Nchi ya kimabara

From Wikipedia

Nchi ya kimabara ni nchi yenye eneo kwenye bara mbili au zaidi.

Mifano yake ni:

Nchi kadhaa yana maeneo ya ng'ambo kama urithi wa uenezi wa kikoloni, hasa kama wakazi wa maeneo yasiyopewa uhuru wamezoea au kukubali kabisa kuendelea kama raia wa nchi iliyokuwa mkoloni zamani.

Mifano yake ni:


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nchi ya kimabara" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nchi ya kimabara kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.