1943
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 28 Juni - Klaus von Klitzing (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1985)
- 5 Novemba - Sam Shepard (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979)
[edit] Waliofariki
- 26 Juni - Karl Landsteiner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 21 Agosti - Henrik Pontoppidan (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1917)
- 9 Oktoba - Pieter Zeeman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902