Abdus Salam

From Wikipedia

Abdus Salam (29 Januari, 192621 Novemba, 1996) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Pakistan. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Sheldon Glashow na Steven Weinberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, Mwislamu wa kwanza kupata tuzo hiyo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Abdus Salam" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Abdus Salam kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine