Wilaya ya Unguja Mjini

From Wikipedia

Wilaya ya Unguja Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 206,292 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Unguja Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Unguja Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.