1917
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 25 Aprili - Ella Fitzgerald, mwimbaji wa kike Mmarekani wa Jazz
- 29 Mei - John F. Kennedy (Rais wa Marekani)
- 9 Desemba - James Rainwater (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975)
- 21 Desemba - Heinrich Boll (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1972)
[edit] Waliofariki
- 16 Februari - Octave Mirbeau, mwandishi Mfaransa
- 13 Agosti - Eduard Buchner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1907)
- 20 Agosti - Adolf von Baeyer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1905)
- 22 Desemba - Frances Cabrini