Luvua
From Wikipedia
Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Luvua" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Luvua kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |