1919
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 6 Januari - Theodore Roosevelt (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1906)
- 30 Juni - Lord Rayleigh (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1904)
- 15 Julai - Hermann Emil Fischer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1902)
- 11 Oktoba - Karl Gjellerup (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1917)
- 15 Novemba - Alfred Werner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1913)