Nikolai Basov

From Wikipedia

Nikolai Gennadiyevich Basov (14 Desemba, 19221 Julai, 2001) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza mionzi ya aina mbalimbali na kuvumbua leza. Mwaka wa 1964, pamoja na Aleksander Prokhorov na Charles Townes alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nikolai Basov" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nikolai Basov kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.