1970
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 3 Januari - Boay Akonay, mwanariadha wa Tanzania
[edit] Waliofariki
- 2 Februari - Bertrand Russell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1950)
- 17 Februari - Shmuel Yosef Agnon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1966)
- 12 Mei - Nelly Sachs (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1966)
- 1 Agosti - Otto Warburg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1931)
- 1 Septemba - Francois Mauriac (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1952)
- 21 Novemba - Chandrasekhara Raman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1930)