1830
From Wikipedia
[edit] Matukio
- Omani/Zanzibar: Sultani Sayyid Said anahamisha mji mkuu wake kutoka Omani kuja Zanzibar. Anavutwa na ardhi yenye rutba na upatikanaji wa kazi ya watumwa akianzisha kilimo cha karafuu.
- 14 Juni Sidi-Ferruch (Algeria): Vikosi vya jeshi la Ufaransa vinatelemka mwambaoni wa Algeria. Ukoloni wa Ufaransa unaanza.
[edit] Waliozaliwa
- 15 Machi - Paul Heyse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1910)
- 8 Septemba - Frederic Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904)
- 17 Desemba - Simon Bolivar, mwanasiasa na mwanajeshi katika Amerika ya Kusini aliyeongoza mapambano dhidi ya ukoloni wa Hispania, katika mji wa Santa Marta (Kolombia)