Niger (maana)

From Wikipedia

Niger ni neno linaloweza kumaanisha:

  • Niger nchi ya Afrika ya Magharibi
  • Niger (mto) ni mto mkuwa wa Afrika ya magharibi
  • Niger (Nigeria) ni dola mojawapo wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria
  • Niger (meli) ilikuwa jina la meli za kivita za Uingereza
  • "niger" ni neno la lugha ya Kilatini linalomaanisha "nyeusi"