Parana (mto)

From Wikipedia

Mto wa Parana
Río Paraná
Mto Parana mjini Posadas (Argentina)
Mto Parana mjini Posadas (Argentina)
Chanzo Bwawa la Ilha Solteira (Brazil) inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande
Mdomo Rio Plata
Nchi Brazil, Argentina, Paraguay
Urefu 4,000 km
Kimo cha chanzo 1,148 m
Mkondo 16,800 m³/s
Eneo la beseni 2,582,672 km²

Río Paraná (mto Parana) ni mto mrefu wa pili wa Amerika Kusini. Chanzo kipo nchini Brazil kwenye bwawa la Ilha Solteira inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande.

Inapotoka katika eneo la Brazil unakuwa mpaka kati ya Brazil na Paraguay, baadaye kati ya Paraguay na Argentina.

Kilomita 500 km za mwisho unapita Argentina na kukutana Río Uruguay halafu kuingia pamoja naye katika Rio de la Plata.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Parana (mto)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Parana (mto) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

[edit] Viungo vya Nje