Pagieli
From Wikipedia
Pagieli alikuwa kiongozi wa kabila la Asheri anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 27.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Pagieli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Pagieli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |