Fritz Haber
From Wikipedia
Fritz Haber (9 Desemba, 1868 – 29 Januari, 1934) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Pamoja na utafiti mwingine alichunguza maswali ya kemia ya umeme. Mwaka wa 1918 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Fritz Haber (9 Desemba, 1868 – 29 Januari, 1934) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Pamoja na utafiti mwingine alichunguza maswali ya kemia ya umeme. Mwaka wa 1918 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.