Riga
From Wikipedia
Riga ni mi mkuu wa Latvia pia mji mkubwa mwenye wakazi 731.672 (mwaka 2005).
Mji uko kando la mto Dunava karibu na pwani la Baltiki.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Riga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Riga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |