Wagweno

From Wikipedia

Wagweno ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kilimanjaro, upande wa Kaskazini wa Milima ya Upare. Lugha yao ni Kigweno.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wagweno" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wagweno kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine