Wilaya ya Lamu
From Wikipedia
Wilaya ya Lamu ni wilaya moja ya Mkoa wa Pwani nchini Kenya. Makao makuu yako Lamu mjini. Eneo la wilaya ni kanda la ardhi ya Kenya bara kusini ya mpaka wa Somalia pamoja na funguvisiwa ya Lamu. Eneo la wilaya ni 6,167 km² na idadi ya wakazi ni 72,686. [1].
Wenyeji ni hasa Wabanjuni. Kuna misitu ya mikoko ufukoni.
Wilaya inachagua wabunge wawili wa Lamu Mashariki na Lamu magharibi.
|
|||
Tarafa | Wakazi wote* | Wakazi wa mjini* | Makao makuu |
---|---|---|---|
Amu | 17,310 | 12,839 | Lamu |
Faza | 7,474 | 0 | Faza |
Hindi | 7,072 | 1,335 | |
Kiunga | 3,310 | 0 | Kiunga |
Kizingitini | 6,010 | 0 | Kizingitini |
Mpeketoni | 25,530 | 773 | Mpeketoni |
Witu | 5,980 | 1,322 | Witu |
Total | 72,686 | 16,269 | - |
Template:Smaller |