Guglielmo Marconi
From Wikipedia
Guglielmo Marconi (25 Aprili, 1874 – 20 Julai, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Baadhi ya uchunguzi mwingi, alivumbua njia ya mawasiliano bila waya. Mwaka wa 1909, pamoja na Ferdinand Braun alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.