Hannes Alfven

From Wikipedia

Hannes Olof Gösta Alfvén (30 Mei, 19082 Aprili, 1995) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uswidi. Hasa alichunguza uionishaji wa gesi na umuhimu wake kwa chanzo cha ulimwengu. Mwaka wa 1970, pamoja na Louis Neel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hannes Alfven" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hannes Alfven kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.