Sri Jayawardenapura

From Wikipedia

Bunge jipya la Sri Lanka mjini Sri Jayawardenapura
Bunge jipya la Sri Lanka mjini Sri Jayawardenapura

Sri Jayawardenapura-Kotte ni mji mkuu wa Sri Lanka mwenye wakazi 115,826. Imekuwa mji mkuu tangu 29 Aprili 1982 badala ya jiji kubwa la jirani Colombo. Wakati ule jina lake likabadilishwa liliwahi kuitwa "Kotte" tu.

Hali halisi ni kama mji wa kando katika rundiko la mji wa Colombo.

Kotte iliwahi kuwa mji mkuu wa milki ya Kotte kabla ya kuja kwa ukoloni wa Wareno. Baadaye Colombo ilichukua nafasi ya makao makuu ya utawala wakati wa ukoloni na pia katika miaka ya kwanza wa uhuru. Ofisi za wizara kadhaa bado ziko Colombo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sri Jayawardenapura" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sri Jayawardenapura kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.