Wilaya ya Kinondoni
From Wikipedia
Wilaya ya Kinondoni ni wilaya moja ya Mkoa wa Dar es Salaam. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,088,867 [1].
Wilaya ya Kinondoni ni wilaya moja ya Mkoa wa Dar es Salaam. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,088,867 [1].