Tbilisi

From Wikipedia

Mahali pa Tbilisi nchini Georgia
Mahali pa Tbilisi nchini Georgia
Kitovu cha Tbilisi
Kitovu cha Tbilisi

Tbilisi (pia: Tiflis; Kigeorgia თბილისი ) ni mji mkuu wa Georgia. Iko kando la mto Kura (Mtkvari) kwa 41°43′N 44°47′E kwenye kimo cha 380 hadi 727 m juu ya UB.

Jiji lina wakazi milioni 1.345.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tbilisi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tbilisi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.