Kenneth Wilson

From Wikipedia

Kenneth Geddes Wilson (amezaliwa 8 Juni, 1936) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alijitahidi kueleza nadharia ya fizikia kwa jumla. Mwaka wa 1982 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kenneth Wilson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kenneth Wilson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine