Nils Dalen
From Wikipedia
Nils Gustaf Dalén (30 Novemba, 1869 – 9 Desemba, 1937) alikuwa mhandisi kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mambo ya gesi. Mwaka wa 1912 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Nils Gustaf Dalén (30 Novemba, 1869 – 9 Desemba, 1937) alikuwa mhandisi kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mambo ya gesi. Mwaka wa 1912 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.