1972
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 20 Februari - Maria Goeppert-Mayer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 7 Aprili - Abedi Amani Karume (Rais wa kwanza wa Zanzibar) alipigwa risasi
- 16 Aprili - Yasunari Kawabata (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1968)
- 27 Aprili - Kwame Nkrumah (Rais wa kwanza wa Ghana)
- 4 Mei - Edward Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 11 Agosti - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)