Nashoni

From Wikipedia

Nashoni alikuwa kiongozi wa kabila la Yuda anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 3.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nashoni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nashoni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.