Amsterdam

From Wikipedia

Mahali pa Amsterdam
Mahali pa Amsterdam

Amsterdam ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Uholanzi. Inejulikana kama mji wa mifereji mingi mwenye wakazi 800,000, vyuo vikuu viwili na uwanja wa ndege wa kimataifa mkubwa wa "Schiphol".

[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Amsterdam" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Amsterdam kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.