Ronald Ross

From Wikipedia

Ronald Ross (13 Mei, 185716 Septemba, 1932) alikuwa daktari kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza virusi visababishavyo ugonjwa wa malaria. Mwaka wa 1902 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1911 alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ronald Ross" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ronald Ross kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.