Eneo la ng'ambo la Marekani

From Wikipedia

Maeneo ya ng'ambo ya Marekani ni visiwa ni visiwa na funguvisiwa vifuatavyo vinavyojumlisha hapa kufuatana na mahali pao ama katika Bahari ya Pasifiki au katika Bahari ya Karibi.

Sheria za Marekani zinaita visiwa hivi "Eneo la visiwani" (king.: "Insular areas"). Hii ni kila eneo chini ya mamlaka ya serikali ya Marekani lisilo sehemu ya majimbo 50 ya Marekani au mkoa wa mji mkuu.

[edit] Visiwa katika Bahari ya Karibi

Bendera Funguvisiwa
au kisiwa
Eneo la nchi kavu
(km²)
Hori la ndani
(km²)
Kifupi cha
ISO 3166-1
Puerto Rico 8.959 -- PR
Visiwa vya Virgin vya Marekani 349 -- VI
Visiwa vidogo vya nje vya Marekani 5,4 -- UM
– Navassa 5,4 --

Kituo cha kijeshi cha Guantanamo kipo pia katika Karibi ni eneo la Kuba lililokodishwa kwa Marekani.

[edit] Visiwa katika Bahari ya Pasifiki

Bendera Funguvisiwa
au kisiwa
Eneo la nchi kavu
(km²)
Hori la ndani
(km²)
Kifupi cha
ISO 3166-1
Guam 549 -- GU
Visiwa vya Mariana ya Kaskazini 477 -- MP
Samoa ya Marekani 199 -- AS
Visiwa vidogo vya nje vya Marekani 5,4 -- UM
– Kisiwa cha Baker 1,64 --
– Kisiwa cha Howland 1,85 --
– Kisiwa cha Jarvis 4,50 --
– Atolli ya Johnston 2,67 130
– Atolli ya Kingman 0,01 100
– Atolli ya Midway 6,20 40
– Atolli ya Palmyra 3,9 8
– Atolli ya Wake 6,50 6