Dodoma

From Wikipedia

Dodoma ni jina la

Mji wa Dodoma ambao ni Mji Mkuu wa Tanzania

Mkoa wa Dodoma

na Wilaya ya Dodoma (mjini na kijijini).

Pia ni makao makuu ya chama tawala Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.