Asia ya Kati

From Wikipedia

Asia ya Kati
Asia ya Kati

Asia ya Kati ni eneo kubwa katikati ya bara la Asia. Kuna maelezo yanayotofautiana kati yao kuhusu eneo lenyewe.

[edit] Nchi zilizokuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti

Mara nyingi nchi zifuatazo huhesabiwa humo:

Zote zilikuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti.

[edit] Elezo la UNESCO

UNESCO imeongeza pamoja na nchi tano hizo nchi zifuatazo:

[edit] Turkestan

Kihistoria eneo hili limeitwa mara nyingi kwa jina "Turkestan" kwa sababu ilikaliwa au inakaliwa hadi leo na watu wanaotumia lugha za Kiturki.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Asia ya Kati" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Asia ya Kati kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.