Kiholanzi
From Wikipedia
Kiholanzi ni lugha inayozungumzwa nchini Uholanzi, Ubelgiji na Surinam na watu milioni 22. Katika Uholanzi inaiotwa "Nederlands" na katika Ubelgiji inaitwa "Flaams".
Kiholanzi ni lugha ya Kigermanik ya magharibi katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kiafrikaans cha Afrika Kusini ni lugha iliyotoka katika Kiholanzi. Kijerumani ya Kaskazini ni karibu sana na Kiholanzi.