Huduma za Maktaba Tanzania
From Wikipedia
Contents |
[edit] Huduma za Maktaba Tanzania
Tanzania kuna aina mbali mbali za huduma za Maktaba. Huduma hizi ni pamoja na huduma za maktaba za taifa, maktaba za umma, za vyuo vikuu, za vyuo vingine na za shule (yaani shule za msingi and sekondari). Kwenye ngazi ya kitaifa, serikali ya Tanzania limeanzisha Shirika la Huduma za Maktaba.