Mkoa wa Unguja Kusini

From Wikipedia

Mkoa wa Kusini Unguja, Tanzania
Mkoa wa Kusini Unguja, Tanzania

Mkoa wa Unguja Kusini ni moja ya mikoa 26 za Tanzania kwenye kisiwa cha Unguja. Eneo la mkoa ni 854 km² likiwa na wakazi 94,504 (sensa 2002). Makao makuu yako Koani. Kuna wilaya mbili ikiwa Wilaya ya Kati ina wakazi 62,537 na Wilaya ya Kusini ina wakazi 31,967.

Wakazi wa eneo hili la kisiwa cha Unguja mbali na kujishughulisha na shughuli za uvuvi kwenye Bahari ya Hindi, wakazi wa Kusini Unguja ni maarufu pia kwa kilimo cha zao la karafuu, zao linalokifanya Kisiwa cha Zanzibar kujulikana zaidi kama kisiwa cha viungo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mkoa wa Unguja Kusini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mkoa wa Unguja Kusini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Lugha nyingine