1904
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 2 Machi - Theodor Seuss Geisel (anajulikana hasa kama Dr. Seuss, mwandishi Mmarekani kwa watoto)
- 6 Mei - Harry Martinson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1974)
- 12 Julai - Pablo Neruda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971)
- 14 Julai - Isaac Bashevis Singer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1978)
- 28 Julai - Pavel Cherenkov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958)
- 7 Agosti - Ralph Bunche (mwanasiasa Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1950)
- 20 Agosti - Werner Forssmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956)
- 21 Agosti - Count Basie, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 22 Novemba - Louis Neel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970)