From Wikipedia
Wilaya ya Handeni katika mkoa wa Tanga
Handeni ni kati ya wilaya saba ya Mkoa wa Tanga katika Tanzania. Imepakana na wilaya ya Kilindi upande wa magharibi, wilaya ya Korogwe na Mkoa wa Kilimanjaro upande wa kaskazini, wilaya ya Pangani upande wa mashariki na Mkoa wa Pwani kwa kusini.
Mwaka 2002 ilikuwa na wakazi 249,572. [1]
[edit] Tarafa
Wilaya ya Handeni ina tarafa 19 kama zifuatazo:
- Chanika
- Kabuku
- Kang'ata
- Kiva
- Komkonga
- Kwaluguru
- Kwamatuku
- Kwamkonje
- Kwamsisi
- Kwasunga
|
- Kwedizinga
- Mazingara
- Mgambo
- Misima
- Mkata
- Ndolwa
- Segera
- Sindeni
- Vibaoni
|
[edit] Viungo vya nje
 |
Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Handeni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".
Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Handeni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.
|