Gaza

From Wikipedia

Ramani ya Kanda la Gaza pamoja na mji wa Gaza
Ramani ya Kanda la Gaza pamoja na mji wa Gaza

Gaza (Kiarabu: غزة; Kiebrania: עזה‎ azzah) ni mji mkubwa wa kanda la Gaza ambalo ni sehemu ya maeneo chini ya mamlaka ya Palestina mwenye wakazi 400,000. Ni makao ya ofisi nyingi za serikali ya Palestina.