Abigaili

From Wikipedia

Abigaili alikuwa mke wa Mfalme Daudi wa Israeli. Ametajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika Kitabu cha Pili cha Samueli, kwa mfano sura ya 3, mstari wa 3. Alimzalia Daudi mwana aliyeitwa Kileabu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Abigaili" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Abigaili kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.