Ekuador

From Wikipedia

República del Ecuador
Jamhuri ya Ekuador
Flag of Ekuador Nembo ya Ekuador
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kihispania: "Dios, patria y libertad"
("Mungu, taifa na uhuru")
Wimbo wa taifa: Salve, Oh Patria (usalimiwe e taifa)
Lokeshen ya Ekuador
Mji mkuu Quito
00°9′ S 78°21′ W
Mji mkubwa nchini Guayaquil
Lugha rasmi Kihispania
Serikali
Rais
Jamhuri
Alfredo Palacio
Uhuru
Kutoka Hispania
kutoka Gran Colombia

24 Mei 1822
13 Mei 1830
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
256,370 km² (ya 72)
8.8
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
13,228,000 (ya 67)
47/km² (ya 147)
Fedha U.S. dollar (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5; UTC -6 (Galápagos Islands))
(UTC)
Intaneti TLD .ec
Kodi ya simu +593
Ramani ya Ekuador
Ramani ya Ekuador

Ekuador (kisw. pia: Ekwado) ni nchi kwenye pwani la magharibi ya Amerika Kusini. Jina la nchi lamaanisha "ikweta".

Imepakana na Kolombia, Peru na Bahari ya Pasifiki. Funguvisiwa ya Galapagos (Archipiélago de Colón) ni sehemu ya Ekuador ikiwa na umbali wa karibu 1,000 km kutoka bara. Mji mkuu ni Quito.

Ekuador ilikuwa koloni ya Hispania hivyo lugha ya wakazi wengi na lugha rasmi imekuwa Kihispania. Hasa katika milima ya Andes kuna Waindio wengi wanaoendelea kutumia lugha zao.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ekuador" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ekuador kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.