Shinichiro Tomonaga

From Wikipedia

Shinichiro Tomonaga (31 Machi, 19068 Julai, 1979) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Japani. Hasa alichunguza nguvu za umeme na nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1965, pamoja na Richard Feynman na Julian Schwinger alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Shinichiro Tomonaga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Shinichiro Tomonaga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.