Wanyamwanga

From Wikipedia

Wanyamwanga ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi, na Mkoa wa Rukwa, Wilaya ya Sumbawanga. Lugha yao ni Kinyamwanga.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wanyamwanga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wanyamwanga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine