Karne ya 7 KK

From Wikipedia

Karne ya 7 KK (=kabla ya Kristo) ni kipindi kuanzia mwaka 700 KK hadi mwisho wa 601 KK.

[edit] Wakati wa karne ya 7 KK

  • Sarafu za kwanza zinazojulikana duniani zinatolewa Lydia kwenye pwani la magharibi ya Anatolia - wakati ule eneo la Wagiriki wa Kale

[edit] Matukio

  • 607 KK - Wababeli wateka mji wa Yerusalemu wakichoma Hekalu ya Suleimani na kumaliza ufalme wa Yuda

[edit] Watu