Duke Ellington
From Wikipedia
Duke Ellington (29 Aprili, 1899 – 24 Mei, 1974) alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Edward Kennedy Ellington. Alikuwa anapiga muziki wa Jazz.
Duke Ellington (29 Aprili, 1899 – 24 Mei, 1974) alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Edward Kennedy Ellington. Alikuwa anapiga muziki wa Jazz.