Wilaya ya Same

From Wikipedia

Wilaya ya Same ni wilaya moja ya Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 212,325 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Same" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Same kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine