Karne ya 3 KK

From Wikipedia

Karne ya 3 KK (=kabla ya Kristo) ni kipindi kuanzia mwaka 300 KK hadi mwisho wa 201 KK.

[edit] Wakati wa karne ya 3 KK

Karne hii ni kipindi cha

  • uenezaji wa mamlaka ya Roma katika Mediteranea ya magharibi
  • kuimarika kwa athira ya utamaduni wa Kigiriki kati ya Mediteranea na Uhindi
  • kilele cha nguvu ya Ubudda nchini Uhindi
  • mwanzo wa ukuta mkubwa wa China


[edit] Matukio

  • Mnara wa moto Pharos wajengwa mjini Aleksandria (Misri)
  • 275 KK - Mwisho wa historia ya Babeli - wakazi wake wote wahamishwa nje

[edit] Watu

  • Eratosthenes akadiria kipenyo cha dunia kwa vipimo vya kisayansi nchini Misri