Simon van der Meer
From Wikipedia
Simon van der Meer (amezaliwa 24 Novemba, 1925) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza usumaku wa sehemu za atomu. Mwaka wa 1984, pamoja na Carlo Rubbia alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.