Waburunge

From Wikipedia

Waburunge ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Dodoma, Wilaya ya Kondoa. Lugha yao ni Kiburunge.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Waburunge" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Waburunge kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine