Sam Shepard

From Wikipedia

Samuel Shepard Rogers (amezaliwa 5 Novemba, 1943) ni mchezaji na mwandishi wa micheza ya kuigiza kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa chini ya jina la Sam Shepard. Mwaka wa 1979 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya tamthiliya yake iitwayo kwa Kiingereza Burning Child.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sam Shepard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sam Shepard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.