1871
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 6 Mei - Victor Grignard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1912)
- 23 Agosti - Jack Butler Yeats (mchoraji kutoka Ireland)
- 30 Agosti - Ernest Rutherford (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1908)
- 30 Septemba - Grazia Deledda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1926)
- 2 Oktoba - Cordell Hull (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1945)
[edit] Waliofariki
- 12 Mei - Daniel Auber (mtungaji wa muziki Mfaransa)