Wadoe
From Wikipedia
Wadoe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Bagamoyo. Lugha yao ni Kidoe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wadoe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wadoe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |