Ratili

From Wikipedia

Ratili (pia: ratli - kutoka kiar. رطل ratl) ni kipimo cha masi cha kihistoria cha takriban nusu kilogramu au 500 g.

Ni kati ya vipimo asilia vya Kiswahili si kipimo sanifu cha kisasa.

Inalingana na "pauni" (pound) ya Ulaya.

[edit] Marejeo