Antony Hewish

From Wikipedia

Antony Hewish (amezaliwa 11 Mei, 1924) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mionzi ya nyota na kugundua nyota zinazodundadunda (kwa Kiingereza pulsar). Mwaka wa 1974, pamoja na Martin Ryle alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Antony Hewish" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Antony Hewish kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine