Belize City

From Wikipedia

Belize City inavyoonekana kutoka baharini
Belize City inavyoonekana kutoka baharini
Daraja la kufungulia bandarini
Daraja la kufungulia bandarini

Belize City ni mji mkubwa kabisa wa Belize. Zamani ilikuwa pia mji mkuu lakini baada ya kuharibiwa na dhoruba ya tufani mwaka 1961 mji mkuu mpya uliundwa kwa jina la Belmopan.

Mji ulikua tena baada ya tufani kuwa na wakazi 50,000 hadi 60,000. Belize City ni kitovu cha uchumi na utamaduni na pia bandari kuu ya nchi kando la bahari ya Karibi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Belize City" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Belize City kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.