Oholiabu

From Wikipedia

Oholiabu alikuwa fundi anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania katika kitabu cha Kutoka, sura ya 35 kuanzia mstari wa 34. Alikuwa Mwanaisraeli kutoka kabila la Dani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Oholiabu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Oholiabu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine