Mchuzi

From Wikipedia

Mchuzi ni kitoweo cha maji maji kinachopikwa kwa kuchanganya nyama au samaki nk, pamoja na viungo kama vile binzari, vitunguu, mafuta, chumvi na nyanya.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mchuzi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mchuzi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Mchuzi wa bata kuku mtaamu sana. Wachanganywa na viungo na mafuta ladha yake ni ya kipekee