Kisuba
From Wikipedia
Kisuba ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wasuba. Haijajulikana kama ni lugha nyingine au sawa na lugha ya Kisuba kinachozungumzwa nchini Kenya. Marejeo ya hapo chini yanahusu Kisuba cha Kenya.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=suh
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
- http://www.linguistics.berkeley.edu/CBOLD/Docs/TLS.html (tovuti hiyo ina msamiati wa Kisuba)
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:
- Ayot, Henry Okello. 1979. A history of the Luo-Abasuba of western Kenya from AD 1760-1940. Nairobi: Kenya Literature Bureau.
- Rottland, Franz; Okoth-Okombo, Duncan. 1992. Language shift among the Suba of Kenya. Katika: Language death: factual and theoretical explorations with special reference to East Africa (Contributions to the sociology of language, vol 64), uk.273-283. Kuhaririwa na Matthias Brenzinger. Berlin & New York: Mouton de Gruyter.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kisuba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kisuba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |