Henri Moissan
From Wikipedia
Henri Moissan (28 Septemba, 1852 – 20 Februari, 1907) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza elementi ya florini. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Henri Moissan (28 Septemba, 1852 – 20 Februari, 1907) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza elementi ya florini. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.