William Styron

From Wikipedia

William Styron (11 Juni, 19251 Novemba, 2006) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya riwaya yake kuhusu Nat Turner.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Styron" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Styron kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.