Rasi ya Uarabuni

From Wikipedia

Rasi ya Uarabuni
Rasi ya Uarabuni

.

Rasi ya Uarabuni ni rasi kubwa ya Asia pia ya dunia katika Asia ya Magharibi.

Kwa macho ya gandunia rasi hii ni karibu sawa na bamba la Uarabuni.

Imepakana na Bahari ya Shamu upande wa Kusini, Ghuba ya Uajemi upande wa Kusini-magharibi na Bahari Hindi upande wa Kusini.

Katika karne ya 20 nchi za Uarabuni zilipata nafasi ya kutajirika kwa sababu a mafuta mengi ya petroli.


[edit] Nchi za rasi

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rasi ya Uarabuni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rasi ya Uarabuni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

sw:Bara Arabu