Tuzo ya Pulitzer

From Wikipedia

Tuzo ya Pulitzer ni tuzo iliyoanzishwa na Joseph Pulitzer katika hati ya wasia yake. Tangu mwaka wa 1917 imetolewa kila mwaka na Chuo Kikuu cha Columbia katika mji wa New York kwa ajili ya maandishi hodari yanayoendeleza uandikaji habari na fasihi ya Marekani kwa jumla.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tuzo ya Pulitzer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tuzo ya Pulitzer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.