Frances Cabrini

From Wikipedia

Mtakatifu Mama Frances Xavier Cabrini
Mtakatifu Mama Frances Xavier Cabrini

Mama Frances Xavier Cabrini (15 Julai, 185022 Desemba, 1917) alikuwa mwanzishi wa jumuiya ya Masista Wamisionari wa Moyo Mtakatifu (kwa Kiingereza Missionary Sisters of the Sacred Heart). Jumuiya hiyo ilianza kufanya kazi hasa Marekani na kujenga shule, mahospitali na nyumba kwa watoto yatima. Mwaka wa 1946 Mama Cabrini alitangazwa kuwa mtakatifu akiwa Mmarekani wa kwanza kutangazwa hivyo. Sikukuu yake ni 22 Desemba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frances Cabrini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frances Cabrini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.