Fritz Haber

From Wikipedia

Fritz Haber
Fritz Haber

Fritz Haber (9 Desemba, 186829 Januari, 1934) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Pamoja na utafiti mwingine alichunguza maswali ya kemia ya umeme. Mwaka wa 1918 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Fritz Haber" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Fritz Haber kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.