Wamalila

From Wikipedia

Wamalila ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya. Lugha yao ni Kimalila.

Umalila iko kusini ya barabara kati ya Mbeya na Mbozi katika nyanda za juu kwenye mazingira ya Santilya.

Mito ya Songwe ya kusini na Songwe ya kaskazini zina chanzo katika Umalila.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamalila" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamalila kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine