King Sunny Adé

From Wikipedia

King Sunny Adé alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Sunday Adeniyi. Alizaliwa 1946 huko Ondo. Alikuwa anapiga muziki wa Juju.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "King Sunny Adé" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu King Sunny Adé kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine