Göttingen

From Wikipedia

Mji wa Göttingen ni mji mmojawapo wa Ujerumani. Uko upande wa Kusini-Mashariki wa jimbo la Usaksoni Chini (kwa Kijerumani: Niedersachsen), na tangu mwaka wa 1965 umehesabika kama mji mkubwa (au jiji) kwa vile umevuka idadi ya wakazi zaidi ya laki moja. Göttingen inajulikana hasa kwa chuo kikuu chake ambacho kimezinduliwa rasmi mwaka wa 1737.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Göttingen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Göttingen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.