Korongo (Ciconiidae)

From Wikipedia

Korongo
Korongo domo-njano
Korongo domo-njano
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Ciconiiformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Ciconiidae (Ndege walio na mnasaba na makorongo)
Gray, 1840
Jenasi: Angalia katiba

Makorongo hawa ni ndege wa familia Ciconiidae wenye domo refu na nono (makorongo wa familia Gruidae wana domo fupi na jembamba zaidi). Mabawa yao ni marefu sana, yale ya korongo mfuko-shingo au marabu yana 3.2 m: marefu kuliko yale ya ndege wote ghairi ya tumbusi wa Andes (condor).

Spishi nyingine huishi mahali pa majimaji nyingine mahali pakavu. Hula vyura, samaki, wadudu na nyungunyungu, hata ndege na wanyama wadogo. Korongo hawa hawawezi kutoa sauti. Lakini kwa tago hupiga kelele na domo yao.

[edit] Spishi wa Afrika

[edit] Spishi wa mabara mengine

[edit] Picha