Anatole France

From Wikipedia

Anatole France
Anatole France

Anatole France (16 Aprili, 184412 Oktoba, 1924) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1921 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Anatole France" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Anatole France kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.