Werner Heisenberg

From Wikipedia

Werner Karl Heisenberg (5 Desemba, 19011 Februari, 1976) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Alivumbua umekaniki wa kwanta na kutangaza Kanuni ya Heisenberg ya Utovu wa Hakika. Pia alifanya utafiti wa msingi kuhusu fizikia ya kiini. Mwaka wa 1932 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Mpaka mwaka wa 1970 alikuwa mkurugenzi wa Taasisi ya Max Planck kwa Fizikia ya Nyota.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Werner Heisenberg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Werner Heisenberg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.