1989
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 9 Novemba - Nchi ya Ujerumani wa Mashariki inafungulia Ukuta wa Berlin na kuwaruhusu wananchi wake kusafiri bila shida kwenda Ujerumani wa Magharibi.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 7 Januari - Hirohito, Mfalme Mkuu wa Japani
- 21 Aprili - James Kirkwood (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1976)
- 22 Aprili - Emilio Segre (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959)
- 9 Juni - George Beadle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 3 Juni - Ayatollah Ruhollah Khomeini aliyekuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979
- 12 Agosti - William Shockley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956)
- 22 Desemba - Samuel Beckett (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1969)