Europa

From Wikipedia

Europa ni neno katika lugha mbalimbali lenye asili ya Kigiriki "Ευρώπη" la kutaja

  • bara la Ulaya
  • Europa (dini), binti wa mfalme katika masimulizi ya dini ya Wagiriki wa Kale aliyekuwa mpenzi wa mungu mkuu Zeus
  • Europa (mwezi), mwezi wa pili kati ya miezi ya Mshtarii
  • 52 Europa, asteroidi katika mfumo wa jua
  • Europa (kisiwa), kisiwa ndogo cha Kifaransa katika bahari ya Pasifiki
  • Europa (kombora) ilikuwa kombora la Kiulaya la kurusha vyombo angani kabla ya kupatikaka kwa makombora ya Ariane

Kuna pia nyimbo, vitabu, meli, gari na michezo ya kompyuta na makampuni zinazoitwa "Europa"

Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.