Edward Muungamaji

From Wikipedia

Mtakatifu Edward Muungamaji, Mfalme wa Uingereza
Mtakatifu Edward Muungamaji, Mfalme wa Uingereza

Edward Muungamaji (takriban 10035 Januari, 1066) alikuwa mfalme wa Uingereza kuanzia mwaka wa 1042 hadi kifo chake. (Kwa Kiingereza huitwa Edward the Confessor.) Kama mfalme hakuwa na nguvu ya kutawala lakini maisha yake ya kikristo yalikuwa mfano mwema kabisa. Mwaka wa 1161 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 13 Oktoba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Edward Muungamaji" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Edward Muungamaji kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.