Joseph Sinde Warioba

From Wikipedia

Joseph Sinde Warioba (amezaliwa 3 Septemba, 1940) ni mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 5 Novemba, 1985 hadi tarehe 9 Novemba, 1990 alikuwa Waziri Mkuu wa sita wa Tanzania. Alifuatwa na John Malecela.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Joseph Sinde Warioba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Joseph Sinde Warioba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine