Nakamikado

From Wikipedia

Nakamikado (17021737) alikuwa mfalme mkuu wa 114 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Yasuhito. Mwaka wa 1709 alimfuata baba yake, Higashiyama, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1735. Aliyemfuata ni mwana wake, Sakuramachi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nakamikado" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nakamikado kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine