The Jackson Five

From Wikipedia

Jackson Five lilikuwa kundi la muziki wa roki la nchini Marekani lililoundwa na wanamuziki watano; mmojawapo ni Michael Jackson. Nyimbo zilizoimbwa na kundi hili ni kama "The Love You Save", "I Will Be There", "Mamas Pearl" na "Never Can Say Goodbye".

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "The Jackson Five" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu The Jackson Five kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.