Ras al-Khaimah

From Wikipedia

Bendera ya Ras al-Khaimah
Bendera ya Ras al-Khaimah
Falme za Kiarabu
Falme za Kiarabu

Ras Al-Khaimah (Kiar.: رأس الخيمة "Kilele cha hema") ni moja kati ya utemi katika shirikisho la Falme za Kiarabu. Iko katika kaskazini kabisa ya nchi.

Eneo lake ni 1700 km². Kuna wakazi 250,000.

Mtawala wake ni Sheikh Saqr bin Mohammad al-Qassimi.

[edit] Marejeo


[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ras al-Khaimah" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ras al-Khaimah kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.