Warwa
From Wikipedia
Warwa ni kabila kutoka eneo la Mlima Meru, mkoa wa Arusha, kaskazini ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warwa ilikadiriwa kuwa 90,000 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Warwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Warwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |