Elbe

From Wikipedia

Elbe
Elbe karibu na Děčín, Ucheki.
Elbe karibu na Děčín, Ucheki.
Chanzo Milima ya Krkonoše
Mdomo Bahari ya Kaskazini
Nchi Ujerumani, Ucheki
Urefu 1,091 km
Kimo cha chanzo 1,386 m
Mkondo 711 m³/s
Eneo la beseni 148,268 km²

Elbe ni mto mkubwa nchini Ujerumani na Ucheki.

Inaanza kwa jina la Kicheki "labe" katika milima ya Krkonoše (Kijer.: Riesengebirge) karibu na mpaka wa kaskazini ya Ucheki.

Inapita sehemu kubwa ya Ukerumani wa Mashariki na Kaskazini na kuishia katika Bahari ya Kaskazini.

Elbe ni njia muhimu ya meli za mtoni. Meli kubwa za bahari zinafika hadi bandari ya Hamburg kwa kutumia mdomo mpana wa Elbe.

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elbe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elbe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.