Otto Meyerhof
From Wikipedia
Otto Fritz Meyerhof (12 Aprili, 1884 – 6 Oktoba, 1951) alikuwa mwanakemia na mwanabiolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadaye alihamia Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uhusiano kati ya oksijeni na asidi ndani ya misuli. Mwaka wa 1922, pamoja na Archibald Vivian Hill alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.