Hesabu
From Wikipedia
Hesabu ni somo inayohusika idadi na jinsi tunavyoweza kuhesabu nazo: Kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawa.
Hesabu ni sehemu ya hisabati.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Hesabu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Hesabu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |