Klas Pontus Arnoldson

From Wikipedia

Klas Pontus Arnoldson (27 Oktoba, 184420 Februari, 1916) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Sweden. Mwaka wa 1908, pamoja na Fredrik Bajer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Klas Pontus Arnoldson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Klas Pontus Arnoldson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.