Wasumbwa

From Wikipedia

Wasumbwa ni kabila kutoka eneo la wilaya ya Bukombe, mkoa wa Shinyanga, kati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasumbwa ilikadiriwa kuwa 191,000 [1]. Lugha yao ni Kisumbwa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wasumbwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wasumbwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine