Lugha asilia

From Wikipedia

  1. Lugha asilia ni lugha ambayo ilikua kama sehemu ya utamaduni wa umma fulani ambao watu wake wanaiongea kama lugha ya mama. Ni kinyuma cha lugha ya kuundwa.
  2. Mara nyingi lugha asilia maana yake ni lugha yoyote ambayo inaweza kuzungumzwa na watu, na lugha za kompyuta na za kuandaa programu zinaitwa lugha za kuundwa.
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lugha asilia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lugha asilia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.