Daniel Bovet

From Wikipedia

Daniel Bovet (23 Machi, 19078 Aprili, 1992) alikuwa mtaalamu wa madawa kutoka nchi ya Italia; alizaliwa nchi ya Uswisi. Baadhi ya utafiti mwingine aligundua madawa yanayotibu kikemia, kwa mfano salfonamaidi. Mwaka wa 1957 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Daniel Bovet" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Daniel Bovet kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.