Shelumieli
From Wikipedia
Shelumieli alikuwa kiongozi wa kabila la Simeoni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 12.
Shelumieli alikuwa kiongozi wa kabila la Simeoni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 12.