Eugenio Montale

From Wikipedia

Eugenio Montale
Eugenio Montale

Eugenio Montale (12 Oktoba, 189612 Septemba, 1981) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika mashairi na insha. Mwaka wa 1975 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Eugenio Montale" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Eugenio Montale kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.