Kingoni
From Wikipedia
Kingoni ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wangoni. Kimetokana na lugha ya Kizulu Wangoni walipohama Afrika ya Kusini wakati wa Shaka Zulu.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=ngo
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
- http://www.linguistics.berkeley.edu/CBOLD/Docs/TLS.html (tovuti hiyo ina msamiati wa Kingoni)
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:
- Ebner, Fr. Elzear P. 1951. Grammatik des Neu-Kingoni. Mission Magagura, Tanganyika. Kurasa 87.
- Moyo, Steven Phaniso Chinombo. 1978. A linguo-aesthetic study of Ngoni poetry. PhD thesis. University of Wisconsin at Madison. Kurasa 563.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kingoni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kingoni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |