Robert Barany

From Wikipedia

Robert Bárány
Robert Bárány


Robert Bárány (22 Aprili, 18768 Aprili, 1936) alikuwa daktari na mwanakemia kutoka nchi ya Hungaria. Mwaka wa 1914 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Robert Barany" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Robert Barany kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.