Ewe
From Wikipedia
waEwe (Éwé) ni kabila kubwa la Togo na Ghana ya kusini. Lugha yao ni kiEwe (Eʋegbe). (lugha inaitwa pia: Eibe, Ebwe, Eve, Efe, Eue, Vhe, Gbe, Krepi, Krepe, Popo).
Kwa jumla kuna takriban wasemaji 3,300,000. Kati yao wako 2,250,000 Ghana (2003) na 860,000 in Togo (1991). Lugha yao hufundishwa katika shule za msingi, Ghana hata katika shule za sekondari. Katika Togo ni lugha ya kitaifa na lugha ya kwanza ya mawasiliano ya Togo Kusini.
waEwe wanasemekana wametoka katika Nigeria. Utaratibu wa kijamii hufuata baba.
[edit] Viungo vya Nje
Categories: Ghana | Togo