Nils Dalen

From Wikipedia

Nils Gustaf Dalén
Nils Gustaf Dalén

Nils Gustaf Dalén (30 Novemba, 18699 Desemba, 1937) alikuwa mhandisi kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mambo ya gesi. Mwaka wa 1912 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nils Dalen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nils Dalen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.