1936
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 17 Julai - Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Hispania inaanza mjini Melilla (Afrika ya Kaskazini) kwa uasi wa jeshi
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 18 Januari - Rudyard Kipling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907)
- 28 Februari - Charles Nicolle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928)
- 8 Aprili - Robert Barany (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1914)
- 15 Agosti - Grazia Deledda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1926)
- 10 Desemba - Luigi Pirandello (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1934)