Artturi Ilmari Virtanen

From Wikipedia

Artturi Ilmari Virtanen (15 Januari, 189511 Novemba, 1973) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Finland. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza virusi vikaavyo kwenye udongo. Mwaka wa 1945 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Artturi Ilmari Virtanen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Artturi Ilmari Virtanen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.