Henri Moissan

From Wikipedia

Henri Moissan (28 Septemba, 185220 Februari, 1907) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza elementi ya florini. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Henri Moissan" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Henri Moissan kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.