Katharine Drexel

From Wikipedia

Katharine Marie Drexel (26 Novemba, 18583 Machi, 1955) alikuwa mtawa wa kike na mwanzishi wa jumuiya ya Masista wa Ekaristi Takatifu (kwa Kiingereza Sisters of the Blessed Sacrament). Jumuiya hiyo kwanza ililenga hasa kuwasaidia Wahindi Wekundu na Wamarekani Waafrika huko Marekani. Mwaka wa 2000 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 3 Machi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Katharine Drexel" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Katharine Drexel kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine