Joseph Brodsky

From Wikipedia

Joseph Aleksandrovich Brodsky (24 Mei, 194028 Januari, 1996) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Kuanzia mwaka wa 1972 aliishi nchini Marekani. Mwaka wa 1987 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Joseph Brodsky" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Joseph Brodsky kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.