Zagreb
From Wikipedia
Zagreb ni mji mkuu wa Kroatia. Ina wakazi 973,667 2005. Iko katika kaskazini ya nchi kando la mto Sava kwenye kimo cha 120 m juu ya UB na anwani ya kijiografia ni 45°48′N 15°58′E.
[edit] Utamaduni
Zagreb ni kitovu cha taasisi za utamaduni wa Kroatia. Chuo Kikuu kiliundwa tar. 23 Septemba, 1669 ni kati ya vyuo vikuu vya kale katika Ulaya ya mashariki. Kuna pia Chuo cha Sanaa na Chuo cha Muziki.
[edit] Viungo vya Nje
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Zagreb" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Zagreb kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |