Ilemela

From Wikipedia

Wilaya ya Ilemela ni wilaya moja ya Mkoa wa Mwanza. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 265,911 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ilemela" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ilemela kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine