25 Desemba
From Wikipedia
Nov - Desemba - Jan | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Kwa Wakristo walio wengi 25 Desemba ni sikukuu ya Krismasi au kuzaliwa kwake Yesu Kristo.
[edit] Matukio
- 1066 - William Mshindi wa Normandy anapokea cheo cha mfalme wa Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
- 1906 - Ernst Ruska (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986)