Doha
From Wikipedia
Doha (Kiarabu: الدوحة ad-dawḥah) ni mji mkuu wa Qatar.
Idadi ya watu ni takriban lakhi nne (2005). Doha ni mji wa bandari mwambaoni wa ghuba ya Uajemi.
Doha iliundwa mwaka 1850 kwa jina Al-Bida (mji mweupe). Tangu kupatikana kwa mafuta ya petroli mji umejengwa upya na nyumba kubwa na za kisasa kabisa.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Doha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Doha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Miji Mikuu Asia | Qatar | Doha