Kwango

From Wikipedia

Mto wa Kwango (Cuango)
Beseni ya Kasai
Beseni ya Kasai
Chanzo Nyanda za juu za Bié (Angola)
Mdomo Kasai
Nchi Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Urefu 1,100 km
Kimo cha chanzo takriban 1,500 m
Mkondo  ?? m³/s
Eneo la beseni  ?? km²

Kwango ni mto katika Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai. Chanzo chake iko nyanda za juu za Bié katika Angola ikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto wa Kasai karibu na mji wa Bandudu.

Lugha nyingine