Matajiri wakuu duniani

From Wikipedia

Matajiri wakuu duniani kulingana na jarida la Forbes mnamo Aprili 2006, wanaongozwa na mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates. Bill Gates ametangaza kuwa atastaafu baada ya miaka miwili toka sasa ili kuchukua muda wake kuongoza Taasisi ya Bill na Melinda Gates.

Mmarekani huyu, mwenye umri wa miaka hamsini (50) ana ameongoza orodha hii ya Forbes kwa miaka kumi iliyopita. Mwaka huu mali ya yake yamekadiriwa kuwa dola bilioni hamsini, kama ilivyo miaka yake. Kuna uwezekano kuwa utajiri huu utaongezeka katika miaka ya hivi karibuni kwa vile kampuni yake ya Microsoft inakua kwa kiwango kikubwa vile vile.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Matajiri wakuu duniani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Matajiri wakuu duniani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.