Kenzaburo Oe

From Wikipedia

Kenzaburo Oe (mwaka wa 2005)
Kenzaburo Oe (mwaka wa 2005)

Kenzaburo Oe (amezaliwa 31 Januari, 1935) ni mwandishi kutoka nchi ya Japani. Hasa ameandika riwaya. Mwaka wa 1994 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kenzaburo Oe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kenzaburo Oe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.