Yasunari Kawabata
From Wikipedia
Yasunari Kawabata (11 Juni, 1899 – 16 Aprili, 1972) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujapani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Yasunari Kawabata (11 Juni, 1899 – 16 Aprili, 1972) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujapani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.