Elishama
From Wikipedia
Elishama alikuwa kiongozi wa kabila la Efraimu anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 18.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Elishama" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Elishama kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |