Amani Abeid Karume

From Wikipedia

Amani Abeid Karume (amezaliwa 1 Novemba, 1948) ni rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000. Mwaka wa 2005 alichaguliwa mara ya pili. Baba yake, Abeid Amani Karume, alikuwa rais wa kwanza wa Zanzibar.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Amani Abeid Karume" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Amani Abeid Karume kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine