Malé
From Wikipedia

Malé, Maldives
Malé ni mji mkuu wa jamhuri ya Maldivi. Ina wakazi 81,647 (2004).
Mji upo kwenye kisiwa cha Malé. Kuna bandari na ofisi za serikali. Uwanja wa ndege wa Malé uko karibu na kisiwa cha Hulhule.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Malé" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Malé kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Miji Mikuu Asia | Maldivi | Malé