Wilaya ya Arumeru
From Wikipedia
Wilaya ya Arumeru ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arumeru ilihesabiwa kuwa 516,814 [1].
Wilaya ya Arumeru ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arumeru ilihesabiwa kuwa 516,814 [1].