Saa

From Wikipedia

Saa ni kipimo cha wakati. Si kipimo cha SI kamili kama ilivyo sekundi lakini ni kawaida kote duniani pia katika matumizi ya kisayansi.

Saa inagawiwa kwa dakika 60 na sekundi 3,600. Siku ina takriban masaa 24.

Asili ya hesabu ni katika utamaduni wa Sumeri na Misri ya Kale uliogawa mchana na pia usiku kwa vipindi 12.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Saa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Saa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.