Brian Eno
From Wikipedia
Brian Eno (amezaliwa 15 Mei, 1948) ni mwanamuziki wa Uingereza. Jina lake la kuzaliwa ni Brian Peter George St. John le Baptiste de la Salle Eno. Alizaliwa huko Woodbridge, Uingereza. Anapiga muziki wa Rock and Ambient.
Brian Eno (amezaliwa 15 Mei, 1948) ni mwanamuziki wa Uingereza. Jina lake la kuzaliwa ni Brian Peter George St. John le Baptiste de la Salle Eno. Alizaliwa huko Woodbridge, Uingereza. Anapiga muziki wa Rock and Ambient.