Balkani

From Wikipedia

Rasi ya Balkani hadi mstari wa mito ya Isonzo-Krka-Sava-Danubi
Rasi ya Balkani hadi mstari wa mito ya Isonzo-Krka-Sava-Danubi

Rasi ya Balkani ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu ya kusini-mashariki ya Ulaya.

Jina limetokana na safu ya milima ya Balkani inayopatikana katika Bulgaria na Serbia.

[edit] Nchi za Balkani

Ramani ya kisiasa 2004
Ramani ya kisiasa 2004

Hakuna mapatano kikamli ni nchi zipi zinazohesabiwa kuwa sehemu za Balkani lakini mara nyingi hitajwa zifuatazo:

Mara nyingi hata nchi zifuatazo huhesabiwa humo:


[edit] Historia

Nchi za Balkani ziko tofauti lakini zinashirikiana historia ya pekee ya pamoja:

  • zote zilikuwa sehemu za Dola la Roma
  • baadaye zilikuwa kwa vipindi tofauti sehemu za Dola la Uturuki
  • zilikuwa eneo la mpakani kati ya


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Balkani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Balkani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.