Arthur Schawlow

From Wikipedia

Arthur Leonard Schawlow (5 Mei, 192128 Aprili, 1999) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Kama mtoto na kijana aliishi na kusoma nchini Kanada kabla hajarudi Marekani. Hasa alichunguza mnururisho na kubuni leza alipofanya kazi pamoja na Charles Townes. Mwaka wa 1981, pamoja na Nicolaas Bloembergen na Kai Siegbahn alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Arthur Schawlow" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Arthur Schawlow kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.