John Steinbeck

From Wikipedia

Sanamu ya John Steinbeck katika mji wa Monterey, Marekani
Sanamu ya John Steinbeck katika mji wa Monterey, Marekani
WikiMedia Commons


John Ernst Steinbeck (27 Februari, 190220 Desemba, 1968) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya yake “Zabibu za Hasira” (kwa Kiingereza: Grapes of Wrath) iliyotolewa mwaka wa 1939. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Steinbeck" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Steinbeck kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.