1095

From Wikipedia

[edit] Matukio

  • Koloman anapokea taji na kuwa mfalme wa Hungaria.
  • Machi - Kaisari wa Bizanti Alexius I Comnenus anatuma mabalozi kwa Papa Urban II kuomba usaidizi wa kijeshi dhidi ya uvamizi wa Waturuki wa Seljuk.
  • Novemba - Papa Urban II kwenye sinodi ya Clermont anatangaza wito la kujiunga na Vita ya Msalaba dhidi ya Waislamu wanaoshambulia Wakristo katika nchi za mashariki.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki