Heinrich Otto Wieland

From Wikipedia

Heinrich Wieland
Heinrich Wieland

Heinrich Otto Wieland (4 Juni, 18775 Agosti, 1957) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Alihariri kumbukumbu za kikemia za Justus von Liebig. Pia alichunguza mifumo ya kikemia ya sumu za uyoga na asidi ya nyongo. Mwaka wa 1927 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Heinrich Otto Wieland" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Heinrich Otto Wieland kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.