Andre Cournand

From Wikipedia

André Frédéric Cournand (24 Septemba, 189519 Februari, 1988) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ufaransa; alihamia Marekani baadaye. Hasa alichunguza magonjwa ya moyo na tiba zake. Mwaka wa 1956, pamoja na Werner Forssmann na Dickinson Richards alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Andre Cournand" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Andre Cournand kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.