William Fowler

From Wikipedia

William Alfred Fowler (9 Agosti, 191114 Machi, 1995) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uenezaji wa elementi za kikemia ndani ya nyota. Mwaka wa 1983, pamoja na Subrahmanyan Chandrasekhar alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Fowler" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Fowler kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine