Kuala Lumpur

From Wikipedia

Kitovu cha jiji la Kuala Lumpur
Kitovu cha jiji la Kuala Lumpur

Kuala Lumpur ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Malaysia. Eneo lake ni km² 243.65 na idadi ya wakazi 1,453,978 (mwaka 2005).

[edit] Jiografia

Kuala Lumpur iko km 35 kutoka pwani la magharibi la rasi ya Malay mahali panapoungana mito ya Gombak na Klang kwenye 3° 09' 35" N 101° 42' 12" O3° 09' 35" N 101° 42' 12" O.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kuala Lumpur" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kuala Lumpur kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.