Category talk:Mikoa ya Tanzania
From Wikipedia
Ninavyoelewa serikali ya Tanzania wamepanga kuondoa eneo la tarafa (kwa Kiingereza ni Division). Chini ya wilaya (District) kutakuwa na shehia tu (Ward zilizoitwa kata mpaka mwaka juzi). Mkikubali naomba tutoe jina la tarafa na kutumia shehia, hasa katika marejeo ya sensa ya mwaka wa 2002 [1]. Asante --Oliver Stegen 23:27, 10 Oktoba 2006 (UTC)