Gustav Stresemann

From Wikipedia

Gustav Stresemann (mwaka wa 1920)
Gustav Stresemann (mwaka wa 1920)


Gustav Stresemann (10 Mei, 18783 Oktoba, 1929) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1923 alikuwa Waziri Mkuu na kuanzia 1924 hadi 1929 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Mwaka wa 1926, pamoja na Aristide Briand alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gustav Stresemann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gustav Stresemann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.