Fritz Pregl

From Wikipedia

Fritz Pregl
Fritz Pregl

Fritz Pregl (3 Septemba, 1869 huko Laibach (leo Lubljana - Slovenia) - 13 Disemba, 1930 Graz – Austria) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Austria. Aligundua mbinu za umikrokemia yaani uchambuzi wa kikemia penye kiasi cha dutu kidogo sana jinsi ilivyo mara nyingi katika uchambuzi wa sampuli za seli au viowevu vya kibinadamu kwenye maabara ya hospitali. Mwaka wa 1923 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Fritz Pregl" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Fritz Pregl kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.