Mtwara Vijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Mtwara Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Mtwara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 204,770 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mtwara Vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mtwara Vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine