Paul Eluard

From Wikipedia

Paul Éluard (14 Desemba, 189518 Novemba, 1952) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugène Grindel. Aliandika hasa mashairi, na katika maandishi yake ya kisiasa alimsifu Stalin.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Paul Eluard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paul Eluard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.