Estonia

From Wikipedia

Eesti Vabariik
Jamhuri ya Estonia
Flag of Estonia Nembo ya Estonia
Bendera Nembo
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: Mu isamaa, mu õnn ja rõõm
Lokeshen ya Estonia
Mji mkuu Tallinn
59°26′ N 24°45′ E
Mji mkubwa nchini Tallinn
Lugha rasmi Kiestonia
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
demokrasia
Toomas Hendrik Ilves
Andrus Ansip
Uhuru
Ilitangazwa
ilikubaliwa
Ilitwaliwa na Urusi
Ilitangazwa tena
ilikamilika

24 Februari 1918
2 Februari 1920
16 Juni 1940
20 Agosti 1991
6 Septemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
45,100 km² (ya 13)
4.56%
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
1,330,000 (ya 15)
29/km² (ya 173)
Fedha Estonian kroon (EEK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .ee1
Kodi ya simu +372
Ramani ya Estonia
Ramani ya Estonia

Estonia(Kiestonia: Eesti or Eesti Vabariik) ni nchi ya Kibalti katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Latvia na Urusi. Finland iko ng'ambo ya Kidaka cha Ufini cha Bahari ya Baltiki na watu wake hutumia lugha iliyo karibu sana na Kiestonia. Estonia imekuwa nchi mwanachama ya Umoja wa Ulaya tangu 1 Mei 2004.

Mji mkuu ni Tallinn inayojulikana pia kwa jina la Reval. Lugha rasmi ni Kiestonia ambacho ni lugha mama ya theluthi mbili ya wakazi. Zaidi ya robo husema Kirusi. Kisetonis ni lugha karibu sana na Kifini.

[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Estonia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Estonia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Nchi na maeneo ya Ulaya
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Ireland | Italia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Masedonia | Malta | Moldova | Monako | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia na Montenegro3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikan

Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard

Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1

Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Cyprus ya Kaskazini2

Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro