Sharjah
From Wikipedia
Sharjah (Kiar.: الشارقة ash-shaariqah) ni utemi pia mji mkuu wake katika shirikisho la Falme za Kiarabu.
Ina wakazi 636,000 kwenye eneo la 2,600 km² mwambanoni wa Ghuba ya Uajemi.
[edit] Jiografia
Image:Sharjah-stamp1.jpg
Stempu ya Sharjah
Sharjah ni utemi mkubwa wa tatu kati ya Falme za Kiarabu. Inatawaliwa na Sheikh Dr. Sultan al-Qasimi.
Mji wa Sharja ina wakazi 519,000 (2003 sensa). Iko karibu na miji ya Ajman na Dubai na yoze mitatu imekuwa sasa rundiko la jiji.
[edit] Viungo vya Nje
- Sharjah Commerce and Tourism Development Authority
- Sharjah Police
- WorldStatesmen
- History of Kalba at uaeinteract.com
- The Dawoodi Bohras in Sharjah