Hans Fischer

From Wikipedia

Hans Fischer
Hans Fischer

Hans Fischer (27 Julai, 188131 Machi, 1945) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alijihusisha na rangi, k.m. rangi za mimea (klorofili), za damu na za nyongo. Mwaka wa 1930 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hans Fischer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hans Fischer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.