Jeddah
From Wikipedia
Image:Jedfoun.jpg
world's highest fountain
Jeddah (kar.: جدّة jiddah huandikwa pia Jedda, Jiddah, Jidda) ni mji mkubwa wa pili nchini Saudia na bandari kwenye mwambao wa Bahari ya Shamu (21.50° N 39.1667° E).
Kuna wakazi milioni 3.4.
Jeddah ni kitovu cha uchumi na biashara cha Saudia.
Waislamu wengi hupita humo wakati wa hajj wakitumia uwanja wa ndege wa Jeddah kwenda kuhiji Makka na Madina.
[edit] Miji wenzake
Mji wa Jeddah una miji wenzake 23 (kwa Kiingereza "twin towns"):
|
[edit] Gallery
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Jeddah" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Jeddah kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |