Papa Pius VIII
From Wikipedia
Papa Pius VIII (20 Novemba 1761 – 30 Novemba 1830) alikuwa Papa kuanzia 31 Machi 1829 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Francesco Saverio Castiglioni. Alivishwa taji 5 Aprili 1829.
Categories: Papa | Mbegu