William Shija

From Wikipedia

Dakta William Shija ni Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola. Shija, aliyezaliwa mwaka 1947, amewahi kuwa mbunge wa CCM wa jimbo la Sengerema toka mwaka 1990 hadi 2005. Alichaguliwa katika kikao cha 52 cha bunge hilo linalowakutanisha wawakilishi 700 kutoka mabunge ya nchi zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Shija" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Shija kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.