Papa Pius X
From Wikipedia
Image:Stpiusx.jpg
Pius X
Papa Pius X (2 Juni, 1835 – 20 Agosti, 1914) alikuwa Papa kuanzia 4 Agosti, 1903 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuseppe Sarto. Alivishwa taji 9 Agosti 1903. Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu wa Mantua (tangu 1884) na askofu mkuu wa Venice (tangu 1893). Mwaka wa 1954 alitangazwa kuwa mtakatifu.