Talk:Ardhi

From Wikipedia

[edit] Ihamishwe "Dunia"

Sababu: Ardhi si sayari, neno kwa kawaida humaanisha nchi kavu. Kamusi ya Kiswahili sanifu ya TUKI inataja "sayari" kama maana ya pembeni kwa ardhi lakini "dunia" kuwa ulimwengu; Kamusi ya Kiing-Kisw. ya TUKI inataja wazi kabisa "earth" ni "dunia".

Nasubiri siku moja kama wenzangu wanaona sababu nzuri kupinga hoja. --Kipala 11:45, 12 Februari 2006 (UTC)