Sheldon Glashow

From Wikipedia

Sheldon Lee Glashow (amezaliwa 5 Desemba, 1932) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Abdus Salam na Steven Weinberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sheldon Glashow" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sheldon Glashow kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine