George Bernard Shaw

From Wikipedia

George Bernard Shaw (26 Julai, 18562 Novemba, 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ireland. Hasa aliandika tamthiliya na insha. Mwaka wa 1925 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "George Bernard Shaw" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu George Bernard Shaw kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.