Wajaluo
From Wikipedia
wajaluo ni mkusanyiko wa kabila la kinilotiki ambalolilisafiri kutoka Afrika ya kaskazini kufuata mto Nile kuja kusini. wengi wa wajaluo wameenea kandokando ya ziwa viktoria kutakana na utamaduni wao wa uvuvi. kwa Afrika mashariki utawakuta nchini Sudan, Kenya, Uganda na Tanzania