Wamaasai
From Wikipedia
Wamaasai ni kabila la watu wapatao 900,000 wanaoishi Kenya na Tanzania. Jina la jiji "Nairobi" limetokana na neno la Kimaasai Enkarenairobi (linalomaanisha "mahali penye maji baridi").
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wamaasai" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wamaasai kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |