Johannes Hans Daniel Jensen

From Wikipedia

Johannes Hans Daniel Jensen (25 Juni, 190711 Februari, 1973) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1963, pamoja na Maria Goeppert-Mayer na Eugene Wigner alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Johannes Hans Daniel Jensen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Johannes Hans Daniel Jensen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.