1879
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 1 Julai - Leon Jouhaux (kiongozi Mfaransa wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1951)
- 31 Agosti - Yoshihito, Mfalme Mkuu wa Japani
- 9 Oktoba - Max von Laue (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1914)