Wikimedia Commons

From Wikipedia

Wikimedia Commons (pia huitwa "Wikicommons") ni hazina ya kuhifadhia na kutumia faili za picha, za sauti na nyinginezo. Utumiaji wa faili hizo ni huru kwa wikipedia za lugha zote; tena siyo lazima kuzipakia kwenye wikipedia mojamoja kwa vile zinapatikana kutoka wikipedia zote. Wikimedia Commons ni mradi wa Wikimedia Foundation.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wikimedia Commons" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wikimedia Commons kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.