Wilhelm Ostwald
From Wikipedia
Friedrich Wilhelm Ostwald (2 Septemba, 1853 – 4 Aprili, 1932) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1909 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa ajili ya utafiti wake kuhusu uchocheaji.
Friedrich Wilhelm Ostwald (2 Septemba, 1853 – 4 Aprili, 1932) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1909 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa ajili ya utafiti wake kuhusu uchocheaji.