Penina Muhando
From Wikipedia
Penina Muhando (amezaliwa 1948) ni mwandishi wa kike kutoka nchi ya Tanzania. Hasa ameandika tamthiliya. Baadhi yao ni:
- Hatia (1972)
- Tambueni haki zetu (1973)
- Heshima yangu (1974)
- Pambo (1975)
Penina Muhando (amezaliwa 1948) ni mwandishi wa kike kutoka nchi ya Tanzania. Hasa ameandika tamthiliya. Baadhi yao ni: