Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.47.0-wmf.14
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Event
Event talk
Koigi Wamwere
0
2648
1584815
875748
2026-08-06T11:18:49Z
Riccardo Riccioni
452
1584815
wikitext
text/x-wiki
'''Koigi Wamwere''' (alizaliwa [[Bahati]], [[kaunti ya Nakuru]], [[1949]]) ni mwanasiasa, mwanaharakati, na mwandishi kutoka nchi ya [[Kenya]]. Anajulikana kwa kujaribu kupindua serikali za [[Jomo Kenyatta]] na [[Daniel arap Moi]]. Koigi aliwekwa kizuizini na watawala hawa, na baadaye alikimbilia uhamishoni nchini [[Norway]] miaka ya 80. Baada ya kurudi Kenya miaka ya 90, Koigi alikamatwa na kushtakiwa kwa madai ya kuhusika na uhaini na uporaji kwa kutumia silaha. Kutokana na kampeni kubwa ya kimataifa dhidi ya kesi hiyo ambayo ilichukuliwa kuwa na nia ya kumnyamazisha, serikali ya Kenya ilimwachia huru.
Koigi ni mwandishi wa vitabu na makala kadhaa. Vitabu vyake ni "A Woman Reborn", "Justice on Trial", na "I Refuse to Die".
Hivi sasa Koigi ni mbunge wa [[eneo bunge la Subukia|jimbo la Subukia]] na alikuwa waziri msaidizi wa Habari katika serikali ya [[Mwai Kibaki]]. Koigi, ambaye huko nyuma alikuwa na nywele msokoto (dreadlocks), alinyoa nywele zake baada ya kuangushwa kwa serikali ya chama cha [[KANU]] kutimiza ahadi yake kuwa atanyoa nywele baada ya ushindi dhidi ya chama hicho kupatikana.
{{mbegu-mwanasiasa-Kenya}}
{{BD|1949|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya|W]]
d4b6uz367su3d31l9ntuqa1gz4yc63t
1584817
1584815
2026-08-06T11:23:09Z
Riccardo Riccioni
452
1584817
wikitext
text/x-wiki
'''Koigi Wamwere''' (alizaliwa [[Bahati]], [[kaunti ya Nakuru]], [[1949]]) ni mwanasiasa, mwanaharakati, na mwandishi kutoka nchi ya [[Kenya]]. Koigi ni mwandishi wa vitabu na makala kadhaa. Vitabu vyake ni "A Woman Reborn", "Justice on Trial", na "I Refuse to Die".
Anajulikana kwa kujaribu kupindua serikali za [[Jomo Kenyatta]] na [[Daniel arap Moi]]. Koigi aliwekwa kizuizini na watawala hawa, na baadaye alikimbilia uhamishoni nchini [[Norwei]] miaka ya 1980. Baada ya kurudi Kenya miaka ya 1990, Koigi alikamatwa na kushtakiwa kwa madai ya kuhusika na uhaini na uporaji kwa kutumia silaha. Kutokana na kampeni kubwa ya kimataifa dhidi ya kesi hiyo ambayo ilichukuliwa kuwa na nia ya kumnyamazisha, serikali ya Kenya ilimwachia huru.
Aliwahi kuwa mbunge wa [[eneo bunge la Subukia|jimbo la Subukia]] na waziri msaidizi wa Habari katika serikali ya [[Mwai Kibaki]]. Koigi, ambaye huko nyuma alikuwa na nywele msokoto (dreadlocks), alinyoa nywele zake baada ya kuangushwa kwa serikali ya chama cha [[KANU]] kutimiza ahadi yake kuwa atanyoa nywele baada ya ushindi dhidi ya chama hicho kupatikana.
{{mbegu-mwanasiasa-Kenya}}
{{BD|1949|}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya|W]]
[[Jamii:Waandishi wa Kenya|W]]
kfex2xh6tyxbzqhxccq0zispnflrmnb
Leonard Mbotela
0
2849
1584808
1397385
2026-08-06T11:08:16Z
Riccardo Riccioni
452
1584808
wikitext
text/x-wiki
'''Leonard "Mambo“ Mbotela''' (29 Mei 1940 – 7 Februari 2025) alikuwa [[mtangazaji]] mashuhuri wa [[redio]] nchini [[Kenya]]. Amejulikana kwa [[huduma]] yake ya zaidi ya miaka 40 tangu [[mwaka]] [[1964]]. Alikuwa mtangazaji wa habari na michezo, haswa [[soka]]. Tangu mwaka [[1966]] amekuwa hewani na kipindi chake "[[Je, Huu ni Ungwana?]]".
==Maisha==
Leonard Mbotela alizaliwa [[Frere Town]], [[Mombasa]] katika [[familia]] ya Ki[[anglikana]] ya [[watoto]] nane. Baba yake James Mbotela alikuwa kati ya walimu wa kwanza Waafrika Kenya. Mama yake Ida alifanya kazi ya ustawi wa jamii.
Leonard alisoma shule ya msingi ya Frere Town kati ya 1948 na 1953 halafu akaenda Buxton [[shule ya kati]] Mombasa kuanzia 1954 hadi 1958. Alihudhuria [[shule ya sekondari]] ya [[Kitui High School]] kuanzia 1959 hadi 1963.
Alipata nafasi ya kuingia katika ukurufunzi wa [[Sauti ya Kenya]] akishirikiana na [[Simon Ndesanjo]] katika kipindi ‘Hodi hodi mitaani’. Mwaka 1964 aliajiriwa kama mtangazaji wa huduma ya [[Kiswahili]]. Mbotela alianzisha kipindi chake cha ‘Salamu za vijana’ na pia akasoma taarifa za habari za huduma ya Kiswahili.
Mwaka 1966 alianzisha ‘Je, huu ni ungwana?’ ambacho ni kipindi cha pekee kilichoendelea hadi mwaka 2021. Alijulikana zaidi nchini kama mtangazaji wa soka kuanzia mwaka 1967. Kati ya vipindi vyake vilivyopendwa ni Uhalifu Haulipi, Ongea Lugha Sanifu na Waliosifika.
Wakati wa [[uasi wa 1982]] (jaribio la kijeshi la kuipindua serikali ya rais [[Moi]]) Mbotela alilazimishwa kusoma habari za waasi kwa sababu sauti yake ilijulikana kote nchini.
Katika maisha yake ya kazi alikuwa pia mhusika wa huduma ya "Presidential Press Service" chini ya Rais Moi kwa miaka saba.
Alirudi KBC akastaafu mwaka 1997 akiwa na cheo cha mwangalizi mkuu wa vipindi vya redio.
Hata baada ya kustaafu ameendelea kusikika redioni akisoma habari na kipindi chake "Je Huu ni Ungwana?".
Mbotela alimuoa Alice Mwikali mwaka 1970 na pamoja wamezaa watoto watatu - Ida, Jimmy na George.
Alitangazwa kuwa amefariki tarehe 7 Februari 2025 mwendo wa saa 9:00 asubuhi alipokuwa akipokea matibabu katika Hospitali ya Nairobi West Nairobi, Kenya baada ya kulazwa katika hospitali hiyo kwa wiki mbili. Alikuwa na umri wa miaka 84.
==Viungo vya nje==
* [http://www.kbc.co.ke/channel.asp?ID=3&cID=7&ccID=85 Makala kuhusu Mbotela kwa KBC] {{Wayback|url=http://www.kbc.co.ke/channel.asp?ID=3&cID=7&ccID=85 |date=20060717215642 }}
* [http://www.youtube.com/watch?v=d6VFGgqs8Pg&feature=related Mbotela kwenye tovuti ya Youtube]
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watangazaji wa Kenya|M]]
[[Jamii:Waswahili]]
spmi1fjzy6wud4s5ralwa9v91xbraq1
Elijah Masinde
0
4288
1584827
1336576
2026-08-06T11:39:07Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya Nje */
1584827
wikitext
text/x-wiki
'''Elijah Masinde''' (au Elija Masinde) alianzisha jumuiya ya [[Dini ya Musambwa]] kati ya [[Wabukusu]] huko magharibi mwa [[Kenya]] na kuiongoza tangu mwaka 1943 hadi mauti yake mwaka [[1987]].
==Utoto na Ujana==
Masinde alizaliwa kati ya mwaka 1910-1912 katika eneo la Kimilili (leo: wilaya ya Bungoma) karibu na mlima [[Elgon (mlima)|Elgon]]. Ukoo wake ni Wabukusu ambao ni kati ya koo 18 za [[Waluhya]].
Alipokuwa kijana alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu. Aliwahi kuchezea timu za [[Kimilili Location Football team]] na [[Bukusu Union team]].
Mnamo mwaka 1940 alipokuwa na umri wa miaka 30 hivi alianza kuonekana jinsi alivyochukizwa na utawala wa kikoloni.
==Wito wa Musambwa==
Mwanzo wa 1943 aliota ndoto aliyosikia sauti ya Mungu. Kitabu cha [[James Bandi Shimanyula]] “Elijah Masinde and the Dini ya Musambwa” ( kufuatana na [http://www.wtmkenya.org/resources/art08.htm] {{Wayback|url=http://www.wtmkenya.org/resources/art08.htm |date=20060909055108 }}) kina taarifa ifuatayo:
“Usiku mmoja Aprili 1943 Mungu alimjia Masinde alipolala usingizi akamwambia:
"Mimi ni Wele wa Musambwa. Ninasema kutoka Sayoni kwenye mlima mtakatifu wa Elgon. Nimekuita wewe Masinde uwe kiongozi wa Dini ya Musambwa. Uwaambie Wabukusu wote kumwamini roho wa Musambwa. Watakuwa na chakula tele. Wafuasi wa Musambwa wasivae nguo za Mzungu.
... Nitawaponya walio bubu, vipofu na walemavu. Mnapaswa kuchukia Wazungu. Utakapofika mwisho wa dunia nitafungua mlango na wewe Masinde pamoja na wafuasi wa dini ya Musambwa mtaingia mbinguni."
Kitabu kinataja maneno ya Masinde mwenyewe: “Mungu ameniteua kuwa msemaji wake. Ameniambia kuwaunganisha Waafrika na kuwafudisha neno lake. Nimeongea na Mungu mara nyingi. Ananiahidi ya kwamba mimi nitakuwa mtu wa pekee atakayebaki wakati dunia hii itakapokwisha."
==Nabii na Kiongozi wa Dini ya Musambwa==
Masinde alianza kuhubiri mbele ya Wabukusu wenzake juu ya wito wake. Alipowaambia wasilipe kodi na kuchoma vipande vyao vya kitambulisho alitupwa jela na Waingereza. Baada ya kutoka alijenga jumuiya ya "Dini ya Musambwa" na kuwa na wafuasi wengi kati ya Waluhya.
Masinde alikuwa na uwezo na kipaji kikubwa cha kuhubiri. Alihubiri bila woga akiwataka wakoloni kuondoka Afrika na kuacha kila walichokikuta. Aliwataka pia kuwaacha Waafrika kuabudu kufuatana na mila zao. Mara ya kwanza kwa Masinde kuonyesha chuki yake kwa utawala wa kikoloni ni pale alipoamua kuacha kazi aliyokuwa akifanya chini ya utawala huo kwa kutotaka kutumikia wakoloni. Cheo chake kilikuwa ni "Native Tribunal Process Server."
Mara ya kwanza kabisa kufungwa ilikuwa ni mwaka 1945. Serikali ya kikoloni ilishindwa kumwelewa Masinde na kuamua kumchukilia kama mwendawazimu na hivyo kumweka katika hospitali ya vichaa ya Mathare kwa maiaka miwili. Mwaka 1948 Masinde alishtakiwa kwa kosa la [[uhaini]] na kupelekwa uhamishoni huko [[Lamu]] ambako alikaa hadi mwaka 1961. Baada ya kuachiliwa huru, Masinde aliendelea na shughuli za kidini na kisiasa. Alikuwa akiunga mkono chama cha [[Kenya African National Union]] (KANU) jambo ambalo lilimpunguzia umaarufu wake kwakuwa watu wengi wa eneo analotoka walikuwa wakiunga mkono chama cha [[Kenya African Democratic Union]] (KANU).
Hata hivyo [[Rais]] wa kwanza wa Kenya, [[Mzee Jomo Kenyatta]] alisajili jumuiya yake ya Dini ya Musambwa na hivyo kutambulika rasmi kwa mara ya kwanza hapo mwaka 1964.
katika uhai wake Masinde alifikishwa mahakamani na kufunguliwa kesi mbalimbali. Baada ya uhuru wa Kenya alifungwa jela tena na serikali ya Jomo Kenyatta kwa miaka 15. Serikali mpya ya Rais [[Daniel Arap Moi]] ilimrudishia uhuru wake akaishi maisha ya utulivu huko Kimilili hadi kifo chake tarehe [[9 Juni]] [[1987]].
Wafuasi wa Dini ya Musambwa wamepungua lakini bado wako. Mara mbili kwa mwaka hupanda mlima Elgon na kufanya ibada ya sadaka wakichinja mwanakondoo, hua au dume wa ng'ombe.
==Viungo vya Nje==
* [http://www.wtmkenya.org/resources/art08.htm Makala juu ya uinjilisti wa kikristo inayotaja kitabu cha Shimanyula] {{Wayback|url=http://www.wtmkenya.org/resources/art08.htm |date=20060909055108 }}
* [http://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9B0DE0DA123EF93AA35755C0A961948260 Makala fupi ya New York Times wakati wa kifo cha Masinde]
{{Mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Masinde, Elijah}}
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
[[Jamii:Dini za Afrika]]
[[Jamii:Waliofariki 1987]]
d30kfwdwk4ckf4sni9fj10cw9iip75b
Waberiberi
0
9952
1584412
1382250
2026-08-05T14:24:52Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1584412
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Berbers.png|thumb|right|Maeneo yenye wasemaji wa lugha za Kiberiberi (Tamazight).]]
'''Waberiberi''' ni wakazi asilia wa [[Afrika ya Kaskazini]] kuanzia [[Moroko]] hadi [[Misri]] na nchi za [[Sahara]]. Wenyewe wanajiita Amazigh (au: Imazighen) yaani "watu huru".
Kabila lao mojawapo linalojulikana hasa ni [[Watuareg]] wanaokalia maeneo ya [[jangwa]] kubwa la Sahara.
Leo hii wamepungua kwa sababu wengi wamezoea kutumia lugha ya [[Kiarabu]], hivyo wanahesabiwa kati ya [[Waarabu]].
Wanaoendelea kutumia lugha ya [[Kiberiberi]] kama lugha ya kwanza ni:
* takriban theluthi ya watu huko [[Moroko]],
* asilimia 10-15 nchini [[Algeria]],
* labda asilimia 3 nchini [[Libya]],
* idadi ndogo zaidi wako [[Tunisia]],
* laki kadhaa huishi katika nchi za Sahara kama [[Mali]] na [[Niger]] halafu
* wako kwa idadi ndogo [[Burkina Faso]], [[Misri]] na [[Mauritania]].
* Kutokana na [[uhamiaji]] kuna nusu milioni nchini [[Ufaransa]].
Katika nchi kavu jangwani au karibu na jangwa maisha yao ni ya [[ufugaji]] na kuhamahama. Mlimani wanalima. Leo hii ni hasa [[Watuareg]] wanaoendelea na maisha ya kuhamahama.
==Historia==
Katika [[historia]] wamejulikana tangu ilipoanza kuandikwa. [[Waroma]] na [[Wagiriki wa Kale]] waliwaita kwa majina kama Wanumidia, Wagaramanti au Walibya.
Kabla ya unenezaji wa [[Uislamu]] wengi walikuwa [[Wakristo]] na mashuhuri kati hao alikuwa [[Monika]], mama wa [[Agostino wa Hippo]].
Mberiberi anayejulikana sana leo ni mchezaji wa mpira wa [[Ufaransa]] [[Zinédine Zidane]].
== Viungo vya nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040131061703/http://www.historycooperative.org/journals/jwh/14.4/smith.html Richard L. Smith, Ferrum College, What Happened to the Ancient Libyans? Chasing Sources across the Sahara from Herodotus to Ibn Khaldun, Journal of World History, vol. 14, no. 4, 2003 Online article]
* [http://amazigh.startkabel.nl Amazigh Startkabel] {{Wayback|url=http://amazigh.startkabel.nl/ |date=20050711232507 }}.
* [http://www.ircam.ma/ Institut Royal de la Culture Amazighe].
* [http://www2.nau.edu/~jar/RIL_10.html The New Mass Media and the Shaping of Amazigh Identity].
* [http://www.wam.umd.edu/~tlaloc/archastro/ae26.html Number Systems and Calendars of the Berber Populations of Grand Canary and Tenerife].
* [http://lexicorient.com/e.o/berbers.htm Encyclopedia of the Orient -- Berbers ].
* [http://fotw.vexillum.com/flags/berber.html Flags of the World -- Berbers/Imazighen] {{Wayback|url=http://fotw.vexillum.com/flags/berber.html |date=20060804154052 }}.
* [http://www.mondeberbere.com/ www.mondeberbère.com] {{Wayback|url=http://www.mondeberbere.com/ |date=20120316141441 }}.
* [http://www.congres-mondial-amazigh.org/-/index.php CMA: Congrès Mondial Amazigh] {{Wayback|url=http://www.congres-mondial-amazigh.org/-/index.php |date=20160321154021 }}.
* [http://www.acrossthedivide.com/wilkpedia/sahara.htm Photo Gallery of Berbers and Touregs from Erg Chebbi area of Moroccan Sahara] {{Wayback|url=http://www.acrossthedivide.com/wilkpedia/sahara.htm |date=20081222100542 }}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:makabila ya Afrika]]
[[Jamii:Afrika ya Kaskazini]]
57xntysvxwg40h40bx901hj9q1w01y9
Koitalel Arap Samoei
0
11551
1584780
1452204
2026-08-06T10:24:37Z
Riccardo Riccioni
452
1584780
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Koitalel Arap Samoei Museum.jpg|thumbnail|right|200px|Jumba la makumbusho la Koitalel Arap Samoei lilipo nandi nchini Kenya]]
[[File:Kenyan National Library Service visit during Wikimania 2025 20.jpg|thumb|]]
'''Koitalel Arap Samoei''' alikuwa kiongozi shubavu wa [[Wanandi]] aliyeongoza vita vikali dhidi ya serikali ya kibepari ya Uingereza katika Africa Mashariki. Alikataa ujenzi wa reli iliyotekelezwa na wabeberu kwa sababu reli ilionekana kuwa mzingi kunyakua nchi ya yake ya Nandi.
Nafasi yake ilikuwa ya orkoiyot au mfalme. Kabla ya kufika kwa Waingereza Koitalel aliwahi kutabiri ya kwamba joka jeusi litemayo moto litafika Nandi na kuhatarisha maisha ya watu wake.
Reli ilipofika ikaonekana kama utimilifu wa utabiri wake.
Aliwaongoza Wanandi kupambana na Waingereza kwa miaka kumi na mbili. Kapteni [[Richard Meinertzhagen]] alifaulu kumwua [[1905]]: alimkaribisha kwa majadiliano ya kumaliza vita, kumbe badala ya kuongea naye akamwua pamoja na mawaziri wake 23.
Baada ya kukosa kiongozi,Wanandi walishindwa kupigana na Captain Richard na ujenzi wa reli ukaendelea.
{{BD|karne ya 19|1905}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]]
[[Jamii:Historia ya Kenya]]
4kh7h1t0m65t0cvmcgkzi2zr0oya0dr
Jamii:Wanamichezo wa Kenya
14
13174
1584725
483820
2026-08-06T09:42:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584725
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Watu wa Kenya|C]]
[[Jamii:Wanamichezo wa Afrika]]
[[Jamii:wanamichezo nchi kwa nchi|K]]
sqf6pzm42ri1dwunf7qz92br6dc4pwl
1584726
1584725
2026-08-06T09:42:35Z
Riccardo Riccioni
452
1584726
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Watu wa Kenya|C]]
[[Jamii:Wanamichezo wa Afrika]]
[[Jamii:wanamichezo|K]]
bpc8wawqp93ggybo91dhpqfgdldqd81
Dekha Abdi
0
13817
1584768
1217088
2026-08-06T10:13:03Z
Riccardo Riccioni
452
1584768
wikitext
text/x-wiki
'''Dekha Ibrahim Abdi''' ni mfanyakazi wa huduma za jamii na amani nchini [[Kenya]] aliyepokea [[Tuzo Mbadala ya Nobel]] (Right Livelyhood Award) ya 2007.
Dekha Abdi ni mwenyeji wa [[Wajir]] katika Kenya ya Kaskazini alikozaliwa mwaka 1964. Tangu 1992 alijishughulisha na matatizo ya kurudisha amani katika mapigano kati ya vikundi vya eneo la Wajir akaanzisha Kamati ya Amani ya Wajir (Wajir Peace Comittee).
Tangu shuleni Dekha ambaye ni Mwislamu alijenga uhusiano mwema na Wakristo. Uhusiano huo aliimarisha wakati wa fitina za Wajir za mwaka 1998 Wakristo mjini waliposhambuliwa na vijana Waislamu. Dekha alishiriki katika kuanzisha kamati ya usaidizi iliyounganisha wakina mama Wakristo na Waislamu waliokutana pamoja kwa sala na majadiliano. Kutoka hapa kamati ya kimadhehebu ya dini zote ikaundwa liliyosaidia kukomesha hasira kati ya waumini wa dini mbalimbali.
Tangu 1996 Dekha amefanya kazi kabisa katika miradi mbalimbali za kujenga amani na maelewano akiweka uzito upande wa ushirikiano kati ya dini na imani katika Kenya ya Kaskazini, kitaifa, kibara na kimataifa.
Juhudi zake zikaheshimiwa sasa kwa kutolewa tuzo ya Right Livelyhood Award inayojullikana zaidi kama Tuzo Mbadala ya Nobel.
==Viungo vya Nje==
*[http://www.rightlivelihood.org/abdi.html Tovuti ya Right Livelyhood Award kwa Dekha Abdi] {{Wayback|url=http://www.rightlivelihood.org/abdi.html |date=20071010212237 }}
*[http://www.youtube.com/watch?v=pwe6mlExHZg Video fupi juu ya kazi ya Dekha Abdi]
{{BD|1964|}}
[[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]]
tpiamesibjg2cgwfgaw79b9xeslkuj0
Jamii:Maaskofu wakatoliki wa Kenya
14
13885
1584709
1107094
2026-08-06T09:31:51Z
Riccardo Riccioni
452
1584709
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Watu wa Kenya|A]]
[[Jamii:Kanisa Katoliki Kenya]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
0zgontbvafsnzdmduddv2ywd5x12re2
Wikipedia:Matukio ya hivi karibuni
4
16648
1584645
1579483
2026-08-06T08:17:09Z
Riccardo Riccioni
452
/* Makala ya 121,000 */
1584645
wikitext
text/x-wiki
==Makala ya 122,000==
Tarehe 6 Agosti [[2026]] umetungwa ukurasa wa 122,000 juu ya [[Bonnaye Mims]], [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 121,000==
Tarehe 14 Julai [[2026]] umetungwa ukurasa wa 121,000 juu ya [[Sadako Pointer]], [[mwimbaji]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 120,000==
Tarehe 30 Mei 2026 umetungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Valentin Filatov (mkufunzi wa dubu)]].
==Makala ya 119,000==
Tarehe 26 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 119,000 kwa makala juu ya [[Salih Zaki Bey]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Iraki]].
==Makala ya 118,000==
Tarehe 23 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 118,000 kwa makala juu ya [[Tod Lippy]], [[Wasanii|msanii]] wa [[Marekani]].
==Makala ya 117,000==
Tarehe 19 Mei 2026 iliandikwa makala juu ya [[Muziki|wanamuziki]] [[Modern Talking]] ambayo imekuwa ya 117,000 katika [[Wikipedia ya Kiswahili]].
==Makala ya 116,000==
Tarehe 16 Mei 2026 makala juu ya [[John Brodie (mwanasoka aliyezaliwa 1862)]] imefanya idadi ya makala ya Wikipedia ya Kiswahili ifikie 116,000.
==Makala ya 115,000==
Mapema tarehe 13 Mei 2026 makala ya 115,000 ya Wikipedia ya Kiswahili ilitungwa kuhusu [[Nadia Ginetti]], mwanasiasa wa Italia.
==Makala ya 114,000==
Tarehe 10 Mei 2026, Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 114,000 kwa kupitia makala ya [[Hellen Linkswiler]] (5 Januari 1912 – 24 Juni 1984), mtaalamu wa lishe na mwanasayansi wa lishe kutoka [[Marekani]] aliyefanya utafiti kuhusu mahitaji ya madini katika mwili wa binadamu na asidi amino.
==Makala ya 113,000==
Tarehe 7 Mei 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 113,000 inayohusu [[Jan Eliasberg]] mwongozaji na mwandishi wa filamu, maonyesho ya jukwaa, na televisheni kutoka nchini Marekani.
==Makala ya 112,000==
Tarehe 28 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 112,000 inayohusu [[Silverio Izaguirre]], [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Hispania]].
==Makala ya 111,000==
Tarehe 21 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imewahi kupata makala ya 111,000 kuhusu [[Janet Nwadiogo Mokelu]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa Afrika Kusini.
==Makala ya 110,000==
Tarehe 16 Aprili 2026 Wikipedia ya Kiswahili imefikia idadi ya makala 110,000 kwa ukurasa juu ya [[Linda Moss]], mwanasiasa wa nchi hiyohiyo.
==Makala ya 109,000==
Tarehe [[9 Aprili]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 109,000 kuhusu [[Cyprien Mbonimpa]], [[mwanadiplomasia]] wa [[Burundi]]..
==Haririo la 1,500,000==
Siku hiyohiyo ilikuwa imepata kufanyika haririo la 1,500,000 tangu Wikipedia ya Kiswahili ianzishwe.
==Makala ya 108,000==
Tarehe [[18 Machi]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 108,000 kuhusu [[Wahindi wa Tanzania]].
==Makala ya 107,000==
Tarehe [[23 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 107,000 kuhusu [[Chang Ming-che]], mwanataaluma wa [[Taiwan]].
==Makala ya 106,000==
Tarehe [[11 Februari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala ya 106,000 kuhusu [[Musa Tukur Yakasai]], profesa wa [[Nigeria]].
==Makala ya 105,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2026 Wikipedia ya Kiswahili imepata makala kuhusu [[Eliane Rosa Naika]], [[mwanasiasa]] wa [[Madagaska]]: ndiyo ya 105,000.
==Makala ya 104,000==
Mwaka 2026 Wikipedia ya Kiswahili imefikia kuwa na makala ya 104,000 tarehe [[10 Januari]] kuhusu [[filamu]] [[Miss Fatimah]].
==Makala ya 103,000==
Tarehe 8 Desemba imetungwa makala ya 103,000 kuhusu [[Carlentini]], mji wa [[Sisilia|Sicilia]], [[Italia visiwani]].
==Makala ya 102,000==
Tarehe 8 Oktoba imetungwa makala ya 102,000 kuhusu [[Irene Charnley]].
==Makala ya 101,000==
Kwa kasi hiyohiyo ya mwaka 2025, Wikipedia yetu imepiku mapema toleo la [[Kimalagasy]] na tarehe 23 Agosti kuwahi nakala ya 101,000 kuhusu [[Dada wa Cooney]].
=='''Makala ya 100,000'''==
Kwa makala juu ya [[Barclayville]], tarehe [[23 Juni]] [[2025]] Wikipedia yetu imetimiza idadi ya laki moja! Ni Wikipedia ya Afrika ya nne kufikia kiwango hicho, siku chache baada ya ile ya Malagasy, na ni ya kwanza kati ya [[lugha za Kiniger-Kongo]]. Tunawashukuru wote, wazima kwa wafu, waliochangia mafanikio hayo.
==Makala ya 99,000==
Tarehe [[4 Juni]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 99,000 kwa ukurasa kuhusu [[wilaya ya Luanshya]] nchini [[Zambia]].
==Makala ya 98,000==
Tarehe [[9 Machi]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 98,000 kwa ukurasa kuhusu [[mwimbaji]] [[Kirsten Price]].
==Makala ya 97,000==
Tarehe [[25 Februari]] 2025 imefikia makala ya 97,000 kwa ukurasa kuhusu [[kardinali]] [[Giulio Bevilacqua]].
==Makala ya 96,000==
Tarehe 18 Februari 2025 Wikipedia ya Kiswahili imefikia makala ya 96,000 kuhusu [[mwimbaji]] [[Janie Fricke]].
==Makala ya 95,000==
Tarehe [[6 Februari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 95,000 juu ya [[Uwanja wa Michezo wa Perth Rectangular]].
==Makala ya 94,000==
Tarehe [[31 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 94,000 kuhusu [[askofu]] [[Joseph Mukasa Zuza]].
==Makala ya 93,000==
Tarehe [[22 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 93,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] [[Grant Needham]].
==Makala ya 92,000==
Tarehe [[13 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 92,000 kuhusu [[mwanamuziki]] [[Terry Tufts]].
==Makala ya 91,000==
Tarehe [[6 Januari]] 2025 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 91,000 kuhusu [[mwanasiasa]] [[Saka Isau]].
==Makala ya 90,000==
Tarehe [[11 Desemba]] [[2024]] Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 90,000 kuhusu mchezaji [[Jason Hartill]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 1,000 kwa siku mbili tu.
==Makala ya 89,000==
Tarehe [[9 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 89,000 kuhusu jimbo la [[Norwei]] [[Vestland]]. Kwa mara ya kwanza tumeweza kuanzisha makala 10,000 kwa mwaka mmoja tu. Hongera kwa wote waliochangia.
==Makala ya 88,000==
Tarehe [[1 Desemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 88,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanakandanda]] wa kike [[Stephanie Bukovec]].
==Makala ya 87,000==
Tarehe [[22 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 87,000 kuhusu mwanakandanda [[Nicholas Lindsay]].
==Makala ya 86,000==
Tarehe [[7 Novemba]] 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 86,000 kuhusu [[Riadha|mwanariadha]] [[Juma Ndiwa]].
==Makala ya 85,000==
Tarehe 20 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 85,000 kuhusu [[mtakatifu]] [[Leoniani wa Vienne]].
==Makala ya 84,000==
Tarehe 8 Oktoba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 84,000 kuhusu mwanariadha [[Jürgen Kühl]].
==Makala ya 83,000==
Tarehe 19 Septemba 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 83,000 kuhusu mwanariadha [[Jacques Riparelli]].
==Makala ya 82,000==
Tarehe 10 Julai 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 82,000 kuhusu [[pipa]].
==Makala ya 81,000==
Tarehe 11 Juni 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 81,000 ambayo inahusu [[Kufukuzwa kwa Wamoroko kutoka Algeria]].
==Makala ya 80,000==
Tarehe 21 Aprili 2024 Wikipedia ya Kiswahili imekuwa na makala ya 80,000 ambayo inahusu [[mwandamizi]].
==Mradi mpya wa kata za Tanzania==
Tarehe [[20 Aprili]] 2024 tumemaliza kuingiza taarifa za [[kata]] zote nchini [[Tanzania]] kufuatana na [[sensa]] ya mwaka 2022.
==Makala ya 79,000==
Tarehe 9 Desemba [[2023]] Wikipedia hii imefikia makala ya 79,000 kwa ukurasa juu ya kata ya [[Chemchem (Unguja)]] katika mradi mpya wa kata za Tanzania.
{{Infobox_Person
| jina =Kipala
| nchi =Ujerumani
| majina_mengine =
| picha =
| ukubwawapicha =
| maelezo_ya_picha =
| jina_la_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kuzaliwa =
| mahala_pa_kuzaliwa =
| tarehe_ya_kufariki =10 Julai 2023
| mahala_alipofia =
| sababu_ya_kifariki =
| anajulikana kwa =
| kazi_yake = Mchungaji
| cheo =Mchungaji
| mshahara =
| kipindi =
| alitanguliwa_na =
| akafuatiwa_na =
| chama =
| bodi =
| dini =
| ndoa =
| rafiki =
| watoto =
| mahusiano =
| tovuti =
| maelezo =
| mwajiri =
| urefu =
| uzito =
}}
==Kifo cha Kipala==
Tarehe [[10 Julai]] 2023 mwenzetu bureaucrat [[mtumiaji:Kipala|Kipala]] ameaga dunia. Mchungaji wa Kilutheri na mmisionari katika nchi mbalimbali, zikiwemo [[Tanzania]], [[Kenya]] na [[Iran]], Ingo Koll amefariki nyumbani mwake nchini [[Ujerumani]]. Alichangia sana kamusi elezo ya lugha yetu tangu tarehe 13 Machi 2006 hadi tarehe 28 Juni 2023. Mbali ya hilo, alikuwa kiungo kikuu katika kutuweka pamoja kama Wikipedia ya Kiswahili. Alitoa mchango mkubwa sana katika kuistawisha na katika mijadala mbalimbali, pamoja na kutuwakilisha kimataifa. Mwenyezi Mungu amjalie raha ya milele. Amina.
Tarehe 13 Mei 2023 alikuwa amemuandikia [[mtumiaji:Riccardo Riccioni|ndugu Rikardo]]: "Juzi daktari aliniarifu kwamba nimepata kansa. Aina hiyo kwenye kongosho inaweza kuendelea haraka sana, lakini kuna uwezekano fulani wa tiba itakayoongeza muda kidogo ... labda mwaka 1 au miwili. Hadi sasa sisikii matatizo lakini nahisi maumivu yatakuja, na matokeo ya tiba ya madawa makali yataniathiri pia. Kwa hiyo - sijui sasa nitaweza kuendelea kwa muda gani. Wiki ijayo naingia hospitalini kwa utafiti zaidi.
Sidhani ni wakati wa kuaga sasa. Sina hamu ya kupokea wimbi la "pole". Tangu nimepita umri wa miaka 70 nilijiambia "kuanzia sasa hakuna cha kulalamika", maana katika kazi yangu nimezika watu mamia nilipenda kusoma zaburi ya 90. Nachukua wakati wangu kama zawadi. Sikutegemea nitapatwa na kansa ya haraka vile lakini sioni faida ya kulalamika. Hadi sasa maisha yangu yamekuwa mazuri sana, nina kila sababu kumshukuru Mungu na kushukuru watu niliokuta kwenye njia zangu. Hii ni pamoja na wewe!"
==Makala ya 78,000==
Tarehe [[15 Juni]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 78,000 kwa makala juu ya [[Jamil Adam]] katika mradi wa [[Mchezaji|wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]].
==Makala ya 77,000==
Tarehe [[25 Machi]] 2023 Wikipedia hii imefikia idadi ya 77,000 kwa makala juu ya [[Chomutov]], [[mji]] wa [[Ucheki]].
==Wakabidhi wapya wanne==
Mwezi Aprili 2023 ulifanyika uchaguzi wa wakabidhi wapya. Kati ya 6 waliogombea, 4 wamechaguliwa kwa kupata zaidi ya nusu ya kura halali. Kazi njema, ndugu!
==Makala ya 76,000==
Tarehe [[23 Desemba]] [[2022]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 76,000 kwa makala juu ya [[Bouhjar]], [[mji]] wa [[Tunisia]].
==Makala ya 75,00==
Tarehe [[17 Septemba]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 75,000 kwa makala juu ya [[Kouandé]], [[mji]] wa [[Benin]].
==Makala ya 74,00==
Tarehe [[15 Julai]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 74,000 kwa makala juu ya [[Ghuba ya Venezuela]].
==Makala ya 73,00==
Tarehe [[6 Juni]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 73,000 kwa makala juu ya [[Frenda]], mji wa [[Algeria]].
==Makala ya 72,00==
Tarehe [[14 Mei]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 72,000. Kwa kuwa makala nyingi zimetungwa kwa mashindano, kuna kazi kubwa ni kuziweka sawa.
==Makala ya 71,00==
Tarehe [[23 Aprili]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 71,000 kwa makala nyingi za mradi wa [[Jamii:Arusha Editathon Muziki|Arusha Editathon Muziki]].
==Makala ya 70,00==
Tarehe [[10 Machi]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 70,000 kwa makala juu ya [[Ilesa]] katika mradi wa miji ya [[Nigeria]].
==Makala ya 69,000==
Tarehe [[11 Januari]] 2022 Wikipedia hii imefikia idadi ya 69,000 kwa makala juu ya [[Maroua]] katika mradi wa miji ya [[Kamerun]].
==Makala ya 68,000==
Tarehe [[29 Oktoba]] [[2021]] Wikipedia hii imefikia idadi ya 68,000 kwa makala juu ya [[Chambishi]] katika mradi wa [[miji]] ya [[Zambia]].
==Makala ya 67,000==
Tarehe [[9 Septemba]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 67,000 kwa makala juu ya [[Nairagie Ngare]] katika mradi wa [[vijiji]] vya [[Kenya]].
==Makala ya 66,000==
Tarehe [[14 Agosti]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 66,000 kwa makala juu ya [[Makutano]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 65,000==
Tarehe [[5 Julai]] 2021 Wikipedia hii imefikia idadi ya 65,000 kwa makala juu ya [[Mwea]] katika mradi wa kata za Kenya.
==Makala ya 64,000==
Tarehe [[19 Juni]] 2021 Wikipedia hii imevuka idadi ya 64,000 kutokana na tendo la kurudisha makala 907 lililofanywa na steward aliyekuwa amezifuta kwa mkupuo mmoja mwaka 2020.
==Makala ya 63,000==
Tarehe [[8 Juni]] 2021 mradi wa Africa Wiki Challenge Arusha kuhusu viwanja vya michezo umefikisha Wikipedia yetu hadi kutunga makala ya 63,000 na kusonga mbele haraka. Hongera na asante kwa wahusika wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:58, 9 Juni 2021 (UTC)
==Makala ya 62,000==
Tarehe [[7 Mei]] 2021 mradi wa [[miji]] ya [[Italia]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 62,000 kwa ukurasa juu ya [[San Giovanni Rotondo]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:28, 7 Mei 2021 (UTC)
==Makala ya 61,000==
Tarehe [[15 Machi]] 2021 mradi wa [[watakatifu]] [[Wakristo]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 61,000 kwa ukurasa juu ya [[Agrikola wa Chalon]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:19, 15 Machi 2021 (UTC)
==Makala ya 60,000==
Tarehe [[20 Agosti]] [[2020]] mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 60,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Rubirizi (Muramvya)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:28, 20 Agosti 2020 (UTC) Tarehe [[8 Novemba]] 2020 Wikipedia yetu imetimiza tena idadi hiyo baada ya kukatwa makala 800 hivi hapo katikati (mpaka sasa hatujajua ilikuwaje). Ukurasa husika ni juu ya [[mtakatifu]] [[Andrea Avellino]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:14, 8 Novemba 2020 (UTC)
==Makala ya 59,000==
Tarehe [[22 Mei]] [[2020]] mradi wa [[miji ya Rwanda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 59,000 kwa ukurasa juu ya [[Mukarange]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:02, 22 Mei 2020 (UTC)
==Makala ya 58,000==
Tarehe [[3 Aprili]] [[2020]] mradi wa [[Orodha ya mito ya Burundi|mito ya Burundi]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 58,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Gihororo (Karuzi)]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 3 Aprili 2020 (UTC)
==Makala ya 57,000==
Tarehe [[17 Machi]] [[2020]] mradi wa [[wachezaji mpira]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 57,000 kwa ukurasa juu ya [[Gilmar Rinaldi]]. Kurasa elfu kwa juma moja tu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 05:44, 18 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 56,000==
Tarehe [[10 Machi]] [[2020]] mradi wa [[Makabila ya Uganda]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 56,000 kwa ukurasa juu ya [[Wakumam]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:36, 10 Machi 2020 (UTC)
==Makala ya 55,000==
Tarehe [[13 Desemba]] [[2019]] mradi wa [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika|Watakatifu wa Afrika]] umefikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 55,000 kwa ukurasa juu ya [[Yusto askofu]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:17, 13 Desemba 2019 (UTC)
==Makala ya 54,000==
Tarehe [[4 Oktoba]] 2019 makala ya 54,000 imetungwa kuhusu [[wafiadini]] wa [[Afrika]] [[Suksesi na wenzake 17]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:23, 4 Oktoba 2019 (UTC)
==Makala ya 53,000==
Tarehe [[10 Agosti]] 2019 makala ya 53,000 imetungwa kuhusu [[Tarafa ya Tiémélékro]]. Tunawashukuru wachangiaji wetu kutoka [[Cote d'Ivoire]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:58, 11 Agosti 2019 (UTC)
==Makala ya 52,000==
Tarehe [[16 Julai]] 2019 makala ya 52,000 imetungwa kuhusu [[mto Rwoho]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:55, 16 Julai 2019 (UTC)
==Makala ya 51,000==
Tarehe [[31 Mei]] 2019 makala ya 51,000 imetungwa kuhusu [[mto Osia]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:35, 31 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 50,000==
Tarehe [[3 Mei]] 2019 makala ya 50,000 imetungwa kuhusu [[mto Ocere]]. Hatimaye tumefikia hatua hiyo kubwa! Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 3 Mei 2019 (UTC)
==Makala ya 49,000==
Tarehe [[23 Machi]] 2019 makala ya 49,000 imetungwa kuhusu [[mto Wangodugu]]. Tukazane ili kufikia mapema ya 50,000! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:12, 23 Machi 2019 (UTC)
::Hongera sana Ndugu Riccardo kwa michango yako!! Na asante!'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:58, 23 Machi 2019 (UTC)
==Makala ya 48,000==
Tarehe [[7 Februari]] 2019 makala ya 48,000 imetungwa kuhusu [[kisiwa cha Musira]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:30, 7 Februari 2019 (UTC)
==Makala ya 47,000==
Tarehe [[8 Novemba]] [[2018]] makala ya 47,000 imetungwa kuhusu mto Olkimatare. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:26, 8 Novemba 2018 (UTC)
==Makala ya 46,000==
Tarehe [[15 Oktoba]] 2018 makala ya 46,000 imetungwa kuhusu [[mto Wakavi]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:41, 15 Oktoba 2018 (UTC)
==Ukurasa wa 100,000==
Tarehe [[5 Oktoba]] 2018, kwa makala juu ya [[Mto Thiririka]], Wikipedia yetu imefikia ukurasa wa 100,000 zikihesabiwa si makala tu, bali pia kurasa za maelekezo, majadiliano, watumiaji n.k. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:41, 5 Oktoba 2018 (UTC)
==Baba Tabita kuaga==
Tarehe [[26 Septemba]] 2018, huyo mchangiaji wetu mkuu ameandika ili kutuaga baada ya kazi ya miaka 12 na kisha kuugua kwa muda mrefu, akisema hajui kama ataweza kuchangia tena. Tunazidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona na kuendelea nasi. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:31, 26 Septemba 2018 (UTC)
==Makala ya 45,000==
Tarehe [[12 Agosti]] [[2018]] makala ya 45,000 imetungwa kuhusu [[mto Ilangi]], [[Korongo (jiografia)|korongo]] wa [[Kenya]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:11, 12 Agosti 2018 (UTC)
==Makala ya 44,000==
Tarehe [[30 Julai]] [[2018]] makala ya 44,000 imetungwa kuhusu [[mto Nyairoko]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:55, 30 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 43,000==
Tarehe [[7 Julai]] makala ya 43,000 imetungwa kuhusu [[mto Kaptarit]]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 15:36, 7 Julai 2018 (UTC)
==Makala ya 42,000==
Tarehe 21 Mei 2018, makala ya 42,000 imetungwa kuhusu [[mto Jigulu]]. Mbele kwa mbele! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:18, 21 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 41,000==
Tarehe 2 Mei 2018, makala ya 41,000 ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] kuhusu [[Mto Ligunga]]. Tusonge mbeleee! --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 05:13, 3 Mei 2018 (UTC)
:Ninja [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]] katika ubora wake. Safi sana! Tunasonga. Sasa hivi tutafika walipo Afrikaans!--[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 08:22, 3 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 40,000==
Tarehe 17 Machi 2018, makala ya 40,000 (AROBAINI ELFU, jamani!) ni kuhusu mlima [[Nidze]]. Makala ilianzishwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. Asante na hongera, Mzee! Sherehe itafanyika wapiii? Tupo pamoja katika furaha na fahari. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:52, 17 Machi 2018 (UTC)
:Sasa niseme tu, zama zangu zimeisha! Nyakati zangu nilipiga buku ndani ya wiki 2. Furaha iliyopo hadi mgonjwa umeamka kitandani. Pole sana mzee wangu, Oliver, na ahsante kwa taarifa!--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 12:37, 17 Machi 2018 (UTC)
::Kweli tunahitaji sherehe. Hongereni ndugu zangu wote! --'''[[Mtumiaji:Ndesanjo|Ndesanjo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ndesanjo|majadiliano]])''' 23:44, 30 Mei 2018 (UTC)
==Makala ya 39,000==
Tarehe 24 Desemba 2017, makala ya 39,000 imeandikwa. Sasa tunalenga ya 40,000: tujitahidi pamoja. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:48, 13 Januari 2018 (UTC)
==Makala ya 38,000==
Tarehe 12 Oktoba 2017, makala ya 38,000 ni kuhusu [[Ziwa Kamnarok]], [[ziwa]] lililokauka la [[Kenya]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 21:16, 13 Oktoba 2017 (UTC)
==Makala ya 37,000==
Tarehe 30 Julai 2017, makala ya 37,000 ni kuhusu [[Ziwa Ambussel]], ziwa dogo la [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Ndugu Riccardo]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 17:44, 30 Julai 2017 (UTC)
==Makala ya 36,000==
Tarehe 20 Mei 2017, makala ya 36,000 ni kuhusu [[Abdallah Majurah Bulembo]], mwanasiasa wa [[Tanzania]]. Makala iliandikwa na Ndugu [[Majadiliano ya mtumiaji:Luhazi|Luhazi]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 18:29, 20 Mei 2017 (UTC)
==Makala ya 35,000==
Tarehe 12 Januari 2017, makala ya 35,000 ni kuhusu mwandishi [[James Tate (mwandishi)|James Tate]] aliyepokea [[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]] mwaka wa 1992. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 10:41, 12 Januari 2017 (UTC)
==Makala ya 33,000==
18 Aprili 2016, makala ya 33,000 ni [[Kio'du]], lugha ya [[Vietnam]] na [[Laos]]. --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 11:43, 18 Aprili 2016 (UTC)
==Haririo la 1,000,000==
Upande wa maharirio, tarehe [[10 Oktoba]] 2015 yamefikia [[idadi]] ya [[milioni]] 1.
==Makala ya 30,000==
Nimejitahidi lakini nahisi aliyepita ni Riccardo mnamo tar. 21. Septemba 2015, sina uhakika makala gani. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:32, 23 Septemba 2015 (UTC)
:Ni [[Historia ya Madagaska]] tarehe 22 Septemba 2015. Hongera kwa wote! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:55, 24 Septemba 2015 (UTC)
==Makala ya 29,000==
*13 Juni 2015, makala ya 29,000 ni [[Pembe kuu]] (pembe ya 180°, isiyoonekana kama pembe inafanana na mstari wa kawaida...)
==Warsha ya Wikipedia Morogoro==
Tarehe 21 Machi 2015, wahariri wafuatao walitoa warsha ya kuandika na kuhariri makala za wikipedia ya Kiswahili kwa walimu na wanafunzi wa [http://www.alfagems.com/ shule ya sekondari ya AlfaGems] mjini [[Morogoro (mji)|Morogoro]]: [[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]], [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]], [[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] na [[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] (bahati mbaya, [[Mtumiaji:Muddyb Blast Producer|Muddyb Blast Producer]] alibanwa kazini na kutoweza kuhudhuria). Tumefurahi kuona mafanikio mema!
<gallery>
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 1.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 1
Morogoro 2015 Warsha ya wanafunzi 2.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 2
Morogoro 2015 warsha ya wanafunzi 3.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 3
Warsha wanafunzi.jpg|Warsha ya Wikipedia ya Kiswahili Morogoro 2015 Machi - Warsha ya wanafunzi 4
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - Wikipedia imefika!.jpg|Wikipedia ya Kiswahili imefika Alfagems SS
Warsha ya walimu.jpg|Walimu walikuwa na warsha yao pia
Alfagems Shule ya Sekondari Morogoro - wikipedia imefika hadi chumba hiki.jpg|Hapo iko chumba cha kompyuta ambako wanafunzi zaidi ya 60 waliangalia nafasi zilizopo kwenye wikipedia ya Kiswahili
</gallery>
==Makala ya 28,000==
*25 Januari 2015, makala ya 28,000 ni [[Kipaici]], lugha ya [[Kaledonia Mpya]].
==Makala ya 22,000==
*28 Oktoba 2011 imefika makala 22,000!
==Makala ya 20,000==
[[Picha:Wikipedia 20000 articles.png|80px|right]]
* 21 Agosti 2010: mji wa [[Dordrecht]] ;-)
==Makala ya 15,000==
* 25 Desemba 2009 (UTC) :-)
'''Mlimba''' ni tarafa iliyopo katika wilaya ya Kilombero katika Mkoa wa Morogoro. Ipo umbali wa kilomita 150 kutoka Ifakara mjini. Tarafa ya Mlimba ina ujumla wa kata 6. Kata ya Tanganyika Masagati ni kata maarufu sana katika tarafa ya Mlimba. Ipo umbali usiopungua kilomita 100 kutoka Mlimba mjini. Tarafa hii inakabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo ya usafiri, utumishi wa umma {walimu,madaktari n.k}. Wakazi wa mlimba wanategemea zaidi usafiri wa TAZARA. Kata ya Mlimba ina shule za msingi zisizopungua 10 na sekondari 3.Tarafa ya Mlimba ina shule zaidi ya 30 za msingi na 8 za sekondari. Moja kati ya shule maarufu ni shule ya msingi MAKIRIKA na shule ya sekondari MLIMBA GIRLS. Shule ya msingi MAKIRIKA ipo umbali wa kilomita 10 kutoka Mlimba mjini. Shule hii ipo katika kijiji cha Makirika. Ina walimu 4 {Donatus Dacky, Abel Michael, John Justine na Selemani Mkonje},shule ina darasa la awali hadi la saba! Pia katika tarafa ya mlimba utakutana na mgodi wa umeme{KIHANSI}... imehaririwa na selemani mkonje
==Maendeleo ya makala za kata nchini [[Tanzania]]==
Makala za kata zinafuata majina ya kata yaliyotajwa katika taarifa ya sensa 2002. Kata zilizoanzishwa baadaye kwa kawaida hazipo bado. Kata zote za Tanzania zimepata makala fupi ya mbegu; mengine yameshapanushwa. Ilikuwa kazi kubwa na ya maana!
Kazi inayobaki ni kufuatilia habari za wilaya mpya zilizoanzishwa mwaka 2006/2007 kwa sababu orodha ya kata iliyopatikana ilikuwa ya sensa ya mwaka 2002. Pale tulipotambua wilaya mpya tulianza makala ya wilaya pia kigezo cha kata zake isipokuwa bado bila majina. Kata ya wilaya mpya bado zinaorodheshwa chini ya chini ya wilaya mama. Mifano ya wilaya mpya ni [[Wilaya ya Misenyi]], [[Wilaya ya Chato]], [[Wilaya ya Rorya]].
==Mikoa ya Tanzania ambayo kata zote zimeanzishwa makala ya mbegu==
[[Mkoa wa Arusha|Arusha]] | [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] | [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]] | [[Mkoa wa Iringa|Iringa]] | [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] | [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] | [[Mkoa wa Kigoma|Kigoma]] | [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] | [[Mkoa wa Mara|Mara]] | [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] | [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]] | [[Mkoa wa Manyara|Manyara]] | [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]] | [[Mkoa wa Mtwara|Mtwara]] | [[Mkoa wa Pemba Kaskazini |Pemba Kaskazini]] | [[Mkoa wa Pemba Kusini|Pemba Kusini]] | [[Mkoa wa Pwani|Pwani]] | [[Mkoa wa Rukwa|Rukwa]] | [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]] | [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] | [[Mkoa wa Singida|Singida]] | [[Mkoa wa Tabora|Tabora]] | [[Mkoa wa Tanga|Tanga]] | [[Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi|Unguja Mjini Magharibi]] | [[Mkoa wa Unguja Kaskazini|Unguja Kaskazini]] | [[Mkoa wa Unguja Kusini|Unguja Kusini]]
==Wikipedia yetu katika orodha ya [[meta:List of Wikipedias by edits per article]]==
[[Meta:List_of_Wikipedias_by_sample_of_articles]] inalinganisha wikipedia za lugha mbalimbali kwenye msingi wa orodha la [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za kamusi elezo]].
Katika ulinganisho wa Aprili 2009 makala zifuatazo ziliangaliwa hasa kuwa ama zinekosekana kabisa au ni fupi mno au ziko na ukubwa karibu na ngazi inayofuata (kati ya ndogo-wastani-kubwa na kila ngazi inapewa uzito tofauti katika ulinganisho).
Majina yafuatayo ni katika wikipedia ya Kiingereza.
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Song Song] ([[Wimbo|wimbo - alama 463 pekee]])
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Crusades Crusades] - [[vita za misalaba]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Communism Communism] - [[ukomunisti]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Culture Culture] - [[utamaduni]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Big Bang Big Bang] - [[mlipuko mkuu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Evolution Evolution] - [[mageuko ya spishi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Democracy Democracy] - [[demokrasia]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Horse Horse] - [[farasi]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Basketball Basketball] - [[mpira wa kikapu]]
#[http://en.wikipedia.org/wiki/en:Fascism Fashism] - [[ufashisti]]
--'''[[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]])''' 17:21, 9 Aprili 2009 (UTC)
== Mradi mpya: [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]]==
Baada ya kutunga makala za mbegu kwa kila kata ya [[Tanzania]] tunalenga sasa kufanya kazi hiyohiyo kwa kata zote za Kenya. Ukurasa [[Wilaya, tarafa na kata za Kenya]] umeundwa kwa muda kwa kurahisisha utekelezaji wa mradi huu. Orodha hii inafikiwa pia kwa kifupi[[ kata Kenya]].
== Swahili Wikipedia now the largest African language Wikipedia ==
Apologies for the English, I don't speak Swahili, but I thought I'd let everyone know that Swahili has just passed Afrikaans as the largest African language Wikipedia. Congratulations! See [http://www.greenman.co.za/blog/?p=614 greenman.co.za] for more information. '''[[Mtumiaji:Greenman|Greenman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Greenman|majadiliano]])''' 22:12, 3 Agosti 2009 (UTC)
::It was time! - Don't you think so? - Congratulations!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 13:48, 10 Septemba 2018 (UTC)
==The Nairobi Hospital==
Apologies for the English, my Kiswahili are not that good. I've been writting an article (at the el:Wikipedia) about the "[[:el:The Nairobi Hospital]]" and I do not have any pictures to support it. Can somebody from the Nairobi area, take several pictures of "The Nairobi Hospital" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 20:58, 8 Septemba 2018 (UTC)<br/>
P.S. I am particullarly interested of the "Galanos Block".<br/> --'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:05, 14 Septemba 2018 (UTC)
==Galanos sulphur baths==
Additive to The Nairobi Hospital request, I have another one, the following: I have written the [[:el:Galanos sulphur baths]] at the Greek Wikipedia and do not have any pictures to accompany it. Can somebody from the [[:el:Tanga Region]], take several photographs of the "Galanos thermal springs" and upload them at Wikimedia Commons?<br/>
Asante sana!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 16:01, 14 Septemba 2018 (UTC)
:Thanks for your contribution. We are a small group, at the moment I am not aware of anybody around Tanga. Lets see if we find someone. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 19 Septemba 2018 (UTC)
::Dear '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]]''', thank you very much for your response, I'll be waiting and hoping.<br/>
::With kindest regards!--'''[[Mtumiaji:Aristo Class|Aristo Class]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aristo Class|majadiliano]])''' 07:48, 22 Septemba 2018 (UTC)
== Afrocuration ==
Hi all. I will be adding 4 articles relating to the Afrocuration project to add articles relating to Covid-19. Namely, [[Utambuzi|Medical Diagnosis]], [[Ugonjwa unaopitishwa hewani|Airborne Disease]], Hand Washing, [[Athari ya pandemia ya Korona 2019-20 kwa mazingira|Environmental impact]]. Kind regards '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 15:01, 6 Juni 2020 (UTC)
: {{ping|Riccardo Riccioni}} can I upload the other 2 articles? '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:17, 8 Juni 2020 (UTC)
::If you used computer translation, it's better if you don't upload them. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:51, 9 Juni 2020 (UTC)
::: The 2 pages I created was made through an Afrocuration project done by translators that do speak Kiswahili and was not made through the content creation tool. Unfortunately I cannot gauge the quality of these articles. Were the other 2 of such poor quality that I shouldn't upload them? Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 11:09, 9 Juni 2020 (UTC)
:::: Truly, the first one was very poor, the second one was a little better. Many times Swahili speakers are not so good translators! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:36, 9 Juni 2020 (UTC)
::::: Thanks a lot for your honest feedback. I will ask that the other 2 articles first be proofread. If anyone is keen to help the Google docs are available [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# here] and [https://docs.google.com/document/d/1huDcJvyIdWk3QT1EDmOUNjfXIGRMuzr79n0S9z4bJls/edit# here]. Thanks '''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 16:02, 9 Juni 2020 (UTC)
:::::: Both articles need many corrections, though they are understandable. Let you upload them, then we will try to work on them. Thank you for your care and humble attitude. Peace to you! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:37, 10 Juni 2020 (UTC)
:::::::::::: Asante sana kwa maoni yako ya kweli. Nitauliza kwamba nakala zingine 2 kwanza zihakikiwe. Ikiwa mtu yeyote ana hamu ya kusaidia hati za Google zinapatikana [https://docs.google.com/document/d/1QUovtBQax-5hrTerPVDG6mg_0t_r0CkyrE-YrkotB1o/edit# hapa] na
'''[[Mtumiaji:Dumbassman|Dumbassman]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Dumbassman|majadiliano]])''' 08:47, 13 Juni 2020 (UTC)
==Wikipedia pages Wanting Photos #WPWP==
Habari wachangiaji, katika mradi wa WPWP unaoendelea hivi sasa, kuna fujo nyingi za wachangiaji wakati wa kuongeza picha, kama kuacha maneno ya lugha nyingine katika maelezo juu ya picha. Hivyo ni ombi langu kwa wachangiaji angalau kupitia hizi makala na kufanya masahihisho. [[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Maalum:Michango/Tarih&offset=&limit=500&target=Tarih|Angalia kiungo hiki]] '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 06:55, 10 Agosti 2020 (UTC)
:Ni kweli. Kwa tamaa ya tuzo wengine wanaongeza picha yoyote na maandishi yasiyo sahihi. Sisi hatuna muda wa kupitia kazi hizo zote. Hata hivyo kwa jumla faida fulani ipo. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:01, 10 Agosti 2020 (UTC)
==Have you Voted?==
Hi all,
There are 16 eligible voters in Swahili Wikipedia for the ongoing [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021|Wikimedia Board of Trustees elections]]. But only one 3 people have voted so far.
The Wikimedia Foundation Board of Trustees election is still ongoing. Votes will be accepted until 23:59 31 August 2021 (UTC).
[https://www.youtube.com/watch?v=6wgyP3fNI4M 2021 Wikimedia Board election video]:Please watch and share this widely so we can motivate more participation from all eligible voters!
Please visit [[:meta:Wikimedia Foundation Board Elections 2021|here]] to cast your vote. You can also read more about the candidates [[:meta:Wikimedia Foundation elections/2021/Candidates|here]]
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:07, 26 Agosti 2021 (UTC)
== 2021 Wikimedia Board of Trustees Election Result ==
Thank you to everyone who participated in the 2021 Board election. The Elections Committee has reviewed the votes of the 2021 Wikimedia Foundation Board of Trustees election, organized to select four new trustees. A record 6,873 people from across 214 projects cast their valid votes. The following four candidates received the most support:
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Rosie_Stephenson-Goodknight Rosie Stephenson-Goodknight|Rosie Stephenson-Goodknight]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Victoria_Doronina Victoria Doronina|Victoria Doronina]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Dariusz_Jemielniak Dariusz Jemielniak|Dariusz Jemielniak]]
*[[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/Candidates/Lorenzo_Losa Lorenzo Losa|Lorenzo Losa]]
While these candidates have been ranked through the community vote, they are not yet appointed to the Board of Trustees. They still need to pass a successful background check and meet the qualifications outlined in the Bylaws. The Board has set a tentative date to appoint new trustees at the end of this month.
Read the full announcement [[:meta:Wikimedia_Foundation_elections/2021/2021-09-07/2021_Election_Results|here]].
Best, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:49, 8 Septemba 2021 (UTC)
==Campaigns Ambassador Contractor Opening For African French, Arabic And Swahili Speakers==
Dear Swahili Wikipedia Community,
The [[m:Campaigns|Campaigns Team]] at the Wikimedia Foundation is excited to announce that it seeks a '''Campaigns Ambassador''' with experience working in the French, Arabic or Swahili Wikipedia communities in Africa.
The campaign ambassador will support our product and programs team in providing support and advising to campaign organizers and improve the campaign organizing journey. The Campaigns Ambassador will be supporting the rollout of tools and features to support campaign organizers, in the communities we are building for.
Kindly confirm further details and requirements about the role in the [https://docs.google.com/document/d/1Ddp1mWyzZXtPppQl9ovzjgxBBClmL4EGFc7_58kN1is/edit '''attached job description''']. All interested applicants should submit a copy of their curriculum vitae (CV) and cover letter via email to '''fnartey@Wikimedia.org''' and copy '''ifried@wikimedia.org''' by 28th November 2021.
If you have any further questions about the role kindly contact '''jjonsson@wikimedia.org'''.
Thank you.
Best, <br>
Imelda
==Voting closes soon on the revised Enforcement Guidelines for the Universal Code of Conduct==
: ''[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|You can find this message translated into additional languages on Meta-wiki.]]''
: [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_3|More languages]] ''•'' [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FRevised+enforcement+guidelines%2FAnnouncement%2FVoting+3&language=&action=page&filter= Please help translate to your language]
:
Hello all,
[[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voting|Voting]] closes on the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines|revised Universal Code of Conduct Enforcement Guidelines]] at '''23.59 UTC''' today, '''January 31, 2023'''. Please visit the [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Voter_information|voter information page on Meta-wiki]] for voter eligibility information and details on how to vote. More information on the Enforcement Guidelines and the voting process is available in this [[metawiki:Special:MyLanguage/Universal_Code_of_Conduct/Revised_enforcement_guidelines/Announcement/Voting_1|previous message]].
On behalf of the UCoC Project Team,
'''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 10:14, 31 Januari 2023 (UTC)
0eqd1p8ml98d2aglgyd1sazgpepmv7q
Kupanda kwa halijoto duniani
0
19262
1584608
1580609
2026-08-06T03:53:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584608
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Temperature_reconstruction_last_two_millennia-sw.svg|thumb|350px|Grafu hii inaonyesha tofauti za halijoto za dunia za kihistoria na wastani wa miaka 1850-1900. Eneo lililotiwa rangi linawakilisha nafasi ya 68% ya kuamini ya makadirio kutoka kwa tafiti zilizotumiwa kwa makadirio haya.]]
''' Kupanda kwa halijoto duniani''' ([[ing.]] '''global warming''') ni mchakato wa [[mabadiliko ya tabianchi]] yaliyotambuliwa na [[wataalamu]] tangu miaka kadhaa.
Mchakato huo ulianza pamoja na [[usambazaji]] wa [[viwanda]] [[duniani]]. Unaonekana kwa kulinganisha vipimo vya [[halijoto]] vinavyopatikana tangu miaka 150. Kupanda huku kunaleta mabadiliko ya [[hali ya hewa]] yaliyoanza tayari kuathiri [[maisha]] ya [[watu]] na [[uhai]] kwa ujumla.
Kuna [[hofu]] ya kwamba mabadiliko hayo yataleta [[hatari]] kubwa kwa [[jamii]].
Kati ya [[wanasayansi]] kulikuwa na majadiliano kama [[sababu]] za mabadiliko hayo ni [[shughuli]] za [[binadamu]] tu au kama kuna [[uasilia|sababu asilia]]. Siku hizi wataalamu karibu wote hukubaliana ya kwamba sababu kuu ni kuchoma kwa [[makaa]] na [[mafuta]] katika [[viwanda]], ma[[gari]] na vituo vya [[umeme]] kunakopuliza [[Hewa|hewani]] [[gesijoto]] kama [[dioksidi kabonia]].
== Vipimo na data ==
Duniani kuna [[upimaji]] wa ki[[sayansi]] wa [[halijoto]] tangu [[mwaka]] [[1860]]. Kabla ya hapo kuna [[kumbukumbu]] ya hali ya hewa katika [[karne]] zilizopita kutoka mahali mbalimbali ambazo hazikusanifishwa wakati ule.
Leo hii [[wanasayansi]] wanatumia vipimo na [[taarifa]] za kale wakipiga ma[[kadirio]] juu ya hali ya hewa katika [[historia]].
Hapo wanatumia pia [[mbinu]] kama kulinganisha miviringo kwenye ma[[shina]] ya [[miti]] inayoonyesha miaka yenye [[mvua]] nyingi au kidogo au wanapima [[kiwango]] cha dioksidi kabonia kwenye [[barafu]] ya chini nchani yenye [[umri]] wa miaka 10,000 na zaidi.
Makadirio ya hali ya hewa hutofautiana, lakini kwa jumla kuna [[picha]] juu ya miaka 1,000 iliyopita. Watalaamu wanakubaliana ya kwamba mnamo mwaka [[1000]] kulikuwa na kipindi cha [[joto]] kiasi, tena kipindi cha [[baridi]] kiasi kuanzia mnamo mwaka [[1600]].
Lakini hakuna [[hakika]] bado juu ya [[athira]] duniani kwa sababu sehemu kubwa ya [[data]] ni kutoka upande wa [[kaskazini]] ya dunia.
Vipimo vya kisayansi vinavyopatikana vinaonyesha ya kwamba halijoto ya wastani duniani imepanda [[sentigredi]] 0.7 kati ya [[1906]] na [[2005]]. Hii si kiwango kidogo; wakati wa [[zama za barafu]] kubwa miaka 100,000 iliyopita halijoto ilikuwa tu 6 °C chini ya wastani ya leo na hii ilitosha kufunika sehemu kubwa za [[Ulaya]], [[Asia]] na [[Amerika ya Kaskazini]] kwa mabapa manene ya [[barafu]].
[[Dalili]] zote zinadokeza ya kwamba kupanda kwa halijoto kuliharakishwa tangu mwaka [[1970]] na kunaelekea kupanda zaidi.
== Sababu za kuongezeka kwa halijoto ==
Katika majadiliano kuhusu asili ya kupanda kwa halijoto wataalamu walijadiliana sababu mbalimbali zilizotajwa. Kuna idadi ya sababu za kiasili ambazo zilizowahi kuathiri tabianchi ya Dunia katika kistoria ya miaka mamilioni kama vile mabadiliko katika kiwango cha [[mnururisho]] wa [[Jua]] unaofika duniani au milipuko ya volkeno. Lakini ilionekana sababu hizi zote hazikuweza kuathiri tabianchi kiasi cha kueleza mabadiliko yanayopimwa.
Siku hizi karibu wataalamu wote hukubaliana kwamba sababu ni kuongezeka kwa [[gesi]] kama [[dioksidi kabonia]] hewani kutokana na shughuli za binadamu hasa kuchoma [[makaa]] na [[mafuta ya petroli]] tangu mwanzo wa [[mapinduzi ya viwandani]] katika [[karne ya 19]].<ref>https://science2017.globalchange.gov/chapter/executive-summary/ {{Wayback|url=https://science2017.globalchange.gov/chapter/executive-summary/ |date=20190507113313 }} Highlights of the Findings of the U.S. Global Change Research Program Climate Science Special Report, tovuti ya '''Wuebbles''', D.J., D.W. Fahey, K.A. Hibbard, B. DeAngelo, S. Doherty, K. Hayhoe, R. Horton, J.P. Kossin, P.C. Taylor, A.M. Waple, and C.P. Weaver, 2017: Executive summary. In: ''Climate Science Special Report: Fourth National Climate Assessment, Volume I'' [Wuebbles, D.J., D.W. Fahey, K.A. Hibbard, D.J. Dokken, B.C. Stewart, and T.K. Maycock (eds.)]. U.S. Global Change Research Program, Washington, DC, USA, pp. 12-34, doi: 10.7930/J0DJ5CTG.</ref>
== Matokeo yanayotazamiwa ==
Wataalamu wanaonya ya kwamba kupanda kwa halijoto kunaweza kuleta mabadiliko kama yafuatayo:
* kuongezeka kwa halijoto ya [[angahewa]] kutaongeza pia halijoto ya [[bahari]] na kusababisha [[uvukizaji]] mkubwa utakaoleta ma[[wingu]] na [[mvua]] za nyongeza duniani
* [[mikondo ya bahari]] itabadilika na kubadilisha hali ya hewa katika nchi nyingi
* sehemu kadhaa zenye [[jangwa]] zitapokea mvua lakini maeneo mengine yatakosa mvua, hivyo kuleta ma[[tatizo]] kwa [[kilimo]] na [[njaa]] kwa watu
* barafu kwenye [[ncha za dunia]] itaendelea kuyeyuka. Hii itasababisha kupanda kwa [[uwiano wa bahari]], kuleta [[mafuriko]] kwenye [[pwani]] za dunia na kuhatarisha [[makazi]] ya watu karibu na bahari, hasa [[miji]] ya [[bandari]] na [[nchi za visiwani]]: nchi kadhaa kama [[Maldivi]] zitazama baharini na kupotea kabisa
* kwa jumla [[upepo]] na [[tufani]] zitaongezeka na kuwa kali zaidi
* [[magonjwa]] kama [[malaria]] yataongezeka kwa sababu [[mbu]] wanaopitisha [[ugonjwa]] watapata [[nafasi]] mpya katika sehemu zilizokuwa baridi mno kwao
==Juhudi za kimataifa==
Kutokana na hatari zinazotazamiwa na karibu wataalamu wote wa [[elimu]] ya tabianchi duniani [[Umoja wa Mataifa]] ulifanya jitihada za kuanzisha hatua za kisiasa za kupambana na hatari hizi. Tokeo lake ni [[Kongamano la Mfumo wa UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi]] (''[[:en:United Nations Framework Convention on Climate Change]]'') ya mwaka [[1993]] ambayo nchi 194 zilijiunga nayo.
Nchi wanachama ziliendelea kupatana hatua mbalimbali katika [[Itifaki ya Kyoto]] na [[Mapatano ya Paris kuhusu Tabianchi]] ya mwaka [[2015]] ambayo nchi wanachama ziliahidi kuchukua hatua maalumu ya kupakana kupanda kwa halijoto kwa kiwango chini ya angalau 2[[°C]] kwa wastani au hata 1.5°C ikiwezekana.
== Tazama pia ==
* [[Madhara ya ongezeko la joto Duniani]]
== Viungo vya nje ==
=== Vipimo na data ===
* [http://earth.wikia.com/wiki/Main_Page Global Warming Wikia]
* [http://www.cmdl.noaa.gov/ccgg/iadv/ NOAA CMDL CCGG - Interactive Atmospheric Data Visualization] NOAA CO<sub>2</sub> data
* [http://www.grida.no/climate/vital/13.htm UNEP - The present carbon cycle - Climate Change] {{Wayback|url=http://www.grida.no/climate/vital/13.htm |date=20080915231431 }} carbon levels and flows
* [http://www.cru.uea.ac.uk/cru/data/temperature/ Temperature data] Climatic Research Unit, University of East Anglia, Norwich, UK. Philip D. Jones and other.
* [http://www.met-office.gov.uk/research/hadleycentre/obsdata/globaltemperature.html Hadley Centre: Global temperature data] {{Wayback|url=http://www.met-office.gov.uk/research/hadleycentre/obsdata/globaltemperature.html |date=20051104005338 }}
==== Suala la dioksidi kabonia ====
* [http://www.eia.doe.gov/emeu/iea/res.html International Energy Annual: Reserves]
* [http://www.iea.org/bookshop/add.aspx?id=144 IEA Publications Bookshop - Key World Energy Statistics] {{Wayback|url=http://www.iea.org/bookshop/add.aspx?id=144 |date=20060306190844 }}
* [http://www.eia.doe.gov/emeu/iea/carbon.html International Energy Annual 2002: Carbon Dioxide Emissions]
=== Tovuti za kisayansi ===
* [http://wwwghcc.msfc.nasa.gov/ghcc_home.html NASA's Global Hydrology and Climate Center] {{Wayback|url=http://wwwghcc.msfc.nasa.gov/ghcc_home.html |date=20061214054334 }}
* [http://www.giss.nasa.gov/research/observe/surftemp/ NASA's Goddard Institute for Space Studies] {{Wayback|url=http://www.giss.nasa.gov/research/observe/surftemp/ |date=20050105010643 }} (GISS) — Global Temperature Trends.
* [http://www.giss.nasa.gov/research/paleo/ NASA's GISS paleoclimate site] {{Wayback|url=http://www.giss.nasa.gov/research/paleo/ |date=20100714014633 }}
* [http://lwf.ncdc.noaa.gov/oa/climate/globalwarming.html National Oceanic and Atmospheric Administration] {{Wayback|url=http://lwf.ncdc.noaa.gov/oa/climate/globalwarming.html |date=20090119143902 }} — [[NOAA]], [[United States Department of Commerce]] — Global Warming FAQ
* [http://www.ngdc.noaa.gov/paleo/globalwarming/paleostory.html NOAA's paleoclimate site]
* [http://web.mit.edu/globalchange/www/ MIT Joint Program on the Science and Policy of Global Change] {{Wayback|url=http://web.mit.edu/globalchange/www/ |date=20081225170420 }}
* [http://www.realclimate.org Real climate] a blog where scientists discuss the science of global warming
=== Habari za ziada ===
* [http://www.newscientist.com/hottopics/climate/ New Scientist: Climate Change] — Latest news, articles and FAQ on climate change from New Scientist magazine.
* [http://www.aip.org/history/climate Discovery of Global Warming] {{Wayback|url=http://www.aip.org/history/climate |date=20090213161322 }} — An extensive introduction to the topic and the history of its discovery
* [http://www.msc.ec.gc.ca/education/scienceofclimatechange/ Science of Climate Change] {{Wayback|url=http://www.msc.ec.gc.ca/education/scienceofclimatechange/ |date=20060628031932 }} — [http://www.msc.ec.gc.ca/ Meteorological Service of Canada] {{Wayback|url=http://www.msc.ec.gc.ca/ |date=20051125084514 }}, a guide to understanding the science behind climate change with a thorough [http://www.msc.ec.gc.ca/education/scienceofclimatechange/understanding/FAQ/index_e.html FAQ section] {{Wayback|url=http://www.msc.ec.gc.ca/education/scienceofclimatechange/understanding/FAQ/index_e.html |date=20060615141646 }}.
* [http://www.abelard.org/briefings/global_warming.htm Global warming - a briefing document] {{Wayback|url=http://www.abelard.org/briefings/global_warming.htm |date=20090106110154 }}, summarising current arguments concerning global warming. They present various points of view and some of the basic problems in following the science.
* [http://www.acoolerclimate.com How To Help Prevent Global Warming Articles And Newsletter] {{Wayback|url=http://www.acoolerclimate.com/ |date=20210916212729 }}
* [http://www.yerbilimleri.com/kuresel-isinma-gercekler-ve-belirsizlikler Karaca, M. Şen, Ö.L. 2007. Küresel Isınma: Gerçekler ve Belirsizlikler, Avrasya Yer Bilimleri Enstitüsü, İstanbul Teknik Üniversitesi] {{Wayback|url=http://www.yerbilimleri.com/kuresel-isinma-gercekler-ve-belirsizlikler |date=20090615133041 }}
* http://www.sunnyvalecool.org/ {{Wayback|url=http://www.sunnyvalecool.org/ |date=20090114161450 }} We are a team of Sunnyvale, California, residents and friends.
=== Mengine ===
* [http://www.autobahn.mb.ca/~het/globalwarming.html A large compendium of links to sites with information on global warming] {{Wayback|url=http://www.autobahn.mb.ca/~het/globalwarming.html |date=20051204091402 }}
* [http://www.istl.org/01-fall/internet.html Science and Technology Librarianship: Global Warming and Climate Change Science] — Extensive commented list of Internet resources — Science and Technology Sources on the Internet.
* [http://www.activistmagazine.com/index.php?option=content&task=view&id=120 Activist Magazine: Carbon Activism for Beginners] {{Wayback|url=http://www.activistmagazine.com/index.php?option=content&task=view&id=120 |date=20090113221218 }}
* [http://www.activistmagazine.com/index.php?option=content&task=category§ionid=9&id=230&Itemid=80 Stop Climate Chaos ~ ACT for the Earth] {{Wayback|url=http://www.activistmagazine.com/index.php?option=content&task=category§ionid=9&id=230&Itemid=80 |date=20090113213429 }}
[[Jamii:Metorolojia]]
[[Jamii:Madhara ya mazingira]]
[[Jamii:Ekolojia]]
2ddmbbp7kp4s0kavsp1ymoj2qm0aku5
Wikipedia ya Kiswahili
0
20634
1584648
1579481
2026-08-06T08:23:43Z
Riccardo Riccioni
452
1584648
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Website
| jina = [[Picha:Wikipedia-favicon.png|16px|Favicon of Wikipedia]] Wikipedia ya Kiswahili
| screenshot =
| logo = [[Picha:Wikipedia-logo-v2-sw.svg|140px]]
| maelezo ya picha = Logo ya Wikipedia ya Kiswahili
| kisara = http://sw.wikipedia.org/
| kibiashara = Hapana
| mahala = [[Miami, Florida]]
| aina = [[Kamusi elezo|Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti]]
| lugha = [[Kiswahili]]
| watumiaji = {{NUMBEROFUSERS}} watumiaji, {{NUMBEROFADMINS}} wakabidhi tarehe {{Date}}
| kujisajiri = Hiari
| mmiliki = [[Wikimedia Foundation]]
| mwanzo = {{start date and age|df=yes|2003|3|8}}
}}
'''Wikipedia ya Kiswahili''' (au '''Wikipedia kwa Kiswahili''') ni toleo la [[kamusi elezo]] ya [[Wikipedia]] kwa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]. Ilianzishwa [[tarehe]] [[8 Machi]] [[2003]], na tarehe [[{{CURRENTDAY}} {{CURRENTMONTHNAME}}]], [[{{CURRENTYEAR}}]], imefikia makala zipatazo '''{{NUMBEROFARTICLES}}''', [[idadi]] inayoifanya iwe Wikipedia ya 71 (kati ya 348 zilizo hai) kwa [[hesabu]] ya makala zote.
Mwaka [[2019]] Wikipedia ya Kiswahili iliangaliwa mara 65,856 kwa siku, [[mwaka]] [[2020]] mara 73,056 na mwaka 2021 (Januari-Oktoba) 83,595 ambayo inakaribia kuwa sawa na mara 3,500 kwa [[saa]]. Mwaka huo kurasa zilizotazamwa zilikuwa 70,419,110, sawa na 192,929 kwa siku na 8,038 kwa saa. Idadi hiyo imezidi kuongezeka kwa kuwa kwenye mwezi Mei 2022 kurasa zetu zilifunguliwa mara 240,641 kwa siku na mnamo Juni 2024 mara 275,415 kwa siku.
Karibu [[nusu]] ya wasomaji wetu wako [[Tanzania]], ingawa [[asilimia]] hucheza [[Mwezi (wakati)|mwezi]] kwa mwezi. Kwa mfano, mnamo Juni 2022 kurasa zetu zilifunguliwa kutoka Tanzania 40%, [[Kenya]] 17%, [[Marekani]] 13%, [[Uhindi]] 5%, [[Urusi]] na [[Nigeria]] 4%, nchi zote nyingine 17%.
Wikipedia ya Kiswahili ilikuwa inafunguliwa na 0,01% ya wanaofungua Wikipedia duniani kote mwezi Septemba 2018, ikiwa katika nafasi ya 65 kati ya lugha zote. Takwimu husika zinacheza kirahisi kama, kwa mfano, kutokana na habari zinazotangazwa na [[vyombo vya habari]], watu wengi wanatafuta habari zaidi kwenye [[intaneti]], maana Waswahili walioko Marekani si wengi sana, lakini wana urahisi wa kutumia intaneti, hivyo wanaweza wakawazidi watumiaji wa Tanzania ambako watu wengi bado hawana njia ya kutumia mtandao.
Mwezi huohuo, waliofungua Wikipedia nchini Kenya walikuwa 0,10% za wasomaji wote duniani; kumbe nchini Tanzania waliofungua Wikipedia walikuwa 0,04% tu za wasomaji wote duniani.
Mnamo Januari mwaka [[2021]] kati ya waliofungua [[Wikipedia]] nchini [[Tanzania]], 14% waliifungua kwa Kiswahili. Kumbe nchini Kenya waliofungua Wikipedia ya Kiswahili walikuwa 4% tu, lakini kuna ongezeko kubwa, kwa sababu mnamo Septemba 2018, waliofungua Wikipedia nchini Kenya walikuwa 0,08% za wasomaji wote duniani; kati yao waliofungua Wikipedia ya Kiswahili walikuwa 1.7%. Kumbe nchini Tanzania waliofungua Wikipedia walikuwa 0,03% za wasomaji wote duniani, lakini kati yao 11.2% waliifungua kwa Kiswahili, asilimia inayozidi kukua kadiri makala zinavyoongezeka na kuwa bora zaidi.
== Maendeleo ==
[[Picha:Mwanzo 1.JPG|thumb|250px|Ukurasa wa "Mwanzo" ulivyokuwa mwaka 2004.]]
Mnamo [[Julai]] [[2006]] Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 1,000 na tarehe [[14 Septemba]] mwaka huohuo ilifikia makala ya 2,000.
Mnamo Julai [[2007]] ilifikisha makala 5,000 na tarehe [[26 Septemba]] 2007, 6,000.
Tarehe [[21 Aprili]] [[2008]], Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 7,000 na tarehe [[19 Desemba]] 2008 ilifikisha makala 8,000, hasa baada ya kuanzishwa makala nyingi za mbegu za [[kata]] za [[Tanzania]].
Makala za mbegu za kata za Tanzania ziliendelea kuisukuma Wikipedia ya Kiswahili hadi kufikia kiwango cha makala 9,000 tarehe [[2 Februari]] [[2009]] na makala 10,000 tarehe [[21 Februari]] 2009.
Ilipofika tarehe [[9 Aprili]] 2009, Wikipedia ya Kiswahili ilifikia kiwango cha makala 11,000 na tarehe [[25 Aprili]] 2009 ilifikia makala 12,000.
Mnamo tarehe [[20 Juni]] [[2009]], Wikipedia ya Kiswahili ilibadilisha ukurasa wake wa mwanzo katika sura mpya.
Mnamo tarehe [[17 Agosti]] 2009 ilifikia makala zipatazo 13,000, na kuendelea kuifanya iwe Wikipedia ya kwanza kwa ukubwa katika Afrika. Haikushia hapo: tarehe [[11 Septemba]] 2009, Wikipedia hii ilifikia makala 14,000 na tarehe [[25 Desemba]] 2009 makala 15,000.
[[Picha:Wikipedia 20000 articles.png|80px|right]]
Tarehe [[31 Mei]] [[2010]] ilifikia makala 18,000 na tarehe [[21 Agosti]] mwaka huohuo makala 20,000.
Tarehe [[28 Oktoba]] [[2011]] ilifikia makala 22,000.
Tarehe [[15 Februari]] [[2014]] ilifikia makala 26,000 na tarehe [[28 Oktoba]] mwaka huohuo makala 27,000.
Tarehe [[25 Januari]] [[2015]] ilivuka idadi ya makala 28,000, tarehe [[13 Juni]] 2015 ilifikia makala 29,000, tarehe [[22 Septemba]] mwaka huohuo ilifikia makala 30,000 na kuendelea tena.
Upande wa maharirio, tarehe [[10 Oktoba]] 2015 yalifikia idadi ya [[milioni]] 1.
Tarehe [[10 Novemba]] mwaka huohuo ilivuka makala 31,000 na kupiku [[Wikipedia ya Kiyoruba]].
Tarehe [[13 Februari]] [[2016]] ilivuka idadi ya makala 32,000 na kusonga mbele kiasi cha kufikia 33,000 tarehe [[18 Aprili]] 2016, halafu 34,000 tarehe [[20 Agosti]] 2016 kwa makala [[Kinung]].
Makala juu ya [[James Tate (mwandishi)|James Tate]] iliifanya itimize idadi ya 35,000 tarehe [[12 Januari]] [[2017]]. Mwaka huohuo, tarehe [[20 Mei]] 2017 idadi ya makala ilifikia 36,000, tarehe [[30 Julai]] ilifikia 37,000 kwa makala juu ya [[Ziwa Ambussel]], tarehe [[12 Oktoba]] 38,000 kwa makala juu ya [[mto Jubba]] na tarehe [[24 Desemba]] ilifikia 39,000.
Tarehe [[17 Machi]] [[2018]] mradi wa [[milima]] ulileta makala ya 40,000: [[Nidze]]. Mradi wa [[mito ya Tanzania]] ulisukuma Wikipedia hii kufikia idadi ya makala 41,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Ligunga]] tarehe [[2 Mei]] 2018 na 42,000 kwa ukurasa wa [[mto Jigulu]] tarehe [[21 Mei]].
Mradi wa [[mito ya Kenya]] ulifikisha idadi ya makala kuwa 43,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Kaptarit]] tarehe [[7 Julai]] 2018, kuwa 44,000 tarehe [[30 Julai]] kwa ukurasa juu ya [[mto Nyairoko]], kuwa 45,000 tarehe [[12 Agosti]] kwa ukurasa juu ya [[Mto Ilangi]], kuwa 46,000 tarehe [[15 Oktoba]] kwa ukurasa juu ya [[mto Wakavi]], tena kuwa 47,000 tarehe [[8 Novemba]] kwa ukurasa juu ya [[mto Olkimatare]].
Tarehe [[7 Februari]] [[2019]] mradi wa [[Orodha ya visiwa vya Tanzania|visiwa vya Tanzania]] ulivusha Wikipedia yetu katika elfu ya 48 kwa ukurasa juu ya [[kisiwa cha Musira]].
Tarehe [[23 Machi]] 2019 mradi wa [[Orodha ya mito ya Uganda|Mito ya Uganda]] ulivusha Wikipedia yetu katika elfu ya 49 kwa ukurasa juu ya [[mto Wangodugu]], tarehe [[3 Mei]] 2019 uliifikisha katika idadi ya 50,000 kwa ukurasa juu ya [[mto Ocere]], tarehe [[31 Mei]] uliivusha tena katika elfu ya 51 kwa makala juu ya [[mto Osia]] na tarehe 16 Julai uliifikisha idadi ya 52,000 kwa makala juu ya [[Mto Rwoho]].
Tarehe [[10 Agosti]] 2019 mradi kuhusu ugatuzi nchini [[Cote d'Ivoire]] ulizaa makala ya 53,000 kuhusu [[Tarafa ya Tiémélékro]]. Tunawashukuru wachangiaji wetu kutoka nchi hiyo ya [[Afrika Magharibi]].
Tarehe [[4 Oktoba]] 2019 mradi kuhusu [[watakatifu]] wa [[Afrika]] ulifikisha makala za Wikipedia hii katika idadi ya 54,000 kwa ukurasa juu ya [[wafiadini]] [[Suksesi na wenzake 17]], na tarehe [[13 Desemba]] 2019 [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika|mradi huohuo]] ulifikisha idadi ya makala hadi 55,000 kwa ukurasa juu ya [[Yusto askofu]].
Tarehe [[10 Machi]] [[2020]] mradi wa [[Makabila ya Uganda]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 56,000 kwa ukurasa juu ya [[Wakumam]].
Tarehe [[17 Machi]] 2020 mradi wa [[wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 57,000 kwa ukurasa juu ya [[Gilmar Rinaldi]]. Kurasa elfu kwa juma moja tu!
Tarehe [[3 Aprili]] 2020 mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 58,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Gihororo (Karuzi)]].
Tarehe [[22 Mei]] 2020 mradi wa [[miji]] ya [[Rwanda]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 59,000 kwa ukurasa juu ya [[Mukarange]].
Tarehe [[20 Agosti]] 2020 mradi wa [[mito]] ya [[Burundi]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 60,000 kwa ukurasa juu ya [[Mto Rubirizi (Muramvya)]].
Tarehe [[8 Novemba]] 2020 Wikipedia yetu ilitimiza tena idadi hiyo (baada ya makala 907 kufutwa na steward fulani kwa mkupuo mmoja). Ukurasa husika ni juu ya [[mtakatifu]] [[Andrea Avellino]].
Tarehe [[15 Machi]] [[2021]] tulifikia makala 61,000 kwa ukurasa juu ya [[mtakatifu]] [[Agrikola wa Chalon]].
Tarehe [[7 Mei]] 2021 mradi wa [[miji]] ya [[Italia]] ulifikisha Wikipedia yetu kwenye makala ya 62,000 kwa ukurasa juu ya [[San Giovanni Rotondo]].
Tarehe [[8 Juni]] 2021 mradi wa Africa Wiki Challenge Arusha kuhusu viwanja vya michezo ulifikisha Wikipedia yetu hadi kutunga makala ya 63,000 na kusonga mbele haraka.
Tarehe [[19 Juni]] 2021 Wikipedia hii ilivuka makala ya 64,000 kutokana na tendo la kurudisha makala 907 lililofanywa na steward aliyekuwa amezifuta kwa mkupuo mmoja mwaka 2020.
Tarehe [[5 Julai]] 2021 ilifikia idadi ya 65,000 kwa makala juu ya [[Mwea]] katika mradi wa [[kata]] za [[Kenya]] na tarehe [[14 Agosti]] 2021 ilifikia idadi ya 66,000 kwa makala juu ya [[Makutano]] katika mradi huohuo.
Tarehe [[9 Septemba]] 2021 ilifikia idadi ya 67,000 kwa makala juu ya [[Nairagie Ngare]] katika mradi wa vijiji vya Kenya.
Tarehe [[29 Oktoba]] 2021 ilifikia idadi ya 68,000 kwa makala juu ya [[Chambishi]] katika mradi wa miji ya [[Zambia]].
Tarehe [[11 Januari]] [[2022]] Wikipedia hii ilifikia idadi ya 69,000 kwa makala juu ya [[Maroua]] katika mradi wa miji ya [[Kamerun]], tarehe [[10 Machi]] 2022 ilifikia idadi ya 70,000 kwa makala juu ya [[Ilesa]] katika mradi wa miji ya [[Nigeria]], tarehe [[23 Aprili]] 2022 ilifikia idadi ya 71,000 kwa makala nyingi za mradi wa [[Jamii:Arusha Editathon Muziki|Arusha Editathon Muziki]]. Kazi kubwa ni kuziweka sawa.
Tarehe [[14 Mei]] 2022 ilifikia idadi ya 72,000, tarehe [[6 Juni]] 2022 ilifikia idadi ya 73,000 kwa makala juu ya [[Frenda]], mji wa [[Algeria]], tarehe [[15 Julai]] 2022 idadi ya 74,000 kwa makala juu ya [[Ghuba ya Venezuela]], tarehe [[17 Septemba]] 2022 idadi ya 75,000 kwa makala juu ya [[Kouandé]], [[mji]] wa [[Benin]] na tarehe [[23 Desemba]] 2022 idadi ya 76,000 kwa makala juu ya [[Bouhjar]], [[mji]] wa [[Tunisia]].
Tarehe [[25 Machi]] [[2023]] Wikipedia hii ilifikia idadi ya 77,000 kwa makala juu ya [[Chomutov]], [[mji]] wa [[Ucheki]], tarehe [[15 Juni]] [[2023]] idadi ya 78,000 kwa makala juu ya [[Jamil Adam]] katika mradi wa [[Mchezaji|wachezaji]] wa [[mpira wa miguu]], na tarehe [[9 Desemba]] 2023 idadi ya 79,000 kwa makala juu ya [[Chemchem (Unguja)]] katika mradi wa kata mpya za Tanzania.
Mwaka [[2024]] Wikipedia ya Kiswahili imesonga mbele kwa kasi zaidi: tarehe [[21 Aprili]] imekuwa na makala ya 80,000 kuhusu [[mwandamizi]], tarehe [[11 Juni]] imekuwa na makala ya 81,000 kuhusu [[Kufukuzwa kwa Wamoroko kutoka Algeria]], tarehe [[10 Julai]] makala ya 82,000 kuhusu [[pipa]], tarehe [[19 Septemba]] makala ya 83,000 kuhusu [[Riadha|mwanariadha]] [[Jacques Riparelli]], tarehe [[8 Oktoba]] makala ya 84,000 kuhusu mwanariadha [[Jürgen Kühl]], tarehe [[20 Oktoba]] makala ya 85,000 kuhusu [[mtakatifu]] [[Leoniani wa Vienne]], tarehe [[7 Novemba]] makala ya 86,000 kuhusu mwanariadha [[Juma Ndiwa]], tarehe [[22 Novemba]] makala ya 87,000 kuhusu [[Mpira wa miguu|mwanakandanda]] [[Nicholas Lindsay]], tarehe [[1 Desemba]] makala ya 88,000 kuhusu mwanakandanda wa kike [[Stephanie Bukovec]], tarehe 9 Desemba makala ya 89,000 kuhusu jimbo la [[Norwei]] [[Vestland]] na tarehe 11 Desemba makala ya 90,000 kuhusu mchezaji [[Jason Hartill]].
Mwaka [[2025]] Wikipedia ya Kiswahili imezidi tena kukua kwa kasi: tarehe [[6 Januari]] imekuwa na makala ya 91,000 kuhusu mwanasiasa [[Saka Isau]], tarehe [[13 Januari]] imekuwa na makala ya 92,000 kuhusu [[mwanamuziki]] [[Terry Tufts]], tarehe 22 Januari imefikia makala ya 93,000 inayomhusu mchezaji [[Grant Needham]], tarehe [[31 Januari]] imekuwa na makala ya 94,000 kuhusu [[askofu]] [[Joseph Mukasa Zuza]], tarehe [[6 Februari]] imekuwa na makala ya 95,000 juu ya [[Uwanja wa Michezo wa Perth Rectangular]], tarehe [[18 Februari]] imefikia makala ya 96,000 kuhusu mwimbaji [[Janie Fricke]], tarehe [[25 Februari]] imefikia makala ya 97,000 kwa ukurasa kuhusu [[kardinali]] [[Giulio Bevilacqua]], tarehe [[9 Machi]] imefikia makala ya 98,000 kwa ukurasa kuhusu mwimbaji [[Kirsten Price]] na tarehe [[4 Juni]] imefikia makala ya 99,000 kwa ukurasa kuhusu [[wilaya ya Luanshya]] nchini [[Zambia]] na hatimaye tarehe [[23 Juni]] makala ya 100,000 kwa makala juu ya [[Barclayville]]. Ni Wikipedia ya Afrika ya nne kukamilisha makala laki moja, siku chache baada ya ile ya Malagasy. Kwa kasi hiyohiyo Wikipedia yetu imepiku mapema toleo hilo la [[Madagaska]] na tarehe 23 Agosti kuwahi nakala ya 101,000 kuhusu [[Dada wa Cooney]]. Tarehe 8 Oktoba imetungwa makala ya 102,000 kuhusu [[Irene Charnley]] na tarehe 8 Desemba makala ya 103,000 kuhusu [[Carlentini]], mji wa [[Sisilia|Sicilia]], [[Italia visiwani]].
Mwaka [[2026]] Wikipedia ya Kiswahili imefikia kwanza makala ya 104,000 tarehe [[10 Januari]] kuhusu [[filamu]] [[Miss Fatimah]], halafu makala ya 105,000 tarehe [[31 Januari]] kuhusu [[Eliane Rosa Naika]], [[mwanasiasa]] wa [[Madagaska]], makala ya 106,000 tarehe [[11 Februari]] kuhusu
[[Musa Tukur Yakasai]], profesa wa [[Nigeria]], makala ya 107,000 tarehe [[23 Februari]] kuhusu [[Chang Ming-che]], [[mwanataaluma]] wa [[Taiwan]], na makala ya 108,000 tarehe [[18 Machi]] kuhusu [[Wahindi wa Tanzania]].
Tarehe 9 Aprili 2026 limefanyika haririo la 1,500,000 tangu Wikipedia ya Kiswahili kuanzishwa; siku hiyohiyo imepata makala ya 109,000 kuhusu [[Cyprien Mbonimpa]], [[mwanadiplomasia]] wa [[Burundi]]. Halafu tarehe 16 Aprili 2026 imefikia idadi ya makala 110,000 kwa ukurasa juu ya [[Linda Moss]], mwanasiasa wa Afrika Kusini, tarehe 21 Aprili 2026 imewahi kupata makala ya 111,000 kuhusu Janet Nwadiogo Mokelu, mwanasiasa mwingine wa nchi hiyohiyo, na tarehe 28 Aprili 2026 imepata makala ya 112,000 inayohusu [[Silverio Izaguirre]], [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Hispania]].
Tarehe 7 Mei 2026 Wikipedia ya Kiswahili ilifikisha makala 113,000 inayohusu [[Jan Eliasberg]] mwongozaji na mwandishi wa filamu, maonyesho ya jukwaa, na televisheni kutoka nchini Marekani. Kisha, tarehe 10 Mei 2026, ilifikisha makala 114,000 kwa kupitia makala ya [[Hellen Linkswiler]] (5 Januari 1912 – 24 Juni 1984), mtaalamu wa lishe na mwanasayansi wa lishe kutoka [[Marekani]] aliyefanya utafiti kuhusu mahitaji ya madini katika mwili wa binadamu na asidi amino.
Mapema tarehe 13 Mei 2026 makala ya 115,000 ilitungwa kuhusu [[Nadia Ginetti]], mwanasiasa wa Italia; tarehe 16 Mei 2026 makala juu ya [[John Brodie (mwanasoka aliyezaliwa 1862)]] imefanya idadi ifikie 116,000; tarehe 19 Mei 2026 iliandikwa makala juu ya wanamuziki [[Modern Talking]] ambayo imekuwa ya 117,000; tarehe 23 Mei 2026 Wikipedia hii imefikia idadi ya 118,000 kwa makala juu ya [[Tod Lippy]], msanii wa Marekani, na tarehe 26 Mei 2026 imefikia idadi ya 119,000 kwa makala juu ya [[Salih Zaki Bey]], [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Iraki]]. Kabla ya mwezi huo kwisha, tarehe 30 Mei 2026 ulitungwa ukurasa wa 120,000 juu ya [[Valentin Filatov (mkufunzi wa dubu)]], halafu tarehe 14 Julai 2026 ulitungwa ukurasa wa 121,000 juu ya [[Sadako Pointer]], [[mwimbaji]] wa [[Marekani]] na tarehe 6 Agosti 2026 umetungwa ukurasa wa 122,000 juu ya [[Bonnaye Mims]], [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]].
==Kati ya Wikipedia za Afrika==
Kwa lugha zenye asili ya Afrika na [[visiwa]] vya jirani, Wikipedia kwa Kiswahili ndiyo ya tatu kwa idadi ya makala zote (na ya zile zisizo fupi mno) ikifuatia Wikipedia ya [[Kiarabu cha Misri]] na ile ya [[Kiafrikaans]].
Pia ilikuwa ya kwanza kati ya Wikipedia za [[lugha za Niger-Kongo]] kuvuka kiwango cha makala 1,000. Sasa zilizovuka kiwango hicho zimeongezeka, lakini ya Kiswahili bado inaongoza kisha kuwa ya kwanza kufikia makala 100,000.
Wikipedia kwa Kiswahili ilikuwa ya pili katika Afrika nzima kuvuka kiasi cha makala 10,000 baada ya [[Wikipedia ya Kiafrikaans]].
<ref>[https://web.archive.org/web/20060901052536/http://www.iht.com/articles/2006/08/27/business/wiki.php ''Building Wikipedia in African languages''], by Noam Cohen, [[:en:International Herald Tribune|International Herald Tribune]], [[27 Agosti]] [[2006]].</ref>
== Tazama pia ==
* [[Wikipedia ya Kiafrikaans]]
* [[Wikipedia ya Kiarabu]]
* [[Wikipedia ya Kibulgaria]]
* [[Wikipedia ya Kicheki]]
* [[Wikipedia ya Kichina]]
* [[Wikipedia ya Kidenmark]]
* [[Wikipedia ya Kiebrania]]
* [[Wikipedia ya Kiesperanto]]
* [[Wikipedia ya Kiestonia]]
* [[Wikipedia ya Kifaransa]]
* [[Wikipedia ya Kifini]]
* [[Wikipedia ya Kihaiti]]
* [[Wikipedia ya Kihispania]]
* [[Wikipedia ya Kiholanzi]]
* [[Wikipedia ya Kihungaria]]
* [[Wikipedia ya Kiindonesia]]
* [[Wikipedia ya Kiitalia]]
* [[Wikipedia ya Kijapani]]
* [[Wikipedia ya Kijerumani]]
* [[Wikipedia ya Kiingereza]]
* [[Wikipedia ya Kiingereza Rahisi]]
* [[Wikipedia ya Kikatala]]
* [[Wikipedia ya Kikorea]]
* [[Wikipedia ya Kikroatia]]
* [[Wikipedia ya Kilingala]]
* [[Wikipedia ya Kilithuania]]
* [[Wikipedia ya Kinorwei]]
* [[Wikipedia ya Kipoland]]
* [[Wikipedia ya Kireno]]
* [[Wikipedia ya Kiromania]]
* [[Wikipedia ya Kirusi]]
* [[Wikipedia ya Kiserbia]]
* [[Wikipedia ya Kislovakia]]
* [[Wikipedia ya Kislovene]]
* [[Wikipedia ya Kiswidi]]
* [[Wikipedia ya Kituruki]]
* [[Wikipedia ya Kiukraini]]
* [[Wikipedia ya Kiwolofu]]
* [[Wikipedia ya Kiyoruba]]
* [[Wikipedia ya Kizulu]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [[mwanzo|Wikipedia kwa Kiswahili]]
{{Mawikipedia}}
{{Wikipedia za Kiafrika}}
[[Jamii:Kiswahili]]
[[Jamii:Wikipedia kwa lugha tofauti]]
shn20tblobpz7wwjsczezty75otg523
Machame Magharibi
0
21012
1584634
1518728
2026-08-06T06:54:54Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584634
wikitext
text/x-wiki
'''Machame Magharibi''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Hai]] katika [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[Tanzania]].
Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] wakazi walihesabiwa 4,827 <ref>https://www.nbs.go.tz</ref>. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,503 <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Hai DC |accessdate=2016-05-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040102080416/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2004-01-02 }}</ref> walioishi humo.
[[Msimbo wa posta]] ni 25308.
Kati ya vijiji vya Machame Magharibi kuna kijiji cha [[Nronga]] ambako [[mwandishi]] [[Elieshi Lema]] alizaliwa mwaka [[1949]].<ref >{{Cite web |url=http://sanaa-central.spla.pro/en/file.person.elieshi-lema.37070.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-07-01 |archive-date=2023-11-12 |archive-url=https://web.archive.org/web/20231112210828/http://sanaa-central.spla.pro/en/file.person.elieshi-lema.37070.html |url-status=dead }}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Hai}}
{{mbegu-jio-kilimanjaro}}
[[Jamii:Wilaya ya Hai]]
[[Jamii:Kata za Mkoa wa Kilimanjaro]]
b77izwxxymspsif7p8eupi8bwhiqsa5
1584784
1584634
2026-08-06T10:26:07Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584784
wikitext
text/x-wiki
'''Machame Magharibi''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Hai]] katika [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[Tanzania]].
Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] wakazi walihesabiwa 4,827 <ref>https://www.nbs.go.tz</ref>. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,503 <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Hai DC |accessdate=2016-05-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040102080416/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2004-01-02 }}</ref> walioishi humo.
[[Msimbo wa posta]] ni 25308.
Kati ya vijiji vya Machame Magharibi kuna kijiji cha [[Nronga]] ambako [[mwandishi]] [[Elieshi Lema]] alizaliwa mwaka [[1949]].<ref >{{Rejea tovuti |url=http://sanaa-central.spla.pro/en/file.person.elieshi-lema.37070.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-07-01 |archive-date=2023-11-12 |archive-url=https://web.archive.org/web/20231112210828/http://sanaa-central.spla.pro/en/file.person.elieshi-lema.37070.html |url-status=dead }}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Hai}}
{{mbegu-jio-kilimanjaro}}
[[Jamii:Wilaya ya Hai]]
[[Jamii:Kata za Mkoa wa Kilimanjaro]]
gg2lqiz3erqrztfg3vzl93cwushuwq8
E-Sir
0
32385
1584770
1511277
2026-08-06T10:14:20Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1584770
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
|Jina = E-Sir
|Img =
|Background = solo_singer
|Jina la kuzaliwa = Issah Mmari
|Pia anajulikana kama = E-Sir
|Amezaliwa = 1981
|Asili yake = South C, [[Nairobi]], [[Kenya]]
|Aina = [[Hip hop]], Kapuka
|Kazi yake = [[Rapa]]
|Miaka ya kazi = 2001-2003
}}
'''Issah Mmari''', anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''E-Sir''' ([[20 Mei]] [[1981]] – [[16 Machi]] [[2003]]), alikuwa [[msanii]] maarufu wa [[hip hop]] na kapuka kutoka [[Nairobi]], [[Kenya]].
Alianzisha kazi yake ya [[muziki]] chini ya studio ya Ogopa DJs, ikijulikana kwa uwezo wa kutengeneza wimbo wenye ubora wa hali ya juu na mtindo wa Kiswahili. Alipata umaarufu mwaka [[2001]] kupitia wimbo wake “Jo”, ulioongozwa na mtindo wa rap wa Black Rob katika “WHOA”, na hivyo kuipandisha hadhi yake katika tasnia ya muziki ya Kenya. Baadaye, alitoa albamu yake ya kwanza “Nimefika” mwaka [[2003]], ambayo ilipata mafanikio makubwa. Pia, E-Sir alishinda tuzo nne katika Kisima Music Awards 2003.
E-Sir alifariki kwa ajali ya barabarani tarehe [[16 Machi]] 2003, akiwa njiani kutoka Nakuru kuelekea kufanikisha albamu yake. Kifo chake kilisababisha huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki wake, hasa kwa sababu alikuwa katika kilele cha umaarufu wake. Baadhi ya nyimbo zake zinazojulikana ni “Mos Mos”, “Boomba Train”, “Hamunitishi”, na “Leo ni Leo”. Baada ya kifo chake, wimbo mmoja wa kumbukumbu, “Maisha”, ulitolewa akiwa ameimba pamoja na Nameless.
Ndugu mdogo wa E-Sir, Habib, pia ni msanii wa muziki na pamoja na kundi la Manga, wamezindua nyimbo kadhaa zikiwemo “Dunda” na “Fever”, wakidumisha urithi wa muziki wa familia yao.
== Albamu ya nimefika ==
'''Nyimbo kwenye Albamu'''
* 1.Jobless corner 1 (Skit)
* 2.Kamata
* 3.Bamba
* 4.Moss Moss
* 5.Saree
* 6.Jobless Corner 2 (skit)
* 7.Sweet Kid ulimi twister
* 8.Hamunitishi
* 9.Deux Train
* 10.Leo ni Leo
* 11.Nimefika 'Jo'
* 12.Saree
* 13.Kamaiko (skit)
== Tuzo ==
'''Alishinda'''
* Kisima Music Awards 2003 - Nyimbo ya mwaka ( "Bumba Train") & Mwanaume Mwanamziki wa mwaka, Albamu ya Mwaka ( "Nimefika")
'''Kuchaguliwa'''
* Kora Awards 2003 - Mwanamziki Bora [[Afrika Mashariki]] <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.koraawards.co.za/english/musicawards_finalists_res03.asp?Category_en=Best+Artist+-+East+Africa |title=Kora Awards 2003 Nominees |accessdate=2004-03-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040302070738/http://www.koraawards.co.za/english/musicawards_finalists_res03.asp?Category_en=Best+Artist+-+East+Africa |archivedate=2004-03-02 }}</ref>
* Tanzania Music Awards [[2004]] - Albamu bora Afrika Mashariki( "Nimefika") <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.kilitimetz.com/nominees.html |title=Tanzania Music Awards - Nominees 2004 |accessdate=2004-12-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20041204003548/http://www.kilitimetz.com/nominees.html |archivedate=2004-12-04 }}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.ogopadeejays.co.ke/ Ogopa DJs Tovuti rasmi] {{Wayback|url=http://www.ogopadeejays.co.ke/ |date=20100908011124 }}
* [http://www.trueblaq.com/artist.0.html.22.html Trueblaq] {{Wayback|url=http://www.trueblaq.com/artist.0.html.22.html |date=20070602012649 }}
{{mbegu-mwanamuziki-Afrika}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Waliofariki 2003]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]]
8qc2zm4bqibl344j4fquxmsn3qzgwaz
Lucy Kibaki
0
32440
1584778
1348467
2026-08-06T10:21:18Z
Riccardo Riccioni
452
1584778
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox First Lady
|name = Lucy Kibaki
|image name = Lucy Kibaki.jpg
|imagesize = 200px
|office = [[First Lady]] of [[Kenya]]
|term_start = 29 Desemba 2002
|term_end =
|president =
|predecessor = [[Ngina Kenyatta]]{{smallsup|1}}
|successor =Margaret Kenyatta
|birth_date = 1940
|birth_place = Mukurwe-ini
|birthname = Lucy Muthoni Kibaki
|death_date =Tarehe 26 Aprili 2016 (miaka 76)
|death_place =Bupa Cromwell Hospital, London
|nationality =Kenyan
|party =
|spouse = [[Mwai Kibaki]] (m. 1962)
|relations =
|children = Judy Wanjiku, Jimmy Kibaki, David Kagai, and Tony Githinji.
|residence = [[Nairobi]], [[Kenya]]
|alma_mater =Kamwenja Teachers College
|profession =Teacher
|net worth =
|religion =
|website =
|footnotes = 1. Ngina retained her First Lady status even after the death of her husband in 1978, as incoming President [[Daniel arap Moi]] had separated from his wife in 1974
|occupation=First Lady}}
'''Lucy Muthoni Kibaki''' ([[1940]] - [[26 Aprili]] [[2016]]) alikuwa mke wa Rais wa Kenya [[Mwai Kibaki]], yaani alikuwa [[Mwanamke wa Kwanza]] wa Kenya (2003-2013).
Alizaliwa Mukurwe-ini mwaka wa 1940 kwa Rev. John Kagai na Rose Nyachomba, katika Mlima Kenya. Alifunzwa kuwa mwalimu, na akapandishwa cheo hadi kuwa mwalimu mkuu katika chuo cha mafunzo ya Ualimu huko Kiambu.
==Familia==
Alikutana na Mwai Kibaki mwaka wa 1960, na walifunga ndoa mwaka wa 1962. Wanandoa wana watoto wanne: Judy Wanjiku, Jimmy Kibaki, David Kagai, na Tony Githinji. Bi. Kibaki ni mlezi wa Shirika la Chama cha Viongozi Wasichana.<ref>[3] ^ KBC, 23 Februari 2007: First Lady assures KGGA of support</ref>
==Tukio la Nation==
Anajulikana kwa uhuru wake wa upekee na hasira yake. Mwaka wa 2005 alipokea vyombo vya habari vya kimataifa kipaumbele kwa kushambulia ofisi ya Nation Media Group (wachapishaji wa The [[Daily Nation]], gazeti la Kenya) na walinzi sita, baada ya kuchukua suala la jarida liliotoa taarifa yake ya kutoelewana kwake na Abdoulaye Makhtar Diop, aliyekuwa Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa Senegal.<ref>[4] ^ Kenya's first lady storms paper BBC</ref>
==Tukio lifuatalo la Nation ==
Mwezi Mei 2006, aliumba utata zaidi kwa kusema kwamba vijana nchini Kenya "hawana biashara" kwa kutumia kondomu. Lucy Kibaki aliita wito kwa wanafunzi katika shule siku wa kutunikiwa zawadi wajihini na ngono ili waepuka kuambukizwa na viini vya ukimwi. Yeye ndiye mwenyekiti wa Shirika la Wake arobaini wa Kwanza Afrika wanaopinga Ukimwi.
==Tukio la Kuzaba 2007==
Tarehe 12 Desemba 2007 alimzaba kofi afisa rasmi wa serikali aliyechanganisha jina lake na lile la Mary Wambui, mwanamke ambaye amekuwa akiripotiwa kuwa rais mke wa pili. Lucy Kibaki alimzaba kofi Katibu wa kanuni Utawala wa Serikali baada ya kumtambulisha kama "Wambui" wakati wa sherehe ya tuzo ya rais, NTV huru iliripoti.
Katibu wa kanuni Utawala wa Serikali, Francis Musyimi, alisimamishwa kwa ghafla kuwa muajibu katika sherehe katika Ikulu mjini Nairobi na alibebwa juu kwa juu na usalama wa nguvu, NTV. Musyimi ni maradufu kama Naibu Katibu wa Baraza la Mawaziri.
==Tukio la Hujumu 2008==
Mwaka wa Januari 2008, mbunge wa Kenya wa Imenti ya Kati Gitobu Imanyara alimshtaki Lucy Kibaki kwa shambulio na kutishia kwenda mahakamani kumdaha Mke wa Kwanza juu ya madai ya tukio. Alikanusha madai haraka, akimlaumu Imanyara kwa jaribio la malipizi baada ya kushindwa kupata kiti cha naibu mnenaji wakati wa uchaguzi wa Bunge.
==Kazi ya Hisani==
Bibi Kibaki anajulikana kwa kusaidia walio na mazuizi na watu walemavu.
==Marejeo==
<references/>
{{DEFAULTSORT:Kibaki, Lucy}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
f2nlpazf4svu6vwwolngojsok93vwn5
McDonald Mariga
0
33342
1584826
1394587
2026-08-06T11:38:31Z
Riccardo Riccioni
452
1584826
wikitext
text/x-wiki
{{Football player infobox
| jinalamchezaji= McDonald Mariga
| jinalautani= Big Mac/Mac 10
| picha = [[Image:Mariga.jpg|center|thumb|125px]]
| jinakamili = McDonald Mariga Wanyama
| tareheyakuzaliwa = 4 Aprili 1987
| mjialiozaliwa = [[Nairobi]]
| nchialiozaliwa = [[Kenya]]
| urefu = 187 cm
| currentclub =
| clubnumber =
| kiungo = [[football (soccer) positions#Midfielder (MF)|Mchezaji wa Kiungo cha Kati kati]]
| ujana = <br>-2003<br>2003-2004<br>2005
| youthclubs = Kamukunji High School<br>[[Ulinzi Stars]]<br>[[Tusker FC]]<br>[[Pipeline FC]]
| years = 2005<br>2006–2008<br>2007–2008<br/>2008-
| kilabu = [[Enköpings SK]]</br>[[Helsingborgs IF]]<br />→ [[Parma F.C.|Parma]] (loan)<br/>[[Parma F.C.|Parma]]
| magolialiyoshinda = {{0}}1 (0)<br>37 (6)<br>18 (0)<br/>41 (3)
| miakayataifa = 2006-
| timuyataifa = [[Timu ya taifa ya soka ya Kenya|Kenya]]
| nationalcaps(goals) = {{0}}24 (3)
}}
'''McDonald Mariga Wanyama''' (amezaliwa [[4 Aprili]] [[1987]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Kenya]]. Baada ya kustaafu, ameingia katika [[siasa]].
==Wasifu wa klabu==
Mariga alianza kucheza kambumbu na [[timu]] ya [[Ulinzi Stars]] kabla kuhamia timu ya [[Pipeline FC]]. Mariga alikuwa mojawapo wa wachezaji wa timu ya 'Golden Boys' katika [[shule]] ya [[upili]] ya Kamukunji. Alishirikiana humo na mwenzake katika timu ya taifa ya Kenya [[Dennis Oliech]] ambaye anachezea klabu ya [[Auxerre]], [[Ufaransa]]. Timu yao ya 'Golden Boys' ilishinda Kombe la Mabingwa wa Taifa miaka miwili mfululizo (2002 na 2003).
Alikuwa mchezaji wa kati ya uwanja huku akishirikiana na wenzake kufikisha mpira kwa washambuliaji. Aliendelea na jukumu hili katika timu alipohamia [[Uswidi]] kucheza katika timu ya [[Enköpings SK]]. Baada ya msimu mmoja tu ya kuwa [[Enköpings]] aliajiriwa na timu ya [[Helsingborgs IF]] kabla msimu wa 2006. Alifanikiwa mjini [[Olympia]] kwa haraka sana.<ref>{{cite web|publisher=[[Swedish Football Association|SvFF]]|title=McDonald Mariga|url=http://www.svenskfotboll.se/t3allpl.aspx?p=287489&playerid=4653|accessdate=2009-05-17|archivedate=2007-05-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070526142410/http://www.svenskfotboll.se/t3allpl.aspx?playerid=4653&p=287489}}</ref> Meneja maarufu kutoka timu ya Portsmouth, [[Harry Redknapp]], alikuwa akimtaka achezee timu yake katika ligi ya Uingereza. Mariga alionekana kuelekea kuchezea timu hiyo lakini matatizo ya kupata kibali cha kazi yalimkumba na mpango huo kutofaulu. Gharama ya ubadilishaji wa huduma zake Mariga kutoka Helsinborg hadi Portsmouth ulikisiwa kuwa [[euro]] [[milioni]] 2.7.
Alihamia ligi ya [[Serie A]] akichezea klabu ya [[Parma FC]] kwa mpango wa aina ya mkopo katika mwezi wa Agosti 2007. Timu hiyo ya Kiitaliano ilikuwa na nafasi ya kumnunua kwa ada ya Kronor ya Uswidi milioni 20. Mariga alikubali kuajiriwa kwa miaka minne na klabu ya Parma hadi mwisho wa Juni 2012 baasa ya klabu hiyo kulipa ada ya uhamisho wa Kronor ya Uswidi milioni 18(takriban euro milioni 1.94). Mpango huo ulioandaliwa na aliyekuwa mchezaji maarufu wa Uswidi [[Martin Dahlin]], ilikuwa na gharama iliyokuwa chini ya bei ya awali ya Kronor ya Uswidi milioni 20 iliyowekwa na Helsinborg. 25% ya ada ya uhamisho ulikwenda kwa Enkopings SK, ambayo ilkuwa klabu iliyompeleka Mariga Uswidi mnamo mwaka 2005.
Mariga ambaye huduma zake zilikuwa zimekadiriwa kuwa na thamani ya euro milioni 0.8 mnamo Julai 2008 lakini sasa amemea katika mchezo akawa mahiri zaidi. Hii imesababisha thamani yake kuongezeka pole pole hadi euro milioni 1.94 baada ya mwaka mmoja tu. Amecheza vizuri sana katika ligi ya Kiitalia ya [[Serie A]] tangu kuhama Helsinborg huku akiwa mmojawapo wa vijana waliokua kwa haraka sana katika klabu hiyo.
Mariga alichezea timu ya [[Parma]] mara 35 katika ligi ya [[Serie B]] wakati wa msimu wa 2008-2009 huku akifunga mabao matatu ili kuwasaidia kurudi ligi ya [[Serie A]] kwa msimu wa 2009-2010.
==Wasifu wa Kimataifa==
Mariga alifunga bao lake la kimataifa la kwanza dhidi ya [[Eswatini]] tarehe 25 Machi 2007.
==Tanbihi==
{{Marejeo}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{DEFAULTSORT:Mariga, McDonald}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kenya]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]]
r4drh8efj8o7ki8dhaeif4v44x4dgpl
Jeff Koinange
0
33776
1584779
1305843
2026-08-06T10:22:01Z
Riccardo Riccioni
452
1584779
wikitext
text/x-wiki
'''Jeff Koinange''' (alizaliwa [[7 Januari]] [[1966]]) ni [[mwandishi wa habari]] wa [[televisheni]], anayejulikana kuwahi kufanya kazi [[CNN]] kama mwandishi wa habari za kutoka [[Afrika]], na kwa [[CNN International]] mnamo [[2001]]-[[2007]].
==Maisha==
Koinange alizaliwa nchini [[Kenya]] na alifanya kazi na kituo cha kwanza huru nchini Kenya: KTN (Kenya Television Network). Yeye alihudhuria [[Shule ya Kingsborough Community]] mjini [[Brooklyn]], NY, kati ya 1987-1989 na kufuzu kwa kupata [[shahada]]. Yeye pia alipata [[shahada ya Sanaa]] katika [[utangazaji]] na uandishi wa habari kutoka [[Chuo Kikuu cha New York]].
Kabla ya kujiunga na CNN, Koinange alifanya kazi kwa [[Reuters]] Television mnamo 1995-2001, akiripotia habari za Afrika na kufanya kama mtayarishaji mkuu mnamo 1999-2001. Yeye pia alifanya kazi kama mtayarishaji wa [[NBC News]] mwaka 1994 na pia aliwahi kufanya kazi kwa [[ABC News]] mmamo 1991-1992. Baada ya miezi saba ya kuacha kazi [[CNN]], Jeff aliajiriwa kama mtangazaji habari wa kituo cha televisheni ya Kenya, K24, ambayo ilianza kufanya majaribio mjini [[Nairobi]] mnamo Desemba 2007. Yeye ni mtangazaji wa Capital Talk Show, inayofanana na [[Larry King Live]] (CNN).
==Alipokuwa akifanya kazi CNN ==
Miongoni mwa habari muhimu zaidi Koinange amewahi kuripotia barani Afrika alipokuwa CNN ni [[mgogoro ya Darfur]] [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]] mchini [[Liberia]] na [[Sierra Leone]] na [[njaa]] nchini [[Niger]], ambayo Koinange alishinda tuzo la [[Emmy]].
Mapema mwaka 2007, Koinange alikanywa na [[serikali]] ya [[Nigeria]] kuhusu ripoti yake ya <ref name="cnn10Feb2002">Koinange, Jeff (10 Februari 2002). [http://www.cnn.com/2007/WORLD/africa/02/06/btsc.koinange.nigeria/index.html?section=cnn_latest ][http://www.cnn.com/2007/WORLD/africa/02/06/btsc.koinange.nigeria/index.html?section=cnn_latest Koinange: Big bunduki, big yanapogongana mafuta nchini Nigeria.] [[CNN]]</ref> Movement for the Emanicipation of the Niger Delta (MEND). Katika ripoti yake, Koinange aliwafuata MEND waliojifunika uso mpaka kwa kambi ambapo walikuwa wamewateka nyara watu wa [[Ufilipino]]. Serikali ya Nigeria ilisema kuwa ripoti hiyo ilikuwa "ya uwongo", na CNN inakanusha madai hayo.
Koinange pia ameripotia habari nje ya Afrika, kama ripoti yake ya wimbi la [[Hurricane Katrina]] na vilevile [[vita vya Iraq]]. <ref name="cuny">Staff taarifa (Spring 2006). [http://www.kbcc.cuny.edu/pr/Jeff_Koinange/Jeff_Koinange.html] {{Wayback|url=http://www.kbcc.cuny.edu/pr/Jeff_Koinange/Jeff_Koinange.html |date=20070614190555 }} [http://www.kbcc.cuny.edu/pr/Jeff_Koinange/Jeff_Koinange.html Albamu imetoa Kingsborough Intrepid Habari CNN, Jeff Koinange] {{Wayback|url=http://www.kbcc.cuny.edu/pr/Jeff_Koinange/Jeff_Koinange.html |date=20070614190555 }} CUNY Matters.</ref>
Mnamo 29 Mei 2007, CNN ilitangaza kuwa Koinange hafanyi tena kazi na wao. Inadaiwa kuwa alikuwa amepatikana na kashfa ya [[ngono]] ambayo CNN haikutaka kujihusisha nayo.<ref>[http://www.mediabistro.com/tvnewser/cnn/jeff_koinange_no_longer_employed_by_cnn_59885.asp Jeff Koinange No Longer Employed By CNN.] {{Wayback|url=http://www.mediabistro.com/tvnewser/cnn/jeff_koinange_no_longer_employed_by_cnn_59885.asp |date=20070601155843 }} TVNewser via mediabistro</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
*[http://mshale.com/article.cfm?articleID=1454 CNN bio on former Africa correspondent Jeff Koinange] {{Wayback|url=http://mshale.com/article.cfm?articleID=1454 |date=20110714123320 }} via Mshale
{{BD|1966|}}
{{DEFAULTSORT:Koinange, Jeff}}
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:wanaume wa Kenya]]
d9an2ph89yd4t0uxwgb200zbozhzq0i
Deepak Kamani
0
33992
1584776
1390986
2026-08-06T10:18:29Z
Riccardo Riccioni
452
1584776
wikitext
text/x-wiki
'''Deepak Kamani''' ni [[mwana]] wa [[Chamanlal Kamani]] na [[ndugu]] wa [[Rashmi Chamanlal Kamani]] na [[Sudha Ruparell]].
Deepak Kamani anahusika katika [[biashara]] ya [[familia]] Kamani nchini [[Kenya]] ikiwemo [[kampuni]] ya Kamsons.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Kamani, Deepak}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya]]
baanqokb8pr0e3qnndx0m65o7barvnm
Titus Naikuni
0
33993
1584820
1398103
2026-08-06T11:26:17Z
Riccardo Riccioni
452
1584820
wikitext
text/x-wiki
'''Titus Naikuni''' (alizaliwa [[1953]]) ni Mkurugenzi na Naibu Mkuu wa Kundi la [[Kenya Airways]]. Tito ana shahada ya Sayansi na Digirii ya hueshima katika [[Mechanical Engineering]] kutoka [[Chuo Kikuu cha Nairobi]].Yeye pia ni mhitimu wa [[Shule ya Biashara ya Harvard]] katika programu ya Usimamizi wa Mpango wa Maendeleo (PMD71) na alipatiwa Shahada ya Daktari katika Uhandisi na Sayansi na [[Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta]] tuzo ya kutambua mchango wake kwa maendeleo. Yeye alijiunga [[Magadi Soda Company]] mwaka 1979 kama mhandisi wa kujifunza na kupanda hadi nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa kampuni mwaka 1995 na Mkurugenzi Mkuu wa Magadi Railway Company (kiungo cha Magadi Soda Company) mwaka 1996.
Kati ya Agosti 1999 na Machi 2001, Titus alikuwa mwanachama wa timu ya wajuzi wakenya waliodhaminiwa na [[Benki kuu ya Dunia]], iliojulikana kama "Dream Team" ambao walikuwa wanaohusishwa na Serikali kugeuza uchumi wa Nchi. Katika uwezo huu Titus aliwahi kuwa katibu wa kudumu katika Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano na alikuwa mjumbe wa Bodi ya Kenya Airways. Alirudi Magadi Soda Company Aprili 2001 ambapo aliendelea kutumikia kama Mkurugenzi, nafasi aliyoitumikia hadi alipoajiriwa na Kenya Airways mwezi Februari 2003. Titus amekuwa na uzoefu mkubwa wa Bodi baada ya kuwa mjumbe katika bodi za kampuni mbalimbali pamoja kama mwanachama wa bodi ya [[Brunner Mond]] (Afrika ya Kusini), kama Mwenyekiti wa [[Kenya Power & Lighting Company]] na kama Mwenyekiti wa Housing Finance Company Limited. Yeye alipokea tuzo la Meneja wa Mwaka nchini Kenya mwaka 2002. [http://www.skyviewtours.com/profiles/management.htm ]
Mnamo Septemba 2006, Titus Naikuni aliteuliwa Mwenyekiti wa [[Tume ya Filamu ya Kenya]] [http://www.kenyalaw.org/KenyaGazette/view_gazette.php?title=2061]
Sasa yeye ni mjumbe wa bodi za [[Maersk Kenya Ltd]], [[Access Kenya Ltd]], [[CFC Bank Kenya Limited]], makamu Mwenyekiti wa Magadi Soda Company Ltd na mwanachama wa [[Baraza la Ushauri Unilever Afrika]].
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1953|}}
{{DEFAULTSORT:Naikuni, Titus}}
[[Jamii:Wahandisi wa Kenya]]
1vqpqkxhwjylbomq65uigcstv2wmjgz
Mary Wambui
0
33997
1584813
1394584
2026-08-06T11:13:59Z
Riccardo Riccioni
452
1584813
wikitext
text/x-wiki
'''Mary Wambui''' ni mfanyabiashara mwanamke wa [[Kenya]]. Familia ya Wambui inadai kuwa Rais wa Kenya [[Mwai Kibaki]] alimwoa Maria mwaka 1972 chini ya [[sheria za kimila za Kikuyu]] na kuwa wana binti, [[Wangui Mwai]]. Kibaki, alitoa taarifa rasmi akisema kuwa mke wake, [[Lucy Kibaki]] na watoto wao ndio walikuwa familia yake pekee ya karibu. Ingawa amekanwa kama mke, Wambui hupewa huduma zote za mkewe rais wakiwemo walinzi na magari ya kifahari. <ref>[http://www.timesnews.co.ke/22jun06/insight/ins2.html] {{Wayback|url=http://www.timesnews.co.ke/22jun06/insight/ins2.html |date=20070313083325 }}</ref>
Winnie Wangui alihusishwa na sifa mbaya za 'Mandugu wa Artur' kwa njia za kibiashara na kibinafsi. Katika tukio lililopewa jina 'Armenian Saga', 'ndugu hao' (Artur Margaryan na Artur Sargasyan), ambao walikuwa pia wamesemekana kuwa majeshi wa kulipwa, walionyeshana mabunduki katika uwanja wa ndege wa JKIA ndani ya eneo la "usalama" na kutishia kumpiga risasi afisa wa Forodha ambao walitaka kuchunguza mizigo yao. Tukio hili la uvunjaji sheria lilifanya wakamatwe na hatimaye kufukuzwa nchini tarehe 9 Juni 2006. Winnie alifutwa kazi baada ya tukio hili. <ref>[http://www.eastandard.net/hm_news/news.php?articleid=1143954141] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/hm_news/news.php?articleid=1143954141 |date=20080106131237 }}</ref>
Katika mahojiano na ''[[The Standard]]'' yaliyoandikwa tarehe 5 Aprili 2007, Winnie alisema kuwa yeye na Margaryan walikuwa na lengo la kuoana katika siku zijazo. <ref>[http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143966945] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143966945 |date=20080123190951 }}</ref>
Katika vyombo vya habari vya Kenya, Mary Wambui huitwa "Mwanaharakati wa [[NARC]]", chama cha kisiasa nchini Kenya.
Katika mahojiano ya juzi juzi na vyombo vya habari nchini Kenya, Wambui alisema kwamba yeye alikuwa na watoto watano lakini alisita kuyataja majina yao.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Wambui, Mary}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
gei60fuc1m676ryi5c8ulckxgdmscpu
1584814
1584813
2026-08-06T11:15:44Z
Riccardo Riccioni
452
1584814
wikitext
text/x-wiki
'''Mary Wambui''' (alizaliwa [[12 Desemba]] [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] [[mwanamke]] wa [[Kenya]].
==Maisha==
Familia ya Wambui inadai kuwa Rais wa Kenya [[Mwai Kibaki]] alimwoa Maria mwaka 1972 chini ya [[sheria za kimila]] za [[Wakikuyu]] na kuwa wana binti, [[Wangui Mwai]]. Kibaki, alitoa taarifa rasmi akisema kuwa mke wake, [[Lucy Kibaki]] na watoto wao ndio walikuwa familia yake pekee ya karibu. Ingawa amekanwa kama mke, Wambui hupewa huduma zote za mkewe rais wakiwemo walinzi na magari ya kifahari. <ref>[http://www.timesnews.co.ke/22jun06/insight/ins2.html] {{Wayback|url=http://www.timesnews.co.ke/22jun06/insight/ins2.html |date=20070313083325 }}</ref>
Winnie Wangui alihusishwa na sifa mbaya za 'Mandugu wa Artur' kwa njia za kibiashara na kibinafsi. Katika tukio lililopewa jina 'Armenian Saga', 'ndugu hao' (Artur Margaryan na Artur Sargasyan), ambao walikuwa pia wamesemekana kuwa majeshi wa kulipwa, walionyeshana mabunduki katika uwanja wa ndege wa JKIA ndani ya eneo la "usalama" na kutishia kumpiga risasi afisa wa Forodha ambao walitaka kuchunguza mizigo yao. Tukio hili la uvunjaji sheria lilifanya wakamatwe na hatimaye kufukuzwa nchini tarehe 9 Juni 2006. Winnie alifutwa kazi baada ya tukio hili. <ref>[http://www.eastandard.net/hm_news/news.php?articleid=1143954141] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/hm_news/news.php?articleid=1143954141 |date=20080106131237 }}</ref>
Katika mahojiano na ''[[The Standard]]'' yaliyoandikwa tarehe 5 Aprili 2007, Winnie alisema kuwa yeye na Margaryan walikuwa na lengo la kuoana katika siku zijazo. <ref>[http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143966945] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143966945 |date=20080123190951 }}</ref>
Katika vyombo vya habari vya Kenya, Mary Wambui huitwa "Mwanaharakati wa [[NARC]]", chama cha kisiasa nchini Kenya.
Katika mahojiano ya juzi juzi na vyombo vya habari nchini Kenya, Wambui alisema kwamba yeye alikuwa na watoto watano lakini alisita kuyataja majina yao.
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1965|}}
{{DEFAULTSORT:Wambui, Mary}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8ubllr4qhb90udrbx617dz04250h8t3
Chamanlal Kamani
0
34189
1584775
1150577
2026-08-06T10:18:06Z
Riccardo Riccioni
452
1584775
wikitext
text/x-wiki
'''Chamanlal Vrajlal Kamani''' ni [[mfanyabiashara]] mkubwa wa [[familia]] ya Kamani nchini [[Kenya]], iliyo na maslahi katika [[mahoteli]], [[mashamba ya maua]], [[miundombinu]], [[mawasiliano ya simu]], [[pamba]], pamoja na Diani Reef Beach Resort Whitesands [[Mombasa]] na [[Radisson Resort]] mjini [[Goa, India]]. Anahusika pia na Unicorn Holdings Pvt Ltd, kampuni iliyoorodheshwa kwenye tovuti ya SEBI kama inataka kununua Rajath Fedha. Kiungo hiki kinataja thamani ya Kamani (kama ilivyotangazwa chini ya pendekezo hili) Indian rupia 588.51 Lakhs, (milioni US $ 1.3). Watoto wake ni [[Rashmikant Chamanlal Kamani]], [[Sudha Ruparell]] na [[Deepak Kamani]].
Familia ya Kamani ina uwekezaji India, pamoja na mnyororo wa mahoteli 10 za anasa, na Dubai, hasa katika jumba la 'Business Towers'.
Familia hii imeshiriki katika baadhi ya mikataba tata ya biashara, ikiwa ni pamoja na madai ya kuhusika katika [[Kashfa ya Anglo Leasing]] usambazaji wa magari ya polisi kwa bei ya juu zaidi na uuzaji wa vifaa vya rada kwa wadhibiti wa trafiki ya hewa ya Kenya
Infotalent Systems Private Ltd ilikuwa mmoja ya makampuni yao katika maombi ya kuibinafsisha Rajath Finance mwaka 2003. Infotalent ilitajwa katika ripoti ya [[John Githongo]] juu ya [[Rushwa nchini Kenya]] (ukurasa 11) kama mpokeaji wa mkataba wa Euro 59.7M kwa usalama wa polisi tarehe 19 Novemba 2003.
Familia hii imetoweka Kenya baada ya polisi wa Kenya kuwataja kama wakosaji na kutangaza zawadi kwa kukamatwa kwao. Wanasemekana wapo Dubai au India wakiendesha biashara zao chini ya jina "Phoenix" kuzuia kujulikana. Shirika la mapato la India linaaminika kuchunguza utendaji wao, ambao unajumuisha biashara za hawala.
==Viungo vya nje==
*[http://www.guardian.co.uk/kenya/story/0,,1734722,00.html ]
{{mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Kamani, Chamanlal}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
33p0nl8ht44wowu1sen6s58u9obm2uo
Geoffrey William Griffin
0
34262
1584800
1365685
2026-08-06T10:49:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584800
wikitext
text/x-wiki
'''Dkt Geoffrey William Griffin''' ([[Eldoret]], 15 Juni [[1933]] - 28 Juni [[2005]]) alikuwa [[mkurugenzi]] [[mwanzilishi]] wa [[Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe]]. Alianzisha shule hii mwezi Novemba 1959 kwa msaada wa [[Geoffrey Geturo]] na [[Joseph Gikubu]], [[Ofisa|Afisa]] Mwandamizi wa sasa wa mkurugenzi wa shule. Alikuwa Mkurugenzi wa shule hii kutoka alipoianzilisha hadi mwisho wa maisha yake. Pia alikuwa mkurugenzi mwanzilishi wa National Youth Service kati ya 1964 na 1988, wakati alistaafu kutoka Huduma kwa Umma ya Kenya.
Starehe hutoa elimu ya hali ya juu bila malipo kwa mayatima na watoto wengi maskini wa Afrika (kwa mfumo unaofanana na [[Christ's Hospital]]). Wanfunzi wengi wa zamani sasa ni watu maarufu nchini Kenya na ulimwenguni. (Waziri mstaafu [[Raphael Tuju]]; [[Paul Ereng]], mshindi wa medali ya dhahabu ya Olimpiki; Dk [[Amrose Misore]], Naibu Mkuu wa Mkurugenzi wa Huduma ya Afya; na [[Prof George Magoha]], Daktari wa upasuaji na Mwanaurolojia ambaye ni Makamu wa Chansela wa sasa wa [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] ni wachache tu ya Wanastarehe wa zamani).
Ni vyema kutambua kwamba aliyeingia mahala pa Dkt Griffin kama Mkurugenzi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe ni Prof Jesse Mugambi, muelimishaji aliyeheshimika na kujulikana sana nchini Kenya na awali alikuwa profesa wa falsafa katika [[Chuo Kikuu cha Nairobi]]. Wana watatu wa Profesa Mugambi wamepitia katika Shule ya Starehe kama wanafunzi wakati tofauti wakati Dkt Geoffrey William Griffin bado alikuwa mkurugenzi. Profesa alijiuzulu kutoka wajibu wake kama Mkurugenzi wa Shule ya Starehe mnamo Ijumaa, 16 Januari 2009. Sababu iliyotolewa ya kujiuzulu ghafla kwake ilikuwa kwamba [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] kilikataa kuongezea muda wa mkataba wake na kumtaka arejelee wajibu wake kama profesa wa falsafa.
Griffin alipata elimu isiyo ya juu sana: baada ya kuacha shule mapema, alijiunga, kwanza, na Usoroveya wa Kenya, na kisha King's African Rifles. Baada ya kutumikia wakati wa [[dharura]], alikuja kushawishika na haki ya vuguvugu la [[Mau Mau]], na kuchoshwa na ukatili wa vita.<ref>[0] ^ Anonymous ( 18 Agosti 2005) ''The Times of London'' online obituary.</ref> Hakuendelea na tume yake, na alianza kushiriki katika jitihada za kukarabati wapiganaji wa zamani waliokamatwa, au walioachiliwa hivi karibuni kutoka kambi za uzuizi. Baada ya miaka kadhaa, aligeuza harakati zake kwa watoto waliofanywa yatima na vita, na kuanzishaa kituo cha kuwaokoa, kilichokuwa chanzo cha Starehe.
Griffin aliondokea kuwa kiongozi mwanzilishi kielimu na alituzwa PhD ya Heshima katika Elimu na [[Chuo Kikuu cha Kenyatta]] kwa kuifanya Shule ya Starehe kuwa mojawapo wa shule bora zaidi sio tu nchini Kenya bali katika Afrika na ambayo inajulikana ulimwengu mzima kama kituo cha ubora wa elimu.
Alipatiwa cheo cha Moran of the Order of Burning Spear na Rais [[Kenyatta]] mwaka wa 1970, ya Moran of the Order of the Golden Heart na Rais [[Moi]] mwaka wa 1986 na Order of the British Empire na [[Malkia Elizabeth II]] mwaka wa 2002, na tuzo ya Lifetime Achievement na Tume ya Kitaifa ya Kutetea Haki za Binadamu ya Kenya mwaka wa 2005 [http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985 |date=20070927174650 }}
==Tanbihi==
{{Marejeo}}
==Makala ya Waandishi==
*Geoffrey Griffin (1994) ''School Mastery: Straight talk about boarding school management in Kenya,'' (Nairobi: Lectern Publications).
*Roger Martin (1978) ''Anthem of bugles: the story of Starehe Boys Centre and School,'' (Nairobi, London: Heinemann Educational).
*Kennedy OA Hongo, Jesse NK Mugambi (2000) ''Starehe Boys Centre: School and Institute'' .''first forty years 1959-1999'' (Nairobi: Acton Publishers)
==Viungo vya nje==
*Kwamchetsi Makokha (29 Juni 2005) [http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985 Starehe founder Griffin dies at 72] {{Wayback|url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985 |date=20070927174650 }} ''The East African Standard''
{{DEFAULTSORT:Griffin, Geoffrey William}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1933]]
[[Jamii:Waliofariki 2005]]
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
kqhyd3mm9qf2vb1o0hkwt88qxt93m4d
Ian Duncan
0
35759
1584769
1579628
2026-08-06T10:13:35Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1584769
wikitext
text/x-wiki
{{WRC driver
| Image = <!-- Only freely-licensed images may be used to depict living people. See [[WP:NONFREE]]. -->
| Name = Ian Duncan
| Caption =
| Nationality = {{Flag icon|Kenya}} [[Kenya]]n
| Years = 1983–1999
| Teams = [[Subaru]], [[Toyota]]
| Races = 15
| Championships = 0
| Wins = 1
| Podiums = 4
| Stagewins = 4
| Points = 80
| First race = 1983 [[Safari Rally]]
| First win = 1994 [[Safari Rally]]
| Last race = 1999 [[Safari Rally]]
}}
'''Ian Duncan''' (alizaliwa [[23 Juni]] [[1961]]) ni mmoja ya madereva wa rally ambao wamefanikiwa sana nchini [[Kenya]]. Alikuwa bingwa wa Rally nchini Kenya mara tano (1987, 1988, 1989, 1991 na 2000), na alifanikiwa kupata ushindi wa "outright" katika michuano wa magari ya Rally wa Dunia aliposhinda shindano la 42 la Trustbank Safari Rally mwaka wa 1994. Hii ilikuwa moja kati ya tamati zake za nafasi kumi za kwanza mfululizo katika tukio hilo kuanzia mwaka wa 1990 hadi mwaka wa 1996, licha ya kiwango chake cha sifa mbaya.
==Wasifu==
Ian alilelewa katika shamba la wazazi wake katika sehemu ya [[Limuru]]. Ladha yake ya kwanza ya kuendesha gari ilitokea wakati alikuwa na umri wa miaka karibu kumi, huku akimsaidia mama yake wakati alikwama katika barabara za shamba wakati wa mvua. Alihudhuria Shule ya Upili ya St Mary's, kwani nia yake zaidi ilikuwa katika kutengeneza magari na pikipiki. Pia alishiriki katika Motocross na kushinda taji la 125cc la kitaifa miaka ya 1979 na 1980. Alishiriki katika Safari Rally kwa mara ya kwanza mwaka wa 1983 huku akiliendeaha gari la Nissan Pick-Up huku naibu dereva wake akiwa Gavin Bennett, na alimaliza katika nafasi ya tisa na huku akipata ushindi wa darasa na kupata usikivu wa watu rally.<ref name="mustang"> Daily Nation, 26 Desemba 2009: [http://www.nation.co.ke/sports/-/1090/831468/-/id9hb4z/-/index.html Duncan's mustang ride to victory]</ref>
Ushindi wake wa kwanza wa kitaifa wa Rally ulikuwa katika mji wa Nakuru mwaka wa 1987 wakati alikuwa anaendesha gari ya aina ya Toyota Celica Cam Twin Turbo huku naibu dereva wake akiwa Ian Munro. Duncan alishinda mchuano wake wa kwanza wa kitaifa mwaka huo huo kwani alishinda mashindano mengi. Alishinda tuzo la mwendesha motokaa wa mwaka wa kitaifa mwaka wa 1987.
Alishiriki kwa kutumia Group A Subaru Legacy na Toyota Celica Turbo 4WD katika miaka ya 1990. Mbali na Safari Rally, alishiriki katika mikutano ya kampeni za WRC mara chache tu. Tokeo lake bora lilikuwa kumaliza katika nafasi ya 8 kwa jumla na kushinda darasala kundi N katika shindano la safari rally la Acropolis Rally mwaka wa 1990 nchini [[Ugiriki]] huku naibu dereva wake akiwa Yvonne Mehta (mke wa [[Shekhar Mehta]]).
Baadaye alianza kuendesha gari la aina ya [[Toyota Hilux]] ambalo lilikuwa na injini ya lita 4.5 na alilitumia katika mchuano wa rally wa kitaifa wa Kenya (Kenya National Rally Championship (KNRC)). Mnamo Novemba mwaka wa 2006 Duncan alishinda Guru Nanak Rally na kuwa dereva wa kwanza kushinda taji la KNRC kwa mara ya kumi. Alipewa adhabu ya asilimia nne ya muda kwa sababu hakuwa ameliandikisha gari lake. Aliendeleza rekodi yake mwaka wa 2007 na kwa mara nyingine tena akashinda Guru Nanak Rally.
Duncan ameshinda tukio la Rhino Charge off-road katika miaka ya 1998, 2006 na 2007. Ameshiriki katika mashindano ya pikipiki. Mnamo mwaka wa 2003, alichukua nafasi ya pili katika Kenya Enduro, Motocross na vilevile Michuano ya rally .<ref>Daily Nation, 29 Desemba 2003: [http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/29122003/Sports/Sports291220034.html Rose takes over KNRC] {{Wayback|url=http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/29122003/Sports/Sports291220034.html |date=20040908133649 }}</ref>
Alitumia gari lake mpya, Nissan Patrol Pick-up, mnamo Oktoba mwaka wa 2008. Mwaka wa 2008 pia alishinda mchuano wa kitaifa wa autocross. Mnamo mwaka wa 2009, miaka 15 baada ya kushinda Safari Rally halisi, Duncan alishinda Safari classic rally huku akiliendesha gari la mwaka wa 1967 la Ford Mustang huku naibu dereva wake akiwa naibu dereva wake wa sasa, Amaar Slatch. Bingwa mtetezi [[Bjørn Waldegård]] alimaliza katika nafasi ya pili.
==Ushindi wa WRC==
{| class="wikitable"
! #
! Tukio
! Msimu
! Naibu-dereva
! Gari
|-
| 1
| {{Flag icon|Kenya}} [[42 Trustbank Safari Rally]]
| [[1994]]
| David Williamson
| [[Toyota Celica Turbo 4WD]]
|}
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
*[http://www.rallybase.nl/index.php?type=profile&driverid=2383 Profile of Duncan saa Rallybase.nl,] pamoja na matokeo ya kimataifa
*[http://www.worldrally.net/pakar/safari94.html Ripoti juu ua ushindi wa Duncan katika Safari Rally mwaka wa 1994] {{Wayback|url=http://www.worldrally.net/pakar/safari94.html |date=20091020103436 }}
*[http://www.knrc.net/ Kenya National Rally Championship,] {{Wayback|url=http://www.knrc.net/ |date=20071008081923 }} tovuti rasmi
{{Mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Duncan, Ian}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Kenya]]
d9pdebgyg3a5tv220sb4b1wqdzy0bay
Magonjwa ya kuku
0
36089
1584636
1385168
2026-08-06T07:15:34Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584636
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Infestation Echidnophaga gillinacea.JPG|thumb|250px]]
'''Magonjwa ya kuku''' ni [[maradhi]] yanayoathiri afya ya kuku na kusumbua [[wafugaji]] wengi wa [[kuku]], hasa wafugaji wadogowadogo.
Kuku, kama walivyo [[viumbehai]] wengine, hupatwa na magonjwa mbalimbali. Kwa kuwa kuku ni [[mifugo]] ya [[binadamu]], hivyo ni [[jukumu]] la mfugaji kutatua tatizo linapotokea ambalo hujumuisha [[afya]] ya mfugo wake - kuku.
Makala hii inaelezea baadhi ya magonjwa ya kuku yanayowakabili wafugaji wengi na baadhi ya njia za kupunguza au kujilinda na magonjwa haya.
==Kinga==
Mfugaji wa [[kuku]] hana budi ajitahidi kuyazuia magonjwa kuliko kuyaponya kwa kuwalisha kuku [[chakula bora]] na cha kutosha. Kama itawezekana chakula chao kichanganywe na [[dawa]] zinazotumika kwenye chakula.
Pia [[usafi]] wa [[nyumba ya kuku]] ni muhimu sana. Sehemu zinazozunguka [[nyumba]] pia zisafishwe. Vyombo vya [[maji]], chakula na vitu vinginevyo lazima viwe safi.
Nyumba za kuku zisiruhusiwe wageni kuingia mara kwa mara kwa sababu wanaweza kuingiza magonjwa kutoka sehemu walizotoka. [[Panya]] na wadudu wengine wazuiwe kabisa kuingia ndani ya nyumba za kuku. Kwenye [[Mlango|milango]] ya nyumba za kuku ziwekwe dawa za kuua [[wadudu]] wanaoeneza magonjwa.
Pamoja na kulinda usafi katika nyumba za kuku, kuna baadhi ya magonjwa ambayo ni ya hatari sana kwa sababu yanapoingia huua kuku wengi kwa mara moja. Baadhi ya magonjwa ni kama ifuatavyo.
==Mharo Mweupe (''Pullorum'' au ''Bacillary White Diarrhoea'')==
[[Dalili]] za ugonjwa huu ni kama ifuatavyo:
* Toka siku tatu hadi majuma mbili baada ya kupata vijidudu vya ugonjwa, vifaranga huharisha kinyesi cheupe na vingi hufa.
* Kuku wakubwa wanaotaga, hupunguza kutaga mayai ghafla na baadhi yao hufa ghafla.
Mpaka sasa hakuna matibabu ambayo yanafahamika yanayoweza kutibu ugonjwa huu. Kitu ambacho mfugaji anawezaa kufanya ni kuchoma moto [[kuku]] wote wanaougua, na kusafisha nyumba nzima kwa dawa. Mfugaji amjulishe haraka bwana mganga wa wanyama aliye karibu naye.
Njia nzuri ya kuzuia magonjwa, kwa mfugaji kununua vifaranga kutoka vituo vyenye sifa nzuri ya kutokuwa na ugonjwa huu, hasa vituo ambavyo hupitisha uchunguzi wa mara kwa mara kutafuta kama ugonjwa huu upo kwenye kutuo chao. Kituo hicho cha kuangua vifaranga lazima kiwe kinatumia dawa za kusafisha mashine za kuangua vifaranga.
==Mharo Mwekundu (''Coccidiosis'' au ''Red Diarrhoea'')==
Kuku walioathiwa na ugonjwa huu huonyesha dalili zifuatazo. Kati ya majuma manne hadi kumi hivi, baada ya kuambukizwa kuku huharisha [[damu]], Kuku ambao wameshikwa sana na ugonjwa huu, huonekana wemedhoofika sana na huwa kama wemavaa koti, na shingo yao huinama chini.
Kuku hao hawashughuliki kutafuta chakula wala maji, na husinzia mara kwa mara kwenye pembe za nyumba. Vifo hutokea vingi kila siku. Kuku wakubwa ambao hawakufa hukuwa taratibu sana. Utagaji wa mayai hucheleweshwa au hupunguzwa. Wakati mwingine kinyesi cha kuku hao huwa na rangi ya kahawia baadaye kuwa na damu.
Ugonjwa huu hupona haraka kama matibabu yaanza mapema. Mfugaji amwone haraka bwana mganga wa wanyama aliye karibu naye, ili amshauri dawa ambazo zinatumika, kwa sehemu mbalimbali. Uzingatiaji wa masharti ya dawa ni jambo muhimu sana. Kuushinda ugonjwa huu kunategemea usafi wa mfugaji. Mfugaji inampasa ahakikishe kuwa haruhusu unyevunyevu kwenye takataka zinazowekwa ndani ya chumba kwa kulalia [[kuku]], hasa kwenye nyumba ya kulelea vifaranga sehemu ambazo humwagwa sana maji ovyo kuzunguka vyombo vya maji. Sehemu hizi ni lazima zitupiwe [[macho]] mara kwa mara. Ikiwezekana vyombo vya maji na chakula viwekwe kwenye chakula au maji.
Vifaranga wasisongamane sana kwenye chumba kidogo. Chakula cha vifaranga kitiwe dawa ya kuzuia ugojwa huu, na hii ndio njia iliyo bora zaidi na yenye uhakika katika kuzuia ugonjwa huu. Dawa huleta matokeo mazuri sana iwapo itaambatana na usafi.
==Magonjwa ya Kupumua (''Respiratory Diseases'')==
Haya ni magonjwa ya kooni, nayo hutokana sana katika kuku waliosongamana, na kwenye nyumba zilizojengwa vibaya. Sehemu za joto kama [[Tanzania]] magonjwa haya ya kooni yanaweza kuzuiliwa kwa urahisi kwa kujenga nyumba zenye kupitisha hewa ya kutosha, kwa sababu hakuna hofu ya baridi kali.
Kuku wadogo wanaweza kuugua ugonjwa huu kama kuna upepo mkali. Kwa hiyo nyumba za kulelea vifaranga ziwekewe pazia la gunia, au vitamba au makaratasi. Vumbi lipanguswe mara kwa mara kwenye kuta za nyumba za kuku.
==Ndui ya Kuku (''Fowl Pox'')==
Hii ni [[ndui]] ya kuku. Kuku huonekana na vipele vya rangi ya kijivujivu, kwenye ngozi yake, hasa kwenye upanga wa kichwa. Baada ya muda mfupi vipele hivi huwa vikubwa na kukutana na kufanya majeraha mabichi na yenye kutoa [[damu]]. Baada ya siku kumi hadi kumi na nne hivi, majeraha haya hukauka na kufanya makovu meusi. Kuku wanaougua wanaweza kutibiwa lakini mfugaji inampasa atoe taarifa haraka kwa bwana maganga wa wanyama aliye karibu naye ili ampatie dawa zinazofaa. Kuku wanaougua watengwe haraka wanapoonekana ili wasiambukize wazima. Usafi ni muhimu katika kuzuia ugonjwa huu usitokee. Kuku wapewe nafasi ya kutosha na wasisongamane. Ugonjwa huu unaweza kuzuiwa kabisa kwa kuchanja dawa kuku wote mapema.
==Sotoka au Ndigana (''Newcastle Disease'')==
Kuku walioshikwa na ugonjwa huu huwa wazembe na hutokwa na hamu ya chakula. Shingo ya kuku hulegea na [[manyoya]] hukunjamana. Upanga na ndevu hugeuka na kuwa na rangi ya bluu. Koo la chakula huwa kubwa na hutoa [[mate]] yanayotoa harufu mbaya. Kuku huyu hulemewa kuvuta pumzi, na huharisha kinyesi chenye rangi ya kijani. Kichwa cha kuku huinamia nyuma au mbele au pembeni. Kuku wengi, hasa wachanga hufa. Ugonjwa huu haujapata dawa maalum ya kutibu. Mfugaji awatenge kuku haraka na amwarifu mganga wa wanyama aliye karibu naye. Usafi wa nyumba na uwanja wa kuku ni jambo muhimu sana katika uzuiaji wa ugonjwa huu. Kuku wachanjwe dawa mapema. Kuku ambao wamepata ugonjwa huu wachomwe moto au wazikwe kwenye shimo lenye kina kirefu kwenda chini.
==Kipindupindu cha Kuku (Fowl Cholera)==
Ugonjwa huu unapomjia kuku kwa nguvu, hufa ghafla. Unapomjia taratibu kuku husinzia na manyoya yake huvurugika. Shingo huinamia nyuma. Upanga na ndevu hupanuka. Kuku huishiwa hamu ya kula chakula, na kuharisha kinyesi cheupe. Baadhi ya kuku huvuta pumzi kwa shida na kutoa sauti ya mkwaruzo. Mfugaji amwarifu bwana mganga wa wanyama aliye karibu naye, na atamshauri dawa za kutumia. Usafi wa nyumba na uwanya wa kuku ndiyo msingi wa kuzuia ugonjwa huu. Kuku walioshikwa na ugonjwa huu watengwe haraka na baadaye wachomwe moto. Kuku wachanjwe dawa mapema kwenye sehemu ambazo ugonjwa huu hutokea mara kwa mara.
==Homa ya Matumbo ya Kuku (Fowl Typhoid)==
Kuku anapojiwa na ugonjwa huu kwa nguvu sana upanga na ndevu zake hukunjamana. Kuku hufa ghafla japokuwa huonekana bado ana afya sana. Ikiwa ugonjwa unamjia kwa taratibu hadi ukakomaa, upanga na ndevu hufifia na kunyauka. Kuku huhara kinyesi cha rangi ya manjano. Hamu ya chakula humtoka, isipokuwa hunywa maji mengi, na kuku huyo huonekana ana wasiwasi sana. Kuna dawa nyingi ambazo zinaweza kusaidia kuponya baadhi ya kuku wakati ugonjwa huu unapoingia. Dawa hizi mara nyingi hutengenezwa ili zitumiwe kwenye chakula au maji. Mfugaji amwone bwana mganga wa wanyama aliye karibu naye ili amshauri dawa ya kutumia. Nyumba za kuku ziwekwe kwenye hali ya usafi, na uwanja usafishwe pia. Vyombo vya maji na chakula visafishwe kwa dawa. Kuku wanaougua wote wachomwe moto. Kuku wazima wachanjwe dawa mapema na ikiwezekana wachunguzwe kila mmoja kuona kama wapo wenye ugonjwa huo.
==Wadudu wanaokaa kwenye manyoya==
Mfugaji inampasa awachunguze kuku wake mara kwa mara, ili ahakikishe kuwa kuku wake hawana [[viroboto]], [[chawa]], [[papasi]] au wadudu wengine ambao ni wadogo sana hata ni vigumu kuwaona kwa urahisi kwa macho. Wadudu hawa huwasumbua kuku na kuwapunguzia uwezo wao wa kutoa mazao mengi ya mayai au nyama. Ni jambo la busara kutumia dawa za wadudu ambazo hutengenezwa katika hali ya unga. Dawa hizi hutumika kwa kuwapaka kuku au kumwagia sakafu, au kwenye masanduku ya kutagia, au kwenye ngazi za kupumzika kuku. Mfugaji amwone maganga wa wanyama aliye karibu naye ili amshauri dawa zinazofaa kwa sehemu yake. Kuna baadhi ya wadudu wa kuku ambao wanakaa kwenye miguu ya kuku na kufanya magamba miguuni. Mfugaji anaweza kutumia [[mafuta ya taa]] kwa kupaka miguu mpaka atakapoona kuwa wadudu wote wametoweka.
==Wadudu wa tumboni==
Kuku hushambuliwa na aina nyingi za [[minyoo]] ambayo huishi [[tumboni]] na kuwanyonya [[damu]] au [[chakula]] na kuwadhoofisha, au kuwauwa kabisa. Njia iliyo bora ya kuzuia minyoo hii ni usafi wa nyumba na uwanja wa kuku. Hali ya kuambukiza ya minyoo ikizidi, mfugaji amwarifu bwana mganga wa wanyama aliye karibu naye, ili amshauri dawa za kutumia.
==Kudonoana manyoya, vidole, kulana wenyewe kwa wenyewe na kula mayai==
Tabia hizi mbaya za kuku hutokana na sababu nyingi mbalimbali. Sabubu mojawapo ni upungufu wa nafasi ambayo hufanya kuku wasongamane sana. Kwa hiyo kuku wapewe nafasi ya kutosha ya chakula maji na ya kupumzika. Kuku wanaweza kuanzisha tabia hizi ikiwa chakula chao hakina aina zote za chakula hasa nyama au [[chumvi]] au [[vitamini]]. Kwa hiyo njia mojawapo ya kuepukana na tabia hizi mbaya ni kuwapa kuku chakula bora. Wakati mwingine kuku hushawishiwa kula mayai kutokana ukosefu wa kuondoa mayai kwenye nyumba ya kutagia, mara kwa mara. Kwa hiyo mayai ni lazima yaondolewe kwenye nyumba za kutagia mara tatu au zaidi kwa siku.
Uchovu wa kukaa mahali pamoja unaweza kuwafanya kuku waanze baadhi ya tabia hizi mbaya. Wafugaji wengi wenye busara huwazuia kuku wasianze tabia hizi kwa kuwapatia majani mabichi ambayo huwafanya wawe na mchezo wa kupoteza na kusahau kudonoana. Majani hayo hutundikwa kwa kamba. Njia nyingine ambazo hutumika kwa kuzuia tabia hizi mbaya za kuku ni kuwakata midomo kwa kutumia kisu kilichopashwa [[moto]], au chuma cha moto wanachotumia mafundi kuungia. Ubora wa chombo kilichopashwa moto ni kwamba mdomo wa kuku hukatwa na kuzuia damu isitoke. Kwa hiyo jeraha hupona haraka. Kuku wakubwa na wadogo wanaweza kutumia vyombo hivi, lakini mfugaji inambidi kukata kuku midomo kati ya majuma matatu hadi tano. Mdomo unaokatwa ni wa juu, na ukatwe kuanzia robo hadi nusu ya mdomo. Majogoo ya kupandisha yasikatwe kwa sababu yatashindwa kupanda.
==Tazama pia==
* [[Kuku]]
* [[Kuku Mashuhuri Tanzania]]
==Marejeo==
# Kirumbi, D.M. (1980) Ufugaji wa Kuku (Dar es Salaam: Tanzania Publishing House)
# [http://swahili.food-security.info/pdf%20%28Swahili%29/ECHO/ECHO-Chickens-ImprovingSmallScaleProduction.pdf Kuendeleza Ufugaji wa Kuku] {{Wayback|url=http://swahili.food-security.info/pdf%20%28Swahili%29/ECHO/ECHO-Chickens-ImprovingSmallScaleProduction.pdf |date=20071215203701 }}
==Viungo vya nje==
* [http://www.abc.net.au/science/news/stories/s1058784.htm Habari za Sayansi kuhusu kuku]
* [http://www.backyardchickens.com/LC-diseases.html Magonjwa ya Kuku] {{Wayback|url=http://www.backyardchickens.com/LC-diseases.html |date=20100209125810 }}
* [https://ufugaji.co.tz/magonjwa-ya-kuku-na-tiba-yake/ Magonjwa ya Kuku-Sekta ya Mifugo Tanzania] {{Wayback|url=https://ufugaji.co.tz/magonjwa-ya-kuku-na-tiba-yake/ |date=20180710074948 }}
[[Jamii:Ufugaji]]
[[Jamii:Kuku]]
cu7bpewghz5dritxjmrsb5t7riwzv32
Huddinge
0
40001
1584442
1341504
2026-08-05T17:51:30Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584442
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Huddinge centrum.JPG|thumb|250px| Mtaa wa Huddinge]]
[[Picha:Huddinge Municipality in Stockholm County.png|thumb|180px|]]
'''Huddinge''' ni manispaa na mji nchini [[Uswidi]]. Kuna wakazi 100,116 (mwaka 2012) [http://www.scb.se/Pages/TableAndChart____244145.aspx]. Pia ni pambizo wa [[Stockholm]]
== Jiografia ==
Eneo lake ni 140,63 [[km²]].
<gallery>
Picha:Huddinge sjukhus ingång.jpg | ''Hospitali ya Huddinge''
Picha:Huddinge-spelare.JPG |''Huddinge IK, mchezo wa magongo''
Picha:Mörtsjön Huddinge.jpg | ''Mörtsjön, Ziwa Mört''
</gallery>
== Viungo vya nje ==
* [http://www.huddinge.se www.huddinge.se] {{Wayback|url=http://www.huddinge.se/ |date=20170518041324 }}
* [http://www.huddingehockey.com Huddinge IK] {{Wayback|url=http://www.huddingehockey.com/ |date=20100818114247 }}
{{Mbegu-jio-Uswidi}}
[[Jamii:Miji ya Uswidi]]
stqpu4nkni2tfxiz7y5hh82bamra48f
Jamii:Wachezaji wa Kenya
14
41477
1584716
907771
2026-08-06T09:38:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584716
wikitext
text/x-wiki
{{Commonscat|Sportspeople from Kenya}}
[[Jamii:Watu wa Kenya|c]]
[[Jamii:Wachezaji nchi kwa nchi|Kenya]]
[[Jamii:Michezo nchini Kenya]]
hlt4g3os3l73a5vsnjb9tj2nhmjvnfc
Lambo la Magenge Matatu
0
69622
1584613
1325571
2026-08-06T04:25:48Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584613
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:ThreeGorgesDam-China2009.jpg|350px|thumbnail|Lambo la Magenge Matatu]]
[[Picha:Magenge 3.png|thumbnail|350px|Eneo la mto Yangtse na mahali pa mradi wa Magenge Matatu]]
'''Lambo la Magenge Matatu''' ni [[lambo]] kubwa nchini [[China]] katika eneo la magenge matatu ya mto [[Changjiang]] (Yangtse). Ni kati ya malambo makubwa kabisa [[Dunia|duniani]] ikizalisha kiasi kikubwa cha nguvu ya [[umememaji]] kati ya malambo yote (22,250 [[wati|megawati]]).
==Shabaha ya lambo na eneo la mradi==
Lambo lilikamilishwa mwaka 2008 kwa shabaha ya kuzuia [[mafuriko]], kuzalisha umeme, kuendeleza uchukuzi, ufugaji [[samaki]], utalii, kuhifadhi mazingira ya asili, kuboresha mazingira, kuhamisha wakazi katika maeneo ya ustawishaji, kupeleka maji kutoka sehemu ya kusini kwenda sehemu ya kaskazini na kumwagilia maji mashamba.
Sehemu ya juu ya ukingo wa maji ya bwawa ina urefu wa mita 3,035, maji baada ya kulimbikizwa katika hali ya kawaida ni yanakuwa na kina cha mita 175. Bwawa la maji la mradi huo linaweza kulimbikiza jumla ya mita za ujazo bilioni 39.3. Bwawa huwa na urefu wa kilomita 600 hadi mji wa [[Chongqing]].
==Mipango ya mradi==
Mtu wa kwanza wa kuleta hoja la kujenga lambo hapa alikuwa [[Sun Yat-sen]] raisi wa kwanza wa China. Serikali za China na [[vita kuu ya pili|wakati wa vita]] pia Japan walifanya mipango ya ujenzi.
Katika miaka ya 1980 mradi ulianzishwa upya na kukubaliwa mwaka 1992 kwa kura katika bunge la China. Waziri mkuu [[Li Peng]] alikuwa mtetezi mkuu wa mradi. Watu wengi walikuwa na wasiwasi na hii ilikuwa mara ya kwanza ya kwamba mpango wa serikali ya China ilikubaliwa na 2/3 za wabunge pekee (kura 1767 za ndiyo, 177 za hapana na 664 za upande wowote). Baadaye maoni ya upimzani yalipihwa marufuku na wapinzani kadhaa walifungwa gerezani.
Ujenzi ulianza mwaka 1994 na bwawa likajaa mwaka 2008. Ualishaji wa umeme ulianza 2009.
==Matatizo ya mradi==
Sababu za wasiwasi na upinzani ulioendelea hadi mwisho ni kama vile:
*uhamiaji wa watu milioni 1.24 ambao makazi yao wamefunikwa na maji ya bwawa jipya
*uharibifu au angalau mabadiliko makubwa katika hifadhi ya taifa Mangenge Matatu
*hatari kwa mazingira na upotevu wa aina kadhaa za wanyama waliohifadhiwa
*hatari ya kujaza kwa bwawa kwa matope mtoni usiweza kuendelea kwenye njia ya mto na kuweza kujaza bwawa hivyo kupunguza faida ya lambo
*hatari kwa ekoljia ya mazingira zisizojulikana maana haiwezekani kujua mabadiliko yote yanayofuatana na ujenzi wa lambo kubwa hivi
== Kujisomea ==
* "[http://www.waterpowermagazine.com/news/newsbeyond-three-gorges-in-china Beyond Three Gorges in China] {{Wayback|url=http://www.waterpowermagazine.com/news/newsbeyond-three-gorges-in-china |date=20131012022237 }}" in ''Water Power & Dam Construction'' (10 Jan. 2007) {{Ling|Anglice}}
* J. Akkermann, Th. Runte, D. Krebs, "[http://www.kuk.de/content/akt/pub/173.pdf Ship lift at Three Gorges Dam, China – design of steel structures] {{Wayback|url=http://www.kuk.de/content/akt/pub/173.pdf |date=20110719053447 }}" in ''Steel Construction'' vol. 2 (2009) no. 2 {{Ling|Anglice}}
* Deirdre Chetham, ''Before the Deluge: The Vanishing World of the Yangtze's Three Gorges''. Novi Eboraci: Palgrave Macmillan, 2002.
* Dai Qing, ''The River Dragon Has Come! The Three Gorges Dam and the Fate of China’s Yangtze River and Its People.'' Armonk Novi Eboraci: Sharpe, 1997. ISBN 0-7656-0205-9 {{Ling|Anglice}}
* Mathias Döring, "Der Drei-Schluchten-Damm am Yangtzekiang" in ''Wasserkraft und Energie'' (2004) no. 3 pp. 2–32 {{Ling|Theodisce}}
* Christine Faustmann, ''[http://www.gym-hartberg.ac.at/gym/gwk/thema/dreischluchtendamm/dreischluchtendamm.htm Dreischluchtendamm am Jangtsekiang – Das größte Wasserkraftwerk der Erde. Maturaarbeit Geographie & Wirtschaftskunde] {{Wayback|url=http://www.gym-hartberg.ac.at/gym/gwk/thema/dreischluchtendamm/dreischluchtendamm.htm |date=20080212071107 }}''. Hartberg: BG/BRG/BORG, 2002 {{Ling|Theodisce}}
* Eckhard Freiwald, ''Der Drei-Schluchten-Damm in China: Das grösste Staudamm-Projekt der Welt'' TORO-Verlag, 1997. ISBN 3-922732-83-6 {{Ling|Theodisce}}
* Achim Gutowski, ''Der Drei-Schluchten-Staudamm in der VR China: Hintergründe, Kosten-Nutzen-Analyse und Durchführbarkeitsstudie eines großen Projektes unter Berücksichtigung der Entwicklungszusammenarbeit.'' Bremen: Institut für Weltwirtschaft und Internationales Management, 2000 {{Ling|Theodisce}}
* Jens-Philipp Keil, ''[http://geb.uni-giessen.de/geb/volltexte/2007/4703/ Das Drei-Schluchten-Projekt und seine Auswirkungen auf die sozio-ökonomische Entwicklung im Xiangxi-Einzugsgebiet in der Provinz Hubei, VR China.]'' Gießen: Diplomarbeit, Universität Gießen, 2002 {{Ling|Theodisce}}
* Katiana Le Mentec, "[http://perspectiveschinoises.revues.org/document951.html Le Barrage des Trois-Gorges: les cultes et le patrimoine au cœur des enjeux]" in ''Perspectives chinoises'' nº 94 (Mar.-Apr. 2006) {{Ling|Francogallice}}
* Lin Yang, "[http://www.time.com/time/world/article/0,8599,1671000,00.html China's Three Gorges Dam Under Fire] {{Wayback|url=http://www.time.com/time/world/article/0,8599,1671000,00.html |date=20071013172456 }}" in ''Time'' (12 Oct. 2007) {{Ling|Anglice}}
* Andreas Lorenz und Axel Bojanowski, "[http://www.spiegel.de/wissenschaft/natur/china-stauseen-sollen-erdbeben-in-sichuan-verursacht-haben-a-896205.html Erdbeben in China: Forscher warnen vor zerstörerischen Stauseen]" in ''[[Der Spiegel]] Online Wissenschaft'' (29 Apr. 2013) {{Ling|Theodisce}}
* Luc Merchez, Stéphane Puzin, "[http://www.mgm.fr/PUB/Mappemonde/M399/Troisgorges.pdf Le barrage des Trois-Gorges (Chine)] {{Wayback|url=http://www.mgm.fr/PUB/Mappemonde/M399/Troisgorges.pdf |date=20131019123742 }}" in ''Mappemonde'' nº 55 (1999) pp. 1-5 {{Ling|Francogallice}}
* Pierre Montavon (photographus), Frédéric Koller (scriptor), ''Le fleuve muré''. Genavae: Cadrat Éditions, 2007 {{Ling|Francogallice|Sinice}}
* Florence Padovani, ''[http://www.canalacademie.com/IMG/pdf/flroence_padovani.pdf Effets sociopolitiques des migrations forcées en Chine liées aux grands travaux hydrauliques] {{Wayback|url=http://www.canalacademie.com/IMG/pdf/flroence_padovani.pdf |date=20131019162314 }}''. (2004. ''Les Études du CERI'', nº 103) {{Ling|Francogallice}}
* Alexandra Rigos, Zeng Nian. "Die Zähmung des 'Langen Flusses'" in ''Geo'' vol. 6 (2003) pp. 20–46 {{Ling|Theodisce}}
* Thierry Sanjuan, Rémi Béreau, "[http://www.cairn.info/article.php?ID_REVUE=HER&ID_NUMPUBLIE=HER_102&ID_ARTICLE=HER_102_0019 Le barrage des Trois-Gorges. Entre pouvoir d’État, gigantisme technique et incidences régionales]" in ''Hérodote'' nº 102 (2001/3) pp. 19-55 {{Ling|Francogallice}}
* Weiwei Xian, Bin Kang, Ruiyu Liu, "Jellyfish blooms in the Yangtze estuary" in ''Science'' vol. 307 no. 5706 (2005) p. 41 {{Ling|Anglice}}
* Ute Wörner, "Staudamm gefährdet chinesische Fischbestände" in ''Naturwissenschaftliche Rundschau'' vol. 58 no. 6 (2005) pp. 330-331 {{Ling|Theodisce}}
== Viungo vya Nje ==
{{CommuniaCat|Three Gorges Dam|Molem Trium Angustiarum}}
* [http://www.cypc.com.cn/EN/index.html The China Yangtze Power Co.] {{Wayback|url=http://www.cypc.com.cn/EN/index.html |date=20120511115020 }} {{Ling|Anglice|Mandarinice}}
* "[http://www.chincold.org.cn/dams/rootfiles/2010/07/20/1279253974143251-1279253974145520.pdf Three Gorges Project]" apud Chinese National Committee on Large Dams {{Ling|Anglice}}
* [http://svs.gsfc.nasa.gov/vis/a000000/a003400/a003433/ Molis Trium Angustiarum series imaginum e caelo factarum] {{Wayback|url=http://svs.gsfc.nasa.gov/vis/a000000/a003400/a003433/ |date=20140201215315 }} apud [[NASA]]
* [http://www.youtube.com/watch?v=tjTh7A4jnbc "Three Gorges Power Plant Animation"] apud youtube.com
* [http://www.guardian.co.uk/flash/0,,1799355,00.html Pelliculae breves de mole constructo] apud ''[[The Guardian]]'' (16 Iun. 2006)
* "[http://www.internationalrivers.org/campaigns/three-gorges-dam Three Gorges Dam]" apud internationalrivers.org
* Anke Neugebauer, "Jangtsekiang – ein Fluss zwischen Gestern und Morgen: eine Bildreportage über den Dreischluchten-Staudamm" apud ''Telepolis'', 18 Mar. 2006 [http://www.heise.de/tp/r4/artikel/22/22030/1.html pars 1] [http://www.heise.de/tp/r4/artikel/22/22053/1.html pars 2] {{Ling|Theodisce}}
* Gregor Overhoff, "[http://talsperrenkomitee.de/das_three_gorges_project_am_yangtze/bericht_einer_exkursion_aus_dem_jahr_2001.htm 3 Schluchten Projekt am Yangtze: Bericht zur ATV-DVWK Reise nach China (21.09. – 05.10.2001)] {{Wayback|url=http://talsperrenkomitee.de/das_three_gorges_project_am_yangtze/bericht_einer_exkursion_aus_dem_jahr_2001.htm |date=20130930065049 }}" apud Deutsches Talsperrenkomitee {{Ling|Theodisce}}
* Zhou Xiaoqian et al., "[http://library.abb.com/GLOBAL/SCOT/scot221.nsf/VerityDisplay/1B53F2ADBE26097BC1256FDA004AEAC5/$File/cigre20003g.pdf Design Features of the Three Gorges: presented at Cigré 2000 Conference, Paris] {{Wayback|url=http://library.abb.com/GLOBAL/SCOT/scot221.nsf/VerityDisplay/1B53F2ADBE26097BC1256FDA004AEAC5/$File/cigre20003g.pdf |date=20130414003825 }}" {{Ling|Anglice}}
{{Coord|30|49|23|N|111|00|12|E|display=title}}
[[Category:Mito ya China]]
[[Category:Malambo]]
osrvh7ispgc6i08esgugrt2w6x53qck
Majadiliano ya mtumiaji:Janek Sunga23
3
71634
1584772
926928
2026-08-06T10:16:14Z
Riccardo Riccioni
452
1584772
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:30, 6 Juni 2014 (UTC)
Ndugu Janek, salamu! Umeanzisha orodha ya watu mashuhuri wa Kenya. Nimeisanifisha (utaona ya kwamba ssa imeungaishwa na makala zilizopo tayari)
Sasa kuna swali unalenga nini? Ulitaka kutaja majina kadhaa pekee? Sihui kama hii itabaki.. Naomba uendelee kuwapanga katika vikundi (kama vile wasanii, waimbaji, waigizaji, wanasiasa na kadhalika na ongeza majina maana ni wachache. Yaani msomaji ajue majina yako kwa sababu gani! Labda uangalie <nowiki>[[jamii:Watu wa Kenya]]</nowiki> na kuchungulia huko! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:37, 6 Juni 2014 (UTC)
ijf90b31906f19br4v2a5o2m0oh8iob
Jacques Maritain
0
72518
1584466
1546022
2026-08-05T20:05:20Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584466
wikitext
text/x-wiki
[[picha:Maritain Jacques.jpg|thumbnail|right|200px|Jacques Maritain]]
'''Jacques Maritain''' ([[Paris]], [[18 Novemba]] [[1882]] – [[28 Aprili]] [[1973]]) alikuwa [[mwanafalsafa]] kutoka [[Ufaransa]].
==Maisha yake==
Kisha kulelewa katika [[Uprotestanti]], aliasi [[dini]] na kuona haiwezekani kujua kama [[Mungu]] yupo kweli.
Wakati wa masomo yake ya [[sayansi]] katika [[chuo kikuu]] cha [[Sorbonne]], Paris, alikutana na [[Raïssa Maritain|Raïssa Oumansoff]], [[Myahudi]] kutoka [[Urusi]].
Walipoona [[elimu]] haijibu maswali makuu juu ya [[maana ya maisha]], mwaka [[1901]] walikubaliana kujiua kwa wakati mmoja. Lakini waliepushwa na [[rafiki]] yao aliyewaelekeza kufuata vipindi vya wanafalsafa bora.
Mwaka [[1904]] [[ndoa|walioana]] na mwaka [[1906]] waliongokea [[Kanisa Katoliki]].
Baada ya hapo wote wawili waliandika sana. Jacques alitunga zaidi ya [[Kitabu|vitabu]] 60, akisaidia kufufua mafundisho ya [[Thomas Aquinas]] na kutunga [[Tamko la kimataifa la haki za binadamu]].
Mwishoni mwa [[Mtaguso wa pili wa Vatikano]], [[Papa Paulo VI]] alimkabidhi yeye "Ujumbe kwa Wanafalsafa na Wanasayansi".
Mwaka 1912 pamoja na [[mke]] wake walikuwa wameweka [[nadhiri]] ya kujinyima moja kwa moja [[tendo la ndoa]]. Baada ya kufiwa naye, alikwenda kuishi [[utawa]]ni hadi [[kifo]] chake mwenyewe kilichompata akiwa [[unovisi|mnovisi]].
==Maandishi yake==
===I. Vitabu vyake muhimu zaidi vilivyotafsiriwa kwa Kiingereza===
* ''[[The Degrees of Knowledge]]'', orig. 1932
* ''Integral Humanism'', orig. 1936
* ''A Preface to Metaphysics'', engl. 1962
* ''Education at the Crossroads'', engl. 1942
* ''[[The Range of Reason]]'', engl. 1952
* ''[[The Person and the Common Good]]'', fr. 1947
* ''Approaches to God'', fr. 1953
* ''Creative Intuition in Art and Poetry'', engl. 1953
* ''Moral Philosophy'',
* ''Introduction to Philosophy'', Christian Classics, Inc., Westminster, MD, 1st. 1930, 1991.
* ''Existence and the Existent'', (fr. 1947) trans. by Lewis Galantiere and Gerald B. Phelan, Image Books division of Doubleday & Co., Inc., Garden City, NY, 1948, Image book, 1956. ISBN 978-0-8371-8078-6
* ''Man and The State'', (orig.) University of Chicago Press, Chicago, ILL, 1951.
* ''The Peasant of the Garonne, An Old Layman Questions Himself about the Present Time'', trans. Michael Cuddihy and Elizabeth Hughes, Holt, Rinehart and Winston, NY, 1968; orig. 1966.
* ''God and the Permission of Evil'', trans. Joseph W. Evans, The Bruce Publishing Company, Milwaukee, WI, 1966 (orig. 1963).
* ''[[Art and Scholasticism with other essays]]'', Sheed and Ward, [[London]], 1947
===II. Kwa lugha asili===
* ''La philosophie bergsonienne'', 1914 (1948)
* ''Eléments de philosophie'', 2 volumes, Paris 1920/23
* ''Art et scolastique'', 1920
* ''Théonas ou les entretiens d’un sage et de deux philosophes sur diverses matières inégalement actuelles'', Paris, Nouvelle librairie nationale, 1921
* ''Antimoderne'', Paris, Édition de la Revue des Jeunes, 1922
* ''Réflexions sur l’intelligence et sur sa vie propre'', Paris, Nouvelle librairie nationale, 1924.
* ''Trois réformateurs : [[Martin Luther|Luther]], [[Descartes]], [[Rousseau]], avec six portraits'', Paris [Plon], 1925
* ''Réponse à [[Jean Cocteau]]'', 1926
* ''Une opinion sur [[Charles Maurras]] et le devoir des catholiques'', Paris [Plon], 1926
* ''Primauté du spirituel'', 1927
* ''Pourquoi Rome a parlé'' (coll.), Paris, Spes, 1927
* ''Quelques pages sur Léon Bloy'', Paris 1927
* ''Clairvoyance de Rome'' (coll.), Paris, Spes, 1929
* ''Le docteur angélique'', Paris, Paul Hartmann, 1929
* ''Religion et culture'', Paris, Desclée de Brouwer, 1930 (1946)
* ''Le thomisme et la civilisation'', 1932
* ''Distinguer pour unir ou Les degrés du savoir'', Paris 1932
* ''Le songe de Descartes, Suivi de quelques essais'', Paris 1932
* ''De la philosophie chrétienne'', Paris, Desclée de Brouwer, 1933
* ''Du régime temporel et de la liberté'', Paris, DDB, 1933
* ''Sept leçons sur l'être et les premiers principes de la raison spéculative'', Paris 1934
* ''Frontières de la poésie et autres essais'', Paris 1935
* ''La philosophie de la nature, Essai critique sur ses frontières et son objet'', Paris 1935 (1948)
* ''Lettre sur l’indépendance'', Paris, Desclée de Brouwer, 1935.
* ''Science et sagesse'', Paris 1935
* ''Humanisme intégral. Problèmes temporels et spirituels d'une nouvelle chrétienté''; zunächst spanisch 1935), Paris (Fernand Aubier), 1936 (1947)
* ''Les Juifs parmi les nations'', Paris, Cerf, 1938
* ''Questions de conscience : essais et allocutions'', Paris, Desclée de Brouwer, 1938
* ''La personne humaine et la societé'', Paris 1939
* ''Le crépuscule de la civilisation'', Paris, Éd. Les Nouvelles Lettres, 1939
* ''Quattre essais sur l'ésprit dans sa crudition charnelle'', Paris 1939 (1956)
* ''De la justice politique, Notes sur le présente guerre'', Paris 1940
* ''Scholasticism and politics'', New York 1940
* ''A travers le désastre'', New York 1941 (1946)
* ''Conféssion de foi'', New York 1941
* ''Ransoming the time'' (Redeeming the time), New York 1941
* ''La pensée de St.Paul'', New York 1941 (Paris 1947)
* ''Les Droits de l'Homme et la Loi naturelle'', New York 1942 (Paris 1947)
* ''Saint Thomas and the problem of evil'', Milwaukee 1942;
* ''Essays in Thomism'', New York 1942;
* ''Christianisme et démocratie'', New York 1943 (Paris 1945)
* ''Education at the crossroad'', New Haven 1943
* ''Principes d'une politique humaniste'', New York 1944 (Paris 1945);
* ''De Bergson à Thomas d'Aquin, Essais de Métaphysique et de Morale'', New York 1944 (Paris 1947)
* ''A travers la victoire'', Paris 1945;
* ''Messages 1941-1944'', New York 1945;
* ''Pour la justice'', Articles et discours 1940-1945, New York 1945;
* ''Le sort de l'homme'', Neuchâtel 1945;
* ''Court traité de l'existence et de l'existent'', Paris 1947;
* ''La personne et le bien commun'', Paris 1947;
* ''Raison et raisons, Essais détachés'', Paris 1948
* ''La signification de l'athéisme contemporain'', Paris 1949
* ''Man and state'', Chicago 1951
* ''Neuf leçons sur les notions premières de la philosophie morale, Paris 1951
* ''Approches de Dieu'', Paris 1953.
* ''L'Homme et l'Etat'' (engl.: Man and State, 1951) Paris, PUF, 1953
* ''Creative intuition in Art and Poetry'' (engl.), 1953
* ''On the philosophy of history'', ed. J.W. Evans, New York 1957
* ''Truth and human fellowship'', Princeton 1957
* ''Reflections on America'', New York 1958
* ''Pour une philosophie de l'éducation'', Paris 1959
* ''Le philosophe dans la Cité'', Paris 1960
* ''The responsibility of the artist'', New York 1960;
* ''La philosophie morale'', Vol. I: Examen historique et critique des grands systèmes, Paris 1960
* ''Man's approach to God'', Latrobe/Pennsylvania 1960
* ''On the use of philosophy'', Princeton 1961
* ''A preface to metaphysics'', New York 1962
* ''Dieu et la permission du mal'', 1963
* ''Carnet de notes'', Paris, DDB, 1965
* ''L'intuition créatrice dans l'art et dans la poésie'', Paris, Desclée de Brouwer, 1966 (engl. 1953)
* ''Le paysan de la Garonne. Un vieux laïc s’interroge à propos du temps présent'', Paris, DDB, 1966
* ''Challenges and renewals'', ed. J.W. Evans/L.R. Ward, Notre Dame/Ind. 1966
* ''The education of man, The educational philosophy of J.M.'', ed. D./I. Gallagher, Notre Dame/Ind. 1967
* ''De la grâce et de l'humanité de Jésus'', 1967
* ''De l'Église du Christ. La personne de l'église et son personnel'', Paris 1970
* ''Approches sans entraves'', posthum 1973.
* '''Oeuvres complètes de Jacques et Raïssa Maritain''', 16 Bde., 1982-1999.
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* G. B. Phelan, ''Jacques Maritain'', NY, 1937.
* J.W. Evans in ''Catholic Encyclopaedia'' Vol XVI Supplement 1967–1974.
* Michael R. Marrus, "The Ambassador & The Pope; Pius XII, Jacques Maritain & the Jews", ''Commonweal'', Oct. 22, 2004
* H. Bars, ''Maritain en notre temps'', Paris, 1959.
* D. and I. Gallagher, ''The Achievement of Jacques and Raïssa Maritain: A Bibliography, 1906–1961'', NY, 1962.
* J. W. Evans, ed., ''Jacques Maritain: The Man and His Achievement'', NY, 1963.
* C. A. Fecher, ''The Philosophy of Jacques Maritain'', Westminster, MD, 1963.
==Viungo vya nje==
* [http://people.stfx.ca/wsweet/etudes.html Études maritainiennes-Maritain Studies]
* [http://maritain.web.officelive.com Maritain Center, Kolbsheim] {{Webarchive|url=https://archive.today/20080409023315/http://maritain.web.officelive.com/ |date=2008-04-09 }} (in French)
* [http://www.maritain.fr Cercle d'Etudes J. & R. Maritain] at Kolbsheim (France).
* [http://www.nd.edu/Departments/Maritain/ndjmc.htm Jacques Maritain Center] at the [[University of Notre Dame]].
* [[Stanford Encyclopedia of Philosophy]]: [http://plato.stanford.edu/entries/maritain/ Jacques Maritain] by William Sweet.
* [http://www.maritain.org/ International Jacques Maritain Institute.] {{Wayback|url=http://www.maritain.org/ |date=20160216002752 }}
* [http://www.maritain.org/ricerca/index.php/ Bibliography] {{Wayback|url=http://www.maritain.org/ricerca/index.php/ |date=20110216225303 }} of the primary and secondary literatures on Jacques Maritain.
{{mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Maritain, Jacques}}
[[Category:Waliozaliwa 1882]]
[[Category:Waliofariki 1973]]
[[Category:Wanafalsafa wa Ufaransa]]
[[Category:Waandishi wa Ufaransa]]
en7q64ewfktjexhe1uglunbdag0mxe5
Mohamed Amin
0
72627
1584833
1521007
2026-08-06T11:41:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584833
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person
| jina = Mohamed Amin
| picha =
| alt =
| maelezo =
| jina la kuzaliwa =
| tarehe ya kuzaliwa = {{Birth date|1943|08|29}}
| mahali pa kuzaliwa = [[Eastleigh (Nairobi)|Eastleigh]], [[Nairobi]]
| tarehe ya kufa = {{Death date and age|1996|11|23|1943|08|29}}
| mahali alipofia = [[Komori]]
| utaifa = Mkenya
| majina mengine =
| kazi yake = Mpiga picha na mwandishi wa habari
| anajulikana kwa ajili ya =
}}
'''Mohamed "Mo" Amin''' ([[29 Agosti]] [[1943]] - [[23 Novemba]] [[1996]]) alikuwa [[Picha|mpiga picha]] maarufu kutoka [[Kenya]]. Alijulikana kwa kazi zake kuripoti uhaba wa chakula nchini [[Ethiopia]] miaka ya 1983–85.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.moforce.com/moamin.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2014-09-30 |archivedate=2015-02-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150220082051/http://moforce.com/moamin.html }}</ref>
==Tanbihi==
<references/>
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1943|1996}}
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
[[Jamii:wapiga picha]]
nw0maxszjxd9u9dp2ly58dxu4qcnf6r
Maangamizi ya Waarmenia
0
76263
1584633
1518697
2026-08-06T06:49:33Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584633
wikitext
text/x-wiki
[[File:April24Victims.jpg|thumb|Baadhi ya wasomi Waarmenia waliokamatwa wakauawa usiku wa tarehe 24 Aprili 1915.]]
[[File:Morgenthau336.jpg|thumb|[[Balozi]] wa [[Marekani]] aliandika kuhusu picha hii, "Mambo kama haya yalikuwa ya kawaida katika wilaya za Kiarmenia katika miezi ya [[majira ya kuchipua]] na [[majira ya joto]] ya 1915... Sera ya Kituruki ilikuwa kuangamiza kwa kisingizio cha kuhamisha".]]
'''Maangamizi ya Waarmenia''' (kwa [[Kiarmenia]] Հայոց Ցեղասպանություն, ''Hayots Tseghaspanutyun'') maarufu kwa [[Kiingereza]] kama '''Armenian Holocaust''',<ref>[http://www.independent.co.uk/voices/commentators/fisk/robert-fisk-let-me-denounce-genocide-from-the-dock-420011.html Robert Fisk: Let me denounce genocide from the dock] {{Wayback|url=http://www.independent.co.uk/voices/commentators/fisk/robert-fisk-let-me-denounce-genocide-from-the-dock-420011.html |date=20140124204800 }} The Independent, 14 October 2006</ref>, '''Armenian Massacres''' na kwa Kiarmenia Մեծ Եղեռն, Medz Yeghern, "Ovu kubwa")<ref>{{citation|publisher=The International Association of Genocide Scholars|type=affirmation|title=Armenian Genocide|quote=That this assembly of the Association of Genocide Scholars in its conference held in Montreal, June 11–3, 1997, reaffirms that the mass murder of Armenians in Turkey in 1915 is a case of genocide which conforms to the statutes of the United Nations Convention on the Prevention and Punishment of Genocide. It further condemns the denial of the Armenian Genocide by the Turkish government and its official and unofficial agents and supporters.}}</ref>,<ref>{{cite news|last=Matiossian|first=Vartan|title=The Self-Delusion of 'Great Calamity': What 'Medz Yeghern' Actually Means Today|url=http://www.armenianweekly.com/2013/01/12/the-self-delusion-of-great-calamity-what-medz-yeghern-actually-means-today/|newspaper=[[Armenian Weekly]]|date=12 January 2013|authorlink=Vartan Matiossian}}</ref> yalikuwa sera ya [[Dola la Osmani]] ya kukomesha [[Waarmenia]] wote walioishi ndani ya eneo la dola hilo (leo nchini [[Uturuki]].
Ma[[kadirio]] ya waliouawa ni kati ya watu [[milioni]] 1 na 1.5.
[[Tarehe]] inayohesabiwa kuwa [[mwanzo]] wa hayo [[mauaji ya kimbari]] ni [[24 Aprili]] [[1915]], ambapo watawala Waturuki waliteka wasomi Waarmenian 250 [[mji]]ni [[Istanbul]]. Tarehe hiyohiyo miaka 100 baadaye yalifanyika maadhimisho makubwa katika nchi mbalimbalimbali, hasa huko [[Etchmiadzin]], makao makuu ya kiroho ya Waarmenia, ambapo [[Patriarki]] [[Katolikosi]] [[Karekin II]] aliwatangaza kwa jumla waliouawa kuwa [[watakatifu]] [[wafiadini]].
Maangamizi yalitekelezwa kwa awamu mbili: kwanza [[wanaume]] wazima waliuawa mara moja au kulazimishwa kufanya kazi za [[shokoa]], halafu [[wanawake]], [[watoto]], [[wazee]] na [[wagonjwa]] waliswagwa na [[wanajeshi]] hadi [[jangwa la Syria]] ili wafe njiani, baada ya kunyimwa [[chakula]], [[maji]], mbali ya kuibiwa, [[ubakaji|kubakwa]] na kuuawa.<ref>{{Citation|first1=Hans-Lukas|last1=Kieser|first2=Dominik J.|last2=Schaller|language=German|title=Der Völkermord an den Armeniern und die Shoah|trans_title=The Armenian genocide and the Shoah|publisher=Chronos|year=2002|isbn=3-0340-0561-X|page=114}}</ref><ref>{{Citation | title = Armenia: The Survival of A Nation | first = Christopher J. | last = Walker | publisher = Croom Helm | place = London | year = 1980 | pages = 200–3}}</ref><ref>{{Citation | title = The Treatment of Armenians in the Ottoman Empire, 1915–1916: Documents Presented to Viscount Grey of Falloden | first1 = Viscount James | last1 = Bryce | authorlink= James Bryce, 1st Viscount Bryce | first2 = Arnold | last2 = Toynbee | edition = uncensored | editor-first = Ara | editor-last = Sarafian | place = Princeton, [[New Jersey|NJ]] | publisher = Gomidas | year = 2000 | isbn = 0-9535191-5-5 | pages = 635–49}}</ref>
Ma[[kabila]] mengine pia, hasa ya [[Ukristo|Kikristo]], kama vile [[Waashuru]] na [[Wagiriki]], waliangamizwa na Waturuki wakati huohuo.
[[Mtawanyiko wa Waarmenia]] [[dunia]]ni unatokana kwa kiasi kikubwa na mauaji hayo.
Vilevile ni kutokana nayo kwamba [[Raphael Lemkin]] alitunga neno ''[[wikt:genocide|genocide]]'' mwaka [[1943]] kama maangamizi ya halaiki ya mpango na kadiri ya sera.<ref>{{Rejea jarida | last= Hyde | first= Jennifer | title= Polish Jew gave his life defining, fighting genocide | url= http://www.cnn.com/2008/WORLD/europe/11/13/sbm.lemkin.profile/ | publisher= CNN | date= 2 December 2008 | archiveurl= https://web.archive.org/web/20081203090012/http://www.cnn.com/2008/WORLD/europe/11/13/sbm.lemkin.profile/ | archivedate= 2008-12-03 | deadurl= no | journal= | access-date= 2015-04-18 }}</ref>
Maangamizi hayo yanahesabiwa ya kwanza katika [[karne ya 20]]<ref name="24.04.1998">{{cite web | url = http://www.armenian-genocide.org/Affirmation.153/current_category.7/affirmation_detail.html |title= Council of Europe Parliamentary Assembly Resolution |publisher=Armenian genocide}}</ref><ref name = "Ferguson">{{Rejea kitabu | authorlink = Niall Ferguson | last = Ferguson | first = Niall | title = The War of the World: Twentieth-Century Conflict and the Descent of the West | url = https://archive.org/details/warworldtwentiet00ferg | place = New York | publisher = Penguin Press | year = 2006 | isbn = 1-59420-100-5 | page = [https://archive.org/details/warworldtwentiet00ferg/page/n274 177]}}</ref><ref name = "IAGS">{{Rejea jarida | publisher = Genocide Watch | url = http://www.genocidewatch.org/images/Turkey-_13Jun05ErdoganletterAmericanHistoricalAssociation.pdf | format = PDF | title = A Letter from The International Association of Genocide Scholars | date = 13 June 2005 | journal = | access-date = 2015-04-18 | archive-date = 2017-10-11 | archive-url = https://web.archive.org/web/20171011090846/http://www.genocidewatch.org/images/Turkey-_13Jun05ErdoganletterAmericanHistoricalAssociation.pdf | dead-url = yes | = https://web.archive.org/web/20171011090846/http://www.genocidewatch.org/images/Turkey-_13Jun05ErdoganletterAmericanHistoricalAssociation.pdf }}</ref> yakifuatwa na yale makubwa zaidi ya [[maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya]] chini ya [[Adolf Hitler]].<ref name="nazi">{{Citation | last = Rummel | first = RJ | title = The Holocaust in Comparative and Historical Perspective | journal = The Journal of Social Issues | volume = 3 | number = 2 | date = 1 April 1998}}</ref>
Uturuki, ulioshika nafasi ya Dola la Osmani, unazidi kukataa neno ''genocide'' kuhusiana na mauaji ya Waarmenia, ingawa wataalamu wengi wa historia wanaliona kuwa sahihi na nchi nyingi zaidi na zaidi zinaudai ukiri kosa na kupatana na Waarmenia.<ref>{{cite web|url=http://www.parliament.am/news.php?cat_id=2&NewsID=7281&year=2015&month=03&day=11&lang=eng|title=National Assembly of the Republic of Armenia - Official Web Site - parliament.am|work=parliament.am}}</ref>
== Picha ==
<gallery mode="packed" heights="150">
Picha:Armenians 1915 escaping from a railroad train.png|Waarmenia wakikimbia [[treni]]ni
Picha:Armenian Genocide severed heads.jpg|Waarmenia waliokatwa [[kichwa|vichwa]]
Picha:Armenian refugees at Van crowding around a public oven during 1915.png|[[Wakimbizi]] huko [[Van]], 1915
Picha:Near east relief bivouacking tents in Aleppo.png|Ma[[hema]] huko [[Aleppo]], Syria
Picha:Armenian child refugees (Aleppo, Syria, 1915).jpg|Watoto wakimbizi huko Aleppo
Picha:Iskrinewspapertortured.jpg|Mwarmenia mwanamke akiteswa karibu na mtoto aliyeuawa
Picha:Armenian Skulls of Genocide.jpg|Askari wakicheza na ma[[fuvu]] ya vichwa vya Waarmenia
Picha:Waitingformassacref.png|Umati wa Waarmenia walioagizwa kukusanyika halafu wakaangamizwa
Picha:Armenianmothermourning.jpg|Mwanamke Mwarmenia akiwalilia watoto wake watano waliouawa
Picha:Armenianbitlischurch.jpg|[[Monasteri]] ya [[Bitlis]] ikiwa na [[maiti]] na mafuvu ya vichwa
Picha:Deportationsf.png|Uhamisho wa Waarmenia. Askari amewaibia.
Picha:Armenian refugees LCCN2014707246 (restored).png|[[Kambi la wakimbizi]] huko Syria
Picha:Armenianvictimsassault.jpg|Maiti za watoto Waarmenia
Picha:Armenian refugee camp port said.png|[[Port Said]], [[Misri]]
Picha:ArmenianGenocideFood.jpg|Wakimbizi Waarmenia huko Hauran, Syria, wakila [[mzoga]] wa [[farasi]]
Picha:Harputroads.jpg|Watoto 5,000 kutoka [[Kharpert]] wakisafiri kwa [[punda]] au kwa [[miguu]]
Picha:Armenians Corpses in Diyarbakir Genocide.jpg|Maiti huko Diyarbakir
Picha:Armeniagen6a.jpg|Baada ya [[vita]] kusimama mwaka 1918, Waarmenia waliouawa huko Aleppo walilazwa mbele ya [[hospitali]]
Picha:Armenians hung.jpg|Waarmenia wakinyongwa na Waturuki
Picha:Column of deportees walking through Harput vilayet during the Armenian genocide.jpg|Uhamisho wa Waarmenia katika wilaya ya [[Mamuret Al-Aziz]]
Picha:Kharput Greek-Orthodox refugees - C.D.Morris - National Geographic, Nov. 1925.jpg|Uhamisho wa Waarmenia
Picha:Near east relief the armenian refugees in Bitlis-1916 lace.png|Near East Relief na wakimbizi Waarmenia huko Bitlis
Picha:Armenian genocide survivors discovered in Salt and sent to Jerusalem in April 1918.png|Waarmenia walionusurika huko [[Salt]] na kutumwa [[Yerusalemu]] mnamo Aprili [[1918]].
Picha:Armenian Orphans, Merzifon, 1918.jpg|Ma[[yatima]] Waarmenia huko [[Merzifon]], 1918
Picha:Greek and Armenian refugee children near Athens, 1923.jpg|Watoto Waarmenia wakimbizi karibu na [[Athens]], [[Ugiriki]], [[1923]], baada ya mabadilishano ya raia katika ya Ugiriki na Uturuki
Picha:Refugearmenian.PNG|Mwanamke Mwarmenia na mwanae
Picha:Aleppo Jan 1920 Armenian refugees at the American relief eye hospital by University of Michigan Expedition, George R. Swain, Ann Arbor, Michigan.jpg|Waarmenia waliokimbilia hospitali ya American Relief eye
Picha:Near east relief the armenian refugees in syria-2.png|Wakimbizi kwenye Near East relief
Picha:Armenian refugee women and child getting food relief.png|Ugawaji wa chakula
Picha:Near East relief armenian woman with baby in syria3.png|Mwanamke na mtoto
Picha:Near East Relief Armenian orphans waiting to transport to Greece.png|Kwenda Ugiriki
Picha:Nød i Armenia - fo30141712130022 302.jpg|Watoto kwenye Near East Relief
Picha:Near East relief armenians bound for Greece .png|Kwenda Ugiriki
Picha:Armenian refugees taken in the streets of Alexandropol.png|Waarmenia waliokamatwa kabla hawajaangamizwa
</gallery>
== Tanbihi ==
{{Reflist|30em}}
== Marejeo ==
{{refbegin|30em}}
=== Historia ===
* [[Taner Akçam|Akçam, Taner]]. ''A Shameful Act: The Armenian Genocide and the Question of Turkish Responsibility''. New York: Metropolitan Books, 2007.
* {{cite book|last1=Akçam|first1=Taner|title=The Young Turks' Crime Against Humanity: The Armenian Genocide and Ethnic Cleansing in the Ottoman Empire|url=https://archive.org/details/youngturkscrimea0000akca|date=2012|publisher=Princeton University Press|isbn=9780691153339|ref={{harvid|Akçam|2012}}}}
* [[Peter Balakian|Balakian, Peter]]. ''The Burning Tigris: The Armenian Genocide and America's Response''. New York: HarperCollins, 2003.
* [[Donald Bloxham|Bloxham, Donald]]. ''The Great Game of Genocide: Imperialism, Nationalism, and the Destruction of the Ottoman Armenians''. Oxford: Oxford University Press, 2005.
* [[Vahakn Dadrian|Dadrian, Vahakn]]. ''The History of the Armenian Genocide: Ethnic Conflict from the Balkans to Anatolia to the Caucasus''. Oxford: Berghahn Books, 1995.
* Dadrian, Vahakn. ''Warrant for Genocide: Key Elements of Turko-Armenian Conflict''. New Brunswick, New Jersey: Transaction Publishers, 2003.
* [[Raymond Kévorkian|Kévorkian, Raymond]]. ''The Armenian Genocide: A Complete History''. London: I.B. Tauris, 2011.
* [[Ronald Grigor Suny|Suny, Ronald Grigor]]. ''"They Can Live in the Desert but Nowhere Else": A History of the Armenian Genocide''. Princeton, NJ: Princeton University Press, 2015.
=== Masuala ya pekee na malinganisho ===
* Bobelian, Michael. '' Children of Armenia: A Forgotten Genocide and the Century-Long Struggle for Justice''. New York: Simon & Schuster, 2009.
* {{cite book | last = Bonello | first = Giovanni | authorlink = Giovanni Bonello | title = Histories of Malta - Confessions and Transgressions, Vol.9 | publisher = Fondazzjoni Patrimonju Malti | year = 2008 | url = http://www.patrimonju.org/content.aspx?id=130889&subId=114434 | isbn = 978-99932-7-224-3 | ref = {{harvid|Bonello|2008}} | accessdate = 2015-04-18 | archiveurl = https://web.archive.org/web/20180710011057/http://www.patrimonju.org/content.aspx?id=130889&subId=114434 | archivedate = 2018-07-10 }}
* [[Vahakn Dadrian|Dadrian, Vahakn]]. "Genocide as a Problem of National and International Law: The World War I Armenian Case and its Contemporary Legal Ramifications", ''[[Yale Journal of International Law]]'', Volume 14, Number 2, 1989.
* Dadrian, Vahakn. ''Key Elements in the Turkish Denial of the Armenian Genocide''. Toronto: Zoryan Institute, 1999.
* Dadrian, Vahakn. "Patterns of Twentieth Century Genocides: the Armenian, Jewish, and Rwandan Cases". ''Journal of Genocide Research'', 2004, 6 (4), pp. 487–522.
* Göçek, Fatma Müge. ''Denial of Violence: Ottoman Past, Turkish Present, and Collective Violence against the Armenians, 1789-2009''. Oxford: Oxford University Press, 2014.
* [[Richard G. Hovannisian|Hovannisian, Richard]] (ed.) ''The Armenian Genocide: History, Politics, Ethics''. New York: St. Martin's Press, 1992.
* Hovannisian, Richard. ''Remembrance and Denial: The Case of the Armenian Genocide''. Detroit: Wayne State University Press, 1998.
* Hovannisian, Richard. ''The Armenian Genocide: Cultural and Ethical Legacies''. New Brunswick, New Jersey: Transaction Publishers, 2007.
* Hovannisian, Richard G. and Simon Payalsian (eds). ''Armenian Cilicia''. Costa Mesa, California: Mazda Publishers, 2008.
* [[Michael Mann (sociologist)|Mann, Michael]]. ''The Dark Side of Democracy: Explaining Ethnic Cleansing''. Cambridge, UK: Cambridge, UP, 2004.
* [[Robert Melson|Melson, Robert]], ''Revolution and Genocide: On the Origins of the Armenian Genocide and the Holocaust''. Chicago: University of Chicago Press, 1996.
* [[Samantha Power|Power, Samantha.]] ''"[[A Problem from Hell]]": America and the Age of Genocide''. New York: Harper Perennial 2003.
* {{Rejea jarida | doi = 10.1093/hgs/4.4.449 | last1 = Sanasarian | first1 = Eliz | year = 1989 | title = Gender Distinction in the Genocide Process: A Preliminary Study of the Armenian Case | url = https://archive.org/details/sim_holocaust-and-genocide-studies_1989_4_4/page/449 | journal = Holocaust and Genocide Studies | volume = 4 | issue = 4 | pages = 449–61 | pmid = 20684116 }}
* {{citation|last=Üngör|first=Uğur Ümit|authorlink=Uğur Ümit Üngör|title=The Making of Modern Turkey: Nation and State in Eastern Anatolia, 1913-1950|year=2011|publisher=Oxford University Press|location=Oxford|postscript=}}.
=== Ushahidi wa walionusurika ===
* Balakian, Grigoris. ''Armenian Golgotha''. Translated by Peter Balakian with Aris Sevag. New York: Alfred A. Knopf, 2009.
* Bedoukian, Kerop. ''Some of Us Survived: The Story of an Armenian Boy''. New York: Farrar Straus Giroux, 1978.
* Hartunian, Abraham H. ''Neither to Laugh nor to Weep: A Memoir of the Armenian Genocide''. Translated by Vartan Hartunian. Cambridge, MA: Armenian Heritage Press, 1986.
* Jacobsen, Maria. ''Diaries of a Danish missionary: Harpoot, 1907–1919''. Princeton: Gomidas Institute, 2001.
* Lang, David Marshall. ''The Armenians: A People in Exile''. London: Allen & Unwin, 1981.
* Miller, Donald E. and Lorna Touryan Miller. ''Survivors: An Oral History of the Armenian Genocide''. Berkeley: University of California Press, 1993.
* Panian, Karnig. ''Goodbye, Antoura: A Memoir of the Armenian Genocide''. Stanford, CA: Stanford University Press, 2015.
* Odian, Yervant. ''Accursed Years: My Exile and Return from Der Zor, 1914–1919''. Translated by Ara Stepan Melkonyan. London: Taderon Press, 2009.
* Svazlyan, Verzhine. ''The Armenian Genocide and Historical Memory''. Translated by Tigran Tsulikian. Yerevan: Gitutiun Publishing House, 2004.
=== Jumuia za zamani za Waarmenia ===
*[[Richard Hovannisian|Hovannisian, Richard]]. ''Armenian Van/Vaspurakan''. Costa Mesa, California: Mazda Publishers, 2000.
* Hovannisian, Richard. ''Armenian Baghesh/Bitlis and Taron/Mush''. Costa Mesa, California: Mazda Publishers, 2001.
* Hovannisian, Richard. ''Armenian Karin/Erzerum''. Costa Mesa, California: Mazda Publishers, 2003.
* Hovannisian, Richard. ''Armenian Sebastia/Sivas and Lesser Armenia''. Costa Mesa, California: Mazda Publishers, 2004.
=== Itikio la ulimwengu na ushahidi wa watu wa nje ===
* Anderson, Margaret Lavinia. "'Down in Turkey, far away': Human Rights, the Armenian Massacres, and Orientalism in Wilhelmine Germany", ''Journal of Modern History Volume'', 79, Number 1, March 2007, pp. 80–111. [http://www.jstor.org/stable/10.1086/517545 in JSTOR]
* Barton, James L. ''Turkish Atrocities: Statements of American Missionaries on the Destruction of Christian Communities in Ottoman Turkey, 1915–1917''. Ann Arbor: Gomidas Institute, 1997.
* [[James Bryce, 1st Viscount Bryce|Bryce, James]] and [[Arnold J. Toynbee|Arnold Toynbee]]. ''The Treatment of Armenians in the Ottoman Empire, 1915–1916: Documents Presented to Viscount Grey of Falloden, Uncensored ed''. Edited and with an introduction by Ara Sarafian. Princeton: Gomidas Institute, 2000. [http://books.google.com/books?id=7qafAAAAMAAJ complete text]
* Dadrian, Vahakn N. ''Documentation of the Armenian Genocide in Turkish Sources''. Jerusalem: Institute on the Holocaust and Genocide, 1991.
* Davis, Leslie A. ''The Slaughterhouse Province: An American Diplomat's Report on the Armenian Genocide, 1915–1917''. ew Rochelle, N.Y.: A.D. Caratzas, 1989.
* Hovannisian, Richard G. "The Allies and Armenia, 1915–18". ''Journal of Contemporary History'' 1968 3(1): 145–168. ISSN: 0022-0094 Fulltext: [http://www.jstor.org/pss/259971 in Jstor]
* Libaridian, Gerard. "The Ideology of the Young Turk Movement", pp. 37–49. In Gerard Libaridian (Ed.) ''A Crime of Silence, The Armenian Genocide: Permanent Peoples' Tribunal.'' London: Zed Books, 1985.
* {{Citation | last = Morgenthau | first = Henry | year = 1918 | title = Ambassador Morgenthau's Story | url = http://books.google.com/books?id=ENsLAAAAYAAJ | format = Google Books excerpt and text search }}.
* {{Citation | last = Nassibian | first = Akaby | title = Britain and the Armenian Question: 1915–1923 | place = New York | publisher = St. Martin's Press | year = 1984}}.
* {{Citation | last = Peterson | first = Merrill D | title = "Starving Armenians": America and the Armenian Genocide, 1915–1930 and After | place = Charlottesville | publisher = University of Virginia Press | year = 2004}}.
* {{Citation | author-link = Samantha Power| last = Power | first = Samantha | title = "[[A Problem from Hell]]": America and the Age of Genocide | publisher = Harper | year = 2003}}.
* {{Citation | last1 = Severance | first1 = Gordon | first2 = Diana | last2 = Severance | title = Against the Gates of Hell: The Life & Times of Henry Perry, a Christian Missionary in a Moslem World | year = 2003}}.
* {{Citation | title = United States Official Documents on the Armenian Genocide, 1915–1917 | editor-first = Ara | editor-last = Safarian | place = Princeton, New Jersey | publisher = Gomidas | year = 2004}}.
* {{Citation | editor-last = Winter | editor-first = Jay | title = America and the Armenian Genocide of 1915 | year = 2004 | url = http://books.google.com/books?id=2hcw6_PMuh4C | format = Google Books excerpts and text search | isbn = 9781139450188 }}, 325 pp.
=== Kumbukumbu na vitabu ===
* {{Citation | last = Auron | first = Yair [Oron, Ya'ir] | title = The Banality of Denial: Israel and the Armenian Genocide | year = 2005 | origyear = 2003 | publisher = Transaction}}.
* {{Citation | last = Bevan | first = Robert | contribution = Cultural Cleansing: Who Remembers the Armenians? | title = The Destruction of Memory: Architecture at War | year = 2006 | pages = 25–60 |isbn=1861893191}}.
* {{Citation | last = Gunter | first = Michael M | title = Pursuing the Just Cause of Their People: A Study of Contemporary Armenian Terrorism | year = 1986 | publisher = Questia }}
* {{Citation | editor-last = Hovannisian | editor-first = Richard G | title = Remembrance and Denial: The Case of the Armenian Genocide | year = 1999}}, 316 pp.
* {{Citation | last = Melson | first = Robert | title = A Theoretical Inquiry into the Armenian Massacres of 1894–1896 | journal = Comparative Studies in Society and History | year = 1982 | volume = 24 | issue = 3 | pages = 481–509 | doi = 10.1017/S0010417500010100}}.
* {{Citation | last = Melson | first = Robert | title = Revolutionary Genocide: On the causes of the Armenian genocide of 1915 and the Holocaust | journal = Holocaust and Genocide Studies | volume = 4 | issue = 2 | year = 1989 | pages = 161–74 | url = http://heinonline.org/HOL/LandingPage?collection=journals&handle=hein.journals/hologen4&div=19&id=&page= | publisher = Hein online | author-mask = 3 | doi = 10.1093/hgs/4.2.161 }}.
* {{Citation | last = Peroomian | first = Rubina | title = Literary Responses to Catastrophe: A Comparison of the Armenian and the Jewish Experience | year = 1993}}.
{{refend}}
==Viungo vya nje==
{{Commons|Armenian Genocide|s=Portal:Armenian Genocide}}
* {{Citation | url = http://genocide-museum.am/eng/ | title = The Armenian Genocide Institute-Museum | place = Yerevan, [[Armenia|AM]]}}.
* {{Citation | url = http://www.armenian-genocide.org/ | title = Armenian National Institute | place = Washington, D.C.}} (dedicated to the study, research, and affirmation of the Armenian Genocide).
* {{Citation | url = http://www.armeniangenocidedebate.com/ | title = Armenian Genocide Debate | access-date = 2015-04-18 | archive-date = 2009-02-28 | archive-url = https://web.archive.org/web/20090228020757/http://www.armeniangenocidedebate.com/ | url-status = dead }}.
* {{Citation | url = http://www.theforgotten.org/ | title = The Forgotten | access-date = 2015-04-18 | archive-date = 2022-02-11 | archive-url = https://web.archive.org/web/20220211192145/http://theforgotten.org/ | dead-url = yes }}, videos of interviews with survivors.
* {{Citation | url = http://armenians-1915.blogspot.com/ | contribution = Armenians 1915 | title = Armenian Genocide Research Center | format = [[World Wide Web]] log | publisher = Google Bogger}}.
* {{Citation | url = http://www.massviolence.org/+-Fall-of-the-Ottoman-Empire-+ | title = Online Encyclopedia of Mass violence | contribution = Fall of the Ottoman Empire | type = chronological index & articles}}.
* {{Citation | url = http://genocide.am/ | place = [[Armenia|AM]] | title = Genocide | access-date = 2015-04-18 | archive-date = 2020-12-05 | archive-url = https://web.archive.org/web/20201205112253/http://genocide.am/ | dead-url = yes }}.
* {{Citation | url = http://www.youtube.com/watch?v=EpHkzwE4qzg | title = You tube | contribution = Screamers | type = documentary | format = video | publisher = Google}}, about genocide, featuring [[System of a Down]].
* {{Citation | url = http://topics.nytimes.com/top/news/international/countriesandterritories/turkey/armenian_genocide/ | title = Armenian Genocide | type = collected news and coverage | newspaper = [[The New York Times]] | first=Sabrina | last=Tavernise}}.
*[http://armenianweekly.com/2013/06/05/in-vatican-pope-francis-recognizes-armenian-genocide/ Pope John Paul II and Pope Francis on the Armenian Genocide]
[[Category:Historia ya Armenia]]
[[Category:Historia ya Uturuki]]
[[Category:Mauaji ya kimbari]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Dhuluma za dini]]
[[Jamii:Watakatifu wa Armenia]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]]
cae79m0rrfeul7h8iiz4n77uhohyas6
Jamii:Waongozaji Filamu wa Kenya
14
80889
1584729
963800
2026-08-06T09:43:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584729
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Watu wa Kenya|F]]
[[Jamii:Waongozaji Filamu nchi kwa nchi|Kenya]]
4i291j1ox5bhhcbxfm4rhqigfsvmc0m
Mboni Mohamed Mhita
0
90419
1584789
1582593
2026-08-06T10:33:25Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584789
wikitext
text/x-wiki
'''Mboni Mohamed Mhita''' ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Handeni]] [[Vijijini]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. Amekuwa mbunge wa [[Bunge la Umoja wa Afrika|Bunge la Afrika]] toka mwaka [[2016]]. Alichaguliwa kuwa Rais wa Vijana wa Bunge la Afrika mwaka [[2017]].
Alipata kuwa [[Mkuu wa wilaya]] ya [[Wilaya ya Mufindi|Mufindi]]. Mnamo [[Januari]] [[2023]], alichaguliwa kuwa mkuu wa [[wilaya ya Kahama]].<ref name="PolisMhitaWater2016">Bunge la Tanzania. "Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji – Hon. Mboni M. Mhita". Bunge Polis. https://polis.bunge.go.tz/contributions/3242{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name="CitizenPAP2018">The Citizen (Tanzania). "Handeni Rural MP Mboni elected president of Pan‑African Parliament youth caucus". https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/handeni-rural-mp-mboni-elected-president-of-pap-youth-caucus-2636084{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name="MwananchiPAPYouth">Mwananchi. "Mboni Mhita sasa Rais Umoja wa Vijana Bunge la Afrika". https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mboni-mhita-sasa-rais-umoja-wa-vijana-bunge-la-afrika-2905538</ref><ref name="MisalabaMedia2025">Misalaba Media (14 Julai 2025). "RC Mhita ataja mafanikio ya mkoa wa Shinyanga miaka minne ya uongozi wa Rais Samia". https://www.misalabamedia.com/2025/07/rc-mhita-ataja-mafanikio-ya-mkoa-wa.html</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-mwanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
bwljvwstswzufltt3c1gktgctlroh6h
Jamii:DJ
14
95067
1584715
1019533
2026-08-06T09:36:35Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Jamii:Ma Dj]]
1584715
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Jamii:Ma Dj]]
9hejyhck2r6nxrb2cggu32yssoveqp4
Jamii:Ma Dj wa Kenya
14
95068
1584713
1019532
2026-08-06T09:36:08Z
Riccardo Riccioni
452
1584713
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Ma Dj]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|D]]
ffo30z47wyo1wegrbi9eyyyssiar0gu
Jamii:Ma Dj
14
95105
1584712
1042693
2026-08-06T09:35:36Z
Riccardo Riccioni
452
1584712
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:wanamuziki]]
90wvysru20swvjho0aob1ajvbehbqh8
Mkazivae Unit
0
95199
1584831
1487371
2026-08-06T11:40:33Z
Riccardo Riccioni
452
1584831
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist
|Jina = Mkazivae Unit
|Img =|thumb
|Img_capt =
|Background = solo_singer
|Jina la kuzaliwa = Antony Makenzi
|Alias = [[Dabby K]], [[Lydia Was]]
|Amezaliwa = {{birth date and age|mf=yes|1994|12|9|df=yes}}
|Asili yake = [[Nairobi]] , [[Kenya]]
|Kazi = [[Blogu|Bloga]],[[Biashara|Mwana Biashara]]
|Kazi yake = '''Mwandishi wa habari''','''Bloga'''
|Aina ya sauti =
|Miaka ya kazi = 2015–mpaka sasa
|Blogu = [[Mitego Sasa]]
|Tovuti = [http://www.mitego.co.ke/ Tovuti Rasmi]
}}
'''Mkazivae Unit''' ([[jina]] halisi: '''Antony Makenzi'''; amezaliwa [[Nairobi]], [[Kenya]], [[9 Desemba]] [[1993]]) ni [[mmiliki]] wa ''Mkazivae Unit clothing line'' na [[Blogu|blogu]] ya [[Mitego Sasa]].
==Maisha na kazi==
Antony Makenzi alianzisha blogu Mitego Sasa [[mwaka]] [[2015]] ambayo imemfanya akajulikane sana. Blogu hiyo ni maarufu [[Afrika Mashariki]] kwa mambo ya kitamaduni kama [[muziki]] na imesaidia [[vijana]] hasa kukuza vipaji vyao na kuibua vipaji vipya kwenye sekta ya muziki na [[burudani]].
==Masomo==
Mkazivae Unit amesomea [[uandishi wa habari]] katika [[taasisi]] ya [[mawasiliano]] ya Kenya KIMC mjini [[Nairobi]] [[South B]] na kuhitimu kwa [[stashahada]] - diploma ya ''Broadcast Journalist'' mwaka 2016
==Tanbihi==
{{Marejeo|2}}
==Viungo vya nje==
* [https://mitego.co.ke/ Tovuti halisi ya Mitego] {{Wayback|url=https://mitego.co.ke/ |date=20171215062450 }}
* [https://facebook.com/ Mitego Sasa kwenye Facebook]
* [https://www.twitter.com/mitegosasa/ Mitego kwenye Twitter]
* [https://www.instagram.com/mitego_sasa_blog/ Mitego kwenye Instagram]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[jamii:wanaume wa Kenya]]
l9fo0ykel0qvspq5iy51ycxwi71bfoz
Habib Swaleh Jamali Layl
0
98692
1584801
1140432
2026-08-06T10:51:24Z
Riccardo Riccioni
452
1584801
wikitext
text/x-wiki
'''Habib Swaleh bin Alawy''' ([[1853]] - [[1935]]) alikuwa [[ulama]] na [[sufii]] aliyeanzisha na kuunda [[msikiti]] wa Riyadha pamoja na [[madrasa]] yake kwenye [[mji]] wa [[Lamu]] (leo nchini [[Kenya]]). Anakumbukwa kwa mafundisho yake na athira yake katika [[Uislamu]] wa Lamu na [[Afrika ya Mashariki]] kwa jumla.
Aliimarisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa [[Mtume Muhammad]] na hivyo msingi kwa [[sherehe]] maarufu ya [[Maulidi]] inayokusanyisha Waislamu kutoka nchi mbalimbali pale Lamu.
Alizaliwa [[Ngazija]] ([[Komoro]]) katika [[kijiji]] cha [[Sanghani]] mnamo [[mwaka]] [[1853]] [[BK]] sawa na mwaka 1269 Hijriyah. [[Mama]] yake aliitwa Mariam binti Ali, mwenye [[asili]] ya Kingazija kutokana na [[ukoo]] wa Nye Rajab. Baba yake aliitwa Sayyid Alwy bin Abdallah Jamali Layl (Fundi Alawi).
== Nasabu yake ==
Swaleh bin Alwy (Fundi Alawi) bin Abdallah bin Hassan bin Ahmad bin Abdallah (Swahib Tuyyur) bin Ahmad bin Harun bin Abdul-Rahman bin Ahmad bin Abdallah bin Shaykh Muhammad Jamali layl bin Hassan bin Muhammad Bin Hassan Al-Taraaby bin Ali bin (Faqiihul-Muqaddam) Muhammad bin Ali Ba’alawy bin Muhammad (Swahibul-Mirbat) bin Ali (Khali-Qassam) bin Alwy bin Muhammad (Swahib-Sawma’ah) bin Alwy bin Ubeidi llah bin (Al-Imam Al-Muhajir Ila-llahi) Ahmad bin Issa bin Muhammad An-Naqib bin Ali Al-Ureidhy bin Ja’afar Al-Swadiq bin Muhammad Al-Baqir bin Ali (Zain Al-Abidin) bin Hussein Al-Sibt bin Ali bin Abi Twalib, vile vile Hussein Al-Sibt bin Fatma Al-Zahra binti Rasuuli llah.
== Elimu yake ==
Al-Habib Swaleh alipata malezi bora na mazuri kutoka kwa wazazi wake, Sayyid Alwy na Bi Mariam Ali, na akapata kusoma Qurani na baadhi ya masomo kwa babake kwa kuwa alikuwa ni mwalimu wa Qurani tena hodari sana, na kutokana na uhodari wake wa kufunza alipewa jina la lakabu (nick name) la ''Fundi Alawi'' na pia alikuwa ni fundi mahiri sana wa ushonaji nguo, na alifariki katika mwaka wa 1895 AD akiwa na umri wa zaidi ya miaka mia.
Habib Swaleh baada ya kusoma kwa babake na kuweza kumiliki baadhi ya mas-ala ya dini ya kiislamu, pia alipata fursa ya kuendeleza masomo yake ya juu kwa aliyekuwa binamu wake, Sayyid Abal Hassan bin Ahmad bin Abdallah Jamali layl [Mwenye Bahassan], ambaye pia alikuwa mwalimu wa Sayyid Ahmad bin Abubakar bin Sumeit, Sayyid Abal Hassan alifariki katika mwaka wa 1883 BK.
Habib Swaleh kisha katika mwaka wa 1862 AD (sawa na 1287 Hijriya) wakati huo akiwa na miaka 18, alisafiri kuelekea Lamu kwa ajili ya matibabu kutokana na maradhi ya miguu yaliyokuwa yamemkumba, na huko akashukia kwa ami yake Sayyid Ali bin Abdallah Jamali layl.
Al-Habib Swaleh alipokuwa Lamu akiendelea na matibabu, alikuwa pia yuaendeleza masomo yake kwa ami yake Sayyid Ali, baada ya mwaka babake akamtaka arudi Ngazija na akamtuma ndugu yake mkubwa Sayyid Muhammad akamfuate.
Al-Habib Swaleh baada ya kurudi Comoro na kukaa karibu mwaka huko, babake alimruhusu kusafiri kurudi tena Lamu. Hapa Lamu alikamilisha masomo yake yaka akawa kiongozi wa sala na mwalimu kwenye msikiti wa Sheikh Biladi hadi kuanzisha madrasa na msikiti wa Riyadha.
==Viungo vya nje==
* [http://www.riyadhahealth.org/habib_swaleh_-_founder.html Habib Swaleh - Founder] {{Wayback|url=http://www.riyadhahealth.org/habib_swaleh_-_founder.html |date=20180927232931 }}, kuhusu maisha yake, tovuti ya taasisi ya Riadha, Lamu
* [https://www.arcjournals.org/pdfs/ijhsse/v1-i12/1.pdf Tom Olali, Alawiyya Sufism and the Sufi: Diffusion and Counter-Diffusion of Swahili Islamic Mysticism in the Lamu Archipelago, Kenya], International Journal of Humanities Social Sciences and Education (IJHSSE) 2014 (?), pdf kupitia google search; nakala ya jarida inayoonyeshwa kwenye pdf haionyeshi makala hii kwenye [http://www.ijhssnet.com/index.php/archives.html tovuti ya jarida]
* [http://www.theeastafrican.co.ke/magazine/434746-1129670-vj8ipy/index.html Lamu descendants of Prophet Mohammed], makala katika East African ya 21 Machi 2011 kuhusu wajukuu wa Habib Swaleh
* [http://www.fountainmagazine.com/article.php?ARTICLEID=578 Lamu's Sacred Meadows] {{Wayback|url=http://www.fountainmagazine.com/article.php?ARTICLEID=578 |date=20101201011059 }}, [[The Fountain Magazine]], April - June 1995, Issue 10
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1853|1935}}
[[Jamii:Lamu]]
[[Jamii:Waislamu]]
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
pe7q2kahls89pyl5pxpdcukfp0e4gja
Basshunter
0
104545
1584710
1518997
2026-08-06T09:34:41Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1584710
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Basshunter
| Img = Basshunter, 20 april 2008 in Halmstad.jpg
| Img_capt = Basshunter (2008)
| Img_size = 200px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Jonas Erik Altberg
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1984|12|22}}<br />[[Halmstad]]
| Amekufa =
| Ala =
| Aina = [[Eurodance]]
| Kazi yake = [[waimbaji]], [[mtayarishaji wa Muziki]], [[Disc jockey|DJ]]
| Miaka ya kazi = 1998–
| Studio = [[Extensive Music]], [[Warner Music Sweden]], [[Ultra Records]], [[Broma 16]], [[Warner Music Japan]], [[3 Beat Records]], [[Dance Nation]], Warner Music Germany, Alex Music
| Ameshirikiana na =
| Tovuti = [https://basshunter.se basshunter.se]
}}
'''Basshunter''' ([[jina]] halisi: '''Jonas Erik Altberg''': amezaliwa [[Halmstad]], {{birth date|df=yes|1984|12|22}}) ni [[mwimbaji]], [[mtayarishaji wa Muziki]] na [[Disc jockey|DJ]] wa [[Uswidi]].
== Diskografia ==
* [[Diskografia ya Basshunter]]
=== Albamu za Studio ===
* ''[[The Bassmachine]]'' (2004)
* ''[[LOL]]'' (2006)
* ''[[Now You're Gone – The Album]]'' (2008)
* ''[[Bass Generation]]'' (2009)
* ''[[Calling Time]]'' (2013)
=== Albamu za kompilesheni ===
* ''[[The Old Shit]]'' (2006)
* ''[[The Early Bedroom Sessions]]'' (2012)
=== Single ===
* "The Big Show" (2004)
* "[[Welcome to Rainbow]]" (2006)
* "[[Boten Anna]]" (2006)
* "[[Vi sitter i Ventrilo och spelar DotA]]" (2006)
* "[[Jingle Bells]]" (2006)
* "[[Vifta med händerna]]" (2006)
* "[[Now You're Gone]]" (2007)
* "[[Please Don't Go]]" (2008)
* "[[All I Ever Wanted]]" (2008)
* "[[Angel in the Night]]" (2008)
* "Russia Privjet (Hardlanger Remix)" (2008)
* "[[I Miss You]]" (2008)
* "[[Walk on Water]]" (2009)
* "Al final" (2009)
* "[[Every Morning]]" (2009)
* "[[I Promised Myself]]" (2009)
* "[[Saturday]]" (2010)
* "[[Fest i hela huset]]" (2011)
* "[[Northern Light]]" (2012)
* "[[Dream on the Dancefloor]]" (2012)
* "[[Crash & Burn]]" (2013)
* "Calling Time" (2013)
* "Elinor" (2013)
* "Masterpiece" (2018)
* "Home" (2019)
* "Angels Ain't Listening" (2020)
* "Life Speaks to Me" (2021)
* "End the Lies" {{Small|(& Alien Cut)}} (2022)
* "[[Boten Anna|Ingen kan slå (Boten Anna)]]" {{Small|([[Victor Leksell]])}} (2023)
* "Ja eller nej" {{Small|(x [[Käärijä]])}} (2026)
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uswidi]]
[[Jamii:Ma DJ]]
fnjjzao1vwm0qousxgznamuoi5mw5u2
1584711
1584710
2026-08-06T09:35:16Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
1584711
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Basshunter
| Img = Basshunter, 20 april 2008 in Halmstad.jpg
| Img_capt = Basshunter (2008)
| Img_size = 200px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Jonas Erik Altberg
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1984|12|22}}<br />[[Halmstad]]
| Amekufa =
| Ala =
| Aina = [[Eurodance]]
| Kazi yake = [[waimbaji]], [[mtayarishaji wa Muziki]], [[Disc jockey|DJ]]
| Miaka ya kazi = 1998–
| Studio = [[Extensive Music]], [[Warner Music Sweden]], [[Ultra Records]], [[Broma 16]], [[Warner Music Japan]], [[3 Beat Records]], [[Dance Nation]], Warner Music Germany, Alex Music
| Ameshirikiana na =
| Tovuti = [https://basshunter.se basshunter.se]
}}
'''Basshunter''' ([[jina]] halisi: '''Jonas Erik Altberg''': amezaliwa [[Halmstad]], {{birth date|df=yes|1984|12|22}}) ni [[mwimbaji]], [[mtayarishaji wa Muziki]] na [[Disc jockey|DJ]] wa [[Uswidi]].
== Diskografia ==
* [[Diskografia ya Basshunter]]
=== Albamu za Studio ===
* ''[[The Bassmachine]]'' (2004)
* ''[[LOL]]'' (2006)
* ''[[Now You're Gone – The Album]]'' (2008)
* ''[[Bass Generation]]'' (2009)
* ''[[Calling Time]]'' (2013)
=== Albamu za kompilesheni ===
* ''[[The Old Shit]]'' (2006)
* ''[[The Early Bedroom Sessions]]'' (2012)
=== Single ===
* "The Big Show" (2004)
* "[[Welcome to Rainbow]]" (2006)
* "[[Boten Anna]]" (2006)
* "[[Vi sitter i Ventrilo och spelar DotA]]" (2006)
* "[[Jingle Bells]]" (2006)
* "[[Vifta med händerna]]" (2006)
* "[[Now You're Gone]]" (2007)
* "[[Please Don't Go]]" (2008)
* "[[All I Ever Wanted]]" (2008)
* "[[Angel in the Night]]" (2008)
* "Russia Privjet (Hardlanger Remix)" (2008)
* "[[I Miss You]]" (2008)
* "[[Walk on Water]]" (2009)
* "Al final" (2009)
* "[[Every Morning]]" (2009)
* "[[I Promised Myself]]" (2009)
* "[[Saturday]]" (2010)
* "[[Fest i hela huset]]" (2011)
* "[[Northern Light]]" (2012)
* "[[Dream on the Dancefloor]]" (2012)
* "[[Crash & Burn]]" (2013)
* "Calling Time" (2013)
* "Elinor" (2013)
* "Masterpiece" (2018)
* "Home" (2019)
* "Angels Ain't Listening" (2020)
* "Life Speaks to Me" (2021)
* "End the Lies" {{Small|(& Alien Cut)}} (2022)
* "[[Boten Anna|Ingen kan slå (Boten Anna)]]" {{Small|([[Victor Leksell]])}} (2023)
* "Ja eller nej" {{Small|(x [[Käärijä]])}} (2026)
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Uswidi]]
[[Jamii:Ma Dj]]
onc829elj8s1ymhh11dz1ht6tiqj1t6
Hussein ibn Ali
0
104719
1584507
1584229
2026-08-05T21:37:42Z
Aryan.HK
91413
/* Urithi wake */
1584507
wikitext
text/x-wiki
{{Mtu Mashuhuri
| jina = Husayn ibn Ali<br />
حُسَيْنُ بْنُ عَلِيٍّ
| picha = Husayn ibn ʿAlī.jpg
| maelezo_ya_picha = Husayn ibn Ali
| ukubwa_wa_picha = 250px
| jina_la_kuzaliwa = Husayn ibn Ali ibn Abi Talib
| tarehe_ya_kuzaliwa = 8 Januari 626
| mahala_pa_kuzaliwa = Medina, Hijaz
| tarehe_ya_kufa = 10 Oktoba 680
| mahala_alipofia = Karbala, Iraq
| sababu_ya_kifo = Aliuawa katika Vita vya Karbala
| mahali_pa_mazishi = Karbala, Iraq
| dini = Uislamu
| madhehebu = Shia
| kazi_yake = Kiongozi wa kidini
| cheo = Imam wa tatu wa Waislamu wa Shia
| muda_wa_uongozi = 669–680
| aliyetangulia = [[Hasan ibn Ali]]
[[Abbas ibn Ali]]
| aliyefuata = Ali Zayn al-Abidin
| babu = Muhammad
| nyanya = Khadija bint Khuwaylid
| baba = Ali ibn Abi Talib
| mama = Fatimah bint Muhammad
| ndugu = [[Hasan ibn Ali]]; [[Abbas ibn Ali]]
| mke = Shahrbanu; Rubab bint Imra al-Qays; Layla bint Abi Murra
| watoto = [[Ali al-Akbar]]; [[Ali Zayn al-Abidin]]; [[Ali al-Asghar]]; [[Fatimah bint al-Husayn]]; [[Sukayna bint al-Husayn]]
| ukoo = Banu Hashim
| anajulikana_kwa_ajili_ya = Mjukuu wa Muhammad; Imam wa tatu katika Uislamu wa Shia; shahidi wa Vita vya Karbala
}}
'''Husayn ibn Ali ibn Abi Talib''' (kwa Kiarabu: [[Kiarabu|العربية]]: '''حُسَيْنُ بْنُ عَلِيٍّ'''; takriban 626 BK – 10 Oktoba 680 BK) alikuwa mjukuu wa [[Muhammad]] kupitia binti yake [[Fatimah bint Muhammad]] na [[Ali ibn Abi Talib]]. Katika [[Uislamu wa Shia]], anahesabiwa kuwa Imam wa tatu baada ya kaka yake [[Hasan ibn Ali]].<ref>{{Rejea tovuti |title=ḤOSAYN B. ʿALI |url=https://www.iranicaonline.org/articles/hosayn-b-ali |website=Encyclopaedia Iranica |access-date=5 Agosti 2026}}</ref>
Alizaliwa [[Madina]] na aliuawa katika [[Vita vya Karbala]] tarehe 10 Muharram 61 AH (10 Oktoba 680 BK), pamoja na wengi wa wanafamilia na wafuasi wake.<ref>{{Rejea tovuti |title=ḤOSAYN B. ʿALI: Life and Significance in Shiʿism |url=https://www.iranicaonline.org/articles/hosayn-b-ali-i |website=Encyclopaedia Iranica |access-date=5 Agosti 2026}}</ref> Kifo chake kinachukuliwa kuwa mojawapo ya matukio muhimu zaidi katika historia ya Uislamu na hukumbukwa kila mwaka katika mwezi wa [[Muharram]], hasa siku ya [[Ashura]].<ref>{{Rejea tovuti |title=ḤOSAYN B. ʿALI |url=https://www.iranicaonline.org/articles/hosayn-b-ali |website=Encyclopaedia Iranica |access-date=5 Agosti 2026}}</ref>
== Maisha yake ==
Husayn ibn Ali ibn Abi Talib (626–680 BK) alikuwa mjukuu wa Mtume [[Muhammad]], mwana wa [[Ali ibn Abi Talib]] na [[Fatimah bint Muhammad]]. Alizaliwa mjini Madina na alikulia katika familia ya Ahl al-Bayt pamoja na kaka yake [[Hasan ibn Ali]].<ref>Diana Steigerwald, "[https://academic.oup.com/reference/62361/reference-article-abstract/554577784 Husayn]", ''Oxford Bibliographies in Islamic Studies'', Oxford University Press.</ref>
Baada ya kifo cha baba yake Ali ibn Abi Talib mwaka 661 BK, Husayn aliendelea kuwa mtu muhimu katika familia ya Mtume [[Muhammad]] na katika jamii ya Waislamu. Baada ya kifo cha Hasan ibn Ali mwaka 670 BK, Husayn akawa mmoja wa watu mashuhuri wa Ahl al-Bayt.<ref>Diana Steigerwald, "[https://academic.oup.com/reference/62361/reference-article-abstract/554577784 Husayn]", ''Oxford Bibliographies in Islamic Studies'', Oxford University Press.</ref>
Husayn alikataa kutoa bai'a kwa Yazid ibn Mu'awiya mwaka 680 BK, jambo lililosababisha matukio yaliyomalizika katika Vita vya Karbala.<ref>Diana Steigerwald, "[https://academic.oup.com/reference/62361/reference-article-abstract/554577784 Husayn]", ''Oxford Bibliographies in Islamic Studies'', Oxford University Press.</ref>
== Vita vya Karbala ==
[[File:Husein ibn Ali tijekom Bitke kod Karbale.jpg|thumb|upright=1.1|Husayn ibn Ali wakati wa Vita vya Karbala]]
Baada ya kifo cha Mu'awiya I mwaka 680 BK, Husayn ibn Ali alikataa kutoa bai'a kwa Yazid I na akaondoka Madina kuelekea Makka, kisha akaanza safari kuelekea Kufa kufuatia mialiko ya wakazi wa mji huo.<ref>{{Rejea tovuti |title=ḤOSAYN B. ʿALI i. Life and Significance in Shiʿism |url=https://iranicaonline.org/articles/hosayn-b-ali-i |website=Encyclopaedia Iranica |access-date=5 Agosti 2026}}</ref>
Jeshi la Yazid lilimzuia Husayn na kundi lake katika eneo la Karbala. Tarehe 10 Muharram 61 AH (10 Oktoba 680 BK), Husayn pamoja na wengi wa wanafamilia na wafuasi wake waliuawa katika Vita vya Karbala.<ref>{{Rejea tovuti |title=ḤOSAYN B. ʿALI ii. History of the Shrine |url=https://iranicaonline.org/articles/hosayn-b-ali-ii |website=Encyclopaedia Iranica |access-date=5 Agosti 2026}}</ref>
Katika Uislamu wa Shia, Husayn anaheshimiwa kama shahidi na mfano wa kusimama dhidi ya dhuluma. Kumbukumbu ya kifo chake huadhimishwa kila mwaka katika mwezi wa Muharram, hasa siku ya Ashura.<ref>{{Rejea tovuti |title=Imam Husayn ibn Ali |url=https://www.iis.ac.uk/scholarly-contributions/imam-husayn-ibn-ali/ |website=Institute of Ismaili Studies |access-date=5 Agosti 2026}}</ref>
== Urithi wake ==
[[File:Grobnica Husein ibn Alija u Karbali.jpg|thumb|Svetište Huseina ibn Alija u Karbali]]
Urithi wa Husayn ibn Ali unaonekana katika historia ya Uislamu, hasa kupitia kumbukumbu ya Vita vya Karbala mwaka 680 BK. Katika Uislamu wa Shia, Husayn anaheshimiwa kama shahidi na mtu muhimu katika historia ya Ahl al-Bayt, na kumbukumbu yake huadhimishwa kila mwaka wakati wa Ashura.<ref>Encyclopaedia Britannica, "[https://www.britannica.com/biography/al-Husayn-ibn-Ali al-Husayn ibn Ali]".</ref>
Ziara ya Arba'in inayofanyika kila mwaka huko Karbala imehusishwa na kumbukumbu ya Husayn ibn Ali. Mwaka 2019, [[UNESCO]] iliingiza "Provision of services and hospitality during the Arba'in visitation" kwenye Orodha ya Urithi wa Utamaduni Usioonekana wa Binadamu.<ref>UNESCO Intangible Cultural Heritage, "[https://ich.unesco.org/en/RL/provision-of-services-and-hospitality-during-the-arba-in-visitation-01474 Provision of services and hospitality during the Arba'in visitation]".</ref>
Urithi wa Husayn umeendelea kuonekana katika utamaduni, fasihi na kumbukumbu za kidini za jamii mbalimbali za Kiislamu duniani.<ref>Encyclopaedia Britannica, "[https://www.britannica.com/biography/al-Husayn-ibn-Ali al-Husayn ibn Ali]".</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
thicqc8cl1qwpeti3ymf80ylnoem5vi
Mbeya City F.C.
0
108642
1584445
1441830
2026-08-05T18:10:07Z
FaysaLBinDaruL
46970
tagged
1584445
wikitext
text/x-wiki
'''Mbeya City Football Club''' ni [[klabu]] ya [[soka]] ya mjini [[Mbeya]], [[Tanzania]], inayocheza katika [[Ligi Kuu Tanzania Bara]].
==Historia==
[[Timu]] hiyo ilianzishwa mwaka [[2011]] katika [[Jiji]] la [[Mbeya]] ambalo liko katika maeneo ya [[Kusini]] [[Magharibi]] mwa [[Tanzania]].
Mbeya city ilianza kushiriki Ligi kuu ya Vodacom mnamo mwaka 2013 ndio ulikuwa msimu wake wa kwanza pia ilicheza soka la kuvutia kwa kushika nafasi ya tatu pia Mbeya City ina wachezaji vijana wanaochipukia kwa sasa Mbeya City ni timu yenye ubora kwa kucheza soka la kuvutia.
Mbeya City FC inajulikana kwa majina mengi kama vile Green City Boys, Tigers Purple na Jacaranda Worriors.
[[Jezi]] yao ya nyumbani ni [[rangi]] ya [[zambarau]] na [[nyeupe]].
Uwanja wa klabu hiyo unaitwa [[Uwanja wa michezo wa Sokoine|Sokoine]] ambao unaweza kuweka watu 20,000.
== Viungo vya nje ==
* [https://int.soccerway.com/teams/tanzania/mbeya-city/25043/ SOCCERWAY]
* [https://www.flashscore.com/team/mbeya-city/6o8pEMUK/ FLASHSCORE]
* [https://www.transfermarkt.com/mbeya-city-council-fc/startseite/verein/42527 Transfermarkt]
* [https://globalsportsarchive.com/team/soccer/mbeya-city-council-fc/13786/ Globalsportsarchive]
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Vilabu vya mpira Tanzania]]
[[Jamii:mkoa wa Mbeya]]
b5c8bupcv8hyzt62xdv48c573f1q32b
Jamii:Wachezaji mpira wa Kenya
14
112785
1584717
1065859
2026-08-06T09:38:57Z
Riccardo Riccioni
452
1584717
wikitext
text/x-wiki
{{Commonscat|Association football players from Kenya}}
[[Jamii:Wachezaji wa Kenya|Mpira]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi|Kenya]]
eo3zch79ujee904cn8yfvbbiz250h0a
Fundi Konde
0
114630
1584781
1580491
2026-08-06T10:25:23Z
Riccardo Riccioni
452
1584781
wikitext
text/x-wiki
'''Fundi Konde''' ([[24 Agosti]] [[1924]] – [[29 Juni]] [[2000]]) alikuwa [[mwanamuziki]] kutoka nchini [[Kenya]]. Fundi Konde ni mmoja kati ya watumbuizaji wa mwanzo kabisa nchini [[Kenya]], na husemekana yeye ndiye mwanamuziki wa kwanza kucharaza [[gitaa]] la [[umeme]] huko [[Afrika Mashariki]]. Alipiga na kutunga [[muziki]] wake kwa [[Kiswahili]] huku akichanganya mahadhi ya Rumba la Kiafrika.
Kazi ya uanamuziki ilianza nyakati zile za [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]], wakati huo alikuwa akiwatumbuizia vikosi vya kutoka Afrika Mashariki akiwa jeshini huko Asia Kusini. Alivyorudi nyumbani [[Kenya]], akatengeneza rekodi za awali ikiwa pamoja na "Mama Sowera", "Majengo Siendi Tena", "Kipenzi Waniua Ua" na "Jambo Sigara". Aliendelea kutumbuiza na kutoa santuri nyengine mpaka 1963 alipostaafu hadi hapo mwanzoni mwa miaka ya 1980 alipoanza tena kuimba, kutunga na kutayarisha.
Mwanamuziki huyu alizaliwa mnamo [[1924]] katika kijiji cha Mwabayanyundo, [[Wilaya ya Kilifi]]. Anatoka katika [[kabila]] la Wagiriama. Fundi Konde alifariki mnamo mwaka wa 2000 huko nyumbani kwake [[Kibera]], [[Nairobi]].
==Marejeo==
* [[Daily Nation]], July 1, 2000: [http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/01072000/News/News38.html Musician dies at 76] {{Wayback|url=http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/01072000/News/News38.html |date=20190716080346 }}
==Viungo vya Nje==
* [http://www.africanshome.com/Fundi_Konde Fundi Konde] {{Wayback|url=http://www.africanshome.com/Fundi_Konde |date=20190716080351 }}
{{Africa-musician-stub}}
{{DEFAULTSORT:Konde, Fundi}}
[[Category:Waliozaliwa 1924]]
[[Category:Waliofariki 2000]]
[[Category:Wanamuziki wa Kenya]]
d8jlwlhqf1q6hry3ikczm6s1fscp81w
Jamii:Waigizaji filamu wa Kenya
14
116779
1584721
1082567
2026-08-06T09:40:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584721
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Waigizaji filamu nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|F]]
o9q7bk7mtoa9y38132de6xndp11nbfh
Jamii:Wanasayansi wa Kenya
14
118249
1584727
1089665
2026-08-06T09:42:59Z
Riccardo Riccioni
452
1584727
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wanasayansi nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|S]]
a1q2fv24e564ojxso9jgi2avay0r5nb
Peter Tabichi
0
119727
1584788
1523556
2026-08-06T10:33:18Z
Riccardo Riccioni
452
1584788
wikitext
text/x-wiki
{| class="wikitable"
|+
!Jina la kuzaliwa
|Peter Tabichi
|-
!Amezaliwa
|1982, Nyamira County, KE
|-
!Kazi yake
|mwalimu wa sayansi
|}
[[Picha:Peter Tabichi in the Oval Office.jpg|thumb|Peter Tabichi]]
'''Peter Tabichi''' alizaliwa [[kaunti ya Nyamira]], [[1982]]) ni [[mtawa]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] na [[mwalimu]] wa [[hisabati]] na [[fizikia]] katika [[shule]] ya [[sekondari]] ya [[Keriko]] katika [[kaunti ya Nakuru]] nchini [[Kenya]].
Ameshinda [[mwaka]] [[2019]] Tuzo ya Mwalimu Bora Ulimwenguni kutoka Shirika la Varkey (Varkey Foundation).
== Maisha ya awali ==
Alizaliwa katika kijiji kidogo cha Kenya. Peter Tabichi alipokuwa na miaka [[kumi na moja]] [[mama]] yake alifariki. Halafu, alilelewa na [[baba]] yake tu<ref>{{Rejea tovuti|title=Peter Tabichi: 10 things to know about Kenyan monk-teacher who won $1 million|url=https://gulfnews.com/uae/education/peter-tabichi-10-things-to-know-about-kenyan-monk-teacher-who-won-1-million-1.1553504923391|work=gulfnews.com|accessdate=2019-12-11|language=en}}</ref>.
Alihamasishwa kuwa mwalimu kwa sababu [[watu]] wengi wa [[familia]] yake walikuwa walimu: baba yake, na baadhi ya [[Mjomba|wajomba]] na [[binamu]] zake<ref>{{Rejea tovuti|title=Peter Tabichi: World’s best teacher donates 80% of his salary to the poor|url=https://www.sde.co.ke/article/2001318079/peter-tabichi-world-s-best-teacher-donates-80-of-his-salary-to-the-poor|work=Standard Digital News|accessdate=2019-12-11|author=Caroline Chebet|archivedate=2019-04-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190403133503/https://www.sde.co.ke/article/2001318079/peter-tabichi-world-s-best-teacher-donates-80-of-his-salary-to-the-poor}}</ref>. Alitaka kutumia [[elimu]] kuwasaidia [[wanafunzi]] na familia zao.
Alisoma [[shahada]] ya kwanza Chuo kikuu cha Egerton katika [[Nakuru]], Kenya<ref>{{Citation|title=Peter Tabichi|date=2019-12-06|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Peter_Tabichi&oldid=929480473|work=Wikipedia|language=en|access-date=2019-12-11}}</ref>. Tabichi ni mtawa wa [[kanisa Katoliki]]<ref>{{Rejea tovuti|title=Peter Tabichi: 10 things to know about Kenyan monk-teacher who won $1 million|url=https://gulfnews.com/uae/education/peter-tabichi-10-things-to-know-about-kenyan-monk-teacher-who-won-1-million-1.1553504923391|work=gulfnews.com|accessdate=2019-12-11|language=en}}</ref>. Anatumia masuala ya [[dini]] kufundisha vizuri. [[Kazi]] yake ya kufundisha alianza katika [[shule ya binafsi]].
== Kazi ==
Tabichi alifundisha hisabati, fisikia, na [[kemia]] katika Shule ya Sekondari ya Keriko, kijiji cha eneo la [[pwani]], kutoka mwaka [[2016]]. Hicho kijiji ni [[maskini]], watu wengi hawana [[pesa]] na [[vyakula]] vya kutosha<ref>{{Citation|last=Press|first=The Associated|title=Kenyan Teacher Who Aids Poor Wins $1 Million Global Prize|date=2019-03-24|url=https://www.nytimes.com/2019/03/24/world/africa/kenya-global-teaching-prize.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2019-12-11}}</ref>. Kuna masuala mengi kama vile [[ujauzito]] wa [[vijana]], kuacha shule mapema, uhaba wa vifaa vya elimu<ref>{{Rejea tovuti|title=A Kenyan teacher just won the $1 million Global Teacher Prize|url=https://qz.com/1579345/kenyan-teacher-peter-tabichi-wins-1-million-global-teacher-prize/|work=Quartz|accessdate=2019-12-11|language=en|author=Jenny Anderson}}</ref>. [[Asilimia]] [[tisini na tano]] ya [[wanafunzi]] wa Shule ya Sekondari ya Keriko wana umaskini. Tabichi amefanya kazi nyingi kuwasaidia wanafunzi wa kijiji. Tabichi hutumia asilimia [[themanini]] ya [[mshahara]] wake kuwalipia [[vitabu]] na [[sare]] wanafunzi wake<ref>{{Citation|last=Coughlan|first=Sean|title=Kenyan science teacher wins global prize|date=2019-03-24|url=https://www.bbc.com/news/business-47658803|language=en-GB|access-date=2019-12-11}}</ref>.
Ameanza Klabu ya Kukuza Talanta na Klabu ya Imani shuleni<ref>{{Rejea tovuti|title=Kenyan Science Teacher Who Gives 80% of His Salary Away Just Won a $1M Global Prize|url=https://www.sciencealert.com/kenyan-science-teacher-who-gives-80-of-his-salary-away-wins-1m-global-prize|work=ScienceAlert|accessdate=2019-12-11|language=en-gb|author=Peter Dockrill}}</ref>. Pia amechangia Klabu ya Sayansi. Wanafunzi wa Tabichi wamekamilisha vitu vingi. Baadhi ya wanafunzi wake wameshindana raundi ya mwisho ya Maonyesho Duniani ya Sayansi na Uhandisi ya Intel. Mmojawapo ameshinda tuzo ya Royal Society ya Kemia<ref>{{Rejea tovuti|title=Meet Peter Tabichi, winner of the Global Teacher Prize 2019|url=https://www.globalteacherprize.org/fr/nouvelles-et-blogs/meet-peter-tabichi-winner-of-the-global-teacher-prize-2019/|work=Varkey Foundation|accessdate=2019-12-11|language=fr|archivedate=2019-12-11|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191211214238/https://www.globalteacherprize.org/fr/nouvelles-et-blogs/meet-peter-tabichi-winner-of-the-global-teacher-prize-2019/}}</ref>. Tabichi aliposhinda Tuzo ya Mwalimu Bora Ulimwenguni, ameuambia [[umma]] kwamba anataka kutumia [[tuzo]] ya [[dola]] [[milioni]] moja kuwatumia wanafunzi wa Kijiji cha Pwani na shule yao.
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
*https://www.globalteacherprize.org/person?id=7486 {{Wayback|url=https://www.globalteacherprize.org/person?id=7486 |date=20191204141509 }}
*https://www.bbc.com/news/business-47658803
*https://www.youtube.com/watch?v=p4kl6b2D0MY
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1982|}}
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
[[Jamii:Wafransisko]]
itlo7j9vw2p36ylc0yvtkbpniikdxds
John Kokwaro
0
120583
1584774
1338374
2026-08-06T10:17:38Z
Riccardo Riccioni
452
1584774
wikitext
text/x-wiki
'''John Ongaya Kokwaro''' ([[27 Desemba]] [[1940]] - [[13 Desemba]] [[2019]]) alikuwa [[profesa]] wa [[botania]] (elimu ya mimea) kwenye [[Chuo Kikuu cha Nairobi]], [[Kenya]]. Aliandika [[vitabu]] 13 vya botania<ref>[https://profiles.uonbi.ac.ke/johnkokwaro/files/prof._kokwaro_c.v.pdf CV John Kokwaro] {{Wayback|url=https://profiles.uonbi.ac.ke/johnkokwaro/files/prof._kokwaro_c.v.pdf |date=20200113134514 }}, tovuti ya Chuo cha Nairobi, iliangaliwa 2013</ref>, pamoja na Medicinal Plants of East Africa (1976 & 2009) <ref>East African Crops: Second Edition (2015), Luo Biological Dictionary (1998), Flowering Plant Families of East Africa: An Introduction to ... (1994)</ref>.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [https://www.the-star.co.ke/siasa/2019-12-21-prof-john-kokwaro-pioneer-in-african-botany-dies-at-79/ Star: John Kokwaro amekufa]
* [https://obituarykenya.co.ke/professor-john-ongayo-kokwaro-dsc-phd/ Obituary Kenya: John Kokwaro amekufa] {{Wayback|url=https://obituarykenya.co.ke/professor-john-ongayo-kokwaro-dsc-phd/ |date=20200113134505 }}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Waliofariki 2019]]
[[Jamii:Wanabiolojia wa Kenya]]
j8wekyn7tyw14zaclgaj1k9wyh967so
Isabel dos Santos
0
120755
1584455
1514769
2026-08-05T19:13:36Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584455
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox mwanasiasa
| name = Isabel dos Santos
| image = ©NC IdS.jpg
| image_size =
| caption = Isabel dos Santos mnamo 2019
|birth_name = Isabel dos Santos
|birth_date = {{birth date and age|1973|4|20|df=yes}}<ref>{{cite web |first=Filipe S. |last=Fernandes |url=http://multimedia.fnac.pt/multimedia/PT/pdf/9789897412257.pdf |archivedate=June 15, 2016 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160615084218/http://multimedia.fnac.pt/multimedia/PT/pdf/9789897412257.pdf |title=Isabel dos Santos - Segredos e poder do dinheiro |language=pt }}</ref>
|residence = Dubai, UAE
|nationality = Russia<ref>{{Rejea tovuti|url=https://expresso.pt/economia/2020-01-03-Isabel-dos-Santos-muda-se-para-o-Dubai-um-novo-paraiso-fiscal|title=Isabel dos Santos muda-se para o Dubai, um novo paraíso fiscal|website=Jornal Expresso}}</ref>, Angola
| alma_mater = [[King's College London]]
| occupation = Mjasiriamali, mfanyabiashara
| known_for =
| spouse = Sindika Dokolo, tangu 2002
| children = 3<ref name=Burgis29Mar>{{cite news|url=http://www.ft.com/intl/cms/s/2/6ffd2edc-955e-11e2-a4fa-00144feabdc0.html|title=Lunch with the FT: Isabel dos Santos|work=Financial Times|first=Tom|last=Burgis|date=29 March 2013|accessdate=8 January 2016}}</ref>
| parents = {{ubl|[[José Eduardo dos Santos]]|Tatiana Kukanova}}
| website =
| networth = US$ 2.1 billion (October 2019)<ref name="Forbes profile">{{cite web |title=Forbes profile: Isabel dos Santos |url=https://www.forbes.com/profile/isabel-dos-santos/ |website=Forbes |accessdate=15 October 2019}}</ref>
}}
'''Isabel dos Santos''' (amezaliwa [[1973]]) ni [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] wa kike kutoka nchini [[Angola]]. Yeye ni [[mtoto]] wa kwanza wa [[rais]] wa zamani wa Angola [[José Eduardo dos Santos]], ambaye alitawala nchi hiyo tangu mwaka [[1979]] hadi [[2017]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.irishtimes.com/news/world/europe/portugal-dominated-angola-for-centuries-now-the-roles-are-reversed-1.3200881|title=Portugal dominated Angola for centuries. Now the roles are reversed|work=The Irish Times}}</ref> <ref>[https://blogs.forbes.com/mfonobongnsehe/2011/05/02/africas-richest-women/ Forbes: Africa’s Richest Women] 2 May 2011</ref>
Mnamo [[mwaka]] [[2019]] alitajwa kuwa [[mwanamke]] [[tajiri]] zaidi kwenye [[bara]] la [[Afrika]]<ref>[https://www.iol.co.za/lifestyle/africas-top-5-wealthiest-women-19536656 africaÄs top wealthiest women], tovuti za iol.co.za, iliangaliwa Januari 2020</ref>. Mnamo [[2013]], kulingana na ''[[Forbes]]'', jumla ya utajiri wake ilikuwa imezidi [[dolar]] za Kimarekani [[bilioni]] 2, hivyo alikuwa [[bilionea]] wa kwanza wa kike wa Afrika. ''Forbes'' alielezea jinsi dos Santos alivyopata [[utajiri]] wake kwa kuchukua [[hisa]] katika [[kampuni]] zinazofanya [[biashara]] nchini Angola, na kupendekeza kuwa utajiri wake unatokana kabisa na nguvu za [[Siasa|kisiasa]] ya [[familia]] yake. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://economico.sapo.pt/noticias/isabel-dos-santos-desmente-acusacoes-de-enriquecimento-ilicito-feitas-pela-forbes_175473.html|title=Isabel dos Santos desmente acusações de enriquecimento ilícito feitas pela Forbes|work=Económico|accessdate=2020-01-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160829234627/http://economico.sapo.pt/noticias/isabel-dos-santos-desmente-acusacoes-de-enriquecimento-ilicito-feitas-pela-forbes_175473.html|archivedate=2016-08-29}}</ref> Mnamo Novemba 2015, [[BBC]] ilimtaja dos Santos kama mmoja wa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni. <ref>[https://www.bbc.com/news/world-34745739 BBC 100 Women 2015: Who is on the list?] BBC, 17 November 2015</ref>
Tangu mwaka [[2018]] [[serikali]] ya Angola ilikuwa ikijaribu kumshtaki Isabel dos Santos kwa [[jinai]] za [[ufisadi]] zilizochangia kwenye mzozo wa [[uchumi]] wa Angola katika miaka iliyotangulia. Lakini Isabel hakurudi tena Angola akibaki [[Ureno]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.angonoticias.com/Artigos/item/62572/gestao-da-sonangol-pgr-mandou-instaurar-processo-criminal-contra-isabel-dos-santos|title=Gestão da Sonangol: PGR mandou instaurar processo criminal contra Isabel dos Santos|work=ANGONOTÍCIAS|accessdate=23 October 2019|archivedate=2020-01-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200121135035/http://www.angonoticias.com/Artigos/item/62572/gestao-da-sonangol-pgr-mandou-instaurar-processo-criminal-contra-isabel-dos-santos}}</ref>
Mnamo [[30 Desemba|Desemba 30]], [[2019]], [[Mahakama]] ya Mkoa wa Luanda iliagiza kufungiwa kwa [[akaunti]] zake kwenye [[benki]] za Angola na kukamatwa kwa hisa zake katika kampuni pamoja na Unitel na Banco de Fomento Angola. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-50956370|title=Angola orders Isabel dos Santos asset seizure|date=31 December 2019|publisher=BBC}}</ref> Tangu kuchunguliwa nchini Ureno pia amehamia [[UAE]] kama nchi yake rasmi ya kuishi. <ref name="JEconómico">{{Rejea habari|url=https://jornaleconomico.sapo.pt/noticias/exclusivo-dciap-investiga-operacoes-de-isabel-dos-santos-denunciadas-por-ana-gomes-534043|title=Exclusivo. DCIAP investiga operações de Isabel dos Santos denunciadas por Ana Gomes}}</ref> <ref name="DW">{{Rejea habari|url=https://www.dw.com/pt-002/angola-cidad%C3%A3-russa-isabel-dos-santos-imune-%C3%A0-extradi%C3%A7%C3%A3o/a-51932233|title=Angola: Cidadã russa Isabel dos Santos imune à extradição?}}</ref> <ref name="RFI">{{Rejea habari|url=http://www.rfi.fr/afrique/20200111-portugal-justice-ouvre-enquete-isabel-dos-santos-angola|title=Portugal: la justice ouvre une enquête sur Isabel dos Santos}}</ref>
Mnamo Januari 11, [[2020]], serikali ya Angola ilitangaza kwamba inachukua hatua za kisheria za kunyakua [[mali]] za dos Santos nchini Ureno <ref>{{Rejea habari|url=https://www.angola24horas.com/index.php/angola-24-horas-noticias/item/15706-governo-angolano-prepara-confisco-de-bens-de-isabel-dos-santos-em-portugal|title=Governo angolano prepara confisco de bens de Isabel dos Santos em Portugal}}</ref>.
== Familia na elimu ==
Isabel dos Santos alizaliwa huko [[Baku]], [[Azerbaijan]] (wakati ule [[jamhuri]] katika [[Umoja wa Kisovyeti]]) <ref name="auto">[http://multimedia.fnac.pt/multimedia/PT/pdf/9789897412257.pdf ISABEL DOS SANTOS - SEGREDOS E PODER DO DINHEIRO] {{Wayback|url=http://multimedia.fnac.pt/multimedia/PT/pdf/9789897412257.pdf |date=20160615084218 }}. Filipe S. Fernandes. Documentation (Portuguese)</ref> akiwa binti wa kwanza wa [[José Eduardo dos Santos]] (baadaye rais wa Angola) na [[Mke|mkewe]] wa kwanza, Tatiana Kukanova wa [[Urusi]], ambaye alikutana naye wakati wa kusoma katika [[Umoja wa Kisovyeti]]. <ref>[https://www.theguardian.com/world/2013/jan/25/isobel-dos-santos-africas-first-female-billionaire The Guardian: "Isabel dos Santos, dubbed 'princess', named Africa's first female billionaire" by David Smith] 25 January 2013</ref> <ref>[http://mg.co.za/article/2012-11-02-00-angola-whos-who-in-the-palace Mail & Guardian (Zambia): "Angola: Who's who in the palace?" by Louise Redvers] 2 November 2012</ref> <ref>[http://www.theaustralian.com.au/news/breaking-news/angolan-africas-first-woman-billionaire/story-fn3dxix6-1226561407045 The Australian: "Angolan Africa's first woman billionaire"] 25 January 2013</ref> [[Wazazi]] wa [[baba]] yake walitoka [[Sao Tome na Principe|São Tomé na Príncipe]]. <ref>[http://mg.co.za/article/2012-11-02-00-angola-whos-who-in-the-palace Mail & Guardian: "Angola: Who's who in the palace?" by Louise Redvers] 2 November 2012</ref> Alihudhuria [[shule]] ya [[wasichana]] huko [[Kent]], Cobham Hall. Alisoma [[uhandisi]] wa [[umeme]] <ref>Celso Filipe, [https://www.jornaldenegocios.pt/home.php?template=SHOWNEWS_V2&id=345996 Report about Isabel dos Santos on Negócios Online] {{Wayback|url=https://www.jornaldenegocios.pt/home.php?template=SHOWNEWS_V2&id=345996 |date=20110807185421 }}, December 2008</ref> katika Chuo cha King's [[London]]. Huko alikutana na [[Mume|mumewe]] kutoka Zaire (sasa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]), Sindika Dokolo, <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.dokolo.com/Sa%20famille.html|title=La Famille Dokolo : Ndona Tuluka - Nzolantima - Hanne - Manzanza - Sindika - Luzolo|accessdate=2020-01-20|archivedate=2017-12-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171205043103/http://www.dokolo.com/Sa%20famille.html}}</ref> mtoto wa [[milionea]] kutoka [[Kinshasa]] na mkewe wa [[Denmark|Kidenmark]]. <ref>{{Rejea tovuti|title=Augustin Dokolo, an African entrepreneur|url=http://www.dokolo.com/Biography.html|accessdate=14 March 2013|archivedate=2017-12-08|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171208070114/http://www.dokolo.com/Biography.html}}</ref>
== Kazi ==
Katika miaka 20 iliyopita dos Santos ameshikilia nafasi za [[usimamizi]] katika kampuni kadhaa zilizoorodheshwa kwenye [[soko la hisa]] la [[Ulaya]]. Dos Santos alirudi kutoka [[London]] mwanzoni mwa [[miaka ya 1990]] ili ajiunge na baba yake huko [[Luanda]] akaanza kufanya [[kazi]] kama mhandisi wa mradi wa ''Urbana 2000'', [[kampuni tanzu]] ya Jembas Group, ambayo ilikuwa imeshinda [[mkataba]] wa kusafisha na kusafisha [[mji]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.publico.pt/economia/noticia/isabel-dos-santos-o-rosto-de-angola-1300051|title=Isabel dos Santos: o rosto de Angola|language=Portuguese|date=20 July 2007|work=Público|accessdate=8 January 2016}}</ref> Kufuatia hiyo, alianzisha biashara ya [[Lori|malori]]. Matumizi yaliyoenea ya [[teknolojia]] ya walkie-talkie yalisababisha njia ya kuandamana kwake baadaye katika [[simu]] za aina ya [[rununu]]. <ref name="ReferenceA">{{Rejea tovuti|url=http://www.ft.com/intl/cms/s/2/6ffd2edc-955e-11e2-a4fa-00144feabdc0.html|title=Lunch with the FT: Isabel dos Santos|work=Financial Times}}</ref>
Mnamo [[1997]], alianza biashara yake ya kwanza, akifungua ''Club'' ya ''Miami Beach'', <ref>{{Rejea tovuti|url=http://theafricaneconomist.com/meet-the-forbes-second-richest-african-woman-isabel-dos-santos/|title=Meet The Forbes Second Richest African Woman: Isabel dos Santos|date=4 December 2012|publisher=The African Economist|accessdate=8 January 2016}}</ref> moja ya vilabu vya kwanza vya [[usiku]] na [[Mgahawa|mikahawa]] ya [[pwani]] kwenye [[Kisiwa cha Luanda]]. Kwa kipindi cha karibu miaka 20 alipanua [[masilahi]] yake ya biashara, na kusababisha uanzishaji wa Holdings kadhaa, nchini Angola na zaidi nje ya nchi, akifanya [[uwekezaji]] mkubwa katika biashara zenye hadhi kubwa, haswa katika Ureno. <ref>[https://economico.sapo.pt/noticias/isabel-dos-santos-reforca-em-portugal-com-entrada-na-zon_77174.html Isabel dos Santos reforça em Portugal com entrada na Zon] {{Wayback|url=https://economico.sapo.pt/noticias/isabel-dos-santos-reforca-em-portugal-com-entrada-na-zon_77174.html |date=20160315062549 }} Diário Económico, 21 December 2009 (pt)</ref>
Mnamo Juni [[2016]], aliteuliwa na baba yake kama [[mwenyekiti]] wa Sonangol, kampuni ya [[mafuta]] ya serikali ya Angola. Uteuzi wa utata kama huo wa watoto wa rais kwa nafasi muhimu ulikuwa wa muda mfupi, kama João Lourenço, Rais mpya wa Angola, alimwachisha kazi miezi miwili tu baada ya kuapishwa katika [[ofisi]]. <ref>See e.g. Novo Jornal / Luanda, 10 March 2017</ref> <ref>[https://www.reuters.com/article/us-angola-sonangol/angola-president-dismisses-sonangol-chair-isabel-dos-santos-idUSKBN1DF1X5] by Reuters</ref>
Mnamo Desemba 30, 2019, Korti ya Mkoa wa Luanda iliamuru kukamatwa kwa akaunti ya benki ya binafsi ya dos Santos, mumewe, Sindika Dokolo, na Mário Filipe Moreira Leite da Silva. Kulingana na Ofisi ya [[Mwanasheria Mkuu]] wa Serikali, wafanyabiashara hao watatu waliingia katika kushughulika na serikali ya Angola kupitia kampuni Sodiam, kampuni ya uuzaji wa [[almasi]] ya [[umma]], na Sonangol, [[kampuni]] ya mafuta ya serikali. Pamoja na mikataba hiyo, serikali ya Angola ilipata [[hasara]] ya dola [[bilioni]] 1.14. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.sabado.pt/mundo/detalhe/tribunal-decreta-arresto-preventivo-a-contas-e-empresas-de-isabel-dos-santos|title=Tribunal decreta arresto preventivo a contas e empresas de Isabel dos Santos|work=sabado.pt}}</ref> Korti ilitoa [[hati]] inayoonyesha kwamba mali na wengine wengi wanaomilikiwa na dos Santos walikuwa wamepatikana kwa kutumia [[pesa]] kutoka kampuni mbili za serikali <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.bloomberg.com/tosv2.html?vid=&uuid=469e48c0-3483-11ea-88f8-31dc410bb4c0&url=L25ld3MvYXJ0aWNsZXMvMjAyMC0wMS0wMy9hZnJpY2Etcy1yaWNoZXN0LXdvbWFuLXNheXMtYXNzZXQtZnJlZXplLWRvb21zLWhlci1hbmdvbGFuLWZpcm1z|title=Bloomberg Are you a robot?|publisher=Bloomberg L.P.}}</ref> Wakati huohuo, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa [[Ureno]] imebaini kwamba uchunguzi umefunguliwa ndani ya shughuli kadhaa na Isabel dos Santos, kufuatia shtaka lililowekwa na Ana Gomes, Mwanachama wa Ureno wa [[Bunge la Ulaya]]. Kufuatia kunyakua, amechukua [[Dubai]] kama nchi yake rasmi ya kuishi.
=== Uwekezaji nchini Angola ===
Kwa udhibiti wa 51[[%]] wa ''Condis'', dos Santos alisaini ushirikiano wa pamoja na kikundi cha Sonae cha Ureno mnamo Aprili 2011 kwa [[maendeleo]] na operesheni ya kampuni ya kuuza rejareja nchini Angola. Kuingia nchini Angola na kikundi cha Wareno kinachoongozwa na Paulo de Azevedo kitafanywa na Continente (Angola), ambayo imepanga kufungua [[duka]] la kwanza ifikapo 2013 nchini Angola. <ref>[http://www.portugalglobal.pt/PT/PortugalNews/Paginas/NewDetail.aspx?newId=%7BE0DA500A-CE60-4924-ADA7-8FAEE6AB3411%7D Portuguese group Sonae authorised to open hypermarkets in Angola] {{Wayback|url=http://www.portugalglobal.pt/PT/PortugalNews/Paginas/NewDetail.aspx?newId=%7BE0DA500A-CE60-4924-ADA7-8FAEE6AB3411%7D |date=20120129172429 }} Aicep Portugal Global. Retrieved 27 December 2011</ref>
=== Umilikaji wa makampuni ===
Katika miaka ya hivi karibuni dos Santos alishiriki katika umilikaji wa makampuni yafuatayo: <ref>[http://www.clipquick.com/Files/Imprensa/2012/08-01/0/1_1870377_7E1C4A2D8B3731959B5EFFAA1CAC6C0A.pdf A Angolana mais rica de Portugal, English: ''The most rich Angolan in Portugal''] {{Wayback|url=http://www.clipquick.com/Files/Imprensa/2012/08-01/0/1_1870377_7E1C4A2D8B3731959B5EFFAA1CAC6C0A.pdf |date=20140222144857 }} clipquick.com, 1 August 2012 (pt)</ref>
* Huduma za Uwekezaji wa Trans Africa, kampuni ya [[Gibraltar]] iliyoanzishwa kwa biashara ya almasi
* Holdel International Holdings BV: Mabadiliko ya jina la Kento na Jadeium, iliyoko [[Amsterdam]], kampuni kwa uwekezaji wa dos Santos katika mawasiliano na simu
* Santoro Fedha: kampuni kwa uwekezaji wa dos Santos huko Banco BPI iliyoko [[Lisbon]]
* Esperaza Holding BV: kampuni katika [[Amsterdam]], kwa uwekezaji katika nishati, mafuta nk.
* Condis: kampuni inayomiliki maduka pale Luanda
== ''Luanda Uvujaji'' ==
Mnamo 19 Januari 2020, kundi la wanahabari lilitoa taarifa ya "Luanda Leaks" kuhusu vyanzo vya utajiri wa dos Santos. Dos Santos aliwahi kudai kwamba alifaulu kujenga utajiri wake kwa kuchapa kazi tu, lakini taarifa ya Luanda Leaks ilionyesha jinsi alivyotajirika kwa kutumia siasa za baba yake.<ref>[https://www.icij.org/investigations/luanda-leaks/ ''Isabel dos Santos made a fortune at the expense of the Angolan people, Luanda Leaks reveals.''] icij.org, published 19 January 2020</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [https://isabeldossantos.com Tovuti rasmi] {{Wayback|url=https://isabeldossantos.com/ |date=20211208024558 }}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Angola]]
p4v8pcyyarbyk3q1mhbatztvpoq9e0u
Wangechi Mutu
0
133312
1584811
1529220
2026-08-06T11:10:37Z
Riccardo Riccioni
452
1584811
wikitext
text/x-wiki
'''Wangeni Mutu''' (alizaliwa jijini [[Nairobi]], [[Kenya]], [[1972]]<ref name="Gladstone"/>) ni [[mwanamke]] msanii wa maonyesho mwenye asili mchanganyiko wa [[Kenya]] na [[Marekani]]. Anafahamika sana kwa [[uchoraji]], kuchonga [[sanamu]], [[filamu]] na kazi zake za maonyesho.<ref name="Gladstone">[https://gladstonegallery.com/artist/wangechi-mutu/biography “Wangechi Mutu Biography”] {{Wayback|url=https://gladstonegallery.com/artist/wangechi-mutu/biography |date=20210313163548 }}, Gladstone Gallery, Retrieved 24 November 2018.</ref> Alizaliwa [[Kenya]], aliishi na kuanzisha kazi zake [[New York]] kwa zaidi ya miaka ishirini.<ref name="Gladstone"/>
==Maisha ya awali na Elimu==
Mutu alisoma mwaka [[1978]] mpaka [[1989]] ''Loreta Convent Msongari'' na baadae ''United World College of the Atlantic.'' Alihamia [[New York]] miaka ya [[1990]] huko alibobea katika sanaa ya uchoraji na [[Anthropolojia]] katika shule ya ''The New school'' kwa ajili ya utafiti wa jamii na ''Parsons The New School'' kwa ajili ya ubunifu. Alipata shahada ya uzamili katika uchongaji wa sanamu.<ref name=":0">{{Rejea kitabu|title=The Reckoning: Women Artists of the New Millennium|url=https://archive.org/details/reckoningwomenar0000hear|last=Posner|first=Helaine|publisher=Prestel|year=2013|isbn=978-3-7913-4759-2|editor-last=Heartney|editor-first=Eleanor|location=New York|pages=[https://archive.org/details/reckoningwomenar0000hear/page/54 54]–59|chapter=Bad Girls: Wangechi Mutu}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wasanii wa Kenya]]
jcj8mx16psk9312mjy7oqexi9avy9z5
Kawira Mwirichia
0
133313
1584777
1516686
2026-08-06T10:19:07Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1584777
wikitext
text/x-wiki
'''Kawira Mwiricha''' ([[1986]] - [[2020]]) <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.kuchutimes.com/2020/11/a-bright-light-dimmed-too-soon-celebrating-queer-activist-kawira-mwirichia/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-06 |archive-date=2023-04-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230408214647/https://www.kuchutimes.com/2020/11/a-bright-light-dimmed-too-soon-celebrating-queer-activist-kawira-mwirichia/ |url-status=dead }}</ref> alikuwa [[msanii]] mwenye [[ujuzi]] mbalimbali, mtunzaji wa kazi za [[sanaa]] na mtetezi wa [[ushoga]] aliyeishi [[Athi River]] nchini [[Kenya]]. Ni msanii aliyefahamika kimataifa kwa kuchora [[Kanga (kitambaa)|kanga]] pamoja, [[uchoraji]] na [[uchongaji]].
==Maisha ya awali na elimu==
Kawira Mwiricha alipokea [[shahada]] yake ya [[uhandisi]] wa [[Jengo|majengo]] kutoka [[Chuo kikuu cha Nairobi]] ([[Agosti]] [[2007]] – [[Desemba]] [[2012]]).<ref>{{cite web |title=Kawira Mwirichia |url=https://the-dots.com/users/kawira-mwirichia-245000 |website=The Dots |accessdate=2021-03-06 |archive-date=2023-06-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230610051255/https://the-dots.com/users/kawira-mwirichia-245000 |url-status=dead }}</ref>
Kupitia Astraea Commslab, Mwirichia alisoma kozi ya mtandaoni ya uanaharakati wa ushoga. Mafunzo yake rasmi ya sanaa yalitoka kwa kozi za grafiki & uundaji wa mtandao katika Taasisi ya [[Teknolojia]] ya Juu pamoja na Taasisi ya Mafunzo ya [[Biashara]] ya Nairobi.
Alifariki nyumbani kwake na maiti yake ilikutwa tarehe 3 Novemba 2020 katika hali ya kuoza, ilhali aliripotiwa kupotea siku kadhaa kabla ya kukutwa<ref>[https://obituarykenya.co.ke/sheila-kawira-mwirichia-founder-to-revolutionary-type-love Sheila Kawira Mwirichia–the founder of “To Revolutionary Type Love”] {{Wayback|url=https://obituarykenya.co.ke/sheila-kawira-mwirichia-founder-to-revolutionary-type-love |date=20210212182256 }}, tovuti ya Obituary Kenya, tar. 07.11.2020, iliangaliwa Machi 2021</ref>.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Wasanii wa Kenya]]
[[Jamii:Arts and Feminism 2023]]
l7x2g2dmto9r0uleu9s13zzogsar8br
Serena de la Hey
0
133325
1584821
1300235
2026-08-06T11:27:50Z
Riccardo Riccioni
452
1584821
wikitext
text/x-wiki
[[File:The Willow Man - geograph.org.uk - 472863.jpg|thumb|Serena de la Hey: [[Willow Man|The Willow Man]] (2001)]]
'''Serena de la Hey''' (alizaliwa [[Eldoret]], [[Kenya]], [[1967]]) ni [[Mkenya]] mwenye [[asili]] ya [[Britania]], mchonga [[sanamu]] ambaye alikuwa akisafiri sana na makazi yake ya kudumu yalikuwa huko [[Somerset]] tangu [[miaka ya 1990]]. Alijulikana vyema kwa sanamu yenye urefu wa futi 40 kwenda juu [[Willow Man]] karibu na [[Bridgwater]] ambayo alimaliza majira ya vuli mwaka 2001.<ref name=tel>{{cite news|url=https://www.telegraph.co.uk/gardening/3292723/Theyre-not-corn-dollies.html|title=They're not corn dollies|author=Vere-Parr, Mary|newspaper=The Telegraph|date=18 August 2001|accessdate=16 January 2018 }}</ref><ref name=sl>{{cite web|url=http://www.somerset-life.co.uk/out-about/somerset-willow-woman-serena-de-la-hey-talks-to-robert-hesketh-1-1631856|title=Somerset, Willow Woman, Serena De La Hey talks to Robert Hesketh|author=Hesketh, Robert|publisher=SomersetLife|date=14 January 2010|accessdate=16 January 2018|language=|archivedate=2021-01-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210125075126/https://www.somerset-life.co.uk/out-about/somerset-willow-woman-serena-de-la-hey-talks-to-robert-hesketh-1-1631856}}</ref>
==Wasifu==
Akiwa bado mdogo alitumia muda wake mwingi katika mashamba ya Australia. Baada ya kuhitimu chuo cha [[Falmouth University|Falmouth Art College]], aliweka makazi ya kudumu Somerset ambapo alianza kazi yake ya kwanza ya uchongaji wa sanamu kwa kutumia mierebi kutoka [[Somerset Levels]].<ref name=tel/>
De la Hey alianza kutumia mierebi kuchongesha sanamu ya mfumo wa mtu mwaka 1992 ambapo alitengeneza takwimu endelevu za wicker ndani ya [[Great Basin Desert|Nevada Desert]].<ref name=BBC>{{cite news|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/uk_news/943715.stm|title=40ft sculpture unveiled in Somerset|work=BBC News|date=26 September 2000|accessdate=16 January 2018 }}</ref><ref>{{cite web|url=https://burningman.org/culture/history/brc-history/event-archives/1992-2/1992-art-installations/|title=1992 Art Installations|year=1992|publisher=Burning Man: The Culture Historical Archives|accessdate=16 January 2018}}</ref> <ref>{{cite news|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/art}}</ref> Tangu mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], amekuwa akitengeneza takwimu za wicker juu ya [[Watu]] na [[Wanyama]] kwenye studio yake iliyopo [[Stoke St Gregory|Stoke Gregory]] mkabala na [[Taunton]]. Anachukulia mierebi kama “njia rahisi zaidi ya kulifanyia kazi wazo”. Amezalisha takwimu kadhaa kwa wateja binafsi,nyingi zikiwa kama mapambo ya nyumbani na za bustani..<ref>{{cite news|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/artblog/2007/jul/02/forsomeunguessablereasonwo|title=Nice sculpture. Who made it? |author=Greer, Germaine|newspaper=The Guardian|date=2 July 2007|accessdate=18 January 2018 }}</ref>
Mnamo mwaka [[2000]], South West Arts walimlipa amtengeneze mtu kutokana na mierebi, sanamu ya urefu wa futi 40 kwenda juu ikikaribiana na [[M5 Motorway]] karibu na Bridgwater. Ilimchukua wiki nne kukamilisha uchongeshaji wa sanamu hiyo,kwa kutumia mierebi ya kawaida iliyotiwa nguvu na mnara wa chuma. Ilikamilika mwezi wa tisa 2000.<ref name=BBC/>Mwezi wa tano 2001, vandals alichoma sanamu , akiacha mnara wa chuma pekee.<ref name=sl/>Nashukuru kwa kampeni ya kurejesha sanamu , mwezi wa kumi mwaka 2001, de la Hey alikamilisha awamu ya pili ,awamu hii alisuka waya wa chuma pamoja na mierebi. Kwa kuongezea , sanamu ililindwa na eneo kubwa lenye magugu.<ref>{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/uk_news/england/1607295.stm|title=Willow man rises from ashes|publisher=BBC|date=19 October 2001|accessdate=18 January 2018 |language=}}</ref>Japokuwa mwanzoni iliundwa iweze kudumu kwa miaka mitatu tu , sanamu ya mtu wa mierebi imekuwa ikifanyiwa marekebisho mara kwa mara ndani ya mwaka na de la Hey na bado inaonekana vyema.<ref>{{cite news|url=https://www.bbc.com/news/uk-england-somerset-34570374|title=Repairs under way to Somerset's M5 Willow Man landmark|work=BBC News|date=19 October 2015|accessdate=18 January 2018 }}</ref>Marekebisho yamekuwa ya gharama sana ikimfanya de la Hey kufikiria kama sanamu hiyo angeweza kuichonga upya. <ref>{{cite web|url=http://www.itv.com/news/westcountry/2017-10-12/willow-man-may-be-removed-because-it-is-too-expensive-to-keep-fixing/|title=Willow Man may be removed because of high repair costs|publisher=ITV|date=12 October 2017|accessdate=18 January 2018 |language=}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1967|}}
[[Jamii:Wachongaji wa Kenya]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
s7pyfbnfmgza36du07brucecraz67iw
Jamii:Wasanii wa Kenya
14
133772
1584730
1155987
2026-08-06T09:43:57Z
Riccardo Riccioni
452
1584730
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wasanii nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|S]]
67olql9b0rsfrqdk4ldq556fwweicuc
Jamii:Wafanyabiashara wa Tanzania
14
134873
1584702
1161203
2026-08-06T09:23:46Z
Riccardo Riccioni
452
1584702
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wafanyabiashara nchi kwa nchi|T]]
[[Jamii:Watu wa Tanzania|B]]
aedisg6vz9ya9xh1d0en79akz5k2yla
Uwanja wa michezo wa Sokoine
0
137584
1584443
1528600
2026-08-05T18:07:39Z
FaysaLBinDaruL
46970
+
1584443
wikitext
text/x-wiki
{{Inforbox uwanja wa michezo
| jina = Uwanja wa michezo wa Sokoine
| picha =
| maelezo ya picha =
| jina maarufu =
| eneo = [[Sisimba]]
| Ufunguzi = 1977
| uwezo = 20,000
| aina ya nyasi =
}}
'''Uwanja wa michezo wa Sokoine''' ni uwanja wa [[michezo]] uliopo katika [[kata]] ya [[Sisimba]], [[mkoa wa Mbeya]] nchini [[Tanzania]] unaomilikiwa na [[Chama cha Mapinduzi]] ([[CCM]]).<ref>{{cite news|last1=Muga|first1=Emmanuel|title=CCM should facelift its venues before VPL starts|url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html|accessdate=10 August 2017|issue=The Citizen|date=17 August 2014|archivedate=2018-02-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2023-05-14 |archivedate=2018-02-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html }}</ref>
Uwanja huo ulijengwa mwaka 1984 na unatumika kwa mambao mawili, [[mpira wa miguu]] na hafla za kitaifa au mikutano. Kwa mara ya kwanza uwanja huu ulikuwa ukijulikana kama ''Mapinduzi Stadium'', lakini mwaka [[1984]] ulibadilishwa jina baada ya [[kifo]] cha aliyekuwa [[Waziri Mkuu|waziri mkuu]] wa Tanzania, [[Edward Sokoine]].
Uwanja huu unatumika kama uwanja wa nyumbani wa timu mbili ambazo ni [[Prisons F.C.]] na [[Mbeya City F.C.]] ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.<ref>{{Cite web|last=Database|first=World Stadium|title=Sokoine Stadium on World Stadium Database|url=https://www.worldstadiumdatabase.com/sokoine-stadium-stadium-mbeya-in-tanzania.htm|access-date=2026-08-05|website=www.worldstadiumdatabase.com|language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Coord|8|53|40.5|S|33|26|47.9|E|display=title}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]]
[[Jamii:Viwanja vya Michezo Tanzania]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Mbeya]]
32ns7frqeiab0xkmhcvia3xqumvet93
1584444
1584443
2026-08-05T18:08:13Z
FaysaLBinDaruL
46970
1584444
wikitext
text/x-wiki
{{Inforbox uwanja wa michezo
| jina = Uwanja wa michezo wa Sokoine
| picha =
| maelezo ya picha =
| jina maarufu =
| eneo = [[Sisimba]]
| Ufunguzi = 1977
| uwezo = 20,000
| aina ya nyasi =
}}
'''Uwanja wa michezo wa Sokoine''' ni uwanja wa [[michezo]] uliopo katika [[kata]] ya [[Sisimba]], [[mkoa wa Mbeya]] nchini [[Tanzania]] unaomilikiwa na [[Chama cha Mapinduzi]] ([[CCM]]).<ref>{{cite news|last1=Muga|first1=Emmanuel|title=CCM should facelift its venues before VPL starts|url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html|accessdate=10 August 2017|issue=The Citizen|date=17 August 2014|archivedate=2018-02-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2023-05-14 |archivedate=2018-02-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html }}</ref>
Uwanja huo ulijengwa mwaka 1984 na unatumika kwa mambao mawili, [[mpira wa miguu]] na hafla za kitaifa au mikutano. Kwa mara ya kwanza uwanja huu ulikuwa ukijulikana kama ''Mapinduzi Stadium'', lakini mwaka [[1984]] ulibadilishwa jina baada ya [[kifo]] cha aliyekuwa [[Waziri Mkuu|waziri mkuu]] wa Tanzania, [[Edward Sokoine]].
Uwanja huu unatumika kama uwanja wa nyumbani wa timu mbili ambazo ni [[Prisons F.C.]] na [[Mbeya City F.C.]] ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.<ref>{{Cite web|last=Database|first=World Stadium|title=Sokoine Stadium on World Stadium Database|url=https://www.worldstadiumdatabase.com/sokoine-stadium-stadium-mbeya-in-tanzania.htm|access-date=2026-08-05|website=www.worldstadiumdatabase.com|language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Coord|8|53|40.5|S|33|26|47.9|E|display=title}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]]
[[Jamii:Viwanja vya Michezo Tanzania]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Mbeya]]
c2uvfxn9c8klk0gj83kv8cephdeda6g
1584471
1584444
2026-08-05T20:24:56Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584471
wikitext
text/x-wiki
{{Inforbox uwanja wa michezo
| jina = Uwanja wa michezo wa Sokoine
| picha =
| maelezo ya picha =
| jina maarufu =
| eneo = [[Sisimba]]
| Ufunguzi = 1977
| uwezo = 20,000
| aina ya nyasi =
}}
'''Uwanja wa michezo wa Sokoine''' ni uwanja wa [[michezo]] uliopo katika [[kata]] ya [[Sisimba]], [[mkoa wa Mbeya]] nchini [[Tanzania]] unaomilikiwa na [[Chama cha Mapinduzi]] ([[CCM]]).<ref>{{cite news|last1=Muga|first1=Emmanuel|title=CCM should facelift its venues before VPL starts|url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html|accessdate=10 August 2017|issue=The Citizen|date=17 August 2014|archivedate=2018-02-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2023-05-14 |archivedate=2018-02-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180228232802/http://www.thecitizen.co.tz/News/Sports/CCM-should-facelift-its-venues-before-VPL-starts/1840572-2421756-11ttebaz/index.html }}</ref>
Uwanja huo ulijengwa mwaka 1984 na unatumika kwa mambao mawili, [[mpira wa miguu]] na hafla za kitaifa au mikutano. Kwa mara ya kwanza uwanja huu ulikuwa ukijulikana kama ''Mapinduzi Stadium'', lakini mwaka [[1984]] ulibadilishwa jina baada ya [[kifo]] cha aliyekuwa [[Waziri Mkuu|waziri mkuu]] wa Tanzania, [[Edward Sokoine]].
Uwanja huu unatumika kama uwanja wa nyumbani wa timu mbili ambazo ni [[Prisons F.C.]] na [[Mbeya City F.C.]] ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000.<ref>{{Rejea tovuti|last=Database|first=World Stadium|title=Sokoine Stadium on World Stadium Database|url=https://www.worldstadiumdatabase.com/sokoine-stadium-stadium-mbeya-in-tanzania.htm|access-date=2026-08-05|website=www.worldstadiumdatabase.com|language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Coord|8|53|40.5|S|33|26|47.9|E|display=title}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]]
[[Jamii:Viwanja vya Michezo Tanzania]]
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:Mbeya]]
q58kmqzb5jbtobxz58s574pbxom34fh
Majadiliano ya mtumiaji:Kelvin kevoo
3
137933
1584353
1449273
2026-08-05T13:29:40Z
Riccardo Riccioni
452
/* Fwatilia Masahihisho */
1584353
wikitext
text/x-wiki
'''Diego Tinotenda Chikombeka''' (amezaliwa Februari 5, 1998), anajulikana kitaalamu kama Diego Tryno ni mwanamuziki wa kisasa wa mjini wa [[Zimbabwe na mwanamuziki]] wa [[hip-hop]]. Anajulikana pia nchini kwa majina ya jukwaani ikiwa ni pamoja na "Mr. Coffee Please" na "The Future Billionaire".
== Maisha ya awali ==
Diego alizaliwa [[Mutare]], Zimbabwe katika Hospitali ya Wilaya ya [[Sakubva]].<ref> name =newsguard>{{Cite web | url=http://newsguard.co.zw/2019/12/02/manicaland-artiste-defies-odds/ |title = Msanii wa Manicaland amekaidi odds|date = 2019-12-02}}</ref> Alikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa na mama yake Fungisai Kanjera na baba yake Christopher Chikombwe. Alipokuwa akisoma shule ya msingi, alihamia [[Zvishavane] kwa muda na kurejea Mutare kumalizia elimu yake ya msingi. Alisomea Shule ya Upili ya Chikanga kabla ya kuhamia [[Harare]], na kumaliza shule ya upili katika Shule ya Upili ya Living Waters.<ref name=storify>{{Cite web | url=https://www.storifynews.com/the-curious-tale-of-the-southern-african-star-diego-and-his-industry/ |title = Hadithi ya Kustaajabisha ya nyota wa Kusini mwa Afrika Diego na wake sekta | Storify News|tarehe = 2019-11-21}}</ref> Wakati wa masomo yake, Tryno alifanya mazoezi ya muziki faraghani, kwa kuwa wazazi wake hawakuvumilia uamuzi wake wa kutafuta muziki.<ref> name=newsday2>{{Cite web|url =https://www.newsday.co.zw/2019/10/diego-known-abroad-stranger-at-home/|title = Diego: Anajulikana nje ya nchi, mgeni nyumbani|tarehe = 2019-10-17}}</ref>
== Kazi ya muziki ==
Aliwahi kufanya muziki wa [[Zimdancehall]] kwa jina Ricky D kabla ya kuhamia hip-hop.<ref name="newsguard" /> Tryno alirekodi wimbo wake wa kwanza wa hip-hop mwaka wa 2014 unaoitwa "Go Diego Go" na akashinda yake ya kwanza. tuzo ya kikanda katika Tuzo za Muziki za Zambezi mwaka huo huo.<ref> name=newsday1>{{Cite web|url = https://www.newsday.co.zw/2019/08/wanamuziki-wapigana-dhidi-graft|title = Mwanamuziki fight against graft|date = 26 August 2019}}</ref> Mnamo 2015 alifanya show yake ya kwanza ya moja kwa moja katika Summer Jam ikifuatiwa na ziara ya ngoma ya "I wanna see you".<ref name="Bulawayo24" /> Anafanya muziki nchini [[Lugha ya Kiingereza|Kiingereza]], [[Lugha ya Kishona|Shona]], na [[Lugha ya Kindebele cha Kaskazini|Ndebele]] na wimbo wake wa kwanza wa Kishona ulikuwa mwaka wa 2015 aliposhiriki katika wimbo na mwimbaji TC.<ref>{ {Taja mtandao | url=https://zimmagazine.com/10-things-you-didnt-know-about-diego-tryno-zimmagazine/ |title = Mambo 10 ambayo hukujua kuhusu Diego Tryno-Zimmagazine|tarehe = 2019-09- 17}}</ref><ref name="newsguard" /> Tryno amefanya kazi na watayarishaji wa kikanda na kimataifa katika utayarishaji wa muziki wake. Mtayarishaji mmoja mashuhuri alikuwa Dry AFM kutoka Botswana ambaye alichangia katika uchanganyaji wa wimbo wake Yolo.<ref>{{Cite web|url=https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|title=Diego Tryno Dates Botswana Producer |last=Lounge263|date=2016-10-20|website=Lounge263 Mag|language=en-US|access-date=2019-07-21|archive-url=https://web.archive.org/web/ 20190722005012/https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|archive-date=2019-07-22|url-status=dead}}</ref>
=== 2018 ===
Mnamo Oktoba 2018, Tryno alitoa albamu yake ya kwanza ''Lazarus (Age Volume 1)'' ambayo ilikuwa mchango wa kwanza wa mradi wake wa ''All Generations Entwined''.<ref>{{Cite web|url = https://blownaija .com/e-news-diego-tryno-and-all-generations-entwined-volumes-1-5-age-vol-1-5/|title = [E-Habari] Diego Tryno na Vizazi Vyote Juzuu 1- 5 (Umri Vol 1-5)|last = Blow|first = Baba|date = 15 Septemba 2019|tovuti = Blow Naija|language = en|access-date = 15 Novemba 2019}}</ref> Albamu ilitolewa mnamo ushirikiano na albamu ya msanii wa Hip-hop wa Zimbabwe Ti Gonzi "Best Mero" siku hiyo hiyo na ukumbi na wimbo wa kwanza uliaminika kimakosa kuwa Albamu ya Injili.<ref name="Hallelujahmag">{{cite web|url=https:/ /hallelujahmag.com/2019/12/05/kitambulisho-cha-wanamuziki-vipofu-kwa-aina-kwa-uinjilisti-sababu-kesi-ya-diego-tryno/|title=Wanamuziki wasioona utambulisho wa aina kwa ajili ya uinjilisti|kazi =Hallelujahmag|date=2019-12-05}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.hmetro.co.zw/i-sing-hipu-hopu-not -hip-hop-ti-gonzi/|title=Naimba hipu hopu si hip hop – Ti Gonzi|last=H-Metro|website=H-Metro|language=en-GB|access-date=2019-07-21 }}</ref> Albamu ya kwanza ya Tryno ilisambazwa sana kwenye vituo vya redio vikiwemo Star Fm, ZiFm, Hevoi Fm huko Masvingo na SA's Metro Fm.<ref>{{Cite web | url=https://globenews24.online/ahadi-zilizovunjika-zinatishia-kazi-ya-wasanii/ | title=Ahadi zilizovunjwa zinatishia kazi ya msanii | Globenews24}}</ref> Baada ya albamu yake ya kwanza, Tryno alijaribu kuchanganya muziki wa kisasa wa mjini, sungura, injili, na asili ya Zimbabwe.<ref name="oyosnews">{{cite web|url=http://oyos.news /tengeneza-njia-kwa-new-hip-hop-influencers-diego-tryno-on-an-anti-graft-note|title = Wape njia washawishi wapya wa Hip-hop- Diego Tryno juu ya kupinga ufisadi kumbuka - OyOsNews - Habari zako zote za Zim Mtu Mashuhuri|last = Codingest|tarehe = 11 Novemba 2019|tovuti = OyOsNews|language = en|tarehe ya ufikiaji = 15 Novemba 2019}}</ref> Oktoba 30, 2018, Diego alitoa toleo lake la kwanza video "Mabvuta" moja kwa moja kwenye ZiFm Stereo na Zimbabwe [[ZBC TV]].
=== 2019 ===
Mnamo mwaka wa 2019 Tryno alitoa wimbo wake ''Cooler Box'' ambao uliingia kwenye chati za redio za Zimbabwe na aliahidi kuachia albamu yake ya pili ''Stories (Age Vol 2)'' ambayo alishindwa kuitoa katika tarehe aliyoahidi na ikavutia. maoni hasi kutoka kwa mashabiki wake.<ref>https://www.thehararetimes.com/zim-hip-hop-artist-diego-tryno-delays-album-release-manager-blames-power-cuts/</ref> Desemba 2019 alikanusha uvumi kuhusu ziara nchini Kenya na akaghairi ziara nyingine zozote za uvumi.<ref>{{Cite web |url=https://koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour- inaondoa tetesi/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |access-date=2019-12-21 |archive-date=2019-12-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20191221165821/https: //koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour-clears-rumours/ |url-status=dead }}</ref>
== Video ==
{| class="wikitable"
|+
!Mwaka
!Kichwa
!Mkurugenzi
!Kumb
|-
|2018
|Mabvuta
|Media Empire
|
|-
|2019
|Sungai ft Dj Monte
|Denford Mkasi
|
|}
==Marejeleo==
{{reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.afro.video/en/artist/diego-tryno/ Video]
* [https://www.youtube.com/watch?v=6FKTP34EKFU Wasifu]
* [https://www.youtube.com/watch?v=Mahojiano ya Zrsbl9UXGcw kwenye Star FM]
* [https://www.youtube.com/watch?v=DEfrfvZJq88 Mahojiano kwenye Hevoi FM]
[[Kitengo: Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu wanaoishi]]
==Kuhusu Vyanzo==
Salamu, nakukumbusha kuwa, makala zote unazoandaa hakikisha zinakuwa na vyanzo na muundo unaoelewaka, makala yeyote kutoka katika Wikipedia ya Kiingeeza kama haina chanzo, basi usiweke katika Wikipidia ya Kiswahili, pitia makala zako kama za leo na uzifanyie marekebisho kabla ya kuendelea na makala nyingine,,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 11:12, 14 Septemba 2022 (UTC)
::Ndugu, hatuhitaji makala za Kiswenglish! Ukitumia mashine kutafsiri kutoka Kiingereza, sahihisha vizuri hadi ieleweke! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:36, 14 Septemba 2022 (UTC)
== Fwatilia Masahihisho ==
Ndugu @[[Mtumiaji:Kelvin kevoo|Kelvin kevoo]] Hongera kwa juhudi zako za Uhariri katika wikipedia ya kiswahili. Hata ivyo ninakuomba kupitia ukurasa wa mabadiliko ya hivi karibuni ili kuona namna makala zako zinavyosahihishwa na wahariri wengine na ujifunze ili usirudie makosa yaleyele kila mara. Asante '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 13:13, 30 Agosti 2025 (UTC)
:Narudia na kusisitiza ulichoambiwa tayari hapa juu. Mbona unarudiarudia makosa yale? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:29, 5 Agosti 2026 (UTC)
62k1g88fanajyaa55n5hv57hwpjkvcz
1584681
1584353
2026-08-06T08:57:39Z
Riccardo Riccioni
452
/* Fwatilia Masahihisho */
1584681
wikitext
text/x-wiki
'''Diego Tinotenda Chikombeka''' (amezaliwa Februari 5, 1998), anajulikana kitaalamu kama Diego Tryno ni mwanamuziki wa kisasa wa mjini wa [[Zimbabwe na mwanamuziki]] wa [[hip-hop]]. Anajulikana pia nchini kwa majina ya jukwaani ikiwa ni pamoja na "Mr. Coffee Please" na "The Future Billionaire".
== Maisha ya awali ==
Diego alizaliwa [[Mutare]], Zimbabwe katika Hospitali ya Wilaya ya [[Sakubva]].<ref> name =newsguard>{{Cite web | url=http://newsguard.co.zw/2019/12/02/manicaland-artiste-defies-odds/ |title = Msanii wa Manicaland amekaidi odds|date = 2019-12-02}}</ref> Alikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa na mama yake Fungisai Kanjera na baba yake Christopher Chikombwe. Alipokuwa akisoma shule ya msingi, alihamia [[Zvishavane] kwa muda na kurejea Mutare kumalizia elimu yake ya msingi. Alisomea Shule ya Upili ya Chikanga kabla ya kuhamia [[Harare]], na kumaliza shule ya upili katika Shule ya Upili ya Living Waters.<ref name=storify>{{Cite web | url=https://www.storifynews.com/the-curious-tale-of-the-southern-african-star-diego-and-his-industry/ |title = Hadithi ya Kustaajabisha ya nyota wa Kusini mwa Afrika Diego na wake sekta | Storify News|tarehe = 2019-11-21}}</ref> Wakati wa masomo yake, Tryno alifanya mazoezi ya muziki faraghani, kwa kuwa wazazi wake hawakuvumilia uamuzi wake wa kutafuta muziki.<ref> name=newsday2>{{Cite web|url =https://www.newsday.co.zw/2019/10/diego-known-abroad-stranger-at-home/|title = Diego: Anajulikana nje ya nchi, mgeni nyumbani|tarehe = 2019-10-17}}</ref>
== Kazi ya muziki ==
Aliwahi kufanya muziki wa [[Zimdancehall]] kwa jina Ricky D kabla ya kuhamia hip-hop.<ref name="newsguard" /> Tryno alirekodi wimbo wake wa kwanza wa hip-hop mwaka wa 2014 unaoitwa "Go Diego Go" na akashinda yake ya kwanza. tuzo ya kikanda katika Tuzo za Muziki za Zambezi mwaka huo huo.<ref> name=newsday1>{{Cite web|url = https://www.newsday.co.zw/2019/08/wanamuziki-wapigana-dhidi-graft|title = Mwanamuziki fight against graft|date = 26 August 2019}}</ref> Mnamo 2015 alifanya show yake ya kwanza ya moja kwa moja katika Summer Jam ikifuatiwa na ziara ya ngoma ya "I wanna see you".<ref name="Bulawayo24" /> Anafanya muziki nchini [[Lugha ya Kiingereza|Kiingereza]], [[Lugha ya Kishona|Shona]], na [[Lugha ya Kindebele cha Kaskazini|Ndebele]] na wimbo wake wa kwanza wa Kishona ulikuwa mwaka wa 2015 aliposhiriki katika wimbo na mwimbaji TC.<ref>{ {Taja mtandao | url=https://zimmagazine.com/10-things-you-didnt-know-about-diego-tryno-zimmagazine/ |title = Mambo 10 ambayo hukujua kuhusu Diego Tryno-Zimmagazine|tarehe = 2019-09- 17}}</ref><ref name="newsguard" /> Tryno amefanya kazi na watayarishaji wa kikanda na kimataifa katika utayarishaji wa muziki wake. Mtayarishaji mmoja mashuhuri alikuwa Dry AFM kutoka Botswana ambaye alichangia katika uchanganyaji wa wimbo wake Yolo.<ref>{{Cite web|url=https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|title=Diego Tryno Dates Botswana Producer |last=Lounge263|date=2016-10-20|website=Lounge263 Mag|language=en-US|access-date=2019-07-21|archive-url=https://web.archive.org/web/ 20190722005012/https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|archive-date=2019-07-22|url-status=dead}}</ref>
=== 2018 ===
Mnamo Oktoba 2018, Tryno alitoa albamu yake ya kwanza ''Lazarus (Age Volume 1)'' ambayo ilikuwa mchango wa kwanza wa mradi wake wa ''All Generations Entwined''.<ref>{{Cite web|url = https://blownaija .com/e-news-diego-tryno-and-all-generations-entwined-volumes-1-5-age-vol-1-5/|title = [E-Habari] Diego Tryno na Vizazi Vyote Juzuu 1- 5 (Umri Vol 1-5)|last = Blow|first = Baba|date = 15 Septemba 2019|tovuti = Blow Naija|language = en|access-date = 15 Novemba 2019}}</ref> Albamu ilitolewa mnamo ushirikiano na albamu ya msanii wa Hip-hop wa Zimbabwe Ti Gonzi "Best Mero" siku hiyo hiyo na ukumbi na wimbo wa kwanza uliaminika kimakosa kuwa Albamu ya Injili.<ref name="Hallelujahmag">{{cite web|url=https:/ /hallelujahmag.com/2019/12/05/kitambulisho-cha-wanamuziki-vipofu-kwa-aina-kwa-uinjilisti-sababu-kesi-ya-diego-tryno/|title=Wanamuziki wasioona utambulisho wa aina kwa ajili ya uinjilisti|kazi =Hallelujahmag|date=2019-12-05}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.hmetro.co.zw/i-sing-hipu-hopu-not -hip-hop-ti-gonzi/|title=Naimba hipu hopu si hip hop – Ti Gonzi|last=H-Metro|website=H-Metro|language=en-GB|access-date=2019-07-21 }}</ref> Albamu ya kwanza ya Tryno ilisambazwa sana kwenye vituo vya redio vikiwemo Star Fm, ZiFm, Hevoi Fm huko Masvingo na SA's Metro Fm.<ref>{{Cite web | url=https://globenews24.online/ahadi-zilizovunjika-zinatishia-kazi-ya-wasanii/ | title=Ahadi zilizovunjwa zinatishia kazi ya msanii | Globenews24}}</ref> Baada ya albamu yake ya kwanza, Tryno alijaribu kuchanganya muziki wa kisasa wa mjini, sungura, injili, na asili ya Zimbabwe.<ref name="oyosnews">{{cite web|url=http://oyos.news /tengeneza-njia-kwa-new-hip-hop-influencers-diego-tryno-on-an-anti-graft-note|title = Wape njia washawishi wapya wa Hip-hop- Diego Tryno juu ya kupinga ufisadi kumbuka - OyOsNews - Habari zako zote za Zim Mtu Mashuhuri|last = Codingest|tarehe = 11 Novemba 2019|tovuti = OyOsNews|language = en|tarehe ya ufikiaji = 15 Novemba 2019}}</ref> Oktoba 30, 2018, Diego alitoa toleo lake la kwanza video "Mabvuta" moja kwa moja kwenye ZiFm Stereo na Zimbabwe [[ZBC TV]].
=== 2019 ===
Mnamo mwaka wa 2019 Tryno alitoa wimbo wake ''Cooler Box'' ambao uliingia kwenye chati za redio za Zimbabwe na aliahidi kuachia albamu yake ya pili ''Stories (Age Vol 2)'' ambayo alishindwa kuitoa katika tarehe aliyoahidi na ikavutia. maoni hasi kutoka kwa mashabiki wake.<ref>https://www.thehararetimes.com/zim-hip-hop-artist-diego-tryno-delays-album-release-manager-blames-power-cuts/</ref> Desemba 2019 alikanusha uvumi kuhusu ziara nchini Kenya na akaghairi ziara nyingine zozote za uvumi.<ref>{{Cite web |url=https://koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour- inaondoa tetesi/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |access-date=2019-12-21 |archive-date=2019-12-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20191221165821/https: //koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour-clears-rumours/ |url-status=dead }}</ref>
== Video ==
{| class="wikitable"
|+
!Mwaka
!Kichwa
!Mkurugenzi
!Kumb
|-
|2018
|Mabvuta
|Media Empire
|
|-
|2019
|Sungai ft Dj Monte
|Denford Mkasi
|
|}
==Marejeleo==
{{reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.afro.video/en/artist/diego-tryno/ Video]
* [https://www.youtube.com/watch?v=6FKTP34EKFU Wasifu]
* [https://www.youtube.com/watch?v=Mahojiano ya Zrsbl9UXGcw kwenye Star FM]
* [https://www.youtube.com/watch?v=DEfrfvZJq88 Mahojiano kwenye Hevoi FM]
[[Kitengo: Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu wanaoishi]]
==Kuhusu Vyanzo==
Salamu, nakukumbusha kuwa, makala zote unazoandaa hakikisha zinakuwa na vyanzo na muundo unaoelewaka, makala yeyote kutoka katika Wikipedia ya Kiingeeza kama haina chanzo, basi usiweke katika Wikipidia ya Kiswahili, pitia makala zako kama za leo na uzifanyie marekebisho kabla ya kuendelea na makala nyingine,,Amani sana '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 11:12, 14 Septemba 2022 (UTC)
::Ndugu, hatuhitaji makala za Kiswenglish! Ukitumia mashine kutafsiri kutoka Kiingereza, sahihisha vizuri hadi ieleweke! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:36, 14 Septemba 2022 (UTC)
== Fwatilia Masahihisho ==
Ndugu @[[Mtumiaji:Kelvin kevoo|Kelvin kevoo]] Hongera kwa juhudi zako za Uhariri katika wikipedia ya kiswahili. Hata ivyo ninakuomba kupitia ukurasa wa mabadiliko ya hivi karibuni ili kuona namna makala zako zinavyosahihishwa na wahariri wengine na ujifunze ili usirudie makosa yaleyele kila mara. Asante '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 13:13, 30 Agosti 2025 (UTC)
:Narudia na kusisitiza ulichoambiwa tayari hapa juu. Mbona unarudiarudia makosa yale? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:29, 5 Agosti 2026 (UTC)
::Nimeona nafuu kidogo, lakini bado hujaelewa kwamba ukiweka mabano kando ya namba yoyote, kiungo kitahusu mwaka. Kwa mfano, <nowiki>[[14]]</nowiki> si kiungo cha namba kumi na nne, bali cha mwaka 14 BK. Pia, katika mabano ya kwanza karibu na kichwa hakuna haja ya kuandika <nowiki>[[tarehe]]</nowiki>. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:57, 6 Agosti 2026 (UTC)
irlqnc0w2w5pjyuhgc3jcircl93dhiy
Isaac Lenaola
0
138897
1584802
1176206
2026-08-06T10:51:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584802
wikitext
text/x-wiki
'''Isaac Lenaola''' (alizaliwa [[Samburu]], [[21 Desemba]] [[1967]]<ref name="Bio">{{cite web|url=https://kenyanlife.com/justice-isaac-lenaola/ | title=Biography of Isaac Lenaola, Justice of the Supreme Court of Kenya |
accessdate=22 August 2017 |date=2016 | publisher=Kenyanlife.com (KenyanLife)
| author=KenyanLife | location=Nairobi}}</ref>) ni [[wakili]] na [[jaji]] wa [[Kenya]], ambaye amewahi kuwa Jaji wa [[Mahakama Kuu]] ya Kenya, tangu tarehe [[28 Oktoba]] [[2016]].<ref>{{cite web| accessdate=22 September 2017 | url=http://www.nation.co.ke/news/Judges-Philomena-Mwilu-and-Isaac-Lenaola-take-oath-of-office/1056-3433326-x8ai60z/index.html | title=Judges Philomena Mwilu and Isaac Lenaola sworn in |date=28 October 2016 | location=Nairobi | author=PSCU | newspaper=[[Daily Nation]]}}</ref>
==Historia na Elimu==
Alianza masomo yake katika [[Shule]] ya Mtakatifu Mary huko [[Maralal]], mnamo [[1973]]. Aliendelea na masomo yake katika "Shule ya Msingi ya Maralal D.E.B." na "Shule ya Msingi Baragoi" ambapo alifanya [[Mtihani|mitihani]] yake ya Kumaliza Shule ya Msingi. Kuanzia 1981, alisoma katika Shule ya Upili ya Alliance kwa masomo yake ya kidato cha nne na kidato cha sita, akihitimu mnamo 1986, katika darasa lake, alipata alama bora zaidi katika elimu ya kidato cha sita nchini Kenya.
Mnamo 1987, Isaac Lenaola alijiunga katika [[Chuo Kikuu]] cha [[Nairobi]], ambapo alisomea sheria, akihitimu na Shahada ya [[Sheria]], mnamo [[1990]]. Kisha akasoma katika Shule ya Sheria ya Kenya, ambapo alipata Mpango wa Mafunzo ya Mawakili.
Mwaka 1991 alijiunga katika Baraza la uanasheria nchini Kenya.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Wanasheria wa Kenya]]
[[Jamii:Editathon 2021-06 Morogor]]
dgs1sbw2h789j0kzcqm8qqdq4odc13o
Peter Mathuki
0
138989
1584787
1523544
2026-08-06T10:30:18Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1584787
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Hon Dr Peter Mathuki - EAC Secretary General 1.jpg|alt=Katibu Mkuu wa sita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki|thumb|Katibu Mkuu wa sita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki]]
'''Peter Mutuku Mathuki''' ni [[mfanyabiashara]] na [[mwanadiplomasia]] wa [[Kenya]]. Yeye ni [[katibu mkuu]] wa [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]]. Aliteuliwa kwa nafasi hiyo na Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki mnamo 27 Februari 2021. <ref>{{Rejea tovuti|title=Handler picked to head NAS|url=http://dx.doi.org/10.1037/e467022008-006|work=PsycEXTRA Dataset|date=1968|accessdate=2021-06-29}}</ref> <ref name=":0">{{Rejea jarida|last=Julian|first=Asiimwe|last2=Mbabazize|first2=Mbabazi|last3=Paul.|first3=OkelloJohn|date=2016-08-31|title=FINANCIAL SECTOR DEVELOPMENT AND ECONOMIC GROWTH IN THE SELECTED EAST AFRICAN COMMUNITY COUNTRIES: EVIDENCE FROM PANEL UNIT ROOT AND COINTEGRATION TEST.|url=http://dx.doi.org/10.21474/ijar01/1250|journal=International Journal of Advanced Research|volume=4|issue=8|pages=576–588|doi=10.21474/ijar01/1250|issn=2320-5407}}</ref> Alianza kazi tarehe 25 Aprili 2021 kwa kipindi cha miaka mitano ambacho hakiwezi kurejeshwa, akichukua nafasi ya Libérat Mfumukeko wa Burundi.<ref name=":0" /><ref>{{Rejea jarida|date=1974-12|title=Millman takes over as AIP Secretary|url=http://dx.doi.org/10.1063/1.3129058|journal=Physics Today|volume=27|issue=12|pages=79–79|doi=10.1063/1.3129058|issn=0031-9228}}</ref>kabla ya nafasi yake ya sasa, aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Afrika Mashariki, kikundi cha wafanyabiashara katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Alihudumu katika nafasi hiyo kati ya 2018 na 2021.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|title=Handler picked to head NAS|url=http://dx.doi.org/10.1037/e467022008-006|work=PsycEXTRA Dataset|date=1968|accessdate=2021-06-29}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Mathuki ana Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara, aliyoipata kutoka [[Chuo Kikuu cha Nairobi]]. Baadaye, alipata Daktari wa Falsafa katika Usimamizi wa Kimkakati na Ushirikiano wa Kikanda, pia kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi.<ref name=":1" />
== Kazi ==
Katika nafasi yake kama mkurugenzi mtendaji wa Baraza la Biashara la Afrika Mashariki, Mathuki ametetea kikamilifu kukubaliwa kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Alishiriki kikamilifu katika uanzishaji wa Eneo la Biashara Huria la Bara la Afrika na alikuwa sehemu ya juhudi za kuanzisha Baraza la Biashara la Afrika , "taasisi huru ya sekta binafsi ya Umoja wa Afrika".<ref name=":1" /><ref>{{Citation|title=Opportunities and Challenges of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA)|date=2020-03-17|url=http://dx.doi.org/10.18356/acc0ac8c-en-fr|work=African Statistical Yearbook|pages=34–70|publisher=UN|isbn=978-92-1-004698-5|access-date=2021-06-29}}</ref>
Kati ya Juni 2012 na Juni 2017, Mathuki alikuwa mjumbe wa Bunge la Afrika Mashariki, akiwakilisha Kenya. Alipokuwa huko, alikuwa mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Afrika Mashariki ya utawala bora. Alikuwa pia mjumbe wa kamati ya bunge juu ya biashara na uwekezaji.<ref name=":1" />
Kabla ya hapo, aliwahi kuwa mkurugenzi anayehusika na Viwango vya Kazi vya Kimataifa katika Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Wafanyabiashara-Afrika na katika mipango ya Jumuiya ya Ulaya ya Afrika.<ref name=":1" />
== Zingatia pia ==
Peter Mathuki anakaa kwenye bodi za (a) ''Mamlaka ya Uwekezaji ya Kenya'', iliyo Nairobi na (b) Baraza la Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki, lililoko Kampala. Yeye pia ni mwanachama wa ''Taasisi ya Usimamizi ya Kenya''.<ref name=":1" />
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya]]
[[Jamii:Editathon 2021-06 Morogor]]
d4nucaq4rzt3rkbh8sk03eljky0r01e
Sakawa
0
139784
1584797
1182845
2026-08-06T10:43:52Z
Riccardo Riccioni
452
1584797
wikitext
text/x-wiki
'''Sakawa''' (alizaliwa Kisii kusini, miaka 1838-1840) alikuwa [[nabii]] wa kale wa [[Abagusii]] aliyetabiri kuja kwa [[Mzungu|Watu Weupe]]. Aliwaonya [[Wakisii]] kuwa watawanyag'anya vitu vyao kama mashamba, ng'ombe na mavuno yao. Alikuwa mtu aliyependa kunyamaza sana, lakini hawakujua kunyamaza kwake ndiko kulimfanya kuwa na [[busara]] na [[hekima]].
Atakumbukwa kwa vile kuna wakati janga liliwadia kwa Wakipsigis, janga la kuua wanyama, lakini Sakawa aliombea hilo janga na halikumuua mnyama yeyote wa Wakisii. Wakipsigis walihisi [[wivu]] wakataka kuwavamia Wakisii. Sakawa aliambiwa afanye jambo. Sakawa alituma ndege wengi waliowavamia Wakipsigis. Lakini hawakuvunjika moyo waliwavamia Wakisii na kuwanyanganya mifugo yao. Sakawa aliwabariki vijana waliokwenda kufuata mifugo yao, walisikia sauti ya mifugo yao huko [[Manga]] na waliwachukua mifugo yao.
==Kifo==
Inasemekana alitabiri [[kifo]] chake. Alikufa kwa [[kigoda|kiti chake cha miguu mitatu cha kale]]. Kuna mti unaoheshimika sana na Wakisii ambao unaitwa sakawa unaodhaniwa ndipo alipozikwa. Inasemekana tena alipotelea, hakuonekana.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1840]]
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
k1bkolxnp7yo1l4uej2a107umvnqbcr
Joji Preca
0
139897
1584510
1534449
2026-08-05T22:20:59Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584510
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Statue_of_Saint_George_Preca_at_Montekristo_Estates,_Hal_Farrug,_Luqa_(cropped).jpeg|thumb|[[Sanamu]] ya Mt. Joji.]]
'''Joji Preca''' (kwa [[Kimalta]]: '''Ġorġ'''; [[La Valletta]], [[Malta]], [[12 Februari]] [[1880]]<ref name="Bonavia">{{Rejea tovuti|url=https://timesofmalta.com/articles/view/remembering-san-or-preca-a-masterpiece-of-god-s-wisdom.429687|title=Remembering San Ġorġ Preca: a masterpiece of God's wisdom|website=Times of Malta|language=en-gb|access-date=2020-04-23}}</ref> - [[Santos Vendroob]], Malta, [[26 Julai]] [[1962]]) alikuwa [[padri]] wa [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Malta]] aliyeshughulikia hasa [[malezi]] na [[katekesi]] ya [[vijana]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/90057</ref>. Kwa ajili hiyo alianzisha [[Shirika la Mafundisho ya Kikristo]] ili kuonyesha [[Neno la Mungu]] linavyofanya [[kazi]] ndani ya [[Taifa la Mungu|taifa lake]].
Ndiye aliyebuni mafumbo ya mwanga ya [[Rozari]]<ref>{{cite web|last=Formosa|first=John|date=2004|title=Dun Gorg - San Gorg Preca|url=http://www.freewebs.com/museumstjulians/dungorgsangorgpreca.htm|work=Museum San Giljan|archive-url=https://web.archive.org/web/20130729115215/http://www.freewebs.com/museumstjulians/dungorgsangorgpreca.htm|archive-date=29 July 2013}}</ref>.
[[Papa Yohane Paulo II]] alimtangaza kuwa [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[9 Mei]] [[2001]]<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.vatican.va/content/john-paul-ii/en/homilies/2001/documents/hf_jp-ii_hom_20010509_malta-beatification.html|title=Jubilee Pilgrimage to Greece, Syria and Malta: Mass with Beatifications - "Granaries" of Floriana, Malta (9 May 2001) {{!}} John Paul II|website=w2.vatican.va|access-date=2020-04-23}}</ref>, na [[Papa Benedikto XVI]] alimtangaza [[mtakatifu]] tarehe [[3 Juni]] [[2007]], wa kwanza kutoka nchi hiyo ya [[Ulaya]] [[Visiwa|visiwani]]<ref name=HS>{{cite web|url=http://www.independent.com.mt/articles/2007-06-04/news/the-first-maltese-saint-dun-gorg-preca-a-biography-174428/|title=The First Maltese Saint: Dun Gorg Preca – A biography|publisher=Malta Independent|date=|accessdate=11 September 2018}}</ref>.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe aliyoaga [[dunia]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
* [[Watakatifu wa Agano la Kale]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
* [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
* [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]]
* [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]]
* [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]]
* [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]]
* [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]]
* [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]]
* [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]]
==Tanbihi==
{{marejeo}}
==Viungo vya nje==
*[http://thechurchinmalta.org/en/posts/3903/st-gorg-preca-statue-unveiledinawgurata-l-istatwa-ta%25e2%2580%2599-san-gorg-preca Archdiocese of Malta - St George Preca Statue Unveiled] {{en}}
*[https://www.timesofmalta.com/articles/view/20090222/local/president-unveils-st-george-preca-monument-in-australia.246067 The Times of Malta - President unveils St Gorg Preca monument in Australia] {{en}}
* [http://www.sdc.me.uk/st_george_preca/english.html Society of Christian Doctrine] {{Wayback|url=http://www.sdc.me.uk/st_george_preca/english.html |date=20210414184622 }} {{en}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa 1880]]
[[Category:Waliofariki 1962]]
[[Category:Mapadri]]
[[Category:Wakarmeli]]
[[Category:Watakatifu wa Malta]]
qx7quciq0582lzyf09ynbesl6kail9j
Kelly Brazier
0
144984
1584526
1516753
2026-08-06T01:13:33Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584526
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kelly Brazier 2016.jpg|alt=Brazier mnamo 2016|thumb|Brazier mnamo 2016]]
'''Kelly Brazier''' (amezaliwa [[Dunedin]], 28 Oktoba [[1989]]) ni mchezaji wa [[chama cha raga]] cha [[Nyuzilandi|New Zealand]]. Anacheza [[nusu ya juu]] , [[katikati]] au [[nafasi ya nyuma]] nchini [[Nyuzilandi|Nyu Zilandi]], [[Canterbury]] na klabu ya Kanada ya Edmonton Clansmen RFC.
Brazier alizaliwa na baba Mwingereza na mama wa Ireland ambaye alikuja New Zealand na mtoto wao wa kwanza Tony. Maisha yake ya michezo yalianza akiwa na umri wa miaka mitano wakati kaka yake aliyemzidi miaka miwili alipompeleka kwenye uwanja wa raga, na aligawanywa kati ya [[kugusa]] majira ya joto na [[raga]] wakati wa majira ya baridi. Alikuwa katika timu ya New Zealand U21 ya kugusa mchanganyiko akiwa na miaka 14 na katika timu ya wasichana wa shule ya upili ya New Zealand akiwa na miaka 15. Pia alianza kucheza raga ya [[Alhambra Union]] mwaka wa 2003 na uteuzi wa mkoa wa [[Otago Spirit]] mwaka wa 2004. <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.itmaru.org.nz/newsline/?p=1396 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-12-17 |archivedate=2011-10-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20111009034810/http://www.itmaru.org.nz/newsline/?p=1396 }}</ref>Aliingia katika vitabu vya rekodi vya mchezo wa raga ya New Zealand tarehe 2 Mei 2009, alipofunga pointi 64 - majaribio kumi na mabadiliko saba - kwa klabu yake katika mechi ya Otago Metropolitan Women's Premier dhidi ya Kaikorai katika [[Chuo Kikuu cha Oval]] huko Dunedin.<ref name=":0">{{Cite web |url=http://www.odt.co.nz/sport/rugby/54135/rugby-dunedin-teen-bags-nz-scoring-record |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-12-17 |archive-date=2009-05-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090506145149/http://www.odt.co.nz/sport/rugby/54135/rugby-dunedin-teen-bags-nz-scoring-record |url-status=dead }}</ref><ref name=":0"/>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:USLWO]]
[[Jamii:USLW DOM]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamichezo wa Nyuzilandi]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
aoxmd6f87sszs3264phab4tldosk1wj
1584616
1584526
2026-08-06T04:56:38Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584616
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kelly Brazier 2016.jpg|alt=Brazier mnamo 2016|thumb|Brazier mnamo 2016]]
'''Kelly Brazier''' (amezaliwa [[Dunedin]], 28 Oktoba [[1989]]) ni mchezaji wa [[chama cha raga]] cha [[Nyuzilandi|New Zealand]]. Anacheza [[nusu ya juu]] , [[katikati]] au [[nafasi ya nyuma]] nchini [[Nyuzilandi|Nyu Zilandi]], [[Canterbury]] na klabu ya Kanada ya Edmonton Clansmen RFC.
Brazier alizaliwa na baba Mwingereza na mama wa Ireland ambaye alikuja New Zealand na mtoto wao wa kwanza Tony. Maisha yake ya michezo yalianza akiwa na umri wa miaka mitano wakati kaka yake aliyemzidi miaka miwili alipompeleka kwenye uwanja wa raga, na aligawanywa kati ya [[kugusa]] majira ya joto na [[raga]] wakati wa majira ya baridi. Alikuwa katika timu ya New Zealand U21 ya kugusa mchanganyiko akiwa na miaka 14 na katika timu ya wasichana wa shule ya upili ya New Zealand akiwa na miaka 15. Pia alianza kucheza raga ya [[Alhambra Union]] mwaka wa 2003 na uteuzi wa mkoa wa [[Otago Spirit]] mwaka wa 2004. <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.itmaru.org.nz/newsline/?p=1396 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-12-17 |archivedate=2011-10-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20111009034810/http://www.itmaru.org.nz/newsline/?p=1396 }}</ref>Aliingia katika vitabu vya rekodi vya mchezo wa raga ya New Zealand tarehe 2 Mei 2009, alipofunga pointi 64 - majaribio kumi na mabadiliko saba - kwa klabu yake katika mechi ya Otago Metropolitan Women's Premier dhidi ya Kaikorai katika [[Chuo Kikuu cha Oval]] huko Dunedin.<ref name=":0">{{Rejea tovuti |url=http://www.odt.co.nz/sport/rugby/54135/rugby-dunedin-teen-bags-nz-scoring-record |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-12-17 |archive-date=2009-05-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090506145149/http://www.odt.co.nz/sport/rugby/54135/rugby-dunedin-teen-bags-nz-scoring-record |url-status=dead }}</ref><ref name=":0"/>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:USLWO]]
[[Jamii:USLW DOM]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamichezo wa Nyuzilandi]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
icf8rvzsfiw9t5khagk306shqcanbm9
Janet Mbugua
0
146407
1584773
1515185
2026-08-06T10:17:07Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1584773
wikitext
text/x-wiki
'''Janet Mbugua - Ndichu''' (alizaliwa [[10 Januari]] [[1984]]) ni [[mwanahabari]], [[mtangazaji]] na [[mwigizaji]] wa [[Kenya]].
Anajulikana kuwa alifanya [[kazi]] [[Kenya|KTN]] apo mwanzo. Alifanya kazi kwenye chaneli ya [[Citizen TV]] kwa miaka kadhaa, kabla ya kutangaza kustaafu kwake kutoka kwenye [[tasnia]] hiyo ya [[habari]]. Alikuwa mtangazaji mkuu wa [[habari]] kwenye chaneli hiyo ya Citizen wakati wote, pamoja na Hussein Mohammed. Aliechukua nafasi kwenye Jumuiya ya Kibinadamu ya Msalaba Mwekundu ya Kenya. Janet anavutiwa na [[filamu]] na [[sanaa]], kama mwigizaji aliyeongoza katika safu ya runinga ya Rush.
== Maisha ya awali na elimu ==
Janet alizaliwa na kukulia [[Mombasa]], Kenya. Ana kaka pacha Timothy Mbugua.<ref>{{cite web|url=http://www.okoanews.com/photos-introducing-janet-mbuguas-twin-brother/|title=Introducing Janet Mbugua’s Twin Brother|accessdate=9 February 2016|website=Okoa News|archive-url=https://web.archive.org/web/20150728063427/http://www.okoanews.com/photos-introducing-janet-mbuguas-twin-brother/|archive-date=28 July 2015|url-status=dead|archivedate=2015-07-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150728063427/http://www.okoanews.com/photos-introducing-janet-mbuguas-twin-brother/}}</ref>
Janet alikwenda [[Shule]] ya [[sekondari]] ya Brookhouse na baadaye akajiunga na [[Chuo Kikuu]] cha Kimataifa cha [[Marekani]] (USIU).
Baada ya kufanya kazi kwa muda, alijiunga na Chuo Kikuu cha [[Teknolojia]] ya Ubunifu cha Limkokwing nchini Malaysia kwa [[Shahada ya Awali|shahada]] yake ya mawasiliano ya watu wengi.Alisomea MBA yake katika Global Business Management katika Swiss Management Academy mjini Nairobi, Kenya.
== Kazi ==
Mnamo [[2004]], akiwa na [[umri]] wa miaka 19, Mbugua alianza kazi yake katika 98.4 Capital FM.<ref name="Janet">{{cite web|date=|first=|last=|url=http://www.standardmedia.co.ke/m/article/1144006483/i-m-janet-mbugua|title=I’m Janet Mbugua|accessdate=9 February 2016|website=Standard Media}}</ref>Mnamo [[2009]], aliajiriwa kama mtangazaji wa habari, ripota na mtayarishaji wa kipindi cha mambo ya sasa cha ''Pan-Afrikani'', [[Afrika]] [[360]],<ref>{{cite web|url=http://www.africa-asa.com/janet-mbugua/|title=Africa 360|accessdate=9 February 2016|website=Africa ASA}}</ref> na e.tv huko [[Johannesburg]], [[Afrika ya Kusini]]. Hadi hivi majuzi alikuwa mtangazaji wa habari katika runinga ya Citizen inayotangaza [[Jumatatu]] Maalumu na The Big Question.<ref>{{cite web|date=20 October 2015|first=Elainer|last=Mogoa|url=https://citizentv.co.ke/entertainment/citizen-tvs-janet-mbugua-pranks-co-host-hussein-mohammed-103623/|title=Citizen TV’s Janet Mbugua pranks co-host Hussein Mohammed|accessdate=9 February 2016|website=Citizen TV}}</ref>
Mnamo [[2014]], aliigiza katika ''sitcom, Rush''.<ref>{{cite web|url=http://www.spielworksmedia.com/janet-mbugua-unleashed/|title=JANET MBUGUA UNLEASHED|accessdate=9 February 2016|website=Spielswork Media}}</ref> Aliigiza katika nafasi ya uongozi kama Pendo Adama,<ref>{{cite web|url=http://www.actors.co.ke/en/mer/articledetail/600|title=CITIZEN TV NEWS ANCHOR JANET MBUGUA TO DEBUT IN STAR STUDDED SERIES RUSH|accessdate=9 February 2016|website=Actors.co.ke|archive-date=2016-02-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20160215171321/http://www.actors.co.ke/en/mer/articledetail/600|url-status=dead}}</ref> mmiliki na [[mhariri]] mkuu wa ''Rush Magazine''.<ref>{{cite web|url=http://nairobiwire.com/2014/04/watch-citizen-tvs-janet-mbugua-kick-start-acting-career-trailer.html|title=Watch Citizen TV’s Janet Mbugua Kick Start Her Acting Career|accessdate=9 February 2016|website=Nairobi Wire}}</ref>
Mnamo [[Julai]] [[2017]], alianza kushauriana na The Hive, [[Shirika]] la [[Marekani]] linalotaka kuongeza ujumbe wa Usawa wa Jinsia nchini Kenya na nchi nyingine za Afrika.<ref>{{Rejea tovuti|title=Women celebrate Kenya's first woman marine pilot on Day of the Seafarer|url=https://www.the-star.co.ke/sasa/2019-06-25-women-celebrate-kenyas-first-woman-marine-pilot-on-day-of-the-seafarer/|website=The Star|language=en-KE|access-date=2020-05-03}}</ref> Mnamo [[2019]], alisimamia na kuandaa Kipindi cha [[Televisheni]] kilichopewa jina la ''Hapa na Sasa kwenye NTV(Here And Now on NTV)'', ambacho kiliangazia maswala ya kijamii na [[kiuchumi]] yanayoathiri vijana.<ref>{{Rejea tovuti|title=Janet Mbugua returns on screen, brings brother along to talk about depression – VIDEO|url=https://nairobinews.nation.co.ke/chillax/janet-mbugua-returns-on-screen-brings-brother-along-to-talk-about-depression-video|website=Nairobi News|language=en-US|access-date=2020-05-03|archive-date=2019-06-29|archive-url=https://web.archive.org/web/20190629231433/https://nairobinews.nation.co.ke/chillax/janet-mbugua-returns-on-screen-brings-brother-along-to-talk-about-depression-video|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Janet Mbugua makes TV comeback with brand new show|url=https://www.sde.co.ke/article/2001329566/janet-mbugua-makes-tv-comeback-with-brand-new-show|last=Anyango|first=Diana|website=Standard Digital News|access-date=2020-05-03|accessdate=2022-02-18|archivedate=2019-09-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190905184820/https://www.sde.co.ke/article/2001329566/janet-mbugua-makes-tv-comeback-with-brand-new-show}}</ref>
== Kazi za kibinadamu ==
Yeye ndiye [[mwanzilishi]] na [[mkurugenzi]] wa ''Media Avenue Limited'', ambapo watu hupewa huduma kama vile kuzungumza kwa [[umma]], kudhibiti na kuanza. Pia ameimarisha katika kuwawezesha vijana wa kike na kampeni ya Inua Dada<ref>{{cite web|date=16 August 2014|first=Ndegwa|last=Maina|url=http://nairobiwire.com/2014/08/joey-muthengi-janet-mbugua-noble-cause.html|title=Joey Muthengi Joins Janet Mbugua for Inua Dada|accessdate=9 February 2016|website=Nairobi Wire|archivedate=2015-11-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20151126111444/http://nairobiwire.com/2014/08/joey-muthengi-janet-mbugua-noble-cause.html}}</ref> ambayo imeidhinishwa na [[mke]] wa rais wa Kenya, [[Margaret Kenyatta]].<ref>{{cite web|url=http://www.zakenya.com/product-reviews/inua-dada-initiative-in-kenya.html|title=Inua Dada Campaign|accessdate=9 February 2016|website=Za Kenya|archive-date=2016-03-08|archive-url=https://web.archive.org/web/20160308235547/http://www.zakenya.com/product-reviews/inua-dada-initiative-in-kenya.html|url-status=dead}}</ref>Mnamo tarehe [[8]] [[Oktoba]] [[2021]] alizindua Kituo cha Inua Dada katika makazi duni ya [[Korogocho]] jijini Nairobi . Kituo hiki ni sehemu inayotoa fursa ya kupata taarifa na ufahamu kuhusu afya ya [[uzazi]] na haki..
== Maisha binafsi==
Janet Mbugua ameolewa na Edward Ndichu.<ref>{{cite web|url=http://africagossipnews.com/kenya-wedding-pictures-citizens-tv-janet-mbugua-husband-eddie-ndichu-glamorous/|title=KENYA: Wedding Pictures of Citizen’s TV Janet Mbugua and husband Eddie Ndichu **Glamorous**|accessdate=9 February 2016|website=Africa Gossip News|archive-date=2016-03-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20160327040426/http://africagossipnews.com/kenya-wedding-pictures-citizens-tv-janet-mbugua-husband-eddie-ndichu-glamorous/|dead-url=yes}}</ref> Kwa pamoja wana watoto wawili wa kiume, Ethan Huru Ndichu aliyezaliwa [[Oktoba]] [[2015]] na Mali Ndichu.<ref>{{cite web|date=26 October 2016|first=Lisa|last=Kamau|url=https://citizentv.co.ke/entertainment/its-a-baby-boy-for-citizen-tvs-janet-mbugua-104019/|title=It’s a baby boy for Citizen TV’s Janet Mbugua – Ndichu|accessdate=9 February 2016|website=[[Citizen TV]]}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.sde.co.ke/m/article/2000180740/citizen-tv-s-anchor-janet-mbugua-gives-birth-to-bouncing-baby-boy|title=Citizen TV's anchor Janet Mbugua gives birth to bouncing baby boy|accessdate=9 February 2016|website=SDE|archivedate=2018-07-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180703190923/https://www.sde.co.ke/m/article/2000180740/citizen-tv-s-anchor-janet-mbugua-gives-birth-to-bouncing-baby-boy}}</ref> Mnamo [[2019]], Janet alitoa kitabu chake cha kwanza, 'Wakati Wangu wa Kwanza', mkusanyiko wa [[hadithi]] fupi kutoka kwa [[Mwanamke|wanawake]], [[Msichana|wasichana]] na [[Mwanaume|wanaume]] juu ya mwingiliano wao wa kwanza na [[hedhi]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Janet Mbugua adds ‘Author’ to her Title as she Launches ‘My First Time’ Book|url=https://nairobiwire.com/2019/10/janet-mbugua-adds-author-to-her-title-as-she-launches-my-first-time-book.html|language=en-US|access-date=2020-05-03|accessdate=2022-02-18|archivedate=2019-10-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191029000957/http://nairobiwire.com/2019/10/janet-mbugua-adds-author-to-her-title-as-she-launches-my-first-time-book.html}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=#WCW: Janet Mbugua, breaking barriers for women - Evewoman|url=https://www.standardmedia.co.ke/evewoman/article/2001349120/wcw-janet-mbugua-breaking-barriers-for-women|website=www.standardmedia.co.ke|access-date=2020-05-03}}</ref>
== Filamu zake ==
* ''[[Rush (2014 Kenyan TV series)|Rush]]'' {{ndash}} Pendo Adama
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-igiza-filamu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Watangazaji wa Kenya]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Kenya]]
r0l6tt4k7ip66rdusmfszdzfclgz7h7
Paul Kihiko
0
146896
1584786
1523379
2026-08-06T10:29:49Z
Riccardo Riccioni
452
1584786
wikitext
text/x-wiki
'''Paul Kihiko''' ni mjasiriamali aliyezaliwa nchini [[Kenya]] na mwanzilishi wa Wing It, mgahawa wa vyakula vya haraka ulioko [[Nairobi]] ambao ni mtaalamu wa mbawa za kuku. Ametajwa kuwa mmoja wa wajasiriamali wachanga mwenye ushawishi zaidi barani [[Afrika]] na [[Forbes]], mwaka [[2018]].<ref>https://www.motivation.africa/how-to-start-a-food-service-business-in-africa-paul-kihiko.html</ref> Kihiko pia ni mkurugenzi mwenye uzoefu na historia iliyodhihirishwa ya kufanya kazi katika tasnia ya chakula na vinywaji. Ujuzi wa Majadiliano, Ukuzaji wa Biashara, Mkakati wa Uuzaji, Usimamizi wa Migahawa, na Fursa Mpya za Migahawa.
==Maisha==
Alisoma Cesar Ritz Colleges na Chuo Kikuu cha Sunderland cha International Tourism & Hospitality Management.
Kihiko alipata wazo la utaalam wa mbawa za kuku alipoenda kwenye mkahawa na rafiki yake. Alikumbuka “mhudumu alipokuja kwenye meza na menyu, ilikuwa na vitu vyote vya kawaida: burgers, kuku, kila kitu. Lakini kila mtu kwa namna fulani aliamua kuchukua mbawa za kuku meza nzima. Kwa hivyo akafikiria, kwa nini asianzishe kitu kwa sababu ni biashara ambayo ameona inafanya kazi vizuri sana huko [[Ulaya]] na [[Amerika]]. Ni tasnia kubwa."
Kihiko aliamua kuanzisha biashara yake ya mbawa za kuku, lakini awali alikuwa na matatizo ya kupata nafasi. Alimshirikisha baba yake, ambaye baadaye aliwekeza katika biashara ili kufungua mgahawa wa kwanza wa Wing It.
Leo, Wing It Nairobi ina migahawa miwili mikubwa ya Galleria na The Hub katika mji mkuu wa Kenya Nairobi. Kampuni hiyo inatoa mbawa za kuku katika ladha 15, ambazo Kihiko mwenyewe aliunda kwa kujaribu mapishi tofauti. Kwa sasa maduka hayo yana mapato ya kila mwezi ya takriban $15,000.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://foundersafrica.com/meet-paul-kihiko-founder-of-the-first-chicken-wings-only-restaurant-in-nairobi/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-02-28 |archivedate=2022-02-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20220228130105/https://foundersafrica.com/meet-paul-kihiko-founder-of-the-first-chicken-wings-only-restaurant-in-nairobi/ }}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:WikiVibrance Tanzania]]
6r7wdbmja0tu4rorzqwzor5pj367r2a
Lorna Rutto
0
146938
1584785
1580868
2026-08-06T10:28:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584785
wikitext
text/x-wiki
'''Lorna Rutto''' (alizaliwa 1984 katika makazi duni ya Kaptembwa huko [[Nakuru]], [[Kenya]], <ref>{{Rejea tovuti|date=2013-02-25|title=From slum living to company director|url=http://www.ilo.org/global/about-the-ilo/mission-and-objectives/features/WCMS_205406/lang--en/index.htm|accessdate=2024-04-23|work=www.ilo.org|language=en}}</ref>) ni [[mwanzilishi]] wa [[kampuni]] ya EcoPost, ambayo inatengeneza nguzo za uzio wa urembo, zinazodumu na rafiki wa mazingira kwa kutumia taka za plastiki, njia mbadala ambayo ni mnadala wa matumizi ya mbao.
EcoPost hukusanya taka hizo za plastiki (kama vile polypropen na polyethilini) na kutengeneza nguzo za uzio kutokana nayo.
Rutto amepata sifa ya kimataifa kwa juhudi zake za kutoa suluhisho mbadala la udhibiti wa taka za plastiki nchini Kenya. <ref>https://www.wikimzansi.com/lorna-rutto/</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=http://trendinginkenya.com/lorna-rutto-biography-net-worth-husband-age-cv-ecopost-and-contacts/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-02-28 |archivedate=2022-02-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20220228181942/http://trendinginkenya.com/lorna-rutto-biography-net-worth-husband-age-cv-ecopost-and-contacts/ }}</ref>
== Maisha ya awali, elimu ==
[[File:Nakuru.jpg|thumb|Mji wa Nakuru, Kenya]]
Lorna Rutto malezi yake yaligubikwa na hali halisi ya umaskini na uharibifu wa mazingira. Alipokuwa akikua katikati ya mifereji ya maji taka iliyojaa na mitaa iliyojaa taka, alipata ufahamu wa mapema kuhusu hitaji kubwa la suluhisho za usimamizi wa taka. Uelewa huu uliweka msingi wa juhudi zake katika ujasiriamali wa mazingira. <ref>https://africawomenexperts.com/lng/en/2020/05/in-kenya-lorna-rutto-recycles-plastic-waste-into-building-materials/</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Nyarko|first=Nathan|date=2023-04-27|title=LORNA RUTTO – Founder, Ecopost Limited - The Entrepreneur Who Is Turning Waste Into Gold|url=https://africanleadersmagazine.com/lorna-rutto-founder-ecopost-limited-the-entrepreneur-who-is-turning-waste-into-gold/|accessdate=2024-04-23|work=Africa Leaders Magazine|language=en-US}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="" id="CITEREFNyarko2023">Nyarko, Nathan (2023-04-27). [https://africanleadersmagazine.com/lorna-rutto-founder-ecopost-limited-the-entrepreneur-who-is-turning-waste-into-gold/ "LORNA RUTTO – Founder, Ecopost Limited - The Entrepreneur Who Is Turning Waste Into Gold"]. ''Africa Leaders Magazine''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Sundholm|first=Mattias|date=2013-08-15|title=Remarks at "Entrepreneurship for Development" General Assembly Thematic Debate|url=https://www.un.org/youthenvoy/2013/08/remarks-at-entrepreneurship-for-development-general-assembly-thematic-debate/|accessdate=2024-04-23|work=Office of the Secretary-General’s Envoy on Youth|language=en-US}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="" id="CITEREFSundholm2013">Sundholm, Mattias (2013-08-15). [https://www.un.org/youthenvoy/2013/08/remarks-at-entrepreneurship-for-development-general-assembly-thematic-debate/ "Remarks at "Entrepreneurship for Development" General Assembly Thematic Debate"]. ''Office of the Secretary-General’s Envoy on Youth''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref>
Ana shahada ya Biashara katika uhasibu kutoka Chuo Kikuu cha African Nazarene. Licha ya kuingia katika sekta ya benki baada ya kuhitimu, Lorna alihisi tofauti kati ya kazi yake na shauku yake ya uhifadhi wa mazingira. <ref>{{Rejea tovuti|title=Lorna Rutto: Creating posts from plastics earned her numerous awards for conservation|url=https://www.standardmedia.co.ke/kenya/article/2000145993/lorna-rutto-creating-posts-from-plastics-earned-her-numerous-awards-for-conservation|accessdate=2024-04-23|work=The Standard|language=en}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="">[https://www.standardmedia.co.ke/kenya/article/2000145993/lorna-rutto-creating-posts-from-plastics-earned-her-numerous-awards-for-conservation "Lorna Rutto: Creating posts from plastics earned her numerous awards for conservation"]. ''The Standard''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=EcoPost recycles waste plastic to manufacture into eco-friendly plastic lumber, creating sustainable jobs for people in marginalized communities while conserving the environment.|url=https://www.cartierwomensinitiative.com/fellow/lorna-rutto|accessdate=2024-04-23|work=www.cartierwomensinitiative.com|language=en}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="">[https://www.cartierwomensinitiative.com/fellow/lorna-rutto "EcoPost recycles waste plastic to manufacture into eco-friendly plastic lumber, creating sustainable jobs for people in marginalized communities while conserving the environment"]. ''www.cartierwomensinitiative.com''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=2015-12-24|title=Lorna Rutto - The Story Of An Ecopreneur Who Is Making A Difference In The Urban Slums Of Kenya Through Plastic Waste Recycling {{!}} Duchess International Magazine|url=https://duchessinternationalmagazine.com/lorna-rutto-the-story-of-an-ecopreneur-who-is-making-a-difference-in-the-urban-slums-of-kenya-through-plastic-waste-recycling/|accessdate=2024-04-23|language=en-US}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="">[https://duchessinternationalmagazine.com/lorna-rutto-the-story-of-an-ecopreneur-who-is-making-a-difference-in-the-urban-slums-of-kenya-through-plastic-waste-recycling/ "Lorna Rutto - The Story Of An Ecopreneur Who Is Making A Difference In The Urban Slums Of Kenya Through Plastic Waste Recycling | Duchess International Magazine"]. 2015-12-24<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=2023-09-07|title=Research Publications - Africa Nazarene University|url=https://www.anu.ac.ke/research/research-publications/|accessdate=2024-04-23|language=en-US}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="">[https://www.anu.ac.ke/research/research-publications/ "Research Publications - Africa Nazarene University"]. 2023-09-07<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">2024-04-23</span></span>.</cite></ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1984|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:WikiVibrance_Tanzania]]
7o4edzcecis9ouwyxnv5wca99gdzslf
Alex Tolgos
0
147690
1584731
1431995
2026-08-06T09:45:56Z
Riccardo Riccioni
452
1584731
wikitext
text/x-wiki
'''Alex Tolgos''' (alizaliwa Elgeyo-Marakwet, nchini Kenya, [[6 Mei]] [[1980]]) ni [[mhandisi]] wa [[Kenya]] na [[mwanasiasa]] ambaye kwa sasa ni [[gavana]] wa [[Kaunti ya Elgeyo-Marakwet]]. Alichaguliwa kuwa [[gavana]] wa kwanza wa kaunti [[tarehe]] [[4 Machi]] [[2013]], na alichaguliwa tena tarehe [[8 Agosti]] [[2017]], kutumikia awamu ya pili na ya mwisho kama gavana.
== Elimu ==
Alihudhuria Shule ya sekondari ya St Patrick's ([[Iten]], Kenya).
Alihitimu [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] na [[shahada]] [[sayansi]] ya [[uhandisi]] wa mitambo<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.elgeyomarakwet.go.ke/index.php/governance/the-governor| title = The Governor|first=ICT|last=Department|website=www.elgeyomarakwet.go.ke|accessdate=2022-03-16|archivedate=2016-10-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161019014632/http://www.elgeyomarakwet.go.ke/index.php/governance/the-governor}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa-Kenya}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]]
[[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]]
re2wmo58lp708y7jrjgs5cmxqb8pozj
Laura Greene (mwanafizikia)
0
147701
1584614
1517861
2026-08-06T04:33:38Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584614
wikitext
text/x-wiki
'''Laura H. Greene''' ni [[profesa]] wa [[fizikia]] kutoka [[Chuo Kikuu]] cha [[Jimbo]] la [[Florida]] <ref>{{Rejea tovuti|url=https://physics.fsu.edu/person/laura-h-greene|title=Laura H. Greene | Department of Physics}}</ref> na [[Mwanasayansi]] Mkuu katika [[Maabara]] ya Kitaifa ya [[Uga sumaku]]. Hapo awali alikuwa profesa wa fizikia kutoka Chuo Kikuu cha Illinois huko Urbana-Champaign.
== Wasifu ==
Akiwa mtoto, Laura Greene daima alikuwa na shauku kubwa ya kufanya kazi na vitu asilia vilivyomzunguka na alipendezwa na sayansi. Lakini, akiwa kijana alikulia kwenye kitongoji chenye uchangamfu na kitamaduni cha [[Cleveland, Ohio]], pia alivutiwa sana na muziki, haswa muziki wa kitamaduni mara nyingi huimba na kucheza [[gitaa]] kwenye nyumba za [[kahawa]] na [[karamu]]. Muziki unasalia kuwa muhimu katika maisha yake, anafurahia kuigiza na ni mshiriki wa mara kwa mara katika kongamano la Mkutano wa March Meeting wa "[[:en:American_Physical_Society|American Physical Society]]" (APS). Yeye ni mama wa wana wawili wakubwa.
== Elimu, taaluma na mchango mkubwa wa kitaaluma ==
Laura Greene alisoma fizikia kama mwanafunzi wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Ohio State na alitunukiwa cum laude BS, ([[1974]]) digrii na Master's (MS) mnamo [[1978]]. Elimu ya juu alijiunga na Chuo Kikuu cha Cornell. Huko Cornell, kwanza alitunukiwa MS katika fizikia ya majaribio ([[1980]]) na kisha ([[1984]]) alimaliza shahada ya PhD katika fizikia.
Kitaalamu katika UIUC Laura Greene Alivutiwa na [[John Bardeen]] (Mshindi wa Tuzo ya Nobel mara mbili ya fizikia) na [[Anthony Leggett]] (mshindi mwingine wa Nobelist wa fizikia); amefanya kazi na wanasayansi wengine wengi, ikiwa ni pamoja na B. Batlogg, Malcolm R. Beasley, RA Buhrman, David Ceperley, Timir Datta, Mildred Dresselhaus, Robert C. Dynes, AJ Epstein, Theodore H. Geballe, Nigel Goldenfeld, David C. Larbalestier, WE Moerner, TP Orlando, David B. Tanner, JM Tarascon, T. Timusk, Dale Van Harlingen na wengine.
== Viungo vya nje ==
* Chuo Kikuu cha Illinois Urbana-Champaign; Fizikia [http://physics.illinois.edu/people/profile.asp?lhgreene] {{Wayback|url=http://physics.illinois.edu/people/profile.asp?lhgreene |date=20160304115552 }}
* Chuo cha Taifa cha Sayansi; Habari [http://www.nasonline.org/news-and-multimedia/podcasts/interviews/laura-greene.html]
* Azom.com;Habari [http://www.azom.com/news.asp?newsID=2780]
* YouTube;Laura Greene [https://www.youtube.com/watch?v=ptswilP4yi0]
* Wanawake katika Sayansi [http://www.witi.com/center/witimuseum/womeninsciencet/2001/060901.shtml]
* APS.org; Mkutano [http://meetings.aps.org/Meeting/MAR13/SessionIndex2/?SessionEventID=191632] {{Wayback|url=http://meetings.aps.org/Meeting/MAR13/SessionIndex2/?SessionEventID=191632 |date=20220418104154 }}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanafizikia wa Marekani]]
8geksl0htf1w6wga94sg6a23pcw8jpt
Jamii:Wahandisi wa Kenya
14
148376
1584720
1218309
2026-08-06T09:40:14Z
Riccardo Riccioni
452
1584720
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wahandisi nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|H]]
6stpdln006mjzvrhapw8y0gm78lcwkw
Barack Obama Sr.
0
148755
1584742
1220066
2026-08-06T09:49:17Z
Riccardo Riccioni
452
1584742
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Person|jina=Barack Obama Sr.|jina la asili=Baraka Obama|tarehe_ya_kuzaliwa=18 Juni 1934|mahala_pa_kuzaliwa=Wilaya ya Rachuonyo, Kenya|tarehe_ya_kufariki=24 Novemba 1982|mahali alipofia=Nairobi, Kenya|elimu=Chuo Kikuu cha Hawaii
Chuo Kikuu cha Harvard}}
'''Barack Hussein Obama Sr.''' (18 Juni [[1934]] - 24 Novemba [[1982]]) alikuwa [[mchumi]] mkuu wa [[serikali]] ya [[Kenya]]. Alikuwa [[baba]] wa [[Barack Obama]], [[rais]] wa arobaini na nne wa [[Marekani]].
== Maisha ya awali ==
Barack Obama Sr. alizaliwa mwaka 1934 katika [[Wilaya ya Rachuonyo]], mwambao wa [[Ziwa Viktoria]], nchini Kenya. Wakati wa utoto wake, aliishi katika kijiji cha [[Nyang’oma Kogelo]], [[Wilaya ya Siaya]], [[Mkoa wa Nyanza]]. [[Familia]] yake ni watu wa [[kabila]] la [[Waluo|Wajaluo]].
Baba yake aliitwa Onyango Obama na mama yake aliitwa Habiba Akumu Nyanjango. Baba yake na mama yake walikuwa na watato wawili wa kike na mtoto mmoja wa kiume, Barack Obama Sr. Akumu na Onyango walitengana na Akumu aliiacha familia mwaka 1945. Baada ya Akumu kuacha familia, mke wa tatu wa Onyango alimlea Barack Obama Sr. na dada zake.
== Ndoa na familia ==
Obama alimuoa Kezia Aoko katika sherehe ya kikabila katika nchi ya Kenya mwaka 1954. Walipata watoto wawili, Malik na Auma. Baadaye, Obama alioa wanawake wengine wawili. Mmoja wa wanawake alikuwa Stanley Ann Dunham, mwanamke Mmarekani. Dunham alikuwa na mtoto, ambaye baadaye alikua rais wa Marekani, Barack Obama. Baadaye walitengana tarehe 20 Machi 1964.
== Elimu ==
Mwaka 1959, Obama alipata ufadhili wa masomo ya uchumi kutoka kwa [[Tom Mboya]]. Udhamini ulitoa elimu katika nchi za Magharibi kwa wanafunzi wa Kenya. Mwaka 1959, Obama alienda Chuo Kikuu cha [[Hawaii]] na kuwa mwanafunzi wa kwanza wa kigeni wa Afrika wa chuo kikuu hicho. Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Hawaii baada ya miaka mitatu na digrii ya uchumi.
Mwezi wa tisa mwaka 1962, Obama alisafiri mpaka [[Cambridge, Massachusetts|mji wa Cambridge, jimbo la Massachusetts]], nchi ya Marekani na kuendelea kusoma uchumi katika [[Chuo Kikuu cha Harvard]]. Alipata digrii nyingine ya uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard mwaka 1965.
== Miaka ya mwisho na mauti ==
Mzozo wa Obama na rais wa Kenya, [[Jomo Kenyatta]], uliharibu kazi yake. Aliingia katika tuhuma baada ya Tom Mboya kuuawa mwaka 1969 kwa sababu Mboya alikuwa mshauri wake. Jomo Kenyatta alimfukuza kazi Obama, hivyo haikuwezekana kwa Obama kupata kazi. Barack Obama Sr. alipata ajali mbili za gari na kupoteza miguu yote miwili. Halafu, alianza kukabiliana na umaskini na unywaji pombe. Mwaka 1982, alipata mtoto mwingine. Lakini miezi sita baadaye, Barack Obama Sr. alikufa katika ajali ya gari huko Nairobi. Watu wengi mashuhuri wa kisiasa walienda kwenye mazishi yake.
== Viungo vya nje ==
* https://www.blackpast.org/global-african-history/barack-hussein-obama-sr-1936-1982/
* https://ffrf.org/ftod-cr/item/14961-barack-hussein-obama-sr
* https://www.oprahdaily.com/life/a34670592/barack-obamas-parents/
{{BD|1934|1982}}
[[Jamii:Wanauchumi wa Kenya]]
945xujqsovqegdg7o2yeldpv79tcks9
Ali Mazrui
0
155479
1584732
1432109
2026-08-06T09:46:33Z
Riccardo Riccioni
452
1584732
wikitext
text/x-wiki
'''Ali Al'amin Mazrui''' ([[24 Februari]] [[1933]] - [[12 Oktoba]] [[2014]]), alikuwa msomi, profesa, na mwandishi wa kisiasa wa Masomo ya Afrika na Kiislamu, na uhusiano wa Kaskazini-Kusini. Alizaliwa [[Mombasa]], [[Kenya]]. Nafasi zake ni pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya [[Utamaduni]] wa Kimataifa katika [[Chuo Kikuu]] cha Binghamton huko Binghamton, New York, na Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Afro-American na Afrika katika Chuo Kikuu cha Michigan. . Alitoa mfululizo wa makala ya televisheni Ya Waafrika: Urithi wa Tatu.
== Maisha ya awali ==
Mazrui alizaliwa tarehe 24 Februari 1933 huko Mombasa, Koloni la Kenya. <ref>{{Citation|last=Opicho|first=Alexander|title=Professor Ali A. Mazrui Is Dead:|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.126|work=A Giant Tree has Fallen|pages=430–432|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07}}</ref> Alikuwa mtoto wa Al-Amin Bin Ali Mazrui, Jaji Mkuu wa Kiislamu katika mahakama za Kadhi za Kenya Colony. Baba yake pia alikuwa msomi na mwandishi, na moja ya vitabu vyake vimetafsiriwa kwa Kiingereza na Hamza Yusuf kama "Maudhui ya Tabia", ambayo Ali alitoa utangulizi. Familia ya Mazrui ilikuwa familia tajiri na muhimu kihistoria nchini Kenya, baada ya hapo awali kuwa watawala wa Mombasa. Baba yake Ali alikuwa Chifu Kadhi wa Kenya, mamlaka ya juu zaidi juu ya sheria za Kiislamu <ref>{{Citation|title=Mazrui, Ali A.|date=2005-04-07|url=http://dx.doi.org/10.1093/acref/9780195301731.013.42372|work=African American Studies Center|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-07}}</ref>
== Elimu ==
Mazrui alihudhuria shule ya msingi mjini Mombasa, ambako alikumbuka kuwa alijifunza Kiingereza hasa kushiriki katika midahalo rasmi, kabla ya kugeuza kipaji cha uandishi. Uandishi wa habari, kulingana na Mazrui, ilikuwa hatua ya kwanza aliyochukua barabara ya masomo. Mbali na Kiingereza, Mazrui pia alizungumza Kiswahili na Kiarabu. <ref>{{Rejea tovuti| title = Binghamton University, Institute of Global Cultural Studies (IGCS)|url=http://dx.doi.org/10.1163/_afco_asc_1639|work=African Studies Companion Online|accessdate=2022-08-07}}</ref>
== Kazi ya kitaaluma ==
Mazrui alianza kazi yake ya masomo katika Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda, ambako alikuwa na ndoto ya kuhudhuria tangu akiwa mtoto. <ref>{{Citation|last=Jamal|first=Alamin|title=Statement of Mourning and Tribute to Our Father, Ali Al’amin Mazrui, October 19, 2014|date=2016-09-01|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvh4zhsb.13|work=A Giant Tree has Fallen|pages=43–44|publisher=African Perspectives Publishing|access-date=2022-08-07|last2=Mazrui|first2=Kim Abubakar}}</ref> Huko Makerere, Mazrui aliwahi kuwa profesa wa sayansi ya siasa, na akaanza kuchora sifa yake ya kimataifa. Mazrui alihisi kwamba miaka yake huko Makerere ilikuwa baadhi ya mambo muhimu na yenye tija katika maisha yake. Alimwambia mwandishi wa wasifu wake kwamba 1967,
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1933]]
[[Jamii:Waliofariki 2014]]
[[Jamii:Waandishi wa Kenya]]
ir2xg3e9pydo6gnmf5q4pcv69r0h5h6
Githinji Gitahi
0
156469
1584799
1512948
2026-08-06T10:48:14Z
Riccardo Riccioni
452
1584799
wikitext
text/x-wiki
'''Githinji Gitahi''' (alizaliwa [[Othaya]], [[Nyeri]], Kenya, 7 Agosti) ni [[daktari]] wa [[Kenya]] ambaye amehudumu kama Afisa mkuu mtendaji wa Amref Health Africa pia alikuwa mwenyekiti mwenza wa kamati ya uongozi ya UHC2030.<ref>{{Rejea tovuti|title=Dr Githinji Gitahi, Group CEO, Amref Health Africa|url=https://amref.org/githinji-gitahi/|work=Amref Health Africa|accessdate=2022-08-11|language=en-GB|archive-date=2022-07-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20220706074348/https://amref.org/githinji-gitahi/|url-status=dead}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=Amref CEO Dr. Gitahi appointed to the new commission on African COVID-19 response|url=https://www.pmldaily.com/features/health/2021/07/amref-ceo-dr-gitahi-appointed-to-the-new-commission-on-african-covid-19-response.html|work=PML Daily|date=2021-07-09|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref> mwezi Julai 2021, aliteuliwa kama kamsishna katika Tume ya Afrika ya Korona [[Mlipuko wa virusi vya corona 2019-20|(COVID-19).]]<ref>{{Rejea tovuti|title=Gitahi Githinji, Amref Health Africa: Profile and Biography|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/16994969|work=Bloomberg.com|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Dr. Githinji Gitahi has been appointed as a Commissioner for COVID-19 response in Africa|url=https://hapakenya.com/2021/07/03/dr-githinji-gitahi-has-been-appointed-as-a-commissioner-for-covid-19-response-in-africa/|work=HapaKenya|date=2021-07-03|accessdate=2022-08-11|language=en-GB|author=Grace Matheka}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Dr Githinji Gitahi Appointed to the New Commission on African COVID-19 Response by South Africa President, H.E Cyril Ramaphosa|url=https://www.monitor.co.ke/2021/07/02/dr-githinji-gitahi-appointed-to-the-new-commission-on-african-covid-19-response-by-south-africa-president-h-e-cyril-ramaphosa/|work=Kenya Monitor|date=2021-07-02|accessdate=2022-08-11|language=en-GB}}</ref><ref>https://www.devex.com/news/perspectives-on-change-dr-githinji-gitahi-and-patrick-lembwakita-100185</ref>
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Mwaka 1996 alihitimu [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] na Shahada ya Udaktari na upasuaji na Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara katika Masoko kutoka [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Dr Githinji Gitahi|url=https://worldconference.croix-rouge.fr/dr-githinji-gitahi/?lang=en|work=WorldConference|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref> Ana Cheti cha Mtazamo wa kimkakati kwa Usimamizi usio wa Faida kutoka [[Chuo Kikuu cha Harvard|Chuo Kikuu cha Harvard.]]<ref>https://www.theknowledgewarehouseke.com/dr-githinji-gitahi-top-25-ceos-setting-the-business-agenda-in-2021/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:wanabiolojia wa Kenya]]
[[Jamii:COVID-19]]
s9hayqmafw476ju0j7scfk3n5g89ocl
Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya
14
157166
1584719
1243742
2026-08-06T09:39:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584719
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:wafanyabiashara nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:watu wa Kenya|B]]
foew6kwaxv9pb5b4334g2x99z0x3pnv
Jamii:Wanabiolojia wa Kenya
14
157302
1584722
1243939
2026-08-06T09:41:10Z
Riccardo Riccioni
452
1584722
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:wanabiolojia nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:watu wa Kenya|B]]
[[Jamii:wanasayansi wa Kenya|B]]
qci36njo2lpde4rk6monscz73p76qra
Jamii:Wanafalsafa wa Kenya
14
157397
1584723
1244149
2026-08-06T09:41:28Z
Riccardo Riccioni
452
1584723
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wanafalsafa nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Watu wa Kenya|F]]
jm1veahzyh5aagfao1rr9g5ughmlsae
Ismael Benktib
0
171511
1584457
1338372
2026-08-05T19:22:02Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584457
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox football biography
| name = Ismael Benktib
| image =
| fullname = Ismael Benktib
| birth_date = {{Birth date and age|1998|7|4|df=y}}
| birth_place = [[L'Ametlla del Vallès]], Hispania
| height = 1.80 m
| position = [[Kiungo (soka)|Kiungo wa Kati]]
| currentclub = [[SCC Mohammedia]]
| clubnumber = 41
| youthyears1 = | youthclubs1 = [[Girona FC|Girona]]
| youthyears2 = 2014–2017 | youthclubs2 = [[Elche CF|Elche]]
| years1 = 2015–2018 | clubs1 = [[Elche CF Ilicitano|Elche B]] | caps1 = 26 | goals1 = 2
| years2 = 2017–2018 | clubs2 = [[Elche CF|Elche]] | caps2 = 7 | goals2 = 0
| years3 = 2018–2019 | clubs3 = [[Recreativo de Huelva|Recreativo]] | caps3 = 0 | goals3 = 0
| years4 = 2019–2020 | clubs4 = [[Atlético Levante UD|Levante B]] | caps4 = 6 | goals4 = 0
| years5 = 2020- | clubs5 = [[Elche CF Ilicitano|Elche B]] | caps5 = 6 | goals5 = 0
| years6 = 2020–2021 | clubs6 = [[Racing de Santander|Racing Santander]] | caps6 = 4 | goals6 = 0
| years7 = 2021–2022 | clubs7 = [[Maghreb de Fès|MAS Fez]] | caps7 = 5 | goals7 = 1
| years8 = 2022– | clubs8 = [[SCC Mohammédia]] | caps8 = 5 | goals8 = 0
| nationalyears1 = 2016–2017 | nationalteam1 = [[Timu ya taifa ya vijana ya soka ya Moroko chini ya miaka 20|Moroko U20]] | nationalcaps1 = 10 | nationalgoals1 = 1
| nationalyears2 = 2018– | nationalteam2 = [[Timu ya taifa ya vijana ya soka ya Moroko chini ya miaka 23|Moroko U23]] | nationalcaps2 = 1 | nationalgoals2 = 0
| club-update = 10 Aprili 2021
| ntupdate =
}}
'''Ismael Benktib''' (alizaliwa tarehe 4, Julai 1998) ni mchezaji wa soka wa kitaalamu anayechezea [[SCC Mohammedia]] kama kiungo wa kati. Amezaliwa Hispania na ameiwakilisha [[Timu ya taifa ya soka ya Moroko|Moroko]] kwenye viwango vya kimataifa kwa vijana.
==Taaluma ya Klabu==
Amezaliwa jijini [[L'Ametlla del Vallès]], [[Province of Barcelona|Barcelona]], [[Catalonia]], Benktib alijiunga na klabu ya vijana ya [[Elche CF]] mwaka 2014, baada ya kuondoka [[Girona FC]].<ref>{{cite web|url=http://golsmedia.com/ismael-benktib-busca-la-clasificacion-para-la-copa-de-africa-con-marruecos/|title=Ismael Benktib busca la clasificación para la Copa África con Marruecos|trans-title=Ismael Benktib anatafuta kufuzu kwa Kombe la Afrika na Morocco|publisher=Golsmedia|language=es|date=21 Mei 2016|access-date=29 Juni 2018|archive-date=2016-05-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20160524062843/http://golsmedia.com/ismael-benktib-busca-la-clasificacion-para-la-copa-de-africa-con-marruecos/|url-status=dead}}</ref> Alicheza mechi yake ya kwanza ya timu ya wakubwa na [[Elche CF Ilicitano|wachezaji wa akiba]] tarehe 23 Agosti 2015, akiwa katika kikosi cha kwanza katika ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya [[FC Jove Español]] katika ligi ya [[Tercera División]].<ref>{{cite web|url=http://www.estadiodigital.es/la-mala-suerte-se-ceba-con-el-jove-espanol-ante-el-ilicitano-0-1/|title=La mala suerte se ceba con el Jove Español ante el Ilicitano (0–1)|trans-title=Bahati mbaya kwa Jove Español dhidi ya Ilicitano (0-1)|publisher=Estadio Digital|language=es|date=23 Agosti 2015|access-date=29 Juni 2018|archive-date=2023-06-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20230611114454/https://www.estadiodigital.es/la-mala-suerte-se-ceba-con-el-jove-espanol-ante-el-ilicitano-0-1/|url-status=dead}}</ref>
Tarehe 7 Juni 2016, Benktib alirefusha mkataba wake na klabu.<ref>{{cite web|url=http://www.elchecf.es/noticia/el-elche-renueva-a-ismael-benktib|title=El Elche renueva a Ismael Benktib|trans-title=Elche yamuongezea mkataba Ismael Benktib|publisher=Elche CF|language=es|date=7 Juni 2016|access-date=29 Juni 2018}}</ref> Alicheza mechi ya kwanza na kikosi cha kwanza tarehe 10 Septemba mwaka uliofuata, akiingia kama mchezaji wa akiba kwa [[Juan José Collantes]] katika ushindi wa nyumbani wa 4-1 dhidi ya [[CF Peralada-Girona B]] katika mashindano ya [[Segunda División B]].
Tarehe 29 Mei 2018, Elche ilitangaza kwamba mkataba wa Benktib ulikuwa umeongezwa hadi 2021, baada ya kutekeleza chaguo la kuongeza mkataba kiatomatiki katika mkataba wake uliopita; klabu pia ilitangaza kwamba atakuwa mwanachama wa kudumu wa kikosi cha kwanza katika msimu wa [[2018–19 Segunda División|2018–19]]. Hata hivyo, siku nne baadaye, wakala wake alisema kuwa mkataba wake utaongezwa kwa mwaka mmoja tu ikiwa klabu itafanikiwa kupanda daraja kwenda [[Segunda División]];<ref>{{cite web|url=https://www.superdeporte.es/futbol/2018/06/01/conclicto-abierto-agente-benktib-desmiente/375130.html|title=Conflicto abierto: el agente de Benktib desmiente su renovación|trans-title=Mgogoro wazi: wakala wa Benktib anakanusha kuwa mkataba wake umeongezwa|publisher=[[Super Deporte]]|language=es|date=1 Juni 2018|access-date=29 Juni 2018}}</ref> Baadaye, Elche ilikanusha madai hayo.<ref>{{cite web|url=http://www.elchecf.es/noticia/club-comunicado-oficial-sobre-ismael-benktib|title=CLUB {{!}} Comunicado oficial sobre Ismael Benktib|trans-title=KLUBU {{!}} Tangazo rasmi kuhusu Ismael Benktib|publisher=Elche CF|language=es|date=1 Juni 2018|access-date=29 Juni 2018}}</ref>
Mwezi Septemba 2018, Benktib alianza mazoezi na [[Recreativo de Huelva]]<ref>{{cite web|url=https://andaluciainformacion.es/andalucia/773669/ismael-benktib-se-entrena-con-el-recreativo/|title=Ismael Benktib se entrena con el Recreativo|trans-title=Ismael Benktib anafanya mazoezi na Recreativo|publisher=Andalucía Información|language=es|date=5 Septemba 2018|access-date=13 Aprili 2021}}</ref> na baadaye akasaini mkataba na klabu hiyo. Elche baadaye ilichukua hatua za kisheria dhidi ya mchezaji huyo kwa "uvunjaji wa mkataba", ambao shirikisho lilikataa; alisajiliwa na klabu yake mpya mwezi Oktoba.<ref>{{cite web|url=https://www.informacion.es/elche-cf/2018/10/09/recreativo-le-gana-batalla-elche-5671445.html|title=El Recreativo le gana la batalla al Elche por Benktib|trans-title=Recreativo wamshinda Elche katika vita ya Benktib|publisher=Diario Información|language=es|date=9 Oktoba 2018|access-date=13 Aprili 2021}}</ref>
Tarehe 23 Januari 2019, baada ya kutokuwa amecheza dakika hata moja na Recreativo, Benktib alihamia katika kikosi cha [[Levante UD]] [[Atlético Levante UD|B]], ambacho pia kilikuwa katika ligi ya tatu.<ref>{{cite web|url=https://www.levanteud.com/en/info/ismael-benktib-se-incorpora-al-atletico-levante-ud|title=Ismael Benktib se incorpora al Atlético Levante UD|trans-title=Ismael Benktibajiunga na Atlético Levante UD|publisher=Levante UD|language=es|date=23 Januari 2019|access-date=13 Aprili 2021|accessdate=2023-06-11|archivedate=2023-06-11|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230611114449/https://www.levanteud.com/en/info/ismael-benktib-se-incorpora-al-atletico-levante-ud}}</ref> Karibu mwaka mmoja baadaye, baada ya tena kucheza sana, aliachana na mkataba wake<ref>{{cite web|url=https://www.levanteud.com/es/info/acuerdo-con-benktib-para-su-desvinculacion-del-atletico-levante-ud|title=Acuerdo con Benktib para su desvinculación del Atlético Levante UD|trans-title=Makubaliano na Benktib kwa ajili ya kuachana na Atlético Levante UD|publisher=Levante UD|language=es|date=28 Januari 2020|access-date=13 Aprili 2021|accessdate=2023-06-11|archivedate=2023-06-11|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230611114446/https://www.levanteud.com/es/info/acuerdo-con-benktib-para-su-desvinculacion-del-atletico-levante-ud}}</ref> na kurudi Elche, ambapo tena alipewa jukumu katika kikosi chao cha akiba.<ref>{{cite web|url=https://alicanteplaza.es/el-elche-anuncia-el-regreso-ismael-benktib-despues-de-demandarle-por-2-2-millones-de-euros|title=El Elche anuncia el regreso de Ismael Benktib después de demandarle por 2,2 millones de euros|trans-title=Elche watangaza kurudi kwa Ismael Benktib baada ya kumshitaki kwa euro milioni 2.2|publisher=Alicante Plaza|language=es|date=28 Januari 2020|access-date=13 Aprili 2021}}</ref>
Tarehe 17 Agosti 2020, Benktib alikubaliana na mkataba wa miaka miwili na [[Racing de Santander]], [[2019–20 Segunda División|ambayo hivi karibuni ilishushwa daraja]] kwenda ligi ya tatu.<ref>{{cite web|url=https://www.realracingclub.es/noticia/el-racing-incorpora-a-su-plantilla-202021-a-ismael-benktib|title=El Racing incorpora a su plantilla 2020/21 a Ismael Benktib|trans-title=Racing wamwongeza Ismael Benktib katika kikosi chao cha 2020/21|publisher=Racing Santander|language=es|date=17 Agosti 2020|access-date=13 Aprili 2021}}</ref> Aliacha klabu hiyo tarehe 4 Februari ikiwa na mechi nne pekee, na kuhamishiwa klabu ya Morocco [[Maghreb de Fès]].<ref>{{cite web|url=https://www.realracingclub.es/noticia/el-futbolista-ismael-benktib-abandona-el-racing|title=El fut
bolista Ismael Benktib abandona el Racing|trans-title=Mchezaji wa soka Ismael Benktib aacha Racing|publisher=Racing Santander|language=es|date=4 Februari 2021|access-date=13 Aprili 2021}}</ref>
Tarehe 1 Februari 2022, Benktib alikubali mkataba wa miaka miwili na SCC Mohammedia, klabu inayoshindana katika Botola, ambayo ni ligi ya kitaalamu ya juu nchini Morocco. Hata hivyo, aliacha klabu hiyo siku hiyo hiyo na kujiunga na Maghreb de Fès, ambapo alicheza zaidi ya mechi 21 na kufunga bao 1.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Moroko]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nd74k4xb5v1vknzcnkln5sd3ja0tpeb
Godfrey Calvin Magila
0
180113
1584349
1584002
2026-08-05T13:24:51Z
Riccardo Riccioni
452
1584349
wikitext
text/x-wiki
'''Godfrey Calvin Magila''' (alizaliwa [[mkoa wa Mbeya|mkoani Mbeya]], 29 Februari 1992 <ref name=":0">https://www.startupgrind.com/events/details/startup-grind-dar-es-salaam-presents-godfrey-magila-magilatech-company-ltd/</ref>) ni mhandisi wa programu za kompyuta, mtaalamu wa usalama wa kimtandao na mwekezaji. Ndiye mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Magilatech, kampuni ya teknolojia yenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam, Tanzania. Kampuni hiyo inajihusisha na usalama wa kimtandao, ukaguzi wa mifumo, tathmini ya udhaifu wa mifumo na utengenezaji wa programu na mifumo mbalimbali.
=== Maisha ya awali na elimu ===
Baba yake alifariki dunia akiwa na umri wa miezi mitatu, huku mama yake akifariki alipokuwa na umri wa miaka mitano. Kuanzia mwaka 1998, alilelewa na mjomba wake aliyekuwa dereva pamoja na shangazi yake aliyekuwa mwalimu wa shule ya sekondari. Kwa bahati mbaya, shangazi yake alifariki dunia mwaka 2010 na mjomba wake akafariki mwaka uliofuata
Alipata elimu ya sekondari ya juu katika Shule ya Sekondari Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam. Akiwa shuleni, alitengeneza programu iliyoitwa Sauti ya Yatima Tanzania. Programu hiyo ilikusudiwa kuwezesha mawasiliano kupitia kompyuta na kuunganisha vilabu vya shule vilivyokuwa vikishirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali katika maeneo mbalimbali duniani. Hata hivyo, mradi huo haukufanikiwa kutokana na changamoto ya upatikanaji wa huduma za intaneti miongoni mwa wanafunzi.<ref name=":3">https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/success/how-a-passionate-gamer-built-a-tech-company-3799654</ref>
Mwaka 2010, alijiunga na Taasisi ya Usimamizi wa Fedha (IFM), ambako alihitimu Shahada ya Uhasibu na Fedha.
=== Kazi na ushiriki katika programu mbalimbali ===
Mwaka 2011, akiwa bado mwanafunzi, Magila alishiriki katika mashindano ya kitaifa ya mawazo bunifu ya TEHAMA yaliyoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), wakati wa Maonesho ya Nane Nane. Alikuwa miongoni mwa washindi wa mashindano hayo na baadaye akapata nafasi ya kulelewa na Dar Teknohama Business Incubator (DTBi). Atamizi yenye lengo la kulea, kukuza na kuziwezesha kibiashara kampuni changa zinazochipukia katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).<ref name=":0" />
=== Kuanzishwa kwa Magilatech ===
Baada ya mashindano hayo, Magila alianzisha Kampuni ya Magilatech Limited. Mwanzoni, kampuni hiyo ilijikita katika utengenezaji wa programu na mifumo, tathmini ya udhaifu wa mifumo na utoaji wa huduma za usalama wa kimtandao.<ref name=":1" />
Magilatech iliendelea kukua na kutengeneza mifumo kwa kampuni na taasisi mbalimbali ndani na nje ya Tanzania. Mwaka 2019, kampuni hiyo ilipanua shughuli zake kwa kufungua ofisi Dubai.<ref name=":2" />
* Akiwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Magilatech, Magila ameongoza utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kiteknolojia. Miradi hiyo ni pamoja na:
* Mobile Parliament, mfumo uliobuniwa kuwawezesha wananchi kushiriki katika mijadala ya Bunge kwa wakati halisi kupitia simu za mkononi;
* MagBack, mfumo kwa ajili ya kuhifadhi na kurejesha data pamoja na kulinda simu;
* Mfumo wa Taarifa za Ukusanyaji wa Mapato ya Serikali za Mitaa (LGRCIS);
* Mifumo ya usimamizi wa mapato ya Serikali ya Mkoa wa Kinshasa, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo;
* VSOMO, jukwaa la mafunzo ya ufundi lililotengenezwa kwa ushirikiano na Airtel Tanzania pamoja na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA);na
* Mifumo mbalimbali katika viwanja vya ndege vikiwemo vya Jamhuri ya kidemkrasia ya Kongo na Falme za Kiarabu.
=== Shughuli nyingine ===
Magila ameshiriki katika programu mbalimbali za mafunzo ya teknolojia na ujasiriamali nchini Tanzania. Aliwahi kuwa mkufunzi wa wakufunzi chini ya mpango wa Microsoft 4Afrika. Pia ametambuliwa kuwa mtaalamu wa kitaifa wa Tanzania katika Tuzo za World Summit Awards (WSA). <ref name=":0" />
Mwaka 2016, Magilatech ilishirikiana kibiashara na Millicom (Tigo) kuzindua programu ya ulinzi na uhifadhi wa taarifa iliyojulikana kama Tigo Backup. Tangu wakati huo, Magila amekuwa mwekezaji katika masoko ya hisa mbalimbali barani Africa hususani kwenye kampuni za tehama na taasisi za fedha zinazotumia teknolojia.<ref name=":3" />
=== Uhisani ===
Kutokana na kupoteza wazazi wake akiwa na umri mdogo na kujifunza mwenyewe utengenezaji wa programu, Magila ameweka msisitizo katika kusaidia watoto yatima na makundi yenye uhitaji.
Kupitia Magilatech, amekuwa akishiriki katika shughuli za kijamii zinazohusisha elimu ya teknolojia, ujasiriamali na utoaji wa msaada wa kifedha kwa watoto wasio na walezi. Pia amechangia katika upatikanaji wa ardhi na ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya vituo vya watoto yatima nchini.
=== Kutambuliwa hadharani ===
Katika hotuba zinazohusu ukuaji wa biashara za ndani, viongozi mbalimbali wa kitaifa, akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, wamemtaja Magila kama mfano wa kijana mjasiriamali wa teknolojia aliyefanikiwa kukuza kampuni ya ndani na kupanua shughuli zake kimataifa.
Kwa sasa, Magilatech inaendesha shughuli zake nchini Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Dubai, ikitoa huduma za utengenezaji wa mifumo na usalama wa kimtandao.<ref name=":2">https://millardayo.com/magiladubai/</ref><ref name=":1">https://millardayo.com/rais-samia-atambua-mchango-mkubwa-wa-magila-tech-aeleza-mipango-ya-serikali-katika-hili/</ref>
== Tuzo na Teuzi ==
# Start-up World Africa - Top Ten Finalist (2012)
# Innovation Fund award for best app (2014)
# Global Recognition Of Excellence - ITU Hungary (2015)
# 30 Under 30 By Forbes (2017)
# Innovator of the year - All Africa Bussiness Learders ( Awards AABLA ) - East Africa (2017)
# Top100 midsized Companies By KPMG, The Citizen (2018)
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
# https://wsa-global.org/person/3535/
# https://talkafricana.com/forbes-africa-list-of-30-under-30-most-promising-young-african-entrepreneurs-2017/
# https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/success/tanzania-s-top-tech-players-share-pathways-to-success-4098672
# https://www.bellanaija.com/2017/06/forbes-africa-30-under-30-2017-list-see-young-entrepreneurs-doing-great-things/
{{mbegu-Mtanzania}}
{{BD|1982|}}
[[Jamii:wajasiriamali wa Tanzania]]
jhr4yzva7wkc94j9vc84gc7dzz6kdsr
Mildred Reason Dube
0
186817
1584832
1528286
2026-08-06T11:40:47Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584832
wikitext
text/x-wiki
'''Mildred Reason Dube''' (alifariki 27 Juni 2022) alikuwa mwanasiasa wa [[Zimbabwe]] aliyehudumu katika seneti ya Zimbabwe kwanzia 2018 mpaka mauti yalipomfika mnamo 2022,akiwakilisha Bulawayo.Kwanza kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Zimbabwe 2018, Dube alikuwa mshirika wa karibu wa Thokozani Khupe.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://gwerugazette.com/2018/08/12/fiery-misihairabwi-mushonga-back-in-parliament/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2024-09-28 |archive-date=2022-07-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220715023043/https://www.gwerugazette.com/2018/08/12/fiery-misihairabwi-mushonga-back-in-parliament/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Khupe reacts angrily to her ‘expulsion’ as MDC-T leader|url=https://www.thezimbabwemail.com/politics/khupe-reacts-angrily-to-her-expulsion-as-mdc-t-leader/|date=2020-04-29|accessdate=2024-09-28|language=en-GB|author=Staff Reporter|archive-date=2025-01-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20250120105754/https://www.thezimbabwemail.com/politics/khupe-reacts-angrily-to-her-expulsion-as-mdc-t-leader/|url-status=dead}}</ref>
.Mnamo 2022,Dube,aliyekuwa mwanachama wa harakati za mabadiliko ya kidemokrasia katika chama cha Tsvangirai,alitishiwa kufukuzwa katika chama hicho na kiongozi wa chama hicho Nixon Nyikadzino ;nakulindwa na Khupe, aliyekuwa kaimu raisi wa chama.Baadae Dube akawa kiongozi wa Mkutano wa wabunge wa MDC-T.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.thezimbabwemail.com/politics/khupe-reacts-angrily-to-her-expulsion-as-mdc-t-leader/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2024-09-28 |archive-date=2025-01-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250120105754/https://www.thezimbabwemail.com/politics/khupe-reacts-angrily-to-her-expulsion-as-mdc-t-leader/ |url-status=dead }}</ref>Hata hivyo ,mnamo mwezi wa kwanza 2022,Dube,Khupe na washirika wawili wa Khupe walifukuzwa katika chama hicho,kufatiwa na maamuzi kutoka kwa MDC-T na kuundwa kwa chama kipya.<ref>https://www.myzimbabwe.co.zw/news/64003-breaking-mdc-t-secretary-general-nixon-nyikadzino-fires-2-top-mdc-t-officials.html</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=MDC-T Khupe MPs recalled from Parliament by Nyikadzino|url=https://savannanews.com/mdc-t-khupe-mps-recalled-from-parliament-by-nixon-nyikadzino/|work=Savanna News|date=2020-05-05|accessdate=2024-09-28|language=en-US|author=Casper Dube|archive-date=2025-01-19|archive-url=https://web.archive.org/web/20250119102050/https://savannanews.com/mdc-t-khupe-mps-recalled-from-parliament-by-nixon-nyikadzino/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Douglas Mwonzora's MDC-T Expels VP Thokozani Khupe|url=https://www.voazimbabwe.com/a/douglas-mwonzora-mdc-t-expels-thokozani-khupe/6418272.html|work=Voice of America|date=2022-01-30|accessdate=2024-09-28|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=MDC T expels Dr Thokozani Khupe|url=https://zwnews.com/mdc-t-expels-dr-thokozani-khupe/|work=Zw News Zimbabwe|date=2022-01-29|accessdate=2024-09-28|language=en-GB|author=Agencies}}{{Dead link|date=May 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Zimbabwe]]
rayfqre7y4pmg2ecotaeqai06hjzu3s
SeBa
0
189164
1584601
1582967
2026-08-06T03:40:59Z
Justine Msechu
45962
1584601
wikitext
text/x-wiki
'''Seba Charmelle Scholastique''', anayejulikana kwa jina la kisanii '''SeBa''' (alizaliwa tarehe 12 Aprili 1973), ni mwimbaji [[Gabon|kutoka Gabon]]. Anaimba kwa [[Kinjebi|lugha ya Nzebi]], lakini juhudi zake za kueneza lugha ya Kiitaliano ndizo zilizomletea tuzo ya Order of the Star of Italy. Ameachia albamu kadhaa tangu albamu yake ya kwanza mwaka 2006.
== Maisha ==
Alizaliwa [[Koulamoutou]] Gabon, mwaka 1973. <ref name="gabm">{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonmediatime.com/a-la-decouverte-de-seba-et-de-son-premier-album-kundu/|title=À la découverte de SeBa et de son premier album "Kundu"|author=Time|first=Gabon Media|work=Gabon Media Time|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07|archive-date=2019-09-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20190923180215/https://www.gabonmediatime.com/a-la-decouverte-de-seba-et-de-son-premier-album-kundu/|url-status=dead}}</ref> Alianza kuandika muziki baada ya kujiunga na kwaya alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.romamultietnica.it/africa-sp-759/musica-e-danza-africana/musica-e-danza-africana/item/3101-seba-charmelle-scholastique/3101-seba-charmelle-scholastique.html?tmpl=component&print=1/|title=Seba Charmelle Scholastique|work=www.romamultietnica.it|language=it|accessdate=2020-02-07}}</ref>
Aliendelea na masomo yake ya uzamili nchini Italia, ambako pia aliendeleza shauku yake ya kuimba kwa kujiunga na kwaya mjini [[Vatikani|Vatican]] . <ref name="gabm"/>
Albamu yake ''Kundu'' ilirekodiwa nchini Ufaransa na Gabon baada ya miaka mingi ya maandalizi. Anaandika na kuimba nyimbo zake katika [[Kinjebi|lugha ya Njebi]], na nyimbo hizo zimo katika albamu hiyo. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonreview.com/blog/musique-kundu-retour-de-seba/|title=Musique : "Kundu", le retour de SeBa|author=Andy Steen dit|date=2016-11-21|work=Gabonreview.com {{!}} Actualité du Gabon {{!}}|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07}}</ref>
Huko [[Libreville]], anafanya kazi kama mwimbaji wa kwaya pamoja na Pierre Akendengué na wanamuziki wengine waliorekodi na Pierre Barouh mwaka 1974. Alijiunga na kwaya ya Gabon iitwayo Chant sur la Lowé. Kwaya hiyo ilishika nafasi ya pili katika Olimpiki za Kwaya mwaka 2000 huko Linz, na mwaka 2013 ilikuwa kwaya ya wageni katika tamasha la kwaya huko Vaison-la-Romaine. <ref>{{Citation|title=Le chant sur la Lowe 2 Choralies 2013|url=https://www.youtube.com/watch?v=1V73zNJ49G8|language=en|access-date=2020-02-08}}</ref> ''Katika maonyesho hayo, SeBa aliimba sehemu ya solo ya utunzi wake Ngonga Nzembi'' .
Tarehe 2 Juni 2018, balozi wa Italia nchini Gabon, Paolo De Nicolo, aliadhimisha kumbukumbu ya miaka 72 ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Italia kwa kumkabidhi SeBa tuzo. Kwa kutambua mchango wake katika kueneza lugha ya Kiitaliano nchini Gabon, alitunukiwa cheo cha Knight of the Order of the Star of Italy. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonmediatime.com/charmelle-seba-consacree-chevalier-de-lordre-de-letoile-ditalie/|title=Charmelle SeBa consacrée Chevalier de l'ordre de l'étoile d'Italie|author=Time|first=Gabon Media|work=Gabon Media Time|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07|archive-date=2019-04-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20190424190030/https://www.gabonmediatime.com/charmelle-seba-consacree-chevalier-de-lordre-de-letoile-ditalie/|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
m2hcxf1eraj6gunt29ocju58oa2y66m
1584602
1584601
2026-08-06T03:41:54Z
Justine Msechu
45962
1584602
wikitext
text/x-wiki
'''Seba Charmelle Scholastique''', anayejulikana kwa jina la kisanii '''SeBa''' (alizaliwa tarehe 12 Aprili 1973), ni mwimbaji [[Gabon|kutoka Gabon]]. Anaimba kwa [[Kinjebi|lugha ya Nzebi]], lakini juhudi zake za kueneza lugha ya Kiitaliano ndizo zilizomletea tuzo ya Order of the Star of Italy. Ameachia albamu kadhaa tangu albamu yake ya kwanza mwaka 2006.
== Maisha ==
Alizaliwa [[Koulamoutou]] Gabon, mwaka 1973. <ref name="gabm">{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonmediatime.com/a-la-decouverte-de-seba-et-de-son-premier-album-kundu/|title=À la découverte de SeBa et de son premier album "Kundu"|author=Time|first=Gabon Media|work=Gabon Media Time|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07|archive-date=2019-09-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20190923180215/https://www.gabonmediatime.com/a-la-decouverte-de-seba-et-de-son-premier-album-kundu/|url-status=dead}}</ref> Alianza kuandika muziki baada ya kujiunga na kwaya alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.romamultietnica.it/africa-sp-759/musica-e-danza-africana/musica-e-danza-africana/item/3101-seba-charmelle-scholastique/3101-seba-charmelle-scholastique.html?tmpl=component&print=1/|title=Seba Charmelle Scholastique|work=www.romamultietnica.it|language=it|accessdate=2020-02-07}}</ref>
Aliendelea na masomo yake ya uzamili nchini Italia, ambako pia aliendeleza shauku yake ya kuimba kwa kujiunga na kwaya mjini [[Vatikani|Vatican]] . <ref name="gabm"/>
Albamu yake ''Kundu'' ilirekodiwa nchini Ufaransa na Gabon baada ya miaka mingi ya maandalizi. Anaandika na kuimba nyimbo zake katika [[Kinjebi|lugha ya Njebi]], na nyimbo hizo zimo katika albamu hiyo. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonreview.com/blog/musique-kundu-retour-de-seba/|title=Musique : "Kundu", le retour de SeBa|author=Andy Steen dit|date=2016-11-21|work=Gabonreview.com {{!}} Actualité du Gabon {{!}}|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07}}</ref>
Huko [[Libreville]], anafanya kazi kama mwimbaji wa kwaya pamoja na Pierre Akendengué na wanamuziki wengine waliorekodi na Pierre Barouh mwaka 1974. Alijiunga na kwaya ya Gabon iitwayo Chant sur la Lowé. Kwaya hiyo ilishika nafasi ya pili katika Olimpiki za Kwaya mwaka 2000 huko Linz, na mwaka 2013 ilikuwa kwaya ya wageni katika tamasha la kwaya huko Vaison-la-Romaine. <ref>{{Citation|title=Le chant sur la Lowe 2 Choralies 2013|url=https://www.youtube.com/watch?v=1V73zNJ49G8|language=en|access-date=2020-02-08}}</ref> ''Katika maonyesho hayo, SeBa aliimba sehemu ya solo ya utunzi wake Ngonga Nzembi'' .
Tarehe 2 Juni 2018, balozi wa Italia nchini Gabon, Paolo De Nicolo, aliadhimisha kumbukumbu ya miaka 72 ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Italia kwa kumkabidhi SeBa tuzo. Kwa kutambua mchango wake katika kueneza lugha ya Kiitaliano nchini Gabon, alitunukiwa cheo cha Knight of the Order of the Star of Italy. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.gabonmediatime.com/charmelle-seba-consacree-chevalier-de-lordre-de-letoile-ditalie/|title=Charmelle SeBa consacrée Chevalier de l'ordre de l'étoile d'Italie|author=Time|first=Gabon Media|work=Gabon Media Time|language=fr-FR|accessdate=2020-02-07|archive-date=2019-04-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20190424190030/https://www.gabonmediatime.com/charmelle-seba-consacree-chevalier-de-lordre-de-letoile-ditalie/|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Gabon]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
2istye52hdsftz74t5q6fbh24j24ccq
Klaidi Cela
0
191685
1584584
1367738
2026-08-06T03:23:15Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584584
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:K Cela (cropped).jpg|thumb|Klaidi Cela]]
'''Klaidi Cela''' (alizaliwa [[16 Julai]] [[1999]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] kutoka [[Kanada]] anayechezea katika klabu ya Richmond Kickers inayoshiriki ligi ya kwanza ya USL.<ref name=karacela>{{cite web|title=Toronto FC II sign Stefan Karajovanovic and Klaidi Cela |url=https://www.torontofc.ca/tfc2/news/toronto-fc-ii-sign-stefan-karajovanovic-and-klaidi-cela|work=[[Toronto FC]]|date=March 31, 2022}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.uslleaguetwo.com/roster_players/12535672|title=Kladi Cela 2016 PDL Stats|work=[[USL League Two]]|accessdate=2024-11-26|archive-date=2024-12-03|archive-url=https://web.archive.org/web/20241203163341/https://www.uslleaguetwo.com/roster_players/12535672|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1999|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kanada]]
69m55wzrfxa4rqkfx17fuijayx8o668
Luis Sodiro
0
191911
1584632
1376598
2026-08-06T06:27:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584632
wikitext
text/x-wiki
'''Luis Sodiro''' ([[1836]] – [[1909]]) alikuwa [[kasisi]] wa [[Shirika la Yesu|Kijesuiti]] kutoka [[Italia]] na mwana[[botania]] wa uwanjani aliyekuwa mzaliwa wa [[Vicenza]]. Alijulikana kwa kuchunguza na kuelezea idadi kubwa ya spishi za mimea kutoka eneo linalozunguka [[Quito]], [[Ekuado]], mwanzoni mwa [[karne ya 20]].
Inadhaniwa kuwa Sodiro alikuwa mtu wa kwanza kufanya ukusanyaji wa ki[[sayansi]] katika eneo hilo, na alielezea angalau spishi 38 kutoka Esmeraldas, mkoa uliopo Ekuado.<ref name="puce">{{cite web|last1=Vivero Lovato|first1=David Alejandro|title=Padre Luis Sodiro S. J.: Importancia de su aporte al conocimiento de la botánica en el Ecuador y sus antecesores|url=http://repositorio.puce.edu.ec/handle/22000/14938?show=full|publisher=PUCE|access-date=18 November 2023|language=es|date=2018|archive-date=2024-12-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20241204165055/https://repositorio.puce.edu.ec/handle/22000/14938%3Fshow%3Dfull|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1836]]
[[Jamii:Waliofariki 1909]]
[[Jamii:mapadri]]
[[Jamii:wajesuiti]]
[[Jamii:Wanabiolojia wa Italia]]
6ngj4uw4xe1ltwjltv2zn9bw9hgjtbd
Anthony Muheria
0
194055
1584733
1373337
2026-08-06T09:47:52Z
Riccardo Riccioni
452
1584733
wikitext
text/x-wiki
'''Anthony Muheria''' (aliyezaliwa [[27 Mei]] [[1963]]) ni [[askofu]] wa [[Kanisa Katoliki]] kutoka Kenya ambaye anahudumu kama [[Askofu mkuu|Askofu Mkuu]] wa [[Jimbo Kuu la Nyeri]]. Aliteuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Nyeri tarehe 23 Aprili 2017. <ref name="1R">{{cite web|date=29 August 2020|url=https://www.catholic-hierarchy.org/bishop/bmuher.html|publisher=[[Catholic-Hierarchy.org]]|access-date=30 August 2020|title=MicroData Summary for Anthony Muheria|author=David M. Cheney|location=Kansas City}}</ref><ref name="2R">{{cite web|url=https://www.kenyans.co.ke/news/51080-meet-cbk-governors-little-known-priest-brother|title=Meet CBK Governor's Little Known Priest Brother|publisher=Kenyans.co.ke|date=21 March 2020|author=John Paul Simiyu|access-date=30 August 2020|place=Nairobi}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii:Maaskofu wakatoliki wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
hmv3y051sremlailorckhwlx1kvf3vi
Jamii:Wanauchumi wa Kenya
14
195382
1584728
1376656
2026-08-06T09:43:16Z
Riccardo Riccioni
452
1584728
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:wanauchumi nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:watu wa Kenya|U]]
03ga94t2pj5782kkxp1l1sqkmrq73q7
Zacchaeus Okoth
0
199398
1584807
1529978
2026-08-06T11:07:20Z
Riccardo Riccioni
452
1584807
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:SANGUIS-Brvgensis_MGR_Zacchaeus_Okoth.jpg|thumb|Zackeus Okoth (kulia) katika [[maandamano]] ya [[Damu Azizi|Damu Takatifu]], mwaka wa 2009.]]
'''Zacchaeus Okoth''' (alizaliwa [[5 Julai]] [[1942]]) ni [[Askofu mkuu|Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Kanisa Katoliki]] wa [[Jimbo Kuu la Kisumu]], [[Kenya]].<ref>{{Rejea tovuti|last=Mbenywe|first=Mactilda|title=End of era as Archbishop Zacchaeus Okoth retires after 5 decades|url=https://www.standardmedia.co.ke/nyanza/article/2001308673/end-of-era-as-clergyman-retires-after-5-decades|access-date=2021-10-27|website=The Standard|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Maaskofu wakatoliki wa Kenya]]
folbjw2i5egc75o63vki43zfyjmklb9
Johnny Son
0
199561
1584509
1393074
2026-08-05T22:19:13Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584509
wikitext
text/x-wiki
'''Jonghyun "Johnny" Son''' (alizaliwa Mei 30, [[2003]]) ni mchezaji wa soka kutoka [[Kanada]].<ref>{{cite web|url=https://forgefc.canpl.ca/article/forge-fc-adds-three-young-local-players-to-roster|title=Forge adds three young local players to roster|date=June 24, 2021|work=[[Forge FC]]}}</ref><ref name=19l1o>{{cite web|url=https://league1ontario.sportngin.com/roster_players/34781370|title=Johnny Son 2019 L1O Stats|work=[[League1 Ontario]]|accessdate=2025-02-01|archive-date=2025-02-01|archive-url=https://web.archive.org/web/20250201085929/https://league1ontario.sportngin.com/roster_players/34781370|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web|url=https://northerntribune.ca/forge-fc-sigma-trio-2021/|date=June 24, 2021|title=Forge Adds Sigma Trio To Roster|first=John|last=Jacques|work=Northern Tribune}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|2003|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kanada]]
1fixjatjjj5kglpisxyxzpf035dll0t
Georgios Marsellos
0
199926
1584343
1584074
2026-08-05T13:18:25Z
Riccardo Riccioni
452
1584343
wikitext
text/x-wiki
'''Georgios Marsellos''' ([[12 Oktoba]] [[1936]] – [[4 Agosti]] [[2026]] <ref>{{Rejea tovuti|title=Έφυγε από τη ζωή ο Γιώργος Μαρσέλλος|url=https://www.sport-fm.gr/article/sports/giwrgos-marsellos-efuge-apo-ti-zwi-se-ilikia-90-etwn/5139571|work=sport-fm.gr|accessdate=2026-08-04|language=el|author=sport-fm newsroom}}</ref>) alikuwa [[mwanariadha]] wa zamani wa [[Ugiriki]] wa mbio za mita 110 ambaye alishiriki katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[1960]] na [[1964]]. <ref>{{cite web |title=Georgios Marsellos |url=http://www.sports-reference.com/olympics/athletes/ma/georgios-marsellos-1.html |accessdate=2025-02-03 |archive-date=2012-11-11 |archive-url=https://web.archive.org/web/20121111195458/http://www.sports-reference.com/olympics/athletes/ma/georgios-marsellos-1.html |url-status=bot: unknown }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanariadha wa Ugiriki]]
[[Jamii:Waliofariki 2026]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1936]]
8j3zwn76dof3zkgnjehgsit4gzwqd47
Uwanja wa Michezo wa Ria Gope
0
200264
1584447
1403268
2026-08-05T18:27:56Z
FaysaLBinDaruL
46970
FaysaLBinDaruL alihamisha ukurasa wa [[Uwanja wa Michezo wa Khan Shaheb Osman Ali]] hadi [[Uwanja wa Michezo wa Ria Gope]]: Official name change
1403268
wikitext
text/x-wiki
''' Uwanja wa Michezo wa Khan Shaheb Osman Ali ''' ni uwanja wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Bangladesh]]. Ulizinduliwa mnamo mwaka [[2005]] kwenye mji wa [[Narayanganj]] nchini Bangladesh. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Cricket na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 15,000.<ref>{{cite news |title=Bangladesh stadia await ICC approval |url=https://www.espncricinfo.com/story/_/id/23017469/ |access-date=21 December 2019 |publisher=ESPNcricinfo|date=}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Viwanja vya michezo Bangladesh]]
jxe772zg3wzmclj5js7hi888nnkg6ye
Uwanja wa Michezo wa Bir Sherestha Shaheed Shipahi Mostafa Kamal
0
200500
1584446
1495996
2026-08-05T18:22:30Z
FaysaLBinDaruL
46970
+
1584446
wikitext
text/x-wiki
{{Coord|23.725369|N|90.429464|E|type:landmark|display=title}}
[[File:Kamalapur Stadium Dhaka.jpg|thumb|Kamalapur stadium.]]
''' Uwanja wa Michezo wa Bir Sherestha Shaheed Shipahi Mostafa Kamal''' ni uwanja wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Bangladesh]]. Ulizinduliwa mnamo mwaka [[1955]] kwenye mji wa [[Dhaka]] nchini Bangladesh. Uwanja huu hutumiwa na timu ya mpira wa miguu na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 25,000.<ref>{{cite web |url=https://www.11v11.com/teams/bangladesh/tab/stats/option/attendances/ |title=Bangladesh national football team statistics and records: attendances |publisher=11v11.com |access-date=2019-09-12}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Dhaka]]
[[Jamii:Viwanja vya michezo Bangladesh]]
dn8zbm3bi0dpdu0q4bxnsst11mf1t3l
Uwanja wa Zahur Ahmed Chowdhury
0
200503
1584450
1396330
2026-08-05T18:41:01Z
FaysaLBinDaruL
46970
+
1584450
wikitext
text/x-wiki
{{coord|22|21|20.89|N|91|46|4.51|E|type:landmark|display=title}}
[[File:Zacs rain.jpg|thumb|Uwanja wa Zahur Ahmed Chowdhury]]
''' Uwanja wa Zahur Ahmed Chowdhury ''' ni uwanja wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Bangladesh]]. Ulizinduliwa mnamo mwaka [[2004]] kwenye mji wa [[Chittagong]] nchini Bangladesh. Uwanja huu hutumiwa na timu ya kricketi na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 22,000.<ref>{{cite web|url=http://www.espncricinfo.com/bangladesh/content/ground/56658.html|title=ZAC Stadium Profile|work=ESPNCricinfo}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Viwanja vya michezo Bangladesh]]
oph7qomb1cs3hnu6ihu6headabxx01n
Mason Trafford
0
200948
1584757
1397189
2026-08-06T10:01:37Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584757
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Mason Trafford, Cavalry FC (cropped).jpg|thumb|Trafford akiwa na Cavalry FC mwaka 2022]]
'''Mason Trafford''' (alizaliwa Agosti 21, [[1986]]) ni [[Mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa [[Kanada]] ambaye aliichezea klabu ya Cavalry FC katika Ligi Kuu ya Kanada. Mbali na Kanada, Trafford amewahi kucheza nchini [[Marekani]], [[Finlandi]] na [[China]].<ref>[http://www.rednationonline.ca/RedNationInterviewSeriesMasonTrafford.aspx RedNation Interview Series: Mason Trafford rednationonline.ca]</ref><ref>[https://wildeastfootball.net/2013/06/mason-trafford-on-canada-arie-schans-and-the-harsh-reality-of-china-league-one/ INTERVIEWS Mason Trafford on Canada, Arie Schans and the harsh reality of China League One] {{Wayback|url=https://wildeastfootball.net/2013/06/mason-trafford-on-canada-arie-schans-and-the-harsh-reality-of-china-league-one/ |date=20210508132002 }} wildeastfootball.net</ref><ref>[https://ottawacitizen.com/sports/soccer/fury-fcs-mason-trafford-survived-his-chinese-adventure Fury FC's Mason Trafford survived his Chinese adventure] ottawacitizen.com</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1986|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kanada]]
fmnn99fenro9lz48n5l2vze0u1nyx6x
Giovanni Aguilar
0
202917
1584313
1512912
2026-08-05T12:51:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584313
wikitext
text/x-wiki
'''Giovanni Aguilar''' (alizaliwa Machi 8, [[1998]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa [[Marekani]] ambaye anacheza kama kiungo wa timu ya Las Vegas Lights FC.<ref name="auto1">{{Rejea tovuti|url=https://www.sacrepublicfc.com/news/2021/12/20/republic-fc-add-former-academy-standout-giovanni-aguilar/|title=Republic FC Adds Former Academy Standout Giovanni Aguilar}}</ref><ref name="auto">{{Rejea tovuti|url=https://gomatadors.com/sports/mens-soccer/roster/giovanni-aguilar/5303|title=Giovanni Aguilar - 2021 - Men's Soccer|website=CSUN Athletics}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.uslleaguetwo.com/roster_players/32703583?subseason=625319|title=FC Golden State Force | uslleaguetwo.com|website=www.uslleaguetwo.com|accessdate=2025-02-24|archive-date=2025-11-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20251124150223/https://www.uslleaguetwo.com/roster_players/32703583?subseason=625319|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1998|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Marekani]]
q97ezd1xw6m442v8ek9x1mw1vdfg8vz
Nana Wanjau
0
205452
1584818
1521811
2026-08-06T11:25:13Z
Riccardo Riccioni
452
1584818
wikitext
text/x-wiki
'''Nana Wanjau''' (alizaliwa [[26 Oktoba]] [[1979]]) ni mfadhili kutoka [[Kenya]] anayejulikana kwa kazi yake kama [[Rais]] wa Rotary Club ya [[Nairobi]] Mashariki na kwa kuanzisha [[Shirika Lisilo la Kiserikali|shirika lisilo la kiserikali]] la ''Power Woman International'', linalofanya kazi ya kusaidia wajane nchini Kenya.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Baba yake ana asili ya Kenya na mama [[Mtanzania]]. Akiwa bado mdogo, alilelewa na bibi yake huko [[Bukoba]], Tanzania. Baada ya kifo cha babu yake, jamii ilimlazimisha bibi yake kuondoka kutokana na hali yake ya ujane.
Baada ya kumaliza shule ya upili, Wanjau alihamia [[Lusaka]], [[Zambia]], kuishi na mama yake. Mama yake, ambaye alikuwa daktari wa magonjwa, alimshawishi kujiunga na chuo cha matibabu kusomea udaktari. Hata hivyo, alihudhuria programu hiyo kwa mwaka mmoja tu kabla ya kuacha masomo.
Baadaye alihamia Ivory Coast, ambako baba yake alikuwa amehamia. Akiwa na umri wa miaka 21, kazi ya baba yake ilimrudisha nyumbani, na ndipo Nana alihamia Kenya na kuanza kuishi huko.<ref name=":0">{{Rejea tovuti |last=Ashley |first=Diana |date=2017-07-01 |title=Nana's Dedicated Service to Ostracized Widows |url=https://mkazi-magazine.com/nanas-dedicated-service-to-ostracized-widows/ |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20170829134853/https://mkazi-magazine.com/nanas-dedicated-service-to-ostracized-widows/ |archive-date=August 29, 2017 |access-date=2024-02-11 |website=Mkazi Magazine |language=en-US}}</ref><ref name=":3">{{Rejea habari |date=July 15, 2017 |title=No husband no dignity? Group helps widows rebuild their lives |work=The Star (Nairobi, Kenya) |via=[[Gale (publisher)]]}}</ref>
== Kazi ==
Wanjau awali alifanya kazi katika [[Teknolojia ya habari|teknolojia ya habari,]] lakini baadaye akawa mama wa nyumbani.<ref>{{Rejea tovuti |last=AKELLO |first=ESTHER |title=NANA WANJAU Woman without limits – Parents Africa |url=https://parentsafrica.com/nana-wanjau-woman-without-limits/ |access-date=2024-02-13 |website=parentsafrica.com}}</ref> Alipendezwa na kazi za hisani baada ya kumwona mama yake akiendesha kliniki ya matibabu huko Zambia.<ref name=":2">{{Rejea habari |last=Munde |first=Claire |date=October 22, 2016 |title=I blend my charity work with personal growth |work=The Star (Nairobi, Kenya) |via=[[Gale (publisher)]]}}</ref> Alijiunga na Rotary Club mnamo [[2005]], na alihudumu kama rais wa Rotary Club ya Nairobi Mashariki, [[Kenya]] kwa mwaka mmoja, kutoka [[2015]] hadi [[2016]].<ref>{{Rejea tovuti |date=2015-06-01 |title=Nana Wanjau takes over as Rotary Club president - Business Today Kenya |url=https://businesstoday.co.ke/nana-wanjau-takes-over-as-rotary-club-president/ |access-date=2024-02-13 |language=en-US}}</ref><ref name=":1">{{Rejea tovuti |title=MEET THE COVER MODELS – Parents Africa |url=https://parentsafrica.com/meet-the-cover-models-11/ |access-date=2024-02-13 |website=parentsafrica.com}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Nana Wanjau » Rotary Club of Nairobi East |url=https://www.rotarynairobieast.org/nana-wanjau/ |access-date=2024-02-11 |website=Rotary Club of Nairobi East |language=en-GB}}</ref> Katika kipindi hiki alifanya kazi kupanua maktaba huko [[Korogocho]],<ref>{{Rejea habari |date=30 July 2015 |title=Rotary Club Working to Improve Literacy in Korogocho Slum |url=https://www.the-star.co.ke/sasa/lifestyle/2015-07-30-rotary-club-working-to-improve-literacy-in-korogocho-slum/ |work=AllAfrica.com; Washington}}</ref> na alijiunga na kikundi cha watu walioinuka [[Mlima Kilimanjaro]] ili kukusanya fedha kwa hisani.<ref>{{Rejea habari |last=Kimutai |first=Carole |date=January 24, 2015 |title=Kilimanjaro: Life changing five days of pain and pleasure |url=https://nation.africa/kenya/life-and-style/travel/kilimanjaro-life-changing-five-days-of-pain-and-pleasure-1062646 |work=Daily Nation, Kenya (Nairobi, Kenya) |via=[[Gale (publisher)]]}}</ref>
Mnamo Januari [[2023]], aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa Commonwealth Business Women Africa,<ref>{{Rejea tovuti |last=Susan Nyawira |first=The star |date=2019-08-21 |title=Kenya launches the Commonwealth Business Women Network |url=https://www.the-star.co.ke/business/kenya/2019-08-21-kenya-launches-the-commonwealth-business-women-network/ |access-date=2024-02-11 |website=The Star |language=en-KE}}</ref> na katika jukumu hili alifanya kazi kuongeza ujuzi wa kidijitali kwa [[Msichana|wasichana]].<ref>{{Rejea tovuti |date=2024-01-05 |title=Commonwealth Business Women Africa signs deal to equip 1 million girls with coding skills |url=https://www.citizen.digital/news/commonwealth-business-women-africa-signs-deal-to-equip-1-million-girls-with-coding-skills-n334233 |access-date=2024-02-12 |website=Citizen Digital |language=en-KE}}</ref> Mnamo [[2022]] Wanjau alizungumza juu ya jukumu la shirika hilo katika kukuza usawa wa kijinsia kwa wanawake barani Afrika.<ref>{{Rejea habari |last=Janga |first=Edwina Sia |date=March 14, 2022 |title=Sia Bayoh Talks About Mainstreaming Vulnerable Women in Education |work=allAfrica.com; AllAfrica Global Media |via=[[Gale (publisher)]]}}</ref> Kufikia 2023, alikuwa afisa mkuu wa jinsia katika Pan African Chamber of Commerce.<ref>{{Rejea tovuti |date=2023-12-10 |title=Our Team - Pan African Chamber of Commerce |url=https://panafricanchamber.com/our-team/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20231210200955/https://panafricanchamber.com/our-team/ |archive-date=December 10, 2023 |access-date=2024-06-05 }}</ref>
Baada ya kumaliza muda wake kama rais wa Rotary Club, alianzisha Power Women International, shirika lisilo la kiserikali ambalo husaidia wajane nchini Kenya.<ref name=":2" /><ref>{{Rejea habari |date=April 25, 2017 |title=Kenyans speak out against widow-cleansing tradition |work=Al Jazeera America |via=[[Gale (publisher)]]}}</ref> Shirika hili husaidia wajane kukaa katika jamii zao kwa kujenga nyumba na kutoa mafunzo, hitaji ambalo Wanjau alilitambua kutokana na uzoefu wake akiwa mtoto na kukuzwa zaidi katika mazungumzo ya Wanjau na [[wajane]].<ref name=":3" />
Pia alianzisha Branding Beyond Borders (mtandao wa wataalamu mbalimbali), na Saltaway Investments Ltd, kampuni ya [[Kenya]] ya mali isiyohamishika.<ref>{{Rejea tovuti |last=Ogina |first=Elvis |title=Agency to train women in business |url=https://www.standardmedia.co.ke/business/news/article/2001440052/agency-to-train-women-in-business |access-date=2024-02-12 |website=The Standard |language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |date=2017-03-20 |title=How I moved on after losing my husband at 15 » |url=https://impacthubmedia.com/10896/i-moved-losing-husband-15/ |access-date=2024-02-11 |language=en-GB |archive-date=2024-02-13 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240213083732/https://impacthubmedia.com/10896/i-moved-losing-husband-15/ |url-status=dead }}</ref>
== Tuzo na Heshima ==
Wanjau ni mshindi wa Tuzo ya Uongozi wa Wanawake wa Afrika Mashariki ya 2019.<ref>{{Rejea tovuti |title=Nana Wanjau – Global Council for the Promotion of International Trade |url=https://gcpit.org/speaker/nana-wanjau/ |access-date=2024-02-11 |language=en-US |archive-date=2024-02-13 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240213083731/https://gcpit.org/speaker/nana-wanjau/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Wanjau |first=Nana |date=2023-09-08 |title=Women of the Global South Are Key to the Energy Transition |url=https://moderndiplomacy.eu/2023/09/08/women-of-the-global-south-are-key-to-the-energy-transition/ |access-date=2024-02-12 |website=Modern Diplomacy |language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Motivational speaker Wale Akinyemi Inspires |url=https://www.the-star.co.ke/sasa/society/2016-01-11-motivational-speaker-wale-akinyemi-inspires/ |access-date=2024-02-12 |website=The Star |language=en-KE}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{BD|1979|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Feminism and Folklore 2025 in Tanzania]]
8de4lonjqkvdrv35xlibhitx5wi47sx
Mary Astell
0
205488
1584724
1519810
2026-08-06T09:41:57Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584724
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
'''Mary Astell''' ([[12 Novemba]] [[1666]] – [[11 Mei]] [[1731]]) alikuwa mwandishi wa Kiingereza wa protofeminist, [[mwanafalsafa]], na mzungumzaji ambaye alitetea fursa sawa za elimu kwa [[wanawake]]. Astell anakumbukwa zaidi kama mmoja wa watetezi wa kwanza wa [[haki]] za wanawake nchini [[Uingereza]], na baadhi ya watoa maoni wanamchukulia kuwa "mfeministi wa kwanza wa [[Kiingereza]]".<ref name=":2">{{Rejea kitabu |last=Duran |first=Jane |url=https://www.jstor.org/stable/10.5406/j.ctt1xcn4h |title=Eight Women Philosophers: Theory, Politics, and Feminism |date=2006 |publisher=University of Illinois Press |isbn=978-0-252-03022-2 |jstor=10.5406/j.ctt1xcn4h }}</ref><ref name=":0">{{Rejea kitabu |last=Myers |first=Sylvia Harcstark |url=https://www.worldcat.org/oclc/21040567 |title=The bluestocking circle : women, friendship, and the life of the mind in eighteenth-century England |date=1990 |publisher=Clarendon Press |isbn=0-19-811767-1 |location=Oxford |oclc=21040567}}</ref><ref name="Mary Astell">{{cite web|title=Mary Astell |url=http://oregonstate.edu/instruct/phl302/philosophers/astell.html |publisher=Oregon State |access-date=1 May 2011 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20150221153142/http://oregonstate.edu/instruct/phl302/philosophers/astell.html |archive-date=21 February 2015 }}</ref>
Kazi za Astell, hasa A Serious Proposal to the Ladies na Some Reflections Upon Marriage, zinahoji usawa wa msingi wa kiakili kati ya wanaume na wanawake. [[Maandishi]] yake ya kifalsafa yanafikiriwa kuwa yaliathiri vizazi vilivyofuata vya wanawake walioelimika, ikiwa ni pamoja na kikundi cha fasihi kilichojulikana kama Bluestockings, ambao majadiliano yao ya fasihi, sayansi, na falsafa mara nyingi yalizingatia masuala yanayohusiana na elimu na usawa wa wanawake. Astell, ambaye hakuwahi kuoa, aliunda uhusiano wake wa karibu wa kibinafsi zaidi na wanawake. Katika miaka ya mapema ya [[1700]], alijiuzulu kutoka maisha ya umma na kujitolea katika kupanga na kusimamia shule ya hisani kwa wasichana. Astell alijiona kama mtu anayejitegemea na alijivunia kuendeleza dhamira yake ya kuokoa jinsia yake kutoka kwa ukandamizaji.<ref name="kinnaird">{{Rejea jarida |last=Kinnaird |first=Joan K. |date=1979 |title=Mary Astell and the Conservative Contribution to English Feminism |url=https://archive.org/details/sim_journal-of-british-studies_1979_fall_19_1/page/n55 |journal=Journal of British Studies |volume=19 |issue=1 |pages=53–75 |doi=10.1086/385747 |issn=1545-6986 |s2cid=161848352}}</ref><ref name=":3">{{Rejea tovuti |last=Team |first=Project Vox |title=Astell (1666-1731) |url=https://projectvox.org/astell-1666-1731/ |access-date=2023-05-02 |website=Project Vox |language=en}}</ref>
Licha ya mchango wa Astell katika sababu ya ufeministi, kuna mvutano unaoonekana katika jumla ya usomi linapokuja suala la kumuduainisha kama "mfeministi wa kwanza wa [[Kiingereza]]" bila shaka yoyote. Tofauti hii inatokea kutokana na ahadi za kiakili za Astell zinazokinzana. Mbali na imani yake katika uwezo wa kiakili wa asili wa wanawake na uchunguzi wake wa kina wa hatari za waume wanaokandamiza, Mary Astell alikuwa Mtorati wa Juu thabiti, mwandishi wa vipeperushi wa kihafidhina, na mtetezi wa fundisho la utii wa kimya. Hata wakati wa uchapishaji wao wa kwanza, maoni yake ya kisiasa yenye nguvu zaidi yanaweza kuwa yalionekana kuwa ya zamani na yasiyoendana na imani zilizokuwepo wakati huo. Zaidi ya hayo, msisitizo wake juu ya umuhimu wa dini kwa urafiki wa kike na mawazo ya kifeministi umewakasirisha wakosoaji wa kisasa wa [[kazi]] zake.<ref>{{cite book|editor=Donawerth, Jane|title=Rhetorical Theory by Women before 1900: an anthology|year=2002|publisher=Rowman & Littlefield|location=Lanham, MD|isbn=978-0-7425-1717-2|pages=100}}</ref>
== Maisha ya Awali ==
Rekodi chache za maisha ya Mary Astell zimehifadhiwa. Kama ambavyo mwandishi wa wasifu wake, Ruth Perry, anavyoelezea: "Kama mwanamke, alikuwa na Biashara ndogo au hakuwa nayo kabisa katika ulimwengu wa Biashara, siasa, au sheria. Alizaliwa, alikufa; alimiliki nyumba ndogo kwa miaka kadhaa; alihifadhi akaunti ya [[Benki]]; alisaidia kufungua shule ya hisani huko [[Chelsea F.C.|Chelsea]]: mambo haya orodha za umma zinaweza kuyatoa." Ingawa Perry aligundua Barua na vipande vya hati, anabainisha kwamba ikiwa Astell hangeliandika kwa watawala matajiri ambao wangeweza kurithisha mali zao za kifamilia, kidogo sana cha maisha yake kingehifadhiwa.<ref name="Astell, Mary">{{cite encyclopedia|title=Astell, Mary|url=http://www.encyclopedia.com/topic/Mary_Astell.aspx#1|encyclopedia=Encyclopedia of World Biography|access-date=28 April 2011}}</ref>
Astell alizaliwa Newcastle upon Tyne tarehe [[12 Novemba]] [[1666]], kwa Peter na Mary (Errington) Astell. Wazazi wake walikuwa na [[watoto]] wengine wawili, William, ambaye alikufa akiwa mtoto mchanga, na Peter, ndugu yake mdogo. Alibatizwa katika Kanisa la St John huko Newcastle. Familia yake ilikuwa ya tabaka la juu la kati na waliishi Newcastle katika utoto wake wa mapema. [[Baba]] yake alikuwa mfanyabiashara wa makaa ya mawe, karani ndani ya Hostmen wa Newcastle upon Tyne, na Mwanglikana wa kimapokeo wa kifalme. Babu yake wa mama pia alikuwa mfanyabiashara wa makaa ya mawe na mwanachama wa chama cha Hostmen. Kutokana na mafanikio ya familia yake katika Biashara ya makaa ya mawe, familia yake ilikuwa imepata utajiri wa kiasi. Wakati wa kuzaliwa kwa Mary, familia yake haikuwa sehemu ya wakuu. Ndani ya mwaka mmoja baada ya kuzaliwa kwa Mary, familia yake ingeinpawa hadhi baada ya kuongezwa kwa mmoja wa mababu zake. Mary hakupata [[elimu]] rasmi, ingawa alipata elimu isiyo rasmi kutoka kwa [[mjomba]] wake Ralph Astell; alikuwa mhitimu wa Cambridge na kasisi wa zamani ambaye ulevi wake ulimfanya asimamishwe kazi na Kanisa la Anglikana. Ingawa alisimamishwa kutoka Kanisani, alihusishwa na [[shule]] ya falsafa ya Cambridge ambayo iliegemeza mafundisho yake kwa wanafalsafa kama Aristotle, Plato, na Pythagoras. Baba yake alifariki alipokuwa na umri wa miaka 12, na kumwacha bila mahari. Pamoja na fedha za familia zilizobaki zikiwa zimewekezwa katika elimu ya juu ya [[ndugu]] yake, Mary na mama yake walihamia kuishi na shangazi yake.<ref name="Suth">{{cite book |last1=Sutherland |first1=Christine Mason |url=https://web2.mlp.cz/koweb/00/04/24/15/78/the_eloquence_of_mary_astell.pdf |title=The Eloquence of Mary Astell |date=2005 |publisher=University of Calgary Press |isbn=978-1-55238-661-3 |page=xii |access-date=11 November 2020}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Team |first=Project Vox |title=Astell (1666-1731) |url=https://projectvox.org/astell-1666-1731/ |access-date=2025-02-07 |website=Project Vox |language=en}}</ref><ref name=henderson>{{Rejea tovuti|url=https://www.thecrownchronicles.co.uk/history/mary-astell-the-first-feminist/|title=Mary Astell: the first feminist? • The Crown Chronicles|last=Henderson-Bryan|first=Bethanie|date=2018-05-12|website=The Crown Chronicles|access-date=2019-04-21}}</ref><ref name=":1">{{Rejea kitabu |last=Sutherland |first=Christine Mason |url=https://www.worldcat.org/oclc/166335051 |title=The eloquence of Mary Astell |date=2005 |publisher=University of Calgary Press |isbn=978-1-55238-459-6 |location=Calgary, Alta. |oclc=166335051}}</ref><ref>{{cite encyclopedia|title=Mary Astell|url=http://www.encyclopedia.com/topic/Mary_Astell.aspx#3|encyclopedia=The Columbia Encyclopedia|access-date=28 April 2011}}</ref><ref name="oxfordbibliographies.com">{{Rejea tovuti|url=http://www.oxfordbibliographies.com/view/document/obo-9780195399301/obo-9780195399301-0205.xml|title=Mary Astell - Renaissance and Reformation - Oxford Bibliographies - obo|website=www.oxfordbibliographies.com|language=en|access-date=2019-04-21}}</ref><ref>{{cite book|last=Astell|first=Mary|title=A Serious Proposal to the Ladies|editor=Patricia Springborg|year=2002|publisher=Broadview Press|location=Peterborough|isbn=978-1-55111-306-7 |pages=15}}</ref><ref>{{Rejea kitabu|title=Friendship's Shadows: Women's Friendship and the Politics of Betrayal in England, 1640-1705|url=https://archive.org/details/friendshipsshado0000ande|last=Anderson|first=Penelope|publisher=Edinburgh University Press|year=2012|pages=[https://archive.org/details/friendshipsshado0000ande/page/n237 222]–259|chapter=Covert Politics and Separatist Women’s Friendship: Margaret Cavendish and Mary Astell}}</ref><ref>{{Rejea jarida|last=Broad|first=Jacqueline|date=Fall 2018|title=Mary Astell on Virtuous Friendship|doi=10.1353/pgn.0.0169|journal=Parergon|volume=26|issue=2|pages=65–86|s2cid=144922270|url=https://philarchive.org/rec/BROMAO-2}}{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Rejea jarida|last=Kendrick|first=Nancy|date=Fall 2018|title=Mary Astell's Theory of Spiritual Friendship|journal=British Journal for the History of Philosophy|volume=26|pages=46–65|doi=10.1080/09608788.2017.1347869|s2cid=172046217}}</ref>
== Marejeo ==
<references />{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1666]]
[[Jamii:Waliofariki 1731]]
[[Jamii:Feminism and Folklore 2025 in Tanzania]]
[[Jamii:Waandishi wa Uingereza]]
[[Jamii:Wanafalsafa wa Uingereza]]
r8v6pmht4n2z3619wxl0t26akp8dc97
Wikipedia:Mradi wa Nchi
4
208508
1584408
1584232
2026-08-05T14:20:42Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1584408
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-05)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-05)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 533
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2393
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1330
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 364
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 250
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 465
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 439
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 280
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 264
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 211
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 291
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 396
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 192
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 256
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 293
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 11433 || ↓ -38.7%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 66.1 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Marekani]] || 845 || ↓ -36.6%
|-
| 2 || [[Kenya]] || 533 || ↓ -27.2%
|-
| 3 || [[Hispania]] || 503 || ↑ +89.1%
|-
| 4 || [[Ufaransa]] || 439 || ↓ -20.5%
|-
| 5 || [[Misri]] || 396 || ↑ +11.5%
|-
| 6 || [[Afrika Kusini]] || 364 || ↓ -39.3%
|-
| 7 || [[Burundi]] || 355 || ↓ -14.5%
|-
| 8 || [[Irani]] || 349 || ↓ -22.4%
|-
| 9 || [[Israeli]] || 288 || ↓ -25.8%
|-
| 10 || [[Uturuki]] || 286 || ↓ -38.9%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.7%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.2%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
g5x1vhgpvkaylcap6zdbhpzna17bsvt
1584411
1584408
2026-08-05T14:23:49Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1584411
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-05)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-05)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 533
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2393
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1330
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 364
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 250
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 465
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 359
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 174
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 439
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 280
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 264
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 211
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 291
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 396
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 113
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 133
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 180
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 192
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 256
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 293
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 0
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 19015 || ↓ -33.0%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 109.9 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2393 || ↓ -15.2%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 845 || ↓ -36.6%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 533 || ↓ -27.2%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 503 || ↑ +89.1%
|-
| 5 || [[Ufaransa]] || 439 || ↓ -20.5%
|-
| 6 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 436 || ↓ -34.5%
|-
| 7 || [[Uingereza]] || 432 || ↓ -6.1%
|-
| 8 || [[Misri]] || 396 || ↑ +11.5%
|-
| 9 || [[Afrika Kusini]] || 364 || ↓ -39.3%
|-
| 10 || [[Burundi]] || 355 || ↓ -14.5%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.7%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.2%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
171p61bvci4lfnwpxzohgrtvyipj15s
1584462
1584411
2026-08-05T19:42:50Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1584462
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-05)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-05)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 533
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2393
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 845
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1330
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 364
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 250
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 465
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 439
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 280
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 264
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 211
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 288
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 285
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 396
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 192
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 241
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 256
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 286
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 19015 || ↓ -33.0%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 109.9 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2393 || ↓ -15.2%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 845 || ↓ -36.6%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 533 || ↓ -27.2%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 503 || ↑ +89.1%
|-
| 5 || [[Ufaransa]] || 439 || ↓ -20.5%
|-
| 6 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 436 || ↓ -34.5%
|-
| 7 || [[Uingereza]] || 432 || ↓ -6.1%
|-
| 8 || [[Misri]] || 396 || ↑ +11.5%
|-
| 9 || [[Afrika Kusini]] || 364 || ↓ -39.3%
|-
| 10 || [[Burundi]] || 355 || ↓ -14.5%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.7%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.2%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
8j5psc73doxrmit2j1ycwbg4pyoacdz
1584463
1584462
2026-08-05T19:44:16Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1584463
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-05)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-05)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 436
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 533
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2393
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 845
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1330
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 364
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 503
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 349
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 250
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 465
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 355
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 143
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 194
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 439
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 188
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 121
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 432
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 280
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 264
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 211
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 288
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 285
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 396
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 66
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 112
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 57
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 150
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 21
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 114
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 198
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 132
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 192
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 64
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 241
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 256
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 70
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 286
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 74
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 92
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 104
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 82
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 106
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 138
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 81
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 182
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 79
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 43
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 97
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 56
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 62
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 20797 || ↓ -33.5%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 120.2 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2393 || ↓ -15.2%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 845 || ↓ -36.6%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 533 || ↓ -27.2%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 503 || ↑ +89.1%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 465 || ↓ -22.9%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 439 || ↓ -20.5%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 436 || ↓ -34.5%
|-
| 8 || [[Uingereza]] || 432 || ↓ -6.1%
|-
| 9 || [[Misri]] || 396 || ↑ +11.5%
|-
| 10 || [[Afrika Kusini]] || 364 || ↓ -39.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.9%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.3%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
dbtalk4ma575dbhk7r95229gw891mw5
1584536
1584463
2026-08-06T02:53:21Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1584536
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-06)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-06)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 518
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2307
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 804
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1314
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 354
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 482
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 340
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 449
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 347
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 184
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 428
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 173
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 413
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 381
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 279
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 13
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 20797 || ↓ -33.5%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 120.2 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2393 || ↓ -15.2%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 845 || ↓ -36.6%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 533 || ↓ -27.2%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 503 || ↑ +89.1%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 465 || ↓ -22.9%
|-
| 6 || [[Ufaransa]] || 439 || ↓ -20.5%
|-
| 7 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 436 || ↓ -34.5%
|-
| 8 || [[Uingereza]] || 432 || ↓ -6.1%
|-
| 9 || [[Misri]] || 396 || ↑ +11.5%
|-
| 10 || [[Afrika Kusini]] || 364 || ↓ -39.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.9%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.3%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
jscz62sropf8vts58406dfff28m7nzk
1584569
1584536
2026-08-06T03:15:24Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1584569
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-06)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-06)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 518
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2307
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 804
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1314
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 354
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 482
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 340
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 449
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 347
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 184
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 428
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 173
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 413
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 381
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 279
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 13
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 20100 || ↓ -35.8%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 116.2 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2307 || ↓ -17.5%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 804 || ↓ -40.0%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 518 || ↓ -28.8%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 482 || ↑ +74.0%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 449 || ↓ -23.4%
|-
| 6 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 435 || ↓ -35.0%
|-
| 7 || [[Ufaransa]] || 428 || ↓ -22.0%
|-
| 8 || [[Uingereza]] || 413 || ↓ -11.4%
|-
| 9 || [[Misri]] || 381 || ↑ +7.0%
|-
| 10 || [[Afrika Kusini]] || 354 || ↓ -40.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.9%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.3%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
ju9q72zkklnhu6vpktb0vbglsjcrhzd
1584670
1584569
2026-08-06T08:45:11Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 CAQI Bot updated with page views column
1584670
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-06)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-06)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 518
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2307
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 804
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1314
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 354
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 482
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 340
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 449
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 347
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 184
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 428
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 173
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 413
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 381
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 279
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 13
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 20100 || ↓ -35.8%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 116.2 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2307 || ↓ -17.5%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 804 || ↓ -40.0%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 518 || ↓ -28.8%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 482 || ↑ +74.0%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 449 || ↓ -23.4%
|-
| 6 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 435 || ↓ -35.0%
|-
| 7 || [[Ufaransa]] || 428 || ↓ -22.0%
|-
| 8 || [[Uingereza]] || 413 || ↓ -11.4%
|-
| 9 || [[Misri]] || 381 || ↑ +7.0%
|-
| 10 || [[Afrika Kusini]] || 354 || ↓ -40.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.9%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.3%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
c5pdjndogx3rv14tkoq1evasr985tu3
1584674
1584670
2026-08-06T08:47:10Z
Gayle-Bot
78697
Sasisha Takwimu za mradi
1584674
wikitext
text/x-wiki
{{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}}
{{Kigezo:Mradi/Nchi}}
== Yaliyomo ==
<div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;">
Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]].
[[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC)
</div>
== Mwongozo ==
===Sanduku/Jedwali la taarifa===
'''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana.
===Utangulizi===
{{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}}
Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo:
====Aya ya Utangulizi====
Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800.
Mfano:
</br>
{{Blockquote|
'''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}}
====Aya zinazofuata====
Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii.
===Mwili===
Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji.
====Asili ya jina====
Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi.
====Historia====
Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa.
====Jiografia====
Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili.
====Demografia====
Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana.
====Uchumi====
Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato.
====Serikali na siasa====
Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa.
====Utamaduni====
Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa.
====Tazama pia====
Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika.
====Marejeo====
Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa.
====Viungo vya nje====
Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo.
== Makala ==
{{Chati ya duara
| caption= CAQI (2026-08-06)
| label1 = Makala Bora
| value1 = 7
| color1= green
| label2 = Makala Nzuri
| value2 = 9
| color2= yellow
| label3 = Makala Msingi
| value3 = 61
| color3= orange
| label4 = Makala ya Chini
| value4 = 72
| color4= lightblue
| label5 = Mbegu
| value5 = 27
| color5= red
}}
{| class="wikitable sortable"
! Nchi
! CAQI (2026-08-06)<br />
! Mitazamo (siku 30)<br />
|-
| colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora
|-
| [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
| 9.56
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 435
|-
| [[Kenya]]
| 9.44
| style="background-color:#3CB371; color:white" | 518
|-
| [[Tanzania]]
| 9.17
| style="background-color:#006400; color:white" | 2307
|-
| [[Ghana]]
| 8.93
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Marekani]]
| 8.76
| style="background-color:#228B22; color:white" | 804
|-
| [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]]
| 8.25
| style="background-color:#006400; color:white" | 1314
|-
| [[Afrika Kusini]]
| 8.10
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 354
|-
| colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri
|-
| [[Hispania]]
| 7.84
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 482
|-
| [[Irani]]
| 7.62
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 340
|-
| [[Ethiopia]]
| 7.58
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 246
|-
| [[Urusi]]
| 7.54
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 449
|-
| [[Burundi]]
| 7.36
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 347
|-
| [[Sudan Kusini]]
| 7.28
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 136
|-
| [[Nigeria]]
| 7.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 170
|-
| [[Australia]]
| 7.15
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 184
|-
| [[Somalia]]
| 7.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 99
|-
| colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi
|-
| [[Senegal]]
| 6.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Ufaransa]]
| 6.68
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 428
|-
| [[Italia]]
| 6.23
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 173
|-
| [[Falme za Kiarabu]]
| 6.08
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Laos]]
| 5.95
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Uingereza]]
| 5.93
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 413
|-
| [[Jamhuri ya Watu wa China]]
| 5.59
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 267
|-
| [[Rwanda]]
| 5.49
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257
|-
| [[Korea Kaskazini]]
| 5.44
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 86
|-
| [[Mali]]
| 5.42
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Korea Kusini]]
| 5.34
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 126
|-
| [[Ufini]]
| 5.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Uswisi]]
| 5.17
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209
|-
| [[Israeli]]
| 5.15
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 282
|-
| [[Ufalme wa Muungano]]
| 5.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 139
|-
| [[Cabo Verde]]
| 4.89
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 247
|-
| [[Zambia]]
| 4.89
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 127
|-
| [[Ujerumani]]
| 4.83
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255
|-
| [[Niger]]
| 4.79
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Misri]]
| 4.78
| style="background-color:#90EE90; color:black" | 381
|-
| [[Uganda]]
| 4.78
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 230
|-
| [[Afghanistan]]
| 4.70
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Shelisheli]]
| 4.68
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Japani]]
| 4.66
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224
|-
| [[San Marino]]
| 4.63
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 35
|-
| [[Chad]]
| 4.59
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Austria]]
| 4.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Kamerun]]
| 4.47
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Vatikani]]
| 4.43
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 148
|-
| [[Gine Bisau]]
| 4.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Ukraini]]
| 4.41
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 95
|-
| [[Sudan]]
| 4.39
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 71
|-
| [[Uswidi]]
| 4.30
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Uholanzi]]
| 4.26
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 111
|-
| [[Kanada]]
| 4.17
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 191
|-
| [[Kamboja]]
| 4.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Moroko]]
| 4.13
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269
|-
| [[Uhindi]]
| 4.08
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Malawi]]
| 4.05
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 129
|-
| [[Pakistani]]
| 3.98
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Ubelgiji]]
| 3.92
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 178
|-
| [[Udeni]]
| 3.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Burkina Faso]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 107
|-
| [[Madagaska]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 131
|-
| [[Ugiriki]]
| 3.84
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 186
|-
| [[Vietnam]]
| 3.84
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 59
|-
| [[Bulgaria]]
| 3.82
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Ureno]]
| 3.79
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204
|-
| [[Isilandi]]
| 3.77
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Msumbiji]]
| 3.76
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249
|-
| [[Aljeria]]
| 3.73
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 49
|-
| [[Kazakhstan]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Malta]]
| 3.65
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Indonesia]]
| 3.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 90
|-
| [[Singapuri]]
| 3.63
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 67
|-
| [[Uturuki]]
| 3.62
| style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 279
|-
| [[Papua Guinea Mpya]]
| 3.61
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Eritrea]]
| 3.60
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 63
|-
| [[Uthai]]
| 3.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Angola]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Hong Kong]]
| 3.52
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 65
|-
| colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini
|-
| [[Bhutan]]
| 3.46
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Fiji]]
| 3.46
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Ufalme wa Udeni]]
| 3.44
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 8
|-
| [[Palestina]]
| 3.43
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
| 3.38
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 115
|-
| [[Syria]]
| 3.35
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Latvia]]
| 3.30
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 105
|-
| [[Myanmar]]
| 3.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Botswana]]
| 3.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 76
|-
| [[Komori]]
| 3.20
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 91
|-
| [[Liberia]]
| 3.16
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 61
|-
| [[Eswatini]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 93
|-
| [[Morisi]]
| 3.11
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Jibuti]]
| 3.09
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 94
|-
| [[Omani]]
| 3.04
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 77
|-
| [[Polandi]]
| 3.03
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Zimbabwe]]
| 3.02
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 100
|-
| [[Kosovo]]
| 2.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Benin]]
| 2.93
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 52
|-
| [[Brunei]]
| 2.92
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 73
|-
| [[Qatar]]
| 2.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Jamhuri ya Kongo]]
| 2.90
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 119
|-
| [[Saudia]]
| 2.90
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Gine ya Ikweta]]
| 2.89
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Lesotho]]
| 2.88
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Nyuzilandi]]
| 2.86
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Hungaria]]
| 2.84
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Sierra Leone]]
| 2.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Eire]]
| 2.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Liechtenstein]]
| 2.78
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gabon]]
| 2.74
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 50
|-
| [[Azerbaijan]]
| 2.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Kroatia]]
| 2.68
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Slovenia]]
| 2.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Namibia]]
| 2.65
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 85
|-
| [[Tunisia]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Ufilipino]]
| 2.64
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 88
|-
| [[Kodivaa]]
| 2.60
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Jamhuri ya China]]
| 2.54
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Moldova]]
| 2.52
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Bahrain]]
| 2.51
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 55
|-
| [[Norwei]]
| 2.51
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 160
|-
| [[Luxemburg]]
| 2.49
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 75
|-
| [[Masedonia Kaskazini]]
| 2.48
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Yordani]]
| 2.48
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Mongolia]]
| 2.42
| style="background-color:#FFA500; color:black" | 101
|-
| [[Belarus]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Serbia]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 42
|-
| [[Turkmenistan]]
| 2.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 39
|-
| [[Gambia]]
| 2.39
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 41
|-
| [[Iraki]]
| 2.37
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 89
|-
| [[Nepal]]
| 2.37
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 48
|-
| [[Timor ya Mashariki]]
| 2.34
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Tuvalu]]
| 2.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 31
|-
| [[Sri Lanka]]
| 2.32
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Yemen]]
| 2.32
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 83
|-
| [[Andorra]]
| 2.30
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Kirgizia]]
| 2.26
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 47
|-
| [[Romania]]
| 2.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 45
|-
| [[Sao Tome na Principe]]
| 2.23
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bangladesh]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 46
|-
| [[Bosnia na Herzegovina]]
| 2.22
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Libya]]
| 2.22
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 96
|-
| [[Armenia]]
| 2.19
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Welisi]]
| 2.14
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 33
|-
| [[Ucheki]]
| 2.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 44
|-
| [[Sahara ya Magharibi]]
| 2.10
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 54
|-
| [[Uzbekistan]]
| 2.09
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 40
|-
| [[Kuwait]]
| 2.07
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 60
|-
| [[Malaysia]]
| 2.06
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 58
|-
| [[Kupro]]
| 2.04
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 34
|-
| [[Maldivi]]
| 2.02
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu
|-
| [[Visiwa vya Cook]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 11
|-
| [[Montenegro]]
| 1.99
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 23
|-
| [[Nauru]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 38
|-
| [[Ossetia Kusini]]
| 1.98
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 3
|-
| [[Vanuatu]]
| 1.96
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 78
|-
| [[Togo]]
| 1.95
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 53
|-
| [[Albania]]
| 1.92
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 37
|-
| [[Mauritania]]
| 1.91
| style="background-color:#FF4444; color:white" | 51
|-
| [[Samoa]]
| 1.82
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Jiko la ardhini]]
| 1.80
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 9
|-
| [[Georgia]]
| 1.72
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 32
|-
| [[Polynesia ya Kifaransa]]
| 1.71
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 13
|-
| [[Lituanya]]
| 1.69
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|-
| [[Gine]]
| 1.67
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 26
|-
| [[Niue]]
| 1.66
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Abkhazia]]
| 1.58
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Tajikistan]]
| 1.55
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 27
|-
| [[Palau]]
| 1.53
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Solomon]]
| 1.51
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 24
|-
| [[Gibraltar]]
| 1.41
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 20
|-
| [[Estonia]]
| 1.40
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 30
|-
| [[Kiribati]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 29
|-
| [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]]
| 1.38
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 12
|-
| [[Samoa ya Marekani]]
| 1.36
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 14
|-
| [[Slovakia]]
| 1.33
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 36
|-
| [[Visiwa vya Mariana]]
| 1.25
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 17
|-
| [[Tonga]]
| 1.11
| style="background-color:#8B0000; color:white" | 28
|}
==Takwimu==
===Takwimu za Jumla===
{| class="wikitable"
! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko
|-
| Jumla ya Makala || 173 || —
|-
| Jumla ya Hariri (siku zote) || 34980 || —
|-
| Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 20100 || ↓ -35.8%
|-
| Wastani wa Hariri kwa Makala || 202.2 || —
|-
| Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 116.2 || —
|}
===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)===
{| class="wikitable sortable"
! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko
|-
| 1 || [[Tanzania]] || 2307 || ↓ -17.5%
|-
| 2 || [[Marekani]] || 804 || ↓ -40.0%
|-
| 3 || [[Kenya]] || 518 || ↓ -28.8%
|-
| 4 || [[Hispania]] || 482 || ↑ +74.0%
|-
| 5 || [[Urusi]] || 449 || ↓ -23.4%
|-
| 6 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 435 || ↓ -35.0%
|-
| 7 || [[Ufaransa]] || 428 || ↓ -22.0%
|-
| 8 || [[Uingereza]] || 413 || ↓ -11.4%
|-
| 9 || [[Misri]] || 381 || ↑ +7.0%
|-
| 10 || [[Afrika Kusini]] || 354 || ↓ -40.3%
|-
|}
====Wahariri====
Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365)
{| class="wikitable sortable"
! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia
|-
| 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 587 || 42.9%
|-
| 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 360 || 26.3%
|-
| 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 133 || 9.7%
|-
| 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 119 || 8.7%
|-
| 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9%
|-
| 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9%
|-
| 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.7%
|-
| 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6%
|-
| 9 || [[User:Kisare|Kisare]] || 6 || 0.4%
|-
| 10 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.4%
|-
|}
pxv0qqekqost0xajsdbmodbwvkr3oy2
Willybard Kitogho Lagho
0
211780
1584810
1529487
2026-08-06T11:10:00Z
Riccardo Riccioni
452
1584810
wikitext
text/x-wiki
'''Willybard Kitogho Lagho''' (alizaliwa [[Kaunti ya Taita-Taveta]], 23 Machi [[1958]]) ni [[askofu]] wa [[Jimbo Katoliki la Malindi]], [[Kenya]]. Aliteuliwa kuwa askofu tarehe 28 Desemba 2020 na [[Papa Fransisko]].
== Maisha ya awali na elimu ==
Alizaliwa katika [[Jimbo Kuu la Mombasa|Jimbo Katoliki la Mombasa]], nchini [[Kenya]]. <ref name=":1">{{Rejea tovuti|title=Bishop Willybard Kitogho Lagho [Catholic-Hierarchy]|url=https://www.catholic-hierarchy.org/bishop/blagho.html|work=www.catholic-hierarchy.org|accessdate=2025-08-16}}</ref>Alisoma katika Shule ya Msingi ya St. James katika Kijiji cha Mgange Dawida, huko Taita-Taveta, kutoka 1965 hadi 1974. Alihudhuria Shule ya Sekondari ya St. Charles Lwanga mjini Mombasa kwa elimu yake ya O-Level kati ya 1974 na 1978. Kisha akamaliza masomo yake ya A-Level katika Seminari Ndogo ya Malkia Mitume jijini Nairobi, kutoka 1978 hadi 1980. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Fr Lagho appointed Bishop of Malindi Diocese|url=https://nation.africa/kenya/news/fr-lagho-appointed-bishop-malindi-diocese-3241412|work=Daily Nation|date=2020-12-29|accessdate=2025-08-16|language=en}}</ref>
Kuanzia 1980 hadi 1982, alisoma Falsafa katika Seminari ya Mtakatifu Augustino huko Mabanga katika Dayosisi ya Bungoma. Kisha alisoma Theolojia katika Seminari ya Mtakatifu Thomas Aquinas katika Jimbo Kuu la [[Nairobi]] kuanzia 1982 hadi 1986. <ref name=":0" />
Ana Stashahada ya Lugha ya Kiarabu, kutoka Taasisi ya Kipapa ya Mafunzo ya Kiarabu na Kiislamu huko [[Roma]], Italia. Taasisi hiyo hiyo pia ilimtunuku Leseni katika Mafunzo ya Kiarabu na [[Kiislamu]]. Baadaye, alihitimu na digrii ya Uzamili katika Mafunzo ya Kidini kutoka Chuo Kikuu cha [[Kanisa Katoliki|Kikatoliki]] cha Afrika Mashariki (CUEA). <ref name=":0" />
== Kuhani ==
Alitawazwa kuwa shemasi mnamo 21 Desemba 1985. Mnamo tarehe 25 Aprili 1987 alitawazwa kuwa kasisi wa Dayosisi ya Mombasa, Kenya. Alihudumu katika nafasi hiyo hadi tarehe 28 Desemba 2020. <ref name=":1" /><ref name=":0" />
Akiwa kuhani, alihudumu katika majukumu mbalimbali, yakiwemo: <ref name=":0" />
* Paroko msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Mikaeli, [[Wagiriama|Giriama]], Jimbo kuu la Mombasa kuanzia 1987 hadi 1988.
* Mkurugenzi wa masuala ya Vijana na Miito katika Dayosisi Kuu ya Mombasa kuanzia 1987 hadi 1988.
* Paroko wa Parokia ya Kristo Mfalme [[Miritini]] kuanzia 1989 hadi 1990.
* Mkurugenzi wa masuala ya Vijana na Miito katika Dayosisi Kuu ya Mombasa kuanzia 1989 hadi 1990.
* Mkuu wa Seminari Ndogo ya St. Mary's huko Kwale, Jimbo Kuu la Mombasa kuanzia 1990 hadi 1992.
* Mwanzilishi na mhadhiri katika Seminari ya Mtakatifu Matthias Mulumba Tindinyo kuanzia 2000 hadi 2001.
* Mkuu na mratibu katika Seminari ya Mtakatifu Augustine huko Bungoma kuanzia 2002 hadi 2006.
* Mchungaji wa Parokia ya Mama Yetu wa Fatima, Kongowea kuanzia 2007 hadi 2008.
* Katibu wa Elimu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mombasa kuanzia 2007 hadi 2008.
* [[Makamu wa askofu|Kasisi Mkuu]] wa Jimbo Kuu la Mombasa kuanzia 2013 hadi 2020. <ref name=":0" />
== Askofu ==
Mnamo tarehe 28 Desemba 2020 Papa Francis alimteua kuwa Askofu wa Dayosisi Katoliki ya Malindi, kumrithi Askofu Emanuel Barbara, ambaye alikufa mnamo 2018. <ref name=":1" /><ref name=":0" /> Aliwekwa wakfu na kuwekwa Malindi tarehe 19 Machi 2021 na mikono ya Askofu Mkuu Hubertus Matheus Maria van Megen, Askofu Mkuu wa Novaliciana akisaidiwa na Askofu Mkuu Martin Kivuva Musonde, Askofu Mkuu wa Mombasa na Askofu Mkuu Philip Arnold Subira Anyolo, Askofu Mkuu wa Kisumu. <ref name=":1" /><ref>{{Rejea tovuti|title=KENYA: At His Episcopal Ordination, Bishop Lagho of Malindi Diocese Promises to Work for Unity and Peace|url=https://communications.amecea.org/index.php/2021/03/26/kenya-at-his-episcopal-ordination-bishop-lagho-of-malindi-diocese-promises-to-work-for-unity-and-peace/|accessdate=2025-08-16|language=en-US}}</ref>
Mnamo Aprili 2024, wajumbe wa Mkutano wa Maaskofu Katoliki wa Kenya (KCCB), walimchagua Askofu Willybard Kitogho Lagho kama mwenyekiti wa Tume ya Mazungumzo ya Dini na Uekumene (CIRDE) ya mkutano huo. Anateuliwa na Askofu Joseph Ndembu Mbatia wa Nyahururu, hadi uchaguzi ujao wa 2027. <ref>{{Rejea tovuti|title=KENYA: Bishops Conference in Kenya Elects New Office Bearers for 2024-2027|url=https://communications.amecea.org/index.php/2024/04/19/kenya-bishops-conference-in-kenya-elects-new-office-bearers-for-2024-2027/|accessdate=2025-08-16|language=en-US}}</ref> Mnamo Juni mwaka huo huo, alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza la Dini la Kenya. <ref>{{Rejea tovuti|title=KENYA: Bishop Willybard Lagho Assumes Chairmanship of Inter-Religious Council of Kenya|url=https://cisanewsafrica.com/2024/06/kenya-bishop-willybard-lagho-assumes-chairmanship-of-inter-religious-council-of-kenya/|work=Cisa News Africa|date=2024-06-15|accessdate=2025-08-16|language=en-GB|author=CISA}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:maaskofu wakatoliki wa Kenya]]
ox5qdcbivoakocyrsnssgmuo0pt2lr2
Phoebe Ruguru
0
213294
1584790
1452955
2026-08-06T10:34:09Z
Riccardo Riccioni
452
1584790
wikitext
text/x-wiki
'''Phoebe Ruguru''' (alizaliwa [[1997]]) <ref>https://www.nation.co.ke/lifestyle/showbiz/Low-budget-film-by-Kenyan-teen-wins-international-award/1950810-2486128-psvbpjz/index.html </ref> ni mtayarishaji wa [[filamu]] kutoka Kenya anayejulikana kwa kutengeneza filamu ya 18 Hours<ref> https://samrack.com/a-kenyan-film-director-phoebe-ruguru-from-peterborough-uk-wins-an-award-in-nigeria/ </ref> ambayo ilishinda filamu bora kwa jumla barani Afrika, katika tamasha la AMVCA la 2018. <ref> https://samrack.com/a-kenyan-film-director-phoebe-ruguru-from-peterborough-uk-wins-an-award-in-nigeria/</ref> Kitengo hiki hakijawahi kuona filamu ya Kikenya ikiteuliwa, na hivyo ikaangaziwa historia kama filamu ya kwanza ya Kenya kuteuliwa na kushinda katika historia ya tuzo hizo. <ref>https://samrack.com/a-kenyan-film-director-phoebe-ruguru-from-peterborough-uk-wins-an-award-in-nigeria/</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:watayarishaji filamu wa Kenya]]
[[Jamii:ACWP+ film in Tanzania]]
k5bmxvstsxr5hmf35rbq2z3chkkbw97
Gregorio C. Brillantes
0
214796
1584402
1513152
2026-08-05T14:12:59Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584402
wikitext
text/x-wiki
'''Gregorio Concepcion Brillantes''' ([[18 Desemba]] [[1932]] – [[26 Septemba]] [[2025]]) alikuwa [[mwandishi]] wa [[Ufilipino]] anayejulikana zaidi kwa hadithi fupi za [[Kiingereza]]. Hadithi yake fupi ya mwaka [[1980]] yenye kichwa “The Apollo Centennial” inachukuliwa hasa kuwa “hadithi ya kimapinduzi” katika fasihi ya sayansi ya kubuni ya Ufilipino.
Ametambulika sana kama mmoja wa sauti zenye ushawishi mkubwa katika fasihi ya Kiingereza ya Ufilipino, na alipokea tuzo nyingi katika maisha yake, zikiwemo Free Press Literary Awards, Gawad CCP Para sa Sining ya Kituo cha Utamaduni cha Ufilipino, Gawad Pambansang Alagad ni Balagtas ya chama cha waandishi wa Ufilipino (Unyon ng mga Manunulat sa Pilipinas), na Tanghal ng Lahi Award ya Chuo Kikuu cha Ateneo de Manila. Pia alitunukiwa nafasi ya kuingizwa katika ukumbi wa heshima wa Carlos Palanca Memorial Awards for Literature.<ref name="AndromedaObit">{{Rejea habari|last=De Jesus|first=Totel V.|date=2025-09-26|title=Gregorio C. Brillantes, writer of ‘The Distance To Andromeda,’ dies at 92|url=https://www.abs-cbn.com/lifestyle/2025/9/26/gregorio-c-brillantes-writer-of-the-distance-to-andromeda-dies-at-92-1655|work=ABS CBN News and Public Affairs}}</ref><ref>[http://www.mb.com.ph/node/243410/gift-book "Gift books" - Manila Bulletin]</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.kyushu-u.ac.jp/english/topics/index_read.php?kind=&S_Category=N&S_Page=English&S_View=&word=&page=4&B_Code=690 |title="Special Guest Professor Nobuko Takagi soaked in Philippines" - Kyushu University |accessdate=2025-09-27 |archive-date=2016-03-04 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160304031442/http://www.kyushu-u.ac.jp/english/topics/index_read.php?kind=&S_Category=N&S_Page=English&S_View=&word=&page=4&B_Code=690 |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://showbizandstyle.inquirer.net/you/expressions/view/20071120-102130/Marvelous_maiden_voyage|title="Marvelous maiden voyage" - Inquirer|access-date=2010-05-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20100219235805/http://showbizandstyle.inquirer.net/you/expressions/view/20071120-102130/Marvelous_maiden_voyage|archive-date=2010-02-19|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2025]]
[[Jamii:Waandishi wa Ufilipino]]
cp7zjcnyyamyem26u4msjbyo5mswagi
1584425
1584402
2026-08-05T15:14:49Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584425
wikitext
text/x-wiki
'''Gregorio Concepcion Brillantes''' ([[18 Desemba]] [[1932]] – [[26 Septemba]] [[2025]]) alikuwa [[mwandishi]] wa [[Ufilipino]] anayejulikana zaidi kwa hadithi fupi za [[Kiingereza]]. Hadithi yake fupi ya mwaka [[1980]] yenye kichwa “The Apollo Centennial” inachukuliwa hasa kuwa “hadithi ya kimapinduzi” katika fasihi ya sayansi ya kubuni ya Ufilipino.
Ametambulika sana kama mmoja wa sauti zenye ushawishi mkubwa katika fasihi ya Kiingereza ya Ufilipino, na alipokea tuzo nyingi katika maisha yake, zikiwemo Free Press Literary Awards, Gawad CCP Para sa Sining ya Kituo cha Utamaduni cha Ufilipino, Gawad Pambansang Alagad ni Balagtas ya chama cha waandishi wa Ufilipino (Unyon ng mga Manunulat sa Pilipinas), na Tanghal ng Lahi Award ya Chuo Kikuu cha Ateneo de Manila. Pia alitunukiwa nafasi ya kuingizwa katika ukumbi wa heshima wa Carlos Palanca Memorial Awards for Literature.<ref name="AndromedaObit">{{Rejea habari|last=De Jesus|first=Totel V.|date=2025-09-26|title=Gregorio C. Brillantes, writer of ‘The Distance To Andromeda,’ dies at 92|url=https://www.abs-cbn.com/lifestyle/2025/9/26/gregorio-c-brillantes-writer-of-the-distance-to-andromeda-dies-at-92-1655|work=ABS CBN News and Public Affairs}}</ref><ref>[http://www.mb.com.ph/node/243410/gift-book "Gift books" - Manila Bulletin]</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.kyushu-u.ac.jp/english/topics/index_read.php?kind=&S_Category=N&S_Page=English&S_View=&word=&page=4&B_Code=690 |title="Special Guest Professor Nobuko Takagi soaked in Philippines" - Kyushu University |accessdate=2025-09-27 |archive-date=2016-03-04 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160304031442/http://www.kyushu-u.ac.jp/english/topics/index_read.php?kind=&S_Category=N&S_Page=English&S_View=&word=&page=4&B_Code=690 |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://showbizandstyle.inquirer.net/you/expressions/view/20071120-102130/Marvelous_maiden_voyage|title="Marvelous maiden voyage" - Inquirer|access-date=2010-05-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20100219235805/http://showbizandstyle.inquirer.net/you/expressions/view/20071120-102130/Marvelous_maiden_voyage|archive-date=2010-02-19|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1932]]
[[Jamii:Waliofariki 2025]]
[[Jamii:Waandishi wa Ufilipino]]
d9iloctm8j86a398lpo9vz5vp2amnmg
Linus Kaikai
0
215692
1584783
1461716
2026-08-06T10:25:55Z
Riccardo Riccioni
452
1584783
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Secretary Blinken Participates in an Interview with Citizen TV (51700141548).jpg|thumb|Linus Kaikai katika mahojiano na Katibu Blinken]]
'''Linus Kaikai''' ni [[mwanahabari]] kutoka [[Kenya]] ambaye kwa sasa anafanya kazi kama Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha [[televisheni]] cha [[Citizen TV]]. Pia ni Mwenyekiti wa Shirika la Waandishi Wakuu wa Habari Kenya (KEG).<ref name="Wedding">{{cite news|title=Linus Kaikai weds his sweetheart in stylish nuptials|url=http://www.the-star.co.ke/news/article-100712/linus-kaikai-weds-his-sweetheart-stylish-nuptials|accessdate=23 February 2013|newspaper=The Star|url-status=dead|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140303191911/http://www.the-star.co.ke/news/article-100712/linus-kaikai-weds-his-sweetheart-stylish-nuptials|archivedate=3 March 2014}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanaume wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
sh807lc0qmezv6nydmvoc8li2ascjqj
Jamii:Wafanyabiashara wa Moroko
14
217186
1584701
1467943
2026-08-06T09:22:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584701
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wafanyabiashara nchi kwa nchi|M]]
[[Jamii:Watu wa Moroko]]
b2cwo825zzgf4ff2c1lzy0kt0qbd9yk
Jamii:Wafanyabiashara wa Ufaransa
14
217187
1584703
1467944
2026-08-06T09:24:24Z
Riccardo Riccioni
452
1584703
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wafanyabiashara nchi kwa nchi|U]]
[[Jamii:watu wa Ufaransa|B]]
ng5o77dp3bxhao5yqitj91cv2s9rw9r
Jamii:Wafanyabiashara wa Ghana
14
217203
1584700
1468050
2026-08-06T09:22:41Z
Riccardo Riccioni
452
1584700
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wafanyabiashara nchi kwa nchi|G]]
[[Jamii:Watu wa Ghana]]
ok34g0hcrktcda7ndc950t8unku4nfw
Jamii:Watangazaji wa Kenya
14
218866
1584718
1476383
2026-08-06T09:39:31Z
Riccardo Riccioni
452
1584718
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Kenya|T]]
[[Jamii:watangazaji nchi kwa nchi|K]]
0qqwjprn8nnh9ookxfcgpiv6ajo4itm
Margaret Ireri
0
220897
1584825
1482717
2026-08-06T11:37:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584825
wikitext
text/x-wiki
'''Maggie Ireri''' (pia anajulikana kama '''Margaret Ireri''') ni [[mfanyabiashara]] na mtaalamu wa utafiti wa masoko kutoka nchini [[Kenya]], ambaye ni Afisa Mkuu Mtendaji (CEO) wa TIFA Research Limited, kampuni ya utafiti wa soko yenye makao makuu yake [[Nairobi]], mji mkuu wa Kenya.
Pia ni mtaalamu wa utafiti wa soko anayeheshimika, anayetambulika kwa mchango wake katika kuendeleza mbinu za utafiti barani [[Afrika]], kupitia taasisi za kikanda kama Pan Africa Media Research Organisation (PAMRO) na South Africa Market Research Association (SAMRA).<ref name="2R" />
== Historia na elimu ==
Ireri alizaliwa nchini Kenya katika miaka ya [[1970]]. Alipata shahada yake ya kwanza, Shahada ya Elimu, kutoka [[Kenyatta University]] mwaka [[1998]].<ref name="2R">{{cite web|access-date=29 December 2018 |url=https://www.linkedin.com/in/margaret-ireri-55658953/?originalSubdomain=ke
|title=Margaret Ireri: Founder and Director of TIFA Research |date=2015 |publisher=[[Linkedin.com]] |first=Margaret |last=Ireri}}</ref> Pia ana shahada ya Master of Business Administration kutoka Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology. Anaendelea na masomo ya Doctor of Business Administration katika University of Edinburgh, nchini [[Scotland]], [[Uingereza]].<ref name="2R" />
== Kazi ==
Kuanzia mwaka [[1999]], Bi Ireri aliajiriwa kama mkuu wa kitengo cha utafiti katika ''Steadmam Synovate Uganda Limited'', yenye makao yake [[Kampala]], mji mkuu wa Uganda. Baada ya karibu miaka minne katika nafasi hiyo, alipandishwa cheo kuwa Meneja wa Nchi wa Steadman Synovate Uganda, akihudumu hadi Julai 2005.
Kwa kipindi cha miaka mitano na miezi minane, kuanzia [[Mei]] [[2005]] hadi [[Desemba]] [[2010]], alikuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara, Pan Africa, katika kampuni iliyobadilishwa jina kuwa ''Ipsos Synovate'', akihudumia nchi za [[Ghana]], [[Kenya]], [[Nigeria]], [[Tanzania]], [[Uganda]] na [[Zambia]]. Baadaye, alihudumu kama Mkurugenzi Mtendaji wa Ipsos Kenya Limited kwa kipindi cha miaka mitatu na miezi tisa.<ref name="3R">{{cite web|url=https://businesstoday.co.ke/maggie-ireri-from-volunteer-to-high-flying-ceo/
|title=Maggie Ireri: From volunteer to high-flying CEO |access-date=29 December 2018 |publisher=Business Today Kenya |date=19 November 2014 |author=Business Today |location=Nairobi}}</ref><ref name="2R"/>
Mnamo [[Septemba]] [[2014]], Bi Ireri aliacha Ipsos na mwaka [[2015]] alianzisha TIFA Research Ltd, ambako alikua Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni hiyo, nafasi ambayo bado anashikilia hadi [[Januari]] [[2020]].<ref name="2R" />
== Mengineyo ==
Mnamo mwaka [[2006]], Ireri alishinda ''Tuzo ya Eddie Schulze ya Research International'' kwa karatasi aliyoiandika, iliyochangia maendeleo ya mbinu za utafiti barani Afrika. Katika miaka ya [[2011]] na [[2012]], alitambuliwa kama mmoja wa "Top 40 Under 40 Women in Kenya". Pia alikuwa Mwenyekiti wa ''Marketing Society of Kenya'' kuanzia mwaka 2015 hadi 2018.<ref name="2R"/>
Mnamo Desemba [[2018]], alikuwa mmoja wa jopo la majaji watano walioteua washindi wa "Top 40 Men Under 40 In Kenya 2018".<ref name="4R">{{cite web|date=21 December 2018 |url=https://www.businessdailyafrica.com/lifestyle/society/Top-40-Men-2018--Meet-the-Judges/3405664-4905606-2c7se1z/index.html
|title=Top 40 Men 2018: Meet the Judges |newspaper=[[Business Daily Africa]] |access-date=29 December 2018 |author=Business Daily Staff |location=Nairobi}}</ref> Mnamo mwaka 2018, karatasi yake kuhusu Passive Audience Research Methodologies, iliyowasilishwa katika mkutano wa PAMRO, ilishinda tuzo ya karatasi bora.<ref>{{Citation|
title=The winner of this year's PAMRO Partner Paper Award|url=https://www.youtube.com/watch?v=-Za1GOlVJKo
|language=en |access-date=2020-01-05}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Kenya]]
onp5oiq6v2px54u2fm1thk8wl8ciotz
Rozaah Akinyi Buyu
0
221596
1584794
1524691
2026-08-06T10:39:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584794
wikitext
text/x-wiki
'''Rozaah Akinyi Buyu''' ni mwanasiasa wa [[Kenya]] kutoka Chama cha [[Orange Democratic Movement]] (ODM). Anawakilisha [[eneo bunge la Kisumu Magharibi]] katika [[Bunge la Taifa la Kenya]].
== Maisha ==
Alisoma shule ya msingi mjini [[Kisumu]] na baadaye akaendelea na masomo yake katika Shule ya Sekondari ya Loreto Limuru. Kisha alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Kenyatta]] ambako alihitimu kwa shahada ya Elimu (B.Ed.), na akafanya kazi ya ualimu kwa miaka sita. Mwaka [[1992]] alijiunga na kampuni ya Johnson & Johnson ambako alifanya kazi kwa miaka saba <ref name="parli2">{{Rejea tovuti|title=Hon. Buyu, Rozaah Akinyi {{!}} The Kenyan Parliament Website|url=http://www.parliament.go.ke/node/3210|access-date=2025-06-30|website=www.parliament.go.ke}}</ref>.
Chanzo kimoja kinasema kuwa alichaguliwa kuwa [[mbunge]] mwaka [[2017]]. Katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa mwaka [[2022]], alikua miongoni mwa wanawake wa kwanza kuchaguliwa kuwa Wabunge katika Kaunti ya Kisumu tangu Kenya ipate uhuru. Mwanamke wa kwanza alikuwa Grace Onyango mwaka [[1969]]; naye pia alikuwa mwalimu wa zamani na alihudumu hadi mwaka [[1983]] kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na wabunge wanaume katika majimbo yote saba ya Kaunti ya Kisumu. Miongoni mwa waliokuja baadaye alikuwa Olago Aluoch, aliyewahudumia kwa mihula mitatu kabla ya kuchukuliwa nafasi yake na Rozaah Akinyi Buyu. <ref name="second">{{Rejea tovuti|title=Roza Buyu becomes second woman MP in Kisumu|url=https://www.the-star.co.ke/sports/football/2022-08-11-roza-buyu-becomes-second-woman-mp-in-Kisumu|access-date=2025-06-25|website=The Star|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa-Kenya}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]]
4ngok5cv55i77gsfwngp1wi1x2k50z2
Rebecca Nabutola
0
221651
1584792
1524213
2026-08-06T10:35:15Z
Riccardo Riccioni
452
1584792
wikitext
text/x-wiki
'''Rebecca M. Nabutola''' (alizaliwa [[17 Januari]] [[1959]]) aliwahi kuwa Katibu Mkuu (Permanent Secretary – PS) wa Wizara ya Utalii na Wanyamapori ya [[Kenya]]. Nabutola alisoma katika Institute of Social Studies, The Hague, ambako alipata stashahada ya Mahusiano ya Kimataifa na Maendeleo, na pia katika [[Chuo Kikuu cha Nairobi]], alikohitimu Shahada ya Sanaa.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.communication.go.ke/ministry.asp?personid=54|title=Profile|access-date=2008-05-05|archive-date=2007-11-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20071122005358/http://communication.go.ke/ministry.asp?personid=54|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa-Kenya}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1959]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Kenya]]
bh7y1n96dwhk8dchslcg8onh9zwoub1
Elia Ravelomanantsoa
0
221672
1584699
1485441
2026-08-06T09:22:04Z
Riccardo Riccioni
452
1584699
wikitext
text/x-wiki
'''Elia Ravelomanantsoa''' (amezaliwa [[Antananarivo]], [[1960]]) ni mwanasiasa wa [[Madagaska]] na mkurugenzi wa Synergy-FCB.
Ravelomanantsoa alianza kujihusisha na biashara akiwa na umri wa miaka [[kumi na saba]]. Mnamo mwaka [[1986]], alianzisha Tamasha la [[Mitindo]] la Manja. Kuanzia [[1990]] hadi [[1993]], alikuwa mjumbe wa Kamati ya Kikundi cha Tafakari na Hatua kwa Maendeleo ya Madagascar. Mnamo [[1996]], alianzisha Chama cha Ushiriki wa Kidemokrasia kwa Marekebisho ya Kiuchumi na Kijamii nchini Madagascar. Hata hivyo, chama hiki kilipata mafanikio madogo tu, kikiweza kushinda tu katika manispaa ya Moramanga.
Mnamo [[2004|2004,]] Ravelomanantsoa aliteuliwa kuwa [[Mwenyekiti]] wa Kongamano la Kimataifa la Wanawake Weusi Duniani (Global Congress of Black Women). Kwa sasa, yeye ni rais wa Femmes Entrepreneurs de Madagascar (Wanawake Wajasiriamali wa Madagascar). Pia ni [[Makamu wa askofu|makamu]] wa rais wa Carrefour des Entrepreneurs ya [[Ufaransa]].
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Madagaska]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1960]]
sme0jbabuffvrn72stmojtsxnftgwjo
Musili Wambua
0
222353
1584836
1491384
2026-08-06T11:42:29Z
Riccardo Riccioni
452
1584836
wikitext
text/x-wiki
'''Paul Musili Wambua''' (alizaliwa [[1961]]) ni profesa kamili wa sheria aliyebobea katika sheria za bahari.
Wambua amewahi kuwa naibu mkuu wa kitivo katika Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Nairobi; mkuu wa zamani wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Kabarak; kamishna wa zamani wa Tume ya Mapitio ya Katiba ya Kenya (CKRC); mwenyekiti wa zamani wa Bodi ya Kudhibiti na Kutoa Leseni za Michezo ya Kubahatisha (BCLB); na mwenyekiti wa zamani wa Kikosi Kazi cha Mapitio ya Sheria za Bahari nchini Kenya.
Mnamo mwaka 2016, Rais [[Uhuru Kenyatta]] alimteua kuwa mkuu wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Embu.
<ref>{{cite web|url=http://embuni.ac.ke/index.php/component/k2/item/70-prof-paul-musili-wambua|title=Prof. Paul Musili Wambua appointed the First Chancellor of UoEm|website=Embuni.ac.ke|accessdate=7 November 2017|archive-date=2017-11-08|archive-url=https://web.archive.org/web/20171108034927/http://embuni.ac.ke/index.php/component/k2/item/70-prof-paul-musili-wambua|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[jamii:waliozaliwa 1961]]
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanasheria wa Kenya]]
syqkppl3m77iuy9eol1uejjab1t662o
Francis Lelo
0
223177
1584771
1512451
2026-08-06T10:15:25Z
Riccardo Riccioni
452
1584771
wikitext
text/x-wiki
'''Francis K. Lelo''' ni mwanataaluma, mtafiti, na msimamizi wa masuala ya kitaaluma wa [[Kenya]]. Francis ni Profesa Mshiriki wa Masomo ya Mazingira katika Chuo Kikuu cha Egerton.<ref>{{Rejea tovuti |title=Profile - PROF FRANCIS LELO KIBUBA |url=https://www.egerton.ac.ke/eprofile/19314?back=1 |access-date=2023-04-27 |website=www.egerton.ac.ke |language=en-gb}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=African Books Collective: Francis K. Lelo |url=https://www.africanbookscollective.com/authors-editors/francis-k.-lelo |access-date=2023-04-27 |website=www.africanbookscollective.com}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[jamii:waliozaliwa 1952]]
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanasayansi wa Kenya]]
3px58wmclqifoa1q2xcm8pr5a8dx938
Bridget Mutuma
0
223194
1584758
1490191
2026-08-06T10:02:22Z
Riccardo Riccioni
452
1584758
wikitext
text/x-wiki
'''Bridget K. Mutuma''' ni mtafiti katika fani ya [[kemia]] na sayansi ya nyenzo katika [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] nchini [[Kenya]]. Bridget anajikita katika kutengeneza vifaa vidogo sana vya kiteknolojia vinavyohusiana na vitambuzi akiwa pia ni mwanachama wa Akademia ya Sayansi ya Afrika.</ref> She is a Fellow of the [[African Academy of Sciences]].<ref>[https://www.aasciences.africa/affiliate/bridget-mutuma Bridget Mutuma] {{Wayback|url=https://www.aasciences.africa/affiliate/bridget-mutuma |date=20220921000359 }}, African Academy of Sciences web site</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanakemia wa Kenya]]
11fc8vw6hjjmc2y9mclvnprhbqk5lo0
Mohamed Sanad
0
223199
1584605
1490032
2026-08-06T03:48:38Z
CommonsDelinker
234
Removing [[:c:File:Sanad_Muhammad.jpg|Sanad_Muhammad.jpg]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Krd|Krd]] because: [[:c:Commons:Deletion requests/File:Sanad Muhammad.jpg|]].
1584605
wikitext
text/x-wiki
'''Mohamed Sanad''' ni [[mwanasayansi]] wa [[antena]] kutoka [[Misri]] na profesa katika Kitivo cha Uhandisi, Chuo Kikuu cha Cairo. Mohamed ametoa mchango mkubwa katika teknolojia ya antena, na anamiliki hati miliki kumi na sita katika fani hiyo. Moja ya kazi zake za hivi karibuni ni "Ubunifu wa antena za PIFA za bendi moja na bendi nyingi".<ref>[https://ieeexplore.ieee.org/document/5561958/;jsessionid=357ADBC70265F2ED312665C1DB616604?arnumber=5561958 "A novel dual resonant antenna configuration for mobile laptop, notebook and palmtop computers"]</ref><ref>[https://ieeexplore.ieee.org/document/5562309/;jsessionid=0FC7E81BD2CA33DA2CE23C635991C087?arnumber=5562309 publisher's link]</ref><ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:watu wa Misri]]
qe1u6yrgx1l46uydv874o1tda00in0h
Miriam Cnop
0
223960
1584892
1492371
2026-08-06T11:53:39Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584892
wikitext
text/x-wiki
'''Miriam Cnop''' (alizaliwa [[25 Desemba]] [[1970]]) ni mtafiti na [[tabibu]] wa Ubelgiji aliyebobea katika elimu ya kisukari. Miriam pia ni Profesa wa Tiba katika Chuo Kikuu cha Université Libre de Bruxelles na Mkurugenzi wa Kitabibu wa Idara ya Endokrinolojia katika Hospitali ya Erasmus.
<ref>{{Cite web |url=https://www.ucdr.be/ |title=ULB Center for Diabetes Research |accessdate=2026-02-20 |archive-date=2026-02-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20260208193722/https://www.ucdr.be/ |url-status=dead }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[jamii:waliozaliwa 1970]]
[[jamii:watu walio hai]]
[[jamii:wanasayansi wa Ubelgiji]]
sntybrl9plj8snb6ud8bo4zfbrw31vm
Sianto Sikawa
0
226076
1584824
1579893
2026-08-06T11:36:41Z
Riccardo Riccioni
452
1584824
wikitext
text/x-wiki
'''Marley Sianto Sikawa''' (alizaliwa [[Narok]], [[1990]]) ni mtaalamu wa mawasiliano na masoko kutoka [[Kenya]], ambaye amehudumu kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori [[Kaunti ya Narok]], mojawapo ya [[Kaunti za Kenya|kaunti 47 za utawala za Kenya]] . <ref name="1R">{{Rejea tovuti|url=https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf|title=Top 40 Under 40 Women In Kenya, 2018|date=September 2018|accessdate=7 November 2018|author=Business Daily Staff|archive-date=2018-09-29|archive-url=https://web.archive.org/web/20180929080021/https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf|url-status=dead}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Sikawa alizaliwa katika [[Kaunti ya Narok]], takribani {{Convert|144|km|0}}, magharibi mwa [[Nairobi]], mji mkuu wa Kenya.<ref name="2R">{{google maps| url=https://www.google.com/maps/dir/Nairobi,+Kenya/Narok,+Kenya/@-1.1412039,35.7919208,9z/data=!3m1!4b1!4m14!4m13!1m5!1m1!1s0x182f1172d84d49a7:0xf7cf0254b297924c!2m2!1d36.8219462!2d-1.2920659!1m5!1m1!1s0x182c0301de8b0645:0x226cac4459fc8e39!2m2!1d35.8770642!2d-1.0875428!3e0 |title=Road Distance Between Nairobi, Kenya And Narok, Kenya |access-date=5 September 2022}}</ref> Familia yake ilikua ya kuhamahama kila mara na alikulia Narok, [[Masai Mara|Maasai Mara]], Sekenani na Loita. <ref name="1R" />
Baada ya kusoma Shule ya Msingi ya Bweni ya Siana huko [[Masai Mara|Maasai Mara]], alijiunga na Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Moi Siongiroi katika [[Kaunti ya Bomet]]. Kisha akajiunga na [[Chuo Kikuu cha Daystar]], jijini Nairobi, ambapo alihitimu na Shahada ya Sanaa katika [[Mawasiliano|Mawasiliano, Vyombo vya Habari vya Kielektroniki na Mahusiano ya Umma]]. Kisha akajiunga na [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]] kilichopo Nairobi, ambapo alisomea Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika [[Mafungamano ya kimataifa|Mahusiano ya Kimataifa]].<ref name="1R" />
== Kazi ==
Novemba mwaka 2014, Sikawa aliajiriwa na serikali kwenye Kaunti ya Narok kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori.
Pia anasaidia jamii yake, ambapo amewasaidia wanawake wa eneo hilo kupata umeme wa jua kupitia Naretoi Ang', shirika lisilo la faida linaloendesha miradi ya Solar for Manyatta katika jamii kuhusu masuala ya uhifadhi wa wanyamapori pamoja na uhifadhi wa kitamaduni kwa kurekodi na elimu ya jamii katika uhusiano wa afya na ufadhili wa shule.
== Marejeo ==
<references />
[[Jamii:Wamasai]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
oavsnkfmx29a19uob2pv4k1gdajmh3d
Ismael Fadel
0
226353
1584458
1499480
2026-08-05T19:24:56Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584458
wikitext
text/x-wiki
'''Ismael Fadel Pagés''' (amezaliwa tarehe [[10 Machi]], [[2004]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] anayechukua nafasi ya [[beki wa kati]] katika klabu ya [[Hispania]], CD Castellón B. Amezaliwa Hispania, lakini aliwakilisha [[Morocco]] katika ngazi ya [[vijana]].
== Kazi ya klabu ==
Amezaliwa [[Zaragoza]], [[Aragon]] na wazazi wenye asili ya Morocco, Fadel aliichezea UD Amistad na Real Zaragoza katika ngazi ya vijana. Tarehe [[12 Agosti]], [[2023]], baada ya kukamilisha mafunzo yake, alitolewa kwa mkopo kwenda klabu ya SD Ejea inayoshiriki Tercera Federación kwa msimu wa 2023–24 Tercera Federación.<ref>{{cite web|url=https://golsmedia.com/futbol/sd-ejea/2023/08/12/sd-ejea-obtiene-cesion-prometedor-canterano-real-zaragoza/|title=La SD Ejea obtiene la cesión de un prometedor canterano del Real Zaragoza|trans-title=SD Ejea get the loan of a promising youth graduate of Real Zaragoza|publisher=Golsmedia|language=es|date=12 August 2023|accessdate=19 January 2026|archive-date=2025-02-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20250211120143/https://golsmedia.com/futbol/sd-ejea/2023/08/12/sd-ejea-obtiene-cesion-prometedor-canterano-real-zaragoza/|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.realzaragoza.com/noticias/real-zaragoza-sd-ejea-renuevan-cesion-de-ismael-fadel|title=El Real Zaragoza y la SD Ejea renuevan la cesión de Ismael Fadel|trans-title=Real Zaragoza and SD Ejea renew the loan of Ismael Fadel|publisher=Real Zaragoza|language=es|date=30 August 2024|accessdate=19 January 2026}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|2004|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Moroko]]
9o6n2ekxai7k9jphrefg0vcvtc9k9nt
Jamii:Wafanyabiashara wa Zambia
14
226761
1584704
1501445
2026-08-06T09:24:55Z
Riccardo Riccioni
452
1584704
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wafanyabiashara nchi kwa nchi|Z]]
[[Jamii:Watu wa Zambia|B]]
0aakj7szao1lebla8bm8uzw3mcrue1q
Jane Chemutai Goin
0
227581
1584805
1504062
2026-08-06T10:55:00Z
Riccardo Riccioni
452
1584805
wikitext
text/x-wiki
'''Jane Chemutai Goin''' ni mwandishi wa habari wa zamani kutoka nchini [[Kenya]] ambaye alifanya kazi katika televisheni ya [[Citizen TV]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Chemutai|first=Goin|title=Chemutai Goin|url=https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/|accessdate=22 June 2020|work=royalmedia.co.ke|publisher=royal media|archivedate=25 June 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200625232931/https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/}}</ref> Aliripoti zaidi kuhusu mambo ya siasa na mambo ya sasa. Kwa sasa anafanya kazi katika [[Bunge la Taifa la Kenya]].
== Maisha na kazi ==
Chemutai alianza kufanya kazi kama mwanafunzi wa mazoezi katika Mtandao wa Televisheni wa Kenya (KTN) ambapo alipenda kazi za uandishi wa habari za kisiasa. <ref name="royalmedia bio">{{Rejea tovuti|author=Chemutai|first=Goin|title=Chemutai Goin|url=https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/|accessdate=22 June 2020|work=royalmedia.co.ke|publisher=royal media|archivedate=25 June 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200625232931/https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="" id="CITEREFChemutai">Chemutai, Goin. [https://web.archive.org/web/20200625232931/https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/ "Chemutai Goin"]. ''royalmedia.co.ke''. royal media. Archived from [https://www.royalmedia.co.ke/personalities/chemutai-goin/ the original] on 25 June 2020<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">22 June</span> 2020</span>.</cite></ref> Kisha alijiunga na Capital FM kama mwandishi wa habari, na pia alifanya kazi na Media Max kama mwandishi wa habari za kisiasa katika K24 TV, kabla ya kuwa mwandishi wa habari wa Citizen TV. <ref>{{Rejea tovuti|author=Reporter|first=B. T.|date=2 November 2018|title=Blow to K24 as political reporters join Citizen TV|url=https://businesstoday.co.ke/blow-k24-political-reporters-join-citizen-tv/|accessdate=22 June 2020|work=Business Today Kenya|language=en-US}}</ref>
Alichapisha habari kwa ajili ya lango la habari ya Citizen TV, akizingatia habari za kisiasa na afya.
== Tuzo ==
Tuzo za Rais - Mnamo tarehe 1 Juni 2020 (Siku ya Madaraka), Chemutai alikuwa miongoni mwa waandishi wa habari waliopewa pongezi na serikali kwa kuisaidia wananchi kupata uelewa kuhusu ugonjwa wa [[virusi vya korona]]. Tuzo hiyo, inayojulikana kama "Tuzo ya Uzalendo" ilitolewa na [[Rais]] [[Uhuru Kenyatta]] alipokuwa akihutubia Taifa. Alimtambua Chemutai miongoni mwa waandishi wa habari kumi walioongoza na kuonyesha juhudi kubwa wakati wa [[Mlipuko wa virusi vya korona 2019-20|janga la COVID-19]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Chemutai|first=Goin|date=|title=Uzalendo award|url=https://3dwnh01icn0h133s00sokwo1-wpengine.netdna-ssl.com/wp-content/uploads/2020/06/Kenya-Gazette-Vol.-100-31-5-20-Special-Issue-National-Honors.pdf|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210124060536/https://3dwnh01icn0h133s00sokwo1-wpengine.netdna-ssl.com/wp-content/uploads/2020/06/Kenya-Gazette-Vol.-100-31-5-20-Special-Issue-National-Honors.pdf|archivedate=24 January 2021|accessdate=|work=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
rk18bum74xzl77jakug3fsyyu4wvlf8
Karen Johnson Boyd
0
227655
1584525
1526359
2026-08-06T00:25:11Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584525
wikitext
text/x-wiki
'''Karen Johnson Boyd''' ([[16 Mei]] [[1924]] – [[29 Januari]] [[2016]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mkusanyaji wa sanaa nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Karen Johnson Boyd |url=https://www.forbes.com/profile/karen-johnson-boyd/ |website=Forbes |access-date=2026-04-11}}</ref> Alikuwa binti wa [[Herbert Fisk Johnson Jr.]] wa kampuni ya ''S. C. Johnson & Son''.<ref>{{cite web |title=Major Racine Art Museum benefactor Karen Johnson Boyd dies |url=https://journaltimes.com/news/local/major-racine-art-museum-benefactor-karen-johnson-boyd-dies/article_1d9a9b44-02bf-5e9b-9aa3-96e70e76e9dc.html |website=Journal Times |date=January 29, 2016 |access-date=2026-04-11 }}{{Dead link|date=May 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alianzisha ''Perimeter Gallery'' huko [[Chicago]] mwaka [[1982]] na alichangia zaidi ya kazi 1,750 za sanaa kwenye ''Racine Art Museum(RAM)''.<ref>{{cite web |last=Schumacher |first=Mary Louise |title=Philanthropist Boyd made Racine Art Museum a powerhouse of craft art |url=https://archive.jsonline.com/entertainment/arts/philanthropist-boyd-made-racine-art-museum-a-powerhouse-of-craft-art-b99659818z1-367103961.html |website=Journal Sentinel |date=January 29, 2016 |access-date=2026-04-11 }}{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mnamo Agosti [[2015]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 2.7.<ref>{{cite web |title=Karen Johnson Boyd |url=https://www.forbes.com/profile/karen-johnson-boyd/ |website=Forbes |access-date=2026-04-11}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1924]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
4y9k7ff6vdoy04foccdu1kj7i4fpvk9
Mariano Gonzalvo
0
229523
1584692
1507775
2026-08-06T09:11:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584692
wikitext
text/x-wiki
'''Mariano Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[22 Machi]], [[1922]] – amefariki [[7 Aprili]], [[2007]]), ambaye pia alijulikana kama '''Gonzalvo III''' au – hasa baadaye – kwa toleo la Katalani la jina lake, '''Marià Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya soka katika klabu ya FC Barcelona.
Gonzalvo alihesabiwa kuwa mmoja wa viungo wenye vipaji vikubwa katika La Liga wakati wa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1950. Tarehe [[7 Desemba]], [[1962]], Barcelona ilicheza mechi ya heshima dhidi ya C.A. Peñarol kwa ajili yake. Pia aliichezea timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu pamoja na timu ya taifa ya Katalonia ya mpira wa miguu.
Ndugu zake wawili wakubwa pia walikuwa wachezaji mashuhuri wa mpira wa miguu. Juli Gonzalvo, aliyefahamika kama ''Gonzalvo I'', alicheza kwa RCD Espanyol, huku José Gonzalvo, anayejulikana kama ''Gonzalvo II'', pia alicheza kwa FC Barcelona na timu ya taifa ya Hispania.<ref>{{cite web|publisher=Mundo Deportivo|title=Galería de Internacionales: Mariano Gonzalvo Falcon|page=25|url=http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1988/08/09/pagina-25/1184285/pdf.html|language=Spanish|date=August 9, 1988|accessdate=2026-04-20|archive-date=2017-02-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20170202002723/http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1988/08/09/pagina-25/1184285/pdf.html|url-status=dead}}</ref><ref>[https://web.archive.org/web/20070928150319/http://www.fcbarcelonaonline.com/gonzalvoiii.html Bio at www.fcbarcelonaonline.com]</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1922|2007}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]
2wm33dezfrkamjb6ehnmm9j7rfmsi27
Helen Asemota
0
229846
1584430
1513583
2026-08-05T15:49:59Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584430
wikitext
text/x-wiki
'''Helen Nosakhare Asemota''' ni mtaalamu wa [[biokemia]] na [[bioteknolojia]] ya kilimo anayeishi [[Jamaika]], anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika utafiti wa mazao ya kitropiki na maendeleo ya [[teknolojia]] za [[kilimo]].<ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=https://www.mona.uwi.edu/bms/staff/asemoto.htm|title=Department of Basic Medical Sciences, The University of West Indies, Mona|website=www.mona.uwi.edu|access-date=2018-11-09}}</ref><ref name=":4">{{Rejea tovuti|url=https://www.mona.uwi.edu/library/professor-helen-asemota|title=Professor Helen Asemota {{!}} Mona Library|website=www.mona.uwi.edu|language=en|access-date=2018-11-09}}</ref>
Pia ni [[Profesa]] wa Biokemia na Biolojia ya Masi, na pia Mkurugenzi wa Biotechnology Centre katika University of the West Indies, kampasi ya Mona, Jamaika. Kupitia nafasi hii, anaongoza tafiti zinazolenga kuboresha uzalishaji wa mazao ya mizizi ya kitropiki kwa kutumia mbinu za kisasa za bioteknolojia.
Helen Nosakhare Asemota anajulikana kimataifa kwa kuongoza ushirikiano mkubwa wa utafiti wa bioteknolojia kati ya nchi mbalimbali, pamoja na kutoa mchango kama mshauri wa kimataifa wa bioteknolojia kwa United Nations. Kazi yake imechangia kuboresha usalama wa chakula na maendeleo ya kilimo endelevu katika maeneo ya tropiki.
== Kazi ==
Helen Nosakhare Asemota amefanya kazi katika taasisi mbalimbali za kitaaluma na utafiti katika Karibiani na Marekani, akijijengea sifa kama mtaalamu wa biokemia na bioteknolojia ya kilimo.<ref name=":2">{{Rejea tovuti|url=https://www.mona.uwi.edu/marcom/newsroom/entry/2828|title=Helen Asemota Promoted to Professor|date=23 July 2003|website=The University of West Indies at Mona|access-date=2018-11-09}}</ref>
Mnamo [[1990]], alihamia Jamaika na kujiunga na University of the West Indies kama Mhadhiri Mshiriki wa Heshima. Baadaye, aliteuliwa kuwa Mhadhiri mwaka [[1996]], akapandishwa cheo hadi Mhadhiri Mkuu wa Biokemia na Bioteknolojia mwaka [[1998]], na hatimaye kuwa Profesa kamili wa Biokemia na Biolojia ya Molekuli mwaka [[2003]].<ref name=":12">{{Rejea tovuti|url=http://ieee-ims.org/content/members|title=Members {{!}} Instrumentation & Measurement Society|website=ieee-ims.org|language=en|access-date=2018-11-09|archive-date=2019-03-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20190327122045/http://ieee-ims.org/content/members|url-status=dead}}</ref>
Kati ya [[2005]] na [[2012]], Helen Nosakhare Asemota alihudumu kama Profesa kamili katika Shaw University, North Carolina, Marekani. Katika kipindi hicho alishikilia nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Mkuu wa Kitengo cha Nanobiolojia, Mratibu wa Programu ya Sayansi ya Biolojia, Mwenyekiti wa Bodi ya Mapitio ya Taasisi (IRB), na Seneta wa Kitivo.
Mnamo [[2013]], aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Biotechnology Centre katika University of the West Indies, ambapo anaongoza utafiti unaolenga biashara na uvumbuzi wa bioteknolojia.
Helen Nosakhare Asemota pia amekuwa mwanachama wa mashirika mbalimbali ya kitaaluma na kimataifa, ikiwa ni pamoja na Caribbean Biotechnology Network, Nigerian Society for Biokemia, Shirika la Wanawake katika Sayansi la Dunia ya Tatu, na Chama cha Wanawake wa Nigeria katika Sayansi, Technology and Mathematics. Aidha, ni mwanachama wa Taasisi ya Wasifu ya Marekani, Jumuiya ya Kitaifa ya Jiografia, na Chuo cha Sayansi cha New York.<ref name=":3">{{Rejea tovuti|url=https://www.mona.uwi.edu/biotech/staff/professor-helen-n-asemota|title=Professor Helen N. Asemota {{!}} Biotechnology Centre {{!}} The University of the West Indies at Mona, Jamaica|date=2010-08-25|website=www.mona.uwi.edu|access-date=2018-11-10|archive-date=2018-11-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20181130155153/https://www.mona.uwi.edu/biotech/staff/professor-helen-n-asemota|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.mona.uwi.edu/biotech/about-us|title=Biotechnology Centre|date=2014-07-23|website=The University of the West Indies at Mona, Jamaica|access-date=2018-11-10|archive-date=2020-10-19|archive-url=https://web.archive.org/web/20201019113956/https://www.mona.uwi.edu/biotech/about-us|url-status=dead}}</ref>
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii: Watu walio hai]]
[[Jamii: Wanasayansi wa Nigeria]]
[[Jamii: Wanawake wa Nigeria]]
ct05accelv0s94axnijt2hka7vd1r4i
Ito
0
230932
1584461
1514296
2026-08-05T19:36:06Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584461
wikitext
text/x-wiki
'''Antonio Álvarez Pérez''' (amezaliwa [[21 Januari]], [[1975]]), anayejulikana kama '''Ito''', ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama kiungo mkabaji (defensive midfielder).<ref name=VAVEL>{{cite web|url=https://www.vavel.com/es/futbol/2013/08/31/betis/260766.html|title=Yo jugué en el Real Betis: Ito|trans-title=I played for Real Betis: Ito|publisher=[[Vavel]]|first=J. Julián|last=Fernández S.|language=es|date=31 August 2013|access-date=3 January 2019|archive-date=2026-04-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20260430062014/https://www.vavel.com/es/futbol/2013/08/31/betis/260766.html|url-status=dead}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1975|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]
e9600w7xaa9dwzny9pw3j94z82uag9n
Juan José Estella
0
231036
1584516
1517724
2026-08-05T22:57:34Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584516
wikitext
text/x-wiki
'''Juan José Estella Salas''' (amezaliwa [[13 Januari]], [[1956]]) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama kiungo wa kati kwa klabu za FC Barcelona|Barcelona, RCD Mallorca na Sevilla FC katika miaka ya 1980.<ref name=Barça>{{cite web |url=https://players.fcbarcelona.com/en/player/274-estella-joan-josep-estella-salas |title=Joan Josep Estella Salas stats |website=players.fcbarcelona.com |access-date=10 December 2024 |archive-date=2026-04-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20260420034720/https://players.fcbarcelona.com/en/player/274-estella-joan-josep-estella-salas |url-status=dead }}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.bdfutbol.com/en/j/j3355.html |title=Estella, Juan José Estella Salas - Footballer |website=www.bdfutbol.com |access-date=10 December 2024 }}</ref><ref name=Cat>{{cite web |url=https://www.enciclopedia.cat/esportpedia/joan-josep-estella-salas |title=Joan Josep Estella Salas |website=www.enciclopedia.cat |access-date=10 December 2024 }}</ref><ref name=Player>{{cite web |url=https://www.national-football-teams.com/player/19170/Juan_Jose_Estella.html |title=Juan José Estella (Player) |website=www.national-football-teams.com |access-date=10 December 2024 }}</ref><ref name=Net>{{cite web |url=https://www.worldfootball.net/person/pe86966/estella/ |title=Estella |website=www.worldfootball.net |access-date=14 January 2025 }}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1956|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]
l6n5fxpb08zafax1ifbwli5e6lfnjn8
Wajiji
0
231386
1584410
1530448
2026-08-05T14:23:25Z
Riccardo Riccioni
452
1584410
wikitext
text/x-wiki
'''Wajiji''' ni kabila la [[Kibantu]] lenye makao yake katika [[Mkoa wa Kigoma]], [[Tanzania]]. Kabila hili ni sehemu ya [[Waha]] kwa kuwa lugha zao zinaendana. Kitamaduni walitokea katika falme tofauti, Wajiji sawa na mji wa [[Ujiji]] na kuunda sehemu ya Uha eneo la Waha pamoja na falme nyingine: Waheru, Wabushingo, Waruguru, Wauhambwe na Wabuyungu, zote zikiwa katika Mkoa wa Kigoma. <ref>{{Rejea jarida |last=Scherer |first=J. H. |date=1959 |title=The Ha of Tanganyika |journal=Anthropos |volume=54 |issue=5/6 |pages=841–904 |jstor=40453639}}</ref>
Watu wengi wa kabila la Wajiji ni [[Waislamu]] huku wachache wakiwa [[Ukristo|Wakristo]]. <ref>{{Rejea kitabu|url=http://archive.org/details/islamineastafric0000unse|title=Islam in east Africa|last=Trimingham|first=J. Spencer|date=1964|publisher=Oxford, Clarendon Press|others=Internet Archive|pages=45}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Makabila ya Tanzania}}
{{Mbegu-Makabila ya Tanzania}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Wiki for Minorities in Tanzania]]
[[Jamii:mkoa wa Kigoma]]
4tgbda7xyvk6o9akhja1nglpmda5iff
Carole Mandi
0
232548
1584759
1537934
2026-08-06T10:02:51Z
Riccardo Riccioni
452
1584759
wikitext
text/x-wiki
'''Carole Mandi''' ni mchapishaji, mjasiriamali, mwandishi wa safu za magazeti na mtu maarufu wa vyombo vya habari kutoka [[Kenya]].<ref>{{Cite web|last=Gichuru|first=Olive|date=2014-10-19|title=Caroline Mutoko's Exceptional Gift To Carole Mandi|url=[https://kiss100.co.ke/caroline-mutokos-exceptional-gift-to-carole-mandi/|website=Kiss](https://kiss100.co.ke/caroline-mutokos-exceptional-gift-to-carole-mandi/|website=Kiss) FM|language=en-US|access-date=26 Juni 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wajasiriamali wa Kenya]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
2ckuzyt89j78dl98oikx0160cwd717b
Ik-Joong Kang
0
233105
1584449
1539038
2026-08-05T18:30:10Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584449
wikitext
text/x-wiki
'''Ik-Joong Kang''' (Kikorea: 강익중; alizaliwa [[11 Septemba]] [[1960]]) ni msanii wa sanaa za kuona kutoka [[Korea Kusini|South Korea]] na pia United States.
Anajulikana zaidi kwa kazi zake za sanaa zinazotumia turubai ndogo sana zenye ukubwa wa inchi 3 kwa 3 (takriban 7.6 cm × 7.6 cm), ambazo huunda kazi kubwa za pamoja za sanaa.
Amefanya maonyesho katika taasisi kubwa za sanaa kama Whitney Museum of American Art na National Museum of Modern and Contemporary Art, Korea.
Mwaka 1997, alikuwa miongoni mwa wasanii waliowakilisha South Korea katika Venice Biennale, ambapo alipata pongezi maalum (honorable mention).<ref name=":0">Lee, Christine. "Korean artist Ik-Joong Kang on the art of being Zen – interview." ''Art Radar'', 2 May 2014. https://artradarjournal.com/korean-artist-ik-joong-kang-on-the-art-of-being-zen-interview/{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1960]]
hfrrg2dgvz5rrgmxgy2einb79n9eigx
Marcelino Pérez
0
233750
1584666
1540370
2026-08-06T08:39:47Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584666
wikitext
text/x-wiki
'''Marcelino Pérez Ayllón''' (alizaliwa [[13 Agosti]], [[1955]] mjini [[Sabadell]], [[Mkoa]] wa [[Barcelona]], [[Catalonia]]), anayejulikana kwa jina moja '''Marcelino''', ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[beki]], hasa akiwa na klabu ya Atlético Madrid.<ref>{{cite web |url=https://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1978/05/11/pagina-20/1034118/pdf.html |website=Hemeroteca - El Mundo Deportivo |title=Mundo Deportivo La Liga Team of the Year |access-date=30 October 2024 |archive-date=2024-12-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20241205101120/https://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1978/05/11/pagina-20/1034118/pdf.html |url-status=dead }}</ref><ref>{{cite web|url=https://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1979/06/07/pagina-18/1045776/pdf.html |website=Hemeroteca - El Mundo Deportivo |title=Mundo Deportivo La Liga Team of the Year|access-date=30 October 2024 }}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1955|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]
4p0kixdsorwnjsmowd32blz0a9n8wiw
Kilimo nchini Kenya
0
234777
1584530
1559033
2026-08-06T02:25:30Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584530
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Potatoes_from_a_Kenyan_farm.jpg|thumb|300x300px|Viazi vilivyovunwa kutoka shamba la Kenya.]]
Sekta ya [[kilimo]] ndiyo muhimili mkuu wa [[uchumi wa Kenya]]. <ref>{{Rejea tovuti|date=2023-06-05|title=Agriculture, Food and Water Security|url=https://www.usaid.gov/kenya/agriculture-food-and-water-security#:~:text=OVERVIEW,percent%20of%20the%20rural%20population.|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230226162312/https://www.usaid.gov/kenya/agriculture-food-and-water-security#:~:text=OVERVIEW,percent%20of%20the%20rural%20population.|archivedate=26 February 2023|accessdate=2025-01-08|work=U.S. Agency for International Development|language=en}}</ref> Ni takriban asilimia 15 mpaka 17 tu ya eneo lote la nchi yenye rutuba na mvua ya kutosha kwa ajili ya shughuli za ukulima, huku kiasi kidogo cha asilimia 7 mpaka 8 kikielezwa kuwa ardhi ya daraja la kwanza. Takwimu za mwaka 2006 zinaonyesha kuwa takriban asilimia 75 ya nguvu kazi nchini Kenya ilitegemea kilimo kwa ajili ya kujikimu, ikiwa ni upungufu kidogo kutoka asilimia 80 iliyorekodiwa mnamo mwaka 1980.<ref name="cp" /> Aidha, karibu nusu ya jumla ya uzalishaji wa kilimo nchini unajumuisha kilimo cha kujikimu ambacho mazao yake hayafikishwi sokoni kwa ajili ya biashara. <ref name="cp" />
Sekta ya kilimo ndiyo mchangiaji mkuu wa Pato la Taifa (GDP) nchini [[Kenya]]. Takwimu za mwaka 2005 zinaonyesha kuwa kilimo, kikijumuisha misitu na uvuvi, kilichangia takriban asilimia 24 ya Pato la Taifa, kikitoa asilimia 18 ya ajira za mshahara na kuzalisha asilimia 50 ya mapato yote yatokanayo na mauzo ya nje. <ref name="cp" />
Kilimo ndiyo sekta kuu ya kiuchumi nchini Kenya, <ref>{{Rejea tovuti|title=Kenya at a glance {{!}} FAO in Kenya {{!}} Food and Agriculture Organization of the United Nations|url=https://www.fao.org/kenya/fao-in-kenya/kenya-at-a-glance/en/|accessdate=2025-01-08|work=www.fao.org|archive-date=2025-01-14|archive-url=https://web.archive.org/web/20250114222416/https://www.fao.org/kenya/fao-in-kenya/kenya-at-a-glance/en/|url-status=dead}}</ref> icha ya kuwa chini ya asilimia 8 ya ardhi yote hutumika kwa ajili ya uzalishaji wa mazao na malisho, huku kiasi kisichozidi asilimia 20 ya ardhi nchini kikielezwa kufaa kwa shughuli za ukulima. Kenya ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa duniani wa chai <ref>{{Rejea tovuti|author=cycles|first=This text provides general information Statista assumes no liability for the information given being complete or correct Due to varying update|title=Topic: Tea industry in Kenya|url=https://www.statista.com/topics/8363/tea-industry-in-kenya/#:~:text=Kenya%20is%20one%20of%20the,far%20the%20main%20tea%20producer.|accessdate=2025-01-08|work=Statista|language=en}}</ref> na kahawa, <ref>{{Rejea tovuti|title=World Coffee Research {{!}} Kenya|url=https://worldcoffeeresearch.org/focus-countries/kenya|accessdate=2025-01-08|work=World Coffee Research|language=en-US|archive-date=2025-02-14|archive-url=https://web.archive.org/web/20250214122555/https://worldcoffeeresearch.org/focus-countries/kenya|url-status=dead}}</ref> na pia inashika nafasi ya tatu kwa mauzo ya nje ya mazao ya bustani , kama vile kabichi, vitunguu, na maembe. Wakulima wadogo ndio wazalishaji wakuu wa mahindi, pamoja na mazao mengine muhimu kama viazi, ndizi, maharagwe, njegere, na pilipili.
== Historia ==
[[Faili:Agricultural_output_Kenya.svg|thumb|300x300px|Maendeleo ya pato la kilimo nchini Kenya mwaka wa 2015 Dola za Marekani tangu 1961]]
=== Kipindi cha kabla ya ukoloni ===
Kabla ya kuingia kwa wakoloni kutoka Ulaya, mifumo ya kilimo katika maeneo ya bara nchini Kenya iligawanywa kati ya jamii za wakulima na wafugaji. Jamii za Kibantu, zilizohamia katika ukanda huu kufikia milenia ya kwanza BK, zilianzisha teknolojia ya uhunzi wa chuma na kilimo cha makazi, huku zikizalisha mazao kama vile mtama, mchele na kunde. <ref name="fao-hist2">{{Rejea tovuti|title=Kenya at a glance|url=https://www.fao.org/kenya/fao-in-kenya/kenya-at-a-glance/en/|accessdate=2026-05-13|work=Food and Agriculture Organization|archive-date=2025-07-29|archive-url=https://web.archive.org/web/20250729115216/https://www.fao.org/kenya/fao-in-kenya/kenya-at-a-glance/en/|url-status=dead}}</ref> Kinyume chake, jamii za Waniloti na Wakushi zilitegemea mifumo mbalimbali ya ufugaji wa kuhamahama, wakimiliki mifugo kama vile ng'ombe, mbuzi na kondoo. Jamii hizi mara nyingi zilishirikiana kupitia biashara ya kubadilishana bidhaa (barter trade), ambapo mazao ya mifugo yalibadilishwa kwa nafaka katika maeneo ya mipakani kama vile [[Thika]] na [[Limuru]]. <ref name="ossrea2">{{Rejea tovuti|title=The Pre-Colonial Period|url=http://ossrea.net/publications/images/stories/ossrea/env-kenya-part-2.pdf|accessdate=2026-05-13|publisher=OSSREA}}</ref>
=== Enzi ya Ukoloni (1895–1963) ===
Sera ya kilimo wakati wa utawala wa kikoloni wa Uingereza iliandaliwa kwa misingi ya kupokonya ardhi yenye rutuba kwa ajili ya walowezi wa Kiamerika na Ulaya. Kufikia mwaka wa 1902, utawala wa Uingereza ulianza kuhamasisha walowezi wa Kizungu kumiliki maeneo ya "Nyanda za Juu za Wazungu", ukanda wenye ardhi yenye tija kubwa ambao umiliki wake ulitengwa kisheria kwa ajili ya Wazungu pekee. <ref name="boa2">{{Rejea tovuti|title=Kenya Under Colonial Rule, 1907–1964|url=https://britishonlinearchives.com/collections/72/kenya-under-colonial-rule-in-government-reports-1907-1964|accessdate=2026-05-13|work=British Online Archives}}</ref>
Katika kipindi hiki, utawala wa kikoloni ulianzisha uzalishaji wa mazao makuu ya biashara:
* '''Kahawa:''' Zao hili lilianzishwa nchini kwa mara ya kwanza na wamisionari wa Shirika la Roho Mtakatifu (Holy Ghost Fathers) kutoka Ufaransa katika eneo la Bura, Milima ya Taita mnamo mwaka 1893. <ref name="khist2">{{Rejea tovuti|title=The History of Coffee and Tea Farming in Kenya|url=https://kenyanhistory.com/the-history-of-coffee-and-tea-farming-in-kenya/|accessdate=2026-05-13|work=Kenyan History}}</ref>
* '''Chai:''' Miche ya kwanza ya chai ilipandwa katika eneo la Limuru mnamo mwaka 1903 na G.W.L. Caine, huku uzalishaji wa zao hilo kwa kiwango cha kibiashara ukianza rasmi mnamo mwaka 1924. <ref name="khist2" />
* '''Mkonge na Pareto''': Mazao haya pia yalichomoza na kuwa miongoni mwa vyanzo vikuu vya mapato ya kigeni vilivyochochea ukuaji wa uchumi wa kikoloni. <ref>{{Rejea tovuti|date=2020-06-29|title=Pioneer farmers: Rise and fall of pyrethrum as top-earning cash crop|url=https://nation.africa/kenya/business/seeds-of-gold/pioneer-farmers-rise-and-fall-of-pyrethrum-as-top-earning-cash-crop-244280|accessdate=2026-05-13|work=Daily Nation|language=en}}</ref>
Kwa miongo kadhaa, wakulima wa Kiafrika walizuiwa kisheria kujihusisha na kilimo cha mazao ya biashara yenye tija kubwa kama vile kahawa na chai. Hatua hiyo ililenga kudhibiti ushindani wa kibiashara na kuhakikisha kuwepo kwa utiririko wa nguvu kazi ya gharama nafuu kwa ajili ya mashamba makubwa ya walowezi. <ref name="boa2"/>
==== Mpango wa Swynnerton (1954) ====
Kufuatia mripuko wa [[Uasi wa Maumau|uasi wa Mau Mau]], utawala wa kikoloni uliidhinisha Mpango wa Swynnerton (Swynnerton Plan) mnamo mwaka 1954 kwa lengo la kuunda tabaka la kati la Waafrika wenye msimamo wa wastani. Mpango huo, uliopendekezwa na Roger Swynnerton, ulilenga kuleta mapinduzi katika kilimo cha wenyeji kwa kuwaruhusu Wakenya asilia kuzalisha mazao ya biashara kwa mara ya kwanza, huku ukianzisha mfumo wa ujumuishaji wa mashamba na usajili rasmi wa milki za ardhi. Hatua hii ilichochea ukuaji wa kasi wa thamani ya uzalishaji wa wakulima wadogo wa Kiafrika, ambapo mapato yaliongezeka kutoka pauni milioni 5.2 mnamo mwaka 1955 hadi kufikia pauni milioni 14 ifikapo mwaka 1964. <ref>{{Rejea kitabu|url=https://documents1.worldbank.org/curated/en/156171468741677406/pdf/377580vol102.pdf|title=Agriculture in Kenya: Developments and Prospects|publisher=World Bank|access-date=13 May 2026}}</ref>
=== Baada ya uhuru (1963–sasa) ===
Baada ya kupata uhuru mnamo mwaka wa 1963, serikali ya Kenya ilitilia mkazo mageuzi ya ardhi na mkakati wa "Uafrikishaji" wa sekta ya kilimo. Chini ya ushauri wa David Gordon Hines, serikali ilitekeleza Mpango wa Ekari Milioni, uliowezesha ununuzi wa mashamba yaliyomilikiwa na walowezi katika maeneo ya Nyanda za Juu kwa ajili ya kuwapa makazi na fursa za uzalishaji wakulima wadogo wa Kiafrika.
Kipindi cha baada ya ukoloni kilishuhudia wakulima wadogo wakichomoza na kuwa injini kuu ya ukuaji wa uchumi wa taifa. Kuanzishwa kwa Wakala wa Maendeleo ya Chai nchini Kenya (KTDA) mnamo mwaka 1964 kuliiwezesha Kenya kuwa muuzaji mkuu wa chai nyeusi duniani kupitia utoaji wa huduma za ugani na usaidizi kwa mamilioni ya wakulima wadogo. Licha ya sekta hiyo kukumbwa na misukosuko katika miongo ya 1980 na 1990 kutokana na kuyumba kwa bei katika soko la kimataifa pamoja na utekelezaji wa Programu za Marekebisho ya Kimuundo (SAPs) zilizopendekezwa na [[Benki ya Dunia]], kilimo kinaendelea kusalia kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya katika karne ya 21. <ref name="tandf2">{{Rejea jarida |year=1995 |title=Evolution of Kenyan agricultural policy |url=https://www.tandfonline.com/doi/pdf/10.1080/03768359508439833 |journal=Development Southern Africa}}</ref>
== Uzalishaji ==
[[Faili:Sugarcane_in_Migori.jpg|thumb|Uvunaji wa Miwa huko migori, Kenya]]
Kenya ilizalisha mwaka wa 2018:
* Tani milioni 5.2 za miwa ;
* Tani milioni 4 za [[Muhindi|mahindi]] ;
* Tani milioni 1.8 za [[Kiazi cha kizungu|viazi]] ;
* Tani milioni 1.4 za [[ndizi]] ;
* Tani 946,000 za [[Muhogo|mihogo]] ;
* Tani 871,000 za [[Kiazi kitamu|viazi vitamu]] ;
* Tani 775,000 za [[Embe|maembe]] (ikiwa ni pamoja na mangosteen na [[Pera|guava]] );
* Tani 765,000 za maharagwe ;
* Tani 599,000 za [[Mnyanya|nyanya]] ;
* Tani 674,000 za [[kabichi]] ;
* Tani 492,000 za [[chai]] (mzalishaji wa tatu kwa ukubwa duniani, akipoteza China na India pekee);
* Tani 349,000 za [[Nanasi|mananasi]] ;
* Tani 336,000 za [[ngano]] ;
* Tani 239,000 za [[karoti]] ;
* Tani 233,000 za [[Mparachichi|parachichi]] ;
* Tani 206,000 za [[mtama]] ;
* Tani 188,000 za [[Tikitimaji|tikiti maji]] ;
* Tani 179,000 za [[Mkunde|kunde]] ;
* Tani 169,000 za mchicha ;
Pamoja na mazao makuu, sekta ya kilimo nchini inajumuisha pia uzalishaji wa kiwango cha kati wa bidhaa nyinginezo, ikiwemo papai (tani 131,000), nazi (tani 92,000), pamoja na kahawa (tani 41,000).
== Bidhaa za kilimo ==
[[Faili:Papaya_fruit_in_Kenya.jpg|thumb|Matunda ya Papai]]
=== Miwa ===
alishaji wa miwa nchini unakabiliwa na changamoto ya wadudu aina ya vipekecha shina <ref name="Kfir-et-al-2002">{{Rejea jarida |last=Kfir |first=Rami |last2=Overholt |first2=W. A. |last3=Khan |first3=Z. R. |last4=Polaszek |first4=A. |year=2002 |title=Biology and Management of Economically Important Lepidopteran Cereal Stem Borers in Africa |journal=[[Annual Review of Entomology]] |publisher=[[Annual Reviews (publisher)|Annual Reviews]] |volume=47 |issue=1 |pages=701–731 |doi=10.1146/annurev.ento.47.091201.145254 |issn=0066-4170 |pmid=11729089}}</ref> ''Chilo partellus'' ni aina ya kipekecha shina vamizi mwenye asili ya Pakistan, ambaye amechukua nafasi ya mdudu mzawa, ''C. orichalcociliellus'', katika baadhi ya maeneo ya nchi, ingawa hajafanikiwa kumuangamiza kikamilifu. <ref name="Kfir-et-al-2002" /> ''Chilo partellus'' ni aina ya kipekecha shina vamizi mwenye asili ya Pakistan, ambaye amechukua nafasi ya mdudu mzawa, ''C. orichalcociliellus'', katika baadhi ya maeneo ya nchi, ingawa hajafanikiwa kumuangamiza kikamilifu <ref name="Kfir-et-al-2002" />
''Cotesia flavipes ni aina ya nyigu vimelea (parasitoid) mwenye asili ya Pakistan—eneo ambalo pia ni chimbuko la C. partellus—ambaye aliingizwa nchini na Overholt na wenzake kama mbinu ya udhibiti wa kibiolojia''. <ref name="Kfir-et-al-2002"/> Katika msimu wa kwanza baada ya kuachiliwa kwake, Overholt na wenzake (1994) walibaini kipekecha shina mmoja tu aliyekuwa amevamiwa na vimelea hivyo, licha ya kufanya uchunguzi wa kina. <ref name="Kfir-et-al-2002" /> Tafiti za mwaka 1995 na 1996 zilionyesha mafanikio madogo tu; hata hivyo, <ref name="Kfir-et-al-2002" /> ghafla mnamo mwaka 1997, Overholt na wenzake walirekodi ongezeko kubwa la uvamizi wa vimelea hivyo (parasitism), huku Zhou na wenzake (2001) wakithibitisha kuendelea kwa kasi hiyo ya ukuaji hadi kufikia mwaka 1999. <ref name="Kfir-et-al-2002" />
''Sesamia calamistis ni aina nyingine ya kipekecha shina anayeshambulia zao la miwa nchini Kenya.'' <ref name="Kfir-et-al-2002"/> Mdudu huyu anadhibitiwa na ''Cotesia sesamiae'', ambaye ni nyigu vimelea (parasitoid) anayepatikana nchini. Vimelea hivi hushambulia na kuishi ndani ya mabuu (larvae) ya ''S.<ref name="Kfir-et-al-2002" />calamistis'', jambo linalosaidia kudhibiti idadi ya waharibifu hao katika mfumo wa ikolojia wa mashamba ya miwa. <ref name="Kfir-et-al-2002" />
=== Viazi vitamu ===
[[Faili:Four_men_harvesting_red_sweet_potato_at_daytime.jpg|thumb|Mahali pa picha ya viazi vitamu vyekundu haijulikani]]
Aina kuu za viazi vitamu zinazozalishwa na wakulima nchini Kenya ni zile zenye rangi nyeupe, nyekundu, na zambarau. Hata hivyo, umaarufu wa [[Kiazi kitamu|viazi vitamu]] vya rangi ya machungwa umekua kwa kasi kufuatia hatua ya wataalamu wa lishe kuvitangaza kama chanzo muhimu cha [[Vitamini A]], kirutubisho ambacho mara nyingi hukosekana katika mlo wa kawaida wa Wakenya. Ingawa upungufu wa Vitamini A hauchukuliwi kama tatizo linalosababisha kifo cha moja kwa moja, hali hiyo hudhoofisha mfumo wa kinga mwilini na kumfanya mtu kuwa katika hatari ya kuugua surua, malaria, na kuhara, pamoja na uwezekano wa kusababisha upofu. <ref name="nel" />
Licha ya jitihada za kuzalisha mimea yenye usugu kamili, mafanikio yaliyopatikana hadi sasa ni madogo. Kutokana na hali hiyo, nguvu kazi sasa inaelekezwa katika mbinu za "usugu bandia", zinazojumuisha upunguzaji wa athari za fukusi kupitia ukuzaji wa aina za viazi zinazotoa mizizi ndani zaidi ardhini pamoja na matumizi ya mbegu za msimu mfupi, ambazo hukaa shambani kwa muda mchache na hivyo kuepuka mashambulizi ya muda mrefu ya wadudu. Katika maeneo ambapo wakulima huvuna viazi vitamu kidogo kidogo (piecemeal harvesting), hasara ya mazao inaweza kufikia asilimia 10 kutokana na magonjwa na fukusi, huku mashambulizi ya mende waharibifu yakiwa na uwezo wa kuteketeza mashamba yote ya viazi vitamu.
=== Maua ===
[[Faili:Naivasha_ast_2008033_lrg.jpg|thumb|300x300px|Mabanda ya maua karibu na [[Ziwa Naivasha]] . Maua mapya yanachangia takriban 10% ya mauzo ya nje ya Kenya.]]
Kenya inashika nafasi ya tatu duniani kwa uuzaji wa maua nje ya nchi. Takriban nusu ya mashamba 127 ya maua nchini yamejikita katika ukanda wa Ziwa Naivasha, umbali wa kilomita 90 kaskazini magharibi mwa jiji la [[Nairobi]]. <ref name="kenya-flower-industry" /> Ili kurahisisha na kuharakisha usafirishaji wa bidhaa hizi katika masoko ya kimataifa, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta una kituo maalum (dedicated terminal) kilichotengwa kwa ajili ya usafirishaji wa maua na mbogamboga pekee. <ref name="kenya-flower-industry" />
Kwa mujibu wa Baraza la Maua nchini Kenya (KFC), tasnia ya maua inatoa ajira za moja kwa moja kwa watu 90,000, huku takriban watu wengine 500,000 wakiajiriwa isivyo rasmi kupitia huduma za usaidizi Maua yanayotoka nchini Kenya yanachukua kati ya asilimia 30 hadi 35 ya maua yote yanayouzwa kwa mnada [[Ulaya|barani Ulaya]] . <ref name="kenya-flower-industry" /> idha, bidhaa za maua ya waridi, karafuu, na maua ya msimu wa joto (summer flowers) kutoka Kenya yanapata umaarufu mkubwa katika masoko ya Urusi na Marekani. <ref name="kenya-flower-industry" />
=== Kahawa ===
Wakulima wadogo wana uwezo wa kuongeza tija ya mazao yao kwa kiasi kikubwa kwa kuzingatia miongozo rahisi ya kilimo bora, kama vile mbinu sahihi za kupogoa. Ingawa awali wengi husita kutekeleza mbinu hizi kwa kudhani kuwa ni kinyume na mazoea, maarifa hayo husambaa kwa kasi pindi wakulima wanaposhuhudia ongezeko la mavuno kutoka kwa majirani waliofuata miongozo hiyo.
== Mbinu za kilimo ==
=== Ukuaji wa kawaida ===
[[Faili:Women_smallholder_farmers_in_Kenya.jpg|thumb|300x300px|Wakulima wadogo nchini Kenya.]]
Kutokana na athari za wadudu, magonjwa, na kupungua kwa rutuba ya udongo, wakulima hutumia mbinu ya mzunguko wa mazao kwa kiwango kikubwa, ambapo shamba hutumiwa kwa kilimo cha [[Kiazi kitamu|viazi vitamu]] mara moja tu katika kila miaka mitano bila kurudia zao hilo kwa misimu miwili mfululizo. Upandaji wa mpunga kati ya misimu miwili ya viazi vitamu umependekezwa kwa muda mrefu kama mbinu mbadala; tafiti zinaonyesha kuwa kiwango cha uvamizi wa fukusi wa viazi vitamu hupungua pindi mazao hayo yanapopandwa katika mashamba jirani. Aidha, upungufu wa uharibifu wa fukusi ulizingatiwa wakati viazi vitamu vilipopandwa mchanganyiko na mtama wa "proso" pamoja na ufuta, ingawa uzalishaji wa viazi vitamu ulipungua kwa kiasi kikubwa kutokana na uwezo wa viazi hivyo kuzuia uotaji wa mtama. Mifumo hii ya mzunguko wa mazao na mbinu za upandaji ni maarufu sana katika sekta ya kilimo barani Afrika.
Udhibiti wa magugu unahitaji uwekezaji mkubwa wa nguvu kazi kwa saa nyingi za kazi ya mikono. Ukuaji wa magugu usiodhibitiwa unaweza kupunguza tija ya mazao kwa kiasi cha hadi asilimia 60. Ili kukabiliana na changamoto hiyo, baadhi ya wakulima huamua kupunguza ukubwa wa eneo la uzalishaji, hatua ambayo pia husababisha kupungua kwa jumla ya mavuno; huku matumizi ya dawa za kuulia magugu (herbicides) yakiwa nje ya uwezo wa kifedha wa wakulima wadogo wengi. Aidha, mmea wa viazi vitamu unapozalishwa kwa kutumia miche ileile kwa misimu kadhaa mfululizo, tija hupungua huku mrundikano wa virusi ukiongezeka, ingawa vimelea hivyo vinaweza kudhibitiwa kupitia matibabu ya joto.
=== Umwagiliaji ===
Mfumo wa [[umwagiliaji]] nchini Kenya umegawanywa katika makundi makuu matatu ya kiutawala: miradi ya wakulima wadogo, miradi ya umma inayosimamiwa na mamlaka kuu ya serikali, pamoja na miradi ya umwagiliaji ya kampuni binafsi na kibiashara.
Miradi ya wakulima wadogo inamilikiwa, kuandaliwa, na kusimamiwa na watu binafsi au vyama vya wakulima vinavyoendeshwa kama asasi za watumiaji maji au vikundi vya kujiendeleza. Shughuli za umwagiliaji hufanyika katika mashamba ya mmoja mmoja au ya pamoja yenye wastani wa ukubwa wa hekta 0.1 hadi 0.4. Kwa sasa, kuna takriban miradi 3,000 ya umwagiliaji ya wakulima wadogo inayojumuisha jumla ya hekta 47,000, kiwango ambacho ni sawa na asilimia 42 ya maeneo yote ya umwagiliaji nchini. Miradi hii ndiyo chanzo kikuu cha mazao ya bustani yanayosambazwa katika vituo vya mijini kote nchini [[Kenya]].
Nchi hii ina jumla ya miradi saba mikubwa ya umwagiliaji inayosimamiwa na mamlaka kuu, ambayo ni [[Mwea]], [[Bura, Tana River|Bura]], Hola, [[Perkerra]], West Kano, Bunyala, na [[Ahero|Ahero.]] Miradi hiyo inajumuisha eneo la uzalishaji la hekta 18,200, ikiwa na wastani wa hekta 2,600 kwa kila mradi. Inasimamiwa na Bodi ya Kitaifa ya Umwagiliaji na inachangia asilimia 18 ya eneo lote linalomwagiliwa nchini Kenya. Hapo awali, serikali ilitekeleza na kusimamia miradi hiyo ya kitaifa huku wakulima wakishiriki kama wapangaji. Hata hivyo, kuanzia mwaka 2003, NIB ilikabidhi majukumu mengi ya huduma kwa wadau, isipokuwa masuala ya uendelezaji, uendeshaji na matengenezo, pamoja na ukarabati wa miundombinu mikuu ya umwagiliaji.
Mashamba makubwa ya kibiashara ya kibinafsi yanajumuisha eneo la hekta 45,000, kiwango kinachochangia asilimia 40 ya ardhi yote ya umwagiliaji nchini. Mashamba haya yanatumia teknolojia ya kisasa katika uzalishaji wa mazao yenye thamani kubwa kwa ajili ya masoko ya kimataifa, hususan maua na mbogamboga. Aidha, sekta hii inatoa ajira kwa wafanyakazi wapatao 70,000, idadi ambayo ni sawa na asilimia 41 ya watu wanaojihusisha moja kwa moja na kilimo cha umwagiliaji nchini.
=== Kilimo cha kikaboni ===
[[Faili:AUSAID_KENYA_(10671814504).jpg|thumb|270x270px|Mkulima Mkenya anaonyesha baadhi ya vitunguu alivyolima ili kuuza kwenye shamba lake karibu na [[Gilgil]] . Mkulima huyo ni sehemu ya mradi unaofadhiliwa na AusAID .]]
Kwa kawaida, zao la viazi vitamu huzalishwa kwa njia za kikaboni (organically) barani Afrika. Katika utafiti uliofanywa na Macharia (2004), wakulima waliohojiwa walieleza upendeleo wa kupanda viazi kwenye vilima (mounds) badala ya matuta (ridges) kama mbinu ya kupunguza nguvu kazi inayohitajika kwa ajili ya palizi. Wakulima hao walibaini kuwa mfumo wa vilima huchochea uzalishaji wa mizizi mikubwa na ni rahisi kutekeleza bila kuhitaji mbolea za chumvichumvi au viuatilifu vya kemikali. Aidha, kilimo hiki cha kikaboni kinasisitiza matumizi ya mzunguko wa mazao na matandazo (mulches) kama njia mbadala za kudhibiti waharibifu na kuhifadhi rutuba ya udongo.
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa, Kenya haikuwa na eneo lolote la kilimo lililoidhinishwa rasmi kwa uzalishaji wa kikaboni mnamo mwaka 2003, licha ya kuwa wakulima wengi tayari walikuwa wakitekeleza mbinu za kilimo hai katika shughuli zao. <ref>{{Rejea kitabu|title=Environmental and social standards, certification and labelling for cash crops|last=Dankers, Cora Liu, Pascal|date=2003|publisher=Food and Agriculture Organization of the United Nations|isbn=92-5-105068-6|oclc=474270200}}</ref>
=== Ukuaji uliobadilishwa vinasaba ===
Wakulima wengi nchini Kenya hulifananisha mahindi yaliyobadilishwa vinasaba (GMO) yanayowasilishwa na Marekani na "Farasi wa Trojan" (Trojan Horse), wakihofia madhara ya muda mrefu yaliyofichika. Ingawa matumizi na uingizaji wa bidhaa za GMO yamepigwa marufuku kisheria nchini Kenya, serikali ya Marekani imeendelea kusambaza mahindi hayo nchini kupitia programu za misaada ya kibinadamu. <ref>Black, R. (9 August 2004). Struggling to find GM's middle ground. Retrieved 1 June 2008, from {{Dead link|date=September 2025}}</ref>
Wakenya pamoja na mataifa mengine ya Afrika, ikiwemo [[Malawi]] na [[Zimbabwe]], husindika mahindi kuwa unga kabla ya kuanza zoezi la usambazaji. Baadhi ya wanaharakati wanadai kuwa Marekani inatuma chakula kilichobadilishwa vinasaba (GMO) kwa makusudi kama msaada wa kibinadamu ili kudhoofisha soko la nje la bidhaa za kikaboni, hatua inayolengo kuishawishi Ulaya kuanza kununua bidhaa kutoka Marekani. Aidha, baadhi ya wakulima wanakosa uelewa kuhusu teknolojia ya GMO, huku wengine—kama alivyobainisha Hollie—wakikabiliwa na umaskini uliokithiri unaowazuia kufanya maamuzi mbadala.
=== Kilimo cha chafu ===
Ili kuchochea kasi ya uzalishaji na kuimarisha faida, wakulima wadogo wengi nchini Kenya wameanza kutekeleza kilimo cha kitalu. Baadhi ya mazao maarufu yanayozalishwa kupitia mbinu hii ya kitalu ni pamoja na matikiti maji, pilipili hoho, pamoja na nyanya.
Kilimo cha kitalu (greenhouse farming) nchini Kenya huwawezesha wakulima kupunguza matumizi ya pembejeo za kilimo, zikiwemo nguvu kazi na mbolea, huku kikirahisisha udhibiti wa visumbufu na magonjwa. Kenya imeainishwa kama nchi yenye uhaba wa rasilimali za maji, huku sehemu kubwa ya ardhi yake ikiwa haina sifa stahiki kwa ajili ya kilimo cha tija. Kutokana na changamoto hizo, vimelea vingi vya kitalu nchini hutumia mifumo ya umwagiliaji wa matone ili kuboresha matumizi ya maji yaliyopo na kusambaza virutubisho kwa mazao kwa ufanisi mkubwa.
== Mpango wa ekari milioni ==
David Gordon Hines alitumwa na serikali ya Uingereza kati ya mwaka 1954 na 1962 kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Waziri wa Kilimo wa Kenya kuhusiana na "Mpango wa Ekari Milioni". Mpango huo ulikusudia kununua mashamba yaliyomilikiwa na walowezi, hususan yaliyoko katika maeneo ya Nyanda za Juu za Kenya.
== Utafiti wa kilimo unaofanywa na taasisi za serikali ==
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo nchini Kenya (KARI) imeidhinishwa kisheria kutekeleza tafiti zote muhimu katika sekta ya kilimo. KARI hutumika kama chombo cha kitaifa kinachoratibu programu za utafiti wa mazao ya chakula, mazao ya bustani, mazao ya biashara, pamoja na usimamizi wa mifugo na nyanda za malisho, rasilimali za ardhi na maji, na masuala ya kijamii na kiuchumi. Aidha, taasisi hii inahamasisha utafiti bora, ugunduzi na uenezaji wa teknolojia ili kuhakikisha uwepo wa usalama wa chakula kupitia uimarishaji wa tija na uhifadhi wa mazingira.
KARI ilianzishwa mnamo mwaka 1979 kama taasisi ya serikali inayojitegemea kiasi. Taasisi hiyo mpya ilirithi na kuendeleza shughuli za kitafiti kutoka kwa mashirika yaliyotangulia, ikiwemo Shirika la Utafiti wa Kilimo na Misitu la Afrika Mashariki (EAAFRO), Shirika la Utafiti wa Mifugo la Afrika Mashariki (EAAVRO), na hatimaye kutoka Wizara za Kilimo na Maendeleo ya Mifugo. Mnamo mwaka 1986, Serikali ya Kenya ilitambua uzito wa changamoto zinazozuia uzalishaji wa chakula wa muda mrefu nchini. Katika hatua za hivi karibuni, Taasisi ya Uzalishaji wa Chanjo za Mifugo ya Kenya (KEVEVAPI) na Taasisi ya Utafiti wa Tripanosomiasis ya Kenya (KETRI) zimeunganishwa ndani ya KARI. Uamuzi huu ulitokana na utambuzi wa serikali kuhusu umuhimu wa kuimarisha mfumo wa utafiti wa kilimo ili kuunda mfumo thabiti wa kitaasisi utakaosimamia, kupanga upya, na kuunganisha tafiti za kilimo nchini kwa ufanisi zaidi.
Kupitia Sheria ya Bunge, Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo nchini Kenya (KALRO) lilianzishwa mnamo mwaka 2013. Shirika hili liliundwa kwa kuunganisha taasisi za KARI, Wakfu wa Utafiti wa Kahawa, Wakfu wa Utafiti wa Chai, na Wakfu wa Utafiti wa Sukari, huku likiwa na mamlaka ya kusimamia taasisi 18 za utafiti.. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.parliament.go.ke/plone/statutory-documents/kenya-agricultural-and-livestock-research-act-no-17-of-2013/view|title=Kenya Agricultural and Livestock Research Act (No 17 of 2013)|publisher=[[Parliament of Kenya]]|accessdate=17 November 2014|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140331040720/http://www.parliament.go.ke/plone/statutory-documents/kenya-agricultural-and-livestock-research-act-no-17-of-2013/view|archivedate=31 March 2014}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.kalro.org/|title=Kenya Agricultural & Livestock Research Organisation|accessdate=17 November 2014|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190823020414/http://www.kalro.org/|archivedate=23 August 2019}}</ref> Taasisi hii mpya ina msingi wa rasilimali (assets) zenye thamani ya KSh bilioni 28 na mtaji wa hisa (equity) wa KSh bilioni 27.9, ikiwa na jumla ya wafanyakazi 3,294. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.standardmedia.co.ke/article/2000131896/kari-merged-with-3-others-to-create-research-body|title=Kari merged with 3 others to create research body|work=[[Standard Digital News]]|date=19 August 2014|accessdate=17 November 2014}}</ref> Aidha, serikali imeanzisha taasisi mbalimbali za kitaaluma ili kusaidia miradi ya kitafiti inayolenga kupunguza umaskini, kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira, na kupambana na utapiamlo.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.standardmedia.co.ke/article/2000165958/egerton-university-sets-up-website-for-livestock-farming|title=Egerton University sets up website for livestock farming|author=Mkawale|first=Steve|work=The Standard|language=en|accessdate=2020-02-21}}</ref> Mfano wa taasisi hizo ni [[Chuo Kikuu cha Egerton|Chuo Kikuu cha Egerton,]] ambacho kiliidhinishwa mahususi kwa ajili ya madhumuni ya utafiti wa kitalaamu katika sekta ya kilimo.
== Uvuvi ==
Sekta ya uvuvi wa pwani imekabiliwa na upungufu wa rasilimali za samaki. Katika kukabiliana na hali hiyo, jamii ya [[kijiji]] cha Kuruwitu katika [[Kaunti ya Kilifi]] ilianzisha eneo maalum lililotengwa ambalo haliruhusiwi kufanya uvuvi mnamo mwaka 2003, linalofahamika kama "tengefu". Jitihada hizo zilipata uungwaji mkono rasmi kutoka kwa serikali kuu kati ya mwaka 2007 na 2008. Mtindo huu umesambaa kwa kasi, ambapo kwa sasa kuna jumla ya tengefu 22 kando ya pwani ya Kenya. Utaratibu huu unatokana na mbinu za jadi za usimamizi wa rasilimali ambazo, kabla ya miaka ya 1920, zilihusisha ufungaji wa msimu wa maeneo ya uvuvi ili kulinda mazalia ya samaki. Licha ya kuwepo kwa matokeo ya namna mbalimbali, baadhi ya maeneo hayo ya tengefu yameshuhudia ufufuo mkubwa wa miamba ya matumbawe na kuongezeka kwa wingi wa samaki.
== Tazama pia ==
* Wizara ya Kilimo (Kenya)
* [[Uchumi wa Kenya]]
* Sekta ya Kahawa ya Kenya
* Ufugaji wa kuku nchini Kenya
* Uzalishaji wa Chai nchini Kenya
* Kilimo cha Biashara nchini Kenya
== Marejeleo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
* [https://web.archive.org/web/20190823020414/http://www.kalro.org/ Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo la Kenya]
'''Mashirika ya serikali ya kilimo ya nchi Kenya''' - [https://web.archive.org/web/20081113033437/http://www.kenya.go.ke/ tovuti kuu ya serikali ya Kenya]
* [http://www.fao.org/mafap/ FAO: Kufuatilia Sera za Chakula na Kilimo za Afrika]
* [https://web.archive.org/web/20090808081351/http://www.adc.co.ke/ Shirika la Maendeleo ya Kilimo]
* [http://www.agrifinance.org Shirika la Fedha za Kilimo]
* [https://web.archive.org/web/20081005003511/http://www.coffeeboard.co.ke/ Bodi ya Kahawa ya Kenya]
* [https://web.archive.org/web/20090228224643/http://www.hcda.or.ke/ Mamlaka ya Maendeleo ya Mazao ya Bustani]
* [http://www.kdb.co.ke Bodi ya Maziwa ya Kenya] {{Wayback|url=http://www.kdb.co.ke/ |date=20240811094332 }}
* [https://web.archive.org/web/20081205165507/http://www.kenyaflowers.co.ke/ Baraza la Maua la Kenya]
* [http://www.kefri.org/ Taasisi ya Utafiti wa Misitu ya Kenya]
* [http://www.kmfri.co.ke/ Taasisi ya Utafiti wa Baharini na Uvuvi ya Kenya] {{Wayback|url=http://www.kmfri.co.ke/ |date=20120421113809 }} Archived
* [http://www.kephis.org Huduma ya Ukaguzi wa Afya ya Mimea Kenya]
* [http://www.kenyasugar.co.ke Bodi ya Sukari ya Kenya] {{Wayback|url=http://www.kenyasugar.co.ke/ |date=20251206100121 }}
* [https://web.archive.org/web/20090810084507/http://www.kesref.org/ Wakfu wa Utafiti wa Sukari wa Kenya]
* [http://www.ncpb.co.ke/ Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao]
* [http://www.nib.or.ke Bodi ya Kitaifa ya Umwagiliaji]
* [http://www.newkcc.co.ke/ Vipodozi vya Ushirika vya New Kenya]
* [https://web.archive.org/web/20181013100510/http://www.pcpb.or.ke/ Bodi ya Bidhaa za Kudhibiti Wadudu]
* [http://www.kenya-pyrethrum.com/ Bodi ya Pareto ya Kenya] {{Wayback|url=http://www.kenya-pyrethrum.com/ |date=20260227160505 }}
* [http://www.teaboard.or.ke Bodi ya Chai ya Kenya] {{Wayback|url=http://www.teaboard.or.ke/ |date=20240521115244 }}
* [http://www.tearesearch.or.ke/ Taasisi ya Utafiti wa Chai ya Kenya]
* [https://web.archive.org/web/20151008060329/http://www.latestjobsinkenya.com/tomato-farming-in-kenya-increase-tomato-farming-profit/ Kilimo cha Nyanya nchini Kenya]
{{Mada Kuhusu Kenya}}{{Africa topic|Agriculture in}}
ixt2uhvsfh6qn04b5r4msxwqae88a3u
Mahamoud Adam Béchir
0
237163
1584637
1547689
2026-08-06T07:21:31Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584637
wikitext
text/x-wiki
'''Mahamoud Adam Béchir''' (amezaliwa 1965) ni [[mwanadiplomasia]] wa [[Chad]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Under Construction {{!}} En Construction|url=http://www.tchadactuel.com/?p=16791|work=www.tchadactuel.com|accessdate=2026-05-21|archive-date=2023-06-28|archive-url=https://web.archive.org/web/20230628183047/http://www.tchadactuel.com/?p=16791|url-status=dead}}</ref>
Aliwahi kuhudumu kama Balozi wa Chad nchini Marekani kuanzia 2004 hadi 2012.
Kwa sasa, anahudumu kama Balozi wa Chad nchini Urusi.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Chad]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
1ncognvry9sblggw633eejbk60mh7kf
Mamta Wahab
0
237423
1584642
1548353
2026-08-06T08:09:23Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584642
wikitext
text/x-wiki
'''Mamta Wahab''' (alifariki mwaka 2012) alikuwa mwanasiasa wa [[Bangladesh]] kutoka chama cha Jatiya Party (Ershad) na mbunge wa zamani wa jimbo la Mymensingh-4. Alikuwa dada mkubwa wa Rowshan Ershad na A. H. G. Mohiuddin.<ref>{{Rejea tovuti|script-title=bn:বাংলাদেশের রাজনীতিতে কে কার আত্মীয়?|url=https://www.ppbd.news/lead-news/12822|access-date=2020-06-02|website=Purboposchim|language=bn|archive-date=2022-04-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20220415003931/https://www.ppbd.news/lead-news/12822|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
{{BD|1940|2012|Wahab, Mamta}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Bangladesh]]
[[Jamii:Quran]]
ndi80c1typ8in7fm6f4elya12l2oyxk
Jama Haji Ahmed
0
237799
1584469
1548915
2026-08-05T20:14:41Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584469
wikitext
text/x-wiki
'''Jama Haji Ahmed''' (Kisomali: ''Jaamac Xaaji Axmed'') ni [[mwanasiasa]] wa Somalia ambaye kwa sasa anahudumu kama [[Gavana]] wa mkoa wa Maroodi Jeex wa Somaliland tangu [[Januari]] 2018.<ref>{{Rejea tovuti|title=Somaliland: President Bihi Appoints Regional Governors, Presidency Spokesperson|url=https://somalilandsun.com/somaliland-president-bihi-appoints-regional-governors-presidency-spokesperson/|work=Somaliland Sun|date=2018-01-29|accessdate=2026-05-23|language=en-GB|author=admin}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.somaliland.com/news/somaliland/marodijeh-governor-ends-communal-land-dispute/|work=www.somaliland.com|accessdate=2026-05-23}}{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Somalia]]
ll096risfu05c6klh90krrzi1suan3l
Ismail Haji Nour
0
237808
1584459
1548745
2026-08-05T19:28:02Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584459
wikitext
text/x-wiki
'''Ismail Haji Nour''' (Kisomali: ''Ismaaciil Xaaji Nuur'') ni [[mwanasiasa]] wa Somaliland na kwa sasa ni [[Meya]] wa Erigavo, mji mkuu wa mkoa wa Sanaag katika Somaliland, tangu Oktoba 2003.
Ni mfanyabiashara anayejulikana sana, na aliwahi kufungwa mara kadhaa wakati wa utawala wa Siad Barre kwa madai ya upinzani dhidi ya [[serikali]].
Anatajwa kuwa mmoja wa mameya waliodumu muda mrefu zaidi nchini Somaliland na meya pekee aliyewahi kuchaguliwa tena zaidi ya mara moja.<ref>{{Citation|title=Somaliland Opposition Parties Win Mayorship of Erigavo|date=2021-06-16|url=https://www.somaliland.com/news/somaliland/somaliland-opposition-parties-win-mayorship-of-erigavo/|work=Somaliland.com|language=en-US|access-date=2026-05-23|archive-date=2023-07-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20230727025849/https://www.somaliland.com/news/somaliland/somaliland-opposition-parties-win-mayorship-of-erigavo/|url-status=dead}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Somalia]]
jhbd431f5i5obrqha3klbjxq4mmtj13
Kinamasi
0
240537
1584511
1584155
2026-08-05T22:47:13Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Afrika */
1584511
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
46aebq14bjlith7adtfvh2gw5hhdzgz
1584512
1584511
2026-08-05T22:48:57Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Afrika */
1584512
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
oegdvdjq0vcgae7uc32t2h4enf79p5r
1584513
1584512
2026-08-05T22:51:24Z
Elizabeth Samwel
75873
1584513
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
d3q0enql0u1uu724h6er7pznr55uui7
1584514
1584513
2026-08-05T22:53:26Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Afrika */
1584514
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
3gfi9vyycqkahj8su9co6m9mpqyin6q
1584515
1584514
2026-08-05T22:55:09Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Afrika */
1584515
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
9jt1vxru6lptnycal0pqltlsdlyd1x5
1584517
1584515
2026-08-05T23:09:15Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Asia */
1584517
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
n37ge61kpohxyvzbnrkda8p8o4qetxg
1584518
1584517
2026-08-05T23:11:20Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Asia */
1584518
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
*Kinamasi cha Myristica, Western Ghats, India
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
krj2m11zaxvyp9bg96s9fi00a09b0mh
1584519
1584518
2026-08-05T23:13:16Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Asia */
1584519
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
*Kinamasi cha Myristica, Western Ghats, India
*Kinamasi cha Vasyugan, Russia
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
gbcas3sgq1xz8nm7crdb7l6j3jxaq25
1584520
1584519
2026-08-05T23:15:06Z
Elizabeth Samwel
75873
/* Asia */
1584520
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na mabwawa ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
*Kinamasi cha Myristica, Western Ghats, India
*Kinamasi cha Vasyugan, Russia
*Kinamasi cha Negombo, Sri Lanka
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
3pnvvguxskrhcdcag49jis8xaxa1u8z
1584552
1584520
2026-08-06T03:06:28Z
Justine Msechu
45962
1584552
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na [[Bwawa|mabwawa]] ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Cite web|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
*Kinamasi cha Myristica, Western Ghats, India
*Kinamasi cha Vasyugan, Russia
*Kinamasi cha Negombo, Sri Lanka
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
6cjcuf1j7zpb3bdgipibeb7mw0r4ejh
1584621
1584552
2026-08-06T05:18:29Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584621
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Florida freshwater swamp usgov image.jpg|thumb|Kinamasi, [[Florida]], [[USA]]]]
'''Kinamasi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''Swamp'') ni aina ya [[ardhi]] iliyolowana daima au kwa misimu fulani. Eneo hili limefunikwa na [[maji]] yanayotiririka taratibu au yaliyotuama, na linabainishwa na uwepo mkubwa wa [[Mmea|mimea]] yenye [[Mti|miti]] mirefu au [[Kichaka|vichaka]].
Tofauti na [[Bwawa|mabwawa]] ya kawaida ya nyasi, vinamasi mara nyingi hupatikana kando ya [[mto|mito]] mikubwa au [[ziwa|maziwa]] ambapo ardhi haina mteremko mkubwa, jambo linalofanya maji kutosafiri kwa haraka. [[Udongo]] wa maeneo hayo huwa umejaa maji kiasi cha kukosa [[hewa]] ya [[oksijeni]] ya kutosha, hali inayolazimisha mimea na [[Kiumbehai|viumbehai]] wa eneo hilo kuwa na sifa maalumu za [[ustahimilivu]] ili kuishi.<ref>https://nationalgeographic.org – Kamusi ya kijiografia ya National Geographic inayoelezea sifa za kisayansi za kinamasi.</ref>
== Kazi ya Kijiografia na Uhifadhi wa Maji ==
[[Jiografia|Kijiografia]] na [[hidrolojia|kihidrolojia]], [[Ufukwe|fukwe]] na vinamasi hufanya kazi kubwa kama vyujio vya asili vya maji na vidhibiti vya [[mafuriko]]. Vinamasi hupunguza [[kasi]] ya maji ya [[mvua]] au ya mito inayofurika, na hivyo kuzuia [[mmomonyoko wa udongo]] na kupunguza madhara ya mafuriko katika maeneo ya makazi ya [[Binadamu|watu]].<ref>https://epa.gov – Shirika la Kulinda Mazingira la Marekani (EPA) kuhusu umuhimu wa maeneo oevu katika kuzuia mafuriko.</ref>
Wakati maji hayo yanapotulia kwenye kinamasi, mimea na udongo hufyonza [[kemikali]] zenye [[sumu]], [[mbolea]] ya ziada, na [[mchanga]] uliosombwa, na hivyo kusafisha maji kabla hayajaingia kwenye mito mikubwa au [[chanzo|vyanzo]] vya [[maji ya ardhini|maji ya chini ya ardhi]]. Kutokana na uwezo huo, vinamasi ni [[nguzo]] muhimu sana katika kuhakikisha upatikanaji wa [[maji salama|maji safi na salama]] barani [[Afrika]].
== Umuhimu wa Kijamii na Kiuchumi ==
Maeneo hayo yana [[utajiri]] mkubwa wa [[bioanuwai]] na [[rasilimali]]. [[ekolojia|Kiekolojia]], vinamasi ni [[Makazi (ekolojia)|makazi]] ya viumbe wengi wa pekee kama vile [[mamba]], [[kiboko]], aina mbalimbali za [[samaki]], na [[Ndege (mnyama)|ndege]] wanaohama. Kwa [[jamii]] zinazozunguka, vinamasi hutoa rasilimali muhimu kama vile [[Ubao|mbao]], [[uzi|nyuzi]] za [[kamba]], na fursa za [[uvuvi]] wa kijamii.
Hata hivyo, vinamasi vingi [[bara|barani]] Afrika vinakabiliwa na tishio kubwa la kukaushwa kwa ajili ya upanuzi wa [[kilimo]], makazi ya watu, na [[ujenzi]] vya [[miundombinu]]. [[Uharibifu wa ardhi|Uharibifu]] huu, ukichanganywa na athari za [[mabadiliko ya tabianchi]], unahatarisha usalama wa maji na mifumo ya ekolojia, jambo linalofanya juhudi za [[uhifadhi wa mazingira|uhifadhi]] wa maeneo hayo kuwa za dharura.<ref>https://unep.org – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) kuhusu changamoto na uhifadhi wa maeneo oevu barani Afrika.</ref>
==Orodha ya Vinamasi vikubwa==
Maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi duniani yanajumuisha maeneo muhimu ya vinamasi, kama vile mabonde ya Amazon na Mto Kongo. Hata hivyo, kaskazini zaidi, maeneo yenye unyevunyevu makubwa zaidi ni vinamasi.
===Afrika===
* Vinamasi vya Bangweulu, Zambia
* Vinamasi vya Mare aux Songes, Mauritius
* Kinamasi cha Okavango, Botswana<ref>{{Rejea tovuti|title=Photos: The Biggest Lions on Earth|url=https://www.livescience.com/41584-photos-the-biggest-lions-on-earth.html|work=Live Science|date=2013-11-27|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Lions of the Okavango Delta - Botswana Wildlife|url=https://www.itravelto.com/lions-okavango.html|work=www.itravelto.com|accessdate=2026-08-05}}</ref>
* Kinamasi cha Sudd, Sudani Kusini
===Asia===
* Kinamasi cha Asmat, Indonesia
* Kinamasi cha Mangrove, Karachi, Pakistan
*Kinamasi cha Myristica, Western Ghats, India
*Kinamasi cha Vasyugan, Russia
*Kinamasi cha Negombo, Sri Lanka
== Tazama pia ==
* [[Bwawa]]
* [[Mto]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:AWC 2026]]
[[Jamii:Jiografia]]
4uctqnjzu5dpt4jiu20029zo67rount
Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale
0
242163
1584639
1581167
2026-08-06T07:39:56Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584639
wikitext
text/x-wiki
[[File:Refugee Children Joy.jpg|thumb|Watoto katika makazi ya wakimbizi ya Nakivale.]]
[[File:Epilepsy medical outreach in Nakivale Refugee settlement.jpg|thumb|'''Msafara wa huduma za matibabu ya kifafa katika makazi ya wakimbizi ya Nakivale.''']]
'''Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale''' ni makazi makubwa na ya kihistoria ya wakimbizi yaliyopo katika Wilaya ya Isingiro, Mkoa wa Magharibi nchini [[Uganda]].
Yakiwa yameanzishwa rasmi mnamo mwaka [[1958]], makazi haya yanatajwa kuwa miongoni mwa makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi barani [[Afrika]] yanayoendelea kufanya kazi hadi sasa. Makazi haya yanasimamiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uganda (OPM) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ([[UNHCR]]).
== Jiografia na ukubwa ==
Nakivale inachukua eneo kubwa sana la kijiografia:
* Eneo lake lina ukubwa wa takriban '''kilomita za mraba 184'''.
* Makazi haya yanajumuisha maeneo ya malisho, mashamba, milima, na yanapakana na Ziwa Nakivale ambalo ni chanzo muhimu cha maji na shughuli za uvuvi kwa wakazi wake.
== Idadi ya watu na mataifa ==
Nakivale inasifika kwa kuwa na jamii mchanganyiko na ya kitamaduni inayowakilisha mataifa mengi ya Afrika:
* Makazi haya yanahifadhi zaidi ya wakimbizi '''140,000''' hadi '''170,000'''.
* Wakazi wake wanatoka katika nchi mbalimbali zikiwemo [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (DRC), [[Burundi]], [[Rwanda]], [[Somalia]], [[Eritrea]], [[Ethiopia]], [[Sudan Kusini]], na [[Kenya]].
* Jamii hizi tofauti zinaishi kwa amani katika kanda (zones) mbalimbali zilizotengwa ndani ya makazi hayo, huku kila jamii ikichangia utofauti wa lugha na utamaduni.<ref>{{cite web|url=https://data2.unhcr.org/en/documents/download/69449|title=Uganda - Refugee Statistics April 2019 - Nakivale|website=UNHCR Uganda|access-date=14 January 2020}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.tutapona.com/#!about_us/csgz|title=Tutapona trauma counseling with child soldiers and war victims|website=Tutapona trauma counseling with child soldiers and war victims|access-date=2016-05-14}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.resettlement.eu/page/congolese-drc-refugees|title=Congolese (DRC) refugees {{!}} European Resettlement Network|website=www.resettlement.eu|access-date=2016-05-14|archive-date=2016-05-08|archive-url=https://web.archive.org/web/20160508224616/http://www.resettlement.eu/page/congolese-drc-refugees|url-status=dead}}</ref>
== Kujitegemea na uchumi ==
Sawa na makazi mengine nchini Uganda, Nakivale inafuata sera ya maendeleo inayomwezesha mkimbizi kujitegemea badala ya kutegemea misaada pekee:
* '''Kilimo:''' Kila familia ya mkimbizi inapewa kipande cha ardhi kwa ajili ya kilimo cha chakula kama vile [[mahindi]], [[maharage]], na [[migomba]].
* '''Biashara na Teknolojia:''' Ndani ya Nakivale kuna mji mdogo wa kibiashara wenye maduka, masoko, migahawa, na hata huduma za kifedha. Aidha, kambi hii imekuwa kitovu cha ubunifu ambapo vijana wakimbizi wameanzisha miradi ya kijamii na kiteknolojia (kama vile vituo vya mafunzo ya kompyuta na ushonaji) ili kutengeneza fursa za ajira.<ref>{{Rejea tovuti|last=Robert|title=Nakivale – Windle International Uganda|url=https://windleuganda.org/nakivale/|access-date=2020-09-19|language=en-US|archive-date=2019-09-19|archive-url=https://web.archive.org/web/20190919003518/https://windleuganda.org/nakivale/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea kitabu|last=Bagenda|first=Emmanuel|url=http://worldcat.org/oclc/56199907|title=Land problems in Nakivale Settlement and the implications for refugee protection in Uganda|date=2003|publisher=Refugee Law Project|oclc=56199907}}</ref>
== Changamoto ==
Licha ya mafanikio yake kama mfano wa kuigwa duniani, Nakivale inakabiliwa na changamoto kadhaa:
* '''Mabadiliko ya Tabianchi:''' Uhaba wa mvua na ukame wa mara kwa mara katika Wilaya ya Isingiro huathiri vibaya kilimo ambacho ndio nguzo kuu ya chakula na kipato kwa wakimbizi.
* '''Shinikizo la Miundombinu:''' Ongezeko endelevu la wakimbizi wapya kutoka nchi zenye migogoro kama DRC linasababisha mzigo mkubwa kwenye huduma za kijamii kama vile shule, zahanati, na upatikanaji wa maji safi.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{WFR}}
[[Jamii:Historia ya Uganda]]
sa5bjhx7nsya2vwedrpn3r5crq8o2gi
Mtumiaji:Amanich7/ukurasa wa majaribio
2
242220
1584473
1584275
2026-08-05T20:35:15Z
Amanich7
44301
/* Katika utamaduni */
1584473
wikitext
text/x-wiki
<br>
== Katika utamaduni ==
* Mandhari ya mwisho ya filamu ya 1992 "Nel continente nero" ("On The Black Continent") iliyoongozwa na Marco rizi hufanyika na ilipigwa picha kati ya magofu ya Gedi.<ref>[https://www.imdb.com/title/tt0107667/ "Nel continente nero"], IMDb.com.</ref><ref>[https://www.allmovie.com/movie/nel-continente-nero-v148599 "Nel continente nero"], Allmovie.com</ref>
* Mabomoko ya Gede yanaelezewa na mara nyingi hutajwa katika riwaya ya [[Andrei Gusev]] ya 2020 "Our Wild Sex in Malindi".<ref>[http://mliterature.narod.ru/In_Malindi.htm Review of ''"Our Wild Sex in Malindi"''] on the site of public fund "Union of Writers of Moscow", 2020</ref><ref>''[[Andrei Gusev]]'' [http://Gusev.webs.com/Malindi.htm “Our Wild Sex in Malindi”] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201009210533/https://gusev.webs.com/Malindi.htm |date=2020-10-09 }}, 2020 {{in lang|ru}}</ref><ref>[https://proza.ru/2018/02/25/7 «Наш жёсткий секс в Малинди»] by ''[[Andrei Gusev]]'', 2020</ref>
s33mpfgk0iiewr73nqiuav3k0u53bk5
Lorraine Chandler
0
242607
1584626
1581708
2026-08-06T05:57:15Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584626
wikitext
text/x-wiki
'''Lorraine Chandler''' (alizaliwa kwa jina la Ermastine Lewis; [[29 Aprili]] [[1946]] – [[2 Januari]] [[2020]]) alikuwa [[mwimbaji]] wa muziki wa soul, [[mtunzi]] wa nyimbo, na mtayarishaji wa rekodi kutoka Marekani.<ref>[http://www.thesoulbasement.com/Site/In_Memoriam.html "Lorraine Chandler", ''The Soul Basement''] {{Wayback|url=http://www.thesoulbasement.com/Site/In_Memoriam.html |date=20200814104139 }}. Retrieved 2 June 2020</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
cp8827dfu4kcn46unabbectqmsgrp81
Okello
0
242615
1584407
1581715
2026-08-05T14:18:27Z
Riccardo Riccioni
452
1584407
wikitext
text/x-wiki
'''Okello''' (pia huandikwa '''Okelo''') ni [[jina]] la [[ukoo]] linalotumiwa sana na [[Binadamu|watu]] wa [[jamii]] za [[Wajaluo]] na [[Waateker]] nchini [[Uganda]], [[Kenya]] na [[Sudan]]. Jina hili linaweza kurejelea:
== Watu ==
* Okello Oculi ([[1942]]<ref>https://web.archive.org/web/20120920220007/http://www.newvision.co.ug/D/8/25/647758</ref>–[[2025]]<ref>https://www.premiumtimesng.com/opinion/810172-okello-oculi-1942-2025-the-scholar-who-lived-and-breathed-africa-by-yusuf-bangura.html</ref>), [[mwandishi]] wa [[riwaya]] na [[mshairi]] wa [[Uganda]]
* Allan Okello (amezaliwa [[2000]]<ref>https://web.archive.org/web/20181103150845/http://www.kccafc.co.ug/player/allan-okello/</ref>), [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] <ref>https://www.sofascore.com/football/player/allan-okello/933067</ref> wa Uganda
* Bazilio Olara-Okello ([[1929]]–[[1990]]), [[mwanajeshi]] wa Uganda aliyewahi kuwa mkuu wa [[nchi]] wa Uganda
* David Okello (amezaliwa [[1986]]), mchezaji wa mpira wa miguu wa [[Kenya]]
* Emmy Okello (amezaliwa [[1977]]), [[daktari]] [[bingwa]] mshauri wa Uganda
* Esther Okello Lutwa (alikufa [[2002]]), [[Siasa|mwanasiasa]] wa Uganda na [[mke]] wa [[rais]] wa [[zamani]] wa Uganda
* Galdino Moro Okello (amezaliwa [[1940]]), [[jaji]] wa Uganda
* Henry Oryem Okello (amezaliwa [[1960]]), mwanasiasa wa Uganda
* James Okello (amezaliwa 1990), mchezaji wa [[mpira wa kikapu]] wa Uganda
* [[John Okello]] ([[1937]]–[[1971]]), [[kiongozi]] Wa [[Mapinduzi ya Zanzibar]] aliyezaliwa Uganda
* Noble Okello (amezaliwa 2000), mchezaji wa [[soka]] wa [[Kanada]]
* Tito Okello ([[1914]]–[[1996]]), mwanajeshi na mwanasiasa wa Uganda aliyekuwa Rais wa Uganda kuanzia [[1985]] hadi [[1986]]
== Matumizi mengine ==
* '''Okello''', mhusika katika filamu ya mwaka [[1972]] ''Aguirre, the Wrath of God''.
{{maana}}
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
[[Jamii:Majina ya watu]]
8rwtg94rdmxfuwqw21ojk53yprde550
1584766
1584407
2026-08-06T10:11:26Z
Riccardo Riccioni
452
1584766
wikitext
text/x-wiki
'''Okello''' (pia huandikwa '''Okelo''') ni [[jina]] la [[ukoo]] linalotumiwa sana na [[Binadamu|watu]] wa [[jamii]] za [[Wajaluo]] na [[Waateker]] nchini [[Uganda]], [[Kenya]] na [[Sudan]]. Jina hili linaweza kurejelea:
== Watu ==
* [[Okello Oculi]] ([[1942]]<ref>https://web.archive.org/web/20120920220007/http://www.newvision.co.ug/D/8/25/647758</ref>–[[2025]]<ref>https://www.premiumtimesng.com/opinion/810172-okello-oculi-1942-2025-the-scholar-who-lived-and-breathed-africa-by-yusuf-bangura.html</ref>), [[mwandishi]] wa [[riwaya]] na [[mshairi]] wa [[Uganda]]
* [[Allan Okello]] (amezaliwa [[2000]]<ref>https://web.archive.org/web/20181103150845/http://www.kccafc.co.ug/player/allan-okello/</ref>), [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] <ref>https://www.sofascore.com/football/player/allan-okello/933067</ref> wa Uganda
* [[Bazilio Olara-Okello]] ([[1929]]–[[1990]]), [[mwanajeshi]] wa Uganda aliyewahi kuwa mkuu wa [[nchi]] wa Uganda
* [[David Okello]] (amezaliwa [[1986]]), mchezaji wa mpira wa miguu wa [[Kenya]]
* [[Emmy Okello]] (amezaliwa [[1977]]), [[daktari]] [[bingwa]] mshauri wa Uganda
* [[Esther Okello Lutwa]] (alikufa [[2002]]), [[Siasa|mwanasiasa]] wa Uganda na [[mke]] wa [[rais]] wa [[zamani]] wa Uganda
* [[Galdino Moro Okello]] (amezaliwa [[1940]]), [[jaji]] wa Uganda
* [[Henry Oryem Okello]] (amezaliwa [[1960]]), mwanasiasa wa Uganda
* [[James Okello]] (amezaliwa 1990), mchezaji wa [[mpira wa kikapu]] wa Uganda
* [[John Okello]] ([[1937]]–[[1971]]), [[kiongozi]] Wa [[Mapinduzi ya Zanzibar]] aliyezaliwa Uganda
* [[Noble Okello]] (amezaliwa 2000), mchezaji wa [[soka]] wa [[Kanada]]
* [[Tito Okello]] ([[1914]]–[[1996]]), mwanajeshi na mwanasiasa wa Uganda aliyekuwa Rais wa nchi kuanzia [[1985]] hadi [[1986]]
== Matumizi mengine ==
* '''Okello''', mhusika katika filamu ya mwaka [[1972]] ''Aguirre, the Wrath of God''.
{{maana}}
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Majina ya watu]]
d8h4mqvb17bqj1qjagkq000jla8mu49
1584767
1584766
2026-08-06T10:11:59Z
Riccardo Riccioni
452
/* Matumizi mengine */
1584767
wikitext
text/x-wiki
'''Okello''' (pia huandikwa '''Okelo''') ni [[jina]] la [[ukoo]] linalotumiwa sana na [[Binadamu|watu]] wa [[jamii]] za [[Wajaluo]] na [[Waateker]] nchini [[Uganda]], [[Kenya]] na [[Sudan]]. Jina hili linaweza kurejelea:
== Watu ==
* [[Okello Oculi]] ([[1942]]<ref>https://web.archive.org/web/20120920220007/http://www.newvision.co.ug/D/8/25/647758</ref>–[[2025]]<ref>https://www.premiumtimesng.com/opinion/810172-okello-oculi-1942-2025-the-scholar-who-lived-and-breathed-africa-by-yusuf-bangura.html</ref>), [[mwandishi]] wa [[riwaya]] na [[mshairi]] wa [[Uganda]]
* [[Allan Okello]] (amezaliwa [[2000]]<ref>https://web.archive.org/web/20181103150845/http://www.kccafc.co.ug/player/allan-okello/</ref>), [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] <ref>https://www.sofascore.com/football/player/allan-okello/933067</ref> wa Uganda
* [[Bazilio Olara-Okello]] ([[1929]]–[[1990]]), [[mwanajeshi]] wa Uganda aliyewahi kuwa mkuu wa [[nchi]] wa Uganda
* [[David Okello]] (amezaliwa [[1986]]), mchezaji wa mpira wa miguu wa [[Kenya]]
* [[Emmy Okello]] (amezaliwa [[1977]]), [[daktari]] [[bingwa]] mshauri wa Uganda
* [[Esther Okello Lutwa]] (alikufa [[2002]]), [[Siasa|mwanasiasa]] wa Uganda na [[mke]] wa [[rais]] wa [[zamani]] wa Uganda
* [[Galdino Moro Okello]] (amezaliwa [[1940]]), [[jaji]] wa Uganda
* [[Henry Oryem Okello]] (amezaliwa [[1960]]), mwanasiasa wa Uganda
* [[James Okello]] (amezaliwa 1990), mchezaji wa [[mpira wa kikapu]] wa Uganda
* [[John Okello]] ([[1937]]–[[1971]]), [[kiongozi]] Wa [[Mapinduzi ya Zanzibar]] aliyezaliwa Uganda
* [[Noble Okello]] (amezaliwa 2000), mchezaji wa [[soka]] wa [[Kanada]]
* [[Tito Okello]] ([[1914]]–[[1996]]), mwanajeshi na mwanasiasa wa Uganda aliyekuwa Rais wa nchi kuanzia [[1985]] hadi [[1986]]
== Matumizi mengine ==
* '''Okello''', mhusika katika filamu ya mwaka [[1972]] ''Aguirre, the Wrath of God''.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{maana}}
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Majina ya watu]]
5bd1fuzd72f2sjfon34nsbiwdao2dh8
Chepkoech
0
242618
1584760
1581865
2026-08-06T10:03:26Z
Riccardo Riccioni
452
1584760
wikitext
text/x-wiki
'''Chepkoech''' ni jina la ukoo linalotumika nchini Kenya. Baadhi ya watu mashuhuri wenye jina hili ni:
* [[Beatrice Chepkoech]] (aliyezaliwa mwaka 1991) – Mwanariadha wa Kenya anayebobea katika mbio za masafa marefu.
* [[Caroline Chepkoech Kipkirui]] (aliyezaliwa mwaka 1994) – Mwanariadha wa mbio za masafa marefu mwenye uraia wa Kenya na Kazakhstan.
* [[Jackline Chepkoech]] (aliyezaliwa mwaka 2003) – Mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za kuruka viunzi na maji (steeplechase).
* [[Joyce Chepkoech Korir]] – Mwanasiasa wa Kenya
{{maana}}
[[Jamii:majina ya ukoo]]
[[Jamii:watu wa Kenya]]
i7qvinb2qq8gp4a4xpwtjzx8legneum
Rono
0
242637
1584793
1581902
2026-08-06T10:37:30Z
Riccardo Riccioni
452
1584793
wikitext
text/x-wiki
'''Rono''' ni jina la asili ya [[Kenya]] ambalo linaweza kumaanisha watu mbalimbali wafuatao:
*[[Alex Kipchirchir Rono]] (amezaliwa mwaka 1984) ni mwanariadha wa Kenya aliyebobea katika mbio za mita 800 na mshindi wa medali ya dhahabu katika Michezo ya Jumuiya ya [[Madola]] mwaka 2006.
*[[Daniel Rono]] (amezaliwa mwaka [[1978]]) ni mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za marathoni.
*[[Elly Rono]] (amezaliwa mwaka 1970) ni [[mwanariadha]] wa Kenya wa mbio za marathoni na mshindi mara mbili wa Mashindano ya Kimataifa ya Marathoni ya [[California]].
*[[Georgina Rono]] (amezaliwa mwaka 1980) ni mwanariadha wa Kenya wa mbio za marathoni na mshindi wa Marathoni ya Eindhoven mwaka 2011.
*[[Henry Rono]] (1952–2024) alikuwa mwanariadha wa Kenya aliyebobea katika mbio za kuruka viunzi na maji (steeplechase), na aliwahi kushikilia rekodi ya [[dunia]].
*[[Janet Rono]] (amezaliwa mwaka [[1988]]) ni mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za marathoni.
{{maana}}
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
2efiw7r1fvfahj0w14d1rjx35abw2kl
Jalebi
0
242678
1584468
1581938
2026-08-05T20:10:51Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584468
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Basavanagudi Kadalekai Parishe (2025) Bangalore (86).jpg|thumb|Jalebi]]
'''Jalebi''' ni [[kitafunwa]] kitamu maarufu katika [[Asia ya Kusini]], [[Asia ya Magharibi]], na sehemu fulani za [[Afrika]].<ref>{{Cite web |url=https://food.ndtv.com/food-drinks/history-of-jalebi-how-the-coiled-and-sugary-west-asian-import-became-indias-favourite-sweetmeat-1825707 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2026-07-25 |archive-date=2023-06-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230610081830/https://food.ndtv.com/food-drinks/history-of-jalebi-how-the-coiled-and-sugary-west-asian-import-became-indias-favourite-sweetmeat-1825707 |url-status=dead }}</ref>
Aina ya kitafunwa hichi kinachopatikana Kusini mwa Asia hutengenezwa kwa kukaanga kwa [[Mafuta (chakula)|mafuta]] mengi uji wa unga wa maida uliotengenezwa kama [[siagi]].Siagi hiyo hupangiliwa kuwa umbo la [[duara]], kisha huingizwa kwenye supu ya [[sukari]].<ref>https://timesofindia.indiatimes.com/journey-of-the-jalebi/articleshow/5071902.cms?referral=PM</ref>
Kwa sababu jalebi huwa na sukari nyingi, kwa watu wanaodhibiti kisukari kwa kawaida inashauriwa watumimie kiasi kidogo. Vyakula na vitandamra vilivyo na sukari iliyoongezwa vinaweza kuongeza kiwango cha sukari kwenye damu, hivyo huenda vikahitaji kupunguzwa katika lishe ya kisukari.
Huko Kaskazini mwa India, jalebi huliwa pamoja na mtindi na wakati mwingine watu huongeza ladha nyingine kama kewra kiini cha maua ya pandanus kulingana na mtu anavyopenda.<ref>https://harissa.com/news/article/zlabia-la-confiserie-avec-une-histoire#google_vignette</ref><ref>https://www.patrika.com/jabalpur-news/jayaka-india-ka-famous-jalebi-of-jabalpur-1-2013004</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Chakula]]
nmdeqmzkszac57yn5aduyqjk4b7radx
1584475
1584468
2026-08-05T20:39:11Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584475
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Basavanagudi Kadalekai Parishe (2025) Bangalore (86).jpg|thumb|Jalebi]]
'''Jalebi''' ni [[kitafunwa]] kitamu maarufu katika [[Asia ya Kusini]], [[Asia ya Magharibi]], na sehemu fulani za [[Afrika]].<ref>{{Rejea tovuti |url=https://food.ndtv.com/food-drinks/history-of-jalebi-how-the-coiled-and-sugary-west-asian-import-became-indias-favourite-sweetmeat-1825707 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2026-07-25 |archive-date=2023-06-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230610081830/https://food.ndtv.com/food-drinks/history-of-jalebi-how-the-coiled-and-sugary-west-asian-import-became-indias-favourite-sweetmeat-1825707 |url-status=dead }}</ref>
Aina ya kitafunwa hichi kinachopatikana Kusini mwa Asia hutengenezwa kwa kukaanga kwa [[Mafuta (chakula)|mafuta]] mengi uji wa unga wa maida uliotengenezwa kama [[siagi]].Siagi hiyo hupangiliwa kuwa umbo la [[duara]], kisha huingizwa kwenye supu ya [[sukari]].<ref>https://timesofindia.indiatimes.com/journey-of-the-jalebi/articleshow/5071902.cms?referral=PM</ref>
Kwa sababu jalebi huwa na sukari nyingi, kwa watu wanaodhibiti kisukari kwa kawaida inashauriwa watumimie kiasi kidogo. Vyakula na vitandamra vilivyo na sukari iliyoongezwa vinaweza kuongeza kiwango cha sukari kwenye damu, hivyo huenda vikahitaji kupunguzwa katika lishe ya kisukari.
Huko Kaskazini mwa India, jalebi huliwa pamoja na mtindi na wakati mwingine watu huongeza ladha nyingine kama kewra kiini cha maua ya pandanus kulingana na mtu anavyopenda.<ref>https://harissa.com/news/article/zlabia-la-confiserie-avec-une-histoire#google_vignette</ref><ref>https://www.patrika.com/jabalpur-news/jayaka-india-ka-famous-jalebi-of-jabalpur-1-2013004</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Chakula]]
nkquishavlwekmgiaz216lo723zl9wd
Chepkwony
0
242698
1584761
1582145
2026-08-06T10:04:17Z
Riccardo Riccioni
452
1584761
wikitext
text/x-wiki
'''Chepkwony''' ni jina lenye asili ya [[Kenya]], hasa kutoka katika jamii ya [[Wakalenjin]]. Baadhi ya [[Binadamu|watu]] maarufu nchini Kenya wenye jina hili ni:
* [[Caroline Chepkwony]] (amezaliwa 1985) ni mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za masafa marefu barabarani.
* [[Franklin Chepkwony]] (amezaliwa 1984) ni mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za marathon.
* [[John Chepkwony Kipkoech]] (amezaliwa 1991) ni mwanariadha wa Kenya anayeshiriki mbio za masafa marefu uwanjani.
* [[Julius Chepkwony]]
{{maana}}
[[Jamii:majina ya ukoo]]
[[Jamii:watu wa Kenya]]
gjab3ihvdxcoyw7gmhw6bbwfi6wap3o
Birech
0
242699
1584756
1582142
2026-08-06T10:01:23Z
Riccardo Riccioni
452
1584756
wikitext
text/x-wiki
'''Birech''' ni jina la kiume linalotoka nchini [[Kenya]]. Linatokana na neno la [[Kikalenjin]] "birechik", ambalo maana yake ni mchwa jeshi (aina ya mchwa wanaotembea kwa makundi makubwa). Baadhi ya watu mashuhuri wenye jina Birech ni:
*Jairus Birech (1992–2025) – mwanariadha wa Kenya aliyeshiriki mbio za kuruka viunzi na maji (steeplechase).
*Joseph Birech (amezaliwa mwaka 1984) – mwanariadha wa Kenya anayekimbia mbio za masafa marefu, na ameshinda mashindano ya Great Scottish Run mara mbili.
{{maana}}
[[Jamii:majina ya watu]]
[[Jamii:watu wa Kenya]]
pe8zkjoqn2ozll2zopimamjlou9r7cr
Amama Mbabazi
0
242729
1584397
1582592
2026-08-05T14:07:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584397
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|jina la kuzaliwa=John Patrick Amama Mbabazi|tarehe ya kuzaliwa=alizaliwa tarehe 16 Januari 1949|utaifa=Uganda|uraia=Raia wa Uganda|elimu=Stashahada ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria|anajulikana kwa ajili ya=Wazuri mkuu wa 9 wa Uganda}}[[Faili:Amama Mbabazi.jpg|thumb]]
'''John Patrick Amama Mbabazi''' (maarufu kama '''Amama Mbabazi'''; alizaliwa [[16 Januari]] [[1949]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]] ambaye aliwahi kuwa [[Waziri]] Mkuu wa [[tisa]] wa [[Uganda]] kuanzia tarehe 24 Mei [[2011]] hadi 19 Septemba [[2014]]. Alikuwa na mchango mkubwa katika mapambano ya [[ukombozi]] wa [[Uganda]] dhidi ya tawala za kidikteta kati ya mwaka [[1972]] na [[1986]]. Pia ni mmoja wa [[waanzilishi]] wa [[Harakati]] ya Kitaifa ya [[Upinzani]] (National Resistance Movement – NRM), ambayo ndiyo [[chama]] tawala nchini [[Uganda]].
Mbabazi alikuwa [[Mbunge]] wa [[Jimbo]] la Kinkiizi West katika [[Wilaya ya Kanungu]] kuanzia mwaka [[1996]] hadi mwaka [[2016]]. Mwaka 2016, aligombea [[urais]] wa [[Uganda]] lakini isivyo bahati hakufanikiwa kushinda [[uchaguzi]] huo.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Amama Mbabazi alizaliwa tarehe 16 Januari 1949 katika kijiji cha [[Mparo]], Kata ya Rukiga, ambayo kwa sasa ipo katika Wilaya ya Rukiga nchini [[Uganda]]. Elimu yake ya [[sekondari]] aliipata katika Shule ya Kigezi [[College]] Butobere, kisha akamaliza elimu ya kidato cha [[tano]] na sita katika Shule ya Ntare. Baadaye alihitimu shahada ya [[Sheria]] (Bachelor of Laws) kutoka [[Chuo]] Kikuu cha [[Makerere]]. Pia alipata [[Stashahada]] ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria kutoka Kituo cha [[Maendeleo]] ya Sheria (Law Development Centre) kilichopo Kampala. Mbabazi ni wakili anayehitimu kufanya kazi katika mahakama za Uganda na amekuwa mwanachama wa Chama cha [[Wanasheria]] cha [[Uganda]] tangu mwaka 1977.<ref>{{Rejea tovuti|title=Amama Mbabazi’s road to Prime Minister|url=https://www.newvision.co.ugnull/|work=New Vision|accessdate=2026-07-25|author=Vision Reporter}}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=The Observer|url=http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694:mbabazi-mutebile-to-revive-former-school|work=www.observer.ug|accessdate=2026-07-25|language=en-gb|author=Edward Ssekika|archive-date=2015-07-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20150715230626/http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694%3Ambabazi-mutebile-to-revive-former-school|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Parliament of Uganda|url=http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=18&const=Kinkiizi+County+West&dist_id=65&distname=Kanungu|work=www.parliament.go.ug|accessdate=2026-07-25}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
s188u668mbvj0tv1c6md4aed6xcs6ua
1584398
1584397
2026-08-05T14:08:08Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbabazi]] hadi [[Amama Mbabazi]]: usahihi wa jina
1584397
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|jina la kuzaliwa=John Patrick Amama Mbabazi|tarehe ya kuzaliwa=alizaliwa tarehe 16 Januari 1949|utaifa=Uganda|uraia=Raia wa Uganda|elimu=Stashahada ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria|anajulikana kwa ajili ya=Wazuri mkuu wa 9 wa Uganda}}[[Faili:Amama Mbabazi.jpg|thumb]]
'''John Patrick Amama Mbabazi''' (maarufu kama '''Amama Mbabazi'''; alizaliwa [[16 Januari]] [[1949]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]] ambaye aliwahi kuwa [[Waziri]] Mkuu wa [[tisa]] wa [[Uganda]] kuanzia tarehe 24 Mei [[2011]] hadi 19 Septemba [[2014]]. Alikuwa na mchango mkubwa katika mapambano ya [[ukombozi]] wa [[Uganda]] dhidi ya tawala za kidikteta kati ya mwaka [[1972]] na [[1986]]. Pia ni mmoja wa [[waanzilishi]] wa [[Harakati]] ya Kitaifa ya [[Upinzani]] (National Resistance Movement – NRM), ambayo ndiyo [[chama]] tawala nchini [[Uganda]].
Mbabazi alikuwa [[Mbunge]] wa [[Jimbo]] la Kinkiizi West katika [[Wilaya ya Kanungu]] kuanzia mwaka [[1996]] hadi mwaka [[2016]]. Mwaka 2016, aligombea [[urais]] wa [[Uganda]] lakini isivyo bahati hakufanikiwa kushinda [[uchaguzi]] huo.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Amama Mbabazi alizaliwa tarehe 16 Januari 1949 katika kijiji cha [[Mparo]], Kata ya Rukiga, ambayo kwa sasa ipo katika Wilaya ya Rukiga nchini [[Uganda]]. Elimu yake ya [[sekondari]] aliipata katika Shule ya Kigezi [[College]] Butobere, kisha akamaliza elimu ya kidato cha [[tano]] na sita katika Shule ya Ntare. Baadaye alihitimu shahada ya [[Sheria]] (Bachelor of Laws) kutoka [[Chuo]] Kikuu cha [[Makerere]]. Pia alipata [[Stashahada]] ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria kutoka Kituo cha [[Maendeleo]] ya Sheria (Law Development Centre) kilichopo Kampala. Mbabazi ni wakili anayehitimu kufanya kazi katika mahakama za Uganda na amekuwa mwanachama wa Chama cha [[Wanasheria]] cha [[Uganda]] tangu mwaka 1977.<ref>{{Rejea tovuti|title=Amama Mbabazi’s road to Prime Minister|url=https://www.newvision.co.ugnull/|work=New Vision|accessdate=2026-07-25|author=Vision Reporter}}{{Dead link|date=July 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=The Observer|url=http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694:mbabazi-mutebile-to-revive-former-school|work=www.observer.ug|accessdate=2026-07-25|language=en-gb|author=Edward Ssekika|archive-date=2015-07-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20150715230626/http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694%3Ambabazi-mutebile-to-revive-former-school|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Parliament of Uganda|url=http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=18&const=Kinkiizi+County+West&dist_id=65&distname=Kanungu|work=www.parliament.go.ug|accessdate=2026-07-25}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
s188u668mbvj0tv1c6md4aed6xcs6ua
1584400
1584398
2026-08-05T14:08:32Z
Riccardo Riccioni
452
/* Maisha ya Awali na Elimu */
1584400
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|jina la kuzaliwa=John Patrick Amama Mbabazi|tarehe ya kuzaliwa=alizaliwa tarehe 16 Januari 1949|utaifa=Uganda|uraia=Raia wa Uganda|elimu=Stashahada ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria|anajulikana kwa ajili ya=Wazuri mkuu wa 9 wa Uganda}}[[Faili:Amama Mbabazi.jpg|thumb]]
'''John Patrick Amama Mbabazi''' (maarufu kama '''Amama Mbabazi'''; alizaliwa [[16 Januari]] [[1949]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]] ambaye aliwahi kuwa [[Waziri]] Mkuu wa [[tisa]] wa [[Uganda]] kuanzia tarehe 24 Mei [[2011]] hadi 19 Septemba [[2014]]. Alikuwa na mchango mkubwa katika mapambano ya [[ukombozi]] wa [[Uganda]] dhidi ya tawala za kidikteta kati ya mwaka [[1972]] na [[1986]]. Pia ni mmoja wa [[waanzilishi]] wa [[Harakati]] ya Kitaifa ya [[Upinzani]] (National Resistance Movement – NRM), ambayo ndiyo [[chama]] tawala nchini [[Uganda]].
Mbabazi alikuwa [[Mbunge]] wa [[Jimbo]] la Kinkiizi West katika [[Wilaya ya Kanungu]] kuanzia mwaka [[1996]] hadi mwaka [[2016]]. Mwaka 2016, aligombea [[urais]] wa [[Uganda]] lakini isivyo bahati hakufanikiwa kushinda [[uchaguzi]] huo.
== Maisha ya Awali na Elimu ==
Amama Mbabazi alizaliwa tarehe 16 Januari 1949 katika kijiji cha [[Mparo]], Kata ya Rukiga, ambayo kwa sasa ipo katika Wilaya ya Rukiga nchini [[Uganda]]. Elimu yake ya [[sekondari]] aliipata katika Shule ya Kigezi [[College]] Butobere, kisha akamaliza elimu ya kidato cha [[tano]] na sita katika Shule ya Ntare. Baadaye alihitimu shahada ya [[Sheria]] (Bachelor of Laws) kutoka [[Chuo]] Kikuu cha [[Makerere]]. Pia alipata [[Stashahada]] ya Uzamili katika Mafunzo ya Uanasheria kutoka Kituo cha [[Maendeleo]] ya Sheria (Law Development Centre) kilichopo Kampala. Mbabazi ni wakili anayehitimu kufanya kazi katika mahakama za Uganda na amekuwa mwanachama wa Chama cha [[Wanasheria]] cha [[Uganda]] tangu mwaka 1977.<ref>{{Rejea tovuti|title=The Observer|url=http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694:mbabazi-mutebile-to-revive-former-school|work=www.observer.ug|accessdate=2026-07-25|language=en-gb|author=Edward Ssekika|archive-date=2015-07-15|archive-url=https://web.archive.org/web/20150715230626/http://www.observer.ug/component/content/article?id=14694%3Ambabazi-mutebile-to-revive-former-school|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Parliament of Uganda|url=http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=18&const=Kinkiizi+County+West&dist_id=65&distname=Kanungu|work=www.parliament.go.ug|accessdate=2026-07-25}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
0nb2hs6ncf45rc73ewtm1oxitlxga3w
Mehari
0
242731
1584401
1581752
2026-08-05T14:10:08Z
Riccardo Riccioni
452
1584401
wikitext
text/x-wiki
'''Mehari''' (kwa Kiamhari: '''መሀሪ''' au '''መሐሪ''') ni jina la kiume linalotumiwa nchini [[Ethiopia]] na [[Eritrea]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
Maana yake halisi katika [[lugha]] ya Kiamhari ni '''"'''mwenye huruma'''"''', '''"'''mwenye kusamehe'''"'''<ref>{{Citation|title=Ethiopian Names - letter M|url=https://ethiopia.limbo13.com/index.php/ethiopian_names/ethiopian_names_m/|work=Road to Ethiopia - Camino a Etiopia|access-date=2026-07-25}}</ref>, au '''"'''msamehevu'''."'''
Kama ilivyo kwa majina mengi ya wanaume nchini Ethiopia <ref>{{Rejea tovuti|title=Mehari Surname Origin, Meaning & Last Name History|url=https://forebears.io/surnames/mehari|work=forebears.io|accessdate=2026-07-25}}</ref>Mehari linaweza kutumiwa pia kama jina la ukoo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
Kwa ufupi: ''Mehari'' ni jina la kiume la Ethiopia na Eritrea linalomaanisha mtu mwenye huruma na anayesamehe, na linaweza kutumika pia kama jina la [[ukoo]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu}}
[[Jamii:Watu wa Eritrea]]
[[Jamii:Watu wa Ethiopia]]
50cir3w36d238lg7wb0mt5awi1y7das
1584795
1584401
2026-08-06T10:42:02Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584795
wikitext
text/x-wiki
'''Mehari''' (kwa Kiamhari: '''መሀሪ''' au '''መሐሪ''') ni jina la kiume linalotumiwa nchini [[Ethiopia]] na [[Eritrea]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
Maana yake halisi katika [[lugha]] ya Kiamhari ni '''"'''mwenye huruma'''"''', '''"'''mwenye kusamehe'''"'''<ref>{{Citation|title=Ethiopian Names - letter M|url=https://ethiopia.limbo13.com/index.php/ethiopian_names/ethiopian_names_m/|work=Road to Ethiopia - Camino a Etiopia|access-date=2026-07-25|archive-date=2022-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20221207212318/https://ethiopia.limbo13.com/index.php/ethiopian_names/ethiopian_names_m/|url-status=dead}}</ref>, au '''"'''msamehevu'''."'''
Kama ilivyo kwa majina mengi ya wanaume nchini Ethiopia <ref>{{Rejea tovuti|title=Mehari Surname Origin, Meaning & Last Name History|url=https://forebears.io/surnames/mehari|work=forebears.io|accessdate=2026-07-25}}</ref>Mehari linaweza kutumiwa pia kama jina la ukoo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
Kwa ufupi: ''Mehari'' ni jina la kiume la Ethiopia na Eritrea linalomaanisha mtu mwenye huruma na anayesamehe, na linaweza kutumika pia kama jina la [[ukoo]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Durame.com is for sale|url=https://www.hugedomains.com/domain_profile.cfm?d=Durame.com|work=HugeDomains|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu}}
[[Jamii:Watu wa Eritrea]]
[[Jamii:Watu wa Ethiopia]]
cnansgcalxk9wutny0e2zyx2ir4dk2y
Woldemichael
0
242733
1584413
1581537
2026-08-05T14:26:44Z
Riccardo Riccioni
452
1584413
wikitext
text/x-wiki
'''Woldemichael''' ni [[jina]] la kiume lenye [[asili]] ya [[nchi]] za [[Ethiopia]] na [[Eritrea]]. Mifano ya [[watu]] wenye jina hili ni pamoja na:
● Woldemichael Abraha: [[Mwanasiasa]] wa Eritrea na [[Waziri]] wa Uchukuzi.<ref>https://shabait.com/2025/05/27/veteran-freedom-fighter-minister-woldemicael-abraha-passes-away/></ref>
● Woldemichael Ghebremariam: Mwanasiasa wa Eritrea na Waziri wa [[Ardhi ya mchanga|Ardhi]], [[Maji]], na [[Mazingira]].<ref>https://grokipedia.com/page/woldemichael_ghebremariam</ref>
● Woldemichael Solomon ([[1820]]–[[1906]]): Ras ([[Mtemi]]) wa [[ufalme]] wa Medri Bahri na Hamasien.<ref>https://grokipedia.com/page/woldemichael_solomon</ref>
● Yared Woldemichael (amezaliwa mwaka [[1968]]): Bondia kutoka nchini Ethiopia.
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Maana}}
[[Jamii:majina ya watu]]
[[Jamii:Watu wa Eritrea]]
[[Jamii:Watu wa Ethiopia]]
8gkoennuij2eu81f5nbc3a4p8psk2wk
Mutale (jina)
0
242747
1584403
1581761
2026-08-05T14:13:55Z
Riccardo Riccioni
452
1584403
wikitext
text/x-wiki
'''Mutale''' ni [[jina]] lenye [[asili]] ya [[Zambia]] ambalo linaweza kumaanisha:
* Mutale Nalumango (aliyezaliwa mwaka [[1955]]), [[mwalimu]] na [[mwanasiasa]] wa Zambia
* Mutale Nkonde, [[mwandishi wa habari]] na mtafiti wa sera za akili mbandia wa Zambia
* Bernard Mutale, [[beki]] wa [[mpira wa miguu]] wa Zambia
* Billy Mutale (aliyezaliwa mwaka [[1993]]), mchezaji wa mpira wa miguu wa Zambia
* Edith Mutale (aliyezaliwa mwaka [[1994]]), [[balozi]] wa [[Mwanamke|wanawake]] wa Zambia
* Kelvin Mutale ([[1969]]–1993), mchezaji wa mpira wa miguu wa Zambia
* Lucky Mutale <ref>{{Rejea tovuti|title=Lucky Mutale Bio, Stats, and Results|url=https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/mu/lucky-mutale-1.html|work=Olympics at Sports-Reference.com|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref> (aliyezaliwa mwaka 1955), bondia wa Zambia aliyestaafu
* Vincent Mutale (aliyezaliwa mwaka [[1973]]), mchezaji wa mpira wa miguu wa Zambia
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{maana}}
[[Jamii:Majina ya watu]]
[[Jamii:Watu wa Zambia]]
4y0o4v3grxgh66znne5dbn7r5wj33rt
Cheromei
0
242755
1584762
1581567
2026-08-06T10:05:53Z
Riccardo Riccioni
452
1584762
wikitext
text/x-wiki
'''Cheromei''' ni [[jina]] la [[ukoo]] lenye [[asili]] ya nchini [[Kenya]]. [[Watu]] mashuhuri wenye jina hili ni pamoja na:
● [[Joseph Cheromei]] (amezaliwa [[mwaka]] [[1966]]): Aliyekuwa [[mwanariadha]] wa Kenya wa [[mbio]] za [[marathoni]] na [[kocha]] wa sasa.<ref>https://grokipedia.com/page/joseph_cheromei</ref>
● [[Lydia Cheromei]] (amezaliwa mwaka [[1977]]): Mwanariadha wa Kenya wa mbio za masafa marefu na [[mshindi]] wa [[medali]] ya [[dunia]]. Ni [[dada]] yake [[Joseph]].<ref>https://grokipedia.com/page/cheromei</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Maana}}
[[Jamii:majina ya ukoo]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
ixg45aajpthq6la1m8wppvlsfgd9mjm
Ssali
0
242764
1584409
1581769
2026-08-05T14:21:08Z
Riccardo Riccioni
452
1584409
wikitext
text/x-wiki
'''Ssali''' ni [[jina]] la [[ukoo]]. Watu mashuhuri wenye jina hili ni pamoja na:
* Godfrey Ssali <ref>{{Rejea tovuti|title=Godfrey Ssali: Career, Stats & Clubs|url=https://www.worldfootball.net/person/pe74691/godfrey-ssali/|work=worldfootball.net|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>(aliyezaliwa mwaka [[1977]]), [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Uganda]]
* Jaberi Bidandi Ssali (aliyezaliwa mwaka [[1937]]), [[mwanasiasa]] wa Uganda
* Joseph Ssali ([[1967]]–[[2003]]), [[mwanariadha]] wa mbio fupi wa Uganda
* Sarah Ssali (aliyezaliwa mwaka [[1971]]), [[mwanasayansi]] wa jamii wa Uganda
* Shaka Ssali ([[1953]]–[[2025]]), [[mwandishi wa habari]] Mmarekani mwenye asili ya Uganda
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{Maana}}
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
f77quhgk2jonyuspjyaznt0pxi3ys38
Ndambuki
0
242766
1584405
1581763
2026-08-05T14:16:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584405
wikitext
text/x-wiki
'''Ndambuki''' ni jina la [[ukoo]]<ref>{{Rejea tovuti|title=English surnames explained: The seven types of last names you should know {{!}} Blog|url=https://www.findmypast.co.uk/blog/help/surname-types|work=www.findmypast.co.uk|accessdate=2026-07-25|language=en}}</ref>. Watu mashuhuri walio na jina hilo ni pamoja na:
* Angela Ndambuki (alizaliwa mwaka 1979), wakili na [[mkurugenzi]] mtendaji nchini [[Kenya]]
* Daniel Ndambuki (alizaliwa mwaka 1977), mchekeshaji nchini Kenya
* Gideon Musyoka Ndambuki (alizaliwa mwaka 1947), [[mwanasiasa]] nchini Kenya.
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Maana}}
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
tkx30oidk59rtn2p089s8ut1ml64pxh
Kabwe (jina)
0
242773
1584395
1583838
2026-08-05T14:03:33Z
Riccardo Riccioni
452
1584395
wikitext
text/x-wiki
'''Kabwe''' ni [[jina]] la Kiafrika linaloweza kurejelea:
* [[Kabwe Kamuzati]] (amezaliwa [[1984]]), [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Zambia]].<ref>https://grokipedia.com/page/kabwe_kamuzati</ref>
* [[Kabwe Kasongo]] (amezaliwa [[1970]]), mchezaji wa mpira wa miguu kutokea [[Kongo]].<ref>https://grokipedia.com/page/kabwe_kasongo</ref>
* [[Kabwe Zuberi Zitto]], [[mwanasiasa]] wa [[Tanzania]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{Maana}}
[[Jamii:majina ya watu]]
cpr64p9qc3ikzg3ve5g2rx8jw99orqk
Cherop (jina)
0
242781
1584763
1581598
2026-08-06T10:07:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584763
wikitext
text/x-wiki
'''Cherop''' au '''Jerop''' ni [[jina]] lenye asili ya [[Kenya]] linalomaanisha aliyezaliwa wakati wa [[mvua]]. Watu maarufu wenye jina hili la [[ukoo]] ni pamoja na:
* [[Peninah Arusei Jerop]] ([[1979]]), mkimbiaji wa Kenya wa mbio za nusu marathoni.<ref>https://worldathletics.org/athletes/kenya/peninah-arusei-14288767</ref>
* [[Sharon Cherop]] ([[1984]]), mkimbiaji wa mbio za marathoni kutoka Kenya<ref>https://worldathletics.org/athletes/kenya/sharon-jemutai-cherop-14288956</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Maana}}
[[Jamii:Watu wa Kenya]]
[[Jamii:Majina ya ukoo]]
qhojhdc37ce04qs1mg4acl3vlwazziz
Kirop
0
242807
1584396
1581628
2026-08-05T14:05:42Z
Riccardo Riccioni
452
1584396
wikitext
text/x-wiki
'''Kirop''' ni [[jina]] la [[ukoo]] lenye asili ya [[Kenya]]. Maana kwa undani ni: jina "Kirop" linatokana na neno la Kalenjin "Rop'''"''' (au ''Ropta''), ambalo linamaanisha [[mvua]]. Kiambishi awali "Kip-" hutumika katika majina ya kiume kumaanisha [[mtoto]] wa kiume au "aliyezaliwa wakati wa...". Kwa hiyo, jina Kirop linamaanisha: "Mwanamume aliyezaliwa wakati wa mvua" au wakati mvua ilipokuwa inanyesha.
[[Watu]] mashuhuri wenye jina hilo ni pamoja na:
* [[Helena Kirop]] (aliyezaliwa [[1976]]), mwanariadha wa marathoni kutoka [[Kenya]]
* [[Pius Maiyo Kirop]] (aliyezaliwa [[1990]]), mwanariadha wa nusu marathoni kutoka Kenya
* [[Sammy Kirop Kitwara]] (aliyezaliwa [[1986]]), mwanariadha wa barabarani kutoka Kenya Tazama pia .
{{Maana}}
[[Jamii:Majina ya watu]]
bvrm3rldzhfo1j3try6pe2e6ovamewo
David Okello
0
242847
1584764
1581775
2026-08-06T10:08:09Z
Riccardo Riccioni
452
1584764
wikitext
text/x-wiki
'''David Abong'o Okello''' (alizaliwa [[Nairobi]], [[19 Septemba]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa kimataifa wa soka kutoka [[Kenya]] anayecheza kama [[Golikipa|kipa]] wa [[klabu]] ya Tusker.
== Maisha ya Kitaaluma ==
Okello amewahi kucheza soka la klabu katika timu za Thika United, [[Sofapaka]] na Tusker.<ref name=":0">https://www.national-football-teams.com/player/30884/David_Okello.html</ref>
Alifanya mchezo wake wa kwanza wa kimataifa akiwa na timu ya taifa ya Kenya mwaka [[2007]].<ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kenya]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:watu kutoka Nairobi]]
mbd838mhfgaovp7fkzrgtebgla57nbs
Lila Acheson Wallace
0
243074
1584622
1583227
2026-08-06T05:23:23Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584622
wikitext
text/x-wiki
'''Lila Bell Wallace''' ([[25 Desemba]] [[1889]] – [[8 Mei]] [[1984]]) alikuwa mchapishaji wa majarida na mfadhili kutoka [[Marekani]].<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.historicacanada.ca/on_this_day/birth-lila-bell-acheson|title=Birth of Lila Bell Acheson|website=Historica Canada|access-date=2019-02-09|archive-date=2019-02-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20190209180533/https://www.historicacanada.ca/on_this_day/birth-lila-bell-acheson|url-status=dead}}</ref>
Alianzisha kwa pamoja jarida la Reader's Digest akiwa na mume wake, Dewitt Wallace. Toleo la kwanza la jarida hilo lilichapishwa mwaka 1922, na baadaye likawa mojawapo ya majarida maarufu zaidi duniani kutokana na makala zake fupi, zenye elimu na burudani.
Mbali na mafanikio yake katika sekta ya uchapishaji, Lila Bell Wallace alijulikana pia kwa shughuli zake za uhisani, akichangia maendeleo ya elimu, sanaa, utamaduni na miradi mbalimbali ya kijamii kupitia misaada na taasisi za kifadhili.<ref>{{Rejea habari|date=1957-12-06|title=Dr. Barclay Acheson, Editor, Dies at 70; International Reader's Digest Official|language=en-US|work=The New York Times|url=https://www.nytimes.com/1957/12/06/archives/dr-barclay-acheson-editor-dies-at-70-international-readers-digest.html|access-date=2022-07-23|issn=0362-4331}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1889]]
[[Jamii:Waliofariki 1984]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
4ulio75tmmkyt508v96afwq0rbvxlq3
Kenny Williams (mwalimu)
0
243213
1584527
1583315
2026-08-06T01:23:56Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584527
wikitext
text/x-wiki
'''Kenny J. Williams''' (1927–2003) alikuwa msomi na [[mwandishi]] Mwafrika-Mmarekani, pamoja na kuwa [[profesa]] wa fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Duke.
Williams alizaliwa Kentucky, Marekani (jina lake la utani "Kenny" lilitokana na jina la jimbo hilo), na alipata [[shahada]] yake ya uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania mwaka 1959. Kuanzia mwaka 1977 hadi alipofariki, alikuwa profesa katika Idara ya Kiingereza ya Chuo Kikuu cha Duke.<ref>{{Rejea tovuti|title=Upstream: A Lone Duke English Professor Takes Her Stand|url=http://www.mugu.com/cgi-bin/Upstream/hamilton-duke?embedded=yes&cumulative_category_title=Literature&cumulative_category_id=Literature|work=www.mugu.com|accessdate=2026-08-02}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Duke News Briefs, Jan. 9, 2004|url=http://dukenews.duke.edu/2004/01/symphony_0104.html|work=dukenews.duke.edu|accessdate=2026-08-02|archive-date=2006-04-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20060420214535/http://dukenews.duke.edu/2004/01/symphony_0104.html|url-status=dead}}</ref>
Baba yake alikuwa Joseph Harrison Jackson, aliyekuwa [[rais]] wa Mkutano wa Kitaifa wa Wabaptisti kuanzia mwaka 1941 hadi 1990.
Mwaka 1986, Williams alipokea Tuzo la MidAmerica kutoka kwa Jumuiya ya Utafiti wa Fasihi ya Midwest kwa mchango wake mkubwa katika utafiti wa fasihi hiyo. Mwaka 1991, aliteuliwa na Rais George H. W. Bush kuwa mjumbe wa Baraza la Kitaifa la Binadamu.
Alikuwa mwanachama wa Bodi ya Utendaji ya Chama cha Fasihi ya Marekani na pia alihudumu katika Baraza la Shirika la Kitaifa la [[Binadamu]].
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1927]]
[[Jamii:Waliofariki 2003]]
[[Jamii:Walimu wa Marekani]]
h7q6th6vvqqt544qsdwn9dbwy21950k
Jeannette Caines
0
243349
1584489
1583659
2026-08-05T20:57:47Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584489
wikitext
text/x-wiki
'''Jeannette Franklin Caines''' (1937/1938–2004) alikuwa [[Mwandishi|mwandishi wa vitabu vya watoto]] kutoka [[Marekani]] na mtetezi wa uwakilishi wa makundi ya wachache wa rangi katika fasihi ya watoto.
Anajulikana zaidi kwa kitabu chake cha kwanza, Abby (1973), <ref>{{Rejea tovuti|title=Book Reviews, Sites, Romance, Fantasy, Fiction|url=https://www.kirkusreviews.com/book-reviews/a/jeannette-caines-4/abby-3/|work=Kirkus Reviews|accessdate=2026-08-04|language=en}}</ref>pamoja na Just Us Women (1982), kilichojumuishwa katika programu ya Reading Rainbow, na Chilly Stomach (1986).
Alitunukiwa Cheti cha Sifa na Shukrani kutoka [[Taasisi]] ya Kitaifa ya Maendeleo ya Mtoto Mweusi (National Black Child Development Institute) pamoja na [[Tuzo]] ya Mafanikio ya Maisha ya Charlottesville mwaka 2004.
Caines pia alikuwa mmiliki na mwendeshaji wa duka dogo la vitabu lililojulikana kama The Purple Alligator huko Charlottesville.
Jeannette Franklin Caines alizaliwa New York mwaka 1937 <ref>{{Rejea jarida |title=Jeannette Franklin Caines |url=https://www.oxfordreference.com/display/10.1093/oi/authority.20110803095541678 |journal=Oxford Reference |language=en-US |doi=10.1093/oi/authority.20110803095541678 |archive-url=https://web.archive.org/web/20260720021232/https://www.oxfordreference.com/display/10.1093/oi/authority.20110803095541678 |archive-date=2026-07-20 |access-date=2026-08-04 |url-status=live }}</ref>au 1938 na alikulia Harlem, New York.
Mwaka 1989, alistaafu na kuhamia Charlottesville, Virginia.
Mwaka 2004, aligundulika kuwa na [[saratani]] na alifariki tarehe 11 Julai mwaka huo.
Alikuwa na watoto wawili, mmoja wao alifariki mwaka 2015.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1930]]
[[Jamii:Waliofariki 2004]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
dp6kcu33724jac7vwuf7mqan2gr76at
Gio Swaby
0
243410
1584309
1584091
2026-08-05T12:49:27Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584309
wikitext
text/x-wiki
'''Gio Swaby''' <ref>{{Rejea tovuti |title=Diaspora, Darning and "Die Textile": Giovanna Swaby takes her place in Germany. – National Art Gallery of The Bahamas |url=https://nagb.org.bs/2018-7-24-diaspora-darning-and-die-textile-giovanna-swaby-takes-her-place-in-germany/ |access-date=2023-01-27 |language=en-US }}{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>(aliyezaliwa kama '''Giovanna Swaby''' mwaka [[1991]]) ni [[msanii]] wa [[nguo]] (textile artist) kutoka [[Bahama]]. Alikulia mjini [[Nassau]], [[Bahama]] na kwa sasa anaishi na kufanya kazi zake za kisanii mjini [[Toronto]], [[Ontario]].<ref name="auto4">{{Rejea tovuti |date=2021-06-01 |title=Framing Black Sisterhood: An Interview with Gio Swaby By Nya Lewis |url=https://femmeartreview.com/2021/06/01/framing-black-sisterhood-interview-with-gio-swaby-by-nya-lewis/ |access-date=2023-01-27 |website=Femme Art Review |language=en-US}}</ref> Swaby anajulikana sana kwa picha za watu (portraits) na taswira za kivuli (silhouettes) zinazotengenezwa kwa kutumia vitambaa, ambazo amezielezea kuwa ni "barua ya upendo kwa wanawake Weusi".
Kazi zake zimehifadhiwa katika makusanyo ya kudumu ya taasisi mbalimbali za sanaa, zikiwemo Art Institute of Chicago na Jumba la Makumbusho la Sanaa la Boston (Museum of Fine Arts Boston), pamoja na makumbusho mengine.
== Maisha ya awali na elimu ==
Gio Swaby alikulia [[Nassau, Bahamas]], akiwa na [[dada]] watatu wakubwa na mdogo wake mmoja wa kiume. Wao walilelewa na mama yao, ambaye alikuwa [[fundi cherehani]].<ref name=":0">{{Rejea tovuti |last=Redazione |date=2022-06-07 |title=GIO SWABY: FRESH UP |url=https://www.artemorbida.com/gio-swaby-fresh-up/?lang=en |archive-url=https://web.archive.org/web/20240302110431/https://www.artemorbida.com/gio-swaby-fresh-up/?lang=en |url-status=usurped |archive-date=March 2, 2024 |access-date=2023-01-27 |website=ArteMorbida |language=en-US}}</ref>
Akiwa mtoto, Swaby alifundishwa na mama yake jinsi ya kushona nguo za wanasesere wake. [[Mama]] yake ndiye aliyekuwa na ushawishi mkubwa katika namna alivyoanza kuielewa na kuifanya sanaa pamoja na ubunifu.<ref>{{Rejea tovuti |last=Higgins |first=Kay |date=2017-08-19 |title=Gio Swaby: We All Know Each Other |url=https://www.unitpitt.ca/portfolio/gio-swaby-we-all-know-each-other/ |access-date=2023-01-27 |website=UNIT/PITT |language=en-CA}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Higgins |first=Kay |date=2017-10-03 |title=Artist tour and discussion with Gio Swaby |url=https://www.unitpitt.ca/portfolio/artist-tour-and-discussion-with-gio-swaby/ |access-date=2023-01-27 |website=UNIT/PITT |language=en-CA}}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1991|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
a3kk4n6zqpc778961qv0jzdhjgiq8bb
Denise Narcisse-Mair
0
243442
1584297
1583959
2026-08-05T12:37:09Z
Riccardo Riccioni
452
1584297
wikitext
text/x-wiki
'''Denise Lorraine Narcisse-Mair''' ([[19 Januari]] [[1940]] – [[8 Juni]] [[2010]]) alikuwa mwanamuzikolojia, [[mwalimu]] wa [[muziki]], mwongozaji wa [[kwaya]], na [[mtunzi]] wa [[muziki]] wa [[Kanada]].
Narcisse-Mair alizaliwa mjini [[Kingston]], [[Jamaika]], tarehe 19 Januari 1940.<ref name="Cohen-1981">{{Cite encyclopedia |title=Narcisse-Mair, Denise Lorraine |encyclopedia=International Encyclopedia of Women Composers |publisher=[[R. R. Bowker]] |location=New York |url=https://archive.org/details/roni00aaro/page/330 |last=Cohen |first=Aaron I. |date=1981 |page=330 |isbn=978-0-8352-1288-5 |url-access=limited}}</ref> [[Mama]] yake alikuwa mpiga [[kinanda]], na shangazi yake alikuwa mtunzi wa muziki na mwongozaji wa kwaya katika nyumba ya watawa huko Kingston, ambako Denise alitumia miaka yake 13 ya kwanza akijifunza muziki, [[lugha]] na imani ya kidini.<ref name="Brandon-1992">{{Rejea habari |date=1992-03-06 |title=1992 Brandon Festival of the Arts, Inc. Adjudicators |url=https://newspaperarchive.com/brandon-sun-mar-06-1992-p-15/ |url-access=subscription |work=[[The Brandon Sun]] |department=Advertisement |page=15 |via=[[NewspaperArchive]]}}</ref>
Mnamo mwaka 1957, Narcisse-Mair alipata ufadhili wa masomo wa kusomea utendaji wa kinanda katika Royal College of Music jijini [[London]], [[Uingereza]], ambapo pia aliimba katika kwaya na kupiga fidla ya kwanza katika okestra.<ref name="Smith-2001">{{Rejea kitabu |last=Smith |first=Gordon E. |url=https://degruyterbrill.com/document/doi/10.1515/9780773568754/html |title=Istvan Anhalt: Pathways and Memory |date=2001 |publisher=[[McGill–Queen's University Press]] |isbn=978-0-7735-6875-4 |editor-last=Elliott |editor-first=Robin |location=Montreal & Kingston, Ont. |page=70 |chapter=The Kingston Years (1971–present) |doi=10.1515/9780773568754 |editor-last2=Smith |editor-first2=Gordon E. |chapter-url=https://degruyterbrill.com/document/doi/10.1515/9780773568754-007/html |url-access=subscription |via=[[De Gruyter Brill]]}}</ref><ref name="QAR-2010">{{Cite magazine |date=2010 |title=Bishop, Denise (née Narcisse-Mair) |url=https://www.queensu.ca/alumnireview/sites/alumnireview/files/2022-01/2010-3-QAR.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20240822184541/https://www.queensu.ca/alumnireview/sites/alumnireview/files/2022-01/2010-3-QAR.pdf |archive-date=2024-08-22 |access-date=2025-07-06 |department=In Memoriam |magazine=Queen's Alumni Review |publisher=[[Queen's University at Kingston]] |page=15 |volume=84 |issue=3}}</ref> Alipata hadhi ya Licentiate of the Royal Academy of Music mwaka 1960 na kuhitimu kutoka Royal Academy of Music mwaka [[1961]], ambapo pia alifundisha katika kipindi hicho. Pia aliolewa na [[mwanasheria]] [[Mwingereza]] mwaka [[1961]]. Kuanzia mwaka [[1961]] hadi [[1968]] alifundisha katika [[shule za sekondari]] na grammar schools huko [[London]] na Kent. Mwaka 1969 alitunukiwa hadhi ya mshirika wa Royal College of Music. Kuanzia mwaka 1970 hadi 1971 alihudumu kama mhadhiri, mhadhiri mwandamizi, na mratibu wa masomo ya uzamili katika Institute of Education, huku akipata shahada ya kwanza ya muziki (muzikolojia) kutoka King's College London mwaka 1971.
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{BD|1940|2010}}
[[Jamii:Wanawake wa Jamaika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Jamaika]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Kanada]]
46uuggmg8go8clylao69u86cy62t1ow
Salah Abu Seif
0
243445
1584299
1584130
2026-08-05T12:38:41Z
Riccardo Riccioni
452
1584299
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox person|name=Salah Abu Seif|picha=Salah Abu Seif.jpg|kazi yake=Mwandishi na Muongoza Filamu|uraia=Misri|tarehe ya kufa=Juni 23, 1996|tarehe ya kuzaliwa=Mei 10, 1915}}
'''Salah Abu Seif''' (Kiarabu: صلاح أبو سيف; Mei 10, 1915 - Juni 23, 1996) alikuwa [[Mwongozaji wa filamu|muongozaji]] na mwandishi wa [[filamu]] maarufu wa Misri. Yeye huchukuliwa kuwa kama baba wa Neorealist sinema katika Sinema ya Misri.
Filamu 41 alizotengeneza zinaonwa kuwa za kihistoria za Misri; nane kati ya hizo ziko kwenye orodha ya Filamu 100 Bora za Misri zilizoorodheshwa na Bibliotheca Alexandrina, na ni nyingi zaidi kati ya filamu zote alizotengeneza. Timu nyingine ya 1997 ya Top 100 ya wakosoaji wa filamu wa Misri ilitaja orodha ya filamu kumi na moja za Abu Seif, nyuma ya [[Youssef Chahine]] na filamu kumi. <ref>{{Rejea tovuti|date=2016-05-16|title=Top 100 Egyptian Movies|url=https://letterboxd.com/kanafani/list/top-100-egyptian-movies/|accessdate=2024-10-11|work=letterboxd.com|language=en}}</ref>
Filamu yake ''The Beginning and the End'' (1960) ilikuwa marekebisho ya kwanza ya riwaya ya mshindi wa [[Tuzo ya Nobel]] [[Nagib Mahfuz|Naguib Mahfouz]]. Mwaka 1977 alikuwa mshiriki wa jury katika tamasha la 10 la Filamu la Kimataifa la Moscow.<ref name="Moscow1977">{{Rejea tovuti|url=http://www.moscowfilmfestival.ru/miff34/eng/archives/?year=1977|title=10th Moscow International Film Festival (1977)|accessdate=2013-01-07|work=MIFF|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130116194935/http://www.moscowfilmfestival.ru/miff34/eng/archives/?year=1977|archivedate=2013-01-16}}</ref>
==Maisha ya awali==
Abu-Seif alizaliwa mwaka wa 1915 katika mtaa wa kale wa Boolaq [[Kairo|jijini Cairo]], akiwa mtoto wa wazazi wenye kumiliki ardhi kutoka eneo la Misri ya Juu. Alikuwa na umri wa miaka 12 alipotazama filamu ya kwanza ndefu iliyotengenezwa na Mmisri—mwaka wa 1927 katika ukumbi wa sinema wa eneo hilo—ikizingatiwa kuwa filamu za awali zilikuwa zikiingizwa kutoka nje zikiwa na simulizi za Kiarabu, au zikitengenezwa na Wazungu wanaoishi Misri. Akiwa mtoto wa familia yenye msimamo wa kihafidhina, Abu-Seif alihitimu kutoka Chuo cha Biashara na Uchumi cha Cairo mwaka wa 1932, huku akifanya kazi ya ziada kama mwandishi wa habari huru aliyefuatilia maisha ya mastaa wa filamu. Hata hivyo, akiwa kazini kama karani katika kiwanda kimoja, alikutana na mtengenezaji wa filamu wa Misri, Niazy Mustapha, ambaye alikuwa akifanya shughuli ya kurekodi filamu hapo. Mustapha alimpa kazi ya kuhariri filamu. Mwaka wa 1939, Abu-Seif alipata ufadhili wa masomo ya filamu jijini Paris. Katika kipindi cha miaka mitano tangu aliporejea mwaka wa 1942, alikuwa amejijengea sifa kama mmoja wa watengenezaji filamu wa kizazi cha pili walioongoza kwa ubunifu na mitazamo mipya nchini humo. Alianzisha utaratibu wa kurekodi filamu katika maeneo halisi ya matukio—ingawa pia alitumia maeneo yaliyojengwa kuiga uhalisia—katika sehemu ambazo watangulizi wake hawakuwahi kuthubutu kwenda, kama vile *ghurza* (maeneo yanayofanana na yale ya kale ya Wachina ya kuvutia kasumba), madanguro, na maeneo duni ambayo uwepo wake haukuwahi kutambuliwa rasmi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Obituary: Salah Abu-Seif|url=https://www.independent.co.uk/news/people/obituary-salah-abuseif-1338978.html|work=The Independent|date=1996-06-26|accessdate=2026-08-04|language=en}}</ref>
==Kazi==
Abu Seif alianza taaluma yake kama mhariri wa filamu katika kazi kama vile *Aydah* (1942), kabla ya kuelekeza filamu yake ya kwanza kama mwongozaji, *Always in my Heart* (1946).<ref>{{Rejea jarida |last=Elnaccash |first=Ataa |date=1968 |title=Egyptian Cinema: A Historical Outline |url=https://www.jstor.org/stable/3334315 |journal=African Arts |volume=2 |issue=1 |pages=52–71 |doi=10.2307/3334315 |issn=0001-9933}}</ref><ref>{{Citation|title=Movie - Eayida - 1942 Watch Online، Video، Trailer، photos، Reviews، Showtimes|url=https://elcinema.com/en/work/1008811|language=en|access-date=2026-08-04}}</ref>
Filamu zake nyingi zilikuwa na maudhui ya kisiasa. Filamu za *The Case '68* na *Malatily Bathhouse* ziliathiriwa na Vita vya Siku Sita.<ref>{{Rejea jarida |last=Samak |first=Qussai |date=1977 |title=The Politics of Egyptian Cinema |url=https://www.jstor.org/stable/3011811 |journal=MERIP Reports |issue=56 |pages=12–15 |doi=10.2307/3011811 |issn=0047-7265}}</ref> Filamu zote mbili ziliangazia mabadiliko ya hali ya kijamii nchini Misri baada ya vita. Mchakato wa utayarishaji na utoaji wa filamu hizo ulikumbwa na changamoto, ikiwa ni pamoja na maandamano ya kupinga kutolewa kwake yaliyoongozwa na Umoja wa Kiarabu wa Kisoshalisti (Arab Socialist Union).
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{BD|1915|1996}}
[[Jamii:Waongozaji filamu wa Misri]]
deqaqe8my5v3o85b1nqqr79bclcp3ep
Pearleen Oliver
0
243447
1584300
1583876
2026-08-05T12:40:15Z
Riccardo Riccioni
452
1584300
wikitext
text/x-wiki
'''Pearleen Oliver''' (pia alijulikana kama '''Pearleen Borden Oliver'''; [[1917]] – [[2008]]) alikuwa [[kiongozi]] wa [[kanisa]], [[mwanaharakati]] dhidi ya [[ubaguzi wa rangi]] dhidi ya Weusi nchini [[Kanada]], [[mwandishi]], [[mwanahistoria]] na [[mwalimu]] Mkanada mwenye asili ya Afrika.<ref>{{Rejea tovuti |last=Oliver |first=Pearleen |date=20 April 2020 |orig-date=1992 |others=Interviewed by Marjory Whitelaw |title=Nova Scotia Women's Oral History Project Nova Scotia Archives Sound 1995-009 Transcripts MF 420-0: Tape 1, Side 2. |url=https://archives.novascotia.ca/african-heritage/archives/?ID=616 |access-date=2023-03-27 |website=Nova Scotia Archives |at=26:30 |type=Audio recording |archive-date=2023-03-29 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230329191548/https://archives.novascotia.ca/african-heritage/archives/?ID=616 |url-status=live }}</ref>
Alianzisha Chama cha [[Nova Scotia]] cha Kuendeleza [[Haki]] za Watu Weusi na aliongoza kwa pamoja Kanisa la Cornwallis Street African Baptist. Alitetea haki ya [[wanafunzi]] Weusi kupata [[elimu]] ya uuguzi na alipinga ubaguzi wa rangi katika mfumo wa [[elimu]]. Mwaka [[1990]] alitunukiwa shahada ya heshima ya [[udaktari]] kutoka Saint Mary's University (Halifax).
== Maisha ya awali na elimu ==
Oliver alizaliwa katika familia iliyofuata imani ya [[Kanisa la Anglikana]] kwa jina la Althea "Pearleen" Borden.<ref name=":5">{{Rejea tovuti |title=William Pearly Oliver |url=https://www.thecanadianencyclopedia.ca/en/article/william-pearly-oliver |access-date=2023-04-26 |website=[[The Canadian Encyclopedia]] |language=en |archive-date=2023-02-09 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230209223913/https://www.thecanadianencyclopedia.ca/en/article/william-pearly-oliver |url-status=live }}</ref><ref name=":6">[https://archives.novascotia.ca/pdf/OliverPearleen/PearleenOliver-Transcript-1.pdf PEARLENE OLIVER INTERVIEW, SUMMER 1992, TRANSCRIPT 1] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20230329191551/https://archives.novascotia.ca/pdf/OliverPearleen/PearleenOliver-Transcript-1.pdf |date=2023-03-29 }} , [[Nova Scotia Archives]], 1992</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1917|2008}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kanada]]
4r4m4n7u4hm8jpms103wjisizydmi3a
Michaela Pereira
0
243448
1584819
1583865
2026-08-06T11:25:28Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584819
wikitext
text/x-wiki
'''Michaela Pereira''' (amezaliwa [[26 Agosti]], [[1970]]) ni [[mtangazaji]] wa [[televisheni]] wa [[Kanada]] anayejulikana zaidi kwa kuwa mtangazaji wa zamani wa [[habari]] katika KTLA mjini [[Los Angeles]] na kwa kipindi cha asubuhi cha KTTV FOX11 Los Angeles, *''Good Day LA''*.<ref>{{cite web |url=https://deadline.com/2020/09/michaela-pereira-fox-11-good-day-la-host-1234575080/ |title = Michaela Pereira Joins Fox 11's 'Good Day LA' – Deadline| date=September 11, 2020 }}</ref>
Mnamo [[28 Machi]], [[2013]], alitangaza kwamba angeondoka KTLA mwezi Mei ili kujiunga na kipindi cha asubuhi cha CNN, *''New Day (TV program), ambacho kilianza kurushwa hewani tarehe 17 Juni 2013.<ref>{{cite web | url = http://ktla.com/2013/03/28/michaela-pereira-to-end-9-year-run-at-ktla/#axzz2QDmkK0Fs | title = Michaela Pereira to end 9 year run at KTLA | date = March 28, 2013 | publisher = KTLA.com | accessdate = 2026-08-04 | archive-date = 2018-12-17 | archive-url = https://web.archive.org/web/20181217224923/https://ktla.com/2013/03/28/michaela-pereira-to-end-9-year-run-at-ktla/#axzz2QDmkK0Fs | url-status = dead }}</ref>
Mwaka 2016, Pereira aliondoka CNN na kujiunga na mtandao wa televisheni wa kebo wa HLN (TV network)|HLN, ambapo tarehe [[11 Julai]], [[2016]] alianza kuwa mtangazaji wa kipindi cha habari cha Los Angeles kilichoitwa *''MichaeLA''*.<ref name="MichaeLA">{{cite web |url=https://www.cnn.com/shows/michaela |title=MichaeLA |website=www.cnn.com |access-date=October 17, 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180828033006/https://www.cnn.com/shows/michaela |archive-date=August 28, 2018 |url-status=dead}}</ref><ref name="Variety">{{cite web |url=https://variety.com/2016/tv/news/michaela-pereira-hln-morning-news-1201811567/ |title=HLN Sends Michaela Pereira To Court West Coast Morning-News Fans |last1=Steinberg |first1=Brian |date=July 11, 2016 |website=variety.com |access-date=October 17, 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170416212627/https://variety.com/2016/tv/news/michaela-pereira-hln-morning-news-1201811567/ |archive-date=April 16, 2017 |url-status=live}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1970|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
p0dvskybfg48ocpdd4htcljuynsn635
Sophia Pooley
0
243449
1584301
1583882
2026-08-05T12:42:07Z
Riccardo Riccioni
452
1584301
wikitext
text/x-wiki
'''Sophia Burthen Pooley''' (takriban [[1772]] – [[1860]]) alikuwa [[Mwafrika]] [[Mmarekani]] aliyewahi kuwa mtumwa huko [[New York (jimbo)|New York]] kabla ya kuletwa kwa nguvu Kanada na [[chifu]] wa Wamohawk, Joseph Brant. Ushuhuda wake, ulioandikwa katika kitabu cha [[mwanaharakati]] wa kukomesha utumwa wa [[Marekani]] Benjamin Drew cha mwaka [[1856]] kinachoitwa ''The Refugee: or Narratives of the Fugitive Slaves in Canada'', unachukuliwa kuwa mojawapo ya maandiko machache kuhusu utumwa nchini [[Kanada]] yaliyokuwa na simulizi za moja kwa moja kutoka kwa watu waliokuwa watumwa.<ref name=":9">{{Rejea kitabu |last=Elgersman |first=Maureen |title=Unyielding Spirits: Black Women and Slavery in Early Canada and Jamaica |publisher=Routledge |year=1999 |isbn=9781315053066 |edition=1st |location=New York |publication-date=2013 |pages=28–30 |oclc=936411541}}</ref>
== Wasifu ==
Pooley alizaliwa akiwa mtumwa takriban mwaka 1772 huko Fishkill, [[New York]],<ref name=":2">{{Rejea tovuti |last=Craggs |first=Samantha |date=October 6, 2021 |title=Author says City of Hamilton is 'aggressively' removing his signs honouring a former slave |url=https://www.cbc.ca/news/canada/hamilton/dundas-signs-honouring-slave-bylaw-1.6199206 |access-date=July 14, 2023 |website=CBC News}}</ref><ref>{{Rejea kitabu |last=Shadd |first=Adrienne Lynn |title=The journey from tollgate to parkway: African Canadians in Hamilton |date=2010 |publisher=Natural Heritage Book |isbn=978-1-55488-394-3 |location=Toronto |pages=40}}</ref> akiwa [[mtoto]] wa Oliver na Dinah Burthen.
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1772|1860}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:utumwa]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
cfy3365nyp3ifxm1iactjsdt40rjsu7
Juliette Powell
0
243450
1584302
1584007
2026-08-05T12:44:18Z
Riccardo Riccioni
452
1584302
wikitext
text/x-wiki
'''Juliette Powell''' ([[22 Juni]] [[1970]] – [[3 Juni]] [[2025]]) alikuwa mtaalamu wa vyombo vya [[habari]] wa [[Marekani]] - [[Kanada]], mtaalamu wa maadili ya teknolojia, mshauri wa [[biashara]], [[mwandishi]] na mshiriki wa mashindano ya urembo aliyeshinda taji la Miss Canada mwaka [[1989]]. Alikuwa mshindi wa kwanza mwenye asili ya Afrika katika historia ya mashindano hayo.<ref name=WhosWho>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=KSPiKJQfTfoC|title=Canadian Who's Who|year=2003|accessdate=2009-02-15|first=Elizabeth|last=Lumley|publisher=University of Toronto Press|isbn=978-0-8020-8865-9|page=1101}}</ref><ref>{{citation|url=http://archives.cbc.ca/lifestyle/fashion_beauty/clips/2440/|access-date=2009-02-15|title=Farewell, Miss Canada|date=3 January 1992|publisher=CBC News: The National}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Powell alizaliwa huko [[Manhattan]], [[New York]] (state), tarehe 22 Juni 1970,<ref>{{Rejea tovuti |date=June 10, 2025 |title=In Memoriam: Juliette Powell – A trailblazing voice in Canadian media and AI ethics |url=https://afrotoronto.com/content/articles/arts-entertainment/in-memoriam-juliette-powell |access-date=June 10, 2025 |website=AfroToronto}}</ref> na alihamia [[Montreal]], [[Quebec]], akiwa na [[mama]] yake mwenye asili ya French - Canadian alipokuwa na umri wa miaka minane.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|date=|title=Vanier College Notable Alumni|url=https://www.vaniercollege.qc.ca/notable-alumni/2015/08/12/juliette-powell/|access-date=2022-02-18|website=www.vaniercollege.qc.ca}}</ref> Akiwa shule ya sekondari, alifanya vizuri katika masomo ya [[hisabati]] na [[sayansi]], na aliogelea mara mbili kwa wiki. Alisema kuwa wakati huo alijiona kama mwanafunzi mwenye haya na asiye maarufu.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|last=Beam|first=Liane|title=Juliette Powell: Working Her Way To The Top|date=25 December 2014 |url=https://faze.ca/juliette-powell-working-her-way-to-the-top/}}</ref>
Safari yake katika ulimwengu wa mashindano ya urembo ilianza baada ya kukasirishwa aliposikia uvumi kwamba mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Montreal alipata alama nyingi zaidi kuliko mshindi wa kwanza, lakini waamuzi hawakumkubali kuwa mshindi kwa sababu alikuwa Mweusi. Alisema kuwa hakutaka kuwa malkia wa urembo, bali alitaka kuthibitisha jambo fulani aliposhiriki katika mashindano ya Miss Montreal, na baadaye akaingia na kushinda mashindano ya Miss Canada 1989. Katika kipindi hicho pia alisoma masomo ya Biashara katika Vanier College, na kuhitimu mwaka [[1992]].
== Kazi ==
Baada ya kumaliza kipindi chake kama **Miss Canada**, ambacho kilijumuisha kuiwakilisha Kanada katika mashindano ya Miss Universe 1989, Powell alijiunga na MusiquePlus mwaka 1992 kama mtangazaji wa video (VJ), huku akiendelea kusoma masuala ya [[fedha]] na [[biashara]] katika Chuo Kikuu cha McGill.<ref name=":2">{{Rejea tovuti|title=Juliette Powell's 'Data' with Destiny|date=6 September 2018 |url=https://datascience.columbia.edu/news/2018/juliette-powells-data-with-destiny/}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1970|2025}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Kanada]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Kanada]]
blddoa1d0nkcuj6knu4pdcqw3a3vr7y
1584521
1584302
2026-08-05T23:15:53Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584521
wikitext
text/x-wiki
'''Juliette Powell''' ([[22 Juni]] [[1970]] – [[3 Juni]] [[2025]]) alikuwa mtaalamu wa vyombo vya [[habari]] wa [[Marekani]] - [[Kanada]], mtaalamu wa maadili ya teknolojia, mshauri wa [[biashara]], [[mwandishi]] na mshiriki wa mashindano ya urembo aliyeshinda taji la Miss Canada mwaka [[1989]]. Alikuwa mshindi wa kwanza mwenye asili ya Afrika katika historia ya mashindano hayo.<ref name=WhosWho>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=KSPiKJQfTfoC|title=Canadian Who's Who|year=2003|accessdate=2009-02-15|first=Elizabeth|last=Lumley|publisher=University of Toronto Press|isbn=978-0-8020-8865-9|page=1101}}</ref><ref>{{citation|url=http://archives.cbc.ca/lifestyle/fashion_beauty/clips/2440/|access-date=2009-02-15|title=Farewell, Miss Canada|date=3 January 1992|publisher=CBC News: The National}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Powell alizaliwa huko [[Manhattan]], [[New York]] (state), tarehe 22 Juni 1970,<ref>{{Rejea tovuti |date=June 10, 2025 |title=In Memoriam: Juliette Powell – A trailblazing voice in Canadian media and AI ethics |url=https://afrotoronto.com/content/articles/arts-entertainment/in-memoriam-juliette-powell |access-date=June 10, 2025 |website=AfroToronto}}</ref> na alihamia [[Montreal]], [[Quebec]], akiwa na [[mama]] yake mwenye asili ya French - Canadian alipokuwa na umri wa miaka minane.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|date=|title=Vanier College Notable Alumni|url=https://www.vaniercollege.qc.ca/notable-alumni/2015/08/12/juliette-powell/|access-date=2022-02-18|website=www.vaniercollege.qc.ca|archive-date=2022-02-18|archive-url=https://web.archive.org/web/20220218213402/https://www.vaniercollege.qc.ca/notable-alumni/2015/08/12/juliette-powell/|url-status=dead}}</ref> Akiwa shule ya sekondari, alifanya vizuri katika masomo ya [[hisabati]] na [[sayansi]], na aliogelea mara mbili kwa wiki. Alisema kuwa wakati huo alijiona kama mwanafunzi mwenye haya na asiye maarufu.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|last=Beam|first=Liane|title=Juliette Powell: Working Her Way To The Top|date=25 December 2014 |url=https://faze.ca/juliette-powell-working-her-way-to-the-top/}}</ref>
Safari yake katika ulimwengu wa mashindano ya urembo ilianza baada ya kukasirishwa aliposikia uvumi kwamba mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Montreal alipata alama nyingi zaidi kuliko mshindi wa kwanza, lakini waamuzi hawakumkubali kuwa mshindi kwa sababu alikuwa Mweusi. Alisema kuwa hakutaka kuwa malkia wa urembo, bali alitaka kuthibitisha jambo fulani aliposhiriki katika mashindano ya Miss Montreal, na baadaye akaingia na kushinda mashindano ya Miss Canada 1989. Katika kipindi hicho pia alisoma masomo ya Biashara katika Vanier College, na kuhitimu mwaka [[1992]].
== Kazi ==
Baada ya kumaliza kipindi chake kama **Miss Canada**, ambacho kilijumuisha kuiwakilisha Kanada katika mashindano ya Miss Universe 1989, Powell alijiunga na MusiquePlus mwaka 1992 kama mtangazaji wa video (VJ), huku akiendelea kusoma masuala ya [[fedha]] na [[biashara]] katika Chuo Kikuu cha McGill.<ref name=":2">{{Rejea tovuti|title=Juliette Powell's 'Data' with Destiny|date=6 September 2018 |url=https://datascience.columbia.edu/news/2018/juliette-powells-data-with-destiny/}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1970|2025}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Kanada]]
[[Jamii:Wanamitindo wa Kanada]]
lbj1o1guh8uzxq3m903cm34csoffdy0
Joan Jones
0
243451
1584303
1584004
2026-08-05T12:45:19Z
Riccardo Riccioni
452
1584303
wikitext
text/x-wiki
'''Joan Carol Jones''' ([[26 Septemba]] [[1939]] – [[1 Aprili]] [[2019]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mwanaharakati wa [[haki]] za kiraia wa [[Kanada]], aliyezaliwa nchini [[Marekani]] na kukulia [[Ontario]], Kanada. Alikuwa mke wa mwanaharakati wa kisiasa wa Mkanada Mweusi wa Nova Scotia na [[mwanaharakati]] mashuhuri kimataifa Rocky Jones. Joan alimshawishi mumewe kuwa na ushiriki mkubwa zaidi katika masuala ya harakati za watu Weusi yaliyohusishwa na Malcolm X na mwandishi James Baldwin wakati wa kipindi cha msimamo mkali wa kisiasa wa watu Weusi katika miaka ya 1960.
Kwa pamoja walikuwa miongoni mwa waanzilishi wa Kwacha House, klabu ya [[vijana]] ya watu wa jamii mbalimbali huko Halifax, na baadaye walisaidia kuleta Kwame Ture|Stokely Carmichael na Black Panther Party huko Halifax. Walikubali lugha ya kimapambano ya chama cha Panthers na, kwa msaada wa Carmichael, waliandaa Black United Front, wakishughulikia masuala kama ukatili wa polisi, ubaguzi katika ajira na ubaguzi wa makazi katika jamii ya watu Weusi.<ref>{{cite web|url=http://thechronicleherald.ca/novascotia/1145001-rocky-jones-lawyer-and-civil-rights-activist-dies-at-71|title=Rocky Jones, lawyer and civil rights activist, dies at 71|work=CBC News|date=July 29, 2013|accessdate=2015-01-19}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nfb.ca/film/encounter_at_kwacha_house_halifax/|title=Encounter at Kwacha House - Halifax|website=Nfb.ca}}</ref>
== Maisha ya awali na elimu ==
Joan Bonner alizaliwa kwa Eugene na Elsie Bonner huko [[Buffalo]], [[New York]] mwaka [[1939]]. [[Familia]] yake ilihamia Oakville, Ontario, ambako alisoma na kuhitimu kutoka Oakville Trafalgar High School. Baadaye alitafuta nafasi za kazi huko [[Toronto]], ambako alikutana na kuolewa na Burnley Jones, ambaye alikuwa Mkanada mwenye asili ya [[Afrika]] wa kizazi cha tano, akiwa na ukoo uliorudi nyuma hadi mwishoni mwa karne ya 18. Wenzi hao waliondoka mkoani humo na kuhamia [[Halifax]], [[Nova Scotia]], ambako walijiunga na jamii ndogo ya watu Weusi na mazingira ya kitaaluma. Burnley alifundisha katika Chuo Kikuu cha Dalhousie na alikuwa muhimu katika kuanzisha Black Historical and Educational Research Organization (HERO Project), mradi wa awali wa historia simulizi kuhusu utamaduni wa watu Weusi.<ref>{{cite book|url=https://archive.org/details/makingofmosaichi0000kell|url-access=registration|quote= .|title=The Making of the Mosaic: A History of Canadian Immigration Policy|first1=Ninette|last1=Kelley|first2=M. J.|last2=Trebilcock|date=July 22, 1998|publisher=[[University of Toronto Press]]|isbn=9780802081469}}</ref>
== Harakati za haki za kiraia ==
Kundi la wanaharakati wa [[haki za kiraia]] waliokuwa wakikutana katika jiko la Joan na Rocky (jina ambalo Burnley alijulikana nalo) lilijadili masuala mengi sawa na yale yaliyokuwa yakihusu harakati za haki za kiraia za [[Waafrika]] - [[Wamarekani]], hasa ubaguzi wa rangi uliokuwa umejikita katika jamii.
Nova Scotia ilikuwa eneo lililowapokea watumwa kutoka [[Marekani]], Waaminifu Weusi waliopigana kwa ajili ya Waingereza na baada ya kumalizika kwa Vita vya Mapinduzi ya Marekani walihamia [[Kanada]] kutoka maeneo ya kusini kama Carolina kupitia maeneo yenye uhasama, pamoja na wakimbizi wa Vita vya 1812.
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1939|2019}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kanada]]
3zey7bwz3yr763klhvnfydo0fre1q0l
Jacques Potgieter
0
243452
1584305
1583872
2026-08-05T12:46:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584305
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jacques Potgieter 2018-09-01.jpg|thumb|Jacques Potgieter]]
'''Ulrich Jacques Potgieter''' (alizaliwa [[24 Aprili]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Afrika Kusini]].
Mara ya mwisho alichezea Munakata Sanix Blues katika Ligi Kuu ya Raga ya [[Japan]].
== Kazi ya uchezaji ==
==== Vijana / Sharks ====
Ulrich Potgieter aliiwakilisha Eastern Province katika mashindano ya kila [[mwaka]] ya Craven Week mwaka [[2004]].
Baadaye alihamia Sharks, ambako aliiwakilisha [[klabu]] hiyo katika ngazi mbalimbali za vijana.
Kisha alicheza katika mashindano ya Vodacom Cup kwa misimu miwili, kabla ya kurejea kujiunga na Eastern Province Kings kwa ajili ya msimu wa Currie Cup First Division wa mwaka [[2009]].
=== Sharks ===
Mnamo Mei [[2015]], ilitangazwa kuwa Ulrich Potgieter angerudi Afrika Kusini kujiunga na Sharks kwa mkataba wa miaka miwili, kuanzia mwanzoni mwa msimu wa Super Rugby wa [[2016]].
Hata hivyo, akucheza hata [[mechi]] moja akiwa na timu hiyo.<ref>https://web.archive.org/web/20120328113448/http://www.thebulls.co.za/article.aspx?artid=427954</ref><ref>https://web.archive.org/web/20150907175744/http://www.sharksrugby.co.za/index.php/component/articles/?view=article&id=2842686</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
p7fqwbdmv86jx6ow48v1lveai4f312d
Ryan Kankowski
0
243453
1584306
1583874
2026-08-05T12:47:27Z
Riccardo Riccioni
452
1584306
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Ryan Kankowski 2008.jpg|thumb|Ryan Kankowski 2008]]
'''Ryan Kankowski''' (alizaliwa [[14 Oktoba]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Afrika Kusini]], ambaye aliiwakilisha South Africa national rugby union team kuanzia [[2007]] hadi 2012.
Kankowski alicheza katika nafasi za:
* (Namba 8)
* (Flanker wa upande wazi)
Kankowski alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuiwakilisha Afrika Kusini wakati wa ziara ya mwisho wa mwaka ya Springboks ya 2007 nchini [[Wales]] na [[Uingereza]].
Alifanya mechi yake ya kwanza ya kimataifa katika ziara hiyo akiwa mchezaji wa akiba, na akafunga try katika ushindi wa Afrika Kusini wa 34–12 dhidi ya Wales kwenye Uwanja wa Millennium tarehe 24 [[Novemba]] 2007.
== Tuzo na uteuzi ==
* 2008 – Mteule wa [[Tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Raga wa Afrika Kusini
* [[2008]] – Mteule wa Tuzo ya Sasol
* 2008 – Mchezaji Bora wa Afrika Kusini katika Vodacom Super 14
* 2008 – Mteule wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Daraja la Premier la Kombe la Currie <ref>https://www.planetrugby.com/sharks-leaving-kankowski-at-home</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Super_Rugby</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
rkwzolpx6ui1hkpookbnv9cvldi6ivq
1584312
1584306
2026-08-05T12:50:24Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tuzo na uteuzi */
1584312
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Ryan Kankowski 2008.jpg|thumb|Ryan Kankowski 2008]]
'''Ryan Kankowski''' (alizaliwa [[14 Oktoba]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Afrika Kusini]], ambaye aliiwakilisha South Africa national rugby union team kuanzia [[2007]] hadi 2012.
Kankowski alicheza katika nafasi za:
* (Namba 8)
* (Flanker wa upande wazi)
Kankowski alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuiwakilisha Afrika Kusini wakati wa ziara ya mwisho wa mwaka ya Springboks ya 2007 nchini [[Wales]] na [[Uingereza]].
Alifanya mechi yake ya kwanza ya kimataifa katika ziara hiyo akiwa mchezaji wa akiba, na akafunga try katika ushindi wa Afrika Kusini wa 34–12 dhidi ya Wales kwenye Uwanja wa Millennium tarehe 24 [[Novemba]] 2007.
== Tuzo na uteuzi ==
* 2008 – Mteule wa [[Tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Raga wa Afrika Kusini
* [[2008]] – Mteule wa Tuzo ya Sasol
* 2008 – Mchezaji Bora wa Afrika Kusini katika Vodacom Super 14
* 2008 – Mteule wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Daraja la Premier la Kombe la Currie <ref>https://www.planetrugby.com/sharks-leaving-kankowski-at-home</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
lsy97yr9a1498spr0g0odlh0hp4v1g7
Nílton Santos
0
243454
1584307
1583875
2026-08-05T12:48:14Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
1584307
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Nílton Santos
| jina_halisi = Nílton dos Santos
| picha = Nilton Santos 1 (1956).tif
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1925|5|16|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = Rio de Janeiro, Brazil
| tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|11|27|1925|5|16|df=y}}
| mahala_pa_kifo = Rio de Janeiro, Brazil
| urefu = 1.84 m
| nafasi = Beki wa kushoto
| vilabu_vijana = Botafogo
| miaka1 = 1948–1964
| vilabu1 = Botafogo
| mechi1 = 723
| magoli1 = 11
| jumla_mechi = 723
| jumla_magoli = 11
| timu_taifa = Brazil
| miaka_taifa = 1949–1962
| mechi_taifa = 75<ref name=FIFA>[https://web.archive.org/web/20150119015055/http://www.fifa.com/worldcup/news/y=2014/m=3/news=75-days-to-go-2305309.html 75 days to go]. FIFA.com</ref>
| magoli_taifa = 3
| medali = {{MedalSport|Men's [[Association football|football]]}}
{{MedalCountry|{{fb|BRA|1889}}}}
{{MedalCompetition|[[FIFA World Cup]]}}
{{Medal|W|1958 Sweden|}}
{{Medal|W|1962 Chile|}}
{{Medal|RU|1950 Brazil|}}
{{MedalCompetition|[[Copa América|South American Championship]]}}
{{Medal|W|1949 Brazil|}}
{{Medal|RU|1953 Peru|}}
{{Medal|RU|1957 Peru|}}
{{Medal|RU|1959 Argentina|}}
{{MedalCompetition|[[Panamerican Championship]]}}
{{Medal|W|1952 Chile|}}
}}
'''Nílton dos Santos''' (16 Mei 1925 – 27 Novemba 2013) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini [[Brazil]] aliyecheza nafasi ya beki wa kushoto.Katika ngazi ya kimataifa, alikuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Brazil iliyoshinda makombe ya dunia ya Fifa ya mwaka [[Kombe la Dunia la FIFA 1958|1958]] na [[Kombe la Dunia la FIFA 1962|1962]].
Akichukuliwa kama mmoja wa mabeki bora katika historia ya mchezo huo, Nílton Santos alijumuishwa kwenye kikosi cha dunia cha karne ya 20 , na alitajwa na [[Pelé]] katika orodha ya wachezaji 100, orodha ya wachezaji bora zaidi wa mpira wa miguu duniani waliokuwa hai iliyotangazwa kwenye sherehe za tuzo za Fifa mwaka 2004.<ref>{{cite news |url=https://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/3533891.stm |title=Pele's list of the greatest |work=BBC Sport |date=4 March 2004 |access-date=15 June 2013}}</ref> Mwaka 2009, alikuwa mshindi wa tuzo ya wafungaji wa dhahabu wa kihistoria.<ref>{{cite web |url=http://www.goldenfoot.com/legends.php?l=en |title=Legends |publisher=Golden Foot |access-date=23 September 2015 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20150925120930/http://www.goldenfoot.com/legends.php?l=en |archive-date=25 September 2015}}</ref> Hakuwa na uhusiano wa kifamilia na mshirika wake wa mara kwa mara katika safu ya ulinzi, [[Djalma Santos]] kuhusiana na jina Santos.
Santos alipewa jina la utani kwa sababu ya uelewa wake mkubwa wa mpira wa miguu na uchezaji wake uliokamilika.
== Taaluma ya klabu ==
Alizaliwa [[Rio de Janeiro]], alikuwa beki wa kushoto, akiwa mmoja wa mabeki wa pembeni wa kwanza kupiga pasi na kukimbia pembezoni mwa uwanja ili kushiriki katika mchezo wa ushambuliaji. Aliwahi kusema: "Sijawahi kuwaonea wivu wachezaji wa leo kwa pesa zao bali kwa uhuru walionao, wa kwenda mbele".<ref>{{cite web |url=http://www.lechampions.it/2013/11/nilton-santos-1925-2013/ |title=Nilton Santos (1925–2013) |publisher=LECHAMPIONS.it |date=28 November 2013 |access-date=28 November 2013 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20131203004115/http://www.lechampions.it/2013/11/nilton-santos-1925-2013/ |archive-date=3 December 2013}}</ref>
Alicheza taaluma yake yote ya soka la kulipwa katika klabu ya [[Botafogo de Futebol e Regatas|Botafogo]] ya nchini Brazil.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1925]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
q4j541r8e8xetxjkm4v0u73aeerqxkz
Luke Watson
0
243457
1584308
1583887
2026-08-05T12:49:04Z
Riccardo Riccioni
452
1584308
wikitext
text/x-wiki
'''Luke Watson''' (jina kamili Luke Asher Watson, alizaliwa [[26 Oktoba]] [[1983]] mjini [[Port Elizabeth]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka Afrika Kusini.
Aliweza kucheza katika nafasi za:
* Mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele
* Namba [[8]]
Watson aliiwakilisha na kuwa nahodha wa:
* Timu ya Shule za Afrika Kusini ) mwaka [[2001]]
* Timu ya Afrika Kusini chini ya miaka 19 mwaka 2002
* Timu ya Afrika Kusini chini ya miaka [[21]] mwaka 2004
* Timu ya Springbok Sevens mwaka 2001
Pia alikuwa [[nahodha]] wa:
* Western Province
* Stormers katika mashindano ya Super Rugby
Timu ya mwisho aliyoichezea ilikuwa Eastern Province Kings.
== Maisha ya ujana ==
Luke Watson ni mwana wa Cheeky Watson (Daniel "Cheeky" Watson), mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi ambaye pia alikuwa mchezaji wa raga aliyefikia kiwango cha kitaifa alipokuwa kijana.
Watson anatoka katika familia ambayo kwa muda mrefu imekuwa na msimamo thabiti wa [[Kikristo]].
Babu yake, Daniel John Watson, alikuwa mhubiri wa kawaida wa [[Kanisa]] la Kipentekoste na alimfundisha baba yake Luke, Cheeky Watson, maadili ya Kikristo alipokuwa akikulia mjini Grahamstown.
== Mwanzo wa kazi yake katika timu ya wakubwa ==
==== Eastern Province Elephants, 2002 ====
Mwaka [[2002]], Luke Watson alijumuishwa katika timu ya Eastern Province ya wachezaji chini ya miaka 21, kabla ya kupandishwa kwenye kikosi cha wakubwa.
Katika mzunguko wa kwanza wa [[Kombe]] la Currie, Watson alijumuishwa kwenye kikosi cha Eastern Province Elephants kwa mechi ya kwanza dhidi ya Pumas iliyochezwa tarehe 20 Julai, baada ya kumvutia [[kocha]] Allister Coetzee kwa kasi yake na bidii yake uwanjani katika mchezo wa maandalizi dhidi ya Boland Cavaliers. <ref>https://iol.co.za/capeargus/sport/2009-03-09-judge-luke-on-his-rugby-de-villiers/</ref><ref>https://rugbyheelsandeverythingelse.wordpress.com/2011/01/10/next-chapter-the-luke-watson-interview/</ref><ref>https://www.planetrugby.com/winning-bath-debut-for-watson</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
nla8oxfr3w5mlon5ds62gumuy9yxw1h
Jenny McLeod (mwandishi)
0
243458
1584310
1584001
2026-08-05T12:49:36Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Jenny McLeod (mwandishi wa tamthilia)]] hadi [[Jenny McLeod (mwandishi)]]: urahisi wa kuupata
1584001
wikitext
text/x-wiki
'''Jenny McLeod''' (amezaliwa mwaka 1963) ni mwandishi wa [[tamthilia]] kutoka [[Uingereza]].
McLeod alikulia mjini Nottingham. Alianza kuandika tamthilia alipokuwa akisoma elimu ya sekondari ya juu baada ya kuona tangazo katika gazeti la eneo lao. Tamthilia yake ya ''Cricket at Camp David'' ilishinda warsha ya '''Writing 87''', na baadaye akaandika ''Island Life'' kwa Kampuni ya Tamthilia ya Monstrous Regiment.
Mwaka 1991–1992 alikuwa [[mwandishi]] mkazi katika Ukumbi wa Tamthilia wa Nottingham. Baada ya kushinda ufadhili kutoka Thames Television, mwaka 1995 alikuwa mwandishi mkazi katika Ukumbi wa Tamthilia wa Tricycle.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=aGl7AwAAQBAJ&pg=PT97|title=Rage And Reason: Women Playwrights on Playwriting|last=Stephenson|first=Heidi|date=2014-05-29|publisher=A&C Black|isbn=978-1-4081-7803-4|language=en}}</ref> Tamthilia ya ''Island Life'', iliyoonyeshwa kwa mara ya kwanza katika Ukumbi wa Tamthilia wa Nottingham, inafuatilia maisha ya wanawake watatu wanaoishi katika makazi ya wazee.
Katika tamthilia ya ''Raising Fires'' (1994), Tilda, msichana yatima kutoka Karibiani ya [[Magharibi]], analetwa katika eneo la Essex mwanzoni mwa karne ya kumi na saba na mchungaji, kisha anashutumiwa kwa uchawi.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=968LBwAAQBAJ&pg=PA232|title=Alternatives Within the Mainstream: British Black and Asian Theatres|last=Godiwala|first=Dimple|date=2008-12-18|publisher=Cambridge Scholars Publishing|isbn=978-1-4438-0286-4|language=en}}</ref>
''Poison'' (2000) ilibadilishwa kwa hadhira ya Uingereza kutoka toleo la muziki la Afrika Kusini la tamthilia ya ''Othello'', ambalo awali liliandikwa na kuongozwa na David Kramer.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Uingereza]]
95at9dlgmv70vxsw0bnq3ln8w2cpr0w
Aimee Yonce Shennel
0
243462
1584316
1583896
2026-08-05T12:55:06Z
Riccardo Riccioni
452
1584316
wikitext
text/x-wiki
'''Aimee Yonce Shennel''' ni jina la kisanii la '''Lorena Aimee Domínguez''', [[msanii]] wa drag wa [[Kanada]] mwenye asili ya [[Jamhuri ya Dominika]] ambaye alishiriki katika msimu wa 4 wa kipindi cha Canada's Drag Race.<ref>{{Cite web|title=Quienes Somos Ottawa y Gatineau Wilnest Dominguez | website=YouTube |url=https://m.youtube.com/watch?si=NE9Ve1884XIrxnDL&v=YEckNyo3D88&feature=youtu.be |language=es|date=March 30, 2021 |access-date=December 26, 2024}}</ref>
== Kazi ==
Aimee Yonce Shennel ni msanii wa *drag* anayeishi na kufanya kazi katika jiji la [[Ottawa]].<ref>{{Cite web |last= |first= |date=2021-03-24 |title=Ottawa's drag queens have kept their art alive during COVID-19 |url=https://capitalcurrent.ca/ottawas-drag-queens-have-kept-their-art-alive-during-covid-19/ |access-date=2023-12-30 |website=Capital Current |language=en-CA |archive-date=2022-05-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220524175557/https://capitalcurrent.ca/ottawas-drag-queens-have-kept-their-art-alive-during-covid-19/ |url-status=live }}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD||}}
[[Jamii:Watu wa Kanada]]
cew5wkariz7dhmjqi3ofoqd1kuz0yfo
Romain Ntamack
0
243467
1584317
1583904
2026-08-05T12:56:18Z
Riccardo Riccioni
452
1584317
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:RomainNtamack2023(cropped).png|thumb|RomainNtamack2023]]
'''Romain Ntamack''' (alizaliwa [[1 Mei]] [[1999]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya:
* Kiungo mshambuliaji wa mbele (nafasi namba 10)
Anachezea:
* Stade Toulousain katika ligi ya Top 14
* France national rugby union team
Akiwa amecheza kwa Stade Toulousain tangu akiwa [[mtoto]], Ntamack alishinda taji lake la kwanza la Top 14 msimu wa 2018–19 akiwa na [[klabu]] hiyo.
Mwaka 2021, alisaidia Toulouse kushinda mataji mawili makubwa kwa pamoja:
* Ubingwa wa Ufaransa (Top 14)
* Kombe la Mabingwa wa Raga ya Ulaya
Alifanya mchezo wake wa kwanza wa wakubwa kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa dhidi ya [[Wales]] katika Mashindano ya Six Nations ya [[2019]], baada ya awali kuitwa kwenye timu ya Ufaransa chini ya miaka 20.
== Maisha ya awali ==
Romain Ntamack alizaliwa tarehe 1 [[Mei]] [[1999]] katika [[mji]] wa Toulouse nchini Ufaransa.
Baba yake ni Émile Ntamack, aliyekuwa mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa.
Émile Ntamack alicheza kwa muda wote wa kazi yake ya uchezaji katika klabu ya Stade Toulousain.
== Heshima na mafanikio ==
Stade Toulousain
=== Kombe la Mabingwa wa Raga ya Ulaya ===
* 🏆 Mabingwa: 2021, 2024 ''(Mara 2)''
=== Top 14 ===
* 🏆 Mabingwa wa Ligi Kuu ya Raga ya Ufaransa:
** [[2019]]
** 2021
** 2023
** 2024
** [[2025]]
** [[2026]] <ref>https://www.ladepeche.fr/2019/12/29/romain-ntamack-de-la-tete-et-des-epaules-8631676.php</ref><ref>https://actualitte.com/article/110488/edition/le-rugbyman-romain-ntamack-fait-de-sa-vie-une-oeuvre</ref><ref>https://www.leparisien.fr/sports/ntamack-la-grande-star-02-02-2008-3296022455.php</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1999]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]
9sv1kcgf3ym2mz2s51nf9bvbigtalgb
Marie-Joseph Angélique
0
243468
1584319
1584022
2026-08-05T12:58:28Z
Riccardo Riccioni
452
1584319
wikitext
text/x-wiki
[[File:Procès contre Marie-Josèphe-Angélique, Montréal 1734.djvu|thumb|Kesi dhidi ya Marie-Josèphe-Angélique, Montreal, mwaka 1734]]
'''Marie-Josèphe aitwaye Angélique''' (takriban [[1705]] – [[1734]]) alikuwa [[mwanamke]] mweusi aliyekuwa mtumwa huko New France ambaye alishtakiwa, akahukumiwa na kuuawa kwa madai ya kuchoma moto jiji la Montreal mwaka [[1734]]. Ingawa tafsiri za awali za kihistoria zilikubali kwamba alikuwa na hatia, tafiti za kisasa zimechunguza upya maisha yake na kesi yake kwa kuzingatia muktadha mpana wa utumwa, ukoloni na ukosefu wa usawa wa rangi katika [[Kanada]] ya awali.
Badala ya kuonekana kama kesi rahisi ya uhalifu, simulizi ya Angélique imekuwa mfano muhimu wa jinsi mifumo ya umaskini, upendeleo na upinzani wa kijamii ilivyofanya kazi huko New France.
== Maisha ya awali ==
Angélique alizaliwa takriban mwaka 1705 huko [[Madeira]], eneo lililokuwa chini ya [[Portugal]] katika Bahari ya [[Atlantiki]], upande wa [[magharibi]] mwa [[Moroko]].<ref name="toponym">[http://ville.montreal.qc.ca/portal/page?_pageid=1576,51995601&_dad=portal&_schema=PORTAL&id=3415 "Nomination de la Place Marie-Josèphe-Angélique."] Ville de Montréal. February 14, 2012.</ref><ref name="aaregistry.org">{{Rejea tovuti |title=Marie-Joseph Angélique, Abolitionist born |url=https://aaregistry.org/story/marie-joseph-angelique-abolitionist-born/ |access-date=2024-02-15 |website=African American Registry |language=en}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1705|1734}}
[[Jamii:Wanawake wa Ureno]]
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:utumwa]]
e7lc1a1rv9kcuykdypy5jtbswg2djsz
Damian Penaud
0
243471
1584322
1583909
2026-08-05T13:02:01Z
Riccardo Riccioni
452
1584322
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:DamianPenaud2022.png|thumb|DamianPenaud2022]]
'''Damian Penaud''' (alizaliwa [[25 Septemba]] [[1996]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya:
* Winga Mshambuliaji wa pembeni
Anachezea:
* Union Bordeaux Bègles katika ligi ya Top 14
* France national rugby union team
== Kazi ya klabu ==
Damian Penaud alicheza katika kikosi cha akademi cha Clermont.
Baadaye alichaguliwa kuingia katika kikosi cha Ufaransa chini ya [[miaka]] 20 kwa ajili ya mashindano ya Mashindano ya [[Dunia]] ya Raga ya Wachezaji Chini ya Miaka 20 ya mwaka [[2015]].
Katika mashindano hayo, alifunga tries 2 dhidi ya timu ya ([[Uingereza]] chini ya miaka 20).
== Heshima na mafanikio ==
France national rugby union team
=== Mashindano ya Mataifa Sita ya Raga ===
* 🏆 Mabingwa: 2022, [[2025]] ''(Mara 2)''
=== Grand Slam ===
* 🏆 Ushindi kamili wa Six Nations: 2022 <ref>https://all.rugby/player/damian-penaud</ref><ref>https://web.archive.org/web/20150611105910/http://www.worldrugby.org/u20/match/21759</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2025/jan/11/exeter-bordeaux-champions-cup-rugby-union-match-report</ref> ''(Mara 1)''
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
majbbifvmdfdmvxnu58qojxy2q769at
Addie Aylestock
0
243474
1584323
1583912
2026-08-05T13:03:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584323
wikitext
text/x-wiki
'''Addie Aylestock''' ([[1909]] – [[1998]]) alikuwa mhudumu wa [[dini]] wa [[Kanada]] katika British Methodist Episcopal Church. Alikuwa [[mwanamke]] wa kwanza kupewa daraja la uchungaji katika [[kanisa]] hilo, na pia mwanamke wa kwanza mweusi kupewa daraja la uchungaji nchini Kanada.<ref>{{Cite web|url=https://www.thecanadianencyclopedia.ca/en/article/addie-aylestock|title=Addie Aylestock {{!}} The Canadian Encyclopedia|website=www.thecanadianencyclopedia.ca|access-date=2019-06-12}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Aylestock alikuwa binti wa William Aylestock na Minnie Lawson, na alikuwa mtoto mkubwa kati ya [[watoto]] wanane. Alizaliwa huko Mapleton, Ontario|Glen Allan, karibu na [[Elmira]], [[Ontario]], katika mojawapo ya jamii nyingi za wakulima weusi zilizokuwepo katika jimbo la Ontario.<ref name="walker">{{cite book|last=Walker|first=Barrington|title=The History of Immigration and Racism in Canada: Essential Readings|url=https://books.google.com/books?id=W1YQ73A_if8C&pg=PA240|year=2008|publisher=Canadian Scholars' Press|isbn=9781551303406|page=240}}</ref> [[Familia]] yake iliishi katika maeneo mbalimbali kulingana na mahali ambapo walipata kazi. Wazazi na mababu zake walitokana na watu weusi waliokaa kando ya Conestogo River katika maeneo ya Regional Municipality of Waterloo na Wellington County, [[Ontario]].<ref>{{cite book|last=Hoerder|first=Dirk|title=Creating Societies: Immigrant Lives in Canada|url=https://archive.org/details/creatingsocietie0000hoer|url-access=registration|year=2000|publisher=McGill-Queen's Press|isbn=9780773567986|page=[https://archive.org/details/creatingsocietie0000hoer/page/116 116]}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-Mkristo}}
{{BD|1909|1998}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wachungaji]]
axx1boed7qsy1gjm6bwhyfciaqqs8tv
Grégory Alldritt
0
243476
1584324
1583914
2026-08-05T13:04:22Z
Riccardo Riccioni
452
1584324
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:GrégoryAlldritt2022.png|thumb|GrégoryAlldritt2022]]
'''Grégory Alldritt''' (alizaliwa [[23 Machi]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa kulipwa wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya:
* (Namba 8) → Mchezaji wa mwisho katika safu ya mbele mwenye jukumu la kushambulia, kukamata mipira na kusaidia ulinzi.
Anachezea:
* Stade Rochelais (La Rochelle) katika [[ligi]] ya Top 14
* France national rugby union team
== Maisha ya awali ==
Grégory Alldritt alizaliwa tarehe 23 Machi 1997 katika mji wa Toulouse, Ufaransa.
Alikulia katika [[mji]] wa Condom uliopo katika [[eneo]] la Gers.
Baba yake, Terence Alldritt, alizaliwa nchini [[Kenya]] kutokana na wazazi wenye asili ya [[Ireland]] na [[Denmark]]. Baadaye aliishi katika Stirling kabla ya kuhamia na kuishi nchini Ufaransa.
Mama yake ni Mfaransa mwenye asili ya [[Italia]].
Grégory ana kaka wawili wakubwa:
* Tom
* Scott <ref>https://www.rte.ie/sport/rugby/2024/0201/1429967-alldritt-france-ready-to-deliver-huge-performance/</ref><ref>https://www.staderochelais.com/les-equipes/gregory-alldritt</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
56vkk6lbyq12jv41wbhkt5a469g3k8y
Francoise Baylis
0
243483
1584326
1583972
2026-08-05T13:06:36Z
Riccardo Riccioni
452
1584326
wikitext
text/x-wiki
'''Françoise Elvina Baylis''' (amezaliwa [[1961]]) ni mtaalamu wa maadili ya biolojia wa [[Kanada]] ambaye kazi yake iko kwenye makutano ya maadili yanayotumika (*applied ethics*), sera za [[afya]] (*health policy*) na utekelezaji wa huduma za afya.<ref name=":11">{{Rejea tovuti|url=https://www.dal.ca/sites/noveltechethics/our-people/francoise-baylis.html|title=Françoise Baylis|date=2019|website=NTE Impact Ethics|publisher=Dalhousie University|access-date=14 June 2019}}</ref>
Mwelekeo mkuu wa utafiti wake ni masuala yanayohusu [[afya]] ya [[wanawake]] na [[teknolojia]] za [[uzazi]] saidizi. Hata hivyo, tafiti na machapisho yake pia yanahusisha mada kama vile utafiti unaohusisha [[binadamu]] (ikiwemo utafiti wa viinitete vya binadamu), uhariri wa jeni (*gene editing*), teknolojia mpya za kijenetiki, afya ya umma, nafasi ya washauri wa maadili ya biolojia na maadili ya mfumo wa neva (*neuroethics*).<ref name=":5">{{Rejea tovuti|url=https://www.dal.ca/sites/noveltechethics/about.html|title=About NTE: Impact Ethics|date=2019|website=NTE Impact Ethics|publisher=Dalhousie University|access-date=14 June 2019}}</ref><ref name=":1">{{Rejea tovuti|url=https://impactethics.ca/2013/04/04/impact-ethics-making-a-difference/|title=Impact ethics: Making a difference|last=Baylis|first=Françoise|date=4 April 2013|website=Impact Ethics|publisher=Blog at WordPress.com|access-date=14 June 2019}}</ref> Baylis ana shauku kubwa kuhusu athari za maadili ya baiolojia (*bioethics*) katika afya na sera za umma (*public policy*).
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mwanasayansi}}
{{BD|1961|}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Kanada]]
ft91do7dqthkkcm89yhaydfnjrrlk02
Gaël Fickou
0
243484
1584327
1583922
2026-08-05T13:07:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584327
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:GaëlFickou ItaliaFrancia6N2023(cropped).jpg|thumb|GaëlFickou]]
'''Gaël Fickou''' (aliyezaliwa [[26 Machi]] [[1994]]) ni [[mchezaji]] wa kitaalamu wa [[mchezo]] wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (kiungo wa nyuma katika safu ya washambuliaji wa nje) kwa klabu ya Racing 92 inayoshiriki ligi ya juu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Maisha ya klabu ==
Gaël Fickou alicheza [[mechi]] yake ya kwanza katika mashindano ya Heineken tarehe 14 Oktoba [[2012]], ambapo alifunga jaribio pekee la mchezo katika ushindi dhidi ya Leicester Tigers.
Uwezo wake wa kusogea kwa urahisi uwanjani, usawa wa mwili na kasi yake ukilinganishwa na ukubwa wa mwili wake, umesababisha kulinganishwa na gwiji wa raga wa [[Uingereza]] Jeremy Guscott.
Kulingana na mchezaji mwenzake wa Stade Toulousain na timu ya taifa ya Ufaransa, Maxime Médard, Fickou "ni mmoja wa wachezaji [[10]] bora wa nafasi ya centre duniani, na hivi karibuni atakuwa namba moja."
== Mafanikio ==
Ufaransa
Mara 2 Bingwa wa Mashindano ya Six Nations Championship: 2022, [[2025]]
Mara 1 Grand Slam: [[2022]] <ref>https://www.independent.co.uk/sport/rugby/rugby-union/international/six-nations-2014-france-eagerly-await-another-burst-of-speed-from-zerotohero-gael-fickou-9117118.html</ref><ref>https://www.skysports.com/rugby-union/news/16600/11389188/france-centre-gael-fickou-joins-stade-francais</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ap3jh6sdwv6ajwpwq3vqtewx3a70cq6
Gloria Baylis
0
243487
1584328
1583925
2026-08-05T13:08:24Z
Riccardo Riccioni
452
1584328
wikitext
text/x-wiki
'''Gloria Leon Baylis''' ([[29 Juni]] [[1929]] – [[12 Aprili]] [[2017]]) alikuwa [[mwanaharakati]] wa [[haki za kiraia]], muuguzi aliyesajiliwa na [[mjasiriamali]] wa [[Kanada]] mwenye asili ya [[Barbados]].<ref>{{cite web |title=Gloria Baylis |url=https://thecanadianencyclopedia.ca/en/article/gloria-baylis |website=The Canadian Encyclopedia |accessdate=6 March 2026 |date=May 12, 2023|last=Flynn|first=Karen|url-status=live}}</ref> Alishinda kesi ya kwanza kabisa nchini Kanada kuhusu [[ubaguzi wa rangi]] unaohusiana na ajira, na baadaye alianzisha Baylis Medical Company, kampuni ambayo mwaka [[2018]] iliorodheshwa miongoni mwa kampuni zinazosimamiwa vizuri zaidi nchini Kanada.<ref>{{cite web |author1=Rosemary Counter |title=Baylis Medical: Canada's Best Managed Companies 2018 |url=https://www.canadianbusiness.com/lists-and-rankings/best-managed-companies/baylis-medical/|website=Canadian Business |accessdate=10 January 2019 |date=8 March 2018}}</ref>
== Maisha ya awali na kazi ==
Gloria Leon Baylis alizaliwa na Antoinette Margaret Clarke na Reynold Leon Clarke huko [[Bridgetown]], [[Barbados]], tarehe 29 Juni 1929.<ref>{{cite web |title=Gloria Baylis |url=https://thecanadianencyclopedia.ca/en/article/gloria-baylis |website=The Canadian Encyclopedia |accessdate=6 March 2026 |last=Flynn|first=Karen|url-status=live|date=May 12, 2023}}</ref> Mwaka 1948 alihamia Uingereza, ambako alipata mafunzo ya uuguzi na ukunga (*midwifery*). Alifanya kazi katika Kingston General Hospital kuanzia mwaka [[1948]] hadi [[1951]], na kuanzia mwaka 1951 hadi 1952 alifanya kazi katika Chiswick Maternity Hospital pamoja na Myddleton Square Nursing Association.
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1929|2017}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kanada]]
d08smsxc38ay3gfawie0kovox0jcxgi
1584344
1584328
2026-08-05T13:18:56Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584344
wikitext
text/x-wiki
'''Gloria Leon Baylis''' ([[29 Juni]] [[1929]] – [[12 Aprili]] [[2017]]) alikuwa [[mwanaharakati]] wa [[haki za kiraia]], muuguzi aliyesajiliwa na [[mjasiriamali]] wa [[Kanada]] mwenye asili ya [[Barbados]].<ref>{{cite web |title=Gloria Baylis |url=https://thecanadianencyclopedia.ca/en/article/gloria-baylis |website=The Canadian Encyclopedia |accessdate=6 March 2026 |date=May 12, 2023|last=Flynn|first=Karen|url-status=live}}</ref> Alishinda kesi ya kwanza kabisa nchini Kanada kuhusu [[ubaguzi wa rangi]] unaohusiana na ajira, na baadaye alianzisha Baylis Medical Company, kampuni ambayo mwaka [[2018]] iliorodheshwa miongoni mwa kampuni zinazosimamiwa vizuri zaidi nchini Kanada.<ref>{{cite web |author1=Rosemary Counter |title=Baylis Medical: Canada's Best Managed Companies 2018 |url=https://www.canadianbusiness.com/lists-and-rankings/best-managed-companies/baylis-medical/ |website=Canadian Business |accessdate=10 January 2019 |date=8 March 2018 |archive-date=2019-10-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20191024022403/https://www.canadianbusiness.com/lists-and-rankings/best-managed-companies/baylis-medical/ |url-status=dead }}</ref>
== Maisha ya awali na kazi ==
Gloria Leon Baylis alizaliwa na Antoinette Margaret Clarke na Reynold Leon Clarke huko [[Bridgetown]], [[Barbados]], tarehe 29 Juni 1929.<ref>{{cite web |title=Gloria Baylis |url=https://thecanadianencyclopedia.ca/en/article/gloria-baylis |website=The Canadian Encyclopedia |accessdate=6 March 2026 |last=Flynn|first=Karen|url-status=live|date=May 12, 2023}}</ref> Mwaka 1948 alihamia Uingereza, ambako alipata mafunzo ya uuguzi na ukunga (*midwifery*). Alifanya kazi katika Kingston General Hospital kuanzia mwaka [[1948]] hadi [[1951]], na kuanzia mwaka 1951 hadi 1952 alifanya kazi katika Chiswick Maternity Hospital pamoja na Myddleton Square Nursing Association.
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1929|2017}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Kanada]]
dlfsvnnxwfmqui4aponjugmewcxdnsl
Thomas Ramos
0
243497
1584329
1584206
2026-08-05T13:09:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584329
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Thomas Ramos 2018.jpg|thumb|Thomas Ramos 2018]]
'''Thomas Ramos''' (alizaliwa [[23 Julai]] [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mlinzi wa mwisho katika safu ya ulinzi) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki ligi ya juu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Maisha ya klabu ==
Thomas Ramos akichezea Colomiers Rugby mwaka 2016. Mwezi [[Februari]] 2014, akiwa na umri wa [[miaka]] 18, Ramos alifunga jaribo katika mechi yake ya kwanza akiwa na Stade Toulousain katika mashindano ya Top 14, dhidi ya Castres Olympique. Katika msimu wa [[2016]]–17, Ramos alicheza kwa mkopo katika [[klabu]] ya Colomiers Rugby ili kupata uzoefu zaidi wa ushindani.
== Mafanikio ==
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2021, 2024
Mara 5 Bingwa wa Top 14: 2019, 2021, 2023, [[2024]], 2025
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, 2025, [[2026]]
Mara 1 Grand Slam: [[2022]] <ref>https://web.archive.org/web/20140801051956/http://www.rugbynews.fr/Actualites/Top-14/Articles/Castres-renversant-contre-Toulouse-58407/</ref><ref>https://www.florugby.com/articles/14082675-toulon-vs-toulouse-champions-cup-quarterfinal-live-updates-and-scores</ref><ref>https://www.rugbyworldcup.com/2023/teams/france/player/55625</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8s0qj5ibv3r0zcq4gsq605pw9d9jjt1
Mary E. Bibb
0
243501
1584330
1584201
2026-08-05T13:09:52Z
Riccardo Riccioni
452
1584330
wikitext
text/x-wiki
'''Mary Elizabeth''' ([[1820]] – [[1877]] au mwanzoni mwa [[miaka ya 1880]]) alikuwa [[mwalimu]] mzaliwa wa [[Marekani]] na kiongozi wa harakati za kukomesha utumwa. Anaonwa na baadhi ya wanahistoria kuwa mwanahabari mwanamke wa kwanza Mweusi nchini [[Kanada]].
Alikuwa mwalimu na mwanaharakati wa kupinga utumwa nchini Marekani kabla ya kuhamia Kanada pamoja na mumewe Henry Bibb baada ya kupitishwa kwa Fugitive Slave Act of 1850, [[sheria]] iliyowarahisishia sana wawindaji wa watumwa kuwakamata watu Weusi waliotoroka na hata wale waliokuwa huru. Alianzisha shule kwa ajili ya Wakanada Weusi, alichapisha ''gazeti la Voice of the Fugitive'', na kusaidia Waamerika wenye asili ya Afrika kuhamia na kuanzisha maisha nchini Kanada.
== Maisha ya awali ==
Akiwa binti wa [[wazazi]] Weusi waliokuwa huru na wa dhehebu la [[Quaker]], alizaliwa kwa jina la '''Mary Elizabeth Miles''' huko [[Rhode Island]] karibu na mwaka [[1820]].<ref name=":0">{{Rejea tovuti|url = http://ic.galegroup.com/ic/bic1/BiographiesDetailsPage/BiographiesDetailsWindow?failOverType=&query=&prodId=BIC1&windowstate=normal&contentModules=&display-query=&mode=view&displayGroupName=Biographies&limiter=&currPage=&disableHighlighting=false&displayGroups=&sortBy=&search_within_results=&p=BIC1&action=e&catId=&activityType=&scanId=&documentId=GALE%7CK1623000879&source=Bookmark&u=mlin_n_umass&jsid=0ae66657dee250925f258437e1115388|title = Notable Black American Women|date = 2002|access-date = February 12, 2016|website = Biography in Context|publisher = Gale|last = |first = }}</ref><ref name="cwrc.ca">{{Rejea tovuti|url=https://cwrc.ca/islandora/object/ceww%3Ab8d0f34b-6a85-4127-bfb1-db15f77bb887|title = Mary Bibb |work=Canada’s Early Women Writers |date=August 1, 2018 }}</ref>
Alianza masomo yake katika Canterbury Female Boarding School, shule ya kwanza nchini Marekani iliyowafundisha wanawake Weusi kuwa walimu. Baada ya shule hiyo kufungwa mwaka 1834 kutokana na upinzani wa jamii, aliendelea na masomo katika Clinton, Oneida County, New York#Former schools in Clinton huko Clinton, Oneida County, New York.<ref name=bristow>{{cite book |url=https://books.google.com/books?id=dfLvSgiKsFwC&pg=PA143 |title=We're Rooted Here and They Can't Pull Us Up: Essays in African Canadian Women's History |pages=143–60 |last=Bristow |first=Peggy |year=1994 |publisher=University of Toronto Press |isbn=0802068812}}</ref>
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
{{BD|1820|1877}}
[[Jamii:Wanawake wa Kanada]]
b1rc9pwrjms9wwzp5dm1y5ca8zdsxvp
Charles Ollivon
0
243505
1584331
1584195
2026-08-05T13:10:30Z
Riccardo Riccioni
452
1584331
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:CharlesOllivon2022.png|thumb|CharlesOllivon2022]]
'''Charles Ollivon''' (alizaliwa [[11 Mei]] [[1993]]) ni [[mchezaji]] wa mbobezi wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa pembeni katika safu ya washambuliaji wa mbele) kwa [[klabu]] ya RC Toulonnais inayoshiriki ligi ya juu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
RC Toulonnais (Toulon)
Mara 2 mshindi wa pili wa Top 14: 2016, [[2017]]
Mara 1 Bingwa wa EPCR Challenge Cup: [[2023]]
Mara 2 mshindi wa pili wa EPCR Challenge Cup: 2020, [[2022]]
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 1 Bingwa wa Six Nations Championship: 2026
Mara 4 mshindi wa pili wa Six Nations Championship: [[2020]], 2021, 2023, 2024 <ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/30832205</ref><ref>https://finance.yahoo.com/news/flanker-charles-ollivon-named-captain-134946145.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
bzfsguwrrpt4hbgaquxrvn7zb5idym3
Cyril Baille
0
243509
1584332
1584181
2026-08-05T13:11:15Z
Riccardo Riccioni
452
1584332
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Cyril Baille cropped.jpg|thumb|Cyril Baille]]
'''Cyril Baille''' (alizaliwa [[15 Septemba]] [[1993]]) ni [[mchezaji]] wa mbobezi wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa mstari wa mbele anayesaidia kusukuma kwenye scrum) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki [[Ligi Kuu Tanzania Bara|ligi]] ya juu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Maisha ya kitaalamu ==
Cyril Baille alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa mwezi Novemba mwaka [[2016]]. Pia alikuwa sehemu ya kikosi cha Ufaransa kilichoshiriki mashindano ya Six Nations Championship ya mwaka [[2017]].
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, [[2025]], 2026
Mara 1 Grand Slam: 2022
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2021, 2024
Mara 5 Bingwa wa Top 14: [[2015|2019]], 2021, 2023, 2024 na [[2025]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/cyril-baille-27581/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20170126103534/http://www.rbs6nations.com/en/news/30625.php#KkKLOs837f0Mf1XD.97</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
kit6oehtarfjixcw8d1qu8fx3klv5th
Julien Marchand
0
243513
1584334
1584167
2026-08-05T13:12:00Z
Riccardo Riccioni
452
1584334
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:JulienMarchand2018(cropped).jpg|thumb|JulienMarchand2018]]
'''Julien Marchand''' (alizaliwa 10 Mei [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa mbobezi wa raga kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa mstari wa mbele anayehusika na kurusha mpira kwenye line-out na kusaidia kwenye scrum) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki [[ligi]] ya juu ya Ufaransa na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, 2025, [[2022|2026]]
Mara 1 Grand Slam: 2022
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2021, 2024
Mara 4 Bingwa wa Top 14: [[2019]], 2021, [[2023]], 2024 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/julien-marchand-33505/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
12s1llm3r4q8wigayltjjjmtmpdwprp
Uini Atonio
0
243516
1584335
1584156
2026-08-05T13:12:56Z
Riccardo Riccioni
452
1584335
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:UiniAtonio2015(cropped).jpg|thumb|UiniAtonio2015]]
'''Uini Atonio''' (kwa Kisamoa: [wini atoniːo]; alizaliwa [[26 Machi]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa kitaalamu wa raga ambaye alicheza nafasi ya (mchezaji wa mstari wa mbele anayesaidia kusukuma kwenye scrum).
Alicheza sehemu kubwa ya maisha yake ya uchezaji kwa [[Klabu ya mpira wa miguu ya Polisi ya Kenya|klabu]] ya Stade Rochelais inayoshiriki ligi ya juu ya [[Ufaransa]] (Top 14). Alizaliwa nchini [[New Zealand]], lakini aliwakilisha timu ya taifa ya Ufaransa baada ya kupata sifa ya kuchezea taifa hilo kupitia [[sheria]] ya ukaazi . Alistaafu akiwa na umri wa miaka [[35]] kutokana na mshtuko wa [[moyo]] uliotokea mwezi Januari [[2026]].
== Mafanikio ==
Stade Rochelais (La Rochelle)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2022, 2023
Mara 1 mshindi wa pili wa European Rugby Champions Cup: 2021
Mara 1 mshindi wa pili wa European Rugby Challenge Cup: [[2019]]
Mara 2 mshindi wa pili wa Top 14: [[2021]], 2023
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, 2025, 2026
Mara 1 Grand Slam: 2022
Mara 2 mshindi wa pili wa Six Nations Championship: 2021, [[2023]] <ref>https://la1ere.franceinfo.fr/nouvellecaledonie/2016/01/29/xv-de-france-cinq-oceaniens-retenus-pour-le-tournoi-des-vi-nations-326589.html</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/60756147</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Samoa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mnrqubog9m5bg0p0idzxrrzeio85f5o
Peato Mauvaka
0
243518
1584336
1584150
2026-08-05T13:13:33Z
Riccardo Riccioni
452
1584336
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:PeatoMauvaka2022.png|thumb|PeatoMauvaka2022]]
'''Peato Mauvaka''' (aliyezaliwa [[10 Januari]] [[1997]]) ni mchezaji wa mbobezi wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa mstari wa mbele anayehusika na kurusha mpira kwenye line-out na kusaidia katika scrum) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki ligi ya juu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga. Alizaliwa katika mji wa Nouméa, New Caledonia, katika [[familia]] yenye asili ya Wawalis.
Alianza maisha yake ya kitaalamu ya raga akiwa na Stade Toulousain mwaka [[2016]].
== Mafanikio ==
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: [[2021]], 2024
Mara 4 Bingwa wa Top 14: 2019, 2021, [[2023]], 2024
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, [[2025]], 2026
Mara 1 Grand Slam: [[2022]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/peato-mauvaka-36703/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
lgtqyk7gg2zcs47wv9wfa4sfh0lroju
François Cros
0
243520
1584337
1584148
2026-08-05T13:14:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584337
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:FrancoisCrosToulouse2018(cropped).jpg|thumb|FrancoisCrosToulouse2018]]
'''François Cros''' (alizaliwa [[25 Machi]] [[1994]]) ni mchezaji wa Mbobezi wa raga kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa pembeni katika safu ya washambuliaji wa mbele) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, [[2025]], 2026
Mara 1 Grand Slam: 2022
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: [[2021]], 2024
Mara 5 Bingwa wa Top 14: 2019, 2021, [[2023]], 2024, 2025 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/francois-cros-28129/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fpcvdiovrwxe20xqjrrzqp6yyq9lvsn
Thibaud Flament
0
243523
1584338
1584141
2026-08-05T13:14:47Z
Riccardo Riccioni
452
1584338
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Flament20236Nations(cropped).jpg|thumb|Flament2023]]
'''Thibaud Flament''' (alizaliwa [[29 Aprili]] [[1997]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa safu ya pili katika washambuliaji wa mbele, anayesaidia kwenye line-out na nguvu ya scrum) kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain inayoshiriki ligi kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: [[2021]], 2024
Mara 4 Bingwa wa Top 14: 2021, [[2023]], 2024, 2025
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, 2025, [[2026]]
Mara 1 Grand Slam: [[2022]] <ref>https://www.rugbyworld.com/featured/the-incredible-rise-of-thibaud-flament-137241</ref><ref>https://www.telegraph.co.uk/rugby-union/2022/03/15/thibaud-flament-wouldnt-playing-france-today-without-support/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
s9e2mtuyb0hs56jj0qfnrmu5mhal975
Paul Willemse
0
243525
1584339
1584138
2026-08-05T13:15:59Z
Riccardo Riccioni
452
1584339
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:PaulWillemse2019(cropped).jpg|thumb|PaulWillemse2019]]
'''Paul Willemse''' (alizaliwa [[13 Novemba]] [[1992]]) ni mchezaji wa zamani wa kitaalamu wa [[raga]] mwenye [[uraia]] wa [[Ufaransa]] na [[Afrika Kusini]]. Alicheza nafasi ya k (mchezaji wa safu ya pili katika washambuliaji wa mbele, anayesaidia kwenye line-out na nguvu ya kusukuma).
Alizaliwa na kukulia nchini Afrika Kusini, kisha alihamia Ufaransa mwaka [[2014]]. Alistahili kuchezea timu ya taifa ya Ufaransa baada ya kupata uraia wa Ufaransa mwaka [[2018]]. Alicheza sehemu kubwa ya maisha yake ya uchezaji kwa [[klabu]] ya Montpellier Hérault Rugby inayoshiriki ligi kuu ya Ufaransa (Top 14).
== Mafanikio ==
Montpellier Hérault Rugby (Montpellier)
Top 14: [[2021]]–22
European Rugby Challenge Cup: [[2015]]–16
France national rugby union team (Ufaransa)
Six Nations Championship: [[2022]] <ref>https://www.theguardian.com/sport/2022/mar/16/paul-willemse-france-rugby-six-nations-i-closed-my-childhood-dream-when-i-sang-la-marseillaise</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
4gx3ywkw4fr946bs53d7sbcy6gurxba
Jonathan Danty
0
243527
1584340
1584135
2026-08-05T13:16:37Z
Riccardo Riccioni
452
1584340
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Geneva Rugby Cup - 20140808 - SF vs LOU - Jonathan Danty 1 filtered.jpg|thumb|Jonathan Danty]]
'''Jonathan Danty''' (alizaliwa [[7 Oktoba]] [[1992]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma ya uwanja) kwa [[klabu]] ya Stade Rochelais inayoshiriki [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 1 Bingwa wa Six Nations Championship: [[2022]]
Mara 1 Grand Slam: 2022
Stade Français Paris (Stade Français)
Mara 1 Bingwa wa Top 14: [[2014]]–15
Mara 1 Bingwa wa European Rugby Challenge Cup: [[2016]]–17
Stade Rochelais (La Rochelle)
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: [[2021]]–22, [[2022]]–23 <ref>https://la1ere.franceinfo.fr/septembre-2011-les-premiers-pas-du-guadeloupeen-jonathan-danty-dans-le-rugby-professionnel-1425236.html</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/61620139</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0xfhrxfc0vzr5s5ppx1c9puos2ujncq
Louis Bielle-Biarrey
0
243528
1584341
1584133
2026-08-05T13:17:16Z
Riccardo Riccioni
452
1584341
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Louis Bielle Biarrey 2022.jpg|thumb|Louis Bielle Biarrey 2022]]
'''Louis Bielle-Biarrey''' (alizaliwa [[19 Juni]] [[2003]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]] anayocheza nafasi ya [[winga]] (mshambuliaji wa pembeni katika safu ya nyuma).
Kwa sasa anachezea klabu ya Union Bordeaux Bègles inayoshiriki [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa ya raga. Ameweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa majaribio katika [[historia]] ya Bordeaux Bègles, baada ya kufunga majaribio 47 katika mechi za msimu wa Top 14 2025–26 dhidi ya Lyon OU.
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 2 Bingwa wa Six Nations Championship: [[2025]], [[2026]]
Union Bordeaux Bègles
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2025, 2026
Mafanikio binafsi
Mara 2 Mchezaji Bora wa Six Nations Championship 2025, 2026 <ref>https://www.ubbrugby.com/equipes/equipe-premiere/effectif/j324-louis-bielle-biarrey.html</ref><ref>https://itsrugby.fr/joueurs/louis-bielle-biarrey-49619/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2003]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4ks6brgv7h9i2d2z0bc1g9zlkzrqpfk
Matthieu Jalibert
0
243529
1584345
1584132
2026-08-05T13:19:06Z
Riccardo Riccioni
452
1584345
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Matthieu Jalibert 2022 (cropped).jpg|thumb|Matthieu Jalibert 2022]]
'''Matthieu Jalibert''' (alizaliwa [[6 Novemba]] [[1998]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Union Bordeaux Bègles na pia ni mchezaji wa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa ya raga. Anacheza nafasi ya (mchezaji anayesimamia uchezaji wa timu, kupanga mashambulizi na mara nyingi kupiga mipira ya penalti ).
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 2 Bingwa wa Six Nations Championship: [[2025]], [[2026]]
Union Bordeaux Bègles
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2025, 2026 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/matthieu-jalibert-40711/</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2018/feb/01/france-select-teenage-fly-half-matthieu-jalibert-six-nations-rugby-union-opener-ireland</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
gq02wgt1f4isdaqoe6vslk46u4y5t62
Maxime Lucu
0
243530
1584346
1584131
2026-08-05T13:19:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584346
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:MaximeLucu2022.png|thumb|MaximeLucu2022]]
'''Maxime Lucu''' (alizaliwa [[12 Januari]] [[1993]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji anayesimamia kuanzisha mashambulizi kutoka kwenye scrum, kuunganisha washambuliaji na mabeki) kweny [[klabu]] ya Union Bordeaux Bègles inayoshiriki [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 2 Bingwa wa Six Nations Championship: [[2022]], 2025
Mara 1 Grand Slam: 2022
Union Bordeaux Bègles
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: [[2025]], [[2026]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/maxime-lucu-33179/</ref><ref>https://www.straitstimes.com/sport/bordeaux-begles-thrash-injury-ravaged-toulouse-to-reach-rugbys-champions-cup-final</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
kzdpyi03hslkw0bdnugrqo5gwq9znmq
Yoram Moefana
0
243531
1584347
1584126
2026-08-05T13:21:52Z
Riccardo Riccioni
452
1584347
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:YoramMoefana2022.png|thumb|YoramMoefana2022]]
'''Yoram Moefana''' (alizaliwa [[18 Julai]] [[2000]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma ya uwanja) kwa klabu ya Union Bordeaux Bègles inayoshiriki ligi kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa ya raga. Alizaliwa katika [[familia]] yenye asili ya Wafutuna (Futunan). Alianza maisha yake ya kitaalamu ya raga mwaka [[2018]].
== Mafanikio ==
France national rugby union team (Ufaransa)
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2022, [[2025]], 2026
Mara 1 Grand Slam: 2022
Union Bordeaux Bègles
Mara 2 Bingwa wa European Rugby Champions Cup: 2025, [[2026]] <ref>https://rugby-scapulaire.com/breves/104271-yoram-moefana-je-naurais-pas-imagine-arriver-jusquici</ref><ref>https://la1ere.franceinfo.fr/wallisfutuna/rugby-jeune-yoram-moefana-rejoint-top-14-725010.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2000]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
m9ttrzeqn17byi7zdfcima99o6zq1wu
Melvyn Jaminet
0
243536
1584350
1584123
2026-08-05T13:26:04Z
Riccardo Riccioni
452
1584350
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Melvyn Jaminet 2025.jpg|thumb|Melvyn Jaminet 2025]]
'''Melvyn Jaminet''' (alizaliwa [[30 Juni]] [[1999]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Anacheza nafasi ya (mchezaji wa mwisho katika safu ya nyuma ya uwanja anayehusika na ulinzi, kupokea mipira ya juu na kuanzisha mashambulizi) kwenye [[klabu]] ya RC Toulon inayoshiriki [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14) na pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya raga.
== Mafanikio ==
Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa
Mara 1 Bingwa wa Six Nations Championship: [[2022]]
Mara 1 Grand Slam: 2022
USA Perpignan (Perpignan)
Mara 1 Bingwa wa Pro D2: [[2021]]
Stade Toulousain (Toulouse)
Mara 1 Bingwa wa Top 14: [[2023]] <ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/xv-de-france/2018-2019/fabien-galthie-appelle-22-novices-avec-les-bleus-pour-la-tournee-en-australie_sto8382576/story.shtml</ref><ref>https://www.espn.com/espn/story/_/id/40517876/france-suspend-melvyn-jaminet-racist-social-media-post</ref><ref>https://www.france24.com/en/europe/20240708-rugby-france-melvyn-jaminet-racist</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1999]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
gxh0xh3d7tyam333u74s24tgjuu8t0z
Jermikko
0
243538
1584501
1584225
2026-08-05T21:16:51Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584501
wikitext
text/x-wiki
'''Jermikko''' (alizaliwa 22 Julai 1946) ni mbunifu wa [[mitindo]] na [[mfanyabiashara]] kutoka [[Marekani]], anayeishi na kufanya kazi huko [[Chicago]]. Alikuwa mwanamke wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kumiliki duka katika eneo la kifahari la Magnificent Mile huko Chicago.
== Maisha ya awali na kazi ==
Jermikko alizaliwa kwa jina la Jermikko Shoshanna Johnson huko [[Chicago]] mwaka 1946. Alianza kutengeneza nguo akiwa kijana, akibadilisha na kubuni upya mavazi ya wanafamilia yake.
Mwaka 1972, baada ya kuhitimu shahada ya BFA (Shahada ya Sanaa Nzuri) kutoka Shule ya Taasisi ya Sanaa ya Chicago, alifanya mafunzo ya kazi chini ya mbunifu wa mitindo Stanley Korshak huko Chicago.
Mwaka 1979, alianzisha [[biashara]] yake mwenyewe ya mitindo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Self-Made {{!}} 150 Years of SAIC|url=http://www.saic.edu/150/self-made|work=www.saic.edu|accessdate=2026-08-04|language=en|archive-date=2020-02-08|archive-url=https://web.archive.org/web/20200208145846/http://www.saic.edu/150/self-made|url-status=dead}}</ref>
Amebuni mavazi yaliyotumika katika filamu ya Chi-Raq ya Spike Lee ya mwaka 2015 na pia katika kipindi cha [[televisheni]] Empire. Mwaka 2016, muundo wake wa kofia yenye mkono (''hoodie'') ulionekana katika video ya wimbo wa Beyoncé uitwao “Pray You Catch Me”.
Jermikko ni mkurugenzi mtendaji wa ubunifu na pia ni mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa chapa za mitindo Jermikko na JJ Hobeau.<ref>{{Rejea tovuti|title=Jermikko: Coat Fashions {{!}} ABC7 Chicago {{!}} abc7chicago.com|url=https://abc7chicago.com/archive/8550742/|work=ABC7 Chicago|accessdate=2026-08-04|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
jvd13bsr89mcw6a8cy24gzaf55kstvs
Fabien Galthié
0
243539
1584351
1584119
2026-08-05T13:26:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584351
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Fabien Galthié Feb 2023.jpg|thumb|Fabien Galthié Feb 2023]]
'''Fabien Galthié''' (matamshi ya Kifaransa: [fabjɛ̃ ɡaltie]; alizaliwa [[20 Machi]] [[1969]]) ni [[kocha]] wa raga kutoka [[Ufaransa]] na mchezaji wa zamani wa raga.
Kwa sasa ni kocha mkuu wa (Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa). Akiwa mchezaji, Galthié alicheza nafasi ya (mchezaji anayesimamia kuunganisha washambuliaji na mabeki na kuanzisha mashambulizi kutoka kwenye scrum) na aliwakilisha Ufaransa katika ngazi ya kimataifa.
Kama kocha, amekuwa na mafanikio makubwa pamoja na timu ya Ufaransa, ikiwa ni pamoja na ushindi wa Mashindano ya Mataifa Sita [[2022]] na Grand Slam 2022.
== Mafanikio ==
Akiwa mchezaji
Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa
Rugby World Cup
Mshindi wa pili [[1999]], 2011
Nafasi ya tatu: 1995
Nafasi ya nne: [[2003]]
Six Nations Grand Slam
Mshindi: 1997, [[1998]], [[2002]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/fabien-galthie-2631/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20200223115418/http://en.espn.co.uk/france/rugby/player/11026.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
rjk44b9tgmrxkioa74ta26rxkr9qm28
Sébastien Chabal
0
243542
1584352
1584115
2026-08-05T13:27:47Z
Riccardo Riccioni
452
1584352
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Sébastien Chabal 1.jpg|thumb|Jubilé Chabal-Nallet]]
'''Sébastien Chabal''' (alizaliwa [[8 Desemba]] [[1977]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Alicheza nafasi za (mchezaji wa namba 8 katika safu ya washambuliaji wa mbele) na (mchezaji wa safu ya pili anayesaidia kwenye line-out na nguvu ya kusukuma).
Katika maisha yake ya uchezaji alichezea [[klabu]] zifuatazo:
* CS Bourgoin-Jallieu ([[1998]]–[[2004]])
* Sale Sharks (2004–[[2009]])
* Racing 92 (zamani Racing Métro 92 Paris, 2009 – Februari [[2012]])
Pia aliichezeaTimu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa katika ngazi ya kimataifa. Chabal alijulikana kwa nguvu zake kubwa za kimwili, mtindo mkali wa kucheza, na umaarufu mkubwa miongoni mwa mashabiki wa raga, akipewa jina la utani "Caveman" (Mtu wa Pangoni) kutokana na sura na mtindo wake wa uchezaji. <ref>https://web.archive.org/web/20110816185133/http://frenchrugbyclub.com/Players/Racing-Metro-Players.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20071215105828/http://tempsreel.nouvelobs.com/depeches/sports/20070904.FAP4626/rugby_sebastien_chabal_un_poilu_chez_les_epiles.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
lk8ipf6lwv6j5lzpyj4yc2isnnodat9
Irma Hunter Brown
0
243558
1584454
1584096
2026-08-05T19:07:53Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584454
wikitext
text/x-wiki
'''Irma Hunter Brown''' ni mwalimu, rais wa chuo, na [[mwanasiasa]] wa zamani kutoka Arkansas, [[Marekani]].
Alikuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Arkansas kuanzia mwaka 1981 hadi 1998, na baadaye akawa mjumbe wa Seneti ya Arkansas kuanzia mwaka 2003 hadi 2008. Alikuwa mwanamke wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kuwa mbunge katika historia ya Arkansas.
Picha yake ilijumuishwa katika mkusanyiko wa [[picha]] pamoja na wabunge wengine wa Baraza la Wawakilishi.<ref>{{Citation|last=Herbst|first=John|title=1993 House of Representatives composite photo of the Seventy-Ninth General Assembly of the State of Arkansas|url=https://digitalheritage.arkansas.gov/general-assembly-composites/54/|work=Arkansas Digital Archives|language=en|access-date=2026-08-05|archive-date=2020-12-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20201204063121/https://digitalheritage.arkansas.gov/general-assembly-composites/54/|url-status=dead}}</ref>
Alizaliwa [[Tampa, Florida]]. Alisoma katika [[Chuo]] cha Shorter Junior na akahitimu kwa heshima ya juu (''magna cum laude'') kutoka Chuo cha Arkansas AM&N, ambacho sasa kinajulikana kama Chuo Kikuu cha Arkansas huko Pine Bluff. Pia alisoma katika Chuo Kikuu cha Memphis State na Chuo cha Walimu cha [[Washington, D.C.]]
Alihudumu katika Baraza la Wawakilishi la Arkansas kuanzia mwaka 1980 hadi 1998. Mwaka 2002 alichaguliwa kuwa mjumbe wa [[Seneti]] ya [[Arkansas]] na alihudumu humo kwa miaka sita.<ref>{{Rejea tovuti|title=Minorities in the Senate|url=https://senate.arkansas.gov/senate-history-education/minorities-in-the-senate/|work=Arkansas Senate|accessdate=2026-08-05|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
rerx6x0mj8wyrtwj7w1a5j9drtvnbth
Thierry Dusautoir
0
243564
1584354
1584158
2026-08-05T13:31:19Z
Riccardo Riccioni
452
1584354
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Thierry Dusautoir 2013.jpg|thumb|Thierry Dusautoir 2013]]
'''Thierry Dusautoir''' (alizaliwa [[18 Novemba]] [[1981]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza mechi yake ya mwisho katika ngazi ya kimataifa akiwa na (Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa), na pia aliichezea [[klabu]] ya Stade Toulousain katika [[ligi]] kuu ya raga ya Ufaransa (Top 14).
Katika kipindi chake cha uchezaji alijulikana kwa jina la utani "Dark Destroyer" ("Mwangamizaji Mweusi").
Dusautoir alikuwa akitambulika kwa:
* Uwezo mkubwa wa kubeba [[mpira]] na kuvunja safu za wapinzani.
* Nguvu kubwa za kimwili na mbinu bora za kufanya tackle (kumzuia mpinzani kwa kumwangusha).
* Kutambuliwa na wengi kuwa mchezaji bora zaidi duniani wa kufanya tackle wakati wa kipindi chake cha uchezaji.
== Mafanikio ==
=== Biarritz Olympique (Biarritz) ===
Mara 2 Bingwa wa Ligi ya Ufaransa (French Champions / Top 14): 2005, [[2006]]
Mshindi wa pili wa Heineken Cup: 2006
=== Stade Toulousain (Toulouse) ===
Mara 3 Bingwa wa Ligi ya [[Ufaransa]] (Top 14): 2008, [[2011]], [[2012]]
Mara 1 Bingwa wa Heineken Cup: 2010
Mshindi wa pili wa Heineken Cup: [[2008]] <ref>https://www.planetrugby.com/my-rugby-world-cup-hero-thierry-dusautoir</ref><ref>https://www.rugbypass.com/players/thierry-dusautoir/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mgkacnyxmozs3qtx32i7whgoyki16ok
Frédéric Michalak
0
243565
1584355
1584159
2026-08-05T13:31:50Z
Riccardo Riccioni
452
1584355
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Frederic Michalak 2012 (cropped).jpg|thumb|Frederic Michalak 2012]]
'''Frédéric Michalak''' (alizaliwa [[16 Oktoba]] [[1982]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Kwa sasa ni [[kocha]] msaidizi wa [[klabu]] ya Cronulla-Sutherland Sharks inayoshiriki ligi ya National Rugby League (NRL) nchini [[Australia]].
Mwanzoni mwa maisha yake ya uchezaji, Michalak alichezea klabu ya nyumbani kwao, Stade Toulousain, katika ligi kuu ya Ufaransa (Top 14) na mashindano ya Heineken Cup.
Baada ya kumalizika kwa [[2007]] Rugby World Cup, alihamia [[Afrika Kusini]] kuichezea klabu ya Sharks katika mashindano ya Super 14. Hata hivyo, baada ya kucheza kwa msimu mmoja tu akiwa na Sharks, alirejea tena kuichezea klabu ya Toulouse nchini Ufaransa.<ref>https://www.skysports.com/rugby-union/news/12508/11176570/frederic-michalak-to-retire-from-rugby-at-the-end-of-the-season</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dptxnuj0ay4uu7v3tzstxi0dvqrndkc
Vincent Clerc
0
243566
1584356
1584161
2026-08-05T13:32:23Z
Riccardo Riccioni
452
1584356
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Vincent Clerc (8021453915).jpg|thumb|Vincent Clerc]]
'''Vincent Clerc''' (alizaliwa [[7 Mei]] [[1981]]) ni mchezaji wa zamani wa kitaalamu wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya winga (mshambuliaji wa pembeni katika safu ya nyuma ya uwanja).
== Mafanikio ==
=== Stade Toulousain (Toulouse) ===
Mara 3 Bingwa wa Heineken Cup: [[2002]]–03, [[2004]]–05, [[2009]]–10
Mara 3 Bingwa wa Top 14: [[2007]]–08, 2010–11, 2011–12
=== Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa ===
Mara 3 Bingwa wa Six Nations Championship: 2004 2007, [[2010]] <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/european/2935190.stm</ref><ref>https://www.telegraph.co.uk/sport/rugbyunion/2307589/Ireland-denied-by-last-gasp-Clerc-try.html</ref><ref>https://www.20minutes.fr/toulouse/3079207-20210707-toulouse-ex-rugbyman-vincent-clerc-entre-melee-franchises-mcdonald</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cwjatxii3eniiy6z9dixr06779pobqb
Clément Poitrenaud
0
243567
1584357
1584162
2026-08-05T13:32:59Z
Riccardo Riccioni
452
1584357
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Clément Poitrenaud 2014 (cropped).jpg|thumb|Clément Poitrenaud 2014]]
'''Clément Poitrenaud''' (alizaliwa [[20 Mei]] [[1982]] mjini Castres, katika jimbo la Tarn) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida ilikuwa (mchezaji wa mwisho katika safu ya nyuma anayehusika na ulinzi na kuanzisha mashambulizi), lakini pia aliweza kucheza kama (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma ya uwanja).
[[Klabu]] ya mwisho aliyoichezea ilikuwa Sharks ya [[Afrika Kusini]] katika mashindano ya Super Rugby.
Kabla ya hapo, aliichezea Stade Toulousain katika [[ligi]] kuu ya raga ya Ufaransa (Top 14) kuanzia mwaka [[2000]] hadi [[2016]].
Pia aliwakilisha Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa kuanzia mwaka [[2001]] hadi 2012, ikiwemo kushiriki [[2003]] Rugby World Cup nchini [[Australia]] na 2007 Kombe la [[Dunia]] la Raga nchini Ufaransa. <ref>https://www.sporting-heroes.net/rugby/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20060615231927/http://ercrugby.com/eng/36_4571.php?player=745</ref><ref>https://www.imdb.com/name/nm1601036/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ayez27515dnr94d3raxtgnyf9bb37bd
Grzegorz Zieliński
0
243568
1584358
1584198
2026-08-05T13:34:17Z
Riccardo Riccioni
452
1584358
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
'''Grzegorz Zieliński''' (alizaliwa 1996) ni mtaalamu wa tiba ya viungo, mtaalamu wa [[epidemiolojia]], na mtaalamu wa takwimu za kitabibu kutoka Polandi.
== Wasifu ==
Mnamo mwaka 2024, Zieliński alitetea tasnifu yake ya udaktari yenye kichwa ''Myopia and the Bioelectrical Activity of the Masticatory Muscles''. Utafiti wake wa udaktari ulichunguza uhusiano kati ya myopia (uoni hafifu wa mbali) na mabadiliko katika shughuli za kielektriki za misuli ya kutafunia.
== Shughuli za kisayansi ==
'''Shughuli ya epidemiolojia na takwimu'''
Zielinski ameandika na kushiriki kuandika machapisho ya kisayansi katika nyanja za tiba ya viungo, udaktari wa meno, epidemiolojia, na mbinu za utafiti wa kitabibu. Utafiti wake umejikita katika matumizi ya vipimo vya ukubwa wa athari, kama vile Cohen's ''d'', Hedges' ''g'', na mgawo wa uhusiano wa Pearson (''r''), pamoja na matumizi ya uchambuzi wa nguvu ya kitakwimu katika kupanga ukubwa wa sampuli kwa ajili ya tafiti za kitabibu. Katika baadhi ya machapisho yake, ameeleza kuwa tafsiri ya ukubwa wa athari inapaswa kuzingatia sifa za taaluma husika za kitabibu badala ya kutegemea kikamilifu viwango vya jumla vilivyopendekezwa na Jacob Cohen. <ref name="pr">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński|title=Getting to Know Pain Effect Sizes—Guidelines for Effect Size and Sample Size in Global Pain Research|date=January 2026|pages=726–733|url=https://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/S0003999326000286|language=en|doi=10.1016/j.apmr.2026.01.006}}</ref> <ref name="ss">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński, Mieszko Więckiewicz|title=New effect size and sample size guidelines in dentistry|date=2025-10-28|pages=907–917|url=https://dmp.umw.edu.pl/en/article/2025/62/5/907/|doi=10.17219/dmp/210478}}</ref> <ref name="es">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński|title=Effect Size Guidelines for Individual and Group Differences in Physiotherapy|date=December 2025|pages=1844–1849|url=https://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/S0003999325007178|language=en|doi=10.1016/j.apmr.2025.05.013}}</ref>
==== Epidemiolojia na utabiri wa kitabibu ====
Zielinski amechapisha tafiti kuhusu epidemiolojia ya matatizo ya mfumo wa stomatognathiki katika maeneo mbalimbali ya kijiografia.<ref name="ma2">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Michał Ginszt |date=2024-02-28 |title=A Meta-Analysis of the Global Prevalence of Temporomandibular Disorders |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=5 |page=1365 |doi=10.3390/jcm13051365 |pmc=10931584 |pmid=38592227 |doi-access=free}}</ref><ref name="sb2">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Agnieszka Pająk, Marcin Wójcicki |date=2024-07-22 |title=Global Prevalence of Sleep Bruxism and Awake Bruxism in Pediatric and Adult Populations: A Systematic Review and Meta-Analysis |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=14 |page=4259 |doi=10.3390/jcm13144259 |pmc=11278015 |pmid=39064299 |doi-access=free}}</ref><ref>{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Agnieszka Pająk, Marcin Wójcicki, Monika Litko-Rola, Michał Ginszt |date=2025-03-18 |title=Global co-occurrence of bruxism and temporomandibular disorders: A meta-regression analysis |url=https://dmp.umw.edu.pl/en/article/2025/62/2/309/ |journal=Dental and Medical Problems |volume=62 |issue=2 |pages=309–321 |doi=10.17219/dmp/201376 |pmid=40099938 |doi-access=free}}</ref> Machapisho yake yanajumuisha uchambuzi wa tofauti za kikanda katika kiwango cha kuenea kwa matatizo ya kiungo cha temporomandibula, pamoja na makadirio ya kuenea kwa maumivu ya mdomo na maumivu ya uso katika baadhi ya maeneo duniani.<sup>.<ref name="ma3">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Michał Ginszt |date=2024-02-28 |title=A Meta-Analysis of the Global Prevalence of Temporomandibular Disorders |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=5 |page=1365 |doi=10.3390/jcm13051365 |pmc=10931584 |pmid=38592227 |doi-access=free}}</ref></sup>
Pia amechapisha makadirio ya mwelekeo wa baadaye wa kuenea kwa matatizo ya kiungo cha temporomandibula duniani kufikia mwaka 2050.<sup><ref name="qv">{{Rejea jarida |last=Grzegorz Zieliński |date=2025-06-20 |title=Quo Vadis Temporomandibular Disorders? By 2050, the Global Prevalence of TMD May Approach 44% |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=14 |issue=13 |page=4414 |doi=10.3390/jcm14134414 |pmc=12249499 |pmid=40648789 |doi-access=free}}</ref></sup>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanabiolojia wa Polandi]]
eutci8efz49rf9ocd7nv739ykm4dnlm
1584359
1584358
2026-08-05T13:34:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584359
wikitext
text/x-wiki
{{Tafsiri kompyuta}}
'''Grzegorz Zieliński''' (alizaliwa 1996) ni mtaalamu wa tiba ya viungo, mtaalamu wa [[epidemiolojia]], na mtaalamu wa takwimu za kitabibu kutoka Polandi.
== Wasifu ==
Mnamo mwaka 2024, Zieliński alitetea tasnifu yake ya udaktari yenye kichwa ''Myopia and the Bioelectrical Activity of the Masticatory Muscles''. Utafiti wake wa udaktari ulichunguza uhusiano kati ya myopia (uoni hafifu wa mbali) na mabadiliko katika shughuli za kielektriki za misuli ya kutafunia.
== Shughuli za kisayansi ==
'''Shughuli ya epidemiolojia na takwimu'''
Zielinski ameandika na kushiriki kuandika machapisho ya kisayansi katika nyanja za tiba ya viungo, udaktari wa meno, epidemiolojia, na mbinu za utafiti wa kitabibu. Utafiti wake umejikita katika matumizi ya vipimo vya ukubwa wa athari, kama vile Cohen's ''d'', Hedges' ''g'', na mgawo wa uhusiano wa Pearson (''r''), pamoja na matumizi ya uchambuzi wa nguvu ya kitakwimu katika kupanga ukubwa wa sampuli kwa ajili ya tafiti za kitabibu. Katika baadhi ya machapisho yake, ameeleza kuwa tafsiri ya ukubwa wa athari inapaswa kuzingatia sifa za taaluma husika za kitabibu badala ya kutegemea kikamilifu viwango vya jumla vilivyopendekezwa na Jacob Cohen. <ref name="pr">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński|title=Getting to Know Pain Effect Sizes—Guidelines for Effect Size and Sample Size in Global Pain Research|date=January 2026|pages=726–733|url=https://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/S0003999326000286|language=en|doi=10.1016/j.apmr.2026.01.006}}</ref> <ref name="ss">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński, Mieszko Więckiewicz|title=New effect size and sample size guidelines in dentistry|date=2025-10-28|pages=907–917|url=https://dmp.umw.edu.pl/en/article/2025/62/5/907/|doi=10.17219/dmp/210478}}</ref> <ref name="es">{{Rejea tovuti|author=Grzegorz Zieliński|title=Effect Size Guidelines for Individual and Group Differences in Physiotherapy|date=December 2025|pages=1844–1849|url=https://linkinghub.elsevier.com/retrieve/pii/S0003999325007178|language=en|doi=10.1016/j.apmr.2025.05.013}}</ref>
==== Epidemiolojia na utabiri wa kitabibu ====
Zielinski amechapisha tafiti kuhusu epidemiolojia ya matatizo ya mfumo wa stomatognathiki katika maeneo mbalimbali ya kijiografia.<ref name="ma2">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Michał Ginszt |date=2024-02-28 |title=A Meta-Analysis of the Global Prevalence of Temporomandibular Disorders |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=5 |page=1365 |doi=10.3390/jcm13051365 |pmc=10931584 |pmid=38592227 |doi-access=free}}</ref><ref name="sb2">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Agnieszka Pająk, Marcin Wójcicki |date=2024-07-22 |title=Global Prevalence of Sleep Bruxism and Awake Bruxism in Pediatric and Adult Populations: A Systematic Review and Meta-Analysis |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=14 |page=4259 |doi=10.3390/jcm13144259 |pmc=11278015 |pmid=39064299 |doi-access=free}}</ref><ref>{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Agnieszka Pająk, Marcin Wójcicki, Monika Litko-Rola, Michał Ginszt |date=2025-03-18 |title=Global co-occurrence of bruxism and temporomandibular disorders: A meta-regression analysis |url=https://dmp.umw.edu.pl/en/article/2025/62/2/309/ |journal=Dental and Medical Problems |volume=62 |issue=2 |pages=309–321 |doi=10.17219/dmp/201376 |pmid=40099938 |doi-access=free}}</ref> Machapisho yake yanajumuisha uchambuzi wa tofauti za kikanda katika kiwango cha kuenea kwa matatizo ya kiungo cha temporomandibula, pamoja na makadirio ya kuenea kwa maumivu ya mdomo na maumivu ya uso katika baadhi ya maeneo duniani.<sup>.<ref name="ma3">{{cite journal |last=Grzegorz Zieliński, Beata Pająk-Zielińska, Michał Ginszt |date=2024-02-28 |title=A Meta-Analysis of the Global Prevalence of Temporomandibular Disorders |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=13 |issue=5 |page=1365 |doi=10.3390/jcm13051365 |pmc=10931584 |pmid=38592227 |doi-access=free}}</ref></sup>
Pia amechapisha makadirio ya mwelekeo wa baadaye wa kuenea kwa matatizo ya kiungo cha temporomandibula duniani kufikia mwaka 2050.<sup><ref name="qv">{{Rejea jarida |last=Grzegorz Zieliński |date=2025-06-20 |title=Quo Vadis Temporomandibular Disorders? By 2050, the Global Prevalence of TMD May Approach 44% |journal=Journal of Clinical Medicine |language=en |volume=14 |issue=13 |page=4414 |doi=10.3390/jcm14134414 |pmc=12249499 |pmid=40648789 |doi-access=free}}</ref></sup>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}
{{BD|1996|}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanabiolojia wa Polandi]]
glilvmfpiuo9noy9wjhtz5glaqvx66h
Yannick Jauzion
0
243569
1584360
1584168
2026-08-05T13:35:11Z
Riccardo Riccioni
452
1584360
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Yannick Jauzion 2011-10-01 01.JPG|thumb|Yannick Jauzion]]
'''Yannick Jauzion''' (alizaliwa [[28 Julai]] [[1978]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
== Maisha ya awali na taaluma ==
Yannick Jauzion alilelewa katika mji wa Vénès, katika [[eneo]] la Tarn nchini Ufaransa.
Alicheza nafasi ya (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma ya uwanja) akiwa na [[klabu]] ya Stade Toulousain na pia kwa Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa.
Katika miaka ya [[2000]], Jauzion alichukuliwa kuwa mmoja ya mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma ya uwanja wa bora zaidi duniani, na wengi walimtambua kama mmoja wa i (centre wa ndani) bora kabisa waliowahi kutokea katika enzi ya raga ya kitaalamu katika Ulimwengu wa [[Kaskazini]].
Alisifiwa kwa:
* Uwezo mkubwa wa kuvunja ulinzi wa wapinzani.
* Nguvu ya kubeba [[mpira]] na kupambana karibu na mstari wa ulinzi.
* Uwezo wa kutengeneza nafasi na kusaidia wachezaji wenzake kufunga pointi. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/rugby_union/8687906.stm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20070210230711/http://www.rbs6nations.com/squad_france_210637.htm</ref><ref>https://itsrugby.fr/joueurs/yannick-jauzion-420/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7g7qais6agvu62kz460b795lva59gh9
Serge Betsen
0
243571
1584361
1584178
2026-08-05T13:36:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584361
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Serge Betsen.jpg|thumb|Jubilé Chabal-Nallet]]
'''Serge Betsen''' (alizaliwa [[25 Machi]] [[1974]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya (mchezaji wa pembeni katika safu ya washambuliaji wa mbele) akiwa ngazi ya [[klabu]] kwa London Wasps na Biarritz Olympique, na pia aliwakilisha Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa katika ngazi ya kimataifa.
Kwa ujumla, Betsen anachukuliwa kuwa mmoja wa mchezaji wa pembeni katika safu ya washambuliaji wa mbele bora zaidi katika enzi ya raga ya kitaalamu (baada ya [[mwaka]] [[1995]]).
Alijulikana kwa:
* Uwezo mkubwa wa kufanya tackle na kuzuia mashambulizi ya wapinzani.
* Nguvu kubwa katika [[mchezo]] wa karibu.
* Kasi, nguvu na uchezaji wa kujitolea ndani ya uwanja. <ref>https://www.walesonline.co.uk/sport/rugby/rugby-news/betsens-the-best-un-2407448</ref><ref>https://web.archive.org/web/20080522000554/http://www.planet-rugby.com/Story/0,18259,3559_3052709,00.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20080407065815/http://www.abc.net.au/news/stories/2005/02/10/1299714.htm</ref><ref>https://www.sergebetsenacademy.org/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
88jg3z7cg1zz56u4lzduwtb66t2ouxg
Fabien Pelous
0
243572
1584362
1584185
2026-08-05T13:36:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584362
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Fabien Pelous - Moudenc's rallye, Toulouse town election, 2008 - 1295.jpg|thumb|Fabien Pelous]]
'''Fabien Pelous''' (alizaliwa [[7 Desemba]] [[1973]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya lock (mchezaji wa safu ya pili katika washambuliaji wa mbele anayesaidia kwenye line-out na nguvu ya kusukuma), lakini pia wakati mwingine alicheza kama (namba 8) na washambuliaji wa mbele .
Pelous alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya kitaalamu akichezea [[klabu]] ya Stade Toulousain katika [[ligi]] kuu ya Ufaransa (Top 14).
== Maisha ya klabu ==
Fabien Pelous aliisaidia Stade Toulousain kushinda Kombe la [[Ulaya]] mara mbili.
Pia alisaidia klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ufaransa (Top 14) mara tatu.
Baada ya kuwa na mafanikio hayo katika maisha yake ya uchezaji, Pelous aliacha kucheza raga [[mwaka]] [[2009]]. <ref>https://web.archive.org/web/20240920122426/http://www.espnscrum.com/timeline/rugby/player/12111.html</ref><ref>https://www.france24.com/en/20090423-most-capped-french-player-fabien-pelous-retires-</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
d5kq9npw8uyuqsv5ijtzwt953i8l2xx
Raphaël Ibanez
0
243573
1584363
1584187
2026-08-05T13:37:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584363
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Raphael Ibanez.jpg|thumb|Raphael Ibanez]]
'''Raphaël Ibanez''' (alizaliwa [[17 Februari]] [[1973]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya hooker (mchezaji wa mbele anayehusika na kurusha mpira kwenye line-out na kushindania mpira kwenye scrum).
Ibanez aliichezea Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa mara [[98]] katika ngazi ya kimataifa, na alikuwa [[nahodha]] wa timu ya [[taifa]] mara 41.
Baada ya kumaliza uchezaji wake, aliingia kwenye uongozi wa [[klabu]] za raga, kabla ya kuteuliwa kuwa (meneja wa timu) wa timu ya taifa ya Ufaransa mwaka [[2020]].
== Maisha ya awali ==
Raphaël Ibanez alizaliwa katika mji wa Dax.
Alianza maisha yake ya uchezaji wa raga katika klabu ya mji wake wa nyumbani, US Dax, kabla ya kuhamia klabu za USA Perpignan na Castres Olympique. <ref>https://web.archive.org/web/20090506101954/http://www.wasps.co.uk/news/wasps29444.ink</ref><ref>https://web.archive.org/web/20240916070014/http://www.espnscrum.com/timeline/rugby/player/12180.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
c2ryhfalyp5pjynwojs3ochsikr8pqu
Olivier Magne
0
243575
1584364
1584200
2026-08-05T13:37:51Z
Riccardo Riccioni
452
1584364
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Olivier Magne.jpg|thumb|Olivier Magne]]
'''Olivier Magne''' (alizaliwa [[11 Aprili]] [[1973]] huko Aurillac, Cantal) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]] na [[kocha]] wa sasa.
Magne alikuwa mchezaji wa safu ya nyuma ya washambuliaji, anayejulikana hasa kwa kasi yake na uwezo wake wa kushika [[mpira]] katika mchezo wa wazi. Aliiwakilisha Ufaransa mara 89, akifunga majaribio14.
Alijiunga na timu yake ya mji wa nyumbani, Stade Aurillacois, akiwa mvulana mwaka [[1979]]. Baadaye alichezea CA Brive na US Dax, kabla ya kujiunga na ASM Clermont Auvergne kwa msimu wa [[1999]]–[[2000]]. <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=OM938886</ref><ref>https://web.archive.org/web/20240916070011/http://www.espnscrum.com/timeline/rugby/player/12438.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
jkt4wm1pxhb2qr0ltnmb0uhoksg91cu
Christophe Dominici
0
243578
1584365
1584193
2026-08-05T13:38:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584365
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Christophe Dominici (cropped).JPG|thumb|Christophe Dominici]]
'''Christophe Dominici''' ([[20 Mei]] [[1972]] – [[24 Novemba]] [[2020]]) alikuwa mchezaji wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Katika kipindi chake cha uchezaji kilichodumu kwa miaka 17 kati ya [[1991]] na [[2008]], alicheza nafasi ya winga (mshambuliaji wa pembeni) akiwa na [[klabu]] ya Stade Français Paris na Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa
Akiwa katika timu ya taifa ya Ufaransa, alicheza mechi [[67]] za kimataifa na kufunga jumla ya majaribio [[25]].
Alikuwa mmoja wa wachezaji wakubwa na maarufu katika [[historia]] ya raga ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Ubingwa wa Raga wa Ufaransa (Top 14):
* [[1997]]–98
* 1999–[[2000]]
* 2002–03
* 2003–04
* [[2006]]–07 <ref>https://www.tntsports.co.uk/rugby/christophe-dominici_prs9577/person.shtml</ref><ref>https://www.lemonde.fr/sport/article/2008/01/06/christophe-dominici-prend-sa-retraite-de-l-equipe-de-france-de-rugby_996327_3242.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
nyl0welf806et2oxxu7780bj07ybl4j
Philippe Saint-André
0
243580
1584366
1584197
2026-08-05T13:39:30Z
Riccardo Riccioni
452
1584366
wikitext
text/x-wiki
'''Philippe Saint-André''' (matamshi ya kifonetiki ya Kifaransa: [fi.lip ʒɔʁʒ sɛ̃.t‿ɑ̃.dʁe]; alizaliwa [[19 Aprili]] [[1967]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]] na kwa sasa ni meneja wa [[klabu]] ya Provence Rugby inayoshiriki Pro D2.
Alipata [[mechi]] 69 za kimataifa akiwa na Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa kati ya mwaka [[1990]] na [[1997]].
Nafasi yake aliyopendelea kucheza ilikuwa wing (mshambuliaji wa pembeni), lakini pia aliweza kucheza kama centre (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma).
== Mafanikio ==
Giuseppe Garibaldi Trophy
* Washindi: [[2012]], 2014, [[2015]]
Trophée des Bicentenaires
* Washindi: 2012, Novemba [[2014]] <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=PS298966</ref><ref>https://web.archive.org/web/20120623221458/http://www.rugbyconnection.com/en/coach/155/saint-andre.philippe</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
l3d4bprrtypowo2cd21yvl01a4hjeuf
Damien Traille
0
243581
1584367
1584204
2026-08-05T13:40:37Z
Riccardo Riccioni
452
1584367
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Damien Traille.jpg|thumb|Damien Traille.]]
'''Damien Traille''' (alizaliwa [[12 Juni]] [[1979]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Kwa kawaida alicheza nafasi ya centre (mchezaji wa katikati katika safu ya nyuma), full-back (mchezaji wa mwisho katika safu ya nyuma) na fly-half (mchezaji anayeongoza mashambulizi karibu na namba 10).
AliiwakilishaTimu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa, akishiriki katika:
* [[2003]] [[2003|Kombe la Dunia la Raga]]
* 2011 Kombe la Dunia la Raga
Pia alikuwa sehemu ya timu ya Ufaransa iliyoshinda Six Nations Championship katika miaka:
* 2002
* [[2004]]
* 2006
* [[2007]] <ref>https://web.archive.org/web/20110524054344/http://www.rbs6nations.com/en/france/1434.php?player=71121&includeref=dynamic</ref><ref>https://www.sporting-heroes.net/rugby/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
5tk6jgexiqpgp0b4vcvjod0kifdueki
Jean-Baptiste Élissalde
0
243582
1584368
1584213
2026-08-05T13:41:20Z
Riccardo Riccioni
452
1584368
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:ST vs LOU - 14 (cropped).jpg|thumb|Jean-Baptiste Élissalde.]]
'''Jean-Baptiste Élissalde''' (alizaliwa [[23 Novemba]] [[1977]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya (mchezaji anayesambaza mpira kutoka kwenye ruck na kuanzisha mashambulizi) au (mchezaji anayeongoza mashambulizi karibu na namba [[10]]).
Baada ya kumaliza uchezaji wake, alifanya kazi kama [[kocha]] wa ulinzi wa Montpellier Hérault Rugby katika [[ligi]] ya Top 14.
== Maelezo ya ziada ==
Jina lake la ukoo (Elizalde katika lugha ya Kawaida ya Kibasque) linatokana na maneno ya Kibasque “eliza” linalomaanisha “[[kanisa]]” na “alde” linalomaanisha “upande”.
Hivyo, jina hilo lina maana ya “karibu na kanisa” katika lugha ya Kibasque. <ref>https://web.archive.org/web/20060616195118/http://ercrugby.com/eng/36_4571.php?player=728</ref><ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/8699076.stm</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
o6y4tmfow8e5bjpnwtyz0r5hn3f6u3s
Louis Picamoles
0
243583
1584369
1584214
2026-08-05T13:41:47Z
Riccardo Riccioni
452
1584369
wikitext
text/x-wiki
'''Louis Picamoles''' (alizaliwa [[5 Februari]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] wa kulipwa kutoka [[Ufaransa]] ambaye hivi karibuni alichezea [[klabu]] ya Bordeaux Bègles katika [[ligi]] ya Top 14.
Nafasi yake ya kawaida ya kucheza ilikuwa (namba 8), nafasi ya mshambuliaji wa mbele inayohitaji nguvu, uwezo wa kubeba [[mpira]] na kushindania mpira kwenye.
== Maisha ya klabu ==
Louis Picamoles alianza maisha yake ya uchezaji wa klabu akiwa na Montpellier Hérault Rugby mwaka [[1999]].
Alicheza katika klabu hiyo kwa kipindi cha miaka kumi, ambapo alicheza jumla ya [[mechi]] [[64]]. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/8687906.stm</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2017/may/31/louis-picamoles-northampton-montpellier-rugby-union-premiership</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
e8tb7xiy4ra0g7f8nus4n1b6zkkmkja
Maxime Médard
0
243584
1584370
1584220
2026-08-05T13:42:19Z
Riccardo Riccioni
452
1584370
wikitext
text/x-wiki
'''Maxime Médard''' (alizaliwa [[16 Novemba]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza raga yake ya [[klabu]] akiwa na Stade Toulousain katika [[ligi]] ya Top 14, na pia aliwakilisha Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa katika ngazi ya kimataifa.
Anaweza kucheza nafasi ya:
* (mchezaji wa mwisho katika safu ya nyuma)
* (mshambuliaji wa pembeni)
[[Kocha]] msaidizi wa timu ya taifa ya Ufaransa, Émile Ntamack, alimuelezea Médard kama "kipaji cha ajabu", na alisema kuwa katika msimu wa [[2010]]–11 alikuwa hatimaye akitimiza uwezo wake kamili.
== Mafanikio ==
=== Klabu: Stade Toulousain 🇫🇷 ===
Top 14 (Ubingwa wa Raga wa Ufaransa):
* [[2007]]–08
* [[2010]]–11
* 2011–12
* 2018–19
* [[2020]]–21
Heineken Cup (Kombe la Ulaya la Raga):
* [[2005]]
* 2010
* 2021 <ref>https://www.theguardian.com/sport/2009/jun/13/new-zealand-france-maxime-medard</ref><ref>https://www.planetrugby.com/news/retiring-class-of-2022-xv-club-stalwarts-and-rugby-world-cup-winners-who-brought-their-careers-to-a-close-this-year</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0xu5ozzkcx6ha75mifk99n7qnao2mbd
Yoann Huget
0
243585
1584371
1584226
2026-08-05T13:42:53Z
Riccardo Riccioni
452
1584371
wikitext
text/x-wiki
'''Yoann Huget''' (matamshi ya Kifaransa: [jo.an y.ʒe]; alizaliwa [[2 Juni]] [[1987]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza nafasi ya:
* (mshambuliaji wa pembeni)
* (mchezaji wa mwisho katika safu ya nyuma)
Alijulikana kwa kasi, uwezo wa kukimbia na kushambulia akiwa na mpira.
== Mafanikio ==
=== Klabu: Stade Toulousain 🇫🇷 ===
Top 14 (Ubingwa wa Raga wa Ufaransa):
* [[2007]]–08
* [[2018]]–19 <ref>https://web.archive.org/web/20151007104906/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/29037</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2015/sep/20/france-italy-rugby-world-cup-2015-match-report</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
74xomx1y2dst649jvmmfqtit5g8fwxe
Brice Mach
0
243586
1584372
1584227
2026-08-05T13:43:43Z
Riccardo Riccioni
452
1584372
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Castres Olympique - Présentation de l'équipe 2015-2016 - Brice Mach.jpg|thumb|Katika Castres Olympique]]
'''Brice Mach''' (alizaliwa [[2 Aprili]] [[1986]]) ni mchezaji wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Anachezea [[klabu]] ya Kifaransa Castres Olympique katika mashindano ya Top 14 na Heineken Cup.
Alifanya mchezo wake wa kwanza kwa [[timu]] ya taifa ya Ufaransa tarehe [[21]] Februari [[2014]], akiingia kama mchezaji wa akiba dhidi ya Timu ya Taifa ya Raga ya [[Wales]] katika raundi ya 3 ya mashindano ya 2014 Mashindano ya Mataifa Sita ya Raga.
== Mafanikio ==
Mabingwa wa Top 14
Castres Olympique
* [[2012]]–13 <ref>https://www.theguardian.com/sport/2014/feb/21/wales-france-six-nations-match-report</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
k4twbyoyxxdx594ryg6po3vxd17vjtf
Rabah Slimani
0
243587
1584373
1584233
2026-08-05T13:44:22Z
Riccardo Riccioni
452
1584373
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Rabah Slimani.png|thumb|Rabah Slimani]]
'''Rabah Slimani''' (alizaliwa [[18 Oktoba]] [[1989]]) ni mchezaji wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]] ambaye hucheza nafasi ya (mshambuliaji wa mbele anayesukuma kwenye scrum).
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya [[Ireland]] ya Leinster Rugby katika mashindano ya Mashindano ya United Rugby Championship (URC) na pia ameiwakilisha Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa.
== Mafanikio ==
=== Klabu: ASM Clermont Auvergne 🇫🇷 ===
Top 14 (Ubingwa wa Raga wa Ufaransa):
* [[2017]]
European Rugby Challenge Cup:
* [[2019]]
=== Klabu: Leinster Rugby 🇮🇪 ===
United Rugby Championship (URC):
* 2025
* [[2026]] <ref>https://www.leparisien.fr/sports/rabah-slimani-l-enfant-d-a-cote-28-02-2015-4563781.php</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RS653416</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ljn10gj1rzvzfh58ve73rgpivtcds55
Duan Weihong
0
243588
1584603
1584235
2026-08-06T03:42:39Z
Justine Msechu
45962
1584603
wikitext
text/x-wiki
'''Duan Weihong''' (Alizaliwa [[Desemba 29]], [[1966]]), anayejulikana pia kama '''Whitney Duan''', ni bilionea nchini [[Uchina]]. Anajulikana kama mshirika wa biashara wa familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Uchina [[Wen Jiabao]].<ref name="auto">{{Rejea tovuti|last=Mitchell|first=Tom|url=https://www.ft.com/content/3e59e10e-8c3c-44dd-bf75-9acbc7382ee8|title=Mystery of missing woman who struck deals with China's 'red aristocracy'|work=[[Financial Times]]|date=September 2, 2021|access-date=September 19, 2021|url-access=limited}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Shum|first=Desmond|url=https://www.thewirechina.com/2021/09/05/the-missing-mogul/|title=The Missing Mogul|work=[[The Wire China]]|date=September 5, 2021|access-date=September 19, 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1966]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7pfydo7xybrzlx4c7o0ej4mbi91zxg5
Dino Ying
0
243589
1584417
1584237
2026-08-05T14:35:05Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced.
1584417
wikitext
text/x-wiki
'''Dino Ying''' (Alizaliwa [[Juni 16]], [[1981]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji nchini [[Uchina]]. Ying anawakilisha maendeleo ya michezo ya kielektroniki (esports) ndani ya mashirika ya kimataifa ya michezo, ikiwemo ''Global Esports Federation'' na ''Olympic Council of Asia''.<ref>{{Rejea tovuti |title=Hurun Report - List |url=https://www.hurun.net/en-us/rank/hsrankdetails?pagetype=rich |access-date=2025-08-20 |website=www.hurun.net}}</ref> Yeye ni mwanzilishi, mwenyekiti na aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa ''Hero Esports'', kampuni ya Kichina ya michezo ya kielektroniki, na mwanzilishi wa ''Hero Games'', msan raz na mtayarishaji wa michezo wa Kichina.<ref>{{Rejea tovuti |title=Dino Ying |url=https://leadersinsport.com/sport-business/leaders-events/leaders-sport-awards/leaders-under-40-2023/dino-ying/ |access-date=2025-08-21 |website=Sport Business |language=en}}</ref> Pia ni mwanzilishi wa ''INS Park'', jumba la burudani la michezo ya kielektroniki na muziki huko [[Shanghai]]. Mwaka [[2025]], Ying aliorodheshwa kwenye ''Hurun Rich List'' akiwa na thamani ya Yuan bilioni 200 (dola bilioni 2.8 za [[Marekani]]).<ref>{{Rejea tovuti |date=2024-08-13 |title=Shanghai's all-in-price party complex draws young throngs despite economic jitters |url=https://www.thestar.com.my/aseanplus/aseanplus-news/2024/08/13/shanghais-all-in-price-party-complex-draws-young-throngs-despite-economic-jitters |access-date=2025-08-20 |website=The Star |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
swfup4gedy6cc6b302cc6gbvosggjxg
1584593
1584417
2026-08-06T03:27:05Z
Justine Msechu
45962
1584593
wikitext
text/x-wiki
'''Dino Ying''' (Alizaliwa [[Juni 16]], [[1981]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji nchini [[Uchina]]. Ying anawakilisha maendeleo ya michezo ya kielektroniki (esports) ndani ya mashirika ya kimataifa ya michezo, ikiwemo ''Global Esports Federation'' na ''Olympic Council of Asia''.<ref>{{Rejea tovuti |title=Hurun Report - List |url=https://www.hurun.net/en-us/rank/hsrankdetails?pagetype=rich |access-date=2025-08-20 |website=www.hurun.net}}</ref> Yeye ni mwanzilishi, mwenyekiti na aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa ''Hero Esports'', kampuni ya Kichina ya michezo ya kielektroniki, na mwanzilishi wa ''Hero Games'', msan raz na mtayarishaji wa michezo wa Kichina.<ref>{{Rejea tovuti |title=Dino Ying |url=https://leadersinsport.com/sport-business/leaders-events/leaders-sport-awards/leaders-under-40-2023/dino-ying/ |access-date=2025-08-21 |website=Sport Business |language=en}}</ref> Pia ni mwanzilishi wa ''INS Park'', jumba la burudani la michezo ya kielektroniki na muziki huko [[Shanghai]]. Mwaka [[2025]], Ying aliorodheshwa kwenye ''Hurun Rich List'' akiwa na thamani ya Yuan bilioni 200 (dola bilioni 2.8 za [[Marekani]]).<ref>{{Rejea tovuti |date=2024-08-13 |title=Shanghai's all-in-price party complex draws young throngs despite economic jitters |url=https://www.thestar.com.my/aseanplus/aseanplus-news/2024/08/13/shanghais-all-in-price-party-complex-draws-young-throngs-despite-economic-jitters |access-date=2025-08-20 |website=The Star |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
np270gn2ibs8np7vpytrhulenovc247
Guilhem Guirado
0
243590
1584374
1584238
2026-08-05T13:45:02Z
Riccardo Riccioni
452
1584374
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Guilhem Guirado 2018-09-01.jpg|thumb|Guilhem Guirado]]
'''Guilhem Guirado''' (alizaliwa [[17 Juni]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Katika kipindi chake cha miaka 17 cha uchezaji, alichezea [[klabu]] mbalimbali za [[Ufaransa]], zikiwemo:
* USA Perpignan
* RC Toulon
* Montpellier Hérault Rugby
Guirado pia alikuwa [[nahodha]] wa Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa kuanzia [[mwaka]] [[2016]] hadi [[2019]]. Alijulikana hasa kwa kucheza nafasi ya safu ya mbele na uongozi wake ndani ya uwanja.
== Mafanikio ==
=== Klabu: USA Perpignan 🇫🇷 ===
Top 14 (Ubingwa wa Raga wa Ufaransa):
* [[2009]]
=== Klabu: RC Toulon 🇫🇷 ===
European Rugby Champions Cup:
* [[2015]]
=== Klabu: Montpellier Hérault Rugby 🇫🇷 ===
Top 14:
* [[2022]]
European Rugby Challenge Cup:
* [[2021]] <ref>https://web.archive.org/web/20140201100453/http://www.rwc2011.irb.com/home/teams/team=42/player=29523/index.html</ref><ref>https://www.lindependant.fr/2016/11/19/la-belle-video-en-hommage-a-guilhem-guirado,2277478.php</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
r4s4chn64ek66y0qvs3vgi5e6anfhr4
Mao Wenchao
0
243591
1584592
1584276
2026-08-06T03:26:13Z
Justine Msechu
45962
1584592
wikitext
text/x-wiki
'''Mao Wenchao''' (anayejulikana pia kama Charlwin Mao) ni afisa mkuu mtendaji na mwanzilishi mwenza wa ''Xiaohongshu'' (''Red Note''), jukwaa la media ya kijamii na biashara ya mtandaoni lenye makao yake [[Shanghai]]. Alizaliwa katika Mkoa wa [[Hubei]] nchini [[Uchina]]. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Shanghai Jiao Tong kuanzia mwaka [[2003]], akibobea katika Uhandisi wa Mekatroniki .<ref name=":1">{{Rejea habari |last1=Shepherd |first1=Christian |last2=Chiang |first2=Vic |last3=Northrop |first3=Katrina |date=January 14, 2025 |title='TikTok refugees' flock to another (heavily censored) Chinese app |url=https://www.washingtonpost.com/world/2025/01/14/tiktok-refugees-rednote-censorship/ |access-date=Jan 18, 2025 |newspaper=The Washington Post |archive-date=January 15, 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250115110530/https://www.washingtonpost.com/world/2025/01/14/tiktok-refugees-rednote-censorship/ |url-status=live }}</ref> Alishiriki katika programu za kubadilishana na vyuo vikuu vya nje ya nchi na mashindano ya ujasiriamali wa chuo kikuu. Mao baadaye alisoma katika Chuo Kikuu cha Stanford kwa masomo yake ya biashara.<ref>{{cite web |title=Mao Wenchao |url=https://www.forbes.com/profile/mao-wenchao/ |website=Forbes |access-date=2026-08-05}}</ref> Mao alihitimu mwaka [[2007]] na shahada ya Sayansi ya Kompyuta na Uhandisi na akaenda kufanya kazi katika ''Bain & Company''.<ref name=":0">{{Rejea tovuti |title=TikTok Ban|Xiaohongshu: Who's its CEO and how was it founded? {{!}} Innovation Pioneer {{!}} People |url=https://www.ourchinastory.com/en/13869 |access-date=2025-01-18 |website=Our China Story |archive-date=2025-01-18 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250118020400/https://www.ourchinastory.com/en/13869 |url-status=live }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dueyyn10h5bytyqdca4qpboxqno3y43
Romain Taofifenua
0
243592
1584375
1584240
2026-08-05T13:45:34Z
Riccardo Riccioni
452
1584375
wikitext
text/x-wiki
'''Romain Taofifénua''' (alizaliwa [[14 Septemba]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] wa kulipwa kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya (mshambuliaji wa pili katika safu ya mbele) kwa [[klabu]] ya Racing 92 katika ligi ya Top 14.
== Mafanikio ==
=== Taifa: France national rugby union team 🇫🇷 ===
Six Nations Championship:
* [[2022]]
* [[2025]]
Six Nations Grand Slam:
* 2022
=== Klabu: RC Toulon 🇫🇷 ===
European Rugby Champions Cup:
* [[2015]] <ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/les-bleus-se-baladent_sto3302393/story.shtml</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RT351750</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
734v6it0ofaophovr6gs55i82d4guwc
Bernard Le Roux
0
243593
1584376
1584241
2026-08-05T13:46:33Z
Riccardo Riccioni
452
1584376
wikitext
text/x-wiki
'''Bernard Le Roux''' (matamshi ya Kifaransa: [bɛʁ.naʁ lə ʁu]; alizaliwa [[4 Juni]] [[1989]]) ni mchezaji wa [[raga]] aliyezaliwa [[Afrika Kusini]] na baadaye kuwa raia wa [[Ufaransa]].
Alikuwa akicheza nafasi ya flanker kwa klabu ya Ufaransa ya Racing 92 katika [[ligi]] ya Top 14.
Mnamo tarehe 11 Julai [[2013]], aliambia gazeti la michezo la Ufaransa L'Équipe kwamba alikuwa amefanya utafiti kuhusu asili ya [[familia]] yake na kugundua kuwa familia yake ilitoka [[eneo]] la Nantes, Ufaransa. Baadaye walihamia [[Ubelgiji]], kisha Afrika Kusini, karne kadhaa zilizopita.
== Mafanikio ==
=== Klabu: Racing 92 🇫🇷 ===
Top 14 (Ubingwa wa Raga wa Ufaransa):
* [[2015]]–16 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/bernard-le-roux-16765/</ref><ref>https://www.20minutes.fr/sport/1173351-20130613-20130613-rugby-bernard-roux-sud-af-voit-vie-bleu</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
ih62yio8unu5nzj2phl5hh1kqir7lvt
Sekou Macalou
0
243594
1584377
1584243
2026-08-05T13:47:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584377
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:SekouMacalou2023Italie6N(cropped).jpg|thumb|SekouMacalou]]
'''Sekou Macalou''' (alizaliwa [[20 Aprili]] [[1995]]) ni mchezaji wa [[raga]] wa kulipwa kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza nafasi ya safu ya mbele kwa [[klabu]] ya Stade Français Paris katika ligi ya Top 14 na pia ameiwakilisha Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa katika ngazi ya kimataifa.
== Maisha binafsi ==
Sekou Macalou alizaliwa nchini Ufaransa, na ana asili ya [[Mali]]. <ref>https://www.sudouest.fr/sport/rugby/coupe-du-monde-de-rugby/xv-de-france-macalou-j-aimerais-qu-ils-se-disent-si-sekou-l-a-fait-moi-aussi-je-peux-16601323.php</ref><ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur7598.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
iz0ec46zd6ddk133um2olrco0fuxces
Ng Lap Seng
0
243595
1584591
1584244
2026-08-06T03:25:49Z
Justine Msechu
45962
1584591
wikitext
text/x-wiki
'''David Ng Lap Seng''' (Alizaliwa [[Juni]] [[1948]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa majengo nchini [[Uchina]] mwenye makao yake [[Macau]], mwenyekiti wa ''Sun Kian Ip Group'' . Yeye ni mwanachama wa Kamati ya Kitaifa ya Mkutano wa Ushauri wa Kisiasa wa Watu wa China (CPPCC).<ref name=CPPCC>{{cite web |url=http://www.cppcc.gov.cn/CMS/wylibary/showJcwyxtInfoWylibary.action?tabJcwyxt.guid=11W001999&wytype=wy |title=Wu Lisheng |publisher=[[CPPCC]] |accessdate=1 February 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170728162208/http://www.cppcc.gov.cn/CMS/wylibary/showJcwyxtInfoWylibary.action?tabJcwyxt.guid=11W001999&wytype=wy |archive-date=28 July 2017 |url-status=live }}</ref><ref name="美反腐起訴澳門商人吳立勝和前聯大主席">{{cite news |title=美反腐起訴澳門商人吳立勝和前聯大主席 |url=http://www.bbc.com/zhongwen/trad/world/2015/10/151006_us_un_corruption_china |accessdate=2 June 2016 |publisher=BBC Chinese |date=6 October 2015 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170728192103/http://www.bbc.com/zhongwen/trad/world/2015/10/151006_us_un_corruption_china |archive-date=28 July 2017 |url-status=live }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fvsdljn28rr7sbpy8twf7jjmtyfa7ic
Jérôme Garcès
0
243596
1584378
1584245
2026-08-05T13:47:36Z
Riccardo Riccioni
452
1584378
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:JeromeGarces2015 (cropped).jpg|thumb|JeromeGarces2015]]
'''Jérôme Garcès''' (alizaliwa [[24 Oktoba]] [[1973]]) ni mwamuzi wa zamani wa kimataifa na kitaaluma wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Kwa sasa anafanya kazi kama mshauri wa nidhamu na uamuzi kwa Timu ya [[Taifa]] ya Raga ya Ufaransa.
Garcès alikuwa mmoja wa waamuzi maarufu wa raga duniani na alisimamia mechi nyingi za kiwango cha juu katika mashindano ya kimataifa ya raga. <ref>https://www.sarugbymag.co.za/boks-garces-is-one-of-the-best-refs/</ref><ref>https://www.rugbypass.com/news/the-huge-role-jerome-garces-is-playing-behind-the-scenes-with-france/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1973]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
s7nztkudhltro1uhsahakps7okvn986
Pan Shiyi
0
243597
1584590
1584246
2026-08-06T03:25:24Z
Justine Msechu
45962
1584590
wikitext
text/x-wiki
'''Pan Shiyi''' (Alizaliwa [[Novemba 14]], [[1963]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alianzisha ''Soho China'' pamoja na mkewe, [[Zhang Xin]], mwaka [[1995]] na akaijenga kuwa moja ya wasanidi wakuu wa majengo nchini Uchina wakati wa ukuaji usanidi majengo nchini. Mwaka [[2022]], wenzi hao waliondoka kwenye usimamizi wa kampuni na tangu wakati huo wamekuwa wakifanya kazi hasa nchini [[Marekani]]<ref>{{cite web | url=https://www.forbes.com/sites/russellflannery/2022/09/07/billionaire-power-couple-steps-down-from-leadership-at-soho-china/?sh=1f285531fe00 | title=Billionaire Power Couple Steps Down from Leadership at Soho China | website=[[Forbes]] }}</ref><ref>{{cite web | url=https://www.mingtiandi.com/real-estate/people/pan-zhang-resign-as-chairman-ceo-of-soho-china/ | title=Pan, Zhang Resign as Chairman, CEO of Soho China | date=7 September 2022 }}</ref><ref>{{cite news | url=https://www.nytimes.com/2022/09/08/business/soho-china-entrepreneurs.html | title=Twilight of Entrepreneurs in China as More Leave the Country | newspaper=The New York Times | date=8 September 2022 | last1=Bradsher | first1=Keith }}</ref>.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
tf003rptf2h04xgv5saqztc0j7843b7
Pang Kang
0
243598
1584589
1584248
2026-08-06T03:25:01Z
Justine Msechu
45962
1584589
wikitext
text/x-wiki
'''Pang Kang''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], na mwenyekiti wa kampuni ya ''Foshan Haitian Flavouring & Food Co.''Mnamo mwaka wa [[2014]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola za [[Marekani]] bilioni 2.5. Mnamo mwaka wa [[2018]], utajiri wake uliongezeka kwa asilimia 60 na kufikia dola bilioni 7.2, huku akipanda kutoka nafasi ya 68 hadi ya 35 katika orodha ya matajiri nchini Uchina<ref>Ko Tin-yau, [http://www.ejinsight.com/20181015-meet-the-three-chinese-sauce-kings/ Meet the three Chinese sauce kings], ''Ejinsight.com'', 15 October 2018</ref>.Kufikia Januari [[2021]], jarida la Forbes lilikadiria thamani ya jumla ya utajiri wake kuwa dola bilioni 34.3.<ref name=Forbes>{{cite web|url=https://www.forbes.com/profile/pang-kang/|title=Forbes profile: Pang Kang|work=Forbes|accessdate= 13 January 2021}}</ref><ref>[https://web.archive.org/web/20210116163514/https://www.bizbilla.com/world-top-billionaires/china/2015/pang-kang.html #534 Pang Kang], ''Bizbilla.com''</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ae9znn1bttklc8k1u8kgn19sijeylqo
Thomas Castaignède
0
243599
1584379
1584249
2026-08-05T13:48:09Z
Riccardo Riccioni
452
1584379
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Thomas Castaignède cropped.jpg|thumb|Thomas Castaignède]]
'''Thomas Castaignède''' (alizaliwa [[21 Januari]] [[1975]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka Mont-de-Marsan, [[Ufaransa]].
Alizaliwa huko Mont-de-Marsan, Aquitaine, na alianza kucheza raga akiwa kijana na baadaye mchezaji wa ngazi ya juu katika [[klabu]] ya Stade Montois Rugby. Alicheza nafasi mbalimbali, awali akiwa namba [[10]] , na baadaye akawa safu ya ulinzi..
Alijiunga na Stade Toulousain na kusaidia klabu hiyo kushinda mataji ya Ufaransa kwa misimu mitatu mfululizo, pamoja na kushinda [[Kombe]] la [[Ulaya]] la kwanza pamoja na timu hiyo.
Baadaye Castaignède alichezea Castres Olympique kabla ya kuhamia klabu ya [[England]] ya Saracens. <ref>https://web.archive.org/web/20070928125607/http://www.socgen-finance.com/sg/socgen/pid/174/context/SC/lang/fr/object/rubriqueSC/id/227/rubid/227/nodoctype/0.htm</ref><ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/my_club/saracens/6641665.stm</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1975]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
jg6a863o9i78wdvn6rex9v23yuxsj3j
Emile Ntamack
0
243601
1584380
1584254
2026-08-05T13:48:50Z
Riccardo Riccioni
452
1584380
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Emile N'Tamack.jpg|thumb|'''Émile Ntamack''']]
'''Émile Ntamack''' (alizaliwa [[25 Juni]] [[1970]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza kwa kiwango cha kitaalamu kwa [[klabu]] ya Stade Toulousain na Timu ya Taifa ya Raga ya Ufaransa , ambapo alicheza jumla ya [[mechi]] [[46]] za kimataifa.
Ntamack alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa dhidi ya [[Wales]] raga ya taifa wakati wa mashindano ya Mashindano ya Mataifa Matano ya mwaka [[1994]].
Alikuwa sehemu ya timu ya Ufaransa iliyoshinda Grand Slam mwaka [[1997]].
Pia alishiriki katika vikosi vya Ufaransa kwenye:
* 1995 Kombe la [[Dunia]] la Raga
* [[1999]] [[Kombe]] la Dunia la Raga
Awali alitangaza kustaafu mwaka [[2003]] kutokana na jeraha la usoni, lakini aliendelea kucheza kwa mwaka mmoja zaidi kabla ya kustaafu rasmi mwaka [[2004]]. <ref>https://www.independent.co.uk/sport/rugby/rugby-union/retiring-ntamack-seeks-redress-for-nightmare-humiliation-by-wasps-564224.html</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/47054569</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1970]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0nnparkfgs3ur52gibb76kgik1hwfsg
Jiang Rensheng
0
243615
1584588
1584268
2026-08-06T03:24:25Z
Justine Msechu
45962
1584588
wikitext
text/x-wiki
'''Jiang Rensheng''' (Alizaliwa [[1953]] au [[1954]]) ni mfanyabiashara bilionea nchini [[Uchina]] na mwenyekiti wa ''Zhifei'' kampuni ya utengenezaji wa chanjo. Kufikia [[Septemba]] [[2021]], [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 21.<ref name="Forbes profile">{{cite web |title=Forbes profile:Jiang Rensheng & family |url=https://www.forbes.com/profile/jiang-rensheng/?sh=ac7f295694a9 |website=Forbes |access-date=16 September 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1953]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
n1mwr41p32gergwmiciakyv46j3kyi4
Guo Wengui
0
243616
1584426
1584269
2026-08-05T15:16:03Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584426
wikitext
text/x-wiki
'''Guo Wengui''' (Alizaliwa [[Mei 10]], [[1970]] – madai yake mwenyewe<ref name="miles_bd">{{citation |url=https://www.youtube.com/watch?v=usXIqIb18G0 |script-title=zh:郭文贵5月11日报平安直播视频 |website=YouTube |date=May 11, 2017 |language=zh-Hans |access-date=March 23, 2019 |archive-url=https://web.archive.org/web/20200127004540/https://www.youtube.com/watch?v=usXIqIb18G0&feature=youtu.be |archive-date=January 27, 2020 |url-status=live |title=- YouTube }}</ref> au [[Oktoba 5]], [[1968]]<ref name="cxw">{{Rejea tovuti|url=http://china.caixin.com/2015-03-25/100794575.html|script-title=zh:郭文贵围猎高官记:从结盟到反目|work=[[Caixin]]|language=zh-cn|date=March 25, 2015|access-date=July 26, 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20160521064636/http://china.caixin.com/2015-03-25/100794575.html|archive-date=May 21, 2016|url-status=live}}</ref>), anayejulikana pia kama '''Ho Wan Kwok''', '''Miles Guo''', na '''Miles Kwok''', ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa zamani na mtapeli aliyefungwa nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uchina]]. Mwaka [[2014]], Guo aliorodheshwa nambari 74 kwenye ''Hurun China Rich List'' akiwa na mali inayokadiriwa kuwa dola bilioni 2.6.<ref>{{Rejea tovuti |title=Hurun Report - List |url=https://www.hurun.net/en-us/rank/HsRankDetails?pagetype=rich&num=AQT76EYU |access-date=2026-02-13 |website=www.hurun.net}}</ref> Baadaye mwaka huo, aliondoka China kwenda Marekani wakati wa kampeni ya kupambana na ufisadi iliyolenga washirika wake, ikiwemo afisa mkuu wa ujasusi [[Ma Jian]].Nchini Marekani, Guo alijijengea hadhi ya umma kama mpinzani anayejielezea na mtoa taarifa dhidi ya [[Chama cha Kikomunisti cha China]].<ref>{{cite news |last1=Podkul |first1=Cezary |last2=Wong |first2=Chun Han |date=October 3, 2017 |title=Chinese Fugitive Guo Wengui Amasses War Chest to Battle Beijing |url=https://www.wsj.com/articles/chinese-fugitive-amasses-war-chest-to-battle-beijing-1507023004 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210914232129/https://www.wsj.com/articles/chinese-fugitive-amasses-war-chest-to-battle-beijing-1507023004 |archive-date=September 14, 2021 |access-date=October 27, 2020 |newspaper=[[The Wall Street Journal]] |issn=0099-9660}}</ref><ref>{{cite news |title=Trump changes his mind on deporting Guo Wengui when he learns he's Mar-a-Lago member |url=https://www.metro.us/president-trump/trump-changes-mind-guo-wengui-mar-a-lago |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20171026235647/https://www.metro.us/president-trump/trump-changes-mind-guo-wengui-mar-a-lago |archive-date=October 26, 2017 |access-date=October 26, 2017 |website=Metro.us}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1970]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mkm97j2twu63m4kmgnglj3eicnnru2n
1584587
1584426
2026-08-06T03:24:05Z
Justine Msechu
45962
1584587
wikitext
text/x-wiki
'''Guo Wengui''' (Alizaliwa [[Mei 10]], [[1970]] – madai yake mwenyewe<ref name="miles_bd">{{citation |url=https://www.youtube.com/watch?v=usXIqIb18G0 |script-title=zh:郭文贵5月11日报平安直播视频 |website=YouTube |date=May 11, 2017 |language=zh-Hans |access-date=March 23, 2019 |archive-url=https://web.archive.org/web/20200127004540/https://www.youtube.com/watch?v=usXIqIb18G0&feature=youtu.be |archive-date=January 27, 2020 |url-status=live |title=- YouTube }}</ref> au [[Oktoba 5]], [[1968]]<ref name="cxw">{{Rejea tovuti|url=http://china.caixin.com/2015-03-25/100794575.html|script-title=zh:郭文贵围猎高官记:从结盟到反目|work=[[Caixin]]|language=zh-cn|date=March 25, 2015|access-date=July 26, 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20160521064636/http://china.caixin.com/2015-03-25/100794575.html|archive-date=May 21, 2016|url-status=live}}</ref>), anayejulikana pia kama '''Ho Wan Kwok''', '''Miles Guo''', na '''Miles Kwok''', ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa zamani na mtapeli aliyefungwa nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uchina]]. Mwaka [[2014]], Guo aliorodheshwa nambari 74 kwenye ''Hurun China Rich List'' akiwa na mali inayokadiriwa kuwa dola bilioni 2.6.<ref>{{Rejea tovuti |title=Hurun Report - List |url=https://www.hurun.net/en-us/rank/HsRankDetails?pagetype=rich&num=AQT76EYU |access-date=2026-02-13 |website=www.hurun.net}}</ref> Baadaye mwaka huo, aliondoka China kwenda Marekani wakati wa kampeni ya kupambana na ufisadi iliyolenga washirika wake, ikiwemo afisa mkuu wa ujasusi [[Ma Jian]].Nchini Marekani, Guo alijijengea hadhi ya umma kama mpinzani anayejielezea na mtoa taarifa dhidi ya [[Chama cha Kikomunisti cha China]].<ref>{{cite news |last1=Podkul |first1=Cezary |last2=Wong |first2=Chun Han |date=October 3, 2017 |title=Chinese Fugitive Guo Wengui Amasses War Chest to Battle Beijing |url=https://www.wsj.com/articles/chinese-fugitive-amasses-war-chest-to-battle-beijing-1507023004 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210914232129/https://www.wsj.com/articles/chinese-fugitive-amasses-war-chest-to-battle-beijing-1507023004 |archive-date=September 14, 2021 |access-date=October 27, 2020 |newspaper=[[The Wall Street Journal]] |issn=0099-9660}}</ref><ref>{{cite news |title=Trump changes his mind on deporting Guo Wengui when he learns he's Mar-a-Lago member |url=https://www.metro.us/president-trump/trump-changes-mind-guo-wengui-mar-a-lago |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20171026235647/https://www.metro.us/president-trump/trump-changes-mind-guo-wengui-mar-a-lago |archive-date=October 26, 2017 |access-date=October 26, 2017 |website=Metro.us}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1970]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
h51ns7zbhdj2ptne1isqjyor986pgzc
Wen Jiabao
0
243617
1584314
1584270
2026-08-05T12:51:52Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584314
wikitext
text/x-wiki
'''Wen Jiabao''' (Alizaliwa [[Septemba 15]], [[1942]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alihudumu kama waziri mkuu wa Uchina kuanzia mwaka [[2003]] hadi [[2013]] na mwanachama wa nafasi ya tatu ya Kamati ya Kudumu ya Politburo ya [[Chama cha Kikomunisti cha China]] kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2012]].<ref>{{Rejea tovuti |title=温家宝同志简历--时政--人民网 |url=http://politics.people.com.cn/n/2012/1116/c1001-19602015.html |access-date=2022-10-18 |website=politics.people.com.cn |archive-date=10 October 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20221010182745/http://politics.people.com.cn/n/2012/1116/c1001-19602015.html |url-status=live }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasiasa wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
a0dfhc6ceqwe1loj08i2mjgmclus7j7
1584586
1584314
2026-08-06T03:23:41Z
Justine Msechu
45962
1584586
wikitext
text/x-wiki
'''Wen Jiabao''' (Alizaliwa [[Septemba 15]], [[1942]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alihudumu kama waziri mkuu wa Uchina kuanzia mwaka [[2003]] hadi [[2013]] na mwanachama wa nafasi ya tatu ya Kamati ya Kudumu ya Politburo ya [[Chama cha Kikomunisti cha China]] kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2012]].<ref>{{Rejea tovuti |title=温家宝同志简历--时政--人民网 |url=http://politics.people.com.cn/n/2012/1116/c1001-19602015.html |access-date=2022-10-18 |website=politics.people.com.cn |archive-date=10 October 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20221010182745/http://politics.people.com.cn/n/2012/1116/c1001-19602015.html |url-status=live }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasiasa wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1942]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
a0mt3ohe5okhk22gtkdmz5cnpjopiku
Delores Phillips
0
243618
1584381
1584274
2026-08-05T13:50:46Z
Riccardo Riccioni
452
1584381
wikitext
text/x-wiki
'''Delores Phillips''' ([[26 Septemba]] [[1950]] – [[7 Juni]] [[2014]]) alikuwa mwandishi wa Marekani anayejulikana kwa riwaya yake ya kwanza iliyosifiwa, ''The Darkest Child'' (''Soho Press'', [[2005]]).<ref>{{cite book|title = Fiction Book Review: THE DARKEST CHILD by Delores Phillips, Author . Soho $26 (388p)|isbn = 978-1-56947-345-0|url = https://archive.org/details/isbn_9781569473450|publisher = PublishersWeekly.com|access-date = 2016-01-28|url-access = registration| last1=Phillips | first1=Delores | year=2004 }}</ref><ref>{{cite web|title = THE DARKEST CHILD by Delores Phillips {{!}} Kirkus Reviews|url = http://www.kirkusreviews.com/book-reviews/fiction/delores-phillips/the-darkest-child/|website = Kirkus Reviews|access-date = 2016-01-28|language = en-us}}</ref>
Alizaliwa huko [[Georgia (jimbo)|Georgia]], akajihusisha na uchunguza mahusiano ya rangi katika maeneo ya vijijini Kusini mwa [[Marekani]] wakati wa miaka ya 1950 kupitia kitabu chake. Alihitimu kutoka [[Chuo Kikuu]] cha [[Jimbo]] la [[Cleveland]] na kufanya kazi kama muuguzi katika kituo cha kuhudumia wanawake na watoto waliokumbwa na unyanyasaji huko Cleveland.<ref>{{cite web |url=http://www.sohopress.com/books/darkest_child.html |title=Soho Press - the Darkest Child by Delores Phillips |accessdate=2011-06-06 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20111001010616/http://www.sohopress.com/books/darkest_child.html |archivedate=2011-10-01 }}</ref> Mashairi yake yamechapishwa katika ''Jean’s Journal'', ''Black Times'', na ''The Crisis''. Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 63.<ref>{{cite web |title=Delores Phillips Obituary - Corrigan Craciun Funeral Home {{!}} Cleveland OH |url=http://obits.dignitymemorial.com/dignity-memorial/obituary.aspx?n=Delores-Phillips&lc=7352&pid=171291600&mid=6004195 |access-date=2017-03-15 |website=obits.dignitymemorial.com}}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{Reflist}}
{{mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1950]]
[[Jamii:waliofariki 2001]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
p4cbn0cul544wz4vxd6o6e1g33k7kqq
Gong Hongjia
0
243619
1584585
1584279
2026-08-06T03:23:20Z
Justine Msechu
45962
1584585
wikitext
text/x-wiki
'''Gong Hongjia''' (Alizaliwa [[1965]]), anayejulikana pia kwa unukuzi yake rasmi ya Hong Kong kama '''Kung Hung Ka''', ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] (mwenye hadhi ya makazi ya kudumu ya Hong Kong), makamu mwenyekiti na mwanahisa wa pili kwa ukubwa katika ''Hikvision'', msambazaji wa vifaa vya usalama.<ref>{{cite press release|url=https://ipvm-uploads.s3.amazonaws.com/uploads/f709/6e5b/Hikvision%20Ownership%20Structure.pdf|title=Hikvision Ownership Structure|date=27 October 2015|access-date=20 April 2018|publisher=Hikvision}}</ref> Aliorodheshwa nambari 15 kwenye ''Forbes 2017 China Rich List'', na pia nambari 144 kwenye orodha ya mabilionea ya ''Forbes'' ya Mei [[2021]], akiwa na utajiri wa dola bilioni 14.4 wakati huo.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Gong Hongjia|url=https://www.forbes.com/profile/gong-hongjia/|website=Forbes|access-date=14 July 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dfyzq0exgta2noss0vtco8wcjvl89uv
Hui Ka Yan
0
243620
1584428
1584280
2026-08-05T15:30:23Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584428
wikitext
text/x-wiki
'''Hui Ka Yan''' (Alizaliwa [[Oktoba 9]], [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Akiwa mwenyekiti wa bodi na katibu wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] wa ''Evergrande Group'', alijenga hadhi ya juu kama tycoon wa majengo wakati wa usanidi majengo nchini Uchina.Alikamatwa mwaka [[2023]] na alikiri hatia kwa mashtaka ikiwemo ubadhirifu na rushwa ya shirika mwaka [[2016]].<ref>{{Rejea tovuti |date=2026-04-14 |title=Founder of China's Evergrande Group Hui Ka-yan pleads guilty in fraud trial |url=https://www.scmp.com/business/article/3349990/founder-chinas-evergrande-group-hui-ka-yan-pleads-guilty-fraud-trial |access-date=2026-05-06 |website=South China Morning Post |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
6wtxzm66uztrxj6s7wurhoawyxizamw
1584583
1584428
2026-08-06T03:22:55Z
Justine Msechu
45962
1584583
wikitext
text/x-wiki
'''Hui Ka Yan''' (Alizaliwa [[Oktoba 9]], [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Akiwa mwenyekiti wa bodi na katibu wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] wa ''Evergrande Group'', alijenga hadhi ya juu kama tycoon wa majengo wakati wa usanidi majengo nchini Uchina.Alikamatwa mwaka [[2023]] na alikiri hatia kwa mashtaka ikiwemo ubadhirifu na rushwa ya shirika mwaka [[2016]].<ref>{{Rejea tovuti |date=2026-04-14 |title=Founder of China's Evergrande Group Hui Ka-yan pleads guilty in fraud trial |url=https://www.scmp.com/business/article/3349990/founder-chinas-evergrande-group-hui-ka-yan-pleads-guilty-fraud-trial |access-date=2026-05-06 |website=South China Morning Post |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
bzgcyp3qp5dx2hp4azc8h18fxv18tfb
Huang Xiangmo
0
243621
1584427
1584281
2026-08-05T15:29:59Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584427
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Xiangmo''' ni msanidi wa majengo bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mkazi wa kudumu na mfadhili wa kisiasa nchini [[Australia]], lakini baadaye alizuiliwa kuingia nchini humo kwa sababu za usalama wa taifa. Zaidi ya hayo, Waziri Mkuu wa Australia wakati huo [[Malcolm Turnbull]] alishauriwa na ''Australian Security Intelligence Organisation'' kuhudhuria hafla za kuchangisha fedha au matukio ambapo Huang alikuwepo, kutokana na wasiwasi wa usalama wa taifa.<ref name="auto">{{cite news|url=https://www.theguardian.com/australia-news/2019/feb/08/give-back-my-money-banned-billionaire-huang-xiangmo-hits-out-at-political-parties|title='Give back my money': banned billionaire Huang Xiangmo hits out at political parties|first=Christopher|last=Knaus|date=8 February 2019|access-date=8 February 2019|newspaper=The Guardian|archive-url=https://web.archive.org/web/20190208124821/https://www.theguardian.com/australia-news/2019/feb/08/give-back-my-money-banned-billionaire-huang-xiangmo-hits-out-at-political-parties|archive-date=8 February 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.scmp.com/news/china/diplomacy/article/2185417/chinese-billionaire-huang-xiangmo-slams-lies-and-prejudice|title=Huang Xiangmo slams 'lies' behind stripping of his Australian residency|date=8 February 2019|website=South China Morning Post|access-date=8 February 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190208065239/https://www.scmp.com/news/china/diplomacy/article/2185417/chinese-billionaire-huang-xiangmo-slams-lies-and-prejudice|archive-date=8 February 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{Rejea habari|url=https://www.smh.com.au/national/icac-revelations-against-an-infamous-chinese-donor-are-a-small-part-of-the-story-20191010-p52zm0.html|title=ICAC revelations against an infamous Chinese donor are a small part of the story|last=McKenzie|first=Nick|date=October 13, 2019|work=[[The Sydney Morning Herald]]|access-date=October 13, 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20191014022740/https://www.smh.com.au/national/icac-revelations-against-an-infamous-chinese-donor-are-a-small-part-of-the-story-20191010-p52zm0.html|archive-date=14 October 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |date=2019-09-11 |title=Guests on Gladys Liu list for Malcolm Turnbull event sparked ASIO concerns |url=https://www.abc.net.au/news/2019-09-11/guests-on-gladys-liu-list-for-malcolm-turnbull-event-asio/11502564 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190912152112/https://www.abc.net.au/news/2019-09-11/guests-on-gladys-liu-list-for-malcolm-turnbull-event-asio/11502564 |archive-date=12 September 2019 |access-date=2019-11-23 |website=[[ABC News (Australia)]] |language=en-AU}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ak1ew9d18iwaqe7bfw3m56mla8neemf
1584581
1584427
2026-08-06T03:22:32Z
Justine Msechu
45962
1584581
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Xiangmo''' ni msanidi wa majengo bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mkazi wa kudumu na mfadhili wa kisiasa nchini [[Australia]], lakini baadaye alizuiliwa kuingia nchini humo kwa sababu za usalama wa taifa. Zaidi ya hayo, Waziri Mkuu wa Australia wakati huo [[Malcolm Turnbull]] alishauriwa na ''Australian Security Intelligence Organisation'' kuhudhuria hafla za kuchangisha fedha au matukio ambapo Huang alikuwepo, kutokana na wasiwasi wa usalama wa taifa.<ref name="auto">{{cite news|url=https://www.theguardian.com/australia-news/2019/feb/08/give-back-my-money-banned-billionaire-huang-xiangmo-hits-out-at-political-parties|title='Give back my money': banned billionaire Huang Xiangmo hits out at political parties|first=Christopher|last=Knaus|date=8 February 2019|access-date=8 February 2019|newspaper=The Guardian|archive-url=https://web.archive.org/web/20190208124821/https://www.theguardian.com/australia-news/2019/feb/08/give-back-my-money-banned-billionaire-huang-xiangmo-hits-out-at-political-parties|archive-date=8 February 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.scmp.com/news/china/diplomacy/article/2185417/chinese-billionaire-huang-xiangmo-slams-lies-and-prejudice|title=Huang Xiangmo slams 'lies' behind stripping of his Australian residency|date=8 February 2019|website=South China Morning Post|access-date=8 February 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190208065239/https://www.scmp.com/news/china/diplomacy/article/2185417/chinese-billionaire-huang-xiangmo-slams-lies-and-prejudice|archive-date=8 February 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{Rejea habari|url=https://www.smh.com.au/national/icac-revelations-against-an-infamous-chinese-donor-are-a-small-part-of-the-story-20191010-p52zm0.html|title=ICAC revelations against an infamous Chinese donor are a small part of the story|last=McKenzie|first=Nick|date=October 13, 2019|work=[[The Sydney Morning Herald]]|access-date=October 13, 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20191014022740/https://www.smh.com.au/national/icac-revelations-against-an-infamous-chinese-donor-are-a-small-part-of-the-story-20191010-p52zm0.html|archive-date=14 October 2019|url-status=live}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |date=2019-09-11 |title=Guests on Gladys Liu list for Malcolm Turnbull event sparked ASIO concerns |url=https://www.abc.net.au/news/2019-09-11/guests-on-gladys-liu-list-for-malcolm-turnbull-event-asio/11502564 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190912152112/https://www.abc.net.au/news/2019-09-11/guests-on-gladys-liu-list-for-malcolm-turnbull-event-asio/11502564 |archive-date=12 September 2019 |access-date=2019-11-23 |website=[[ABC News (Australia)]] |language=en-AU}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
lbdtjj22urvt8s54p9hhmycell20c8t
Huang Nubo
0
243622
1584580
1584283
2026-08-06T03:22:03Z
Justine Msechu
45962
1584580
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Nubo''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[Mhandisi Majengo|msanidi wa majengo]] , [[mjasiriamali]], mshairi, na mpandaji milima bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha na anabaki kuwa Mwenyekiti wa ''Beijing Zhongkun Investment Group''. <ref>{{citation |url=http://www.hurun.net/EN/HuList.aspx |title=China Rich List |publisher=Hurun Report |accessdate=16 October 2014 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20151231084828/http://www.hurun.net/EN/HuList.aspx |archivedate=31 December 2015 }}</ref>Kulingana na ''Hurun Report'', utajiri wake ni dola bilioni 2.3 kufikia mwaka [[2014]], akishika nafasi ya 90 kati ya Wachina 400 tajiri zaidi.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nyndpzx22cb6xhzyrz79nqipgc6onu6
Zhang Hejun
0
243623
1584320
1584285
2026-08-05T13:01:23Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584320
wikitext
text/x-wiki
'''Zhang Hejun''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa vibadilishaji umeme ''Ningbo Deye Technology'' ambayo iliorodheshwa kwenye Soko la Hisa la [[Shanghai]] mwaka [[2021]]. ''[[Forbes]]'' inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 4.5 za [[Marekani]].<ref>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Zhang Hejun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/zhang-hejun/?list=billionaires&sh=4120e57d7938 |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref> Zhang Hejun alizaliwa mwaka [[1952]], alianza biashara yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 17; awali alijishughulisha na biashara ya ukingo (mold), baadaye akabadilisha hadi vifaa vya chuma, na baadaye akaingia katika vitu vya plastiki. Kampuni ya mwanzilishi iliyoanzishwa mapema iliendeshwa kwa majina mengi hadi mwaka [[1990]] ambapo "Deye" ilianzishwa rasmi. Kampuni iliyoorodheshwa mwaka 2021 inaitwa "Deye Corporation." Mwaka [[2021]], Zhang Hejun alionekana kwa mara ya kwanza kwenye orodha ya matajiri akiwa na utajiri wa yuan bilioni 22.5. Mwaka uliofuata, utajiri wake uliongezeka kwa asilimia 149 kufikia yuan bilioni 56, na kumweka katika nafasi ya tatu kwenye ''Hurun Rich List'' ya Ningbo mwaka 2022.<ref>{{Rejea tovuti |title=Deye Solar |url=https://solartoeu.com/products/deye-solar/ |website=Solartoeu}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ibkjv9t1uk1caunmtuhbpysq2o7xsbx
1584579
1584320
2026-08-06T03:21:03Z
Justine Msechu
45962
1584579
wikitext
text/x-wiki
'''Zhang Hejun''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa vibadilishaji umeme ''Ningbo Deye Technology'' ambayo iliorodheshwa kwenye Soko la Hisa la [[Shanghai]] mwaka [[2021]]. ''[[Forbes]]'' inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 4.5 za [[Marekani]].<ref>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Zhang Hejun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/zhang-hejun/?list=billionaires&sh=4120e57d7938 |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref> Zhang Hejun alizaliwa mwaka [[1952]], alianza biashara yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 17; awali alijishughulisha na biashara ya ukingo (mold), baadaye akabadilisha hadi vifaa vya chuma, na baadaye akaingia katika vitu vya plastiki. Kampuni ya mwanzilishi iliyoanzishwa mapema iliendeshwa kwa majina mengi hadi mwaka [[1990]] ambapo "Deye" ilianzishwa rasmi. Kampuni iliyoorodheshwa mwaka 2021 inaitwa "Deye Corporation." Mwaka [[2021]], Zhang Hejun alionekana kwa mara ya kwanza kwenye orodha ya matajiri akiwa na utajiri wa yuan bilioni 22.5. Mwaka uliofuata, utajiri wake uliongezeka kwa asilimia 149 kufikia yuan bilioni 56, na kumweka katika nafasi ya tatu kwenye ''Hurun Rich List'' ya Ningbo mwaka 2022.<ref>{{Rejea tovuti |title=Deye Solar |url=https://solartoeu.com/products/deye-solar/ |website=Solartoeu}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ovl5iiymlixpq3pbifft4ll1h2zpjvx
Zhuang Kuilong
0
243624
1584321
1584286
2026-08-05T13:01:33Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584321
wikitext
text/x-wiki
'''Zhuang Kuilong''' (Alizaliwa [[1961]] au [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa polyesta ''Xinfengming Group''.Zhuang alianza kama mkulima kabla ya kwenda kufanya kazi katika kiwanda cha nyuzi cha pamoja (collective fiber factory). Mwaka [[2000]], alianzisha Xinfengming pamoja na waanzilishi wengine 11 akiwemo mkewe. Mwaka [[2017]], Xinfengming iliorodheshwa kwenye [[Soko la hisa]] [[Shanghai]]. Anaishi Jiaxing, China pamoja na mkewe Qu Fengqi. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.0 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Zhuang Kuilong & family|website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/zhuang-kuilong/?list=billionaires&sh=2fcc2a252b6f |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
kz5anrm9t4dglkw24viv70zliy5r0t3
1584578
1584321
2026-08-06T03:20:39Z
Justine Msechu
45962
1584578
wikitext
text/x-wiki
'''Zhuang Kuilong''' (Alizaliwa [[1961]] au [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa polyesta ''Xinfengming Group''.Zhuang alianza kama mkulima kabla ya kwenda kufanya kazi katika kiwanda cha nyuzi cha pamoja (collective fiber factory). Mwaka [[2000]], alianzisha Xinfengming pamoja na waanzilishi wengine 11 akiwemo mkewe. Mwaka [[2017]], Xinfengming iliorodheshwa kwenye [[Soko la hisa]] [[Shanghai]]. Anaishi Jiaxing, China pamoja na mkewe Qu Fengqi. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.0 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Zhuang Kuilong & family|website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/zhuang-kuilong/?list=billionaires&sh=2fcc2a252b6f |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
tn21zje9tio64uegffor7hjfcej941f
Qin Yinglin
0
243625
1584287
2026-08-05T12:04:43Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Qin Yinglin''' (Alizaliwa [[1965]]) ni mkilimo bilionea, mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], na mkulima tajiri zaidi duniani kutoka [[Uchina]].Yeye ni Mwenyekiti na rais wa kampuni ya ufugaji wa nguruwe ''Muyuan Foodstuff'' na ni mmoja wa watu tajiri zaidi nchini China.<ref name="Bloomberg">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/yinglin-qin/|title= Bloomberg Billionaires Index: Qin Yinglin|website=Bloomberg News...'
1584287
wikitext
text/x-wiki
'''Qin Yinglin''' (Alizaliwa [[1965]]) ni mkilimo bilionea, mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], na mkulima tajiri zaidi duniani kutoka [[Uchina]].Yeye ni Mwenyekiti na rais wa kampuni ya ufugaji wa nguruwe ''Muyuan Foodstuff'' na ni mmoja wa watu tajiri zaidi nchini China.<ref name="Bloomberg">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/yinglin-qin/|title= Bloomberg Billionaires Index: Qin Yinglin|website=[[Bloomberg News|Bloomberg]]|access-date=December 7, 2021}}</ref> Kulingana na ''Bloomberg Billionaires Index'', utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 14.9 kufikia [[Septemba]] [[2023]]. [[Forbes]] iliandika kwamba alipata utajiri wake kama "mfugaji mkubwa wa nguruwe nchini katika soko kubwa zaidi la nyama ya nguruwe duniani".<ref name="Forbes Qin Yinglin & family">{{cite web |title=Qin Yinglin & family |url=https://www.forbes.com/profile/qin-yinglin/ |website=Forbes |access-date=18 February 2021 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
40xcj7iajjxuzzov40i5wttvqsfg1rj
1584288
1584287
2026-08-05T12:05:53Z
Ally0111
85292
1584288
wikitext
text/x-wiki
'''Qin Yinglin''' (Alizaliwa [[1965]]) ni bilionea, mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] na mkulima tajiri zaidi duniani kutoka [[Uchina]].Yeye ni Mwenyekiti na rais wa kampuni ya ufugaji wa nguruwe ''Muyuan Foodstuff'' na ni mmoja wa watu tajiri zaidi nchini China.<ref name="Bloomberg">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/yinglin-qin/|title= Bloomberg Billionaires Index: Qin Yinglin|website=[[Bloomberg News|Bloomberg]]|access-date=December 7, 2021}}</ref> Kulingana na ''Bloomberg Billionaires Index'', utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 14.9 kufikia [[Septemba]] [[2023]]. [[Forbes]] iliandika kwamba alipata utajiri wake kama "mfugaji mkubwa wa nguruwe nchini katika soko kubwa zaidi la nyama ya nguruwe duniani".<ref name="Forbes Qin Yinglin & family">{{cite web |title=Qin Yinglin & family |url=https://www.forbes.com/profile/qin-yinglin/ |website=Forbes |access-date=18 February 2021 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cyz8mn0dto09fq52t4vi5ugxx8to6cs
1584577
1584288
2026-08-06T03:20:19Z
Justine Msechu
45962
1584577
wikitext
text/x-wiki
'''Qin Yinglin''' (Alizaliwa [[1965]]) ni bilionea, mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] na mkulima tajiri zaidi duniani kutoka [[Uchina]].Yeye ni Mwenyekiti na rais wa kampuni ya ufugaji wa nguruwe ''Muyuan Foodstuff'' na ni mmoja wa watu tajiri zaidi nchini China.<ref name="Bloomberg">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/yinglin-qin/|title= Bloomberg Billionaires Index: Qin Yinglin|website=[[Bloomberg News|Bloomberg]]|access-date=December 7, 2021}}</ref> Kulingana na ''Bloomberg Billionaires Index'', utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 14.9 kufikia [[Septemba]] [[2023]]. [[Forbes]] iliandika kwamba alipata utajiri wake kama "mfugaji mkubwa wa nguruwe nchini katika soko kubwa zaidi la nyama ya nguruwe duniani".<ref name="Forbes Qin Yinglin & family">{{cite web |title=Qin Yinglin & family |url=https://www.forbes.com/profile/qin-yinglin/ |website=Forbes |access-date=18 February 2021 |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cf87f7xjomn0loe307sqrtj2g54e23p
Jean-Pierre Rives
0
243626
1584289
2026-08-05T12:08:39Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584289
wikitext
text/x-wiki
Jean-Pierre Rives (alizaliwa tarehe 31 [[Desemba]] [[1952]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]] na [[msanii]] wa [[sanaa]] za kuona.
Kwa mujibu wa BBC, alikuwa "mtu mashuhuri wa kipekee nchini Ufaransa", na alikuja kuwakilisha kikamilifu ari ya [[timu]] ya [[taifa]] pamoja na mtindo wao wa uchezaji uliokuwa wa kujituma kupita kiasi, wenye ujasiri na mapambano yasiyokata tamaa.
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa mechi [[59]] za kimataifa , kati ya hizo [[34]] akiwa [[nahodha]].
Pia aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga, ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika mchezo wa raga.
== Tuzo na Heshima ==
* [[1980]]/1981: Alitunukiwa [[Tuzo]] ya Kumbukumbu ya Pat Marshall kutoka Klabu ya Waandishi wa Raga.
* 1981: Alitunukiwa Tuzo ya Henry Deutsch de la Meurthe kutoka Akademia ya Michezo ya Ufaransa.
* [[1986]]: Alitunukiwa cheo cha Ofisa wa Nishani ya Legion of Honor.
* 1997: Aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga.
* 2001: Alitunukiwa Tuzo ya Alain Danet kutoka Akademia ya Michezo ya Ufaransa.
* [[2009]]: Alitunukiwa cheo cha Ofisa wa Nishani ya Taifa ya Sifa. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/international/3390985.stm</ref><ref>https://www.larousse.fr/encyclopedie/personnage/Rives/141113</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
[[Jamii:Sanaa]]
8xx86ea1g95d1i7iciahprinllndcuk
1584382
1584289
2026-08-05T13:51:46Z
Riccardo Riccioni
452
1584382
wikitext
text/x-wiki
'''Jean-Pierre Rives''' (alizaliwa [[31 Desemba]] [[1952]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]] na [[msanii]] wa [[sanaa]] za kuona.
Kwa mujibu wa BBC, alikuwa "mtu mashuhuri wa kipekee nchini Ufaransa", na alikuja kuwakilisha kikamilifu ari ya [[timu]] ya [[taifa]] pamoja na mtindo wao wa uchezaji uliokuwa wa kujituma kupita kiasi, wenye ujasiri na mapambano yasiyokata tamaa.
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa mechi [[59]] za kimataifa , kati ya hizo [[34]] akiwa [[nahodha]].
Pia aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga, ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika mchezo wa raga.
== Tuzo na Heshima ==
* [[1980]]/1981: Alitunukiwa [[Tuzo]] ya Kumbukumbu ya Pat Marshall kutoka Klabu ya Waandishi wa Raga.
* 1981: Alitunukiwa Tuzo ya Henry Deutsch de la Meurthe kutoka Akademia ya Michezo ya Ufaransa.
* [[1986]]: Alitunukiwa cheo cha Ofisa wa Nishani ya Legion of Honor.
* 1997: Aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga.
* 2001: Alitunukiwa Tuzo ya Alain Danet kutoka Akademia ya Michezo ya Ufaransa.
* [[2009]]: Alitunukiwa cheo cha Ofisa wa Nishani ya Taifa ya Sifa. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/international/3390985.stm</ref><ref>https://www.larousse.fr/encyclopedie/personnage/Rives/141113</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:wasanii wa Ufaransa]]
02dpzqrso0p7x827ek0fc704y8xb2wl
Qian Xiaojun
0
243627
1584290
2026-08-05T12:09:20Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Qian Xiaojun''' (Alizaliwa [[1974]] au [[1975]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya biashara ya mtandaoni ''Beijing United Information Technology''. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za Marekani.<ref>{{Cite web|first= |last= |authorlink= |title=Qian Xiaojun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/...'
1584290
wikitext
text/x-wiki
'''Qian Xiaojun''' (Alizaliwa [[1974]] au [[1975]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya biashara ya mtandaoni ''Beijing United Information Technology''. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za Marekani.<ref>{{Cite web|first= |last= |authorlink= |title=Qian Xiaojun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/qian-xiaojun/?list=billionaires&sh=6b42d79cfca7 |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
80hq2ocnk6naf5vbnnovw92c81epxwb
1584456
1584290
2026-08-05T19:17:49Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584456
wikitext
text/x-wiki
'''Qian Xiaojun''' (Alizaliwa [[1974]] au [[1975]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya biashara ya mtandaoni ''Beijing United Information Technology''. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za Marekani.<ref>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Qian Xiaojun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/qian-xiaojun/?list=billionaires&sh=6b42d79cfca7 |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ofgc462yhtz5f1yeteijz8yntkfwrfl
1584576
1584456
2026-08-06T03:19:55Z
Justine Msechu
45962
1584576
wikitext
text/x-wiki
'''Qian Xiaojun''' (Alizaliwa [[1974]] au [[1975]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya biashara ya mtandaoni ''Beijing United Information Technology''. [[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za Marekani.<ref>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Qian Xiaojun |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/qian-xiaojun/?list=billionaires&sh=6b42d79cfca7 |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1974]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mo7nq3g6ryzgxv7mlnql43xcp6vuq07
Liya Brooks
0
243628
1584291
2026-08-05T12:14:01Z
Eibrahim77
68081
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Liya Njeri N'Day Brooks''' (alizaliwa tarehe [[17 Mei]] mwaka [[2005]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu ambae anacheza kama kipa katika timu ya ''North Carolina Tar Heels''. Alizaliwa huko nchini [[Marekani]], lakini anaiwakilisha [[Jamaika]] kimataifa. '''Maisha ya awali''' '''Brooks''' alianza kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka minane.<ref>{{cite news|url=https://www.hawaiinewsnow.com/2020/02/22/hawaii-teen-with-dream-becoming-soccer-pro-se...'
1584291
wikitext
text/x-wiki
'''Liya Njeri N'Day Brooks''' (alizaliwa tarehe [[17 Mei]] mwaka [[2005]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu ambae anacheza kama kipa katika timu ya ''North Carolina Tar Heels''. Alizaliwa huko nchini [[Marekani]], lakini anaiwakilisha [[Jamaika]] kimataifa.
'''Maisha ya awali'''
'''Brooks''' alianza kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka minane.<ref>{{cite news|url=https://www.hawaiinewsnow.com/2020/02/22/hawaii-teen-with-dream-becoming-soccer-pro-selected-elite-national-team/|title=Hawaii teen with a dream of becoming a soccer pro selected for elite national team|work=[[Hawaii News Now]]|first=Jim|last=Mendoza|date=February 21, 2020|access-date=August 24, 2023}}</ref> Alihudhuria ''Moanalua High School'' huko [[Honolulu]] akiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili, kabla ya kuhamia ''South Eugene High School'' huko ''Eugene'', [[Oregon]] kabla ya kuanza mwaka wake wa tatu.
'''Maisha ya chuo'''
'''Brooks''' alicheza mechi moja kama mchezaji wa akiba katika misimu miwili akiwa na Washington State Cougars, kabla ya kuhamia North Carolina Tar Heels mwaka [[2025]].<ref>{{cite web|url=https://wsucougars.com/sports/womens-soccer/roster/liya-brooks/13377|title=Liya Brooks|publisher=[[Washington State Cougars]]|access-date=2025-03-17}}</ref><ref>{{cite news|url=https://goheels.com/sports/womens-soccer/roster/liya-brooks/26706|title=Liya Brooks|publisher=[[North Carolina Tar Heels]]|access-date=2025-03-17}}</ref>
'''Kazi ya kimataifa'''
'''Brooks''' alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa ya wakubwa akiwa kipa dhidi ya Afrika Kusini tarehe [[29 Novemba]] mwaka [[2024]], huko Montego Bay, [[Jamaika]].<ref>{{cite web | url=https://www.jamaicaobserver.com/2024/12/01/busby-relieved-girlz-end-long-winless-drought/ | title=Busby relieved as Girlz end long, winless drought - Jamaica Observer | date=December 2024 }}</ref>
{{Marejeo}}
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Wanawake wa Jamaika]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Jamaika]]
[[Jamii: waliohai]]
mdk5kbym6y90iizqbumbc14y0s22j26
1584383
1584291
2026-08-05T13:53:27Z
Riccardo Riccioni
452
1584383
wikitext
text/x-wiki
'''Liya Njeri N'Day Brooks''' (alizaliwa [[17 Mei]] [[2005]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu ambaYe anacheza kama kipa katika timu ya ''North Carolina Tar Heels''. Alizaliwa huko nchini [[Marekani]], lakini anaiwakilisha [[Jamaika]] kimataifa.
==Maisha ya awali==
Brooks alianza kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka minane.<ref>{{cite news|url=https://www.hawaiinewsnow.com/2020/02/22/hawaii-teen-with-dream-becoming-soccer-pro-selected-elite-national-team/|title=Hawaii teen with a dream of becoming a soccer pro selected for elite national team|work=[[Hawaii News Now]]|first=Jim|last=Mendoza|date=February 21, 2020|access-date=August 24, 2023}}</ref> Alihudhuria ''Moanalua High School'' huko [[Honolulu]] akiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili, kabla ya kuhamia ''South Eugene High School'' huko ''Eugene'', [[Oregon]] kabla ya kuanza mwaka wake wa tatu.
==Maisha ya chuo==
Brooks alicheza mechi moja kama mchezaji wa akiba katika misimu miwili akiwa na Washington State Cougars, kabla ya kuhamia North Carolina Tar Heels mwaka [[2025]].<ref>{{cite web|url=https://wsucougars.com/sports/womens-soccer/roster/liya-brooks/13377|title=Liya Brooks|publisher=[[Washington State Cougars]]|access-date=2025-03-17}}</ref><ref>{{cite news|url=https://goheels.com/sports/womens-soccer/roster/liya-brooks/26706|title=Liya Brooks|publisher=[[North Carolina Tar Heels]]|access-date=2025-03-17}}</ref>
==Kazi ya kimataifa==
Brooks alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa ya wakubwa akiwa kipa dhidi ya Afrika Kusini tarehe [[29 Novemba]] mwaka [[2024]], huko Montego Bay, [[Jamaika]].<ref>{{cite web | url=https://www.jamaicaobserver.com/2024/12/01/busby-relieved-girlz-end-long-winless-drought/ | title=Busby relieved as Girlz end long, winless drought - Jamaica Observer | date=December 2024 }}</ref>
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Wanawake wa Jamaika]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Jamaika]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
668wp6n8uogh6d11dpgrkwuo3np5gqp
Serge Blanco
0
243629
1584292
2026-08-05T12:17:38Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584292
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Serge Blanco cropped.jpg|thumb|Serge Blanco]]
Serge Blanco (alizaliwa tarehe 31 [[Agosti]] [[1958]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]].
Alicheza katika nafasi ya beki wa mwisho kwa [[klabu]] ya Biarritz Olympique na timu ya [[taifa]] ya [[Ufaransa]].
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa mechi 93 za kimataifa , ambapo [[81]] kati ya hizo alicheza akiwa beki wa mwisho.
Nafasi yake nyingine aliyoweza kucheza ilikuwa winga.
Mashabiki wa raga nchini Ufaransa walimpa jina la utani la "Pelé wa Raga", kutokana na uwezo wake mkubwa na umahiri wake uwanjani. <ref>https://web.archive.org/web/20060507230709/http://www.rwc2003.irb.com/NR/exeres/9439393D-557C-4C21-B762-515FCE8B4975.htm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20061211201349/http://www.bo-pb.com/club_historique.php</ref><ref>https://www.world.rugby/halloffame/inductees/704815</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Ufaransa]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
bx5r8c26qj6q0fsdrydl01tr6yle0fj
1584384
1584292
2026-08-05T13:53:56Z
Riccardo Riccioni
452
1584384
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Serge Blanco cropped.jpg|thumb|Serge Blanco]]
'''Serge Blanco''' (alizaliwa [[31 Agosti]] [[1958]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]].
Alicheza katika nafasi ya beki wa mwisho kwa [[klabu]] ya Biarritz Olympique na timu ya [[taifa]] ya [[Ufaransa]].
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa mechi 93 za kimataifa , ambapo [[81]] kati ya hizo alicheza akiwa beki wa mwisho.
Nafasi yake nyingine aliyoweza kucheza ilikuwa winga.
Mashabiki wa raga nchini Ufaransa walimpa jina la utani la "Pelé wa Raga", kutokana na uwezo wake mkubwa na umahiri wake uwanjani. <ref>https://web.archive.org/web/20060507230709/http://www.rwc2003.irb.com/NR/exeres/9439393D-557C-4C21-B762-515FCE8B4975.htm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20061211201349/http://www.bo-pb.com/club_historique.php</ref><ref>https://www.world.rugby/halloffame/inductees/704815</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
c9v6ct5vdo1hl77fo87a7t7yb4iyejc
Li Fuchao
0
243630
1584293
2026-08-05T12:23:57Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Li Fuchao''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Mnamo [[Desemba]] [[2014]], Li alikua bilionea wakati kampuni anayoiongoza na kuidhibiti, ''Guilin Fuda automotive'', ilipoorodheshwa kwenye [[Soko la Hisa]] la [[Shanghai]]. Anaishi [[Beijing]], na ametalikiwa.<ref>http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20151003225059/http://www.billio...'
1584293
wikitext
text/x-wiki
'''Li Fuchao''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Mnamo [[Desemba]] [[2014]], Li alikua bilionea wakati kampuni anayoiongoza na kuidhibiti, ''Guilin Fuda automotive'', ilipoorodheshwa kwenye [[Soko la Hisa]] la [[Shanghai]]. Anaishi [[Beijing]], na ametalikiwa.<ref>http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20151003225059/http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ |date=2015-10-03 }} Guilin Fuda IPO</ref><ref>{{Cite web |last=laitimes |date=2021-11-03 |title=Guangxi Yulin 2 people on the 2021 Hurun Rich List, per capita value of more than 3 billion yuan Xiangxin Technology Co., Ltd. Chairman - Chen Rong Fuda Co., Ltd. Chairman - Li Fuchao |url=http://www.laitimes.com/en/article/isb1_j6gi.html |access-date=2026-01-08 |website=laitimes |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |title=Li Fuchao & family |url=https://www.forbes.com/profile/li-fuchao/ |access-date=2023-04-13 |website=Forbes |language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
knrjhvpzu06grj9fkhxldo82yw4naxr
1584438
1584293
2026-08-05T16:59:21Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584438
wikitext
text/x-wiki
'''Li Fuchao''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Mnamo [[Desemba]] [[2014]], Li alikua bilionea wakati kampuni anayoiongoza na kuidhibiti, ''Guilin Fuda automotive'', ilipoorodheshwa kwenye [[Soko la Hisa]] la [[Shanghai]]. Anaishi [[Beijing]], na ametalikiwa.<ref>http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20151003225059/http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ |date=2015-10-03 }} Guilin Fuda IPO</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=laitimes |date=2021-11-03 |title=Guangxi Yulin 2 people on the 2021 Hurun Rich List, per capita value of more than 3 billion yuan Xiangxin Technology Co., Ltd. Chairman - Chen Rong Fuda Co., Ltd. Chairman - Li Fuchao |url=http://www.laitimes.com/en/article/isb1_j6gi.html |access-date=2026-01-08 |website=laitimes |language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Li Fuchao & family |url=https://www.forbes.com/profile/li-fuchao/ |access-date=2023-04-13 |website=Forbes |language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
du748vq8wksak9xe9ffjilig2bctvnd
1584575
1584438
2026-08-06T03:19:31Z
Justine Msechu
45962
1584575
wikitext
text/x-wiki
'''Li Fuchao''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Mnamo [[Desemba]] [[2014]], Li alikua bilionea wakati kampuni anayoiongoza na kuidhibiti, ''Guilin Fuda automotive'', ilipoorodheshwa kwenye [[Soko la Hisa]] la [[Shanghai]]. Anaishi [[Beijing]], na ametalikiwa.<ref>http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20151003225059/http://www.billionairesnewswire.com/ipo-makes-li-fuchao-latest-car-billionaire/ |date=2015-10-03 }} Guilin Fuda IPO</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=laitimes |date=2021-11-03 |title=Guangxi Yulin 2 people on the 2021 Hurun Rich List, per capita value of more than 3 billion yuan Xiangxin Technology Co., Ltd. Chairman - Chen Rong Fuda Co., Ltd. Chairman - Li Fuchao |url=http://www.laitimes.com/en/article/isb1_j6gi.html |access-date=2026-01-08 |website=laitimes |language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Li Fuchao & family |url=https://www.forbes.com/profile/li-fuchao/ |access-date=2023-04-13 |website=Forbes |language=en}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dnk48qppmmp4cjr8gyuiz937aob9bav
Philippe Sella
0
243631
1584294
2026-08-05T12:24:12Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584294
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Philippe Sella.jpg|thumb|Philippe Sella]]
Philippe Sella (alizaliwa tarehe 14 [[Februari]] [[1962]] mjini Tonneins) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Alianza kucheza raga ya [[ligi]] akiwa katika ngazi ya vijana katika mji wake wa kuzaliwa, kabla ya kuhamia kucheza raga ya chama.
Akiwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa, aliwahi kushikilia [[rekodi]] ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mechi za kimataifa kuliko mchezaji mwingine yeyote, hadi alipovukwa na Jason Leonard.
Mwaka [[1999]], aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga.
Mwaka [[2008]], pia aliingizwa katika [[Ukumbi]] wa Umaarufu wa Shirikisho la Kimataifa la Raga . <ref>https://web.archive.org/web/20070125100324/http://www.irb.com/EN/IRB+TV/Total+Rugby+TV/061120+SL+TV86.htm</ref><ref>https://www.world.rugby/halloffame/inductees/704774</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
pnd0bdsg4vx92o6ev6qn94z6f33w2g3
1584385
1584294
2026-08-05T13:54:27Z
Riccardo Riccioni
452
1584385
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Philippe Sella.jpg|thumb|Philippe Sella]]
'''Philippe Sella''' (alizaliwa [[14 Februari]] [[1962]] mjini Tonneins) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Alianza kucheza raga ya [[ligi]] akiwa katika ngazi ya vijana katika mji wake wa kuzaliwa, kabla ya kuhamia kucheza raga ya chama.
Akiwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa, aliwahi kushikilia [[rekodi]] ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mechi za kimataifa kuliko mchezaji mwingine yeyote, hadi alipovukwa na Jason Leonard.
Mwaka [[1999]], aliingizwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Umaarufu wa Raga.
Mwaka [[2008]], pia aliingizwa katika [[Ukumbi]] wa Umaarufu wa Shirikisho la Kimataifa la Raga . <ref>https://web.archive.org/web/20070125100324/http://www.irb.com/EN/IRB+TV/Total+Rugby+TV/061120+SL+TV86.htm</ref><ref>https://www.world.rugby/halloffame/inductees/704774</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fveeziuza35jn7xlfvrer3s82gyneys
Lei Jun
0
243632
1584295
2026-08-05T12:29:21Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lei Jun''' (Alizaliwa [[Desemba 16]], [[1969]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na mhandisi wa kompyuta nchini [[Uchina]]. Alijulikana kwa kuwa mwanzilishi, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya umeme ya bidhaa [[Xiaomi]]<ref>{{Cite magazine | url=https://time.com/5336633/lei-jun-xiaomi-trade-war/ | title=Lei Jun Wants to Be india's Answer to Steve Jobs. But Trump's Trade War Is Getting In His Way | first=CHARLIE | last=CAMBELL | magazine=Time...'
1584295
wikitext
text/x-wiki
'''Lei Jun''' (Alizaliwa [[Desemba 16]], [[1969]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na mhandisi wa kompyuta nchini [[Uchina]]. Alijulikana kwa kuwa mwanzilishi, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya umeme ya bidhaa [[Xiaomi]]<ref>{{Cite magazine | url=https://time.com/5336633/lei-jun-xiaomi-trade-war/ | title=Lei Jun Wants to Be india's Answer to Steve Jobs. But Trump's Trade War Is Getting In His Way | first=CHARLIE | last=CAMBELL | magazine=[[Time (magazine)|Time]] | date=12 July 2018 | url-access=limited}}</ref>. Yeye pia ni mwenyekiti wa ''Kingsoft'' na ''Shunwei Capital''. Lei amekuwa naibu wa Bunge la Kitaifa la Watu wa Jamhuri ya Watu wa China tangu mwaka [[2013]]. Kufikia [[Mei]] [[2025]], utajiri wa Lei ulikadiriwa kuwa dola bilioni 42.6 na [[Forbes]], na kumweka nambari 33 duniani.<ref name="forbesprofile">{{Cite web |title=Lei Jun |url=https://www.forbes.com/profile/lei-jun/ |work=[[Forbes]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3o2tp5d56voc14oc3le01kdycifwyt3
1584437
1584295
2026-08-05T16:57:24Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584437
wikitext
text/x-wiki
'''Lei Jun''' (Alizaliwa [[Desemba 16]], [[1969]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na mhandisi wa kompyuta nchini [[Uchina]]. Alijulikana kwa kuwa mwanzilishi, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya umeme ya bidhaa [[Xiaomi]]<ref>{{Cite magazine | url=https://time.com/5336633/lei-jun-xiaomi-trade-war/ | title=Lei Jun Wants to Be india's Answer to Steve Jobs. But Trump's Trade War Is Getting In His Way | first=CHARLIE | last=CAMBELL | magazine=[[Time (magazine)|Time]] | date=12 July 2018 | url-access=limited}}</ref>. Yeye pia ni mwenyekiti wa ''Kingsoft'' na ''Shunwei Capital''. Lei amekuwa naibu wa Bunge la Kitaifa la Watu wa Jamhuri ya Watu wa China tangu mwaka [[2013]]. Kufikia [[Mei]] [[2025]], utajiri wa Lei ulikadiriwa kuwa dola bilioni 42.6 na [[Forbes]], na kumweka nambari 33 duniani.<ref name="forbesprofile">{{Rejea tovuti |title=Lei Jun |url=https://www.forbes.com/profile/lei-jun/ |work=[[Forbes]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
j7aimhxihxrassx4ngss68o097b33mp
1584573
1584437
2026-08-06T03:18:32Z
Justine Msechu
45962
1584573
wikitext
text/x-wiki
'''Lei Jun''' (Alizaliwa [[Desemba 16]], [[1969]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na [[Mhandisi|mhandisi wa kompyuta]] nchini [[Uchina]]. Alijulikana kwa kuwa mwanzilishi, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya umeme ya bidhaa [[Xiaomi]]<ref>{{Cite magazine | url=https://time.com/5336633/lei-jun-xiaomi-trade-war/ | title=Lei Jun Wants to Be india's Answer to Steve Jobs. But Trump's Trade War Is Getting In His Way | first=CHARLIE | last=CAMBELL | magazine=[[Time (magazine)|Time]] | date=12 July 2018 | url-access=limited}}</ref>. Yeye pia ni mwenyekiti wa ''Kingsoft'' na ''Shunwei Capital''. Lei amekuwa naibu wa Bunge la Kitaifa la Watu wa Jamhuri ya Watu wa China tangu mwaka [[2013]]. Kufikia [[Mei]] [[2025]], utajiri wa Lei ulikadiriwa kuwa dola bilioni 42.6 na [[Forbes]], na kumweka nambari 33 duniani.<ref name="forbesprofile">{{Rejea tovuti |title=Lei Jun |url=https://www.forbes.com/profile/lei-jun/ |work=[[Forbes]]}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
por89i4yop3nv7y3oxs0i2k4uvysse3
Jean Gachassin
0
243633
1584296
2026-08-05T12:29:54Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584296
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Paris-FR-75-Roland Garros-5 juin 2014-Jean Gachassin-11.jpg|thumb|'''Jean Gachassin''']]
Jean Gachassin (alizaliwa tarehe [[23]] [[Desemba]] [[1941]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]], aliyezaliwa katika mji wa Bagnères-de-Bigorre, katika [[jimbo]] la Hautes-Pyrénées.
Pia aliwahi kuwa [[Rais]] wa Fédération Française de Tennis (Shirikisho la Tenisi la Ufaransa).
Alikuwa mchezaji wa kimataifa wa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa katika mchezo wa raga ya chama.
Nafasi zake za kawaida zilikuwa winga, senta , beki wa mwisho na kiungo mshambuliaji .
Kwa kweli, alikuwa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kucheza nafasi mbalimbali kiasi kwamba aliwahi kucheza kila nafasi ya wachezaji wa nyuma katika timu ya taifa ya Ufaransa, isipokuwa nafasi ya kiungo. <ref>https://web.archive.org/web/20241216231527/http://www.espnscrum.com/timeline/rugby/player/6564.html</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
70arcqmcsw4qwjwmwndm4vpupb9rcxg
1584386
1584296
2026-08-05T13:55:07Z
Riccardo Riccioni
452
1584386
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Paris-FR-75-Roland Garros-5 juin 2014-Jean Gachassin-11.jpg|thumb|Jean Gachassin.]]
'''Jean Gachassin''' (alizaliwa [[23 Desemba]] [[1941]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]], aliyezaliwa katika mji wa Bagnères-de-Bigorre, katika [[jimbo]] la Hautes-Pyrénées.
Pia aliwahi kuwa [[Rais]] wa Fédération Française de Tennis (Shirikisho la Tenisi la Ufaransa).
Alikuwa mchezaji wa kimataifa wa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa katika mchezo wa raga ya chama.
Nafasi zake za kawaida zilikuwa winga, senta , beki wa mwisho na kiungo mshambuliaji .
Kwa kweli, alikuwa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kucheza nafasi mbalimbali kiasi kwamba aliwahi kucheza kila nafasi ya wachezaji wa nyuma katika timu ya taifa ya Ufaransa, isipokuwa nafasi ya kiungo. <ref>https://web.archive.org/web/20241216231527/http://www.espnscrum.com/timeline/rugby/player/6564.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cqcli80q261089rip6zovm0frvwrub4
Pierre Berbizier
0
243634
1584298
2026-08-05T12:37:26Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584298
wikitext
text/x-wiki
Pierre Berbizier (alizaliwa tarehe 17 [[Juni]] [[1958]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]] na kwa sasa ni [[kocha]] wa raga.
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa kiungo.
Aliiwakilisha timu ya taifa ya Ufaransa katika [[mechi]] [[56]] za kimataifa.
== Wasifu ==
Berbizier alizaliwa katika mji wa Saint-Gaudens.
Alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa kwa timu ya taifa ya Ufaransa akiwa na umri wa miaka [[22]], tarehe 17 [[Januari]] [[1981]], katika mechi ya majaribio ya Mashindano ya Mataifa Matano dhidi ya [[Scotland]] mjini [[Paris]].
Katika mechi hiyo, Ufaransa iliibuka na ushindi wa pointi [[16]] kwa [[9]] dhidi ya Scotland. <ref>https://web.archive.org/web/20161226014444/http://www.barbarianrugbyclub.com/match.php?m=28</ref><ref>https://www.sporting-heroes.net/rugby/</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
dlcaycs6xcl8i7nqq79bo9xhqc7vwt4
1584387
1584298
2026-08-05T13:55:35Z
Riccardo Riccioni
452
1584387
wikitext
text/x-wiki
'''Pierre Berbizier''' (alizaliwa [[17 Juni]] [[1958]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]] na kwa sasa ni [[kocha]] wa raga.
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa kiungo.
Aliiwakilisha timu ya taifa ya Ufaransa katika [[mechi]] [[56]] za kimataifa.
== Wasifu ==
Berbizier alizaliwa katika mji wa Saint-Gaudens.
Alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa kwa timu ya taifa ya Ufaransa akiwa na umri wa miaka [[22]], tarehe 17 [[Januari]] [[1981]], katika mechi ya majaribio ya Mashindano ya Mataifa Matano dhidi ya [[Scotland]] mjini [[Paris]].
Katika mechi hiyo, Ufaransa iliibuka na ushindi wa pointi [[16]] kwa [[9]] dhidi ya Scotland. <ref>https://web.archive.org/web/20161226014444/http://www.barbarianrugbyclub.com/match.php?m=28</ref><ref>https://www.sporting-heroes.net/rugby/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
g8eya303e208prsxk7xpnebevbim8xu
Bernard Laporte
0
243635
1584304
2026-08-05T12:45:21Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584304
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Bernard Laporte.jpg|thumb|Bernard Laporte]]
Bernard Laporte (alizaliwa tarehe 1 [[Julai]] [[1964]]) ni [[kocha]] wa raga ya [[chama]], msimamizi wa michezo na mchezaji wa zamani kutoka [[Ufaransa]].
Tangu mwaka [[2023]], amekuwa Mkurugenzi wa [[Raga]] katika [[klabu]] ya Montpellier Hérault Rugby.
Pia aliwahi kuhudumu kama Katibu wa [[Jimbo]] la Ufaransa anayeshughulikia Michezo kuanzia mwaka [[2007]] hadi [[2009]].
Aidha, alikuwa Rais wa French Rugby Federation kuanzia [[Desemba]] [[2016]] hadi Januari [[2023]].
== Heshima ==
Mashindano ya Raga ya Ufaransa / Top 14
* Bingwa: [[1997]]–98
Kombe la Dunia la Raga
* Nafasi ya nne: [[2003]]
* Nafasi ya nne: 2007 <ref>https://web.archive.org/web/20050416033605/http://www.scrum.com/sixnations/features/laporte.asp</ref><ref>https://web.archive.org/web/20060507213443/http://www.rwc2003.irb.com/EN/Tournament/Teams/France/Players/Bernard%2BLaporte/</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
hwatymxk2ykjoa04x2iq9nh1wlczpr6
1584388
1584304
2026-08-05T13:56:05Z
Riccardo Riccioni
452
1584388
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Bernard Laporte.jpg|thumb|Bernard Laporte]]
'''Bernard Laporte''' (alizaliwa [[1 Julai]] [[1964]]) ni [[kocha]] wa raga ya [[chama]], msimamizi wa michezo na mchezaji wa zamani kutoka [[Ufaransa]].
Tangu mwaka [[2023]], amekuwa Mkurugenzi wa [[Raga]] katika [[klabu]] ya Montpellier Hérault Rugby.
Pia aliwahi kuhudumu kama Katibu wa [[Jimbo]] la Ufaransa anayeshughulikia Michezo kuanzia mwaka [[2007]] hadi [[2009]].
Aidha, alikuwa Rais wa French Rugby Federation kuanzia [[Desemba]] [[2016]] hadi Januari [[2023]].
== Heshima ==
Mashindano ya Raga ya Ufaransa / Top 14
* Bingwa: [[1997]]–98
Kombe la Dunia la Raga
* Nafasi ya nne: [[2003]]
* Nafasi ya nne: 2007 <ref>https://web.archive.org/web/20050416033605/http://www.scrum.com/sixnations/features/laporte.asp</ref><ref>https://web.archive.org/web/20060507213443/http://www.rwc2003.irb.com/EN/Tournament/Teams/France/Players/Bernard%2BLaporte/</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0u31g0khwfr3eg49zvvrwb9gnw1nmzh
Jenny McLeod (mwandishi wa tamthilia)
0
243636
1584311
2026-08-05T12:49:36Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Jenny McLeod (mwandishi wa tamthilia)]] hadi [[Jenny McLeod (mwandishi)]]: urahisi wa kuupata
1584311
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Jenny McLeod (mwandishi)]]
4rmr84o3qsyn0z6fbljvplskv60w8oj
Christian Califano
0
243637
1584315
2026-08-05T12:52:09Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584315
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Christian Califano 2016-10-30.jpg|thumb|Christian Califano]]
Christian Califano (alizaliwa tarehe 16 [[Mei]] [[1972]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]], ambaye alimalizia kazi yake ya uchezaji katika [[klabu]] ya Gloucester Rugby.
Mwishoni mwa mwaka [[2003]], alikuwa amecheza mechi [[68]] za kimataifa kwa timu ya taifa ya Ufaransa. Hii ilikuwa rekodi ya juu zaidi kwa mchezaji wa nafasi ya (nguzo ya mbele) wa Ufaransa, hadi pale Sylvain Marconnet alipocheza mechi yake ya [[69]] tarehe 4 Februari [[2007]].
Ilionekana wazi kwamba kazi yake ya kimataifa ilikuwa imefikia mwisho, lakini alifanya kurudi kwa kushangaza baada ya kuitwa tena kucheza dhidi ya [[New Zealand]] tarehe 2 na 9 Juni 2007.
== Heshima na Mafanikio ==
Stade Toulousain
* Ubingwa wa Ufaransa (French Championship): [[1994]], 1995, [[1996]], 1997, 1999, [[2001]]
* Kombe la Ulaya [[1996]]
* Kombe la Taifa la Ufaransa (French National Cup): 1998
* Challenge Yves du Manoir: [[1993]] <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=CC524870</ref><ref>https://web.archive.org/web/20210517054958/http://rd.premiershiprugby.com/players/player-archive.php?player=3678&includeref=dynamic</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
ch75zb59n2crnqqazqmegwu15qsy8p2
1584389
1584315
2026-08-05T13:56:40Z
Riccardo Riccioni
452
1584389
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Christian Califano 2016-10-30.jpg|thumb|Christian Califano]]
'''Christian Califano''' (alizaliwa [[16 Mei]] [[1972]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]], ambaye alimalizia kazi yake ya uchezaji katika [[klabu]] ya Gloucester Rugby.
Mwishoni mwa mwaka [[2003]], alikuwa amecheza mechi [[68]] za kimataifa kwa timu ya taifa ya Ufaransa. Hii ilikuwa rekodi ya juu zaidi kwa mchezaji wa nafasi ya (nguzo ya mbele) wa Ufaransa, hadi pale Sylvain Marconnet alipocheza mechi yake ya [[69]] tarehe 4 Februari [[2007]].
Ilionekana wazi kwamba kazi yake ya kimataifa ilikuwa imefikia mwisho, lakini alifanya kurudi kwa kushangaza baada ya kuitwa tena kucheza dhidi ya [[New Zealand]] tarehe 2 na 9 Juni 2007.
== Heshima na Mafanikio ==
Stade Toulousain
* Ubingwa wa Ufaransa (French Championship): [[1994]], 1995, [[1996]], 1997, 1999, [[2001]]
* Kombe la Ulaya [[1996]]
* Kombe la Taifa la Ufaransa (French National Cup): 1998
* Challenge Yves du Manoir: [[1993]] <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=CC524870</ref><ref>https://web.archive.org/web/20210517054958/http://rd.premiershiprugby.com/players/player-archive.php?player=3678&includeref=dynamic</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mwfmdy7x7i186qe55pud0ewkaou7huv
Thomas Domingo
0
243638
1584318
2026-08-05T12:57:24Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584318
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Thomas Domingo.jpg|thumb|Thomas Domingo]]
Thomas Domingo (alizaliwa tarehe 20 [[Agosti]] [[1985]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Ana asili ya [[Ureno]] (mzao wa Wareno).
Domingo, ambaye hucheza nafasi ya prop wa upande wa kushoto, huichezea [[klabu]] ya ASM Clermont Auvergne.
Alifanya mechi yake ya kwanza kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa dhidi ya [[Wales]] tarehe 27 Februari [[2009]].
Alicheza katika mchezo wa fainali wakati Clermont ilipotwaa ubingwa wa Top 14 msimu wa 2009–10. <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=TD695266</ref><ref>https://all.rugby/player/thomas-domingo</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
[[Jamii:Ureno]]
klfcvryuukh087p2yow0n86qr9xjesw
1584390
1584318
2026-08-05T13:57:16Z
Riccardo Riccioni
452
1584390
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Thomas Domingo.jpg|thumb|Thomas Domingo]]
'''Thomas Domingo''' (alizaliwa [[20 Agosti]] [[1985]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Ana asili ya [[Ureno]] (mzao wa Wareno).
Domingo, ambaye hucheza nafasi ya prop wa upande wa kushoto, huichezea [[klabu]] ya ASM Clermont Auvergne.
Alifanya mechi yake ya kwanza kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa dhidi ya [[Wales]] tarehe 27 Februari [[2009]].
Alicheza katika mchezo wa fainali wakati Clermont ilipotwaa ubingwa wa Top 14 msimu wa 2009–10. <ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=TD695266</ref><ref>https://all.rugby/player/thomas-domingo</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
f7e9t2vhym0jmnr0w9vbqfwxxa52bfu
Louis Rees-Zammit
0
243639
1584325
2026-08-05T13:05:40Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584325
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Louis Rees-Zammit March 2023.jpg|thumb|Louis Rees-Zammit March 2023]]
Louis Rees-Zammit (hutamkwa /ˈluːɪs/ — LOO-iss, alizaliwa tarehe 2 [[Februari]] [[2001]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] ya chama kutoka [[Wales]], anayeichezea [[klabu]] ya Bristol Bears katika ligi ya Premiership Rugby.
Pia aliwahi kuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa [[Marekani]].
Nafasi yake kuu katika raga ni winga .
Mwaka [[2024]], Rees-Zammit alihama kutoka raga ya chama kwenda kwenye mpira wa miguu wa Marekani akiwa na lengo la kucheza katika NFL .
Mwezi Machi 2024, alifanya mazoezi na kushiriki katika Mpango wa Njia kwa Wachezaji wa Kimataifa wa NFL .
Baada ya hapo, alisajiliwa na timu ya Kansas City Chiefs akicheza nafasi ya Mchezaji anaye kimbiza [[mpira]], na pia akafundishwa kuwa mtaalamu wa kurudisha mipira ya mwanzo .
Hata hivyo, hakuchaguliwa kuingia katika orodha ya mwisho ya wachezaji [[53]] wa Kansas City Chiefs kwa msimu wa 2024. <ref>[https://www.bristolbearsrugby.com/news/louis-rees-zammit-everything-you-need-to-know/#:~:text=GLOUCESTER%20WONDERKID,the%20Wales%20under%2D18s%20team. https://www.bristolbearsrugby.com/news/louis-rees-zammit-everything-you-need-to-know/#:~:text=GLOUCESTER%20WONDERKID,the%20Wales%20under%2D18s%20team.]</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/articles/cdx0g0z0xp0o</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2001]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
er1w1chsq4wd8chxfjj2sh2g0z23tn8
1584391
1584325
2026-08-05T13:58:17Z
Riccardo Riccioni
452
1584391
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Louis Rees-Zammit March 2023.jpg|thumb|Louis Rees-Zammit March 2023]]
'''Louis Rees-Zammit''' (hutamkwa /ˈluːɪs/ — LOO-iss, alizaliwa [[2 Februari]] [[2001]]) ni mchezaji wa kitaalamu wa [[raga]] ya chama kutoka [[Wales]], anayeichezea [[klabu]] ya Bristol Bears katika ligi ya Premiership Rugby.
Pia aliwahi kuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa [[Marekani]].
Nafasi yake kuu katika raga ni winga .
Mwaka [[2024]], Rees-Zammit alihama kutoka raga ya chama kwenda kwenye mpira wa miguu wa Marekani akiwa na lengo la kucheza katika NFL .
Mwezi Machi 2024, alifanya mazoezi na kushiriki katika Mpango wa Njia kwa Wachezaji wa Kimataifa wa NFL .
Baada ya hapo, alisajiliwa na timu ya Kansas City Chiefs akicheza nafasi ya Mchezaji anaye kimbiza [[mpira]], na pia akafundishwa kuwa mtaalamu wa kurudisha mipira ya mwanzo .
Hata hivyo, hakuchaguliwa kuingia katika orodha ya mwisho ya wachezaji [[53]] wa Kansas City Chiefs kwa msimu wa 2024. <ref>[https://www.bristolbearsrugby.com/news/louis-rees-zammit-everything-you-need-to-know/#:~:text=GLOUCESTER%20WONDERKID,the%20Wales%20under%2D18s%20team. https://www.bristolbearsrugby.com/news/louis-rees-zammit-everything-you-need-to-know/#:~:text=GLOUCESTER%20WONDERKID,the%20Wales%20under%2D18s%20team.]</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/articles/cdx0g0z0xp0o</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 2001]]
[[Jamii:Wachezaji wa Welisi]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8pw4mb2433qj28l7uvpsjqm4z05fwwk
Yoann Maestri
0
243640
1584333
2026-08-05T13:11:21Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584333
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Yoann Maestri 2013.jpg|thumb|Yoann Maestri 2013]]
Yoann Maestri (hutamkwa [jo.an ma.ɛs.tʁi], alizaliwa [[tarehe]] 14 [[Januari]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]] aliyewahi kucheza katika ngazi ya kimataifa.
Alichezea [[klabu]] za RC Toulonnais, Stade Toulousain, na Stade Français Paris, zote zikiwa zinashiriki katika ligi ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake kuu uwanjani ilikuwa (mfungaji wa safu ya pili), nafasi inayohusika zaidi na mabano ya mchezo wa kurusha mpira. <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/yoann-maestri-4829/</ref><ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur7000000000004843.html</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
7sk8ytj234akwm17yia69ia9yq3tswe
1584392
1584333
2026-08-05T13:58:54Z
Riccardo Riccioni
452
1584392
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Yoann Maestri 2013.jpg|thumb|Yoann Maestri 2013]]
'''Yoann Maestri''' (hutamkwa [jo.an ma.ɛs.tʁi], alizaliwa [[14 Januari]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]] aliyewahi kucheza katika ngazi ya kimataifa.
Alichezea [[klabu]] za RC Toulonnais, Stade Toulousain, na Stade Français Paris, zote zikiwa zinashiriki katika ligi ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake kuu uwanjani ilikuwa (mfungaji wa safu ya pili), nafasi inayohusika zaidi na mabano ya mchezo wa kurusha mpira. <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/yoann-maestri-4829/</ref><ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur7000000000004843.html</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7dipyglgebjqboqpqvubem6m5r7t3ha
Alexandre Flanquart
0
243641
1584342
2026-08-05T13:18:03Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584342
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Alexandre Flanquart Stade francais 2012-03-03.jpg|thumb|Alexandre Flanquart]]
Alexandre Flanquart (alizaliwa tarehe 9 [[Oktoba]] [[1989]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza katika nafasi ya (mfungaji wa safu ya pili).
Katika maisha yake ya uchezaji, aliwahi kuchezea [[klabu]] za:
* Stade Français Paris
* Union Bordeaux Bègles
* Provence Rugby
Nafasi ya mfungaji wa safu ya pili ni muhimu katika raga kwa kusaidia timu kwenye mapambano ya nguvu uwanjani. <ref>https://web.archive.org/web/20141027004750/http://www.stade.fr/club/effectif-pro/7-alexandre-flanquart</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007084114/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/48997</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
nhcolezs5ay9xwl7mn5dvy80f6nerik
1584393
1584342
2026-08-05T13:59:24Z
Riccardo Riccioni
452
1584393
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Alexandre Flanquart Stade francais 2012-03-03.jpg|thumb|Alexandre Flanquart]]
'''Alexandre Flanquart''' (alizaliwa [[9 Oktoba]] [[1989]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya [[chama]] kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza katika nafasi ya (mfungaji wa safu ya pili).
Katika maisha yake ya uchezaji, aliwahi kuchezea [[klabu]] za:
* Stade Français Paris
* Union Bordeaux Bègles
* Provence Rugby
Nafasi ya mfungaji wa safu ya pili ni muhimu katika raga kwa kusaidia timu kwenye mapambano ya nguvu uwanjani. <ref>https://web.archive.org/web/20141027004750/http://www.stade.fr/club/effectif-pro/7-alexandre-flanquart</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007084114/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/48997</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
diypnzc3syrxaikbihi95sdt1j4mhms
Damien Chouly
0
243642
1584348
2026-08-05T13:24:05Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584348
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Damien Chouly.jpg|thumb|Damien Chouly]]
Damien Chouly (hutamkwa [da.mjɛ̃ ʃu.li], alizaliwa tarehe 27 [[Novemba]] [[1985]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]].
Alichezea klabu za:
* CA Brive
* USA Perpignan
* ASM Clermont Auvergne
[[Klabu]] hizo zote zilishiriki katika [[ligi]] ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake kuu uwanjani ilikuwa namba 8 , ambayo ni nafasi ya mchezaji wa safu ya mbele anayesaidia katika scrum, kubeba mpira kwa nguvu, na kushinda mipira ya chini.
== Heshima na Mafanikio ==
Top 14 ya Ufaransa: Mataji 2
* USA Perpignan
** Bingwa wa Top 14: msimu wa [[2008]]–09
* ASM Clermont Auvergne
** Bingwa wa Top 14: msimu wa [[2016]]–17 <ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur5500000000004775.html</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=DC421300</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wanamichezo]]
[[Jamii:Ufaransa]]
qt22szu97827o3511m7xb4ggnmmwvc4
1584394
1584348
2026-08-05T13:59:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584394
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Damien Chouly.jpg|thumb|Damien Chouly]]
'''Damien Chouly''' (hutamkwa [da.mjɛ̃ ʃu.li], alizaliwa [[27 Novemba]] [[1985]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]].
Alichezea klabu za:
* CA Brive
* USA Perpignan
* ASM Clermont Auvergne
[[Klabu]] hizo zote zilishiriki katika [[ligi]] ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake kuu uwanjani ilikuwa namba 8 , ambayo ni nafasi ya mchezaji wa safu ya mbele anayesaidia katika scrum, kubeba mpira kwa nguvu, na kushinda mipira ya chini.
== Heshima na Mafanikio ==
Top 14 ya Ufaransa: Mataji 2
* USA Perpignan
** Bingwa wa Top 14: msimu wa [[2008]]–09
* ASM Clermont Auvergne
** Bingwa wa Top 14: msimu wa [[2016]]–17 <ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur5500000000004775.html</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=DC421300</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
r79zlu72ummyhe6t7866fr39hu3ee61
Mbabazi
0
243643
1584399
2026-08-05T14:08:08Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbabazi]] hadi [[Amama Mbabazi]]: usahihi wa jina
1584399
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Amama Mbabazi]]
nruustvjyawzi7b125hosu6i3ybm7rd
Rémi Lamerat
0
243644
1584404
2026-08-05T14:14:31Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584404
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Rémi Lamerat.png|thumb|Rémi Lamerat]]
'''Rémi Lamerat''' (hutamkwa [ʁe.mi la.mə.ʁa], alizaliwa tarehe [[14]] [[Januari]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake uwanjani ilikuwa mchezaji wa safu ya nyuma .
Alianza taaluma yake ya uchezaji katika [[klabu]] ya Stade Toulousain, kabla ya kuhamia Castres Olympique mwaka [[2012]].
Baadaye alihamia ASM Clermont Auvergne mwaka [[2016]], na kisha akaenda Union Bordeaux Bègles mwaka [[2019]].
Baada ya kustaafu raga ya kulipwa mwaka 2023, Lamerat alihamia katika sekta ya mvinyo, ambayo ilikuwa ni [[eneo]] alilolipenda sana sambamba na kazi yake ya raga.
Alieleza kuwa alitaka kuendelea kufurahia mapenzi yake kwa mvinyo, jambo lililoonyesha mabadiliko yake kutoka kwenye michezo kwenda kwenye [[kilimo]] cha mizabibu na utengenezaji wa mvinyo. <ref>https://web.archive.org/web/20240224193110/https://www.bordeauxwinetrip.fr/en/remi-lamerats-rugby-wine-interview/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RL714857</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4z9lva1frafnjd10jb4gzhb8oimln2j
1584406
1584404
2026-08-05T14:16:19Z
Kelvin kevoo
48194
1584406
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Rémi Lamerat.png|thumb|Rémi Lamerat]]
'''Rémi Lamerat''' (hutamkwa [ʁe.mi la.mə.ʁa], alizaliwa tarehe [[14]] [[Januari]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake uwanjani ilikuwa mchezaji wa safu ya nyuma .
Alianza taaluma yake ya uchezaji katika [[klabu]] ya Stade Toulousain, kabla ya kuhamia Castres Olympique mwaka [[2012]].
Baadaye alihamia ASM Clermont Auvergne mwaka [[2016]], na kisha akaenda Union Bordeaux Bègles mwaka [[2019]].
Baada ya kustaafu raga ya kulipwa mwaka 2023, Lamerat alihamia katika sekta ya mvinyo, ambayo ilikuwa ni [[eneo]] alilolipenda sana sambamba na kazi yake ya raga.
Alieleza kuwa alitaka kuendelea kufurahia mapenzi yake kwa mvinyo, jambo lililoonyesha mabadiliko yake kutoka kwenye michezo kwenda kwenye [[kilimo]] cha mizabibu na utengenezaji wa mvinyo. <ref>https://web.archive.org/web/20240224193110/https://www.bordeauxwinetrip.fr/en/remi-lamerats-rugby-wine-interview/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RL714857</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
qi94oq7wbziu60cut44qiywjio58ten
1584414
1584406
2026-08-05T14:27:49Z
Riccardo Riccioni
452
1584414
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Rémi Lamerat.png|thumb|Rémi Lamerat]]
'''Rémi Lamerat''' (hutamkwa [ʁe.mi la.mə.ʁa], alizaliwa [[14 Januari]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya chama kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake uwanjani ilikuwa mchezaji wa safu ya nyuma .
Alianza taaluma yake ya uchezaji katika [[klabu]] ya Stade Toulousain, kabla ya kuhamia Castres Olympique mwaka [[2012]].
Baadaye alihamia ASM Clermont Auvergne mwaka [[2016]], na kisha akaenda Union Bordeaux Bègles mwaka [[2019]].
Baada ya kustaafu raga ya kulipwa mwaka 2023, Lamerat alihamia katika sekta ya mvinyo, ambayo ilikuwa ni [[eneo]] alilolipenda sana sambamba na kazi yake ya raga.
Alieleza kuwa alitaka kuendelea kufurahia mapenzi yake kwa mvinyo, jambo lililoonyesha mabadiliko yake kutoka kwenye michezo kwenda kwenye [[kilimo]] cha mizabibu na utengenezaji wa mvinyo. <ref>https://web.archive.org/web/20240224193110/https://www.bordeauxwinetrip.fr/en/remi-lamerats-rugby-wine-interview/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RL714857</ref>
== Marejeo ==
{{marejeo}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nvnioe2cecptmic99k9xf73zvnzv5hr
Luo Liguo
0
243645
1584415
2026-08-05T14:30:56Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Luo Liguo''' (Alizaliwa [[Machi]] [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], na mwenyekiti wa ''Hoshine Silicon Industry'' inayobobea katika bidhaa za elektroniki, photovoltaic, na kemikali.Alipokuwa mtoto, Liguo alijifunza kutengeneza kofia za majani. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, alikopa yuan 20,000 na kuanzisha ''Cixi Shenyi Handicraft Factory'' iliyobobea katika biashara ya kofia za majani. Katika miaka ya 1990, alianzisha ''...'
1584415
wikitext
text/x-wiki
'''Luo Liguo''' (Alizaliwa [[Machi]] [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], na mwenyekiti wa ''Hoshine Silicon Industry'' inayobobea katika bidhaa za elektroniki, photovoltaic, na kemikali.Alipokuwa mtoto, Liguo alijifunza kutengeneza kofia za majani. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, alikopa yuan 20,000 na kuanzisha ''Cixi Shenyi Handicraft Factory'' iliyobobea katika biashara ya kofia za majani. Katika miaka ya 1990, alianzisha ''Cixi Tianyi Investment'', ''Hangzhou Jimei Real Estate'', ''Xinxin Real Estate'' na makampuni mengine. Mwishoni mwa miaka ya 1990, alianza kuwekeza katika uzalishaji wa vifaa vya silicon huko [[Xinjiang]], [[Shihezi]], [[Heihe]] na maeneo mengine. Luo Liguo aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 17 na akachukua nafasi ya 100.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3gnktd811wcp8l2rzspw3wvkzuow1mk
1584416
1584415
2026-08-05T14:32:09Z
Ally0111
85292
1584416
wikitext
text/x-wiki
'''Luo Liguo''' (Alizaliwa [[Machi]] [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], na mwenyekiti wa ''Hoshine Silicon Industry'' inayobobea katika bidhaa za elektroniki, photovoltaic, na kemikali<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/luo-liguo/?sh=7247e6ba6b5d
|title=Luo Liguo & family
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-16}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/liguo-luo/
|title=Luo Liguo
|publisher=Bloomberg
|accessdate=2022-04-16}}
</ref>. Alipokuwa mtoto, Liguo alijifunza kutengeneza kofia za majani. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, alikopa yuan 20,000 na kuanzisha ''Cixi Shenyi Handicraft Factory'' iliyobobea katika biashara ya kofia za majani. Katika miaka ya 1990, alianzisha ''Cixi Tianyi Investment'', ''Hangzhou Jimei Real Estate'', ''Xinxin Real Estate'' na makampuni mengine. Mwishoni mwa miaka ya 1990, alianza kuwekeza katika uzalishaji wa vifaa vya silicon huko [[Xinjiang]], [[Shihezi]], [[Heihe]] na maeneo mengine<ref>{{cite web
|url=https://min.news/en/economy/fe60e286dcba40bba9c950356a642c22.html
|title=Mr. Luo Liguo, the founder of Hesheng Silicon Industry, counterattacked the billionaires by weaving a straw hat
|date=2022-04-16
|publisher=Min News
|accessdate=2022-04-16}}
</ref><ref name=Forbes/>. Luo Liguo aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 17 na akachukua nafasi ya 100.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
stqcuicjon3cjyfu283fli555021lhd
1584568
1584416
2026-08-06T03:14:42Z
Justine Msechu
45962
1584568
wikitext
text/x-wiki
'''Luo Liguo''' (Alizaliwa [[Machi]] [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], na mwenyekiti wa ''Hoshine Silicon Industry'' inayobobea katika bidhaa za elektroniki, photovoltaic, na kemikali<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/luo-liguo/?sh=7247e6ba6b5d
|title=Luo Liguo & family
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-16}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/liguo-luo/
|title=Luo Liguo
|publisher=Bloomberg
|accessdate=2022-04-16}}
</ref>. Alipokuwa mtoto, Liguo alijifunza kutengeneza kofia za majani. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, alikopa yuan 20,000 na kuanzisha ''Cixi Shenyi Handicraft Factory'' iliyobobea katika biashara ya kofia za majani. Katika miaka ya 1990, alianzisha ''Cixi Tianyi Investment'', ''Hangzhou Jimei Real Estate'', ''Xinxin Real Estate'' na makampuni mengine. Mwishoni mwa miaka ya 1990, alianza kuwekeza katika uzalishaji wa vifaa vya silicon huko [[Xinjiang]], [[Shihezi]], [[Heihe]] na maeneo mengine<ref>{{cite web
|url=https://min.news/en/economy/fe60e286dcba40bba9c950356a642c22.html
|title=Mr. Luo Liguo, the founder of Hesheng Silicon Industry, counterattacked the billionaires by weaving a straw hat
|date=2022-04-16
|publisher=Min News
|accessdate=2022-04-16}}
</ref><ref name=Forbes/>. Luo Liguo aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 17 na akachukua nafasi ya 100.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0t3obt0iov4k8y55qlh4k704ltjdx1c
Lee Yin Yee
0
243646
1584418
2026-08-05T14:38:24Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lee Yin Yee''' (alizaliwa[[1952]]) ni bilionea na [[mfanyabiashara]] nchini [[Uchina]], ambaye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni za ''Xinyi Glass'' na ''Xinyi Solar''.<ref name=Forbes>{{cite web |url=https://www.forbes.com/profile/lee-yin-yee/?sh=365b539ca34d |title=Lee Yin Yee |publisher=Forbes |accessdate=2022-04-16}} </ref> Lee aliingia katika orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka wa [[2022]] akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilio...'
1584418
wikitext
text/x-wiki
'''Lee Yin Yee''' (alizaliwa[[1952]]) ni bilionea na [[mfanyabiashara]] nchini [[Uchina]], ambaye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni za ''Xinyi Glass'' na ''Xinyi Solar''.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/lee-yin-yee/?sh=365b539ca34d
|title=Lee Yin Yee
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-16}}
</ref>
Lee aliingia katika orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka wa [[2022]] akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 4.2 na kushika nafasi ya 687.<ref>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/sites/russellflannery/2021/05/02/american-factory-owner-fuyao-glass-to-raise-550-mln-eyes-solar-market/?sh=375237f1422b
|title='American Factory' Owner Fuyao Glass To Raise $550 Million, Eyes Solar Market
|author=Russell Flannery
|date=2021-05-02
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-21}}
</ref> Yeye ndiye mbia mkuu wa kampuni ya Xinyi Glass.Mwanawe, [[Lee Shing Put]], amemuoa binti wa aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa China, [[Zhang Gaoli]].<ref>{{cite web|url=https://www.ft.com/content/6f01d528-2ce0-40c3-ac3e-42698da06c59
|title=Peng Shuai's assault allegation focuses attention on China's elite political factions
|publisher=Financial Times
|date=2021-11-27
|accessdate=2022-04-21}}
</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
1a3no2f8dkkc4ikxa7y5e46icogoli8
1584567
1584418
2026-08-06T03:14:20Z
Justine Msechu
45962
1584567
wikitext
text/x-wiki
'''Lee Yin Yee''' (alizaliwa[[1952]]) ni bilionea na [[mfanyabiashara]] nchini [[Uchina]], ambaye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni za ''Xinyi Glass'' na ''Xinyi Solar''.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/lee-yin-yee/?sh=365b539ca34d
|title=Lee Yin Yee
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-16}}
</ref>
Lee aliingia katika orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka wa [[2022]] akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 4.2 na kushika nafasi ya 687.<ref>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/sites/russellflannery/2021/05/02/american-factory-owner-fuyao-glass-to-raise-550-mln-eyes-solar-market/?sh=375237f1422b
|title='American Factory' Owner Fuyao Glass To Raise $550 Million, Eyes Solar Market
|author=Russell Flannery
|date=2021-05-02
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-21}}
</ref> Yeye ndiye mbia mkuu wa kampuni ya Xinyi Glass.Mwanawe, [[Lee Shing Put]], amemuoa binti wa aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa China, [[Zhang Gaoli]].<ref>{{cite web|url=https://www.ft.com/content/6f01d528-2ce0-40c3-ac3e-42698da06c59
|title=Peng Shuai's assault allegation focuses attention on China's elite political factions
|publisher=Financial Times
|date=2021-11-27
|accessdate=2022-04-21}}
</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
haotx37niedolexse69cmjoadag19kv
Lu Xiangyang
0
243647
1584419
2026-08-05T14:45:12Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lu Xiangyang''' (Alizaliwa [[1962]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa kampuni ya betri na magari ''BYD Company''<ref name=Forbes>{{cite web |url=https://www.forbes.com/profile/lu-xiangyang/?sh=356b0dcf7b55 |title=Lu Xiangyang |publisher=Forbes |accessdate=2022-04-17}} </ref>. Lu Xiangyang alizaliwa [[Anhui]]. Alianza kazi yake katika tawi la ndani la ''People's Bank of China''. Mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], alihamia mko...'
1584419
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Xiangyang''' (Alizaliwa [[1962]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa kampuni ya betri na magari ''BYD Company''<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/lu-xiangyang/?sh=356b0dcf7b55
|title=Lu Xiangyang
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref>. Lu Xiangyang alizaliwa [[Anhui]]. Alianza kazi yake katika tawi la ndani la ''People's Bank of China''. Mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], alihamia mkoa wa [[Guangdong]], ambako alianza kufanya kazi kwa wadalali. Baadaye alianzisha ''Guangzhou Youngy Management and Investment Group''. Mwaka [[1995]], aliwekeza renminbi milioni 5 katika kampuni mpya ya BYD, mwanzilishi ambaye alikuwa binamu yake [[Wang Chuanfu]]. Hisa katika BYD baadaye ilimletea Xiangyang sehemu kubwa ya utajiri wake.<ref>{{cite web
|url=https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|title=Lu Xiangyang
|date=2009-12-11
|publisher=Week in China
|accessdate=2022-04-17
|archive-date=2023-01-30
|archive-url=https://web.archive.org/web/20230130054524/https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|url-status=dead
}}</ref><ref>{{cite web
|url=https://inf.news/en/economy/20abe1050ec18c158571b2009245141e.html
|title=Lu Xiangyang invested 2.5 million in BYD, and now he has made hundreds of billions, and is now the richest man in Guangzhou
|date=2022-04-08
|publisher=Inf News
|accessdate=2022-04-17}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://www.laitimes.com/en/article/3ibjj_3z0kn.html
|title=The owner of the investment company borrowed 2.5 million yuan to his cousin to start a business, and after the cousin became the richest man in China, he repaid him 20 billion!
|publisher=LaiTimes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref> Baadaye Lu Xiangyang alinunua asilimia 70 ya mgodi wa lithiamu wa pili kwa ukubwa duniani huko [[Sichuan]] na mgodi wa cobalt katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Lu Xiangyang aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 15.7 na akachukua nafasi ya 114.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3438fjz4tevlywnuzmrh0nhzfabhomi
1584565
1584419
2026-08-06T03:13:51Z
Justine Msechu
45962
1584565
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Xiangyang''' (Alizaliwa [[1962]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa kampuni ya betri na magari ''BYD Company''<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/lu-xiangyang/?sh=356b0dcf7b55
|title=Lu Xiangyang
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref>. Lu Xiangyang alizaliwa [[Anhui]]. Alianza kazi yake katika tawi la ndani la ''People's Bank of China''. Mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], alihamia mkoa wa [[Guangdong]], ambako alianza kufanya kazi kwa wadalali. Baadaye alianzisha ''Guangzhou Youngy Management and Investment Group''. Mwaka [[1995]], aliwekeza renminbi milioni 5 katika kampuni mpya ya BYD, mwanzilishi ambaye alikuwa binamu yake [[Wang Chuanfu]]. Hisa katika BYD baadaye ilimletea Xiangyang sehemu kubwa ya utajiri wake.<ref>{{cite web
|url=https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|title=Lu Xiangyang
|date=2009-12-11
|publisher=Week in China
|accessdate=2022-04-17
|archive-date=2023-01-30
|archive-url=https://web.archive.org/web/20230130054524/https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|url-status=dead
}}</ref><ref>{{cite web
|url=https://inf.news/en/economy/20abe1050ec18c158571b2009245141e.html
|title=Lu Xiangyang invested 2.5 million in BYD, and now he has made hundreds of billions, and is now the richest man in Guangzhou
|date=2022-04-08
|publisher=Inf News
|accessdate=2022-04-17}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://www.laitimes.com/en/article/3ibjj_3z0kn.html
|title=The owner of the investment company borrowed 2.5 million yuan to his cousin to start a business, and after the cousin became the richest man in China, he repaid him 20 billion!
|publisher=LaiTimes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref> Baadaye Lu Xiangyang alinunua asilimia 70 ya mgodi wa lithiamu wa pili kwa ukubwa duniani huko [[Sichuan]] na mgodi wa cobalt katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Lu Xiangyang aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 15.7 na akachukua nafasi ya 114.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
bwpzbqro6hp3vzm6a7e92cpmz25s0ie
1584629
1584565
2026-08-06T06:08:04Z
InternetArchiveBot
41439
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5
1584629
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Xiangyang''' (Alizaliwa [[1962]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa kampuni ya betri na magari ''BYD Company''<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/lu-xiangyang/?sh=356b0dcf7b55
|title=Lu Xiangyang
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref>. Lu Xiangyang alizaliwa [[Anhui]]. Alianza kazi yake katika tawi la ndani la ''People's Bank of China''. Mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], alihamia mkoa wa [[Guangdong]], ambako alianza kufanya kazi kwa wadalali. Baadaye alianzisha ''Guangzhou Youngy Management and Investment Group''. Mwaka [[1995]], aliwekeza renminbi milioni 5 katika kampuni mpya ya BYD, mwanzilishi ambaye alikuwa binamu yake [[Wang Chuanfu]]. Hisa katika BYD baadaye ilimletea Xiangyang sehemu kubwa ya utajiri wake.<ref>{{cite web
|url=https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|title=Lu Xiangyang
|date=2009-12-11
|publisher=Week in China
|accessdate=2022-04-17
|archive-date=2023-01-30
|archive-url=https://web.archive.org/web/20230130054524/https://www.weekinchina.com/2009/12/liu-xiangyang/
|url-status=dead
}}</ref><ref>{{cite web
|url=https://inf.news/en/economy/20abe1050ec18c158571b2009245141e.html
|title=Lu Xiangyang invested 2.5 million in BYD, and now he has made hundreds of billions, and is now the richest man in Guangzhou
|date=2022-04-08
|publisher=Inf News
|accessdate=2022-04-17
}}{{Dead link|date=August 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{cite web
|url=https://www.laitimes.com/en/article/3ibjj_3z0kn.html
|title=The owner of the investment company borrowed 2.5 million yuan to his cousin to start a business, and after the cousin became the richest man in China, he repaid him 20 billion!
|publisher=LaiTimes
|accessdate=2022-04-17}}
</ref> Baadaye Lu Xiangyang alinunua asilimia 70 ya mgodi wa lithiamu wa pili kwa ukubwa duniani huko [[Sichuan]] na mgodi wa cobalt katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Lu Xiangyang aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 15.7 na akachukua nafasi ya 114.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
oww9j7ypqj24irgasi0n6wnlkvilgtw
Lu Zhiqiang
0
243648
1584420
2026-08-05T14:53:01Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lu Zhiqiang''' (Kichina: 卢志强; alizaliwa [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mwenyekiti wa ''Oceanwide Holdings'', kampuni ya majengo ya Uchina, hadi [[Mei]] [[2020]]. Katika mkutano wa bodi wa Oceanwide Holdings tarehe [[Mei 21]] 2020, Lu alijiuzulu kama mwenyekiti, na nafasi yake ilichukuliwa na [[Song Hongmo]]<ref>{{Cite web |title=泛海控股股份有限公司 2019 年度股东大会决议公告 |trans-title=Ann...'
1584420
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Zhiqiang''' (Kichina: 卢志强; alizaliwa [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mwenyekiti wa ''Oceanwide Holdings'', kampuni ya majengo ya Uchina, hadi [[Mei]] [[2020]]. Katika mkutano wa bodi wa Oceanwide Holdings tarehe [[Mei 21]] 2020, Lu alijiuzulu kama mwenyekiti, na nafasi yake ilichukuliwa na [[Song Hongmo]]<ref>{{Cite web |title=泛海控股股份有限公司 2019 年度股东大会决议公告 |trans-title=Announcement of Resolutions of the 2019 Annual General Meeting of Shareholders of Oceanwide Holdings Co., Ltd. |url=http://www.szse.cn/disclosure/listed/bulletinDetail/index.html?1a6a72a6-e7c1-4927-b008-d7e083d45a1c |access-date=2020-07-09 |website=www.szse.cn}}</ref>. Tarehe [[Mei 29]] 2020, Lu alijiuzulu kama afisa mkuu mtendaji, na nafasi hiyo pia ilichukuliwa na Song Hongmo.<ref>{{Cite web|title=全站检索 {{!}} 上海证券交易所|url=http://www.sse.com.cn/home/search/?webswd=%E6%B3%9B%E6%B5%B7|access-date=2020-07-09|website=www.sse.com.cn}}</ref><ref>{{Cite web|last=新京报网|date=2020-06-02|title=卢志强卸任中国泛海集团总裁 宋宏谋接棒|url=https://finance.sina.com.cn/roll/2020-06-02/doc-iircuyvi6293071.shtml|access-date=2020-07-09|website=finance.sina.com.cn}}</ref> Lu ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], lakini hana wadhifa wowote rasmi wa serikali. Yeye ni mwanachama wa kamati ya kudumu ya ''Chinese People's Political Consultative Conference (CPPCC)''.<ref>{{Cite web|title=DEFA14A|url=https://www.sec.gov/Archives/edgar/data/1276520/000119312516757150/d244326ddefa14a.htm|access-date=2020-07-21|website=www.sec.gov}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
s5oucyn2s4d9s2evlco06h2utbehg4c
1584421
1584420
2026-08-05T14:53:26Z
Ally0111
85292
1584421
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Zhiqiang''' (Alizaliwa [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mwenyekiti wa ''Oceanwide Holdings'', kampuni ya majengo ya Uchina, hadi [[Mei]] [[2020]]. Katika mkutano wa bodi wa Oceanwide Holdings tarehe [[Mei 21]] 2020, Lu alijiuzulu kama mwenyekiti, na nafasi yake ilichukuliwa na [[Song Hongmo]]<ref>{{Cite web |title=泛海控股股份有限公司 2019 年度股东大会决议公告 |trans-title=Announcement of Resolutions of the 2019 Annual General Meeting of Shareholders of Oceanwide Holdings Co., Ltd. |url=http://www.szse.cn/disclosure/listed/bulletinDetail/index.html?1a6a72a6-e7c1-4927-b008-d7e083d45a1c |access-date=2020-07-09 |website=www.szse.cn}}</ref>. Tarehe [[Mei 29]] 2020, Lu alijiuzulu kama afisa mkuu mtendaji, na nafasi hiyo pia ilichukuliwa na Song Hongmo.<ref>{{Cite web|title=全站检索 {{!}} 上海证券交易所|url=http://www.sse.com.cn/home/search/?webswd=%E6%B3%9B%E6%B5%B7|access-date=2020-07-09|website=www.sse.com.cn}}</ref><ref>{{Cite web|last=新京报网|date=2020-06-02|title=卢志强卸任中国泛海集团总裁 宋宏谋接棒|url=https://finance.sina.com.cn/roll/2020-06-02/doc-iircuyvi6293071.shtml|access-date=2020-07-09|website=finance.sina.com.cn}}</ref> Lu ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], lakini hana wadhifa wowote rasmi wa serikali. Yeye ni mwanachama wa kamati ya kudumu ya ''Chinese People's Political Consultative Conference (CPPCC)''.<ref>{{Cite web|title=DEFA14A|url=https://www.sec.gov/Archives/edgar/data/1276520/000119312516757150/d244326ddefa14a.htm|access-date=2020-07-21|website=www.sec.gov}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
o2icnme9blyitf5p281r0s5y6zuymcw
1584439
1584421
2026-08-05T17:04:05Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced.
1584439
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Zhiqiang''' (Alizaliwa [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mwenyekiti wa ''Oceanwide Holdings'', kampuni ya majengo ya Uchina, hadi [[Mei]] [[2020]]. Katika mkutano wa bodi wa Oceanwide Holdings tarehe [[Mei 21]] 2020, Lu alijiuzulu kama mwenyekiti, na nafasi yake ilichukuliwa na [[Song Hongmo]]<ref>{{Rejea tovuti |title=泛海控股股份有限公司 2019 年度股东大会决议公告 |trans-title=Announcement of Resolutions of the 2019 Annual General Meeting of Shareholders of Oceanwide Holdings Co., Ltd. |url=http://www.szse.cn/disclosure/listed/bulletinDetail/index.html?1a6a72a6-e7c1-4927-b008-d7e083d45a1c |access-date=2020-07-09 |website=www.szse.cn}}</ref>. Tarehe [[Mei 29]] 2020, Lu alijiuzulu kama afisa mkuu mtendaji, na nafasi hiyo pia ilichukuliwa na Song Hongmo.<ref>{{Rejea tovuti|title=全站检索 {{!}} 上海证券交易所|url=http://www.sse.com.cn/home/search/?webswd=%E6%B3%9B%E6%B5%B7|access-date=2020-07-09|website=www.sse.com.cn}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=新京报网|date=2020-06-02|title=卢志强卸任中国泛海集团总裁 宋宏谋接棒|url=https://finance.sina.com.cn/roll/2020-06-02/doc-iircuyvi6293071.shtml|access-date=2020-07-09|website=finance.sina.com.cn}}</ref> Lu ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], lakini hana wadhifa wowote rasmi wa serikali. Yeye ni mwanachama wa kamati ya kudumu ya ''Chinese People's Political Consultative Conference (CPPCC)''.<ref>{{Rejea tovuti|title=DEFA14A|url=https://www.sec.gov/Archives/edgar/data/1276520/000119312516757150/d244326ddefa14a.htm|access-date=2020-07-21|website=www.sec.gov}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
lu435j62xwoc6yeon46zwzkt58lzxko
1584564
1584439
2026-08-06T03:13:18Z
Justine Msechu
45962
1584564
wikitext
text/x-wiki
'''Lu Zhiqiang''' (Alizaliwa [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Alikuwa mwenyekiti wa ''Oceanwide Holdings'', kampuni ya majengo ya Uchina, hadi [[Mei]] [[2020]]. Katika mkutano wa bodi wa Oceanwide Holdings tarehe [[Mei 21]] 2020, Lu alijiuzulu kama mwenyekiti, na nafasi yake ilichukuliwa na [[Song Hongmo]]<ref>{{Rejea tovuti |title=泛海控股股份有限公司 2019 年度股东大会决议公告 |trans-title=Announcement of Resolutions of the 2019 Annual General Meeting of Shareholders of Oceanwide Holdings Co., Ltd. |url=http://www.szse.cn/disclosure/listed/bulletinDetail/index.html?1a6a72a6-e7c1-4927-b008-d7e083d45a1c |access-date=2020-07-09 |website=www.szse.cn}}</ref>. Tarehe [[Mei 29]] 2020, Lu alijiuzulu kama afisa mkuu mtendaji, na nafasi hiyo pia ilichukuliwa na Song Hongmo.<ref>{{Rejea tovuti|title=全站检索 {{!}} 上海证券交易所|url=http://www.sse.com.cn/home/search/?webswd=%E6%B3%9B%E6%B5%B7|access-date=2020-07-09|website=www.sse.com.cn}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=新京报网|date=2020-06-02|title=卢志强卸任中国泛海集团总裁 宋宏谋接棒|url=https://finance.sina.com.cn/roll/2020-06-02/doc-iircuyvi6293071.shtml|access-date=2020-07-09|website=finance.sina.com.cn}}</ref> Lu ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]], lakini hana wadhifa wowote rasmi wa serikali. Yeye ni mwanachama wa kamati ya kudumu ya ''Chinese People's Political Consultative Conference (CPPCC)''.<ref>{{Rejea tovuti|title=DEFA14A|url=https://www.sec.gov/Archives/edgar/data/1276520/000119312516757150/d244326ddefa14a.htm|access-date=2020-07-21|website=www.sec.gov}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
oxznx2k5drztgrez8mzvhjqoi6os9da
Robin Li
0
243649
1584422
2026-08-05T14:56:46Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Robin Li''' (Alizaliwa [[Novemba 17]], [[1968]]) ni mhandisi wa programu bilionea na [[mjasiriamali]] katika sekta ya mtandao nchini [[China]]. Pia ni mwanzilishi mwenza na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya teknolojia ya China ''Baidu''<ref>{{Cite magazine |last=Campbell |first=Charlie |date=2023-09-07 |title=Robin Li CEO, Chairman and Co-Founder, Baidu |url=https://time.com/collection/time100-ai/6310648/robin-li/ |access-date=2024-06-12 |magazine=Tim...'
1584422
wikitext
text/x-wiki
'''Robin Li''' (Alizaliwa [[Novemba 17]], [[1968]]) ni mhandisi wa programu bilionea na [[mjasiriamali]] katika sekta ya mtandao nchini [[China]]. Pia ni mwanzilishi mwenza na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya teknolojia ya China ''Baidu''<ref>{{Cite magazine |last=Campbell |first=Charlie |date=2023-09-07 |title=Robin Li CEO, Chairman and Co-Founder, Baidu |url=https://time.com/collection/time100-ai/6310648/robin-li/ |access-date=2024-06-12 |magazine=[[Time (magazine)|Time]] |language=en}}</ref>. Kufikia [[Mei]] [[2025]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 5.5 na [[Forbes]].<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Robin Li |url=https://www.forbes.com/profile/robin-li/ |work=Forbes |access-date=18 March 2022}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
1vn8wy2vt5ewxykzz7v0dz1op2zj5fo
1584563
1584422
2026-08-06T03:12:53Z
Justine Msechu
45962
1584563
wikitext
text/x-wiki
'''Robin Li''' (Alizaliwa [[Novemba 17]], [[1968]]) ni [[mhandisi]] wa [[programu]] bilionea na [[mjasiriamali]] katika sekta ya mtandao nchini [[China]]. Pia ni mwanzilishi mwenza na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya teknolojia ya China ''Baidu''<ref>{{Cite magazine |last=Campbell |first=Charlie |date=2023-09-07 |title=Robin Li CEO, Chairman and Co-Founder, Baidu |url=https://time.com/collection/time100-ai/6310648/robin-li/ |access-date=2024-06-12 |magazine=[[Time (magazine)|Time]] |language=en}}</ref>. Kufikia [[Mei]] [[2025]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 5.5 na [[Forbes]].<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Robin Li |url=https://www.forbes.com/profile/robin-li/ |work=Forbes |access-date=18 March 2022}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ejjugxrd6tcnmi1pfv8rq29eeee7mjo
Li Shuirong
0
243650
1584423
2026-08-05T15:03:31Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Li Shuirong''' (alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], anayehudumu kama mwenyekiti wa ''Zhejiang Rongsheng Holding Group'', ambayo inazalisha petrokemikali.<ref name=Forbes>{{cite web |url=https://www.forbes.com/profile/li-shuirong/?sh=4ec122ba5576 |title=Shuirong Li |work=Forbes |access-date=2022-05-14}} </ref> Mwaka [[1989]], Li Shuirong alianzisha ''Yinong Network Chemical Fiber Factory'' iliyozalisha kitambaa cha nyuzi...'
1584423
wikitext
text/x-wiki
'''Li Shuirong''' (alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], anayehudumu kama mwenyekiti wa ''Zhejiang Rongsheng Holding Group'', ambayo inazalisha petrokemikali.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/li-shuirong/?sh=4ec122ba5576
|title=Shuirong Li
|work=Forbes
|access-date=2022-05-14}}
</ref> Mwaka [[1989]], Li Shuirong alianzisha ''Yinong Network Chemical Fiber Factory'' iliyozalisha kitambaa cha nyuzi za polyester. Baada ya tasnia ya polyester kuhamia mbele, alianzisha ''Zhejiang Rongsheng Holding Group''.<ref>{{cite web
|url=https://www.reuters.com/article/china-rongsheng-oil-chemical-idUKL4N2FG2UU
|title=China's Rongsheng sees energy, chemical demand back to normal in H2
|date=2020-08-14
|publisher=Reuters
|access-date=2022-05-14}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://inf.news/en/economy/e8f50219b0e5145107bd123ff15bfa8f.html
|title=Rongsheng Group-Embracing the track of large refining and the debt pressure of expansion
|date=2022-04-27
|publisher=Inf News
|access-date=2022-05-14}}
</ref> Mwaka [[2020]], Zhejiang Rongsheng Holding Group ikawa kiwanda cha kwanza cha kusafisha mafuta cha kibinafsi kilichopata ruhusa kutoka kwa serikali ya Uchina kuuza bidhaa za mafuta zilizosafishwa nje ya nchi. Li Shuirong aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 10.3 na akachukua nafasi ya 192.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
szoiloo51kmxfbjhk3scp6oaaqb9wmx
1584562
1584423
2026-08-06T03:12:19Z
Justine Msechu
45962
1584562
wikitext
text/x-wiki
'''Li Shuirong''' (alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], anayehudumu kama mwenyekiti wa ''Zhejiang Rongsheng Holding Group'', ambayo inazalisha petrokemikali.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/li-shuirong/?sh=4ec122ba5576
|title=Shuirong Li
|work=Forbes
|access-date=2022-05-14}}
</ref> Mwaka [[1989]], Li Shuirong alianzisha ''Yinong Network Chemical Fiber Factory'' iliyozalisha kitambaa cha nyuzi za polyester. Baada ya tasnia ya polyester kuhamia mbele, alianzisha ''Zhejiang Rongsheng Holding Group''.<ref>{{cite web
|url=https://www.reuters.com/article/china-rongsheng-oil-chemical-idUKL4N2FG2UU
|title=China's Rongsheng sees energy, chemical demand back to normal in H2
|date=2020-08-14
|publisher=Reuters
|access-date=2022-05-14}}
</ref><ref>{{cite web
|url=https://inf.news/en/economy/e8f50219b0e5145107bd123ff15bfa8f.html
|title=Rongsheng Group-Embracing the track of large refining and the debt pressure of expansion
|date=2022-04-27
|publisher=Inf News
|access-date=2022-05-14}}
</ref> Mwaka [[2020]], Zhejiang Rongsheng Holding Group ikawa kiwanda cha kwanza cha kusafisha mafuta cha kibinafsi kilichopata ruhusa kutoka kwa serikali ya Uchina kuuza bidhaa za mafuta zilizosafishwa nje ya nchi. Li Shuirong aliorodheshwa kwenye [[Forbes]] katika listi ya mabilionea ya mwaka [[2022]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 10.3 na akachukua nafasi ya 192.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3puzvsj8garok9fvm6gupsprlo7lrxi
Li Zhenguo
0
243651
1584424
2026-08-05T15:07:01Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Li Zhenguo''' (alizaliwa [[Januari 5]], [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwanzilishi na rais wa ''LONGi Green Energy Technology'', ambayo inabobea katika moduli za jua za photovoltaic. Li Zhenguo na familia yake waliingia kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka [[2022]] wakiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 12.9 na kushika nafasi ya 142.<ref name=Forbes>{{cite web |url=https://www.forbes.com/profile/li-zh...'
1584424
wikitext
text/x-wiki
'''Li Zhenguo''' (alizaliwa [[Januari 5]], [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwanzilishi na rais wa ''LONGi Green Energy Technology'', ambayo inabobea katika moduli za jua za photovoltaic. Li Zhenguo na familia yake waliingia kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka [[2022]] wakiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 12.9 na kushika nafasi ya 142.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/li-zhenguo-1/
|title=Li Zhenguo & family
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-22}}
</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
85rv028rqqwwm3j4u384mhkh14bxwdu
1584561
1584424
2026-08-06T03:11:56Z
Justine Msechu
45962
1584561
wikitext
text/x-wiki
'''Li Zhenguo''' (alizaliwa [[Januari 5]], [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwanzilishi na rais wa ''LONGi Green Energy Technology'', ambayo inabobea katika moduli za jua za photovoltaic. Li Zhenguo na familia yake waliingia kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea ya mwaka [[2022]] wakiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 12.9 na kushika nafasi ya 142.<ref name=Forbes>{{cite web
|url=https://www.forbes.com/profile/li-zhenguo-1/
|title=Li Zhenguo & family
|publisher=Forbes
|accessdate=2022-04-22}}
</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
pba4pe3nohtp24ub7t2epiz95942jqr
Redfoo
0
243652
1584429
2026-08-05T15:45:20Z
Nicolaj Bernardinell
91439
Uundaji wa ukurasa wa Redfoo, kupitia data ya wikidata
1584429
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Redfoo
| Img = LMFAO, 2011.jpg
| Img_capt = Redfoo mnamo 2011
| Img_size = 200px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Stefan Kendal Gordy
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1975|9|3}}<br />[[Los Angeles]], [[Marekani]]
| Ala = [[Sauti]], [[Kipiga kinanda|keytar]], [[Ngoma (muziki)|ngoma]], [[Piano]], [[Gitaa]], [[Kifyatua sauti|sintetizata]]
| Aina = [[Hip hop]], [[Rap]], [[EDM]], [[House music|House]], [[Pop music|Pop]], [[Dance]]
| Kazi yake = Rapper, mwimbaji, dansa, disc jockey, mtayarishaji wa rekodi, mchezaji wa tenisi
| Miaka ya kazi = 1993–leo
| Studio = Party Rock, Will.i.am Music, [[Cherrytree Records|Cherrytree]], [[Interscope Records|Interscope]]
| Ameshirikiana na = [[LMFAO]], RFDK
| Tovuti =
}}
'''Stefan Kendal Gordy''' (alizaliwa [[3 Septemba]] [[1975]]), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama '''Redfoo''', ni rappa, mwimbaji, dansa, DJ na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini [[Marekani]].
Mnamo mwaka wa 2006, alitengeneza kundi la muziki wa electropop linalojulikana kama [[LMFAO]] pamoja na mpwa wake [[SkyBlu]]. Pamoja walitoa albamu mbili kabla ya kundi kusambaratika mnamo 2012. Yeye ni mtoto mdogo wa mwanzilishi wa [[Motown Records]], [[Berry Gordy]].
rdk04dvs503elfkz2murhk4ek7qrmw1
1584560
1584429
2026-08-06T03:11:21Z
Justine Msechu
45962
1584560
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Redfoo
| Img = LMFAO, 2011.jpg
| Img_capt = Redfoo mnamo 2011
| Img_size = 200px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Stefan Kendal Gordy
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1975|9|3}}<br />[[Los Angeles]], [[Marekani]]
| Ala = [[Sauti]], [[Kipiga kinanda|keytar]], [[Ngoma (muziki)|ngoma]], [[Piano]], [[Gitaa]], [[Kifyatua sauti|sintetizata]]
| Aina = [[Hip hop]], [[Rap]], [[EDM]], [[House music|House]], [[Pop music|Pop]], [[Dance]]
| Kazi yake = Rapper, mwimbaji, dansa, disc jockey, mtayarishaji wa rekodi, mchezaji wa tenisi
| Miaka ya kazi = 1993–leo
| Studio = Party Rock, Will.i.am Music, [[Cherrytree Records|Cherrytree]], [[Interscope Records|Interscope]]
| Ameshirikiana na = [[LMFAO]], RFDK
| Tovuti =
}}
'''Stefan Kendal Gordy''' (alizaliwa [[3 Septemba]] [[1975]]), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama '''Redfoo''', ni rappa, mwimbaji, dansa, DJ na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini [[Marekani]].
Mnamo mwaka wa 2006, alitengeneza kundi la muziki wa electropop linalojulikana kama [[LMFAO]] pamoja na mpwa wake [[SkyBlu]]. Pamoja walitoa albamu mbili kabla ya kundi kusambaratika mnamo 2012. Yeye ni mtoto mdogo wa mwanzilishi wa [[Motown Records]], [[Berry Gordy]].
==Marejeo==
{{reflist}}
{{BD|1975}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
sh89t0tm4mzqrz6mlxfijy5jn0fso6o
1584650
1584560
2026-08-06T08:26:30Z
Riccardo Riccioni
452
1584650
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Redfoo
| Img = LMFAO, 2011.jpg
| Img_capt = Redfoo mnamo 2011
| Img_size = 200px
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Stefan Kendal Gordy
| Amezaliwa = {{birth date|df=yes|1975|9|3}}<br />[[Los Angeles]], [[Marekani]]
| Ala = [[Sauti]], [[Kipiga kinanda|keytar]], [[Ngoma (muziki)|ngoma]], [[Piano]], [[Gitaa]], [[Kifyatua sauti|sintetizata]]
| Aina = [[Hip hop]], [[Rap]], [[EDM]], [[House music|House]], [[Pop music|Pop]], [[Dance]]
| Kazi yake = Rapper, mwimbaji, dansa, disc jockey, mtayarishaji wa rekodi, mchezaji wa tenisi
| Miaka ya kazi = 1993–leo
| Studio = Party Rock, Will.i.am Music, [[Cherrytree Records|Cherrytree]], [[Interscope Records|Interscope]]
| Ameshirikiana na = [[LMFAO]], RFDK
| Tovuti =
}}
'''Stefan Kendal Gordy''' (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama '''Redfoo'''; alizaliwa [[3 Septemba]] [[1975]]) ni rapa, mwimbaji, dansa, DJ na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini [[Marekani]].
Mnamo mwaka wa 2006, alitengeneza kundi la muziki wa electropop linalojulikana kama [[LMFAO]] pamoja na mpwa wake [[SkyBlu]]. Pamoja walitoa albamu mbili kabla ya kundi kusambaratika mnamo 2012. Yeye ni mtoto mdogo wa mwanzilishi wa [[Motown Records]], [[Berry Gordy]].
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki-USA}}
{{BD|1975|}}
[[Jamii:marapa wa Marekani]]
fi2qovudy6c0xqos1pm69aa5qpdtjlj
Li Zhongchu
0
243653
1584431
2026-08-05T16:07:13Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Li Zhongchu''' (Alizaliwa [[Februari 1]], [[1964]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na [[mfanyabiashara]] wa teknolojia ya habari nchini [[Uchina]]; mwenyekiti na mwanzilishi wa ''Beijing Shiji Information Technology''.Beijing Shiji Information Technology ni kampuni ya Teknolojia ya Habari, inayotoa usaidizi wa kiteknolojia kwa hoteli 6,000 nchini Uchina. Mnamo [[Mei]] [[2015]], utajiri wake uliripotiwa kuwa dola bilioni 4.0.<ref name=Forbes>{{cite web|tit...'
1584431
wikitext
text/x-wiki
'''Li Zhongchu''' (Alizaliwa [[Februari 1]], [[1964]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea na [[mfanyabiashara]] wa teknolojia ya habari nchini [[Uchina]]; mwenyekiti na mwanzilishi wa ''Beijing Shiji Information Technology''.Beijing Shiji Information Technology ni kampuni ya Teknolojia ya Habari, inayotoa usaidizi wa kiteknolojia kwa hoteli 6,000 nchini Uchina. Mnamo [[Mei]] [[2015]], utajiri wake uliripotiwa kuwa dola bilioni 4.0.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Li Zhongchu|url=https://www.forbes.com/profile/li-zhongchu/|website=Forbes|accessdate=2 May 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ot2snao8b108nk1sbs499ff28q5hppw
Liang Wengen
0
243654
1584432
2026-08-05T16:14:17Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Liang Wengen''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha na ni mwenyekiti wa ''Sany Heavy Industry''. Mwaka [[2011]], alikua mtu tajiri zaidi katika Uchina akiwa na utajiri wa takriban dola bilioni 8.<ref name="Global Times 674421">{{cite news | url = https://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-15064623 | title = China's richest man Liang Wengen may join ruling elite | publisher = BBC News | date...'
1584432
wikitext
text/x-wiki
'''Liang Wengen''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha na ni mwenyekiti wa ''Sany Heavy Industry''. Mwaka [[2011]], alikua mtu tajiri zaidi katika Uchina akiwa na utajiri wa takriban dola bilioni 8.<ref name="Global Times 674421">{{cite news
| url = https://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-15064623
| title = China's richest man Liang Wengen may join ruling elite
| publisher = BBC News
| date = 26 September 2011
}}</ref> Kufikia Novemba [[2018]], yeye ni mtu wa 68 tajiri zaidi nchini Uchina, akiwa na utajiri wa takriban dola bilioni 3.5.<ref name="forbes">{{cite news
| url = https://www.forbes.com/profile/wengen-liang/
| title = Liang Wengen
| work = Forbes
| access-date = 28 November 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
mt5koeuu9la6evc468r5fc4c5c9oez2
1584558
1584432
2026-08-06T03:09:28Z
Justine Msechu
45962
1584558
wikitext
text/x-wiki
'''Liang Wengen''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha na ni mwenyekiti wa ''Sany Heavy Industry''. Mwaka [[2011]], alikua mtu tajiri zaidi katika Uchina akiwa na utajiri wa takriban dola bilioni 8.<ref name="Global Times 674421">{{cite news
| url = https://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-15064623
| title = China's richest man Liang Wengen may join ruling elite
| publisher = BBC News
| date = 26 September 2011
}}</ref> Kufikia Novemba [[2018]], yeye ni mtu wa 68 tajiri zaidi nchini Uchina, akiwa na utajiri wa takriban dola bilioni 3.5.<ref name="forbes">{{cite news
| url = https://www.forbes.com/profile/wengen-liang/
| title = Liang Wengen
| work = Forbes
| access-date = 28 November 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1956]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ixsei9xfyhyfashmtzs8dt5kakof9pa
Liu Ruopeng
0
243655
1584433
2026-08-05T16:23:18Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Liu Ruopeng'''(Alizaliwa [[Septemba 24]] [[1983]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha shirika la makampuni la ''Kuang-Chi''. Yeye pia ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] na naibu wa ''National People's Congress''.<ref name="bloomberg1">{{cite web|author=Ruopeng Liu |url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=271478091&capId=878377 |title=Ruopeng Liu: Executive Profile & Biogr...'
1584433
wikitext
text/x-wiki
'''Liu Ruopeng'''(Alizaliwa [[Septemba 24]] [[1983]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha shirika la makampuni la ''Kuang-Chi''. Yeye pia ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] na naibu wa ''National People's Congress''.<ref name="bloomberg1">{{cite web|author=Ruopeng Liu |url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=271478091&capId=878377 |title=Ruopeng Liu: Executive Profile & Biography |publisher=Bloomberg |date=26 August 2014 |accessdate=2 June 2017}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
qcx6ustn4o9xj3ojzk1jn53iz23sxjv
1584556
1584433
2026-08-06T03:08:30Z
Justine Msechu
45962
1584556
wikitext
text/x-wiki
'''Liu Ruopeng'''(Alizaliwa [[Septemba 24]] [[1983]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha shirika la makampuni la ''Kuang-Chi''. Yeye pia ni mwanachama wa [[Chama cha Kikomunisti cha China]] na naibu wa ''National People's Congress''.<ref name="bloomberg1">{{cite web|author=Ruopeng Liu |url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=271478091&capId=878377 |title=Ruopeng Liu: Executive Profile & Biography |publisher=Bloomberg |date=26 August 2014 |accessdate=2 June 2017}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ebezgdkfw16c89jmvmkqxv27qg1fz1h
Liu Zhongtian
0
243656
1584434
2026-08-05T16:28:57Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Liu Zhongtian''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] mwenye uraia wa [[Malta]], na mwanzilishi wa ''China Zhongwang Holdings Limited'', kampuni ya pili kwa ukubwa duniani ya kuzalisha alumini kwa njia ya uchomoaji.<ref name="Forbes">{{cite web|title=Forbes profile: Liu Zhongtian & family|url=https://www.forbes.com/profile/liu-zhongtian/|work=Forbes|accessdate=4 September 2019}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-...'
1584434
wikitext
text/x-wiki
'''Liu Zhongtian''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] mwenye uraia wa [[Malta]], na mwanzilishi wa ''China Zhongwang Holdings Limited'', kampuni ya pili kwa ukubwa duniani ya kuzalisha alumini kwa njia ya uchomoaji.<ref name="Forbes">{{cite web|title=Forbes profile: Liu Zhongtian & family|url=https://www.forbes.com/profile/liu-zhongtian/|work=Forbes|accessdate=4 September 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
azvzqpecl76dthsfhhul6mv0a13e2y1
1584553
1584434
2026-08-06T03:07:15Z
Justine Msechu
45962
1584553
wikitext
text/x-wiki
'''Liu Zhongtian''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] mwenye uraia wa [[Malta]], na mwanzilishi wa ''China Zhongwang Holdings Limited'', kampuni ya pili kwa ukubwa duniani ya kuzalisha alumini kwa njia ya uchomoaji.<ref name="Forbes">{{cite web|title=Forbes profile: Liu Zhongtian & family|url=https://www.forbes.com/profile/liu-zhongtian/|work=Forbes|accessdate=4 September 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
40we3q42zjb61u118dgr09jvmgm2565
Wang Shi (mjasiriamali)
0
243657
1584435
2026-08-05T16:44:02Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Shi''' (Alizaliwa [[1951]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]].<ref name="CD">[http://www.chinadaily.com.cn/china/2009-01/09/content_7381707.htm Wang Shi: Life is an adventure]</ref> Mwaka [[1984]], alianzisha ''China Vanke''. Kufuatia mageuzi ya hisa ya Vanke mwaka [[1988]], alihudumu kama mwenyekiti na meneja mkuu, na kuanzia mwaka [[1999]] hadi [[2017]] kama mwenyekiti, baada ya hapo akawa mwenyekiti wa heshima. Mwaka [[2011]], Wan...'
1584435
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Shi''' (Alizaliwa [[1951]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]].<ref name="CD">[http://www.chinadaily.com.cn/china/2009-01/09/content_7381707.htm Wang Shi: Life is an adventure]</ref> Mwaka [[1984]], alianzisha ''China Vanke''. Kufuatia mageuzi ya hisa ya Vanke mwaka [[1988]], alihudumu kama mwenyekiti na meneja mkuu, na kuanzia mwaka [[1999]] hadi [[2017]] kama mwenyekiti, baada ya hapo akawa mwenyekiti wa heshima. Mwaka [[2011]], Wang alitajwa na ''Fortune'' kama mmoja wa "Viongozi Kumi na Watano wa Biashara Waliobadilisha Uchina." Tangu mwaka 2011, amejiondoa kwa kiasi kikubwa kutoka kwa usimamizi wa kila siku wa Vanke na, katika miaka ya 2010, alifanya programu za masomo ya kutembelea nje ya nchi. Katika miaka ya [[2020]], alianza kujihusisha na uwekezaji na usawa wa kibinafsi, akilenga sekta ya mazingira.<ref>{{cite web |title=Fifteen Business Leaders Who've Changed China |url=https://money.cnn.com/galleries/2012/news/international/1201/gallery.china-business-leaders.fortune/4.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20120115041011/http://money.cnn.com/galleries/2012/news/international/1201/gallery.china-business-leaders.fortune/4.html |url-status=dead |archive-date=15 January 2012 |accessdate=4 June 2013 |publisher=Fortune Magazine China}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dxdxmeds2guhtkt6ik8biohw1uevx89
1584548
1584435
2026-08-06T03:02:28Z
Justine Msechu
45962
1584548
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Shi''' (Alizaliwa [[1951]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]].<ref name="CD">[http://www.chinadaily.com.cn/china/2009-01/09/content_7381707.htm Wang Shi: Life is an adventure]</ref> Mwaka [[1984]], alianzisha ''China Vanke''. Kufuatia mageuzi ya hisa ya Vanke mwaka [[1988]], alihudumu kama mwenyekiti na meneja mkuu, na kuanzia mwaka [[1999]] hadi [[2017]] kama mwenyekiti, baada ya hapo akawa mwenyekiti wa heshima. Mwaka [[2011]], Wang alitajwa na ''Fortune'' kama mmoja wa "Viongozi Kumi na Watano wa Biashara Waliobadilisha Uchina." Tangu mwaka 2011, amejiondoa kwa kiasi kikubwa kutoka kwa usimamizi wa kila siku wa Vanke na, katika miaka ya 2010, alifanya programu za masomo ya kutembelea nje ya nchi. Katika miaka ya [[2020]], alianza kujihusisha na uwekezaji na usawa wa kibinafsi, akilenga sekta ya mazingira.<ref>{{cite web |title=Fifteen Business Leaders Who've Changed China |url=https://money.cnn.com/galleries/2012/news/international/1201/gallery.china-business-leaders.fortune/4.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20120115041011/http://money.cnn.com/galleries/2012/news/international/1201/gallery.china-business-leaders.fortune/4.html |url-status=dead |archive-date=15 January 2012 |accessdate=4 June 2013 |publisher=Fortune Magazine China}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
c09ogz2fuepbnrot3qp7a07lzhlmyut
Djalma Santos
0
243658
1584436
2026-08-05T16:44:21Z
Bycashtz
81318
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox_Person | jina = Djalma Santos | jina_halisi = Dejalma Santos | picha = Djalma Santos.jpg | ukubwawapicha = 220px | maelezo_ya_picha = | tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1929|2|27|df=y}} | mahala_pa_kuzaliwa = São Paulo, Brazil | tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|7|23|1929|2|27|df=y}} | mahala_pa_kifo = Uberaba, Brazil | urefu = 1.73 m | nafasi = Beki wa kulia |...'
1584436
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Djalma Santos
| jina_halisi = Dejalma Santos
| picha = Djalma Santos.jpg
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = São Paulo, Brazil
| tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|7|23|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kifo = Uberaba, Brazil
| urefu = 1.73 m
| nafasi = Beki wa kulia
| miaka1 = 1948–1959
| vilabu1 = Portuguesa
| mechi1 = 434
| magoli1 = 11
| miaka2 = 1959–1968
| vilabu2 = Palmeiras
| mechi2 = 498
| magoli2 = 10
| miaka3 = 1969–1970
| vilabu3 = Atlético Paranaense
| mechi3 = 32
| magoli3 = 2
| jumla_mechi = 964
| jumla_magoli = 23
| timu_taifa = Brazil
| miaka_taifa = 1952–1968
| mechi_taifa = 98
| magoli_taifa = 3
| medali = {{MedalSport|Men's [[Association football|football]]}}
{{MedalCountry|{{fb|BRA|1889}}}}
{{MedalCompetition|[[FIFA World Cup]]}}
{{Medal|W|1958 Sweden|}}
{{Medal|W|1962 Chile|}}
{{MedalCompetition|[[Copa América|South American Championship]]}}
{{Medal|RU|1953 Peru|}}
{{Medal|RU|1957 Peru|}}
{{Medal|RU|1959 Argentina|}}
{{MedalCompetition|[[Panamerican Championship]]}}
{{Medal|W|1952 Chile|}}
}}
'''Djalma Pereira Dias dos Santos''', aliyejulikana zaidi kama '''Djalma Santos''' (27 Februari 1929 – 23 Julai 2013), alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka [[Brazil]] aliyechezea timu ya taifa ya Brazil katika makombe manne ya dunia na kushinda mashindano ya mwaka [[Kombe la Dunia la FIFA 1958|1958]] na [[Kombe la Dunia la FIFA 1962|1962]]. Santos anachukuliwa kuwa mmoja wa mabeki wa kulia bora wa muda wote. Ingawa alijulikana zaidi kwa uwezo wake wa kuzuia, mara nyingi alisogea mbele na kuonyesha ufundi mkubwa wa kushambulia.<ref name="britannica">{{cite encyclopedia|url=https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|title=Djalma Santos|encyclopedia=Encyclopædia Britannica|author1=Melinda C. Shepherd|access-date=14 November 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20150915215036/https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|archive-date=15 September 2015|url-status=dead}}</ref>
Pamoja na [[Franz Beckenbauer]] na [[Philipp Lahm]], yeye ni mmoja wa wachezaji watatu pekee waliojumuishwa kwenye kikosi cha nyota wa mashindano cha kombe la dunia la FIFA mara tatu (mwaka 1954, 1958, na 1962). Hakuwa na uhusiano wa kifamilia na mshirika wake wa mara kwa mara katika safu ya ulinzi, [[Nílton Santos]]. Mnamo Machi 2004, aliteuliwa na [[Pelé]] kama mmoja wa wachezaji bora zaidi 125 waliokuwa hai. Pia ni mmoja wa wachezaji wachache wa mpira wa miguu waliocheza mechi rasmi za kulipwa zaidi ya 1,000 katika taaluma zao.<ref name="Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil">{{cite news|url=https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|title=Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil|work=The Independent|date=23 August 2013|access-date=23 October 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130826062728/https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|archive-date=26 August 2013|url-status=live}}</ref>
Djalma Santos aliweka historia katika klabu tatu kubwa alizozichezea. Djalma alikuwa nguzo na kipenzi cha mashabiki katika klabu ya [[Sociedade Esportiva Palmeiras|Palmeiras]] ya nchini Brazil, ambapo alicheza mechi 498 kwa miaka tisa na kushinda mataji kadhaa, katika klabu ya [[Associação Portuguesa de Desportos|Portuguesa]] ya huko huko nchini Brazil, ambapo alianzia soka la kulipwa na kucheza mechi 510, na katika klabu ya [[Club Athletico Paranaense|Atlético Paranaense]] pia ya nchini Brazil, ambapo alihitimisha taaluma yake. Akiwa anajulikana kama mchezaji wa mfano wa nidhamu, hajawahi kuoneshwa kadi nyekundu wala kuondolewa uwanjani kwa nidhamu mbovu.<ref name="treccani1"/>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
[[Jamii:Wachezaji wa mpira wa miguu wa Brazil]]
6gk5je51ljraci0g6ou555klfok8b1s
1584537
1584436
2026-08-06T02:54:27Z
Justine Msechu
45962
1584537
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Djalma Santos
| jina_halisi = Dejalma Santos
| picha = Djalma Santos.jpg
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = São Paulo, Brazil
| tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|7|23|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kifo = Uberaba, Brazil
| urefu = 1.73 m
| nafasi = Beki wa kulia
| miaka1 = 1948–1959
| vilabu1 = Portuguesa
| mechi1 = 434
| magoli1 = 11
| miaka2 = 1959–1968
| vilabu2 = Palmeiras
| mechi2 = 498
| magoli2 = 10
| miaka3 = 1969–1970
| vilabu3 = Atlético Paranaense
| mechi3 = 32
| magoli3 = 2
| jumla_mechi = 964
| jumla_magoli = 23
| timu_taifa = Brazil
| miaka_taifa = 1952–1968
| mechi_taifa = 98
| magoli_taifa = 3
| medali = {{MedalSport|Men's [[Association football|football]]}}
{{MedalCountry|{{fb|BRA|1889}}}}
{{MedalCompetition|[[FIFA World Cup]]}}
{{Medal|W|1958 Sweden|}}
{{Medal|W|1962 Chile|}}
{{MedalCompetition|[[Copa América|South American Championship]]}}
{{Medal|RU|1953 Peru|}}
{{Medal|RU|1957 Peru|}}
{{Medal|RU|1959 Argentina|}}
{{MedalCompetition|[[Panamerican Championship]]}}
{{Medal|W|1952 Chile|}}
}}
'''Djalma Pereira Dias dos Santos''', aliyejulikana zaidi kama '''Djalma Santos''' (27 Februari 1929 – 23 Julai 2013), alikuwa mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Brazil]] aliyechezea timu ya taifa ya Brazil katika makombe manne ya dunia na kushinda mashindano ya mwaka [[Kombe la Dunia la FIFA 1958|1958]] na [[Kombe la Dunia la FIFA 1962|1962]]. Santos anachukuliwa kuwa mmoja wa mabeki wa kulia bora wa muda wote. Ingawa alijulikana zaidi kwa uwezo wake wa kuzuia, mara nyingi alisogea mbele na kuonyesha ufundi mkubwa wa kushambulia.<ref name="britannica">{{cite encyclopedia|url=https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|title=Djalma Santos|encyclopedia=Encyclopædia Britannica|author1=Melinda C. Shepherd|access-date=14 November 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20150915215036/https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|archive-date=15 September 2015|url-status=dead}}</ref>
Pamoja na [[Franz Beckenbauer]] na [[Philipp Lahm]], yeye ni mmoja wa wachezaji watatu pekee waliojumuishwa kwenye kikosi cha nyota wa mashindano cha kombe la dunia la FIFA mara tatu (mwaka 1954, 1958, na 1962). Hakuwa na uhusiano wa kifamilia na mshirika wake wa mara kwa mara katika safu ya ulinzi, [[Nílton Santos]]. Mnamo Machi 2004, aliteuliwa na [[Pelé]] kama mmoja wa wachezaji bora zaidi 125 waliokuwa hai. Pia ni mmoja wa wachezaji wachache wa mpira wa miguu waliocheza mechi rasmi za kulipwa zaidi ya 1,000 katika taaluma zao.<ref name="Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil">{{cite news|url=https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|title=Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil|work=The Independent|date=23 August 2013|access-date=23 October 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130826062728/https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|archive-date=26 August 2013|url-status=live}}</ref>
Djalma Santos aliweka historia katika klabu tatu kubwa alizozichezea. Djalma alikuwa nguzo na kipenzi cha mashabiki katika klabu ya [[Sociedade Esportiva Palmeiras|Palmeiras]] ya nchini Brazil, ambapo alicheza mechi 498 kwa miaka tisa na kushinda mataji kadhaa, katika klabu ya [[Associação Portuguesa de Desportos|Portuguesa]] ya huko huko nchini Brazil, ambapo alianzia soka la kulipwa na kucheza mechi 510, na katika klabu ya [[Club Athletico Paranaense|Atlético Paranaense]] pia ya nchini Brazil, ambapo alihitimisha taaluma yake. Akiwa anajulikana kama mchezaji wa mfano wa nidhamu, hajawahi kuoneshwa kadi nyekundu wala kuondolewa uwanjani kwa nidhamu mbovu.<ref name="treccani1"/>
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
[[Jamii:Wachezaji wa mpira wa miguu wa Brazil]]
dhyff5ip9p3zkhvex7rggu36xyiohyd
1584538
1584537
2026-08-06T02:54:49Z
Justine Msechu
45962
1584538
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Djalma Santos
| jina_halisi = Dejalma Santos
| picha = Djalma Santos.jpg
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = São Paulo, Brazil
| tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|7|23|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kifo = Uberaba, Brazil
| urefu = 1.73 m
| nafasi = Beki wa kulia
| miaka1 = 1948–1959
| vilabu1 = Portuguesa
| mechi1 = 434
| magoli1 = 11
| miaka2 = 1959–1968
| vilabu2 = Palmeiras
| mechi2 = 498
| magoli2 = 10
| miaka3 = 1969–1970
| vilabu3 = Atlético Paranaense
| mechi3 = 32
| magoli3 = 2
| jumla_mechi = 964
| jumla_magoli = 23
| timu_taifa = Brazil
| miaka_taifa = 1952–1968
| mechi_taifa = 98
| magoli_taifa = 3
| medali = {{MedalSport|Men's [[Association football|football]]}}
{{MedalCountry|{{fb|BRA|1889}}}}
{{MedalCompetition|[[FIFA World Cup]]}}
{{Medal|W|1958 Sweden|}}
{{Medal|W|1962 Chile|}}
{{MedalCompetition|[[Copa América|South American Championship]]}}
{{Medal|RU|1953 Peru|}}
{{Medal|RU|1957 Peru|}}
{{Medal|RU|1959 Argentina|}}
{{MedalCompetition|[[Panamerican Championship]]}}
{{Medal|W|1952 Chile|}}
}}
'''Djalma Pereira Dias dos Santos''', aliyejulikana zaidi kama '''Djalma Santos''' (27 Februari 1929 – 23 Julai 2013), alikuwa mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Brazil]] aliyechezea timu ya taifa ya Brazil katika makombe manne ya dunia na kushinda mashindano ya mwaka [[Kombe la Dunia la FIFA 1958|1958]] na [[Kombe la Dunia la FIFA 1962|1962]]. Santos anachukuliwa kuwa mmoja wa mabeki wa kulia bora wa muda wote. Ingawa alijulikana zaidi kwa uwezo wake wa kuzuia, mara nyingi alisogea mbele na kuonyesha ufundi mkubwa wa kushambulia.<ref name="britannica">{{cite encyclopedia|url=https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|title=Djalma Santos|encyclopedia=Encyclopædia Britannica|author1=Melinda C. Shepherd|access-date=14 November 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20150915215036/https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|archive-date=15 September 2015|url-status=dead}}</ref>
Pamoja na [[Franz Beckenbauer]] na [[Philipp Lahm]], yeye ni mmoja wa wachezaji watatu pekee waliojumuishwa kwenye kikosi cha nyota wa mashindano cha kombe la dunia la FIFA mara tatu (mwaka 1954, 1958, na 1962). Hakuwa na uhusiano wa kifamilia na mshirika wake wa mara kwa mara katika safu ya ulinzi, [[Nílton Santos]]. Mnamo Machi 2004, aliteuliwa na [[Pelé]] kama mmoja wa wachezaji bora zaidi 125 waliokuwa hai. Pia ni mmoja wa wachezaji wachache wa mpira wa miguu waliocheza mechi rasmi za kulipwa zaidi ya 1,000 katika taaluma zao.<ref name="Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil">{{cite news|url=https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|title=Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil|work=The Independent|date=23 August 2013|access-date=23 October 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130826062728/https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|archive-date=26 August 2013|url-status=live}}</ref>
Djalma Santos aliweka historia katika klabu tatu kubwa alizozichezea. Djalma alikuwa nguzo na kipenzi cha mashabiki katika klabu ya [[Sociedade Esportiva Palmeiras|Palmeiras]] ya nchini Brazil, ambapo alicheza mechi 498 kwa miaka tisa na kushinda mataji kadhaa, katika klabu ya [[Associação Portuguesa de Desportos|Portuguesa]] ya huko huko nchini Brazil, ambapo alianzia soka la kulipwa na kucheza mechi 510, na katika klabu ya [[Club Athletico Paranaense|Atlético Paranaense]] pia ya nchini Brazil, ambapo alihitimisha taaluma yake. Akiwa anajulikana kama mchezaji wa mfano wa nidhamu, hajawahi kuoneshwa kadi nyekundu wala kuondolewa uwanjani kwa nidhamu mbovu.
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
[[Jamii:Wachezaji wa mpira wa miguu wa Brazil]]
sb8pt76ys9f4khmd3qvc696hu2m5h2g
1584651
1584538
2026-08-06T08:28:21Z
Riccardo Riccioni
452
1584651
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Person
| jina = Djalma Santos
| jina_halisi = Dejalma Santos
| picha = Djalma Santos.jpg
| ukubwawapicha = 220px
| maelezo_ya_picha =
| tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kuzaliwa = São Paulo, Brazil
| tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2013|7|23|1929|2|27|df=y}}
| mahala_pa_kifo = Uberaba, Brazil
| urefu = 1.73 m
| nafasi = Beki wa kulia
| miaka1 = 1948–1959
| vilabu1 = Portuguesa
| mechi1 = 434
| magoli1 = 11
| miaka2 = 1959–1968
| vilabu2 = Palmeiras
| mechi2 = 498
| magoli2 = 10
| miaka3 = 1969–1970
| vilabu3 = Atlético Paranaense
| mechi3 = 32
| magoli3 = 2
| jumla_mechi = 964
| jumla_magoli = 23
| timu_taifa = Brazil
| miaka_taifa = 1952–1968
| mechi_taifa = 98
| magoli_taifa = 3
| medali = {{MedalSport|Men's [[Association football|football]]}}
{{MedalCountry|{{fb|BRA|1889}}}}
{{MedalCompetition|[[FIFA World Cup]]}}
{{Medal|W|1958 Sweden|}}
{{Medal|W|1962 Chile|}}
{{MedalCompetition|[[Copa América|South American Championship]]}}
{{Medal|RU|1953 Peru|}}
{{Medal|RU|1957 Peru|}}
{{Medal|RU|1959 Argentina|}}
{{MedalCompetition|[[Panamerican Championship]]}}
{{Medal|W|1952 Chile|}}
}}
'''Djalma Pereira Dias dos Santos''' (alijulikana zaidi kama '''Djalma Santos'''; 27 Februari 1929 – 23 Julai 2013), alikuwa mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Brazil]] aliyechezea timu ya taifa ya Brazil katika makombe manne ya dunia na kushinda mashindano ya mwaka [[Kombe la Dunia la FIFA 1958|1958]] na [[Kombe la Dunia la FIFA 1962|1962]]. Santos anachukuliwa kuwa mmoja wa mabeki wa kulia bora wa muda wote. Ingawa alijulikana zaidi kwa uwezo wake wa kuzuia, mara nyingi alisogea mbele na kuonyesha ufundi mkubwa wa kushambulia.<ref name="britannica">{{cite encyclopedia|url=https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|title=Djalma Santos|encyclopedia=Encyclopædia Britannica|author1=Melinda C. Shepherd|access-date=14 November 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20150915215036/https://www.britannica.com/biography/Djalma-Santos|archive-date=15 September 2015|url-status=dead}}</ref>
Pamoja na [[Franz Beckenbauer]] na [[Philipp Lahm]], yeye ni mmoja wa wachezaji watatu pekee waliojumuishwa kwenye kikosi cha nyota wa mashindano cha kombe la dunia la FIFA mara tatu (mwaka 1954, 1958, na 1962). Hakuwa na uhusiano wa kifamilia na mshirika wake wa mara kwa mara katika safu ya ulinzi, [[Nílton Santos]]. Mnamo Machi 2004, aliteuliwa na [[Pelé]] kama mmoja wa wachezaji bora zaidi 125 waliokuwa hai. Pia ni mmoja wa wachezaji wachache wa mpira wa miguu waliocheza mechi rasmi za kulipwa zaidi ya 1,000 katika taaluma zao.<ref name="Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil">{{cite news|url=https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|title=Djalma Santos: Footballer who won the World Cup with Brazil|work=The Independent|date=23 August 2013|access-date=23 October 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130826062728/https://www.independent.co.uk/news/obituaries/djalma-santos-footballer-who-won-the-world-cup-with-brazil-8782678.html|archive-date=26 August 2013|url-status=live}}</ref>
Djalma Santos aliweka historia katika klabu tatu kubwa alizozichezea. Djalma alikuwa nguzo na kipenzi cha mashabiki katika klabu ya [[Sociedade Esportiva Palmeiras|Palmeiras]] ya nchini Brazil, ambapo alicheza mechi 498 kwa miaka tisa na kushinda mataji kadhaa, katika klabu ya [[Associação Portuguesa de Desportos|Portuguesa]] ya huko huko nchini Brazil, ambapo alianzia soka la kulipwa na kucheza mechi 510, na katika klabu ya [[Club Athletico Paranaense|Atlético Paranaense]] pia ya nchini Brazil, ambapo alihitimisha taaluma yake. Akiwa anajulikana kama mchezaji wa mfano wa nidhamu, hajawahi kuoneshwa kadi nyekundu wala kuondolewa uwanjani kwa nidhamu mbovu.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1929]]
[[Jamii:Waliofariki 2013]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]]
n4uoawqr19l3itmu0d3vx7svod4cygx
Wang Ning (mfanyabiashara)
0
243659
1584440
2026-08-05T17:29:50Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Ning''' (Alizaliwa [[1987]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Yeye ni afisa mkuu mtendaji wa ''Pop Mart'', kampuni ya Kichina ya wanasesere aliyoianzisha mwaka [[2010]].<ref name=":0">{{Cite web |last=Surbano |first=Eric |date=June 27, 2025 |title=Everything to Know About Pop Mart Founder Wang Ning |url=https://www.prestigeonline.com/hk/people/everything-to-know-about-pop-mart-founder-wang-ning |access-date=2025-06-30 |website=www....'
1584440
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Ning''' (Alizaliwa [[1987]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Yeye ni afisa mkuu mtendaji wa ''Pop Mart'', kampuni ya Kichina ya wanasesere aliyoianzisha mwaka [[2010]].<ref name=":0">{{Cite web |last=Surbano |first=Eric |date=June 27, 2025 |title=Everything to Know About Pop Mart Founder Wang Ning |url=https://www.prestigeonline.com/hk/people/everything-to-know-about-pop-mart-founder-wang-ning |access-date=2025-06-30 |website=www.prestigeonline.com}}</ref> Kufikia [[Februari]] [[2026]], Wang alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 19.6, kulingana na [[Forbes]].<ref>{{Cite web |title=Wang Ning & family |url=https://www.forbes.com/profile/wang-ning/ |access-date=2025-07-12 |website=Forbes |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
9qurtv879kb0asf11k21418vowr9ap3
1584523
1584440
2026-08-05T23:42:38Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584523
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Ning''' (Alizaliwa [[1987]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]]. Yeye ni afisa mkuu mtendaji wa ''Pop Mart'', kampuni ya Kichina ya wanasesere aliyoianzisha mwaka [[2010]].<ref name=":0">{{Rejea tovuti |last=Surbano |first=Eric |date=June 27, 2025 |title=Everything to Know About Pop Mart Founder Wang Ning |url=https://www.prestigeonline.com/hk/people/everything-to-know-about-pop-mart-founder-wang-ning |access-date=2025-06-30 |website=www.prestigeonline.com}}</ref> Kufikia [[Februari]] [[2026]], Wang alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 19.6, kulingana na [[Forbes]].<ref>{{Rejea tovuti |title=Wang Ning & family |url=https://www.forbes.com/profile/wang-ning/ |access-date=2025-07-12 |website=Forbes |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7na3iebfdace29p6r2jot4nkbdvsinh
Wan Long (mfanyabiashara)
0
243660
1584441
2026-08-05T17:32:47Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wan Long''' (Alizaliwa [[1940]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''WH Group'', kampuni kubwa zaidi ya nyama ya nguruwe duniani, yenye kampuni tanzu ikiwemo ''Smithfield Foods'' nchini [[Marekani]].<ref name="Bloomberg">{{cite web |title=Long Wan, WH Group Ltd: Profile and Biography |website=Bloomberg |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/3707790 |access-date=16 June 2025}}</ref> == Marejeo...'
1584441
wikitext
text/x-wiki
'''Wan Long''' (Alizaliwa [[1940]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''WH Group'', kampuni kubwa zaidi ya nyama ya nguruwe duniani, yenye kampuni tanzu ikiwemo ''Smithfield Foods'' nchini [[Marekani]].<ref name="Bloomberg">{{cite web |title=Long Wan, WH Group Ltd: Profile and Biography |website=Bloomberg |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/3707790 |access-date=16 June 2025}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fwnjn08rogxokx9v6pxvii0h7wtyayh
1584500
1584441
2026-08-05T21:13:36Z
Justine Msechu
45962
1584500
wikitext
text/x-wiki
'''Wan Long''' (alizaliwa [[1940]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]], mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''WH Group'', kampuni kubwa zaidi ya nyama ya nguruwe duniani, yenye kampuni tanzu ikiwemo ''Smithfield Foods'' nchini [[Marekani]].<ref name="Bloomberg">{{cite web |title=Long Wan, WH Group Ltd: Profile and Biography |website=Bloomberg |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/3707790 |access-date=16 June 2025}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
macozoqch015f82t2bmlk1xqzzvuv0b
Uwanja wa Michezo wa Khan Shaheb Osman Ali
0
243661
1584448
2026-08-05T18:27:56Z
FaysaLBinDaruL
46970
FaysaLBinDaruL alihamisha ukurasa wa [[Uwanja wa Michezo wa Khan Shaheb Osman Ali]] hadi [[Uwanja wa Michezo wa Ria Gope]]: Official name change
1584448
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Uwanja wa Michezo wa Ria Gope]]
27je4qr3pswmy20hngsd49xsu1rld2a
Mathieu Bastareaud
0
243662
1584451
2026-08-05T18:45:58Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584451
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - RCT - 28-09-2013 - Stade Mathon - Mathieu Bastareaud.jpg|thumb|'''Mathieu Bastareaud''']]
'''Mathieu Bastareaud''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [matjø bastaʁo]; alizaliwa [[tarehe]] [[17]] [[Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hapo awali alicheza katika nafasi ya senta . Katika maisha yake ya soka la raga, aliichezea [[klabu]] za RC Massy na Stade Français, kisha akatumia misimu minane akiichezea Toulon, ambapo alifanikiwa kushinda [[Kombe]] la [[Ulaya]] mara tatu pamoja na Ubingwa wa Ufaransa.
== Maisha binafsi ==
Mchezaji wa kimataifa wa [[soka]] wa Ufaransa, William Gallas, ni [[binamu]] wa Mathieu Bastareaud. <ref>https://web.archive.org/web/20130726133725/http://www.rctoulon.com/en/rct/joueur/bastareaud/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007110208/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/29028</ref>
== Marejeo ==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
bpaztm7xginhbcc018dvxv5m8qq66zx
1584452
1584451
2026-08-05T18:46:49Z
Kelvin kevoo
48194
1584452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - RCT - 28-09-2013 - Stade Mathon - Mathieu Bastareaud.jpg|thumb|'''Mathieu Bastareaud''']]
'''Mathieu Bastareaud''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [matjø bastaʁo]; alizaliwa [[tarehe]] [[17]] [[Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hapo awali alicheza katika nafasi ya senta . Katika maisha yake ya soka la raga, aliichezea [[klabu]] za RC Massy na Stade Français, kisha akatumia misimu minane akiichezea Toulon, ambapo alifanikiwa kushinda [[Kombe]] la [[Ulaya]] mara tatu pamoja na Ubingwa wa Ufaransa.
== Maisha binafsi ==
Mchezaji wa kimataifa wa [[soka]] wa Ufaransa, William Gallas, ni [[binamu]] wa Mathieu Bastareaud. <ref>https://web.archive.org/web/20130726133725/http://www.rctoulon.com/en/rct/joueur/bastareaud/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007110208/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/29028</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
b567t61lgbem0rvb1s57pcwwzfvij2g
1584499
1584452
2026-08-05T21:12:54Z
Justine Msechu
45962
1584499
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - RCT - 28-09-2013 - Stade Mathon - Mathieu Bastareaud.jpg|thumb|'''Mathieu Bastareaud''']]
'''Mathieu Bastareaud''' (alizaliwa [[tarehe]] [[17]] [[Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hapo awali alicheza katika nafasi ya senta . Katika maisha yake ya soka la raga, aliichezea [[klabu]] za RC Massy na Stade Français, kisha akatumia misimu minane akiichezea Toulon, ambapo alifanikiwa kushinda [[Kombe]] la [[Ulaya]] mara tatu pamoja na Ubingwa wa Ufaransa.
== Maisha binafsi ==
Mchezaji wa kimataifa wa [[soka]] wa Ufaransa, William Gallas, ni [[binamu]] wa Mathieu Bastareaud. <ref>https://web.archive.org/web/20130726133725/http://www.rctoulon.com/en/rct/joueur/bastareaud/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007110208/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/29028</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
mzey8o0c970z98v7mftlrfllgch1sdi
1584652
1584499
2026-08-06T08:32:00Z
Riccardo Riccioni
452
1584652
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - RCT - 28-09-2013 - Stade Mathon - Mathieu Bastareaud.jpg|thumb|Mathieu Bastareaud.]]
'''Mathieu Bastareaud''' (alizaliwa [[17 Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hapo awali alicheza katika nafasi ya senta . Katika maisha yake ya soka la raga, aliichezea [[klabu]] za RC Massy na Stade Français, kisha akatumia misimu minane akiichezea Toulon, ambapo alifanikiwa kushinda [[Kombe]] la [[Ulaya]] mara tatu pamoja na Ubingwa wa Ufaransa.
== Maisha binafsi ==
Mchezaji wa kimataifa wa [[soka]] wa Ufaransa, William Gallas, ni [[binamu]] wa Mathieu Bastareaud. <ref>https://web.archive.org/web/20130726133725/http://www.rctoulon.com/en/rct/joueur/bastareaud/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151007110208/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/29028</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
qkloe8npmc9wyx6dgwylj1jcrit8cim
François Trinh-Duc
0
243663
1584453
2026-08-05T19:07:50Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584453
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Trinh Duc MHR vs RM 92.JPG|thumb|Trinh Duc]]
'''François Trinh-Duc''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [fʁɑ̃swa tʁɛ̃dyk]; alizaliwa [[tarehe]] [[11]] [[Novemba]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa namba [[10]] au senta wa ndani.
== Maisha ya awali ==
François Trinh-Duc alizaliwa katika mji wa [[Montpellier]], nchini Ufaransa.
Alianza kucheza raga ya muungano akiwa na umri wa [[miaka]] 4 katika [[shule]] ya raga ya Pic-Saint-Loup, iliyoko karibu na mji alikozaliwa. Akiwa huko, alicheza pamoja na mwenzake wa baadaye katika klabu ya Montpellier, Fulgence Ouedraogo. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/7217029.stm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20111024053835/http://www.rugbyworldcup.com/home/matches/match%3D11235/report.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20140502170642/http://www.expatica.com/be/news/local_news/Rugby-Union_-Trinh_Duc-brings-Asian-spice-to-French-league.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
enty53rd4d4dd6fmd2a053ftyihcgum
1584497
1584453
2026-08-05T21:12:02Z
Justine Msechu
45962
1584497
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Trinh Duc MHR vs RM 92.JPG|thumb|Trinh Duc]]
'''François Trinh-Duc''' (alizaliwa [[tarehe]] [[11]] [[Novemba]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa namba [[10]] au senta wa ndani.
== Maisha ya awali ==
François Trinh-Duc alizaliwa katika mji wa [[Montpellier]], nchini Ufaransa.
Alianza kucheza raga ya muungano akiwa na umri wa [[miaka]] 4 katika [[shule]] ya raga ya Pic-Saint-Loup, iliyoko karibu na mji alikozaliwa. Akiwa huko, alicheza pamoja na mwenzake wa baadaye katika klabu ya Montpellier, Fulgence Ouedraogo. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/7217029.stm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20111024053835/http://www.rugbyworldcup.com/home/matches/match%3D11235/report.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20140502170642/http://www.expatica.com/be/news/local_news/Rugby-Union_-Trinh_Duc-brings-Asian-spice-to-French-league.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
obemvd1x094epffu1rybbg8ea3y8gif
1584498
1584497
2026-08-05T21:12:12Z
Justine Msechu
45962
1584498
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Trinh Duc MHR vs RM 92.JPG|thumb|Trinh Duc]]
'''François Trinh-Duc''' (alizaliwa [[tarehe]] [[11]] [[Novemba]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa namba [[10]] au senta wa ndani.
== Maisha ya awali ==
François Trinh-Duc alizaliwa katika mji wa [[Montpellier]], nchini Ufaransa.
Alianza kucheza raga ya muungano akiwa na umri wa [[miaka]] 4 katika [[shule]] ya raga ya Pic-Saint-Loup, iliyoko karibu na mji alikozaliwa. Akiwa huko, alicheza pamoja na mwenzake wa baadaye katika klabu ya Montpellier, Fulgence Ouedraogo. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/7217029.stm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20111024053835/http://www.rugbyworldcup.com/home/matches/match%3D11235/report.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20140502170642/http://www.expatica.com/be/news/local_news/Rugby-Union_-Trinh_Duc-brings-Asian-spice-to-French-league.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
lhbq373ja2p0ht556qc0hh19ihz6oj4
1584653
1584498
2026-08-06T08:32:45Z
Riccardo Riccioni
452
1584653
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Trinh Duc MHR vs RM 92.JPG|thumb|Trinh Duc]]
'''François Trinh-Duc''' (alizaliwa [[11 Novemba]] [[1986]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa namba [[10]] au senta wa ndani.
== Maisha ya awali ==
François Trinh-Duc alizaliwa katika mji wa [[Montpellier]], nchini Ufaransa.
Alianza kucheza raga ya muungano akiwa na umri wa [[miaka]] 4 katika [[shule]] ya raga ya Pic-Saint-Loup, iliyoko karibu na mji alikozaliwa. Akiwa huko, alicheza pamoja na mwenzake wa baadaye katika klabu ya Montpellier, Fulgence Ouedraogo. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/rugby_union/7217029.stm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20111024053835/http://www.rugbyworldcup.com/home/matches/match%3D11235/report.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20140502170642/http://www.expatica.com/be/news/local_news/Rugby-Union_-Trinh_Duc-brings-Asian-spice-to-French-league.html</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
atz45err1nilfq7bd7xgd9ljn5irnvw
Dimitri Yachvili
0
243664
1584460
2026-08-05T19:31:39Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584460
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Dimitri Yachvili.jpg|thumb|Dimitri Yachvili]]
'''Dimitri Yachvili Markarian''' (alizaliwa [[tarehe]] [[19]] [[Septemba]] [[1980]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye alicheza katika nafasi ya Nusu-skramu kwa [[klabu]] ya Biarritz na timu ya [[taifa]] ya Ufaransa.
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa kuanzia [[mwaka]] [[2002]] hadi [[2012]], akicheza mechi [[61]] za kimataifa na kufunga jumla ya [[pointi]] [[373]].
Akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa, alifika fainali ya [[Kombe]] la [[Dunia]] la Raga la mwaka [[2011]], ambapo walifungwa na [[New Zealand]]. Pia alishinda Grand Slam mara mbili, mwaka 2004 na 2010.
Katika ngazi ya vilabu, alitwaa Kombe la [[Ulaya]] mwaka 2012, na pia alicheza fainali mbili za Kombe la Ulaya akiwa na Biarritz, mwaka 2006 na 2010.
== Maisha binafsi ==
Dimitri Yachvili ana asili ya Kijojia na Kiarmenia. [[Baba]] yake, Michel Yachvili, alikuwa mchezaji wa kimataifa wa raga wa Ufaransa kabla yake.
[[Babu]] yake wa upande wa baba, Chalva (Charles) Yachvili, alikuwa [[mwanajeshi]] wa Kijojia katika Jeshi la Kisovyeti wakati wa [[Vita]] vya Pili vya Dunia. <ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/top-14/2011-2012/biarritz-sans-ses-cadres_sto3344902/story.shtml</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2011/oct/23/rugby-world-cup-final-referee-france</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
7ivs5flmw10jo1zib5eisoa0qp0x7u6
1584496
1584460
2026-08-05T21:01:41Z
Justine Msechu
45962
1584496
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Dimitri Yachvili.jpg|thumb|Dimitri Yachvili]]
'''Dimitri Yachvili Markarian''' (alizaliwa [[tarehe]] [[19]] [[Septemba]] [[1980]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye alicheza katika nafasi ya Nusu-skramu kwa [[klabu]] ya Biarritz na timu ya [[taifa]] ya Ufaransa.
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa kuanzia [[mwaka]] [[2002]] hadi [[2012]], akicheza mechi [[61]] za kimataifa na kufunga jumla ya [[pointi]] [[373]]. Akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa, alifika fainali ya [[Kombe]] la [[Dunia]] la Raga la mwaka [[2011]], ambapo walifungwa na [[New Zealand]]. Pia alishinda Grand Slam mara mbili, mwaka 2004 na 2010.
Katika ngazi ya vilabu, alitwaa Kombe la [[Ulaya]] mwaka 2012, na pia alicheza fainali mbili za Kombe la Ulaya akiwa na Biarritz, mwaka 2006 na 2010.
== Maisha binafsi ==
Dimitri Yachvili ana asili ya Kijojia na Kiarmenia. [[Baba]] yake, Michel Yachvili, alikuwa mchezaji wa kimataifa wa raga wa Ufaransa kabla yake.
[[Babu]] yake wa upande wa baba, Chalva (Charles) Yachvili, alikuwa [[mwanajeshi]] wa Kijojia katika Jeshi la Kisovyeti wakati wa [[Vita]] vya Pili vya Dunia. <ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/top-14/2011-2012/biarritz-sans-ses-cadres_sto3344902/story.shtml</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2011/oct/23/rugby-world-cup-final-referee-france</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
nkxg30x2xvjqumuz21chck2wws69chh
1584654
1584496
2026-08-06T08:33:49Z
Riccardo Riccioni
452
1584654
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Jubilé Chabal-Nallet - 20150604 - Dimitri Yachvili.jpg|thumb|Dimitri Yachvili]]
'''Dimitri Yachvili Markarian''' (alizaliwa [[19 Septemba]] [[1980]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye alicheza katika nafasi ya Nusu-skramu kwa [[klabu]] ya Biarritz na timu ya [[taifa]] ya Ufaransa.
Aliichezea timu ya taifa ya Ufaransa kuanzia [[mwaka]] [[2002]] hadi [[2012]], akicheza mechi 61 za kimataifa na kufunga jumla ya [[pointi]] 373. Akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa, alifika fainali ya [[Kombe la Dunia]] la Raga la mwaka [[2011]], ambapo walifungwa na [[New Zealand]]. Pia alishinda Grand Slam mara mbili, mwaka 2004 na 2010.
Katika ngazi ya vilabu, alitwaa Kombe la [[Ulaya]] mwaka 2012, na pia alicheza fainali mbili za Kombe la Ulaya akiwa na Biarritz, mwaka 2006 na 2010.
== Maisha binafsi ==
Dimitri Yachvili ana asili ya Kijojia na Kiarmenia. [[Baba]] yake, Michel Yachvili, alikuwa mchezaji wa kimataifa wa raga wa Ufaransa kabla yake.
[[Babu]] yake wa upande wa baba, Chalva (Charles) Yachvili, alikuwa [[mwanajeshi]] wa Kijojia katika Jeshi la Kisovyeti wakati wa [[Vita]] vya Pili vya Dunia. <ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/top-14/2011-2012/biarritz-sans-ses-cadres_sto3344902/story.shtml</ref><ref>https://www.theguardian.com/sport/2011/oct/23/rugby-world-cup-final-referee-france</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7p55m70xzlr4hogi04ovqa0nlvhqch1
Lionel Beauxis
0
243665
1584464
2026-08-05T19:47:58Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584464
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Lionel Beauxis 2013.jpg|thumb|Lionel Beauxis 2013]]
'''Lionel Beauxis''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [ljɔnɛl boksis]), alizaliwa [[tarehe]] [[14]] [[Oktoba]] [[1985]] huko Tarbes (katika [[jimbo]] la Hautes-Pyrénées), ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye kwa kawaida alicheza katika nafasi ya (namba 10).
Beauxis alianza taaluma yake ya raga katika [[klabu]] ya Section Paloise, kisha akaendelea kuchezea klabu za Stade Français, Stade Toulousain, Union Bordeaux Bègles, Lyon OU, Oyonnax Rugby, na AS Béziers.
Mwaka [[2006]], alishinda [[Kombe]] la [[Dunia]] la Raga la Wachezaji Chini ya [[Miaka]] 21.
Pia alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya raga ya muungano ya Ufaransa kuanzia mwaka [[2007]] hadi 2012, kabla ya kufanya urejeo muhimu mwaka [[2018]] katika Mashindano ya Mataifa Sita.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/lionel-beauxis-474/</ref><ref>https://www.ladepeche.fr/article/2007/03/19/2610-tournoi-des-vi-nations-lionel-beauxis-ce-marquis.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
nnhwd4yw5fabkyb4c4mhlv724jh5vy8
1584495
1584464
2026-08-05T21:00:59Z
Justine Msechu
45962
1584495
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Lionel Beauxis 2013.jpg|thumb|Lionel Beauxis 2013]]
'''Lionel Beauxis''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [ljɔnɛl boksis]), alizaliwa [[tarehe]] [[14]] [[Oktoba]] [[1985]] huko Tarbes (katika [[jimbo]] la Hautes-Pyrénées), ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye kwa kawaida alicheza katika nafasi ya (namba 10).
Beauxis alianza taaluma yake ya raga katika [[klabu]] ya Section Paloise, kisha akaendelea kuchezea klabu za Stade Français, Stade Toulousain, Union Bordeaux Bègles, Lyon OU, Oyonnax Rugby, na AS Béziers. Mwaka [[2006]], alishinda [[Kombe]] la [[Dunia]] la Raga la Wachezaji Chini ya [[Miaka]] 21.
Pia alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya raga ya muungano ya Ufaransa kuanzia mwaka [[2007]] hadi 2012, kabla ya kufanya urejeo muhimu mwaka [[2018]] katika Mashindano ya Mataifa Sita.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/lionel-beauxis-474/</ref><ref>https://www.ladepeche.fr/article/2007/03/19/2610-tournoi-des-vi-nations-lionel-beauxis-ce-marquis.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
povxn864oj6n8we6w7ef7r9ddqo656n
1584656
1584495
2026-08-06T08:35:02Z
Riccardo Riccioni
452
1584656
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Lionel Beauxis 2013.jpg|thumb|Lionel Beauxis 2013]]
'''Lionel Beauxis''' (hutamkwa kwa Kifaransa: [ljɔnɛl boksis]), alizaliwa [[14 Oktoba]] [[1985]] huko Tarbes (katika [[jimbo]] la [[Hautes-Pyrénées]]), ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], ambaye kwa kawaida alicheza katika nafasi ya (namba 10).
Beauxis alianza taaluma yake ya raga katika [[klabu]] ya Section Paloise, kisha akaendelea kuchezea klabu za Stade Français, Stade Toulousain, Union Bordeaux Bègles, Lyon OU, Oyonnax Rugby, na AS Béziers. Mwaka [[2006]], alishinda [[Kombe la Dunia]] la Raga la Wachezaji Chini ya [[Miaka]] 21.
Pia alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya raga ya muungano ya Ufaransa kuanzia mwaka [[2007]] hadi 2012, kabla ya kufanya urejeo muhimu mwaka [[2018]] katika Mashindano ya Mataifa Sita.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/lionel-beauxis-474/</ref><ref>https://www.ladepeche.fr/article/2007/03/19/2610-tournoi-des-vi-nations-lionel-beauxis-ce-marquis.html</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
off7m4uto7njxnf48jzzh0bzdrzftbw
David Skrela
0
243666
1584465
2026-08-05T19:57:07Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584465
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:David Skrela France-Wales-207.jpg|thumb|'''David Skrela''']]
'''David Skrela''' (alizaliwa [[tarehe]] [[2]] [[Machi]] [[1979]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Alijulikana zaidi kwa kucheza katika [[klabu]] za Stade Français na Toulouse katika mashindano ya Top 14, pamoja na kuichezea timu ya [[taifa]] ya Ufaransa akiwa katika nafasi ya (namba 10) au (senta).
Alifahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kukaba na ustadi wake wa kupiga mateke ya mpira. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/rugby_union/8687906.stm</ref><ref>https://www.scotsman.com/sport/skrela-out-of-tournament-1661153</ref><ref>http://independent.co.uk/sport/rugby/rugby-union/hugh-godwin-keys-to-no-10-rest-in-skrela-s-hungry-hands-435924.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
fzs827by96ahsfcnm0s8wrnfp42o4ia
1584493
1584465
2026-08-05T20:59:41Z
Justine Msechu
45962
1584493
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:David Skrela France-Wales-207.jpg|thumb|'''David Skrela''']]
'''David Skrela''' (alizaliwa [[tarehe]] [[2]] [[Machi]] [[1979]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Alijulikana zaidi kwa kucheza katika [[klabu]] za Stade Français na Toulouse katika mashindano ya Top 14, pamoja na kuichezea timu ya [[taifa]] ya Ufaransa akiwa katika nafasi ya (namba 10) au (senta). Alifahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kukaba na ustadi wake wa kupiga mateke ya mpira. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/rugby_union/8687906.stm</ref><ref>https://www.scotsman.com/sport/skrela-out-of-tournament-1661153</ref><ref>http://independent.co.uk/sport/rugby/rugby-union/hugh-godwin-keys-to-no-10-rest-in-skrela-s-hungry-hands-435924.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
sbgyq87gakdd7k40cmd94t4o43lrs1w
1584657
1584493
2026-08-06T08:35:46Z
Riccardo Riccioni
452
1584657
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:David Skrela France-Wales-207.jpg|thumb|David Skrela.]]
'''David Skrela''' (alizaliwa [[2 Machi]] [[1979]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Alijulikana zaidi kwa kucheza katika [[klabu]] za Stade Français na Toulouse katika mashindano ya Top 14, pamoja na kuichezea timu ya [[taifa]] ya Ufaransa akiwa katika nafasi ya (namba 10) au (senta). Alifahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kukaba na ustadi wake wa kupiga mateke ya mpira. <ref>http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/rugby_union/8687906.stm</ref><ref>https://www.scotsman.com/sport/skrela-out-of-tournament-1661153</ref><ref>http://independent.co.uk/sport/rugby/rugby-union/hugh-godwin-keys-to-no-10-rest-in-skrela-s-hungry-hands-435924.html</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
l1tdpv6pcmy33te0ymyw1rqqgl132ba
Anthony Jelonch
0
243667
1584467
2026-08-05T20:08:37Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584467
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:AnthonyJelonch2019.png|thumb|AnthonyJelonch2019]]
'''Anthony Jelonch''' (alizaliwa [[tarehe]] [[28]] [[Julai]] [[1996]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], anayecheza nafasi ya Mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele.
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulouse.
== Mafanikio ==
Kimataifa
Ufaransa
* Mshindi Mara 3 Mashindano ya Mataifa Sita [[2022]], [[2025]], [[2026]]
* Mshindi Mara 1 Grand Slam: 2022 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/anthony-jelonch-34186/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=AJ536835</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
s94yo72a025rql50wsnazbc2yiwuabc
1584491
1584467
2026-08-05T20:59:06Z
Justine Msechu
45962
1584491
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:AnthonyJelonch2019.png|thumb|AnthonyJelonch2019]]
'''Anthony Jelonch''' (alizaliwa [[tarehe]] [[28]] [[Julai]] [[1996]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], anayecheza nafasi ya Mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele. Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulouse.
== Mafanikio ==
Kimataifa
Ufaransa
* Mshindi Mara 3 Mashindano ya Mataifa Sita [[2022]], [[2025]], [[2026]]
* Mshindi Mara 1 Grand Slam: 2022 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/anthony-jelonch-34186/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=AJ536835</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
pi2dcqco0jk1q3fuxc68rseajnay4vh
1584658
1584491
2026-08-06T08:36:29Z
Riccardo Riccioni
452
1584658
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:AnthonyJelonch2019.png|thumb|AnthonyJelonch2019]]
'''Anthony Jelonch''' (alizaliwa [[28 Julai]] [[1996]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]], anayecheza nafasi ya Mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele. Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulouse.
== Mafanikio ==
Kimataifa
Ufaransa
* Mshindi Mara 3 Mashindano ya Mataifa Sita [[2022]], [[2025]], [[2026]]
* Mshindi Mara 1 Grand Slam: 2022 <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/anthony-jelonch-34186/</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=AJ536835</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8k3r6fz83msyq79inw1r20dq32vt1ki
Baptiste Serin
0
243668
1584470
2026-08-05T20:18:51Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584470
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Baptiste Serin.jpg|thumb|'''Baptiste Serin''']]
'''Baptiste Serin''' (alizaliwa [[tarehe]] [[20]] [[Juni]] [[1994]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake uwanjani ni nusu-skramu (kuunganisha safu ya mbele), na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Baptiste Serin alizaliwa huko La Teste-de-Buch, katika [[eneo]] la [[Gironde]], Ufaransa.
Alianza taaluma yake ya raga akiwa na klabu ya karibu ya Bordeaux Bègles, iliyokuwa ikishiriki katika mashindano ya Top 14.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/baptiste-serin-27441/</ref><ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/test-match/2015/xv-de-france-la-liste-elite-devoilee-avec-serin-le-devedec-gourdon-et-huget_sto5681672/story.shtml</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
k82pv0x9ykq06jprzjd6ipjvo1l6jc5
1584480
1584470
2026-08-05T20:52:56Z
Justine Msechu
45962
1584480
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Baptiste Serin.jpg|thumb|'''Baptiste Serin''']]
'''Baptiste Serin''' (alizaliwa [[tarehe]] [[20]] [[Juni]] [[1994]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Nafasi yake uwanjani ni nusu-skramu (kuunganisha safu ya mbele), na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Baptiste Serin alizaliwa huko La Teste-de-Buch, katika [[eneo]] la [[Gironde]], Ufaransa.
Alianza taaluma yake ya raga akiwa na klabu ya karibu ya Bordeaux Bègles, iliyokuwa ikishiriki katika mashindano ya Top 14.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/baptiste-serin-27441/</ref><ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/test-match/2015/xv-de-france-la-liste-elite-devoilee-avec-serin-le-devedec-gourdon-et-huget_sto5681672/story.shtml</ref>
== Marejeo ==
<references />{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8yku61syzc0uf6ghxskhgcqj4gjv6jz
1584659
1584480
2026-08-06T08:37:01Z
Riccardo Riccioni
452
1584659
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Baptiste Serin.jpg|thumb|'''Baptiste Serin''']]
'''Baptiste Serin''' (alizaliwa [[20 Juni]] [[1994]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Nafasi yake uwanjani ni nusu-skramu (kuunganisha safu ya mbele), na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Baptiste Serin alizaliwa huko La Teste-de-Buch, katika [[eneo]] la [[Gironde]], Ufaransa.
Alianza taaluma yake ya raga akiwa na klabu ya karibu ya Bordeaux Bègles, iliyokuwa ikishiriki katika mashindano ya Top 14.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/baptiste-serin-27441/</ref><ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/test-match/2015/xv-de-france-la-liste-elite-devoilee-avec-serin-le-devedec-gourdon-et-huget_sto5681672/story.shtml</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
k8bga6c0cdm1x3kwjxz6b8ozp2463cs
1584660
1584659
2026-08-06T08:37:29Z
Riccardo Riccioni
452
1584660
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:USO - UBB - 20150829 - Baptiste Serin.jpg|thumb|Baptiste Serin.]]
'''Baptiste Serin''' (alizaliwa [[20 Juni]] [[1994]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Nafasi yake uwanjani ni nusu-skramu (kuunganisha safu ya mbele), na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon pamoja na [[timu ya taifa]] ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Baptiste Serin alizaliwa huko La Teste-de-Buch, katika [[eneo]] la [[Gironde]], Ufaransa.
Alianza taaluma yake ya raga akiwa na klabu ya karibu ya Bordeaux Bègles, iliyokuwa ikishiriki katika mashindano ya Top 14.<ref>https://itsrugby.fr/joueurs/baptiste-serin-27441/</ref><ref>https://www.rugbyrama.fr/rugby/test-match/2015/xv-de-france-la-liste-elite-devoilee-avec-serin-le-devedec-gourdon-et-huget_sto5681672/story.shtml</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
m6d2502a6j8h6g0uvbs64muawqyiudl
Brice Dulin
0
243669
1584472
2026-08-05T20:27:39Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584472
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Brice Dulin 2020.jpg|thumb|Brice Dulin 2020]]
'''Brice Dulin''' (alizaliwa [[tarehe]] [[13]] [[Aprili]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa (beki wa nyuma), na [[klabu]] yake ya mwisho aliyochezea ilikuwa La Rochelle katika mashindano ya Top 14.
Alianza taaluma yake ya raga katika klabu ya SU Agen, ambako alifanya mwanzo wake wa kitaaluma mwaka [[2009]].
Alifanya mchezo wake wa kwanza kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa wakati wa ziara ya timu hiyo nchini [[Argentina]] mwezi Juni [[2012]].
Alitangaza kustaafu kucheza raga mwezi Aprili [[2025]], akiwa na umri wa miaka [[34]]. <ref>https://web.archive.org/web/20151007110709/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/38871</ref><ref>https://rugby365.com/tournaments/top-14/kockott-takes-castres-to-the-top/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
3yp8ekti655bph8sw70ba1ny127j4qe
1584488
1584472
2026-08-05T20:57:43Z
Justine Msechu
45962
1584488
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Brice Dulin 2020.jpg|thumb|Brice Dulin 2020]]
'''Brice Dulin''' (alizaliwa [[tarehe]] [[13]] [[Aprili]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa (beki wa nyuma), na [[klabu]] yake ya mwisho aliyochezea ilikuwa La Rochelle katika mashindano ya Top 14. Alianza taaluma yake ya raga katika klabu ya SU Agen, ambako alifanya mwanzo wake wa kitaaluma mwaka [[2009]].
Alifanya mchezo wake wa kwanza kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa wakati wa ziara ya timu hiyo nchini [[Argentina]] mwezi Juni [[2012]].
Alitangaza kustaafu kucheza raga mwezi Aprili [[2025]], akiwa na umri wa miaka [[34]]. <ref>https://web.archive.org/web/20151007110709/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/38871</ref><ref>https://rugby365.com/tournaments/top-14/kockott-takes-castres-to-the-top/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
6gx3i67afapkltbmuqkjzrdzig9t4ap
1584662
1584488
2026-08-06T08:38:12Z
Riccardo Riccioni
452
1584662
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Brice Dulin 2020.jpg|thumb|Brice Dulin 2020]]
'''Brice Dulin''' (alizaliwa [[13 Aprili]] [[1990]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Nafasi yake ya kawaida uwanjani ilikuwa (beki wa nyuma), na [[klabu]] yake ya mwisho aliyochezea ilikuwa La Rochelle katika mashindano ya Top 14. Alianza taaluma yake ya raga katika klabu ya SU Agen, ambako alifanya mwanzo wake wa kitaaluma mwaka [[2009]].
Alifanya mchezo wake wa kwanza kwa timu ya [[taifa]] ya Ufaransa wakati wa ziara ya timu hiyo nchini [[Argentina]] mwezi Juni [[2012]].
Alitangaza kustaafu kucheza raga mwezi Aprili [[2025]], akiwa na umri wa miaka 34. <ref>https://web.archive.org/web/20151007110709/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/38871</ref><ref>https://rugby365.com/tournaments/top-14/kockott-takes-castres-to-the-top/</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
k2o0b6xv26upb5wbpetx7n8o9oqvot0
Gaëtan Germain
0
243670
1584474
2026-08-05T20:35:45Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584474
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Stade toulousain vs Racing Metro 2012 1426.JPG|thumb|'''Gaëtan Germain''']]
'''Gaëtan Germain''' (alizaliwa [[tarehe]] [[2]] [[Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Kwa sasa anachezea [[timu]] ya Bayonne, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14.
== Tuzo na mafanikio ==
Binafsi
Mfungaji bora wa pointi wa Top 14 mara 3:
* Msimu wa [[2013]]–[[2014]]
* Msimu wa [[2015]]–[[2016]]
* Msimu wa [[2016]]–[[2017]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/gaetan-germain-15353/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
0cc20i6g40nul03vusgoui6il5z3tp8
1584486
1584474
2026-08-05T20:57:02Z
Justine Msechu
45962
1584486
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Stade toulousain vs Racing Metro 2012 1426.JPG|thumb|'''Gaëtan Germain''']]
'''Gaëtan Germain''' (alizaliwa [[tarehe]] [[2]] [[Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Kwa sasa anachezea [[timu]] ya Bayonne, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14.
== Tuzo na mafanikio ==
Binafsi
Mfungaji bora wa pointi wa Top 14 mara 3:
* Msimu wa [[2013]]–[[2014]]
* Msimu wa [[2015]]–[[2016]]
* Msimu wa [[2016]]–[[2017]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/gaetan-germain-15353/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
ja3ufxjgoun1ikb8nf397mg6m6gl2uf
1584663
1584486
2026-08-06T08:38:55Z
Riccardo Riccioni
452
1584663
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Stade toulousain vs Racing Metro 2012 1426.JPG|thumb|Gaëtan Germain.]]
'''Gaëtan Germain''' (alizaliwa [[2 Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]]. Kwa sasa anachezea [[timu]] ya Bayonne, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14.
== Tuzo na mafanikio ==
Binafsi
Mfungaji bora wa pointi wa Top 14 mara 3:
* Msimu wa [[2013]]–[[2014]]
* Msimu wa [[2015]]–[[2016]]
* Msimu wa [[2016]]–[[2017]] <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/gaetan-germain-15353/</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
f0gp8xpi0f9e5o3goc4nk3hhl7skfbi
Florine Smith
0
243671
1584476
2026-08-05T20:41:24Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Florine Smith''' (amezaliwa mwaka 1948) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kundi la watengenezaji wa mashuka ya [[sanaa]] (quilts) la Gee's Bend. Kazi zake zinahifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya Sanaa ya San Francisco (Fine Arts Museums of San Francisco).<ref>{{Citation|last=Kimmelman|first=Michael|title=ART REVIEW; Jazzy Geometry, Cool Quilters|date=2002-11-29|url=https://www.nytimes.com/2002/11/29/arts/art-review-jazzy-geometry-cool-...'
1584476
wikitext
text/x-wiki
'''Florine Smith''' (amezaliwa mwaka 1948) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kundi la watengenezaji wa mashuka ya [[sanaa]] (quilts) la Gee's Bend. Kazi zake zinahifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya Sanaa ya San Francisco (Fine Arts Museums of San Francisco).<ref>{{Citation|last=Kimmelman|first=Michael|title=ART REVIEW; Jazzy Geometry, Cool Quilters|date=2002-11-29|url=https://www.nytimes.com/2002/11/29/arts/art-review-jazzy-geometry-cool-quilters.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2026-08-05}}</ref>
== Kazi ==
Florine Smith huanza kazi yake kwa kuchora mchoro wa muundo wa quilt kabla ya kukata na kushona vipande vya kitambaa. Mbinu hii si ya kawaida miongoni mwa watengenezaji wa quilts wa Gee's Bend. Hata hivyo, anapoanza kukata na kushona, hubadilisha na kuboresha muundo wake kwa kutumia ubunifu wa papo hapo.
Miundo yake mara nyingi huathiriwa na aina ya vitambaa anavyotumia. Kwa kuwa hupendelea kitambaa cha corduroy, ambacho huchanika na kufumuka kwa urahisi, quilts zake huwa na vipande vikubwa vya umbo la mstatili ili kuongeza uimara wa [[kazi]].
Mbali na kutengeneza quilts, Florine Smith husafiri katika maeneo mbalimbali nchini Marekani kufundisha warsha za utengenezaji wa quilts. Mafunzo yake yanasisitiza matumizi ya zana chache na mbinu rahisi, hivyo kuwasaidia watu wengi kujifunza kwa urahisi. Pia ni [[balozi]] wa kitaifa wa utamaduni na urithi wa quilting wa Gee's Bend, akihamasisha na kuhifadhi sanaa hiyo ya kipekee kwa vizazi vya sasa na vijavyo.<ref>{{Cite web|title=Florine Smith {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/florine-smith|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
cw24gk4u6tlol0qafld9gsldmm416wp
1584485
1584476
2026-08-05T20:56:30Z
Justine Msechu
45962
1584485
wikitext
text/x-wiki
'''Florine Smith''' (amezaliwa mwaka 1948) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kundi la watengenezaji wa mashuka ya [[sanaa]] (quilts) la Gee's Bend. Kazi zake zinahifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya Sanaa ya [[San Francisco]] (Fine Arts Museums of San Francisco).<ref>{{Citation|last=Kimmelman|first=Michael|title=ART REVIEW; Jazzy Geometry, Cool Quilters|date=2002-11-29|url=https://www.nytimes.com/2002/11/29/arts/art-review-jazzy-geometry-cool-quilters.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2026-08-05}}</ref>
== Kazi ==
Florine Smith huanza kazi yake kwa kuchora mchoro wa muundo wa quilt kabla ya kukata na kushona vipande vya kitambaa. Mbinu hii si ya kawaida miongoni mwa watengenezaji wa quilts wa Gee's Bend. Hata hivyo, anapoanza kukata na kushona, hubadilisha na kuboresha muundo wake kwa kutumia ubunifu wa papo hapo.
Miundo yake mara nyingi huathiriwa na aina ya vitambaa anavyotumia. Kwa kuwa hupendelea kitambaa cha corduroy, ambacho huchanika na kufumuka kwa urahisi, quilts zake huwa na vipande vikubwa vya umbo la mstatili ili kuongeza uimara wa [[kazi]].
Mbali na kutengeneza quilts, Florine Smith husafiri katika maeneo mbalimbali nchini Marekani kufundisha warsha za utengenezaji wa quilts. Mafunzo yake yanasisitiza matumizi ya zana chache na mbinu rahisi, hivyo kuwasaidia watu wengi kujifunza kwa urahisi. Pia ni [[balozi]] wa kitaifa wa utamaduni na urithi wa quilting wa Gee's Bend, akihamasisha na kuhifadhi sanaa hiyo ya kipekee kwa vizazi vya sasa na vijavyo.<ref>{{Cite web|title=Florine Smith {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/florine-smith|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
2lv1cpoetqkzpb3vuhb3uqtcl5qllpm
1584609
1584485
2026-08-06T03:54:23Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584609
wikitext
text/x-wiki
'''Florine Smith''' (amezaliwa mwaka 1948) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kundi la watengenezaji wa mashuka ya [[sanaa]] (quilts) la Gee's Bend. Kazi zake zinahifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya Sanaa ya [[San Francisco]] (Fine Arts Museums of San Francisco).<ref>{{Citation|last=Kimmelman|first=Michael|title=ART REVIEW; Jazzy Geometry, Cool Quilters|date=2002-11-29|url=https://www.nytimes.com/2002/11/29/arts/art-review-jazzy-geometry-cool-quilters.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2026-08-05}}</ref>
== Kazi ==
Florine Smith huanza kazi yake kwa kuchora mchoro wa muundo wa quilt kabla ya kukata na kushona vipande vya kitambaa. Mbinu hii si ya kawaida miongoni mwa watengenezaji wa quilts wa Gee's Bend. Hata hivyo, anapoanza kukata na kushona, hubadilisha na kuboresha muundo wake kwa kutumia ubunifu wa papo hapo.
Miundo yake mara nyingi huathiriwa na aina ya vitambaa anavyotumia. Kwa kuwa hupendelea kitambaa cha corduroy, ambacho huchanika na kufumuka kwa urahisi, quilts zake huwa na vipande vikubwa vya umbo la mstatili ili kuongeza uimara wa [[kazi]].
Mbali na kutengeneza quilts, Florine Smith husafiri katika maeneo mbalimbali nchini Marekani kufundisha warsha za utengenezaji wa quilts. Mafunzo yake yanasisitiza matumizi ya zana chache na mbinu rahisi, hivyo kuwasaidia watu wengi kujifunza kwa urahisi. Pia ni [[balozi]] wa kitaifa wa utamaduni na urithi wa quilting wa Gee's Bend, akihamasisha na kuhifadhi sanaa hiyo ya kipekee kwa vizazi vya sasa na vijavyo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Florine Smith {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/florine-smith|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1948]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
6xvwrkslzom8kmocod8keuab9j31juz
Eve Sandler
0
243672
1584477
2026-08-05T20:47:44Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Eve Sandler''' ni mchoraji, mtengenezaji wa filamu na msanii wa sanaa za mchanganyiko kutoka [[Marekani]]. Alizaliwa Harlem na ni binti wa mchoraji Alvin Sandler, pamoja na kuwa dada wa mtengenezaji wa filamu Kathe Sandler. Alianza taaluma yake ya kisanii akiwa na umri wa miaka 17. Mwanzoni alifanya [[Kazi ya kijani|kazi]] za utengenezaji wa vito vya mapambo na metali, kabla ya kujikita katika uchoraji wa michoro yenye mwinuko kuanzia miaka ya 1990. M...'
1584477
wikitext
text/x-wiki
'''Eve Sandler''' ni mchoraji, mtengenezaji wa filamu na msanii wa sanaa za mchanganyiko kutoka [[Marekani]]. Alizaliwa Harlem na ni binti wa mchoraji Alvin Sandler, pamoja na kuwa dada wa mtengenezaji wa filamu Kathe Sandler.
Alianza taaluma yake ya kisanii akiwa na umri wa miaka 17. Mwanzoni alifanya [[Kazi ya kijani|kazi]] za utengenezaji wa vito vya mapambo na metali, kabla ya kujikita katika uchoraji wa michoro yenye mwinuko kuanzia miaka ya 1990.
Mwaka 2008, kazi yake ya usakinishaji wa sanaa iliyoitwa Mami Wata Crossing ilishiriki katika maonyesho yaliyoangazia sanaa zinazohusiana na mizimu ya maji barani Afrika na katika jamii za Waafrika waliotawanyika duniani. Kazi hiyo ilichunguza uhusiano kati ya Mami Wata, historia ya ukoo na urithi wa familia, pamoja na [[safari]] ya utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.
Sandler pia alikuwa mwanachama wa kundi la wasanii wanawake Weusi, pamoja na Carole Byard, Nanette Carter na Howardena Pindell. Aidha, alikuwa msanii mkazi katika Makumbusho ya Studio ya Harlem kati ya mwaka 1990 na 1991.<ref>{{Cite web|url=https://archives.nypl.org/scm/20925|work=archives.nypl.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
Kazi zake zimeonyeshwa katika taasisi mbalimbali za sanaa, ikiwemo [[Makumbusho]] ya Sanaa ya Bronx.<ref>{{Cite web|title=Artist in the Marketplace: 1985 - Store - The Bronx Museum of the Arts|url=http://www.bronxmuseum.org/store/artist-in-the-marketplace-1985|work=www.bronxmuseum.org|accessdate=2026-08-05|author=exhibit-e.com}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
msq86kghhh375fnrnaymecqrpdb74mx
1584484
1584477
2026-08-05T20:55:33Z
Justine Msechu
45962
1584484
wikitext
text/x-wiki
'''Eve Sandler''' ni [[Uchoraji|mchoraji]], mtengenezaji wa [[filamu]] na msanii wa sanaa za mchanganyiko kutoka [[Marekani]]. Alizaliwa Harlem na ni binti wa mchoraji Alvin Sandler, pamoja na kuwa dada wa mtengenezaji wa filamu Kathe Sandler.
Alianza taaluma yake ya kisanii akiwa na umri wa miaka 17. Mwanzoni alifanya [[Kazi ya kijani|kazi]] za utengenezaji wa vito vya mapambo na metali, kabla ya kujikita katika uchoraji wa michoro yenye mwinuko kuanzia miaka ya 1990.
Mwaka 2008, kazi yake ya usakinishaji wa sanaa iliyoitwa Mami Wata Crossing ilishiriki katika maonyesho yaliyoangazia sanaa zinazohusiana na mizimu ya maji barani Afrika na katika jamii za Waafrika waliotawanyika duniani. Kazi hiyo ilichunguza uhusiano kati ya Mami Wata, historia ya ukoo na urithi wa familia, pamoja na [[safari]] ya utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.
Sandler pia alikuwa mwanachama wa kundi la wasanii wanawake Weusi, pamoja na Carole Byard, Nanette Carter na Howardena Pindell. Aidha, alikuwa msanii mkazi katika Makumbusho ya Studio ya Harlem kati ya mwaka 1990 na 1991.<ref>{{Cite web|url=https://archives.nypl.org/scm/20925|work=archives.nypl.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
Kazi zake zimeonyeshwa katika taasisi mbalimbali za sanaa, ikiwemo [[Makumbusho]] ya Sanaa ya Bronx.<ref>{{Cite web|title=Artist in the Marketplace: 1985 - Store - The Bronx Museum of the Arts|url=http://www.bronxmuseum.org/store/artist-in-the-marketplace-1985|work=www.bronxmuseum.org|accessdate=2026-08-05|author=exhibit-e.com}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
g0uurss1haq6m5nlx4k4h45ocff6k7s
1584606
1584484
2026-08-06T03:48:59Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584606
wikitext
text/x-wiki
'''Eve Sandler''' ni [[Uchoraji|mchoraji]], mtengenezaji wa [[filamu]] na msanii wa sanaa za mchanganyiko kutoka [[Marekani]]. Alizaliwa Harlem na ni binti wa mchoraji Alvin Sandler, pamoja na kuwa dada wa mtengenezaji wa filamu Kathe Sandler.
Alianza taaluma yake ya kisanii akiwa na umri wa miaka 17. Mwanzoni alifanya [[Kazi ya kijani|kazi]] za utengenezaji wa vito vya mapambo na metali, kabla ya kujikita katika uchoraji wa michoro yenye mwinuko kuanzia miaka ya 1990.
Mwaka 2008, kazi yake ya usakinishaji wa sanaa iliyoitwa Mami Wata Crossing ilishiriki katika maonyesho yaliyoangazia sanaa zinazohusiana na mizimu ya maji barani Afrika na katika jamii za Waafrika waliotawanyika duniani. Kazi hiyo ilichunguza uhusiano kati ya Mami Wata, historia ya ukoo na urithi wa familia, pamoja na [[safari]] ya utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.
Sandler pia alikuwa mwanachama wa kundi la wasanii wanawake Weusi, pamoja na Carole Byard, Nanette Carter na Howardena Pindell. Aidha, alikuwa msanii mkazi katika Makumbusho ya Studio ya Harlem kati ya mwaka 1990 na 1991.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://archives.nypl.org/scm/20925|work=archives.nypl.org|accessdate=2026-08-05}}</ref>
Kazi zake zimeonyeshwa katika taasisi mbalimbali za sanaa, ikiwemo [[Makumbusho]] ya Sanaa ya Bronx.<ref>{{Rejea tovuti|title=Artist in the Marketplace: 1985 - Store - The Bronx Museum of the Arts|url=http://www.bronxmuseum.org/store/artist-in-the-marketplace-1985|work=www.bronxmuseum.org|accessdate=2026-08-05|author=exhibit-e.com}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
b1qfsxtj36833sbb6qejwhrdda5yjfn
Benjamin Fall
0
243673
1584478
2026-08-05T20:50:50Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584478
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Benjamin Fall Racing Metro training 2012-03-13.jpg|thumb|Benjamin Fall]]
'''Benjamin Fall''' (alizaliwa [[tarehe]] [[3]] [[Machi]] [[1989]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]].
Alikuwa akicheza katika nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni).
Alikuwa sehemu ya Mashindano ya [[Dunia]] ya Raga ya Vijana ya IRB ya mwaka [[2008]] akiwa anaiwakilisha Ufaransa, ambapo alicheza michezo 4 na kufunga mabao 2 .
Baadaye alichezea [[klabu]] ya Union Bordeaux Bègles katika msimu wa [[2007]]–08 wa Rugby Pro D2, akicheza michezo 12 na kufunga tries 3, kabla ya kuhamia klabu ya Bayonne.
Baada ya kufanya vizuri katika mashindano ya Top 14, alichaguliwa kujiunga na timu ya taifa ya Ufaransa kwa ajili ya michezo ya kimataifa ya vuli ya mwaka [[2009]]. <ref>https://web.archive.org/web/20110816185133/http://frenchrugbyclub.com/Players/Racing-Metro-Players.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
25uy75rpoxaumwpu4pyraukps154t62
1584483
1584478
2026-08-05T20:54:41Z
Justine Msechu
45962
1584483
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Benjamin Fall Racing Metro training 2012-03-13.jpg|thumb|Benjamin Fall]]
'''Benjamin Fall''' (alizaliwa [[tarehe]] [[3]] [[Machi]] [[1989]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Alikuwa akicheza katika nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni). Alikuwa sehemu ya Mashindano ya [[Dunia]] ya Raga ya Vijana ya IRB ya mwaka [[2008]] akiwa anaiwakilisha Ufaransa, ambapo alicheza michezo 4 na kufunga mabao 2 .
Baadaye alichezea [[klabu]] ya Union Bordeaux Bègles katika msimu wa [[2007]]–08 wa Rugby Pro D2, akicheza michezo 12 na kufunga tries 3, kabla ya kuhamia klabu ya Bayonne.
Baada ya kufanya vizuri katika mashindano ya Top 14, alichaguliwa kujiunga na timu ya taifa ya Ufaransa kwa ajili ya michezo ya kimataifa ya vuli ya mwaka [[2009]]. <ref>https://web.archive.org/web/20110816185133/http://frenchrugbyclub.com/Players/Racing-Metro-Players.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
gd0711bdehn7goj8mq6hhb349okmomf
1584665
1584483
2026-08-06T08:39:39Z
Riccardo Riccioni
452
1584665
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Benjamin Fall Racing Metro training 2012-03-13.jpg|thumb|Benjamin Fall]]
'''Benjamin Fall''' (alizaliwa [[3 Machi]] [[1989]]) ni mchezaji wa zamani wa [[raga]] kutoka [[Ufaransa]]. Alikuwa akicheza katika nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni). Alikuwa sehemu ya Mashindano ya [[Dunia]] ya Raga ya Vijana ya IRB ya mwaka [[2008]] akiwa anaiwakilisha Ufaransa, ambapo alicheza michezo 4 na kufunga mabao 2.
Baadaye alichezea [[klabu]] ya Union Bordeaux Bègles katika msimu wa [[2007]]–08 wa Rugby Pro D2, akicheza michezo 12 na kufunga tries 3, kabla ya kuhamia klabu ya Bayonne.
Baada ya kufanya vizuri katika mashindano ya Top 14, alichaguliwa kujiunga na timu ya taifa ya Ufaransa kwa ajili ya michezo ya kimataifa ya vuli ya mwaka [[2009]]. <ref>https://web.archive.org/web/20110816185133/http://frenchrugbyclub.com/Players/Racing-Metro-Players.html</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
2ef6ltqefxyfy6a9vpbrmy57o6a74s1
Ethel Morgan Smith
0
243674
1584479
2026-08-05T20:51:57Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ethel Morgan Smith''' (aliyezaliwa tarehe 11 Aprili 1952, Louisville, Alabama) ni [[mwandishi]] na profesa mshiriki kutoka Marekani. Alipata umaarufu kwa mara ya kwanza mwaka 1997<ref>{{Citation|title=Come and be black for me|url=http://articles.baltimoresun.com/1997-02-26/news/1997057094_1_black-kids-white-woman-african-american|work=tribunedigital-baltimoresun|language=en|access-date=2026-08-05}}</ref> baada ya insha yake Come and Be Black for Me kuc...'
1584479
wikitext
text/x-wiki
'''Ethel Morgan Smith''' (aliyezaliwa tarehe 11 Aprili 1952, Louisville, Alabama) ni [[mwandishi]] na profesa mshiriki kutoka Marekani.
Alipata umaarufu kwa mara ya kwanza mwaka 1997<ref>{{Citation|title=Come and be black for me|url=http://articles.baltimoresun.com/1997-02-26/news/1997057094_1_black-kids-white-woman-african-american|work=tribunedigital-baltimoresun|language=en|access-date=2026-08-05}}</ref> baada ya insha yake Come and Be Black for Me kuchapishwa.
Smith hafahamiki kama mwanaharakati mwenye misimamo mikali. Badala yake, kazi zake mara nyingi hujaribu kujenga maelewano kati ya watu Weusi na Wazungu. Mfano wa mtazamo huo unaonekana katika mchango wake kwenye [[makala]] ya The New York Times yenye kichwa Robert Byrd, Living History.
Pia aliandika insha katika The New York Times yenye kichwa Mama(Mother), ambayo inaelezea [[maisha]] yake magumu alipokuwa msichana mdogo Mweusi na mazingira aliyozaliwa na kukulia.
Kitabu chake Reflections of the Other: Being Black in Germany kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyofika hatua ya mwisho ya tuzo za Next Generation Indie Book Awards mwaka 2014.
Aidha, Smith ni mwanachama wa The Wintergreen Women Writers Collective, kundi la waandishi [[wanawake]] linaloshirikiana katika shughuli za uandishi na ukuzaji wa fasihi.<ref>{{Cite web|title=Wintergreen Women Writers Collective|url=https://wintergreenwomenwriterscollective.com/|work=Wintergreen Women Writers Collective|accessdate=2026-08-05|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
fxflh2kjki9u2mp3dy9a685sv4zwfvz
1584481
1584479
2026-08-05T20:53:41Z
Justine Msechu
45962
1584481
wikitext
text/x-wiki
'''Ethel Morgan Smith''' (aliyezaliwa tarehe 11 Aprili 1952, Louisville, Alabama) ni [[mwandishi]] na profesa mshiriki kutoka Marekani. Alipata umaarufu kwa mara ya kwanza mwaka 1997<ref>{{Citation|title=Come and be black for me|url=http://articles.baltimoresun.com/1997-02-26/news/1997057094_1_black-kids-white-woman-african-american|work=tribunedigital-baltimoresun|language=en|access-date=2026-08-05}}</ref> baada ya insha yake Come and Be Black for Me kuchapishwa.
Smith hafahamiki kama mwanaharakati mwenye misimamo mikali. Badala yake, kazi zake mara nyingi hujaribu kujenga maelewano kati ya watu Weusi na Wazungu. Mfano wa mtazamo huo unaonekana katika mchango wake kwenye [[makala]] ya The New York Times yenye kichwa Robert Byrd, Living History. Pia aliandika insha katika The New York Times yenye kichwa Mama(Mother), ambayo inaelezea [[maisha]] yake magumu alipokuwa msichana mdogo Mweusi na mazingira aliyozaliwa na kukulia.
Kitabu chake Reflections of the Other: Being Black in Germany kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyofika hatua ya mwisho ya tuzo za Next Generation Indie Book Awards mwaka 2014.
Aidha, Smith ni mwanachama wa The Wintergreen Women Writers Collective, kundi la waandishi [[wanawake]] linaloshirikiana katika shughuli za uandishi na ukuzaji wa fasihi.<ref>{{Cite web|title=Wintergreen Women Writers Collective|url=https://wintergreenwomenwriterscollective.com/|work=Wintergreen Women Writers Collective|accessdate=2026-08-05|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
62y2d81hlk6r3gsly530k7573z01v7n
1584482
1584481
2026-08-05T20:54:07Z
Justine Msechu
45962
1584482
wikitext
text/x-wiki
'''Ethel Morgan Smith''' (alizaliwa tarehe 11 Aprili 1952, Louisville, Alabama) ni [[mwandishi]] na profesa mshiriki kutoka Marekani. Alipata umaarufu kwa mara ya kwanza mwaka 1997<ref>{{Citation|title=Come and be black for me|url=http://articles.baltimoresun.com/1997-02-26/news/1997057094_1_black-kids-white-woman-african-american|work=tribunedigital-baltimoresun|language=en|access-date=2026-08-05}}</ref> baada ya insha yake Come and Be Black for Me kuchapishwa.
Smith hafahamiki kama mwanaharakati mwenye misimamo mikali. Badala yake, kazi zake mara nyingi hujaribu kujenga maelewano kati ya watu Weusi na Wazungu. Mfano wa mtazamo huo unaonekana katika mchango wake kwenye [[makala]] ya The New York Times yenye kichwa Robert Byrd, Living History. Pia aliandika insha katika The New York Times yenye kichwa Mama(Mother), ambayo inaelezea [[maisha]] yake magumu alipokuwa msichana mdogo Mweusi na mazingira aliyozaliwa na kukulia.
Kitabu chake Reflections of the Other: Being Black in Germany kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyofika hatua ya mwisho ya tuzo za Next Generation Indie Book Awards mwaka 2014.
Aidha, Smith ni mwanachama wa The Wintergreen Women Writers Collective, kundi la waandishi [[wanawake]] linaloshirikiana katika shughuli za uandishi na ukuzaji wa fasihi.<ref>{{Cite web|title=Wintergreen Women Writers Collective|url=https://wintergreenwomenwriterscollective.com/|work=Wintergreen Women Writers Collective|accessdate=2026-08-05|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
kidj1cjlrgzpehatbruaiypiupmncx7
1584604
1584482
2026-08-06T03:47:53Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584604
wikitext
text/x-wiki
'''Ethel Morgan Smith''' (alizaliwa tarehe 11 Aprili 1952, Louisville, Alabama) ni [[mwandishi]] na profesa mshiriki kutoka Marekani. Alipata umaarufu kwa mara ya kwanza mwaka 1997<ref>{{Citation|title=Come and be black for me|url=http://articles.baltimoresun.com/1997-02-26/news/1997057094_1_black-kids-white-woman-african-american|work=tribunedigital-baltimoresun|language=en|access-date=2026-08-05}}</ref> baada ya insha yake Come and Be Black for Me kuchapishwa.
Smith hafahamiki kama mwanaharakati mwenye misimamo mikali. Badala yake, kazi zake mara nyingi hujaribu kujenga maelewano kati ya watu Weusi na Wazungu. Mfano wa mtazamo huo unaonekana katika mchango wake kwenye [[makala]] ya The New York Times yenye kichwa Robert Byrd, Living History. Pia aliandika insha katika The New York Times yenye kichwa Mama(Mother), ambayo inaelezea [[maisha]] yake magumu alipokuwa msichana mdogo Mweusi na mazingira aliyozaliwa na kukulia.
Kitabu chake Reflections of the Other: Being Black in Germany kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyofika hatua ya mwisho ya tuzo za Next Generation Indie Book Awards mwaka 2014.
Aidha, Smith ni mwanachama wa The Wintergreen Women Writers Collective, kundi la waandishi [[wanawake]] linaloshirikiana katika shughuli za uandishi na ukuzaji wa fasihi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Wintergreen Women Writers Collective|url=https://wintergreenwomenwriterscollective.com/|work=Wintergreen Women Writers Collective|accessdate=2026-08-05|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
elstt60me0ke35cl4h8iodu3sgyxqhk
Clara Burnett
0
243675
1584487
2026-08-05T20:57:34Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Clara Burnett''' (aliyezaliwa tarehe 28 Agosti 1941) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha Democratic. Alihudumu kama mwakilishi katika Baraza la Wawakilishi la Jimbo la Mississippi, akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 9, kuanzia mwaka 2004 hadi 2015. Katika kipindi chake cha uongozi, Burnett alishiriki katika shughuli za kutunga [[sheria]] na kuwakilisha maslahi ya [[wananchi]] wa jimbo lake ndani ya bunge la Mississippi.<ref>{{Cite web|ti...'
1584487
wikitext
text/x-wiki
'''Clara Burnett''' (aliyezaliwa tarehe 28 Agosti 1941) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha Democratic.
Alihudumu kama mwakilishi katika Baraza la Wawakilishi la Jimbo la Mississippi, akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 9, kuanzia mwaka 2004 hadi 2015.
Katika kipindi chake cha uongozi, Burnett alishiriki katika shughuli za kutunga [[sheria]] na kuwakilisha maslahi ya [[wananchi]] wa jimbo lake ndani ya bunge la Mississippi.<ref>{{Cite web|title=Clara Burnett|url=https://ballotpedia.org/Clara_Burnett|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Mortican|url=https://billstatus.ls.state.ms.us/members/house/burnett.xml|work=billstatus.ls.state.ms.us|accessdate=2026-08-05}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
i0sajt3m3oztwh9m4f0edvnyylfcwp9
1584490
1584487
2026-08-05T20:58:27Z
Justine Msechu
45962
1584490
wikitext
text/x-wiki
'''Clara Burnett''' (alizaliwa tarehe 28 Agosti 1941) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha Democratic.
Alihudumu kama mwakilishi katika Baraza la Wawakilishi la Jimbo la Mississippi, akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 9, kuanzia mwaka 2004 hadi 2015. Katika kipindi chake cha uongozi, Burnett alishiriki katika shughuli za kutunga [[sheria]] na kuwakilisha maslahi ya [[wananchi]] wa jimbo lake ndani ya bunge la Mississippi.<ref>{{Cite web|title=Clara Burnett|url=https://ballotpedia.org/Clara_Burnett|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-05|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Mortican|url=https://billstatus.ls.state.ms.us/members/house/burnett.xml|work=billstatus.ls.state.ms.us|accessdate=2026-08-05}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
85u85e50i4mrz2u6qj1t6z14ky7ej9r
Noa Nakaitaci
0
243676
1584492
2026-08-05T20:59:21Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584492
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Noa Nakaitaci 2014 (cropped).jpg|thumb|Noa Nakaitaci]]
'''Noa Seru Nakaitaci''' (alizaliwa [[tarehe]] [[11]] [[Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano mwenye asili ya Fiji, ambaye hucheza nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni) kwa [[timu]] ya [[taifa]] ya raga ya Ufaransa.
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon katika mashindano ya Top 14 nchini Ufaransa.
Alianza taaluma yake ya raga nchini [[Fiji]], akicheza kwa timu ya taifa ya Fiji ya vijana chini ya [[miaka]] [[20]], kabla ya kuhamia klabu ya Clermont mwaka [[2011]].
Mwaka [[2013]], alichaguliwa kuchezea Ufaransa katika mchezo dhidi ya All Blacks (timu ya taifa ya [[New Zealand]]).
Noa alikulia katika mji wa Lautoka, na mwaka [[2009]] alichaguliwa na [[kocha]] wa raga wa Lautoka kujiunga na timu kuu ya Lautoka, akitokea timu ya Lautoka chini ya miaka [[23]]. <ref>https://web.archive.org/web/20151007112515/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/36825</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=NN126675</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
eanz66fnisck017mz40rt547x7ki7gh
1584494
1584492
2026-08-05T21:00:25Z
Justine Msechu
45962
1584494
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Noa Nakaitaci 2014 (cropped).jpg|thumb|Noa Nakaitaci]]
'''Noa Seru Nakaitaci''' (alizaliwa [[tarehe]] [[11]] [[Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano mwenye asili ya Fiji, ambaye hucheza nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni) kwa [[timu]] ya [[taifa]] ya raga ya Ufaransa.
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon katika mashindano ya Top 14 nchini Ufaransa. Alianza taaluma yake ya raga nchini [[Fiji]], akicheza kwa timu ya taifa ya Fiji ya vijana chini ya [[miaka]] [[20]], kabla ya kuhamia klabu ya Clermont mwaka [[2011]]. Mwaka [[2013]], alichaguliwa kuchezea Ufaransa katika mchezo dhidi ya All Blacks (timu ya taifa ya [[New Zealand]]).
Noa alikulia katika mji wa Lautoka, na mwaka [[2009]] alichaguliwa na [[kocha]] wa raga wa Lautoka kujiunga na timu kuu ya Lautoka, akitokea timu ya Lautoka chini ya miaka [[23]]. <ref>https://web.archive.org/web/20151007112515/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/36825</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=NN126675</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
bfp2omtq8tuqiruuxzzx5bay2biagbb
1584668
1584494
2026-08-06T08:43:18Z
Riccardo Riccioni
452
1584668
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Noa Nakaitaci 2014 (cropped).jpg|thumb|Noa Nakaitaci]]
'''Noa Seru Nakaitaci''' (alizaliwa [[11 Julai]] [[1990]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano mwenye asili ya [[Fiji]], ambaye hucheza nafasi ya (mshambuliaji wa pembeni) kwa [[timu ya taifa]] ya raga ya Ufaransa.
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Toulon katika mashindano ya Top 14 nchini Ufaransa. Alianza taaluma yake ya raga nchini Fiji, akicheza kwa timu ya taifa ya Fiji ya vijana chini ya [[miaka]] 20, kabla ya kuhamia klabu ya Clermont mwaka [[2011]]. Mwaka [[2013]], alichaguliwa kuchezea Ufaransa katika mchezo dhidi ya All Blacks (timu ya taifa ya [[New Zealand]]).
Noa alikulia katika mji wa Lautoka, na mwaka [[2009]] alichaguliwa na [[kocha]] wa raga wa Lautoka kujiunga na timu kuu ya Lautoka, akitokea timu ya Lautoka chini ya miaka 23. <ref>https://web.archive.org/web/20151007112515/https://www.rugbyworldcup.com/france/player/36825</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=NN126675</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Wachezaji wa Fiji]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
e07q9138c5lz964tqlg10jpqg7t4f4x
Wang Jian (mfanyabiashara)
0
243677
1584502
2026-08-05T21:21:24Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Jian''' (Alizaliwa [[1961]] – alifariki [[Julai 3]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]]. Pamoja na [[Chen Feng]], alikuwa mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mwenza wa ''Hainan Airlines'' na konglomerati ''HNA Group'', yenye mali yenye thamani ya dola bilioni 230 kufikia mwaka [[2018]]<ref>{{Cite news |last=Kennedy |first=Dana |date=2018-07-06 |title=A Chinese Billionaire's Fatal Fall in France: Case...'
1584502
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Jian''' (Alizaliwa [[1961]] – alifariki [[Julai 3]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]]. Pamoja na [[Chen Feng]], alikuwa mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mwenza wa ''Hainan Airlines'' na konglomerati ''HNA Group'', yenye mali yenye thamani ya dola bilioni 230 kufikia mwaka [[2018]]<ref>{{Cite news |last=Kennedy |first=Dana |date=2018-07-06 |title=A Chinese Billionaire's Fatal Fall in France: Case Not Quite Closed |url=https://www.thedailybeast.com/a-chinese-billionaires-fatal-fall-in-france-case-not-quite-closed |access-date=2018-08-17 |work=The Daily Beast |language=en}}</ref><ref>{{Cite news |last=Lee |first=Se Young |title=China's HNA Chairman Wang dies in France after falling from a wall |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman/chinas-hna-chairman-wang-dies-in-france-after-falling-from-a-wall-idUSKBN1JU0SQ |access-date=2018-08-17 |work=U.S. |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite news |title=Chinese Tycoon Wang Jian Accidentally Falls To Death In France |url=https://www.ndtv.com/world-news/wang-jian-chairman-of-hna-group-dies-in-an-accident-1877762 |access-date=2018-08-17 |work=NDTV.com}}</ref>. Wang alifariki baada ya kuanguka wakati wa safari huko Bonnieux, Ufaransa, mnamo [[Julai]] [[2018]]. Licha ya uvumi na nadharia nyingi za njama, polisi wa [[Ufaransa]] walihitimisha kuwa kifo hicho kilikuwa cha ajali.<ref name=":3">{{Cite news |date=2019-01-31 |title=French police rubbish claim that death of China's HNA executive was deliberate |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman-france-idUSKCN1PP1CH |access-date=2020-05-27 |work=Reuters |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
4iriieu4ot4yn5tamvz1keqorq8u6wn
1584522
1584502
2026-08-05T23:42:28Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced.
1584522
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Jian''' (Alizaliwa [[1961]] – alifariki [[Julai 3]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]]. Pamoja na [[Chen Feng]], alikuwa mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mwenza wa ''Hainan Airlines'' na konglomerati ''HNA Group'', yenye mali yenye thamani ya dola bilioni 230 kufikia mwaka [[2018]]<ref>{{Rejea habari |last=Kennedy |first=Dana |date=2018-07-06 |title=A Chinese Billionaire's Fatal Fall in France: Case Not Quite Closed |url=https://www.thedailybeast.com/a-chinese-billionaires-fatal-fall-in-france-case-not-quite-closed |access-date=2018-08-17 |work=The Daily Beast |language=en}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Lee |first=Se Young |title=China's HNA Chairman Wang dies in France after falling from a wall |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman/chinas-hna-chairman-wang-dies-in-france-after-falling-from-a-wall-idUSKBN1JU0SQ |access-date=2018-08-17 |work=U.S. |language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea habari |title=Chinese Tycoon Wang Jian Accidentally Falls To Death In France |url=https://www.ndtv.com/world-news/wang-jian-chairman-of-hna-group-dies-in-an-accident-1877762 |access-date=2018-08-17 |work=NDTV.com}}</ref>. Wang alifariki baada ya kuanguka wakati wa safari huko Bonnieux, Ufaransa, mnamo [[Julai]] [[2018]]. Licha ya uvumi na nadharia nyingi za njama, polisi wa [[Ufaransa]] walihitimisha kuwa kifo hicho kilikuwa cha ajali.<ref name=":3">{{Rejea habari |date=2019-01-31 |title=French police rubbish claim that death of China's HNA executive was deliberate |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman-france-idUSKCN1PP1CH |access-date=2020-05-27 |work=Reuters |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
3na3q0nx2nzci0nwpx7i1gq0qz3khoz
1584539
1584522
2026-08-06T02:55:39Z
Justine Msechu
45962
1584539
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Jian''' (Alizaliwa [[1961]] – alifariki [[Julai 3]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]]. Pamoja na [[Chen Feng]], alikuwa mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mwenza wa ''Hainan Airlines'' na konglomerati ''HNA Group'', yenye mali yenye thamani ya dola bilioni 230 kufikia mwaka [[2018]]<ref>{{Rejea habari |last=Kennedy |first=Dana |date=2018-07-06 |title=A Chinese Billionaire's Fatal Fall in France: Case Not Quite Closed |url=https://www.thedailybeast.com/a-chinese-billionaires-fatal-fall-in-france-case-not-quite-closed |access-date=2018-08-17 |work=The Daily Beast |language=en}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Lee |first=Se Young |title=China's HNA Chairman Wang dies in France after falling from a wall |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman/chinas-hna-chairman-wang-dies-in-france-after-falling-from-a-wall-idUSKBN1JU0SQ |access-date=2018-08-17 |work=U.S. |language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea habari |title=Chinese Tycoon Wang Jian Accidentally Falls To Death In France |url=https://www.ndtv.com/world-news/wang-jian-chairman-of-hna-group-dies-in-an-accident-1877762 |access-date=2018-08-17 |work=NDTV.com}}</ref>. Wang alifariki baada ya kuanguka wakati wa safari huko Bonnieux, Ufaransa, mnamo [[Julai]] [[2018]]. Licha ya uvumi na nadharia nyingi za njama, polisi wa [[Ufaransa]] walihitimisha kuwa kifo hicho kilikuwa cha ajali.<ref name=":3">{{Rejea habari |date=2019-01-31 |title=French police rubbish claim that death of China's HNA executive was deliberate |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman-france-idUSKCN1PP1CH |access-date=2020-05-27 |work=Reuters |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
qp25dlaz0j1nwtg4nddstl4pvw67zac
1584669
1584539
2026-08-06T08:43:50Z
Riccardo Riccioni
452
1584669
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Jian''' ([[1961]] – [[Julai 3]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]]. Pamoja na [[Chen Feng]], alikuwa mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mwenza wa ''Hainan Airlines'' na konglomerati ''HNA Group'', yenye mali yenye thamani ya dola bilioni 230 kufikia mwaka [[2018]]<ref>{{Rejea habari |last=Kennedy |first=Dana |date=2018-07-06 |title=A Chinese Billionaire's Fatal Fall in France: Case Not Quite Closed |url=https://www.thedailybeast.com/a-chinese-billionaires-fatal-fall-in-france-case-not-quite-closed |access-date=2018-08-17 |work=The Daily Beast |language=en}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Lee |first=Se Young |title=China's HNA Chairman Wang dies in France after falling from a wall |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman/chinas-hna-chairman-wang-dies-in-france-after-falling-from-a-wall-idUSKBN1JU0SQ |access-date=2018-08-17 |work=U.S. |language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea habari |title=Chinese Tycoon Wang Jian Accidentally Falls To Death In France |url=https://www.ndtv.com/world-news/wang-jian-chairman-of-hna-group-dies-in-an-accident-1877762 |access-date=2018-08-17 |work=NDTV.com}}</ref>. Wang alifariki baada ya kuanguka wakati wa safari huko Bonnieux, Ufaransa, mnamo [[Julai]] [[2018]]. Licha ya uvumi na nadharia nyingi za njama, polisi wa [[Ufaransa]] walihitimisha kuwa kifo hicho kilikuwa cha ajali.<ref name=":3">{{Rejea habari |date=2019-01-31 |title=French police rubbish claim that death of China's HNA executive was deliberate |url=https://www.reuters.com/article/us-hna-chairman-france-idUSKCN1PP1CH |access-date=2020-05-27 |work=Reuters |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1961]]
[[Jamii:Waliofariki 2018]]
kedqs4im5kkr104pyory1l5855a8uwy
Huang Xu (mfanyabiashara)
0
243678
1584503
2026-08-05T21:23:54Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Huang Xu''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa semikondakta ya ''Fuzhou Rockchip Electronics''.Anaishi [[Fuzhou]], China.[[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Cite web|first= |last= |authorlink= |title=Huang Xu |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - The World's Billionaire...'
1584503
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Xu''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa semikondakta ya ''Fuzhou Rockchip Electronics''.Anaishi [[Fuzhou]], China.[[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Cite web|first= |last= |authorlink= |title=Huang Xu |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/huang-xu/?list=billionaires&sh=69eaec007b3a |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
q7lav9dilqco3resp3v8salyvki6q72
1584557
1584503
2026-08-06T03:09:00Z
Justine Msechu
45962
1584557
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Xu''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa semikondakta ya ''Fuzhou Rockchip Electronics''.Anaishi [[Fuzhou]], China.[[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Cite web|first= |last= |authorlink= |title=Huang Xu |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/huang-xu/?list=billionaires&sh=69eaec007b3a |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
pa8wq8mt0x9yp3y6nf2aq8586j9128r
1584612
1584557
2026-08-06T04:21:14Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584612
wikitext
text/x-wiki
'''Huang Xu''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye alianzisha kampuni ya utengenezaji wa semikondakta ya ''Fuzhou Rockchip Electronics''.Anaishi [[Fuzhou]], China.[[Forbes]] inaorodhesha utajiri wake kufikia Aprili [[2022]] kuwa dola bilioni 1.1 za [[Marekani]].<ref name=FobesList2022>{{Rejea tovuti|first= |last= |authorlink= |title=Huang Xu |website=[[Forbes (magazine)|Forbes]] - [[The World's Billionaires]]|date= |url= https://www.forbes.com/profile/huang-xu/?list=billionaires&sh=69eaec007b3a |accessdate=August 19, 2022|archive-url=| archive-date=}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
kyjclc14iw83hovicpzu6h9xcifdtai
Yu Rong (mfanyabiashara)
0
243679
1584504
2026-08-05T21:25:43Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Yu Rong''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya huduma za afya ''Meinian Onehealth''<ref>{{Cite web|title=Rong Yu|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/17258633|access-date=2020-06-05|website=www.bloomberg.com}}</ref>. Anaishi [[Shanghai]], na alihitimu kutoka ''China Europe International Business School''.<ref>{{Cite web|title=Yu Rong|url=https://www.forbes.com/profile/yu-rong/|access-date=2020-06-05...'
1584504
wikitext
text/x-wiki
'''Yu Rong''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya huduma za afya ''Meinian Onehealth''<ref>{{Cite web|title=Rong Yu|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/17258633|access-date=2020-06-05|website=www.bloomberg.com}}</ref>. Anaishi [[Shanghai]], na alihitimu kutoka ''China Europe International Business School''.<ref>{{Cite web|title=Yu Rong|url=https://www.forbes.com/profile/yu-rong/|access-date=2020-06-05|website=Forbes|lang=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa China]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
atee1vy4wumc0lw1g69j1d8z1wx8xmw
1584524
1584504
2026-08-05T23:50:53Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584524
wikitext
text/x-wiki
'''Yu Rong''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya huduma za afya ''Meinian Onehealth''<ref>{{Rejea tovuti|title=Rong Yu|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/17258633|access-date=2020-06-05|website=www.bloomberg.com}}</ref>. Anaishi [[Shanghai]], na alihitimu kutoka ''China Europe International Business School''.<ref>{{Rejea tovuti|title=Yu Rong|url=https://www.forbes.com/profile/yu-rong/|access-date=2020-06-05|website=Forbes|lang=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa China]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
nnb16f0zstdrvgqm3o8qe7t1fuf10wl
1584555
1584524
2026-08-06T03:08:02Z
Justine Msechu
45962
1584555
wikitext
text/x-wiki
'''Yu Rong''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya huduma za afya ''Meinian Onehealth''<ref>{{Rejea tovuti|title=Rong Yu|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/17258633|access-date=2020-06-05|website=www.bloomberg.com}}</ref>. Anaishi [[Shanghai]], na alihitimu kutoka ''China Europe International Business School''.<ref>{{Rejea tovuti|title=Yu Rong|url=https://www.forbes.com/profile/yu-rong/|access-date=2020-06-05|website=Forbes|lang=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa China]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
th8ydvx2qrkaqf96poatm5fosud1vie
Sun Xiang (mfanyabiashara)
0
243680
1584505
2026-08-05T21:30:18Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sun Xiang''' (Alizaliwa [[1982]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye anahudumu kama rais wa ''Hebei Sinogiant Group'', pia inajulikana kama ''Xinhua Metallurgical Holding Group'', shirika la makampuni ya kibinafsi ya chuma na viwanda yenye makao yake [[Hebei]]. Aliorodheshwa nambari 269 kwenye [[Forbes]] listi ya wachina matajiri ya mwaka [[2015]], akiwa na utajiri uliokadiriwa kuwa dola bilioni 1.12.<ref name="SixthTone2019">{{cite...'
1584505
wikitext
text/x-wiki
'''Sun Xiang''' (Alizaliwa [[1982]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye anahudumu kama rais wa ''Hebei Sinogiant Group'', pia inajulikana kama ''Xinhua Metallurgical Holding Group'', shirika la makampuni ya kibinafsi ya chuma na viwanda yenye makao yake [[Hebei]]. Aliorodheshwa nambari 269 kwenye [[Forbes]] listi ya wachina matajiri ya mwaka [[2015]], akiwa na utajiri uliokadiriwa kuwa dola bilioni 1.12.<ref name="SixthTone2019">{{cite news |last=Qian |first=Zhecheng |date=6 August 2019 |title=Chinese Policymaker Probed Over Dual Citizenship |work=Sixth Tone |url=https://www.sixthtone.com/news/1004399 |access-date=15 April 2026}}</ref><ref name="ForbesProfile">{{cite web |title=Sun Xiang & family |url=https://www.forbes.com/profile/sun-xiang/ |website=Forbes |access-date=15 April 2026}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3f2r8fype1d58mfbfrba1yhxb0t3bbx
1584554
1584505
2026-08-06T03:07:43Z
Justine Msechu
45962
1584554
wikitext
text/x-wiki
'''Sun Xiang''' (Alizaliwa [[1982]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] ambaye anahudumu kama raisi wa ''Hebei Sinogiant Group'', pia inajulikana kama ''Xinhua Metallurgical Holding Group'', shirika la makampuni ya kibinafsi ya chuma na viwanda yenye makao yake [[Hebei]]. Aliorodheshwa nambari 269 kwenye [[Forbes]] listi ya wachina matajiri ya mwaka [[2015]], akiwa na utajiri uliokadiriwa kuwa dola bilioni 1.12.<ref name="SixthTone2019">{{cite news |last=Qian |first=Zhecheng |date=6 August 2019 |title=Chinese Policymaker Probed Over Dual Citizenship |work=Sixth Tone |url=https://www.sixthtone.com/news/1004399 |access-date=15 April 2026}}</ref><ref name="ForbesProfile">{{cite web |title=Sun Xiang & family |url=https://www.forbes.com/profile/sun-xiang/ |website=Forbes |access-date=15 April 2026}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1982]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0umqh4kjjleljuj9u33csdbltmh9cop
Li Jinyuan (mfanyabiashara)
0
243681
1584506
2026-08-05T21:34:02Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Li Jinyuan''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji, na mfadhili nchini [[Uchina]]. Yeye ni mwanzilishi, afisa mkuu mtendaji, na mwenyekiti wa ''Tiens Group'', muuzaji wa wa bidhaa za afya.Alionekana kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea wa mwaka [[2011]] kama mtu wa 24 tajiri zaidi nchini Uchina wakati huo.<ref>{{cite news|url=https://www.forbes.com/lists/2011/10/billionaires_2011.html|title=The world's billionaires 2011|w...'
1584506
wikitext
text/x-wiki
'''Li Jinyuan''' (Alizaliwa [[1958]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji, na mfadhili nchini [[Uchina]]. Yeye ni mwanzilishi, afisa mkuu mtendaji, na mwenyekiti wa ''Tiens Group'', muuzaji wa wa bidhaa za afya.Alionekana kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea wa mwaka [[2011]] kama mtu wa 24 tajiri zaidi nchini Uchina wakati huo.<ref>{{cite news|url=https://www.forbes.com/lists/2011/10/billionaires_2011.html|title=The world's billionaires 2011|work=Forbes|year=2011}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
g153y6sblj97aoe349sbhycwpgkijfi
Jiang Bin (mjasiriamali)
0
243682
1584508
2026-08-05T21:39:31Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jiang Bin''' (Alizaliwa [[1966]] au [[1967]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]], ambaye alianzisha kampuni ya vipengele vya sauti ''GoerTek'' pamoja na mkewe Hu Shuangmei. Yeye ni mwenyekiti wa GoerTek. Jiang pia alihudumu kama mjumbe wa ''14th National People's Congress''.<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Jiang Bin|url=https://www.forbes.com/profile/jiang-bin/ |website=Forbes|accessdate=5 June 2018}}</ref> == Mar...'
1584508
wikitext
text/x-wiki
'''Jiang Bin''' (Alizaliwa [[1966]] au [[1967]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Uchina]], ambaye alianzisha kampuni ya vipengele vya sauti ''GoerTek'' pamoja na mkewe Hu Shuangmei. Yeye ni mwenyekiti wa GoerTek. Jiang pia alihudumu kama mjumbe wa ''14th National People's Congress''.<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Jiang Bin|url=https://www.forbes.com/profile/jiang-bin/ |website=Forbes|accessdate=5 June 2018}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1966]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
9hk5qodezwdx6i57qrdwsp5jjdzxxu8
Bonnaye Mims
0
243683
1584528
2026-08-06T02:18:50Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bonnaye Mims''' (aliyezaliwa tarehe 12 Desemba 1952) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]]. Ni mwanachama wa Chama cha Democratic na aliwahi kuwa [[mbunge]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Jimbo]] la Missouri, ambapo alianza kuhudumu mwaka 2013.<ref>{{Cite web|title=Vote Smart {{!}} Facts For All|url=https://justfacts.votesmart.org/|work=justfacts.votesmart.org|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Missouri House of Representativ...'
1584528
wikitext
text/x-wiki
'''Bonnaye Mims''' (aliyezaliwa tarehe 12 Desemba 1952) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]].
Ni mwanachama wa Chama cha Democratic na aliwahi kuwa [[mbunge]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Jimbo]] la Missouri, ambapo alianza kuhudumu mwaka 2013.<ref>{{Cite web|title=Vote Smart {{!}} Facts For All|url=https://justfacts.votesmart.org/|work=justfacts.votesmart.org|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Missouri House of Representatives|url=http://www.house.mo.gov/bio.aspx?year=2016&district=037|work=www.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref>
Katika uchaguzi wa mwaka 2016, Mims aligombea tena nafasi yake lakini alishindwa na Richard Brown, ambaye alichaguliwa kuchukua nafasi hiyo.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
av2r91x05oyug5il3awfbo49d0mtwrf
1584570
1584528
2026-08-06T03:16:41Z
Justine Msechu
45962
1584570
wikitext
text/x-wiki
'''Bonnaye Mims''' (alizaliwa tarehe [[12 Desemba]] [[1952]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]].
Ni mwanachama wa [[Chama cha Democrat|Chama cha Democratic]] na aliwahi kuwa [[mbunge]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Missouri|Jimbo la Missouri]], ambapo alianza kuhudumu mwaka 2013.<ref>{{Cite web|title=Vote Smart {{!}} Facts For All|url=https://justfacts.votesmart.org/|work=justfacts.votesmart.org|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Missouri House of Representatives|url=http://www.house.mo.gov/bio.aspx?year=2016&district=037|work=www.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref> Katika uchaguzi wa mwaka 2016, Mims aligombea tena nafasi yake lakini alishindwa na Richard Brown, ambaye alichaguliwa kuchukua nafasi hiyo.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
mj8w2ktsw598nzcxjdt6ei81rdtn0x2
1584671
1584570
2026-08-06T08:45:37Z
Riccardo Riccioni
452
1584671
wikitext
text/x-wiki
'''Bonnaye Mims''' (alizaliwa [[12 Desemba]] [[1952]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]]. Ni mwanachama wa [[Chama cha Democrat]] na aliwahi kuwa [[mbunge]] katika Baraza la Wawakilishi la [[Missouri|Jimbo la Missouri]], ambapo alianza kuhudumu mwaka 2013.<ref>{{Cite web|title=Vote Smart {{!}} Facts For All|url=https://justfacts.votesmart.org/|work=justfacts.votesmart.org|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Missouri House of Representatives|url=http://www.house.mo.gov/bio.aspx?year=2016&district=037|work=www.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref> Katika uchaguzi wa mwaka 2016, Mims aligombea tena nafasi yake lakini alishindwa na Richard Brown, ambaye alichaguliwa kuchukua nafasi hiyo.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
7qsg4i98fmryk2o18hp7iynf7cty0yo
Allison Williams (mwanasoka)
0
243684
1584529
2026-08-06T02:25:02Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Allison Williams''' (aliyezaliwa tarehe 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa mpira wa miguu aliyelelewa nchini Marekani mwenye uraia wa Saint Kitts na Nevis. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Web...'
1584529
wikitext
text/x-wiki
'''Allison Williams''' (aliyezaliwa tarehe 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa mpira wa miguu aliyelelewa nchini Marekani mwenye uraia wa Saint Kitts na Nevis. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Website|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Katika ngazi ya kimataifa, Williams aliichezea Saint Kitts na Nevis kwenye mashindano ya kufuzu [[Kombe]] la Wanawake la CONCACAF mwaka 2018.
Pia alishiriki katika Mashindano ya Kufuzu [[Olimpiki]] ya Wanawake ya CONCACAF mwaka 2020, ambapo aliingia kipindi cha pili kama mchezaji wa akiba katika mechi ambayo Saint Kitts na Nevis ilifungwa mabao 11–0 na Canada. Matokeo hayo ni miongoni mwa vipigo vikubwa zaidi katika [[historia]] ya timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Tasha strikes late to deny St Kitts and Nevis; T&T need goal fest on Sunday after surprise draw|url=https://wired868.com/2018/05/25/tasha-strikes-late-to-deny-st-kitts-and-nevis-tt-need-goal-fest-on-sunday-after-surprise-draw/|work=Wired868|date=2018-05-26|accessdate=2026-08-06|language=en-US|author=Lasana Liburd}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Marekani]]
igesdz65ysdlxhjxt830xbapc5mso9u
1584550
1584529
2026-08-06T03:04:32Z
Justine Msechu
45962
1584550
wikitext
text/x-wiki
'''Allison Williams''' (alizaliwa tarehe 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] aliyelelewa nchini [[Marekani]] mwenye uraia wa [[Saint Kitts na Nevis]]. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Website|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Katika ngazi ya kimataifa, Williams aliichezea Saint Kitts na Nevis kwenye mashindano ya kufuzu [[Kombe]] la Wanawake la CONCACAF mwaka 2018.
Pia alishiriki katika Mashindano ya Kufuzu [[Olimpiki]] ya Wanawake ya CONCACAF mwaka 2020, ambapo aliingia kipindi cha pili kama mchezaji wa akiba katika mechi ambayo Saint Kitts na Nevis ilifungwa mabao 11–0 na Canada. Matokeo hayo ni miongoni mwa vipigo vikubwa zaidi katika [[historia]] ya timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Tasha strikes late to deny St Kitts and Nevis; T&T need goal fest on Sunday after surprise draw|url=https://wired868.com/2018/05/25/tasha-strikes-late-to-deny-st-kitts-and-nevis-tt-need-goal-fest-on-sunday-after-surprise-draw/|work=Wired868|date=2018-05-26|accessdate=2026-08-06|language=en-US|author=Lasana Liburd}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Marekani]]
5tpkvve51acehz8z8fii9o0pubr5ofr
1584673
1584550
2026-08-06T08:46:36Z
Riccardo Riccioni
452
1584673
wikitext
text/x-wiki
'''Allison Williams''' (alizaliwa 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] aliyelelewa nchini [[Marekani]] mwenye uraia wa [[Saint Kitts na Nevis]]. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Website|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Katika ngazi ya kimataifa, Williams aliichezea Saint Kitts na Nevis kwenye mashindano ya kufuzu [[Kombe]] la Wanawake la CONCACAF mwaka 2018.
Pia alishiriki katika Mashindano ya Kufuzu [[Olimpiki]] ya Wanawake ya CONCACAF mwaka 2020, ambapo aliingia kipindi cha pili kama mchezaji wa akiba katika mechi ambayo Saint Kitts na Nevis ilifungwa mabao 11–0 na Canada. Matokeo hayo ni miongoni mwa vipigo vikubwa zaidi katika [[historia]] ya timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Tasha strikes late to deny St Kitts and Nevis; T&T need goal fest on Sunday after surprise draw|url=https://wired868.com/2018/05/25/tasha-strikes-late-to-deny-st-kitts-and-nevis-tt-need-goal-fest-on-sunday-after-surprise-draw/|work=Wired868|date=2018-05-26|accessdate=2026-08-06|language=en-US|author=Lasana Liburd}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Saint Kitts na Nevis]]
0j235fviqcuivd4xcato4tk1goie6ua
1584682
1584673
2026-08-06T08:58:34Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Allison Williams (mchezaji wa soka)]] hadi [[Allison Williams (wanasoka)]]: urahisi wa kuupata
1584673
wikitext
text/x-wiki
'''Allison Williams''' (alizaliwa 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] aliyelelewa nchini [[Marekani]] mwenye uraia wa [[Saint Kitts na Nevis]]. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Website|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Katika ngazi ya kimataifa, Williams aliichezea Saint Kitts na Nevis kwenye mashindano ya kufuzu [[Kombe]] la Wanawake la CONCACAF mwaka 2018.
Pia alishiriki katika Mashindano ya Kufuzu [[Olimpiki]] ya Wanawake ya CONCACAF mwaka 2020, ambapo aliingia kipindi cha pili kama mchezaji wa akiba katika mechi ambayo Saint Kitts na Nevis ilifungwa mabao 11–0 na Canada. Matokeo hayo ni miongoni mwa vipigo vikubwa zaidi katika [[historia]] ya timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Tasha strikes late to deny St Kitts and Nevis; T&T need goal fest on Sunday after surprise draw|url=https://wired868.com/2018/05/25/tasha-strikes-late-to-deny-st-kitts-and-nevis-tt-need-goal-fest-on-sunday-after-surprise-draw/|work=Wired868|date=2018-05-26|accessdate=2026-08-06|language=en-US|author=Lasana Liburd}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Saint Kitts na Nevis]]
0j235fviqcuivd4xcato4tk1goie6ua
1584685
1584682
2026-08-06T08:59:00Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Allison Williams (wanasoka)]] hadi [[Allison Williams (mwanasoka)]]: usahihi wa jina
1584673
wikitext
text/x-wiki
'''Allison Williams''' (alizaliwa 15 Machi 1998) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] aliyelelewa nchini [[Marekani]] mwenye uraia wa [[Saint Kitts na Nevis]]. Anacheza katika nafasi ya beki wa kulia na anaiwakilisha timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Allison Williams - Soccer Stats, Profile & Career Info {{!}} Global Sports Archive|url=https://globalsportsarchive.com/en/soccer/athlete/allison-williams/256864|work=GSA Website|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Katika ngazi ya kimataifa, Williams aliichezea Saint Kitts na Nevis kwenye mashindano ya kufuzu [[Kombe]] la Wanawake la CONCACAF mwaka 2018.
Pia alishiriki katika Mashindano ya Kufuzu [[Olimpiki]] ya Wanawake ya CONCACAF mwaka 2020, ambapo aliingia kipindi cha pili kama mchezaji wa akiba katika mechi ambayo Saint Kitts na Nevis ilifungwa mabao 11–0 na Canada. Matokeo hayo ni miongoni mwa vipigo vikubwa zaidi katika [[historia]] ya timu ya taifa ya wanawake ya Saint Kitts na Nevis.<ref>{{Cite web|title=Tasha strikes late to deny St Kitts and Nevis; T&T need goal fest on Sunday after surprise draw|url=https://wired868.com/2018/05/25/tasha-strikes-late-to-deny-st-kitts-and-nevis-tt-need-goal-fest-on-sunday-after-surprise-draw/|work=Wired868|date=2018-05-26|accessdate=2026-08-06|language=en-US|author=Lasana Liburd}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Saint Kitts na Nevis]]
0j235fviqcuivd4xcato4tk1goie6ua
Tonya R. Moore
0
243685
1584531
2026-08-06T02:32:14Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tonya R. Moore''' ni [[mwandishi]] wa hadithi za kubuni za kifasihi (speculative fiction), mhariri na mshairi aliyewahi kuteuliwa kwa [[tuzo]] mbalimbali za fasihi. Alizaliwa nchini Jamaica na kwa sasa anaishi Florida, Marekani. == Kazi ya uandishi == Mwaka 2020, Moore aliteuliwa kuwa Mhariri wa Upokeaji wa Mashairi katika jarida la fasihi la FIYAH Literary Magazine. Mwaka huo pia alichapisha mkusanyiko wa kazi zake za hadithi za [[sayansi]] bunifu, fa...'
1584531
wikitext
text/x-wiki
'''Tonya R. Moore''' ni [[mwandishi]] wa hadithi za kubuni za kifasihi (speculative fiction), mhariri na mshairi aliyewahi kuteuliwa kwa [[tuzo]] mbalimbali za fasihi. Alizaliwa nchini Jamaica na kwa sasa anaishi Florida, Marekani.
== Kazi ya uandishi ==
Mwaka 2020, Moore aliteuliwa kuwa Mhariri wa Upokeaji wa Mashairi katika jarida la fasihi la FIYAH Literary Magazine. Mwaka huo pia alichapisha mkusanyiko wa kazi zake za hadithi za [[sayansi]] bunifu, fantasia na kutisha wenye jina Odes to the Multiverse.<ref>{{Cite web|title=Authors|url=https://www.storyhour2020.com/authors|work=Story Hour|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Mwaka 2022, Moore aliteuliwa kuwania Tuzo ya Hugo katika kipengele cha Jarida Bora la Kitaaluma Nusu (Best Semi-Prozine) kutokana na kazi yake katika FIYAH Literary Magazine.
Katika mwaka huohuo, alikuwa mmoja wa washiriki watatu waliofika hatua ya mwisho ya Analog Award for Emerging Black Voices, tuzo inayotambua waandishi chipukizi Weusi katika [[fasihi]] ya kubuni. Pia alichaguliwa kuwa Voodoonauts Fellow Voodoonauts Fellow, programu inayowaunga mkono waandishi wanaoibukia katika fasihi ya kubuni.<ref>{{Cite web|title=Tonya R.Moore @SpaceAgeMermaid is a speculative fiction writer, editor, & podcaster based in Sebring, Florida.She grew up on the island of Jamaica & many of her stories are inspired by West Indian https://t.co/vCl44RWoCn of her most recently published works was on @NightlightPod https://t.co/QQl4b5ZL7h|url=https://x.com/voodoonauts/status/1555008618323394561|work=Twitter|accessdate=2026-08-06|author=Voodoonauts Summer Fellowship [@voodoonauts]}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
5p56lft3gfhmrkak9ioagx4yrj6r7d3
1584547
1584531
2026-08-06T03:01:15Z
Justine Msechu
45962
1584547
wikitext
text/x-wiki
'''Tonya R. Moore''' ni [[mwandishi]] wa hadithi za kubuni za [[Fasihi|kifasihi]] (speculative fiction), mhariri na mshairi aliyewahi kuteuliwa kwa [[tuzo]] mbalimbali za fasihi. Alizaliwa nchini [[Jamaika|Jamaica]] na kwa sasa anaishi [[Florida|Florida, Marekani]].
== Kazi ya uandishi ==
Mwaka 2020, Moore aliteuliwa kuwa Mhariri wa Upokeaji wa Mashairi katika jarida la fasihi la FIYAH Literary Magazine. Mwaka huo pia alichapisha mkusanyiko wa kazi zake za hadithi za [[sayansi]] bunifu, fantasia na kutisha wenye jina Odes to the Multiverse.<ref>{{Cite web|title=Authors|url=https://www.storyhour2020.com/authors|work=Story Hour|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref> Mwaka 2022, Moore aliteuliwa kuwania Tuzo ya Hugo katika kipengele cha Jarida Bora la Kitaaluma Nusu (Best Semi-Prozine) kutokana na kazi yake katika FIYAH Literary Magazine. Katika mwaka huohuo, alikuwa mmoja wa washiriki watatu waliofika hatua ya mwisho ya Analog Award for Emerging Black Voices, tuzo inayotambua waandishi chipukizi Weusi katika [[fasihi]] ya kubuni. Pia alichaguliwa kuwa Voodoonauts Fellow Voodoonauts Fellow, programu inayowaunga mkono waandishi wanaoibukia katika fasihi ya kubuni.<ref>{{Cite web|title=Tonya R.Moore @SpaceAgeMermaid is a speculative fiction writer, editor, & podcaster based in Sebring, Florida.She grew up on the island of Jamaica & many of her stories are inspired by West Indian https://t.co/vCl44RWoCn of her most recently published works was on @NightlightPod https://t.co/QQl4b5ZL7h|url=https://x.com/voodoonauts/status/1555008618323394561|work=Twitter|accessdate=2026-08-06|author=Voodoonauts Summer Fellowship [@voodoonauts]}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
9e4xguuur9o525hmb01pnzdnno4orvw
1584680
1584547
2026-08-06T08:53:57Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584680
wikitext
text/x-wiki
'''Tonya R. Moore''' ni [[mwandishi]] wa hadithi za kubuni za [[Fasihi|kifasihi]] (speculative fiction), mhariri na mshairi aliyewahi kuteuliwa kwa [[tuzo]] mbalimbali za fasihi. Alizaliwa nchini [[Jamaika|Jamaica]] na kwa sasa anaishi [[Florida|Florida, Marekani]].
== Kazi ya uandishi ==
Mwaka 2020, Moore aliteuliwa kuwa Mhariri wa Upokeaji wa Mashairi katika jarida la fasihi la FIYAH Literary Magazine. Mwaka huo pia alichapisha mkusanyiko wa kazi zake za hadithi za [[sayansi]] bunifu, fantasia na kutisha wenye jina Odes to the Multiverse.<ref>{{Rejea tovuti|title=Authors|url=https://www.storyhour2020.com/authors|work=Story Hour|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref> Mwaka 2022, Moore aliteuliwa kuwania Tuzo ya Hugo katika kipengele cha Jarida Bora la Kitaaluma Nusu (Best Semi-Prozine) kutokana na kazi yake katika FIYAH Literary Magazine. Katika mwaka huohuo, alikuwa mmoja wa washiriki watatu waliofika hatua ya mwisho ya Analog Award for Emerging Black Voices, tuzo inayotambua waandishi chipukizi Weusi katika [[fasihi]] ya kubuni. Pia alichaguliwa kuwa Voodoonauts Fellow Voodoonauts Fellow, programu inayowaunga mkono waandishi wanaoibukia katika fasihi ya kubuni.<ref>{{Rejea tovuti|title=Tonya R.Moore @SpaceAgeMermaid is a speculative fiction writer, editor, & podcaster based in Sebring, Florida.She grew up on the island of Jamaica & many of her stories are inspired by West Indian https://t.co/vCl44RWoCn of her most recently published works was on @NightlightPod https://t.co/QQl4b5ZL7h|url=https://x.com/voodoonauts/status/1555008618323394561|work=Twitter|accessdate=2026-08-06|author=Voodoonauts Summer Fellowship [@voodoonauts]}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
8rv81opxxa25l76pgyndfo5qq0nahsf
Ruth Bolden
0
243686
1584532
2026-08-06T02:38:30Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ruth Bolden''' (15 Mei 1910 – 12 Mei 2004) alikuwa mwanzilishi wa [[maktaba]] na [[mwanaharakati]] wa haki za kiraia nchini Marekani. Alisaidia kuanzisha maktaba ambayo baadaye ilikuja kujulikana kama Weaver-Bolden Branch Library, tawi la mfumo wa Maktaba ya Umma ya Tuscaloosa huko Tuscaloosa, Alabama. Maktaba hiyo ilipewa jina lake pamoja na la Dkt. George Weaver kwa heshima ya mchango wao. == Maisha na kazi == Bolden alizaliwa katika Kaunti ya Bib...'
1584532
wikitext
text/x-wiki
'''Ruth Bolden''' (15 Mei 1910 – 12 Mei 2004) alikuwa mwanzilishi wa [[maktaba]] na [[mwanaharakati]] wa haki za kiraia nchini Marekani.
Alisaidia kuanzisha maktaba ambayo baadaye ilikuja kujulikana kama Weaver-Bolden Branch Library, tawi la mfumo wa Maktaba ya Umma ya Tuscaloosa huko Tuscaloosa, Alabama. Maktaba hiyo ilipewa jina lake pamoja na la Dkt. George Weaver kwa heshima ya mchango wao.
== Maisha na kazi ==
Bolden alizaliwa katika Kaunti ya Bibb, jimbo la Alabama, tarehe 15 Mei 1910.<ref>{{Citation|title=Library Founder Dies Three Days Before 94th Birthday|date=2004-05-15|url=https://tavm.omeka.net/items/show/2000|others=Tuscaloosa Public Library|access-date=2026-08-06}}</ref>
Alijitahidi kujigharamia masomo yake kwa kufanya [[kazi]], na mwaka 1952 alihitimu kutoka Stillman College. Baadaye alipata [[shahada]] ya uzamili katika Sayansi ya Maktaba kutoka Chuo Kikuu cha Atlanta.
Kupitia kazi yake ya kuendeleza huduma za [[maktaba]] na kupigania haki za kiraia, Ruth Bolden alitoa mchango mkubwa katika kuboresha upatikanaji wa elimu na taarifa kwa jamii yake.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1910]]
[[Jamii:Waliofariki 2004]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Marekani]]
dzrett7g90vxy8olemhm0lx546v0llc
1584545
1584532
2026-08-06T02:59:47Z
Justine Msechu
45962
1584545
wikitext
text/x-wiki
'''Ruth Bolden''' (15 Mei 1910 – 12 Mei 2004) alikuwa mwanzilishi wa [[maktaba]] na [[mwanaharakati]] wa haki za kiraia nchini [[Marekani]].
Alisaidia kuanzisha maktaba ambayo baadaye ilikuja kujulikana kama Weaver-Bolden Branch Library, tawi la mfumo wa Maktaba ya Umma ya Tuscaloosa huko Tuscaloosa, Alabama. Maktaba hiyo ilipewa jina lake pamoja na la Dkt. George Weaver kwa heshima ya mchango wao.
== Maisha na kazi ==
Bolden alizaliwa katika Kaunti ya Bibb, jimbo la Alabama, tarehe 15 Mei 1910.<ref>{{Citation|title=Library Founder Dies Three Days Before 94th Birthday|date=2004-05-15|url=https://tavm.omeka.net/items/show/2000|others=Tuscaloosa Public Library|access-date=2026-08-06}}</ref> Alijitahidi kujigharamia masomo yake kwa kufanya [[kazi]], na mwaka 1952 alihitimu kutoka Stillman College. Baadaye alipata [[shahada]] ya uzamili katika Sayansi ya Maktaba kutoka Chuo Kikuu cha Atlanta. Kupitia kazi yake ya kuendeleza huduma za [[maktaba]] na kupigania haki za kiraia, Ruth Bolden alitoa mchango mkubwa katika kuboresha upatikanaji wa elimu na taarifa kwa jamii yake.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1910]]
[[Jamii:Waliofariki 2004]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Marekani]]
iv3bsmwldr2302mtmjnhsrwobzmpzte
Melissa Douglas
0
243687
1584533
2026-08-06T02:42:46Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Melissa Douglas''' ni [[mwanasiasa]] wa Marekani ambaye alichaguliwa mwaka 2024 kuwa [[mbunge]] wa Baraza la Wawakilishi la Jimbo la Missouri, akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 27.<ref>{{Cite web|title=Melissa Douglas|url=https://ballotpedia.org/Melissa_Douglas|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref> Akiwa bungeni, Douglas ni mjumbe wa Kamati ya [[Bajeti]] pamoja na Kamati ya Usajili na Utoaji wa Leseni za Kitaaluma. Mbali na shughu...'
1584533
wikitext
text/x-wiki
'''Melissa Douglas''' ni [[mwanasiasa]] wa Marekani ambaye alichaguliwa mwaka 2024 kuwa [[mbunge]] wa Baraza la Wawakilishi la Jimbo la Missouri, akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 27.<ref>{{Cite web|title=Melissa Douglas|url=https://ballotpedia.org/Melissa_Douglas|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Akiwa bungeni, Douglas ni mjumbe wa Kamati ya [[Bajeti]] pamoja na Kamati ya Usajili na Utoaji wa Leseni za Kitaaluma.
Mbali na shughuli zake za kisiasa, Douglas ni mshiriki hai wa [[Kanisa]] la Baptist la Spruce Saint Matthew lililoko Kansas City, ambapo hushiriki katika shughuli za kanisa na jamii.<ref>{{Cite web|title=Representative Melissa Douglas|url=https://archive.house.mo.gov/memberdetails.aspx?district=027&year=2024|work=archive.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
1jk0tfs8xehm176whhfq3ld3mmd2bgz
1584544
1584533
2026-08-06T02:59:01Z
Justine Msechu
45962
1584544
wikitext
text/x-wiki
'''Melissa Douglas''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] ambaye alichaguliwa mwaka 2024 kuwa [[mbunge]] wa Baraza la Wawakilishi la [[Missouri|Jimbo la Missouri]], akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 27.<ref>{{Cite web|title=Melissa Douglas|url=https://ballotpedia.org/Melissa_Douglas|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Akiwa bungeni, Douglas ni mjumbe wa Kamati ya [[Bajeti]] pamoja na Kamati ya Usajili na Utoaji wa Leseni za Kitaaluma. Mbali na shughuli zake za kisiasa, Douglas ni mshiriki hai wa [[Kanisa]] la Baptist la Spruce Saint Matthew lililoko Kansas City, ambapo hushiriki katika shughuli za kanisa na jamii.<ref>{{Cite web|title=Representative Melissa Douglas|url=https://archive.house.mo.gov/memberdetails.aspx?district=027&year=2024|work=archive.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
36eennhxnhb8dkjepca3dt0f5rx72ad
1584631
1584544
2026-08-06T06:14:48Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584631
wikitext
text/x-wiki
'''Melissa Douglas''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] ambaye alichaguliwa mwaka 2024 kuwa [[mbunge]] wa Baraza la Wawakilishi la [[Missouri|Jimbo la Missouri]], akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 27.<ref>{{Rejea tovuti|title=Melissa Douglas|url=https://ballotpedia.org/Melissa_Douglas|work=Ballotpedia|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Akiwa bungeni, Douglas ni mjumbe wa Kamati ya [[Bajeti]] pamoja na Kamati ya Usajili na Utoaji wa Leseni za Kitaaluma. Mbali na shughuli zake za kisiasa, Douglas ni mshiriki hai wa [[Kanisa]] la Baptist la Spruce Saint Matthew lililoko Kansas City, ambapo hushiriki katika shughuli za kanisa na jamii.<ref>{{Rejea tovuti|title=Representative Melissa Douglas|url=https://archive.house.mo.gov/memberdetails.aspx?district=027&year=2024|work=archive.house.mo.gov|accessdate=2026-08-06}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
qonst7zef4b9wx117sezfqx7u5593gj
Katrina Elayne Steward
0
243688
1584534
2026-08-06T02:47:02Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Katrina Elayne Steward''' (aliyezaliwa tarehe 26 Oktoba 1979) ni [[mwandishi]] wa choreografia, mchezaji wa dansi, mwimbaji na [[mwigizaji]] kutoka Marekani. Mwaka 2005–2006, alitawazwa kuwa Miss Black Arkansas USA katika shindano la Miss Black USA Pageant. Steward ni mwanaharakati wa jamii anayejihusisha na shughuli za kuhamasisha utofauti na ushirikishwaji wa jamii. Kwa kutambua mchango wake, alitunukiwa siku maalumu kwa heshima yake katika jimb...'
1584534
wikitext
text/x-wiki
'''Katrina Elayne Steward''' (aliyezaliwa tarehe 26 Oktoba 1979) ni [[mwandishi]] wa choreografia, mchezaji wa dansi, mwimbaji na [[mwigizaji]] kutoka Marekani.
Mwaka 2005–2006, alitawazwa kuwa Miss Black Arkansas USA katika shindano la Miss Black USA Pageant.
Steward ni mwanaharakati wa jamii anayejihusisha na shughuli za kuhamasisha utofauti na ushirikishwaji wa jamii. Kwa kutambua mchango wake, alitunukiwa siku maalumu kwa heshima yake katika [[jimbo]] la Arkansas.
Pia alikuwa mwandishi wa kwanza wa choreografia katika mji wa Fort Smith, Arkansas, kuanzisha kikundi cha dansi ya sifa na ibada cha Waafrika-Wamarekani wa madhehebu ya Baptist kilichotumbuiza katika kanisa la Kikatoliki.
Wakati wa maafa ya Kimbunga Katrina, Steward alifanya [[kazi]] kwa karibu na Gavana Mike Huckabee katika shughuli za kusaidia waathirika, akiwa bado anashikilia taji la Miss Black Arkansas USA.
Alihitimu kutoka Northside High School mjini Fort Smith, Arkansas, na baadaye alisoma katika Chuo Kikuu cha Arkansas – Fort Smith.<ref>{{Cite web|title=UA Fort Smith News, UA Fort Smith|url=http://www.uafortsmith.edu/News/Index?skin=&storyid=86|work=www.uafortsmith.edu|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Mwaka 2009, Steward pia alishiriki kama mwigizaji katika uzalishaji wa [[tamthilia]] ya muziki Hairspray uliowasilishwa na Good Company Players.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
ebqu2az88qvmzvrq4im7zefrgn86rkh
1584542
1584534
2026-08-06T02:57:19Z
Justine Msechu
45962
1584542
wikitext
text/x-wiki
'''Katrina Elayne Steward''' (alizaliwa tarehe 26 Oktoba 1979) ni [[mwandishi]] wa choreografia, mchezaji wa [[dansi]], [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] kutoka [[Marekani]].
Mwaka 2005–2006, alitawazwa kuwa Miss Black Arkansas USA katika shindano la Miss Black USA Pageant. Steward ni mwanaharakati wa jamii anayejihusisha na shughuli za kuhamasisha utofauti na ushirikishwaji wa jamii. Kwa kutambua mchango wake, alitunukiwa siku maalumu kwa heshima yake katika [[jimbo]] la Arkansas. Pia alikuwa mwandishi wa kwanza wa choreografia katika mji wa Fort Smith, Arkansas, kuanzisha kikundi cha dansi ya sifa na ibada cha Waafrika-Wamarekani wa madhehebu ya Baptist kilichotumbuiza katika kanisa la Kikatoliki.
Wakati wa maafa ya Kimbunga Katrina, Steward alifanya [[kazi]] kwa karibu na Gavana Mike Huckabee katika shughuli za kusaidia waathirika, akiwa bado anashikilia taji la Miss Black Arkansas USA. Alihitimu kutoka Northside High School mjini Fort Smith, Arkansas, na baadaye alisoma katika Chuo Kikuu cha Arkansas – Fort Smith.<ref>{{Cite web|title=UA Fort Smith News, UA Fort Smith|url=http://www.uafortsmith.edu/News/Index?skin=&storyid=86|work=www.uafortsmith.edu|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Mwaka 2009, Steward pia alishiriki kama mwigizaji katika uzalishaji wa [[tamthilia]] ya muziki Hairspray uliowasilishwa na Good Company Players.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
7bkv39spkjcgqy8ndb85gmp5xbd64sq
1584615
1584542
2026-08-06T04:55:17Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584615
wikitext
text/x-wiki
'''Katrina Elayne Steward''' (alizaliwa tarehe 26 Oktoba 1979) ni [[mwandishi]] wa choreografia, mchezaji wa [[dansi]], [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] kutoka [[Marekani]].
Mwaka 2005–2006, alitawazwa kuwa Miss Black Arkansas USA katika shindano la Miss Black USA Pageant. Steward ni mwanaharakati wa jamii anayejihusisha na shughuli za kuhamasisha utofauti na ushirikishwaji wa jamii. Kwa kutambua mchango wake, alitunukiwa siku maalumu kwa heshima yake katika [[jimbo]] la Arkansas. Pia alikuwa mwandishi wa kwanza wa choreografia katika mji wa Fort Smith, Arkansas, kuanzisha kikundi cha dansi ya sifa na ibada cha Waafrika-Wamarekani wa madhehebu ya Baptist kilichotumbuiza katika kanisa la Kikatoliki.
Wakati wa maafa ya Kimbunga Katrina, Steward alifanya [[kazi]] kwa karibu na Gavana Mike Huckabee katika shughuli za kusaidia waathirika, akiwa bado anashikilia taji la Miss Black Arkansas USA. Alihitimu kutoka Northside High School mjini Fort Smith, Arkansas, na baadaye alisoma katika Chuo Kikuu cha Arkansas – Fort Smith.<ref>{{Rejea tovuti|title=UA Fort Smith News, UA Fort Smith|url=http://www.uafortsmith.edu/News/Index?skin=&storyid=86|work=www.uafortsmith.edu|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Mwaka 2009, Steward pia alishiriki kama mwigizaji katika uzalishaji wa [[tamthilia]] ya muziki Hairspray uliowasilishwa na Good Company Players.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
6zmqkioscys05uix93zziwor28retih
Effie T. Battle
0
243689
1584535
2026-08-06T02:52:14Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Effie T. Battle''' (takriban mwaka 1882 – baada ya 1940)<ref>{{Cite web|title=Effie Battle Family History Records - Ancestry®|url=https://www.ancestry.com/genealogy/records/results?firstName=effie&lastName=battle|work=www.ancestry.com|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alikuwa mshairi na [[mwalimu]] Mwafrika-Mmarekani. Alikuwa mke wa Wallace A. Battle na alihudumu kama [[Rais]] wa Chuo cha Okolona kuanzia mwaka 1927 hadi 1933, akimrithi mu...'
1584535
wikitext
text/x-wiki
'''Effie T. Battle''' (takriban mwaka 1882 – baada ya 1940)<ref>{{Cite web|title=Effie Battle Family History Records - Ancestry®|url=https://www.ancestry.com/genealogy/records/results?firstName=effie&lastName=battle|work=www.ancestry.com|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alikuwa mshairi na [[mwalimu]] Mwafrika-Mmarekani.
Alikuwa mke wa Wallace A. Battle na alihudumu kama [[Rais]] wa Chuo cha Okolona kuanzia mwaka 1927 hadi 1933, akimrithi mume wake katika nafasi hiyo.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=lFZAwtDAr6oC&pg=PA4|title=The Isis Initiative and the Rites of Freedom|last=Lowe|first=George Leon|date=1999-03|publisher=Ragus Company, Inc.|isbn=978-0-9796416-5-7|language=en}}</ref>
== Maisha ==
Effie Battle alizaliwa mwaka 1882 huko Okolona. [[Mama]] yake alikuwa na asili ya kabila la Choctaw kwa robo ya ukoo wake.
Alipata shahada ya kwanza katika Rust College. Mwaka 1903 aliolewa na Wallace Battle, na baadaye akafundisha elimu ya ualimu pamoja na sarufi katika Chuo cha Okolona.
Mwaka 1914 alichapisha [[kitabu]] chake cha mashairi kiitwacho Gleanings from Dixieland.
Mwaka 1927, Wallace Battle alijiuzulu urais wa Chuo cha Okolona na kuhamia kaskazini mwa Marekani baada ya mwalimu mmoja kuuawa ndani ya chuo hicho. Baada ya Effie Battle kuliongoza chuo kwa miaka kadhaa, alijiunga tena na mume wake, na waliishi [[maisha]] yao yaliyobaki katika majimbo ya New York na Connecticut.
Effie na Wallace Battle walikuwa na watoto wanne, akiwemo Marie Battle Singer, ambaye baadaye alikuja kuwa mtaalamu wa uchanganuzi wa kisaikolojia (psychoanalyst).
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1880]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
chf54suulsprz7i6mcuy5g50wpyjijj
1584540
1584535
2026-08-06T02:56:13Z
Justine Msechu
45962
1584540
wikitext
text/x-wiki
'''Effie T. Battle''' (takriban mwaka 1882 – baada ya 1940)<ref>{{Cite web|title=Effie Battle Family History Records - Ancestry®|url=https://www.ancestry.com/genealogy/records/results?firstName=effie&lastName=battle|work=www.ancestry.com|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alikuwa mshairi na [[mwalimu]] Mwafrika-Mmarekani.
Alikuwa mke wa Wallace A. Battle na alihudumu kama [[Rais]] wa Chuo cha Okolona kuanzia mwaka 1927 hadi 1933, akimrithi mume wake katika nafasi hiyo.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=lFZAwtDAr6oC&pg=PA4|title=The Isis Initiative and the Rites of Freedom|last=Lowe|first=George Leon|date=1999-03|publisher=Ragus Company, Inc.|isbn=978-0-9796416-5-7|language=en}}</ref>
== Maisha ==
Effie Battle alizaliwa mwaka 1882 huko Okolona. [[Mama]] yake alikuwa na asili ya kabila la Choctaw kwa robo ya ukoo wake. Alipata shahada ya kwanza katika Rust College. Mwaka 1903 aliolewa na Wallace Battle, na baadaye akafundisha elimu ya ualimu pamoja na sarufi katika Chuo cha Okolona.
Mwaka 1914 alichapisha [[kitabu]] chake cha mashairi kiitwacho Gleanings from Dixieland. Mwaka 1927, Wallace Battle alijiuzulu urais wa Chuo cha Okolona na kuhamia kaskazini mwa Marekani baada ya mwalimu mmoja kuuawa ndani ya chuo hicho. Baada ya Effie Battle kuliongoza chuo kwa miaka kadhaa, alijiunga tena na mume wake, na waliishi [[maisha]] yao yaliyobaki katika majimbo ya New York na Connecticut.
Effie na Wallace Battle walikuwa na watoto wanne, akiwemo Marie Battle Singer, ambaye baadaye alikuja kuwa mtaalamu wa uchanganuzi wa kisaikolojia (psychoanalyst).
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1880]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
dl1828lqvhgvcek83dnxqeqph5kal4s
1584600
1584540
2026-08-06T03:39:03Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584600
wikitext
text/x-wiki
'''Effie T. Battle''' (takriban mwaka 1882 – baada ya 1940)<ref>{{Rejea tovuti|title=Effie Battle Family History Records - Ancestry®|url=https://www.ancestry.com/genealogy/records/results?firstName=effie&lastName=battle|work=www.ancestry.com|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alikuwa mshairi na [[mwalimu]] Mwafrika-Mmarekani.
Alikuwa mke wa Wallace A. Battle na alihudumu kama [[Rais]] wa Chuo cha Okolona kuanzia mwaka 1927 hadi 1933, akimrithi mume wake katika nafasi hiyo.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=lFZAwtDAr6oC&pg=PA4|title=The Isis Initiative and the Rites of Freedom|last=Lowe|first=George Leon|date=1999-03|publisher=Ragus Company, Inc.|isbn=978-0-9796416-5-7|language=en}}</ref>
== Maisha ==
Effie Battle alizaliwa mwaka 1882 huko Okolona. [[Mama]] yake alikuwa na asili ya kabila la Choctaw kwa robo ya ukoo wake. Alipata shahada ya kwanza katika Rust College. Mwaka 1903 aliolewa na Wallace Battle, na baadaye akafundisha elimu ya ualimu pamoja na sarufi katika Chuo cha Okolona.
Mwaka 1914 alichapisha [[kitabu]] chake cha mashairi kiitwacho Gleanings from Dixieland. Mwaka 1927, Wallace Battle alijiuzulu urais wa Chuo cha Okolona na kuhamia kaskazini mwa Marekani baada ya mwalimu mmoja kuuawa ndani ya chuo hicho. Baada ya Effie Battle kuliongoza chuo kwa miaka kadhaa, alijiunga tena na mume wake, na waliishi [[maisha]] yao yaliyobaki katika majimbo ya New York na Connecticut.
Effie na Wallace Battle walikuwa na watoto wanne, akiwemo Marie Battle Singer, ambaye baadaye alikuja kuwa mtaalamu wa uchanganuzi wa kisaikolojia (psychoanalyst).
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1880]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
c46230mgt4jx1k7691zmz76wvjoes8v
Dora Carr
0
243690
1584541
2026-08-06T02:56:14Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dora Carr''' alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa ushirikiano wake na mpiga kinanda na mpangaji wa muziki Cow Cow Davenport katika miaka ya mwanzo na ya kati ya 1920. Anakumbukwa sana kwa wimbo "Cow Cow Blues" na kwa mchango wake katika uchezaji wa muziki wa boogie-woogie. Mbali na kuwa mpiga muziki, Dora Carr pia alikuwa mwimbaji aliyefanya ziara za [[maonyesho]] katika kumbi mbalimbali wakati wa miaka ya 1920. Kulingana n...'
1584541
wikitext
text/x-wiki
'''Dora Carr''' alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa ushirikiano wake na mpiga kinanda na mpangaji wa muziki Cow Cow Davenport katika miaka ya mwanzo na ya kati ya 1920.
Anakumbukwa sana kwa wimbo "Cow Cow Blues" na kwa mchango wake katika uchezaji wa muziki wa boogie-woogie. Mbali na kuwa mpiga muziki, Dora Carr pia alikuwa mwimbaji aliyefanya ziara za [[maonyesho]] katika kumbi mbalimbali wakati wa miaka ya 1920.
Kulingana na kitabu ''Harlem Renaissance Lives'', Carr na Davenport walikutana mwaka 1922<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=E_vRLcgEdGoC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA144|title=Harlem Renaissance Lives from the African American National Biography|last=Gates (Jr.)|first=Henry Louis|last2=Higginbotham|first2=Evelyn Brooks|date=2009|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-538795-7|language=en}}</ref> na baadaye walifanya ziara kupitia Theater Owners Booking Association (TOBA) kwa jina la "Davenport and Company".<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=-w-uGwm_LhcC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA234|title=Encyclopedia of the Blues|last=Komara|first=Edward M.|date=2006|publisher=Psychology Press|isbn=978-0-415-92699-7|language=en}}</ref>
Wawili hao walirekodi na kutoa [[nyimbo]] nane kupitia kampuni ya Vocalion Records, zikiwa katika [[mtindo]] wa maonyesho ya vaudeville uliowahusisha wote wawili.
Ushirikiano wao ulimalizika baada ya Dora Carr kumuacha Davenport kwa mwanaume mwingine, ambaye baadaye alimuoa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
dcvk0lneuymw2zey0avueywvexu3feg
1584543
1584541
2026-08-06T02:58:03Z
Justine Msechu
45962
1584543
wikitext
text/x-wiki
'''Dora Carr''' alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa ushirikiano wake na mpiga kinanda na mpangaji wa muziki Cow Cow Davenport katika miaka ya mwanzo na ya kati ya 1920.
Anakumbukwa sana kwa wimbo "Cow Cow Blues" na kwa mchango wake katika uchezaji wa muziki wa boogie-woogie. Mbali na kuwa mpiga muziki, Dora Carr pia alikuwa mwimbaji aliyefanya ziara za [[maonyesho]] katika kumbi mbalimbali wakati wa miaka ya 1920. Kulingana na kitabu ''Harlem Renaissance Lives'', Carr na Davenport walikutana mwaka 1922<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=E_vRLcgEdGoC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA144|title=Harlem Renaissance Lives from the African American National Biography|last=Gates (Jr.)|first=Henry Louis|last2=Higginbotham|first2=Evelyn Brooks|date=2009|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-538795-7|language=en}}</ref> na baadaye walifanya ziara kupitia Theater Owners Booking Association (TOBA) kwa jina la "Davenport and Company".<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=-w-uGwm_LhcC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA234|title=Encyclopedia of the Blues|last=Komara|first=Edward M.|date=2006|publisher=Psychology Press|isbn=978-0-415-92699-7|language=en}}</ref> Wawili hao walirekodi na kutoa [[nyimbo]] nane kupitia kampuni ya Vocalion Records, zikiwa katika [[mtindo]] wa maonyesho ya vaudeville uliowahusisha wote wawili.
Ushirikiano wao ulimalizika baada ya Dora Carr kumuacha Davenport kwa mwanaume mwingine, ambaye baadaye alimuoa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
bsj3tkr4scvvh9romahuhseautfe1oz
1584598
1584543
2026-08-06T03:35:16Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584598
wikitext
text/x-wiki
'''Dora Carr''' alikuwa [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]], anayejulikana zaidi kwa ushirikiano wake na mpiga kinanda na mpangaji wa muziki Cow Cow Davenport katika miaka ya mwanzo na ya kati ya 1920.
Anakumbukwa sana kwa wimbo "Cow Cow Blues" na kwa mchango wake katika uchezaji wa muziki wa boogie-woogie. Mbali na kuwa mpiga muziki, Dora Carr pia alikuwa mwimbaji aliyefanya ziara za [[maonyesho]] katika kumbi mbalimbali wakati wa miaka ya 1920. Kulingana na kitabu ''Harlem Renaissance Lives'', Carr na Davenport walikutana mwaka 1922<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=E_vRLcgEdGoC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA144|title=Harlem Renaissance Lives from the African American National Biography|last=Gates (Jr.)|first=Henry Louis|last2=Higginbotham|first2=Evelyn Brooks|date=2009|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-538795-7|language=en}}</ref> na baadaye walifanya ziara kupitia Theater Owners Booking Association (TOBA) kwa jina la "Davenport and Company".<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=-w-uGwm_LhcC&dq=%22dora+carr%22+singer&pg=PA234|title=Encyclopedia of the Blues|last=Komara|first=Edward M.|date=2006|publisher=Psychology Press|isbn=978-0-415-92699-7|language=en}}</ref> Wawili hao walirekodi na kutoa [[nyimbo]] nane kupitia kampuni ya Vocalion Records, zikiwa katika [[mtindo]] wa maonyesho ya vaudeville uliowahusisha wote wawili.
Ushirikiano wao ulimalizika baada ya Dora Carr kumuacha Davenport kwa mwanaume mwingine, ambaye baadaye alimuoa.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanamuziki}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
aa480un9zvvid5yohweap398usi69i6
Blonnie R. Watson
0
243691
1584546
2026-08-06T03:00:40Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Blonnie R. Watson''' (aliyezaliwa tarehe 3 Februari 1937) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha Democratic. Alihudumu kama mbunge wa Baraza Kuu la Jimbo la New Jersey (New Jersey General Assembly) akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 29 kuanzia tarehe 21 Julai 2016 hadi 9 Januari 2018. Alimrithi L. Grace Spencer, na baadaye nafasi yake ilichukuliwa na Shanique Speight. Watson ni mkazi wa Central Ward katika jiji la Newark. Kabla ya kuingia k...'
1584546
wikitext
text/x-wiki
'''Blonnie R. Watson''' (aliyezaliwa tarehe 3 Februari 1937) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha Democratic.
Alihudumu kama mbunge wa Baraza Kuu la Jimbo la New Jersey (New Jersey General Assembly) akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 29 kuanzia tarehe 21 Julai 2016 hadi 9 Januari 2018. Alimrithi L. Grace Spencer, na baadaye nafasi yake ilichukuliwa na Shanique Speight.
Watson ni mkazi wa Central Ward katika jiji la Newark. Kabla ya kuingia kikamilifu katika [[siasa]], alifanya kazi katika Huduma ya Posta ya Marekani (United States Postal Service), ambako alikuwa msimamizi wa uzingatiaji wa mifumo (Systems Compliance Executive), kabla ya kustaafu.
Pia aliwahi kuwa mjumbe wa Bodi ya Marekebisho ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (Zoning Board of Adjustment) ya Newark.
Kuanzia mwaka 1997 hadi 2014, <ref>{{Cite web|title=http://www.njleg.state.nj.us/members/BIO.asp?Leg=389|url=https://www.njleg.state.nj.us/members/BIO.asp?Leg=389|work=www.njleg.state.nj.us|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>Watson alikuwa mjumbe wa [[Bodi]] ya Essex County ya Chosen Freeholders (sasa inajulikana kama Bodi ya Makamishna wa Kaunti). Alichaguliwa kwa mihula sita ya miaka mitatu kila mmoja kama mwakilishi wa kaunti nzima. Katika kipindi hicho, alihudumu kwa miaka mitano kama makamu wa [[rais]] wa bodi na miaka minane kama rais wa bodi.<ref>{{Cite web|title=New Jersey Assembly Democrats:Watson Sworn-In to Represent 29th Legislative District|url=http://www.assemblydems.com/Article.asp?ArticleID=11420|work=www.assemblydems.com|accessdate=2026-08-06}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1937]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
alt4t7brphmepkxfe23vhkm5beh2fba
1584549
1584546
2026-08-06T03:03:18Z
Justine Msechu
45962
1584549
wikitext
text/x-wiki
'''Blonnie R. Watson''' (alizaliwa tarehe 3 Februari 1937) ni [[mwanasiasa]] wa [[Marekani]] kutoka Chama cha [[Chama cha Democrat|Democratic]].
Alihudumu kama mbunge wa Baraza Kuu la Jimbo la New Jersey (New Jersey General Assembly) akiwakilisha Jimbo la Uchaguzi la 29 kuanzia tarehe 21 Julai 2016 hadi 9 Januari 2018. Alimrithi L. Grace Spencer, na baadaye nafasi yake ilichukuliwa na Shanique Speight. Watson ni mkazi wa Central Ward katika jiji la Newark. Kabla ya kuingia kikamilifu katika [[siasa]], alifanya kazi katika Huduma ya Posta ya Marekani (United States Postal Service), ambako alikuwa msimamizi wa uzingatiaji wa mifumo (Systems Compliance Executive), kabla ya kustaafu. Pia aliwahi kuwa mjumbe wa Bodi ya Marekebisho ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (Zoning Board of Adjustment) ya Newark.
Kuanzia mwaka 1997 hadi 2014, <ref>{{Cite web|title=http://www.njleg.state.nj.us/members/BIO.asp?Leg=389|url=https://www.njleg.state.nj.us/members/BIO.asp?Leg=389|work=www.njleg.state.nj.us|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>Watson alikuwa mjumbe wa [[Bodi]] ya Essex County ya Chosen Freeholders (sasa inajulikana kama Bodi ya Makamishna wa Kaunti). Alichaguliwa kwa mihula sita ya miaka mitatu kila mmoja kama mwakilishi wa kaunti nzima. Katika kipindi hicho, alihudumu kwa miaka mitano kama makamu wa [[rais]] wa bodi na miaka minane kama rais wa bodi.<ref>{{Cite web|title=New Jersey Assembly Democrats:Watson Sworn-In to Represent 29th Legislative District|url=http://www.assemblydems.com/Article.asp?ArticleID=11420|work=www.assemblydems.com|accessdate=2026-08-06}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1937]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
nlfbomn03k010panuqpvyrp1dly1jpn
Arcola Pettway
0
243692
1584551
2026-08-06T03:05:51Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Arcola Pettway''' (1934–1994) alikuwa [[msanii]] wa Marekani anayejulikana kwa kuwa mmoja wa washonaji maarufu wa Gee's Bend, jamii iliyopata sifa duniani kwa utengenezaji wa mashuka ya viraka yenye [[ubunifu]] wa hali ya juu. Baadhi ya kazi zake zimehifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya [[Sanaa]] (High Museum of Art).<ref>{{Cite web|title=Four-block strips, tied with yarn {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/arcol...'
1584551
wikitext
text/x-wiki
'''Arcola Pettway''' (1934–1994) alikuwa [[msanii]] wa Marekani anayejulikana kwa kuwa mmoja wa washonaji maarufu wa Gee's Bend, jamii iliyopata sifa duniani kwa utengenezaji wa mashuka ya viraka yenye [[ubunifu]] wa hali ya juu.
Baadhi ya kazi zake zimehifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya [[Sanaa]] (High Museum of Art).<ref>{{Cite web|title=Four-block strips, tied with yarn {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/arcola-pettway/work/four-block-strips-tied-yarn|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-06}}</ref><ref>{{Cite web|title=You searched for|url=https://high.org/?s=&rt=collections|work=High Museum of Art|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref>
== Maisha ==
Arcola Pettway, aliyezaliwa Arcola Young, alilelewa na mama yake Deborah Young pamoja na babu yake, Mchungaji Paul S. Pettway. Mama yake pia alimlea binamu yake Leola Pettway. Leola alikumbuka utoto wao kuwa ulijaa furaha na shughuli mbalimbali kama vile kuvua samaki, kuimba katika kwaya za kanisani na kubuni [[michezo]] yao wenyewe.
Baadaye Arcola aliolewa na Joseph Pettway, ambaye alikuwa kaka yake Lucy T. Pettway. Wawili hao walipata watoto 16 na walifanya kazi ya kilimo pamoja.
Mbali na shughuli za kilimo na ushonaji wa mashuka ya viraka, Arcola alikuwa mwanachama wa [[kikundi]] cha nyimbo za injili kilichoitwa Golden Angels. Kupitia kazi zake za ushonaji, alitoa mchango mkubwa katika kuhifadhi na kuendeleza urithi wa sanaa ya Gee's Bend nchini Marekani.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
[[Jamii:Waliofariki 1994]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
spl6yllbpdn7tij22a4nh3fa4yid37w
1584596
1584551
2026-08-06T03:28:26Z
Justine Msechu
45962
1584596
wikitext
text/x-wiki
'''Arcola Pettway''' (1934–1994) alikuwa [[msanii]] wa [[Marekani]] anayejulikana kwa kuwa mmoja wa washonaji maarufu wa Gee's Bend, jamii iliyopata sifa duniani kwa utengenezaji wa mashuka ya viraka yenye [[ubunifu]] wa hali ya juu.
Baadhi ya kazi zake zimehifadhiwa katika mkusanyiko wa Makumbusho ya [[Sanaa]] (High Museum of Art).<ref>{{Cite web|title=Four-block strips, tied with yarn {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/arcola-pettway/work/four-block-strips-tied-yarn|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-06}}</ref><ref>{{Cite web|title=You searched for|url=https://high.org/?s=&rt=collections|work=High Museum of Art|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref>
== Maisha ==
Arcola Pettway, aliyezaliwa Arcola Young, alilelewa na mama yake Deborah Young pamoja na babu yake, Mchungaji Paul S. Pettway. Mama yake pia alimlea binamu yake Leola Pettway. Leola alikumbuka utoto wao kuwa ulijaa furaha na shughuli mbalimbali kama vile kuvua samaki, kuimba katika kwaya za kanisani na kubuni [[michezo]] yao wenyewe. Baadaye Arcola aliolewa na Joseph Pettway, ambaye alikuwa kaka yake Lucy T. Pettway. Wawili hao walipata watoto 16 na walifanya kazi ya kilimo pamoja.
Mbali na shughuli za kilimo na ushonaji wa mashuka ya viraka, Arcola alikuwa mwanachama wa [[kikundi]] cha nyimbo za injili kilichoitwa Golden Angels. Kupitia kazi zake za ushonaji, alitoa mchango mkubwa katika kuhifadhi na kuendeleza urithi wa sanaa ya Gee's Bend nchini Marekani.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
[[Jamii:Waliofariki 1994]]
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
k7vs5swv1fx1wd3y6bqzb8t15jzdi92
Willarda V. Edwards
0
243693
1584559
2026-08-06T03:10:18Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Willarda V. Edwards''' ni [[daktari]] na mhadhiri kutoka [[Marekani]]. Edwards alianza kuvutiwa na taaluma ya udaktari akiwa mtoto. Alipokuwa kijana, alipoteza dada yake mwenye umri wa miezi 15 kutokana na ugonjwa wa seli mundu, jambo lililomfanya azidi kujikita katika masuala ya [[afya]]. Akiwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Bel Air huko El Paso, Texas, alihudumu kama katibu wa darasa katika mwaka wake wa mwisho wa shule. Mwaka 1972, alipata sh...'
1584559
wikitext
text/x-wiki
'''Willarda V. Edwards''' ni [[daktari]] na mhadhiri kutoka [[Marekani]].
Edwards alianza kuvutiwa na taaluma ya udaktari akiwa mtoto. Alipokuwa kijana, alipoteza dada yake mwenye umri wa miezi 15 kutokana na ugonjwa wa seli mundu, jambo lililomfanya azidi kujikita katika masuala ya [[afya]].
Akiwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Bel Air huko El Paso, Texas, alihudumu kama katibu wa darasa katika mwaka wake wa mwisho wa shule. Mwaka 1972, alipata shahada ya kwanza ya biolojia kutoka Chuo Kikuu cha Texas huko El Paso. Mwaka 1977, alipata shahada ya udaktari kutoka Shule ya Tiba ya [[Chuo]] Kikuu cha Maryland.<ref>{{Cite web|title=UTEP Magazine: The University of Texas at El Paso|url=https://issuu.com/uteplib/docs/utep2009fall/17|work=Issuu|date=2013-12-11|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Pia aliwahi kuhudumu katika Jeshi la Wanamaji la Marekani katika [[Hospitali]] ya Wanamaji ya Bethesda.
Mwaka 1984, Edwards alianza kufanya kazi kama daktari binafsi. Mwaka 1995, alikua mwanamke wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kuwa rais wa Jumuiya ya Madaktari ya Baltimore.
Edwards alifanya kazi kama mkurugenzi wa kitaifa wa masuala ya afya wa NAACP hadi mwaka 2004. Katika nafasi hiyo, alishiriki katika mpango wa "Wito wa Kuchukua Hatua Kuhusu Afya", uliolenga kupunguza tofauti za huduma za afya zinazowakumba jamii za wachache nchini Marekani.
Mwaka 2004, aliongoza Chama cha Ugonjwa wa [[Seli]] Mudu Marekani kama rais. Mwaka 2009, alichaguliwa kuwa rais wa Chama cha Kitaifa cha Madaktari (NMA).
Kwa sasa, Edwards ni mjumbe wa [[bodi]] ya Chama cha Madaktari cha Marekani (AMA), ambako amezungumzia ubaguzi wa rangi kama tatizo linaloweza kuathiri afya ya umma.<ref>{{Cite web|title=Racism is a Public Health Threat, So What Should EHS Professionals Do?|url=https://www.ehstoday.com/health/article/21161701/racism-is-a-public-health-threat-so-what-should-ehs-professionals-do|work=EHS Today|date=2021-04-20|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Adrienne Selko}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Marekani]]
rluqw0s27fg84ov8wnoeutw9ant0b0d
Valorie Thomas
0
243694
1584566
2026-08-06T03:14:06Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Valorie D. Thomas''' ni mtaalamu wa masomo ya Kiafrika (Africana studies), mshauri na [[mwandishi]] wa filamu kutoka Marekani. Aliwahi kuwa Profesa wa Phebe Estelle Spalding wa Fasihi ya Kiingereza na Masomo ya Kiafrika katika Chuo cha Pomona kilichopo Claremont, California. == Maisha ya awali na elimu == Thomas alisoma katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley, ambako alipata [[shahada]] ya kwanza, shahada ya uzamili na shahada ya udaktari. Pia ana...'
1584566
wikitext
text/x-wiki
'''Valorie D. Thomas''' ni mtaalamu wa masomo ya Kiafrika (Africana studies), mshauri na [[mwandishi]] wa filamu kutoka Marekani.
Aliwahi kuwa Profesa wa Phebe Estelle Spalding wa Fasihi ya Kiingereza na Masomo ya Kiafrika katika Chuo cha Pomona kilichopo Claremont, California.
== Maisha ya awali na elimu ==
Thomas alisoma katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley, ambako alipata [[shahada]] ya kwanza, shahada ya uzamili na shahada ya udaktari.
Pia ana shahada ya [[uzamili]] katika uandishi wa filamu kutoka Chuo Kikuu cha California, Los Angeles.<ref>{{Citation|title=Valorie D. Thomas {{!}} Pomona College in Claremont, California - Pomona College|date=2015-06-01|url=https://www.pomona.edu/directory/people/valorie-d-thomas|work=Pomona College in Claremont, California - Pomona College|language=en|access-date=2026-08-06}}</ref>
Kupitia kazi yake ya kitaaluma na ubunifu, Thomas amechangia katika utafiti wa [[historia]], utamaduni na uzoefu wa Waafrika na watu wenye asili ya [[Afrika]] katika jamii mbalimbali.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
4qjc9ve8dwu19alws36ha3obfdgawu5
1584572
1584566
2026-08-06T03:17:38Z
Justine Msechu
45962
1584572
wikitext
text/x-wiki
'''Valorie D. Thomas''' ni mtaalamu wa masomo ya Kiafrika (Africana studies), mshauri na [[mwandishi]] wa filamu kutoka Marekani. Aliwahi kuwa Profesa wa Phebe Estelle Spalding wa Fasihi ya Kiingereza na Masomo ya Kiafrika katika Chuo cha Pomona kilichopo [[Claremont, California]].
== Maisha ya awali na elimu ==
Thomas alisoma katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley, ambako alipata [[shahada]] ya kwanza, shahada ya uzamili na shahada ya udaktari.
Pia ana shahada ya [[uzamili]] katika uandishi wa filamu kutoka Chuo Kikuu cha California, Los Angeles.<ref>{{Citation|title=Valorie D. Thomas {{!}} Pomona College in Claremont, California - Pomona College|date=2015-06-01|url=https://www.pomona.edu/directory/people/valorie-d-thomas|work=Pomona College in Claremont, California - Pomona College|language=en|access-date=2026-08-06}}</ref> Kupitia kazi yake ya kitaaluma na ubunifu, Thomas amechangia katika utafiti wa [[historia]], utamaduni na uzoefu wa Waafrika na watu wenye asili ya [[Afrika]] katika jamii mbalimbali.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa Marekani]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
nab5ps356lj8bhl99bycza83vx2i5pw
Susan Williams McElroy
0
243695
1584571
2026-08-06T03:17:24Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Susan Williams McElroy''' ni mchumi kutoka [[Marekani]] ambaye ni [[profesa]] mshiriki wa uchumi na sera za elimu katika Chuo Kikuu cha Texas-Dallas. Pia aliwahi kuwa rais wa Chama cha Kitaifa cha Uchumi (National Economic Association).<ref>{{Cite web|title=Advisory Board - Center for Africanamerican Urban Studies & the Economy - Carnegie Mellon University|url=http://www.cmu.edu/history/cause/people/advisory-board/index.html|work=www.cmu.edu|accessdate...'
1584571
wikitext
text/x-wiki
'''Susan Williams McElroy''' ni mchumi kutoka [[Marekani]] ambaye ni [[profesa]] mshiriki wa uchumi na sera za elimu katika Chuo Kikuu cha Texas-Dallas.
Pia aliwahi kuwa rais wa Chama cha Kitaifa cha Uchumi (National Economic Association).<ref>{{Cite web|title=Advisory Board - Center for Africanamerican Urban Studies & the Economy - Carnegie Mellon University|url=http://www.cmu.edu/history/cause/people/advisory-board/index.html|work=www.cmu.edu|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Carnegie Mellon University}}</ref>
Kupitia kazi yake ya kitaaluma, McElroy amejikita katika masuala yanayohusiana na [[uchumi]] na sera za elimu, akichangia utafiti na mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na mifumo ya [[elimu]].
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanauchumi wa Marekani]]
mvx6pj4giuf9tmcs4o614dqbjg3339w
1584574
1584571
2026-08-06T03:19:05Z
Justine Msechu
45962
1584574
wikitext
text/x-wiki
'''Susan Williams McElroy''' ni [[mchumi]] kutoka [[Marekani]] ambaye ni [[profesa]] mshiriki wa uchumi na sera za elimu katika Chuo Kikuu cha Texas-Dallas.
Pia aliwahi kuwa rais wa Chama cha Kitaifa cha Uchumi (National Economic Association).<ref>{{Cite web|title=Advisory Board - Center for Africanamerican Urban Studies & the Economy - Carnegie Mellon University|url=http://www.cmu.edu/history/cause/people/advisory-board/index.html|work=www.cmu.edu|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Carnegie Mellon University}}</ref> Kupitia kazi yake ya kitaaluma, McElroy amejikita katika masuala yanayohusiana na [[uchumi]] na sera za elimu, akichangia utafiti na mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na mifumo ya [[elimu]].
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanauchumi wa Marekani]]
e2d06ng9swixjd4leqvqw82eqa5o4h5
1584664
1584574
2026-08-06T08:39:06Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584664
wikitext
text/x-wiki
'''Susan Williams McElroy''' ni [[mchumi]] kutoka [[Marekani]] ambaye ni [[profesa]] mshiriki wa uchumi na sera za elimu katika Chuo Kikuu cha Texas-Dallas.
Pia aliwahi kuwa rais wa Chama cha Kitaifa cha Uchumi (National Economic Association).<ref>{{Rejea tovuti|title=Advisory Board - Center for Africanamerican Urban Studies & the Economy - Carnegie Mellon University|url=http://www.cmu.edu/history/cause/people/advisory-board/index.html|work=www.cmu.edu|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Carnegie Mellon University}}</ref> Kupitia kazi yake ya kitaaluma, McElroy amejikita katika masuala yanayohusiana na [[uchumi]] na sera za elimu, akichangia utafiti na mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na mifumo ya [[elimu]].
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanauchumi wa Marekani]]
gdywx0ono9vo82mo3504k999lsgsnvh
Sarah Rawls
0
243696
1584582
2026-08-06T03:22:52Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sarah Rawls''' alikuwa mmoja wa wapishi wa kwanza Weusi kupata umaarufu mkubwa nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Rooted in Community: Oakland’s Black Food Collective|url=https://www.diablomag.com/people-style/people/rooted-in-community-oakland-s-black-food-collective/article_a4557eae-5799-11eb-806a-b312222f24eb.html|work=Diablo Magazine|date=2021-01-22|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Ethan Fletcher}}</ref> Alikuwa mpishi mwenye maf...'
1584582
wikitext
text/x-wiki
'''Sarah Rawls''' alikuwa mmoja wa wapishi wa kwanza Weusi kupata umaarufu mkubwa nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Rooted in Community: Oakland’s Black Food Collective|url=https://www.diablomag.com/people-style/people/rooted-in-community-oakland-s-black-food-collective/article_a4557eae-5799-11eb-806a-b312222f24eb.html|work=Diablo Magazine|date=2021-01-22|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Ethan Fletcher}}</ref>
Alikuwa mpishi mwenye [[mafanikio]] na mmiliki wa migahawa kadhaa iliyofanikiwa, akianza shughuli zake katika eneo la Bay Area katika miaka ya 1970.
Rawls alikuwa mtangazaji wa kipindi cha televisheni cha [[upishi]] kilichoitwa Down Home Cooking. Mwaka 1981,<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=H7cDAAAAMBAJ&q=rawls&pg=PA58|title=Jet|last=Company|first=Johnson Publishing|date=1981-04-16|publisher=Johnson Publishing Company|language=en}}</ref> alipanua usambazaji wa kipindi hicho hadi kufikia miji 26 kupitia mfumo wa usambazaji wa vipindi vya televisheni (uuzaji wa vipindi kwa vituo mbalimbali).
Kipindi chake kilikuwa na wageni mbalimbali maarufu, wakiwemo Andraé Crouch na Richard Kline.
Mbali na kazi zake za upishi na [[televisheni]], Rawls alishiriki katika matangazo ya [[bidhaa]] ya viungo vya chakula vya Ac'cent, likiwemo tangazo moja alilofanya pamoja na Sammy Davis Jr.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]]
bcpzbwopd24jflxc0cf0tfuvjhgqdfr
1584594
1584582
2026-08-06T03:27:43Z
Justine Msechu
45962
1584594
wikitext
text/x-wiki
'''Sarah Rawls''' alikuwa mmoja wa wapishi wa kwanza Weusi kupata umaarufu mkubwa nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Rooted in Community: Oakland’s Black Food Collective|url=https://www.diablomag.com/people-style/people/rooted-in-community-oakland-s-black-food-collective/article_a4557eae-5799-11eb-806a-b312222f24eb.html|work=Diablo Magazine|date=2021-01-22|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Ethan Fletcher}}</ref>. Alikuwa mpishi mwenye [[mafanikio]] na mmiliki wa migahawa kadhaa iliyofanikiwa, akianza shughuli zake katika eneo la Bay Area katika miaka ya 1970.
Rawls alikuwa mtangazaji wa kipindi cha televisheni cha [[upishi]] kilichoitwa Down Home Cooking. Mwaka 1981,<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=H7cDAAAAMBAJ&q=rawls&pg=PA58|title=Jet|last=Company|first=Johnson Publishing|date=1981-04-16|publisher=Johnson Publishing Company|language=en}}</ref> alipanua usambazaji wa kipindi hicho hadi kufikia miji 26 kupitia mfumo wa usambazaji wa vipindi vya televisheni (uuzaji wa vipindi kwa vituo mbalimbali). Kipindi chake kilikuwa na wageni mbalimbali maarufu, wakiwemo Andraé Crouch na Richard Kline.
Mbali na kazi zake za upishi na [[televisheni]], Rawls alishiriki katika matangazo ya [[bidhaa]] ya viungo vya chakula vya Ac'cent, likiwemo tangazo moja alilofanya pamoja na Sammy Davis Jr.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]]
bp5ha07p8xmny2o3b9fhrj8nk01xorr
1584646
1584594
2026-08-06T08:19:50Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584646
wikitext
text/x-wiki
'''Sarah Rawls''' alikuwa mmoja wa wapishi wa kwanza Weusi kupata umaarufu mkubwa nchini [[Marekani]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Rooted in Community: Oakland’s Black Food Collective|url=https://www.diablomag.com/people-style/people/rooted-in-community-oakland-s-black-food-collective/article_a4557eae-5799-11eb-806a-b312222f24eb.html|work=Diablo Magazine|date=2021-01-22|accessdate=2026-08-06|language=en|author=Ethan Fletcher}}</ref>. Alikuwa mpishi mwenye [[mafanikio]] na mmiliki wa migahawa kadhaa iliyofanikiwa, akianza shughuli zake katika eneo la Bay Area katika miaka ya 1970.
Rawls alikuwa mtangazaji wa kipindi cha televisheni cha [[upishi]] kilichoitwa Down Home Cooking. Mwaka 1981,<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=H7cDAAAAMBAJ&q=rawls&pg=PA58|title=Jet|last=Company|first=Johnson Publishing|date=1981-04-16|publisher=Johnson Publishing Company|language=en}}</ref> alipanua usambazaji wa kipindi hicho hadi kufikia miji 26 kupitia mfumo wa usambazaji wa vipindi vya televisheni (uuzaji wa vipindi kwa vituo mbalimbali). Kipindi chake kilikuwa na wageni mbalimbali maarufu, wakiwemo Andraé Crouch na Richard Kline.
Mbali na kazi zake za upishi na [[televisheni]], Rawls alishiriki katika matangazo ya [[bidhaa]] ya viungo vya chakula vya Ac'cent, likiwemo tangazo moja alilofanya pamoja na Sammy Davis Jr.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]]
gjyiqs75v5jcqh4zkrfzjpmq9hke1cl
Sally Mae Pettway Mixon
0
243697
1584595
2026-08-06T03:27:53Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sally Mae Pettway Mixon''' (aliyezaliwa mwaka 1965) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kikundi cha washonaji wa viraka cha Gee's Bend. Anashiriki katika [[urithi]] huu wa sanaa pamoja na mama yake Candis Pettway na dada zake Qunnie Pettway na Edwina Pettway.<ref>{{Cite web|title=Sally Mae Pettway Mixon {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/sally-mae-pettway|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-06}}</ref> Ka...'
1584595
wikitext
text/x-wiki
'''Sally Mae Pettway Mixon''' (aliyezaliwa mwaka 1965) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kikundi cha washonaji wa viraka cha Gee's Bend.
Anashiriki katika [[urithi]] huu wa sanaa pamoja na mama yake Candis Pettway na dada zake Qunnie Pettway na Edwina Pettway.<ref>{{Cite web|title=Sally Mae Pettway Mixon {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/sally-mae-pettway|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-06}}</ref>
Kazi yake ya sanaa iitwayo Blocks and Strips (2003) ipo katika mkusanyiko wa kudumu wa Matunzio ya Taifa ya [[Sanaa]] (National Gallery of Art). Kazi hiyo ilionyeshwa katika maonyesho yaliyoitwa Called to Create: Black Artists of the American South, yaliyofanyika kuanzia tarehe 18 Septemba 2022 hadi 26 Machi 2023, chini ya usimamizi wa Harry Cooper.
Pia kazi zake zilionyeshwa katika maonyesho ya Assembly: New Acquisitions by Contemporary Black Artists yaliyofanyika katika [[Makumbusho]] ya Sanaa ya Blanton kuanzia tarehe 11 Desemba 2021 hadi 4 Septemba 2022.<ref>{{Cite web|title=Called to Create: Black Artists of the American South {{!}} National Gallery of Art|url=https://www.nga.gov/exhibitions/called-create-black-artists-american-south|work=www.nga.gov|date=2022-09-18|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Kupitia ushonaji wa viraka, Sally Mae Pettway Mixon ameendeleza [[utamaduni]] wa kisanii wa Gee's Bend, unaojulikana kwa [[ubunifu]] wa michoro, rangi na matumizi ya vifaa vya kitamaduni katika kutengeneza mashuka ya viraka.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
oactxm2dsxujc17dao43wiivjxvcldt
1584644
1584595
2026-08-06T08:16:18Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584644
wikitext
text/x-wiki
'''Sally Mae Pettway Mixon''' (aliyezaliwa mwaka 1965) ni msanii wa [[Marekani]] anayehusishwa na kikundi cha washonaji wa viraka cha Gee's Bend.
Anashiriki katika [[urithi]] huu wa sanaa pamoja na mama yake Candis Pettway na dada zake Qunnie Pettway na Edwina Pettway.<ref>{{Rejea tovuti|title=Sally Mae Pettway Mixon {{!}} Souls Grown Deep|url=https://www.soulsgrowndeep.org/artist/sally-mae-pettway|work=www.soulsgrowndeep.org|accessdate=2026-08-06}}</ref>
Kazi yake ya sanaa iitwayo Blocks and Strips (2003) ipo katika mkusanyiko wa kudumu wa Matunzio ya Taifa ya [[Sanaa]] (National Gallery of Art). Kazi hiyo ilionyeshwa katika maonyesho yaliyoitwa Called to Create: Black Artists of the American South, yaliyofanyika kuanzia tarehe 18 Septemba 2022 hadi 26 Machi 2023, chini ya usimamizi wa Harry Cooper.
Pia kazi zake zilionyeshwa katika maonyesho ya Assembly: New Acquisitions by Contemporary Black Artists yaliyofanyika katika [[Makumbusho]] ya Sanaa ya Blanton kuanzia tarehe 11 Desemba 2021 hadi 4 Septemba 2022.<ref>{{Rejea tovuti|title=Called to Create: Black Artists of the American South {{!}} National Gallery of Art|url=https://www.nga.gov/exhibitions/called-create-black-artists-american-south|work=www.nga.gov|date=2022-09-18|accessdate=2026-08-06|language=en}}</ref>
Kupitia ushonaji wa viraka, Sally Mae Pettway Mixon ameendeleza [[utamaduni]] wa kisanii wa Gee's Bend, unaojulikana kwa [[ubunifu]] wa michoro, rangi na matumizi ya vifaa vya kitamaduni katika kutengeneza mashuka ya viraka.
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wasanii wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
0oe9wgergdnpjtsrkmqrpb0ynv3ljyv
Paulette Sullivan Moore
0
243698
1584597
2026-08-06T03:32:32Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Paulette Sullivan Moore''' ni [[mwanasheria]] wa Marekani ambaye anajulikana kama [[mwanamke]] wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kuwa mwanasheria katika jimbo la Delaware. Alimaliza masomo ya sheria katika Shule ya [[Sheria]] ya Chuo Kikuu cha Rutgers mwaka 1976.<ref>{{Cite web|title=Black Women in Delaware's History|url=https://www1.udel.edu/BlackHistory/blackwomen.html|work=www1.udel.edu|accessdate=2026-08-06}}</ref> Mwaka 1977, Moore akawa mwanamke wa kw...'
1584597
wikitext
text/x-wiki
'''Paulette Sullivan Moore''' ni [[mwanasheria]] wa Marekani ambaye anajulikana kama [[mwanamke]] wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kuwa mwanasheria katika jimbo la Delaware.
Alimaliza masomo ya sheria katika Shule ya [[Sheria]] ya Chuo Kikuu cha Rutgers mwaka 1976.<ref>{{Cite web|title=Black Women in Delaware's History|url=https://www1.udel.edu/BlackHistory/blackwomen.html|work=www1.udel.edu|accessdate=2026-08-06}}</ref> Mwaka 1977, Moore akawa mwanamke wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kupokelewa rasmi kufanya kazi ya sheria katika jimbo la Delaware.
Katika mwaka huohuo, aliruhusiwa pia kufanya kazi za kisheria mbele ya Mahakama ya [[Wilaya]] ya Marekani ya Delaware na Mahakama ya Rufani ya Mzunguko wa Tatu ya Marekani.
Katika miaka ya 1990, Moore alihudumu kama Msajili wa Hati za Umiliki wa Kaunti ya New Castle.
Amefanya kazi pia kama Mratibu wa Sera katika Muungano wa Delaware Dhidi ya Ukatili wa Kinyumbani na kama Makamu wa [[Rais]] wa Sera za Umma wa Mtandao wa Kitaifa wa Kukomesha Ukatili wa Kinyumbani.
Tarehe 17 Julai 2023, Gavana wa Delaware John Carney alitangaza kwamba Moore alikuwa miongoni mwa [[wanawake]] waliochaguliwa kuingizwa katika Ukumbi wa Umaarufu wa Wanawake wa Delaware kwa kutambua mchango wake katika sheria na huduma kwa jamii.<ref>{{Cite web|title=Governor Carney Announces the Delaware Women’s Hall of Fame Inductees for 2023|url=https://news.delaware.gov/2023/07/17/governor-carney-announces-the-delaware-womens-hall-of-fame-inductees-for-2023/|work=State of Delaware News|date=2023-07-17|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasheria wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
isthmmm0nnevc917thq8ovigl8hzhwo
1584640
1584597
2026-08-06T07:49:16Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584640
wikitext
text/x-wiki
'''Paulette Sullivan Moore''' ni [[mwanasheria]] wa Marekani ambaye anajulikana kama [[mwanamke]] wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kuwa mwanasheria katika jimbo la Delaware.
Alimaliza masomo ya sheria katika Shule ya [[Sheria]] ya Chuo Kikuu cha Rutgers mwaka 1976.<ref>{{Rejea tovuti|title=Black Women in Delaware's History|url=https://www1.udel.edu/BlackHistory/blackwomen.html|work=www1.udel.edu|accessdate=2026-08-06}}</ref> Mwaka 1977, Moore akawa mwanamke wa kwanza Mwafrika-Mmarekani kupokelewa rasmi kufanya kazi ya sheria katika jimbo la Delaware.
Katika mwaka huohuo, aliruhusiwa pia kufanya kazi za kisheria mbele ya Mahakama ya [[Wilaya]] ya Marekani ya Delaware na Mahakama ya Rufani ya Mzunguko wa Tatu ya Marekani.
Katika miaka ya 1990, Moore alihudumu kama Msajili wa Hati za Umiliki wa Kaunti ya New Castle.
Amefanya kazi pia kama Mratibu wa Sera katika Muungano wa Delaware Dhidi ya Ukatili wa Kinyumbani na kama Makamu wa [[Rais]] wa Sera za Umma wa Mtandao wa Kitaifa wa Kukomesha Ukatili wa Kinyumbani.
Tarehe 17 Julai 2023, Gavana wa Delaware John Carney alitangaza kwamba Moore alikuwa miongoni mwa [[wanawake]] waliochaguliwa kuingizwa katika Ukumbi wa Umaarufu wa Wanawake wa Delaware kwa kutambua mchango wake katika sheria na huduma kwa jamii.<ref>{{Rejea tovuti|title=Governor Carney Announces the Delaware Women’s Hall of Fame Inductees for 2023|url=https://news.delaware.gov/2023/07/17/governor-carney-announces-the-delaware-womens-hall-of-fame-inductees-for-2023/|work=State of Delaware News|date=2023-07-17|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasheria wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1951]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
4q6719kvdedd7gdxm2jk0paihzt1ktx
Marilyn M. White
0
243699
1584599
2026-08-06T03:38:17Z
Don Malya
61486
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Marilyn M. White''' ni mtaalamu wa [[ngano]] na mila (folkloristi) kutoka [[Marekani]] anayefanya utafiti kuhusu ngano za Waafrika-Marekani na ngano za familia. == Elimu na kazi == White alisoma katika Shule ya Sekondari ya East Orange huko New Jersey, Marekani. Mwaka 1969, alipata shahada ya kwanza ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Hampton huko Virginia. Mwaka 1971, alipata [[shahada]] ya [[uzamili]] katika masomo ya ngano (folklore) kutoka Chuo Ki...'
1584599
wikitext
text/x-wiki
'''Marilyn M. White''' ni mtaalamu wa [[ngano]] na mila (folkloristi) kutoka [[Marekani]] anayefanya utafiti kuhusu ngano za Waafrika-Marekani na ngano za familia.
== Elimu na kazi ==
White alisoma katika Shule ya Sekondari ya East Orange huko New Jersey, Marekani. Mwaka 1969, alipata shahada ya kwanza ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Hampton huko Virginia.
Mwaka 1971, alipata [[shahada]] ya [[uzamili]] katika masomo ya ngano (folklore) kutoka Chuo Kikuu cha Indiana Bloomington. Mwaka 1983,<ref>{{Cite web|title=Marilyn White|url=https://americanfolkloresociety.org/about/board/marilyn-white/|work=The American Folklore Society|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alipata shahada ya udaktari katika anthropolojia (masomo ya ngano) kutoka Chuo Kikuu cha Texas huko Austin.
White hufanya utafiti katika Little Cayman, Visiwa vya Cayman. Pia alikuwa profesa wa anthropolojia ya kitamaduni na masomo ya Marekani katika Chuo Kikuu cha Kean huko New Jersey kuanzia mwaka 1985 hadi 2011. Kabla ya hapo, alifundisha katika Chuo Kikuu cha Western Kentucky kwa miaka minane.
White amewahi kuwa rais wa American Folklore Society na pia amekuwa rais wa muda mrefu wa Association of African and African American Folklorists.
Pia ni mjumbe wa [[bodi]] ya wadhamini ya American Folklife Center iliyopo Washington, D.C., kwa nafasi maalumu ya uwakilishi.
Utafiti wake umejikita katika maeneo mbalimbali ya utamaduni, ikiwemo utengenezaji wa kitambaa cha kente na matumizi yake katika utamaduni wa Ghana na katika utamaduni maarufu wa Waafrika-Marekani.<ref>{{Cite book|url=https://www.google.co.uk/books/edition/New_York_Folklore/K6qAAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=Marilyn+M.+White+folklore&dq=Marilyn+M.+White+folklore&printsec=frontcover|title=New York Folklore|date=2000|publisher=New York Folklore Society|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
rdbqku7i5zs2cdqm3ikopt9z9nj20mn
1584628
1584599
2026-08-06T06:04:24Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584628
wikitext
text/x-wiki
'''Marilyn M. White''' ni mtaalamu wa [[ngano]] na mila (folkloristi) kutoka [[Marekani]] anayefanya utafiti kuhusu ngano za Waafrika-Marekani na ngano za familia.
== Elimu na kazi ==
White alisoma katika Shule ya Sekondari ya East Orange huko New Jersey, Marekani. Mwaka 1969, alipata shahada ya kwanza ya Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Hampton huko Virginia.
Mwaka 1971, alipata [[shahada]] ya [[uzamili]] katika masomo ya ngano (folklore) kutoka Chuo Kikuu cha Indiana Bloomington. Mwaka 1983,<ref>{{Rejea tovuti|title=Marilyn White|url=https://americanfolkloresociety.org/about/board/marilyn-white/|work=The American Folklore Society|accessdate=2026-08-06|language=en-US}}</ref> alipata shahada ya udaktari katika anthropolojia (masomo ya ngano) kutoka Chuo Kikuu cha Texas huko Austin.
White hufanya utafiti katika Little Cayman, Visiwa vya Cayman. Pia alikuwa profesa wa anthropolojia ya kitamaduni na masomo ya Marekani katika Chuo Kikuu cha Kean huko New Jersey kuanzia mwaka 1985 hadi 2011. Kabla ya hapo, alifundisha katika Chuo Kikuu cha Western Kentucky kwa miaka minane.
White amewahi kuwa rais wa American Folklore Society na pia amekuwa rais wa muda mrefu wa Association of African and African American Folklorists.
Pia ni mjumbe wa [[bodi]] ya wadhamini ya American Folklife Center iliyopo Washington, D.C., kwa nafasi maalumu ya uwakilishi.
Utafiti wake umejikita katika maeneo mbalimbali ya utamaduni, ikiwemo utengenezaji wa kitambaa cha kente na matumizi yake katika utamaduni wa Ghana na katika utamaduni maarufu wa Waafrika-Marekani.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://www.google.co.uk/books/edition/New_York_Folklore/K6qAAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=Marilyn+M.+White+folklore&dq=Marilyn+M.+White+folklore&printsec=frontcover|title=New York Folklore|date=2000|publisher=New York Folklore Society|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
rzefidr0il875ms2cu16mwpnecmscdb
Chen Feng (mfanyabiashara)
0
243700
1584607
2026-08-06T03:52:53Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chen Feng''' (Alizaliwa [[Juni 5]], [[1953]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa shirika la makampuni ya biashara ''HNA Group'' (ambayo sasa imekoma) na ''Hainan Airlines''.<ref name=SCMPTycoon>[https://www.scmp.com/business/china-business/article/1476897/buddhist-tycoon-chen-feng-built-hainan-airlines-global South China Morning Post: "Buddhist tycoon Chen Feng built Hainan Airlines into global empire"] 12 April 2014</ref...'
1584607
wikitext
text/x-wiki
'''Chen Feng''' (Alizaliwa [[Juni 5]], [[1953]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Uchina]] na mwanzilishi wa shirika la makampuni ya biashara ''HNA Group'' (ambayo sasa imekoma) na ''Hainan Airlines''.<ref name=SCMPTycoon>[https://www.scmp.com/business/china-business/article/1476897/buddhist-tycoon-chen-feng-built-hainan-airlines-global South China Morning Post: "Buddhist tycoon Chen Feng built Hainan Airlines into global empire"] 12 April 2014</ref><ref name=WashPostEmpire>[https://www.washingtonpost.com/business/for-hainan-airlines-chen-feng-rise-of-resort-in-china-provides-lift-for-a-new-sky-empire/2014/05/22/d4bb7508-d9fb-11e3-b745-87d39690c5c0_story.html Washington Post: "For Hainan Airlines’ Chen Feng, rise of resort in China provides lift for a new sky empire" By William Mellor and Jasmine Wang] May 23, 2014</ref><ref name=WhartonBio>[http://www.whartonbeijing09.com/bio-cf.html Wharton Business School Alumni: "Chen Feng: Chairman Hainan Airlines"] retrieved June 4, 2016</ref> Alikuwa kwenye Listi ya [[Forbes]] ya matajiri wa Uchina mwaka [[2017]] akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.69 za [[Marekani]], lakini baadaye akaondolewa kwenye orodha mwaka [[2018]].<ref>{{Cite web |title=Chen Feng |url=https://www.forbes.com/profile/chen-feng-1/ |access-date=2024-06-25 |website=Forbes |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1953]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
od3s5w09jff2wcj4v4dhfq03s3pj84p
Wang Zhenghua
0
243701
1584610
2026-08-06T04:06:20Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Zhenghua''' (Alizaliwa [[1944]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye utajiri wake unatokana na shirika la ndege aliloanzisha, ''Spring Airlines''. Alikuwa mtumishi wa umma rasmi aliyejulikana katika jamii ya biashara ya China kwa busara zake.<ref>{{Cite web |title=Taking to the skies: The man behind China's Spring Airlines |url=https://www.shine.cn/news/metro/1909272846/ |access-date=2023-04-13 |website=SHINE |language=en}}</ref>...'
1584610
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Zhenghua''' (Alizaliwa [[1944]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye utajiri wake unatokana na shirika la ndege aliloanzisha, ''Spring Airlines''. Alikuwa mtumishi wa umma rasmi aliyejulikana katika jamii ya biashara ya China kwa busara zake.<ref>{{Cite web |title=Taking to the skies: The man behind China's Spring Airlines |url=https://www.shine.cn/news/metro/1909272846/ |access-date=2023-04-13 |website=SHINE |language=en}}</ref> Kufikia Julai [[2024]], utajiri wake ni dola bilioni 1.8.<ref>{{Cite web |title=Wang Zhenghua |url=https://www.forbes.com/profile/wang-zhenghua/ |access-date=2024-07-19|website=Forbes |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1944]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
d0zik2mxtu674obfcyqjsfggai45spy
1584698
1584610
2026-08-06T09:20:42Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584698
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Zhenghua''' (Alizaliwa [[1944]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye utajiri wake unatokana na shirika la ndege aliloanzisha, ''Spring Airlines''. Alikuwa mtumishi wa umma rasmi aliyejulikana katika jamii ya biashara ya China kwa busara zake.<ref>{{Rejea tovuti |title=Taking to the skies: The man behind China's Spring Airlines |url=https://www.shine.cn/news/metro/1909272846/ |access-date=2023-04-13 |website=SHINE |language=en}}</ref> Kufikia Julai [[2024]], utajiri wake ni dola bilioni 1.8.<ref>{{Rejea tovuti |title=Wang Zhenghua |url=https://www.forbes.com/profile/wang-zhenghua/ |access-date=2024-07-19|website=Forbes |language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1944]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
gqlkidun2k0mihzwjqfdozxy41vv8qv
Wang Wenyin
0
243702
1584611
2026-08-06T04:09:51Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Wenyin''' (Alizaliwa [[Machi 2]], [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] na mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Amer International Group'', shirika la makampuni ya viwanda linalomilikiwa kibinafsi lenye makao yake [[Shenzhen]] inayohusika na metali zisizo na feri, bidhaa za shaba, na nyaya.<ref name=Tharawat2019>{{cite web |title=Wang Wenyin Family |website=Tharawat Magazine |publisher=Orbis Terra Media |date=12 March 2019 |url=https...'
1584611
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Wenyin''' (Alizaliwa [[Machi 2]], [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] na mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Amer International Group'', shirika la makampuni ya viwanda linalomilikiwa kibinafsi lenye makao yake [[Shenzhen]] inayohusika na metali zisizo na feri, bidhaa za shaba, na nyaya.<ref name=Tharawat2019>{{cite web |title=Wang Wenyin Family |website=Tharawat Magazine |publisher=Orbis Terra Media |date=12 March 2019 |url=https://www.tharawat-magazine.com/fbl/wang-wenyin/ |access-date=11 December 2025}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
5bqf0o4ukyuz8m4jgh2q2locigb4yoy
Wang Wenxue
0
243703
1584617
2026-08-06T05:04:22Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Wenxue''' (Alizaliwa [[1967]]) ni msanidi wa majengo bilionea nchini [[China]], mwenyekiti wa kampuni inayouzwa hadharani ''China Fortune Land Development (CFLD)'', yenye makao yake [[Beijing]], na inayolenga katika viwanda vya viwanda.Kufikia mwaka wa [[2015]], Wang alishika nafasi ya saba miongoni mwa matajiri wanaojihusisha na uendelezaji wa majengo nchini China, akiwa na utajiri wa thamani ya dola bilioni 4. Kufikia mwezi wa [[Septemba]] 2019...'
1584617
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Wenxue''' (Alizaliwa [[1967]]) ni msanidi wa majengo bilionea nchini [[China]], mwenyekiti wa kampuni inayouzwa hadharani ''China Fortune Land Development (CFLD)'', yenye makao yake [[Beijing]], na inayolenga katika viwanda vya viwanda.Kufikia mwaka wa [[2015]], Wang alishika nafasi ya saba miongoni mwa matajiri wanaojihusisha na uendelezaji wa majengo nchini China, akiwa na utajiri wa thamani ya dola bilioni 4. Kufikia mwezi wa [[Septemba]] [[2019]], Wang anakadiriwa kuwa na utajiri wa thamani ya dola bilioni 4.8 za [[Marekani]].<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Wang Wenxue|url=https://www.forbes.com/profile/wang-wenxue/|website=Forbes|accessdate=14 September 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
a829k2fhyqmptr4e7jfmj3a2ykly8r3
Wang Wenjing
0
243704
1584618
2026-08-06T05:07:47Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Wenjing''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]], mwenyekiti wa ''Yonyou'', kampuni ya China inayobobea katika programu za uhasibu na programu za ERP. Alizaliwa Shangrao, [[Jiangxi]], China, akiwa mtoto wa mkulima maskini. Akiwa mwanafunzi bora, alipata nafasi katika ''Jiangxi University of Finance and Economics'' akiwa na umri wa miaka 15<ref name=bloomberg>{{cite news|title=Magazine - Wang Wenjing|url=https://www.bl...'
1584618
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Wenjing''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]], mwenyekiti wa ''Yonyou'', kampuni ya China inayobobea katika programu za uhasibu na programu za ERP. Alizaliwa Shangrao, [[Jiangxi]], China, akiwa mtoto wa mkulima maskini. Akiwa mwanafunzi bora, alipata nafasi katika ''Jiangxi University of Finance and Economics'' akiwa na umri wa miaka 15<ref name=bloomberg>{{cite news|title=Magazine - Wang Wenjing|url=https://www.bloomberg.com/bw/stories/2002-07-07/wang-wenjing|accessdate=16 October 2015|work=bloomberg|date=7 July 2002}}</ref>. Baada ya kuhitimu, alipewa kazi [[Beijing]] "kuendeleza programu za kifedha za kompyuta kwa ofisi ya usimamizi wa serikali ya Baraza la Taifa." Akiwa na umri wa miaka 24, alijiuzulu na pamoja na wanafunzi wenzake alianzisha UFSoft kwa dola 5,500 walizochangia. Kufikia Oktoba [[2015]], [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 2.7.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Wang Wenjing|url=https://www.forbes.com/profile/wang-wenjing/?list=billionaires|website=Forbes|accessdate=15 October 2015}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
b8lu4hrzr6b196fiwmokhjabzkf31ma
Kate Wang
0
243705
1584619
2026-08-06T05:11:30Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kate Wang''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya Kichina ya kuvuta sigara za kielektroniki ya ''RLX Technology''. Kufikia Aprili [[2021]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 5 na [[Forbes]].<ref name="auto">{{Cite web|url=https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|archive-url=https://web.archive.org/web/20210526201820/https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|url-status=dead|archive-date=May 26, 202...'
1584619
wikitext
text/x-wiki
'''Kate Wang''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya Kichina ya kuvuta sigara za kielektroniki ya ''RLX Technology''. Kufikia Aprili [[2021]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 5 na [[Forbes]].<ref name="auto">{{Cite web|url=https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|archive-url=https://web.archive.org/web/20210526201820/https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|url-status=dead|archive-date=May 26, 2021|title=Kate Wang|website=Forbes}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
jl4kxx5lzvww1cwspvjyucnlbjxtywo
1584736
1584619
2026-08-06T09:48:33Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584736
wikitext
text/x-wiki
'''Kate Wang''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya Kichina ya kuvuta sigara za kielektroniki ya ''RLX Technology''. Kufikia Aprili [[2021]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 5 na [[Forbes]].<ref name="auto">{{Rejea tovuti|url=https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|archive-url=https://web.archive.org/web/20210526201820/https://www.forbes.com/profile/kate-wang/|url-status=dead|archive-date=May 26, 2021|title=Kate Wang|website=Forbes}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ficmu12ahnm97o4oleokm9z90trbz8g
Wang Chuanfu
0
243706
1584620
2026-08-06T05:15:46Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Chuanfu''' (Alizaliwa [[Aprili 8]], [[1966]]) ni [[mwanakemia]] bilionea, [[mjasiriamali]], na mwanzilishi, mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya BYD nchini [[China]]. Wang alizaliwa [[Anhui]] katika familia ya mkulima maskini. Alisoma madini na akapata shahada ya kwanza na ya uzamili. Baada ya kuendesha kampuni ya betri kwa muda mfupi, alianzisha BYD mwaka [[1995]] kwa mkopo kutoka kwa binamu yake. BYD ilikua haraka, na ikaingia katika...'
1584620
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Chuanfu''' (Alizaliwa [[Aprili 8]], [[1966]]) ni [[mwanakemia]] bilionea, [[mjasiriamali]], na mwanzilishi, mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya BYD nchini [[China]]. Wang alizaliwa [[Anhui]] katika familia ya mkulima maskini. Alisoma madini na akapata shahada ya kwanza na ya uzamili. Baada ya kuendesha kampuni ya betri kwa muda mfupi, alianzisha BYD mwaka [[1995]] kwa mkopo kutoka kwa binamu yake. BYD ilikua haraka, na ikaingia katika tasnia ya magari mwaka [[2003]]. Kampuni ya BYD kwa sasa ni mtengenezaji mkubwa zaidi wa betri za simu za mkononi duniani, na kampuni yake tanzu, ''BYD Auto'', ndiyo mtengenezaji mkubwa zaidi wa magari ya umeme yanayochajiwa duniani.<ref>{{cite web |date=2009-09-29 |title=Wang Chuanfu: Building electric dreams in China |url=http://www.cnn.com/2009/WORLD/asiapcf/04/20/byd.wangchuanfu/index.html |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20090828130750/http://www.cnn.com/2009/WORLD/asiapcf/04/20/byd.wangchuanfu/index.html |archive-date=2009-08-28 |accessdate=2009-09-29 |publisher=CNN}}</ref><ref name=Fortune>{{cite news |first=Marc |last=Gunther |title=Warren Buffett takes charge |url=https://money.cnn.com/2009/04/13/technology/gunther_electric.fortune/index.htm |publisher=Fortune After |date=2009-04-13 |access-date=2009-04-13 |archive-date=2009-04-14 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090414174301/http://money.cnn.com/2009/04/13/technology/gunther_electric.fortune/index.htm |url-status=dead }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Uchina]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1966]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
gftsgzoo5qmuod26nfugmuvf72k7n5z
Wang Yusuo
0
243707
1584623
2026-08-06T05:48:05Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wang Yusuo''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]]. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa ''ENN Group'', kampuni ya usambazaji wa gesi asilia. Wang ni mwenyekiti wa ENN Group. Kufikia [[Novemba]] [[2015]], [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 3.2.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Wang Yusuo|url=https://www.forbes.com/profile/wang-yusuo/|website=Forbes|accessdate=6 April 2019}}</ref> == Mare...'
1584623
wikitext
text/x-wiki
'''Wang Yusuo''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]]. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa ''ENN Group'', kampuni ya usambazaji wa gesi asilia. Wang ni mwenyekiti wa ENN Group. Kufikia [[Novemba]] [[2015]], [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 3.2.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Wang Yusuo|url=https://www.forbes.com/profile/wang-yusuo/|website=Forbes|accessdate=6 April 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
8tvvjrubn9hns7g4zmuubg8bgw399zl
Wu Yiling
0
243708
1584624
2026-08-06T05:50:13Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wu Yiling''' (Alizaliwa [[1949]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye utajiri wake unatokana na hisa zake katika ''Yiling Pharmaceutical'', iliyoanzishwa na baba yake mwaka [[1992]]. Alihitimu kutoka ''Hebei Medical University'' na ''Nanjing University of Chinese Medicine'', na anaishi [[Shijiazhuang]].<ref>{{Cite web |title=Wu Yiling |url=https://www.forbes.com/profile/wu-yiling/ |access-date=2023-04-13 |website=Forbes |language=en}}...'
1584624
wikitext
text/x-wiki
'''Wu Yiling''' (Alizaliwa [[1949]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye utajiri wake unatokana na hisa zake katika ''Yiling Pharmaceutical'', iliyoanzishwa na baba yake mwaka [[1992]]. Alihitimu kutoka ''Hebei Medical University'' na ''Nanjing University of Chinese Medicine'', na anaishi [[Shijiazhuang]].<ref>{{Cite web |title=Wu Yiling |url=https://www.forbes.com/profile/wu-yiling/ |access-date=2023-04-13 |website=Forbes |language=en}}</ref><ref>https://www.alux.com/richest-doctors/13/ Alux</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
78l2eoxxt1vpzl93gxwzfhrj7styog7
Wu Yajun
0
243709
1584625
2026-08-06T05:54:37Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wu Yajun''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye wakati mmoja alikuwa mwanamke tajiri zaidi duniani aliyejijengea utajiri wake mwenyewe. Yeye ni mwanzilishi mwenza, aliyekuwa mwenyekiti, na aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa ''Longfor Properties''. Kutoka hali duni, alifanya kazi kama mwandishi wa habari na mhariri kabla ya kuhamia katika sekta ya majengo katika miaka ya [[1990]],<ref>{{cite news |url=https://www.blo...'
1584625
wikitext
text/x-wiki
'''Wu Yajun''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye wakati mmoja alikuwa mwanamke tajiri zaidi duniani aliyejijengea utajiri wake mwenyewe. Yeye ni mwanzilishi mwenza, aliyekuwa mwenyekiti, na aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa ''Longfor Properties''. Kutoka hali duni, alifanya kazi kama mwandishi wa habari na mhariri kabla ya kuhamia katika sekta ya majengo katika miaka ya [[1990]],<ref>{{cite news |url=https://www.bloomberg.com/news/articles/2022-10-31/china-property-billionaire-wu-yajun-resigns-as-longfor-chairman-in-sector-crisis |title=China Property Billionaire Wu Yajun Resigns as Longfor Chairman in Sector Crisis |publisher=Bloomberg |date=31 October 2022}}</ref> baadaye akiwekeza katika makampuni ya teknolojia ikiwemo ''Uber'' na ''Evernote''.Kufikia Aprili [[2021]], Wu ana utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 18.3.<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Wu Yajun|url=https://www.forbes.com/profile/wu-yajun/|website=Forbes|access-date=29 September 2020}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
43kp4mbcceql3pn82p1rmyb9fhiaj2u
Jihan Wu
0
243710
1584627
2026-08-06T06:00:07Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jihan Wu''' (Alizaliwa [[1986]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea wa fedha za kielektroniki nchini [[Singapuri]] mwenye asili ya [[China]]. Pamoja na Micree Zhan, alianzisha ''Bitmain'' mwaka [[2013]], ambayo imekuwa kampuni kubwa zaidi ya kompyuta chipu duniani kwa uchimbaji wa bitcoin, ikiwa na mapato ya dola bilioni 2.5 mwaka [[2017]]<ref name="nyt1">{{Cite news |last1=Dance |first1=Gabriel J. X. |last2=Forsythe |first2=Michael |date=2023-10-13 |title=Ac...'
1584627
wikitext
text/x-wiki
'''Jihan Wu''' (Alizaliwa [[1986]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea wa fedha za kielektroniki nchini [[Singapuri]] mwenye asili ya [[China]]. Pamoja na Micree Zhan, alianzisha ''Bitmain'' mwaka [[2013]], ambayo imekuwa kampuni kubwa zaidi ya kompyuta chipu duniani kwa uchimbaji wa bitcoin, ikiwa na mapato ya dola bilioni 2.5 mwaka [[2017]]<ref name="nyt1">{{Cite news |last1=Dance |first1=Gabriel J. X. |last2=Forsythe |first2=Michael |date=2023-10-13 |title=Across U.S., Chinese Bitcoin Mines Draw National Security Scrutiny |url=https://www.nytimes.com/2023/10/13/us/bitcoin-mines-china-united-states.html |access-date=2025-04-03 |work=The New York Times |language=en-US |issn=0362-4331}}</ref>. Yeye ni mfuasi mkuu wa ''Bitcoin Cash'', mgawanyiko mgumu wa [[bitcoin]] ulioundwa mwaka [[2017]] wenye uwezo mkubwa wa miamala. Aliongoza orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea wa dunia ya mwaka [[2020]] kama mmoja wa mabilionea watano wachanga zaidi barani [[Asia]]. Yeye ni mmiliki wa ''Le Freeport''.<ref>{{cite web|url=https://hk.asiatatler.com/society/youngest-billionaires-in-asia-according-to-forbes-2020-richest-list|title=Forbes Rich List 2020: The 5 Youngest Billionaires in Asia|date=15 May 2020|website=Tatler Hong Kong}}</ref><ref>{{Cite news|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/micree-zhan/|title=#311 Micree Zhan|newspaper=Bloomberg.com|access-date=14 September 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
dek2ez3wuw80pwnrcih4mocfopn77bm
1584714
1584627
2026-08-06T09:36:23Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584714
wikitext
text/x-wiki
'''Jihan Wu''' (Alizaliwa [[1986]]) ni [[mjasiriamali]] bilionea wa fedha za kielektroniki nchini [[Singapuri]] mwenye asili ya [[China]]. Pamoja na Micree Zhan, alianzisha ''Bitmain'' mwaka [[2013]], ambayo imekuwa kampuni kubwa zaidi ya kompyuta chipu duniani kwa uchimbaji wa bitcoin, ikiwa na mapato ya dola bilioni 2.5 mwaka [[2017]]<ref name="nyt1">{{Rejea habari |last1=Dance |first1=Gabriel J. X. |last2=Forsythe |first2=Michael |date=2023-10-13 |title=Across U.S., Chinese Bitcoin Mines Draw National Security Scrutiny |url=https://www.nytimes.com/2023/10/13/us/bitcoin-mines-china-united-states.html |access-date=2025-04-03 |work=The New York Times |language=en-US |issn=0362-4331}}</ref>. Yeye ni mfuasi mkuu wa ''Bitcoin Cash'', mgawanyiko mgumu wa [[bitcoin]] ulioundwa mwaka [[2017]] wenye uwezo mkubwa wa miamala. Aliongoza orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea wa dunia ya mwaka [[2020]] kama mmoja wa mabilionea watano wachanga zaidi barani [[Asia]]. Yeye ni mmiliki wa ''Le Freeport''.<ref>{{cite web|url=https://hk.asiatatler.com/society/youngest-billionaires-in-asia-according-to-forbes-2020-richest-list|title=Forbes Rich List 2020: The 5 Youngest Billionaires in Asia|date=15 May 2020|website=Tatler Hong Kong}}</ref><ref>{{Rejea habari|url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/micree-zhan/|title=#311 Micree Zhan|newspaper=Bloomberg.com|access-date=14 September 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
rgft9bm7440r7t1o2lj6eetsnof5s7g
Wei Jianjun
0
243711
1584630
2026-08-06T06:12:56Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wei Jianjun''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye anahudumu kama mwenyekiti wa ''Great Wall Motors'', mtengenezaji mkubwa wa [[SUV]] nchini China.Wei J Ian alizaliwa Baoding, [[Hebei]], Uchina. Kwa mujibu wa [[Forbes]], Wei Jianjun ana utajiri wa dola bilioni 12, kufikia [[Aprili]] [[2024]].<ref name=Forbes>{{cite web|title=Wei Jianjun|url=https://www.forbes.com/profile/wei-jianjun/|website=Forbes|accessdate=16 A...'
1584630
wikitext
text/x-wiki
'''Wei Jianjun''' (Alizaliwa [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[China]] ambaye anahudumu kama mwenyekiti wa ''Great Wall Motors'', mtengenezaji mkubwa wa [[SUV]] nchini China.Wei J Ian alizaliwa Baoding, [[Hebei]], Uchina. Kwa mujibu wa [[Forbes]], Wei Jianjun ana utajiri wa dola bilioni 12, kufikia [[Aprili]] [[2024]].<ref name=Forbes>{{cite web|title=Wei Jianjun|url=https://www.forbes.com/profile/wei-jianjun/|website=Forbes|accessdate=16 April 2024}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]]
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
lph8o3hx1v31onjasley57qpz0yi6hl
Majadiliano:Wandamba
1
243712
1584635
2026-08-06T06:58:30Z
Lubida Makanyanga
91451
/* Ni kweli original ya wandamba au baadhi za koo za wandamba walitokea Iringa!? */ mjadala mpya
1584635
wikitext
text/x-wiki
== Ni kweli original ya wandamba au baadhi za koo za wandamba walitokea Iringa!? ==
katika kupita pita kwangu maeneo ya mgololo, Mufindi, nilikutana na mzee mmoja wa miaka kama 87 hivi, katika maongezi ndipo alipojua kuwq mimi ni Mndamba, akanieleza kuwa wewe ni Mhehe ki uhalisia, mlikimbia vita ya maji maji baada ya Mkwawa kuelekea kujiua, akaamulu wasaidizi wake wote wakimbie, baadhi ya wasaidizi ndio walikimbilia milima ya udizungwa na kutokea upande wapili na kuanza kuishi huko, hii nadharia ni kweli!? '''[[Mtumiaji:Lubida Makanyanga|Lubida Makanyanga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Lubida Makanyanga|majadiliano]])''' 06:58, 6 Agosti 2026 (UTC)
11sl6xk6ya4blbdm3py85g9mq8ip6vo
Virimi Vakatawa
0
243713
1584638
2026-08-06T07:37:41Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584638
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Virimi Vakatawa 2012.jpg|thumb|Virimi Vakatawa 2012]]
'''Virimi Vakatawa''' (alizaliwa [[tarehe]] [[1]] [[Mei]] [[1992]]) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano mwenye asili ya [[New Zealand]], ambaye aliwakilisha [[Ufaransa]] katika raga ya kimataifa.
Hucheza katika nafasi ya senta au winger (mshambuliaji wa pembeni). Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Fijian Drua katika mashindano ya Super Rugby, na hapo awali aliichezea timu ya taifa ya raga ya Ufaransa.
Aliwasili nchini Ufaransa [[mwaka]] [[2010]], na baada ya kupata uraia wa Ufaransa, alijiunga na timu ya taifa ya Ufaransa ya raga ya wachezaji saba mwaka [[2014]]. Tangu mwaka [[2016]], aliichezea timu ya taifa ya raga ya muungano ya Ufaransa, ikiwemo kushiriki katika Mashindano ya Mataifa Sita. <ref>https://www.lefigaro.fr/sports/rugby/coupes-d-europe2/actualites/vakatawa-l-intenable-perce-muraille-989364</ref><ref>https://www.lequotidiendusport.fr/la-magnifique-ascension-de-virimi-vakatawa-racing-92/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanamichezo wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
45tfzj2ono9i6nlme44bjnnwqlbn8qy
1584675
1584638
2026-08-06T08:49:49Z
Riccardo Riccioni
452
1584675
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Virimi Vakatawa 2012.jpg|thumb|Virimi Vakatawa 2012]]
'''Virimi Vakatawa''' (alizaliwa [[1 Mei]] [[1992]]) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano mwenye asili ya [[New Zealand]], ambaye aliwakilisha [[Ufaransa]] katika raga ya kimataifa.
Hucheza katika nafasi ya senta au winger (mshambuliaji wa pembeni). Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Fijian Drua katika mashindano ya Super Rugby, na hapo awali aliichezea timu ya taifa ya raga ya Ufaransa.
Aliwasili nchini Ufaransa [[mwaka]] [[2010]], na baada ya kupata uraia wa Ufaransa, alijiunga na timu ya taifa ya Ufaransa ya raga ya wachezaji saba mwaka [[2014]]. Tangu mwaka [[2016]], aliichezea timu ya taifa ya raga ya muungano ya Ufaransa, ikiwemo kushiriki katika Mashindano ya Mataifa Sita. <ref>https://www.lefigaro.fr/sports/rugby/coupes-d-europe2/actualites/vakatawa-l-intenable-perce-muraille-989364</ref><ref>https://www.lequotidiendusport.fr/la-magnifique-ascension-de-virimi-vakatawa-racing-92/</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wachezaji wa New Zealand]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
8sjgify3g4xayme5xd7oitr1wa0ad53
Ren Zhengfei
0
243714
1584641
2026-08-06T08:07:44Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ren Zhengfei''' (Alizaliwa [[Oktoba 25]], [[1944]]) ni [[mjasiriamali]] na mhandisi bilionea nchini [[Uchina]] ambaye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa [[Huawei]] , iliyoko [[Shenzhen]]. Pia ni mtengenezaji mkubwa zaidi wa vifaa vya mawasiliano duniani na mtengenezaji wa pili kwa ukubwa wa simu mahiri na magari ya umeme ya Huawei China.<ref>{{cite news |last1=Wakabayashi |first1=Daisuke |last2=Rappeport |first2=Alan |date=2018-12-05 |url=https://...'
1584641
wikitext
text/x-wiki
'''Ren Zhengfei''' (Alizaliwa [[Oktoba 25]], [[1944]]) ni [[mjasiriamali]] na mhandisi bilionea nchini [[Uchina]] ambaye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa [[Huawei]] , iliyoko [[Shenzhen]]. Pia ni mtengenezaji mkubwa zaidi wa vifaa vya mawasiliano duniani na mtengenezaji wa pili kwa ukubwa wa simu mahiri na magari ya umeme ya Huawei China.<ref>{{cite news |last1=Wakabayashi |first1=Daisuke |last2=Rappeport |first2=Alan |date=2018-12-05 |url=https://www.nytimes.com/2018/12/05/business/huawei-cfo-arrest-canada-extradition.html |title=A Top Huawei Executive Is Arrested in Canada for Extradition to the U.S. |work=The New York Times |access-date=2018-12-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20181206012107/https://www.nytimes.com/2018/12/05/business/huawei-cfo-arrest-canada-extradition.html |archive-date=6 December 2018 |url-status=live}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]][[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1944]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
20pn1w7jxtjxzzb06n27sqzt0w6630i
1584643
1584641
2026-08-06T08:15:02Z
Said Mfaume
68307
1584643
wikitext
text/x-wiki
{{databox}}
'''Ren Zhengfei''' (Alizaliwa [[Oktoba 25]], [[1944]]) ni [[mjasiriamali]] na mhandisi bilionea nchini [[Uchina]] ambaye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa [[Huawei]] , iliyoko [[Shenzhen]]. Pia ni mtengenezaji mkubwa zaidi wa vifaa vya mawasiliano duniani na mtengenezaji wa pili kwa ukubwa wa simu mahiri na magari ya umeme ya Huawei China.<ref>{{cite news |last1=Wakabayashi |first1=Daisuke |last2=Rappeport |first2=Alan |date=2018-12-05 |url=https://www.nytimes.com/2018/12/05/business/huawei-cfo-arrest-canada-extradition.html |title=A Top Huawei Executive Is Arrested in Canada for Extradition to the U.S. |work=The New York Times |access-date=2018-12-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20181206012107/https://www.nytimes.com/2018/12/05/business/huawei-cfo-arrest-canada-extradition.html |archive-date=6 December 2018 |url-status=live}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa China]][[Jamii:Watu wa Uchina]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1944]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
i3nq4dyonw8hc4fibitxgzdidscloj2
Bakr bin Laden
0
243715
1584647
2026-08-06T08:23:05Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bakr bin Mohammed bin 'Awad bin Laden''' (alizaliwa [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Saudia]]<ref>{{cite web |url=http://www.zawya.com/middle-east/company/profile/1001029/ |title=Saudi Binladin Group |publisher=Zawya}}</ref>. Yeye ni mwenyekiti wa zamani wa Saudi Binladin Group na alikuwa mwenye hisa kubwa katika kampuni hiyo kwa asilimia 23.58. Ni mtoto wa Mohammed bin Awad bin Laden na kaka wa nusu-damu wa [[Osama bin Laden]].<ref>{{C...'
1584647
wikitext
text/x-wiki
'''Bakr bin Mohammed bin 'Awad bin Laden''' (alizaliwa [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Saudia]]<ref>{{cite web |url=http://www.zawya.com/middle-east/company/profile/1001029/ |title=Saudi Binladin Group |publisher=Zawya}}</ref>. Yeye ni mwenyekiti wa zamani wa Saudi Binladin Group na alikuwa mwenye hisa kubwa katika kampuni hiyo kwa asilimia 23.58. Ni mtoto wa Mohammed bin Awad bin Laden na kaka wa nusu-damu wa [[Osama bin Laden]].<ref>{{Cite web|url=http://www.arabianbusiness.com/ceo-property-power-list-269587.html?view=profile&itemid=269590|title=Arabian Business}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
6z3o5mxrktot4us4ohhjke5ax9egibj
Alexandre Dumoulin
0
243716
1584649
2026-08-06T08:23:43Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584649
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Dumoulin MHR.jpg|thumb|Alexandre Dumoulin]]
'''Alexandre Dumoulin''' (alizaliwa [[tarehe]] [[24]] [[Agosti]] [[1989]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hucheza katika nafasi ya senta, na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Montpellier katika mashindano ya Top 14.
Mwezi [[Januari]] [[2015]], aliteuliwa na [[kocha]] Philippe Saint-André kuwa miongoni mwa kikosi cha wachezaji 31 cha timu ya [[taifa]] ya Ufaransa kwa ajili ya Mashindano ya Mataifa Sita ya mwaka 2015.
Alicheza mchezo wake wa kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa tarehe 8 [[Novemba]] 2014, katika mchezo dhidi ya [[Fiji]]. <ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/30832205</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
rtfqpoojc2q4p8ephlwqn3suuh3hyjt
1584676
1584649
2026-08-06T08:51:04Z
Riccardo Riccioni
452
1584676
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Dumoulin MHR.jpg|thumb|Alexandre Dumoulin]]
'''Alexandre Dumoulin''' (alizaliwa [[24 Agosti]] [[1989]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Hucheza katika nafasi ya senta, na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Montpellier katika mashindano ya Top 14.
Mwezi [[Januari]] [[2015]], aliteuliwa na [[kocha]] Philippe Saint-André kuwa miongoni mwa kikosi cha wachezaji 31 cha timu ya [[taifa]] ya Ufaransa kwa ajili ya Mashindano ya Mataifa Sita ya mwaka 2015.
Alicheza mchezo wake wa kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa tarehe 8 [[Novemba]] 2014, katika mchezo dhidi ya [[Fiji]]. <ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/30832205</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
qsarcgt16fkpxfxge82y2g03rjp6s9p
Walid Juffali
0
243717
1584655
2026-08-06T08:33:55Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Walid Ahmed Juffali''' (Alizaliwa [[30 Aprili]] [[1955]] – alifariki [[20 Julai]] [[2016]]) alikuwa mwenyekiti wa E. A. Juffali and Brothers, biashara kubwa zaidi ya kibinafsi nchini [[Saudia]], akichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha baba yake Ahmed bin Abdullah Al Juffali. Juffali pia alikuwa mwenyekiti wa kampuni yake binafsi "W Investments", kampuni ya uwekezaji iliyokuwa na makao yake [[Zürich]].<ref name="ImperialCollege">{{cite web|title=CBIT...'
1584655
wikitext
text/x-wiki
'''Walid Ahmed Juffali''' (Alizaliwa [[30 Aprili]] [[1955]] – alifariki [[20 Julai]] [[2016]]) alikuwa mwenyekiti wa E. A. Juffali and Brothers, biashara kubwa zaidi ya kibinafsi nchini [[Saudia]], akichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha baba yake Ahmed bin Abdullah Al Juffali. Juffali pia alikuwa mwenyekiti wa kampuni yake binafsi "W Investments", kampuni ya uwekezaji iliyokuwa na makao yake [[Zürich]].<ref name="ImperialCollege">{{cite web|title=CBIT Alumni/Past Staff|url=http://www3.imperial.ac.uk/bioinspiredtechnology/people/alumni |website= imperial.ac.uk| publisher= [[Imperial College]] |accessdate=18 November 2015}}</ref>
Pia alikuwa mwenyekiti wa benki ya Saudi American , Saudi Cement Company, na alikuwa katika bodi za makampuni mengi mashuhuri, ikiwa ni pamoja na benki ya Saudi Hollandi na mengineyo<ref name="Walid">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=51814360&capId=6084420.|title=Walid Bin Ahmed Al Juffali Executive profile| publisher= [[Bloomberg News]] |accessdate=11 January 2015}}</ref>.
Juffali pia alikuwa na mkusanyiko mkubwa wa vito vilivyoamriwa kulipwa kwa mke wake wa zamani Christina Estrada baada ya suluhu ya talaka ya dola milioni 95 mwaka [[2014]], ambayo ilikuwa suluhu kubwa zaidi katika historia ya sheria ya [[Uingereza]].<ref>{{Cite news|url=http://www.newser.com/story/227835/ex-model-makes-history-with-97m-divorce-settlement.html|title=Ex-Model Makes History With $97M Divorce Settlement|last=Harthorne|first=Michael|date=11 February 2009|newspaper=[[Newser]]|accessdate=10 November 2010}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
c9507wl1xynedn7lk0zfyzxeuugsp9d
1584677
1584655
2026-08-06T08:51:55Z
Riccardo Riccioni
452
1584677
wikitext
text/x-wiki
'''Walid Ahmed Juffali''' ([[30 Aprili]] [[1955]] – [[20 Julai]] [[2016]]) alikuwa mwenyekiti wa E. A. Juffali and Brothers, biashara kubwa zaidi ya binafsi nchini [[Saudia]], akichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha baba yake Ahmed bin Abdullah Al Juffali. Juffali pia alikuwa mwenyekiti wa kampuni yake binafsi "W Investments", kampuni ya uwekezaji iliyokuwa na makao yake [[Zürich]].<ref name="ImperialCollege">{{cite web|title=CBIT Alumni/Past Staff|url=http://www3.imperial.ac.uk/bioinspiredtechnology/people/alumni |website= imperial.ac.uk| publisher= [[Imperial College]] |accessdate=18 November 2015}}</ref>
Pia alikuwa mwenyekiti wa benki ya Saudi American , Saudi Cement Company, na alikuwa katika bodi za makampuni mengi mashuhuri, ikiwa ni pamoja na benki ya Saudi Hollandi na mengineyo<ref name="Walid">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=51814360&capId=6084420.|title=Walid Bin Ahmed Al Juffali Executive profile| publisher= [[Bloomberg News]] |accessdate=11 January 2015}}</ref>.
Juffali pia alikuwa na mkusanyiko mkubwa wa vito vilivyoamriwa kulipwa kwa mke wake wa zamani Christina Estrada baada ya suluhu ya talaka ya dola milioni 95 mwaka [[2014]], ambayo ilikuwa suluhu kubwa zaidi katika historia ya sheria ya [[Uingereza]].<ref>{{Cite news|url=http://www.newser.com/story/227835/ex-model-makes-history-with-97m-divorce-settlement.html|title=Ex-Model Makes History With $97M Divorce Settlement|last=Harthorne|first=Michael|date=11 February 2009|newspaper=[[Newser]]|accessdate=10 November 2010}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
m30k2h70r98gqt1q3hdpys9lmris1uy
1584697
1584677
2026-08-06T09:19:35Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584697
wikitext
text/x-wiki
'''Walid Ahmed Juffali''' ([[30 Aprili]] [[1955]] – [[20 Julai]] [[2016]]) alikuwa mwenyekiti wa E. A. Juffali and Brothers, biashara kubwa zaidi ya binafsi nchini [[Saudia]], akichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha baba yake Ahmed bin Abdullah Al Juffali. Juffali pia alikuwa mwenyekiti wa kampuni yake binafsi "W Investments", kampuni ya uwekezaji iliyokuwa na makao yake [[Zürich]].<ref name="ImperialCollege">{{cite web|title=CBIT Alumni/Past Staff|url=http://www3.imperial.ac.uk/bioinspiredtechnology/people/alumni |website= imperial.ac.uk| publisher= [[Imperial College]] |accessdate=18 November 2015}}</ref>
Pia alikuwa mwenyekiti wa benki ya Saudi American , Saudi Cement Company, na alikuwa katika bodi za makampuni mengi mashuhuri, ikiwa ni pamoja na benki ya Saudi Hollandi na mengineyo<ref name="Walid">{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=51814360&capId=6084420.|title=Walid Bin Ahmed Al Juffali Executive profile| publisher= [[Bloomberg News]] |accessdate=11 January 2015}}</ref>.
Juffali pia alikuwa na mkusanyiko mkubwa wa vito vilivyoamriwa kulipwa kwa mke wake wa zamani Christina Estrada baada ya suluhu ya talaka ya dola milioni 95 mwaka [[2014]], ambayo ilikuwa suluhu kubwa zaidi katika historia ya sheria ya [[Uingereza]].<ref>{{Rejea habari|url=http://www.newser.com/story/227835/ex-model-makes-history-with-97m-divorce-settlement.html|title=Ex-Model Makes History With $97M Divorce Settlement|last=Harthorne|first=Michael|date=11 February 2009|newspaper=[[Newser]]|accessdate=10 November 2010}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
ollz9yx7m91gonk4lvv5f7eydeotpqa
Rémy Grosso
0
243718
1584661
2026-08-06T08:38:03Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584661
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Castres Olympique - Présentation de l'équipe 2015-2016 - Rémi Grosso 2.jpg|thumb|Rémi Grosso]]
'''Rémy Grosso''' (alizaliwa [[tarehe]] [[4]] [[Desemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza katika nafasi ya winger (mshambuliaji wa pembeni) kwa [[klabu]] ya ASM Clermont Auvergne katika mashindano ya Top 14.
Aliitwa kujiunga na kikosi cha timu ya [[taifa]] ya Ufaransa kwa ajili ya [[Kombe]] la [[Dunia]] la Raga la mwaka [[2015]] kwa kuchelewa, akichukua nafasi ya Yoann Huget, ambaye alikuwa ameumia.
Baadaye alicheza mchezo wake wa kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa katika mashindano hayo, na akafunga try dhidi ya [[Canada]]. <ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/34395554</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RG226175</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
szowojdqh6v871mvnitferrfx6a1py3
1584678
1584661
2026-08-06T08:52:42Z
Riccardo Riccioni
452
1584678
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Castres Olympique - Présentation de l'équipe 2015-2016 - Rémi Grosso 2.jpg|thumb|Rémi Grosso]]
'''Rémy Grosso''' (alizaliwa [[4 Desemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa zamani wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Alicheza katika nafasi ya winger (mshambuliaji wa pembeni) kwa [[klabu]] ya ASM Clermont Auvergne katika mashindano ya Top 14.
Aliitwa kujiunga na kikosi cha [[timu ya taifa]] ya Ufaransa kwa ajili ya [[Kombe la Dunia]] la Raga la mwaka [[2015]] kwa kuchelewa, akichukua nafasi ya Yoann Huget, ambaye alikuwa ameumia.
Baadaye alicheza mchezo wake wa kwanza kwa timu ya taifa ya Ufaransa katika mashindano hayo, na akafunga try dhidi ya [[Canada]]. <ref>https://www.bbc.com/sport/rugby-union/34395554</ref><ref>https://historical-stats.epcrugby.com/player/?PlayGuid=RG226175</ref>
== Marejeo ==
<references />
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ttuy4fcp0ha541xe9hoxf27ztesj03j
Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim
0
243719
1584667
2026-08-06T08:40:11Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim''' (alizaliwa [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]], na mwanzilishi na mwenyekiti wa Middle East Broadcasting Center, inayojulikana kama MBC Group.<ref>{{cite web|title=Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim|url=http://sagia-gcf.tmwtest.co.uk/en/Speakers/Waleed-Al-Ibrahim/|work=Global Competitiveness Forum|access-date=19 April 2013|archive-date=24 August 2011|archive-url=https://web.archive.org/web/20110824122936/ht...'
1584667
wikitext
text/x-wiki
'''Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim''' (alizaliwa [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]], na mwanzilishi na mwenyekiti wa Middle East Broadcasting Center, inayojulikana kama MBC Group.<ref>{{cite web|title=Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim|url=http://sagia-gcf.tmwtest.co.uk/en/Speakers/Waleed-Al-Ibrahim/|work=Global Competitiveness Forum|access-date=19 April 2013|archive-date=24 August 2011|archive-url=https://web.archive.org/web/20110824122936/http://sagia-gcf.tmwtest.co.uk/en/Speakers/Waleed-Al-Ibrahim/|url-status=live}}</ref>
Mnamo [[2018]], serikali ya Saudia ilipanga kupata asilimia 60 ya MBC, na kuacha asilimia 40 iliyobaki mikononi mwa Al Ibrahim.<ref name=Paul>{{Cite news|url=https://www.reuters.com/article/saudi-arrests-mbc/chairman-of-saudi-media-group-mbc-allowed-to-travel-to-dubai-idUSL5N1SZ25S|title=Chairman of Saudi media group MBC allowed to travel to Dubai|author=Katie Paul|work=Reuters|access-date=12 June 2018}}</ref> MBC Group ilisema katika taarifa yake kwamba Al Ibrahim angebakia na hisa zake na kama mwenyekiti alipitia mipango ya ukuaji wakati wa mkutano uliofanyika nchini [[UAE]] tarehe [[29 Mei]] 2018.
Ununuzi wa serikali ya Saudia wa hisa za MBC ulikuja wakati ambapo wamiliki na wanabodi kadhaa wa MBC waliitishwa mwaka [[2017]] kwenda [[Riyad|Riyadh]], ambako walikamatwa, kushtakiwa kwa rushwa, na kufungwa katika Hoteli ya Ritz-Carlton. Hatua hizi zilifuata miaka ya Crown Prince wa Saudia kujaribu kununua kampuni ya media. Baada ya siku 83, mmiliki mkuu wa kampuni Waleed al-Ibrahim aliachiliwa. Afisa Mkuu wa MBC alinukuliwa na Arabian Business akisema kwamba Waleed al-Ibrahim alionekana hana hatia.<ref>{{Cite news |last=Hubbard |first=Ben |date=2018-01-26 |title=Saudi Arabia Frees Media Mogul, but His Company's Fate Remains a Mystery |url=https://www.nytimes.com/2018/01/26/world/middleeast/saudi-mbc-corruption-crackdown.html |access-date=2020-03-15 |work=The New York Times |language=en-US |issn=0362-4331}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
0quuzwp0cgpviclltp12fhx1fqmp2io
1584696
1584667
2026-08-06T09:19:25Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced.
1584696
wikitext
text/x-wiki
'''Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim''' (alizaliwa [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]], na mwanzilishi na mwenyekiti wa Middle East Broadcasting Center, inayojulikana kama MBC Group.<ref>{{cite web|title=Waleed bin Ibrahim Al Ibrahim|url=http://sagia-gcf.tmwtest.co.uk/en/Speakers/Waleed-Al-Ibrahim/|work=Global Competitiveness Forum|access-date=19 April 2013|archive-date=24 August 2011|archive-url=https://web.archive.org/web/20110824122936/http://sagia-gcf.tmwtest.co.uk/en/Speakers/Waleed-Al-Ibrahim/|url-status=live}}</ref>
Mnamo [[2018]], serikali ya Saudia ilipanga kupata asilimia 60 ya MBC, na kuacha asilimia 40 iliyobaki mikononi mwa Al Ibrahim.<ref name=Paul>{{Rejea habari|url=https://www.reuters.com/article/saudi-arrests-mbc/chairman-of-saudi-media-group-mbc-allowed-to-travel-to-dubai-idUSL5N1SZ25S|title=Chairman of Saudi media group MBC allowed to travel to Dubai|author=Katie Paul|work=Reuters|access-date=12 June 2018}}</ref> MBC Group ilisema katika taarifa yake kwamba Al Ibrahim angebakia na hisa zake na kama mwenyekiti alipitia mipango ya ukuaji wakati wa mkutano uliofanyika nchini [[UAE]] tarehe [[29 Mei]] 2018.
Ununuzi wa serikali ya Saudia wa hisa za MBC ulikuja wakati ambapo wamiliki na wanabodi kadhaa wa MBC waliitishwa mwaka [[2017]] kwenda [[Riyad|Riyadh]], ambako walikamatwa, kushtakiwa kwa rushwa, na kufungwa katika Hoteli ya Ritz-Carlton. Hatua hizi zilifuata miaka ya Crown Prince wa Saudia kujaribu kununua kampuni ya media. Baada ya siku 83, mmiliki mkuu wa kampuni Waleed al-Ibrahim aliachiliwa. Afisa Mkuu wa MBC alinukuliwa na Arabian Business akisema kwamba Waleed al-Ibrahim alionekana hana hatia.<ref>{{Rejea habari |last=Hubbard |first=Ben |date=2018-01-26 |title=Saudi Arabia Frees Media Mogul, but His Company's Fate Remains a Mystery |url=https://www.nytimes.com/2018/01/26/world/middleeast/saudi-mbc-corruption-crackdown.html |access-date=2020-03-15 |work=The New York Times |language=en-US |issn=0362-4331}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1962]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
c49dygasj287u8ej68p4n54id272pbt
Fawaz Alhokair
0
243720
1584672
2026-08-06T08:46:29Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fawaz Alhokair''' (alizaliwa [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] katika mali zisizohamishika.<ref name="forbes.com">{{cite web|url=https://www.forbes.com/profile/fawaz-alhokair/|title=Fawaz Alhokair|author=|date=|website=forbes.com|accessdate=30 August 2017}}</ref> Mnamo [[1989]], alianzisha Fawaz Abdulaziz Alhokair Group pamoja na ndugu zake wawili, wakianza na maduka mawili tu ya nguo za wanaume. Kampuni hiyo sasa ina maduka makubw...'
1584672
wikitext
text/x-wiki
'''Fawaz Alhokair''' (alizaliwa [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] katika mali zisizohamishika.<ref name="forbes.com">{{cite web|url=https://www.forbes.com/profile/fawaz-alhokair/|title=Fawaz Alhokair|author=|date=|website=forbes.com|accessdate=30 August 2017}}</ref>
Mnamo [[1989]], alianzisha Fawaz Abdulaziz Alhokair Group pamoja na ndugu zake wawili, wakianza na maduka mawili tu ya nguo za wanaume. Kampuni hiyo sasa ina maduka makubwa 19 nchini Saudia, na haki za mkopo za ndani kwa chapa ikiwa ni pamoja na Zara, Banana Republic, Gap, Nine West na Topshop.
Alhokair anaishi [[Riyadh]], Saudia.
Mnamo [[2015]], Alhokair alinunua ghorofa kubwa zaidi katika 432 Park Avenue, [[New York]] lenye ukubwa wa futi za mraba 8,255 (766.9 m2), vyumba sita vya kulala, bafu saba, na maktaba, kwa dola milioni 87.7.<ref>{{Cite web|url=https://ny.curbed.com/2016/10/20/13340322/432-park-avenue-penthouse-for-sale|archive-url=https://web.archive.org/web/20161021125107/http://ny.curbed.com/2016/10/20/13340322/432-park-avenue-penthouse-for-sale|url-status=dead|archive-date=October 21, 2016|title=432 Park Avenue reveals a 95th-floor, $82M penthouse|last=Walker|first=Ameena|date=2016-10-20|website=Curbed NY|access-date=2020-08-11}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://ny.curbed.com/2015/5/29/9955802/buyer-outed-for-432-park-avenues-95-million-penthouse|archive-url=https://web.archive.org/web/20160314101147/http://ny.curbed.com/2015/5/29/9955802/buyer-outed-for-432-park-avenues-95-million-penthouse|url-status=dead|archive-date=March 14, 2016|title=Buyer Outed For 432 Park Avenue's $95 Million Penthouse|last=Rosenberg|first=Zoe|date=2015-05-29|website=Curbed NY|access-date=2016-11-15}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://pursuitist.com/inside-432-park-avenue-the-95-million-new-york-city-apartment/|title=Inside 432 Park Avenue, The $95 Million New York City Apartment – Pursuitist|website=pursuitist.com|access-date=2016-11-15}}</ref><ref name="nytimes.com">{{cite news|url=https://www.nytimes.com/2013/05/19/nyregion/boom-in-luxury-towers-is-warping-new-york-real-estate-market.html?hp&_r=0 |work=The New York Times |first=Charles V. |last=Bagli |title=Boom in Luxury Towers Is Warping New York Real Estate Market |date=May 18, 2013}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.forbes.com/sites/aliciaadamczyk/2014/10/16/inside-new-yorks-95-million-penthouse-432-park-avenue/|title=Inside New York's $95 million Penthouse: 432 Park Avenue|work=[[Forbes|Forbes Life]]|date=October 16, 2014|author=Alicia Adamczyk|accessdate=October 17, 2014}}</ref> Baadaye, mnamo [[Juni]] [[2021]], iliripotiwa kuwa ghorofa hiyo ingeorodheshwa kwa dola milioni 170.<ref>{{cite web |title=432 Park Penthouse to Ask as Much as $170 Million |url=https://www.wsj.com/articles/432-park-penthouse-170-million-11624883550 |date=June 28, 2021|website=wsj.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
m6yefbc5itkjcteqm50u91lghrg17by
1584689
1584672
2026-08-06T09:06:59Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced.
1584689
wikitext
text/x-wiki
'''Fawaz Alhokair''' (alizaliwa [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] katika mali zisizohamishika.<ref name="forbes.com">{{cite web|url=https://www.forbes.com/profile/fawaz-alhokair/|title=Fawaz Alhokair|author=|date=|website=forbes.com|accessdate=30 August 2017}}</ref>
Mnamo [[1989]], alianzisha Fawaz Abdulaziz Alhokair Group pamoja na ndugu zake wawili, wakianza na maduka mawili tu ya nguo za wanaume. Kampuni hiyo sasa ina maduka makubwa 19 nchini Saudia, na haki za mkopo za ndani kwa chapa ikiwa ni pamoja na Zara, Banana Republic, Gap, Nine West na Topshop.
Alhokair anaishi [[Riyadh]], Saudia.
Mnamo [[2015]], Alhokair alinunua ghorofa kubwa zaidi katika 432 Park Avenue, [[New York]] lenye ukubwa wa futi za mraba 8,255 (766.9 m2), vyumba sita vya kulala, bafu saba, na maktaba, kwa dola milioni 87.7.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://ny.curbed.com/2016/10/20/13340322/432-park-avenue-penthouse-for-sale|archive-url=https://web.archive.org/web/20161021125107/http://ny.curbed.com/2016/10/20/13340322/432-park-avenue-penthouse-for-sale|url-status=dead|archive-date=October 21, 2016|title=432 Park Avenue reveals a 95th-floor, $82M penthouse|last=Walker|first=Ameena|date=2016-10-20|website=Curbed NY|access-date=2020-08-11}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://ny.curbed.com/2015/5/29/9955802/buyer-outed-for-432-park-avenues-95-million-penthouse|archive-url=https://web.archive.org/web/20160314101147/http://ny.curbed.com/2015/5/29/9955802/buyer-outed-for-432-park-avenues-95-million-penthouse|url-status=dead|archive-date=March 14, 2016|title=Buyer Outed For 432 Park Avenue's $95 Million Penthouse|last=Rosenberg|first=Zoe|date=2015-05-29|website=Curbed NY|access-date=2016-11-15}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://pursuitist.com/inside-432-park-avenue-the-95-million-new-york-city-apartment/|title=Inside 432 Park Avenue, The $95 Million New York City Apartment – Pursuitist|website=pursuitist.com|access-date=2016-11-15}}</ref><ref name="nytimes.com">{{cite news|url=https://www.nytimes.com/2013/05/19/nyregion/boom-in-luxury-towers-is-warping-new-york-real-estate-market.html?hp&_r=0 |work=The New York Times |first=Charles V. |last=Bagli |title=Boom in Luxury Towers Is Warping New York Real Estate Market |date=May 18, 2013}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.forbes.com/sites/aliciaadamczyk/2014/10/16/inside-new-yorks-95-million-penthouse-432-park-avenue/|title=Inside New York's $95 million Penthouse: 432 Park Avenue|work=[[Forbes|Forbes Life]]|date=October 16, 2014|author=Alicia Adamczyk|accessdate=October 17, 2014}}</ref> Baadaye, mnamo [[Juni]] [[2021]], iliripotiwa kuwa ghorofa hiyo ingeorodheshwa kwa dola milioni 170.<ref>{{cite web |title=432 Park Penthouse to Ask as Much as $170 Million |url=https://www.wsj.com/articles/432-park-penthouse-170-million-11624883550 |date=June 28, 2021|website=wsj.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fq43jp57fyxn4hml0qprqfp44iy1x9p
Bahaa Hariri
0
243721
1584679
2026-08-06T08:53:54Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bahaa El-Dine Rafic Al-Hariri''' (alizaliwa [[26 Aprili]] [[1967]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Lebanoni]] na [[Saudia]]. Yeye ni mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanoni [[Rafic Hariri]], kutoka ndoa ya kwanza ya baba yake na Nida Bustani, raia wa [[Iraki]]. Yeye ni kaka wa Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon [[Saad Hariri]]. Tangu kuanza kwa maandamano nchini Lebanoni mnamo Oktoba [[2019]], Hariri amekuwa akiongea kwa sauti kuunga mkono...'
1584679
wikitext
text/x-wiki
'''Bahaa El-Dine Rafic Al-Hariri''' (alizaliwa [[26 Aprili]] [[1967]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Lebanoni]] na [[Saudia]]. Yeye ni mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanoni [[Rafic Hariri]], kutoka ndoa ya kwanza ya baba yake na Nida Bustani, raia wa [[Iraki]]. Yeye ni kaka wa Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon [[Saad Hariri]].
Tangu kuanza kwa maandamano nchini Lebanoni mnamo Oktoba [[2019]], Hariri amekuwa akiongea kwa sauti kuunga mkono waandamanaji, akizungumza dhidi ya rushwa katika mfumo wa kisiasa na kushindwa kwa serikali kusaidia wananchi.
Alirithi utajiri wake kutoka kwa baba yake, ambaye alikuwa bilionea. Mnamo [[2008]], Bahaa aliuza hisa zake katika Saudi Oger, kampuni ya ujenzi ya familia, kwa kaka yake Saad Hariri. Alianzisha na ni mwenyekiti wa Horizon Group, kampuni ya mali zisizohamishika yenye uwekezaji huko [[Amman]], [[Yordani]] na [[Beirut]], Lebanoni.<ref>{{Cite web|date=11 November 2020|title=The Hariri Brothers & the Future of Lebanese Politics|url=https://newlinesinstitute.org/lebanon/the-hariri-brothers-the-future-of-lebanese-politics/|url-status=live|website=New Lines Institute|archive-url=https://web.archive.org/web/20210513131041/https://newlinesinstitute.org/lebanon/the-hariri-brothers-the-future-of-lebanese-politics/ |archive-date=13 May 2021 }}</ref>
Kwa sasa ameorodheshwa katika nafasi ya 1834 kwenye orodha ya [[Forbes]] ya mabilionea wakuu duniani, na utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 2.3.<ref name=rank>{{cite news|title=Bahaa Hariri|url=https://www.forbes.com/profile/bahaa-hariri/|work=Forbes}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Lebanon]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Lebanon]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
tb5zx3hkj3gor4a13qptglpyn6kswwk
Allison Williams (mchezaji wa soka)
0
243722
1584683
2026-08-06T08:58:35Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Allison Williams (mchezaji wa soka)]] hadi [[Allison Williams (wanasoka)]]: urahisi wa kuupata
1584683
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Allison Williams (wanasoka)]]
aqnnyzlqeawy90n8ij8abt96uuw5xeh
Sulaiman Hamad Al Gosaibi
0
243723
1584684
2026-08-06T08:59:00Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sulaiman Hamad Al Gosaibi''' (alizaliwa [[1930]] – alifariki [[23 Februari]] [[2009]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] wa [[Saudia]]. Alikuwa mwenyekiti wa bodi ya Ahmad Hamad Al Gosaibi & Brothers Group of Companies iliyoko Alkhobar, Saudia hadi kifo chake mnamo Februari [[2009]].<ref>{{cite web|last=Coker |first=Margaret |url=https://www.wsj.com/articles/SB125616910974700325#project%3DGOISABI0910%26articleTabs%3Dinteractive |title=A Saudi Family Feud Roi...'
1584684
wikitext
text/x-wiki
'''Sulaiman Hamad Al Gosaibi''' (alizaliwa [[1930]] – alifariki [[23 Februari]] [[2009]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] wa [[Saudia]]. Alikuwa mwenyekiti wa bodi ya Ahmad Hamad Al Gosaibi & Brothers Group of Companies iliyoko Alkhobar, Saudia hadi kifo chake mnamo Februari [[2009]].<ref>{{cite web|last=Coker |first=Margaret |url=https://www.wsj.com/articles/SB125616910974700325#project%3DGOISABI0910%26articleTabs%3Dinteractive |title=A Saudi Family Feud Roils World Banks - WSJ.com |publisher=Online.wsj.com |date=2009-10-22 |accessdate=2012-10-14}}</ref>
Alirithi kampuni ndogo ya biashara kutoka kwa baba yake, ambaye alianza biashara katika miaka ya 1940, awali katika sekta ya biashara na benki. Sulaiman alikuwa mdogo kati ya ndugu watatu waliojenga kikundi cha biashara chenye mseto wa maslahi katika sekta mbalimbali, kufuatana na ukuaji wa uchumi wa Saudia unaoendeshwa na mafuta.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1930]]
[[Jamii:Waliofariki 2009]]
sr9zhxpo0hb8b6n8x5vlcz0w4dfpeoo
1584687
1584684
2026-08-06T09:01:58Z
Riccardo Riccioni
452
1584687
wikitext
text/x-wiki
'''Sulaiman Hamad Al Gosaibi''' ([[1930]] – [[23 Februari]] [[2009]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] wa [[Saudia]]. Alikuwa mwenyekiti wa bodi ya Ahmad Hamad Al Gosaibi & Brothers Group of Companies iliyoko Alkhobar, Saudia hadi kifo chake mnamo Februari [[2009]].<ref>{{cite web|last=Coker |first=Margaret |url=https://www.wsj.com/articles/SB125616910974700325#project%3DGOISABI0910%26articleTabs%3Dinteractive |title=A Saudi Family Feud Roils World Banks - WSJ.com |publisher=Online.wsj.com |date=2009-10-22 |accessdate=2012-10-14}}</ref>
Alirithi kampuni ndogo ya biashara kutoka kwa baba yake, ambaye alianza biashara katika miaka ya 1940, awali katika sekta ya biashara na benki. Sulaiman alikuwa mdogo kati ya ndugu watatu waliojenga kikundi cha biashara chenye mseto wa maslahi katika sekta mbalimbali, kufuatana na ukuaji wa uchumi wa Saudia unaoendeshwa na mafuta.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1930]]
[[Jamii:Waliofariki 2009]]
smp0sj2uy4uhxrcs39jai3pmr24jjtz
Allison Williams (wanasoka)
0
243724
1584686
2026-08-06T08:59:00Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Allison Williams (wanasoka)]] hadi [[Allison Williams (mwanasoka)]]: usahihi wa jina
1584686
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Allison Williams (mwanasoka)]]
82rpdg8ih5x8s06juci1hbp5px4e4br
Mohammed Hussein Al Amoudi
0
243725
1584688
2026-08-06T09:05:48Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mohammed Hussein Ali Al Amoudi''' ( alizaliwa [[21 Julai]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] mzaliwa wa [[Ethiopia]].<ref>{{Cite web |last=Qasim |first=Bilal |date=2023-06-28 |title=From Poverty to Philanthropy: The Incredible Journey of Sheikh Mohammed Hussein Ali Al-Amoudi |url=https://arableaders.blog/from-poverty-to-philanthropy-the-incredible-journey-of-sheikh-mohammed-hussein-ali-al-amoudi/ |access-date=2024-12-24 |website=Ara...'
1584688
wikitext
text/x-wiki
'''Mohammed Hussein Ali Al Amoudi''' ( alizaliwa [[21 Julai]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] mzaliwa wa [[Ethiopia]].<ref>{{Cite web |last=Qasim |first=Bilal |date=2023-06-28 |title=From Poverty to Philanthropy: The Incredible Journey of Sheikh Mohammed Hussein Ali Al-Amoudi |url=https://arableaders.blog/from-poverty-to-philanthropy-the-incredible-journey-of-sheikh-mohammed-hussein-ali-al-amoudi/ |access-date=2024-12-24 |website=Arab Leaders |language=en-US}}</ref>
Alizaliwa Ethiopia, akiwa na baba wa [[Yemen]] kutoka Hadhramaut na mama kutoka Mkoa wa Wollo. Alihamia Saudia pamoja na kaka yake Mauricet na akapata uraia wa Saudia.
Mnamo [[2026]], utajiri wake ulikadiriwa na Bloomberg Billionaires Index kuwa takriban dola za [[Marekani]] bilioni 9.3<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Mohammed Al Amoudi|url=https://www.forbes.com/profile/mohammed-al-amoudi/|website=Forbes|access-date=16 February 2026}}</ref>. Pia ameorodheshwa kama mtu tajiri zaidi nchini Ethiopia, na raia wa pili tajiri zaidi wa Saudia.
Al Amoudi alijenga utajiri wake katika sekta ya ujenzi na mali zisizohamishika kabla ya kupanua biashara zake na kununua viwanda vya kusafisha mafuta nchini [[Uswidi]] na [[Moroko]]. Yeye ni mwekezaji mkubwa zaidi wa kigeni nchini Ethiopia na mwekezaji mkubwa nchini Uswidi.<ref name="mfonobong2013-03">{{cite web | first=Mfonobong | last=Nsehe | title=The Black Billionaires 2013 | url=https://www.forbes.com/sites/mfonobongnsehe/2013/03/05/the-black-billionaires-2013/ | work=[[Forbes]] | date=5 March 2013 | access-date=24 March 2013 }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Ethiopia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Ethiopia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
fkgdb6nq7vut05vmmrcnn26tvyw4q75
1584803
1584688
2026-08-06T10:53:18Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584803
wikitext
text/x-wiki
'''Mohammed Hussein Ali Al Amoudi''' ( alizaliwa [[21 Julai]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] mzaliwa wa [[Ethiopia]].<ref>{{Rejea tovuti |last=Qasim |first=Bilal |date=2023-06-28 |title=From Poverty to Philanthropy: The Incredible Journey of Sheikh Mohammed Hussein Ali Al-Amoudi |url=https://arableaders.blog/from-poverty-to-philanthropy-the-incredible-journey-of-sheikh-mohammed-hussein-ali-al-amoudi/ |access-date=2024-12-24 |website=Arab Leaders |language=en-US}}</ref>
Alizaliwa Ethiopia, akiwa na baba wa [[Yemen]] kutoka Hadhramaut na mama kutoka Mkoa wa Wollo. Alihamia Saudia pamoja na kaka yake Mauricet na akapata uraia wa Saudia.
Mnamo [[2026]], utajiri wake ulikadiriwa na Bloomberg Billionaires Index kuwa takriban dola za [[Marekani]] bilioni 9.3<ref name=Forbes>{{cite web|title=Forbes profile: Mohammed Al Amoudi|url=https://www.forbes.com/profile/mohammed-al-amoudi/|website=Forbes|access-date=16 February 2026}}</ref>. Pia ameorodheshwa kama mtu tajiri zaidi nchini Ethiopia, na raia wa pili tajiri zaidi wa Saudia.
Al Amoudi alijenga utajiri wake katika sekta ya ujenzi na mali zisizohamishika kabla ya kupanua biashara zake na kununua viwanda vya kusafisha mafuta nchini [[Uswidi]] na [[Moroko]]. Yeye ni mwekezaji mkubwa zaidi wa kigeni nchini Ethiopia na mwekezaji mkubwa nchini Uswidi.<ref name="mfonobong2013-03">{{cite web | first=Mfonobong | last=Nsehe | title=The Black Billionaires 2013 | url=https://www.forbes.com/sites/mfonobongnsehe/2013/03/05/the-black-billionaires-2013/ | work=[[Forbes]] | date=5 March 2013 | access-date=24 March 2013 }}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Ethiopia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Ethiopia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
3sy4r9ylunjdj4q757i9oillm9up49f
Jamii:Kambi za wakimbizi nchini Rwanda
14
243726
1584690
2026-08-06T09:09:36Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Rwanda]]'
1584690
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Rwanda]]
mqbg1ls4gbisamehyopf7grt6gt0cyc
Jamii:Waongozaji filamu wa Kanada
14
243727
1584691
2026-08-06T09:11:06Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Kanada|F]] [[Jamii:waongozaji filamu nchi kwa nchi|K]]'
1584691
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Kanada|F]]
[[Jamii:waongozaji filamu nchi kwa nchi|K]]
lacqyiysug7ezm0xsyiji5xsqong8am
Jamii:Watayarishaji filamu wa Moroko
14
243728
1584693
2026-08-06T09:12:41Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Moroko|F]] [[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|M]]'
1584693
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Moroko|F]]
[[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|M]]
i3o6pxj00jqw5zu3ig9kah8cqhf77bc
Jamii:Watayarishaji filamu wa Ufaransa
14
243729
1584694
2026-08-06T09:13:20Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Ufaransa|F]] [[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|U]]'
1584694
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Ufaransa|F]]
[[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|U]]
qfz2zh2cy8xyk3q7o2xavhw7squ36pc
Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia
14
243730
1584695
2026-08-06T09:18:51Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Saudia|B]] [[Jamii:wafanyabiashara nchi kwa nchi|S]]'
1584695
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Saudia|B]]
[[Jamii:wafanyabiashara nchi kwa nchi|S]]
gthpxy75f4jxqjtcnwd1pkxydyz5b22
Jamii:Wajasiriamali wa Kenya
14
243731
1584705
2026-08-06T09:26:03Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Kenya|J]] [[Jamii:wajasiriamali nchi kwa nchi|K]]'
1584705
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Kenya|J]]
[[Jamii:wajasiriamali nchi kwa nchi|K]]
du80smob54rcafyony35imhdyo68e8c
Jamii:Watayarishaji filamu wa Afrika Kusini
14
243732
1584706
2026-08-06T09:27:44Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Afrika Kusini|F]] [[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|A]]'
1584706
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Afrika Kusini|F]]
[[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|A]]
9qb5v5et65ap1tzpbsp4nxk87jl92bf
Jamii:Watayarishaji filamu wa Algeria
14
243733
1584707
2026-08-06T09:28:18Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Algeria|F]] [[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|A]]'
1584707
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Algeria|F]]
[[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|A]]
s92l72bvz55nqv1d660pti5ynw6hw38
Jamii:Watayarishaji filamu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
14
243734
1584708
2026-08-06T09:28:54Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|F]] [[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|K]]'
1584708
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|F]]
[[Jamii:watayarishaji filamu nchi kwa nchi|K]]
2aby39f9d0hbbz0yuod3l0nmj0kos29
Majadiliano ya mtumiaji:Vannessa 11115913
3
243735
1584734
2026-08-06T09:48:15Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584734
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 6 Agosti 2026 (UTC)
ivywdnl8errg6bb272fmvvnzl222h84
Majadiliano ya mtumiaji:Lubida Makanyanga
3
243736
1584735
2026-08-06T09:48:25Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584735
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 6 Agosti 2026 (UTC)
ivywdnl8errg6bb272fmvvnzl222h84
Majadiliano ya mtumiaji:FordFiesta2
3
243737
1584737
2026-08-06T09:48:35Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584737
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 6 Agosti 2026 (UTC)
ivywdnl8errg6bb272fmvvnzl222h84
Majadiliano ya mtumiaji:Gadabay69
3
243738
1584738
2026-08-06T09:48:45Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584738
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 6 Agosti 2026 (UTC)
ivywdnl8errg6bb272fmvvnzl222h84
Majadiliano ya mtumiaji:Tcloudd
3
243739
1584739
2026-08-06T09:48:55Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584739
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 6 Agosti 2026 (UTC)
ivywdnl8errg6bb272fmvvnzl222h84
Majadiliano ya mtumiaji:Stardust4ariii
3
243740
1584740
2026-08-06T09:49:05Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584740
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:Neivaldolucio
3
243741
1584741
2026-08-06T09:49:15Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584741
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:Umukijana
3
243742
1584743
2026-08-06T09:49:25Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584743
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:Kbalazs211
3
243743
1584744
2026-08-06T09:49:35Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584744
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:Tuncker
3
243744
1584745
2026-08-06T09:49:45Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584745
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:BlorborosOuroboros
3
243745
1584746
2026-08-06T09:49:55Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584746
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Agosti 2026 (UTC)
j5sy88q9543ockeni1xgurlyebllm1w
Majadiliano ya mtumiaji:Frank Zedi Tapes
3
243746
1584747
2026-08-06T09:50:05Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584747
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Nicolaj Bernardinell
3
243747
1584748
2026-08-06T09:50:15Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584748
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Ewadsk
3
243748
1584749
2026-08-06T09:50:25Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584749
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Annafiske
3
243749
1584750
2026-08-06T09:50:35Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584750
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Loc863
3
243750
1584751
2026-08-06T09:50:45Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584751
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Notnoyse2
3
243751
1584752
2026-08-06T09:50:55Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584752
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 6 Agosti 2026 (UTC)
78ysz5ecp5vved5iqxoya7nj7q450w7
Majadiliano ya mtumiaji:Sistematizator
3
243752
1584753
2026-08-06T09:51:05Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584753
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 6 Agosti 2026 (UTC)
6fj78h4i0z12x16g6ragvypbg7h6qfc
Majadiliano ya mtumiaji:Komoroda
3
243753
1584754
2026-08-06T09:51:15Z
AmmarBot
81277
Karibu
1584754
wikitext
text/x-wiki
<div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%">
<p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p>
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:<br>
* [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]]
* [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]]
* [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small>
* [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small>
* [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]]
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
<big>'''Ujue miiko:'''</big>
* usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]].
* usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo).
* usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]].
* usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.
Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
<p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p>
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]].
And, please:
* '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili)
* nor copied texts/images from other webs to this site!
* do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.
* do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves.
As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
</div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 6 Agosti 2026 (UTC)
6fj78h4i0z12x16g6ragvypbg7h6qfc
Charles Géli
0
243754
1584755
2026-08-06T09:56:24Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584755
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Geli MHR.JPG|thumb|Charles Géli]]
'''Charles Géli''' (alizaliwa [[26 Machi]] [[1987]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Nafasi yake uwanjani ni hooker (Mchezaji wa kati wa safu ya mbele), na kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Montpellier.
Alishinda ubingwa wa Top 14 wa msimu wa [[2008]] – [[2009]] akiwa na klabu ya USA Perpignan. <ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/RugbyFicheJoueur4703.html</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
fk9zorkp7b0ogcd8rbhxdsiwrlhmae0
Julien Dumora
0
243755
1584765
2026-08-06T10:08:56Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584765
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Castres Olympique - Présentation de l'équipe 2015-2016 - Julien Dumora 3.jpg|thumb|Julien Dumora ]]
'''Julien Dumora''' (alizaliwa [[23 Machi]] [[1988]] huko Arudy, Ufaransa) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Kwa sasa anacheza katika nafasi ya fullback (beki wa nyuma) kwa klabu ya Castres, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14.
Katika [[fainali]] ya msimu wa Top 14 wa [[2017]] – [[2018]], alifunga try moja, huku Castres ikiifunga [[Montpellier]] na kutwaa ubingwa. <ref>https://www.planetrugby.com/castres-stun-montpellier-to-claim-third-top-14-title</ref>
== Mafanikio ==
Klabu
Castres (Ufaransa)
Mshindi wa Top 14: 2017 – 2018
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1988]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
d1z49yzdqbsn1wo0rhsrefwz3ssdkcb
Wenceslas Lauret
0
243756
1584782
2026-08-06T10:25:40Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584782
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:WenceslasLauret2019(cropped).jpg|thumb|WenceslasLauret2019]]
'''Wenceslas Lauret''' (alizaliwa [[28 Machi]] [[1989]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Anachezea [[klabu]] ya Racing 92 katika ligi ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni flanker, lakini pia anaweza kucheza nafasi ya lock (mfungaji wa safu ya mbele).
== Maisha ya uchezaji ==
Lauret alianza kuonekana katika ngazi ya raga ya kitaaluma wakati wa msimu wa Top 14 wa [[2007]] – [[2008]] akiwa na klabu ya Biarritz Olympique.
Hata hivyo, katika msimu huo alikuwa bado akicheza katika ngazi ya akademi, akiwa sehemu ya timu ya chini ya miaka 20.
Katika mwaka huo huo, alichaguliwa kujiunga na timu ya taifa ya Ufaransa ya [[vijana]] chini ya miaka 20 iliyoshiriki katika Mashindano ya kwanza ya Dunia ya Vijana ya IRB yaliyofanyika nchini [[Wales]]. <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/wenceslas-lauret-13626/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20210422171822/http://www.rugbyweek.com/racing-92-beat-toulon-win-top-14-rugby-title/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Mbegu za watu]]
lrvf6fevz1gqnfme6zvlkw0z2iyx07c
Yacouba Camara
0
243757
1584791
2026-08-06T10:34:20Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584791
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Yacouba Camara cropped.jpg|thumb|Yacouba Camara]]
'''Yacouba Mandingo Camara''' (alizaliwa [[2 Juni]] [[1994]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Kwa sasa anachezea [[klabu]] ya Montpellier katika mashindano ya Top 14 ya Ufaransa.
Nafasi yake ya kawaida uwanjani ni flanker (mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele).
== Maisha ya klabu ==
Camara alicheza mchezo wake wa kwanza kwa klabu ya Toulouse katika msimu wa [[2013]] – [[2014]], akiwa na umri wa miaka 19.
Mwaka [[2017]], alihamia klabu ya Montpellier Hérault Rugby. <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/yacouba-camara-26971/</ref><ref>https://www.ultimaterugby.com/yacouba-camara</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1994]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
haod5gmdupcm0dmrh6p0livsstqtycb
Abdullah wa Saudia
0
243758
1584796
2026-08-06T10:43:27Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Abdullah bin Abdulaziz Al Saud''' (alizaliwa [[1 Agosti]] [[1924]] – alifariki [[23 Januari]] [[2015]]) alikuwa Mfalme na Waziri Mkuu wa [[Saudia]] kuanzia tarehe [[1 Agosti]] [[2005]] hadi kifo chake mwaka [[2015]]. Kabla ya kutawala, alikuwa Mwana Mfalme wa Saudia kuanzia tarehe [[13 Juni]] [[1982]]. Alikuwa mtoto wa kumi wa Mfalme Abdulaziz, mwanzilishi wa Saudia.<ref>{{cite news |date=30 October 2007 |title=Who's who: Senior Saudis |url=https://ne...'
1584796
wikitext
text/x-wiki
'''Abdullah bin Abdulaziz Al Saud''' (alizaliwa [[1 Agosti]] [[1924]] – alifariki [[23 Januari]] [[2015]]) alikuwa Mfalme na Waziri Mkuu wa [[Saudia]] kuanzia tarehe [[1 Agosti]] [[2005]] hadi kifo chake mwaka [[2015]]. Kabla ya kutawala, alikuwa Mwana Mfalme wa Saudia kuanzia tarehe [[13 Juni]] [[1982]]. Alikuwa mtoto wa kumi wa Mfalme Abdulaziz, mwanzilishi wa Saudia.<ref>{{cite news |date=30 October 2007 |title=Who's who: Senior Saudis |url=https://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/7068977.stm |access-date=27 April 2012 |work=BBC}}</ref>
Abdullah alikuwa mtoto wa Mfalme Abdulaziz na Fahda bint Asi Al Shuraim. Mama yake alikuwa mwanachama wa nasaba ya Al Rashid, ambayo ilikuwa mpinzani wa kihistoria wa nasaba ya Al Saud.<ref>[http://www.aljazeera.com/news/middleeast/2010/10/20101020173353178622.html US confirms $60bn Saudi arms deal] ''[[Al Jazeera English|Al Jazeera]]'' 20 October 2010.{{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20131209101932/http://www.aljazeera.com/news/middleeast/2010/10/20101020173353178622.html|date=9 December 2013}}</ref>
Abdullah alishikilia nyadhifa muhimu za kisiasa katika maisha yake yote ya utu uzima. Mwaka [[1961]] alikua meya wa [[Makka]], wadhifa wake wa kwanza wa umma. Mwaka uliofuata, aliteuliwa kuwa kamanda wa Walinzi wa Kitaifa wa Saudia, wadhifa ambao alishikilia hadi alipokuwa mfalme. Pia aliwahi kuwa naibu waziri wa ulinzi na aliteuliwa kuwa mwana mfalme wakati kaka yake Fahd alipochukua kiti cha ufalme mwaka [[1982]].
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafalme wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1924]]
[[Jamii:Waliofariki 2015]]
slgj9915jtprwigwplsfi1vuagrv737
Bastien Chalureau
0
243759
1584798
2026-08-06T10:44:25Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584798
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Bastien Chalureau 2016-05-22.jpg|thumb|Bastien Chalureau]]
'''Bastien Chalureau''' (alizaliwa [[13 Februari]] [[1992]]) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza katika nafasi ya lock (mfungaji wa safu ya mbele) kwa [[klabu]] ya Montpellier, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14, na pia anaiwakilisha timu ya taifa ya Ufaransa.
== Maisha ya awali ==
Bastien Chalureau alizaliwa huko Mondavezan, katika [[eneo]] la Haute-Garonne, Ufaransa.
Alianza kucheza raga katika klabu ya Cazères, kisha akajiunga na mfumo wa vijana wa Toulouse mwaka [[2009]]. <ref>https://www.ladepeche.fr/article/2009/06/20/626834-cazeres-bastien-chalureau-part-jouer-en-australie.html</ref><ref>https://www.montpellier-rugby.com/news/officiel-bastien-chalureau-prolonge-son-contrat</ref><ref>https://www.lequipe.fr/Rugby/Actualites/Xv-de-france-chalureau-picquette-wardi-pierre-boudehent-et-ezeala-appeles/1363502</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
amvm57hzw0rz74rie9vij2k552hfzig
Paul Boudehent
0
243760
1584804
2026-08-06T10:54:11Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584804
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Autumn Nations Series 2024 - France vs New Zealand (56) (cropped).jpg|thumb|'''Paul Boudehent''']]
'''Paul Boudehent''' (alizaliwa [[21 Novemba]] [[1999]]) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza katika nafasi ya flanker (mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele) kwa [[klabu]] ya La Rochelle, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14, na pia anaiwakilisha [[timu ya taifa]] ya Ufaransa.
== Maisha ya awali ==
Paul Boudehent alianza kucheza raga katika mji wa [[Angers]].
Baadaye alihamia Nantes mwaka [[2014]], na hatimaye akajiunga na mfumo wa vijana wa La Rochelle mwaka [[2017]]. <ref>https://all.rugby/player/paul-boudehent</ref><ref>https://www.lefigaro.fr/sports/rugby/6-nations/xv-de-france-un-groupe-de-42-joueurs-pour-le-tournoi-avec-huit-neophytes-dont-delbouis-coly-et-bielle-biarrey-20230117</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1999]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
q8gowwoz6zje93c3w4o9tvjhrul03at
Esteban Abadie
0
243761
1584806
2026-08-06T11:02:49Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584806
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Esteban Abadie 2025.jpg|thumb|Esteban Abadie 2025]]
'''Esteban Abadie''' (alizaliwa [[1 Desemba]] [[1997]]) ni mchezaji wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza katika nafasi ya flanker (mchezaji wa pembeni wa safu ya mbele) kwa [[klabu]] ya Toulon, na pia anaiwakilisha [[timu ya taifa]] ya raga ya Ufaransa.
== Maisha ya klabu ==
Esteban Abadie alizaliwa huko [[Le Mans]], katika eneo la Sarthe, Ufaransa.
Alipitia mfumo wa vijana wa klabu ya Racing 92, ambako alifanya mchezo wake wa kwanza na wa pekee katika timu ya wakubwa katika msimu wa [[2017]] – [[2018]] dhidi ya Stade Toulousain. <ref>https://itsrugby.fr/joueurs/esteban-abadie-42891/</ref><ref>https://www.nicematin.com/sports/rugby/debarque-a-l-intersaison-esteban-abadie-deja-comme-chez-lui-au-rct-889313</ref><ref>https://www.rugbyrama.fr/2024/01/17/6-nations-2024-formation-au-racing-famille-de-rugbymen-fan-de-surf-cinq-choses-a-savoir-sur-esteban-abadie-appele-par-fabien-galthie-11699869.php</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
pwj8v2e71q0tbbk137s0cqu6n9k4g14
Adnan Khashoggi
0
243762
1584809
2026-08-06T11:09:34Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Adnan Khashoggi''' (alizaliwa [[25 Julai]] [[1935]] – alifariki [[6 Juni]] [[2017]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] na muuza silaha, anayejulikana kwa biashara zake, ushawishi mkubwa wa kisiasa, na maisha yake ya anasa ambayo yalimpa jina la utani "The Great Gatsby wa Mashariki ya Kati."<ref name=":2">{{Cite news |url=https://www.nytimes.com/1985/02/22/arts/lavish-lifestyle-of-a-wheeler-dealer.html|title=Lavish Lifestyle Of a Wheele...'
1584809
wikitext
text/x-wiki
'''Adnan Khashoggi''' (alizaliwa [[25 Julai]] [[1935]] – alifariki [[6 Juni]] [[2017]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]] na muuza silaha, anayejulikana kwa biashara zake, ushawishi mkubwa wa kisiasa, na maisha yake ya anasa ambayo yalimpa jina la utani "The Great Gatsby wa Mashariki ya Kati."<ref name=":2">{{Cite news |url=https://www.nytimes.com/1985/02/22/arts/lavish-lifestyle-of-a-wheeler-dealer.html|title=Lavish Lifestyle Of a Wheeler-Dealer |last=Salmans|first=Sandra|newspaper=The New York Times |date=22 February 1985 |access-date=5 June 2018|language=en}}</ref><ref>{{Cite web |url=https://www.marieclaire.com.au/latest-news/roxy-founder-saudi-billionaire-s-pleasure-wife-1/ |title=Roxy founder Jill Dodd reveals shock history in billionaire's harem |date=29 May 2017 |website=marie claire}}</ref>
Alizaliwa [[Makka]],Saudia akiwa mtoto wa [[Muhammad Khashoggi]], daktari wa kibinafsi wa Mfalme Abdul Aziz Al Saud, na Samiha Ahmed. Khashoggi alisoma katika Chuo cha Victoria huko [[Aleksandria]], [[Misri]], na baadaye katika Chuo Kikuu cha Chico State, Ohio State, na Stanford nchini [[Marekani]].<ref name="The Guardian">{{cite news |author=David Leigh and Rob Evans|title=Biography: Adnan Khashoggi |url=https://www.theguardian.com/world/2007/jun/08/bae52 |website=[[The Guardian]] |publisher=Guardian News and Media Limited |access-date=29 January 2012 |location=London |date=7 June 2007}}</ref>
Katikati ya miaka ya 1980, utajiri wake ulikadiriwa kuwa karibu dola bilioni 4, uliokusanywa kupitia jukumu lake muhimu kama mpatanishi kati ya makampuni ya ulinzi ya Magharibi na serikali ya Saudia. Alianzisha Triad International Holding Company, ambayo ilikuwa na uwekezaji mbalimbali duniani kote, ikiwa ni pamoja na hoteli za kifahari, viwanda vya kusafisha mafuta, na mali zisizohamishika.<ref name="Historical Dictionary of Brunei Darussalam">{{Cite book |url=https://books.google.com/books?id=Bry0sOwstIMC |title=Historical Dictionary of Brunei Darussalam |last=Sidhu |first=Jatswan S. |publisher=Scarecrow Press |year=2009 |isbn=9780810870789 |edition=2, illustrated |page=123}}</ref>
Khashoggi alijulikana kwa kuandaa karamu za kifahari zilizohudhuriwa na watu mashuhuri na wanasiasa, na maisha yake ya anasa yalimfanya kuwa maarufu kwenye vyombo vya habari. Alimiliki yachti yake maarufu iitwayo "Nabila," ambayo ilikuwa yachti kubwa zaidi duniani wakati huo na ilitumiwa katika filamu ya [[James Bond]] ''"Never Say Never Again"''.
Alifariki tarehe 6 Juni 2017 katika Hospitali ya St Thomas huko London, Uingereza, akiwa na umri wa miaka 81, baada ya kuugua ugonjwa wa Parkinson.<ref>{{Cite news |last= |first= |date=12 June 2017 |title=Great Gatsby of the Middle East dies |url=https://www.euroweeklynews.com/2017/06/12/great-gatsby-of-the-middle-east-dies/ |access-date=18 December 2021 |newspaper=Euro Weekly News |language=en-GB}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1935]]
[[Jamii:Waliofariki 2017]]
f06i2s7xrklhruxge0xig10wl9p6wia
Thomas Laclayat
0
243763
1584812
2026-08-06T11:12:50Z
Kelvin kevoo
48194
kuanzisha makala
1584812
wikitext
text/x-wiki
'''Thomas Laclayat''' (alizaliwa [[2 Oktoba]] [[1997]]) ni mchezaji wa kulipwa wa [[raga]] ya muungano kutoka [[Ufaransa]].
Anacheza katika nafasi ya prop (mfungaji wa safu ya mbele) kwa [[klabu]] ya Pau, inayoshiriki katika mashindano ya Top 14 ya Ufaransa.
== Maisha ya kitaaluma ==
Baada ya kupata mwaliko wa kuchezea klabu ya Barbarian F.C., Thomas Laclayat aliitwa na [[kocha]] Fabien Galthié kujiunga kwa mara ya kwanza na [[timu ya taifa]] ya Ufaransa mwezi Juni 2022.
Aliitwa kwa ajili ya ziara ya majira ya joto nchini [[Japan]]. <ref>https://www.rugbypass.com/players/thomas-laclayat/</ref><ref>https://all.rugby/player/thomas-laclayat</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1997]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
<references />{{Mbegu-mtu}}
dafu3o7lddpxm21coa2ajmygiyg7nxx
Saleh Abdullah Kamel
0
243764
1584816
2026-08-06T11:23:04Z
Ally0111
85292
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Saleh Abdullah Kamel''' (Alizaliwa [[1941]] – alifariki [[18 Mei]] [[2020]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]]. Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za [[Marekani]] bilioni 2.3 kufikia Machi [[2017]]<ref name=Forbes>{{cite web|title=Saleh Kamel|url=https://www.forbes.com/profile/saleh-kamel/|work=Forbes|accessdate=8 October 2018}}</ref>. Alikuwa mwenyekiti na mwanzilishi wa Dallah Al Baraka Group (DBHC), moja ya makampuni makubwa...'
1584816
wikitext
text/x-wiki
'''Saleh Abdullah Kamel''' (Alizaliwa [[1941]] – alifariki [[18 Mei]] [[2020]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]]. Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za [[Marekani]] bilioni 2.3 kufikia Machi [[2017]]<ref name=Forbes>{{cite web|title=Saleh Kamel|url=https://www.forbes.com/profile/saleh-kamel/|work=Forbes|accessdate=8 October 2018}}</ref>. Alikuwa mwenyekiti na mwanzilishi wa Dallah Al Baraka Group (DBHC), moja ya makampuni makubwa zaidi ya Mashariki ya Kati. Pia alikuwa mwenyekiti wa Baraza Kuu la Benki za Kiislamu na Jeddah Chamber of Commerce.<ref name="jef.org.sa">{{Cite web|url=http://www.jef.org.sa/?q=node/725|title=Shiekh Saleh Kamel|work=Jeddah Economic Forum|access-date=3 May 2016}}</ref>
Kamel alianzisha Dallah Albaraka Group mwaka [[1969]] huko [[Jeddah]], Saudia. Kampuni hiyo inajihusisha na huduma za kibinadamu, huduma za kiafya, huduma za chakula, bidhaa, na huduma za kifedha.Alikamatwa na mamlaka ya Saudia tarehe 4 Novemba 2017, pamoja na wafanyabiashara wengine kama [[Al-Waleed bin Talal]], katika kampeni ya kupambana na ufisadi.<ref>[https://www.dailysabah.com/mideast/2017/11/05/alwaleed-bin-talal-two-other-billionaires-tycoons-among-saudi-arrests Alwaleed bin Talal, two other billionaires tycoons among Saudi arrests], 4 November, ''Daily Sabah''</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
echszexkr8awv4h37rb2zn1578r02k5
1584898
1584816
2026-08-06T11:56:28Z
Gayle-Bot
78697
#2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced.
1584898
wikitext
text/x-wiki
'''Saleh Abdullah Kamel''' (Alizaliwa [[1941]] – alifariki [[18 Mei]] [[2020]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea wa [[Saudia]]. Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za [[Marekani]] bilioni 2.3 kufikia Machi [[2017]]<ref name=Forbes>{{cite web|title=Saleh Kamel|url=https://www.forbes.com/profile/saleh-kamel/|work=Forbes|accessdate=8 October 2018}}</ref>. Alikuwa mwenyekiti na mwanzilishi wa Dallah Al Baraka Group (DBHC), moja ya makampuni makubwa zaidi ya Mashariki ya Kati. Pia alikuwa mwenyekiti wa Baraza Kuu la Benki za Kiislamu na Jeddah Chamber of Commerce.<ref name="jef.org.sa">{{Rejea tovuti|url=http://www.jef.org.sa/?q=node/725|title=Shiekh Saleh Kamel|work=Jeddah Economic Forum|access-date=3 May 2016}}</ref>
Kamel alianzisha Dallah Albaraka Group mwaka [[1969]] huko [[Jeddah]], Saudia. Kampuni hiyo inajihusisha na huduma za kibinadamu, huduma za kiafya, huduma za chakula, bidhaa, na huduma za kifedha.Alikamatwa na mamlaka ya Saudia tarehe 4 Novemba 2017, pamoja na wafanyabiashara wengine kama [[Al-Waleed bin Talal]], katika kampeni ya kupambana na ufisadi.<ref>[https://www.dailysabah.com/mideast/2017/11/05/alwaleed-bin-talal-two-other-billionaires-tycoons-among-saudi-arrests Alwaleed bin Talal, two other billionaires tycoons among Saudi arrests], 4 November, ''Daily Sabah''</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wafanyabiashara wa Saudia]]
[[Jamii:Watu wa Saudia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Waliofariki 2020]]
3bhppzxhnihb3l2hp6fgu36n80u8qcf