Wolfgang Amadeus Mozart

From Wikipedia

Wolfgang Amadeus Mozart (aliyebatizwa Joannes Chrysostomus Wolfgangus Theophilus Mozart; 27 Januari, 17565 Desemba, 1791) ni mwandishi wa muziki muhimu na kupendwa kwa muda mrefu, wa muziki ya klasiki ya Ulaya. Mazao yake makubwa sana yanazingatia nyimbo ambazo hutambuliwa kuwa vilele vya muziki ya sinfoni, vikundi vidogo, piano, opera, na kwaya. Nyimbo nyingi zake ni sehemu ya kawaida ya maonyesho ya muziki, na ni maarufu kama kazi bora ya mtindo wa klasiki.