1929
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 11 Februari - Mkataba wa Lateran kati ya serikali ya Italia na Papa kuhusu mamlaka juu ya Mji wa Vatikani
[edit] Waliozaliwa
- 15 Januari - Martin Luther King
- 31 Januari - Rudolf Moessbauer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961)
- 5 Aprili - Ivar Giaever (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1973)
- 15 Septemba - Murray Gell-Mann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1969)
- 9 Novemba - Imre Kertesz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2002)
[edit] Waliofariki
- 4 Aprili - Karl Friedrich Benz (mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa)
- 3 Oktoba - Gustav Stresemann (mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)