1907
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 3 Februari - James Michener (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1948)
- 23 Machi - Daniel Bovet (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1957)
[edit] Waliofariki
- 16 Februari - Giosue Carducci (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1906)
- 20 Februari - Henri Moissan (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1906)
- 7 Septemba - Sully Prudhomme (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1901)