Uturuki

From Wikipedia

Karte der Türkei
Karte der Türkei
Türkiye Cumhuriyeti
Republic of Turkey
Flag of Turkey Nembo ya Turkey
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kituruki: Yurtta Sulh, Cihanda Sulh
("Amani nyumbani, amani duniani")
Wimbo wa taifa: İstiklâl Marşı
Lokeshen ya Turkey
Mji mkuu Ankara
41°1′ N 28°57′ E
Mji mkubwa nchini Istanbul
Lugha rasmi Kituruki
Serikali Jamhuri
Ahmet Necdet Sezer
Recep Tayyip Erdoğan
Kuundwa kwa nchi ya kisasa
Kuundwa kwa bunge
Mwanzo wa vita ya uhuru
Ushindi
Kutangaza Jamhuri

23 Aprili 1920
19 Mei 1919
30 Agosti 1922
29 Oktoba 1923
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
780,580 km² (ya 36)
1.3
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
73,193,000 (ya 17 1)
67,844,903
90/km² (ya 82 1)
Fedha Lira Mpya2 (TRY)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
CEST (UTC+3)
Intaneti TLD .tr
Kodi ya simu +90

Uturuki ni nchi ya Asia ya magharibi lakini sehemu ndogo ya eneo lake magharibi ya Bosporus iko Ulaya. Sehemu kubwa ya mipaka yake ni bahari: Mediteranea upande wa magharibi na kusini na Bahari Nyeusi upande wa kaskazini. Kwenye nchi kavi imepakana na Ugiriki na Bulgaria upande wa magharibi, Kaskazini-mashariki na Georgia, Armenia na Azerbaijan, kwa upande wa mashariki na Iran na upande wa kusini na Iraq na Syria.

Jamhuri ya Uturuki ilianzishwa mwaka 1923 na jenerali Kemal Atatürk baada ya vita mbili. Vita ya kwanza ilikuwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia iliyovunja Dola la Uturuki, na vita ya pili ilifuata wa kuondoa wanajeshi wa Ugiriki na nchi nyingine zilizowahi kuingia ndani sehemu niliyokuwa imebaki baada ya kuvinjika kwa dola kubwa.

Atatürk alileta mabadiliko mengi yaliyolenga kuondoa utamaduni wa kale wa Dola la Uturuki na enzi za utwala wa sultani ya Kiislamu. Magharibi ya nchi imeendelea sana lakini katika maeneo ya mashariki yamebaki nyuma. Siku hizi Uturuki inalenga kuingia katika Umoja wa Ulaya.

Uturuki ina wakazi milioni 69.

Serikali ina utaratibu wa kidemokrasia ya vyama vingi. Utawala ya nchi ni kwa mikoa 81. Mji mkuu ni Ankara katika kitovu cha Anatolia. Mji mkubwa ni Istanbul iliyoitwa zamani Konstantinopoli na zamani zaidi Bizanti iliyokuwa mji mkuu wa Dola la Uturuki hadi 1923.

[edit] Picha za Uturuki

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.