Charles Edouard Guillaume

From Wikipedia

Image:Charles Edouard Guillaume.jpg
Charles Edouard Guillaume

Charles Edouard Guillaume (15 Februari, 186113 Juni, 1938) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uswisi aliyeishi Ufaransa. Hasa alichunguza vipimo vya muda. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Charles Edouard Guillaume" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Charles Edouard Guillaume kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.