711

From Wikipedia

[edit] Matukio

  • Jeshi la Waarabu Waislamu likiongozwa na jemadari Muhammad bin Qasim linavamia Uhindi na kuunda usultani wa Sind katika bonde la mto Indus.
  • 30 Aprili - Jeshi la Waarabu Waislamu likiongozwa na jemadari Tariq ibn Ziyad linavuka mlango wa bahari wa Gibraltar na kuanza uvamizi wa Hispania.
  • 19 Julai - Waarabu wanashinda jeshi la Wagoti wa Magharibi na kuangusha dola la Wagoti.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki