Macau

From Wikipedia

澳門特別行政區
Região Administrativa Especial de Macau
Mkoa mwenye utawala wa pekee wa Jamhuri ya Watu wa China
Flag of Macau Nembo ya Macau
Bendera Nembo
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: (kama China)
Lokeshen ya Macau
Mji mkuu -- 1
22°10′ N 113°33′ E
' (mji ulikuwa na tarafa ndani yake zilizofutwa tangu 2000)
Lugha rasmi · Kichina
· Kireno
Serikali
Mtendaji mkuu

Edmund Ho Hau-wah
Kuanzishwa kwa mji
Iliundwa na wenyeji Wachina
kutwaliwa na Ureno
koloni ya Ureno
Mkoa wa pekee wa China


Tangu karne ya 5 BK
1557
31 Agosti 1862
20 Desemba 1999
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
28.2 km² (--)
0
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
508,500 (ya 167)
431,000
17,310/km² (ya 2)
Fedha Pataca ya Macau (MOP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MST (UTC+8)
--
Intaneti TLD .mo
Kodi ya simu +853
1 Mji mkuu ulikuwa "Cidade do Nome de Deus de Macau" au rasi ya Macau yenyewe; makao makuu ya serikali ya koloni yalikaa kwenye tarafa ya Sao Lorenco.
2 Habari kutoka Direcção dos Serviços de Estatística e Censos (ofisi ya takwimu ya Macau )
3 Kadiri la serikali ya Macau si ya UM.

Macau (tamka: Makau; Kichina: Aomen) ni eneo dogo la Jamhuri ya Watu wa China lenye utawala wa pekee kwenye pwani la Bahari ya Kusini ya China. Eneo lake ni 28.2 km² kuna wakazi 508,500 (mwaka 2006). Msongamano wa watu ni kubwa ni watu 17,310 kwa kilomita ya mraba ambayo ni msongamano mkubwa wa pili duniani. Hali halisi eneo ni rasi ya Macau pamoja na visiwa viwili vidogo.

[edit] Koloni ya Ureno

Macau ilikuwa kituo cha Ureno tangu karne ya 16 na Wareno wakaikodi tangu 1670. Macau kama koloni ilithebitishwa katika mkataba wa Beijing wa mwaka 1887 kati ya China na Ureno.

[edit] Macau kama eneo la pekee ya China

1999 ilirudishwa mkononi wa serikali ya China lakini kwa hali ya pekee inayofanana na hali ya eneo la jirani la Hongkong. Macau inaendendelea kuratibu mambo yake kwa ndani yenyewe lakini katika madaraka kuhusu usalama, jeshi na siasa ya nje yapo Beijing.

Uchumi wa Macau hutegemea utalii na hasa michezo ya kamari. Kuna pia viwanda vya nguo.

Lugha rasmi ni Kichina na Kireno.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Macau" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Macau kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Macau" ni fupi mno. Inahitaji kupanushwa karibuni.
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.