Günter Grass

From Wikipedia

Günter Grass (2004)
Günter Grass (2004)
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Günter Wilhelm Grass (amezaliwa 16 Oktoba, 1927) ni mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa ameandika riwaya na insha, na pia tamthiliya na mashairi. Mwaka wa 1999 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Günter Grass" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Günter Grass kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.