Vaduz

From Wikipedia

Maneo ya mji wa Vaduz nchini Liechtenstein
Maneo ya mji wa Vaduz nchini Liechtenstein
Nembo ya Vaduz
Kitovu cha mji wa Vaduz
Kitovu cha mji wa Vaduz
Boma la Vaduz ni makao ya mtemi
Boma la Vaduz ni makao ya mtemi

Vaduz (tamka: faduts) ni mji mkuu wa utemi wa Liechtenstein na makao makuu ya bunge la nchi. Iko kando la mto Rhine. Kuna wakazi 5,248. Mahali pake ni 47°8' N, 9°31' E.

Wakazi walio wengi ni wakatoliki. Kuna Askofu Mkuu wa kanisa katoliki.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Vaduz" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Vaduz kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.