Go-Sakuramachi

From Wikipedia

Go-Sakuramachi (17401813) alikuwa mfalme mkuu wa 117 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Satoko. Mwaka wa 1762 alimfuata kaka yake, Momozono, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1771. Aliyemfuata ni mpwa wake, Go-Momozono.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Go-Sakuramachi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Go-Sakuramachi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.