Chiang Kai-shek

From Wikipedia

Jenerali na Rais Chiang Kai-shek 1945
Jenerali na Rais Chiang Kai-shek 1945
Chiang Kai-shek kama rais wa China
Chiang Kai-shek kama rais wa China

Chiang Kai-shek alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa nchini China. Aliongoza nchi kati ya 1927 na 1949 aliposhindwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya China.

Alizaliwa 31 Oktoba 1887 karibu na Shanghai akajiunga na chama cha Kuomintang. Baada ya kifo cha Sun Yat-sen alichukua uongozi wa Kuomintang na kuungunisha China kijeshi. Tangu 1949 alikaa kisiwani Taiwan alipoongoza serikali ya Jamhuri ya China. Aliaga dunia 5 Aprili 1975 mjini Taipei.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Chiang Kai-shek" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Chiang Kai-shek kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.