Qatar

From Wikipedia

دولة قطر
Dawlat Qatar

State of Qatar
Flag of Qatar Nembo ya Qatar
Bendera Nembo
Wito la taifa:
Wimbo wa taifa: As Salam al Amiri
Lokeshen ya Qatar
Mji mkuu Doha
25°18′ N 51°31′ E
Mji mkubwa nchini Doha
Lugha rasmi Kiarabu, Kiingereza
Serikali
Mtemi
Waziri mkuu
Ufalme
Hamad bin Khalifa
Abdullah bin Khalifah Al Thani
Uhuru1
 
3 Septemba 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
11,437 km² (ya 164)
„kidogo sana“
Idadi ya watu
 - Julai 2006 kadirio
 - 2004 sensa
 - Msongamano wa watu
 
839,213 (ya 158)
744,029 [1]
74/km² (ya 121)
Fedha Riyal (QAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
(UTC+3)
Intaneti TLD .qa
Kodi ya simu +974
1 Qatar ilitawaliwa na familia ya Al Thani tangu karne ya 19 lakini ilikuwa chini ya Uingereza katika karne ya 20

Qatar (Kiarabu: قطر ) ni utemi mdogo wa Uarabuni kwenye rasi ya Qatar ambayo ni sehemu ya rasi kubwa ya Uarabuni. Imepakana na Saudi Arabia upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya Ghuba ya Uajemi. Kisiwa cha Bahrain kiko karibu.

Mji mkuu wa Qatar Doha.

Watu wa Qatar wenyewe ni Waarabu. Kiarabu ni lugha rasmi ya nchi lakini Kiingereza hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya biashara na ofisini.

Kati ya wakazi lakhi nane na nusu idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali. Waqatari wenyewe ni Waislamu lakini wakazi kutoka nje hufuata dini mbalimbali.

Uchumi wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya petroli na gesi yake.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Qatar" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Qatar kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.