Hugo Theorell

From Wikipedia

Axel Hugo Teodor Theorell (6 Julai, 190315 Agosti, 1982) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza kazi ya vimeng’enya katika chembe hai. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hugo Theorell" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hugo Theorell kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.