1979
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 11 Februari - Mapinduzi ya Uajemi
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 5 Januari - Charles Mingus, mwanamuziki wa Marekani
- 8 Februari - Dennis Gabor (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1971)
- 1 Juni - Werner Forssmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956)
- 8 Julai - Shinichiro Tomonaga (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965)