Saint-Pierre na Miquelon

From Wikipedia

Mahali pa Saint-Pierre-et-Miquelon
Mahali pa Saint-Pierre-et-Miquelon
Bendera ya Saint-Pierre-et-Miquelon
Bendera ya Saint-Pierre-et-Miquelon

Saint-Pierre and Miquelon (Kifaransa: Saint-Pierre-et-Miquelon) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa (Collectivité d'outre mer) ambalo ni funguvisiwa mbele ya pwani la Kanada katika Atlantiki.

Visiwa vikubwa zaidi ni Saint-Pierre (26 km²), Miquelon (110 km²), Langlade (91 km²) shalafu visiwa vingine vidogo vyenye eno la jumla 242 km². Miquelon na Langlade vilikuwa visiwa viwili lakini leo vimeungwa kwa kanda ya nchi kavu vyaitwa pamoja kama "Miquelon".

Jumla ya wakazi ni watu 6,316 (Saint-Pierre: wakazi 5.618, Miquelon na Langlade: wakazi 698).

Visiwa hii ni mabaki ya koloni kubwa ya zamani iliyoitwa "Nouvelle-France" (Ufaransa Mpya) na kuenea katika Kanada.

[edit] Viungo vya Nje


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Saint-Pierre na Miquelon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Saint-Pierre na Miquelon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.