Eyvind Johnson

From Wikipedia

Eyvind Johnson (29 Julai, 190025 Agosti, 1976) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1974, pamoja na Harry Martinson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Eyvind Johnson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Eyvind Johnson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.