1911
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 13 Juni - Luis Alvarez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1968)
- 30 Julai - Czeslaw Milosz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1980)
- 9 Agosti - William Fowler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983)
- 19 Septemba - William Golding (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1983)
- 2 Novemba - Odysseas Elytis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979)
- 11 Desemba - Nagib Mahfuz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1988)
[edit] Waliofariki
- 29 Oktoba - Joseph Pulitzer (mhariri wa magazeti Mmarekani, na mwanzishaji wa Tuzo ya Pulitzer)