James Rainwater

From Wikipedia

Leo James Rainwater (9 Desemba, 191731 Mei, 1986) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu na kugundua mfumo isopacha wa kiini cha atomu. Mwaka wa 1975, pamoja na Aage Bohr na Ben Mottelson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "James Rainwater" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu James Rainwater kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.