Poland

From Wikipedia

Rzeczpospolita Polska
Jamhuri ya Poland
Flag of Poland Nembo ya Poland
Bendera Nembo
Wito la taifa: hakuna
Wimbo wa taifa: Kipoland: Mazurek Dąbrowskiego
(Translation: "Dąbrowski's Mazurka")
Lokeshen ya Poland
Mji mkuu Warshawa
52°13′ N 21°02′ E
Mji mkubwa nchini Warshawa
Lugha rasmi Kipoland[1]
Serikali
Rais
Jamhuri
{{{leader_names}}}
Chanzo cha taifa
Kupokea Ukristo[2]
966
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
312,685 km² (ya 68)
2.65%
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
38 635 144 (ya 31)
38,230,080
123.5/km² (ya 64)
Fedha Złoty (tamka: swoti) (PLN)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .pl (pia .eu kama sehemu ya Umoja wa Ulaya)
Kodi ya simu +48
1Kibelarusi, Kikashubi, Kijerumani and Kikraini zinatumiwa kieneo lakini si lugha rasmi za kitaifa.
2Kupokelewa kwa Ukristo na Poland hutazamiwa kama chanzo cha taifa la Poland.

Poland (Kipoland: Polska) ni nchi ya Ulaya ya Kati. Imepakana na Ujerumani upande wa magharibi, Uceki na Slovakia kwa kusini, Ukraine na Belarus upande wa mashariki na Bahari ya Baltiki, Lituanya na Urusi (mkoa wa Kaliningrad Oblast) kwa kaskazini. Poland imekuwa nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu Mei 2004.

Mto mkubwa wa Poland ni Vistula mwenye 1064 km kutoka chanzo hadi mdomo.

Contents

[edit] Viungo vya Nje

[edit] Kurasa za taasisi za serikali

[edit] Utalii Poland

[edit] Kurasa mtandaoni juu ya Poland

[edit] Habari za Poland kwa Kiingereza


Nchi na maeneo ya Ulaya
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikani

Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard

Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1

Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2

Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro