Robert Woodrow Wilson
From Wikipedia
Robert Woodrow Wilson (amezaliwa 10 Januari, 1936) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Arno Penzias na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.