Lugha ya kwanza

From Wikipedia

Lugha ya kwanza ni lugha ya mtu ambayo anaiongea kama lugha yake ya kwanza tangu utotoni. Pia lugha hiyo huitwa lugha ya mama (kwa Kiingereza "mother tongue") kwa vile watu wengi hujifunza lugha yao ya kwanza kutoka kwa mama mzazi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lugha ya kwanza" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lugha ya kwanza kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.