Theodor Mommsen

From Wikipedia

Theodor Mommsen wakati wa uzee wake
Theodor Mommsen wakati wa uzee wake

Christian Matthias Theodor Mommsen (30 Novemba, 18171 Novemba, 1903) alikuwa mwanahistoria na mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Anafahamika hasa kwa kitabu chake Historia ya Roma (kwa Kijerumani: Römische Geschichte). Mwaka wa 1902 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Theodor Mommsen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Theodor Mommsen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.