Nevill Mott

From Wikipedia

Nevill Francis Mott (30 Septemba, 19058 Agosti, 1996) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza upitishaji wa umeme, na usumaku. Mwaka wa 1962 alipewa cheo cha "Sir" cha Uingereza. Mwaka wa 1977, pamoja na Philip Anderson na John Van Vleck alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nevill Mott" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nevill Mott kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine