Wilaya ya Tanganyika

From Wikipedia

Mahali pa Wilaya ya Tanganyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Wilaya ya Tanganyika ni eneo katika Mkoa wa Katanga wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ufukoni wa Ziwa la Tanganyika.

Makao makuu ya wilaya yako Kalemie. Hapa ni mwanzo wa reli kwenda magharibi-kusini.

Lugha nyingine