Bukoba (mji)

From Wikipedia

Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bukoba (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bukoba (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.