James Cronin

From Wikipedia

James Watson Cronin (amezaliwa 29 Septemba, 1931) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu na uhusiano wake na wakati. Mwaka wa 1980, pamoja na Val Fitch alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "James Cronin" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu James Cronin kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine