Eugenio Montale
From Wikipedia
Eugenio Montale (12 Oktoba, 1896 – 12 Septemba, 1981) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika mashairi na insha. Mwaka wa 1975 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Eugenio Montale (12 Oktoba, 1896 – 12 Septemba, 1981) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika mashairi na insha. Mwaka wa 1975 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.