Leon Cooper

From Wikipedia

Leon Cooper (amezaliwa 28 Februari, 1930) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya upitishaji umeme. Mwaka wa 1972, pamoja na John Bardeen na Robert Schrieffer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Leon Cooper" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Leon Cooper kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine