Alumini
From Wikipedia
Alumini ni elementi. Namba atomia yake ni 13, uzani atomia ni 26.9815. Katika mazingira ya kawaida ni metali laini yenye rangi nyeupe ya kifedha. Alama yake ni Al.
Platini huyeyuka kwa 933.47 K (660.32 °C) na kuchemka kwa 2792 K (2519 °C).
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Alumini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Alumini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Metali | Elementi