Sumer

From Wikipedia

Sumer (au Shumer, Kimisri Sangar, Bib. Shinar, asili ki-en-gir) ni ustaarabu wa kale ulikuwepo katika sehemu ya kusini ya Mesopotamia (Kusini Mashariki ya Iraki ya sasa) kutoka wakati wa rekodi za mwanzo za katikati ya milenia ya nne hadi kuzuka kwa Babylonia katika mwisho wa milenia ya tatu KK. Neno “Sumerian” linamaanisha pia wazungumzaji wa lugha ya Sumerian. Sumer inachukuliwa kuwa jamii ya kwanza yenye makao ya kudumu duniani iliyoonesha sifa zote zinazohitajika ili kuitwa “ustaarabu”.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sumer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sumer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.