Subrahmanyan Chandrasekhar

From Wikipedia

Subrahmanyan Chandrasekhar (19 Oktoba, 191021 Agosti, 1995) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Amezaliwa nchini Pakistan. Anajulikana hasa kwa utafiti wake wa mifanyiko tendani ya kifizikia ya nyota. Mwaka wa 1983, pamoja na William Fowler alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Subrahmanyan Chandrasekhar" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Subrahmanyan Chandrasekhar kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.