Halldór Laxness

From Wikipedia

Halldor Laxness
Halldor Laxness

Halldór Laxness (23 Aprili, 19028 Februari, 1998) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Iceland. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Halldór Laxness" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Halldór Laxness kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.