1915
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 12 Mei - Frere Roger (Roger Schutz)
- 27 Mei - Herman Wouk (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1952)
- 10 Juni - Saul Bellow (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976)
- 15 Juni - Thomas Weller (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954)
[edit] Waliofariki
- 20 Agosti - Paul Ehrlich (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1908)