Juneau (Alaska)
From Wikipedia
Juneau ni mji mkuu wa Alaska (jimbo la Marekani). Mwaka 2000 mji ulikuwa na wakazi 30,711.
Juneau iliundwa 1881 kutokana na kambi la wachimba dhahabu. Jina la mji latunza kumbukumbu la Joe Juneau aliyekuwa kati ya watu waliogundua dhahabu hapa.