Octavio Paz

From Wikipedia

Octavio Paz (31 Machi, 191419 Aprili, 1998) alikuwa mshairi na mwanasiasa kutoka nchi ya Mexiko. Tangu mwaka wa 1945 alifanya kazi kama balozi kwa ajili ya nchi yake. Mwaka wa 1990 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Octavio Paz" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Octavio Paz kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.