Patrick White

From Wikipedia

Patrick Victor Martindale White (28 Mei, 191230 Septemba, 1990) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Australia. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1973 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Patrick White" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Patrick White kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine