Gerd Binnig

From Wikipedia

Gerd Karl Binnig (amezaliwa 20 Julai, 1947) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza na kubuni hasa aina mbalimbali za hadubini. Mwaka wa 1986, pamoja na Ernst Ruska na Heinrich Rohrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gerd Binnig" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gerd Binnig kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.