Heike Kamerlingh Onnes

From Wikipedia

Heike Kamerlingh Onnes
Heike Kamerlingh Onnes


Heike Kamerlingh Onnes (21 Septemba, 185321 Februari, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Alichunguza elementi katika hali ya baridi sana. Pia alifaulu kuoesha elementi ya heliamu. Mwaka wa 1913 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Heike Kamerlingh Onnes" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Heike Kamerlingh Onnes kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.