Aleksander Prokhorov

From Wikipedia

Aleksander Mikhailovich Prokhorov (11 Julai, 19168 Januari, 2002) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza mionzi ya aina mbalimbali na kuvumbua leza. Mwaka wa 1964, pamoja na Nikolai Basov na Charles Townes alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Aleksander Prokhorov" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Aleksander Prokhorov kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.