Joseph Sinde Warioba
From Wikipedia
Joseph Sinde Warioba (amezaliwa 3 Septemba, 1940) ni mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 5 Novemba, 1985 hadi tarehe 9 Novemba, 1990 alikuwa Waziri Mkuu wa sita wa Tanzania. Alifuatwa na John Malecela.