Juneau (Alaska)

From Wikipedia

Nyumba za Juneau
Nyumba za Juneau

Juneau ni mji mkuu wa Alaska (jimbo la Marekani). Mwaka 2000 mji ulikuwa na wakazi 30,711.

Juneau iliundwa 1881 kutokana na kambi la wachimba dhahabu. Jina la mji latunza kumbukumbu la Joe Juneau aliyekuwa kati ya watu waliogundua dhahabu hapa.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Juneau (Alaska)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Juneau (Alaska) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.