Hendrik Antoon Lorentz

From Wikipedia

Hendrik Antoon Lorentz (18 Julai, 18534 Februari, 1928) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Alitafiti nadharia ya elektroni. Pia alichunguza nadharia ya Albert Einstein (Relativity Theory) na ya kwanta. Mwaka wa 1902, pamoja na Pieter Zeeman alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hendrik Antoon Lorentz" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hendrik Antoon Lorentz kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.