Bermuda

From Wikipedia

Bermuda
Bendera ya Bermuda
(Bendera ya Bermuda) (Nembo la Bermuda)
Wito: Quo Fata Ferunt
(Kilatini: Pote heri inapotupeleka)
Image:LocationBermuda.png
Lugha rasmi Kiingereza
Hali ya kisiasa Eneo la ng'ambo la Uingereza
Mji mkuu Hamilton (Bermuda)
Gavana Sir John Vereker
Waziri Mkuu Alex Scott
Eneo 58.8 km²
Wakazi


-Jumla (2003)
 - Msongamano


64,482
1 096/km²
Pesa Bermuda dollar sawa na US dollar
Kanda la saa UTC -4
Wimbo wa taifa God Save the Queen
Interneti TLD .bm
Simu 1-441

Bermuda ni funguvisiwa ya visiwa 130 katika Atlantiki mbele ya pwani la Marekani ambayo ni eneo la ng'ambo la Uingereza. Umbali na Amerika bara ni 1,000 km.

Visiwa vilikuwa bila watu vilipotembelewa mara ya kwanza na Wahispania. Tangu 1615 vilitawaliwa na Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bermuda" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bermuda kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.