Wamatengo

From Wikipedia

Wamatengo ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, upande wa Mashariki wa Ziwa la Nyasa. Lugha yao ni Kimatengo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamatengo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamatengo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine