Sheldon Glashow

From Wikipedia

Sheldon Lee Glashow (amezaliwa 5 Desemba, 1932) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Abdus Salam na Steven Weinberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sheldon Glashow" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sheldon Glashow kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.