Kolomna
From Wikipedia
Kolomna (Kirusi: Kolomna) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 148,000.
[edit] Jiografia
Iko katika sehemu ya kiulaya ya Urusi km 110 kusini ya Moscow kwa 55°05'N na 38°47'E pale ambako mito ya Moskva na Okra inakutana.
[edit] Historia
Mji ulianzishwa mwaka mnamo 1177.
[edit] Uchumi
Mji umejulikana nchini Urusi kwa sababuya kiwanda kikubwa cha injini za reli.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kolomna" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kolomna kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |