Selma Lagerlof

From Wikipedia

Selma Lagerlöf (20 Novemba, 185816 Machi, 1940) alikuwa mwandishi wa kike kutoka nchi ya Sweden. Aliandika hasa riwaya. Mwaka wa 1909 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi akiwa mwanamke wa kwanza kupokea tuzo hiyo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Selma Lagerlof" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Selma Lagerlof kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.