Heinrich Rohrer

From Wikipedia

Heinrich Rohrer (amezaliwa 6 Juni, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uswisi. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza na kubuni hasa aina fulani ya hadubini. Mwaka wa 1986, pamoja na Ernst Ruska na Gerd Binnig alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Heinrich Rohrer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Heinrich Rohrer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.