Robert Hofstadter
From Wikipedia
Robert Hofstadter (15 Februari, 1915 – 17 Novemba, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1961, pamoja na Rudolf Mössbauer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.