Arthur Henderson

From Wikipedia

Arthur Henderson (20 Oktoba, 186313 Septemba, 1935) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Uingereza. Alikuwa kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi (Labour Party) mara tatu: 1908-11, 1914-22, 1931-34. Pia alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza kuanzia 1929 hadi 1931. Mwaka wa 1934 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Arthur Henderson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Arthur Henderson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.