Ralph Bunche

From Wikipedia

Ralph Bunche (1951)
Ralph Bunche (1951)

Ralph Johnson Bunche (7 Agosti, 19049 Desemba, 1971) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1950 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani kwa vile aliwasaidia Waarabu na Waisraeli kusimamisha vita yao kwa muda kule Palestina mwaka wa 1949.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ralph Bunche" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ralph Bunche kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.