Girma Wolde-Giorgis

From Wikipedia

Girma Wolde-Giorgis (amezaliwa mwezi wa Desemba, 1924 katika jiji la Addis Ababa) ni Rais wa nchi ya Ethiopia tangu 8 Oktoba, 2001. Alimfuata Negasso Gidada.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Girma Wolde-Giorgis" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Girma Wolde-Giorgis kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.