Aloysius Gonzaga
From Wikipedia
Aloysius Gonzaga (9 Machi, 1568 – 21 Juni, 1591) alikuwa mtawa katika shirika la Wajesuit kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1726 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 21 Juni.
Aloysius Gonzaga (9 Machi, 1568 – 21 Juni, 1591) alikuwa mtawa katika shirika la Wajesuit kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1726 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 21 Juni.