Kanuni ya Pauli

From Wikipedia

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kanuni ya Pauli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kanuni ya Pauli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.