Henrik Pontoppidan

From Wikipedia

Henrik Pontoppidan (24 Julai, 185721 Agosti, 1943) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Denmark. Hasa aliandika riwaya juu ya maisha katika nchi yake. Mwaka wa 1917, pamoja na Karl Adolph Gjellerup alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Henrik Pontoppidan" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Henrik Pontoppidan kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine