Isle of Man

From Wikipedia

Isle of Man (Kimanx: Ellan Vannin; "Kisiwa cha Man") ni kisiwa baharini kati ya Uingereza na Ueire chenye wakazi 75,000 kwenye eno la 572 km².

Man ni eneo chini ya taji la Uingereza si sehemu ya Uingereza yenyewe. Douglas ni mji mkuu.

Lugha rasmi ni Kiingereza pamoja Kimanx ambacho ni lugha ya kikelti. Hakuna wasemaji wa Kimanx kama lugha ya kwanza tena lakini inafundihswa shuleni.

[edit] Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Isle of Man" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Isle of Man kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.