Nchi za Maziwa Makuu

From Wikipedia

Maziwa Makuu kutoka anga.
Maziwa Makuu kutoka anga.

Nchi za Maziwa Makuu ni nchi za Tanzania, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, na Uganda. Kati ya maziwa makubwa yaliyoko katika eneo hili ni Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyanza (Vikitoria)

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nchi za Maziwa Makuu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nchi za Maziwa Makuu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.