1502
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 14 Juni - Vasco da Gama anafikia bandari ya Sofala katika safari yake ya pili kutoka Ureno kwenda Uhindi.
[edit] Waliozaliwa
- 7 Januari - Papa Gregori XIII aliyekuwa papa kati ya 1572 na 1585 († 1585) aliyeanzisha Kalenda ya Gregori.