From Wikipedia
Bandari ya Apia mwaka 2003
Apia ni mji mkuu wa Samoa mwenye wakazi 38,800 (2001).
Mji uko kwenye pwani la kaskazini la kisiwa kikubwa cha Upolu. Apia ni pia bandari kuu ya nchi.
Mtaa wa Mulinu'u ni eneo la mji mkuu wa kale uliopo sasa upande wa magharibi wa mji wa kisasa penye jengo la bunge.
[edit] Transport