Kimalila

From Wikipedia

Kimalila ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wamalila.

[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)

Lugha ya Kimalila ina irabu 7 na konsonanti 35 (lakini lahaja zake zilizoathiriwa na Kinyiha zina irabu 5 tu). Pia, tofauti kati ya irabu fupi na irabu ndefu huleta tofauti za maana.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Walsh, Martin T. 1998. The Malila: preliminary notes on language, history and ethnography. Muswada usiotolewa rasmi.
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kimalila" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kimalila kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.