Kaukazi

From Wikipedia

Milima ya Kaukazi inavyoonekana kutoka angani
Milima ya Kaukazi inavyoonekana kutoka angani

Kaukazi (Kirusi Кавказ Kawkas; Kigeorgia კავკასიონი Kawkasioni) ni eneo la milima kati ya Bahari Nyeusi na Bahari ya Kaspi linalohesabiwa kuwa mpaka kati ya Asia na Ulaya.

Kaukazi iko katika eneo la nchi Armenia, Azerbaijan, Georgia na Urusi. Mlima unaojulikana hasa ni mlima Ararat unaosemekana ni mahali pa safina ya Nuhu.



Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kaukazi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kaukazi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.