Otto Meyerhof

From Wikipedia

Otto Fritz Meyerhof (12 Aprili, 18846 Oktoba, 1951) alikuwa mwanakemia na mwanabiolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadaye alihamia Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uhusiano kati ya oksijeni na asidi ndani ya misuli. Mwaka wa 1922, pamoja na Archibald Vivian Hill alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Otto Meyerhof" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Otto Meyerhof kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine