Brian Eno

From Wikipedia

Brian Eno (amezaliwa 15 Mei, 1948) ni mwanamuziki wa Uingereza. Jina lake la kuzaliwa ni Brian Peter George St. John le Baptiste de la Salle Eno. Alizaliwa huko Woodbridge, Uingereza. Anapiga muziki wa Rock and Ambient.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Brian Eno" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Brian Eno kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.