User:Ramadhani Msangi
From Wikipedia
Ramadhani Msangi ni mmoja wa wanablogu wakubwa kwa Kiswahili. Ramadhani ni mwandishi wa habari aliyekuwa na makazi yake katika mji mkuu wa Tanzania, Dodoma, wakati anaanza kublogu kabla ya kuhamishiwa kikazi [jijini Mbeya] toka Oktoba 2005, akiwa ni mwajiriwa wa kampuni ya [Business Times Ltd.]