Arusha
From Wikipedia
Arusha ni neno la kutaja watu na mahali katika Tanzania kazkazini-mashariki:
- Kabila la Waarusha
- Mkoa wa Arusha
- Wilaya ya Arusha
- Mji wa Arusha ni makao makuu ya mkoa na wilaya, pia makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki