Elinewinga

From Wikipedia

Elinewinga alikuwa ni Mmachame wa kwanza kwenda Makerere Uganda kusomea elimu ya juu. Alizaliwa Masama Ng'uni. Baadaye alikuja kuwa mbunge wa Hai na waziri.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elinewinga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elinewinga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.