Je, hii ni ungwana
From Wikipedia
Je Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation.
Je Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation.