François Mauriac

From Wikipedia

François Mauriac (11 Oktoba, 18851 Septemba, 1970) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Maandiko yake mara nyingi yanahusu nafsi ya mtu anayejaribu kuelewa mambo ya dhambi, ya neema na ya wokovu. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "François Mauriac" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu François Mauriac kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.