George Santayana

From Wikipedia

George Santayana (16 Desemba, 186326 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "George Santayana" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu George Santayana kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.