Wawanji

From Wikipedia

Wawanji ni kabila kutoka eneo la Makete, katika milima Kipengere ya Mkoa wa Iringa, sehemu ya kusini ya nchi Tanzania. Mwaka 2003 idadi ya Wawanji ilikadiriwa kuwa 28,000 [1]. Lugha yao ni Kiwanji.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wawanji" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wawanji kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine