Wanyiha
From Wikipedia
Wanyiha ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi. Pia wako Zambia. Lugha yao ni Kinyiha.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wanyiha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wanyiha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |