Aage Bohr

From Wikipedia

Aage Niels Bohr (amezaliwa 28 Februari, 1930) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Denmark. Baba yake ni Niels Bohr. Aage hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1975, pamoja na James Rainwater na Ben Mottelson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Aage Bohr" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Aage Bohr kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.