1913
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 4 Februari - Rosa Parks
- 3 Mei - William Inge (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954)
- 10 Oktoba - Claude Simon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985)
- 7 Novemba - Albert Camus (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1957)
[edit] Waliofariki
- 29 Julai - Tobias Asser (mwanasheria Mholanzi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1911)
- 12 Desemba - Menelik II, mfalme mkuu wa Uhabeshi