Eliabu

From Wikipedia

Eliabu alikuwa kiongozi wa kabila la Zebuluni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 7.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Eliabu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Eliabu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.