Kokaku
From Wikipedia
Kokaku (1771 – 1840) alikuwa mfalme mkuu wa 119 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Morohito. Mwaka wa 1780 alimfuata mfalme mkuu Go-Momozono, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1817. Aliyemfuata ni mwana wake, Ninko.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kokaku" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kokaku kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |