Dola Huru

From Wikipedia

Dola Huru
Free State
Vrystaat
Foreistata
Nembo la Free State
Mahali pa Free State
Mji Mkuu Bloemfontein
’‘‘Mji Mkubwa’’’ Bloemfontein
Waziri Mkuu Beatrice Marshoff (ANC)
Eneo
- Jumla
Nafasi ya 3 kati ya majimbo ya Afrika Kusini
129,480 km²
Wakazi
 - Jumla (2001)
 - Msongamano wa watu / km²
Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini
2,706,776
21/km²
Lugha Sotho (62%)
Kiafrikaans (14%)
Kixhosa (9.5%)
Wakazi kimbari Waafrika Weusi(88.0%)
Wazungu (8.8%)
Chotara(3.1%)
Wenye asili ya Asia(0.1%)
edit


Dola Huru ni moja kati ya majimbo tisa ya Afrika Kusini. Mji mkuu ni Bloemfontein ambayo ni pia makao ya mahakama kuu ya taifa. Jimbo lilianzishwa 1994 kwa kuunganisha jimbo la awali la Dola Huru la Oranje na maeneo ya bantustan kadhaa hasa QwaQwa. Jina la zamani lilifupishwa 1995 kuwa "Dola huru" (King.:Free State, Kiafrikaans: Vrystaat).

[edit] Jiografia

Dola Huru liko kwenye tambarare katika kitovu cha Afrika Kusini ni hasa eneo la kilimo. Mashamba yake huzalisha zaidi ya 70% za mazao yote ya Afrika Kusini.

Kuna pia migodi mikubwa ya dhahabu na almasi jimboni.

Upande wa kusini dola huru limepakana na Lesotho.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Dola Huru" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Dola Huru kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.