Jack Butler Yeats

From Wikipedia

Jack Butler Yeats (23 Agosti, 187128 Machi, 1957) alikuwa mchoraji kutoka nchi ya Ireland; kaka yake ni mshairi William Butler Yeats. Alichora michoro hasa kuhusu maisha, utamaduni na visasili vya nchi yake.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jack Butler Yeats" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jack Butler Yeats kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine