Kimbugu

From Wikipedia

Kimbugu (pia huitwa Kima'a au Kibwayo na wengine) ni lugha mahuluti ya Kibantu na ya Kikushi nchini Tanzania inayozungumzwa na Wambugu.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Green, Clive. 1963. The Wambugu of Usambara (with notes on Kimbugu). Tanganyika notes and records, 61, uk.175-189.
  • Mous, Maarten. 1994. Ma’a or Mbugu. Katika: Mixed languages: 15 case studies in language intertwining, uk.175-201. Kuhaririwa na Peter Bakker & Maarten Mous. Amsterdam: Instituut voor Functioneel Onderzoek van Taal en Taalgebruik (IFOTT).
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kimbugu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kimbugu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.