Kenya Commercial Bank
From Wikipedia
Kenya Commercial Bank (KCB) ni kati ya benki kubwa za Kenya. Makao makuu yapo Nairobi.
KCB ina matawi kote nchini. Serikali inashika 26% za hisa.
Katika miaka iliyopita KCB ilipoteza pesa nyingi kwa kutoa mikopo kwa watu waliokosa nia au uwezo wa kurudisha pesa.
[edit] Viungo vya Nje
- (en)Kenya Commercial Bank
- (en) Historia ya Benki