Otto Warburg

From Wikipedia

Otto Heinrich Warburg (8 Oktoba, 18831 Agosti, 1970) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uvutaji pumzi. Mwaka wa 1931 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Otto Warburg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Otto Warburg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.