Antili za Kiholanzi
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Libertate unanimus (Kilatini: "Umoja kwa uhuru") |
|||||
Wimbo wa taifa: Our islands in the sea | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Willemstad (Curacao) |
||||
Mji mkubwa nchini | Willemstad (Curacao) | ||||
Lugha rasmi | Kiholanzi | ||||
Serikali | Beatrix wa Uholanzi Frits Goedgedrag Emily de Jongh-Elhage |
||||
Ufalme wa kikatiba |
|||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
960 km² (ya 184) |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
183,000 (ya 185) 229/km² (ya 51) |
||||
Fedha | Gulden ya Antili za Kiholanzi (ANG ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-4) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .an | ||||
Kodi ya simu | +599 |
Antili za Kiholanzi ni visiwa katika Bahari ya Karibi kati ya Puerto Rico na pwani la Venezuela (Amerika Kusini) vinavyohesabiwa kati ya visiwa vya Antili Ndogo. Visiwa vitano hukaliwa na watu kuna vingi vingine vidogo. Vyote vilikuwa koloni za Uholanzi vimekuwa sehemu za Ufalme wa Uholanzi katika hali mbalimbali za kisheria.
Visiwa hivi ni:
Vyote vitatu vimeondoka katika Umoja wa Antili za Kiholanzi uliopatikana hadi Oktoba 2006. Visiwa hivi vikubwa kiasi vimepata hali kama nchi ndani ya Ufalme wa Uholanzi; kila nchi ina bunge na serikali yake. Siasa ya nje na mambo ya jeshi ni ya pamoja zikiendeshwa na serikali ya Den Haag. Mahakama Kuu ya Den Haag itakuwa mahakama ya pamoja kwa ajili ya Uholanzi, Aruba, Curacao na Bonaire.
- Visiwa vya Windward ("penye upepo") viko karibu na Puerto Rico
- Saba
- Sint Eustatius oder, wie die Einheimischen sagen, Statia.
- Sint Maarten (kusini ya kisiwa pekee; kaskazini ni eneo la Ufaransa chini ya mkoa wa Guadeloupe)
Visiwa hivi vitatu vitahesabiwa kama miji ya Uholanzi. Wakazi watapigia kura bunge la Uholanzi na bunge la Ulaya.
Antili za Kiholanzi zitakwisha kama kitengo cha utawala ndani ya Ufalme wa Uholanzi kuanzia 1 Julai 2007.