Henry Dale

From Wikipedia

Image:Henry-Hallett-Dale.gif
Henry Hallett Dale

Henry Hallett Dale (9 Juni, 187523 Julai, 1968) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza hali ya kikemia ya nevi. Mwaka wa 1936, pamoja na Otto Loewi alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Pia alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Henry Dale" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Henry Dale kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.