Luvua

From Wikipedia

Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Luvua" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Luvua kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.