Gimba la angani

From Wikipedia

Gimba la angani ni jina kwa ajili ya magimba yanayopatikana katika anga ya ulimwengu.

Kati ya vitu hivi huhesabiwa:

Haya yote ni magimba asilia. Vitu angani vilivyotengenezwa na binadamu ni vyombo vya angani ingawa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyo vya angani vilivyovunjika au takataka kutokana safari za angani yanastahili kuitwa kwa neno hili.

Elimu ya magimba ya angani ni falaki.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gimba la angani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gimba la angani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.