Shilingi ya Kenya

From Wikipedia

Shilingi 20
Shilingi 20
sarafu ya KSh 10
sarafu ya KSh 10

Shilingi ya Kenya (KES au Ksh) ni fedha za Kenya. Shilingi moja imegawanywa kwenye senti mia moja.

Kuna sarafu za shilingi 1, 5, 10, 20 na 40. Sarafu za senti zipo za zamani za senti 1, 5, 10, 20 na 50 lakini hazinunui kitu tena. Noti ziko za shilingi 20, 50, 100, 200, 500 na 1000.

  • Shilingi 1 = Senti 100

Majina ya zamani:

  • Thumuni 1 = Senti 50
  • Ndururu 1 = Senti 5
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Shilingi ya Kenya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Shilingi ya Kenya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.