Higashiyama

From Wikipedia

Higashiyama (16751709) alikuwa mfalme mkuu wa 113 (Tenno) wa Japani. Mwaka wa 1687 alimfuata mfalme mkuu Reigen, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake, Nakamikado.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Higashiyama" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Higashiyama kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine