Carlos Saavedra Lamas

From Wikipedia

Carlos Saavedra Lamas
Carlos Saavedra Lamas

Carlos Saavedra Lamas (1 Novemba, 18785 Mei, 1959) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Argentina. Alikuwa Waziri ya Mambo ya Nje kuanzia 1932 hadi 1938. Wakati ule alisaidia kukomesha Vita ya Chako. Mwaka wa 1936 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Carlos Saavedra Lamas" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Carlos Saavedra Lamas kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.