Ahiezeri

From Wikipedia

Ahiezeri alikuwa kiongozi wa kabila la Dani anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 25.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ahiezeri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ahiezeri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine