Kasanga

From Wikipedia

Kasanga ni mji upande wa Kusini-Magharibi wa Tanzania mwambaoni kwa Ziwa Tanganyika. Wakati wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani, Kasanga iliitwa "Bismarcksburg" (kufuatana na Otto von Bismarck).

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kasanga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kasanga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine