Algeria

From Wikipedia

الجمهورية الجزائرية الديمقراطية الشعبية
Al-Jumhurīyah al-Jazā’irīyah
ad-Dīmuqrāṭīyah ash-Sha’bīyah

Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Algeria
Flag of Algeria Nembo ya Algeria
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kiarabu: من الشعب و للشعب


(IPA transliteration: aθ-θawratu mina-ʃ-ʃaʕbi wa-li-ʃ-ʃaʕb
(Translation: "Mapinduzi ya watu kwa ajili ya watu")

Wimbo wa taifa: Kassaman (qasaman bin-nāzilāt il-māḥiqāt)
(Arabic: Twayamini kwa radi inayoharibu)
Image:AlgeriaWorldMap.png
Mji mkuu Algiers [1]
36°42′ N 3°13′ E
Mji mkubwa nchini Algiers
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Demokrasia Jamhuri
Abdelaziz Bouteflika
Ahmed Ouyahia
Uhuru
Tarehe
kutoka Ufaransa
Julai 5, 1962 [2]
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,381,740 km² (11th)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
32,531,853 [1] (ya 36)
13/km² (ya 168)
Fedha Dinari ya Algeria (DZD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CET (UTC(hawajali))
Intaneti TLD .dz
Kodi ya simu +213

Algeria (Kiarabu: الجزائر al-Jazā’ir) au kwa jina rasmi Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Algeria ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Magharibi. Imepakana na Mediteranea, Moroko, Sahara ya Magharibi, Mauretania, Mali, Niger, Libya na Tunisia.

Ramani ya Algeria
Ramani ya Algeria

Algeria ni nchi kubwa ya Afrika baada ya Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Sehemu kubwa ya eneo lake iko katika jangwa la Sahara. Jina la nchi limetokana na mji mkuu inayoitwa kwa jina lilelile "al-jaza-ir" kama nchi ya leo kwa lugha ya Kiarabu.

Kwa historia,lugha, utamaduni na historia Algeria ni sehemu ya dunia ya Kiarabu. Nchi imebaki pia na idadi kubwa (25-30%) ya wakazi wa taifa la Waberber ambao kihistoria ni wenyeji asilia. Mawe ya maghofu ya miji ya kale bado wanaonyesha uhusiano wake na Dola la Roma iliyoitawala kwa karne. Historia ya karibuni imeacha nyayo zake zinazoonekana katika athira kubwa ya lugha na utamaduni wa Kifaransa kutokana na ukoloni wa Ufaransa kati ya 1830 na 1962.

Kwa sasa Algeria inajenga upya umoja wa kitaifa baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe iliyoishia mwaka 2002.



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Algeria" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Algeria kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.