Makande

From Wikipedia

Makande (kwa Kikuyu Githeri) ni chakula maarufu nchini Kenya na Tanzania. Hasa ni mchanganyiko wa mahindi na maharagwe. Kwa asili, kililiwa na Wakikuyu tu; siku hizi huliwa na makabila mengi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Makande" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Makande kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.