Aruwimi

From Wikipedia

Aruwimi (pia: Ituri) ni tawimto wa Kongo mwenye urefu wa 1.287 km.

Chanzo chake ni kwenye Mkoa wa Orientale / Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Milima ya buluu si mbali na mji wa Bunia na Ziwa Albert. Mwanzoni inaelekea kusini halafu inapinda kwenda magharibi hadi kufikia mto Kongo karibu na mji wa Basoko.

Lugha nyingine