1954
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 7 Julai - Chama cha TANU kimeanzishwa huko Tanganyika.
[edit] Waliozaliwa
- 24 Oktoba - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya
[edit] Waliofariki
- 28 Aprili - Leon Jouhaux (kiongozi Mfaransa wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1951)
- 14 Julai - Jacinto Benavente (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1922)