1933
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 30 Januari - Adolf Hitler aliteuliwa kuwa Chansella wa Ujerumani.
- 23 Machi - mwisho wa maharamisho ya pombe nchini Marekani (sheria ya kitaifa tangu 1920)
[edit] Waliozaliwa
- 26 Aprili - Arno Penzias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 3 Mei - Steven Weinberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979)
- 6 Juni - Heinrich Rohrer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986)
- 4 Novemba - Emeka Ojukwu (mwanasiasa Mnigeria)
[edit] Waliofariki
- 31 Januari - John Galsworthy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1932)