Leon Jouhaux

From Wikipedia

Leon Jouhaux (1 Julai, 187928 Aprili, 1954) alikuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi kutoka nchi ya Ufaransa. Alisaidia kuanzisha mashirika mbalimbali kwa ajili ya wafanyakazi. Mwaka wa 1951 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Leon Jouhaux" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Leon Jouhaux kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.