Theodor Svedberg

From Wikipedia

Theodor Svedberg (30 Agosti, 188426 Februari, 1971) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Sweden. Baadhi ya uchunguzi mwingi aliunda aina ya mashinepewa. Pia alitafiti mada za fizikia ya kiini. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Theodor Svedberg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Theodor Svedberg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.