Ebenezer Obey
From Wikipedia
Ebenezer Obey alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Ebenezer Remilekun Aremu Olasupo Fabiyi. Alizaliwa 1942 huko Ogun State. Alikuwa anapiga muziki wa Juju na Highlife.
Ebenezer Obey alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Ebenezer Remilekun Aremu Olasupo Fabiyi. Alizaliwa 1942 huko Ogun State. Alikuwa anapiga muziki wa Juju na Highlife.