Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.47.0-wmf.18 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Event Event talk Gabon 0 2633 1594868 1497332 2026-09-07T06:15:18Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594868 wikitext text/x-wiki {{Jedwali la nchi|jina_rasmi=Jamhuri ya Gabon|jina_asili=''République Gabonaise'' ([[Kifaransa]])|bendera=Flag_of_Gabon.svg|nembo=Coat_of_arms_of_Gabon.svg|kaulimbiu=<br>''Union, Travail, Justice'' (Kifaransa)<br>"Umoja, Kazi, Haki"|wimbo=''[[La Concorde]]'' (Kifaransa)<br>"Mapatano"<br>[[File:La Concorde.ogg]]|ramani2=Carte gabon.png|ramani=Gabon (orthographic projection).svg|latd=0|latm=23|latNS=N|longd=9|longm=27|longEW=E|lugha_rasmi=[[Kifaransa]]|idadi_makabila=Kupita [[Makabila ya Gabon|makabila 40]]|mji_mkuu=[[Libreville]]|vyeo_viongozi={{*}}Kaimu Rais|majina_viongozi=[[Brice Oligui Nguema]]|serikali=[[Jamhuri]]<br>yenye [[baraza la majeshi]]|fedha=[[Faranga ya CFA]]|majira_saa=+1<br>([[Saa za Afrika ya Magharibi|Afrika ya Magharibi]])|tld=.ga|msimbo_simu=241|iso3166=GA|eneo_jumla=267 668|watu_kadirio=2 397 368|mwaka_kadirio=2023|pato={{punguko}} USD bilioni 19.319|mwaka_pato=2023|pato_kwa_mtu={{punguko}} USD 8 831|pato_halisi={{ongezeko}} USD bilioni 41.922|pato_halisi_kwa_mtu={{ongezeko}} USD 19 165|maendeleo={{ongezeko}} 0.706 - {{juu}}|mwaka_maendeleo=2021|ukubwa_bendera=120|ukubwa_nembo=90}} '''Gabon''', rasmi '''Jamhuri ya Gabon''' (Kifaransa: République gabonaise), ni nchi iliyo kwenye pwani ya Atlantiki ya [[Afrika ya Kati]], kwenye ikweta, iliyopakana na [[Guinea ya Ikweta]] kaskazini-magharibi, [[Kamerun]] kaskazini, kusini [[Jamhuri ya Kongo]], na Jamhuri ya Guinea-magharibi. Ina eneo la kilomita za mraba 270,000 (100,000 sq mi) na idadi ya watu milioni 2.3. [[Libreville]] ndio mji mkuu wa nchi na jiji kubwa zaidi. Nchi hii ina [[umma]] mdogo, [[madini]] na [[maliasili|mali]] kwa wingi, na [[wafanyabiashara]] kutoka nchi za kigeni wameweza kufanya Gabon iwe nchi yenye [[maendeleo]] makubwa. == Jiografia == === Maeneo ya utawala === Gabon imegawiwa katika [[mikoa]] 9 nayo ina jumla ya [[wilaya]] (''départements'') 37. [[Mikoa ya Gabon|Mikoa]] ni: *[[Mkoa wa Estuaire|Estuaire]], *[[Haut-Ogooué]], *[[Moyen-Ogooué]], *[[Ngounié]], *[[Mkoa wa Nyanga|Nyanga]], *[[Ogooué-Ivindo]], *[[Ogooué-Lolo]], *[[Ogooué-Maritime]], na *[[Woleu-Ntem]]. == Historia == [[Picha:Omar_Bongo_with_George_Bush_May_26_2004-02.jpg|thumb|kushoto|Aliyekuwa Rais [[Omar Bongo]] Ondimba wa Gabon (kushoto) akiwa [[Washington]], [[USA]].]] Jamhuri ya Gabon, tangu kupata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]] [[tarehe]] [[17 Agosti]] [[1960]], imeongozwa na [[Rais]] watatu, [[Léon M'ba]], [[Omar Bongo|El Hadj Omar Bongo]] ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa [[1967]] hadi kifo chake ([[2009]]: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae [[Ali Bongo Ondimba|Ali]] aliyepinduliwa na [[Jeshi|wanajeshi]] tarehe [[30 Agosti]] [[2023]]. == Siasa == [[Picha:Chancery Building, Libreville, Gabon.jpg|thumb|Nyumba ya baraza, [[Libreville]]]] [[Mwaka]] wa [[1990]] Gabon ilianza [[demokrasia]] ya [[vyama vingi]] na [[katiba]] ya kidemokrasia ili ruhusu [[ukweli]] wa [[uchaguzi]] na [[uwajibikaji]] wa [[idara]] za [[serikali]], lakini hali iliendelea kuwa karibu ileile. == Uchumi == Gabon ni nchi yenye neema sana kuliko nchi jirani. [[Uchumi]] wake, hasa chumo cha umma, ni mara nne ya nchi za Afrika [[kusini kwa Sahara]]. Hii hasa ni kwa sababu ya [[uzalishaji]] wa [[mafuta]] ambao umeleta [[utajiri]] na [[mali]], lakini usambazaji wa mali hii ya mafuta bado umedhoofika. Gabon ilikuwa mwanachama wa [[Muungano wa Nchi Zinazouza Mafuta (OPEC)]] kutoka mwaka wa 1975 mbaka 1995. Mwaka 1990, [[udhaifu wa pesa]] [[CFA frank]] uliacha Gabon katika shida ya kulipa [[deni za kimataifa]]; [[Ufaransa]] na [[Shirika la Fedha la Kimataifa]] (IMF) wameipa Gabon [[mkopo]] na usaidizi kwa [[uelewano]] kwamba Gabon itageuza uchumi wake barabara. == Watu == Yasemekana mambo ya mazingira yalifanya umma wa Gabon kutopanda kwa [[sensa]] kati ya miaka [[1900]] na [[1940]]. Ni nchi ambayo ina umma mdogo zaidi katika Afrika bara, na upungufu wa wafanyakazi ni mojawapo ya mambo yanayofanya hasa uchumi kutovuma zaidi. Umma hasa kwa ujumla ni kama watu [[milioni]] 2.4. Gabon hasa ina ma[[kabila]] zaidi ya 40 ambayo yana [[utamaduni]] na [[lugha]] tofauti lakini karibu wote (95%) ni wa jamii ya [[Bantu]]. [[Wafang]] ndio kabila kubwa zaidi nchini Gabon, wengine ni [[Wamyene]], [[Wabandjabi]], [[Waeshira]], [[Wabapounou]] na [[Waokande]]. [[Lugha ya Kifaransa]] ndiyo [[lugha rasmi]] ya [[taifa]] ambayo hutumika kwa [[mawasiliano]] (wakazi wanaoimudu ni 80%). [[Wafaransa]] 10,000 wanaishi Gabon, na [[Ufaransa]] unaathiri mambo ya kigeni, utamaduni na biashara nchini Gabon. Upande wa [[dini]], imekadiriwa kwamba 75.6% za wakazi ni [[Wakristo]] (hasa [[Wakatoliki]]), 12.2% ni [[Waislamu]] (hasa wageni), na 5.7% wanafuata [[dini asilia za Kiafrika]] ([[Bwiti]]). == Utamaduni == * [[Makabila ya Gabon]] * [[Muziki wa Gabon]] * [[Orodha ya lugha za Gabon]] == Tazama pia == * [[Mawasiliano nchini Gabon]] * [[Mambo ya kigeni ya Gabon]] * [[Orodha ya kampuni za Gabon]] * [[Jeshi la Gabon]] * [[Historia ya Gabon]] * [[Uchukuzi nchini Gabon]] * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] == Marejeo == * [[David E. Gardinier]], ''Kamusi ya Historia ya Gabon'', tolezi ya 2. (The Scarecrow Press, Inc., 1994) – kazi inayohusu maelezo biografia ya vifaa 1,453 * James F. Barnes, ''Gabon: Beyond the Colonial Legacy'' (Boulder: Westview, 1992) == Viungo vya nje == === Serikali === * [http://www.legabon.org Le Gabon : makala rasmi ya Jamhuri ya Gabon] {{Wayback|url=http://www.legabon.org/ |date=20070329043025 }} * [http://www.assemblee.ga/ Assemblée nationale du Gabon] makala rasmi. * [http://gabon.embassyhomepage.com/ Gabonese Embassy in London] {{Wayback|url=http://gabon.embassyhomepage.com/ |date=20190922004053 }} arithio za serikali * [http://www.senat.ga/ Le Sénat de la République Gabonaise] {{Wayback|url=http://www.senat.ga/ |date=20060425002608 }} makala rasmi (kwa kifaransa) === Habari === * [http://allafrica.com/gabon/ AllAfrica.com - ''Gabon''] viungo via taarifa ya habari === Uchambuzi === * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1023203.stm BBC News Country Profile - ''Gabon''] * [http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/gb.html Kitabu cha wa dadisi wa Amerika - ''Gabon''] {{Wayback|url=http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/gb.html |date=20060502010434 }} === Koo na makabila === * [http://www.pygmies.info/ Baka watu wafupi wa Kamerun na Gabon] Utamaduni na wakazi wa kwanza Gabon === Maelekezo === * [http://dmoz.org/Regional/Africa/Gabon/ Open Directory Project - ''Gabon''] {{Wayback|url=http://dmoz.org/Regional/Africa/Gabon/ |date=20060424195431 }} maelekezo * [http://www-sul.stanford.edu/depts/ssrg/africa/gabon.html Chuo kikuu cha Stanford – Afrika kusini mwa sahara: ''Gabon''] maelekezo * [http://www.sas.upenn.edu/African_Studies/Country_Specific/Gabon.html Chuo kikuu cha Pennsylvania – Ustadi wa-Afrika: ''Gabon''] maelekezo * [http://dir.yahoo.com/Regional/Countries/Gabon/ Yahoo! - ''Gabon''] {{Wayback|url=http://dir.yahoo.com/Regional/Countries/Gabon/ |date=20060428121442 }} directory category === Utalii === {{mikoa ya Gabon}} {{Afrika}} {{African Union}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Gabon| ]] [[Jamii:Nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa]] [[Jamii:jumuiya ya Madola]] [[Jamii:Nchi]] cgfpm9tk3wtg1t4l7j5lokmfp3vp2o9 Nyangumi 0 18520 1594802 1575957 2026-09-06T19:33:48Z ~2026-48525-63 92187 /* */ 1594802 wikitext text/x-wiki | rangi = #D3D3A4 | jina = Nyangumi | picha = Humpback stellwagen edit.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = Nyangumi kibyongo akiruka baharini karibu na [[Boston]], [[Marekani]] | domeni = | himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small> | faila = [[Chordate|Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small> | ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small> | ngeli_ya_chini = [[Eutheria]] | oda_ya_juu = [[Laurasiatheria]] | oda = [[Artiodactyla]] | nusuoda = [[Whippomorpha]] <small>([[Kiboko|Viboko]] na [[nyangumi]])</small> | oda_ndogo = [[Cetacea]] <small>(Wanyama kama [[nyangumi]])</small> | bingwa_wa_oda_ndogo = [[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1762 | subdivision = '''Makundi 3:''' * †[[Archaeoceti]] * [[Mysticeti]] <small>[[Edward Drinker Cope|Cope]], 1891 (Nyangumi-chujio)</small> * [[Odontoceti]] <small>[[William Henry Flower|Flower]], 1867 (Nyangumi-meno)</small> }} '''Nyangumi''' ni [[wanyama]] wa [[bahari]], na pengine wa [[maji matamu]], katika [[oda]] [[Cetacea]] wanaofanana na [[samaki]], lakini ni [[mamalia]]: kwa hivyo hawatagi ma[[yai]] kama samaki bali huzaa watoto kama mamalia wote na huwanyonyesha. Pamoja na [[nguva]], wanyama hawa ni mamalia pekee wanaoishi kwenye [[maji]] tu. Oda yao ina [[spishi]] 80 hivi. Spishi ndogo huitwa [[pomboo]] kwa kawaida na spishi kadhaa za pomboo huishi kwenye maji matamu ya [[mito]] mikubwa kama [[Ganges]] au [[Amazonas]]. [[Mwili]] wote unalingana na maisha ya majini. Nyangumi wanaotupwa kwenye [[nchi kavu]] wanakufa haraka: wanakauka, [[uzito]] wa mwili unagandamiza [[mapafu]] kwa sababu wanakosa [[ueleaji]] wa maji. Hata hivyo muundo wa mwili ni sawa na mamalia wengine: * [[mfumo wa upumuaji|wanapumua]] kwa kutumia mapafu; kutegemeana na spishi zinaweza kuzama na kukaa chini ya maji kuanzia [[dakika]] kadhaa hadi masaa mawili. * Huwa na [[moyo]] wenye vyumba vinne unaoweza kusambaza [[oksijeni]] mwilini mwote. * Nyangumi huwa na [[damu moto]] yaani wanaweza kutunza [[halijoto]] ya [[wastani]] mwilini, tofauti na samaki wanaobadilika halijoto ya mwili kulingana na halijoto ya [[mazingira]]. * Wanazaa watoto waliokamilika tayari na kuwanyonyesha [[maziwa]] yenye [[mafuta]] mengi kwa kutumia [[viwele]] vyao. [[Mimba]] hukua mwilini mwa [[mama]] hadi kuwa mnyama kamili jinsi ilivyo kwa mamalia wengi. [[Picha:Mother and baby sperm whale.jpg|thumb|Nyangumi mama na mtoto wake.]] Spishi nyingi za nyangumi ni kubwa sana. [[Nyangumi Buluu|Nyangumi buluu]] ([[w:Blue whale|Blue whale]]) anaweza kufikia uzito wa [[tani]] 200 na [[urefu]] wa [[mita]] 33. Nyangumi wadogo ni hasa [[familia]] ya pomboo ambao wale wadogo wanafikia urefu wa mita na nusu tu. Mara nyingi spishi za nyangumi zinatofautishwa kutokana na [[meno]] yao: * wale wanaowinda samaki au wanyama wakubwa wengine wa bahari wana meno ya kawaida. * wale wanaokula [[planktoni]] ([[viumbe hai]] vidogo sana baharini) hawana meno, bali [[mifupa]] ya [[kinywa]]ni ambao si mifupa ya kweli, ila inaundwa na kitu kinachofanana na [[kucha]] za [[vidole]]. Mifupa hiyo inakaa kama meno ya [[chanuo]] na inafanya kazi ya [[filta]]; nyangumi huyo anafungua [[mdomo]] na kujaza nafasi maji pamoja na yote yaliyomo kama [[uduvi]] wadogo sana; [[ulimi]] unasukuma maji kupitia chanua ya mifupa ya kinywani na [[windo]] unabaki ndani kama chakula. Nyangumi ni jina la jumla la mamalia wa majini wa oda ya Cetacea. Neno nyangumi wakati fulani humaanisha wanyama wote wa oda ya Cetacea, lakini katika lugha ya kawaida huwaacha wanyama wa familia ya Delphinoidea, kama vile pomboo. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-0] Spishi ndogo hizi huwa ndani ya [[oda ndogo]] ya [[Odontoceti]] (nyangumi wenye meno), ambayo hujumuisha nyangumi kadhaa. Oda nyingine ndogo ya Cetacea ni [[Mysticeti]], ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia [[michirizi]] mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao. == Viungo vyake == Kama mamalia wengine, nyangumi hutumia mapafu kupumua, wana damu joto, wananyonyesha watoto wao kwa kutumia viwele, wana vinyweleo, japo kidogo sana. Mwili wa nyangumi umeungana. Miguu ya mbele, imekaa muundo wa kasia. Mwishoni mwa mkia kuna tiara, au pezi la mkia, ambalo lina saidia kwenye mwendo hasa wima tofauti na kwa mwendo mlalo wa samaki. Japokuwa nyangumi hawana miguu ya nyuma, lakini baadhi yao wanamiguu isiyokamilika; iliyojificha ndani ya miili yao. Spishi nyingi za nyangumi wana pezi migongoni mwao inayojulikana kama pezi la mgongoni. Chini ya ngozi yao wana utando wa mafuta. Mafuta haya ni kwaajili ya kuhifadhi nishati na kuzuia upotevu wa joto. Nyanguumi pia wana moyo wenye vyumba vinne. Nao pia wana uti wa mgongo japo pingili za shingoni pia zimeungana kwaajili ya kuimarisha uwezo wa kuogelea na kuongeza uhuru wa kufanya hivyo. Wanao pia mfupa wa nyonga usiokuwa na kazi maaluum. Nyangumi wanapumua kutumia matundu ya hewa, yaliyo juu ya vichwa vyao ili kuwawezesha kupumua huku wakiwa wamezama majini. Nyangumi wa baleen wanayo mawili; na nyangumi wenye meno wana moja tu. Kupumua hujumuisha kutoa maji zaidi kutoka kwenye matundu hayo ya hewa na, na kuunda bubujiko la maji. Bubujiko hizi huwa na maumbo mbalimbali na wakati mwingine hutumika kuwatofautisha na hatimaye kuwatambua baadhi ya nyangumi. Nyangumi wa bluu ndiye mamalia mkubwa zaidi aliyepata kuishi, na pia mnyama mkubwa, kufikia mpaka mita 35 kwa urefu na uzito wa tani 150. Nyangumi kwa wastani wanaishi miaka 40 mpaka 90, kulingana na aina zao na mara chache hufanikiwa kiushi zaidi ya karne moja. Hivi karibuni kipande cha kamba kilichokuwa kinatumiwa na wavuvi wa nyangumi wa [[karne ya 19]], kilipatikana kwa nyangumi huko [[Alaska]], na kuonesha kuwa nyangumi yule alikuwa na umri kati ya miaka 115 na 130. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-6] kwa kutumia mbinu ya kupima umri kwa kuangalia kiwango cha aspatiki asidi kwenye macho ya nyangumi, pamoja na kipande cha chusa, vilionesha umri wa miaka 211 kwa nyangumi mmoja, na kuwafanya nyangumi pia kuwa wanyama wanaoishi kwa muda mrefu zaidi. .[http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-7][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-8] [[Mkia]] wa nyangumi unaweza kuwa pia kama alama ya kuwatambua, kama ilivyo kwa nyangumi wenye [[nundu]] mgongoni. Meno ya nyangumi wenye meno kama vile nyangumi aitwaye sperm, yana seli za sementamu zilizo juu ya seli za dentaini. Tofauti na binadamu wenye meno yenye kiasi kikubwa cha enameli kwenye sehemu ya nje ya jino, nyangumi wana sementamu nje ya fidhi. Ni kwa nyangumi wakubwa pekee ambao enameli yao huonesha pale ambapo sementamu ilipotoka kwenye sehemu ya jino[http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-9] == Tabia == [[Picha:DSC 7334.JPG|thumb|left|Nyangumi kibyongo akijitokeza.]] Nyangumi huonwa kama ni wawindaji mara zote, lakini chakula chao ni kuanzia plankitoni mpaka samaki wakubwa kabisa, na wakati mwingine wanyama wengine wa baharini, hata nyangumi wengine. Nyangumi hasa wale wenye nundu mgongoni na wale wa bluu wanakula tu kwenye maji ya aktiki, ambapo humeza vitoweo vyao pamoja na maji mengi, na baadae kutoa maji kupitia baleen huku wakibakiza vitoweo vyao kinywani. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] Nyangumi hawanywi maji ya baharini na badala yake hutengeneza maji kutoka kwenye chakula chao kwa metabolizimu ya mafuta. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] Nyangumi wengi huonesha tabia nyingi za majini kama vile kujitokeza juu na kupigiza mkia. Kulingana na mazingira yao (tofauti na na wanyama wengine), nyangumi hupumua kwa hiari yao, wanaamua ni wakati gani wa kupumua. Mamalia wote hulala lakini nyangumi hawawezi kulala kwa muda mrefu sababu wanaweza zama majini na kufa. Husemekana ni nusu tu ya ubongo wa nyangumi hulala na sehemu nyingine hufanyakazi, hivyo nyangumi huwa halali moja kwa moja lakini hupumzika vya kutosha. Mara nyingi nyangumi hulala huku jicho moja tu likiwa limefungwa. Baadhi ya nyangumi huwasiliana kwa sauti za kimuziki, zikijulikana kama nyimbo za nyangumi. Sauti hizi zaweza kuwa kubwa sana kutegemeana na spishi zao. Nyangumi waitwao sperm husikika wakitoa sauti za kugonga gonga tu, kwasababu wao wana meno na hutoa pia mwangwi unaoweza kusikika kwa maili nyingi. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-12] Nyangumi jike huzaa ndama mmoja tu. Muda wa kumkuza ndama huyo ni zaidi ya mwaka mmoja kwa spishi nyingi na hujumuisha uhusiano mkubwa kati ya mama na ndama. Nyangumi huwa tayari kuzaa wakiwa na miaka saba mpaka kumi. Mtindo huu huruhusu watoto wachache tu lakini wakiwa na uwezo mkubwa wa kuishi. Viungo vya uzazi vya nyangumi huzama na kujificha ndani ya nafasi za mwili wakati wa kuogelea, kuongeza mwendo kasi na kuzuia majeraha. Nyangumi wengi hawana wenzi wa aina moja; na majike wengi hubadilisha madume kadhaa kila msimu. Watoto wa nyangumi huzaliwa kwa kutoa mkia kwanza utaratibu unaopunguza hatari ya kufa maji. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-13] Nyangumi pia hujulikana kwa uwezo wao wa kufundisha na kujifunza, pamoja na kushirikiana na hata kuonekana kuhuzunika. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-wwwu-14] ==Uwindaji wa nyangumi== Kwa [[karne]] nyingi nyangumi wamekuwa wakiwindwa kwa ajili ya [[nyama]] na [[malighafi]]. Kati ya [[karne ya 20]], hata hivyo, [[viwanda]] vingi vya nyangumi vilisababisha kuwa hatarini kwa spishi nyingi za nyangumi, na [[uwindaji wa nyangumi]] ukakomeshwa mara moja katika nchi nyingi isipokuwa chache. Mashirika kadhaa yameanzishwa kwa ajili ya kuzuia uwindaji wa nyangumi na hatari nyingine kwa maisha ya nyangumi. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-1][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-2] == Asili na uainishaji == Cetacea wote, kujumuisha na nyangumi na pomboo, ni [[kizazi]] kilichotokana na mamalia wa nchi kavu wa oda ya [[Artiodactyl]]. Kwa pamoja cetacea na artiodactyls sasa wanaainishwa chini ya oda moja ya Cetartiodactyla inayojumuisha [[viboko]] na nyangumi. Kimsingi, nyangumi wana ukaribu mkubwa na viboko; wote ni [[chimbuko]] la [[uzao]] mmoja, [[Indohyus]], miaka takriban [[milioni]] 48 iliyopita na wanyama wenye [[kwato shufwa]] kutoka [[Kashmir]], [[India]], karibu miaka milioni 54 iliyopita. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-science_news-3][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-Ancestors_Tale-4] Nyangumi waliingia majini karibia miaka milioni 50 iliyopita. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-5] Cetacea wamegawanywa kwenye makundi mawili: * Nyangumi-chujio ([[Mysticeti]]) wanaotambuliwa kwa aina ya [[chujio]] katika domo lao iliyoundwa kwa [[keratini]] na ambayo hutumika kwa kuchujia [[planktoni]] kutoka majini. Hawa ndio nyangumi wakubwa kuliko wote. * Nyangumi-meno ([[Odontoceti]]) wanaotumia meno yao kwa kuwinda [[samaki]] na [[ngisi]], na pengine ([[nyangumi mwuaji]]) mamalia wengine wa maji kama [[sili]] na [[simba-bahari]] na hata nyangumi wengine. == Spishi za Afrika == * '''Mysticeti''' ** ''Balaenoptera acutorostrata'', [[Nyangumi-ndita wa Kawaida]] ([[w:Common minke whale|Common Minke Whale]]) ** ''Balaenoptera bonaerensis'', [[Nyangumi-ndita wa Antakitiki]] ([[w:Antarctic minke whale|Antarctic]] au Southern Minke Whale) ** ''Balaenoptera borealis'', [[Nyangumi-ndita Kaskazi]] ([[w:Sei whale|Sei Whale]]) ** ''Balaenoptera brydei'', [[Nyangumi-ndita wa Bryde]] ([[w:Bryde's whale|Bryde's Whale]]) ** ''Balaenoptera edeni'', [[Nyangumi-ndita wa Eden]] ([[w:Eden's whale|Eden's Whale]]) ** ''Balaenoptera musculus'', [[Nyangumi Buluu]] ([[w:Blue whale|Blue Whale]]) ** ''Balaenoptera physalus'', [[Nyangumi Pezimgongo-refu]] ([[w:Fin whale|Fin]] au Finback Whale, Razorback au Common Rorqual) ** ''Caperea marginata'', [[Nyamgumi Kibete]] ([[w:Pygmy right whale|Pygmy right Whale]]) ** ''Eubalaena glacialis'', [[Nyangumi wa Atlantiki]] ([[w:North Atlantic right whale|North Atlantic Right Whale]]) ** ''Eubalaena australis'', [[Nyangumi Kusi]] ([[w:Southern right whale|Southern Right Whale]]) ** ''Megaptera novaeangliae'', [[Nyangumi Kibyongo]] ([[w:Humpback whale|Humpback Whale]]) * '''Odontoceti''' ** ''Berardius arnuxii'', [[Nyangumi Domo-refu wa Arnoux]] ([[w:Arnoux's beaked whale|Arnoux's Beaked Whale]]) ** ''Cephalorhynchus heavisidii'', [[Pomboo wa Haviside]] ([[w:Haviside's dolphin|Haviside's Dolphin]]) ** ''Delphinus capensis'', [[Pomboo Domo-refu]] ([[w:Long-beaked common dolphin|Long-beaked Common Dolphin]]) ** ''Delphinus delphis'', [[Pomboo Domo-fupi]] ([[w:Short-beaked common dolphin|Short-beaked Common Dolphin]]) ** ''Delphinus tropicalis'', [[Pomboo Arabu]] ([[w:Arabian common dolphin|Arabian Common Dolphin]]) ** ''Feresa attenuata'', [[Nyangumi Muuaji Mdogo]] ([[w:Pygmy killer whale|Pygmy Killer Whale]]) ** ''Globicephala macrorhynchus'', [[Pomboo Kichwa-tufe Mapezi-mafupi]] ([[w:Short-finned pilot whale|Short-finned Pilot Whale]]) ** ''Globicephala melas'', [[Pomboo Kichwa-tufe Mapezi-marefu]] ([[w:Long-finned pilot whale|Long-finned Pilot Whale]]) ** ''Grampus griseus'', [[Pomboo wa Risso]] ([[w:Risso's dolphin|Risso's Dolphin]]) ** ''Hyperoodon planifrons'', [[Nyangumi Pua-chupa Kusi]] ([[w:Southern bottlenose whale|Southern Bottlenose Whale]]) ** ''Indopacetus pacificus'', [[Nyangumi Pua-chupa wa Tropiki]] ([[w:Tropical bottlenose whale|Tropical Bottlenose Whale]]) ** ''Kogia breviceps'', [[Nyangumi-nta Mdogo]] ([[w:Pygmy sperm whale|Pygmy Sperm Whale]]) ** ''Kogia sima'', [[Nyangumi-nta Kibete]] ([[w:Dwarf sperm whale|Dwarf Sperm Whale]]) ** ''Lagenodelphis hosei'', [[Pomboo wa Fraser]] ([[w:Fraser's dolphin|Fraser's]] or Sarawak Dolphin) ** ''Lagenorhynchus obscurus'', [[Pomboo Mweusi]] ([[w:Dusky dolphin|Dusky Dolphin]]) ** ''Lissodelphis peronii'', [[Pomboo Bila-pezimgongo]] ([[w:Southern right whale dolphin|Southern Right Whale Dolphin]]) ** ''Mesoplodon densirostris'', [[Nyangumi Domo-refu wa Blainville]] ([[w:Blainville's beaked whale|Blainville's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon europaeus'', [[Nyangumi Domo-refu wa Gervais]] ([[w:Gervais' beaked whale|Gervais's]], Antillian, Gulf Stream au European Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon ginkgodens'', [[Nyangumi Domo-refu ???]] ([[w:Ginkgo-toothed beaked whale|Ginkgo-toothed Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon grayi'', [[Nyangumi Domo-refu wa Gray]] ([[w:Gray's beaked whale|Gray's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon hectori'', [[Nyangumi Domo-refu wa Hector]] ([[w:Hector's beaked whale|Hector's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon layardii'', [[Nyangumi Domo-refu wa Layard]] ([[w:Strap-toothed whale|Strap-toothed]] au Long-toothed Whale au Layard's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon mirus'', [[Nyangumi Domo-refu wa True]] ([[w:True's beaked whale|True's Beaked Whale]]) ** ''Orcinus orca'', [[Nyangumi Muuaji]] au Orka ([[w:Killer whale|Killer Whale]], Orca Whale au Orca) ** ''Peponocephala electra'', [[Pomboo Kichwa-tikiti]] ([[w:Melon-headed whale|Melon-headed Whale]], Electra Dolphin au Many-toothed Blackfish) ** ''Phocoena phocoena'', [[Pomboo-bandari]] ([[w:Harbour porpoise|Harbour Porpoise]]) ** ''Physeter macrocephalus'', [[Nyangumi-nta Mkubwa]] ([[w:Sperm whale|Sperm Whale]]) ** ''Pseudorca crassidens'', [[Nyangumi Muuaji Mdanganyifu]] ([[w:False killer whale|False Killer Whale]]) ** ''Sousa plumbea'', [[Pomboo Mgongo-nundu Hindi]] ([[w:Indian humpback dolphin|Indian Humpback Dolphin]]) ** ''Sousa teuszi'', [[Pomboo Mgongo-nundu wa Atlantiki]] ([[w:Atlantic humpback dolphin|Atlantic Humpback Dolphin]]) ** ''Stenella attenuata'', [[Pomboo-madoa wa Tropiki]] ([[w:Pantropical spotted dolphin|Pantropical Spotted Dolphin]]) ** ''Stenella clymene'', [[Pomboo Clymene???]] ([[w:Clymene dolphin|Clymene Dolphin]]) ** ''Stenella coeruleoalba'', [[Pomboo-milia]] ([[w:Striped dolphin|Striped Dolphin]]) ** ''Stenella frontalis'', [[Pomboo-madoa wa Atlantiki]] ([[w:Atlantic spotted dolphin|Atlantic Spotted Dolphin]]) ** ''Stenella longirostris'', [[Pomboo Mzunguka]] ([[w:Spinner dolphin|Spinner Dolphin]]) ** ''Steno bredanensis'', [[Pombo Meno-mikwaruzo]] ([[w:Rough-toothed dolphin|Rough-toothed Dolphin]]) ** ''Tursiops aduncus'', [[Pomboo Pua-chupa wa Bahari ya Hindi]] ([[w:Indo-Pacific bottlenose dolphin|Indo-Pacific Bottlenose Dolphin]]) ** ''Tursiops truncatus'', [[Pomboo Pua-chupa wa Kawaida]] ([[w:Common bottlenose dolphin|Common Bottlenose Dolphin]]) ** ''Ziphius cavirostris'', [[Nyangumi Domo-refu wa Cuvier]] ([[w:Cuvier's beaked whale|Cuvier's Beaked Whale]]) == Spishi za mabara mengine == * '''Mysticeti''' ** ''Balaena mysticetus'' ([[w:Bowhead whale|Bowhead Whale]]) ** ''Eubalaena japonica'' ([[w:North Pacific right whale|North Pacific Right Whale]]) ** ''Balaenoptera omurai'' ([[w:Omura's whale|Omura's Whale]]) ** ''Eschrichtius robustus'' ([[w:Gray whale|Grey Whale]]) * '''Odontoceti''' ** ''Berardius bairdii'' ([[w:Baird's beaked whale|Baird's Beaked Whale]]) ** ''Cephalorhynchus commersonii'' ([[w:Commerson's dolphin|Commerson's Dolphin]]) ** ''Cephalorhynchus eutropia'' ([[w:Chilean dolphin|Chilean Dolphin]]) ** ''Cephalorhynchus hectori'' ([[w:Hector's dolphin|Hector's Dolphin]]) ** ''Delphinapterus leucas'' ([[w:Beluga|Beluga]]) ** ''Hyperoodon ampullatus'' ([[w:Northern bottlenose whale|Northern Bottlenose Whale]]) ** ''Inia boliviensis'' ([[w:Bolivian river dolphin|Bolivian River Dolphin]]) ** ''Inia geoffrensis'' ([[w:Amazon river dolphin|Amazon River Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus acutus'' ([[w:Atlantic white-sided dolphin|Atlantic White-sided Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus albirostris'' ([[w:White-beaked dolphin|White-beaked Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus australis'' ([[w:Peale's dolphin|Peale's Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus cruciger'' ([[w:Hourglass dolphin|Hourglass Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus obliquidens'' ([[w:Pacific white-sided dolphin|Pacific White-sided Dolphin]]) ** ''Lipotes vexillifer'' ([[w:Baiji|Baiji]]) '''imekwisha sasa''' ** ''Lissodelphis borealis'' ([[w:Northern right whale dolphin|Northern Right Whale Dolphin]]) ** ''Mesoplodon bidens'' ([[w:Sowerby's beaked whale|Sowerby's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon bowdoini'' ([[w:Andrews' beaked whale|Andrews's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon carlhubbsi'' ([[w:Hubbs' beaked whale|Hubbs's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon perrini'' ([[w:Perrin's beaked whale|Perrin's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon peruvianus'' ([[w:Pygmy beaked whale|Pygmy Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon stejnegeri'' ([[w:Stejneger's beaked whale|Stejneger's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon traversii'' ([[w:Spade-toothed whale|Spade-toothed Whale]]) ** ''Monodon monoceros'' ([[w:Narwhal|Narwhal]]) ** ''Neophocaena phocaenoides'' ([[w:Finless porpoise|Finless Porpoise]]) ** ''Orcaella brevirostris'' ([[w:Irrawaddy dolphin|Irrawaddy Dolphin]]) ** ''Orcaella heinsohni'' ([[w:Australian snubfin dolphin|Australian Snubfin Dolphin]]) ** ''Phocoena dioptrica'' ([[w:Spectacled porpoise|Spectacled Porpoise]]) ** ''Phocoena sinus'' ([[w:Vaquita|Vaquita]]) ** ''Phocoena spinipinnis'' ([[w:Burmeister's porpoise|Burmeister's Porpoise]]) ** ''Phocoenoides dalli'' ([[w:Dall's porpoise|Dall's Porpoise]]) ** ''Platanista gangetica'' ([[w:Ganges river dolphin|Ganges River Dolphin]]) ** ''Platanista minor'' ([[w:Indus river dolphin|Indus River Dolphin]]) ** ''Pontoporia blainvillei'' ([[w:La Plata dolphin|La Plata Dolphin]]) ** ''Sotalia fluviatilis'' ([[w:Tucuxi|Tucuxi]]) ** ''Sotalia guianensis'' ([[w:Costero|Costero]]) ** ''Sousa chinensis'' ([[w:Pacific humpback dolphin|Pacific Humpback Dolphin]]) ** ''Tasmacetus shepherdi'' ([[w:Shepherd's beaked whale|Shepherd's Beaked Whale]]) ** ''Tursiops australis'' ([[w:Burrunan dolphin|Burrunan Dolphin]]) == Marejeo == * "The Whales' Navy: In Defense of Whales Worldwide". Sea Shepherd Conservation Society. [[http://www.seashepherd.org/whales/ {{Wayback|url=http://www.seashepherd.org/whales/ |date=20080210002034 }}. Retrieved 2009-09-20.]] * "Save the Whales, founded in 1977". Save The Whales. [[http://www.savethewhales.org/. Retrieved 2009-09-20.]] * Northeastern Ohio Universities Colleges of Medicine and Pharmacy. "Whales Descended From Tiny Deer-like Ancestors". ScienceDaily. [[http://www.sciencedaily.com/releases/2007/12/071220220241.htm. Retrieved 2007-12-21.]] * Dawkins, Richard (2004). The Ancestor's Tale. Boston: Houghton Mifflin Company. ISBN 0-618-00583-8. * "How whales learned to swim". BBC News. 2002-05-08. [[http://news.bbc.co.uk/1/hi/sci/tech/1974869.stm. Retrieved 2006-08-20.]] * Conroy, Erin (Juni 2007). "Netted whale hit by lance a century ago". Associated Press. [[http://www.msnbc.msn.com/id/19195624/ {{Wayback|url=http://www.msnbc.msn.com/id/19195624/ |date=20100613040928 }}. Retrieved 2009-10-05.]] * "Bowhead Whales Mei Be the World's Oldest Mammals". 2008-02-15. [[http://www.gi.alaska.edu/ScienceForum/ASF15/1529.html {{Wayback|url=http://www.gi.alaska.edu/ScienceForum/ASF15/1529.html |date=20091209053409 }}. Retrieved 2008-03-25.]] * George, J.C. et al. (1999). "Age and growth estimates of bowhead whales (Balaena mysticetus) via aspartic acid racemization". Can. J. Zool. 77 (4): 571–580. doi:10.1139/cjz-77-4-571. * "How is that whale listening?". [[http://www.eurekalert.org/pub_releases/2008-02/iop-hit020108.php. Retrieved 2008-02-04.]] * "Table of sound decibel levels". [[http://www.makeitlouder.com/Decibel%20Level%20Chart.txt. Retrieved 2006-09-14.]] * "Milk". Modern Marvels. The History Channel. 2008-01-07. * Siebert, Charles (8 Julai 2009). "Watching Whales Watching Us". New York Times Magazine. [[http://www.nytimes.com/2009/07/12/magazine/12whales-t.html?pagewanted=all.]] * [[http://www.whaling.jp/english/history.html]] * Whale. Microsoft Encarta Online Encyclopedia 2009. * "Sonar may cause Whale deaths". BBC News. 2003-10-08. [[http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/3173942.stm. Retrieved 2006-09-14.]] * Piantadosi CA, Thalmann ED (2004-04-15). "Pathology: whales, sonar and decompression sickness". Nature 428 (6894): 716–718. == Viungo vya nje == {{Commons category|Cetacea}} * [http://www.arkive.org/ ARKive - images and movies of Whales, Dolphins and Porpoises]{{Wayback|url=http://www.arkive.org/ |date=20160427162729 }} * [http://www.acsonline.org/ American Cetacean Society] * [http://www.crru.org.uk/ British Cetacean Site] especially interesting is [http://www.crru.org.uk/education/factfiles/taxonomy.htm taxonomy] {{Wayback|url=http://www.crru.org.uk/education/factfiles/taxonomy.htm |date=20070204002925 }} * [http://www.cetacea.org/ Cetacea.org homepage] {{Wayback|url=http://www.cetacea.org/ |date=20080703212945 }} * [http://www.press.jhu.edu/books/walkers_mammals_of_the_world/cetacea/cetacea.html#genera Walker's Mammals of the World Online - Cetaceans] {{Wayback|url=http://www.press.jhu.edu/books/walkers_mammals_of_the_world/cetacea/cetacea.html#genera |date=20041011223526 }} * [http://www.tursiops.org/ Tursiops.org: Current Cetacean-related news] {{Wayback|url=http://www.tursiops.org/ |date=20090105203734 }} * [http://whaleofatime.com/forum Whales, Dolphins, Porpoises and Cetaceans Forum] {{Wayback|url=http://whaleofatime.com/forum |date=20081210203137 }} * [[http://www.acsonline.org/education/taxonomy.html {{Wayback|url=http://www.acsonline.org/education/taxonomy.html |date=20100613012920 }}]] [[Jamii:Nyangumi na jamaa]] [[Jamii:Wanyama wa Biblia]] brk35wap9pnch8mt70lqf9gdtv2dsak 1594803 1594802 2026-09-06T19:34:04Z Enbi 87349 Undid edits by [[Special:Contribs/~2026-48525-63|~2026-48525-63]] ([[User talk:~2026-48525-63|talk]]) to last version by InternetArchiveBot: test edits, please use the sandbox 1594803 wikitext text/x-wiki {{Uainishaji | rangi = #D3D3A4 | jina = Nyangumi | picha = Humpback stellwagen edit.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = Nyangumi kibyongo akiruka baharini karibu na [[Boston]], [[Marekani]] | domeni = | himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small> | faila = [[Chordate|Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small> | ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small> | ngeli_ya_chini = [[Eutheria]] | oda_ya_juu = [[Laurasiatheria]] | oda = [[Artiodactyla]] | nusuoda = [[Whippomorpha]] <small>([[Kiboko|Viboko]] na [[nyangumi]])</small> | oda_ndogo = [[Cetacea]] <small>(Wanyama kama [[nyangumi]])</small> | bingwa_wa_oda_ndogo = [[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1762 | subdivision = '''Makundi 3:''' * †[[Archaeoceti]] * [[Mysticeti]] <small>[[Edward Drinker Cope|Cope]], 1891 (Nyangumi-chujio)</small> * [[Odontoceti]] <small>[[William Henry Flower|Flower]], 1867 (Nyangumi-meno)</small> }} '''Nyangumi''' ni [[wanyama]] wa [[bahari]], na pengine wa [[maji matamu]], katika [[oda]] [[Cetacea]] wanaofanana na [[samaki]], lakini ni [[mamalia]]: kwa hivyo hawatagi ma[[yai]] kama samaki bali huzaa watoto kama mamalia wote na huwanyonyesha. Pamoja na [[nguva]], wanyama hawa ni mamalia pekee wanaoishi kwenye [[maji]] tu. Oda yao ina [[spishi]] 80 hivi. Spishi ndogo huitwa [[pomboo]] kwa kawaida na spishi kadhaa za pomboo huishi kwenye maji matamu ya [[mito]] mikubwa kama [[Ganges]] au [[Amazonas]]. [[Mwili]] wote unalingana na maisha ya majini. Nyangumi wanaotupwa kwenye [[nchi kavu]] wanakufa haraka: wanakauka, [[uzito]] wa mwili unagandamiza [[mapafu]] kwa sababu wanakosa [[ueleaji]] wa maji. Hata hivyo muundo wa mwili ni sawa na mamalia wengine: * [[mfumo wa upumuaji|wanapumua]] kwa kutumia mapafu; kutegemeana na spishi zinaweza kuzama na kukaa chini ya maji kuanzia [[dakika]] kadhaa hadi masaa mawili. * Huwa na [[moyo]] wenye vyumba vinne unaoweza kusambaza [[oksijeni]] mwilini mwote. * Nyangumi huwa na [[damu moto]] yaani wanaweza kutunza [[halijoto]] ya [[wastani]] mwilini, tofauti na samaki wanaobadilika halijoto ya mwili kulingana na halijoto ya [[mazingira]]. * Wanazaa watoto waliokamilika tayari na kuwanyonyesha [[maziwa]] yenye [[mafuta]] mengi kwa kutumia [[viwele]] vyao. [[Mimba]] hukua mwilini mwa [[mama]] hadi kuwa mnyama kamili jinsi ilivyo kwa mamalia wengi. [[Picha:Mother and baby sperm whale.jpg|thumb|Nyangumi mama na mtoto wake.]] Spishi nyingi za nyangumi ni kubwa sana. [[Nyangumi Buluu|Nyangumi buluu]] ([[w:Blue whale|Blue whale]]) anaweza kufikia uzito wa [[tani]] 200 na [[urefu]] wa [[mita]] 33. Nyangumi wadogo ni hasa [[familia]] ya pomboo ambao wale wadogo wanafikia urefu wa mita na nusu tu. Mara nyingi spishi za nyangumi zinatofautishwa kutokana na [[meno]] yao: * wale wanaowinda samaki au wanyama wakubwa wengine wa bahari wana meno ya kawaida. * wale wanaokula [[planktoni]] ([[viumbe hai]] vidogo sana baharini) hawana meno, bali [[mifupa]] ya [[kinywa]]ni ambao si mifupa ya kweli, ila inaundwa na kitu kinachofanana na [[kucha]] za [[vidole]]. Mifupa hiyo inakaa kama meno ya [[chanuo]] na inafanya kazi ya [[filta]]; nyangumi huyo anafungua [[mdomo]] na kujaza nafasi maji pamoja na yote yaliyomo kama [[uduvi]] wadogo sana; [[ulimi]] unasukuma maji kupitia chanua ya mifupa ya kinywani na [[windo]] unabaki ndani kama chakula. Nyangumi ni jina la jumla la mamalia wa majini wa oda ya Cetacea. Neno nyangumi wakati fulani humaanisha wanyama wote wa oda ya Cetacea, lakini katika lugha ya kawaida huwaacha wanyama wa familia ya Delphinoidea, kama vile pomboo. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-0] Spishi ndogo hizi huwa ndani ya [[oda ndogo]] ya [[Odontoceti]] (nyangumi wenye meno), ambayo hujumuisha nyangumi kadhaa. Oda nyingine ndogo ya Cetacea ni [[Mysticeti]], ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia [[michirizi]] mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao. == Viungo vyake == Kama mamalia wengine, nyangumi hutumia mapafu kupumua, wana damu joto, wananyonyesha watoto wao kwa kutumia viwele, wana vinyweleo, japo kidogo sana. Mwili wa nyangumi umeungana. Miguu ya mbele, imekaa muundo wa kasia. Mwishoni mwa mkia kuna tiara, au pezi la mkia, ambalo lina saidia kwenye mwendo hasa wima tofauti na kwa mwendo mlalo wa samaki. Japokuwa nyangumi hawana miguu ya nyuma, lakini baadhi yao wanamiguu isiyokamilika; iliyojificha ndani ya miili yao. Spishi nyingi za nyangumi wana pezi migongoni mwao inayojulikana kama pezi la mgongoni. Chini ya ngozi yao wana utando wa mafuta. Mafuta haya ni kwaajili ya kuhifadhi nishati na kuzuia upotevu wa joto. Nyanguumi pia wana moyo wenye vyumba vinne. Nao pia wana uti wa mgongo japo pingili za shingoni pia zimeungana kwaajili ya kuimarisha uwezo wa kuogelea na kuongeza uhuru wa kufanya hivyo. Wanao pia mfupa wa nyonga usiokuwa na kazi maaluum. Nyangumi wanapumua kutumia matundu ya hewa, yaliyo juu ya vichwa vyao ili kuwawezesha kupumua huku wakiwa wamezama majini. Nyangumi wa baleen wanayo mawili; na nyangumi wenye meno wana moja tu. Kupumua hujumuisha kutoa maji zaidi kutoka kwenye matundu hayo ya hewa na, na kuunda bubujiko la maji. Bubujiko hizi huwa na maumbo mbalimbali na wakati mwingine hutumika kuwatofautisha na hatimaye kuwatambua baadhi ya nyangumi. Nyangumi wa bluu ndiye mamalia mkubwa zaidi aliyepata kuishi, na pia mnyama mkubwa, kufikia mpaka mita 35 kwa urefu na uzito wa tani 150. Nyangumi kwa wastani wanaishi miaka 40 mpaka 90, kulingana na aina zao na mara chache hufanikiwa kiushi zaidi ya karne moja. Hivi karibuni kipande cha kamba kilichokuwa kinatumiwa na wavuvi wa nyangumi wa [[karne ya 19]], kilipatikana kwa nyangumi huko [[Alaska]], na kuonesha kuwa nyangumi yule alikuwa na umri kati ya miaka 115 na 130. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-6] kwa kutumia mbinu ya kupima umri kwa kuangalia kiwango cha aspatiki asidi kwenye macho ya nyangumi, pamoja na kipande cha chusa, vilionesha umri wa miaka 211 kwa nyangumi mmoja, na kuwafanya nyangumi pia kuwa wanyama wanaoishi kwa muda mrefu zaidi. .[http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-7][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-8] [[Mkia]] wa nyangumi unaweza kuwa pia kama alama ya kuwatambua, kama ilivyo kwa nyangumi wenye [[nundu]] mgongoni. Meno ya nyangumi wenye meno kama vile nyangumi aitwaye sperm, yana seli za sementamu zilizo juu ya seli za dentaini. Tofauti na binadamu wenye meno yenye kiasi kikubwa cha enameli kwenye sehemu ya nje ya jino, nyangumi wana sementamu nje ya fidhi. Ni kwa nyangumi wakubwa pekee ambao enameli yao huonesha pale ambapo sementamu ilipotoka kwenye sehemu ya jino[http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-9] == Tabia == [[Picha:DSC 7334.JPG|thumb|left|Nyangumi kibyongo akijitokeza.]] Nyangumi huonwa kama ni wawindaji mara zote, lakini chakula chao ni kuanzia plankitoni mpaka samaki wakubwa kabisa, na wakati mwingine wanyama wengine wa baharini, hata nyangumi wengine. Nyangumi hasa wale wenye nundu mgongoni na wale wa bluu wanakula tu kwenye maji ya aktiki, ambapo humeza vitoweo vyao pamoja na maji mengi, na baadae kutoa maji kupitia baleen huku wakibakiza vitoweo vyao kinywani. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] Nyangumi hawanywi maji ya baharini na badala yake hutengeneza maji kutoka kwenye chakula chao kwa metabolizimu ya mafuta. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] Nyangumi wengi huonesha tabia nyingi za majini kama vile kujitokeza juu na kupigiza mkia. Kulingana na mazingira yao (tofauti na na wanyama wengine), nyangumi hupumua kwa hiari yao, wanaamua ni wakati gani wa kupumua. Mamalia wote hulala lakini nyangumi hawawezi kulala kwa muda mrefu sababu wanaweza zama majini na kufa. Husemekana ni nusu tu ya ubongo wa nyangumi hulala na sehemu nyingine hufanyakazi, hivyo nyangumi huwa halali moja kwa moja lakini hupumzika vya kutosha. Mara nyingi nyangumi hulala huku jicho moja tu likiwa limefungwa. Baadhi ya nyangumi huwasiliana kwa sauti za kimuziki, zikijulikana kama nyimbo za nyangumi. Sauti hizi zaweza kuwa kubwa sana kutegemeana na spishi zao. Nyangumi waitwao sperm husikika wakitoa sauti za kugonga gonga tu, kwasababu wao wana meno na hutoa pia mwangwi unaoweza kusikika kwa maili nyingi. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-12] Nyangumi jike huzaa ndama mmoja tu. Muda wa kumkuza ndama huyo ni zaidi ya mwaka mmoja kwa spishi nyingi na hujumuisha uhusiano mkubwa kati ya mama na ndama. Nyangumi huwa tayari kuzaa wakiwa na miaka saba mpaka kumi. Mtindo huu huruhusu watoto wachache tu lakini wakiwa na uwezo mkubwa wa kuishi. Viungo vya uzazi vya nyangumi huzama na kujificha ndani ya nafasi za mwili wakati wa kuogelea, kuongeza mwendo kasi na kuzuia majeraha. Nyangumi wengi hawana wenzi wa aina moja; na majike wengi hubadilisha madume kadhaa kila msimu. Watoto wa nyangumi huzaliwa kwa kutoa mkia kwanza utaratibu unaopunguza hatari ya kufa maji. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-po-11] [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-13] Nyangumi pia hujulikana kwa uwezo wao wa kufundisha na kujifunza, pamoja na kushirikiana na hata kuonekana kuhuzunika. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-wwwu-14] ==Uwindaji wa nyangumi== Kwa [[karne]] nyingi nyangumi wamekuwa wakiwindwa kwa ajili ya [[nyama]] na [[malighafi]]. Kati ya [[karne ya 20]], hata hivyo, [[viwanda]] vingi vya nyangumi vilisababisha kuwa hatarini kwa spishi nyingi za nyangumi, na [[uwindaji wa nyangumi]] ukakomeshwa mara moja katika nchi nyingi isipokuwa chache. Mashirika kadhaa yameanzishwa kwa ajili ya kuzuia uwindaji wa nyangumi na hatari nyingine kwa maisha ya nyangumi. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-1][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-2] == Asili na uainishaji == Cetacea wote, kujumuisha na nyangumi na pomboo, ni [[kizazi]] kilichotokana na mamalia wa nchi kavu wa oda ya [[Artiodactyl]]. Kwa pamoja cetacea na artiodactyls sasa wanaainishwa chini ya oda moja ya Cetartiodactyla inayojumuisha [[viboko]] na nyangumi. Kimsingi, nyangumi wana ukaribu mkubwa na viboko; wote ni [[chimbuko]] la [[uzao]] mmoja, [[Indohyus]], miaka takriban [[milioni]] 48 iliyopita na wanyama wenye [[kwato shufwa]] kutoka [[Kashmir]], [[India]], karibu miaka milioni 54 iliyopita. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-science_news-3][http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-Ancestors_Tale-4] Nyangumi waliingia majini karibia miaka milioni 50 iliyopita. [http://en.wikipedia.org/wiki/Whale#cite_note-5] Cetacea wamegawanywa kwenye makundi mawili: * Nyangumi-chujio ([[Mysticeti]]) wanaotambuliwa kwa aina ya [[chujio]] katika domo lao iliyoundwa kwa [[keratini]] na ambayo hutumika kwa kuchujia [[planktoni]] kutoka majini. Hawa ndio nyangumi wakubwa kuliko wote. * Nyangumi-meno ([[Odontoceti]]) wanaotumia meno yao kwa kuwinda [[samaki]] na [[ngisi]], na pengine ([[nyangumi mwuaji]]) mamalia wengine wa maji kama [[sili]] na [[simba-bahari]] na hata nyangumi wengine. == Spishi za Afrika == * '''Mysticeti''' ** ''Balaenoptera acutorostrata'', [[Nyangumi-ndita wa Kawaida]] ([[w:Common minke whale|Common Minke Whale]]) ** ''Balaenoptera bonaerensis'', [[Nyangumi-ndita wa Antakitiki]] ([[w:Antarctic minke whale|Antarctic]] au Southern Minke Whale) ** ''Balaenoptera borealis'', [[Nyangumi-ndita Kaskazi]] ([[w:Sei whale|Sei Whale]]) ** ''Balaenoptera brydei'', [[Nyangumi-ndita wa Bryde]] ([[w:Bryde's whale|Bryde's Whale]]) ** ''Balaenoptera edeni'', [[Nyangumi-ndita wa Eden]] ([[w:Eden's whale|Eden's Whale]]) ** ''Balaenoptera musculus'', [[Nyangumi Buluu]] ([[w:Blue whale|Blue Whale]]) ** ''Balaenoptera physalus'', [[Nyangumi Pezimgongo-refu]] ([[w:Fin whale|Fin]] au Finback Whale, Razorback au Common Rorqual) ** ''Caperea marginata'', [[Nyamgumi Kibete]] ([[w:Pygmy right whale|Pygmy right Whale]]) ** ''Eubalaena glacialis'', [[Nyangumi wa Atlantiki]] ([[w:North Atlantic right whale|North Atlantic Right Whale]]) ** ''Eubalaena australis'', [[Nyangumi Kusi]] ([[w:Southern right whale|Southern Right Whale]]) ** ''Megaptera novaeangliae'', [[Nyangumi Kibyongo]] ([[w:Humpback whale|Humpback Whale]]) * '''Odontoceti''' ** ''Berardius arnuxii'', [[Nyangumi Domo-refu wa Arnoux]] ([[w:Arnoux's beaked whale|Arnoux's Beaked Whale]]) ** ''Cephalorhynchus heavisidii'', [[Pomboo wa Haviside]] ([[w:Haviside's dolphin|Haviside's Dolphin]]) ** ''Delphinus capensis'', [[Pomboo Domo-refu]] ([[w:Long-beaked common dolphin|Long-beaked Common Dolphin]]) ** ''Delphinus delphis'', [[Pomboo Domo-fupi]] ([[w:Short-beaked common dolphin|Short-beaked Common Dolphin]]) ** ''Delphinus tropicalis'', [[Pomboo Arabu]] ([[w:Arabian common dolphin|Arabian Common Dolphin]]) ** ''Feresa attenuata'', [[Nyangumi Muuaji Mdogo]] ([[w:Pygmy killer whale|Pygmy Killer Whale]]) ** ''Globicephala macrorhynchus'', [[Pomboo Kichwa-tufe Mapezi-mafupi]] ([[w:Short-finned pilot whale|Short-finned Pilot Whale]]) ** ''Globicephala melas'', [[Pomboo Kichwa-tufe Mapezi-marefu]] ([[w:Long-finned pilot whale|Long-finned Pilot Whale]]) ** ''Grampus griseus'', [[Pomboo wa Risso]] ([[w:Risso's dolphin|Risso's Dolphin]]) ** ''Hyperoodon planifrons'', [[Nyangumi Pua-chupa Kusi]] ([[w:Southern bottlenose whale|Southern Bottlenose Whale]]) ** ''Indopacetus pacificus'', [[Nyangumi Pua-chupa wa Tropiki]] ([[w:Tropical bottlenose whale|Tropical Bottlenose Whale]]) ** ''Kogia breviceps'', [[Nyangumi-nta Mdogo]] ([[w:Pygmy sperm whale|Pygmy Sperm Whale]]) ** ''Kogia sima'', [[Nyangumi-nta Kibete]] ([[w:Dwarf sperm whale|Dwarf Sperm Whale]]) ** ''Lagenodelphis hosei'', [[Pomboo wa Fraser]] ([[w:Fraser's dolphin|Fraser's]] or Sarawak Dolphin) ** ''Lagenorhynchus obscurus'', [[Pomboo Mweusi]] ([[w:Dusky dolphin|Dusky Dolphin]]) ** ''Lissodelphis peronii'', [[Pomboo Bila-pezimgongo]] ([[w:Southern right whale dolphin|Southern Right Whale Dolphin]]) ** ''Mesoplodon densirostris'', [[Nyangumi Domo-refu wa Blainville]] ([[w:Blainville's beaked whale|Blainville's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon europaeus'', [[Nyangumi Domo-refu wa Gervais]] ([[w:Gervais' beaked whale|Gervais's]], Antillian, Gulf Stream au European Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon ginkgodens'', [[Nyangumi Domo-refu ???]] ([[w:Ginkgo-toothed beaked whale|Ginkgo-toothed Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon grayi'', [[Nyangumi Domo-refu wa Gray]] ([[w:Gray's beaked whale|Gray's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon hectori'', [[Nyangumi Domo-refu wa Hector]] ([[w:Hector's beaked whale|Hector's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon layardii'', [[Nyangumi Domo-refu wa Layard]] ([[w:Strap-toothed whale|Strap-toothed]] au Long-toothed Whale au Layard's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon mirus'', [[Nyangumi Domo-refu wa True]] ([[w:True's beaked whale|True's Beaked Whale]]) ** ''Orcinus orca'', [[Nyangumi Muuaji]] au Orka ([[w:Killer whale|Killer Whale]], Orca Whale au Orca) ** ''Peponocephala electra'', [[Pomboo Kichwa-tikiti]] ([[w:Melon-headed whale|Melon-headed Whale]], Electra Dolphin au Many-toothed Blackfish) ** ''Phocoena phocoena'', [[Pomboo-bandari]] ([[w:Harbour porpoise|Harbour Porpoise]]) ** ''Physeter macrocephalus'', [[Nyangumi-nta Mkubwa]] ([[w:Sperm whale|Sperm Whale]]) ** ''Pseudorca crassidens'', [[Nyangumi Muuaji Mdanganyifu]] ([[w:False killer whale|False Killer Whale]]) ** ''Sousa plumbea'', [[Pomboo Mgongo-nundu Hindi]] ([[w:Indian humpback dolphin|Indian Humpback Dolphin]]) ** ''Sousa teuszi'', [[Pomboo Mgongo-nundu wa Atlantiki]] ([[w:Atlantic humpback dolphin|Atlantic Humpback Dolphin]]) ** ''Stenella attenuata'', [[Pomboo-madoa wa Tropiki]] ([[w:Pantropical spotted dolphin|Pantropical Spotted Dolphin]]) ** ''Stenella clymene'', [[Pomboo Clymene???]] ([[w:Clymene dolphin|Clymene Dolphin]]) ** ''Stenella coeruleoalba'', [[Pomboo-milia]] ([[w:Striped dolphin|Striped Dolphin]]) ** ''Stenella frontalis'', [[Pomboo-madoa wa Atlantiki]] ([[w:Atlantic spotted dolphin|Atlantic Spotted Dolphin]]) ** ''Stenella longirostris'', [[Pomboo Mzunguka]] ([[w:Spinner dolphin|Spinner Dolphin]]) ** ''Steno bredanensis'', [[Pombo Meno-mikwaruzo]] ([[w:Rough-toothed dolphin|Rough-toothed Dolphin]]) ** ''Tursiops aduncus'', [[Pomboo Pua-chupa wa Bahari ya Hindi]] ([[w:Indo-Pacific bottlenose dolphin|Indo-Pacific Bottlenose Dolphin]]) ** ''Tursiops truncatus'', [[Pomboo Pua-chupa wa Kawaida]] ([[w:Common bottlenose dolphin|Common Bottlenose Dolphin]]) ** ''Ziphius cavirostris'', [[Nyangumi Domo-refu wa Cuvier]] ([[w:Cuvier's beaked whale|Cuvier's Beaked Whale]]) == Spishi za mabara mengine == * '''Mysticeti''' ** ''Balaena mysticetus'' ([[w:Bowhead whale|Bowhead Whale]]) ** ''Eubalaena japonica'' ([[w:North Pacific right whale|North Pacific Right Whale]]) ** ''Balaenoptera omurai'' ([[w:Omura's whale|Omura's Whale]]) ** ''Eschrichtius robustus'' ([[w:Gray whale|Grey Whale]]) * '''Odontoceti''' ** ''Berardius bairdii'' ([[w:Baird's beaked whale|Baird's Beaked Whale]]) ** ''Cephalorhynchus commersonii'' ([[w:Commerson's dolphin|Commerson's Dolphin]]) ** ''Cephalorhynchus eutropia'' ([[w:Chilean dolphin|Chilean Dolphin]]) ** ''Cephalorhynchus hectori'' ([[w:Hector's dolphin|Hector's Dolphin]]) ** ''Delphinapterus leucas'' ([[w:Beluga|Beluga]]) ** ''Hyperoodon ampullatus'' ([[w:Northern bottlenose whale|Northern Bottlenose Whale]]) ** ''Inia boliviensis'' ([[w:Bolivian river dolphin|Bolivian River Dolphin]]) ** ''Inia geoffrensis'' ([[w:Amazon river dolphin|Amazon River Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus acutus'' ([[w:Atlantic white-sided dolphin|Atlantic White-sided Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus albirostris'' ([[w:White-beaked dolphin|White-beaked Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus australis'' ([[w:Peale's dolphin|Peale's Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus cruciger'' ([[w:Hourglass dolphin|Hourglass Dolphin]]) ** ''Lagenorhynchus obliquidens'' ([[w:Pacific white-sided dolphin|Pacific White-sided Dolphin]]) ** ''Lipotes vexillifer'' ([[w:Baiji|Baiji]]) '''imekwisha sasa''' ** ''Lissodelphis borealis'' ([[w:Northern right whale dolphin|Northern Right Whale Dolphin]]) ** ''Mesoplodon bidens'' ([[w:Sowerby's beaked whale|Sowerby's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon bowdoini'' ([[w:Andrews' beaked whale|Andrews's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon carlhubbsi'' ([[w:Hubbs' beaked whale|Hubbs's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon perrini'' ([[w:Perrin's beaked whale|Perrin's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon peruvianus'' ([[w:Pygmy beaked whale|Pygmy Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon stejnegeri'' ([[w:Stejneger's beaked whale|Stejneger's Beaked Whale]]) ** ''Mesoplodon traversii'' ([[w:Spade-toothed whale|Spade-toothed Whale]]) ** ''Monodon monoceros'' ([[w:Narwhal|Narwhal]]) ** ''Neophocaena phocaenoides'' ([[w:Finless porpoise|Finless Porpoise]]) ** ''Orcaella brevirostris'' ([[w:Irrawaddy dolphin|Irrawaddy Dolphin]]) ** ''Orcaella heinsohni'' ([[w:Australian snubfin dolphin|Australian Snubfin Dolphin]]) ** ''Phocoena dioptrica'' ([[w:Spectacled porpoise|Spectacled Porpoise]]) ** ''Phocoena sinus'' ([[w:Vaquita|Vaquita]]) ** ''Phocoena spinipinnis'' ([[w:Burmeister's porpoise|Burmeister's Porpoise]]) ** ''Phocoenoides dalli'' ([[w:Dall's porpoise|Dall's Porpoise]]) ** ''Platanista gangetica'' ([[w:Ganges river dolphin|Ganges River Dolphin]]) ** ''Platanista minor'' ([[w:Indus river dolphin|Indus River Dolphin]]) ** ''Pontoporia blainvillei'' ([[w:La Plata dolphin|La Plata Dolphin]]) ** ''Sotalia fluviatilis'' ([[w:Tucuxi|Tucuxi]]) ** ''Sotalia guianensis'' ([[w:Costero|Costero]]) ** ''Sousa chinensis'' ([[w:Pacific humpback dolphin|Pacific Humpback Dolphin]]) ** ''Tasmacetus shepherdi'' ([[w:Shepherd's beaked whale|Shepherd's Beaked Whale]]) ** ''Tursiops australis'' ([[w:Burrunan dolphin|Burrunan Dolphin]]) == Marejeo == * "The Whales' Navy: In Defense of Whales Worldwide". Sea Shepherd Conservation Society. [[http://www.seashepherd.org/whales/ {{Wayback|url=http://www.seashepherd.org/whales/ |date=20080210002034 }}. Retrieved 2009-09-20.]] * "Save the Whales, founded in 1977". Save The Whales. [[http://www.savethewhales.org/. Retrieved 2009-09-20.]] * Northeastern Ohio Universities Colleges of Medicine and Pharmacy. "Whales Descended From Tiny Deer-like Ancestors". ScienceDaily. [[http://www.sciencedaily.com/releases/2007/12/071220220241.htm. Retrieved 2007-12-21.]] * Dawkins, Richard (2004). The Ancestor's Tale. Boston: Houghton Mifflin Company. ISBN 0-618-00583-8. * "How whales learned to swim". BBC News. 2002-05-08. [[http://news.bbc.co.uk/1/hi/sci/tech/1974869.stm. Retrieved 2006-08-20.]] * Conroy, Erin (Juni 2007). "Netted whale hit by lance a century ago". Associated Press. [[http://www.msnbc.msn.com/id/19195624/ {{Wayback|url=http://www.msnbc.msn.com/id/19195624/ |date=20100613040928 }}. Retrieved 2009-10-05.]] * "Bowhead Whales Mei Be the World's Oldest Mammals". 2008-02-15. [[http://www.gi.alaska.edu/ScienceForum/ASF15/1529.html {{Wayback|url=http://www.gi.alaska.edu/ScienceForum/ASF15/1529.html |date=20091209053409 }}. Retrieved 2008-03-25.]] * George, J.C. et al. (1999). "Age and growth estimates of bowhead whales (Balaena mysticetus) via aspartic acid racemization". Can. J. Zool. 77 (4): 571–580. doi:10.1139/cjz-77-4-571. * "How is that whale listening?". [[http://www.eurekalert.org/pub_releases/2008-02/iop-hit020108.php. Retrieved 2008-02-04.]] * "Table of sound decibel levels". [[http://www.makeitlouder.com/Decibel%20Level%20Chart.txt. Retrieved 2006-09-14.]] * "Milk". Modern Marvels. The History Channel. 2008-01-07. * Siebert, Charles (8 Julai 2009). "Watching Whales Watching Us". New York Times Magazine. [[http://www.nytimes.com/2009/07/12/magazine/12whales-t.html?pagewanted=all.]] * [[http://www.whaling.jp/english/history.html]] * Whale. Microsoft Encarta Online Encyclopedia 2009. * "Sonar may cause Whale deaths". BBC News. 2003-10-08. [[http://news.bbc.co.uk/2/hi/science/nature/3173942.stm. Retrieved 2006-09-14.]] * Piantadosi CA, Thalmann ED (2004-04-15). "Pathology: whales, sonar and decompression sickness". Nature 428 (6894): 716–718. == Viungo vya nje == {{Commons category|Cetacea}} * [http://www.arkive.org/ ARKive - images and movies of Whales, Dolphins and Porpoises]{{Wayback|url=http://www.arkive.org/ |date=20160427162729 }} * [http://www.acsonline.org/ American Cetacean Society] * [http://www.crru.org.uk/ British Cetacean Site] especially interesting is [http://www.crru.org.uk/education/factfiles/taxonomy.htm taxonomy] {{Wayback|url=http://www.crru.org.uk/education/factfiles/taxonomy.htm |date=20070204002925 }} * [http://www.cetacea.org/ Cetacea.org homepage] {{Wayback|url=http://www.cetacea.org/ |date=20080703212945 }} * [http://www.press.jhu.edu/books/walkers_mammals_of_the_world/cetacea/cetacea.html#genera Walker's Mammals of the World Online - Cetaceans] {{Wayback|url=http://www.press.jhu.edu/books/walkers_mammals_of_the_world/cetacea/cetacea.html#genera |date=20041011223526 }} * [http://www.tursiops.org/ Tursiops.org: Current Cetacean-related news] {{Wayback|url=http://www.tursiops.org/ |date=20090105203734 }} * [http://whaleofatime.com/forum Whales, Dolphins, Porpoises and Cetaceans Forum] {{Wayback|url=http://whaleofatime.com/forum |date=20081210203137 }} * [[http://www.acsonline.org/education/taxonomy.html {{Wayback|url=http://www.acsonline.org/education/taxonomy.html |date=20100613012920 }}]] [[Jamii:Nyangumi na jamaa]] [[Jamii:Wanyama wa Biblia]] amdwsxl1zz4l2r3iezcm20gh0kupbqs Barbra Streisand 0 27614 1594798 1496129 2026-09-06T18:57:32Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594798 wikitext text/x-wiki {{Msanii muziki 2 | Jina = Barbra Streisand | Img = Barbra Streisand 2.jpg | Img_capt = at the Governor's Ball for the 1995 [[Emmy Awards]]. | Img_size = | Background = solo_singer | Jin la kuzaliwa = Barbara Joan Streisand | Amezaliwa = {{birth date and age |1942|4|24|df=yes}} <br />[[Brooklyn, New York|Brooklyn]], [[New York]], U.S. | Aina = [[Traditional Pop]], [[Adult Contemporary]], [[:en:Broadway theatre|Broadway]] | Sauti = [[Soprano]] | Kazi yake = [[Mwimbaji]], [[mwigizaji]], [[mtayarishaji wa filamu|mtayarishaji]], [[mwongozaji wa filamu|mwongozaji]] | Miaka ya kazi = 1957–hadi leo | Studio = [[Columbia Records|Columbia]] | Tovuti = [http://www.barbrastreisand.com/ BarbraStreisand.com] }} '''Barbra Streisand''' (amezaliwa na jina la '''Barbara Joan Streisand''' mnamo tar. [[24 Aprili]] [[1942]]) ni [[mwimbaji]] na [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka nchini [[Marekani]]. Pia amepata kufahamika zaidikama [[mtunzi]], mwanaharakati huria wa kisiasa, [[mtayarishaji wa filamu]], na [[mwongozaji wa filamu|mwongozaji]]. Ameshinda tuzo mbili za Academy, tisa za Grammy, nne za Emmy, Special Tony Award, na ni mmoja kati ya waburudishaji wachache waliowahi kupata tuzo zote hizi, ingawa bado hajapata kushinda tuzo za ushindani za Tony. == Marejeo == {{Marejeo}} == Soma zaidi == * {{Rejea kitabu | last=Andersen | first=Christopher | coauthors= | title = Barbra: The Way She Is| location= | publisher=Harper-Collins | year=2006 | isbn=0-06-056256-0}} * {{Rejea kitabu | last=Edwards | first=Anne | title = Streisand: A Biography| url=https://archive.org/details/streisandbiograp00edwa | publisher=Little, Brown | year=1997 | isbn=978-0316211383}} * {{Rejea kitabu | last=Riese | first=Randall | title = Her Name Is Barbra: An Intimate Portrait of the Real Barbra Streisand| url=https://archive.org/details/hernameisbarbrai00ries_0 | publisher=Birch Lane Press | year=1993 | isbn=1-55972-203-7}} * {{Rejea kitabu | last=Santopietro | first=Tom | title = The Importance of Being Barbra: The Brilliant, Tumultuous Career of Barbra Streisand| url=https://archive.org/details/importanceofbein00sant | publisher=Thomas Dunne | year=2006 | isbn=978-0312348793}} * {{Rejea kitabu | last=Spada | first=James | coauthors= | title = Streisand: Her Life| url=https://archive.org/details/streisandherlife0000spad | location= | publisher=Crown Publishers, Inc | year=1995 | isbn=0517597535}} * {{Rejea kitabu | last=Pohly | first=Linda | coauthors= | title = The Barbra Steisand Companion: A Guide to Her Vocal Style and Repertoire| url=https://archive.org/details/barbrastreisandc00lind | location= | publisher=Greenwood Press | year=2000 | isbn= 0313304149}} == Viungo vya Nje == * [http://www.barbrastreisand.com/ BarbraStreisand.com, the Official Site] * [http://www.barbranews.com/ BarbraNews.com] {{Wayback|url=http://www.barbranews.com/ |date=20130907100631 }} * [http://www.barbra-archives.com/ Barbra-Archives.com] {{Wayback|url=http://www.barbra-archives.com/ |date=20130920091548 }} * [http://www.bjsmusic.com/ BJSMusic.com] {{Wayback|url=http://www.bjsmusic.com/ |date=20081026123030 }} {{Commons}} * {{IMDb|0000659}} * {{Amg name|112652}} * {{ibdb|61328}} * {{iobdb|Barbra|Streisand}} {{Barbra Streisand}} {{Mbegu-mwanamuziki-USA}} {{DEFAULTSORT:Streisand, Barbara}} [[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1942]] [[Jamii:Watu walio hai]] f82z7fw9m9cabzfzwzlxh1mzox9ro1t Ali Kiba 0 80036 1594810 1573097 2026-09-06T20:04:13Z ~2026-48218-55 92188 /* */ 1594810 wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist | Jina = Ali kiba | Img = Ali Kiba.jpg|thumb | Img_capt = | Background = solo_singer | Jina la kuzaliwa = Ali Salehe omari | Alias = KingKiba | Amezaliwa = {{birth date and age|mf=yes|1986|11|29|df=yes}} | Asili yake = [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], {{Flag|Tanzania}} | Aina = [[Mwanamuziki]] | Kazi yake = [[Mwimbaji]] [[Soka|Mwanasoka]] | Timu = [[Coastal Union]] | Aina ya sauti = [[Mwimbaji|Sauti]], [[Piano|piano]] | Miaka ya kazi = 2006 hadi sasa | Studio = Rockstars4000<br />[[Kings Music Records|Kings Music]] | Ameshirikiana na = [[Aslay]]<br />[[Abdu Kiba]]<br />Christian Bella<br />Ommy Dimpoz<br />M.I<br />Patoranking<br />Abby Skills<br />[[Mr. Blue]] | tovuti = [https://www.mrtechsite.com/2019/09/wordpress-or-blogger-which-one-is-best.html/ www.lupitanyongo.com]] }} '''Ali Kiba''' (anafahamika zaidi kwa [[Jina la kisanii|jina lake la kisanii]] kama '''Ali Salehe Kiba'''; pia: '''King Kiba'''; alizaliwa [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]], [[26 Novemba]] [[1986]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[Tanzania]], [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[nyimbo]] chini ya lebo yake ya ''[[Kings Music Records|King's Music records]]'' na lebo aliyokuwa akiifanyia kazi [[Rockstar4000]], ambayo alikuwa miongoni mwa wamiliki wake. Ana vipaji vilivyo tofauti na [[wasanii]] wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na timu ya mpira wa miguu "Tanga Coastal Union" ya mkoani [[Tanga]] kucheza [[mpira wa miguu]] kwa msimu wa [[2018]]/[[2019]] wa Vodacom Premier League. Lakini pia Ali kiba ni mmiliki wa media ya habari ya '''Crown media'''iliyopo na makazi yake jijini [[Dar es Salaam]]. ==Maisha== Ali Kiba alizaliwa na Saleh Omari na Tombwe Njere. Ni mtoto wa kwanza kati ya watoto wanne kwenye familia yao, akifuatiwa na Abdu Saleh Kiba ambaye pia ni mwanamuziki, Zabib Kiba (dada yake) na Abuu Kiba (mdogo wao wa kiume wa mwisho).<ref>https://globalpublishers.co.tz/historia-ya-maisha-ya-alikiba-tangu-kuzaliwa-video/</ref> ==Mafanikio== Mwaka [[2011]], Ali Kiba alichaguliwa kama ''msanii wa kwanza wa [[Afrika Mashariki]]'' - [[Tanzania]], [[Kenya]] na [[Uganda]]. Kwa mwaka [[2015]] ameshinda [[tuzo]] [[tano]] za Kilimanjaro Awards. Tarehe [[20 Mei]] [[2016]], [[kampuni]] ya kimataifa inayojishughulisha na [[muziki]] "Sony Music Entertainment" ilitangaza kumsainisha [[mkataba]] wa kufanya kazi na Ali Kiba. ==Tuzo== {{awards table}} |- |2016 |Himself |Best International Act: Africa |{{Won}}<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.timesfm.co.tz/news/ali-kiba-atajwa-kuwania-tuzo-za-mtv-emma-2016/| title = Ali Kiba atajwa kuwania Tuzo za MTV EMMA 2016|publisher=|access-date=7 October 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20161010055304/http://www.timesfm.co.tz/news/ali-kiba-atajwa-kuwania-tuzo-za-mtv-emma-2016/|archive-date=10 October 2016|url-status=dead|accessdate=2019-12-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161010055304/http://www.timesfm.co.tz/news/ali-kiba-atajwa-kuwania-tuzo-za-mtv-emma-2016/|archivedate=2016-10-10}}</ref> |- |} ===Nollywood and African Film Critics Awards=== {{awards table}} |- |rowspan=2|2016 |Himself |Favorite Artist |{{won}} |- |Mwana |Favorite Song |{{won}}<ref name="annapita.com">{{Rejea tovuti|url=http://www.annapita.com/2016/08/alikiba-ashinda-tuzo-mbili-usa.html?m=1| title = Annapita.com|website=www.annapita.com|accessdate=2019-12-21|archivedate=2016-10-09|archiveurl=https://web.archive.org/web/20161009160254/http://www.annapita.com/2016/08/alikiba-ashinda-tuzo-mbili-usa.html?m=1}}</ref> |- |} ===East Africa TV Awards=== {{awards table}} |- |rowspan=3|2016 |rowspan=3|Aje |Best Male Artist |{{won}} |- |Song of the Year |{{won}} |- |Video of the Year |{{won}} |- |} === ASFA Awards (Uganda) === {{awards table}} |- |rowspan=2|2016 |Aje |Most Stylish Artiste East Africa |{{won}} |- |Aje |Most Fashionable Music Video Africa |{{won}}<ref name="annapita.com"/> |- |} ===Soundcity Awards=== {{awards table}} |- |2016 |Aje |Video of the Year |{{won}} |- |} ===TZ INSTA Awards 2016=== {{awards table}} |- |2016 |Aje |Top Trending Song |{{won}} |- |} ===Best Celebrity Player Awards (Uganda)=== {{awards table}} |- |2016 |Himself |Best Celebrity Player |{{won}} |- |} ===WANNAMusic Awards 2016 (France)=== {{awards table}} |- |rowspan=3|2016 |rowspan=3|Aje |Best Male Artist | {{nominated}} |- |- |Best Collabo | {{nominated}} |- |People Choice |{{won}} |- |} ==Tanbihi== {{reflist}} ==Viungo vya nje== {{Commons}} {{Ali Kiba}} {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} {{DEFAULTSORT:Kiba, Ali}} [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Afrocine 2019-Tanzania]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Mashariki]] eosahqmqncuqa5cc8hw87m6vaop4eua Hospitali ya Dareda 0 121964 1594932 1192210 2026-09-07T10:01:30Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594932 wikitext text/x-wiki '''Hospitali ya Dareda''' ipo [[Mkoa wa Manyara|mkoani Manyara]], ambapo ilianzishwa mwaka [[1948]], ipo eneo [[Kanisa Katoliki]] la [[Dareda]]. Muda wa saa za kazi ni kuanzia 8:00 [[asubuhi]] mpaka 5:00 [[jioni]], [[Jumatatu]] mpaka [[Ijumaa]] na kwa siku za [[Jumamosi]] na [[Jumapili]] huduma zinaanza saa 12:00 [[mchana]]. Pia wanatoa huduma nyingine ambapo wana [[Shule]] ya Unesi inayoitwa ''Dareda School of Nursing''. <ref>http://www.afyadirectory.co.tz/tanzania/ndareda/medical-center/dareda-hospital{{Dead link|date=September 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Huduma zinazotolewa ni: [[Wodi]] za kulaza [[mgonjwa|wagonjwa]], huduma ya wagonjwa wa nje wasiolazwa, famasi, mazoezi ya viungo, Maabara, X-RAY/Mionzi, Chumba cha [[Upasuaji]], [[Ofisi]] za [[utawala]], Shule ya Unesi na [[Mgahawa]] wa [[chakula]] <ref>http://lifeisadetour.com/2018/02/13/tanzanian-healthcare-part-i-introduction-to-dareda-hospital/</ref> Hospitali hii inaendeshwa na [[Jimbo]] Kuu [[Katoliki]] la Mbulu na inakadiriwa kuhudumia karibia watu 130 kwa siku na ina idadi ya [[kitanda|vitanda]] 200. Hospitali ina [[uongozi]] bora ulio makini na walio na uangalizi mzuri ambapo wanadumisha weledi na mahusiano mazuri kati yao wenyewe na kuna wanathamini kuheshimiana kiukweli ambapo inasaidia kuongoza vizuri huduma ya hospitali na thamani ya huduma inayotolewa. Kwa wagonjwa wanaolazwa kuna wodi nne (4)ambazo ni: wodi ya watoto chini ya miaka 12, wodi ya wanaume, wodi ya wanawake na wodi ya Mama na Mtoto. Kila wodi ni kubwa na pana yenye vitanda. Hospitali ya Dareda ingekua na Mapazia ingekua Hospitali yenye hadhi ya daraja la juu (luxury) <ref>http://lifeisadetour.com/2018/02/13/tanzanian-healthcare-part-i-introduction-to-dareda-hospital/</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu}} [[Jamii:Mkoa wa Manyara]] [[Jamii:Hospitali za Tanzania]] lctmwxskrdsf7yyt6o0g17ycvjf11j3 Hafidh Ameir 0 133940 1594895 1513290 2026-09-07T08:40:18Z Czeus25 Masele 28489 1594895 wikitext text/x-wiki {{Mtu |rangi = |jina = Hafidh Ameir |picha = |maelezo_ya_picha = |jina la kuzaliwa = Hafidh Ameir |alizaliwa = |alikufa = |nchi = Tanzania |kazi yake = |ndoa = 1978 |wazazi = |watoto = |tovuti rasmi = }} '''Hafidh Ameir''' ni [[mume]] wa [[rais]] wa [[sita]] wa [[Tanzania]] [[Mama]] [[Samia Suluhu Hassan]] akiwa na [[asili]] ya [[kisiwa|visiwani]] [[Zanzibar]]. Hafidh ni [[mtaalamu]] mstaafu wa masuala ya [[kilimo]] <ref>https://www.voanews.com/africa/samia-hassan-poised-become-tanzanias-first-woman-president</ref> na walifunga [[ndoa]] na Mama Samia [[mwaka]] [[1978]] <ref>https://kiswahili.tuko.co.ke/406475-picha-za-kupendeza-za-mume-wa-rais-wa-tanzania-samia-suluhu-hassan-hafidh-ameir.html</ref> na wamejaaliwa kupata [[watoto]] wanne <ref>https://www.bbc.com/swahili/habari-56374036</ref>; mmojawao, [[Wanu Hafidh Ameir]], ni [[mwanasiasa]] kama [[mama]] yake <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archive-date=2021-10-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211021072121/https://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |url-status=dead }}</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archivedate=2021-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210318215127/https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php }}</ref> na mjumbe wa [[Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar]] ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] gh8q60zjzlvt7e6jx5yuvmqu5f6dx0v 1594900 1594895 2026-09-07T09:09:19Z Czeus25 Masele 28489 Kifo 1594900 wikitext text/x-wiki {{Mtu |rangi = |jina = Hafidh Ameir |picha = |maelezo_ya_picha = |jina la kuzaliwa = Hafidh Ameir |alizaliwa = |alikufa = |nchi = Tanzania |kazi yake = |ndoa = 1978 |wazazi = |watoto = |tovuti rasmi = }} '''Hafidh Ameir''' ni [[mume]] wa [[rais]] wa [[sita]] wa [[Tanzania]] [[Mama]] [[Samia Suluhu Hassan]] akiwa na [[asili]] ya [[kisiwa|visiwani]] [[Zanzibar]]. Hafidh ni [[mtaalamu]] mstaafu wa masuala ya [[kilimo]] <ref>https://www.voanews.com/africa/samia-hassan-poised-become-tanzanias-first-woman-president</ref> na walifunga [[ndoa]] na Mama Samia [[mwaka]] [[1978]] <ref>https://kiswahili.tuko.co.ke/406475-picha-za-kupendeza-za-mume-wa-rais-wa-tanzania-samia-suluhu-hassan-hafidh-ameir.html</ref> na wamejaaliwa kupata [[watoto]] wanne <ref>https://www.bbc.com/swahili/habari-56374036</ref>; mmojawao, [[Wanu Hafidh Ameir]], ni [[mwanasiasa]] kama [[mama]] yake <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archive-date=2021-10-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211021072121/https://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |url-status=dead }}</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archivedate=2021-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210318215127/https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php }}</ref> na mjumbe wa [[Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar]]. Alifariki mnamo tarehe 07 Septemba 2026. Taarifa ya kifo chake ilitangazwa na Makamu wa Rais Mh. Deogratius Ndejembi.<ref>https://globalpublishers.co.tz/2026/09/07/breaking-mume-wa-rais-samia-hafidh-ameir-afariki-dunia-video/</ref> ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 7q88qyhfw7o67zk3snliaqljn39kqxi 1594901 1594900 2026-09-07T09:11:58Z Czeus25 Masele 28489 1594901 wikitext text/x-wiki {{Mtu |rangi = |jina = Hafidh Ameir |picha = |maelezo_ya_picha = |jina la kuzaliwa = Hafidh Ameir |alizaliwa = |alikufa = |nchi = Tanzania |kazi yake = |ndoa = 1978 |wazazi = |watoto = |tovuti rasmi = }} '''Hafidh Ameir''' alikua [[mume]] wa [[rais]] wa [[sita]] wa [[Tanzania]] [[Mama]] [[Samia Suluhu Hassan]] akiwa na [[asili]] ya [[kisiwa|visiwani]] [[Zanzibar]]. Hafidh alikua [[mtaalamu]] mstaafu wa masuala ya [[kilimo]] <ref>https://www.voanews.com/africa/samia-hassan-poised-become-tanzanias-first-woman-president</ref> na walifunga [[ndoa]] na Mama Samia [[mwaka]] [[1978]] <ref>https://kiswahili.tuko.co.ke/406475-picha-za-kupendeza-za-mume-wa-rais-wa-tanzania-samia-suluhu-hassan-hafidh-ameir.html</ref> na walijaaliwa kupata [[watoto]] wanne <ref>https://www.bbc.com/swahili/habari-56374036</ref>; mmojawao, [[Wanu Hafidh Ameir]], ni [[mwanasiasa]] kama [[mama]] yake <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archive-date=2021-10-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211021072121/https://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |url-status=dead }}</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archivedate=2021-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210318215127/https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php }}</ref> na mjumbe wa [[Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar]]. Alifariki mnamo tarehe 07 Septemba 2026. Taarifa ya kifo chake ilitangazwa na Makamu wa Rais Mh. Deogratius Ndejembi.<ref>https://globalpublishers.co.tz/2026/09/07/breaking-mume-wa-rais-samia-hafidh-ameir-afariki-dunia-video/</ref> ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] b3xm1iuyf0pzaawysle4srw0yd982ia 1594906 1594901 2026-09-07T09:30:27Z Czeus25 Masele 28489 1594906 wikitext text/x-wiki {{Mtu |rangi = |jina = Hafidh Ameir |picha = |maelezo_ya_picha = |jina la kuzaliwa = Hafidh Ameir |alizaliwa = |alikufa = |nchi = Tanzania |kazi yake = |ndoa = 1978 |wazazi = |watoto = |tovuti rasmi = }} {{Mtu Mashuhuri |jina = Hafidh Ameir |picha = |caption = |tarehe_ya_kuzaliwa = {{Umri na tarehe ya kuzaliwa|1950|07|01|df=yes}} |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufa = <!-- {{Death date and age|2026|09|07|YYYY|MM|DD}} --> |mahala_alipofia = Hospitali ya Mzena, Zanzibar |majina_mengine = |anajulikana_kwa_ajili_ya = Mume wa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan |kazi_yake = |utaifa = Mtanzania }} '''Hafidh Ameir''' alikua [[mume]] wa [[rais]] wa [[sita]] wa [[Tanzania]] [[Mama]] [[Samia Suluhu Hassan]] akiwa na [[asili]] ya [[kisiwa|visiwani]] [[Zanzibar]]. Hafidh alikua [[mtaalamu]] mstaafu wa masuala ya [[kilimo]] <ref>https://www.voanews.com/africa/samia-hassan-poised-become-tanzanias-first-woman-president</ref> na walifunga [[ndoa]] na Mama Samia [[mwaka]] [[1978]] <ref>https://kiswahili.tuko.co.ke/406475-picha-za-kupendeza-za-mume-wa-rais-wa-tanzania-samia-suluhu-hassan-hafidh-ameir.html</ref> na walijaaliwa kupata [[watoto]] wanne <ref>https://www.bbc.com/swahili/habari-56374036</ref>; mmojawao, [[Wanu Hafidh Ameir]], ni [[mwanasiasa]] kama [[mama]] yake <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archive-date=2021-10-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211021072121/https://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |url-status=dead }}</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archivedate=2021-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210318215127/https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php }}</ref> na mjumbe wa [[Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar]]. Alifariki mnamo tarehe 07 Septemba 2026. Taarifa ya kifo chake ilitangazwa na Makamu wa Rais Mh. Deogratius Ndejembi.<ref>https://globalpublishers.co.tz/2026/09/07/breaking-mume-wa-rais-samia-hafidh-ameir-afariki-dunia-video/</ref> ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] bjxb24xlx66qh5y8q5izh1vrm455hew 1594907 1594906 2026-09-07T09:30:51Z Czeus25 Masele 28489 1594907 wikitext text/x-wiki {{Mtu Mashuhuri |jina = Hafidh Ameir |picha = |caption = |tarehe_ya_kuzaliwa = {{Umri na tarehe ya kuzaliwa|1950|07|01|df=yes}} |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufa = <!-- {{Death date and age|2026|09|07|YYYY|MM|DD}} --> |mahala_alipofia = Hospitali ya Mzena, Zanzibar |majina_mengine = |anajulikana_kwa_ajili_ya = Mume wa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan |kazi_yake = |utaifa = Mtanzania }} '''Hafidh Ameir''' alikua [[mume]] wa [[rais]] wa [[sita]] wa [[Tanzania]] [[Mama]] [[Samia Suluhu Hassan]] akiwa na [[asili]] ya [[kisiwa|visiwani]] [[Zanzibar]]. Hafidh alikua [[mtaalamu]] mstaafu wa masuala ya [[kilimo]] <ref>https://www.voanews.com/africa/samia-hassan-poised-become-tanzanias-first-woman-president</ref> na walifunga [[ndoa]] na Mama Samia [[mwaka]] [[1978]] <ref>https://kiswahili.tuko.co.ke/406475-picha-za-kupendeza-za-mume-wa-rais-wa-tanzania-samia-suluhu-hassan-hafidh-ameir.html</ref> na walijaaliwa kupata [[watoto]] wanne <ref>https://www.bbc.com/swahili/habari-56374036</ref>; mmojawao, [[Wanu Hafidh Ameir]], ni [[mwanasiasa]] kama [[mama]] yake <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archive-date=2021-10-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211021072121/https://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/560 |url-status=dead }}</ref> <ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-03-26 |archivedate=2021-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210318215127/https://www.zanzibarassembly.go.tz/new-members-cv/hon.wanu-hafidh-ameir.php }}</ref> na mjumbe wa [[Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar]]. Alifariki mnamo tarehe 07 Septemba 2026. Taarifa ya kifo chake ilitangazwa na Makamu wa Rais Mh. Deogratius Ndejembi.<ref>https://globalpublishers.co.tz/2026/09/07/breaking-mume-wa-rais-samia-hafidh-ameir-afariki-dunia-video/</ref> ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] it98jufe07dmxa401zcbpxw42obup1h Gavino 0 136453 1594875 1591476 2026-09-07T06:35:20Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594875 wikitext text/x-wiki [[File:San_gavino,_int.,_bottega_romana,_san_gavino_a_cavallo,_XVII_sec.JPG|thumb|[[Sanamu]] yake.]] [[File:Altare San Simplicio.jpg|thumb|[[Altare]] yenye [[masalia]] yake.]] [[File:Olbia - Basilica di San Simplicio (02).JPG|thumb|[[Basilika]]-[[kanisa kuu]] la [[Olbia]] lililojengwa kwa [[heshima]] yake.]] '''{{PAGENAME}}''' (alifariki Turris, leo [[Porto Torres]] katika [[kisiwa]] cha [[Sardinia]], [[Italia]], [[25 Oktoba]] [[303]] hivi) alikuwa [[askari]] wa [[Dola la Roma]] ambaye aliongokea [[Ukristo]] akauawa kwa hiyo [[imani]] yake mpya wakati wa [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Dioklesyano]]<ref>[https://books.google.com/books?id=vZpIAQAAMAAJ&dq=St+Gavinus&pg=PA390 ''Italy: Handbook for Travellers'', Vol. 3, K. Baedeker, 1900, p. 390]</ref> <ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/55250</ref> inasemekana pamoja na [[padri]] [[Proto wa Turris|Proto]] na [[shemasi]] [[Januari wa Turris|Januari]]<ref>{{Cite web |url=https://www.greatsardinia.com/en/places-to-visit/churches/basilica-of-st-gavinus/ |title="Basilica of St. Gavinus", Great Sardinia |accessdate=2026-08-25 |archive-date=2026-08-25 |archive-url=https://web.archive.org/web/20260825180826/https://www.greatsardinia.com/en/places-to-visit/churches/basilica-of-st-gavinus/ |url-status=dead }}</ref>. Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[30 Mei]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia== * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * [http://www.ilportalesardo.it/monumenti/ssportotorres.htm Basilica di San Gavino a Porto Torres] {{it}} * [https://web.archive.org/web/20070421190703/http://www.international.rai.it/cristianita/santi/gavino/gavino.shtml Recent research on Saint Gavinus] {{it}} * [http://www.sangavinomonreale.net/2009/02/27/la-chiesa-di-san-gavino-martire/ Church of San Gavino Martire in San Gavino Monreale] {{it}} ==Viungo vya nje== *[http://saints.sqpn.com/saint-gavino-of-sardinia/ Saints.SQPN] *[http://www.santiebeati.it/dettaglio/55250 Santiebeati] {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Waliozaliwa karne ya 3]] [[Jamii:Waliofariki 303]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Italia]] 7isivgbbai5hi6p1vqa20w3fthyyzsr Boris Kodjoe 0 143198 1594820 1470572 2026-09-06T20:30:37Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594820 wikitext text/x-wiki '''Boris Frederic Cecil Tay-Natey Ofuatey-Kodjoe'''<ref name="ref1">{{Cite news|last=Williams|first=Kam|title=Boris Kodjoe: The All about Us Interview with Kam Williams|publisher=aalbc.com|year=2009|url=http://aalbc.com/reviews/boris_kodjoe.htm|access-date=2010-09-24}}</ref> (/ˈkoʊdʒuː/; amezaliwa [[Machi 8]], [[1973]]) ni [[muigizaji]] wa [[Ujerumani]] na [[mwanamitindo]] wa zamani, anayeishi [[Marekani]]. Jukumu lake la mafanikio lilikuwa kama wakala wa [[michezo]] Damon Carter kwenye mfululizo wa tamthilia ya Showtime Soul Food ([[2000]]-[[2004]]). Jukumu lake lingine maarufu la [[televisheni]] ni pamoja na Dkt. Will Campbell kwenye Code Black ya CBS, Phil Miller kwenye The Last Man on Earth, Robert Sullivan kwenye Station 19, na toleo la kubuniwa la yeye mwenyewe kwenye Real Husbands of Hollywood.<ref>Buckley, Michael. [https://archive.today/20130131183845/http://www.playbill.com/features/article/117399-STAGE_TO_SCREENS_Chats_With_Whitford_Hurt_Howard_and_Kodjoe/pg2 "Stage to Screens: Chats With Whitford, Hurt, Howard, and Kodjoe"], ''Playbill'', 5 May 2008.</ref><ref name="ref2">{{cite web|title=Boris Kodjoe - Biography|url=https://www.imdb.com/name/nm0462673/bio?ref_=nm_ov_bio_sm|website=IMDb|access-date=28 September 2022}}</ref> Kodjoe pia ameonekana katika [[filamu]] kama vile Love & Basketball (2000), Brown Sugar ([[2002]]), Surrogates ([[2009]]), Resident Evil: Afterlife ([[2010]]) na filamu inayofuata ya Resident Evil: Retribution ([[2012]]), na filamu ya [[katuni]] ya Ferdinand ([[2017]]). Pia ni mteule mara mbili wa [[Tuzo]] ya Picha ya [[NAACP Image Awards|NAACP]], Muigizaji Bora wa Kusaidia katika Mfululizo wa [[Tamthilia]] kwa Soul Food na Muigizaji Bora wa Kusaidia katika Mfululizo wa [[Vichekesho]] kwa Wanaume Halisi wa [[Hollywood]].<ref>[https://web.archive.org/web/20120915053237/http://www.superiorpics.com/boris_kodjoe/ Boris Kodjoe] at superiorpics.com</ref><ref>[http://mrbrownmovies.com/gospel/boris.html The Gospel: Boris Kodjoe<!-- Bot generated title -->] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20120222232905/http://mrbrownmovies.com/gospel/boris.html|date=February 22, 2012}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1973|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Ujerumani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1973]] liz5nzsn07nvoowb53qnl7jewusi0ee Emma Miloyo 0 147649 1594855 1489926 2026-09-07T03:52:22Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 2 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594855 wikitext text/x-wiki '''Emma Miloyo''' (alizaliwa [[Kenya]], [[Nairobi]], [[1981]]) ni mbunifu kutoka nchini Kenya, ambaye aliripotiwa kuwa [[rais]] wa kwanza [[mwanamke]] wa Chama cha [[Usanifu majengo|Usanifu]] wa Majengo cha Kenya mwaka wa [[2017]].<ref name="1R">{{cite web |date=15 September 2017 |url=https://www.buyrentkenya.com/news/emma-miloyo-kenyas-first-female-architect/ |title=Meet Emma Miloyo: Kenya’s First Female Architect |publisher=BuyRentKenya.com |access-date=16 February 2017 |author=BuyRentKenya |place=Nairobi }}{{Dead link|date=September 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Anahudumu kama Rais wa kwanza mwanamke wa Muungano wa Usanifu wa Kenya tangu 2017. Mnamo [[Oktoba]] [[2016]], Archinect.com ilimworodhesha miongoni mwa Wasanifu watano Wanaochipuka wa Kike wa [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]], katika eneo la [[Nchi za Maziwa Makuu]] ya [[Afrika]].<ref>https://ke.linkedin.com/in/emma-miloyo-52315b4</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Emma Miloyo alizaliwa na kukulia [[Nairobi]]. Alisomea Shule ya Msingi ya Loreto Msongari, kabla ya kuhamia Shule ya Upili ya Kenya. <ref name="4R">{{cite web |url=https://www.buyrentkenya.com/news/emma-miloyo-kenyas-first-female-architect/ |title=Meet Emma Miloyo: Kenya’s First Female Architect |access-date=6 October 2018 |date=15 September 2017 |publisher=Buyrentkenya.com |location=Nairobi |author=Buy Rent Kenya }}{{Dead link|date=September 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alisomea usanifu katika [[Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta]], na kuhitimu [[Shahada ya Awali|Shahada]] ya [[Usanifu majengo|Usanifu]] mnamo [[2006]].<ref name="5R">{{cite web| url=https://www.linkedin.com/in/emma-miloyo-52315b4/ |title=Emma Miloyo: President at The Architectural Association of Kenya | access-date=6 October 2018 |date=6 October 2018 | publisher=[[Linkedin.com]] |first=Emma | last=Miloyo}}</ref> akiwa mwanamke wa kwanza kuhitimu kutoka chuo hicho na kupata shahada ya kwanza ya heshima ya usanifu. ==Kazi== Kufikia [[Oktoba]] [[2018]], alikuwa mshirika katika kampuni ya usanifu, Design Source, ambayo aliianzisha mnamo [[Januari]] [[2007]], nje ya chuo kikuu. Kampuni hii ina ofisi Nairobi na [[Mombasa]].Alikuwa mwanachama mwanzilishi wa bodi ya Konza Technology City Board. Mnamo [[Juni]] 2015, alichaguliwa kama Makamu wa Rais wa Muungano wa Usanifu wa Kenya, akihudumu katika wadhifa huo hadi Februari 2017.Alikua rais wa kwanza mwanamke wa Muungano wa Usanifu wa Kenya mnamo Machi 2017. Emma ana nia ya kuhamasisha wanawake wachanga kuona usanifu kama chaguo bora la kazi. Ili kusaidia vijana, anajitolea wakati wake kusaidia wasichana walio katika umaskini kuhudhuria shule kupitia Mfuko wa Udhamini wa Elimu wa Zamani wa Bomarian na ni Mwanachama [[mwanzilishi]] wa Bodi ya WIRE (Wanawake katika Majengo).<ref name="7R">{{cite web|url=https://www.nation.co.ke/lifestyle/mynetwork/PERSONALITY-OF-THE-WEEK--Emma-Miloyo/3141096-4004054-y34br7z/index.html | title=Mentorship will take you places... |access-date=6 October 2018 |date=7 July 2017 |newspaper=[[Daily Nation]] |first=James | last=Kahongeh |location=Nairobi}}</ref> ==Maisha binafsi== Emma Miloyo ameolewa na Chris Naicca, mbunifu mwenzake na mwanafunzi mwenzake katika chuo kikuu. Kwa pamoja, wamezaa watoto watatu. Miloyo na Naicca ni washirika wa Design Source Limited, kampuni ya usanifu waliyoianzisha mwaka wa 2007.<ref name="8R">{{cite web |access-date=6 October 2018 |url=https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf |title=Top 40 Under 40 Women In Kenya 2018 |date=September 2018 |newspaper=[[Business Daily Africa]] |author=Business Daily Staff |location=Nairobi |accessdate=2022-03-19 |archivedate=2018-09-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180929080021/https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf }}</ref> Miloyo and Naicca are partners in Design Source Limited, the architectural firm they co-founded in 2007.<ref name="9R">{{cite web|title=Emma Miloyo: Part 28 of a month-long celebration of Women’s History Month |access-date=6 October 2018 |date=28 March 2017 |publisher=Matters of Taste| url=https://mattersoftaste.wordpress.com/2017/03/28/emma-miloyo/ |author=JAA}}</ref> ==Utambuzi== Business Daily Africa ilimworodhesha kama, mmoja wa [[Wanawake]] 40 bora wa Kenya chini ya 40 katika Business Daily Africa mwaka wa 2011 na 2018. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1981]] [[Jamii:Watu kutoka Nairobi]] [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]] == Viungo vya Nje == * [https://www.youtube.com/watch?v=FG1JIf6Im_E Women and Power: Emma Miloyo] NTV Kenya (video) May 9, 2015 8qcweoji6pzni7pu96vjln35zxtxdrt Majadiliano ya mtumiaji:Renamed user bf51cecb411614d4bc5c3703cf6fdfc9 3 178417 1594893 1319431 2026-09-07T08:05:55Z Cabayi 35259 Cabayi moved page [[Majadiliano ya mtumiaji:Kingllama100]] to [[Majadiliano ya mtumiaji:Renamed user bf51cecb411614d4bc5c3703cf6fdfc9]] without leaving a redirect: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/Kingllama100|Kingllama100]]" to "[[Special:CentralAuth/Renamed user bf51cecb411614d4bc5c3703cf6fdfc9|Renamed user bf51cecb411614d4bc5c3703cf6fdfc9]]" 1319431 wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Abubakari Sixberth|Abubakari Sixberth]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Abubakari Sixberth|majadiliano]])''' 21:31, 31 Januari 2024 (UTC) lly5769e4ae73ug01jx5xkwqv39rl5o Bolaji Agbede 0 181391 1594816 1483779 2026-09-06T20:23:07Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594816 wikitext text/x-wiki '''Bolaji Olaitan Agbede''' ni mfanyakazi wa [[benki]] kutoka nchini [[Nigeria]] na [[mkurugenzi]] mtendaji wa muda na mkurugenzi mtendaji wa kikundi wa ''Access Holdings'' tangu [[Februari 12]], 2024, baada ya [[kifo]] cha Herbert Wigwe.<ref>{{Rejea tovuti| title = Access Holdings names Bolaji Agbede as acting CEO|url=https://businessday.ng/news/article/access-holdings-names-bolaji-agbede-as-acting-ceo/|work=Businessday NG| date = 2024-02-13|accessdate=2024-05-03|language=en-US|author=BusinessDay}}</ref><ref>{{Rejea tovuti| title = Nigeria's Access Bank appoints Bolaji Agbede after death of CEO|url=https://www.africanews.com/2024/02/13/nigerias-access-bank-appoints-bolaji-agbede-after-death-of-ceo/|work=Africanews| date = 2024-02-13CET12:21:01+01:00|accessdate=2024-05-03|language=en|author=AfricaNews}}</ref> Kabla ya uteuzi wake, alikuwa mkurugenzi mtendaji mwandamizi wa kampuni hiyo aliye na jukumu la Msaada wa Biashara.<ref>https://leadership.ng/10-things-to-know-about-ms-bolaji-agbede-herbert-wigwes-successor-at-access-holdings/</ref> == Elimu yake == Alipata shahada ya kwanza ya sayansi katika hisabati na takwimu mwaka 1990 kutoka Chuo Kikuu cha Lagos na MBA kutoka Chuo Kikuu cha Cranfield mwaka 2002.<ref>{{Rejea tovuti| title = Bolaji Agbede: Things to know about Wigwe's successor|url=https://punchng.com/bolaji-agbede-things-to-know-about-wigwes-successor/|work=Punch Newspapers| date = 2024-02-13|accessdate=2024-05-03|language=en-US|author=Adetutu Sobowale}}</ref> Ni mwanachama wa heshima wa Taasisi ya Uongozi iliyochukuliwa nchini Uingereza na Taasisi ya Uongozi wa Watu iliyochukuliwa nchini Nigeria.<ref>{{Rejea tovuti|title=7 things to know about Bolaji Agbede appointed to succeed Herbert Wigwe|url=https://www.pulse.ng/business/domestic/7-things-to-know-about-bolaji-agbede-appointed-to-succeed-herbert-wigwe/s4hdkk0|work=Pulse Nigeria|date=2024-02-13|accessdate=2024-05-03|language=en|author=Bayo Wahab|archive-date=2024-04-21|archive-url=https://web.archive.org/web/20240421092043/https://www.pulse.ng/business/domestic/7-things-to-know-about-bolaji-agbede-appointed-to-succeed-herbert-wigwe/s4hdkk0|url-status=dead}}</ref> == Kazi == Agbede alianza kazi yake ya kitaaluma na Benki ya Guaranty Trust mwaka 1992 na alipanda cheo hadi kufikia nafasi ya Meneja mwaka 2001. Alijiunga na Access Bank Plc mwaka 2003 kama Msaidizi Meneja Mkuu na akawa Mkurugenzi Mtendaji wa Kikundi wa Rasilimali Watu kati ya mwaka 2010 na 2022. Mwaka 2022,<ref>https://businessday.ng/news/article/bolaji-agbede-here-are-7-facts-about-the-woman-who-will-lead-access-bank/</ref> aliteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji mwanzilishi wa kampuni, Msaada<ref>{{Rejea tovuti| title = Meet Bolaji Agbede, the New Acting GCEO of Access Holdings • Okay.ng|url=https://www.okay.ng/meet-bolaji-agbede-the-new-acting-ceo-of-access-holdings/|work=Okay.ng| date = 2024-02-13|accessdate=2024-05-03|language=en-US|author=Okay.ng}}</ref> wa Biashara na mnamo Februari 2024, aliteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji wa kikundi kwa muda.<ref>{{Rejea tovuti| title = Nigeria's Access Bank appoints Bolaji Agbede after death of CEO|url=https://www.africanews.com/2024/02/13/nigerias-access-bank-appoints-bolaji-agbede-after-death-of-ceo/|work=Africanews| date = 2024-02-13CET12:21:01+01:00|accessdate=2024-05-03|language=en|author=AfricaNews}}</ref> == Marejeo == {{Reflist|30em}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Kiafrika kwenye Wikipedia]] [[Jamii:Watu walio hai]] bctek9mwikzaiaw5eb0nh27sbl4d94f Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya 3 184301 1594817 1594552 2026-09-06T20:23:29Z Don Malya 61486 /* Jamii */ Jibu 1594817 wikitext text/x-wiki {{Karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:46, 14 Julai 2024 (UTC) == Pitia Marekebisho == Ndugu, hongera kwa juhudi zako, ila naomba upitie makala zako jinsi zilivyorekebishwa ili usirudie makosa yaleyale. Hasa usiache makala bila vyanzo, walau kimoja! Amani kwako '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 12:10, 10 Aprili 2026 (UTC) :Mojawapo ni kuweka katika Wikipedia ya Kiswahili marejeo kwenda Wikipedia ya Kiingereza. Hii haikubaliki. Badala yake weka marejeo asili yaliyotumika katika toleo la Kiingereza. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:07, 27 Aprili 2026 (UTC) ::Kwa kuwa husikii, nimekusimamisha kwa siku 1 upate nafasi ya kupitia marekebisho tuliyofanyia makala zako za harakaharaka. Hivyo utajifunza kutunga kurasa za maana. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:28, 27 Aprili 2026 (UTC) :::Ndugu, lebo ya mbegu iwekwe baada ya ile ya reflist. Naomba urekebishe makala zako. Asante! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:45, 12 Mei 2026 (UTC) ::::Pia, marejesho kutoka Wikipedia nyingine hayatakiwi kamwe! Tazama makala yako ya mwisho. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:55, 12 Mei 2026 (UTC) ::::sawa nafanyia kazi asanteh. '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 16:22, 12 Mei 2026 (UTC) :::::Ndugu Naona unasahau kuweka jamii za muhimu kwenye makala zako mfano makala ya [[Lucia Basson]] ulipaswa kuweka jamii kama '''Jamii:Wanasiasa wa Namibia''', lakini maka zote auweki, zingatia jamii. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 03:42, 21 Mei 2026 (UTC) ::::::asante, nafanyia marekebisho makala nilizosahau kuweka jamii kuu '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 04:08, 21 Mei 2026 (UTC) == Mradi wa Nchi == Kumekuwa na migogoro mingi kuhusu majina ya makala za nchi katika Wikipedia, lakini bado hakujawahi kuwa na mjadala wa kina wa kutatua suala hilo. Kuna mradi wa [[Wikipedia:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]] chini ya [[WP:Mradi wa Nchi]] unaolenga kushughulikia tatizo hili, lakini kufanikisha hilo kunahitaji uhamasishaji na ushiriki mkubwa zaidi wa jamii. Hivyo basi, nawaomba mshiriki katika kusaidia kutatua migogoro hii ya majina; iwe unaunga mkono au unapinga pendekezo lolote, tafadhali toa maoni na mawazo yako. Baadhi ya mapendekezo yanayoweza kuhitaji mjadala mdogo kabla ya kuidhinishwa ni pamoja na [[WP:Mradi wa Nchi/Guinea]] na [[WP:Mradi wa Nchi/Guinea Bisau]], na unaweza kuanza kushiriki huko. Ikiwa una maoni au mapendekezo mengine yoyote, tafadhali nijulishe. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 06:09, 15 Mei 2026 (UTC) :Kwa vyovyote, Kongo ni jina la hakika, isipokuwa la nchi mbili tofauti. Ukiandika makala kuhusu watu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, tafadhali usiandike tu Kongo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:17, 26 Mei 2026 (UTC) ::Asante kwa kunisikiliza, ila ingekuwa vizuri kama ungeweka katika mabano <nowiki>[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]</nowiki>, si Kongo tu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:13, 27 Mei 2026 (UTC) ==Mito== Ndugu, unapoongeza taarifa katika makala zilizopo, uwe makini zaidi usifute zile zilizopo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:46, 13 Juni 2026 (UTC) :asante kwa maelekezo, nafanyia kazi '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 14:53, 13 Juni 2026 (UTC) == Viungo vya ndani == Hujambo! Epuka kuanza makala bila viungo kwa kurasa nyingine (dead end pages). Ili kuongeza viungo, tumia [[ ]]. Hii husaidia kurahisisha usomaji na kufanya makala iwe rahisi kupatikana. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 05:48, 17 Juni 2026 (UTC) :Ulikuwa unafanya vizuri, lakini sasa unazidi kulipua ilimradi upate tuzo. Si ustaarabu. Uwe makini zaidi. Angalia nilivyosahihisha walau kidogo baadhi ya kurasa zako. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:13, 17 Juni 2026 (UTC) ::Nimefanya marekebisho makala zote nilizoandika kwa makosa, Asante. '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 16:41, 17 Juni 2026 (UTC) ==Kufuta maboresho yangu== Ndugu, leo umerejesha mara mbili maboresho yangu. Unajiamini mno! Huoni kwamba mtu aliyefariki mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 26 alizaliwa karne ya 20? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:00, 20 Julai 2026 (UTC) :Samahani sana, nilikuwa nafanya marekebisho nilipokosea, sijapitia mabadiliko ya hivi karibuni uliyoyafanya. '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 15:49, 20 Julai 2026 (UTC) ==Jamii== Ndugu, hongera kwa juhudi zako, ila naomba katika jamii uweke nchi ya wahusika. <nowiki>[[Jamii:Waamuzi]]</nowiki> ilianzishwa kwa Waamuzi wa [[Biblia ya Kiebrania]], si wa kriketi... Sio mbaya, wale wa Biblia nitawahamishia jamii mpya. Lakini ingefaa uandike nchi ya waamuzi hao, kwa mfano: <nowiki>[[Jamii:Waamuzi wa Sri Lanka]]</nowiki> au kuongeza <nowiki>[[Jamii:Wanamichezo wa Sri Lanka]]</nowiki>. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:27, 5 Septemba 2026 (UTC) :Asante. Nimekuelewa nalifanyia kazi '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 20:23, 6 Septemba 2026 (UTC) e540h4r0wfj7imoq665bjg0fnjkjt0c Bnxn 0 187403 1594815 1591644 2026-09-06T20:15:13Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594815 wikitext text/x-wiki '''Daniel Etiese Benson''' (anajulikana pia kama Bnxn na awali kama Buju; alizaliwa [[Lagos]], Nigeria, [[14 Mei]] [[1997]]) ni [[mwimbaji]] wa Afro-fusion, [[mtunzi]] wa nyimbo na [[mtayarishaji]] wa nyimbo kutoka [[Nigeria]].<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/burna-boy-joeboy-omah-lay-buju-tems-emerge-as-part-of-the-most-streamed-artists-in/1bsz3rk|title=Burna Boy, Joeboy, Omah Lay, Buju, Tems emerge as part of the most-streamed artists in the world on Audiomack|first=Motolani|last=Alake|date=26 Mei 2021|access-date=23 May 2021|website=Pulse Nigeria|archive-date=2021-05-26|archive-url=https://web.archive.org/web/20210526120931/https://www.pulse.ng/entertainment/music/burna-boy-joeboy-omah-lay-buju-tems-emerge-as-part-of-the-most-streamed-artists-in/1bsz3rk|url-status=dead}}</ref> == Maisha ya awali == Daniel Etiese Benson asili yake ni [[jimbo]] la [[Akwa Ibom (jimbo)|Akwa Ibom]], na alikulia Gbagada pamoja na [[familia]] yake kabla ya kuhamia [[Jimbo la Ogun]]. Benson alipata msukumo wa mapema katika muziki wa Afropop kupitia wasanii wa [[Nigeria]] kama [[2Baba]] alipokuwa mtoto, na amemtaja [[Burna Boy]] kama chanzo kikuu cha hamasa ya kuwa msanii wa muziki.<ref>{{Cite web |title=Mahojiano: BNXN |url=https://www.tirade.world/interview-benson-bnxn |access-date=2023-11-16 |website=TIRADE WORLD |language=en-US |archive-date=2023-11-16 |archive-url=https://web.archive.org/web/20231116225234/https://www.tirade.world/interview-benson-bnxn |url-status=dead }}</ref> == Kazi == Bnxn alitoa EP yake ya kwanza, Sorry I'm Late, tarehe [[27 Oktoba]] [[2021]] chini ya usimamizi wa T.Y.E/EMPIRE. EP hiyo iliwashirikisha wanamuziki wa Highlife wa Nigeria, The Cavemen, na watayarishaji kama Steph, Perlz, Denzl, Timi Jay, na Rexxie. Ilikamilishwa kwa mchanganyiko na mastering ya Vtek na Poppil.<ref>{{cite web | url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/stream-buju-sorry-im-late/lfs7pdx|title=Buju atangaza EP ya nyimbo 7, 'Sorry I'm Late'|first=Motolani|last=Alake| date=28 Oktoba 2021 |access-date=8 Novemba 2021|website=Pulse Nigeria}}</ref> Motolani Alake wa Pulse Nigeria aliielezea kama kazi inayojikita kwenye "[[kujiamini]], [[ushindi]], na faraja".<ref>{{cite web | url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/review-buju-sorry-im-late-ep/psmxdjb|title=Mapitio ya EP ''Sorry I'm Late'' ya Buju|first=Motolani|last=Alake|date=29 Oktoba 2021 |access-date=8 Novemba 2021|website=Pulse Nigeria}}</ref> Mnamo tarehe [[30 Novemba]] [[2021]], Buju alifanya onyesho lake la kwanza jijini [[London]], likiwa mwanzo wa ziara yake ya Sorry I'm Late.<ref>{{cite web | url=https://www.pulse.ng/entertainment/music/buju-thrills-fans-in-london-as-he-kick-starts-his-sorry-im-late-tour/ys6cjzq| title=BUJU awavutia mashabiki London akianza ziara yake|author=Pulse Mix| date=7 Desemba 2021 |access-date=23 Mei 2021|website=Pulse Nigeria}}</ref> Tarehe [[22 Desemba]] 2021, aliandaa tamasha lake la kwanza lililouzwa tiketi zote, ambalo pia lilikuwa tamasha lake la kwanza mjini [[Lagos]].<ref>{{cite web | url=https://www.newtelegraphng.com/buju-debut-concert-for-lagos/| title=Tamasha la kwanza la Buju Lagos |first=Mutiat|last=Lawore|date=13 Novemba 2021 |access-date=4 Machi 2022|website=[[The Sun (Nigeria)|The Sun]]}}</ref><ref>{{cite web | url=https://businessday.ng/arts-and-life/article/buju-debut-concert-sorry-im-late-to-hold-in-lagos/| title=Tamasha la kwanza la Buju Lagos |first=Ifeoma|last=Okeke|date=14 Novemba 2021 |access-date=23 Mei 2021|website=[[Business Day (Nigeria)|Business Day]]}}</ref> Tamasha hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Balmoral Convection, Lagos.<ref>{{cite web | url=https://www.vanguardngr.com/2021/12/buju-to-shut-down-balmoral-convection-centre-this-wednesday-dec-22-2021/| title=Buju kufunga Balmoral Convection Centre Jumatano hii Desemba|date=22 Desemba 2021 |access-date=23 Mei 2021|website=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> Mwaka [[2022]], Buju alibadilisha rasmi jina lake kuwa BNXN ili kuepuka kuchanganywa na [[Buju Banton]] na pia kuimarisha chapa yake binafsi.<ref>{{Cite web |last=Daily |first=Trust |date=2 Mei 2022 |title=Je, Umaarufu wa Buju Utadumu Baada ya Kubadilisha Jina Kuwa BNXN? |url=https://dailytrust.com/would-buju-tyres-fame-survive-the-change-of-his-name-to-bnxn |accessdate=2025-08-12 |archive-date=2025-04-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250405075102/https://dailytrust.com/would-buju-tyres-fame-survive-the-change-of-his-name-to-bnxn/ |url-status=dead }}</ref> Mwezi [[Machi]] 2022, alishirikiana na Pheelz katika wimbo wa Finesse,<ref>{{cite magazine |last1=Conteh |first1=Mankaprr |title=Pheelz na Bnxn waachia 'Finesse' inayovuma kimataifa |url=https://www.rollingstone.com/music/music-features/pheelz-finesse-song-review-1321754/ |magazine=Rolling Stone |date=18 Machi 2022 |access-date=7 Agosti 2022}}</ref> ulioshika nafasi ya 52 kwenye Chati Rasmi za [[Uingereza]].<ref>{{cite web |title=Pheelz & Buju - Historia ya Chati |url=https://www.officialcharts.com/artist/62117/pheelz-and-buju/ |website=Official Charts Company |access-date=7 Agosti 2022}}</ref> Mwezi Julai 2022, alishirikiana na Jae5 na rapa wa Uingereza Dave kwenye wimbo wa Propeller,<ref>{{cite web |last1=Keith |first1=James |title=JAE5 awaunganisha Dave na BNXN kwenye wimbo wa kiangazi ''Propeller'' |url=https://www.complex.com/music/jae5-dave-bnxn-propeller |website=Complex UK |date=29 Julai 2022 |access-date=8 Agosti 2022}}</ref> ambao uliingia kwenye [[chati]] za Uingereza katika nafasi ya 38.<ref>{{cite web |title=JAE5 ft Dave and Bnxn - Historia ya Chati |url=https://www.officialcharts.com/artist/63091/jae5-ft-dave-and-bnxn/ |website=Official Charts Company |access-date=8 Agosti 2022}}</ref> Tarehe [[24 Agosti]] 2022, Bnxn alitoa EP yake ''Bad Since '97'', iliyomshirikisha [[Wizkid]], [[Olamide]] na Wande Coal. Tarehe [[4 Septemba]] 2022, alishinda [[tuzo]] ya ''The Headies 2022'' katika kipengele cha Msanii Anayeinukia Zaidi (Next Rated) katika hafla iliyofanyika kwenye ''Cobb Energy Performing Arts Centre'', [[Atlanta, Georgia|Atlanta]], Georgia, [[Marekani]].<ref>{{cite web| url=https://dailytrust.com/headies-bnxn-bags-next-rated-award-gets-2022-bentley-full-list-of-winners| title=Headies: Bnxn Ashinda Tuzo ya Next Rated, Apata Bentley 2022| date=5 Septemba 2022| website=Daily Trust| access-date=5 Septemba 2022| archive-date=2024-07-24| archive-url=https://web.archive.org/web/20240724172705/https://dailytrust.com/headies-bnxn-bags-next-rated-award-gets-2022-bentley-full-list-of-winners/| url-status=dead}}</ref> Mnamo tarehe [[4 Oktoba]] [[2023]], Bnxn alitoa [[albamu]] yake ya kwanza, Sincerely, Benson, yenye nyimbo kumi na tano na ushirikiano na wasanii kama Headie One na [[Popcaan]].<ref>{{Cite web |title=BNXN Atoa Albamu Iliyosubiriwa kwa Hamasa 'Sincerely, Benson' - Okayplayer |url=https://www.okayafrica.com/bnxn-releases-sincerely-benson/ |access-date=2023-11-16 |website=www.okayafrica.com |language=en}}</ref> Mwaka [[2024]], Bnxn alishirikiana na msanii Ruger kutoa EP ya pamoja iliyoitwa RnB, ikiwa na nyimbo saba. Mradi huo uliwashangaza mashabiki kutokana na historia ya uhasama kati yao.<ref>{{Cite web |title='RnB' ya Ruger na BNXN yakomesha uhasama wao |url=https://www.pulse.ng/articles/entertainment/music/a-review-of-ruger-and-bnxns-joint-ep-rnb-2024072703095529396 |access-date=2024-12-27 |website=www.pulse.ng}}</ref> == Diskografia == === Albamu za studio === *Sincerely, Benson (2023) *Captain ([[2025]]) ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mwanamuziki-Afrika}} [[Jamii:Wanamuziki wa Nigeria]] [[jamii:waliozaliwa 1997]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:WikiMonthly Edit-a-thon Kilimanjaro]] db77rp1wa64rm8rejd4wpkkme1ec2qv Emi Koyama 0 205283 1594853 1511645 2026-09-07T03:43:34Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594853 wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} '''Emi Koyama''' (alizaliwa [[1975]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[Japani]]-[[Amerika]], msanii, na msomi wa kujitegemea. Kazi ya Koyama inajadili masuala ya ufeministi, haki za binadamu za jinsia tofauti, unyanyasaji wa majumbani, na kazi ya ngono miongoni mwa mengine mengi. Koyama anajulikana zaidi kwa insha yake ya 2000 ''"The Transfeminist Manifesto"'', ambayo imechapishwa tena katika anthologies nyingi na majarida kwa masomo ya watu waliobadili jinsia. Yeye ni mwanzilishi wa kikundi cha utetezi cha Intersex Initiative. == Uanaharakati == Mnamo [[2001]], Koyama alihudumu kama mwanafunzi anayesoma ndani na msaidizi wa programu kwa Jumuiya ya Intersex ya [[Amerika Kaskazini]], kabla ya kuondoka na kutafuta kikundi chake cha utetezi, ''Intersex Initiative Portland (ipdx)''.<ref>{{Rejea tovuti|title=Intersex Initiative: Portland State University Vanguard, 04/01/2003|url=http://www.intersexinitiative.org/media/stories/20030401-psuvanguard.html|access-date=2021-07-05|website=www.intersexinitiative.org}}</ref> Shirika huangazia madarasa, warsha, na wazungumzaji ili kujadili masuala ya kijamii, kitamaduni na matibabu yanayowakabili watu wa jinsia tofauti.<ref>{{Rejea tovuti|title=Intersex Initiative|url=http://www.intersexinitiative.org/index.html|access-date=2021-07-07|website=www.intersexinitiative.org}}</ref> Koyama na mwanaharakati mwenzi wa jinsia tofauti Betsy Driver pia walisaidia kupatikana Siku ya Uelewa wa watu wa jinsia tofauti mwaka [[2003]], kuadhimisha maandamano rasmi ya kwanza ya wanaharakati wa jinsia tofauti katika Amerika Kaskazini.<ref>{{Rejea tovuti|last=Austin|first=Tyler|date=2016-10-26|title=Today In Gay History: First Public Demonstration By Intersex People In North America|url=http://www.out.com/today-gay-history/2016/10/26/today-gay-history-first-public-demonstration-intersex-people-north-america|access-date=2021-07-07|website=Out Magazine|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Driver|first=Betsy|date=2015-10-20|title=The origins of Intersex Awareness Day - Intersex Day|url=http://intersexday.org/en/origin-intersex-awareness-day/|url-status=live|archive-url=https://web.archive.org/web/20151020004155/http://intersexday.org/en/origin-intersex-awareness-day/|archive-date=2015-10-20|access-date=2021-07-07}}</ref> Koyama ni mtetezi wa ufeministi wa wimbi la tatu na transfeminism, na chapisho lake la 2000 ''"The Transfeminist Manifesto"'' likiwa mojawapo ya matumizi ya awali ya istilahi hiyo. <ref>{{Rejea kitabu|last1=Stenberg|first1=Shari J.|url=http://dx.doi.org/10.2307/j.ctvwrm691|title=Persuasive Acts|last2=Hogg|first2=Charlotte|date=2020-03-03|publisher=University of Pittsburgh Press|doi=10.2307/j.ctvwrm691|isbn=978-0-8229-8751-2|s2cid=216278951}}</ref> Kama inavyofafanuliwa naye, uhamishaji ni "vuguvugu la na kwa wanawake waliovuka mipaka ambao huona ukombozi wao kuwa na uhusiano wa ndani na ukombozi wa wanawake wote na zaidi." <ref>{{Rejea kitabu|last=Koyama|first=Emi|title=Catching a Wave: Reclaiming Feminism for the 21st Century|publisher=Northwestern University Press|year=2003|editor-last=Dicker|editor-first=Rory|pages=244–259|chapter=The Transfeminist Manifesto|editor-last2=Piepmeier|editor-first2=Alison}}</ref> Pamoja na mwanachama mwenza wa Mradi wa Survivor Diana Courvant, Koyama alianzisha tovuti ya Transfeminism.org. Tovuti ambayo sasa haitumiki iliundwa awali ili kukuza Mradi wa Transfeminism Anthology, ambao ulilenga kuunda antholojia ya kwanza inayozingatia mitazamo ya jinsia tofauti na ya ufeministi; tovuti pia ilitumika kama nyenzo ya jumla inayozunguka mjadala wa uhamishaji wanawake katika taaluma na uanaharakati.<ref>{{Rejea tovuti|date=2000-08-16|title=Transfeminism.org|url=http://transfeminism.org|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20000816213525/http://www.transfeminism.org/|archive-date=2000-08-16|access-date=2021-07-05}}</ref> Koyama ni mtetezi wa kuharamisha kazi ya ngono, na kwa sasa ni mwanachama wa Muungano wa Haki na Usalama kwa Watu katika Biashara ya Ngono unaopatikana Seattle.<ref>{{Rejea tovuti|last=Cassell|first=Dessane Lopez|date=2019-11-26|title=In Portland, An Annual Exhibition by and for Sex Workers|url=http://hyperallergic.com/530354/in-portland-an-annual-exhibition-by-and-for-sex-workers/|access-date=2021-07-07|website=Hyperallergic|language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Coalition for Rights and Safety|url=http://rightsandsafety.org/|access-date=2021-07-07|website=Coalition for Rights and Safety|language=en-US}}</ref> Hapo awali Koyama pia alikuwa mjumbe wa bodi ya Mradi wa Survival, shirika ambalo sasa halikuwa na kazi linalohudumia waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia na unyanyasaji wa nyumbani.<ref>{{Rejea tovuti|date=2000-10-20|title=Survivor Project: Welcome!|url=http://www.survivorproject.org/|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20001020014107/http://www.survivorproject.org/|archive-date=2000-10-20|access-date=2021-07-05|website=Survivor Project}}</ref> Mwaka 2001, Koyama alisaidia kuunda Kikundi cha Maslahi cha Wimbi la Tatu la Wanawake katika Chama cha Kitaifa cha Mafunzo ya Wanawake (NWSA); <ref>{{Rejea tovuti|date=2021|title=Constituency Groups- National Women's Studies Association|url=https://www.nwsa.org/page/constituencygroups|website=National Women's Studies Association}}</ref> kikundi kililenga "kusogeza mbele mjadala kuhusu ufeministi wa wimbi la tatu kwa kuondoa mwelekeo kutoka kwa siasa za kizazi au kikundi cha utambulisho na kuingia kwenye mabadiliko ya kielimu na kiontolojia yaliyowezekana kupitia kupitisha lebo ya wimbi<ref>{{Rejea tovuti|last=Koyama|first=Emi|date=2001-06-22|title=Third Wave Feminism: Two Proposals for Consideration|url=http://eminism.org/interchange/2001/20010622-wmstl.html|access-date=2021-07-05|website=Eminism.org}}</ref>ya mara kwa mara." mshiriki na mzungumzaji katika mikutano ya NWSA, pia amekuwa akikosoa shirika. Mnamo mwaka [[2008]], alichapisha chapisho la blogu lililoitwa ''"This is Not a Tribute to Audre Lorde"'', akikosoa jinsi mkutano huo ulivyomtendea yeye na wanawake wengine wa rangi. <ref>{{Rejea tovuti|last=Koyama|first=Emi|date=2008-06-24|title=This Is Not a Tribute to Audre Lorde: Racist Feminism at NWSA 2008|url=http://eminism.org/readings/racistfeminism.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> Mwaka [[2013]], Koyama pia alizungumza dhidi ya mkutano wa Haki ya Kughushi, uliofadhiliwa na Shirika la Kitaifa la Wanaume dhidi ya Jinsia (NOMAS) na shirika la unyanyasaji wa nyumbani la Michigan HAVEN. Watangazaji wa kongamano walidaiwa kukataa kutiririsha moja kwa moja jopo lake kuhusu ufeministi wa makutano, na walitishia kulikatiza kabisa. <ref>{{Rejea tovuti|last=Mirk|first=Sarah|date=2013-08-19|title=Interview with Activist Emi Koyama on Silencing and Male Feminists|url=https://www.bitchmedia.org/post/interview-with-activist-emi-koyama-on-silencing-and-male-feminists|access-date=2021-07-05|website=Bitch Media|language=en|archive-date=2021-07-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20210707170841/https://www.bitchmedia.org/post/interview-with-activist-emi-koyama-on-silencing-and-male-feminists|url-status=dead}}</ref> Maandishi ya Koyama kuhusu biashara ya ngono pia yaliripotiwa kukosolewa na mwanzilishi mwenza wa NOMAS Robert Brannon; alielezea Brannon kama "kukiuka mipaka yake" wakati wa maingiliano ya baadaye katika mkutano huo. <ref>{{Rejea tovuti|last=Koyama|first=Emi|date=2013-08-14|title=Silencing and Intimidation of Women of Color at 'Men Against Sexism' Conference|url=http://www.shakesville.com/2013/08/silencing-and-intimidation-of-women-of.html|access-date=2021-07-05|website=Shakesville|archive-date=2021-07-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20210709182727/http://www.shakesville.com/2013/08/silencing-and-intimidation-of-women-of.html|url-status=dead}}</ref> Koyama, pamoja na watoa mada wengine wa kike katika mkutano huo, waliunda orodha ya madai kwa NOMAS wakitetea marekebisho ya sera za ndani za shirika ili kuzuia kunyamazishwa na kudhulumiwa kwa wanaharakati wa kike.<ref>{{Rejea tovuti|last=|first=|date=2013-08-14|title=List of Demands to NOMAS (National Organization for Men Against Sexism) from Women of #forgingjustice.|url=http://www.shakesville.com/2013/08/list-of-demands-to-nomas-national.html|access-date=2021-07-05|website=Shakesville|archive-date=2021-03-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20210309195602/http://www.shakesville.com/2013/08/list-of-demands-to-nomas-national.html|url-status=dead}}</ref> Tangu 2000, Koyama amezungumza dhidi ya sera maarufu ya "womyn-born woyn" katika Tamasha la Muziki la Michigan Womyn. Makala yake "Ufeministi wa Nani Hata hivyo? Ubaguzi wa Kikabila Usiotajwa wa Mjadala wa Kujumuisha Ujumuishaji" ulikosoa waandaaji wa tamasha hilo kwa sera ambayo "inaweka umuhimu, kutofautisha, na kutofautisha jinsia."<ref>{{Rejea kitabu|last=Koyama|first=Emi|title=Transgender Studies Reader|publisher=Routledge|year=2006|editor-last=Stryker|editor-first=Susan|chapter=Whose Feminism is it Anyway? The Unspoken Racism of the Trans Inclusion Debate|editor-last2=Whittle|editor-first2=Susan}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Williams|first=Cristan|date=2014-08-17|title=How TERF violence inspired Camp Trans|url=https://www.transadvocate.com/how-terf-violence-inspired-camp-trans_n_14413.htm|access-date=2021-07-07|website=TransAdvocate|language=en}}</ref> Koyama pia alishiriki katika 2002 katika jedwali la pande zote la tamasha lililochapishwa kwenye jarida la Bitchly, ambalo halijaangaziwa katika jarida la Bitchly. huru… lakini wamejaa ukabila ule ule wa zamani, utabaka, uwezo, na hata ubaguzi wa kijinsia wa ndani unaofanywa na wanawake dhidi ya wanawake wengine." <ref>{{Rejea tovuti|last=Koyama|first=Emi|date=2002-02-10|title=Michigan Debate in Bitch Magazine: Politics of Safety in Women-Only Spaces|url=http://eminism.org/readings/bitch-mwmf.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> Koyama badala yake alitetea sera yenye utata ya "wanawake pekee" ambayo haianzishi au kutekeleza ufafanuzi maalum wa wanawake.<ref>{{Rejea tovuti|last=Koyama|first=Emi|date=2001-10-24|title=Leave 'Women-Only' Rule Ambiguous|url=http://eminism.org/interchange/2001/20011024-butchdykeboy.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> Blogu ya Koyama Eminism inaangazia kumbukumbu ambayo inatoa muhtasari wa mjadala na kukusanya hati za kihistoria zinazohusiana na tamasha hilo. <ref>{{Rejea tovuti|title=eminism.org - Michigan/Trans Archive|url=http://eminism.org/michigan/index.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> == Maisha ya binafsi == Koyama anaishi [[Portland]], [[Oregon]] na mbwa wake wawili. <ref>{{cite web | url=https://www.wweek.com/news/2021/10/20/portland-polices-human-trafficking-arrests-arent-what-they-seem/ | title=Portland Police's "Human Trafficking" Arrests Aren't What They Seem | date=20 October 2021 }}</ref><ref>{{cite web | url=https://isna.org/about/koyama/ | title=Emi Koyama &#124; Intersex Society of North America | accessdate=2025-03-17 | archive-date=2024-03-22 | archive-url=https://web.archive.org/web/20240322144744/https://isna.org/about/koyama/ | url-status=dead }}</ref> Anaandika kuhusu masuala ya haki ya kijamii kwenye blogu yake, Eminism, na ana duka la mtandaoni ambapo huuza vitufe, sine, na mavazi yaliyoundwa na yeye na wanaharakati wengine. <ref>{{Rejea tovuti|title=Stuff by Emi & Co.|url=http://store.eminism.org/|access-date=2021-07-05|website=store.eminism.org}}</ref> Katika mahojiano ya mwaka wa [[2014]] na Source Weekly, Koyama anajieleza kama "kijana mtoro" na kujihusisha na biashara ya ngono akiwa mtu mzima.<ref>{{Rejea tovuti|last=Rook|first=Erin|date=2014-07-08|title=Activist Emi Koyama on Addressing the Roots of Youth Exploitation|url=https://www.bendsource.com/Bent/archives/2014/07/08/activist-emi-koyama-on-addressing-the-roots-of-youth-exploitation|access-date=2021-07-05|website=The Source Weekly - Bend|language=en}}</ref> Koyama anatumia viwakilishi vyake, lakini hajitambulishi na jinsia yoyote, akisema kwenye blogu yake kwamba "anafikiri kwamba kuwa na utambulisho—hasa utambulisho wa kijinsia—ni jambo la ajabu: jinsi anavyojiona hutegemea mahusiano ya kibinadamu na mwingiliano unaomzunguka, badala ya kuibuka kutokana na hali fulani ya ndani ya kujiona mwenyewe." <ref>{{Rejea tovuti|title=eminism.org - FAQ: Basic Information|url=http://eminism.org/faq/basic.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> Koyama ni lugha mbili, na huchapisha makala katika Kiingereza na Kijapani.<ref>{{Rejea tovuti|title=eminism.org - Publications|url=http://eminism.org/publication/index.html|access-date=2021-07-05|website=eminism.org}}</ref> == Marejeo == {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Feminism and Folklore 2025 in Tanzania]] [[Jamii:Wanaharakati wa Japani]] b6v58phwd25d42litj7it2vri4wpbia Alice Phoebe Lou 0 205528 1594784 1432154 2026-09-06T15:57:18Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594784 wikitext text/x-wiki '''Alice Phoebe Lou''' (alizaliwa [[19 Julai]] [[1993]] kwa jina Alice Matthew) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Afrika Kusini anayeishi Berlin, Ujerumani. Hadi sasa, ametoa albamu tano za studio kwa kujifadhili mwenyewe — ''Orbit'' ([[2016]]), ''Paper Castles'' (2019), ''Glow'' (2021), ''Child's Play'' ([[2021]]), na ''Shelter'' ([[2023]]) — pamoja na albamu mbili za muziki wa moja kwa moja, EP tatu na nyimbo mbalimbali.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://nbhap.com/blog/alice-phoebe-lou-fiery-heart-fiery-mind/| title = Alice Phoebe Lou unveils 'Fiery Heart, Fiery Mind' video| date = 17 Julai 2014|publisher=nbhap.com|accessdate=27 December 2017}}</ref><ref name="Documentjournal2019">{{Rejea tovuti| url = https://www.documentjournal.com/2019/08/who-is-alice-phoebe-lou-not-your-indie-dreamgirl/| title = Who is Alice Phoebe Lou? Not your indie dreamgirl| date = 7 Agosti 2019| publisher = documentjournal.com| accessdate = 17 August 2019| archive-date = 2019-08-17| archive-url = https://web.archive.org/web/20190817165737/https://www.documentjournal.com/2019/08/who-is-alice-phoebe-lou-not-your-indie-dreamgirl/| url-status = dead}}</ref> Tangu mwaka [[2019]], amekuwa pia akihusika katika mradi wake wa muziki wa pembeni uitwao ''Strongboi'', bendi ya watu wawili inayomshirikisha mpiga kinanda wake kutoka bendi yake. Alice alitumia utoto wake huko Kommetjie, kwenye pwani ya magharibi ya Rasi ya Cape, Afrika Kusini, na alisoma katika shule ya Waldorf. Wazazi wake ni watengenezaji wa filamu za makala. Alianza kujifunza kupiga piano na gitaa akiwa mtoto. Alipokuwa na umri wa miaka 14, alipenda sana muziki wa ''trance'' na alianza kupiga picha za matamasha, wakati mwingine akilipwa kwa kazi hiyo.<ref name="taz2015">{{Rejea habari|url=http://www.taz.de/!5008409/| title = Straßenmusikerin Alice Phoebe Lou - Freiheit, Wünsche, große Träume|newspaper=Die Tageszeitung: Taz | date = 12 Mei 2015|publisher=taz.de|accessdate=27 December 2017 |last1=Emminghaus |first1=Sarah }}</ref> Mnamo mwaka [[2010]], alitumia likizo yake ya kiangazi jijini Paris, mwanzoni akiishi na shangazi yake lakini baadaye akahamia kwa rafiki yake na kuanza kujipatia kipato kwa kucheza na moto (''fire-dancing''). Ana ndugu wawili wa kiume mapacha na alikua akisikiliza muziki wa Jimi Hendrix, Joni Mitchell, Leonard Cohen, The Velvet Underground, na Portishead. Kabla ya janga la [[COVID-19]], alikuwa akitumia miezi minne kila mwaka Afrika Kusini kutembelea familia na marafiki. Amekuwa akiishi Berlin, Ujerumani, tangu alipokuwa na umri wa miaka 19, na kwa sasa anaishi Neukölln. Baada ya kuhitimu shule ya sekondari nchini Afrika Kusini mwaka [[2012]], Alice alichukua mwaka wa mapumziko (''gap year'') na kuhamia Ulaya, akianza Amsterdam kabla ya kuhamia Berlin. Akiwa Berlin, alianza kuimba na kupiga gitaa baada ya kugundua kuwa ilikuwa kazi yenye kipato zaidi kuliko kucheza na moto (''fire-dancing'').<ref name="cafebabel2015">{{Rejea tovuti|url=http://www.cafebabel.co.uk/culture/article/alice-phoebe-lou-berlins-best-kept-secret.html| title = Alice Phoebe Lou: Berlin's best-kept secret| date = 11 Juni 2015|publisher=cafebabel.com|accessdate=20 December 2017|archive-date=2017-12-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20171224101424/http://www.cafebabel.co.uk/culture/article/alice-phoebe-lou-berlins-best-kept-secret.html|url-status=dead}}</ref><ref name="tagesspiegel_2016">{{Rejea tovuti|url=http://www.tagesspiegel.de/kultur/portraet-der-songwriterin-alice-phoebe-lou-freiheitsliebe-und-ein-dickes-fell/13588780.html/| title = Porträt der Songwriterin Alice Phoebe Lou Freiheitsliebe und ein dickes Fell| date = 13 Mei 2016|publisher=tagesspiegel.de|accessdate=20 December 2017}}</ref> Baada ya mwaka wake wa mapumziko, alifikiria kujiunga na chuo kikuu nchini Afrika Kusini, lakini hatimaye aliamua kununua kipaza sauti chenye betri na kurudi Berlin. Huko, alianza kutumbuiza kwenye vituo vya treni vya S-Bahn na U-Bahn pamoja na bustanini. Baada ya mwezi mmoja tu Berlin, alionekana kwenye kipindi cha televisheni.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://gaffa.se/nyhet/100368| title = Jag kunde förlorat rörligheten i mina fingrar| date = 15 Oktoba 2015|publisher=gaffa.se|accessdate=22 March 2019|archive-date=22 March 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190322143821/https://gaffa.se/nyhet/100368|url-status=dead}}</ref> Mnamo Aprili [[2014]], alijifadhili na kutoa EP yake ya kwanza, ''Momentum''. Wimbo wake ''Fiery Heart, Fiery Mind'' kutoka kwenye EP hiyo ulijumuishwa kwenye muziki wa filamu ''Ayanda'' iliyoonyeshwa mwaka [[2015]]. Pia alianza kutumbuiza katika kumbi mbalimbali.<ref>{{Rejea tovuti |author=Staff Reporter | date = 2015-04-07| title = Alice Phoebe Lou sees street music as a gift|url=https://mg.co.za/article/2015-04-07-alice-phoebe-lou-sees-street-music-as-a-gift/ |access-date=2024-07-12 |website=The Mail & Guardian |language=en-ZA}}</ref> Baada ya kutumbuiza kwenye TEDx huko Berlin tarehe 6 Septemba 2014, alianza kupokea ofa kutoka kwa lebo za muziki, lakini alitaka kubaki huru na kujitegemea. Mwezi Desemba 2014, alitoa albamu ya moja kwa moja (''Live at Grüner Salon'') ili kusaidia kugharamia kurekodi albamu yake ya kwanza ya studio. Mwaka [[2015]], alianza kufanya ziara za muziki na kwa mara ya kwanza alitumbuiza kwenye tamasha la SXSW nchini Marekani. Aliendelea kushiriki kwenye SXSW kila mwaka hadi [[2019]]. Pia alitumbuiza kwenye TEDGlobal London mwaka 2015 na alikuwa msanii wa ufunguzi kwa Rodriguez kwenye ziara yao ya Afrika Kusini mwaka 2016.<ref>{{Rejea tovuti |last=Interviews |first=Clash Magazine Music News, Reviews & |last2=ClashMusic | date = 2024-04-17| title = Moving Home: Alice Phoebe Lou Interviewed {{!}} Features |url=https://www.clashmusic.com/features/moving-home-alice-phoebe-lou-interviewed/ |access-date=2024-07-12 |website=Clash Magazine Music News, Reviews & Interviews |language=en-GB}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Pailler |first=Robin | date = 2021-03-19| title = In Conversation with Alice Phoebe Lou|url=https://wastedtalentmag.com/blog/2021/03/19/in-conversation-with-alice-phoebe-lou/ |access-date=2024-07-12 |website=Wasted Talent Magazine |language=en-US}}</ref> Mnamo Aprili 2016, Alice Phoebe Lou alitoa albamu yake ya kwanza, ''Orbit'', iliyotayarishwa na Matteo Pavesi na Jian Kellett-Liew. Aliteuliwa kama msanii bora wa kike kwenye [[Tuzo]] za Wakosoaji wa Muziki wa Ujerumani mwaka huo na alialikwa kwenye vipindi kadhaa vya televisheni vya Ujerumani kwa mahojiano na maonyesho ya moja kwa moja. Alifanya ziara za muziki Ulaya, Afrika Kusini na Marekani mwaka 2016, huku akicheza maonyesho matatu yaliyojaa watu kwenye ''Berlin Planetarium''. Licha ya mafanikio hayo, bado aliendelea kutumbuiza mitaani Berlin. Mnamo Desemba [[2017]], alitoa EP yake ya nyimbo tisa iitwayo ''Sola'' na kitabu kinachoitwa ''Songs, Poems and Memories''. Mwezi huo huo, ilitangazwa kuwa wimbo wake ''She'' kutoka kwenye filamu ''Bombshell: The Hedy Lamarr Story'' umeorodheshwa kwenye orodha fupi ya Tuzo za Academy (''Oscars'') katika kitengo cha Wimbo Bora wa Asili.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://mg.co.za/article/2015-04-07-alice-phoebe-lou-sees-street-music-as-a-gift| title = Alice Phoebe Lou sees street music as a gift| date = 7 Aprili 2015|publisher=Mail & Guardian|accessdate=27 December 2017}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.sat1.de/tv/fruehstuecksfernsehen/video/casting-alice-phoebe-lou-clip| title = Frühstücksfernsehen Casting: Alice Phoebe Lou| date = 21 Juni 2013|publisher=sat1.de|accessdate=3 January 2018}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.last.fm/event/3839296+%22Momentum%22-EP-Release| title = "Momentum"-EP-Release| date = 10 Aprili 2014|publisher=last.fm|accessdate=21 December 2017}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.tedxberlin.de/alice-phoebe-lou-performance| title = Performance - Alice Phoebe Lou - TEDxBerlin|publisher=tedxberlin.de|accessdate=21 December 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20171224101313/http://www.tedxberlin.de/alice-phoebe-lou-performance|archive-date=24 December 2017|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.channel24.co.za/Night/News/Alice-Phoebe-Lou-SAs-viral-star-thats-anything-but-a-sell-out-20141119| title = Alice Phoebe Lou: SA's viral star who's anything but a sell-out|publisher=channel24.co.za|accessdate=3 January 2018}}</ref> Wimbo huo ''She'' ulitolewa kama single mnamo [[2018]] na ulikuwa na video ya muziki iliyoongozwa na Natalia Bazina. Katika Tuzo za Berlin Music Video mwaka [[2018]], video ya ''She'' iliteuliwa katika kitengo cha Wimbo Bora. Wimbo huo pia ulitumiwa katika filamu ya Kijerumani ''Kokon'', iliyoonyeshwa tarehe 21 Februari [[2020]], hasa katika matukio mawili makubwa: wakati ''Nora'' na ''Romy'' walipokuwa juu ya paa wakisikiliza muziki, na mwishoni wakati ''Nora'' alipoona kuwa kiwavi wake amebadilika kuwa kipepeo.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.mahala.co.za/culture/bloodless-diff/| title = AYANDA - DIFF| date = 17 Julai 2015|publisher=mahala.co.za|accessdate=21 December 2017|archive-date=24 December 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20171224101328/http://www.mahala.co.za/culture/bloodless-diff/|url-status=dead}}</ref> Mwaka [[2018]], Alice Phoebe Lou alifanya ziara za muziki barani Ulaya, Marekani, Afrika Kusini, Japani na Kanada. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Feminism and Folklore 2025 in Tanzania]] 5kusjskd18cdsg0qwjdpmhg8v3d8osh Wikipedia:Mradi wa Nchi 4 208508 1594854 1594754 2026-09-07T03:46:49Z Gayle-Bot 78697 #2.0 CAQI Bot updated with page views column 1594854 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-09-07) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 64 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 71 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-09-07)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 409 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 484 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 3271 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 620 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1080 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.10 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 297 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 125 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 248 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 338 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 347 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 162 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 148 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 186 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 6.52 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 125 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 50 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 293 |- | [[Norwei]] | 5.77 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 221 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 148 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 232 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Cabo Verde]] | 4.89 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 195 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 115 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Kamerun]] | 4.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uturuki]] | 4.42 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 319 |- | [[Vatikani]] | 4.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 144 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 78 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 115 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 172 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Madagaska]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Vanuatu]] | 3.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Nepal]] | 3.64 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 664 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 50 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 100 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Komori]] | 3.21 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 58 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 18 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 48 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 25 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 13 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Nchi iliyoendelea]] | 2.27 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 10 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Romania]] | 2.25 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 22 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Jiko la ardhini]] | 1.80 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 5 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 3 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 9 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 26 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 4 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 10 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 174 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 35021 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 18976 || ↓ -7.6% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 201.3 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 109.1 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 3253 || ↑ +36.3% |- | 2 || [[Nepal]] || 652 || ↑ +1178.4% |- | 3 || [[Marekani]] || 621 || ↓ -23.3% |- | 4 || [[Kenya]] || 492 || ↓ -9.1% |- | 5 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 408 || ↓ -4.2% |- | 6 || [[Urusi]] || 351 || ↓ -28.5% |- | 7 || [[Burundi]] || 349 || ↓ -2.2% |- | 8 || [[Uturuki]] || 321 || ↑ +9.6% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 306 || ↓ -14.8% |- | 10 || [[Uingereza]] || 294 || ↓ -25.9% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 525 || 41.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 28.2% |- | 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 137 || 10.7% |- | 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 105 || 8.2% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9% |- | 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.8% |- | 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6% |- | 9 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.5% |- | 10 || [[User:Kisare|Kisare]] || 5 || 0.4% |- |} lopyrkwgstetji23dg6ubupc54dqvst 1594856 1594854 2026-09-07T04:01:55Z Gayle-Bot 78697 Sasisha Takwimu za mradi 1594856 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-09-07) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 64 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 71 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-09-07)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 409 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 484 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 3271 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 620 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1080 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.10 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 297 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 125 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 248 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 255 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 338 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 347 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 162 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 148 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 186 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 6.52 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 271 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 125 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 50 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 293 |- | [[Norwei]] | 5.77 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 221 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 148 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 232 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Cabo Verde]] | 4.89 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 202 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 195 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 115 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Kamerun]] | 4.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uturuki]] | 4.42 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 319 |- | [[Vatikani]] | 4.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 144 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 78 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 115 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 172 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 209 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Madagaska]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Vanuatu]] | 3.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Nepal]] | 3.64 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 664 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 50 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 100 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Komori]] | 3.21 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 58 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 18 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 48 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 25 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 87 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 39 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 32 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 13 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Nchi iliyoendelea]] | 2.27 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 10 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Romania]] | 2.25 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 161 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 22 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Jiko la ardhini]] | 1.80 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 5 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 3 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 9 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 26 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 20 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 23 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 4 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 10 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 19 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 174 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 35021 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 5450 || ↓ -9.2% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 201.3 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 31.3 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Nepal]] || 664 || ↑ +1228.0% |- | 2 || [[Kenya]] || 484 || ↓ -6.2% |- | 3 || [[Burundi]] || 347 || ↓ -2.8% |- | 4 || [[Uturuki]] || 319 || ↑ +8.1% |- | 5 || [[Afrika Kusini]] || 297 || ↓ -14.9% |- | 6 || [[Nigeria]] || 162 || ↓ -5.3% |- | 7 || [[Australia]] || 148 || ↓ -11.9% |- | 8 || [[Malawi]] || 130 || ↓ -9.1% |- | 9 || [[Hispania]] || 125 || ↓ -73.9% |- | 10 || [[Shelisheli]] || 115 || ↓ -5.0% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 525 || 41.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 361 || 28.2% |- | 3 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 137 || 10.7% |- | 4 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 105 || 8.2% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.9% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.9% |- | 7 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 10 || 0.8% |- | 8 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.6% |- | 9 || [[User:CSGinger14|CSGinger14]] || 6 || 0.5% |- | 10 || [[User:Kisare|Kisare]] || 5 || 0.4% |- |} 5lmswlxamh4k57efcljqc5r0vz26vyg Bernardine do Régo 0 220854 1594804 1482453 2026-09-06T19:38:23Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594804 wikitext text/x-wiki '''Bernardine do Rég'''o (alizaliwa [[20 Agosti]] [[1937]] - [[20 Desemba]] [[2024]] alikuwa [[mwanadiplomasia]] wa [[Benin]].<ref>{{cite web|url=https://diplomatie.gouv.bj/fr/news/331/en-memoire-feue-bernardine-rego-ministere-affaires-etrangeres-rend-hommage-pionniere-diplomatie-beninoise-lire-oraison-funebre-ministre-olushegun-adjadi-bakari|title=En mémoire de Feue Bernardine do REGO, Le Ministère des Affaires étrangères rend hommage à une pionnière de la diplomatie béninoise/|trans-title=In memory of the late Bernardine do REGO, the Ministry of Foreign Affairs pays tribute to a pioneer of Beninese diplomacy|publisher=diplomatie.gouv.bj|language=fr|access-date=2025-03-23|archive-date=2025-03-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20250322102738/https://diplomatie.gouv.bj/fr/news/331/en-memoire-feue-bernardine-rego-ministere-affaires-etrangeres-rend-hommage-pionniere-diplomatie-beninoise-lire-oraison-funebre-ministre-olushegun-adjadi-bakari|url-status=dead}}</ref> == Maisha == Bernardine do Régo alizaliwa tarehe 20 Agosti 1937 na alipata elimu yake Dakar na Paris. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Paris kati ya mwaka 1961–1963, na pia katika Institut des hautes études d’Outre-Mer (IHEOM) kuanzia 1962 hadi 1964. Mwaka 1964, aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Masuala ya Utawala na Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Dahomey. Mwaka 1970, aliteuliwa kuwa mshauri wa kiufundi katika Ofisi ya Rais. Baada ya mapinduzi ya Dahomey ya mwaka 1972, alihudumu kama mwanadiplomasia nchini Ufaransa na Marekani, na baadaye akawa balozi wa Dahomey nchini Nigeria. Alikuwa mwanamke wa kwanza kutoka Benin kushika nafasi ya mwanadiplomasia. Mwisho wa maisha yake, alistaafu mjini Cotonou.<ref name="HoungnikpoDecalo2013">{{cite book|title=Historical Dictionary of Benin|author1=Mathurin C. Houngnikpo|author2=Samuel Decalo|publisher=Rowman & Littlefield|year=2013|isbn=978-0-8108-7171-7|page=144|chapter=do Régo, Bernardine (1937–)|chapter-url=https://books.google.com/books?id=0yGPTsRubWEC&pg=PA144}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1937]] [[Jamii:Waliofariki 2024]] [[Jamii:Wanawake wa Benin]] 52hzvwfx0an5ajcfmai6bila0lvhhtl Felicia Adeyoyin 0 227768 1594863 1512229 2026-09-07T05:02:03Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594863 wikitext text/x-wiki '''Felicia Adebola Adeyoyin''' (6 Novemba 1938 – 1 Mei 2021) alikuwa profesa katika University of Lagos na pia alikuwa binti wa kifalme kutoka ukoo wa watawala wa Iji wa Saki, [[Oyo State]]. Alijulikana zaidi kama mwandishi wa [[Arise, O Compatriots#National Pledge|Kiapo cha Taifa cha Nigeria]].<ref>{{Rejea habari|date=2019-10-01|title=Nigeria @ 59: Interesting facts about Nigeria's National anthem, Pledge|url=https://thenationonlineng.net/nigeria-59-interesting-facts-about-nigerias-national-anthem-pledge/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2021-05-06|newspaper=[[The Nation (Nigeria)|The Nation]]|language=en-US}}</ref> == Maisha ya awali == Felicia Awujoola alizaliwa tarehe 6 Novemba 1938 katika [[Ogbomosho|Ogbomoso]], [[Oyo State]].<ref name=":0">{{Rejea kitabu|last=Lawoyin|first=Oyeronke Alake|url=https://books.google.com/books?id=xtNp2lUM8KUC&q=Felicia+Adeyoyin&pg=PA127|title=IDI-ABA|date=2007|publisher=Xulon Press|isbn=978-1-60477-072-8|language=en}}</ref><ref name=":1">{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=eq8ZAAAAYAAJ&q=felicia+adeyoyin|title=Who's who in Nigeria|date=1990|publisher=Newswatch|isbn=978-978-2704-12-2|language=en}}</ref> Alisoma katika Idi-Aba, shule ya Kikristo ya Kibaptisti, kuanzia mwaka 1953 na kuhitimu mwaka 1957 katika programu ya ualimu.<ref name=":0" /> Mwaka 1965 aliolewa na Solomon Adedeji Adeyoyin, ambaye pia alisoma katika shule dada ya Idi-Aba, Baptist Boys' High School.<ref name=":1" /><ref name=":0" /> == Elimu == Alipata shahada ya kwanza (BA) kwa heshima katika Jiografia kutoka Birkbeck, University of London mwaka 1968, na baadaye stashahada ya elimu (Diploma of Education) katika chuo hicho mwaka 1976,<ref>{{cite web |url=https://www.bbk.ac.uk/about-us/notable-birkbeckians |title=Notable Birkbeckians: Graduates In Academia |date=2021 |website=bbk.ac.uk |publisher=[[Birkbeck, University of London]] |access-date=2021-05-10}}</ref> akifuatiwa na shahada ya uzamili (MA) katika Somo la Jamii kutoka [[Columbia University]] mjini New York mwaka 1977. Hatimaye alipata shahada ya uzamivu (PhD) mwaka 1981 kutoka University of Lagos.<ref name="Gist">{{Rejea tovuti|date=2021-05-05|title=Author Of Nigeria's National Pledge, Felicia Adedoyin, Is Dead|url=https://niyitabiti.net/2021/05/author-of-nigerias-national-pledge-felicia-adedoyin-is-dead/|access-date=2021-05-06|website=Gistmaster|language=en-US|archive-date=2021-05-05|archive-url=https://web.archive.org/web/20210505201620/https://niyitabiti.net/2021/05/author-of-nigerias-national-pledge-felicia-adedoyin-is-dead/|url-status=dead}}</ref> == Kazi == Adeyoyin alikuwa Profesa wa Elimu katika University of Lagos na pia mshauri wa [[United Nations]].<ref name=":0" /> Mwaka 1976, aliandika kiapo kilichochapishwa katika toleo la tarehe 15 Julai la gazeti la ''[[Daily Times (Nigeria)|Daily Times]]'' kupitia makala yenye kichwa "Loyalty to the Nation, Pledge". Mkuu wa nchi wa wakati huo, [[Olusegun Obasanjo]], alikifanyia marekebisho kiapo hicho na kukitangaza rasmi kama Kiapo cha Taifa, akiamuru wanafunzi wa shule kukisoma wakati wa mikusanyiko ya asubuhi.<ref>{{Rejea habari|title=Author of Nigeria's National Pledge, Felicia Adebola Adedoyin, is Dead|url=https://www.nationalmirroronline.net/author-of-nigeria-s-national-pledge-felicia-adebola-adedoyin-is-dead-7319.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20210510184227/https://www.nationalmirroronline.net/author-of-nigeria-s-national-pledge-felicia-adebola-adedoyin-is-dead-7319.html|archive-date=May 10, 2021|access-date=2021-05-10|newspaper=[[National Mirror]]}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Joshua|first=Temi|date=2021-05-05|title=Author of Nigeria's National Pledge, Prof. Felicia Adedoyin, dies at 83|url=https://thedailypage.ng/author-of-nigerias-national-pledge-prof-felicia-adedoyin-dies-at-83/|access-date=2021-05-10|website=The Daily Page|language=en-US|archive-date=2021-05-11|archive-url=https://web.archive.org/web/20210511090111/https://thedailypage.ng/author-of-nigerias-national-pledge-prof-felicia-adedoyin-dies-at-83/|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web |last1=Mbamalu |first1=Socrates |title=Prof. Felicia Adeyoyin, Author of Nigeria's National Pledge, Dies at 83 |url=https://fij.ng/article/prof-felicia-adeyoyin-author-of-nigerias-national-pledge-dies-at-83/ |publisher=Foundation For Investigative Journalism |date=3 May 2021}}</ref> Aidha, Adeyoyin alikuwa shemasi wa Yaba Baptist Church huko aba, Lagosi.<ref name=":0" /> == Kifo == Adeyoyin alifariki tarehe 1 Mei 2021 baada ya kuugua kwa muda mfupi.<ref>{{Rejea habari |last=Akinselure |first=Wale |date=2021-05-09 |url=https://tribuneonlineng.com/saki-indigenes-ask-fg-oyo-govt-to-immortalise-late-national-pledge-composer/ |title=Saki Indigenes Ask FG, Oyo Govt To Immortalise Late National Pledge Composer |newspaper=[[Nigerian Tribune]]}}</ref> == Tuzo == Mwaka 2005, Adeyoyin alitunukiwa tuzo ya kitaifa ya Officer of the Order of the Niger (OON).<ref name="Gist"/> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1938|2021}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] scvd80j85cemfqdu151idqxmt59rgg7 Antonio Olmo 0 234279 1594788 1541446 2026-09-06T17:28:05Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594788 wikitext text/x-wiki '''Antonio Olmo Ramírez''' (alizaliwa [[18 Januari]], [[1954]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[beki]] na baadaye pia akawa [[kocha]]. ==Kazi ya klabu== Olmo alizaliwa mjini [[Sabadell]], katika [[mkoa]] wa [[Barcelona]], [[Catalonia]]. Alipata kipindi kifupi cha mkopo akiwa na wachezaji wasio wa kulipwa CF Calella, lakini alitumia maisha yake yote ya soka la kulipwa akiwa na FC Barcelona. Miaka yake miwili ya kwanza alicheza na timu ya pili ya klabu hiyo FC Barcelona B katika daraja la Segunda División. Baadaye alicheza mechi yake ya kwanza ya [[La Liga]] tarehe 5 Septemba 1976 katika ushindi wa 4–0 nyumbani dhidi ya UD Las Palmas. Aliendelea kuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza katika msimu huo wa 1976–77 La Liga na misimu iliyofuata, mara nyingi akicheza pamoja na [[Migueli]] kama mabeki wa kati.<ref>[http://www.cesabadell.cat/entrenadors.asp Entrenadors del CE Sabadell (CE Sabadell managers)] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20130510003721/http://www.cesabadell.cat/entrenadors.asp|date=10 May 2013}}; at CE Sabadell (in Catalan)</ref><ref>{{cite web|url=http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1977/02/10/pagina-7/1022419/pdf.html|title=0–1: En el primer tiempo, el lado bueno|trans-title=0–1: In first half, the good side|newspaper=[[Mundo Deportivo]]|date=10 February 1977|access-date=25 May 2017|archive-date=2020-09-13|archive-url=https://web.archive.org/web/20200913023754/http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1977/02/10/pagina-7/1022419/pdf.html|url-status=dead}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1954|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] ixq3fjpe1l1byt0vic1qw1uft3iy549 Hossein Navab 0 238067 1594935 1570827 2026-09-07T10:06:29Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594935 wikitext text/x-wiki '''Hossein Navab''' au ''Hossein Navvab'' (1897–1972) alikuwa mwanadiplomasia wa [[Iran]] alihudumu kwa muda mfupi kama waziri wa mambo ya nje mnamo mwaka 1952. == Kazi == Navab alikuwa mwanadiplomasia wa taaluma. Katika miaka ya 1930, alikuwa katibu wa pili katika [[Ubalozi wa Iran, London]].<ref>{{cite book |editor=Mortimer Epstein|title=The Statesman's Year-Book|year=1934|publisher=[[Palgrave Macmillan]]|location=London|chapter-url=https://link.springer.com/chapter/10.1057/9780230270633_55|isbn=978-0-230-27063-3|page=1200|chapter=Persia|doi=10.1057/9780230270633}}</ref> Alihudumu kama [[kaunsila jenerali]] (consul general) wa Iran mjini New York katika miaka ya 1940.<ref>{{cite web|author=Bretton Woods|title=Final Act|access-date=25 July 2013|work=Commission for Looted Art in Europe|url=http://www.lootedartcommission.com/bretton-woods|archive-date=2026-05-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20260502224719/https://www.lootedartcommission.com/bretton-woods|url-status=dead}}</ref> Pia alikuwa balozi wa Iran nchini Uholanzi.<ref>{{cite web|title=Judgement of International Court of Justice|work=World Courts|access-date=25 July 2013|url=http://www.worldcourts.com/icj/eng/decisions/1952.07.22_oil_co.htm|archive-date=2018-04-19|archive-url=https://web.archive.org/web/20180419124356/http://www.worldcourts.com/icj/eng/decisions/1952.07.22_oil_co.htm|url-status=dead}}</ref> Alihudumu kama waziri wa mambo ya nje katika [[Serikali za Mohammad Mosaddegh|baraza la pili la mawaziri]] la [[Waziri Mkuu wa Iran|Waziri Mkuu]] [[Mohammad Mosaddegh]] ambalo lilitangazwa mnamo tarehe 26 Julai 1952.<ref>{{cite journal|title=Developments of the Quarter: Comment and Chronology|url=https://archive.org/details/sim_middle-east-journal_autumn-1952_6_4/page/459|journal=[[The Middle East Journal]]|date=Autumn 1952|volume=6 |issue=4|jstor=4322439|page=459}}</ref> Navab alijiuzulu wadhifa huo bila kutaja sababu yoyote mnamo tarehe 9 Oktoba 1952, na [[Hossein Fatemi]] alichukua nafasi yake.<ref>{{cite news|title=Iran planning envoy shift|date=13 October 1952|agency=[[United Press International]]|location=Tehran |access-date=25 July 2013|newspaper=[[Lewiston Morning Tribune]]|url=https://news.google.com/newspapers?id=j7teAAAAIBAJ&sjid=zzAMAAAAIBAJ&pg=2982,3680884&dq=hossein+navab&hl=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1897|1972}} [[Jamii:Watu wa Iran]] [[Jamii:Historia ya Iran]] gl1lfkz1tbq6jrwgz5640t97li4764w Majadiliano ya mtumiaji:Depot, KG 3 240971 1594964 1573114 2026-09-07T11:28:29Z Tanbiruzzaman 61090 Tanbiruzzaman alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:কল্কি]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Depot, KG]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/কল্কি|কল্কি]]" to "[[Special:CentralAuth/Depot, KG|Depot, KG]]" 1573114 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 15 Juni 2026 (UTC) eakas4458gwxz6myc215a54h16ujd0i Mtumiaji:Amanich7/ukurasa wa majaribio 2 242220 1594966 1594540 2026-09-07T11:29:11Z Amanich7 44301 /* In populêre kultuur */ 1594966 wikitext text/x-wiki <br> ==Verwysings== == Katika utamaduni == Mwandishi wa habari Tom Bissell alibainisha kuwa Kilimanjaro ni "labda mlima wa fasihi zaidi duniani".<ref name="bissell">{{cite news|last=Bissell|first=Tom|date=28 Oktoba 2007|title=Panda Mlima Polepole, Polepole Sana|url=https://www.nytimes.com/2007/10/28/sports/playmagazine/28kilimanjaro.html|work=The New York Times|access-date=25 Juni 2024|archive-date=5 Oktoba 2024|archive-url=https://web.archive.org/web/20241005155903/https://www.nytimes.com/2007/10/28/sports/playmagazine/28kilimanjaro.html|url-status=live}}</ref> Mlima huu umeangaziwa sana katika hadithi fupi ya [[Ernest Hemingway]] ya 1936 ''[[The Snows of Kilimanjaro (hadithi fupi)|The Snows of Kilimanjaro]]'', ambayo ilibadilishwa kuwa The Snows of Kilimanjaro (filamu ya 1952) inayoigizwa na [[Gregory Peck]].<ref>{{cite news|last=Crowther|first=Bosley|date=19 Septemba 1952|title=The Screen in Review; 'Theluji ya Kiliminjaro,' Kulingana na Hadithi ya Hemingway, Ni Kipengele Kipya katika Rivoli|url=https://www.nytimes.com/1952/09/19/archives/the-screen-in-review-snow-of-kiliminjaro-based-on-hemingways-story.html|work=The New York Times|access-date=25 Juni 2024|archive-date=5 Oktoba 2024|archive-url=https://web.archive.org/web/20241005155751/https://www.nytimes.com/1952/09/19/archives/the-screen-in-review-snow-of-kiliminjaro-based-on-hemingways-story.html|url-status=live}}</ref> Dave Eggers aliandika kuhusu kupanda kwake katika hadithi fupi ''Up the Mountain Coming Down Polepole''.<ref name="bissell"/> Kupanda kwa Kilimanjaro kunaonyeshwa katika riwaya ya [[Andrei Gusev]] ya 2020 ''Once in Malindi'' (katika sura ya 17).<ref>[http://mliterature.narod.ru/Old_Novelist.htm Mapitio ya ''"Once in Malindi"''] kwenye tovuti ya mfuko wa umma "Umoja wa Waandishi wa Moscow", 2021 {{in lang|ru}}</ref><ref>[https://proza.ru/2020/08/15/2 ''"Once in Malindi"''] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201016190338/https://proza.ru/2020/08/15/2 |date=2020-10-16 }} — kwenye Proza.ru, 2020 {{in lang|ru}}</ref><ref>''[[Andrei Gusev|Андрей Гусев]]'' [http://Gusev.webs.com/Malindi_Andy.htm "Однажды в Малинди"], 2020. {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201104180724/https://gusev.webs.com/Malindi_Andy.htm |date=2020-11-04 }}</ref> == In populêre kultuur == 7sawqhgefumg5cx8xabyh41nwsqmdv9 1594968 1594966 2026-09-07T11:32:21Z Amanich7 44301 /* Katika utamaduni */ 1594968 wikitext text/x-wiki <br> ==Verwysings== == Katika utamaduni == == In populêre kultuur == sd6lhus32n0vpezbqa38et0qmjzlyi5 Majadiliano ya mtumiaji:Mümtaz 3 246422 1594840 1590292 2026-09-06T22:12:28Z Neriah 46921 Neriah alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Satirdan kahraman]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Mümtaz]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/Satirdan kahraman|Satirdan kahraman]]" to "[[Special:CentralAuth/Mümtaz|Mümtaz]]" 1590292 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 22 Agosti 2026 (UTC) oqa71d4ag8zl2o67vbgp8ipjvs4tndb Babz Chula 0 246595 1594796 1591277 2026-09-06T18:41:14Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594796 wikitext text/x-wiki '''Babz Chula''' (alizaliwa kama '''Barbara Ellen Zuckerman'''; [[22 Machi]] [[1947]] – [[7 Mei]] [[2010]]) alikuwa [[mwigizaji]] na mwanamuziki wa [[Kanada]] aliyezaliwa [[Marekani]].<ref name="nstars">[https://www.northernstars.ca/chula_babz_bio/ Babz Chula biography] {{Wayback|url=https://www.northernstars.ca/chula_babz_bio/ |date=20240224103148 }}, Northernstars.ca. Accessed March 28, 2020.</ref><ref name="globe">{{cite news |url=https://www.theglobeandmail.com/news/british-columbia/vancouver-actor-babz-chula-dies-at-63/article1211067/ |title=Vancouver actor Babz Chula dies at 63 |last=Lederman |first=Marsha |date=May 7, 2010|newspaper=Globe and Mail |accessdate=March 28, 2020}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1947|2010}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] rkav8d2dmvmue69qspqvflef992lvt6 Cynthia Stevenson 0 246673 1594845 1590706 2026-09-07T00:21:16Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594845 wikitext text/x-wiki '''Cynthia Stevenson''' (alizaliwa [[2 Agosti]], [[1962]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Marekani]]. Kwanza alicheza nafasi kuu katika msimu mmoja wa mfululizo wa vichekesho vya kejeli uliosambazwa kwa vituo mbalimbali ''My Talk Show'' (1990–91), kabla ya kuigiza katika sitcom kadhaa, zikiwemo ''Bob (TV series)'' (CBS, 1992–93), ''Hope & Gloria'' (NBC, 1995–96), na ''Oh Baby (TV series)'' (Lifetime, 1998–2000).<ref name= mega>{{Cite web |url=http://tvmegasite.net/prime/articles/stevenson2.shtml |title=Interview with Cynthia Stevenson of 'Killing Daddy' on Lifetime |website=tvmegasite.net |accessdate=2026-08-23 |archive-date=2025-09-09 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250909131617/https://tvmegasite.net/prime/articles/stevenson2.shtml |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite web|url=https://ew.com/article/1998/09/04/tv-show-reviews-any-day-now-maggie-oh-baby/|title=TV Show Reviews: 'Any Day Now'; 'Maggie'; 'Oh Baby'|website=EW.com}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1962|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] locmpqlf6oejkxm5yrf0o61u17mhsbr Chelsea Muirhead 0 247337 1594839 1591858 2026-09-06T22:05:32Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594839 wikitext text/x-wiki '''Chelsea Muirhead''' ni [[mwigizaji]] wa [[Kanada]]. Anajulikana zaidi kwa kuigiza Sasha katika ''Slo Pitch (web series)'', Yanmi katika ''Warrior'' na Sophie Chan katika ''Pulse (2025 TV series)''.<ref>{{Cite web|title=Toronto native Chelsea Muirhead is set to ignite the film industry with her upcoming projects|url=https://fox56news.com/business/press-releases/ein-presswire/612247527/toronto-native-chelsea-muirhead-is-set-to-ignite-the-film-industry-with-her-upcoming-projects/|access-date=2025-08-08|website=fox56news}}{{Dead link|date=September 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{cite web |title=Interview: Chelsea Muirhead Explores Pulse’s Realistic Take on Life Inside a Trauma Center|url=https://movieswetextedabout.com/interview-chelsea-muirhead-explores-pulses-realistic-take-on-life-inside-a-trauma-center/|access-date=2025-08-08 |website=moviewetextedabout.com}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD||}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] 7juo6dkh8eyaekuo1n95iw43n7226h3 Catherine Shirriff 0 247438 1594837 1592053 2026-09-06T21:40:26Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594837 wikitext text/x-wiki '''Catherine Shirriff''' ni [[mwigizaji]] wa [[Kanada]]. Shirriff alizaliwa [[Toronto]], Ontario, Kanada.<ref>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=deq3xI8OmCkC&pg=PA760&dq=%22Catherine+Shirriff%22+-wikipedia&hl=en&newbks=1&newbks_redir=0&source=|pages=759-760|title=America's Film Legacy: The Authoritative Guide to the Landmark Movies in the National Film Registry|first=Daniel|last=Eagan|year=2010|isbn=9780826429773|publisher=Bloomsbury Academic|access-date=June 24, 2026}}</ref> <ref>{{cite web | url=https://cathieforstmann.me/about | title=About Cathie Forstmann &#124; Los Angeles & Orange County Real Estate | accessdate=2026-08-27 | archive-date=2026-04-21 | archive-url=https://web.archive.org/web/20260421191024/https://cathieforstmann.me/about | url-status=dead }}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1948|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] 62z3tqv4ju3u5ly5zu83s6v4zdx7kfo Barbara March 0 247527 1594797 1592295 2026-09-06T18:56:58Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594797 wikitext text/x-wiki '''Barbara March''' (amezaliwa '''Barbara Jean Maczka'''; [[9 Oktoba]] [[1953]] – [[11 Agosti]] [[2019]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[Kanada]] anayejulikana zaidi kwa uigizaji wake wa mhusika Star Trek Lursa, mmoja wa List of Star Trek: The Next Generation characters#Lursa and B'Etor.<ref>{{cite web|url=https://reelingback.com/articles/detour_of_duty|title=Detour of duty: Vietnam conflict's Vancouver front|first=Michael|last=Walsh|publisher=|accessdate=25 October 2016|archive-date=2026-01-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20260109043756/https://reelingback.com/articles/detour_of_duty|url-status=dead}}</ref> <ref name="treknews">{{Cite web|url=https://www.treknews.net/2019/08/13/barbara-march-star-trek-lursa-passes-away/|title=Barbara March, TNG, DS9's Klingon Lursa, Passes Away at 65|last=Avvaru|first=Shashank|date=2019-08-13|website=TrekNews |language=en-US|access-date=2019-08-13}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|1953|2019}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] t94gypf1npdkwaebiberhna1hk7vkht Cynthia Menard 0 247551 1594844 1592215 2026-09-07T00:19:27Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594844 wikitext text/x-wiki '''Cynthia Menard''' (amezaliwa [[2000]]) ni mwanamitindo wa [[Kanada]] na mshindi wa taji la mashindano ya urembo, aliyeshinda mashindano ya Miss World Canada 2017 na kuiwakilisha Kanada katika Miss World 2017.<ref>{{cite web|url=http://baodautu.vn/nhan-sac-tuoi-17-cua-hoa-hau-the-gioi-canada-2017-d67073.html |title=Nhan sắc tuổi 17 của Hoa hậu Thế giới Canada 2017 |publisher=Baodautu.vn |date= |accessdate=2020-06-04}}</ref><ref>{{cite web |author=Eric Westhaver |url=http://www.thereminder.ca/news/local-news/miss-world-canada-pageant-a-memorable-experience-1.21634899 |title=Miss World Canada Pageant a memorable experience &#124; Flin Flon Reminder |publisher=Thereminder.ca |date=2017-08-06 |accessdate=2020-06-04 |archive-date=2021-02-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20210207110940/https://www.thereminder.ca/news/local-news/miss-world-canada-pageant-a-memorable-experience-1.21634899 |url-status=dead }}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-igiza-filamu}} {{BD|2000|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kanada]] [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] 2d5yce7i4gi25mcyqxrp32rjdzj4vl6 Arthur Eze 0 247570 1594792 1592317 2026-09-06T17:52:35Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594792 wikitext text/x-wiki '''Arthur Eze''' (alizaliwa [[27 Novemba]] [[1948]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Nigeria]], tajiri wa mafuta na mhisani ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Atlas Oranto Petroleum. Yeye pia ni pro-chansela wa Chuo Kikuu cha Peaceland, Enugu, Jimbo la Enugu.<ref>{{Cite news |last=Olusegun |first=Adeeko |date=2021-11-10 |title=GIANT IN THE TROPIC OF AFRICA: Arthur Eze |url=https://tribuneonlineng.com/giant-in-the-tropic-of-africa-arthur-eze/ |access-date=2025-10-02 |newspaper=[[Nigerian Tribune]]|language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite news |title=Meet di Nigeria billionaire wey dey 'shake Anambra' |work=[[BBC News Pidgin]] |url=https://www.bbc.com/pidgin/tori-53792794 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230216101119/https://www.bbc.com/pidgin/tori-53792794 |archive-date=2023-02-16 |url-status=live}}</ref> == Maisha ya Awali == Arthur Eze alizaliwa Mashariki mwa Nigeria, tarehe 27 Novemba 1948.<ref>{{Cite news |date=2021-11-10 |title=GIANT IN THE TROPIC OF AFRICA: Arthur Eze |url=https://tribuneonlineng.com/giant-in-the-tropic-of-africa-arthur-eze/ |access-date=2023-05-08 |newspaper=[[Nigerian Tribune]]|language=en-GB}}</ref> Kaka yake mkubwa Igwe Robert Eze, ni mfalme wa Ukpo, mji katika Dunukofia.<ref>{{Cite news |title=2023 |url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2022/12/28/2023-arthur-eze-under-fire-over-comments-against-obis-chances/ |newspaper=[[This Day]]|archive-url=https://web.archive.org/web/20230103171539/https://www.thisdaylive.com/index.php/2022/12/28/2023-arthur-eze-under-fire-over-comments-against-obis-chances/ |archive-date=2023-01-03 |url-status=live}}</ref><ref>{{Cite web |date=2021-11-24 |title=Nigeria-France: Prince Arthur Eze sells land to TotalEnergies in Anambra |url=https://www.theafricareport.com/149112/nigeria-france-prince-arthur-eze-sells-land-to-totalenergies-in-anambra/ |access-date=2023-03-26 |website=The Africa Report.com |language=en-US}}</ref> Yeye ni mwana mfalme aliyezaliwa katika familia ya kifalme ya kitamaduni.<ref name="Carmart">{{Cite web |date=2024-08-28 |title=Prince Arthur Eze Biography, Net worth, Cars Houses, Private jet » Carmart blog |url=https://carmart.ng/prince-arthur-eze-biography-net-worth-cars-houses-private-jet/?srsltid=AfmBOoouJ-oXPrC3JXK4ws1UvcikSmQWRHENB1D3GLkru3Kg4XlJ-7SS#%E2%80%9CPrince_of_Africa%E2%80%9D_Engr_Arthur_Eze_Takes_Delivery_of_2022_Rolls_Royce_Phantom_Worth_N500_Million_in_His_Abuja_Mansion |access-date=2024-11-25 |language=en-US}}</ref> == Elimu == Mwaka [[1970]], Eze alihitimu kutoka Shule ya Sekondari ya St. Augustin huko Nkwerre, Imo. Aliendelea na Chuo Kikuu cha Jimbo la California, Long Beach ambako alipata shahada ya Uhandisi wa Mitambo na Kemikali kati ya [[1974]] na [[1978]].<ref>{{Cite web |title=CHANCELLOR |url=https://www.azmanuniversity.edu.ng/prince-arthur-eze |access-date=2024-06-23 |website=Azman University |language=en |archive-date=2024-06-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240623090526/https://www.azmanuniversity.edu.ng/prince-arthur-eze |url-status=dead }}</ref> == Kazi == Mwaka [[2023]], Eze aliteuliwa kuwa pro-chansela wa Chuo Kikuu cha Peaceland Enugu, [[Jimbo la Enugu]]. Mwaka [[1991]] Eze alianzisha Atlas Oranto petroleum.<ref>{{Cite news |last= |first= |date=2023-06-01 |title=Peaceland University appoints Arthur Eze pro-chancellor |url=https://guardian.ng/peaceland-university-appoints-arthur-eze-pro-chancellor/ |location=Lagos, Nigeria|access-date=2024-07-10 |newspaper=[[The Guardian (Nigeria)|The Guardian]]|language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1948]] [[Jamii:Watu walio hai]] d56f9o9vac2mf193wowsfxgkiv1dkev Gilbert Chagoury 0 247592 1594880 1592381 2026-09-07T07:09:14Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594880 wikitext text/x-wiki '''Gilbert Ramez Chagoury''' (alizaliwa [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Nigeria]], aliyehukumiwa kwa utakatishaji fedha, [[mwanadiplomasia]], na mhisani<ref name=BAJuly2026>{{cite web |title=Nigeria awards $1.2B contract to money launderer Gilbert Chagoury |url=https://www.billionaires.africa/2026/07/02/nigeria-awards-1-2-billion-highway-contract-to-gilbert-chagoury-a-billionaire-convicted-of-laundering-abachas-stolen-funds/ |website=Billionaires.Africa |access-date=14 July 2026 |language=en |date=3 July 2026 }}{{Dead link|date=September 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{cite web |author1=Bloomberg News |title=Mega-consulate ties US to convicted billionaire in Nigeria |url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-05-10-mega-consulate-ties-us-to-convicted-billionaire-in-nigeria/ |website=Daily Maverick |access-date=14 July 2026 |language=en |date=10 May 2022}}</ref><ref name=Africasrich>{{cite news |title=The Richest People In Africa 2013 |url=http://www.ventures-africa.com/2013/10/richest-people-africa-2013/ |work=Ventures Africa |date=9 October 2013 |accessdate=15 January 2015 |archive-date=17 April 2015 |archive-url=https://web.archive.org/web/20150417213153/http://www.ventures-africa.com/2013/10/richest-people-africa-2013/ |url-status=dead }}</ref>. Kupitia umiliki wao wa Chagoury Group, Gilbert Chagoury na familia yake wana utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 4.2. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] [[Jamii:Watu walio hai]] 72s4afggvw86equh97sgcg53eg66lb9 Chip Wilson 0 247652 1594842 1592490 2026-09-06T22:24:34Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594842 wikitext text/x-wiki '''Dennis J. "Chip" Wilson''' (alizaliwa [[25 Aprili]] [[1955]]) ni [[mfanyabiashara]], mwekezaji, na mhisani nchini [[Marekani]] na [[Kanada]] ambaye ameanzisha makampuni kadhaa ya rejareja ya nguo, hasa kampuni ya nguo za michezo ya [[yoga]] Lululemon Athletica.<ref>{{cite web | url=https://chipwilson.com/chapter/from-california-to-calgary/ | title=From California to Calgary | accessdate=2026-08-28 | archive-date=2024-07-06 | archive-url=https://web.archive.org/web/20240706052629/https://chipwilson.com/chapter/from-california-to-calgary/ | url-status=dead }}</ref> Kufikia Machi [[2025]], [[Forbes]] inakadiria utajiri wake kuwa dola za Marekani bilioni 5.7.<ref name="Forbes profile">{{cite web |title=Forbes profile: Chip Wilson |url=https://www.forbes.com/profile/chip-wilson/ |accessdate=30 March 2020 |website=Forbes}}</ref> Wilson anachukuliwa sana kama mwanzilishi na mwanzilishi wa jambo la athleisure, ambalo limeenea katika jamii ya [[Amerika Kaskazini]] tangu kuibuka kwake mwaka [[2014]].<ref>{{Cite web|url=https://techvibes.com/2016/07/14/athleisure-technical-apparel|title=The Arrival of Athleisure: Five Companies Conquering the Trend of Technical Apparel|date=July 14, 2016|website=Techvibes|access-date=July 19, 2016}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wafanyabiashara wa Kanada]] [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Kanada]] [[Jamii:Waliozaliwa 1955]] [[Jamii:Watu walio hai]] sdqp1rz48qoz0bj2hwpiv6yaxnznx2o Adesegun Akin-Olugbade 0 248008 1594776 1593728 2026-09-06T14:42:07Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594776 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person|jina=Adesegun Akin-Olugbade|nchi=Nijeria|elimu=Shahada ya sheria|kazi_yake=Mwanasheria}} '''Adesegun Akin-Olugbade''' (alizaliwa 4 Novemba [[1962]]) ni mwanasheria na mtendaji mkuu katika sekta ya fedha kutoka [[Nigeria]]<ref>{{Cite web|title=Dr. Adesegun A. Akin-Olugbade – Utica Capital Limited|url=https://uticacap.com/board-of-directors/dr-adesegun-a-akin-olugbade/|accessdate=2026-08-29|language=en-US}}</ref>. == Maisha ya Awali na Elimu == Akin-Olugbade alisomea Sheria katika Chuo cha King’s College London, ambako alipata shahada ya LL.B. na LL.M. Baadaye, mwaka [[1991]], alipata shahada nyingine ya LL.M. pamoja na S.J.D. kutoka Shule ya Sheria ya [[Chuo Kikuu cha Harvard|Harvard]]<ref>{{Cite web|title=NSIA Insurance names Akin-Olugbade new board chairman|url=https://businessday.ng/insurance/article/nsia-insurance-names-akin-olugbade-new-board-chairman/|work=Businessday NG|date=2021-10-05|accessdate=2026-08-29|language=en-US|author=Modestus Anaesoronye}}</ref>. == Kazi == Akin-Olugbade alianza kazi yake katika Wizara ya Sheria ya Shirikisho ya Nigeria kama Mshauri wa Kisheria wa Serikali Mwaka 1991, alijiunga na [[Benki]] ya Maendeleo ya [[Afrika]]<ref>{{Cite web|title=Dr. Adesegun A. Akin-Olugbade – AF-AP Partnership|url=https://afap-partnership.org/about-us/team/dr-adesegun-a-akin-olugbade/|accessdate=2026-08-29|language=en-US|archive-date=2026-08-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20260830010135/https://afap-partnership.org/about-us/team/dr-adesegun-a-akin-olugbade/|url-status=dead}}</ref>. == Tuzo na Kutambuliwa == Mwaka [[2012]], Akin-Olugbade alitunukiwa na Serikali ya Nigeria heshima ya Afisa wa Daraja la Amri ya Niger<ref>{{Cite web|title=Nigeria's Akin-Olugbade makes history with new appointment|url=https://dailypost.ng/2019/08/08/nigerias-akin-olugbade-makes-history-new-appointment/|work=Daily Post Nigeria|date=2019-08-08|accessdate=2026-08-29|language=en-US|author=Wale Odunsi}}</ref><ref>{{Cite web|title=World Trade Board appoints a Nigerian as first African member|url=https://nairametrics.com/2019/08/08/world-trade-board-appoints-a-nigerian-as-first-african-member/|work=Nairametrics|date=2019-08-08|accessdate=2026-08-29|language=en|author=Damilare Famuyiwa}}</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1962|}} [[Jamii:Wanasheria wa Nigeria]] iw7beturmibpuxb7ls6s4fu9yb1uwrk Garrett Camp 0 248483 1594872 1594530 2026-09-07T06:28:40Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594872 wikitext text/x-wiki '''Garrett Camp''' (alizaliwa [[4 Oktoba]] [[1978]]) ni [[mfanyabiashara]], mwekezaji, na mhandisi wa programu nchini [[Kanada]] na [[Ufaransa]]. Alisaidia kujenga injini ya utafutaji StumbleUpon na ni mwanzilishi mwenza wa Uber. Anaishi [[Los Angeles]].<ref>{{cite web|archiveurl=https://web.archive.org/web/20121231080942/https://www.canadianbusiness.com/business-strategy/stumbling-upon-success/ |archivedate=2012-12-31 |url=http://www.canadianbusiness.com/business-strategy/stumbling-upon-success/ |title=Stumbling upon success |last=McCullough |first=Michael |date=21 September 2011 |website=[[Canadian Business]] |access-date=19 April 2019}}</ref><ref>{{cite news|last=Camp|first=Garrett|title=The Start-Up Advantage |work= The New York Times|url=https://www.nytimes.com/2011/10/23/jobs/23boss.html|date=2011-10-22}}</ref><ref name="Bloomberg profile">{{cite web |title=Bloomberg profile: Garrett Camp |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/garrett-camp/ |website=Bloomberg LP |accessdate=9 May 2019}}</ref> == Maisha ya Awali na Elimu == Camp alizaliwa na kukulia [[Calgary]], [[Alberta]], Kanada. Baba yake alikuwa mwanauchumi, na mama yake msanii; wote wawili baadaye wakawa wajenzi wa nyumba. Mwaka 2001 alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Calgary na shahada ya kwanza katika uhandisi wa umeme. Baadaye alipata shahada ya uzamili katika uhandisi wa programu kwa msisitizo katika mifumo shirikishi, algorithms za mabadiliko, na urejeshaji wa habari.<ref name=":1">{{Rejea tovuti|url=https://www.narcity.com/life/17-facts-you-didnt-know-about-uber-co-founders-dollar68-billion-fortune|title=17 Facts You Didn't Know About Uber Co-Founder's $68 Billion Fortune|last=Plana|first=Vincent|website=www.narcity.com|date=11 January 2018|language=en-ca|access-date=2019-04-30|archive-date=2020-10-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20201027214330/https://www.narcity.com/life/17-facts-you-didnt-know-about-uber-co-founders-dollar68-billion-fortune|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Kanada]] [[Jamii:Wanaume wa Kanada]] [[Jamii:Wanaume wa Ufaransa]] [[Jamii:Waliozaliwa 1978]] [[Jamii:Watu walio hai]] ig58x9dkm469uc9vvt3hueqcgclbtlm Barry Sherman 0 248501 1594799 1594539 2026-09-06T18:58:12Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594799 wikitext text/x-wiki '''Bernard Charles "Barry" Sherman''' ( [[25 Februari]] [[1942]] – [[13 Desemba]] [[2017]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mhisani nchini [[Kanada]] ambaye alikuwa mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Apotex Inc.<ref>{{cite web|title=Bernard Charles Sherman: Executive Profile & Biography – Bloomberg|url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=554760&privcapId=4211892|website=Bloomberg.com|access-date=December 16, 2017}}</ref> Akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 3.2 wakati wa kifo chake, kulingana na [[Forbes]], Sherman alikuwa mtu wa 12 tajiri zaidi nchini Kanada.<ref name=tps_autopsy>{{cite press release| url=http://torontopolice.on.ca/newsreleases/39905| title=Investigation into two suspicious deaths, 50 Old Colony Road, Victims identified, Causes of death released| date=December 17, 2017| publisher=[[Toronto Police Service]]| access-date=December 18, 2017| archive-url=https://web.archive.org/web/20171218112158/http://torontopolice.on.ca/newsreleases/39905| archive-date=December 18, 2017| url-status=dead| archivedate=2017-12-18| archiveurl=https://web.archive.org/web/20171218112158/http://torontopolice.on.ca/newsreleases/39905}}</ref><ref name="2autopsy">{{cite news |last1=Lancaster |first1=John |title=Court documents reveal more details about 2017 homicides of Barry and Honey Sherman|url=https://www.cbc.ca/news/canada/toronto/barry-honey-sherman-murder-2021-1.5860527 |publisher=CBC |date=5 January 2021}}</ref> Chapisho lingine, Canadian Business, lilisema utajiri wake kuwa [[Dola ya Kanada|CA$]] bilioni 4.77, na kumweka kama mtu wa 15 tajiri zaidi nchini Kanada.<ref name="Forbes_20171215">{{cite news|last1=Tindera|first1=Michela|title=Canadian Pharmaceuticals Billionaire And Wife Found Dead In Toronto Mansion|url=https://www.forbes.com/sites/michelatindera/2017/12/15/canadian-pharmaceuticals-billionaire-and-wife-found-dead-in-toronto-mansion/#20508dd37fe2|access-date=December 16, 2017|work=Forbes|date=December 15, 2017}}</ref><ref name="financialpost.com">{{cite news|url=https://business.financialpost.com/news/apotex-founder-barry-sherman-and-wife-found-dead-ontarios-health-minister|title=Apotex founder Barry Sherman and wife found dead in Toronto home|newspaper=Financial Post |date=December 15, 2017|access-date=December 17, 2017}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Kanada]] [[Jamii:Wanaume wa Kanada]] [[Jamii:Waliozaliwa 1942]] [[Jamii:Waliofariki 2017]] 65eq29k8mp11ejdnp3xf3c6kr47y74s Maurice Abibu Sakapela 0 248521 1594971 1594592 2026-09-07T11:53:04Z Riccardo Riccioni 452 1594971 wikitext text/x-wiki '''Maurice Abibu Sakapela Bin Mungamba''' (pia: '''Abibu Sakapela Bin Mungamba''') ni [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Anatoka katika [[mkoa wa Tshopo]]. Aliwahi kuhudumu kama Naibu Gavana na baadaye Mkuu wa Mkoa wa Tshopo kuanzia Aprili 2021 hadi Agosti 2022, baada ya kuteuliwa na Waziri wa Nchi Gilbert Kankonde kusimamia shughuli za kila siku kufuatia kuondolewa madarakani kwa Louis-Marie Walle Lupungula<ref name="mediacongo2021">[https://www.mediacongo.net/article-actualite-86147_tshopo_maurice_abibu_sakapela_designe_gouverneur_ad_interim_pour_expedier_les_affaires_courantes.html, ''Tshopo : Maurice Abibu Sakapela désigné gouverneur ad-interim pour expédier les affaires courantes], MediaCongo, 22 avril 2021,consulté le 04 septembre 2026</ref>{{,}}<ref name="okapi2021">[https://okapinews.net/une/urgent-maurice-abibu-sakapela-confirme-gouverneur-interimaire-de-la-tshopo/, ''Urgent : Maurice Abibu Sakapela confirmé gouverneur intérimaire de la Tshopo], Okapinews, 22 avril 2021, consulté le 04 septembre 2026</ref>. == Maisha == === Naibu Gavana (2019-2021) === Maurice Abibu Sakapela alichaguliwa kuwa Naibu Gavana wa Tshopo mwaka wa 2019, akihudumu chini ya uongozi wa Gavana Louis-Marie Walle Lupungula. == Maisha ya kisiasa == Tarehe 15 Aprili 2021, Gavana Walle Lupungula aliondolewa madarakani na Baraza la Serikali ya Mtaa; wabunge 17 kati ya 28 walipiga kura kuunga mkono hoja ya hatua hizo—iliyowasilishwa na mbunge Tryphene Saidi Mabikinyambey—wakidai kulikuwa na usimamizi mbaya<ref name="mediacongo2021"/>. === Kaimu Gavana (2021-2022) === Kwa mujibu wa Sheria ya Serikali Huru ya Mkoa, ana jukumu la kuhakikisha mwendelezo wa huduma za umma hadi hapo gavana mpya atakapochaguliwa<ref name="okapi2021"/>. Katika kipindi chake kifupi cha uongozi, alitimiza mambo mengi: * Mnamo tarehe 10 Agosti 2021, alimfukuza kazi mshauri wake mkuu wa kisheria, Asumani Angbonda Dieu-Merci, kwa sababu ya kutotii mamlaka<ref name="africapress2021">[https://www.africa-press.net/congo-kinshasa/politique/tshopo-le-gouverneur-ai-revoque-son-conseiller-en-charge-de-lagriculture-peche-et-elevage-pour-insubordination, ''Tshopo : le gouverneur ai révoque son conseiller pour insubordination], Africa-Press, 11 août 2021</ref>. * Mnamo Julai 2021, alizuia kodi ya madini ya FC milioni 66, hatua ambayo ilibainika kuwa kinyume cha sheria. * Mnamo Januari 17, 2022, alionyesha nia ya kuona jiji la Kisangani likibadilishwa jina na kuitwa "Lumumba-Ville" kwa heshima ya Patrice Lumumba<ref name="lumumba2022">[https://www.africa-press.net/congo-kinshasa/politique/le-gouverneur-ai-de-la-tshopo-souhaite-que-la-ville-de-kisangani-soit-debaptisee-lumumba-ville, ''Le gouverneur ai de la Tshopo souhaite que Kisangani soit débaptisée Lumumba-Ville], Africa-Press, 17 janvier 2022</ref>. * Na kilumbu ya 8 ya ngonda ya tanu ya mvula 2022, yandi me yantika Programme ya kutunga ba teritware 145 (PDL-145T), na mbongo ya badolare bamilio 70, na ba teritware 7 ya [[Tshopo]]<ref name="pdl2022">[https://lebarometre.cd/kisangani-abibu-sakapela-a-lance-le-programme-de-developpement-local-de-145-territoire-dans-la-province-de-la-tshopo/ ''Kisangani : Abibu Sakapela a lancé le Programme de développement local de 145 Territoires,] LeBarometre.cd, 8 juillet 2022</ref>. == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] 4dot3nymzcimw8jrn47807vv1s8qtx5 Umberto Agnelli 0 248523 1594972 1594594 2026-09-07T11:54:30Z Riccardo Riccioni 452 1594972 wikitext text/x-wiki '''Umberto Agnelli''' ([[1 Novemba]] [[1934]] – [[27 Mei]] [[2004]]) alikuwa mmiliki wa viwanda na [[mwanasiasa]] nchini [[Italia]]. Alikuwa mtoto wa tatu wa Virginia (alizaliwa Donna Virginia Bourbon del Monte) na Edoardo Agnelli, na mdogo wa Gianni Agnelli.<ref name="Chapman 2004">{{cite news|last=Chapman|first=Giles|date=29 May 2004|url=http://news.independent.co.uk/people/obituaries/article38565.ece|url-status=dead|title=Umberto Agnelli|work=The Independent|archive-url=https://web.archive.org/web/20071219150336/http://news.independent.co.uk/people/obituaries/article38565.ece|archive-date=19 December 2007|access-date=9 February 2023}}</ref> Agnelli alihudumu kama Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya utengenezaji wa magari wa Italia Fiat kuanzia 1970 hadi 1976. Baada ya kifo cha kaka yake, alikuwa mwenyekiti wa kikundi cha Fiat kwa muda mfupi hadi kifo chake, akiwa na umri wa miaka 69, mwaka 2004. Pia alikuwa mwenyekiti na baadaye mwenyekiti wa heshima wa [[Juventus F.C.|Juventus]], timu ya mpira wa miguu iliyohusishwa kwa muda mrefu na Fiat na familia ya Agnelli, na kwa muda alikuwa rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Italia. Alikuwa mwanachama wa Demokrasia ya Kikristo katika Seneti ya Jamhuri kuanzia 1976 hadi 1979. Mwaka 2015, aliingizwa katika Ukumbi wa Mashuhuri wa Mpira wa Miguu wa Italia baada ya kifo chake.<ref>{{cite news|url=https://www.nytimes.com/1976/10/17/archives/umberto-agnellis-fiat-more-trucks.html|title=Umberto Agnelli's Fiat: More Trucks|work=The New York Times|date=17 October 1976|page=123|issn=0362-4331|access-date=9 February 2023}}</ref><ref>{{cite news|url=http://www.gazzetta.it/Calcio/27-10-2015/hall-of-fame-vialli-mancini-facchetti-ronaldo-herrera-agnelli-tardelli-ferlaino-130676725232.shtml|title=Hall of fame, 10 new entry: con Vialli e Mancini anche Facchetti e Ronaldo|work=La Gazzetta dello Sport|language=it|date=27 October 2015|access-date=9 February 2023}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Italia]] [[Jamii:Wanaume wa Italia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1934]] [[Jamii:Waliofariki 2004]] qss2ept0tsg488kg7u4lbwfjrwxis4g Elisante Ole Gabriel 0 248575 1594869 1594695 2026-09-07T06:19:33Z Magotech 35622 1594869 wikitext text/x-wiki {{Infobox officeholder|name=Elisante Ole Gabriel|office=Mtendaji Mkuu wa [[Mahakama ya Tanzania]]|term_start=17 Agosti 2021|term_end=22 Juni 2026|president=[[Samia Suluhu Hassan]]|predecessor=Mathias Kabunduguru|successor=John Antony Jingu|office2=Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama|term_start2=10 Septemba 2021|term_end2=22 Juni 2026|office3=Katibu Mkuu (Mifugo), Wizara ya Mifugo na Uvuvi|term3=kufikia Agosti 2018 – Agosti 2021|nationality=Mtanzania}}'''Elisante Ole Gabriel''' (alizaliwa tarehe [[13]] [[Juni]], [[1966]]) alikuwa mtumishi wa umma nchini [[Tanzania]]. Kuanzia Agosti 2021 hadi Juni 2026 alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.<ref name="mwananchi-uteuzi">{{Rejea tovuti|title=Rais Samia afanya uteuzi|url=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-afanya-uteuzi-3514586|work=Mwananchi|date=2021-08-17|accessdate=2026-09-05|language=en}}</ref><ref name="jsc-makabidhiano">{{Rejea tovuti|title=JSC {{!}} Habari|url=https://www.jsc.go.tz/news/prof-ole-gabriel-amkabidhi-ofisi-dkt-john-jingu-katibu-mpya-wa-tume-ya-utumishi-wa-mahakama|work=www.jsc.go.tz|accessdate=2026-09-05}}</ref> Kuanzia Septemba 2021 hadi Juni 2026 alikuwa pia Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama.<ref name="judiciary-blog">{{Rejea tovuti|title=JUDICIARY OF TANZANIA: JAJI MKUU AMUAPISHA PROFESA ELISANTE KUWA KATIBU WA TUME YA MAHAKAMA|url=http://tanzaniajudiciary.blogspot.com/2021/09/jaji-mkuu-amuapisha-profesa-elisante.html|work=JUDICIARY OF TANZANIA|date=Ijumaa, 10 Septemba 2021|accessdate=2026-09-05|author=Judiciary Of Tanzania}}</ref><ref name="jsc-makabidhiano" /> Kabla ya uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi.<ref name="mwananchi-uteuzi" /><ref name="sua-2019">{{Rejea tovuti|title=Permanent Secretary for Ministry of Livestock and Fisheries Visits SUA|url=https://www.sua.ac.tz/news/permanent-secretary-ministry-livestock-and-fisheries-visits-sua|work=Sokoine University of Agriculture|accessdate=2026-09-05|language=en}}</ref><ref name="fao-rvf">[https://rr-africa.woah.org/app/uploads/2020/08/east-africa-sets-out-regional-plan-to-fight-rift-valley-fever-_-fao-in-emergencies.pdf "East Africa sets out regional plan to fight Rift Valley fever"], FAO, 10 Septemba 2018. Ilitembelewa 6 Septemba 2026</ref> Amechapisha makala za kitaaluma kuhusu mikakati ya uuzaji na mnyororo wa thamani katika elimu ya juu.<ref name="ajol-2002">{{Rejea jarida |last=Gabriel |first=Elisante ole |date=2002 |title=Export marketing strategies: A global communication emphasis |url=https://www.ajol.info/index.php/ajfm/article/view/24296 |journal=African Journal of Finance and Management |language=en |volume=11 |issue=1 |pages=49–59 |doi=10.4314/ajfm.v11i1.24296 |issn=0856-6372}}</ref><ref name="ajol-2005">{{Rejea jarida |last=Gabriel |first=Elisante ole |date=2005 |title=Assessment of value co-creatiotion and delivery systems in Tanzania's higher education sector: the case of CBE, DSA/TIA & IFM |url=https://www.ajol.info/index.php/ajfm/article/view/24401 |journal=African Journal of Finance and Management |language=en |volume=13 |issue=2 |pages=60–79 |doi=10.4314/ajfm.v13i2.24401 |issn=0856-6372}}</ref><ref name="jsr-2008">Urvashi Makkar, Elisante ole Gabriel na S. K. Tripathi, "Value Chain for Higher Education Sector: Case Studies of India and Tanzania", ''Journal of Services Research'', Februari 2008, kur. 183–200 [https://search.proquest.com/openview/d5e8c475681650dade7de583b05a260f/1 ProQuest].</ref> == Kazi == === Wizara ya Mifugo na Uvuvi === Kufikia Agosti 2018, Gabriel alikuwa Katibu Mkuu (Mifugo). Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa ngazi ya juu uliofanyika Tanzania tarehe 28–30 Agosti 2018, alizungumzia homa ya Bonde la Ufa. Mkutano huo uliwakutanisha wataalamu wa afya ya wanyama na afya ya umma kutoka nchi 11.<ref name="fao-rvf" /> Mnamo 23 Aprili 2019 alitembelea [[Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)|Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo]] kama Katibu Mkuu wa sekta ya mifugo.<ref name="sua-2019" /> Mpango Mkuu wa Mifugo wa Tanzania (2017/2018–2021/2022) unamtaja kama Katibu Mkuu wa Wizara ya na Uvuvi Mifugo.<ref name="tlmp">Wizara ya Mifugo na Uvuvi, [https://afchub.org/documents/1596027938TANZANIA%20LIVESTOCK%20MASTER%20PLAN.pdf ''Tanzania Livestock Master Plan (2017/2018 – 2021/2022)''], Desemba 2017; dibaji ya Waziri Luhaga Joelson Mpina, Machi 2019. Ilitembelewa 6 Septemba 2026</ref> Mnamo Agosti 2021, wakati wa kuteuliwa kwenye Mahakama, alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.<ref name="mwananchi-uteuzi" /> === Mahakama ya Tanzania === Tarehe 17 Agosti 2021, Rais [[Samia Suluhu Hassan]] alimteua kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akichukua nafasi ya Mathias Kabunduguru aliyestaafu. Taarifa ya Ikulu iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Jaffar Haniu, ilisema angeapishwa tarehe 21 Agosti 2021 Ikulu, [[Dar es Salaam]].<ref name="mwananchi-uteuzi" /> Tarehe 10 Septemba 2021, [[Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania|Jaji Mkuu]] [[Ibrahim Hamis Juma]] alimwapisha kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Hafla ya kuapishwa kwake ilifanyika katika Ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam, kwa mujibu wa Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4 ya mwaka 2011, kifungu cha 16(ii).<ref name="judiciary-blog" /> Mnamo Aprili 2025, kama Mtendaji Mkuu wa Mahakama, alizungumza na waandishi wa habari kuhusu ufunguzi wa makao makuu mapya ya Mahakama jijini [[Dodoma (mji)|Dodoma]].<ref name="citizen-2025">{{Rejea tovuti|title=Samia to inaugurate Tanzania’s new judiciary headquarters that contains helicopter landing space|url=https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/samia-to-inaugurate-tanzania-s-new-judiciary-headquarters-that-contains-helicopter-landing-space-4989014|work=The Citizen|date=2025-04-03|accessdate=2026-09-05|language=en}}</ref> Mnamo 18 Februari 2026 alitoa mada kuhusu mifumo ya kielektroniki katika Mkutano wa Sita wa Mwaka wa Serikali Mtandao jijini Arusha.<ref name="jsc-tehama">{{Rejea tovuti|title=JSC {{!}} Habari|url=https://www.jsc.go.tz/news/wekezeni-kwenye-wataalamu-na-miundombinu-ya-tehama-prof-ole-gabriel|work=www.jsc.go.tz|accessdate=2026-09-05}}</ref> Tarehe 22 Juni 2026 alikabidhi ofisi kwa [[John Antony Jingu]] baada ya kustaafu kazi kwa mujibu wa sheria.<ref name="jsc-makabidhiano" /> Gazeti la ''Nipashe'' lilimnukuu akisema alitumikia taifa tangu mwaka 1991 katika nafasi mbalimbali za uongozi.<ref name="nipashe-2026">{{Rejea tovuti|title=Profesa Elisante atamani kuona Mahakama ndani ya SGR {{!}} Nipashe|url=https://www.ippmedia.co.tz/nipashe/habari/kitaifa/read/profesa-elisante-atamani-kuona-mahakama-ndani-ya-sgr-2026-06-22-175143|work=www.ippmedia.co.tz|accessdate=2026-09-05}}</ref> == Machapisho == * Elisante ole Gabriel, "Export marketing strategies: A global communication emphasis", ''African Journal of Finance and Management'', 11 (1), 2002, kur. 49–59.<ref name="ajol-2002" /> * Elisante ole Gabriel, "Assessment of value co-creation and delivery systems in Tanzania's higher education sector: the case of CBE, DSA/TIA & IFM", ''African Journal of Finance and Management'', 13 (2), 2005, kur. 60–79.<ref name="ajol-2005" /> * Urvashi Makkar, Elisante ole Gabriel na S. K. Tripathi, "Value Chain for Higher Education Sector: Case Studies of India and Tanzania", ''Journal of Services Research'', toleo maalum, Februari 2008, kur. 183–200.<ref name="jsr-2008" /> == Marejeo == <references />{{mbegu-mtu}} rkdg6txwlnhf6vm3z0um8003f7av89u Ghassan Aboud 0 248577 1594878 1594678 2026-09-07T07:01:16Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594878 wikitext text/x-wiki '''Muhammed Ghassan Aboud''' (alizaliwa [[1967]]) ni [[mjasiriamali]] nchini [[Syria]]. Yeye ni mmoja wa wanachama waanzilishi wa Baraza la Biashara la Syria na Ghassan Aboud Group. Mwenye makao yake katika [[Falme za Kiarabu]], Aboud aliorodheshwa katika toleo la 2018 la Watu 50 Wenye Ushawishi Zaidi Wageni nchini [[UAE]] na Forbes Middle East. Mwaka 2019, utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 1.75 na jarida la [[Forbes]]..<ref>{{cite web |last=Peel |first=Michael |date=19 March 2012 |title=Syria opposition taps business class |url=https://www.ft.com/content/f9063e30-71dd-11e1-8497-00144feab49a |access-date=22 March 2017 |website=Financial Times |publisher=}}</ref><ref>{{cite web |title=Most Influential People in the UAE for 2018 |url=https://www.forbesmiddleeast.com/en/list/50-most-influential-expats-in-the-uae-2018/item/18/ |work=Forbes |accessdate=2026-09-05 |archive-date=2018-10-17 |archive-url=https://web.archive.org/web/20181017082207/https://www.forbesmiddleeast.com/en/list/50-most-influential-expats-in-the-uae-2018/item/18/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite press release |last= |first= |title=Forbes Middle East Arab Billionaires 2019: Ghassan Aboud Ranked 16th |url=https://www.prnewswire.com/ae/news-releases/forbes-middle-east-arab-billionaires-2019-ghassan-aboud-ranked-16th-300831805.html |access-date=2024-02-21 |website=www.prnewswire.com |language=en}}</ref> == Maisha Binafsi == Muhammed Ghassan Aboud alizaliwa tarehe 4 Agosti 1967, katika mji wa Idlib kaskazini mwa Syria. Amemuoa Nahed Aboud na ana watoto watano.<ref>{{cite web|url=http://www.wherevent.com/detail/Syria-Awareness-Events-Ghassan-Aboud|title=Ghassan Aboud|publisher=|access-date=22 March 2017}}</ref> == Kazi == Alihamia Falme za Kiarabu mnamo Oktoba 1992, ambako kwanza alifanya kazi katika uwanja wa mahusiano ya umma kabla ya kuanzisha Ghassan Aboud Group mwaka 1994. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wajasiriamali wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] [[Jamii:Watu walio hai]] oz2b72ofgsuh10mbeyhl83ew6ac0q8b Menace II Society 0 248605 1594771 1594734 2026-09-06T12:48:01Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1594771 wikitext text/x-wiki {{Filamu 2 | jina = Menace II Society | picha = Menace II Society.jpg | maelezo = Poster la kutolewa kwenye kumbi za sinema | mwongozaji = [[Hughes Brothers|The Hughes Brothers]] | mtunzi = Tyger Williams | hadithi = {{Plainlist| * Allen Hughes * Albert Hughes * Tyger Williams }} | mtayarishaji = [[Darin Scott]] | nyota = {{Plainlist| * [[Tyrin Turner]] * [[Jada Pinkett]] * [[Bill Duke]] * [[Charles S. Dutton]] }} | muziki = [[Quincy Jones III|QD III]] | sinematografia = [[Lisa Rinzler]] | mhariri = Christopher Koefoed | msambazaji = [[New Line Cinema]]<ref name="AFI">{{cite web |title=MENACE II SOCIETY (1993) |url=https://catalog.afi.com/Catalog/moviedetails/59599 |website=[[American Film Institute]] |access-date=21 April 2023}}</ref> | imetolewa = {{Film date|1993|5|26}} | muda = Dakika 97 | nchi = Marekani | lugha = Kiingereza | bajeti = Dola milioni 3.5<ref>{{Rejea habari |last=Jr |first=Henry Louis Gates |date=1994-03-14 |title=The Realness of “Menace II Society” |url=https://www.newyorker.com/magazine/1994/03/21/the-realness-of-menace-ii-society |access-date=2026-03-18 |work=The New Yorker |language=en-US |issn=0028-792X}}</ref> | mapato = Dola milioni 30<ref name=ww>{{cite magazine|magazine=[[Variety (magazine)|Variety]]|page=M-56|date=October 17, 1994|title=Top 100 grossers worldwide, '93-94}}</ref> }} '''''Menace II Society''''' (hutamkwa kama "Menace 2 Society") ni igizo la filamu la uhalifu na maisha ya mtaani kutoka [[Marekani]] iliyotolewa mwaka wa 1993. Filamu hii iliongozwa na [[Hughes Brothers|Hughes Brothers]] (Albert na Allen Hughes) katika kazi yao ya kwanza ya uongozaji, na kuandikwa na Tyger Williams kulingana na hadithi iliyotungwa na Hughes Brothers pamoja na Williams. Filamu hii inawashirikisha waigizaji kama [[Tyrin Turner]], [[Larenz Tate]], [[Jada Pinkett Smith]], [[Arnold Johnson]], [[MC Eiht]], na [[Samuel L. Jackson]]. Inasimulia maisha ya Kaydee "Caine" Lawson na rafiki zake wa karibu wanapojaribu kunusurika kwenye mazingira ya umaskini, madawa ya kulevya, na vurugu za magenge ya mtaani katika mtaa wa Watts, [[Los Angeles]]. ''Menace II Society'' inachukuliwa kuwa moja ya filamu zilizoweka misingi mikuu ya [[Filamu za Hood|filamu za Hood]] na sinema za Wamarekani Weusi katika miaka ya 1990.<ref>{{cite news|last=Maslin|first=Janet|title=Review/Film; Hard Town, Hard Men, Hard Decisions|url=https://www.nytimes.com/1993/05/26/movies/review-film-hard-town-hard-men-hard-decisions.html|newspaper=The New York Times|date=1993-05-26|access-date=2026-09-06}}</ref> Filamu ilipata sifa kubwa kutoka kwa wachambuzi wa filamu kwa ajili ya uonyeshaji wake wa uhalisia usio na urembo kuhusu maisha ya mtaani, maonyesho ya waigizaji, na mtindo wa uongozaji. == Hadithi == Kaydee "Caine" Lawson na rafiki yake wa karibu Kevin "O-Dog" Anderson wanaingia kwenye duka la vinywaji kununua pombe, lakini muuzaji mwenye asili ya [[Korea]] na mke wake wanawashinikiza wanunue vinywaji vyao haraka na kuondoka. Wanapokuwa wanaondoka, muuzaji huyo anamtukana O-Dog kwa makusudi kwa kumwambia, "Namhurumia mama yako." Kwa hasira, O-Dog anampiga risasi na kumuua muuzaji huyo pamoja na mke wake. Kisha anachukua mkanda wa kamera za ulinzi (CCTV), anaiba mkoba wa fedha wa muuzaji na fedha zilizopo kwenye droo, kisha anatoroka na Caine. Kwenye kumbukumbu rejea, Caine anakumbuka kuwa alipokuwa na umri wa miaka 10, aliwapoteza wazazi wake Tat na Karen; baba yake aliuawa kwenye biashara ya [[dawa za kulevya]] iliyoharibika na mama yake alifariki kwa kuzidisha kipimo cha dawa za kulevya aina ya [[heroin]]. James "Pernell" Richards, mshirika wa biashara wa Tat na "mjomba" wa Caine, alifungwa jela na anatumikia kifungo cha maisha. Hali hii ilipelekea babu na bibi yake Caine kumlea katika makazi ya nyumba za ushirika za [[Jordan Downs]] zenye kiwango kikubwa cha uhalifu, ambapo alikutana na O-Dog na wawili hao hatimaye wakajiunga na genge la mtaani. Miaka kadhaa baadaye, Caine anahitimu elimu ya sekondari. Katika kusherehekea, yeye na binamu yake Harold wanahudhuria sherehe, ambapo O-Dog anaonyesha mkanda wa kamera za ulinzi kwa kundi la marafiki zao wa karibu, jambo linalomkasirisha sana Caine. Baadaye, wawili hao wanapokuwa wanaondoka kwenye sherehe hiyo, majambazi wa kuteka magari wanawavizia, na kumuua Harold huku wakimjeruhi Caine. Baada ya kubaini mahali walipo majambazi hao, Caine, O-Dog, na rafiki yao A-Wax wanawavizia na kuwapiga risasi na kuwaua, wakilipiza kisasi cha kifo cha Harold. Muda fulani baadaye, Caine anatembelea Ronnie, mpenzi mdogo wa Pernell, na kujenga uhusiano wa karibu na mtoto wake mdogo Anthony. Usiku mmoja, Chauncey (rafiki wa Caine na O-Dog), anawaagiza waibe gari la gharama kubwa kutoka kwenye karakana ya maegesho, lakini wanakamatwa na polisi. O-Dog anaachiriwa, lakini Caine anazuiliwa baada ya alama zake za vidole kufanana na zile zilizopatikana kwenye chupa ya bia iliyoangushwa wakati wa mauaji ya duka la vinywaji. Wakati wa mahojiano, upelelezi unajaribu kumchanganya Caine kwa kubadilisha maswali mara kwa mara, lakini hatimaye Caine anaachiwa. Marafiki wengine wa Caine, Stacy na Sharif, wanammwalika aambatane nao kuelekea [[Kansas]], lakini anakataa, akihofia kwamba hatamudu kuishi nje ya maisha yake ya uhalifu aliyoyazoea. Babu yake mwenye misingi ya kidini pamoja na Bw. Butler (baba yake Sharif na mwalimu wa shule) wote wanamsihi abadili mwenendo wake ili asije akafungwa au kuuawa. Caine anaanza kununua na kupika kiasi kikubwa cha kokeni, na haraka anakuwa muuzaji na mwanachama sugu wa genge hilo. Anateka hisia za msichana wa eneo hilo anayeitwa Ilena na kufanya naye ngono. Usiku mmoja, polisi wanamsimamisha na kumshambulia yeye na Sharif kabla ya kuwatupa kwa makusudi kwenye mtaa wa [[Wamarekani wenye asili ya Hispania|Wakispania]], wakitarajia watashambuliwa zaidi na wanagenge wa Kispani. Kwa kushangaza, wanagenge hao wanawapeleka [[hospitali]] kwa huruma. Wakati akiwa hospitali, Ronnie anammwalika Caine aambatane naye kuelekea [[Atlanta]] kwenye kazi yake mpya ya ukatibu. Ingawa mwanzoni alisita, hatimaye anakubali. Kwenye sherehe moja, Caine anamwona Chauncey akiwa amelewa na kumfanyia Ronnie vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Kwa hasira, Caine anampiga Chauncey kwa kitako cha bunduki, lakini anazuiliwa haraka na Stacy pamoja na Sharif. Kwa kulipiza kisasi, Chauncey anatuma nakala yake ya mkanda wa kamera za ulinzi kwa polisi. Ilena anampigia simu Caine kumtaarifu kuhusu ujauzito wake, lakini Caine anakataa uwepo wa mimba hiyo na kumfukuza. Ronnie na Caine wanamtembelea Pernell aliyeko gerezani, ambaye anamhimiza Caine kuwa mfano bora kwa Anthony na kuhamia Atlanta. Baadaye, Caine anarudi nyumbani, lakini binamu wa Ilena mwenye tabia za kiharifu anamfuata nje ya nyumba yake. Mjadala kuhusu Ilena na ujauzito wake unazuka, na kumfanya Caine kumpiga na kumkanyaga kwa brutal binamu wa Ilena mbele ya majirani waliokuwa wanashuhudia. Babu yake Caine anatoka nje haraka, anamzuia Caine na kumwingiza ndani. Baada ya kuchoshwa na tabia za Caine za vurugu na matatizo, babu na bibi yake Caine wanammfukuza nyumbani mwao, kujapokuwa na maombi yake ya kubaki hadi atakapoondoka kuelekea Atlanta. Baada ya kujua kutoka kwa rafiki yao Doc kuhusu usaliti wa Chauncey, Caine na O-Dog ambao sasa wanatafutwa na polisi wanatafuta hifadhi nyumbani kwa Ronnie na marafiki wengine. O-Dog anaapa kulipiza kisasi kwa Chauncey wakati binamu wa Ilena anakusanya marafiki zake ili kulipiza kisasi kwa Caine. Wakati Caine na Ronnie wakijiandaa kuondoka kuelekea Atlanta, binamu wa Ilena na marafiki zake wanakaribia nyumba ya Ronnie na kufanya shambulio la risasi kutokea kwenye gari linalotembea (drive-by shooting), na kumpiga risasi Sharif papo hapo na kumjeruhi vibaya Caine wakati akimkinga Anthony. Baadaye, Stacy na Ronnie wanatoka ndani ya nyumba, wakimhudumia Caine na Anthony. Wakati maisha ya Caine yakimpita kwa kasi mbele ya macho yake, anakumbuka babu yake akimwuliza kama anajali kuhusu kuishi au kufa, na anatambua katika wakati wake wa mwisho wa kufa kwamba anajali. == Waigizaji == * [[Tyrin Turner]] kama Kaydee "Caine" Lawson * [[Larenz Tate]] kama Kevin "O-Dog" Anderson * [[Jada Pinkett Smith]] kama Ronnie * [[Samuel L. Jackson]] kama Tat Lawson (baba yake Caine) * [[MC Eiht]] kama A-Wax * [[Arnold Johnson]] kama Babu Harold Lawson * [[Marilyn Coleman]] kama Bibi Lawson * [[Glenn Plummer]] kama Pernell * [[Charles S. Dutton]] kama Mr. Butler * [[Bill Duke]] kama Off-duty Detective * [[Khandi Alexander]] kama Karen Lawson (mama yake Caine) == Mapokezi na mafanikio == Filamu ilifanya uzinduzi wake wa kwanza katika Tamasha la Filamu la Cannes mwaka 1993. Baadaye ilipata mafanikio makubwa katika masanduku ya tiketi, ikipata zaidi ya dola milioni 27 za Marekani dhidi ya bajeti ndogo ya utengenezaji ya dola milioni 3.5.<ref>{{cite web|url=https://www.boxofficemojo.com/title/tt0107554/|title=Menace II Society Box Office|publisher=Box Office Mojo|access-date=2026-09-06}}</ref> Wachambuzi wengi waliisifu filamu hii kwa ujasiri wake wa kuonyesha madhara ya maisha ya vurugu bila kuyapamba. Mnamo 1994, filamu ilijishindia Tuzo ya [[MTV Movie Award for Best Movie|MTV Movie Award cha Filamu Bora]]. == Kibwagizo cha filamu == Kibwagizo cha filamu hii kilitolewa mnamo Mei 1993 na kupata mafanikio makubwa ya kibiashara. Kilihusisha nyimbo kutoka kwa wasanii nguli wa muziki wa [[hip hop]] na R&B wa Pwani ya Magharibi (West Coast) kama vile [[MC Eiht]] ("Streiht Up Menace"), [[DJ Quik]], [[Too Short]], [[UHK]], [[Spice 1]], na [[Pete Rock & CL Smooth]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{BD|1993}} [[Jamii:Filamu za 1993]] [[Jamii:Filamu za Marekani]] [[Jamii:Filamu zilizoongozwa na Hughes Brothers]] [[Jamii:Filamu za Hood]] anqjw50vqrkwkhd58auj9wqkpchkmvb Majadiliano ya mtumiaji:Kenama5847478 3 248615 1594768 1594742 2026-09-06T12:05:49Z Kenama5847478 92172 /* */ Jibu 1594768 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Septemba 2026 (UTC) :aw thx i already am a heavy contributor to the english wikipedia '''[[Mtumiaji:Kenama5847478|Kenama5847478]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kenama5847478#top|majadiliano]])''' 12:05, 6 Septemba 2026 (UTC) 29yxbpc0v0459usxdc7m2h4qz45wvid Patrizio Bertelli 0 248629 1594775 1594761 2026-09-06T13:54:07Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594775 wikitext text/x-wiki '''Patrizio Bertelli''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Italia]] na afisa mkuu mtendaji wa zamani (CEO) wa Prada Group, nafasi aliyoshiriki na mke wake Miuccia Prada.<ref>{{cite news|url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/people/person.asp?personId=25055459&ticker=1913:HK|title=Patrizio Bertelli|work=[[Bloomberg L.P.|Bloomberg]]|accessdate=2015-11-17}}</ref> == Maisha na Kazi == Bertelli alizaliwa katika mji wa [[Tuscany]] wa [[Arezzo]] mwaka 1946 na alianza kazi yake katika sekta ya bidhaa za ngozi, kabla ya kuhamia sekta ya kifahari. Akiwa na umri wa miaka 21, alipokuwa akisoma katika Chuo Kikuu cha Bologna alianzisha Sir Robert, kampuni ndogo ya bidhaa za ngozi.<ref name="auto">{{Rejea tovuti |date=2025-07-30 |title=Patrizio Bertelli {{!}} BoF 500 {{!}} The People Shaping the Global Fashion Industry |url=https://www.businessoffashion.com/people/patrizio-bertelli/ |access-date=2025-11-06 |website=The Business of Fashion |language=en}}</ref><ref>{{cite news |last=Goldstein |first=Lauren |date=1999-09-27 |title=Prada Goes Shopping Bertelli transformed Prada from a stuffy family company into a fashion powerhouse. And he's just warming up. |url=https://money.cnn.com/magazines/fortune/fortune_archive/1999/09/27/266185/index.htm |archive-url=https://web.archive.org/web/20100326175227/http://money.cnn.com/magazines/fortune/fortune_archive/1999/09/27/266185/index.htm |url-status=dead |archive-date=March 26, 2010 |access-date=2015-11-17 |work=[[Fortune (magazine)|Fortune]]}}</ref> Mwaka 1978, Bertelli alikutana na Miuccia Prada, mjukuu wa Mario Prada, mwanzilishi wa chapa ya Prada. Uhusiano wao wa kikazi baadaye ukawa ndoa.<ref>{{Rejea habari |title=Miuccia Prada: The feeling is Miuccia |url=https://www.independent.co.uk/news/people/profiles/miuccia-prada-the-feeling-is-miuccia-70036.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20250114193325/https://www.independent.co.uk/news/people/profiles/miuccia-prada-the-feeling-is-miuccia-70036.html |archive-date=2025-01-14 |access-date=2025-02-19 |work=The Independent |language=en-GB |url-status=live }}</ref> Katika miaka ya 1980, Bertelli alianzisha mabadiliko katika michakato ya uzalishaji ya Prada, akilenga kuboresha udhibiti wa ubora na ufanisi katika sekta ya bidhaa za kifahari. Mabadiliko haya yalichukua jukumu katika upanuzi wa kampuni wakati wa miaka ya 1980 na 1990.<ref>{{cite web|url= http://oma.eu/projects/prada-epicenter-new-york|title=Prada Epicenter New York| website=oma.eu |accessdate=2015-11-17}}</ref> Mwishoni mwa miaka ya 1990, Bertelli na Miuccia Prada walishirikiana na wasanifu kama Rem Koolhaas na Herzog & de Meuron kuzindua mradi wa "Prada Epicentres." Kufikia 2023, Bertelli ni afisa mkuu mtendaji mwenza wa Prada Group, ambayo inajumuisha Prada, Miu Miu, Church's, Car Shoe, na Marchesi 1824. Kufikia Mei 2025, utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 5.4.<ref name="Forbes profile2">{{cite web |title=Forbes profile: Patrizio Bertelli |url=https://www.forbes.com/profile/patrizio-bertelli/ |access-date=27 May 2025 |work=Forbes}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Italia]] [[Jamii:Wanaume wa Italia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] [[Jamii:Watu walio hai]] f40wziz0v413sm0cownt5a0xo247fj8 Ernesto Bertarelli 0 248630 1594782 1594762 2026-09-06T15:47:19Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594782 wikitext text/x-wiki '''Ernesto Silvio Maurizio Bertarelli''' (alizaliwa [[22 Septemba]] [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Uswizi]] mzaliwa wa [[Italia]].<ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.munzinger.de/search/go/document.jsp?id=00000025733 |title=Munzinger Personen: Ernesto Bertarelli |publisher=Munzinger-Archiv |access-date=10 June 2024}}</ref> Kufikia 2025, jarida la Uswizi Bilanz linakadiria utajiri wa familia kuwa CHF bilioni 17.5, wakati Bloomberg Billionaires Index inakadiria utajiri wa familia ya Bertarelli kuwa dola bilioni 39.3 kufikia 2026.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.bilanz.ch/bilanz-die-300-reichsten-2025/g0vxkp8|title=Die 300 Reichsten 2025|website=www.bilanz.ch|language=de|access-date=2026-08-19|url-status=dead}}</ref><ref name="Bloomberg">{{cite news |title=Bloomberg Billionaires Index: Ernesto Bertarelli |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/ernesto-bertarelli/ |website=[[Bloomberg L.P.]] |access-date=16 April 2021}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Uswizi]] [[Jamii:Wanaume wa Italia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] [[Jamii:Watu walio hai]] eafztifxbfwj2q92879shijwmx3xgxm 1594857 1594782 2026-09-07T04:17:36Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594857 wikitext text/x-wiki '''Ernesto Silvio Maurizio Bertarelli''' (alizaliwa [[22 Septemba]] [[1965]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Uswizi]] mzaliwa wa [[Italia]].<ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.munzinger.de/search/go/document.jsp?id=00000025733 |title=Munzinger Personen: Ernesto Bertarelli |publisher=Munzinger-Archiv |access-date=10 June 2024}}</ref> Kufikia 2025, jarida la Uswizi Bilanz linakadiria utajiri wa familia kuwa CHF bilioni 17.5, wakati Bloomberg Billionaires Index inakadiria utajiri wa familia ya Bertarelli kuwa dola bilioni 39.3 kufikia 2026.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.bilanz.ch/bilanz-die-300-reichsten-2025/g0vxkp8|title=Die 300 Reichsten 2025|website=www.bilanz.ch|language=de|access-date=2026-08-19|url-status=dead|archive-date=2026-08-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20260820014254/https://www.bilanz.ch/bilanz-die-300-reichsten-2025/g0vxkp8}}</ref><ref name="Bloomberg">{{cite news |title=Bloomberg Billionaires Index: Ernesto Bertarelli |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/profiles/ernesto-bertarelli/ |website=[[Bloomberg L.P.]] |access-date=16 April 2021}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Uswizi]] [[Jamii:Wanaume wa Italia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] [[Jamii:Watu walio hai]] 4kpy2ugyv6q3iyks0qu8ad2zvx30pmk Dona Bertarelli 0 248632 1594780 1594765 2026-09-06T15:33:10Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594780 wikitext text/x-wiki '''Dona Bertarelli''' (alizaliwa [[1968]]) ni [[mjasiriamali]], mhisani nchini [[Uswizi]]. Yeye ni mwenyekiti mwenza wa Bertarelli Foundation, mwanzilishi wa Sails of Change, mwanzilishi mwenza wa Pew Bertarelli Ocean Legacy na mwanzilishi wa Global Fishing Watch Marine Manager. Yeye ni Mlinzi wa Asili wa IUCN. Kama baharia, yeye ni mshindi wa Bol d'Or Mirabaud ya 2010 na 2014 na, pamoja na timu yake Spindrift Racing, Fastnet Race mwaka 2013. Mwaka huo huo, yeye na timu yake pia walivunja rekodi ya Amerika Discovery Route. Katika majira ya baridi ya 2016 alipata Jules Verne Trophy.<ref name=AKA_Bertarelli_1> {{Rejea tovuti |url=https://www.wealthx.com/dossier/donata-spaeth |title=Wealth-X dossier Donata Guichard Bertarelli |access-date=9 May 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180510060921/https://www.wealthx.com/dossier/donata-spaeth/ |archive-date=10 May 2018 |url-status=dead |df=dmy-all }} </ref><ref name=AKA_Bertarelli_2>[http://www.prnewswire.co.uk/news-releases/donata-bertarelli-spath-tops-wealthiest-swiss-women-list-180312741.html Donata Bertarelli Spath Tops Wealthiest Swiss Women List]</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=At the first Sports for Nature Annual Meeting, sports propose a plan of action to protect biodiversity. - Sails of Change |url=https://www.sailsofchange.org/at-the-first-sports-for-nature-annual-meeting-sports-propose-a-plan-of-action-to-protect-biodiversity/ |access-date=26 April 2024}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Pew Bertarelli Ocean Legacy |url=https://www.pewtrusts.org/en/projects/pew-bertarelli-ocean-legacy |access-date=26 April 2024}}</ref> Mwaka 2023, alitunukiwa kama Knight wa Agizo la Kitaifa la Legion of Honor ya [[Ufaransa]] na kama Kamanda wa agizo la kitaifa la Order of Honorato Vásquez wa [[Ekuador]]. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Uswizi]] [[Jamii:Watu wa Uswizi]] [[Jamii:Waliozaliwa 1968]] [[Jamii:Watu walio hai]] ep3hj95t97z0c2sqfik2ywofhrdcia2 1594848 1594780 2026-09-07T02:29:01Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1594848 wikitext text/x-wiki '''Dona Bertarelli''' (alizaliwa [[1968]]) ni [[mjasiriamali]], mhisani nchini [[Uswizi]]. Yeye ni mwenyekiti mwenza wa Bertarelli Foundation, mwanzilishi wa Sails of Change, mwanzilishi mwenza wa Pew Bertarelli Ocean Legacy na mwanzilishi wa Global Fishing Watch Marine Manager. Yeye ni Mlinzi wa Asili wa IUCN. Kama baharia, yeye ni mshindi wa Bol d'Or Mirabaud ya 2010 na 2014 na, pamoja na timu yake Spindrift Racing, Fastnet Race mwaka 2013. Mwaka huo huo, yeye na timu yake pia walivunja rekodi ya Amerika Discovery Route. Katika majira ya baridi ya 2016 alipata Jules Verne Trophy.<ref name=AKA_Bertarelli_1> {{Rejea tovuti |url=https://www.wealthx.com/dossier/donata-spaeth |title=Wealth-X dossier Donata Guichard Bertarelli |access-date=9 May 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180510060921/https://www.wealthx.com/dossier/donata-spaeth/ |archive-date=10 May 2018 |url-status=dead |df=dmy-all }} </ref><ref name=AKA_Bertarelli_2>[http://www.prnewswire.co.uk/news-releases/donata-bertarelli-spath-tops-wealthiest-swiss-women-list-180312741.html Donata Bertarelli Spath Tops Wealthiest Swiss Women List]</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=At the first Sports for Nature Annual Meeting, sports propose a plan of action to protect biodiversity. - Sails of Change |url=https://www.sailsofchange.org/at-the-first-sports-for-nature-annual-meeting-sports-propose-a-plan-of-action-to-protect-biodiversity/ |access-date=26 April 2024 |archive-date=2024-04-26 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240426091010/https://www.sailsofchange.org/at-the-first-sports-for-nature-annual-meeting-sports-propose-a-plan-of-action-to-protect-biodiversity/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Pew Bertarelli Ocean Legacy |url=https://www.pewtrusts.org/en/projects/pew-bertarelli-ocean-legacy |access-date=26 April 2024}}</ref> Mwaka 2023, alitunukiwa kama Knight wa Agizo la Kitaifa la Legion of Honor ya [[Ufaransa]] na kama Kamanda wa agizo la kitaifa la Order of Honorato Vásquez wa [[Ekuador]]. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Uswizi]] [[Jamii:Watu wa Uswizi]] [[Jamii:Waliozaliwa 1968]] [[Jamii:Watu walio hai]] scnx5iudika4pqiifb84nkw8v56v6jc Mbulelo Mabizela 0 248635 1594769 2026-09-06T12:16:02Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594769 wikitext text/x-wiki '''Mbulelo Oldjohn Mabizela''' (aliyezaliwa [[16 Septemba]] [[1980]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] aliyekuwa akicheza nafasi ya beki na wakati mwingine kiungo. == Kazi ya klabu == === Mwanzo wa taaluma ya kulipwa === Mabizela alizaliwa huko Pietermaritzburg, [[KwaZulu-Natal]]. Alianza taaluma yake akitumia jina la ukoo la [[mama]] yake, ''Oldjohn'', lakini baadaye alipendelea kujulikana kama ''Mabizela'', jina la ukoo la [[baba]] yake, Dumisani, ambaye pia aliwahi kucheza soka katika [[klabu]] ya AmaZulu. Kwa kuwa alikuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kuwa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini, jina lake la ukoo ''Oldjohn'' mara nyingi lilitumika kama jina la utani. Mabizela alianza taaluma yake ya klabu katika ngazi ya wakubwa akiwa na Maritzburg City katika National First Division, kabla ya baadaye kujiunga na Orlando Pirates. === Ulaya === Mwezi [[Agosti]] [[2003]], Mabizela alijiunga na Tottenham Hotspur baada ya kuiongoza Pirates kupata ushindi wa 2–1 dhidi ya Tottenham wakati klabu hiyo ya [[London]] ilipofanya ziara fupi nchini Afrika Kusini kabla ya kuanza kwa msimu wa 2003–04. Alifunga bao lake pekee kwa klabu hiyo katika mechi yake ya kwanza baada ya kuingia kama mchezaji wa akiba katika mchezo wa ligi dhidi ya Leicester City mwezi [[Oktoba]] 2003. Mwezi Oktoba [[2004]], Tottenham Hotspur ilisitisha [[mkataba]] wake na kumwachilia kwa makubaliano ya pande zote kufuatia makosa kadhaa ya kinidhamu, yakiwemo kutohudhuria mazoezi. Kwa jumla, alicheza mechi tisa pekee kwa klabu hiyo na kufunga bao moja. Baada ya kuachiliwa, Mabizela alialikwa kufanya mazoezi na klabu ya [[London]] ya Fulham, lakini alikataliwa na klabu hiyo baada ya kudaiwa kuonekana kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi. Alijiunga na klabu ya Norway ya Vålerenga mwezi Machi [[2005]], miezi sita baada ya kuwa bila klabu, na alitumia msimu mmoja katika klabu hiyo ya Norway, ambako alicheza mara chache na kutwaa ubingwa wa kitaifa. == Taaluma ya ukocha == Mwaka [[2018]], Mabizela alipata sifa ya leseni ya ukocha ya D ya Safa na alikuwa akifundisha katika Chama cha Soka cha Eneo huko KwaZulu-Natal. == Mafanikio == Orlando Pirates * South African Premier Division: [[2002]]–03 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/6142/Mbulelo_Mabizela.html</ref><ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/3135909.stm</ref><ref>https://www.hitc.com/tottenham-flop-mbulelo-mabizela-joins-south-african-basement-clu/</ref><ref>https://mg.co.za/news/south-africa/2005-03-08-mabizela-goes-to-norway/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20160226064210/http://www.bdlive.co.za/sport/soccer/2015/01/26/mabizela-saved-now-by-amazulu</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 8xh59dd4fg5uoz0n3slic7qwr3teiy6 Nasief Morris 0 248636 1594770 2026-09-06T12:31:36Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594770 wikitext text/x-wiki '''Mogammat Nasief Morris''' (aliyezaliwa [[16 Aprili]] [[1981]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] aliyekuwa akicheza nafasi ya beki wa kati. Aliondoka nchini mwake [[mwaka]] [[2001]] ili kufuatilia taaluma ya soka barani [[Ulaya]], ambapo alicheza zaidi nchini [[Ugiriki]], lakini pia nchini [[Hispania]] na [[Cyprus]]. Morris alicheza mechi 37 za kimataifa kwa ajili ya [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini kati ya mwaka [[2004]] na [[2009]]. == Kazi ya klabu == === Ugiriki === Morris alizaliwa Cape Town na alianza taaluma yake katika klabu ya [[eneo]] lake, Santos F.C., kabla ya kusaini na klabu ya Ugiriki ya Aris Thessaloniki mwezi [[Juni]] [[2001]] kwa ada ya €350,000. Katika msimu wake wa pili katika Super League, alicheza [[mechi]] 27 na kufunga mabao mawili, huku klabu hiyo ikimaliza katika nafasi ya sita na hivyo kufuzu kwa [[Kombe]] la [[UEFA]]. Baada ya miaka miwili, Morris alijiunga na klabu nyingine ya [[ligi]] hiyo, Panathinaikos FC. Alicheza mechi yake ya kwanza katika UEFA Champions League tarehe [[1 Oktoba]] [[2003]] katika sare ya 1–1 ya hatua ya makundi dhidi ya Rangers iliyochezwa nyumbani. Katika kipindi chake cha miaka mitano, hakuwahi kucheza chini ya mechi 21 za ligi katika msimu wowote, huku timu yake ikitwaa ubingwa wa ligi na kombe katika msimu wa 2003–04. Aidha, alicheza mechi 14 za Champions League na mechi 18 za Kombe la UEFA. === Hispania === Mwanzoni mwa msimu wa 2008–09, Morris alipelekwa kwa mkopo katika klabu ya Recreativo de Huelva nchini Hispania. Alicheza mechi yake ya kwanza katika [[La Liga]] tarehe [[31 Agosti]] 2008, akicheza dakika zote 90 katika ushindi wa 1–0 ugenini dhidi ya [[Real Betis]] katika mchezo wa derby. Morris alikosa mchezo mmoja tu wa ligi akiwa na Recreativo, na alifunga bao tarehe [[3 Mei]] [[2009]] katika ushindi wa 2–1 ugenini dhidi ya CA Osasuna, akifunga katika dakika ya mwisho. Hata hivyo, ''Recre'' hatimaye ilishuka daraja. Katika msimu uliofuata, akiwa bado kwa mkopo, alihamia klabu nyingine ya daraja la juu nchini Hispania, Racing de Santander. Morris alianza katika michezo yake ya kwanza akiwa na Racing, lakini baadaye akawa chaguo la tatu au la nne katika nafasi ya beki wa kati—alicheza mechi 11 katika michezo 15 ya kwanza ya ligi, na mchezo mmoja pekee katika michezo 23 iliyofuata. Tarehe [[5 Mei]] [[2010]], alitolewa kwa kadi nyekundu katika kichapo cha 5–1 nyumbani dhidi ya [[Sevilla FC]]. === Miaka ya baadaye === Mwezi Julai [[2010]], baada ya kutangazwa kwamba Panathinaikos isingeongeza mkataba wake na klabu hiyo, Morris alisaini na Apollon Limassol ya [[Cyprus]]. Baada ya msimu mmoja, akiwa na umri wa miaka 30, alirejea nchini mwake na kujiunga na SuperSport United FC. == Kazi ya kimataifa == Morris alifanya mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa ya Afrika Kusini mwaka [[2004]]. Katika mwaka huo huo, alisimamishwa kwa muda na FIFA kushiriki mashindano yote baada ya kujaribu kumshambulia mwamuzi wakati wa kichapo cha 2–1 dhidi ya [[Zambia]] tarehe [[21 Februari]]. Morris alichaguliwa katika kikosi cha ''[[Bafana Bafana]]'' kilichoshiriki [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2008, ambapo timu hiyo hatimaye iliondolewa katika hatua ya makundi nchini [[Ghana]].<ref>https://www.bdfutbol.com/en/j/j8535.html</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/7714/Nasief_Morris.html</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe20415/</ref><ref>https://www.transfermarkt.com/nasief-morris/profil/spieler/9735</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1981]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 9br35mzfb4llpg6uz0egdzv5nr721pv Dick Enthoven 0 248637 1594772 2026-09-06T13:06:32Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Richard Enthoven''' ( [[1937]] – [[2 Desemba]] [[2022]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa mmiliki wa mnyororo wa migahawa ya kawaida Nando's, Hollard Group ya makampuni ya bima, na Spier Wine Farm. == Maisha ya Awali == Richard Enthoven alikuwa mtoto wa Robert Enthoven, mjasiriamali wa Afrika Kusini ambaye "alijikusanyia utajiri kupitia kampuni ya bima," na kampuni yake Robert Enthoven Insurance Brokers. =...' 1594772 wikitext text/x-wiki '''Richard Enthoven''' ( [[1937]] – [[2 Desemba]] [[2022]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa mmiliki wa mnyororo wa migahawa ya kawaida Nando's, Hollard Group ya makampuni ya bima, na Spier Wine Farm. == Maisha ya Awali == Richard Enthoven alikuwa mtoto wa Robert Enthoven, mjasiriamali wa Afrika Kusini ambaye "alijikusanyia utajiri kupitia kampuni ya bima," na kampuni yake Robert Enthoven Insurance Brokers. == Maslahi ya Biashara == Familia ya Enthoven inamiliki mnyororo wa migahawa ya Nando's, Spier Wine Farm na Hollard Group ya makampuni ya bima. Familia ina umiliki mkubwa katika Telesure Group.<ref name="thesouthafrican">{{cite news |last1=Pietzsch |first1=Mareike |title=Meet the reclusive South African billionaire investor behind Nando's |url=https://www.thesouthafrican.com/meet-the-reclusive-sa-tycoon-behind-nandos/|access-date=29 October 2015 |work=thesouthafrican |date=23 April 2015}}</ref> Mnamo Machi 2015, Bloomberg ilikadiria utajiri wake kuwa dola za Marekani bilioni 1.1.<ref name=Bloomberg_20150319>{{cite news |last1=Pendleton |first1=Devon |title=Spicy Chicken Billionaire Springs From South Africa With Nando's |url=https://www.bloomberg.com/news/articles/2015-03-19/spicy-chicken-billionaire-springs-from-south-africa-with-nando-s|access-date=29 October 2015 |work=Bloomberg L.P. |date=19 March 2015}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1937]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] tc8b01oein2qicdn75mr00xsrqg87ns Koos Bekker 0 248638 1594773 2026-09-06T13:31:31Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jacobus Petrus "Koos" Bekker''' (alizaliwa [[14 Desemba]] [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], na mwenyekiti wa Prosus, na Naspers, kikundi cha kimataifa cha mtandao cha walaji na mmoja wa wawekezaji na waendeshaji wakubwa wa teknolojia duniani. Kampuni inafanya kazi katika nchi 130 na imeorodheshwa kwenye Soko la Hisa la [[London]] na Soko la Hisa la [[Johannesburg]].<ref name=Naspers>{{cite web|title=About Naspers, Non-Ex...' 1594773 wikitext text/x-wiki '''Jacobus Petrus "Koos" Bekker''' (alizaliwa [[14 Desemba]] [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], na mwenyekiti wa Prosus, na Naspers, kikundi cha kimataifa cha mtandao cha walaji na mmoja wa wawekezaji na waendeshaji wakubwa wa teknolojia duniani. Kampuni inafanya kazi katika nchi 130 na imeorodheshwa kwenye Soko la Hisa la [[London]] na Soko la Hisa la [[Johannesburg]].<ref name=Naspers>{{cite web|title=About Naspers, Non-Executive Directors|url=http://www.naspers.com/about#Non-Executive|website=Naspers|access-date=5 September 2017}}</ref> Kampuni yake ina thamani kubwa zaidi ya soko ya kampuni yoyote ya vyombo vya habari nje ya Marekani na China. Kufikia Januari 2025, utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 2.9. == Maisha ya Awali == Koos Bekker alizaliwa Potchefstroom, Afrika Kusini mwaka 1952. Alihudhuria Hoër Volkskool Heidelberg na alimaliza digrii katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch, katika sheria na fasihi, na katika Chuo Kikuu cha Wits, katika sheria. Ana MBA kutoka Shule ya Biashara ya Columbia, [[New York]] na udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Stellenbosch.<ref name="Rum01">{{Cite book |last=Rumney |first=Reg |url=http://archive.org/details/moversshakersazo0000rumn |title=Movers & shakers: an A-Z of South African business people |date=1999 |publisher=Sandton: Penguin Books |others=Internet Archive |isbn=978-0-14-029025-7}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Watu walio hai]] faz7nvnxskz4m5e9qivpkqce1hxxgux 1594790 1594773 2026-09-06T17:44:33Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1594790 wikitext text/x-wiki '''Jacobus Petrus "Koos" Bekker''' (alizaliwa [[14 Desemba]] [[1952]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], na mwenyekiti wa Prosus, na Naspers, kikundi cha kimataifa cha mtandao cha walaji na mmoja wa wawekezaji na waendeshaji wakubwa wa teknolojia duniani. Kampuni inafanya kazi katika nchi 130 na imeorodheshwa kwenye Soko la Hisa la [[London]] na Soko la Hisa la [[Johannesburg]].<ref name=Naspers>{{cite web|title=About Naspers, Non-Executive Directors|url=http://www.naspers.com/about#Non-Executive|website=Naspers|access-date=5 September 2017}}</ref> Kampuni yake ina thamani kubwa zaidi ya soko ya kampuni yoyote ya vyombo vya habari nje ya Marekani na China. Kufikia Januari 2025, utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 2.9. == Maisha ya Awali == Koos Bekker alizaliwa Potchefstroom, Afrika Kusini mwaka 1952. Alihudhuria Hoër Volkskool Heidelberg na alimaliza digrii katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch, katika sheria na fasihi, na katika Chuo Kikuu cha Wits, katika sheria. Ana MBA kutoka Shule ya Biashara ya Columbia, [[New York]] na udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Stellenbosch.<ref name="Rum01">{{Rejea kitabu |last=Rumney |first=Reg |url=http://archive.org/details/moversshakersazo0000rumn |title=Movers & shakers: an A-Z of South African business people |date=1999 |publisher=Sandton: Penguin Books |others=Internet Archive |isbn=978-0-14-029025-7}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Watu walio hai]] 716uvrrryp37l1hz0pg0fuh2pk631p3 Whitey Basson 0 248639 1594774 2026-09-06T13:48:47Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''James Wellwood "Whitey" Basson''' (alizaliwa [[8 Januari]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] na bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye kwa kiasi kikubwa alihusika katika kukuza biashara ndogo iitwayo Shoprite kutoka mnyororo wa maduka 8 wenye thamani ya R1 milioni kuwa shirika la makampuni ya kimataifa ya rejareja yenye mapato mwaka 2019 ya R150 bilioni, thamani ya soko ya R114 bilioni, zaidi ya maduka 2,300 na wafanyakazi 140,000 katika nchi 15 za Af...' 1594774 wikitext text/x-wiki '''James Wellwood "Whitey" Basson''' (alizaliwa [[8 Januari]] [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] na bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye kwa kiasi kikubwa alihusika katika kukuza biashara ndogo iitwayo Shoprite kutoka mnyororo wa maduka 8 wenye thamani ya R1 milioni kuwa shirika la makampuni ya kimataifa ya rejareja yenye mapato mwaka 2019 ya R150 bilioni, thamani ya soko ya R114 bilioni, zaidi ya maduka 2,300 na wafanyakazi 140,000 katika nchi 15 za [[Afrika]]. Deloitte's Global Powers of Retailing 2019 iliorodhesha Kikundi cha Shoprite kama muuzaji wa 86 kwa ukubwa duniani.<ref name="ASA2016">{{cite web | title=COVER STORY: Whitey Basson | website=Accountancy SA | date=30 November 2016 | url=https://www.accountancysa.org.za/whitey-basson-shining-south-african-role-model-manages-by-embarrassment/ | access-date=19 November 2019}}</ref> Basson alistaafu kama mkurugenzi msimamizi na Mkurugenzi Mtendaji wa Shoprite Holdings Ltd tarehe 31 Desemba 2016.<ref name="Brand-Jonker 2017">{{cite web | last=Brand-Jonker | first=Nellie | title=I'm not fleeing SA, says Whitey about selling off R1.8bn in shares | website=Fin24 | date=10 May 2017 | url=https://www.fin24.com/Companies/Retail/im-not-fleeing-sa-says-whitey-about-selling-off-r18bn-in-shares-20170510 | access-date=21 November 2019}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] [[Jamii:Watu walio hai]] aocdza28ble4ko12b9zp7qvhqyu9xbw Michiel le Roux 0 248640 1594777 2026-09-06T14:51:16Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Michiel Scholtz du Pré le Roux''' (alizaliwa [[20 Mei]] [[1949]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alianzisha Capitec Bank. Alikuwa afisa mkuu mtendaji (CEO) wa kwanza wa benki kuanzia 2001 hadi 2004 na baadaye alihudumu kama mwenyekiti wake kuanzia 2007 hadi 2016. == Maisha ya Awali na Kazi == Le Roux alizaliwa tarehe 20 Mei 1949. Alihitimu mwaka 1966 katika Hoërskool Alberton huko Alberton North kwenye East...' 1594777 wikitext text/x-wiki '''Michiel Scholtz du Pré le Roux''' (alizaliwa [[20 Mei]] [[1949]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alianzisha Capitec Bank. Alikuwa afisa mkuu mtendaji (CEO) wa kwanza wa benki kuanzia 2001 hadi 2004 na baadaye alihudumu kama mwenyekiti wake kuanzia 2007 hadi 2016. == Maisha ya Awali na Kazi == Le Roux alizaliwa tarehe 20 Mei 1949. Alihitimu mwaka 1966 katika Hoërskool Alberton huko Alberton North kwenye East Rand, ambako baba yake alikuwa mhandisi wa uingizaji hewa wa mgodini. Alikwenda Chuo Kikuu cha Stellenbosch, akihitimu mwaka 1972 na Shahada ya Biashara na Shahada ya Sheria. Kama mwanafunzi aliishi Eendrag.<ref name=":0">{{Cite web |last=Minnaar |first=Kirsten |date=14 July 2024 |title=The billionaire who built South Africa's largest consumer bank |url=https://dailyinvestor.com/finance/57158/the-billionaire-who-built-south-africas-largest-consumer-bank/ |access-date=2024-12-18 |website=Daily Investor |language=en-ZA}}</ref><ref name=":1">{{Cite web |date=2024-07-17 |title=Billionaire bank founder who matriculated at Hoërskool Alberton |url=https://www.citizen.co.za/alberton-record/news-headlines/local-news/2024/07/17/billionaire-bank-founder-who-matriculated-at-horskool-alberton/ |access-date=2024-12-18 |website=Alberton Record |language=en-US}}</ref> Baada ya chuo kikuu, alianza kazi yake katika Distillers Corporation, kampuni ya pombe ya Anton Rupert yenye makao yake [[Stellenbosch]], na akapanda ngazi hadi kuwa mkurugenzi msimamizi wake. Mwaka 1994, Christo Wiese alimwajiri kuhudumu kama mkurugenzi msimamizi wa Boland Bank. Karibu mwaka 1998, alijiuzulu chini ya hali zenye mvutano, ambazo hatimaye ziliishia katika kesi ya mahakama.<ref>{{Cite web |last=Basson |first=Deon |date=24 September 2003 |title=BoE's Leaf-Wright goes wrong |url=https://www.news24.com/fin24/boes-leaf-wright-goes-wrong-20050920-2 |access-date=2024-12-18 |website=News24 |language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Watu walio hai]] 2gn4xrghwb3bogc12bbbs1jrkxicidg 1594795 1594777 2026-09-06T18:38:44Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594795 wikitext text/x-wiki '''Michiel Scholtz du Pré le Roux''' (alizaliwa [[20 Mei]] [[1949]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alianzisha Capitec Bank. Alikuwa afisa mkuu mtendaji (CEO) wa kwanza wa benki kuanzia 2001 hadi 2004 na baadaye alihudumu kama mwenyekiti wake kuanzia 2007 hadi 2016. == Maisha ya Awali na Kazi == Le Roux alizaliwa tarehe 20 Mei 1949. Alihitimu mwaka 1966 katika Hoërskool Alberton huko Alberton North kwenye East Rand, ambako baba yake alikuwa mhandisi wa uingizaji hewa wa mgodini. Alikwenda Chuo Kikuu cha Stellenbosch, akihitimu mwaka 1972 na Shahada ya Biashara na Shahada ya Sheria. Kama mwanafunzi aliishi Eendrag.<ref name=":0">{{Rejea tovuti |last=Minnaar |first=Kirsten |date=14 July 2024 |title=The billionaire who built South Africa's largest consumer bank |url=https://dailyinvestor.com/finance/57158/the-billionaire-who-built-south-africas-largest-consumer-bank/ |access-date=2024-12-18 |website=Daily Investor |language=en-ZA}}</ref><ref name=":1">{{Rejea tovuti |date=2024-07-17 |title=Billionaire bank founder who matriculated at Hoërskool Alberton |url=https://www.citizen.co.za/alberton-record/news-headlines/local-news/2024/07/17/billionaire-bank-founder-who-matriculated-at-horskool-alberton/ |access-date=2024-12-18 |website=Alberton Record |language=en-US}}</ref> Baada ya chuo kikuu, alianza kazi yake katika Distillers Corporation, kampuni ya pombe ya Anton Rupert yenye makao yake [[Stellenbosch]], na akapanda ngazi hadi kuwa mkurugenzi msimamizi wake. Mwaka 1994, Christo Wiese alimwajiri kuhudumu kama mkurugenzi msimamizi wa Boland Bank. Karibu mwaka 1998, alijiuzulu chini ya hali zenye mvutano, ambazo hatimaye ziliishia katika kesi ya mahakama.<ref>{{Rejea tovuti |last=Basson |first=Deon |date=24 September 2003 |title=BoE's Leaf-Wright goes wrong |url=https://www.news24.com/fin24/boes-leaf-wright-goes-wrong-20050920-2 |access-date=2024-12-18 |website=News24 |language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Watu walio hai]] odo6z8ehjimtv30yjv46nsttgfyah8t Nathan Kirsh 0 248641 1594778 2026-09-06T15:05:51Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nathan "Natie" Kirsh''' (alizaliwa [[6 Januari]] [[1932]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Eswatini]] na [[Afrika Kusini]]. Anaongoza Kirsh Group, ambayo inamiliki hisa nyingi katika operesheni ya fedha na kubeba ya jimbo la New York Jetro Holdings, mmiliki wa Restaurant Depot na Jetro Cash & Carry. Kikundi pia kina uwekezaji nchini Australia, Eswatini, [[Uingereza]], [[Marekani]], na [[Israeli|Israel]]. Anaishi Eswatini, na ana makaz...' 1594778 wikitext text/x-wiki '''Nathan "Natie" Kirsh''' (alizaliwa [[6 Januari]] [[1932]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Eswatini]] na [[Afrika Kusini]]. Anaongoza Kirsh Group, ambayo inamiliki hisa nyingi katika operesheni ya fedha na kubeba ya jimbo la New York Jetro Holdings, mmiliki wa Restaurant Depot na Jetro Cash & Carry. Kikundi pia kina uwekezaji nchini Australia, Eswatini, [[Uingereza]], [[Marekani]], na [[Israeli|Israel]]. Anaishi Eswatini, na ana makazi nchini Uingereza na Marekani. [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 17.6 mnamo Aprili 2026. Pia aliorodheshwa kwenye Sunday Times Rich List ya Uingereza ya 2018, na mtu tajiri zaidi nchini Eswatini na Forbes.<ref name=Forbes>{{Cite web|title=Nathan Kirsh|url=https://www.forbes.com/profile/nathan-kirsh/|access-date=16 April 2026|website=Forbes|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Eswatini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1932]] [[Jamii:Watu walio hai]] kwqv7giap91uvovglmvn3jkumbm8xz2 1594805 1594778 2026-09-06T19:47:10Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1594805 wikitext text/x-wiki '''Nathan "Natie" Kirsh''' (alizaliwa [[6 Januari]] [[1932]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhisani nchini [[Eswatini]] na [[Afrika Kusini]]. Anaongoza Kirsh Group, ambayo inamiliki hisa nyingi katika operesheni ya fedha na kubeba ya jimbo la New York Jetro Holdings, mmiliki wa Restaurant Depot na Jetro Cash & Carry. Kikundi pia kina uwekezaji nchini Australia, Eswatini, [[Uingereza]], [[Marekani]], na [[Israeli|Israel]]. Anaishi Eswatini, na ana makazi nchini Uingereza na Marekani. [[Forbes]] ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 17.6 mnamo Aprili 2026. Pia aliorodheshwa kwenye Sunday Times Rich List ya Uingereza ya 2018, na mtu tajiri zaidi nchini Eswatini na Forbes.<ref name=Forbes>{{Rejea tovuti|title=Nathan Kirsh|url=https://www.forbes.com/profile/nathan-kirsh/|access-date=16 April 2026|website=Forbes|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Eswatini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1932]] [[Jamii:Watu walio hai]] ee12q3jwxbkie86lhb00fhkenuhm43a Robert Gumede 0 248642 1594779 2026-09-06T15:22:43Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Robert Gumede''' (alizaliwa [[9 Agosti]] [[1963]]) ni [[mfanyabiashara]] na mhisani wa [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya IT Gijima Technologies na kampuni yake ya kushikilia Gijima Group.<ref name="afs">{{Cite web |url=http://www.africansuccess.org/visuFiche.php?lang=en&id=582 |title=African Success : Biography of Robert MATANA GUMEDE |last=www.lesideesnet.com |first=Les Idées Net - |website=www.africansuccess.org |access-date=2018-0...' 1594779 wikitext text/x-wiki '''Robert Gumede''' (alizaliwa [[9 Agosti]] [[1963]]) ni [[mfanyabiashara]] na mhisani wa [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya IT Gijima Technologies na kampuni yake ya kushikilia Gijima Group.<ref name="afs">{{Cite web |url=http://www.africansuccess.org/visuFiche.php?lang=en&id=582 |title=African Success : Biography of Robert MATANA GUMEDE |last=www.lesideesnet.com |first=Les Idées Net - |website=www.africansuccess.org |access-date=2018-08-05 |archive-date=31 August 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180831153435/http://africansuccess.org/visuFiche.php?id=582&lang=en |url-status=dead }}</ref><ref name="mg">{{Cite web |url=https://mg.co.za/article/2010-11-05-who-is-robert-gumede |title=Who is Robert Gumede? |last=Sole |first=Adriaan Basson, Sam |date=5 November 2010 |website=The M&G Online |access-date=2018-08-05}}</ref> == Maisha ya Awali == Robert Gumede alikuwa mmoja wa watoto saba waliolelewa na mama yake na bibi yake katika mji wa [[Nelspruit]], Afrika Kusini. Alifanya kazi kama mlinzi wa gofu, mtunza bustani na mhudumu wa petroli kusaidia familia yake katika ujana wake. Aliendelea kusoma sheria katika Chuo Kikuu cha Zululand, akihitimu mwaka 1986 na diploma ya sheria. Baada ya kuhitimu alifanya kazi kama karani na mwendesha mashtaka katika Mahakama ya Kabokweni Magistrate. Gumede aliajiriwa kama katibu na Wizara ya Sheria na Kazi za Umma katika serikali ya KaNgwane, akifanya kazi katika ofisi ya David Mkhwanazi.<ref name="forbs">{{Cite web |url=https://www.forbes.com/sites/mfonobongnsehe/2016/07/01/the-black-knight-of-africa-how-robert-gumede-is-expanding-his-legacy-across-the-continent/#675cd92e4951 |title=The Black Knight Of Africa: How Robert Gumede is Expanding His Legacy Across the Continent |last=Nsehe |first=Mfonobong |website=Forbes |access-date=2018-08-05}}</ref><ref name="afs" /><ref>Mlotshwa, DK; Mlotshwa, JM. [https://search.worldcat.org/title/1057725199 Telling My Own Story - DS Mkhwanazi: A Biography], Barberton 2018. pg48</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1963]] [[Jamii:Watu walio hai]] myc9iubef96319rlaltyky9ec5fje5e 1594822 1594779 2026-09-06T20:31:59Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594822 wikitext text/x-wiki '''Robert Gumede''' (alizaliwa [[9 Agosti]] [[1963]]) ni [[mfanyabiashara]] na mhisani wa [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya IT Gijima Technologies na kampuni yake ya kushikilia Gijima Group.<ref name="afs">{{Rejea tovuti |url=http://www.africansuccess.org/visuFiche.php?lang=en&id=582 |title=African Success : Biography of Robert MATANA GUMEDE |last=www.lesideesnet.com |first=Les Idées Net - |website=www.africansuccess.org |access-date=2018-08-05 |archive-date=31 August 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180831153435/http://africansuccess.org/visuFiche.php?id=582&lang=en |url-status=dead }}</ref><ref name="mg">{{Rejea tovuti |url=https://mg.co.za/article/2010-11-05-who-is-robert-gumede |title=Who is Robert Gumede? |last=Sole |first=Adriaan Basson, Sam |date=5 November 2010 |website=The M&G Online |access-date=2018-08-05}}</ref> == Maisha ya Awali == Robert Gumede alikuwa mmoja wa watoto saba waliolelewa na mama yake na bibi yake katika mji wa [[Nelspruit]], Afrika Kusini. Alifanya kazi kama mlinzi wa gofu, mtunza bustani na mhudumu wa petroli kusaidia familia yake katika ujana wake. Aliendelea kusoma sheria katika Chuo Kikuu cha Zululand, akihitimu mwaka 1986 na diploma ya sheria. Baada ya kuhitimu alifanya kazi kama karani na mwendesha mashtaka katika Mahakama ya Kabokweni Magistrate. Gumede aliajiriwa kama katibu na Wizara ya Sheria na Kazi za Umma katika serikali ya KaNgwane, akifanya kazi katika ofisi ya David Mkhwanazi.<ref name="forbs">{{Rejea tovuti |url=https://www.forbes.com/sites/mfonobongnsehe/2016/07/01/the-black-knight-of-africa-how-robert-gumede-is-expanding-his-legacy-across-the-continent/#675cd92e4951 |title=The Black Knight Of Africa: How Robert Gumede is Expanding His Legacy Across the Continent |last=Nsehe |first=Mfonobong |website=Forbes |access-date=2018-08-05}}</ref><ref name="afs" /><ref>Mlotshwa, DK; Mlotshwa, JM. [https://search.worldcat.org/title/1057725199 Telling My Own Story - DS Mkhwanazi: A Biography], Barberton 2018. pg48</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1963]] [[Jamii:Watu walio hai]] azax4gge77ws8uk3rarjaclflsmofxl Manfred Gorvy 0 248643 1594781 2026-09-06T15:45:39Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Manfred S. Gorvy''' (alizaliwa [[4 Mei]] [[1938]]) ni mwekezaji bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] mwenye makazi yake [[London]]. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Hanover Acceptances''.<ref name="whoswhomanfred">{{Cite web|url=http://whoswho.co.za/manfred-gorvy-3759|title=Manfred Gorvy {{!}} Who's Who SA|website=whoswho.co.za|language=en|access-date=2017-10-05}}</ref><ref name="hanovermanfred">{{Cite web|url=http://www.hanoveracceptances...' 1594781 wikitext text/x-wiki '''Manfred S. Gorvy''' (alizaliwa [[4 Mei]] [[1938]]) ni mwekezaji bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] mwenye makazi yake [[London]]. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Hanover Acceptances''.<ref name="whoswhomanfred">{{Cite web|url=http://whoswho.co.za/manfred-gorvy-3759|title=Manfred Gorvy {{!}} Who's Who SA|website=whoswho.co.za|language=en|access-date=2017-10-05}}</ref><ref name="hanovermanfred">{{Cite web|url=http://www.hanoveracceptances.com/bios/gorvym.html|title=Manfred S Gorvy|website=www.hanoveracceptances.com|access-date=2017-10-05}}</ref> == Maisha ya Awali == Manfred S. Gorvy alizaliwa tarehe 4 Mei 1938 nchini Afrika Kusini. Alihudhuria Shule ya Upili ya Parktown Boys' na baadaye alipokea Shahada ya Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Witwatersrand huko [[Johannesburg]].<ref name="hanoverouroperating">{{Cite web|url=http://www.hanoveracceptances.com/|title=Hanover Acceptances|website=www.hanoveracceptances.com|language=en|access-date=2017-10-05}}</ref> == Kazi == Alianzisha Hanover Acceptances, kampuni ya mali zisizohamishika, kilimo na uwekezaji wa kifedha, mwaka 1974, na anahudumu kama mwenyekiti. Kampuni hiyo inajumuisha kampuni tanzu nne: Dorrington; Refresco Gerber; African Realty Trust; Fresh Capital. Blackstone Group ilijaribu kupata Refresco Gerber mwaka 2014; ofa hiyo ilikataliwa na Gorvy.<ref name="cityamollie">Ollie Gordon, [http://www.cityam.com/1418014602/blackstone-mulls-15bn-takeover-drinks-bottler Blackstone mulls £1.5bn takeover of drinks bottler], ''[[City A.M.]]'', 8 December 2014</ref><ref>Ashley Armstrong, [https://www.telegraph.co.uk/finance/newsbysector/retailandconsumer/11276816/Former-Orangina-owner-has-the-bottle-for-Refresco-Gerber.html Former Orangina owner has the bottle for Refresco Gerber], ''[[The Daily Telegraph]]'', 6 December 2014</ref> Yeye ni Mwenzake wa Taasisi ya Wahasibu Walioidhinishwa ya Afrika Kusini. Mwaka 2008, Gorvy alikuwa mtu wa 312 tajiri zaidi nchini [[Uingereza]], akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa [[£]] milioni 260, kulingana na Sunday Times Rich List. Miaka kumi baadaye, alionekana kwenye Sunday Times Rich List 2018 kama mtu wa 163 tajiri zaidi nchini Uingereza, akiwa na utajiri ulioripotiwa wa £ milioni 873. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Uingereza]] [[Jamii:Waliozaliwa 1938]] [[Jamii:Watu walio hai]] 4nd3z4hx23veo3ug9x9yy5bd6iudzdf 1594794 1594781 2026-09-06T18:12:45Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594794 wikitext text/x-wiki '''Manfred S. Gorvy''' (alizaliwa [[4 Mei]] [[1938]]) ni mwekezaji bilionea na mhisani nchini [[Afrika Kusini]] mwenye makazi yake [[London]]. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Hanover Acceptances''.<ref name="whoswhomanfred">{{Rejea tovuti|url=http://whoswho.co.za/manfred-gorvy-3759|title=Manfred Gorvy {{!}} Who's Who SA|website=whoswho.co.za|language=en|access-date=2017-10-05}}</ref><ref name="hanovermanfred">{{Rejea tovuti|url=http://www.hanoveracceptances.com/bios/gorvym.html|title=Manfred S Gorvy|website=www.hanoveracceptances.com|access-date=2017-10-05}}</ref> == Maisha ya Awali == Manfred S. Gorvy alizaliwa tarehe 4 Mei 1938 nchini Afrika Kusini. Alihudhuria Shule ya Upili ya Parktown Boys' na baadaye alipokea Shahada ya Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Witwatersrand huko [[Johannesburg]].<ref name="hanoverouroperating">{{Rejea tovuti|url=http://www.hanoveracceptances.com/|title=Hanover Acceptances|website=www.hanoveracceptances.com|language=en|access-date=2017-10-05}}</ref> == Kazi == Alianzisha Hanover Acceptances, kampuni ya mali zisizohamishika, kilimo na uwekezaji wa kifedha, mwaka 1974, na anahudumu kama mwenyekiti. Kampuni hiyo inajumuisha kampuni tanzu nne: Dorrington; Refresco Gerber; African Realty Trust; Fresh Capital. Blackstone Group ilijaribu kupata Refresco Gerber mwaka 2014; ofa hiyo ilikataliwa na Gorvy.<ref name="cityamollie">Ollie Gordon, [http://www.cityam.com/1418014602/blackstone-mulls-15bn-takeover-drinks-bottler Blackstone mulls £1.5bn takeover of drinks bottler], ''[[City A.M.]]'', 8 December 2014</ref><ref>Ashley Armstrong, [https://www.telegraph.co.uk/finance/newsbysector/retailandconsumer/11276816/Former-Orangina-owner-has-the-bottle-for-Refresco-Gerber.html Former Orangina owner has the bottle for Refresco Gerber], ''[[The Daily Telegraph]]'', 6 December 2014</ref> Yeye ni Mwenzake wa Taasisi ya Wahasibu Walioidhinishwa ya Afrika Kusini. Mwaka 2008, Gorvy alikuwa mtu wa 312 tajiri zaidi nchini [[Uingereza]], akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa [[£]] milioni 260, kulingana na Sunday Times Rich List. Miaka kumi baadaye, alionekana kwenye Sunday Times Rich List 2018 kama mtu wa 163 tajiri zaidi nchini Uingereza, akiwa na utajiri ulioripotiwa wa £ milioni 873. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Uingereza]] [[Jamii:Waliozaliwa 1938]] [[Jamii:Watu walio hai]] 6aqjj5j7o75lj6po0txzabkevjs8wm8 Nicky Oppenheimer 0 248644 1594783 2026-09-06T15:50:24Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nicholas "Nicky" Frank Oppenheimer''' (alizaliwa [[8 Juni]] [[1945]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]]. Hapo awali alikuwa mwenyekiti wa kampuni ya uchimbaji madini ya almasi De Beers na kampuni yake tanzu, Diamond Trading Company, na naibu mwenyekiti wa zamani wa Anglo American. Yeye ni mtu wa tatu tajiri zaidi barani [[Afrika]] akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 12.3 kufikia 2025 kulingana na Bloomberg B...' 1594783 wikitext text/x-wiki '''Nicholas "Nicky" Frank Oppenheimer''' (alizaliwa [[8 Juni]] [[1945]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]]. Hapo awali alikuwa mwenyekiti wa kampuni ya uchimbaji madini ya almasi De Beers na kampuni yake tanzu, Diamond Trading Company, na naibu mwenyekiti wa zamani wa Anglo American. Yeye ni mtu wa tatu tajiri zaidi barani [[Afrika]] akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 12.3 kufikia 2025 kulingana na Bloomberg Billionaires Index.<ref>{{cite web|url=https://www.forbes.com/africa-billionaires/list/|title=Africa's 50 Richest List|date=2025|author=Forbes|website=[[Forbes]] |author-link=Forbes}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1945]] [[Jamii:Watu walio hai]] gzu9b4gss7cuzkj4o74ekexc94yoolw Larenz Tate 0 248645 1594785 2026-09-06T16:08:20Z Muddyb 379 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{databox}} '''Larenz Tate''' (alizaliwa 8 Septemba 1975) ni [[mwigizaji]] na [[mtayarishaji wa filamu]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana sana kwa uigizaji wake kama Kevin "O-Dog" Anderson katika igizo la filamu la uhalifu la mwaka 1993 la ''[[Menace II Society]]''.<ref>{{cite news|last=Maslin|first=Janet|title=Review/Film; Hard Town, Hard Men, Hard Decisions|url=https://www.nytimes.com/1993/05/26/movies/review-film-hard-town-hard-men-hard-decisions.html|n...' 1594785 wikitext text/x-wiki {{databox}} '''Larenz Tate''' (alizaliwa 8 Septemba 1975) ni [[mwigizaji]] na [[mtayarishaji wa filamu]] kutoka [[Marekani]]. Anajulikana sana kwa uigizaji wake kama Kevin "O-Dog" Anderson katika igizo la filamu la uhalifu la mwaka 1993 la ''[[Menace II Society]]''.<ref>{{cite news|last=Maslin|first=Janet|title=Review/Film; Hard Town, Hard Men, Hard Decisions|url=https://www.nytimes.com/1993/05/26/movies/review-film-hard-town-hard-men-hard-decisions.html|newspaper=The New York Times|date=1993-05-26|access-date=2026-09-06}}</ref> Tate pia anajulikana kwa nafasi zake mashuhuri kwenye filamu kama vile ''[[Dead Presidents]]'' (1995), ''[[Love Jones (filamu)|Love Jones]]'' (1997), ''[[Why Do Fools Fall in Love (filamu)|Why Do Fools Fall in Love]]'' (1998), ''[[Crash (filamu ya 2004)|Crash]]'' (2004), na ''[[Ray (filamu)|Ray]]'' (2004). Katika televisheni, anajulikana kwa kucheza kama Diwani Rashad Tate kwenye mfululizo maarufu wa [[Power (kipindi cha tv)|Power]] na mfululizo wake wa mwendelezo wa ''[[Power Book II: Ghost]]''. == Maisha ya awali == Tate alizaliwa mjini [[Chicago]], [[Illinois]]. Ni mtoto mdogo zaidi kati ya watatu wa kiume wa Larry na Peggy Tate. Wakaazi wa familia yake walihamia [[Los Angeles]], California alipokuwa na umri wa miaka tisa. Wazazi wake walimshawishi yeye na kaka zake (Larron na Lahmard) kujiunga na darasa la uigizaji katika kituo cha sanaa cha eneo lao la makazi. == Kazi ya sanaa == Baada ya kuonekana kwenye vipindi vichache vya televisheni kama vile ''[[The Twilight Zone]]'' na ''[[Family Matters]]'', Tate alipata nafasi yake kubwa ya kwanza iliyomtambulisha ulimwenguni kote alipochaguliwa na [[Hughes Brothers]] kucheza kama kijana mkorofi na mhalifu "O-Dog" katika filamu ya ''[[Menace II Society]]'' (1993). Mwaka 1995, alishirikiana tena na Hughes Brothers kwenye igizo la filamu la vita na uhalifu la ''[[Dead Presidents]]''. Mwaka 1997, alicheza kama mhusika mkuu kwenye filamu ya mahaba ya ''[[Love Jones (filamu)|Love Jones]]'', filamu iliyopata sifa kubwa kwa kuonyesha uhusiano wa kimapenzi wa kiutamaduni na kitaaluma kati ya vijana wa Kimarekani Weusi. Tate pia alionyesha uwezo mkubwa wa kuigiza wahusika wa kihistoria alipomwigiza mwanamuziki maarufu Frankie Lymon kwenye filamu ya ''[[Why Do Fools Fall in Love (filamu)|Why Do Fools Fall in Love]]'' (1998) na mwanamuziki nguli [[Quincy Jones]] kwenye filamu ya maisha ya [[Ray Charles]] iliyoitwa ''[[Ray (filamu)|Ray]]'' (2004). == Filmografia == === Filamu === {| class="wikitable" |- ! Mwaka ! Jina la Filamu ! Nafasi ! Maelezo |- | 1993 | ''[[Menace II Society]]'' | Kevin "O-Dog" Anderson | Nafasi iliyomtambulisha |- | 1994 | ''[[The Inkwell]]'' | Drew Tate | |- | 1995 | ''[[Dead Presidents]]'' | Anthony Curtis | |- | 1997 | ''[[Love Jones (filamu)|Love Jones]]'' | Darius Lovehall | |- | 1998 | ''[[Why Do Fools Fall in Love (filamu)|Why Do Fools Fall in Love]]'' | Frankie Lymon | |- | 2003 | ''[[A Man Apart]]'' | Vetchel Hicks | |- | 2004 | ''[[Crash (filamu ya 2004)|Crash]]'' | Peter Waters | Alishinda Tuzo ya SAG |- | 2004 | ''[[Ray (filamu)|Ray]]'' | [[Quincy Jones]] | |- | 2017 | ''[[Girls Trip]]'' | Julian Stevens | |} === Televisheni === {| class="wikitable" |- ! Mwaka ! Jina la Kipindi ! Nafasi ! Maelezo |- | 2007–2011 | ''[[Rescue Me]]'' | Bart "Black Shawn" Johnston | Sehemu kuu |- | 2017–2020 | ''[[Power (kipindi cha tv)|Power]]'' | Councilman Rashad Tate | Sehemu kuu |- | 2020–2024 | ''[[Power Book II: Ghost]]'' | Councilman Rashad Tate | Sehemu kuu |} == Marejeo == {{marejeo}} {{BD|1975}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] 5g3e3slwrx7o1lmnttl7m0zhql80bk6 Jada Pinkett 0 248646 1594786 2026-09-06T16:29:00Z Muddyb 379 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Jada Pinkett Smith]] 1594786 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Jada Pinkett Smith]] 7h7yjdxrjppiqps6kk43a61nj4xjf2g Erick Mathoho 0 248647 1594787 2026-09-06T17:09:38Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594787 wikitext text/x-wiki '''Eric "Tower" Mathoho''' (aliyezaliwa [[1 Mei]] [[1990]] huko Thohoyandou) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya beki wa kati. Ameichezea Kaizer Chiefs na Afrika Kusini. == Maisha ya awali == Mathoho alizaliwa Tshiombo karibu na Thohoyandou. Alianza kucheza soka akiwa na umri mdogo. Alitengeneza mipira kwa kutumia mifuko ya vitunguu na alicheza michezo katika mashamba ya mahindi wakati wa mavuno. Mara nyingi aling'oa kucha za vidole vya miguu alipokuwa akipiga teke ardhini na kujeruhi miguu yake. == Kazi ya klabu == === Bloemfontein Celtic === Mathoho alijiunga na Bloemfontein Celtic akitokea Dolphins FC ya Limpopo baada ya kufanya majaribio pamoja na wachezaji wengine wawili mwezi [[Julai]] [[2009]] chini ya [[kocha]] Owen da Gama. Mathoho alicheza [[mechi]] yake ya kwanza tarehe [[3 Februari]] [[2010]] katika sare ya 0–0 dhidi ya [[Mamelodi Sundowns F.C.|Mamelodi Sundowns]] chini ya kocha Clinton Larsen, na akachaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi. Alifunga bao lake la kwanza tarehe [[27 Februari]] 2011 katika ushindi wa mabao 5–0 dhidi ya SuperSport United. Alicheza vizuri sana katika miezi yake sita ya kwanza kama mchezaji wa kulipwa na akahusishwa na Maccabi Haifa, huku pia akienda kufanya majaribio katika FC Twente, lakini uhamisho wa thamani ya €1 [[milioni]] haukukamilika. Uhamisho huo ulivurugika kutokana na [[sheria]] za kifedha nchini [[Uholanzi]], ambazo zilisisitiza kwamba wachezaji wa kigeni walipwe kiasi kikubwa cha [[fedha]] sheria iliyolenga kudhibiti ubora wa wachezaji wanaoletwa nchini humo. Mathoho alipangwa kuwa mbadala wa Douglas, ambaye alikuwa anaondoka baada ya kuhusishwa na [[Juventus F.C.|Juventus]] na [[Bayern Munich]], lakini uhamisho huo haukukamilika. === Kaizer Chiefs === Mathoho alijiunga na Chiefs mwezi [[Juni]] [[2012]] baada ya kuhusishwa na klabu hiyo tangu Januari, pamoja na Orlando Pirates na Mamelodi Sundowns, na alitambulishwa rasmi tarehe 1 Julai 2012. Mathoho alicheza mechi yake ya kwanza tarehe [[5 Agosti]] 2012 katika kichapo cha 4–1 dhidi ya Mamelodi Sundowns, ambapo Chiefs ilikuwa tayari imefungwa mabao 4–0 kufikia dakika ya 36. Tarehe [[13 Septemba]] 2012, Mathoho alipatwa na jeraha la kuteguka bega katika mchezo dhidi ya Maritzburg United. Tarehe 3 Aprili [[2013]], alifunga bao lake la kwanza akiwa katika jezi ya Chiefs dhidi ya Maritzburg United katika sare ya 1–1. Alitwaa ubingwa wa ligi wa msimu wa 2012–13 na Nedbank Cup katika msimu wake wa kwanza. Mathoho alicheza mechi yake ya kwanza katika CAF Champions League tarehe [[1 Machi]] [[2014]] na alifunga bao dhidi ya Liga Muculmana katika ushindi wa mabao 4–0 kwenye Moses Mabhida Stadium, siku ambayo pia ilikuwa siku yake ya kuzaliwa ya [[miaka]] 24. Mwanzoni mwa msimu wa 2014–15, Mathoho alikuwa sehemu ya timu iliyocheza michezo 19 bila kupoteza, huku ikitwaa MTN8 bila kuruhusu bao lolote kufungwa na baadaye kutwaa ubingwa wa [[ligi]]. == Kazi ya kimataifa == Alicheza mechi yake ya kwanza kwa Afrika Kusini tarehe [[14 Mei]] 2011 dhidi ya [[Tanzania]] katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Mathoho alicheza kila dakika ya kampeni ya mafanikio ya Afrika Kusini ya kufuzu kwa AFCON 2014 chini ya kocha Ephraim Mashaba, na kuwasaidia kufuzu kwa mara ya kwanza tangu mwaka [[2008]]. == Mafanikio == Kaizer Chiefs * Premier Soccer League: 2013 * Nedbank Cup: 2013 * Carling Black Label Cup: 2013 * MTN 8: 2014 * Premier Soccer League: 2015 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/43282/Eric_Mathoho.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20160303232203/http://www.kickoff.com/mobile/news/23160/erick-mathoho-will-join-fc-twente-for-trials-on-tuesday</ref><ref>https://www.transfermarkt.com/eric-mathoho/profil/spieler/140208</ref><ref>https://www.footballdatabase.eu/en/player/details/94756-eric-mathoho</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe228058/eric-mathoho/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 1hgprw6qycyuxfsp31bmdx7up9ymcp8 Pierre Issa 0 248648 1594789 2026-09-06T17:35:46Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594789 wikitext text/x-wiki '''Pierre Sanharib Issa''' (aliyezaliwa [[11 Septemba]] [[1975]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] aliyekuwa akicheza nafasi ya beki. Yeye ni mkurugenzi wa michezo wa klabu ya [[Ugiriki]] ya Olympiacos. == Maisha binafsi == Issa alizaliwa huko Germiston, Afrika Kusini, katika [[familia]] ya [[Wakristo]] wa [[Lebanon]] waliokimbia Lebanon wakati wa kuanza kwa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Lebanon [[mwaka]] [[1975]]. Familia hiyo ilijiunga na babu yake wa upande wa mama, ambaye alikuwa akihudumu kama [[balozi]] wa Lebanon huko [[Johannesburg]]. Akiwa na umri wa [[miaka]] 11, Issa alihamia [[Ufaransa]] kutokana na shughuli za kibiashara za baba yake. == Kazi ya klabu == Issa alianza kucheza soka huko Saint-Ouen-l'Aumône akiwa na umri wa miaka 11; akiwa na umri wa miaka 16 alijiunga na akademi ya [[klabu]] ya nusu kitaaluma ya [[Ufaransa]], Dunkerque. Mwaka [[1995]], Issa alianza taaluma yake ya kulipwa katika klabu ya [[Marseille]], na muda mfupi baadaye akawa raia wa Ufaransa kwa uraia. Baadaye alicheza katika [[fainali]] ya [[Kombe]] la [[UEFA]] ya [[1999]]. Alihamia [[Chelsea]] kwa mkopo mwezi Januari [[2001]], ingawa hakushiriki katika mchezo wowote wa mashindano akiwa na klabu hiyo ya [[London]]. Anajulikana zaidi nchini England kwa kipindi chake katika klabu ya Watford msimu wa 2001–02. Alisajiliwa na kocha mpya Gianluca Vialli akitokea Marseille, na Issa alifunga bao moja dhidi ya Portsmouth. Issa alikumbukwa baada ya kubebwa kwenye machela kufuatia jeraha katika mchezo wa nyumbani dhidi ya Birmingham City, lakini wabebaji wa machela wakamdondosha. Tarehe [[14 Februari]] [[2002]], aliwekwa kwenye orodha ya wachezaji wanaoweza kuhamishwa, miezi mitano tu baada ya kusaini na klabu hiyo. Hakuwahi tena kuichezea Watford, lakini aliichezea nchi yake katika [[Kombe la Dunia]] la FIFA 2002 akiwa bado chini ya [[mkataba]] na Watford. Baada ya kuondoka Watford, Issa alisaini na Olympic Beirut na akatwaa ubingwa wa Lebanese Premier League pamoja na Kombe la FA la Lebanon katika msimu wake wa kwanza na klabu hiyo. Hata hivyo, aliachiliwa katika msimu wa [[2004]]–05 baada ya umiliki wa klabu hiyo kubadilishwa kutokana na masuala ya kifedha. Alisaini na Ionikos ya Ugiriki na baadaye OFI, pia ya Ugiriki, ambako alikaa hadi mwaka [[2009]]. == Kazi ya kimataifa == Issa aliichezea Afrika Kusini mara 47 tangu alipocheza mechi yake ya kwanza tarehe [[15 Novemba]] [[1997]] dhidi ya [[Ujerumani]], na pia aliwahi kuwa [[nahodha]] wa nchi yake. Katika Kombe la Dunia la FIFA [[1998]], wakati wa mchezo wa ufunguzi, alifunga bao la kujifunga dhidi ya Ufaransa. Issa pia alichaguliwa katika kikosi cha Kombe la Dunia la FIFA 2002. == Mafanikio == Olympic Beirut * Lebanese Premier League: 2003 * Kombe la FA la Lebanon: 2003 Binafsi * Kikosi Bora cha Msimu cha Lebanese Premier League: 2002–03 <ref>https://www.worldfootball.net/person/pe19821/</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/10532/Pierre_Issa.html</ref><ref>https://fbref.com/en/players/29276708/Pierre-Issa</ref><ref>https://www.bdfutbol.com/en/j/j85505.html</ref><ref>https://www.kicker.de/pierre-issa/spieler</ref><ref>https://web.archive.org/web/20211205113253/https://www.ligue1.fr/joueur?id=pierre-issa</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 24ydqdmlpv0ks8jx1rhxt3oyzqlb38i David Nyathi 0 248649 1594791 2026-09-06T17:44:45Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594791 wikitext text/x-wiki '''David Sibusiso Nyathi''' (aliyezaliwa [[22 Machi]] [[1969]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]], ambaye kwa sasa ni [[kocha]] msaidizi wa Ajax Cape Town, na hapo awali aliwahi kufundisha timu yao ya vijana ya U-19. == Kazi ya klabu == Nyathi alianza kucheza soka la kulipwa kama beki katika klabu ya Dangerous Darkies, iliyopandishwa daraja hadi National Soccer League kwa mara ya kwanza katika msimu wa [[1991]]. Klabu hiyo ilishuka daraja na kutoweka katika [[ligi]] za juu baada ya kumaliza mkiani mwa [[1992]] NSL First Division, na Nyathi alijiunga na Orlando Pirates, ambako alipewa jina la utani "Going Up". Alikuwa sehemu ya kikosi cha kwanza cha [[Bafana Bafana]] baada ya nchi hiyo kurejea katika soka la kimataifa mwaka [[1992]]. Baadaye alihamia Cape Town Spurs, ambako alitwaa ubingwa wa ligi na [[kombe]] katika msimu wa [[1995]]. Baadaye alihamia [[Ulaya]], ambako alichezea [[klabu]] kadhaa, zikiwemo FC St. Gallen ya [[Uswisi]], Ankaragücü ya [[Uturuki]], CD Tenerife ya [[Hispania]] na Cagliari Calcio ya [[Italia]]. == Kazi ya kimataifa == Nyathi alichezea [[timu ya taifa]] ya soka ya Afrika Kusini na alikuwa sehemu ya kikosi kilichosafiri kwenda [[Ufaransa]] kwa ajili ya [[Kombe la Dunia]] la [[FIFA]] [[1998]]. Pia alikuwa sehemu ya kikosi kilichotwaa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] [[1996]]. == Taaluma ya ukocha == Baada ya kustaafu, alifundisha katika Cape Town Spurs katika nafasi mbalimbali, ikiwemo kocha msaidizi, pamoja na kuwa kocha mkuu wa timu za vijana za U-12, U-15 na U-19. Kufikia mwaka [[2022]], alikuwa akifundisha timu ya U-16.<ref>https://www.soccerbase.com/players/player.sd?player_id=14330</ref><ref>https://web.archive.org/web/20070907112947/http://marco79.altervista.org/index.php?option=com_staticxt&staticfile=test1.php&id=163</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/10969/David_Nyathi.html</ref><ref>https://www.matiemedia.org/retired-bafana-bafana-player-david-going-up-nyathi-is-not-putting-down-his-football-boots-anytime/</ref> == Marejeo == <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] 974m2tg29wqffid4ljby4tx8r6d4eul Thabo Mngomeni 0 248650 1594793 2026-09-06T18:01:28Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594793 wikitext text/x-wiki '''Thabo Mngomeni''' (aliyezaliwa [[24 Juni]] [[1969]], Cape Town, Western Cape) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]] aliyekuwa akicheza nafasi ya kiungo. Baada ya kuanza taaluma yake ya kulipwa katika Cape Town Spurs na kuwa na kipindi kifupi katika Manning Rangers, Mngomeni alijulikana sana nchini Afrika Kusini alipokuwa akiichezea Bush Bucks na Orlando Pirates. Pia alikuwa na kipindi kifupi katika Hellenic kabla ya kustaafu. Aliichezea [[timu ya taifa]] ya soka ya Afrika Kusini na alikuwa mshiriki katika [[Kombe la Dunia]] la [[FIFA]] [[2002]]. == Cape Town Spurs == Aligunduliwa na mchezaji wa zamani wa [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]], Cape Town Spurs na Hellenic, Sergio Dos Santos, kutoka katika timu ya ridhaa ya Eastern Cape, Tembu Royals. Aliondoka Spurs baada ya vipindi viwili vya mkopo, akidai kwamba [[kocha]] wake, Mich D'Avray, "alimchukia sana na hakujua kwa nini." == Umtata Bush Bucks == Alisikia kwa mara ya kwanza kuhusu kipimo cha matumizi ya [[dawa]] za kusisimua mwili [[mwaka]] [[1996]], alipojulishwa na viongozi wa klabu ambao walijua kwamba alikuwa akivuta bangi. Kwa kuwa Mngomeni alikuwa [[Rastafari|Rastafarian]], alivuta bangi tu wakati wa maandalizi ya msimu. == Orlando Pirates == Mngomeni aliichezea Orlando Pirates kati ya mwaka [[1998]] na [[2002]] na akawa [[nahodha]] wa klabu, akiwaongoza kutwaa ubingwa wa ligi mwaka [[2001]]. Katika kipindi hicho pia alikua mchezaji wa kawaida katika ngazi ya timu ya taifa, na alikuwa mmoja wa wachezaji wachache waliokuwa wakicheza ndani ya nchi katika kikosi cha Afrika Kusini wakati huo. == Kazi ya kimataifa == Alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa akiwa na umri wa [[miaka]] 29 mwaka [[1998]], katika ushindi wa 1–0 dhidi ya [[Angola]]. Kwa jumla, aliichezea timu ya taifa mara 38 na kufunga mabao sita. Alitwaa [[tuzo]] ya Bao Bora la Mwaka la CAF 2001 kutokana na bao lake la teke la juu la kujirusha (''bicycle kick)'' dhidi ya [[Congo]]. == Kustaafu == Baada ya kujiunga na Hellenic, taaluma yake ilifikia mwisho na alistaafu akiwa na umri wa miaka 33 kutokana na jeraha la goti. == Baada ya kustaafu == Amekuwa kocha katika timu kadhaa za Vodacom League huko Cape Town. Alikamilisha kozi ya ukocha ya SAFA Level 2. Mwaka [[2022]], alianzisha Thabo Mngomeni Foundation, na amekuwa akifundisha soka katika maeneo ya vijijini ya [[jimbo]] la [[Rasi ya Mashariki|Eastern Cape]]. == Maisha binafsi == Yeye ni kaka mkubwa wa Thando Mngomeni. Ameoa na ana mabinti watano. Anaishi Eerste River huko [[Cape Town]]. <ref>https://www.national-football-teams.com/player/6945/Thabo_Mngomeni.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20081017063418/http://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=4075/index.html</ref><ref>https://www.playmakerstats.com/player/thabo-mngomeni/58796</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe41387/thabo-mngomeni/</ref><ref>https://www.footballdatabase.eu/en/player/details/15646-thabo-mngomeni</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 1umndnjl3pb9f4p77364q4acspbjwu9 Steve Mokone 0 248651 1594800 2026-09-06T19:16:41Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594800 wikitext text/x-wiki '''Stephen Madi Mokone''' '''OIG''' ([[23 Machi]] [[1932]] – [[19 Machi]] [[2015]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa mchezaji wa kwanza mweusi kutoka Afrika Kusini kucheza katika [[ligi]] ya kitaaluma ya [[Ulaya]]. Alipewa majina ya utani The Black Meteor na Kalamazoo. == Miaka ya awali == Mokone alizaliwa huko Doornfontein, kitongoji cha [[Johannesburg]], lakini [[familia]] yake ilihamia Sophiatown kabla ya kutulia Kilnerton huko [[Pretoria]]. == Kazi ya klabu == Mokone alivutia sana umakini nchini mwake Afrika Kusini, akicheza [[mechi]] yake ya kwanza kwa South Africa Black XI akiwa na umri wa [[miaka]] 16 pekee. Mchezaji huyo wa Durban Bush Bucks alikuwa karibu kusaini na [[klabu]] ya [[England]] ya Newcastle United, lakini [[baba]] yake aliingilia kati kwa kutaka aendelee na masomo yake. Mokone alianza taaluma yake ya kulipwa mwaka [[1955]] akiwa na klabu ya England ya Coventry City, ambako alicheza mechi nne za ligi na kufunga bao moja. Ingawa alikaa muda mfupi Coventry, alikuwa [[mchezaji]] wa kwanza mweusi kuichezea klabu hiyo katika Football League. Baadaye alicheza nchini [[Uholanzi]] akiwa na Heracles Almelo, ambako alifunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza na akatwaa ubingwa wa [[1958]] Tweede Divisie, na hivyo kuwa nguli wa klabu hiyo. Alikuwa mchezaji wa kwanza wa kigeni wa kulipwa katika soka la Uholanzi. Sehemu moja ya viti katika Polman Stadion ya Heracles imepewa jina lake. == Baada ya soka == Mwaka [[1964]], Mokone alihamia [[Marekani]]. Huko alihukumiwa na kufungwa [[jela]] kwa makosa tofauti ya mashambulizi ya jinai yaliyofanyika mwaka [[1977]] dhidi ya mke wake wa wakati huo, Joyce Maaga Mokone, na wakili [[mwanamke]] mwenye umri wa miaka 34 aliyekuwa akimwakilisha Joyce Mokone katika kesi ya [[talaka]] na uangalizi wa mtoto wakati huo. Tarehe [[31 Oktoba]] [[1978]], Mokone alikiri kosa katika Superior Court of Middlesex County, [[New Jersey]].<ref>https://www.vi.nl/nieuws/heracleslegende-steve-mokone-overleden.htm</ref><ref>https://law.justia.com/cases/federal/district-courts/FSupp/680/679/1526640/</ref><ref>https://www.thetimes.com/travel/destinations/africa-travel/south-africa/cape-town/steve-mokone-53556sx7zkh</ref><ref>https://www.transfermarkt.com/steve-mokone/profil/spieler/256892</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1932]] [[Jamii:Waliofariki 2015]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 3a9bx3suq94d5et845tijk4ya8lhjv4 Patrick Ntsoelengoe 0 248652 1594801 2026-09-06T19:31:14Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594801 wikitext text/x-wiki '''Patrick Pule "Ace" Ntsoelengoe''' '''OIS''' ([[26 Februari]] [[1952]] – [[8 Mei]] [[2006]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye anatambuliwa kwa upana kuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kuzalishwa na nchi hiyo. == Maisha ya awali == Ntsoelengoe alizaliwa na Daniel Ndimande na Margaret Ntsoelengoe. Ntsoelengoe hakukulia pamoja na wazazi wake, kwa sababu walikuwa bado hawajafunga ndoa alipokuwa akizaliwa. Jina la ukoo Ntsoelengoe lilitokana na bibi yake, ambaye alimlea hadi wazazi wake walipofunga ndoa. Jina lake la [[ukoo]] lilibaki hivyo hata baada ya hapo. Ntsoelengoe alikuwa rafiki wa karibu wa Mbongeni Ngema. Kabla ya kuanza taaluma yake ya soka, alicheza [[Tennis|tenisi]] na alikuwa akifanya [[Mazoezi ya mwili|mazoezi]] katika uwanja wa tenisi uliokuwa karibu na nyumbani kwake. Pia alicheza organi na [[gitaa]], jambo lililomfanya apewe jina la utani "Quincy Jones". Ntsoelengoe alikulia akicheza soka na wavulana wengine mitaani. Baadaye alijiunga na timu ya ridhaa ya watu wa rangi mchanganyiko, Powerlines, na alipohamia Mohlakeng alijiunga na Mohlakeng Home Stars na kuanza kupata umaarufu. [[Mwaka]] [[1969]], wakati Kaizer XI ilipocheza dhidi ya Randfontein XI, aliwavutia Kaizer XI, Orlando Pirates na Moroka Swallows. Alijiunga na Kaizer XI akiwa na umri wa [[miaka]] 17. Baba yake Ntsoelengoe, Daniel (aliyezaliwa mwaka [[1934]]), alicheza soka la nusu kitaaluma katika Randfontein Young Zebras. Yeye ndiye aliyemfanya Patrick apewe jina la utani la upendo "Ace". == Taaluma ya uchezaji == Ntsoelengoe alitumia karibu taaluma yake yote katika [[klabu]] ya [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]] nchini mwake. Wakati wa mapumziko ya msimu wa ligi nchini Afrika Kusini, kwa kawaida alicheza nchini [[Marekani]] na [[Kanada]]. Kwa jumla, alicheza misimu 11 katika North American Soccer League, akianza mwaka [[1973]] akiwa na Miami Toros. Pia ni mwanachama wa National Soccer Hall of Fame. == Taaluma ya ukocha == Mwaka [[1985]], alijaribu kuanzisha timu yake mwenyewe kama alivyokuwa amefanya Kaizer Motaung. Aliiita Ace's Mates. Timu hiyo iliendelea kwa mwaka mmoja pekee. Mwaka [[1997]], alikuwa [[kocha]] wa timu ya Afrika Kusini ya U-23. == Mtindo wa uchezaji == Kocha wa zamani wa [[Argentina]], Oscar Martinez, alisema kuwa kiungo huyo alikuwa "karibu mchezaji mkamilifu wa soka. Anaweza kudribu, anaweza kupiga shuti, anaweza kushambulia, na anaweza kutetea. Ni mzuri angani, chini na katika kila eneo unaloweza kufikiria" baada ya South African Invitational XI kuifunga Argentina XI kwa mabao 5–1. Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Clive Barker, alisisitiza kwamba nguli huyo wa Kaizer Chiefs alikuwa na [[kipaji]] sawa na [[Zinedine Zidane]]. == Kifo == "Ace" alifariki kwa [[mshtuko wa moyo]] tarehe 8 Mei 2006 huko Lenasia, kusini kidogo mwa Johannesburg. Wakati wa kifo chake alikuwa kocha wa vijana katika Kaizer Chiefs. Katika salamu za rambirambi, alisifiwa kuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kuzalishwa na Afrika Kusini.<ref>https://www.nasljerseys.com/Players/N/Ntsoelengoe.Ace.htm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20131204090422/http://www.southafrica.info/about/sport/greats/ace.htm#.Up7wGnbP32c</ref><ref>http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/world_cup_2010/8697346.stm</ref><ref>https://www.soccerladuma.co.za/news/local/mohlakeng-stadium-will-be-renamed-in-honour-of-ace-ntsoelengoe-20160506</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2006]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} b45apvhaypw561xv5vkui8rau5ge86c Kaizer Motaung 0 248653 1594806 2026-09-06T19:50:39Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594806 wikitext text/x-wiki '''Kaizer Motaung''' '''OIS''' (aliyezaliwa [[16 Oktoba]] [[1944]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]] na mwanzilishi wa [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs FC]], ambayo yeye ni [[mwenyekiti]] na [[mkurugenzi]] mkuu. Alipewa jina la utani "Chincha Guluva". == Maisha ya awali == Alizaliwa katika [[eneo]] la Orlando East huko Soweto, Motaung alianza kucheza soka la kulipwa akiwa na umri wa [[miaka]] 16 katika klabu ya Orlando Pirates FC. Aliingia katika soka la kimataifa mwaka [[1968]], wakati mwanzilishi na mmiliki wa Atlanta Chiefs, Dick Cecil, pamoja na aliyekuwa [[Mpira wa miguu|mchezaji]] wa West Ham United, Phil Woosnam, ambaye alikuwa [[kocha]] wa [[klabu]] ya Atlanta Chiefs katika North American Soccer League (NASL) iliyokuwa imeanzishwa hivi karibuni, walipomchagua Motaung baada ya majaribio ya timu nchini [[Zambia]]. == Kazi katika NASL == Licha ya kupata ugumu wa kuzoea [[hali ya hewa]] na kukabiliana na jeraha, Motaung alicheza [[mechi]] yake ya kwanza [[Amerika ya Kaskazini|Amerika Kaskazini]] akiwa mchezaji wa akiba wa Atlanta Chiefs katika mchezo wa kirafiki dhidi ya [[Manchester City]], ambapo alifunga mabao mawili. Aliendelea kucheza kwa kiwango bora katika msimu uliobaki, akifunga mabao 16 katika mechi 15 na kuwa mfungaji bora wa [[ligi]] katika msimu huo. Kutokana na mafanikio hayo, alichaguliwa kuwa Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka na kupata nafasi katika Kikosi Bora cha [[Wachezaji]] wa NASL. Mwaka [[1975]], alirejea katika NASL na kucheza misimu miwili akiwa na Denver Dynamos. == Kaizer Chiefs == Motaung aliporejea nchini mwake mwaka [[1970]], aliamua kuanzisha timu yake mwenyewe ya soka la kulipwa. Aliipa klabu hiyo jina la "Kaizer Chiefs", akitumia jina lake mwenyewe na jina la klabu yake ya zamani ya NASL. Mwingine kutoka Afrika Kusini, Jomo Sono, ambaye pia alikuwa mchezaji wa zamani wa Orlando Pirates, alijiunga na klabu ya New York Cosmos ya NASL mwaka [[1977]]. Alirejea Afrika Kusini na kuunda timu yake mwenyewe ya soka la kulipwa, ambayo aliipa jina la Jomo Cosmos, akitumia jina lake mwenyewe na jina la klabu yake ya zamani ya NASL, New York Cosmos. Hata hivyo, Jomo Cosmos ilishuka daraja katika msimu wa [[2011]]–12 wa Premier Soccer League ya Afrika Kusini. == Msimamizi wa soka == Motaung pia amekuwa akishiriki katika usimamizi wa soka nchini Afrika Kusini, baada ya kuhudumu katika [[uongozi]] wa National Soccer League (NSL) na South African Football Association (SAFA). Aidha, Motaung alianzisha pamoja na Irvin Khoza wa Orlando Pirates ligi ya South African Premier League (PSL) mwaka [[1996]], ambayo ilisaidia kuleta wadhamini na [[fedha]] zaidi katika soka la kulipwa nchini Afrika Kusini. == Tuzo na utambuzi == Motaung aliteuliwa kuwa mwanachama wa Order of Ikhamanga ya Afrika Kusini, daraja la Fedha. Kaizer pia alitunukiwa [[shahada]] ya [[heshima]] ya [[Daktari|udaktari]] mwaka [[2022]].<ref>https://web.archive.org/web/20141111024920/http://www.thepresidency.gov.za/pebble.asp?relid=17269</ref><ref>https://www.kaizerchiefs.com/club/chairman/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20160304202126/http://www.southafrica.info/about/sport/greats/motaung.htm#.VtnuTHbP32c</ref><ref>https://halloffame.co.za/inductees/dr-kaizer-motaung/</ref><ref>https://www.wits.ac.za/news/sources/global-witsies/2025/mr-kaizer-motaung--a-life-dedicated-to-football-and-nation-building.html</ref><ref>https://sahistory.org.za/people/kaizer-motaung</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1944]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} nvapvmnei3h03hpktoal1ca0eywtnde Gouné Niangadou 0 248654 1594807 2026-09-06T19:50:42Z Castro255 89781 kuanzisha makala 1594807 wikitext text/x-wiki '''Gouné Niangadou''' alizaliwa tarehe 28 Desemba 1997 nchini Mali. Yeye ni [[mwanasoka]] wa [[Mali]] anayecheza katika nafasi ya kiungo. Kwa sasa anachezea klabu ya Antwerp, ambayo ni moja ya klabu zinazoshiriki katika mashindano ya soka nchini [[Ubelgiji]]. Niangadou ni miongoni mwa wachezaji wa Mali ambao wamejenga taaluma zao katika soka la kulipwa. Akiwa anacheza kama kiungo, ana nafasi muhimu katika mfumo wa timu kwa sababu viungo huwa na jukumu la kuunganisha safu ya ulinzi na safu ya ushambuliaji. Nafasi hii inahitaji mchezaji kuwa na uwezo wa kudhibiti mpira, kupiga pasi kwa usahihi, kusoma mchezo na kufanya maamuzi ya haraka.<ref>{{Cite web|title=Nos expatriés : GOUNE NIANGADOU ET YACOUBA SYLLA EN BELGIQUE {{!}} Bamada.net|url=https://bamada.net/nos-expatries-goune-niangadou-et-yacouba-sylla-en-belgique|accessdate=2026-09-06|language=fr-FR|author=Sasuke}}</ref><ref>{{Cite web|title=Mobile livescore - Flashscore.mobi football scores|url=https://www.flashscore.mobi/|work=www.flashscore.mobi|accessdate=2026-09-06|language=en}}</ref> Katika soka la kisasa, kiungo anaweza kupewa majukumu mbalimbali kulingana na mpango wa kocha. Anaweza kucheza kama kiungo wa kati anayesaidia timu kujenga mashambulizi, au kuwa na majukumu ya kusaidia ulinzi wakati timu inapopoteza mpira. Pia anaweza kusaidia kusambaza mpira kwa wachezaji wa pembeni na washambuliaji ili kuanzisha mashambulizi. Kwa mchezaji kama Niangadou, kucheza katika nafasi ya kiungo kunahitaji uwezo mzuri wa kimwili na kiufundi. Kiungo anapaswa kuwa na stamina ya kutosha kwa sababu mara nyingi hushiriki katika maeneo mengi ya uwanja. Aidha, anatakiwa kuwa makini katika kupokea na kusambaza mpira, pamoja na kuelewa nafasi za wachezaji wenzake na wapinzani. Niangadou anaendelea kujenga taaluma yake katika mazingira ya soka la Ubelgiji akiwa na Antwerp. Kucheza katika klabu ya nchi nyingine kunaweza kumpa mchezaji uzoefu mpya wa soka na kumwezesha kukutana na mifumo tofauti ya uchezaji. Pia humsaidia mchezaji kuongeza uzoefu katika mashindano yenye ushindani na kujifunza kutoka kwa makocha pamoja na wachezaji wengine. Kwa upande wa maisha yake ya kisoka, kuzaliwa mwaka 1997 kunamaanisha kwamba Niangadou aliingia katika kizazi cha wanasoka ambao wamekua katika kipindi ambacho soka la Afrika limeendelea kuongeza uwepo wake katika ligi za Ulaya. Wachezaji kutoka Mali wamekuwa wakipata nafasi ya kucheza katika nchi mbalimbali za Ulaya, jambo linalowapa fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika mazingira yenye ushindani mkubwa. Mali pia ina historia ya kuzalisha wachezaji wenye vipaji, hasa katika maeneo ya kiungo na ushambuliaji. Wachezaji kutoka nchini humo wamekuwa wakijulikana kwa uwezo wao wa kiufundi, nguvu na uelewa mzuri wa mchezo. Kwa hiyo, wachezaji kama Niangadou wanaendelea kuwa sehemu ya kizazi kinachowakilisha vipaji vya Mali katika soka la kimataifa. Kwa ujumla, Gouné Niangadou ni mwanasoka wa Mali aliyezaliwa tarehe 28 Desemba 1997, anayocheza katika nafasi ya kiungo. Kwa sasa anaitumikia klabu ya Antwerp nchini Ubelgiji. Akiwa kiungo, ana jukumu la kusaidia timu katika kudhibiti mchezo, kusambaza mipira, kuunganisha safu ya ulinzi na ushambuliaji, pamoja na kusaidia katika majukumu ya ulinzi. Safari yake ya soka inaonyesha maendeleo ya mwanasoka kutoka Mali anayeshiriki katika mazingira ya soka la Ulaya. Kadiri anavyoendelea kupata uzoefu, mazoezi na nafasi za kucheza, anaweza kuendelea kuboresha uwezo wake wa kiufundi, kimwili na kimkakati. Taaluma yake pia inaonyesha namna wachezaji wa Afrika wanavyoendelea kupata nafasi katika klabu za nje ya bara hilo na kutumia fursa hizo kukuza vipaji vyao. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] ka4sjhmbdp5p5tb08k88hc5r011mody 1594829 1594807 2026-09-06T20:48:10Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594829 wikitext text/x-wiki '''Gouné Niangadou''' alizaliwa tarehe 28 Desemba 1997 nchini Mali. Yeye ni [[mwanasoka]] wa [[Mali]] anayecheza katika nafasi ya kiungo. Kwa sasa anachezea klabu ya Antwerp, ambayo ni moja ya klabu zinazoshiriki katika mashindano ya soka nchini [[Ubelgiji]]. Niangadou ni miongoni mwa wachezaji wa Mali ambao wamejenga taaluma zao katika soka la kulipwa. Akiwa anacheza kama kiungo, ana nafasi muhimu katika mfumo wa timu kwa sababu viungo huwa na jukumu la kuunganisha safu ya ulinzi na safu ya ushambuliaji. Nafasi hii inahitaji mchezaji kuwa na uwezo wa kudhibiti mpira, kupiga pasi kwa usahihi, kusoma mchezo na kufanya maamuzi ya haraka.<ref>{{Rejea tovuti|title=Nos expatriés : GOUNE NIANGADOU ET YACOUBA SYLLA EN BELGIQUE {{!}} Bamada.net|url=https://bamada.net/nos-expatries-goune-niangadou-et-yacouba-sylla-en-belgique|accessdate=2026-09-06|language=fr-FR|author=Sasuke}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Mobile livescore - Flashscore.mobi football scores|url=https://www.flashscore.mobi/|work=www.flashscore.mobi|accessdate=2026-09-06|language=en}}</ref> Katika soka la kisasa, kiungo anaweza kupewa majukumu mbalimbali kulingana na mpango wa kocha. Anaweza kucheza kama kiungo wa kati anayesaidia timu kujenga mashambulizi, au kuwa na majukumu ya kusaidia ulinzi wakati timu inapopoteza mpira. Pia anaweza kusaidia kusambaza mpira kwa wachezaji wa pembeni na washambuliaji ili kuanzisha mashambulizi. Kwa mchezaji kama Niangadou, kucheza katika nafasi ya kiungo kunahitaji uwezo mzuri wa kimwili na kiufundi. Kiungo anapaswa kuwa na stamina ya kutosha kwa sababu mara nyingi hushiriki katika maeneo mengi ya uwanja. Aidha, anatakiwa kuwa makini katika kupokea na kusambaza mpira, pamoja na kuelewa nafasi za wachezaji wenzake na wapinzani. Niangadou anaendelea kujenga taaluma yake katika mazingira ya soka la Ubelgiji akiwa na Antwerp. Kucheza katika klabu ya nchi nyingine kunaweza kumpa mchezaji uzoefu mpya wa soka na kumwezesha kukutana na mifumo tofauti ya uchezaji. Pia humsaidia mchezaji kuongeza uzoefu katika mashindano yenye ushindani na kujifunza kutoka kwa makocha pamoja na wachezaji wengine. Kwa upande wa maisha yake ya kisoka, kuzaliwa mwaka 1997 kunamaanisha kwamba Niangadou aliingia katika kizazi cha wanasoka ambao wamekua katika kipindi ambacho soka la Afrika limeendelea kuongeza uwepo wake katika ligi za Ulaya. Wachezaji kutoka Mali wamekuwa wakipata nafasi ya kucheza katika nchi mbalimbali za Ulaya, jambo linalowapa fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika mazingira yenye ushindani mkubwa. Mali pia ina historia ya kuzalisha wachezaji wenye vipaji, hasa katika maeneo ya kiungo na ushambuliaji. Wachezaji kutoka nchini humo wamekuwa wakijulikana kwa uwezo wao wa kiufundi, nguvu na uelewa mzuri wa mchezo. Kwa hiyo, wachezaji kama Niangadou wanaendelea kuwa sehemu ya kizazi kinachowakilisha vipaji vya Mali katika soka la kimataifa. Kwa ujumla, Gouné Niangadou ni mwanasoka wa Mali aliyezaliwa tarehe 28 Desemba 1997, anayocheza katika nafasi ya kiungo. Kwa sasa anaitumikia klabu ya Antwerp nchini Ubelgiji. Akiwa kiungo, ana jukumu la kusaidia timu katika kudhibiti mchezo, kusambaza mipira, kuunganisha safu ya ulinzi na ushambuliaji, pamoja na kusaidia katika majukumu ya ulinzi. Safari yake ya soka inaonyesha maendeleo ya mwanasoka kutoka Mali anayeshiriki katika mazingira ya soka la Ulaya. Kadiri anavyoendelea kupata uzoefu, mazoezi na nafasi za kucheza, anaweza kuendelea kuboresha uwezo wake wa kiufundi, kimwili na kimkakati. Taaluma yake pia inaonyesha namna wachezaji wa Afrika wanavyoendelea kupata nafasi katika klabu za nje ya bara hilo na kutumia fursa hizo kukuza vipaji vyao. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] kyf1qwj2hsgaxrx2gz3wmf2zz608s0q Fouad al-Zayat 0 248655 1594808 2026-09-06T19:56:00Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fouad al-Zayat''' ( [[1941]] – [[26 Machi]] [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji na mcheza kamari nchini [[Syria]]. Alianzisha makampuni mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mortimer Off Shore Services Ltd. (sasa inaendeshwa na mwanawe na mkwe wake).<ref>{{Cite news |last=Kennedy |first=Dominic |date=2023-12-25 |title='Fat Man' wins legal battle over £2m gambling debt |newspaper=[[The Times]] |language=en |url=https://www.thetimes.com/t...' 1594808 wikitext text/x-wiki '''Fouad al-Zayat''' ( [[1941]] – [[26 Machi]] [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji na mcheza kamari nchini [[Syria]]. Alianzisha makampuni mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mortimer Off Shore Services Ltd. (sasa inaendeshwa na mwanawe na mkwe wake).<ref>{{Cite news |last=Kennedy |first=Dominic |date=2023-12-25 |title='Fat Man' wins legal battle over £2m gambling debt |newspaper=[[The Times]] |language=en |url=https://www.thetimes.com/travel/destinations/uk-travel/england/london-travel/fat-man-wins-legal-battle-over-2m-gambling-debt-k2bhxhtp973 |access-date=2023-12-25 |issn=0140-0460}}</ref><ref>{{Cite web |date=2008-09-03 |title=Billionaire gambler 'Fat Man' wins £2m Aspinall's case |url=https://www.telegraph.co.uk/news/2674683/Billionaire-gambler-Fat-Man-wins-2m-Aspinalls-case.html |access-date=2023-12-25 |website=The Telegraph |language=en}}</ref> al-Zayat aliomba usaidizi wa Mahakama ya Juu ya [[Marekani]] katika kupata malipo ya takriban dola bilioni 8 kwenye hati fungani za [[Ujerumani]] ambazo [[Adolf Hitler]] aliamuru zisilipwe kabla ya [[Vita vya Pili vya Dunia]].<ref name="bloo_Al-Z">{{Cite web| title = Al-Zayat Takes $8 Billion German Bond Claim to U.S. High Court| author = Westbrook, Jesse| publisher = Bloomberg L.P.| date = 16 February 2011| accessdate = 17 March 2016| url = https://www.bloomberg.com/news/articles/2011-02-16/al-zayat-takes-8-billion-claim-on-german-gold-bonds-to-u-s-supreme-court}}</ref> Kulingana na Reuters, wakati wa kesi za ufisadi za [[Ugiriki]] al-Zayat "alihukumiwa bila kuwepo na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa rushwa na miaka 17 kwa utakatishaji fedha."<ref name="reut_Cypr">{{Cite web| title = Cypriot ex-minister and son jailed in Greece over arms kickbacks: court| work = Reuters| date = 11 February 2015| accessdate = 17 March 2016| url = https://www.reuters.com/article/us-greece-corruption-trial-idUSKBN0LF1WE20150211}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Syria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Waliofariki 2018]] o8o0rvb3bl81swmnpn6amkkdzzdpajb 1594827 1594808 2026-09-06T20:39:39Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced. 1594827 wikitext text/x-wiki '''Fouad al-Zayat''' ( [[1941]] – [[26 Machi]] [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji na mcheza kamari nchini [[Syria]]. Alianzisha makampuni mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mortimer Off Shore Services Ltd. (sasa inaendeshwa na mwanawe na mkwe wake).<ref>{{Rejea habari |last=Kennedy |first=Dominic |date=2023-12-25 |title='Fat Man' wins legal battle over £2m gambling debt |newspaper=[[The Times]] |language=en |url=https://www.thetimes.com/travel/destinations/uk-travel/england/london-travel/fat-man-wins-legal-battle-over-2m-gambling-debt-k2bhxhtp973 |access-date=2023-12-25 |issn=0140-0460}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |date=2008-09-03 |title=Billionaire gambler 'Fat Man' wins £2m Aspinall's case |url=https://www.telegraph.co.uk/news/2674683/Billionaire-gambler-Fat-Man-wins-2m-Aspinalls-case.html |access-date=2023-12-25 |website=The Telegraph |language=en}}</ref> al-Zayat aliomba usaidizi wa Mahakama ya Juu ya [[Marekani]] katika kupata malipo ya takriban dola bilioni 8 kwenye hati fungani za [[Ujerumani]] ambazo [[Adolf Hitler]] aliamuru zisilipwe kabla ya [[Vita vya Pili vya Dunia]].<ref name="bloo_Al-Z">{{Rejea tovuti| title = Al-Zayat Takes $8 Billion German Bond Claim to U.S. High Court| author = Westbrook, Jesse| publisher = Bloomberg L.P.| date = 16 February 2011| accessdate = 17 March 2016| url = https://www.bloomberg.com/news/articles/2011-02-16/al-zayat-takes-8-billion-claim-on-german-gold-bonds-to-u-s-supreme-court}}</ref> Kulingana na Reuters, wakati wa kesi za ufisadi za [[Ugiriki]] al-Zayat "alihukumiwa bila kuwepo na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa rushwa na miaka 17 kwa utakatishaji fedha."<ref name="reut_Cypr">{{Rejea tovuti| title = Cypriot ex-minister and son jailed in Greece over arms kickbacks: court| work = Reuters| date = 11 February 2015| accessdate = 17 March 2016| url = https://www.reuters.com/article/us-greece-corruption-trial-idUSKBN0LF1WE20150211}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Syria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Waliofariki 2018]] jyb2jkpplgzcw8umzkrgw2xe2m17r7x Oumar Pona 0 248656 1594809 2026-09-06T19:59:30Z Castro255 89781 kuanzisha makala 1594809 wikitext text/x-wiki '''Oumar Kalifa Pona''' alizaliwa tarehe 21 Juni 2006 nchini [[Ufaransa]]. Ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa mwenye asili ya Mali anayesakata soka katika nafasi ya kipa. Kwa sasa anachezea klabu ya Angers, inayoshiriki katika Ligue 1, ligi kuu ya soka nchini Ufaransa. Pona pia ni mchezaji wa kimataifa wa vijana wa Mali, licha ya kuzaliwa nchini Ufaransa.<ref>{{Citation|title=Angers Sco. « C’était brut, mais il faisait forte impression » : Oumar Pona, un physique taillé pour être gardien|date=2026-01-10|url=https://www.ouest-france.fr/sport/football/angers-sco/angers-sco-cetait-brut-mais-il-faisait-forte-impression-oumar-pona-un-physique-taille-pour-etre-gardien-0bdd60a2-ebc2-11f0-bb7c-fe9a962cb15d|work=Ouest-France.fr|language=fr-FR|access-date=2026-09-06}}</ref><ref>{{Cite web|title=Angers Sco. Le jeune gardien Oumar Pona signe son premier contrat professionnel|url=https://angers.maville.com/actu/actudet_-angers-sco.-le-jeune-gardien-oumar-pona-signe-son-premier-contrat-professionnel-_fil-6190113_actu.Htm|work=angers.maville.com|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref><ref>{{Citation|title=Coupe de France. « Let’s go les 16es de finale ! » : quand Oumar Pona, le gardien d’Angers Sco savoure sa première|date=2025-12-21|url=https://www.ouest-france.fr/sport/football/angers-sco/coupe-de-france-lets-go-les-16es-de-finale-quand-oumar-pona-le-gardien-dangers-sco-savoure-sa-premiere-e432f844-dd81-11f0-84e2-922db77b2982|work=Ouest-France.fr|language=fr-FR|access-date=2026-09-06}}</ref> Pona alianza kujijenga katika mazingira ya soka la Ufaransa, ambako alipewa nafasi ya kukuza uwezo wake katika ngazi za vijana. Kama kipa, jukumu lake kubwa ni kulinda lango la timu yake na kuzuia wapinzani kufunga mabao. Nafasi hii huhitaji umakini mkubwa, uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka, ujasiri, pamoja na uwezo mzuri wa kutumia mikono na miguu wakati wa [[mchezo]]. Akiwa bado katika umri mdogo, Pona amefanikiwa kufikia kiwango cha kucheza katika mfumo wa soka la kulipwa nchini Ufaransa. Kuchezea Angers kunampa fursa ya kuendelea kupata uzoefu katika mazingira yenye ushindani mkubwa. Ligue 1 ni moja ya mashindano muhimu zaidi ya soka nchini Ufaransa, hivyo uwepo wake katika klabu inayoshiriki ligi hiyo unaonyesha hatua muhimu katika maendeleo yake kama mchezaji. Kama kipa, maendeleo ya Pona yanahusisha kujifunza mambo mbalimbali yanayohitajika katika nafasi hiyo. Miongoni mwa mambo hayo ni uwezo wa kusoma mashambulizi ya wapinzani, kuelekeza mabeki wenzake, kushika au kuokoa mipira inayolenga lango, pamoja na kuanzisha mashambulizi kutoka nyuma. Kwa makipa vijana, kupata uzoefu katika mfumo wa klabu yenye ushindani ni sehemu muhimu ya kujenga uwezo na kujiamini. Mbali na maisha yake ya klabu, Pona pia amewakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Kwa kuwa alizaliwa Ufaransa lakini ana uhusiano wa kitaifa na Mali, amekuwa sehemu ya kizazi cha wachezaji wenye nafasi ya kuiwakilisha nchi hiyo katika mashindano ya kimataifa ya vijana. Ushiriki wake katika timu za vijana za Mali unaweza kuwa sehemu muhimu ya safari yake ya kuelekea kwenye kiwango cha juu zaidi cha soka la kimataifa. Kuwakilisha timu ya taifa ya vijana humsaidia mchezaji kupata uzoefu wa kucheza dhidi ya wachezaji kutoka nchi nyingine na pia kujifunza kuhusu mazingira ya mashindano ya kimataifa. Kwa Pona, uzoefu huo unaweza kumsaidia kuendelea kukua katika nafasi yake ya ulinzi wa lango na kujenga msingi mzuri wa maisha yake ya baadaye katika soka. Kwa ujumla, Oumar Kalifa Pona ni kipa kijana anayekua katika mfumo wa soka la Ufaransa huku akiwa na nafasi ya kuiwakilisha Mali katika ngazi ya kimataifa ya vijana. Kuzaliwa kwake Ufaransa, kuchezea Angers katika mfumo wa Ligue 1, na kushiriki katika timu za vijana za Mali ni mambo muhimu katika safari yake ya kisoka. Akiwa bado katika hatua za mwanzo za taaluma yake, maendeleo yake yanaendelea kuwa sehemu muhimu ya safari yake kuelekea kujijenga kama kipa wa kiwango cha juu. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2006]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] jprmqwpqhy98do3odq44luvjuqlmo2u 1594812 1594809 2026-09-06T20:06:11Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1594812 wikitext text/x-wiki '''Oumar Kalifa Pona''' alizaliwa tarehe 21 Juni 2006 nchini [[Ufaransa]]. Ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa mwenye asili ya Mali anayesakata soka katika nafasi ya kipa. Kwa sasa anachezea klabu ya Angers, inayoshiriki katika Ligue 1, ligi kuu ya soka nchini Ufaransa. Pona pia ni mchezaji wa kimataifa wa vijana wa Mali, licha ya kuzaliwa nchini Ufaransa.<ref>{{Citation|title=Angers Sco. « C’était brut, mais il faisait forte impression » : Oumar Pona, un physique taillé pour être gardien|date=2026-01-10|url=https://www.ouest-france.fr/sport/football/angers-sco/angers-sco-cetait-brut-mais-il-faisait-forte-impression-oumar-pona-un-physique-taille-pour-etre-gardien-0bdd60a2-ebc2-11f0-bb7c-fe9a962cb15d|work=Ouest-France.fr|language=fr-FR|access-date=2026-09-06}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Angers Sco. Le jeune gardien Oumar Pona signe son premier contrat professionnel|url=https://angers.maville.com/actu/actudet_-angers-sco.-le-jeune-gardien-oumar-pona-signe-son-premier-contrat-professionnel-_fil-6190113_actu.Htm|work=angers.maville.com|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref><ref>{{Citation|title=Coupe de France. « Let’s go les 16es de finale ! » : quand Oumar Pona, le gardien d’Angers Sco savoure sa première|date=2025-12-21|url=https://www.ouest-france.fr/sport/football/angers-sco/coupe-de-france-lets-go-les-16es-de-finale-quand-oumar-pona-le-gardien-dangers-sco-savoure-sa-premiere-e432f844-dd81-11f0-84e2-922db77b2982|work=Ouest-France.fr|language=fr-FR|access-date=2026-09-06}}</ref> Pona alianza kujijenga katika mazingira ya soka la Ufaransa, ambako alipewa nafasi ya kukuza uwezo wake katika ngazi za vijana. Kama kipa, jukumu lake kubwa ni kulinda lango la timu yake na kuzuia wapinzani kufunga mabao. Nafasi hii huhitaji umakini mkubwa, uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka, ujasiri, pamoja na uwezo mzuri wa kutumia mikono na miguu wakati wa [[mchezo]]. Akiwa bado katika umri mdogo, Pona amefanikiwa kufikia kiwango cha kucheza katika mfumo wa soka la kulipwa nchini Ufaransa. Kuchezea Angers kunampa fursa ya kuendelea kupata uzoefu katika mazingira yenye ushindani mkubwa. Ligue 1 ni moja ya mashindano muhimu zaidi ya soka nchini Ufaransa, hivyo uwepo wake katika klabu inayoshiriki ligi hiyo unaonyesha hatua muhimu katika maendeleo yake kama mchezaji. Kama kipa, maendeleo ya Pona yanahusisha kujifunza mambo mbalimbali yanayohitajika katika nafasi hiyo. Miongoni mwa mambo hayo ni uwezo wa kusoma mashambulizi ya wapinzani, kuelekeza mabeki wenzake, kushika au kuokoa mipira inayolenga lango, pamoja na kuanzisha mashambulizi kutoka nyuma. Kwa makipa vijana, kupata uzoefu katika mfumo wa klabu yenye ushindani ni sehemu muhimu ya kujenga uwezo na kujiamini. Mbali na maisha yake ya klabu, Pona pia amewakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Kwa kuwa alizaliwa Ufaransa lakini ana uhusiano wa kitaifa na Mali, amekuwa sehemu ya kizazi cha wachezaji wenye nafasi ya kuiwakilisha nchi hiyo katika mashindano ya kimataifa ya vijana. Ushiriki wake katika timu za vijana za Mali unaweza kuwa sehemu muhimu ya safari yake ya kuelekea kwenye kiwango cha juu zaidi cha soka la kimataifa. Kuwakilisha timu ya taifa ya vijana humsaidia mchezaji kupata uzoefu wa kucheza dhidi ya wachezaji kutoka nchi nyingine na pia kujifunza kuhusu mazingira ya mashindano ya kimataifa. Kwa Pona, uzoefu huo unaweza kumsaidia kuendelea kukua katika nafasi yake ya ulinzi wa lango na kujenga msingi mzuri wa maisha yake ya baadaye katika soka. Kwa ujumla, Oumar Kalifa Pona ni kipa kijana anayekua katika mfumo wa soka la Ufaransa huku akiwa na nafasi ya kuiwakilisha Mali katika ngazi ya kimataifa ya vijana. Kuzaliwa kwake Ufaransa, kuchezea Angers katika mfumo wa Ligue 1, na kushiriki katika timu za vijana za Mali ni mambo muhimu katika safari yake ya kisoka. Akiwa bado katika hatua za mwanzo za taaluma yake, maendeleo yake yanaendelea kuwa sehemu muhimu ya safari yake kuelekea kujijenga kama kipa wa kiwango cha juu. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2006]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] n9bv2zisapbqjc521yfv448gwby6r2k Roger Tamraz 0 248657 1594811 2026-09-06T20:04:37Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Roger Edward Tamraz''' ni mmiliki wa benki wa kimataifa na mwekezaji wa mtaji wa ubia ambaye amekuwa na kazi ya biashara ya mafuta na gesi huko [[Ulaya]], [[Asia]] na [[Amerika Kaskazini]] tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960. Yeye ni mwenyekiti bilionea wa kampuni ya nishati ya mafuta NetOil yenye makao yake [[Dubai (mji)|Dubai]], [[UAE]].<ref>{{Cite news |date=2022-08-04 |title=Petroteq Executes LOI for License Agreements |language=en |work=Bloomberg.com...' 1594811 wikitext text/x-wiki '''Roger Edward Tamraz''' ni mmiliki wa benki wa kimataifa na mwekezaji wa mtaji wa ubia ambaye amekuwa na kazi ya biashara ya mafuta na gesi huko [[Ulaya]], [[Asia]] na [[Amerika Kaskazini]] tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960. Yeye ni mwenyekiti bilionea wa kampuni ya nishati ya mafuta NetOil yenye makao yake [[Dubai (mji)|Dubai]], [[UAE]].<ref>{{Cite news |date=2022-08-04 |title=Petroteq Executes LOI for License Agreements |language=en |work=Bloomberg.com |url=https://www.bloomberg.com/press-releases/2022-08-04/petroteq-executes-loi-for-license-agreements |access-date=2022-09-05}}</ref><ref>{{Cite web |title=Roger Edward Tamraz – Netoil |url=https://netoilglobal.com/ltd/roger-edward-tamraz-chairman-of-the-board/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20200920113908/https://netoilinc.com/ltd/roger-edward-tamraz-chairman-of-the-board/ |url-status=usurped |archive-date=September 20, 2020 |access-date=2022-09-05 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite news |date=2012-11-06 |title=CORRECTED (OFFICIAL) UPDATE 3-NETOIL INC, Libya show interest for French refinery |language=en |work=Reuters |url=https://www.reuters.com/article/france-refinery-strike-idUKL5E8M51JS20121106 |access-date=2022-09-05}}</ref> Tamraz ameangaziwa katika kitabu ''See No Evil'', ambacho kilihamasisha filamu Syriana.<ref>{{Cite book |last=Baer |first=Robert |url=https://www.worldcat.org/oclc/48557610 |title=See no evil : the true story of a ground soldier in the CIA's war on terrorism |date=2002 |publisher=Crown Publishers |isbn=0-609-60987-4 |edition=1st |location=New York |oclc=48557610}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Watu wa Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Waliozaliwa 1940]] [[Jamii:Watu walio hai]] 1e893q7ze9dxzinofgwdtmba6l3qkfh 1594823 1594811 2026-09-06T20:33:25Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced. 1594823 wikitext text/x-wiki '''Roger Edward Tamraz''' ni mmiliki wa benki wa kimataifa na mwekezaji wa mtaji wa ubia ambaye amekuwa na kazi ya biashara ya mafuta na gesi huko [[Ulaya]], [[Asia]] na [[Amerika Kaskazini]] tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960. Yeye ni mwenyekiti bilionea wa kampuni ya nishati ya mafuta NetOil yenye makao yake [[Dubai (mji)|Dubai]], [[UAE]].<ref>{{Rejea habari |date=2022-08-04 |title=Petroteq Executes LOI for License Agreements |language=en |work=Bloomberg.com |url=https://www.bloomberg.com/press-releases/2022-08-04/petroteq-executes-loi-for-license-agreements |access-date=2022-09-05}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |title=Roger Edward Tamraz – Netoil |url=https://netoilglobal.com/ltd/roger-edward-tamraz-chairman-of-the-board/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20200920113908/https://netoilinc.com/ltd/roger-edward-tamraz-chairman-of-the-board/ |url-status=usurped |archive-date=September 20, 2020 |access-date=2022-09-05 |language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea habari |date=2012-11-06 |title=CORRECTED (OFFICIAL) UPDATE 3-NETOIL INC, Libya show interest for French refinery |language=en |work=Reuters |url=https://www.reuters.com/article/france-refinery-strike-idUKL5E8M51JS20121106 |access-date=2022-09-05}}</ref> Tamraz ameangaziwa katika kitabu ''See No Evil'', ambacho kilihamasisha filamu Syriana.<ref>{{Rejea kitabu |last=Baer |first=Robert |url=https://www.worldcat.org/oclc/48557610 |title=See no evil : the true story of a ground soldier in the CIA's war on terrorism |date=2002 |publisher=Crown Publishers |isbn=0-609-60987-4 |edition=1st |location=New York |oclc=48557610}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Watu wa Falme za Kiarabu]] [[Jamii:Waliozaliwa 1940]] [[Jamii:Watu walio hai]] 4864uji2pekqp9u68e6ykt5obf3443e Coli Saco 0 248658 1594813 2026-09-06T20:09:27Z Castro255 89781 kuanzisha makala 1594813 wikitext text/x-wiki '''Coli''' '''Saco''' alizaliwa tarehe 15 Mei 2002 nchini [[Ufaransa]]. Ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa kulipwa mwenye asili ya Mali anayocheza katika nafasi ya kiungo wa kati. Kwa sasa anachezea klabu ya Riga, inayoshiriki katika Latvian Higher League, ligi kuu ya soka nchini Latvia. Saco pia ameiwakilisha Mali katika ngazi ya timu ya taifa ya chini ya miaka 23 (U-23).<ref>{{Cite web|title=Milan, doppio colpo: presi Saco e Pobi|url=https://www.mondoprimavera.com/calciomercato/milan-doppio-colpo-presi-saco-e-pobi/|work=MondoPrimavera|date=2020-10-05|accessdate=2026-09-06|language=it-IT|author=Riccardo Lionetto}}</ref><ref>{{Cite web|title=Football {{!}} Ligue 2. Coli Saco, pas conservé au FC Sochaux, signe au Milan AC|url=https://www.estrepublicain.fr/sport/2020/10/07/coli-saco-pas-conserve-au-fc-sochaux-signe-au-milan-ac|work=www.estrepublicain.fr|date=2020-10-07|accessdate=2026-09-06|language=FR-fr}}</ref><ref>{{Cite web|title=Il nuovo Pogba ha 20 anni e sbarca in Piemonte: muscoli e centimetri per impressionare|url=https://www.sprintesport.it/primavera/2022/07/22/news/il-nuovo-pogba-ha-20-anni-e-sbarca-in-piemonte-muscoli-e-centimetri-per-impressionare-521143/|work=www.sprintesport.it|date=2022-07-22|accessdate=2026-09-06|language=it|author=Marco Stesina}}</ref> Saco alizaliwa Ufaransa na alianza safari yake ya kisoka katika mazingira ya soka ya nchi hiyo. Akiwa kiungo wa kati, jukumu lake linahusisha kusaidia timu katika maeneo mbalimbali ya uwanja, ikiwa ni pamoja na kujenga mashambulizi, kusambaza mipira kwa wachezaji wenzake na kusaidia timu wakati inapokuwa katika ulinzi. Kiungo wa kati mara nyingi huwa na nafasi muhimu katika kuunganisha safu ya ulinzi na safu ya ushambuliaji. Katika maendeleo yake ya kisoka, Saco amefikia kiwango cha kucheza soka la kulipwa nje ya Ufaransa. Uhamisho wake kwenda Riga nchini Latvia umempa fursa ya kuendelea kujenga uzoefu wake katika mazingira tofauti ya soka la Ulaya. Latvian Higher League ni mashindano ya ngazi ya juu nchini Latvia, na kushiriki katika ligi hiyo kunamwezesha Saco kukutana na wachezaji na timu mbalimbali katika ushindani wa kitaifa. Nafasi yake ya kiungo wa kati inahitaji uwezo wa kufanya maamuzi kwa haraka na kuwa na uelewa mzuri wa mchezo. Wachezaji wa nafasi hii mara nyingi huhusika katika kupokea mpira kutoka kwa mabeki, kuanzisha mashambulizi na kusaidia timu kudhibiti mchezo kupitia pasi. Pia wanapaswa kuwa tayari kubadilika kati ya majukumu ya kushambulia na kulinda timu inapopoteza mpira. Mbali na maisha yake ya klabu, Saco ana uhusiano muhimu na soka la kimataifa kupitia timu ya taifa ya Mali U-23. Ingawa alizaliwa Ufaransa, amechagua kuiwakilisha Mali katika ngazi ya vijana. Kuwakilisha timu ya taifa katika kiwango cha U-23 ni hatua muhimu kwa wachezaji wanaotaka kupata uzoefu wa mashindano ya kimataifa na kujiandaa kwa kiwango cha juu cha timu ya taifa. Ushiriki wake katika timu ya Mali U-23 pia unaonyesha nafasi yake ndani ya kizazi cha wachezaji vijana wenye asili ya Mali wanaocheza katika mazingira ya soka la Ulaya. Kwa mchezaji kama Saco, uzoefu wa kucheza katika ngazi ya klabu pamoja na timu ya taifa unaweza kumsaidia kuendelea kuboresha uwezo wake na kuongeza uzoefu wa ushindani. Kwa ujumla, Coli Saco ni kiungo wa kati aliyezaliwa Ufaransa ambaye amejenga taaluma yake katika soka la kulipwa na kufikia kucheza katika ligi kuu ya Latvia akiwa na Riga. Pia amewakilisha Mali katika ngazi ya U-23, jambo linaloonyesha uhusiano wake na soka la kimataifa la nchi hiyo. Akiwa bado katika hatua za mwanzo za maisha yake ya kitaaluma, safari yake inaendelea kupitia uzoefu wa kucheza katika ligi ya Latvia na kushiriki katika mfumo wa timu ya taifa ya Mali. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] e4xu9910s1sjmpf2fy4c3y0vuo3wi4k Albert Johanneson 0 248659 1594814 2026-09-06T20:14:33Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594814 wikitext text/x-wiki '''Albert Louis Johanneson''' ([[13 Machi]] [[1940]] – [[28 Septemba]] [[1995]]) alikuwa [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa miongoni mwa watu weusi wa kwanza waliopata umaarufu mkubwa, wa taifa lolote, kucheza soka la daraja la juu nchini [[England]]. Anatambuliwa kuwa mtu wa kwanza mwenye asili ya Afrika kucheza katika [[fainali]] ya FA Cup, [[mwaka]] [[1965]] akiwa na Leeds United. == Kazi == Johanneson, ambaye alikuwa kiungo wa kushoto mwenye ustadi na kasi, alipendekezwa kwa Leeds United na [[mwalimu]] wa [[shule]] kutoka Afrika Kusini na alijiunga na [[klabu]] hiyo mwezi [[Aprili]] [[1961]]. Alikaa hapo kwa miaka tisa akijitahidi kwa bidii kuboresha uchezaji wake, na kufikia msimu wa [[1963]]–64 alikuwa amejijenga kuwa nguvu kubwa katika safu ya ushambuliaji, akifunga mabao 13 ya [[ligi]] yaliyosaidia Leeds kupanda daraja kutoka Second Division. Mwaka [[1965]], Johanneson alipata nafasi katika kikosi cha Leeds kilichocheza Fainali ya Football Association Challenge Cup (FA Cup) katika Uwanja wa Wembley.Ingawa Leeds ilipoteza mchezo huo dhidi ya [[Liverpool]], na kwa bahati mbaya Johanneson hakucheza katika kiwango chake bora, aliweka [[historia]] kwa kuwa mtu mweusi wa kwanza kucheza katika fainali ya mashindano hayo maarufu [[duniani]]. Katika misimu iliyofuata, mfululizo wa majeraha pamoja na kuibuka kwa Eddie Gray kulimfanya Johanneson kukaa benchi, na alicheza [[mechi]] 10 pekee zaidi akiwa katika kikosi cha kwanza cha Leeds kabla ya kocha Don Revie kumwachilia mwaka [[1970]]. Baadaye mwaka huo, Johanneson alijiunga na York City, ambako alifunga mabao matatu katika mechi 26 kabla ya kustaafu. == Maisha binafsi == Gledhow Towers, ambako Johanneson alitumia miaka ya mwisho ya maisha yake. Mwaka [[1963]], Johanneson alimuoa Norma Comrie, [[Daktari wa dawa|mfamasia]] ambaye asili yake ilikuwa [[Jamaica]]. Kwa pamoja walipata [[watoto]] wawili: Yvonne na Alicia. Ndoa yao ilidumu kwa miaka 11 kabla ya kuishia kwa [[talaka]]. Albert alikumbwa na matatizo ya ulevi na afya mbaya kabla ya kifo chake mwaka 1995. Mwili wake uligunduliwa baada ya kukaa bila kugunduliwa kwa muda wa wiki moja katika nyumba yake ya Gledhow Towers, North Leeds. Mpwa wa Albert, Carl Johanneson, ni [[bondia]] wa zamani wa Leeds katika uzani wa ''super featherweight''. == Mafanikio == Leeds United * Football League First Division: Mshindi (1) — 1968–69; Mshindi wa pili (2) — 1964–65, [[1965]]–66 * Football League Second Division: Mshindi (1) — [[1963]]–64 * FA Cup: Mshindi wa pili (1) — 1965 * Inter-Cities Fairs Cup: Mshindi wa pili (1) — 1967 <ref>https://web.archive.org/web/20110725225636/http://www-users.york.ac.uk/~sph2/lufc/mag/albert.htm</ref><ref>https://www.leeds-fans.org.uk/leeds/players/207.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20071206055800/http://furd.org/default.asp?intPageID=26</ref><ref>http://www.mightyleeds.co.uk/seasons/196364part1.htm</ref><ref>https://web.archive.org/web/20160109203305/http://www.southafrica.info/about/sport/greats/albert-johanneson.htm#.VpFuhnbP32c</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1940]] [[Jamii:Waliofariki 1995]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 05r9kqtgt20txymfdpvm7zoanrn7vkj Souleymane Sagnan 0 248660 1594818 2026-09-06T20:23:59Z Castro255 89781 kuanzisha makala 1594818 wikitext text/x-wiki '''Souleymane Sagnan''' alizaliwa tarehe 6 Mei 2005 nchini [[Ufaransa]]. Ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa kulipwa anayocheza katika nafasi ya beki wa kati (centre-back). Kwa sasa anachezea klabu ya Lens, inayoshiriki katika Ligue 1, ligi kuu ya soka nchini Ufaransa. Ingawa alizaliwa Ufaransa, Sagnan anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana.<ref>{{Cite web|title=Lens prolonge le contrat de son défenseur central Souleymane Sagnan jusqu'en 2030|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Transferts-lens-prolonge-le-contrat-de-son-defenseur-souleymane-sagnan-jusqu-en-2030/1704823|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref><ref>{{Cite web|title=Prêté à Caen en National, Souleymane Sagnan «ne pensait pas retomber dans un club comme Lens»|url=https://www.lensois.com/prete-a-caen-en-national-souleymane-sagnan-ne-pensait-pas-retomber-dans-un-club-comme-lens/|work=Lensois.com|date=2026-03-02|accessdate=2026-09-06|language=fr-FR|author=Clement Courtois}}</ref><ref>{{Cite web|title=Lens domine le PSG malgré son infériorité numérique et gagne son premier Trophée des champions|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Lens-domine-le-psg-malgre-une-longue-inferiorite-numerique-et-gagne-son-premier-trophee-des-champions/1711563|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref> Sagnan ni sehemu ya kizazi cha wachezaji vijana wanaokulia katika mfumo wa soka la Ufaransa huku wakiwa na nafasi ya kuwakilisha nchi zao za asili katika mashindano ya kimataifa. Kuzaliwa kwake nchini Ufaransa kulimpa fursa ya kukua katika mazingira yenye ushindani mkubwa wa soka, wakati uhusiano wake na Mali umemwezesha pia kushiriki katika mfumo wa timu za taifa za vijana wa nchi hiyo. Akiwa beki wa kati, Sagnan ana jukumu muhimu katika safu ya ulinzi ya timu yake. Mabeki wa kati huwa mstari muhimu kati ya wapinzani na lango la timu. Wanahitajika kuwa na uwezo wa kuzuia mashambulizi, kufuatilia washambuliaji, kushinda mipira ya juu na kuhakikisha safu ya ulinzi inabaki katika mpangilio mzuri. Pia wanahitaji kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka wakati timu inapokuwa chini ya presha. Kuchezea Lens ni hatua muhimu katika maendeleo ya Sagnan kama mchezaji kijana. Lens ni klabu yenye historia katika soka la Ufaransa na inashiriki Ligue 1, mashindano ambayo huwakutanisha baadhi ya wachezaji na timu zenye ushindani mkubwa nchini humo. Mazingira kama hayo yanaweza kumpa mchezaji kijana uzoefu muhimu wa kujifunza na kuendelea kuboresha uwezo wake wa kisoka. Katika nafasi ya beki wa kati, Sagnan anahitaji kuendelea kukuza vipengele mbalimbali vya mchezo wake. Miongoni mwa mambo muhimu kwa mchezaji wa nafasi hii ni uwezo wa kusoma mchezo, kutambua hatari mapema, kuweka nafasi sahihi uwanjani na kushirikiana kwa karibu na mabeki wenzake. Mawasiliano mazuri kati ya mabeki pia ni muhimu ili kuhakikisha timu inakuwa na ulinzi imara. Mbali na maisha yake katika ngazi ya klabu, Sagnan amepata fursa ya kuiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Ushiriki huu ni sehemu muhimu ya maendeleo ya wachezaji vijana kwa sababu huwapa nafasi ya kucheza katika mazingira ya kimataifa. Kwa Sagnan, kuwa sehemu ya mfumo wa vijana wa Mali kunamruhusu kupata uzoefu wa kukutana na wachezaji kutoka mataifa mengine na kushiriki katika mipango ya maendeleo ya soka la taifa hilo. Uamuzi wa kuiwakilisha Mali licha ya kuzaliwa Ufaransa unaonyesha uhusiano wake wa kisoka na nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Timu za taifa za vijana huwa na nafasi muhimu katika kuwajenga wachezaji kabla ya kufikia kiwango cha timu ya taifa ya wakubwa. Kwa mchezaji mwenye umri mdogo kama Sagnan, uzoefu huo unaweza kuwa msingi wa maendeleo yake katika miaka ijayo. Kwa ujumla, Souleymane Sagnan ni beki kijana wa kati aliyezaliwa Ufaransa ambaye anajenga taaluma yake katika soka la Ufaransa akiwa na Lens. Pia anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Mchanganyiko wa mafunzo na ushindani wa klabu pamoja na uzoefu wa kimataifa wa vijana unampa nafasi ya kuendelea kukua kama mchezaji wa safu ya ulinzi. Akiwa bado katika hatua za mwanzo za taaluma yake, maendeleo yake yanaweza kuwa sehemu muhimu ya safari yake ya kuelekea kiwango cha juu zaidi cha soka la kulipwa na la kimataifa. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2005]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] 41mozw2v10azh14mjbv93u1p7i1nvhu 1594831 1594818 2026-09-06T20:58:01Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594831 wikitext text/x-wiki '''Souleymane Sagnan''' alizaliwa tarehe 6 Mei 2005 nchini [[Ufaransa]]. Ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa kulipwa anayocheza katika nafasi ya beki wa kati (centre-back). Kwa sasa anachezea klabu ya Lens, inayoshiriki katika Ligue 1, ligi kuu ya soka nchini Ufaransa. Ingawa alizaliwa Ufaransa, Sagnan anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana.<ref>{{Rejea tovuti|title=Lens prolonge le contrat de son défenseur central Souleymane Sagnan jusqu'en 2030|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Transferts-lens-prolonge-le-contrat-de-son-defenseur-souleymane-sagnan-jusqu-en-2030/1704823|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Prêté à Caen en National, Souleymane Sagnan «ne pensait pas retomber dans un club comme Lens»|url=https://www.lensois.com/prete-a-caen-en-national-souleymane-sagnan-ne-pensait-pas-retomber-dans-un-club-comme-lens/|work=Lensois.com|date=2026-03-02|accessdate=2026-09-06|language=fr-FR|author=Clement Courtois}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Lens domine le PSG malgré son infériorité numérique et gagne son premier Trophée des champions|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Lens-domine-le-psg-malgre-une-longue-inferiorite-numerique-et-gagne-son-premier-trophee-des-champions/1711563|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-06|language=fr}}</ref> Sagnan ni sehemu ya kizazi cha wachezaji vijana wanaokulia katika mfumo wa soka la Ufaransa huku wakiwa na nafasi ya kuwakilisha nchi zao za asili katika mashindano ya kimataifa. Kuzaliwa kwake nchini Ufaransa kulimpa fursa ya kukua katika mazingira yenye ushindani mkubwa wa soka, wakati uhusiano wake na Mali umemwezesha pia kushiriki katika mfumo wa timu za taifa za vijana wa nchi hiyo. Akiwa beki wa kati, Sagnan ana jukumu muhimu katika safu ya ulinzi ya timu yake. Mabeki wa kati huwa mstari muhimu kati ya wapinzani na lango la timu. Wanahitajika kuwa na uwezo wa kuzuia mashambulizi, kufuatilia washambuliaji, kushinda mipira ya juu na kuhakikisha safu ya ulinzi inabaki katika mpangilio mzuri. Pia wanahitaji kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka wakati timu inapokuwa chini ya presha. Kuchezea Lens ni hatua muhimu katika maendeleo ya Sagnan kama mchezaji kijana. Lens ni klabu yenye historia katika soka la Ufaransa na inashiriki Ligue 1, mashindano ambayo huwakutanisha baadhi ya wachezaji na timu zenye ushindani mkubwa nchini humo. Mazingira kama hayo yanaweza kumpa mchezaji kijana uzoefu muhimu wa kujifunza na kuendelea kuboresha uwezo wake wa kisoka. Katika nafasi ya beki wa kati, Sagnan anahitaji kuendelea kukuza vipengele mbalimbali vya mchezo wake. Miongoni mwa mambo muhimu kwa mchezaji wa nafasi hii ni uwezo wa kusoma mchezo, kutambua hatari mapema, kuweka nafasi sahihi uwanjani na kushirikiana kwa karibu na mabeki wenzake. Mawasiliano mazuri kati ya mabeki pia ni muhimu ili kuhakikisha timu inakuwa na ulinzi imara. Mbali na maisha yake katika ngazi ya klabu, Sagnan amepata fursa ya kuiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Ushiriki huu ni sehemu muhimu ya maendeleo ya wachezaji vijana kwa sababu huwapa nafasi ya kucheza katika mazingira ya kimataifa. Kwa Sagnan, kuwa sehemu ya mfumo wa vijana wa Mali kunamruhusu kupata uzoefu wa kukutana na wachezaji kutoka mataifa mengine na kushiriki katika mipango ya maendeleo ya soka la taifa hilo. Uamuzi wa kuiwakilisha Mali licha ya kuzaliwa Ufaransa unaonyesha uhusiano wake wa kisoka na nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Timu za taifa za vijana huwa na nafasi muhimu katika kuwajenga wachezaji kabla ya kufikia kiwango cha timu ya taifa ya wakubwa. Kwa mchezaji mwenye umri mdogo kama Sagnan, uzoefu huo unaweza kuwa msingi wa maendeleo yake katika miaka ijayo. Kwa ujumla, Souleymane Sagnan ni beki kijana wa kati aliyezaliwa Ufaransa ambaye anajenga taaluma yake katika soka la Ufaransa akiwa na Lens. Pia anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana. Mchanganyiko wa mafunzo na ushindani wa klabu pamoja na uzoefu wa kimataifa wa vijana unampa nafasi ya kuendelea kukua kama mchezaji wa safu ya ulinzi. Akiwa bado katika hatua za mwanzo za taaluma yake, maendeleo yake yanaweza kuwa sehemu muhimu ya safari yake ya kuelekea kiwango cha juu zaidi cha soka la kulipwa na la kimataifa. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2005]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Mali]] djugy44al8h2ki6vduol99z8skzcbxi Julien Alfred 0 248661 1594819 2026-09-06T20:28:19Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Julien Alfred''' (alizaliwa 10 Juni 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio fupi kutoka Saint Lucia. Alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024, akiweka rekodi mpya ya kitaifa ya Saint Lucia ya sekunde 10.72 katika fainali. Medali hiyo ilikuwa ya kwanza kabisa ya [[Olimpiki]] kwa Saint Lucia. Baadaye alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 200. Pia alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 60 kw...' 1594819 wikitext text/x-wiki '''Julien Alfred''' (alizaliwa 10 Juni 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio fupi kutoka Saint Lucia. Alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024, akiweka rekodi mpya ya kitaifa ya Saint Lucia ya sekunde 10.72 katika fainali. Medali hiyo ilikuwa ya kwanza kabisa ya [[Olimpiki]] kwa Saint Lucia. Baadaye alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 200. Pia alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 60 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2024. Alfred alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2022. Yeye ni mmoja wa wamiliki wa rekodi ya Amerika Kaskazini katika mbio za mita 60 za ndani. Pia alikuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu kukimbia mita 60 kwa chini ya sekunde saba. Alfred ni bingwa mara tatu wa mashindano ya mtu binafsi ya Daraja la Kwanza la Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu. == Wasifu == Alfred alizaliwa katika eneo la Ciceron, kusini mwa Castries. Baba yake alifariki alipokuwa na umri wa miaka 12. Alisoma katika Leon Hess Comprehensive Secondary School huko Saint Lucia kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, kisha akaendelea na masomo katika St. Catherine High School nchini Jamaica kuanzia 2015 hadi 2018. Baadaye alisomea shahada ya kwanza katika masomo ya Vijana na Jamii katika Chuo Kikuu cha Texas nchini Marekani, huku akiendelea kushiriki katika riadha.<ref>{{Cite web|title=Julien Alfred - Track & Field / Cross Country|url=https://texaslonghorns.com/sports/track-and-field/roster/julien-alfred/11862|work=University of Texas Athletics|accessdate=2026-09-06|language=en}}</ref> Mwaka 2015, Alfred alikuwa bingwa wa Amerika ya Kati na Karibea kwa wanariadha walio chini ya miaka 15. Katika mwaka huo huo na mwaka 2017, alitambuliwa kama Mwanamichezo Bora Chipukizi wa Kike wa Saint Lucia. Mwaka 2017, alishinda [[mbio]] za mita 100 katika Michezo ya Vijana ya Jumuiya ya Madola iliyofanyika Nassau, Bahamas. Mwaka 2018, alishinda medali ya fedha katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana huko Buenos Aires, Argentina, akimaliza nyuma ya Rosemary Chukwuma wa Nigeria. == Mwaka 2022 == Mwaka 2022, Alfred aliweka alama bora zaidi kuwahi kufikiwa na mwanariadha wa Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu katika mbio za mita 60, alipokimbia kwa sekunde 7.04 katika mchujo wa Mashindano ya Ndani ya Daraja la Kwanza. Mwezi Mei 2022, alikimbia mita 100 kwa sekunde 10.81 katika Mashindano ya Big 12 huko Lubbock, Texas. Matokeo hayo yalikuwa rekodi ya kitaifa ya Saint Lucia na rekodi ya mashindano. Pia yakamfanya kuwa mwanamke mwenye kasi zaidi kuwahi kutoka katika Jumuiya ya Nchi za Karibea ya Mashariki. Baadaye alishinda mbio za mita 100 katika Mashindano ya Daraja la Kwanza ya 2022 kwa muda wa sekunde 11.02. Kwa ushindi huo, akawa mwanariadha wa kwanza wa riadha kutoka Saint Lucia kushinda ubingwa wa Daraja la Kwanza. Pia alishinda mbio za [[mita]] 100 katika Michezo ya Karibea ya 2022 huko Les Abymes, Guadeloupe. == Mwaka 2023 == Tarehe 25 Februari 2023, Alfred alikimbia mita 60 kwa sekunde 6.97 katika Mashindano ya Ndani ya Big 12 huko Lubbock. Alikuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu kukimbia mita 60 kwa chini ya sekunde saba. Matokeo hayo yalimweka katika nafasi ya nane kwenye orodha ya nyakati bora zaidi duniani. Katika [[Mashindano]] ya Ndani ya Daraja la Kwanza ya 2023 huko Albuquerque, New Mexico, aliboresha muda wake hadi sekunde 6.94 katika mita 60 na sekunde 22.01 katika mita 200, na kushinda mataji yote mawili. [[Muda]] wake wa mita 60 ulikuwa sawa na rekodi ya Amerika Kaskazini. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2023 huko Budapest, Alfred alifika fainali ya mita 100 na kumaliza katika nafasi ya tano. Pia alifika fainali ya mita 200 na kumaliza katika nafasi ya nne. Katika Kumbukumbu ya István Gyulai mwaka 2023, alishinda mbio za mita 100 kwa muda wa sekunde 10.89, akimshinda mwanariadha Sha'Carri Richardson. Baada ya msimu wa masomo wa 2022–23, Alfred alichaguliwa pamoja na Max Duggan kuwa Wanamichezo Bora wa Mwaka wa Big 12.<ref>{{Cite web|title=Athle.live inscriptions et résultats|url=https://athle.live/challenge/62bf1daf3a9aaaddbcf05bc2/fa-1|work=athle.live|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] 3wsvm8tsdo8sgc9f0qgobrojmwdu8u4 1594836 1594819 2026-09-06T21:15:11Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594836 wikitext text/x-wiki '''Julien Alfred''' (alizaliwa 10 Juni 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio fupi kutoka Saint Lucia. Alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024, akiweka rekodi mpya ya kitaifa ya Saint Lucia ya sekunde 10.72 katika fainali. Medali hiyo ilikuwa ya kwanza kabisa ya [[Olimpiki]] kwa Saint Lucia. Baadaye alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 200. Pia alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 60 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2024. Alfred alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2022. Yeye ni mmoja wa wamiliki wa rekodi ya Amerika Kaskazini katika mbio za mita 60 za ndani. Pia alikuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu kukimbia mita 60 kwa chini ya sekunde saba. Alfred ni bingwa mara tatu wa mashindano ya mtu binafsi ya Daraja la Kwanza la Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu. == Wasifu == Alfred alizaliwa katika eneo la Ciceron, kusini mwa Castries. Baba yake alifariki alipokuwa na umri wa miaka 12. Alisoma katika Leon Hess Comprehensive Secondary School huko Saint Lucia kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, kisha akaendelea na masomo katika St. Catherine High School nchini Jamaica kuanzia 2015 hadi 2018. Baadaye alisomea shahada ya kwanza katika masomo ya Vijana na Jamii katika Chuo Kikuu cha Texas nchini Marekani, huku akiendelea kushiriki katika riadha.<ref>{{Rejea tovuti|title=Julien Alfred - Track & Field / Cross Country|url=https://texaslonghorns.com/sports/track-and-field/roster/julien-alfred/11862|work=University of Texas Athletics|accessdate=2026-09-06|language=en}}</ref> Mwaka 2015, Alfred alikuwa bingwa wa Amerika ya Kati na Karibea kwa wanariadha walio chini ya miaka 15. Katika mwaka huo huo na mwaka 2017, alitambuliwa kama Mwanamichezo Bora Chipukizi wa Kike wa Saint Lucia. Mwaka 2017, alishinda [[mbio]] za mita 100 katika Michezo ya Vijana ya Jumuiya ya Madola iliyofanyika Nassau, Bahamas. Mwaka 2018, alishinda medali ya fedha katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana huko Buenos Aires, Argentina, akimaliza nyuma ya Rosemary Chukwuma wa Nigeria. == Mwaka 2022 == Mwaka 2022, Alfred aliweka alama bora zaidi kuwahi kufikiwa na mwanariadha wa Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu katika mbio za mita 60, alipokimbia kwa sekunde 7.04 katika mchujo wa Mashindano ya Ndani ya Daraja la Kwanza. Mwezi Mei 2022, alikimbia mita 100 kwa sekunde 10.81 katika Mashindano ya Big 12 huko Lubbock, Texas. Matokeo hayo yalikuwa rekodi ya kitaifa ya Saint Lucia na rekodi ya mashindano. Pia yakamfanya kuwa mwanamke mwenye kasi zaidi kuwahi kutoka katika Jumuiya ya Nchi za Karibea ya Mashariki. Baadaye alishinda mbio za mita 100 katika Mashindano ya Daraja la Kwanza ya 2022 kwa muda wa sekunde 11.02. Kwa ushindi huo, akawa mwanariadha wa kwanza wa riadha kutoka Saint Lucia kushinda ubingwa wa Daraja la Kwanza. Pia alishinda mbio za [[mita]] 100 katika Michezo ya Karibea ya 2022 huko Les Abymes, Guadeloupe. == Mwaka 2023 == Tarehe 25 Februari 2023, Alfred alikimbia mita 60 kwa sekunde 6.97 katika Mashindano ya Ndani ya Big 12 huko Lubbock. Alikuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Chama cha Kitaifa cha Michezo ya Vyuo na Vyuo Vikuu kukimbia mita 60 kwa chini ya sekunde saba. Matokeo hayo yalimweka katika nafasi ya nane kwenye orodha ya nyakati bora zaidi duniani. Katika [[Mashindano]] ya Ndani ya Daraja la Kwanza ya 2023 huko Albuquerque, New Mexico, aliboresha muda wake hadi sekunde 6.94 katika mita 60 na sekunde 22.01 katika mita 200, na kushinda mataji yote mawili. [[Muda]] wake wa mita 60 ulikuwa sawa na rekodi ya Amerika Kaskazini. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2023 huko Budapest, Alfred alifika fainali ya mita 100 na kumaliza katika nafasi ya tano. Pia alifika fainali ya mita 200 na kumaliza katika nafasi ya nne. Katika Kumbukumbu ya István Gyulai mwaka 2023, alishinda mbio za mita 100 kwa muda wa sekunde 10.89, akimshinda mwanariadha Sha'Carri Richardson. Baada ya msimu wa masomo wa 2022–23, Alfred alichaguliwa pamoja na Max Duggan kuwa Wanamichezo Bora wa Mwaka wa Big 12.<ref>{{Rejea tovuti|title=Athle.live inscriptions et résultats|url=https://athle.live/challenge/62bf1daf3a9aaaddbcf05bc2/fa-1|work=athle.live|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] 35c2evfj7axcuxecobyjvijsl898y5o Ömer Amaçtan 0 248662 1594821 2026-09-06T20:31:34Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ömer Amaçtan''' (alizaliwa 5 Mei 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio za masafa kutoka [[Uturuki]] anayeshiriki katika mbio za mita 3,000, mita 5,000, mita 10,000, nusu marathoni, pamoja na mbio za nyika. == Maisha binafsi == Ömer Amaçtan alizaliwa katika wilaya ya Çaldıran, katika Mkoa wa Van, mashariki mwa Uturuki, tarehe 5 Mei 2001.<ref>{{Cite web|title=İnşaat işçiliğinden Avrupa ikinciliğine: Ömer Amaçtan|url=https://www.sabah.com.tr/spor...' 1594821 wikitext text/x-wiki '''Ömer Amaçtan''' (alizaliwa 5 Mei 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio za masafa kutoka [[Uturuki]] anayeshiriki katika mbio za mita 3,000, mita 5,000, mita 10,000, nusu marathoni, pamoja na mbio za nyika. == Maisha binafsi == Ömer Amaçtan alizaliwa katika wilaya ya Çaldıran, katika Mkoa wa Van, mashariki mwa Uturuki, tarehe 5 Mei 2001.<ref>{{Cite web|title=İnşaat işçiliğinden Avrupa ikinciliğine: Ömer Amaçtan|url=https://www.sabah.com.tr/spor/tum-sporlar/2018/07/19/insaat-isciliginden-avrupa-ikinciligine-omer-amactan|work=Sabah|accessdate=2026-09-06|language=tr}}</ref> Kutokana na changamoto za kifedha katika familia yake, alianza kufanya kazi za ujenzi akiwa na umri mdogo ili kujipatia mahitaji ya [[maisha]] alipokuwa bado shuleni. Anasomea Ualimu wa Elimu ya Viungo na Michezo katika Chuo Kikuu cha Erciyes mjini Kayseri. == Kazi ya riadha == Amaçtan alianza kushiriki katika michezo alipokuwa shuleni. Mwaka 2013, alitwaa ubingwa wa Uturuki na wa Balkan. Kati ya mwaka 2015 na 2017, aliendelea kupata mafanikio katika mashindano ya Balkan, akishinda ubingwa na pia kumaliza katika nafasi ya tatu. Mwaka 2018, alikubaliwa katika Kituo cha Maandalizi ya Olimpiki huko Erzurum, ambako aliendelea na masomo yake huku akipata mafunzo ya riadha. Baadaye alihamia Kituo cha Maandalizi ya Olimpiki huko Kayseri. Kabla ya kujiunga na Enka SK, alikuwa mwanachama wa Fenerbahçe Athletics. Katika Tamasha la Olimpiki ya Vijana ya Ulaya ya 2017 huko Győr, Hungary, Amaçtan alishinda [[medali]] ya dhahabu katika mbio za mita 3,000. Mwaka huo huo, akiwa pamoja na wenzake Ramazan Barbaros na Abdurrahman Gediklioğlu, alishinda medali ya shaba katika mashindano ya timu ya vijana kwenye Mashindano ya Ulaya ya Mbio za Nyika huko Šamorín, Slovakia. Mwaka 2018, alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 18 huko Győr. Katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 huko Buenos Aires, Argentina, alimaliza katika nafasi ya nane katika mbio za mita 3,000. Mwaka 2019, Amaçtan alishinda medali ya shaba katika mbio za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 huko Borås, Sweden. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya 2020 huko Cluj-Napoca, Romania, alishinda medali mbili za shaba katika mbio za mita 3,000 na mita 5,000.<ref>{{Cite web|title=Türkiye Balkan Atletizm Şampiyonası'nda 2. oldu|url=https://www.aa.com.tr/tr/spor/turkiye-balkan-atletizm-sampiyonasinda-2-oldu/1979842|work=Anadolu Ajansı|accessdate=2026-09-06|language=tr}}</ref> Mwaka 2021, alifuzu kwa [[Mashindano]] ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 baada ya kukimbia mita 10,000 huko Bursa kwa muda wake bora binafsi wa 29:38. Katika mashindano hayo yaliyofanyika Tallinn, Estonia, alimaliza wa kumi katika mita 10,000. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya 2021 huko Smederevo, Serbia, alishinda medali ya shaba katika mita 3,000. Pia alimaliza wa 18 katika mita 5,000 kwenye Mashindano ya Ulaya kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya mwaka huo. Mwaka 2022, alimaliza wa 30 katika Kombe la Ulaya la Mita 10,000 huko Pacé, Ufaransa. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya mwaka huo huko Craiova, Romania, alishinda tena medali ya shaba katika mita 3,000. Mwaka 2023, hakumaliza mbio katika Kombe la Ulaya la Mita 10,000 huko Pacé. Katika Mashindano ya Ulaya kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 huko Espoo, Finland, alimaliza wa 11 katika mita 10,000. Katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2021, iliyofanyika mwaka 2023 huko Chengdu, China, Amaçtan pamoja na Sezgin Ataç, Ayetullah Aslanhan na Mahsun Değer walishinda medali ya dhahabu katika mashindano ya timu ya nusu marathoni. Katika Nusu Marathoni ya Kimataifa ya Adana ya 2025, Amaçtan alimaliza katika nafasi ya tatu. Baadaye alishiriki katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2025 huko Bochum, Ujerumani, ambako alishinda medali ya fedha katika mashindano ya timu ya nusu marathoni pamoja na Ramazan Baştuğ, Azat Demirtaş na Ayetullah Aslanhan. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] s4d4saitujjm35yqbyzsu0ntid48c2u 1594843 1594821 2026-09-07T00:18:19Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594843 wikitext text/x-wiki '''Ömer Amaçtan''' (alizaliwa 5 Mei 2001) ni [[mwanariadha]] wa mbio za masafa kutoka [[Uturuki]] anayeshiriki katika mbio za mita 3,000, mita 5,000, mita 10,000, nusu marathoni, pamoja na mbio za nyika. == Maisha binafsi == Ömer Amaçtan alizaliwa katika wilaya ya Çaldıran, katika Mkoa wa Van, mashariki mwa Uturuki, tarehe 5 Mei 2001.<ref>{{Rejea tovuti|title=İnşaat işçiliğinden Avrupa ikinciliğine: Ömer Amaçtan|url=https://www.sabah.com.tr/spor/tum-sporlar/2018/07/19/insaat-isciliginden-avrupa-ikinciligine-omer-amactan|work=Sabah|accessdate=2026-09-06|language=tr}}</ref> Kutokana na changamoto za kifedha katika familia yake, alianza kufanya kazi za ujenzi akiwa na umri mdogo ili kujipatia mahitaji ya [[maisha]] alipokuwa bado shuleni. Anasomea Ualimu wa Elimu ya Viungo na Michezo katika Chuo Kikuu cha Erciyes mjini Kayseri. == Kazi ya riadha == Amaçtan alianza kushiriki katika michezo alipokuwa shuleni. Mwaka 2013, alitwaa ubingwa wa Uturuki na wa Balkan. Kati ya mwaka 2015 na 2017, aliendelea kupata mafanikio katika mashindano ya Balkan, akishinda ubingwa na pia kumaliza katika nafasi ya tatu. Mwaka 2018, alikubaliwa katika Kituo cha Maandalizi ya Olimpiki huko Erzurum, ambako aliendelea na masomo yake huku akipata mafunzo ya riadha. Baadaye alihamia Kituo cha Maandalizi ya Olimpiki huko Kayseri. Kabla ya kujiunga na Enka SK, alikuwa mwanachama wa Fenerbahçe Athletics. Katika Tamasha la Olimpiki ya Vijana ya Ulaya ya 2017 huko Győr, Hungary, Amaçtan alishinda [[medali]] ya dhahabu katika mbio za mita 3,000. Mwaka huo huo, akiwa pamoja na wenzake Ramazan Barbaros na Abdurrahman Gediklioğlu, alishinda medali ya shaba katika mashindano ya timu ya vijana kwenye Mashindano ya Ulaya ya Mbio za Nyika huko Šamorín, Slovakia. Mwaka 2018, alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 18 huko Győr. Katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 huko Buenos Aires, Argentina, alimaliza katika nafasi ya nane katika mbio za mita 3,000. Mwaka 2019, Amaçtan alishinda medali ya shaba katika mbio za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 huko Borås, Sweden. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya 2020 huko Cluj-Napoca, Romania, alishinda medali mbili za shaba katika mbio za mita 3,000 na mita 5,000.<ref>{{Rejea tovuti|title=Türkiye Balkan Atletizm Şampiyonası'nda 2. oldu|url=https://www.aa.com.tr/tr/spor/turkiye-balkan-atletizm-sampiyonasinda-2-oldu/1979842|work=Anadolu Ajansı|accessdate=2026-09-06|language=tr}}</ref> Mwaka 2021, alifuzu kwa [[Mashindano]] ya Ulaya ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 baada ya kukimbia mita 10,000 huko Bursa kwa muda wake bora binafsi wa 29:38. Katika mashindano hayo yaliyofanyika Tallinn, Estonia, alimaliza wa kumi katika mita 10,000. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya 2021 huko Smederevo, Serbia, alishinda medali ya shaba katika mita 3,000. Pia alimaliza wa 18 katika mita 5,000 kwenye Mashindano ya Ulaya kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya mwaka huo. Mwaka 2022, alimaliza wa 30 katika Kombe la Ulaya la Mita 10,000 huko Pacé, Ufaransa. Katika Mashindano ya Riadha ya Balkan ya mwaka huo huko Craiova, Romania, alishinda tena medali ya shaba katika mita 3,000. Mwaka 2023, hakumaliza mbio katika Kombe la Ulaya la Mita 10,000 huko Pacé. Katika Mashindano ya Ulaya kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 huko Espoo, Finland, alimaliza wa 11 katika mita 10,000. Katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2021, iliyofanyika mwaka 2023 huko Chengdu, China, Amaçtan pamoja na Sezgin Ataç, Ayetullah Aslanhan na Mahsun Değer walishinda medali ya dhahabu katika mashindano ya timu ya nusu marathoni. Katika Nusu Marathoni ya Kimataifa ya Adana ya 2025, Amaçtan alimaliza katika nafasi ya tatu. Baadaye alishiriki katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2025 huko Bochum, Ujerumani, ambako alishinda medali ya fedha katika mashindano ya timu ya nusu marathoni pamoja na Ramazan Baştuğ, Azat Demirtaş na Ayetullah Aslanhan. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] j9lcchdw843g22yobix2x3vg2vnhyll Juleisy Angulo 0 248663 1594824 2026-09-06T20:34:38Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Juleisy Angulo''' (alizaliwa 2 Januari 2001) ni [[mwanariadha]] wa Ecuador anayeshiriki katika kurusha mkuki na mwenye rekodi ya kitaifa. Yeye ndiye bingwa wa dunia wa sasa katika kurusha mkuki, baada ya kushinda taji hilo katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025, na kuwa mwanamke wa kwanza kutoka Ecuador kushinda [[medali]] ya dhahabu ya dunia.<ref>{{Cite web|title=Juleisy ANGULO {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/at...' 1594824 wikitext text/x-wiki '''Juleisy Angulo''' (alizaliwa 2 Januari 2001) ni [[mwanariadha]] wa Ecuador anayeshiriki katika kurusha mkuki na mwenye rekodi ya kitaifa. Yeye ndiye bingwa wa dunia wa sasa katika kurusha mkuki, baada ya kushinda taji hilo katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025, na kuwa mwanamke wa kwanza kutoka Ecuador kushinda [[medali]] ya dhahabu ya dunia.<ref>{{Cite web|title=Juleisy ANGULO {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/ecuador/juleisy-angulo-14718123|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Wasifu == Angulo anatoka Mkoa wa El Oro nchini Ecuador. Alishinda medali ya fedha katika kurusha mkuki kwenye Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 iliyofanyika Buenos Aires, Argentina, akimaliza nyuma ya Elina Tzengko wa Ugiriki. Mnamo Juni 2018, alivunja rekodi ya Amerika Kusini kwa wanariadha walio chini ya miaka 20 katika kurusha mkuki baada ya kurusha umbali wa mita 57.94, na kuvunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na María Lucelly Murillo wa Colombia. Mnamo Julai 2019, alishinda Mashindano ya Riadha ya Pan-American kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2019 nchini Costa Rica, akiwa na rekodi bora binafsi ya mita 58.96. Mwezi uliofuata, alimaliza katika nafasi ya saba katika kurusha mkuki kwenye Michezo ya Pan-American ya 2019 huko Lima, Peru. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2021, yaliyofanyika nchini Ecuador mwezi Mei, Angulo alimaliza wa nne katika kurusha mkuki. Mwaka huo pia alishinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Riadha ya Amerika Kusini kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya 2021. Mnamo [[Desemba]] 2021, alishinda medali ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 huko Cali, Colombia, baada ya kurusha mita 58.26. Mnamo 16 Aprili 2022, alishinda Mashindano ya Riadha ya Ecuador huko Guayaquil kwa kurusha mita 60.22. Mwezi uliofuata, aliweka rekodi mpya ya kitaifa ya mita 60.91 na kushinda Mashindano ya Riadha ya Ibero-Amerika ya 2022 huko La Nucia, Hispania. Alishiriki pia katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2022 huko Eugene, Oregon, lakini hakufuzu kwa [[fainali]]. Baadaye mwaka huo, alitetea taji lake katika Mashindano ya Riadha ya Amerika Kusini kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya 2022 huko Cascavel, Brazil. Katika Michezo ya Amerika Kusini ya 2022 huko Asunción, Paraguay, alishinda medali ya shaba na kuweka rekodi ya kitaifa ya mita 61.10. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2023 huko São Paulo, Brazil, Angulo alimaliza wa nne katika kurusha mkuki. Alishiriki pia katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2023 huko Budapest, Hungary, lakini hakufuzu kwa fainali. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2025 huko Mar del Plata, Argentina, Angulo alishinda medali ya fedha. Katika raundi yake ya kwanza, alirusha mita 62.25, akiweka rekodi ya kitaifa na ya mashindano, kabla ya kupitwa na Jucilene de Lima wa Brazil. Mnamo Agosti 2025, aliiboresha tena rekodi ya kitaifa ya Ecuador hadi mita 62.33 alipokuwa akishiriki mashindano nchini Brazil. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025 yaliyofanyika Tokyo, Japan, Angulo alishinda medali ya dhahabu katika kurusha mkuki na kuwa mwanamke wa kwanza kutoka Ecuador kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia. Katika hatua ya awali, alirusha mita 63.25 na kuweka rekodi mpya ya kitaifa, jambo lililomwezesha kufuzu kwa fainali. Katika fainali, aliendelea kuboresha rekodi hiyo kwa kurusha mita 65.13 na kushinda taji la dunia.<ref>{{Cite web|title=Angulo takes surprise javelin title in Tokyo {{!}} News {{!}} Tokyo 25 {{!}} World Athletics Championships|url=https://worldathletics.org/competitions/world-athletics-championships/world-athletics-championships-tokyo-2025-7190593/news/report/world-championships-tokyo-25-report-womens-javelin|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] j0cm8uy7bm4dhkuks5mi5hhqf9bqen5 1594835 1594824 2026-09-06T21:14:51Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594835 wikitext text/x-wiki '''Juleisy Angulo''' (alizaliwa 2 Januari 2001) ni [[mwanariadha]] wa Ecuador anayeshiriki katika kurusha mkuki na mwenye rekodi ya kitaifa. Yeye ndiye bingwa wa dunia wa sasa katika kurusha mkuki, baada ya kushinda taji hilo katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025, na kuwa mwanamke wa kwanza kutoka Ecuador kushinda [[medali]] ya dhahabu ya dunia.<ref>{{Rejea tovuti|title=Juleisy ANGULO {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/ecuador/juleisy-angulo-14718123|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Wasifu == Angulo anatoka Mkoa wa El Oro nchini Ecuador. Alishinda medali ya fedha katika kurusha mkuki kwenye Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 iliyofanyika Buenos Aires, Argentina, akimaliza nyuma ya Elina Tzengko wa Ugiriki. Mnamo Juni 2018, alivunja rekodi ya Amerika Kusini kwa wanariadha walio chini ya miaka 20 katika kurusha mkuki baada ya kurusha umbali wa mita 57.94, na kuvunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na María Lucelly Murillo wa Colombia. Mnamo Julai 2019, alishinda Mashindano ya Riadha ya Pan-American kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2019 nchini Costa Rica, akiwa na rekodi bora binafsi ya mita 58.96. Mwezi uliofuata, alimaliza katika nafasi ya saba katika kurusha mkuki kwenye Michezo ya Pan-American ya 2019 huko Lima, Peru. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2021, yaliyofanyika nchini Ecuador mwezi Mei, Angulo alimaliza wa nne katika kurusha mkuki. Mwaka huo pia alishinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Riadha ya Amerika Kusini kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya 2021. Mnamo [[Desemba]] 2021, alishinda medali ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 huko Cali, Colombia, baada ya kurusha mita 58.26. Mnamo 16 Aprili 2022, alishinda Mashindano ya Riadha ya Ecuador huko Guayaquil kwa kurusha mita 60.22. Mwezi uliofuata, aliweka rekodi mpya ya kitaifa ya mita 60.91 na kushinda Mashindano ya Riadha ya Ibero-Amerika ya 2022 huko La Nucia, Hispania. Alishiriki pia katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2022 huko Eugene, Oregon, lakini hakufuzu kwa [[fainali]]. Baadaye mwaka huo, alitetea taji lake katika Mashindano ya Riadha ya Amerika Kusini kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya 2022 huko Cascavel, Brazil. Katika Michezo ya Amerika Kusini ya 2022 huko Asunción, Paraguay, alishinda medali ya shaba na kuweka rekodi ya kitaifa ya mita 61.10. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2023 huko São Paulo, Brazil, Angulo alimaliza wa nne katika kurusha mkuki. Alishiriki pia katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2023 huko Budapest, Hungary, lakini hakufuzu kwa fainali. Katika Mashindano ya Amerika Kusini ya 2025 huko Mar del Plata, Argentina, Angulo alishinda medali ya fedha. Katika raundi yake ya kwanza, alirusha mita 62.25, akiweka rekodi ya kitaifa na ya mashindano, kabla ya kupitwa na Jucilene de Lima wa Brazil. Mnamo Agosti 2025, aliiboresha tena rekodi ya kitaifa ya Ecuador hadi mita 62.33 alipokuwa akishiriki mashindano nchini Brazil. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025 yaliyofanyika Tokyo, Japan, Angulo alishinda medali ya dhahabu katika kurusha mkuki na kuwa mwanamke wa kwanza kutoka Ecuador kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia. Katika hatua ya awali, alirusha mita 63.25 na kuweka rekodi mpya ya kitaifa, jambo lililomwezesha kufuzu kwa fainali. Katika fainali, aliendelea kuboresha rekodi hiyo kwa kurusha mita 65.13 na kushinda taji la dunia.<ref>{{Rejea tovuti|title=Angulo takes surprise javelin title in Tokyo {{!}} News {{!}} Tokyo 25 {{!}} World Athletics Championships|url=https://worldathletics.org/competitions/world-athletics-championships/world-athletics-championships-tokyo-2025-7190593/news/report/world-championships-tokyo-25-report-womens-javelin|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] bcah4luexbaiekosk9gfd57u262fyfb Mansour Ojjeh 0 248664 1594825 2026-09-06T20:37:43Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mansour Akram Ojjeh''' ( [[25 Septemba]] [[1952]] – [[6 Juni]] [[2021]]) alikuwa [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Ufaransa]] mzaliwa wa [[Saudia]] ambaye alimiliki sehemu ya TAG, kampuni ya uwekezaji ya Luxembourg yenye maslahi duniani kote. Ojjeh alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TAG, ambayo ilimiliki asilimia 14.32 ya McLaren Group, ambayo mali yake inajumuisha McLaren Automotive na timu ya McLaren ya [[Formula One]] tangu miaka ya 1970 na 2000.<re...' 1594825 wikitext text/x-wiki '''Mansour Akram Ojjeh''' ( [[25 Septemba]] [[1952]] – [[6 Juni]] [[2021]]) alikuwa [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Ufaransa]] mzaliwa wa [[Saudia]] ambaye alimiliki sehemu ya TAG, kampuni ya uwekezaji ya Luxembourg yenye maslahi duniani kote. Ojjeh alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TAG, ambayo ilimiliki asilimia 14.32 ya McLaren Group, ambayo mali yake inajumuisha McLaren Automotive na timu ya McLaren ya [[Formula One]] tangu miaka ya 1970 na 2000.<ref>{{cite web |url=http://richlist.arabianbusiness.com/rich-list-2012/profile/17719/#.Uw0nXk1WHcs |title=Mansour Ojjeh |publisher=RichList 2012 |accessdate=26 February 2014 |archive-url=https://web.archive.org/web/20130227132733/http://richlist.arabianbusiness.com/rich-list-2012/profile/17719/#.Uw0nXk1WHcs |archive-date=27 February 2013 |url-status=dead }}</ref><ref>List of companies related to Mansour Ojjeh – http://www.flixens.com/director/mansour-akram-ojjeh</ref><ref>{{Cite news |date=2021-06-06 |title=Mansour Ojjeh: Key McLaren figure dies, aged 68 |url=https://www.bbc.com/sport/formula1/57375588 |access-date=2026-05-15 |work=BBC Sport |language=en-GB}}</ref> Wakati mmoja alikuwa mmiliki wa TAG Heuer na Uwanja wa Ndege wa Farnborough. Pia alimiliki asilimia 10 ya wauzaji wa vito wa kifahari Asprey na Garrard.<ref name=ttel03>{{cite news|last=Reece|first=Damian|title=The billionaire widow toying with Cordiant|url=https://www.telegraph.co.uk/finance/2857515/The-billionaire-widow-toying-with-Cordiant.html|accessdate=6 July 2012|newspaper=The Telegraph|date=13 July 2003}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wajasiriamali wa Ufaransa]] [[Jamii:Wanaume wa Ufaransa]] [[Jamii:Watu wa Saudia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2021]] iazhqv2m6ee6535herwfy09r3w0szoy 1594838 1594825 2026-09-06T22:02:31Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1594838 wikitext text/x-wiki '''Mansour Akram Ojjeh''' ( [[25 Septemba]] [[1952]] – [[6 Juni]] [[2021]]) alikuwa [[mjasiriamali]] bilionea nchini [[Ufaransa]] mzaliwa wa [[Saudia]] ambaye alimiliki sehemu ya TAG, kampuni ya uwekezaji ya Luxembourg yenye maslahi duniani kote. Ojjeh alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TAG, ambayo ilimiliki asilimia 14.32 ya McLaren Group, ambayo mali yake inajumuisha McLaren Automotive na timu ya McLaren ya [[Formula One]] tangu miaka ya 1970 na 2000.<ref>{{cite web |url=http://richlist.arabianbusiness.com/rich-list-2012/profile/17719/#.Uw0nXk1WHcs |title=Mansour Ojjeh |publisher=RichList 2012 |accessdate=26 February 2014 |archive-url=https://web.archive.org/web/20130227132733/http://richlist.arabianbusiness.com/rich-list-2012/profile/17719/#.Uw0nXk1WHcs |archive-date=27 February 2013 |url-status=dead }}</ref><ref>List of companies related to Mansour Ojjeh – http://www.flixens.com/director/mansour-akram-ojjeh</ref><ref>{{Rejea habari |date=2021-06-06 |title=Mansour Ojjeh: Key McLaren figure dies, aged 68 |url=https://www.bbc.com/sport/formula1/57375588 |access-date=2026-05-15 |work=BBC Sport |language=en-GB}}</ref> Wakati mmoja alikuwa mmiliki wa TAG Heuer na Uwanja wa Ndege wa Farnborough. Pia alimiliki asilimia 10 ya wauzaji wa vito wa kifahari Asprey na Garrard.<ref name=ttel03>{{cite news|last=Reece|first=Damian|title=The billionaire widow toying with Cordiant|url=https://www.telegraph.co.uk/finance/2857515/The-billionaire-widow-toying-with-Cordiant.html|accessdate=6 July 2012|newspaper=The Telegraph|date=13 July 2003}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wajasiriamali wa Ufaransa]] [[Jamii:Wanaume wa Ufaransa]] [[Jamii:Watu wa Saudia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2021]] ethllpd3b9a8jmg4uczmoj6i5s5tg1u Berihu Aregawi 0 248665 1594826 2026-09-06T20:37:52Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Berihu Aregawi Teklehaimanot''' (kwa Kikitigrinya: በሪሁ ኣረጋዊ; alizaliwa 28 Februari 2001)<ref>{{Cite web|title=Berihu AREGAWI {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/ethiopia/berihu-aregawi-14848753|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> ni [[mwanariadha]] wa Ethiopia anayeshiriki katika mbio za masafa marefu na ndiye anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio za barabarani za kilomita 5. Ka...' 1594826 wikitext text/x-wiki '''Berihu Aregawi Teklehaimanot''' (kwa Kikitigrinya: በሪሁ ኣረጋዊ; alizaliwa 28 Februari 2001)<ref>{{Cite web|title=Berihu AREGAWI {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/ethiopia/berihu-aregawi-14848753|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> ni [[mwanariadha]] wa Ethiopia anayeshiriki katika mbio za masafa marefu na ndiye anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio za barabarani za kilomita 5. Katika Michezo ya Olimpiki ya Paris ya 2024, Berihu alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 10,000, huku akimaliza katika nafasi ya nne katika mbio hizo kwenye Michezo ya Olimpiki ya Tokyo ya 2020. Alishinda medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Mbio za Nyika ya 2023. Pia alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2025. Akiwa na umri wa miaka 17, Berihu alishinda medali ya shaba katika mbio za [[mita]] 10,000 kwenye Mashindano ya Dunia kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2018. == Maisha ya uwanjani == Berihu Aregawi alishinda medali ya shaba katika mbio za mita 10,000 kwenye Mashindano ya Dunia kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2018 huko Tampere, Finland, akimaliza nyuma ya Rhonex Kipruto na Jacob Kiplimo. Mwaka huo pia alishinda mbio za mita 3,000 katika Michezo ya Vijana ya Afrika. Baadaye alisafiri kwenda Argentina kwa ajili ya Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 iliyofanyika Buenos Aires, ambapo alimaliza wa pili katika mashindano ya jumla ya mbio za mita 3,000. Mnamo Novemba 2019, Berihu alishinda Mbio Kuu za Ethiopia, mbio za barabarani za kilomita 10. === 2021 === Mnamo 8 Juni 2021, Berihu alimaliza wa tatu katika mashindano ya uteuzi wa [[timu]] ya Ethiopia katika mbio za mita 10,000, nyuma ya Selemon Barega na Yomif Kejelcha. Matokeo hayo yalimsaidia kupata nafasi katika Michezo ya Olimpiki ya Tokyo ya 2020, iliyocheleweshwa hadi mwaka 2021. Katika michezo yake ya kwanza ya Olimpiki, Berihu alimaliza wa nne katika mbio za mita 10,000, huku Selemon Barega akishinda medali ya dhahabu. Mnamo 31 Desemba 2021, aliweka rekodi ya dunia katika mbio za barabarani za kilomita 5 kwenye Cursa dels Nassos huko Barcelona, akitumia dakika 12:49. Aliboresha kwa sekunde mbili rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Joshua Cheptegei. Alishinda mbio hizo kwa tofauti ya sekunde 38. === 2022 === Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2022 huko Belgrade, Berihu aliondolewa katika hatua ya mchujo ya mbio za mita 3,000. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2022 yaliyofanyika Eugene, Oregon, alimaliza katika nafasi ya saba katika mbio za mita 10,000. === 2023 === Mnamo Februari 2023, Berihu alishinda medali ya fedha katika mbio za kilomita 10 kwenye Mashindano ya Dunia ya Mbio za Nyika huko Bathurst, Australia, akitumia dakika 29:26. Jacob Kiplimo alishinda mbio hizo kwa muda wa dakika 29:17. Mnamo 11 Machi, Berihu alikaribia kuvunja rekodi ya dunia ya Rhonex Kipruto katika mbio za barabarani za kilomita 10 huko Laredo, Hispania. Alikimbia kwa dakika 26:33, akiweka rekodi ya Ethiopia na kupata muda wa pili kwa kasi zaidi katika historia ya mbio hizo. Mnamo Juni 2023, alikimbia mbio za mita 5,000 kwa muda wa dakika 12:40.45 na kushinda mashindano ya Ligi ya Almasi huko Lausanne. Muda huo ulikuwa wa tano kwa kasi zaidi kuwahi kurekodiwa katika mbio za mita 5,000. Katika mbio za mita 10,000 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2023 huko Budapest, Berihu alimaliza katika nafasi ya nne.<ref>{{Cite web|title=Cheptegei joins all-time greats after winning third world 10,000m title in Budapest {{!}} News {{!}} Budapest 23 {{!}} World Athletics Championships|url=https://worldathletics.org/competitions/world-athletics-championships/world-athletics-championships-budapest-2023-7138987/news/report/wch-budapest-23-report-men-10000m|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> === 2024 === Mwaka 2024, Berihu alishinda Cross Internacional Juan Muguerza, mashindano ya mbio za nyika ya kiwango cha Dhahabu katika ziara ya mbio za nyika ya Riadha Duniani. Pia alishinda medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Mbio za Nyika ya 2024 yaliyofanyika nchini Serbia. Mnamo Mei 2024, alifikisha kiwango cha kufuzu kwa Michezo ya Olimpiki ya Paris ya 2024 katika mbio za mita 5,000 baada ya kumaliza wa pili katika mashindano ya LA Grand Prix. Katika Michezo ya Olimpiki ya Paris ya 2024, Berihu alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 10,000 kwa muda wa dakika 26:43.44. Alimaliza nyuma ya Joshua Cheptegei, ambaye aliweka rekodi mpya ya Olimpiki ya dakika 26:43.14. Katika mashindano ya Ligi ya Almasi ya Silesia ya 2024, Berihu alishiriki mbio za mita 3,000 na kukimbia kwa muda wa dakika 7:21.28. Alimaliza nyuma ya Jakob Ingebrigtsen, ambaye aliweka rekodi mpya ya dunia ya dakika 7:17.55. Matokeo ya Berihu yalimweka katika nafasi ya tatu katika orodha ya wanariadha waliowahi kukimbia kwa kasi zaidi katika mbio za mita 3,000. === 2025 === Mnamo Januari 2025, Berihu alitetea taji lake katika Cross Internacional Juan Muguerza huko Elgoibar. Mnamo Machi 2025, alishiriki mbio za mita 3,000 katika [[Mashindano]] ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2025 huko Nanjing, China. Alishinda medali ya fedha kwa muda wa dakika 7:46.25, akimaliza nyuma ya Jakob Ingebrigtsen aliyekimbia dakika 7:46.09. Katika Ligi ya Almasi ya Shanghai ya 2025, Berihu alishinda mbio za mita 5,000 kwa muda wa dakika 12:50.45, uliokuwa rekodi ya mashindano, akimshinda Methiopia mwenzake Kuma Girma. Mnamo 5 Julai 2025, alimaliza wa pili katika mbio za mita 10,000 kwenye Prefontaine Classic, mashindano ambayo pia yalitumika kama majaribio ya Ethiopia kwa ajili ya Mashindano ya Dunia ya 2025. Mnamo Septemba 2025, Berihu alishiriki mbio za mita 10,000 katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025 huko Tokyo, Japan, na kumaliza katika nafasi ya 12. === 2026 === Mnamo Januari 2026, Berihu alichaguliwa katika timu ya Ethiopia iliyoshiriki Mashindano ya [[Dunia]] ya Mbio za Nyika ya 2026 huko Tallahassee, Marekani. Alishinda medali ya fedha katika mashindano ya mtu binafsi na kusaidia Ethiopia kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya timu. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Ethiopia]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] bo7n24npwslmys25e0nkcgwur66bzsw Tryphène Saidi Mabikinyambey 0 248666 1594828 2026-09-06T20:42:18Z AdamLynnMcGill007 72462 Création en traduction article "Tryphène Saidi Mabikinyambey" #WIKI100DaysRDC 1594828 wikitext text/x-wiki [[image:defaut.svg|vignette|thumb|Mahojiano na Tryphene Saidi Mabikinyambey.]] '''Tryphène Saidi Mabikinyambey''', mwanasiasa wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], alichaguliwa kuwa meya wa [[Wilaya ya Bafwasende]] katika eneo la [[Tshopo]]. Anajulikana kwa kuwasilisha hoja ya kumuondoa madarakani Rais [[Louis-Marie Walle Lufungula]]; hoja hiyo, iliyoungwa mkono na wabunge 17 kati ya 28, ililenga kumuondoa Rais huyo<ref name="actualite2021">[https://actualite.cd/2021/04/15/tshopo-le-gouverneur-louis-marie-walle-destitue, ''Tshopo : le gouverneur Louis-Marie Walle destitué], Actualite.cd, 15 avril 2021, consulté le 05 septembre 2026</ref>{{,}}<ref name="okapi2021">[https://www.radiookapi.net/2021/04/16/actualite/politique/tshopo-le-gouverneur-walle-lufungula-destitue, ''Tshopo : le gouverneur Walle Lufungula destitué], Radio Okapi, 16 avril 2021, consulté le 05 septembre 2026</ref>. == Maisha == == Maelekezo == == Maisha ya kisiasa == === Mbunge wa Eneo la Uchaguzi anayeshughulikia Mapato === Akiwa amechaguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa Desemba 2018 katika Eneo la Uchaguzi la Bafwasende, amehudumu katika Baraza la Eneo la Uchaguzi la Tshopo tangu mwaka 2019. === Barua ya Kukataliwa ya Mwaka 2021 === Mnamo tarehe 15 Aprili 2021, aliwasilisha na kutetea malalamiko dhidi ya Rais Louis-Marie Walle Lupungula. Walibainisha malalamiko kadhaa, ikiwa ni pamoja na usimamizi mbaya wa fedha<ref name="actualite2021"/> Gavana huyo alitimuliwa siku hiyo hiyo baada ya wabunge wote 17 waliokuwapo—kati ya 28 waliounda Bunge la mkoa—kupiga kura ya ndiyo. Gavana huyo aliyefukuzwa baadaye aliomba Mahakama ya Kikatiba kupinga mchakato huo<ref name="okapi2021"/>. === Onyo la Usalama Kuhusu Vitendo vya Ulaghai === Mnamo mwaka wa 2025, akiwa mwakilishi aliyechaguliwa wa Bafwasende, alitoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa watu wengi wenye silaha wanaohusishwa na waasi wa ADF katika maeneo ya Ombiamedra na Bangabari, katika sekta ya Barumbi. Alisema kuwa hofu imetanda, shughuli zote za kibiashara zimesitishwa, na wakazi wengi wameondoka vijijini mwao kuelekea mji wa Bafwasende<ref name="7sur72025">[https://7sur7.cd/2025/09/28/tshopo-un-depute-alerte-sur-la-presence-des-adf-dans-deux-localites-de-bafwasende, ''Tshopo : un député alerte sur la présence des ADF dans deux localités de Bafwasende], 7sur7.cd, 28 septembre 2025, consulté le 05 septembre 2026</ref>. Inaitaka serikali kuu na FARDC kuimarisha eneo hilo. == Tazama pia == * [[Louis-Marie Walle Lufungula]] * [[Wilaya ya Bafwasende]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] boerhjh7trvapofhxc94lejykb1sbdk Sonny Gindi 0 248667 1594830 2026-09-06T20:57:38Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Samuel "Sonny" Gindi''' ( [[1924]] – [[2012]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mwanzilishi mwenza wa duka la idara ''Century 21''. Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 6.<ref>{{cite web|url=http://jewishvoiceny.com/index.php?option=com_content&id=1407:sonny-gindi-founder-of-century-21-department-store-dies-at-88&Itemid=333|title=Sonny Gindi, Founder of Century 21 Department Store, Dies at 88 and had an estimated net worth of six billion|ar...' 1594830 wikitext text/x-wiki '''Samuel "Sonny" Gindi''' ( [[1924]] – [[2012]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mwanzilishi mwenza wa duka la idara ''Century 21''. Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 6.<ref>{{cite web|url=http://jewishvoiceny.com/index.php?option=com_content&id=1407:sonny-gindi-founder-of-century-21-department-store-dies-at-88&Itemid=333|title=Sonny Gindi, Founder of Century 21 Department Store, Dies at 88 and had an estimated net worth of six billion|archive-url=https://web.archive.org/web/20140224094213/http://jewishvoiceny.com/index.php?option=com_content&id=1407:sonny-gindi-founder-of-century-21-department-store-dies-at-88&Itemid=333|archive-date=2014-02-24|url-status=dead|date=June 20, 2012|author=Fern Sidman}}</ref> == Wasifu == Gindi alizaliwa [[Brooklyn]], [[New York (jimbo)|New York]] katika familia ya Kiyahudi ya Sephardic yenye asili ya Kiyahudi na Syria. Baba yake alifariki alipokuwa na miaka tisa. Akiwa na umri wa miaka 14, alifungua duka lake la kwanza la rejareja na katika miaka ya 1950, alifungua duka la nguo za watoto. Mwaka 1959, akitumia uzoefu wake wa rejareja, alishirikiana na Alfred Sutton na Morris Sutton, akafungua biashara ya nguo za watoto Lolly Togs ambayo ilikuwa mwagizaji wa kwanza kufanya biashara na [[Hong Kong]]. Lolly Togs ilibadilisha jina lake kuwa LT Apparel Group mwaka 2007.<ref>{{cite web|url=https://www.boropark24.com/news/jewish-owned-century-21-known-for-selling-designer-bargains-to-shutter-this-week|title=Jewish-Owned Century 21, Known for Selling Designer Bargains, to Shutter This Week|date=December 7, 2020|author=Yehudit Garmaise|publisher=BoroPark24}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wanaume wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1924]] [[Jamii:Waliofariki 2012]] qptoupi3ke8zm91nhzdcfmsthkz4fjg Fanny Arendt 0 248668 1594832 2026-09-06T21:10:22Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fanny Arendt''' (alizaliwa 5 Juni 2002) ni [[mwanariadha]] wa riadha kutoka Luxembourg anayeshiriki katika mbio za kasi na [[mbio]] za masafa ya kati. Anashikilia rekodi za kitaifa na amekuwa bingwa wa kitaifa mara kadhaa.<ref>{{Cite web|title=Fanny ARENDT {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/luxembourg/fanny-arendt-14806232|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Maisha ya awali na binafsi == Are...' 1594832 wikitext text/x-wiki '''Fanny Arendt''' (alizaliwa 5 Juni 2002) ni [[mwanariadha]] wa riadha kutoka Luxembourg anayeshiriki katika mbio za kasi na [[mbio]] za masafa ya kati. Anashikilia rekodi za kitaifa na amekuwa bingwa wa kitaifa mara kadhaa.<ref>{{Cite web|title=Fanny ARENDT {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/luxembourg/fanny-arendt-14806232|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Maisha ya awali na binafsi == Arendt ni pacha, na dada yake pacha Noa ni mchezaji wa raga katika Chuo Kikuu cha McMaster huko Hamilton, Ontario. Wakiwa watoto, wote wawili walikuwa na hali ya mkunjo wa mgongo. Arendt alivaa kifaa maalumu cha kurekebisha mgongo kuanzia alipokuwa na umri wa miaka 5 hadi 17. Akiwa mdogo, kifaa hicho kilifika hadi shingoni, na baadaye kilitoka kiunoni hadi kwapani. Alipata majeraha mengi pamoja na nyufa za mifupa zilizotokana na msongo wa mazoezi. Baadaye alipunguza kiwango cha mazoezi ya kukimbia na kujumuisha zaidi uendeshaji wa baiskeli pamoja na mazoezi mengine ya kuongeza uwezo wa mwili. == Kazi ya riadha == Arendt aliiwakilisha Luxembourg katika Michezo ya Ulaya ya 2023. Hata hivyo, kutokana na jeraha, aliweza kushiriki katika mashindano machache tu mwaka 2024. Mnamo Juni 2024, alishinda ubingwa wa Luxembourg katika mbio za mita 400 na kumaliza wa pili katika mbio za mita 800.<ref>{{Cite web|title=Luxemburg Championships {{!}} Results {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/competition/calendar-results/results/7211496?eventId=10229511|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> Akiwa anashindana nchini Marekani kwa Chuo Kikuu cha Texas Tech, Arendt alivunja mwaka 2025 rekodi ya kitaifa ya Luxembourg ya mbio za mita 400 iliyokuwa ikishikiliwa na Charline Mathias kwa miaka 15. Mwaka huo pia aliweka rekodi za chuo katika mbio za mita 800 za wanawake, katika mashindano ya ndani na ya nje. Alishinda mbio za mita 800 katika mashindano ya ndani ya Big 12 na kumaliza wa pili katika mashindano ya nje ya Big 12. Katika mwaka huo aliweka rekodi bora binafsi mara tano. Mnamo Juni 2025, Arendt alishinda mbio za mita 400 katika Mashindano ya Timu ya Riadha ya [[Ulaya]], Daraja la Tatu, yaliyofanyika Maribor, Slovenia. Ushindi wake uliisaidia Luxembourg kupanda hadi Daraja la Pili. Pia alishinda mbio za kupokezana za mita 4 × 400 pamoja na timu ya Luxembourg katika mashindano hayo. Katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2025 huko Bochum, Ujerumani, alimaliza katika nafasi ya nne katika mbio za mita 800. Mnamo Agosti mwaka huo, alishinda mataji yote mawili ya wanawake ya mita 400 na mita 800 katika Mashindano ya Riadha ya Luxembourg. Mnamo 18 Januari 2026, Arendt aliweka rekodi mpya ya kitaifa ya Luxembourg ya ndani na rekodi bora zaidi ya maisha yake katika mbio za mita 800, akikimbia kwa muda wa dakika 2:00.83 katika mashindano ya CMCM Indoor Meeting nchini Luxembourg. Mashindano hayo yalikuwa sehemu ya kiwango cha fedha cha Ziara ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2026. Mnamo Juni 2026, alifuzu kushiriki mbio za mita 800 katika Mashindano ya Riadha ya Nje ya NCAA ya 2026. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] 0adzsrdd9dt504z9ebiiz1hjl2zk2oe 1594860 1594832 2026-09-07T04:40:14Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594860 wikitext text/x-wiki '''Fanny Arendt''' (alizaliwa 5 Juni 2002) ni [[mwanariadha]] wa riadha kutoka Luxembourg anayeshiriki katika mbio za kasi na [[mbio]] za masafa ya kati. Anashikilia rekodi za kitaifa na amekuwa bingwa wa kitaifa mara kadhaa.<ref>{{Rejea tovuti|title=Fanny ARENDT {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/luxembourg/fanny-arendt-14806232|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> == Maisha ya awali na binafsi == Arendt ni pacha, na dada yake pacha Noa ni mchezaji wa raga katika Chuo Kikuu cha McMaster huko Hamilton, Ontario. Wakiwa watoto, wote wawili walikuwa na hali ya mkunjo wa mgongo. Arendt alivaa kifaa maalumu cha kurekebisha mgongo kuanzia alipokuwa na umri wa miaka 5 hadi 17. Akiwa mdogo, kifaa hicho kilifika hadi shingoni, na baadaye kilitoka kiunoni hadi kwapani. Alipata majeraha mengi pamoja na nyufa za mifupa zilizotokana na msongo wa mazoezi. Baadaye alipunguza kiwango cha mazoezi ya kukimbia na kujumuisha zaidi uendeshaji wa baiskeli pamoja na mazoezi mengine ya kuongeza uwezo wa mwili. == Kazi ya riadha == Arendt aliiwakilisha Luxembourg katika Michezo ya Ulaya ya 2023. Hata hivyo, kutokana na jeraha, aliweza kushiriki katika mashindano machache tu mwaka 2024. Mnamo Juni 2024, alishinda ubingwa wa Luxembourg katika mbio za mita 400 na kumaliza wa pili katika mbio za mita 800.<ref>{{Rejea tovuti|title=Luxemburg Championships {{!}} Results {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/competition/calendar-results/results/7211496?eventId=10229511|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-06}}</ref> Akiwa anashindana nchini Marekani kwa Chuo Kikuu cha Texas Tech, Arendt alivunja mwaka 2025 rekodi ya kitaifa ya Luxembourg ya mbio za mita 400 iliyokuwa ikishikiliwa na Charline Mathias kwa miaka 15. Mwaka huo pia aliweka rekodi za chuo katika mbio za mita 800 za wanawake, katika mashindano ya ndani na ya nje. Alishinda mbio za mita 800 katika mashindano ya ndani ya Big 12 na kumaliza wa pili katika mashindano ya nje ya Big 12. Katika mwaka huo aliweka rekodi bora binafsi mara tano. Mnamo Juni 2025, Arendt alishinda mbio za mita 400 katika Mashindano ya Timu ya Riadha ya [[Ulaya]], Daraja la Tatu, yaliyofanyika Maribor, Slovenia. Ushindi wake uliisaidia Luxembourg kupanda hadi Daraja la Pili. Pia alishinda mbio za kupokezana za mita 4 × 400 pamoja na timu ya Luxembourg katika mashindano hayo. Katika Michezo ya Dunia ya Vyuo Vikuu ya Majira ya 2025 huko Bochum, Ujerumani, alimaliza katika nafasi ya nne katika mbio za mita 800. Mnamo Agosti mwaka huo, alishinda mataji yote mawili ya wanawake ya mita 400 na mita 800 katika Mashindano ya Riadha ya Luxembourg. Mnamo 18 Januari 2026, Arendt aliweka rekodi mpya ya kitaifa ya Luxembourg ya ndani na rekodi bora zaidi ya maisha yake katika mbio za mita 800, akikimbia kwa muda wa dakika 2:00.83 katika mashindano ya CMCM Indoor Meeting nchini Luxembourg. Mashindano hayo yalikuwa sehemu ya kiwango cha fedha cha Ziara ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2026. Mnamo Juni 2026, alifuzu kushiriki mbio za mita 800 katika Mashindano ya Riadha ya Nje ya NCAA ya 2026. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] e7sok5h0x670qi1i29ihdmhhiijr4p7 Jose Mugrabi 0 248669 1594833 2026-09-06T21:11:40Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jose Mugrabi''' (alizaliwa [[1939]]) ni [[mfanyabiashara]] na mkusanyaji wa sanaa nchini [[Israel]]. Akiwa na utajiri wa familia unaokadiriwa kuwa dola bilioni 5, yeye ni mkusanyaji mkuu wa Andy Warhol, akiwa na kazi za sanaa 800.<ref name="haaretz.com">{{cite web|url=https://www.haaretz.com/hasen/spages/1085618.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20121022053700/http://www.haaretz.com/|url-status=dead|archive-date=October 22, 2012|title=Warholi...' 1594833 wikitext text/x-wiki '''Jose Mugrabi''' (alizaliwa [[1939]]) ni [[mfanyabiashara]] na mkusanyaji wa sanaa nchini [[Israel]]. Akiwa na utajiri wa familia unaokadiriwa kuwa dola bilioni 5, yeye ni mkusanyaji mkuu wa Andy Warhol, akiwa na kazi za sanaa 800.<ref name="haaretz.com">{{cite web|url=https://www.haaretz.com/hasen/spages/1085618.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20121022053700/http://www.haaretz.com/|url-status=dead|archive-date=October 22, 2012|title=Warholic, Haaretz, May 15, 2009|website=haaretz.com|access-date=21 August 2018}}</ref><ref>{{Cite web |last=Bikel |first=Dror |author-link=Dror Bikel |title=Six-Figure Fashions, Diamonds & Yachts: Libbie Mugrabi's Fight to Maintain Her Extravagant Lifestyle Post Divorce |url=https://www.bikellaw.com/blog/30/six-figure-fashions-diamonds-yachts-libbie-mugrabis-fight-to-maintain-her-lifestyle/ |access-date=2021-03-12 |website=Bikel & Schanfield |language=en-us}}</ref><ref>{{Cite news |last=Widdicombe |first=Ben |date=2019-01-12 |title=Their Warhols Are at the Whitney. Their Ugly Divorce Is on Display, Too. |language=en-US |work=The New York Times |url=https://www.nytimes.com/2019/01/12/style/david-libbie-mugrabi-divorce-art.html |access-date=2023-12-08 |issn=0362-4331}}</ref> == Wasifu == Yosef "Jose" Mugrabi alizaliwa katika familia ya Kiyahudi ya [[Syria]] huko [[Yerusalemu]]. Alikulia katika kitongoji cha Mahane Yehuda. Familia yake ilisimamia duka la mboga huko Nahalat Ahim. Ana watoto wawili wa kiume, Alberto "Tico" Mugrabi na David Mugrabi.<ref>{{cite web|url=https://news.artnet.com/art-world/david-mugrabi-sues-mana-contemporary-release-artwork-1126367|title=Art Collector David Mugrabi Sues Mana Contemporary for Holding His Collection 'Hostage' – artnet News|date=24 October 2017|website=artnet.com|access-date=21 August 2018}}</ref> Mnamo Septemba 2016, Alberto alimuoa Colby Jordan, binti wa mwekezaji Jay W. Jordan II, katika Hôtel du Cap-Eden-Roc huko [[Antibes]], [[Ufaransa]]. Mugrabi anaishi na mke wake Mary katika Trump Tower huko [[Jiji la New York]] . Dada zake watatu wanaishi [[Israeli]]. == Kazi na Biashara == Akiwa na umri wa miaka 16, Mugrabi alikwenda [[Kolombia]] kukaa na jamaa, na akajihusisha na biashara ya nguo. Kuanzia kama mtumishi wa kusafirisha, akawa mmoja wa waagizaji wakubwa wa nchi. Mwaka 1982, alihamia New York, ambako alikutana na muuzaji wa sanaa Jeffrey Deitch na kuanza kukusanya kazi za sanaa.<ref>{{cite web|url=http://nymag.com/daily/intel/2008/01/jose_mugrabi_has_a_lot_of_toys.html|title=Jose Mugrabi Has a Lot of Toys He Never Plays With|website=nymag.com|date=4 January 2008 |access-date=21 August 2018}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Israeli]] [[Jamii:Watu wa Israeli]] [[Jamii:Waliozaliwa 1939]] [[Jamii:Watu walio hai]] 64v0um6infvfz7wyflihxb654faaoij 1594834 1594833 2026-09-06T21:12:49Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594834 wikitext text/x-wiki '''Jose Mugrabi''' (alizaliwa [[1939]]) ni [[mfanyabiashara]] na mkusanyaji wa sanaa nchini [[Israel]]. Akiwa na utajiri wa familia unaokadiriwa kuwa dola bilioni 5, yeye ni mkusanyaji mkuu wa Andy Warhol, akiwa na kazi za sanaa 800.<ref name="haaretz.com">{{cite web|url=https://www.haaretz.com/hasen/spages/1085618.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20121022053700/http://www.haaretz.com/|url-status=dead|archive-date=October 22, 2012|title=Warholic, Haaretz, May 15, 2009|website=haaretz.com|access-date=21 August 2018}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Bikel |first=Dror |author-link=Dror Bikel |title=Six-Figure Fashions, Diamonds & Yachts: Libbie Mugrabi's Fight to Maintain Her Extravagant Lifestyle Post Divorce |url=https://www.bikellaw.com/blog/30/six-figure-fashions-diamonds-yachts-libbie-mugrabis-fight-to-maintain-her-lifestyle/ |access-date=2021-03-12 |website=Bikel & Schanfield |language=en-us}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Widdicombe |first=Ben |date=2019-01-12 |title=Their Warhols Are at the Whitney. Their Ugly Divorce Is on Display, Too. |language=en-US |work=The New York Times |url=https://www.nytimes.com/2019/01/12/style/david-libbie-mugrabi-divorce-art.html |access-date=2023-12-08 |issn=0362-4331}}</ref> == Wasifu == Yosef "Jose" Mugrabi alizaliwa katika familia ya Kiyahudi ya [[Syria]] huko [[Yerusalemu]]. Alikulia katika kitongoji cha Mahane Yehuda. Familia yake ilisimamia duka la mboga huko Nahalat Ahim. Ana watoto wawili wa kiume, Alberto "Tico" Mugrabi na David Mugrabi.<ref>{{cite web|url=https://news.artnet.com/art-world/david-mugrabi-sues-mana-contemporary-release-artwork-1126367|title=Art Collector David Mugrabi Sues Mana Contemporary for Holding His Collection 'Hostage' – artnet News|date=24 October 2017|website=artnet.com|access-date=21 August 2018}}</ref> Mnamo Septemba 2016, Alberto alimuoa Colby Jordan, binti wa mwekezaji Jay W. Jordan II, katika Hôtel du Cap-Eden-Roc huko [[Antibes]], [[Ufaransa]]. Mugrabi anaishi na mke wake Mary katika Trump Tower huko [[Jiji la New York]] . Dada zake watatu wanaishi [[Israeli]]. == Kazi na Biashara == Akiwa na umri wa miaka 16, Mugrabi alikwenda [[Kolombia]] kukaa na jamaa, na akajihusisha na biashara ya nguo. Kuanzia kama mtumishi wa kusafirisha, akawa mmoja wa waagizaji wakubwa wa nchi. Mwaka 1982, alihamia New York, ambako alikutana na muuzaji wa sanaa Jeffrey Deitch na kuanza kukusanya kazi za sanaa.<ref>{{cite web|url=http://nymag.com/daily/intel/2008/01/jose_mugrabi_has_a_lot_of_toys.html|title=Jose Mugrabi Has a Lot of Toys He Never Plays With|website=nymag.com|date=4 January 2008 |access-date=21 August 2018}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Israeli]] [[Jamii:Watu wa Israeli]] [[Jamii:Waliozaliwa 1939]] [[Jamii:Watu walio hai]] ebellnzx1rc2vpqy01t5s7m2hxngpay Majadiliano ya mtumiaji:Satirdan kahraman 3 248670 1594841 2026-09-06T22:12:28Z Neriah 46921 Neriah alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Satirdan kahraman]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Mümtaz]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/Satirdan kahraman|Satirdan kahraman]]" to "[[Special:CentralAuth/Mümtaz|Mümtaz]]" 1594841 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Mümtaz]] 5yjhfiya2yo6n8ijp2sabn26oz1xtmt Dan Sinaté 0 248671 1594846 2026-09-07T02:05:09Z Castro255 89781 kuanzisha makala 1594846 wikitext text/x-wiki Dan Sinaté alizaliwa tarehe 9 Juni 2006 nchini [[Ufaransa]]. Ni mchezaji wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa anayocheza katika nafasi ya beki wa kushoto (left-back). Kwa sasa anachezea klabu ya Amiens, inayoshiriki katika Ligue 3 nchini Ufaransa, kwa mkopo kutoka klabu ya Angers. Sinaté pia anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana.<ref>{{Cite web|title=Mercato : Dan Sinaté, 18 ans, première recrue d'Angers|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Mercato-dan-sinate-18-ans-premiere-recrue-d-angers/1561832|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-07|language=fr}}</ref><ref>{{Cite web|title=Tincres, Bamba, Sinaté and Boura sign their first professional contracts|url=https://sports.yahoo.com/tincres-bamba-sinat-boura-sign-182400564.html|work=Yahoo Sports|date=2024-02-22|accessdate=2026-09-07|language=en-US|author=AS Monaco·3 min read}}</ref><ref>{{Cite web|title=Manchester United eye Angers full-back Dan Sinate - Get French Football News|url=https://www.getfootballnewsfrance.com/2025/manchester-united-eye-angers-full-back-dan-sinate/|date=2025-07-22|accessdate=2026-09-07|language=en-US}}</ref> Sinate ni miongoni mwa wachezaji vijana wanaokua katika mfumo wa soka la Ufaransa. Kuzaliwa kwake nchini Ufaransa kulimpa nafasi ya kukulia katika mazingira yenye ushindani wa soka, huku uhusiano wake na Mali ukimruhusu kuiwakilisha nchi hiyo katika ngazi ya kimataifa ya vijana. Akiwa na umri mdogo, kucheza katika mfumo wa soka la kulipwa ni hatua muhimu katika maendeleo yake ya kisoka. Katika nafasi ya beki wa kushoto, Sinaté ana majukumu ya kulinda upande wa kushoto wa safu ya ulinzi. Beki wa nafasi hii anatakiwa kuzuia mashambulizi yanayotokea upande wake, kufuatilia wachezaji wa pembeni wa wapinzani na kusaidia timu wakati inapokuwa na mpira. Katika soka la kisasa, mabeki wa pembeni pia hushiriki katika mashambulizi kwa kupanda mbele na kusaidia kutengeneza nafasi au kutoa mipira kuelekea eneo la hatari. Sinate kwa sasa anachezea Amiens kwa mfumo wa mkopo kutoka Angers. Mfumo wa kumtoa mchezaji kwa mkopo hutumiwa mara nyingi kuwapa wachezaji vijana nafasi ya kupata uzoefu zaidi wa kucheza. Kwa mchezaji ambaye bado yuko katika hatua za mwanzo za taaluma yake, kucheza mara kwa mara katika mazingira yenye ushindani kunaweza kuwa muhimu katika kujenga uwezo, kujiamini na uelewa wa mchezo. Akiwa Amiens, Sinaté anapata nafasi ya kuendelea kujifunza katika mashindano ya Ligue 3. Uzoefu wa kucheza katika ligi ya ngazi ya juu nchini Ufaransa unaweza kumsaidia kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazohusiana na soka la ushindani. Pia, kucheza katika klabu tofauti na ile inayomiliki usajili wake kunaweza kumwezesha kukutana na mifumo tofauti ya uchezaji, makocha na wachezaji. Mbali na majukumu yake katika ngazi ya klabu, Sinaté anaendelea kujenga uzoefu wake kupitia timu za taifa za vijana za Mali. Kuiwakilisha Mali katika ngazi ya vijana ni sehemu muhimu ya safari yake ya kimataifa. Mashindano ya vijana huwapa wachezaji fursa ya kucheza dhidi ya wapinzani kutoka mataifa mbalimbali na kupata uzoefu ambao unaweza kuwa na manufaa katika maendeleo yao ya muda mrefu. Kama beki wa kushoto, maendeleo yake yanategemea pia uwezo wa kuchanganya majukumu ya ulinzi na mashambulizi. Mchezaji wa nafasi hiyo anahitaji kuwa na uwezo wa kusoma mchezo, kuweka nafasi sahihi, kushirikiana na mabeki wenzake na kufanya maamuzi ya haraka. Pia anapaswa kuwa tayari kusaidia timu inapokuwa na mpira na kurejea haraka katika nafasi yake wakati timu inapopoteza mpira. Kwa ujumla, Dan Sinaté ni mchezaji kijana wa soka aliyezaliwa Ufaransa ambaye anajenga taaluma yake kupitia klabu ya Amiens, ambako yupo kwa mkopo kutoka Angers. Akiwa beki wa kushoto, anaendelea kupata uzoefu katika soka la ushindani nchini Ufaransa. Wakati huo huo, anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana, akichanganya uzoefu wa klabu na wa kimataifa katika hatua za mwanzo za maisha yake ya kisoka. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2006]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Ufaransa]] p0eku8dhopaoymla69ljgl9cx1k336e 1594858 1594846 2026-09-07T04:18:28Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594858 wikitext text/x-wiki Dan Sinaté alizaliwa tarehe 9 Juni 2006 nchini [[Ufaransa]]. Ni mchezaji wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa anayocheza katika nafasi ya beki wa kushoto (left-back). Kwa sasa anachezea klabu ya Amiens, inayoshiriki katika Ligue 3 nchini Ufaransa, kwa mkopo kutoka klabu ya Angers. Sinaté pia anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana.<ref>{{Rejea tovuti|title=Mercato : Dan Sinaté, 18 ans, première recrue d'Angers|url=https://www.lequipe.fr/Football/Actualites/Mercato-dan-sinate-18-ans-premiere-recrue-d-angers/1561832|work=L'Équipe|accessdate=2026-09-07|language=fr}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Tincres, Bamba, Sinaté and Boura sign their first professional contracts|url=https://sports.yahoo.com/tincres-bamba-sinat-boura-sign-182400564.html|work=Yahoo Sports|date=2024-02-22|accessdate=2026-09-07|language=en-US|author=AS Monaco·3 min read}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Manchester United eye Angers full-back Dan Sinate - Get French Football News|url=https://www.getfootballnewsfrance.com/2025/manchester-united-eye-angers-full-back-dan-sinate/|date=2025-07-22|accessdate=2026-09-07|language=en-US}}</ref> Sinate ni miongoni mwa wachezaji vijana wanaokua katika mfumo wa soka la Ufaransa. Kuzaliwa kwake nchini Ufaransa kulimpa nafasi ya kukulia katika mazingira yenye ushindani wa soka, huku uhusiano wake na Mali ukimruhusu kuiwakilisha nchi hiyo katika ngazi ya kimataifa ya vijana. Akiwa na umri mdogo, kucheza katika mfumo wa soka la kulipwa ni hatua muhimu katika maendeleo yake ya kisoka. Katika nafasi ya beki wa kushoto, Sinaté ana majukumu ya kulinda upande wa kushoto wa safu ya ulinzi. Beki wa nafasi hii anatakiwa kuzuia mashambulizi yanayotokea upande wake, kufuatilia wachezaji wa pembeni wa wapinzani na kusaidia timu wakati inapokuwa na mpira. Katika soka la kisasa, mabeki wa pembeni pia hushiriki katika mashambulizi kwa kupanda mbele na kusaidia kutengeneza nafasi au kutoa mipira kuelekea eneo la hatari. Sinate kwa sasa anachezea Amiens kwa mfumo wa mkopo kutoka Angers. Mfumo wa kumtoa mchezaji kwa mkopo hutumiwa mara nyingi kuwapa wachezaji vijana nafasi ya kupata uzoefu zaidi wa kucheza. Kwa mchezaji ambaye bado yuko katika hatua za mwanzo za taaluma yake, kucheza mara kwa mara katika mazingira yenye ushindani kunaweza kuwa muhimu katika kujenga uwezo, kujiamini na uelewa wa mchezo. Akiwa Amiens, Sinaté anapata nafasi ya kuendelea kujifunza katika mashindano ya Ligue 3. Uzoefu wa kucheza katika ligi ya ngazi ya juu nchini Ufaransa unaweza kumsaidia kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazohusiana na soka la ushindani. Pia, kucheza katika klabu tofauti na ile inayomiliki usajili wake kunaweza kumwezesha kukutana na mifumo tofauti ya uchezaji, makocha na wachezaji. Mbali na majukumu yake katika ngazi ya klabu, Sinaté anaendelea kujenga uzoefu wake kupitia timu za taifa za vijana za Mali. Kuiwakilisha Mali katika ngazi ya vijana ni sehemu muhimu ya safari yake ya kimataifa. Mashindano ya vijana huwapa wachezaji fursa ya kucheza dhidi ya wapinzani kutoka mataifa mbalimbali na kupata uzoefu ambao unaweza kuwa na manufaa katika maendeleo yao ya muda mrefu. Kama beki wa kushoto, maendeleo yake yanategemea pia uwezo wa kuchanganya majukumu ya ulinzi na mashambulizi. Mchezaji wa nafasi hiyo anahitaji kuwa na uwezo wa kusoma mchezo, kuweka nafasi sahihi, kushirikiana na mabeki wenzake na kufanya maamuzi ya haraka. Pia anapaswa kuwa tayari kusaidia timu inapokuwa na mpira na kurejea haraka katika nafasi yake wakati timu inapopoteza mpira. Kwa ujumla, Dan Sinaté ni mchezaji kijana wa soka aliyezaliwa Ufaransa ambaye anajenga taaluma yake kupitia klabu ya Amiens, ambako yupo kwa mkopo kutoka Angers. Akiwa beki wa kushoto, anaendelea kupata uzoefu katika soka la ushindani nchini Ufaransa. Wakati huo huo, anaiwakilisha Mali katika ngazi ya timu za taifa za vijana, akichanganya uzoefu wa klabu na wa kimataifa katika hatua za mwanzo za maisha yake ya kisoka. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 2006]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Ufaransa]] nvcpc9sfvtboipgoohuo3si081pa9r8 Manuel Ataide 0 248672 1594847 2026-09-07T02:23:55Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Manuel Belo Amaral Ataide''' (alizaliwa 9 Machi 2001) ni mwanariadha wa Timor-Leste anayeshiriki katika [[mbio]] za kasi. Alishiriki katika mbio za wanaume za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024 huko Paris.<ref>{{Cite web|title=Manuel ATAIDE {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/timor-leste/manuel-belo-amaral-ataide-14850871|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> Katika Michezo hiyo...' 1594847 wikitext text/x-wiki '''Manuel Belo Amaral Ataide''' (alizaliwa 9 Machi 2001) ni mwanariadha wa Timor-Leste anayeshiriki katika [[mbio]] za kasi. Alishiriki katika mbio za wanaume za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024 huko Paris.<ref>{{Cite web|title=Manuel ATAIDE {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/timor-leste/manuel-belo-amaral-ataide-14850871|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> Katika Michezo hiyo ya Olimpiki, Ataide aliweka [[rekodi]] ya kitaifa ya Timor-Leste katika mbio za mita 100 kwa muda wa sekunde 11.35. Ataide pia alikuwa mbeba bendera wa Timor-Leste katika sherehe za kufunga Michezo ya [[Olimpiki]] ya Majira ya 2024.<ref>{{Cite web|title=Every Olympic flagbearer for Paris 2024 closing ceremony|url=https://www.independent.co.uk/sport/olympics/olympics-flagbearer-paris-usa-teamgb-b2594760.html|work=The Independent|date=2024-08-11|accessdate=2026-09-07|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] 18hh78l431skz6t97p0ucqm8auldz3j 1594873 1594847 2026-09-07T06:29:23Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594873 wikitext text/x-wiki '''Manuel Belo Amaral Ataide''' (alizaliwa 9 Machi 2001) ni mwanariadha wa Timor-Leste anayeshiriki katika [[mbio]] za kasi. Alishiriki katika mbio za wanaume za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 2024 huko Paris.<ref>{{Rejea tovuti|title=Manuel ATAIDE {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/timor-leste/manuel-belo-amaral-ataide-14850871|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> Katika Michezo hiyo ya Olimpiki, Ataide aliweka [[rekodi]] ya kitaifa ya Timor-Leste katika mbio za mita 100 kwa muda wa sekunde 11.35. Ataide pia alikuwa mbeba bendera wa Timor-Leste katika sherehe za kufunga Michezo ya [[Olimpiki]] ya Majira ya 2024.<ref>{{Rejea tovuti|title=Every Olympic flagbearer for Paris 2024 closing ceremony|url=https://www.independent.co.uk/sport/olympics/olympics-flagbearer-paris-usa-teamgb-b2594760.html|work=The Independent|date=2024-08-11|accessdate=2026-09-07|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] awbwr3qctc1fzxwfsnvii0xo0fnn0aq Luis Avilés (mwanamichezo) 0 248673 1594849 2026-09-07T02:31:21Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Luis Antonio Avilés Ferreiro''' (alizaliwa 3 Machi 2002) ni mwanariadha wa [[Mexico]] anayeshiriki katika mbio za kasi, akibobea katika mbio za [[mita]] 400. Anatambulika kutokana na mafanikio yake katika mashindano ya kimataifa ya [[vijana]] na ni miongoni mwa wanariadha wa Mexico walioibuka katika mbio za mita 400 katika kipindi cha miaka ya 2020.<ref>{{Cite web|title=¡Se cuelga el oro! Luis Avilés se corona en los 400 metros planos - El Sol de Cua...' 1594849 wikitext text/x-wiki '''Luis Antonio Avilés Ferreiro''' (alizaliwa 3 Machi 2002) ni mwanariadha wa [[Mexico]] anayeshiriki katika mbio za kasi, akibobea katika mbio za [[mita]] 400. Anatambulika kutokana na mafanikio yake katika mashindano ya kimataifa ya [[vijana]] na ni miongoni mwa wanariadha wa Mexico walioibuka katika mbio za mita 400 katika kipindi cha miaka ya 2020.<ref>{{Cite web|title=¡Se cuelga el oro! Luis Avilés se corona en los 400 metros planos - El Sol de Cuautla|url=https://oem.com.mx/elsoldecuautla/deportes/se-cuelga-el-oro-luis-aviles-se-corona-en-los-400-metros-planos-23987693|work=OEM|accessdate=2026-09-07|language=es}}</ref> == Maisha na kazi ya riadha == Avilés alianza kujitokeza katika mashindano ya kimataifa akiwa mwanariadha kijana. Uwezo wake katika mbio za mita 400 ulimwezesha kuwakilisha Mexico katika mashindano mbalimbali ya kimataifa ya vijana. Mbio za mita 400 zinahitaji mchanganyiko wa kasi, nguvu, uvumilivu na uwezo wa kudhibiti mwendo katika kipindi chote cha mbio. Mojawapo ya mafanikio yake makubwa akiwa kijana yalitokea mwaka 2021, aliposhiriki katika Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20. Katika mashindano hayo, Avilés alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 400. Mafanikio hayo yalikuwa muhimu katika taaluma yake kwa sababu yalimuonyesha kama mmoja wa wanariadha vijana wenye uwezo mkubwa katika mbio hizo. Katika mwaka huo huo, Avilés aliendelea kupata mafanikio katika mashindano ya ngazi ya bara. Alishiriki katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 iliyofanyika Cali, Colombia. Katika [[mashindano]] hayo, alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 400. Ushindi huo ulimpa nafasi ya kujiweka miongoni mwa wanariadha vijana waliofanikiwa katika mashindano ya Pan-American.<ref>{{Cite web|title=Сloudflare|url=https://cloudflare-protect.net/|work=cloudflare-protect.net|accessdate=2026-09-07}}</ref> Medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Wanariadha Chini ya Miaka 20 na [[medali]] ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana zote zilitokana na mafanikio yake katika mwaka mmoja, 2021. Matokeo hayo yalionyesha maendeleo yake katika mbio za mita 400 na kuimarisha nafasi yake katika riadha ya Mexico. Avilés anajulikana zaidi kwa utaalamu wake katika mbio za mita 400, ambazo ni moja ya mbio zinazohitaji uwezo mkubwa wa kuchanganya kasi na uvumilivu. Tofauti na mbio fupi sana kama mita 100, mwanariadha wa mita 400 anapaswa kudhibiti nguvu na kasi yake katika mzunguko mzima wa uwanja kabla ya kuongeza juhudi katika sehemu ya mwisho ya mbio. Kwa mafanikio yake ya mwaka 2021, Avilés alijenga msingi muhimu wa taaluma yake ya riadha katika ngazi ya kimataifa. Medali hizo mbili zilimpa uzoefu mkubwa wa kushindana dhidi ya wanariadha kutoka mataifa mbalimbali na zikawa sehemu muhimu ya historia yake ya mashindano. Luis Antonio Avilés Ferreiro anaendelea kukumbukwa hasa kwa mafanikio yake katika mbio za mita 400 akiwa mwanariadha kijana. Medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2021 pamoja na medali ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 ni miongoni mwa mafanikio yake muhimu zaidi katika hatua za mwanzo za taaluma yake. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Meksiko]] [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Watu walio hai]] fhg12nibu0oee3u4p3gqj3j5ws3jprr 1594870 1594849 2026-09-07T06:20:56Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594870 wikitext text/x-wiki '''Luis Antonio Avilés Ferreiro''' (alizaliwa 3 Machi 2002) ni mwanariadha wa [[Mexico]] anayeshiriki katika mbio za kasi, akibobea katika mbio za [[mita]] 400. Anatambulika kutokana na mafanikio yake katika mashindano ya kimataifa ya [[vijana]] na ni miongoni mwa wanariadha wa Mexico walioibuka katika mbio za mita 400 katika kipindi cha miaka ya 2020.<ref>{{Rejea tovuti|title=¡Se cuelga el oro! Luis Avilés se corona en los 400 metros planos - El Sol de Cuautla|url=https://oem.com.mx/elsoldecuautla/deportes/se-cuelga-el-oro-luis-aviles-se-corona-en-los-400-metros-planos-23987693|work=OEM|accessdate=2026-09-07|language=es}}</ref> == Maisha na kazi ya riadha == Avilés alianza kujitokeza katika mashindano ya kimataifa akiwa mwanariadha kijana. Uwezo wake katika mbio za mita 400 ulimwezesha kuwakilisha Mexico katika mashindano mbalimbali ya kimataifa ya vijana. Mbio za mita 400 zinahitaji mchanganyiko wa kasi, nguvu, uvumilivu na uwezo wa kudhibiti mwendo katika kipindi chote cha mbio. Mojawapo ya mafanikio yake makubwa akiwa kijana yalitokea mwaka 2021, aliposhiriki katika Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20. Katika mashindano hayo, Avilés alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 400. Mafanikio hayo yalikuwa muhimu katika taaluma yake kwa sababu yalimuonyesha kama mmoja wa wanariadha vijana wenye uwezo mkubwa katika mbio hizo. Katika mwaka huo huo, Avilés aliendelea kupata mafanikio katika mashindano ya ngazi ya bara. Alishiriki katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 iliyofanyika Cali, Colombia. Katika [[mashindano]] hayo, alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 400. Ushindi huo ulimpa nafasi ya kujiweka miongoni mwa wanariadha vijana waliofanikiwa katika mashindano ya Pan-American.<ref>{{Rejea tovuti|title=Сloudflare|url=https://cloudflare-protect.net/|work=cloudflare-protect.net|accessdate=2026-09-07}}</ref> Medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Wanariadha Chini ya Miaka 20 na [[medali]] ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana zote zilitokana na mafanikio yake katika mwaka mmoja, 2021. Matokeo hayo yalionyesha maendeleo yake katika mbio za mita 400 na kuimarisha nafasi yake katika riadha ya Mexico. Avilés anajulikana zaidi kwa utaalamu wake katika mbio za mita 400, ambazo ni moja ya mbio zinazohitaji uwezo mkubwa wa kuchanganya kasi na uvumilivu. Tofauti na mbio fupi sana kama mita 100, mwanariadha wa mita 400 anapaswa kudhibiti nguvu na kasi yake katika mzunguko mzima wa uwanja kabla ya kuongeza juhudi katika sehemu ya mwisho ya mbio. Kwa mafanikio yake ya mwaka 2021, Avilés alijenga msingi muhimu wa taaluma yake ya riadha katika ngazi ya kimataifa. Medali hizo mbili zilimpa uzoefu mkubwa wa kushindana dhidi ya wanariadha kutoka mataifa mbalimbali na zikawa sehemu muhimu ya historia yake ya mashindano. Luis Antonio Avilés Ferreiro anaendelea kukumbukwa hasa kwa mafanikio yake katika mbio za mita 400 akiwa mwanariadha kijana. Medali ya fedha katika Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2021 pamoja na medali ya dhahabu katika Michezo ya Pan-American ya Vijana ya 2021 ni miongoni mwa mafanikio yake muhimu zaidi katika hatua za mwanzo za taaluma yake. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Meksiko]] [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Watu walio hai]] 6jfldlmm3e33qrl7m937cym3qls9f1m Ali Anwar Al-Balushi 0 248674 1594850 2026-09-07T02:45:20Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ali Anwar Ali Al-Balushi''' (alizaliwa 9 Februari 2002) ni [[mwanariadha]] wa Oman anayeshiriki katika mbio za kasi. Alishinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Riadha ya Ndani ya Asia ya 2024 huko Tehran, Iran.<ref>{{Cite web|title=Ali AL BALUSHI {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14844149|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Mashindano ya kimataifa == === 2019 === Katika Mashindano...' 1594850 wikitext text/x-wiki '''Ali Anwar Ali Al-Balushi''' (alizaliwa 9 Februari 2002) ni [[mwanariadha]] wa Oman anayeshiriki katika mbio za kasi. Alishinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Riadha ya Ndani ya Asia ya 2024 huko Tehran, Iran.<ref>{{Cite web|title=Ali AL BALUSHI {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14844149|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Mashindano ya kimataifa == === 2019 === Katika Mashindano ya Vijana ya Asia ya 2019 huko Hong Kong, Al-Balushi alimaliza wa nne katika mbio za mita 100 kwa muda wa [[sekunde]] 10.69 na wa tatu katika mbio za mita 200 kwa muda wa sekunde 21.93. Katika [[Mashindano]] ya Waarabu kwa Wanariadha Chini ya Miaka 18 ya 2019 huko Radès, Tunisia, alimaliza wa tatu katika mbio za mita 200 kwa muda wa sekunde 21.71. === 2021 === Katika Mashindano ya Waarabu ya 2021 huko Radès, Tunisia, alishinda medali ya fedha katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100, huku timu yake ikitumia muda wa sekunde 39.95. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa Wanariadha Chini ya Miaka 20 ya 2021 huko Nairobi, Kenya, alimaliza katika nafasi ya nne katika mbio za mita 100 kwa muda wa sekunde 10.39. === 2022 === Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2022 huko Belgrade, Serbia, Al-Balushi alimaliza katika nafasi ya 32 katika hatua ya mchujo ya mbio za mita 60 kwa muda wa sekunde 6.71. Katika Michezo ya GCC ya 2022 huko Kuwait City, Kuwait, alimaliza wa tano katika mbio za mita 100 kwa sekunde 10.37 na kushinda medali ya fedha katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.72. Katika Michezo ya Mshikamano wa Kiislamu iliyofanyika Konya, Uturuki, alimaliza wa 14 katika hatua ya nusu fainali ya mita 100 kwa muda wa sekunde 10.37. Pia alishinda medali ya shaba katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.21. === 2023 === Katika Mashindano ya Riadha ya Ndani ya Asia ya 2023 huko Astana, Kazakhstan, alimaliza wa tano katika mita 60 kwa sekunde 6.69. Katika Mashindano ya Asia Magharibi ya 2023 huko Doha, Qatar, alimaliza wa nane katika mchujo wa mita 100 kwa sekunde 10.50. Pia alishinda medali ya dhahabu katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.43. Katika Mashindano ya Waarabu kwa Wanariadha Chini ya Miaka 23 ya 2023 huko Radès, Tunisia, alishinda medali ya fedha katika mita 100 kwa sekunde 10.48 na medali nyingine ya fedha katika mita 200 kwa sekunde 21.35. Katika Michezo ya Waarabu ya 2023 huko Oran, Algeria, alimaliza wa nne katika mita 100 kwa sekunde 10.59 na wa nne katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.70. Katika Mashindano ya Riadha ya Asia ya 2023 huko Bangkok, Thailand, alimaliza wa 25 katika mchujo wa mita 100 kwa sekunde 10.61. Katika Michezo ya Asia ya 2022, iliyofanyika Hangzhou, China mwaka 2023, alimaliza wa 14 katika nusu fainali ya mita 100 kwa sekunde 10.33. Timu yake ya mita 4 × 100 iliondolewa kwa sababu ya kukiuka kanuni za mashindano. === 2024 === Katika Mashindano ya Riadha ya Ndani ya Asia ya 2024 huko Tehran, Al-Balushi alishinda medali ya dhahabu katika mita 60 kwa muda wa sekunde 6.52. Katika Mashindano ya Asia Magharibi ya 2024 huko Basra, Iraq, alimaliza wa pili katika mchujo wa mita 100 kwa sekunde 10.28 na kushinda medali ya dhahabu katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.78. Katika Michezo ya Olimpiki ya 2024 huko Paris, Ufaransa, alishiriki mbio za mita 100 na kumaliza katika nafasi ya 43 katika hatua ya mchujo kwa muda wa sekunde 10.26. === 2025 === Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2025 huko Nanjing, [[China]], alifika hadi nusu fainali ya mita 60 na kumaliza wa kumi kwa muda wa sekunde 6.61. Katika Mashindano ya Waarabu ya 2025 huko Oran, Algeria, alishinda medali ya fedha katika mita 100 kwa sekunde 10.27 na medali ya fedha katika mita 200 kwa sekunde 20.67. Katika Mashindano ya Riadha ya Asia ya 2025 huko Gumi, Korea Kusini, alimaliza wa sita katika mita 100 kwa sekunde 10.33 na wa 11 katika nusu fainali ya mita 200 kwa sekunde 21.30. Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2025 huko Tokyo, Japan, alimaliza wa 38 katika mchujo wa mita 100 kwa sekunde 10.25. Katika Michezo ya Mshikamano wa Kiislamu ya 2025 huko Riyadh, Saudi Arabia, alishinda medali ya dhahabu katika mita 100 kwa sekunde 10.30. Alimaliza wa nne katika mita 200 kwa sekunde 20.85 na kushinda medali ya fedha katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 39.21. === 2026 === Katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Ndani ya 2026 huko Toruń, Poland, Al-Balushi alifika nusu fainali ya mita 60 na kumaliza wa 16 kwa muda wa sekunde 6.61. Katika Michezo ya GCC ya 2026 huko Doha, Qatar, alishinda medali za dhahabu katika mita 100 kwa muda wa sekunde 10.13, [[mita]] 200 kwa sekunde 20.48, pamoja na mbio za kupokezana za mita 4 × 100 kwa muda wa sekunde 40.08. == Rekodi bora binafsi == === Nje === * Mita 100: sekunde 10.14, Nembro, 2024. * Mita 200: sekunde 20.68, Ismailia, 2024. === Ndani === * Mita 60: sekunde 6.50, Tehran, 2024 — rekodi ya kitaifa ya Oman. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Wanariadha]] [[Jamii:Watu walio hai]] k73qhyskt0wwhuimj2rbqvuqrvo8fef Etson Barros 0 248675 1594851 2026-09-07T02:52:34Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Etson Barros''' (alizaliwa 16 Machi 2001 nchini Cabo Verde) ni [[mwanariadha]] wa Ureno anayebobea katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa [[maji]]. Ingawa alizaliwa Cabo Verde, Barros anaiwakilisha Ureno katika mashindano ya riadha ya kimataifa. Amejijengea jina katika mbio za masafa marefu na hasa katika mbio za kuruka viunzi na mtaro wa maji, ambazo huhitaji mchanganyiko wa kasi, stamina, nguvu na uwezo wa kuvuka vizuizi.<ref>{{Cite web...' 1594851 wikitext text/x-wiki '''Etson Barros''' (alizaliwa 16 Machi 2001 nchini Cabo Verde) ni [[mwanariadha]] wa Ureno anayebobea katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa [[maji]]. Ingawa alizaliwa Cabo Verde, Barros anaiwakilisha Ureno katika mashindano ya riadha ya kimataifa. Amejijengea jina katika mbio za masafa marefu na hasa katika mbio za kuruka viunzi na mtaro wa maji, ambazo huhitaji mchanganyiko wa kasi, stamina, nguvu na uwezo wa kuvuka vizuizi.<ref>{{Cite web|title=Etson BARROS {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/portugal/etson-barros-14795939|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Maisha na taaluma ya riadha == Barros alianza kujitambulisha katika riadha kupitia mashindano ya mbio za masafa marefu, akilenga zaidi mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Akiwa mwanariadha wa Ureno, aliendelea kushiriki katika mashindano mbalimbali na kuboresha muda wake katika mbio hizo. Mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji ni moja ya mashindano yanayohitaji uwezo mkubwa wa kimwili na kiufundi. Mwanariadha hulazimika kukimbia umbali wa mita 3000 huku akikabiliana na viunzi kadhaa pamoja na mtaro wa maji. Kwa hiyo, mafanikio katika tukio hili hutegemea siyo tu kasi ya kukimbia, bali pia uwezo wa kudumisha mwendo, kuvuka viunzi kwa ufanisi na kutumia nguvu kwa usahihi hadi mwisho wa mashindano.<ref>{{Cite web|title=Etson Barros bate recorde nacional dos 3.000 metros obstáculos que durava há 21 anos|url=https://observador.pt/2025/08/09/etson-barros-bate-recorde-nacional-dos-3-000-metros-obstaculos-que-durava-ha-21-anos/|work=Observador|accessdate=2026-09-07|language=pt-PT|author=Agência Lusa}}</ref> Barros alifikia kiwango cha juu katika tukio hilo na kuwa mshikilizi wa [[rekodi]] ya Ureno katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Mafanikio hayo yalimweka miongoni mwa wanariadha muhimu wa Ureno katika mbio hizo na kuwa sehemu ya historia ya riadha ya nchi hiyo. == Rekodi ya Ureno == Barros ndiye anayeshikilia rekodi ya kitaifa ya Ureno katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Rekodi hiyo inaonyesha maendeleo yake katika taaluma ya riadha na nafasi yake miongoni mwa wanariadha bora wa Ureno katika tukio hilo. Kushikilia rekodi ya kitaifa ni mafanikio makubwa kwa mwanariadha, kwani rekodi hiyo huwakilisha kiwango cha juu zaidi kilichowahi kufikiwa na mwanariadha wa nchi husika katika tukio fulani. Kwa Barros, rekodi hiyo imekuwa mojawapo ya mafanikio muhimu zaidi katika taaluma yake ya riadha. == Ajali ya barabarani == Mnamo Aprili 2026, Barros alihusika katika ajali ya barabarani nchini [[Ureno]]. Ajali hiyo ilisababisha hali yake ya afya kuwa mbaya kiasi cha kulazimika kupewa matibabu ya haraka. Baada ya ajali hiyo, Barros aliwekwa katika hali ya kukosa fahamu iliyosababishwa kitabibu na kupelekwa katika Hospitali ya Faro, nchini Ureno. Aliendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari hospitalini humo huku hali yake ikifuatiliwa. Tukio hilo lilisitisha kwa muda shughuli zake za riadha na kuelekeza umakini zaidi katika matibabu na kupona kwake. Kabla ya ajali hiyo, Barros alikuwa ameendelea kujenga taaluma yake kama mmoja wa wanariadha wa Ureno wanaoshiriki katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Barros anakumbukwa kwa mafanikio yake katika riadha, hasa kwa kuwa mshikilizi wa rekodi ya Ureno katika tukio hilo, pamoja na juhudi zake za kuiwakilisha Ureno katika mashindano ya riadha.<ref>{{Citation|title=Atleta do Benfica de 25 anos em coma induzido após acidente de viação|url=https://sicnoticias.pt/desporto/modalidades/2026-04-16-atleta-do-benfica-de-25-anos-em-coma-induzido-apos-acidente-de-viacao-5a734a4d|work=SIC Notícias|language=pt|access-date=2026-09-07}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha wa Ureno]] 2qdau27gzoubguwx70gfd9b7jw76406 1594859 1594851 2026-09-07T04:37:57Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594859 wikitext text/x-wiki '''Etson Barros''' (alizaliwa 16 Machi 2001 nchini Cabo Verde) ni [[mwanariadha]] wa Ureno anayebobea katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa [[maji]]. Ingawa alizaliwa Cabo Verde, Barros anaiwakilisha Ureno katika mashindano ya riadha ya kimataifa. Amejijengea jina katika mbio za masafa marefu na hasa katika mbio za kuruka viunzi na mtaro wa maji, ambazo huhitaji mchanganyiko wa kasi, stamina, nguvu na uwezo wa kuvuka vizuizi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Etson BARROS {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/portugal/etson-barros-14795939|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Maisha na taaluma ya riadha == Barros alianza kujitambulisha katika riadha kupitia mashindano ya mbio za masafa marefu, akilenga zaidi mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Akiwa mwanariadha wa Ureno, aliendelea kushiriki katika mashindano mbalimbali na kuboresha muda wake katika mbio hizo. Mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji ni moja ya mashindano yanayohitaji uwezo mkubwa wa kimwili na kiufundi. Mwanariadha hulazimika kukimbia umbali wa mita 3000 huku akikabiliana na viunzi kadhaa pamoja na mtaro wa maji. Kwa hiyo, mafanikio katika tukio hili hutegemea siyo tu kasi ya kukimbia, bali pia uwezo wa kudumisha mwendo, kuvuka viunzi kwa ufanisi na kutumia nguvu kwa usahihi hadi mwisho wa mashindano.<ref>{{Rejea tovuti|title=Etson Barros bate recorde nacional dos 3.000 metros obstáculos que durava há 21 anos|url=https://observador.pt/2025/08/09/etson-barros-bate-recorde-nacional-dos-3-000-metros-obstaculos-que-durava-ha-21-anos/|work=Observador|accessdate=2026-09-07|language=pt-PT|author=Agência Lusa}}</ref> Barros alifikia kiwango cha juu katika tukio hilo na kuwa mshikilizi wa [[rekodi]] ya Ureno katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Mafanikio hayo yalimweka miongoni mwa wanariadha muhimu wa Ureno katika mbio hizo na kuwa sehemu ya historia ya riadha ya nchi hiyo. == Rekodi ya Ureno == Barros ndiye anayeshikilia rekodi ya kitaifa ya Ureno katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Rekodi hiyo inaonyesha maendeleo yake katika taaluma ya riadha na nafasi yake miongoni mwa wanariadha bora wa Ureno katika tukio hilo. Kushikilia rekodi ya kitaifa ni mafanikio makubwa kwa mwanariadha, kwani rekodi hiyo huwakilisha kiwango cha juu zaidi kilichowahi kufikiwa na mwanariadha wa nchi husika katika tukio fulani. Kwa Barros, rekodi hiyo imekuwa mojawapo ya mafanikio muhimu zaidi katika taaluma yake ya riadha. == Ajali ya barabarani == Mnamo Aprili 2026, Barros alihusika katika ajali ya barabarani nchini [[Ureno]]. Ajali hiyo ilisababisha hali yake ya afya kuwa mbaya kiasi cha kulazimika kupewa matibabu ya haraka. Baada ya ajali hiyo, Barros aliwekwa katika hali ya kukosa fahamu iliyosababishwa kitabibu na kupelekwa katika Hospitali ya Faro, nchini Ureno. Aliendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari hospitalini humo huku hali yake ikifuatiliwa. Tukio hilo lilisitisha kwa muda shughuli zake za riadha na kuelekeza umakini zaidi katika matibabu na kupona kwake. Kabla ya ajali hiyo, Barros alikuwa ameendelea kujenga taaluma yake kama mmoja wa wanariadha wa Ureno wanaoshiriki katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi na mtaro wa maji. Barros anakumbukwa kwa mafanikio yake katika riadha, hasa kwa kuwa mshikilizi wa rekodi ya Ureno katika tukio hilo, pamoja na juhudi zake za kuiwakilisha Ureno katika mashindano ya riadha.<ref>{{Citation|title=Atleta do Benfica de 25 anos em coma induzido após acidente de viação|url=https://sicnoticias.pt/desporto/modalidades/2026-04-16-atleta-do-benfica-de-25-anos-em-coma-induzido-apos-acidente-de-viacao-5a734a4d|work=SIC Notícias|language=pt|access-date=2026-09-07}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha wa Ureno]] riw6kpp1p8edwoxw73b1hzzeueu96w2 Owaab Barrow 0 248676 1594852 2026-09-07T02:56:35Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Owaab Barrow''' (alizaliwa 20 Agosti 2001) ni [[mwanariadha]] wa Qatar anayeshiriki katika mashindano ya riadha, hasa mbio za kasi na mbio za kuruka viunzi. Alizaliwa mwaka 2001 na alianza kujulikana katika mashindano ya kimataifa akiwa bado kijana. Katika kipindi cha mwanzo cha taaluma yake, alishiriki katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi na baadaye akajikita pia katika mbio za mita 100.<ref>{{Cite web|title=Owaab BARROW {{!}} Profile {{!}} World A...' 1594852 wikitext text/x-wiki '''Owaab Barrow''' (alizaliwa 20 Agosti 2001) ni [[mwanariadha]] wa Qatar anayeshiriki katika mashindano ya riadha, hasa mbio za kasi na mbio za kuruka viunzi. Alizaliwa mwaka 2001 na alianza kujulikana katika mashindano ya kimataifa akiwa bado kijana. Katika kipindi cha mwanzo cha taaluma yake, alishiriki katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi na baadaye akajikita pia katika mbio za mita 100.<ref>{{Cite web|title=Owaab BARROW {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/qatar/owaab-barrow-14758578|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Maisha ya riadha == Barrow aliwakilisha Qatar katika mashindano mbalimbali ya kimataifa ya vijana. Mwaka 2018, alishiriki katika [[Mashindano]] ya Riadha ya Dunia ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 yaliyofanyika Tampere, Finland, ambapo alishiriki katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi. Katika hatua ya mchujo alikimbia kwa muda wa sekunde 13.78 na baadaye akafuzu kwa nusu fainali. Katika nusu fainali alikimbia sekunde 14.05. Mwaka huohuo, Barrow alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 iliyofanyika Buenos Aires, Argentina. Alishindana katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi zenye viunzi vya urefu wa sentimita 91.4. Katika hatua ya kwanza alikimbia kwa muda wa sekunde 13.33, kabla ya kufanya vizuri zaidi katika hatua ya pili. Katika hatua ya pili, iliyofanyika tarehe 16 [[Oktoba]] 2018, Barrow alikimbia kwa muda wa sekunde 13.17, ambao ulikuwa muda wake bora binafsi katika tukio hilo. Alimaliza akiwa nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu. Mfumo wa mashindano hayo ulihusisha matokeo ya hatua mbili, na jumla ya muda wake ilikuwa sekunde 26.50, iliyompa nafasi ya kwanza mbele ya Kenny Fletcher wa Ufaransa na Addis Wong Lok Hei wa Hong Kong. Ushindi huo ulimfanya Barrow kuwa bingwa wa Olimpiki ya Vijana katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi. Mafanikio hayo yalikuwa hatua muhimu katika taaluma yake na yalimsaidia kujijenga kama mmoja wa wanariadha vijana wa Qatar waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya kimataifa.<ref>{{Cite web|title=Inside The Games • World under-20 champions enhance reputations with triple jump golds at Buenos Aires 2018|url=https://www.insidethegames.biz/articles/world-under-20-champions-enhance-reputations-with-triple-jump-golds-at-buenos-aires-2018|work=www.insidethegames.biz|date=2026-09-06|accessdate=2026-09-07|language=en}}</ref> == Mashindano ya Dunia ya 2019 == Baada ya mafanikio yake katika mashindano ya vijana, Barrow alishiriki katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019 yaliyofanyika Doha, Qatar. Katika mashindano hayo, alishiriki katika mbio za mita 100 za wanaume. Katika hatua ya awali ya mbio hizo, Barrow alikimbia kwa muda wa sekunde 10.64, ambao ulikuwa [[muda]] wake bora binafsi wakati huo. Alimaliza katika nafasi ya tatu katika mchujo wake na akafuzu kwa hatua iliyofuata. Katika hatua ya kwanza ya mashindano, alikimbia kwa muda wa sekunde 12.82 na hakufuzu kwenda hatua ya nusu fainali. Mbali na mbio za [[mita]] 100, Barrow aliendelea kushiriki katika mashindano ya mbio za kuruka viunzi. Rekodi za World Athletics zinaonyesha kuwa alishiriki katika mashindano ya mita 110 za kuruka viunzi pamoja na mbio za mita 100 na mita 60. Pia aliwahi kuwa sehemu ya timu ya Qatar ya mbio za kupokezana za mita 4 × 100. == Taaluma == Barrow anaendelea kukumbukwa hasa kwa mafanikio yake akiwa mwanariadha [[kijana]]. Ushindi wake katika Michezo ya [[Olimpiki]] ya Vijana ya 2018 ulimweka katika historia ya mashindano hayo kama mshindi wa mbio za mita 110 za kuruka viunzi kwa Qatar. Baadaye, kushiriki kwake katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019 kulimpa uzoefu wa kushindana katika kiwango cha juu cha riadha ya kimataifa. Katika taaluma yake, Barrow ameshiriki katika mbio za mita 60, mita 100 na mita 110 za kuruka viunzi. Mafanikio yake ya awali, pamoja na rekodi zake katika mbio hizo, yanaonyesha mabadiliko yake kutoka mashindano ya vijana hadi mashindano ya kiwango cha kimataifa. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] gqybo4tdaiopk4s9jk9tvobc0eqkgct 1594892 1594852 2026-09-07T07:59:08Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1594892 wikitext text/x-wiki '''Owaab Barrow''' (alizaliwa 20 Agosti 2001) ni [[mwanariadha]] wa Qatar anayeshiriki katika mashindano ya riadha, hasa mbio za kasi na mbio za kuruka viunzi. Alizaliwa mwaka 2001 na alianza kujulikana katika mashindano ya kimataifa akiwa bado kijana. Katika kipindi cha mwanzo cha taaluma yake, alishiriki katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi na baadaye akajikita pia katika mbio za mita 100.<ref>{{Rejea tovuti|title=Owaab BARROW {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://worldathletics.org/athletes/qatar/owaab-barrow-14758578|work=worldathletics.org|accessdate=2026-09-07}}</ref> == Maisha ya riadha == Barrow aliwakilisha Qatar katika mashindano mbalimbali ya kimataifa ya vijana. Mwaka 2018, alishiriki katika [[Mashindano]] ya Riadha ya Dunia ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 yaliyofanyika Tampere, Finland, ambapo alishiriki katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi. Katika hatua ya mchujo alikimbia kwa muda wa sekunde 13.78 na baadaye akafuzu kwa nusu fainali. Katika nusu fainali alikimbia sekunde 14.05. Mwaka huohuo, Barrow alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2018 iliyofanyika Buenos Aires, Argentina. Alishindana katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi zenye viunzi vya urefu wa sentimita 91.4. Katika hatua ya kwanza alikimbia kwa muda wa sekunde 13.33, kabla ya kufanya vizuri zaidi katika hatua ya pili. Katika hatua ya pili, iliyofanyika tarehe 16 [[Oktoba]] 2018, Barrow alikimbia kwa muda wa sekunde 13.17, ambao ulikuwa muda wake bora binafsi katika tukio hilo. Alimaliza akiwa nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu. Mfumo wa mashindano hayo ulihusisha matokeo ya hatua mbili, na jumla ya muda wake ilikuwa sekunde 26.50, iliyompa nafasi ya kwanza mbele ya Kenny Fletcher wa Ufaransa na Addis Wong Lok Hei wa Hong Kong. Ushindi huo ulimfanya Barrow kuwa bingwa wa Olimpiki ya Vijana katika mbio za mita 110 za kuruka viunzi. Mafanikio hayo yalikuwa hatua muhimu katika taaluma yake na yalimsaidia kujijenga kama mmoja wa wanariadha vijana wa Qatar waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya kimataifa.<ref>{{Rejea tovuti|title=Inside The Games • World under-20 champions enhance reputations with triple jump golds at Buenos Aires 2018|url=https://www.insidethegames.biz/articles/world-under-20-champions-enhance-reputations-with-triple-jump-golds-at-buenos-aires-2018|work=www.insidethegames.biz|date=2026-09-06|accessdate=2026-09-07|language=en}}</ref> == Mashindano ya Dunia ya 2019 == Baada ya mafanikio yake katika mashindano ya vijana, Barrow alishiriki katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019 yaliyofanyika Doha, Qatar. Katika mashindano hayo, alishiriki katika mbio za mita 100 za wanaume. Katika hatua ya awali ya mbio hizo, Barrow alikimbia kwa muda wa sekunde 10.64, ambao ulikuwa [[muda]] wake bora binafsi wakati huo. Alimaliza katika nafasi ya tatu katika mchujo wake na akafuzu kwa hatua iliyofuata. Katika hatua ya kwanza ya mashindano, alikimbia kwa muda wa sekunde 12.82 na hakufuzu kwenda hatua ya nusu fainali. Mbali na mbio za [[mita]] 100, Barrow aliendelea kushiriki katika mashindano ya mbio za kuruka viunzi. Rekodi za World Athletics zinaonyesha kuwa alishiriki katika mashindano ya mita 110 za kuruka viunzi pamoja na mbio za mita 100 na mita 60. Pia aliwahi kuwa sehemu ya timu ya Qatar ya mbio za kupokezana za mita 4 × 100. == Taaluma == Barrow anaendelea kukumbukwa hasa kwa mafanikio yake akiwa mwanariadha [[kijana]]. Ushindi wake katika Michezo ya [[Olimpiki]] ya Vijana ya 2018 ulimweka katika historia ya mashindano hayo kama mshindi wa mbio za mita 110 za kuruka viunzi kwa Qatar. Baadaye, kushiriki kwake katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019 kulimpa uzoefu wa kushindana katika kiwango cha juu cha riadha ya kimataifa. Katika taaluma yake, Barrow ameshiriki katika mbio za mita 60, mita 100 na mita 110 za kuruka viunzi. Mafanikio yake ya awali, pamoja na rekodi zake katika mbio hizo, yanaonyesha mabadiliko yake kutoka mashindano ya vijana hadi mashindano ya kiwango cha kimataifa. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanariadha]] bmvm7xp98tpaoy1ybdi6rw828bm5gx6 Rami Makhlouf 0 248677 1594861 2026-09-07T04:54:32Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rami Makhlouf''' ( alizaliwa [[10 Julai]] [[1969]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Syria]] na binamu wa mama wa rais wa zamani [[Bashar al-Assad]]. Mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria mwaka 2011, alichukuliwa kuwa mmoja wa watu tajiri na wenye nguvu zaidi nchini Syria. Kulingana na wachambuzi wa Syria, alikuwa sehemu ya duru ya ndani ya al-Assad na hakuna kampuni ya kigeni iliyoweza kufanya biashara nchini Syria wakati huo bila idhini ya...' 1594861 wikitext text/x-wiki '''Rami Makhlouf''' ( alizaliwa [[10 Julai]] [[1969]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Syria]] na binamu wa mama wa rais wa zamani [[Bashar al-Assad]]. Mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria mwaka 2011, alichukuliwa kuwa mmoja wa watu tajiri na wenye nguvu zaidi nchini Syria. Kulingana na wachambuzi wa Syria, alikuwa sehemu ya duru ya ndani ya al-Assad na hakuna kampuni ya kigeni iliyoweza kufanya biashara nchini Syria wakati huo bila idhini yake na ushirikiano.<ref>{{Cite web|url=https://arab.news/bs45s|title=Coronavirus kills businessman uncle of Syria's Assad|date=12 September 2020|website=Arab News}}</ref><ref name="USTreasury">{{cite web|last=USTreasury|title=Rami Makhluf Designated for Benefiting from Syrian Corruption|url=http://www.treasury.gov/press-center/press-releases/Pages/hp834.aspx|publisher=US Treasury Department|access-date=14 June 2011}}</ref><ref name="EUsanctions2">{{cite journal|title=Council Implementing Decision 2011/302/CFSP of 23 May 2011|journal=Official Journal of the European Union|date=24 May 2011|volume=L136/91|url=http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=OJ:L:2011:136:0091:0094:EN:PDF|access-date=25 May 2011}}</ref><ref>[http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/4314787.stm "Who's who in Syria's leadership"], [[BBC News]], 3 March 2005. Retrieved 12 February 2011.</ref><ref>[https://www.nytimes.com/2011/02/05/world/middleeast/05syria.html ‘Day of Rage’ for Syrians Fails to Draw Protesters], ''[[The New York Times]]'', 4 February 2011</ref> Mwaka 2016, aliripotiwa kumiliki Syriatel, mtandao mkubwa wa simu za mkononi nchini Syria, pamoja na makampuni mengine ya rejareja, benki na mali isiyohamishika. Makhlouf alikuwa na mzozo na al-Assad katika masika ya 2020 na aliwekwa chini ya kizuizi cha nyumbani, na kusababisha kukamatwa kwa wasaidizi wake wengi, pamoja na kulengwa kwa makampuni yake na vikosi vya usalama. Alinyang'anywa hisa zake katika Syriatel, na muungano aliouanzisha kama chombo kikubwa zaidi cha uwekezaji nchini Syria pia uliondolewa. Mali zilizobaki za Makhlouf nchini Syria zinachukuliwa kuwa ndogo ikilinganishwa na mabilioni aliyohamisha nje ya nchi kwa niaba ya Bashar al-Assad.<ref>{{Cite web|url=https://www.theguardian.com/news/2016/apr/05/mossack-fonseca-panama-papers-rami-makhlouf-syria-assad-hsbc|title=Mossack Fonseca serviced Assad cousin's firms despite Syria corruption fears|last1=Garside|first1=Juliette|last2=Pegg|first2=David|date=5 April 2016|website=The Guardian|access-date=26 May 2016}}</ref><ref>{{Cite news|last=Chulov|first=Martin|date=26 May 2021|title='Mob boss' Assad's dynasty tightens grip over husk of Syria|work=[[The Guardian]]|url=https://www.theguardian.com/world/2021/may/26/bashar-al-assad-tightens-grip-on-power-as-syria-goes-to-polls|access-date=29 December 2021}}</ref><ref>{{cite news |last1=Paskin |first1=Doron |title=How Asma Assad transformed from 'Desert Rose' into Syria's 'Iron Lady' |url=https://www.calcalistech.com/ctech/articles/0,7340,L-3823431,00.html |access-date=17 January 2022 |work=CTECH |date=16 May 2020}}</ref><ref>{{cite news |last1=Moskowitz |first1=Eli |title=Assad's Cousin Says Offshore Companies Helped Regime Evade Sanctions |url=https://www.occrp.org/en/daily/12865-assad-s-cousin-says-offshore-companies-helped-regime-evade-sanctions |access-date=17 January 2022 |work=www.occrp.org |date=28 July 2020}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Syria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Watu walio hai]] jeth5odn29btwnjjgkymxfxsbvflizn 1594894 1594861 2026-09-07T08:14:15Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1594894 wikitext text/x-wiki '''Rami Makhlouf''' ( alizaliwa [[10 Julai]] [[1969]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Syria]] na binamu wa mama wa rais wa zamani [[Bashar al-Assad]]. Mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria mwaka 2011, alichukuliwa kuwa mmoja wa watu tajiri na wenye nguvu zaidi nchini Syria. Kulingana na wachambuzi wa Syria, alikuwa sehemu ya duru ya ndani ya al-Assad na hakuna kampuni ya kigeni iliyoweza kufanya biashara nchini Syria wakati huo bila idhini yake na ushirikiano.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://arab.news/bs45s|title=Coronavirus kills businessman uncle of Syria's Assad|date=12 September 2020|website=Arab News}}</ref><ref name="USTreasury">{{cite web|last=USTreasury|title=Rami Makhluf Designated for Benefiting from Syrian Corruption|url=http://www.treasury.gov/press-center/press-releases/Pages/hp834.aspx|publisher=US Treasury Department|access-date=14 June 2011}}</ref><ref name="EUsanctions2">{{cite journal|title=Council Implementing Decision 2011/302/CFSP of 23 May 2011|journal=Official Journal of the European Union|date=24 May 2011|volume=L136/91|url=http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=OJ:L:2011:136:0091:0094:EN:PDF|access-date=25 May 2011}}</ref><ref>[http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/4314787.stm "Who's who in Syria's leadership"], [[BBC News]], 3 March 2005. Retrieved 12 February 2011.</ref><ref>[https://www.nytimes.com/2011/02/05/world/middleeast/05syria.html ‘Day of Rage’ for Syrians Fails to Draw Protesters], ''[[The New York Times]]'', 4 February 2011</ref> Mwaka 2016, aliripotiwa kumiliki Syriatel, mtandao mkubwa wa simu za mkononi nchini Syria, pamoja na makampuni mengine ya rejareja, benki na mali isiyohamishika. Makhlouf alikuwa na mzozo na al-Assad katika masika ya 2020 na aliwekwa chini ya kizuizi cha nyumbani, na kusababisha kukamatwa kwa wasaidizi wake wengi, pamoja na kulengwa kwa makampuni yake na vikosi vya usalama. Alinyang'anywa hisa zake katika Syriatel, na muungano aliouanzisha kama chombo kikubwa zaidi cha uwekezaji nchini Syria pia uliondolewa. Mali zilizobaki za Makhlouf nchini Syria zinachukuliwa kuwa ndogo ikilinganishwa na mabilioni aliyohamisha nje ya nchi kwa niaba ya Bashar al-Assad.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.theguardian.com/news/2016/apr/05/mossack-fonseca-panama-papers-rami-makhlouf-syria-assad-hsbc|title=Mossack Fonseca serviced Assad cousin's firms despite Syria corruption fears|last1=Garside|first1=Juliette|last2=Pegg|first2=David|date=5 April 2016|website=The Guardian|access-date=26 May 2016}}</ref><ref>{{Rejea habari|last=Chulov|first=Martin|date=26 May 2021|title='Mob boss' Assad's dynasty tightens grip over husk of Syria|work=[[The Guardian]]|url=https://www.theguardian.com/world/2021/may/26/bashar-al-assad-tightens-grip-on-power-as-syria-goes-to-polls|access-date=29 December 2021}}</ref><ref>{{cite news |last1=Paskin |first1=Doron |title=How Asma Assad transformed from 'Desert Rose' into Syria's 'Iron Lady' |url=https://www.calcalistech.com/ctech/articles/0,7340,L-3823431,00.html |access-date=17 January 2022 |work=CTECH |date=16 May 2020}}</ref><ref>{{cite news |last1=Moskowitz |first1=Eli |title=Assad's Cousin Says Offshore Companies Helped Regime Evade Sanctions |url=https://www.occrp.org/en/daily/12865-assad-s-cousin-says-offshore-companies-helped-regime-evade-sanctions |access-date=17 January 2022 |work=www.occrp.org |date=28 July 2020}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Syria]] [[Jamii:Watu wa Syria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Watu walio hai]] 40l7jdt6ysnyovn50m2gd2pivpz0qgf Gordon Hodgson 0 248678 1594862 2026-09-07T04:58:12Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594862 wikitext text/x-wiki [[Faili:Berry Niewynheus.jpg|thumb|Berry Niewynheus]] '''Berry Nieuwenhuys''' ([[5 Novemba]] [[1911]] – [[12 Juni]] [[1984]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[soka]] kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye alicheza zaidi katika klabu ya [[Liverpool]], ambayo alikuwa chini ya [[mkataba]] nayo kuanzia mwaka [[1933]] hadi [[1947]]. Alistaafu mwaka [[1947]] na kurejea Afrika Kusini, ambako aliajiriwa katika Transvaal Country Club. Alikuwa akicheza nafasi ya winga wa kulia wa mbele, inayofanana na winga mshambuliaji, lakini pia aliweza kucheza upande wa pili wa uwanja. Nieuwenhuys alijulikana kwa kasi, ustadi wa kiufundi, nguvu ya mashuti na uwezo mzuri wa kucheza mipira ya kichwa. Alicheza jumla ya [[mechi]] 260 na kufunga mabao 79, ambapo 74 kati yake yalifungwa katika ligi. Alifunga mabao 10 au zaidi katika misimu sita mfululizo katika miaka ya [[1930]]. [[Vita Vikuu vya Pili vya Dunia|Vita vya Pili vya Dunia]] vilivuruga taaluma yake, na kumlazimisha kucheza kama mchezaji mgeni katika [[Arsenal]] na West Ham wakati akihudumu katika Royal Air Force. Mashabiki wengi waliona jina lake la ukoo kuwa gumu kutamka, hivyo mara nyingi aliitwa kwa jina fupi la utani "Nivvy". == Maisha na kazi ya uchezaji == Alizaliwa huko Boksburg, katika Transvaal Province, Nieuwenhuys alifanya kazi kama [[mhandisi]] na kuchezea timu ya kwao ya Boksburg FC pamoja na Germiston Callies kabla ya kusaini na Liverpool mwezi [[Septemba]] 1933. Alikuwa mmoja wa wachezaji tisa kutoka Boksburg waliocheza katika ligi za England na [[Scotland]] katika miaka ya 1930. Liverpool, hasa, iliwasajili angalau wachezaji sita kutoka Afrika Kusini katika kipindi hicho, akiwemo mfungaji mahiri Gordon Hodgson. Nieuwenhuys alicheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Tottenham Hotspur tarehe 23 Septemba katika mchezo wa First Division kwenye White Hart Lane, akichukua nafasi ya Harry Taylor kwenye winga ya kulia. Ilikuwa mwanzo mzuri, huku Liverpool ikiifunga Tottenham kwa mabao 3–0. Alisaidia mabao mawili kupitia krosi zake sahihi zilizowafikia Alf Hanson na Sam English. Alifunga bao lake la kwanza wiki moja baadaye, tarehe 30 Septemba, dhidi ya wapinzani wa jiji, Everton. Bao lake la dakika ya 32, pamoja na mabao ya Hanson dakika ya 60 na English dakika ya 80, yaliipa Liverpool ushindi wa mabao 3–2. Katika kipindi cha miaka minane cha [[uongozi]] wa [[kocha]] George Patterson, kiwango cha jumla cha [[klabu]] hiyo katika [[ligi]] hakikuwa cha kuvutia. Hali ya Liverpool katika ligi ilidorora sana katika msimu wa [[1935]]–36, ambapo klabu hiyo ilimaliza katika nafasi ya 19. Patterson, ambaye alikuwa akisumbuliwa na msongo wa mawazo na ugonjwa mbaya, alijiuzulu na nafasi yake ikachukuliwa na George Kay kutoka Southampton. Pamoja na kasi yake kubwa na miguu yake iliyokuwa ikisogea kwa wepesi sana, Nieuwenhuys pia aliweza kupiga shuti kali sana, na mara nyingi alionekana akikatiza kutoka pembeni kuelekea ndani ya uwanja kabla ya kupiga shuti lisilozuilika kuelekea langoni. == Mafanikio == Liverpool * Ubingwa wa Football League: [[1946]]–47 <ref>https://www.liverpoolfc.com/info/berry-nieuwenhuys</ref><ref>https://www.transfermarkt.com/berry-nieuwenhuys/profil/spieler/480313</ref><ref>https://www.playmakerstats.com/player/berry-nieuwenhuys/402578</ref><ref>https://www.besoccer.com/player/berry-nieuwenhuys-3281828</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe716101/berry-nieuwenhuys/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1911]] [[Jamii:Waliofariki 1984]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} gihrkwfrc6i5i5lviaqn8r3ae4mh1ws Pathé Ciss 0 248679 1594864 2026-09-07T05:18:39Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594864 wikitext text/x-wiki [[Faili:Pathé Ciss France v Senegal 16 June 2026-484 (cropped).jpg|thumb|Pathé Ciss ]] '''Pathé Ismaël Ciss''' (aliyezaliwa [[16 Machi]] [[1994]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Senegal]] anayecheza nafasi ya kiungo wa kati au kiungo mkabaji katika [[klabu]] ya Rayo Vallecano inayoshiriki La Liga, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Senegal. == Kazi ya klabu == Ciss alizaliwa huko Dakar, na alijiunga na akademi ya Diambars FC akiwa na umri wa [[miaka]] 12, akimfuata kaka yake mkubwa Saliou pamoja na [[baba]] yake Ibou, ambaye alikuwa [[kocha]] katika akademi hiyo. Alianza taaluma yake ya uchezaji katika ngazi ya wakubwa akiwa na Diambars, kabla ya kujiunga na klabu ya C.F. União inayoshiriki LigaPro tarehe [[31 Julai]] [[2017]]. Ciss alicheza [[mechi]] yake ya kwanza ya kitaaluma tarehe [[13 Agosti]] 2017, akiingia kama mchezaji wa akiba katika dakika za mwisho kuchukua nafasi ya Gonçalo Abreu katika ushindi wa 2–0 wa nyumbani dhidi ya Real S.C. Alifunga bao lake la kwanza akiwa nje ya nchi tarehe [[29 Oktoba]], akifunga bao pekee la mchezo katika ushindi wa nyumbani dhidi ya U.D. Oliveirense. Tarehe 30 Agosti [[2018]], baada ya União kushuka daraja, Ciss alihamia F.C. Famalicão kwa mkopo wa mwaka mmoja, akiwa bado katika daraja la pili. Alifunga mabao manne katika msimu huo, na kuisaidia timu yake kurejea Primeira Liga baada ya miaka 25. Tarehe 2 Septemba [[2019]], Ciss alipelekwa kwa mkopo wa mwaka mmoja katika klabu ya CF Fuenlabrada inayoshiriki Segunda División. Tarehe 13 Julai mwaka uliofuata, alisaini [[mkataba]] wa kudumu na klabu hiyo hadi mwaka [[2023]]. Tarehe [[28 Julai]] [[2021]], Ciss alisaini mkataba wa miaka minne na klabu nyingine ya [[Hispania]], Rayo Vallecano, ambayo ilikuwa imepanda hivi karibuni kwenda [[La Liga]], pamoja na mchezaji mwenzake Randy Nteka. == Kazi ya kimataifa == Ciss alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa ya Senegal katika mchezo wa kirafiki dhidi ya [[Bolivia]] tarehe [[24 Septemba]] 2022. Aliitwa katika kikosi cha [[kocha]] [[Aliou Cissé]] kwa ajili ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] 2022, na akicheza mechi yake ya kwanza katika mashindano hayo kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa Senegal wa mabao 3–1 dhidi ya wenyeji [[Qatar]]. Baadaye alianza katika mchezo dhidi ya [[Ekuador|Ecuador]] katika mechi ya mwisho ya Senegal katika hatua ya makundi, na pia alianza katika mchezo dhidi ya [[Uingereza|England]] katika hatua ya 16 bora. == Mafanikio == Rayo Vallecano * [[UEFA]] Conference League: Mshindi wa pili, 2025–26 <ref>https://www.bdfutbol.com/en/j/j26734.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20210914123537/https://www.foradejogo.net/player.php?player=199403160007&language=2</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/ciss-pathe/zRB7v9IT/</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/88746/Pathe_Ciss.html</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Senegal]] jhip4omb07y60swseepsh6w8fnbdq67 Isaac Saba Raffoul 0 248680 1594865 2026-09-07T05:36:31Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Isaac Saba Raffoul''' ( [[17 Oktoba]] [[1923]] – [[27 Julai]] [[2008]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Meksiko]] mwenye asili ya [[Syria]]; baba yake alihama kutoka Aleppo, Syria hadi [[Veracruz (jimbo)|Veracruz]], Meksiko ambako alianza biashara ya nguo ambayo familia ilijenga. Isaac Saba Raffoul alikuwa mmoja wa watu tajiri zaidi duniani kulingana na jarida la [[Forbes]], akiwa na utajiri wa dola bilioni 2.1.<ref>{{Cite web|url=https://www.fo...' 1594865 wikitext text/x-wiki '''Isaac Saba Raffoul''' ( [[17 Oktoba]] [[1923]] – [[27 Julai]] [[2008]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Meksiko]] mwenye asili ya [[Syria]]; baba yake alihama kutoka Aleppo, Syria hadi [[Veracruz (jimbo)|Veracruz]], Meksiko ambako alianza biashara ya nguo ambayo familia ilijenga. Isaac Saba Raffoul alikuwa mmoja wa watu tajiri zaidi duniani kulingana na jarida la [[Forbes]], akiwa na utajiri wa dola bilioni 2.1.<ref>{{Cite web|url=https://www.forbes.com/sites/billions/2010/01/11/another-billionaire-family-tragedy/#2d14613b5da9|title=Another billionaire family tragedy|last=|first=|date=|website=Forbes|access-date=}}</ref> Alikuwa ameoa mke wake Rebecca kwa zaidi ya miaka 40 na alikuwa na wana watatu: Moises, Manuel na Alberto.<ref>{{Cite web |last=Thibault |first=Marie |title=Another Billionaire Family Tragedy |url=https://www.forbes.com/sites/billions/2010/01/11/another-billionaire-family-tragedy/ |access-date=2023-12-26 |website=Forbes |language=en}}</ref><ref>[http://data2.efinf.com/reader/display?c=lores&id=29b0df3f2d73af4143c3e1a510e74e05&d=2006-12-10 El delito fiscal de Isaac Saba] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20090906171526/http://data2.efinf.com/reader/display?c=lores&id=29b0df3f2d73af4143c3e1a510e74e05&d=2006-12-10 |date=2009-09-06 }}</ref> Alikuwa rais wa Grupo Xtra na mwenyekiti wa ''Casa Saba''. Kumekuwa na utata kuhusu yeye tangu aliposhirikiana na General Electric Mexico kufungua kituo kipya cha televisheni cha kitaifa. TV Azteca na Televisa waliposikia hili walimshutumu kwa kumiliki bei za dawa katika jitihada za kumdhalilisha. Kulingana na El Financiero, hakuna ukiritimba kama huo. Baada ya kifo chake mwaka 2008, wanawe wawili wadogo Alberto na Manuel walirithi umiliki wa kampuni.<ref>{{Cite web|last=|first=|date=|title=El Financiero en línea<!-- Bot generated title -->|url=http://www.elfinanciero.com.mx/ElFinanciero/Portal/cfpages/contentmgr.cfm?docId=34429&docTipo=1&orderby=docid&sortby=ASC|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20090907050056/http://www.elfinanciero.com.mx/ElFinanciero/Portal/cfpages/contentmgr.cfm?docId=34429&docTipo=1&orderby=docid&sortby=ASC|archive-date=2009-09-07|access-date=2006-12-19|website=|language=es}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Meksiko]] [[Jamii:Watu wa Meksiko]] [[Jamii:Waliozaliwa 1923]] [[Jamii:Waliofariki 2008]] jb9sn2bcf5tr7xnop6tg8f0wb7u4mij Marouane Chamakh 0 248681 1594866 2026-09-07T05:43:12Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594866 wikitext text/x-wiki [[Faili:Chamakh Emirates Cup cropped.jpg|thumb|Marouane Chamakh]] '''Marouane Chamakh''' (Kifaransa: [maʁwan ʃamak]; lugha za Berber: ⵎⴰⵔⵓⴰⵏ ⵙⴰⵎⴰⵅ; Kiarabu: مروان الشماخ; aliyezaliwa [[10 Januari]] [[1984]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa kulipwa aliyekuwa akicheza nafasi ya [[mshambuliaji]]. Anaelezwa kuwa mshambuliaji wa aina ya target man, na anajulikana kwa "uchezaji mzuri wa kushirikiana na wenzake", "urefu wake" na "uwezo bora wa kucheza mipira ya kichwa". Chamakh pia ni mfungaji wa 11 kwa mabao mengi zaidi katika [[historia]] ya Bordeaux. Chamakh alianza taaluma yake kwa kufanya mazoezi katika [[klabu]] mbalimbali katika [[eneo]] la Aquitaine. Mwaka [[2000]], alisaini na Bordeaux. Chamakh alicheza mechi yake ya kwanza ya kitaaluma akiwa na klabu hiyo katika msimu wa [[2002]]–03. Alitumia miaka tisa katika klabu hiyo na kuisaidia Bordeaux kutwaa Coupe de la Ligue mwaka [[2007]]. Katika msimu wa 2008–09, Chamakh alitwaa ubingwa wa ligi baada ya Bordeaux kutawazwa kuwa mabingwa kwa mara ya kwanza tangu msimu wa [[1998]]–99. == Kazi ya klabu == === Mwanzo wa taaluma === Chamakh alianza kucheza soka akiwa na umri wa miaka minne katika klabu ya eneo lake, Nérac FC, iliyokuwa katika eneo jirani la Nérac. Baada ya [[miaka]] sita akiwa Nérac, Chamakh alijiunga na FC Marmandais. Akiwa Marmande, alikuza uwezo na sifa zake za kimwili, akifikia urefu wa futi 6 (mita 1.83), na pia alipata nafasi yake ya kwanza ya kuchaguliwa katika ngazi ya mkoa ili kuichezea [[timu]] ya mkoa wa Aquitaine katika Coupe Nationale. == Kazi ya kimataifa == Chamakh ni mchezaji wa kimataifa wa [[Morocco]] katika ngazi ya [[timu ya taifa]] ya wakubwa. Kabla ya kuiwakilisha Morocco, aliichezea timu ya [[Ufaransa]] ya chini ya miaka 19 na alicheza mechi yake ya kwanza tarehe [[12 Februari]] [[2003]] katika mchezo wa kirafiki dhidi ya [[Ucheki|Jamhuri ya Czech]]. Hiyo ilikuwa mechi yake pekee akiwa na timu hiyo. Chamakh baadaye alichaguliwa katika kikosi cha Ufaransa kwa ajili ya Mashindano ya UEFA ya U-19 ya 2003, lakini alikataa ofa hiyo baada ya kuitwa na [[kocha]] wa timu ya taifa ya Morocco, Badou Zaki, kwa ajili ya mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2004 dhidi ya [[Sierra Leone]] na [[Gabon]]. Tarehe [[7 Juni]] 2003, alicheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu ya taifa ya Morocco katika mchezo dhidi ya Sierra Leone. Tarehe [[10 Septemba]] 2003, Chamakh alifunga mabao yote mawili, likiwemo bao lake la kwanza la kimataifa, katika ushindi wa 2–0 dhidi ya Trinidad na Tobago. == Mafanikio == Bordeaux * Ligue 1: 2008–09 * Coupe de la Ligue: 2006–07, 2008–09; Mshindi wa pili: 2009–10 * Trophée des Champions: 2008, 2009 Arsenal * Football League Cup: Mshindi wa pili, 2010–11 Morocco * Kombe la Mataifa ya Afrika: Mshindi wa pili, 2004 Binafsi * Tuzo ya Marc-Vivien Foé: 2008–09 * Kikosi Bora cha Mwaka cha UNFP Ligue 1: 2009–10 * Mchezaji Bora wa Mwaka wa Bordeaux: 2010 <ref>https://www.premierleague.com/en/players/15675/marouane-chamakh/overview</ref><ref>https://www.lequipe.fr/fiche/marouane-chamakh/228114</ref><ref>https://www.bladi.net/marouane-chamakh.html</ref><ref>https://www.westhamstats.info/westham.php?west=2&ham=1455&united=Marouane_Chamakh</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} pwqoc0ldp9klen3qlxmqlumwccpx041 Mbark Boussoufa 0 248682 1594867 2026-09-07T06:04:57Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594867 wikitext text/x-wiki [[Faili:Iran-Morocco by soccer.ru 31 (cropped).jpg|thumb|Mbark Boussoufa]] '''Moubarak''' "'''Mbark'''" '''Boussoufa''' (lugha za Berber: ⵎⴱⴰⵔⴽ ⴱⵓⵙⵙⵓⴼⴰ; Kiarabu: مُبارك بوصوفة; alizaliwa [[15 Agosti]] [[1984]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa soka wa kulipwa aliyekuwa akicheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]] au winga. Alitwaa Belgian Kiatu cha [[Dhahabu]] mwaka [[2006]], [[2009]] na [[2010]]. Alizaliwa nchini [[Uholanzi]] na aliichezea [[timu ya taifa]] ya [[Morocco]] kuanzia mwaka 2006 hadi 2019, akicheza mechi 70 na kufunga mabao nane. == Kazi ya klabu == Boussoufa alianza katika akademi ya vijana ya Ajax kabla ya kujiunga na [[Chelsea F.C.|Chelsea F.C]]. Alitumia msimu wa 2005–06 akiwa na K.A.A. Gent, akitwaa [[tuzo]] kadhaa mwaka 2006: Belgian Golden Shoe, Mchezaji Bora wa Soka wa [[Ubelgiji]], Mchezaji Bora Chipukizi wa Soka wa Ubelgiji na Belgian Ebony Shoe. Mwezi Juni 2006, Boussoufa alisaini [[mkataba]] wa miaka minne na R.S.C. Anderlecht baada ya uhamisho wa thamani ya euro [[milioni]] 3.5. Katika msimu wake wa kwanza, alikuwa mchezaji wa kawaida katika kikosi kilichotwaa ubingwa. Alikuwa mchezaji muhimu katika timu iliyomaliza ikiwa ya pili katika misimu ya 2007–08 na [[2008]]–09. Boussoufa alitajwa kuwa Mchezaji Bora wa Soka wa Ubelgiji kwa mara ya pili baada ya msimu wa 2008–09, ambao Anderlecht ilikaribia kutwaa ubingwa lakini ikakosa taji baada ya kupoteza katika mchujo wa ubingwa dhidi ya Standard de Liège. Klabu ya Urusi ya FC Terek Grozny ilitangaza kumsajili, lakini uhamisho wake ulifeli siku tatu baadaye. Badala yake, Boussoufa alisaini na klabu nyingine ya Urusi, Anzhi Makhachkala. Boussoufa alisaini [[mkataba]] wa miaka mitatu na FC Lokomotiv Moscow mwezi [[Agosti]] 2013. Akiwa na Lokomotiv, alitwaa [[Kombe]] la Urusi 2015, akifunga bao la pili katika ushindi wa mabao 3–1 dhidi ya Kuban Krasnodar baada ya muda wa ziada katika [[fainali]]. Alirejea K.A.A. Gent kwa mkopo mwezi [[Februari]] 2016. Mwezi [[Julai]] 2016, Boussoufa alisaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya Al Jazira ya [[Umoja wa Falme za Kiarabu]] (UAE). Alicheza mechi 16 na kufunga mabao matatu, huku Al-Jazira ikiendelea kutwaa UAE Arabian Gulf League ya msimu wa 2016–17. Tarehe [[3 Januari]] 2019, Boussoufa alisaini mkataba hadi mwisho wa msimu na klabu ya Saudi Arabia ya Al-Shabab. == Kazi ya kimataifa == Akiwa na sifa za kuiwakilisha Morocco au Uholanzi, Boussoufa alichagua kuiwakilisha Morocco na alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa dhidi ya [[Marekani]] tarehe [[23 Mei]] 2006. Boussoufa aliiwakilisha Morocco katika mashindano ya [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] mwaka [[2012]], [[2017]] na [[2019]]. [[Mwezi]] Mei 2018, alijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 23 cha Morocco kwa ajili ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] 2018 nchini [[Urusi]], ambako alianza katika michezo yote mitatu ya timu yake. Tarehe 5 Julai 2019, Boussoufa alitangaza kustaafu soka la kimataifa baada ya Morocco kufungwa na [[Benin]] katika hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2019, kwa penalti 4–1 baada ya sare ya 1–1. == Mafanikio == Anderlecht * Belgian Pro League: 2006–07, 2009–10 * Belgian Cup: 2007–08 * Belgian Super Cup: 2007, 2010 Anzhi Makhachkala * Russian Cup: Mshindi wa pili, 2012–13 Lokomotiv Moscow * Russian Cup: 2014–15 Al Jazira * UAE Pro League: 2016–17 Binafsi * Mchezaji Bora wa Gent wa Msimu: 2005–06 * Mchezaji Bora Chipukizi wa Kulipwa wa Ubelgiji: 2005–06 * Mchezaji Bora wa Soka wa Kulipwa wa Ubelgiji: 2005–06, 2008–09, 2009–10 * Mchezaji Bora wa Msimu (Belgian First Division): 2005–06 * Belgian Ebony Shoe: 2005–06, 2008–09, 2009–10 * Kiatu cha Dhahabu cha Ubelgiji: 2006, 2009, 2010 * [[Tuzo]] ya Simba wa Ubelgiji: 2010, 2011 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/14511/Mbark_Boussoufa.html</ref><ref>https://www.uefa.com/news-media/news/01ed-0f8618161833-b5069c9f3252-1000--boussoufa-named-as-belgium-s-finest/</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe22443/moubarak-boussoufa/club-matches/</ref><ref>https://www.playmakerstats.com/player/mbark-boussoufa/14355</ref><ref>https://www.soccerbase.com/players/player.sd?player_id=59628</ref><ref>https://www.stamford-bridge.com/player.php?id=6664&surname=Boussoufa&firstname=Mbark</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 838sjvx7so1sez522f048e2jdmtx85z Houssine Kharja 0 248683 1594871 2026-09-07T06:25:21Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594871 wikitext text/x-wiki [[Faili:Houssine Kharja 2009.jpg|thumb|Houssine Kharja 2009]] '''Houssine Kharja''' (lugha za Berber: ⵀⵓⵙⵙⵉⵏ ⵀⴰⵔⵣⴰ; Kiarabu: حسين خرجة; alizaliwa [[9 Novemba]] [[1982]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa soka wa kulipwa kutoka [[Moroko|Morocco]] aliyekuwa akicheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]]. Alizaliwa nchini [[Ufaransa]], lakini alitumia sehemu kubwa ya taaluma yake nchini [[Italia]] baada ya kuanza taaluma yake ya wakubwa katika Sporting CP. Katika Serie A, alichezea klabu kadhaa, zikiwemo A.S. Roma, Internazionale na Fiorentina, akicheza jumla ya mechi 117 na kufunga mabao 13. Katika ngazi ya kimataifa, aliiwakilisha [[timu ya taifa]] ya Morocco, akicheza mechi 78 za kimataifa na kufunga mabao 13 kati ya [[mwaka]] 2003 na 2015. == Kazi ya klabu == === Vijana === Kharja alianza taaluma yake katika timu ya vijana ya [[Paris Saint-Germain F.C.|Paris Saint-Germain]], na mwaka [[1998]] alijiunga na Gazélec Ajaccio. === Ureno === Mwaka [[2000]] alijiunga na klabu ya [[Ureno]] ya Sporting CP. === Italia === Baada ya msimu mmoja tu akiwa Sporting, alijiunga na Ternana mwaka [[2001]]. Alicheza misimu minne ya kuvutia katika Serie B akiwa na ''Rossoverdi'', akapata nafasi katika timu ya taifa ya Morocco, na mwaka [[2005]] alipelekwa kwa mkopo katika Roma, ikiwa na chaguo la kumnunua kupitia [[mkataba]] wa umiliki wa pamoja kwa euro [[milioni]] 3.6. Kharja alicheza [[mechi]] 12 na kufunga bao moja, katika sare ya 1–1 dhidi ya [[Juventus F.C.|Juventus]]. Mwisho wa msimu wa 2005–06, Roma iliamua kutoongeza muda wa mkopo wa Kharja, hivyo mchezaji huyo wa Morocco alilazimika kurejea Ternana. Hata hivyo, alikataa kurejea kucheza kwa sababu wakati huo ''Rossoverdi'' ilikuwa imeshuka daraja hadi Serie C1. Ternana ilimchukulia kuwa bado ni mchezaji wake, na Lega Calcio Serie C hata ilimsimamisha hadi tarehe [[26 Aprili]] [[2007]]. Baada ya kukata rufaa, [[mahakama]] ya FIGC iliamua kwamba Kharja alikuwa mchezaji huru, hivyo tarehe [[20 Machi]] 2007 alisaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Serie B, Piacenza. Mwezi [[Januari]] [[2008]], alipelekwa kwa mkopo katika Siena kwa kipindi cha pili cha msimu, na tarehe 11 Julai uhamisho huo ukawa wa kudumu. Mwezi Juni [[2009]], Genoa ilitangaza kwamba klabu hiyo ilikuwa inafikia makubaliano ya kumsajili mchezaji huyo, na [[tarehe]] 2 Julai uhamisho kutoka Siena ulikamilishwa. Genoa ilimsajili Kharja kwa euro milioni 6.5, huku Siena ikipata asilimia 50 iliyobaki ya haki za usajili wa Manuel Coppola kwa euro milioni 1.5 na haki zote za Gianluca Pegolo kwa euro milioni 1. === Qatar === Tarehe [[29 Juni]] 2012, Kharja alisaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya [[Qatar]] ya Al-Arabi. Tarehe [[19 Machi]] 2013, alihusika katika ugomvi na mchezaji wa Al Gharafa, Nenê, katika mchezo wa Qatari Stars Cup. Baada ya Kharja kumchezea faulo Nenê mara kwa mara katika sehemu kubwa ya mchezo, Nenê alionyeshwa kadi nyekundu katika tukio lisilohusiana na hilo baada ya kumchezea rafu mmoja wa [[Mchezaji|wachezaji]] wenzake wa Kharja. Nenê alipokuwa akijaribu kupinga uamuzi wa mwamuzi, Kharja alimgonga kwa bega na kumzuia kumfikia mwamuzi. Nenê alijibu kwa kumpiga Kharja kiwiko nyuma ya kichwa. Baada ya kuchelewa kuitikia, Kharja alimshambulia Nenê, ambaye wakati huo alikuwa akizuiwa na wachezaji wenzake. Tukio hilo lilisababisha ugomvi mkubwa kati ya timu hizo mbili. == Mafanikio == Inter Milan * Coppa Italia: 2010–11 Steaua București * League Cup: 2015–16 Morocco * Kombe la Mataifa ya Afrika: Mshindi wa pili, 2004 Binafsi * Mfungaji Bora wa Kombe la Mataifa ya Afrika: 2012 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/4517/Houssine_Kharja.html</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe901/houssine-kharja/club-matches/</ref><ref>https://www.digisport.ro/fotbal/liga-1/video-kharja-a-fost-titular-la-trei-zile-dupa-ce-a-semnat-cu-steaua-fazele-in-care-s-a-vazut-in-meciul-cu-chiajna-189199</ref><ref>https://www.playmakerstats.com/player/houssine-kharja/18542</ref><ref>https://www.inter.it/en/archivio_giocatore/G0873</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} r6hetixl15znndc54xtrrpovyl7q455 Majadiliano:Shonen 1 248684 1594874 2026-09-07T06:34:18Z Hussein mohamed chuti 92196 /* Adabracadabra ninini */ mjadala mpya 1594874 wikitext text/x-wiki == Adabracadabra ninini == Adabracadabra ninini '''[[Mtumiaji:Hussein mohamed chuti|Hussein mohamed chuti]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hussein mohamed chuti|majadiliano]])''' 06:34, 7 Septemba 2026 (UTC) qmpfkuv8ert9o0yv82ksedl3k35wfbv Mounir Obbadi 0 248685 1594876 2026-09-07T06:37:01Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594876 wikitext text/x-wiki '''Mounir Obbadi''' (alizaliwa [[4 Aprili]] [[1983]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] wa kulipwa aliyekuwa akicheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]]. Alizaliwa nchini [[Ufaransa]], lakini aliiwakilisha [[timu ya taifa]] ya [[Moroko]] katika ngazi ya kimataifa, akicheza [[mechi]] 21 kati ya mwaka [[2001]] na [[2017]]. == Kazi == Obbadi alianza taaluma yake ya kulipwa katika [[Paris Saint-Germain F.C.|Paris Saint-Germain]], ingawa hakuwahi kucheza [[mechi]] yoyote katika kikosi cha kwanza. Baada ya kutumia mwaka mmoja kwa mkopo katika Angers SCO, alifanya uhamisho wa kudumu [[mwaka]] 2005. [[Januari]] 2007, alijiunga na klabu ya Ligue 2, ESTAC, kabla ya kupelekwa tena kwa mkopo katika Angers katika msimu huo. Baada ya ESTAC kushuka daraja, alifanikiwa kuingia katika kikosi cha kwanza cha klabu hiyo. Akiwa kama kiungo mchezeshaji, alikuwa mmoja wa wachezaji waliokuwa na ushawishi mkubwa zaidi uwanjani, na aliisaidia klabu hiyo kupanda kutoka Championnat National (daraja la tatu nchini Ufaransa) hadi Ligue 1 katika kipindi cha misimu mitatu kuanzia mwaka [[2010]] hadi [[2012]]. Januari 2013, alisaini na klabu ya Ligue 2, AS Monaco, na kuisaidia kupata nafasi ya kupanda daraja mwishoni mwa msimu, akicheza katika nafasi ya kiungo anayeshiriki katika ulinzi na ushambuliaji. Tarehe [[15 Julai]] [[2014]], alipelekwa kwa mkopo katika klabu ya Serie A, Hellas Verona, kwa ajili ya msimu wa 2014–15. Obbadi alijiunga na klabu ya Ligue 1, Lille OSC, mwezi Julai [[2015]] kwa mkataba wa miaka miwili. Baada ya kutumia msimu mmoja katika Laval, Obbadi alijiunga na AS Poissy [[tarehe]] [[25 Juni]] [[2019]].<ref>https://www.national-football-teams.com/player/13027/Mounir_Obbadi.html</ref><ref>https://www.lequipe.fr/fiche/mounir-obbadi/226835</ref><ref>https://www.losc.fr/actualites-foot-lille/mounir-obbadi-et-le-losc-sont-d%E2%80%99accord</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} o5qza3cannpo1qja4a95w1ztlcilyhe Khalid Boutaïb 0 248686 1594877 2026-09-07T06:52:26Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594877 wikitext text/x-wiki [[Faili:Khalid Boutaïb.jpg|thumb|Khalid Boutaïb]] '''Khalid Boutaïb''' (Kiarabu: خالد بوطيب; alizaliwa [[24 Aprili]] [[1987]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa anayocheza nafasi ya [[mshambuliaji]]. Alizaliwa nchini [[Ufaransa]] na aliiwakilisha [[Moroko]] katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Boutaïb alizaliwa huko Bagnols-sur-Cèze, kusini mwa Ufaransa, akiwa mtoto wa wazazi kutoka Moroko. Alipata [[uraia]] wa Ufaransa tarehe [[16 Januari]] 2002 kupitia athari ya pamoja ya uraia wa mama yake. == Kazi ya klabu == Boutaïb alianza taaluma yake katika Bagnols Pont na Uzès, ambako alikuwa sehemu ya timu iliyopanda daraja hadi Championnat National katika msimu wa [[2011]]–12, kabla ya kujiunga na Istres katika majira ya kiangazi ya [[mwaka]] 2012. Boutaïb alicheza [[mechi]] yake ya kwanza ya kitaaluma tarehe [[7 Agosti]] 2012 katika kichapo cha 2–1 dhidi ya Clermont Foot katika Coupe de la Ligue, akiingia kama mchezaji wa akiba wakati wa mapumziko kuchukua nafasi ya Ludovic Genest. Boutaïb pia alikuwa [[mwanafunzi]] mwenye kipaji kikubwa. Alipata alama ya juu kabisa ya 20/20 katika [[hisabati]] katika mtihani wa shule za [[Elimu ya sekondari|sekondari]] nchini Ufaransa. Hata hivyo, aliamua kuendelea na taaluma yake kama mchezaji wa soka. Baada ya kumaliza [[mkataba]] wake na Gazélec Ajaccio, Boutaïb alijiunga na Racing Strasbourg kwa mkataba wa mwaka mmoja. Boutaïb alisaini na klabu ya [[Uturuki]] ya Yeni Malatyaspor, iliyokuwa imepanda hivi karibuni kwenda Süper Lig, mwezi Juni 2017. Mwaka [[2019]], alijiunga na klabu ya [[Misri]] ya Zamalek. [[Oktoba]] 2020, Boutaïb alirejea Ufaransa kuchezea Le Havre. Tarehe [[31 Januari]] 2022, Boutaïb alisaini na klabu ya Ligue 2, Paris FC, kwa mkataba hadi Juni 2023. == Kazi ya kimataifa == Boutaïb alitangaza nia yake ya kuiwakilisha Moroko katika ngazi ya kimataifa. Mwezi [[Machi]] [[2016]], alipokea mwito wa kujiunga na timu ya taifa ya Moroko kwa ajili ya mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2017 dhidi ya [[Cabo Verde|Cape Verde]], na alicheza mechi yake ya kwanza katika mchezo huo tarehe 26 Machi 2016, akiingia kama mchezaji wa akiba katika dakika za mwisho katika ushindi wa 1–0. Mwezi Mei [[2018]], alijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 23 cha Moroko kwa ajili ya [[Kombe la Dunia la FIFA]] 2018 nchini [[Urusi]]. == Maisha binafsi == Boutaïb ni mjomba wa mchezaji wa soka Nassim Chadli. == Mafanikio == Strasbourg * Ligue 2: 2016–17 Zamalek * Kombe la Misri: 2018–19 * Kombe la Shirikisho la CAF: 2018–19 <ref>https://www.soccerway.com/player/boutaib-khalid/GUQFSOu2/</ref><ref>https://www.lequipe.fr/Football/Article/Khalid-boutaib-des-maths-et-des-buts/726405</ref><ref>https://www.getfootballnewsfrance.com/2017/khalid-boutaib-signs-pre-agreement-with-yeni-malatyaspor/</ref><ref>https://www.alsasports.fr/football/rc-strasbourg/les-anciens/khalid-boutaib-retrouve-la-france/21428/</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/football/46776189</ref> == Marejeo == <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] rs8jr2zezmk2c2qgkkempzd6y92kxte Neo Maema 0 248687 1594879 2026-09-07T07:07:45Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594879 wikitext text/x-wiki {{Infobox football biography|jina=Neo Maema|tareheyakuzaliwa={{birth date and age|1995|12|1|df=y}}|urefu=1.67m|nafasianayocheza=Kiungo mshambuliaji|klabuyasasa=[[Simba S.C.]]|namba=35}} '''Neo Maema''' (alizaliwa [[1 Desemba]] [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]] katika klabu ya [[Simba S.C.|Simba Sports Club]] inayoshiriki Ligi Kuu ya [[Tanzania]], kwa mkopo kutoka [[Mamelodi Sundowns F.C.|Mamelodi Sundowns]]. == Kazi == Maema alianza taaluma yake katika Bloemfontein Celtic akiwa na umri wa [[miaka]] 22. Baada ya kucheza [[mechi]] 60 na kufunga mabao 3 akiwa na Celtic, alijiunga na Mamelodi Sundowns kwa [[mkataba]] wa miaka mitano katika majira ya kiangazi ya mwaka [[2021]]. === Simba === Alijiunga na klabu ya Simba S.C. inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania kwa mkopo mwanzoni mwa msimu wa [[2025]]–26. Alicheza mechi yake ya kwanza katika Simba Day, katika ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya mabingwa wa [[Kenya]], Gor Mahia. == Kazi ya kimataifa == Maema alikuwa [[nahodha]] wa [[Afrika Kusini]] katika CHAN 2025. Alifunga bao la ushindi katika mchezo wa kufuzu dhidi ya [[Malawi]], na kuiwezesha timu hiyo kufuzu kwa [[fainali]]. == Mtindo wa uchezaji == Maema ni kiungo mshambuliaji anayetumia mguu wa kushoto. == Mafanikio == Mamelodi Sundowns * South African Premiership: 2021–22, [[2022]]–23, 2023–24, [[2024]]–25 <ref>https://www.soccerway.com/player/maema-neo/veSlSVcr/</ref><ref>https://centralnews.co.za/neo-maema-joins-simba-sc-on-free-transfer-after-leaving-mamelodi-sundowns/</ref><ref>https://vodacomsoccer.com/news/neo-maema-explains-why-he-turned-down-psl-clubs-for-simba-sc-move-1</ref><ref>https://www.sabcsport.com/soccer/news/neo-maema-clarifies-simba-status-i-am-still-a-sundowns-player</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} euowt0xn5v4qfsottmm0j8pfssqjvu3 Mustafa Hassanali 0 248688 1594881 2026-09-07T07:21:03Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594881 wikitext text/x-wiki '''Mustafa Hassanali''' (amezaliwa [[9 Juni]] [[1980]]) ni mbunifu wa mavazi kutoka nchini [[Tanzania]].<ref>"Mustafa Hassanali to Showcase in Douala, Cameroon". Tanzania Daily News. 5 February 2011. Retrieved 4 January 2011.</ref><ref>Billings, Sabrina (2013). Language, Globalization and the Making of a Tanzanian Beauty Queen. Channel View Publications. p. 110. ISBN 9781783090754.</ref><ref>Otiso, Kefa M. (2013). Culture and Customs of Tanzania. Greenwood. pp. 137–138. ISBN 9780313339783.</ref> Hassanali pia ni mwanzilishi wa [[Swahili Fashion Week]].<ref>Ismail, Ramadhani (December 8, 2023) [December 2, 2023]. "Mustafa Hassanali urges youth to upcycle for environmental conservation". The Citizen. Archived from the original on February 20, 2024. Retrieved August 22, 2024.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Wasanii wa Tanzania]] rrm3u64k3zt5drg2n1c77oi3e4vturi Relebohile Mofokeng 0 248689 1594882 2026-09-07T07:23:22Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594882 wikitext text/x-wiki '''Relebohile Mofokeng''' (alizaliwa kwa jina la Ratomo; [[23 Oktoba]] [[2004]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]] au winga katika klabu ya Royale Union Saint-Gilloise inayoshiriki Belgian Pro League, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. Mofokeng alitangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Soka wa Mwaka wa PSL 2026. == Kazi ya klabu == === Orlando Pirates === Mofokeng alipitia Transnet School of Excellence, kabla ya makubaliano ya uhamisho kati ya [[klabu]] za South African Premier Division, [[Mamelodi Sundowns F.C.|Mamelodi Sundowns]] na Orlando Pirates, kukamilika. Mofokeng alijiunga na Orlando Pirates huku mwenzake Siyabonga Mabena akijiunga na Mamelodi Sundowns. Mofokeng alijumuika vizuri katika akademi ya Orlando Pirates, akifanya vizuri akiwa na timu ya akiba katika DStv Diski Challenge, na baadaye alialikwa kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza. Baada ya kukaa kwenye benchi mara nne, alipewa nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza kwa klabu hiyo katika mchezo wa DStv Premiership dhidi ya Royal AM tarehe [[3 Mei]] [[2023]]. Kufuatia kosa la [[mchezaji]] wa Royal AM kutoka Msumbiji, Domingues, shuti la Mofokeng lilibadilisha mwelekeo baada ya kugonga Domingues na kuingia wavuni. Hata hivyo, bao hilo lilipewa kuwa bao la kujifunga kwa sababu shuti la awali halikulenga lango. Katika mchezo wake wa pili pekee kwa klabu hiyo, alifunga bao moja na kutoa pasi ya bao katika ushindi wa mabao 4–0 dhidi ya AmaZulu. Katika [[tuzo]] za PSL za [[2024]], alitunukiwa tuzo ya Mchezaji Mwenye Ahadi Kubwa Zaidi wa Mashindano ya Nedbank Cup pamoja na tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa Msimu wa South African Premiership. == Kazi ya kimataifa == Mofokeng aliiwakilisha Afrika Kusini katika COSAFA U-20 Cup 2022, akifunga mabao mawili katika mechi tano. Alipokea mwito wake wa kwanza katika timu ya taifa ya wakubwa kwa ajili ya mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Dunia la FIFA]] [[2026]], zilizopangwa kuchezwa mwezi Juni 2024 dhidi ya [[Nigeria]] na [[Zimbabwe]]. Mofokeng alicheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Zimbabwe tarehe [[11 Juni]] 2024 katika Free State Stadium. Aliingia kama mchezaji wa akiba kuchukua nafasi ya Oswin Appollis katika muda wa nyongeza, huku Afrika Kusini ikishinda kwa mabao 3–1. == Maisha binafsi == Wakati alipojiunga na Orlando Pirates, alikuwa akitumia jina la ukoo la [[mama]] yake, Ratomo, kwa sababu wazazi wake walikuwa bado hawajafunga ndoa. Wiki tatu baada ya kusajiliwa na klabu hiyo, alibadilisha kisheria jina lake la ukoo kuwa Mofokeng, jina la [[ukoo]] la [[baba]] yake na aliyekuwa mchezaji wa soka, Sechaba Mofokeng. Jina hilo likawa jina lake rasmi kuelekea msimu wa 2023–24. Mabadiliko hayo ya jina yalithibitishwa na Orlando Pirates tarehe 4 Agosti 2023. == Mafanikio == Orlando Pirates * South African Premiership: 2025–26 * Nedbank Cup: 2022–23, 2023–24 * Carling Knockout Cup: 2025 * MTN 8: 2023, 2024, 2025 Royale Union Saint-Gilloise * Belgian Super Cup: 2026 Binafsi * Mchezaji Bora Chipukizi wa Msimu wa South African Premiership: 2024, 2025, 2026 * Mchezaji Mwenye Ahadi Kubwa Zaidi wa Nedbank Cup: 2023–24 * MTN8 Last Man Standing: 2024 * Mchezaji Bora wa Mwezi wa South African Premiership: Januari 2026, Februari 2026, Machi 2026 * Mchezaji Bora wa Soka wa Msimu wa South African Premiership: 2025–26 * Mchezaji Bora wa Msimu kwa Wachezaji wa South African Premiership: 2025–26 <ref>https://rusg.brussels/en/news/official-mofokeng-signs-union</ref><ref>https://www.sowetan.co.za/sport/soccer/2024-06-03-bucs-hero-mofokeng-vows-to-stay-grounded/</ref><ref>https://www.snl24.com/sports/mofokeng-shines-at-psl-awards-20260727/</ref><ref>[https://www.citizen.co.za/sport/soccer/local-soccer/mgosi/pirates-sensational-striker-ratomo-will-not-be-rushed/#:~:text=Orlando%20Pirates%20sensational%20young%20striker,at%20the%20Buccaneers%20has%20revealed. https://www.citizen.co.za/sport/soccer/local-soccer/mgosi/pirates-sensational-striker-ratomo-will-not-be-rushed/#:~:text=Orlando%20Pirates%20sensational%20young%20striker,at%20the%20Buccaneers%20has%20revealed.]</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/mofokeng-relebohile/hx20yWyp/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2004]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 4nrv8u0tr268sq550lz1qy9bymjjkro Ali Dilem 0 248690 1594883 2026-09-07T07:26:17Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594883 wikitext text/x-wiki '''Ali Dilem''' (amezaliwa [[1967]] huko El Harrach, Mkoa wa Alger) ni mchoraji wa vibonzo kutoka nchini [[Algeria]]. Mnamo tarehe [[11 Februari]] [[2006]], alihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya dinari 50,000 na mahakama ya Algeria kwa ajili ya vibonzo mbalimbali vilivyochapishwa kwenye gazeti la ''Liberté'' mwaka [[2003]] vilivyomwonyesha Rais Abdelaziz Bouteflika. == Tazama pia == * Kufungwa kwa Mohamed Benchicou, mkurugenzi wa ''Le Matin'' == Viungo vya nje == * [https://rsf.org "Cartoonist Ali Dilem given one-year jail sentence"], Reporters Without Borders, 2006-02-17 [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] [[Jamii:Watu wa Algeria]] [[Jamii:Wasanii wa Algeria]] 2y92kkb6t4h6xe4mqdsu1bs4enn0m73 Hussein Kamal 0 248691 1594884 2026-09-07T07:29:06Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594884 wikitext text/x-wiki '''Hussein Kamal''' (Kiarabu: حسين كمال; [[17 Agosti]] [[1932]] – [[24 Machi]] [[2003]]) alikuwa mwongozaji wa vipindi vya televisheni, filamu, na michezo ya kuigiza kutoka nchini [[Misri]]. Anachukuliwa kuwa mwongozaji muhimu wa filamu za kijadi za Misri.<ref>"Hussein Kamal". Egypt State Information Service. Archived from the original on 2009-10-12. Retrieved 2010-02-28.</ref> Moja ya filamu zake maarufu zaidi ni ''Chitchat on the Nile'' ([[1971]]), inayokosoa mmomonyoko wa maadili katika jamii ya Misri wakati wa enzi za Gamal Abdel Nasser. Filamu yake ya mwaka [[1972]] ya ''Empire M'' iliingizwa kwenye Tamasha la 8 la Kimataifa la Filamu la Moscow mwaka [[1973]].<ref>"8th Moscow International Film Festival (1973)". MIFF. Archived from the original on 2013-01-16. Retrieved 2013-01-03.</ref> == Filamu zilizochaguliwa == === Filamu === * ''The Impossible'' (1965) * ''A Taste of Fear'' (1969) * ''My Father Up on the Tree'' (1969) * ''Chitchat on the Nile'' (1971) * ''Empire M'' (1972) === Televisheni === * ''The Return of the Spirit'' (1977) == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [[imdbname:0436449|Hussein Kamal]] kwenye IMDb [[Jamii:Waliozaliwa 1932]] [[Jamii:Waliofariki 2003]] [[Jamii:Watu wa Misri]] f4e7nhuhacsn3tfjsdss3bwmaq7jmv5 David Kuijers 0 248692 1594885 2026-09-07T07:31:57Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594885 wikitext text/x-wiki '''David Kuijers''' (amezaliwa [[30 Machi]] [[1962]]) ni mchoraji kutoka nchini [[Afrika Kusini]]. Kuijers alizaliwa huko Vanderbijlpark, karibu na Johannesburg, na wazazi waliotokea [[Uholanzi]]. Alimaliza elimu yake katika Shule ya Sanaa, Muziki na Baleti mjini Pretoria, akipata tuzo ya heshima katika sanaa za picha (Graphics) na mwaka [[1980]] alipata tuzo ya Mchoraji Bora. Baada ya kufanya kazi kwa muda mfupi kama mwandishi wa mabango, alihitimu Stashahada ya Sanifu Picha (Graphic Design Diploma) katika Cape Technikon, akibobea katika uchoraji wa vielelezo (illustration). Alipohitimu mwaka [[1989]], alitunukiwa tuzo ya heshima ya Msanifu/Mchoraji Vielelezo Bora. Kuijers alifanya kazi kwa muda mfupi kama msanifu na mchoraji vielelezo wa kujitegemea, lakini sasa anajishughulisha na uchoraji wa muda wote. Shiriki mara kwa mara katika maonyesho ya kikundi na amekamilisha kazi mbalimbali za mwaliko (commissions), hasa uchoraji wa mandhari ya bahari kwa rangi za akriliki kwa ajili ya President Hotel mpya na uchoraji wa rangi za maji (watercolours) kwa ajili ya Villa Via Hotel na Hospitali ya Volks. Hivi sasa anaishi Greyton katika Rasi ya Magharibi pamoja na mke wake, binti yake na wanawe wawili, ambako anamiliki studio yake mwenyewe ya sanaa. == Marejeo == * ''D. Kuijers paints the town'', D. Kuijers, 2002, ISBN 0-620-28975-9. == Viungo vya nje == * [https://houtbaygallery.co.za/hbg/artist/david-kuijers/ Ukurasa wa David Kuijers katika Hout Bay Gallery] [[Jamii:Waliozaliwa 1962]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] pryou450zjlgeargzyuiz1hkxy1x7z5 Gedion Nyanhongo 0 248693 1594886 2026-09-07T07:36:23Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594886 wikitext text/x-wiki '''Gedion Nyanhongo''' (amezaliwa [[22 Desemba]] [[1967]]) ni mchongaji wa vinyago vya mawe kutoka nchini [[Zimbabwe]]. Nyanhongo alizaliwa katika familia ya wasanii huko Nyanga, Zimbabwe. Alipata ushawishi mkubwa tangu akiwa mdogo kutoka kwa baba yake, Claud Nyanhongo, ambaye alikuwa msanii mashuhuri kati ya wachongaji wa "kizazi cha kwanza" (waasisi wa vuguvugu la Uchoraji/Uchongaji wa Kishona lililoanza mwishoni mwa miaka ya 1950). Mnamo mwaka [[1988]], baada ya kujifunza kazi hiyo chini ya mchongaji maarufu duniani Joseph Ndandarika (rafiki wa baba yake), Gedion alianza kazi yake mwenyewe kama msanii wa kujitegemea. Maonyesho yake ya kwanza yalifanyika mwaka [[1989]] katika Mabwe Gallery jijini Harare, Zimbabwe. Tangu wakati huo, Nyanhongo ameonyesha kazi zake katika maonyesho ya mtu binafsi na ya vikundi kwenye maeneo mbalimbali duniani, ikiwa ni pamoja na Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi, Hong Kong, Afrika Kusini, Marekani na Zimbabwe. Kazi zake mbili zimewekwa kwenye onyesho la kudumu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hartsfield-Jackson Atlanta, na Sanamu ya Pundamilia katika Hifadhi ya Wanyama ya Phoenix Zoo. Dada yake, Agnes Nyanhongo, pia ni mchongaji wa vinyago. == Marejeo == * [https://web.archive.org/web/20060901232418/http://mudzimu.com/www/artists/gedion.html Mudzimu Sculpture Group] [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] [[Jamii:Wasanii wa Zimbabwe]] [[Jamii:Watu wa Zimbabwe]] ahqc2asnx79wassvoo4pfca7gnl9zw8 Zakhele Lepasa 0 248694 1594887 2026-09-07T07:38:35Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594887 wikitext text/x-wiki {{Infobox football biography|jina=Zakhele Lepasa|tareheyakuzaliwa={{birth date and age|1997|3|27|df=y}}|mjialiozaliwa=[[Soweto]], Afrika Kusini|urefu=1.79m<ref name="NFT" />|nafasianayocheza=Mshambuliaji wa kati|klabuyasasa=[[Orlando Pirates F.C.|Orlando Pirates]]|namba=9}} '''Zakhele Lerato Lepasa''' (alizaliwa [[27 Machi]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya [[mshambuliaji]] wa kati katika [[klabu]] ya Siwelele F.C. inayoshiriki South African Premier Division, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. == Kazi ya klabu == Akiwa amezaliwa huko [[Soweto]], Lepasa alianza taaluma yake katika Orlando Pirates. Mnamo [[Agosti]] [[2018]], Lepasa alijiunga na Stellenbosch kwa mkopo wa msimu mmoja. Hata hivyo, baada ya kucheza [[mechi]] nne za ligi akiwa na Stellenbosch, alihamia TS Galaxy kwa mkopo mwezi [[Februari]] [[2019]]. Alifunga mabao 9 katika mechi 15 za TS Galaxy katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na kufunga bao pekee katika [[fainali]] ya Nedbank Cup 2019 dhidi ya [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]] kupitia [[penalti]], na kuifanya TS Galaxy kuwa klabu ya kwanza kutoka nje ya daraja la juu la soka la Afrika Kusini kushinda mashindano hayo. Baada ya kufunga mabao 4 katika mechi 4 za Nedbank Cup, alitunukiwa [[tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Mashindano, pamoja na kuwa mfungaji bora wa mashindano hayo. Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza kwa Orlando Pirates tarehe [[14 Septemba]] 2019, akiingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 2–1 dhidi ya Chippa United. == Kazi ya kimataifa == Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa tarehe [[2 Juni]] 2019 katika sare ya 2–2 dhidi ya [[Botswana]] katika COSAFA Cup 2019, ambapo Lepasa alifunga katika mikwaju ya penalti huku Afrika Kusini ikipoteza kwa penalti 5–4. Pia alifunga bao kwa [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Afrika Kusini|Bafana Bafana]] katika ushindi wa 2–1 dhidi ya [[Moroko]] katika mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2023. == Mafanikio == Orlando Pirates * Carling Black Label Cup: 2019 * MTN 8: 2020, 2022, 2023 * Nedbank Cup: 2019, 2023, 2024 * Kombe la Shirikisho la CAF: Mshindi wa pili, 2022 Afrika Kusini * Kombe la Mataifa ya Afrika: Nafasi ya tatu, 2023 <ref>https://www.worldfootball.net/person/pe615775/</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/74434/Zakhele_Lepasa.html</ref><ref>https://www.sowetan.co.za/sport/soccer/2019-05-29-rising-star-zakhele-lepasa-enjoying-his-new-found-fame/</ref><ref>https://www.goal.com/en-za/news/stellenbosch-fc-snap-up-orlando-pirates-striker-lerato-lepasa/10pltwru9yqq81l24wkym8rnne</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/lepasa-zakhele/QyIjnVJC/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} mbj2fix4a0lfakhuras5hd8sofr7p0a 1594888 1594887 2026-09-07T07:40:29Z Kelvin kevoo 48194 1594888 wikitext text/x-wiki {{Infobox football biography|jina=Zakhele Lepasa|tareheyakuzaliwa={{birth date and age|1997|3|27|df=y}}|mjialiozaliwa=[[Soweto]], Afrika Kusini|urefu=1.79m<ref name="NFT" />|nafasianayocheza=Mshambuliaji wa kati|klabuyasasa=Orlando Pirates F.C.|namba=9}} '''Zakhele Lerato Lepasa''' (alizaliwa [[27 Machi]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya [[mshambuliaji]] wa kati katika [[klabu]] ya Siwelele F.C. inayoshiriki South African Premier Division, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. == Kazi ya klabu == Akiwa amezaliwa huko [[Soweto]], Lepasa alianza taaluma yake katika Orlando Pirates. Mnamo [[Agosti]] [[2018]], Lepasa alijiunga na Stellenbosch kwa mkopo wa msimu mmoja. Hata hivyo, baada ya kucheza [[mechi]] nne za ligi akiwa na Stellenbosch, alihamia TS Galaxy kwa mkopo mwezi [[Februari]] [[2019]]. Alifunga mabao 9 katika mechi 15 za TS Galaxy katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na kufunga bao pekee katika [[fainali]] ya Nedbank Cup 2019 dhidi ya [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]] kupitia [[penalti]], na kuifanya TS Galaxy kuwa klabu ya kwanza kutoka nje ya daraja la juu la soka la Afrika Kusini kushinda mashindano hayo. Baada ya kufunga mabao 4 katika mechi 4 za Nedbank Cup, alitunukiwa [[tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Mashindano, pamoja na kuwa mfungaji bora wa mashindano hayo. Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza kwa Orlando Pirates tarehe [[14 Septemba]] 2019, akiingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 2–1 dhidi ya Chippa United. == Kazi ya kimataifa == Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa tarehe [[2 Juni]] 2019 katika sare ya 2–2 dhidi ya [[Botswana]] katika COSAFA Cup 2019, ambapo Lepasa alifunga katika mikwaju ya penalti huku Afrika Kusini ikipoteza kwa penalti 5–4. Pia alifunga bao kwa [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Afrika Kusini|Bafana Bafana]] katika ushindi wa 2–1 dhidi ya [[Moroko]] katika mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2023. == Mafanikio == Orlando Pirates * Carling Black Label Cup: 2019 * MTN 8: 2020, 2022, 2023 * Nedbank Cup: 2019, 2023, 2024 * Kombe la Shirikisho la CAF: Mshindi wa pili, 2022 Afrika Kusini * Kombe la Mataifa ya Afrika: Nafasi ya tatu, 2023 <ref>https://www.worldfootball.net/person/pe615775/</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/74434/Zakhele_Lepasa.html</ref><ref>https://www.sowetan.co.za/sport/soccer/2019-05-29-rising-star-zakhele-lepasa-enjoying-his-new-found-fame/</ref><ref>https://www.goal.com/en-za/news/stellenbosch-fc-snap-up-orlando-pirates-striker-lerato-lepasa/10pltwru9yqq81l24wkym8rnne</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/lepasa-zakhele/QyIjnVJC/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} czxdhet6a4l8bzvk0tr7pvdg4bjy8ol 1594889 1594888 2026-09-07T07:41:10Z Kelvin kevoo 48194 1594889 wikitext text/x-wiki {{Infobox football biography|jina=Zakhele Lepasa|tareheyakuzaliwa={{birth date and age|1997|3|27|df=y}}|mjialiozaliwa=[[Soweto]], Afrika Kusini|urefu=1.79m<ref name="NFT" />|nafasianayocheza=Mshambuliaji wa kati|klabuyasasa=Orlando Pirates F.C.|namba=9}} '''Zakhele Lerato Lepasa''' (alizaliwa [[27 Machi]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya [[mshambuliaji]] wa kati katika [[klabu]] ya Siwelele F.C. inayoshiriki South African Premier Division, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. == Kazi ya klabu == Akiwa amezaliwa huko [[Soweto]], Lepasa alianza taaluma yake katika Orlando Pirates. Mnamo [[Agosti]] [[2018]], Lepasa alijiunga na Stellenbosch kwa mkopo wa msimu mmoja. Hata hivyo, baada ya kucheza [[mechi]] nne za ligi akiwa na Stellenbosch, alihamia TS Galaxy kwa mkopo mwezi [[Februari]] [[2019]]. Alifunga mabao 9 katika mechi 15 za TS Galaxy katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na kufunga bao pekee katika [[fainali]] ya Nedbank Cup 2019 dhidi ya [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]] kupitia [[penalti]], na kuifanya TS Galaxy kuwa klabu ya kwanza kutoka nje ya daraja la juu la soka la Afrika Kusini kushinda mashindano hayo. Baada ya kufunga mabao 4 katika mechi 4 za Nedbank Cup, alitunukiwa [[tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Mashindano, pamoja na kuwa mfungaji bora wa mashindano hayo. Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza kwa Orlando Pirates tarehe [[14 Septemba]] 2019, akiingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 2–1 dhidi ya Chippa United. == Kazi ya kimataifa == Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa tarehe [[2 Juni]] 2019 katika sare ya 2–2 dhidi ya [[Botswana]] katika COSAFA Cup 2019, ambapo Lepasa alifunga katika mikwaju ya penalti huku Afrika Kusini ikipoteza kwa penalti 5–4. Pia alifunga bao kwa [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Afrika Kusini|Bafana Bafana]] katika ushindi wa 2–1 dhidi ya [[Moroko]] katika mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2023. == Mafanikio == Orlando Pirates * Carling Black Label Cup: 2019 * MTN 8: 2020, 2022, 2023 * Nedbank Cup: 2019, 2023, 2024 * Kombe la Shirikisho la CAF: Mshindi wa pili, 2022 Afrika Kusini * Kombe la Mataifa ya Afrika: Nafasi ya tatu, 2023 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/74434/Zakhele_Lepasa.html</ref><ref>https://www.sowetan.co.za/sport/soccer/2019-05-29-rising-star-zakhele-lepasa-enjoying-his-new-found-fame/</ref><ref>https://www.goal.com/en-za/news/stellenbosch-fc-snap-up-orlando-pirates-striker-lerato-lepasa/10pltwru9yqq81l24wkym8rnne</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/lepasa-zakhele/QyIjnVJC/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 1e1x23wkd1nbaxrw7n5lqi6dqd8v79c 1594890 1594889 2026-09-07T07:42:57Z Kelvin kevoo 48194 1594890 wikitext text/x-wiki {{Infobox football biography|jina=Zakhele Lepasa|tareheyakuzaliwa={{birth date and age|1997|3|27|df=y}}|mjialiozaliwa=[[Soweto]], Afrika Kusini|urefu=1.79m|nafasianayocheza=Mshambuliaji wa kati|klabuyasasa=[[Orlando Pirates F.C.|Orlando Pirates]]|namba=9}} '''Zakhele Lerato Lepasa''' (alizaliwa [[27 Machi]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya [[mshambuliaji]] wa kati katika [[klabu]] ya Siwelele F.C. inayoshiriki South African Premier Division, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. == Kazi ya klabu == Akiwa amezaliwa huko [[Soweto]], Lepasa alianza taaluma yake katika Orlando Pirates. Mnamo [[Agosti]] [[2018]], Lepasa alijiunga na Stellenbosch kwa mkopo wa msimu mmoja. Hata hivyo, baada ya kucheza [[mechi]] nne za ligi akiwa na Stellenbosch, alihamia TS Galaxy kwa mkopo mwezi [[Februari]] [[2019]]. Alifunga mabao 9 katika mechi 15 za TS Galaxy katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na kufunga bao pekee katika [[fainali]] ya Nedbank Cup 2019 dhidi ya [[Kaizer Chiefs F.C.|Kaizer Chiefs]] kupitia [[penalti]], na kuifanya TS Galaxy kuwa klabu ya kwanza kutoka nje ya daraja la juu la soka la Afrika Kusini kushinda mashindano hayo. Baada ya kufunga mabao 4 katika mechi 4 za Nedbank Cup, alitunukiwa [[tuzo]] ya Mchezaji Bora wa Mashindano, pamoja na kuwa mfungaji bora wa mashindano hayo. Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza kwa Orlando Pirates tarehe [[14 Septemba]] 2019, akiingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 2–1 dhidi ya Chippa United. == Kazi ya kimataifa == Lepasa alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa tarehe [[2 Juni]] 2019 katika sare ya 2–2 dhidi ya [[Botswana]] katika COSAFA Cup 2019, ambapo Lepasa alifunga katika mikwaju ya penalti huku Afrika Kusini ikipoteza kwa penalti 5–4. Pia alifunga bao kwa [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Afrika Kusini|Bafana Bafana]] katika ushindi wa 2–1 dhidi ya [[Moroko]] katika mechi za kufuzu kwa [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2023. == Mafanikio == Orlando Pirates * Carling Black Label Cup: 2019 * MTN 8: 2020, 2022, 2023 * Nedbank Cup: 2019, 2023, 2024 * Kombe la Shirikisho la CAF: Mshindi wa pili, 2022 Afrika Kusini * Kombe la Mataifa ya Afrika: Nafasi ya tatu, 2023 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/74434/Zakhele_Lepasa.html</ref><ref>https://www.sowetan.co.za/sport/soccer/2019-05-29-rising-star-zakhele-lepasa-enjoying-his-new-found-fame/</ref><ref>https://www.goal.com/en-za/news/stellenbosch-fc-snap-up-orlando-pirates-striker-lerato-lepasa/10pltwru9yqq81l24wkym8rnne</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/lepasa-zakhele/QyIjnVJC/</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 59h9y0p0n1qvnn7apm44zl629fvwwip Monnapule Saleng 0 248695 1594891 2026-09-07T07:53:36Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594891 wikitext text/x-wiki '''Monnapule Saleng''' (alizaliwa [[13 Machi]] [[1998]]) ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Afrika Kusini]] anayocheza nafasi ya winga katika klabu ya [[Mamelodi Sundowns F.C.]], pamoja na [[timu ya taifa]] ya Afrika Kusini. Alitunukiwa tuzo ya MTN 8 Last Man Standing na Mchezaji Bora wa Msimu kwa Wachezaji wa DSTV Premiership katika Tuzo za PSL 2023. == Kazi ya klabu == Baada ya kuanza taaluma yake katika Orbit College inayoshiriki SAFA Second Division, Saleng alijiunga na Free State Stars [[mwaka]] [[2019]]. Alikuwa mfungaji bora katika National First Division [[2020]]–21, akifunga mabao 13 katika mechi 29. === Orlando Pirates === Saleng alisaini na klabu ya South African Premier Division, Orlando Pirates, mwezi Julai [[2021]], lakini alitumia msimu wa 2021–22 kwa mkopo katika Moroka Swallows, ambako alifunga mabao mawili katika mechi 22 za ligi. Alirejea Orlando Pirates kwa msimu wa 2022–23, ambapo akawa mchezaji wa kawaida katika kikosi cha kwanza, akifunga mabao matano katika mechi nane katika nusu ya kwanza ya msimu. Alitolewa kwa mkopo kwenda klabu yake ya zamani ya Orbit College katika nusu ya kwanza ya msimu wa 2025–26 baada ya klabu hiyo kupanda hadi Premier Division. === Mamelodi Sundowns === Mwezi Januari 2026, Saleng alisaini na klabu ya South African Premier Division, Mamelodi Sundowns. == Kazi ya kimataifa == Saleng alikuwa sehemu ya kikosi cha Afrika Kusini katika COSAFA Cup 2021, akianza katika ushindi wa 1–0 dhidi ya [[Botswana]] katika mchezo wa ufunguzi. Kwa jumla, alicheza [[mechi]] 6 huku Afrika Kusini ikishinda mashindano hayo. Mwezi [[Novemba]] [[2022]], Saleng alijumuishwa katika kikosi cha Afrika Kusini kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya [[Angola]] na [[Msumbiji]]. == Mafanikio == Mamelodi Sundowns * CAF Champions League: [[2025]]–26 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/83147/Monnapule_Saleng.html</ref><ref>https://centralnews.co.za/breaking-mamelodi-sundowns-confirm-signing-of-monnapule-saleng/</ref><ref>https://uk.soccerway.com/player/saleng-monnapule/U7UaKTyb/</ref><ref>https://www.goal.com/en-za/lists/orlando-pirates-loanee-monnapule-saleng-praised-by-coach-pogiso-makhoye-after-helping-orbit-college-break-dark-spell-of-away-games/blt11e857e4976191cf</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1998]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} 7ccgx5f7zbvjl811ijgb1ry2g537pc6 Jonathan Oppenheimer 0 248696 1594896 2026-09-07T08:55:24Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jonathan M. E. Oppenheimer''' (alizaliwa [[18 Novemba]] [[1969]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhifadhi nchini [[Afrika Kusini]], na mwenyekiti mtendaji wa Oppenheimer Generations, mtendaji wa zamani wa De Beers na naibu rais wa zamani wa kampuni ya familia yake, Anglo American plc.<ref>{{Cite web|title=Leadership|url=https://opp-gen.com/leadership/|access-date=2021-11-13|website=Oppenheimer Generations|language=en-GB}}</ref> == Maisha ya Awali ==...' 1594896 wikitext text/x-wiki '''Jonathan M. E. Oppenheimer''' (alizaliwa [[18 Novemba]] [[1969]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mhifadhi nchini [[Afrika Kusini]], na mwenyekiti mtendaji wa Oppenheimer Generations, mtendaji wa zamani wa De Beers na naibu rais wa zamani wa kampuni ya familia yake, Anglo American plc.<ref>{{Cite web|title=Leadership|url=https://opp-gen.com/leadership/|access-date=2021-11-13|website=Oppenheimer Generations|language=en-GB}}</ref> == Maisha ya Awali == Jonathan ni mtoto wa mwenyekiti wa zamani wa De Beers Nicky Oppenheimer; yeye ni mjukuu wa mwanzilishi wa Anglo-American Ernest Oppenheimer, ambaye alikuwa kizazi cha kwanza cha familia kuwa mwenyekiti (kuanzia 1929) wa kampuni ya uchimbaji madini ya almasi De Beers nchini Afrika Kusini, iliyoanzishwa na [[Cecil Rhodes]] mwaka 1888.<ref>[http://www.debeersgroup.com/en/our-story/our-history.html De Beers: "Our History"] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20180910094427/http://www.debeersgroup.com/en/our-story/our-history.html |date=10 September 2018 }} 2014</ref> Alisoma katika Shule ya Harrow na Christ Church, Oxford. Alicheza kriketi ya daraja la kwanza kwa Klabu ya Kriketi ya [[Chuo Kikuu cha Oxford]]. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Watu walio hai]] njydpqursnx2w3yxbg60hehsyallram Cordel Hyde 0 248697 1594897 2026-09-07T09:01:19Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594897 wikitext text/x-wiki '''Cordel Hyde''' (alizaliwa [[20 Agosti]] [[1973]]) ni [[mwanasiasa]] wa Belize pia ni Naibu Waziri mkuu wa sasa wa [[Belize]] tangu tarehe 16 Novemba 2020<ref>{{Cite web|title=P.U.P. Area Representatives Sworn In as Cabinet Ministers {{!}} Channel5Belize.com|url=https://edition.channel5belize.com/archives/211660|access-date=2020-11-19|language=en-US}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:waliozaliwa 1973]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] 7t680mnfwkahkjdt8wd6wxxqomcgcx1 Jannie Mouton 0 248698 1594898 2026-09-07T09:01:24Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Johannes "Jannie" Mouton''' (alizaliwa [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]], mwanzilishi wa PSG Group.<ref name="capetalk.co.za">{{cite web|url=http://www.capetalk.co.za/articles/1051/meet-jannie-mouton-the-richard-branson-of-stellenbosch|title=Meet Johannes Mouton, the "Richard Branson of Stellenbosch"|author=|date=|website=CapeTalk|access-date=14 May 2018}}</ref><ref name="whoswho1">{{cite web|url=http://whoswho.co.za/johannes-mout...' 1594898 wikitext text/x-wiki '''Johannes "Jannie" Mouton''' (alizaliwa [[1946]]) ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]], mwanzilishi wa PSG Group.<ref name="capetalk.co.za">{{cite web|url=http://www.capetalk.co.za/articles/1051/meet-jannie-mouton-the-richard-branson-of-stellenbosch|title=Meet Johannes Mouton, the "Richard Branson of Stellenbosch"|author=|date=|website=CapeTalk|access-date=14 May 2018}}</ref><ref name="whoswho1">{{cite web|url=http://whoswho.co.za/johannes-mouton-1074 |title=Jannie Mouton &#124; Who's Who SA |publisher=Whoswho.co.za |access-date=7 May 2017}}</ref> == Maisha ya Awali na Elimu == Mouton alizaliwa Carnarvon mwaka 1946, na alikulia huko. Alihitimu mwaka 1964. Alisomea shahada yake ya BCom (Hons) katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch, alifanya makala yake katika Coopers Brothers (sasa PricewaterhouseCoopers) na akafuzu kama mhasibu mwandishi mwaka 1973.<ref>{{cite web|url=http://www.biznews.com/interviews/2015/11/29/jannie-mouton-so-far-so-brilliant-now-its-up-to-psgs-youth-league/ |title=Jannie Mouton: Now it's up to PSG's "Youth League" |publisher=Biznews.com |date=29 November 2015 |access-date=7 May 2017}}</ref><ref name="howwemadeitinafrica1">{{cite web|author1=Kate Douglas|title=Meet the Boss: Jannie Mouton, founder, PSG|url=https://www.howwemadeitinafrica.com/meet-the-boss-jannie-mouton-founder-psg/|website=How We Made It In Africa|access-date=7 May 2017|date=13 February 2015}}</ref> == Kazi == Mouton alianza kazi kama mhasibu katika Federale Volksbeleggings mwaka 1973. Pia alifanya kazi kwa Veka na Kanhym. Mwaka 1982 alianzisha pamoja kampuni ya udalali Senekal, Mouton & Kitshoff. Mwaka 1987 alikua mkurugenzi msimamizi na alifukuzwa kazi mwaka 1995 akiwa na umri wa miaka 48. Mwaka huo huo yeye na mshirika wa biashara Chris Otto walipata udhibiti wa PAG Limited, ambayo baadaye ilibadilika kuwa PSG Group.<ref name="biznews1">{{cite web|url=http://www.biznews.com/leadership/2015/05/17/jannie-mouton-20-lessons-from-building-my-r44bn-business/ |title=Jannie Mouton: 20 lessons from building my R44bn business |publisher=Biznews.com |date=17 May 2015 |access-date=7 May 2017}}</ref><ref name="forbes1">{{cite web|url=https://www.forbes.com/profile/jannie-mouton/ |title=Jannie Mouton |work=Forbes |access-date=7 May 2017}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] [[Jamii:Watu walio hai]] s5nmfhjckrk2r7q5wm8saxn8g2r1ccm Michael Hutchinson 0 248699 1594899 2026-09-07T09:06:38Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594899 wikitext text/x-wiki '''Michael "Hutchy" Hutchinson''' ni mwanasiasa wa [[Belize]], pia ni aliyekuwa Waziri wa Nchi wa kazi, Serikali za mitaa na maendeleo ya vijijini.<ref>{{cite news|url=http://www.cananews.net/news/131/ARTICLE/21414/2008-02-12.html |title=New Belize PM names 16-member Cabinet |date=12 February 2008 |publisher=CANA News |accessdate=25 January 2010 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090227102121/http://www.cananews.net/news/131/ARTICLE/21414/2008-02-12.html |archivedate=February 27, 2009 }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] 3oyz61o1vgr1ikf90j0qsn7c2zqp36r Fred Hunter 0 248700 1594902 2026-09-07T09:14:05Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594902 wikitext text/x-wiki '''Frederick Hopkins “Fred” Hunter Sr. au Papi Freddy''' ([[1927]]–[[2020]]) alikuwa mwanasiasa wa [[Belize]]. Aliwakilisha jimbo la uchaguzi la Belize vijijini katika Baraza la wawakilishi la Belize tangu kuanzishwa kwake mwaka 1961 hadi mwaka 1984, aliposhindwa na mwanasiasa wa chama cha UDP, Sam Rhaburn.<ref>{{Cite web |title=7 News Belize |url=https://www.7newsbelize.com/sstory.php?nid=55920 |access-date=2025-02-13 |website=www.7newsbelize.com}}</ref><ref>{{Cite web |title=Frederick Hopkins Hunter |url=https://ambergriscaye.com/forum/ubbthreads.php/topics/547045/frederick-hopkins-hunter.html |access-date=2025-02-13 |website=Ambergris Caye Belize Message Board |language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1927]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 2020]] i14q72mkjdws3z8yfvpbfy3ws84amyb Alexander Albert Hunter 0 248701 1594903 2026-09-07T09:18:33Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594903 wikitext text/x-wiki '''Sir Alexander Albert Hunter,''' ([[21 Mei]] [[1920]] – [[27 Agosti]] [[1996]]) alikuwa mwanasiasa wa [[Belize]]. Alihudumu kama Spika wa Baraza la Wawakilishi tangu tarehe 8 Novemba 1974 hadi tarehe 27 Julai 1979.<ref name=":0">''The British Caribbean Who, What, why.'' Bell & Bain., 1955, Sied 539</ref><ref>{{Cite web |date=2024-03-06 |title=House of Representatives Belize - National Assembly |url=https://www.nationalassembly.gov.bz/house-of-representatives/ |access-date=2024-03-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240306110032/https://www.nationalassembly.gov.bz/house-of-representatives/ |archive-date=2024-03-06 }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1920]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 1996]] 0xwlmcy16xojx9sxii6whtl7ogiqg1y Patrice Motsepe 0 248702 1594904 2026-09-07T09:23:32Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Patrice Tlhopane Motsepe''' (alizaliwa [[28 Januari]] [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na msimamizi wa mpira wa miguu wa [[Afrika Kusini]] ambaye amehudumu kama rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Afrika ([[CAF]]) tangu [[2021]]. Utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 3.7 kufikia Juni 2026 kulingana na [[Forbes]].<ref>{{cite web|url=https://answersafrica.com/who-are-patrice-motsepes-children-thlopie-kgosi-and-kabelo.html|title=Who Are Pa...' 1594904 wikitext text/x-wiki '''Patrice Tlhopane Motsepe''' (alizaliwa [[28 Januari]] [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na msimamizi wa mpira wa miguu wa [[Afrika Kusini]] ambaye amehudumu kama rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Afrika ([[CAF]]) tangu [[2021]]. Utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 3.7 kufikia Juni 2026 kulingana na [[Forbes]].<ref>{{cite web|url=https://answersafrica.com/who-are-patrice-motsepes-children-thlopie-kgosi-and-kabelo.html|title=Who Are Patrice Motsepe's Children Thlopie, Kgosi and Kabelo?|date=18 June 2021 |accessdate= 24 May 2023}}</ref><ref>{{Cite web |date=2021-03-12 |title=South African tycoon Motsepe elected as African football supremo |url=https://www.rfi.fr/en/sports/20210312-south-african-tycoon-motsepe-elected-as-african-football-supremo |access-date=2024-01-05 |website=RFI |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |title=Patrice Motsepe: Africa's ninth richest person appointed Caf president {{!}} Goal.com |url=https://www.goal.com/en-us/news/patrice-motsepe-africas-ninth-richest-person-appointed-caf/bl3s8p4dafm51fmjkxs4va9q9 |access-date=2021-03-12 |website=www.goal.com}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni kubwa ya uchimbaji madini ya Afrika Kusini African Rainbow Minerals, ambayo ina maslahi katika dhahabu, metali za [[Feri (Chuma)|feri]], metali za kawaida, na [[platini]]. Motsepe anakaa kwenye bodi kadhaa za makampuni, na ni mwenyekiti asiye mtendaji wa Harmony Gold, kampuni ya 12 kwa ukubwa ya uchimbaji dhahabu duniani, na naibu mwenyekiti wa Sanlam. Pia anahudumu kwenye Bodi ya Wadhamini ya Jukwaa la Uchumi la Dunia. Motsepe alipata umiliki wa klabu ya mpira wa miguu [[Mamelodi Sundowns F.C.|Mamelodi Sundowns]] mwaka 2003. Mwaka 2013, alijiunga na The Giving Pledge, akiahidi kutoa nusu ya utajiri wake kwa miradi ya hisani. Mnamo Januari 2024, Motsepe alitajwa kuwa mtu wa tisa tajiri zaidi barani [[Afrika]] na mtu wa tatu tajiri zaidi nchini Afrika Kusini baada ya Johann Rupert na Nicky Oppenheimer na CNBC Africa pamoja na Koos Bekker, akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola bilioni 2.7. Mnamo Mei 2024, Motsepe aliorodheshwa kama mtu wa 1,175 tajiri zaidi duniani na [[Forbes]], akiwa na utajiri ulioripotiwa wa dola za Marekani bilioni 2.9.<ref>{{Cite web |title=Forbes Billionaires 2024 |url=https://www.forbes.com/billionaires/ |access-date=2024-05-01 |website=Forbes}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1962]] [[Jamii:Watu walio hai]] mgqpx4agb0pwwk0i43ucnyz0f228yvf Melvin Hulse 0 248703 1594905 2026-09-07T09:24:58Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594905 wikitext text/x-wiki '''Melvin Hulse''' ([[1947]] – [[5 Aprili]] [[2022]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa Belize, aliyezaliwa katika koloni la wakati huo la British Honduras.<ref>{{cite news|url=http://www.cananews.net/news/131/ARTICLE/21414/2008-02-12.html |title=New Belize PM names 16-member Cabinet |date=12 February 2008 |publisher=CANA News |accessdate=25 January 2010 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090227102121/http://www.cananews.net/news/131/ARTICLE/21414/2008-02-12.html |archivedate=27 February 2009 }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1947]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 2022]] 1ysmzbvrey9qros1jzn61f7g0j2ivth Florencio Marin 0 248704 1594908 2026-09-07T09:35:24Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594908 wikitext text/x-wiki '''Florencio Marin''' ni mwanasiasa mstaafu wa [[Belize]]. Akiwa mwanachama mkongwe wa chama cha Umoja wa Wananchi,Pia Marin alihudumu kama Naibu Waziri Mkuu chini ya George Cadle Price na pia kama Naibu Kiongozi wa Upinzani. <ref name="whoiswho">{{cite book |title=International Yearbook and Statesmen's Who's Who |date=1997 |publisher=Bowker-Saur; Routledge; Taylor & Francis Group |isbn=1857392205}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:waliozaliwa 1942]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] f63k7l0ei5k8kh3pgchi96ifwvhk0v5 Christo Wiese 0 248705 1594909 2026-09-07T09:36:30Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Christoffel Hendrik Wiese''' (alizaliwa [[10 Septemba]] [[1941]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa muda mrefu wa Shoprite na Pepkor. Pia alikuwa mwenyekiti na mwenyehisa mkubwa wa Steinhoff International hadi kuanguka kwake mnamo Desemba 2017. Akiwa amefunzwa kama wakili, Wiese aliingia katika biashara za rejareja mwaka 1981 alipopata udhibiti wa Pep Stores kutoka kwa jamaa. Ingawa sio mwenyehisa mku...' 1594909 wikitext text/x-wiki '''Christoffel Hendrik Wiese''' (alizaliwa [[10 Septemba]] [[1941]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa muda mrefu wa Shoprite na Pepkor. Pia alikuwa mwenyekiti na mwenyehisa mkubwa wa Steinhoff International hadi kuanguka kwake mnamo Desemba 2017. Akiwa amefunzwa kama wakili, Wiese aliingia katika biashara za rejareja mwaka 1981 alipopata udhibiti wa Pep Stores kutoka kwa jamaa. Ingawa sio mwenyehisa mkuu tena katika Shoprite au Pep, anabaki na maslahi makubwa katika makampuni yote mawili, pamoja na katika uchimbaji madini na mali zisizohamishika.<ref name=":0">{{Cite web |last=Minnaar |first=Kirsten |date=15 July 2024 |title=South African billionaire who nearly lost it all – and then rebuilt his wealth |url=https://dailyinvestor.com/business/57330/south-african-billionaire-who-nearly-lost-it-all-and-then-rebuilt-his-wealth/ |access-date=2024-12-18 |website=Daily Investor |language=en-ZA}}</ref><ref name=":1">{{Cite web |last=Brown |first=Abram |date=1 March 2016 |title=The Billionaire African Behind The Continent's Greatest Retail Empire |url=https://www.forbes.com/sites/abrambrown/2016/03/01/the-billionaire-african-behind-the-continents-greatest-retail-empire/?sh=14de17223a7a |access-date=2024-12-18 |website=Forbes |language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Watu walio hai]] jf8l259w0xcqd90iphz0mnuc5wavgnf Denis Malone 0 248706 1594910 2026-09-07T09:38:29Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594910 wikitext text/x-wiki '''Sir Denis Eustace Gilbert Malone''' ([[24 Novemba]] [[1922]] – [[2000]]) alikuwa mwanasheria wa Uingereza katika eneo la [[Visiwa vya Karibi|Karibiani]]. <ref>{{cite web|url=http://www.wycliffe.co.uk/wycliffe-hereos/|title=Distinguished Old Wycliffians|publisher=Wycliffe College|accessdate=2012-07-07|archive-date=2012-09-05|archive-url=https://web.archive.org/web/20120905081540/http://www.wycliffe.co.uk/wycliffe-hereos/|url-status=dead}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1922]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 2000]] hl675am245tih9l6sqxvpxlmkltwz85 Simeon López 0 248707 1594911 2026-09-07T09:43:35Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594911 wikitext text/x-wiki '''Simeon López''' alikuwa meya wa [[Belmopan]], mji mkuu wa [[Belize]] akiwa ni mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia cha Muungan(UDP); mnamo mwaka 2006, alichaguliwa kuwa meya na pia akawa makamu wa rais wa Chama cha Mameya cha Belize. <ref name="15results">[http://www.elections.gov.bz/modules/article_publish/?tac=RESULTS_4th_MARCH_2015" MUNICIPAL ELECTIONS OFFICIAL RESULTS 4th MARCH 2015] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150913001908/http://www.elections.gov.bz/modules/article_publish/?tac=RESULTS_4th_MARCH_2015 |date=2015-09-13 }}, Belize Elections and Boundaries Commission. (accessed 16 March 2015)</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] scjn8cf12jo4s45sb8a0auwpe4uqeni Adolfo Lizarraga 0 248708 1594912 2026-09-07T09:47:04Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594912 wikitext text/x-wiki '''Francisco Adolfo Lizarraga''' ([[26 Desemba]] [[1935]] – [[23 Novemba]] [[2012]]) alikuwa mwanasiasa wa [[Belize]] aliyehudumu muhula mmoja katika Baraza la Wawakilishi la Belize mnamo miaka ya 1970. Lizarraga alikuwa mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia cha Muungano. <ref name="nineteen74">[http://www.elections.gov.bz/modules/wfdownloads/visit.php?cid=14&lid=746 General Elections 1974] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20180513103753/http://www.elections.gov.bz/modules/wfdownloads/visit.php?cid=14&lid=746 |date=2018-05-13 }}, [[Belize Elections and Boundaries Commission]]. (accessed 19 November 2014)</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1935]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 2012]] sd98456vk3jcu6ef6n2iqftwu3vyf12 Majadiliano ya mtumiaji:Isackmsim 3 248709 1594913 2026-09-07T09:48:16Z AmmarBot 81277 Karibu 1594913 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 7 Septemba 2026 (UTC) t6jc7n4095cmi40sritxom7onfa8lko Majadiliano ya mtumiaji:Mipösultan 3 248710 1594914 2026-09-07T09:48:26Z AmmarBot 81277 Karibu 1594914 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 7 Septemba 2026 (UTC) t6jc7n4095cmi40sritxom7onfa8lko Majadiliano ya mtumiaji:Jt240400 3 248711 1594915 2026-09-07T09:48:36Z AmmarBot 81277 Karibu 1594915 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 7 Septemba 2026 (UTC) t6jc7n4095cmi40sritxom7onfa8lko Majadiliano ya mtumiaji:Hussein mohamed chuti 3 248712 1594916 2026-09-07T09:48:46Z AmmarBot 81277 Karibu 1594916 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 7 Septemba 2026 (UTC) t6jc7n4095cmi40sritxom7onfa8lko Majadiliano ya mtumiaji:Leoboudv 3 248713 1594917 2026-09-07T09:48:56Z AmmarBot 81277 Karibu 1594917 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 7 Septemba 2026 (UTC) t6jc7n4095cmi40sritxom7onfa8lko Majadiliano ya mtumiaji:Anyyaaaa 3 248714 1594918 2026-09-07T09:49:06Z AmmarBot 81277 Karibu 1594918 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 7 Septemba 2026 (UTC) bhfxog272edqbtcdo8hndstn8n7k0zq Majadiliano ya mtumiaji:Werekadimadouglas 3 248715 1594919 2026-09-07T09:49:16Z AmmarBot 81277 Karibu 1594919 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 7 Septemba 2026 (UTC) bhfxog272edqbtcdo8hndstn8n7k0zq Majadiliano ya mtumiaji:Zbutie3.14 3 248716 1594920 2026-09-07T09:49:43Z AmmarBot 81277 Karibu 1594920 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 7 Septemba 2026 (UTC) bhfxog272edqbtcdo8hndstn8n7k0zq Majadiliano ya mtumiaji:Youngmanzampanò 3 248717 1594921 2026-09-07T09:49:53Z AmmarBot 81277 Karibu 1594921 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 7 Septemba 2026 (UTC) bhfxog272edqbtcdo8hndstn8n7k0zq Majadiliano ya mtumiaji:John Paul Maro 3 248718 1594922 2026-09-07T09:50:03Z AmmarBot 81277 Karibu 1594922 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 7 Septemba 2026 (UTC) 72nitcrntpspqjmsgmmgsrxsocgovfp Majadiliano ya mtumiaji:Kihoro Gicheru 3 248719 1594923 2026-09-07T09:50:13Z AmmarBot 81277 Karibu 1594923 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 7 Septemba 2026 (UTC) 72nitcrntpspqjmsgmmgsrxsocgovfp Majadiliano ya mtumiaji:Jsengiyu0712 3 248720 1594924 2026-09-07T09:50:23Z AmmarBot 81277 Karibu 1594924 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 7 Septemba 2026 (UTC) 72nitcrntpspqjmsgmmgsrxsocgovfp Majadiliano ya mtumiaji:Qvasi 3 248721 1594925 2026-09-07T09:50:33Z AmmarBot 81277 Karibu 1594925 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 7 Septemba 2026 (UTC) 72nitcrntpspqjmsgmmgsrxsocgovfp Dean Lindo 0 248722 1594926 2026-09-07T09:51:03Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1594926 wikitext text/x-wiki '''Dean Russel Lindo''' ([[4 Septemba]] [[1932]] – [[17 Septemba]] [[2018]]) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa wa [[Belize]]. Lindo alikuwa mmoja wa waanzilishi wakuu wa Chama cha Kidemokrasia cha Muungano mwaka [[1973]] na alihudumu kama kiongozi wake wa kwanza tangu mwaka [[1974]] hadi [[1979]]. <ref name="cuf">[http://udp.org.bz/who-we-are/our-history/ "The United Democratic Party at 40"] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20140812223111/http://udp.org.bz/who-we-are/our-history/ |date=August 12, 2014 }}, [[United Democratic Party (Belize)|United Democratic Party]]. (accessed 18 March 2015)</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[jamii:waliozaliwa 1932]] [[jamii:Wanasiasa wa Belize]] [[jamii:waliofariki 2018]] dc1wexhv9votycf2a0dmor4ixsqlujp Magda Wierzycka 0 248723 1594927 2026-09-07T09:52:05Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Magdalena Franciszka Wierzycka''' (alizaliwa [[1969]] huko Gliwice, Polandi) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Polandi]] na [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanzilishi mwenza na Mkurugenzi Mtendaji wa Sygnia Ltd, kampuni ya huduma za kifedha. Yeye ni mwanamke tajiri zaidi nchini Afrika Kusini, na pia anajulikana kwa harakati zake za kupambana na rushwa. Mwaka 2020, jarida la [[Forbes]] lilimorodhesha kati ya "Wanawake 50 Wenye ushawishi Zaidi wa Afri...' 1594927 wikitext text/x-wiki '''Magdalena Franciszka Wierzycka''' (alizaliwa [[1969]] huko Gliwice, Polandi) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Polandi]] na [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanzilishi mwenza na Mkurugenzi Mtendaji wa Sygnia Ltd, kampuni ya huduma za kifedha. Yeye ni mwanamke tajiri zaidi nchini Afrika Kusini, na pia anajulikana kwa harakati zake za kupambana na rushwa. Mwaka 2020, jarida la [[Forbes]] lilimorodhesha kati ya "Wanawake 50 Wenye ushawishi Zaidi wa [[Afrika]]".<ref>{{Cite web|url=https://www.marketscreener.com/business-leaders/Magda-Wierzycka-06DK2X-E/biography/|title=Magdalena Franciszka Wierzycka - Biography|last=MarketScreener|website=www.marketscreener.com|language=en|access-date=2020-01-14}}</ref><ref name="Rębała">{{Cite web|url=https://www.wysokieobcasy.pl/wysokie-obcasy/7,158669,25797507,polka-najbogatsza-kobieta-w-rpa-stworzylam-wlasna-firme-by.html?disableRedirects=true|title=Polka najbogatszą kobietą w RPA. "Stworzyłam własną firmę, by mówić to, co chcę"|last=Rębała|first=Monika|date=2020-03-19|website=www.wysokieobcasy.pl|language=pl|access-date=2020-03-19}}</ref><ref>{{cite news|url=http://citizen.co.za/news/south-africa/1864837/billionaire-magda-wierzycka-bids-twitter-farewell-after-her-cyber-lynching/ |title=Billionaire Magda Wierzycka bids Twitter farewell after her cyber-lynching |publisher=The Citizen |access-date=2018-06-05}}</ref><ref>{{cite web|title=Magda Franciszka Wierzycka - Biography|url=http://www.4-traders.com/business-leaders/Magda-Wierzycka-06DK2X-E/biography/|website=www.4-traders.com|access-date=17 March 2018}}</ref><ref>{{cite web |title=Magdalena Franciszka Wierzycka: Executive Profile & Biography - Bloomberg |url=https://www.bloomberg.com/research/stocks/private/person.asp?personId=13481130&privcapId=226971382 |website=www.bloomberg.com |access-date=5 June 2018}}</ref><ref>{{Cite web|last=Africa|first=Forbes|date=2020-03-06|title=Africa's 50 Most Powerful Women|url=https://www.forbesafrica.com/cover-story/2020/03/06/africas-50-most-powerful-women/|access-date=2021-01-30|website=Forbes Africa|language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Polandi]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Watu walio hai]] q63nnf9s9m25asucoaqvfenvrmfjy11 Gavin Watson 0 248724 1594928 2026-09-07T09:54:21Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gavin Joseph Watson''' ( [[12 Julai]] [[1948]] – [[26 Agosti]] [[2019]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa Afisa Mkuu Mtendaji wa African Global Operations, iliyojulikana hapo awali kama Bosasa, kuanzia 2000 hadi kifo chake mwaka 2019.<ref>[https://www.news24.com/SouthAfrica/News/live-scene-of-horrific-car-crash-that-claimed-life-of-bosasa-executive-20190826 10 things we know so far after the death of Gavin Watson], N...' 1594928 wikitext text/x-wiki '''Gavin Joseph Watson''' ( [[12 Julai]] [[1948]] – [[26 Agosti]] [[2019]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]] ambaye alikuwa Afisa Mkuu Mtendaji wa African Global Operations, iliyojulikana hapo awali kama Bosasa, kuanzia 2000 hadi kifo chake mwaka 2019.<ref>[https://www.news24.com/SouthAfrica/News/live-scene-of-horrific-car-crash-that-claimed-life-of-bosasa-executive-20190826 10 things we know so far after the death of Gavin Watson], News24, 26 August 2019. Retrieved on 26 August 2019.</ref><ref>[https://www.enca.com/news/gavin-watson-killed-car-crash Gavin Watson killed in car crash] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20190904021119/https://www.enca.com/news/gavin-watson-killed-car-crash |date=4 September 2019 }}, eNCA, 26 August 2019. Retrieved on 26 August 2019.</ref> Kampuni yake ilihusishwa katika kukamata serikali wakati wa vikao vya mahakama mnamo Januari 2019.<ref name=statecapture1>[https://citizen.co.za/news/south-africa/state-capture/2071372/angelo-agrizzi-claims-gavin-watson-tried-to-buy-his-silence-with-r50m/ Angelo Agrizzi claims Gavin Watson tried to ‘buy his silence’ with R50m]. Retrieved on 26 August 2019.</ref><ref name=statecapture2>[https://citizen.co.za/news/south-africa/politics/2170385/bosasa-had-deep-relationship-with-anc-thus-donations-expert/ Bosasa had deep relationship with ANC, thus donations – expert]. Retrieved on 26 August 2019.</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1948]] [[Jamii:Waliofariki 2019]] rgmfr5wl2hiv0693yd12jgw9cpusoy7 Alioune Bâ 0 248725 1594929 2026-09-07T09:57:17Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594929 wikitext text/x-wiki '''Alioune Bâ''' ([[1 Januari]] [[1959]] – [[1 Julai]] [[2018]]) alikuwa mpiga picha kutoka nchini [[Mali]].<ref>"Alioune Ba". United States Department of State. Retrieved 2019-04-20.</ref><ref>"Bamako Revisited". Aperture Foundation. 21 February 2019. Retrieved 2019-04-20.</ref><ref>"Alioune Ba". Photography and Orality Dialogues in Bamako, Dakar and Elsewhere. Retrieved 28 December 2025.</ref> == Maisha na kazi == Bâ alizaliwa mjini Bamako. Alianza kufanya kazi katika Makumbusho ya Kitaifa ya Mali (Musée National du Mali)<ref>"Through the Lens". Aperture Foundation. 15 June 2017. Retrieved 2019-04-20.</ref> mwaka [[1983]]. Sanaa yake inalenga zaidi mwili wa mwanadamu,<ref>Moore, Allison (2 September 2014). "A lightness of vision: the poetics of Relation in Malian art photography". Social Dynamics. 40 (3): 538–555. doi:10.1080/02533952.2014.991181. ISSN 0253-3952. S2CID 143641830.</ref> hasa mikono na miguu ya watu anaowapiga picha. == Vitabu na machapisho == === Machapisho yake === * ''Alioune Ba Photographe''. Les Carnets de la Création. Montreuil, Ufaransa: De l Oeil, 1985. ISBN 978-2912415172. Pamoja na insha ya Claudie Rieu, "Le bruissement du monde". === Machapisho yaliyoshirikisha kazi zake === * ''Photographes de Bamako: de 1935 à nos jours''. Collection Soleil. Paris: Revue Noire, 1989. ISBN 978-2909571218. Picha na Bâ, Mountaga Dembélé, Seydou Keïta, Félix Diallo, Sakaly, AMAP, Emmanuel Daou, Abdourahmane Sakaly, Malick Sidibé, na wengineo. Pamoja na maandishi ya Érika Nimis. Kwa Kifaransa na Kiingereza. == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [https://www.google.com Maisha ya Alioune Bâ] [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Waliofariki 2018]] [[Jamii:Wasanii wa Mali]] [[Jamii:Watu wa Mali]] elbusbmiddcwhlxpajl1qpe4fcf3pho Desmond Sacco 0 248726 1594930 2026-09-07T10:00:43Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Desmond Sacco''' ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]]. Anahudumu kama Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa Assore Limited ({{JSE|ASR}}). == Maisha ya Awali == Desmond Sacco alizaliwa [[Johannesburg]], Afrika Kusini. Baba yake, Guido Sacco, alianzisha Assore Group mwaka 1928. Alipokea Shahada ya Sayansi katika Jiolojia kutoka [[Chuo Kikuu cha Witwatersrand]], ambako alicheza kriketi na magongo.<ref name="rocksandminerals">Bruce Cairncross, [h...' 1594930 wikitext text/x-wiki '''Desmond Sacco''' ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]]. Anahudumu kama Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa Assore Limited ({{JSE|ASR}}). == Maisha ya Awali == Desmond Sacco alizaliwa [[Johannesburg]], Afrika Kusini. Baba yake, Guido Sacco, alianzisha Assore Group mwaka 1928. Alipokea Shahada ya Sayansi katika Jiolojia kutoka [[Chuo Kikuu cha Witwatersrand]], ambako alicheza kriketi na magongo.<ref name="rocksandminerals">Bruce Cairncross, [http://www.tandfonline.com/doi/abs/10.1080/00357529.2012.708615?journalCode=vram20#.U1eS-FdBYpQ The Mineral Collection of Desmond Sacco, Johannesburg, South Africa], ''[[Rocks & Minerals]]'', Volume 87, Issue 5, 2012, pp. 410-417</ref><ref name="forbes">{{Cite news|url=https://www.forbes.com/profile/desmond-sacco/|title=Desmond Sacco|work=Forbes|access-date=2018-01-11|language=en}}</ref><ref>[http://www.miningweekly.com/article/two-maestros-of-manganese-2000-04-07 Two maestros of manganese], ''[[Mining Weekly]]'', April 7, 2000</ref><ref name="janemarais">Jane Marais, [http://www.timeslive.co.za/business/2010/12/04/the-billionaires-are-back The Billionaires are back], ''[[The Times (South Africa)|The Times]]'', December 04, 2010</ref><ref name="bloomberg">{{Cite web|url=https://www.bloomberg.com/markets/stocks|title=Stocks|website=Bloomberg.com|access-date=2018-01-11}}</ref><ref name="assore">{{Cite web|url=http://www.assore.com/financials/2013annualreport/?page_id=267#&panel1-1|title=Board of directors {{!}} Assore|website=www.assore.com|language=en-US|access-date=2018-01-11}}</ref> == Kazi == Mwaka 1968, Sacco alijiunga na Assore Group, kampuni ya umma inayouzwa kwenye Soko la Hisa la Johannesburg iliyoanzishwa na baba yake miongo minne iliyopita. Aliteuliwa katika bodi yake ya wakurugenzi mwaka 1974, na amehudumu kama Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wake tangu 1992. Pia anahudumu kama Mwenyekiti wa Assmang Limited.<ref>{{Cite web |url=http://www.assmang.co.za/executive.asp |title=Assmang Board of Directors |access-date=2014-04-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20140507214709/http://www.assmang.co.za/executive.asp |archive-date=2014-05-07 |url-status=dead }}</ref> Sacco alikuwa na utajiri wa dola za Marekani bilioni 1.1 mwaka 2018. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] pqfut81df7pu3obei53mja4r8v6fn7h 1594931 1594930 2026-09-07T10:01:11Z Ally0111 85292 1594931 wikitext text/x-wiki '''Desmond Sacco''' ni [[mfanyabiashara]] nchini [[Afrika Kusini]]. Anahudumu kama Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa Assore Limited. == Maisha ya Awali == Desmond Sacco alizaliwa [[Johannesburg]], Afrika Kusini. Baba yake, Guido Sacco, alianzisha Assore Group mwaka 1928. Alipokea Shahada ya Sayansi katika Jiolojia kutoka [[Chuo Kikuu cha Witwatersrand]], ambako alicheza kriketi na magongo.<ref name="rocksandminerals">Bruce Cairncross, [http://www.tandfonline.com/doi/abs/10.1080/00357529.2012.708615?journalCode=vram20#.U1eS-FdBYpQ The Mineral Collection of Desmond Sacco, Johannesburg, South Africa], ''[[Rocks & Minerals]]'', Volume 87, Issue 5, 2012, pp. 410-417</ref><ref name="forbes">{{Cite news|url=https://www.forbes.com/profile/desmond-sacco/|title=Desmond Sacco|work=Forbes|access-date=2018-01-11|language=en}}</ref><ref>[http://www.miningweekly.com/article/two-maestros-of-manganese-2000-04-07 Two maestros of manganese], ''[[Mining Weekly]]'', April 7, 2000</ref><ref name="janemarais">Jane Marais, [http://www.timeslive.co.za/business/2010/12/04/the-billionaires-are-back The Billionaires are back], ''[[The Times (South Africa)|The Times]]'', December 04, 2010</ref><ref name="bloomberg">{{Cite web|url=https://www.bloomberg.com/markets/stocks|title=Stocks|website=Bloomberg.com|access-date=2018-01-11}}</ref><ref name="assore">{{Cite web|url=http://www.assore.com/financials/2013annualreport/?page_id=267#&panel1-1|title=Board of directors {{!}} Assore|website=www.assore.com|language=en-US|access-date=2018-01-11}}</ref> == Kazi == Mwaka 1968, Sacco alijiunga na Assore Group, kampuni ya umma inayouzwa kwenye Soko la Hisa la Johannesburg iliyoanzishwa na baba yake miongo minne iliyopita. Aliteuliwa katika bodi yake ya wakurugenzi mwaka 1974, na amehudumu kama Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wake tangu 1992. Pia anahudumu kama Mwenyekiti wa Assmang Limited.<ref>{{Cite web |url=http://www.assmang.co.za/executive.asp |title=Assmang Board of Directors |access-date=2014-04-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20140507214709/http://www.assmang.co.za/executive.asp |archive-date=2014-05-07 |url-status=dead }}</ref> Sacco alikuwa na utajiri wa dola za Marekani bilioni 1.1 mwaka 2018. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] se7tuy8jhu3k20ijl3db1oqbjyrz089 Stephen Saad 0 248727 1594933 2026-09-07T10:04:18Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Stephen Bradley Saad''' (alizaliwa [[Juni]] [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa Aspen Pharmacare , mzalishaji mkubwa zaidi wa dawa za asili barani [[Afrika]].<ref>{{cite web|url=https://beta.companieshouse.gov.uk/officers/E-asRzxkSRGMtPnLIVewsBVSOR0/appointments |title=Stephen Bradley SAAD – Personal Appointments (free information from Companies House) |publisher=Beta.compa...' 1594933 wikitext text/x-wiki '''Stephen Bradley Saad''' (alizaliwa [[Juni]] [[1964]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa Aspen Pharmacare , mzalishaji mkubwa zaidi wa dawa za asili barani [[Afrika]].<ref>{{cite web|url=https://beta.companieshouse.gov.uk/officers/E-asRzxkSRGMtPnLIVewsBVSOR0/appointments |title=Stephen Bradley SAAD – Personal Appointments (free information from Companies House) |publisher=Beta.companieshouse.gov.uk |date= |accessdate=23 June 2017}}</ref><ref name="andrewengland">Andrew England, [http://www.ft.com/intl/cms/s/0/3b36fa8a-4d27-11e3-bf32-00144feabdc0.html#axzz2zfSiD34C South Africa’s dose of big pharma], ''[[Financial Times]]'', 17 November 2013</ref><ref name="calebmelby">Caleb Melby, [https://www.forbes.com/sites/calebmelby/2012/12/17/south-african-pharma-entrepreneur-stephen-saad-joins-the-billionaires-club/ South African Pharma Entrepreneur Stephen Saad Joins The Billionaires' Club], ''[[Forbes]]'', 17 December 2012</ref><ref name="dhsfoundation">{{Cite web|url=http://www.dhsfoundation.co.za/about-us/dhs-foundation-board-of-trustees/26-about-us/the-trustees/89-stephen-saad|title=DHS Foundation {{!}} DHS school community of Old Boys|last=Foundation|first=DHS|website=www.dhsfoundation.co.za|language=en|access-date=2017-09-12}}</ref> == Maisha ya Awali == Stephen Bradley Saad alizaliwa mnamo Juni 1964 katika familia ya Walebanon, na alikulia [[Durban]], Afrika Kusini. Alihudhuria Shule ya Upili ya Durban huko Durban. Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Natal, ambako alipokea Shahada ya Biashara. Alicheza raga nchini [[Eire]] na alisoma kuwa mhasibu mwandishi. == Kazi == Alianza kazi yake katika Quickmed, kampuni ya usambazaji wa dawa kwa maagizo katika matauni ya watu weusi wakati wa ubaguzi wa rangi. Akiwa na umri wa miaka ishirini na tisa, aliuza hisa yake katika Covan Zurich kwa dola za Marekani milioni 3, na hivyo kuwa milionea.<ref name="forbes">{{Cite news|url=https://www.forbes.com/profile/stephen-saad/|title=Stephen Saad|work=Forbes|access-date=2017-09-12|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1964]] [[Jamii:Watu walio hai]] gfquvr3w6q2soq96waoka2pb5yzk9zv Chris Seydou 0 248728 1594934 2026-09-07T10:04:36Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594934 wikitext text/x-wiki '''Seydou Nourou Doumbia''', aliyejulikana zaidi kama '''Chris Seydou''' ([[18 Mei]] [[1949]] – [[4 Machi]] [[1994]]), alikuwa mbunifu wa mavazi kutoka nchini [[Mali]] aliyejulikana kwa matumizi yake ya vitambaa vya asili vya Mali, hasa bògòlanfini (kitambaa cha loya/matope). == Maisha na kazi == Alizaliwa huko Kati katika Mkoa wa Koulikoro nchini Mali. Seydou alitumia sehemu ya utoto wake jijini Ouagadougou (sasa mji mkuu wa [[Burkina Faso]]) kabla ya kurejea Kati pamoja na mama yake mwaka [[1963]]. Hata wakati wa utoto wake, alikuwa akitengeneza na kubuni nguo za wanasesere, na mwaka [[1965]], akawa mwanafunzi wa mshonaji Cheickene Camara huko Kati. Mwaka [[1967]], alirejea Ouagadougou ambako alifungua duka lake la kwanza la ushonaji. Hivi karibuni alihamia Abidjan ([[1969]]) na kisha Paris ([[1971]]), ambako alifanya kazi kwanza kwa Yves Saint-Laurent na baadaye Mic Mac pamoja na mbunifu Tan Guidicelli. Katika kipindi hicho, alikutana pia na mbunifu Paco Rabanne. Baada ya kuondoka mwaka [[1981]], Seydou alihamia tena Abidjan ambako alianzisha mfululizo wake wa nguo uitwao Chris Seydou. Kwa mfululizo huo mpya, Seydou alibuni jaketi na sketi fupi za mtindo wa Magharibi kwa kutumia miundo na vitambaa vya asili vya Afrika, akitangaza nguo hizo nchini Marekani, Ulaya na miji ya Afrika Magharibi. Ubunifu wake unajulikana sana kwa kuwa wa kwanza kutumia kitambaa cha asili cha bògòlanfini kilichotiwa rangi ya matope. Seydou alirejea Mali mwaka [[1990]] na kuwa rafiki wa karibu wa aliyekuja kuwa Rais Alpha Oumar Konaré. Mwaka [[1993]], alianzisha Taasisi ya Wabunifu wa Mavazi wa Afrika (African Foundation of Fashion Designers), lakini alifariki dunia mwaka [[1994]] akiwa na umri wa miaka 44 jijini Bamako kwa ugonjwa wa UKIMWI. Atelier Chris Seydou, kundi la washonaji waliofanya naye kazi hapo awali, wanaendelea kutengeneza mfululizo wa nguo za bògòlanfini jijini Bamako. == Marejeo == *[https://web.archive.org/web/20050319015843/http://www.revuenoire.com/anglais/S13.html Revue noire n°13] (June 1994) == Viungo vya nje == * [https://www.si.edu Tovuti ya Smithsonian kuhusu bògòlanfini] [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Waliofariki 1994]] [[Jamii:Wasanii wa Mali]] [[Jamii:Watu wa Mali]] 4uawm1pa8k1nls2hasdojqc34nkrr9s Nouhou Tolo 0 248729 1594936 2026-09-07T10:08:11Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594936 wikitext text/x-wiki [[Faili:Nouhou Tolo NYCFC.Seattle.18.Oct.2025-048 (cropped).jpg|thumb|Nouhou Tolo]] '''Nouhou Tolo''' (tamka: /ˈnuːhuː ˈtoʊloʊ/; alizaliwa [[23 Juni]] [[1997]]), ambaye wakati mwingine hujulikana kwa jina moja kama Nouhou, ni [[mchezaji]] wa soka wa kulipwa kutoka [[Kamerun|Kameruni]] anayocheza nafasi ya beki wa kushoto katika klabu ya Seattle Sounders FC inayoshiriki Major League Soccer, na ni [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya Kameruni. Aliiwakilisha Kameruni katika [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2021 na [[Kombe la Dunia la FIFA]] 2022. == Kazi ya klabu == Nouhou alianza taaluma yake mwaka [[2015]] katika Rainbow Bamenda, ambako alicheza kwa msimu mmoja. Mzozo wa kimkataba kuhusu umiliki wa haki zake kati ya timu nchini Kameruni ulizuia kwa muda uhamisho wake kwenda [[Marekani]], lakini mwezi [[Aprili]] 2016, Nouhou alisaini na Seattle Sounders FC 2. Alicheza jumla ya [[mechi]] 24 za ligi na kuwa mchezaji aliyeongoza timu kwa dakika alizocheza. Nouhou alisaini na Seattle Sounders FC tarehe [[26 Januari]] [[2017]], akipata mkataba wa kikosi cha kwanza baada ya kufanya vizuri akiwa na S2 mwaka 2016, kwa mujibu wa Meneja Mkuu Garth Lagerwey. Nouhou alifunga bao lake la kwanza la kitaaluma alipokuwa kwa mkopo katika S2 tarehe 15 Aprili 2017, akifunga bao la pili katika ushindi wa 2–1 ugenini dhidi ya LA Galaxy II. == Kazi ya kimataifa == Mwezi [[Februari]] 2017, Nouhou aliitwa kuiwakilisha Kameruni U-20 katika Kombe la Mataifa ya Afrika U-20 2017 nchini [[Zambia]]. Nouhou alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya U-20 tarehe 27 Februari 2017, akianza kama beki wa kushoto katika kichapo cha 3–1 dhidi ya [[Afrika Kusini]] katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya mashindano hayo. Nouhou alicheza mechi yake ya kwanza katika timu ya taifa ya Kameruni katika sare ya 2–2 dhidi ya Zambia kwenye mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA [[2018]] tarehe [[11 Novemba]] 2017. Tarehe [[9 Novemba]] 2022, Nouhou alijumuishwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 26 cha Kameruni kwa ajili ya Kombe la Dunia la FIFA 2022 nchini [[Qatar]]. Alianza katika michezo yote mitatu ya timu yake, ikiwemo ushindi wa kihistoria wa 1–0 dhidi ya [[Brazil]]. Tarehe 28 Desemba [[2023]], alijumuishwa katika orodha ya wachezaji 27 wa Kameruni waliochaguliwa na [[kocha]] Rigobert Song kushiriki katika Kombe la Mataifa ya Afrika 2023. Nouhou pia alijumuishwa katika orodha ya wachezaji wa Kameruni waliochaguliwa na kocha David Pagou kushiriki katika Kombe la Mataifa ya Afrika [[2025]]. == Mafanikio == Seattle Sounders * MLS Cup: 2019 * CONCACAF Champions League: 2022 * Leagues Cup: 2025 Kameruni * Kombe la Mataifa ya Afrika: Nafasi ya tatu, 2021 Binafsi * MLS All-Star: 2021 * CONCACAF Champions League Best XI: 2022 <ref>https://www.soundersfc.com/news/sounders-fc-signs-defender-nouhou-tolo</ref><ref>https://www.seattletimes.com/sports/sounders/sounders-sign-cameroonian-defender-nouhou-tolo/</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/69292/Nouhou_Tolo.html</ref><ref>https://www.soundersfc.com/news/seattle-times-sounders-teammates-nouhou-and-handwalla-bwana-use-family-and-faith</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Kameruni]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} gj4sefap91f9ika33g1uvlnbvv617hh Johann Rupert 0 248730 1594937 2026-09-07T10:09:03Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Johann Peter Rupert''' (alizaliwa [[1 Juni]] [[1950]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], ambaye ni mtoto mkubwa wa tajiri [[Anton Rupert]] na mke wake Huberte. Yeye ni mwenyekiti wa kampuni ya bidhaa za kifahari ya [[Uswisi]] Richemont na kampuni ya Afrika Kusini Remgro.<ref name="Forbes2024">{{Cite web |title=Johann Rupert & family |url=https://www.forbes.com/profile/johann-rupert/ |access-date=2025-12-04 |website=Forbes |langua...' 1594937 wikitext text/x-wiki '''Johann Peter Rupert''' (alizaliwa [[1 Juni]] [[1950]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Afrika Kusini]], ambaye ni mtoto mkubwa wa tajiri [[Anton Rupert]] na mke wake Huberte. Yeye ni mwenyekiti wa kampuni ya bidhaa za kifahari ya [[Uswisi]] Richemont na kampuni ya Afrika Kusini Remgro.<ref name="Forbes2024">{{Cite web |title=Johann Rupert & family |url=https://www.forbes.com/profile/johann-rupert/ |access-date=2025-12-04 |website=Forbes |language=en}}</ref> Hapo awali alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Compagnie Financiere Richemont. Rupert na familia yake waliorodheshwa katika nafasi ya pili kwa utajiri nchini Afrika Kusini; nyuma ya [[Elon Musk]]; kwenye orodha ya [[Forbes]] ya 2025, akiwa na utajiri unaokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 16.3, au dola bilioni 19.3 kulingana na Bloomberg Billionaires Index. == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wafanyabiashara wa Uswisi]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Watu walio hai]] lg4l6n4pc7bc91kz1bsh0yzuqslpzvt Jellal Ben Abdallah 0 248731 1594938 2026-09-07T10:10:29Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594938 wikitext text/x-wiki '''Jellal Ben Abdallah''' ([[26 Mei]] [[1921]] – [[9 Novemba]] [[2017]]) alikuwa mchoraji kutoka nchini [[Tunisia]]. Michoro yake mitatu ipo katika mkusanyiko wa kudumu wa Mathaf: Makumbusho ya Kiarabu ya Sanaa ya Kisasa huko Doha, Qatar.<ref>Othmani, Beya. "Jellal Ben Abdallah". Mathaf: Arab Museum of Modern Art. Retrieved 31 January 2026.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1921]] [[Jamii:Waliofariki 2017]] [[Jamii:Wasanii wa Tunisia]] [[Jamii:Watu wa Tunisia]] 0nzefb0ic7s2nn3fva97w3rlkgpcmcl Xandria Kawanga 0 248732 1594939 2026-09-07T10:13:22Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594939 wikitext text/x-wiki '''Chikondi Kawanga''', pia anajulikana kama '''"Xandria"''', ni mbunifu wa mavazi kutoka nchini [[Malawi]], anayefanya kazi zake jijini Lilongwe, Malawi. Anajulikana sana kwa kuwa kinara wa mtindo wa mavazi jumuishi kwa makundi yaliyotengwa, kwa kutengeneza mavazi yanayofaa na kuendana na watu wenye ulemavu (adaptive fashion).<ref>Daza, Chikondi (2023-10-24). "Persons with disabilities have right to showcase their talents – MACOHA Malawi 24 | Latest News from Malawi". Malawi 24. Retrieved 2026-02-03.</ref><ref>Malawian fashion brand pioneers inclusivity. Retrieved 2026-02-03 – via www.dw.com.</ref><ref>In a First, Disabled Malawi Fashion Designers Show Off Their Creations. 2021-09-07. Retrieved 2026-02-03 – via www.voanews.com.</ref> == Maisha ya kitaalamu == Ni mwanzilishi na mkurugenzi wa ubunifu wa House of Xandria, nyumba ya ubunifu wa mavazi iliyopo nchini Malawi inayotengeneza nguo za kupima na za kuvaa moja kwa moja kwa wanaume na wanawake. Alianzisha Xandria mnamo Novemba [[2015]] akiwa na umri wa miaka 18, muda mfupi baada ya kuhitimu kutoka Chuo Kikuu cha Eastern Africa, Baraton (Kampasi ya Chuo Kikuu cha Malawi Adventist). Mbali na kuwa kinara wa mavazi kwa watu wenye ulemavu nchini Malawi, mpango unaohamasisha ujumuishwaji katika tasnia ya mavazi, pia ni mtetezi wa tasnia ya mavazi nchini humo.<ref>Reporter, Nyasa Times (2020-05-13). "Unavailability of fabrics affecting prices and creativity of Malawi fashion designs - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi". www.nyasatimes.com. Retrieved 2026-02-03.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Malawi]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Watu wa Malawi]] c9dorvrfkco5w15kr1ntj3mvmvcfcqi Anton Rupert 0 248733 1594940 2026-09-07T10:16:10Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Anthony Edward Rupert''' ( [[4 Oktoba]] [[1916]] – [[18 Januari]] [[2006]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mhifadhi nchini [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa tarehe 4 Oktoba 1916 na alikulia katika mji mdogo wa Graaff-Reinet katika Mkoa wa Mashariki wa Cape wa Muungano wa Afrika Kusini. Alisoma Pretoria na hatimaye alihamia Stellenbosch, ambako alianzisha Rembrandt Group na ambako makao yake makuu bado yapo leo<ref>[http://www.remgro.co.za www.remgro.co.za...' 1594940 wikitext text/x-wiki '''Anthony Edward Rupert''' ( [[4 Oktoba]] [[1916]] – [[18 Januari]] [[2006]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] na mhifadhi nchini [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa tarehe 4 Oktoba 1916 na alikulia katika mji mdogo wa Graaff-Reinet katika Mkoa wa Mashariki wa Cape wa Muungano wa Afrika Kusini. Alisoma Pretoria na hatimaye alihamia Stellenbosch, ambako alianzisha Rembrandt Group na ambako makao yake makuu bado yapo leo<ref>[http://www.remgro.co.za www.remgro.co.za] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20060104172111/http://www.remgro.co.za/ |date=4 January 2006}}</ref>. Alifariki nyumbani kwake katika Mtaa wa Thibault, [[Stellenbosch]] akiwa na umri wa miaka 89. Baada ya kuacha shule ya udaktari kutokana na ukosefu wa fedha, Rupert alipata shahada ya kemia katika Chuo Kikuu cha Pretoria, ambako pia alifundisha kwa muda mfupi. Baadaye, alianza biashara ya kukausha nguo. Muda baadaye, kwa uwekezaji wa awali wa £10 na pamoja na wawekezaji wenzake wawili, alianza kutengeneza sigara katika karakana yake, ambayo hatimaye aliijenga kuwa shirika la makampuni ya tumbaku na viwanda Rembrandt Group, akisimamia mpito wake kwa sekta za viwanda na bidhaa za kifahari, na Rembrandt hatimaye kugawanyika kuwa Remgro (kampuni ya uwekezaji yenye maslahi ya kifedha, madini na viwanda) na Richemont (kikundi cha bidhaa za kifahari cha Uswizi). Kwa sasa, himaya hii ya biashara inajumuisha mamia ya makampuni yaliyo katika nchi 35 kwenye mabara sita, yenye mauzo ya kila mwaka ya jumla ya takriban dola za Marekani bilioni 10.<ref name="Enc01">{{Cite book|last=Joyce|first=Peter|url=https://archive.org/details/southafricanfami0000joyc|title=The South African family encyclopaedia|date=1989|publisher=Cape Town : Struik Publishers|others=Internet Archive|isbn=978-0-86977-887-6}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanaume wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1916]] [[Jamii:Waliofariki 2006]] tdf9o6l83lg5a4qtcufcg0o472gz9rp Ifeoma Chukwuogo 0 248734 1594941 2026-09-07T10:16:39Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594941 wikitext text/x-wiki '''Ifeoma Nkiruka Chukwuogo''' (amezaliwa [[13 Juni]] [[1992]]) ni mtayarishaji na mwongozaji wa filamu kutoka nchini [[Nigeria]]. Anajulikana kwa filamu yake ya ''Phoenix Fury'' ([[2024]]), filamu iliyomwezesha kushinda tuzo ya Mwongozaji Bora katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Afrika (AFRIFF) mwaka [[2024]].<ref>"AFRIFF 2024: 'Phoenix Fury' emerges star winner of 13th Globe awards". Premium Times. Retrieved 29 March 2026.</ref> == Maisha ya awali == Chukwuogo alitayarisha filamu yake ya kwanza fupi mwaka [[2013]], lakini alianza kazi ya kitaalamu mwaka [[2015]] baada ya kuhitimu kutoka chuo cha filamu. Aliongoza filamu ya ''Bariga Sugar'', inayochukuliwa kama kazi yake ya kwanza rasmi kutayarishwa.<ref>"Native 11: Ifeoma". The NATIVE. 10 May 2021. Retrieved 29 March 2026.</ref> == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [[imdbname:8848773|Ifeoma Chukwuogo]] kwenye IMDb [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] 5jrztteuj2wjedbrad6v4htbjhkpskm Mounir Chouiar 0 248735 1594942 2026-09-07T10:19:37Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594942 wikitext text/x-wiki [[Faili:RC Lens - FC Metz (09-02-2019) 87.jpg|thumb|Mounir Chouiar]] '''Mounir Chouiar''' (Kiarabu: منير شویعر; alizaliwa [[23 Januari]] [[1999]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa anayeichezea klabu ya RS Berkane inayoshiriki Botola Pro. Akiwa hasa winga wa kushoto, anajulikana kwa uwezo wake wa kupiga krosi. Alizaliwa nchini [[Ufaransa]] na anaiwakilisha [[timu ya taifa]] ya Moroko A'. == Kazi ya klabu == Chouiar alicheza [[mechi]] yake ya kwanza katika ngazi ya kitaaluma akiwa na Lens katika sare ya 0–0 ya Ligue 2 dhidi ya Niort tarehe [[29 Julai]] 2016. Tarehe [[8 Julai]] [[2022]], Chouiar alihamia İstanbul Başakşehir nchini [[Uturuki]]. Tarehe 28 Januari [[2023]], alipelekwa kwa mkopo katika Kasımpaşa. Tarehe [[5 Septemba]] [[2023]], Chouiar alisaini na mabingwa wa First League ya Bulgaria, Ludogorets Razgrad. Mwezi Januari [[2024]], alijiunga na klabu ya Ligue 2, Amiens, kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Mwaka 2025, Chouiar alijiunga na RS Berkane. == Kazi ya kimataifa == Chouiar alizaliwa nchini Ufaransa akiwa [[mtoto]] wa baba mwenye asili ya Mauritania na mama mwenye asili ya [[Moroko]]. Aliwahi kuiwakilisha Ufaransa katika ngazi za vijana. Tarehe 2 Desemba 2025, ombi lake la kubadili utii wa kimataifa na kuiwakilisha Moroko katika Kombe la FIFA Arabu 2025 liliidhinishwa na FIFA. == Maisha binafsi == Akiwa amezaliwa nchini Ufaransa, Chouiar ana asili ya Moroko na [[Mauritania]]. == Mafanikio == RS Berkane * Mshindi wa pili wa Botola Pro: 2025–26 * Mshindi wa pili wa CAF Super Cup: 2025 Moroko A' * Kombe la FIFA Arabu: 2025 <ref>https://www.lequipe.fr/fiche/mounir-chouiar/196886</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/chouiar-mounir/APB0nCJs/</ref><ref>https://www.fff.fr/equipe-nationale/joueur/8960-chouiar-mounir/fiche.html</ref><ref>https://web.archive.org/web/20180212091850/http://www.ligue1.com/joueur/chouiar-mounir</ref> == Marejeo == <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1999]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Moroko]] [[Jamii:Watu walio hai]] jodg6nf5o6g9v8cydezs5eqqzpm414y Jude Johnson 0 248736 1594943 2026-09-07T10:20:46Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594943 wikitext text/x-wiki '''Jude Okwudiafor Johnson''' ni mtengenezaji wa filamu, mwandishi, mtayarishaji, na muigizaji mwenye asili ya Nigeria na Marekani, anayejulikana kwa kutayarisha filamu ndefu zinazolenga imani ya Kikristo. Yeye ni mwanzilishi wa Anchor Media Studios. Filamu yake ya kwanza ndefu, ''Freshman Year'', iliyotoka mwaka [[2019]], ilipata mafanikio makubwa katika kipengele cha Imani na Ucha Mungu kwenye mtandao wa Netflix.<ref>McAllister, Toni (22 August 2019). "'Freshman' Filmmaker From Dublin Walking Red Carpet In San Ramon". Patch. Retrieved 3 December 2025.</ref><ref>Dowd, Cooper (2023-07-18). "FRESHMAN YEAR Review". Movieguide | The Family Guide to Movies & Entertainment. Retrieved 2025-12-03.</ref> == Elimu na kazi == Johnson alizaliwa nchini [[Nigeria]] na kuhamia nchini [[Marekani]] mnamo mwaka [[1987]]. Alipata shahada ya bachelor katika biashara kutoka Chuo Kikuu cha San Jose State na shahada ya uzamili ya usimamizi wa biashara (MBA) kutoka Chuo Kikuu cha Colorado Christian. Johnson alifanya kazi kama mhasibu aliyeidhinishwa (CPA) kabla ya kubadilisha fani yake na kuingia kwenye utengenezaji wa filamu. Mnamo mwaka [[2019]], alitoa filamu yake ya kwanza ya Kikristo iitwayo ''Freshman Year''. Filamu hiyo ilipokea tuzo katika tamasha la Vegas Movie Award na kupewa heshima kutoka Mashindano ya Filamu ya Chama cha Vyombo vya Habari vya Kikristo (Christian Media Association Film Contest) pamoja na Tamasha la Filamu la Inspired Faith, huku ikiingia kwenye 10 Bora za kipengele cha Imani na Ucha Mungu kwenye Netflix.<ref>"Winning Films 2019". GOD COUNTRY FAMILY CHRISTIAN FILM FESTIVAL. Retrieved 2025-12-03.</ref> Mnamo mwaka [[2023]], alitoa filamu ya muendelezo iitwayo ''Senior Year: Love Never Fails''. Filamu ya ''Senior Year: Love Never Fails'' ilishinda Tuzo ya Chaguo la Mashabiki (Audience Choice Award) katika Tamasha la Kimataifa la Filamu za Kikristo.<ref>Dowd, Cooper (2023-07-18). "SENIOR YEAR: LOVE NEVER FAILS Review". Movieguide | The Family Guide to Movies & Entertainment. Retrieved 2025-12-03.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] 4gfab5qrojp7bc5nk6xpibmkvfjmk72 Jack'enneth Opukeme 0 248737 1594944 2026-09-07T10:26:48Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594944 wikitext text/x-wiki '''Jack'enneth Opukeme''' ni mwandishi, mwigizaji, na mwongozaji wa filamu kutoka nchini [[Nigeria]]. Anajulikana kwa kazi zake za filamu kama vile ''Adire'', ''Farmer’s Bride'', na ''Aba Blues''. == Maisha ya awali na kazi == Opukeme aliandika mswada wa filamu ya ''Adire'' ([[2023]]).<ref>"FilmOne wraps shoot of debut original 'Adire'". Pulse Nigeria. 4 August 2022. Retrieved 31 March 2026.</ref> Mnamo mwaka [[2026]], filamu yake ya ''Aba Blues'' ilizinduliwa tarehe [[15 Machi]] [[2026]] jijini Lagos, Nigeria.<ref>Lasisi, Seyi (17 March 2026). "Jack'enneth Opukeme 's "Aba Blues" and the Conversations around Extractive Cinema". The Culture Custodian. Retrieved 31 March 2026.</ref> == Filamu == === Filamu alizoongoza === * ''Battle on Buka Street'' ([[2022]]) * ''Farmer's Bride'' ([[2024]])<ref>"Jack'enneth Opukeme Returns with "Farmer's Bride" Starring Tobi Bakre, Efe Irele & Mercy Aigbe". BellaNaija. 9 July 2024. Retrieved 31 March 2026.</ref> * ''Aba Blues'' ([[2026]]) == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [https://www.imdb.com/ Jack'enneth Opukeme] kwenye IMDb [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] hhtfkex5afo2togefyvce3astie18g1 Mboko Basiami 0 248738 1594945 2026-09-07T10:30:59Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594945 wikitext text/x-wiki '''Mboko Basiami''' ni mbunifu wa mavazi na mjasiriamali kutoka nchini [[Botswana]]. Ni mwanzilishi wa chapa ya mavazi ya Glotto yenye makao yake nchini Botswana, inayojulikana kwa ubunifu wa kisasa unaochochewa na mada za utambulisho wa Kiafrika na mtindo rahisi (minimalism).<ref>"GLOTTO's golden glow". The Voice Botswana. 2023-08-30. Retrieved 2026-04-18.</ref><ref>"Glotto Brand Hits International Stage". Africa Press. 2023-08-25. Retrieved 2026-04-18.</ref> == Maisha ya awali na elimu == Basiami anatokea Sebina, Botswana. Alionyesha nia ya ubunifu wa mavazi tangu akiwa mdogo, akiwa ameshawishiwa na wanafamilia waliokuwa wakijishughulisha na nguo pamoja na biashara ya rejareja. Alisoma Biashara katika Chuo Kikuu cha Botswana.<ref>"BOTSWANA'S VERY OWN GLOTTO GOLDEN GIRL SETS SIGHTS ON NEW YORK FASHION WEEK – Gpweekly newspaper". Retrieved 2026-04-18.</ref> == Kazi == Basiami alianzisha Glotto mnamo mwaka [[2015]] akiwa bado mwanafunzi, lakini aliiandikisha rasmi kama biashara mwaka [[2018]]. Chapa hiyo ilikua kupitia maonyesho ya ndani na majukwaa ya kidijitali, ikipata umaarufu mkubwa katika tasnia ya mavazi na ubunifu nchini Botswana.<ref>"GLOTTO's golden glow". The Voice Botswana. 2023-08-30. Retrieved 2026-04-18.</ref> Kazi zake zimeelezwa katika vyombo vya habari kama zenye kuongozwa na ubunifu wa hali ya juu, zikijumuisha urembo rahisi pamoja na mada zinazochochewa na mazingira ya kiasili, utamaduni, na utambulisho wa Kiafrika.<ref>"Glotto Brand Hits International Stage". Africa Press. 2023-08-25. Retrieved 2026-04-18.</ref><ref>"How e-commerce has revolutionised local fashion industry". Africa Press. Retrieved 2026-04-18.</ref> == Kutambulika == Kazi za Basiami kupitia Glotto zimeangaziwa katika mijadala mbalimbali kuhusu sekta inayochipukia ya mavazi nchini Botswana. Chapa hiyo pia imehusishwa na majukwaa ya kimataifa ya mavazi, ikiwa ni pamoja na ushiriki katika wiki za mavazi za New York Fashion Week na hivi karibuni zaidi Paris Fashion Week.<ref>"Glotto Brand Hits International Stage". Africa Press. 2023-08-25. Retrieved 2026-04-18.</ref> == Tazama pia == * Mtindo wa Mavazi nchini Botswana * Glotto == Marejeo == <references /> [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Botswana]] [[Jamii:Wanawake wa Botswana]] [[Jamii:Watu wa Botswana]] hin6s3878movr3jsmixx8biign0vnqz Lydia Mugambi 0 248739 1594946 2026-09-07T10:36:57Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594946 wikitext text/x-wiki '''Lydia Mugambi''' ni msanii, mwigizaji, na mwalimu kutoka nchini [[Uganda]]. == Elimu na kazi == Mugambi alisoma Shule ya Sekondari ya Gayaza katika miaka ya 1950, na baada ya kumaliza masomo yake hapo, alijiunga na Shule ya Sanaa ya Margaret Trowell katika [[Chuo Kikuu cha Makerere]]. Baada ya miaka miwili katika shule hiyo ya kwanza ya sanaa Afrika Mashariki, Mugambi alihamia shule ya elimu katika chuo kikuu hicho ili kusomea shahada ya bachelor katika elimu katika miaka ya 1960. Baada ya kumaliza shahada yake ya kwanza, Mugambi alianza kufundisha sanaa nzuri (fine art) katika Shule ya Sekondari ya Chuo Kikuu cha Makerere kati ya mwaka [[1965]] na [[1970]]. Mugambi alisoma katika Taasisi ya Teknolojia ya Rochester kupitia ufadhili wa masomo uliotolewa na shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake nchini Marekani.<ref>"A retrospective of Lydia Mugambi". New Vision. Retrieved 2024-11-12.</ref> Aliporejea kutoka Marekani, Mugambi alianza kufundisha sanaa katika chuo cha elimu cha Chuo Kikuu cha Makerere, huku akiendelea pia kwenda kwenye shule ya sanaa ambako aliwalea na kuwafundisha wasanii wengine kama vile Bruno Sserunkuuma, Lilian Mary Nabulime, Sarah Nakinsaze na wengineo. Kama msanii anayefanya kazi hiyo kwa vitendo, Mugambi anatengeneza michoro, uchoraji, na vinyago. Kazi zake zimeonyeshwa katika maonyesho kadhaa ya sanaa.<ref>"Lot 37". East African Art Auction. Retrieved 2024-11-13.</ref> Mbali na kuwa katika nyanja za sanaa ya mikono, Mugambi pia ni mwigizaji wa michezo ya kuigiza katika jukwaa na alikuwa akiigiza katika Tiyatrikali ya Kitaifa ya Uganda jijini Kampala.<ref>"Lydia Mugambi's artistic legacy celebrated in solo show". The Independent Uganda. 2024-10-09. Retrieved 2024-11-12.</ref> == Maisha ya binafsi == Mugambi ameolewa na ana watoto watano (5).<ref>"Paul and Lydia Mugambi: 60-year-old enduring love". Monitor. 2024-05-13. Retrieved 2024-11-11.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Uganda]] [[Jamii:Wanawake wa Uganda]] [[Jamii:Watu wa Uganda]] 7jx3vlboh1w9qgr4s87p9dzhpnixyrs Percival Rubens 0 248740 1594947 2026-09-07T10:39:46Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594947 wikitext text/x-wiki '''Percival Rubens''' ([[29 Desemba]] [[1928]] – [[13 Juni]] [[2009]]) alikuwa mwongozaji na mwandishi wa mswada wa filamu kutoka nchini [[Afrika Kusini]].<ref>Armes, Roy (2008). Dictionary of African filmmakers. Internet Archive. Bloomington : Indiana University Press. ISBN 978-0-253-35116-6.</ref> == Filamu == === Filamu alizotengeneza === * ''The Boy and the Mountain'' (filamu fupi) (1958) * ''The Foster Gang'' (mswada pamoja na Lee Marcus) (1964) * ''The Long Red Shadow'' (mswada pamoja na Lee Marcus) (1968)<ref>Friedberg, Lionel (2021-01-29). Forever in My Veins: How Film Led Me to the Mysterious World of the African Shaman. John Hunt Publishing. ISBN 978-1-78904-392-1.</ref> * ''Strangers at Sunrise'' (mswada pamoja na Lee Marcus) (1969) * ''Mister Kingstreet’s War / Heroes Die Hard'' (mswada pamoja na George Harding) (1971) * ''Die Saboteurs'' (1974) * ''Mighty Man'' (1978) * ''The Demon'' (pia alikuwa mwandishi wa mswada) (1979) * ''Survival Zone'' (mswada pamoja na Eric Brown) (1982) * ''Hostage'' (pamoja na Hanro Möhr) (1987) * ''Zone / Okavango'' (1989) * ''Sweet Murder'' (pia alikuwa mwandishi wa mswada) (1990) == Tuzo == * Tuzo ya Heshima ya Mafanikio ya Maisha ya Pembe ya Dhahabu (Golden Horn Lifetime Achievement Award) kwa Uongozaji kutoka SAFTA baada ya kifo chake mnamo mwaka [[2010]].<ref>"All the 2010 SAFTAs winners". Bizcommunity. Retrieved 2025-02-13.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1928]] [[Jamii:Waliofariki 2009]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 9egzg8o9e3edoj0gsiqby3bnir5g8l5 Denis Onyango 0 248741 1594948 2026-09-07T10:42:08Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594948 wikitext text/x-wiki [[Faili:Go Ahead Eagles - Mamelodi Sundowns FC - 53066456428 (cropped).jpg|thumb|Denis Onyango]] '''Denis Masinde Onyango''' (alizaliwa [[15 Mei]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa kutoka [[Uganda]] anayecheza nafasi ya kipa katika klabu ya [[Afrika Kusini]] ya Premier Soccer League, [[Mamelodi Sundowns F.C.|Mamelodi Sundowns]],na [[timu ya taifa]] ya Uganda. Baada ya kuanza taaluma yake katika nchi yake, Onyango aliendelea kucheza katika Premier Soccer League ya Afrika Kusini akiwa na Supersport United, Mpumalanga Black Aces, na Mamelodi Sundowns. Akiwa na Mamelodi Sundowns, alishinda CAF Champions League [[2016]] na kushiriki katika [[Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA|Kombe la Dunia la Klabu la FIFA]] 2016. Alitawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Afrika Anayecheza Afrika wa Mwaka 2016. Pia aliorodheshwa kuwa kipa wa 10 bora [[Dunia|duniani]] katika orodha ya mwaka 2016 iliyotolewa na International Federation of Football History & Statistics. Aliiwakilisha Uganda katika Kombe la Mataifa ya Afrika [[2017]] na Kombe la Mataifa ya Afrika [[2019]], na alikuwa [[nahodha]] wa timu hiyo hadi alipostaafu soka la kimataifa mwaka [[2021]]. Baada ya miaka minne ya kustaafu, Onyango alirejea katika timu ya taifa mwezi [[Agosti]] 2025, wakati Uganda ikijiandaa kwa michezo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA [[2026]] dhidi ya [[Msumbiji]] na [[Somalia]]. == Kazi ya klabu == === Mwanzo wa taaluma === Akiwa amezaliwa huko Kampala, Uganda, Onyango alianza taaluma yake katika SC Villa ya Kampala na baadaye alijiunga na St. George SA nchini [[Ethiopia]]. === SuperSport United na Mpumalanga Black Aces === Mwaka [[2006]], Onyango alijiunga na klabu ya Afrika Kusini ya Premier Soccer League, Supersport United. Tarehe [[8 Julai]] [[2010]], aliachiliwa na SuperSport United. Tarehe 26 Julai, Mpumalanga Black Aces ilimsajili Onyango aliyekuwa mchezaji huru. === Mamelodi Sundowns === Mwaka [[2011]], Onyango alijiunga na klabu ya Afrika Kusini ya Premier Soccer League, Mamelodi Sundowns. Tarehe 2 Agosti [[2013]], alihamia kwa mkopo katika klabu pinzani ya ligi, Bidvest Wits. Mwezi Julai 2014, Mamelodi Sundowns ilitumia chaguo lake la kuongeza [[mkataba]] wa Onyango kwa mwaka mmoja. Onyango alishinda [[tuzo]] ya Kipa Bora wa Msimu wa PSL katika msimu wa 2015–16 na hakuruhusu bao katika [[mechi]] 14, huku Sundowns ikifikisha rekodi ya pointi 71. == Mafanikio == Super Sport United * Premier Soccer League: 2007–08, 2008–09, 2009–10 Mamelodi Sundowns * Premier Soccer League: 2015–16, 2017–18, 2018–19, 2019–20, 2020–21, 2021–22, 2022–23, 2023–24, 2024–25 * Nedbank Cup: 2014–15, 2019–20, 2021–22 * Telkom Knockout: 2015, 2019 * MTN 8: 2021 * CAF Champions League: 2016, 2025–26 * CAF Super Cup: 2017 * African Football League: 2023 Binafsi * Mchezaji Bora wa Afrika Anayecheza Afrika wa Mwaka: 2016 * Timu Bora ya Mwaka ya CAF: 2016, 2018 <ref>https://www.worldfootball.net/pe72923/</ref><ref>https://www.soccerway.com/player/onyango-denis/tAmHhcl7/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20171210090324/http://sundownsfc.co.za/36-denis-onyango/</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/football/49948610</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] [[Jamii:Wachezaji Mpira wa Uganda]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} n3146tqxpk1mwy673t24gozkcv9futd Erich Mayer 0 248742 1594949 2026-09-07T10:45:33Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594949 wikitext text/x-wiki '''Erich Ernst Karl Mayer''' ([[1876]] – [[1960]]) alikuwa msanii, mwandishi, na mwanafalsafa wa Kijerumani mwenye asili ya Kiyahudi aliyehamia na kuishi nchini [[Afrika Kusini]], ambaye alitambulika kwa mchango wake katika kukuza mtindo wa sanaa ya asili ya Afrika Kusini.<ref>Basson, Eunice (2006-01-01). "Pottering around in Africa: Erich Mayer's search for an indigenous South African style as exemplified in his ceramic designs". de arte. 41 (74): 3–19. doi:10.1080/00043389.2006.11877058. ISSN 0004-3389.</ref> == Maisha ya awali == Mayer alizaliwa Karlsruhe, Ujerumani, na kulelewa jijini Berlin. Alipata ufadhili wa masomo ya usanifu majengo (architecture). Hata hivyo, ugonjwa ulimzuia kumaliza shahada yake, na hivyo alihamia Afrika Kusini ambapo alifanya kazi kama mpimaji ardhi.<ref>"Erich Mayer". www.fabinet.up.ac.za. Retrieved 2025-02-15.</ref> Mayer alijiunga na kikosi cha makomando wa Boero wakati wa Vita vya Pili vya Makaburu (Anglo-Boer War), na alichora picha za mashamba ya eneo hilo alimokaa kwa usiku.<ref>"Mayer, Erich - Dyman Gallery | South African Masters". Dyman Gallery | South African Masters. Archived from the original on 2024-07-21. Retrieved 2025-02-15.</ref> Alikamatwa huko Mafikeng na kupelekwa Kisiwa cha St Helena kama mfungwa wa vita kabla ya kurejeshwa Ujerumani.<ref>"MAYER, Ernst Karl Erich". artefacts.co.za. Retrieved 2025-02-15.</ref> == Ushawishi nchini Afrika Kusini == Mayer alirejea Afrika Kusini na mnamo mwaka [[1912]] alihamia Pretoria, ambako alianza kuhamasisha utambulisho wa kitaifa wa sanaa (National Art Identity).<ref>Basson, Eunice (2006-01-01). "Pottering around in Africa: Erich Mayer's search for an indigenous outh African style as exemplified in his ceramic designs". de arte. 41 (74): 3–19. doi:10.1080/00043389.2006.11877058. ISSN 0004-3389.</ref> Alipata umaarufu mkubwa kutokana na michoro yake iliyoonyesha kwa kina na huruma maisha ya wakulima wa maeneo ya ndani ya nchi. Alifariki dunia jijini Pretoria mwaka [[1960]]. == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1876]] [[Jamii:Waliofariki 1960]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] mjq5zqlwu6au0rxq7unrjnro2fsvk1n Kanyabayonga 0 248743 1594950 2026-09-07T10:46:11Z AminaZ1604 90405 Created by translating the page "[[:fr:Special:Redirect/revision/233647217|Kanyabayonga]]" 1594950 wikitext text/x-wiki '''Kanyabayonga''' ni jamii ya vijijini iliyopo katika maeneo ya [[Wilaya ya Lubero|Lubero]] na [[Wilaya ya Rutshuru|Rutshuru]] katika mkoa wa [[Mkoa wa Kivu Kaskazini|Kivu Kaskazini]] mashariki mwa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]].<ref>{{Rejea tovuti|title=GeoNames.org {{!}} Kanyabayonga|url=https://www.geonames.org/214297/kanyobagonga.html|accessdate=2024-08-05}}</ref> == Jiografia == Iko kwenye Njia ya Kitaifa ya 2 (RN2), 152  kaskazini mwa mji mkuu wa mkoa [[Goma|wa Goma]] . == Historia == Wakati wa mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na[[Kundi la M 23|Harakati ya Machi 23]] (M23), ambayo yalianza mwezi wa Machi 2022 mashariki mwa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], Kanyabayonga inaonekana kuwa mji muhimu kimkakati. Barabara yake kuu inawezesha kufika miji ya Lubero, [[Butembo]] na [[Beni (mji)|Beni]] iliyoko kaskazini mwa Kivu Kaskazini, pamoja na [[Goma]] iliyoko kusini mwa eneo hilo,<ref name="KBGA_lemonde2">{{Rejea tovuti|title=Dans l’est de la RDC, les rebelles du M23 intensifient leur emprise sur le Nord-Kivu|url=https://www.lemonde.fr/afrique/article/2024/07/03/dans-l-est-de-la-rdc-les-rebelles-du-m23-intensifient-leur-emprise-sur-le-nord-kivu_6246508_3212.html|date=03/07/2024|accessdate=2024-07-03}}</ref>.<ref name="KBGA_RFI2">{{Rejea tovuti|title=RDC: après de violents combats, la ville de Kanyabayonga tombe aux mains des rebelles du M23|url=https://www.rfi.fr/fr/afrique/20240629-rdc-de-violents-combats-aux-alentours-de-la-ville-de-kanyabayonga|date=29/06/2024|accessdate=2024-07-03}}</ref>M23 ilichukuwa mji huo mwishoni mwa {{Date|6 2024}},<ref name="Baraka">{{Rejea tovuti|url=https://www.rfi.fr/fr/afrique/20240629-rdc-de-violents-combats-aux-alentours-de-la-ville-de-kanyabayonga|title=RDC: après de violents combats, la ville de Kanyabayonga tombe aux mains des rebelles du M23|date=29 6 2024|publisher=Radio France internationale|author=Héritier Baraka}}.</ref>.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.rfi.fr/fr/afrique/20240603-rdc-la-ville-de-kanyabayonga-en-proie-%C3%A0-des-affrontements-entre-le-m23-et-les-fardc|title=Dans l'est de la RDC, des affrontements entre le M23 et les FARDC aux alentours de Kanyabayonga|date=3 6 2024|publisher=Radio France internationale}}.</ref> == Utawala == Ikiwa na wapiga kura 20,651 walioandikishwa mnamo 2018, ina cheo cha manispaa ya maeneo ya vijijini yenye wapiga kura chini ya 80,000, na ilikuwa na madiwani 7 wa manispaa mwaka wa 2019. == Idadi ya watu == Sensa hiyo ilifanyika mwaka wa 1984,.{{Démographie|titre=Évolution démographique|charte=commune|1984=-|2004=25499|2012=31335}}Mnamo 2024, idadi ya wakazi wa mji huo inakadiriwa kuwa zaidi ya 60 000 habitants, ambapo wengi wao ni wakimbizi waliokimbia mapigano tofauti huko Kivu.<ref name="Baraka" /> == Uchumi == == Vidokezo na marejeleo == ey8nl133gad9gieu5u19rl5hucaawus Houssam El-Din Mustafa 0 248744 1594951 2026-09-07T10:48:49Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594951 wikitext text/x-wiki '''Houssam El-Din Mustafa''' au '''Hossam El-Din Mostafa''' (Kiarabu: حسام الدين مصطفى; [[5 Mei]] [[1926]] – [[22 Februari]] [[2000]]) alikuwa mwongozaji na mwandishi wa mswada wa filamu kutoka nchini [[Misri]]. Baada ya kuhitimu kutoka Taasisi ya Juu ya Filamu (Higher Institute of Cinema) mwaka [[1950]], alisafiri kwenda nchini [[Marekani]] kujifunza uongozaji na kurejea Cairo mwaka [[1956]]. Alibobea zaidi katika utengenezaji wa filamu za mapigano na matukio (action films). == Marejeo == * [https://www.imdb.com/ Mfumo wa IMDb] * [https://www.encyclocine.com/ Encyclocine] == Viungo vya nje == * [[imdbname:0253813|Houssam El-Din Mustafa]] kwenye IMDb [[Jamii:Waliozaliwa 1926]] [[Jamii:Waliofariki 2000]] [[Jamii:Wasanii wa Misri]] [[Jamii:Watu wa Misri]] 5o0n3ki6gmlpxfkd4wwbwder7h53o70 Farouk Miya 0 248745 1594952 2026-09-07T10:52:21Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594952 wikitext text/x-wiki '''Farouk Miya''' (alizaliwa [[26 Novemba]] [[1997]]) ni [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa kutoka [[Uganda]] anayecheza nafasi ya kiungo [[mshambuliaji]] katika klabu ya Vipers inayoshiriki Uganda Premier League, pamoja na [[timu ya taifa]] ya Uganda. == Kazi ya klabu == Mwezi Januari [[2016]], ilitangazwa kwamba Miya angejiunga na klabu ya daraja la juu nchini [[Ubelgiji]], Standard Liège, kwa kile kilichoripotiwa kuwa uhamisho wa awali wa mkopo kutoka klabu ya Uganda ya Vipers. Standard Liège ilipata huduma zake kwa ada ya dola za [[Marekani]] 400,000. Tarehe [[31 Januari]] [[2017]], Miya alipelekwa kwa mkopo katika Royal Excel Mouscron hadi mwisho wa msimu. Mwezi Februari [[2018]], Miya alipelekwa kwa mkopo katika Səbail FK, na kurejea mwishoni mwa msimu wa 2017–18. Tarehe 20 Agosti 2019, Miya alisaini [[mkataba]] wa miaka mitatu na klabu ya Konyaspor inayoshiriki Süper Lig. Alicheza [[mechi]] yake ya kwanza siku tano baadaye dhidi ya Galatasaray katika Türk Telekom Stadium. Mwezi Julai [[2022]], alijiunga na klabu ya Çaykur Rizespor inayoshiriki TFF First League kwa mkataba wa miaka miwili. Miya alirejea katika klabu ya Vipers inayoshiriki Uganda Premier League mwezi [[Julai]] [[2026]] kwa ajili ya msimu wa 2026–27, baada ya kufanya mazoezi na klabu hiyo kwa wiki mbili. == Kazi ya kimataifa == Miya alicheza mechi yake ya kwanza katika [[timu ya taifa]] ya Uganda tarehe [[11 Julai]] [[2014]] dhidi ya [[Shelisheli|Seychelles]]. == Mafanikio == Standard Liège * Kombe la Ubelgiji: 2015–16 <ref>https://www.national-football-teams.com/player/56306/Faruku_Miya.html</ref><ref>https://www.worldfootball.net/person/pe358144/farouk-miya/club-matches/</ref><ref>https://web.archive.org/web/20160122211427/http://www.standard.be/toutes-les-news/lire/~faruku-miya-rejoint-les-rouches.htm?lng=fr#.VqKbtnbP32f</ref><ref>https://www.bbc.com/sport/football/35374571</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Uganda]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} kymkj794wtf36eq6a0j2rqz9ecq8psg Mohamed Hamidi 0 248746 1594953 2026-09-07T10:53:08Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594953 wikitext text/x-wiki '''Mohamed Hamidi''' (Kiarabu: محمد حميدي; [[7 Agosti]] [[1941]] – [[6 Oktoba]] [[2025]]) alikuwa mchoraji kutoka nchini [[Moroko]].<ref>Chabâa, Qods (6 October 2025). "L'artiste plasticien Mohamed Hamidi est décédé". Le360 (in French). Retrieved 7 October 2025.</ref> Hamidi alikuwa mwanachama mwanzilishi wa Chama cha Sanaa za Mikono cha Moroko (Association marocaine des arts plastiques) na alifanya maonyesho mengi ya sanaa nchini Moroko na nje ya nchi.<ref>"Mohamed Hamidi". Africultures (in French).</ref> Alifariki dunia tarehe [[6 Oktoba]] [[2025]], akiwa na umri wa miaka 84.<ref>Doran, Anne (6 October 2025). "Mohamed Hamidi, Moroccan Modernist Painter, Has Died at 84". ARTnews. Retrieved 7 October 2025.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:Wasanii wa Moroko]] [[Jamii:Watu wa Moroko]] d03lfxm58c62ypnr58v3gzw3tkydadk Peter Mimi 0 248747 1594954 2026-09-07T10:56:01Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594954 wikitext text/x-wiki '''Peter Mimi''' (amezaliwa [[9 Aprili]] [[1987]]) ni mwongozaji na mwandishi wa mswada wa filamu kutoka nchini [[Misri]]. Anatokea katika wilaya ya Nasr City jijini Cairo, Misri. == Filamu == === Filamu za Sinema === {| class="wikitable" !Mwaka !Anwani !Mwongozaji !Mwandishi !Maelezo !Marejeo |- |2016 |''The Fourth Pyramid'' |Ndiyo |Ndiyo | | |- |2018 |''Al-Khawaga's Dilemma'' |Ndiyo |Hapana | | |- |2018 |''No Surrender'' |Ndiyo |Ndiyo | | |- |2019 |''Casablanca'' |Ndiyo |Hapana | |<ref>Essam, Angy (2 August 2019). "Why 'Casablanca' achieves the highest revenues in the history of Egyptian cinema ?". EgyptToday. Retrieved 12 March 2025.</ref> |- |2021 |''Mousa'' |Ndiyo |Ndiyo | |<ref>Essam, Angy (11 October 2021). "Moussa: The Debut of Egyptian Marvel". EgyptToday. Retrieved 12 March 2025.</ref> |- |2022 |''Shalaby'' |Ndiyo |Ndiyo | | |- |2023 |''El Ruby House'' |Ndiyo |Hapana | | |- |2025 |''Project X'' |Ndiyo |Ndiyo | | |} === Televisheni === * ''The Godfather'' (2017)<ref>Marie, Mustafa (26 May 2018). "Director Peter Mimi believes in young talents in Egypt's filming industry". EgyptToday. Retrieved 12 March 2025.</ref> * ''Kalabsh'' (2018) * ''Kalabsh 2'' (2018) * ''Kalabsh 3'' (2019) * ''The Assassins'' (2024) (El Hashasheen) * ''Sohab El Ard'' (2026) == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [[imdbname:8146740|Peter Mimi]] kwenye IMDb [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Misri]] [[Jamii:Watu wa Misri]] 459er0kh66dsvdhtdb4mfsq6x6crgyh Alijan Ibragimov 0 248748 1594955 2026-09-07T10:57:59Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Alijan Rahmanuly Ibragimov''' ([[5 Juni]] [[1953]] – [[3 Februari]] [[2021]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Kazakhstan]] mwenye asili ya Uyghur. Alizaliwa Fergana, [[Uzbekistan|Uzbek SSR]] na alikuwa mwanachama wa duru maarufu ya oligarch nchini [[Kazakhstan]] inayojulikana kama "Trio." Trio inawajumuisha Ibragimov, [[Alexander Mashkevich]] na [[Patokh Chodiev]], wote wakifanya kazi katika sekta za madini, mafuta na gesi, na benki nchini Kazakh...' 1594955 wikitext text/x-wiki '''Alijan Rahmanuly Ibragimov''' ([[5 Juni]] [[1953]] – [[3 Februari]] [[2021]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Kazakhstan]] mwenye asili ya Uyghur. Alizaliwa Fergana, [[Uzbekistan|Uzbek SSR]] na alikuwa mwanachama wa duru maarufu ya oligarch nchini [[Kazakhstan]] inayojulikana kama "Trio." Trio inawajumuisha Ibragimov, [[Alexander Mashkevich]] na [[Patokh Chodiev]], wote wakifanya kazi katika sekta za madini, mafuta na gesi, na benki nchini Kazakhstan. Wakati wa kifo chake, Ibragimov alikuwa ameondolewa kwenye orodha ya mabilionea wa dunia ya [[Forbes]].<ref name=ForbesProfile>{{Cite web|title=Alijan Ibragimov|url=https://www.forbes.com/profile/alijan-ibragimov/|access-date=2021-10-11|website=Forbes|language=en}}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.russianlondon.com/print/21716/ |title=London-based oligarchs face cash probe |publisher=RussianLondon.com |date=2004-08-09 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070312002434/http://www.russianlondon.com/print/21716/ |archive-date=2007-03-12 |url-status=dead |access-date=2024-10-28}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Kazakhstan]] [[Jamii:Watu wa Kazakhstan]] [[Jamii:Waliozaliwa 1953]] [[Jamii:Waliofariki 2021]] nwv2bjjyl0ien86vh6nxscj4tymrerr Molemo Moiloa 0 248749 1594956 2026-09-07T10:59:27Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594956 wikitext text/x-wiki '''Molemo Moiloa''' (amezaliwa [[1987]]) ni mhadhiri, msanii, mtafiti, na mwanzilishi mwenza wa Open Restitution Africa kutoka nchini [[Afrika Kusini]].<ref>"African Voices in Restitution". Open Restitution Africa. 12 September 2022. Retrieved 28 July 2025.</ref> Alikuwa mshindi wa Tuzo ya Vita Basadi mwaka [[2017]]. Pia aliteuliwa pamoja na Nare Mokgotho kwa ajili ya Kituo cha Vera List cha Sanaa na Siasa (Vera List Center for Art and Politics) kwa mwaka 2016-2017.<ref>"March Meeting". Sharjah Art Foundation. Retrieved 28 July 2025.</ref> == Elimu == Moiloa ana shahada ya kwanza na ya uzamili katika Sitolojia ya Jamii (Social Anthropology) kutoka Chuo Kikuu cha Witwatersrand.<ref>"Molemo Moiloa". Code for Science & Society. Retrieved 28 July 2025.</ref> == Kazi == Moiloa anachunguza mjadala wa urejeshaji wa kazi za sanaa na zana za kale za kitamaduni barani Afrika. Ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Witwatersrand.<ref>"Molemo Moiloa". Code for Science & Society. Retrieved 28 July 2025.</ref> Mnamo mwaka [[2009]], alianzisha MADEYOULOOK, ushirikiano wa wasanii wa fani mbalimbali wenye makao yake jijini Johannesburg, pamoja na Nare Mokgotho. Mnamo mwaka [[2020]], Moiloa alianza mradi wa Open Restitution Africa (ORA) pamoja na mwanzilishi mwenza Chao Tayiana Maina.<ref>"About the Project". Open Restitution Africa. 13 January 2025. Retrieved 28 July 2025.</ref> == Ufadhili na uanachama == * Chevening Clore Fellow (2016–2017) * Mfadhili wa DAAD Artists-in-Berlin kwa sanaa za kuona (2022) * Mfadhili wa Africa No Filter (2021) * Documenta fifteen * Soros Arts Fellow (2023) == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] jhvxefu6wd2ttcenrzv7vz6yglc8apl Geoffrey Massa 0 248750 1594957 2026-09-07T11:03:04Z Kelvin kevoo 48194 kuanzisha makala 1594957 wikitext text/x-wiki [[Faili:Geofrey Massa.jpg|thumb|Geofrey Massa]] '''Geofrey Massa''' (alizaliwa [[19 Februari]] [[1986]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kulipwa kutoka [[Uganda]] aliyekuwa akicheza nafasi ya [[mshambuliaji]]. == Kazi ya klabu == Akiwa amezaliwa huko Jinja, Massa alianza taaluma yake [[mwaka]] [[2004]] katika Police FC inayoshiriki Ugandan Premier League, kabla ya kuhamia klabu ya [[Misri]] ya Al-Masry Club mwaka [[2005]]. Alitumia miaka mitatu nchini Misri kabla ya kuhamia mwaka [[2008]] katika klabu ya [[Afrika Kusini]] ya Jomo Cosmos, ambayo aliichezea [[mechi]] 14 na kufunga bao moja. Mwaka 2008, aliondoka katika timu hiyo na kurejea Misri, ambapo alisaini [[mkataba]] na Itesalat. Massa alijiunga tarehe [[14 Septemba]] [[2011]] na klabu ya Yenicami Ağdelen SK inayoshiriki Telsim Super League. Tarehe [[21 Agosti]] [[2013]], alisaini mkataba na klabu ya Afrika Kusini ya University of Pretoria F.C. == Kazi ya kimataifa == Massa ameichezea timu ya taifa ya Uganda mara kadhaa, huku mechi yake ya kwanza ikija mwaka 2005. <ref>https://www.national-football-teams.com/player/12301/Geofrey_Massa.html</ref><ref>http://www.ktff.org/InfoBank/PlayerDetails/9413</ref><ref>https://web.archive.org/web/20151120080637/http://www.fifa.com/fifa-tournaments/players-coaches/people=238663/index.html</ref><ref>https://www.national-football-teams.com/player/12301/Geofrey_Massa.html</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Uganda]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references />{{Mbegu-cheza-mpira}} ijt94tj1upomiey9qlv0wpo8w6kgi1c Armand Boua 0 248751 1594958 2026-09-07T11:07:17Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594958 wikitext text/x-wiki '''Armand Boua''' (amezaliwa [[1978]]) ni mchoraji kutoka nchini Ivory Coast.<ref>"Les Winzins de Djamtala 1, Armand Boua ^ Minneapolis Institute of Art". collections.artsmia.org.</ref><ref>"Armand Boua, peintre d'une réalité ivoirienne "fugace et persistante"". LExpress.fr (in French). 30 August 2019.</ref> Boua anajulikana kwa mbinu yake ya kuchora kwenye kadi za karatasi ngumu (cardboard) kwa kutumia rangi ya akriliki na lami, kisha kukwangua rangi hiyo ili kutengeneza nafasi za wazi (negative spaces).<ref>"Another Dose Of African And South American Art At Saatchi Gallery". Londonist. 16 March 2015.</ref><ref>"James Green at the 1:54 Contemporary African Art Fair". www.artforum.com.</ref> Boua alizaliwa jijini Abidjan.<ref>Les artistes et la société (in French). Editions L'Harmattan. 22 May 2020. ISBN 978-2-343-18360-2.</ref> Alisoma katika Shule ya Kitaifa ya Sanaa Nzuri (National School of Fine Arts) na katika Kituo cha Ufundi cha Sanaa Technical Center of Applied Arts), vyote vikiwa jijini Abidjan.<ref>Les artistes et la société (in French). Editions L'Harmattan. 22 May 2020. ISBN 978-2-343-18360-2.</ref><ref>"Investec Cape Town Art Fair honours emerging artists". www.iol.co.za.</ref> Kazi zake zimejumuishwa katika mkusanyiko wa Taasisi ya Sanaa ya Minneapolis (Minneapolis Institute of Art).<ref>"Les Winzins de Djamtala 1, Armand Boua ^ Minneapolis Institute of Art". collections.artsmia.org.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1978]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Ivory Coast]] llgkvbbdmvd348xfww3sg9bq86f3fwn Michelle Sank 0 248752 1594959 2026-09-07T11:10:04Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594959 wikitext text/x-wiki '''Michelle Sank''' ni mpiga picha kutoka nchini [[Afrika Kusini]]. Aliondoka Afrika Kusini mwaka [[1978]] na amekuwa akiishi Exeter, Kusini Magharibi mwa Uingereza, tangu mwaka [[1987]].<ref>Sidhu, TJ (10 September 2019). "'North: Fashioning Identity' returns". The Face.</ref> Kazi zake zimejumuishwa katika mikusanyiko ya Makumbusho ya Sanaa ya Houston (Museum of Fine Arts Houston),<ref>"Michelle Sank: Aaten and Aida". The Museum of Fine Arts, Huston.</ref> Kituo cha Mpiga Picha cha Woodstock (Center for Photography at Woodstock),<ref>"Permanent Print Collection - Artists in CPW's collection". Center for Photography. Archived from the original on 14 February 2020.</ref> na Makumbusho na Jumba la Sanaa la Kumbukumbu la Royal Albert (Royal Albert Memorial Museum).<ref>"Michelle Sank: Breathe". Royal Albert Memorial Museum & Art Gallery, Exeter. 4 August 2021.</ref> Mnamo mwaka [[2024]], Sank alitunukiwa Ufadhili wa Heshima (Honorary Fellowship) kutoka Shirika la Kifalme la Mpiga Picha (The Royal Photographic Society). == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [https://www.michellesank.com Tovuti rasmi ya Michelle Sank] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 0ctr8js71jkpy7kxe0tywc95pdf9tio Simphiwe Ndzube 0 248753 1594960 2026-09-07T11:14:20Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594960 wikitext text/x-wiki '''Simphiwe Ndzube''' (amezaliwa [[1990]] huko Hofmeyr, Rasi ya Mashariki, [[Afrika Kusini]]) ni mchoraji wa Afrika Kusini mwenye asili ya Kixhosa, anayeishi na kufanya kazi jijini Los Angeles, California na Cape Town, Afrika Kusini. Alipata shahada ya BFA kutoka Shule ya Sanaa ya Michaelis katika [[Chuo Kikuu cha Cape Town]] mnamo mwaka [[2015]]. Onyesho la kwanza la pekee la Ndzube nchini Marekani lililoitwa "Oracles of the Pink Universe" lilifanyika katika Makumbusho ya Sanaa ya Denver kuanzia tarehe [[13 Juni]] [[2021]] hadi [[20 Oktoba]] [[2021]], na lilionyesha mfululizo wa kazi za sanaa zinazojibu mchoro wa mchoraji wa Kidachi Hieronymous Bosch uitwao ''The Garden of Earthly Delights'' (1490-1510) na kuzungumzia maisha nchini Afrika Kusini baada ya ubaguzi wa rangi (Post-Apartheid).<ref>Steer, Emily (10 September 2021). "Elephant's Pick of September's Essential Artists". ELEPHANT.</ref><ref>"Simphiwe Ndzube | Denver Art Museum". www.denverartmuseum.org. 13 June 2021.</ref> Ndzube alikulia katika eneo la Masiphumelele nchini Afrika Kusini, jina linalotokana na neno la Kixhosa linalomaanisha "wacha kufanikiwa". Kazi zake zimeelezwa na msanii mwenyewe na watu wengine kuwa katika mtindo wa "halisi wa kiajabu" (magical realism).<ref>Dollery, Emma (16 March 2021). "MATTERS OF OBSESSION: Simphiwe Ndzube's magical, borderless world of celebration". Daily Maverick.</ref> Anawakilishwa na nyumba ya sanaa ya Nicodim jijini New York na Los Angeles pamoja na nyumba ya sanaa ya Stevenson nchini Afrika Kusini.<ref>"Simphiwe Ndzube: Vusamazulu | Awakening the Heavens - Exhibitions - Nicodim Gallery". www.nicodimgallery.com.</ref><ref>"STEVENSON". STEVENSON.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 2utdfwdwirtou8tybtd8o84djbm2rwb Dawood Olad Al-Seyed 0 248754 1594961 2026-09-07T11:16:58Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594961 wikitext text/x-wiki '''Dawood Olad Al-Seyed''' (Kiarabu: داوود اولاد السيد; amezaliwa [[14 Aprili]] [[1953]] mjini Marrakesh) ni mwongozaji na mwandishi wa mswada wa filamu, pamoja na mpiga picha kutoka nchini [[Moroko]].<ref>"Daoud Aoulad-Syad's Morocco". The Eye of Photography Magazine. February 27, 2018. Retrieved February 9, 2022.</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliozaliwa 1953]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Moroko]] [[Jamii:Watu wa Moroko]] s43hxrnssqv065mkm68i00t9it8ihwb Alwyn Kumst 0 248755 1594962 2026-09-07T11:21:00Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594962 wikitext text/x-wiki '''Alwyn Kumst CSC''' ni mpiga picha wa filamu (mpiga picha wa sinema) kutoka [[Kanada]] aliyezaliwa nchini [[Afrika Kusini]]. Anajulikana zaidi kwa kazi yake katika filamu ya mwaka 1999 ya ''The Divine Ryans'', iliyomfanya ateuliwe kuwania Tuzo ya Genie katika kipengele cha Mpiga Picha Bora wa Sinema kwenye Tuzo za 20 za Genie mnamo mwaka [[2000]].<ref>"Sunshine leads Genie nominations: Fiennes's movie followed by Felicia's Journey, The Five Senses". Halifax Daily News, December 8, 1999.</ref> Kazi zake nyingine zinajumuisha filamu ya ''Cold Blooded'', filamu za televisheni za ''The Summit'' na ''Harriet the Spy: Blog Wars'', pamoja na vipindi vya mfululizo wa vipindi vya televisheni kama ''Mysterious Island'', ''The Adventures of Sinbad'', ''Queen of Swords'', ''Relic Hunter'', ''Falcon Beach'', ''Degrassi: The Next Generation'', ''Rookie Blue'', na ''Suits''. == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [[imdbname:0474984|Alwyn Kumst]] kwenye IMDb [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Watu wa Kanada]] a7jw00813jiq0f1yzu12zly92cv0bmr Donald Nxumalo 0 248756 1594963 2026-09-07T11:26:33Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594963 wikitext text/x-wiki '''Donald Ndleleni Nxumalo''' (amezaliwa [[2 Julai]] [[1988]]) ni msanifu wa ndani (interior designer) kutoka nchini [[Afrika Kusini]].<ref>{{Cite web|url=https://www.audi.co.za/za/web/en/home-of-electric/audi-stories-of-progress/layer/donald-nxumalo.html|title=Donald Nxumalo &gt; Audi Stories of progress &gt; Home of Electric &gt; Audi South Africa &#124; Home|website=www.audi.co.za}}</ref><ref>"Watch the throne". www.houseandgarden.co.za.</ref><ref>"Decorex JHB '19 Recap - Moziak". August 15, 2019.</ref><ref>Young, Elsa. "Read Designer Donald Nxumalo On Culture, Colour And Craftmanship Online". Scribd.</ref><ref>"Q & A With Interior Designer Donald Nxumalo". BLQ Magazine. September 15, 2017.</ref> Ana shahada ya usanifu kutoka Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tshwane (Tshwane University of Technology) na anaongoza studio ya usanifu wa ndani yenye makao yake Gauteng iitwayo DNX Design Studio. Alikuwa mgeni wa mara kwa mara katika kipindi cha majarida cha Afrika Kusini cha ''Top Billing'', ambapo pia alikuwa mshindi wa kwanza wa usanifu wa shindano la ''Win A Home'' mwaka [[2014]]. Ametoa mfululizo wa bidhaa mbalimbali za usanifu wa ndani na anatambulika kama mmoja wa wasanifu wa ndani wenye mafanikio na wanaoongoza nchini Afrika Kusini.<ref>{{cite web | url=https://www.topbilling.com/articles/Donald-Nxumalo-returns-to-Win-A-Home.html?articleID=3451 | title=Donald Nxumalo returns to Win a Home }}</ref> == Marejeo == <references /> sabmn6yal97bqtf9569ya4x3n8bgthb Majadiliano ya mtumiaji:কল্কি 3 248757 1594965 2026-09-07T11:28:29Z Tanbiruzzaman 61090 Tanbiruzzaman alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:কল্কি]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Depot, KG]]: Automatically moved page while renaming the user "[[Special:CentralAuth/কল্কি|কল্কি]]" to "[[Special:CentralAuth/Depot, KG|Depot, KG]]" 1594965 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Depot, KG]] cmd7a8y899jzgodblds94a5gkcl7w7r Mourad Ben Embarek 0 248758 1594967 2026-09-07T11:31:27Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594967 wikitext text/x-wiki '''Mourad Ben Embarek''' (Kiarabu: مراد بن مبارك; alifariki mwaka [[2011]]) alikuwa msanifu majengo wa mtindo wa kisasa kutoka nchini [[Moroko]]. Alikuwa kiongozi katika ujenzi mpya wa mji wa Agadir na alichapisha jarida la kwanza la usanifu majengo nchini Moroko baada ya kupata uhuru lililojulikana kama ''a+u''.<ref>[https://books.google.com/books?id=ThirdWorldModernism Chaouni, Aziza (2011). "Depoliticizing Group GAMMA: contesting modernism in Morocco". Third world modernism : architecture, development and identity. Duanfang Lu. New York, NY: Routledge. p. 73. ISBN 978-0-203-84099-3. OCLC 703154680.]</ref> == Maisha == Mourad Ben Embarek alikuwa mwanachama wa kundi la wasanifu majengo wa kisasa nchini Moroko la Groupe des Architectes Modernes Marocains (GAMMA).<ref>[https://www.nytimes.com/2019/10/01/arts/design/morocco-brutalism-architecture.html Lange, Alexandra (2019-10-01). "Brutalism Springs Eternal in Morocco". The New York Times. ISSN 0362-4331. Retrieved 2022-07-18.]</ref> Mnamo mwaka [[1961]], alichukua nafasi ya Abdeslam Faraoui na kuongoza Idara ya Mipango Miji (Service of Urbanism), akihudumu kama mkurugenzi hadi mwaka [[1966]].<ref>[https://books.google.com/books?id=ThirdWorldModernism Chaouni, Aziza (2011). "Depoliticizing Group GAMMA: contesting modernism in Morocco". Third world modernism : architecture, development and identity. Duanfang Lu. New York, NY: Routledge. p. 73. ISBN 978-0-203-84099-3. OCLC 703154680.]</ref><ref>[https://www.lavieeco.com/au-royaume/agadir-lhistoire-dune-reconstruction-18861/ "Agadir : l'histoire d'une reconstruction - La Vie éco". lavieeco.com (in French). Retrieved 2022-07-18.]</ref><ref>[https://books.openedition.org/cjb/1608 Hofbauer, Lucy (2019-01-15), "Le mouvement moderne marocain à l'épreuve du tourisme (1950-1970)", in Isnart, Cyril; Mus-Jelidi, Charlotte; Zytnicki, Colette (eds.), Fabrique du tourisme et expériences patrimoniales au Maghreb, XIXe-XXIe siècles, Description du Maghreb, Maroc: Centre Jacques-Berque, ISBN 979-10-92046-37-3, retrieved 2022-07-19]</ref> == Kazi mashuhuri == * Technopark, Casablanca * Jengo la Abiria la 1 (Terminal 1) la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed V, Casablanca * Jengo la Atlas (Atlas Tower), Casablanca == Marejeo == <references /> [[Jamii:Waliofariki 2011]] [[Jamii:Wasanii wa Moroko]] [[Jamii:Watu wa Moroko]] p8l5frdzmuccxna4nbddzksg88gc9b8 Abderrahmane Mostefa 0 248759 1594969 2026-09-07T11:35:34Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594969 wikitext text/x-wiki '''Abderrahmane Mostefa''' ([[28 Novemba]] [[1947]] – [[1 Novemba]] [[2024]]) alikuwa mwanahabari, mpiga picha, na mwongozaji wa filamu za makala (documentary) kutoka nchini [[Aljeria]]. == Maisha na kazi == Mostefa alizaliwa tarehe [[28 Novemba]] [[1947]] mjini Mostaganem.<ref>[https://catalogue.bnf.fr/ark:/12148/cb17036277b "Muṣṭafā"]. catalogue.bnf.fr. Retrieved 3 November 2024.</ref><ref>[https://elwatan-dz.com/mostaganem-abderrahmane-mostefa-homme-de-cinema-nous-quitte Lakhdar Hagani (3 November 2024). "Mostaganem : Abderrahmane Mostefa, homme de cinéma, nous quitte". elwatan-dz.com (in French). Retrieved 3 November 2024.]</ref> Alisomea uongozaji katika Taasisi ya Teknolojia ya Kilimo mjini Mostaganem, katika shirika la ORTF, na katika Shule ya Kitaifa ya Juu ya Louis-Lumière (École nationale supérieure Louis-Lumière) jijini Paris, na alitengeneza filamu kadhaa za makala pamoja na taarifa za habari.<ref>[https://elwatan-dz.com/mostaganem-abderrahmane-mostefa-homme-de-cinema-nous-quitte Lakhdar Hagani (3 November 2024). "Mostaganem : Abderrahmane Mostefa, homme de cinéma, nous quitte". elwatan-dz.com (in French). Retrieved 3 November 2024.]</ref> == Kifo == Mostefa alifariki dunia kwa shambulio la moyo usiku wa kukia tarehe [[1 Novemba]] [[2024]], akiwa na umri wa miaka 76.<ref>[https://elwatan-dz.com/mostaganem-abderrahmane-mostefa-homme-de-cinema-nous-quitte Lakhdar Hagani (3 November 2024). "Mostaganem : Abderrahmane Mostefa, homme de cinéma, nous quitte". elwatan-dz.com (in French). Retrieved 3 November 2024.]</ref> == Baadhi ya filamu zake == * ''Les Cuves de la mort'' ([[1996]])<ref>[https://www.djazairess.com/fr/letemps/157297 "Les Cuves de la mort, des images des atrocités du colonialisme français en Algérie". Djazairess. Retrieved 24 June 2021.]</ref> * ''Notre terre vaut de l'or'' ([[2008]]) * ''Demain reste toujours à faire'' ([[2009]]) * ''Cassaigne, le camp de la mort'' ([[2011]]) * ''Denis Martinez, l'artiste pédagogue'' ([[2012]]) * ''Les Enfumades du Dahra''<ref>[https://www.vitaminedz.com/fr/Algerie/enfumade-de-dahra-nekmaria-31808-1.html "Enfumade de DAHRA "Nekmaria"" (in French). Retrieved 22 June 2021.]</ref> == Tuzo na heshima == * [[1993]]: Tuzo ya Mpiga Picha ya UNESCO<ref>[https://www.vitaminedz.com/fr/Algerie/abderrahmane-mostefa-mostaganem-photographes-32014-1.html "Abderrahmane Mostefa Mostaganem Photographes d'Algérie - PHOTOGRAPHIE -". vitaminedz.com (in French). Retrieved 22 June 2021.]</ref> * [[1997]]: Tuzo Kuu ya Picha ya Jiji la Algiers<ref>[https://www.vitaminedz.com/fr/Algerie/abderrahmane-mostefa-mostaganem-photographes-32014-1.html "Abderrahmane Mostefa Mostaganem Photographes d'Algérie - PHOTOGRAPHIE -". vitaminedz.com (in French). Retrieved 22 June 2021.]</ref> * [[1998]]: Nishani ya Wissam Ali-Maâchi<ref>[https://www.vitaminedz.com/fr/Algerie/abderrahmane-mostefa-mostaganem-photographes-32014-1.html "Abderrahmane Mostefa Mostaganem Photographes d'Algérie - PHOTOGRAPHIE -". vitaminedz.com (in French). Retrieved 22 June 2021.]</ref> == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [https://www.imdb.com/ Abderrahmane Mostefa] kwenye IMDb [[Jamii:Waliozaliwa 1947]] [[Jamii:Waliofariki 2024]] b23rp6yqmiiqogjqxm7fi4pxh8zt5g2 Penda Dallé 0 248760 1594970 2026-09-07T11:44:55Z Agness Abubakar Saidi 88720 Kurasa mpya 1594970 wikitext text/x-wiki '''Tete Dallé Penda Jeannot''', aliyejulikana zaidi kwa jina lake la kisanaa kama '''Penda Dallé''' ([[1958]] – [[26 Desemba]] [[2022]]), alikuwa msanii na mwanamuziki kutoka nchini [[Kamerun]].<ref>[https://www.culturebene.com/83281-lartiste-musicien-camerounais-penda-dalle-est-decede.html Arabo, Idrissou (26 December 2022). "L'artiste musicien Camerounais, PENDA DALLE est décédé". Culturebene (in French). Retrieved 28 December 2022.]</ref> Alipata umaarufu mkubwa katika miaka ya 1980 kutokana na ukuaji wa televisheni na enzi za mtindo wa muziki wa Makossa. == Maisha na kazi == Tete Dallé Penda Jeannot alizaliwa mwaka [[1958]].<ref>[https://www.journalducameroun.com/cameroun-avec-le-deces-de-penda-dalle-la-serie-noire-continue/ Ndé Tchoussi, Emile Zola (26 December 2022). "Cameroun : avec le décès de Penda Dallé, la série noire continue". Journal du Cameroun (in French). Retrieved 28 December 2022.]</ref> Alianza kazi yake ya muziki katika miaka ya 1970, akipiga gitaa katika kundi la Les New-Stars, lililotokea eneo la Bonadibong, jijini Douala. Mnamo mwaka [[1976]], akiwa na umri wa miaka 18, alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Kamerun ambako alikaa kwa miaka mine na kupiga gitaa katika bendi ya jeshi la wanamaji. Akiwa mpiga gitaa stadi, Dallé alipiga gitaa kwa ajili ya mwanamuziki Emile Kangué. Alianza kazi yake ya pekee (solo career) mnamo mwaka [[1980]] na kutoa wimbo wake wa kwanza (single 45 tours) uitwao ''Se to mba / Ne nde muna musango''. Akishirikiana na Kangué, alianzisha kundi la muziki la La Musette. Penda Dallé alifariki dunia jijini Paris mnamo tarehe [[26 Desemba]] [[2022]], akiwa na umri wa miaka 64.<ref>[https://actucameroun.com/2022/12/26/necrologie-deces-du-chanteur-penda-dalle/ Happi, Christian (26 December 2022). "Nécrologie : Décès du chanteur Penda Dalle". Actu Cameroun (in French). Retrieved 28 December 2022.]</ref> == Albamu == * ''Bonadibong''<ref>[https://www.journalducameroun.com/cameroun-avec-le-deces-de-penda-dalle-la-serie-noire-continue/ Ndé Tchoussi, Emile Zola (26 December 2022). "Cameroun : avec le décès de Penda Dallé, la série noire continue". Journal du Cameroun (in French). Retrieved 28 December 2022.]</ref> == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == * [https://www.discogs.com/artist/2301984-Penda-Dalle Discography ya Penda Dallé] kwenye Discogs [[Jamii:Waliozaliwa 1958]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] [[Jamii:Wasanii wa Kamerun]] [[Jamii:Watu wa Kamerun]] 87u9ryddcq9wegwy0mnaguwdrqfajnd