1773
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 12 Januari - Jumba la makumbusho (museum) la kwanza la Marekani lilifumguliwa hadharani katika mji wa Charleston, jimbo la South Carolina.
- 17 Januari - Rubani James Cook ni Mzungu wa kwanza kuvuka mstari wa Antaktiki.
- 16 Desemba - Wakoloni katika mji wa Boston kule Marekani wanavamia meli na kusababisha Sherehe ya Chai ya Boston (Boston Tea Party).