1858
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 23 Machi - Ludwig Quidde (mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1927)
- 27 Oktoba - Theodore Roosevelt (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1906)
- 20 Novemba - Selma Lagerlof (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1909)
- 26 Novemba - Katharine Drexel