Abihu

From Wikipedia

Abihu alikuwa mwana wa Aroni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania katika kitabu cha Walawi, kwa mfano sura ya 10 kuanzia mstari wa 1. Pamoja na kaka yake Nadabu alifanya kosa mbele ya Mungu na kuteketezwa na moto.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Abihu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Abihu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine