Kunguru

From Wikipedia

Kunguru
Kunguru Shingo-kahawia
Kunguru Shingo-kahawia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege wimbaji)
Familia: Corvidae (Ndege walio na mnasaba na kunguru)
Jenasi: Corvus (Kunguru)
Linnaeus, 1758
Spishi: Angalia katiba

Kunguru ni ndege wa jenasi Corvus ndani ya familia Corvidae ambao ni wakubwa na weusi pengine na rangi ya weupe, majivu au kahawia. Hula nusura kila kitu: wanyama na ndege wadogo, wadudu, mizoga, matunda, nafaka k.y.k. Hujenga matago yao juu ya miti au majabali. Spishi nyingine hujenga matago kwa makundi.

[edit] Spishi za Afrika

[edit] Spishi za mabara mengine