Klaus von Klitzing

From Wikipedia

Klaus von Klitzing (amezaliwa 28 Juni, 1943) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa ameichunguza mambo mbalimbali za usumaku. Mwaka wa 1985 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Klaus von Klitzing" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Klaus von Klitzing kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.