Richard Kuhn
From Wikipedia
Richard Kuhn (3 Desemba, 1900 – 1 Agosti, 1967) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza vitamini. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Richard Kuhn (3 Desemba, 1900 – 1 Agosti, 1967) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza vitamini. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.