Steven Weinberg

From Wikipedia

Steven Weinberg
Steven Weinberg

Steven Weinberg (amezaliwa 3 Mei, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Sheldon Glashow na Abdus Salam alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Steven Weinberg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Steven Weinberg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.