Ivo Andric

From Wikipedia

Ivo Andric
Ivo Andric

Ivo Andric (10 Oktoba, 189213 Machi, 1975) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Yugoslavia. Hasa aliandika riwaya; lugha yake ni KiSerbia. Mwaka wa 1961 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ivo Andric" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ivo Andric kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.