Frederick Soddy

From Wikipedia

Frederick Soddy
Frederick Soddy

Frederick Soddy (2 Septemba, 187722 Septemba, 1956) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza unururifu. Aliunda istilahi mpya ya isotopu. Mwaka wa 1921 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frederick Soddy" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frederick Soddy kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.