Kengewa

From Wikipedia

Kengewa
Kengewa
Kengewa
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Falconiformes (Ndege kama kozi)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na mwewe)
Jenasi: Chondrohierax Lesson, 1843

Henicopernis Gray, 1859
Leptodon Sundevall, 1836
Pernis Cuvier, 1816

Kengewa ni ndege mbua wa jenasi mbalimbali (angalia sanduku ya uainishaji) ya familia Accipitridae. Wana mabawa marefu na mwika mrefu mwenye miraba myeusi na myeupe. Kengewa mlanyuki na kengewa wa Asia hula nyuki, nyigu na asali hasa lakini spishi zingine hula wanyama wadogo. Hujenga tago lao juu ya mti msituni.

Mpaka juzi kengewa mlanyuki tu ameonwa Afrika kusini kwa Sahara, lakini mwaka 2005 kengewa wa Asia ameonwa huko Gaboni.

[edit] Spishi za Afrika

[edit] Spishi za mabara mengine

  • Chondrohierax uncinatus (Hook-billed Kite)
  • Henicopernis infuscatus (Black Honey Buzzard)
  • Henicopernis longicauda (Long-tailed Honey Buzzard)
  • Leptodon cayanensis (Grey-headed Kite)
  • Leptodon forbesi (White-collared Kite)
  • Pernis celebensis (Barred Honey-buzzard)