1963
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 12 Desemba - Nchi ya Kenya inapata uhuru kutoka Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 4 Machi - William Carlos Williams (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1963)
- 11 Mei - Herbert Spencer Gasser (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1944)
- 22 Novemba - John F. Kennedy (Rais wa Marekani) aliuawa.