Mpira wa miguu

From Wikipedia

Mpira wa miguu ni mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na moja wanapingana. Wachezaji wanacheza sana kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mpira wa miguu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mpira wa miguu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.