1906
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 4 Februari - Dietrich Bonhoeffer
- 31 Machi - Shinichiro Tomonaga (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965)
- 13 Aprili - Samuel Beckett (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1969)
- 28 Juni - Maria Goeppert-Mayer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 2 Julai - Hans Bethe (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1967)
- 25 Desemba - Ernst Ruska (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986)
[edit] Waliofariki
- 7 Desemba - Elie Ducommun (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1902)