Chari

From Wikipedia

Mto wa Chari
Mto wa Chari
Mto wa Chari
Mdomo Ziwa Chad
Nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Kamerun
Urefu 1,200 km
Kimo cha chanzo 500 - 600 m
Mkondo  ??
Eneo la beseni 669,706 km²

Chari (Shari) ni mto mkuuwa kuingia Ziwa Chad. Inaanza katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ikielekea kaskazini na kuingia nchi ya Chad. Baada ya kupita mji mkuu N'Djamena mto ni mpaka na Kamerun halafu unaishia katika Ziwa Chad.

Chari inabeba 90% ya maji yaote ya kuingia ziwa la Chad. Idadi kubwa ya wakazi wa nchi ya Chad wanaishi karibu na mto pamoja na mji mkuu.

Wavuvi kwenye mto Chari
Wavuvi kwenye mto Chari

Watu wanapata maisha yao mtoni kwa kilimo na uvuvi hasa samaki ya sangara.

Tawimito muhimu ni Logone River, mengine ni Bahr Salamat, Bahr Sarh, Bahr Aouk na Bahr Keïta.

[edit] Viungo vya nje