Arnold Janssen

From Wikipedia

Arnold Janssen
Arnold Janssen

Mtakatifu Arnold Janssen (5 Novemba, 183715 Januari, 1909) alikuwa padre Mkatoliki kutoka nchi ya Ujerumani aliyeanzisha mashirika ya wamisionari. Mwaka wa 2003 alitangazwa kuwa Mtakatifu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Arnold Janssen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Arnold Janssen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine