Ivar Giaever
From Wikipedia
Ivar Giaever (amezaliwa 5 Aprili, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Norwei. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya upitishaji umeme. Mwaka wa 1973, pamoja na Leo Esaki na Brian Josephson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.