Norman Angell
From Wikipedia
Sir Ralph Norman Angell Lane (26 Desemba, 1873 – 7 Oktoba, 1967) alikuwa mtaalamu wa uchumi na mwandishi wa habari kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alijitahidi kutekeleza amani ya kimataifa. Anajulikana sana kwa kitabu chake “Uwongo Mkubwa” (kwa Kiingereza Great Illusion) kilichotolewa mwaka wa 1910. Mwaka wa 1933 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
[edit] Viungo vya nje
ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu: