Victor Grignard

From Wikipedia

François Auguste Victor Grignard (6 Mei, 187113 Desemba, 1935) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Alitafiti usanisi na hasa uunganishaji wa kaboni. Mwaka wa 1912, pamoja na Paul Sabatier alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Victor Grignard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Victor Grignard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.