Alfred Kastler
From Wikipedia
Alfred Kastler (3 Mei, 1902 – 7 Januari, 1984) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1966 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Alfred Kastler (3 Mei, 1902 – 7 Januari, 1984) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1966 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.