Sigrid Undset

From Wikipedia

Sigrid Undset (mwaka wa 1927)
Sigrid Undset (mwaka wa 1927)
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Sigrid Undset (20 Mei, 188210 Juni, 1949) alikuwa mwandishi wa kike kutoka nchi ya Norwei. Hasa aliandika riwaya ambazo ndani yake alijishughulikia na matatizo ya wanawake wa kisasa. Mwaka wa 1928 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sigrid Undset" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sigrid Undset kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.