Elisuri

From Wikipedia

Elisuri alikuwa kiongozi wa kabila la Reubeni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 10.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elisuri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elisuri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.