Fasilides wa Uhabeshi

From Wikipedia

Fasilides (takriban 1603 – 18 Oktoba, 1667) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kuanzia 1632 hadi kifo chake. Jina lake la kutawala lilikuwa Alam Sagad. Alikuwa ametangazwa kuwa mfalme mkuu mwaka wa 1630 wakati wa uasi wa Sersa Krestos lakini hakuweza kuchukua madaraka mpaka baba yake, Susenyos amejiuzulu. Wakati wa utawala wake Kanisa la kiorthodox lilipata nguvu tena. Fasilides aliwakataa wamisionari Wakatoliki. Pia alikuwa na mabalozi mpaka Uhindi. Aliyemfuata ni Yohannes I.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Fasilides wa Uhabeshi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Fasilides wa Uhabeshi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine