332 KK

From Wikipedia

Contents

[edit] Matukio

[edit] Ugiriki wa Kale / Uajemi

  • Aleksander Mkuu anavamia Shamu, Palestina na Misri. Wayahudi wanamkubali kama mtawala mkuu na makuhani wa Misri wanampokea kama Mungu aliye hai.
  • Mfalme wa Uajemi Dareios III ni tayari kushirikiana utawala wake na Aleksander asiyekubali.


[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki

  • Antiphanes, mshairi Mgiriki (* 408 KK)