Fritz Lipmann

From Wikipedia

Fritz Albert Lipmann (12 Juni, 189924 Julai, 1986) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vimeng’enya katika chembe hai vibadilishavyo chakula kuwa nishati. Mwaka wa 1953, pamoja na Hans Krebs alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Fritz Lipmann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Fritz Lipmann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.