Chuck D

From Wikipedia

Chuck D alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Carlton Douglas Ridenhour. Alizaliwa 1 Agosti, 1960 karibu miji ya New York. Alikuwa anapiga muziki wa Rap and Hip hop.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Chuck D" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Chuck D kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.