Wakwere
From Wikipedia
Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele) ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Bagamoyo. Lugha yao ni Kikwere.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wakwere" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wakwere kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |