Cleopa David Msuya

From Wikipedia

Cleopa David Msuya (amezaliwa 4 Novemba, 1931) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Alikuwa Waziri Mkuu mara mbili, 7 Novemba, 1980 hadi 24 Februari, 1983, na tena 7 Desemba, 1994 hadi 28 Novemba, 1995.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Cleopa David Msuya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Cleopa David Msuya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.