Balkani
From Wikipedia
Rasi ya Balkani ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu ya kusini-mashariki ya Ulaya.
Jina limetokana na safu ya milima ya Balkani inayopatikana katika Bulgaria na Serbia.
[edit] Nchi za Balkani
Hakuna mapatano kikamili ni nchi zipi zinazohesabiwa kuwa sehemu za Balkani lakini mara nyingi hitajwa zifuatazo:
- Albania
- Bosnia-Herzegovina
- Bulgaria
- Montenegro
- Makedonia
- Serbia
- Ugiriki
- Uturuki (sehemu ya Kiulaya hadi Istanbul)
Mara nyingi hata nchi zifuatazo huhesabiwa humo:
[edit] Historia
Nchi za Balkani ziko tofauti lakini zinashirikiana historia ya pekee ya pamoja:
- zote zilikuwa sehemu za Dola la Roma
- baadaye zilikuwa kwa vipindi tofauti sehemu za Dola la Uturuki
- zilikuwa eneo la mpakani kati ya
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Balkani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Balkani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Ulaya