John Lydon

From Wikipedia

John Lydon alikuwa mwanamuziki wa Uingereza. Jina lake la kuzaliwa ni John Joseph Lydon. Alizaliwa 31 Januari, 1956 huko London. Alikuwa anapiga muziki wa Punk na Post punk.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Lydon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Lydon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.