Camilo José Cela
From Wikipedia
Camilo Jose Cela Trulock (11 Mei, 1916 – 17 Januari, 2002) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Hispania. Aliandika riwaya, insha na vitabu vya safari. Mwaka wa 1989 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Camilo Jose Cela Trulock (11 Mei, 1916 – 17 Januari, 2002) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Hispania. Aliandika riwaya, insha na vitabu vya safari. Mwaka wa 1989 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.