Val Fitch

From Wikipedia

Val Logsdon Fitch (amezaliwa 10 Machi, 1923) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu na uhusiano wake na wakati. Mwaka wa 1980, pamoja na James Cronin alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Val Fitch" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Val Fitch kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine