Wilhelm Conrad Röntgen

From Wikipedia

Wilhelm Röntgen
Wilhelm Röntgen


Wilhelm Conrad Röntgen (27 Machi, 184510 Februari, 1923) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa ugunduaji wa mionzi ya eksirei. Mwaka wa 1901 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilhelm Conrad Röntgen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilhelm Conrad Röntgen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.