Reigen

From Wikipedia

Reigen (16541732) alikuwa mfalme mkuu wa 112 (Tenno) wa Japani. Baba yake alikuwa mfalme mkuu Go-Mizunoo. Mwaka wa 1663 alimfuata mfalme mkuu Go-Sai, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1687. Mwaka wa 1713 akawa mtawa wa Buddha. Aliyemfuata kama mfalme ni Higashiyama.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Reigen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Reigen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine