Henryk Sienkiewicz

From Wikipedia

Henryk Sienkiewicz (5 Mei, 184615 Novemba, 1916) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland. Riwaya zake zilikuwa hupendwa sana na watu wengi. Mwaka wa 1905 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Henryk Sienkiewicz" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Henryk Sienkiewicz kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.