Imre Kertész
From Wikipedia
Imre Kertesz (amezaliwa 9 Novemba, 1929) ni mwandishi kutoka nchi ya Hungaria. Hasa ameandika riwaya kuhusu maisha ya Wayahudi wakati wa ukatili wa WaNazi. Mwaka wa 2002 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Imre Kertesz (amezaliwa 9 Novemba, 1929) ni mwandishi kutoka nchi ya Hungaria. Hasa ameandika riwaya kuhusu maisha ya Wayahudi wakati wa ukatili wa WaNazi. Mwaka wa 2002 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.