Vincent Ferrer

From Wikipedia

Vincent Ferrer (takriban 13505 Aprili, 1419) alikuwa mtawa na mhubiri kutoka nchi ya Hispania. Alisaidia kukomesha Farakano Kuu la Kanisa. Mwaka wa 1455 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 5 Aprili.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Vincent Ferrer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Vincent Ferrer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.