Donald A. Glaser
From Wikipedia
Donald Arthur Glaser (amezaliwa 21 Septemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1960 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Donald Arthur Glaser (amezaliwa 21 Septemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1960 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.