Edward Albee

From Wikipedia

Edward Albee, mwaka wa 1961
Edward Albee, mwaka wa 1961

Edward Franklin Albee (amezaliwa 12 Machi, 1928) ni mwandishi wa tamthiliya kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa tamthiliya yake “Nani Anaogopa Virginia Woolf?” (kwa Kiingereza: Who’s Afraid of Virginia Woolf?) iliyotolewa 1962. Kwa ajili ya tamthiliya zake za baadaye alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer miaka ya 1967, 1976 na 1992.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Edward Albee" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Edward Albee kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.