Fela Kuti
From Wikipedia
Fela Kuti (15 Oktoba, 1938 – 2 Agosti, 1997) alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Olufela Olusegun Oludotun Ransome-Kuti. Alikuwa anapiga muziki wa Afrobeat.
Fela Kuti (15 Oktoba, 1938 – 2 Agosti, 1997) alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Olufela Olusegun Oludotun Ransome-Kuti. Alikuwa anapiga muziki wa Afrobeat.