Wamambwe
From Wikipedia
Wamambwe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Rukwa, Wilaya ya Sumbawanga. Lugha yao ni Kimambwe. Wamambwe na Warungu wanaongea lugha moja yenye lahaja mbili.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wamambwe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wamambwe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |