Roger Martin du Gard

From Wikipedia

Roger Martin du Gard (23 Machi, 188122 Agosti, 1958) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Anajulikana hasa kwa riwaya zake "Akina Thibault" (kwa Kifaransa Les Thibaults zilizotolewa miaka ya 1922-40). Mwaka wa 1937 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Roger Martin du Gard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Roger Martin du Gard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.