Third World: The Millennium Collection''
| 2007
| Island
|}
=== Singo zao ===
{|class="wikitable plainrowheaders" style="text-align:center;" border="1"
|+ Orodha ya nyimbo zilizovuma na nafasi kwenye chati
! scope="col" rowspan=2 style="width:20em;"| Jina la Wimbo
! scope="col" rowspan=2 | Mwaka
! scope="col" rowspan=2 | Lebo
! scope="col" colspan=5 | Nafasi Kwenye Chati
|-
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[Kent Music Report|AUS]]<br><ref name=aus>{{cite book|last=Kent|first=David|authorlink=David Kent (historian)|title=Australian Chart Book 1970–1992|edition=illustrated|publisher=Australian Chart Book|location=St Ives, N.S.W.|year=1993|isbn=0-646-11917-6|page=308}}</ref>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[UK Singles Chart|Uingereza]]<br><ref name="British Hit Singles & Albums"/><ref name="UK">{{cite web|title=THIRD WORLD - full Official Chart History|url=https://www.officialcharts.com/artist/17137/third-world/|publisher=[[Official Charts Company]]|access-date=10 October 2022}}</ref>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|[[Billboard Hot 100|Marekani]]<br><ref name="VF">{{cite web|title=Third World Top Songs / Chart Singles Discography|url=https://www.musicvf.com/Third+World.art|website=Music VF|access-date=2 January 2022}}</ref>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|Marekani R&B<br><ref name="VF"/>
! scope="col" style="width:3em;font-size:90%";"|Marekani Dance<br><ref name="VF"/>
|-
! scope="row" | "Railroad Track"
| 1975
| rowspan="8"|Island
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "96º in the Shade"
| 1977
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "[[Now That We Found Love]]"
| rowspan="2"|1978
| —
| 10
| 47
| 9
| —
|-
! scope="row" | "Cool Meditation"
| —
| 17
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "One Cold Vibe (Couldn't Stop Dis Ya Boogie)"
| rowspan="5"|1979
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Tonight for Me"
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "The Story's Been Told"
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Talk to Me"
| —
| 56
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Always Around"
| Jah's Music/Island
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Street Fighting"
| rowspan="2"|1980
| Cav Lip
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Rooths with Quality"
| Observers
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Dancing on the Floor (Hooked on Love)"
| rowspan="2"|1981
| rowspan="3"|CBS
| —
| 10
| —
| 88
| —
|-
! scope="row" | "Standing in the Rain"
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Try Jah Love"
| rowspan="3"|1982
| 55
| 47
| 101
| 23
| 17
|-
! scope="row" | "You're Playing Us Too Close"
| Columbia
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Ride On"
| rowspan="5"|CBS
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Love Is Out to Get You"
| rowspan="2"|1983
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Lagos Jump"
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Sense of Purpose"
| rowspan="4"|1985
| —
| —
| —
| 51
| 45
|-
! scope="row" | "One More Time"
| —
| 99
| —
| —
| 8
|-
! scope="row" | "One to One"
| Columbia
| —
| —
| —
| 76
| —
|-
! scope="row" | "Now That We Found Love" <small>(Toleo jipya)</small>
| Island
| —
| 22
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Hold on to Love"
| rowspan="3"|1987
| CBS
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Over Due"
| Jah's Music
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "The Spirit Lives"
| Columbia
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "It's the Same Old Song"
| rowspan="2"|1989
| rowspan="2"|Mercury
| —
| 80
| —
| 77
| —
|-
! scope="row" | "Forbidden Love"
| —
| —
| —
| 17
| —
|-
! scope="row" | "Live in the Balance"
| 1991
| Jah's Music
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Committed"
| 1992
| Mercury
| —
| —
| —
| 27
| —
|-
! scope="row" | "Talk to Me" <small>(Toleo jipya)</small>
| 1994
| Great Jones
| —
| —
| —
| —
| 19
|-
! scope="row" | "Dem Man Deh"
| 1996
| rowspan="2"|Taxi
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Baltimore"
| 1997
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Reggae Party" <small>(akishirikiana na [[Shaggy (mwanamuziki)|Shaggy]])</small>
| 1999
| Eagle
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Dread Eyes"
| 2000
| Reggae Blitz
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Ya Ya Ya Jamaica"
| 2001
| BMG
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "96 Degrees Cover (2nd Generation)" <small>(akishirikiana na Stephen na Damian Marley)</small>
| 2011
| Third World Music Group
| —
| —
| —
| —
| —
|-
! scope="row" | "Loving You Is Easy"
| 2018
| Ghetto Youths International
| —
| —
| —
| —
| —
|-
| colspan="8" style="font-size:90%"| Alama ya "—" inamaanisha wimbo haikuingia kwenye chati hizo.
|}
== Tuzo na teuzi ==
=== Tuzo za Grammy ===
Tuzo za [[Grammy Award|Grammy]] hutolewa kila mwaka na taasisi ya [[National Academy of Recording Arts and Sciences]] ya Marekani. Kundi la Third World limebahatika kupata jumla ya teuzi (nominations) tisa.<ref>{{cite web|url=https://www.grammy.com/artists/third-world/8530|title=Third World|website=Grammy.com|date=June 24, 2023}}</ref>
{{awards table}}
|-
|[[Tuzo za 25 za Grammy|1983]]
|''Reggae Sunsplash '81: A Tribute to Bob Marley''
|[[Grammy Award for Best Ethnic or Traditional Folk Recording|Onyesho Bora la Muziki wa Kiasili au Kienyeji]]
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 30 za Grammy|1988]]
|''Hold On to Love''
|rowspan=8|[[Grammy Award for Best Reggae Album|Albamu Bora ya Reggae]]
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 32 za Grammy|1990]]
|''Serious Business''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 35 za Grammy|1993]]
|''Committed''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 38 za Grammy|1996]]
|''Live It Up''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 42 za Grammy|2000]]
|''Generation Coming''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 46 za Grammy|2004]]
|''Ain't Givin' Up''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 48 za Grammy|2006]]
|''Black Gold & Green''
|{{nom}}
|-
|[[Tuzo za 62 za Grammy|2020]]
|''More Work to Be Done''
|{{nom}}
{{end}}
== Viungo vya Nje ==
* [http://www.thirdworldband.com/ Tovuti Rasmi ya Third World]
* {{discogs artist|Third World}}
* {{IMDb name|2343663}}
{{Third World (bendi)}}
{{DEFAULTSORT:Third World}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamaika]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
ejcgpc376aia09rso6fb7ocy30zl38z
Everton Blender
0
238498
1570670
1550011
2026-06-11T04:08:04Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570670
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Everton Blender
| picha = Everton Blender July 2011.jpg
| maelezo = Everton Blender mnamo mwezi Julai mwaka 2011
| background = solo_singer
| jina_la_kuzaliwa = Everton Dennis Williams
| asili = [[Clarendon, Jamaika|Clarendon]], Jamaika
| aina = [[Reggae]], [[Roots reggae]]
| kazi = Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa muziki
| miaka ya kazi = Mwishoni mwa miaka ya 1970–sasa
| studio = [[Heartbeat Records|Heartbeat]], [[Greensleeves Records|Greensleeves]], Star Trail, Malako, [[Rounder Records|Rounder]], Blend Dem, Explorer
| tovuti =
}}
'''Everton Blender''' (alizaliwa kama '''Everton Dennis Williams''' mnamo tarehe 21 Novemba 1954 katika Parokia ya [[Clarendon, Jamaika|Clarendon]]) ni mwimbaji na mtayarishaji wa muziki wa [[reggae]] kutoka nchini [[Jamaika]]. Anafahamika zaidi kwa sauti yake nyororo ya teno, mipangilio ya muziki yenye kasi changamfu, na nyimbo zake zenye ujumbe wa kiroho na kijamii unaoinua nafsi, akifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuziba pengo lililopo kati ya muziki wa [[roots reggae]] na [[dancehall]].<ref name="Harris">{{cite web |url={{AllMusic|class=artist|id=p141493/biography|pure_url=yes}} |title=Everton Blender – Biography |accessdate=23 March 2008 |author=Harris, Craig |publisher=AllMusic }}</ref><ref name="fast">{{cite web |url=http://www.fastlaneintl.com/blender.htm |title=Reggae – Everton Blender |accessdate=23 March 2008 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080510230215/http://www.fastlaneintl.com/blender.htm |archive-date=10 May 2008 |url-status=dead }}</ref>
== Wasifu ==
Williams alizaliwa katika parokia ya Clarendon lakini alikulia kwenye mitaa ya Maxfield Avenue jijini [[Kingston, Jamaika|Kingston]].<ref name="fast" />
Alianza safari yake ya kimuziki kwa kuimba kwenye mashindano ya wasanii chipukizi mwishoni mwa miaka ya 1970 katika klabu ya ''Bohemia Club'' jijini Kingston, akitumbuiza kwa kurudia nyimbo za [[Dennis Brown]] chini ya jina la kisanii "Babbaru". Alifanikiwa kushinda shindano hilo katika jaribio lake la pili.<ref name="Harris" /> Baadaye, alitumbuiza katika madisko mbalimbali ya sauti ya Jamaika kama vile ''Destiny Outernational'', ''Master Voice'', na ''Santex'', na kufanikiwa kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo "Where Is Love" mnamo mwaka 1979 na "Ba Ba Black Sheep" mnamo mwaka 1985. Hata hivyo, hakupata mafanikio makubwa ya kibiashara katika kipindi hicho, jambo lililomfanya ajiondoe kwenye tasnia ya muziki na kurejea kwenye kazi yake ya awali ya kupaka rangi nyumba.<ref name="Barrow">{{cite book |last=Barrow |first=Steve |author2=Dalton, Peter |title=Reggae: The Rough Guide |year=1997 |publisher=Rough Guides |isbn=1-85828-247-0 |url-access=registration |url=https://archive.org/details/reggaeroughguide00barro }}</ref>
Blender alirejea tena kwenye muziki mapema miaka ya 1990 baada ya msanii mwenzake [[Garnett Silk]], ambaye pia alikuwa amefanya kazi na mfumo wa sauti wa ''Destiny'', kumtambulisha kwa mtayarishaji mahiri wa muziki [[Richard Bell (record producer)|Richard Bell]]. Bell alimsainisha Blender kwenye lebo yake ya ''Star Trail''. Katika awamu hii ya pili, Blender alipata mafanikio ya haraka mara tu baada ya kutoa wimbo wa "We No Jus' a Come," ambao ulifanya vizuri sana na kuwa wimbo uliopendwa nchini Jamaika.<ref name="Harris" />
Umaarufu wa Blender ulisambaa hadi nchini Uingereza ambapo albamu yake ya kwanza, ''Lift Up Your Head'', ilishika nafasi ya nne kwenye chati ya muziki ya ''[[Black Echoes]]''. Wimbo mkuu uliobeba jina la albamu hiyo ulichaguliwa pia kuwania Tuzo ya Muziki ya Jamaika (Jamaican Music Award).<ref name="Harris" /> Albamu na nyimbo nyingine nyingi zilifuata, na nyimbo zake za mapema za awamu hii zilikuja kukusanywa na kutolewa kwenye albamu ya mchanganyiko iitwayo ''A Piece of da Blender: The Singles'' mnamo mwaka 1996.
Blender anatajwa kuwa mmoja wa waimbaji mashuhuri walioongoza vuguvugu la kurejea kwa muziki wa reggae wenye ujumbe wa kiutamaduni na maadili (cultural reggae) katika miaka ya 1990, akisimama bega kwa bega na wasanii kama Garnett Silk na [[Luciano (mwimbaji)|Luciano]].<ref name="Barrow" />
Ametoa albamu kadhaa chini ya lebo ya [[Heartbeat Records]] na pia alianzisha lebo yake binafsi ya kurekodi muziki iitwayo ''Blend Dem Productions''. Kupitia lebo hiyo, amefanya kazi na kuzalisha kazi za wasanii wengine wakubwa kama [[Prezident Brown]], [[Admiral Tibet]], [[Louie Culture]], [[Jah Mason]], [[Spanner Banner]], [[Richie Spice]], na [[Anthony B]], pamoja na kusimamia kazi zake mwenyewe.<ref name="Dooley">{{cite web |url=http://incolor.inetnebr.com/cvanpelt/blender.html |title=Blender Have Him Credential |accessdate=23 March 2008 |author=Dooley, Jim |year=1999 |archive-date=2016-06-19 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160619052629/http://incolor.inetnebr.com/cvanpelt/blender.html |url-status=dead }}</ref>
=== Mtazamo wa uandishi na maadili ===
Blender aliwahi kueleza jinsi anavyoandika nyimbo zake kwa kusema: "Sisi huwa tunatafakari tu, na kisha hisia inakuja yenyewe, au tunakaa chini na kuanza kutengeneza wimbo kuanzia mwanzo bila hata kuwa na melodi yoyote, na melodi zinakuja baadaye."<ref name="niceup">{{cite web |url=http://niceup.com/interviews/everton_blender |title=Everton Blender Interview, WESU 88.1 FM, Middletown, Connecticut, March 2, 1996 |accessdate=23 March 2008 |date=March 1996 }}</ref> Blender amekuwa akipinga vikali matumizi ya maneno machafu au yasiyo na maadili ambayo yamekuwa ya kawaida katika baadhi ya matawi ya reggae na dancehall, akisisitiza kuwa: "Kama watu wakikuambia wanataka takataka, unajua kabisa hawapaswi kupewa takataka. Wanapaswa kupata vitu vizuri vitakavyoweka safi miili yao ya ndani na nje. Kamwe tusishindwe, kila wakati tusimamie uadilifu. Hicho ndicho tunachokipigania."<ref name="niceup" />
Blender amefanya ziara nyingi za kimuziki duniani kote. Alifanya ziara barani Afrika mnamo mwaka 1999 mbele ya mashabiki wengi wenye shauku, ambapo alisema: "Wanahitaji kujua kuhusu utamaduni wao... baadhi ya watu wanapenda kujitokeza na kuuona utamaduni wa Jamaika." Mnamo mwaka 2019, alifanya ziara mbili zenye mafanikio makubwa barani Ulaya akishirikiana na Thomas Evers wa shirika la wasanii la Rockers Artist Agency.<ref name="Dooley" />
== Tuzo ==
Blender alitunukiwa tuzo ya kimataifa ya ''Chicago Martins International Award'', pamoja na tuzo za ''South Florida Reggae/Soca Awards'' katika miaka ya 1996 na 1997 kwenye kipengele cha "Msanii Aliyepiga Hatua Zaidi" (Most Improved Entertainer).<ref name="Harris" />
== Diskografia ==
*''Lift Up Your Head'' (1994) – Star Trail/[[Heartbeat Records|Heartbeat]]
*''Blend Dem'' (1995) – Malako
*''Piece of da Blender: The Singles'' (1996) – Heartbeat
*''Where Do The Children'' (1997) – Heartbeat
*''Rootsman Credential'' (1999) – Heartbeat
*''Live at the White River Reggae Bash'' (2000) – [[Rounder Records|Rounder]]
*''World Corruption'' (2000) – [[Greensleeves Records|Greensleeves]]
*''Visionary'' (2001) – Heartbeat
*''King Man'' (2003) – Heartbeat/Blend Dem
*''It's My Time'' (2005) – Explorer
*''Live in Berkeley'' (2007) – 2B1 (DVD)
*''Red Razor Riddim'' (2007) – Zion High/Lustre Kings
*''Higher Heights rEvolution'' (2011) – Blend Dem
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://myspace.com/evertonblender Ukurasa wa Everton Blender kwenye Myspace]
* [https://archive.today/20130201045606/http://www.reggae-reviews.com/blender.html Everton Blender kwenye tovuti ya ReggaeReviews]
* [http://ireggae.com/everton.htm Mahojiano ya sauti na Everton Blender (22 Juni 1999)] {{Wayback|url=http://ireggae.com/everton.htm |date=20260106050803 }}
{{BD|1954}}
{{DEFAULTSORT:Blender, Everton}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamaika]]
6k7bgsai0yi2jck2mirnz0yyr6l9dkl
Anders Sandøe Ørsted Bull
0
238502
1569442
1550019
2026-06-10T13:08:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569442
wikitext
text/x-wiki
'''Anders Sandøe Ørsted Bull''' (13 Septemba 1817 – 15 Aprili 1907) alikuwa mtumishi wa serikali na waziri wa serikali wa [[Norwei]]. Aliwahi kuwa waziri kaimu wa Wizara ya Jeshi mwaka 1875 (mara mbili), 1881 na 1884. Pia aliwahi kuwa meya wa Oslo mwaka 1877 na 1878.
==Historia ya maisha==
Alizaliwa huko [[Bergen]] katika mkoa wa [[Hordaland]], Norway.<ref name=nsd>{{cite web|url=[http://www.nsd.uib.no/polsys/index.cfm?urlname=polsys&lan=&MenuItem=N1_1&ChildItem=&State=collapse&UttakNr=33&person=4037|archive-url=https://web.archive.org/web/20120516071132/http://www.nsd.uib.no/polsys/index.cfm?urlname=polsys&lan=&MenuItem=N1_1&ChildItem=&State=collapse&UttakNr=33&person=4037|url-status=dead|archive-date=May](http://www.nsd.uib.no/polsys/index.cfm?urlname=polsys&lan=&MenuItem=N1_1&ChildItem=&State=collapse&UttakNr=33&person=4037|archive-url=https://web.archive.org/web/20120516071132/http://www.nsd.uib.no/polsys/index.cfm?urlname=polsys&lan=&MenuItem=N1_1&ChildItem=&State=collapse&UttakNr=33&person=4037|url-status=dead|archive-date=May) 16, 2012|title=Anders Sandøe Ørsted Bull|publisher=Norwegian Social Science Data Services (NSD)|language=Norwegian|access-date=20 November 2009}}</ref> Alikuwa mtoto wa Jaji Mkuu Georg Jacob Bull (1785–1854) na Barbara Albertine Ørsted (1783–1865). Mama yake alikuwa dada wa mwanasayansi wa Denmark Hans Christian Ørsted na mwanasheria wa Denmark Anders Sandøe Ørsted.<ref>{{cite web|url= [http://vestraat.net/TNG/getperson.php?personID=I94688|title=](http://vestraat.net/TNG/getperson.php?personID=I94688|title= ) Anders Sandøe Ørsted Bull|publisher= vestraat.net|access-date= June 20, 2016}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Pia alikuwa mjukuu wa Jaji Mkuu Johan Randulf Bull, mpwa wa Johan Lausen Bull na mjomba wa daktari mkuu Edvard Isak Hambro Bull.<ref>{{cite encyclopedia|year=2007|title=Den trønderske slekten Bull|encyclopedia=[[Store norske leksikon]]|editor=Henriksen, Petter| first=Terje |last=Bratberg |publisher=Kunnskapsforlaget |location=Oslo|url=[http://www.snl.no/Den_tr%C3%B8nderske_slekten_Bull|language=Norwegian|access-date=20](http://www.snl.no/Den_tr%C3%B8nderske_slekten_Bull|language=Norwegian|access-date=20) November 2009}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Watu wa Norwei]]
nbyon9rlt0go3umcp37rcxsmrxz7xe4
Clodagh Hope Knox Sparrow
0
238541
1569967
1550106
2026-06-10T21:51:22Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569967
wikitext
text/x-wiki
'''Clodagh Hope Knox Sparrow''' ([[Julai 24]], [[1905]] – [[Julai 28]], [[1957]])<ref name=ahr>'Clodagh Hope Knox Sparrow', arthistoryresearch-net</ref> alikuwa [[msanii]] nchini [[Uingereza]] aliyejulikana zaidi kwa mabango yake ya usafiri wa reli na likizo. Aliagizwa kazi mara kwa mara na makampuni ya reli kuanzia miaka ya [[1930]] hadi [[1950]], ikiwemo kazi kwa British Railways, Great Western Railway, London Midland and Scottish, London Transport, Southern Railway na wengineo.<ref name="ahrnet">{{cite web |title=AHRnet-Print-Profile - Clodagh Hope Knox Sparrow |url=https://www.arthistoryresearch.net/database/index1.php?mode=print&tab=1&designerRef=9192962&find= |website=Art History Research net |access-date=2026-05-25 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>[https://www.ltmuseum.co.uk/collections/collections-online/people/item/1997-341 Clodagh Sparrow biography, London Transport Museum]</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wachoraji wa Uingereza]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1905]]
[[Jamii:Waliofariki 1957]]
2glnx3jvp2oq68i6fgv3d7vtecfmfc2
Baltzer Fleischer
0
238584
1569469
1550173
2026-06-10T15:31:24Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569469
wikitext
text/x-wiki
'''Baltzer Fleischer''' (29 Septemba 1703 – 16 Desemba 1767) alikuwa mtumishi wa umma na gavana wa wilaya kutoka Norway.<ref name=snl>{{cite encyclopedia |title=Baltzer Sechmann Fleischer |encyclopedia=[[Store norske leksikon]] |publisher=Kunnskapsforlaget |location=Oslo |url=[http://www.snl.no/Baltzer_Sechmann_Fleischer](http://www.snl.no/Baltzer_Sechmann_Fleischer) |language=Norwegian | accessdate=10 July 2011 }}</ref>
Baltzer Sechmann Fleischer alizaliwa katika mji wa [[Holbæk]] kwenye kisiwa cha [[Zealand]] nchini Denmark. Alikuwa mtoto wa Herman Reinhold Fleischer (1656–1712) na Megtele Annamaria Sechmann (takribani 1675–1705). Familia ya upande wa baba yake ilitoka awali [[Prussia ya Mashariki]], lakini ilikuwa na uhusiano na Norway tangu mwanzoni mwa karne ya 17. Akiwa kijana, alianza kazi ya kijeshi na alihudumu kwa muda nchini Norway. Aliwasili Norway mwaka 1734 kama naibu meya na diwani wa Christiania (sasa Oslo). Baadaye alihudumu kama msimamizi wa wilaya ya [[Østfold|Smålenene]] (sasa Østfold) kwa karibu miaka 25. Baltzer Fleischer aliteuliwa katika Mahakama ya Haki mwaka 1749 na kuwa diwani wa serikali mwaka 1760.
Alitoa mchango mkubwa katika maendeleo ya kilimo na matumizi ya ardhi katika wilaya hiyo. Lengo lilikuwa kuhakikisha upatikanaji thabiti wa chakula na kupunguza ongezeko la umaskini. Hatua zake zilijumuisha kuongeza usafishaji wa ardhi kwa kilimo na kuanzishwa kwa maghala ya nafaka katika kila kanisa la parokia ambayo yangeweza kusaidia wakati wa dharura. Mpango huu ulianzishwa mwaka 1759 ndani ya Smålenene. Hata hivyo, ukosoaji ulioongezeka kutoka kwa wakulima pamoja na mashaka kwamba Fleischer alijinufaisha binafsi ulisababisha mpango huo kusitishwa mwaka 1764.<ref name=nbl>{{cite encyclopedia |title=Baltzer Fleischer |encyclopedia=[[Norsk biografisk leksikon]]|first=Arne Bugge |last=Amundsen |editor=[[Knut Helle|Helle, Knut]] |publisher=Kunnskapsforlaget |location=Oslo|url=[http://www.snl.no/.nbl_biografi/Baltzer_Fleischer/utdypning](http://www.snl.no/.nbl_biografi/Baltzer_Fleischer/utdypning) |language=Norwegian|accessdate=10 July 2011}}</ref>
== Maisha ya binafsi ==
Mwaka 1727, alifunga ndoa na Anna Margrethe Aboe (aliyefariki 1751). Walikuwa babu na bibi wa Palle Rømer Fleischer (1781–1851).<ref>[[https://lokalhistoriewiki.no/index.php/Palle_R%C3%B8mer_Fleischer](https://lokalhistoriewiki.no/index.php/Palle_R%C3%B8mer_Fleischer){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}''Palle Rømer Fleischer'' (lokalhistoriewiki.no)]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|1703|1767}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu wa Norwei]]
qgmo2z2kucf7rs0dd9xfrxzvcjhej18
Caspar Peter Hagerup
0
238606
1569509
1550203
2026-06-10T19:07:51Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569509
wikitext
text/x-wiki
'''Caspar Peter Hagerup''' (12 Aprili 1777 – 28 Agosti 1840) alikuwa mtumishi wa umma wa [[Norwei|Norway]].
Alizaliwa mjini Christiansand. Alijiunga na masomo mwaka 1797, na akahitimu mafunzo yaliyomwezesha kuteuliwa kuwa karani wa mji (''byskriver'') katika mji wa [[Denmark|Denmark]] wa Kalundborg mwaka 1801. Mwaka 1809 aliteuliwa kuwa hakimu wa wilaya (''sorenskriver'') huko Flekkefjord, na mwaka 1820 katika Nordre Hedemarken. Kuanzia mwaka 1830 hadi kifo chake mwaka 1840 alikuwa meya wa [[Trondhjem]].<ref name="bios">[[http://www.tfb.no/db/personalhistorie/3_7_20070228_135345.pdf](http://www.tfb.no/db/personalhistorie/3_7_20070228_135345.pdf){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Biographies]</ref>
Alimuoa Ulrikke Eleonore Steffens, dada yake mwanafalsafa Henrik Steffens. Mwana wao Henrik Steffens Hagerup alikuja kuwa mwanajeshi na mwanasiasa mashuhuri.<ref name="bios"/>
Hagerup alikuwa mwanachama wa Royal Norwegian Society of Sciences and Letters kuanzia mwaka 1831. Alitunukiwa cheo cha Knight wa Order of Vasa ya [[Uswidi]].<ref name="bios"/>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1777|1840}}
[[Jamii:Watu wa Norwei]]
oc7k9eyv24v7vx35zm5yeoois9lh57e
Gard Holtskog
0
238682
1570698
1550340
2026-06-11T06:31:05Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570698
wikitext
text/x-wiki
'''Gard Holtskog''' (amezaliwa 1905, alifariki 1987) alikuwa mwanasheria kutoka [[Norwei|Norway]] na mtumishi wa umma aliyewahi kuhudumu katika utawala wa serikali ya Nazi wakati wa Uvamizi wa Norway na Ujerumani ya Nazi.
Aliteuliwa kuwa mjumbe wa bodi katika Shirika la Utangazaji la Norway na katika Nationaltheatret. Baadaye alipewa nafasi ya Mkuu wa Polisi wa Finnmark, na alihusika katika mchakato wa uhamishaji wa raia wakati wa Operesheni ya “Mwanga wa Kaskazini” (1944–1945). Alielezewa kuwa na tabia zisizotabirika. Akiwa Finnmark, alishiriki binafsi katika mateso na mauaji.
Wakati wa Usafishaji wa kisheria nchini Norway baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kazi ngumu, lakini aliachiliwa huru mnamo Novemba 1957.<ref name=kl>{{cite encyclopedia |last=Ringdal |first=Nils Johan |encyclopedia=[[Norsk krigsleksikon 1940–1945]] |title=Holtskog, Gard |language=Norwegian |editor=[[Hans Fredrik Dahl|Dahl]] |editor2=[[Guri Hjeltnes|Hjeltnes]] |editor3=[[Berit Nøkleby|Nøkleby]] |editor4=[[Nils Johan Ringdal|Ringdal]] |editor5=[[Øystein Sørensen|Sørensen]] |url=[http://mediabase1.uib.no/krigslex/h/h6.html#holtskog-gard](http://mediabase1.uib.no/krigslex/h/h6.html#holtskog-gard) |accessdate=25 March 2013 |year=1995 |publisher=Cappelen |location=Oslo |isbn=82-02-14138-9 |url-status=dead |archiveurl=[https://web.archive.org/web/20130607065105/http://mediabase1.uib.no/krigslex/h/h6.html#holtskog-gard](https://web.archive.org/web/20130607065105/http://mediabase1.uib.no/krigslex/h/h6.html#holtskog-gard) |archivedate=7 June 2013 }}</ref>
Holtskog alifariki mwaka 1987.<ref>{{Rejea tovuti |url=[https://oslobyleksikon.no/index.php/Amagerveien](https://oslobyleksikon.no/index.php/Amagerveien) |title=Amagervien |website=Oslo byleksikon |access-date=26 November 2025 |language=no }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{BD|1905|1987}}
[[JamiiWatu wa Norwei]]
343m19if1sc27rghs16tilv37y5yoat
Eva Duldig
0
238847
1570668
1550998
2026-06-11T04:03:17Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570668
wikitext
text/x-wiki
'''Eva Ruth de Jong-Duldig''' (jina la kuzaliwa '''Duldig'''; amezaliwa tarehe 11 Februari 1938) ni mchezaji wa zamani wa [[tenisi]] aliyezaliwa [[Austria]] ambaye baadaye alikuwa raia wa Australia na Uholanzi, na kwa sasa ni mwandishi.<ref name="auto14">{{Rejea habari |last=Brown |first=Simon Leo |date=9 Februari 2018 |title=Folding umbrella's 'flirtatious' history never forgotten |publisher=ABC Radio Melbourne |url=[https://www.abc.net.au/news/2018-02-10/flirt-inspires-melbourne-world-umbrella-day-celebrations/9412018}}](https://www.abc.net.au/news/2018-02-10/flirt-inspires-melbourne-world-umbrella-day-celebrations/9412018}})</ref><ref name="auto4">{{Rejea tovuti |last1=Rutland |first1=Suzanne |last2=Rubinstein |first2=Hilary L. |date=23 Juni 2021 |title=Australia: 1788 to the Present |url=[https://jwa.org/encyclopedia/article/australia-1788-to-present](https://jwa.org/encyclopedia/article/australia-1788-to-present) |website=[[Jewish Women's Archive]] }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1938|}}
[[Jamii:Watu wa Australia]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
iilah937h9brf2cwc69zlnbd68qd6rl
Henriett Koósz
0
238873
1570801
1550667
2026-06-11T09:48:57Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570801
wikitext
text/x-wiki
'''Henriett Koósz''' (amezaliwa tarehe 14 Februari 1980 mjini Kőszeg) ni mchezaji wa [[Austria]] wa para badminton na pia ni mchezaji wa zamani wa wheelchair tennis (tenisi ya viti vya magurudumu).<ref name="weltdefrau_0516">{{cite web |last1=Klikovits |first1=Petra |title=Zeit zum Brückenbauen |url=[http://www.welt-der-frau.at/themen/titelgeschichten/zeit-zum-brueckenbauen/](http://www.welt-der-frau.at/themen/titelgeschichten/zeit-zum-brueckenbauen/) |publisher=Welt der Frau |accessdate=26 Septemba 2016 |date=Mei 2015 |archive-date=2 Februari 2017 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20170202001238/http://www.welt-der-frau.at/themen/titelgeschichten/zeit-zum-brueckenbauen/](https://web.archive.org/web/20170202001238/http://www.welt-der-frau.at/themen/titelgeschichten/zeit-zum-brueckenbauen/) |url-status=dead }}</ref>
Akiwa mjumbe wa timu ya Austria ya Paralimpiki katika mchezo wa wheelchair tennis, alishiriki katika Paralympics ya 2012 iliyofanyika London.<ref name="falter_2012">{{cite web |title="Hii ilikuwa ndoto yangu kila wakati" |url=[https://cms.falter.at/falter/2012/08/21/das-war-immer-mein-traum/](https://cms.falter.at/falter/2012/08/21/das-war-immer-mein-traum/) |publisher=Falter |accessdate=26 Septemba 2016 |date=21 Agosti 2012}}</ref><ref name="profil_2012">{{cite web |last1=Hofer |first1=Sebastian |title=Wachezaji wa Austria katika Paralimpiki wakiwa kwenye hatua ya mwisho ya maandalizi |url=[http://www.profil.at/home/paralympics-oesterreichs-paralympics-teilnehmer-endspurt-337249](http://www.profil.at/home/paralympics-oesterreichs-paralympics-teilnehmer-endspurt-337249) |publisher=profil |accessdate=26 Septemba 2016 |date=22 Agosti 2012 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
Mnamo mwaka 2016, aliiwakilisha Austria katika mashindano ya para-badminton kwenye Austrian Open.<ref>{{cite web |title=Para-Badminton at Austrian Open |url=[http://www.badmintoneurope.com/cms/default.aspx?clubid=4685&m=3259871&cmsid=239&pageid=5381](http://www.badmintoneurope.com/cms/default.aspx?clubid=4685&m=3259871&cmsid=239&pageid=5381) |publisher=Badminton Europe |accessdate=26 Septemba 2016 |date=25 Februari 2016}}</ref><ref>{{cite web |title=Austrian Open 2016: Ulaya kuvunja utawala wa Asia Vienna |url=[http://sportreport.biz/2016/02/28/austrian-open-2016-europa-durchbricht-asiatische-dominanz-in-wien/](http://sportreport.biz/2016/02/28/austrian-open-2016-europa-durchbricht-asiatische-dominanz-in-wien/) |publisher=Sport Report |accessdate=26 Septemba 2016}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1980|}}
[[Jamii:Watu wa Austria]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4t7voussg93on5f6392akshjbdkgy06
Frank Hinkins
0
239087
1570676
1553711
2026-06-11T05:27:44Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570676
wikitext
text/x-wiki
'''Francis Robert Hinkins''' ([[Oktoba 14]], [[1852]] – [[Agosti 6]], [[1934]]) alikuwa [[mwandishi]], mpiga picha, na [[mchoraji]] picha wa [[Uingereza]]. Miongoni mwa kazi zake ni ''Romany Life'' ([[1915]] ''Mills & Boon'', chini ya jina la uwongo 'Frank Cuttriss')<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.booksandwriters.co.uk/writer/G/gypsy-books.asp |title=Gypsy Books |access-date=2009-02-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080911002103/http://www.booksandwriters.co.uk/writer/G/gypsy-books.asp |archive-date=2008-09-11 |url-status=dead }}</ref> na ''Water-colour drawings of British spiders and their webs''<ref>{{cite web | url=http://orlabs.oclc.org/identities/lccn-n82-98076 | title=Frank Hinkins | accessdate=2026-05-26 | archive-date=2012-10-16 | archive-url=https://web.archive.org/web/20121016184130/http://orlabs.oclc.org/identities/lccn-n82-98076 | url-status=dead }}</ref>; alijulikana zaidi kwa kuchangia picha nyingi katika kitabu maarufu cha rafiki yake [[Arthur Mee]] ''The Children's Encyclopædia''.<ref>''The Children's Encyclopædia'', edited by Arthur Mee (1910), 8 volumes; and later editions</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waandishi wa Uingereza]]
[[Jamii:Wachoraji wa Uingereza]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1852]]
[[Jamii:Waliofariki 1934]]
bq3azilliiiv298zpyzls5cuj46kv1v
Boukary Adji
0
239678
1569487
1555268
2026-06-10T17:49:07Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569487
wikitext
text/x-wiki
'''Boukary Adji''' (1939 – 4 Julai 2018) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Niger]]. Alihudumu kama Waziri Mkuu wa Niger kuanzia 30 Januari 1996 hadi 21 Desemba 1996.<ref>{{Cite web|title=Wayback Machine|url=http://www.afrique-express.com/archive/OUEST/niger/bio/boukariadji.htm|work=www.afrique-express.com|accessdate=2026-05-28|archive-date=2007-12-12|archive-url=https://web.archive.org/web/20071212161845/http://www.afrique-express.com/archive/OUEST/niger/bio/boukariadji.htm|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Niger]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1939]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
eytwk1lqhldoi70pgiombjf96kvoco6
Aliou Mahamidou
0
239691
1569436
1555294
2026-06-10T12:28:35Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569436
wikitext
text/x-wiki
'''Aliou Mahamidou''' (7 Juni 1947 – 13 Januari 1996) alikuwa mfanyabiashara na [[mwanasiasa]] wa [[Niger]].<ref>{{Citation|last=Walter|first=Abed|title=Aliou Mahamidou’s biography, fact, career, awards, net worth and life story - 44Bars.com|date=2022-02-02|url=https://44bars.com/aliou-mahamidous-biography-fact-career-awards-net-worth-and-life-story/|work=44Bars.com|language=en-US|access-date=2026-05-28|archive-date=2023-07-21|archive-url=https://web.archive.org/web/20230721000134/https://44bars.com/aliou-mahamidous-biography-fact-career-awards-net-worth-and-life-story/|url-status=dead}}</ref>
Alihudumu kama Waziri Mkuu wa Niger kuanzia 2 Machi 1990 hadi 1 Novemba 1991.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Nigeria]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1947]]
[[Jamii:Waliofariki 1996]]
5zsbws3ttfcbx40v6xroh8hwxye6rys
Archibald Glenn
0
239788
1569453
1555477
2026-06-10T14:11:00Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569453
wikitext
text/x-wiki
'''Sir Joseph Robert Archibald Glenn''', OBE (24 Mei 1911 – 4 Januari 2012)<ref>{{Cite web|title=Obituary - Sir Joseph Robert Archibald (Archie) Glenn - Obituaries Australia|url=http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|access-date=2020-08-19|website=oa.anu.edu.au|archive-date=2020-09-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20200922024116/http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|url-status=dead}}](http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|access-date=2020-08-19|website=oa.anu.edu.au}})</ref> alikuwa mfanyabiashara wa viwanda kutoka [[Australia]] na Chansela mwanzilishi wa La Trobe University.<ref>{{cite press release |title=Vale: Sir Archibald Glenn, OBE |url=[https://www.latrobe.edu.au/news/articles/2012/article/vale-sir-archibald-glenn,-obe](https://www.latrobe.edu.au/news/articles/2012/article/vale-sir-archibald-glenn,-obe) |publisher=[[La Trobe University]] |date=10 January 2012 |access-date=17 April 2018 }}</ref><ref name=administration>{{cite web |title=Past Chancellors and Vice-Chancellors |url=[https://www.latrobe.edu.au/about/at-a-glance/history](https://www.latrobe.edu.au/about/at-a-glance/history) |work=Our history |publisher=[[La Trobe University]] |date=16 March 2018 |access-date=17 April 2018 }}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1911|2012}}
[[Jamii:Watu wa Australia]]
n7cegm8jprgmnxyvcf8cpy7gotvk9sj
Bahlakoana Mosala
0
239793
1569468
1555484
2026-06-10T15:26:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569468
wikitext
text/x-wiki
'''Bahlakoana Godfrey Mosala''' (alizaliwa 3 Aprili 1934) ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini aliyewakilisha jimbo la uchaguzi la Free State katika [[Bunge]] la Kitaifa kuanzia mwaka 2004 hadi 2009.
Akiwa mwanachama wa chama cha ''African National Congress'' (ANC),<ref>{{Cite web|title=Statement by Bahlakoana Mosala on Schooling {{!}} ANC Parliamentary Caucus|url=https://www.ancparliament.org.za/content/statement-bahlakoana-mosala-schooling|work=www.ancparliament.org.za|accessdate=2026-05-28|language=en|archive-date=2023-06-18|archive-url=https://web.archive.org/web/20230618115607/https://www.ancparliament.org.za/content/statement-bahlakoana-mosala-schooling|url-status=dead}}</ref> alichaguliwa katika [[uchaguzi]] mkuu wa mwaka 2004 baada ya kuwekwa katika nafasi ya kumi kwenye orodha ya kikanda ya chama hicho kwa ajili ya mkoa wa Free State. Hakugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu uliofuata wa mwaka 2009.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
iaqlsmdmqviw033152479szkq6il2wu
Christopher Ameyaw-Akumfi
0
239985
1569523
1558744
2026-06-10T20:32:49Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569523
wikitext
text/x-wiki
'''Christopher Ameyaw-Akumfi''' (amezaliwa 21 Januari 1945) ni mwanataaluma na [[mwanasiasa]] wa [[Ghana]].<ref>{{Cite web|title=Ghana MPs - MP Details - Ameyaw-Akumfi, Christopher (Prof)|url=http://ghanamps.gov.gh/mps/details.php?id=66|work=ghanamps.gov.gh|accessdate=2026-05-29|archive-date=2016-05-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20160506152105/http://ghanamps.gov.gh/mps/details.php?id=66|url-status=dead}}</ref>
Alizaliwa katika Techiman katika Mkoa wa Bono East Region. Aliwahi kuwa Waziri wa Elimu katika serikali ya Rais John Agyekum Kufuor.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Ghana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
pahs3g1drrxrotiaecfw866pj9dknrq
Christine Amoako-Nuamah
0
239986
1569522
1558745
2026-06-10T20:28:19Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569522
wikitext
text/x-wiki
'''Christine Amoako-Nuamah''' ni [[mwanasayansi]] na [[mwanasiasa]] wa Ghana.<ref>{{Cite web|title=Ghana Institute of Management and Public Administration|url=http://newsite.gimpa.edu.gh/AboutUs/council/christian.html|work=newsite.gimpa.edu.gh|accessdate=2026-05-29|author=Makafui Kuenyehia - Proweb Solutions Ltd|archive-date=2017-10-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20171006201806/http://newsite.gimpa.edu.gh/AboutUs/council/christian.html|url-status=dead}}</ref>
Alihudumu katika serikali ya Rais Jerry John Rawlings kama Waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia (1993–1996), Waziri wa Elimu (1997–1998), na Waziri wa Ardhi na Misitu (1998–2001).
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Ghana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ayuzmotxzsyeq9sgqxlhkyznflxhidj
Glen Maney
0
240125
1570730
1559141
2026-06-11T07:32:09Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570730
wikitext
text/x-wiki
'''Glen Maney''' (alizaliwa 13 Oktoba 1964, huko [[Battersea]]) ni mchekeshaji, mwigizaji, mwandishi,<ref>{{cite web |url=http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |title=Glenn Maney |publisher=Laughing Horse Booking Agency |accessdate=20 November 2013 |archive-date=2016-03-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160305011827/http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |url-status=dead }}</ref> mwongozaji wa filamu, na mwanasiasa.
== Kazi ==
Mnamo mwaka 2011, alikuwa Katibu wa Kitaifa wa chama cha [[National Liberal Party (UK, 1999)|National Liberal Party]].<ref>[http://nationalliberal.org/ex-lib-dem-man-becomes-new-national-secretary National Liberal Party webpage]</ref> Amefanya uchunguzi kadhaa wa siri kuhusu athari za [[Human migration|uhamiaji]] kutoka [[European Union|Umoja wa Ulaya]] kwa wafanyakazi wa [[Uingereza]].<ref>[http://nationalliberal.org/?p=1918) National Liberal Party article by subject]</ref> Mnamo Aprili 2014, alijiuzulu nafasi ya Katibu wa Kitaifa wa Chama cha National Liberal akitaja kutofautiana kwa maoni na wajumbe wengine wa kamati kuu kuhusu jinsi ya kukiendeleza chama mbele, pamoja na kuongezeka kwa majukumu ya kazi yake.{{citation needed|date=November 2019}}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1964||Maney, Glen}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uingereza]]
[[Jamii:Waigizaji wa Uingereza]]
[[Jamii:Watu wa Uingereza]]
mfbvfdz4orbwecysh8hnung92puld0w
Big Wata
0
240307
1569482
1566607
2026-06-10T17:02:43Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1569482
wikitext
text/x-wiki
'''Big Wata''' ni filamu ya maandishi ya nchini [[Sierra Leone]] ya mwaka 2018 iliyoongozwa na Gugi van der Velden na kutayarishwa na Floris Loeff.<ref>{{Cite web|title=Big Wata|url=https://www.bigwatamovie.com/|work=Big Wata|accessdate=2026-06-04|language=en-US|archive-date=2019-10-14|archive-url=https://web.archive.org/web/20191014150019/https://www.bigwatamovie.com/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|title=Big Wata: The Surfers of Sierra Leone|url=https://www.aljazeera.com/video/witness/2018/10/14/big-wata-the-surfers-of-sierra-leone|work=Al Jazeera|accessdate=2026-06-04|language=en}}</ref>
== Kisa ==
Vijana wa jamii ya wavuvi nchini Sierra Leone wamegundua utambulisho wao mpya kupitia mchezo wa kuteleza kwenye mawimbi, lakini wazee wa jamii hiyo hawakubaliani na kile wanachokusudia kukifanya, hivyo wanapaswa kupambana na changamoto zote ili kutimiza ndoto zao.<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/title/tt8665898/|work=www.imdb.com|accessdate=2026-06-04}}</ref><ref>{{Cite web|title='Big Wata' Tells a Fantastic Story of West African Surfers Finding Purpose in the Ocean|url=https://www.theinertia.com/surf/big-wata-surfing-west-africa-sierra-leone-film-movie/|work=The Inertia|date=2019-01-10|accessdate=2026-06-04|language=en-US|author=The Inertia}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Africa Film Cinema Tanzania 2026]]
[[Jamii:Filamu za 2018]]
[[Jamii:Filamu za Sierra Leone]]
[[Jamii:Filamu kwa lugha ya Kiingereza]]
95kc1yfbat6j3vi3a1uwzyu5vmpma33
Funguvisiwa la Songosongo
0
240345
1570492
1566651
2026-06-10T23:17:24Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570492
wikitext
text/x-wiki
{{Kigezo:Vyanzo}}
'''{{PAGENAME}}''' ni [[funguvisiwa]] ambalo linapatikana katika [[Bahari ya Hindi]]. Kiutawala liko chini ya [[wilaya ya Kilwa]], [[mkoa wa Lindi]], [[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]].
Vikubwa hivyo ni:
* [[Kisiwa cha Songosongo]]
* [[Kisiwa cha Okuza]]
* [[Kisiwa cha Nyuni]]
* [[Kisiwa cha Fanjove]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]]
{{mbegu-jio-lindi}}
[[Jamii:wilaya ya Kilwa]]
[[Jamii:Visiwa vya Tanzania]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
j0hyx91c8l0ptz2w69uuhs8v555jesm
Upatikanaji wa maji salama
0
240409
1570819
1569232
2026-06-11T10:08:44Z
Willyfred Philemon
90120
1570819
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Africa Watsan 7 (10665637964).jpg|thumb|259x259px|Msichana anachota maji safi kutoka kwenye mfumo wa upatikanaji wa maji wa jamii huko Kawempe, Uganda.]]
'''Upatikanaji wa maji''' ni utoaji wa [[maji]] unaofanywa na huduma za [[umma]], mashirika ya kibiashara, juhudi za jamii au na watu binafsi, kwa kawaida kupitia mfumo wa [[pampu]] na mabomba. Mifumo ya umma ya upatikanaji wa maji ni ni muhimu kwa jamii zinazofanya kazi ipasavyo. Mifumo hii ndiyo inayosambaza maji ya kunywa kwa watu kote ulimwenguni.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Public Supply Water Use {{!}} U.S. Geological Survey|url=https://www.usgs.gov/water-science-school/science/public-supply-water-use|work=www.usgs.gov|date=2018-08-30|accessdate=2026-06-06|language=en}}</ref> Vipengele vya ubora wa huduma ni pamoja na mwendelezo wa usambazaji, ubora wa maji, na [[shinikizo]] la maji. Wajibu wa kitaasisi wa upatikanaji wa maji hupangwa tofauti katika nchi na maeneo tofauti (mijini dhidi ya vijijini). Kwa kawaida hujumuisha masuala yanayohusu sera na udhibiti, utoaji wa huduma na usanifishaji.
Gharama ya upatikanaji wa maji inajumuisha, kwa kiasi kikubwa, gharama zisizobadilika (gharama za [[mtaji]] na gharama za wafanyakazi) na kwa kiasi kidogo tu [[gharama]] zinazobadilika ambazo hutegemea kiasi cha maji kinachotumiwa (hasa [[nishati]] na [[kemikali]]). Karibu watoa huduma wote duniani hutoza ushuru ili kurejesha sehemu ya gharama zao.
Upatikanaji wa maji ni mada tofauti na [[umwagiliaji]], ambao ni utendaji na mifumo ya upatikanaji wa maji kwa kiwango kikubwa zaidi, kwa madhumuni mbalimbali, hasa [[kilimo]].
== Muhtasari wa kiufundi ==
[[Faili:Engine room at water works; Toledo-O - DPLA - 03776e461315e063546dc401d72e022c (page 1).jpg|thumb|253x253px|Chumba cha mashine cha mfumo wa maji wa manispaa huko Toledo, Ohio, mwaka 1908.]]
Mifumo ya upatikanaji wa maji hupata maji kutoka maeneo mbalimbali baada ya kutibiwa ipasavyo, ikiwemo maji ya ardhini (tabaka la maji chini ya ardhi), maji ya juu ya ardhi ([[ziwa|maziwa]] na [[mito]]), na bahari kupitia usafishaji wa [[maji ya chumvi]]. Hatua za utibaji wa maji hujumuisha, katika hali nyingi, usafishaji, uua-viini kupitia [[klorini]] na wakati mwingine uongezaji wa floridi. Maji yaliyotibiwa kisha hutiririka kwa msaada wa uvutano au husukumwa kwa pampu kuelekea kwenye hifadhi, ambazo zinaweza kuwa zimeinuliwa kama vile [[Mnara wa maji]] au ziko kwenye ardhi (kwa viashiria vinavyohusiana na ufanisi wa usambazaji wa maji ya kunywa tazama maji yasiyoingizia [[mapato]]). Maji yakishatumika, maji machafu kwa kawaida hutolewa kwenye mfumo wa maji taka na kutibiwa katika kiwanda cha kusafisha maji taka kabla ya kutolewa [[mtoni]], ziwani, au [[Bahari|baharini]] au kutumiwa tena kwa ajili ya kupamba [[mandhari]] au [[umwagiliaji]].
=== Mtandao wa Usambazaji wa Maji ===
Mtandao wa usambazaji wa maji ni mfumo wa miundombinu ya kihandisi ya kihidrologia na kihidrauliki unaotumika kusambaza maji kwa watumiaji mbalimbali.<ref name=":0" /> Mfumo wa usambazaji wa maji kwa kawaida hujumuisha vipengele vifuatavyo:
* Bonde la maji (drainage basin), ambalo ni eneo linalokusanya maji yanayoelekezwa kwenye chanzo cha maji.<ref name=":0" />
* Eneo la ukusanyaji wa maji ghafi, ambalo linaweza kuwa ziwa, mto au maji ya chini ya ardhi kutoka kwenye akiferi. Maji haya yanaweza kusafirishwa kwa mifereji wazi, handaki zilizofunikwa au mabomba ya chini ya ardhi hadi kwenye vituo vya kusafisha maji.<ref name=":0" />
* Vituo vya kusafisha maji, ambapo maji hutibiwa ili yawe salama kwa matumizi ya [[binadamu]].<ref name=":0" />
* Miundombinu ya kuhifadhi maji kama mabwawa, matangi ya maji na minara ya maji. Mifumo midogo inaweza kutumia matenki au vyombo vya kuhifadhi maji vyenye shinikizo.<ref name=":0" />
* Vituo vya kusukuma maji na vifaa vingine vya kuongeza shinikizo la maji pale ambapo mtiririko wa maji kwa kutumia [[nguvu]] ya uvutano hauwezekani.<ref name=":0" />
* Mtandao wa mabomba ya kusambaza maji kwa watumiaji wa majumbani, viwandani, kibiashara na taasisi mbalimbali, pamoja na sehemu nyingine za matumizi kama vile vizima vya kuzimia moto.<ref name=":0" />
Ingawa mifumo ya maji taka mara nyingi huunganishwa na maeneo yanayotumia maji, mfumo wa maji taka kwa kawaida hutazamwa kuwa mfumo tofauti na mtandao wa usambazaji wa maji.<ref name=":0" />
Mitandao mingi ya usambazaji wa maji huendeshwa na mashirika ya umma yanayohusika na huduma za maji.
=== Matumizi ya Maji ===
Matumizi ya maji hutofautiana kulingana na eneo na mtindo wa maisha. Nchini Marekani, nyumba ya kawaida ya familia moja hutumia wastani wa lita 520 za maji kwa siku, sawa na takribani lita 222 kwa mtu mmoja kwa siku.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|title=Residential End Uses of Water, Version 2|url=https://www.waterrf.org/research/projects/residential-end-uses-water-version-2|work=The Water Research Foundation|date=2026-06-18|accessdate=2026-06-09|language=en}}</ref> Matumizi hayo yanajumuisha shughuli mbalimbali za nyumbani kama matumizi ya choo, kuoga, matumizi ya mabomba ya maji, kufua nguo, kuosha vyombo na matumizi mengine ya kila siku.<ref name=":1" />
'''Mahitaji ya msingi ya maji kwa mtu mmoja kwa siku yanakadiriwa kuwa:'''
{| class="wikitable"
|+
!Shughuli
!Kiwango cha chini (Lita/Siku)
!Kiwango cha kawaida (Lita/Siku)
|-
|Maji ya kunywa
|2
|2-5
|-
|Huduma za usafi wa mazingira
|20
|20–75
|-
|Kuoga
|15
|5–70
|-
|Kupika na matumizi ya jikoni
|10
|10–50
|}
Mwanzoni mwa karne ya 21, ongezeko la watu katika maeneo ya mijini na pembezoni mwa miji limeongeza mahitaji ya maji kiasi kwamba mifumo mingi ya jadi ya usambazaji wa maji imeshindwa kukidhi mahitaji hayo.<ref name=":1" />
Miongoni mwa suluhisho zilizopendekezwa ni matumizi makubwa ya teknolojia ya kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari (desalination), hasa katika maeneo ya pwani na nchi zenye ukame.<ref name=":1" /> Aidha, matumizi ya mifumo iliyogatuliwa ya usambazaji wa maji yameongezeka, ikiwemo uvunaji wa maji ya mvua na ukusanyaji wa maji ya dhoruba (stormwater harvesting).<ref name=":1" />
Mbinu za kisasa za usimamizi wa maji zinahimiza matumizi ya kanuni ya ''fit for purpose'', ambayo inahakikisha kuwa maji yanatumika kulingana na ubora unaohitajika kwa matumizi husika, hivyo kusaidia matumizi endelevu ya rasilimali za maji.<ref name=":1" />
== Ubora wa huduma ==
Huduma ya maji ina vipengele kadhaa muhimu vya ubora, ikiwa ni pamoja na: mfululizo wa upatikanaji wa maji , ubora wa maji, shinikizo la maji, na uwezo wa watoa huduma kujibu malalamiko ya wateja kwa haraka na ufanisi. Katika nchi zinazoendelea, watu wengi hupata huduma ya maji yenye ubora wa chini au wa chini sana.<ref>{{Cite web|title=Mtego wa panya kwa kutumia ndoo ya maji|url=https://doi.org/10.1079/pwkb.20137803404|work=PlantwisePlus Knowledge Bank|date=2012-10|accessdate=2026-06-11|author=E. Kimambo, J. Sembosi}}</ref>
'''Mfululizo wa upatikanaji wa maji'''
Mfululizo wa upatikanaji wa maji mara nyingi huchukuliwa kama jambo la kawaida katika nchi zilizoendelea, lakini ni tatizo kubwa katika nchi nyingi zinazoendelea. Katika maeneo haya, maji mara nyingi hutolewa kwa saa chache tu kwa siku au siku chache kwa wiki; hali hii huitwa huduma ya maji ya vipindi'''.'''
Tatizo hili ni kubwa zaidi katika makazi yasiyo rasmi, ambayo mara nyingi hayajaunganishwa vizuri na mtandao wa maji wa jiji na hayana njia mbadala za kupata maji kama vile visima binafsi au mabomba ya kujitegemea. Inakadiriwa kuwa karibu nusu ya watu katika [[nchi]] zinazoendelea hupata maji kwa mfumo wa upatikanaji wa vipindi.<ref>https://onlinelibrary.wiley.com/doi/10.1111/j.1467-7679.2011.00543.x</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:WCZ Culture]]
l1fadl4ofbtcrurzc5ylrem0p4l83tz
Grey Stafford
0
240412
1570769
1567013
2026-06-11T08:13:29Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1570769
wikitext
text/x-wiki
'''Grey Stafford''' ni mkufunzi wa wanyama, mtaalamu wa zoolojia na mwelimishaji kutoka [[Marekani]]. Yeye ni Mkurugenzi wa Uhifadhi katika Wildlife World Zoo na Aquarium iliyopo [[Phoenix, Arizona]], na pia ni msemaji wa sekta ya bustani za wanyama na majumba ya viumbe wa majini.
Grey ni mwandishi wa kitabu ''Zoomility: Keeper Tales of Training with Positive Reinforcement''. Mwalimu wake, Jack Hanna, aliandika dibaji ya kitabu hicho.<ref>[http://lccn.loc.gov/2007929349](http://lccn.loc.gov/2007929349) Library of Congress LCCN Permalink 2007929349]. Lccn.loc.gov. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref><ref>[http://www.apdt.com/conf/archive/2008/speakers/bio_stafford.aspx](http://www.apdt.com/conf/archive/2008/speakers/bio_stafford.aspx) Grey Stafford, PhD] {{Wayback|url=http://www.apdt.com/conf/archive/2008/speakers/bio_stafford.aspx |date=20140301161752 }}. Apdt.com. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref><ref>{{cite web|url=[http://www.montereyherald.com/news/ci_16151951](http://www.montereyherald.com/news/ci_16151951) |title=Zoo helps animals help themselves |publisher=Monterey Herald |date=23 Septemba 2010 |accessdate=16 Machi 2014}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Grey alikulia [[Cleveland, Ohio]], na alianza kazi yake ya kufundisha wanyama kama mkufunzi wa mamalia wa baharini katika SeaWorld of Ohio. Huko alifanya kazi chini ya usimamizi wa wakufunzi mashuhuri wa wanyama Thad Lacinak na Ted Turner.
Ana shahada ya uzamivu (PhD) iliyotolewa na Idara ya Sayansi za Baiolojia ya Kent State University.
== Kazi ==
Grey anafanya kazi kama Mkurugenzi wa Uhifadhi katika Wildlife World Zoo na Aquarium huko [[Phoenix, Arizona]]. Amealikwa mara kadhaa kama mtaalamu wa wanyama katika vipindi vya televisheni vya ''Fox 10 Arizona Morning'',<ref>[http://www.myfoxphoenix.com/subindex/morning_show/wildlife_world_zoo](http://www.myfoxphoenix.com/subindex/morning_show/wildlife_world_zoo) FOX 10 Arizona Morning – Wildlife World Zoo – myFOX Phoenix]. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref> ''Good Morning Arizona'' na ''Your Life A to Z''. Pia ni msemaji wa bustani hiyo ya wanyama.<ref>[http://charismaoncamera.com/free-training/audios/drgreystaffordinterview/](http://charismaoncamera.com/free-training/audios/drgreystaffordinterview/) Dr. Grey Stafford Interview]. Charisma On Camera. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref>
Stafford ni mwanachama wa bodi ya ushauri ya uhariri ya International Marine Animal Trainers Association (IMATA).<ref>[http://www.imata.org/index.php/aquatic_mammals_jour?cfid=66](http://www.imata.org/index.php/aquatic_mammals_jour?cfid=66) IMATA]. IMATA (1 Januari 2010). Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref>
Amekuwa akitoa maoni ya kitaalamu kwa vyombo mbalimbali vya habari kuhusu masuala yanayohusu wanyama wanaofugwa au kuhifadhiwa katika mazingira ya udhibiti wa binadamu. Tarehe 30 Julai 2010 alifanyiwa mahojiano na CNN HLN kuhusu mashambulizi ya dubu aina ya grizzly yaliyosababisha vifo huko Montana.<ref>[http://www.cnn.com/2010/US/07/30/montana.grizzly.attack/index.html](http://www.cnn.com/2010/US/07/30/montana.grizzly.attack/index.html) Grizzly euthanized after fatal mauling that perplexes experts]. CNN (30 Julai 2010). Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2011.</ref><ref>{{cite web|url=[http://www.cnn.com/video/standard.html?hpt=sitenav](http://www.cnn.com/video/standard.html?hpt=sitenav) |title=Video - Breaking News Videos from CNN |publisher=CNN.com}}</ref>
Mwaka 2013, alichaguliwa pamoja na mwenzake William Hurley IV kuwa mmoja wa wajumbe wa jopo la majadiliano lililochambua filamu ya makala yenye utata ya ''Blackfish'' kwa CNN.<ref>{{cite web|url=[https://www.youtube.com/watch?v=WAgAwQKsUlY](https://www.youtube.com/watch?v=WAgAwQKsUlY) |archive-url=[https://ghostarchive.org/varchive/youtube/20211221/WAgAwQKsUlY](https://ghostarchive.org/varchive/youtube/20211221/WAgAwQKsUlY) |archive-date=2021-12-21 |url-status=live |title=Crossfire: Tim Zimmermann & Grey Stafford debate animal captivity (part 2/3) |publisher=YouTube}}</ref><ref>{{cite web|url=[http://www.cnn.com/video/data/2.0/video/us/2014/03/07/nr-intv-grey-stafford-orcas-captivity.cnn.html](http://www.cnn.com/video/data/2.0/video/us/2014/03/07/nr-intv-grey-stafford-orcas-captivity.cnn.html) |title=Zoologist explains benefits of orcas captivity |publisher=CNN |date=7 Machi 2014 |accessdate=16 Machi 2014}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
djoc58oeuw58vpbegoec8jsw1r8y9j2
Dumila Secondary School
0
240442
1569971
1567089
2026-06-10T21:51:53Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569971
wikitext
text/x-wiki
'''Dumila Secondary School''' ni shule ya [[sekondari]] ya [[serikali]] iliyopo nchini [[Tanzania]] katika eneo la [[Dumila]], wilaya ya [[Kilosa]] mkoani [[Morogoro]]. Shule hii hutoa elimu ya sekondari kwa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Nne (O-Level) chini ya usimamizi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Baraza la Mitihani la Taifa ([[Baraza la Mitihani la Tanzania|NECTA]]). Ni shule ya kutwa inayopokea wavulana na wasichana, na imekuwa ikihudumia wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali ya jirani kutokana na mazingira yake yaliyo karibu na makazi ya watu pamoja na miundombinu muhimu kama barabara na usafiri unaopatikana kwa urahisi.<ref>https://www.school.co.tz/s0775/school-profile</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-elimu}}
[[Jamii: Elimu]]
[[Jamii: Morogoro]]
hjeym47hcu6p5ejaypde0vj5id5y6p5
Kidete Secondary School
0
240443
1570345
1567090
2026-06-10T22:52:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570345
wikitext
text/x-wiki
'''Kidete Secondary School''' ni [[shule]] ya [[sekondari]] ya [[serikali]] iliyopo nchini [[Tanzania]], ikitoa elimu ya Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Nne (O-Level) chini ya mtaala wa taifa unaosimamiwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Shule hii ipo katika eneo la Kidete, wilaya ya [[Kilosa]] mkoani [[Morogoro]], na imekuwa ikihudumia wanafunzi wa maeneo ya jirani kutokana na mazingira yake ya kijamii yanayoruhusu upatikanaji rahisi wa elimu kwa jamii ya karibu. Ni shule ya serikali ya kutwa inayowapokea wavulana na wasichana.<ref>https://s0554.shuleyetu.co.tz/shuleni/ward/kidete/shule-zote/sekondari</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-elimu}}
[[Jamii: Elimu]]
[[Jamii: Morogoro]]
cdidjnxckzfob70z73uslnm332w46hb
Magole Secondary School
0
240444
1570276
1567091
2026-06-10T22:41:43Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570276
wikitext
text/x-wiki
'''Magole Secondary School''' ni [[shule]] ya [[sekondari]] ya [[serikali]] iliyopo nchini [[Tanzania]] katika kata ya [[Magole]], wilaya ya [[Kilosa]] mkoani [[Morogoro]], ikitoa elimu ya Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Nne (O-Level) chini ya mtaala wa taifa unaosimamiwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), na ni shule ya mchanganyiko inayowapokea wavulana na wasichana kutoka maeneo mbalimbali ya jirani kutokana na mazingira yake yaliyoko karibu na makazi ya watu na miundombinu ya kijamii inayorahisisha upatikanaji wa elimu katika eneo hilo la Magole.<ref>https://www.blogger.com/profile/06133732293770251250</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-elimu}}
[[Jamii: Elimu]]
[[Jamii: Morogoro]]
mt7e9vjot88a4opim8u5nvzlh87oibr
Chemchemi joto
0
240539
1569439
1569377
2026-06-10T12:39:43Z
Laylah26
89982
1569439
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Aerial view of Grand Prismatic (23428929375).jpg|thumb|Chemchemi joto.]]
'''Chemchemi joto''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Hot spring'' au ''Thermal spring'') ni aina ya [[chemchemi]] ambapo [[maji]] yanayotoka ardhini yanakuwa na [[joto]] la juu kuliko joto la [[mazingira]] yanayoizunguka. Maji hayo hupata joto yanapopenya chini sana kwenye [[ukoko]] wa [[dunia]] na kukutana na [[Mwamba (jiolojia)|miamba]] yenye joto kali la [[jiolojia|kijiolojia]], au kutokana na ukaribu wake na maeneo yenye [[volkano]] na [[magma]] chini ya ardhi.
Chemchemi joto zinapatikana katika sehemu mbalimbali duniani, lakini ni za kawaida zaidi katika maeneo yenye mtandao wa [[Bonde Kuu la Ufa]] [[bara|barani]] [[Afrika]], ambapo ardhi imepasuka na kuruhusu joto la ndani ya dunia kusafiri kwa urahisi kuelekea juu.<ref>https://britannica.com – Makala ya kijiografia kutoka Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua sayansi na asili ya chemchemi joto.</ref>
== Jiografia na hidrolojia ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], chemchemi joto zina sifa za pekee za [[kemia|kikemia]] na [[fizikia|kifizikia]] kutokana na joto lake la juu linalozisaidia kuyeyusha [[madini]] mengi yaliyopo kwenye miamba ya chini ya ardhi. Maji yanapotoka nje, mara nyingi yanakuwa yamejaa madini kama vile [[Sulfuri|kiberiti]], [[kalsiamu]], na [[silika]].
Wakati mwingine madini hayo hutengeneza [[mandhari]] ya [[rangi]] za kupendeza kando ya chemchemi hizo kutokana na uwepo wa [[bakteria]] maalum wanaostahimili joto kali. [[Uhifadhi wa maji|Uhifadhi]] wa vyanzo hivi vya [[maji]] ni muhimu kwani [[Mabadiliko ya tabianchi|mabadiliko ya mazingira]] na [[uchimbaji]] holela wa [[Kisima|visima]] karibu na maeneo hayo unaweza kubadilisha mwelekeo wa maji na kusababisha chemchemi hizo kukauka kabisa.<ref name=":0">https://usgs.gov – Idara ya Utafiti wa Kijiolojia ya Marekani (USGS) ikielezea jinsi mifumo ya hidolojia ya chemchemi joto inavyofanya kazi.</ref>
== Umuhimu wa kijamii na wa kiuchumi ==
Kijamii na [[uchumi|kiuchumi]], chemchemi joto zina umuhimu mkubwa wa [[ekolojia|kiekolojia]], [[utalii|kitalii]], na hata kishughuli za [[nishati mbadala]]. [[utamaduni|Kiutamaduni]] na kijamii, jamii nyingi barani Afrika zimekuwa zikitumia maji hayo kwa ajili ya [[tiba]] asilia ya [[Ugonjwa|magonjwa]] ya [[ngozi]] na viungo kutokana na madini yaliyomo.
Kiuchumi, maeneo haya (kama vile chemchemi joto za [[mapango ya Amboni]] nchini [[Tanzania]] au chemchemi za [[Bogoria]] nchini [[Kenya]]) ni vivutio vikubwa vya [[utalii]] na vyanzo vya [[nishati ya jotoardhi]] inayoweza kuzalisha [[umeme]] safi.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu matumizi ya chemchemi joto na nishati ya jotoardhi katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.</ref>
Pamoja na faida hizo, changamoto kubwa inayokabili chemchemi joto ni uharibifu wa miundombinu ya mazingira inayozunguka na usimamizi duni wa [[usafi wa mazingira]], jambo linaloweza kuhatarisha [[Maji salama|usalama wa maji]] hayo kwa watumiaji.
== Historia ya Chemichemi joto ==
Chemchemi joto zimekuwa zikitumiwa na binadamu tangu nyakati za kale kwa ajili ya kuoga, tiba za asili na shughuli za kijamii. Jamii nyingi duniani zilihusisha maji ya chemchemi joto na afya njema kutokana na madini yaliyomo ndani yake. Katika ustaarabu wa kale wa Ugiriki na Roma, mabafu ya maji ya moto yalikuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku na yalitumika kwa starehe pamoja na matibabu.
== Viumbehai ==
[[Faili:Rio Quente 16 (27822967745).jpg|thumb|[[Uoto asilia]] katika Chemchem joto huko Rio Quente, [[Brazil]]]]
Licha ya joto lake kubwa, chemchemi joto ni makazi ya viumbe maalumu wanaoweza kuishi katika mazingira yenye joto kali sana. Viumbe hao hujulikana kama thermophiles na ni pamoja na baadhi ya bakteria na archaea. Viumbe hawa huchangia kutokea kwa rangi mbalimbali zinazoweza kuonekana kandokando ya chemchemi joto.<ref>{{cite web|title=Thermophile|url=https://www.britannica.com/science/thermophile|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
== Uhusiano na nishati ya jotoardhi ==
Chemchemi joto ni mojawapo ya viashiria vya uwepo wa nishati ya jotoardhi chini ya ardhi. Nishati hii hutokana na joto la ndani ya Dunia na inaweza kutumika kuzalisha umeme pamoja na matumizi mengine ya kiuchumi. Nchi kadhaa duniani hutegemea nishati ya jotoardhi kama chanzo safi na endelevu cha nishati.<ref>{{cite web|title=Geothermal Energy|url=https://www.britannica.com/science/geothermal-energy|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}</ref><ref>{{cite web|title=Geothermal Power|url=https://www.britannica.com/technology/geothermal-power|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
== Athari za kimazingira ==
Chemchemi joto zinaweza kuathiriwa na shughuli za binadamu kama vile uchimbaji mkubwa wa maji chini ya ardhi, ujenzi holela na uchafuzi wa mazingira. Mabadiliko hayo yanaweza kupunguza mtiririko wa maji au hata kusababisha chemchemi kukauka kabisa. Hivyo, uhifadhi wa mazingira yanayozizunguka ni muhimu kwa ajili ya kulinda rasilimali hii ya asili.<ref>{{cite web|title=Geothermal Energy: Environmental Effects and Economic Costs|url=https://www.britannica.com/science/geothermal-energy/Environmental-effects-and-economic-costs|publisher=Encyclopaedia Britannica|access-date=10 Juni 2026}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Volkano]]
* [[Mto]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
*https://www.britannica.com/science/geothermal-energy<nowiki/>-Nishati ya Jotoardhi.
*https://www.britannica.com/science/hot-spring<nowiki/>-Chemchemi Joto (Hot Spring).
*https://www.britannica.com/science/thermophile<nowiki/>-Viumbe Wanaostahimili Joto Kali (Thermophile).
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
sgvktkfjo7tdci1akfueswymb6axc3k
Uendelevu wa maji
0
240596
1569471
1569382
2026-06-10T15:46:39Z
Anuary Rajabu
45588
1569471
wikitext
text/x-wiki
'''Uendelevu wa maji''' ni dhana ya usimamizi, matumizi na uhifadhi wa rasilimali za [[maji]] kwa namna inayohakikisha upatikanaji wa maji ya kutosha, safi na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo bila kuharibu mifumo ya asili inayozalisha na kusambaza maji. Maji ni [[rasilimali]] ya msingi inayotegemeza uhai wa binadamu, maendeleo ya kiuchumi na utendaji wa mifumo ya ikolojia duniani, hivyo uendelevu wake ni jambo la msingi katika kufanikisha maendeleo endelevu. <ref>{{Rejea tovuti|title=Drinking-water|url=https://www.who.int/news-room/fact-sheets/detail/drinking-water|work=www.who.int|accessdate=2026-06-09|language=en}}</ref>
Katika dunia ya sasa, ongezeko la idadi ya watu, mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa mazingira vimeongeza shinikizo kubwa katika rasilimali za maji. Hali hii imefanya maji kuwa rasilimali adimu katika baadhi ya maeneo, licha ya kuwa yanahitajika kila siku kwa matumizi ya nyumbani, [[kilimo]] na [[viwanda]]. Kwa sababu hiyo, usimamizi bora wa maji unahitajika ili kuhakikisha kuwa rasilimali hii muhimu haipungui wala kuharibiwa kwa vizazi vijavyo.
Kwa mujibu wa [[Umoja wa Mataifa]] kupitia Malengo ya Maendeleo Endelevu (Namba 6), dunia inalenga kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na usafi kwa wote ifikapo mwaka 2030. Hii inaonyesha wazi kuwa maji si tu rasilimali ya kiuchumi, bali pia ni haki ya msingi ya [[binadamu]] na nguzo muhimu ya afya, usalama wa chakula na maendeleo ya kijamii<ref>{{Rejea tovuti|title=Goal 6 {{!}} Department of Economic and Social Affairs|url=https://sdgs.un.org/goals/goal6|work=sdgs.un.org|accessdate=2026-06-09}}</ref>
== Changamoto za Uendelevu wa Maji Duniani ==
* Uhaba wa Maji - Takriban watu [[bilioni]] 4 duniani – karibu nusu ya idadi ya watu duniani – wanaishi na uhaba mkubwa wa [[maji]] kwa angalau mwezi mmoja kila mwaka. Hii inamaanisha hawana [[maji]] ya kutosha kukidhi mahitaji yao yote.<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Ufilisika wa Maji (Water Bankruptcy) - Dunia sasa imeingia katika enzi ya "ufilisika wa [[maji]]". Hali hii hutokea mahali ambapo matumizi ya [[maji]] yanazidi kiasi cha [[maji]] kinachoweza kubadilishwa na [[asili]], na wakati uharibifu wa [[mazingira]] unaohifadhi na kuchuja [[maji]] (kama [[vyanzo vya maji chini ya ardhi]] na [[ardhi oevu]]) unakuwa mgumu kurudishwa. Ishara za ufilisika wa [[maji]] zinaonekana kila mahali: [[maziwa]] yanapungua, [[visima]] vinahitaji kuchimbwa kwa kina kirefu, [[mito]] ambayo hapo awali ilikuwa na maji mwaka mzima inakuwa ya msimu tu, na [[ardhi]] yenyewe inaanza kuzama (subsidence).<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Athari za Kilimo - [[Kilimo]] ndicho mtumiaji mkubwa wa [[maji]] duniani, kikiwajibika kwa takriban asilimia 70 ya uchukuaji wa [[maji]] safi duniani. Takriban watu bilioni 3 na zaidi ya nusu ya uzalishaji wa [[chakula]] duniani umejikita katika maeneo ambako uhifadhi wa [[maji]] unapungua. Zaidi ya kilomita za mraba 650,000 za [[ardhi]] ya kilimo yenye umwagiliaji ziko chini ya mkazo mkubwa wa [[maji]]. Hii inatishia utulivu wa usambazaji wa [[chakula]] duniani kote.<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref> Maneno ya bluu: maji, maisha, bilioni, asili, vyanzo vya maji chini ya ardhi, ardhi oevu, maziwa, visima, mito, ardhi, Kilimo, chakula.
== Pengo la Maji ==
Pengo la [[maji]] ni hali ambayo matumizi ya [[maji]] yanazidi upatikanaji wa [[maji]] asilia katika muda wowote ndani ya mwezi. Kwa muda, aina hii ya matumizi yasiyo endelevu ya [[maji]] inasababisha kupungua kwa [[maji]] chini ya ardhi, [[mito]], [[maziwa]], [[vyanzo vya maji chini ya ardhi]], na hifadhi nyingine za asili za [[maji]].<ref>{{cite web|title=Gap between water supply and demand will increase as climate shifts|publisher=Carnegie Science|url=https://carnegiescience.edu/news/gap-between-water-supply-and-demand-will-increase-climate-shifts|access-date=2026-06-10}}</ref>
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa pengo la [[maji]] duniani tayari ni kubwa kiasi cha [[mita za ujazo]] bilioni 458 kwa mwaka. Pengo hili linatarajiwa kuongezeka kwa asilimia 6 chini ya hali ya [[kupanda kwa joto la dunia]] kwa nyuzi 1.5 °C, na kwa asilimia 15 chini ya hali ya kupanda kwa nyuzi 3 °C.<ref>{{cite web|title=Gap between water supply and demand will increase as climate shifts|publisher=Carnegie Science|url=https://carnegiescience.edu/news/gap-between-water-supply-and-demand-will-increase-climate-shifts|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Suluhisho na Mikakati ya Kukabiliana na Changamoto ==
* Kukoma kwa Uchukuaji wa Maji Kupita Kiasi - Hatua ya kwanza ni kukiri kuwa usawa wa [[maji]] umevunjika. Hii inamaanisha kuweka mipaka ya matumizi ya [[maji]] inayoakisi kiasi cha [[maji]] kinachopatikana kwa hakika, badala ya kuchimba visima kwa kina kirefu na kuhamisha mzigo kwa vizazi vijavyo.<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kulinda Rasilimali Asili - Kulinda [[ardhi oevu]], kurejesha [[mito]], kujenga upya afya ya [[udongo]], na kusimamia uchaji wa [[maji]] chini ya ardhi si jambo la nyongeza – ni muhimu kwa kudumisha [[maji]] safi. Pia, [[hali ya hewa]] imara ni muhimu kwa upatikanaji wa [[maji]].<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kupunguza Matumizi - Kudhibiti mahitaji ya [[maji]] kumekuwa jambo lisiloepukika katika maeneo mengi. Mipango ya upunguzaji wa [[maji]] inayokata [[maji]] kwa maskini huku ikilinda wenye mamlaka itashindwa. Mikakati mizuri inajumuisha ulinzi wa kijamii, usaidizi kwa [[wakulima]] kubadilisha [[mazao]] yanayotumia [[maji]] kidogo, na uwekezaji katika ufanisi wa [[maji]].<ref>{{cite web|title=The world is in the 'era of water bankruptcy'|publisher=UNU|url=https://unu.edu/inweh/article/world-era-water-bankruptcy-heres-what-means|access-date=2026-06-10}}</ref>
* Kuongeza Uwekezaji - Uwekezaji wa kutosha katika [[miundombinu]] ya [[maji]] na mifumo endelevu ya kufadhili ni muhimu. Mazingira ya kuwezesha uwekezaji bora na matumizi ya fedha kwa ufanisi yanahitajika. Wataalamu wanakadiria kuwa ili kufikia SDG 6 ifikapo 2030, dunia inahitaji kuongeza kasi ya maendeleo kwa nyakati 6 kwa [[maji]] ya kunywa, nyakati 5 kwa usafi wa [[mazingira]], na nyakati 3 kwa usafi wa [[mikono]].<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation 2023|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Malengo ya SDG 6 na Maendeleo Yake ==
[[Umoja wa Mataifa]] kupitia [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDG 6) umeweka malengo ya kuhakikisha upatikanaji wa [[maji]] safi na usafi wa [[mazingira]] kwa wote ifikapo mwaka 2030. Hata hivyo, dunia bado iko nyuma katika kufikia malengo haya;<ref><ref>{{cite web|title=Goal 6 - Ensure availability and sustainable management of water and sanitation for all|publisher=UN Sustainable Development|url=https://sdgs.un.org/goals/goal6|access-date=2026-06-10}}</ref>
{| class="wikitable"
|+
!Lengo
!Lengo la 2030
!Hali ya Sasa
!
|-
|Upatikanaji wa [[maji]] safi ya kunywa
|Watu wote wapate [[maji]] safi
|[[Bilioni]] 2.1 bado hawana huduma (2024)
|
|-
|Usafi wa [[mazingira]] na usafi wa [[mikono]]
|Watu wote wapate usafi
|Bilioni 3.4 bado hawana usafi wa kutosha (2024)
|
|-
|Kuongeza ufanisi wa matumizi ya [[maji]]
|Kupunguza watu wenye uhaba wa [[maji]]
|Asilimia 57 ya nchi bado zina changamoto
|
|}
<ref>{{cite web|title=Goal 6 - Ensure availability and sustainable management of water and sanitation for all|publisher=UN Sustainable Development|url=https://sdgs.un.org/goals/goal6|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Uendelevu wa Maji Tanzania ==
Serikali ya [[Tanzania]] imejitolea kuhakikisha uendelevu wa [[maji]] kwa wananchi wake kupitia misingi mitatu mikuu: usawa na ujumuishi, uendelevu na uwajibikaji, na diplomasia ya [[maji]] na ushirikiano wa kikanda.<ref>{{cite web|title=Tanzania yasisitiza dhamira kuendeleza diplomasia ya maji|publisher=Wizara ya Maji Tanzania|url=https://maji.go.tz/index.php/news/tanzania-reaffirms-commitment-to-advancing-water-diplomacy|access-date=2026-06-10}}</ref>
=== Programu za Uendelevu wa Maji Vijijini ===
[[Tanzania]], kwa kushirikiana na [[Benki ya Dunia]], inatekeleza Programu ya Uendelevu wa Huduma ya [[Maji]] na Usafi wa Mazingira Vijijini. Kupitia programu hii, jumla ya miradi 540 imetekelezwa yenye vituo vya kuchotea [[maji]] 4,569 na kunufaisha wananchi wapatao milioni 4.1 katika vijiji 1,118. Kwa mafanikio haya, [[Benki ya Dunia]] imeiitambua [[Tanzania]] kuwa kinara katika utekelezaji wa programu hii barani [[Afrika]].<ref>{{cite web|title=Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji 2024/2025|publisher=Parliament of Tanzania|url=https://www.parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1715262624-Hotuba_ya_Bajeti_ya_Wizara_ya_Maji_kwa_Mwaka_wa_Fedha_2024_2025.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
=== Matumizi ya Nishati Jadidifu ===
Katika kupunguza gharama za uendeshaji na kuhakikisha uendelevu wa huduma ya [[maji]] vijijini, Wizara ya [[Maji]] [[Tanzania]] kwa kushirikiana na [[Benki ya Dunia]] inatekeleza mradi wa kuondoa matumizi ya [[nishati]] ya dizeli na kufunga mifumo ya [[umeme]] wa [[jua]] kwenye skimu 332 za [[maji]] vijijini. Hadi Aprili 2024, jumla ya skimu 65 zimebadilishiwa mifumo ya dizeli na kuwekewa mifumo inayowezesha matumizi ya [[umeme]] wa gridi pamoja na [[umeme]] wa [[jua]].<ref>{{cite web|title=Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji 2024/2025|publisher=Parliament of Tanzania|url=https://www.parliament.go.tz/uploads/budgetspeeches/1715262624-Hotuba_ya_Bajeti_ya_Wizara_ya_Maji_kwa_Mwaka_wa_Fedha_2024_2025.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
*[[Elimumaji]]
*[[Uchafuzi wa maji]]
*[[Maendeleo endelevu]]
*[[Mabadiliko ya tabianchi]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:ekolojia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC GWEI]]
amtg1079p9vres068l5wa6zcfux5rju
Sera ya maji
0
240597
1569441
1569409
2026-06-10T12:59:50Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Nimeendelea kuhariri
1569441
wikitext
text/x-wiki
"Sera ya maji" inaelekezwa hapa; isichanganywe na sera ya [[rasilimali za maji]].
[[Faili:Evstafiev-bosnia-sarajevo-water-line.jpg|thumb|269x269px|Watu wakisubiri kwenye foleni kukusanya maji wakati wa Kuzingirwa kwa Sarajevo]]
'''Siasa za maji''', wakati mwingine zikijulikana kama hidropolitiki, ni [[siasa]] zinazoathiriwa na upatikanaji wa [[maji]] na [[rasilimali za maji]], ambayo ni hitaji muhimu kwa viumbe vyote hai na maendeleo ya binadamu.
Ufafanuzi wa Arun P. Elhance kuhusu hidropolitiki ni "utafiti wa kimfumo wa migogoro na ushirikiano kati ya [[mataifa]] kuhusu rasilimali za maji zinazovuka mipaka ya kimataifa". Mollinga, P. P. anagawa siasa za maji katika kategoria nne: "siasa za kila siku za usimamizi wa rasilimali za maji", "siasa za sera ya maji katika muktadha wa [[Maarifa huria|mataifa huru]]", "hidropolitiki kati ya mataifa", na "siasa za kimataifa za maji". Upatikanaji wa maji ya kunywa kwa kila mtu hautoshelezi na unapungua duniani kote.<ref>https://www.cbc.ca/news/world/world-s-supply-of-fresh-water-shrinking-dramatically-report-1.384437</ref> Sababu zake, zinazohusiana na kiasi na ubora, ni nyingi na tofauti; zinajumuisha uhaba wa ndani, upatikanaji mdogo na shinikizo la idadi ya watu,[https://reportsyndication.news.blog/2019/10/12/the-coming-wars-for-water/]<ref>{{Rejea tovuti|title=The Coming Wars for Water!|url=https://reportsyndication.news.blog/2019/10/12/the-coming-wars-for-water/|work=Report Syndication|date=2019-10-12|accessdate=2026-06-09|language=en|author=OpEd Column Network}}</ref> lakini pia shughuli za binadamu za matumizi makubwa, matumizi mabaya, [[Uharibifu wa mazingira|uharibifu]] [[Uharibifu wa mazingira|wa mazingira]] na [[uchafuzi wa maji]], pamoja na mabadiliko ya [[tabianchi]].
Maji ni [[rasilimali]] ya kimkakati ya asili, na [[uhaba wa maji]] ya kunywa ni mchangiaji wa mara kwa mara wa migogoro ya kisiasa kote ulimwenguni. kwa kupungua kwa upatikanaji na kuongezeka kwa mahitaji ya maji, wengine wametabiri kuwa maji safi yatakuwa "mafuta ya pili"; hali inayozifanya nchi kama [[Kanada]], [[Chile]], [[Norwe]], [[Kolombia]] na Peru, zilizo na rasilimali hii kwa wingi, kuwa nchi tajiri kwa maji duniani.<ref>https://web.archive.org/web/20080516055735/http://worldwater.org/data20062007/Table1.pdf</ref><ref>https://www.keele.ac.uk/</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=World Water|url=https://www.worldwater.org/|work=World Water|accessdate=2026-06-09|language=en-US}}</ref> Ripoti ya [[Umoja wa Mataifa]] ya Maendeleo ya Maji Duniani (WWDR, [[2003]]) kutoka kwa Programu ya Tathmini ya Maji Duniani inaonyesha kuwa, katika miaka 20 ijayo, kiasi cha maji kinachopatikana kwa kila mtu kinatabiriwa kupungua kwa 30%. Kwa sasa, 40% ya wakazi wa dunia hawana maji safi ya kutosha kwa ajili ya usafi wa msingi. Zaidi ya watu milioni 2.2 walifariki mwaka 2000 kutokana na [[magonjwa]] yanayohusiana na matumizi ya maji yaliyochafuliwa au [[ukame]]. Mnamo 2004, shirika la misaada la [[Uingereza]] la WaterAid liliripoti kuwa mtoto mmoja hufariki kila baada ya sekunde 15 kutokana na magonjwa yanayotokana na maji ambayo yanaweza kuzuilika kwa urahisi; mara nyingi hii inamaanisha ukosefu wa utupaji wa maji taka; tazama [[choo]]. Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa unahitimisha usambazaji wa maji duniani katika ripoti ya maendeleo ya [[2006]]: "Sehemu moja ya dunia, inategemeza soko la maji ya chupa la kifahari ambalo halitoi faida zozote za kiafya zinazoonekana, sehemu nyingine inakabiliwa na hatari kubwa za kiafya kwa sababu watu wanalazimika kunywa maji kutoka kwenye [[mifereji]] au kutoka kwenye [[maziwa]] na [[mito]]."<ref>{{Rejea tovuti|title=Human Development Report 2006|url=http://hdr.undp.org:80/hdr2006/report.cfm|work=hdr.undp.org|accessdate=2026-06-09}}</ref> Maji safi— sasa ya thamani zaidi kuliko wakati mwingine wowote katika historia yetu kwa matumizi yake mapana katika [[kilimo]], utengenezaji wa [[teknolojia]] ya hali ya juu, na uzalishaji wa nishati—yanazidi kupata umakini kama [[rasilimali]] inayohitaji usimamizi bora na matumizi endelevu.
Haki za maji za ''riparian'' zimekuwa masuala ya diplomasia ya kimataifa, kando na haki za maji na siasa za ndani na kikanda.<ref>{{Rejea tovuti|title=Inderscience Publishers - linking academia, business and industry through research|url=http://www.inderscience.com/browse/index.php|work=www.inderscience.com|accessdate=2026-06-09}}</ref> Makamu wa Rais wa Benki ya [[Dunia]], Ismail Serageldin, alitabiri, "Vita vingi vya [[karne ya 20]] vilikuwa kuhusu mafuta, lakini vita vya karne ya 21 vitakuwa kuhusu maji isipokuwa tukibadilisha njia tunayosimamia maji."<ref>{{Rejea jarida |last=Serageldin |first=Ismail |date=2009-05 |title=Water: conflicts set to arise within as well as between states |url=https://www.nature.com/articles/459163b |journal=Nature |language=en |volume=459 |issue=7244 |pages=163–163 |doi=10.1038/459163b |issn=1476-4687}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Where Oil And Water Do Mix: Environmental Scarcity And Future Conflict In The Middle East And North Africa - Research and Read Books, Journals, Articles at Questia Online Library|url=http://www.questia.com/googleScholar.qst;jsessionid=LzvKQT9QJpyrMBm5G3VrTtYfFGfbQlRT9LK7nv5Kn7zym7CZG2VG!-331657331?docId=5008625832|work=www.questia.com|accessdate=2026-06-09}}</ref> Hata hivyo, hili linabishaniwa na baadhi ya watu, ambao wanahoji kuwa migogoro kuhusu maji kwa kawaida hutatuliwa kwa [[diplomasia]] na haigeuki kuwa [[vita]]. Shule nyingine mpya ya mawazo inahoji kuwa "hofu zinazoonekana za kupoteza udhibiti wa maji ya pamoja inaweza kuchangia katika utayari wa mara kwa mara wa kwenda vitani miongoni mwa mataifa ya ''riparian'', kwa ajili tu ya tahadhari ikitokea vita".<ref>{{Rejea tovuti|title=Inderscience Publishers - linking academia, business and industry through research|url=https://www.inderscience.com/login.php?op=&yo=&aid=|work=www.inderscience.com|accessdate=2026-06-09}}</ref>
== Sera ya maji ==
Sehemu hii ni dondoo kutoka kwa Sera ya [[rasilimali za maji]].
[[Faili:WorldWaterAvailability lb.svg|thumb|339x339px|Upatikanaji wa maji duniani]]
Sera ya [[rasilimali za maji]], wakati mwingine ikijulikana kama usimamizi wa rasilimali za maji au usimamizi wa maji, inajumuisha michakato ya kutunga sera na sheria zinazoathiri ukusanyaji, maandalizi, matumizi, utupaji, na ulinzi wa rasilimali za maji.<ref>{{Rejea tovuti|title=Login - HeinOnline.org|url=https://heinonline.org/HOL/login-hol?redirect_url=https://heinonline.org/HOL/mojo?%252Fmojo=&auth_token=nh7CDkH1a1c43TvY2k6rCxu8zGCxXTLOKNcHXWGApzM%253D&casa_token=&paywall_url=&referrer=https%253A%252F%252Fheinonline.org%252F×tamp=1781064883&url=%252FHOL%252FPage%253Fhandle%253Dhein.journals%252Fhjl14%2526id%253D229|work=heinonline.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Uendelevu wa muda mrefu wa mifumo ya usambazaji wa maji unaleta changamoto kubwa kutokana na kupungua kwa rasilimali za maji, mabadiliko ya tabianchi, na kuongezeka kwa idadi ya watu.<ref>{{Rejea jarida |last=Momeni |first=Marzieh |last2=Behzadian |first2=Kourosh |last3=Yousefi |first3=Hossein |last4=Zahedi |first4=Sina |date=2021-09-01 |title=A Scenario-Based Management of Water Resources and Supply Systems Using a Combined System Dynamics and Compromise Programming Approach |url=https://doi.org/10.1007/s11269-021-02942-z |journal=Water Resources Management |language=en |volume=35 |issue=12 |pages=4233–4250 |doi=10.1007/s11269-021-02942-z |issn=1573-1650}}</ref>
Maji ni hitaji muhimu kwa viumbe vyote hai pamoja na viwanda ambavyo binadamu anavitegemea, kama vile maendeleo ya [[teknolojia]] na [[kilimo]].<ref>{{Rejea jarida |date=2004-08-02 |title=Environmental impacts of microchip manufacture |url=https://www.sciencedirect.com/science/article/abs/pii/S0040609004002755 |journal=Thin Solid Films |language=en-US |volume=461 |issue=1 |pages=2–6 |doi=10.1016/j.tsf.2004.02.049 |issn=0040-6090}}</ref><ref>{{Rejea jarida |last=Rost |first=Stefanie |last2=Gerten |first2=Dieter |last3=Bondeau |first3=Alberte |last4=Lucht |first4=Wolfgang |last5=Rohwer |first5=Janine |last6=Schaphoff |first6=Sibyll |date=2008 |title=Agricultural green and blue water consumption and its influence on the global water system |url=https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1029/2007WR006331 |journal=Water Resources Research |language=en |volume=44 |issue=9 |doi=10.1029/2007WR006331 |issn=1944-7973}}</ref> Hitaji hili la kimataifa la upatikanaji wa maji safi linahitaji sera ya rasilimali za maji ili kuamua njia za kusambaza na kulinda rasilimali za maji. Sera ya rasilimali za maji inatofautiana kulingana na kanda na inategemea upatikanaji au [[uhaba wa maji]], hali ya mifumo ya majini, na mahitaji ya kikanda ya maji.<ref>{{Rejea jarida |last=Momeni |first=Marzieh |last2=Behzadian |first2=Kourosh |last3=Yousefi |first3=Hossein |last4=Zahedi |first4=Sina |date=2021-09-01 |title=A Scenario-Based Management of Water Resources and Supply Systems Using a Combined System Dynamics and Compromise Programming Approach |url=https://doi.org/10.1007/s11269-021-02942-z |journal=Water Resources Management |language=en |volume=35 |issue=12 |pages=4233–4250 |doi=10.1007/s11269-021-02942-z |issn=1573-1650}}</ref> Kwa kuwa mabonde ya maji hayalandani na mipaka ya kitaifa, sera ya rasilimali za maji pia huamuliwa na mikataba ya kimataifa, ambayo pia inajulikana kama hidropolitiki.<ref>https://academic.oup.com/edited-volume/61750/chapter-abstract/542846554?redirectedFrom=fulltext&login=false#542846554</ref> Ulinzi wa ubora wa maji pia huangukia chini ya mwamvuli wa sera ya rasilimali za maji; sheria zinazolinda [[kemia]], [[biolojia]], na [[ekolojia]] ya mifumo ya majini kwa kupunguza na kuondoa uchafuzi, kudhibiti matumizi yake, na kuboresha ubora huhesabiwa kuwa sera ya rasilimali za maji.<ref>{{Rejea tovuti|title=Login - HeinOnline.org|url=https://heinonline.org/HOL/login-hol?redirect_url=https://heinonline.org/HOL/mojo?%252Fmojo=&auth_token=p1MjdXqyAjP8pMs0ts9Hht2VjUbmAPL23Qg0XPfipOo%253D&casa_token=&paywall_url=&referrer=https%253A%252F%252Fheinonline.org%252F×tamp=1781066114&url=%252FHOL%252FPage%253Fhandle%253Dhein.journals%252Fhjl14%2526id%253D229|work=heinonline.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Wakati wa kuandaa sera za rasilimali za maji, wadau wengi tofauti, vigezo vya mazingira, na mazingatio lazima yazingatiwe ili kuhakikisha afya ya watu na mifumo ya ikolojia inadumishwa au kuboreshwa. Hatimaye, upangaji wa maeneo ya [[bahari]], [[Usimamizi wa Pwani|usimamizi wa pwani]], na rasilimali za mazingira pia yanajumuishwa na usimamizi wa [[rasilimali za maji]], kama katika kisa cha ukodishaji wa ardhi kwa ajili ya upepo wa baharini.<ref>{{Rejea jarida |last=Söderholm |first=Patrik |last2=Pettersson |first2=Maria |date=2011-02-01 |title=Offshore wind power policy and planning in Sweden |url=https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S030142151000457X |journal=Energy Policy |series=Special Section on Offshore wind power planning, economics and environment |volume=39 |issue=2 |pages=518–525 |doi=10.1016/j.enpol.2010.05.065 |issn=0301-4215}}</ref>Kadiri uhaba wa maji unavyoongezeka kutokana na mabadiliko ya tabianchi, hitaji la sera madhubuti za rasilimali za maji litazidi kuwa la kawaida. Inakadiriwa kuwa 57% ya idadi ya watu duniani watapata uzoefu wa uhaba wa maji kwa angalau mwezi mmoja kwa mwaka ifikapo mwaka 2050.<ref>{{Rejea jarida |last=Boretti |first=Alberto |last2=Rosa |first2=Lorenzo |date=2019-07-31 |title=Reassessing the projections of the World Water Development Report |url=https://www.nature.com/articles/s41545-019-0039-9 |journal=npj Clean Water |language=en |volume=2 |issue=1 |pages=15 |doi=10.1038/s41545-019-0039-9 |issn=2059-7037}}</ref> Hatua za kukabiliana na sera zilizosasishwa za rasilimali za maji zitahitaji ushirikiano wa taaluma mbalimbali na wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na maafisa wa serikali, wanasayansi wa mazingira, wataalamu wa jamii, wachumi, wachambuzi wa mifano ya hali ya hewa, na wanaharakati.<ref>{{Rejea jarida |last=Cosgrove |first=William J. |last2=Loucks |first2=Daniel P. |date=2015 |title=Water management: Current and future challenges and research directions |url=https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1002/2014WR016869 |journal=Water Resources Research |language=en |volume=51 |issue=6 |pages=4823–4839 |doi=10.1002/2014WR016869 |issn=1944-7973}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=The politics of the environment : ideas, activism, policy {{!}} WorldCat.org|url=https://search.worldcat.org/title/76141452|work=search.worldcat.org|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Dhana za siasa za maji ==
=== Hydro-hegemony ===
Mfumo wa ''hydro-hegemony'' ''uliwekwa na wasomi Mark Zeitoun na Jeroen'' F. Warner mnamo mwaka 2006 kama dhana muhimu ya uchanganuzi inayofaa kuchunguza machaguo ya mataifa yenye nguvu au yale yaliyo chini ya utawala wa maji na jinsi yanavyoweza kuondoka katika utawala wa mabavu kuelekea ushirikiano.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf
</ref> Mfumo wa ''hydro-hegemony'' ni wa thamani hasa katika kushughulikia matukio ambapo uhusiano wa nguvu huangukia kati ya ncha mbili za ushirikiano na [[Vita ya Maji Maji|vita vya maji]] vinavyojadiliwa mara kwa mara.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref>
''Hydro-hegemony'' (hegemonia ya maji) inarejelea "hegemonia katika ngazi ya bonde la mto, inayopatikana kupitia mikakati ya udhibiti wa rasilimali za maji kama vile unyakuzi wa rasilimali, ujumuishaji, na uzuiaji. Mikakati hiyo hutekelezwa kupitia safu ya mbinu (mfano: shinikizo la kulazimisha, mikataba, ujenzi wa maarifa, n.k.) ambazo huwezeshwa na unyonyaji wa ukosefu wa usawa wa nguvu uliopo ndani ya muktadha dhaifu wa kitaasisi wa kimataifa."<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref> Nguzo mbili za ''hydro-hegemony'' ni nafasi ya mto na uwezo wa unyonyaji. Ingawa kunaweza kuwa na vighairi, kama kanuni ya jumla "wale wa juu ya mto hutumia maji kupata nguvu zaidi, wale wa chini ya mto hutumia nguvu kupata maji zaidi."<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf
</ref> Mhusika anayeshinda udhibiti wa rasilimali huamuliwa kupitia mfumo wa ''hydro-hegemony'' ulioanzishwa, kwa kumpendelea mhusika mwenye nguvu zaidi ('wa kwanza miongoni mwa walio sawa').
Mnamo 2010, Mark Zeitoun na Ana Elisa Cascão walirekebisha mfumo huo ili uundwe na nguzo nne kuu za nguvu—nguvu ya kijiografia, nguvu ya kimwili, nguvu ya majadiliano, na nguvu ya kiitikadi. wa hivyo, ''hydro-hegemony'' inaweza kueleweka kama hegemonia katika ngazi ya bonde la mto inayotokea ambapo udhibiti wa mtiririko wa maji yanayovuka mipaka huimarishwa na mhusika mwenye nguvu zaidi.
Ingawa Zeitoun na Warner wanahoji kuwa ''hydro-hegemony'' kwa ujumla ni chanzo cha utulivu, katika baadhi ya matukio mataifa dhaifu yanaweza kushiriki katika ''counter-hydro-hegemony'' (kupinga hegemonia ya maji). Katika hali hii, kunakuwa na jaribio la kufanya mazungumzo upya na hatimaye pia kubadilisha mgawanyo wa nguvu. Mikakati inayoweza kutumika katika hili ni majaribio ya kubadilisha mjadala ili kuupendelea upande usio na hegemonia.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref>
== Maji kama rasilimali muhimu ==
Tazama pia: ''Mgogoro wa maji''
La muhimu zaidi, [[Maji salama|maji safi]] ni hitaji la msingi kwa viumbe vyote hai, ikijumuisha [[mazao]], [[mifugo]], na [[binadamu]]. [[UNDP]] inachukulia upatikanaji wa maji kama [[Haki za binadamu|haki]] [[Haki za binadamu|ya msingi ya binadamu]] na sharti la amani. Aliyeonekana kuwa [[Katibu Mkuu wa UM|Katibu Mkuu wa]] [[Katibu Mkuu wa UM|Umoja wa Mataifa]], [[Kofi Annan]], alisema mwaka [[2001]], "Upatikanaji wa maji safi ni hitaji la msingi la binadamu na, kwa hivyo, ni haki ya msingi ya binadamu. Maji yaliyochafuliwa yanahatarisha afya ya kimwili na kijamii ya watu wote. Ni tusi kwa utu wa binadamu." Pamoja na maendeleo yaliyoongezeka, [[viwanda]] vingi, ikiwemo [[misitu]], [[kilimo]], [[Uchimbaji madini|uchimbaji]] [[Uchimbaji madini|madini]], [[utengenezaji]], na [[burudani]] vinahitaji kiasi kikubwa cha ziada cha maji safi ili kufanya kazi. Hata hivyo, hali hii imesababisha ongezeko la uchafuzi wa hewa na maji, ambayo nayo yamepunguza ubora wa usambazaji wa maji. Mbinu endelevu zaidi za [[maendeleo]] ni za manufaa na muhimu.
Kulingana na [[WHO]], kila mwanadamu anahitaji kima cha chini kabisa cha [[lita]] 20 za maji safi kwa siku kwa ajili ya [[usafi]] wa msingi;<ref>{{Cite web|title=Water Rights and Wrongs|url=http://hdr.undp.org/external/hdr2006/water/10.htm|work=hdr.undp.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> hii ni sawa na mita za ujazo 7.3 (takriban futi za ujazo 255) kwa kila mtu, kwa mwaka. Kulingana na upatikanaji, ufikiaji na maendeleo ya usambazaji wa maji, [[takwimu]] mahususi za matumizi hutofautiana sana kutoka nchi moja hadi nyingine, huku mataifa yaliyoendelea yakiwa na mifumo iliyopo ya kutibu maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu, na kuyafikisha katika kila nyumba. Wakati huo huo hata hivyo, baadhi ya mataifa kote [[Amerika ya Kusini]], sehemu za [[Asia]], [[Asia ya Kusini-Mashariki|Asia]] [[Asia ya Kusini-Mashariki|ya Kusini-Mashariki]], [[Afrika]] na [[Mashariki ya Kati|Mashariki ya]] [[Mashariki ya Kati|Kati]] aidha hayana rasilimali za kutosha za maji au hayajaendeleza haya au [[miundombinu]] hiyo kufikia viwango vinavyohitajika. Hali hii hutokea kwa sababu nyingi tofauti. Imesababisha migogoro na mara nyingi husababisha kupungua kwa kiwango au kiasi cha matumizi ya maji safi kwa kila mtu; hali hii inaelekea kwenye [[magonjwa]], na wakati mwingine, kwenye [[njaa]] na [[kifo]].
Chanzo cha takriban [[Maji salama|maji yote safi]] ni unyeshaji kutoka kwenye [[angahewa]], kwa njia ya [[ukungu]], [[mvua]], na [[theluji]], kama sehemu ya mzunguko wa maji kwa enzi, [[milenia]], na hadi leo. Maji safi yanajumuisha asilimia 3 tu ya maji yote duniani, na kati ya hayo, zaidi ya theluthi mbili zimehifadhiwa zikiwa zimeganda kwenye [[barafu]] na kofia za barafu za ncha za [[dunia]].<ref>https://water.usgs.gov/edu/index.htmlwaterdistribution.html</ref> Maji safi yaliyobaki ambayo hayajaganda hupatikana zaidi kama maji ya chini ya ardhi, huku sehemu ndogo tu ikiwa [[Anga|angani]], au kwenye uso wa ardhi.<ref>{{Cite web|title=Water Resources|url=http://www.greenfacts.org/en/water-resources/index.htm#2|work=www.greenfacts.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Maji ya juu ya ardhi huhifadhiwa kwenye maeneo oevu au maziwa au hutiririka mtoni au [[Mto Mkuu|mto mkuu]], na ndiyo rasilimali inayotumiwa zaidi kwa ajili ya maji. Katika maeneo mengine, maji ya juu ya ardhi yanaweza kuhifadhiwa kwenye [[bwawa]] nyuma ya kuta za uzuizi, na kisha kutumiwa kwa usambazaji wa maji ya [[manispaa]] na [[viwanda]], kwa ajili ya [[umwagiliaji]], na kuzalisha [[nishati]] kwa njia ya [[Umememaji|umeme wa maji]]. Maji ya chini ya ardhi, ingawa yamehifadhiwa kwenye nafasi za matundu ya [[udongo]] na [[miamba]]; yanatumiwa zaidi kama maji yanayotiririka ndani ya vyanzo vya maji ya chini ya ardhi chini ya meza ya maji. Maji ya chini ya ardhi yanaweza kuwepo kama mfumo wa maji unaoweza kufanywa upya unaohusishwa kwa karibu na maji ya juu ya ardhi na kama mfumo tofauti wa maji ya kina kirefu chini ya ardhi ndani ya ''aquifer''. Kisa hiki cha mwisho wakati mwingine huitwa "maji ya visukuku", na kwa uhalisia hayawezi kufanywa upya. Kwa kawaida, maji ya chini ya ardhi hutumiwa pale ambapo vyanzo vya juu ya ardhi havipatikani au wakati usambazaji wa maji ya juu ya ardhi ni mdogo.
Mito wakati mwingine hutiririka kupitia nchi kadhaa na mara nyingi hutumika kama mpaka au mstari wa utengano kati yao. Pamoja na [[mito]] hii, usambazaji, mgao, udhibiti, na matumizi ya maji ni ya matokeo makubwa kwa ajili ya maisha, ubora wa maisha, na mafanikio ya kiuchumi. Udhibiti wa rasilimali za maji ya taifa unachukuliwa kuwa muhimu kwa maisha ya dola. Mtiririko kama huo wa maji ya chini ya ardhi unaovuka mipaka pia hutokea. Ushindani kwa rasilimali hizi, hasa pale zinapokuwa chache, umesababisha au kuongeza migogoro hapo awali.
Nyanda za juu za [[Ethiopia]] zinaweza kuchukuliwa kama eneo la mnara wa maji katika Afrika Mashariki. Udhibiti wa kimamlaka wa usambazaji wa maji ya nyanda za juu una uwezekano wa kuongoza siasa za nchi za chini ya mto kwa miaka mingi ijayo.
== Uchafuzi kutoka kwa shughuli za binadamu ==
[[Uchafuzi wa maji]] kwa kawaida hutokea kupitia njia kuu mbili: vyanzo vya uhakika njia kuu mbili: vyanzo vya uhakika vya uchafuzi. Kulingana na Wakala wa Ulinzi wa Mazingira wa [[Marekani]] (EPA), uchafuzi wa chanzo cha uhakika ni "chanzo chochote cha uchafuzi kinachotambulika ambacho kutoka hapo vichafuzi hutolewa, kama vile bomba, mchirizi, meli, au bomba la moshi la kiwanda."<ref>{{Cite web|title=NOAA National Ocean Service: Page Not Found: 404 Page|url=https://oceanservice.noaa.gov/education/kits/pollution/03pointsource.html|work=oceanservice.noaa.gov|accessdate=2026-06-10|language=EN-US|author=US Department of Commerce, National Oceanic and Atmospheric Administration}}</ref> Kwa hiyo, miongoni mwa mifano ya kawaida ya [[Uchafuzi wa mazingira katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|uchafuzi]] wa chanzo cha uhakika, [[kiwanda]] duni na [[matibabu]] mabaya ya maji taka huonekana juu kwenye orodha; ingawa si mara kwa mara, lakini hata hivyo, ni hatari sawa—kama sio zaidi—, kumwagika kwa [[mafuta]] ni mfano mwingine maarufu wa chanzo cha uhakika cha uchafuzi. Kwa upande mwingine, vyanzo visivyo vya uhakika vya uchafuzi ni vile vinavyoweza kutoka vyanzo mbalimbali, ambapo miongoni mwao, shughuli za kilimo duni na zisizofuatiliwa vizuri zinaweza kuathiri vibaya ubora wa vyanzo vyovyote vya maji vilivyo karibu.<ref>{{Cite web|title=Water Contamination {{!}} Other Uses of Water {{!}} Healthy Water {{!}} CDC|url=https://www.cdc.gov/healthywater/other/agricultural/contamination.html|work=www.cdc.gov|date=2018-10-26|accessdate=2026-06-10|language=en-us}}</ref>
=== Vyanzo vya uhakika vya uchafuzi wa mazingira ===
* '''Bidhaa na taka za viwandani:''' Kemikali nyingi hatari hutumika sana katika biashara za ndani na viwanda. Hizi zinaweza kuwa vichafuzi vya maji ya kunywa ikiwa hazitasimamiwa vyema. Vyanzo vya kawaida vya matatizo kama haya ni:
** '''Biashara za ndani''': Viwanda, mitambo ya viwandani, na hata biashara ndogo ndogo kama vile vituo vya mafuta na sehemu za kusafishia nguo hushughulikia kemikali mbalimbali hatari zinazohitaji usimamizi makini. Kumwagika na utupaji usiofaa wa kemikali hizi au wa taka za viwandani kunaweza kutishia usambazaji wa maji ya chini ya ardhi.
** '''Matanki na mabomba yanayovuja chini ya ardhi''': Bidhaa za petroli, kemikali, na taka zilizohifadhiwa kwenye matanki ya kuhifadhia chini ya ardhi na mabomba zinaweza kuishia kwenye maji ya chini ya ardhi. Matanki na mabomba huvuja ikiwa yamejengwa au kufungwa vibaya. Matanki na mabomba ya chuma hutuama (kutu) kadiri yanavyozeeka. Matanki mara nyingi hupatikana kwenye mashamba. Uwezekano wa matanki kuvuja ni mkubwa katika maeneo ya zamani ya mashamba yaliyoachwa. Matanki ya shambani hayaguswi na kanuni za EPA kwa ajili ya matanki ya petroli na kemikali.<ref>{{Cite web|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
** '''Maeneo ya kutupia taka na dampo''': Dampo za kisasa zimeundwa ili kuzuia kimiminika chochote kinachovuja, lakini mafuriko yanaweza kubeba vichafuzi juu ya vizuizi. Maeneo ya zamani ya dampo yanaweza kuwa na aina mbalimbali za vichafuzi vinavyoweza kupenya ndani ya maji ya chini ya ardhi.
* '''Taka za nyumbani''': Utupaji usiofaa wa bidhaa nyingi za kawaida unaweza kuchafua maji ya chini ya ardhi. Hizi ni pamoja na viyeyusho vya kusafishia, mafuta yaliyotumika ya injini, rangi, na viyeyusho vya rangi. Hata sabuni na sabuni za unga zinaweza kudhuru maji ya kunywa. Haya mara nyingi huwa tatizo linalotokana na matanki ya maji taka mabovu na maeneo ya ufyonzaji wa maji taka.<ref>{{Cite web|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
* '''Risasi na shaba:''' Viwango vya juu vya risasi hupatikana mara chache kwenye chanzo cha maji. Risasi hupatikana kwa kawaida kwenye vifaa vya mabomba ya maji ya nyumbani. Nyumba zilizojengwa kabla ya mwaka [[1986]] zina uwezekano mkubwa wa kuwa na mabomba ya risasi, viungio, na lehemu. Risasi inaweza kupenya kwenye mifumo ya maji wakati vifaa hivi vya mabomba vinapoharibika (kutokana na kutu). Uasidi au ualkali wa maji – au wa uyeyusho wowote – huonyeshwa kama [[pH]], kutoka 0–14. Kitu chochote kisicho na upande (neutral), kwa mfano, kina pH ya 7. Asidi zina pH chini ya 7, besi (alkali) zaidi ya 7. pH huathiri sana kutu. Joto na maudhui ya madini pia huathiri jinsi maji yanavyoweza kusababisha kutu. Risasi katika maji ya kunywa inaweza kusababisha madhara mbalimbali ya kiafya. Mfiduo wa risasi katika maji ya kunywa unaweza kusababisha ucheleweshaji wa maendeleo ya kimwili na kiakili kwa watoto wachanga na watoto. Watu wazima wanaokunywa maji haya kwa miaka mingi wanaweza kupata matatizo ya figo au shinikizo la juu la damu.<ref>{{Cite web|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
* '''Kemikali za kutibu maji''': Kushughulikia au kuhifadhi vibaya kemikali za kutibu visima vya maji (kama vile viua vijasumu au vizuia kutu) karibu na kisima chako kunaweza kusababisha matatizo.<ref>{{Cite web|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
=== Vyanzo visivyo vya uhakika vya uchafuzi wa mazingira ===
== Marejeo ==
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:WCZ Culture]]
[[Jamii:Historia]]
[[Jamii:Maisha]]
[[Jamii:Hali ya hewa]]
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Haki]]
[[Jamii:Maji]]
hd59a1ozdf0xdtjdacj20emoa0pzb9y
1569466
1569441
2026-06-10T15:23:58Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 8 template(s) replaced.
1569466
wikitext
text/x-wiki
"Sera ya maji" inaelekezwa hapa; isichanganywe na sera ya [[rasilimali za maji]].
[[Faili:Evstafiev-bosnia-sarajevo-water-line.jpg|thumb|269x269px|Watu wakisubiri kwenye foleni kukusanya maji wakati wa Kuzingirwa kwa Sarajevo]]
'''Siasa za maji''', wakati mwingine zikijulikana kama hidropolitiki, ni [[siasa]] zinazoathiriwa na upatikanaji wa [[maji]] na [[rasilimali za maji]], ambayo ni hitaji muhimu kwa viumbe vyote hai na maendeleo ya binadamu.
Ufafanuzi wa Arun P. Elhance kuhusu hidropolitiki ni "utafiti wa kimfumo wa migogoro na ushirikiano kati ya [[mataifa]] kuhusu rasilimali za maji zinazovuka mipaka ya kimataifa". Mollinga, P. P. anagawa siasa za maji katika kategoria nne: "siasa za kila siku za usimamizi wa rasilimali za maji", "siasa za sera ya maji katika muktadha wa [[Maarifa huria|mataifa huru]]", "hidropolitiki kati ya mataifa", na "siasa za kimataifa za maji". Upatikanaji wa maji ya kunywa kwa kila mtu hautoshelezi na unapungua duniani kote.<ref>https://www.cbc.ca/news/world/world-s-supply-of-fresh-water-shrinking-dramatically-report-1.384437</ref> Sababu zake, zinazohusiana na kiasi na ubora, ni nyingi na tofauti; zinajumuisha uhaba wa ndani, upatikanaji mdogo na shinikizo la idadi ya watu,[https://reportsyndication.news.blog/2019/10/12/the-coming-wars-for-water/]<ref>{{Rejea tovuti|title=The Coming Wars for Water!|url=https://reportsyndication.news.blog/2019/10/12/the-coming-wars-for-water/|work=Report Syndication|date=2019-10-12|accessdate=2026-06-09|language=en|author=OpEd Column Network}}</ref> lakini pia shughuli za binadamu za matumizi makubwa, matumizi mabaya, [[Uharibifu wa mazingira|uharibifu]] [[Uharibifu wa mazingira|wa mazingira]] na [[uchafuzi wa maji]], pamoja na mabadiliko ya [[tabianchi]].
Maji ni [[rasilimali]] ya kimkakati ya asili, na [[uhaba wa maji]] ya kunywa ni mchangiaji wa mara kwa mara wa migogoro ya kisiasa kote ulimwenguni. kwa kupungua kwa upatikanaji na kuongezeka kwa mahitaji ya maji, wengine wametabiri kuwa maji safi yatakuwa "mafuta ya pili"; hali inayozifanya nchi kama [[Kanada]], [[Chile]], [[Norwe]], [[Kolombia]] na Peru, zilizo na rasilimali hii kwa wingi, kuwa nchi tajiri kwa maji duniani.<ref>https://web.archive.org/web/20080516055735/http://worldwater.org/data20062007/Table1.pdf</ref><ref>https://www.keele.ac.uk/</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=World Water|url=https://www.worldwater.org/|work=World Water|accessdate=2026-06-09|language=en-US}}</ref> Ripoti ya [[Umoja wa Mataifa]] ya Maendeleo ya Maji Duniani (WWDR, [[2003]]) kutoka kwa Programu ya Tathmini ya Maji Duniani inaonyesha kuwa, katika miaka 20 ijayo, kiasi cha maji kinachopatikana kwa kila mtu kinatabiriwa kupungua kwa 30%. Kwa sasa, 40% ya wakazi wa dunia hawana maji safi ya kutosha kwa ajili ya usafi wa msingi. Zaidi ya watu milioni 2.2 walifariki mwaka 2000 kutokana na [[magonjwa]] yanayohusiana na matumizi ya maji yaliyochafuliwa au [[ukame]]. Mnamo 2004, shirika la misaada la [[Uingereza]] la WaterAid liliripoti kuwa mtoto mmoja hufariki kila baada ya sekunde 15 kutokana na magonjwa yanayotokana na maji ambayo yanaweza kuzuilika kwa urahisi; mara nyingi hii inamaanisha ukosefu wa utupaji wa maji taka; tazama [[choo]]. Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa unahitimisha usambazaji wa maji duniani katika ripoti ya maendeleo ya [[2006]]: "Sehemu moja ya dunia, inategemeza soko la maji ya chupa la kifahari ambalo halitoi faida zozote za kiafya zinazoonekana, sehemu nyingine inakabiliwa na hatari kubwa za kiafya kwa sababu watu wanalazimika kunywa maji kutoka kwenye [[mifereji]] au kutoka kwenye [[maziwa]] na [[mito]]."<ref>{{Rejea tovuti|title=Human Development Report 2006|url=http://hdr.undp.org:80/hdr2006/report.cfm|work=hdr.undp.org|accessdate=2026-06-09}}</ref> Maji safi— sasa ya thamani zaidi kuliko wakati mwingine wowote katika historia yetu kwa matumizi yake mapana katika [[kilimo]], utengenezaji wa [[teknolojia]] ya hali ya juu, na uzalishaji wa nishati—yanazidi kupata umakini kama [[rasilimali]] inayohitaji usimamizi bora na matumizi endelevu.
Haki za maji za ''riparian'' zimekuwa masuala ya diplomasia ya kimataifa, kando na haki za maji na siasa za ndani na kikanda.<ref>{{Rejea tovuti|title=Inderscience Publishers - linking academia, business and industry through research|url=http://www.inderscience.com/browse/index.php|work=www.inderscience.com|accessdate=2026-06-09}}</ref> Makamu wa Rais wa Benki ya [[Dunia]], Ismail Serageldin, alitabiri, "Vita vingi vya [[karne ya 20]] vilikuwa kuhusu mafuta, lakini vita vya karne ya 21 vitakuwa kuhusu maji isipokuwa tukibadilisha njia tunayosimamia maji."<ref>{{Rejea jarida |last=Serageldin |first=Ismail |date=2009-05 |title=Water: conflicts set to arise within as well as between states |url=https://www.nature.com/articles/459163b |journal=Nature |language=en |volume=459 |issue=7244 |pages=163–163 |doi=10.1038/459163b |issn=1476-4687}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Where Oil And Water Do Mix: Environmental Scarcity And Future Conflict In The Middle East And North Africa - Research and Read Books, Journals, Articles at Questia Online Library|url=http://www.questia.com/googleScholar.qst;jsessionid=LzvKQT9QJpyrMBm5G3VrTtYfFGfbQlRT9LK7nv5Kn7zym7CZG2VG!-331657331?docId=5008625832|work=www.questia.com|accessdate=2026-06-09}}</ref> Hata hivyo, hili linabishaniwa na baadhi ya watu, ambao wanahoji kuwa migogoro kuhusu maji kwa kawaida hutatuliwa kwa [[diplomasia]] na haigeuki kuwa [[vita]]. Shule nyingine mpya ya mawazo inahoji kuwa "hofu zinazoonekana za kupoteza udhibiti wa maji ya pamoja inaweza kuchangia katika utayari wa mara kwa mara wa kwenda vitani miongoni mwa mataifa ya ''riparian'', kwa ajili tu ya tahadhari ikitokea vita".<ref>{{Rejea tovuti|title=Inderscience Publishers - linking academia, business and industry through research|url=https://www.inderscience.com/login.php?op=&yo=&aid=|work=www.inderscience.com|accessdate=2026-06-09}}</ref>
== Sera ya maji ==
Sehemu hii ni dondoo kutoka kwa Sera ya [[rasilimali za maji]].
[[Faili:WorldWaterAvailability lb.svg|thumb|339x339px|Upatikanaji wa maji duniani]]
Sera ya [[rasilimali za maji]], wakati mwingine ikijulikana kama usimamizi wa rasilimali za maji au usimamizi wa maji, inajumuisha michakato ya kutunga sera na sheria zinazoathiri ukusanyaji, maandalizi, matumizi, utupaji, na ulinzi wa rasilimali za maji.<ref>{{Rejea tovuti|title=Login - HeinOnline.org|url=https://heinonline.org/HOL/login-hol?redirect_url=https://heinonline.org/HOL/mojo?%252Fmojo=&auth_token=nh7CDkH1a1c43TvY2k6rCxu8zGCxXTLOKNcHXWGApzM%253D&casa_token=&paywall_url=&referrer=https%253A%252F%252Fheinonline.org%252F×tamp=1781064883&url=%252FHOL%252FPage%253Fhandle%253Dhein.journals%252Fhjl14%2526id%253D229|work=heinonline.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Uendelevu wa muda mrefu wa mifumo ya usambazaji wa maji unaleta changamoto kubwa kutokana na kupungua kwa rasilimali za maji, mabadiliko ya tabianchi, na kuongezeka kwa idadi ya watu.<ref>{{Rejea jarida |last=Momeni |first=Marzieh |last2=Behzadian |first2=Kourosh |last3=Yousefi |first3=Hossein |last4=Zahedi |first4=Sina |date=2021-09-01 |title=A Scenario-Based Management of Water Resources and Supply Systems Using a Combined System Dynamics and Compromise Programming Approach |url=https://doi.org/10.1007/s11269-021-02942-z |journal=Water Resources Management |language=en |volume=35 |issue=12 |pages=4233–4250 |doi=10.1007/s11269-021-02942-z |issn=1573-1650}}</ref>
Maji ni hitaji muhimu kwa viumbe vyote hai pamoja na viwanda ambavyo binadamu anavitegemea, kama vile maendeleo ya [[teknolojia]] na [[kilimo]].<ref>{{Rejea jarida |date=2004-08-02 |title=Environmental impacts of microchip manufacture |url=https://www.sciencedirect.com/science/article/abs/pii/S0040609004002755 |journal=Thin Solid Films |language=en-US |volume=461 |issue=1 |pages=2–6 |doi=10.1016/j.tsf.2004.02.049 |issn=0040-6090}}</ref><ref>{{Rejea jarida |last=Rost |first=Stefanie |last2=Gerten |first2=Dieter |last3=Bondeau |first3=Alberte |last4=Lucht |first4=Wolfgang |last5=Rohwer |first5=Janine |last6=Schaphoff |first6=Sibyll |date=2008 |title=Agricultural green and blue water consumption and its influence on the global water system |url=https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1029/2007WR006331 |journal=Water Resources Research |language=en |volume=44 |issue=9 |doi=10.1029/2007WR006331 |issn=1944-7973}}</ref> Hitaji hili la kimataifa la upatikanaji wa maji safi linahitaji sera ya rasilimali za maji ili kuamua njia za kusambaza na kulinda rasilimali za maji. Sera ya rasilimali za maji inatofautiana kulingana na kanda na inategemea upatikanaji au [[uhaba wa maji]], hali ya mifumo ya majini, na mahitaji ya kikanda ya maji.<ref>{{Rejea jarida |last=Momeni |first=Marzieh |last2=Behzadian |first2=Kourosh |last3=Yousefi |first3=Hossein |last4=Zahedi |first4=Sina |date=2021-09-01 |title=A Scenario-Based Management of Water Resources and Supply Systems Using a Combined System Dynamics and Compromise Programming Approach |url=https://doi.org/10.1007/s11269-021-02942-z |journal=Water Resources Management |language=en |volume=35 |issue=12 |pages=4233–4250 |doi=10.1007/s11269-021-02942-z |issn=1573-1650}}</ref> Kwa kuwa mabonde ya maji hayalandani na mipaka ya kitaifa, sera ya rasilimali za maji pia huamuliwa na mikataba ya kimataifa, ambayo pia inajulikana kama hidropolitiki.<ref>https://academic.oup.com/edited-volume/61750/chapter-abstract/542846554?redirectedFrom=fulltext&login=false#542846554</ref> Ulinzi wa ubora wa maji pia huangukia chini ya mwamvuli wa sera ya rasilimali za maji; sheria zinazolinda [[kemia]], [[biolojia]], na [[ekolojia]] ya mifumo ya majini kwa kupunguza na kuondoa uchafuzi, kudhibiti matumizi yake, na kuboresha ubora huhesabiwa kuwa sera ya rasilimali za maji.<ref>{{Rejea tovuti|title=Login - HeinOnline.org|url=https://heinonline.org/HOL/login-hol?redirect_url=https://heinonline.org/HOL/mojo?%252Fmojo=&auth_token=p1MjdXqyAjP8pMs0ts9Hht2VjUbmAPL23Qg0XPfipOo%253D&casa_token=&paywall_url=&referrer=https%253A%252F%252Fheinonline.org%252F×tamp=1781066114&url=%252FHOL%252FPage%253Fhandle%253Dhein.journals%252Fhjl14%2526id%253D229|work=heinonline.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Wakati wa kuandaa sera za rasilimali za maji, wadau wengi tofauti, vigezo vya mazingira, na mazingatio lazima yazingatiwe ili kuhakikisha afya ya watu na mifumo ya ikolojia inadumishwa au kuboreshwa. Hatimaye, upangaji wa maeneo ya [[bahari]], [[Usimamizi wa Pwani|usimamizi wa pwani]], na rasilimali za mazingira pia yanajumuishwa na usimamizi wa [[rasilimali za maji]], kama katika kisa cha ukodishaji wa ardhi kwa ajili ya upepo wa baharini.<ref>{{Rejea jarida |last=Söderholm |first=Patrik |last2=Pettersson |first2=Maria |date=2011-02-01 |title=Offshore wind power policy and planning in Sweden |url=https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S030142151000457X |journal=Energy Policy |series=Special Section on Offshore wind power planning, economics and environment |volume=39 |issue=2 |pages=518–525 |doi=10.1016/j.enpol.2010.05.065 |issn=0301-4215}}</ref>Kadiri uhaba wa maji unavyoongezeka kutokana na mabadiliko ya tabianchi, hitaji la sera madhubuti za rasilimali za maji litazidi kuwa la kawaida. Inakadiriwa kuwa 57% ya idadi ya watu duniani watapata uzoefu wa uhaba wa maji kwa angalau mwezi mmoja kwa mwaka ifikapo mwaka 2050.<ref>{{Rejea jarida |last=Boretti |first=Alberto |last2=Rosa |first2=Lorenzo |date=2019-07-31 |title=Reassessing the projections of the World Water Development Report |url=https://www.nature.com/articles/s41545-019-0039-9 |journal=npj Clean Water |language=en |volume=2 |issue=1 |pages=15 |doi=10.1038/s41545-019-0039-9 |issn=2059-7037}}</ref> Hatua za kukabiliana na sera zilizosasishwa za rasilimali za maji zitahitaji ushirikiano wa taaluma mbalimbali na wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na maafisa wa serikali, wanasayansi wa mazingira, wataalamu wa jamii, wachumi, wachambuzi wa mifano ya hali ya hewa, na wanaharakati.<ref>{{Rejea jarida |last=Cosgrove |first=William J. |last2=Loucks |first2=Daniel P. |date=2015 |title=Water management: Current and future challenges and research directions |url=https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1002/2014WR016869 |journal=Water Resources Research |language=en |volume=51 |issue=6 |pages=4823–4839 |doi=10.1002/2014WR016869 |issn=1944-7973}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=The politics of the environment : ideas, activism, policy {{!}} WorldCat.org|url=https://search.worldcat.org/title/76141452|work=search.worldcat.org|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Dhana za siasa za maji ==
=== Hydro-hegemony ===
Mfumo wa ''hydro-hegemony'' ''uliwekwa na wasomi Mark Zeitoun na Jeroen'' F. Warner mnamo mwaka 2006 kama dhana muhimu ya uchanganuzi inayofaa kuchunguza machaguo ya mataifa yenye nguvu au yale yaliyo chini ya utawala wa maji na jinsi yanavyoweza kuondoka katika utawala wa mabavu kuelekea ushirikiano.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf
</ref> Mfumo wa ''hydro-hegemony'' ni wa thamani hasa katika kushughulikia matukio ambapo uhusiano wa nguvu huangukia kati ya ncha mbili za ushirikiano na [[Vita ya Maji Maji|vita vya maji]] vinavyojadiliwa mara kwa mara.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref>
''Hydro-hegemony'' (hegemonia ya maji) inarejelea "hegemonia katika ngazi ya bonde la mto, inayopatikana kupitia mikakati ya udhibiti wa rasilimali za maji kama vile unyakuzi wa rasilimali, ujumuishaji, na uzuiaji. Mikakati hiyo hutekelezwa kupitia safu ya mbinu (mfano: shinikizo la kulazimisha, mikataba, ujenzi wa maarifa, n.k.) ambazo huwezeshwa na unyonyaji wa ukosefu wa usawa wa nguvu uliopo ndani ya muktadha dhaifu wa kitaasisi wa kimataifa."<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref> Nguzo mbili za ''hydro-hegemony'' ni nafasi ya mto na uwezo wa unyonyaji. Ingawa kunaweza kuwa na vighairi, kama kanuni ya jumla "wale wa juu ya mto hutumia maji kupata nguvu zaidi, wale wa chini ya mto hutumia nguvu kupata maji zaidi."<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf
</ref> Mhusika anayeshinda udhibiti wa rasilimali huamuliwa kupitia mfumo wa ''hydro-hegemony'' ulioanzishwa, kwa kumpendelea mhusika mwenye nguvu zaidi ('wa kwanza miongoni mwa walio sawa').
Mnamo 2010, Mark Zeitoun na Ana Elisa Cascão walirekebisha mfumo huo ili uundwe na nguzo nne kuu za nguvu—nguvu ya kijiografia, nguvu ya kimwili, nguvu ya majadiliano, na nguvu ya kiitikadi. wa hivyo, ''hydro-hegemony'' inaweza kueleweka kama hegemonia katika ngazi ya bonde la mto inayotokea ambapo udhibiti wa mtiririko wa maji yanayovuka mipaka huimarishwa na mhusika mwenye nguvu zaidi.
Ingawa Zeitoun na Warner wanahoji kuwa ''hydro-hegemony'' kwa ujumla ni chanzo cha utulivu, katika baadhi ya matukio mataifa dhaifu yanaweza kushiriki katika ''counter-hydro-hegemony'' (kupinga hegemonia ya maji). Katika hali hii, kunakuwa na jaribio la kufanya mazungumzo upya na hatimaye pia kubadilisha mgawanyo wa nguvu. Mikakati inayoweza kutumika katika hili ni majaribio ya kubadilisha mjadala ili kuupendelea upande usio na hegemonia.<ref>https://ueaeprints.uea.ac.uk/id/eprint/29466/1/ZeitounWarner_-_HydroHegemony_%28as_published%29.pdf</ref>
== Maji kama rasilimali muhimu ==
Tazama pia: ''Mgogoro wa maji''
La muhimu zaidi, [[Maji salama|maji safi]] ni hitaji la msingi kwa viumbe vyote hai, ikijumuisha [[mazao]], [[mifugo]], na [[binadamu]]. [[UNDP]] inachukulia upatikanaji wa maji kama [[Haki za binadamu|haki]] [[Haki za binadamu|ya msingi ya binadamu]] na sharti la amani. Aliyeonekana kuwa [[Katibu Mkuu wa UM|Katibu Mkuu wa]] [[Katibu Mkuu wa UM|Umoja wa Mataifa]], [[Kofi Annan]], alisema mwaka [[2001]], "Upatikanaji wa maji safi ni hitaji la msingi la binadamu na, kwa hivyo, ni haki ya msingi ya binadamu. Maji yaliyochafuliwa yanahatarisha afya ya kimwili na kijamii ya watu wote. Ni tusi kwa utu wa binadamu." Pamoja na maendeleo yaliyoongezeka, [[viwanda]] vingi, ikiwemo [[misitu]], [[kilimo]], [[Uchimbaji madini|uchimbaji]] [[Uchimbaji madini|madini]], [[utengenezaji]], na [[burudani]] vinahitaji kiasi kikubwa cha ziada cha maji safi ili kufanya kazi. Hata hivyo, hali hii imesababisha ongezeko la uchafuzi wa hewa na maji, ambayo nayo yamepunguza ubora wa usambazaji wa maji. Mbinu endelevu zaidi za [[maendeleo]] ni za manufaa na muhimu.
Kulingana na [[WHO]], kila mwanadamu anahitaji kima cha chini kabisa cha [[lita]] 20 za maji safi kwa siku kwa ajili ya [[usafi]] wa msingi;<ref>{{Rejea tovuti|title=Water Rights and Wrongs|url=http://hdr.undp.org/external/hdr2006/water/10.htm|work=hdr.undp.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> hii ni sawa na mita za ujazo 7.3 (takriban futi za ujazo 255) kwa kila mtu, kwa mwaka. Kulingana na upatikanaji, ufikiaji na maendeleo ya usambazaji wa maji, [[takwimu]] mahususi za matumizi hutofautiana sana kutoka nchi moja hadi nyingine, huku mataifa yaliyoendelea yakiwa na mifumo iliyopo ya kutibu maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu, na kuyafikisha katika kila nyumba. Wakati huo huo hata hivyo, baadhi ya mataifa kote [[Amerika ya Kusini]], sehemu za [[Asia]], [[Asia ya Kusini-Mashariki|Asia]] [[Asia ya Kusini-Mashariki|ya Kusini-Mashariki]], [[Afrika]] na [[Mashariki ya Kati|Mashariki ya]] [[Mashariki ya Kati|Kati]] aidha hayana rasilimali za kutosha za maji au hayajaendeleza haya au [[miundombinu]] hiyo kufikia viwango vinavyohitajika. Hali hii hutokea kwa sababu nyingi tofauti. Imesababisha migogoro na mara nyingi husababisha kupungua kwa kiwango au kiasi cha matumizi ya maji safi kwa kila mtu; hali hii inaelekea kwenye [[magonjwa]], na wakati mwingine, kwenye [[njaa]] na [[kifo]].
Chanzo cha takriban [[Maji salama|maji yote safi]] ni unyeshaji kutoka kwenye [[angahewa]], kwa njia ya [[ukungu]], [[mvua]], na [[theluji]], kama sehemu ya mzunguko wa maji kwa enzi, [[milenia]], na hadi leo. Maji safi yanajumuisha asilimia 3 tu ya maji yote duniani, na kati ya hayo, zaidi ya theluthi mbili zimehifadhiwa zikiwa zimeganda kwenye [[barafu]] na kofia za barafu za ncha za [[dunia]].<ref>https://water.usgs.gov/edu/index.htmlwaterdistribution.html</ref> Maji safi yaliyobaki ambayo hayajaganda hupatikana zaidi kama maji ya chini ya ardhi, huku sehemu ndogo tu ikiwa [[Anga|angani]], au kwenye uso wa ardhi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Water Resources|url=http://www.greenfacts.org/en/water-resources/index.htm#2|work=www.greenfacts.org|accessdate=2026-06-10}}</ref> Maji ya juu ya ardhi huhifadhiwa kwenye maeneo oevu au maziwa au hutiririka mtoni au [[Mto Mkuu|mto mkuu]], na ndiyo rasilimali inayotumiwa zaidi kwa ajili ya maji. Katika maeneo mengine, maji ya juu ya ardhi yanaweza kuhifadhiwa kwenye [[bwawa]] nyuma ya kuta za uzuizi, na kisha kutumiwa kwa usambazaji wa maji ya [[manispaa]] na [[viwanda]], kwa ajili ya [[umwagiliaji]], na kuzalisha [[nishati]] kwa njia ya [[Umememaji|umeme wa maji]]. Maji ya chini ya ardhi, ingawa yamehifadhiwa kwenye nafasi za matundu ya [[udongo]] na [[miamba]]; yanatumiwa zaidi kama maji yanayotiririka ndani ya vyanzo vya maji ya chini ya ardhi chini ya meza ya maji. Maji ya chini ya ardhi yanaweza kuwepo kama mfumo wa maji unaoweza kufanywa upya unaohusishwa kwa karibu na maji ya juu ya ardhi na kama mfumo tofauti wa maji ya kina kirefu chini ya ardhi ndani ya ''aquifer''. Kisa hiki cha mwisho wakati mwingine huitwa "maji ya visukuku", na kwa uhalisia hayawezi kufanywa upya. Kwa kawaida, maji ya chini ya ardhi hutumiwa pale ambapo vyanzo vya juu ya ardhi havipatikani au wakati usambazaji wa maji ya juu ya ardhi ni mdogo.
Mito wakati mwingine hutiririka kupitia nchi kadhaa na mara nyingi hutumika kama mpaka au mstari wa utengano kati yao. Pamoja na [[mito]] hii, usambazaji, mgao, udhibiti, na matumizi ya maji ni ya matokeo makubwa kwa ajili ya maisha, ubora wa maisha, na mafanikio ya kiuchumi. Udhibiti wa rasilimali za maji ya taifa unachukuliwa kuwa muhimu kwa maisha ya dola. Mtiririko kama huo wa maji ya chini ya ardhi unaovuka mipaka pia hutokea. Ushindani kwa rasilimali hizi, hasa pale zinapokuwa chache, umesababisha au kuongeza migogoro hapo awali.
Nyanda za juu za [[Ethiopia]] zinaweza kuchukuliwa kama eneo la mnara wa maji katika Afrika Mashariki. Udhibiti wa kimamlaka wa usambazaji wa maji ya nyanda za juu una uwezekano wa kuongoza siasa za nchi za chini ya mto kwa miaka mingi ijayo.
== Uchafuzi kutoka kwa shughuli za binadamu ==
[[Uchafuzi wa maji]] kwa kawaida hutokea kupitia njia kuu mbili: vyanzo vya uhakika njia kuu mbili: vyanzo vya uhakika vya uchafuzi. Kulingana na Wakala wa Ulinzi wa Mazingira wa [[Marekani]] (EPA), uchafuzi wa chanzo cha uhakika ni "chanzo chochote cha uchafuzi kinachotambulika ambacho kutoka hapo vichafuzi hutolewa, kama vile bomba, mchirizi, meli, au bomba la moshi la kiwanda."<ref>{{Rejea tovuti|title=NOAA National Ocean Service: Page Not Found: 404 Page|url=https://oceanservice.noaa.gov/education/kits/pollution/03pointsource.html|work=oceanservice.noaa.gov|accessdate=2026-06-10|language=EN-US|author=US Department of Commerce, National Oceanic and Atmospheric Administration}}</ref> Kwa hiyo, miongoni mwa mifano ya kawaida ya [[Uchafuzi wa mazingira katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|uchafuzi]] wa chanzo cha uhakika, [[kiwanda]] duni na [[matibabu]] mabaya ya maji taka huonekana juu kwenye orodha; ingawa si mara kwa mara, lakini hata hivyo, ni hatari sawa—kama sio zaidi—, kumwagika kwa [[mafuta]] ni mfano mwingine maarufu wa chanzo cha uhakika cha uchafuzi. Kwa upande mwingine, vyanzo visivyo vya uhakika vya uchafuzi ni vile vinavyoweza kutoka vyanzo mbalimbali, ambapo miongoni mwao, shughuli za kilimo duni na zisizofuatiliwa vizuri zinaweza kuathiri vibaya ubora wa vyanzo vyovyote vya maji vilivyo karibu.<ref>{{Rejea tovuti|title=Water Contamination {{!}} Other Uses of Water {{!}} Healthy Water {{!}} CDC|url=https://www.cdc.gov/healthywater/other/agricultural/contamination.html|work=www.cdc.gov|date=2018-10-26|accessdate=2026-06-10|language=en-us}}</ref>
=== Vyanzo vya uhakika vya uchafuzi wa mazingira ===
* '''Bidhaa na taka za viwandani:''' Kemikali nyingi hatari hutumika sana katika biashara za ndani na viwanda. Hizi zinaweza kuwa vichafuzi vya maji ya kunywa ikiwa hazitasimamiwa vyema. Vyanzo vya kawaida vya matatizo kama haya ni:
** '''Biashara za ndani''': Viwanda, mitambo ya viwandani, na hata biashara ndogo ndogo kama vile vituo vya mafuta na sehemu za kusafishia nguo hushughulikia kemikali mbalimbali hatari zinazohitaji usimamizi makini. Kumwagika na utupaji usiofaa wa kemikali hizi au wa taka za viwandani kunaweza kutishia usambazaji wa maji ya chini ya ardhi.
** '''Matanki na mabomba yanayovuja chini ya ardhi''': Bidhaa za petroli, kemikali, na taka zilizohifadhiwa kwenye matanki ya kuhifadhia chini ya ardhi na mabomba zinaweza kuishia kwenye maji ya chini ya ardhi. Matanki na mabomba huvuja ikiwa yamejengwa au kufungwa vibaya. Matanki na mabomba ya chuma hutuama (kutu) kadiri yanavyozeeka. Matanki mara nyingi hupatikana kwenye mashamba. Uwezekano wa matanki kuvuja ni mkubwa katika maeneo ya zamani ya mashamba yaliyoachwa. Matanki ya shambani hayaguswi na kanuni za EPA kwa ajili ya matanki ya petroli na kemikali.<ref>{{Rejea tovuti|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
** '''Maeneo ya kutupia taka na dampo''': Dampo za kisasa zimeundwa ili kuzuia kimiminika chochote kinachovuja, lakini mafuriko yanaweza kubeba vichafuzi juu ya vizuizi. Maeneo ya zamani ya dampo yanaweza kuwa na aina mbalimbali za vichafuzi vinavyoweza kupenya ndani ya maji ya chini ya ardhi.
* '''Taka za nyumbani''': Utupaji usiofaa wa bidhaa nyingi za kawaida unaweza kuchafua maji ya chini ya ardhi. Hizi ni pamoja na viyeyusho vya kusafishia, mafuta yaliyotumika ya injini, rangi, na viyeyusho vya rangi. Hata sabuni na sabuni za unga zinaweza kudhuru maji ya kunywa. Haya mara nyingi huwa tatizo linalotokana na matanki ya maji taka mabovu na maeneo ya ufyonzaji wa maji taka.<ref>{{Rejea tovuti|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
* '''Risasi na shaba:''' Viwango vya juu vya risasi hupatikana mara chache kwenye chanzo cha maji. Risasi hupatikana kwa kawaida kwenye vifaa vya mabomba ya maji ya nyumbani. Nyumba zilizojengwa kabla ya mwaka [[1986]] zina uwezekano mkubwa wa kuwa na mabomba ya risasi, viungio, na lehemu. Risasi inaweza kupenya kwenye mifumo ya maji wakati vifaa hivi vya mabomba vinapoharibika (kutokana na kutu). Uasidi au ualkali wa maji – au wa uyeyusho wowote – huonyeshwa kama [[pH]], kutoka 0–14. Kitu chochote kisicho na upande (neutral), kwa mfano, kina pH ya 7. Asidi zina pH chini ya 7, besi (alkali) zaidi ya 7. pH huathiri sana kutu. Joto na maudhui ya madini pia huathiri jinsi maji yanavyoweza kusababisha kutu. Risasi katika maji ya kunywa inaweza kusababisha madhara mbalimbali ya kiafya. Mfiduo wa risasi katika maji ya kunywa unaweza kusababisha ucheleweshaji wa maendeleo ya kimwili na kiakili kwa watoto wachanga na watoto. Watu wazima wanaokunywa maji haya kwa miaka mingi wanaweza kupata matatizo ya figo au shinikizo la juu la damu.<ref>{{Rejea tovuti|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
* '''Kemikali za kutibu maji''': Kushughulikia au kuhifadhi vibaya kemikali za kutibu visima vya maji (kama vile viua vijasumu au vizuia kutu) karibu na kisima chako kunaweza kusababisha matatizo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Potential Well Water Contaminants and Their Impacts|url=https://www.epa.gov/privatewells/potential-well-water-contaminants-and-their-impacts|work=www.epa.gov|date=2015-05-06|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OW US EPA}}</ref>
=== Vyanzo visivyo vya uhakika vya uchafuzi wa mazingira ===
== Marejeo ==
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:WCZ Culture]]
[[Jamii:Historia]]
[[Jamii:Maisha]]
[[Jamii:Hali ya hewa]]
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Haki]]
[[Jamii:Maji]]
9q0rh2vetvj34hef5954ryk3a30oz7d
Miundombinu ya maji
0
240607
1569437
1569398
2026-06-10T12:32:10Z
Laylah26
89982
Tengua pitio [[Special:Diff/1569398|1569398]] lililoandikwa na [[Special:Contributions/AlwiyaGhareeb|AlwiyaGhareeb]] ([[User talk:AlwiyaGhareeb|Majadiliano]])
1569437
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Changamoto na miundombinu ya kijani ==
Katika mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
bf2y1qhrn8b5biiwy68he95dyohnpjd
1569448
1569437
2026-06-10T13:44:36Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Laylah26|Laylah26]] ([[User talk:Laylah26|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:AlwiyaGhareeb|AlwiyaGhareeb]]
1569398
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref></ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji [[Tanzania]] ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
# Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya [[maji]] safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa [[mjini]], upatikanaji wa [[maji]] uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa [[vijijini]], jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya [[vijijini]].
# Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>Mifumo ya Usambazaji na Uhifadhi wa Maji -
== Changamoto na miundombinu ya kijani ==
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka [[mabomba]] makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina [[mabomba]] yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Mifumo ya Uhifadhi ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi [[maji]] (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. [[Mabwawa]] haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. [[Mabwawa]] yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref></ref>
# Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
# Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Zingatia ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.ipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
kbeul35582ygfaw3dhp0ohfwc3ymrui
1569449
1569448
2026-06-10T13:48:07Z
Riccardo Riccioni
452
1569449
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref></ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto na miundombinu ya kijani ==
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka [[mabomba]] makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina [[mabomba]] yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Mifumo ya Uhifadhi ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi [[maji]] (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. [[Mabwawa]] haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. [[Mabwawa]] yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref> Mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
# Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
# Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji [[Tanzania]] ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
# Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya [[maji]] safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa [[mjini]], upatikanaji wa [[maji]] uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa [[vijijini]], jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya [[vijijini]].
# Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Maendeleo endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
2hts9pnlbms8bz4r03mwnzmlly167n2
1569464
1569449
2026-06-10T15:16:20Z
Anuary Rajabu
45588
1569464
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref></ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto na miundombinu ya kijani ==
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka [[mabomba]] makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina [[mabomba]] yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Mifumo ya Uhifadhi ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi [[maji]] (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. [[Mabwawa]] haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. [[Mabwawa]] yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref> Mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
* Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
* Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji [[Tanzania]] ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
# Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya [[maji]] safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa [[mjini]], upatikanaji wa [[maji]] uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa [[vijijini]], jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya [[vijijini]].
# Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Maendeleo endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
gwkqnblmbw7130mp5py34ulyr81znvy
1569465
1569464
2026-06-10T15:17:06Z
Anuary Rajabu
45588
1569465
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref></ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto na miundombinu ya kijani ==
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka [[mabomba]] makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina [[mabomba]] yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Mifumo ya Uhifadhi ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi [[maji]] (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. [[Mabwawa]] haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. [[Mabwawa]] yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref> Mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
* Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
* Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji Tanzania ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
* Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya [[maji]] safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa [[mjini]], upatikanaji wa [[maji]] uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa [[vijijini]], jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya [[vijijini]].
* Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Maendeleo endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
0kyyyv12mnlk82jaw03ppkutnjmvw1x
1569475
1569465
2026-06-10T15:55:27Z
Anuary Rajabu
45588
1569475
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Mifumo ya uhifadhi na usambazaji ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi [[maji]] (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. [[Mabwawa]] haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. [[Mabwawa]] yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka [[mabomba]] makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina [[mabomba]] yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref> Mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
* Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
* Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji Tanzania ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
* Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya [[maji]] safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa [[mjini]], upatikanaji wa [[maji]] uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa [[vijijini]], jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya [[vijijini]].
* Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Maendeleo endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
nww5qnkbubwivobuxvfgrcc26uzi21c
1569476
1569475
2026-06-10T16:00:00Z
Anuary Rajabu
45588
Viungi vya ndani vya kujirudia havitakiwi katika neno lile lile
1569476
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Grand Coulee Dam spillway.jpg|thumb|Njia ya kutolea maji ya ziada kwenye Bwawa la Grand Coulee]]
'''Miundombinu ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''water infrastructure'') ni mfumo mpana wa miundo ya kihandisi, vifaa, na mitambo inayojengwa kwa ajili ya kukusanya, kusafisha, kuhifadhi, kusafirisha, na kusambaza maji kwa jamii, pamoja na kukusanya na kutibu majitaka.
Mfumo huu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na afya ya jamii, ukihusisha usimamizi wa rasilimali za maji kuanzia kwenye vyanzo vya asili hadi yanapomfikia mlaji na hatimaye yanaporudishwa mazingirani baada ya matumizi.<ref>https://britannica.com – Ensaiklopidia ya Britannica inayofafanua vipengele na mifumo yote ya miundombinu ya usambazaji wa maji.</ref>
== Historia ya Miundombinu ya Maji ==
Miundombinu ya maji imekuwepo tangu zamani za kale. [[Roma ya Kale]] ilijenga mifumo ya mabomba ya kupeleka [[maji]] kwenye [[miji]] yake kupitia njia za maji zinazoitwa aqueducts. Baadaye, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilijenga mifumo ya kwanza ya kisasa ya kusafirisha maji katika karne ya 19.<ref><ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
Mwaka 1804, kiwanda cha kwanza cha kusafisha [[maji]] kilijengwa [[Scotland]] na kilisaidia sana katika kuupatia umma [[maji]] safi. Mwaka 1972, [[Marekani]] ilipitisha Sheria ya Maji Safi (Clean Water Act) iliyowataka [[miji]] yote kuwa na vituo vya kusafisha [[maji]]. Mwaka 1974, Sheria ya Maji Salama (Safe Water Act) iliweka kanuni za kwanza za kutoa [[maji]] safi kwa kila mtu.<ref>{{cite book|url=https://digitalscholarship.unlv.edu/cgi/viewcontent.cgi?article=1344&context=thesesdissertations|title=Hydro-infrastructure History|publisher=University of Nevada|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Mifumo ya uhifadhi na usambazaji ==
[[Mabwawa]] ya kuhifadhi maji (reservoirs) ni sehemu muhimu ya miundombinu ya maji. Mabwawa haya hutoa [[maji]] wakati wa mahitaji makubwa (kama wakati wa kiangazi), husaidia katika kuzima [[moto]], na hudhibiti shinikizo katika mfumo wa usambazaji. Mabwawa yanaweza kujengwa [[chini ya ardhi]] (kwa kutumia [[tangi]] chini ya [[nyumba]]) au [[juu ya ardhi]] (kwenye minara).<ref>{{cite web|title=Distribution Systems|publisher=Water.mecc.edu|url=https://water.mecc.edu/courses/ENV115/Distribution_print.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
Kuna mifumo miwili mikuu ya usambazaji wa [[maji]]:
* Mfumo wa matawi (Branched system) - Mifumo hii hufanana na [[tawi]] la [[mti]], ambapo [[mabomba]] madogo hujitokeza kutoka mabomba makubwa. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[vijijini]].
* Mfumo wa matundu (Grid/Loop system) - Mifumo hii ina mabomba yaliyounganishwa kwa namna ya [[matundu]] (loops) katika eneo lote. Mfumo huu hutumika zaidi katika maeneo ya [[miji]] mikubwa kwani unatoa uhakika zaidi iwapo [[bomba]] moja litavunjika.
== Changamoto za Miundombinu ya Maji Duniani ==
Kwa mujibu wa ripoti ya [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) na [[Umoja wa Mataifa]] (UN-Water), miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni.<ref><ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref> Mipango ya miji ya kisasa na utunzaji wa mazingira, changamoto kubwa inayokabili miundombinu ya maji ni uchakavu wa mifumo ya zamani, ongezeko la haraka la idadi ya watu mijini, na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]] zinazosababisha ukame wa muda mrefu au mafuriko makubwa. Wahandisi na serikali hujikita katika kubadili mifumo ya zamani na kuweka miundombinu thabiti (resilient infrastructure) inayotumia teknolojia ya kidijitali, kama vile sensa za kubaini uvujaji wa maji (smart water grids) na mifumo ya uvunaji wa maji ya mvua.
* Ukosefu wa Uwekezaji - Utafiti uliofanyika mwaka 2019 katika [[nchi]] 115 ukijumuisha [[watu]] bilioni 4.5 umeonesha udhaifu mkubwa katika ufadhili na uwekezaji kwenye sekta ya maji. [[Nchi]] 19 ziliripoti kasoro ya asilimia 60 ya ufadhili, ilhali ni chini ya asilimia 15 ya [[nchi]] zilizo na fedha zinazoweza kufadhili mipango yao.
* Athari za Uhaba wa Miundombinu - Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO, amesema kuwa watu wengi sana hawapati [[maji]] safi ya kunywa na huduma za kujisafi, hali inayowaweka katika hatari ya [[maambukizi]] na pia kuhujumu maendeleo katika sekta ya [[afya]] ya umma.
Kwa upande mwingine, [[maji taka]] yasiyotibiwa vizuri hutiririka kwenye [[mito]] na [[maziwa]], na kusababisha magonjwa kama [[kibofu]] na [[kuhara]]. Watu wengi hata hivyo hawawezi kumudu gharama za kuunganisha [[nyumba]] zao kwenye mtandao wa [[maji]] safi kutokana na umaskini.<ref>{{cite web|title=Miundombinu ya maji katika nchi nyingi bado ni duni|publisher=UN News|date=2019-08-27|url=https://news.un.org/sw/audio/2019/08/1066251|access-date=2026-06-10}}</ref>
Vilevile, kuna msisitizo unaoongezeka wa kutumia miundombinu ya kijani kama vile kurejesha ardhi-nyevu ya asili (luteka) na [[Uwanda wa mafuriko|nyanda za mafuriko]] ili kusaidia mifumo ya kihandisi ya zege katika kuchuja na kudhibiti mtiririko wa maji kwa njia endelevu. Juhudi hizi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha usalama wa muda mrefu wa rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>https://unep.org – Ripoti ya UNEP kuhusu changamoto na suluhisho endelevu za miundombinu ya maji duniani kote.</ref>
== SDG 6 na Malengo ya 2030 ==
Ripoti hiyo imebaini kuwa uwepo wa [[Malengo ya Maendeleo Endelevu]] (SDGs), hususan Lengo namba 6, umesaidia kuimarisha huduma za [[maji]] safi na kujisafi. Takribani asilimia 50 ya [[nchi]] zilizofanyiwa utafiti kwa sasa zimeweka malengo ya [[maji]] safi na salama ya kunywa yanayolenga kufikia viwango vya juu ifikapo mwaka 2030.<ref>{{cite web|title=SDG 6 Synthesis Report on Water and Sanitation|publisher=UN Water|url=https://hlpf.un.org/sites/default/files/documents/2023/2023%20UN%20Water%20SDG%206%20Synthesis%20Report.pdf|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Usambazaji wa Maji Tanzania ==
Serikali ya [[Tanzania]] imefanya juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya maji nchini.
* Maendeleo ya Upatikanaji wa Maji - Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama imeongezeka kutoka asilimia 53 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70 mwaka 2024. Kwa upande wa mjini, upatikanaji wa maji uko kati ya asilimia 82 hadi 95, inatofautiana kati ya [[mji]] mmoja na mwingine. Kwa upande wa vijijini, jumla ya [[vijiji]] 560 kati ya vijiji 651 vinavyosimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) vina [[miradi]] ya [[maji]] ya [[bomba]] inayohudumia wakazi wapatao 1,844,097 kati ya 2,634,423 sawa na asilimia 70 ya wakazi wote wa [[Mkoa wa Kagera]] wanaoishi maeneo ya vijijini.
* Uwekezaji katika Miundombinu ya Maji - Kwa kipindi cha miaka minne (2020 hadi 2024), Serikali ya [[Tanzania]] imetoa Tsh. 69,370,644,767.82 (zaidi ya bilioni 69) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji. Pia, juhudi mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa za kukarabati na kuboresha [[miradi]] chakavu.<ref>{{cite web|title=Huduma za Maji - Mkoa wa Kagera|publisher=Ofisi ya Rais TAMISEMI|url=https://kagera.go.tz/en/huduma-za-maji|access-date=2026-06-10}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Uhandisi wa maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
* [[Maendeleo endelevu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
oyswpxcqqsria9d1m06alb5jxqnrjy5
Mfumo wa majitaka
0
240608
1569444
1569324
2026-06-10T13:15:32Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced.
1569444
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Avlopp - Ystad-2018.jpg|thumb|Ujenzi wa mfumo wa majitaka]]
'''Mfumo wa majitaka''' (kwa [[Kiingereza]]: ''sewerage system'') ni mtandao wa miundombinu ya chini ya [[ardhi]] inayojumuisha mabomba, [[pampu]], na viunganishio vilivyoundwa mahususi kwa ajili ya kukusanya na kusafirisha majitaka kutoka kwenye makazi ya watu, majengo ya biashara, na viwanda hadi kwenye mitambo ya kusafishia majitaka.
Mfumo huu ni sehemu muhimu sana ya [[miundombinu ya maji|miundombinu ya usafi wa mazingira]] mijini, ukiwa na jukumu la kuzuia milipuko ya [[magonjwa]] yanayoenezwa na maji na kulinda vyanzo vya asili vya [[maji]] dhidi ya [[uchafuzi wa maji|uchafuzi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Encyclopedia Britannica {{!}} Britannica|url=https://www.britannica.com:443/|work=Encyclopedia Britannica|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mifumo ya majitaka ==
Mifumo ya majitaka imegawanyika katika makundi makuu mawili kulingana na muundo wa uendeshaji wake:
* Mfumo wa majitaka uliotengana (''sanitary sewer system''): hubeba majitaka ya majumbani na viwandani pekee (kama vile maji ya vyooni, bafuni, na jikoni) ili yapelekwe moja kwa moja mtamboni kufanyiwa matibabu ya kikemikali na kibayolojia.
* Mfumo mchanganyiko (''combined sewer system''): hubeba majitaka ya majumbani pamoja na maji ya dhoruba yanayotokana na [[mvua]] kubwa kwenye mifereji ya barabarani. <ref>{{Rejea tovuti|title=U.S. Environmental Protection Agency|url=https://www.epa.gov/home|work=www.epa.gov|date=2013-03-20|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OA US EPA}}</ref>
== Uendeshaji na changamoto ==
Maji yanayopita kwenye mfumo wa majitaka husukumwa kwa kiasi kikubwa na nguvu ya mvutano wa dunia (gravity flow) kupitia mabomba yaliyolazwa kwa mteremko maalum. Katika maeneo ya tambarare au yaliyoinuka ambapo nguvu ya mvutano haitoshi, pampu maalum (lift stations) hutumiwa kusukuma maji hayo kwenda maeneo ya juu ili yaendelee na safari.
Ili kuruhusu ukaguzi, usafishaji, na uondoaji wa vizuizi vinavyoweza kutokea ndani ya mabomba, mfumo huu unajumuisha matundu ya ukaguzi juu ya ardhi yanayojulikana kama vyumba vya ukaguzi au mianzi ya majitaka (manholes).
Changamoto kubwa za mifumo hii, hasa katika miji inayokua kwa kasi barani [[Afrika]], ni pamoja na uchakavu wa mabomba unaosababisha kuvuja kwa majitaka chini ya ardhi, uingiaji wa maji ya mvua yasiyohitajika (infiltration), na kuziba kwa mabomba kutokana na utupaji wa mafuta na taka ngumu zisizooza.<ref>{{Rejea tovuti|title=UNEP - UN Environment Programme|url=https://www.unep.org/node|work=www.unep.org|accessdate=2026-06-10|language=en|author=U. N. Environment}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Usafishaji wa maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:afya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
skdg5fut0b2zeqt83e0f0tdj6hfun0t
Miundombinu ya kijani
0
240609
1569447
1569337
2026-06-10T13:26:32Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced.
1569447
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Rain Garden (14418205110).jpg|thumb|Mfano wa miundombinu ya kijani, ikiwa ni ujenzi wa bustani za maua katika moja ya mtaa nchini [[Marekani]].]]
'''Miundombinu ya kijani''' (kwa [[Kiingereza]]: ''green infrastructure'') ni mtandao uliopangwa kimkakati wa maeneo ya asili na nusu-asili, pamoja na vipengele vingine vya mazingira, ulioundwa na kusimamiwa ili kutoa huduma mbalimbali za kiekolojia na kulinda [[bioanuwai]] katika maeneo ya vijijini na mijini.
Tofauti na miundombinu ya kijivu (gray infrastructure) ambayo inajumuisha miundo ya zege na chuma kama vile mabomba na kuta za [[saruji]], miundombinu ya kijani inatumia mifumo ya [[ekolojia]] ya asili ili kutatua changamoto za kibinadamu na kimazingira. Inasaidia sana katika usimamizi wa maji ya dhoruba na kupunguza athari za [[mabadiliko ya tabianchi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Encyclopedia Britannica {{!}} Britannica|url=https://www.britannica.com:443/|work=Encyclopedia Britannica|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
Katika muktadha wa [[uhandisi wa maji]] na mipango ya miji, miundombinu hii inajumuisha mifumo mbalimbali inayoruhusu maji ya mvua kunyonywa ardhini badala ya kutiririka juu ya nyuso ngumu za ardhi.<ref>{{Rejea tovuti|title=U.S. Environmental Protection Agency|url=https://www.epa.gov/home|work=www.epa.gov|date=2013-03-20|accessdate=2026-06-10|language=en|author=OA US EPA}}</ref>
== Faida za kijamii na mazingira ==
Mbali na kudhibiti [[mafuriko]] na kuboresha ubora wa maji, miundombinu ya kijani inatoa faida nyingi za kiuchumi na kijamii kwa wakazi wa mijini. Inasaidia kupunguza joto kali mijini linalosababishwa na wingi wa zege na lami (urban heat island effect), inasafisha hewa kwa kunyonya kaboni, na inatengeneza maeneo ya burudani na mapumziko kwa jamii.
Katika nyanja ya uendelevu, hasa kwa miji inayokua kwa kasi barani [[Afrika]], mifumo hii inachukuliwa kuwa suluhisho la gharama nafuu kwa muda mrefu. Inapunguza mzigo mkubwa unaoenda kwenye [[mfumo wa majitaka]] na [[mtambo wa kusafisha maji|mitambo ya kusafisha maji]] ya viwanda, huku ikisaidia kurutubisha maji ya chini ya ardhi (aquifer recharge) kupitia mchakato wa asili wa upenyezaji.<ref>{{Rejea tovuti|title=UNEP - UN Environment Programme|url=https://www.unep.org/node|work=www.unep.org|accessdate=2026-06-10|language=en|author=U. N. Environment}}</ref>
== Tazama pia ==
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Mfumo wa majitaka]]
* [[Ikolojia ya maji]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
b48zrksa1b2288qkszwr7iuamwzsk4d
Elfu moja mia tatu kumi na moja
0
240616
1569727
1569268
2026-06-10T21:12:10Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569727
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia tatu kumi na moja''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1311''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCXI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu na kumi|1310]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu kumi na mbili|1312]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1311 KK]] na [[1311]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
f7ikv8q4zx21vsgedd7uhl5jywchy6t
Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania
0
240617
1569440
1569331
2026-06-10T12:57:50Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1569440
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania''' (kwa kifupi: ''WSSAs'' kutoka [[Kiingereza]]: ''Water Supply and Sanitation Authorities'') ni mashirika na taasisi za kiserikali zilizoundwa kisheria nchini [[Tanzania]] kwa ajili ya kusimamia rasilimali, uendeshaji wa [[miundombinu ya maji]], na utoaji wa huduma za majisafi na mifumo ya uondoaji wa majitaka.
Taasisi hizi hufanya kazi chini ya usimamizi mkuu wa Wizara ya Maji, zikiongozwa na sheria mbalimbali ikiwemo Sheria ya Ugawaji wa Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Mamlaka hizi zinadhibitiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ([[EWURA]]) ili kuhakikisha ubora, viwango salama vya afya, na haki katika utoaji huduma na upangaji wa bei.<ref>{{Rejea tovuti|title=EWURA {{!}} Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) - Home|url=https://ewura.go.tz/|work=ewura.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Madaraja na orodha ya Mamlaka za maji ==
Mamlaka hizi zimegawanywa katika madaraja tofauti kulingana na ukubwa wa kijiografia, uwezo wa kifedha wa kujiendesha, na idadi ya watu wanaohudumiwa:
=== Mamlaka Kuu ya Jiji la Kibiashara ===
* [[DAWASA]] – Dar es Salaam Supply and Sanitation Authority (Inahudumia [[Mkoa wa Dar es Salaam]] na sehemu ya [[Mkoa wa Pwani]]).<ref>{{Rejea tovuti|title=DAWASA {{!}} Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) - Mwanzo|url=https://www.dawasa.go.tz/|work=dawasa.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=sw}}</ref>
=== Mamlaka za Miji Mikuu ya Mikoa ===
Mamlaka hizi zinasimamia huduma katika makao makuu ya mikoa ya kimkakati ya Tanzania Bara:
* [[AUWSA]] – Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Arusha|Arusha]])
* [[BUWASA]] – Bukoba Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kagera|Kagera]])
* [[DUWASA]] – Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]])
* [[GEUWASA]] – Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Geita|Geita]])
* [[IRUWASA]] – Iringa Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Iringa|Iringa]])
* [[KASHWASA]] – Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority (Inahudumia miji ya [[Kahama]] na [[Shinyanga]] kutoka chanzo cha [[Ziwa Victoria]])
* [[KUWASA]] – Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]])
* [[MAUWASA]] – Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mara|Mara]])
* [[MBUWASA]] – Mbeya Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]])
* [[MOWASA]] – Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[MTUWASA]] – Mtwara Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWASA]] – Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]])
* [[MWAUWASA]] – Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]])
* [[NJUWASA]] – Njombe Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Njombe|Njombe]])
* [[SHIYWASA]] – Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]])
* [[SHUWASA]] – Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Singida|Singida]])
* [[SOUWASA]] – Songea Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]])
* [[SUWASA]] – Sumbawanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]])
* [[TUWASA]] – Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[TUWASA (Tabora)]] – Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
=== Mamlaka za miji ya kitaifa na miradi maalum ===
Hizi ni mamlaka katika miji mikubwa ambayo si makao makuu ya mikoa lakini ina mchango mkubwa wa kiuchumi:
* [[KUWASA (Kahama)]] – Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority
* [[TOUWASA]] – Tunduma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Songwe|Songwe]])
* [[IFUWASA]] – Ifakara Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
=== Mamlaka za Wilaya na miji midogo ===
Kuna zaidi ya mamlaka 80 za ngazi ya wilaya na miji midogo nchini kote zinazosaidia kusogeza huduma karibu na jamii, zikiwemo:
* [[BABUWASA]] – Babati ([[Mkoa wa Manyara|Manyara]])
* [[KILUWASA]] – Kilosa ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[KORUWASA]] – Korogwe ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[MASUWASA]] – Masasi ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWSA]] – Muheza ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[NZEWASA]] – Nzega ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
Usimamizi wa maeneo yote ya vijijini ambayo hayapo chini ya mamlaka hizi za mijini unaratibiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ([[RUWASA]]) ikishirikiana na Jumuiya za Watumia Maji Ngazi ya Jamii (CBWSOs).
== Tazama pia ==
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Mfumo wa majitaka]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:AWC 2026]]
cqqbb7rkhrzqaro0ijz37vcvc1i62qk
1569516
1569440
2026-06-10T19:45:13Z
Laylah26
89982
/* Mamlaka za Miji Mikuu ya Mikoa */
1569516
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania''' (kwa kifupi: ''WSSAs'' kutoka [[Kiingereza]]: ''Water Supply and Sanitation Authorities'') ni mashirika na taasisi za kiserikali zilizoundwa kisheria nchini [[Tanzania]] kwa ajili ya kusimamia rasilimali, uendeshaji wa [[miundombinu ya maji]], na utoaji wa huduma za majisafi na mifumo ya uondoaji wa majitaka.
Taasisi hizi hufanya kazi chini ya usimamizi mkuu wa Wizara ya Maji, zikiongozwa na sheria mbalimbali ikiwemo Sheria ya Ugawaji wa Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Mamlaka hizi zinadhibitiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ([[EWURA]]) ili kuhakikisha ubora, viwango salama vya afya, na haki katika utoaji huduma na upangaji wa bei.<ref>{{Rejea tovuti|title=EWURA {{!}} Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) - Home|url=https://ewura.go.tz/|work=ewura.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Madaraja na orodha ya Mamlaka za maji ==
Mamlaka hizi zimegawanywa katika madaraja tofauti kulingana na ukubwa wa kijiografia, uwezo wa kifedha wa kujiendesha, na idadi ya watu wanaohudumiwa:
=== Mamlaka Kuu ya Jiji la Kibiashara ===
* [[DAWASA]] – Dar es Salaam Supply and Sanitation Authority (Inahudumia [[Mkoa wa Dar es Salaam]] na sehemu ya [[Mkoa wa Pwani]]).<ref>{{Rejea tovuti|title=DAWASA {{!}} Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) - Mwanzo|url=https://www.dawasa.go.tz/|work=dawasa.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=sw}}</ref>
=== Mamlaka za Miji Mikuu ya Mikoa ===
Mamlaka hizi zinasimamia huduma katika makao makuu ya mikoa ya kimkakati ya Tanzania Bara:
* [[AUWSA]] – Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Arusha|Arusha]])
* [[BUWASA]] – Bukoba Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kagera|Kagera]])
* [[DUWASA]] – Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]])
* [[GEUWASA]] – Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Geita|Geita]])
* [[IRUWASA]] – Iringa Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Iringa|Iringa]])
* [[KASHWASA]] – Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority (Inahudumia miji ya [[Kahama]] na [[Shinyanga]] kutoka chanzo cha [[Ziwa Victoria]])
* [[KUWASA (Kigoma) |KUWASA]] – Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]])
* [[MAUWASA]] – Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mara|Mara]])
* [[MBUWASA]] – Mbeya Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]])
* [[MOWASA]] – Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[MTUWASA]] – Mtwara Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWASA]] – Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]])
* [[MWAUWASA]] – Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]])
* [[NJUWASA]] – Njombe Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Njombe|Njombe]])
* [[SHIYWASA]] – Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]])
* [[SHUWASA]] – Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Singida|Singida]])
* [[SOUWASA]] – Songea Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]])
* [[SUWASA]] – Sumbawanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]])
* [[TUWASA]] – Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[TUWASA (Tabora)]] – Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
=== Mamlaka za miji ya kitaifa na miradi maalum ===
Hizi ni mamlaka katika miji mikubwa ambayo si makao makuu ya mikoa lakini ina mchango mkubwa wa kiuchumi:
* [[KUWASA (Kahama)]] – Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority
* [[TOUWASA]] – Tunduma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Songwe|Songwe]])
* [[IFUWASA]] – Ifakara Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
=== Mamlaka za Wilaya na miji midogo ===
Kuna zaidi ya mamlaka 80 za ngazi ya wilaya na miji midogo nchini kote zinazosaidia kusogeza huduma karibu na jamii, zikiwemo:
* [[BABUWASA]] – Babati ([[Mkoa wa Manyara|Manyara]])
* [[KILUWASA]] – Kilosa ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[KORUWASA]] – Korogwe ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[MASUWASA]] – Masasi ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWSA]] – Muheza ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[NZEWASA]] – Nzega ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
Usimamizi wa maeneo yote ya vijijini ambayo hayapo chini ya mamlaka hizi za mijini unaratibiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ([[RUWASA]]) ikishirikiana na Jumuiya za Watumia Maji Ngazi ya Jamii (CBWSOs).
== Tazama pia ==
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Mfumo wa majitaka]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:AWC 2026]]
ioap6gj0hooo648jsqaqdx3mht3swpm
1570789
1569516
2026-06-11T09:01:59Z
Laylah26
89982
/* Mamlaka za Miji Mikuu ya Mikoa */
1570789
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania''' (kwa kifupi: ''WSSAs'' kutoka [[Kiingereza]]: ''Water Supply and Sanitation Authorities'') ni mashirika na taasisi za kiserikali zilizoundwa kisheria nchini [[Tanzania]] kwa ajili ya kusimamia rasilimali, uendeshaji wa [[miundombinu ya maji]], na utoaji wa huduma za majisafi na mifumo ya uondoaji wa majitaka.
Taasisi hizi hufanya kazi chini ya usimamizi mkuu wa Wizara ya Maji, zikiongozwa na sheria mbalimbali ikiwemo Sheria ya Ugawaji wa Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Mamlaka hizi zinadhibitiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ([[EWURA]]) ili kuhakikisha ubora, viwango salama vya afya, na haki katika utoaji huduma na upangaji wa bei.<ref>{{Rejea tovuti|title=EWURA {{!}} Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) - Home|url=https://ewura.go.tz/|work=ewura.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Madaraja na orodha ya Mamlaka za maji ==
Mamlaka hizi zimegawanywa katika madaraja tofauti kulingana na ukubwa wa kijiografia, uwezo wa kifedha wa kujiendesha, na idadi ya watu wanaohudumiwa:
=== Mamlaka Kuu ya Jiji la Kibiashara ===
* [[DAWASA]] – Dar es Salaam Supply and Sanitation Authority (Inahudumia [[Mkoa wa Dar es Salaam]] na sehemu ya [[Mkoa wa Pwani]]).<ref>{{Rejea tovuti|title=DAWASA {{!}} Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) - Mwanzo|url=https://www.dawasa.go.tz/|work=dawasa.go.tz|accessdate=2026-06-10|language=sw}}</ref>
=== Mamlaka za Miji Mikuu ya Mikoa ===
Mamlaka hizi zinasimamia huduma katika makao makuu ya mikoa ya kimkakati ya Tanzania Bara:
* [[AUWSA]] – Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Arusha|Arusha]])
* [[BUWASA]] – Bukoba Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kagera|Kagera]])
* [[DUWASA]] – Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]])
* [[GEUWASA]] – Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Geita|Geita]])
* [[IRUWASA]] – Iringa Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Iringa|Iringa]])
* [[KASHWASA]] – Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority (Inahudumia miji ya [[Kahama]] na [[Shinyanga]] kutoka chanzo cha [[Ziwa Victoria]])
* [[KUWASA (Kigoma)|KUWASA]] – Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]])
* [[MUWASA]] – Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mara|Mara]])
* [[Mbeya UWSA]] – Mbeya Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]])
* [[MORUWASA]] – Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[MTUWASA]] – Mtwara Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWSA]] – Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]])
* [[MWAUWASA]] – Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]])
* [[NJUWASA]] – Njombe Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Njombe|Njombe]])
* [[SHUWASA]] – Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]])
* [[SUWASA (Singida)|SUWASA]] – Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Singida|Singida]])
* [[SOUWASA]] – Songea Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]])
* [[SUWASA (Sumbawanga)|SUWASA]] – Sumbawanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]])
* [[TUWASA]] – Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[TUWASA (Tabora)|TUWASA]] – Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
=== Mamlaka za miji ya kitaifa na miradi maalum ===
Hizi ni mamlaka katika miji mikubwa ambayo si makao makuu ya mikoa lakini ina mchango mkubwa wa kiuchumi:
* [[KUWASA (Kahama)]] – Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority
* [[TOUWASA]] – Tunduma Urban Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Songwe|Songwe]])
* [[IFUWASA]] – Ifakara Water Supply and Sanitation Authority ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
=== Mamlaka za Wilaya na miji midogo ===
Kuna zaidi ya mamlaka 80 za ngazi ya wilaya na miji midogo nchini kote zinazosaidia kusogeza huduma karibu na jamii, zikiwemo:
* [[BABUWASA]] – Babati ([[Mkoa wa Manyara|Manyara]])
* [[KILUWASA]] – Kilosa ([[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]])
* [[KORUWASA]] – Korogwe ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[MASUWASA]] – Masasi ([[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]])
* [[MUWSA]] – Muheza ([[Mkoa wa Tanga|Tanga]])
* [[NZEWASA]] – Nzega ([[Mkoa wa Tabora|Tabora]])
Usimamizi wa maeneo yote ya vijijini ambayo hayapo chini ya mamlaka hizi za mijini unaratibiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ([[RUWASA]]) ikishirikiana na Jumuiya za Watumia Maji Ngazi ya Jamii (CBWSOs).
== Tazama pia ==
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Mtambo wa kusafisha maji]]
* [[Mfumo wa majitaka]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Maji]]
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:AWC 2026]]
96u4t200b7nrfziheh0u1wyb8bso2qj
Elfu moja mia tatu kumi na tatu
0
240620
1570637
1569275
2026-06-10T23:41:14Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1570637
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia tatu kumi na tatu''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1313''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCXIII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu kumi na mbili|1312]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu kumi na nne|1314]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1313 KK]] na [[1313]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
nvotx71kau4gp2558juapucfrxv7bmz
Elfu moja mia tatu kumi na nne
0
240625
1569567
1569305
2026-06-10T20:45:58Z
Gayle-Bot
78697
Bot: fixed references and maintenance
1569567
wikitext
text/x-wiki
'''Elfu moja mia tatu kumi na nne''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1314''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCXIV kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu kumi na tatu|1313]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu kumi na tano|1315]].
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[1314 KK]] na [[1314]] [[BK]].
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Jamii:Namba asilia]]
p0nuoeygj26twj4ma9oof6b7rr0i4uv
Majadiliano ya mtumiaji:Willyfred Philemon
3
240653
1570728
1569384
2026-06-11T07:29:05Z
Anuary Rajabu
45588
/* Vyanzo */ mjadala mpya
1570728
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 10 Juni 2026 (UTC)
== Vyanzo ==
Habari ndugu,
Haifai kutumia Wikpedia ya kingereza kama reference au kama sehemu ya marejeo kwenye uandishi wa makala, badala yake kama umefanya translation ya makala kutoka huko, basi vyanzo vile vile vilvyotumika huko unavileta kama vilivyo kwenye makala unayoandika hapa. Mfano Katika makala hii uliyooandika [[Mnara wa maji]]. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:29, 11 Juni 2026 (UTC)
n8tsy8fhc9wlsnrpmo1tpjtwlgi9nsd
1570741
1570728
2026-06-11T07:47:22Z
Anuary Rajabu
45588
/* Vyanzo */
1570741
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 10 Juni 2026 (UTC)
== Vyanzo ==
Habari ndugu,
Haifai kutumia Wikpedia ya kingereza kama reference au kama sehemu ya marejeo kwenye uandishi wa makala, badala yake kama umefanya translation ya makala kutoka huko, basi vyanzo vile vile vilvyotumika huko unavileta kama vilivyo kwenye makala unayoandika hapa.
Mfano Katika makala hii uliyooandika [[Mnara wa maji]], nimeifanyia masahihsho ya vyanzo kwa kutumia vile vilivyotumika kwenye makala ya English wikipedia "Water tower". Tafadhali pitia jifunze ili ukiwa unaandika makala nyingine makosa yasijirudie '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:29, 11 Juni 2026 (UTC)
4y0o1m4xjtc1wsy8zfb9h44k03co028
1570786
1570741
2026-06-11T08:54:11Z
Willyfred Philemon
90120
/* Vyanzo */ Jibu
1570786
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 10 Juni 2026 (UTC)
== Vyanzo ==
Habari ndugu,
Haifai kutumia Wikpedia ya kingereza kama reference au kama sehemu ya marejeo kwenye uandishi wa makala, badala yake kama umefanya translation ya makala kutoka huko, basi vyanzo vile vile vilvyotumika huko unavileta kama vilivyo kwenye makala unayoandika hapa.
Mfano Katika makala hii uliyooandika [[Mnara wa maji]], nimeifanyia masahihsho ya vyanzo kwa kutumia vile vilivyotumika kwenye makala ya English wikipedia "Water tower". Tafadhali pitia jifunze ili ukiwa unaandika makala nyingine makosa yasijirudie '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 07:29, 11 Juni 2026 (UTC)
:Habari ndugu,
:Asante kwa maelekezo na masahihisho. Nimeelewa kosa nililofanya na nimejifunza kutokana na marekebisho uliyofanya kwenye makala ya Mnara wa maji. Nitazingatia kutumia vyanzo asilia badala ya kurejea Wikipedia ya Kiingereza moja kwa moja katika makala zangu zijazo.
:Asante sana kwa msaada wako. '''[[Mtumiaji:Willyfred Philemon|Willyfred Philemon]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Willyfred Philemon#top|majadiliano]])''' 08:54, 11 Juni 2026 (UTC)
7u7glh27uy8o6fnhtvo9chl7rhztby8
MWAUWASA
0
240679
1569433
2026-06-10T12:04:08Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1569433
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza''' (kwa kifupi: '''MWAUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika jiji la [[Mwanza]] na maeneo ya pembezoni ya mkoa huo, uliopo upande wa kaskazini mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, MWAUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref>https://www.mwauwasa.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa MWAUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa vyanzo vya maji ya juu ya ardhi, ambapo chanzo kikuu cha asili cha jiji la Mwanza ni [[Ziwa Victoria]]. Mamlaka inavuta maji ghafi kutoka ziwani kupitia mitambo mikubwa ya kusafishia maji, ukiwemo mtambo mkuu wa Capri-Point unaofanyiwa ukarabati na upanuzi wa mara kwa mara, pamoja na mtambo mpya wa Butimba uliopo wilayani Nyamagana unaozalisha lita milioni 48 za maji kwa siku. Mitambo hii inasafisha maji ili kuhakikisha yanakidhi viwango vya usalama vya kitaifa na kimataifa kabla ya kusambazwa kwa walaji.
Maji hayo yaliyosafishwa husafirishwa kwa kutumia pampu zenye nguvu kubwa kuelekea kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji yaliyopo kwenye vilima vinavyozunguka jiji la Mwanza, kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] kwa njia ya mvutano wa dunia (gravity system). Kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa idadi ya watu nicotine upanuzi wa sekta ya viwanda jijini Mwanza, MWAUWASA imekuwa ikitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kuongeza uwezo wa uzalishaji ili kufikia mamilioni ya lita kwa siku. Mamlaka pia imepanua huduma zake kupitia miradi ya pembezoni inayofikisha maji katika miji ya jirani kama vile Misungwi, Magu, na Lamadi ili kuhakikisha upatikanaji wa maji safi kwa wote.
== Changamoto na uhifadhi ==
Mbali na usambazaji wa majisafi, MWAUWASA ina jukumu la kusimamia na kuendesha [[mfumo wa majitaka]] wa jiji la Mwanza, ikijumuisha Mabwawa ya Kusafishia Majitaka ya Butuja (Butuja Waste Stabilization Ponds) yaliyopo wilayani Ilemela ili kulinda ikolojia ya ziwa na afya ya wakazi wa jiji. Changamoto kubwa inayokabili mamlaka hii ni uchafuzi wa vyanzo vya maji vya Ziwa Victoria unaotokana na utupaji holela wa taka ngumu na majitaka kutoka viwandani na makazi ya watu yasiyopangwa vilimani, hali inayoongeza kwa kiasi kikubwa gharama za ununuzi wa kemikali za kusafishia maji. Changamoto nyingine ni uwepo wa wezi wa maji nicotine miundombinu ya zamani inayochangia upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water).
MWAUWASA inakabiliana na changamoto hizi kwa kuimarisha mifumo ya kidijitali ya usomaji wa mita (ikiwemo mita za malipo ya kabla), kufanya doria za mara kwa mara, na kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda fukwe na vyanzo vya maji. Vilevile, mamlaka inashirikiana kwa karibu na Bodi ya Bonde la Ziwa Victoria na mashirika ya kikanda ili kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazosaidia kulinda uendelevu wa ikolojia na vyanzo vyake vya maji barani [[Afrika]].<ref>EWURA (2025): Ripoti ya Mwaka ya Tathmini ya Utendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini Tanzania.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Ziwa Victoria]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Mashirika ya Tanzania]]
[[Jamii:Mwanza]]
[[Jamii:AWC 2026]]
1p32nb2j8maeeawl9df1tujnldudnyc
1569434
1569433
2026-06-10T12:10:45Z
Laylah26
89982
1569434
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza''' (kwa kifupi: '''MWAUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika jiji la [[Mwanza]] na maeneo ya pembezoni ya mkoa huo, uliopo upande wa kaskazini mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<ref>https://www.mwauwasa.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).</ref>
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, MWAUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref>https://www.ewura.go.tz/uploads/documents/en-1747042920-MKATABA%20WA%20HUDUMA%20KWA%20MTEJA%20-%20MWANZA.pdf – Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa MWAUWASA kupitia EWURA unaoainisha maeneo ya usambazaji na mifumo ya usafi wa mazingira mkoani Mwanza.</ref>
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa MWAUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa vyanzo vya maji ya juu ya ardhi, ambapo chanzo kikuu cha asili cha jiji la Mwanza ni [[Ziwa Victoria]]. Mamlaka inavuta maji ghafi kutoka ziwani kupitia mitambo mikubwa ya kusafishia maji, ukiwemo mtambo mkuu wa Capri-Point unaofanyiwa ukarabati na upanuzi wa mara kwa mara, pamoja na mtambo mpya wa Butimba uliopo wilayani Nyamagana unaozalisha lita milioni 48 za maji kwa siku. Mitambo hii inasafisha maji ili kuhakikisha yanakidhi viwango vya usalama vya kitaifa na kimataifa kabla ya kusambazwa kwa walaji.
Maji hayo yaliyosafishwa husafirishwa kwa kutumia pampu zenye nguvu kubwa kuelekea kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji yaliyopo kwenye vilima vinavyozunguka jiji la Mwanza, kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] kwa njia ya mvutano wa dunia (gravity system). Kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa idadi ya watu nicotine upanuzi wa sekta ya viwanda jijini Mwanza, MWAUWASA imekuwa ikitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kuongeza uwezo wa uzalishaji ili kufikia mamilioni ya lita kwa siku. Mamlaka pia imepanua huduma zake kupitia miradi ya pembezoni inayofikisha maji katika miji ya jirani kama vile Misungwi, Magu, na Lamadi ili kuhakikisha upatikanaji wa maji safi kwa wote.
== Changamoto na uhifadhi ==
Mbali na usambazaji wa majisafi, MWAUWASA ina jukumu la kusimamia na kuendesha [[mfumo wa majitaka]] wa jiji la Mwanza, ikijumuisha Mabwawa ya Kusafishia Majitaka ya Butuja (Butuja Waste Stabilization Ponds) yaliyopo wilayani Ilemela ili kulinda ikolojia ya ziwa na afya ya wakazi wa jiji. Changamoto kubwa inayokabili mamlaka hii ni uchafuzi wa vyanzo vya maji vya Ziwa Victoria unaotokana na utupaji holela wa taka ngumu na majitaka kutoka viwandani na makazi ya watu yasiyopangwa vilimani, hali inayoongeza kwa kiasi kikubwa gharama za ununuzi wa kemikali za kusafishia maji. Changamoto nyingine ni uwepo wa wezi wa maji nicotine miundombinu ya zamani inayochangia upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water).
MWAUWASA inakabiliana na changamoto hizi kwa kuimarisha mifumo ya kidijitali ya usomaji wa mita (ikiwemo mita za malipo ya kabla), kufanya doria za mara kwa mara, na kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda fukwe na vyanzo vya maji. Vilevile, mamlaka inashirikiana kwa karibu na Bodi ya Bonde la Ziwa Victoria na mashirika ya kikanda ili kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazosaidia kulinda uendelevu wa ikolojia na vyanzo vyake vya maji barani [[Afrika]].<ref>EWURA (2025): Ripoti ya Mwaka ya Tathmini ya Utendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini Tanzania.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Ziwa Victoria]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Mashirika ya Tanzania]]
[[Jamii:Mwanza]]
[[Jamii:AWC 2026]]
b486akdq7nqts6h52hhv1yss77sgc0p
KASHWASA
0
240680
1569435
2026-06-10T12:22:03Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1569435
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi Kahama Shinyanga''' (kwa kifupi: '''KASHWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kipekee la kuzalisha na kusambaza majisafi kwa jumla (bulk water supply) kwenda kwa mamlaka za miji na vijiji vilivyopo katika mikoa ya [[Shinyanga]], [[Simiyu]], [[Mwanza]] na [[Tabora]].<ref name="kashwasa_web">https://www.kashwasa.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi Kahama Shinyanga (KASHWASA).</ref>
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KASHWASA ni mradi wa kitaifa unaofanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="mkataba">https://www.maji.go.tz/uploads/publications/sw1687867679-MKATABA%20WA%20HUDUMA%20KWA%20MTEJA%2014-03-2023.pdf – Mkataba wa Huduma kwa Mteja kutoka Wizara ya Maji unaoainisha usajili na anwani rasmi ya mamlaka ya kimkakati ya KASHWASA.</ref>
== Vyanzo vya maji na Uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KASHWASA unategemea chanzo kikuu cha kimkakati cha maji ya juu ya ardhi ambacho ni [[Ziwa Victoria]]. Mamlaka inaendesha mtambo mkubwa wa kusafishia maji uliopo kijiji cha Ihelele, wilayani Misungwi (Mwanza), ambapo maji yanavutiwa kutoka ziwani, kusafishwa kwa kiwango cha juu, na kisha kusafirishwa kwa kutumia mabomba makubwa ya chuma (pumping mains) kwa umbali wa mamia ya kilomita kupitia vituo vya kusukuma maji ili kutoa suluhisho la kudumu katika mikoa ambayo kihistoria ilikuwa na ukame wa muda mrefu.<ref name="ewura_report">https://www.ewura.go.tz/uploads/documents/en-1774358609-EWURA%20-%20Water%20Utilities%20Performance%20Review%20Report%20for%20FY%202024-25.pdf – Ripoti ya EWURA ya Tathmini ya Utendaji wa Mamlaka za Maji nchini inayofafanua leseni ya Daraja la II (Class II Licence) na mikakati ya KASHWASA.</ref>
Maji hayo husafirishwa kwenda kwenye matanki makuu ya mapokezi yaliyopo kwenye vilima vya Solwa na kisha kusambazwa kwa njia ya mvutano wa dunia (gravity system) kwenda kwenye mamlaka za miji kama SHUWASA (Shinyanga), KUWASA (Kahama), na miji mingine midogo nicotine vijiji zaidi ya mia moja vilivyopo kando ya bomba kuu.
Kutokana na mahitaji makubwa, KASHWASA inatekeleza miradi ya kimkakati ya kuongeza uwezo wa mtambo wa Ihelele na kupanua mabomba ili kufikisha maji katika maeneo mapya ikiwemo mji mkuu wa Mkoa wa Simiyu (Bariadi), wilaya ya Nzega, na miji ya minada ya madini, jambo linalofanya mradi huu kuwa mmoja wa mifumo mikubwa zaidi ya usambazaji wa maji barani [[Afrika]].
== Changamoto na Uhifadhi ==
Tofauti na mamlaka za maji za mikoa zinazoshughulika na wateja wa reja reja na mifumo ya majitaka ya jiji, changamoto kuu ya KASHWASA ni ulinzi wa miundombinu mikubwa ya mabomba ya kusafirishia maji umbali mrefu nicotine kupunguza gharama kubwa za [[nishati]] ya [[umeme]] inayotumika kusukuma maji hayo kutoka ziwani. Changamoto nyingine ni uharibifu wa vyanzo vya maji karibu na pampu za Ihelele kutokana na shughuli za uvuvi na kilimo, pamoja na upotevu wa maji unaosababishwa na kupasuka kwa mabomba ya zamani au uchepishaji holela wa maji.
KASHWASA inakabiliana na changamoto hizi kwa kuimarisha mifumo ya kisasa ya ufuatiliaji wa mtiririko wa maji kwa kutumia teknolojia za kidijitali (SCADA), kufanya doria za mara kwa mara kulinda usalama wa bomba kuu, nicotine kushirikiana na wadau katika kutafuta vyanzo mbadala vya nishati ili kupunguza gharama za uzalishaji. Vilevile, mamlaka inashirikiana na Bodi ya Bonde la Ziwa Victoria kulinda mazingira yanayozunguka chanzo cha Ihelele ili kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazohakikisha uendelevu wa ikolojia, kuzuia [[uchafuzi wa maji]], na kulinda vyanzo vyake vya maji barani Afrika.<ref name="ewura_report" />
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Miundombinu ya maji]]
* [[Ziwa Victoria]]
* [[Uchafuzi wa maji]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mashirika ya Tanzania]]
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Shinyanga]]
[[Jamii:AWC 2026]]
3h8eq29eh36s1rd3s2ol0hoizr2lhqc
Mtumishi mteswa
0
240681
1569460
2026-06-10T14:43:04Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mtumishi mteswa''' wa [[YHWH]] (kwa [[Kiebrania]]: '''עבד יהוה''', ''‘eḇeḏ Yahweh'') ni [[Mhusika (fasihi)|mhusika]] mkuu wa [[Wimbo|nyimbo]] nne za [[kitabu cha Isaya]], kilicho katika [[Biblia ya Kiebrania]] na katika [[Biblia ya Kikristo]] vilevile. Nyimbo hizo zimo: Is 42:1–4; Is 49:1-6|9; Is 50:4–11|9 na Is 52:13|9–53:12|9. Katika [[tenzi]] hizo [[Mwenyezi Mungu]] anamuita [[Mtumishi wa Mungu|mtumishi]] wake huyo wa pekee aongoze...'
1569460
wikitext
text/x-wiki
'''Mtumishi mteswa''' wa [[YHWH]] (kwa [[Kiebrania]]: '''עבד יהוה''', ''‘eḇeḏ Yahweh'') ni [[Mhusika (fasihi)|mhusika]] mkuu wa [[Wimbo|nyimbo]] nne za [[kitabu cha Isaya]], kilicho katika [[Biblia ya Kiebrania]] na katika [[Biblia ya Kikristo]] vilevile. Nyimbo hizo zimo: Is 42:1–4; Is 49:1-6|9; Is 50:4–11|9 na Is 52:13|9–53:12|9. Katika [[tenzi]] hizo [[Mwenyezi Mungu]] anamuita [[Mtumishi wa Mungu|mtumishi]] wake huyo wa pekee aongoze [[Taifa|mataifa]], lakini anadhulumiwa kikatili sana. Hata hivyo anapata kwa [[Mungu]] [[tuzo]] kubwa<ref>Bernhard Duhm, Das Buch Jesaia (Gottingen: Vandenhoeck & Ruprecht, 1892).</ref><ref>"Servant of The Lord" in Wood, D. R. W., and I. Howard Marshall. New Bible Dictionary. 3rd ed. Leicester, England; Downers Grove, IL: InterVarsity Press, 1996.</ref>.
Nyimbo hizo zote zimo katika sehemu ya pili ya [[kitabu]] hicho, ambayo [[Mtaalamu|wataalamu]] wengi wanaeleza iliandikwa hasa katika [[Uhamisho wa Babeli]] ([[karne ya 6 KK]]) na [[nabii]] asiyejulikana kwa [[jina]], hivyo anatajwa kama [[Isaya II]].
[[Yesu]] na [[Ukristo|Wakristo]] wameona katika mhusika huyo [[utabiri]] juu ya [[Kristo]] mwenyewe kama inavyoonekana katika madondoo mengi ya [[Agano Jipya]]<ref name="ReferenceA">"Servant Songs." Cross, F. L., ed. The Oxford dictionary of the Christian church. New York: Oxford University Press. 2005</ref>.
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.abideinchrist.com/messages/isa42v1.html The Servant Songs of Isaiah]
* [https://web.archive.org/web/20121202130015/http://www.holytrinitylutheranbrooklyn.org/Isaiah/ssintro.pdf Servant Songs of Isaiah]
* [https://biblicalstudies.org.uk/pdf/cbtj/06-2_002.pdf A Comparison of Ancient and Medieval Jewish Interpretations of the Suffering Servant in Isaiah]
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Yesu Kristo]]
[[Category:Biblia]]
1sql56jyjop4trvxd2y0hhjos9q2avm
Chott Ech Chergui
0
240682
1569479
2026-06-10T16:44:28Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chott Ech Chergui''' (Kiarabu: شط الشرقي) ni ziwa kubwa la [[chumvi]] lisilo na mkondo wa kutoka (endorheic) lililopo katika Saïda Province, kaskazini-magharibi mwa Algeria.<ref>{{Cite web|title=Chott ech Chergui (Chergui Chottech) Map, Weather and Photos - Algeria: sabkha(s) - Lat:34.35 and Long:0.5|url=https://www.getamap.net/maps/algeria/saida/_chergui_chottech/|work=www.getamap.net|accessdate=2026-06-10}}</ref> [[Ziwa]] hili lipo katika ene...'
1569479
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Ech Chergui''' (Kiarabu: شط الشرقي) ni ziwa kubwa la [[chumvi]] lisilo na mkondo wa kutoka (endorheic) lililopo katika Saïda Province, kaskazini-magharibi mwa Algeria.<ref>{{Cite web|title=Chott ech Chergui (Chergui Chottech) Map, Weather and Photos - Algeria: sabkha(s) - Lat:34.35 and Long:0.5|url=https://www.getamap.net/maps/algeria/saida/_chergui_chottech/|work=www.getamap.net|accessdate=2026-06-10}}</ref> [[Ziwa]] hili lipo katika eneo tambarare la Hautes Plaines kati ya safu za milima za Tell Atlas na Saharan Atlas, na ni mojawapo ya maziwa makubwa zaidi nchini Algeria.
== Ikolojia ==
Chott Ech Chergui lina eneo la takribani kilomita za mraba 2,000 ambapo maji hukusanyika wakati wa msimu wa [[mvua]], na kutengeneza maziwa kadhaa makubwa ya chumvi yenye kina kifupi. Maji hayo yanapokauka wakati wa kiangazi, maeneo hayo hubadilika na kuwa tambarare za chumvi. Eneo la ziwa lina urefu wa takribani kilomita 160 kutoka mashariki-kaskazini-mashariki hadi magharibi-kusini-magharibi, na lipo katika kimo cha wastani wa mita 1,000 juu ya usawa wa bahari.
Chott Ech Chergui limetambuliwa kama eneo oevu lenye umuhimu wa kimataifa chini ya Ramsar Convention. Eneo hilo la Ramsar lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 8,555 na ni makazi ya asili ya spishi mbalimbali za wanyama na mimea zilizo hatarini kutoweka au zilizo katika mazingira magumu.<ref>{{Cite web|title=Ramsar Convention - Briefing Notes|url=http://www.ramsar.org/cda/en/ramsar-pubs-notes-wetlands-of-19503/main/ramsar/1-30-168%5E19503_4000_0__|work=www.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=en|author=21TORR AGENCY gmbh}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
nw2amib2ras84st26e8l99a9ey2rnpv
1570731
1569479
2026-06-11T07:35:20Z
Riccardo Riccioni
452
1570731
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Ech Chergui''' (kwa [[Kiarabu]]: شط الشرقي) ni [[ziwa]] kubwa la [[maji ya chumvi]] lisilo na mkondo wa kutoka lililopo katika [[Wilaya ya Saida (Aljeria)|wilaya ya Saïda]], [[kaskazini]]-[[magharibi]] mwa [[Algeria]].<ref>{{Cite web|title=Chott ech Chergui (Chergui Chottech) Map, Weather and Photos - Algeria: sabkha(s) - Lat:34.35 and Long:0.5|url=https://www.getamap.net/maps/algeria/saida/_chergui_chottech/|work=www.getamap.net|accessdate=2026-06-10}}</ref> Ziwa hilo lipo katika eneo [[tambarare]] la Hautes Plaines kati ya [[Safu ya milima|safu za milima]] za [[Tell Atlas]] na [[Saharan Atlas]], na ni mojawapo ya maziwa makubwa zaidi nchini Algeria.
== Ikolojia ==
Chott Ech Chergui lina eneo la takribani [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 2,000 ambapo [[maji]] hukusanyika wakati wa [[majira ya mvua]], na kutengeneza maziwa kadhaa makubwa ya chumvi yenye kina kifupi. Maji hayo yanapokauka wakati wa [[kiangazi]], maeneo hayo hubadilika na kuwa tambarare za [[Munyu|chumvi]]. Eneo la ziwa lina [[urefu]] wa takribani [[kilomita]] 160 kutoka mashariki-kaskazini-mashariki hadi magharibi-kusini-magharibi, na lipo katika kimo cha [[wastani]] wa mita 1,000 juu ya [[Usawa bahari wastani|usawa wa bahari]].
Chott Ech Chergui limetambuliwa kama eneo oevu lenye umuhimu wa kimataifa chini ya Ramsar Convention. Eneo hilo la Ramsar lina ukubwa wa takribani kilomita za mraba 8,555 na ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya asili ya [[spishi]] mbalimbali za [[wanyama]] na [[Mmea|mimea]] [[Spishi adimu|zilizo hatarini kutoweka]] au zilizo katika mazingira magumu.<ref>{{Cite web|title=Ramsar Convention - Briefing Notes|url=http://www.ramsar.org/cda/en/ramsar-pubs-notes-wetlands-of-19503/main/ramsar/1-30-168%5E19503_4000_0__|work=www.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=en|author=21TORR AGENCY gmbh}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya chumvi]]
[[Jamii:wilaya ya Saida]]
[[Jamii:AWC 2026]]
ddqc8tfti6e3cvmg5y69ucb6a2j02uu
Chott Melrhir
0
240683
1569484
2026-06-10T17:44:41Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chott Melrhir''' (Kiarabu: شط ملغيغ), pia hujulikana kama '''Chott Melghir''', '''Chott Melhir''', na katika hadithi za kale kama '''Ziwa Tritonis''', ni ziwa la [[chumvi]] lisilo na mkondo wa kutoka maji (ziwa la ndani) lililoko kaskazini-mashariki mwa Algeria. Ni sehemu ya magharibi zaidi ya msururu wa mabonde yanayoanzia Ghuba ya Gabès hadi Jangwa la Sahara. Ziwa hili ndilo kubwa zaidi nchini Algeria, likiwa na eneo la juu linaloweza kufikia...'
1569484
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Melrhir''' (Kiarabu: شط ملغيغ), pia hujulikana kama '''Chott Melghir''', '''Chott Melhir''', na katika hadithi za kale kama '''Ziwa Tritonis''', ni ziwa la [[chumvi]] lisilo na mkondo wa kutoka maji (ziwa la ndani) lililoko kaskazini-mashariki mwa Algeria. Ni sehemu ya magharibi zaidi ya msururu wa mabonde yanayoanzia Ghuba ya Gabès hadi Jangwa la Sahara.
Ziwa hili ndilo kubwa zaidi nchini Algeria, likiwa na eneo la juu linaloweza kufikia takriban [[kilomita]] za mraba 6,700. Karibu ziwa lote liko chini ya usawa wa bahari na lina sehemu ya chini kabisa nchini [[Algeria]], yenye kina cha mita 40 chini ya usawa wa bahari. Ukubwa wake hubadilika kulingana na misimu na kwa kawaida huenea kwa zaidi ya kilomita 130 kutoka mashariki hadi magharibi. Miji iliyo karibu ni Biskra, El Oued na Touggourt.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA23|title=A Directory of African Wetlands|last=Hughes|first=R. H.|date=1992|publisher=IUCN|isbn=978-2-88032-949-5|language=en}}</ref>
== Haidrolojia, jiolojia na jiografia ==
Wakati wa msimu wa mvua wa majira ya baridi, Chott Melrhir hujazwa na maji kutoka kwenye mito ya muda inayojulikana kama ''wadi'', ambayo hukauka wakati wa kiangazi. Mito mikubwa inayolilisha ni Djedi na Arab, inayotiririka kutoka Milima ya Aurès. [[Mito]] mingine ni pamoja na Abiod, Biskra, Cheria, Dermoun, Djemorah, Halail, Melh, Mzi, Oum El Ksob, Tadmit na Zeribet.
Katika majira ya kiangazi, ziwa na mito mingi inayolilisha hukauka kabisa, na Chott Melrhir hubadilika kuwa tambarare kubwa ya chumvi. Kiwango cha uvukizaji wa maji ni kikubwa sana, jambo linalochangia mkusanyiko mkubwa wa chumvi.
Chott Melrhir limetenganishwa na Chott Meorouane, lililo kusini-magharibi, kwa ukanda mwembamba wa ardhi kavu ambao katika baadhi ya maeneo una upana wa kilomita nne pekee.
Sakafu ya ziwa imeundwa hasa na jasi na matope, na wakati wa [[kiangazi]] hufunikwa na tabaka la chumvi. Ziwa hili pia huripotiwa kutoa harufu inayofanana na kitunguu saumu. Ingawa udongo wa eneo hilo unaweza kuonekana kufaa kwa kilimo, kiwango kikubwa cha chumvi hufanya uwe karibu kutofaa kwa uzalishaji wa mazao. Hata hivyo, udongo huo hufyonza unyevunyevu wa usiku na kubaki na kiasi fulani cha unyevu kwa sehemu kubwa ya mchana.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=wYcPAAAAIAAJ&pg=PA28|title=Geological Magazine|last=Woodward|first=Henry|date=1864|publisher=Cambridge University Press|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
qeq8btofyqvr425cpfqew8huhj5077q
1569508
1569484
2026-06-10T19:06:58Z
Anuary Rajabu
45588
1569508
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Melrhir''' ([[Kiarabu]]: شط ملغيغ), pia hujulikana kama '''Chott Melghir''', '''Chott Melhir''', na katika hadithi za kale kama '''Ziwa Tritonis''', ni [[ziwa la chumvi]] lisilo na mkondo wa maji (ziwa la ndani) lililoko kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]]. Ni sehemu ya magharibi zaidi ya msururu wa mabonde yanayoanzia Ghuba ya Gabès hadi [[Jangwa la Sahara]].
Ziwa hili ndilo kubwa zaidi nchini Algeria, likiwa na eneo la juu linaloweza kufikia takriban [[kilomita]] za mraba 6,700. Karibu ziwa lote liko chini ya usawa wa bahari na lina sehemu ya chini kabisa nchini [[Algeria]], yenye kina cha mita 40 chini ya usawa wa bahari. Ukubwa wake hubadilika kulingana na misimu na kwa kawaida huenea kwa zaidi ya kilomita 130 kutoka mashariki hadi magharibi. Miji iliyo karibu ni Biskra, El Oued na Touggourt.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA23|title=A Directory of African Wetlands|last=Hughes|first=R. H.|date=1992|publisher=IUCN|isbn=978-2-88032-949-5|language=en}}</ref>
== Haidrolojia, jiolojia na jiografia ==
Wakati wa msimu wa mvua wa majira ya baridi, Chott Melrhir hujazwa na maji kutoka kwenye mito ya muda inayojulikana kama ''wadi'', ambayo hukauka wakati wa kiangazi. Mito mikubwa inayolilisha ni Djedi na Arab, inayotiririka kutoka Milima ya Aurès. [[Mito]] mingine ni pamoja na Abiod, Biskra, Cheria, Dermoun, Djemorah, Halail, Melh, Mzi, Oum El Ksob, Tadmit na Zeribet.
Katika majira ya kiangazi, ziwa na mito mingi inayolilisha hukauka kabisa, na Chott Melrhir hubadilika kuwa tambarare kubwa ya chumvi. Kiwango cha uvukizaji wa maji ni kikubwa sana, jambo linalochangia mkusanyiko mkubwa wa chumvi.
Chott Melrhir limetenganishwa na Chott Meorouane, lililo kusini-magharibi, kwa ukanda mwembamba wa ardhi kavu ambao katika baadhi ya maeneo una upana wa kilomita nne pekee.
Sakafu ya ziwa imeundwa hasa na jasi na matope, na wakati wa [[kiangazi]] hufunikwa na tabaka la chumvi. Ziwa hili pia huripotiwa kutoa harufu inayofanana na kitunguu saumu. Ingawa udongo wa eneo hilo unaweza kuonekana kufaa kwa kilimo, kiwango kikubwa cha chumvi hufanya uwe karibu kutofaa kwa uzalishaji wa mazao. Hata hivyo, udongo huo hufyonza unyevunyevu wa usiku na kubaki na kiasi fulani cha unyevu kwa sehemu kubwa ya mchana.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=wYcPAAAAIAAJ&pg=PA28|title=Geological Magazine|last=Woodward|first=Henry|date=1864|publisher=Cambridge University Press|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
sp6ys2t68q4rk8ma34k1sqmfciw4cml
1570732
1569508
2026-06-11T07:38:42Z
Riccardo Riccioni
452
1570732
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Melrhir''' (kwa [[Kiarabu]]: شط ملغيغ; pia hujulikana kama '''Chott Melghir''', '''Chott Melhir''', na katika hadithi za kale kama '''Ziwa Tritonis''') ni [[ziwa la chumvi]] lisilo na mkondo wa maji (ziwa la ndani) lililoko kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]]. Ni sehemu ya magharibi zaidi ya msururu wa mabonde yanayoanzia [[Ghuba ya Gabès]] hadi [[Jangwa la Sahara]].
Ziwa hilo ndilo kubwa zaidi nchini Algeria, likiwa na eneo la juu linaloweza kufikia takriban [[kilomita]] za mraba 6,700. Karibu ziwa lote liko chini ya usawa wa bahari na lina sehemu ya chini kabisa nchini [[Algeria]], yenye kina cha mita 40 chini ya usawa wa bahari. Ukubwa wake hubadilika kulingana na misimu na kwa kawaida huenea kwa zaidi ya kilomita 130 kutoka mashariki hadi magharibi. Miji iliyo karibu ni Biskra, El Oued na Touggourt.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA23|title=A Directory of African Wetlands|last=Hughes|first=R. H.|date=1992|publisher=IUCN|isbn=978-2-88032-949-5|language=en}}</ref>
== Hidrolojia, jiolojia na jiografia ==
Wakati wa msimu wa mvua wa majira ya baridi, Chott Melrhir hujazwa na maji kutoka [[Korongo (jiografia)|makorongo]] yanayojulikana kama ''wadi'', ambayo hukauka wakati wa kiangazi. [[Mto|Mito]] mikubwa inayolilisha ni Djedi na Arab, inayotiririka kutoka [[Milima ya Aurès]]. [[Mito]] mingine ni pamoja na Abiod, Biskra, Cheria, Dermoun, Djemorah, Halail, Melh, Mzi, Oum El Ksob, Tadmit na Zeribet.
Katika majira ya kiangazi, ziwa na mito mingi inayolilisha hukauka kabisa, na Chott Melrhir hubadilika kuwa tambarare kubwa ya [[Munyu|chumvi]]. Kiwango cha uvukizaji wa maji ni kikubwa sana, jambo linalochangia mkusanyiko mkubwa wa chumvi.
Chott Melrhir limetenganishwa na Chott Meorouane, lililo kusini-magharibi, kwa ukanda mwembamba wa ardhi kavu ambao katika baadhi ya maeneo una upana wa kilomita nne pekee.
Sakafu ya ziwa imeundwa hasa na jasi na matope, na wakati wa [[kiangazi]] hufunikwa na tabaka la chumvi. Ziwa hili pia huripotiwa kutoa harufu inayofanana na kitunguu saumu. Ingawa udongo wa eneo hilo unaweza kuonekana kufaa kwa kilimo, kiwango kikubwa cha chumvi hufanya uwe karibu kutofaa kwa uzalishaji wa mazao. Hata hivyo, udongo huo hufyonza unyevunyevu wa usiku na kubaki na kiasi fulani cha unyevu kwa sehemu kubwa ya mchana.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=wYcPAAAAIAAJ&pg=PA28|title=Geological Magazine|last=Woodward|first=Henry|date=1864|publisher=Cambridge University Press|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya chumvi]]
[[Jamii:AWC 2026]]
le7fombdthvmip7q0u2e62jmpy61z98
Chott Tinsilt
0
240685
1569486
2026-06-10T17:48:43Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chott Tinsilt''' ni ziwa la chumvi lililopo katika eneo la Ardhi Oevu za Uwanda wa Juu katika Mkoa wa Oum El Bouaghi nchini [[Algeria]]. Eneo hili lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 12 Desemba 2004<ref>{{Cite web|title=Chott Tinsilt {{!}} Ramsar Sites Information Service|url=https://rsis.ramsar.org/ris/1418|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref> kutokana na umuhimu wake wa kimazingira. Usimamizi wake unasimamiwa na Idara ya...'
1569486
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Tinsilt''' ni ziwa la chumvi lililopo katika eneo la Ardhi Oevu za Uwanda wa Juu katika Mkoa wa Oum El Bouaghi nchini [[Algeria]]. Eneo hili lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 12 Desemba 2004<ref>{{Cite web|title=Chott Tinsilt {{!}} Ramsar Sites Information Service|url=https://rsis.ramsar.org/ris/1418|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref> kutokana na umuhimu wake wa kimazingira. Usimamizi wake unasimamiwa na Idara ya Misitu ya Ouled Zouai, Kurugenzi ya [[Rasilimali]] za Maji na Ukaguzi wa Kikanda wa Mazingira.
== Jiografia ==
=== Topografia na haidrolojia ===
Chott Tinsilt liko katika sehemu ya kaskazini ya Uwanda wa Ouled Zouai na limezungukwa na vilima. Maji mengi ya ziwa hili hutokana na mvua zinazokusanywa na Bonde la [[Mto]] Ben Zerhaib.
Pia, kiasi kidogo cha maji taka kutoka Souk Naamane huingia upande wa kaskazini-magharibi wa [[ziwa]]. Maji yanayotoka katika ziwa hili huondokea upande wa kusini-magharibi na kuendelea hadi kufikia Sabkhet Al-Zamoul.
Chott Tinsilt lina eneo la mkusanyiko wa maji la hekta 10,300 na kina chake cha juu zaidi ni takribani nusu mita.<ref>{{Cite web|title=شط تنسيلت - مديرية السياحة والصناعة التقليدية أم البواقي|url=https://oum-el-bouaghi.mta.gov.dz/%d9%88%d8%b4%d8%b7-%d8%aa%d9%8a%d9%86%d8%b3%d9%8a%d9%84%d8%aa/|date=2022-01-06|accessdate=2026-06-10|language=ar}}</ref>
=== Mahali ===
Chott Tinsilt linapatikana kati ya [[manispaa]] za Souk Naamane na Ouled Zouai katika Mkoa wa Oum El Bouaghi. Liko umbali wa kilomita 5 kutoka Souk Naamane na kilomita 17 kusini mwa Ain M'lila.
Upande wa mashariki wa ziwa unapakana na Barabara Kuu ya Taifa Na. 3 inayounganisha Constantine na Batna. Pia kuna reli inayounganisha Constantine, Biskra na Sabkhet Al-Zamoul karibu na eneo hilo.
=== Hali ya hewa ===
Eneo la Chott Tinsilt lina hali ya hewa ya [[ukame]] wa wastani. Kiasi cha mvua kwa mwaka huwa kati ya milimita 196 na 370. Mvua hunyesha kwa vipindi visivyo vya kawaida na mara nyingi huwa kubwa kwa muda mfupi.
Majira ya baridi huwa na hali ya hewa ya bara yenye baridi kali, ambapo kiwango cha chini cha joto kinaweza kufikia nyuzi joto 2.9 za Selsiasi. Wakati wa majira ya joto, upepo wa Sirocco huongeza ukavu na joto, na kiwango cha juu cha joto kinaweza kufikia nyuzi joto 36.9 za Selsiasi.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
qiafpi5l7wa4l4ejdn1c1dluhnswliv
1570733
1569486
2026-06-11T07:39:49Z
Riccardo Riccioni
452
1570733
wikitext
text/x-wiki
'''Chott Tinsilt''' ni [[ziwa la chumvi]] lililopo katika eneo la Ardhi Oevu za Uwanda wa Juu katika [[Wilaya ya Oum el-Bouaghi]] nchini [[Algeria]]. Eneo hili lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 12 Desemba 2004<ref>{{Cite web|title=Chott Tinsilt {{!}} Ramsar Sites Information Service|url=https://rsis.ramsar.org/ris/1418|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref> kutokana na umuhimu wake wa kimazingira. Usimamizi wake unasimamiwa na Idara ya Misitu ya Ouled Zouai, Kurugenzi ya [[Rasilimali]] za Maji na Ukaguzi wa Kikanda wa Mazingira.
== Jiografia ==
=== Topografia na hidrolojia ===
Chott Tinsilt liko katika sehemu ya kaskazini ya Uwanda wa Ouled Zouai na limezungukwa na vilima. Maji mengi ya ziwa hili hutokana na mvua zinazokusanywa na Bonde la [[Mto]] Ben Zerhaib.
Pia, kiasi kidogo cha maji taka kutoka Souk Naamane huingia upande wa kaskazini-magharibi wa [[ziwa]]. Maji yanayotoka katika ziwa hili huondokea upande wa kusini-magharibi na kuendelea hadi kufikia Sabkhet Al-Zamoul.
Chott Tinsilt lina eneo la mkusanyiko wa maji la hekta 10,300 na kina chake cha juu zaidi ni takribani nusu mita.<ref>{{Cite web|title=شط تنسيلت - مديرية السياحة والصناعة التقليدية أم البواقي|url=https://oum-el-bouaghi.mta.gov.dz/%d9%88%d8%b4%d8%b7-%d8%aa%d9%8a%d9%86%d8%b3%d9%8a%d9%84%d8%aa/|date=2022-01-06|accessdate=2026-06-10|language=ar}}</ref>
=== Mahali ===
Chott Tinsilt linapatikana kati ya [[manispaa]] za Souk Naamane na Ouled Zouai katika Mkoa wa Oum El Bouaghi. Liko umbali wa kilomita 5 kutoka Souk Naamane na kilomita 17 kusini mwa Ain M'lila.
Upande wa mashariki wa ziwa unapakana na Barabara Kuu ya Taifa Na. 3 inayounganisha Constantine na Batna. Pia kuna reli inayounganisha Constantine, Biskra na Sabkhet Al-Zamoul karibu na eneo hilo.
=== Hali ya hewa ===
Eneo la Chott Tinsilt lina hali ya hewa ya [[ukame]] wa wastani. Kiasi cha mvua kwa mwaka huwa kati ya milimita 196 na 370. Mvua hunyesha kwa vipindi visivyo vya kawaida na mara nyingi huwa kubwa kwa muda mfupi.
Majira ya baridi huwa na hali ya hewa ya bara yenye baridi kali, ambapo kiwango cha chini cha joto kinaweza kufikia nyuzi joto 2.9 za Selsiasi. Wakati wa majira ya joto, upepo wa Sirocco huongeza ukavu na joto, na kiwango cha juu cha joto kinaweza kufikia nyuzi joto 36.9 za Selsiasi.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya chumvi]]
it1288kte9hzroghuflditodxul1tde
Dhaya
0
240686
1569488
2026-06-10T17:51:12Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Al Dhaya''' ni ziwa lililopo katika eneo la Tamesguida, Mkoa wa Médéa, nchini [[Algeria]]. Ziwa hili liko kwenye mwinuko wa takribani [[mita]] 1,200 juu ya usawa wa bahari, karibu na mipaka ya maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Médéa.<ref>{{Cite web|title=سحر بحيرة الضاية يستقطب العائلات في عز فصل الربيع - مجتمع : الخبر|url=https://www.elkhabar.com/societe/%D8%B3%D8%AD%D8%B1-%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9...'
1569488
wikitext
text/x-wiki
'''Al Dhaya''' ni ziwa lililopo katika eneo la Tamesguida, Mkoa wa Médéa, nchini [[Algeria]]. Ziwa hili liko kwenye mwinuko wa takribani [[mita]] 1,200 juu ya usawa wa bahari, karibu na mipaka ya maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Médéa.<ref>{{Cite web|title=سحر بحيرة الضاية يستقطب العائلات في عز فصل الربيع - مجتمع : الخبر|url=https://www.elkhabar.com/societe/%D8%B3%D8%AD%D8%B1-%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B6%D8%A7%D9%8A%D8%A9-%D9%8A%D8%B3%D8%AA%D9%82%D8%B7%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%A6%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D9%81%D9%8A-%D8%B9%D8%B2-%D9%81%D8%B5%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%A8%D9%8A%D8%B9-243158|work=www.elkhabar.com|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=https://www.kreo-agency.com}}</ref>
Kwa mujibu wa gazeti la ''El Massa'', Al Dhaya linahesabiwa kuwa miongoni mwa maziwa yaliyo katika mwinuko mkubwa zaidi nchini Algeria na hata katika eneo la [[Afrika]] Kaskazini.
Kutokana na mwinuko wake mkubwa, ziwa hili ni sehemu muhimu ya mandhari ya milima ya Algeria na lina thamani ya kiikolojia na kijiografia katika eneo hilo.<ref>{{Cite web|title=المساء - ملجأ عشّاق الطبيعة والباحثين عن الهدوء|url=https://www.el-massa.com/dz/%D8%B1%D9%88%D8%A8%D9%88%D8%B1%D8%AA%D8%A7%D8%AC%D8%A7%D8%AA-%D8%A7%D8%B3%D8%AA%D8%B7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%A7%D8%AA/%D9%85%D9%84%D8%AC%D8%A3-%D8%B9%D8%B4%D9%91%D8%A7%D9%82-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D8%A8%D9%8A%D8%B9%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A8%D8%A7%D8%AD%D8%AB%D9%8A%D9%86-%D8%B9%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%87%D8%AF%D9%88%D8%A1|work=المساء|date=2022-08-18|accessdate=2026-06-10|language=ar-aa|author=رشيدة بلال}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
tkrd4yg75aze8lm85mi743y2dj4xlxj
1569570
1569488
2026-06-10T20:46:22Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1569570
wikitext
text/x-wiki
'''Al Dhaya''' ni ziwa lililopo katika eneo la Tamesguida, Mkoa wa Médéa, nchini [[Algeria]]. Ziwa hili liko kwenye mwinuko wa takribani [[mita]] 1,200 juu ya usawa wa bahari, karibu na mipaka ya maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Médéa.<ref>{{Rejea tovuti|title=سحر بحيرة الضاية يستقطب العائلات في عز فصل الربيع - مجتمع : الخبر|url=https://www.elkhabar.com/societe/%D8%B3%D8%AD%D8%B1-%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B6%D8%A7%D9%8A%D8%A9-%D9%8A%D8%B3%D8%AA%D9%82%D8%B7%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%A6%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D9%81%D9%8A-%D8%B9%D8%B2-%D9%81%D8%B5%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%A8%D9%8A%D8%B9-243158|work=www.elkhabar.com|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=https://www.kreo-agency.com}}</ref>
Kwa mujibu wa gazeti la ''El Massa'', Al Dhaya linahesabiwa kuwa miongoni mwa maziwa yaliyo katika mwinuko mkubwa zaidi nchini Algeria na hata katika eneo la [[Afrika]] Kaskazini.
Kutokana na mwinuko wake mkubwa, ziwa hili ni sehemu muhimu ya mandhari ya milima ya Algeria na lina thamani ya kiikolojia na kijiografia katika eneo hilo.<ref>{{Rejea tovuti|title=المساء - ملجأ عشّاق الطبيعة والباحثين عن الهدوء|url=https://www.el-massa.com/dz/%D8%B1%D9%88%D8%A8%D9%88%D8%B1%D8%AA%D8%A7%D8%AC%D8%A7%D8%AA-%D8%A7%D8%B3%D8%AA%D8%B7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%A7%D8%AA/%D9%85%D9%84%D8%AC%D8%A3-%D8%B9%D8%B4%D9%91%D8%A7%D9%82-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D8%A8%D9%8A%D8%B9%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A8%D8%A7%D8%AD%D8%AB%D9%8A%D9%86-%D8%B9%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%87%D8%AF%D9%88%D8%A1|work=المساء|date=2022-08-18|accessdate=2026-06-10|language=ar-aa|author=رشيدة بلال}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
4plsj971ewe4g199sfskb96dpgcpnq0
1570735
1569570
2026-06-11T07:41:04Z
Riccardo Riccioni
452
1570735
wikitext
text/x-wiki
'''Al Dhaya''' ni [[ziwa]] lililopo katika eneo la Tamesguida, [[Wilaya ya Medea|wilaya ya Médéa]], nchini [[Algeria]]. Ziwa hili liko kwenye mwinuko wa takribani [[mita]] 1,200 juu ya [[Usawa bahari wastani|usawa wa bahari]], karibu na mipaka ya maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Médéa.<ref>{{Rejea tovuti|title=سحر بحيرة الضاية يستقطب العائلات في عز فصل الربيع - مجتمع : الخبر|url=https://www.elkhabar.com/societe/%D8%B3%D8%AD%D8%B1-%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B6%D8%A7%D9%8A%D8%A9-%D9%8A%D8%B3%D8%AA%D9%82%D8%B7%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%A6%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D9%81%D9%8A-%D8%B9%D8%B2-%D9%81%D8%B5%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%A8%D9%8A%D8%B9-243158|work=www.elkhabar.com|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=https://www.kreo-agency.com}}</ref>
Kwa mujibu wa gazeti la ''El Massa'', Al Dhaya linahesabiwa kuwa miongoni mwa maziwa yaliyo katika mwinuko mkubwa zaidi nchini Algeria na hata katika eneo la [[Afrika Kaskazini]].
Kutokana na mwinuko wake mkubwa, ziwa hili ni sehemu muhimu ya mandhari ya milima ya Algeria na lina thamani ya kiikolojia na kijiografia katika eneo hilo.<ref>{{Rejea tovuti|title=المساء - ملجأ عشّاق الطبيعة والباحثين عن الهدوء|url=https://www.el-massa.com/dz/%D8%B1%D9%88%D8%A8%D9%88%D8%B1%D8%AA%D8%A7%D8%AC%D8%A7%D8%AA-%D8%A7%D8%B3%D8%AA%D8%B7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%A7%D8%AA/%D9%85%D9%84%D8%AC%D8%A3-%D8%B9%D8%B4%D9%91%D8%A7%D9%82-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D8%A8%D9%8A%D8%B9%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A8%D8%A7%D8%AD%D8%AB%D9%8A%D9%86-%D8%B9%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%87%D8%AF%D9%88%D8%A1|work=المساء|date=2022-08-18|accessdate=2026-06-10|language=ar-aa|author=رشيدة بلال}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
g39qs6b7jyhftq77jpiukep30jfu0qp
Ziwa Fetzara
0
240687
1569489
2026-06-10T17:55:25Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ziwa Fetzara''' ni ziwa lililopo kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], takribani kilomita 18 kusini-mashariki mwa [[mji]] wa Annaba. Ziwa hili lina urefu wa kilomita 17 kutoka mashariki hadi magharibi na kilomita 13 kutoka kaskazini hadi kusini, likiwa na eneo la takribani hekta 18,600. Ziwa Fetzara limetambuliwa rasmi kama eneo la '''Ramsar''', hadhi inayotolewa kwa maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa ili kulindwa na kuhifadhiwa. Tafiti mbalimbali...'
1569489
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Fetzara''' ni ziwa lililopo kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], takribani kilomita 18 kusini-mashariki mwa [[mji]] wa Annaba. Ziwa hili lina urefu wa kilomita 17 kutoka mashariki hadi magharibi na kilomita 13 kutoka kaskazini hadi kusini, likiwa na eneo la takribani hekta 18,600.
Ziwa Fetzara limetambuliwa rasmi kama eneo la '''Ramsar''', hadhi inayotolewa kwa maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa ili kulindwa na kuhifadhiwa.
Tafiti mbalimbali zimefanyika kuhusu maji na udongo wa eneo la Fetzara kwa lengo la kufuatilia kiwango cha [[chumvi]] na kubaini asili pamoja na sababu zinazochangia kuongezeka kwa chumvi katika mazingira hayo.
Utafiti mmoja ulilenga kutathmini sifa za udongo wa Ziwa Fetzara zilizoathiriwa na mchakato wa kuongezeka kwa chumvi na kuchunguza jinsi sifa hizo zinavyobadilika kadiri ya kina cha udongo. Sampuli zilichukuliwa katika tabaka mbili za udongo, kati ya sentimita 0–20 na 20–40, kutoka maeneo nane yanayozunguka ziwa, na kutoa jumla ya sampuli 16.
Matokeo ya uchambuzi yalionyesha kuwa kiwango kikubwa zaidi cha chumvi kwenye udongo kilipatikana katika sehemu ya kaskazini-mashariki ya ziwa, hasa eneo la Wadi Zied, na kusini mwa ziwa katika eneo la Cheurfa. Aidha, ilibainika kuwa aina kuu ya chumvi inayotawala katika maeneo hayo ni kloridi ya [[sodiamu]] (chumvi ya kawaida).<ref>{{Cite web|title=Lake Fetzara|url=https://www.oldbookillustrations.com/illustrations/lake-fetzara/|work=Old Book Illustrations|accessdate=2026-06-10|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
hq4e9clvb9uxzte45pxlahpp0uxclhb
1569991
1569489
2026-06-10T21:55:01Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1569991
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Fetzara''' ni ziwa lililopo kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], takribani kilomita 18 kusini-mashariki mwa [[mji]] wa Annaba. Ziwa hili lina urefu wa kilomita 17 kutoka mashariki hadi magharibi na kilomita 13 kutoka kaskazini hadi kusini, likiwa na eneo la takribani hekta 18,600.
Ziwa Fetzara limetambuliwa rasmi kama eneo la '''Ramsar''', hadhi inayotolewa kwa maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa ili kulindwa na kuhifadhiwa.
Tafiti mbalimbali zimefanyika kuhusu maji na udongo wa eneo la Fetzara kwa lengo la kufuatilia kiwango cha [[chumvi]] na kubaini asili pamoja na sababu zinazochangia kuongezeka kwa chumvi katika mazingira hayo.
Utafiti mmoja ulilenga kutathmini sifa za udongo wa Ziwa Fetzara zilizoathiriwa na mchakato wa kuongezeka kwa chumvi na kuchunguza jinsi sifa hizo zinavyobadilika kadiri ya kina cha udongo. Sampuli zilichukuliwa katika tabaka mbili za udongo, kati ya sentimita 0–20 na 20–40, kutoka maeneo nane yanayozunguka ziwa, na kutoa jumla ya sampuli 16.
Matokeo ya uchambuzi yalionyesha kuwa kiwango kikubwa zaidi cha chumvi kwenye udongo kilipatikana katika sehemu ya kaskazini-mashariki ya ziwa, hasa eneo la Wadi Zied, na kusini mwa ziwa katika eneo la Cheurfa. Aidha, ilibainika kuwa aina kuu ya chumvi inayotawala katika maeneo hayo ni kloridi ya [[sodiamu]] (chumvi ya kawaida).<ref>{{Rejea tovuti|title=Lake Fetzara|url=https://www.oldbookillustrations.com/illustrations/lake-fetzara/|work=Old Book Illustrations|accessdate=2026-06-10|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
j6fa2188knd9gyoqad82pr9k4jqb8s8
1570737
1569991
2026-06-11T07:43:41Z
Riccardo Riccioni
452
1570737
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Fetzara''' ni [[ziwa]] lililopo kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], takribani kilomita 18 kusini-mashariki mwa [[mji]] wa [[Hippo|Annaba]]. Ziwa hili lina urefu wa kilomita 17 kutoka mashariki hadi magharibi na kilomita 13 kutoka kaskazini hadi kusini, likiwa na eneo la takribani hekta 18,600.
Ziwa Fetzara limetambuliwa rasmi kama eneo la '''Ramsar''', hadhi inayotolewa kwa maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa ili kulindwa na kuhifadhiwa.
Tafiti mbalimbali zimefanyika kuhusu maji na udongo wa eneo la Fetzara kwa lengo la kufuatilia kiwango cha [[chumvi]] na kubaini asili pamoja na sababu zinazochangia kuongezeka kwa chumvi katika mazingira hayo.
Utafiti mmoja ulilenga kutathmini sifa za udongo wa Ziwa Fetzara zilizoathiriwa na mchakato wa kuongezeka kwa chumvi na kuchunguza jinsi sifa hizo zinavyobadilika kadiri ya kina cha udongo. Sampuli zilichukuliwa katika tabaka mbili za udongo, kati ya sentimita 0–20 na 20–40, kutoka maeneo nane yanayozunguka ziwa, na kutoa jumla ya sampuli 16.
Matokeo ya uchambuzi yalionyesha kuwa kiwango kikubwa zaidi cha chumvi kwenye udongo kilipatikana katika sehemu ya kaskazini-mashariki ya ziwa, hasa eneo la Wadi Zied, na kusini mwa ziwa katika eneo la Cheurfa. Aidha, ilibainika kuwa aina kuu ya chumvi inayotawala katika maeneo hayo ni kloridi ya [[sodiamu]] (chumvi ya kawaida).<ref>{{Rejea tovuti|title=Lake Fetzara|url=https://www.oldbookillustrations.com/illustrations/lake-fetzara/|work=Old Book Illustrations|accessdate=2026-06-10|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
jw4p1a7pdijvp0mu2mnycbpt8wr62rj
Ziwa Akfadou
0
240688
1569491
2026-06-10T18:00:37Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ziwa Akfadou''', linalojulikana pia kama '''Ziwa Jeusi''', ni ziwa lililopo katika Milima ya Djurdjura ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Djurdjura nchini [[Algeria]]. Linapatikana kati ya mikoa ya Tizi Ouzou na Béjaïa. == Muhtasari == Ziwa hili linajulikana kwa jina la '''Oqlimim Afrakan''' katika lugha ya Kiberber. Lipo ndani ya [[Msitu]] wa Akfadou karibu na Barabara ya Taifa Na. 34 na linazungukwa na misitu minene ya mialoni.<ref>{{Citation|title=Tizi-...'
1569491
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Akfadou''', linalojulikana pia kama '''Ziwa Jeusi''', ni ziwa lililopo katika Milima ya Djurdjura ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Djurdjura nchini [[Algeria]]. Linapatikana kati ya mikoa ya Tizi Ouzou na Béjaïa.
== Muhtasari ==
Ziwa hili linajulikana kwa jina la '''Oqlimim Afrakan''' katika lugha ya Kiberber. Lipo ndani ya [[Msitu]] wa Akfadou karibu na Barabara ya Taifa Na. 34 na linazungukwa na misitu minene ya mialoni.<ref>{{Citation|title=Tizi-Ouzou / Virée au Lac Noir de l'Akfadou : une invitation au repos|url=https://www.djazairess.com/fr/lemaghreb/78281|work=Djazairess|access-date=2026-06-10}}</ref>
Oqlimim Afrakan liko kwenye mwinuko wa takribani mita 1,200 juu ya usawa wa bahari na ni kivutio maarufu kwa watalii wanaopenda mazingira ya asili na utulivu mbali na shughuli za mijini.<ref>{{Citation|title=البحيرة السوداء بأكفادو جوهرة جرجرة التي تسحر العيون|url=https://www.djazairess.com/akhbarelyoum/188883|work=جزايرس|access-date=2026-06-10}}</ref>
Ziwa lina eneo la takribani hekta 3 na kina cha karibu mita 1. Uso wake huakisi rangi mbalimbali kulingana na hali ya mazingira, ikiwemo samawati ya anga, weupe wa mawingu na kijani kibichi cha miti inayolizunguka.
Kizuizi cha bandia kimejengwa upande mmoja wa ziwa ili kudhibiti kiwango cha maji. Baadhi ya miti iliyokuwa kandokando imezama sehemu ndani ya maji kutokana na kiwango hicho cha maji.
Eneo la ziwa hutembelewa na familia, makundi ya [[marafiki]] na watembea kwa miguu wanaokuja kupumzika na kufanya matembezi. Wageni wengi hutafuta kivuli chini ya miti inayozunguka ziwa, hasa wakati wa joto.
Katika eneo hilo pia hupatikana vyura wanaoruka pamoja na aina mbalimbali za wanyama wa porini. Miongoni mwa simulizi maarufu za eneo hilo ni kuhusu [[mjusi]] mkubwa anayepatikana juu ya shina la mti lililoanguka ndani ya maji, ambaye wageni wengine humwita kwa utani "dinosauri".
Karibu na ziwa kuna mabaki ya kijiji cha kale cha '''Mahaqa''', kinachojulikana kwa jina la kienyeji '''Akham Ojhali'''. Tovuti hii ya akiolojia inaaminika kuwa ya enzi za Waroma au hata kabla ya hapo, na bado inaendelea kuwavutia watafiti wanaochunguza historia ya eneo hilo.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
lqkawdrtbmszwxemky4q8ieb8wsm48m
1570738
1569491
2026-06-11T07:44:59Z
Riccardo Riccioni
452
1570738
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Akfadou''' (lilojulikana pia kama '''Ziwa Jeusi''' na '''Oqlimim Afrakan''' katika lugha ya Kiberber) ni ziwa lililopo katika Milima ya Djurdjura ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Djurdjura nchini [[Algeria]]. Linapatikana kati ya mikoa ya Tizi Ouzou na Béjaïa.
Lipo ndani ya [[Msitu]] wa Akfadou karibu na Barabara ya Taifa Na. 34 na linazungukwa na misitu minene ya mialoni.<ref>{{Citation|title=Tizi-Ouzou / Virée au Lac Noir de l'Akfadou : une invitation au repos|url=https://www.djazairess.com/fr/lemaghreb/78281|work=Djazairess|access-date=2026-06-10}}</ref>
Oqlimim Afrakan liko kwenye mwinuko wa takribani mita 1,200 juu ya usawa wa bahari na ni kivutio maarufu kwa watalii wanaopenda mazingira ya asili na utulivu mbali na shughuli za mijini.<ref>{{Citation|title=البحيرة السوداء بأكفادو جوهرة جرجرة التي تسحر العيون|url=https://www.djazairess.com/akhbarelyoum/188883|work=جزايرس|access-date=2026-06-10}}</ref>
Ziwa lina eneo la takribani hekta 3 na kina cha karibu mita 1. Uso wake huakisi rangi mbalimbali kulingana na hali ya mazingira, ikiwemo samawati ya anga, weupe wa mawingu na kijani kibichi cha miti inayolizunguka.
Kizuizi cha bandia kimejengwa upande mmoja wa ziwa ili kudhibiti kiwango cha maji. Baadhi ya miti iliyokuwa kandokando imezama sehemu ndani ya maji kutokana na kiwango hicho cha maji.
Eneo la ziwa hutembelewa na familia, makundi ya [[marafiki]] na watembea kwa miguu wanaokuja kupumzika na kufanya matembezi. Wageni wengi hutafuta kivuli chini ya miti inayozunguka ziwa, hasa wakati wa joto.
Katika eneo hilo pia hupatikana vyura wanaoruka pamoja na aina mbalimbali za wanyama wa porini. Miongoni mwa simulizi maarufu za eneo hilo ni kuhusu [[mjusi]] mkubwa anayepatikana juu ya shina la mti lililoanguka ndani ya maji, ambaye wageni wengine humwita kwa utani "dinosauri".
Karibu na ziwa kuna mabaki ya kijiji cha kale cha '''Mahaqa''', kinachojulikana kwa jina la kienyeji '''Akham Ojhali'''. Tovuti hii ya akiolojia inaaminika kuwa ya enzi za Waroma au hata kabla ya hapo, na bado inaendelea kuwavutia watafiti wanaochunguza historia ya eneo hilo.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
1u30a377vy8v6trts6hxrlxra4u71ab
Ziwa Oubeïra
0
240689
1569492
2026-06-10T18:11:04Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika Mkoa wa El Tarf, Algeria. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini. == Mahali == Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la ma...'
1569492
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika Mkoa wa El Tarf, Algeria. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini.
== Mahali ==
Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la maji ya chumvi). Mwaka 1983, maziwa haya yote matatu yalitangazwa kama maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa chini ya Mkataba wa Ramsar.
Ziwa hili liko kati ya mji wa El Kala na mpaka wa Algeria na Tunisia, kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], katika mwinuko wa mita 23 juu ya usawa wa bahari.
[[Ziwa]] lina umbo la mviringo, sakafu yake imefunikwa na tope la kijivu, na lina eneo la takribani hekta 2,000. Kina chake cha wastani ni takribani mita 1.
Ingawa ni ziwa lisilo na mtiririko wa [[maji]] unaotoka moja kwa moja, lina uhusiano na Bahari ya Mediterania kupitia mfumo wa maeneo oevu yanayolizunguka.<ref>{{Cite web|title=Réserve Intégrale du Lac Oubeïra {{!}} Service d’information sur les Sites Ramsar|url=https://rsis.ramsar.org/fr/ris/280?language=fr|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=fr}}</ref>
Mto mkuu unaohusiana na ziwa hili ni Oued Messida. Mto huu hubadilisha mwelekeo wa mtiririko wake kulingana na msimu: wakati wa kiangazi hutiririka kutoka ziwani kuelekea Oued el Rebir, na wakati wa majira ya baridi hutiririka kinyume chake kuelekea ziwani.
Uwepo wa ziwa hutegemea uwiano kati ya mvua na uvukizaji wa maji. Pia, maji ya chini ya [[ardhi]] na eneo kubwa la bonde la maji husaidia kudumisha uwepo wa ziwa wakati wa ukame.<ref>{{Cite journal |last=H |first=Alayat, |last2=N |first2=Kherici, |last3=C |first3=Lamouroux, |date=2009-12-31 |title=EVOLUTION SPATIALE DE L’ENVASEMENT DU LAC OUBEIRA IMPOSE PAR L’EROSION (EXTREME NE ALGERIEN) SPACE EVOLUTION OF THE SILTING OF OUBEIRA LAKE IMPOSED BY EROSION (EXTREME NE ALGERIAN) |url=https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |journal=Le Journal de l'Eau et de l'Environnement |language=fr |volume=8 |issue=15 |issn=2602-6724 |archive-url=http://web.archive.org/web/20250530153749/https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |archive-date=2025-05-30}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
0tty4mvdwhs2332dieuzenw1z5oytmg
1569493
1569492
2026-06-10T18:13:08Z
Don Malya
61486
1569493
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika Mkoa wa El Tarf, Algeria. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini.
== Mahali ==
[[Faili:Plan elkala.png|thumb|Linapatikana katika manispaa ya El Kala, Ziwa Oubeira ni ziwa la kati kati ya hizo tatu.]]
Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la maji ya chumvi). Mwaka 1983, maziwa haya yote matatu yalitangazwa kama maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa chini ya Mkataba wa Ramsar.
Ziwa hili liko kati ya mji wa El Kala na mpaka wa Algeria na Tunisia, kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], katika mwinuko wa mita 23 juu ya usawa wa bahari.
[[Ziwa]] lina umbo la mviringo, sakafu yake imefunikwa na tope la kijivu, na lina eneo la takribani hekta 2,000. Kina chake cha wastani ni takribani mita 1.
Ingawa ni ziwa lisilo na mtiririko wa [[maji]] unaotoka moja kwa moja, lina uhusiano na Bahari ya Mediterania kupitia mfumo wa maeneo oevu yanayolizunguka.<ref>{{Cite web|title=Réserve Intégrale du Lac Oubeïra {{!}} Service d’information sur les Sites Ramsar|url=https://rsis.ramsar.org/fr/ris/280?language=fr|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=fr}}</ref>
Mto mkuu unaohusiana na ziwa hili ni Oued Messida. Mto huu hubadilisha mwelekeo wa mtiririko wake kulingana na msimu: wakati wa kiangazi hutiririka kutoka ziwani kuelekea Oued el Rebir, na wakati wa majira ya baridi hutiririka kinyume chake kuelekea ziwani.
Uwepo wa ziwa hutegemea uwiano kati ya mvua na uvukizaji wa maji. Pia, maji ya chini ya [[ardhi]] na eneo kubwa la bonde la maji husaidia kudumisha uwepo wa ziwa wakati wa ukame.<ref>{{Cite journal |last=H |first=Alayat, |last2=N |first2=Kherici, |last3=C |first3=Lamouroux, |date=2009-12-31 |title=EVOLUTION SPATIALE DE L’ENVASEMENT DU LAC OUBEIRA IMPOSE PAR L’EROSION (EXTREME NE ALGERIEN) SPACE EVOLUTION OF THE SILTING OF OUBEIRA LAKE IMPOSED BY EROSION (EXTREME NE ALGERIAN) |url=https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |journal=Le Journal de l'Eau et de l'Environnement |language=fr |volume=8 |issue=15 |issn=2602-6724 |archive-url=http://web.archive.org/web/20250530153749/https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |archive-date=2025-05-30}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
qss5e1avlpsv15lh262ldztycjjtszt
1569997
1569493
2026-06-10T21:55:50Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1569997
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika Mkoa wa El Tarf, Algeria. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini.
== Mahali ==
[[Faili:Plan elkala.png|thumb|Linapatikana katika manispaa ya El Kala, Ziwa Oubeira ni ziwa la kati kati ya hizo tatu.]]
Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la maji ya chumvi). Mwaka 1983, maziwa haya yote matatu yalitangazwa kama maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa chini ya Mkataba wa Ramsar.
Ziwa hili liko kati ya mji wa El Kala na mpaka wa Algeria na Tunisia, kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], katika mwinuko wa mita 23 juu ya usawa wa bahari.
[[Ziwa]] lina umbo la mviringo, sakafu yake imefunikwa na tope la kijivu, na lina eneo la takribani hekta 2,000. Kina chake cha wastani ni takribani mita 1.
Ingawa ni ziwa lisilo na mtiririko wa [[maji]] unaotoka moja kwa moja, lina uhusiano na Bahari ya Mediterania kupitia mfumo wa maeneo oevu yanayolizunguka.<ref>{{Rejea tovuti|title=Réserve Intégrale du Lac Oubeïra {{!}} Service d’information sur les Sites Ramsar|url=https://rsis.ramsar.org/fr/ris/280?language=fr|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=fr}}</ref>
Mto mkuu unaohusiana na ziwa hili ni Oued Messida. Mto huu hubadilisha mwelekeo wa mtiririko wake kulingana na msimu: wakati wa kiangazi hutiririka kutoka ziwani kuelekea Oued el Rebir, na wakati wa majira ya baridi hutiririka kinyume chake kuelekea ziwani.
Uwepo wa ziwa hutegemea uwiano kati ya mvua na uvukizaji wa maji. Pia, maji ya chini ya [[ardhi]] na eneo kubwa la bonde la maji husaidia kudumisha uwepo wa ziwa wakati wa ukame.<ref>{{Rejea jarida |last=H |first=Alayat, |last2=N |first2=Kherici, |last3=C |first3=Lamouroux, |date=2009-12-31 |title=EVOLUTION SPATIALE DE L’ENVASEMENT DU LAC OUBEIRA IMPOSE PAR L’EROSION (EXTREME NE ALGERIEN) SPACE EVOLUTION OF THE SILTING OF OUBEIRA LAKE IMPOSED BY EROSION (EXTREME NE ALGERIAN) |url=https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |journal=Le Journal de l'Eau et de l'Environnement |language=fr |volume=8 |issue=15 |issn=2602-6724 |archive-url=http://web.archive.org/web/20250530153749/https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |archive-date=2025-05-30}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Algeria]]
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
f2wv3wv8tjgfamnzpy8rf966sihbjwa
1570739
1569997
2026-06-11T07:45:51Z
Riccardo Riccioni
452
1570739
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika [[wilaya ya El Tarf]], [[Aljeria|Algeria]]. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini.
== Mahali ==
[[Faili:Plan elkala.png|thumb|Linapatikana katika manispaa ya El Kala, Ziwa Oubeira ni ziwa la kati kati ya hizo tatu.]]
Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la maji ya chumvi). Mwaka 1983, maziwa haya yote matatu yalitangazwa kama maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa chini ya Mkataba wa Ramsar.
Ziwa hili liko kati ya mji wa El Kala na mpaka wa Algeria na Tunisia, kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], katika mwinuko wa mita 23 juu ya usawa wa bahari.
[[Ziwa]] lina umbo la mviringo, sakafu yake imefunikwa na tope la kijivu, na lina eneo la takribani hekta 2,000. Kina chake cha wastani ni takribani mita 1.
Ingawa ni ziwa lisilo na mtiririko wa [[maji]] unaotoka moja kwa moja, lina uhusiano na Bahari ya Mediterania kupitia mfumo wa maeneo oevu yanayolizunguka.<ref>{{Rejea tovuti|title=Réserve Intégrale du Lac Oubeïra {{!}} Service d’information sur les Sites Ramsar|url=https://rsis.ramsar.org/fr/ris/280?language=fr|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=fr}}</ref>
Mto mkuu unaohusiana na ziwa hili ni Oued Messida. Mto huu hubadilisha mwelekeo wa mtiririko wake kulingana na msimu: wakati wa kiangazi hutiririka kutoka ziwani kuelekea Oued el Rebir, na wakati wa majira ya baridi hutiririka kinyume chake kuelekea ziwani.
Uwepo wa ziwa hutegemea uwiano kati ya mvua na uvukizaji wa maji. Pia, maji ya chini ya [[ardhi]] na eneo kubwa la bonde la maji husaidia kudumisha uwepo wa ziwa wakati wa ukame.<ref>{{Rejea jarida |last=H |first=Alayat, |last2=N |first2=Kherici, |last3=C |first3=Lamouroux, |date=2009-12-31 |title=EVOLUTION SPATIALE DE L’ENVASEMENT DU LAC OUBEIRA IMPOSE PAR L’EROSION (EXTREME NE ALGERIEN) SPACE EVOLUTION OF THE SILTING OF OUBEIRA LAKE IMPOSED BY EROSION (EXTREME NE ALGERIAN) |url=https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |journal=Le Journal de l'Eau et de l'Environnement |language=fr |volume=8 |issue=15 |issn=2602-6724 |archive-url=http://web.archive.org/web/20250530153749/https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |archive-date=2025-05-30}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
8icb1lc259q6xfczsakpkydse022cko
Ziwa Sidi Mohamed Benali
0
240690
1569496
2026-06-10T18:18:10Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ziwa Sidi Mohamed Benali''' ni ziwa lililopo magharibi mwa [[Algeria]] katika Mkoa wa Sidi Bel Abbès, hasa katika [[ardhi]] ya manispaa ya Ain Thrid, takribani kilomita 1.7 kutoka mji wa Sidi Bel Abbès na karibu na Barabara Kuu ya Mashariki–Magharibi.<ref>{{Citation|last=Kreo|title=Régions : Sidi Bel Abbès : Le lac de Sidi M’hamed Benali, un site naturel par excellence|url=http://www.dknews-dz.com/article/65638-sidi-bel-abbes-le-lac-de-sidi-mham...'
1569496
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Sidi Mohamed Benali''' ni ziwa lililopo magharibi mwa [[Algeria]] katika Mkoa wa Sidi Bel Abbès, hasa katika [[ardhi]] ya manispaa ya Ain Thrid, takribani kilomita 1.7 kutoka mji wa Sidi Bel Abbès na karibu na Barabara Kuu ya Mashariki–Magharibi.<ref>{{Citation|last=Kreo|title=Régions : Sidi Bel Abbès : Le lac de Sidi M’hamed Benali, un site naturel par excellence|url=http://www.dknews-dz.com/article/65638-sidi-bel-abbes-le-lac-de-sidi-mhamed-benali-un-site-naturel-par-excellence.html|work=http://www.dknews-dz.com/|language=fr|access-date=2026-06-10}}</ref>
Ziwa hili lina ukubwa wa zaidi ya hekta 35, limezungukwa na aina mbalimbali za mimea, na linatoa makazi ya asili kwa takribani aina 26 za ndege wa majini, samaki na wanyama wengine [[pori]], ikiwemo mbwa mwitu, paka wa kufugwa na hedgehogs.
Ziwa hili ni la bandia kabisa, lilijengwa katika miaka ya 1940. Linalishwa na mtiririko wa [[Mto]] Sig na Bonde la Sarno. Liliundwa kwa lengo la kudhibiti maji ya mafuriko ya Mto Mekerra ili kupunguza hatari ya mafuriko makubwa yaliyokuwa yakitishia mji wa Sidi Bel Abbès.<ref>{{Cite web|title=إعادة الاعتبار لبحيرة سيدي محمد بن علي|url=https://tanmia.echaab.dz/2021/05/19/%D8%A5%D8%B9%D8%A7%D8%AF%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%AA%D8%A8%D8%A7%D8%B1-%D9%84%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%B3%D9%8A%D8%AF%D9%8A-%D9%85%D8%AD%D9%85%D8%AF-%D8%A8%D9%86-%D8%B9%D9%84%D9%8A/|work=التنمية المحلية|date=2021-05-19|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=سيدي بلعباس: نسرين ب}}</ref>
[[Ziwa]] hili liko ndani ya bonde la asili lililochongwa kwenye ardhi ya miamba ya mashapo, na upande wa chini limefungwa na bwawa la udongo. Sakafu ya ziwa huzuia maji kupotea kwa kupenyeza kutokana na mkusanyiko wa mashapo, na kina chake cha juu zaidi hufikia takribani mita 30.
Tafiti za hivi karibuni (2022) zinaonyesha kuwa ongezeko la joto linaathiri mnyororo wa chakula ndani ya ziwa hili kwa kupunguza idadi ya zooplanktoni.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
raiqg4wcaq2to1hdx9bkvjvepc7htx1
1569999
1569496
2026-06-10T21:56:00Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1569999
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Sidi Mohamed Benali''' ni ziwa lililopo magharibi mwa [[Algeria]] katika Mkoa wa Sidi Bel Abbès, hasa katika [[ardhi]] ya manispaa ya Ain Thrid, takribani kilomita 1.7 kutoka mji wa Sidi Bel Abbès na karibu na Barabara Kuu ya Mashariki–Magharibi.<ref>{{Citation|last=Kreo|title=Régions : Sidi Bel Abbès : Le lac de Sidi M’hamed Benali, un site naturel par excellence|url=http://www.dknews-dz.com/article/65638-sidi-bel-abbes-le-lac-de-sidi-mhamed-benali-un-site-naturel-par-excellence.html|work=http://www.dknews-dz.com/|language=fr|access-date=2026-06-10}}</ref>
Ziwa hili lina ukubwa wa zaidi ya hekta 35, limezungukwa na aina mbalimbali za mimea, na linatoa makazi ya asili kwa takribani aina 26 za ndege wa majini, samaki na wanyama wengine [[pori]], ikiwemo mbwa mwitu, paka wa kufugwa na hedgehogs.
Ziwa hili ni la bandia kabisa, lilijengwa katika miaka ya 1940. Linalishwa na mtiririko wa [[Mto]] Sig na Bonde la Sarno. Liliundwa kwa lengo la kudhibiti maji ya mafuriko ya Mto Mekerra ili kupunguza hatari ya mafuriko makubwa yaliyokuwa yakitishia mji wa Sidi Bel Abbès.<ref>{{Rejea tovuti|title=إعادة الاعتبار لبحيرة سيدي محمد بن علي|url=https://tanmia.echaab.dz/2021/05/19/%D8%A5%D8%B9%D8%A7%D8%AF%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%AA%D8%A8%D8%A7%D8%B1-%D9%84%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%B3%D9%8A%D8%AF%D9%8A-%D9%85%D8%AD%D9%85%D8%AF-%D8%A8%D9%86-%D8%B9%D9%84%D9%8A/|work=التنمية المحلية|date=2021-05-19|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=سيدي بلعباس: نسرين ب}}</ref>
[[Ziwa]] hili liko ndani ya bonde la asili lililochongwa kwenye ardhi ya miamba ya mashapo, na upande wa chini limefungwa na bwawa la udongo. Sakafu ya ziwa huzuia maji kupotea kwa kupenyeza kutokana na mkusanyiko wa mashapo, na kina chake cha juu zaidi hufikia takribani mita 30.
Tafiti za hivi karibuni (2022) zinaonyesha kuwa ongezeko la joto linaathiri mnyororo wa chakula ndani ya ziwa hili kwa kupunguza idadi ya zooplanktoni.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Maziwa ya Afrika]]
[[Jamii:AWC 2026]]
3aw6eud8htxsz9yrnrpgo6wgapxkx2o
1570740
1569999
2026-06-11T07:46:55Z
Riccardo Riccioni
452
1570740
wikitext
text/x-wiki
'''Ziwa Sidi Mohamed Benali''' ni [[ziwa]] lililopo magharibi mwa [[Algeria]] katika [[Wilaya ya Sidi Bel Abbes|wilaya ya Sidi Bel Abbès]], hasa katika [[ardhi]] ya manispaa ya Ain Thrid, takribani kilomita 1.7 kutoka mji wa Sidi Bel Abbès na karibu na Barabara Kuu ya Mashariki–Magharibi.<ref>{{Citation|last=Kreo|title=Régions : Sidi Bel Abbès : Le lac de Sidi M’hamed Benali, un site naturel par excellence|url=http://www.dknews-dz.com/article/65638-sidi-bel-abbes-le-lac-de-sidi-mhamed-benali-un-site-naturel-par-excellence.html|work=http://www.dknews-dz.com/|language=fr|access-date=2026-06-10}}</ref>
Ziwa hili lina ukubwa wa zaidi ya hekta 35, limezungukwa na aina mbalimbali za mimea, na linatoa makazi ya asili kwa takribani aina 26 za ndege wa majini, samaki na wanyama wengine [[pori]], ikiwemo mbwa mwitu, paka wa kufugwa na hedgehogs.
Ziwa hili ni la bandia kabisa, lilijengwa katika [[miaka ya 1940]]. Linalishwa na mtiririko wa [[Mto]] Sig na Bonde la Sarno. Liliundwa kwa lengo la kudhibiti maji ya mafuriko ya Mto Mekerra ili kupunguza hatari ya mafuriko makubwa yaliyokuwa yakitishia mji wa Sidi Bel Abbès.<ref>{{Rejea tovuti|title=إعادة الاعتبار لبحيرة سيدي محمد بن علي|url=https://tanmia.echaab.dz/2021/05/19/%D8%A5%D8%B9%D8%A7%D8%AF%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%B9%D8%AA%D8%A8%D8%A7%D8%B1-%D9%84%D8%A8%D8%AD%D9%8A%D8%B1%D8%A9-%D8%B3%D9%8A%D8%AF%D9%8A-%D9%85%D8%AD%D9%85%D8%AF-%D8%A8%D9%86-%D8%B9%D9%84%D9%8A/|work=التنمية المحلية|date=2021-05-19|accessdate=2026-06-10|language=ar|author=سيدي بلعباس: نسرين ب}}</ref>
[[Ziwa]] hili liko ndani ya bonde la asili lililochongwa kwenye ardhi ya miamba ya mashapo, na upande wa chini limefungwa na bwawa la udongo. Sakafu ya ziwa huzuia maji kupotea kwa kupenyeza kutokana na mkusanyiko wa mashapo, na kina chake cha juu zaidi hufikia takribani mita 30.
Tafiti za hivi karibuni (2022) zinaonyesha kuwa ongezeko la joto linaathiri mnyororo wa chakula ndani ya ziwa hili kwa kupunguza idadi ya zooplanktoni.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Algeria}}
[[Jamii:Maziwa ya Algeria]]
[[Jamii:AWC 2026]]
7unrrklggxrdo2fl6u94rxlx8xr8ef8
Majadiliano:Nyanzi Martin Luther
1
240691
1569498
2026-06-10T18:35:58Z
~2026-34117-36
90131
/* Suggestions */ mjadala mpya
1569498
wikitext
text/x-wiki
== Suggestions ==
[[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:35, 10 Juni 2026 (UTC)
p0spnbn1sajwjii16xbstwk0ej1y4mj
1569499
1569498
2026-06-10T18:40:28Z
~2026-34117-36
90131
/* Suggestions */ Jibu
1569499
wikitext
text/x-wiki
== Suggestions ==
[[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:35, 10 Juni 2026 (UTC)
:<nowiki>{{subst:rfpp|p|Nyanzi Martin Luther.|reason=Ukurasa huu unakabiliwa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uharibifu na uharibifu kutoka kwa akaunti ambazo hazijasajiliwa. Tunaomba ulinzi wa 'extended confirmed' au 'semi-protection' ili kulinda wasifu huu.}}</nowiki> [[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:40, 10 Juni 2026 (UTC)
nrz3ltof4bqz7qdmnut3c41ugaonoo0
1569500
1569499
2026-06-10T18:41:54Z
~2026-34117-36
90131
/* Suggestions */
1569500
wikitext
text/x-wiki
== Suggestions ==
[[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:35, 10 Juni 2026 (UTC)
Ukurasa huu unakabiliwa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uharibifu na uharibifu kutoka kwa akaunti ambazo hazijasajiliwa. Tunaomba ulinzi wa 'extended confirmed' au 'semi-protection' ili kulinda wasifu huu.}}</nowiki> [[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:40, 10 Juni 2026 (UTC)
ti8cgcvbwto3zf5vmijeoc4ypiory71
1569507
1569500
2026-06-10T19:04:39Z
~2026-34117-36
90131
/* Suggestions */ Jibu
1569507
wikitext
text/x-wiki
== Suggestions ==
[[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:35, 10 Juni 2026 (UTC)
Ukurasa huu unakabiliwa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uharibifu na uharibifu kutoka kwa akaunti ambazo hazijasajiliwa. Tunaomba ulinzi wa 'extended confirmed' au 'semi-protection' ili kulinda wasifu huu.}}</nowiki> [[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 18:40, 10 Juni 2026 (UTC)
:@[[Mtumiaji:D. Benjamin Miller|D. Benjamin Miller]] [[Maalum:Michango/~2026-34117-36|~2026-34117-36]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:~2026-34117-36|talk]]) 19:04, 10 Juni 2026 (UTC)
q06zk2gyth3a6pqj8taf98axegcg2mz
KUWASA (Kahama)
0
240692
1569511
2026-06-10T19:33:40Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1569511
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama''' (kwa kifupi: '''KUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika mji wa [[Kahama]], uliopo mkoani [[Shinyanga]], kaskazini-magharibi mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="kuwasa_web">https://kuwasa.go.tz – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na Uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa ununuzi wa maji ya jumla (bulk water) kutoka kwa Mamlaka ya Majisafi Kahama Shinyanga ([[KASHWASA]]), ambayo inavuta maji kutoka [[Ziwa Victoria]] kupitia mtambo wa Ihelele. Maji hayo yaliyosafishwa tayari husafirishwa kupitia bomba kuu la kitaifa na kupokelewa kwenye matanki makubwa ya uhifadhi ya KUWASA yaliyopo mjini Kahama kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] ya reja reja kwa ajili ya majumbani, taasisi, na viwanda.<ref name="hotuba_maji">http://eganet.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua ushirikiano wa miundombinu na uwekezaji wa mamlaka za maji ikiwemo Kahama.</ref>
Kutokana na ukuaji wa kasi wa mji wa Kahama kama kitovu cha biashara na uchimbaji wa madini, KUWASA inatekeleza miradi ya upanuzi wa mtandao wa mabomba ili kufikia maeneo mapya yaliyotengwa kwa ajili ya makazi na viwanda vidogo vidogo. Mamlaka pia inatunza baadhi ya visima virefu vya asili kama vyanzo vya dharura ili kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa maji unakuwa wa uhakika wakati wote hata pale ambapo kuna matengenezo kwenye bomba kuu la kitaifa kutoka Ziwa Victoria.
== Usafi wa mazingira na Uhifadhi ==
Katika kulinda uendelevu wa huduma zake, KUWASA inasimamia kikamilifu [[mfumo wa majitaka]] na usafi wa mazingira mijini. Mamlaka hii hutoa huduma za uondoaji wa taka kioevu na matibabu ya majitaka ili kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji ya ardhini na mazingira ya jiji kwa ujumla. Mamlaka inatekeleza mikakati madhubuti ya kupunguza upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water) kwa kutumia teknolojia ya mita za kidijitali za malipo ya kabla (pre-paid meters) na mifumo ya kisasa ya kubaini uvujaji wa haraka kwenye mabomba.
Vilevile, KUWASA inajihusisha na kampeni za kijamii za upandaji miti na utunzaji wa mazingira yanayozunguka miundombinu yake ya maji, ikishirikiana kwa karibu na serikali za mitaa na wadau wa maendeleo. Hatua hizi zinalengo la kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazochangia utunzaji thabiti wa ikolojia, kuzuia [[uchafuzi wa maji]], na ulinzi wa rasilimali za maji barani [[Afrika]], ili kuhakikisha huduma zinadumu kwa kizazi cha sasa na kijacho.<ref name="muhtasari_maji">https://maji.go.tz – Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji ya Wizara ya Maji inayomulika mifumo ya kidijitali, usimamizi wa malalamiko, na huduma za KUWASA.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[KASHWASA]]
* [[EWURA]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Shinyanga]]
[[Jamii:AWC 2026]]
g54o89vgi9vrfukeey9io888hpqkpbd
1569513
1569511
2026-06-10T19:41:06Z
Laylah26
89982
1569513
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama''' (kwa kifupi: '''KUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika mji wa [[Kahama]], uliopo mkoani [[Shinyanga]], kaskazini-magharibi mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<ref>http://demo81.eganet.go.tz/bunge/uploads/documents/sw-1738926740-1715262624-Hotuba_ya_Bajeti_ya_Wizara_ya_Maji_kwa_Mwaka_wa_Fedha_2024_2025.pdf – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua ushirikiano wa miundombinu na uwekezaji wa mamlaka za maji ikiwemo Kahama.</ref>
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="kuwasa_web">https://kuwasa.go.tz – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na Uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa ununuzi wa maji ya jumla (bulk water) kutoka kwa Mamlaka ya Majisafi Kahama Shinyanga ([[KASHWASA]]), ambayo inavuta maji kutoka [[Ziwa Victoria]] kupitia mtambo wa Ihelele. Maji hayo yaliyosafishwa tayari husafirishwa kupitia bomba kuu la kitaifa na kupokelewa kwenye matanki makubwa ya uhifadhi ya KUWASA yaliyopo mjini Kahama kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] ya reja reja kwa ajili ya majumbani, taasisi, na viwanda.<ref name="hotuba_maji">http://eganet.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua ushirikiano wa miundombinu na uwekezaji wa mamlaka za maji ikiwemo Kahama.</ref>
Kutokana na ukuaji wa kasi wa mji wa Kahama kama kitovu cha biashara na uchimbaji wa madini, KUWASA inatekeleza miradi ya upanuzi wa mtandao wa mabomba ili kufikia maeneo mapya yaliyotengwa kwa ajili ya makazi na viwanda vidogo vidogo. Mamlaka pia inatunza baadhi ya visima virefu vya asili kama vyanzo vya dharura ili kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa maji unakuwa wa uhakika wakati wote hata pale ambapo kuna matengenezo kwenye bomba kuu la kitaifa kutoka Ziwa Victoria.
== Usafi wa mazingira na Uhifadhi ==
Katika kulinda uendelevu wa huduma zake, KUWASA inasimamia kikamilifu [[mfumo wa majitaka]] na usafi wa mazingira mijini. Mamlaka hii hutoa huduma za uondoaji wa taka kioevu na matibabu ya majitaka ili kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji ya ardhini na mazingira ya jiji kwa ujumla. Mamlaka inatekeleza mikakati madhubuti ya kupunguza upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water) kwa kutumia teknolojia ya mita za kidijitali za malipo ya kabla (pre-paid meters) na mifumo ya kisasa ya kubaini uvujaji wa haraka kwenye mabomba.
Vilevile, KUWASA inajihusisha na kampeni za kijamii za upandaji miti na utunzaji wa mazingira yanayozunguka miundombinu yake ya maji, ikishirikiana kwa karibu na serikali za mitaa na wadau wa maendeleo. Hatua hizi zinalengo la kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazochangia utunzaji thabiti wa ikolojia, kuzuia [[uchafuzi wa maji]], na ulinzi wa rasilimali za maji barani [[Afrika]], ili kuhakikisha huduma zinadumu kwa kizazi cha sasa na kijacho.<ref name="muhtasari_maji">https://maji.go.tz – Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji ya Wizara ya Maji inayomulika mifumo ya kidijitali, usimamizi wa malalamiko, na huduma za KUWASA.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[KASHWASA]]
* [[EWURA]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Shinyanga]]
[[Jamii:AWC 2026]]
m257df81gl9kdzgxx9wppaa9x0da2ce
1569514
1569513
2026-06-10T19:43:09Z
Laylah26
89982
Laylah26 alihamisha ukurasa wa [[KUWASA]] hadi [[KUWASA (Kahama)]]
1569513
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama''' (kwa kifupi: '''KUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika mji wa [[Kahama]], uliopo mkoani [[Shinyanga]], kaskazini-magharibi mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<ref>http://demo81.eganet.go.tz/bunge/uploads/documents/sw-1738926740-1715262624-Hotuba_ya_Bajeti_ya_Wizara_ya_Maji_kwa_Mwaka_wa_Fedha_2024_2025.pdf – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua ushirikiano wa miundombinu na uwekezaji wa mamlaka za maji ikiwemo Kahama.</ref>
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="kuwasa_web">https://kuwasa.go.tz – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na Uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa ununuzi wa maji ya jumla (bulk water) kutoka kwa Mamlaka ya Majisafi Kahama Shinyanga ([[KASHWASA]]), ambayo inavuta maji kutoka [[Ziwa Victoria]] kupitia mtambo wa Ihelele. Maji hayo yaliyosafishwa tayari husafirishwa kupitia bomba kuu la kitaifa na kupokelewa kwenye matanki makubwa ya uhifadhi ya KUWASA yaliyopo mjini Kahama kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] ya reja reja kwa ajili ya majumbani, taasisi, na viwanda.<ref name="hotuba_maji">http://eganet.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua ushirikiano wa miundombinu na uwekezaji wa mamlaka za maji ikiwemo Kahama.</ref>
Kutokana na ukuaji wa kasi wa mji wa Kahama kama kitovu cha biashara na uchimbaji wa madini, KUWASA inatekeleza miradi ya upanuzi wa mtandao wa mabomba ili kufikia maeneo mapya yaliyotengwa kwa ajili ya makazi na viwanda vidogo vidogo. Mamlaka pia inatunza baadhi ya visima virefu vya asili kama vyanzo vya dharura ili kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa maji unakuwa wa uhakika wakati wote hata pale ambapo kuna matengenezo kwenye bomba kuu la kitaifa kutoka Ziwa Victoria.
== Usafi wa mazingira na Uhifadhi ==
Katika kulinda uendelevu wa huduma zake, KUWASA inasimamia kikamilifu [[mfumo wa majitaka]] na usafi wa mazingira mijini. Mamlaka hii hutoa huduma za uondoaji wa taka kioevu na matibabu ya majitaka ili kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji ya ardhini na mazingira ya jiji kwa ujumla. Mamlaka inatekeleza mikakati madhubuti ya kupunguza upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water) kwa kutumia teknolojia ya mita za kidijitali za malipo ya kabla (pre-paid meters) na mifumo ya kisasa ya kubaini uvujaji wa haraka kwenye mabomba.
Vilevile, KUWASA inajihusisha na kampeni za kijamii za upandaji miti na utunzaji wa mazingira yanayozunguka miundombinu yake ya maji, ikishirikiana kwa karibu na serikali za mitaa na wadau wa maendeleo. Hatua hizi zinalengo la kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazochangia utunzaji thabiti wa ikolojia, kuzuia [[uchafuzi wa maji]], na ulinzi wa rasilimali za maji barani [[Afrika]], ili kuhakikisha huduma zinadumu kwa kizazi cha sasa na kijacho.<ref name="muhtasari_maji">https://maji.go.tz – Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji ya Wizara ya Maji inayomulika mifumo ya kidijitali, usimamizi wa malalamiko, na huduma za KUWASA.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[KASHWASA]]
* [[EWURA]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Shinyanga]]
[[Jamii:AWC 2026]]
m257df81gl9kdzgxx9wppaa9x0da2ce
KUWASA
0
240693
1569515
2026-06-10T19:43:09Z
Laylah26
89982
Laylah26 alihamisha ukurasa wa [[KUWASA]] hadi [[KUWASA (Kahama)]]
1569515
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[KUWASA (Kahama)]]
f3ovhkq3bs8pguwdx8ovwezyach18hw
KUWASA (Kigoma)
0
240694
1569517
2026-06-10T19:51:06Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1569517
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma''' (kwa kifupi: '''KUWASA Kigoma''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika mji wa [[Kigoma]] na Ujiji, ambao ndiyo makao makuu ya Mkoa wa [[Kigoma]], uliopo upande wa magharibi mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KUWASA Kigoma inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="kigoma_web">https://www.kuwasakigoma.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KUWASA Kigoma unategemea kwa kiasi kikubwa vyanzo vya maji ya juu ya ardhi, ambapo chanzo kikuu cha asili cha mji huo ni [[Ziwa Tanganyika]]. Mamlaka inavuta maji ghafi kutoka ziwani kupitia mitambo mikuu ya kusafishia maji, ukiwemo mtambo mkuu wa Amani uliopo kando ya ziwa hilo na mtambo wa Mwanga. Mitambo hii inafanya kazi ya kuchuja na kusafisha maji ili kuondoa vijidudu na uchafu mwingine kabla ya kuyasukuma kwenda kwa walaji majumbani, kwenye taasisi, na katika maeneo ya biashara.<ref name="hotuba_maji">https://maji.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua upanuzi wa mitambo ya Amani na Mwanga mkoani Kigoma.</ref>
Maji hayo yaliyosafishwa husafirishwa kwa kutumia pampu kuelekea kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji yaliyopo kwenye miinuko na vilima vinavyozunguka mji wa Kigoma, kama vile tanki la Bangwe, kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] kwa njia ya mkondo wa kuteleza (gravity flow). Kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu na upanuzi wa mji, KUWASA Kigoma imekuwa ikitekeleza miradi ya upanuzi wa mtandao wa usambazaji na ukarabati wa mitambo ili kuongeza uwezo wa uzalishaji wa lita za maji kwa siku. Mipango ya sasa inajumuisha pia kufikisha huduma katika maeneo ya pembezoni na vijiji vya jirani ili kuhakikisha upatikanaji wa maji unakuwa wa uhakika na jumuishi.
== Usafi wa mazingira na uhifadhi ==
Inapokuja katika usafi wa mazingira, KUWASA Kigoma inasimamia kikamilifu mazingira ya mji na mifumo ya uondoaji wa taka kioevu ili kuzuia uchafuzi wa fukwe na maji ya Ziwa Tanganyika. Mamlaka inasimamia [[mfumo wa majitaka]] ikihusisha uendeshaji wa magari ya kunyonya majitaka na usafishaji wa taka kioevu katika mabwawa maalum ya utakasaji (Wastewater Stabilization Ponds) ili kuzuia mlipuko wa [[magonjwa]]. Mamlaka pia inatekeleza mikakati madhubuti ya kupunguza upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water) kwa kuweka mita za kidijitali na kuimarisha mifumo ya dharura ya kubaini uvujaji wa haraka kwenye mabomba makuu.<ref name="muhtasari_maji">https://maji.go.tz – Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji ya Wizara ya Maji inayomulika mifumo ya kidijitali, upunguzaji wa NRW, na huduma za KUWASA Kigoma.</ref>
Vilevile, KUWASA Kigoma inashirikiana kwa karibu na Bodi ya Bonde la Ziwa Tanganyika na mashirika ya mazingira katika kampeni za upandaji miti kando ya bonde la ziwa na kuzuia shughuli za kibinadamu zisizo endelevu karibu na miundombinu ya maji. Juhudi hizi zinalenga kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazofanya kazi kama kinga ya asili kulinda ikolojia ya pekee ya Ziwa Tanganyika na vyanzo vyake vyote vya maji barani [[Afrika]] kwa ajili ya ustawi wa vizazi vya sasa na vijavyo.
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Ziwa Tanganyika]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Kigoma]]
[[Jamii:AWC 2026]]
6nwiuyzkp7xhddz5mm4u1q2c4jllajt
1569518
1569517
2026-06-10T19:54:04Z
Laylah26
89982
1569518
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma''' (kwa [[kifupi]]: '''KUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mijini katika mji wa [[Kigoma]] na [[Ujiji]], ambao ndiyo makao makuu ya Mkoa wa Kigoma, uliopo upande wa magharibi mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, KUWASA Kigoma inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]] ili kuhakikisha huduma zinakidhi viwango vya ubora wa [[afya]] na upangaji wa bei wa haki.<ref name="kigoma_web">https://www.kuwasakigoma.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa KUWASA Kigoma unategemea kwa kiasi kikubwa vyanzo vya maji ya juu ya ardhi, ambapo chanzo kikuu cha asili cha mji huo ni [[Ziwa Tanganyika]]. Mamlaka inavuta maji ghafi kutoka ziwani kupitia mitambo mikuu ya kusafishia maji, ukiwemo mtambo mkuu wa Amani uliopo kando ya ziwa hilo na mtambo wa Mwanga. Mitambo hii inafanya kazi ya kuchuja na kusafisha maji ili kuondoa vijidudu na uchafu mwingine kabla ya kuyasukuma kwenda kwa walaji majumbani, kwenye taasisi, na katika maeneo ya biashara.<ref name="hotuba_maji">https://maji.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua upanuzi wa mitambo ya Amani na Mwanga mkoani Kigoma.</ref>
Maji hayo yaliyosafishwa husafirishwa kwa kutumia pampu kuelekea kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji yaliyopo kwenye miinuko na vilima vinavyozunguka mji wa Kigoma, kama vile tanki la Bangwe, kabla ya kusambazwa kwenye mitandao ya [[miundombinu ya maji]] kwa njia ya mkondo wa kuteleza (gravity flow). Kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu na upanuzi wa mji, KUWASA Kigoma imekuwa ikitekeleza miradi ya upanuzi wa mtandao wa usambazaji na ukarabati wa mitambo ili kuongeza uwezo wa uzalishaji wa lita za maji kwa siku. Mipango ya sasa inajumuisha pia kufikisha huduma katika maeneo ya pembezoni na vijiji vya jirani ili kuhakikisha upatikanaji wa maji unakuwa wa uhakika na jumuishi.
== Usafi wa mazingira na uhifadhi ==
Inapokuja katika usafi wa mazingira, KUWASA Kigoma inasimamia kikamilifu mazingira ya mji na mifumo ya uondoaji wa taka kioevu ili kuzuia uchafuzi wa fukwe na maji ya Ziwa Tanganyika. Mamlaka inasimamia [[mfumo wa majitaka]] ikihusisha uendeshaji wa magari ya kunyonya majitaka na usafishaji wa taka kioevu katika mabwawa maalum ya utakasaji (Wastewater Stabilization Ponds) ili kuzuia mlipuko wa [[magonjwa]]. Mamlaka pia inatekeleza mikakati madhubuti ya kupunguza upotevu wa maji yasiyofanya biashara (Non-Revenue Water) kwa kuweka mita za kidijitali na kuimarisha mifumo ya dharura ya kubaini uvujaji wa haraka kwenye mabomba makuu.<ref name="muhtasari_maji">https://maji.go.tz – Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji ya Wizara ya Maji inayomulika mifumo ya kidijitali, upunguzaji wa NRW, na huduma za KUWASA Kigoma.</ref>
Vilevile, KUWASA Kigoma inashirikiana kwa karibu na Bodi ya Bonde la Ziwa Tanganyika na mashirika ya mazingira katika kampeni za upandaji miti kando ya bonde la ziwa na kuzuia shughuli za kibinadamu zisizo endelevu karibu na miundombinu ya maji. Juhudi hizi zinalenga kuingiza mbinu za [[miundombinu ya kijani]] zinazofanya kazi kama kinga ya asili kulinda ikolojia ya pekee ya Ziwa Tanganyika na vyanzo vyake vyote vya maji barani [[Afrika]] kwa ajili ya ustawi wa vizazi vya sasa na vijavyo.
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Ziwa Tanganyika]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Kigoma]]
[[Jamii:AWC 2026]]
qpupmsj5vr9g35uo250655pladzuy8k
Mnara wa maji
0
240695
1569520
2026-06-10T20:24:36Z
Willyfred Philemon
90120
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya ulinzi dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika. Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhif...'
1569520
wikitext
text/x-wiki
Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya ulinzi dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya viwandani, na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani; hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara.
97l845iexfiyq1jpx2mqzg5nq4siu3g
1569521
1569520
2026-06-10T20:28:04Z
Willyfred Philemon
90120
1569521
wikitext
text/x-wiki
Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara.
j9utxw56mcosoabd8cih1wu1zcva2pg
1569555
1569521
2026-06-10T20:44:01Z
Willyfred Philemon
90120
1569555
wikitext
text/x-wiki
Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara.
= <sup>Historia</sup> =
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.<ref>{{Citation|title=Water tower|date=2026-05-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Water_tower&oldid=1355223055|work=Wikipedia|language=en|access-date=2026-06-10}}</ref>
[[Nchi ya Uingereza|Nchini Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16).
s6nc1rwpdoyt20vg8m9tm7r8u2xg1jx
1569649
1569555
2026-06-10T20:59:25Z
Willyfred Philemon
90120
1569649
wikitext
text/x-wiki
Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara.
= <sup>Historia</sup> =
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.<ref>{{Citation|title=Water tower|date=2026-05-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Water_tower&oldid=1355223055|work=Wikipedia|language=en|access-date=2026-06-10}}</ref>
[[Nchi ya Uingereza|Nchini Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16).
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.<ref>{{Citation|title=Water tower|date=2026-05-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Water_tower&oldid=1355223055|work=Wikipedia|language=en|access-date=2026-06-10}}</ref>
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
2zgtnex87q3htlz2e3wslpq0mya7dp1
1570729
1569649
2026-06-11T07:31:14Z
Anuary Rajabu
45588
1570729
wikitext
text/x-wiki
Mnara wa maji ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara.
= <sup>Historia</sup> =
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
[[Nchi ya Uingereza|Nchini Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16).
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
qc1q6lh60o0osijxexqa7xqf94xnr2h
1570734
1570729
2026-06-11T07:40:54Z
Anuary Rajabu
45588
1570734
wikitext
text/x-wiki
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
= <sup>Historia</sup> =
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
[[Nchi ya Uingereza|Nchini Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Maji]]
3v70rh7d8ot3i2nk3i223vub6g8fhs9
1570745
1570734
2026-06-11T07:50:19Z
Riccardo Riccioni
452
1570745
wikitext
text/x-wiki
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
==Historia==
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
Nchini [[Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:uhandisi]]
[[Jamii:Maji]]
7w8ud133ekopeypxtdsyzray009m9e8
1570763
1570745
2026-06-11T08:08:57Z
Laylah26
89982
Nimeongeza picha
1570763
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Mauston water tower with cellular tower on top.jpg|thumb|Mnara wa maji huko Mauston, [[Marekani]]]]
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
[[Faili:Water tower cellular.webp|thumb|Mnara wa maji huko Barrington, [[Illinois]]]]
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
==Historia==
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
Nchini [[Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:uhandisi]]
[[Jamii:Maji]]
ljp6ognwf2g95gsp763cbi5zv7g1ww1
1570766
1570763
2026-06-11T08:11:09Z
Laylah26
89982
1570766
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Mauston water tower with cellular tower on top.jpg|thumb|Mnara wa maji huko Mauston, [[Marekani]]]]
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
==Historia==
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
Nchini [[Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
[[Faili:Water tower cellular.webp|thumb|Mnara wa maji huko Barrington, [[Illinois]]]]
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:uhandisi]]
[[Jamii:Maji]]
tsxebcdvfr1x4u6ojwi6t8cekls7kjq
1570785
1570766
2026-06-11T08:49:27Z
Willyfred Philemon
90120
1570785
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Mauston water tower with cellular tower on top.jpg|thumb|Mnara wa maji huko Mauston, [[Marekani]]]]
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
==Historia==
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
Nchini [[Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
[[Faili:Water tower cellular.webp|thumb|Mnara wa maji huko Barrington, [[Illinois]]]]
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Usanifu ==
Picha iliyo karibu inaonyesha mbinu tatu za usanifu wa majengo za kujumuisha matangi haya katika muundo wa jengo, mojawapo ikiwa katika Barabara ya East 57th, [[Jiji la New York]]. Kuanzia kushoto kwenda kulia, kuna muundo wa matofali uliofungwa kabisa na kupambwa kwa ustadi, muundo rahisi wa matofali usio na paa unaoficha sehemu kubwa ya tanki lakini unaacha sehemu ya juu ionekane, na muundo rahisi wa matumizi ya kawaida ambao haujaribu kuficha matangi wala kuyajumuisha katika muundo wa jengo.<ref>{{Citation|title=Water tower|date=2026-05-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Water_tower&oldid=1355223055|work=Wikipedia|language=en|access-date=2026-06-11}}</ref>
[[Teknolojia]] hii ilianza kutumika tangu angalau karne ya 19, na kwa muda mrefu [[Jiji la New York]] ilihitaji majengo yote yenye zaidi ya ghorofa sita kuwa na mnara wa maji juu ya paa. Kampuni mbili mjini New York bado zinajenga minara ya maji, na zote ni biashara za kifamilia zilizoendelea kufanya kazi tangu karne ya 19.
Wajenzi wa kwanza wa minara ya maji walikuwa watengenezaji wa mapipa, ambao walipanua ujuzi wao ili kukidhi mahitaji mapya yaliyotokana na kuongezeka kwa urefu wa majengo jijini. Hata leo, hakuna dawa maalumu ya kuziba inayotumika kuzuia maji yasivuje. Kuta za mbao za mnara wa maji hushikiliwa pamoja kwa nyaya au mikanda ya chuma, lakini maji huvuja kupitia mianya wakati tanki linapojazwa kwa mara ya kwanza. Mbao zinapolowana na maji, huvimba na kuziba mianya hiyo, hivyo kuzuia uvujaji.
Minara ya maji ya juu ya paa huhifadhi kati ya lita 250,000 na 500,000 za maji hadi yatakapohitajika katika jengo lililo chini. Sehemu ya juu ya maji hutumiwa kwa matumizi ya kila siku, huku maji yaliyoko chini ya tanki yakihifadhiwa kwa ajili ya kuzima moto. Kiwango cha maji kinaposhuka chini ya kiwango fulani, swichi ya shinikizo, swichi ya kiwango cha maji au vali ya kuelea huwasha pampu au kufungua njia ya maji ya umma ili kujaza tena tanki.<ref>{{Citation|title=Water tower|date=2026-05-20|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Water_tower&oldid=1355223055|work=Wikipedia|language=en|access-date=2026-06-11}}</ref>
Mnara wa maji wa zege wenye umbo la uyoga wa Roihuvuori huko Helsinki, [[Ufini|Finland]], ulijengwa katika miaka ya 1970. Una urefu wa mita 52 na unaweza kuhifadhi takribani mita za ujazo 12,000 za maji.
Wasanifu majengo na wajenzi wametumia mbinu mbalimbali za kujumuisha minara ya maji katika miundo ya majengo yao. Katika majengo mengi makubwa ya biashara, minara ya maji hufichwa kabisa nyuma ya sehemu ya nje ya jengo. Kwa sababu za urembo, majengo ya makazi mara nyingi hufunika matangi yao kwa miundo ya juu ya paa, iwe ni masanduku rahisi yasiyopambwa au miundo iliyopambwa kwa ustadi ili kuongeza mvuto wa jengo. Hata hivyo, majengo mengi huacha minara yao ya maji ionekane wazi juu ya miundo ya kawaida ya kuibeba.
Iwapo pampu zitashindwa kufanya kazi, kwa mfano wakati wa kukatika kwa umeme, shinikizo la maji litapotea, jambo ambalo linaweza kusababisha hatari kwa afya ya umma. Majimbo mengi nchini Marekani yanahitaji kutolewa kwa tahadhari ya kuchemsha maji kabla ya kuyatumia ikiwa shinikizo la maji litashuka chini ya pauni 20 kwa kila inchi ya mraba (140 kPa). Tahadhari hii hutolewa kwa sababu shinikizo la chini linaweza kuruhusu vijidudu vya magonjwa kuingia katika mfumo wa maji.
Baadhi ya minara ya maji imebadilishwa kwa matumizi ya kisasa. Mfano ni Wieża Ciśnień (Mnara wa Maji wa Wrocław) huko Wrocław, Poland, ambao sasa ni sehemu ya mgahawa. Mingine imebadilishwa kuwa makazi ya watu.
Kihistoria, reli zilizotumia lokomotivu za mvuke zilihitaji njia ya kujaza tena matangi ya maji ya treni. Minara ya maji ilikuwa jambo la kawaida kando ya reli. Matangi hayo kwa kawaida yalijazwa kupitia kreni za maji zilizopata maji kutoka kwenye mnara wa maji.
Baadhi ya minara ya maji pia hutumika kama minara ya kutazamia mandhari. Mingine hutumika kwa migahawa, kama vile Goldbergturm huko Sindelfingen, Ujerumani, au mnara wa pili kati ya Minara mitatu ya Kuwait nchini Kuwait. Pia ni kawaida kutumia minara ya maji kama maeneo ya kufunga vifaa vya mawasiliano vya masafa ya UHF yenye nguvu ndogo, kwa mfano kwa huduma za utangazaji wa maeneo ya vijijini, redio za mawasiliano ya kibinafsi na mitandao ya simu za mkononi.
Katika maeneo yenye vilima, mazingira ya asili yanaweza kutumika badala ya kujenga miundo ya kuinua matangi ya maji. Matangi haya mara nyingi huwa ni matenki ya zege yaliyojengwa kwenye miteremko ya vilima au milima, lakini hufanya kazi sawa kabisa na minara ya maji ya kawaida. Sehemu za juu za matangi hayo zinaweza kupandwa mimea au kutumika kama maeneo ya bustani au mapumziko iwapo itahitajika.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:uhandisi]]
[[Jamii:Maji]]
17mth1eqwm0er75k1j3gdly22a3uhuw
1570792
1570785
2026-06-11T09:10:48Z
Willyfred Philemon
90120
1570792
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Mauston water tower with cellular tower on top.jpg|thumb|Mnara wa maji huko Mauston, [[Marekani]]]]
'''Mnara wa maji''' ni muundo ulioinuliwa unaobeba tanki la maji lililojengwa katika [[urefu]] unaotosha kutoa shinikizo katika mfumo wa usambazaji wa maji safi ya kunywa, na kutoa hifadhi ya dharura kwa ajili ya [[ulinzi]] dhidi ya [[moto]]. Minara ya maji mara nyingi hufanya kazi pamoja na hifadhi za maji zilizo chini ya ardhi au zilizo juu ya ardhi, ambazo huhifadhi maji yaliyotibiwa karibu na mahali yatakapotumika<ref>{{Cite web|title=10 Industrial Water Towers Converted Into Awesome, Modern Homes|url=https://www.flavorwire.com/319722/10-industrial-water-towers-converted-into-awesome-modern-homes|work=Flavorwire|date=2012-08-17|accessdate=2026-06-11|language=en|author=Flavorwire Staff}}</ref>.
Aina nyingine za minara ya maji zinaweza kuhifadhi tu maji ghafi (yasiyo salama kwa kunywa) kwa ajili ya ulinzi wa moto au matumizi ya [[Kiwanda|viwandani]], na huenda zisihusishwe moja kwa moja na mfumo wa umma wa usambazaji maji.
Minara ya maji inaweza kusambaza maji hata wakati wa kukatika kwa umeme, kwa sababu hutegemea shinikizo la hidrostatiki linalotokana na urefu wa maji (kutokana na mvuto wa dunia) kusukuma maji katika mifumo ya usambazaji majumbani na viwandani hata hivyo, haiwezi kusambaza maji kwa muda mrefu bila [[umeme]], kwa sababu pampu kwa kawaida huhitajika kujaza tena mnara.
Mnara wa maji pia hutumika kama hifadhi ya kusaidia mahitaji ya maji wakati wa nyakati za matumizi makubwa. Kiwango cha maji katika mnara hushuka wakati wa saa za kilele cha matumizi ya [[mchana]], kisha pampu huujaza tena usiku. Utaratibu huu pia husaidia kuzuia maji kuganda wakati wa hali ya hewa ya baridi, kwani mnara huendelea kumwagwa na kujazwa tena mara kwa mara<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/watersupplytown00burtgoog|title=The Water Supply of Towns and the Construction of Waterworks: A Practical ...|last=William Kinnimond Burton|date=1894|publisher=Lockwood|others=University of California|language=English}}</ref>.
==Historia==
Ingawa matumizi ya matanki ya maji yaliyoinuliwa yamekuwepo tangu [[Nyakati za kati|nyakati za kale]] kwa namna mbalimbali, matumizi ya kisasa ya minara ya maji kwa mifumo ya umma ya maji yenye shinikizo yaliibuka katikati ya [[karne ya 19]], wakati matumizi ya pampu za mvuke yalipoanza kuenea zaidi, na mabomba bora zaidi yaliyoweza kustahimili shinikizo kubwa yalipotengenezwa.
Nchini [[Uingereza]], mifumo ya standpipe ilikuwa na mabomba marefu, yaliyo wazi na yenye umbo la herufi N, yaliyotumika kupunguza shinikizo na kutoa urefu thabiti kwa mitambo ya pampu ya mvuke ambayo mara nyingi ilitoa mtiririko usio thabiti, ilhali mfumo wa usambazaji maji wenye shinikizo ulihitaji shinikizo la kudumu. Standpipe pia ilitoa eneo thabiti na rahisi la kupimia kiwango cha mtiririko wa maji. Wabunifu kwa kawaida walifunika mabomba hayo ya kupandisha maji kwa uashi wa mapambo au miundo ya [[mbao]].
Kufikia mwishoni mwa [[karne ya 19]], standpipe zilianza kujumuisha matanki ya kuhifadhi maji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya miji iliyokuwa ikikua.
Minara mingi ya awali ya maji sasa inachukuliwa kuwa ya kihistoria na imejumuishwa katika orodha mbalimbali za urithi duniani. Baadhi yake imegeuzwa kuwa nyumba za makazi au vyumba vya kifahari. Katika maeneo fulani, kama [[Jiji la New York|New York City]] nchini [[Marekani]], minara midogo ya maji hujengwa kwa ajili ya majengo binafsi. [[California]] na baadhi ya majimbo mengine, minara ya maji ya nyumbani iliyofunikwa kwa mbao (tankhouses) iliwahi kujengwa kati ya miaka ya [[1850]] hadi [[1930]] ili kuhudumia nyumba za mtu mmoja mmoja; [[Kisaga upepo]] zilipampu maji kutoka kwenye [[visima]] vilivyochimbwa kwa mikono na kuyapandisha kwenye tanki.
Minara ya maji ilitumika pia kutoa maji katika vituo vya [[treni]] za mvuke kwenye [[reli]]. Lokomotivu za awali za mvuke zilihitaji vituo vya maji kila baada ya [[maili]] 7 hadi 10 ([[kilomita]] 11 hadi 16)<ref>{{Cite web|title=The importance of water on steam-operated railways {{!}} SCRCA|url=https://scrca.foscl.org.uk/importance-water-steam-operated-railways|work=scrca.foscl.org.uk|accessdate=2026-06-11}}</ref>.
= <sub>Ubunifu na ujenzi</sub> =
[[Faili:Water tower cellular.webp|thumb|Mnara wa maji huko Barrington, [[Illinois]]]]
Aina mbalimbali za [[vifaa]] zinaweza kutumika kujenga mnara wa maji wa kawaida; [[chuma]] na [[zege]] iliyoimarishwa au iliyobandikwa kwa mvutano ndizo hutumika zaidi (ingawa mbao au matofali pia hutumika), huku kukiwa na mipako ya ndani ili kulinda maji dhidi ya athari za nyenzo za ukuta wa ndani.
Hifadhi ya maji ndani ya mnara inaweza kuwa ya umbo la tufe, silinda au duaradufu (ellipsoid), ikiwa na urefu wa chini wa takribani mita 6 (futi 20) na kipenyo cha angalau mita 4 (futi 13). Mnara wa kawaida wa maji huwa na [[urefu]] wa takribani mita 40 (futi 130).
Shinikizo hutokana na shinikizo la hidrostatiki linalosababishwa na urefu wa maji; kwa kila [[milimita]] 102 ([[inchi]] 4.016) ya urefu, huzalisha [[kilopaskali]] 1 (kPa 0.145) ya shinikizo. Urefu wa mita 30 (futi 98.43) huzalisha takribani kPa 300 (psi 43.511), ambayo inatosha kuendesha na kutoa shinikizo linalohitajika kwa matumizi mengi ya maji ya majumbani na mifumo ya usambazaji maji.
Urefu wa mnara huleta shinikizo katika mfumo wa usambazaji maji, na unaweza kusaidiwa na pampu. Kiasi cha hifadhi na kipenyo cha mabomba hudumisha na kusaidia kiwango cha mtiririko wa maji. Hata hivyo, kutegemea pampu pekee ni ghali; ili kukidhi mahitaji yanayobadilika, pampu lazima iwe kubwa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kilele.
Katika nyakati za matumizi ya chini, pampu ndogo hutumika kukidhi mahitaji madogo ya mtiririko wa maji. Mnara wa maji hupunguza matumizi ya umeme ya kuwasha na kuzima pampu mara kwa mara na hivyo kupunguza hitaji la mfumo wa gharama kubwa wa kudhibiti pampu.
Kiasi kikubwa cha maji na kasi kubwa ya mtiririko huhitajika wakati wa kuzima moto. Kwa kuwepo kwa mnara wa maji, pampu zinaweza kubuniwa kukidhi mahitaji ya wastani badala ya mahitaji ya kilele; mnara hutoa shinikizo la maji wakati wa mchana na pampu huujaza tena wakati mahitaji ni ya chini.
Kutumia mitandao ya sensa zisizo na waya kufuatilia viwango vya maji ndani ya mnara huruhusu halmashauri kufuatilia na kudhibiti pampu kiotomatiki bila kusakinisha na kutunza nyaya za gharama kubwa za data.
== Usanifu ==
Picha iliyo karibu inaonyesha mbinu tatu za usanifu wa majengo za kujumuisha matangi haya katika muundo wa jengo, mojawapo ikiwa katika Barabara ya East 57th, [[Jiji la New York]]. Kuanzia kushoto kwenda kulia, kuna muundo wa matofali uliofungwa kabisa na kupambwa kwa ustadi, muundo rahisi wa matofali usio na paa unaoficha sehemu kubwa ya tanki lakini unaacha sehemu ya juu ionekane, na muundo rahisi wa matumizi ya kawaida ambao haujaribu kuficha matangi wala kuyajumuisha katika muundo wa jengo.<ref>https://www.npr.org/2006/12/02/6567297/wondering-about-water-towers</ref>
[[Teknolojia]] hii ilianza kutumika tangu angalau karne ya 19, na kwa muda mrefu [[Jiji la New York]] ilihitaji majengo yote yenye zaidi ya ghorofa sita kuwa na mnara wa maji juu ya paa. Kampuni mbili mjini New York bado zinajenga minara ya maji, na zote ni biashara za kifamilia zilizoendelea kufanya kazi tangu karne ya 19.
Wajenzi wa kwanza wa minara ya maji walikuwa watengenezaji wa mapipa, ambao walipanua ujuzi wao ili kukidhi mahitaji mapya yaliyotokana na kuongezeka kwa urefu wa majengo jijini. Hata leo, hakuna dawa maalumu ya kuziba inayotumika kuzuia maji yasivuje. Kuta za mbao za mnara wa maji hushikiliwa pamoja kwa nyaya au mikanda ya chuma, lakini maji huvuja kupitia mianya wakati tanki linapojazwa kwa mara ya kwanza. Mbao zinapolowana na maji, huvimba na kuziba mianya hiyo, hivyo kuzuia uvujaji.
Minara ya maji ya juu ya paa huhifadhi kati ya lita 250,000 na 500,000 za maji hadi yatakapohitajika katika jengo lililo chini. Sehemu ya juu ya maji hutumiwa kwa matumizi ya kila siku, huku maji yaliyoko chini ya tanki yakihifadhiwa kwa ajili ya kuzima moto. Kiwango cha maji kinaposhuka chini ya kiwango fulani, swichi ya shinikizo, swichi ya kiwango cha maji au vali ya kuelea huwasha pampu au kufungua njia ya maji ya umma ili kujaza tena tanki.<ref>https://www.nytimes.com/2007/06/03/nyregion/thecity/03wate.html?_r=1&ref=thecity&oref=login</ref>
Mnara wa maji wa zege wenye umbo la uyoga wa Roihuvuori huko Helsinki, [[Ufini|Finland]], ulijengwa katika miaka ya 1970. Una urefu wa mita 52 na unaweza kuhifadhi takribani mita za ujazo 12,000 za maji.
Wasanifu majengo na wajenzi wametumia mbinu mbalimbali za kujumuisha minara ya maji katika miundo ya majengo yao. Katika majengo mengi makubwa ya biashara, minara ya maji hufichwa kabisa nyuma ya sehemu ya nje ya jengo. Kwa sababu za urembo, majengo ya makazi mara nyingi hufunika matangi yao kwa miundo ya juu ya paa, iwe ni masanduku rahisi yasiyopambwa au miundo iliyopambwa kwa ustadi ili kuongeza mvuto wa jengo. Hata hivyo, majengo mengi huacha minara yao ya maji ionekane wazi juu ya miundo ya kawaida ya kuibeba.
Iwapo pampu zitashindwa kufanya kazi, kwa mfano wakati wa kukatika kwa umeme, shinikizo la maji litapotea, jambo ambalo linaweza kusababisha hatari kwa afya ya umma. Majimbo mengi nchini Marekani yanahitaji kutolewa kwa tahadhari ya kuchemsha maji kabla ya kuyatumia ikiwa shinikizo la maji litashuka chini ya pauni 20 kwa kila inchi ya mraba (140 kPa). Tahadhari hii hutolewa kwa sababu shinikizo la chini linaweza kuruhusu vijidudu vya magonjwa kuingia katika mfumo wa maji.
Baadhi ya minara ya maji imebadilishwa kwa matumizi ya kisasa. Mfano ni Wieża Ciśnień (Mnara wa Maji wa Wrocław) huko Wrocław, Poland, ambao sasa ni sehemu ya mgahawa. Mingine imebadilishwa kuwa makazi ya watu.
Kihistoria, reli zilizotumia lokomotivu za mvuke zilihitaji njia ya kujaza tena matangi ya maji ya treni. Minara ya maji ilikuwa jambo la kawaida kando ya reli. Matangi hayo kwa kawaida yalijazwa kupitia kreni za maji zilizopata maji kutoka kwenye mnara wa maji.
Baadhi ya minara ya maji pia hutumika kama minara ya kutazamia mandhari. Mingine hutumika kwa migahawa, kama vile Goldbergturm huko Sindelfingen, Ujerumani, au mnara wa pili kati ya Minara mitatu ya Kuwait nchini Kuwait. Pia ni kawaida kutumia minara ya maji kama maeneo ya kufunga vifaa vya mawasiliano vya masafa ya UHF yenye nguvu ndogo, kwa mfano kwa huduma za utangazaji wa maeneo ya vijijini, redio za mawasiliano ya kibinafsi na mitandao ya simu za mkononi.
Katika maeneo yenye vilima, mazingira ya asili yanaweza kutumika badala ya kujenga miundo ya kuinua matangi ya maji. Matangi haya mara nyingi huwa ni matenki ya zege yaliyojengwa kwenye miteremko ya vilima au milima, lakini hufanya kazi sawa kabisa na minara ya maji ya kawaida. Sehemu za juu za matangi hayo zinaweza kupandwa mimea au kutumika kama maeneo ya bustani au mapumziko iwapo itahitajika.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:uhandisi]]
[[Jamii:Maji]]
f9jz06vxkzkxe5lhjx8brjpgqaefj71
Uchimbaji wa visima virefu
0
240696
1569666
2026-06-10T21:02:01Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Anzisha Makala
1569666
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb|272x272px|Kuchimba kisima kwa kisima cha maji au bomba]]
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Kisima Kirefu''' ni shimo jembamba lililochimbwa ardhini, ama kwa wima au kwa [[mlalo]]. Kisima kirefu inaweza kujengwa kwa madhumuni mengi tofauti, ikiwemo uchimbaji wa [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), vimiminika vingine (kama vile [[petroli]]), au [[gesi]] (kama vile [[gesi asilia]]). Inaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya tovuti ya kimazingira, utafutaji wa madini, upimaji wa [[halijoto]], kama shimo la majaribio kwa ajili ya kusakinisha nguzo au huduma za chini ya ardhi, kwa ajili ya usakinishaji wa [[nishati]] ya jotoardhi (geothermal), au kwa ajili ya uhifadhi wa chini ya ardhi wa vitu visivyohitajika, mfano katika kukamata na kuhifadhi [[kaboni]] (carbon capture and storage).
== Umuhimu ==
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb]]
Wahandisi na washauri wa [[mazingira]] hutumia neno ''kisima kirefu'' kuelezea kwa pamoja aina zote za mashimo yanayochimbwa kama sehemu ya [[uchunguzi]] wa kijiohini au tathmini ya kimazingira ya tovuti (inayojulikana kama ''Phase II ESA''). Hii inajumuisha mashimo yanayochimbwa ili kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya [[miamba]], kuingiza vifaa vya sampuli vya ''in situ'', au kusakinisha visima vya kufuatilia au ''piezometers''. Sampuli zilizokusanywa kutoka kwenye ''borehole'' mara nyingi hupimwa katika maabara ili kubaini tabia zao za kifizikia, au kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi.
Kwa kawaida, kisima kirefu kinachotumika kama kisima cha maji hukamilishwa kwa kusakinisha bomba la wima na chujio la kisima ili kuzuia kisima kirefu kuporomoka. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi vya juu ya ardhi kuingia kwenye kisima kirefu na hulinda pampu yoyote iliyosakinishwa isivute mchanga na [[mashapo]]. Visima vya mafuta na [[gesi asilia]] hukamilishwa kwa njia inayofanana, ingawa kwa kawaida huwa na utata zaidi.
Kama ilivyoelezewa katika ''[[Proxy server|proxy]]'' ([[hali ya hewa]]), vipimo vya halijoto vya kisima kirefu katika mfululizo wa kina tofauti vinaweza "kubadilishwa" kwa ufanisi (fomula ya hisabati ya kutatua mlinganyo wa matrix) ili kusaidia kukadiria halijoto ya kihistoria ya uso wa ardhi.
Makundi ya visima virefu vyenye kipenyo kidogo vilivyowekewa vibadilisha joto vilivyotengenezwa kwa bomba la plastiki la PEX yanaweza kutumika kuhifadhi joto au baridi kati ya misimu tofauti katika tungamo la mwamba asilia. Mbinu hii inaitwa [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|hifadhi ya nishati ya joto ya]] [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|msimu]]. Midia inayoweza kutumika kwa mbinu hii huanzia changarawe hadi mwamba mgumu. Kunaweza kuwa na visima virefu vichache hadi mamia kadhaa, na kivitendo, kina kimeanzia mita 50 hadi 300 (futi 150 hadi 1,000).<ref>https://arquivo.pt/wayback/20160522223452/http:/www.annex29.net/extern/10_HELLSTROM_Zurich%20080519.pdf</ref><ref>{{Cite web|title=No title|url=https://heatpumpingtechnologies.org/publications/51667/|work=HPT - Heat Pumping Technologies|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Historia ==
[[Faili:Drilling boreholes for clean water (9084603915).jpg|thumb|232x232px|Mwanamke nchini Uganda anachota maji kutoka kwenye kisima kirefu na pampu ya mkono iliyounganishwa.]]
Uchimbaji wa kisima kirefu una historia ndefu. Kufikia angalau nasaba ya Han (202 KK – 220 BK), Wachina walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mtaalamu wa mambo ya China na mwanahistoria wa Uingereza, [[Michael Loewe]], anasema kuwa maeneo ya visima virefu yangeweza kufikia kina cha hadi mita 600 (futi 2,000). K.S. Tom anaelezea mchakato huo wa kuchimba: "Njia ya Kichina ya uchimbaji wa kina ilikamilishwa na kikundi cha watu wanaoruka juu na chini kwenye mhimili ili kuupiga [[msumari]] wa kuchimba huku zana ya kuchimba ikizungushwa na nyati na ng'ombe." Hii ilikuwa njia ileile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba mafuta ya [[petroli]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kicking her down").<ref>{{Cite book|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0521547246|title=The Eastern origins of Western civilisation|last=Hobson|first=John M.|date=2013|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-54724-6|edition=10. print|location=Cambridge}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Western Han kilichogundulika huko Xinglong, Hebei, kilikuwa na migodi ya karibu iliyofikia kina cha mita 100 (futi 330) yenye maeneo mapana ya kuchimba; migodi hiyo na vyumba vilikuwa na fremu za mbao, ngazi, na zana za chuma. Kufikia karne ya kwanza KK, mafundi wa Kichina walitengeneza misumari ya kuchimba ya chuma na wachimbaji waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 1,500 (futi 4,900).<ref>https://archive.org/details/factsonfilechron00reze</ref><ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref> Kufikia karne ya kumi na moja BK, Wachina waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 900 (futi 3,000). Uchimbaji wa visima virefu ulikuwa wa muda mrefu na mgumu. Kwa kuwa kina cha mashimo kilitofautiana, uchimbaji wa kisima kimoja ungeweza kuchukua karibu muongo mmoja mzima. Haikuwa hadi karne ya 19 ambapo Ulaya na nchi za Magharibi ziliweza kufikia na kushindana na teknolojia ya kale ya Kichina ya uchimbaji wa visima virefu.<ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref>
[[Faili:Borehole 01.jpg|thumb|228x228px|Kisima kilichochimbwa nchini Ghana; kisima hakionekani]]
Kwa miaka mingi, kisima kirefu kirefu zaidi duniani kilikuwa Kola Superdeep Borehole nchini [[Urusi]]. Kuanzia mwaka [[2011]] hadi Agosti [[2012]], rekodi hiyo ilishikiliwa na kisima cha Sakhalin-I Odoptu OP-11 chenye urefu wa mita 12,345 (futi 40,502), kilichopo pwani ya kisiwa cha [[Sakhalin]] nchini [[Urusi]].<ref>{{Cite web|title=Sakhalin-1 Project Drills World's Longest Extended-Reach Well|url=http://www.ordons.com/asia/far-east/9976-sakhalin-1-project-drills-worlds-longest-extended-reach-well.html|work=www.ordons.com|accessdate=2026-06-10|language=en-gb|author=Jorge Palma}}</ref> Kisima cha Chayvo Z-44 chenye uwezo wa kufika mbali zaidi kilichukua taji la kisima kirefu kirefu zaidi duniani mnamo tarehe 27 Agosti 2012. Jumla ya kina kilichopimwa cha Z-44 ni mita 12,376 (futi 40,604). Hata hivyo, visima vya ERD ni vifupi zaidi kuliko kisima kirefu cha Kola, kutokana na usambazaji mkubwa wa mlalo. Mnamo Julai 2023, China ilianza kuchimba visima virefu, kimoja katika Bonde la Sichuan kinachotarajiwa kufikia mita 10,520 (futi 34,510) ndani ya ardhi na kingine katika Bonde la Tarim chenye kina kilichopangwa cha mita 11,100 (futi 36,400).<ref>{{Cite web|title=China is drilling some of the world’s deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.cnn.com/2023/07/21/china/china-second-superdeep-borehole-intl-hnk|work=CNN|date=2023-07-21|accessdate=2026-06-10|language=en|author=Chris Lau}}</ref><ref>{{Cite web|title=China is drilling some of the deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.nine.com.au/world-news/china-is-drilling-some-of-the-worlds-deepest-holes-in-hunt-for-natural-resources-20230723-p5ytty.html|work=Nine.com.au|date=2023-07-23|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mbinu ==
''Taarifa zaidi: Uchimbaji wa visima''
[[Faili:AlburyBoreHole.jpg|thumb|233x233px|Kisima kirefu cha rasilimali za maji kinachoingia katika tabaka la maji la chokaa (chalk aquifer) chini ya North Downs, Uingereza huko Albury.]]
Wachimbaji wanaweza kuchimba kisima kirefu kwa kutumia mtambo wa kuchimba au mtambo unaoendeshwa kwa mkono. Mitambo na mbinu za kuendeleza kisima kirefu hutofautiana kwa kiasi kikubwa kulingana na mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na madhumuni yaliyokusudiwa. Kwa uchimbaji wa baharini, vitengo vinavyoelea au majukwaa yanayotegemezwa na sakafu ya bahari hutumiwa kwa ajili ya mtambo wa kuchimba.
== Kuchimba kwa mikono ==
[[Faili:Borehole-Manual-Digging-Process-2050-Paris.jpg|thumb|Wachimba visima wawili wakichimba kisima kwa mikono]]
Hasa katika nchi zinazoendelea, visima virefu vingi bado huchimbwa kwa mkono. Uchimbaji huanza kwa kazi ya mikono kwa kutumia zana za kimsingi kama vile majembe, sululu, na vipaaza. Wafanyakazi huchimba udongo safu kwa safu, mara nyingi wakitumia mzunguko wa duara ili kutengeneza shimo lenye umbo zuri. Mchakato huu ni wa polepole na wenye kuhitaji nguvu nyingi, ukihitaji kazi ya pamoja na uratibu. Ili kuzuia kuta zisiporomoke na kuhakikisha ubora wa maji, kisima kirefu hufunikwa kwa ndani na vifaa kama vile matofali, mawe, au pete za zege. Uimarishaji huu hudumisha uimara wa muundo wa kisima kirefu na husaidia kuzuia uchafuzi. Jukwaa la zege au slab inaweza kusakinishwa chini ili kuzuia mashapo yasiingie kwenye maji. Sehemu ya juu ya kisima kirefu hufunikwa ili kukilinda dhidi ya uchafu na uchafuzi.<ref>{{Cite web|url=https://2050.paris/lander?oref=https://en.wikipedia.org/|work=2050.paris|accessdate=2026-06-10}}</ref>
== Angalia pia ==
* Askam Borehole in Pennsylvania
* Kikata mirija
* Utupaji taka katika kisima kirefu
* Hole opener
* Utupaji taka katika kisima cha mlalo
* Kola Superdeep Borehole
* Wasifu wa mtetemo wa wima
== Marejeo ==
== Viungo vya nje ==
https://webapps.usgs.gov/nibi/
* Boreholes: Swiss Geological Survey<ref>{{Cite web|title=NIBI|url=https://webapps.usgs.gov/nibi/|work=webapps.usgs.gov|accessdate=2026-06-10}}</ref>
Drilling Boreholes in Africa<ref>{{Cite web|title=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|url=http://madimaboreholeandsolargeysers.co.za/|work=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
2xnxop2xqg4vcgt6441k2nwg111pnid
1569772
1569666
2026-06-10T21:19:33Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 8 template(s) replaced.
1569772
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb|272x272px|Kuchimba kisima kwa kisima cha maji au bomba]]
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Kisima Kirefu''' ni shimo jembamba lililochimbwa ardhini, ama kwa wima au kwa [[mlalo]]. Kisima kirefu inaweza kujengwa kwa madhumuni mengi tofauti, ikiwemo uchimbaji wa [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), vimiminika vingine (kama vile [[petroli]]), au [[gesi]] (kama vile [[gesi asilia]]). Inaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya tovuti ya kimazingira, utafutaji wa madini, upimaji wa [[halijoto]], kama shimo la majaribio kwa ajili ya kusakinisha nguzo au huduma za chini ya ardhi, kwa ajili ya usakinishaji wa [[nishati]] ya jotoardhi (geothermal), au kwa ajili ya uhifadhi wa chini ya ardhi wa vitu visivyohitajika, mfano katika kukamata na kuhifadhi [[kaboni]] (carbon capture and storage).
== Umuhimu ==
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb]]
Wahandisi na washauri wa [[mazingira]] hutumia neno ''kisima kirefu'' kuelezea kwa pamoja aina zote za mashimo yanayochimbwa kama sehemu ya [[uchunguzi]] wa kijiohini au tathmini ya kimazingira ya tovuti (inayojulikana kama ''Phase II ESA''). Hii inajumuisha mashimo yanayochimbwa ili kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya [[miamba]], kuingiza vifaa vya sampuli vya ''in situ'', au kusakinisha visima vya kufuatilia au ''piezometers''. Sampuli zilizokusanywa kutoka kwenye ''borehole'' mara nyingi hupimwa katika maabara ili kubaini tabia zao za kifizikia, au kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi.
Kwa kawaida, kisima kirefu kinachotumika kama kisima cha maji hukamilishwa kwa kusakinisha bomba la wima na chujio la kisima ili kuzuia kisima kirefu kuporomoka. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi vya juu ya ardhi kuingia kwenye kisima kirefu na hulinda pampu yoyote iliyosakinishwa isivute mchanga na [[mashapo]]. Visima vya mafuta na [[gesi asilia]] hukamilishwa kwa njia inayofanana, ingawa kwa kawaida huwa na utata zaidi.
Kama ilivyoelezewa katika ''[[Proxy server|proxy]]'' ([[hali ya hewa]]), vipimo vya halijoto vya kisima kirefu katika mfululizo wa kina tofauti vinaweza "kubadilishwa" kwa ufanisi (fomula ya hisabati ya kutatua mlinganyo wa matrix) ili kusaidia kukadiria halijoto ya kihistoria ya uso wa ardhi.
Makundi ya visima virefu vyenye kipenyo kidogo vilivyowekewa vibadilisha joto vilivyotengenezwa kwa bomba la plastiki la PEX yanaweza kutumika kuhifadhi joto au baridi kati ya misimu tofauti katika tungamo la mwamba asilia. Mbinu hii inaitwa [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|hifadhi ya nishati ya joto ya]] [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|msimu]]. Midia inayoweza kutumika kwa mbinu hii huanzia changarawe hadi mwamba mgumu. Kunaweza kuwa na visima virefu vichache hadi mamia kadhaa, na kivitendo, kina kimeanzia mita 50 hadi 300 (futi 150 hadi 1,000).<ref>https://arquivo.pt/wayback/20160522223452/http:/www.annex29.net/extern/10_HELLSTROM_Zurich%20080519.pdf</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=No title|url=https://heatpumpingtechnologies.org/publications/51667/|work=HPT - Heat Pumping Technologies|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Historia ==
[[Faili:Drilling boreholes for clean water (9084603915).jpg|thumb|232x232px|Mwanamke nchini Uganda anachota maji kutoka kwenye kisima kirefu na pampu ya mkono iliyounganishwa.]]
Uchimbaji wa kisima kirefu una historia ndefu. Kufikia angalau nasaba ya Han (202 KK – 220 BK), Wachina walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mtaalamu wa mambo ya China na mwanahistoria wa Uingereza, [[Michael Loewe]], anasema kuwa maeneo ya visima virefu yangeweza kufikia kina cha hadi mita 600 (futi 2,000). K.S. Tom anaelezea mchakato huo wa kuchimba: "Njia ya Kichina ya uchimbaji wa kina ilikamilishwa na kikundi cha watu wanaoruka juu na chini kwenye mhimili ili kuupiga [[msumari]] wa kuchimba huku zana ya kuchimba ikizungushwa na nyati na ng'ombe." Hii ilikuwa njia ileile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba mafuta ya [[petroli]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kicking her down").<ref>{{Rejea kitabu|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0521547246|title=The Eastern origins of Western civilisation|last=Hobson|first=John M.|date=2013|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-54724-6|edition=10. print|location=Cambridge}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Western Han kilichogundulika huko Xinglong, Hebei, kilikuwa na migodi ya karibu iliyofikia kina cha mita 100 (futi 330) yenye maeneo mapana ya kuchimba; migodi hiyo na vyumba vilikuwa na fremu za mbao, ngazi, na zana za chuma. Kufikia karne ya kwanza KK, mafundi wa Kichina walitengeneza misumari ya kuchimba ya chuma na wachimbaji waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 1,500 (futi 4,900).<ref>https://archive.org/details/factsonfilechron00reze</ref><ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref> Kufikia karne ya kumi na moja BK, Wachina waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 900 (futi 3,000). Uchimbaji wa visima virefu ulikuwa wa muda mrefu na mgumu. Kwa kuwa kina cha mashimo kilitofautiana, uchimbaji wa kisima kimoja ungeweza kuchukua karibu muongo mmoja mzima. Haikuwa hadi karne ya 19 ambapo Ulaya na nchi za Magharibi ziliweza kufikia na kushindana na teknolojia ya kale ya Kichina ya uchimbaji wa visima virefu.<ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref>
[[Faili:Borehole 01.jpg|thumb|228x228px|Kisima kilichochimbwa nchini Ghana; kisima hakionekani]]
Kwa miaka mingi, kisima kirefu kirefu zaidi duniani kilikuwa Kola Superdeep Borehole nchini [[Urusi]]. Kuanzia mwaka [[2011]] hadi Agosti [[2012]], rekodi hiyo ilishikiliwa na kisima cha Sakhalin-I Odoptu OP-11 chenye urefu wa mita 12,345 (futi 40,502), kilichopo pwani ya kisiwa cha [[Sakhalin]] nchini [[Urusi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Sakhalin-1 Project Drills World's Longest Extended-Reach Well|url=http://www.ordons.com/asia/far-east/9976-sakhalin-1-project-drills-worlds-longest-extended-reach-well.html|work=www.ordons.com|accessdate=2026-06-10|language=en-gb|author=Jorge Palma}}</ref> Kisima cha Chayvo Z-44 chenye uwezo wa kufika mbali zaidi kilichukua taji la kisima kirefu kirefu zaidi duniani mnamo tarehe 27 Agosti 2012. Jumla ya kina kilichopimwa cha Z-44 ni mita 12,376 (futi 40,604). Hata hivyo, visima vya ERD ni vifupi zaidi kuliko kisima kirefu cha Kola, kutokana na usambazaji mkubwa wa mlalo. Mnamo Julai 2023, China ilianza kuchimba visima virefu, kimoja katika Bonde la Sichuan kinachotarajiwa kufikia mita 10,520 (futi 34,510) ndani ya ardhi na kingine katika Bonde la Tarim chenye kina kilichopangwa cha mita 11,100 (futi 36,400).<ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the world’s deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.cnn.com/2023/07/21/china/china-second-superdeep-borehole-intl-hnk|work=CNN|date=2023-07-21|accessdate=2026-06-10|language=en|author=Chris Lau}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.nine.com.au/world-news/china-is-drilling-some-of-the-worlds-deepest-holes-in-hunt-for-natural-resources-20230723-p5ytty.html|work=Nine.com.au|date=2023-07-23|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mbinu ==
''Taarifa zaidi: Uchimbaji wa visima''
[[Faili:AlburyBoreHole.jpg|thumb|233x233px|Kisima kirefu cha rasilimali za maji kinachoingia katika tabaka la maji la chokaa (chalk aquifer) chini ya North Downs, Uingereza huko Albury.]]
Wachimbaji wanaweza kuchimba kisima kirefu kwa kutumia mtambo wa kuchimba au mtambo unaoendeshwa kwa mkono. Mitambo na mbinu za kuendeleza kisima kirefu hutofautiana kwa kiasi kikubwa kulingana na mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na madhumuni yaliyokusudiwa. Kwa uchimbaji wa baharini, vitengo vinavyoelea au majukwaa yanayotegemezwa na sakafu ya bahari hutumiwa kwa ajili ya mtambo wa kuchimba.
== Kuchimba kwa mikono ==
[[Faili:Borehole-Manual-Digging-Process-2050-Paris.jpg|thumb|Wachimba visima wawili wakichimba kisima kwa mikono]]
Hasa katika nchi zinazoendelea, visima virefu vingi bado huchimbwa kwa mkono. Uchimbaji huanza kwa kazi ya mikono kwa kutumia zana za kimsingi kama vile majembe, sululu, na vipaaza. Wafanyakazi huchimba udongo safu kwa safu, mara nyingi wakitumia mzunguko wa duara ili kutengeneza shimo lenye umbo zuri. Mchakato huu ni wa polepole na wenye kuhitaji nguvu nyingi, ukihitaji kazi ya pamoja na uratibu. Ili kuzuia kuta zisiporomoke na kuhakikisha ubora wa maji, kisima kirefu hufunikwa kwa ndani na vifaa kama vile matofali, mawe, au pete za zege. Uimarishaji huu hudumisha uimara wa muundo wa kisima kirefu na husaidia kuzuia uchafuzi. Jukwaa la zege au slab inaweza kusakinishwa chini ili kuzuia mashapo yasiingie kwenye maji. Sehemu ya juu ya kisima kirefu hufunikwa ili kukilinda dhidi ya uchafu na uchafuzi.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://2050.paris/lander?oref=https://en.wikipedia.org/|work=2050.paris|accessdate=2026-06-10}}</ref>
== Angalia pia ==
* Askam Borehole in Pennsylvania
* Kikata mirija
* Utupaji taka katika kisima kirefu
* Hole opener
* Utupaji taka katika kisima cha mlalo
* Kola Superdeep Borehole
* Wasifu wa mtetemo wa wima
== Marejeo ==
== Viungo vya nje ==
https://webapps.usgs.gov/nibi/
* Boreholes: Swiss Geological Survey<ref>{{Rejea tovuti|title=NIBI|url=https://webapps.usgs.gov/nibi/|work=webapps.usgs.gov|accessdate=2026-06-10}}</ref>
Drilling Boreholes in Africa<ref>{{Rejea tovuti|title=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|url=http://madimaboreholeandsolargeysers.co.za/|work=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
o6nnzgypo69htq7n1h1igq7t4oommv4
1569822
1569772
2026-06-10T21:27:44Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Anzisha Makala
1569822
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|314x314px|Kuchimba kisima kwa kisima cha maji au bomba]]
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Kisima Kirefu''' ni shimo jembamba lililochimbwa ardhini, ama kwa wima au kwa [[mlalo]]. Kisima kirefu inaweza kujengwa kwa madhumuni mengi tofauti, ikiwemo uchimbaji wa [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), vimiminika vingine (kama vile [[petroli]]), au [[gesi]] (kama vile [[gesi asilia]]). Inaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya tovuti ya kimazingira, utafutaji wa madini, upimaji wa [[halijoto]], kama shimo la majaribio kwa ajili ya kusakinisha nguzo au huduma za chini ya ardhi, kwa ajili ya usakinishaji wa [[nishati]] ya jotoardhi (geothermal), au kwa ajili ya uhifadhi wa chini ya ardhi wa vitu visivyohitajika, mfano katika kukamata na kuhifadhi [[kaboni]] (carbon capture and storage).
== Umuhimu ==
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb]]
Wahandisi na washauri wa [[mazingira]] hutumia neno ''kisima kirefu'' kuelezea kwa pamoja aina zote za mashimo yanayochimbwa kama sehemu ya [[uchunguzi]] wa kijiohini au tathmini ya kimazingira ya tovuti (inayojulikana kama ''Phase II ESA''). Hii inajumuisha mashimo yanayochimbwa ili kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya [[miamba]], kuingiza vifaa vya sampuli vya ''in situ'', au kusakinisha visima vya kufuatilia au ''piezometers''. Sampuli zilizokusanywa kutoka kwenye ''borehole'' mara nyingi hupimwa katika maabara ili kubaini tabia zao za kifizikia, au kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi.
Kwa kawaida, kisima kirefu kinachotumika kama kisima cha maji hukamilishwa kwa kusakinisha bomba la wima na chujio la kisima ili kuzuia kisima kirefu kuporomoka. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi vya juu ya ardhi kuingia kwenye kisima kirefu na hulinda pampu yoyote iliyosakinishwa isivute mchanga na [[mashapo]]. Visima vya mafuta na [[gesi asilia]] hukamilishwa kwa njia inayofanana, ingawa kwa kawaida huwa na utata zaidi.
Kama ilivyoelezewa katika ''[[Proxy server|proxy]]'' ([[hali ya hewa]]), vipimo vya halijoto vya kisima kirefu katika mfululizo wa kina tofauti vinaweza "kubadilishwa" kwa ufanisi (fomula ya hisabati ya kutatua mlinganyo wa matrix) ili kusaidia kukadiria halijoto ya kihistoria ya uso wa ardhi.
Makundi ya visima virefu vyenye kipenyo kidogo vilivyowekewa vibadilisha joto vilivyotengenezwa kwa bomba la plastiki la PEX yanaweza kutumika kuhifadhi joto au baridi kati ya misimu tofauti katika tungamo la mwamba asilia. Mbinu hii inaitwa [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|hifadhi ya nishati ya joto ya]] [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|msimu]]. Midia inayoweza kutumika kwa mbinu hii huanzia changarawe hadi mwamba mgumu. Kunaweza kuwa na visima virefu vichache hadi mamia kadhaa, na kivitendo, kina kimeanzia mita 50 hadi 300 (futi 150 hadi 1,000).<ref>https://arquivo.pt/wayback/20160522223452/http:/www.annex29.net/extern/10_HELLSTROM_Zurich%20080519.pdf</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=No title|url=https://heatpumpingtechnologies.org/publications/51667/|work=HPT - Heat Pumping Technologies|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Historia ==
[[Faili:Drilling boreholes for clean water (9084603915).jpg|thumb|232x232px|Mwanamke nchini Uganda anachota maji kutoka kwenye kisima kirefu na pampu ya mkono iliyounganishwa.]]
Uchimbaji wa kisima kirefu una historia ndefu. Kufikia angalau nasaba ya Han (202 KK – 220 BK), Wachina walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mtaalamu wa mambo ya China na mwanahistoria wa Uingereza, [[Michael Loewe]], anasema kuwa maeneo ya visima virefu yangeweza kufikia kina cha hadi mita 600 (futi 2,000). K.S. Tom anaelezea mchakato huo wa kuchimba: "Njia ya Kichina ya uchimbaji wa kina ilikamilishwa na kikundi cha watu wanaoruka juu na chini kwenye mhimili ili kuupiga [[msumari]] wa kuchimba huku zana ya kuchimba ikizungushwa na nyati na ng'ombe." Hii ilikuwa njia ileile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba mafuta ya [[petroli]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kicking her down").<ref>{{Rejea kitabu|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0521547246|title=The Eastern origins of Western civilisation|last=Hobson|first=John M.|date=2013|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-54724-6|edition=10. print|location=Cambridge}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Western Han kilichogundulika huko Xinglong, Hebei, kilikuwa na migodi ya karibu iliyofikia kina cha mita 100 (futi 330) yenye maeneo mapana ya kuchimba; migodi hiyo na vyumba vilikuwa na fremu za mbao, ngazi, na zana za chuma. Kufikia karne ya kwanza KK, mafundi wa Kichina walitengeneza misumari ya kuchimba ya chuma na wachimbaji waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 1,500 (futi 4,900).<ref>https://archive.org/details/factsonfilechron00reze</ref><ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref> Kufikia karne ya kumi na moja BK, Wachina waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 900 (futi 3,000). Uchimbaji wa visima virefu ulikuwa wa muda mrefu na mgumu. Kwa kuwa kina cha mashimo kilitofautiana, uchimbaji wa kisima kimoja ungeweza kuchukua karibu muongo mmoja mzima. Haikuwa hadi karne ya 19 ambapo Ulaya na nchi za Magharibi ziliweza kufikia na kushindana na teknolojia ya kale ya Kichina ya uchimbaji wa visima virefu.<ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref>
[[Faili:Borehole 01.jpg|thumb|228x228px|Kisima kilichochimbwa nchini Ghana; kisima hakionekani]]
Kwa miaka mingi, kisima kirefu kirefu zaidi duniani kilikuwa Kola Superdeep Borehole nchini [[Urusi]]. Kuanzia mwaka [[2011]] hadi Agosti [[2012]], rekodi hiyo ilishikiliwa na kisima cha Sakhalin-I Odoptu OP-11 chenye urefu wa mita 12,345 (futi 40,502), kilichopo pwani ya kisiwa cha [[Sakhalin]] nchini [[Urusi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Sakhalin-1 Project Drills World's Longest Extended-Reach Well|url=http://www.ordons.com/asia/far-east/9976-sakhalin-1-project-drills-worlds-longest-extended-reach-well.html|work=www.ordons.com|accessdate=2026-06-10|language=en-gb|author=Jorge Palma}}</ref> Kisima cha Chayvo Z-44 chenye uwezo wa kufika mbali zaidi kilichukua taji la kisima kirefu kirefu zaidi duniani mnamo tarehe 27 Agosti 2012. Jumla ya kina kilichopimwa cha Z-44 ni mita 12,376 (futi 40,604). Hata hivyo, visima vya ERD ni vifupi zaidi kuliko kisima kirefu cha Kola, kutokana na usambazaji mkubwa wa mlalo. Mnamo Julai 2023, China ilianza kuchimba visima virefu, kimoja katika Bonde la Sichuan kinachotarajiwa kufikia mita 10,520 (futi 34,510) ndani ya ardhi na kingine katika Bonde la Tarim chenye kina kilichopangwa cha mita 11,100 (futi 36,400).<ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the world’s deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.cnn.com/2023/07/21/china/china-second-superdeep-borehole-intl-hnk|work=CNN|date=2023-07-21|accessdate=2026-06-10|language=en|author=Chris Lau}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.nine.com.au/world-news/china-is-drilling-some-of-the-worlds-deepest-holes-in-hunt-for-natural-resources-20230723-p5ytty.html|work=Nine.com.au|date=2023-07-23|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mbinu ==
''Taarifa zaidi: Uchimbaji wa visima''
[[Faili:AlburyBoreHole.jpg|thumb|233x233px|Kisima kirefu cha rasilimali za maji kinachoingia katika tabaka la maji la chokaa (chalk aquifer) chini ya North Downs, Uingereza huko Albury.]]
Wachimbaji wanaweza kuchimba kisima kirefu kwa kutumia mtambo wa kuchimba au mtambo unaoendeshwa kwa mkono. Mitambo na mbinu za kuendeleza kisima kirefu hutofautiana kwa kiasi kikubwa kulingana na mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na madhumuni yaliyokusudiwa. Kwa uchimbaji wa baharini, vitengo vinavyoelea au majukwaa yanayotegemezwa na sakafu ya bahari hutumiwa kwa ajili ya mtambo wa kuchimba.
== Kuchimba kwa mikono ==
[[Faili:Borehole-Manual-Digging-Process-2050-Paris.jpg|thumb|Wachimba visima wawili wakichimba kisima kwa mikono]]
Hasa katika nchi zinazoendelea, visima virefu vingi bado huchimbwa kwa mkono. Uchimbaji huanza kwa kazi ya mikono kwa kutumia zana za kimsingi kama vile majembe, sululu, na vipaaza. Wafanyakazi huchimba udongo safu kwa safu, mara nyingi wakitumia mzunguko wa duara ili kutengeneza shimo lenye umbo zuri. Mchakato huu ni wa polepole na wenye kuhitaji nguvu nyingi, ukihitaji kazi ya pamoja na uratibu. Ili kuzuia kuta zisiporomoke na kuhakikisha ubora wa maji, kisima kirefu hufunikwa kwa ndani na vifaa kama vile matofali, mawe, au pete za zege. Uimarishaji huu hudumisha uimara wa muundo wa kisima kirefu na husaidia kuzuia uchafuzi. Jukwaa la zege au slab inaweza kusakinishwa chini ili kuzuia mashapo yasiingie kwenye maji. Sehemu ya juu ya kisima kirefu hufunikwa ili kukilinda dhidi ya uchafu na uchafuzi.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://2050.paris/lander?oref=https://en.wikipedia.org/|work=2050.paris|accessdate=2026-06-10}}</ref>
== Angalia pia ==
* Askam Borehole in Pennsylvania
* Kikata mirija
* Utupaji taka katika kisima kirefu
* Hole opener
* Utupaji taka katika kisima cha mlalo
* Kola Superdeep Borehole
* Wasifu wa mtetemo wa wima
== Marejeo ==
== Viungo vya nje ==
https://webapps.usgs.gov/nibi/
* Boreholes: Swiss Geological Survey<ref>{{Rejea tovuti|title=NIBI|url=https://webapps.usgs.gov/nibi/|work=webapps.usgs.gov|accessdate=2026-06-10}}</ref>
* Drilling Boreholes in Africa<ref>{{Rejea tovuti|title=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|url=http://madimaboreholeandsolargeysers.co.za/|work=Madima Borehole Drilling and Solar Geysers|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
<references />
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
[[Jamii:WCZ Culture]]
30dkb2600q2ebdwbud4glcvtttxays6
1569843
1569822
2026-06-10T21:31:02Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Anzisha Makala
1569843
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|314x314px|Kuchimba kisima kwa kisima cha maji au bomba]]
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''Kisima Kirefu''' ni shimo jembamba lililochimbwa ardhini, ama kwa wima au kwa [[mlalo]]. Kisima kirefu inaweza kujengwa kwa madhumuni mengi tofauti, ikiwemo uchimbaji wa [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), vimiminika vingine (kama vile [[petroli]]), au [[gesi]] (kama vile [[gesi asilia]]). Inaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya tovuti ya kimazingira, utafutaji wa madini, upimaji wa [[halijoto]], kama shimo la majaribio kwa ajili ya kusakinisha nguzo au huduma za chini ya ardhi, kwa ajili ya usakinishaji wa [[nishati]] ya jotoardhi (geothermal), au kwa ajili ya uhifadhi wa chini ya ardhi wa vitu visivyohitajika, mfano katika kukamata na kuhifadhi [[kaboni]] (carbon capture and storage).
== Umuhimu ==
[[Faili:Borewell digging.ogv|thumb]]
Wahandisi na washauri wa [[mazingira]] hutumia neno ''kisima kirefu'' kuelezea kwa pamoja aina zote za mashimo yanayochimbwa kama sehemu ya [[uchunguzi]] wa kijiohini au tathmini ya kimazingira ya tovuti (inayojulikana kama ''Phase II ESA''). Hii inajumuisha mashimo yanayochimbwa ili kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya [[miamba]], kuingiza vifaa vya sampuli vya ''in situ'', au kusakinisha visima vya kufuatilia au ''piezometers''. Sampuli zilizokusanywa kutoka kwenye ''borehole'' mara nyingi hupimwa katika maabara ili kubaini tabia zao za kifizikia, au kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi.
Kwa kawaida, kisima kirefu kinachotumika kama kisima cha maji hukamilishwa kwa kusakinisha bomba la wima na chujio la kisima ili kuzuia kisima kirefu kuporomoka. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi vya juu ya ardhi kuingia kwenye kisima kirefu na hulinda pampu yoyote iliyosakinishwa isivute mchanga na [[mashapo]]. Visima vya mafuta na [[gesi asilia]] hukamilishwa kwa njia inayofanana, ingawa kwa kawaida huwa na utata zaidi.
Kama ilivyoelezewa katika ''[[Proxy server|proxy]]'' ([[hali ya hewa]]), vipimo vya halijoto vya kisima kirefu katika mfululizo wa kina tofauti vinaweza "kubadilishwa" kwa ufanisi (fomula ya hisabati ya kutatua mlinganyo wa matrix) ili kusaidia kukadiria halijoto ya kihistoria ya uso wa ardhi.
Makundi ya visima virefu vyenye kipenyo kidogo vilivyowekewa vibadilisha joto vilivyotengenezwa kwa bomba la plastiki la PEX yanaweza kutumika kuhifadhi joto au baridi kati ya misimu tofauti katika tungamo la mwamba asilia. Mbinu hii inaitwa [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|hifadhi ya nishati ya joto ya]] [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|msimu]]. Midia inayoweza kutumika kwa mbinu hii huanzia changarawe hadi mwamba mgumu. Kunaweza kuwa na visima virefu vichache hadi mamia kadhaa, na kivitendo, kina kimeanzia mita 50 hadi 300 (futi 150 hadi 1,000).<ref>https://arquivo.pt/wayback/20160522223452/http:/www.annex29.net/extern/10_HELLSTROM_Zurich%20080519.pdf</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=No title|url=https://heatpumpingtechnologies.org/publications/51667/|work=HPT - Heat Pumping Technologies|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Historia ==
[[Faili:Drilling boreholes for clean water (9084603915).jpg|thumb|232x232px|Mwanamke nchini Uganda anachota maji kutoka kwenye kisima kirefu na pampu ya mkono iliyounganishwa.]]
Uchimbaji wa kisima kirefu una historia ndefu. Kufikia angalau nasaba ya Han (202 KK – 220 BK), Wachina walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mtaalamu wa mambo ya China na mwanahistoria wa Uingereza, [[Michael Loewe]], anasema kuwa maeneo ya visima virefu yangeweza kufikia kina cha hadi mita 600 (futi 2,000). K.S. Tom anaelezea mchakato huo wa kuchimba: "Njia ya Kichina ya uchimbaji wa kina ilikamilishwa na kikundi cha watu wanaoruka juu na chini kwenye mhimili ili kuupiga [[msumari]] wa kuchimba huku zana ya kuchimba ikizungushwa na nyati na ng'ombe." Hii ilikuwa njia ileile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba mafuta ya [[petroli]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kicking her down").<ref>{{Rejea kitabu|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0521547246|title=The Eastern origins of Western civilisation|last=Hobson|first=John M.|date=2013|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-54724-6|edition=10. print|location=Cambridge}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Western Han kilichogundulika huko Xinglong, Hebei, kilikuwa na migodi ya karibu iliyofikia kina cha mita 100 (futi 330) yenye maeneo mapana ya kuchimba; migodi hiyo na vyumba vilikuwa na fremu za mbao, ngazi, na zana za chuma. Kufikia karne ya kwanza KK, mafundi wa Kichina walitengeneza misumari ya kuchimba ya chuma na wachimbaji waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 1,500 (futi 4,900).<ref>https://archive.org/details/factsonfilechron00reze</ref><ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref> Kufikia karne ya kumi na moja BK, Wachina waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 900 (futi 3,000). Uchimbaji wa visima virefu ulikuwa wa muda mrefu na mgumu. Kwa kuwa kina cha mashimo kilitofautiana, uchimbaji wa kisima kimoja ungeweza kuchukua karibu muongo mmoja mzima. Haikuwa hadi karne ya 19 ambapo Ulaya na nchi za Magharibi ziliweza kufikia na kushindana na teknolojia ya kale ya Kichina ya uchimbaji wa visima virefu.<ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref>
[[Faili:Borehole 01.jpg|thumb|228x228px|Kisima kilichochimbwa nchini Ghana; kisima hakionekani]]
Kwa miaka mingi, kisima kirefu kirefu zaidi duniani kilikuwa Kola Superdeep Borehole nchini [[Urusi]]. Kuanzia mwaka [[2011]] hadi Agosti [[2012]], rekodi hiyo ilishikiliwa na kisima cha Sakhalin-I Odoptu OP-11 chenye urefu wa mita 12,345 (futi 40,502), kilichopo pwani ya kisiwa cha [[Sakhalin]] nchini [[Urusi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Sakhalin-1 Project Drills World's Longest Extended-Reach Well|url=http://www.ordons.com/asia/far-east/9976-sakhalin-1-project-drills-worlds-longest-extended-reach-well.html|work=www.ordons.com|accessdate=2026-06-10|language=en-gb|author=Jorge Palma}}</ref> Kisima cha Chayvo Z-44 chenye uwezo wa kufika mbali zaidi kilichukua taji la kisima kirefu kirefu zaidi duniani mnamo tarehe 27 Agosti 2012. Jumla ya kina kilichopimwa cha Z-44 ni mita 12,376 (futi 40,604). Hata hivyo, visima vya ERD ni vifupi zaidi kuliko kisima kirefu cha Kola, kutokana na usambazaji mkubwa wa mlalo. Mnamo Julai 2023, China ilianza kuchimba visima virefu, kimoja katika Bonde la Sichuan kinachotarajiwa kufikia mita 10,520 (futi 34,510) ndani ya ardhi na kingine katika Bonde la Tarim chenye kina kilichopangwa cha mita 11,100 (futi 36,400).<ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the world’s deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.cnn.com/2023/07/21/china/china-second-superdeep-borehole-intl-hnk|work=CNN|date=2023-07-21|accessdate=2026-06-10|language=en|author=Chris Lau}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.nine.com.au/world-news/china-is-drilling-some-of-the-worlds-deepest-holes-in-hunt-for-natural-resources-20230723-p5ytty.html|work=Nine.com.au|date=2023-07-23|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mbinu ==
''Taarifa zaidi: Uchimbaji wa visima''
[[Faili:AlburyBoreHole.jpg|thumb|233x233px|Kisima kirefu cha rasilimali za maji kinachoingia katika tabaka la maji la chokaa (chalk aquifer) chini ya North Downs, Uingereza huko Albury.]]
Wachimbaji wanaweza kuchimba kisima kirefu kwa kutumia mtambo wa kuchimba au mtambo unaoendeshwa kwa mkono. Mitambo na mbinu za kuendeleza kisima kirefu hutofautiana kwa kiasi kikubwa kulingana na mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na madhumuni yaliyokusudiwa. Kwa uchimbaji wa baharini, vitengo vinavyoelea au majukwaa yanayotegemezwa na sakafu ya bahari hutumiwa kwa ajili ya mtambo wa kuchimba.
== Kuchimba kwa mikono ==
[[Faili:Borehole-Manual-Digging-Process-2050-Paris.jpg|thumb|Wachimba visima wawili wakichimba kisima kwa mikono]]
Hasa katika nchi zinazoendelea, visima virefu vingi bado huchimbwa kwa mkono. Uchimbaji huanza kwa kazi ya mikono kwa kutumia zana za kimsingi kama vile majembe, sululu, na vipaaza. Wafanyakazi huchimba udongo safu kwa safu, mara nyingi wakitumia mzunguko wa duara ili kutengeneza shimo lenye umbo zuri. Mchakato huu ni wa polepole na wenye kuhitaji nguvu nyingi, ukihitaji kazi ya pamoja na uratibu. Ili kuzuia kuta zisiporomoke na kuhakikisha ubora wa maji, kisima kirefu hufunikwa kwa ndani na vifaa kama vile matofali, mawe, au pete za zege. Uimarishaji huu hudumisha uimara wa muundo wa kisima kirefu na husaidia kuzuia uchafuzi. Jukwaa la zege au slab inaweza kusakinishwa chini ili kuzuia mashapo yasiingie kwenye maji. Sehemu ya juu ya kisima kirefu hufunikwa ili kukilinda dhidi ya uchafu na uchafuzi.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://2050.paris/lander?oref=https://en.wikipedia.org/|work=2050.paris|accessdate=2026-06-10}}</ref>
== Angalia pia ==
* Askam Borehole in Pennsylvania
* Kikata mirija
* Utupaji taka katika kisima kirefu
* Hole opener
* Utupaji taka katika kisima cha mlalo
* Kola Superdeep Borehole
* Wasifu wa mtetemo wa wima<br />
== Viungo vya nje ==
https://webapps.usgs.gov/nibi/
* Boreholes: Swiss Geological Survey
* Drilling Boreholes in Africa
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
[[Jamii:WCZ Culture]]
orytud23nv1mk663m7mg6bgsx6b740v
1570687
1569843
2026-06-11T05:48:56Z
AlwiyaGhareeb
83622
Nimeanzisha makala
1570687
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|Uchimbaji wa visima virefu]]
'''Visima virefu''' ni [[Mashimo ya ajabu|mashimo]] membamba yanayochimbuliwa ardhini, kwa wima au kwa usawa.Visima virefu vinaweza kuchimbwa kwa malengo mbalimbali, ikiwemo kuchota [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), [[vimiminika]] vingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]), au gesi (kama vile [[gesi asilia]]). Viinaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya hali ya mazingira ya eneo, utafutaji wa [[madini]], upimaji wa [[joto]], kama shimo la kuweka nguzo au [[miundombinu]] ya chini ya ardhi, kwa ajili ya ufungaji wa mitambo ya jotoardhi, au kwa ajili ya kuhifadhi vitu hatari chini ya ardhi, kwa mfano katika kunasa na kuhifadhi [[Kaboni|kaboni.]]
== Historia ==
Uchimbaji wa visima una historia ndefu. Katika nasaba ya Han (202) BC – 220 AD), [[Wachina]] walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mwanasayansi wa sinojia na mwanahistoria wa [[Uingereza]] [[Michael Loewe]] anasema kwamba maeneo ya visima yanaweza kufikia kina cha hadi {{Convert|600|m|ft}} . <ref name="loewe 1968 194">Loewe (1968), 194.</ref> KS Tom anaelezea mchakato wa kuchimba visima: "Njia ya Kichina ya kuchimba visima kwa kina ilikamilishwa na timu ya wanaume kuruka juu na kutoka kwenye boriti ili kugusa sehemu ya kuchimba visima huku kifaa cha kuchimba kikizungushwa na nyati na ng'ombe." <ref name="tom 1989 103">Tom (1989), 103.</ref> Hii ilikuwa njia ile ile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba [[Mafuta ya petroli|mafuta]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kumpiga chini"). <ref name="tom 1989 103" /> <ref name="Hobson 2004 215">{{Rejea kitabu|title=The Eastern Origins of Western Civilisation|last=Hobson|first=John M.|publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn=978-0521547246|pages=215}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Magharibi ya Han kilichogunduliwa huko Xinglong, [[Hebei]] kilikuwa na [[Shaft mining|mashimo ya kuchimba madini]] yaliyo karibu ambayo yalifikia kina cha {{Convert|100|m|ft}} zenye maeneo makubwa ya uchimbaji madini; migodi na vyumba vilikuwa vimekamilika vikiwa na fremu ya mbao, ngazi na vifaa vya chuma. <ref name="loewe 1968 191">Loewe (1968), 191.</ref> <ref name="wang 1982 105">Wang (1982), 105.</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
ra95b4vdtgc2i3luvq014f2ssnx3lun
1570712
1570687
2026-06-11T06:51:58Z
Anuary Rajabu
45588
1570712
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|Uchimbaji wa visima virefu]]
'''Visima virefu''' ni [[Mashimo ya ajabu|mashimo]] membamba yanayochimbuliwa ardhini, kwa wima au kwa usawa.Visima virefu vinaweza kuchimbwa kwa malengo mbalimbali, ikiwemo kuchota [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), [[vimiminika]] vingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]), au gesi (kama vile [[gesi asilia]]).
Viinaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya hali ya mazingira ya eneo, utafutaji wa [[madini]], upimaji wa [[joto]], kama shimo la kuweka nguzo au [[miundombinu]] ya chini ya ardhi, kwa ajili ya ufungaji wa mitambo ya jotoardhi, au kwa ajili ya kuhifadhi vitu hatari chini ya ardhi, kwa mfano katika kunasa na kuhifadhi [[Kaboni|kaboni.]]
== Historia ==
Uchimbaji wa visima una historia ndefu. Katika nasaba ya Han (202) BC – 220 AD), [[Wachina]] walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mwanasayansi wa sinojia na mwanahistoria wa [[Uingereza]] [[Michael Loewe]] anasema kwamba maeneo ya visima yanaweza kufikia kina cha hadi {{Convert|600|m|ft}} . <ref name="loewe 1968 194">Loewe (1968), 194.</ref>
KS Tom anaelezea mchakato wa kuchimba visima: "Njia ya Kichina ya kuchimba visima kwa kina ilikamilishwa na timu ya wanaume kuruka juu na kutoka kwenye boriti ili kugusa sehemu ya kuchimba visima huku kifaa cha kuchimba kikizungushwa na nyati na ng'ombe." <ref name="tom 1989 103">Tom (1989), 103.</ref> Hii ilikuwa njia ile ile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba [[Mafuta ya petroli|mafuta]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kumpiga chini"). <ref name="tom 1989 103" /> <ref name="Hobson 2004 215">{{Rejea kitabu|title=The Eastern Origins of Western Civilisation|last=Hobson|first=John M.|publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn=978-0521547246|pages=215}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Magharibi ya Han kilichogunduliwa huko Xinglong, [[Hebei]] kilikuwa na [[Shaft mining|mashimo ya kuchimba madini]] yaliyo karibu ambayo yalifikia kina cha {{Convert|100|m|ft}} zenye maeneo makubwa ya uchimbaji madini; migodi na vyumba vilikuwa vimekamilika vikiwa na fremu ya mbao, ngazi na vifaa vya chuma. <ref name="loewe 1968 191">Loewe (1968), 191.</ref> <ref name="wang 1982 105">Wang (1982), 105.</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
qt14saxlsg0hr0voxe2g0dx5uhz9oia
1570721
1570712
2026-06-11T07:18:42Z
AlwiyaGhareeb
83622
nimetoa link ya neno la kingereza
1570721
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|Uchimbaji wa visima virefu]]
'''Visima virefu''' ni [[Mashimo ya ajabu|mashimo]] membamba yanayochimbuliwa ardhini, kwa wima au kwa usawa.Visima virefu vinaweza kuchimbwa kwa malengo mbalimbali, ikiwemo kuchota [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), [[vimiminika]] vingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]), au gesi (kama vile [[gesi asilia]]).
Viinaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya hali ya mazingira ya eneo, utafutaji wa [[madini]], upimaji wa [[joto]], kama shimo la kuweka nguzo au [[miundombinu]] ya chini ya ardhi, kwa ajili ya ufungaji wa mitambo ya jotoardhi, au kwa ajili ya kuhifadhi vitu hatari chini ya ardhi, kwa mfano katika kunasa na kuhifadhi [[Kaboni|kaboni.]]
== Historia ==
Uchimbaji wa visima una historia ndefu. Katika nasaba ya Han (202) BC – 220 AD), [[Wachina]] walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mwanasayansi wa sinojia na mwanahistoria wa [[Uingereza]] [[Michael Loewe]] anasema kwamba maeneo ya visima yanaweza kufikia kina cha hadi {{Convert|600|m|ft}} . <ref name="loewe 1968 194">Loewe (1968), 194.</ref>
KS Tom anaelezea mchakato wa kuchimba visima: "Njia ya Kichina ya kuchimba visima kwa kina ilikamilishwa na timu ya wanaume kuruka juu na kutoka kwenye boriti ili kugusa sehemu ya kuchimba visima huku kifaa cha kuchimba kikizungushwa na nyati na ng'ombe." <ref name="tom 1989 103">Tom (1989), 103.</ref> Hii ilikuwa njia ile ile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba [[Mafuta ya petroli|mafuta]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kumpiga chini"). <ref name="tom 1989 103" /> <ref name="Hobson 2004 215">{{Rejea kitabu|title=The Eastern Origins of Western Civilisation|last=Hobson|first=John M.|publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn=978-0521547246|pages=215}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Magharibi ya Han kilichogunduliwa huko Xinglong, [[Hebei]] kilikuwa na mashimo ya kuchimba madini yaliyo karibu ambayo yalifikia kina cha {{Convert|100|m|ft}} zenye maeneo makubwa ya uchimbaji madini; migodi na vyumba vilikuwa vimekamilika vikiwa na fremu ya mbao, ngazi na vifaa vya chuma. <ref name="loewe 1968 191">Loewe (1968), 191.</ref> <ref name="wang 1982 105">Wang (1982), 105.</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
pz3vnsmm4qc2ycges23e7gi3ji550q6
1570746
1570721
2026-06-11T07:52:03Z
Riccardo Riccioni
452
1570746
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|Uchimbaji wa visima virefu]]
'''Uchimbaji wa visima virefu''' unahusu [[shimo|mashimo]] membamba yanayochimbuliwa ardhini, kwa wima au kwa usawa. Visima virefu vinaweza kuchimbwa kwa malengo mbalimbali, ikiwemo kuchota [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), [[vimiminika]] vingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]), au gesi (kama vile [[gesi asilia]]).
Viinaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya hali ya mazingira ya eneo, utafutaji wa [[madini]], upimaji wa [[joto]], kama shimo la kuweka nguzo au [[miundombinu]] ya chini ya ardhi, kwa ajili ya ufungaji wa mitambo ya jotoardhi, au kwa ajili ya kuhifadhi vitu hatari chini ya ardhi, kwa mfano katika kunasa na kuhifadhi [[Kaboni|kaboni.]]
== Historia ==
Uchimbaji wa visima una historia ndefu. Katika nasaba ya Han (202) BC – 220 AD), [[Wachina]] walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mwanasayansi wa sinojia na mwanahistoria wa [[Uingereza]] [[Michael Loewe]] anasema kwamba maeneo ya visima yanaweza kufikia kina cha hadi {{Convert|600|m|ft}} . <ref name="loewe 1968 194">Loewe (1968), 194.</ref>
KS Tom anaelezea mchakato wa kuchimba visima: "Njia ya Kichina ya kuchimba visima kwa kina ilikamilishwa na timu ya wanaume kuruka juu na kutoka kwenye boriti ili kugusa sehemu ya kuchimba visima huku kifaa cha kuchimba kikizungushwa na nyati na ng'ombe." <ref name="tom 1989 103">Tom (1989), 103.</ref> Hii ilikuwa njia ile ile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba [[Mafuta ya petroli|mafuta]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kumpiga chini"). <ref name="tom 1989 103" /> <ref name="Hobson 2004 215">{{Rejea kitabu|title=The Eastern Origins of Western Civilisation|last=Hobson|first=John M.|publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn=978-0521547246|pages=215}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Magharibi ya Han kilichogunduliwa huko Xinglong, [[Hebei]] kilikuwa na mashimo ya kuchimba madini yaliyo karibu ambayo yalifikia kina cha {{Convert|100|m|ft}} zenye maeneo makubwa ya uchimbaji madini; migodi na vyumba vilikuwa vimekamilika vikiwa na fremu ya mbao, ngazi na vifaa vya chuma. <ref name="loewe 1968 191">Loewe (1968), 191.</ref> <ref name="wang 1982 105">Wang (1982), 105.</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
9mj126n0tqudorooyg96kq9gecxup2d
1570774
1570746
2026-06-11T08:26:41Z
Riccardo Riccioni
452
1570774
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borewell digging.jpg|thumb|Uchimbaji wa visima virefu]]
'''Uchimbaji wa visima virefu''' unahusu [[shimo|mashimo]] membamba yanayochimbuliwa ardhini, kwa wima au kwa usawa. Visima virefu vinaweza kuchimbwa kwa malengo mbalimbali, ikiwemo kuchota [[maji]] (kisima cha maji kilichochimbwa na kisima cha bomba), [[vimiminika]] vingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]), au gesi (kama vile [[gesi asilia]]).
Viinaweza pia kuwa sehemu ya uchunguzi wa kijiolojia, tathmini ya hali ya mazingira ya eneo, utafutaji wa [[madini]], upimaji wa [[joto]], kama shimo la kuweka nguzo au [[miundombinu]] ya chini ya ardhi, kwa ajili ya ufungaji wa mitambo ya jotoardhi, au kwa ajili ya kuhifadhi vitu hatari chini ya ardhi, kwa mfano katika kunasa na kuhifadhi [[Kaboni|kaboni.]]
== Historia ==
Uchimbaji wa visima una historia ndefu. Katika nasaba ya Han (202) BC – 220 AD), [[Wachina]] walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mwanasayansi wa sinojia na mwanahistoria wa [[Uingereza]] [[Michael Loewe]] anasema kwamba maeneo ya visima yanaweza kufikia kina cha hadi {{Convert|600|m|ft}} . <ref name="loewe 1968 194">Loewe (1968), 194.</ref>
KS Tom anaelezea mchakato wa kuchimba visima: "Njia ya Kichina ya kuchimba visima kwa kina ilikamilishwa na timu ya wanaume kuruka juu na kutoka kwenye boriti ili kugusa sehemu ya kuchimba visima huku kifaa cha kuchimba kikizungushwa na nyati na ng'ombe." <ref name="tom 1989 103">Tom (1989), 103.</ref> Hii ilikuwa njia ile ile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba [[Mafuta ya petroli|mafuta]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kumpiga chini"). <ref name="tom 1989 103" /> <ref name="Hobson 2004 215">{{Rejea kitabu|title=The Eastern Origins of Western Civilisation|last=Hobson|first=John M.|publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn=978-0521547246|pages=215}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Magharibi ya Han kilichogunduliwa huko Xinglong, [[Hebei]] kilikuwa na mashimo ya kuchimba madini yaliyo karibu ambayo yalifikia kina cha {{Convert|100|m|ft}} zenye maeneo makubwa ya uchimbaji madini; migodi na vyumba vilikuwa vimekamilika vikiwa na fremu ya mbao, ngazi na vifaa vya chuma. <ref name="loewe 1968 191">Loewe (1968), 191.</ref> <ref name="wang 1982 105">Wang (1982), 105.</ref>
== Umuhimu ==
Wahandisi na washauri wa [[mazingira]] hutumia neno ''kisima kirefu'' kuelezea kwa pamoja aina zote za mashimo yanayochimbwa kama sehemu ya [[uchunguzi]] wa kijiohini au tathmini ya kimazingira ya tovuti (inayojulikana kama ''Phase II ESA''). Hii inajumuisha mashimo yanayochimbwa ili kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya [[miamba]], kuingiza vifaa vya sampuli vya ''in situ'', au kusakinisha visima vya kufuatilia au ''piezometers''. Sampuli zilizokusanywa kutoka kwenye ''borehole'' mara nyingi hupimwa katika maabara ili kubaini tabia zao za kifizikia, au kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi.
Kwa kawaida, kisima kirefu kinachotumika kama kisima cha maji hukamilishwa kwa kusakinisha bomba la wima na chujio la kisima ili kuzuia kisima kirefu kuporomoka. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi vya juu ya ardhi kuingia kwenye kisima kirefu na hulinda pampu yoyote iliyosakinishwa isivute mchanga na [[mashapo]]. Visima vya mafuta na [[gesi asilia]] hukamilishwa kwa njia inayofanana, ingawa kwa kawaida huwa na utata zaidi.
Kama ilivyoelezewa katika ''[[Proxy server|proxy]]'' ([[hali ya hewa]]), vipimo vya halijoto vya kisima kirefu katika mfululizo wa kina tofauti vinaweza "kubadilishwa" kwa ufanisi (fomula ya hisabati ya kutatua mlinganyo wa matrix) ili kusaidia kukadiria halijoto ya kihistoria ya uso wa ardhi.
Makundi ya visima virefu vyenye kipenyo kidogo vilivyowekewa vibadilisha joto vilivyotengenezwa kwa bomba la plastiki la PEX yanaweza kutumika kuhifadhi joto au baridi kati ya misimu tofauti katika tungamo la mwamba asilia. Mbinu hii inaitwa [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|hifadhi ya nishati ya joto ya]] [[Hifadhi ya nishati ya joto ya msimu|msimu]]. Midia inayoweza kutumika kwa mbinu hii huanzia changarawe hadi mwamba mgumu. Kunaweza kuwa na visima virefu vichache hadi mamia kadhaa, na kivitendo, kina kimeanzia mita 50 hadi 300 (futi 150 hadi 1,000).<ref>https://arquivo.pt/wayback/20160522223452/http:/www.annex29.net/extern/10_HELLSTROM_Zurich%20080519.pdf</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=No title|url=https://heatpumpingtechnologies.org/publications/51667/|work=HPT - Heat Pumping Technologies|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Historia ==
[[Faili:Drilling boreholes for clean water (9084603915).jpg|thumb|232x232px|Mwanamke nchini Uganda anachota maji kutoka kwenye kisima kirefu na pampu ya mkono iliyounganishwa.]]
Uchimbaji wa kisima kirefu una historia ndefu. Kufikia angalau nasaba ya Han (202 KK – 220 BK), Wachina walitumia uchimbaji wa visima virefu kwa ajili ya uchimbaji madini na miradi mingine. Mtaalamu wa mambo ya China na mwanahistoria wa Uingereza, [[Michael Loewe]], anasema kuwa maeneo ya visima virefu yangeweza kufikia kina cha hadi mita 600 (futi 2,000). K.S. Tom anaelezea mchakato huo wa kuchimba: "Njia ya Kichina ya uchimbaji wa kina ilikamilishwa na kikundi cha watu wanaoruka juu na chini kwenye mhimili ili kuupiga [[msumari]] wa kuchimba huku zana ya kuchimba ikizungushwa na nyati na ng'ombe." Hii ilikuwa njia ileile iliyotumika kwa ajili ya kuchimba mafuta ya [[petroli]] huko [[California]] wakati wa miaka ya 1860 (yaani "kicking her down").<ref>{{Rejea kitabu|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0521547246|title=The Eastern origins of Western civilisation|last=Hobson|first=John M.|date=2013|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-54724-6|edition=10. print|location=Cambridge}}</ref> Kiwanda cha shaba cha nasaba ya Western Han kilichogundulika huko Xinglong, Hebei, kilikuwa na migodi ya karibu iliyofikia kina cha mita 100 (futi 330) yenye maeneo mapana ya kuchimba; migodi hiyo na vyumba vilikuwa na fremu za mbao, ngazi, na zana za chuma. Kufikia karne ya kwanza KK, mafundi wa Kichina walitengeneza misumari ya kuchimba ya chuma na wachimbaji waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 1,500 (futi 4,900).<ref>https://archive.org/details/factsonfilechron00reze</ref><ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref> Kufikia karne ya kumi na moja BK, Wachina waliweza kuchimba visima virefu hadi kina cha mita 900 (futi 3,000). Uchimbaji wa visima virefu ulikuwa wa muda mrefu na mgumu. Kwa kuwa kina cha mashimo kilitofautiana, uchimbaji wa kisima kimoja ungeweza kuchukua karibu muongo mmoja mzima. Haikuwa hadi karne ya 19 ambapo Ulaya na nchi za Magharibi ziliweza kufikia na kushindana na teknolojia ya kale ya Kichina ya uchimbaji wa visima virefu.<ref>https://archive.org/details/peopleshistoryof0000conn/page/175</ref>
[[Faili:Borehole 01.jpg|thumb|228x228px|Kisima kilichochimbwa nchini Ghana; kisima hakionekani]]
Kwa miaka mingi, kisima kirefu kirefu zaidi duniani kilikuwa Kola Superdeep Borehole nchini [[Urusi]]. Kuanzia mwaka [[2011]] hadi Agosti [[2012]], rekodi hiyo ilishikiliwa na kisima cha Sakhalin-I Odoptu OP-11 chenye urefu wa mita 12,345 (futi 40,502), kilichopo pwani ya kisiwa cha [[Sakhalin]] nchini [[Urusi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Sakhalin-1 Project Drills World's Longest Extended-Reach Well|url=http://www.ordons.com/asia/far-east/9976-sakhalin-1-project-drills-worlds-longest-extended-reach-well.html|work=www.ordons.com|accessdate=2026-06-10|language=en-gb|author=Jorge Palma}}</ref> Kisima cha Chayvo Z-44 chenye uwezo wa kufika mbali zaidi kilichukua taji la kisima kirefu kirefu zaidi duniani mnamo tarehe 27 Agosti 2012. Jumla ya kina kilichopimwa cha Z-44 ni mita 12,376 (futi 40,604). Hata hivyo, visima vya ERD ni vifupi zaidi kuliko kisima kirefu cha Kola, kutokana na usambazaji mkubwa wa mlalo. Mnamo Julai 2023, China ilianza kuchimba visima virefu, kimoja katika Bonde la Sichuan kinachotarajiwa kufikia mita 10,520 (futi 34,510) ndani ya ardhi na kingine katika Bonde la Tarim chenye kina kilichopangwa cha mita 11,100 (futi 36,400).<ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the world’s deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.cnn.com/2023/07/21/china/china-second-superdeep-borehole-intl-hnk|work=CNN|date=2023-07-21|accessdate=2026-06-10|language=en|author=Chris Lau}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=China is drilling some of the deepest holes in hunt for natural resources|url=https://www.nine.com.au/world-news/china-is-drilling-some-of-the-worlds-deepest-holes-in-hunt-for-natural-resources-20230723-p5ytty.html|work=Nine.com.au|date=2023-07-23|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref>
== Mbinu ==
[[Faili:AlburyBoreHole.jpg|thumb|233x233px|Kisima kirefu cha rasilimali za maji kinachoingia katika tabaka la maji la chokaa (chalk aquifer) chini ya North Downs, Uingereza huko Albury.]]
Wachimbaji wanaweza kuchimba kisima kirefu kwa kutumia mtambo wa kuchimba au mtambo unaoendeshwa kwa mkono. Mitambo na mbinu za kuendeleza kisima kirefu hutofautiana kwa kiasi kikubwa kulingana na mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na madhumuni yaliyokusudiwa. Kwa uchimbaji wa baharini, vitengo vinavyoelea au majukwaa yanayotegemezwa na sakafu ya bahari hutumiwa kwa ajili ya mtambo wa kuchimba.
== Kuchimba kwa mikono ==
[[Faili:Borehole-Manual-Digging-Process-2050-Paris.jpg|thumb|Wachimba visima wawili wakichimba kisima kwa mikono]]
Hasa katika nchi zinazoendelea, visima virefu vingi bado huchimbwa kwa mkono. Uchimbaji huanza kwa kazi ya mikono kwa kutumia zana za kimsingi kama vile majembe, sululu, na vipaaza. Wafanyakazi huchimba udongo safu kwa safu, mara nyingi wakitumia mzunguko wa duara ili kutengeneza shimo lenye umbo zuri. Mchakato huu ni wa polepole na wenye kuhitaji nguvu nyingi, ukihitaji kazi ya pamoja na uratibu. Ili kuzuia kuta zisiporomoke na kuhakikisha ubora wa maji, kisima kirefu hufunikwa kwa ndani na vifaa kama vile matofali, mawe, au pete za zege. Uimarishaji huu hudumisha uimara wa muundo wa kisima kirefu na husaidia kuzuia uchafuzi. Jukwaa la zege au slab inaweza kusakinishwa chini ili kuzuia mashapo yasiingie kwenye maji. Sehemu ya juu ya kisima kirefu hufunikwa ili kukilinda dhidi ya uchafu na uchafuzi.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://2050.paris/lander?oref=https://en.wikipedia.org/|work=2050.paris|accessdate=2026-06-10}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:maji]]
[[Jamii:AWC 2026]]
pbmbpw1zdc2yh3mecu4lmfqam6fh51x
Dawie Ackermann
0
240697
1570640
2026-06-10T23:51:08Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dawid Schalk Pienaar "Dawie" Ackermann''' (3 Juni 1930 – 1 Januari 1970) alikuwa mchezaji wa kimataifa wa [[Afrika Kusini]] wa mchezo wa Raga ya Muungano na Raga ya Ligi. Nafasi yake uwanjani ilikuwa flanker (au loose forward katika Raga ya Ligi). == Maisha ya uchezaji katika rugby union == Ackermann alianza taaluma yake kama mchezaji wa raga ya muungano, akiichezea timu za Western Province na Transvaal. Pia alicheza mechi nane za kimataifa za majar...'
1570640
wikitext
text/x-wiki
'''Dawid Schalk Pienaar "Dawie" Ackermann''' (3 Juni 1930 – 1 Januari 1970) alikuwa mchezaji wa kimataifa wa [[Afrika Kusini]] wa mchezo wa Raga ya Muungano na Raga ya Ligi. Nafasi yake uwanjani ilikuwa flanker (au loose forward katika Raga ya Ligi).
== Maisha ya uchezaji katika rugby union ==
Ackermann alianza taaluma yake kama mchezaji wa raga ya muungano, akiichezea timu za Western Province na Transvaal. Pia alicheza mechi nane za kimataifa za majaribio kwa timu ya taifa ya Afrika Kusini kati ya mwaka 1955 na 1958.
== Maisha ya uchezaji katika rugby league ==
Mwaka 1962, Ackermann alikuwa miongoni mwa wachezaji kadhaa mashuhuri wa Afrika Kusini waliobadili kutoka rugby union kwenda rugby league. Alichaguliwa na RLSA kucheza katika mfululizo wa mechi tatu dhidi ya timu ya taifa ya Uingereza, ambayo ilikuwa ikirejea kutoka ziara yake ya mwaka 1962 nchini Australia na New Zealand.<ref>{{cite book|first1=Peter|last1=Lush|first2=Hendrik|last2=Snyders|title=Tries and Conversions: South African Rugby League Players|date=2015|publisher=London League Publications|isbn=978-1909885073}}</ref>
Ackermann alicheza katika mechi zote tatu za mfululizo huo na kufunga ''try'' moja katika mchezo wa pili.<ref>{{cite book|first1=Peter|last1=Lush|first2=Hendrik|last2=Snyders|title=Tries and Conversions: South African Rugby League Players|date=2015|publisher=London League Publications|isbn=978-1909885073}}</ref>
Mwaka 1963 alikuwa sehemu ya kikosi kilichofanya ziara nchini Australia na New Zealand, na aliiongoza timu kama nahodha katika mechi mbili dhidi ya timu ya taifa ya Australia.<ref>{{cite web|title=Australia vs South Africa 1963 Series - Game 1|url=http://www.rugbyleagueproject.org/matches/australia-vs-south-africa-1963/game-1/australia-vs-south-africa/summary.html|publisher=Rugby League Project|access-date=10 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite web|title=Australia vs South Africa 1963 Series – Game 2|url=http://www.rugbyleagueproject.org/matches/australia-vs-south-africa-1963/game-2/australia-vs-south-africa/summary.html|publisher=Rugby League Project|access-date=10 Novemba 2016}}</ref>
Baada ya rugby league kuporomoka nchini Afrika Kusini kufuatia ziara hiyo, Ackermann alilazimika kustaafu kutokana na marufuku iliyowekwa kwa wachezaji wa rugby league kushiriki katika mashindano ya rugby union.
Alifariki kutokana na mshtuko wa moyo mwezi Januari 1970 akiwa na umri wa miaka 39.<ref>{{cite news|title=Rugby star dies|url=https://www.britishnewspaperarchive.co.uk/viewer/bl/0005765/19700105/305/0016|work=Evening News|date=5 Januari 1970|location=London|page=16|via=British Newspaper Archive|url-access=subscription}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1930|1970}}
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wachezaji]]
eyu3xohh4ymrhegxehej6vj44e94piq
1570747
1570640
2026-06-11T07:54:00Z
Riccardo Riccioni
452
1570747
wikitext
text/x-wiki
'''Dawid Schalk Pienaar "Dawie" Ackermann''' (3 Juni 1930 – 1 Januari 1970) alikuwa mchezaji wa kimataifa wa [[Afrika Kusini]] wa mchezo wa Raga ya Muungano na Raga ya Ligi. Nafasi yake uwanjani ilikuwa flanker (au loose forward katika Raga ya Ligi).
== Maisha ya uchezaji katika rugby union ==
Ackermann alianza taaluma yake kama mchezaji wa raga ya muungano, akiichezea timu za Western Province na Transvaal. Pia alicheza mechi nane za kimataifa za majaribio kwa timu ya taifa ya Afrika Kusini kati ya mwaka 1955 na 1958.
== Maisha ya uchezaji katika rugby league ==
Mwaka 1962, Ackermann alikuwa miongoni mwa wachezaji kadhaa mashuhuri wa Afrika Kusini waliobadili kutoka rugby union kwenda rugby league. Alichaguliwa na RLSA kucheza katika mfululizo wa mechi tatu dhidi ya timu ya taifa ya Uingereza, ambayo ilikuwa ikirejea kutoka ziara yake ya mwaka 1962 nchini Australia na New Zealand.<ref>{{cite book|first1=Peter|last1=Lush|first2=Hendrik|last2=Snyders|title=Tries and Conversions: South African Rugby League Players|date=2015|publisher=London League Publications|isbn=978-1909885073}}</ref>
Ackermann alicheza katika mechi zote tatu za mfululizo huo na kufunga ''try'' moja katika mchezo wa pili.<ref>{{cite book|first1=Peter|last1=Lush|first2=Hendrik|last2=Snyders|title=Tries and Conversions: South African Rugby League Players|date=2015|publisher=London League Publications|isbn=978-1909885073}}</ref>
Mwaka 1963 alikuwa sehemu ya kikosi kilichofanya ziara nchini Australia na New Zealand, na aliiongoza timu kama nahodha katika mechi mbili dhidi ya timu ya taifa ya Australia.<ref>{{cite web|title=Australia vs South Africa 1963 Series - Game 1|url=http://www.rugbyleagueproject.org/matches/australia-vs-south-africa-1963/game-1/australia-vs-south-africa/summary.html|publisher=Rugby League Project|access-date=10 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite web|title=Australia vs South Africa 1963 Series – Game 2|url=http://www.rugbyleagueproject.org/matches/australia-vs-south-africa-1963/game-2/australia-vs-south-africa/summary.html|publisher=Rugby League Project|access-date=10 Novemba 2016}}</ref>
Baada ya rugby league kuporomoka nchini Afrika Kusini kufuatia ziara hiyo, Ackermann alilazimika kustaafu kutokana na marufuku iliyowekwa kwa wachezaji wa rugby league kushiriki katika mashindano ya rugby union.
Alifariki kutokana na mshtuko wa moyo mwezi Januari 1970 akiwa na umri wa miaka 39.<ref>{{cite news|title=Rugby star dies|url=https://www.britishnewspaperarchive.co.uk/viewer/bl/0005765/19700105/305/0016|work=Evening News|date=5 Januari 1970|location=London|page=16|via=British Newspaper Archive|url-access=subscription}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1930|1970}}
[[Jamii:Wau wa Afrika Kusini]]
epeg4nlnt0nve3hv9de9ovyf7o7hddq
Johan Ackermann
0
240698
1570641
2026-06-10T23:56:56Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Johannes Nicolaas "Johan" Ackermann''' (amezaliwa tarehe 3 Juni 1970) ni kocha wa kulipwa wa Raga ya Muungano kutoka [[Afrika Kusini]] na mchezaji wa zamani. Alicheza katika nafasi ya Lock wakati wa maisha yake ya uchezaji kati ya mwaka 1995 na 2007. Kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya Bulls . == Maisha ya uchezaji == Mwaka 2007, Ackermann alikua mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuichezea timu ya taifa ya Springbok, akiwa na umri wa miaka 37. B...'
1570641
wikitext
text/x-wiki
'''Johannes Nicolaas "Johan" Ackermann''' (amezaliwa tarehe 3 Juni 1970) ni kocha wa kulipwa wa Raga ya Muungano kutoka [[Afrika Kusini]] na mchezaji wa zamani. Alicheza katika nafasi ya Lock wakati wa maisha yake ya uchezaji kati ya mwaka 1995 na 2007. Kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya Bulls .
== Maisha ya uchezaji ==
Mwaka 2007, Ackermann alikua mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuichezea timu ya taifa ya Springbok, akiwa na umri wa miaka 37. Baada ya Kombe la Dunia la Rugby la 2007 nchini Ufaransa, aliitwa tena katika kikosi cha Springbok kucheza dhidi ya Barbarians. Huo ulikuwa mchezo wake wa mwisho katika ngazi ya kimataifa.
Ackermann alistaafu mchezo wa raga ya kulipwa kwa ushindi tarehe 1 Machi 2008, wakati Sharks walipoifunga Bulls kwa mabao 29–15 katika uwanja wa Loftus Versfeld. Alikuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushiriki katika historia ya Super Rugby wakati huo.
== Maisha ya ukocha ==
Ackermann alikuwa kocha wa wachezaji wa mbele wa Lions katika mashindano ya Super Rugby chini ya kocha mkuu John Mitchell . Mitchell alipoondoka katika chama hicho, Ackermann alichukua nafasi yake. Alipata mafanikio makubwa kama kocha, ikiwa ni pamoja na kushinda tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka ya SARU mwaka 2014, ambao ulikuwa mwaka wake wa kwanza kama kocha mkuu.
Mwaka 2013 aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu za Lions katika Super Rugby na Golden Lions katika mashindano ya Currie Cup.
Kabla ya msimu wa 2017–18, aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Gloucester inayoshiriki Ligi Kuu ya Raga nchini Uingereza.<ref name="Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach">{{cite press release|url=http://www.gloucesterrugby.co.uk/news/13712.php|title=Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach|publisher=Gloucester Rugby|date=3 Aprili 2017|access-date=3 Aprili 2017}}</ref>
Mwisho wa Juni 2020, aliondoka Gloucester na kujiunga na klabu ya Kijapani ya Red Hurricanes kama kocha mkuu.<ref>{{Cite news|date=2020-05-15|title=Johan Ackermann: Gloucester head coach leaves to join Red Hurricanes|language=en-gb|work=BBC Sport|url=https://www.bbc.co.uk/sport/rugby-union/52673923|access-date=2020-05-15}}</ref> Nafasi yake Gloucester ilichukuliwa na George Skivington.<ref>{{Cite web|date=2020-06-27|title=Gloucester Rugby announce the appointment of George Skivington as Head Coach|url=https://www.gloucesterrugby.co.uk/2020/06/27/gloucester-rugby-announce-the-appointment-of-george-skivington-as-head-coach/|access-date=2020-06-27|website=Gloucester Rugby|language=en-US}}</ref>
Tarehe 16 Julai 2025, alitangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Vodacom Bulls.<ref>{{cite web|title='A dream come true,' says Johan Ackermann as he is appointed Bulls coach|work=TimesLIVE|url=https://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2025-07-16-a-dream-come-true-says-johan-ackermann-as-he-is-appointed-bulls-coach/}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ackermann ameoa na ana wana wawili pamoja na binti mmoja.<ref>{{Cite web|last=Iles|first=Robert|date=2018-08-18|title=Johan Ackermann on one year at Gloucester and feeling at 'Holm|url=https://www.gloucestershirelive.co.uk/sport/rugby/rugby-news/one-year-johan-ackermann-gloucester-1899325|access-date=2021-07-24|website=GloucestershireLive|language=en}}</ref>
Yeye ni Mkristo mwenye imani thabiti.<ref>{{Cite web|date=2017-11-01|title=Gloucester hoping Johan Ackermann can work another miracle|url=http://www.theguardian.com/sport/2017/nov/01/gloucester-johan-ackermann-the-breakdown|access-date=2021-07-24|website=The Guardian|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
* Orodha ya wanamichezo walioadhibiwa kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu mwilini
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1970|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
bz1q1b9bam0bkwrlth6okt4wbxoyco5
1570684
1570641
2026-06-11T05:36:26Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced.
1570684
wikitext
text/x-wiki
'''Johannes Nicolaas "Johan" Ackermann''' (amezaliwa tarehe 3 Juni 1970) ni kocha wa kulipwa wa Raga ya Muungano kutoka [[Afrika Kusini]] na mchezaji wa zamani. Alicheza katika nafasi ya Lock wakati wa maisha yake ya uchezaji kati ya mwaka 1995 na 2007. Kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya Bulls .
== Maisha ya uchezaji ==
Mwaka 2007, Ackermann alikua mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuichezea timu ya taifa ya Springbok, akiwa na umri wa miaka 37. Baada ya Kombe la Dunia la Rugby la 2007 nchini Ufaransa, aliitwa tena katika kikosi cha Springbok kucheza dhidi ya Barbarians. Huo ulikuwa mchezo wake wa mwisho katika ngazi ya kimataifa.
Ackermann alistaafu mchezo wa raga ya kulipwa kwa ushindi tarehe 1 Machi 2008, wakati Sharks walipoifunga Bulls kwa mabao 29–15 katika uwanja wa Loftus Versfeld. Alikuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushiriki katika historia ya Super Rugby wakati huo.
== Maisha ya ukocha ==
Ackermann alikuwa kocha wa wachezaji wa mbele wa Lions katika mashindano ya Super Rugby chini ya kocha mkuu John Mitchell . Mitchell alipoondoka katika chama hicho, Ackermann alichukua nafasi yake. Alipata mafanikio makubwa kama kocha, ikiwa ni pamoja na kushinda tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka ya SARU mwaka 2014, ambao ulikuwa mwaka wake wa kwanza kama kocha mkuu.
Mwaka 2013 aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu za Lions katika Super Rugby na Golden Lions katika mashindano ya Currie Cup.
Kabla ya msimu wa 2017–18, aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Gloucester inayoshiriki Ligi Kuu ya Raga nchini Uingereza.<ref name="Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach">{{cite press release|url=http://www.gloucesterrugby.co.uk/news/13712.php|title=Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach|publisher=Gloucester Rugby|date=3 Aprili 2017|access-date=3 Aprili 2017}}</ref>
Mwisho wa Juni 2020, aliondoka Gloucester na kujiunga na klabu ya Kijapani ya Red Hurricanes kama kocha mkuu.<ref>{{Rejea habari|date=2020-05-15|title=Johan Ackermann: Gloucester head coach leaves to join Red Hurricanes|language=en-gb|work=BBC Sport|url=https://www.bbc.co.uk/sport/rugby-union/52673923|access-date=2020-05-15}}</ref> Nafasi yake Gloucester ilichukuliwa na George Skivington.<ref>{{Rejea tovuti|date=2020-06-27|title=Gloucester Rugby announce the appointment of George Skivington as Head Coach|url=https://www.gloucesterrugby.co.uk/2020/06/27/gloucester-rugby-announce-the-appointment-of-george-skivington-as-head-coach/|access-date=2020-06-27|website=Gloucester Rugby|language=en-US}}</ref>
Tarehe 16 Julai 2025, alitangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Vodacom Bulls.<ref>{{cite web|title='A dream come true,' says Johan Ackermann as he is appointed Bulls coach|work=TimesLIVE|url=https://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2025-07-16-a-dream-come-true-says-johan-ackermann-as-he-is-appointed-bulls-coach/}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ackermann ameoa na ana wana wawili pamoja na binti mmoja.<ref>{{Rejea tovuti|last=Iles|first=Robert|date=2018-08-18|title=Johan Ackermann on one year at Gloucester and feeling at 'Holm|url=https://www.gloucestershirelive.co.uk/sport/rugby/rugby-news/one-year-johan-ackermann-gloucester-1899325|access-date=2021-07-24|website=GloucestershireLive|language=en}}</ref>
Yeye ni Mkristo mwenye imani thabiti.<ref>{{Rejea tovuti|date=2017-11-01|title=Gloucester hoping Johan Ackermann can work another miracle|url=http://www.theguardian.com/sport/2017/nov/01/gloucester-johan-ackermann-the-breakdown|access-date=2021-07-24|website=The Guardian|language=en}}</ref>
== Tazama pia ==
* Orodha ya wanamichezo walioadhibiwa kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu mwilini
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1970|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
n6dfk36do423uubgmh526sxvdmp4u2x
1570748
1570684
2026-06-11T07:55:03Z
Riccardo Riccioni
452
1570748
wikitext
text/x-wiki
'''Johannes Nicolaas "Johan" Ackermann''' (amezaliwa 3 Juni 1970) ni kocha wa kulipwa wa Raga ya Muungano kutoka [[Afrika Kusini]] na mchezaji wa zamani. Alicheza katika nafasi ya Lock wakati wa maisha yake ya uchezaji kati ya mwaka 1995 na 2007. Kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya Bulls .
== Maisha ya uchezaji ==
Mwaka 2007, Ackermann alikua mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuichezea timu ya taifa ya Springbok, akiwa na umri wa miaka 37. Baada ya Kombe la Dunia la Rugby la 2007 nchini Ufaransa, aliitwa tena katika kikosi cha Springbok kucheza dhidi ya Barbarians. Huo ulikuwa mchezo wake wa mwisho katika ngazi ya kimataifa.
Ackermann alistaafu mchezo wa raga ya kulipwa kwa ushindi tarehe 1 Machi 2008, wakati Sharks walipoifunga Bulls kwa mabao 29–15 katika uwanja wa Loftus Versfeld. Alikuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushiriki katika historia ya Super Rugby wakati huo.
== Maisha ya ukocha ==
Ackermann alikuwa kocha wa wachezaji wa mbele wa Lions katika mashindano ya Super Rugby chini ya kocha mkuu John Mitchell . Mitchell alipoondoka katika chama hicho, Ackermann alichukua nafasi yake. Alipata mafanikio makubwa kama kocha, ikiwa ni pamoja na kushinda tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka ya SARU mwaka 2014, ambao ulikuwa mwaka wake wa kwanza kama kocha mkuu.
Mwaka 2013 aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu za Lions katika Super Rugby na Golden Lions katika mashindano ya Currie Cup.
Kabla ya msimu wa 2017–18, aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Gloucester inayoshiriki Ligi Kuu ya Raga nchini Uingereza.<ref name="Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach">{{cite press release|url=http://www.gloucesterrugby.co.uk/news/13712.php|title=Johan Ackermann named as Gloucester Rugby Head Coach|publisher=Gloucester Rugby|date=3 Aprili 2017|access-date=3 Aprili 2017}}</ref>
Mwisho wa Juni 2020, aliondoka Gloucester na kujiunga na klabu ya Kijapani ya Red Hurricanes kama kocha mkuu.<ref>{{Rejea habari|date=2020-05-15|title=Johan Ackermann: Gloucester head coach leaves to join Red Hurricanes|language=en-gb|work=BBC Sport|url=https://www.bbc.co.uk/sport/rugby-union/52673923|access-date=2020-05-15}}</ref> Nafasi yake Gloucester ilichukuliwa na George Skivington.<ref>{{Rejea tovuti|date=2020-06-27|title=Gloucester Rugby announce the appointment of George Skivington as Head Coach|url=https://www.gloucesterrugby.co.uk/2020/06/27/gloucester-rugby-announce-the-appointment-of-george-skivington-as-head-coach/|access-date=2020-06-27|website=Gloucester Rugby|language=en-US}}</ref>
Tarehe 16 Julai 2025, alitangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Vodacom Bulls.<ref>{{cite web|title='A dream come true,' says Johan Ackermann as he is appointed Bulls coach|work=TimesLIVE|url=https://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2025-07-16-a-dream-come-true-says-johan-ackermann-as-he-is-appointed-bulls-coach/}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ackermann ameoa na ana wana wawili pamoja na binti mmoja.<ref>{{Rejea tovuti|last=Iles|first=Robert|date=2018-08-18|title=Johan Ackermann on one year at Gloucester and feeling at 'Holm|url=https://www.gloucestershirelive.co.uk/sport/rugby/rugby-news/one-year-johan-ackermann-gloucester-1899325|access-date=2021-07-24|website=GloucestershireLive|language=en}}</ref>
Yeye ni Mkristo mwenye imani thabiti.<ref>{{Rejea tovuti|date=2017-11-01|title=Gloucester hoping Johan Ackermann can work another miracle|url=http://www.theguardian.com/sport/2017/nov/01/gloucester-johan-ackermann-the-breakdown|access-date=2021-07-24|website=The Guardian|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1970|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
8eqnmrz4dbfguydgyi1sntee9o67evb
Ethan Adams
0
240699
1570642
2026-06-11T00:02:44Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ethan Adams''' (amezaliwa tarehe 3 Machi 2007) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya senta katika timu ya United Rugby Championship ya Lions pamoja na Timu ya taifa ya rugby union ya Afrika Kusini chini ya miaka 20. Adams alikuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi wa raga ya shule alipokuwa akisomea na kuichezea Grey College, ambapo baadhi ya wachambuzi walimtaja kuwa senta bora zaidi kuwahi kutokea katika raga ya shu...'
1570642
wikitext
text/x-wiki
'''Ethan Adams''' (amezaliwa tarehe 3 Machi 2007) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya senta katika timu ya United Rugby Championship ya Lions pamoja na Timu ya taifa ya rugby union ya Afrika Kusini chini ya miaka 20. Adams alikuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi wa raga ya shule alipokuwa akisomea na kuichezea Grey College, ambapo baadhi ya wachambuzi walimtaja kuwa senta bora zaidi kuwahi kutokea katika raga ya shule nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |last=Adams |first=Mariette |date=2024-04-28 |title=Is this the best-ever schoolboy centre in South Africa? |url=https://www.thesouthafrican.com/sport/rugby/rugby-is-this-the-best-ever-schoolboy-centre-in-south-africa/ |access-date=2026-04-26 |website=The South African |language=en-ZA}}</ref>
== Maisha ya awali ya mchezo ==
Mwaka 2024, Adams alitajwa kuwa mchezaji bora wa mashindano ya Global School Challenge akiwa na umri wa miaka 17 pekee.<ref>{{Cite web |title=Global Schools Challenge 2024 – Player and Team of the Tournament – SchoolBoyRugby Blog |url=https://schoolboyrugby.co.za/?p=45990 |access-date=2026-04-26 |language=en-ZA}}</ref> Uchezaji wake mzuri akiwa Grey College ulimwezesha kuchaguliwa katika timu ya Shule za Afrika Kusini (SA Schools) mwaka 2024 na 2025.<ref>{{Cite web |title=Ethan Adams |url=https://iconx360.com/talent/ethan-adams/ |access-date=2026-04-26 |website=ICONX360 |language=en-US}}</ref>
Adams aliwakilisha Cheetahs katika mashindano ya Wiki ya Craven ya mwaka 2024. Mwaka 2025 alisajiliwa na timu ya Lions.<ref>{{Cite web |date=2025-05-28 |title=Lions win the race for South Africa's schoolboy prodigy |url=https://www.rugbypass.com/news/lions-win-the-race-for-south-africas-schoolboy-prodigy/ |access-date=2026-04-26 |website=RugbyPass |language=en}}</ref>
== Kazi ya kimataifa ==
Mwaka 2026, Adams alijumuishwa katika kikosi cha Afrika Kusini chini ya miaka 20 kwa ajili ya ziara nchini Georgia kucheza mechi mbili za kirafiki. Alifanya mechi yake ya kwanza katika nafasi ya senta wa ndani katika ushindi wa mabao 35–0 dhidi ya Timu ya taifa ya rugby union ya Georgia chini ya miaka 20.<ref>{{Cite web |title=Junior Boks flawless in World Championship teaser against Georgia |url=https://rugby365.com/countries/georgia/junior-boks-flawless-in-world-championship-teaser-against-georgia/ |access-date=2026-04-26 |website=rugby365.com |language=en}}</ref>
Katika mchezo wake wa kwanza wa Mashindano ya Rugby ya Afrika Kusini chini ya miaka 20 ya 2026, alifunga majaribio mawili (tries) na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora wa mechi.<ref>{{Cite web |title=Rugby Championship U20 - Match report South Africa U20 vs Argentina U20, le 27/04/2026 |url=https://all.rugby/match/25356/rugby-championship-20-2026/southafrica-u20-argentina-u20 |access-date=2026-04-28 |website=all.rugby |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|2007|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
mdlnzydx7jow5geo27jz46qabbtrsfs
1570674
1570642
2026-06-11T05:03:44Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 6 template(s) replaced.
1570674
wikitext
text/x-wiki
'''Ethan Adams''' (amezaliwa tarehe 3 Machi 2007) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya senta katika timu ya United Rugby Championship ya Lions pamoja na Timu ya taifa ya rugby union ya Afrika Kusini chini ya miaka 20. Adams alikuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi wa raga ya shule alipokuwa akisomea na kuichezea Grey College, ambapo baadhi ya wachambuzi walimtaja kuwa senta bora zaidi kuwahi kutokea katika raga ya shule nchini Afrika Kusini.<ref>{{Rejea tovuti |last=Adams |first=Mariette |date=2024-04-28 |title=Is this the best-ever schoolboy centre in South Africa? |url=https://www.thesouthafrican.com/sport/rugby/rugby-is-this-the-best-ever-schoolboy-centre-in-south-africa/ |access-date=2026-04-26 |website=The South African |language=en-ZA}}</ref>
== Maisha ya awali ya mchezo ==
Mwaka 2024, Adams alitajwa kuwa mchezaji bora wa mashindano ya Global School Challenge akiwa na umri wa miaka 17 pekee.<ref>{{Rejea tovuti |title=Global Schools Challenge 2024 – Player and Team of the Tournament – SchoolBoyRugby Blog |url=https://schoolboyrugby.co.za/?p=45990 |access-date=2026-04-26 |language=en-ZA}}</ref> Uchezaji wake mzuri akiwa Grey College ulimwezesha kuchaguliwa katika timu ya Shule za Afrika Kusini (SA Schools) mwaka 2024 na 2025.<ref>{{Rejea tovuti |title=Ethan Adams |url=https://iconx360.com/talent/ethan-adams/ |access-date=2026-04-26 |website=ICONX360 |language=en-US}}</ref>
Adams aliwakilisha Cheetahs katika mashindano ya Wiki ya Craven ya mwaka 2024. Mwaka 2025 alisajiliwa na timu ya Lions.<ref>{{Rejea tovuti |date=2025-05-28 |title=Lions win the race for South Africa's schoolboy prodigy |url=https://www.rugbypass.com/news/lions-win-the-race-for-south-africas-schoolboy-prodigy/ |access-date=2026-04-26 |website=RugbyPass |language=en}}</ref>
== Kazi ya kimataifa ==
Mwaka 2026, Adams alijumuishwa katika kikosi cha Afrika Kusini chini ya miaka 20 kwa ajili ya ziara nchini Georgia kucheza mechi mbili za kirafiki. Alifanya mechi yake ya kwanza katika nafasi ya senta wa ndani katika ushindi wa mabao 35–0 dhidi ya Timu ya taifa ya rugby union ya Georgia chini ya miaka 20.<ref>{{Rejea tovuti |title=Junior Boks flawless in World Championship teaser against Georgia |url=https://rugby365.com/countries/georgia/junior-boks-flawless-in-world-championship-teaser-against-georgia/ |access-date=2026-04-26 |website=rugby365.com |language=en}}</ref>
Katika mchezo wake wa kwanza wa Mashindano ya Rugby ya Afrika Kusini chini ya miaka 20 ya 2026, alifunga majaribio mawili (tries) na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora wa mechi.<ref>{{Rejea tovuti |title=Rugby Championship U20 - Match report South Africa U20 vs Argentina U20, le 27/04/2026 |url=https://all.rugby/match/25356/rugby-championship-20-2026/southafrica-u20-argentina-u20 |access-date=2026-04-28 |website=all.rugby |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|2007|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
705ksg50pil49mlsncjsr4hbb2bu2gi
1570749
1570674
2026-06-11T07:55:45Z
Riccardo Riccioni
452
1570749
wikitext
text/x-wiki
'''Ethan Adams''' (amezaliwa 3 Machi 2007) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya senta katika timu ya United Rugby Championship ya Lions pamoja na Timu ya taifa ya rugby union ya Afrika Kusini chini ya miaka 20. Adams alikuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi wa raga ya shule alipokuwa akisomea na kuichezea Grey College, ambapo baadhi ya wachambuzi walimtaja kuwa senta bora zaidi kuwahi kutokea katika raga ya shule nchini Afrika Kusini.<ref>{{Rejea tovuti |last=Adams |first=Mariette |date=2024-04-28 |title=Is this the best-ever schoolboy centre in South Africa? |url=https://www.thesouthafrican.com/sport/rugby/rugby-is-this-the-best-ever-schoolboy-centre-in-south-africa/ |access-date=2026-04-26 |website=The South African |language=en-ZA}}</ref>
== Maisha ya awali ya mchezo ==
Mwaka 2024, Adams alitajwa kuwa mchezaji bora wa mashindano ya Global School Challenge akiwa na umri wa miaka 17 pekee.<ref>{{Rejea tovuti |title=Global Schools Challenge 2024 – Player and Team of the Tournament – SchoolBoyRugby Blog |url=https://schoolboyrugby.co.za/?p=45990 |access-date=2026-04-26 |language=en-ZA}}</ref> Uchezaji wake mzuri akiwa Grey College ulimwezesha kuchaguliwa katika timu ya Shule za Afrika Kusini (SA Schools) mwaka 2024 na 2025.<ref>{{Rejea tovuti |title=Ethan Adams |url=https://iconx360.com/talent/ethan-adams/ |access-date=2026-04-26 |website=ICONX360 |language=en-US}}</ref>
Adams aliwakilisha Cheetahs katika mashindano ya Wiki ya Craven ya mwaka 2024. Mwaka 2025 alisajiliwa na timu ya Lions.<ref>{{Rejea tovuti |date=2025-05-28 |title=Lions win the race for South Africa's schoolboy prodigy |url=https://www.rugbypass.com/news/lions-win-the-race-for-south-africas-schoolboy-prodigy/ |access-date=2026-04-26 |website=RugbyPass |language=en}}</ref>
== Kazi ya kimataifa ==
Mwaka 2026, Adams alijumuishwa katika kikosi cha Afrika Kusini chini ya miaka 20 kwa ajili ya ziara nchini Georgia kucheza mechi mbili za kirafiki. Alifanya mechi yake ya kwanza katika nafasi ya senta wa ndani katika ushindi wa mabao 35–0 dhidi ya Timu ya taifa ya rugby union ya Georgia chini ya miaka 20.<ref>{{Rejea tovuti |title=Junior Boks flawless in World Championship teaser against Georgia |url=https://rugby365.com/countries/georgia/junior-boks-flawless-in-world-championship-teaser-against-georgia/ |access-date=2026-04-26 |website=rugby365.com |language=en}}</ref>
Katika mchezo wake wa kwanza wa Mashindano ya Rugby ya Afrika Kusini chini ya miaka 20 ya 2026, alifunga majaribio mawili (tries) na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora wa mechi.<ref>{{Rejea tovuti |title=Rugby Championship U20 - Match report South Africa U20 vs Argentina U20, le 27/04/2026 |url=https://all.rugby/match/25356/rugby-championship-20-2026/southafrica-u20-argentina-u20 |access-date=2026-04-28 |website=all.rugby |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|2007|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
0wqdmnruwv5bga17lckqyqjeojdggbt
Ruan Ackermann
0
240700
1570643
2026-06-11T00:14:31Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ruan Ackermann''' (amezaliwa 29 Desemba 1995) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye kwa sasa anachezea timu ya Stormers katika mashindano ya United Rugby Championship. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker. == Maisha ya klabu == === 2012–2014: Mwanzo wa taaluma === Ackermann alicheza rugby ya shule katika Hoërskool Garsfontein, ambapo alikuwa sehemu ya kikosi cha kwanza (First XV) kuanzia mwaka 2012 hadi 2014.<ref...'
1570643
wikitext
text/x-wiki
'''Ruan Ackermann''' (amezaliwa 29 Desemba 1995) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye kwa sasa anachezea timu ya Stormers katika mashindano ya United Rugby Championship. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker.
== Maisha ya klabu ==
=== 2012–2014: Mwanzo wa taaluma ===
Ackermann alicheza rugby ya shule katika Hoërskool Garsfontein, ambapo alikuwa sehemu ya kikosi cha kwanza (First XV) kuanzia mwaka 2012 hadi 2014.<ref name="1st XV HS Garsfontein vs Marais Viljoen">{{cite web |url=http://ysn.co.za/news/rugby/gauteng/2013/1st-xv-hs-garsfontein-vs-marais-viljoen |title=1st XV HS Garsfontein vs Marais Viljoen |work=Youth Sports Network |date=6 Machi 2013 |access-date=22 Februari 2016}}</ref> Mwaka 2014 alikuwa nahodha wa timu hiyo na aliisaidia kufika fainali ya Kombe la Beeld Trophy.<ref name="Nelspruit klop Garsies in eindstryd">{{cite web |url=http://www.netwerk24.com/Sport/Skole/Nelspruit-klop-Garsies-in-eindstryd-20140824-2?mobile=true |title=Nelspruit klop Garsies in eindstryd |work=Netwerk24 |date=24 Agosti 2014 |access-date=22 Februari 2016 |language=af}}</ref>
Hakuwahi kuiwakilisha timu ya Blue Bulls katika mashindano ya Craven Week, bali alisajiliwa na timu ya Golden Lions yenye makao yake [[Johannesburg]] ili kujiunga na akademi yao mwaka 2015.
Akiwa bado shuleni, alijumuishwa katika kikosi cha Golden Lions U19 kilichoshiriki 2014 Under-19 Provincial Championship. Aliwekwa kwenye benchi katika mechi tatu na alicheza kama mchezaji wa akiba katika zote. Katika mechi yake ya kwanza dhidi ya Western Province U19 mjini Johannesburg, alifunga ''try'' na kusaidia timu yake kushinda kwa mabao 28–8.<ref name="Golden Lions U19 28-8 WP U19">{{SA Rugby Match Centre |id=127144 |homeid=21164 |awayid=21124 |leagueid=2064 |hometeam=Golden Lions U19 |homescore=28 |awayscore=8 |awayteam=WP U19 |matchdate=13 Septemba 2014 |date=2 Juni 2016}}</ref>
=== 2015: Vodacom Cup na Under-21 ===
Ackermann alijumuishwa katika kikosi cha Golden Lions kwa ajili ya 2015 Vodacom Cup. Alifanya mechi yake ya kwanza ya kiwango cha juu kwa kuanza katika ushindi wa 53–3 dhidi ya Welwitschias mjini [[Windhoek]].<ref name="FNB Welwitschias 3-53 Xerox Golden Lions">{{SA Rugby Match Centre |id=140164 |homeid=24314 |awayid=24324 |leagueid=2304 |hometeam=FNB Welwitschias |homescore=3 |awayscore=53 |awayteam=Xerox Golden Lions |matchdate=6 Machi 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Alicheza pia kama mchezaji wa akiba dhidi ya Blue Bulls, Leopards na Griffons. Katika mechi dhidi ya Griffons mjini [[Welkom]], alifunga ''try'' yake ya kwanza ya ngazi ya wakubwa na kusaidia ushindi wa 36–20.<ref name="Down Touch Griffons 20-36 Xerox Golden Lions">{{SA Rugby Match Centre |id=140734 |homeid=24344 |awayid=24324 |leagueid=2304 |hometeam=Down Touch Griffons |homescore=20 |awayscore=36 |awayteam=Xerox Golden Lions |matchdate=8 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Golden Lions walimaliza kileleni mwa Kundi la Kaskazini kwa kushinda mechi zote saba za msimu wa kawaida na kufuzu robo fainali. Ackermann alicheza kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 29–21 dhidi ya SWD Eagles kwenye robo fainali,<ref name="Xerox Golden Lions 29-21 SWD Eagles">{{SA Rugby Match Centre |id=140804 |homeid=24324 |awayid=24354 |leagueid=2304 |hometeam=Xerox Golden Lions |homescore=29 |awayscore=21 |awayteam=SWD Eagles |matchdate=16 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref> na alianza katika nusu fainali dhidi ya Pumas, ambapo Lions walifungwa 43–20.<ref name="Xerox Golden Lions 20-43 Steval Pumas">{{SA Rugby Match Centre |id=140844 |homeid=24324 |awayid=24334 |leagueid=2304 |hometeam=Xerox Golden Lions |homescore=20 |awayscore=43 |awayteam=Steval Pumas |matchdate=22 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Mwezi Machi 2015 alitajwa katika kikosi cha mazoezi cha wachezaji 37 cha timu ya Afrika Kusini chini ya miaka 20,<ref name="SARU names large group for Junior Bok trials">{{SA Rugby Article |id=2925424 |leagueid=2484 |title=SARU names large group for Junior Bok trials |date=25 Machi 2015 |access-date=6 Desemba 2016}}</ref> lakini hakuchaguliwa katika kikosi cha mwisho cha 2015 World Rugby Under 20 Championship.<ref name="Liebenberg to lead Junior Boks at U20 World Championship in Italy">{{cite web |url=http://www.sarugby.net/component/supersportcontent/22792?view=news |title=Liebenberg to lead Junior Boks at U20 World Championship in Italy |publisher=South African Rugby Union |date=20 Mei 2015 |access-date=20 Mei 2015}}</ref>
Aliichezea Golden Lions U21 mara sita katika 2015 Under-21 Provincial Championship Group A, akifunga ''try'' moja katika kichapo cha 30–17 dhidi ya Free State U21.<ref name="Free State U21 30-17 Golden Lions U21">{{SA Rugby Match Centre |id=147144 |homeid=27014 |awayid=27034 |leagueid=2544 |hometeam=Free State U21 |homescore=30 |awayscore=17 |awayteam=Golden Lions U21 |matchdate=26 Septemba 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
=== 2016–2017: Golden Lions/Lions ===
Mwezi Desemba 2015, Ackermann alijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 55 cha |Lions kilichojiandaa kwa msimu wa 2016 Super Rugby season.<ref>{{cite press release |url=http://lionsrugby.co.za/index.php/emirates-golden-lions-squad-bolstered-for-superrugby/ |title=Emirates Golden Lions squad bolstered for SuperRugby |publisher=Lions |date=5 Desemba 2015}}</ref>
Baadaye alichaguliwa katika kikosi cha wachezaji 27 kilichosafiri kwenda [[Japan]] na [[New Zealand]] kucheza dhidi ya Sunwolves, Chiefs na Highlanders.<ref>{{cite web |url=http://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2016/02/22/Lions-name-squad-for-Japan-New-Zealand-Super-Rugby-tour |title=Lions name squad for Japan, New Zealand Super Rugby tour |work=Times Live |date=22 Februari 2016}}</ref>
=== 2017–2025: Gloucester ===
Mwezi Agosti 2017, klabu ya Gloucester Rugby ilitangaza kumsajili Ackermann, huku baba yake [[Johan Ackermann]] akiwa amejiunga hivi karibuni kama kocha mkuu wa timu hiyo.<ref>{{cite news|url=http://www.gloucesterrugby.co.uk/news/14018.php#.WYsjl1GGPIU|title=Super Rugby standout Ruan Ackermann joins Gloucester Rugby|date=9 Agosti 2017|work=gloucesterrugby.co.uk}}</ref>
=== 2025: Stormers ===
Tarehe 24 Juni 2025, baada ya misimu minane akiwa Gloucester, Ackermann alitangaza kurejea Afrika Kusini kujiunga na wapinzani wao wa jadi, Stormers, kwa ajili ya mashindano ya United Rugby Championship kuanzia msimu wa 2025–26.<ref>{{cite news|url=https://www.rugbypass.com/news/ruan-ackermanns-south-africa-homecoming-is-confirmed/|publisher=Rugby Pass|title=Ruan Ackermann's South Africa homecoming is confirmed|date=22 Juni 2025|access-date=29 Julai 2025}}</ref>
== Maisha ya kimataifa ==
Ackermann aliichezea timu ya Barbarians dhidi ya South Africa XV katika mechi ya kirafiki isiyohesabiwa kuwa mechi rasmi ya kimataifa, iliyofanyika katika Uwanja wa Wembley mjini [[London]], [[England]].<ref>{{cite news|url=https://www.skysports.com/rugby-union/barbarians-vs-south-africa/77053|publisher=Sky Sports|title=Barbarians 31-31 South Africa XV|date=5 Novemba 2016}}</ref>
Pia alicheza dhidi ya Fiji, Jamhuri ya Czech na New Zealand XV katika mechi zisizo rasmi za kimataifa.<ref>{{cite news|url=https://www.planetrugby.com/barbarians-crush-czech-republic/|publisher=Planet Rugby|title=Barbarians crush Czech Republic|date=9 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite news|url=http://www.barbarianfc.co.uk/news/barbarians-finish-tour-with-six-try-win-against-fiji/|publisher=Barbarians|title=Barbarians finish tour with six-try win against Fiji|date=11 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite news|url=https://www.ultimaterugby.com/match/barbarians-vs-new-zealand-at-twickenham-4th-nov-2017/49419|publisher=Ultimate Rugby|title=Barbarians 33-31 New Zealand XV|date=4 Novemba 2017}}</ref>
Aliitwa pia katika kikosi cha South Africa A kwa mfululizo wa mechi mbili dhidi ya French Barbarians, timu iliyofundishwa pia na baba yake, [[Johan Ackermann]].<ref>{{cite news|url=https://rugbyonslaught.com/highlights-south-africa-vs-french-barbarians/|publisher=Rugby On Slaught|title=HIGHLIGHTS: South Africa As vs French Barbarians|date=26 Juni 2017}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ruan Ackermann ni mtoto wa [[Johan Ackermann]], aliyekuwa mchezaji wa rugby wa ngazi ya mkoa na aliyeichezea timu ya taifa ya Afrika Kusini mara kumi na tatu. Baada ya kustaafu kucheza, Johan Ackermann alifanya kazi ya ukocha katika timu za Golden Lions na Lions.
Mwezi Juni 2022, Ackermann alifunga ndoa na Kirsty. Wawili hao walikutana kupitia kaka yake Ruan ambaye alimpatia namba yake ya simu. Wakati huo Ackermann alikuwa akipata nafuu kutokana na jeraha, na ndipo uhusiano wao ulipoanza kukua.<ref>{{cite web|title=GET AN EXCLUSIVE LOOK INTO RUAN AND KIRSTY ACKERMANN’S WEDDING – The Insider SA|url=https://theinsidersa.co.za/get-an-exclusive-look-into-ruan-and-kirsty-ackermanns-wedding/|access-date=23 Julai 2024}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1995|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
78mg7bmq6lo0p1alo2thez4wh2a1w53
1570750
1570643
2026-06-11T07:56:17Z
Riccardo Riccioni
452
1570750
wikitext
text/x-wiki
'''Ruan Ackermann''' (amezaliwa 29 Desemba 1995) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye kwa sasa anachezea timu ya Stormers katika mashindano ya United Rugby Championship. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker.
== Maisha ya klabu ==
=== 2012–2014: Mwanzo wa taaluma ===
Ackermann alicheza rugby ya shule katika Hoërskool Garsfontein, ambapo alikuwa sehemu ya kikosi cha kwanza (First XV) kuanzia mwaka 2012 hadi 2014.<ref name="1st XV HS Garsfontein vs Marais Viljoen">{{cite web |url=http://ysn.co.za/news/rugby/gauteng/2013/1st-xv-hs-garsfontein-vs-marais-viljoen |title=1st XV HS Garsfontein vs Marais Viljoen |work=Youth Sports Network |date=6 Machi 2013 |access-date=22 Februari 2016}}</ref> Mwaka 2014 alikuwa nahodha wa timu hiyo na aliisaidia kufika fainali ya Kombe la Beeld Trophy.<ref name="Nelspruit klop Garsies in eindstryd">{{cite web |url=http://www.netwerk24.com/Sport/Skole/Nelspruit-klop-Garsies-in-eindstryd-20140824-2?mobile=true |title=Nelspruit klop Garsies in eindstryd |work=Netwerk24 |date=24 Agosti 2014 |access-date=22 Februari 2016 |language=af}}</ref>
Hakuwahi kuiwakilisha timu ya Blue Bulls katika mashindano ya Craven Week, bali alisajiliwa na timu ya Golden Lions yenye makao yake [[Johannesburg]] ili kujiunga na akademi yao mwaka 2015.
Akiwa bado shuleni, alijumuishwa katika kikosi cha Golden Lions U19 kilichoshiriki 2014 Under-19 Provincial Championship. Aliwekwa kwenye benchi katika mechi tatu na alicheza kama mchezaji wa akiba katika zote. Katika mechi yake ya kwanza dhidi ya Western Province U19 mjini Johannesburg, alifunga ''try'' na kusaidia timu yake kushinda kwa mabao 28–8.<ref name="Golden Lions U19 28-8 WP U19">{{SA Rugby Match Centre |id=127144 |homeid=21164 |awayid=21124 |leagueid=2064 |hometeam=Golden Lions U19 |homescore=28 |awayscore=8 |awayteam=WP U19 |matchdate=13 Septemba 2014 |date=2 Juni 2016}}</ref>
=== 2015: Vodacom Cup na Under-21 ===
Ackermann alijumuishwa katika kikosi cha Golden Lions kwa ajili ya 2015 Vodacom Cup. Alifanya mechi yake ya kwanza ya kiwango cha juu kwa kuanza katika ushindi wa 53–3 dhidi ya Welwitschias mjini [[Windhoek]].<ref name="FNB Welwitschias 3-53 Xerox Golden Lions">{{SA Rugby Match Centre |id=140164 |homeid=24314 |awayid=24324 |leagueid=2304 |hometeam=FNB Welwitschias |homescore=3 |awayscore=53 |awayteam=Xerox Golden Lions |matchdate=6 Machi 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Alicheza pia kama mchezaji wa akiba dhidi ya Blue Bulls, Leopards na Griffons. Katika mechi dhidi ya Griffons mjini [[Welkom]], alifunga ''try'' yake ya kwanza ya ngazi ya wakubwa na kusaidia ushindi wa 36–20.<ref name="Down Touch Griffons 20-36 Xerox Golden Lions">{{SA Rugby Match Centre |id=140734 |homeid=24344 |awayid=24324 |leagueid=2304 |hometeam=Down Touch Griffons |homescore=20 |awayscore=36 |awayteam=Xerox Golden Lions |matchdate=8 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Golden Lions walimaliza kileleni mwa Kundi la Kaskazini kwa kushinda mechi zote saba za msimu wa kawaida na kufuzu robo fainali. Ackermann alicheza kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 29–21 dhidi ya SWD Eagles kwenye robo fainali,<ref name="Xerox Golden Lions 29-21 SWD Eagles">{{SA Rugby Match Centre |id=140804 |homeid=24324 |awayid=24354 |leagueid=2304 |hometeam=Xerox Golden Lions |homescore=29 |awayscore=21 |awayteam=SWD Eagles |matchdate=16 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref> na alianza katika nusu fainali dhidi ya Pumas, ambapo Lions walifungwa 43–20.<ref name="Xerox Golden Lions 20-43 Steval Pumas">{{SA Rugby Match Centre |id=140844 |homeid=24324 |awayid=24334 |leagueid=2304 |hometeam=Xerox Golden Lions |homescore=20 |awayscore=43 |awayteam=Steval Pumas |matchdate=22 Mei 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
Mwezi Machi 2015 alitajwa katika kikosi cha mazoezi cha wachezaji 37 cha timu ya Afrika Kusini chini ya miaka 20,<ref name="SARU names large group for Junior Bok trials">{{SA Rugby Article |id=2925424 |leagueid=2484 |title=SARU names large group for Junior Bok trials |date=25 Machi 2015 |access-date=6 Desemba 2016}}</ref> lakini hakuchaguliwa katika kikosi cha mwisho cha 2015 World Rugby Under 20 Championship.<ref name="Liebenberg to lead Junior Boks at U20 World Championship in Italy">{{cite web |url=http://www.sarugby.net/component/supersportcontent/22792?view=news |title=Liebenberg to lead Junior Boks at U20 World Championship in Italy |publisher=South African Rugby Union |date=20 Mei 2015 |access-date=20 Mei 2015}}</ref>
Aliichezea Golden Lions U21 mara sita katika 2015 Under-21 Provincial Championship Group A, akifunga ''try'' moja katika kichapo cha 30–17 dhidi ya Free State U21.<ref name="Free State U21 30-17 Golden Lions U21">{{SA Rugby Match Centre |id=147144 |homeid=27014 |awayid=27034 |leagueid=2544 |hometeam=Free State U21 |homescore=30 |awayscore=17 |awayteam=Golden Lions U21 |matchdate=26 Septemba 2015 |date=2 Juni 2016}}</ref>
=== 2016–2017: Golden Lions/Lions ===
Mwezi Desemba 2015, Ackermann alijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 55 cha |Lions kilichojiandaa kwa msimu wa 2016 Super Rugby season.<ref>{{cite press release |url=http://lionsrugby.co.za/index.php/emirates-golden-lions-squad-bolstered-for-superrugby/ |title=Emirates Golden Lions squad bolstered for SuperRugby |publisher=Lions |date=5 Desemba 2015}}</ref>
Baadaye alichaguliwa katika kikosi cha wachezaji 27 kilichosafiri kwenda [[Japan]] na [[New Zealand]] kucheza dhidi ya Sunwolves, Chiefs na Highlanders.<ref>{{cite web |url=http://www.timeslive.co.za/sport/rugby/2016/02/22/Lions-name-squad-for-Japan-New-Zealand-Super-Rugby-tour |title=Lions name squad for Japan, New Zealand Super Rugby tour |work=Times Live |date=22 Februari 2016}}</ref>
=== 2017–2025: Gloucester ===
Mwezi Agosti 2017, klabu ya Gloucester Rugby ilitangaza kumsajili Ackermann, huku baba yake [[Johan Ackermann]] akiwa amejiunga hivi karibuni kama kocha mkuu wa timu hiyo.<ref>{{cite news|url=http://www.gloucesterrugby.co.uk/news/14018.php#.WYsjl1GGPIU|title=Super Rugby standout Ruan Ackermann joins Gloucester Rugby|date=9 Agosti 2017|work=gloucesterrugby.co.uk}}</ref>
=== 2025: Stormers ===
Tarehe 24 Juni 2025, baada ya misimu minane akiwa Gloucester, Ackermann alitangaza kurejea Afrika Kusini kujiunga na wapinzani wao wa jadi, Stormers, kwa ajili ya mashindano ya United Rugby Championship kuanzia msimu wa 2025–26.<ref>{{cite news|url=https://www.rugbypass.com/news/ruan-ackermanns-south-africa-homecoming-is-confirmed/|publisher=Rugby Pass|title=Ruan Ackermann's South Africa homecoming is confirmed|date=22 Juni 2025|access-date=29 Julai 2025}}</ref>
== Maisha ya kimataifa ==
Ackermann aliichezea timu ya Barbarians dhidi ya South Africa XV katika mechi ya kirafiki isiyohesabiwa kuwa mechi rasmi ya kimataifa, iliyofanyika katika Uwanja wa Wembley mjini [[London]], [[England]].<ref>{{cite news|url=https://www.skysports.com/rugby-union/barbarians-vs-south-africa/77053|publisher=Sky Sports|title=Barbarians 31-31 South Africa XV|date=5 Novemba 2016}}</ref>
Pia alicheza dhidi ya Fiji, Jamhuri ya Czech na New Zealand XV katika mechi zisizo rasmi za kimataifa.<ref>{{cite news|url=https://www.planetrugby.com/barbarians-crush-czech-republic/|publisher=Planet Rugby|title=Barbarians crush Czech Republic|date=9 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite news|url=http://www.barbarianfc.co.uk/news/barbarians-finish-tour-with-six-try-win-against-fiji/|publisher=Barbarians|title=Barbarians finish tour with six-try win against Fiji|date=11 Novemba 2016}}</ref><ref>{{cite news|url=https://www.ultimaterugby.com/match/barbarians-vs-new-zealand-at-twickenham-4th-nov-2017/49419|publisher=Ultimate Rugby|title=Barbarians 33-31 New Zealand XV|date=4 Novemba 2017}}</ref>
Aliitwa pia katika kikosi cha South Africa A kwa mfululizo wa mechi mbili dhidi ya French Barbarians, timu iliyofundishwa pia na baba yake, [[Johan Ackermann]].<ref>{{cite news|url=https://rugbyonslaught.com/highlights-south-africa-vs-french-barbarians/|publisher=Rugby On Slaught|title=HIGHLIGHTS: South Africa As vs French Barbarians|date=26 Juni 2017}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ruan Ackermann ni mtoto wa [[Johan Ackermann]], aliyekuwa mchezaji wa rugby wa ngazi ya mkoa na aliyeichezea timu ya taifa ya Afrika Kusini mara kumi na tatu. Baada ya kustaafu kucheza, Johan Ackermann alifanya kazi ya ukocha katika timu za Golden Lions na Lions.
Mwezi Juni 2022, Ackermann alifunga ndoa na Kirsty. Wawili hao walikutana kupitia kaka yake Ruan ambaye alimpatia namba yake ya simu. Wakati huo Ackermann alikuwa akipata nafuu kutokana na jeraha, na ndipo uhusiano wao ulipoanza kukua.<ref>{{cite web|title=GET AN EXCLUSIVE LOOK INTO RUAN AND KIRSTY ACKERMANN’S WEDDING – The Insider SA|url=https://theinsidersa.co.za/get-an-exclusive-look-into-ruan-and-kirsty-ackermanns-wedding/|access-date=23 Julai 2024}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1995|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
e2ogvggxkuemofi2q2nxzsaxc23tjgh
Heini Adams
0
240701
1570644
2026-06-11T00:19:52Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Heini Adams''' (amezaliwa tarehe 29 Mei 1980 mjini Worcester, [[Afrika Kusini]]) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka Afrika Kusini. Aliichezea klabu ya Union Bordeaux Bègles katika ligi ya Top 14 nchini [[Ufaransa]]. Ziara yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Springboks ilikuwa mwaka 2009, ambapo timu hiyo ilitembelea [[Ufaransa]], [[Italia]], [[Ireland]] na [[Uingereza]] katika mfululizo wa mechi za kimataifa za mwisho wa mwaka za 2...'
1570644
wikitext
text/x-wiki
'''Heini Adams''' (amezaliwa tarehe 29 Mei 1980 mjini Worcester, [[Afrika Kusini]]) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka Afrika Kusini. Aliichezea klabu ya Union Bordeaux Bègles katika ligi ya Top 14 nchini [[Ufaransa]].
Ziara yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Springboks ilikuwa mwaka 2009, ambapo timu hiyo ilitembelea [[Ufaransa]], [[Italia]], [[Ireland]] na [[Uingereza]] katika mfululizo wa mechi za kimataifa za mwisho wa mwaka za 2009.
Kabla ya kuhamia [[Ufaransa]], Adams alikuwa akiichezea timu ya Super Rugby ya Afrika Kusini ya Blue Bulls. Alicheza katika nafasi ya Scrum-half. Alijulikana kwa uwezo wake wa kutabiri mchezo wa wapinzani katika ulinzi na kusambaza mpira kwa haraka kutoka nyuma ya Scrum .
Kuanzia Juni 2010 hadi mwaka 2015, alichezea Bordeaux nchini Ufaransa, jambo lililohitimisha maisha yake ya kucheza katika timu ya taifa ya Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |url=http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |title=Planet Rugby | Rugby Union News |access-date=2010-06-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120405172127/http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |archive-date=2012-04-05 |url-status=dead }}</ref>
Mwaka 2017 alijiunga na benchi la ukocha la timu ya French Barbarians kwa ajili ya mechi dhidi ya South Africa A.
== Mafanikio ==
;Blue Bulls
* Currie Cup: 2006 (ubingwa wa pamoja), 2009
;Bulls
* Super Rugby: 2009
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.sarugby.co.za/springbokprofile.aspx?id=20560&surname=Adams%&birthday=1980/05/29%2012:00:00%20AM Wasifu kutoka SA Rugby]
* [https://web.archive.org/web/20110716031924/http://www.thebulls.co.za/profiles.aspx?Id=110 Wasifu kutoka thebulls.co.za]
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1980|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
j8o9jxeyejx0v1ctbyx07wy83ly2cqz
1570675
1570644
2026-06-11T05:20:10Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570675
wikitext
text/x-wiki
'''Heini Adams''' (amezaliwa tarehe 29 Mei 1980 mjini Worcester, [[Afrika Kusini]]) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka Afrika Kusini. Aliichezea klabu ya Union Bordeaux Bègles katika ligi ya Top 14 nchini [[Ufaransa]].
Ziara yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Springboks ilikuwa mwaka 2009, ambapo timu hiyo ilitembelea [[Ufaransa]], [[Italia]], [[Ireland]] na [[Uingereza]] katika mfululizo wa mechi za kimataifa za mwisho wa mwaka za 2009.
Kabla ya kuhamia [[Ufaransa]], Adams alikuwa akiichezea timu ya Super Rugby ya Afrika Kusini ya Blue Bulls. Alicheza katika nafasi ya Scrum-half. Alijulikana kwa uwezo wake wa kutabiri mchezo wa wapinzani katika ulinzi na kusambaza mpira kwa haraka kutoka nyuma ya Scrum .
Kuanzia Juni 2010 hadi mwaka 2015, alichezea Bordeaux nchini Ufaransa, jambo lililohitimisha maisha yake ya kucheza katika timu ya taifa ya Afrika Kusini.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |title=Planet Rugby | Rugby Union News |access-date=2010-06-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120405172127/http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |archive-date=2012-04-05 |url-status=dead }}</ref>
Mwaka 2017 alijiunga na benchi la ukocha la timu ya French Barbarians kwa ajili ya mechi dhidi ya South Africa A.
== Mafanikio ==
;Blue Bulls
* Currie Cup: 2006 (ubingwa wa pamoja), 2009
;Bulls
* Super Rugby: 2009
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.sarugby.co.za/springbokprofile.aspx?id=20560&surname=Adams%&birthday=1980/05/29%2012:00:00%20AM Wasifu kutoka SA Rugby]
* [https://web.archive.org/web/20110716031924/http://www.thebulls.co.za/profiles.aspx?Id=110 Wasifu kutoka thebulls.co.za]
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1980|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
8hpx6aqeihlnlyczswi2k43fxld8lyn
1570751
1570675
2026-06-11T07:56:53Z
Riccardo Riccioni
452
1570751
wikitext
text/x-wiki
'''Heini Adams''' (amezaliwa 29 Mei 1980 mjini Worcester, [[Afrika Kusini]]) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka Afrika Kusini. Aliichezea klabu ya Union Bordeaux Bègles katika ligi ya Top 14 nchini [[Ufaransa]].
Ziara yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Springboks ilikuwa mwaka 2009, ambapo timu hiyo ilitembelea [[Ufaransa]], [[Italia]], [[Ireland]] na [[Uingereza]] katika mfululizo wa mechi za kimataifa za mwisho wa mwaka za 2009.
Kabla ya kuhamia [[Ufaransa]], Adams alikuwa akiichezea timu ya Super Rugby ya Afrika Kusini ya Blue Bulls. Alicheza katika nafasi ya Scrum-half. Alijulikana kwa uwezo wake wa kutabiri mchezo wa wapinzani katika ulinzi na kusambaza mpira kwa haraka kutoka nyuma ya Scrum .
Kuanzia Juni 2010 hadi mwaka 2015, alichezea Bordeaux nchini Ufaransa, jambo lililohitimisha maisha yake ya kucheza katika timu ya taifa ya Afrika Kusini.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |title=Planet Rugby | Rugby Union News |access-date=2010-06-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120405172127/http://www.planetrugby.com/story/0,25883,3551_6195307,00.html |archive-date=2012-04-05 |url-status=dead }}</ref>
Mwaka 2017 alijiunga na benchi la ukocha la timu ya French Barbarians kwa ajili ya mechi dhidi ya South Africa A.
== Mafanikio ==
;Blue Bulls
* Currie Cup: 2006 (ubingwa wa pamoja), 2009
;Bulls
* Super Rugby: 2009
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.sarugby.co.za/springbokprofile.aspx?id=20560&surname=Adams%&birthday=1980/05/29%2012:00:00%20AM Wasifu kutoka SA Rugby]
* [https://web.archive.org/web/20110716031924/http://www.thebulls.co.za/profiles.aspx?Id=110 Wasifu kutoka thebulls.co.za]
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1980|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
juloatxpep86jg8ryvjlxlzsczydfn3
Tythan Adams
0
240702
1570645
2026-06-11T00:23:07Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tythan Franco Adams''' (amezaliwa 31 Agosti 1990) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye huchezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge.<ref name="SARU Player Profile Tythan Adams">{{SA Rugby Player Profile | id=40416 | name=Tythan Adams | date=25 Agosti 2018}}</ref> Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni wing. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1990|}} [[Jamii:Watu walio hai]] Jam...'
1570645
wikitext
text/x-wiki
'''Tythan Franco Adams''' (amezaliwa 31 Agosti 1990) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye huchezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge.<ref name="SARU Player Profile Tythan Adams">{{SA Rugby Player Profile | id=40416 | name=Tythan Adams | date=25 Agosti 2018}}</ref> Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni wing.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1990|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
p0zzgv5xoz43cncevfwwaw58qnfr84d
1570752
1570645
2026-06-11T07:57:37Z
Riccardo Riccioni
452
1570752
wikitext
text/x-wiki
'''Tythan Franco Adams''' (amezaliwa 31 Agosti 1990) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye huchezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge.<ref>{{SA Rugby Player Profile | id=40416 | name=Tythan Adams | date=25 Agosti 2018}}</ref> Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni winga.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1990|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
fn6ydh2kpmpeaiw753qcgvg5hbd8o0q
1570753
1570752
2026-06-11T07:57:58Z
Riccardo Riccioni
452
1570753
wikitext
text/x-wiki
'''Tythan Franco Adams''' (amezaliwa 31 Agosti 1990) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye huchezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge. Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni winga.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1990|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
gcr7j8ovz78zj7nz8bdtvbba0yfc2z9
Jonathan Adendorf
0
240703
1570646
2026-06-11T00:27:23Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jonathan Wallis "Kraai" Adendorf''' (amezaliwa tarehe 23 Agosti 1985) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye aliichezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge . Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni flanka. Adendorf hapo awali aliichezea timu ya Pumas . Pia aliichezea timu ya Maties ya Chuo Kikuu cha Stellenbosch katika mashindano ya Varsity Cup. == Viungo vya nje == * {{SA Rugby Player Profile...'
1570646
wikitext
text/x-wiki
'''Jonathan Wallis "Kraai" Adendorf''' (amezaliwa tarehe 23 Agosti 1985) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye aliichezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge . Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni flanka.
Adendorf hapo awali aliichezea timu ya Pumas . Pia aliichezea timu ya Maties ya Chuo Kikuu cha Stellenbosch katika mashindano ya Varsity Cup.
== Viungo vya nje ==
* {{SA Rugby Player Profile | id=42170 | name=Jonathan Adendorf | date=30 May 2016}}
* [http://www.itsrugby.co.uk/player_8299.html Wasifu wa Jonathan Adendorf katika itsrugby.co.uk]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
i6d8tbtt84f9mczidqmvcten7qx9h94
1570754
1570646
2026-06-11T07:58:32Z
Riccardo Riccioni
452
1570754
wikitext
text/x-wiki
'''Jonathan Wallis "Kraai" Adendorf''' (amezaliwa 23 Agosti 1985) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye aliichezea timu ya Griquas katika mashindano ya Kombe la Currie na Rugby Challenge . Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni flanka.
Adendorf hapo awali aliichezea timu ya Pumas . Pia aliichezea timu ya Maties ya Chuo Kikuu cha Stellenbosch katika mashindano ya Varsity Cup.
== Viungo vya nje ==
* [http://www.itsrugby.co.uk/player_8299.html Wasifu wa Jonathan Adendorf katika itsrugby.co.uk]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
me1qj7ehpl74txhu54pai9t4ehi24au
Shaun Adendorff
0
240704
1570647
2026-06-11T00:43:27Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Shaun Adendorff''' (amezaliwa 28 Mei 1992) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayekichezea klabu ya Northampton Saints katika mashindano ya Premiership Rugby. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker . == Maisha ya uchezaji == === KwaZulu-Natal === Adendorff alichaguliwa kuiwakilisha timu ya mkoa wa KwaZulu-Natal katika mashindano ya Craven Week ya wachezaji wenye umri wa chini ya miaka 13 mwaka 2005 na Grant Khomo Week ya...'
1570647
wikitext
text/x-wiki
'''Shaun Adendorff''' (amezaliwa 28 Mei 1992) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayekichezea klabu ya Northampton Saints katika mashindano ya Premiership Rugby. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker .
== Maisha ya uchezaji ==
=== KwaZulu-Natal ===
Adendorff alichaguliwa kuiwakilisha timu ya mkoa wa KwaZulu-Natal katika mashindano ya Craven Week ya wachezaji wenye umri wa chini ya miaka 13 mwaka 2005 na Grant Khomo Week ya chini ya miaka 16 mwaka 2008. Hata hivyo, hakuiwakilisha timu hiyo katika ngazi ya Wiki ya Craven na baada ya kumaliza shule ya sekondari alihamia [[Pretoria]] kujiunga na akademi ya Blue Bulls.
=== Blue Bulls, Afrika Kusini Chini ya Miaka 20 na UP Tuks ===
Alijiunga na akademi ya Blue Bulls mwaka 2011 na kuchaguliwa kuchezea Blue Bulls U19 katika 2011 Under-19 Provincial Championship. Alianza mechi tisa kati ya kumi na mbili za msimu wa kawaida na kufunga ''try'' dhidi ya SWD U19, Golden Lions U19 na Leopards U19.
Mwaka 2012 alijumuishwa katika kikosi chaAfrika Kusini chini ya miaka 20 kwa ajili ya 2012 IRB Junior World Championship iliyofanyika Afrika Kusini. Alianza mechi dhidi ya Ireland, ambayo Afrika Kusini ilifungwa 23–19.
Baadaye alifunga ''try'' mbili katika ushindi wa 28–15 dhidi ya England, na kusaidia Afrika Kusini kumaliza kileleni mwa kundi lao.
Afrika Kusini iliishinda Argentina kwa 35–3 katika nusu fainali, kabla ya kuifunga New Zealand kwa 22–16 katika fainali na kutwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza katika historia yake.<ref name="Junior Boks end Baby Blacks' rein">{{cite web |url=http://www.espnscrum.com/scrum/rugby/story/166052.html |title=Junior Boks end Baby Blacks' rein |publisher=ESPN Scrum |date=22 Juni 2012}}</ref>
Katika msimu wa 2013, Adendorff aliichezea UP Tuks katika Varsity Cup. Alifunga ''try'' tano katika mechi nane, ikiwemo ''hat-trick'' katika ushindi wa 52–0 dhidi ya Wits.
UP Tuks ilifika fainali na kuifunga Maties kwa 44–5 ili kutwaa ubingwa wa Varsity Cup kwa msimu wa pili mfululizo.
Baada ya Varsity Cup, alijiunga na kikosi cha Blue Bulls kwa ajili ya 2013 Vodacom Cup. Alifanya mechi yake ya kwanza ya kiwango cha juu katika ushindi wa 110–0 dhidi ya Limpopo Blue Bulls mjini Lephalale.
=== South Africa Sevens ===
Baadaye Adendorff alisaini mkataba na South African Rugby Union ili kuichezea timu ya South Africa Sevens.
Aliiwakilisha timu hiyo katika mashindano ya 2014 Scotland Sevens na 2014 London Sevens, yaliyokuwa sehemu ya 2013–14 IRB Sevens World Series. Hata hivyo, hayo ndiyo yalikuwa mashindano yake pekee katika kikosi kikuu cha South Africa Sevens.
=== Boland Cavaliers ===
Mwaka 2016 alirejea katika rugby ya wachezaji 15 kwa kujiunga na Boland Cavaliers yenye makao yake Wellington, Western Cape.<ref name="Cavaliers Currie Cup squad and coaching staff announcement">{{cite web |url=https://www.rugby15.co.za/50206/ |title=Cavaliers Currie Cup squad and coaching staff announcement |work=Rugby15 |date=21 Januari 2016}}</ref>
=== Aurillac ===
Kabla ya msimu wa 2018–19 , Adendorff alihamia klabu ya Aurillac inayoshiriki ligi ya Pro D2 nchini Ufaransa.<ref name="2018-2019 : Les Recrues !">{{cite press release |url=http://www.stade-aurillacois.fr/2018-2019-les-recrues |title=2018-2019 : Les Recrues ! |publisher=Stade Aurillacois Cantal Auvergne |date=24 Mei 2018}}</ref>
=== Northampton Saints ===
Adendorff alisaini kujiunga na klabu ya Northampton Saints inayoshiriki Premiership Rugby kabla ya msimu wa 2020–21.<ref>{{cite web|title=South African forward is on his way to Saints|url=https://www.northamptonchron.co.uk/sport/rugby-union/south-african-forward-his-way-saints-2869775|access-date=10 Juni 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|colwidth=30em}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1992|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
ed941l469fjcpzd4xp7m6b4tyjtquag
1570755
1570647
2026-06-11T07:59:03Z
Riccardo Riccioni
452
1570755
wikitext
text/x-wiki
'''Shaun Adendorff''' (amezaliwa 28 Mei 1992) ni mchezaji wa kulipwa wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayekichezea klabu ya Northampton Saints katika mashindano ya Premiership Rugby. Nafasi yake ya kawaida ni Flanker .
== Maisha ya uchezaji ==
=== KwaZulu-Natal ===
Adendorff alichaguliwa kuiwakilisha timu ya mkoa wa KwaZulu-Natal katika mashindano ya Craven Week ya wachezaji wenye umri wa chini ya miaka 13 mwaka 2005 na Grant Khomo Week ya chini ya miaka 16 mwaka 2008. Hata hivyo, hakuiwakilisha timu hiyo katika ngazi ya Wiki ya Craven na baada ya kumaliza shule ya sekondari alihamia [[Pretoria]] kujiunga na akademi ya Blue Bulls.
=== Blue Bulls, Afrika Kusini Chini ya Miaka 20 na UP Tuks ===
Alijiunga na akademi ya Blue Bulls mwaka 2011 na kuchaguliwa kuchezea Blue Bulls U19 katika 2011 Under-19 Provincial Championship. Alianza mechi tisa kati ya kumi na mbili za msimu wa kawaida na kufunga ''try'' dhidi ya SWD U19, Golden Lions U19 na Leopards U19.
Mwaka 2012 alijumuishwa katika kikosi chaAfrika Kusini chini ya miaka 20 kwa ajili ya 2012 IRB Junior World Championship iliyofanyika Afrika Kusini. Alianza mechi dhidi ya Ireland, ambayo Afrika Kusini ilifungwa 23–19.
Baadaye alifunga ''try'' mbili katika ushindi wa 28–15 dhidi ya England, na kusaidia Afrika Kusini kumaliza kileleni mwa kundi lao.
Afrika Kusini iliishinda Argentina kwa 35–3 katika nusu fainali, kabla ya kuifunga New Zealand kwa 22–16 katika fainali na kutwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza katika historia yake.<ref name="Junior Boks end Baby Blacks' rein">{{cite web |url=http://www.espnscrum.com/scrum/rugby/story/166052.html |title=Junior Boks end Baby Blacks' rein |publisher=ESPN Scrum |date=22 Juni 2012}}</ref>
Katika msimu wa 2013, Adendorff aliichezea UP Tuks katika Varsity Cup. Alifunga ''try'' tano katika mechi nane, ikiwemo ''hat-trick'' katika ushindi wa 52–0 dhidi ya Wits.
UP Tuks ilifika fainali na kuifunga Maties kwa 44–5 ili kutwaa ubingwa wa Varsity Cup kwa msimu wa pili mfululizo.
Baada ya Varsity Cup, alijiunga na kikosi cha Blue Bulls kwa ajili ya 2013 Vodacom Cup. Alifanya mechi yake ya kwanza ya kiwango cha juu katika ushindi wa 110–0 dhidi ya Limpopo Blue Bulls mjini Lephalale.
=== South Africa Sevens ===
Baadaye Adendorff alisaini mkataba na South African Rugby Union ili kuichezea timu ya South Africa Sevens.
Aliiwakilisha timu hiyo katika mashindano ya 2014 Scotland Sevens na 2014 London Sevens, yaliyokuwa sehemu ya 2013–14 IRB Sevens World Series. Hata hivyo, hayo ndiyo yalikuwa mashindano yake pekee katika kikosi kikuu cha South Africa Sevens.
=== Boland Cavaliers ===
Mwaka 2016 alirejea katika rugby ya wachezaji 15 kwa kujiunga na Boland Cavaliers yenye makao yake Wellington, Western Cape.<ref name="Cavaliers Currie Cup squad and coaching staff announcement">{{cite web |url=https://www.rugby15.co.za/50206/ |title=Cavaliers Currie Cup squad and coaching staff announcement |work=Rugby15 |date=21 Januari 2016}}</ref>
=== Aurillac ===
Kabla ya msimu wa 2018–19 , Adendorff alihamia klabu ya Aurillac inayoshiriki ligi ya Pro D2 nchini Ufaransa.<ref name="2018-2019 : Les Recrues !">{{cite press release |url=http://www.stade-aurillacois.fr/2018-2019-les-recrues |title=2018-2019 : Les Recrues ! |publisher=Stade Aurillacois Cantal Auvergne |date=24 Mei 2018}}</ref>
=== Northampton Saints ===
Adendorff alisaini kujiunga na klabu ya Northampton Saints inayoshiriki Premiership Rugby kabla ya msimu wa 2020–21.<ref>{{cite web|title=South African forward is on his way to Saints|url=https://www.northamptonchron.co.uk/sport/rugby-union/south-african-forward-his-way-saints-2869775|access-date=10 Juni 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|colwidth=30em}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1992|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
cg6k5kqcke8m0395wqbz49fvpv3tryi
Darren Adonis
0
240705
1570648
2026-06-11T00:48:19Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Darren Lance Adonis''' (amezaliwa tarehe 13 Septemba 1998) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayezichezea timu za Cheetahs katika mashindano ya Pro14, Free State Cheetahs katika Currie Cup, na Free State XV katika Rugby Challenge.<ref name="SARU Player Profile Darren Adonis">{{SA Rugby Player Profile | id=52479 | name=Darren Adonis | date=1 December 2018}}</ref> Nafasi zake za kawaida uwanjani ni beki wa mwisho (fullback) au win...'
1570648
wikitext
text/x-wiki
'''Darren Lance Adonis''' (amezaliwa tarehe 13 Septemba 1998) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayezichezea timu za Cheetahs katika mashindano ya Pro14, Free State Cheetahs katika Currie Cup, na Free State XV katika Rugby Challenge.<ref name="SARU Player Profile Darren Adonis">{{SA Rugby Player Profile | id=52479 | name=Darren Adonis | date=1 December 2018}}</ref>
Nafasi zake za kawaida uwanjani ni beki wa mwisho (fullback) au winga.
== Kazi ya kimataifa ==
Mnamo Desemba 2022, Adonis aliitwa kujiunga na Timu ya taifa ya raga ya saba ya Afrika Kusini ili kushiriki katika World Rugby Sevens Series kwenye mashindano yaliyofanyika mjini Cape Town.<ref>[https://www.sarugbymag.co.za/adonis-make-cape-town-debut-blitzboks/ SArugbymag]</ref><ref>IOL, ''Blitzboks rocked by Dewald Human withdrawal with Darren Adonis called up for Cape Town Sevens''[https://www.iol.co.za/sport/rugby/sevens/blitzboks-rocked-by-dewald-human-withdrawal-with-darren-adonis-called-up-for-cape-town-sevens-f096a503-81be-43e7-a2dc-7002a7b6445a]</ref><ref>News24, ''Adonis set for Blitzboks playmaking role at Cape Town Sevens''[https://www.news24.com/sport/rugby/sevens/adonis-set-for-blitzboks-playmaking-role-at-cape-town-sevens-20221207]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1998|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
83aiwis2g3xx11b7n48z7t9qwp2s5af
1570756
1570648
2026-06-11T07:59:27Z
Riccardo Riccioni
452
1570756
wikitext
text/x-wiki
'''Darren Lance Adonis''' (amezaliwa 13 Septemba 1998) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayezichezea timu za Cheetahs katika mashindano ya Pro14, Free State Cheetahs katika Currie Cup, na Free State XV katika Rugby Challenge.<ref name="SARU Player Profile Darren Adonis">{{SA Rugby Player Profile | id=52479 | name=Darren Adonis | date=1 December 2018}}</ref>
Nafasi zake za kawaida uwanjani ni beki wa mwisho (fullback) au winga.
== Kazi ya kimataifa ==
Mnamo Desemba 2022, Adonis aliitwa kujiunga na Timu ya taifa ya raga ya saba ya Afrika Kusini ili kushiriki katika World Rugby Sevens Series kwenye mashindano yaliyofanyika mjini Cape Town.<ref>[https://www.sarugbymag.co.za/adonis-make-cape-town-debut-blitzboks/ SArugbymag]</ref><ref>IOL, ''Blitzboks rocked by Dewald Human withdrawal with Darren Adonis called up for Cape Town Sevens''[https://www.iol.co.za/sport/rugby/sevens/blitzboks-rocked-by-dewald-human-withdrawal-with-darren-adonis-called-up-for-cape-town-sevens-f096a503-81be-43e7-a2dc-7002a7b6445a]</ref><ref>News24, ''Adonis set for Blitzboks playmaking role at Cape Town Sevens''[https://www.news24.com/sport/rugby/sevens/adonis-set-for-blitzboks-playmaking-role-at-cape-town-sevens-20221207]</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1998|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
kxezm0y0mcugs9ex8fkbq7ckykv6fhh
Jacobie Adriaanse
0
240706
1570650
2026-06-11T00:57:33Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jacobus Petrus Adriaanse''' (amezaliwa tarehe 19 Julai 1985) ni mchezaji wa zamani wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] aliyeshiriki mashindano ya daraja la kwanza kati ya mwaka 2008 na 2019, na aliwakilisha timu ya Emerging Springboks katika ngazi ya kimataifa.<ref name="SARU Player Profile Jacobie Adriaanse">{{SA Rugby Player Profile | id=24597 | name=Jacobie Adriaanse | date=29 May 2016}}</ref> Nafasi yake ya kawaida ilikuwa ya ''tighthead pr...'
1570650
wikitext
text/x-wiki
'''Jacobus Petrus Adriaanse''' (amezaliwa tarehe 19 Julai 1985) ni mchezaji wa zamani wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] aliyeshiriki mashindano ya daraja la kwanza kati ya mwaka 2008 na 2019, na aliwakilisha timu ya Emerging Springboks katika ngazi ya kimataifa.<ref name="SARU Player Profile Jacobie Adriaanse">{{SA Rugby Player Profile | id=24597 | name=Jacobie Adriaanse | date=29 May 2016}}</ref> Nafasi yake ya kawaida ilikuwa ya ''tighthead prop''.
== Wasifu wa mchezo wa raga ==
=== Ujana ===
Adriaanse aliwakilisha timu ya Boland kutoka eneo la Western Cape katika ngazi mbalimbali za vijana wakati wa masomo yake, kuanzia kikosi cha chini ya miaka 12 mwaka 1997 hadi chini ya miaka 16 mwaka 2001. Alijumuishwa katika kikosi cha Western Province cha chini ya miaka 18 kilichoshiriki Craven Week mwaka 2002 mjini [[Pietermaritzburg]], ambapo timu hiyo ilishinda mechi kuu ya mashindano hayo.<ref name="Cravenweekspanne bekend">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2002/06/03/8/16.html | title=Cravenweekspanne bekend | work=Die Burger | date=3 June 2002 }}</ref> Baada ya mashindano hayo alijumuishwa katika kikosi cha mazoezi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19.
Mwaka 2003, licha ya kuwa bado alikuwa katika kundi la chini ya miaka 18, Adriaanse alichaguliwa katika kikosi cha mwisho cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia ya Raga kwa vijana chini ya miaka 19 yaliyofanyika [[Paris]], [[Ufaransa]].<ref name="SA o.19-span vertrek">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/04/08/DB/21LDSk/09.html | title=SA o.19-span vertrek | work=Die Burger | date=8 April 2003 }}</ref> Aliisaidia Afrika Kusini kutwaa ubingwa kwa kuifunga [[New Zealand]] mabao 22–18 katika fainali.<ref name="Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom">{{cite web | url=http://152.111.1.88/argief/berigte/beeld/2003/04/22/1/8.html | title=Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom | work=Beeld | date=22 April 2003 }}</ref>
Baadaye mwaka huo alirejea Afrika Kusini na kushiriki tena Craven Week akiwa na Western Province katika toleo la mwaka 2003 lililofanyika Wellington. Alisaidia timu hiyo kushinda mechi ya mwisho isiyo rasmi kwa mwaka wa pili mfululizo. Mwishoni mwa mashindano hayo alichaguliwa katika timu ya South African Schools Academy, ambayo ilicheza dhidi ya timu ya vijana ya [[Ufaransa]] mjini [[Johannesburg]].<ref name="WP spog met 12 in SA spanne">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/07/14/DB/16LDSk/03.html | title=WP spog met 12 in SA spanne | work=Die Burger | date=14 July 2003 }}</ref>
Mwaka 2004 alijumuishwa tena katika kikosi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia yaliyofanyika [[Durban]]. Ingawa timu hiyo haikuweza kutetea taji lake baada ya kufungwa na New Zealand katika nusu fainali, ilifanikiwa kuishinda [[England]] katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu.<ref name="Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2004/04/13/DB/22LDSk/03.html | title=Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose | work=Die Burger | date=13 April 2004 }}</ref>
=== Maties, Western Province na Emerging Springboks ===
Kati ya mwaka 2005 na 2006, Adriaanse aliichezea timu ya Western Province U21 katika mashindano ya vijana chini ya miaka 21. Pia alichezea klabu ya Stellenbosch University, inayojulikana kama '''Maties''', kuanzia mwaka 2005 hadi 2008.
Mwaka 2008 aliichezea Maties katika toleo la kwanza la Varsity Cup. Alishiriki mechi nane, zikiwemo za nusu fainali na fainali, ambapo Maties ilitwaa ubingwa wa kwanza wa mashindano hayo baada ya kuishinda timu ya UCT Ikey Tigers.
Baadaye mwaka huo alijumuishwa katika kikosi cha Emerging Springboks kilichoshiriki 2008 IRB Nations Cup nchini [[Romania]]. Alicheza mechi moja dhidi ya [[Georgia]], ambayo Emerging Springboks walishinda kwa mabao 11–3.
=== Boland Cavaliers ===
Baada ya kurejea kutoka Romania mwaka 2008, Adriaanse alijiunga na timu ya Boland Cavaliers yenye makao yake Wellington. Alifanya mechi yake ya kwanza ya daraja la kwanza tarehe 19 Julai 2008 dhidi ya Blue Bulls katika Currie Cup Premier Division.
Katika msimu wa 2009 alijidhihirisha kama ''tighthead prop'' wa kwanza wa timu hiyo, akianza mechi nyingi za ligi. Hata hivyo, Boland Cavaliers walimaliza mkiani mwa msimamo na kushushwa daraja baada ya kupoteza mfululizo wa mechi za mtoano dhidi ya Pumas.
=== Griquas ===
Baada ya kushushwa kwa Boland Cavaliers, Adriaanse alihamia Kimberley kujiunga na Griquas mwaka 2010. Alifanya mechi yake ya kwanza katika Vodacom Cup dhidi ya Blue Bulls.
Katika Currie Cup Premier Division ya mwaka 2010, alifunga ''try'' ya kwanza katika maisha yake ya mchezo wakati Griquas ilipoifunga Golden Lions kwa mabao 26–20.
=== Golden Lions na Lions ===
Mwaka 2011 Adriaanse alijiunga na Golden Lions ya [[Johannesburg]]. Utendaji wake mzuri ulimwezesha kupandishwa katika kikosi cha Lions kilichoshiriki Super Rugby.
Alifanya mechi yake ya kwanza ya Super Rugby tarehe 26 Machi 2011 dhidi ya Bulls. Katika msimu wa Currie Cup wa mwaka huo alifunga ''try'' tatu na kusaidia Golden Lions kutwaa ubingwa wao wa kwanza tangu mwaka 1999.
Aliendelea kucheza kwa Lions na Golden Lions hadi mwisho wa mwaka 2012.
=== Scarlets ===
Baada ya msimu wa 2012, Adriaanse alisaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Scarlets ya [[Wales]], iliyokuwa ikishiriki mashindano ya Pro12.
Alifanya mechi yake ya kwanza kwa Scarlets katika 2012–13 LV Cup dhidi ya Worcester Warriors. Pia alicheza katika Heineken Cup na Pro12. Katika misimu mitatu aliyokaa Wales, alicheza jumla ya mechi 51 kwa Scarlets lakini hakufunga ''try'' yoyote.
=== Montpellier ===
Mwaka 2015 Adriaanse alijiunga kwa muda mfupi na klabu ya Montpellier ya [[Ufaransa]] inayoshiriki Top 14, ili kutoa msaada wakati wa 2015 Rugby World Cup. Alicheza mechi tatu katika ligi hiyo.
=== Kings ===
Baada ya kuondoka Montpellier, alirejea Afrika Kusini na kujiunga na Southern Kings kabla ya msimu wa 2016 Super Rugby .
=== Bulls ===
Mwaka 2016 alihamia [[Pretoria]] na kujiunga na Blue Bulls kabla ya kuanza kwa 2016 Currie Cup Premier Division.
== Maisha binafsi ==
Adriaanse ni kaka mkubwa wa mchezaji wa kimataifa wa Afrika Kusini Lourens Adriaanse, ambaye pia alicheza katika nafasi ya ''prop''.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamichezo}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
b49hsdew2hww0kw3fj51rzj4s97u7es
1570757
1570650
2026-06-11T08:00:30Z
Riccardo Riccioni
452
1570757
wikitext
text/x-wiki
'''Jacobus Petrus Adriaanse''' (amezaliwa 19 Julai 1985) ni mchezaji wa zamani wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] aliyeshiriki mashindano ya daraja la kwanza kati ya mwaka 2008 na 2019, na aliwakilisha timu ya Emerging Springboks katika ngazi ya kimataifa.<ref name="SARU Player Profile Jacobie Adriaanse">{{SA Rugby Player Profile | id=24597 | name=Jacobie Adriaanse | date=29 May 2016}}</ref> Nafasi yake ya kawaida ilikuwa ya ''tighthead prop''.
== Wasifu wa mchezo wa raga ==
=== Ujana ===
Adriaanse aliwakilisha timu ya Boland kutoka eneo la Western Cape katika ngazi mbalimbali za vijana wakati wa masomo yake, kuanzia kikosi cha chini ya miaka 12 mwaka 1997 hadi chini ya miaka 16 mwaka 2001. Alijumuishwa katika kikosi cha Western Province cha chini ya miaka 18 kilichoshiriki Craven Week mwaka 2002 mjini [[Pietermaritzburg]], ambapo timu hiyo ilishinda mechi kuu ya mashindano hayo.<ref name="Cravenweekspanne bekend">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2002/06/03/8/16.html | title=Cravenweekspanne bekend | work=Die Burger | date=3 June 2002 }}</ref> Baada ya mashindano hayo alijumuishwa katika kikosi cha mazoezi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19.
Mwaka 2003, licha ya kuwa bado alikuwa katika kundi la chini ya miaka 18, Adriaanse alichaguliwa katika kikosi cha mwisho cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia ya Raga kwa vijana chini ya miaka 19 yaliyofanyika [[Paris]], [[Ufaransa]].<ref name="SA o.19-span vertrek">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/04/08/DB/21LDSk/09.html | title=SA o.19-span vertrek | work=Die Burger | date=8 April 2003 }}</ref> Aliisaidia Afrika Kusini kutwaa ubingwa kwa kuifunga [[New Zealand]] mabao 22–18 katika fainali.<ref name="Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom">{{cite web | url=http://152.111.1.88/argief/berigte/beeld/2003/04/22/1/8.html | title=Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom | work=Beeld | date=22 April 2003 }}</ref>
Baadaye mwaka huo alirejea Afrika Kusini na kushiriki tena Craven Week akiwa na Western Province katika toleo la mwaka 2003 lililofanyika Wellington. Alisaidia timu hiyo kushinda mechi ya mwisho isiyo rasmi kwa mwaka wa pili mfululizo. Mwishoni mwa mashindano hayo alichaguliwa katika timu ya South African Schools Academy, ambayo ilicheza dhidi ya timu ya vijana ya [[Ufaransa]] mjini [[Johannesburg]].<ref name="WP spog met 12 in SA spanne">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/07/14/DB/16LDSk/03.html | title=WP spog met 12 in SA spanne | work=Die Burger | date=14 July 2003 }}</ref>
Mwaka 2004 alijumuishwa tena katika kikosi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia yaliyofanyika [[Durban]]. Ingawa timu hiyo haikuweza kutetea taji lake baada ya kufungwa na New Zealand katika nusu fainali, ilifanikiwa kuishinda [[England]] katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu.<ref name="Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2004/04/13/DB/22LDSk/03.html | title=Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose | work=Die Burger | date=13 April 2004 }}</ref>
=== Maties, Western Province na Emerging Springboks ===
Kati ya mwaka 2005 na 2006, Adriaanse aliichezea timu ya Western Province U21 katika mashindano ya vijana chini ya miaka 21. Pia alichezea klabu ya Stellenbosch University, inayojulikana kama '''Maties''', kuanzia mwaka 2005 hadi 2008.
Mwaka 2008 aliichezea Maties katika toleo la kwanza la Varsity Cup. Alishiriki mechi nane, zikiwemo za nusu fainali na fainali, ambapo Maties ilitwaa ubingwa wa kwanza wa mashindano hayo baada ya kuishinda timu ya UCT Ikey Tigers.
Baadaye mwaka huo alijumuishwa katika kikosi cha Emerging Springboks kilichoshiriki 2008 IRB Nations Cup nchini [[Romania]]. Alicheza mechi moja dhidi ya [[Georgia]], ambayo Emerging Springboks walishinda kwa mabao 11–3.
=== Boland Cavaliers ===
Baada ya kurejea kutoka Romania mwaka 2008, Adriaanse alijiunga na timu ya Boland Cavaliers yenye makao yake Wellington. Alifanya mechi yake ya kwanza ya daraja la kwanza tarehe 19 Julai 2008 dhidi ya Blue Bulls katika Currie Cup Premier Division.
Katika msimu wa 2009 alijidhihirisha kama ''tighthead prop'' wa kwanza wa timu hiyo, akianza mechi nyingi za ligi. Hata hivyo, Boland Cavaliers walimaliza mkiani mwa msimamo na kushushwa daraja baada ya kupoteza mfululizo wa mechi za mtoano dhidi ya Pumas.
=== Griquas ===
Baada ya kushushwa kwa Boland Cavaliers, Adriaanse alihamia Kimberley kujiunga na Griquas mwaka 2010. Alifanya mechi yake ya kwanza katika Vodacom Cup dhidi ya Blue Bulls.
Katika Currie Cup Premier Division ya mwaka 2010, alifunga ''try'' ya kwanza katika maisha yake ya mchezo wakati Griquas ilipoifunga Golden Lions kwa mabao 26–20.
=== Golden Lions na Lions ===
Mwaka 2011 Adriaanse alijiunga na Golden Lions ya [[Johannesburg]]. Utendaji wake mzuri ulimwezesha kupandishwa katika kikosi cha Lions kilichoshiriki Super Rugby.
Alifanya mechi yake ya kwanza ya Super Rugby tarehe 26 Machi 2011 dhidi ya Bulls. Katika msimu wa Currie Cup wa mwaka huo alifunga ''try'' tatu na kusaidia Golden Lions kutwaa ubingwa wao wa kwanza tangu mwaka 1999.
Aliendelea kucheza kwa Lions na Golden Lions hadi mwisho wa mwaka 2012.
=== Scarlets ===
Baada ya msimu wa 2012, Adriaanse alisaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Scarlets ya [[Wales]], iliyokuwa ikishiriki mashindano ya Pro12.
Alifanya mechi yake ya kwanza kwa Scarlets katika 2012–13 LV Cup dhidi ya Worcester Warriors. Pia alicheza katika Heineken Cup na Pro12. Katika misimu mitatu aliyokaa Wales, alicheza jumla ya mechi 51 kwa Scarlets lakini hakufunga ''try'' yoyote.
=== Montpellier ===
Mwaka 2015 Adriaanse alijiunga kwa muda mfupi na klabu ya Montpellier ya [[Ufaransa]] inayoshiriki Top 14, ili kutoa msaada wakati wa 2015 Rugby World Cup. Alicheza mechi tatu katika ligi hiyo.
=== Kings ===
Baada ya kuondoka Montpellier, alirejea Afrika Kusini na kujiunga na Southern Kings kabla ya msimu wa 2016 Super Rugby .
=== Bulls ===
Mwaka 2016 alihamia [[Pretoria]] na kujiunga na Blue Bulls kabla ya kuanza kwa 2016 Currie Cup Premier Division.
== Maisha binafsi ==
Adriaanse ni kaka mkubwa wa mchezaji wa kimataifa wa Afrika Kusini Lourens Adriaanse, ambaye pia alicheza katika nafasi ya ''prop''.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
m8m54l6d2f9k1rvnnhsqrwrload9my8
1570758
1570757
2026-06-11T08:00:55Z
Riccardo Riccioni
452
1570758
wikitext
text/x-wiki
'''Jacobus Petrus Adriaanse''' (amezaliwa 19 Julai 1985) ni mchezaji wa zamani wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] aliyeshiriki mashindano ya daraja la kwanza kati ya mwaka 2008 na 2019, na aliwakilisha timu ya Emerging Springboks katika ngazi ya kimataifa. Nafasi yake ya kawaida ilikuwa ya ''tighthead prop''.
== Wasifu wa mchezo wa raga ==
=== Ujana ===
Adriaanse aliwakilisha timu ya Boland kutoka eneo la Western Cape katika ngazi mbalimbali za vijana wakati wa masomo yake, kuanzia kikosi cha chini ya miaka 12 mwaka 1997 hadi chini ya miaka 16 mwaka 2001. Alijumuishwa katika kikosi cha Western Province cha chini ya miaka 18 kilichoshiriki Craven Week mwaka 2002 mjini [[Pietermaritzburg]], ambapo timu hiyo ilishinda mechi kuu ya mashindano hayo.<ref name="Cravenweekspanne bekend">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2002/06/03/8/16.html | title=Cravenweekspanne bekend | work=Die Burger | date=3 June 2002 }}</ref> Baada ya mashindano hayo alijumuishwa katika kikosi cha mazoezi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19.
Mwaka 2003, licha ya kuwa bado alikuwa katika kundi la chini ya miaka 18, Adriaanse alichaguliwa katika kikosi cha mwisho cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia ya Raga kwa vijana chini ya miaka 19 yaliyofanyika [[Paris]], [[Ufaransa]].<ref name="SA o.19-span vertrek">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/04/08/DB/21LDSk/09.html | title=SA o.19-span vertrek | work=Die Burger | date=8 April 2003 }}</ref> Aliisaidia Afrika Kusini kutwaa ubingwa kwa kuifunga [[New Zealand]] mabao 22–18 katika fainali.<ref name="Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom">{{cite web | url=http://152.111.1.88/argief/berigte/beeld/2003/04/22/1/8.html | title=Bokkies moes vrees vir groot Kiwi's oorkom | work=Beeld | date=22 April 2003 }}</ref>
Baadaye mwaka huo alirejea Afrika Kusini na kushiriki tena Craven Week akiwa na Western Province katika toleo la mwaka 2003 lililofanyika Wellington. Alisaidia timu hiyo kushinda mechi ya mwisho isiyo rasmi kwa mwaka wa pili mfululizo. Mwishoni mwa mashindano hayo alichaguliwa katika timu ya South African Schools Academy, ambayo ilicheza dhidi ya timu ya vijana ya [[Ufaransa]] mjini [[Johannesburg]].<ref name="WP spog met 12 in SA spanne">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2003/07/14/DB/16LDSk/03.html | title=WP spog met 12 in SA spanne | work=Die Burger | date=14 July 2003 }}</ref>
Mwaka 2004 alijumuishwa tena katika kikosi cha Afrika Kusini cha chini ya miaka 19 kilichoshiriki Mashindano ya Dunia yaliyofanyika [[Durban]]. Ingawa timu hiyo haikuweza kutetea taji lake baada ya kufungwa na New Zealand katika nusu fainali, ilifanikiwa kuishinda [[England]] katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu.<ref name="Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose">{{cite web | url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2004/04/13/DB/22LDSk/03.html | title=Baby Blacks dra kroon; Bokkies knak die Rose | work=Die Burger | date=13 April 2004 }}</ref>
=== Maties, Western Province na Emerging Springboks ===
Kati ya mwaka 2005 na 2006, Adriaanse aliichezea timu ya Western Province U21 katika mashindano ya vijana chini ya miaka 21. Pia alichezea klabu ya Stellenbosch University, inayojulikana kama '''Maties''', kuanzia mwaka 2005 hadi 2008.
Mwaka 2008 aliichezea Maties katika toleo la kwanza la Varsity Cup. Alishiriki mechi nane, zikiwemo za nusu fainali na fainali, ambapo Maties ilitwaa ubingwa wa kwanza wa mashindano hayo baada ya kuishinda timu ya UCT Ikey Tigers.
Baadaye mwaka huo alijumuishwa katika kikosi cha Emerging Springboks kilichoshiriki 2008 IRB Nations Cup nchini [[Romania]]. Alicheza mechi moja dhidi ya [[Georgia]], ambayo Emerging Springboks walishinda kwa mabao 11–3.
=== Boland Cavaliers ===
Baada ya kurejea kutoka Romania mwaka 2008, Adriaanse alijiunga na timu ya Boland Cavaliers yenye makao yake Wellington. Alifanya mechi yake ya kwanza ya daraja la kwanza tarehe 19 Julai 2008 dhidi ya Blue Bulls katika Currie Cup Premier Division.
Katika msimu wa 2009 alijidhihirisha kama ''tighthead prop'' wa kwanza wa timu hiyo, akianza mechi nyingi za ligi. Hata hivyo, Boland Cavaliers walimaliza mkiani mwa msimamo na kushushwa daraja baada ya kupoteza mfululizo wa mechi za mtoano dhidi ya Pumas.
=== Griquas ===
Baada ya kushushwa kwa Boland Cavaliers, Adriaanse alihamia Kimberley kujiunga na Griquas mwaka 2010. Alifanya mechi yake ya kwanza katika Vodacom Cup dhidi ya Blue Bulls.
Katika Currie Cup Premier Division ya mwaka 2010, alifunga ''try'' ya kwanza katika maisha yake ya mchezo wakati Griquas ilipoifunga Golden Lions kwa mabao 26–20.
=== Golden Lions na Lions ===
Mwaka 2011 Adriaanse alijiunga na Golden Lions ya [[Johannesburg]]. Utendaji wake mzuri ulimwezesha kupandishwa katika kikosi cha Lions kilichoshiriki Super Rugby.
Alifanya mechi yake ya kwanza ya Super Rugby tarehe 26 Machi 2011 dhidi ya Bulls. Katika msimu wa Currie Cup wa mwaka huo alifunga ''try'' tatu na kusaidia Golden Lions kutwaa ubingwa wao wa kwanza tangu mwaka 1999.
Aliendelea kucheza kwa Lions na Golden Lions hadi mwisho wa mwaka 2012.
=== Scarlets ===
Baada ya msimu wa 2012, Adriaanse alisaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Scarlets ya [[Wales]], iliyokuwa ikishiriki mashindano ya Pro12.
Alifanya mechi yake ya kwanza kwa Scarlets katika 2012–13 LV Cup dhidi ya Worcester Warriors. Pia alicheza katika Heineken Cup na Pro12. Katika misimu mitatu aliyokaa Wales, alicheza jumla ya mechi 51 kwa Scarlets lakini hakufunga ''try'' yoyote.
=== Montpellier ===
Mwaka 2015 Adriaanse alijiunga kwa muda mfupi na klabu ya Montpellier ya [[Ufaransa]] inayoshiriki Top 14, ili kutoa msaada wakati wa 2015 Rugby World Cup. Alicheza mechi tatu katika ligi hiyo.
=== Kings ===
Baada ya kuondoka Montpellier, alirejea Afrika Kusini na kujiunga na Southern Kings kabla ya msimu wa 2016 Super Rugby .
=== Bulls ===
Mwaka 2016 alihamia [[Pretoria]] na kujiunga na Blue Bulls kabla ya kuanza kwa 2016 Currie Cup Premier Division.
== Maisha binafsi ==
Adriaanse ni kaka mkubwa wa mchezaji wa kimataifa wa Afrika Kusini Lourens Adriaanse, ambaye pia alicheza katika nafasi ya ''prop''.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
0znqj8qbisk2lr961aypj08i83c4az4
Lourens Adriaanse
0
240707
1570652
2026-06-11T01:03:19Z
Valuegirl
87699
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lourens Cornelius Adriaanse''' (amezaliwa tarehe 5 Februari 1988) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya propu wa kulia (tighthead prop) katika timu ya Sharks (Currie Cup) inayoshiriki mashindano ya Currie Cup nchini Afrika Kusini. == Maisha ya mchezo == Adriaanse alizaliwa mjini [[Cape Town]] na alicheza katika timu za vijana za Western Province. Aliiwakilisha Maties katika mashindano ya Varsity Cup mwaka 2009...'
1570652
wikitext
text/x-wiki
'''Lourens Cornelius Adriaanse''' (amezaliwa tarehe 5 Februari 1988) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya propu wa kulia (tighthead prop) katika timu ya Sharks (Currie Cup) inayoshiriki mashindano ya Currie Cup nchini Afrika Kusini.
== Maisha ya mchezo ==
Adriaanse alizaliwa mjini [[Cape Town]] na alicheza katika timu za vijana za Western Province. Aliiwakilisha Maties katika mashindano ya Varsity Cup mwaka 2009 na 2010 kabla ya kuhamia Griquas kwa msimu wa mwaka 2011.
Uchezaji wake mzuri katika mashindano ya ndani ulimwezesha kupandishwa haraka katika kikosi cha Cheetahs cha Super Rugby, ambapo alicheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Reds mjini Brisbane.<ref name="SARU Player Profile Lourens Adriaanse">{{SA Rugby Player Profile | id=34991 | name=Lourens Adriaanse | date=1 June 2016}}</ref>
Adriaanse alijiunga na Sharks mwanzoni mwa msimu wa 2014.<ref name="Stut-skok vir GW, Cheetahs">{{cite web | url=http://www.beeld.com/sport/2013-08-15-stut-skok-vir-gw-cheetahs | title=Stut-skok vir GW, Cheetahs | publisher=Beeld | work=Media24 | date=15 August 2013 | accessdate=16 August 2013 | language=Afrikaans}}</ref> Alijumuishwa katika kikosi chao cha 2014 Super Rugby season<ref name="Sharks 2014 squad">{{cite press release|url=http://www.sharksrugby.co.za/index.php/component/articles/?view=article&id=2310854 |title=Sharks 2014 squad |publisher=Sharks |date=11 February 2014 |accessdate=11 February 2014 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150606082653/http://www.sharksrugby.co.za/index.php/component/articles/?view=article&id=2310854 |archivedate=6 June 2015 }}</ref> na akacheza mechi yake ya kwanza kwa Sharks katika ushindi wa 31–16 dhidi ya Bulls mjini [[Durban]].<ref name="Match Centre: Sharks v Bulls">{{cite web | url=http://www.sanzarrugby.com/superrugby/match-centre/?season=2014&competition=205&match=514012 | title=Match Centre: Sharks v Bulls | publisher=SANZAR | date=15 February 2014 | accessdate=15 February 2014}}</ref><ref name="Cell C Sharks 31-16 Vodacom Bulls">{{SA Rugby Match Centre | id=113684 | homeid=16164 | awayid=16174 | leagueid=1574 | hometeam=Cell C Sharks | homescore=31 | awayscore=16 | awayteam=Vodacom Bulls | matchdate=15 February 2014 | date=27 July 2016}}</ref>
Kabla ya msimu wa 2017–18, Adriaanse alijiunga na klabu ya Pau nchini Ufaransa kwa mkataba wa miaka mitatu.<ref name="Le pilier droit international Sud-Africain Lourens Adriaanse s’engage !">{{cite press release|url=http://www.section-paloise.com/actualites/news/970-le-pilier-droit-international-sud-africain-lourens-adriaanse-s-engage |title=Le pilier droit international Sud-Africain Lourens Adriaanse s'engage ! |publisher=Section Paloise |date=18 April 2017 |accessdate=18 April 2017 |language=French |archiveurl=https://web.archive.org/web/20170418174858/http://www.section-paloise.com/actualites/news/970-le-pilier-droit-international-sud-africain-lourens-adriaanse-s-engage |archivedate=18 April 2017 |url-status=live }}</ref>
== Kazi ya kimataifa ==
Adriaanse aliitwa katika kikosi cha Afrika Kusini kwa ajili ya mechi za kimataifa za katikati ya mwaka 2013 dhidi ya Italia, Scotland na Samoa, lakini hakupata nafasi ya kucheza katika mechi hizo.
Hatimaye alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa ya Springboks dhidi ya Ufaransa tarehe 23 Novemba 2013 mjini [[Paris]].
== Maisha binafsi ==
Adriaanse ni mdogo wake mchezaji wa propu [[Jacobie Adriaanse]].<ref name="Jake White lok nóg ’n SA speler">{{cite web | url=http://www.netwerk24.com/sport/2015-05-13-jake-white-lok-ng-n-sa-speler | title=Jake White lok nóg 'n SA speler | work=Netwerk24 | date=13 May 2015 | accessdate=21 December 2015 | language=Afrikaans}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* {{sport links}}
* {{SA Rugby Player Profile | id=34991 | name=Lourens Adriaanse | date=1 June 2016}}
* [http://www.genslin.us/bokke/PlayerData.aspx?PlayerID=926 Wasifu wa Adriaanse katika genslin.us]
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1988|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
9jydgzg7lmukfpc72uiwtjl5ysuh962
1570759
1570652
2026-06-11T08:02:49Z
Riccardo Riccioni
452
1570759
wikitext
text/x-wiki
'''Lourens Cornelius Adriaanse''' (amezaliwa 5 Februari 1988) ni mchezaji wa muungano wa raga kutoka [[Afrika Kusini]] anayechukua nafasi ya propu wa kulia (tighthead prop) katika timu ya Sharks (Currie Cup) inayoshiriki mashindano ya Currie Cup nchini Afrika Kusini.
== Maisha ya mchezo ==
Adriaanse alizaliwa mjini [[Cape Town]] na alicheza katika timu za vijana za Western Province. Aliiwakilisha Maties katika mashindano ya Varsity Cup mwaka 2009 na 2010 kabla ya kuhamia Griquas kwa msimu wa mwaka 2011.
Uchezaji wake mzuri katika mashindano ya ndani ulimwezesha kupandishwa haraka katika kikosi cha Cheetahs cha Super Rugby, ambapo alicheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Reds mjini Brisbane.
Adriaanse alijiunga na Sharks mwanzoni mwa msimu wa 2014.<ref name="Stut-skok vir GW, Cheetahs">{{cite web | url=http://www.beeld.com/sport/2013-08-15-stut-skok-vir-gw-cheetahs | title=Stut-skok vir GW, Cheetahs | publisher=Beeld | work=Media24 | date=15 August 2013 | accessdate=16 August 2013 | language=Afrikaans}}</ref> Alijumuishwa katika kikosi chao cha 2014 Super Rugby season<ref name="Sharks 2014 squad">{{cite press release|url=http://www.sharksrugby.co.za/index.php/component/articles/?view=article&id=2310854 |title=Sharks 2014 squad |publisher=Sharks |date=11 February 2014 |accessdate=11 February 2014 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150606082653/http://www.sharksrugby.co.za/index.php/component/articles/?view=article&id=2310854 |archivedate=6 June 2015 }}</ref> na akacheza mechi yake ya kwanza kwa Sharks katika ushindi wa 31–16 dhidi ya Bulls mjini [[Durban]].<ref name="Match Centre: Sharks v Bulls">{{cite web | url=http://www.sanzarrugby.com/superrugby/match-centre/?season=2014&competition=205&match=514012 | title=Match Centre: Sharks v Bulls | publisher=SANZAR | date=15 February 2014 | accessdate=15 February 2014}}</ref>
Kabla ya msimu wa 2017–18, Adriaanse alijiunga na klabu ya Pau nchini Ufaransa kwa mkataba wa miaka mitatu.<ref name="Le pilier droit international Sud-Africain Lourens Adriaanse s’engage !">{{cite press release|url=http://www.section-paloise.com/actualites/news/970-le-pilier-droit-international-sud-africain-lourens-adriaanse-s-engage |title=Le pilier droit international Sud-Africain Lourens Adriaanse s'engage ! |publisher=Section Paloise |date=18 April 2017 |accessdate=18 April 2017 |language=French |archiveurl=https://web.archive.org/web/20170418174858/http://www.section-paloise.com/actualites/news/970-le-pilier-droit-international-sud-africain-lourens-adriaanse-s-engage |archivedate=18 April 2017 |url-status=live }}</ref>
== Kazi ya kimataifa ==
Adriaanse aliitwa katika kikosi cha Afrika Kusini kwa ajili ya mechi za kimataifa za katikati ya mwaka 2013 dhidi ya Italia, Scotland na Samoa, lakini hakupata nafasi ya kucheza katika mechi hizo.
Hatimaye alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa ya Springboks dhidi ya Ufaransa tarehe 23 Novemba 2013 mjini [[Paris]].
== Maisha binafsi ==
Adriaanse ni mdogo wake mchezaji wa propu [[Jacobie Adriaanse]].<ref name="Jake White lok nóg ’n SA speler">{{cite web | url=http://www.netwerk24.com/sport/2015-05-13-jake-white-lok-ng-n-sa-speler | title=Jake White lok nóg 'n SA speler | work=Netwerk24 | date=13 May 2015 | accessdate=21 December 2015 | language=Afrikaans}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.genslin.us/bokke/PlayerData.aspx?PlayerID=926 Wasifu wa Adriaanse katika genslin.us]
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1988|}}
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
p2vb4zysepcakvv5172osky2s9lpgj6
Camilo Sesto
0
240708
1570655
2026-06-11T02:05:30Z
HF Active
90140
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Msanii muziki 2 | Jina = Camilo Sesto | Img = Camilo Sesto.jpg | Img_capt = 2017 | Img_size = 240px | Background = solo_singer | Jina la kuzaliwa = Camilo Blanes Cortés | Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1946|9|16}}<br />[[Alcoi]], [[Alacant]], [[Hispania]] | Amekufa = {{death date and age|df=yes|2019|9|8|1946|9|16}}<br />[[Madrid]], Hispania | Ala = [[Kuimba|Sauti]] | Aina...'
1570655
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Camilo Sesto
| Img = Camilo Sesto.jpg
| Img_capt = 2017
| Img_size = 240px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Camilo Blanes Cortés
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1946|9|16}}<br />[[Alcoi]], [[Alacant]], [[Hispania]]
| Amekufa = {{death date and age|df=yes|2019|9|8|1946|9|16}}<br />[[Madrid]], Hispania
| Ala = [[Kuimba|Sauti]]
| Aina = [[Balladi]], [[pop]], [[rock]]
| Kazi yake = Mwimbaji, mtunzi, mtayarishaji wa rekodi
| Miaka ya kazi = 1964–2019
| Studio = Movieplay <br /> Ariola <br /> BMG <br /> Elica Records <br /> Universal <br /> Sony Music Entertainment
| Ameshirikiana na = Los Dayson, Los Botines
| Tovuti = [https://camilosestooficial.com/ CamiloSesto.com]
}}
'''Camilo Blanes Cortés''' (alizaliwa [[Alcoi]], [[Alacant]], 16 Septemba 1946 - alikufa [[Madrid]], 8 Septemba 2019), alijulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Camilo Sesto''', alikuwa [[mwimbaji]], mtunzi na mzalishaji wa muziki wa [[Hispania]].
Alipata umaarufu wa kimataifa katika miaka ya 1970 na 1980. Aliuza albamu zaidi ya milioni 100 kote ulimwenguni. Alichapisha albamu zaidi ya 30 na alimba kwa lugha 7.<ref>https://www.billboard.com/music/latin/camilo-sesto-obituary-8529409/</ref>
Urithi wake wa kimwili na wa wosia unahifadhiwa kupitia Jumba la Makumbusho la Camilo Sesto huko Alcoi, Hispania, lililozinduliwa rasmi tarehe 11 Juni 2026.
== Diskografia ==
=== Vikundi ===
* 1964: ''Los Dayson''
* 1966: ''Los Botines''
=== Albamu ===
* 1970: ''Llegará el verano/Sin dirección''
* 1971: ''Algo de mí''
* 1972: ''Sólo un hombre''
* 1973: ''Algo más''
* 1974: ''Camilo''
* 1975: ''Amor libre''
* 1975: ''Jesucristo Superstar''
* 1976: ''Memorias''
* 1976: ''Look in the eye''
* 1977: ''Rasgos''
* 1977: ''Entre amigos''
* 1978: ''Sentimientos''
* 1979: ''Horas de amor''
* 1980: ''Amaneciendo''
* 1981: ''Mais e mais''
* 1982: ''Camilo'' (kwa Kiingereza)
* 1983: ''Con ganas''
* 1984: ''Amanecer/84''
* 1985: ''Tuyo''
* 1986: ''Agenda de baile''
* 1991: ''A voluntad del cielo''
* 1992: ''Huracán de amor''
* 1994: ''Amor sin vértigo''
* 2002: ''Alma'' (pamoja na Isabel Patton)
* 2003: ''Alma (Toleo la pili)'' (pamoja na Andrea Bronston)
* 2010: ''Todo de mí'' (Moja kwa moja tarehe 1 na 2 Oktoba huko Madrid)
=== Mikusanyiko ===
* 1982: ''Muy Personal''
* 1997: ''Camilo Superstar''
* 2004: ''Camilo Sesto Nº 1''
* 2016: ''Camilo 70''
* 2018: ''Camilo Sinfónico''
* 2022: ''Camilo Forever''
* 2025: ''Camilo Love Sound Typhoon'' (Osaka '85)
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Camilo Sesto}}
* [https://camilosestooficial.com/ Camilo Sesto]
{{DEFAULTSORT:Sesto, Camilo}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Hispania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Waliofariki 2019]]
hovj80ob28drb80fw4ij85e4tdt2dzp
1570656
1570655
2026-06-11T02:16:00Z
HF Active
90140
1570656
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Camilo Sesto
| Img = Camilo Sesto.jpg
| Img_capt = 2017
| Img_size = 240px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Camilo Blanes Cortés
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1946|9|16}}<br />[[Alcoi]], [[Alacant]], [[Hispania]]
| Amekufa = {{death date and age|df=yes|2019|9|8|1946|9|16}}<br />[[Madrid]], Hispania
| Ala = [[Kuimba|Sauti]]
| Aina = [[Balladi]], [[pop]], [[rock]]
| Kazi yake = Mwimbaji, mtunzi, mtayarishaji wa rekodi
| Miaka ya kazi = 1964–2019
| Studio = Movieplay <br /> Ariola <br /> BMG <br /> Elica Records <br /> Universal <br /> Sony Music Entertainment
| Ameshirikiana na = Los Dayson, Los Botines
| Tovuti = [https://camilosestooficial.com/ CamiloSesto.com]
}}
'''Camilo Blanes Cortés''' (alizaliwa [[Alcoi]], [[Alacant]], 16 Septemba 1946 - alikufa [[Madrid]], 8 Septemba 2019), alijulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Camilo Sesto''', alikuwa [[mwimbaji]], mtunzi na mzalishaji wa muziki wa [[Hispania]].
Alipata umaarufu wa kimataifa katika miaka ya 1970 na 1980. Aliuza albamu zaidi ya milioni 100 kote ulimwenguni. Alichapisha albamu zaidi ya 30 na alimba kwa lugha 7.<ref>https://www.billboard.com/music/latin/camilo-sesto-obituary-8529409/</ref>
Urithi wake wa kimwili na wa wosia unahifadhiwa kupitia Jumba la Makumbusho la Camilo Sesto huko Alcoi, Hispania, lililozinduliwa rasmi tarehe 11 Juni 2026.
== Diskografia ==
=== Vikundi ===
* 1964: ''Los Dayson''
* 1966: ''Los Botines''
=== Albamu ===
* 1970: ''Llegará el verano/Sin dirección''
* 1971: ''Algo de mí''
* 1972: ''Sólo un hombre''
* 1973: ''Algo más''
* 1974: ''Camilo''
* 1975: ''Amor libre''
* 1975: ''Jesucristo Superstar''
* 1976: ''Memorias''
* 1976: ''Look in the eye''
* 1977: ''Rasgos''
* 1977: ''Entre amigos''
* 1978: ''Sentimientos''
* 1979: ''Horas de amor''
* 1980: ''Amaneciendo''
* 1981: ''Más y más''
* 1982: ''Camilo'' (kwa Kiingereza)
* 1983: ''Con ganas''
* 1984: ''Amanecer/84''
* 1985: ''Tuyo''
* 1986: ''Agenda de baile''
* 1991: ''A voluntad del cielo''
* 1992: ''Huracán de amor''
* 1994: ''Amor sin vértigo''
* 2002: ''Alma'' (pamoja na Isabel Patton)
* 2003: ''Alma (Toleo la pili)'' (pamoja na Andrea Bronston)
* 2010: ''Todo de mí'' (Moja kwa moja tarehe 1 na 2 Oktoba huko Madrid)
=== Mikusanyiko ===
* 1982: ''Muy Personal''
* 1997: ''Camilo Superstar''
* 2004: ''Camilo Sesto Nº 1''
* 2016: ''Camilo 70''
* 2018: ''Camilo Sinfónico''
* 2022: ''Camilo Forever''
* 2025: ''Camilo Love Sound Typhoon'' (Osaka '85)
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Camilo Sesto}}
* [https://camilosestooficial.com/ Camilo Sesto]
{{DEFAULTSORT:Sesto, Camilo}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Hispania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Waliofariki 2019]]
k4pgkmuxz06zpa8q2lansyp98uef4xt
1570760
1570656
2026-06-11T08:03:51Z
Riccardo Riccioni
452
1570760
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Camilo Sesto
| Img = Camilo Sesto.jpg
| Img_capt = 2017
| Img_size = 240px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Camilo Blanes Cortés
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1946|9|16}}<br />[[Alcoi]], [[Alacant]], [[Hispania]]
| Amekufa = {{death date and age|df=yes|2019|9|8|1946|9|16}}<br />[[Madrid]], Hispania
| Ala = [[Kuimba|Sauti]]
| Aina = [[Balladi]], [[pop]], [[rock]]
| Kazi yake = Mwimbaji, mtunzi, mtayarishaji wa rekodi
| Miaka ya kazi = 1964–2019
| Studio = Movieplay <br /> Ariola <br /> BMG <br /> Elica Records <br /> Universal <br /> Sony Music Entertainment
| Ameshirikiana na = Los Dayson, Los Botines
| Tovuti = [https://camilosestooficial.com/ CamiloSesto.com]
}}
'''Camilo Blanes Cortés''' (alijulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Camilo Sesto'''; [[Alcoi]], [[Alacant]], 16 Septemba 1946 - [[Madrid]], 8 Septemba 2019) alikuwa [[mwimbaji]], mtunzi na mzalishaji wa muziki wa [[Hispania]].
Alipata umaarufu wa kimataifa katika miaka ya 1970 na 1980. Aliuza albamu zaidi ya milioni 100 kote ulimwenguni. Alichapisha albamu zaidi ya 30 na alimba kwa lugha 7.<ref>https://www.billboard.com/music/latin/camilo-sesto-obituary-8529409/</ref>
Urithi wake wa kimwili na wa wosia unahifadhiwa kupitia Jumba la Makumbusho la Camilo Sesto huko Alcoi, Hispania, lililozinduliwa rasmi tarehe 11 Juni 2026.
== Diskografia ==
=== Vikundi ===
* 1964: ''Los Dayson''
* 1966: ''Los Botines''
=== Albamu ===
* 1970: ''Llegará el verano/Sin dirección''
* 1971: ''Algo de mí''
* 1972: ''Sólo un hombre''
* 1973: ''Algo más''
* 1974: ''Camilo''
* 1975: ''Amor libre''
* 1975: ''Jesucristo Superstar''
* 1976: ''Memorias''
* 1976: ''Look in the eye''
* 1977: ''Rasgos''
* 1977: ''Entre amigos''
* 1978: ''Sentimientos''
* 1979: ''Horas de amor''
* 1980: ''Amaneciendo''
* 1981: ''Más y más''
* 1982: ''Camilo'' (kwa Kiingereza)
* 1983: ''Con ganas''
* 1984: ''Amanecer/84''
* 1985: ''Tuyo''
* 1986: ''Agenda de baile''
* 1991: ''A voluntad del cielo''
* 1992: ''Huracán de amor''
* 1994: ''Amor sin vértigo''
* 2002: ''Alma'' (pamoja na Isabel Patton)
* 2003: ''Alma (Toleo la pili)'' (pamoja na Andrea Bronston)
* 2010: ''Todo de mí'' (Moja kwa moja tarehe 1 na 2 Oktoba huko Madrid)
=== Mikusanyo ===
* 1982: ''Muy Personal''
* 1997: ''Camilo Superstar''
* 2004: ''Camilo Sesto Nº 1''
* 2016: ''Camilo 70''
* 2018: ''Camilo Sinfónico''
* 2022: ''Camilo Forever''
* 2025: ''Camilo Love Sound Typhoon'' (Osaka '85)
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Camilo Sesto}}
* [https://camilosestooficial.com/ Camilo Sesto]
{{DEFAULTSORT:Sesto, Camilo}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Hispania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Waliofariki 2019]]
97psqvcmnkllgd359p0r1o5i4mmtj7a
Mto Adabay
0
240709
1570659
2026-06-11T03:25:51Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Adabay''' ni mto unaopatikana katika eneo la kati la [[Ethiopia]]. Mto huu, pamoja na Mto Wanchet, uliunda mipaka ya [[wilaya]] ya zamani ya Marra Biete. Mito inayoulisha [[Mto]] Adabay ni pamoja na Mto Chacha, Mto Beresa, na mito mingine mitatu ambayo huungana katika sehemu ya juu ya korongo lenye kina kirefu. Kwa ujumla, Mto Adabay ni sehemu muhimu ya mtandao wa mito katika eneo hilo na umechangia katika kuainisha mipaka ya kiutawala ya zamani ya...'
1570659
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Adabay''' ni mto unaopatikana katika eneo la kati la [[Ethiopia]]. Mto huu, pamoja na Mto Wanchet, uliunda mipaka ya [[wilaya]] ya zamani ya Marra Biete. Mito inayoulisha [[Mto]] Adabay ni pamoja na Mto Chacha, Mto Beresa, na mito mingine mitatu ambayo huungana katika sehemu ya juu ya korongo lenye kina kirefu.
Kwa ujumla, Mto Adabay ni sehemu muhimu ya mtandao wa mito katika eneo hilo na umechangia katika kuainisha mipaka ya kiutawala ya zamani ya Marra Biete.<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/journalsofrevmes00isen|title=Journals of the Rev. Messrs. Isenberg and Krapf, missionaries of the Church missionary society, detailing their proceedings in the kingdom of Shoa, and journeys in other parts of Abyssinia, in the years 1839, 1840, 1841, and 1842|last=Isenberg|first=Charles William|last2=Krapf|first2=J. L. (Johann Ludwig)|last3=MacQueen|first3=James|date=1843|publisher=London : Seeley|others=University of California Libraries}}</ref><ref>{{Cite web|title=Ādabay Shet’ stream, Amhara Region, Ethiopia|url=https://et.geoview.info/adabay_shet,345566|work=et.geoview.info|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
d9li99jattkr9oucbtfvyqvr3c2u0fd
1570703
1570659
2026-06-11T06:48:34Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570703
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Adabay''' ni mto unaopatikana katika eneo la kati la [[Ethiopia]]. Mto huu, pamoja na Mto Wanchet, uliunda mipaka ya [[wilaya]] ya zamani ya Marra Biete. Mito inayoulisha [[Mto]] Adabay ni pamoja na Mto Chacha, Mto Beresa, na mito mingine mitatu ambayo huungana katika sehemu ya juu ya korongo lenye kina kirefu.
Kwa ujumla, Mto Adabay ni sehemu muhimu ya mtandao wa mito katika eneo hilo na umechangia katika kuainisha mipaka ya kiutawala ya zamani ya Marra Biete.<ref>{{Rejea kitabu|url=http://archive.org/details/journalsofrevmes00isen|title=Journals of the Rev. Messrs. Isenberg and Krapf, missionaries of the Church missionary society, detailing their proceedings in the kingdom of Shoa, and journeys in other parts of Abyssinia, in the years 1839, 1840, 1841, and 1842|last=Isenberg|first=Charles William|last2=Krapf|first2=J. L. (Johann Ludwig)|last3=MacQueen|first3=James|date=1843|publisher=London : Seeley|others=University of California Libraries}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Ādabay Shet’ stream, Amhara Region, Ethiopia|url=https://et.geoview.info/adabay_shet,345566|work=et.geoview.info|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
9kea76u132cl2vxcivg7v9gjotx4vx5
1570761
1570703
2026-06-11T08:06:13Z
Riccardo Riccioni
452
1570761
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Adabay''' ni mto unaopatikana katika eneo la kati la [[Ethiopia]]. Mto huu, pamoja na [[Mto Wanchet]], uliunda mipaka ya [[wilaya]] ya zamani ya Marra Biete. Mito inayoulisha [[Mto]] Adabay ni pamoja na Mto Chacha, Mto Beresa, na mito mingine mitatu ambayo huungana katika sehemu ya juu ya [[Korongo (jiografia)|korongo]] lenye kina kirefu.
Kwa ujumla, Mto Adabay ni sehemu muhimu ya mtandao wa mito katika eneo hilo na umechangia katika kuainisha mipaka ya kiutawala ya zamani ya Marra Biete.<ref>{{Rejea kitabu|url=http://archive.org/details/journalsofrevmes00isen|title=Journals of the Rev. Messrs. Isenberg and Krapf, missionaries of the Church missionary society, detailing their proceedings in the kingdom of Shoa, and journeys in other parts of Abyssinia, in the years 1839, 1840, 1841, and 1842|last=Isenberg|first=Charles William|last2=Krapf|first2=J. L. (Johann Ludwig)|last3=MacQueen|first3=James|date=1843|publisher=London : Seeley|others=University of California Libraries}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Ādabay Shet’ stream, Amhara Region, Ethiopia|url=https://et.geoview.info/adabay_shet,345566|work=et.geoview.info|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
n4wiw15w2x1abbpxdqvmuv7dwrm3gt4
Mto Akaki
0
240710
1570661
2026-06-11T03:47:02Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Akaki''' ni mto unaopatikana katikati ya jiji la [[Addis Ababa]] nchini Ethiopia. Mto huu ni tawimto la upande wa kulia la Awash River. Akaki pia ndio mto mkubwa zaidi katika jiji la Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Hata hivyo, watu wengi hawautambui kwa urahisi kutokana na kufunikwa na misitu minene na kupungua kwa viumbe wa kawaida wa mtoni; mimea inayopatikana kandokando yake kwa kiasi kikubwa ni magugu na miti ya ukingoni. Mito miwili midogo...'
1570661
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Akaki''' ni mto unaopatikana katikati ya jiji la [[Addis Ababa]] nchini Ethiopia. Mto huu ni tawimto la upande wa kulia la Awash River. Akaki pia ndio mto mkubwa zaidi katika jiji la Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Hata hivyo, watu wengi hawautambui kwa urahisi kutokana na kufunikwa na misitu minene na kupungua kwa viumbe wa kawaida wa mtoni; mimea inayopatikana kandokando yake kwa kiasi kikubwa ni magugu na miti ya ukingoni.
Mito miwili midogo huungana na [[Mto]] Akaki katika bwawa la Aba Samuel. Mito hiyo ni Akaki Ndogo (Little Akaki) upande wa magharibi na Akaki Kubwa (Great Akaki) upande wa mashariki.<ref>{{Cite web|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com:80/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Uchafuzi wa mazingira ==
Jiji la Addis Ababa limekuwa likitumia Mto Akaki kama eneo la kutupia taka. Hali hii imeweka hatarini wakazi wa vijijini wanaoishi pembezoni mwa [[jiji]], kwa kuwa mto huo ni mojawapo ya vyanzo vya maji ya kunywa kwa jamii hizo.
Mto Akaki una umuhimu mkubwa kwa spishi nyingi za [[ndege]]. Ardhi oevu za Akaki–Aba Samuel zimetambuliwa na BirdLife International kuwa eneo muhimu la mapumziko kwa ndege wahamiaji wa msimu wa baridi. Eneo hilo limeripotiwa kuwa makazi ya hadi ndege wa majini 20,000 kwa wakati mmoja.<ref>{{Cite web|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
te9jrod9gyvwmpf79wzvxsa0o4ajgu0
1570704
1570661
2026-06-11T06:48:47Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570704
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Akaki''' ni mto unaopatikana katikati ya jiji la [[Addis Ababa]] nchini Ethiopia. Mto huu ni tawimto la upande wa kulia la Awash River. Akaki pia ndio mto mkubwa zaidi katika jiji la Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Hata hivyo, watu wengi hawautambui kwa urahisi kutokana na kufunikwa na misitu minene na kupungua kwa viumbe wa kawaida wa mtoni; mimea inayopatikana kandokando yake kwa kiasi kikubwa ni magugu na miti ya ukingoni.
Mito miwili midogo huungana na [[Mto]] Akaki katika bwawa la Aba Samuel. Mito hiyo ni Akaki Ndogo (Little Akaki) upande wa magharibi na Akaki Kubwa (Great Akaki) upande wa mashariki.<ref>{{Rejea tovuti|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com:80/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Uchafuzi wa mazingira ==
Jiji la Addis Ababa limekuwa likitumia Mto Akaki kama eneo la kutupia taka. Hali hii imeweka hatarini wakazi wa vijijini wanaoishi pembezoni mwa [[jiji]], kwa kuwa mto huo ni mojawapo ya vyanzo vya maji ya kunywa kwa jamii hizo.
Mto Akaki una umuhimu mkubwa kwa spishi nyingi za [[ndege]]. Ardhi oevu za Akaki–Aba Samuel zimetambuliwa na BirdLife International kuwa eneo muhimu la mapumziko kwa ndege wahamiaji wa msimu wa baridi. Eneo hilo limeripotiwa kuwa makazi ya hadi ndege wa majini 20,000 kwa wakati mmoja.<ref>{{Rejea tovuti|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
fcnepvf6hsadyut7mke4akrzxr0uadn
1570762
1570704
2026-06-11T08:07:47Z
Riccardo Riccioni
452
1570762
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Akaki''' ni mto unaopatikana katikati ya jiji la [[Addis Ababa]] nchini [[Ethiopia]]. Mto huu ni [[tawimto]] la upande wa kulia la [[mto Awash]]. Akaki pia ndio mto mkubwa zaidi katika jiji la Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Hata hivyo, watu wengi hawautambui kwa urahisi kutokana na kufunikwa na misitu minene na kupungua kwa viumbe wa kawaida wa mtoni; mimea inayopatikana kandokando yake kwa kiasi kikubwa ni magugu na miti ya ukingoni.
Mito miwili midogo huungana na [[Mto]] Akaki katika bwawa la Aba Samuel. Mito hiyo ni Akaki Ndogo (Little Akaki) upande wa magharibi na Akaki Kubwa (Great Akaki) upande wa mashariki.<ref>{{Rejea tovuti|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com:80/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Uchafuzi wa mazingira ==
Jiji la Addis Ababa limekuwa likitumia Mto Akaki kama eneo la kutupia taka. Hali hii imeweka hatarini wakazi wa vijijini wanaoishi pembezoni mwa [[jiji]], kwa kuwa mto huo ni mojawapo ya vyanzo vya maji ya kunywa kwa jamii hizo.
Mto Akaki una umuhimu mkubwa kwa spishi nyingi za [[ndege]]. Ardhi oevu za Akaki–Aba Samuel zimetambuliwa na BirdLife International kuwa eneo muhimu la mapumziko kwa ndege wahamiaji wa msimu wa baridi. Eneo hilo limeripotiwa kuwa makazi ya hadi ndege wa majini 20,000 kwa wakati mmoja.<ref>{{Rejea tovuti|title=AKAKI RIVER: OROMIA - ENVIRONMENT IN PERIL|url=http://www.gadaa.com/AkakiRiver.html|work=www.gadaa.com|accessdate=2026-06-11}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
scsprzczas7qgqpjcspm55xy41ami9b
Bwawa la Alwero
0
240711
1570662
2026-06-11T03:49:38Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bwawa la Alwero''' (pia linajulikana kama Bwawa la Abobo) ni hifadhi ya [[maji]] na mfumo wa umwagiliaji uliopo katika wilaya ya Abobo, Mkoa wa Gambela Region, magharibi mwa [[Ethiopia]]. Bwawa hili lilijengwa mwaka 1985 kwa msaada wa Soviet Union kama sehemu ya mkakati wa serikali ya Derg iliyoongozwa na Mengistu Haile Mariam wa kuongeza uwekezaji katika miradi ya umwagiliaji baada ya njaa kubwa ya Ethiopia ya miaka 1983–1985. Bwawa la Alwero liko k...'
1570662
wikitext
text/x-wiki
'''Bwawa la Alwero''' (pia linajulikana kama Bwawa la Abobo) ni hifadhi ya [[maji]] na mfumo wa umwagiliaji uliopo katika wilaya ya Abobo, Mkoa wa Gambela Region, magharibi mwa [[Ethiopia]]. Bwawa hili lilijengwa mwaka 1985 kwa msaada wa Soviet Union kama sehemu ya mkakati wa serikali ya Derg iliyoongozwa na Mengistu Haile Mariam wa kuongeza uwekezaji katika miradi ya umwagiliaji baada ya njaa kubwa ya Ethiopia ya miaka 1983–1985.
Bwawa la Alwero liko kwenye [[Mto]] Alwero katika wilaya ya Abobo. Lilibuniwa kwa ajili ya umwagiliaji na lina uwezo wa kuhifadhi maji kiasi cha mita za ujazo milioni 74.6. Kimo chake ni mita 22 kutoka msingi hadi kileleni.
Mradi huu umechangia kuimarisha maendeleo ya rasilimali za maji kwa wakazi wa maeneo ya tambarare ya chini kwa kuwezesha umwagiliaji wa mashamba katika eneo hilo. Maji ya bwawa hili huingia katika bonde la Mto Nile, na mfumo wake una uwezo wa kumwagilia zaidi ya hekta 10,000 za ardhi ya kilimo.
Bwawa la Alwero ni mojawapo ya miundombinu muhimu ya umwagiliaji nchini Ethiopia, likiwa na mchango mkubwa katika uzalishaji wa mazao na maendeleo ya kilimo katika [[Mkoa]] wa Gambela.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=8uCsDwAAQBAJ&q=Abobo+dam&pg=PA1155|title=Sustainable and Safe Dams Around the World / Un monde de barrages durables et sécuritaires: Proceedings of the ICOLD 2019 Symposium, (ICOLD 2019), June 9-14, 2019, Ottawa, Canada / Publications du symposium CIGB 2019, juin 9-14, 2019, Ottawa, Canada|last=Tournier|first=Jean-Pierre|last2=Bennett|first2=Tony|last3=Bibeau|first3=Johanne|date=2019-08-08|publisher=CRC Press|isbn=978-1-000-59682-3|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=TWowAQAAIAAJ&q=%22Alwero+Dam%22+-wikipedia|title=The Journal of Oromo Studies|date=2005|publisher=Oromo Studies Association|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
azpa9un9ls5b72b9fx2fgle0l5qk0mm
1570764
1570662
2026-06-11T08:08:59Z
Riccardo Riccioni
452
1570764
wikitext
text/x-wiki
'''Bwawa la Alwero''' (pia linajulikana kama '''Bwawa la Abobo''') ni hifadhi ya [[maji]] na mfumo wa umwagiliaji uliopo katika wilaya ya Abobo, [[Jimbo la Gambela|Mkoa wa Gambela]], magharibi mwa [[Ethiopia]]. Bwawa hili lilijengwa mwaka 1985 kwa msaada wa Soviet Union kama sehemu ya mkakati wa serikali ya Derg iliyoongozwa na Mengistu Haile Mariam wa kuongeza uwekezaji katika miradi ya umwagiliaji baada ya njaa kubwa ya Ethiopia ya miaka 1983–1985.
Bwawa la Alwero liko kwenye [[Mto]] Alwero katika wilaya ya Abobo. Lilibuniwa kwa ajili ya umwagiliaji na lina uwezo wa kuhifadhi maji kiasi cha mita za ujazo milioni 74.6. Kimo chake ni mita 22 kutoka msingi hadi kileleni.
Mradi huu umechangia kuimarisha maendeleo ya rasilimali za maji kwa wakazi wa maeneo ya tambarare ya chini kwa kuwezesha umwagiliaji wa mashamba katika eneo hilo. Maji ya bwawa hili huingia katika bonde la Mto Nile, na mfumo wake una uwezo wa kumwagilia zaidi ya hekta 10,000 za ardhi ya kilimo.
Bwawa la Alwero ni mojawapo ya miundombinu muhimu ya umwagiliaji nchini Ethiopia, likiwa na mchango mkubwa katika uzalishaji wa mazao na maendeleo ya kilimo katika Mkoa wa Gambela.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=8uCsDwAAQBAJ&q=Abobo+dam&pg=PA1155|title=Sustainable and Safe Dams Around the World / Un monde de barrages durables et sécuritaires: Proceedings of the ICOLD 2019 Symposium, (ICOLD 2019), June 9-14, 2019, Ottawa, Canada / Publications du symposium CIGB 2019, juin 9-14, 2019, Ottawa, Canada|last=Tournier|first=Jean-Pierre|last2=Bennett|first2=Tony|last3=Bibeau|first3=Johanne|date=2019-08-08|publisher=CRC Press|isbn=978-1-000-59682-3|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=TWowAQAAIAAJ&q=%22Alwero+Dam%22+-wikipedia|title=The Journal of Oromo Studies|date=2005|publisher=Oromo Studies Association|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Maziwa ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
jv49xwiexeaf4ijds2uu6raeduvqj0h
Mto Alwero
0
240712
1570663
2026-06-11T03:52:32Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Alwero''' (pia huandikwa '''Aloru''', '''Aluoro''' au '''Alwero''') ni mto unaopatikana katika woreda ya Abobo, Mkoa wa Gambela Region nchini [[Ethiopia]]. Mto huu hupitia ndani ya Gambela National Park na maeneo ya ardhi oevu kabla ya kujiunga na Mto Openo (Baro). Mto Alwero ni sehemu muhimu ya mfumo wa [[maji]] wa Mkoa wa Gambela na huchangia katika kuhifadhi mazingira ya [[ardhi]] oevu pamoja na viumbe hai vinavyopatikana katika Hifadhi ya Taifa...'
1570663
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Alwero''' (pia huandikwa '''Aloru''', '''Aluoro''' au '''Alwero''') ni mto unaopatikana katika woreda ya Abobo, Mkoa wa Gambela Region nchini [[Ethiopia]]. Mto huu hupitia ndani ya Gambela National Park na maeneo ya ardhi oevu kabla ya kujiunga na Mto Openo (Baro).
Mto Alwero ni sehemu muhimu ya mfumo wa [[maji]] wa Mkoa wa Gambela na huchangia katika kuhifadhi mazingira ya [[ardhi]] oevu pamoja na viumbe hai vinavyopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Gambela.<ref>{{Cite journal |last=Müller Schmied |first=Hannes |last2=Cáceres |first2=Denise |last3=Eisner |first3=Stephanie |last4=Flörke |first4=Martina |last5=Herbert |first5=Claudia |last6=Niemann |first6=Christoph |last7=Peiris |first7=Thedini Asali |last8=Popat |first8=Eklavyya |last9=Portmann |first9=Felix Theodor |last10=Reinecke |first10=Robert |last11=Schumacher |first11=Maike |last12=Shadkam |first12=Somayeh |last13=Telteu |first13=Camelia-Eliza |last14=Trautmann |first14=Tim |last15=Döll |first15=Petra |date=2021-02-23 |title=The global water resources and use model WaterGAP v2.2d: model description and evaluation |url=https://gmd.copernicus.org/articles/14/1037/2021/ |journal=Geoscientific Model Development |language=English |volume=14 |issue=2 |pages=1037–1079 |doi=10.5194/gmd-14-1037-2021 |issn=1991-959X}}</ref>
Kufikia mwaka 2012, kampuni ya Saudi Star ilikuwa imepanga kuelekeza kiasi kikubwa cha [[maji]] kutoka Mto Alwero kupitia mfereji wa saruji wenye urefu wa kilomita 30 ili kumwagilia mashamba ya mpunga. Mpango huo ulikuwa sehemu ya mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo la Gambela.<ref>{{Cite web|title=A troubled Klondike|url=https://www.stockholmresilience.org/research/research-news/2012-07-30-a-troubled-klondike.html|work=www.stockholmresilience.org|date=2012-07-30|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
ah9lygpj87merl2qhm1rqznrvkcox2w
1570705
1570663
2026-06-11T06:49:04Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570705
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Alwero''' (pia huandikwa '''Aloru''', '''Aluoro''' au '''Alwero''') ni mto unaopatikana katika woreda ya Abobo, Mkoa wa Gambela Region nchini [[Ethiopia]]. Mto huu hupitia ndani ya Gambela National Park na maeneo ya ardhi oevu kabla ya kujiunga na Mto Openo (Baro).
Mto Alwero ni sehemu muhimu ya mfumo wa [[maji]] wa Mkoa wa Gambela na huchangia katika kuhifadhi mazingira ya [[ardhi]] oevu pamoja na viumbe hai vinavyopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Gambela.<ref>{{Rejea jarida |last=Müller Schmied |first=Hannes |last2=Cáceres |first2=Denise |last3=Eisner |first3=Stephanie |last4=Flörke |first4=Martina |last5=Herbert |first5=Claudia |last6=Niemann |first6=Christoph |last7=Peiris |first7=Thedini Asali |last8=Popat |first8=Eklavyya |last9=Portmann |first9=Felix Theodor |last10=Reinecke |first10=Robert |last11=Schumacher |first11=Maike |last12=Shadkam |first12=Somayeh |last13=Telteu |first13=Camelia-Eliza |last14=Trautmann |first14=Tim |last15=Döll |first15=Petra |date=2021-02-23 |title=The global water resources and use model WaterGAP v2.2d: model description and evaluation |url=https://gmd.copernicus.org/articles/14/1037/2021/ |journal=Geoscientific Model Development |language=English |volume=14 |issue=2 |pages=1037–1079 |doi=10.5194/gmd-14-1037-2021 |issn=1991-959X}}</ref>
Kufikia mwaka 2012, kampuni ya Saudi Star ilikuwa imepanga kuelekeza kiasi kikubwa cha [[maji]] kutoka Mto Alwero kupitia mfereji wa saruji wenye urefu wa kilomita 30 ili kumwagilia mashamba ya mpunga. Mpango huo ulikuwa sehemu ya mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo la Gambela.<ref>{{Rejea tovuti|title=A troubled Klondike|url=https://www.stockholmresilience.org/research/research-news/2012-07-30-a-troubled-klondike.html|work=www.stockholmresilience.org|date=2012-07-30|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
047f6eltjzsja9xtkiwcuperg941xle
1570765
1570705
2026-06-11T08:09:55Z
Riccardo Riccioni
452
1570765
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Alwero''' (pia huandikwa '''Aloru''', '''Aluoro''' au '''Alwero''') ni mto unaopatikana katika woreda ya Abobo, [[jimbo la Gambela]] nchini [[Ethiopia]]. Mto huu hupitia ndani ya Gambela National Park na maeneo ya ardhi oevu kabla ya kujiunga na Mto Openo (Baro).
Mto Alwero ni sehemu muhimu ya mfumo wa [[maji]] wa Mkoa wa Gambela na huchangia katika kuhifadhi mazingira ya [[ardhi]] oevu pamoja na viumbe hai vinavyopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Gambela.<ref>{{Rejea jarida |last=Müller Schmied |first=Hannes |last2=Cáceres |first2=Denise |last3=Eisner |first3=Stephanie |last4=Flörke |first4=Martina |last5=Herbert |first5=Claudia |last6=Niemann |first6=Christoph |last7=Peiris |first7=Thedini Asali |last8=Popat |first8=Eklavyya |last9=Portmann |first9=Felix Theodor |last10=Reinecke |first10=Robert |last11=Schumacher |first11=Maike |last12=Shadkam |first12=Somayeh |last13=Telteu |first13=Camelia-Eliza |last14=Trautmann |first14=Tim |last15=Döll |first15=Petra |date=2021-02-23 |title=The global water resources and use model WaterGAP v2.2d: model description and evaluation |url=https://gmd.copernicus.org/articles/14/1037/2021/ |journal=Geoscientific Model Development |language=English |volume=14 |issue=2 |pages=1037–1079 |doi=10.5194/gmd-14-1037-2021 |issn=1991-959X}}</ref>
Kufikia mwaka 2012, kampuni ya Saudi Star ilikuwa imepanga kuelekeza kiasi kikubwa cha [[maji]] kutoka Mto Alwero kupitia mfereji wa saruji wenye urefu wa kilomita 30 ili kumwagilia mashamba ya mpunga. Mpango huo ulikuwa sehemu ya mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo la Gambela.<ref>{{Rejea tovuti|title=A troubled Klondike|url=https://www.stockholmresilience.org/research/research-news/2012-07-30-a-troubled-klondike.html|work=www.stockholmresilience.org|date=2012-07-30|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
t9h7w3dvv203al9zc9ihdekvktx5q3u
Mto Ataye
0
240713
1570666
2026-06-11T04:00:08Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Ataye''' ni mto unaopatikana katikati mwa [[I|Ethiopia]]. Mto huu ni sehemu ya bonde la [[Mto]] Awash, ambapo [[maji]] yake huingia katika Awash River kupitia mkondo wa mto usio na jina maalumu.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xmEKAQAAIAAJ&q|title=Ethiopian Geographical Journal|date=1963|publisher=Mapping and Geography Institute.|language=en}}</ref><ref>{{Cite journal |last=Anteneh |first=Zeleke Simachew |last2=Awoke |first2=Be...'
1570666
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ataye''' ni mto unaopatikana katikati mwa [[I|Ethiopia]]. Mto huu ni sehemu ya bonde la [[Mto]] Awash, ambapo [[maji]] yake huingia katika Awash River kupitia mkondo wa mto usio na jina maalumu.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xmEKAQAAIAAJ&q|title=Ethiopian Geographical Journal|date=1963|publisher=Mapping and Geography Institute.|language=en}}</ref><ref>{{Cite journal |last=Anteneh |first=Zeleke Simachew |last2=Awoke |first2=Berhan Gessesse |last3=Reda |first3=Talema Moged |last4=Ramasamy |first4=Muralitharan Jothimani |date=2023-02-27 |title=Spatio-temporal evaluation of water balance components using WetSpass model: in the case of Ataye watershed, Middle Awash Basin, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s12517-023-11252-0 |journal=Arabian Journal of Geosciences |language=en |volume=16 |issue=3 |pages=207 |doi=10.1007/s12517-023-11252-0 |issn=1866-7538}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
8vu15jz5be50n0m4807yb40yrt0fcq4
1570708
1570666
2026-06-11T06:49:36Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570708
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ataye''' ni mto unaopatikana katikati mwa [[I|Ethiopia]]. Mto huu ni sehemu ya bonde la [[Mto]] Awash, ambapo [[maji]] yake huingia katika Awash River kupitia mkondo wa mto usio na jina maalumu.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=xmEKAQAAIAAJ&q|title=Ethiopian Geographical Journal|date=1963|publisher=Mapping and Geography Institute.|language=en}}</ref><ref>{{Rejea jarida |last=Anteneh |first=Zeleke Simachew |last2=Awoke |first2=Berhan Gessesse |last3=Reda |first3=Talema Moged |last4=Ramasamy |first4=Muralitharan Jothimani |date=2023-02-27 |title=Spatio-temporal evaluation of water balance components using WetSpass model: in the case of Ataye watershed, Middle Awash Basin, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s12517-023-11252-0 |journal=Arabian Journal of Geosciences |language=en |volume=16 |issue=3 |pages=207 |doi=10.1007/s12517-023-11252-0 |issn=1866-7538}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
5zxfotltcqg6vg2caj4vklm03toe1cw
1570768
1570708
2026-06-11T08:13:02Z
Riccardo Riccioni
452
1570768
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Ataye''' ni mto unaopatikana katikati mwa [[Ethiopia]]. Mto huu ni sehemu ya bonde la [[Mto Awash]], ambapo [[maji]] yake huingia kupitia mkondo wa mto usio na jina maalumu.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=xmEKAQAAIAAJ&q|title=Ethiopian Geographical Journal|date=1963|publisher=Mapping and Geography Institute.|language=en}}</ref><ref>{{Rejea jarida |last=Anteneh |first=Zeleke Simachew |last2=Awoke |first2=Berhan Gessesse |last3=Reda |first3=Talema Moged |last4=Ramasamy |first4=Muralitharan Jothimani |date=2023-02-27 |title=Spatio-temporal evaluation of water balance components using WetSpass model: in the case of Ataye watershed, Middle Awash Basin, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s12517-023-11252-0 |journal=Arabian Journal of Geosciences |language=en |volume=16 |issue=3 |pages=207 |doi=10.1007/s12517-023-11252-0 |issn=1866-7538}}</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
57vb9fydjvqmuy4upfxyjg0o5b6pytr
Mto Awetu
0
240714
1570667
2026-06-11T04:02:59Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Awetu''' ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ethiopia]] katika Mkoa wa Oromia. Sehemu za juu za mto huu zinatawaliwa na shughuli za [[kilimo]], huku mkondo wake ukiendelea kupita moja kwa moja katikati ya mji wa Jimma. Mto Awetu ni tawimto la Gilgel Gibe River.<ref name=":0">{{Cite journal |last=Demissie |first=Tamene Adugna |date=2022-03-01 |title=Land use and land cover change dynamics and its impact on watershed hydrological parameters: the case...'
1570667
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Awetu''' ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ethiopia]] katika Mkoa wa Oromia. Sehemu za juu za mto huu zinatawaliwa na shughuli za [[kilimo]], huku mkondo wake ukiendelea kupita moja kwa moja katikati ya mji wa Jimma. Mto Awetu ni tawimto la Gilgel Gibe River.<ref name=":0">{{Cite journal |last=Demissie |first=Tamene Adugna |date=2022-03-01 |title=Land use and land cover change dynamics and its impact on watershed hydrological parameters: the case of Awetu watershed, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s43217-021-00084-1 |journal=Journal of Sedimentary Environments |language=en |volume=7 |issue=1 |pages=79–94 |doi=10.1007/s43217-021-00084-1 |issn=2447-9462}}</ref>
Bonde la Mto Awetu hupokea wastani wa milimita 1,699 za mvua kwa mwaka. Eneo lake la [[maji]] lina ukubwa wa takribani kilomita za mraba 81.9, huku mwinuko wake ukitofautiana kati ya mita 1,698 na 2,589 juu ya usawa wa bahari.
Maeneo mengi ya [[bonde]] la mto huu ni ya vijijini na hutumika kwa shughuli za kilimo. Sehemu ya magharibi ya bonde hilo imefunikwa na misitu, ambayo huchangia katika uhifadhi wa mazingira na vyanzo vya maji vya eneo hilo.
Mto Awetu una umuhimu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Jimma na maeneo yanayouzunguka kwa kuwa unasaidia shughuli za kilimo, huchangia katika mfumo wa ikolojia wa eneo hilo, na ni sehemu ya mtandao wa mito unaolisha Mto Gilgel Gibe.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
sbdgltb8fppfqaudb766axwkd7z8zr7
1570709
1570667
2026-06-11T06:49:46Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570709
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Awetu''' ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ethiopia]] katika Mkoa wa Oromia. Sehemu za juu za mto huu zinatawaliwa na shughuli za [[kilimo]], huku mkondo wake ukiendelea kupita moja kwa moja katikati ya mji wa Jimma. Mto Awetu ni tawimto la Gilgel Gibe River.<ref name=":0">{{Rejea jarida |last=Demissie |first=Tamene Adugna |date=2022-03-01 |title=Land use and land cover change dynamics and its impact on watershed hydrological parameters: the case of Awetu watershed, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s43217-021-00084-1 |journal=Journal of Sedimentary Environments |language=en |volume=7 |issue=1 |pages=79–94 |doi=10.1007/s43217-021-00084-1 |issn=2447-9462}}</ref>
Bonde la Mto Awetu hupokea wastani wa milimita 1,699 za mvua kwa mwaka. Eneo lake la [[maji]] lina ukubwa wa takribani kilomita za mraba 81.9, huku mwinuko wake ukitofautiana kati ya mita 1,698 na 2,589 juu ya usawa wa bahari.
Maeneo mengi ya [[bonde]] la mto huu ni ya vijijini na hutumika kwa shughuli za kilimo. Sehemu ya magharibi ya bonde hilo imefunikwa na misitu, ambayo huchangia katika uhifadhi wa mazingira na vyanzo vya maji vya eneo hilo.
Mto Awetu una umuhimu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Jimma na maeneo yanayouzunguka kwa kuwa unasaidia shughuli za kilimo, huchangia katika mfumo wa ikolojia wa eneo hilo, na ni sehemu ya mtandao wa mito unaolisha Mto Gilgel Gibe.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
ozp804r3r4iokeach108q51e2xlxx6l
1570770
1570709
2026-06-11T08:14:04Z
Riccardo Riccioni
452
1570770
wikitext
text/x-wiki
'''Mto Awetu''' ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ethiopia]] katika [[jimbo la Oromia]]. Sehemu za juu za mto huu zinatawaliwa na shughuli za [[kilimo]], huku mkondo wake ukiendelea kupita moja kwa moja katikati ya mji wa Jimma. Mto Awetu ni tawimto la Gilgel Gibe River.<ref name=":0">{{Rejea jarida |last=Demissie |first=Tamene Adugna |date=2022-03-01 |title=Land use and land cover change dynamics and its impact on watershed hydrological parameters: the case of Awetu watershed, Ethiopia |url=https://doi.org/10.1007/s43217-021-00084-1 |journal=Journal of Sedimentary Environments |language=en |volume=7 |issue=1 |pages=79–94 |doi=10.1007/s43217-021-00084-1 |issn=2447-9462}}</ref>
Bonde la Mto Awetu hupokea wastani wa milimita 1,699 za mvua kwa mwaka. Eneo lake la [[maji]] lina ukubwa wa takribani kilomita za mraba 81.9, huku mwinuko wake ukitofautiana kati ya mita 1,698 na 2,589 juu ya usawa wa bahari.
Maeneo mengi ya [[bonde]] la mto huu ni ya vijijini na hutumika kwa shughuli za kilimo. Sehemu ya magharibi ya bonde hilo imefunikwa na misitu, ambayo huchangia katika uhifadhi wa mazingira na vyanzo vya maji vya eneo hilo.
Mto Awetu una umuhimu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Jimma na maeneo yanayouzunguka kwa kuwa unasaidia shughuli za kilimo, huchangia katika mfumo wa ikolojia wa eneo hilo, na ni sehemu ya mtandao wa mito unaolisha Mto Gilgel Gibe.<ref name=":0" />
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:jimbo la Oromia]]
[[Jamii:AWC 2026]]
dmsrxea93izeaguws5d4ood9s3ovwqq
Mtumiaji:Eswatiland
2
240715
1570678
2026-06-11T05:29:37Z
Eswatiland
90119
anza makala pya
1570678
wikitext
text/x-wiki
{{#babel:km|en-5|sw-5|ru-3|isv-3|fr-2|km-2|vi-1|zu-1|ss-0}}Hamjambo, naitwa Vanya Ivanovich. Natoka [[Kamboja]] (au [[Kambodia]]) ambako nilizaliwa mnamo 2011, lakini naishi katika upande wa kusini-mashariki ya nchi yangu. Kazi yangu hapa ni kuboresha na kurekebisha makala inayohusiana na siasi, lugha, wanyama, nk.
0ssztnu0gthrwb53nqij4gipmh46qgg
1570794
1570678
2026-06-11T09:19:27Z
Eswatiland
90119
rekebisho
1570794
wikitext
text/x-wiki
{{#babel:km|en-5|sw-5|ru-3|isv-3|fr-2|km-2|vi-1|zu-1|ss-0}}Hamjambo, naitwa Vanya Ivanovich. Natoka [[Kamboja]] (au [[Kambodia]]) ambako nilizaliwa mnamo mwaka 2011, lakini sasa naishi katika upande wa kusini-mashariki ya nchi yangu. Kazi yangu hapa ni kuboresha na kurekebisha makala inayohusiana na siasi, lugha, wanyama, nk.
t0vp86muum72m74xy8hwezakj2dvkok
1570795
1570794
2026-06-11T09:43:49Z
Eswatiland
90119
rekebisho
1570795
wikitext
text/x-wiki
{{#babel:km|en-5|sw-5|ru-3|isv-3|fr-2|km-2|vi-1|zu-1|ss-0}}Hamjambo, naitwa Vanya Ivanovich. Natoka [[Kamboja]] (au [[Kambodia]]) ambako nilizaliwa mnamo mwaka wa 2011, lakini sasa naishi katika upande wa kusini-mashariki ya nchi yangu. Kazi yangu hapa ni kuboresha na kurekebisha makala inayohusiana na siasi, lugha, wanyama, nk.
oafakbol15g5fao6sp4x9i3z2gmbjzu
Jamii:User km
14
240716
1570679
2026-06-11T05:29:38Z
Babel AutoCreate
27305
Ukurasa wa jamii ya [[Project:Babeli|Babeli]] unaanzishwa moja kwa moja
1570679
wikitext
text/x-wiki
Watumiaji katika aina hii wanaonyesha ujuzi wao wa lugha Kikambodia .
3939c1wudnupuho1tvz6ynq7ux9ghtb
Jamii:User isv
14
240717
1570680
2026-06-11T05:29:38Z
Babel AutoCreate
27305
Ukurasa wa jamii ya [[Project:Babeli|Babeli]] unaanzishwa moja kwa moja
1570680
wikitext
text/x-wiki
Watumiaji katika aina hii wanaonyesha ujuzi wao wa lugha medžuslovjansky .
iw0fdqxzec4dzsgvs03ngmonvnltmpu
Jamii:User vi
14
240718
1570681
2026-06-11T05:29:38Z
Babel AutoCreate
27305
Ukurasa wa jamii ya [[Project:Babeli|Babeli]] unaanzishwa moja kwa moja
1570681
wikitext
text/x-wiki
Watumiaji katika aina hii wanaonyesha ujuzi wao wa lugha Kivietinamu .
gvtexbcds1adm1mgugn8rbowseqh0i8
Jamii:User zu
14
240719
1570682
2026-06-11T05:29:38Z
Babel AutoCreate
27305
Ukurasa wa jamii ya [[Project:Babeli|Babeli]] unaanzishwa moja kwa moja
1570682
wikitext
text/x-wiki
Watumiaji katika aina hii wanaonyesha ujuzi wao wa lugha Kizulu .
g16c3bwoy2kxlvlvl0rmzbkso4i6q9v
Samsung Galaxy A57 5G
0
240720
1570683
2026-06-11T05:33:52Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Samsung Galaxy A57 5G.jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A57 5G''']] '''Samsung Galaxy A57 5G''' ni [[Simujanja|simu mahiri]] inayotumia mfumo endeshi wa [[Android]] ya masafa ya kati iliyotengenezwa na kutangazwa na [[Samsung Electronics]], kama sehemu ya mfululizo wa simu zao za Galaxy A ya masafa ya kati, uliotangazwa [[Machi 25]], [[2026]], pamoja na [[Galaxy A37 5G]].<ref>{{Cite web|last=Peter|date=2026-03-25|title=Samsung Galaxy A57 arrives with a n...'
1570683
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A57 5G.jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A57 5G''']]
'''Samsung Galaxy A57 5G''' ni [[Simujanja|simu mahiri]] inayotumia mfumo endeshi wa [[Android]] ya masafa ya kati iliyotengenezwa na kutangazwa na [[Samsung Electronics]], kama sehemu ya mfululizo wa simu zao za Galaxy A ya masafa ya kati, uliotangazwa [[Machi 25]], [[2026]], pamoja na [[Galaxy A37 5G]].<ref>{{Cite web|last=Peter|date=2026-03-25|title=Samsung Galaxy A57 arrives with a new chipset and an IP68 rating, Galaxy A37 tags along|url=https://www.gsmarena.com/galaxy_a57_arrives_with_a_new_chipset_and_an_ip68_rating_slimmer_galaxy_a37_tags_along-news-72089.php|access-date=2026-03-25|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
=Tanbihi=
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
crosvzu1dhuiy7nypo695afwo7b2kfu
1570744
1570683
2026-06-11T07:50:08Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570744
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A57 5G.jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A57 5G''']]
'''Samsung Galaxy A57 5G''' ni [[Simujanja|simu mahiri]] inayotumia mfumo endeshi wa [[Android]] ya masafa ya kati iliyotengenezwa na kutangazwa na [[Samsung Electronics]], kama sehemu ya mfululizo wa simu zao za Galaxy A ya masafa ya kati, uliotangazwa [[Machi 25]], [[2026]], pamoja na [[Galaxy A37 5G]].<ref>{{Rejea tovuti|last=Peter|date=2026-03-25|title=Samsung Galaxy A57 arrives with a new chipset and an IP68 rating, Galaxy A37 tags along|url=https://www.gsmarena.com/galaxy_a57_arrives_with_a_new_chipset_and_an_ip68_rating_slimmer_galaxy_a37_tags_along-news-72089.php|access-date=2026-03-25|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
=Tanbihi=
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
72jltvp31cv063zaojyh2q4tfshkflw
Samsung Galaxy A37 5G
0
240721
1570685
2026-06-11T05:40:06Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Galaxy A37 5G Charcoal.jpg|thumb|Samsung Galaxy A37 5G Yenye Rangi Nzuri ya kuvutia]] '''Samsung Galaxy A37 5G''' ni simu mahiri ya [[Android]] ya kiwango cha kati iliyotengenezwa na kutangazwa na [[Samsung Electronics]] kama sehemu ya mfululizo wa Galaxy A. Ilitangazwa mnamo [[Machi 25]], [[2026]] pamoja na [[Samsung Galaxy A57 5G|Galaxy A57 5G]] na kutolewa [[Aprili 10]], 2026.<ref>{{cite web|date=2026-03-25|title=Galaxy A57 arrives with a new ch...'
1570685
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Galaxy A37 5G Charcoal.jpg|thumb|Samsung Galaxy A37 5G Yenye Rangi Nzuri ya kuvutia]]
'''Samsung Galaxy A37 5G''' ni simu mahiri ya [[Android]] ya kiwango cha kati iliyotengenezwa na kutangazwa na [[Samsung Electronics]] kama sehemu ya mfululizo wa Galaxy A. Ilitangazwa mnamo [[Machi 25]], [[2026]] pamoja na [[Samsung Galaxy A57 5G|Galaxy A57 5G]] na kutolewa [[Aprili 10]], 2026.<ref>{{cite web|date=2026-03-25|title=Galaxy A57 arrives with a new chipset and an IP68 rating, Galaxy A37 tags along|url=https://www.gsmarena.com/galaxy_a57_arrives_with_a_new_chipset_and_an_ip68_rating_slimmer_galaxy_a37_tags_along-news-72089.php|publisher=GSMArena}}</ref><ref name=":1">{{cite web|date=2026-03-25|title=Samsung Unveils Galaxy A57 5G and Galaxy A37 5G|url=https://news.samsung.com/global/samsung-unveils-galaxy-a57-5g-and-galaxy-a37-5g-packing-pro-level-features-at-awesome-price|publisher=Samsung Newsroom}}</ref><ref>{{cite web|date=2026-03-25|title=Samsung's Galaxy A57 and A37 are here with new chips and smarter cameras|url=https://www.digitaltrends.com/phones/samsungs-galaxy-a57-and-a37-are-here-with-new-chips-and-smarter-cameras/|publisher=Digital Trends}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
e6ddemfxkumuq2gwhtj5duji6w3nm43
IPhone 17
0
240722
1570689
2026-06-11T05:55:54Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 62.jpg|thumb|Simu za iPhone 17 katika kila rangi tofauti]] '''iPhone 17''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha simu za iPhone. Kifaa hiki kilikuja baada ya [[IPhone 16 Pro Max|iPhone 16]] na kilitangazwa tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika tukio maalumu la Apple lililofanyika katika [[Apple Park]], [[Cupertino]], [[California]].<ref>{...'
1570689
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 62.jpg|thumb|Simu za iPhone 17 katika kila rangi tofauti]]
'''iPhone 17''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha simu za iPhone. Kifaa hiki kilikuja baada ya [[IPhone 16 Pro Max|iPhone 16]] na kilitangazwa tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika tukio maalumu la Apple lililofanyika katika [[Apple Park]], [[Cupertino]], [[California]].<ref>{{cite web|url=https://www.cultofmac.com/news/apple-sticks-with-qualcomm-for-iphone-17-modem|title=Apple sticks with Qualcomm for iPhone 17 modem|work=Cult of Mac|author=Pandey, Rajesh|date=September 19, 2025|access-date=September 24, 2025|archive-date=September 20, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250920063729/https://www.cultofmac.com/news/apple-sticks-with-qualcomm-for-iphone-17-modem|url-status=live}}</ref>
Katika tukio hilo, Apple pia ilizindua [[iPhone 17 Pro]], [[iPhone 17 Pro Max]], pamoja na [[iPhone Air]]. Simu hizo ziliuzwa rasmi kuanzia tarehe [[19 Septemba]] 2025. Kwa ujumla, iPhone 17 ni toleo la msingi la mfululizo wa iPhone 17, huku matoleo ya Pro na Pro Max yakitoa vipengele vya hali ya juu zaidi kwa watumiaji wanaohitaji uwezo wa ziada.<ref name="9to5">{{cite web|url=https://9to5mac.com/2025/09/24/why-iphone-17-pro-doesnt-have-apples-new-c1x-modem/|title=Why iPhone 17 Pro doesn't have Apple's new C1X modem|author=Christoffel, Ryan|date=September 24, 2025|work=9to5Mac|access-date=September 24, 2025|archive-date=September 26, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250926001954/https://9to5mac.com/2025/09/24/why-iphone-17-pro-doesnt-have-apples-new-c1x-modem/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
3ztljjj9scvfr1u7uugn9iex6yf4zk3
1570693
1570689
2026-06-11T06:15:15Z
Ramadhani Mushi
61176
1570693
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 62.jpg|thumb|Simu za iPhone 17 katika kila rangi tofauti]]
'''iPhone 17''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha simu za iPhone. Kifaa hiki kilikuja baada ya [[IPhone 16 Pro Max|iPhone 16]] na kilitangazwa tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika tukio maalumu la Apple lililofanyika katika [[Apple Park]], [[Cupertino]], [[California]].<ref>{{cite web|url=https://www.cultofmac.com/news/apple-sticks-with-qualcomm-for-iphone-17-modem|title=Apple sticks with Qualcomm for iPhone 17 modem|work=Cult of Mac|author=Pandey, Rajesh|date=September 19, 2025|access-date=September 24, 2025|archive-date=September 20, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250920063729/https://www.cultofmac.com/news/apple-sticks-with-qualcomm-for-iphone-17-modem|url-status=live}}</ref>
Katika tukio hilo, Apple pia ilizindua [[iPhone 17 Pro]], iPhone 17 Pro Max, pamoja na [[iPhone Air]]. Simu hizo ziliuzwa rasmi kuanzia tarehe [[19 Septemba]] 2025. Kwa ujumla, iPhone 17 ni toleo la msingi la mfululizo wa iPhone 17, huku matoleo ya Pro na Pro Max yakitoa vipengele vya hali ya juu zaidi kwa watumiaji wanaohitaji uwezo wa ziada.<ref name="9to5">{{cite web|url=https://9to5mac.com/2025/09/24/why-iphone-17-pro-doesnt-have-apples-new-c1x-modem/|title=Why iPhone 17 Pro doesn't have Apple's new C1X modem|author=Christoffel, Ryan|date=September 24, 2025|work=9to5Mac|access-date=September 24, 2025|archive-date=September 26, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250926001954/https://9to5mac.com/2025/09/24/why-iphone-17-pro-doesnt-have-apples-new-c1x-modem/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
awa0w8pic880mzfcyfsjkcw9tuisjiz
Apple Park
0
240723
1570690
2026-06-11T06:03:53Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Aerial view of Apple Park.jpg|thumb|Mwonekano wa angani mwezi [[Aprili]] [[2018]]]] '''Apple Park''', inayojulikana pia kama '''Apple Campus 2''', ni makao makuu ya [[Apple Inc.|Apple Inc]]. yaliyoko [[Cupertino, California]], nchini [[United States]]. Kituo hiki kilifunguliwa kwa wafanyakazi mwezi [[Aprili]] [[2017]] na kuchukua nafasi ya makao makuu ya zamani ya [[Apple Inc.|Apple]]. Jengo lake kuu, lililobuniwa na [[Norman Foster]], lina umbo ku...'
1570690
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Aerial view of Apple Park.jpg|thumb|Mwonekano wa angani mwezi [[Aprili]] [[2018]]]]
'''Apple Park''', inayojulikana pia kama '''Apple Campus 2''', ni makao makuu ya [[Apple Inc.|Apple Inc]]. yaliyoko [[Cupertino, California]], nchini [[United States]]. Kituo hiki kilifunguliwa kwa wafanyakazi mwezi [[Aprili]] [[2017]] na kuchukua nafasi ya makao makuu ya zamani ya [[Apple Inc.|Apple]]. Jengo lake kuu, lililobuniwa na [[Norman Foster]], lina umbo kubwa la mduara ambalo limefanya lijulikane kwa jina la utani la “meli ya angani” (spaceship) katika [[vyombo vya habari]].<ref name="openingdate">{{cite web|url=https://www.apple.com/newsroom/2017/02/apple-park-opens-to-employees-in-april.html|title=Apple Park opens to employees in April|website=Apple Newsroom|publisher=Apple Inc|access-date=22 February 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20170224071114/http://www.apple.com/newsroom/2017/02/apple-park-opens-to-employees-in-april.html|archive-date=24 February 2017|url-status=live}}</ref>
Apple Park limejengwa kwenye eneo la takribani ekari 360 na lina uwezo wa kuhifadhi zaidi ya wafanyakazi 12,000 ndani ya jengo kuu la ghorofa nne. Mmoja wa waanzilishi wa Apple, [[Steve Jobs]], alitaka eneo hilo liwe zaidi ya ofisi za kawaida. Alikusudia liwe kama mazingira ya asili yenye utulivu, ambapo takribani asilimia 80 ya eneo lote limefunikwa na miti na mimea inayostahimili ukame wa eneo la Cupertino. Katikati ya jengo kuu pia kuna ua mkubwa wenye bwawa la kutengenezwa.<ref>{{cite web|url=http://fortune.com/2016/05/31/apple-campus-2-drone-flyover/|title=Apple Campus 2 Looking Good in New Drone Flyover|first=Don|last=Reisinger|date=31 May 2016|work=Fortune|access-date=22 June 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160710103308/http://fortune.com/2016/05/31/apple-campus-2-drone-flyover/|archive-date=10 July 2016|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
[[Jamii:Kampuni za Marekani]]
cxyyt8sosos3361omvrziussofbb148
Norman Foster
0
240724
1570691
2026-06-11T06:09:33Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Norman Foster dresden 061110.jpg|thumb|Lord Foster mnamo [[2006]]]] '''Norman Foster''' (jina kamili: '''Norman Robert Foster''', ''Baron Foster of Thames Bank''; alizaliwa tarehe [[1 Juni]] [[1935]]) ni mbunifu mashuhuri kutoka [[United Kingdom]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa [[teknolojia]] ya juu (High-Tech Architecture).<ref>{{Cite web|title=Home page|url=https://www.normanfosterfoundation.org/|website=Norm...'
1570691
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Norman Foster dresden 061110.jpg|thumb|Lord Foster mnamo [[2006]]]]
'''Norman Foster''' (jina kamili: '''Norman Robert Foster''', ''Baron Foster of Thames Bank''; alizaliwa tarehe [[1 Juni]] [[1935]]) ni mbunifu mashuhuri kutoka [[United Kingdom]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa [[teknolojia]] ya juu (High-Tech Architecture).<ref>{{Cite web|title=Home page|url=https://www.normanfosterfoundation.org/|website=Norman Foster Foundation}}</ref>
Anatambuliwa kama mmoja wa wabunifu muhimu zaidi katika historia ya usanifu wa kisasa wa [[Uingereza]]. Kampuni yake, Foster + Partners, ilianzishwa mwaka [[1967]] kwa jina la Foster Associates na imekua kuwa mojawapo ya kampuni kubwa zaidi za usanifu duniani, ikiwa na miradi katika nchi nyingi.
Mbali na kazi yake ya usanifu, Norman Foster ni rais wa Norman Foster Foundation, taasisi iliyoanzishwa ili kuhimiza utafiti na ubunifu wa taaluma mbalimbali kwa ajili ya kusaidia vizazi vipya vya wasanifu majengo, wabunifu na wapangaji wa miji. Makao makuu ya taasisi hiyo yako katika jiji la [[Madrid]], [[Spain]].
Mwaka [[1999]] alipokea Pritzker Architecture Prize, ambayo ndiyo tuzo ya juu zaidi katika taaluma ya usanifu, kwa kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa kisasa duniani.<ref>{{cite news|last=Moore|first=Rowan|title=Norman Foster: A Life in Architecture by Deyan Sudjic|url=https://www.theguardian.com/books/2010/may/23/norman-foster-biography-book-review|newspaper=The Observer|location=London|date=23 May 2010|access-date=6 October 2011}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
gipx6ukw70124dprebf0fu8tcl63gal
1570723
1570691
2026-06-11T07:20:48Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570723
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Norman Foster dresden 061110.jpg|thumb|Lord Foster mnamo [[2006]]]]
'''Norman Foster''' (jina kamili: '''Norman Robert Foster''', ''Baron Foster of Thames Bank''; alizaliwa tarehe [[1 Juni]] [[1935]]) ni mbunifu mashuhuri kutoka [[United Kingdom]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa [[teknolojia]] ya juu (High-Tech Architecture).<ref>{{Rejea tovuti|title=Home page|url=https://www.normanfosterfoundation.org/|website=Norman Foster Foundation}}</ref>
Anatambuliwa kama mmoja wa wabunifu muhimu zaidi katika historia ya usanifu wa kisasa wa [[Uingereza]]. Kampuni yake, Foster + Partners, ilianzishwa mwaka [[1967]] kwa jina la Foster Associates na imekua kuwa mojawapo ya kampuni kubwa zaidi za usanifu duniani, ikiwa na miradi katika nchi nyingi.
Mbali na kazi yake ya usanifu, Norman Foster ni rais wa Norman Foster Foundation, taasisi iliyoanzishwa ili kuhimiza utafiti na ubunifu wa taaluma mbalimbali kwa ajili ya kusaidia vizazi vipya vya wasanifu majengo, wabunifu na wapangaji wa miji. Makao makuu ya taasisi hiyo yako katika jiji la [[Madrid]], [[Spain]].
Mwaka [[1999]] alipokea Pritzker Architecture Prize, ambayo ndiyo tuzo ya juu zaidi katika taaluma ya usanifu, kwa kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa kisasa duniani.<ref>{{cite news|last=Moore|first=Rowan|title=Norman Foster: A Life in Architecture by Deyan Sudjic|url=https://www.theguardian.com/books/2010/may/23/norman-foster-biography-book-review|newspaper=The Observer|location=London|date=23 May 2010|access-date=6 October 2011}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
2k22onyj10m4xnikq7w9nwigmq4e6h8
1570776
1570723
2026-06-11T08:31:15Z
Riccardo Riccioni
452
1570776
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Norman Foster dresden 061110.jpg|thumb|Lord Foster mnamo [[2006]]]]
'''Norman Foster''' (jina kamili: '''Norman Robert Foster''', ''Baron Foster of Thames Bank''; alizaliwa [[1 Juni]] [[1935]]) ni mbunifu mashuhuri kutoka [[Ufalme wa Muungano]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa [[teknolojia]] ya juu (High-Tech Architecture).<ref>{{Rejea tovuti|title=Home page|url=https://www.normanfosterfoundation.org/|website=Norman Foster Foundation}}</ref>
Anatambuliwa kama mmoja wa wabunifu muhimu zaidi katika historia ya usanifu wa kisasa wa [[Uingereza]]. Kampuni yake, Foster + Partners, ilianzishwa mwaka [[1967]] kwa jina la Foster Associates na imekua kuwa mojawapo ya kampuni kubwa zaidi za usanifu duniani, ikiwa na miradi katika nchi nyingi.
Mbali na kazi yake ya usanifu, Norman Foster ni rais wa Norman Foster Foundation, taasisi iliyoanzishwa ili kuhimiza utafiti na ubunifu wa taaluma mbalimbali kwa ajili ya kusaidia vizazi vipya vya wasanifu majengo, wabunifu na wapangaji wa miji. Makao makuu ya taasisi hiyo yako katika jiji la [[Madrid]], [[Spain]].
Mwaka [[1999]] alipokea Pritzker Architecture Prize, ambayo ndiyo tuzo ya juu zaidi katika taaluma ya usanifu, kwa kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya usanifu wa kisasa duniani.<ref>{{cite news|last=Moore|first=Rowan|title=Norman Foster: A Life in Architecture by Deyan Sudjic|url=https://www.theguardian.com/books/2010/may/23/norman-foster-biography-book-review|newspaper=The Observer|location=London|date=23 May 2010|access-date=6 October 2011}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:wasanifu majengo wa Uingereza]]
litnawmgqrwk7nc3s47cqsfc5unchyc
IPhone 17 Pro
0
240725
1570692
2026-06-11T06:14:13Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''iPhone 17 Pro''' na iPhone 17 Pro Max ni [[Simujanja|simu janja]] zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]]. Simu hizi, pamoja na [[iPhone 17]] na [[iPhone Air]], zinaunda kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]], zikifuata mfululizo wa iPhone 16 Pro na [[iPhone 16 Pro Max]].<ref>{{Cite web|date=September 9, 2025|title=Our first look at the iPhone 17 Pro and 17 Pro Max|first1=Jacob|last1=Kastrenakes|first2=Antonio G.|last2=Di Benedetto|url=https:...'
1570692
wikitext
text/x-wiki
'''iPhone 17 Pro''' na iPhone 17 Pro Max ni [[Simujanja|simu janja]] zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]]. Simu hizi, pamoja na [[iPhone 17]] na [[iPhone Air]], zinaunda kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]], zikifuata mfululizo wa iPhone 16 Pro na [[iPhone 16 Pro Max]].<ref>{{Cite web|date=September 9, 2025|title=Our first look at the iPhone 17 Pro and 17 Pro Max|first1=Jacob|last1=Kastrenakes|first2=Antonio G.|last2=Di Benedetto|url=https://www.theverge.com/tech/773082/iphone-17-pro-max-hands-on-apple-event-photos-price-features|access-date=September 9, 2025|website=[[The Verge]]|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909183945/https://www.theverge.com/tech/773082/iphone-17-pro-max-hands-on-apple-event-photos-price-features|url-status=live}}</ref>
Zilizinduliwa tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika tukio la Apple lililofanyika katika [[Apple Park]], [[Cupertino, California]], na zikaanza kutolewa rasmi tarehe [[19 Septemba]] 2025.<ref>{{Cite web|last=Rossignol|first=Joe|date=September 9, 2025|title=Apple Announces iPhone 17 Pro and Pro Max With New Design, Larger Battery, and More|url=https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-17-pro/|access-date=September 9, 2025|website=MacRumors}}</ref><ref>{{Cite press release|date=September 9, 2025|title=Apple unveils iPhone 17 Pro and iPhone 17 Pro Max, the most powerful and advanced Pro models ever|url=https://www.apple.com/newsroom/2025/09/apple-unveils-iphone-17-pro-and-iphone-17-pro-max/|access-date=September 9, 2025|publisher=Apple Inc.|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909181716/https://www.apple.com/newsroom/2025/09/apple-unveils-iphone-17-pro-and-iphone-17-pro-max/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
byef23injlulucslr8frg2du1p1oxk9
1570835
1570692
2026-06-11T11:40:41Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570835
wikitext
text/x-wiki
'''iPhone 17 Pro''' na iPhone 17 Pro Max ni [[Simujanja|simu janja]] zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]]. Simu hizi, pamoja na [[iPhone 17]] na [[iPhone Air]], zinaunda kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]], zikifuata mfululizo wa iPhone 16 Pro na [[iPhone 16 Pro Max]].<ref>{{Rejea tovuti|date=September 9, 2025|title=Our first look at the iPhone 17 Pro and 17 Pro Max|first1=Jacob|last1=Kastrenakes|first2=Antonio G.|last2=Di Benedetto|url=https://www.theverge.com/tech/773082/iphone-17-pro-max-hands-on-apple-event-photos-price-features|access-date=September 9, 2025|website=[[The Verge]]|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909183945/https://www.theverge.com/tech/773082/iphone-17-pro-max-hands-on-apple-event-photos-price-features|url-status=live}}</ref>
Zilizinduliwa tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika tukio la Apple lililofanyika katika [[Apple Park]], [[Cupertino, California]], na zikaanza kutolewa rasmi tarehe [[19 Septemba]] 2025.<ref>{{Rejea tovuti|last=Rossignol|first=Joe|date=September 9, 2025|title=Apple Announces iPhone 17 Pro and Pro Max With New Design, Larger Battery, and More|url=https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-17-pro/|access-date=September 9, 2025|website=MacRumors}}</ref><ref>{{Cite press release|date=September 9, 2025|title=Apple unveils iPhone 17 Pro and iPhone 17 Pro Max, the most powerful and advanced Pro models ever|url=https://www.apple.com/newsroom/2025/09/apple-unveils-iphone-17-pro-and-iphone-17-pro-max/|access-date=September 9, 2025|publisher=Apple Inc.|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909181716/https://www.apple.com/newsroom/2025/09/apple-unveils-iphone-17-pro-and-iphone-17-pro-max/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
sq4sxjmds2giwit7j5ix366qwz6rkwc
IPhone Air
0
240726
1570695
2026-06-11T06:19:56Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 59.jpg|thumb|Simu za iPhone Air katika kila rangi tofauti]] '''iPhone Air''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]]. Ilitangazwa pamoja na [[iPhone 17]], [[iPhone 17 Pro]] na iPhone 17 Pro Max wakati wa tukio la Apple lililofanyika tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika [[Apple Park]]. iPhone Air inachukua nafasi ya mf...'
1570695
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 59.jpg|thumb|Simu za iPhone Air katika kila rangi tofauti]]
'''iPhone Air''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]]. Ilitangazwa pamoja na [[iPhone 17]], [[iPhone 17 Pro]] na iPhone 17 Pro Max wakati wa tukio la Apple lililofanyika tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika [[Apple Park]].
iPhone Air inachukua nafasi ya mfululizo wa Plus katika familia ya iPhone na inazingatia muundo mwepesi pamoja na vipengele vilivyoboreshwa. Kwa unene wa takribani 5.6 mm (inchi 0.22), inachukuliwa kuwa iPhone nyembamba zaidi kuwahi kutengenezwa, ikilinganishwa na iPhone 6 ambayo ilikuwa na unene wa 6.9 mm. Hata hivyo, sehemu ya juu ya simu hiyo ina unene mkubwa zaidi wa takribani 11.3 mm (inchi 0.44).<ref name="Apple">{{Cite web|date=September 9, 2025|title=Introducing iPhone Air, a powerful new iPhone with a breakthrough design|url=https://www.apple.com/newsroom/2025/09/introducing-iphone-air-a-powerful-new-iphone-with-a-breakthrough-design/|access-date=September 9, 2025|publisher=Apple Inc.|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909182618/https://www.apple.com/newsroom/2025/09/introducing-iphone-air-a-powerful-new-iphone-with-a-breakthrough-design/|url-status=live}}</ref><ref>{{Cite web|date=September 9, 2025|first=Hartley|last=Charlton|title=Apple Announces iPhone Air With Ultra-Thin Design|url=https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-air/|access-date=September 9, 2025|website=MacRumors|archive-date=September 10, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250910124733/https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-air/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
tp8nh7ya833x8dic1752ow03bxam9cx
1570836
1570695
2026-06-11T11:40:51Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1570836
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:IPhone 17 launch at Apple TRX Malaysia 59.jpg|thumb|Simu za iPhone Air katika kila rangi tofauti]]
'''iPhone Air''' ni [[Simujanja|simu janja]] iliyotengenezwa na kuuzwa na [[Apple Inc.|Apple]] kama sehemu ya kizazi cha kumi na tisa cha [[iPhone]]. Ilitangazwa pamoja na [[iPhone 17]], [[iPhone 17 Pro]] na iPhone 17 Pro Max wakati wa tukio la Apple lililofanyika tarehe [[9 Septemba]] [[2025]] katika [[Apple Park]].
iPhone Air inachukua nafasi ya mfululizo wa Plus katika familia ya iPhone na inazingatia muundo mwepesi pamoja na vipengele vilivyoboreshwa. Kwa unene wa takribani 5.6 mm (inchi 0.22), inachukuliwa kuwa iPhone nyembamba zaidi kuwahi kutengenezwa, ikilinganishwa na iPhone 6 ambayo ilikuwa na unene wa 6.9 mm. Hata hivyo, sehemu ya juu ya simu hiyo ina unene mkubwa zaidi wa takribani 11.3 mm (inchi 0.44).<ref name="Apple">{{Rejea tovuti|date=September 9, 2025|title=Introducing iPhone Air, a powerful new iPhone with a breakthrough design|url=https://www.apple.com/newsroom/2025/09/introducing-iphone-air-a-powerful-new-iphone-with-a-breakthrough-design/|access-date=September 9, 2025|publisher=Apple Inc.|archive-date=September 9, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250909182618/https://www.apple.com/newsroom/2025/09/introducing-iphone-air-a-powerful-new-iphone-with-a-breakthrough-design/|url-status=live}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|date=September 9, 2025|first=Hartley|last=Charlton|title=Apple Announces iPhone Air With Ultra-Thin Design|url=https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-air/|access-date=September 9, 2025|website=MacRumors|archive-date=September 10, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250910124733/https://www.macrumors.com/2025/09/09/apple-announces-iphone-air/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
0fkbgp3sr3dd25yratlqoh28qprlfov
Samsung Galaxy A17
0
240727
1570696
2026-06-11T06:25:34Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Samsung Galaxy A17 5G 2026 (1).jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A17''']] '''Samsung Galaxy A17''' na '''Samsung Galaxy A17 5G''' ni [[Simujanja|simu janja]] zinazotumia mfumo wa uendeshaji wa [[Android]], zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Samsung]] mwaka [[2025]]. Toleo la 5G lilitangazwa tarehe [[6 Agosti]] 2025 na kutolewa rasmi tarehe [[18 Agosti]] 2025, huku toleo la '''4G LTE''' likizinduliwa baadaye tarehe [[18 Septemba]] 2025. Simu hizi ni sehemu y...'
1570696
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A17 5G 2026 (1).jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A17''']]
'''Samsung Galaxy A17''' na '''Samsung Galaxy A17 5G''' ni [[Simujanja|simu janja]] zinazotumia mfumo wa uendeshaji wa [[Android]], zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Samsung]] mwaka [[2025]]. Toleo la 5G lilitangazwa tarehe [[6 Agosti]] 2025 na kutolewa rasmi tarehe [[18 Agosti]] 2025, huku toleo la '''4G LTE''' likizinduliwa baadaye tarehe [[18 Septemba]] 2025. Simu hizi ni sehemu ya mfululizo wa Samsung [[Galaxy A series]].<ref name="tech">{{cite web|title=Samsung Galaxy A17: Release Date, Price & Specs - Tech Advisor|url=https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|website=TechAdvisor|access-date=August 22, 2025|archive-date=August 22, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250822030802/https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|url-status=live}}</ref>
Kama mtangulizi wake Samsung [[Galaxy A16]], simu hizi zinatarajiwa kupokea masasisho ya programu kwa muda wa miaka 6, na kufikia mwisho wa msaada wa masasisho mwaka [[2031]]. Pia kulikuwa na matoleo yaliyobadilishwa chapa kama Samsung Galaxy F17 5G (iliyotolewa [[11 Septemba]] 2025) na Samsung Galaxy M17 5G (iliyotolewa [[10 Oktoba]] 2025).<ref>{{Cite web|last=Michail|title=Samsung Galaxy M17 debuts in India as a rebadged Galaxy F17/A17|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_m17_debuts_in_india_as_a_rebadged_galaxy_f17_a17_-news-69868.php|access-date=2026-03-12|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
bcvwnugfgd5txapb7r9hhf3hq9svl3p
1570700
1570696
2026-06-11T06:35:19Z
Ramadhani Mushi
61176
1570700
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A17 5G 2026 (1).jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A17''']]
'''Samsung Galaxy A17''' na '''Samsung Galaxy A17 5G''' ni [[Simujanja|simu janja]] zinazotumia mfumo wa uendeshaji wa [[Android]], zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Samsung]] mwaka [[2025]]. Toleo la 5G lilitangazwa tarehe [[6 Agosti]] 2025 na kutolewa rasmi tarehe [[18 Agosti]] 2025, huku toleo la '''4G LTE''' likizinduliwa baadaye tarehe [[18 Septemba]] 2025. Simu hizi ni sehemu ya mfululizo wa Samsung [[Galaxy A series]].<ref name="tech">{{cite web|title=Samsung Galaxy A17: Release Date, Price & Specs - Tech Advisor|url=https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|website=TechAdvisor|access-date=August 22, 2025|archive-date=August 22, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250822030802/https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|url-status=live}}</ref>
Kama mtangulizi wake Samsung [[Samsung Galaxy A16|Galaxy A16]], simu hizi zinatarajiwa kupokea masasisho ya programu kwa muda wa miaka 6, na kufikia mwisho wa msaada wa masasisho mwaka [[2031]]. Pia kulikuwa na matoleo yaliyobadilishwa chapa kama Samsung Galaxy F17 5G (iliyotolewa [[11 Septemba]] 2025) na Samsung Galaxy M17 5G (iliyotolewa [[10 Oktoba]] 2025).<ref>{{Cite web|last=Michail|title=Samsung Galaxy M17 debuts in India as a rebadged Galaxy F17/A17|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_m17_debuts_in_india_as_a_rebadged_galaxy_f17_a17_-news-69868.php|access-date=2026-03-12|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
sast6aj1y6ay539acd2tzcfmghizujj
1570701
1570700
2026-06-11T06:36:06Z
Ramadhani Mushi
61176
1570701
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A17 5G 2026 (1).jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A17''']]
'''Samsung Galaxy A17''' na '''Samsung Galaxy A17 5G''' ni [[Simujanja|simu janja]] zinazotumia mfumo wa uendeshaji wa [[Android]], zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Samsung]] mwaka [[2025]]. Toleo la 5G lilitangazwa tarehe [[6 Agosti]] 2025 na kutolewa rasmi tarehe [[18 Agosti]] 2025, huku toleo la '''4G LTE''' likizinduliwa baadaye tarehe [[18 Septemba]] 2025. Simu hizi ni sehemu ya mfululizo wa Samsung [[Galaxy A series]].<ref name="tech">{{cite web|title=Samsung Galaxy A17: Release Date, Price & Specs - Tech Advisor|url=https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|website=TechAdvisor|access-date=August 22, 2025|archive-date=August 22, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250822030802/https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|url-status=live}}</ref>
Kama mtangulizi wake Samsung [[Samsung Galaxy A16|Galaxy A16]], simu hizi zinatarajiwa kupokea masasisho ya programu kwa muda wa miaka 6, na kufikia mwisho wa msaada wa masasisho mwaka [[2031]]. Pia kulikuwa na matoleo yaliyobadilishwa chapa kama Samsung Galaxy F17 5G (iliyotolewa [[11 Septemba]] 2025) na Samsung Galaxy M17 5G (iliyotolewa [[10 Oktoba]] 2025).<ref>{{Cite web|last=Michail|title=Samsung Galaxy M17 debuts in India as a rebadged Galaxy F17/A17|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_m17_debuts_in_india_as_a_rebadged_galaxy_f17_a17_-news-69868.php|access-date=2026-03-12|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
[[Jamii:Simu]]
n72y2d6n4p1voqv285003dzh1p40iwo
1570743
1570701
2026-06-11T07:49:58Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570743
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Samsung Galaxy A17 5G 2026 (1).jpg|thumb|'''Samsung Galaxy A17''']]
'''Samsung Galaxy A17''' na '''Samsung Galaxy A17 5G''' ni [[Simujanja|simu janja]] zinazotumia mfumo wa uendeshaji wa [[Android]], zilizotengenezwa na kuuzwa na [[Samsung]] mwaka [[2025]]. Toleo la 5G lilitangazwa tarehe [[6 Agosti]] 2025 na kutolewa rasmi tarehe [[18 Agosti]] 2025, huku toleo la '''4G LTE''' likizinduliwa baadaye tarehe [[18 Septemba]] 2025. Simu hizi ni sehemu ya mfululizo wa Samsung [[Galaxy A series]].<ref name="tech">{{cite web|title=Samsung Galaxy A17: Release Date, Price & Specs - Tech Advisor|url=https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|website=TechAdvisor|access-date=August 22, 2025|archive-date=August 22, 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250822030802/https://www.techadvisor.com/article/2551746/samsung-galaxy-a17-release-date-price-specs.html|url-status=live}}</ref>
Kama mtangulizi wake Samsung [[Samsung Galaxy A16|Galaxy A16]], simu hizi zinatarajiwa kupokea masasisho ya programu kwa muda wa miaka 6, na kufikia mwisho wa msaada wa masasisho mwaka [[2031]]. Pia kulikuwa na matoleo yaliyobadilishwa chapa kama Samsung Galaxy F17 5G (iliyotolewa [[11 Septemba]] 2025) na Samsung Galaxy M17 5G (iliyotolewa [[10 Oktoba]] 2025).<ref>{{Rejea tovuti|last=Michail|title=Samsung Galaxy M17 debuts in India as a rebadged Galaxy F17/A17|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_m17_debuts_in_india_as_a_rebadged_galaxy_f17_a17_-news-69868.php|access-date=2026-03-12|website=GSMArena.com|language=en-US}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
[[Jamii:Simu]]
k8ezczpc8ynqhkjrfvyl6r80pxyu2lh
Galaxy A series
0
240728
1570699
2026-06-11T06:33:06Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Samsung Galaxy A series''' ni mfululizo wa [[Simujanja|simu janja]] na [[kompyuta]] kibao zinazotumia mfumo wa [[Android]], zinazotengenezwa na [[Samsung Electronics]] kama sehemu ya familia ya Galaxy. Mfululizo huu unajumuisha vifaa vya kiwango cha mwanzo hadi cha kati, na umewekwa chini ya mfululizo wa [[Galaxy S series|Samsung Galaxy S series]]. Ulifuatia mfululizo wa Samsung Galaxy J series na pia baadhi ya vifaa vya zamani vya Galaxy S “mini”.<...'
1570699
wikitext
text/x-wiki
'''Samsung Galaxy A series''' ni mfululizo wa [[Simujanja|simu janja]] na [[kompyuta]] kibao zinazotumia mfumo wa [[Android]], zinazotengenezwa na [[Samsung Electronics]] kama sehemu ya familia ya Galaxy. Mfululizo huu unajumuisha vifaa vya kiwango cha mwanzo hadi cha kati, na umewekwa chini ya mfululizo wa [[Galaxy S series|Samsung Galaxy S series]]. Ulifuatia mfululizo wa Samsung Galaxy J series na pia baadhi ya vifaa vya zamani vya Galaxy S “mini”.<ref>{{cite web|title=Shipment goals for new Samsung Galaxy A and J series revealed|date=9 January 2017|url=http://www.phonearena.com/news/Shipment-goals-for-new-Samsung-Galaxy-A-and-J-series-revealed_id89787|publisher=PhoneArena|access-date=2 July 2017|archive-date=10 January 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20170110145133/http://www.phonearena.com/news/Shipment-goals-for-new-Samsung-Galaxy-A-and-J-series-revealed_id89787|url-status=live}}</ref>
Mifano ya kwanza ilikuwa Samsung Galaxy A3 ([[2014]]) na Samsung Galaxy A5 ([[2014]]), zilizotangazwa tarehe [[31 Oktoba]] 2014 na kutolewa [[Desemba]] 2014.
Kufuatia tangazo la [[2017]], Samsung ilitarajia kuuza hadi simu milioni 20 za mfululizo huu, ikilenga masoko ya [[Ulaya]], [[Afrika]], [[Asia]], [[Mashariki ya Kati]] na [[Amerika Kusini]]. Kufikia [[2026]], vifaa vingi vya mfululizo huu vinapatikana kimataifa, na pia kuna Samsung Galaxy Tab A series kama sehemu ya familia hiyo.<ref>{{Cite web|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_tab_a8_10_5_(2021)-11265.php|title=Samsung Galaxy Tab A8 10.5 (2021) - Full tablet specifications|work=GSMArena|access-date=23 June 2022|archive-date=21 October 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20221021013840/https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_tab_a8_10_5_(2021)-11265.php|url-status=live}}</ref>
Ndani ya mfululizo huu, Samsung Galaxy A90 5G ni moja ya vifaa vichache vinavyounga mkono Samsung DeX, wakati Samsung Galaxy A80 ilijulikana kwa mfumo wake wa kamera inayozunguka (rotating camera system) uliotumia kamera ya nyuma kama kamera ya ''selfie''.<ref>{{cite web|last=Iyer|first=Karthik|date=December 2, 2024|title=What Samsung Galaxy devices support DeX?|url=https://www.xda-developers.com/samsung-galaxy-devices-support-dex/|access-date=January 7, 2025|website=XDA Developers|archive-date=5 June 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250605153236/https://www.xda-developers.com/samsung-galaxy-devices-support-dex/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
mrtv097nktag4dm2ms60jisszy03f1m
1570830
1570699
2026-06-11T11:20:46Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1570830
wikitext
text/x-wiki
'''Samsung Galaxy A series''' ni mfululizo wa [[Simujanja|simu janja]] na [[kompyuta]] kibao zinazotumia mfumo wa [[Android]], zinazotengenezwa na [[Samsung Electronics]] kama sehemu ya familia ya Galaxy. Mfululizo huu unajumuisha vifaa vya kiwango cha mwanzo hadi cha kati, na umewekwa chini ya mfululizo wa [[Galaxy S series|Samsung Galaxy S series]]. Ulifuatia mfululizo wa Samsung Galaxy J series na pia baadhi ya vifaa vya zamani vya Galaxy S “mini”.<ref>{{cite web|title=Shipment goals for new Samsung Galaxy A and J series revealed|date=9 January 2017|url=http://www.phonearena.com/news/Shipment-goals-for-new-Samsung-Galaxy-A-and-J-series-revealed_id89787|publisher=PhoneArena|access-date=2 July 2017|archive-date=10 January 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20170110145133/http://www.phonearena.com/news/Shipment-goals-for-new-Samsung-Galaxy-A-and-J-series-revealed_id89787|url-status=live}}</ref>
Mifano ya kwanza ilikuwa Samsung Galaxy A3 ([[2014]]) na Samsung Galaxy A5 ([[2014]]), zilizotangazwa tarehe [[31 Oktoba]] 2014 na kutolewa [[Desemba]] 2014.
Kufuatia tangazo la [[2017]], Samsung ilitarajia kuuza hadi simu milioni 20 za mfululizo huu, ikilenga masoko ya [[Ulaya]], [[Afrika]], [[Asia]], [[Mashariki ya Kati]] na [[Amerika Kusini]]. Kufikia [[2026]], vifaa vingi vya mfululizo huu vinapatikana kimataifa, na pia kuna Samsung Galaxy Tab A series kama sehemu ya familia hiyo.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_tab_a8_10_5_(2021)-11265.php|title=Samsung Galaxy Tab A8 10.5 (2021) - Full tablet specifications|work=GSMArena|access-date=23 June 2022|archive-date=21 October 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20221021013840/https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_tab_a8_10_5_(2021)-11265.php|url-status=live}}</ref>
Ndani ya mfululizo huu, Samsung Galaxy A90 5G ni moja ya vifaa vichache vinavyounga mkono Samsung DeX, wakati Samsung Galaxy A80 ilijulikana kwa mfumo wake wa kamera inayozunguka (rotating camera system) uliotumia kamera ya nyuma kama kamera ya ''selfie''.<ref>{{cite web|last=Iyer|first=Karthik|date=December 2, 2024|title=What Samsung Galaxy devices support DeX?|url=https://www.xda-developers.com/samsung-galaxy-devices-support-dex/|access-date=January 7, 2025|website=XDA Developers|archive-date=5 June 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250605153236/https://www.xda-developers.com/samsung-galaxy-devices-support-dex/|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-teknolojia}}
[[Jamii: Teknolojia]]
nioq3amvez3fh57eisn60w1tcs09lp2
Tangi la majitaka
0
240729
1570702
2026-06-11T06:47:48Z
AlwiyaGhareeb
83622
Nimeanzisha Makala
1570702
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Emptying of a tank full with sewage by vacuum truck (2921521126).jpg|thumb|Lori linalotumika kuchukua maji taka ndani ya matangi ya maji taka nchini [[Ujerumani]]]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya ardhi lilichotengenezwa kwa zege, fiberglass, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani ( [[Sewage|maji taka]] ) hutiririka kwa ajili ya [[Matibabu ya maji taka|matibabu ya msingi ya maji taka]] . <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya [[Anaerobic digestion|usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa]] hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" /> Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya [[Onsite sewage facility|kituo rahisi cha maji taka]] . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, [[Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi|uchafuzi wa maji ya ardhini]] unaweza kutokea na ni tatizo.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, [[Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi|uchafuzi wa maji ya ardhini]] kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika [[Subdivision (land)|ugawaji]] wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
g7l46axlht1c12wj3idk38lieyxa33a
1570714
1570702
2026-06-11T07:05:00Z
Anuary Rajabu
45588
1570714
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Emptying of a tank full with sewage by vacuum truck (2921521126).jpg|thumb|Lori linalotumika kuchukua maji taka ndani ya matangi ya maji taka nchini [[Ujerumani]]]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani ( maji taka ) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka . <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
9xbm7xq1pclgy1xfoqjjtnfsrgvtjt3
1570716
1570714
2026-06-11T07:10:37Z
Anuary Rajabu
45588
Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Shimo la majitaka]] hadi [[Tangi la majitaka]]
1570714
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Emptying of a tank full with sewage by vacuum truck (2921521126).jpg|thumb|Lori linalotumika kuchukua maji taka ndani ya matangi ya maji taka nchini [[Ujerumani]]]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani ( maji taka ) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka . <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
9xbm7xq1pclgy1xfoqjjtnfsrgvtjt3
1570773
1570716
2026-06-11T08:26:35Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Tangi la maji
1570773
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Septic tank Bolduc.jpg|thumb|336x336px|Shimo la maji taka likisakinishwa ardhini
{| class="wikitable"
|+
!'''Kipengele'''
!Maelezo
|-
|Nafasi katika mnyororo wa usafi wa mazingira
|Ukusanyaji na uhifadhi/matibabu (on-site)[
|-
|Ngazi ya matumizi
|Ngazi ya kaya au ujirani (shule, hoteli n.k.)
|-
|Ngazi ya usimamizi
|Kaya, umma, iliyoshirikiwa (ya kawaida zaidi ni ngazi ya kaya)
|-
|Pembejeo
|blackwater (taka), greywater, brownwater
|-
|Pato
|Tope la kinyesi, maji yaliyotibiwa (effluent)
|-
|Aina
|Tanki moja au matanki ya vyumba vingi (huenda yakawa na vizuizi/baffles)
|-
|Masuala ya mazingira
|Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi, uchafuzi wa maji mfano wakati wa mafuriko
|}
]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani ( maji taka ) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka . <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
3p4zev5giqj95e2cifxmnr3tbp0jyyt
1570777
1570773
2026-06-11T08:32:43Z
Riccardo Riccioni
452
1570777
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Septic tank Bolduc.jpg|thumb|336x336px|Shimo la maji taka likisakinishwa ardhini
{| class="wikitable"
|+
!'''Kipengele'''
!Maelezo
|-
|Nafasi katika mnyororo wa usafi wa mazingira
|Ukusanyaji na uhifadhi/matibabu (on-site)[
|-
|Ngazi ya matumizi
|Ngazi ya kaya au ujirani (shule, hoteli n.k.)
|-
|Ngazi ya usimamizi
|Kaya, umma, iliyoshirikiwa (ya kawaida zaidi ni ngazi ya kaya)
|-
|Pembejeo
|blackwater (taka), greywater, brownwater
|-
|Pato
|Tope la kinyesi, maji yaliyotibiwa (effluent)
|-
|Aina
|Tanki moja au matanki ya vyumba vingi (huenda yakawa na vizuizi/baffles)
|-
|Masuala ya mazingira
|Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi, uchafuzi wa maji mfano wakati wa mafuriko
|}
]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani (maji taka) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka. <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:afya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
oadjvzlw3scl80g04cxmz9amhgnhg1i
1570822
1570777
2026-06-11T10:34:06Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Nimeendelea kuhariri
1570822
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Septic tank Bolduc.jpg|thumb|336x336px|Shimo la maji taka likisakinishwa ardhini
{| class="wikitable"
|+
!'''Kipengele'''
!Maelezo
|-
|Nafasi katika mnyororo wa usafi wa mazingira
|Ukusanyaji na uhifadhi/matibabu (on-site)[
|-
|Ngazi ya matumizi
|Ngazi ya kaya au ujirani (shule, hoteli n.k.)
|-
|Ngazi ya usimamizi
|Kaya, umma, iliyoshirikiwa (ya kawaida zaidi ni ngazi ya kaya)
|-
|Pembejeo
|blackwater (taka), greywater, brownwater
|-
|Pato
|Tope la kinyesi, maji yaliyotibiwa (effluent)
|-
|Aina
|Tanki moja au matanki ya vyumba vingi (huenda yakawa na vizuizi/baffles)
|-
|Masuala ya mazingira
|Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi, uchafuzi wa maji mfano wakati wa mafuriko
|}
]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani (maji taka) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka. <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
Neno "septic" linarejelea mazingira ya [[bakteria]] wa anaerobic yanayositawi ndani ya tanki ambayo huchambua au kuharibu taka zinazotiririshwa ndani ya tanki. Mashimo ya maji taka yanaweza kuunganishwa na vitengo vingine vya matibabu ya maji taka ya mahali hapo kama vile vichujio vya kibiolojia au mifumo ya aerobic inayohusisha uingizaji hewa wa kulazimishwa.<ref>{{Cite web|title=American Ground Water Trust - Septic Systems for Waste Water Disposal|url=http://www.agwt.org/info/septicsystems.htm|work=www.agwt.org|accessdate=2026-06-11}}</ref>
[[Kiwango]] cha mkusanyiko wa tope—ambalo pia huitwa septage au tope la kinyesi—ni cha haraka kuliko kiwango cha [[mmeng'enyo]]. Kwa hiyo, tope la [[kinyesi]] lililokusanyika lazima liondolewe mara kwa mara, jambo ambalo kwa kawaida hufanywa kwa [[lori]] la kufyonza.<ref>{{Cite web|title=Septic Systems|url=http://www.nesc.wvu.edu/subpages/septic_defined.cfm|work=www.nesc.wvu.edu|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:afya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
m3owxwmez2n5rrm0r0frg81zmel6ajf
1570825
1570822
2026-06-11T10:51:55Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Nimeendelea kuhariri
1570825
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Septic tank Bolduc.jpg|thumb|336x336px|Shimo la maji taka likisakinishwa ardhini
{| class="wikitable"
|+
!'''Kipengele'''
!Maelezo
|-
|Nafasi katika mnyororo wa usafi wa mazingira
|Ukusanyaji na uhifadhi/matibabu (on-site)[
|-
|Ngazi ya matumizi
|Ngazi ya kaya au ujirani (shule, hoteli n.k.)
|-
|Ngazi ya usimamizi
|Kaya, umma, iliyoshirikiwa (ya kawaida zaidi ni ngazi ya kaya)
|-
|Pembejeo
|blackwater (taka), greywater, brownwater
|-
|Pato
|Tope la kinyesi, maji yaliyotibiwa (effluent)
|-
|Aina
|Tanki moja au matanki ya vyumba vingi (huenda yakawa na vizuizi/baffles)
|-
|Masuala ya mazingira
|Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi, uchafuzi wa maji mfano wakati wa mafuriko
|}
]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani (maji taka) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka. <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
Neno "septic" linarejelea mazingira ya [[bakteria]] wa anaerobic yanayositawi ndani ya tanki ambayo huchambua au kuharibu taka zinazotiririshwa ndani ya tanki. Mashimo ya maji taka yanaweza kuunganishwa na vitengo vingine vya matibabu ya maji taka ya mahali hapo kama vile vichujio vya kibiolojia au mifumo ya aerobic inayohusisha uingizaji hewa wa kulazimishwa.<ref>{{Cite web|title=American Ground Water Trust - Septic Systems for Waste Water Disposal|url=http://www.agwt.org/info/septicsystems.htm|work=www.agwt.org|accessdate=2026-06-11}}</ref>
[[Kiwango]] cha mkusanyiko wa tope—ambalo pia huitwa septage au tope la kinyesi—ni cha haraka kuliko kiwango cha [[mmeng'enyo]]. Kwa hiyo, tope la [[kinyesi]] lililokusanyika lazima liondolewe mara kwa mara, jambo ambalo kwa kawaida hufanywa kwa [[lori]] la kufyonza.<ref>{{Cite web|title=Septic Systems|url=http://www.nesc.wvu.edu/subpages/septic_defined.cfm|work=www.nesc.wvu.edu|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Maelezo ==
Shimo la maji taka lina tanki moja au zaidi za zege au plastiki zenye ujazo wa kati ya [[lita]] 4,500 na 7,500 (galoni 1,000 na 2,000); upande mmoja umeunganishwa na bomba la kuingizia maji machafu na mwingine kwenye uwanja wa mifereji ya maji taka. Kwa ujumla, viungio hivi vya mabomba hufanywa kwa kutumia bomba la T, ikiruhusu maji kuingia na kutoka bila kuvuruga ukoko wowote ulio juu ya uso.<ref>{{Cite web|title=How to Care for Your Septic System|url=https://www.epa.gov/septic/how-care-your-septic-system|work=www.epa.gov|date=2015-06-16|accessdate=2026-06-11|language=en|author=OW US EPA}}</ref> Leo hii, muundo wa tanki kwa kawaida hujumuisha vyumba viwili, kila kimoja kikiwa na tundu la kufikia na mfuniko, na vimetenganishwa na ukuta wa mgawanyo wenye matundu yaliyopo katikati ya sakafu na [[paa]] la tanki.
Maji machafu huingia kwenye chumba cha kwanza cha tanki, ikiruhusu yabisi kutulia na takataka kuwaka juu. Yabisi yaliyotulia humeng'enywa bila hewa, na kupunguza kiasi cha yabisi. Sehemu ya maji hutiririka kupitia ukuta wa mgawanyo kuingia kwenye chumba cha pili, ambapo utulivu zaidi hutokea. Chaguo moja kwa maji yaliyotibiwa ni kuyapeleka kwenye uwanja wa mifereji ya maji taka, ambao pia hujulikana kama leach field, drain field au seepage field, kulingana na eneo. Jaribio la upenyezaji linahitajika kabla ya usakinishaji ili kuhakikisha kuwa utoboaji wa udongo unatosha kutumika kama uwanja wa mifereji ya maji taka.<ref>{{Cite web|title=How to run a percolation test : Moisture Management : Housing and Technology : Environment : University of Minnesota Extension|url=http://www.extension.umn.edu/environment/housing-technology/moisture-management/how-to-run-a-percolation-test/index.html|work=www.extension.umn.edu|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
Maji yaliyotibiwa kutoka kwenye shimo la maji taka yanaweza pia kupelekwa kwenye matibabu ya sekondari, kwa kawaida kwenye ardhi oevu iliyotengenezwa na binadamu. Ardhi oevu zilizotengenezwa hunufaika na utendaji mzuri wa mashimo ya maji taka katika kuondoa yabisi, jambo ambalo huyaepusha kuziba haraka.
Maji yaliyotibiwa kutoka kwenye shimo la maji taka yanaweza pia kupelekwa kwenye kituo kikuu cha matibabu.
== Uchafuzi wa maji ==
Katika maeneo yenye msongamano mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa gharama kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika ugawaji wa mali mara nyingi huwekwa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:afya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
cvkrlteez5ri1khyb8gp8eb2s8dv2a9
1570833
1570825
2026-06-11T11:28:42Z
Maryam Saleh Abeid
79870
Nimeendelea kuhariri
1570833
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Septic tank Bolduc.jpg|thumb|276x276px|Shimo la maji taka likisakinishwa ardhini
{| class="wikitable"
|+
!'''Kipengele'''
!Maelezo
|-
|Nafasi katika mnyororo wa usafi wa mazingira
|Ukusanyaji na uhifadhi/matibabu (on-site)[
|-
|Ngazi ya matumizi
|Ngazi ya kaya au ujirani (shule, hoteli n.k.)
|-
|Ngazi ya usimamizi
|Kaya, umma, iliyoshirikiwa (ya kawaida zaidi ni ngazi ya kaya)
|-
|Pembejeo
|blackwater (taka), greywater, brownwater
|-
|Pato
|Tope la kinyesi, maji yaliyotibiwa (effluent)
|-
|Aina
|Tanki moja au matanki ya vyumba vingi (huenda yakawa na vizuizi/baffles)
|-
|Masuala ya mazingira
|Uchafuzi wa maji ya chini ya ardhi, uchafuzi wa maji mfano wakati wa mafuriko
|}
]]
'''Tangi la maji taka''' ni shimo la chini ya [[ardhi]] lilichotengenezwa kwa zege, glasi, au plastiki ambapo maji machafu ya majumbani (maji taka) hutiririka kwa ajili ya usafishwaji wa msingi wa maji taka. <ref name="tilley2">{{Rejea kitabu|url=http://www.eawag.ch/en/department/sandec/publications/compendium/|title=Compendium of Sanitation Systems and Technologies|last=Tilley|first=Elizabeth|last2=Ulrich|first2=Lukas|last3=Lüthi|first3=Christoph|last4=Reymond|first4=Philippe|last5=Zurbrügg|first5=Chris|publisher=Swiss Federal Institute of Aquatic Science and Technology (Eawag)|year=2014|isbn=978-3906484570|edition=2nd|location=Duebendorf, Switzerland|chapter=Septic tanks|chapter-url=http://ecompendium.sswm.info/sanitation-technologies/septic-tank?group_code=s}}</ref> Michakato ya usagaji wa maji taka na yasiyo na hewa hupunguza vitu vikali na vya kikaboni, lakini ufanisi wa matibabu ni wa wastani tu (unaojulikana kama "matibabu ya msingi"). <ref name="tilley2" />
Mifumo ya tanki la maji taka ni aina ya kituo rahisi cha maji taka . Inaweza kutumika katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na mfumo wa [[Mfumo wa majitaka|maji taka]], kama vile maeneo ya vijijini. Hata hivyo, uchafuzi wa maji ya ardhini unaweza kutokea na ni tatizo.
Neno "septic" linarejelea mazingira ya [[bakteria]] wa anaerobic yanayositawi ndani ya tanki ambayo huchambua au kuharibu taka zinazotiririshwa ndani ya tanki. Mashimo ya maji taka yanaweza kuunganishwa na vitengo vingine vya matibabu ya maji taka ya mahali hapo kama vile vichujio vya kibiolojia au mifumo ya aerobic inayohusisha uingizaji hewa wa kulazimishwa.<ref>{{Cite web|title=American Ground Water Trust - Septic Systems for Waste Water Disposal|url=http://www.agwt.org/info/septicsystems.htm|work=www.agwt.org|accessdate=2026-06-11}}</ref>
[[Kiwango]] cha mkusanyiko wa tope—ambalo pia huitwa septage au tope la kinyesi—ni cha haraka kuliko kiwango cha [[mmeng'enyo]]. Kwa hiyo, tope la [[kinyesi]] lililokusanyika lazima liondolewe mara kwa mara, jambo ambalo kwa kawaida hufanywa kwa [[lori]] la kufyonza.<ref>{{Cite web|title=Septic Systems|url=http://www.nesc.wvu.edu/subpages/septic_defined.cfm|work=www.nesc.wvu.edu|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Maelezo ==
[[Faili:Schematic of a septic tank 2.png|thumb|220x220px|Mchoro wa tanki la maji taka<ref>{{Cite web|title=Sanitation Systems Perspective {{!}} SSWM - Find tools for sustainable sanitation and water management!|url=https://sswm.info/perspective/sanitation-systems-perspective|work=sswm.info|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>]]
Shimo la maji taka lina tanki moja au zaidi za zege au plastiki zenye ujazo wa kati ya [[lita]] 4,500 na 7,500 (galoni 1,000 na 2,000); upande mmoja umeunganishwa na bomba la kuingizia maji machafu na mwingine kwenye uwanja wa mifereji ya maji taka. Kwa ujumla, viungio hivi vya mabomba hufanywa kwa kutumia bomba la T, ikiruhusu maji kuingia na kutoka bila kuvuruga ukoko wowote ulio juu ya uso.<ref>{{Cite web|title=How to Care for Your Septic System|url=https://www.epa.gov/septic/how-care-your-septic-system|work=www.epa.gov|date=2015-06-16|accessdate=2026-06-11|language=en|author=OW US EPA}}</ref> Leo hii, muundo wa tanki kwa kawaida hujumuisha vyumba viwili, kila kimoja kikiwa na tundu la kufikia na mfuniko, na vimetenganishwa na ukuta wa mgawanyo wenye matundu yaliyopo katikati ya sakafu na [[paa]] la tanki.
Maji machafu huingia kwenye chumba cha kwanza cha tanki, ikiruhusu yabisi kutulia na takataka kuwaka juu. Yabisi yaliyotulia humeng'enywa bila hewa, na kupunguza kiasi cha yabisi. Sehemu ya maji hutiririka kupitia ukuta wa mgawanyo kuingia kwenye chumba cha pili, ambapo utulivu zaidi hutokea. Chaguo moja kwa maji yaliyotibiwa ni kuyapeleka kwenye uwanja wa mifereji ya maji taka, ambao pia hujulikana kama leach field, drain field au seepage field, kulingana na eneo. Jaribio la upenyezaji linahitajika kabla ya usakinishaji ili kuhakikisha kuwa utoboaji wa udongo unatosha kutumika kama uwanja wa mifereji ya maji taka.<ref>{{Cite web|title=How to run a percolation test : Moisture Management : Housing and Technology : Environment : University of Minnesota Extension|url=http://www.extension.umn.edu/environment/housing-technology/moisture-management/how-to-run-a-percolation-test/index.html|work=www.extension.umn.edu|accessdate=2026-06-11|language=en}}</ref>
Maji yaliyotibiwa kutoka kwenye shimo la maji taka yanaweza pia kupelekwa kwenye matibabu ya sekondari, kwa kawaida kwenye ardhi oevu iliyotengenezwa na binadamu. Ardhi oevu zilizotengenezwa hunufaika na utendaji mzuri wa mashimo ya maji taka katika kuondoa yabisi, jambo ambalo huyaepusha kuziba haraka.
[[Faili:Landpeople s cc8.PNG|thumb|180x180px|Tangi ya maji taka na uwanja wa kukimbia septic]]
Maji yaliyotibiwa kutoka kwenye shimo la maji taka yanaweza pia kupelekwa kwenye kituo kikuu cha [[matibabu]].
Uchafu uliobaki hunaswa na kuondolewa kwenye udongo, huku maji ya ziada yakiondolewa kupitia upenyezaji ndani ya [[udongo]], kupitia uvukizi, na kwa kufyonzwa kupitia mfumo wa [[mizizi]] ya [[mimea]] na hatimaye upumuaji wa mimea au kuingia kwenye maji ya chini ya ardhi au maji ya juu ya ardhi. Mtandao wa mabomba, ambao mara nyingi huwekwa kwenye mfereji uliojazwa mawe (tazama weeping tile), husambaza maji machafu kote shambani kwa kutumia matundu mengi ya mifereji kwenye mtandao huo. Ukubwa wa uwanja wa mifereji ni sawia na kiasi cha maji machafu na kinyume na upenyezaji wa uwanja wa mifereji. Mfumo mzima wa shimo la maji taka unaweza kufanya kazi kwa mvutano wa dunia pekee au, ambapo mazingira ya kijiografia yanahitaji, kwa kujumuisha [[pampu]] ya kunyanyua.
Miundo fulani ya shimo la maji taka hujumuisha sifoni au vifaa vingine ili kuongeza kiasi na kasi ya mtiririko unaotoka kwenda kwenye uwanja wa mifereji. Hizi husaidia kujaza bomba la mifereji kwa usawa zaidi na kuongeza muda wa maisha ya uwanja wa mifereji kwa kuzuia kuziba mapema au kuziba kwa viumbe.
Shimo la maji taka la Imhoff ni mfumo wa shimo la maji taka wa hatua mbili ambapo tope humeng'enywa katika tanki tofauti. Hii huepuka kuchanganya tope lililomeng'enywa na maji taka yanayoingia. Pia, baadhi ya miundo ya mashimo ya maji taka ina hatua ya pili ambapo maji yaliyotibiwa kutoka hatua ya kwanza ya anaerobic huingizwa hewa kabla hayajatiririka kwenda kwenye uwanja wa mifereji.
Mfumo wa shimo la maji taka ulioundwa vizuri na unaofanya kazi kawaida hauna harufu. Licha ya ukaguzi wa mara kwa mara na uondoaji wa taka, shimo la maji taka linapaswa kudumu kwa miongo kadhaa na matengenezo madogo, huku matanki ya [[zege]], [[nyuzi]] za [[kioo]], au [[plastiki]] yakidumu kwa takriban miaka 50.<ref>{{Cite web|title=SEPTIC TANKS|url=http://cecalaveras.ucdavis.edu/realp.htm|work=cecalaveras.ucdavis.edu|accessdate=2026-06-11}}</ref>
== Kuondoa (kufuta) ==
== Matatizo ya mazingira ==
=== Uchafuzi wa maji ===
Katika maeneo yenye [[msongamano]] mkubwa wa watu, uchafuzi wa maji ya ardhini kupita mipaka inayokubalika unaweza kutokea. Baadhi ya miji midogo hupata gharama za kujenga mifumo ya matibabu ya maji machafu ya gharama kubwa sana kwa sababu ya tatizo hili, kutokana na gharama kubwa ya mifumo ya ukusanyaji iliyopanuliwa. Ili kupunguza maendeleo ya makazi ambayo yanaweza kuongeza mahitaji ya kujenga mfumo wa maji taka wa [[gharama]] kubwa wa kati, kusitishwa kwa ujenzi na vikwazo katika [[Ugawaji (Nachingwea)|ugawaji]] wa mali mara nyingi huwekwa. Kuhakikisha mashimo ya maji taka yaliyopo yanafanya kazi vizuri pia kunaweza kusaidia kwa muda mfupi, lakini inakuwa na ufanisi mdogo kama mkakati mkuu wa kurekebisha hali hiyo kadiri msongamano wa watu unavyoongezeka.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-teknolojia}}
[[Jamii:teknolojia]]
[[Jamii:afya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:AWC Zanzibar]]
[[Jamii:Maji]]
egtk69ro14f3xoaizep9kaf6x264dvo
Zephania Kameeta
0
240730
1570713
2026-06-11T07:02:31Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Zephania Kameeta.jpg|thumb|'''Zephania Kameeta''']] '''Zephania Kameeta''' (alizaliwa tarehe [[7 Agosti]] [[1945]] huko [[Otjimbingwe]], Mkoa wa [[Erongo]]) ni kiongozi wa kidini na [[mwanasiasa]] kutoka [[Namibia]].<ref name="NAI">{{cite web|title=Prominent SWAPO activists|url=http://www.liberationafrica.se/audiovisual/video/swapo/|publisher=[[Nordic Africa Institute]]|access-date=6 November 2016|archive-date=12 August 2010|archive-url=https://web...'
1570713
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Zephania Kameeta.jpg|thumb|'''Zephania Kameeta''']]
'''Zephania Kameeta''' (alizaliwa tarehe [[7 Agosti]] [[1945]] huko [[Otjimbingwe]], Mkoa wa [[Erongo]]) ni kiongozi wa kidini na [[mwanasiasa]] kutoka [[Namibia]].<ref name="NAI">{{cite web|title=Prominent SWAPO activists|url=http://www.liberationafrica.se/audiovisual/video/swapo/|publisher=[[Nordic Africa Institute]]|access-date=6 November 2016|archive-date=12 August 2010|archive-url=https://web.archive.org/web/20100812151113/http://www.liberationafrica.se/audiovisual/video/swapo/|url-status=dead}}</ref>
Tangu [[Machi]] [[2015]], amehudumu kama Waziri wa Kutokomeza Umaskini na Ustawi wa Jamii wa Namibia, akiwa na jukumu la kusimamia sera na mipango ya kupunguza umaskini pamoja na kuboresha ustawi wa jamii nchini humo.<ref name="cabinetlist">{{cite web|title=Ministers|url=http://www.namibian.com.na/public/uploads/documents/550bb712a109e/%20Ministers.pdf|publisher=[[Prime Minister of Namibia|Office of the Prime Minister]]|access-date=6 November 2016}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii: Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanasiasa wa Namibia]]
[[Jamii: Watu wa Namibia]]
b5dn128dtw4j7wr130fl3uztzgjxcce
1570778
1570713
2026-06-11T08:33:21Z
Riccardo Riccioni
452
1570778
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Zephania Kameeta.jpg|thumb|Zephania Kameeta.]]
'''Zephania Kameeta''' (alizaliwa [[7 Agosti]] [[1945]] huko [[Otjimbingwe]], Mkoa wa [[Erongo]]) ni kiongozi wa kidini na [[mwanasiasa]] kutoka [[Namibia]].<ref name="NAI">{{cite web|title=Prominent SWAPO activists|url=http://www.liberationafrica.se/audiovisual/video/swapo/|publisher=[[Nordic Africa Institute]]|access-date=6 November 2016|archive-date=12 August 2010|archive-url=https://web.archive.org/web/20100812151113/http://www.liberationafrica.se/audiovisual/video/swapo/|url-status=dead}}</ref>
Tangu [[Machi]] [[2015]], amehudumu kama Waziri wa Kutokomeza Umaskini na Ustawi wa Jamii wa Namibia, akiwa na jukumu la kusimamia sera na mipango ya kupunguza umaskini pamoja na kuboresha ustawi wa jamii nchini humo.<ref name="cabinetlist">{{cite web|title=Ministers|url=http://www.namibian.com.na/public/uploads/documents/550bb712a109e/%20Ministers.pdf|publisher=[[Prime Minister of Namibia|Office of the Prime Minister]]|access-date=6 November 2016}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Namibia]]
coest6tgutdn1ihgo0qv6lvv4at0gwb
World Federation Autistic Centre
0
240731
1570715
2026-06-11T07:06:41Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''World Federation Autistic Day Care Centre''' ni kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu kilichopo jijini [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Kituo hiki kilifunguliwa rasmi tarehe [[19 Februari]] [[2006]] na Ahmed Hassam, ambaye alikuwa Rais wa Shirikisho la KSIMC Duniani. Kituo hiki hutoa huduma za utambuzi na ukarabati kwa watoto wenye ulemavu, ikiwemo watoto wenye Autism spectrum disorder pamoja na hali nyingine sugu za maendeleo ya watoto.<ref>{{cite we...'
1570715
wikitext
text/x-wiki
'''World Federation Autistic Day Care Centre''' ni kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu kilichopo jijini [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
Kituo hiki kilifunguliwa rasmi tarehe [[19 Februari]] [[2006]] na Ahmed Hassam, ambaye alikuwa Rais wa Shirikisho la KSIMC Duniani. Kituo hiki hutoa huduma za utambuzi na ukarabati kwa watoto wenye ulemavu, ikiwemo watoto wenye Autism spectrum disorder pamoja na hali nyingine sugu za maendeleo ya watoto.<ref>{{cite web|url=http://www2.world-federation.org/NR/exeres/6741C075-01D3-4663-AF65-559440D2E851.htm|title=The World Federation Autistic Day Care Centre marks World Autism Awareness Day – Dar es Salaam, Tanzania|access-date=2023-09-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20160304031737/http://www2.world-federation.org/NR/exeres/6741C075-01D3-4663-AF65-559440D2E851.htm|archive-date=2016-03-04|date=2009-04-07|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii: Ulemavu]]
kgf84kqmldbk7hllkh42m538hdiu2ww
1570779
1570715
2026-06-11T08:34:32Z
Riccardo Riccioni
452
1570779
wikitext
text/x-wiki
'''World Federation Autistic Day Care Centre''' ni kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu kilichopo jijini [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].
Kituo hiki kilifunguliwa rasmi tarehe [[19 Februari]] [[2006]] na Ahmed Hassam, ambaye alikuwa Rais wa Shirikisho la KSIMC Duniani. Kituo hiki hutoa huduma za utambuzi na ukarabati kwa watoto wenye ulemavu, ikiwemo watoto wenye [[tawahudi]] pamoja na hali nyingine sugu za maendeleo ya watoto.<ref>{{cite web|url=http://www2.world-federation.org/NR/exeres/6741C075-01D3-4663-AF65-559440D2E851.htm|title=The World Federation Autistic Day Care Centre marks World Autism Awareness Day – Dar es Salaam, Tanzania|access-date=2023-09-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20160304031737/http://www2.world-federation.org/NR/exeres/6741C075-01D3-4663-AF65-559440D2E851.htm|archive-date=2016-03-04|date=2009-04-07|url-status=live}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii:Ulemavu]]
[[Jamii:Dar es Salaam]]
noxkx9m3eq2z5gxzr8rz83do58onyck
Shimo la majitaka
0
240732
1570717
2026-06-11T07:10:37Z
Anuary Rajabu
45588
Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Shimo la majitaka]] hadi [[Tangi la majitaka]]
1570717
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Tangi la majitaka]]
3tq7cn0tih2p4j3aqxlbttxr35hkft9
Blind (filamu ya 2007)
0
240733
1570718
2026-06-11T07:11:48Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Blind''' ni [[filamu]] ya maigizo ya kimapenzi kutoka [[Netherlands]] iliyotolewa mwaka [[2007]]. Filamu hii iliandikwa na kuongozwa na Tamar van den Dop, ikiwa ni kazi yake ya kwanza kama mwongozaji wa filamu. Katika filamu hiyo, waigizaji wakuu ni pamoja na Joren Seldeslachts, Halina Reijn, Katelijne Verbeke na Jan Decleir. Hadithi ya Blind inahusu uhusiano wa kimapenzi unaochanua kati ya kijana kipofu na mwanamke mwenye ualbino ambaye ameajiriwa na...'
1570718
wikitext
text/x-wiki
'''Blind''' ni [[filamu]] ya maigizo ya kimapenzi kutoka [[Netherlands]] iliyotolewa mwaka [[2007]]. Filamu hii iliandikwa na kuongozwa na Tamar van den Dop, ikiwa ni kazi yake ya kwanza kama mwongozaji wa filamu.
Katika filamu hiyo, waigizaji wakuu ni pamoja na Joren Seldeslachts, Halina Reijn, Katelijne Verbeke na Jan Decleir. Hadithi ya Blind inahusu uhusiano wa kimapenzi unaochanua kati ya kijana kipofu na mwanamke mwenye ualbino ambaye ameajiriwa na mama yake ili kumsomea na kumsaidia katika maisha ya kila siku.<ref name="Filmjaarboek">{{Cite book|title=Filmjaarboek 2007/2008|author=Mariska Graveland|date=June 10, 2008|publisher=International Theatre & Film books|isbn=9789064037276|pages=65–66|contribution=Blind|contributor-last=Kummer|contributor-first=Oene}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-filamu}}
[[Jamii: Filamu]]
7r8cu6wmooraue22jar6wa71r3spf79
1570780
1570718
2026-06-11T08:35:17Z
Riccardo Riccioni
452
1570780
wikitext
text/x-wiki
'''Blind''' ni [[filamu]] ya maigizo ya kimapenzi kutoka [[Uholanzi]] iliyotolewa mwaka [[2007]]. Filamu hii iliandikwa na kuongozwa na Tamar van den Dop, ikiwa ni kazi yake ya kwanza kama mwongozaji wa filamu.
Katika filamu hiyo, waigizaji wakuu ni pamoja na Joren Seldeslachts, Halina Reijn, Katelijne Verbeke na Jan Decleir. Hadithi ya Blind inahusu uhusiano wa kimapenzi unaochanua kati ya kijana kipofu na mwanamke mwenye ualbino ambaye ameajiriwa na mama yake ili kumsomea na kumsaidia katika maisha ya kila siku.<ref name="Filmjaarboek">{{Cite book|title=Filmjaarboek 2007/2008|author=Mariska Graveland|date=June 10, 2008|publisher=International Theatre & Film books|isbn=9789064037276|pages=65–66|contribution=Blind|contributor-last=Kummer|contributor-first=Oene}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu za 2007]]
[[Jamii:filamu za Uholanzi]]
jjxjmckdhp6xylpz0udlsy2yzkzk3j1
1570781
1570780
2026-06-11T08:35:38Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Blind (Filamu ya 2007)]] hadi [[Blind (filamu ya 2007)]]: urahisi wa kuupata
1570780
wikitext
text/x-wiki
'''Blind''' ni [[filamu]] ya maigizo ya kimapenzi kutoka [[Uholanzi]] iliyotolewa mwaka [[2007]]. Filamu hii iliandikwa na kuongozwa na Tamar van den Dop, ikiwa ni kazi yake ya kwanza kama mwongozaji wa filamu.
Katika filamu hiyo, waigizaji wakuu ni pamoja na Joren Seldeslachts, Halina Reijn, Katelijne Verbeke na Jan Decleir. Hadithi ya Blind inahusu uhusiano wa kimapenzi unaochanua kati ya kijana kipofu na mwanamke mwenye ualbino ambaye ameajiriwa na mama yake ili kumsomea na kumsaidia katika maisha ya kila siku.<ref name="Filmjaarboek">{{Cite book|title=Filmjaarboek 2007/2008|author=Mariska Graveland|date=June 10, 2008|publisher=International Theatre & Film books|isbn=9789064037276|pages=65–66|contribution=Blind|contributor-last=Kummer|contributor-first=Oene}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-filamu}}
[[Jamii:Filamu za 2007]]
[[Jamii:filamu za Uholanzi]]
jjxjmckdhp6xylpz0udlsy2yzkzk3j1
Uthamini wa jukumu la kijamii (SRV)
0
240734
1570720
2026-06-11T07:17:33Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Uthamini wa jukumu la kijamii (SRV)''' '''(kwa kiingereza ''Social role valorization SRV'')''' ni mbinu ya kuboresha maisha ya watu ambao wana hadhi ya chini katika jamii. Dhana hii inalenga kuwasaidia watu waliotengwa au waliodharauliwa kijamii kupata nafasi na thamani zaidi katika jamii, kupitia kuimarisha majukumu na nafasi wanazocheza katika maisha ya kila siku. Katika nchi za Jumuiya ya Madola (British Commonwealth), neno ''valorization'' mara nyin...'
1570720
wikitext
text/x-wiki
'''Uthamini wa jukumu la kijamii (SRV)''' '''(kwa kiingereza ''Social role valorization SRV'')''' ni mbinu ya kuboresha maisha ya watu ambao wana hadhi ya chini katika jamii. Dhana hii inalenga kuwasaidia watu waliotengwa au waliodharauliwa kijamii kupata nafasi na thamani zaidi katika jamii, kupitia kuimarisha majukumu na nafasi wanazocheza katika maisha ya kila siku. Katika nchi za Jumuiya ya Madola (British Commonwealth), neno ''valorization'' mara nyingi huandikwa kama ''valorisation'', ingawa kifupisho cha SRV hubaki kilekile.<ref>{{cite web|title=International Social Role Valorization Association|url=https://socialrolevalorization.com/|website=socialrolevalorization.com|access-date=2022-09-01}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii: Jamii]]
94qn9i3odwv2og62ve58jlk4996ijl8
1570784
1570720
2026-06-11T08:38:00Z
Riccardo Riccioni
452
1570784
wikitext
text/x-wiki
'''Uthamini wa jukumu la kijamii (SRV)''' (kwa Kiingereza: ''Social role valorization'') ni mbinu ya kuboresha maisha ya watu ambao wana hadhi ya chini katika jamii. Dhana hii inalenga kuwasaidia watu waliotengwa au waliodharauliwa kijamii kupata nafasi na thamani zaidi katika jamii, kupitia kuimarisha majukumu na nafasi wanazocheza katika maisha ya kila siku. Katika nchi za Jumuiya ya Madola (British Commonwealth), neno ''valorization'' mara nyingi huandikwa kama ''valorisation'', ingawa kifupisho cha SRV hubaki kilekile.<ref>{{cite web|title=International Social Role Valorization Association|url=https://socialrolevalorization.com/|website=socialrolevalorization.com|access-date=2022-09-01}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii:elimu jamii]]
mme3mod0eruy9pca3da8pwqp8z9n8xl
Ukadiriaji wa ulemavu
0
240735
1570724
2026-06-11T07:23:44Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ukadiriaji wa ulemavu''' (''Impairment rating'') ni kipimo kinachotumika kuonyesha kwa asilimia kiwango cha [[ulemavu]] wa kudumu wa kimwili au kiakili alichonacho mtu. Kipimo hiki hutumika kwa watu waliopata ajali au magonjwa yaliyosababisha kupungua kwa muda mrefu au kwa kudumu kwa uwezo wa kutumia sehemu ya mwili au utendaji wa kawaida wa mwili. Kwa njia hii, kiwango cha hasara au uharibifu kinaweza kupimwa kwa usahihi zaidi.<ref>{{cite web|last1=Si...'
1570724
wikitext
text/x-wiki
'''Ukadiriaji wa ulemavu''' (''Impairment rating'') ni kipimo kinachotumika kuonyesha kwa asilimia kiwango cha [[ulemavu]] wa kudumu wa kimwili au kiakili alichonacho mtu.
Kipimo hiki hutumika kwa watu waliopata ajali au magonjwa yaliyosababisha kupungua kwa muda mrefu au kwa kudumu kwa uwezo wa kutumia sehemu ya mwili au utendaji wa kawaida wa mwili. Kwa njia hii, kiwango cha hasara au uharibifu kinaweza kupimwa kwa usahihi zaidi.<ref>{{cite web|last1=Sims|first1=Dorothy|title=JD.|url=https://emedicine.medscape.com/article/314420-overview#:~:text=Impairment%20rating%20of%20neuromuscular%20conditions,sixth%20edition%20is%20currently%20available.|website=Medscape|access-date=4 December 2023}}</ref>
Ulemavu hufafanuliwa kama mabadiliko au upungufu unaotokea kutoka kwenye hali ya kawaida ya afya na utendaji wa mwili wa mtu, ambao unaweza kuathiri uwezo wake wa kufanya shughuli za kila siku.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii: Ulemavu]]
2eejdjihw7c2d0ht6etoa3bx4iehffs
Uhalifu wa mwenzi
0
240736
1570727
2026-06-11T07:28:03Z
Ramadhani Mushi
61176
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Uhalifu wa mwenzi''' ni aina ya uhalifu ambapo mhalifu hutumia mbinu za kujenga urafiki au uhusiano na mtu aliye katika mazingira magumu kwa lengo la kumdhibiti na kumdhulumu. Katika mchakato huu, mhalifu anaweza kuonekana kama rafiki au mtu wa kuaminika ili kupata imani ya mwathiriwa. Baada ya kupata uaminifu huo, hutumia nafasi hiyo kumdhalilisha au kumnyonya mtu huyo kifedha, kimwili au kingono. Kujitenga dhidi ya kutangamana na watu mara nyingi huc...'
1570727
wikitext
text/x-wiki
'''Uhalifu wa mwenzi''' ni aina ya uhalifu ambapo mhalifu hutumia mbinu za kujenga urafiki au uhusiano na mtu aliye katika mazingira magumu kwa lengo la kumdhibiti na kumdhulumu. Katika mchakato huu, mhalifu anaweza kuonekana kama rafiki au mtu wa kuaminika ili kupata imani ya mwathiriwa. Baada ya kupata uaminifu huo, hutumia nafasi hiyo kumdhalilisha au kumnyonya mtu huyo kifedha, kimwili au kingono.
Kujitenga dhidi ya kutangamana na watu mara nyingi huchangia kufanya watu kuwa rahisi kuathirika, kwani watu waliotengwa kijamii au walio katika hali ya upweke huwa na uwezekano mkubwa wa kuamini mtu anayejitokeza kama rafiki.<ref>Trafford CCG, [http://www.traffordccg.nhs.uk/safeguarding/safeguarding-adults/harm-and-abuse/mate-crime/ Mate Crime] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20151208170402/http://www.traffordccg.nhs.uk/safeguarding/safeguarding-adults/harm-and-abuse/mate-crime/|date=2015-12-08}}, accessed 3 December 2015</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii: Jamii]]
dxkn1gy65kqu04bven55gjj30ivppwb
MAUWASA
0
240737
1570772
2026-06-11T08:25:14Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1570772
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Musoma''' (kwa kifupi: '''MAUWASA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]]. Taasisi hii ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya mji wa [[Musoma]], ambao ndiyo makao makuu ya Mkoa wa [[Mara]], kaskazini mwa Tanzania.
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji za kikanda, MAUWASA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ([[EWURA]]). Lengo lake kuu ni kuhakikisha wakazi wa Musoma na maeneo ya pembezoni wanapata maji salama yenye kukidhi viwango vya [[afya]], pamoja na kuimarisha mifumo ya usafi ili kulinda afya ya jamii na kukuza uchumi wa mkoa.<ref name="mauwasa_web">https://www.mauwasa.go.tz/ – Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Musoma (MAUWASA).</ref>
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Uzalishaji wa maji wa MAUWASA unategemea kwa kiasi kikubwa [[Ziwa Victoria]], ambalo ndilo chanzo kikuu cha asili cha maji ghafi kwa mji wa Musoma. Mamlaka inamiliki na kuendesha mitambo ya kusafisha na kutibu maji ukiwemo mtambo mkuu wa Bweri (Kituo cha Kutibu Maji Bweri), ambapo maji yanavutiwa kutoka ziwani na kupitishwa kwenye hatua mbalimbali za uchujaji, uondoaji wa tope, na uwekaji wa dawa ili kuhakikisha yanakuwa salama kwa matumizi ya kibinadamu.
Baada ya kutibiwa, maji hayo husukumwa kwa kutumia pampu za kisasa hadi kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji yaliyopo kwenye miinuko kama vile vilima vya Mwisenge, Kigera, na Bweri ili kuruhusu usambazaji wa maji kwa njia ya mvutano wa dunia (gravity flow) kwenda kwa walaji. Kutokana na kasi kubwa ya ongezeko la watu na upanuzi wa viwanda vya kuchakata samaki na pamba mjini Musoma, MAUWASA imekuwa ikitekeleza miradi ya upanuzi wa miundombinu ikijumuisha ulazaji wa mabomba mapya ya usambazaji ili kuongeza uzalishaji hadi kufikia lita milioni 36 kwa siku ili kufikisha huduma katika maeneo mapya ya makazi na taasisi za kijamii.<ref name="hotuba_maji">https://maji.go.tz – Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji inayofafanua upanuzi wa miundombinu ya MAUWASA na mradi wa lita milioni 36 kwa siku kutoka Ziwa Victoria.</ref>
== Uhifadhi ==
Katika kuhakikisha uendelevu vya chanzo chake kikuu cha maji, MAUWASA inatilia mkazo mikakati thabiti ya kulinda ikolojia na fukwe za Ziwa Victoria dhidi ya [[uchafuzi wa maji]]. Mamlaka inasimamia kwa karibu mitandao yake ya majitaka na [[mfumo wa majitaka|mifumo ya mabwawa ya kusafishia majitaka]] (Wastewater Stabilization Ponds) yaliyopo eneo la Nyasho ili kuzuia maji machafu kutoka majumbani na viwandani yasiingie ziwani kabla ya kusafishwa kikamilifu.
Vilevile, MAUWASA inashirikiana na Bodi ya Bonde la Ziwa Victoria pamoja na vikundi vya kijamii katika kampeni za kupanda miti na mimea ya kuzuia [[mmomonyoko]] wa [[udongo]] kando ya vyanzo vya maji. Juhudi hizi zinajumuisha pia udhibiti wa upotevu wa maji (Non-Revenue Water) kupitia matumizi ya mita za kisasa za malipo ya kabla na mifumo ya kidijitali ya kubaini uvujaji, hatua zinazosaidia kuhifadhi rasilimali maji kwa ajili ya maendeleo endelevu katika mkoa huo na nchi nzima kwa ujumla.<ref name="mkataba_mauwasa">https://ewura.go.tz – Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa MAUWASA kupitia EWURA unaoainisha mifumo ya usambazaji maji, Mabwawa ya Nyasho, na viwango vya huduma.</ref>
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
* [[Ziwa Victoria]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Mashirika ya Tanzania]]
[[Jamii:Musoma]]
[[Jamii:AWC 2026]]
i7byqu0krtkr9go7w4zk4r11mq52y1b
Blind (Filamu ya 2007)
0
240738
1570782
2026-06-11T08:35:38Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Blind (Filamu ya 2007)]] hadi [[Blind (filamu ya 2007)]]: urahisi wa kuupata
1570782
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Blind (filamu ya 2007)]]
llm7ai34oy7siavbwh1b4r96agc1x7j
Mbeya UWSA
0
240739
1570788
2026-06-11T08:56:44Z
Laylah26
89982
Kuanzisha makala
1570788
wikitext
text/x-wiki
'''Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya''' (kwa [[kifupi]]: '''Mbeya UWSA''', kutoka [[Kiingereza]]: ''Mbeya Urban Water Supply and Sanitation Authority'') ni [[taasisi]] ya kiserikali iliyoundwa kisheria nchini [[Tanzania]].<ref name="tovuti">[https://www.mbeyauwsa.go.tz/ Tovuti Rasmi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya UWSA)].</ref> Taasisi hii ilianzishwa mwaka 1998 chini ya Sheria ya ya Utendaji wa Kazi za Maji (Water Works Act Cap 272) ya mwaka 1997 kabla ya kufanyiwa marekebisho ya kisheria baadaye.<ref name="tovuti" /> Ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na uondoaji wa majitaka katika maeneo ya Jiji la [[Mbeya]] na Mji wa Mbalizi uliopo Kusini Magharibi mwa Tanzania.<ref name="tovuti" />
Kama ilivyo kwa mamlaka nyingine za maji nchini, Mbeya UWSA inafanya kazi chini ya usimamizi wa Wizara ya Maji na inadhibitiwa kisheria na [[EWURA]].<ref name="mkataba">[https://maji.go.tz Mkataba wa Huduma kwa Mteja kutoka Wizara ya Maji unaoainisha usajili na anwani rasmi ya mamlaka].</ref> Lengo lake kuu ni kuhakikisha wakazi wanapata huduma bora na ya uhakika ya maji safi na salama, pamoja na kusimamia ipasavyo mifumo ya usafi wa mazingira ili kulinda afya za walaji na kuzuia magonjwa ya mlipuko.
== Vyanzo vya maji na uzalishaji ==
Tofauti na miji mingi ya pembezoni mwa maziwa makuu, uzalishaji wa maji wa Mbeya UWSA unategemea kwa kiasi kikubwa vyanzo vya maji vya juu ya ardhi vinavyotokana na [[mito]] na [[chemchemi]] za asili zinazotiririka kutoka kwenye milima na nyanda za juu za mkoa wa Mbeya. Vyanzo vikuu vya maji vinavyotumiwa na mamlaka hii ni pamoja na mito kama vile [[Mto Sisimba|mto Sisimba]], [[mto Meta]], na [[Mto Nzovwe|mto Nzovwe]], ambapo maji hukusanywa na kupitishwa kwenye mitambo maalum ya kusafishia na kuyatibu ili kuondoa mchanga, tope, na vijidudu kabla ya kusambazwa.
Baada ya mchakato wa usafishaji kukamilika, maji hayo husafirishwa kwenda kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia yaliyopo kwenye miinuko mbalimbali ya jiji ili kuruhusu usambazaji kwa njia ya nguvu ya mvutano wa kijiografia kuelekea maeneo ya chini. Kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa mji na kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi na viwanda, Mbeya UWSA imekuwa ikitekeleza miradi ya kimkakati ya kupanua mitandao ya mabomba na kuongeza uwezo wa uzalishaji ili kukidhi mahitaji ya kila siku ya jamii inayokua.
== Uhifadhi ==
Katika kuhakikisha uendelevu wa vyanzo vyake vya maji ambavyo vinategemea mazingira ya milimani, Mbeya UWSA inatilia mkazo mkubwa mikakati ya utunzaji na uhifadhi wa mabonde ya mito na maeneo ya vyanzo vya maji (catchment areas). Mamlaka hii inafanya doria na kutoa elimu kwa jamii ili kuzuia shughuli zisizo endelevu za kibinadamu kama vile kilimo cha vinyungu kando ya mito, ukataji miti ovyo, na ujenzi usio rasmi karibu na maeneo ya chemchemi.
Vilevile, Mbeya UWSA inasimamia mtandao wa uondoaji wa majitaka na uendeshaji wa mabwawa ya kusafishia maji machafu yanayotoka viwandani na makazi ya watu ili kuhakikisha hayachafui mazingira wala kuingia kwenye vyanzo vya maji safi.<ref name="ewura">[https://ewura.go.tz Ripoti ya EWURA ya Tathmini ya Utendaji wa Mamlaka za Maji nchini inayofafanua leseni na mikakati ya Mbeya UWSA].</ref> Hatua hizi zinaenda sambamba na jitihada za kudhibiti upotevu wa maji yasiyofanya biashara kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kidijitali, hatua ambazo ni muhimu katika kulinda rasilimali maji kwa ajili ya ustawi wa mazingira na maendeleo endelevu katika mkoa na nchi kwa ujumla.<ref name="ewura" />
== Tazama pia ==
* [[Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanzania]]
* [[EWURA]]
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Mamlaka za Maji Tanzania]]
[[Jamii:Mashirika ya Tanzania]]
[[Jamii:Mbeya]]
[[Jamii:AWC 2026]]
hle66dxlw688dqy2wb4x6gdox4eeddj
Majadiliano ya mtumiaji:Լիլիթ2011
3
240740
1570796
2026-06-11T09:48:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570796
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 11 Juni 2026 (UTC)
05tbly3077lsvrzpet8x3z6xd1e6n6q
Majadiliano ya mtumiaji:MichaelFrey
3
240741
1570797
2026-06-11T09:48:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570797
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 11 Juni 2026 (UTC)
05tbly3077lsvrzpet8x3z6xd1e6n6q
Majadiliano ya mtumiaji:ちりま
3
240742
1570798
2026-06-11T09:48:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570798
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 11 Juni 2026 (UTC)
05tbly3077lsvrzpet8x3z6xd1e6n6q
Majadiliano ya mtumiaji:Shiwonee
3
240743
1570799
2026-06-11T09:48:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570799
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 11 Juni 2026 (UTC)
05tbly3077lsvrzpet8x3z6xd1e6n6q
Majadiliano ya mtumiaji:HF Active
3
240744
1570800
2026-06-11T09:48:54Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570800
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 11 Juni 2026 (UTC)
05tbly3077lsvrzpet8x3z6xd1e6n6q
Majadiliano ya mtumiaji:BenPulliam
3
240745
1570802
2026-06-11T09:49:04Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570802
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:Erenguy
3
240746
1570803
2026-06-11T09:49:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570803
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:Maseco03
3
240747
1570804
2026-06-11T09:49:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570804
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:ElWikipedicOo3
3
240748
1570805
2026-06-11T09:49:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570805
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:Hi Ahmaed
3
240749
1570806
2026-06-11T09:49:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570806
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:Muhdavdullahi
3
240750
1570807
2026-06-11T09:49:54Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570807
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 11 Juni 2026 (UTC)
m9daioyksh5q1sgprxuxda0vd77o6jy
Majadiliano ya mtumiaji:Cestok
3
240751
1570808
2026-06-11T09:50:04Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570808
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 11 Juni 2026 (UTC)
sxbhkodqbypmt4vcr6xvu9mqa6m7ch6
Majadiliano ya mtumiaji:Jan linluwi nasa
3
240752
1570809
2026-06-11T09:50:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570809
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 11 Juni 2026 (UTC)
sxbhkodqbypmt4vcr6xvu9mqa6m7ch6
Majadiliano ya mtumiaji:Amani Wilson
3
240753
1570810
2026-06-11T09:50:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570810
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 11 Juni 2026 (UTC)
sxbhkodqbypmt4vcr6xvu9mqa6m7ch6
Majadiliano ya mtumiaji:Ggterx
3
240754
1570811
2026-06-11T09:50:44Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570811
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 11 Juni 2026 (UTC)
sxbhkodqbypmt4vcr6xvu9mqa6m7ch6
Majadiliano ya mtumiaji:Caleb Sava
3
240755
1570812
2026-06-11T09:50:54Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570812
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 11 Juni 2026 (UTC)
sxbhkodqbypmt4vcr6xvu9mqa6m7ch6
Majadiliano ya mtumiaji:NateBoyer2000
3
240756
1570813
2026-06-11T09:51:04Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570813
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 11 Juni 2026 (UTC)
ppd54grttk9bbjozxwpkhbskcl16u5t
Majadiliano ya mtumiaji:Kludge and kaching
3
240757
1570814
2026-06-11T09:51:14Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570814
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 11 Juni 2026 (UTC)
ppd54grttk9bbjozxwpkhbskcl16u5t
Majadiliano ya mtumiaji:Salummbiki
3
240758
1570815
2026-06-11T09:51:24Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570815
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 11 Juni 2026 (UTC)
ppd54grttk9bbjozxwpkhbskcl16u5t
Majadiliano ya mtumiaji:Masatu Baraza
3
240759
1570816
2026-06-11T09:51:34Z
AmmarBot
81277
Karibu
1570816
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 11 Juni 2026 (UTC)
ppd54grttk9bbjozxwpkhbskcl16u5t
Andreas Amrhein
0
240760
1570821
2026-06-11T10:32:33Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Andreas Amrhein.]] '''Andreas Amrhein''', [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]) alikuwa [[mmonaki]] [[Upadri|padri]] wa [[Uswisi]] aliyeanzisha [[Shirika la Kibenedikto wa Mt. Otilia]]<ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]] ili kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya...'
1570821
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Andreas Amrhein.]]
'''Andreas Amrhein''', [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]) alikuwa [[mmonaki]] [[Upadri|padri]] wa [[Uswisi]] aliyeanzisha [[Shirika la Kibenedikto wa Mt. Otilia]]<ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]] ili kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo hasa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo.
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{BD|1844|1927}}
[[Jamii:wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:watawa waanzilishi]]
[[Jamii:watu wa Uswisi]]
q9j2mqinrj7mihd4cg3jmpdie1we71c
1570834
1570821
2026-06-11T11:32:15Z
Riccardo Riccioni
452
1570834
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein.]]
'''Andreas Amrhein''', [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]) alikuwa [[mmonaki]] [[Upadri|padri]] wa [[Uswisi]] aliyeanzisha [[Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia]]<ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]] ili kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo hasa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo.
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{BD|1844|1927}}
[[Jamii:wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:watawa waanzilishi]]
[[Jamii:watu wa Uswisi]]
nq1k9ggrzlrzw7lwy611tfh6kup2x6g
Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia
0
240761
1570837
2026-06-11T11:41:28Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]] '''Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] <ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> lililoanzishwa na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuatwa na l...'
1570837
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]]
'''Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] <ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> lililoanzishwa na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuatwa na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]]. Lengo lake lilikuwa kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo hasa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo.
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
[[Jamii:mashirika ya kitawa]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:wamisionari]]
tnq0spzj6v86q5s2xkcfgxwdwnr12cy
1570838
1570837
2026-06-11T11:48:17Z
Riccardo Riccioni
452
1570838
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]]
[[File:Erzabtei_St._Ottilien.jpg|thumb|[[Monasteri]] mama.]]
'''Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] <ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> lililoanzishwa [[mwaka]] [[1884]] na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuatwa na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]]. Lengo lake lilikuwa kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo kwanza kabisa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo ([[Ndanda]] na [[Peramiho]]).
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
[[Jamii:mashirika ya kitawa]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:wamisionari]]
pnxk2dkl1sv6q09gr71b5of8zupgq2f
1570839
1570838
2026-06-11T11:49:58Z
Riccardo Riccioni
452
1570839
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]]
[[File:Erzabtei_St._Ottilien.jpg|thumb|[[Monasteri]] mama.]]
'''Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] <ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref> lililoanzishwa [[mwaka]] [[1884]] na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuatwa na lile la [[Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing]]. Lengo lake lilikuwa kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo kwanza kabisa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo ([[Ndanda]] na [[Peramiho]]).
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
==Marejeo==
* Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
== Viungo vya nje ==
* [http://www.peramiho.org/ Tovuti ya Abasia ya Peramiho]
{{mbegu-katoliki}}
[[Jamii:mashirika ya kitawa]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:wamisionari]]
80893sziab2sc6hkpi2qorfwrv0yj3i
Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing
0
240762
1570840
2026-06-11T11:55:25Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]] [[File:Tutzing,_Kloster.01.jpg|thumb|[[Monasteri]] mama.]] '''Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] lililoanzishwa [[mwaka]] [[1887]] na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuata lile la kiume la Shirika la...'
1570840
wikitext
text/x-wiki
[[File:AndreasAmrhein.JPG|thumb|Padri Andreas Amrhein, [[mwanzilishi]].]]
[[File:Tutzing,_Kloster.01.jpg|thumb|[[Monasteri]] mama.]]
'''Masista Wabenedikto Wamisionari wa Tutzing''' ni [[tawi]] la [[umisionari|kimisionari]] la [[Shirika]] la Mt. [[Benedikto wa Nursia|Benedikto]] lililoanzishwa [[mwaka]] [[1887]] na [[padri]] wa [[Uswisi]] [[Andreas Amrhein]], [[Wabenedikto|OSB]] ([[1844]] - [[29 Desemba]] [[1927]]), likifuata lile la kiume la [[Shirika la Kibenedikto la Mt. Otilia]]<ref name=Ottilien>[https://www.ottilien.org/en/ "History", Benediktinerkongregation von St. Ottilien]</ref>. Lengo lake lilikuwa kuunganisha [[maisha]] ya [[mtawa|kitawa]] kadiri ya [[kanuni ya Mt. Benedikto]] na [[umisionari]]<ref name=Dysinger>Dysinger, O.S.B., Luke. "Andreas Amrhein", ''The Benedictine Missionary Movement'', St. Andrew's Abbey, Valyermo, 1990</ref>. [[shirika|Mashirika]] hayo yalitekeleza mpango huo kwanza kabisa [[Dar es Salaam]] na [[kusini]] mwa [[Tanzania]] ya leo ([[Ndanda]] na [[Peramiho]]).
Kuhusu jambo hilo, [[tarehe]] [[18 Aprili]] 1887 Amrhein alimuandikia hivi [[Papa Leo XIII]] kuhusu mazungumzo yake na [[Karl Peters]]: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara" <ref>Kanisa katika Tanzania, V2, Kitabu cha Mwalimu, Ndanda Mission Press, 1975, uk. 22.</ref>.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
==Marejeo==
* Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
== Viungo vya nje ==
* [http://www.peramiho.org/ Tovuti ya Abasia ya Peramiho]
{{mbegu-katoliki}}
[[Jamii:mashirika ya kitawa]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:wamisionari]]
2sveee1ea6sjr4ic11z94r89di1jgn5