Songea Vijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Songea Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Ruvuma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 147,924 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Songea Vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Songea Vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine