King Tubby
From Wikipedia
King Tubby (28 Januari, 1941 – 6 Februari, 1989) alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni Osbourne Ruddock. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae.
King Tubby (28 Januari, 1941 – 6 Februari, 1989) alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni Osbourne Ruddock. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae.