Kanda za dunia
From Wikipedia

UM imegawa kanda za dunia kwa kusudi la kupanga takwimu za nchi
Kanda za dunia za Umoja wa Mataifa ni mpangilio wa nchi za dunia kwa kanda mbalimbali.
Kanda zimepangwa kufuatana na bara. Kusudi la mpangilio huu ni namna ya kuonysha takwimu hukusu dunia yetu.
Hali halisi haulingani kila mahali na utamaduni au historia ya kila mahali panapotajwa humo.
- Kanda za Afrika
- Kanda za Amerika
- Kanda za Asia
- Asia ya Kati
- Asia ya Mashariki
- Asia ya Kusini
- Asia ya Kusini-ya Mashariki
- Asia ya Magharibi
- Kanda za Ulaya
- Ulaya ya Mashariki
- Ulaya ya Kaskazini
- Ulaya ya Kusini
- Ulaya ya Magharibi