1845
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 3 Machi - Florida imekuwa jimbo la 27 la Marekani.
- 29 Disemba - Texas inajiunga na Marekani kama jimbo la 28.
[edit] Waliozaliwa
- 15 Februari - Elihu Root (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1912)
- 27 Machi - Wilhelm Conrad Röntgen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1901)
- 24 Aprili - Carl Spitteler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1919)
- 18 Juni - Alphonse Laveran (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1907)
- 16 Agosti - Gabriel Lippmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1908)