Mvua
From Wikipedia
Mvua ni matone ya maji yanayoanguka chini kutoka mawingu angani. Kama matone yafikia kipenyo cha zaidi 0.5 mm huitwa mvua. Kama matone ni madogo zaidi kunaitwa manyonyota .
Mvua ni aina ya usimbishaji.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Mvua" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Mvua kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |