1976
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 29 Juni - Visiwa vya Shelisheli vinapata uhuru kutoka Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
- 27 Novemba - Jean Grae, mwanamuziki wa Marekani
[edit] Waliofariki
- 1 Februari - Werner Heisenberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1932)
- 25 Agosti - Eyvind Johnson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1974)