Surinam (mto)

From Wikipedia

Mto Surinam
Surinamerivier
Mto Surinam karibu na Whitebeach
Mto Surinam karibu na Whitebeach
Chanzo Milima ya Wilhelmina (Surinam)
Mdomo Bahari ya Karibi (Atlantiki)
Nchi Surinam
Urefu 480 km
Kimo cha chanzo 900 m
Mkondo m³/s
Eneo la beseni 16,500 km²

Mto Surinam ni kati ya mito mikubwa nchini Surinam (Amerika Kusini). Bwawa la Brokopondostuwmeer inagawa mto katika sehemu mbili.

Inapita katika mji mkuu Paramaribo.


Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Surinam (mto)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Surinam (mto) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine