Buenos Aires

From Wikipedia

Jengo la Catalinas Norte
Jengo la Catalinas Norte

Buenos Aires (kihisp.: "upepo mzuri") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Argentina katika Amerika Kusini mwenye wakazi 2,776,234.

Mji uko kando la Río de la Plata kwenye pwani la mashariki ya Amerika Kusini kwa 34°36′S na 58°23′W. Magharibi ya Buenos Aires zinanaza tambarare zenye rutba za pampa.

[edit] Viungo vya Nje

Barabara ya Avenida de Mayo
Barabara ya Avenida de Mayo

[edit] Tovuti za magazeti ya Bienos Aires

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Buenos Aires" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Buenos Aires kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.