1910
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 13 Februari - William Shockley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956)
- 27 Agosti - Mama Teresa (Agnes Bojaxhiu)
- 19 Oktoba - Subrahmanyan Chandrasekhar (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983)
[edit] Waliofariki
- 26 Aprili - Bjørnstjerne Bjørnson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1903)
- 27 Mei - Robert Koch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1905)
- 30 Oktoba - Henri Dunant (mwanzishi Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901)