John Stephen Akhwari

From Wikipedia

John Stephen Akhwari (amezaliwa 1938) ni mwanariadha kutoka nchi ya Tanzania aliyehudhuria Michezo ya Olimpiki mwaka wa 1968 kule Mexiko upande wa mbio ya marathoni.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Stephen Akhwari" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Stephen Akhwari kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine