Kirangi

From Wikipedia

Kirangi ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Warangi.

[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)

Lugha ya Kirangi ina irabu 7 na konsonanti 22. Pia tofauti kati ya irabu fupi na irabu ndefu huleta tofauti za maana. Tena, kuna toni (au mawimbi ya sauti) zinazotofautisha maana ya nomino fulani, na nyakati za vitenzi.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Dempwolff, Otto. 1915/16. Beiträge zur Kenntnis der Sprachen in Deutsch-Ostafrika. Teil 8: Irangi (Langi). Zeitschrift für Kolonialsprachen, 6, uk.102-123.
  • Seidel, August. 1898. Grammatik der Sprache von Irangi. Katika: Die mittleren Hochländer des nördlischen Deutsch-Ostafrika, uk.387-435. Kuhaririwa na C. Waldemar Werther. Berlin: Verlag von Hermann Paetel.
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kirangi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kirangi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.