Randal Cremer

From Wikipedia

Randal Cremer (18 Machi, 183822 Julai, 1908) alikuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi kutoka nchi ya Uingereza. Anajulikana pia kwa maandishi yake yaliyojaribu kuzuia vita. Mwaka wa 1903 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani. Mwaka wa 1907 alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Randal Cremer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Randal Cremer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.