1837
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 21 Aprili - Fredrik Bajer (mwanasiasa Mdenmark, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 5 Novemba - Mtakatifu Arnold Janssen (padre Mkatoliki kutoka Ujerumani)
bila tarehe
- Hamed bin Mohammed el Murjebi, mfanyabiashara wa Tanzania na mwandishi wa tawasifu wa kwanza wa Kiswahili