Wabena

From Wikipedia

Wabena ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Iringa, Wilaya ya Njombe. Lugha yao ni Kibena. Mwaka 2001 idadi ya Wabena ilikadiriwa kuwa 670,000 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wabena" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wabena kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine