Wislawa Szymborska

From Wikipedia

Wislawa Szymborska, mwaka wa 2005
Wislawa Szymborska, mwaka wa 2005

Wislawa Szymborska (amezaliwa 2 Julai, 1923) ni mshairi kutoka nchi ya Poland. Mwaka wa 1996 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wislawa Szymborska" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wislawa Szymborska kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.