Singida (mji)

From Wikipedia

Singida ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Singida. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 115,354 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Singida (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Singida (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine