John Malecela
From Wikipedia
John Samuel Malecela (amezaliwa 1934) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Baadhi ya kazi mbalimbali ya kisiasa, alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje (1972-73) na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (1980-84). Kuanzia tarehe 9 Novemba, 1990 hadi tarehe 7 Desemba, 1994 alikuwa Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania.