Chandrasekhara Raman

From Wikipedia

Chandrasekhara Venkata Raman (7 Novemba, 188821 Novemba, 1970) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uhindi. Hasa alichunguza mambo ya mwanga na jinsi unavyosambazwa kupitia vitu mbalimbali. Mwaka wa 1930 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Chandrasekhara Raman" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Chandrasekhara Raman kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.