Mkoa wa Pemba Kusini

From Wikipedia

Visiwa vya Zanzibar (Unguja na Pemba)
Visiwa vya Zanzibar (Unguja na Pemba)

Mkoa wa Kusini Pemba mi moja ya mikoa 26 za Tanzania. Iko katika sehemu ya kusini ya Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania.

Makao makuu ya mkoa ndipo Mkoani. Mkoa una wilaya mbili tu, Mkoani na Chakechake

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mkoa wa Pemba Kusini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mkoa wa Pemba Kusini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Lugha nyingine