St. Pierre na Miquelon
From Wikipedia
|
|||
Wito: A mare labor (Kazi kutoka bahari) | |||
Lugha rasmi | Kifaransa | ||
Mji Mkuu | St. Pierre | ||
Rais wa Halmashauri Kuu | Stéphane Artano | ||
Mkuu wa Mkoa (Préfet) | Albert Dupuy | ||
Eeno – Jumla – % maji |
242 km² 0.0% |
||
Idadi ya wakazi – Jumla (2005) |
7,012 |
||
Pesa | Euro (€;EUR) | ||
Jamla la pato la eneo (Wanazaa kiasi gani cha mali kwa mwaka) | $48.3 Millioni | ||
Kanda la saa | UTC-3 | ||
Simu ya eneo | 508 ¹ | ||
Intaneti TLD | .pm | ||
1. 0508 kutoka Ufaransa bara. | |||
![]() |
Saint-Pierre na Miquelon ni funguvisiwa na eneo la ng'ambo la Ufaransa (Collectivité d'outre mer) karibu na pwani la Kanada katika bahari ya Atlantiki
Contents |
[edit] Jiografia
Funguvisiwa iko karibu na jimbo la Newfoundland ya Kanada. Visiwa vikubwa zaidi ni Saint-Pierre (26 km²), Miquelon (110 km²), Langlade (91 km²) halafu kuna visiwa vingine vidogo. Jumla la eneo ni 242 km² penye wakazi 6,316 hasa kisiwani Saint-Pierre (5,618).
[edit] Historia
Visiwa vimetembelewa na wavuwi kutoka Ulaya tangu karne ya 15. Inaaminiwa ya kwamba makazi ya kwanza ya kudumu ya wavuwi Wafaransa yalianzishwa katika karne ya 17. Tangu vita ya miaka saba visiwa hivi vilikuwa mabaki ya pekee ya koloni ya Kanada ya Kifaransa.
[edit] Uchumi
Uchumi umetegemea tangu mwanzo na uvuwi. Siku hizi kuna pia utalii.
[edit] Siasa
Wakazi wa visiwa ni raia wa Ufaransa. Huchagua bunge lao lenye watu 19. Bunge la eneo lamchagua mwakilishi mmoja katika bunge la kitaifa la Ufaransa.
Saint-Pierre na Miquelon si sehemu ya Eneo la forodha la Ulaya.
[edit] Viungo vya nje
- Official tourism website for St Pierre and Miquelon
- Tourism ressources and information
- Le Phare: Association of Tourism Professionals
Template:North America