Shilingi ya Kenya
From Wikipedia
Shilingi ya Kenya (KES au Ksh) ni fedha za Kenya. Shilingi moja imegawanywa kwenye senti mia moja.
Kuna sarafu za shilingi 1, 5, 10, 20 na 40. Sarafu za senti zipo za zamani za senti 1, 5, 10, 20 na 50 lakini hazinunui kitu tena. Noti ziko za shilingi 20, 50, 100, 200, 500 na 1000.
- Shilingi 1 = Senti 100
Majina ya zamani:
- Thumuni 1 = Senti 50
- Ndururu 1 = Senti 5
Categories: Mbegu | Fedha | Kenya