1984
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 7 Januari - Alfred Kastler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1966)
- 21 Februari - Mikhail Sholokhov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1965)
- 8 Aprili - Pyotr Kapitsa (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 26 Aprili - Count Basie, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 14 Oktoba - Martin Ryle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974)
- 14 Desemba - Vicente Aleixandre (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1977)