Otto Wallach

From Wikipedia

Otto Wallach
Otto Wallach

Otto Wallach (27 Machi, 184726 Februari, 1931) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza michanganyiko kama terpini. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Otto Wallach" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Otto Wallach kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.