1931
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 18 Februari - Toni Morrison (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1993)
- 22 Machi - Burton Richter (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1976)
- 31 Mei - Robert Schrieffer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1972)
- 29 Septemba - James Cronin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1980)
- 7 Oktoba - Askofu Desmond Tutu
- 4 Novemba - Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu wa Tanzania
[edit] Waliofariki
- 26 Februari - Otto Wallach (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1910)
- 8 Aprili - Erik Axel Karlfeldt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1931)
- 9 Mei - Albert Abraham Michelson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1907)