Juba (mto)

From Wikipedia

Mto wa Juba
Chanzo Maungano ya mito ya Dawa na Gebele, Ethiopia
Mdomo Bahari ya Hindi kaskazini ya Kismayu
Nchi Ethiopia, Somalia
Urefu 1,659 km
Kimo cha chanzo  ? m katika milima ya Bale, Ethiopia
Mkondo  ? m³/s
Eneo la beseni 497,626 km²

Juba (pia: Jubba, Giuba, Ganane au Genale) ni mto mkubwa wa Somalia mwenye maji mwaka wote. Chanzo chake ni katika nyanda za juu za Ethiopia. Unafika Bahari ya Hindi karibu na mji wa Kismayu.

Wakati wa ukoloni mto Juba ulikuwa mpaka kati ya Kenya na eneo la Somalia lililokuwa chini ya koloni la Italia. Mwaka 1925 Uingereza iliwaachia Waitalia eneo la nchi kusini mwa mto (kiit.: Territorio dell'Oltre Giuba -kiing.: Jubaland)


[edit] Viungo vya nje