John Van Vleck

From Wikipedia

John Hasbrouck Van Vleck (13 Machi, 189927 Oktoba, 1980) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu, na usumaku. Mwaka wa 1977, pamoja na Philip Anderson na Nevill Mott alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Van Vleck" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Van Vleck kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine