Muhammed Said Abdulla

From Wikipedia

Muhammed Said Abdulla (amezaliwa 25 Aprili, 1918) ni mwandishi kutoka nchi ya Tanzania. Hasa anajulikana kwa hadithi zake za upelelezi ambazo mhusika wao mkuu ni Bwana Msa. Baadhi yao ni:

  • Mzimu wa Watu wa Kale (1966)
  • Kisima cha Giningi (1968)
  • Duniani Kuna Watu (1973)
  • Siri ya Sifuri (1974)
  • Mke Mmoja Waume Watatu (1975)
  • Mwana wa Yungi Hulewa (1976)
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Muhammed Said Abdulla" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Muhammed Said Abdulla kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.